query
stringlengths
17
101
positive
listlengths
1
4
negative
listlengths
27
30
cluster
int64
0
98
Je,nchi gani yenye kuzalisha chungwa kwa wingi zaidi duniani?
[ "Chungwa\nMachungwa kwa kawaida hulimwa kwaajili ya biashara na hulimwa maeneo mengi duniani. Wazalishaji wa machungwa wanaoongoza duniani ni Brazili, Marekani na Meksiko. Machungwa huathirika kwa haraka sana na ukungu hivyo huhitaji matunzo mazuri pindi joto dogo sana linapotegemewa." ]
[ "Penisilini\nUtengenezaji wa Penisilini ilitokea kama sekta kama matokeo ya moja kwa moja ya Vita Kuu ya II vya dunia.Wakati wa vita, kulikuwa na wingi wa kazi ipatikanayo Marekani mbele ya nyumbani. Bodi ya vita ya utengenezaji ilianzishwa kufuatilia usambazaji wa kazi na utengenezaji. Penisilini ilitengenezwa kwa wingi wakati wa vita na sekta ikafaulu. Mwezi wa Julai 1943, Bodi ya Vita ya utengenezaji ulichora mpango wa usambazaji kwa wingi wa Penisilini kwa wanajeshi waliopigana vita Ulaya. Wakati wa mpango huu, vitengo milioni 425 kwa mwaka zilitangenezwa. Kama matokeo ya moja kwa moja wa vita na bodi ya vita ya utengenezaji,kufikia Juni 1945 zaidi ya vikundi bilioni 646 kwa mwaka zilitengenezwa.", "Pizza\nHatua nyingine za usambazaji ilikuwa utengenezaji wake viwandani ambako pizza zinaandaliwa na kugandishwa katika chumba cha barafu. Kama chakula barafu huuzwa kupitia maduka yenye friza na kuokwa katika joko la nyumbani. Kutokana na wingi wa ladha na urahisi wa kuiweka mezani pizza barafu, namna hizi za pizza zinauzwa kwa wingi katika mazingira yenye maduka ya friza.", "Ziwa Nakuru\nZiwa Nakuru, ziwa ndogo yenye maji ya chumvi kusini mwa mji wa Nakuru inapatikana takriba kilomita 160 kutoka Nairobi. Hivyo basi inaweza kutumbelewa katika ziara ya siku moja kutoka mji mkuu.Au zaidi, kama sehemu ya mzunguko inayohusisha Masai Mara au Ziwa Baringo na Samburu mashariki. Ziwa hili ni maarufu sana duniani kama eneo kubwa ya kusanyiko ya ndege aina ya flamingo ambayo idadi yao ni zaidi ya milioni moja- ama hata milioni mbili!Wao hula mwani, ambayo hupatitakana kwa wingi katika ziwa hili.", "Gastroenteritis\nTendaji arthritis hutokea katika 1% ya watu kufuatia maambukizi na aina \"kampylobakta\", na Dalili ya Guillain-Barre hutokea katika 0.1%. Dalili ya Hemolytic uremic (HUS) yanaweza kutokea kama matokeo ya maambukizi kwa Shiga sumu - ya kuzalisha \"Escherichia coli\" au \"Shigella\" , kusababisha makosa chini platelet, poor kazi maskini figo, na low chini nyekundu za damu kuhesabu kiini (kutokana na kuvunjika zao). Watoto ni zaidi wa na elezeka kupata HUS kuliko watu wazima. Baadhi ya maambukizi ya virusi huweza kuzalisha kifafa epesi kwa kitoto.", "Wadruzi\nWadruzi (kwa Kiarabu: درزي, derzī au durzī, wingi دروز, durūz; kwa Kiebrania דרוזי, drūzī, wingi דרוזים, druzim) ni watu wenye asili ya Mashariki ya Kati wanaofuata dini yao maalumu inayohusiana na Uislamu, Uyahudi na Ukristo lakini inategemea zaidi falsafa, ikiheshimu Plato, Aristotle, Sokrates na Akhenaten. ", "Al-Qaeda\nKufuatia uondoaji wa Wasovyeti kutoka Afghanistan, Osama Bin Laden alirudi Saudi Arabia. Uvamizi wa Iraq wa nchi ya Kuwait mwaka 1990 ulikuwa umeweka ufalme na utawala wa Nyumba ya Saud hatarini. Mashamba yenye wingi zaidi wa mafuta ya thamani duniani yalikuwa karibu sana na vikosi vya Iraq katika Kuwait, na wito wa Saddam wa \"harakati za Kiarabu/Kiislamu\" ungeweza kuleta migawanyiko ya ndani.", "Kisukari aina ya 2\nMasuala ya lishe pia huchangia hatari ya kupata aina ya 2 ya kisukari. Kutumia vinywaji vilivyo na sukari kwa wingi huhusishwa na ongezeko la hatari.[11][12]Aina ya mafuta katika chakula pia ni muhimu, huku mafuta yasiyo na kifungo na mafuta yenye asidi zilizo na vifungo vingi yakiongeza hatari, na mafuta yenye vifungo vingi na mafuta yenye kifungo kimoja yakipunguza hatari.[8] Kula mchele mweupe kwa wingi pia huzidisha hatari.[13] Ukosefu wa mazoezi unaaminika kuchangia asilimia 7 ya visa.[14]", "Chungwa\nChungwa, na hasa chungwa tamu, ni jamii ya matunda ya citrus, na huaminika kuwa yalikuzwa miongoni mwa enzi za pomelo na tangerine. Mti wake mdogo utoao maua hufikia urefu takribani mita kumi na majani yake yasiyokauka muda wote. Machungwa asili yake ni huko kusini mwa Asia. Tunda lifahamikalo kisayansi kama Citrus sinesis huitwa chungwa tamu ili kutofautisha na Citrus aurantium, chungwa chungu.", "Mkimbizi\nTangu Urusi ivamie nchi ya Afghanistan mnamo mwaka wa 1979 hadi miaka ya mapema 1990, Vita vya Afghanistan (1978-92) vilisababisha zaidi ya wakimbizi milioni sita kukimbia kuelekea nchi jirani za Pakistan na Iran, na kuifanya Afghanistan iwe nchi yenye kuzalisha wakimbizi wengi zaidi duniani. Katika kilele cha Afghanistan kuvamiwa na Wasovyeti, takriban wakimbizi milioni saba wa Kiafghanistani walikimbilia usalama nchini Pakistan, hivyo kuifanya Pakistan nchi ya kipekee kuwahi kuwa na idadi kubwa kama hiyo ya wakimbizi.", "Marzemino\nMarzemino huwa na urahisi wa kuathirirwa na maradhi mbalimbali na pia huweza kuzalisha sana. Mzabibu huu unahitaji msimu mrefu wa kumea na huiva kwa kuchelewa. Marzemino inaweza kuzalisha divai nyepesi yenye ladha ya asidi kali kidogo. Katika hali ya anga baridi,ladha hiyo ya asidi inaweza kuonja kama nyasi na ladha ya matunda ya cheri. Baadhi ya mifano mitamu ya \"passito\" ya Marzemino,mara nyingi hutumika kuchanganywa na zabibu nyinginezo, inaweza kupatikana kote kaskazini mwa Uitalia.", "De Beers\nDe Beers ndilo kampuni la kwanza kwa utajiri afrika wakiwa wana zaidi ya dola milioni saba kwa mujibu wa record ya mwaka 2003. likiwa ni kampuni lenye kuzalisha na kuuza zaidi almas duniani kwa asilimia 40%, duniani likiwa ni kampuni lenye mafanikio zaidi kwa kushika nafasi ya 72 (2003) kwa utajiri duniani.", "Mr. Blue\nLakini hakuanza kuimba moja kwa moja, bali alikuwa akifuatilia tu jinsi gani muziki unavyokua, na mwaka 2001 ndipo nilipojiingiza zaidi kwa kuanza kuimba katika sherehe mbalimbali za 'Macamp.", "Escherichia coli\nHufikiriwa kuwa kimelea chenye uwezo mkubwa sana kwa ajili ya uzalishaji wa protini heterologu, watafiti wanaweza kujumuisha jeni katika vijiumbe maradhi kwa kutumia plasmidi, kuruhusu uzalishaji kwa wingi wa protini katika mchakato uchachishaji wa kiviwanda. Mifumo ya maumbile pia imeendelezwa ambayo inaruhusu uzalishaji wa protini inayoweza kuunganishwa tena kwa kutumia \"E. koli.\" Moja ya matumizi muhimu ya kwanza ya teknolojia ya DNA inayoweza kuungana tena ilikuwa kughilibiwa kwa \"E. koli\" kuzalisha insulini binadamu. \"E. koli\" zilizobadilishwa zimetumika katika maendelezo ya chanjo, kutumia viumbe kurejesha mazingira ya awali, na uzalishaji wavimeng'enya visivyoweza kusonga. Hata hivyo,\"E. koli\" haiwezi, kutumika kuzalisha baadhi ya protini tata kubwa zaidi, ambazo zina bondi za disulfidi nyingi na, hasa, thiol zisizopacha, au protini zinazohitaji pia kubadilishwa baada ya kutafsiriwa kimuundo kwa ajili ya utendajikazi.", "Taasubi ya kiume\nKwa msingi wa dini, kuna haja ya kuelewa zaidi kwa nini Mungu aliamua kuumba watu wa jinsia mbili, na ana mpango gani juu ya kila moja. ", "Wikipedia ya Kituruki\nHii ni Wikipedia ya 17 kwa ukubwa wa hesabu ya wingi wa makala, na ni moja kati ya Wikipedia 16 yenye idadi ya milioni nne ya uhariri wa makala. Pia, ni moja kati ya Wikipedia 13 zenye zaidi ya watumiaji 150,000 waliojisajiri.", "Madhara ya ongezeko la joto duniani\nSiberia ya magharibi ndiyo eneo kubwa zaidi Duniani lenye kaboni majimaji, eneo la kilomita mraba milioni moja la ardhi iliyojumuishwa na barafu iliyoundwa miaka 11,000 iliyopita baada ya kuisha kwa kipindi cha mwisho cha zama ya barafu. Kuyeyuka kwa ardhi na barafu yake huenda kukasababisha kutolewa kwa, baada ya miongo mingi, viwango vingi vya metheni. Zaidi ya tani milioni 70,000 za metheni, gesi ya nyumba ya jkijani kibichi ambayo yenye nguvu nyingi sana, huenda ikatolewa katika miongo michache ijayo, hivyo kutengeneza chanzoo zaidi cha gesi ya nyumba ya kijani kibichi. Kuyeyuka sawa kumeonekana katika eneo la mashariki la Siberia. Lawrence na wengineo. (2008) alipendekeza kuwa kuyeyuka kwa wingi kwa barafu ya Aktiki huenda kukaanzisha mchakato wa ujumbe unaojirudiarudia ambao utayeyusha udongo wa Aktiki, hivyo kusababisha kuongezeka kwa joto zaidi.", "Bernardo wa Clairvaux\nKwangu kuna nini zaidi mbinguni,\nnami natamani nini zaidi ya wewe duniani?", "Gregor Mendel\nMendel aliendelea kuzalisha njegele na kuandika takwimu jinsi gani tabia tofauti zilitokea katika vizazi vya pili na vya tatu. Aliona mwanzoni ya kwamba katika kizazi cha tatu 3/4 zilionyesha tabia thabiti na robo 1 tabia dhaifu. Lakini alipoendelea kuzalisha katika kizazi kifuatacho alijifunza ya kwamba robo mbili ziliendeleza tabia 1 tu (ama ndefu au fupi n.k.) na nusu iliyobaki iliweza tena kuleta tabia zote mbili katika kizazi cha baadaye. Kwa hiyo katika kizazi hiki robo mbili zilikuwa safi kitabia na nusu ilikuwa na tabia chotara.", "Unene wa kupindukia\nNadharia tete ya jeni yenye mafanikio hudai kuwa watu wana uwezekano mkubwa wa kupatwa na unene wa kupindukia kutokana na ukosefu wa chakula wakati wa mageuko ya binadamu. Uwezo wao wa kujinufaisha katika vipindi visivyo vya kawaida vya wingi kwa kuweka nguvu kama mafuta unaweza kuwafaa katika nyakati ambapo upatikanaji wa chakula si yakini na watu walio na hifadhi kubwa ya mafuta wanaweza kuwa na uwezekano mkubwa wa kuongokanjaa. Hata hivyo, huenda jamii zilizo na chakula kwa wingi zisizoee kujiwekea mafuta. Nadharia hii imeweza kukosolewa sana na kupelelea kupendekezwa kwa nadharia zingine za kimageuko kama vile nadharia tete ya jeni isiyo na mkondo nanadharia tete ya fenotipu yenye mafanikiozilizopendekezwa. ", "Madhara ya ongezeko la joto duniani\nHatari kubwa zaidi ya hali kali ya hewa haimaanishi hatari kubwa iliyo wazi ya hali ya hewa ambayo haifanani na ile ya wastani. Hata hivyo, ushahidi ni wazi kuwa hali kali ya hewa na mvua ya wastani pia vinaongezeka. Kuongezeka kwa idadi ya joto kunatarajiwa kuzalisha mawimbi makali zaidi juu ya ardhi na idadi kubwa zaidi ya dhoruba kali sana.", "Mashariki ya Kati\nUtajiri haukuanza kote mara moja; Uajemi (Iran) ilikuwa nchi kubwa ikapata asilimia ndogo ya mapato ya mafuta kufuatana na mikataba ya zamani; upande wa Uarabuni ilichukua muda hadi chemchemi kubwa za mafuta zilipatikana na kuzalisha kwa wingi. Bahrain ilitangulia, Kuwait ilifuata tangu mwaka 1950 hivi, lakini Omani na Falme za Kiarabu zilianza kuzalisha kwa wingi katika miaka ya 1970 pekee.", "Tiba asilia ya homoni\nFamasia za kuchanganya dawa hutumia madawa yanayopatikana kwa wingi kibiashara kuunda misombo mipya tofauti katika fomu au vipimo na ile inayotengezwa kwa wingi viwandani na makampuni ya dawa. Nchini Marekani, shughuli ya kuchanganya dawa kifamasia imetawaliwa na serikali katika ngazi ya jimbo, wakati mamlaka ya FDA yanadhibiti bidhaa zilizochanganywa. Baadhi maduka ya dawa yaliyo katika Intanet yanapuuzia hatari na kudai manufaa ya BHRT zaidi ya yale ambayo yanaweza kudhibitishwa na ushahidi wa matibabu unaoweza kuonekana na mengi ya madai hayo huenda mbali zaidi ya yale yanayotolewa na nyingine, madaktari wa BHT.", "Somo la Uchumi\nMojawapo ya fikira kuhusu masoko yaliyo na ushindani kamili ni kuwa kunao wazalishaji wengi, hamna baina yao anayeweza kushawishi mabadiliko ya bei wala kufanya kazi pasi na kuzingatia masharti ya soko. Hata hivyo, katika hali halisi, watu hawafanyi biashara tu kwa soko, huwa wanafanya kazi na kuzalisha katika makampuni. Aina za wazi kabisa za makampuni ni mashirika, ubia na amana. Kwa mujibu wa Ronald Coase, watu huanza kupanga uzalishaji wao katika makampuni wakati gharama za kufanya biashara huwa za chini kuliko wakati wafanyapo shughuli hizi sokoni. Makampuni hujumuisha kazi na mtaji, na zinaweza kupata faida nyingi zaidi za upanuzi ( wakati kuzalisha vitu viwili zaidi ni nafuu zaidi kuliko kuzalisha kitu kimoja) kuliko kufanya biashara ya kitu kimoja katika soko.", "Umande jua\nMmea wa Umande-jua, ni mmojawapo wa mimea ya jenasi ya \"Drosera\" ambayo ni mojawapo ya jenasi kubwa zaidi ya mimea ambao hula nyama. Jenasi ya \"Drosera\" ina spishi 188. Mimea hii ya familia ya Droseraceae huwavutia, kuwashika na kuwaua wadudu kwa kutumia viungo vyenye kuzalisha maji yenye gundi. Wadudu hawa hupendwa na umandejua kwa sababu mmea wenyewe unamea katika ardhi isiyokuwa na rotuba ya kutosha. Spishi mbalimbali, ambazo huwa na maumbo tofauti hupatikana katika mabara yote isipokuwa Bara la Antaktiki.", "Umememaji\nNjia ya pekee ya kuzalisha umememaji ni kutumia bwawa la juu linalojazwa kwa pampu. Mbinu hii inatumia umeme uliopatikana wakati watumiaji wana matumizi madogo. Umeme uliopo sasa kwa ziada huendesha pampu kubwa na kusukuma maji kutoka sehemu ya chini kwenda bwawa lililoandaliwa juu zaidi kwa mfano juu ya mlima. Wakati wa mahitaji makubwa maji haya yanateremshwa kupitia rafadha na kuzalisha umeme.", "Vitamini C\nMatunda kama limau, chungwa na balungi ni vyanzo bora vya vitamini C. Kwa jumla karibu matunda yote yenye ladha ya kichungu ni chanzo chake. ", "Ndimu\nIndia inaongoza kwa kuzalisha kwa wingi malimao na ndimu kwa wingi zaidi kwa asilimia 16, ikifuatwa na Meksiko (14. 55%), Ajentina (10%), Brazili (85%) na Hispania (7%)", "Ugonjwa wa uti wa mgongo\nSampuli ya KMN huchunguzwa ili kubaini uwepo na aina za [[seli nyeupe ya damu]], [[seli nyekundu za damu]], [[protini]] na viwango vya [[glukosi]]. [[Mbinu ya Gram ya kupaka rangi]]ya sampuli hii inaweza kudhihirisha uwepo wa bakteria katika meninjitisi ya kibakteria, lakini kutokuwepo bakteria hakubainishi kuwa meninjitisi ya kibakteria haipo, kwa sababu bakteria huonekana tu katika asilimia 60 ya matukio; kiwango hiki hupungua kwa asilimia 20 zaidi iwapo antibiotiki zilipeanwa kabla ya kutolewa kwa sampuli. Mbinu ya Gram ya kupaka rangi pia haiaminiki sana katika maambukizi kama vile [[listeriosisi]]. [[Uchunguzi viini wa kimikrobiolojia]] wa sampuli iliyochukuliwa hufaulu zaidi (hutambua viini katika asilimia 70-85 ya visa) lakini matokeo yanaweza kukawia hadi saa 48 . Aina ya seli nyeupe za damu zikiwepo kwa wingi (tazama jedwali) huonyesha iwapo meninjitisi ni ya kibakteria (hasa yenye wingi wa nutrofili) au ni ya virusi (hasa yenye wingi wa limfosaiti), ingawa mwanzoni mwa ugonjwa huu, vipengele hivi sio viashiria vinavyoaminika. Mara nadra sana[[ozinofili]] huwepo kwa wingi, hivyo kuashiria kuwepo kwa viini au kuvu, miongoni mwa dutu zingine.", "Jimbo kuu\nJimbo kuu ni jimbo yenye hadhi ya juu upande wa sheria za Kanisa kwa msingi wa historia, wingi wa watu au waamini n.k.", "Mapinduzi ya Viwandani\nMahitaji makubwa ya barabara za reli ya reli ambayo ingeweza kudumu zaidi ilisababisha kuvumbuliwa kwa mbinu za kuzalisha kwa bei nafuu idadi kubwa ya stili. Stili mara nyingi hutajwa kama eneo ya kwanza kati ya maeneo mengi ya uzalishaji wa kiasi kikubwa viwandani, ambazo zinasemekana kuwa sifa ya \"Mapinduzi ya Viwandani ya Pili \", kuanzia mwaka wa 1850, ingawa mbinu ya kutengeneza stili kwa kiwango kikubwa haikuvumbuliwa hadi mnamo miaka ya 1860, wakati ambapo Henry Bessemer aliundwa tanuri mpya ambayo ingeweza kutengeneza chuma nzito na stili kwa kiwango kikubwa. Hata hivyo, iliweza tu kupatikana kwa wingi katika miaka ya 1870. Mapinduzi haya ya pili ya Viwandani yalikua ya polepole na ya kujumuisha viwanda vywa kemikali, usafishaji na usambazaji wa mafuta, viwanda vya umeme, na, katika karne ya ishirini, viwanda vya magari, na ilikuwa na mpito ya uongozi wa kiteknolojia kutoka nchi ya Uingereza hadi nchi Mrekani na Ujerumani." ]
28
Je,nani mwanzilishi wa mchezo wa StarCraft?
[ "StarCraft\nMchezo wa kwanza wa mfululizo StarCraft ulitolewa kwa Microsoft Windows tarehe 31 Machi 1998. Na zaidi ya nakala milioni 11 kuuzwa duniani kote kufikia Februari 2009, ni moja ya michezo bora kwa kuuza inayotumika kwenye kompyuta binafsi. Nakala inayotumika kwenye Mac OS ilitolewa Machi 1999." ]
[ "Sergio Busquets\nBusquets kawaida hutumiwa kama kiungo wa kati au kushoto, ingawa pia anaweza kucheza kama mlinzi wa kati.Busquets ni mchezaji anayefanya kazi kwa bidii,pia ni mchezaji ambaye anajihamini,ana akili ya mchezo na mwenye uwezo wa kuusoma mchezo jinsi ulivyo.", "Michezo ya mapigano\nShabaha ya mchezo wa mashindano ni kumshinda mpinzani katika uwanja wa mchezo bila kumwudhi mno, yaani bila kumpa jeraha za kudumu. ", "Bondia\nMara nyingi mabondia hupangwa pia katika sehemu mbili: wale wanaofanya mchezo kwa ajili ya mchezo na wengine wanaocheza kwa pesa. Wanaojulikana zaidi ni mabingwa wa mchezo wa ngumi kwa pesa.", "Portland Tribune\nJarida hili hujihusisha sana na masuala ya Portland na jimbo la Orego. Jarida hili linajulikana kwa kuandika habari za shule za upili za eneo hilo, timu za michezo hasa za NBA, Pac-10, Mkutano wa mchezo wa Big Sky na Mkutano wa mchezo wa Pwani Magharibi.", "Pelé\nPelé aliwahi kukiri kuwa mashindiano hayo yana changamoto kubwa,alisema kuwa kuwa mchezo huo ulikuwa wa haraka kidogo kuliko mpira wa miguu wa kwenye nyasi na kwamba mchezo huo ulihitaji uwezo mkubwa wa kufikiri haraka kwa kuwa kila watu wanakuwa karibukaribu ndani ya uwanja.Pelé anauheshimu sana mchezo huo kwa kuwa ulimpa uwezo mkubwa wa kufikiri papo kwa papo anapokuwa uwanjani.Licha ya hivyo mchezo huo ulimpa uwezo wa kuchezaccredits indoor football for helpin na wakubwa zaidi rika lake alipokuwa na umri wa miaka 14.Katika kila mashindano aliyowahi kucheza alikuwa akichukuliwa kama mdogo asingeweza kucheza lakini kila mashindano yanapoisha yeye ndiye anayekuwa mfungaji bora akiwa na magoli kumi na nne au kumi na tano.\"Hicho kilinipa kujiamini zaidi\", Pelé alisema\"Hapo nilijua kuwa nisiwe mwoga kwa chochote kile\".", "Manchester United F.C.\nTangu mwisho wa mwaka ya 1990, kilabu hicho kimekuwa mojawapo ya vilabu tajiri duniani kilicho na mapato ya juu kuliko kilabu chochote,[5] na sasa kinatajwa kama kilabu chenye thamani zaidi katika mchezo wowote, na makisio ya thamana ya takriban bilioni £ 1.136 (bilioni € 1.319 ) Aprili 2009.[6] Manchester United ilikuwa mwanachama mwanzilishi wa kundi la vilabu la G-14 la Vilabu kuu vya kandanda Uingereza, ambalo halipo tena, na European Club Association, muungano uliochukua nafasi yake.[7]", "Upinde\nLeo upinde hutumika kwa minajili ya kuwinda na katika mchezo wa archery ingawapo wachezaji wa mchezo huo hutumia upinde wenye muundo tofauti na ulioboreshwa .", "Oscar Fanuel Joshua\nOscar amewahi itwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania huku akicheza michezo 14 ya Timu ya taifa ya Taifa stars mchezo wa mwisho kucheza Oscar wa timu ya Taifa ulikuwa ni mchezo kati ya Taifa Stars dhidi ya Misri Taifa stars ikifungwa 3 bila mchezo huo", "Eric Wainaina\nDesemba 2004 Wainaina alizindua mchezo wa kuigiza wenye nyimbo 21, \"Lwanda, Man ya Stone\", yenye msingi wa hadithi za kitamaduni. Mmoja wa kwanza wa aina yake katika Kenya, mchezo huu uliendelea kwa msimu wenye mafanikio makubwa, na toleo jingine huonyeshwa katika sherehe kuu za kitamaduni. Toleo la kisasa la mchezo huu, 'Lwanda-A Ghetto Story \" ulikuwa na mafanikio sana katika sanaa ya GoDown, Nairobi, Desemba 2006. Mipango unaendelea kupata makao ya 'Lwanda' mjini Nairobi.", "Tennis\nHadi mwaka 1924 tennis ilikuwa mchezo kwenye Michezo ya Olimpiki, ikaondolewa na kurudishwa mwaka 1988. Katika nchi mbalimbali hadi leo ina sifa ya kuwa mchezo wa matajiri lakini katika nchi nyingine inachezwa na watu wa matabaka yote.", "Pro Evolution Soccer 2019\nMchezaji wa Barcelona F.C. Philippe Coutinho anaonekana katika ikoni ya toleo la kwanza la mchezo huu, wakati David Beckham akionekana katika ikoni ya toleo maalumu la mchezo huu.", "Gran Turismo (mchezo wa video)\nGran Turismo (kawaida huandikwa GT au GT1) ni mchezo wa kuendesha motoka ulioundwa na Kazunori Yamauchi. \"Gran Turismo\" ilitengenezwa na polyphony Digital na kwanza ilichapishwa na Sony Computer Entertainment mwaka 1997 kwa PlayStation video. Awali mchezo huu uliuzwa katika Ujapani tu lakini umaarufu wa mchezo umesababisha kuundwa kwa toleo la Marekani na kisha toleo la Ulaya ambao inauzwa katika nchi nyingine.", "Jimmy Wales\nJimmy \"Jimbo\" Donal Wales (amezaliwa tar. 7 Agosti 1966) ni mwanzilishi na ni rais wa sasa wa Wikimedia Foundation. Anafahamika zaidi kama mwanzilishi wa kamusi elezo huru ya Wikipedia. Kwa sasa anaishi mjini St. Petersburg, Florida.", "The Kung-Fu Master Jackie Chan\nThe Kung-Fu Master Jackie Chan ni mchezo wa video wa 1995 wa kupigana aina ya arcade ambao umekuzwa na Atop na kuchapishwa na Kaneko. Unashirikisha msanii maarufu wa Hong Kong Jackie Chan. Kama \"Blood Warrior\", ambao pia ni amchezo ulioundwa na Atop na kuchapishwa na Kaneko, mchezo huu hutumia picha za digital za waigizajiwa halisi katika mchezo, na inachochewa na na mshururu wa Midway \"Mortal Kombat\" katika mbinu za uonekanaji, damu na mbinu za kumalizia na haupatikani kwa urahisi.\nBaadaye mchezo huu ulubadilishiwa jina na kuitwa .", "Voliboli\nBaada ya mwangalizi, Alfred Halstead, aliona hali ya kuvutia ya mchezo katika mechi yake ya kwanza ya maonyesho mwaka wa 1896, alicheza katika Shule ya Mafunzo ya Kimataifa ya YMCA (ambayo sasa inaitwa Springfield College, mchezo huo ulianza kujulikana kama voliboli (awali ilikuwa imeandikwa kama mbili maneno: \"mpira wa nyavu\"). Sheria za voliboli zilibadilishwa kidogo na Shule ya Mafunzo ya Kimataifa ya YMCA na mchezo umeenea kote nchini kwa YMCA mbalimbali.", "Freestyle Football Tanzania\nFREESTYLE FOOTBALL TANZANIA (FFT) au FFT / Free Foot TZ ni chombo cha mchezo wa Uchezeaji wa Mpira wa Miguu (uchezea mpira) nchini Tanzania kama vile serikali ama shirikisho linavyofanya shughuli zake, FFT inasimamiwa na kuendeshwa na mfumo wa utawala wa klabu moja iitwayo Genius MP Freestyle Football Club. Klabu hii ni klabu mama ya mchezo huu yenye jukumu na mamlaka ya kusimamia, kuendesha, na kuratibu mchezo huu nchini na ndio inayotoa viongozi wakutawala FFT. Klabu ina usajili wa namba NSC 11410 (National Sports Council). FFT inahusiano na shirikisho la dunia la uchezeaji mpira wa miguu (World Freestyle Football Federation-WF3) ambalo balozi wake mkuu ni Ronaldinho. +255 653 910 255.", "Claude (Grand Theft Auto)\nClaude ni mhusika mkuu na wa kubuniwa katika mchezo wa Grand Theft Auto III, mchezo uliopo katika mfululizo wa Grand Theft Auto uliotengenezwa na Rockstar Games. ", "Karata\nHivyo neno linataja pia mchezo ambao huchezwa na watu mbalimbali kwa lengo la kushindana ili kujifurahisha au kama mchezo wa kamari kwa kupata fedha kutoka kwa wenzao. ", "Fortnite (mchezo wa video)\nFortnite ni mchezo wa video ulioanzishwa na kampuni ya michezo ya video Epic Games mwaka 2017. Mchezo huu unahusu vita na umeweza kutwikwa taji kama Webby Awards, Teen Choice Awards na Game Critics Awards. Kuna vipengee viwili tofauti katika mchezo huu navyo ni ", "Mpira wa miguu\nIkiwa ni lazima mshindi apatikane, hasa kwenye mechi za finali, mchezo huwa na muda wa ziada kama timu hizo ziko sare. Iwapo sare hiyo huendelea mchezo huamuliwa kwa mikwaju ya penalty.", "Need for Speed: Carbon\nNeed for speed: Carbon ni mchezo wa mashindano na Sanaa ya Maandishi ambayo ni ya mfululizo wa \"Need for Speed\". Ni mchezo wa 12 katika mfululizo wa \"Need for Speed\" na inapatikana kwenye mifumo mingi ya michezo kama vile PlayStation 2, PlayStation 3, Xbox, Xbox 360, \"GameCube\", \"Wii\" na kompyuta.", "Bundesliga\nBundesliga ni jina la michezo ya hali ya juu katika nyanja za michezo mbalimbali katika Ujerumani na Austria. Bundesliga ina maana ya kutaja ligi kuu ya nchi nzima. Mpira wa miguu ni mchezo mashuhuri sana katika nchi hizo mbili. Na ndiyo maana mchezo wa mpira wa miguu unajulikana sana katika nchi hizo kwa jina la Bundesliga.", "Kampuni ya DVS\nDVS inaendelea kuuza bidhaa zake kwa soko na ,pia, kuboresha vipengele vyote vya bidhaa zao zinazotumika katika michezo ya bodi kama mchezo wa \"skateboard\",mchezo wa kuteleza na bodi kwenye theluji na mchezo wa kubobea kwenye maji ukitumia bodi. Kampuni hii imenawiri sana katika sekta hii na itaendelea kushinikiza maendeleo katika spoti hizo.", "Tommy Hilfiger (kampuni)\nDaniel Grieder alichaguliwa Mkurugenzi Mtendaji Julai 2014, wakati mwanzilishi Tommy Hilfiger anaendelea kuwa mwanzilishi mkuu wa kampuni, akiongoza timu na kusimamia mchakato mzima wa ubunifu. ", "GTA San Andreas\nGrand Theft Auto: San Andreas ni moja ya michezo ya video kwa mfululizo wa mchezo wa Grand Theft Auto. Ilifanywa na Kampuni ya Michezo ya Rockstar. Mchezo ulitokea kwenye PlayStation 2 kwanza na baadaye kwenye Xbox na kompyuta. Katika mchezo huu, mchezaji anaweza kufanya chochote anachotaka, ikiwa ni pamoja na kupiga au kuua watu, magari na uharibifu wa mali na vitu kama vile vurugu. Hiyo ndiyo sababu moja kwa nini mchezo huu ni maarufu sana.", "Morogoro (mji)\nMji wa Morogoro unajulikana pia kwa klabu za mchezo wa mpira. Wapenda mchezo huo watamkubuka mchezaji wa timu ya taifa Gibson Sembuli ambaye alikuwa mchezaji maarufu wa timu ya klabu ya Yanga.", "Downhill Domination\nDownhill domination ni mchezo wa kompyuta wa mashindano ya baiskeli uliotolewa na kusambazwa na PlayStation 2. mchezo huo unachezeka kutoka juu ya mlima na kushuka chini huku wakishindana na kupigana.", "Amandina Lihamba\nMnamo mwaka 1989 alikuwa mmoja wa waanzilishi wa mradi wa Jukwaa la Watoto. Pia ni mwanzilishi wa kundi la wasichana la kuigiza (drama) katika mchezo ujulikanao kama Tuseme akishirikiana na Penina Muhando mnamo mwaka 1998.", "Kazunori Yamauchi\nKazunori Yamauchi(Kijapani: 山内 一典, amezaliwa 5 Agosti 1967) ni muundaji wa michezo ya video kutoka nchi ya Japan ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Polyphony Digital na muumba na mtayarishaji wa mchezo maarufu unaoitwa Gran Turismo. Alipata cheo cha rais katika PolyPhony Digital baada ya kujenga mchezo wake wa kwanza unaoitwa Motor Toon Grand Prix mchezo ambao ulikuwa asili kabisa na wa kipekee. Tangu hapo, Yamauchi ametimiza ndoto yake ya kuunda mchezo bora wa gari kupitia kwa mafanikio ya<i data-parsoid='{\"dsr\":[612,628,2,2]}'>Gran Turismo .", "Francis Imbuga\nTajriba yake kwenye uigizaji ilianzia katika Shule ya Upili ya Alliance, ambako mchezo wa kuigiza wake ulioitwa Omolo uliteuliwa kwenye fainali za Kenya National Schools' Drama Festival mwaka wa 1969. Akiwa mhusika mkuu,Imbuga aliteuliwa kuwa Muigizaji Bora wa Mwaka,na maravmoja akaanza kuandikia kituo cha televisheni cha Voice of Kenya-kwa sasa KBC- mchezo wa kuigiza endelezi wa \"Omolo\" \nImbuga alipata shahada ya digrii kwenye Elimu (bachelor of arts degree in education) katika Chuo Kikuu cha Nairobi.Akiwa chuoni (1970-1973), Imbuga aliiguza kwenye zaidi ya michezo ya kuigiza hamsini kwenye kipindi cha African Theatre kwenye runinga ya Voice of Kenya.\nTamthilia tisa za Imbuga zilizochapishwa huigizwa kila mara na kazi zake hujadiliwa katika semina mbalimbali duniani. Tamthilia zake kama vile—Betrayal in the City (1976), The Successor (1979), Man of Kafira (1984), na Aminata (1988)—zimesomeshwa katika shule za sekondari na Vyuo mbalimbali katika Afrika Mashariki na Kati. Kwenye tamthilia zake,Imbuga hutumia ufasaha kwenye fasihi ya Kiluhya ambayo ni lugha yake,kusimulia maudhui yake.Kama mwanzilishi wa waandishi wa Afrika,yeye husisitiza umoja na hadhi uliokuwepo kabla ya kuja kwa mkoloni.Adui wake mkuu ni Mzungu,ambaye alikuja kuharibu ustaarabu huu wa Mwafrika.\nTamthilia zake zilizochapishwa hadi sasa ni: \n1. Kisses of Fate (1972)" ]
43
Je,nchi ya Zambia ina idadi ya watu wangapi?
[ "Zambia\nRepublic of Zambia Jamhuri ya Zambia Neno Kuu: “One Zambia, one nation” Kiing. „Zambia moja, Taifa moja“Lugha rasmiKiingerezaMji MkuuLusakaSerikaliJamhuriRais(Edgar Lungu)Eneo752.614 km²Idadi ya Wakazi14,309,466 (Julai 2012)Wakazi kwa km²17,2UhuruKutoka Uingereza 24 Oktoba 1964PesaKwacha ya Zambia = 100 NgweeWakatiUTC+2Wimbo wa TaifaLumbanyeni Zambia (Stand and sing of Zambia)" ]
[ "Zambia\nMiji ya Zambia Mikoa ya Zambia Orodha ya lugha za Zambia Orodha ya nchi kufuatana na wakazi Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa Demografia ya Afrika", "Kimbukushu\nKimbukushu ni lugha ya Kibantu nchini Botswana, Namibia, Angola na Zambia inayozungumzwa na Wambukushu. Mwaka wa 2004 idadi ya wasemaji wa Kimbukushu nchini Botswana imehesabiwa kuwa watu 20,000. Pia kuna wasemaji 5000 nchini Zambia (2006), wasemaji 6100 nchini Namibia (2006) na wasemaji 4000 nchini Angola (1997). Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kimbukushu iko katika kundi la K30.", "Kilambya\nKilambya ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania, Malawi na Zambia inayozungumzwa na Walambya. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kilambya nchini Malawi imehesabiwa kuwa watu 45,000; nchini Tanzania ni wasemaji 40,000 (1987); na nchini Zambia kuna wasemaji 2000 tu. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kilambya iko katika kundi la M20.\nKitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:", "Kitotela\nKitotela ni lugha ya Kibantu nchini Zambia na Namibia inayozungumzwa na Watotela. Idadi ya wasemaji imepungua sana. Mwaka wa 1971 idadi ya wasemaji wa Kitotela nchini Zambia ilikuwa watu 14,000, lakini katika sensa ya mwaka wa 2010 wamebaki wasemaji 1120 tu. Idadi ya wasemaji nchini Namibia ni 100 tu (2006). Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kitotela iko katika kundi la K40.", "Kitonga (Zambia)\nKitonga ni lugha ya Kibantu nchini Zambia inayozungumzwa na Watonga. Isichanganywe na Kitonga cha Malawi. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kitonga nchini Zambia imehesabiwa kuwa watu 990,000. Pia kuna wasemaji nchini Zimbabwe. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kitonga iko katika kundi la M60.", "Kikaonde\nKikaonde ni lugha ya Kibantu nchini Zambia inayozungumzwa na Wakaonde. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kikaonde imehesabiwa kuwa watu 207,000. Pia kuna wasemaji 36,000 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kikaonde iko katika kundi la L40.", "Kiaushi\nKiaushi ni lugha ya Kibantu nchini Zambia inayozungumzwa na Waaushi. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kiaushi imehesabiwa kuwa watu 95,200. Pia kuna wasemaji katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kiaushi iko katika kundi la M40.", "Kifwe\nKifwe ni lugha ya Kibantu nchini Namibia inayozungumzwa na Wafwe. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kifwe nchini Namibia imehesabiwa kuwa watu 10,200. Pia kuna wasemaji nchini Zambia na BotswanaKufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kifwe iko katika kundi la K40.", "Lugha ya taifa\nKigezo cha idadi ya watumiaji, Lugha ya Taifa ina idadi kubwa ya watumiaji, kwa mfano, nchini Tanzania lugha ya Kiswahili inatumiwa na idadi kubwa ya watu katika mawasiliano yao wakati lugha rasmi ina idadi ndogo ya watumiaji, kwa mfano, lugha ya Kiingereza inatumiwa na watu wachache.", "Kinsenga\nKinsenga ni lugha ya Kibantu nchini Zambia inayozungumzwa na Wansenga. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kinsenga nchini Zambia imehesabiwa kuwa watu 544,000. Pia kuna wasemaji nchini Msumbiji na Zimbabwe. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kinsenga iko katika kundi la N40.", "Kisala\nKisala ni lugha ya Kibantu nchini Zambia inayozungumzwa na Wasala. Mwaka wa 1986 idadi ya wasemaji wa Kisala imehesabiwa kuwa watu 20,400. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisala iko katika kundi la M60.", "Kiila\nKiila ni lugha ya Kibantu nchini Zambia inayozungumzwa na Waila. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kiila imehesabiwa kuwa watu 71,200. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kiila iko katika kundi la M60.", "Kitaabwa\nKitaabwa ni lugha ya Kibantu nchini Zambia inayozungumzwa na Wataabwa. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kitaabwa imehesabiwa kuwa watu 132,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kitaabwa iko katika kundi la M40.", "Kinyamwanga\nKinyamwanga (pia huitwa \"Kimwanga\" au \"Kinamwanga\") ni lugha ya Kibantu nchini Zambia na Tanzania inayozungumzwa na Wanyamwanga. Mwaka wa 2010 idadi ya wasemaji wa Kinyamwanga nchini Zambia imehesabiwa kuwa watu 140,000. Pia kuna wasemaji 87,000 nchini Tanzania (1987). Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kinyamwanga iko katika kundi la M20.\nKitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:", "Kimbunda\nKimbunda ni lugha ya Kibantu nchini Angola na Zambia inayozungumzwa na Wambunda. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kimbunda nchini Angola imehesabiwa kuwa watu 135,000, na nchini Zambia kuna wasemaji 156,000 (2006). Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kimbunda iko katika kundi la K20.", "Kilunda\nKilunda ni lugha ya Kibantu hasa nchini Zambia inayozungumzwa na Walunda. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kilunda nchini Zambia imehesabiwa kuwa watu 450,000. Pia kuna wasemaji 178,000 nchi ya Angola na wasemaji wachache nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kilunda iko katika kundi la K30.", "Kikuhane\nKikuhane (pia Kisubiya) ni lugha ya Kibantu nchini Namibia, Botswana na Zambia inayozungumzwa na Wakuhane. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kikuhane nchini Namibia imehesabiwa kuwa watu 26,600. Pia kuna wasemaji 3000 nchini Botswana (2006) na wasemaji 1350 nchini Zambia (2010). Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kikuhane iko katika kundi la K40.", "Kisoli\nKisoli ni lugha ya Kibantu nchini Zambia inayozungumzwa na Wasoli. Mwaka wa 2010 idadi ya wasemaji wa Kisoli imehesabiwa kuwa watu 34,100. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisoli iko katika kundi la M60.", "Kikunda\nKikunda ni lugha ya Kibantu nchini Zimbabwe na Zambia inayozungumzwa na Wakunda. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kikunda nchini Zimbabwe imehesabiwa kuwa watu 145,000, na nchini Zambia watu 43,800. Pia kuna wasemaji 5500 nchini Msumbiji. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kikunda iko katika kundi la N40.", "TANZAM\nTANZAM ina urefu wa kilomita 2,400 na zote zina lami. Katika Zambia huitwa \"Great North Road\" na ndani ya Tanzania ina namba \"T1\". ", "Kisimaa\nKisimaa ni lugha ya Kibantu nchini Zambia inayozungumzwa na Wasimaa. Mwaka wa 1986 idadi ya wasemaji wa Kisimaa imehesabiwa kuwa watu 162,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisimaa iko katika kundi la K40.", "Kinyiha\nMwaka wa 1987 idadi ya wasemaji wa Kinyiha nchini Tanzania ilihesabiwa kuwa watu 306,000. Nchini Zambia ilikadiriwa kuwa watu 356,000 (1993). ", "Kikhwe\nKikhwe (pia Kikxoe) ni lugha ya Khoisan nchini Namibia, Afrika Kusini, Angola, Zambia na Botswana inayozungumzwa na Wakhwe. Mwaka wa 2010 idadi ya wasemaji wa Kikhwe nchini Namibia imehesabiwa kuwa watu 2900. Pia kuna wasemaji 1200 nchini Afrika Kusini (2010), wasemaji 1600 nchini Botswana (2010), wasemaji 790 nchini Angola (2000) na wasemaji 300 tu nchini Zambia (2006). Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikhwe kiko katika kundi la “Kalahari Khoe”.", "Kimashi (Zambia)\nMwaka wa 2010 idadi ya wasemaji wa Kimashi nchini Zambia ilihesabiwa kuwa watu 18,800. Pia kulikuwa na wasemaji 2630 katika nchi ya Angola (2000) na wasemaji 200 katika nchi ya Namibia (2006). ", "Kinkoya\nKinkoya ni lugha ya Kibantu nchini Zambia inayozungumzwa na Wankoya. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kinkoya imehesabiwa kuwa watu 146,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kinkoya iko katika kundi la L50.", "Kiluyana\nKiluyana ni lugha ya Kibantu nchini Zambia inayozungumzwa na Waluyana. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kiluyana nchini Zambia imehesabiwa kuwa watu 222,000. Pia kuna wasemaji 32,500 (2000) nchi ya Angola na wengine nchi za Botswana na Namibia. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kiluyana iko katika kundi la K40.", "Kilenje\nKilenje ni lugha ya Kibantu nchini Zambia inayozungumzwa na Walenje. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kilenje imehesabiwa kuwa watu 156,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kilenje iko katika kundi la M60.", "Kilamba\nKilamba ni lugha ya Kibantu nchini Zambia inayozungumzwa na Walamba. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kilamba imehesabiwa kuwa watu 219,000. Pia kuna wasemaji katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kilamba iko katika kundi la M50.", "Orodha ya miji ya Zambia\nHii ni orodha ya miji ya nchi ya Zambia yenye angalau idadi ya wakazi 10,000 (2007).", "Kilala-Bisa\nKilala-Bisa ni lugha ya Kibantu nchini Zambia inayozungumzwa na Walala-Bisa. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kilala-Bisa imehesabiwa kuwa watu 580,000. Pia kuna wasemaji nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kilala-Bisa iko katika kundi la M50." ]
18
Je,nani wa kwanza kufika kwenye mwezi?
[ "Apollo 11\nApollo 11 ilikuwa chombo cha angani cha kwanza kufikisha watu kwenye Mwezi. Hii yote ilifanywa na NASA (Mamlaka ya Marekani ya Usafiri wa Anga). Kilirushwa angani mnamo 16 Julai 1969 kikibeba wanaanga watatu Neil Armstrong, Buzz Aldrin na Michael Collins.", "Neil Armstrong\nNeil Armstrong (5 Agosti 1930 — 25 Agosti 2012) alikuwa rubani mwanaanga wa Marekani aliyeshuka mwezini mwaka 1969, wa kwanza kabisa kati ya wanadamu wote.", "Mwezi\nMwezi wetu ni gimba la angani la kwanza ambako wanadamu wamefika. Tarehe 21 Julai 1969 mwanaanga Mmarekani Neil Armstrong alikuwa mtu wa kwanza wa kukanyaga uso wa mwezi. Wanaanga wengine 11 kutoka Marekani waliendelea kufika mwezini hadi mwaka 1972.Baadaye safari za kwenda mwezini hazikufanywa tena kutokana na gharama kubwa." ]
[ "Historia ya Hispania\nWiki chache kabla ya kushinda huko Granada wafalme wa Hispania walimkubalia nahodha Kristoforo Kolumbus kutafuta njia ya kufika Bara Hindi kupitia magharibi. Badala ya kufika India Kolumbus alifika kwenye visiwa vya Amerika ya Kati.", "Music Box\nSingle inayoongoza katika albamu hii, inayojulikana kama vile \"Dreamlover\", wimbo huu ulikuwa wimbo uliopata mafanikio zaidi wakati wa kutolewa, ulifanikiwa kufika katika nafasi ya kwanza katika shati ya muziki ya Marekani, na halikadhalika katika chati ya single ya nchini Canada. Wimbo wa \"Without You\" ulikuwa wimbo wa kwanza kufika katika nafasi ya kwanza katika chati ya muziki ya Uingereza na nchini nyinhine kadhaa katika bara la Ulaya. Mariah aliteuliwa kugombea tuzo za \"Best Female Pop Vocal Performance\" katika wimbo wa \"Dreamlover\" katika Grammy Awards of 1994 lakini alishindwa kupata tuzo hiyo, na badala yake ilichukuliwa na Whitney Houston; baadae alipata nafasi ya kugombea tena nafasi hiyo kupitia wimbo wake wa \"Hero\" katika tuzo ya Grammy Awards of 1995 lakini kwa mara nyingine tena hakuweza kupata tuzo hiyo.", "I'll Be There\nWimbo wa kundi la The Jackson 5, ulirekodiwa katika studio za Motown Records na kutolewa rasmi kama single ya kwanza katika albamu ya kundi hili, iliyoitwa \"Third Album\" . Hii ikiwa ni mwaka 1970. Ukiwa umetengenezwa na watunzi maahiri, wimbo wa \"I'll Be There\" ilikuwa wimbo wa tano wa kundi hili kufika katika nafasi ya kwanza\nmfululizo ukifuatia nyimbo za \"I Want You Back,\" \"ABC,\" na \"The Love You Save.\" Wimbo wa \"I'll Be There\" umesemekana kuwa ndio wimbo wenye mafanikio zaidi kuwahi kutengenezwa katika studio za Motown katika kipindi chake cha Detroit ambacho ni kuanzia mwaka 1959-1972. Pia ni wimbo wa nne kutoka kwa kundi hili kufika katika nafasi ya kwanza mfululizo na hivyo kulifanya kundi hili kuwa kundi la kwanza la wavulana wenye asili ya Afrika kuwahi kufika katika nafasi hiyo.", "Kristoforo Kolumbus\nMara nyingi aliitwa Mzungu wa kwanza wa kufika Amerika, lakini baadaye imejulikana ya kwamba Waviking walitangulia kufika Amerika ya Kaskazini mnamo mwaka 1000. Ila jitihada zake zilianzisha njia ya mawasiliano ya kudumu kati ya Amerika na mabara mengine tofauti na safari zote zilizovuka bahari kabla yake.", "Unbreakable\n\"Unbreakable\" ni wimbo kutoka kwa kundi la Westlife, wimbo huu ulitoka kama single yao ya kwanza kutoka katika albamu ya Greatest Hits iyotoka mwezi Novemba mwaka 2002. Ni wimbo uliioongoza katika kutoka namba uliyokuwepo hadi kufika namba moja. Yaani kutoka nafasi ya 196 moja kwa moja hadi nafasi ya kwanza.Hali iliyotokea pia katika wimbo wa \"Mandy\" ambao ndio unaoshikilia nafasi kubwa zaidi yaani, ulifanikiwa kutoka nafasi ya 200 moja kwa moja hadi nafasi ya kwanza katika chati ya single za muziki ya Uingereza zilizowahi kufika namba moja.", "Australia\nWatu wa kwanza walifika Australia takriban miaka 50,000 iliyopita. Walitunza utamaduni wa wavindaji-wakusanyaji hadi kufika kwa ukoloni.", "Historia ya Afrika Kusini\nKarne za kwanza za koloni la Kiholanzi ziliona pia kufika kwa watumwa kutoka Indonesia walioletwa kama wafanyakazi wa Waholanzi na Makaburu. Hao Waindonesia walikuwa chanzo cha jumuiya ya Uislamu kwenye rasi. ", "Off the Wall (wimbo)\nIlitolewa mnamo tar. 2 Februari 1980.Wimbo umetungwa na Rod Temperton na kuufanya uwe wimbo wa tatu wa Jackson kutoka katika albamu ya \"Off the Wall\" kufika kwenye 10 bora, ambamo baadaye ikaja kuingiza single nne kwenye chati hizo; Jackson alikuwa mtu wa kwanza kufikisha hizi. Wimbo unazungumzia kuwa na matatizo mengi: \"\"achana na hayo tisa-kwa-matano yaweke juu ya rafu/ na uende kujipa raha mwenyewe\"\".", "Afrika Kusini\nKarne za kwanza za koloni la Kiholanzi ziliona pia kufika kwa watumwa kutoka Indonesia walioletwa kama wafanyakazi wa Waholanzi na Makaburu. Hao Waindonesia walikuwa chanzo cha jumuiya ya Uislamu kwenye rasi.", "David Archuleta\nMnamo mwezi wa Agosti 2008 Archuleta ametoa kibao chake kiitwacho \"Crush\", kibao cha kwanza kutoka kwenye albamu yake ya kwanza-yenye-jina-sawa-na-lake.[1][2][3][4] Albamu ilikuwa kutolewa miezi miwili baadaye, na kufika moja kwa moja nafasu ya pili kwenye chati za Billboard 200; na kwa mwezi wa Juni 2009, imeuza zaidi ya kopi 725,000 nchini Marekani na zaidi ya 900,000 kwa hesabu ya Dunia nzima.[5][6]", "Ferdinand Magellan\nJahazi ya kwanza iliyoitwa \"Victoria\" ilivuka Bahari Hindi kwa matatizo kutokana na hali ya hewa na dhoruba. Waliendelea katika Atlantiki wakafika kwenye visiwa vya Kabo Verde vilivyokuwa chini ya Ureno. Hadi kufika hapa mabaharia 21 walikufa tayari baharini kutokana na magonjwa. Baada ya kuingia bandarini Wareno walikamata mabaharia 13. Nahodha ya Victoria aliamua kuondoka mara moja kabla ya Wareno hawakushambulia jahazi bado. Wakaelekea Hispania moja kwa moja. ", "The Remixes\nKama albamu yake ya \"Greatest Hits\" (2001), \"The Remixes\" haikushughulikiwa sana. Akijua kwamba albamu hiiilikuwa ni jambo la mkataba, na kwa kuwa mume wake wa zamani Tommy Mottola kufutwa kazi kutoka Sony / Columbia, Carey aliweza kutoa mchango mkubwa ndani ya mradi huu na hivyo alitoa mahojiano kuhusu albamu hii. Albamu hii ilifika nafasi ya 1 kwa muda wa wiki nane kwenye \"Billboard s Top Electronic Albums chart, na kuuza nakala 40,697 katika wiki yake ya kwanza nchini Marekani. \" \"Ilipata kufika nafasi ya 26 kwenye chati za Billboard 200, kwa muda wa wiki tano kwenye chati na ni albamu ya kwanza ya Carey ambayo haikuthibitishwa na RIAA. \"\nMauzo ya albamu ilianza kwa kasi wastani kufuatia mafanikio ya albamu ya kumi na nne ya Carey, \"The Emancipation of Mimi\" (2005). \"Albamu\" hii iliuza \"\" nakala milioni 1 kote duniani, ikiwemo nakala 250,000 nchini Marekani. Wimbo wa \"U Like This (Megamix)\" (pia inajulikana kama kifupi \"Megamix\" katika baadhi ya maeneo), ilitolewa kwa vilabu mwishoni mwa mwaka 2004 na ilipata kushika nafasi ya 38 kwenye \"Billboard chati ya Hot Dance Club Play. \" Imetetayarishwa na David Morales. \" Wimbo huu haipatikani kwenye albamu \" ya The Remixes.", "Uganda\nKarne ya 19 iliona kufika kwanza kwa Waarabu na baadaye kwa Wazungu. Kila mmoja alileta dini yake yaani Uislamu na Ukristo wa Kikatoliki na wa Kianglikana.", "Everest (mlima)\nWatu wa kwanza wa kufika kwenye kilele walikuwa Edmund Hillary wa New Zealand na sherpa Tenzing Norgay wa Nepal tarehe 29 Mei 1953.", "Hispania\nWiki chache kabla ya kushinda huko Granada wafalme wa Hispania walimkubalia nahodha Kristoforo Kolumbus kutafuta njia ya kufika Bara Hindi kupitia magharibi. Badala ya kufika India Kolumbus alifika kwenye visiwa vya Amerika ya Kati.", "Cassie (albamu)\n\"Cassie\" ilifika namba nne kwenye chati ya Marekani ya \"Billboard\" 200 kwa kuuza nakala 100,374 katika wiki yake ya kwanza. Ilikaa kwenye nyimbo bora ishirini kwa wiki mbili, katika nyimbo bora arobaini kwa wiki tatu na kwenye chati kwa wiki kumi. Mpaka Aprili 2008, albamu hii imeuza nakala 321,000. Single ya kwanza kwenye albamu hii, \"Me & U\", ilifika namba ya tatu kwenye \"Billboard\" Hot 100 na ilikuwa katika nyimbo bora ishirini katika nchi nyingine sita. Single ya pili, \"Long Way 2 Go\", haikufanya vizuri kama \"Me & U\" nchini Marekani, ikifikia tu namba tisini na saba kwenye chati za Hot 100. Video yake, hata hivyo, ilifika namba tatu kwenye \"TRL ya MTV \" na ilifanya vizuri nchini Uingereza kwa kufika namba kumi kwenye UK Singles Chart.", "Always Be My Baby\n\"Always Be My Baby\" ulianza kupigwa katika vituo mbalimbali vya redio Amerika ya Kaskazini tarehe 26 Machi26, na wimbo huu ukawa wimbo wa kumi na moja kutoka kwa Carey kufika kuingia katika chati ya Billboard Hot 100. Lakini tofauti na nyimbo zilizotangulia kama vile, \"Fantasy\" na \"One Sweet Day\", wimbo huu haukufanikiwa kufika katika nafasi ya kwanza na badala yake uliishia katika nafasi ya pili lakini baadae ulikuja kufika katika nafasi hiyo na kukaa hapo kwa kipindi cha wiki mbili, na kurudia katika nafasi ya pili ambapo ilikaa hapo kwa kipindi cha wiki tisa lakini sio mfululizo. Hadi hii leo, huu ndio wimbo kutoka Carey uliowahi kukaa katika nafasi ya pili kwa kipindi kirefu zaidi\n\"Always Be My Baby\" ulipigwa zaidi katika nchini Marekani, na mwaka 1996, wimbo huu ulitajwa kuwa moja ya nyimbo katika chati ya Hot 100 Airplay lakini hata kutokana na mafanikio haya haukuweza kufika katika nafasi ya kwanza kwa kipindi kizima cha mwaka 1996. Alishirikiana na mwanamziki mwingine na wimbo huo ndio ulifanikiwa kufika katika nafasi ya kwanza katika chati ya Hot Adult Top 40 Tracks. Na kufika katika nafasi ya tano katika chati ya Hot Adult Contemporary Tracks na chati ya Top 40 Mainstream .", "Honey (Wimbo wa Mariah Carey)\n\"Honey\" ni wimbo wa Mariah wa kumi na mbili kuwahi kufika katika nafasi ya kwanza katika chati ya Marekani ya Billboard Hot 100 na kuwa single yake ya tatu kuwahi kufika katika nafasi ya kwanza, na kumafanya kuwa msanii mwenye nyimbo nyingi zaidi kuwahi kufika katika nafasi ya kwanza, huku single zake nyingine zilizowahi kufika katika nafasi hiyo zikiwa ni pamoja na \"Fantasy\" na \"One Sweet Day\" zate za mwaka 1995, ambazo baada ya kutoka zilikaa kwa majuma matatu katika nafasi ya kwanza ya chati, yaani kuanzia tarehe 7 mwezi Septemba hadi tarehe 27, mwezi huo huo. Nafsi hii, ilikuja kuchukuliwa na wimbio wa \"Mo Money ulioimbwa na Nortorious B.I.G akishirikiana na Puff Daddy pamoja na Mase. Wimbo wa \"Honey\" ulisalia katika nyimbo arobaini bora kwa majuma kumi na nane.", "Thank God I Found You\n\"Thank God I Found You\" ulifika katika nafasi ya kwanza nchini Marekani katika chati ya Billboard Hot 100 na Hot R&B/Hip-Hop Songs na kumfanya Carey kuwa na rekodi ya kuwa na nyimbo kumi na moja mfululizo kufika katika nafasi ya kwanza mfululizo kuanzia mwaka 1990, tangu kipindi cha wimbo wake wa \"Vision of Love\" hadi mwaka 2000.Pia wimbo huu ulikuwa wimbo wa sabini wa R&B kuahi kufika katika nafasi ya kwanza katika chati za muziki. Ulikaa kwa kipindi cha juma moja katik nafasi ya kwanza na baadae kutolewa na wimbo wa \"I Knew I Loved You\"ulioimbwa na Savage Garden. Shirika la Kurekodi Nyimbo la Marekani la RIAA mwezi Februari mwaka 2000, liliutangaza wimbo huu kuwa na medani ya dhahabu. Wimbo huu ndio ulikuwa wimbo wa mwisho kutoka kwa Carey kufika katika nafasi ya kwanza nchini Marekani, hadi wimbo wa \"We Belong Together\" wa mwaka 2005,", "Kasi ya nuru\nTangu safari ya kwanza ya watu kufika juu ya mwezi chini ya Mradi wa Apollo wa NASA tabia ya nuru kuwa na kasi ilionekana kwa watazamaji wote. Kila safari kituo cha NASA katika mji wa Houston iliwaita wanaanga kwa redio: jibu lilichukua sekunde kadhaa hadi kufika kutokana na umbali wa kilomita lakhi tatu kati ya dunia na mwezi, hivyo mazungumzo yaliendelea kwa vituo vya kusubiri hadi sauti ilipofika na kurudi. ", "I Have a Dream\nWimbo wa \"I Have a Dream\" uliweza kuvuma duniani kote, na kuweza kufika katika nafasi ya kwanza katika chati za nchini, Austria, Ubelgiji, Netherlands, na Switzerland wakati ikishika nafasi ya pili katika chati ya muziki ya nchini Uingereza, ambapo uilishindwa kufikia nafasi ya kwanza kutokana na single ya kundi la Pink Floydna wimbo wa \"Another Brick in the Wall (Part 2)\". Wimbo wa \"I Have a Dream\" ulifanikiwa kufika hadi nafasi ya saba nchini Ireland, Rhodesia, Afrika ya Kusini na Ujerumani ya Magharibi, huku ikiwa katika nafasi ya kwanza katika chati ya muziki ya Adult Contemporary chart in Canada. Toleo katika ligha ya Kihispania \"Estoy Soñando\", ilifanikiwa kufika nafasi ya kumi na tano nchini Uhispania na pia uliweza kufika katika nyimbo tano bora katika nchi za Argentinana Mexico.", "Edmund Hillary\nPamoja na sherpa Tenzing Norgay alikuwa mwanadamu wa kwanza wa kufika kwenye kilele cha Mlima Everest tarehe 29 Mei 1953.", "I Have a Dream\nWestlife walitoa wimbo huu kwa mara ya pili mwezi december mwaka 1999, ikiwa ni miaka ishirini tangu wimbo huu uimbwe na kundi la ABBA. wimbo huu ukawa wimbo wa nne wa kundi la Westlife kuwahi kufika nafasi ya kwanza katika chati ya muziki ya Nchini Uingereza, halikadhalika wimbo huu ulifanikiwa kuwa wimbo wa kwanza katika nyimbo za Christmas kwa mwaka 1999 na kuweza kushika nafasi hiyo hadi mwezi wa kwanza mwaka 2000. Hadi sasa wimbo huu umeshika nafasi ya 47, katika nyimbo za Christmas zilizowahi kufika nafasi ya kwanza. Pia wimbo huu ulikuwa wimbo wa mwisho katika kuachia nafasi ya kwanza kwa mwaka 1990", "Apollo 11\nBaada ya kufika kwenye obiti ya kuzunguka mwezi, Amstrong na Aldrin waliingia katika feri iliyotenganishwa sasa na jukwaa na kufika mwezini.", "Kondoa (mji)\nVyanzo vya mji ilikuwa kituo cha biashara kwenye njia ya misafara katika karne ya 19 na wakati wa kufika kwa Wajerumani 1891 kulikuwa na boma la wafanyabiashara Waarabu. Msikiti wa kwanza ulijengwa mwaka 1885. ", "Ubuddha\nKatika haya yote Wabuddha hufuata mfano wa Buddha Shakyamuni wakitegemea kufika kwenye hali ya kuamka.", "Mandy (wimbo)\n\"Brandy\" ni moja kati ya nyimbo zilizovuma katika mwaka 1971 kutoka kwa watunzi Scott English na Richard Kerr. Ulifanikiwa kufika katika nafasi ya 12 katika chati ya single za Uingereza. Huku toleo la kwanza lilifanya vibaya nchini Marekani. Mwaka 1974 ulirekodiwa na Barry Manilow kama \"Mandy\". Wimbo huu ulikuwa ni wimbo wa kwanza kutoka kwa mwandishi Manilow kufika katika nafasi ya kwanza katika chati ya Billbord Hot 100 na chati ya Adult Contemporary, na pia ni wimbo wake wa kwanza kupata nishani ya dhahabu. ", "Mlima Kenya\nHatimaye, mwaka 1883, Joseph Thomson alipita upande wa magharibi wa mlima na Krapf alithibitisha madai yake.[22] Hata hivyo, upelelezi rasmi wa kwanza ulifanyika mwaka 1887 na Samuel Teleki na Ludwig von Höhnel. Waliweza kufika mita 4,350 kwenye mteremko wa kusini magharibi[9]. Katika safari ya upelelezi huo, waliamini kuwa walikuwa wamegundua volkeno.", "Dini nchini Tanzania\nTangu katikati ya karne ya 19 wamisionari Wakristo wa kwanza walianza kufika kwenye pwani na kujenga vituo vyao barani.", "Mdudu-gamba\nLava wakitoka mayai bado wana miguu. Wanatembea kidogo ili kufika mahali pazuri pa kufyunza. Kwa spishi kadhaa upepo hubeba lava kuelekea mmea mwingine. Mara nyingi sisimizi wanawapeleka lava kwenye mahali pazuri, k.m. chipukizi kipya. Mara ya kwanza ambapo lava wanaambua wanapoteza miguu, isipokuwa madume." ]
72
Makka inapatikana nchi gani?
[ "Bara Arabu\nKuna miji mingi katika Bara Arabu, lakini miji mikuu ya madola mbalimbali ya Bara Arabu ni Riyadh, mji mkuu wa Saudia, ijapokuwa kuna miji mashuhuri na mitukufu katika Saudia kama Makka na Madina." ]
[ "Pizza\nMtangulizi wa pizza, na pia chanzo cha jina lake, ni \"pita\" ya Kigiriki. Tangu milenia watu wa nchi za Mediteranea walitengeneza chakula cha moto kwa kuoka mkate bapa pamoja na majani, mafuta na jibini, pia nyama iliyosagwa. Hii \"pita\" ya Wagiriki inapatikana pia katika nchi jirani, kwa mfano Uturuki kwa jina \"pide\".", "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu\nMisri yote imejumuishwa, ingawa sehemu ya eneo la Misri inapatikana Asia. ", "Kipoland\nco? - nini?\nkto? - nani?\ngdzie? - mahali gani?\ndokąd? - wapi?\nkiedy? - hini?\njak? - vipi?\ndlaczego? - kwanini?\nktóry? - ipi?", "Dhul Hijjah (mwezi)\nMwezi huu Waislamu wa nchi zote hukutana hasa Makka kwenye Hajj. Matendo makuu ya Hajj hutokea tar. 8,9 na 10 za mwezi huu.", "Saudia\nMara nyingi Saudia inaitwa \"al-haramain\", yaani nchi ya mahali patakatifu pawili, kwa kumaanisha miji ya Makka na Madina ambayo ni miji mitakatifu zaidi katika Uislamu.", "Hakuna matata\nJambo, Jambo Bwana, habari gani? Mzuri sana!", "Makka\nHajj ya kwenda Makka ni moja kati ya nguzo tano za Uislamu.", "Mwanasheria Mkuu\nNafasi hii inapatikana katika nchi mbalimbali hasa kama zinazothiriwa na haki ya Uingereza yaani katika koloni zake za zamani.", "Suez\nSuez iko takriban kilomita 135 upande wa mashariki ya Kairo kwenye shingo ya nchi ambako umbali na Bahari ya Mediteranea haifikii kilomita 150. Kwa sababu hii Suez ilikuwa mahali palipofaa kwa biashara na masoko ya biashara kati ya Mediteranea na Bahari Hindi. Tangu kubuniwa kwa njia ya bahari kutoka Ulaya kwenda Uhindi kupitia Rasi ya Tumaini Njema (Afrika Kusini) biashara hii ilififia. Hata hivyo Suez iliendelea kuwa bandari ya maana kwa wasafiri Waislamu walioelekea Makka kwa hajj.", "Historia ya Wokovu\nKwa namna ya pekee inajibu kinaganaga maswali kuhusu wokovu: unapatikana kwa njia gani? Kwa nini Wayahudi wengi walishindwa kumuamini Yesu ili kuupata? Kwa nini mataifa yameupokea badala yao? Aliyepata wokovu anaishi vipi? Je, Wayahudi wametupwa moja kwa moja?", "Kiajemi\nInatumiwa hasa katika nchi zifuatazo:Kuna wasemaji wa lugha ya kwanza milioni 70, na takriban wasemaji wengine milioni 60 kama lugha ya pili.Kutokana na uhamiaji wa karne ya 20 lugha inapatikana katika nchi nyingi za dunia.", "Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu\nMisri yote imejumuishwa, ingawa sehemu ya eneo la Misri inapatikana Asia. ", "Nagib Mahfuz\nKatika miaka ya 1940 alianza kusimulia habari za Misri ya kisasa. Riwaya yake ya 1959 \"Watoto wa mtaa wetu\" ilisababisha umgomvi na wataalamu waislamu waliodai inakashifu imani. Riwaya inatoa mfano wa historia ya binadamu wakiwemo watu wanaofanana na Adamu, Musa, Isa na Mohamad. Kitabu kilitolewa kimilango katika gazeti, lakini upinzani wa wataalamu Waislamu uliwalazimisha wahariri kusimamisha riwaya. Hadi leo haikuchapishwa kwa lugha ya Kiarabu katika nchi ya Misri ingawa inapatikana kwa Kiingereza pia toleo la Kiarabu kutoka Lebanon inapatikana kwa siri.", "Ghana\nGhana ni nchi ambayo inapatikana katika Ghuba ya Guinea, nyusi chache kaskazini mwa Ikweta, jambo ambalo linaipa nchi hii hali ya joto. Nchi hii inapatikana katika eneo la kilomita mraba 238,500 (maili mraba 92,085)238,500km2 (92,085sqmi). Eneo hili limezungukwa na Togo kwa upande wa mashariki, Cote d’Ivoire upande wa magharibi, Burkina Faso upande wa kaskazini na Ghuba ya Guinea (Bahari ya Atlantiki) upande wa kusini. Laini ya Greenwich Meridian hupita ndani ya Ghana, katika jiji la viwanda la Tema. Kijiografia Ghana inapatikana karibu zaidi ya sehemu ya “katikati” mwa ulimwengu kuliko nchi yoyote ile ingawa sehemu halisi ya katikati, (0°, 0°) inapatikana katika Bahari ya Atlantiki kwa makadirio kilomita 614 (maili 382) 614km (382mi) kusini mwa Accra, Ghana, katika Ghuba ya Guinea.[12]", "Osama bin Laden\nMwaka 1990 serikali ya Saddam Hussein wa Irak ilivamia Kuwait. Serikali ya Kisaudi iliogopa mashamblio mengine dhidi ya Saudia ikakubali kufika kwa wanajeshi wa Marekani nchini. Osama aliona hatua hii kama marufuku kwa sababu aliamini Uarabuni ni nchi takatifu kutokana na mahali patakatifu pa Kiislamu pa Makka na Madina akajitolea kukusanya mujahidin 100,000 kama ulinzi dhidi ya Saddam badala ya kuwaruhusu Wamarekani. Lakini serikali ilikataa.", "Kinyarwanda\nMuraho = Habari gani?", "Hijra\nHivyo Muhammad aliondoka Makka pamoja na babake mkubwa Abu Bakr; wafuasi wake kama 70 waliwahi kuondoka Makka siku zilizotangulia. Wote walipokelewa na watu wa Madina mji wa jirani.", "Hilali\nLeo hii picha ya hilali inapatikana kama ishara kwenye bendera za nchi mbalimbali zenye Waislamu wengi.", "Gideoni\n\"Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani?\nTazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase,\nna mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu\".", "W.W.E.\nKufikia mwaka wa 2018 mpaka kuitwa W.W.E., wakiwa na matukio zaidi ya 500 kwa mwaka, na orodha hiyo imegawanyika katika bidhaa mbalimbali za kusafiri duniani,na inapatikana kwa watazamaji milioni 36 katika nchi zaidi ya 150.", "Makka\nKwa Waislamu Makka ni mji wa kuzaliwa kwake mtume Muhammad pia mahali alipokaa alipoanza kupokea aya za Kurani. Mjini kuna pia jengo la Kaaba linaloaminiwa ni msikiti iliyojengwa na Adamu na kutengenezwa upya na Ibrahimu (Abrahamu). ", "Unju bin Unuq\nPia alikuwa akitembea kutoka nchi hadi nchi kutokana na urefu wake. Inasimuliwa kuwa moja kati ya nyayo zake inapatikana kwenye jiwe alilokanyaga huko Tabora, Tanzania, unyayo wa mguu wa kushoto wakati unyayo wa mguu wa kulia ulionekana kwenye jiwe alilokanyaga huko Kongo.", "Makka\nMakka (rasmi: Makkah al-Mukarramah; Kar.: مكة المكرمة‎) ni mji wa Ufalme wa Uarabuni wa Saudia. Ina wakazi 1,294,167 \"(mwaka 2004)\". Mji uko kwenye bonde la Ibrahimu mnamo km 80 kutoka pwani la Bahari ya Shamu na bandari ya Jeddah. Mazingira ya mji ni jangwa mahali penyewe kuna visima vilivyowezesha kuwepo kwa mji tangu kale.", "Ibn Battuta\nMwaka 1325 alihiji kwenda Makka na baada ya hajj hakurudi bali aliendelea kusafiri. Alitembelea karibu nchi zote zilizokaliwa na Waislamu. Kwa jumla alisafiri kwa miaka 30 akivuka umbali wa karibu km 120,000 (hii ni kama kuzunguka dunia yote mara tatu).", "Kutoka (Biblia)\nWaisraeli walitakiwa watambue historia yao si kama kusanyiko la masimulizi ya matukio, bali kama ufunuo wa tabia ya Mungu. Yeye kwao alikuwa nani, aliwafanyia nini, naye aliwatazamia wafanye mambo gani? ", "Muhammad\nMaisha yake Makka yalikuwa ya taabu tangu utotoni mwake, kwani alizaliwa yatima kisha alipokuwa katika ujana wake alikuwa akifanya kazi ya kuchunga mbuzi na kondoo wa watu wa Makka kwa vijipesa kidogo mpaka alipofika umri wa miaka ishirini na tano akapata kazi ya kumfanyia biashara Khadija, bibi mtukufu wa Kikureshi ambaye baadaye alikuja kuwa mkewe, na kuzaa naye aghlabu ya watoto wake.", "Peace Corps\n\"Ili kukuza amani na urafiki duniani kupitia Peace Corps, ambayo inapatikana kwa atafanya nia ya nchi na maeneo ya wanaume na wanawake wa Marekani kwa ajili ya huduma waliohitimu ng'ambo na nia ya kutumikia, chini ya hali ya ugumu ikiwa ni lazima, ili kuwasaidia watu wa kama nchi na maeneo katika mkutano mahitaji yao kwa mafunzo ya wafanyakazi. \"", "Makka\nMakka ni mji mtakatifu wa Uislamu. Kila mwaka mamilioni wa Waislamu wanahiji kwenda Makka. Wakati huu wa hajj wanajaribu kufuata nyayo za mtume Muhammad. Makka ni mji uliofungwa kwa wasio Waislamu.", "Ratili\nRatili ilipokewa kutoka vipimo vya Kiarabu: \"ratl\" iliyotumiwa kwa jina hili katika sehemu nyingi za nchi za Kiislamu. Lakini uzani wa ratl ulikuwa tofauti kati ya nchi, majimbo na miji, kuanzia gramu 340 hadi zaidi ya kilogramu 2. Ratili ya Uswahilini ililingana zaidi na ratl jinsi ilivyotumiwa Uarabuni katika eneo la Makka iliyokuwa kidogo juu ya gramu 400." ]
28
Teolojia ya dogma ni nini?
[ "Dogma\nDogma ni neno linalotumika hasa kumaanisha fundisho la imani lisiloweza kukanushwa na wafuasi wa dini fulani. Linaweza kutumika pia kwa maana isiyo ya kidini." ]
[ "Mipango\nMpango unafaa kuwa nini?", "Babati Mjini\nKuna hadithi inayosimuliwa kuhusu asili ya jina. Zamani za ukoloni wa Kijerumani barabara ilijengwa karibu na mahali pa Babati ya leo. Msimamizi Mjerumani akamwauliza kijana mwenyeji je jina la mahali ni nini? Lakini kijana hakumwelewa akafikiri huyu mgeni aliuliza eti babake ni nani. Hivyo akamjibu kwa lugha ya Kigorowa \"baba ti\" inayomaannisha \"baba ni huyu\" akimdokezea mzee aliyekaa karibu. Mjerumani alifikii hii ni jina akaiandika ikabaki hadi leo.", "Neva\nTukigusa kitu cha moto kwa kidole, tunaondoa mkono mara moja, wakati mwingine hata kabla ya kusikia bado maumivu makali na bila kutafakari muda mrefu. Sababu yake ni nini? Seli za kuhisi mkononi zimetambua joto kubwa ambalo ni hatari kwa ngozi, zimeashiria habari hii kwa seli za neva zinaounganishwa nazo na hizi zimepeleka habari ya hatari hadi ubongo.", "Ufunuo\nKatika teolojia ya Kikristo neno ufunuo lina maana ya jumla ya dogma zote, yaani kweli zilizofunuliwa na zinazodai imani ya kila mtu ili kupata wokovu. ", "Sala ya moyo\nBaada ya kujitayarisha, nifanye nini?", "Bikira Maria\nKwa kiasi kikubwa imani ya Waorthodoksi kuhusu Maria inalingana na ile ya Wakatoliki, ingawa hawakubali jinsi baadhi ya dogma hizo zilivyotangazwa na jinsi zinavyofafanuliwa.", "Dogma\nBaada ya hapo, mwamini anayekataa dogma anahesabiwa kuwa mzushi na kutengwa na Kanisa Katoliki.", "Neema\nTeolojia katika dini mbalimbali inatumia neno hili kadiri ya imani yake.", "Gaudium et Spes\nHivyo anaweza kutambua kuwa shida zinaanza moyoni mwake, ambamo mna mashindano makali na maswali ya msingi kama vile, “Mtu ni nani? Mateso na kifo vinavyodumu hata wakati huu wa maendeleo makubwa maana yake nini? Mtu ailetee nini jamii na atarajie kupata nini toka kwake? Baada ya maisha haya kutakuwa na nini?”. ", "Mtaguso wa kwanza wa Vatikano\nIngawa lengo halikuwa hilo, tokeo kuu la kazi ya mtaguso huo ni tangazo la dogma ya Papa kuwa na karama ya kutokosea katika mafundisho ya imani na maadili anayoyatoa ili yadumu moja kwa moja pale anapotimiza masharti fulani (kwa kifupi: akisema \"ex cathedra\", yaani \"kutoka ukulu). ", "Damu\nTeolojia ya Walutheri hufunza kuwa mwili na damu ziko pamoja \"katika, pamoja na, na chini ya\" mkate na divai ya sherehe ya Ekaristi. Aina nyingine za Uprotestanti, hasa [[Wapresbiteri] na Wamethodisti, hufundisha kuwa divai ni alama tu ya damu ya Kristo, ambaye yuko kiroho lakini hayuko kimwili.", "Eric Shigongo\nLengo la kitabu ni kwamba tubadilikeː je, wewe ungekuwa mwanadada huyo ungefanya nini?", "Teolojia ya Kiroho\nTeolojia ya maisha ya kiroho ni tawi la teolojia linalohusu utekelezaji wa teolojia ya dogma na ya teolojia ya maadili katika kuongoza watu kuelekea muungano na Mungu ulio wa dhati zaidi na zaidi, likifafanua muungano huo ni nini na njia za kuufikia ni zipi. Hivyo linafafanua taratibu za ustawi wa uzima wa Kiroho kwa misingi ya teolojia (kwanza Biblia, lakini pia Mapokeo na Ualimu wa Kanisa) likiilinganisha na mang'amuzi ya watakatifu.", "Teolojia\nTeolojia, pia theolojia \"(kutoka maneno ya Kigiriki θέος, theos, \"Mungu\" + λογία, logia, \"usemi\")\" ni elimu juu ya Mungu hasa katika Ukristo. Hiyo haitenganiki na utendaji wake wa nje, yaani uhusiano wake na viumbe vyote.", "Papa Pius IX\nKabla ya hapo, tarehe 8 Desemba 1854 Pius IX alikuwa ametangaza dogma ya Bikira Maria Kukingiwa Dhambi ya Asili. Pia aliandika nyaraka 38 kuhusu masuala mbalimbali.", "Logi\nMifano mingine:\nMfano a) log(625) ni nini?\nSwali letu ni: Tunahitaji kuzidisha \"5\" mara ngapi ili tupate 625?\n5 × 5 × 5 × 5 = 625, hivyo tunahitaji 5 nne. \nJibu: log(625) = 4", "Teolojia ya Kiroho\nMadhehebu mengine ya Kikristo yana mtazamo tofauti kuhusu kumfuata Yesu Kristo kwa uongozi wa Roho Mtakatifu.", "Maisha ya kiroho\nTeolojia hiyo ya maisha ya kiroho ya Kikristo inaitwa pia kifupi Teolojia ya Kiroho.", "Wakatoliki wa Kale\nWakatoliki wa Kale ni jina linalotumika kujumlisha Wakristo wa Magharibi ambao wametengana na Askofu wa Roma hasa baada ya Mtaguso wa kwanza wa Vatikano (1869-1870) kutangaza dogma ya Papa kutoweza kukosea anapotamka rasmi jambo fulani kama fundisho la kudumu moja kwa moja.", "Maria kupalizwa mbinguni\nAdhimisho hilo la liturujia ni la zamani, lakini limepata nguvu mpya kutokana na dogma iliyotangazwa na Papa Pius XII kwa hati \"Munificentissimus Deus\" ya tarehe 1 Novemba 1950 baada ya kusikiliza maoni ya maaskofu wote duniani. ", "Teolojia\nJina lingine la fani hiyo lenye asili ya Kiarabu ni Tauhidi. Hilo linatumiwa zaidi na Waislamu. Kwa Kiswahili limetungwa pia jina \"Taalimungu\".", "Teolojia\nTeolojia hufundishwa katika vyuo na katika nchi mbalimbali; iko pia kama idara ya Chuo Kikuu. Idara hizi mara nyingi zinatenganishwa kimadhehebu. Mtu aliyepita mafundisho ya chuo huitwa mwanateolojia.", "Logi\nMfano b): log(64) ni nini?\nSwali letu ni: Tunahitaji kuzidisha \"2\" mara ngapi ili tupate 64?\n2 × 2 × 2 × 2 × 2 × 2 = 64, hivyo tunahitaji 2 sita\nJibu: log(64) = 6", "Ushairi\nUshairi ni sanaa ya vina inayopambanuliwa kama nyimbo, mashairi na tenzi. Zaidi ya kuwa sanaa ya vina, una ufasaha wa maneno machache au muhtasari. Mwauliza wimbo, shairi na tenzi ni nini? Wimbo ni shairi ndogo, ushairi ni wimbo mkubwa na utenzi ni upeo wa ushairi. Mwauliza tena kina na ufasaha huweza kuwa nini? Kina ni mlingano wa sauti za herufi. Kwa maneno mengine huitwa mizani ya sauti na ufasaha ni uzuri wa lugha. Mawazo na maoni na fikra za ndani zinapoelezwa kwa muhtasari wa shairi huvuta moyo kwa namna ya ajabu.", "Daudi (Biblia)\n\"Tazama, ni mimi niliyekosa, ni mimi niliyepotoka;\nlakini kondoo hawa, wamefanya nini?\nMkono wako na uwe juu yangu, na juu ya nyumba ya baba yangu\"!", "Papa Pius IX\nWakati huo aliitisha Mtaguso II wa Vatikano (1869–1870), uliotangaza dogma ya kwamba Papa ana karama ya kutodanganyika anapofundisha katika nafasi za pekee. ", "Teolojia ya Kiroho\nKitengo hicho cha teolojia ni muhimu hasa kwa Wakatoliki na Waorthodoksi, ambao kwao muungano na Mungu ndio lengo la ufunuo wake kwa binadamu. ", "Immanuel Kant\n1. Ninaweza kujua nini? \n2. Ninatakiwa kufanya nini?\n3. Ninweza kutumaini nini? \n4. Binadamu ni nini ?", "Hotuba ya mlimani\n\"Ninyi ni chumvi ya dunia! Lakini chumvi ikipoteza ladha yake itakolezwa na nini? Haifai kitu tena, ila hutupwa nje na kukanyagwa na watu. ", "Kukingiwa dhambi ya asili\nHatimaye dogma hiyo ilitangazwa mwaka 1854 kwa hati \"Ineffabilis Deus\" ya Papa Pius IX." ]
59
Je,shirika la Bees for Development ilianza mwaka upi?
[ "Bees for Development\nIlianzishwa mwaka wa 1993, inafanya kazi kwa kushirikiana na waweka nyuki na mashirika ya kimataifa,kama vile Apimondia, Wakfa wa Keystone na shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa.Ufadhili huu unakusudia kusaidia ufugaji nyuki ili kusaidia jamii maskini na vivjiji vilivyo mashinani na kulinda viumbe hai.Inalenga matumizi ya teknolojia sahihi na maadili, na kuheshimu ujuzi wa kienyeji. Ina imani kuwa kujitegemea na kuwawezesha maskini kunaweza kuimarishwa kwa njia ya upatikanaji wa maarifa na habari, na kwa njia ya biashara ya mazao ya nyuki.Pia inadai kuingilia uzalishaji wa nyuki kuwa kiwango cha chini kabisa, na thamani ya kutumia mizinga ambayo haina fremu za ndani." ]
[ "Wingu Kubwa la Magellan\n; The Astronomical Society of the Pacific, Leaflet 302, Jzly 1954; kwenye tovuti ya harvard.edu, ailiangaliwa Oktoba 2017 , tovuti ya THE MESSIER CATALOG, na \"Students for the Exploration and Development of Space (SEDS)\", iliangaliwa Oktoba 2017 , tovuti ya ESA, iliangaliwa Oktoba 2017", "Jumuiya ya Afrika Mashariki\nMwaka 2008, baada ya majadiliano na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Southern Africa Development Community, kifupi SADC) na Soko la Pamoja la Mashariki na Kusini mwa Afrika (Common Market for Eastern and Southern Africa, kifupi COMESA), Mtangamano huo ulikubali nchi zote za miundo hiyo mitatu ziunde eneo pana la biashara huria. Kwa sasa Jumuiya ya Afrika Mashariki ni mojawapo ya nguzo muhimu za hiyo Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika (African Economic Community, kifupi AEC).", "Church Missionary Society (CMS)\nCMS ilianzishwa mwaka 1799 kwa jina la \"Shirika la misioni kwa Afrika na Mashariki\" (Society for Missions in Africa and the East)\nIlikuwa na mwanzo mgumu kwa sababu katika miaka kumi ya kwanza ilikosa kabisa Waingereza waliojitolea kupokea wito la kwenda Afrika. Kwa hiyo CMS ilianza na Wajerumani Waluteri wawili Melchior Renner kutoka Wurtemberg na Peter Hartwig kutoka Prussia waliokubali kwenda 31 Januari 1804 kwenda Freetown (Sierra Leone) na kuanza kazi na watoto Waafrika waliokombolewa kutoka utumwani.", "Malawi\nACP, AU, AfDB, Jumuia ya Madola, CCC, ECA, Economic Commission for Africa FAO, Food and Agriculture Organization G-77, IBRD, ICAO, ICCt, ICFTU, ICRM, IDA, IFAD, IFC, IFRCS, ILO, IMF, International Monetary Fund IMO, Intelsat, Interpol, IOC, ISO(correspondent), ITU, NAM, OPCW, SADC, Southern African Development Community UNO, United Nations Organization UNCTAD, United Nations Conference on Trade and Development UNESCO, UNIDO, UNMIK, UPU, WFTU, WHO, World Health Organization WIPO, WMO, WToO, WTrO", "Ugaidi katika Afrika Chini ya Sahara: Boko Haram na al-Shabaab\nAmundsen, I. (2010). Good governance in Nigeria a study in political economy and donor support Norad report 17/2010 discussion. Norwegian Agency for Development Cooperation.", "Bees for Development\nJarida la Bees for Development linachapishwa kila baada ya miezi mitatu.Linaangazia teknolojia mwafaka za ufugaji nyuki, kubadilishana masomo yaliyosomwa katika nchi mbalimbali, na inajumuisha taarifa ya kisasa kuhusu ufugaji nyuki duniani kote. Mradi wa Biashara ya Asali wa Uganda pamoja na vyama vya wafuga nyuki wa kiasili pamoja na ApiTrade Afrika, kusaidia kukuza mapato kwa njia ya kuimarisha biashara ya asali. Huko Zanzibar Bees for Development inatekeleza mradi wa ushirikiano na shirika lisilo la kiserikali la Denmark, DANTAN, ikiangazia kutia nguvu sekta ya asali huko Unguja, kisiwa kikuu cha Zanzibar na katika kisiwa cha Pemba. Huko Kirgizia, fedha kutoka Mpango wa Darwin, ambao hupea moyo viumbe hai katika nchi maskini zimepatikana, na Bees for Development inafanya kazi na Wakfu wa Maendeleo Vijijini kusaidia wafuga nyuki kufikia haki ya kupata ardhi ya malisho ya ufugaji nyuki. Bees for Development pia inasambaza rasilimali za mafunzo duniani kote, inasimamia maktaba maktaba ya mtandao yenye habari kuhusu ufugaji wa nyuki na safari za kwenda kujionea ufugaji wa nyuki huko Trinidad, Tobago,na Uturuki.", "Double Double\n\"Double Double\" ni jina la wimbo kutoka kwa msanii wa muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania, Nyandu Tozzy. Ndani yake ameshirikishwa Chin Bees na Young Dee. Chin Bees amesimama kwenye kiitikio, wakati Young Dee ametambaa katika ubeti wa pili. Mashairi ya Nyandu hasa yanaelezea hasa wasanii wachanga wanaongia katika muziki na kupata mafanikio ya awali punde wanaanza dharau na kuona hata waliotangulia hawana maana. Nyandu anasema hata yeye mwenyewe haonekani sana kibwege na mara nyingi anakuwa kwenye gari lenye kioo cha kiza, ila amekuwa anajichanganya katika shughuli mbalimbali bila kubagua wengine. Mwishoni anawatakia heri marafiki zake walioko jela. \nUbeti wa pili anaanza Young Dee anayejisifu kwa kutoringa, lakini ana akili nyingi. Isitoshe siku hizi muziki ni kazi, hawezi kufanya kazi bila malipo. Anawaponda wale ambao wanamuona hana akili. Mikwara ya mchana David, usiku paka.", "Serena Hotels\nSerena Hotels ni mnyororo wa hoteli inayofanya kazi nchini Afghanistan, Kenya, Msumbiji, Pakistan, Rwanda, Tanzania na Uganda. Ni moja ya makampuni 96 yaliyo chini ya Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED), ambayo ni shirika la kutoa faida kwenye Aga Khan Development Network (AKDN). Kibiashara, wao hutumia jina la Tourism Promotion Services (TPS Serena). Kampuni hii imeorodheshwa kwenye Soko la Hisa la Nairobi na ina majumba 19 katika bara la Afrika.", "Mary Mgonja\nMgonja amefanya kazi kama mwansayansi mkuu katika kuboresha kilimo cha ukame katika Taasisi ya Mazao sehemu zenye ukame katika maeneo ya Patancheru Hyderabad,Telangana nchini India. Anaiwakilisha Tanzania katika Southern African Development Community (SADC) na East African Community (EAC). Pia amefanya kazi kama mkurugenzi wa Alliance for a Green Revolution in Africa (AGRA) ambayo ni shirika linalosaidiwa na Bill and Melinda Foundation na Rockerfeller Foundation.[1]", "Intergovernmental Authority on Development\nIntergovernmental Authority on Development (IGAD) ni muundo wa kimataifa kwa ajili ya biashara unaonganisha nchi 8 za Afrika: Somalia, Ethiopia, Kenya, Eritrea, uganda, Sudan Kusini, Sudan na Jibuti. Ulianzishwa mwaka 1996.", "Wanjiru Kihoro\nMnamo 1982 Kihoro na mumewe walihamia London wakati serikali ya Arap Moi ilizidi kukamata na kufunga wapinzani nchini. Hapa alishiriki kuanzisha Kamati kwa uhuru wa wafungwa wa kisiasa wa Kenya. Alifanya kazi kwa The Africa Centre, London mwaka 1984 na baadaye kwa All African Conference of Churches na National Christian Council of Kenya na United Church Board for World Ministries. \nMwaka 1985 alishiriki kuunda Akina Mama wa Afrika , halafu mwaka 1992 taasisi ya ABANTU for Development inayolenga kufundisha wanawake wa Kiafrika kwa nafasi za uongozi.", "Wino (Songea)\nKatika eneo la Wino lilitokea chanzo cha shirika la Ruvuma Development Association (RDA) lilikuwa utangulizi wa ujamaa wa Kitanzania vijijini kabla ya operesheni vijiji. Kijiji cha Matetereka kinasemekana kuna mabaki ya mwisho wa RDA baada ya kufutwa kwake na serikali mnamo mwaka 1969.", "Hoteli za Serena\nHoteli za Serena ni mnyororo wa Hotelii zinazoendeshwa nchini Afghanistan, Kenya, Msumbiji, Pakistan, Rwanda, Tanzania na Uganda. Ni mojawapo wa makampuni 96 yanayounda Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED), sehemu ya Aga Khan Development Network (AKDN) ya kutengeneza faida. Kundi hili hufanya biashara chini ya jina Tourism Promotion Services (TPS Serena). Kampuni hii imeorodheshwa katika soko la hisa la Nairobi na ina mali 19 barani Afrika.", "Ibrahim Lipumba\nKuteuliwa kuwa mjumbe wa kamati ya Umoja wa Mataifa ya sera ya maendeleo (member of the United Nations Committee for Development Policy (1995 hadi 1999.)", "Mkutano wa mawaziri wa Afrika kuhusu mazingira\nAMCEN ilishiriki katika maandalizi ya mradi wa New Partnership for Africa 's Development (NEPAD) upande wa mazingira.", "FORD-People\nFORD-People (pia: FORD-P) ni chama cha kisiasa nchini Kenya. Kwa Kiingereza ni Forum for the Restoration of Democracy for the People. Chama hiki ilianzishwa mwaka wa 1997 baada ya farakano la chama cha FORD-Asili.", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Peter Kenneth\nChini ya uongozi wa Peter Kenneth, eneo mbunge la Gatanga lilichaguliwa kama lililotumia pesa za Constituency Development Fund (CDF) kwa njia iliyo bora zaidi katika mwaka wa fedha wa 2011/2012.", "National Development Party of Kenya\nNational Development Party (NDP) ilikuwa chama cha kisiasa nchini Kenya. Ilikuwa maarufu kama chama cha Waluo hasa tangu 1994 hadi kuungana na KANU mwaka 2001.", "Historia ya elimu\nCubberley, Ellwood Patterson. The History of Education: Educational Practice and Progress Considered as a Phase of the Development and Spread of Western Civilization (1920) James,Samantha.'how education came about\"(2014)retrieved from Palmer, Joy A. et al. eds. Fifty Major Thinkers on Education: From Confucius to Dewey (2001) Palmer, Joy A. ed. Fifty Modern Thinkers on Education: From Piaget to the Present Day (2001) Peterson, Penelope et al. eds. International Encyclopedia of Education (3rd ed. 8 vol 2010) comprehensive coverage for every nation", "Ugaidi katika Afrika Chini ya Sahara: Boko Haram na al-Shabaab\nStewart, F. (2002). Horizontal Inequalities: A neglected dimension of development. WIDER Annual Lectures 5. Helsinki: UNU/WORLD Institute for Development Economics Research.", "Ujamaa\nFreedom and Unity (Uhuru na Umoja): Mkusanyiko wa maandiko na hotuba, 1952–1965 (Oxford University Press, 1967) Freedom and Socialism (Uhuru na Ujamaa). Mkusanyiko wa maandiko na hotuba, 1965-1967 (1968) Ndamo zimo: \"The Arusha Declaration\"; \"Education for self-reliance\"; \"The varied paths to socialism\"; \"The purpose is man\"; and \"Socialism and development.\" Freedom & Development (Uhuru na Maendeleo). Mkusanyiko wa maandiko na hotuba, 1968-73 (Oxford University Press, 1974) Ndani zimo mada za elimu kwa watu wazima; uhuru na maendeleo; kujitegemea; na miaka kumi ya uhuru. Ujamaa - Essays on Socialism' (1977) Crusade for Liberation (1979)", "Udhibiti wa uzazi\nTarehe 26 Septemba ni Siku ya Ulimwengu ya kupanga uzazi, iliyotengwa kwa uhamasishaji na uboreshaji wa elimu kuhusu afya ya kuzaa na ngono, ikiwa na lengo la \"dunia ambayo mimba inahitajika.\" Inasaidiwa na kikundi cha Serikali na Mashirika ya kimataifa yasiyo ya kiserikali, ikijumuisha baraza la Asian Pacific Council kuhusu Uzuiaji mimba, Centro Latinamericano Salud y Mujer, European Society of Contraception and Reproductive Health, German Foundation for World Population, International Federation of Pediatric and Adolescent Gynecology, International Planned Parenthood Federation, Marie Stopes International, Population Services International, Population Council, United States Agency for International Development (USAID), na Women Deliver.", "Jokate Mwegelo\nMwaka wa 2010, alionekana katika filamu ya Chumo, filamu iliyoandaliwa na Media for Development International, kuhusu elimu juu ya ugonjwa wa malaria.[13] Filamu hii ilimwezesha kupata tuzo ya Zanzibar International Film Festival akiwa kama mwigizaji bora wa kike kwa 2011 na kuchaguliwa kama mwigizaji wa Pan-Afrika katika tuzo za 2012 Nigeria Entertainment Awards.", "Bees for Development\nBees for Development ni shirikisho la misaada la kimataifa, maalumu kwa kazi ya kupunguza umaskini kwa njia ya ufugaji nyuki. Ufugaji nyuki unachangia kusaidia maslahi endelevu ya kuishi katika jumuiya za maskini na nyuki kutoa huduma muhimu ya mazingira bora ya kuishi. Bees for Development inaendesha miradi Uganda, Zanzibar, Ethiopia na Kirgizia. Ofisi zake ziko Monmouth, Wales Kusini.", "UNIFEM\nUNIFEM ni kifupisho cha United Nations Development Fund for Women yaani Hazina ya Maendeleo ya Wanawake ya Umoja wa Mataifa.", "National Development Party of Kenya\nTangu 2000 NDP ilianza ushirikiano na serikali. Mwezi wa Juni 2001 ushirikiano huu ulikuwa rasmi na mawaziri watatu wa NDP waliingia katika serikali ya KANU. Raila Odinga akawa waziri wa nishati.", "Umoja wa Mataifa\nUNICEF (United Nations Children's Fund) - Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa WHO (World Health Organization) Taasisi ya Afya ya Ulimwengu FAO (Food and Agriculture Organization) - Taasisi ya Chakula na Kilimo UNESCO (United Nations Educational, Scientific and Cultural Organization) - Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi, na Utamaduni ILO (International Labour Organization) Taasisi ya Kimataifa ya Kazi IMF (International Monetary Fund) - Mfuko wa Fedha wa Kimataifa UNCTAD (United Nations Conference on Trade and Development) - Mkutano wa Kimataifa kuhusu Biashara na Maendeleo ITC (International Trade Centre (UNCTAD/WTO) - UNDCP (United Nations Drug Control Programme) - Taasisi ya Kimataifa ya Mpango wa Kusimamia Madawa UNDP (United Nations Development Programme) - Mpango wa Kimataifa wa Maendeleo UNIFEM (United Nations Development Fund for Women) Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Wanawake UNV (United Nations Volunteers) UNEP (United Nations Environment Programme) Mpango wa Kimataifa wa Mazingira UNFPA (United Nations Fund for Population Activities) UNHCR (Office of the United Nations High Commissioner for Refugees) UN-HABITAT (United Nations Human Settlements Programme) UNRWA (United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees in the Near East) IAEA (Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia) inashirikiana na UM na kutoa taarifa mbele ya Baraza la Usalama hata kama si chini ya katiba ya UM UNDIO ( United Nations Data and Information Organization)", "UNRISD\nUNRISD ni kifupisho cha United Nations Research Institute for Sustainable Development (Taasisi ya Utafiti ya Umoja wa Mataifa ya Maendeleo Endelevu) ni kitengo cha Umoja wa Mataifa. Ofisi yake iko Geneva, Uswisi." ]
22
Je mto mkubwa sana Afrika ni gani?
[ "Kongo (mto)\nMto wa Kongo (kati ya miaka 1971 na 1997 uliitwa zaidi \"Zaire\") ni mto mkubwa wa Afrika ya kati. Ni mto mrefu wa pili katika Afrika baada ya Nile." ]
[ "Kinshasa\nMto Kongo ni mto mrefu wa pili katika Afrika baada ya Nile, na ni mkubwa zaidi katika suala la kutoa maji. Kama njia ya maji, hutumiwa kusafiri kwa kiasi katika bonde la Kongo, na unaweza kusafiri kati ya mito ya Kinshasa na Kisangani, na matawi yake mengi yanaweza kusafiriwa. Mto ni chanzo muhimu cha umememaji, na kusini mwa Kinshasa unaweza kuzalisha nguvu za kutosheleza matumizi kwa bara zima.", "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "Upangaji wa harusi\nHarusi ni ya maana sana katika jamii za Afrika ambapo kijana akifikia kuoa huonekana kama mtu mkubwa atakayeweza sana kufanya maamuzi kwa familia yake. ", "Mto\nChanzo cha mto mara nyingi ni chemchemi au ziwa au maungano ya vijito vidogo. Mto hufuata mwendo wake kwa mtelemko hadi mwisho wake baharini au ziwani au kwa mto mwingine. Kama mto ni mdogo huitwa kijito. Mto mkubwa sana kama Kongo au Nile unaweza kuitwa mto mkubwa au jito.", "Ndovu\nTembo wa jenasi ya ‘Loxodonta’, kwa ujumla hujulikana kama tembo wa Afrika. Kwa sasa wanapatikana katika nchi 37. Tembo wa Afrika hutofautishwa na tembo wa Asia kwa namna mbali mbali. Kwanza masikio yao ni makubwa sana na mwili wao ni mkubwa wenye mgongo uliopinda. Wote, dume na jike wa tembo wa Afrika huwa na pembe za ndovu/vipusa kwa nje na miili yao huwa na nywele kidogo kuliko tembo wa Asia.", "Asilimia\nMfano: Jumla ya maksi kwenye mtihani ni 250. Sheria inasema ya kwamba 65 % ni sharti kwa kupita. Je maksi ngapi zinahitajika ila kupita mtihani huu? ", "Antigua na Barbuda\nWalio wengi sana (89 %) wametokana na watumwa kutoka Afrika waliopelekwa hapa wakati wa ukoloni, lakini kuna mchanganyiko mkubwa wa damu.", "Kima (mnyama)\nKima aina ya Macaques wale wa Afrika Green Monkeys, hutumika kwenye tafiti nyingi aidha kwa kukamatwa porini au kulazimishwa. Hutumika sana kutokana na uwezo wao mkubwa wa kubeba vitu, kuzaliana kwa muda mfupi na kufanana kwao sana kisaikolojia na kimaumbile na binadamu.", "Afrika ya Kati\nAfrika ya Kati kwa maana ya mpangilio ya UM ni nchi kusini ya jangwa Sahara, mashariki ya Afrika ya Magharibi na upande wa magharibi wa Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki. \nMto mkubwa wa kanda ni mto Kongo. ", "Hakuna matata\nJambo, Jambo Bwana, habari gani? Mzuri sana!", "Upepo jua\nHapa linatokea swali: Je nguvu hii ya upepo wa jua inafanya nini na gesi za angahewa ya sayari?", "Ukristo barani Afrika\nMaonyesho hayo yalikusudiwa kutisha watu waogope kuwa Wakristo. Lakini yakageuka kampeni kwa ajili ya Ukristo, kwa sababu watazamaji walianza kujiuliza: Je, watu hao wana kosa gani? Ni imani gani inayowapa nguvu ya kusimama mbele ya wanyama mwitu na kuuawa badala ya kutoa sadaka mbele ya sanamu? Kwa nini wale wanaokufa hivyo wanajulikana kuwa watu wasioiba wala kusema uongo, lakini wengine wenye tabia mbaya hawana matatizo wakitoa sadaka tu mbele ya sanamu? Kumbe damu ya mashahidi ilikuwa mbegu ya kukua kwa Kanisa.", "Kangaruu\nMacropus rufus, Kangaruu Mwekundu (Red kangaroo) ndiye mkubwa kuliko wengine wote wachache kwa idadi na hupatikana kwenye sehemu kama kidogo za bara, dume mkubwa huweza kufikia hata urefu wa mita 2 na uzito wa kg 90. Macropus giganteus, Kangaruu Kijivu Mashariki (Eastern grey kangaroo) hawafahamiki sana nje ya Australia lakini huonekana sana hasa maeneo ya mashariki mwa bara. Macropus fuliginosus, Kangaruu Kijivu Magharibi (Western grey kangaroo) huyu ni mdogo kiasi,karibu kg, 54 kwa dume mkubwa hupatikana mashariki mwa Australia, kusini mwa Australia na kwenye bonde la mto Darling. Macropus antilopinus, Kangaruu Swala (Antilopine kangaroo) kwa uhalisia, wanapatikana kaskazini zaidi ukilinganisha na wengine kama wao, ni viumbe wa nyikani na msituni na huishi kwa makundi makundi.", "Kinyarwanda\nMuraho = Habari gani?", "Ukristo barani Afrika\nHuko Kenya wenyeji walishtushwa sana na tendo la ardhi yao kutolewa kwa walowezi Wazungu. Uchungu huo mkubwa ulionekana pia katika shaka juu ya wamisionari. Wakikuyu walipoanza kupinga siasa hiyo wamisionari waliwashauri Wakristo watulie huku wakijaribu wenyewe kutetea haki za wenyeji mbele ya serikali ya kikoloni.", "Nyati wa Afrika\nNyati au mbogo (jina la kisayansi: \"Syncerus caffer\") ni mnyama wa Afrika. Hana uhusiano wa karibu na nyati-maji wa Asia aliye mkubwa zaidi kidogo, lakini asili yake haieleweki. Kutokana na tabia yake isiyotabirika na inayomsabibisha kuwa hatari sana kwa binadamu, nyati wa Afrika hafugwi, kinyume na mwenzake wa Asia.", "Limpopo (mto)\nChanzo kipo katika milima ya Witwatersrand, kati ya Pretoria na Johannesburg, nchini Afrika Kusini. Sehemu ya kwanza inaitwa \"Krokodil\" (Kiafrikaans kwa \"mamba\"). Baada ya kupokea mto wa Marico jina linabadilika na kuwa Limpopo. Hapo unapita mwendo wa upinde mkubwa ukielekea kwanza kaskazini-magharibi halafu mashariki hadi Bahari Hindi. unafuata mpaka kati ya Afrika Kusini na Botswana, halafu mpaka wa Afrika Kusini na Zimbabwe. ", "Mto Njano\nMto Njano (Kichina Huang He) ni mto mkubwa wa China ya Kaskazini, mto mkubwa wa pili wa China yote na mto mrefu wa nane duniani. Jina limetokana na rangi ya matope ya ardhi unamopita.", "Homa ya ndengi\nWatoto walio na dengi wana uwezekano mkubwa wa kuwa wagonjwa sana kuliko watu wazima. Watoto wana uwezekano mkubwa wakuwa wagonjwa sana iwapo wana afya na wamelishwa vizuri. (Hii ni tofauti na maambukizi mengine mengi ambayo kwa kawaida huwa mabaya zaidi kwa watoto walio na utapiamlo, hawana afya au hawajalishwa vizuri.) Wanawake wana uwezekano mkubwa wa kuwa wagonjwa sana kuliko wanaume. Dengi inaweza kuwa ya kuhatarisha maisha kwa watu walio na magonjwa yanayodumu kwa muda mrefu kama kisukari na pumu.", "Gideoni\n\"Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani?\nTazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase,\nna mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu\".", "Kongo (mto)\nVyanzo vya Kongo viko katika nyanda za juu na kwenye milima inayopakana Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki, pamoja na Ziwa Tanganyika na Ziwa Mweru ambayo yanamwaga maji yao kwenda mto Lualaba ulio tawimto mkubwa wa Kongo. Kwa kawaida chanzo cha mto Chambeshi huko Zambia ambao unaishia katika Lualaba hutazamiwa kama chanzo cha Kongo.", "Niger (mto)\nWengine waliona utaishia kwenye mto Senegal au mto Kongo. Kuchanganyikiwa huku kulisababisha kwa karne nyingi ramani zisizoonyesha mwendo halisi wa mto. Wasafiri na wataalamu wa nje hawakuelewa ya kwamba mto mkubwa ulio karibu na Timbuktu na mto mkubwa unaoingia Atlantiki kwenye Ghuba ya Guinea huko Nigeria ni mto uleule.", "Chari\nChari (Shari) ni mto mkubwa unaoishia katika Ziwa Chad. Inaanza katika Jamhuri ya Afrika ya Kati ikielekea kaskazini na kuingia nchi ya Chad. Baada ya kupita mji mkuu N'Djamena mto ni mpaka na Kamerun halafu unaishia katika Ziwa Chad.", "Niger (mto)\nNiger ni mto mkubwa kabisa wa Afrika ya Magharibi na mto mrefu wa tatu barani Afrika ukiwa na mwendo wa km 4.374. Njia yake ni kama upinde ikianza Guinea katika nyanda za juu za Futa Djallon kuelekea kaskazini-mashariki kupitia Mali hadi Niger. Karibu na mji wa Timbuktu inageukia kuelekea mashariki, halafu mashariki-kusini kupitia Benin na Nigeria hadi kufika mdomo wa delta yake kwenye Ghuba ya Guinea ya bahari ya Atlantiki.", "Paka-pori\nPaka-pori (\"Felis silvestris\") ni mnyama mbuai wa nusufamilia Felinae katika familia Felidae. Paka huyu ana usambazaji mkubwa sana na anatokea Ulaya, Afrika na Asia. Spishi hii ina nususpishi tano. Nususpishi paka-kaya imefugwa kutoka paka-jangwa.", "Omdurman\nOmdurman (au: Omdourman, Kar: أم درمان \"Umm Durmān\" ) ni mji mkubwa kabisa nchini Sudan kando la mto Nile ikitazama mji mkuu Khartoum. Pamoja na Khartoum na Bahri ni mji mmoja kubwa sana unaounganishwa kwa madaraja kadhaa.", "Iwiji\nChakula chao kikuu kinatokana na mazao yaani mahindi, ndizi na viazi vitamu. Zao la biashara ni kahawa. Mito mitatu hupitia kijiji hiki, mto Magole upo mashariki sambamba na kijito kidogo kiitwacho Itaga katikati kuna kijito kingine Salaga magharibi kuna mto mkubwa Mafumbo na magharibi kuna kijito kingine shongo . Mito yote hii ndio chanzo kikuu cha uzalishaji wa chakula cha wakazi wa kijiji cha Izyira na vijiji vya jirani mito hii mkubwa miwili yaani Magole na Mafumbo ikisaidiana na vijito hivi hutiririsha maji mwaka mzima. Muungano wa mito hii miwili hufanya mto mmoja unaokwenda kusini kupitia karibu sana na Itumba kuungana na mto Songwe ulio kama mpaka wa Tanzania na Malawi. Kuna milima mkubwa mitatu kaskazini ambayo ni Mlima Mbeye, kaskazini magharibi Mlima Makungulu na magharibi kuna Mlima Mwira. Katika milima hii kuna misitu minene ambayo ndio maji ya mito hii huanzia katika misitu hiyo.\nKutokana na ongezeko la watu misitu hii miaka ya karibuni kumekuwa na uharibifu mkubwa na kusababisha mito hii kupungua sana tena sana kwa ujazo wa maji na kusababisha kupungua kwa kiwango cha unyeshaji wa mvua, kama hatutakuwa na mkakati wa kuzuia uharibifu huu wa misitu hii msitu Mang'onga na msitu Mbogho upo uwezekano wa mito hii kukauka na kusababisha hali mbaya kwa vijiji vyote vinavyopata huduma ya maji ya mito hii mikubwa si IZYIRA tu hata WILAYA jirani kama ILEJE na Mbozi.", "Rajesh Roshan\nRajesh Roshan ni mwana wa mwandishi wa filamu za Kihindi na mkurugenzi wa muziki Roshan Sahani Je (ne Roshanlal Nagrath) na ana watoto wawili, mvulana na msichana.", "Je, hii ni ungwana\nJe Huu ni Ungwana ni kipindi maarufu cha mtangazaji maarufu Leonard Mambo Mbotela cha elimu, burudani, na ucheshi nchini Kenya katika redio ya Kenya Broadcasting Corporation." ]
33
Thr33 Ringz ina nyimbo ngapi?
[ "Thr33 Ringz\nNo.TitleLength1.\"Welcome to Thr33 Ringz Intro\"2:272.\"Ringleader Man\"2:543.\"Chopped 'N' Skrewed\" (akishirikiana na Ludacris)4:214.\"Take a Ride (Ringleader Man Skit)\"1:455.\"Freeze\" (akishirikiana na Chris Brown)3:366.\"Blowing Up\" (akishirikiana na Ciara)3:247.\"Can't Believe It\" (akishirikiana na Lil Wayne)4:338.\"It Ain't Me\" (akishirikiana na Akon na T.I.)3:459.\"Feed the Lions (Ringleader Man Skit)\"1:2810.\"Therapy\" (akishirikiana na Kanye West)3:3411.\"Long Lap Dance\"4:3612.\"Reality Show\" (akishirikiana na Musiq Soulchild, Raheem DeVaughn na Jay Lyriq)5:2713.\"Keep Going\"2:1414.\"Superstar Lady\" (akishirikiana na Young Ca$h)3:1715.\"Change\" (akishirikiana na Akon, Diddy & Mary J. Blige)5:1016.\"Digital\" (akishirikiana na Tay Dizm)3:1417.\"Karaoke\" (akishirikiana na DJ Khaled)4:48" ]
[ "Swahili Rap from Tanzania\nSwahili Rap from Tanzania ni jina la albamu ya nyimbo mchanganyiko za muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Tanzania. Albamu imetoka tarehe 15 Novemba mwaka wa 2004 chini ya kampuni ya Kijerumani maarufu kama Out Here Records. Albamu imetayarishwa na studio mbalimbali jijini za jijini Dar es Salaam. Albamu ina nyimbo kali kibao za miaka ya 2003 na 2004 yenyewe. Nyimbo hizo kama vile Zali la Mentali, Wauguzi, Alikufa kwa Ngoma, Asali wa Moyo na nyingine kibao. Hii ndiyo albamu ya kwanza ya nyimbo mchanganyiko za Bongo Flava kupata kutumiwa na mashirika ya kimataifa.", "Pepe-Kalle\n\"Pepe-Kalle\" ni albamu iliyotoka mwaka 1989 kutoka kwa mwanamuziki wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pepe Kalle. Albamu ina nyimbo nne tu basi. Hii ni albamu ya tano ya Pepe Kalle kuitengeneza akiwa nchini Ufaransa baada ya Soucis Ya Likinga, Kwasa Kwasa, Moyibi na L'Argent Ne Fait Pas Le Bonheur!. \nZifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.", "God Will Make a Way - Kali ya Don Moen\n\"God Will Make a Way - Kali ya Don Moen\" ni albamu ya muziki wa kuabudu ya kikristo iliyorekodiwa na Don Moen. Albamu ya kikristo ya kisasa ina baadhi ya nyimbo za Moen zilizopata umaarufu sana Ilitolewa na Uaminifu / Hosana!Muziki / Sony tarehe 13 Mei 2003. Albamu pia inakuja na ofa ya DVD yenye nyimbo tano, nyimbo zote zilioneshwa huku watu wakiona na kusikia kwa uhalisia(papo kwa hapo)", "The Karaoke Collection\nThe Karaoke Collection ni DVD ya kundi la Westlife iliyotoka nchini Hong Kong pekee mnamo mwezi Januari mwaka 2009. DVD hii ina nyimbo zao za video zipatazo 22, mingi kati ya hiyo ni nyimbo zalizofanya vizuri katika chati mbalimbali za nchini Uingereza na maeneo mengine. DVD ya Karaoke ndiyo iliyokuwa DVD ya kwanza kutengenezwa kutoka kwa kundi la hili katika kampuni ya Sony.", "Fasihi simulizi\nKatika jamii isiyo na uandishi ni wazi kuwa hakuna fasihi andishi. Hata hivyo kila jamii ina hazina ya mapokeo yapokelewayo mdomo kwa mdomo—kwa mfano utenzi, ngano au nyimbo za jadi—hivyo vyote ni sehemu za fasihi simulizi.", "Brooke Allison (albamu)\nAlbamu ina baadhi ya nyimbo zilizotungwa na msanii Mýa, Meredith Brooks na Allan Rich.", "Eneo\nMakadirio ya eneo yana faida nyingi katika maisha ya kila siku. Nikitaka kupiga rangi kuta za chumba naweza kupima maeneo yote ya kuta zake. Kwa mfano chumba cha mita 3x4 na kimo cha mita 2 lina eneo la kuta zake za 28 m² (Kuta 2 zenye upana wa mita 3 x kimo mita 2 ni 2x3=6 x kimo 2 = 12m²; kuta 2 zenye upana wa mita 4 ni 2x4= 8 x kimo 2= 16 m²; 16m²+18m² = 28 m²). Nikijua hii naweza kuuliza dukani je wana rangi gani kwa ajili ya ukuta na kopo la rangi linatosha kwa mita za mraba ngapi? Wakisema 10 m ² najua nitahitaji kununua kopo 3. Katika mfano wa juu naweza kutoa eneo la mlango na madirisha labda zinatosha kopo 2 kubwa na 1 ndogo.", "Soucis Ya Likinga\n\"Soucis Ya Likinga\" ni albamu iliyotoka mwaka 1986 kutoka kwa msanii wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pepe Kalle. Albamu ina nyimbo nne tu, mbili upande A na mbili upande B. Hii ni albamu ya kwanza ya Pepe Kalle kuitengeneza akiwa nchini Ufaransa. Katika albamu Pepe Kalle katunga nyimbo mbili tu—Soucis Ya Likinga na Dadou 2e Version. Wakati Perfusion ukiwa utunzi wake Misha Mfum na Simplicité imetungwa na Solo Sita. ", "L'Argent Ne Fait Pas Le Bonheur!\n\"L'Argent Ne Fait Pas Le Bonheur!\" ni albamu iliyotoka mwaka 1988 kutoka kwa mwanamuziki wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pepe Kalle. Albamu ina nyimbo sita — moja ikiwa vyombo vitupu. Hii ni albamu ya nne ya Pepe Kalle kuitengeneza akiwa nchini Ufaransa baada ya Soucis Ya Likinga, Kwasa Kwasa na Moyibi. Baadhi ya matoleo katika muundo tofauti—moja—wapo lilitolewa nchini Kenya. \nZifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.", "Thr33 Ringz\nJamii:Albamu za 2008 Jamii:Albamu za Jive Records Jamii:Albamu za T-Pain Jamii:Albamu zilizotayarishwa na T-Pain", "Chris Brown (mwimbaji)\nBrown, pamoja na The Game, ameshirikishwa katika albamu ya Nas ambayo bado haijapewa jina katika wimbo wa \"Make the World Go Round\", uliotayarishwa kwa ushirikiano wa The Game na Cool & Dre. [34] Yeye pia ameshirikishwa, wakiwa na Sean Garrett , katika wimbo wa Ludacris wa \"What Them Girls Like\" kutoka kwa albamu ya Theater of the Mind. Pia alishirikishwa kwenye wimbo wa tatu wa T-Pain \"Freeze\" kutoka kwa albamu yake mpya ya Thr33 Ringz . Brown alitajwa kama msanii mashuhuri wa 2008 na jarida la Billboard magazine.[35][36] Brown alisaidia kukuza mradi wa Math-A-Thon uliofaidi hospitali hiyo kwa kushiriki kama mwenyeji katika filamu ya kuukuza.[37] Brown alitoa wimbo wake wa \"Take You Down\" katika Januari 2009 nchini Uingereza na Ireland.", "Flora Mbasha\nFlora pia ana album ya tatu inayojulikana kama \"Furaha Yako\" yenye nyimbo 12 ambazo ni: Furaha yako nini, Kaza mwendo, Siku hiyo, Bwana ni mchungaji wangu, Mambo yote Peupe, Bwana Yesu alipokuwa, Mwanafunzi mmoja, Maovu yenu.. \nFlora Mbasha album ya Kwanza inaitwa JIPE MOYO ambayo ina nyimbo kumi (10)", "T-Pain\nRappa Ternt Sanga (2005) Epiphany (2007) Thr33 Ringz (2008) RevolveR (2010)", "Et L'Empire Bakuba – Untitled\n\"Pepe Kalle\" (albamu hii haina jina) ni albamu iliyotoka mwaka 1982 kutoka kwa msanii wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pepe Kalle. Albamu ina nyimbo nne tu, upande A 2 na upande B 2. \nZifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.", "Makaveli &amp; Dillinger Don't Go 2 Sleep\nMakaveli & Daz Dillinger Don't Go 2 Sleep - Tha EP ni albamu ya kutaja nyimbo mchanganyiko iliyotolewa na Makaveli na Daz Dillinger. Albamu hii ina nyimbo nane. Kuna matoleo mengine mawili ya (bootleg) ambayo pia ni EP, lakini toleo halisi lina nyimbo nane tu. Albamu ilitolewa mnamo tar. 24 Desemba, 2001 kupitia studio ya D.P.G. Recordz. Albamu zilirekodiwa katika studio za Death Row Records kati ya mwaka wa 1995-96 kwa ajili ya mradi wa Tupac na Boot Camp Clik \"One Nation\". Baadaye wakati Daz ameondoka Death Row, amekwiba baadhi ya nakala kuu ya kiasi cha nyimbo za Tupac ambazo hazijatolewa, baadhi zinaweza kusikika katika albamu hii ya EP. Wimbo pekee ambao umeachwa bila kuguswa na Daz ni \"They Don't Give a Fucc About Us\", lakini hizo nyingine alifanya remixi zake na kujiingiza kwenye nyimbo ambamo awali hakuwepo.", "Babyface\nAlbamu yake ya \"Playlist\" ina nyimbo nane za kurudia kutoka kwa wasanii wengine na mbili nyimbo zake. Ilitolewa mnamo tarere 18 Septemba, 2007. Hii ndio albamu ya kwanza kutolewa upya na lebo ya Mercury Records label.", "Shujaa Mamadou Ndala\nShujaa Mamadou Ndala ni jina la albamu ya Dekula Kahanga ya mwaka wa 2016. Albamu ina nyimbo zipatazo nane. Albamu hii ni ya nne tangu zile za awali ambazo ni: 1996 Safari East Africa,\n2001 Sultan Qaboos, 2008 Rumaliza na hii 2016 Shujaa Mamadou Ndalakwanza kutolewa tangu kuanzishwa kwa Dekula Kahanga & His Band. Dekula ametunga nyimbo zote na kuzitayarisha kasoro namba 5 ni utunzi wake Bobo Sukari.Nyimbo zote zimetayarishwa na Dekula Kahanga katika studio ya Joji & Sensus huko mjini Stockholm, Sweden.", "Akon\nAlbamu yake ya kwanza, 'Trouble' ilitolewa Juni tarehe 29, 2004. Albamu hii ina nyimbo kama \"Locked Up\" na \"Lonely\", \"Belly Dancer (Bananza)\", \"Pot of Gold\", na \"Ghetto.\" Albamu hii ndiyo iliyokuwa ya kwanza kutolewa na kampuni yake mpya ya kurekodi ya Konvict Music. Msukumo wa kuimba wimbo wake wa kwanza ulitokana na miaka mitatu aliyokaa kwenye jela kwa sababu ya 'kuiba'. Wimbo wa \"Locked Up\" uliorodheshwa kwa nyimbo 10 bora nchini Marekani na tano bora nchini Uingereza. \"Wimbo wa \"Ghetto\" ulivuma kwenye redio wakati ulipochanaganywa upya na DJ Green Lantern na kujumuisha mistari kutoka wasanii 2Pac na The Notorious B.I.G.", "Maria Tebbo\n\"Maria Tebbo \" ni jina la albamu iliyotoka mwaka 1979 kutoka kwa msanii wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Sam Mangwana. Albamu ina nyimbo nne tu, upande A 2 na upande B 2. Albamu ilitolewa katika muundo wa Vinyl (LP). Kazi ya utayarishwaji ilifanywa huko mjini Abidjan, Cote d'Ivoire, chini ya Internation Sam Production. Mtindo uliotumiwa humu kwa nyakati hizo uliitwa \"highlife\". Wimbo maarufu ni huohuo Maria Tebbo. \nZifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.", "Vunja Mifupa\n\"Vunja Mifupa\" ni jina la albamu iliyotoka mwaka 1997 kutoka kwa msanii wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye badaye kaja kuweka makazi yake nchini Kenya, Samba Mapangala. NyimboAlbamu ina nyimbo nane. Albamu ilitolewa katika muundo wa CD. Wimbo uliobeba jina la albamu ulitoka kabla ya 1997. Hili ni toleo la pili la Vunja Mifupa lililotolewa katika CD badala ya lile la kwanza la 1989 ambalo lilitolewa katika muundo wa \"kanda\". Nyimbo maarufu hasa Marina na Vunja Mifupa. \nZifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.", "Flicker Records\nFlicker Records ni studio ya kurekodimuziki ya Kikristo ambayo ina makao yao mjini Franklin, Tennessee. Ilianzishwa na wanachama wa kundi la Kikristo la Audio Adrenaline. Hasa studio hii inalenga wasanii wanaoimba nyimbo za aina ya \"mwamba\", ingawa pia ina sehemu ya, Big House Kids,inayorekodi nyimbo za watoto za Kikristo.", "7 (Albamu ya Enrique Iglesias)\nSeven ilifika namba 34 kwenye Billboard 200 na ina iliuza nakala 49,000 kulingana na Nielsen SoundScan. Single ya kwanza ya \"Addicted\" ilifika namba 38 kwenye chati za nyimbo bora 40, lakini toleo lake la Kihispania \"Adicto\" ilifika kwenye Latin top ten. Single ya pili \"Not in Love\"imefika kwenye chati za nyimbo bora za densi nchini Marekani.\nAlbamu hii ilikuwa kwenye Albamu bora 100 nchini Uingereza na Australia mwezi wa Novemba 2003. \"Addicted\" ilifika kwenye chati ya Top 40 katika nchi kadhaa ikiwemo Ujerumani, Australia, Ureno na Argentina.", "Kwasa Kwasa\n\"Kwasa Kwasa\" ni albamu iliyotoka mwaka 1988 kutoka kwa msanii wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pepe Kalle. Albamu ina nyimbo nne tu, mbili upande A na mbili upande B. Hii ni albamu ya pili ya Pepe Kalle kuitengeneza akiwa nchini Ufaransa baada ile ya Soucis Ya Likinga. \nZifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.", "Thr33 Ringz\nThr33 Ringz[1] ni jina la kutaja albamu ya tatu ya mwimbaji na mtunzi wa R&B T-Pain. Albamu ilitolewa nchini Marekani mnamo tar. 11 Novemba 2008, ikaingia nafasi ya nne kwenye chati za albamu za Billboard 200 na nafasi ya kwanza kwenye chati za Billboard Top R&B/Hip-Hop Albums. Albamu imepokea tahakiki mchanganyiko kutoka kwa wataalamu ya kutathmini muziki. Albamu ilichaguliwa kwenye \"Grammy Award - ikiwa kama albamu bora ya R&B\", lakini ilipotezwa na albamu ya Beyoncé, I Am... Sasha Fierce.", "Bitoto\n\"Bitoto\" ni albamu iliyotoka mwaka 1985 kutoka kwa msanii wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pepe Kalle. Albamu ina nyimbo nne tu. Na imetoka katika muundo wa Vinyl, LP. \nZifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.", "The Remixes\n\"The Remixes\" ni albamu ya kwanza yenye nyimbo za mseto kutoka kwa mwimbaji Mariah Carey, iliyotoka nchini Marekani tarehe 14 Oktoba 2003 na Columbia Records. Ni mkusanyiko wa nyimbo za Mariah Carey: CD moja ni ya nyimbo za klabu, na CD ya pili ina nyombo za hip hop pamoja na za mseto.", "Released\nReleased ilikuwa albamu kutoka kwa Westlife na ilitolewa nchini Afrika Kusini pekee. Albamu hii ilitolewa rasmi tarehe 31 Machi 2005. Hii ikiwa katika ziara yao ya Face To Face \nAlbamu hii ina jumla ya nyimbo 18, ikiwa ni pamoja na rimixes ya nyimbo mbalimbali za kundi hili zilizowahi kupata umaarufu hapo kabla. Upande B wa albamu hii una nyimbo kama vile \"\n\"Don't Calm The Storm\" na \"I Won't Let You Down\" ambao ulifanya vizuri katika redio za nchini humo. Pia inajumisha toleo la Kihispana la nyimbo za I Lay My Love on You na When You're Looking Like That.", "Moyibi\n\"Moyibi\" ni albamu iliyotoka mwaka 1988 kutoka kwa mwanamuziki wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pepe Kalle. Albamu ina nyimbo sita. Hii ni albamu ya tatu ya Pepe Kalle kuitengeneza akiwa nchini Ufaransa baada ile ya Kwasa Kwasa. Baadhi ya matoleo katika muundo tofauti—moja—wapo lilitolewa nchini Zambia. Hii ni albamu ya kwanza kushirikiana na Nyboma. \nZifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.", "Thr33 Ringz\nThr33 Ringz ikaingia #4 kwenye chati ya Billboard 200, ikaunza nakala 167,700 katika wiki yake ya kwanza.[2] Albamu ilitunukiwa Dhahabu, kwa kuuza nakala zaidi ya 530,000.[3]" ]
84
Je,Juan Carlos Tedesco alisomea katika chuo kikuu gani?
[ "Juan Carlos Tedesco\nTedesco alizaliwa mjini Buenos Aires katika mwaka wa 1944. Alisoma katika Chuo Kikuu cha Buenos Aires,akafuzu na shahada ya digrii ya Falsafa katika mwaka wa 1968. Alifunza kama Profesa wa Elimu ya Historia katika Vyuo vikuu vya La Plata,El Comahue na La Pampa kabla ya kuandika kitabu chake cha kwanza ,Education and Society in Argentina, 1800 - 1945 katika mwaka wa 1972." ]
[ "Juan Carlos Tedesco\nUmaarufu wake ulimpa cheo cha Mkurugenzi wa IBE jijini Geneva,cheo alichokuwa nacho hadi mwaka wa 1997, na kuwa mkuu wa UNESCO ya Buenos Aires hadi mwaka wa 2004. Tedesco alirudi katika kufunza,akigawanya muda wake ili kufunza katika Universidad de San Andrés na Chuo Kikuu cha kitaifa cha Tres de Febrero,vyote vikiwa nje ya Buenos Aires. Aliteuliwa na Waziri wa Elimu,Daniel Filmus katika Tume ya Kufunza Walimu.Daniel Filmus alimbadilisha Naibu wa Waziri Albert Sileoni na Tedesco hapo mwezi wa Aprili 2006.", "Robert Ouko\nOuko alizaliwa katilka kijiji cha Nyahera karibu na Kisumu, Mkoa wa Nyanza [1]. Alihudhuria masomo katika Shule ya Msingi ya Ogada na Shule ya Upili ya Nyang’ori. Baada ya shule alisomea ualimu katika chuo cha Mafunzo ya Walimu cha Siriba. Alifanyakazi kama mwalimu wa Shule ya Upili.", "Ayman Mohyeldin\nAyman alizaliwa mjini Cairo, Misri. Babake ana asili ya kutoka Misri na mamake ni wa Palestina. Yeye alikulia nchini Misri na Marekani lakini ameishi sana katika nchi za Kiarabu na amewahi kuishi miaka miwili nchini Iraq (2003-2005) kama mwanahabari wa kigeni alipokuwa akifanya kazi CNN. Hivi sasa, anaishi jijini Gaza na ni mwanahabari mkuu wa Al-Jazeera ya Kiingereza. Ayman hakusomea rasmi masomo ya uandishi habari, bali alisomea Siasa (International Politics) katika chuo kikuu cha American University mjini Washington DC. Alipata shahada yake ya kwanza ya Uhusiano wa Kimataifa kwa lengo la Umoja wa nchi za Ulaya na shahada yake ya pili kuhusu Siasa kwa lengo na azimio la amani na migogoro. Ripoti yake ya utafiti alipokuwa chuo kikuu \"The News Media Paradigm in the Wars on Terrorism\" ilitambulika na kukubaliwa na International Association of Media Researcher's Conference mjini Barcelona, Hispania (2002)", "Juan Carlos Tedesco\nEducation and Society in Argentina, 1800 - 1945 katika mwaka wa 1972. The Authoritarian Educational Agenda,akikiandika na Cecilia Braslavsky katika mwaka wa 1983.", "Jost Gippert\nMwaka wa 1972 alihitimu masomo ya sekondari katika \"Leibniz-Gymnasium\", katika mji wa Essen-Altenessen. Tangu 1972 mpaka 1977 alijifunza isimu wa mlingo, usayansi wa India, usayansi wa Japan na usayansi wa China katika chuo kikuu Marburg na chuo kikuu huru Berlin. Baada ya masomo aliupata udaktari wa Falsafa (Ph.D.) kwa kazi yake kuhusu \"Syntax of infinitival formations in the Indo-European languagues\". Tangu 1977 mpaka 1990 alifanya kazi nyingine kama mwanamaarifa na alifanya madarasa katika Berlin, Vienna na Salzburg. Mwaka wa 1991, alipofanya kazi kama mwanamaarifa kwa isimu ya mashariki ya kompyuta, yeye alifanya katika chuo kikuu mji wa Bamberg kwa kazi yake kuhusu \"Iranian loanwords in Armenian and Georgian\". Jost Gippert afundisha isimu ya mlingo katika chuo kikuu \"Johann-Wolfgang-Goethe\", Frankfurt, tangu 1994. Tangu 1996 yeye ni mwanachama mgeni wa „Gelati Science Academy“ (Georgia). Tangu 2002 yeye ni mwanachama wa \"Tufankommission\"; na tangu 2007 ni mwanachama wa Katikati \"Lugha\" ya Chuo cha Sayansi Berlin-Brandenburg (Berlin-Brandenburg Science Academy).", "Philip Emeagwali\nEmeagwali alisomea shahada ya Ph.D. katika Chuo Kikuu cha Michigan kutoka mwaka wa 1987 hadi 1991. Hoja zake hazikukubaliwa na kamati ya watahini wa ndani na nje na hivyo hakupata shahada. Emeagwali alianzisha kesi mahakamani, na kusema kuwa uamuzi huo ulikuwa ukiukaji wa haki za kiraia na kwamba chuo hiki kikuu kilikuwa na ubaguzi kwa sababu ya rangi yake. Kesi hiyo ilifutiliwa mbali, kama ilivyokuwa rufaa katika ya Mahakama ya Michigan ya Rufaa.[12]", "Juan Carlos Tedesco\nJamii:Mawaziri wa Argentina Jamii:Wasomi wa Argentine Jamii:Maafisa wa UNESCO Jamii:Watu kutoka Buenos Aires Jamii:Waliozaliwa 1944 Jamii:Watu walio hai", "Juan Carlos Tedesco\nJuan Carlos Tedesco(alizaliwa tarehe 5 Februari 1944) ni msomi wa Argentina na muundaji sera aliyekuwa Waziri wa Elimu,kutoka Desemba 2007 hado Julai 2009.", "Big Daddy Weave\nWanachama wa bendi walikutana walipokuwa katika Chuo Kikuu cha Mobile. Mike Weaver alikuwa amehusika kama kiongozi wa ibada katika kanisa Pensacola,Florida na akasoma katika chuo kikuu cha jamii kilichokuwa katika eneo hili. Alienda chuo kikuu baada ya kushawishiwa na mchungaji wa kanisa lao, akaenda kusomea sauti.", "Akwilina Akwilini\nAkwilina alizaliwa tarehe 1 Aprili, 1996, katika Kijiji cha Marangu Kitowo, Kata ya Olele, wilayani Rombo, Kilimanjaro. Alipata elimu yake ya msingi katika Shule Kitongoria na kuhitimu 2009. Halafu baadaye sekondari alisomea mkoani Iringa na kuhitimu 2014. Baadaye, alichaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano na sita katika Shule ya Sekondari Embauwai, iliyoko Ngorongoro, Arusha. Kutokana na afya yake kumletea shida akiwa mkoani Arusha, ililazimika kuhama mkoa na kwenda kumalizia elimu ya sekondari kidato cha tano na sita tena mkoani Iringa na kumaliza mwaka 2016. Kuanzia Oktoba 2017, alianza masomo yake katika chuo kikuu cha usafirishaji (NIT) hadi umauti unamfika 16 Februaria, 2018. Hapo NIT alikuwa anachukua shahada ya kwanza ugavi na ununuzi.", "Marina Alois Njelekela\nAlihitimu mafunzo ya udaktari wa dawa katika chuo kikuu cha Muhimbili, Dar es Salaam mwaka 1993 na kupata shahada ya uzamivu katika chuo kikuu cha Kyoto, Japani mwaka 2003.", "Juan Carlos Tedesco\nTedesco aliteuliwa kama mtaalamu katika sera za elimu katika mwaka wa 1976 katika Mpango wa Maendeleo katika eneo la Amerika ya Kilatini wa UNESCO. Alikuwa mkurugenzi wa Kituo cha Eneo la Amerika ya Kilatini cha Elimu ya daraja la juu.Kituo hiki kilikuwa cha UNESCO huko Caracas, Tedesco alifanya kazi huko katika miaka ya 1982 hadi 1986 na akawa mkurugenzi wa Kituo cha Elimu Cha Eneo hilo mjini Santiago katika miaka ya 1986 hadi 1992. Mateso na ukandamizaji wa walimu na wanafunzi nchini Argentina katika miaka ya udikteta ilimfanya Tedesco kushiriki katika uandishi wa kitabu cha kutatua shida hiyo,The Authoritarian Educational Agenda,akikiandika na Cecilia Braslavsky katika mwaka wa 1983.", "Amina Salum Ali\nAmina Salum Ali alipata elimu yake ya sekondari katika shule ya sekondari Lumumba. Katika elimu yake ya juu alisomea masuala ya uchumi katika chuo kikuu cha Delhi (University of Delhi).Pia alipata shahada yake ya uzamivu katika masuala ya biashara- masoko kutoka chuo kukuu cha Pune \"(University of Pune).\" ", "Sven Constantin Voelpel\nVoelpel alianza kazi yake ya kitaaluma kama Post-Graduate katika chuo kikuu cha Harvard University mwaka wa 2002 nchini Amerika na akaendelea na utafiti wake katika chuo kikuu cha Oxford University mwaka wa 2008.Mnamo mwaka wa 2003-2004 alikuwa Profesa mshirika katika Chuo kikuu cha University of Groningen na katika chuo kikuu cha Norwegian School of Economics. Mwaka wa 2004 alihamia chuo kikuu cha Jacobs University Bremen ambapo aliteuliwa kama Profesa wa Usimamizi wa Biashara. ", "Kofi Annan\nAnnan alienda shule ya Mfantsipim katika mji wa Cape Coast, Ghana (1954-1957). Baadaye, alienda Kumasi shule ya sayansi na teknolojia (sasa ni Kwame Nkruma Shule ya sayansi na teknolojia) kwa mwaka mmoja. Msaada kutoka Taasisi ya Ford ulimwezesha kusoma uchumi katika chuo kikuu cha Macalester, Saint Paul, Minnesota. Alipomaliza shahada ya kwanza mwaka 1961, alisoma mahusiano ya kimataifa katika chuo kikuu cha kimataifa masomo katika Geneva, Switzerland (1961-62). Alisoma katika chuo kikuu cha MIT, shule ya Sloan, na alipata shahada ya M.S.", "Barack Obama\nObama alifuzu mwanzo kutoka katika chuo kikuu cha Columbia University, kisha akafuzu katika masomo ya sheria kutoka katika kitivo cha masomo ya sheria kwenye chuo kikuu cha Harvard, ambako alikuwa rais wa jarida la Harvard Law Review.", "Shinji Mikami\nAkiwa kijana alififunza karate na taekwondo, alisomea mambo ya bidhaa chuo kikuu, Mikami alihitimu katika Chuo Kikuu cha Doshisha, ambapo alijitokeza katika utafiti wa bidhaa mbalimbali.", "Miikka Mwamba\nMiikka alihitimu elimu yake ya msingi na secondary katika Lohja, ambacho ni chuo cha sanaa (Torkkelin kuvataidelukio) alisomea Helsinki, na shahada ya uzamili (MA) alipata Theatre Academy of Finland, Dept. of Light and Sound Design.", "Barack Obama\nBaada ya kumaliza masomo ya sekondari alisomea masuala ya siasa na sheria katika vyuo vya Occidental huko Los Angeles, Columbia huko New York na baadaye chuo kikuu cha Harvard. Mwaka 1991 alimaliza kwa shahada ya dokta.", "Julius Lothar Meyer\nLothan Meyer alisomea mambo ya dawa katika chuo kikuu cha Zurich mwaka 1851 chini ya Carl Ludwig, ambayo imemfanya atumie mawazo yake kwa kemia ya kisaikolojia. ", "Daniel Filmus\nKazi ya sasa : Seneta wa Buenos Aires\nAliingia Ofisi :10 Desemba 2007 \nWizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia : 25 Mei 2003 – 10 Desemba 2007\nRais wake: Néstor Kirchner\nAliyekuwa katika ofisi hiyo awali:Graciela Giannettasio\nAliyeingia ofisi :Juan Carlos Tedesco\nAlizaliwa : 3 Juni 1955 (1955-06-03) (umri wa miaka 54) aliyezaliwa Buenos Aires", "Philip Emeagwali\nEmeagwali alizaliwa katika Akure, Nigeria tarehe 23 Agosti 1954.[1] Aliacha shule mwaka wa 1967 kwa sababu ya vita vya Nigeria vya Biafran. Wakati alipofikisha miaka kumi na nne, alitumbukizwa ndani ya jeshi laBiafra . Baada ya vita alimaliza masomo sawa na ya shule ya upilikwa kujifunza na alienda Marekani kusoma katika chuo kikuu chini ya udhamini. Kwa kweli, Emeagwali alisomea Uingereza baada ya kutoka Afrika. Aienda Marekani baadaye. Alipata shahada ya hisabati kutoka Chuo Kikuu cha Oregon mwaka wa 1977. Alipata Shahada ya bwana katika uhandisi wa mazingira kutoka Chuo Kikuu cha George Washington mwaka wa 1981, na shahada nyingine ya bwana ya Hisabati kutoka Chuo Kikuu cha Maryland, College Park mwaka wa 1986. Yeye pia alipewa shahada ya uhandisi wa bahari, pwani na marina kutoka Chuo Kikuu cha George Washingt mwaka huo. Alikuwa pia anafanya kazi kama mhandisi katika Ofisi ya Ardhi katika Wyoming reclamation katika kipindi hiki.", "Jost Gippert\nMwaka wa 1997 aliteuwa profesa wa heshima katika chuo kikuu \"Sulkhan Saba Orbeliani\", mji wa Tbilisi (Georgia), na 2009 aliteuwa udaktari wa heshima katika chuo kikuu \"Ivane Javakhishvili\", mahali sawasawa. Na mwaka wa 2013 aliteuwa udaktari wa heshima katika chuo kikuu \"Shota Rustaveli\", mji wa Batumi (Georgia). Kazi zake muhimu kama profesa kwa isimu ya mlingo katika Frankfurt, licha ya uchunguzi wa lugha za Kihindi-Kiulaya na mgawanyiko jenerali wa lugha, ni uchunguzi wa lugha za Caucasus. Miradi mingine ya kimataifa imefanyiwa chini ya usimamizi wake.", "Christiaan Barnard\nChristian alizaliwa katika familia maskini ya mhubiri makaburu. Akasoma tiba kwenye chuo kikuu cha Cape Town na baadaye huko Marekani kwenye chuo kikuu cha Minnesota alipoendelea kupata diploma ya upasuaji.", "Juan Carlos Tedesco\nUchaguzi wa 2007 wa Filmus kama Seneta wa jiji la Buenos Aires na Seneta Cristina Kirchner kama Rais wa Argentina, ulisababisha kuapishwa kwa Tedesco kama Waziri wa Elimu katika 10 Desemba ,2007. Baada ya kushindwa katika mwazi wa 28 Juni 2009, uchaguzi mdogo na kuchanganywa kwa mawaziri, alifutwa kazi huku akibadilishwa 20 Julai na Sileoni. Tedesco alifanywa Mkurugenai Mkuu wa Kituo cha Mikakati ya kuendeleza Elimu nchini Argentina na Rais mwenyewe.", "Ingeborg Schwenzer\nKwa miaka mingi, Schwenzer alikuwa profesa mwalikwa kwenye taasisi mbalimbali: 1994 – 2002 katika Europainstitut, Basel, Switzerland; mwaka 2008 katika Chuo kikuu cha Paris Val-de-Marne, France; mwaka 2009 katika Chuo Kikuu cha Victoria Wellington, New Zealand; mwaka  2010 katika Chuo Kikuu cha  Loyola Chicago, USA; mwaka 2011 katika Chuo Kikuu cha  Buea, Cameroon; na pia mwaka 2011 katika Chuo Kikuu cha İstanbul Bilgi, Turkey 2012 katika chuo kikuu cha Ankara,Turkey, pia Katika mwaka 2012 chuo kikuu cha Pontifícia Universidade Católica do Paraná,Brazil, Katika mwaka 2013 chuo kikuu cha Universitetet i Oslo, Norway ; mwaka 2014 katika chuo kikuu cha Griffith, Australia; mwaka 2015 katika chuo kikuu cha Dar el-Hekma, Jeddah, Saudi Arabia.", "Chuo Kikuu cha Stellenbosch\nAsili ya chuo kikuu inaweza kufuatiliwa kutoka kwa Stellenbosch Gymnasium , ambayo ilifunguliwa tarehe 1 Machi 1866, na kuwa Stellenbosch College mnamo 1881 na ambayo kwa sasa iliyo katika Idara ya Sanaa. Mwakani 1887 chuo hiki mara renamed Victoria College ; kilipopata hadhi ya chuo kikuu tarehe 2 Aprili 1918 kilibadilishwa jina tena na kuitwa Stellenbosch University .", "Uenezi wa Kiswahili\nTaasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (TUKI); taasisi hii ilianzishwa tangu wakati wa mkoloni mnamo mwaka 1954. Kamati hii ikabadilishwa jina ikawa inajulikana kama Kamati ya Kiswahili ya Afrika Mashariki. Ulipofika mwaka 1964 kamati ikaingizwa katika chuo kikuu kishiriki cha Dar es Salaam chini ya chuo kikuu cha Afrika Mashariki ikawa inajulikana kama chuo cha uchunguzi wa lugha ya Kiswahili.", "Juan Carlos Tedesco\nLugha ya Kihispania Lugha ya Kihispania Lugha ya Kihispania" ]
83
Romano Prodi alijiunga na siasa mwaka gani?
[ "Romano Prodi\nProdi aliwahi kuwa profesa wa uchumi kwenye Chuo Kikuu cha Bologna kati ya 1971 na 1999. Mwaka 1978 aliitwa na Waziri Mkuu Giulio Andreotti kujiunga na serikali yake kama waziri wa viwanda. Baada ya kuanguka kwa serikali hiyo mwaka 1979 Prodi alirudi Chuo Kikuu." ]
[ "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "Matteo Darmian\nAlianza kazi yake huko Milan, akifanya Serie A wake wa kwanza akiwa na umri wa miaka 17. Mwaka 2009, alijiunga na Padova kwa mkopo, ambaye alisaidia kuepuka kushuka daraja kwenda Serie B katika msimu wake pekee huko. Kisha alijiunga na Palermo mwaka wa 2010, na mwaka mmoja baadaye alijiunga na Torino, ambako alicheza kwa misimu minne. Alihamia Manchester United Julai 2015, kushinda Kombe la FA msimu wake wa kwanza na klabu hiyo.", "Moïse Katumbi\nMnamo 29 Septemba 2015 alijiuzulu kuwa Gavana, baada ya viongozi wa vyama saba vya siasa walipofurushwa kutoka kwenye Upande wa Wengi wa Urais kwa kuandika barua kwa Kabila ambapo waliuliza nia yake ya kujiondoa mwisho wa muhula wake wa pili mwaka wa 2016. Katumbi aliongeza kuwa kujiuzulu kwake kutoka kwenye People's Party for Reconstruction and Democracy kungalimruhusu kuangazia majaribio ya serikali ya taifa kukiuka katiba na kuchelewesha uchaguzi na pia kupata uhuru wake wa kuongea na kuchukua hatua. Katika azimio lilo hilo, alitangaza kuwa ushauri muhimu miongoni mwa wanachama wa mashirika ya raia ungalifanyika ili kuunda vuguvugu la jamhuri na demokrasia nchini. Mnamo 19 Desemba 2015, Moïse Katumbi alijiunga na watu wengine mashuhuri wa Kongo katika muungano ulioitwa \"Front Citoyen 2016\". Chombo hiki kinajishughulisha na kulinda Katiba na kuhakikisha kuwa uchaguzi wa mwaka wa 2016 unafanyika.", "Kipoland\nco? - nini?\nkto? - nani?\ngdzie? - mahali gani?\ndokąd? - wapi?\nkiedy? - hini?\njak? - vipi?\ndlaczego? - kwanini?\nktóry? - ipi?", "Romano Prodi\nRomano Prodi (Scandiano 9 Agosti 1939) ni mchumi na mwanasiasa wa Italia. Aliwahi kuwa waziri mkuu wa Italia mara mbili: 1996-1998 na 2006-2008.", "George Cleopa Mapunjo\nMwaka 2012 alijiunga kusomea shahada yake ya pili, shahada ya Uzamili wa fasihi ya Kiswahili (M.A. Kiswahili) na kumaliza mwaka 2014 Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.\nAliona hakutosheka na elimu, mwaka 2015 alijiunga kuendelea na masomo ya Uzamivu (PhD katika fasihi ya Kiswahili,anayoendelea mpaka sasa.", "John Njoroge Michuki\n1983 alijiunga na siasa akiwa mbunge wa KANU kwa Kangema na kupewa vyeo mbalimbali serikalini.", "Kieran Trippier\nMwaka 2011, alijiunga na klabu ya michuano Burnley kwenye mkopo wa muda mrefu ambao ulifanyika kudumu hadi Januari 2012 kwa ada isiyojulikana. Alipewa jina katika timu ya PFA(wachezaji wa kulipwa) ya michuano ya mwaka kwa misimu miwili mfululizo mwaka 2012-13 na 2013-14. Mwaka mmoja baadaye, alijiunga na Tottenham kwa ada ya £ milioni 3.5.", "1 Oktoba\nWakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya mtakatifu Romano Mshairi, shemasi na ya mtakatifu Teresa wa Mtoto Yesu, bikira na mwalimu wa Kanisa", "Guillermo Ochoa\nOchoa alifanya mchezaji wake wa ngazi ya juu kwa Club América mwaka 2004 katika mechi ya ligi ya Mexican dhidi ya Monterrey. Alishinda cheo chake cha kwanza cha ligi mwaka 2005 na alikuwa kipa wa kwanza wa klabu hadi 2011, akifanya maonyesho zaidi ya 200 kwa América. Hiyo majira ya Ochoa ilihamishiwa Ajaccio nchini Ufaransa. Alitumia msimu wa tatu na klabu mpaka kuachana na Ligue 1. Mwaka 2014, Ochoa alijiunga na Málaga lakini alishindwa kujiweka katika timu hiyo. Mnamo Julai 2016, alijiunga na Granada kwenye mkopo wa muda mrefu. Mnamo Julai 2017, alijiunga na Standard Liège.", "Hakuna matata\nJambo, Jambo Bwana, habari gani? Mzuri sana!", "Pablo Picasso\nPicasso alioa mara mbili lakini alikuwa na wapenzi wengi. Alizaa watoto wanne na wake watatu. Baada ya kuhamia Paris alibaki huko akakataa kurudi Hispania kwa sababu alimchukia dikteta Francisco Franco. Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia alikaa Paris chini ya utawala wa Wajerumani na wakati ule hakuweza kuonyesha kazi zake kwa sababu siasa ya Ujerumani ilichukia mtindo wake. 1945 alijiunga na chama cha Kikomunisti abakabi mkomunisti hata kama pia siasa ya Umoja wa Kisovyeti haikupenda mtindo wake.", "Benito Mussolini\nAlisoma ualimu lakini alijiunga na siasa na kuwa mwanachama wa chama cha kijamaa (soshalisti) cha Italia. Akawa mhariri mkuu wa gazeti la chama.", "Kinyarwanda\nMuraho = Habari gani?", "Chedieli Yohane Mgonja\nAlikuwa Waziri wa Elimu, Habari na Michezo, na Waziri wa nchi mambo ya nje. Aliwahi kuwa Mkuu wa mkoa wa Mtwara na Tabora. Aliingia kwenye siasa mwaka 1965, akiwa Mbunge wa Upare/Same na mwaka huo huo akateuliwa kuwa waziri wa utamaduni, siasa na michezo.", "Romano Prodi\nMwaka 1999 akachaguliwa kama mbunge wa Bunge la Ulaya akateuliwa kuwa mwenyekiti au raisi wa Kamati ya Ulaya kwa kipindi cha 1999 hadi 2004. Aliongoza Umoja wa Ulaya katika majadiliano ya kupokea nchi kumi kama wanachama wapya mwaka 2004.", "Romano Prodi\nBaada ya kumaliza kipindi hicho akarudi katika siasa ya Italia akashinda tena uchaguzi wa bunge la mwaka 2006 dhidi ya Berlusconi. Tangu 17 Mei mwaka huo akawa waziri mkuu wa Italia mara ya pili akiongoza ushirikiano wa vyama unaoitwa \"Unione\" (yaani \"umoja\"). Serikali yake ilianguka mwaka 2008.", "Tom Mboya\nMboya alisomea katika shule mbalimbali za Kikatoliki. Mnamo Mwaka 1942, alijiunga na Shule ya Sekondari ya St Mary's School Yala iliyo katika jimbo la Nyanza. Mwaka wa 1946, alikwenda Holy Ghost College ambayo kwa sasa inaitwa Mang'u High School, ambapo alifanya vizuri hadi akafaulu kufanya mtihani wa Cambridge School Certificate . Mwaka wa 1948, alijiunga na Royal Sanitary Institute's Medical Training School for Sanitary Inspectors mjini Nairobi, baadaye alifuzu kama mkaguzi wa usafi mnamo mwaka wa 1950. Mwaka wa1955, Mboya alipokea udhamini wakimasomo kutoka Britain's Trades Union Congress kuhudhuria Ruskin College, Oxford, ambapo alisomea usimamizi wa viwanda.Alihitimu mwaka wa 1956. Aliporudi Kenya alijiunga na siasa wakati serikali ya Uingereza ilikuwa ikipata udhibiti wa Kenya Land Freedom Army iliyojulikana kama Mau Mau.", "Angelo Rovati\nAlikuwa mmoja wa washauri wa Romano Prodi katika ofisi ya rais wa Baraza la Mawaziri nchini, wakati wa serikali ya pili ya Prodi.", "Otto von Bismarck\nWakati wa mapinduzi ya kwanza ya kidemokrasia katika Ujerumani (1848/49) alijiunga na siasa akawa mtetezi wa haki za mfalme na mpinzani wa wanademokrasia. Akachaguliwa katika Bunge la Prussia.", "Gideoni\n\"Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani?\nTazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase,\nna mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu\".", "Romano Prodi\nMwaka 1996 alipewa nafasi ya kiongozi wa ushirikiano wa \"Ulivo\" (yaani \"Mzeituni\") uliounganisha vyama mbalimbali vya kisiasa vya mrengo wa kushoto akamshinda Silvio Berlusconi na umoja wake wa kisiasa wa mrengo wa kulia akawa waziri mkuu. Akajiuzulu 1998 baada ya kuporomoka kwa ushirikiano wa Ulivo bungeni.", "Karl Peters\nPeters aliona safari yake ilikuwa bure kabisa. Alisikitika na kufoka dhidi ya wanasiasa huko Berlin. Aliporudi Ujerumani tena alijiunga na wengine waliodai siasa kali ya ukoloni akawa mmojawapo wa waanzilishi wa \"Jumuiya ya Wajerumani Wote\" (Alldeutscher Verband). Jumuiya hiyo ilitangaza utaifa mkali, chuki dhidi ya mataifa majirani na Wayahudi, dhaurau dhidi ya watu wenye rangi tofauti na madai ya kuwa Ujerumani ilistahili maeneo makubwa zaidi katika Ulaya na katika mabara mengine.", "Kutoka (Biblia)\nWaisraeli walitakiwa watambue historia yao si kama kusanyiko la masimulizi ya matukio, bali kama ufunuo wa tabia ya Mungu. Yeye kwao alikuwa nani, aliwafanyia nini, naye aliwatazamia wafanye mambo gani? ", "Kim Seung-gyu\nBaada ya kuhitimu shule ya sekondari, alijiunga na klabu ya Ulsan Hyundai na 2006 alijiunga na Draft.Alicheza kama mchezaji wa timu ya chini ya miaka 18 mwaka 2006 na 2007.", "Augustine Lyatonga Mrema\nMwaka wa 1970-71 alijiunga kwenye mafunzo maalumu ya siasa na uongozi katika Chuo cha Kivukoni na mwaka wa 1980 na 81 alienda nchini Bulgaria ambako alifanikiwa kutunukiwa Diploma ya sayansi ya Ustawi wa jamii na Utawala.", "Łukasz Fabiański\nFabiański alijiunga na Arsenal kwa £ 2.1 milioni mwaka 2007, na alikuwa akitumiwa kama mlinda goli na klabu ilishinda fainali ya Kombe la FA 2014. Baada ya mkataba wake kuisha mwaka 2014, alijiunga na Swansea.", "Alinikisa Cheyo\nAlisoma Shule ya Msingi Mwembe tangu mwaka 1969 na kisha alijiunga na shule ya kati Haloli mjini Vwawa Mbozi. Baada ya hapo alijiunga na Chuo Cha Biblia cha Kanisa la Africa Inland cha Majahida kilichopo wilaya ya Bariadi Mkoa wa Shinyanga mwaka 1979 hadi 1981. Mwaka 1983 alijiunga na Chuo Cha Theologia cha Kanisa la Moravian kilichopo Mbeya (Motheco) ambapo alimaliza masomo mwaka 1986 na kutunukiwa cheti cha theologia. Akiwa Mbeya aliweza kujiendeleza kielimu kwa kujiunga na masomo ya Sekondari na mwaka 1987 aliweza kufanya mtihani wa kidato cha nne katika shule ya sekondari Mbeya Day. Alifanya tena mtihani wa sekondari katika kituo hicho hicho cha Mbeya Day Secondary mwaka 1999 na kutunukiwa cheti.", "Alinikisa Cheyo\nMwaka 1994 mwishoni alikuwa nchini Ujerumani akichukua kozi ya lugha ya Kijerumani katika Taasisi ya Goethe Schwaebisch Hall ambako alihitimu mwaka 1995 na kutunukiwa cheti. Mwaka huohuo 1995 alijiunga na Chuo Cha Diakonia - Martin-Luther-Kolleg nchini Austria katika mji wa Feldkirchen karibu na Klagenfurt. Alimaliza masomo yake ya diakonia mwaka 1997 na kurudi Tanzania. Mwaka 2003 alijiunga na Chuo Kikuu Cha St. Paul Limuru Kenya na Kutunukiwa Shahada ya Kwanza ya Theologia (BD) mwaka 2006. Mwaka 2007 alijiunga na Catholic University of Eastern Africa na kutunukiwa shahada ya Uzamili katika Theologia (Master's in Theology) mwaka 2010. Mwaka huohuo 2010, aliendelea na masomo ya shahada ya uzamivu (doctorate) hapohapo Catholic University." ]
0
Je,nani mwanzilishi wa kampuni ya Visa Inc?
[ "Visa Inc.\nJina Visa lilibuniwa na mwanzilishi Dee Hock ambaye alisema kuwa jina hili ni jepesi kukumbukwa na litaweza kuonekana na watu wa mabara yote kama jina la kadi ambayo yaitikiwa kote." ]
[ "Jacqueline Ntuyabaliwe\nJacqueline Ntuyabaliwe Mengi ni mtengenezaji wa tangazo la samani na aliweza kushinda tuzo Tanzania na pia Jacqueline Ntuyabaliwe ni mwenyekiti wa Amorette Ltd kampuni inayohusiana na vitu vya samani na kampuni ya viwanda. Jacqueline vilevile ni mwanzilishi na mwenyekiti wa Dr Ntuyabaliwe na shirika la usaidizi ambalo linatoa maktaba na vitabu kwa shule za msingi za mitaa.", "Whatsapp\nTarehe 18 Januari 2016, mwanzilishi wa WhatsApp Jan Koum alitangaza kuwa kampuni hii haitatoza dola 1 ya Marekani kwa matumizi ya WhatsApp mwaka mmoja ili kuondoa tatizo lililokuwa linawasumbua watumiaji wasio na njia ya kulipa. Alitangaza pia kuwa kampuni hii haitaweka matangazo ya kampuni nyingine na badala yake itaimarisha huduma nyingine kama vile mawasiliano ya watumiaji na makampuni. Gharama ya WhatsApp huwa ni gharama watumiaji wanayolipa ili kutumia intaneti kwenye makampuni ya simu. Gharama hii hutofautiana kati ya nchi na nchi na pia kati ya kampuni za simu. [17]", "Sandra A. Mushi\nSandra Aikaruwa Mushi(amezaliwa 28 Februari 1974) ni mwanamke Mtanzania ambaye ni msanifu wa mambo ya ndani ya majengo na mwanzilishi wa kampuni ya Creative Studios Limited mjini Dar es Salaam, Tanzania, . ", "Kampuni ya HL Green\nHarold David Kittinger, ambaye alikuwa mwanzilishi wa mnyororo wa Kittinger's uliokuwa umeungana na McLellan's, alikuwa mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo tangu mwaka wa 1932 hadi alipoaga dunia katika mwaka wa 1947.Alipokuwa rais wa kampuni hii, mnyororo huu ulikuwa umekua hadi maduka 200. Ilimiliki pia maduka ya Shulte-United.", "Tommy Hilfiger\nTommy Hilfiger (24 Machi 1951) ni mwanzilishi wa kampuni ya mavazi,viatu, vifaa ambayo ni ya kwanza nchini Marekani. ", "Kampuni ya Magazeti ya Southern\nKampuni ya Magazeti ya Southern ni kampuni ya uchapishaji ya kuendesha kampuni zingine ambayo ina makao yake makuu katika eneo la Houston, Texas. Kampuni hii ilianzishwa ,hapo awali, kama Kampuni ya Magazeti ya Southern, ya Tennessee katika mwaka wa 1967 na mwanzilishi B. Carmage Walls. Gazeti lake maarufu kabisa ni \"Galveston County Daily News\", lililoanzishwa 11 Aprili ,1842, na hujulikana kama gazeti kongwe kabisa katika eneo la Texas.", "Jennifer Bash\nJennifer Bashi ni mjasiriamali maarufu katika kilimo nchini Tanzania. Pia ni mwanzilishi wa kampuni inayoitwa \"AKTZ Industries Ltd\" inayojihusisha na utengenezaji wa vyakula vyenye chapa ya \"Alaska Tanzania\".", "Kampuni ya Viatu ya Goodwill\nKampuni ya Viatu ya Goodwill ,pia, hujulikana kama Viatu vya Arthur A. Williams (likiitwa jina hili kwa makumbusho ya mwanzilishi wake).Kampuni hii huunda viatu vya ngozi na vya kutiwa chuma ndani vya aina ya \"Safety First\" (yaani vya kujichunga kutokana na kujiumiza).Kampuni hii ilikuwa miongoni mwa kampuni za kwanza kuunda viatu vya aina hii. Haswa, ilikuwa mojawapo wa kampuni kubwa kabisa zilizounda buti za viwanda katika miaka ya 1930. Kampuni hii ilitumbukia katika dimbwi la madeni hapo katikati mwa karne ya ishirini.", "Bill Gates\nBill Gates - (William Henry Gates III) Mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft, mtu tajiri sana duniani na mwanzilishi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Bill and Melinda Gates Foundation.", "Lee Byung-chul\nLee Byung-chul (12 Februari 1910 - 19 Novemba 1987 (miaka 77)) alikuwa mwanzilishi wa kampuni ya Samsung na mmoja wa wafanyabiashara wengi wa Korea Kusini waliofanikiwa zaidi. ", "Sven Constantin Voelpel\nKama mkurugenzi mwanzilishi wa WDN utafiti wa Voelpel katika uongozi wa demographia umekuwa ukishawishi vyema mazingira ya kazi ya mamilioni ya wafanyakazi katika kampuni zinazoshirikiana na WDN.Baadhi ya kampuni hizi ni Daimler AG, Deutsche Bahn, na Deutsche Bank miongoni mwa zingine .Mwaka wa 2013 WDN ilianzisha programu ya mashindano kwa jina \"Intergenerational Competence and Qualification Program\",yaliyofanywa na Federal Ministry of Education and Research (Germany) (BMBF) “ ili kutafuta suluhu mwafaka kwa mabadiliko ya demographia katika utendakazi. ", "Aramex\nKampuni hii iliyasaidia makampuni shirika yake ambayo yalikua madogo kuweza kushindana na makampuni makubwa.\nMwaka 1997, Aramex iliandikishwa katika soko la hisa la Marekani linalofahamika kama NASDAQ, na kampuni ya kwanza ya kimataifa kuweza kufaya hivyo. Mnamo mwaka 2002, wakati Aramex ikisherehekea kumbukumbu ya miaka 20, Abraaj Capital alipendekaza Aramex kujitoa katika soko la hisa la Marekani, na kuwa kampuni binafsi na hatiye Aramex ilijitoa katika soko hilo na kuwa kampuni binafsi. Hatimaye kampuni ilirejea katika umiliki binafsi baada ya utawala wa kampuni hiyo kuamua kuinunua, akiwamo mkurugenzi mkuu na mwanzilishi wake Fadi Gandour.", "Visa Inc.\nMwaka 2015, kampuni ya Nielsen Report ambayo hufanya takwimu za kibiashara walitoa ripoti kuwa Visa iliwezesha shughuli bilioni mia moja kwa huduma zao mwaka 2014 peke yake.", "Matajiri wakuu duniani\nMatajiri wakuu duniani kulingana na jarida la Forbes mnamo Aprili 2006, wanaongozwa na mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft, Bill Gates. Bill Gates ametangaza kuwa atastaafu baada ya miaka miwili toka sasa ili kuchukua muda wake kuongoza Taasisi ya Bill na Melinda Gates.", "James O. McKinsey\nJames Oscar McKinsey (Juni 4, 1889 – Novemba 30, 1937) alikuwa Mmarekani maarafu kama mhasibu, mshauri wa masuala ya usimamizi, profesa wa uhasibu katika Chuo Kikuu cha Chicago na mwanzilishi wa kampuni ya McKinsey & Company.", "Jennifer Richard Shigoli\nJennifer Richard Shigoli (amezaliwa tar.) ni mwanzilishi na Mkurugenzi wa kampuni ya Malkia Investments inayotengeneza pedi za bei nafuu ambazo zinaweza kutumika zaidi ya mara moja. ", "Vin Diesel\nAnafahamika zaidi kwakuwa na misuli mikubwa, mwili mpana na sauti yake nzito.\nDiesel pia ni mwanzilishi wa kampuni za utengenezaji wa filamu.\nMiongoni mwa kampuni hizo ni OneRace Films, Tigon Studios, na Racetrack Records. Vin pia amecheza filamu kadha wa kadha zenye kumpa umaarufu na heshima kubwa. Vin vilevile alionekana katika filamu ya XXX na The Fast and the Furious.", "Carl Ross\nAlikuwa mwana wa nne katika watoto sita wa Thomas Ross, mwanzilishi wa kampuni ya kuuza samaki ya Ross.Carl Ross alisoma katika Shule ya Culford(alikocheza mpira wa magongo) na akafanya kazi na Kikosi cha Jeshi la Wanamaji kabla ya kuhusika katika biashara ya familia katika mwaka wa 1918 alipotoka jeshi. Thomas alistaafu mapema katika mwaka wa 1928 na kutoka hapo Carl akawa mkuu wa kampuni ya familia.Carl aliingia na mipango na mawazo mapya kama kununua samaki waliohifadhiwa katika barafu kutoka Amerika ya Kaskazini - hii ilisababisha upanuzi wa biashara yao baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia.", "Rita Paulsen\nRita Paulsen (anafahamika kwa jina lingine kama Madam Rita) ni mjasiriamali, mhisani na mwanzilishi na mmiliki wa kampuni Benchmark Productions.", "Shirika la A.H. Belo\nKampuni hii ilianzishwa kama shirika dogo lililomilikiwa na Shirika la Belo mnamo 1 Oktoba 2007. Mnamo 8 Februari 2008 hisa za kampuni ziliuzwa kwa umma ili watu wapate kumiliki kampuni hii. Ingawa kampuni hii ilianzishwa katika mwaka wa 2008, shirika hili lina mizizi yake na historia yake kutoka mwaka wa 1842. Shirika la Belo lilitumia jina la A.H. Belo kutoka mwaka wa 1926 hadi mwaka wa 2002 lilipofupishwa kuwa Belo. Mgawanyiko wa shirika hili liliwapa nafasi ya kutumia jina la zamani ambalo ni linatumika kwa makumbusho ya Alfred Horatio, mwanzilishi wa \"Dallas Morning News\".", "Carl Ross\n(John) Carl Ross (29 Julai 1901 huko Cleethorpes, Lincolnshire, Uingereza - 9 Januari 1986 Grimsby) alikuwa mfanyibiashara wa samaki aliyefanikiwa sana. Alikuwa pia mwanzilishi wa kampuni iliyokuja kuwa Young's Bluecrest, kampuni inayoongoza katika sekta ya uuzaji wa samaki waliohifadhiwa nchini Uingereza]].", "Salama Jabu\nSalama Jabu ni mwanzilishi wa kampuni ya filamu ya Nisha's film production. Pia ametajwa na tovuti ya answersafrica.com kuwa mmoja kati ya wanawake warembo kutoka nchini Tanzania akishika nafasi ya 16", "Leleti Khumalo\nKhumalo alijiunga waigizaji wa kipindi kinachoendelea zaidi cha Afrika ya Kusini cha Generations mwaka 2005 kama Busiswe (Busi) Dlomo. Ametumia akili yake kufika aliko leo, katika uongozi wa kampuni ya mawasiliano ya Afrika ya Kusini, Ezweni, ambayo anamiliki yeye na kaka yake na mwanzilishi Karabo Moroka.[1]", "Visa vya Esopo\nVisa vya Esopo vinatokana na masimulizi ya Esopo, ambaye inaaminika kuwa alikuwa ni mtumwa wa Kiafrika aliyeishi kati ya mwaka 620 na 560 Kabla ya Kristo katika Ugiriki wa Zamani. Visa vyake hutumiwa kutoa mafunzo na kuburudisha. Visa hivi hutumiwa kwa wingi katika vitabu vya watoto na vikaragosi. ", "Hellen Dausen\nPia ni mshindi wa taji la Urembo Tanzania mwaka 2010 na mwanzilishi na mjasiriamali katika shughuli za urembo wa kampuni inayoitwa \"Nuya's Essence, LLC. Natural Bath & Body Care\".", "Visa Inc.\nVisa Inc. (ambayo inajulikana kwa kifupi kama Visa) ni kampuni ya kifedha ya Marekani ambayo inasaidia watu kutoka nchi tofauti kutuma na kupokea pesa kwa njia ya kielektroniki. Kampuni hii huwa na makao yake maalumu jijini Foster, California, kule Amerika. Kampuni ya Visa huwa haitoi kadi za mikopo (credit) au kadi za debit lakini huwezesha benki kuwapa wateja wake huduma za Visa za kutuma na kupokea fedha kwa njia ya kielektroniki.", "Victoria Kisyombe\nNi mwanzilishi na mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya SELFINA tangu mwaka 2002.", "Carl Ross\nMjukuu wake ni David Ross, mwanzilishi mshiriki wa kampuni ya kuuza simu za mkono, Carphone Warehouse, akiwa na mali ya takriban £ 312m [0]", "Victoria Kisyombe\nVictoria Kisyombe (alizaliwa tar.) ni mwanzilishi wa kampuni ya SELFINA iliyopo nchini Tanzania inayohusika na utoaji mikopo midogo kwa wanawake, hasa wajane, kwa lengo la kuwawezesha kujikwamua katika dimbwi la umaskini na utegemezi nchini. " ]
43
Mlima mkubwa zaidi duniani ni upi?
[ "Orodha ya milima mirefu duniani\nMlima mrefu duniani kwa kuangalia kimo juu ya uwiano wa bahari ni Mlima Everest ulioko kwenye mpaka baina ya Nepal na China. Kilele chake kipo mita 8,848 juu ya usawa wa bahari. Mlima Everest ni sehemu ya milima ya Himalaya. Pamoja na Everest kuna milima mingine 13 inayopita kimo cha mita 8,000, yote iko katika Himalaya na milima jirani ya Karakoram ambayo ni tokeo la kukunjwa kwa ganda la dunia tangu bamba la Uhindi lilianza kugonga bamba la Ulaya-Asia." ]
[ "Olympus Mons\nOlympus Mons ina urefu wa kilomita 27 juu ya uso wa Mirihi wastani. Hivyo kimo chake ni mara tatu kuliko Mlima Everest duniani ukipimwa kutoka usawa wa bahari na zaidi ya mara mbili kuliko Mauna Kea unaopimwa kilomita 10 kutoka mguu wake chini ya bahari hadi kilele.", "Rocky Mountains\nMlima mrefu ni Mount Elbert katika jimbo la Colorado mwenye kimo cha mita 4,401 juu ya UB. Mlima mkubwa katika Kanada ni Mount Robson wa British Columbia mwenye kimo cha mita 3,954.", "Ladysmith Black Mambazo\nLadysmith Black Mambazo lina albamu zaidi ya 40. Kundi hili lilipata umaarufu mkubwa liliposhirikiana na mwanamuziki wa Marekani Paul Simon kutoa albamu ya Graceland ambayo iliwashirikisha pia wanamuziki maarufu duniani kama Miriam Makeba na Hugh Masekela.", "Jay-Z\nPamoja na kuwa na mafanikio yake makubwa ya kimuziki, Jay-Z anafahamika zaidi kwa kujihusisha na masuala ya ugomvi na baadhi ya wasanii wengine wa soko zima la rap, moiongoni mwa ugomvi mkubwa uliokuwa unajulikana na watu wengi duniani ni ule wa yeye na rapa mwenziwe wa mjini New York Bw. Nas, ambao ulikuja kusuluishwa mnamo mwaka wa 2005.", "Milima Aberdare\nAberdares iko katika sehemu ya vyanzo vya maji kwa mabwawa ya Sasumua na Ndakaini, ambazo hutoa zaidi ya maji kwa wakazi wa mji mkuu wa Kenya, Nairobi. Maeneo ya Msitu wa Mlima ni vyanzo vya Mto Tana, mto mkubwa zaidi nchini Kenya, ambayo husambaza maji kwa “Seven Fork hydropower plants” zinaotengeneza zaidi ya asilimia 55 ya jumla ya umeme nchini Kenya. ", "Kisiwa cha Pasaka\nUmbo la kisiwa ni pembetatu lenye urefu mkubwa wa km 24  na upana mkubwa wa k, 13 . Eneo lote ni 162.5 km². Mlima mkubwa hufikia kimo cha 509 m juu ya UB.", "Oregon\nMlima Hood ni mlima mkubwa katika Oregon.", "Kongo (mto)\nBeseni ya Kongo pamoja na tawimito yake ni eneo kubwa la pili duniani la msitu wa mvua. Kwa kiasi cha mshuko wa maji mdomoni ni mto mkubwa wa pili duniani baada ya Amazonas Amerika ya Kusini.[1] Pia ni mto wenye kina kirefu zaidi duniani.", "Mbeya (mji)\nMji umeenea katika bonde kati ya safu za milima ya Mbeya na milima ya Uporoto. Mlima mkubwa unaoonekana kutoka mjini ni Mlima wa Mbeya (Mbeya Peak) wenye urefu wa m 2818.", "Orodha ya milima mirefu duniani\nKwenye sayari na miezi ya mfumo wa Jua letu kuna milima mikubwa zaidi kuliko duniani. Mlima mkubwa unaojulikana hadi sasa ni Olympus Mons kwenye Mirihi (Mars). Volkeno hii inapanda kilomita 26 juu ya tambarare ya mazingira yake ikiwa na kipenyo cha kilomita 600. Kasoko kwenye kilele chake ina kipenyo cha kilomita 80.", "Kinshasa\nMara nyingi huchukuliwa kuwa mji wa pili mkubwa zaidi duniani kwa idadi ya wazungumzaji wa Kifaransa baada ya Paris. Kama idadi ya watu itaendelea kukua kama sasa, Kinshasa itakuwa na wakazi wengi kuliko Paris kabla ya mwaka 2020. [5] [6]", "Brazil\nMlima unaojulikana zaidi si mkubwa lakini uko ndani ya mji wa Rio de Janeiro: ni Corcovado wenye mita 710. Juu yake kuna sanamu ya Yesu Kristo ambayo ni ishara ya mji.", "Amazon (kampuni)\nMnamo mwaka 2015, Amazon iliipita kampuni ya Walmart kama kampuni ya uuzaji wa rejareja yenye thamani kubwa zaidi nchini Marekani. Amazon ni kampuni ya pili ya thamani zaidi duniani (nyuma ya Apple tu), kampuni kubwa ya intaneti kwa mapato duniani, na baada ya Walmart, mwajiri wa pili mkubwa nchini Marekani. ", "Elgon (mlima)\nElgon ni mlima mkubwa wa pili nchini Kenya baada ya Mlima Kenya. Upande wa Uganda ni mlima mkubwa wa mashariki ya nchi lakini milima ya safu ya Ruwenzori ni mirefu kushinda Elgon.", "Hawaii\nVisiwa vyote vina asili ya kivolkeno. Mlima Mauna Kea ni volkeno ndefu kabisa duniani yenye kimo cha mita 4201 juu ya UB lakini inaanza chini ya bahari katika kina cha mita 5,000, hivyo kimo cha jumla ni zaidi ya mita 9,000. Volkeno ya pili ni Mauna Loa yenye masi kubwa zaidi. Mauna Loa ni volkeno hai kwenye kisiwa kikuu cha Hawaii, pamoja na mlima Kilauea.", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Mkoa wa Magharibi (Kenya)\nMlima mkubwa wa pili wa Kenya, Mlima Elgon, uko ndani ya eneo hilo, kwenye mpaka wa Uganda. Msitu wa Kakamega ni kati ya misitu asilia ya mwisho wa Kenya.", "Msitu\nMsitu wa mvua wa Amazoni ni msitu mkubwa zaidi na wa asili zaidi duniani. Msitu wa koniferi katika Alpi za Uswisi (Hifadhi ya Taifa) Milima ya Adirondack ya New York Kaskazini hufanya sehemu ya kusini ya mpito wa misitu ya mashariki ya Mashariki. Misitu juu ya Mlima Dajt, Albania", "Monako\nHakuna nchi yenye msongamano mkubwa duniani kuliko Monako ikiwa na wakazi zaidi ya 18,000 kwa kilomita ya mraba. ", "Orodha ya milima\nMlima Mammoth - California Mlima Mansfield - Milima Green, Vermont Mlima Marathon - Milima Kenai, Alaska Maroon Peak - Colorado Mlima Marcus Baker - Chugach Range, Alaska Mlima Marcy (futi 5,344) - Milima Adirondack. kilele cha juu cha New York State Mlima Massive - Sawatch Range, Colorado Mauna Kea (m 4,205) volkeno iliyolala - Hawaii , Oceania - mlima mrefu katika dunia kipimo kikichukuliwa kutoka ndani ya bahari; kwa jumla urefu wake ni m 10,203 (futi 33,476) Mauna Loa (m 4,170) - volkeno hai - Hawaii , Oceania Mlima McKinley au Denali - Alaska (m 6194; futi 20,320) mlima mkubwa zaidi Amerika ya Kaskazini Mlima Mitchell (mita 2,037; futi 6,684) - North Carolina, wa juu katika milima Apalachi Mlima Monadnock - New Hampshire", "Nepal\nMlima Everest ambao ni mlima mkubwa kuliko yote duniani uko Nepal. ", "Parokia\nMbali ya Kanisa Katoliki, ambalo lina mtandao mkubwa zaidi wa parokia duniani kote, Waorthodoksi, Waanglikana, Walutheri na Wakristo wengine kadhaa wanatumia muundo wa namna hiyo, ingawa mikazo ni tofauti, kulingana na teolojia yao.", "Mlima Hanang\nMlima Hanang ni jina la mlima mkubwa ulioko katika Mkoa wa Manyara nchini Tanzania.", "Seth Rollins\nBlack pia ni bingwa wa dunia mara tatu-michuano ya MCPW uzito mkubwa duniani mara moja, michuano ya FIP uzito mkubwa duniani mara moja, na michuano ya ROH ya Dunia mara moja.", "Uskoti\nMlima mkubwa wa Uskoti ni Mlima Nevis karibu na Fort William wenye kimo cha mita 1,344.", "Mto Mississippi\nMto Mississippi ndio mto mkubwa wa Marekani ni pia kati ya mito mirefu zaidi duniani kote. ", "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro\nHifadhi ya Mlima Kilimanjaro ni hifadhi ya taifa nchini Tanzania, lakini ni maarufu duniani kutokana na mandhari nzuri ya Mlima Kilimanjaro ambao ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika na unapatikana katika nchi ya Tanzania.", "Asus\nASUS ni mtengenezaji wa tano mkubwa zaidi duniani kwa mauzo ya mwaka 2013 (baada ya Lenovo, Hewlett-Packard, Dell na Acer).", "Dunia\nLakini si tufe kamili. Ina uvimbe kidogo kwenye sehemu ya ikweta; ilhali umbali kati ya ncha mbili ni kilomita 12,713 lakini umbali kati ya sehemu za kinyume kwenye ikweta ni km 12,756, yaani kipenyo hiki kinazidi takriban kilomita 43 kipenyo kati ya ncha na ncha. Tofauti hii inasababishwa na mzunguko wa dunia. Kani nje inasukuma sehemu za ikweta nje zaidi. Kwa hiyo mahali duniani palipo karibu zaidi na anga la nje si Mlima Everest kwenye Himalaya bali mlima Chimborazo nchini Ekuador.[5]" ]
81
Maurice Omondi Odumbe alianza kucheza kriketi mwaka gani?
[ "Maurice Odumbe\nAlizaliwa katika mji mkuu wa Nairobi na alihudhuria Shule ya Msingi ya Dr. Aggrey na shule ya sekondari ya Upper Hill, ambapo mchezaji huyu ambaye ni “batsman” wa mkono wa kulia na “bowler” wa mkono wa kulia alionyesha hamu na uwezo wa kucheza mchezo wa kriketi. Odumbe alicheza mechi yake ya kwanza kwa timu ya kitaifa ya Kenya mnamo 4 Juni 1990 dhidi Bangladesh katika sehemu ya Amstelveen katika nyara ya ICC, alifunga 41 na kuchukua 1 / 26 na alikuwa amekuwa mmoja wa wachezaji wao wanaoongoza wa One Day International (ODI) katika mechi yake ya kwanza ya kombe la dunia la Kriketi mwaka wa 1996. Odumbe alishinda tuzo la mchezaji bora wa mechi katika mojawapo wa mishtuko kubwa katika mchezo wa kriketi, kwa kuchukua 3 kwa 14 katika ushindi wa Kenya dhidi ya West Indies." ]
[ "Maurice Odumbe\nMnamoi Machi mwaka wa 2004, Odumbe alichunguzwa na Baraza la Kriketi la Kimataifa (International Cricket Council) kufuatia madai ya “match-fixing” na alipatwa na hatia mnamo Agosti mwaka wa 2004 ya kupokea fedha kutoka watu wasiohalali na kupigwa marufuku kutoshiriki kwa mechi zozote za kriketi kwa muda wa miaka mitano. Huku wachambuzi wakati huo wakiamini kwamba marufuku hii ingesababisha mwisho wa wasifu wake wa kriketi, Odumbe alisema kwamba anapanga kurejea katika mchezo wa kriketi mara tu marufuku hiyo itakapoisha. . Odumbe mechi 61 za ODI, na kufunga mikimbilio 1409 katika 26.09 na kuchukua wiketi 39 katika 46.33 na mechi 17 za daraja ya kwanza (first-class), kufunga mikimbilio 894 katika 34.34 na kuchukua wiketi 40 katika 19.55.", "Steve Tikolo\nTikolo alitoka katika familia ya kriketi kwani kakake mkongwe Tom alikuwa nahodha wa zamani wa Kenya huku kakake mwengine David Tikolo alicheza katika Kombe la Dunia la mwaka wa 1996. Ilikuwa katika mchuano huu ambapo Steve alicheza mechi yake ya kwanza ya ODI kwa Kenya. Akija katika wakati wa 3 katika miingio yake ya kwanza alitengeneza 65 dhidi ya Wahindi hao. Aliendelea kucheza miingio mingine ya kuvutia zaidi katika Kombe hilo, akawa mfumgaji bora wa upande wake na mikimbio 29 katika ushindi wao wa kihistoria dhidi ya West Indies katika Pune na kutengeneza 96 dhidi ya Sri Lanka katika Kandy.", "Vincent Kigosi\nKigosi anafahamika zaidi kwa jina la Ray, alianza kazi ya uigizaji mwaka 2000 kupitia vipindi vya televisheni na soap opera halafu baadaye akaanza kucheza katika filamu mbalimbali. Ana kampuni yake mwenyewe ya filamu akiwa na mwigizaji mwenzake Blandina chagula (Johari) maarufu kama RJ Company.", "Éder Militão\nAlizaliwa Sertãozinho, São Paulo, nchini Brazili, Militão alianza kucheza mpira na vijana wa São Paulo mwaka 2010. ", "Jet Li\nKwa upande wa Marekani, Jet Li alianza kucheza kama adui katika filamu ya Lethal Weapon 4 kunako mwaka wa 1998, na kwa upande wa filamu alizocheza Marekani kwa mara ya kwanza na kuwa kama nyota kiongozi ilikuwa katika Romeo Must Die ya mwaka wa 2000.", "Maurice Odumbe\nTangu kupigwa kwake marufuku, Odumbe amekuwa akishiriki kikamilifu katika kutafuta fedha kwa ajili ya malazi kwa yatima wa UKIMWI, na vile vile kuwasilisha programu ya michezo ya redio kila wiki na kuonekana katika idadi ya vitambulisho vya runinga. Pia anapanga kutoa wimbo na ametangaza nia yake ya kusimama kama mgombea wa Umoja wa Maendeleo ya Kidemokrasia ya Kitaifa katika uchaguzi mkuu wa Kenya ujao.", "Maurice Odumbe\nJamii:Waliozaliwa 1969 Jamii:Watu walio hai Jamii:Watu kutoka Nairobi Jamii:Wanakriketi kutoka Kenya Jamii:Nahodha wa Kriketi wa Kenya", "Maurice Odumbe\nMaurice Omondi Odumbe (amezaliwa mnamo 15 Juni 1969) ni mchezaji wa kriketi mwenye uraia wa Kikenya ambaye alipigwa marufuku kutoshiriki katika mchezo wa kriketi mnamo Agosti 2004 baada ya kupatikana na hatia ya kupokea fedha kutoka kwa wayu wasiohalali.", "Michael Owen\nOwen alizaliwa katika mji wa Chester na alianza kazi yake kama mwanasoka katika klabu ya Liverpool mnamo mwaka 1996.\nAliendelea kucheza kupitia timu ya vijana ya Liverpool na alifunga mwanzoni goli lake la kwanza mnamo Mei 1997.", "Wastara Juma\nBaada ya kuvutiwa na kazi mbalimbali alizokuwa akizifanya mwigizaji na mchekeshaji anaejulikana kwa jina la, Athuman Majuto ‘King Majuto’, mwaka 1999 Wastara alianza rasmi sanaa ya maigizo na filamu yake ya kwanza kucheza iliitwa \"Utaishia kunawa\" akiwa na gwiji wa vichekesho nchini hayati King Majuto. Mnamo miaka ya 2004 - 2006 alianza kuonekana kwenye mchezo wa \"Miale\" uliokuwa unarushwa na kituo cha televisheni cha ITV.", "John Raphael Bocco\nBocco maarufu kama Adebayor, alianza kucheza soka katika timu ya Kijitonyama FC, mwaka 2007 alijiunga na Azam FC na kuisaidia timu hiyo kupanda daraja. John Bocco ni miongoni mwa wachezaji wanne ambao walifanikiwa kupanda Ligi Kuu ya Vodacom mwaka 2008 wakiwa na Azam FC, mwingine ni Sure Boy.", "Abdoul Danté\nDante alianza kucheza katika timu ya taifa ya Mali chini ya miaka 17 mwaka 2015 katika kombe la Tinu za taifa barani Afrika chini ya miaka 17.", "Idrissa Gueye\nIdrissa Gana Gueye alizaliwa Dakar, Gueye alianza kazi yake ya kwanza katika maisha yake kimpira huko Senegal kwa Diambars kabla ya kujiunga na klabu ya Ufaransa na kucheza katika timu ya Lille mwaka 2008. Alivunja mchezaji ndani ya mechi ya kwanza katika msimu wa mwaka 2010-2011, ambapo Lille alishinda katika Ligue 1.", "Miguel Layún\nLayún alianza kazi yake mwaka 2006 na klabu ya Veracruz, na mwaka 2009 alisainiwa katika klabu ya Italia iitwayo Atalanta, akiwa mchezaji wa kwanza wa Mexico kucheza katika ligi ya Serie Aiiliyopo nchini Italia.", "Héctor Herrera\nHerrera alianza kazi yake na klabu ya Pachuca mwaka 2010 na alitumia miaka mitatu katika klabu hiyo kabla ya kuhamia Porto. Alijitahidi kwa kucheza wakati wa msimu wake wa kwanza kwenye klabu hiyo, Katika msimu wa 2015-16, Herrera aliitwa nahodha wa klabu hiyo.", "Maurice Odumbe\nOdumbe alicheza mechi yake ya kwanza ya darasa la kwanza mwaka wa 1998 wakati Kenya ilicheza dhidi ya upande wa A waUingereza uliyokuwa unazuru, alitengeneza 16 na kuchukua 0 / 29, na kuendelea kuichezea vyema upande wake wa mtaa wa Nairobi, klabu ya Aga Khan. Odumbe aliteuliwa nahodha wa kitaifa kabla ya kombe la dunia la kriketi la mwaka wa 1999, na kushinda tuzo la mchezaji bora wa mechi dhidi ya Sri Lanka kwa nje(off) zake 82 kupeana (deliveries) 95. Alipitisha unahodha kwa Steve Tikolo kwa ajili ya kombe la dunia la kriketi la mwaka wa 2003. Odumbe alicheza vizuri kwani Kenya ilifika nusu fainali, na katika mwaka uliyofuata alifikisha alama 207 dhidi ya visiwa vya Leeward, hii ilikuwa alama bora zaid katika wasifu wake.", "Elpidia Carrillo\nCarrilo alianza kujibebea umaarufu mnamo mwaka 1986 baada ya kucheza kama \"Maria\" katika filamu ya Salvador, ambapo alicheza na nyota mwingine maarufu bwana James Woods. Vilevile amewahi kucheza filamu ya Predator, aliocheza nyota Arnold Schwarzenegger, pia amewahi kushirikiana na Jimmy Smits na waigizaji wengine wengi tu wa filamu. Kwasasa Carrilo anishi mjini Venice, California, na ana mume na watoto wawili wa kike.", "Richard Ayoade\nAnajulikana sana kwa kucheza nafasi ya Maurice Moss katika kikundi cha televisheni cha IT IT.", "Willian\nWillian alianza kucheza katika timu ya Brazil mwaka 2011 na aliliwakilisha taifa lake katika Kombe la Dunia la FIFA ya 2014, Copa America ya 2015 na Copa America Centenario.", "Kristoffer Nordfeldt\nNordfeldt alianza kazi yake katika timu ya Brommapojkarna. Alipandishwa kwa timu ya kwanza kwa msimu wa 2006, wakati timu ilicheza huko Superettan. Nordfeldt hakuweza kucheza mechi yoyote ya ligi mwaka huo, au mwaka uliofuata wakati timu ilicheza kwa mara ya kwanza huko Allsvenskan.", "Edinson Cavani\nCavani alianza kazi yake kwa kucheza Danubio huko Montevideo, ambako alicheza kwa miaka miwili, kabla ya kuhamia upande wa Italia Palermo mwaka 2007. Aliitumia misimu minne katika klabu hiyo, akifunga mabao 34 katika maonyesho 109 ya ligi. ", "Maurice Odumbe\nAlirejea kriketi ya ushindani katika kiwango cha mtaa mnamo Agosti 2009, akiwa na umri wa miaka 40", "Granit Xhaka\nXhaka alianza kucheza katika timu iitwayo FC BASEL, na aliweza kusaidia timu yake kushinda kombe la swiss super ligi. na aliweza kuhamia ujerumani kwenye ligi itwayo bundesliga kwenye timu iitwayo Borussia Monchengladbach mwaka 2012 na baadae aliweza kuwa nahodha wa tomu hiyo mwaka 2015 na baadae akahamia Arsenal mwaka 2016.", "Maurice Odumbe\nFilgga, K. (2007) \"Rebranded Odumbe Now Playing Different Ball game\", The Nation, Nairobi, 17 Machi 2007. Williamson, M. (2004) \"Maurice Odumbe\", Cricinfo, Accessed 7 Aprili 2007.", "Kenya\nMchezo wa kriketi ni maarufu na pia ni mchezo wa timu ambao umefaulu sana. Kenya imeshiriki katika Kombe la Dunia la Kriketi tangu mwaka 1996. Timu hii ilishinda baadhi ya timu maarufu ulimwenguni na kufikia semifainali katika mchuano wa mwaka 2003. Walishinda ligi ya kriketi ya dunia daraja la 1 iliyofanyika Nairobi kwa mara ya kwanza, kisha wakashiriki katika mchuano wa ulimwengu wa T20. Nahodha wa sasa wa timu ni Collins Obuya.", "Cristiano Ronaldo\nHata hivyo, mwaka mmoja baadaye, aligunduliwa na ugonjwa wa moyo, hali ambayo inaweza kumlazimisha kuacha kucheza mpira wa miguu. Alipata upasuaji ambayo uliondoa sehemu ya moyo iliyo haribika; alikaa masaa machache hospitari na kurudi nyumbani, alianza tena mafunzo ya mpira wa miguu miezi michache baadaye.", "Richard Ofori\nRichard Ofori alianza kucheza kimataifa mwaka 2013 katika kombe la FIFA chini ya miaka 20: alicheza vizuri na hata kufika katika nafasi nzuri katika timu yake kuwa kama washindi wa tatu katika mashindano hayo.", "İlkay Gündoğan\nAlichezea academi ya VfL Bochum mwaka 2008 alianza kucheza katika klabu FC Nürnberg na baadae akaenda kuichezea Borussia Dortmund mwaka 2011 mwaka 2013 aliisadia Borussia Dortmund kuingia katika mashindano ya klabu bingwa za Ulaya.", "José de Jesús Corona\nCorona alianza kazi yake katika Atlas mwaka 2002, na alikuwa golikipa muhimu kwa klabu hiyo. Mnamo 26 Februari 2003, katika msimu wa tano, Corona alifanya ligi yake baada ya kucheza dhidi ya Pumas na kuibuka kwa ushindi wa 2-1. Corona alicheza michezo 47 kutoka 2002 hadi 2004." ]
66
Je, Carl Gustav Jung alizaliwa lini?
[ "Carl Gustav Jung\nCarl Gustav Jung (mara nyingi hutajwa kwa kifupi zaidi C.G. Jung; 26 Julai 1875 – 6 Juni 1961) alikuwa tabibu na mtaalamu wa saikolojia kutoka Uswisi aliyeandika kwa Kijerumani.", "Silika kadiri ya C. G. Jung\nKati ya michango mikubwa aliyoitoa Carl Gustav Jung, mwanasaikolojia wa Uswisi (1875-1961), mmojawapo ni kuainisha makundi mawili ya watu kadiri wanavyoelekeza nguvu za nafsi yao ndani mwao (wandani) au nje yao (wasondani)." ]
[ "Tuzo ya Nobel ya Amani\n2000 Kim Dae Jung", "Gustav Vasa\nGustav Vasa, pia \"Gustav I\" na \"Gösta\", alizaliwa kama \"Gustav Eriksson\", alikuwa wafalme katika Uswidi. Alizaliwa 12 Mei 1496 na alifariki 29 Septemba 1560. Alikuwa wafalme tangu 1523 hadi kifo chake. Yeye ilianzisha ukiritimba na yeye ni kufikiriwa mwanzilishi wa kisasa Uswidi. Basi, siku wakati akawa wafalme ni Siku ya Taifa ya Uswidi.", "Carl Weathers\nWeathers alizaliwa mjini New Orleans, Louisiana. Alipata elimu yake katika shule ya St. Augustine High School na baada ya hapo alielekea katika Chuo Kikuu cha San Diego. Nje ya maswala ya uigizaji, Weathers vilevile ni mwanachama wa Big Brothers na ni mmoja wa wanakamati ya Olympic ya Marekani. Mnamo mwezi wa Aprili ya mwaka wa 2007, Carl amemwoa Jennifer Peterson, mwandaaji wa dokumentary.", "Gustav Kirchhoff\nGustav Robert Kirchhoff (12 Machi 1824 - 17 Oktoba 1887) alikuwa mwanafizikia wa Ujerumani aliyechangia kuelewa kwa msingi wa nyaya za umeme na spectroscopy. Tuzo ya Bunsen-Kirchhoff kwa spectroscopy walipewa yeye na mwenzake Robert Bunsen.", "Hotuba ya mlimani\nJe, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba mkate, atampa jiwe? ", "Rudolf Clausius\nBaada ya miaka kadhaa alienda Gymnasium Stettin (kwa sasa Szczecin). Alimaliza elimu ya juu katika chuo kikuu cha Berlin (University of Berlin) na kufanikiwa kuchukua masomo ya Hisabati na Fizikia akiwa na wengine kama Gustav Magnus, Peter Gustav Lejeune Dirichlet na Jakob Steiner mnamo mwaka 1844. Pia alisoma historia na Leopold von Ranke. ", "Karl Friedrich Benz\nCarl Benz‘ workshop in Mannheim/Germany Gari la kwanza la Benz lenye magurudumu matatu Engine of the Benz Patent Motorwagen The world’s first drivers‘ licence, issued to Carl Benz on 1 Agosti 1888 Automuseum Dr. Carl Benz in Ladenburg/Germany Carl and Bertha Benz Official sign of Bertha Benz Memorial Route, commemorating the world's first long distance journey with a Benz Patent Motorwagen in 1888 The World’s first Filling-Station, the City Pharmacy in Wiesloch/Germany", "Kim Tae Jung\nKim Dae Jung (Kikorea: 김대중 金大中) (6 Januari 1925 - 18 Agosti 2009) alikuwa rais wa zamani wa nchi ya Korea Kusini. Mnamo mwaka wa 2000, amepata Tuzo ya Nobel ya Amani. Huyu ndiye mtu wa kwanza kutoka Korea kupata Tuzo ya Nobel.. Yeye ni Mroma tangu mwaka wa 1957, alikuwa kiitwa \"Nelson Mandela\" wa Asia . Kim Tae Jung alikuwa rais na aliyekuja kupokelewa na Kim Young-sam kuanzia mwaka wa 1998 hadi 2003. Alizaliwa mjini Haui-do, Mkoani South Jeolla, kisiwa kilichopo kwenye Pwani ya Korea Kusini.", "Carl Larsson\nCarl Larsson (28 Mei 1853 - 22 Januari 1919) alikuwa mchoraji, interior designer na mwanachama wa Nyendo ya Sanaa na Crafts kutoka Uswidi. Yeye alizaliwa katika Stockholm na familia yake ilikuwa maskini sana. Yeye alisoma katika Chuo cha Sanaa mjini Stockholm.", "Chuo Kikuu cha Ufundi cha Berlin\nChuo kilianzishwa mwaka 1879 kama chuo cha Prussia, wakati ule dola kubwa la Ujerumani. Wanafunzi na walimu kumi wa chuo hiki waliendelea kupokea Tuzo ya Nobel katika fani za fizikia na kemia ambao ni Adolf von Baeyer, Carl Bosch, Dennis Gabor, Ernst Ruska, Eugene Paul Wigner , Fritz Haber, George de Hevesy , Gerhard Ertl, Gustav Hertz , Wolfgang Paul.", "Carl Gustav Jung\nAlifanya utafiti wa tiba ya magonjwa ya akili akaunda nadharia mbalimbali zinazoendelea kutumiwa hadi leo. Ndiye aliyeanzisha mafundisho ya saikolojia ya kichambuzi (analytical psychology).", "Carl Gustav Jung\nJung alifundisha pia kama Sigmund Freud ya kwamba kuna sehemu ndani ya akili isiyofikiwa na fahamu ya mtu mwenyewe lakini ina athira kubwa juu ya mawazo na matendo yake. Ndani ya hiyo akili isiyofikika Jung alitofautisha kati ya sehemu ya binafsi, inayotunza maarifa yaliyokusanywa na kila mtu katika maisha yake, na sehemu nyingine ya kijamii, inayotunza maarifa ya binadamu yaliyokusanywa na watu katika historia yao na kuendelezwa kwa karne nyingi ndani ya roho za watu kupitia vizazi vingi.", "Carl Gustav Jung\nKwa miaka kadhaa alikuwa ameshirikiana na Sigmund Freud kuendeleza mafundisho ya tiba nafsia [1] (psychoanalysis) lakini baadaye waliachana kwa sababu Jung hakukubaliana na mawazo kadhaa ya Freud, hasa nadharia yake juu ya libido.", "Carl Gustav Jung\nKati ya mafundisho yake yanayoendelea kutumiwa ni mpangilio wa aina za silika ndani ya nafsi ya watu alipotofautisha watu wenye tabia ya mdani au msondani.", "Gustav Stresemann\nGustav Stresemann (10 Mei 1878 – 3 Oktoba 1929) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Ujerumani. Mwaka wa 1923 alikuwa Waziri Mkuu na kuanzia 1924 hadi 1929 alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Mwaka wa 1926, pamoja na Aristide Briand alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.", "Konokono\nKonokono mara nyingi wametumika kwenye imani na utakatifu. Mshairi mmoja wa Kigiriki aliandika kuwa konokono hutambulisha msimu wa mavuno kwa kukwea mashina ya mimea, wakati mungu wa mwezi wa Aztec, Tecciztecatl huoneshwa kwa kombe la konokono mgongono mwake. Hii humaanisha kuzaliwa upya; utaratibu wa konokono kuonekana na kutoweka hufananishwa na mwezi. Na hivi karibuni, Carl Jung alitambua uwakilishi wa nafsi kwenye ndoto. Katika saikolojia, sehemu laini za ndani za konokono hufananishwa na mambo tunayoyafanya bila ya fahamu huku kombe likionesha fahamu. \nKatika hotuba, msemo “mwendo wa konokono” mara nyingi huonesha mchakato wa taratibu usio makini.", "Gustav Kirchhoff\nAlihitimu Chuo Kikuu cha Albertus Königsberg mwaka 1847 ambapo alihudhuria semina ya mahesabu ya kimwili inayoongozwa na Carl Gustav Jacob Jacobi, Franz Ernst Neumann na Friedrich Julius Richelot.", "Ukomavu\n4. Kutokana na hofu hashiriki vizuri katika mambo yote. Anatambua kwamba akibaki peke yake hapati nafasi ya kupendwa, lakini anashindwa kukabili hofu yake.\n5. Matokeo yake ni kwamba anajihisi hastahili kutimiziwa haja zake. Hatimaye anaweza akajichukia kama kwamba ndiye anayesababisha watu wasimtimizie haja zake.\n6. Anafadhaika asijue la kufanya mbele ya matatizo hayo. Anashindwa kupata jibu kuhusu haja zake kutimizwa kesho: ikiwa leo hapati anayoyahitaji hata kwa watu wenye wajibu kwake, je, atayapata lini? ", "Gustav Hertz\nGustav Ludwig Hertz (22 Julai 1887 – 30 Oktoba 1975) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza sifa za atomu. Pia alivumbua njia fulani ya kutenganisha isotopu. Mwaka wa 1925, pamoja na James Franck alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.", "Karl Friedrich Benz\nKarl Friedrich Benz alizaliwa tar. 25 Novemba 1844 akiitwa Karl Friedrich Michael Vaillant huko Mühlburg / Karlsruhe Ujerumani wa Kusini Magharibi. Baada ya kumzaa mamake Josephine Vaillant akaolewa na babake Johann Georg Benz. Hivyo akaitwa Karl Friedrich Michael Benz lakini baadaye akajiita Carl Friedrich Benz.", "Gustav Adolf\nGustav Adolf alikuwa askari wa Swideni na mjumbe wa serikali. Alichaguliwa mjumbe Mkuu mwaka wa 1645, Mshauri Mkuu katika 1650, Mkuu mwaka 1651, Field Marshal mwaka wa 1655 na Gavana Mkuu wa Riga mwaka wa 1656. ", "Gustav Mahler\nGustav Mahler (7 Julai 1860 – 18 Mei 1911) alikuwa mtunzi wa Opera na mwelekezi wa Kibohemia-Kiaustria.\nMahler alipata kufahamika sana wakati wa uhai wake kwa kuwa kama mwelekezi wa mabendi yaani conductor ma muziki. Pia akawa mmoja kati ya waliopata kufahamika katika kipindi cha Romantic, ingawaje muziki wake hauja kubalika kisawasawa katika kituo cha muziki cha mjini Vienna wakati wa uhai wake.", "Carl Velten\nVelten alizaliwa 4 Septemba 1862 katika kijiji cha Fluterschen, wilaya ya Altenkirchen kwenye mkoa wa Rhine ya Prussia. 1888-1885 alisoma lugha kwenye vyuo vikuu va Bonn na Tübingen. Baada ya masomo alisafiri kutembelea Ufaransa, Uingereza, Algeria, Tunisia na Misri. Alijiandaa kwa utumishi wa serikali ya Ujerumani katika koloni kwa masomo kwenye chuo cha lugha za mashariki Berlin.", "Gustav Kirchhoff\nGustav Kirchhoff alizaliwa huko Königsberg, Prussia mwaka 1824. Ni mtoto wa Friedrich Kirchhoff, mwanasheria, na Johanna Henriette Wittke. Familia yake walikuwa Walutheri katika Kanisa la Kiinjili la Prussia. ", "Carl Linnaeus\nLinnaeus alizaliwa kama mtoto wa mchungaji wa Kilutheri katika Uswidi ya kusini. ", "Oresund\nTangu mwaka 2000 kuna daraja la kuvukia Oresund kutoka Denmark kwenda Uswidi. Lilifunguliwa rasmi tarehe 1 Julai mwaka 2000 na mfalme Carl XVI Gustav wa Uswidi na malkia Margrethe II wa Denmark.", "Carl Gustav Jung\nJamii:Watu wa Uswisi Jamii:Saikolojia", "Jung Jin-woon\nJung Jin-woon (amezaliwa tar. 2 Mei 1991) mara nyingi sifa kama Jinwoon, ni Korea Kusini muimbaji na muigizaji. Ilipata kushika nafasi kama mwanachama wa kundi 2AM mwezi Julai 2008. Alianza kazi yake kaimu katika 2012 katika mfululizo KBS ya Dream High 2, kucheza Jin Yoo-jin." ]
67
Nchi ya Tanzania ina mikoa mingapi?
[ "Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo\nTaarifa hii inalingana na uanzishwaji wa mikoa mipya minne mnamo Machi 2012, ambao umefikisha jumla ya idadi ya mikoa kuwa 31. Baada ya hapo ulianzishwa Mkoa wa Songwe wenye eneo la [[km<sup>2</sup>]] 26,595 kutokana na mkoa wa Mbeya." ]
[ "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nNchi imegawiwa katika mikoa 26 kadiri ya Katiba mpya (2006) na utekelezaji wake wa mwaka 2015.", "Historia ya Ubelgiji\nBaada ya Mkutano wa Vienna wa mwaka 1815 Ubelgiji iliunganishwa pamoja na Uholanzi kuwa sehemu ya Ufalme wa Muungano wa Nchi za Chini na hapo ilikuwa sehemu ya kusini ya ufalme huo. Tofauti na sehemu za kaskazini, zilizokuwa na Waprotestanti wengi, mikoa ya Ubelgiji ilikaliwa na Wakatoliki. Tena, wenyeji wa mikoa ya kusini kabisa waliongea Kifaransa, na pia katika sehemu nyingine, ambako watu waliongea Kiholanzi, lugha ya Kifaransa ilikuwa lugha iliyopendwa na tabaka za juu na wasomi.", "Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo\nTanzania Visiwani (Zanzibar)", "Mikoa ya Madagaska\nMadagaska ina majimbo au mikoa kumi na moja. Katiba mpya ya mwaka 2007 ilipanga mgawanyo mpya katika mikoa 22 inayotakiwa kuundwa kufikia mwaka 2009.", "Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo\nTaarifa kwa ajili ya mikoa ya Tanzania bara zinatolewa na . Taarifa kwa ajili ya mikoa ya Tanzania visiwani, yaani, Unguja na Pemba hutolewa na .", "Historia ya Tanzania\nNchi ina mabaki ya kale sana ya zamadamu (kiumbe aliyekaribiana na binadamu kwa umbile). Sehemu ya Bonde la Ufa, kama Bonde la Oltupai (zamani Olduvai Gorge) lililoko ndani ya hifadhi ya Serengeti, ndiko kulikogunduliwa masalia ya viumbe wa jamii ya watu wa kale yenye umri mkubwa kuliko yote yanayojulikana duniani hadi hivi sasa.", "Mkoa\nNchi zenye muundo za shirikisho zinakuwa na majimbo au madola ndani ya taifa na kila jimbo au dola la shirikisho linaweza kuwa na mikoa yake ambayo ni ngazi ya pili katika mfumo huu. Ila tu si lazima kuwa na mikoa kuna pia wilaya moja kwa moja chini ya majimbo au madola ya shirikisho kama ngazi ya pili bila kutumia ngazi ya mikoa tena.", "Historia ya Ubelgiji\nHata hivyo mikoa ya kaskazini ilifaulu kwa njia ya vita kujipatia uhuru na kuanzisha Jamhuri ya Nchi za Chini (Uholanzi) tangu mwaka 1648. Mikoa iliyoendelea kuwa Ubelgiji ya baadaye ilibaki chini ya Habsburg hadi Mapinduzi ya Kifaransa na utawala wa Napoleon aliyeiingiza katika Ufaransa.", "Tanzania\nNchi inatawaliwa na serikali ya muungano ikitekeleza sheria zinazotolewa na bunge la Tanzania. Tanganyika au Tanzania bara haina serikali wala bunge la pekee. Zanzibar (visiwa vya Unguja na Pemba) ina serikali na bunge lake vinavyoratibu mambo yasiyo ya muungano.", "Mikoa ya Tanzania\nOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo ukubwa wa mikoa kwa ujumla wa eneo, eneo la ardhi, na eneo la maji. Wilaya za Tanzania", "Ubelgiji\nHata hivyo mikoa ya kaskazini ilifaulu kwa njia ya vita kujipatia uhuru na kuanzisha Jamhuri ya Nchi za Chini (Uholanzi) tangu mwaka . Mikoa iliyoendelea kuwa Ubelgiji ya baadaye ilibaki chini ya Habsburg hadi Mapinduzi ya Kifaransa na utawala wa Napoleon aliyeiingiza katika Ufaransa.", "Mikoa ya Tanzania\nTanzania imegawanyika katika mikoa 31.", "Historia ya Ubelgiji\nTofauti hizi za kiutamaduni zilichangia hisia ya kubaguliwa kati ya watu wa kusini na katika mapinduzi ya 1830 mikoa ya kusini ilijitenga na Ufalme wa Muungano wa Nchi za Chini na kuanzisha ufalme mpya wa Ubelgiji.", "Ubelgiji\nBaada ya Mkutano wa Vienna wa mwaka 1815 Ubelgiji iliunganishwa pamoja na Uholanzi kuwa sehemu ya Ufalme wa Muungano wa Nchi za Chini na hapo ilikuwa sehemu ya kusini ya ufalme huo. Tofauti na sehemu za kaskazini, zilizokuwa na Waprotestanti wengi, mikoa ya Ubelgiji ilikaliwa na Wakatoliki. Tena, wenyeji wa mikoa ya kusini kabisa waliongea Kifaransa, na pia katika sehemu nyingine, ambako watu waliongea Kiholanzi, lugha ya Kifaransa ilikuwa lugha iliyopendwa na tabaka za juu na wasomi.", "Sao Tome na Principe\nNchi ina mikoa miwili (inayolingana na visiwa viwili) na wilaya saba. Wilaya sita ziko kwenye kisiwa kikubwa cha Sao Tome na ya saba iko Principe.", "Visiwa vya Karibi\nVingine vimekuwa sehemu kamili za nchi zilizopo ng'ambo, kwa mfano mikoa ya Ufaransa ya Martinique na Guadeloupe, sehemu za ufalme wa Nchi za Chini kama Korsou au maeneo ya Uingereza.", "Mkoa wa Manyara\nSensa zinaonyesha kwamba ni kati ya mikoa ya Tanzania yenye ongezeko kubwa la wakazi. Pia ni kati ya mikoa yenye maambukizi machache zaidi ya Ukimwi.", "Catalonia\nCatalonia ina ya mikoa minne: Barcelona, Girona, Lleida, na Tarragona.", "Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo\nKwa takwimu za kisasa angalia , Tanzania in Figures, tovuti ya Tanzania National Bureau of Statistics", "Senegal\nNchi imegawanyika katika mikoa 14 iliyogawanyika tena katika wilaya 45.", "Uswidi\nNchi imegawiwa katika mikoa mitatu: Norrland katika kaskazini, Svealand katikati na Götaland katika kusini.", "Mkoa wa Manyara\nMkoa wa Manyara ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 27000\n. Umepakana na mikoa ya Arusha na Kilimanjaro upande wa kaskazini, Mkoa wa Tanga upande wa mashariki, Mkoa wa Dodoma upande wa kusini na mikoa ya Singida na Shinyanga upande wa magharibi.", "Marekani\nNchi ina wakazi zaidi ya milioni 320, na ina mchanganyiko mkubwa kuliko nyingine zote duniani.", "Ubelgiji\nTofauti hizi za kiutamaduni zilichangia hisia ya kubaguliwa kati ya watu wa kusini na katika mapinduzi ya 1830 mikoa ya kusini ilijitenga na Ufalme wa Muungano wa Nchi za Chini na kuanzisha ufalme mpya wa Ubelgiji.", "Mkoa wa Morogoro\nMkoa wa Morogoro ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye Postikodi namba 67000. Umepakana na mikoa ya Tanga, Pwani, Lindi, Ruvuma, Iringa, Dodoma na Arusha.", "Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo\nHii ni orodha ya tawala za mikoa ya Tanzania katika mpangilio wa: *jumla ya eneo,", "Wilaya za Cote d'Ivoire\nWilaya za Cote d'Ivoire ni vitengo vya kiutawala chini ya ngazi ya mkoa.\nNchi ya Cote d'Ivoire imegawiwa kwa mikoa 19 (regions) na kila mkoa huwa ndani yake wilaya kadhaa zinazoitwa departement. Ndani ya wilaya kuna kanda (sous-préfecture) na pia miji inayojitawala.", "Kanisa la Biblia Tanzania\nKanisa la Biblia Tanzania (KLB) ni kanisa dogo la Uprotestanti lenye shirika 90 hasa kusini mwa Tanzania, katika mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma; kuna pia shirika kadhaa katika mikoa ya Dodoma, Dar es Salaam na Kilimanjaro.", "Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo\nTanzania Bara (Tanganyika)" ]
92
Kanisa la kwanza la kianglikana lilianza wapi?
[ "Waanglikana\nWaanglikana ni Wakristo wa madhehebu yenye asili ya Uingereza." ]
[ "Taifa la Mungu\nKanisa lilianza kulitumia tena kutokana na juhudi za wataalamu wa Biblia wa karne ya 20.", "Kanisa la Wamaroni\nKanisa hilo lilianza katika mvutano juu ya maamuzi ya Mtaguso wa Kalsedonia wa mwaka 451 yaliyokataliwa na Wasirya wengi. Wafuasi wa mmonaki Maroni, mwanzilishi wa monasteri maarufu katika karne ya 4, walisimama upande wa maazimio ya huo mtaguso mkuu ingawa walikuwa Wasirya. Kwa hiyo Wamaroni waliteswa na wenzao wakawa kundi la Wasirya waliosimama upande wa Kanisa la Kigiriki la Kiorthodoksi. ", "Jimbo la Uchaguzi la Lamu Magharibi\nJImbo la Lamu Magharibi lilianza wakati wa uchaguzi mkuu wa 1966, huku mbunge wake wa kwanza akiwa Abu Somo.", "Bonaventura wa Bagnoregio\n“Nakiri mbele ya Mungu kwamba kilichonifanya zaidi nipende maisha ya mwenye heri Fransisko ni kuwa yalifanana na mwanzo na ustawi wa kwanza wa Kanisa. Kanisa lilianza na wavuvi sahili, halafu likatajirika na walimu maarufu na wenye hekima sana; utawa wa mwenye heri Fransisko haukuanzishwa na busara ya watu bali na Kristo”..", "Dayosisi\nMwanzoni \"dayosisi\" ilikuwa kitengo cha utawala wa serikali katika Dola la Roma; dayosisi moja ilijumlisha majimbo kadhaa. Baada ya uenezaji wa Ukristo katika Dola la Roma Kanisa lilianza kutumia mipaka ya utawala wa serikali kwa ajili ya vitengo vyake na kwa njia hiyo muundo wa dayosisi ulikuwa pia muundo wa utawala ndani ya Kanisa. Baada ya kuporomoka kwa Dola la Roma jina hilo halikutumiwa tena upande wa serikali lakini likaendelea ndani ya Kanisa kwa ajili ya eneo lililo chini ya askofu.", "Kanisa la Moravian Kusini Magharibi Tanzania\nJimbo hili lilianza rasmi tarehe 18 Desemba 1976 kutokana na kuongezeka kwa shirika na kazi ya uenezi wa Injili. Kabla ya kuanza kwa Jimbo hili Wamoravian wa Mbeya, Chunya, Mbozi , Mbarali walikuwa wakihudumiwa na Jimbo la Kusini lenye makao yake makuu Rungwe. Jimbo la Kusini Magharibi Makao yake makuu yako Mbeya.", "Historia ya Kanisa\nBadala ya kufukuzwa, jeshi la Waturuki lilianza kuishambulia Ulaya Kusini-Mashariki. Mwaka 1453 ulianguka mji wa Bizanti, na mwaka 1529 Waturuki walifika mpaka Vienna, mji mkuu wa Mfalme wa Ujerumani. Hapo walirudishwa nyuma, lakini nchi nyingi za Ulaya Kusini-Mashariki pamoja na Wakristo wao walikaa chini ya Waturuki kwa karne tatu zijazo.", "Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Ghana\nChuo Kikuu cha Katoliki cha Ghana ni moja ya vyuo vikuu vya binafsi nchini Ghana. Iko Fiapre, Sunyani katika Mkoa wa Brong Ahafo. Kilianzishwa na Kanisa ya kikatoliki na kikakubaliwa na Bodi Kitaifa ya kikubali tarehe 4 Desemba 2002. Kundi la kwanza la wanafunzi lilianza tarehe 3 Machi 2003. Uzinduzi rasmi wa chuo kikuu ulikuwa tarehe 13 november 2003. ", "Ndugu Wadogo\nTangu mashirika ya Wafransisko na Wadominiko yaanzishwe, Mapapa walitambua yanavyohitajika na kufaa kutegemezea Kanisa la Roma ambalo, baada ya kufikia kilele cha fahari na mamlaka wakati wa Papa Inosenti III (1198-1216), lilianza kukabiliana na upinzani mpya wa viongozi wa siasa. Ili waweze kuwatumia watawa hao bila ya pingamizi, Mapapa walijiwekea kuwasimamia wasikae chini ya Maaskofu, wakawapendelea katika tume nyingi. Hivyo toka mwanzo Ndugu Wadogo walifanya kazi katika ofisi za Papa na kupewa vyeo mbalimbali, kinyume cha matakwa ya Fransisko aliyetaka wabaki “wadogo”. Hasa baada ya Gregori IX, Mapapa waliona ustawi wa Kanisa unastahili uzingatiwe kuliko udogo wa Kifransisko. Ingawa shirika lilijitahidi kuzuia ongezeko la vyeo, katika karne XIII waliishi Maaskofu Wafransisko 250, katika karne XIV 746, katika karne XV 791, na miaka 17 ya kwanza ya karne XVI 70. Mabalozi wa Papa jumla walikuwa zaidi ya 300, Makardinali 29, na wawili wakawa Papa Nikolasi IV (1288-1292) na Papa Sixtus IV (1471-1484). Ndugu Wadogo walichangia sana Mitaguso mikuu yote ya karne hizo tatu: Lyons I (1245), Lyons II (1274), Vienne (1311-1312), Konstans (1414-1418), Firenze (1431-1445) na Laterano V (1512-1517). Vilevile ndugu wengine walitetea haki za Papa dhidi ya upinzani, na zaidi ya 200 walipokea hata kazi ya kuwahukumu wazushi, ingawa hiyo haikuwapendeza sana.", "Ukristo barani Afrika\nVijana wengi walivutwa na mahubiri ya Kikristo pamoja na elimu mpya. Kwa namna hiyo Kanisa la Uganda lilianza na vijana. Mwaka 1882 Waanglikana walianza kubatiza.", "Jiografia\nNeno la Kiswahili \"jiografia\" linafuata matamshi ya Kiingereza ya neno la Kigiriki \"γεωγραφία\", \"geo-grafia\" kutoka \"gê\" \"dunia\" na \"graphein\" \"kuandika\". Lina maana ya \"kuandika kuhusu Dunia\". Neno hili lilianza kutumiwa kwa mara ya kwanza na mwanasayansi Eratosthenes (276-194 KK).", "UEFA\nUEFA pia huendesha mashindano mawili makuu ya vilabu barani Ulaya (yajulikanayo kama \"mashindano ya vilabu ya UEFA\" : Ligi ya Mabingwa ya UEFA ilifanyika kwanza mwakani 1955, na ilikuwa ikijulikana kama Kombe la Vilabu Bingwa barani Uropa (au Kombe la Uropa tu) hadi 1992; na Ligi ya Uropa ya UEFA (awali Kombe la UEFA), kwa washindi wa mchujo wa kitaifa na timu za ligi bora zaidi, ilizinduliwa na Uefa mwaka 1971 kama mwandamizi wa Kombe la Inter-Cities Fairs (pia ilianza mwaka 1955 lakini haikutambuliwa na UEFA Shindani la tatu,Kombe la Washindi, lilianza mwaka 1960 na lilimezwa na kombe la UEFA mwaka 1999.", "Otago Daily Times\nGazeti la ODT lilianza kuchapishwa mnamo tarehe 15 Novemba 1861. Hili ndilo gazeti kongwe kabisa la kuchapishwa kila siku nchini New Zealand. Gazeti jingine kongwe ni la Christchurch , The Press, ambalo ni kongwe kuliko ODT kwa miezi sita , lilikuwa gazeti la kuchapishwa kila wiki katika miaka yake ya kwanza lakini likabadilika na kuwa la kila siku.(Hivyo basi ODT ndilo kongwe katika sekta ya magazeti ya kila siku.)", "Mpira wa miguu\nMiaka minane baada ya kuanzishwa, Shirikisho la Kandanda (FA) lilikuwa na wanachama 50. Shindano la kwanza la kandanda - Kombe la FA - lilianza mwaka huo, likifuatiwa na lile la Ligi ya Ubingwa miaka 17 baadaye.", "Kanisa\nKwa msingi huo Kanisa la Kilatini, ambalo lilienea kwanza upande wa magharibi wa Dola la Roma (Kanisa la Magharibi), linatofautishwa na Makanisa ya Mashariki yaliyoenea kwanza upande wa mashariki wa dola hilo na nje ya mipaka yake.", "Kanisa la Moravian\nKutoka Kanisa la kale walipokea vyeo vya shemasi, presbiteri na askofu. Askofu wao wa kwanza alibarikiwa na askofu wa Kanisa la Wavaldo mwaka 1467 akaanzisha utumishi wao wa kiroho pamoja na makasisi na mashemasi.", "Sirili wa Aleksandria\nPia alitetea kwa nguvu msimamo wa teolojia ya Shule ya Aleksandria dhidi ya ile ya Antiokia na haki ya Kanisa la Aleksandria kuwa la pili duniani (baada ya Kanisa la Roma) na la kwanza Mashariki kote dhidi ya Kanisa la Konstantinopoli lililopendelewa na Mtaguso wa kwanza wa Konstantinopoli (381). Hata hivyo mwaka 417 au 418 alikubali kurudhisha ushirika nalo ulilovunjika mwaka 406, Yohane Krisostomo alipofukuzwa moja kwa moja.", "Leonard Mbotela\nLeonard Mbotela alizaliwa Freretown, Mombasa katika familia ya kianglikana ya watoto nane. Babake James Mbotela alikuwa kati ya walimu wa kwanza Waafrika Kenya. Mamake Ida alifanya kazi ya ustawi wa jamii.", "Everest (mlima)\nWazungu waliokuwa wa kwanza wa kuchora ramani ya sehemu zile wakauita mwaka 1852 \"Mlima XV“. Jina la Everest lilianza kutumiwa na Waingereza tangu mwaka 1865 kwa heshima ya Sir George Everest aliyekuwa mpimaji mkuu wa ramani wa Uingereza kwa sababu alikuwa ameonyesha bidii kubwa katika upimaji wa Uhindi wa Kiingereza.", "Kanisa la kitaifa\nKanisa la kitaifa ni Kanisa la Kikristo linaloambatana na kabila au taifa fulani kiasi cha kuwa sehemu muhimu ya utamaduni wake. La kwanza lilikuwa Kanisa la Kitume la Armenia.", "Vidonge vya kupanga uzazi vilivyochanganywa\nKatika Machi 1960, jaribio la FPA la Birmingham lilianza majaribio kwa kutumia norethynodrel 2.5 mg + mestranol 50 μg, lakini kiwango cha juu cha mimba kilitokea mwanzoni wakati dawa hii, kwa bahati mbaya, ilikuwa na μg 36 tu za mestranol-majaribio yaliendelea kwa kutumia norethynodrel 5 mg + mestranol 75 μg (Conovid katika Uingereza, Enovid 5 mg katika Marekani). [39] Katika Agosti 1960, jaribio la FPA la Slough lilianza majaribio kwa kutumia norethynodrel 2.5 mg + mestranol 100 μg (Conovid-E katika Uingereza, Enovid-E katika Marekani). [40] Katika Mei 1961, jaribio la FPA la London lilianza majaribio kwa kutumia Anovlar ya Schering. [41]", "Wafiadini wa kwanza wa Kanisa la Roma\nWafiadini wa kwanza wa Kanisa la Roma ni jina la kumbukumbu ya Wakristo wa kwanza kuuawa mjini Roma kutokana na dhuluma iliyoanzishwa na Kaisari Nero mwaka 64 BK.", "Malezi\nAnahitaji kusaidiwa ajibu maswali makuu ya maisha: “Mimi ni nani? Nimetoka wapi? Ninakwenda wapi? Nafikiriwa kuwa wa namna gani?” ", "Historia ya Kanisa\nKanisa la kwanza la Kiprotestanti lililotuma wamisionari hasa kwa watu wasiomjua Kristo lilikuwa ni la Ndugu wa Herrnhut (Wamoravia).", "Vidonge vya kupanga uzazi vilivyochanganywa\nJaribio la kwanza la matumizi ya Enovid kama dawa ya upangaji uzazi lililoongozwa na Edris Rice-Wray lilianza Aprili 1956 katika Rio Piedras, Puerto Rico. [26] [27] [28] Jaribio la pili la matumizi ya Enovid (na norethindrone) kama dawa ya upangaji uzazi lililoongozwa na Edward T. Tyler lilianza Juni 1956 katika Los Angeles. [9] [29] Tarehe 23 Januari 1957, kampuni ya Searle iliandaa kongamano la kukagua utafiti wa elimuuzazi na uzuizji mimba uliohusiana na Enovid kupitia 1956 na kuhitimisha kuwa viwango vya estrojeni katika Enovid vinaweza kupunguzwa kwa asilimia 33 ili kupunguza matukio ya madhara ya utumbo yaliyosababishwa na estrojeni bila kuathiri pakubwa ongezeko la matukio ya kutoka damu kusikotarajiwa. [30]", "Ukomeshaji wa Biashara ya Watumwa\nMwishoni mwa karne ya 17, Kanisa Katoliki lililaani rasmi biashara hiyo, jambo lililosisitizwa kwa nguvu na Papa Gregori XVI mwaka 1839. Lakini tapo la harakati ya kufuta utumwa lilianza mwishoni mwa karne ya 18 katika madhehebu ya Quakers huko Uingereza na Marekani.[1]", "Sheikh Muhammad Mansour Haji\nIlipofika barua kule chuoni, barua ilianza kusomwa na maafisa wa chini ikipanda mmoja mmoja mpaka kumfikia mkuu wa chuo, hatimae Sheikh Muhammad aliulizwa huyu aliyeandika barua hii ni nani? na amezaliwa wapi? na amesoma wapi?", "Historia ya Kanisa\nKatika karne ya 4 dola kubwa la Roma lilianza kupata matatizo. Makabila kutoka Ulaya kaskazini yalianza kuhamia kusini. Hali ya hewa kule ilibadilika: watu wakakosa chakula cha kutosha. Hiyo ilisababisha kipindi kirefu cha vita na vurugu. Waliohama wakawasukuma majirani wao walioanza kuhamahama vilevile. Matembezi hayo yalifika kwenye mipaka ya Dola la Roma. Waroma walishindwa kuwazuia kutokana na uzazi wao kupungua na polepole mataifa yale yasiyostaarabika yakaingia katika eneo la dola na kutwaa mikoa mbalimbali. Waroma wakatumia hela nyingi sana kwa ajili ya jeshi lao lakini bila kufanikiwa.", "Rose Mhando\nRose,ambaye alikuwa muumini wa dini ya kiislamu,ni mama wa watoto watatu. Mama huyu alidai kuwa akiwa na umri wa miaka tisa alipata maono ya Yesu Kristo akiwa amelazwa. Aliteseka kwa muda wa miaka mitatu,na baada ya hapo alipona na kubadili dini(kuongoka) na kuwa mkristo.\nAlianza fani yake ya muziki kama mwalimu wa kwaya inayoitwa Kwaya ya Mtakatifu Maria katika kanisa la kianglikana linaloitwa Chimuli mkoani Dodoma.", "Moscow Times\nGazeti hili lilianza kama gazeti la kuchapishwa mara mbili kwa wiki kabla ya kuwa gazeti la kila siku baada ya miezi kadhaa. Gazeti hili lina makao yake makuu katika makao ya zamani ya gazeti la \"Pravda\",likawa gazeti la kwanza la nchi za Magharibi kuchapishwa nchini Urusi." ]
59
Je,bahari kubwa zaidi duniani ni gani?
[ "Pasifiki\nPasifiki ni bahari kubwa kuliko zote duniani." ]
[ "UEFA\nUEFA ndilo shirikisho la bara kubwa zaidi katika FIFA kwa sita yaliyomo. Kati ya mashirikisho yote, kwa mbali ndilo lenye nguvu zaidi katika masuala ya mali na ushawishi katika ngazi ya klabu. Karibu wachezaji wote mashuhuri wa soka ulimwenguni hucheza katika ligi za Uropa, kidogo kwa sababu ya mishahara inayopatikana kutoka vilabu tajiri zaidi duniani, hasa katika Uingereza, Uhispania, Italia na Ujerumani. Nyingi ya timu za kitaifa zenye nguvu zaidi duniani ziko katika UEFA. Katika nafasi 32 zilizoko katika Kombe la Dunia la FIFA 2010, 13 zilitengewa timu za mataifa ya UEFA, na kwa sasa 12 ya timu bora 20 kulingana Orodha ya FIFA ya Dunia ni wanachama wa UEFA.", "Nakheel\nNakheel imetangaza mipango ya ujenvi wa Nakheel Tower, ambayo itakuwa jengo refu zaidi duniani baada ya kujengwa, ikisimama juu ya theluthi mbili za maili kwenda juu. Jengo hili litachukua zaidi ya miaka 10 kukamilika na itakuwa katikati ya eneo kubwa la maendeleo, Bandari ya Nakheel. Mapema mwaka 2009 ujenzi ulisimamishwa kutokana na madhara ya umaskini duniani.", "Saruji ya Bamburi\nSaruji ya Bamburi ilianzishwa mwaka 1951 na Felix Mandi, aliyekuwa mkurugenzi katika kampuni ya saruji ya Cementia Holding A.G. Zurich. Baadaye, Cementia iliunda muungano na kampuni ya Blue Circle PLC (UK). Mwaka 1989, kampuni ya Lafarge, kampuni kubwa zaidi duniani ya vyombo vya kujengea, ilinunua Clement, na kwa hivyo, ikawa na hisa sawa na Blue Circle PLC. Lafarge ilinunua Blue Circle mwaka 2001 na hili liliifanya iwe kampuni kubwa zaidi ya vyombo vya ujenzi na Saruji ya Bamburi kama mshikilia hisa mkuu.", "Maziwa makubwa ya Amerika Kaskazini\nKuna visiwa zaidi ya 35,000 ndani ya maziwa haya. Kisiwa cha Manitoulin katika ziwa Huron upande wa Kanada ni kisiwa cha ziwani kikubwa duniani chenye eneo la 2,766 km² na eneo hili ni kubwa kuliko maeneo ya Unguja (1,658 km²) na Pemba (980 km²) pamoja.", "Kanisa la Kiorthodoksi la Ethiopia\nKwa sasa ni kubwa zaidi duniani kuliko mengine yote ya jamii ya Makanisa ya Kiorthodoksi ya Mashariki, likiwa na waumini milioni 45-50. wengi wao wakiishi nchini Ethiopia, lakini pia Mashariki ya Kati, Ulaya na Amerika.", "Mpunga wa kiasia\nMpunga\nKutoka Wikipedia, ensaikopidia huru.\nmpunga mrefu wa Amerika. \naina ya mpunga, Oryza sativa.\nMpunga ni mbegu ya mmea wa jamii ya monokotiledoni ya mmea wa Oryza sativa. Ukiwa ni miongoni mwa nafaka, ni chakula kikuu kwa sehemu kubwa duniani, hasa Mashariki, Kusini na Kusini Mashariki mwa Asia, Kati na Masharik mwa Amerika ya Kusini na India Mashariki. Ni nafaka inayolimwa kwa wingi zaidi duniani baada ya mahindi. ", "Uislamu kwa nchi\nKulingana na ripoti ya Pew Research Center mnamo 2010 kulikuwa na idadi kubwa ya Waislamu katika nchini zipatazo 49. Karibu asilimia 62 ya Waislamu wa duniani kote wanaishi Kusini na Kusini mashariki mwa bara la Asia, ikiwa na wafuasi zaidi ya bilioni 1. Nchi yenye idadi kubwa ya Waislamu duniani ni Indonesia, hii peke yake inachukua asilimia 12.7 ya idadi ya Waislamu wote wa dunia, ikifuatiwa na Pakistan (11.0%), India (10.9%), na Bangladesh (9.2%).\nKaribia asilimia 20 ya Waislamu wanaishi katika nchi za Kiarabu. Huko Mashariki ya Kati, nchi ambazo si za Kiarabu - Uturuki na Iran - ni nchi zenye Waislamu wengi sana; huko Afrika, Misri na Nigeria zina jumuia nyingi za Kiislamu. Tafiti hii imekuta Waislamu wengi zaidi huko Uingereza kuliko hata Lebanon na wengi zaidi huko China kuliko hata nchini Syria.", "Shule ya Aleksandria\nKabla ya Misri kutwaliwa na Dola la Roma wafalme Watolemayo wa Misri waliwahi kuunda maktaba maarufu ambayo huaminiwa kuwa wakati wake ilikuwa maktaba kubwa zaidi duniani yenye vitabu 700,000. Kwa hakika ilikuwa maktaba kubwa kote Afrika, Ulaya na Asia ya Magharibi. Hii ilikuwa na thamani kubwa kupita kiasi wakati ambako vitabu viliandikwa na kunakiliwa kwa mkono tu, na hivyo kuwa haba. Aleksandria ilikuwa kitovu cha elimu na uchunguzi wa kitaalamu duniani.", "Volta (ziwa)\nZiwa Volta ni ziwa kubwa kabisa duniani lililoundwa na watu. Urefu wake ni zaidi ya kilomita 500. Bwawa lapokea maji ya mito miwili Volta Nyeusi na Volta Nyeupe. Hutoka katika lambo kama mto Volta na kuishia katika Atlantiki.", "Chuo cha Kikristo cha Aleksandria\nNi kwamba kabla ya Misri kutwaliwa na Dola la Roma wafalme Watolemayo wa Misri waliwahi kuunda maktaba maarufu ambayo huaminiwa kuwa wakati wake ilikuwa maktaba kubwa zaidi duniani yenye vitabu 700,000. Kwa hakika ilikuwa maktaba kubwa kote Afrika, Ulaya na Asia ya Magharibi. Hii ilikuwa na thamani kubwa kupita kiasi wakati ambako vitabu viliandikwa na kunakiliwa kwa mkono tu, na hivyo kuwa haba. Aleksandria ilikuwa kitovu cha elimu na uchunguzi wa kitaalamu duniani.", "Kongo (mto)\nBeseni ya Kongo pamoja na tawimito yake ni eneo kubwa la pili duniani la msitu wa mvua. Kwa kiasi cha mshuko wa maji mdomoni ni mto mkubwa wa pili duniani baada ya Amazonas Amerika ya Kusini.[1] Pia ni mto wenye kina kirefu zaidi duniani.", "Uwanja wa ndege\nNyanja za ndege nyingi ni ndogo zikiwa na barabara ya kutua na kuruka 1 pekee yenye urefu hadi 1 km. Kama zinahudumiwa na ndege ndogo pekee mara nyingi huwa na barabara ya nyasi tu. \nNyanja kubwa zinazohudumiwa na makampuni mbalimbali ya ndege huwa na barabara za lami au saruji zaidi ya moja zenye urefu wa 2 – 4 km. Kadri eropleni ni kubwa na nzito inahitaji barabara ndefu zaidi. Barabara ya ndege ndefu duniani iko China yenye kilomita 5.5. Kwenye nyanja za wastani barabara ileile hutumiwa kwa kutua na kuruka lakini kwenye nyanja zenye ndege nyingi sana barabara hizi zimetengwa.", "Daraja\nUgumu wa kujenga daraja ni kuwa zaidi kama nafasi ya kuvukia ni mkono wa bahari na maji yana kina kikubwa. Hapo haiwezekani kuwa na nguzo nyingi na hapa aina ya daraja linaloning'inia inatumiwa. Daraja kubwa linaloning'ania duniani ni daraja la Akashi-Kaikyo (Japani) lenye upana wa kilomita 2 kati ya nguzo za katikati.", "Tarakilishikuu\nHadi mwezi Juni wa mwaka 2013, Tarakilishikuu iitwayo Tianhe-2 ya Uchina, ndiyo yenye kasi kubwa zaidi duniani kwa 33.86 petaFLOPS (\"FLoating Point Operations Per Second\").", "Amazon (kampuni)\nMnamo mwaka 2015, Amazon iliipita kampuni ya Walmart kama kampuni ya uuzaji wa rejareja yenye thamani kubwa zaidi nchini Marekani. Amazon ni kampuni ya pili ya thamani zaidi duniani (nyuma ya Apple tu), kampuni kubwa ya intaneti kwa mapato duniani, na baada ya Walmart, mwajiri wa pili mkubwa nchini Marekani. ", "Mohamed Ali Alabbar\nKama Mwenyekiti wa Emaar Properties, amechangia pahala pakubwa katika maendeleo ya sekta ya mali isiyohamishika ya Dubai. Emaar, Kampuni ya hisa za pamoja za umma iliyoanzishwa mwaka 1997, imetajwatajwa kwenye Soko la Hisa la Dubai na asilimia kubwa inamilikiwa na Serikali. Emaar Properties kampuni kubwa zaidi miongoni mwa makampuni ya ujenzi na maendeleo katika Uarabuni na imejenga majengo ya makazi na ofisi zaidi ya elfu moja wakati wa ujenzi mwingi sana ulikuwa ukifanyika Dubai. Emaar pia ndiyo iko na wajibu wa kujenga Burj Dubai, ambayo itakuwa muundo mrefu zaidi duniani baada ya kukamilika.", "Hawaii\nVisiwa vyote vina asili ya kivolkeno. Mlima Mauna Kea ni volkeno ndefu kabisa duniani yenye kimo cha mita 4201 juu ya UB lakini inaanza chini ya bahari katika kina cha mita 5,000, hivyo kimo cha jumla ni zaidi ya mita 9,000. Volkeno ya pili ni Mauna Loa yenye masi kubwa zaidi. Mauna Loa ni volkeno hai kwenye kisiwa kikuu cha Hawaii, pamoja na mlima Kilauea.", "Mapinduzi ya Urusi ya 1917\nMwaka 1917 uliona mapinduzi mawili katika Urusi:\nna\nUrusi ilikuwa nchi kubwa kuliko zote duniani (hata leo ni hivyo, ila ilipitiwa kwa muda na milki ya Britania au Uingereza iliyotawala eneo kubwa zaidi kwa karne moja hadi mwisho wa ukoloni). Mwaka 1917 Urusi ilikuwa nchi shiriki katika Vita Kuu ya Dunia ya Kwanza pamoja na Uingereza na Ufaransa dhidi ya Ujerumani na Austria-Hungaria.", "Dropping Knowledge\nSehemu kubwa ya mradi huu unaoendeshwa na shirika la Dropping Knowledge ni maswali yanayotumwa na watu toka sehemu mbalimbali duniani kupitia tovuti yao. Shirika hili linaamini kuwa tukiuliza maswali sahihi na tukayajibu, huo utakuwa ni mwanzo wa kujenga jamii bora zaidi duniani.", "Angahewa\nSayari kubwa za nje kama Mshtarii (Jupiter) na Zohari (Saturn) si rahisi vile kuofautisha kati ya sayari yenyewe na angahewa yake. Sayari hizi huitwa pia \"jitu za gesi\" kwa sababu asilimia kubwa ya sayari yote ni elementi kama hidrojeni na heli ambazo kwetu duniani zinapatikana kama gesi. Kutokana na umbali mkubwa na jua ni baridi zaidi hadi gesi hizi kupitia katika hali mango. Vilevile hidrojeni katika kiini cha Mshtarii inaaminiwa kuwa katika hali metalia kutokana na sinikizo kubwa ya masi yake.\nKuna miezi kadhaa zinazunguka sayari za jua ambako angahewa zimegundliwa, kwa mfano kwa mwezi Titan wa Zoai na miezi ya Europa na Ganymed ya Mshtarii.", "Kimondo\nHatari ni kubwa kweli pale ambako magimba makubwa zaidi yaani asteroidi yanagonga dunia. Pigo la asteroidi linaachisha nishati sawa na mabomu ya nyuklia na mgongano na asteroidi kubwa chenye kipenyo cha km 180 unaaminiwa kulisababisha vifo vya viumbehai wengi duniani miaka milioni 65 iliyopita. Soma zaidi hapa Hatari kutokana na violwa vya kukaribia dunia.", "Kanisa la Kilatini\nKanisa la Kilatini (wakati mwingine \"Kanisa la Kiroma\") ni moja ya madhehebu yanayounda Kanisa Katoliki. Ndiyo kubwa kuliko yote (97% za waumini wote), likiwa na Wakristo zaidi ya bilioni 1 duniani kote. ", "Madhara ya ongezeko la joto duniani\nHatari kubwa zaidi ya hali kali ya hewa haimaanishi hatari kubwa iliyo wazi ya hali ya hewa ambayo haifanani na ile ya wastani. Hata hivyo, ushahidi ni wazi kuwa hali kali ya hewa na mvua ya wastani pia vinaongezeka. Kuongezeka kwa idadi ya joto kunatarajiwa kuzalisha mawimbi makali zaidi juu ya ardhi na idadi kubwa zaidi ya dhoruba kali sana.", "Tarakilishi\nHadi Juni 2013, Tarakilishikuu iitwayo Tianhe-2 ya Uchina, ndiyo yenye kasi kubwa zaidi duniani kwa 33.86 petaFLOPS (FLoating Point Operations Per Second).", "Madhara ya ongezeko la joto duniani\nPia imependekezwa na mwanasayansi Chris Freeman kuwa kuondolewa kwa kaboni kutoka maeneo ya majimaji kuingia hadi maeneo ya kupitishia maji (ambapo yatapata kuingia angani) ni mojawapo ya ujumbe wa chanya wa ongezeko la joto Duniani. Kaboni ambayo kwa sasa imehifadhiwa katika maeneo majimaji ya Kaboni (gigatoni 390-455, theluthi moja ya hifadhi ya kaboni ardhini) ni zaidi ya nusu ya kiasi cha kaboni ambacho tayari kinapatikana angani. viwango vya kemikali ya DOC majini vinazidi kupanda; Freeman anapima kwamba, si idadi kubwa zaidi ya vipimo vya joto, bali idadi kubwa zaidi ya CO ya angani ndivyo vinavyosababisha, kupitia kuwezesha uzalishaji wa kimsingi.", "Kasoko\nKasoko kubwa zaidi duniani zilisababishwa na asteroidi zilizogonga Dunia yetu. Kasoko kubwa iliyojulikana hadi 2006 ilikuwa kasoko ya Vredefort nchini (Afrika Kusini) yenye umbo la yai ya urefu wa 320 km na upana wa 180 km.", "Msitu\nMsitu ni eneo kubwa linaloongozwa na miti. Maana ya ufafanuzi sahihi zaidi wa msitu hutumiwa duniani kote, kuhusisha mambo kama vile mti wa wiani, urefu wa mti, matumizi ya ardhi, usimamaji wa kisheria na kazi ya mazingira. Kwa mujibu wa ufafanuzi wa Chakula na Kilimo uliotumiwa sana , misitu ilifunika hekta bilioni 4 (ekari 9.9 × 109) (kilomita za mraba milioni 15) au asilimia 30 ya eneo la ardhi duniani mwaka 2006.", "Koloseo\nKoloseo (kwa Kiitalia: Colosseo; jina la Kilatini: \"Amphitheatrum Flavium\") ni kiwanja cha michezo cha kale mjini Roma kilicho katika hali ya maghofu kutokana na umri wake wa karibu miaka 2000. Ni kati ya majengo mashuhuri zaidi mjini Roma na duniani kwa ujumla. Wakati wa Dola la Roma ilikuwa jengo kubwa kabisa lililojengwa na Waroma wa Kale.", "Kanisa la Winners'Chapel\nWinner's Chapel (pia inajulikana kama Living Faith Church) ni kanisa kubwa sana na lililanzishwa na Askofu David Oyedepo 2 Mei 1981 mjini Kaduna, katika jimbo la Kaduna, Nigeria. Ina matawi katika nchi zaidi ya 50 duniani kote; nchini Nigeria peke yake, ina zaidi ya matawi 400. Kanisa inafundisha umuhimu wa imani na kwamba wote uponyaji takatifu na mafanikio ni faida ya utii kwa mapenzi ya Mungu.\nMakao makuu ya kimataifa ya Winners' Chapel inaitwa Faith-Tabernacle. Imejengwa ndani ya jengo la kanisa liitwayo Canaanland, huko Ota kitongoji chaLagos Faith Tabernacle jengo kubwa zaidi la kanisa duniani, na uwezo wa kukaa watu 50,000 na watu 250'000 nje, pamoja na huduma mbili kila Jumapili. Mali nyingine ndani ya Canaanland chou kikuu cha Covenant.\nWinners' Chapel pia inaendesha mnyororo ya shule ya Sekondari na Msingi nchini Nigeria. Pia ina Shule yake yenyewe ya Biblia, iitwayo Word of Faith Bible Institute (WOFBI); hili ni kundi kubwa zaidi ya aina yake nchini Nigeria na matawi 30 duniani kote. Mali mengine ya kanisa hili ni pamoja na ndege mbili mabasi zaidi ya 350 ambayo huwafikisha na kuwarudisha waja Faith-Tabernacle, Canaanland. Kanisa pia inamiliki Dominion Publishing House, ambayo inatoa vitabu na vifaa vingine vilivyoandikwa na Oyedepo. Mkono wa Injili ya World Mission Agency (WMA) hutoa ustawi na mengine ya afya na huduma za kibinadamu masikini katika jamii.\nKila Desemba, Winners'Chapel hushikilia Mtume mkutano wake wa kila mwaka, iitwayo Shiloh. Katika tamasha Shiloh mnamo 2007 , Oyedepo alitangaza kuwa kanisa imeanza ujenzi wa vyuo vikuu sita mpya kuenea kote Afrika.\nhttp://www.davidoyedepoministries.org", "Lafarge\nLafarge ni kampuni ya viwanda ya Kifaransa iliyobobea katika vifaa vya ujenzi. Kwa sasa (2008) ni kampuni kubwa zaidi duniani ya kutengeneza saruji na kwa idadi iliyosafirishwa mbele ya Holcim." ]
33
Mji wa Weimar una idadi ngapi ya watu?
[ "Weimar\nWeimar ni mji wa Thuringia nchini Ujerumani. Idadi ya wakazi wake ni takriban 65,233." ]
[ "Kinshasa\nZamani pahali pa vijiji vya uvuvi, Kinshasa sasa ni jiji lenye idadi ya wakazi 10,076,099 mwaka 2009. Mji wa Brazzaville (wenye wakazi milioni 1.5 mwaka 2007 pamoja na makazi yake), [2] mji mkuu wa Jamhuri ya Kongo, hupatikana upande wa pili wa mto Kongo. Hivyo mrundiko wa Kinshasa-Brazzaville una wakazi karibu milioni 12.", "Bielefeld\nBielefeld ni jiji lililopo mjini kaskazini-magharibi mwa nchi ya Ujerumani. Jiji lipo katika jimbo la Rhine Kaskazini - Westfalia. Mji wa Bielefeld una wakazi wapatao 330,000 wanaoishi mji hapa. Mji pia una Chuo Kikuu cha Bielefeld.", "Weimar\nSachsen-Weimar Orodha ya miji ya Ujerumani", "Mkoa wa Uşak\nUşak (kutoka \"Uşşak\" maanake \"wapenzi\") ni jina la kutaja mkoa uliopo mjini magharibi mwa nchi ya Uturuki. Umepakana na Manisa kwa upande wa magharibi, Denizli kwa upande wa kusini, Afyon kwa upande wa mashariki, ana Kütahya kwa upande wa kaskazini. Mji wake mkuu ni Uşak. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 5,341 na una idadi ya wakazi wapatao 334,115 (makisio ya 2007). Kwa mwaka wa 2000, idadi ya wakazi wa hapa ilikuwa 322,313.", "Naivasha\nNaivasha ni sehemu ya Kaunti ya Nakuru. Mji una idadi ya wakazi wa 181,966 (sensa ya mwaka 2009).\nSekta kuu ni kilimo, hasa upanzi wa maua.", "Bergen\nBergen ni mji wa pili kwa ukubwa nchini Norwei. Mji una wakazi takriban 262,500 kulingana na makisio ya 31 Julai 2011. Bergen ni kitovu cha ngazi ya utawala ya jimbo la Hordaland. Maeneo ya Mji Mkuu wa Bergen kama yalivyoelezwa na Statistics Norway, una wakazi 386,400 ifikapo 31 Julai 2011.", "Jamhuri ya Weimar\nKipindi cha Weimar pia kinafahamika kwa wingi wa utamaduni. Wasanii walio wengi walijaribu kutoa fikra zao mpya na kuweza kutumika hata katika mafilamu. Mtindo wa usanifu wa Bauhaus pia ulianzishwa katika kipindi hicho cha Weimar kunako 1920 hivi.", "Vielezi vya idadi\nVielezi vya idadi au kiasi (alama yake ya kiisimu ni: E) ni maneno yanayofafanua kielezi kuwa kitenzi hicho kitemetendeka mara ngapi au kwa kiasi gani. Idadi hiyo inaweza kuwa idadi ya jumla au idadi kamili/halisi.", "Jamhuri ya Weimar\nJamhuri ya Weimar ilikuwa na matatizo mengi kupita kiasi. Mkataba wa Versailles umefanya mambo mengi kuwa magumu mno kwa uchumi wa Ujerumani. Bajeti ya nchi ikawa hovyo-hovyo. Kulikuwa na matatizo ya kisiasa kwa sababu serikali mara nyingi zilikaa kwa kipindi kifupi sana, na sio kwa kipindi ambacho serikali ingeweza kutoa uamuzi mzuri. Sheria ya uchaguzi ilileta vyama vingi bungeni hivyo haikuwa rahisi kuwa na mapatano ya kuunda serikali.", "Iğdır\nIğdır (Kiarmenia: Իգդիր) ni jina la mji mkuu wa Jimbo la Iğdır lililopo mjini Mashariki mwa Mkoa wa Anatolia, Uturuki. Mji umepakana na Armenia, Nakhchevan na Iran. Mpaka wa Armenia una sababishwa na Mto Aras. Mlima mrefu wa Uturuki ni Ağrı Dağı, upo ndani ya jimbo la Iğdır, lakini sehemu kubwa ya ardhi ni tupu ambo iko mbali na eneo la mlima. Mji una wakazi wapatao 119,432 na wengine 75,927 wapo mijini. Mji una eneo la kilomita za mraba zipatazo 1,479.", "Weimar\nJamii:Miji ya Thuringia", "Mardin\nMardin (Kisyriaki:ܡܶܪܕܺܝܢ; inamaana ya \"maboma\") ni mji uliopo mjini kusini-mashariki mwa nchi ya Uturuki. Huu ni mji mkuu wa Jimbo la Mardin, unajulikana sana kwa ujenzi wake wa staili ya Kiarabu, na maeneo yake ya milima ya mawe inayoitazama Syria kwa upande wa kaskazini. Mji wa Mardin una wakazi mchanganyiko, Waturuki, Wasyria, Waarabu na Wakurdi ambao wote wanawakilisha idadi kubwa ya watu. Pia kuna idadi kiasi ya Waarmenia katika mji huu. Takriban watu 705,098 wanaoishi mjini hapa.", "Bauhaus\nBauhaus ilianzishwa mwaka 1919 kwa kuunganisha Chuo cha sanaa cha Weimar (Großherzoglich-Sächsische Kunstschule Weimar) na Chuo cha ufundi kisanii cha Weimar (Großherzoglich-Sächsische Kunstgewerbeschule Weimar). Mkuu wa kwanza na mwanzishi ni msanifu Walter Gropius. Mwaka 1923 walimu na wanafunzi walifanya maonyesho ya kwanza ya mazao yao, ambayo ni nyumba \"Musterhaus am Horn\", fanicha, mazulia, na vifaa vya nyumbani aina zote. 1925 Bauhaus iliacha kuishi mjini Weimar na kuendelea kazi yake mjini Dessau. Huko, mwakani 1926, ilijengwa jengo maarufu la Bauhaus, lililoundwa na Walter Gropius. Tena 1930, chuo kililazimishwa kubadili eneo na kwenda Berlin, kilipoachwa mwakani 1933 kwa udhalimu wa serikali ya Adolf Hitler.", "Mkoa wa Istanbul\nMkoa wa Istanbul ni moja kati ya Mikoa ya Uturuki. Upo mjini kaskazini-mashariki mwa nchi. Mkoa umechukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 5,196 na jumla ya wakazi takriban 12,573,836 (makadiro ya 2007). Awali idadi ya wakazi kuwa 10,018,735 kunako mwaka wa 2000. Mkoa huu umezungukwa na mikoa mingine kama vile Tekirdağ kwa upande wa magharibi, Mkoa wa Kocaeli kwa upande wa mashariki, Bahari Nyeusi kwa upande wa kaskazini na Bahari ya Marmara kwa upande wa kusini mwa nchi. Mkoa huu una sehemu mbili: una upande wa Ulaya na upande ni Asia. Mji mkuu wake ni jiji la Istanbul ambalo linajulikana sana kuliko hata mkoa wenyewe.", "Van\nVan (Kiarmenia: Վան, Kikurdi: Wan; kutoka Kiarmenia \"van\" - kijiji, makazi) ni mji ulipo mjini mashariki mwa nchi ya Uturuki. Huu ndiyo mji mkuu wa Mkoa wa Van, na upo upande wa mashariki mwa pwani ya Ziwa Van. Mji una idadi ya wakazi wapatao 284,464 (ilikuwa hiyo kwa mwaka wa 2005).", "Jamhuri ya Weimar\nJamhuri ya Weimar (Kijerumani: \"Weimarer Republik\") lilikuwa kipindi cha historia ya Ujerumani kuanzia 1919 hadi 1933.", "Jamhuri ya Weimar\nKulikuwa na mivutano mingi ya kulia na kushoto. Wafuasi wa utawala wa kifalme na pia wafuasi wa ukomunisti walichukia demokrasia na jamhuri.", "Auckland\nAuckland ni mji mkubwa kabisa katika nchi ya New Zealand. Mji wa Auckland una idadi ya wakazi wapatao milioni 1.4 (makisio). Kwa kipindi kifupi katika historia ya New Zealand, mji wa Auckland ulikuwa mji mkuu kabla hauja amishiwa katika mji mkuu mwingine wa sasa wa Wellington.", "Çorum\nÇorum ni mji uliopo kaskazini mwa Anatolia ambao ndiyo mji mkuu wa Mkoa wa Çorum katika Uturuki. Mji wa Çorum upo katika ardhi ya kati ya Bahari Nyeusi ya Uturuki, takriban km 244 kutoka mji wa Ankara na 608 kutoka mjini Istanbul. Mji una futi za maporomoko zipatayo 801 kutoka UB, eneo la tambarare ni 12,820 km² (4950 mi²), na kwa sensa ya mwaka wa 2004, idadi ya wakazi imefikia 178,500.", "Yalova\nYalova ni mji uliopo kaskazini-magharibi mwa nchi ya Uturuki. Mji upo katika pwani ua Bahari ya Marmara. Huu ndiyo mji mkuu wa Mkoa wa Yalova. Mji huu wa Yalova una wakazi takriban 70,858, wakati idadi ya wakazi wa Mkoa wa Yalova imekadiriwa kuwa ni 188,440.", "Lubumbashi\nMji huu ndio makao makuu ya Mkoa wa Katanga Juu ambao una madini ya shaba na uko karibu na mpaka wa Zambia. Makadirio ya idadi ya watu ni karibu milioni 1.8.", "Kisii\nMji huu una wakazi wa matabaka mbalimbali, miongoni mwao wakiwemo Wahindi na Wakikuyu wanaojihusisha na biashara, huku idadi kubwa ikiwa Wakisii.", "Tunceli\nTunceli (Kizazaki na Kikurdi: \"Dersim\") ni jina la kutaja mji mkuu wa Mkoa wa Tunceli huko nchini Uturuki. Mji wa Tunceli una wakazi takriban 25,041 (sensa ya mwaka 2000) na idadi kubwa ya wakazi wa mjini hapa san-sana ni Wazaza na Wakurdi].", "Jamhuri ya Weimar\nKile ambacho sasa tunakiita Jamhuri ya Weimar kimekuja kuwa mwisho wake mnamo tar. 30 Januari ya mwaka wa 1933, pale Adolf Hitler alipokuja kuwa chansela wa Ujerumani.", "Johann Wolfgang von Goethe\n1775 alipewa kazi ya mshauri wa mtemi wa Sachsen-Weimar na mwaka uliofuata alikuwa waziri katika serikali ya mtemi. Katika miaka ya utumishi wake alishughulika idara nyingi tofauti kama jeshi, fedha, ujenzi wa barabara na elimu. Wakati wake mji mdogo wa Weimar ilipata sifa kubwa ikatembelewa na wageni kutoka Ulaya wote waliotaka kumwona Goethe na Weimar ilikuwa kama kitovu cha utamaduni cha Ujerumani.", "Jamhuri ya Weimar\nMapinduzi ya Kijerumani ya Novemba 1918 yalimaliza utawala wa Kaisari katika Dola la Ujerumani baada ya kushindwa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. Ujerumani ikawa jamhuri, lakini bado iliitwa \"Deutsches Reich\" (Dola la Ujerumani). Kipindi kilichofuata kilileta tangazo la jamhuri na kuundwa kwa katiba mpya kwa Dola la Ujerumani kwenye bunge la katiba lililokutana katika mji wa Weimar. Kutokana na katiba iliyokubaliwa mjini Weimar kipindi chote kilichofuata huitwa \"Jamhuri ya Weimar\" na wataalamu wa historia. Jamhuri ya Weimar ilikwisha 1933 wakati Adolf Hitler alichaguliwa kama chansela wa Ujerumani na kuanzisha udikteta wa Dola la Tatu.\nMnamo tar. 9 Novemba 1918, Jamhuri ikatangazwa na Bw. Philipp Scheidemann katika jengo la \"Reichstag\" la mjini Berlin na masaa mawili baadaye jamhuri ya kisoshalisti ikawa ikatangazwa kwenye kona ya jumba la kifalme la Berlin na taarifa zilikuwa zikitolewa na Bw. Karl Liebknecht.", "Damietta\nLeo hii, kuna mfereji unaounganisha mji huu na Mto [[Nile]] ambapo ndio inaufanya mji huu kwa wa muhimu kwa mara nyingine tena. Mji huu kwa sasa una idadi ya watu wapatao 1,093,580 (2006). Pia kuna mtambo wa gesi ya [[SEGAS LNG]] (Liquefied Natural Gas) ambao hapo baadaye utakuwa na uwezo wa kuwa na ujazo kiasi cha tani 9.6 kwa mwaka.", "Mkoa wa Malatya\nMalatya ni jina la mkoa uliopo katika kanda ya Mashariki mwa Anatolia huko nchini Uturuki. Sehemu yake kubwa ni eneo la milima mikubwa sana. Mji mkuu wake ni Malatya. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 12,313. Mkoa huu una wakazi takriban 923,248. Awali walikuwa 853,658 mnamo 2000. Jiji la Malatya lina idadi ya wakazi wapatao 381,081 (2000). ", "Münster\nMünster ni mji mkuu wa kihistoria wa Westphalia na kwa sasa unamilikiwa na jimbo la Rhine Kaskazini-Westfalia, Ujerumani. Mji una wakazi wapatao 270,000, pia mji una uwanja wa ndege na chuo kikuu. Mji wa Münster ulikuwa mji wenye nguvu sana wakati ule wa Zama za Kati na Zama za Mwamko. Amani ya Westphalia ilisainiwa hapa mjini Münster." ]
29
Je, umoja wa mataifa ulianzishwa na nani?
[ "Umoja wa Mataifa\nUmoja huo ulianzishwa na nchi washindi wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia kuchukua nafasi ya Shirikisho la Mataifa (1919 - 1946). Makubaliano yalifikiwa tarehe 24 Oktoba 1945 huko San Francisco, California." ]
[ "Kipoland\nco? - nini?\nkto? - nani?\ngdzie? - mahali gani?\ndokąd? - wapi?\nkiedy? - hini?\njak? - vipi?\ndlaczego? - kwanini?\nktóry? - ipi?", "Montenegro\nBaada ya kifo cha Tito umoja wa Yugoslavia ulidhoofika. Mashindano kati ya mataifa ndani ya nchi yaliongezeka. Mwaka 1991 Kroatia, Slovenia na Masedonia zilichukua hatua ya kutoka nje ya shirikisho na kujitangaza kuwa nchi huru za pekee. Mwaka 1992 jimbo la Bosnia na Herzegovina likafuata na kutoka nje. ", "Mtume Petro\nUngamo la namna hiyo linaripotiwa na Yoh 6:68 pia: \"Bwana! Twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele. Nasi tumesadiki, tena tumejua, ya kuwa wewe ndiwe Mtakatifu wa Mungu\".", "San Salvador\nMji ulianzishwa mwaka 1528 na conquistador Mhispania Gonzalo de Alvarado. \n1824 baada ya uasi wa koloni za Hispania katika Amerika ya Kati ulikuwa mji mkuu wa shirikisho la Amerika ya Kati. Baada ya kuachana kwa umoja hu ulikuwa mji mkuu wa El Salvador tangu 1841.", "Ekumeni\nEkumeni ilianza kati ya Waprotestanti, hasa lilipofanyika Kongamano la Kimisionari la Kimataifa huko Edimburg, mwaka 1910, ambapo waliohudhuria walisisitiza uhusiano kati ya umoja wa Wakristo na kazi ya uinjilishaji wa mataifa yote.", "Mkataba kuhusu anga-nje\nMkataba huu ulianzishwa kama mapatano baina Marekani, Umoja wa Kisovyeti na Ufalme wa Maungano (Uingereza) mwaka 1967 na mataifa yote yalikaribishwa kujiunga nao. Hadi Aprili 1967 nchi 107 zilitia sahihi na kukubali kisheria masharti yake.", "Barua ya kujiuzulu ualimu ya Julius Kambarage Nyerere\nKatika hotuba yake Nyerere alitilia mkazo sera ya TANU kuhusu mahusiano mema baina ya Waafrika na watu wa mataifa mengine na aliwaonya wanachama wa TANU ambao walikuwa wameanza kuwabagua watu wa rangi tofauti kuwaambia kuwa hivyo haikuwa sawa. Alisisitiza juu ya umoja miongoni mwa wananachi na hatimaye aliwadhihaki wasikilizaji kwa kuwauliza ikiwa wangesubiri kwa miaka ishirini na tano kuwa huru. Halaiki hiyo ya watu kwa pamoja ilipiga kelele, \"hapana\". Wananachi kwa pamoja walijibu kwa sauti kubwa wakisema walitaka uhuru kesho au kesho kutwa.", "Ukristo barani Afrika\nUenezaji wa tatu wa Ukristo katika Afrika ulianzishwa na Wakristo kutoka nchi za Ulaya zilizoendelea kama Uingereza, Ufaransa na Ujerumani. Mapinduzi ya viwandani yaliongeza sana uwezo wa kiuchumi wa mataifa hayo.", "Historia ya Wokovu\nKwa namna ya pekee inajibu kinaganaga maswali kuhusu wokovu: unapatikana kwa njia gani? Kwa nini Wayahudi wengi walishindwa kumuamini Yesu ili kuupata? Kwa nini mataifa yameupokea badala yao? Aliyepata wokovu anaishi vipi? Je, Wayahudi wametupwa moja kwa moja?", "Gaudium et Spes\nHivyo anaweza kutambua kuwa shida zinaanza moyoni mwake, ambamo mna mashindano makali na maswali ya msingi kama vile, “Mtu ni nani? Mateso na kifo vinavyodumu hata wakati huu wa maendeleo makubwa maana yake nini? Mtu ailetee nini jamii na atarajie kupata nini toka kwake? Baada ya maisha haya kutakuwa na nini?”. ", "Utamaduni wa Nigeria\nkadanda (mara nyingi inajulikana kama \"mpira\") ni maarufu sana kote nchini na hasa miongoni mwa vijana, Katika soka ya viwanjani na soka ya kimataifa, imesababisha mazoea ya umoja na mgawanyiko. Wafuasi wa Manchester United, klabu ya Arsenal, Liverpool na Chelsea hujigawanya mara nyingi zaidi ya ugawanyaji wa kidini na kikabila ili kushiriki katika timu za Ligi Kuu ya Uingereza Timu ya Taifa ya Nigeria inayoitwa Super Eagles, ni timu ya taifa ya Nigeria na shughuli zake huendeshwa na na Shirikisho la Soka Nigeria (NFF). Kulingana na FIFA , Nigeria imechukua nafasi ya 22 nakushikilia nafasi ya tatu ya miongoni mwa mataifa ya Afrika nyuma Kamerun (11) na Côte d'Ivoire (16). Nafasi ya juu iliwahi fika nafasi ya 5 kwenye FIFA Aprili mwaka wa 1994.", "Historia ya Kanisa\nAgano Jipya halina amri yoyote juu ya kuunda \"serikali za Kikristo\". Kinyume chake Wakristo walifundishwa na mtume Paulo kuiombea serikali ya Kipagani ya Kaisari wa Roma. Lakini baada ya viongozi wa mataifa kuwa Wakristo waliona lazima kulitumia Kanisa kama chombo kinachoongeza umoja na nguvu ya nchi.", "Historia ya Kanisa\nUenezaji wa Ukristo wa Kiprotestanti ulianzishwa na Wakristo kutoka nchi za Ulaya zilizoendelea kama Uingereza, Ufaransa na Ujerumani. Mapinduzi ya viwandani yaliongeza sana uwezo wa kiuchumi wa mataifa hayo.", "Panya (Rattus)\nPanya kwa nyakati fulani huweza kutumika kwa chakula. Panya huwa chanzo kizuri cha protini kuliko nyama nyingine. Baadhi ya watumwa wa kiafrika huko Amerika ya Kusini walitumia nyama kutosheleza milo yao. Huko Australia watu jamii ya Aborigines, wanatumia panya kwenye milo yao na huko India wanawake wa jamii ya Mishmi, hutumia panya sababu huruhusiwa kula nyama ya samaki, nguruwe na panya tu. Shirika la chakula na kilimo la umoja wa mataifa lilikadiria kuwa panya wanafanya zaidi ya nusu ya kiasi cha nyama kinachotumiwa na Waghana.\nHakuna marufuku kubwa ya kula panya kwa watu wa magharibi, lakini watu wa jamii ya Shipibo wa Peru na watu wa Sirionó wa Bolivia ndio huwa na marufuku kula panya.", "Umoja wa Afrika\nDhumuni kubwa la umoja huu ni kuunganisha nguvu za mataifa ya Afrika ili kuweza kutatua matatizo yanayokabili bara hili kama vile vita, njaa, Ukimwi, n.k.", "Shirikisho la Mataifa\nShirikisho lilikuwa awali umoja wa mataifa washindi wa vita. Baadaye hata nchi zisizoshiriki katika vita na pia nchi zilizoshindwa kama Ujerumani zilipokelewa kama wanachama. Idadi ya wanachama ilipanda hadi kufikia 63.", "Waraka kwa Waroma\nKwa namna ya pekee inajibu kinaganaga maswali kuhusu wokovu: unapatikana kwa njia gani? Kwa nini Wayahudi wengi walishindwa kumuamini Yesu ili kuupata? Kwa nini mataifa yameupokea badala yao? Aliyepata wokovu anaishi vipi? Je, Wayahudi wametupwa moja kwa moja?", "Maana ya maisha\nLengo la maisha ya binadamu haswa ni kufikiria zaidi ya njia ya kinyama ya kula, kulala, kufanya mapenzi na kulinda na kufuata akili ya juu zaidi ili kuanzisha upya uhusiano na Krsna, Baba yetu wa milele, ambaye kutoka kwake vyote vilitoka, ambaye ndiye mwezeshaji na mwenye kuangamiza. Maandiko yaliyoonyehswa kwetu kama vile Bhagavad-Gita na Srimad Bhagavatam yanafunza kuwa Sambandha (Mimi ni nani? Mungu ni nani? Uhusiano kati ya Mungu na mimi ni upi?) na Abhideya (mchakato wa kuanzisha uhusiano ulipotea na Mungu kupitia michakato 9 ya Bhakti - Huduma ya Maombi) na Prayojana - matokeo - kupata upendo wa Mungu. Mchakato rahisi zaidi ni kuimba maha Bhakti \"Hare Krsna Hare Krsna KRsna Krsna Hare Hare - Hare Rama Hare Rama Rama Rama Hare Hare\" pamoja na wafuasi wa Mungu. Huku maana ya maisha yakiwa kuanzisha upya uhusiano ulioisha na Mungu anayewapenda watu wote, lengo la uumbaji ni kutumia rasilimali kurudi nyumbani kwa Mungu, Dunia ya milele ya kinafsi inayoitwa Goloka Vrindavana - milki ya Mungu.", "Historia ya Montenegro\nBaada ya kifo cha Tito umoja wa Yugoslavia ulidhoofika. Mashindano kati ya mataifa ndani ya nchi yaliongezeka. Mwaka 1991 Kroatia, Slovenia na Masedonia zilichukua hatua ya kutoka nje ya shirikisho na kujitangaza kuwa nchi huru za pekee. Mwaka 1992 jimbo la Bosnia na Herzegovina likafuata na kutoka nje. ", "Malezi\nAnahitaji kusaidiwa ajibu maswali makuu ya maisha: “Mimi ni nani? Nimetoka wapi? Ninakwenda wapi? Nafikiriwa kuwa wa namna gani?” ", "Yugoslavia\nBaada ya kifo cha Tito umoja wa Yugoslavia ulidhoofika. Mashindano kati ya mataifa ndani ya nchi yaliongezeka.", "Ukristo barani Afrika\nTangu mwaka 1400 Manegus wakatambua kwamba msaada wa mataifa mengine ya Wakristo haupatikani mpaka Ulaya. Wakatuma wasafiri waliopeleka barua kwa watawala mbalimbali wa Ulaya, hasa mfalme wa Hispania na Papa wa Roma (mwaka 1424 na 1441). Negus (Mfalme) Zara Yakubu akatuma ujumbe Italia kwa Papa akajaribu kujenga umoja wa Kanisa ila haukutekelezwa kwa sababu tu ya ukosefu wa mawasiliano. Safari kati ya Ulaya na Ethiopia kupitia maeneo ya nchi za Waislamu ilikuwa jambo la kubahatisha.", "Ukristo\nKaribu wote wanakubali Utatu Mtakatifu, yaani kwamba milele yote Mungu ni nafsi tatu zenye umoja kamili: Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Ni kwa jina lao kwamba mataifa yote wanahimizwa kubatizwa kwa maji, ili kuzaliwa upya, kadiri ya agizo la Yesu ili kuingizwa katika fumbo la Mungu pekee kupitia fumbo la kifo na ufufuko wake mwenyewe.", "Waamuzi (Biblia)\nInaonekana kwamba vita mbalimbali dhidi ya mataifa ya jirani na ushindi wake, na mapinduzi ya baadaye yaliyoletwa na Waamuzi wa Israeli, mara nyingi vilikuwa katika sehemu fulani ya nchi tu, bila ya kuhusu nchi yote ya Kanaani. Kwa kawaida makabila yaliyohusika yalikuwa yale ya maeneo yao tu. Pia iliwezekana kwamba ushindi na mashambulio yake yalikuwa sehemu mbalimbali kwa wakati mmoja. Kwa mfano, habari za Yefta na Waamoni ziliweza kuwa zimetokea wakati ule ule ambao Samsoni alishughulika na Wafilisti (taz. 10:7-8; 11:5; 13:1). Haukuwepo umoja sana katika Israeli, na kila kabila, au hata makundi ya makabila fulani, yaliangalia mambo yaliyotokea katika maeneo yao, bila ya kujali mambo ya makabila mengine.", "Axum\nJapokuwa umoja wa mataifa mwaka 1947, uliamuru kurudishwa kwa nguzo hiyo nchini Ethiopia, lakini Italia imekuwa ikikataa na kupelekea kusainiwa kwa mkatana juu ya nguzo hiyo, ianyoaminika mionagoni mwa wananchi wa Ethiopia kuwa ishara ya Utaifa wao", "Sheikh Muhammad Mansour Haji\nIlipofika barua kule chuoni, barua ilianza kusomwa na maafisa wa chini ikipanda mmoja mmoja mpaka kumfikia mkuu wa chuo, hatimae Sheikh Muhammad aliulizwa huyu aliyeandika barua hii ni nani? na amezaliwa wapi? na amesoma wapi?", "Shirikisho la Mataifa\nShirikisho la Mataifa lilikuwa umoja wa madola ya dunia 63 kati ya 1920 na 1946 BK. Umoja huu ulianzishwa na mataifa washindi wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. Katika miaka 1920-1930 mataifa mengine yalijiunga nao. Shirikisho la Mataifa lilikwisha 1946 baada ya kuundwa kwa Umoja wa Mataifa iliochukua nafasi yake.", "Historia ya Wokovu\nWaliporudi Antiokia walipaswa kupambana na Wakristo wa Kiyahudi kuhusu uwezekano wa mataifa kuokoka pasipo kutahiriwa. Hatimaye suala likapelekwa Yerusalemu kwa Kanisa mama. Baada ya majadiliano marefu Petro akatoa neno la mwisho kwamba Wapagani wanaomuamini Yesu wasitwishwe mzigo usiobebeka wa kufuata sheria za Kiyahudi (Mdo 15:1-12). Katika Gal 2:1-10 Paulo pia ametuachia kumbukumbu ya mtaguso huo akisisitiza kuwa mitume waliokuwepo (Yakobo Mdogo, Petro na Yohane) walitambua rasmi karama ya kimisionari ya kwake na ya Barnaba na uhalali wake, wakiwaomba tu wachangishe pesa kati ya Wakristo wa mbali kwa ajili ya wenzao wa Yerusalemu wwnye hali ngumu. Hiyo ilikuwa namna mpya ya kutekeleza upendo wa kidugu na kudumisha umoja wa Kanisa baada ya uenezi wake.", "John Magufuli\nTarehe 22 Julai Magufuli alichaguliwa kukiwakilisha Chama cha mapinduzi kama mgombea urais kwenye Uchaguzi mkuu wa mwaka, 2015, alipongezwa na naibu katibu mkuu wa zamani wa umoja wa mataifa Asha-Rose Migiro na balozi wa Marekani kwa umoja wa Afrika Amina Salum Ali kwa kwenda kukiwakilisha chama.", "Shirikisho la Mataifa\nKatiba ya shirikisho la mataifa ilikuwa sehemu ya mkataba wa Versailles mwaka 1919. Nchi washindi au mataifa ya ushirikiano zilijiunga na umoja huo mpya. Baada ya kukubaliwa na nchi za kutosha shirikisho lilianza rasmi tarehe 10 Januari 1920." ]
43
Je, Dk. Angela Merkel ana watoto?
[ "Angela Merkel\nMwaka 1984 alikutana kwenye Taasisi ya Taaluma ya Sayansi ya Berlin na mwanakemia Joachim Sauer akaolewa naye 1998. Angela hajazaa watoto bali alilea watoto wa Sauer akiendelea kutumia jina la Merkel." ]
[ "Angela Merkel\nJamii:Wanasiasa wa CDU Jamii:Watu walio hai Jamii:Wanasiasa wa Ujerumani", "Angela Merkel\nAlisoma shule ya sekondari kwake Templin alipofaulu hasa katika masomo ya Kirusi na hisabati. Aliingia pia katika Umoja wa Vijana wa Chama cha Kikomunisti FDJ[1]. Alipomaliza shule kwenye mwaka 1973 wastani ya maksi zake ilikuwa A+.", "Angela Merkel\n1990 chama chake kiliamua kujiunganisha na chama cha magharibi CDU (Chama cha Kikristo cha Kidemokrasia cha Ujerumani) kilichokuwa chama cha chansela Helmut Kohl aliyeendelea kumwangalia na kumsadia katika siasa maana wanasiasa wa magharibi walitafuta wananchi wa mashariki ambao hawakuwa wanachama wa chama cha kikomunisti jinsi walivyokuwa karibu wote wenye madaraka kabla ya kuporomoka kwa utawala wake katika mwaka 1989. Mwisho wa 1990 Merkel aligombea kwenye uchaguzi wa bunge kwa niaba ya CDU katika jimbo la Mecklenburg-Pomerini Magharibi akachaguliwa. Baada ya uchaguzi chanselor Kohl alimpa wizara ndogo kwa wanawake na vijana. Mwaka uleule alichaguliwa kuwa makamu wa mwenyekiti wa chama cha CDU kama mwakilishi mmojawapo wa mashariki ya Ujerumani. 1994 alichaguliwa tena kuwa mbunga akapewa wizara ya Ujenzi na Mipango ya Miji.", "Angela Merkel\nBaada ya kuporomoka kwa ukomunisti na anguko la ukuta wa Berlin mwaka 1989-1990 Merkel alijiunga na chama kimoja kilichoundwa upya Demokratischer Aufbruch (DA - \"uamsho wa kidemokrasia\") akianza kazi kwenye ofisi ya chama hiki na baadaye kuwa afisa mawasiliano wa chama; baada ya kuingia kwa chama hiki katika serikali huru ya kwanza ya Ujerumani ya Mahsariki alikuwa makamu wa afisa mawasiliano wa serikali.", "Angela Merkel\nKatika uchaguzi wa Oktoba 2017 vyama vya serikali ya mseto vilipotea kura nyingi hata kama CDU bado ilitoka kuwa chama kikibwa zaidi.", "Angela Damas\nTokea akiwa shule, Angela amejulikana kama msichana aliyekazania masomo na pia kujihusisha sana katika shughuli za ziada za shuleni mojawapo zikiwa ni debates, na michecho, hususani mchezo wa mpira wa kikapu. Angela aliendelea na masomo yake ya Chuo kikuu katika chuo kikuu cha Dar es salaam, ambapo alihitimu mwaka 2005 akipata shahada ya kwanza ya masomo ya Sayansi ya jamii.", "Angela Damas\nAngela alizaliwa mjini Kieve nchini Ukraine. Akahamia Tanzania na baba yake ambaye ni Mjita kabila litokelealo mkoani Mara, katika wiliaya ya Musoma, Tanzania. Angela alisomea Tanzania na kisha akajiunga na masomo ya Chuo Kikuu, wakati anatwaaja taji la Mrembo wa Tanzania alikuwa ndio anaingia mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akisomea masomo ya elimu jamii.", "Angela Damas\nAngela amekuwa katika harakati mbalimbali za kijamii ambazo alianza kujishughulisha nazo tokea akiwa katika elimu ya sekondari. Angela alianza elimu yake ya chekechekea nchini Ukraine, na baada ya hapo kuendelea nchini Tanzania alipohamia na baba yake. Nchini Tanzania, Angela alianza elimu ya msingi katika shule ya msingi ya Kisiwandui iliyopo Zanzibar, halafu kuhamia shule ya msingi Kawe iliyopo Dar es salaam akiwa darasa la pili. Angela alisoma elimu yake ya sekondari katika shule ya sekondari ya Makongo , na kumalizia high school katika shule ya sekondari ya Zanaki, zote zipo jijini Dar es salaam, Tanzania.", "Angela Merichi\nMtakatifu Angela Merichi (21 Machi 1474 – 27 Januari 1540) alikuwa mtawa nchini Italia.", "Machansela wa Ujerumani\nChansela wa sasa wa Ujerumani ni Angela Merkel wa chama cha (CDU), ambaye ni mwanamke wa kwanza kuchaguliwa katika nafasi hiyo ya Uchansela.", "Angela Merkel\nDk. Angela Dorothea Merkel (amezaliwa tar. 17 Julai 1954, mjini Hamburg) ni mwanafizikia na mwanasiasa wa Kijerumani, na ni Chansela wa Ujerumani tangu 22 Novemba 2005.", "Angela Damas\nAngela S. Damas (amezaliwa 16 Februari 1982) alikuwa Mrembo wa Tanzania kwa mwaka wa 2002.", "Matendo ya huruma\nWaraka wa Yakobo, ukiwa kama mwangwi wa hotuba hiyo, unasema: \"Maana, Mungu hatakuwa na huruma atakapomhukumu mtu asiyekuwa na huruma. Lakini huruma hushinda hukumu. Ndugu zangu, kuna faida gani mtu kusema ana imani, lakini haonyeshi kwa vitendo? Je, hiyo imani yawezaje kumwokoa? Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula. Yafaa kitu gani ninyi kuwaambia hao: \"Nendeni salama mkaote moto na kushiba,\" bila kuwapatia mahitaji yao ya maisha? Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa. Lakini mtu anaweza kusema: \"Wewe unayo imani, mimi ninayo matendo!\" Haya! Nionyeshe jinsi mtu anavyoweza kuwa na imani bila matendo, nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo yangu\". (Yak 2:13-18).", "Angela Merkel\n1998 CDU ilishindwa katika uchaguzi wa bunge ikatoka serikalini. Sasa Merkel aliteuliwa kuwa katibu mkuu wa chama. Aliendelea kuwa mwenyekiti wa CDU katika mwaka 2000 lakini hakuongoza chama kwenye bunge. Uongozi huu alichukua baada ya chama kilishindwa tena katika kura ya 2002.", "Dk. Omar Ali Juma\nDk. Omar alizaliwa tarehe 26 Juni 1941 katika kijiji cha Wawi, Wilaya ya Chakechake, Kusini mwa Mkoa wa Pemba.", "Angela Merkel\n1973 hadi 1978 alisoma fizikia kwenye chuo kikuu cha Leipzig. 1977 alifunga ndoa na mwanafunzi mwenzake Ulrich Merkel lakini ndoa hii ilitalikiwa 1982, ni hapa alipopata jina lake. Tangu 1978 aliajiriwa kwenye Taasisi Kuu kwa Kemia ya Kifizikia katika Berlin ya Mashariki. Hapa alimaliza tasnifu ya uzamifu mwaka 1986 iliyokubaliwa kwa heshima kuu \"magna cum laude\". Aliendelea na kazi kweye taasisi ya kemia ya kichanganuzi.", "Angela Merkel\nKatika uchaguzi wa 2013 Merkel alifaulu kuboresha matokeo ya kura kwa ajili ya chama chake cha CDU lakini chama kidogo cha FDP kilishindwa kupata asilimia 5 za kura kikatoka bungeni. Merkel aliunda upya serikali ya mseto na SPD akaendelea kuongoza nchi. Mwaka 2015 aliamua kufungua mipaka ya Ujerumani kwa idadi kubwa ya wakimbizi hasa kutoka Syria, Irak na Afghanistan waliokuwa njiani wakitembea kutoka Uturuki kuelekea Ulaya ya Magharibi katika hali gumu. Alisifiwa na wengi kwa hatua hii lakini alipingwa pia vikali ndani ya nchi baada ya kufika kwa takriban milioni 1 wageni katika muda mfupi. Kwa jumla alibahatika ya kwamba hali ya kiuchumi ya Ujerumani ilikuwa vizuri lakini hakuchukua hatua za kuondoa hali gumu ya wananchi wasio na elimu ya kufaa kwa mahitaji ya uchumi na kudumu maisha yao kwa mapato madogo kulingana na mazingira ya Ujerumani.", "Word Up!\nMwaka wa 2006, binti wa Rev Run wa kundi la Run-D.M.C., Angela Simmons alitengeneza kachapisho kadogo chenye maandishi \"Word Up\" kilichoitwa \"Angela's Rundown\". Ilikuwa wazo la kumpa hamasa Angela atengeneze toleo lake mwenyewe la jarida kwa kufuata muundo uleule wa Word-Up! Mnamo Novemba 2007 \"Word Up\" walichapisha toleo la kujitegemea la Angela ambalo ndani yake alionekana rapa Bow Wow, Omarion, na yeye ANgela katika kava.", "Angela Merkel\nAlizaliwa 1954 mjini Hamburg katika familia ya Horst na Herlind Kasner. Babake alikuwa mchungaji wa Kanisa la Kiluteri, mama alikuwa mwalimu. Mwaka uleule familia ilihamia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani (ambayo ilikuwa Ujerumani ya Mashariki, kabla ya Ujerumani zote mbili kuungana na kuwa moja) ambapo aliishi huko hadi Muungano wa Ujerumani ulipofanyika mnamo mwaka wa 1990. Tangu 1957 familia iliishi mjini Templin katika kaskazini ya nchi ambako mchungaji Kasner alikuwa mkuu wa chuo cha theolojia. Mamake Angela alizuiliwa kufanya kazi ya ualimu kwa sababu serikali ya kikomunisti haikutaka mke wa mchungaji kuwa shuleni. Angela ana wadogo wawili.", "Angela Merkel\nMwaka 2009 alitangaza ya kwamba alielekea kuaachana na SPD akitafuta ushirikiano na chama cha FDP (liberali). Uchaguzi wa bunge wa Septemba 2009 ulirudisha chama chake cha CDU tena kama chama kikubwa akaendelea kuunda serikali mpya pamoja na FDP. Katika kipindi hiki kulikuwa na maazimo mawili yaliyoendelea kuwa na umuhimu kwa baadaye", "Dk. Omar Ali Juma\nDk. Omar Ali Juma (26 Juni 1941 – 4 Julai 2001) alikuwa Makamu wa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tatu nchini Tanzania, iliyokuwa inaongozwa na Rais Benjamin William Mkapa.", "Angela Merkel\nmwezi wa Mei 2010 Ujerumani ilikubali mpango wa nchi za Umoja wa Ulaya kusaidia uchumi wa Ugiriki kwa kuikopesha bilioni 80 za Euro baada ya nchi hii kushindwa kupipa madeni yake. Msaada huu kwa Ugriki na nchi kadhaa nyingine zilizotumia hela ya Euro ilipaswa kurudishwa ikaunda uchungu kati ya sehemu ya wananchi waliosikia hapa Ujerumani unalipa madeni ya mataifa mengine yasiyojali kanuni za kiuchumi. Merkel aliwahi kurahisisha masharti ya kuendesha matanuri nyuklia lakini baada ya ajali ya kinyuklia ya Fukushima (Japani) serikali ya Merkel ilisimamisha matanuri nyuklia ya zamani mara moja na kuamua mpango wa kusimamisha matanuri nyuklia zote hadi mwaka 2022 na kubadilisha uzalishaji wa umeme wa Ujerumani kufanywa kwa nishati mbadala pekee.", "Angela Merkel\nWakati wa masomo na kazi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ujerumani Angela hakuingia katika chama cha kikomunisti wala chama kingine lakini alihudhuria katika kazi ya umoja wa vijana wa chama hiki.", "Chama cha Kikristo cha Kidemokrasia cha Ujerumani\nMnamo mwezi Novemba katika mwaka wa 2005 Angela Merkel amepata kuwa Chansela wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kwa kupitia kiti cha chama cha CDU.", "Angela Merkel\nBaada ya uchaguzi wa 2006 vyama vilivyotawala yaani SPD na Green vilikosa kura za kutosha lakini CDU ilikuwa na wabunga wachache wengi kuliko SPD. Hapa Merkel alifaulu kupatana na viongozi wa SPD kuunda serikali ya umoja chini ya uogozi wake.", "Angela Merkel\nHivyo Merkel amekuwa mwanamke wa kwanza kuwa Kansela kunako tar. 22 Novemba 2005 katika serikali ya mseto wa vyama viwili vya kisiasa vya Kijerumani, yaani kati ya CDU/CSU na SPD.", "Angela Petrelli\nAngela Petrelli (jina kabla ya ndoa ni Shaw), imechezwa na Cristine Rose, ni jina la kutaja uhusika wa tamthilia ya \"Heroes\" kupitia televisheni ya NBC. Huyu ni mama wa Nathan na Peter Petrelli. Uhusika huu unatokana na uhusika wa Angela Lansbury - Mrs. Iselin katika filamu ya \"\". ", "Angela Petrelli\nKatika hali zote mbili, uhusika mkuu huu mwenye ajenda ya siri na matamanio makubwa ya kumfanya awe rais kwa gharama yoyote ile. Ana kipawa cha kuona mustakabali na yale yote yaliyopita kwa kutumia ndoto tu, na pia ana uwezo wa kuingia na kurubuni ndoto za watu wengine. Hili halikujulikana hadi kipindi hiki kilipofika katika msimu wa tatu. Angela alicheza kama adui mkubwa katika mfululizo huu.", "Angela Merichi\nAngela Merichi alizaliwa eneo liitwalo Desenzano, karibu na mji wa Brescia nchini Italia, tarehe 21 Machi, mwaka 1474." ]
32
Mae Carol Jemison alizaliwa mwaka gani?
[ "Mae Jemison\nMae Carol Jemison (alizaliwa tarehe 17 Oktoba 1956) ni mwanafizikia na rubani mwanaanga wa Marekani. Pia ni Mmarekani mweusi wa kike wa kwanza aliyefika kwenye anga la nje wakati akiwahudumia wafanyakazi wa anga wa Shuttle Endeavor Mwaka 1992 alisimamia majaribio." ]
[ "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "Mae Jemison\nJemison alihitimu kutoka shule ya sekondari akiwa na umri wa miaka 16. Alijifunza Chuo Kikuu cha Stanford juu ya usomi. Hapo alipata Bachelor of science katika uhandisi wa kemikali mwaka 1977. Wakati wa elimu yake, Jemison alijihusisha na shughuli nje ya madarasa yake. Hizi ni pamoja na ngoma, michezo ya ukumbini, na kazi ya kujitolea. Pia alikuwa mkuu wa Umoja wa wanafunzi weusi. Wakati wa Cornell, Jemison aliwasaidia watu ambao walikuwa wameondoka nchini mwao kwa sababu haikuwa salama kuishi huko. Alisaidia kuendesha masomo ya afya nchini Kenya pia. Alijifunza jinsi viumbe vinaweza kuathiriwa na kani ya mvuto.", "Shane Filan\nFilan alizaliwa tarehe 5 Julai 1979, wazazi wake wakiwa ni Peter na Mae Filan, alikulia katika eneo la Sligo, mji mdogo katika kaskazini-magharibi mwa Ireland. Akiwa mdogo katika famila yake yenye watoto saba. Filan ana dada watatu na kaka watatua ambao ni Finbarr, Peter Jr, Yvonne, Liam, Denise na Mairead. Wazazi wake wanamili mmghawaha katika eneo la Sligo unaoitwa Carlton uliopo katika barabara ya Castle na Shane amekuwa akifanya kazi hapo kama mhudumu, hasa ilipokuwa naumri mdogo.", "Kipoland\nco? - nini?\nkto? - nani?\ngdzie? - mahali gani?\ndokąd? - wapi?\nkiedy? - hini?\njak? - vipi?\ndlaczego? - kwanini?\nktóry? - ipi?", "Kristine Sutherland\nUhusika wake wa kwanza kwa Sutherland ulikuwa katika filamu ya Honey, I Shrunk the Kids ya mwaka wa 1989 ambamo alicheza kama Mae Thompson. Mwaka wa 1997, alisailiwa na uhusika wa Joyce Summers kwenye mfululizo wa TV wa Buffy the Vampire Slayer kupitia televisheni ya The WB Television Network. Mtunzi wa tamthilia hiyo Joss Whedon baadaye alitoa sababu zilizomfanya amchague Sutherland kwa uhusika huo kwamba kiukweli alitoka na kijasho chembamba cha kuonesha dalili za kuwa na uwezo wa kucheza uhusika huo.", "Mae Jemison\nJemison ameshinda tuzo nyingi tangu wakati wake katika anga. Aliitwa kama mmoja wa wanawake 50 walioathiriwa sana na gazeti la Ebony. Yeye ni mojawapo ya watu maarufu kwenye: National Medical Association Hall of Fame, Texas Science Hall ya Fame, na National women hall of fame. Jemison pia amekuwa kwenye mipango michache ya televisheni, ikiwa ni pamoja na mpango wa PBS wa Afrika pia wa Amerika. Pia anasema kwa umma juu ya maisha yake na ushawishi wake. Shule ya Umma ya Mae C. Jemison iliitwa jina lake.", "Jackie Joyner-Kersee\nJacqueline Joyner alizaliwa Machi 3, 1962, huko East St Louis, Illinois, na akaitwa jina la Jackie Kennedy. Kama mwanariadha wa shule ya sekondari huko East St Louis Lincoln High School, alihitimu kwa fainali katika kuruka kwa muda mrefu katika majaribio ya Olimpiki ya 1980, kumalizia katika nafasi ya 8 nyuma ya shule ya sekondari nyingine, Carol Lewis. Alipelekwa kushindana katika kufuatilia na matukio ya shamba baada ya kuona movie ya 1975 iliyotolewa kwa ajili ya TV kuhusu Babe Didrikson Zaharias. Kushangaza, Didrikson, trackster, mchezaji wa mpira wa kikapu, na gorofa wa pro, alichaguliwa \"Mchezaji Mkuu wa Kike Mkubwa zaidi wa Nusu ya Karne ya 20. Miaka kumi na mitano baadaye, gazeti la Sports Illustrated for Women lilipiga kura Joyner-Kersee mwanamichezo mkubwa zaidi wa wakati wote , Mbele ya Zaharias.", "Hakuna matata\nJambo, Jambo Bwana, habari gani? Mzuri sana!", "Caroline Ndosi\nCaroline Ndosi (au: Carol Ndosi; amezaliwa tar.) ni mwanamke mjasiriamali Mtanzania mwenye uzoefu wa vyombo vya habari kwa zaidi ya miaka 7. ", "Caroline Ndosi\nCarol alichaguliwa kwa Mpango wa Viongozi wa Vijana wa Afrika - Mfuko wa Maendeleo ya Mandela wa 2016.", "Vanessa Mdee\nMwanzoni mwa mwaka 2007, Mdee alipata fursa ya ukaguzi kwa MTV VJ Search huko Dar es Salaam. Baadaye, alijiunga na Carol na Kule kuwa mwenyeji wa Coca Cola Chart Express. Mwaka wa 2008, Mdee alikuwa amejiweka nchini Tanzania na karibu na bara, akionyesha maonyesho huko Nigeria, Afrika Kusini, Kenya, Msumbiji, Angola, Uganda, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Pia alijulikana nchini Marekani na Brazil.", "Mae Jemison\nJemison alizaliwa huko Decatur, Alabama. Alihamia Chicago akiwa na umri wa miaka mitatu. Ndugu na dada yake ni Ada na Charles Jemison. Kuanzia zamani, alikuwa na nia ya sayansi. Wazazi wa Jemison walimsaidia upendo wake kwa sayansi na anga. Alipokuwa mtoto, alitumia muda mwingi katika maktaba. Alisoma vitabu kuhusu anga, na mageuzi.", "Mlima Kenya\nKatika miaka ya 1930 ziara zilifanyika zaidi katika nyika ya mlima. Raymond Hook na Humphrey Slade walikwea ili wachore ramani ya mlima na wakapeleka samaki. Februari mwaka 1938, C Carol na Mtu Muthara wakawa mwanamke wa kwanza na Mwafrika wa kwanza mtawalia kupaa Nelion, katika ziara na Noel Symington, mwandishi wa The Night Climbers of Cambridge, na tarehe 5 Machi Una Cameron akawa mwanamke wa kwanza kupaa Batian.[19]", "Mae Jemison\nJamii:Wanaanga wa Marekani Jamii:Waliozaliwa 1956 Jamii:Watu walio hai", "Mae Jemison\nMwaka 1993 aliondoka kwenye NASA akaanza kufundisha kwenye vyuo vikuu na kuwa na kampuni yake binafsi.", "Bea Alonzo\nMaalaala Mo Kaya (\"Lapis\" 2003) kama Carol", "Kinyarwanda\nMuraho = Habari gani?", "Lalibela, Ethiopia\nHancock, Graham, Carol Beckwith & Angela Fisher: African Ark - Peoples of the Horn, Chapter I: Prayers of Stone/The Christian Highlands: Lalibela and Axum, Harvill, An Imprint of HarperCollinsPublishers, ISBN 0-00-272780-3", "Dennis Hopper\nHopper alizaliwa mjini Dodge City, Kansas, akiwa kama mtoto wa Marjorie Mae (amekufa 2006), na Jay Millard Hopper (Juni 1916 – Agosti 1982).", "Gideoni\n\"Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani?\nTazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase,\nna mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu\".", "Henry Fonda\nFonda hakukaa sana akaja kumwoa Shirlee Mae Adams, alikaa na Adams mpaka kifo chake kilivyofika, mnamo mwaka 1982.", "Ghost\nSam akashika zake njia mpaka nyumbani kwa Oda Mae kwenye kumuonya juu ya hatari inayotakiwa kufanywa na Carl na Willy. Sam akamkamata Willy kule, kamkandamiza kisawasawa. Willy akakimbilia mtaani na kugongwa na gari na hatimaye kufa. Oda Mae na Sam wakarudi nyumbani kwa Molly, kumshawishi Molly kwamba Oda Mae anaeleza ukweli mtupu. Oda Mae akamruhusu Sam na Molly kuwa pamoja kwa mara ya mwisho. Carl akajiri akiwa na mijazba ya kuua - Molly na Oda Mae wakatoroka. Sam, kaishiwa nguvu baada ya kumuingia Oda Mae, amedhoofikia kiasi kwamba vigumu sana kulipiza kisasi. ", "Mae Jemison\nAlisoma kemia pamoja na tiba akaendelea hadi shahada ya uzamivu na kuwa tabibu. Mwaka 1987 alijiunga na NASA akateuliwa kushiriki katika safari ya 50 ya mradi wa space shuttle kwenye mwaka 1992 aliposimamia majaribio ya kiganga katika hali pasipo graviti.", "Hamas\nYousef, Mosab Hassan (3 Machi 2010). Carol Stream, Illinois: Tyndale House. p.288. ISBN 978-1-4143-3307-6. Mueller, Sebastian (6 Juni 2006).", "Kutoka (Biblia)\nWaisraeli walitakiwa watambue historia yao si kama kusanyiko la masimulizi ya matukio, bali kama ufunuo wa tabia ya Mungu. Yeye kwao alikuwa nani, aliwafanyia nini, naye aliwatazamia wafanye mambo gani? ", "Ghost\nSam akaonana na Oda Mae Brown (Whoopi Goldberg), tapeli msanii anayesimama kama mtu wa kati baina ya wafu na walio hai. Sam akagundua kwamba yule Oda Mae anaweza kumsikia. Sam akagundua kwamba uvamizi juu yake ulipangwa. Oda Mae akajaribu kumshawishi Molly kwamba mzuka wa Sam una muonya Molly juu ya hatari liomuhusisha Willy, lakini Molly akakataa kusikiliza. Carl akashitukia mpango mzima na kumshawishi Molly kwamba Oda Mae ni mlaghai. Sam akagundua kwamba Carl ndiye aliyepanga mauaji yake. Carl alihusika kinamna moja au nyingine katika njama za kuiba mamilioni ya mapesa ambayo Sam aliyashtukia - hivyo upelelezi wa Sam ungeharibu kila kitu.", "Carol Greider\nCarol Greider (amezaliwa 15 Aprili, 1961) ni mwanabiolojia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza vimeng'enya vya telomeri. Mwaka wa 2009, pamoja na Elizabeth Blackburn na Jack Szostak, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.", "Carol Shields\nCarol Ann Shields (2 Juni 1935 – 16 Julai 2003) alikuwa mwandishi wa kike kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1995, alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Bunilizi kwa riwaya yake \"The Stone Diaries\".", "Northamptonshire Evening Telegraph\nKampeni nyingine ni ya kuchanga pesa kwa Jenna Mae Tokens, 7, and Chelsea Knighton, 3, ambao walikuwa wakiugua saratani ya watoto." ]
12
Nani aliwaongoza wanaisraeli kutoka misri hadi kanani?
[ "Kitabu cha Yoshua\nTaifa la Israeli lilikua na kuongezeka hasa katika nchi ya Misri, na wakati ulipowadia, Musa aliwaongoza watu hao kutoka Misri kuelekea Kanaani (Kut 3:7-10; 12:40-41). Lakini watu walipofika karibu, ambapo wangeweza kuandaa mashambulio, waliwaogopa Wakanaani wakamwasi Mungu. Kwa ukaidi wao, watu walikataa kumtegemea Mungu na kuingia Kanaani, isipokuwa viongozi wawili, yaani Yoshua na Kalebu. Mungu akawaadhibu jangwani mpaka walipokufa watu wazima wote (waliokuwa na miaka 20 na kuzidi, isipokuwa Yoshua na Kalebu) na kizazi kipya kilipokuwa na nguvu ya kutosha (Hes 14:28-35).", "Musa\nMusa aliishi miaka 1250 hivi K.K. akawa kiongozi wa Wanaisraeli walipoondoka nchini Misri kukimbilia nchi ya Kanaani (iliyoitwa \"Israeli\" na \"Palestina\" baadaye)." ]
[ "Yoshua\nTaifa la Israeli lilikua na kuongezeka hasa katika nchi ya Misri, na wakati ulipowadia, Musa aliwaongoza watu hao kutoka Misri kuelekea Kanaani (Kut 3:7-10; 12:40-41). Lakini watu walipofika karibu, ambapo wangeweza kuandaa mashambulio, waliwaogopa Wakanaani wakamwasi Mungu. Kwa ukaidi wao, watu walikataa kumtegemea Mungu na kuingia Kanaani, isipokuwa viongozi wawili, yaani Yoshua na Kalebu. Mungu akawaadhibu jangwani mpaka walipokufa watu wazima wote (waliokuwa na miaka 20 na kuzidi, isipokuwa Yoshua na Kalebu) na kizazi kipya kilipokuwa na nguvu ya kutosha (Hes 14:28-35). ", "Cheche Mtungi\nMahusiano yake na Lulu ni ya kuzima na kuwasha. Lulu akijisikia, anamtafuta Cheche, kwa uzuri wa Lulu, Cheche daima alishindwa kukataa wito. Lakini Lulu ni gumzo katika mji mzima. Nani asiyejua kuwa Lulu ni kicheche, lakini bila kujali Cheche hajivungi kwake. Mahusiano ya Cheche na Lulu yalifika hadi nyumbani kwa mama watoto wake Bi. Cheusi. Mama wa Cheusi, Bi. Mwanaidi, alizikuta picha za Lulu zilizopigwa na Cheche chumbani kwa Shoti na kuzichukua na kumpelekea binti yake aone jinsi mume wake alivyo si mwaminifu.", "Nani\nTaça de Ureno (1): 2006-07]", "Nani\nBaada ya kuzaliwa katika sehemu ya Praia, Cape Verde, Nani alihamia Ureno pamoja na familia yake akiwa na umri mdogo. Alilelewa na shangazi yake Antonia katika wilaya ya Amadora mjini Lisbon, ambapo yeye na rafiki yake wa utotoni, mchezaji wa kiungo cha kati Manuel Fernandes, walikuwa wanacheza kandanda pamoja.", "Nani\nNani mwanachama mwenye umri mdogo zaidi katika kikosi cha vijana wasiozidi umri wa miaka 21 katika mashindano ya vijana wasiozidi umri wa miaka 21 ya UEFA mwaka wa 2006. Alicheza mechi yake ya kwanza ya timu kuu ya Kireno tarehe 1 Septemba 2006 na alifunga bao katika kushindwa kwa Ureno kwa mabao 4-2 dhidi ya Denmark katika mechi ya kirafiki.", "Nani\nTarehe 3 Mei, kuelekea mwisho wa ushindi wa 4-1 dhidi ya West Ham United, Nani alionyeshwa kadi nyekundu kwa mara ya kwanza katika wasifu wake wa Manchester United kwa kumgonga kichwa difenda wa West Ham Lucas Neill.", "Nani\nTarehe 23 Machi 2008, Nani aliandaa bao la pili na kufunga bao la mwisho katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wapinzani wao wa jadi Liverpool, katika madakika ya 79 na 81 mtawalia, baada ya kuingia uwanjani kama mbadala.", "Didier Zokora\nZokora alianza kuichezea timu yake ya taifa ya Cote d'Ivoire mwaka 2000 lakini bila kua kiungo muhimu kutokana na umri wake mdogo nakuchezea katika ligi ya nyumbani kwani timu ya taifa ya Cote d'Ivoire hutegemea zaidi wachezaji wanaocheza nje, alipotoka nakujiunga na klabu ya huko Ubelgiji ndio alianza kucheza vizuri katika timu ya taifa nakushiriki katika mechi nyingi kama kiungo muhimu lakini alidhihirika zaidi nakupata umashuhuri zaidi mwaka 2005 katika mashindano yakugombea tiketi yakuelekea katika kombe la dunia lililofanyika huko Ujerumani waliweza kunyakua tiketi kutoka katika mikono ya timu kali kama Misri na Kameruni na huo mwaka waliweza kuifunga Misri nyumbani Misri 2-1 na huko Cote d'Ivoire 2-0 timu Cote d'Ivoire huo mwaka ilionekana timu kali sana ambayo ni vigumu kufungwa kiuraisi ilishiriki katika kombe la Mataifa ya Afrika misri ilitoa timu nyingi kama Nigeria na Kameruni, walifika fainali lakini walifungwa kwa mapenelti na waandalizi wa kombe hilo Misri.", "Nani\nNani alifunga katika dakika ya 10 katika FA Community Shield mwaka wa 2009, lakini United ilipoteza mechi hiyo kupitia mikwaju ya penalti kufuatia sare ya 2-2. Nani alijeruhiwa begani wakati wa mechi hiyo, ambayo awali ilitarajiwa kumweka hadi mwanzo wa msimu, lakini alipona na kuichezea Ureno dakika 17 dhidi ya Liechtenstein tarehe 12 Agosti, na kuanza mechi dhidi ya Birmingham City tarehe 16 Agosti. Ingawa aliandaa pasi lililomsababisha Wayne Rooney kufunga bao la ushindi katika dakika ya 34, Ryan Giggs aliingia kama mbadala wake baada ya nusu ya kwanza ya mechi. ] Kuondoka kwa Cristiano Ronaldo kwenda Real Madrid kulimaanisha kuwa kungekuwa na wachezaji wengi ambao wangetaka kuchukua majukumu ya “free-kick” na Nani alichapa na kufunga bao lake la kwanza la msimu wa 2009-10 kutoka kwa “free-kick” dhidi ya Wigan athletic, katika ushindi wa 5-0 ugenini.", "Nani\nMnamo 16 Februari 2008, Nani alikuwa mchezaji bora katika mechi dhidi ya Arsenal katika raundi ya nne Kombe la FA, bao lake na pasi mbili alizoziandaa zilizosababisha mabao ziliisaidia United kushinda mechi hiyo 4-0 dhidi ya wapinzani wao jadi. Katika mechi hiyo, Nani alihusika katika ubishi pamoja na nahodha William Gallas wa Arsenal ambaye aliona kwamba Mreno alikuwa \"anamadharau\". Baada ya mechi, pia Arsène Wenger hakuwa amefurahishwa na kitendo cha Nani huku Gilberto Silva akisema kuwa Nani alikuwa na \"kuchwa kubwa (ujeuri)\".", "Nani\nTarehe 21 Mei, Nani aliingia kama mbadala wa Wayne Rooney katika fainali ya kombe la mabingwa barani Ulaya la UEFA mwaka wa 2008 mechi ambayo Manchester United iliicharaza Chelsea 6-5 kupitia mikwaju ya penalti kufuatia sare ya 1-1 baada ya muda wa ziada. Nani aliuchapaa na kuufunga penalti muhimu wa tano wa Manchester United.", "Nani\nNani aliuziwa Manchester United kwa kitita cha ada ambacho hakikutambuliwa, lakini linadhaniwa kuwa kati ya pauni (£) milioni 14 na 17, asilimia tano ambayo ililipwa kwa Real de Massamá. Alipasi matibabu yake tarehe 6 Juni 2007, na kusaini mkataba wa miaka mitano.", "Nani\nNani alifunga bao lake la kwanza la msimu wa 2008-09 tarehe 23 Septemba 2008, alifunga bao katika dakika ya mwisho katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Middlesbrough katika raundi ya Nne ya kombe la Carling. Tarehe 18 Oktoba, alifunga kutoka kwa pasi aliloliandaa Wayne Rooney na kusaidia United katika ushindi wa 4-0 dhidi ya West Bromwich Albion katika uwanja wa Old Trafford. Manmo 20 Januari 2009, alifunga bao la kwanza katika ushindi wa 4-2 nyumbani dhidi ya Derby County katika mechi ya pili ya nusu fainali ya Kombe la carling.", "Nani\nMechi ya kwanza ya Nani ya ligi kuu ya Uingereza ilikuwa katika mechi ya ufunguzi ya nyumbani, Manchester United ikiwa mwenyeji wa Reading tarehe 12 Agosti na Nani aliingia kama mbadala kwa Wayne Rooney, ambaye alipata jeraha la mguu. Manmo 26 Agosti 2007, Nani alifunga bao lake la kwanza la ushindani la Manchester United, bao la ushindi kutoka yadi 30 katika dakika ya 69 dhidi ya Tottenham Hotspur. Pia Nani aliandaa mabao muhimu kwa Louis Saha na Nemanja Vidic na kuruhusu Manchester United kuzicharaza Everton na Sunderland 1-0. Pia alifunga bao maarufu dhidi ya Middlesbrough, ambayo ilianzisha ushindi wa 4-1. Hii ilikuwa mechi ya kwanza ambayo ilidhaniwa kwamba Wayne Rooney na Carlos Tevez walionyesha ahadi ya kwanza ya kweli ya kufomu ushirikiano mzuri. Alirudi kwa klabu yake ya zamani, Sporting, katika mechi ya ligi ya Mabingwa barani Ulaya mwezi wa Septemba, ingawa ilikuwa mwenzake na mchezaji wa zamani wa Sporting Cristiano Ronaldo ambaye alifunga bao la ushindi katika ushindi wa 1-0.", "Nani\nNani alikuwa mkubwa akiishabikia Porto na alicheza kandanda ya vijana sambamba na Ricardo Vaz Te katika klabu ya vijana ya Massamá Real Sport Clube, [9] kabla ya kujiunga na kikosi cha vijana cha Sporting CP.", "Nani\nNani husherehekea mabao yake kwa \"mfu\" au, kwa Kiingereza, \"mruko ya kifo\", sawa na ule wa Obafemi Martins na Lomana LuaLua. Njia hii ya kusheherekea, asili yake ni nyumbani anakotoka Nani katika capoeira , ambayo alikuwa anaifanyia mazoezi kama mtoto. Kwa muda, iliripotiwa kwamba meneja wa Manchester United, Alex Ferguson, alikuwa amempiga marufuku Nani kutosherehekea bao namna hiyo, kuogopea usalama wake, ingawa kamwe hii haikuungwa mkono na maneno yoyote ya moja kwa moja kutoka kwa Ferguson au Nani. Licha ya walidhani marufuku, Nani imeendelea kuadhimisha katika namna hii.", "Nani\nAmedumu kuchezea timu ya Manchester United kwa misimu 8 kuanzia mwaka 2007 mpaka mwaka 2014-2015 ambapo alicheza michezo 230 na kufunga magoli 40.", "Nani\nJamii:Waliozaliwa 1986 Jamii:Watu walio hai Jamii:Wachezaji mpira wa Ureno Jamii:Watu wa Cabo Verde Jamii:Watu kutoka Lisbon Jamii:Wachezaji wa Manchester United FC", "Nani\nNani alifunga katika mechi yake ya kwanza katika mechi ya kirafiki ya kabla ya msimu dhidi ya Shenzhen Shangqingyin, mechi ambayo United ilishinda kwa mabao 6 bila jibu. Pia alifunga katika mechi iliyofuata dhidi ya Guangzhou Pharmaceutical kwa kuinua mpira upande wa kulia wa lango kutoka upande wa kushoto wa eneo la penalti. Nani aliamua kuweka rekodi sawa baada ya ripoti zilipendekeza kuwa alikuwa amepigwa marufuku na Alex Ferguson kupiga \"Somersault\" yake ya kawaida akisherehekea mabao yake kwani ilihofiwa atajijeruhi. \"Hiyo siyo kweli\", alisema. \"Ferguson hajawahi kusema nami kuhusu suala hili na mimi nitaendelea kusherehekea mabao kwa njia hii. Mazungumzo yake na nami ni mazungumzo ya kawaida, kama mazungumzo ambayo anayo na wachezaji wote \".", "Nani\nNani alikuwa mwanachama wa kawaida wa kikosi cha Kireno katika mechi za kufuzu kushiriki katika Euro 2008 UEFA, na alifunga bao moja kati ya mbili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Ubelgiji tarehe 2 Juni 2007. Pia alimwandalia pasi safi mchezaji mwenzake Ricardo Quaresma aliyefunga bao katika mechi ya kirafiki dhidi ya Italia tarehe 6 Februari 2008. Fomu ya Nani kwa Manchester United wakati wa msimu wa 2007-08 hatimaye ilimwezesha kupata mwito kwa kikosi cha wachezaji 23 cha Luiz Felipe Scolari kwa ajili ya Euro 2008, pamoja na mchezaji mwenzake wa klabu Cristiano Ronaldo. Nadra alitumika katika kampeni hiyo, lakini aliweza kuanda pasi safi iliyomsababisha Helder Postiga kufunga bao baada ya kuingai katika dakika 15 za mwisho katika robo fainali dhidi ya Ujerumani tarehe 19 Juni 2008. Ureno hatimaye ilipoteza mechi hiyo 3-2.", "Historia ya Wokovu\nMabadiliko hayo yaliyokusudiwa na Mungu hayakutokea bila ya matatizo, hasa kwa sababu yalikuwa magumu kueleweka kwa Wayahudi, ambao mwanzoni walikuwa wengi kati ya Wakristo, na hata kwa Mitume. Lakini Roho Mtakatifu aliwaongoza taratibu wakubali fumbo hilo lililofunuliwa hasa kwa Mtume Paulo. Suala gumu zaidi lilikuwa nafasi ya Torati katika Ukristo, hasa kwa waliojiunga nao moja kwa moja bila ya kutahiriwa kwanza ili wawe Wayahudi.", "Nani\nKufikia mwaka 2015 amesajiliwa katika klabu ya Fenerbache ya Uturuki kwa paundi milioni 4.2.", "Nani\nTakwimu sahihi kama ya kucheza mechi 8 Novemba 2009 [2]", "Nani\nNani alicheza mechi yake ya kwanza ya ushindani ya Manchester United tarehe 5 Agosti 2007, akija kama mbadala katika Community Shield dhidi ya Chelsea. United ilipewa nyara baada ya kushinda mechi hii kupitia mikwaju ya penalti 3-0, kufuatia sare ya 1-1 katika muda wa kawaida. Hii ilifuatiwa na bao la tatu la Nani kwa klabu siku tatu baadaye, wakati yeye alifunga dhidi ya Glentoran.", "Vita vya Kagera\nNyerere aliwaongoza vema wanajeshi 100,000 wa Tanzania akisema, \"mchokozi Iddi Amini Dadah ametuchokoza; uwezo wa kumpiga tunao, sababu ya kumpiga tunayo, nia ya kumpiga tunayo, hivyo tumeamua kupambana naye\". Aliungwa mkono na Msumbiji na wanaharakati wa Uganda, akiwemo Yoweri Museveni.", "Nani\nNani alicheza mechi yake ya kwanza ya Sporting katika msimu wa 2005-06, alicheza mechi 29 na alifunga mabao manne. Katika msimu wake wa pili, alikuwa na idadi sawa kwani alicheza mechi 29 na alifunga mabao tano. Pia alicheza katika mechi sita za Ulaya na kufunga bao mara moja.", "Nani\nat ManUtd.com saa StretfordEnd.co.uk at Soccerbase at FootballDatabase.eu", "Roberto Bellarmino\nNani hatabeba kwa moyo radhi kabisa nira isiyobana bali inapendeza,\nna mzigo usiolemea, bali unainua?", "Chuo Kikuu cha Strathmore\nChuo Kikuu cha Strathmore ni chuo cha kibinafsi mjini Nairobi, Kenya. Chuo cha Strathmore kilianzishwa mwaka wa 1961, kama chuo cha kiwango cha sita kinachofunza sayansi na sanaa za masomo, na kundi la wataalamu ambao walianzisha Hisani ya Kielimu inayoaminika sasa (Strathmore Educational Trust). Mtakatifu Josemaría Escrivá, mwanzilishi wa Opus Dei, aliwaongoza na kuwapa moyo kuanzisha chuo hicho hiyo." ]
8
Tuzo za Grammy zilianzishwa mwaka gani?
[ "Grammy Legend Award\nGrammy Legend Award, au Grammy Living Legend Award,[1][2] ni tuzo maalumu inayotolewa na Grammy Awards kwa ajili ya wakongwe wa muziki walio hai , sherehe ambazo zilianzishwa tangu 1958 na hapo awali iliitwa Gramophone Awards.[3][4]" ]
[ "U.N.I.T.Y.\n\"U.N.I.T.Y\" ni jina la kutaja wimbo ulioshinda Tuzo za Grammy - ambao umeimbwa na rapa/mwigizaji Queen Latifah kutoka katika albamu yake ya mwaka wa 1993, \"Black Reign\". Kibao kilitolewa mnamo tarehe 6 Januari, 1994, anakemea masuala ya utovu wa nidhamu dhidi ya wanawake, anagusia masuala ya kero za mtaani, unyanyasaji majumbani, na kutoa la moyoni juu ya wanawake wanavyochukuliwa katika tamaduni ya hip-hop.", "Lou Bega\nMwaka wa 1999, Lou Bega alipewa Tuzo ya Grammy katika kundi la \"\" (kwa ajili ya wimbo wa \"Mambo No. 5\").", "Justin Bieber\nBieber alishinda tuzo nyingi katika kazi yake, ikiwa ni pamoja na Tuzo la Muziki wa Marekani kwa Msanii wa Mwaka 2010 na 2012, Tuzo ya Grammy ya Best Dance Recording kwa wimbo \"Where Are Ü Now\", na Tuzo ya Kilatini Grammy. [7] Amekuwa ameorodheshwa mara tatu na gazeti la Forbes kati ya wasanii kumi wenye nguvu zaidi duniani, mwaka 2011, 2012, na 2013. [8] Mnamo 2016, Bieber akawa msanii wa kwanza kupitisha maoni ya jumla ya video bilioni 10 kwenye Vevo. [9]", "Dr. Dre\nDr. Dre alianza shughuli za muiki akiwa kama mmoja kati ya wanamchama wa kundi la muziki la World Class Wreckin' Cru na kisha baadaye akaanzisha kundi lenye athira kubwa ya gangsta rap la N.W.A, ambayo ilivuma sana kwa mashairi yake mazito yenye kutaja maisha ya kiharifu na mtaani kwa ujumla.\nMnamo mwaka wa 1992, alitoa albamu kama msanii wa kujitegemea. Na albamu ilikwenda kwa jina la \"The Chronic\", ilitolewa ikiwa chini ya Death Row Records, na kumpelekea kuwa mmoja katia ya wasanii waliouza rekodi bora za muziki wa Marekani kwa mwaka wa 1993 na kushinda Tuzo ya Grammy kwa ajili ya single ya \"Let Me Ride\".", "Muziki kwenye miaka ya 1990\nAlbamu ya Jackson yenye-jina-lake \"janet.\" (1993), ambayo imekuja baada ya mkataba wake wa malioni-ya-dola-kihistoria aliofanya na Virgin Records, imeuza zaidi ya nakala milioni kumi dunia nzima. Houston, Boyz II Men na Carey walirekodi vibao kadhaa vilivyoshika nafasi ya kwanza kwenye chati za \"Billboard\" Hot 100, ikiwa ni pamoja na \"Exhale (Shoop Shoop)\", \"One Sweet Day\", ushirikiano baina ya Boyz II Men na Carey, kibao ambacho kilitamba kwa muda mrefu kikiwa nafasi ya kwanza kwenye historia ya Hot 100, Boyz II Men na TLC wametoka albamu mnamo 1994 na 1995—\"Daydream\", \"II\", na \"CrazySexyCool\" – ambayo iliuza zaidi ya nakala milioni kumi, na kuwapatia hadhi ya almasi nchini Marekani mwanzoni mwa mwaka wa 1995, kina Grammy Awards wakaanzisha Grammy Award for Best R&B Album, ikiwa \"II (Boyz II Men)\" Boyz II Men wanakuwa kama kundi la kwanza kupokea tuzo hiyo. Tuzo hiyo baadaye ilienda pia kwa TLC kwa ajili ya albamu yao ya \"CrazySexyCool\" ya mwaka wa 1996.", "R. Kelly\nJamii:Waliozaliwa 1967 Jamii:Wanamuziki wa Marekani Jamii:Watu walio hai Jamii:Watayarishaji muziki wa Marekani Jamii:Washindi wa Tuzo za Grammy", "Madonna (mwanamuziki)\nAkiwa amezaliwa Bay Mji, Michigan, Madonna alihamia jiji la New York mwaka 1977 kujiingiza katika ngoma za kisasa. Baada ya kufanya katika makundi ya muziki Breakfast Club na Emmy, alisaini na Sire Records (lebo tanzu ya studio ya Warner Bros Records) mwaka 1982 na kuachia albamu ya kwanza mwaka uliofuata. Alifuatisha mfululizo wa albamu zilizofanikiwa, ikiwa ni pamoja na ushindi wa Tuzo ya Grammy Ray ya Mwanga (1998) na Confessions on Dance Floor (2005). Katika kazi yake, Madonna ameandika na kurekodi nyingi kati ya kazi zake, na nyingi za hizo kufikia namba moja katika chati mbalimbali: hizi ni pamoja na \"Like a Virgin\", \"Papa Don't Preach\", \"Like a Prayer\", \"Vogue\", \"Take a Bow\", \"Frozen\", \"Music\", \"Hung Up\", and \"4 Minutes\".", "Vision of Love\nWimbo huu ulichaguliwa kugombea tuzo ya Grammy Awards za mwaka 1991, katika jamii ya mwanamke mwenye sauti nzuri, ambapo wimbo huu ulishinda, na pia Tuzo kwa ajili ya wimbo bora wa mwaka .\nJarida la \"Entertainment Weekly\" la mwaka 2005, liliandika kuwa wimbo wa Mariah Carey unavutia hususani kwa wale waimbaji wa wadogo. .\"", "Enrique Iglesias (albamu)\nEnrique Iglesias ni jina la kutaja albamu ya kwanza ya msanii wa muziki wa pop Enrique Iglesias. Albamu ilitolewa mnamo mwaka wa 1995. Albamu ilipata mafanikio kwa kiasi kikubwa na kushika nafasi za juu katika chati za Kilatini na pia ilirekodiwa kwa lugha ya Kireno na Kiitalia. Albamu imejipatia Tuzo za Grammy kwa ajili ya Best Latin Pop Album kunako mwaka wa 1996.", "Lil Wayne\nJamii:Waliozaliwa 1982 Jamii:Wanamuziki wa Marekani Jamii:Wanamuziki wa hip hop Jamii:Watu walio hai Jamii:Washindi wa Tuzo za Grammy", "Madonna (mwanamuziki)\nJamii:Waliozaliwa 1958 Jamii:Watu walio hai Jamii:Waigizaji wa filamu wa kike wa Marekani Jamii:Watayarishaji muziki wa Marekani Jamii:Washindi wa Tuzo za Grammy", "Urusi\nTangu mwaka 1945 jeshi la Urusi lilikaa katika nchi zote za Ulaya ya Mashariki hadi katikati ya Ulaya. Katika nchi hizo zote serikali za kikomunisti zilianzishwa na kusimamiwa na ofisi kuu ya chama cha kikomunisti huko Moscow.", "Justin Bieber\nBieber alishinda tuzo nyingi katika kazi yake, ikiwa ni pamoja na Tuzo la Muziki wa Marekani kwa Msanii wa Mwaka 2010 na 2012, Tuzo ya Grammy ya Best Dance Recording kwa wimbo \"Where Are Ü Now\", na Tuzo ya Kilatini Grammy. [7] Amekuwa ameorodheshwa mara tatu na gazeti la Forbes kati ya wasanii kumi wenye nguvu zaidi duniani, mwaka 2011, 2012, na 2013. [8] Mnamo 2016, Bieber akawa msanii wa kwanza kupitisha maoni ya jumla ya video bilioni 10 kwenye Vevo. [9]Baada ya meneja wa vipaji Scooter Braun alimgundua kupitia video zake za YouTube zinazofunika nyimbo mwaka 2008 na alijiunga na RBMG, Bieber alitoa albamu yake ya kwanza ya EP, My World, mwishoni mwa mwaka 2009. Ilikuwa kuthibitishwa platinamu nchini Marekani. Alikuwa msanii wa kwanza kuwa na nyimbo saba kutoka kwenye chati ya kwanza ya rekodi kwenye Billboard Hot 100. [5] Bieber alitoa albamu yake ya kwanza ya studio ya kwanza, My World 2.0, mwaka 2010. Ilianza kwa namba moja katika nchi kadhaa, ilithibitishwa platinum tatu nchini Marekani, [4] na ilikuwa na \"Baby\" moja.", "Grammy Awards\nGrammy Awards au Tuzo za Grammy (awali iliitwa Gramophone Awards)—au Grammys—hutolewa kila mwaka na National Academy of Recording Arts and Sciences ya nchini Marekani kwa ajili ya kazi zilizopata mafanikio makubwa katika soko la muziki. Sherehe hizi za ugawaji wa tuzo hushirikisha wasanii mashuhuri na wale machipukizi, na baadhi ya tuzo zao huwa maarufu na huonyeshwa katika matelevisheni mengi nchi nzima.\nMakundi makuu ya au jamii kuu za aina ya muziki ni nne.", "Emmy\nEmmy Award au Tuzo za/ya Emmy (pia inajuliakana kama 'Emmy') ni tuzo ya matayarisho ya televisheni, kiasili inaonekana kufanana na tuzo za Peabody, lakini hii inashughulika sana na masula ya burudani, na itazamika kuwa iko sawa na kile kipindi cha televisheni cha Academy Award (kwa ajili ya filamu), Grammy Award (kwa ajili ya muziki) na Tony Award (kwa ajili ya maigizo).", "Burning Spear\nBurning Spear ana Tuzo mbili za Grammy alizoshinda kwa Albamu Bora ya Reggae; mmoja wakati wa sherehe ya 42 ya Tuzo za Grammy mwaka 2000 kwa \"Calling Rastafari,\" na moja kwa ajili ya 2009 \"Jah Is Real.\" Ameteuliwa kwa jumla ya Tuzo 12 za Grammy.", "Dr. Dre\nMnamo mwaka wa 1996, aliondoka Death Row na kwenda kuanzisha studio yake mwenyewe ya Aftermath Entertainment, na kutoa albamu ya mchanganyiko ya \"Dr. Dre Presents the Aftermath\", kunako 1996, na ksiha baadaye akatoa albamu yake nyingine iliyokwendwa kwa jina la \"2001\", kunako 1999, ambayo ili mfanya ashinde Tuzo ya Grammy akiwa kama mtayarisha bora.", "Lauryn Hill\nLauryn Noel Hill (amezaliwa tar. 25 Mei 1975) ni mshindi mara nane wa Tuzo za Grammy akiwa kama mwimbaji, rapa, mwanamuziki, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji wa rekodi za muziki, na mwigizaji bora wa filamu kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Lauryn Hill. Katika shughuli zake za awali, alianza kujibebea sifa kubwa katika ulimwengu wa muziki wa hip hop akiwa kama mwanamke pekee wa kundi la muziki huo la The Fugees.", "Christina Milian\nNyimbo zote mbili zilipata kushika nafasi ya tatu katika chati bora za muziki wa Ufalme wa Muungano, lakini albamu yake haijapata kuuza nakala nyingi. Albamu ya pili ya Milian ni It's About Time, nayo haijafanikiwa kimauzo, lakini ilipokea Tuzo ya Grammy ikiwa kama albamu bora ya muziki wa R&B.", "T-Pain\nJamii:Waimbaji wa Marekani Jamii:Wanamuziki wa Marekani Jamii:Washindi wa Tuzo za Grammy Jamii:Waimbaji wa hip hop Jamii:Waliozaliwa 1985 Jamii:Watu walio hai", "LL Cool J\nJamii:Waliozaliwa 1968 Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani Jamii:Watu walio hai Jamii:Washindi wa Tuzo za Grammy", "Hard Knock Life (Ghetto Anthem)\n\"Hard Knock Life (Ghetto Anthem)\" ni single kutoka katika albamu ya tatu ya rapa wa JKimarekani, Jay-Z. Single inatoka katika albamu ya \"Vol. 2... Hard Knock Life\". Imechukua sampuli ya wimbo wenyejina lilelile la kigwagizo cha Broadway \"\". Wimbo umetayarishwa na The 45 King na wakati wimbo huu ulivyokuwa unatoka, ulikuwa wimbo uliopata mfanikio makubwa kabisa katika kazi za Jay-Z. Jumuia ya utoaji wa tunu za muziki ya Marekani ya , imeitunukia single hii dhahabu mnamo mwezi wa Machi ya mwaka wa 1999. Mengineyo, single ilipatwa kushindanishwa katika Tuzo za Grammy katika upande Rap Bora za Msanii Mmoja-Mmoja wakati wa ugawaji wa tuzo wa 41 mnamo 1999.", "Nightshift\nMshindi wa Tuzo za Grammy na American Idol Fantasia alichukua sampuli ya wimbo huu na kuimbwa kwa ajili ya single yake mpya ya Lose to Win.", "Akon\nTuzo za Grammy Awards hutolewa kila mwaka na National Academy of Recording Arts and Science la Marekani. Akon ameteuliwa kwa mashindano mara matano.[32][34]", "It's About Time (albamu ya Christina Milian)\nAlbamu imepata kushika nafasi ya kumi na nne katika U.S. Billboard 200 Bora na kushika tena nafasi ya ishirini na moja katika UK, kwa kuuza jumla ya kopi 382,000 na 63,708 kisawawa. Albamu imetunikiwa medani ya fedha katika UK, na kupokea Tuzo za Grammy ikiwa kama albamu bora ya muizki wa R&B.", "The Score\nThe Score ni jina la albamu mshindi wa Tuzo za Grammy ikiwa kama albamu bora ya R&B na hip hop iliotolewa na kundi la Fugees. Albamu imetolewa dunia nzima mnamo tar. 13 Februari 1996, imeifuata toleo lao la kwanza la mwaka wa 1994, \"Blunted on Reality\". Tangu kutolewa kwa albamu, imepokea sifa nzuri sana kutoka katika vyombo vya habari vya muziki, na leo hii; imekuwa miongoni mwa albamu bora za Hip-hop zilizouza vizuri kwa muda wote kwa kuwa na mauzo zaidi ya milioni 18.", "Jay-Z\nPia ni mmoja kati ya wanaomiliki klabu ya The 40/40 Club na New Jersey Nets. Huyu ni mmoja kati ya wasanii na mjasiriamali wa hip hop wa Marekani wenye mafanikio makubwa kabisa, kwa kuuza nakala zaidi ya milioni 26 nchini Marekani na kupokea Tuzo za Grammy kadhaa kwa kazi zake za kimuziki.", "Historia ya Kanisa\nKuanzia mwaka 1095 Wakristo Wakatoliki wa Ulaya walijaribu kuwaondoa Waislamu katika nchi za Mashariki ya Kati. Papa aliwaita mataifa ya Kikatoliki ya Ulaya kuikomboa nchi takatifu. Tangu mwaka 1096 hadi mwaka 1270 kampeni za kijeshi zilianzishwa Ulaya kuelekea Yerusalemu.", "Game\nAlbamu ilikwenda kwa jina la The Documentary,na ikaweza kujishindia Tuzo mbili za Grammy ikiwa kama albamu bora ya rap na hip hop kwa mwaka wa 2005. Tangu hapo, akawa anafikiriwa kuwa anarudisha kwa nguvu ule muziki wa hip hop wa West Coast kwa mashindano na majigambo na baadhi ya rapa wengine wa East Coast." ]
66
Je,fomula ya elementi ya Iodini ni ipi?
[ "Elementi za kikemia\nJina la Elementi)Kiingereza (IUPAC)AlamaNamba atomiaUzani atomia [u]Densiti [kg/m³] (20°C)Kiwango cha kuyeyuka (°C)Kiwango cha kuchemka (°C)Iligunduliwa mwakaKutambuliwa naAktiniactiniumAc89227,0310070104731971899DebierneAluminialuminiumAl1326,982700660,524671825ØrstedAmerikiamericiumAm95243,061367099426071944SeaborgStibiantimonySb51121,756690630,71750zamani(?)ArigoniargonAr1839,941,66 -189,4 −189,4 -185,9 −185,91894Ramsay, StruttAsenikiarsenicAs3374,925720613 2)6132)11. Jhd.Albertus MagnusAstatiniastatineAt85209,993023371940SegrèBaribariumBa56137,33365072516401808DavyBerkeliberkeliumBk97247,07132509861949SeaborgBeriliberylliumBe49,011850127829701797VauquelinBismuthibismuthBi83208,989800271,415601540AgricolaBoribohriumBh107262,121976OganessianBoroniboriumB510,812460230025501808Davy, Gay-LussacBromibromineBr 3579,903140 -007,3−7,358,81826BalardKadimicadmiumCd48112,4186403217651817Stromeyer und HermannSizicesiumCs55132,91190028,46901860Kirchhoff, BunsenKalisicalciumCa2040,078154083914871808DavyKalifonicaliforniumCf98251,08151009001950SeaborgSericeriumCe58140,11677079832571803von Hisinger, BerzeliusKlorinichlorineCl1735,452,95 -101−101 -034,6 −34,61774ScheeleKromichromiumCr2452,007140185724821797VauquelinKobalticobaltCo2758,9338890149528701735BrandtKuricuriumCm96247,0713510134031101944SeaborgDarmstatidarmstadtiumDs1102691994GSIDubnidubniumDb105262,111967/70GhiorsoDisprosiDisprosiDy66162,58560140923351886Lecoq de BoisbaudranEinsteinieinsteiniumEs99252,088601952SeaborgFeri (chuma) (chuma)ironFe2655,85787015352750zamani(?)ErbierbiumEr68167,269050152225101842MosanderEuropieuropiumEu63151,96525082215971901DemarçayFermifermiumFm100257,101952SeaborgFloriniflourineF919,001,58 -219,6−219,6 -188,1 −188,11886MoissanFransifranciumFr87223,02276771939PereyGadolinigaboliniumGd64157,257890131132331880de MarignacGaligalliumGa3169,72591029,824031875Lecoq de BoisbaudranGermanigermaniumGe3272,615320937,428301886WinklerAuri (dhahabu)goldAu79196,97193201064,42940zamani(?)HafniHf72178,4913310215054001923Coster, de HevesyHassiHs108265,001984GSIHeliHe24,000,170 -272,2−272,2 -268,9 −268,91895Ramsay, CrookesHolmi ?holmiumHo67164,938780147027201878SoretHidrojenihydrogenH11,010,084 -259,1 −259,1 -252,9 −252,91766CavendishIndiindiumIn49114,827310156,220801863Reich, RichterIodiniiodineI53126,904940113,5184,41811CourtoisIridiiridiumIr77192,2222560241041301803TennantKalipotassiumK1939,09886063,77741807DavyKabonicarbonC612,011351035504827zamani(?)KriptonikryptonKr3683,803,48 -156,6−156,6 -152,3−152,31898Ramsay, TraversKupricopperCu2963,5589201083,52595zamani(?)LanthaniLa57138,90616092034541839MosanderLawirensilawrenciumLr103260,1016271961GhiorsoLithiLi36,94530180,513171817ArfwedsonLutetiLu71175,009840165633151907von Welsbach, UrbainMagnesiMg1224,301740648,811071828BussyManganisiMn2554,907440124420971774GahnMaitnirimeitneriumMt1092661982GSIMendelevimedeleviumMd101258,11955SeaborgMolibdenimolybdenumMo4295,9410280261755601778ScheeleNatrisodiumNa1122,9997097,88921807DavyNeodimineodynNd60144,247000101031271895von WelsbachNeonineonNe1020,180,84 -248,7 −248,7 -246,1 −246,11898Ramsay TraversNeptunineptuniumNp93237,052048064039021940McMillan AbelsonNikelinickelNi2858,698910145327321751CronstedtNiobiniobiumNb4192,918580246849271801HatchetNitrojeninitrogenN714,011,170 -209,9 −209,9 -195,8 −195,81771ScheeleNobelinobeliumNo102259,101958SeaborgOsmiosmiumOs76190,222590304550271803TennantPaladipalladiumPd46106,4212020155231401803WollastonPlumbileadPb82207,211340327,51740zamani(?)PosforiphosphorusP1530,971820442801669BrandPlatiniplatiniumPt78195,0821450177238271557ScaligerPlutoniplutoniumPu94244,061974064133271940SeaborgPolonipoloniumPo84208,9892002549621898Marie CuriePraseodimipraseodymiumPr59140,91648093132121895von WelsbachPromethipromethiumPm61146,927220108027301945MarinskyProtaktiniprotactiniumPa91231,0415370155440301917Fajans Hahn, MeitnerHidrajirimercuryHg80200,5913550 -038,9 −38,9356,6zamani(?)Radi (elementi)radiumRa88226,03550070011401898Marie und Pierre CurieRadoniradonRn86222,029,23 -071 −71 -061,8 −61,81900DornRenirheniumRe75186,2121030318056271925Noddack, Tacke, BergRodirhodiumRh45102,9112410196637271803WollastonRentgeniRg1112721994GSIRubidiRb3785,451530396881861Bunsen, KirchhoffRutheniRu44101,0712450231039001844ClausRutherfordiRf104261,111964/69GhiorsoSamariSm62150,367540107217781879Lecoq de BoisbaudranOksijenioxygenO816,001,33 -218,4 −218,4 -182,9 −182,91774Priestley, ScheeleSkandiscandiumSc2144,962990153928321879NilsonSulfurisulfurS1632,072060113444,7zamani(?)SiborgiseaborgiumSg106263,121974OganessianSeleniSe3478,9648202176851817BerzeliusAgentisilverAg47107,8710490961,92212zamani(?)SilikonisiliconSi1428,092330141023551824BerzeliusStanitinSn50118,7172902322270zamani(?)StrontistrontiumSr3887,62263076913841798KlaprothTantalitantalumTa73180,9516680299654251802EkebergTekinetitechnetiumTc4398,9111490217250301937SegrèTelurotelluriumTe52127,66250449,69901782von ReichensteinTaribiterbiumTb65158,938250136030411843MosanderTalithalliumTl81204,3811850303,614571861CrookesThorithoriumTh90232,0411720175047871829BerzeliusThulithuliumTm69168,939320154517271879CleveTitanititaniumTi2247,884510166032601791Gregor, KlaprothUnunbiununbiumUub1122771996GSIUnunheksiununhexiumUuh1162892000JINRUnunoktiununoctiumUuo1182932006JINRUnunpentiununpentiumUup1152882006JINRUnunkadiununquadiumUuq1142891999JINRUnuntriununtriumUut1132872006JINRUraniuraniumU92238,03189701132,438181789KlaprothVanadivanadiumV2350,946090189033801801del RíoWolframitungstenW74183,8519260340759271783Fausto und Juan de ElhuyarYitebiytterbiumYb70173,04697082411931878de MarignacYitriyttriumY3988,914470152333371794GadolinZinkizincZn3065,397140419,6907zamani(?)ZenonixenonXe54131,294,49 -111,9 −111,9 -107,0 −1071898Ramsay, TraversZirikonizirconiumZr4091,226510185243771789Klaproth" ]
[ "Hidrojeni\nHidrojeni (ing. hydrogen) ni elementi ya kikemia yenye namba atomia 1 na uzani wa atomi 1.00794. Alama yake ni H. Ni atomi nyepesi kati ya elementi zote hivyo ina nafasi ya kwanza katika mfumo radidia", "Rutherfordi\nJinsi ilivyo na elementi transurania sintetiki kiasi cha elementi kinachotengenezwa ni kidogo mno hivyo hakuna uhakika kuhusu tabia za kikemia. Transurania zote ni nururifu na nusumaisha ya elementi hizi ni fupi mno. Isotopi ya Ruthergordi yenye nusumaisha marefu ina nusumaisha ya masaa 13 tu.", "Oksijeni\nNi kati ya elementi zilizopo kwa wingi ulimwenguni ikishika nafasi ya tatu baada ya hidrojeni na heli. Kwenye dunia yetu asilimia 28 za masi yake ni oksijeni; ni elementi iliyopo kwa wingi kabisa katika ganda la dunia.", "Aloi\nAloi ni mchanganyiko wa elementi mbili au zaidi mwenye tabia ya kimetali; angalau elementi moja ndani yake ni metali pia.", "Kipoland\nco? - nini?\nkto? - nani?\ngdzie? - mahali gani?\ndokąd? - wapi?\nkiedy? - hini?\njak? - vipi?\ndlaczego? - kwanini?\nktóry? - ipi?", "Florini\nKwa kawaida hupatikana kama molekuli ya F2. Kati ya elementi zote mmenyuko wake wa oksidisho ni kali sana. Tabia hii inasababisha Florini kuwa sumu kali. Inamenyuka vikali na karibu elementi zote.", "Spektra\nUchambuzi wa mistari ya spektra unaruhusu kutambua ni elementi gani zilizopo katika gesi ya joto (plazma) ya nyota fulani. Inawezekaa kutambua si elementi tu lakini pia halijito na densiti ya elementi fulani ndani ya nyota. ", "Iodini\nKatika hali sanifu ni mango ya fuwele yenye rangi nyeusi-kijivu. Huanza kuvukamanga kuwa gesi kwa halijoto ya chumbani tayari. Kupata iodini kiowevu inawezekana kwa kuikanza haraka hadi kufikia kiwango cha kuyeyuka cha 113.7 °C. ", "Paladi\nPalladi ni metali na elementi nyepesi kati ya elementi ya kundi la Platini. Kati ya elementi za kundi hilo lina kiwango cha kuyeyukea cha chini. Humenyuka haraka lakini haioksidishi bado kwenye halijoto ya wastani. Huhesabiwa kati ya metali adimu.", "Mate\n         Iodini (mmol / L mkusanyiko kawaida ni ya juu kuliko plasma, lakini tegemezi kulingana na ulaji wa iodini", "Ytri\nYttri ni elementi na metali yenye kifupi Y na namba atomia 39 katika mfumo radidia. Kiasili haipatikani kama elementi peke yake ila tu katika hali ya kampaundi na elementi mbalimbali. Baada ya kutolewa katika mchanganyiko na kusafishwa rangi yake ni nyeupe-kifedha. ", "Chlorini\nChlorini (tamka: klorini) ni elementi yenye namba atomia 17 katika mfumo radidia maana yake kiini atomia chake kina protoni 17. Uzani atomia ni 35.453 na alama yake Cl. Ni elementi ya pili katika safu ya halojeni.", "Astatini\nAstatini (kut. Kigiriki \"astateo\" (ἀστατέω) \"kutodumu\" kwa sababu ya unururifu na nusumaisha fupi) ni elementi yenye namba atomia 85 katika mfumo radidia maana yake kiini atomia chake kina protoni 85. Uzani atomia ni 209.98 na alama yake ni At. Ni elementi ya tano katika safu ya halojeni.", "Kiini cha atomu\nAtomu ni chembe ndogondogo zinazounda na kutofautisha elementi mbalimbali kama vile oksijeni, chuma au kaboni. Kila kitu, kama ni gimba mango, gesi au kiowevu, kinaundwa na chembechembe ndogo. Kama kina elementi moja tu, kuna atomu za aina moja tu ndani yake. Vitu vingi vinaundwa na muungano wa elementi tofauti kwa mfano maji kwa oksijeni na hidrojeni. Hapo atomu tofauti zinaunganishwa kuwa molekyuli. Hizi molekyuli ni muungano wa elementi za aina tofauti (\"kampaundi\": kutoka Kiingereza \"compounds\"). Chembe ndogo ya kila elementi huitwa atomu. Kila elementi ina atomu za aina yake kulingana na asili yake.", "Neodimi\nNeodimi (Neodymium) ni elementi na metali ya udongo adimu yenye namba atomia 60 kwenye jedwali la elementi maana yake kuna protoni 60 katika kiini cha atomu yake. Ina uzani atomia 144.242. Alama yake ni Nd. ", "Reni\nReni (kutoka jina la Kilatini \"Rhenus\" la mto Rhine) ni metali nzito na haba sana. Kikemia ni elementi ya mpito yenye kifupi cha Re na namba atomia 75 katika mfumo radidia.\nReni ni metali ngumu na nzito. Hutokea katika mitapo ya molibdeni. Baada ya kuisafisha rangi yake ni kifedha-nyeupe. Kati ya elementi zote zisizo nururifu ni elementi haba sana. ", "Bromi\nBromi (kut. Kigiriki βρῶμος \"bromos\" \"kunuka kwa wanyama\" ) ni elementi yenye namba atomia 35 katika mfumo radidia maana yake kiini atomia chake kina protoni 35. Uzani atomia ni 79.904 na alama yake ni Br. Ni elementi ya tatu katika safu ya halojeni.", "Metali za udongo alikalini\nMetali za udongo alikalini ni mfulizo wa kikemia katika mfumo radidia unaounganisha elementi za kundi la pili yaani elementi thabiti Berili (Be), Magnesi (Mg), Kalisi (Ca), Stronti (Sr) na Bari (Ba) pamoja elementi nunurifu ya radi (Ra) ambayo ni tokeo la mbunguo wa elementi zingine.", "Iodini\nKwa upande mwingine iodini ni pia sumu kama kiwango chake kinazidi mahitaji ya mwali ambayo ni mikrogramu 100-200 tu kwa siku (mikrogramu ni sehemu ya milioni ya gramu).", "Curi\nCuri ni elementi katika mfumo radidia yenye alama Cm. Namba atomia ni 96 na uzani atomia ni 247. Ni metali nururifu ngumu sana inayohesabiwa kati ya elementi ya tamburania. Rangi yake ni kifedha-nyeupe. Ina fuwele za pembe sita.", "Iodini\nIodini katika maji ni dawa antiseptika inayozuia maambukizo wa vidonda. ", "Zebaki\nZebaki (jina la kisayansi: hidragiri) ni elementi na metali duniani. Kikemia ni elementi ya mpito yenye kifupi cha Hg na namba atomia 80 katika mfumo radidia.", "Halogeni\nElementi ya fluorine hutengeneza muungano thabiti na elementi nyingine inayopambana nayo, hivyo ni kwa umeme pekee ndio unaweza kuvunja muungano huu na elementi zingine.", "Fransi\nFransi ni elementi haba mno kwa sababu ya unururifu wake. Kati ya elementi zote zinazotokea kiasili ni haba kabisa isipokuwa Astatini. Nusumaisha ya isotopi yenye maisha marefu ni dakika 21.8 pekee. ", "Silika kadiri ya C. G. Jung\nWanaotumia hisi za nje katika kutambua hali halisi na utendaji ambao unahitajika na kuwezekana. Kwa kawaida ni hodari kuamua mambo na kutenda kadiri ya mazingira bila ya kusitasita. Kisha kuamua wanataka kutekeleza mara moja, wasiwe na raha mpaka uamuzi wao utimizwe. Ni hodari kwa kazi fupi. Hawapendi kuwaza hewani. Wanaamini mang’amuzi kuliko miguso. Kwao ni vigumu kujinyima matakwa ya milango ya fahamu. Wanapenda mno starehe na anasa, wanafuata tamaa za mwili. Wanathamini sana maoni na kusema ukweli. Hawaogopi kukabili wengine. Katika maelezo yao wanatumia maneno mengi na kufuata utaratibu. Wanajiuliza, “Hali ni ipi? Nifanye nini?”", "Iodini\nMatumizi yake ni katika madawa (hasa antiseptika), viungo vya chakula, rangi na kemia za kusafisha picha.", "Iodini\nIodini yapatikana kwa wingi katika maji ya bahari pia katika madini mbalimbali. ", "Iodini\nIodini (kut. Kigiriki \"Iodes\" (ιώο-ειδης) \"rangi ya dhambarau\" kutokana na mvuke) ni elementi yenye namba atomia 53 katika mfumo radidia maana yake kiini atomia chake kina protoni 53. Uzani atomia ni 126.904 na alama yake ni I. Ni elementi ya nne katika safu ya halojeni.", "Iodini\nMwili wa kibinadamu huhitaji iodini; kwa kawaida viwwango vya kutosha hupatikana katika chakula cha kawaida. Isipokuwa katika maeneo kadhaa hasa mlimani uhaba wa iodini asilia husababisha magonjwa kama tezi ya shingo.", "Rutheni\nRutheni ni elementi na metali haba sana duniani. Kikemia ni elementi ya mpito yenye kifupi cha Ru na namba atomia 44 katika mfumo radidia.\nHutokea katika mitapo ya platini au pamoja na madini mengine ya elementi za kundi ya 10 katika mfumo radidia. Rutheni ni metali ngumu na kechu yenye rangi nyeupe-kijivu inayopatikana kama fuwele." ]
90
Lugha ya Kiswahili ilianzia wapi?
[ "Kiswahili\nLugha ilianza takriban miaka 800-1000 iliyopita katika mazingira ya vituo vya biashara vya pwani ambako wafanyabiashara kutoka Uarabuni, Uajemi na Uhindi walikutana na wenyeji Waafrika. Lugha kuu ya kimataifa ya biashara hiyo ilikuwa Kiarabu.", "Historia ya Kiswahili\nHistoria ya Kiswahili imeanza takriban miaka 1000 iliyopita kwenye pwani ya Afrika ya Mashariki." ]
[ "Jamhuri ya Watu wa Zanzibar\nLugha ya Kiswahili imeanza kutumika kiasi cha karne ya 13 ikitokana na mchanganyiko wa lugha ya Kiarabu na lugha za Kiafrika.", "Dunia Uwanja wa Fujo\nLugha sanifu ni mojawapo ya lugha ambayo mwandishi ametumia toka mwanzo hadi mwisho. Lugha iliyotumika ni Kiswahili sanifu.", "Historia ya Kiswahili\nUganda inatumia Kiswahili kama lugha ya polisi na jeshi, hali ambayo haikuongeza upendo wa Waganda kwa lugha kutokana na historia ya Uganda ya kuwa na vita na serikali za kijeshi. Lakini kinasikika pia kama lugha ya biashara masokoni. Pamoja na kwamba Waganda walikichukulia Kiswahili kama lugha ya kitumwa lakini pia lugha hii ilionekana kuwa na ustaarabu wa Kiarabu zaidi, yaani Uislamu. Lugha ya Kiswahili ilitumika katika kueneza dini hiyo.", "Wagogo\nLugha yao ni Cigogo (kwa Kiswahili hutamkika Kigogo).", "Historia ya Zanzibar\nLugha ya Kiswahili imeanza kutumika kiasi cha karne ya 13 ikitokana na mchanganyiko wa lugha ya Kiarabu na lugha za Kiafrika.", "Nairobi\nLugha zote za Kenya huzungumzwa Nairobi, lakini hasa ni Kiingereza na Kiswahili pamoja na Sheng.", "Taasisi ya Taaluma za Kiswahili\nIlianzishwa mnamo mwaka 1930 kama Inter-territorial Language (Swahili) committee ya Nchi za Afrika ya Mashariki, baadaye ikaitwa Kamati ya Kiswahili ya Afrika Mashariki. Mnamo mwaka 1964 kamati ilifanywa kuwa Sehemu ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaamu. Baadaye ikaitwa Chuo cha Uchunguzi wa Lugha ya Kiswahili. Tangu 1970 kimepewa jina la Taasisi ya Uchunguzi wa Lugha ya Kiswahili. Mwaka 2009, TUKI iliungana na iliyokuwa Idara ya Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kuunda Taasisi kubwa zaidi inayoitwa Taasisi ya Taaluma za Kiswahili - TATAKI", "Lugha ya taifa\nKigezo cha idadi ya watumiaji, Lugha ya Taifa ina idadi kubwa ya watumiaji, kwa mfano, nchini Tanzania lugha ya Kiswahili inatumiwa na idadi kubwa ya watu katika mawasiliano yao wakati lugha rasmi ina idadi ndogo ya watumiaji, kwa mfano, lugha ya Kiingereza inatumiwa na watu wachache.", "Kiingereza\nLugha ya Kiingereza ilianzia huko Uingereza kutokana na kuingiliana kwa lugha mbalimbali, hasa lugha za kale za Ujerumani, Denmark na Ufaransa.", "Sanza\nLugha ambayo zinatumika ni Kiswahili na Kinyambwa.", "Lugha ya taifa\nUmilisi wa mawasiliano, Lugha ya Taifa mara nyingi watumiaji walio wengi wanakuwa na umilisi wa mawasiliano, kwa mfano, hapa Tanzania lugha ya Kiswahili watumiaji wengi wanaimudu, lakini katika Lugha rasmi watumiaji wanakuwa hawana umilisi wa mawasiliano, kwa mfano, lugha ya kiingereza kwa hapa Tanzania watumiaji wengi hawana umilisi nayo katika mawasiliano.", "Nadharia ya Kiswahili\nLugha ni sauti za nasibu zenye mpangilio maalumu zilizokubaliwa na watu ili zitumike kwa mawasiliano. ", "Lugha ya taifa\nTofauti katika maana, Lugha ya Taifa ni lugha iliyokubaliwa kitaifa itumike katika mawasiliano yake, kwa mfano, lugha ya Kiswahili iliteuliwa kuwa lugha ya Taifa mwaka 1964 lakini lugha rasmi ni lugha iliyoteuliwa na kuchaguliwa na serikali itumike katika shughuli za kiserikali, kwa mfano, kiingereza.", "Taasisi ya Taaluma za Kiswahili\nMwanzoni, Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili ni taasisi ya utafiti ilipewa jukumu la kutafiti nyanja zote za lugha ya Kiswahili, fasihi na utamaduni, na kuchapisha matokeo ya utafiti huo. Hivyo pamoja na BAKITA (Baraza la Kiswahili Tanzania) TUKI ndiye mlinzi wa usanifu wa lugha ya Kiswahili katika Tanzania. Baada ya kuungana na Idara ya Kiswahili, sasa TATAKI inafundisha Isimu, Fasihi na Historia ya Lugha ya Kiswahili katika Shahada za Awali, Mahiri na Uzamivu.", "TAKILUKI\nTAKILUKI (au TAKILUKIZA) ni kifupi cha Taasisi ya Kiswahili na Lugha za Zanzibar. Taasisi hii ilianzishwa mwaka wa 1979. Inafanya kazi chini ya udhamini wa wizara ya elimu Zanzibar", "Ali Muhsin al-Barwani\nAmetunga Mashairi ya Kiswahili yenye beti 1300 Juu ya maisha ya mtume Muhammad (S.A.W) Ametunga kitabu cha Kiingereza cha Kulinganisha Ukristo na Uiislamu alikifasiri mwenyewe kwa lugha ya Kiswahili pia. Amefasiri Qurani tukufu kwa Lugha ya Kiswahili.(\"Al Muntakhab Fi Tafseer Al Qur'an\".)", "Biashara ya masafa marefu ya Afrika Mashariki\nLugha ya Kiswahili ilienea kwa kiasi kikubwa sana kutoka katika pwani ya Afrika Mashariki hadi maeneo ya ndani kwa sababu wafanyabiashara walikuwa wanatumia Kiswahili kama chombo cha mawasiliano wakati wa kubadilishana bidhaa.", "Matumizi ya Lugha\nMatumizi ya lugha hutahini uwezo wa mwanafunzi wa kuelewa na kukitumia Kiswahili kwa kuongea na kuandika.", "Inter-territorial Language (Swahili) committee\nOfisi ya kamati ilikuwepo Dar es Salaam ikahamia Nairobi mwaka 1943 halafu Makerere mwaka 1952 baadaye kwa muda mfupi kwenda Mombasa. Tangu 1963 ofisi ilirudishwa Dar es Salaam na tangu 1964 ikawa chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa jina la Chuo cha Uchunguzi wa Lugha ya Kiswahili (Institute of Kiswahili Language Research). Tangu 1970 imekuwa taasisi kamili ya Chuo Kikuu ikijulikana kama Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (TUKI) na tangu 2009 kama Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (TATAKI).", "Malezi\nAnahitaji kusaidiwa ajibu maswali makuu ya maisha: “Mimi ni nani? Nimetoka wapi? Ninakwenda wapi? Nafikiriwa kuwa wa namna gani?” ", "Lugha ya taifa\nLugha ya Taifa inakuwa kama nembo ya Taifa husika, hii inachangiwa na suala la lugha ya Taifa kuwa kama kitambulisho cha Taifa husika, kwa mfano, lugha ya Kiswahili nchini Tanzania inakuwa kama nembo ya Taifa, kwa sababu ni sehemu ya utamaduni yaani mila na desturi za Watanzania.", "Sudan Kusini\nLugha rasmi ni Kiingereza, pamoja na kutambulika kwa lugha mbalimbali za mitaa katika majimbo au miji. Kiswahili kinapangiwa kuenezwa nchini, hasa baada ya Sudan Kusini kujiunga na Jumuia ya Afrika Mashariki.", "Kihusishi\nLugha ya Kiswahili ina aina saba tu za maneno ambazo ni:", "Sheikh Muhammad Mansour Haji\nIlipofika barua kule chuoni, barua ilianza kusomwa na maafisa wa chini ikipanda mmoja mmoja mpaka kumfikia mkuu wa chuo, hatimae Sheikh Muhammad aliulizwa huyu aliyeandika barua hii ni nani? na amezaliwa wapi? na amesoma wapi?", "Uenezi wa Kiswahili\nKiswahili ni lugha ambayo ilikuwa ikitumiwa na wakazi wa maeneo ya pwani ya Afrika Mashariki hata kabla ya ukoloni. Lugha hii ilitumika katika kufanyia mawasiliano na ilitumika kuwaunganisha watu kwa kuwa waliweza kuelewana na kuongea kwa mshikamano wa watu wengi.", "Lugha za Kibantu\nKati ya lugha za Kibantu zinazotumika zaidi kuna Kiswahili na Kilingala. Lugha zenye wasemaji wengi kama lugha ya kwanza ni Kizulu na Kishona.", "Kiswahili\nLugha hii ina utajiri mkubwa wa misamiati, misemo, methali, mashairi, mafumbo, vitendawili na nyimbo. Kiswahili hutumika kufundishia shuleni na kuna vitabu vingi vilivyotungwa kwa kutumia lugha hiyo, vikiwa pamoja na vile vya hadithi, hekaya au riwaya.", "Ali Muhsin al-Barwani\nMwaka 1974 Sheikh Ali Muhsin alifunguliwa nakuachiwa huru, akaamua kuondoka nakuelekea Kenya nakuomba ukimbizi na wakati alipopata ukimbizi aliamua kuelekea Misri, Kairo, Alikaa muda mrefu huko Kairokiasi cha myaka 10 na huko alisoma katika Chuo Kikuu cha Al-Azhar nchini Misri, yeye alikua rafiki mzuri wa raisi wa Misri Gamal Abdel Nasser. Baada ya kukaa muda mrefu huko Misri aliamua kurejea Kenya, na baadae aliamua kuelekea Falme za Kiarabu,Dubai na huko huko ndio alifasiri Qurani kwa Lugha ya Kiswahili ambayo inaumashuhuri mwingi kwa wale Waislamu wazungumzao Lugha ya Kiswahili ulimwenguni haswa Afrika ya Mashariki na ya Kati pia na ya Kusini na Visiwa vya bahari Hindi", "Uenezi wa Kiswahili\nLugha ya Kiswahili iliweza kukua sana na kuenea katika nchi ya Tanzania kuliko Kenya na Uganda kutokana na sababu zifuatazo." ]
16
Je,Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi?
[ "Mkoa wa Dar es Salaam\nKuna wilaya tano: Kinondoni (wakazi 1,775,049), Ilala (wakazi 1,220,611) na Temeke (wakazi 1,368,881) ambazo zimeongezewa Kigamboni na Ubungo. Kila moja inaangaliwa kama mji. Takwimu hizi ni za mwaka 2012, kwa ujumla idadi ya wakazi ilikuwa 4,364,541." ]
[ "Morogoro (mji)\nMorogoro ni njiapanda ya barabara muhimu za Dar es Salaam - Mbeya na Dar es Salaam - Dodoma zinazokutana hapa. ", "Boma la Kale, Dar es Salaam\nTangu mwaka 2014 taasisi ya Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage (DARCH) iliweza kupatana na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuhusu mipango ya ukarabati na matumizi ya Boma la Kale. Tangu mwaka 2017 Boma la Kale ni kituo cha kiutamaduni chenye programu na maonyesho kuhusu historia na urithi wa Dar es Salaam, mazingira, uchumi na mshikamano wa kijamii wake.", "Mkoa wa Bagamoyo (DOA)\nLakini tangu kuanzishwa kwa reli ya kati kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro (1907), halafu hadi Dodoma mwaka 1910 na hadi Tabora mwaka 1912 biashara ya misafara ilizidi kupungua pamoja na idadi ya watu walioishi Bagamoyo na mnamo mwaka 1913 walikuwa 5,000 tu.", "Mkoa wa Dar es Salaam\nOrodha ya mito ya mkoa wa Dar es Salaam Kata za Mkoa wa Dar es Salaam", "Hananasif\nHananasif ni jina la kata ya Wilaya ya Kinondoni katika Mkoa wa Dar es Salaam\n,Tanzania yenye postikodi namba 14109\n. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ina wakazi wapatao 37,115 waishio humo.", "Kikosi cha wapagazi\nMiji mingi ya Afrika Mashariki ina sehemu zinazoitwa kwa majina kama \"Kariakoo\" kama Dar es Salaam na Dodoma au \"Kariakor\" huko Nairobi. Ni mahali ambapo wapagazi waliostaafu katika kikosi cha wapagazi walijenga nyumba zao.", "Boma la Kale, Dar es Salaam\nWakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia Dar es Salaam ilivamiwa na jeshi la Uingereza kwenye mwaka 1916. Tanganyika iliendelea kuwa chini ya Uingereza na Dar es Salaam kuwa mji mkuu. Boma la Kale lilikuwa kituo cha polisi hadi uhuru wa nchi tarehe 9 Desemba 1961.", "Kigamboni\nKigamboni ina umbo la rasi kati ya Bahari Hindi na maji ya bandari. Imetengwa na jiji la Dar es Salaam kwa maji ya Kurasini Creek. ", "Kibaha (mji)\nWilaya ya Kibaha Mjini ina eneo la kilomita za mraba lililogawiwa kwa kata 11. \nAsili ya wakazi wa Kibaha ni kabila la Wazaramo. Kijiji na baadaye mji ulikua kutokana na mahali pake kwenye barabara kuu kati ya Dar es Salaam na Morogoro ukateuliwa kuwa makao makuu ya mkoa.", "Kiwalani\nKitongoji hiki kiligunduliwa miaka ya 1970 baada ya watu kuhamishwa na serikali kutoka katika viwanja vyao sehemu mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam na kuhamishiwa Kiwalani. ", "Historia na Maendeleo ya Mji wa Dar es Salaam\nDar es Salaam ilikuwa ikiitwa “Mzizima”(Ikimaanisha mji wenye neema), ni mji wa zamani ulioanza mwanzoni mwa miaka ya 1857. Ingawa historia ya Mzizima ilianza tangu miaka 1000 iliyopita ambapo watu wa Barawa (ambao walijichanganya na Wazaramo na kuwa kati yao) ambao walitulia na kulima katika maeneo ya mbwa maji magogoni (kwa sasa kivukoni), Mjimwema na Gezaulole.\nMji ulianza kuonesha mabadiliko kutokana na ujio wa wa Masultani, Wajerumani na Waingereza. Mwaka 1866 Sultan Seyyed Majid of Zanzibar aliupa jina la ambalo ndilo linalotumika sasa neno la kiarabu lililomaanisha “Mbingu ya Amani”. Baaba ya kifo cha Sultan Majid mwaka 1870, Dar es Salaam ilianguka lakini iliinuka tena mara baada ya ulio wa kampuni ya Kijerumani (\"German East Africa Company\") iliyoanzisha kituo cha biashara mwaka 1887 na kuuondoa utawala wa Kiarabu hata kutawala pwani ya Africa Mashariki.", "Historia na Maendeleo ya Mji wa Dar es Salaam\nDar es Salaam iliendelea kuwa mji mkuu mpaka ulipohamishiwa Dodoma mwaka 1973 , ambao ni mji ulio katikati ya nchi ya Tanzania. Licha ya kutokuwa na tawala za mji mkuu lakini Dar es Salaam iliendelea kuwa makao makuu ya serikali.", "Sheikh Ilunga Hassan\nSheikh Ilunga Hassan Kapungu kaingia katika historia ya Dar es Salaam katika kifo chake. Bahari ya watu walijazana Msikiti wa Kichangani kuja kuswalia jeneza lake na kisha kulifata nyuma jeneza hilo hadi Makaburi ya Mwinyimkuu, Magomeni Mapipa. Sheikh Ilunga ni mgeni katika mji wa Dar es Salaam kwa maana ya kuwa hakuzaliwa Dar es Salaam wala hakuwahi kuishi Dar es Salaam. Alikuwa akija na kuondoka zamani akirejea kwao Tabora na baadaye kuhamia Mwanza, akija Dar es Salaam na kurejea Mwanza.", "Bunge la Tanzania\nMajimbo yanatofautiana kwa kiasi kikubwa katika idadi ya wakazi. Wastani ya Tanzania bara ni mbunge mmoja kwa wakazi 227,461. [3] Kuna majimbo katika mikoa ambako mbunge mmoja anawasilisha watu wengi zaidi kama vile Dar es Salaam (wakazi 546,542/mbunge 1), Mwanza (346,999) na Kagera (309,953). Kinyume chake kuna majimbo mengine ambako mbunge anawasilisha watu wachache kama vile Pwani(wakazi 133.104/mbunge), Katavi (128.513), Njombe (120.795) au Lindi (112.192).", "Kivukoni\nKivukoni ni jina la kata ya Wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam Tanzania. yenye postikodi namba 11101. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ina wakazi wapatao 4,826 waishio humo.", "Hifadhi ya bahari ya Dar es Salaam\nHifadhi ya bahari ya Dar es Salaam inajumlisha maeneo kadhaa kwenye Bahari Hindi karibu na Dar es Salaam, Tanzania. Kwa jumla kuna visiwa tisa visivyokaliwa na watu pamoja na sehemu za bahari kati ya visiwa hivi. Kuna visiwa vinne upande wa kusini wa Dar es Salaam ambavyo ni Bongoyo, Mbudya, Pangavini na Fungu Yasini, halafu vitano upande wa kusini ambavyo ni (Makatumbe, Finda na Kenda). Hifadhi hii inalinda sehemu za matumbawe, za miti ya mikoko na mimea mingine chini ya uso wa maji. ", "Ally Sykes\nAlly Sykes alikuwa mtu maarufu kupita kiasi. Alikuwa kwanza ana umaarufu wa kuzaliwa. Kazaliwa Dar es Salaam Gerezani, mtoto wa mjini. Kisha alikuwa maarufu kwa nasaba. Baba yake Kleist Sykes alikuwa mmoja wa watu mashuhuri katika siasa zote za Dar es Salaam katika miaka ya ya mwanzo ya 1900 hadi alipofariki mwaka 1949. Baba yake alikuwa maarufu kwa kuwa alilelewa na Affande Plantan askari kiongozi katika jeshi la Wajerumani lilokuja Tanganyika na Herman Von Wissman wakati Wajerumani walipoingia kuitawala Tanganyika.", "Radio Tanzania Dar Es Salaam\nRadio Tanzania Dar Es Salaam ni chombo cha taifa la Tanzania ambacho hutoa burudani za aina mbalimbali kama vile muziki, ngoma za utamaduni, mpira, mashairi, taarabu na taarifa mbalimbali za kitaifa na kimataifa. Redio hii ina ofisi kuu yake Barabara ya Nyerere (zamani ilijulikana kama Pugu Road), Dar es Salaam.", "Majohe\nMajohe ni jina la kata ya Wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam Tanzania yenye postikodi namba 12113 .Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ina wakazi wapatao 81,486 waishio humo.", "Dar es Salaam\nDar es Salaam ni jiji kubwa kuliko yote nchini Tanzania. Pia ni jina la mkoa wake. Dar es Salaam ni mji mkongwe na wenye watu wengi zaidi katika Jumuia ya Afrika Mashariki. Katika Tanzania ndio mji wenye vitega uchumi vingi na ndio mji unaoangaliwa na watu wengi.", "Ukonga\nUkonga ni jina la kata ya Wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam Tanzania yenye postikodi namba 12107 . Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ina wakazi wapatao 80,034\nwaishio humo.", "Wilaya ya Temeke\nWilaya ya Temeke ni wilaya ya Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania yenye postikodi namba 15000.Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 1,368,881 .", "Daraja la Mfugale\nJICA, na washika dau wengine ikiwa ni pamoja na wakazi wa Dar es Salaam na Tanzania nzima, walikuwa wakisubiria kwa hamu ujenzi wa daraja hili. Serikali ya Japan, kupitia wakala wake JICA, ina historia ndefu ya zaidi ya miaka 30 imekuwa ikisaidia miundombinu mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam, tangu walivyojenga daraja la Selander mnamo mwaka wa 1980.", "Dar es Salaam\nKwa maana nyingine, tazama Mkoa wa Dar es Salaam", "Kiwalani\nKiwalani ni kata mojawapo kati ya kata zilizopo katika wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania yenye postikodi namba 12108 . Iko ndani ya jiji la Dar es Salaam. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka 2012, kitongoji kina idadi ya wakazi wapatao 82,292.", "Dar es Salaam\nHuduma ya maji Dar es Salaam imekuwa na tatizo kubwa katika kudhibiti mfumo wa maji taka katika mkoa wa Dar es Salaam kwa muda mrefu. Tangu shirika la maji DAWASCO (Dar es Salaam Water Supply Company) lilipowekwa rasmi kama shirika husika katika kuratibu utaratibu mzima wa mfumo wa maji safi na maji taka, kumekuwa na nafuu kidogo tu, lakini baada ya muda, liliibuka tatizo la kuibiwa kwa mabomba na uharibifu wa vyanzo mbalimbali vya maji.", "Dar es Salaam\nDar es Salaam ilichaguliwa na wakoloni Wajerumani kuwa mji mkuu wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani kwa sababu ya bandari asilia yenye mdomo mpana wa mto Kurasini. Hivyo kuanzia mwaka 1891 Dar es Salaam ilichukua nafasi ya Bagamoyo kama makao makuu ya utawala.", "Boma la Kale, Dar es Salaam\nJamii:Historia ya Dar es Salaam", "Redio\nPia hata zilizoko nje ya mkoa wa Dar es Salaam zinapambana kila kukicha kuhakikisha zinakuwa na studio nyingine kwenye jiji hilo lenye idadi kubwa ya watu nchini Tanzania. Kwa mfano RFA na Kiss FM zinarusha matangazo yake kutoka jijini Mwanza (Kanda ya Ziwa Viktoria), lakini kutokana na ushindani uliopo zimejikuta zikiweka studio nyingine jijini Dar es Salaam ili kupambana na ushindani huo.", "Dar es Salaam\nDar es Salaam inakadiriwa kuwa na wakazi wapatao milioni tatu. Ingawa Dodoma inafahamika kama ndio mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salaam ndiko ziliko ikulu, mabalozi, mashirika ya kimataifa, n.k." ]
9
Latitudo ina maana gani?
[ "Latitudo\nLatitudo (kwa Kilatini: latitudo) ni mahala pa mchoro wa dunia au ramani huonyesha kwa mistari iliolazwa ni njia ya kuonyesha mahali duniani kwa kutaja umbali wake kutoka ikweta kwa kipimo cha digrii (°).", "Longitudo\nLongitudo (kilatini: longitudo) katika ramani au mchoro wa dunia ,ni njia ya kuonyesha mahali duniani kwa kutaja umbali wake kutoka mstari wa meridiani ya sifuri kwa kipimo cha digrii (°). Kwenye msingi wa digrii 360 za duara digrii hizi za latitudo huehesabiwa hadi +180° (kwenda mashariki) au hadi -180° (kwenda magharibi). Ni kawaida vilevile kutaja tofauti kati ya longitudo za mashariki au magharibi kwa kuongeza herufi za \"E\" (east) na \"W\" (west) badala ya +/-. Pamoja na kipimo cha latitudo inataja kamili kila mahali duniani." ]
[ "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "Kipoland\nco? - nini?\nkto? - nani?\ngdzie? - mahali gani?\ndokąd? - wapi?\nkiedy? - hini?\njak? - vipi?\ndlaczego? - kwanini?\nktóry? - ipi?", "Latitudo\nDigrii za latitudo hugawiwa katika umbali wa 60 dakika au minuti; dakika ya latitudo ni mita 1852 au maili moja ya kibahari. Dakika hugawiwa katika nukta au sekondi. Mfano: 13°19.717′ N.", "Jihadi\nLeo hii ina maana tatu kati ya Waislamu hasa", "Latitudo\nJamii:Jiografia Jamii:Vipimo", "Kodi\nKodi (kutoka neno la Kihindi) ina maana mbili: ", "Ggplot2\nMnamo tarehe 25 Februari 2014, Hadley Wickham alitangaza rasmi kuwa \"ggplot2 inahamia hali ya matengenezo.\" Hii ina maana kwamba hatuongeza tena vipengele vipya, lakini tutaendelea kurekebisha mende mpya, na tutazingatia vipya vipya vinavyotolewa kama maombi ya kuvuta. muhimu sana, toleo la pili la ggplot2 litakuwa 1.0.0 \". Mnamo Desemba 21, 2015, ggplot 2.0.0 ilitolewa. Katika tamko hilo, imeelezwa kuwa \"ggplot2 sasa ina utaratibu rasmi wa ugani.Hii ina maana kuwa wengine wanaweza sasa kujenga stats yao wenyewe, geom na nafasi, na kuwapa katika vifurushi vingine.\"", "Latitudo\nPamoja na namba ya longitudo inaonyesha mahali kamili kwenye uso wa dunia.", "Hakuna matata\nJambo, Jambo Bwana, habari gani? Mzuri sana!", "Latitudo\nLatitudo za kaskazini na kusini ya ikweta zinatofautishwa ama kwa kuongeza herufi \"N\" (=north) na \"S\" (south) au kwa alama za \"+\" (kaskazini) na \"-\" (kusini).", "Umwilisho\n26 Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti, 27 kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu. 28 Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe. 29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani? 30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. 31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. 32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake. 33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho. 34 Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili, maana sijui mume? 35 Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu. 36 Tena, tazama, jamaa yako Elisabeti naye amechukua mimba ya mtoto mwanamume katika uzee wake; na mwezi huu ni wa sita kwake yeye aliyeitwa tasa; 37 kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu. 38 Mariamu akasema, Tazama, mimi ni mjakazi wa Bwana; na iwe kwangu kama ulivyosema. Kisha malaika akaondoka akaenda zake.", "Basi\nKatika utamaduni mwingine maneno haya yana maana tofauti, mfano nchini Uingereza ina maana pana, ina maana wakati unapoondoa mtoto kutoka nyumbani kwa mara ya kwanza.", "Latitudo\n1. Ikweta (0°)", "Kinyarwanda\nMuraho = Habari gani?", "Kagera\nKagera ina maana mbalimbali:", "Latitudo\n4. Duara la aktiki (66½°Kas)", "Chati\nNeno chati kama uwakilishi wa takwimu ya data ina maana nyingi:", "Mofimu\nMofimu ni kipashio kidogo kuliko vyote katika lugha chenye maana ya kisarufi /kileksika. Mofimu katika sarufi ni jina la sehemu ndogo kabisa yenye kuwakilisha maana katika neno. Kipashio hiki hakiwezi kuvunjwavunjwa zaidi bila kupoteza maana. Mfano: Neno analima lina mofimu nne ambazo hufungamana na kujenga neno analima. Kila moja ya mofimu hizi isimamapo pekee haina maana yoyote isipokuwa ina maana kisarufi ambayo humwezesha mwanaisimu kuchambua maana hiyo.\nKuna aina kuu mbili za mofimu nazo ni:", "Anwani ya kijiografia\nLatitudo za kaskazini na kusini kwa ikweta zinatofautishwa ama kwa kuongeza herufi \"N\" (=north au kaskazini) na \"S\" (south au kusini) au kwa alama za \"+\" (kaskazini) na \"-\" (kusini).", "Gideoni\n\"Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani?\nTazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase,\nna mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu\".", "Latitudo\n5. Duara la antaktika (66½°Kus)", "Zaka\nZaka (kutoka neno la Kiarabu زكاة, zakat, lenye maana ya \"kinachotakasa\") ni toleo la sehemu ya mapato ambalo muumini wa dini fulani anapaswa kutoa. maana ya zaka katika dini ya uislamu ina maana nyingi Zaka kilugha:Ni kukua kwa kitu na kuzidi. Zaka kisheria ni kiwango maalumu cha mali kinachotolewa wakati maalumu ili kupewa watu maalumu.", "Mapenzi\nUgiriki inatambua njia mbalimbali na tofauti ambazo neno \"mapenzi\" huwa limetumika. Kwa mfano, Ugiriki ya kale ina maneno philia, Eros, agape, storge, na xenia. Hata hivyo, Kigiriki (kama ilivyo na lugha nyingine nyingi), imekuwa vigumu kihistoria kutofautisha maana za maneno haya kabisa. Wakati uo huo, Nakala ya Biblia ya Ugiriki ya kale ina mifano ya kitenzi agapo kikiwa na maana sawa na phileo.", "Kutoka (Biblia)\nWaisraeli walitakiwa watambue historia yao si kama kusanyiko la masimulizi ya matukio, bali kama ufunuo wa tabia ya Mungu. Yeye kwao alikuwa nani, aliwafanyia nini, naye aliwatazamia wafanye mambo gani? ", "Latitudo\n2. Tropiki ya kansa (23½°Kas)", "Ruangwa\nWilaya ipo kusini magharibi mwa Mkoa wa Lindi. Wilaya ipo kusini mwa Ikweta kati ya Latitudo nyuzi 9.5 na 10.3; Longitudo nyuzi 38.5 na 39.5 Mashariki ya Grinwichi.", "Latitudo\n3. Tropiki ya kaprikoni (23½°Kus)", "Nyaraka za Paulo\nLakini labda mtu atasema, 'Wafufuliwaje wafu?' Nao huja kwa mwili gani? Ewe mpumbavu! uipandayo haihuiki, isipokufa; nayo uipandayo, huupandi mwili ule utakaokuwa, ila chembe tupu, ikiwa ni ngano au nyingineyo; lakini Mungu huipa mwili kama apendavyo, na kila mbegu na mwili wake. Nyama yote si nyama moja; ila nyingine ni ya wanadamu, nyingine ya hayawani, nyingine ya ndege, nyingine ya samaki. Tena kuna miili ya mbinguni, na miili ya duniani; lakini fahari yake ile ya mbinguni ni mbali, na fahari yake ile ya duniani ni mbali. Kuna fahari moja ya Jua, na fahari nyingine ya Mwezi, na fahari nyingine ya Nyota; maana iko tofauti ya fahari hata kati ya nyota na nyota. Kadhalika na ufufuo wa wafu. Hupandwa katika uharibifu; hufufuliwa katika kutoharibika; hupandwa katika aibu; hufufuliwa katika fahari; hupandwa katika udhaifu; hufufuliwa katika nguvu; hupandwa mwili wa asili; hufufuliwa mwili wa Roho.", "Latitudo\nMahali penye ikweta kamili (kwa mfano Nanyuki katika Kenya) ina latitudo ya \"0\". Mahali pa mbali ni ncha ya kaskazini au ya kusini zinazotajwa kwa 90°. Pamoja na kipimo cha longitudo inataja mahali kamili duniani." ]
25
Je,mji mkuu wa fiji ni upi?
[ "Fiji\nMji mkuu ni Suva." ]
[ "Mkoa wa Bayburt\nBayburt ni jina la kutaja mkoa uliopo mjini kaskazini-mashariki mwa nchi ya Uturuki. Mji mkuu wake ni Bayburt. Idadi ya wakazi ni 85,455 na jumla ya eneo la kilomita za mraba ni 3,652. \nMkoa wa Bayburt umegawanyika katika wilaya 3 (mji mkuu umekoozeshwa):", "Ufalme\nUfalme ni mfumo wa utawala ambako mfalme, malkia au mtu mwingine aliyerithi cheo chake ni mkuu wa dola. Vyeo vingine vya mkuu katika ufalme ni pamoja na kaisari, shah, tenno, sultani, amiri au mtemi. Kwa kawaida mfalme amerithi cheo chake kutoka kwa babake au mamake kwa hiyo alizaliwa kama mfalme mteule na ataendelea kuwa na cheo hiki hadi kifo chake. Lakini kama mfalme aliyetangulia hakuwa na mrithi inawezekana ya kwamba mfalme mpya amechaguliwa. Mfano wa dola lenye mfumo wa ufalme ambako mkuu anachaguliwa mara kwa mara ni Vatikani ambao Papa ni mkuu wa dola.", "Khartoum (jimbo)\nKhartoum (pia Al Khartum) (Kar. الخرطوم ) ni moja ya majimbo (wilayat) 25 ya Sudan. Lina ukubwa wa eneo la 22,122 km 2 na wakazi wanaokadiriwa kuwa 4,700,000 (2000). Mji mkuu wa jimbo ni mji mkuu wa kitaifa.", "Urusi\nKulingana na katiba ya nchi, Urusi ni shirikisho na jamhuri ambako rais ni mkuu wa nchi [4]na waziri mkuu ni kiongozi wa serikali.", "Bhisho\nBhisho (nyati kwa Kixhosa; pia: Bisho) ni mji mdogo wa Afrika Kusini ambao ni mji mkuu wa jimbo la Rasi ya Mashariki. Ilikuwa mji mkuu wa bantustan ya Ciskei hadi 1994. ", "Amirijeshi mkuu\nAmirijeshi mkuu (kwa Kiingereza: \"commander-in-chief\" ni kiongozi wa majeshi yote katika nchi fulani.", "Bohemia\nMji mkuu wa Bohemia ni pia mji mkuu wa kitaifa ni Praha (Kiing.: Prague).", "Waziri mkuu\nKuna hasa aina mbili za mawaziri wakuu kufuatana na katiba za nchi mbalimbali:\nKatiba inaweza kusema ya kwamba rais ni huru kumchagua waziri mkuu hata bila kujali idadi ya wabunge wake bungeni. \nKatika mfumo huu waziri mkuu ni zaidi kama meneja wa kazi ya serikali.", "Moyo mkuu\nMoyo mkuu ni adili linaloonyesha ukuu wa mitazamo na miguso ya mtu.", "Reigen\nReigen (9 Julai 1654 – 24 Septemba 1732) alikuwa mfalme mkuu wa 112 (\"Tenno\") wa Japani. Baba yake alikuwa mfalme mkuu Go-Mizunoo. Tarehe 5 Machi 1663 alimfuata mfalme mkuu Go-Sai, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe 2 Mei 1687. Mwaka wa 1713 akawa mtawa wa Buddha. Aliyemfuata kama mfalme ni mwana wake Higashiyama.", "Elizabeth II wa Uingereza\nKama mkuu wa Jumuiya ya Madola yeye ni pia mkuu wa dola wa nchi zifuatazo ndani ya jumuiya hii:", "Gavana\nKatika nchi nyingine magavana ni maafisa wa serikali kuu wanaoteuliwa na rais wa taifa au waziri wake kuwa watendaji wakuu katika mkoa. Hawawajibiki kwa wananchi wa eneo lao bali kwa serikali kuu. Mfano ni gavana katika Urusi. Nafasi hii inalingana na ile ya mkuu wa mkoa katika Kenya au Tanzania tangu zipate uhuru. \nUgavana ulikuwa cheo cha kihistoria kutoka zamani ya ukoloni kwa mkuu wa koloni anayewakilisha serikali kuu na kuwa mkuu wa serikali katika koloni. ", "Ngazija\nKuna takriban wakazi lakhi tatu na nusu. Mji mkuu ni Moroni ambao ni pia mji mkuu wa kitaifa.", "Shule ya St Andrews, Turi\nMwalimu mkuu wa shule ya upili hivi sasa ni Adrian Palmer na mwalimu mkuu wa shule ya msingi ni Paddy Moss.", "Larry Page\nYeye ni afisa mkuu na mtendaji mkuu wa Google.", "Mkoa wa Kırıkkale\nKırıkkale ni jina la kutaja mkoa uliopo nchini Uturuki. Mji mkuu wa mkoa huu ni Kırıkkale.\nMkoa wa Kırıkkale umegawanyika katika wilaya 9 (mji mkuu umekoozeshwa):", "Haile Mariam Desalegne\nHaile Mariam Desalegne (* 19 Julai 1965 Boloso Sore, Wolayita, Ethiopia) ni mwanasiasa wa nchini Ethiopia. Mwaka 2010 alikuwa waziri wa mambo ya nje na makamu wa waziri mkuu wa Ethiopia. Baada ya kifo cha waziri mkuu Meles Zenawi terehe 20 Agosti 2012 alikuwa waziri mkuu mtendaji.", "Uajemi\nMamlaka kuu iko mikononi mwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi anayesimamia siasa ya nchi kwa jumla; yeye ni amiri jeshi mkuu na msimamizi mkuu wa huduma ya usalama; pia anaratibu siasa ya nje. Anateua wakuu wa jeshi, redio na televisheni, viongozi wa salat wa msikiti mkuu katika kila mji, jaji mkuu na mwendesha mashataka mkuu halafu nusu ya wajumbe wa Halmashauri ya Walinzi wa Katiba wanaokubali au kukataa sharia zote zilizopitishwa bungeni wakiwa na mamlaka kusimamisha wagombea kwa uchaguzi wa kitaifa. Anaweza kumwachisha rais. Kiongozi mkuu huchaguliwa na Mkutano wa Wataalamu wa Uongozi kwa muda wa maisha yake. Ayatollah Khamenei ni Kiongozi Mkuu wa pili tangu mapinduzi ya Kiislamu.", "Lazio\nMji mkuu wake ni Roma, ambao ni pia mji mkuu wa taifa na mji mkubwa kuliko yote nchini.", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Ufilipino\nMji mkuu wa Manila uko Luzon. Quezon City ni mji mkubwa. Cebu City ni mji mkubwa upande wa Visaya. Davao City ni mji mkuu wa Mindanao.", "Rais\nRais (kutoka Kiarabu: رئیس) ni cheo cha mkuu wa nchi katika serikali ya jamhuri, na pengine mkuu wa taasisi fulani (\"mwenyekiti\"). ", "Amirijeshi mkuu\nKwa mfano nchini Tanzania amirijeshi mkuu ni rais: ndiye anayetoa amri kwa majeshi yake. Kwa sasa amirijeshi wa sasa Tanzania ni John Pombe Magufuli.", "Mkoa wa Çankırı\nÇankırı ni jina la kutaja mkoa uliopo nchini Uturuki, ambao umelalia karibu kabisa na mji mkuu wa nchi, Ankara. Mji mkuu wake ni Çankırı.", "Polynesia ya Kifaransa\nKisiwa kinachojulikana zaidi ni Tahiti pamoja na mji mkuu wake wa Papeete ambayo ni pia mji mkuu wa eneo lote.", "Vietnam\nRais wa Vietnam huwa ni mkuu wa nchi, kamanda mkuu wa jeshi na mwenyekiti wa baraza la Supreme Defense and Security. Waziri mkuu (Prime Minister ) wa Vietnam huwa mkuu wa baraza la mawaziri na tume zote za nchi.", "Rais wa Marekani\nRais ni mtendaji mkuu wa Marekani, kuweka naye katika mtendaji mkuu wa tawi la serikali, wajibu ambao ni \"take care kuwa sheria kuwa uaminifu aliuawa.\" Kutimiza wajibu huu, yeye ni aliyopewa udhibiti wa wafanyakazi milioni nne mtendaji wa shirikisho tawi.", "Karachi\nKarachi (Kiurdu: كراچى) ni mji mkubwa wa Pakistan na mji mkuu wa jimbo la Sindh. Hadi 1959 ilikuwa mji mkuu wa kitaifa. Mji ni kitovu cha kibiashara cha Pakistan.", "Papa\nPapa ni pia mkuu wa nchi huru ya Mji wa Vatikano iliyopo ndani ya mji wa Roma (ambao ni mji mkuu wa Italia).", "Bern\nBern (pia: Berne, Berna) ni mji wa shirikisho wa Uswisi na mji mkubwa wa nne katika nchi. Bern ni pia mji mkuu wa jimbo la Bern. Iko kando la mto Aar. Hivyo ina nafasi ya mji mkuu ingawa shirikisho la Uswisi halina mji mkuu kikatiba." ]
88
Musa alifia katika mlima gani?
[ "Musa\nBaada ya hotuba hizo, Kumb 31:1-8 inasimulia jinsi Musa alivyomuachia Yoshua uongozi wa Waisraeli wote kwa kumwekea mikono (Hes 27:12-23). Musa alifikia mpakani mwa nchi takatifu asikubaliwe kuiingia kama adhabu ya makosa yake, ila alionyeshwa yote kutoka mlimani (Kumb 32:48-52) halafu akafariki (Kumb 34) na kuzikwa ng'ambo ya mto Yordani. Kazi aliyopangiwa iliishia huko, mwingine akampokea na kuendeleza ukombozi wa Kimungu. Binadamu wote ni vyombo tu vinavyotumika kwa muda fulani, halafu vinaweza kuachwa. Kumbe Mungu ndiye mtendaji mwenyewe ambaye hasinzii wala halali, bali anazidi kuwashughulikia watu wake. Kwa imani hiyo tuwe daima tayari kuwaachia wengine nafasi yetu." ]
[ "Historia ya Wokovu\nMmoja kati ya watoto waliookolewa katika hatari hiyo ni Musa, wa kabila la Lawi (Kut 2:1-10; Eb 11:23; Mdo 7:17-22). Kisha kukimbia Misri Musa akaoa Mmidiani (Kut 2:11-22; Eb 11:24-27; Mdo 7:23-29): alipokuwa anachunga mifugo ya mkwewe kwenye mlima Sinai akaitwa na Mungu kutoka ndani ya kichaka kinachowaka moto kisiteketee. Mungu alimchagua ingawa ana kigugumizi yaani anaonekana hafai kushindana na Farao. Mungu akasisitiza aende mwenyewe, naye atatumia uwezo wake wa Kimungu kumlazimisha Farao. Kadiri Musa alivyoomba, Mungu alimfunulia jina lake takatifu YHWH ambalo linaeleweka kiasi tu, kama vile fumbo la Mungu mwenyewe (Kut 2:23-3:20; Mdo 7:30-35).", "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "Bikira Maria\nMusa ndiye mkombozi wa taifa la Mungu katika Agano la Kale: aliongoza Israeli kutoka utumwani Misri akalipatia sheria kutoka kwa Mungu katika mlima Sinai. Maandiko ya Agano la Kale yanakiri, “Wala hajainuka kiongozi kama alivyokuwa Musa” (Kumb 34:10-12).", "Musa\nAlipomuua afisa wa Kimisri alipaswa kukimbilia jangwani kwa kabila la Wamidiani akaolea huko (Kut 2:11-22; Eb 11:24-27; Mdo 7:23-29): alipokuwa anachunga mifugo ya mkwewe kwenye mlima Sinai akaitwa na Mungu kutoka ndani ya kichaka kinachowaka moto bila kuteketea. Mungu alimchagua kurudi Misri na kuokoa watu wake katika utumwa wa Farao. Mungu akasisitiza aende mwenyewe, naye atatumia uwezo wake wa Kimungu kumlazimisha Farao. Kadiri Musa alivyoomba, Mungu alimfunulia jina lake takatifu YHWH ambalo linaeleweka kiasi tu, kama vile fumbo la Mungu mwenyewe (Kut 2:23-3:20; Mdo 7:30-35).", "Musa\nWalipofikia mlima huo wa kutisha, Mungu alimuita Musa aupande ili aseme naye, huku wengine wakibaki chini. Hapo akampa Musa masharti ya agano lake na Waisraeli (Kut 19). Akiwa Muumba na hasa Mkombozi wao alidai waishi kitakatifu kwa kushika amri kumi, ambazo tatu zinahusu heshima kwake na saba uhusiano na watu wengine (Kut 20:2-17). Ndiyo mawe mawili ambayo Musa alipewa halafu Yesu akayakamilisha katika amri kuu ya upendo kwa Mungu na kwa jirani (Mk 12:28-34). Amri hizo zinaweza kujulikana na kukubaliwa na mtu yeyote mwenye mapenzi mema, lakini Mungu alipenda kutusaidia tujue kwa urahisi na hakika zaidi tufanye nini ili kumpendeza, tuwe watu wake naye awe Mungu wetu kwelikweli. Agano hilo upande wa Mungu ni imara kwa kuwa yeye ni mwaminifu kabisa, shida iko upande wetu tulio geugeu, tukiahidi tusitekeleze. Ndiyo sababu likahitajika agano lingine lililofungishwa na Yesu Kristo (2Tim 2:11-13).", "Mlima Serbal\nKuna watu wanaodai ndio mlima ambako Musa alipopokea Amri Kumi.", "Agabo\nKadiri ya mapokeo alikuwa mmojawapo kati ya wanafunzi 70/72 wa Yesu na alifia dini huko Antiokia.", "Mtume Filipo\nEusebio wa Kaisarea, katika \"Historia ecclesiastica\", iii.39, aliripoti maneno ya Papia, askofu wa Hierapolis kwamba Filipo alikuwa na mke na watoto na kwamba alifia dini Hierapolis (mwaka 80 hivi).", "Hakuna matata\nJambo, Jambo Bwana, habari gani? Mzuri sana!", "Historia ya Wokovu\nKitabu hicho cha mwisho cha Torati kiliandikwa kama miaka 600 baada ya Musa, ingawa kina namna ya hotuba tano alizoweza kuwatolea Waisraeli kabla hajafa. Kinapitia upya matukio ya wokovu ya wakati wa Musa kikifaidika na ujumbe wa manabii, hasa Hosea. Kwa msingi huo, kitabu hiki kinasisitiza sana upendo kwa Mungu, uaminifu kwa agano la mlima Sinai pamoja na tuzo na adhabu zitakazotolewa kufuatana na matendo ya Waisraeli. Katika maneno yake yote ya kitabu hiki, maarufu ni hasa yale ya 6:4-9 ambayo Mwisraeli yeyote anayakariri kila siku katika sala na kuyashika pengine neno kwa neno.", "Flaviano wa Roma\nFlaviano wa Roma (aliuawa Montefiascone, 22 Desemba 361) alifia dini ya Ukristo katika dhuluma ya kaisari Juliano mwasi mwaka 361].", "Kinyarwanda\nMuraho = Habari gani?", "Balbina wa Roma\nBaba yake pia, askari Kwirino, alifia dini na anaheshimiwa kama mtakatifu.", "Orodha ya mapapa\nMiaka ya upapaJina rasmiJina la KilatiniJina la kuzaliwaMahali pa kuzaliwaMaelezo30 – 64/67Petro Mtakatifu PetroPetrus, Apostolusשמעון בן יונה (Shimon ben Yona) Shimon Kipha, CΙΜΗΟΝ ΚΗΦΑC (Simeon Kephas - Simoni Mwamba - Simoni Petro) Bethsaida, GalilayaMtume wa Yesu ambaye alimpa funguo za Ufalme wa Mbinguni, kufuatana na Injili ya Mathayo 16:18-19. Alisulubiwa juu chini; sikukuu yake ni 29 Juni 68(?) – 79(?)Linus Mtakatifu Linus Linus, Episcopus RomanusLinusToscana (Italia ya Kati) Sikukuu yake ni 23 Septemba80(?) – 92Anacletus (Cletus) Mtakatifu AnacletusAnacletus, Episcopus RomanusAnacletusRoma au UgirikiAlifia dini; sikukuu yake ni 26 Aprili 92 – 96/99Klementi I Mtakatifu Klemens IClemens, Episcopus RomanusRomaAlifia dini; sikukuu yake ni 23 Novemba96/99 – 108Evaristus (Aristus) Mtakatifu EvaristusEvaristus, Episcopus RomanusAristusMgirikiInasemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 26 Oktoba108/109 – 116/119Alexander I Mtakatifu AlexanderAlexander, Episcopus RomanusAlexanderRomaSikukuu yake ni 3 Mei117/119 – 126/128Sixtus I Mtakatifu SixtusXystus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 6 Aprili127/128 – 137/138Telesfori Mtakatifu TelesforiTelesphorus, Episcopus RomanusUgirikiSikukuu yake ni 5 Januari138 – 142/146Hyginus Mtakatifu HyginusHyginus, Episcopus RomanusUgirikiInasemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 11 Januari142/146 – 157/161Pius I Mtakatifu PiusPius, Episcopus RomanusAquileia, Friuli, ItaliaAlifia dini kwa panga; sikukuu yake ni 11 Julai157 – 163/168Anicetus Mtakatifu Anicetus Anicetus, Episcopus RomanusEmesa, SyriaInsemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 17 Aprili166 hivi– 170/177Soter Mtakatifu SoterSoterius, Episcopus RomanusFondi, Lazio, ItaliaInasemekana alifia dini; sikukuu yake ni 22 Aprili171/177 – 185/193Eleuteri Mtakatifu EleutherusEleutherius, Episcopus RomanusNikopoli, EpyrusInasemekana alifia dini; sikukuu yake ni 6 Mei186/189 – 197/201Viktor I Mtakatifu ViktaVictor, Episcopus RomanusAfrika ya KaskaziniSikukuu yake ni 28 Julai198/201 – 217/218Zefirino Mtakatifu ZefirinoZephyrinus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 20 Desemba218 – 222Kalisti I Mtakatifu Kalisti ICallistus, Episcopus RomanusAlifia dini; sikukuu yake ni 14 Oktoba222 – 230Urban I Mtakatifu Urban IUrbanus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 25 Mei21 Julai 230 – 28 Septemba 235Ponsyano Mtakatifu PonsyanoPontianus, Episcopus RomanusRomaAlifia dini; sikukuu yake ni 13 Agosti21 Novemba 235 – 3 Januari 236Anterus Mtakatifu AnterusAnterus, Episcopus RomanusUgirikiSikukuu yake ni 3 Januari10 Januari 236 – 20 Januari 250Fabiani Mtakatifu FabianiFabianus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 20 Januari", "Nabii Eliya\nHasa ni kwamba, baada ya kukimbia hasira ya Yezebeli aliyemuapia atamuua kabla ya kesho yake, akisali pangoni juu ya mlima Sinai kama Musa mwanzoni mwa agano la Israeli na Bwana, alijaliwa kutokewa na kuagizwa upya na Mungu katika sauti ndogo ya upepo mtulivu akamilishe kazi yake hasa kwa kuwafanya Elisha nabii na Yehu mfalme (1Fal 19:1-18). Hata katika Yesu kugeuka sura mlimani akatokea pamoja na Musa ili wamshuhudie kama wawakilishi wa Torati na Manabii (Mk 9:2-13).", "Historia ya Wokovu\nHasa ni kwamba, baada ya kukimbia hasira ya Yezebeli aliyemuapia atamuua kabla ya kesho yake, akisali pangoni juu ya mlima Sinai kama Musa mwanzoni mwa agano la Israeli na Bwana, alijaliwa kutokewa na kuagizwa upya na Mungu katika sauti ndogo ya upepo mtulivu akamilishe kazi yake hasa kwa kuwafanya Elisha nabii na Yehu mfalme (1Fal 19:1-18). Hata katika Yesu kugeuka sura mlimani akatokea pamoja na Musa ili wamshuhudie kama wawakilishi wa Torati na Manabii (Mk 9:2-13).", "Ahmed Musa\nMusa pia ni mchezaji anaye ongoza kwa magoli nchini Nigeria. Musa alishinda magoli mawili dhidi ya Iceland katika hatua ya makundi katika Kombe la Dunia la FIFA 2018.", "Kanisa\nKanisa maana yake ya kwanza kabisa ni \"mkusanyiko wa waamini\" kama ule wa Waisraeli chini ya Musa kwenye mlima Sinai walipopewa Amri za Mungu.", "Kwaresima\nKatika Agano la Kale Musa ndiye aliyeongoza Waisraeli. Sisi tunakumbuka na kufuata safari yao ya ukombozi, walipokaa jangwani miaka 40 ili kuelimishwa kinaganaga juu ya yale yatokanayo na maneno 10 ambayo Musa alipewa na Mungu alipofunga siku 40 juu ya mlima Sinai.", "Gideoni\n\"Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani?\nTazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase,\nna mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu\".", "Lorenzo Ruiz\nMlei huyo alifia dini ya Ukristo kisha kukataa kuhama Japani na kukana imani yake wakati wa dhuluma za watawala wa Edo (leo Tokyo) kutoka ukoo wa Tokugawa katika karne ya 17.", "Vitabu vya Wafalme\nHasa ni kwamba, baada ya kukimbia hasira ya Yezebeli aliyemuapia atamuua kabla ya kesho yake, akisali pangoni juu ya mlima Sinai kama Musa mwanzoni mwa agano la Israeli na Bwana, alijaliwa kutokewa na kuagizwa upya na Mungu katika sauti ndogo ya upepo mtulivu akamilishe kazi yake hasa kwa kuwafanya Elisha nabii na Yehu mfalme (1Fal 19:1-18). Hata katika Yesu kugeuka sura mlimani akatokea pamoja na Musa ili wamshuhudie kama wawakilishi wa Torati na Manabii (Mk 9:2-13).", "Papa Antero\nAnaheshimiwa kama mtakatifu, ila hakuna hakika kama alifia dini.", "Musa\nKinyume chake Hes 12 inasimulia kijicho kilivyowafanya dada na kaka wa Musa wamseme wakijidai nao pia ni manabii. Lakini Mungu akawaeleza kuna namna mbalimbali za unabii, na Musa ni wa pekee. Kisha akatoa adhabu ambayo ikaondolewa kwa maombezi ya Musa tu: ndiyo sababu anasifiwa kwa upole wake. Kijicho kitasumbua daima taifa la Mungu, hata katika Agano Jipya (1Kor 12:1-31; 14:37-38).", "Dimitri wa Thesalonike\nDimitri wa Thesalonike (kwa Kigiriki Άγιος Δημήτριος της Θεσσαλονίκης) alikuwa Mkristo wa Sirmium (leo nchini Serbia) ambaye mwanzoni mwa karne ya 4 alifia dini yake katika dhuluma ya Kaisari Dioklesyano.", "Agano\nWazo la agano ni la msingi kwa Wayahudi, nao wanaona lile alilofanya Mungu na Musa kwenye mlima Sinai linawahusu wao, wakati kwa mataifa mengine lipo lile alilolifanya na Noah. ", "Rasi ya Sinai\nMahali panapojulikana zaidi ndani ya eneo al rasi ni mlima Sinai (pia: mlima Horeb, Jabal Musa) unaoaminiwa ni mahali ambako Musa alipokea amri kumi za Mungu.", "Sinai (mlima)\nMlima Sinai (kwa \"Kiarabu:\" جبل موسى jabal Musa = mlima wa Musa) ni mlima wenye kimo cha mita 2,283 juu ya UB katika eneo la kusini la Rasi ya Sinai nchini Misri. Unajulikana pia kwa jina la Mlima Horeb au kwa jina lake la Kiarabu kama Gebel Musa (matamshi ya Kimisri) au Jabal Musa (matamshi ya Kiarabu sanifu). ", "Unju bin Unuq\nAl-Thalabi aliandika ya kwamba Udj alikuwa na urefu wa dhiraa 23,333 akiweza kunywa kwenye mawingu, kushika ngumi baharini na kuichoma kwenye Jua. Alitembea mbele ya Nuhu wakati wa gharika kuu lakini maji yalifikia magoti yake tu. Aliishi miaka 36,000. Alipoona kambi la Wanaisraeli na Musa alivunja mlima akashika kipande cha kuangamiza kambi lote kwa pigo moja, lakini Mungu alituma ndege waliokula shimo katikati ya mlima uliomuangukia na kumfunga katikati. Hivi Musa aliweza kumshinda kirahisi.", "Historia ya Wokovu\nWalipofikia mlima huo wa kutisha, Mungu alimuita Musa aupande ili aseme naye, huku wengine wakibaki chini. Hapo akampa Musa masharti ya agano lake na Waisraeli (Kut 19). Akiwa Muumba na hasa Mkombozi wao alidai waishi kitakatifu kwa kushika amri kumi, ambazo tatu zinahusu heshima kwake na saba uhusiano na watu wengine (Kut 20:2-17). Ndiyo mawe mawili ambayo Musa alipewa halafu Yesu akayakamilisha katika amri kuu ya upendo kwa Mungu na kwa jirani (Mk 12:28-34). Amri hizo zinaweza kujulikana na kukubaliwa na mtu yeyote mwenye mapenzi mema, lakini Mungu alipenda kutusaidia tujue kwa urahisi na hakika zaidi tufanye nini ili kumpendeza, tuwe watu wake naye awe Mungu wetu kwelikweli. Agano hilo upande wa Mungu ni imara kwa kuwa yeye ni mwaminifu kabisa, shida iko upande wetu tulio geugeu, tukiahidi tusitekeleze. Ndiyo sababu likahitajika agano lingine lililofungishwa na Yesu Kristo (2Tim 2:11-13)." ]
81
Je,Sudan Ilipata Uhuru lini?
[ "Sudan Kusini\nWakati wa uhuru wa Sudan mwaka 1956 viongozi wa kusini walidai haki ya kujitawala ndani ya taifa jipya, lakini mapatano yalishindikana na hali hiyo ilisababishwa kutokea kwa vita ya Anyanya kati ya 1956 na 1972.", "Sudan\nBaada ya uhuru wa nchi (1956), makabila ya kusini ambayo hayakukubali kusilimishwa yalipigania vita ndefu hadi kupata uhuru wao." ]
[ "Uhuru (Mbulu)\nUhuru ni kata ya Wilaya ya Mbulu katika Mkoa wa Manyara, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 7,141 waishio humo.", "Uhuru\nUhuru (kwa Kiingereza \"freedom\") ni hali ya kuweza kufanya mambo bila kuingiliwa na yeyote au hali yoyote. ", "Hard Knock Life (Ghetto Anthem)\nIlipata kushika nafasi ya 11 kwenye Nyimbo Kali 100 za Hip Hop za VH1.", "Uhuru Kenyatta\nUhuru alipinga uamuzi huo, na hatimaye mahakama kuu ikabatilisha kura ya Mombasa tarehe 29 Desemba 2006 ikathibitisha azimio hili mnamo Juni 2007.", "Uhuru wa taaluma\nUhuru wa taalumu humaanisha haki mbalimbali za binadamu pamoja na wajibu wa pekee vinavyostahili kupatikana kwa shughuli na maisha ya vyuo vikuu pamoja na mafundisho na uchunguzi wa sayansi kwa jumla.", "Uislamu barani Afrika\nIlipata kukadiriwa mnamo mwaka wa 2002 ya kwamba taasisi za Kiislamu zimefikia asilimia 45 ya wakazi wote wa Afrika. ", "Dublin\nUhuru wa Eire ulianza 1916 mjini Dublin kwenye uasi wa Pasaka. Kwenye Vita ya Uhuru ya Eire nyumba nyingi ziliharibiwa. Tangu uhuru wa 1922 Dublin ikawa mji mkuu.", "Maana tofauti za Uhuru\nUhuru kama jina halisi laweza kumaanisha pia:", "Go On Girl\nIlipata kushika nafasi ya 29 katika chati za \"Billboard\" Hot R&B/Hip-Hop Songs, na kumfanya Ne-Yo kuwa nafasi ya kumi katika chati za arobaini bora. Pia, katika siku za usoni, ikapata kushika nafasi ya 96 kwenye chati za \"Billboard\" Hot 100.", "Uhuru Gardens\nUhuru Gardens ni eneo la burudani lililoko karibu na Wilson Airport, barabara ya Langata. Bustani hii ni kumbukumbu kubwa zaidi mjini Nairobi ya vita vya uhuru nchini Kenya. Sanamu ya Uhuru limejengwa pahali Uhuru kutoka kwa uingereza ulitangazwa saa sita usiku tarehe 12 Desemba 1963. Sanamu hii ina urefu wa mita 24 na hushikilia jozi la mikono iliyoshikana na njiwa wa amani. Sanamu hii iko juu ya sanamu ya wapiganiaji uhuru wakipandisha uhuru. Bustani hii iko na chemichemi ya muziki na jukwaa la kuangalilia.", "Uhuru Kenyatta\nUhuru ulishindwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2002 alipopata asilimia 31 tu za kura.", "Kirgizia\nIlipata uhuru wake katika mwendo wa kuporomoka kwa Umoja wa Kisovyeti.", "Uhuru wa taaluma\nUhuru wa taaluma humaanisha hasa:\nKutambua dunia na hali halisi hutegemea na kupatikana kwa mifumo, mbinu na mawazo mengi iwezekanavyo kwa wachunguzi wengi bila mipaka. ", "Uhuru wa dini\nUhuru huo unaendana na wajibu na haki ya kufuata dhamiri hasa katika masuala ya dini na maadili.", "Uhuru Kenyatta\nMkutano mkuu wa KANU katika mwezi Oktoba 2002 uliitikia mapenzi ya rais ukamtangaza Uhuru kama mgombea wa urais.", "Uhuru (Dodoma)\nUhuru ni jina la kata ya Dodoma Mjini katika Mkoa wa Dodoma , Tanzania yenye msimbo wa posta 41101. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 2419 waishio humo.", "Uhuru Kenyatta\nKatika Novemba 2006 Biwott alirudia jaribio la kumpindua Uhuru kwa kuita mkutano wa Kanu mjini Mombasa bila idhini ya mwenyekiti wala kamati ya chama. Hapo alichaguliwa kuwa mweyekiti mpya. Kwa msaada wa serikali Biwott alifaulu kuandikisha kamati yake kama uongozi rasmi, na hivyo kumwondoa Uhuru katika nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni.", "Ukomavu\n4. Kutokana na hofu hashiriki vizuri katika mambo yote. Anatambua kwamba akibaki peke yake hapati nafasi ya kupendwa, lakini anashindwa kukabili hofu yake.\n5. Matokeo yake ni kwamba anajihisi hastahili kutimiziwa haja zake. Hatimaye anaweza akajichukia kama kwamba ndiye anayesababisha watu wasimtimizie haja zake.\n6. Anafadhaika asijue la kufanya mbele ya matatizo hayo. Anashindwa kupata jibu kuhusu haja zake kutimizwa kesho: ikiwa leo hapati anayoyahitaji hata kwa watu wenye wajibu kwake, je, atayapata lini? ", "Uhuru wa dhamiri\nUhuru wa dhamiri ni uhuru ambao wengi wanakubali kwamba ni mojawapo kati ya haki za msingi za binadamu. ", "Uhuru Kenyatta\nKatika uchaguzi mkuu wa mwaka 2007 Uhuru alichaguliwa tena kama mbunge wa Garundu Kusini kwa tiketi ya KANU.", "Syria\nNchi ilikaliwa na watu tangu milenia nyingi. Ilipata kuwa chini ya utawala wa Misri hadi mnamo mwaka 1100 KK.", "Milo (kinywaji)\nKatika miaka ya 1980 rajamu hii iliuzwa katika Meksiko na kusambazwa na Nestle. Ilipata mafanikio sana lakini kupotelea baada ya Nestle kuanzisha Nesquik huko.", "Uhuru Peak (Pamir)\nUhuru Peak (Pamir) ni mlima wenye kimo cha m 7,134 juu ya usawa wa bahari. ", "Uhuru wa taaluma\nUhuru wa taaluma si sehemu ya sheria ya kimataifa. Kuna mapendekezo tu ya UNESCO ya mwaka 1997 yanayokazia haki ya walimu kwenye ngazi ya vyuo vikuu kuwa na uhuru wa taaluma (\"academic freedom\").. ", "Utatu\nImani hiyo ilizidi kufafanuliwa hasa katika karne IV, mitaguso mikuu ya kwanza ilipochukua msimamo dhidi ya wazushi waliokanusha umungu wa Yesu na wa Roho Mtakatifu. Ilipata muundo wa kudumu katika Kanuni ya Imani ya Nisea-Konstantinopoli inayotumika hadi leo katika madhehebu mengi ya Ukristo.", "Maana tofauti za Uhuru\nUhuru unaweza kumaanisha:", "Nokia 3310\nSimu ya Nokia 3310 ni simu iliyotolewa mnamo 2000. Ilipata mafaniki mazuri kote duniani, kwani iliuza nakala milioni 126. Toleo zingine zinazofanana na 3310 zimetolewa, zikiwemo Nokia 3315, 3320, 3330, 3350, 3360, 3390 and 3395.", "Jung Jin-woon\nJung Jin-woon (amezaliwa tar. 2 Mei 1991) mara nyingi sifa kama Jinwoon, ni Korea Kusini muimbaji na muigizaji. Ilipata kushika nafasi kama mwanachama wa kundi 2AM mwezi Julai 2008. Alianza kazi yake kaimu katika 2012 katika mfululizo KBS ya Dream High 2, kucheza Jin Yoo-jin.", "Uhuru Kenyatta\nJuni 2007 Uhuru alionyesha wazi ya kwamba alitaka kuacha ushirikiano na ODM kwa kutopeleka jina lake kati ya wagombea wa urais upande wa ODM. Badala yake alieleza ya kuwa atampigania rais Kibaki achaguliwe tena.", "Uhuru\nUhuru humwezesha mtu kujitawala kiakili, kidini na kimaadili." ]
94
Gowee ana rangi ngapi?
[ "Gowee\nNdege hawa wana rangi ya kijivu na nyeupe na wana kishungi kirefu. Wanatokea Afrika chini ya Sahara. Hawawezi kupuruka vizuri sana lakini hukimbia juu ya matawi ya miti. Hula matunda hasa na majani na maua pia, na mara chache hukamata wadudu na koa. Hujenga tago lao kwa vijiti katika mti mwenye miiba, kama spishi ya Vachellia (mgunga) au Balanites (mjunju), na jike hutaga mayai 1-4 lakini 3 kwa kawaida. Vinda wakitoka kwa mayai, wanapambwa na malaika mazito na macho yao ni wazi tayari au karibu.", "Shorobo\nShorobo au huruvi ni ndege wa familia Musophagidae. Spishi za jenasi Corythaixoides zinaitwa gowee pia na Tauraco fischeri anaitwa kulukulu. Spishi za jenasi Corythaixoides na Crinifer zina rangi ya kijivu na nyeupe, nyingine zina rangi ya majani, nyekundu, buluu na zambarau. Shorobo ni ndege wa pekee ambao wana pigmenti ya rangi ya majani inayoitwa turacoverdin. Ndege hawa wanatokea Afrika chini ya Sahara. Hawawezi kupuruka vizuri sana lakini hukimbia juu ya matawi ya miti. Hula matunda hasa na majani na maua pia, na mara chache hukamata wadudu na makoa. Hujenga tago lao kwa vijiti na jike hutaga mayai 2 au 3. Vinda wakitoka kwa mayai, wanapambwa na malaika mazito na macho yao ni wazi tayari au karibu." ]
[ "Karani tamba\nKwa umbali au anapopaa angani, yeye hufanana korongo bali si ndege wa kuwinda. Mkia una manyoya mawili marefu yanayoonekana kuwa marefu kuliko miguu yake anapopaa, na pia ana mkusanyiko wa manyoya yanayotengeneza umbo kama la nundu. Manyoya ya kupaa ya karani tamba na mapaja yake ni meusi, huku manyoya mengine yakiwa rangi ya kijivu na mengine yakiwa meupe.", "Blackheads\nBlackheads (kutoka Kiingereza; pia \"comedo\" kwa lugha hiyo) ni aina ya chunusi ambayo huonekana kwa mtu wakati ngozi yake yapata maaafa na haitibiwi kwa wakati unaofaa. Unapopata jeraha la ngozi, mwili wako hujaribu kila uwezalo ili kutibu jeraha lile. Unaposhindwa kufanya hivi kwa wakati unaofaa, tishu ya ngozi hutengenezwa mahala pale ambayo huwa na ile rangi nyeusi na ndiyo maana mtu huonekana kana kwamba ana ngozi nyeusi.", "Eneo\nMakadirio ya eneo yana faida nyingi katika maisha ya kila siku. Nikitaka kupiga rangi kuta za chumba naweza kupima maeneo yote ya kuta zake. Kwa mfano chumba cha mita 3x4 na kimo cha mita 2 lina eneo la kuta zake za 28 m² (Kuta 2 zenye upana wa mita 3 x kimo mita 2 ni 2x3=6 x kimo 2 = 12m²; kuta 2 zenye upana wa mita 4 ni 2x4= 8 x kimo 2= 16 m²; 16m²+18m² = 28 m²). Nikijua hii naweza kuuliza dukani je wana rangi gani kwa ajili ya ukuta na kopo la rangi linatosha kwa mita za mraba ngapi? Wakisema 10 m ² najua nitahitaji kununua kopo 3. Katika mfano wa juu naweza kutoa eneo la mlango na madirisha labda zinatosha kopo 2 kubwa na 1 ndogo.", "Kijogoo-shamba\nVijogoo-shamba au bandabanda ni ndege wa familia Eurylaimidae. Wana domo pana na spishi nyingi zina rangi kali lakini zile za Afrika ni kahawia na nyeupe zenye michirizi myeusi isipokuwa kijogoo-shamba kijani ambaye ana rangi ya majani. Ndege hawa wanatokea misitu mizito. Hula matunda na hukamata wadudu kwa namna ya shore au chechele. Hupenda kuwa kwa makundi ya hadi kufikia ndege 20. Tago la vijogoo-shamba ni mjengo mkubwa (mpaka nusu mita) unaofungika na wenye mwingilio kwa upande wake. Limefumika kwa vitawi, manyasi na majani na kufunikika kwa tando za buibui, vigoga na kuvumwani. Jike huyataga mayai 1-3.", "Gowee\nGowee kijivu Gowee tumbo-jeupe Gowee uso-mweusi", "Gowee\nGowee au kore ni ndege wa jenasi Corythaixoides katika familia Musophagidae. Jina lako linatoka sauti yao inayosikika kama “gwee” au “gowee” (Waingereza wasikia \"go-away\" na huitwa ndege hawa Go-away-bird). Huitwa shorobo pia kama spishi nyingine za Musophagidae.", "Membe\nMembe ni ndege wa jenasi \"Numenius\" katika familia ya Scolopacidae. \"Bartramia longicauda\" ana mnasaba sana na membe. Ndege hawa ni wakubwa kabisa katika familia hii. Wana miguu mirefu na mdomo mrefu unaopingwa chini (isipokuwa \"Bartramia\"). Wana rangi kahawia na madoa na michirizi nyeupe mwaka mzima. Hutafuta chakula kwa matope wakiingiza mdomo mrefu wao, na hula nyungunyungu, daa, wadudu na gegereka. Hutaga mayai 3-6 ardhini kwa manyasi.", "Mbuni\nDume la mbuni ana harimi ya majike 2-7 lakini moja tu anatawala. Dume hupanda majike yote ya harimi yake na majike huyataga mayai yao yote katika tago moja ambalo dume amelitengeneza. Jike anayetawala hutaga kwanza na baadaye hutupa mayai ya majike wasio na nguvu sana. Kwa kawaida hubakisha mnamo mayai 20. Majike huyaatamia mayai mchana na dume huifanya usiku, kwa sababu rangi ya jike inafanana na mchanga na rangi ya nyeusi ya dume haionekani usiku.", "Punda milia\nIliaminika hapo awali kuwa punda milia walikuwa kwanza na rangi nyeupe ndipo mistari ikatokea, sababu tu wana sehemu nyeupe ya chini ya tumbo. Hata hivyo utafiti katika ukuaji hasa hatua nyakati za kijusi, imeonekana kuwa mnyama huyu ana rangi nyeusi na michirizi myeupe na tumbo nyeupe kuja baadaye kama nyongeza.", "Gowee\nJamii:Shorobo na jamaa", "Mbwa Mchungaji wa Kijerumani wa Zamani\nWakati wa uumbaji wake Mbwa Mchungaji wa Kijerumani wa kisasa alizalishwa ili kuwa na nguvu na uwezo wa kufanya kazi na sura moja sawa. Mbwa Mchungaji wa Kijerumani alizalishwa kwa ajili ya uwezo wa kufanya kazi na hivyo sura yake ni tofauti na mbwa wengi lakini sawa na Mbwa Mchungaji wa kisasa wa Kijerumani ambaye ana nywele ndefu lakini na rangi tofauti . Kiwango hiki kinaruhusu ngozi yoyote na miguso mbalimbali . [5] Mwa huyu ana ukubwa sawa na mbwa wa kawaida wa mbwa mchungaji wa Kijerumani; 55 and 65 centimetres (22 and 26in) anapokomaa huwa22 and 40 kilograms (49 and 88lb) lakini ni anajulikana wamekuwa wakubwa. [6]", "Furukombe wa Afrika\nNdege anayefanana naye zaidi ni Furukombe wa Madagaska (H. vociferoides) ambaye yumo hatarini sana kuangamizwa. Kama tu tai wote wa bahari wenye aina mbili maalum, huyu ana spishi mwenye kichwa cheupe (Furukombe) na mwingine mwenye kichwa cha hudhurungi. Hawa ni ndege wa zamani sana, na kwa hivyo wao huwa na makucha, midomo, na macho ya rangi nyeusi (Wink na wengineyo, 1996). Spishi wote wawili wana angalau mikia yenye rangi nyeupe, ikiwemo hata makinda.", "Vanga\nVanga (kutoka Kimalagasi: ) ni ndege wa familia Vangidae. Wanatokea Madagaska tu isipokuwa vanga buluu wa Komori ambaye anatokea kisiwa cha Mwali katika Komori. Takriban spishi zote zina rangi ya nyeusi, kijivu au kahawa juu na nyeupe au pinki chini, lakini chache zina rangi ya buluu na vanga domo-buluu ni mweusi mwenye mgongo mwekundu na vanga wa Bernier ni mweusi kabisa (jike ana rangi ya kahawa). Ndege hawa wana sauti ya filimbi. Hula wadudu, nyungunyungu, mijusi na amfibia, pengine matunda pia. Hulijenga tago lao kwa vijiti, chamba cha mti, mizizi na majani mtini. Jike huyataga mayai 2-4.", "Kipwita\nVipwita ni ndege wa jenasi \"Phalaropus\" katika familia ya Scolopacidae. Ndege hawa wana rangi ya nyeupe na kijivu. Wakati wa majiri ya kuzaa hupata rangi ya nyekundu angalau kwa ukosi wao (kipwita mwekundu ni mwekundu kwa mwili wote). Wanaweza kuogelea sana kwa sababu vidole vyao vina ndewe. Jike ana rangi kali kuliko dume na huanzisha ubembelezi. Dume huatamia na hutunza makinda. Mayai hutagwa tundrani kwa kanda za akitiki au mbugani kwa Amerika Kaskazini (Wilson’s phalarope). Nje ya majiri ya kuzaa hupisha wakati wao takriban wote kwa bahari kuu. Huonekana pia mara kwa mara kwa maziwa ya chumvi. Hula wadudu na gegereka.", "Domomwiko\nDomomwiko ni ndege wa nusufamilia Plataleinae katika familia ya Threskiornithidae ambao wana miguu mirefu na domo lenye umbo wa mwiko. Rangi yao ni nyeupe isipokuwa Roseate Spoonbill ambaye ana rangi ya pinki. Hulipeleka domo lao huku na huku katika maji machache na wakisikia kiumbe mdogo kama samaki mdogo, mdudu au gegereka, hulifunga upesi ili kukamata windo. Hujenga tago lao juu ya miti au matete, mara nyingi pamoja na kwarara, yangeyange na koikoi. Jike huyataga mayai 2-5.", "Kipululu\n\"-Kwa kiunzi cha binadamu tazama makala \"Kiunzi cha mifupa\"-\"\nVipululu (pia vipururu) ni ndege wa familia Turnicidae. Spishi moja inaitwa kiunzi pia (tazama orodha ya spishi). Ndege hawa wanafanana tombo lakini hawana mnasaba na hawa. Wana rangi ya mchanga na madoa meusi au kahawia. Hawapendi kupuruka. Jike ana rangi kali kuliko dume na huanzisha ubembelezi. Dume huatamia na hutunza makinda.", "Gowee\nCorythaixoides concolor, Shorobo au Gowee Kijivu (Grey Go-away Bird) Corythaixoides leucogaster, Shorobo au Gowee Tumbo-jeupe (White-bellied Go-away Bird) Corythaixoides personatus, Shorobo au Gowee Uso-mweusi (Bare-faced Go-away Bird)", "Shorobo\nShorobo mkuu Gowee kijivu Gowee tumbo-jeupe Shorobo tumbo-michirizi Shorobo mkia-miraba Shorobo uzuri Shorobo zambarau Shorobo wa Knysna Shorobo kishungi-chekundu Kulukulu Shorobo buluu Shorobo kishungi-cheupe Shorobo-pwani Shorobo domo-njano Shorobo kijani", "Shorobo\nCorythaeola cristata, Shorobo Mkuu (Great Blue Turaco) Corythaixoides concolor, Shorobo au Gowee Kijivu (Grey Go-away-bird) Corythaixoides leucogaster, Shorobo au Gowee Tumbo-jeupe (White-bellied Go-away-bird) Corythaixoides personatus, Shorobo au Gowee Uso-mweusi (Bare-faced Go-away-bird) Crinifer piscator, Shorobo Tumbo-michirizi (Western Plantain-eater) Crinifer zonurus, Shorobo Mkia-miraba (Eastern Plantain-eater) Musophaga rossae, Shorobo Uzuri (Ross's Turaco) Musophaga violacea, Shorobo Zambarau (Violet Turaco) Ruswenzorornis johnstoni, Shorobo wa Ruwenzori (Ruwenzori Turaco) Tauraco bannermani, Shorobo wa Bannerman (Bannerman's Turaco) Tauraco corythaix, Shorobo wa Knysna (Knysna Turaco) Tauraco erythrolophus, Shorobo Kishungi-chekundu (Red-crested Turaco) Tauraco fischeri, Kulukulu (Fischer's Turaco) Tauraco hartlaubi, Shorobo Buluu (Hartlaub's Turaco) Tauraco leucolophus, Shorobo Kishungi-cheupe (White-crested Turaco) Tauraco leucotis, Shorobo Domo-machungwa (White-cheeked Turaco) Tauraco livingstonii, Shorobo-pwani (Livingstone's Turaco) Tauraco macrorhynchus, Shorobo Domo-njano (Yellow-billed Turaco) Tauraco persa, Shorobo Kijani (Green au Guinea Turaco) Tauraco porphyreolophus, Shorobo Kishungi-zambarau (Purple-crested Turaco) Tauraco ruspolii, Shorobo wa Ruspoli (Prince Ruspoli's Turaco) Tauraco schalowi, Shorobo Kibwenzi (Schalow's Turaco) Tauraco schuettii, Shorobo Domo-jeusi (Black-billed Turaco)", "Furukombe wa Afrika\nFurukombe ni ndege mkubwa, na ule wa kike ana uzani wa kilo 3.2-3.6 (paundi 7-8) na ni mkubwa kuliko ule wa kiume ambaye ana uzani wa 2-2.5kg (paundi 4.4-5.5). Ndege wa kiume kawaida huwa na mabawa yenye upana wa mita 2 (futi 6), huku ndege wa kike wakiwa na mabawa yenye upana wa mita 2.4 (futi8). Urefu wao ni sentimita 63-75 (incha 25-30). Wao huweza kutofautishwa rahisi sana na ndege wengine huku miili yao ikiwa ya rangi ya kahawia, na mabawa yao meusi huwa na nguvu nyingi. Kichwa, kifua na mkia ya furukombe wote ina rangi nyeupe kama theluji na mdomo uliojipinda, ambao mara nyingi ni wa rangi ya samawati lakini ncha yake huwa nyeusi.", "Tandala\nTandala ni wanyama wa jenasi \"Tragelaphus\" katika familia Bovidae. Spishi nyingine huitwa bongo, kulungu, malu, nyala au nzohe. Wanatokea Afrika katika maeneo yenye miti kutoka nyika hadi msitu. Wana milia na madoa nyeupe juu ya rangi ya kahawa au kijivu. Dume ni kubwa kuliko jike na ana pembe ndefu zilizopotolewa. Jike hana pembe. Wanyama hawa hula majani, manyasi, matunda na viazi vya gugu.", "Nyati-maji wa mwitu\nAkiwa na uzito zaidi ya tani moja, nyati-maji wa mwitu ni mnyama mkubwa mwenye nguvu sana aliye na pembe pana kuliko wanyama wengine wote katika familia ya Bovidea. Pembe hizo zina umbo wa hilali na ni nzito kwenye tako na nyembamba karibu na ncha, na madume wana pembe pana kuliko majike. Mara nyingi hizo pembe zina upana zaidi ya mita\nmbili. Kwato kubwa zinazotanuka pia ni faida kwa kutembea katika matope na vinamasi pale wanapokula nyati hao. Mnyama huyo ana manyoya marefu ya kutawanyika, yenye rangi ya kijivu hadi nyeusi, na ana miguu meupe-michafu chini ya magoti. Mkia wake ni mrefu kiasi mwenye manyoya zaidi kwenye ncha yake, naye ana alama ya 'V' nyeupe katika chini ya shingo yake.", "Bonobo\nBonobo huwa na miguu mirefu, midomo yenye rangi ya pinki na uso mweusi. Nywele juu ya kichwa zinaelea upande kuanzia katikati juu ya kichwa. Kwa jumla katika jamii zao kike mzee ana nafasi kubwa.", "Sululu-uzuri\nSululu-uzuri (au Sururu-uzuri) ni ndege wa jenasi \"Rostratula\" na \"Nycticryptes\" katika familia Rostratulidae. Wakifanana na sululu, kwa kweli wana mnasaba zaidi na sile-maua. Wana rangi kali kuliko sululu na jike, kama yule wa sile-maua, ni mkubwa na ana rangi kali zaidi kuliko dume ambaye aatamia mayai na kutunza makinda. Wanatokea katika vinamasi na mabwawa ya matete na hutembea wakati wa utusitusi na mwanzo wa usiku. Hula mbegu, wadudu, gegereka, makoa na nyungunyungu. Jike hutaga mayai 2-4 ndani ya tundu juu ya biwi la mimea.", "Madende\nMadende ni ndege wa jenasi \"Cichladusa\" katika familia ya Muscicapidae. Zamani waliainishwa katika familia ya mikesha (Turdidae). Wana mnasaba na kurumbiza na wanafanana nao.\nWana rangi ya kahawa mgongoni na nyeupe chini; madende madoadoa ana madoa meusi kidarini na tumboni. Hawa ni ndege wa misitu mikavu ya Afrika. Madume ya spishi hizi waimba vizuri. Hula wadudu hasa. Hujenga tago lao kwa umbo wa kikombe katika au chini ya kichaka. Jike huyataga mayai 2-4.", "Tausi\nDume ana rangi ing’aayo ya majani au buluu na mkia wake ni mrefu mwenye rangi nyingi. Jike ana rangi inayofifia pengine kahawia tu. Jinsia zote zina ushungi. Dume hukoga mkia kwa ubembelezi. ", "Shaunge\nShaunge ni ndege wa jenasi \"Porphyrio\" katika familia ya Rallidae. Huitwa kukutanda pia. Wanafanana sana na kukuziwa lakini rangi yao ni buluu au zambarau. Wana kigao chekundu isipokuwa \"Porphyrio flavirostris\", ambaye ana kigao njano, na \"P. martinicus\", ambaye ana kigao buluu. Mwenendo wao ni kama kukuziwa.", "Walarasi\nNgozi ni ya hudhurungi yenye kunyanzi inayoonekana kama inabadilisha rangi kulingana na halijoto, kwa sababu wakati anapohisi joto, utiririshi wa damu kuelekea usoni mwa ngozi huongezeka ili kumpoza. Tendo hili humpatia walarasi sura nyekundunyekundu na huonekana kama ana madoadoa. Anapohisi baridi, utiririshi wa damu kuelekea usoni mwa ngozi hupunguzika, kumpatia sura ya kukwajuka. Tabaka ya shahamu kubwa iliyo na upana wa hadi sentimita 15 inayomkinga kutoka kwa baridi.", "Kinyonga\nVinyonga au vigeugeu (jina la kisayansi: \"Chamaeleonidae\") ni aina za mijusi. Wana miguu kama kasuku, ulimi ndefu na pia spishi fulani zina pembe au uwezo wa kugeuka rangi zake. Wanapatikana katika Afrika, Madagaska, Hispania na Ureno, Kusini mwa Asia, Sri Lanka na hata Hawaii, Kalifonia na Florida, na pia wanapatikana msituni mwa mvua au jangwani.\nVinyonga wengine huwa na sumu. Kwa mfano, kinyonga wa Namakwa ana sumu kiasi cha kuweza kumpofusha binadamu." ]
79
Kangaruu anabeba mimba kwa muda gani?
[ "Kangaruu\nYai la kangaroo jike huwa ndani ya ovari na hushuka mpaka kwenye uterasi tayari kwa ajili ya kurutubishwa.kijusi hukua kwa haraka sana na kutoka nje baada ya siku 33, kwa kawaida huwa anazaliwa mtoto mmoja tu. Mtoto huyo huwa haoni hana nywele na urefu wa sentimeta chache sana miguu yake ya nyuma huwa inakuwa haijakuwa hivyo hutumia tu miguu ya mbele kujisogeza kwenye mfuko wa mama yake, na huchukua dakika tatu mpaka tano. Akifika ndani ya pochi huanza kunyonya. Baada ya siku 150, mtoto anaweza kutokeza nje kwa mara ya kwanza. Baada ya kuchunguila chungulia nje kwa siku kadhaa na kuona kuwa ni salama. Baada ya hapo hutumia muda wake mwingi kuchungulia nje duniani na baada ya siku 235, hutoka nje ya pochi kwa mara ya mwisho." ]
[ "Ali Baba na Wezi Arobaini\nBaada ya kuondoka kwa kundi la majambazi Ali Baba anaenda kwa sehemu alipoona uwazi na kusema maneno aliyosikia. Mlango unafunguka na Ali Baba anayeingia ndani anaona pango kubwa katika mwamba linalojaa mifuko ya dhahabu, almasi na pesa pamoja na bidhaa nyingi yenye thamani. Ali Baba anabeba kiasi cha dhahabu kwake nyumbani na kuionyesha kwa mke wake. ", "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "Kangaruu\nKangaruu wamejijengea maungo kadhaa yanayo wawezesha kuishi katika makazi yasiyo na rutuba na hali ya hewa yenye kubadilika badilika Bila kutegemewa wakati wa ukame msimu usio wa mvua, Ngamia dume hawazalishi manii, nao kangaroo jike hushika mimba tu kama kuna mvua ya kutosha ya kuzalisha kiasi kikubwa cha majani.", "Kangaruu\nNyama ya kangaroo hupikwa kwa namna mbalimbali. Nyama hii tena ni chakula kwa watu wa Aboriginal.’", "Kangaruu\nKwa matumizi ya kawaida neno hili hutumika kuelezea spishi hii kutoka kwenye familia kubwa hasa wale wa jenasi ya Macropus, kangaruu mwekundu, kangaruu wa kijivu wa magharibi na kangaruu wa kijivu wa mashariki. Kangaruu ni wazawa wa bara la Australia. Jamii nyingine kangaruu wengine wanapatikana pia Australia na New Guinea.", "Kangaruu\nKangaruu hula nyasi na majani ya vichaka, spishi ndogo za kangaruu hula fungi. Spishi nyingi huchanganyika usiku na hutumia muda mwingi wa mchana kupumzika kivulini, na kutembea kutafuta chakula jioni tulivu, usiku na asubuhi. Kwa sababu ya ulaji wake meno ya kangaroo yamejifanyia meno mengine maalum. Meno yake chonge yanauwezo wa kung’ata nyasi chini kabisa karibu na ardhi na magego yake kwa ajili ya nyasi.mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kama ya chakula usio toa gesi ya methane. Licha ya kuwa na utaratibu wa mfumo wa mmengenyo wa chakula kama wa wanyama wengine wala nyasi, mfano ngombe ambao hutoa kiasi kikubwa cha methane; wakati wa kutoa hewa kangaruu hawatoi nje gesi ya methane. Hewa ya hidrojeni badala ya kuwa methane, hubadilishwa na huwa kemikali ya aseteki, ambayo hutumika kutengeneza nishati zaidi. Wanasayansi wa mimea wanashauku kubwa ya kubainisha bakteria wanaofanya kazi hiyo toka kwa kangaroo mpaka kwa ng'ombe sababu gesi ya methane hutoka kwa ng'ombe. Ng’ombe huchangaia uchafuzi wa hali ya hewa mara 23 zaidi kuliko hewa ya ukaa.", "Kangaruu\nKangaruu (kutoka Kiing.: kangaroo) ni jina la wanyama mamalia wa spishi mbalimbali walio wenyeji wa Australia. Wote ni wala majani wanaobeba watoto wao wachanga ndani ya pochi ya ngozi iliyopo nje ya mwili juu ya tumbo wakiwa spishi zinazojulikana zaidi ya wanyama wa ngeli ndogo ya marsupialia. Familia ya spishi zao huitwa kwa jina la bioloja \"Macropodidae\" yaani wenye miguu mikubwa (Kigiriki makrós (kubwa) na poús (mguu)). Kuna spishi zaidi ya 60 zinazojulikana.", "Kangaruu\nKwa muda mrefu Ulaya ilimuona kangaroo kama mnyama wa ajabu watu wa mwanzo walisema kuwa kangaroo wanakuwa kama tandala (bila ya pembe); amesimama kama binadamu na anaruka kama chura. Kangaroo wana miguu ya nyuma yenye nguvu, maalumu kwa ajili ya kuruka, mkia mrefu wa nyuma wenye misuli kwa ajili ya balance, na kichwa kidogo, kangaroo jike huwa na mfuko (masupilim) ambamo mtoto humalizia kukua akiwa humo ndani.", "Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba\nKatika kutumia ufahamu wa uwezo wa kushika mimba hakuna madhara yanayotokana na teknolojia inayotumiwa na mbinu nyingine. Kwa jumla hakuna madhara yoyote ya utumiaji, isipokuwa yanayoweza kutokea kwa kuingiza vidole ndani ya uke ili kuchunguza seviksi (kama inavyopendekezwa na baadhi ya mbinu). Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza ukatumika pamoja na vifaa vya kuzuia mimba ili kuendelea kujamiiana katika kipindi ambapo kuna uwezekano wa kupata mimba. Tofauti na utumiaji wa vifaa hivyo bila ufahamu wa uwezo wa kushika mimba, ufahamu huo unawezesha kutumia vizuiamimba siku chache tu, na hivyo kupunguza madhara yanayoletwa navyo. Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba hauna gharama au ni nafuu sana. Watumiaji wanaweza wakahitaji kununua chati, kalenda, kipimajoto, au tarakilishi, au pengine kumlipa mkufunzi. Kwa vyovyote gharama ni ya chini ikilinganishwa na mbinu nyingine. Tofauti na mbinu nyingine mbalimbali ambazo zina athari za muda mrefu, ufahamu wa uwezo wa kushika mimba unawezesha kubadili mara moja kutoka uamuzi wa kuzuia mimba hadi ule wa kuilenga.", "Kangaruu\nZaidi kuna wanyama wengine jamii ya macropods wanaohusiana kwa ukaribu na kangaroo kwenye familia ya macropods", "Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba\nWasipotumia vifaa vya kizuia mimba katika kipindi ambapo mimba inaweza kutungwa, wanandoa wanalazimika waache ngono. Ila kupunguza uwezekano wa kupata mimba uwe chini ya 1% kwa mwaka, katika kila mzunguko kuna takriban siku 13 ambapo lazima waache ngono.[29] Kwa wanawake wenye mzunguko unaobadilikabadilika sana - kama ilivyo kawaida wakati wa kunyonyesha, karibu na hedhi kwisha kabisa, au kwa wenye magonjwa ya homoni (kama vile Polycystic ovary syndrome = PCOS) kuacha kujamiiana au kutumia vizuizi kunaweza kuhitajika miezi mfululizo. Wengi hawana motisha au nidhamu ya kutosha wafanye hivyo kwa muda mrefu. Wanaposhindwa kufuata masharti, ni rahisi kupata mimba isiyopangwa. Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba haukingi dhidi ya maradhi ya zinaa.[30]Ndiyo maana inafaa zaidi kati ya watu ambao ni waaminifu wao kwa wao, kama watu wa ndoa.", "Umwilisho\n26 Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti, 27 kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu. 28 Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe. 29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani? 30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. 31 Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. 32 Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake. 33 Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho. 34 Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili, maana sijui mume? 35 Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu. 36 Tena, tazama, jamaa yako Elisabeti naye amechukua mimba ya mtoto mwanamume katika uzee wake; na mwezi huu ni wa sita kwake yeye aliyeitwa tasa; 37 kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu. 38 Mariamu akasema, Tazama, mimi ni mjakazi wa Bwana; na iwe kwangu kama ulivyosema. Kisha malaika akaondoka akaenda zake.", "Utoaji mimba\nKwa jumla, msimamo wa watetea uhai ni kuwa kijusi cha binadamu ni binadamu aliye na haki ya kuishi hivyo kuavya mimba ni sawa na uuaji. Msimamo wa wanaodai uhuru wa kuchagua ni kuwa mwanamke ana kiwango fulani cha haki kuhusu tumbo la uzazi hata kuchagua ikiwa atabeba mimba kwa muda wote au la.", "Depo-Provera\nDepot medroxyprogesterone acetate (DMPA) ni njia ya homoni ya kukinga mimba iliyo na projesteroni pekee inayodumu kwa muda mrefu na huweza kuondolewa mwilini,ambayo hudungwa kila baada ya miezi 3. Ni mchanganyiko mzito wa sindano ya depoti ya pregnane 17α-hydroxyprogesteroni- iliyotolewa kwa progestini ya \"medroksiprogesteroni acetate.\"", "Kangaruu\nKwa sababu ya wayo zake kubwa hawawezi kutembea vizuri na kwa kasi ndogo. Anatumia mkia wake na miguu ya mbele,kuweka kiegemeo cha miguu mitatu na kasha husogeza miguu yake miwili mikubwa. Kangaruu huishi kwa miaka mine au sita (4-6).", "Kangaruu\nMacropus rufus, Kangaruu Mwekundu (Red kangaroo) ndiye mkubwa kuliko wengine wote wachache kwa idadi na hupatikana kwenye sehemu kama kidogo za bara, dume mkubwa huweza kufikia hata urefu wa mita 2 na uzito wa kg 90. Macropus giganteus, Kangaruu Kijivu Mashariki (Eastern grey kangaroo) hawafahamiki sana nje ya Australia lakini huonekana sana hasa maeneo ya mashariki mwa bara. Macropus fuliginosus, Kangaruu Kijivu Magharibi (Western grey kangaroo) huyu ni mdogo kiasi,karibu kg, 54 kwa dume mkubwa hupatikana mashariki mwa Australia, kusini mwa Australia na kwenye bonde la mto Darling. Macropus antilopinus, Kangaruu Swala (Antilopine kangaroo) kwa uhalisia, wanapatikana kaskazini zaidi ukilinganisha na wengine kama wao, ni viumbe wa nyikani na msituni na huishi kwa makundi makundi.", "Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba\nJoto la msingi la mwili ni joto la mwili wa mtu linalopimwa wakati wa kwanza anapoamka asubuhi (au baada ya usingizi wa muda mrefu zaidi katika siku). Miongoni mwa wanawake, kudondoshwa kijiyai husababisha joto kupanda kwa 0.3°C hadi 0.9° C (0.5°F hadi 1.6°F) na kubakia hivyo kipindi chote hadi wakati wa hedhi ijayo. Mabadiliko hayo ya joto yanaweza kutumika kubaini mwanzo wa kipindi cha kutoweza kutungika mimba kabla ya kudodosha kijiyai.", "Nguruwe-kaya\nKuzaa huwezekana msimu wote wa mwaka katika ukanda wa tropiki, lakini hasa misimu ya mvua. Nguruwe jike huweza kubeba mimba akiwa na miezi 8 mpaka 18. Kisha ataanza kupata hedhi kwa muda wa siku 21 kama hajashika mimba.", "Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba\nUfahamu wa uwezo wa kushika mimba unaweza kutumika pia kwa lengo la kupata mimba ya jinsia inayotamaniwa zaidi.[52] Maharusi wanaweza kuchagua mtoto wa kiume au wa kike kwa 85% ya hakika wakifanya tendo la ndoa kwa kupanga kulingana na ute wa uke kuwa wa kuvutika na kuteleza au siyo. Ni kwamba jinsia ya mimba inategemea tu kromosomu za mbegu za baba ambazo ni nusunusu: X kwa kuzaa watoto wa kike na Y kwa kuzaa watoto wa kiume. Mbegu zenye kromosomu X ni dhaifu kidogo nazo huogelea polepole, lakini zinaishi muda mrefu. Kumbe zenye kromosomu Y zina nguvu zaidi na kuogelea upesi, lakini hufa upesi.", "Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba\nKitabu fulani kinasema kuacha ngono kwa muda kulipendekezwa na \"watu wachache wasio wa dini tangu katikati ya karne ya 19\",[4] lakini katika karne ya 20 ushawishi mkuu uliohamasisha mbinu za ufahamu wa uwezo wa kushika mimba ulitoka katika Kanisa Katoliki.", "Pomboo\nPomboo hujamiiana kwa vipindi vifupi lakini mara nyingi katika muda mfupi. Hubeba mimba kwa muda wa miezi 11-12 kutokana na spishi husika. Pomboo huanza mapema sana kuwa tayari kujamiiana katika umri mdogo, na umri hasa wa kukomaa kijinsia hutofautiana kutoka spishi moja mpaka nyingine.", "Prekilampsia\nVipengele vya hatari vya PE hujumuisha: unene, hipatensheni iliyotokea awali , uzee, na kisukari tamu.[2][4] Hali hii pia hutokea mara nyingi zaidi katika mimba ya kwanza ya mwanamke na ikiwa anabeba pacha.[2] Utaratibu wa kimsingi huhusisha utaratibu usio wa kawaida wa kuundika kwa mishipa ya damu kwenye plasenta kando na vipengele vingine.[2] Visa vingi hutambuliwa kabla ya kuzaa. Mara nadra, prekilampsia inaweza kuanza kipindi cha baada ya kuzaa.[3] Ingawa kihistoria shinikizo la juu la damu na uwepo wa protini kwenye damu ni vipengele vya kuthibitisha utambuzi wa ugonjwa huu, fasili zingine pia zinajumuisha vilivyohitajika hipatensheni na ukosefu wa utendakazi wowote wa viungo.[3][5] Shinikizo la damu hufasiliwa kama la juu likizidi mmHg 140 la sistoli au mmHg 90 la diastoli nyakati mbili tofauti, vya tofauti ya zaidi ya saa nne katika wanawake baada ya wiki ishirini za ujauzito.[3] PE huchunguzwa mara kwa mara wakati wa utunzaji wa kabla ya kuzaa.[6]", "Depo-Provera\nTrussell hakutumia viwango vya kutofaulu vya NSFG vya mwaka wa 1995 kwa dawa zingine mbili mpya zilizopatikana za muda mrefu za kukinga mimba zilizokuwa zimevumbiliwa, kibandiko cha Norplant (2.3%) na shaba ya T ya ParaGard 380A IUD (3.7%), ambazo zilikuwa (kama Depo -Provera) zenye amri ya kiwango cha juu kuliko katika majaribio ya kliniki. kwa vile Norplant na ParaGard haikubali wigo kwa makosa ya mtumizi, viwango vyao vya juu zaidi vya kutofaulu vya mwaka wa 1995 vya NSFG vilichangiwa na Trussell kwa kutoa habari zaidi wakati wa kupata mimba hivyo kuelekea kuzaa.", "Ujauzito\nIngawa katka lugha kadhaa yanatumika majina mbalimbali kwa mimba hiyohiyo kadiri muda wa kukua unavyozidi kwenda, hakuna badiliko la msingi wala hatua mpya, bali ni ustawi endelevu.", "Ndovu\nTembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82.", "Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba\nMizunguko mingi ya hedhi huwa na siku kadhaa za mwanzo ambapo mimba haiwezi kupatikana (muda wa kutoshika mimba kabla ya kudondosha kijiyai), halafu siku ambazo mimba inaweza kutungika, na kisha siku kadhaa tu kabla ya hedhi ambazo mimba haiwezi kutungika ( muda wa kutoshika mimba baada ya kijiyai kudondoshwa). Siku ya kwanza ya kuvuja damu inahesabiwa kuwa siku ya kwanza ya mzunguko wa hedhi. Mbinu mbalimbali za kufahamu uwezo wa kushika mimba huhesabu kwa njia tofauti kidogo kipindi ambapo kuna uwezekano wa kupata mimba, yaani hutumia ishara za msingi za uwezekano huo, historia ya mzunguko, au zote mbili.", "Kangaruu\nKangaruu wakubwa wamezoea mabadiliko yaliyosababishwa na kilimo cha kibinadamu katika mazingira yao asilia lakini wale wa spishi za wadogo wengi wapo hatarini. Hawafugwi kwa lolote lakini kangaroo wa mwituni wanawindwa kwa ajili ya nyama, michezo na kulinda malisho ya kondoo na ngombe japo kwa vipingamizi. Uwindaji wa kangaroo una faida kubwa kimazingira na kiafya kwa ngombe na kondoo wanaochungwa kwa ajili ya nyama.", "Udhibiti wa uzazi\nKufaulu kwa mbinu huelezwa kama asilimia ya wanawake wanaoshika mimba wanapoitumia njia hiyo kwa muda wa mwaka mmoja na wakati mwingine kama kiwango cha kufeli cha maisha kati ya mbinu zinazofaa zaidi, kama vile, ukataji wa neli.", "Udhibiti wa uzazi\nWengine huchukulia kujinyima ngono kama njia ya kudhibiti uzazi kwa vijana, ila wengine wanaona mafundisho ya usafi wa moyo yatumiwapo bila vifaa yanaweza kuongeza mimba kutokana na udhaifu wa wahusikana wanadai kuwa mafunzo ya ngono kwa undani pamoja na upatikanaji wa vifaa hupunguza idadi za mimba zisizotarajiwa katika kikundi hiki.Ilhali aina zote za udhibiti wa uzazi zinaweza kutumiwa na vijana,udhibiti wa uzazi usio wa kudumu unaotenda kazi kwa muda mrefu kama vile vipandikizi, vitanzi na pete za ukeni zina manufaa maalum kwa kupunguza idadi ya mimba za vijana bila kuzuia uzazi baadaye. " ]
79
Mlima kenya ina ukubwa kiasi gani?
[ "Kenya\nEneo hili la milima ndilo la juu zaidi nchini Kenya (na la pili kwa urefu barani Afrika): Mlima Kenya, unaofikia urefu wa mita 5,199 (futi 17,0570) 5,199m (17,057ft) na ni eneo lenye mito ya barafu. Mlima Kilimanjaro (5,895m (19,341ft)Error in convert: Ignored invalid option \"disp=s\" (help)) huweza kuonekana upande wa kusini, ng'ambo ya mpaka wa Kenya na Tanzania .[7]" ]
[ "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "Tikitimaji\nKatika shamba la ukubwa wa shamba la ekali moja(1.acre) lililoandaliwa vizuri, kupandwa na kuhudumiwa vizuri mkulima ana uwezo wa kuvuna kiasi cha TANI 15-36, ambacho kitamsaidia kupata fedha zitakazo msaidia katika mahitaji yake mbalimbali na kuondokana na Umasikini. ", "Wilaya ya Nyeri\nWilaya hiyo ilikuwa na ukubwa wa eneo la kilomita mraba 3,356 katika maeneo ya kusini mashariki mwa Mlima Kenya. ", "Mlima Kenya\nMiamba inayounda Mlima kenya ni pamoja na basalt, rhomb porphyrite, phonolite, kenyte na trachyte.[20] Kenyte iliripotiwa kuonekana mara ya kwanza mwaka 1900 na Gregory katika utafiti wake wa jiolojia ya Mlima Kenya.[21]", "Transfoma\nTransfoma huwa katika ukubwa kutoka kwa transfoma ya RF chini ya sentimita ya ujazo kwa kiasi kwa vitengo vinavyounganisha gridi ya nguvu yenye uzito wa mamia ya tani.", "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro\nHifadhi hii ina ukubwa wa kilometa za mraba 755 na iko umbali wa kilometa 45 kutoka Moshi mjini, kusini mwa Mkoa wa Kilimanjaro, 2 ° 50'-3 ° 10'S latitude, 37 ° 10'-37 ° 40'E longitude.", "Posta\nKatika mfumo wa posta kila huduma ina bei yake inayotangazwa kutegemeana na ukubwa au uzito wa barua au kifurushi, pia kutegemeana na kasi ya kufikisha ujumbe au mzigo.", "John Henry Newman\nAlichangia kwa kiasi kikubwa (1851 - 1858) uundaji wa Catholic University of Ireland, ambayo leo inaitwa University College, Dublin na ni chuo kikuu kinachoshinda kwa ukubwa vingine vyote vya Ireland.", "Fiji\nFiji ina ukubwa wa kilomita za mraba 194,000, ambapo asilimia kumi tu ya eneo lote hilo ni ardhi, lingine likiwa maji ya bahari ya pasifiki.", "Hifadhi ya Ruaha\nHifadhi ya Ruaha iko katikati ya Tanzania umbali wa kilometa 128 magharibi ya mji wa Iringa. Hifadhi hii ina ukubwa wa kilometa za mraba 1300.", "Mlima Meru\nHifadhi hiyo ina ukubwa wa kilometa za mraba 137 na ipo umbali wa kilometa 35 kutoka mji wa kitalii wa Arusha na Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro. ", "Mungiki\nMnamo Novemba 2007, kundi la haki za binadama kiitwacho Oscar Foundation Free Legal Aid Clinic-Kenya kiliripoti kwamba katika miaka mitano hadi Agosti 2007, polisi wa kenya walikuwa wamewaua watu 8,000 katika opareshini dhidi ya kundi la Mungiki, na zaidi ya watu 4,000 bado hawajulikani walipo. Madai haya yalikuwa msingi wa mahojiano, ripoti za polisi, na ilisambazwa sana kote nchini kenya na kwa njia ya kukata rufaa kutoka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu Wakati huo huo,Tume ya Taifa ya haki za Binadamu kenya iliwahusisa polisi kwa utekelezaji wa mauaji ya wanachama 500 wa Mungiki kwa kipindi cha miezi mitano. Polisi walielezea taarifa hizi kama uwongo. Tarehe 5 Machi 2009, Mkurugenzi wa vuguvugu la oscar,Oscar Kamau Kingara na Mratibu wa Programu john paul oulo walipigwa risasi na kuuawa wakielekia kwa mkutano katika afisi za Tume ya Taifa ya Kenya ya Haki za Binadamu mjini Nairobi[11] [12] [13]. Mapema siku hiyo, msemaji wa serikali, Alfred Mutua, alidai hadharani na kukemea vuguvugu hilo kwa kukusanyanyia fegda kundi la mungiki.", "Hifadhi ya Ziwa Manyara\nHifadhi hii iko umbali wa kilometa 126 kutoka Arusha mjini ina ukubwa wa kilometa za mraba 330.", "Hakuna matata\nJambo, Jambo Bwana, habari gani? Mzuri sana!", "Ruwaza ya Kenya 2030\nSerikali ya Kenya ilitangaza wakati wa 2008 Summer Michezo ya Olimpiki mjini Beijin ina mpango kabambe wa kuwa mwenyeji wa Micheza ya Olimpiki mwaka 2028 kam amojawapo ya mipanngo ya kutimiza ruwaza ya kenya 2030.", "Hifadhi ya Tarangire\nHifadhi ya Taifa ya Tarangire ina ukubwa wa kilometa za mraba 2850 na iko umbali wa kilometa 118 Kusini Magharibi mwa mji wa Arusha nchini Tanzania.", "Nairobi\nNairobi, kama miji mingi mikubwa, ina matatizo mengi yanayotokea kwa sababu ya ukubwa wake. Watamaduni walioupanga mji wa Nairobi hawakutegemea kuwa utatanuka hivyo. Wataalamu wengi wametoa maonyo mengi kuhusu ukubwa wa mji huu na uwezo wake wa kuwahudumia wakazi wote ambao wanazidi kuongezeka kila mwaka.", "Trigonometria\nKwa hiyo kama pembe moja ya pembetatu ina nyuzi 90° na moja nyingine kati ya pembe tatu inajulikana basi hata ukubwa wa pembe ya tatu si siri tena. ", "Kinyarwanda\nMuraho = Habari gani?", "Chuo Kikuu cha Abuja\nKwa sasa Chuo Kikuu cha Abuja kiko Gwagwalada kwa muda tu, Abuja, Nigeria kwenye ardhi ya ukubwa kiasi cha heka 11,824 ardhi ambayo inaendela kujengwa kando na barabara ya Kaduna-Lokoja-Abuja Road.", "Tarafa ya Budalangi\nBudalangi yajulikana nchini kenya kwa sababu ya mafuriko yanayotokea kila mara mwakani.Licha ya sifa duni nchini,imeendelea kiuchumi,kilimo,kisiasa miongoni mwa maendeleo mengi sana.Kilimo kimenawiri budalangi hasa ukulima wa mpunga unaotegemea maji kutoka kwa mto nzoia.Ukulima huu unaendeshwa na serikali ya kenya kupitia bodi ya unyunyizaji wa mimea.Ukulima unawasaidia wananchi kwa kiwango kiubwa sana kujikimu kwa mahitaji yao ya kila siku.Kuna kilimo cha mimea mingine ikiwemo viazi,mboga,nafaka na kadhalika.", "Popo\nNusuoda Megachiroptera ina spishi kubwa hadi ukubwa wa paka na uzito wa kilogramu moja; urefu wa mabawa pamoja unaweza kufikia sentimita 150. Spishi hizi hula matunda.", "Mjoho kaki\nMjoho kaki ni mti mkubwa kiasi ambao huzaa matunda yenye rangi ya machungwa. Majoho yana ukubwa wa chenza hadi chungwa. Mti huu ni miongoni mwa miti iliyopandwa tangu zamani sana. Asili yake ni katika Uchina.", "Kaunti ya Kirinyaga\nMlima kenya na msitu unaouzunguka uko kaskazini mwa kaunti. Theluji ambayo huyeyuka kutoka Mlima Kenya hutengeneza mito, k.v. Mto Thiba na Mto Kiganjo. Mito mingine iliyo katika kaunti hii ni Mto Sagana, Mto Nyamindi, Mto Rupingazi, Mto Thiba, Mto Rwamuthambi and Mto Ragati.", "Hifadhi ya Mkomazi\nHifadhi hii ina ukubwa wa kilometa za mraba 3245 (Kilometa za mraba 2010.4 ni Mkomazi na Kilometa za mraba 1224.1 ni Umba).", "Jeraha sugu\nViwango vya chini vya tiba ya leza imeonyeshwa mara nyingi kupunguza kwa kiasi kikubwa ukubwa na ukali wa vidonda vya wagonjwa wa kisukari pamoja na vidonda vingine vya shinikizo.", "Jamhuri ya Watu wa China\nChina ina eneo la kilomita za mraba milioni 9.6 hivyo ni nchi ya tatu au ya nne[1] kwa ukubwa duniani.", "Hifadhi ya Arusha\nHifadhi hiyo ni ndogo (ina ukubwa wa kilometa za mraba 542 tu) lakini ina mandhari yenye maeneo matatu tofauti. ", "Kaunti ya West Pokot\nKaunti ya Pokot Magharibi ina eneo la ukubwa wa . Imepakana na Uganda (magharibi), Turkana (kaskazini), Trans Nzoia na Elgeyo Marakwet (kusini) na Baringo (kusini mashariki).", "Sam Ongeri\nSamson Kagengo Ongeri ni Mwanasiasa wa kenya na Mbunge katika Bunge la Kenya." ]
81
Mji mkuu Ethiopia ni upi?
[ "Historia ya Ethiopia\nMatokeo ya uchunguzi huo kama haijatokea mnamo Juni 2005, wanafunzi wa chuo kikuu walianza maandamano wakisaidiwa na wanamgambo wa Muungano wa Vyama vya Upinzani. Lakini serikali kwa kutoa amri ya kukomesha maaandamano, mnamo 8 Juni, watu 26 waliuliwa mjini Addis Ababa kwa msukosuko wa maandamano na wengine wengi kushikwa.", "Ethiopia\nየኢትዮጵያ ፌዴራላዊ ዲሞክራሲያዊ ሪፐብሊክ ye-Ityopp'ya Federalawi Dimokrasiyawi Ripeblik Shirikisho la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ethiopia (Bendera ya Ethiopia)(Coat of Arms of Ethiopia) Kaulimbiu ya Taifa: nara-pengine kwa historia (Pengine pia utamaduni wa Kanisa la ethiopia: Wimbo wa TaifaWodefit Gesgeshi, Widd Innat Ityopp'ya (Songa mbele, Ewe mama Ethiopia)Lugha za TaifaKiamhara Mji MkuuAddis AbabaRais Waziri MkuuSahlework Zewde Abiy Ahmed AliEneo - Jumla - 0.7% MajiKadiriwa 27 duniani 1,127,127 km² AchaWatu - Kadiriwa ( 37 duniani ) - Jumla (85,237,338) - Umma kugawa na Eneo 167.9Kadiriwa 14 duni 85,237,338 85,237,338 38/km² (103 duniani)GDP (PPP) - Jumla - kwa kipimo cha umma 72 kadir $59,930,000,000 (223) $800 (223)Uhuru - Kadirifu - BarabaraMadaraka) siku kuu Siku ya Ukombozi FedhaBirrSaa za EneoUTC +3Intaneti TLD.etkodi za simu251" ]
[ "Vietnam\nMji mkuu ni Hanoi lakini mji mkubwa ni Mji wa Ho Chi Minh (zamani: Saigon).", "Athi River\nMji huo ni makao ya Baraza la Mji wa Mavoko na ni mji mkuu wa divisheni ya Mavoko ambayo ni sehemu ya kaunti ya Machakos. ", "Bohemia\nMji mkuu wa Bohemia ni pia mji mkuu wa kitaifa ni Praha (Kiing.: Prague).", "Ngazija\nKuna takriban wakazi lakhi tatu na nusu. Mji mkuu ni Moroni ambao ni pia mji mkuu wa kitaifa.", "Mayotte\nMji mkuu ni Mamoudzou tangu 1977. Mji mkuu wa zamani ni Dzaoudzi kwenye kisiwa cha Pamanzi.Kuna lugha tatu ambazo hzungumzwa kisiwani Mayotte, yaani Kifaransa (lugha rasmi), Kimaore ya Komori, na Kibushi.", "Lalibela, Ethiopia\nKutokana na hali hiyo, mambo mengi ya asili katika mji huo yanatokana na majina ya Biblia, hata jina la mji wenyewe unaojulikana kama Mto Yordani. Ulibaki kuwa mji mkuu wa Ethiopia tangu karne ya 12 na karne ya 13.", "Des Moines, Iowa\nDes Moines ni jina la mji mkuu wa jimbo la Iowa nchini Marekani. Mji wa \nDes Moines ulianzishwa mnamo mwaka wa 1843 mahali ambapo Mto Raccoon na Mto Des Moines inapokutana. Mji wa Des Moines umekuwa mji mkuu wa Iowa mnamo mwaka wa 1857.", "Addis Ababa\nAddis Ababa (pia Addis Abeba; kwa Kiamhara አዲስ አበባ, \"Ua Jipya\"; kwa Kioromo \"Finfinne\") ni mji mkuu wa Ethiopia na wa Umoja wa Afrika. ", "Mji mkuu\nNigeria iliamua mwaka 1976 kuhamisha mji mkuu wa kitaifa kutoka Lagos kwenda mahali pa katikati ya nchi. \"Eneo la Mji Mkuu wa Shirikisho\" limeteuliwa. Mji mpya wa Abuja ndani ya eneo hili ukawa mji mkuu wa Nigeria mwaka 1991.", "Lalibela, Ethiopia\nMji huu ni wa pili kwa utakatifu ukifuatia ule wa Aksum, na pia ni patakatifu kwa ajili ya kufanyia hija kwa wakazi wengi wa nchini Ethiopia.", "Mji wa Basel\nMji wa Basel ni jina la kutaja jimbo liliopo nchini Uswisi. Iko kando ya mto Rhine. Mji mkuu wake ni Basel.", "Axum\nSherehe za kupokea nguzo hizo zilifanyika katika jiji la Paris Tarehe 4 Septemba 2008, ambapo viongozi mbalimbali kutoka nchini Ufaransa na Ethiopia walishiriki, ambapo waziri mkuu wa Ethiopia Meles Zenawi, alizitoa kwa raisi wa Italia kwa juhudi zake za kuzirudisha nguzo hizo nchini kwao.", "Jimbo la Mataifa ya Kusini, Ethiopia\nMji mkuu wa jimbo ni Awassa.Jimbo liko katika kusini ya nchi likipakana na Kenya upande wa kusini, Sudan upande wa magharibi na majimbo ya Ethiopia ya Gambela upande wa kaskazini na Oromia upande wa kaskazini, mashariki na kusini-mashariki.", "Ingushetia\nIngushetia (Kirusi: Ингушетия) ni jina la kutaja mkoa ulioko nchini Russia. Mji mkuu wake ni Magas. Mji mkubwa wake ni Nazran.", "Ethiopia\nMnamo 14 Novemba, Bunge la Ethiopia lilipitisha mkataba kuimarisha Kamisheni huru na kuchunguza visa vya 8 Juni na tarehe 1 na tarehe 2 Novemba. Februari 2006 Waziri mkuu wa Uingereza Tony Blair, alitamka kwamba, EPRDF kashinda kura, lakini angetaka kuona Ethipia ikitatua shida zake yenyewe na iendelee katika njia ya demokrasia. .", "Historia ya Ethiopia\nMnamo 14 Novemba, Bunge la Ethiopia lilipitisha mkataba kuimarisha Kamisheni huru na kuchunguza visa vya 8 Juni na tarehe 1 na tarehe 2 Novemba. Februari 2006 Waziri mkuu wa Uingereza Tony Blair, alitamka kwamba, EPRDF kashinda kura, lakini angetaka kuona Ethipia ikitatua shida zake yenyewe na iendelee katika njia ya demokrasia. .", "Lazio\nMji mkuu wake ni Roma, ambao ni pia mji mkuu wa taifa na mji mkubwa kuliko yote nchini.", "Fasilides wa Ethiopia\nFasilides (takriban 1603 – 18 Oktoba 1667) alikuwa mfalme mkuu wa Uhabeshi kuanzia 1632 hadi kifo chake. Jina lake la kutawala lilikuwa \"Alam Sagad\". Alikuwa ametangazwa kuwa mfalme mkuu mwaka wa 1630 wakati wa uasi wa Sersa Krestos lakini hakuweza kuchukua madaraka mpaka baba yake, Susenyos amejiuzulu. Wakati wa utawala wake Kanisa la kiorthodox lilipata nguvu tena. Fasilides aliwakataa wamisionari Wakatoliki. Pia alikuwa na mabalozi mpaka Uhindi. Aliyemfuata ni Yohannes I.", "Mekelle\nMekelle ni mji mkuu wa jimbo la Tigray katika Ethiopia ya kaskazini. Iko takriban 650 km kaskazini ya Addis Ababa. Idai ya wakazi ilikadiriwa mw. 2005 kuwa 220,000.", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Ufilipino\nMji mkuu wa Manila uko Luzon. Quezon City ni mji mkubwa. Cebu City ni mji mkubwa upande wa Visaya. Davao City ni mji mkuu wa Mindanao.", "Negus\nCheo hiki kilitumiwa katika historia ya Ethiopia na watawala mbalimbali wa majimbo kwa mfano wa Shewa, Gonder, Tigray na Gojam. Mtawala mkuu wa Ethiopia alitumia cheo cha \"Negus Negesti\" \"(pia: \"Negusa Nagast\" au mfalme wa wafalme)\" kinacholingana na \"Kaisari\".", "Mkoa Huru wa Hanty-Mansi\nMkoa Huru wa Hanty-Mansi ni jina la kutaja mkoa ulioko nchini Russia. Mji mkuu wake ni Hanty-Mansiysk. Mji mkubwa wake ni Surgut.", "Papa\nPapa ni pia mkuu wa nchi huru ya Mji wa Vatikano iliyopo ndani ya mji wa Roma (ambao ni mji mkuu wa Italia).", "Mji mkuu\nMji mkuu kwa kawaida ni mji wenye makao makuu ya serikali ya nchi fulani. Katika nchi nyingi mji huo ni pia mji mkubwa na muhimu zaidi kushinda miji mingine nchini. Huo ni sehemu yenye maendeleo makubwa sana katika nchi yoyote: ina kila huduma muhimu na miundombinu iliyo bora. Mfano: nchini Tanzania mji mkubwa ni Dar es Salaam, ingawa makao makuu ni Dodoma.", "Brazil\nMji mkuu ni Brasilia, uliopangwa na kujengwa kati ya 1957 na 1960. Mji mkubwa ni Sao Paulo.", "Afrika ya Mashariki\nBurundi (mji mkuu Bujumbura) Djibouti (mji mkuu Jibuti (mji)) Eritrea (mji mkuu Asmara) Ethiopia (mji mkuu Addis Abeba) Kenya (mji mkuu Nairobi) Komori (mji mkuu Moroni) Madagaska (mji mkuu Antananarivo) Malawi (mji mkuu Lilongwe) Morisi (mji mkuu Port Louis) Mozambique (mji mkuu Maputo Rwanda (mji mkuu Kigali) Zambia (mji mkuu Lusaka) Shelisheli (mji mkuu Victoria) Zimbabwe (mji mkuu Harare) Somalia (mji mkuu Mogadishu) Sudan Kusini (mji mkuu Juba) Tanzania (mji mkuu Dodoma) Uganda (mji mkuu Kampala)", "Mauritania\nMji mkuu ni Nouakchott. Mji wa pili na kitovu cha uchumi ni bandari ya Nouadhibou karibu na mpaka wa Sahara Magharibi.", "Menelik II.\nMenelik II (17 Agosti 1844 – 12 Desemba 1913) alikuwa mfalme mkuu wa Uhabeshi kutoka 1889 hadi 1913. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa \"Sahle Miriam\". Alikuwa mtemi (Ras) wa jimbo la Shoa kati ya 1865-1889. Akashinda katika mvurugo baada ya kifo cha Yohane IV kwa msaada wa Italia akakubaliwa mfalme mkuu wa Ethiopia mwaka 1889. Alikataa madai ya Italia kutokana na mkataba wa Wuchale. Mwaka 1896 alishinda jeshi la Italia katika mapigano ya Adowa. Ushindi huu ulihakikisha uhuru wa Ethiopia kama nchi ya pekee katika Afrika nje ya Liberia. Menelik aliweka misingi ya maendeleo ya Ethiopia kuwa nchi ya kisasa lakini hakubadilisha muundo wa utawala wa kimakabaila.", "Ufalme wa Aksum\nUfalme wa Aksum (pia: Axum) (kwa Ge'ez: አክሱም), ulikuwa milki muhimu katika karne za kwanza baada ya Kristo. Uliunganisha sehemu za nchi za leo za Ethiopia ya kaskazini, Eritrea, Sudan na Yemen. Mji mkuu Aksum uko katika Ethiopia ya leo. Milki hii ilianzishwa mnamo karne ya 1 KK ikaishia wakati wa karne ya 7 BK. " ]
46
Je, Rais wa Kenya 2019 Uhuru Kenyatta alisomea shule gani ya sekondari?
[ "Gideon Moi\nBaada ya baba yake kuingia madarakani Agosti 1978, kufuatia kifo cha Rais Jomo Kenyatta, Gideoni akawa mwanafunzi asiyeshiriki. Pamoja na matokeo ya shule yasiyoridhisha, baba yake (Rais Moi) alitumia ushawishi wake na Gideoni aliruhusiwa kuhudhuria shule ya St Mary, Nairobi miaka 1981-1982 sambamba na rafiki yake wa muda mrefu, Uhuru Kenyatta." ]
[ "Wagikuyu\nMwaka 1961, Jomo Kenyatta aliachiliwa huru na kuwa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Kenya mwaka 1964. Tangu mwaka huo, Wakikuyu wametoa marais watatu wa Kenya, ikiwemo Emilio Stanley Mwai Kibaki na Uhuru Muigai Kenyatta.", "Historia ya Kenya\nWakati wa kifo ya Kenyatta (22 Agosti 1978), Makamu wa Rais Daniel Arap Moi, akawa rais wa mpito. Tarehe 14 Oktoba, Moi akawa rais rasmi baada ya kuchaguliwa kama mkuu wa KANU na mteule wake pekee.", "Orange Democratic Movement\nKatika mwaka wa 2007 muungano huu ulianza kutokuwa imara, ambapo makundi mengine yalijiondoa. Chama cha Uhuru Kenyatta KANU ndicho kwanza, kujiondoa mwezi wa Julai mwaka wa 2007 na kuunga kuchaguliwa tena kwa Rais Kibaki , ingawa baadhi ya wanasiasa binafsi kutoka KANU walibaki katika ODM. kutokana nakutoelewana kati ya Kalonzo Musyoka na Raila Odinga, chama cha ODM kiligawanyika katika makundi mawili katika katikati mwa mwezi wa August2007.[4][5]. Kundi la Raila, ambayo pia ni pamoja naMusalia Mudavadi, William Ruto, Joseph Nyagah na Najib Balala walijiondoa kayika ODM Kenya kuchukua chama cha ODM ambacho kilisajiliwa na Mugambi Imanyara, wakati huo kundi la Kalonzo, likiongozwa na yeye mwenyewe na Dr Julia Ojiambo llibakia katika asili ODM - Kenya.", "Uhuru Kenyatta\nUhuru ulishindwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2002 alipopata asilimia 31 tu za kura.", "Kenya African National Union\nMwaka 2002 Moi alipanga kukabidhi uongozi wa taifa mkononi mwa Uhuru Kenyatta aliye mtoto wa mzee Jomo Kenyatta kwa njia ya uchaguzi wa rais. Hii ilileta farakano ndani ya KANU. Kundi la Raila Odinga pamoja na wanaKANU wa miaki mingi waliondoka kwa sababu hawakuridhika na Kenyatta kuwa mgombea wa urais.", "Shaykh 'Abdullaah Swaalih Al-Farsy\nShaykh Abdullah Saleh Farsy hakuwa mgeni huko Kenya ambako sifa zake kuwa mwanachuoni mkubwa zilitangulia kufika kabla yake. Shaykh Muhammad Kassim al-Mazrui ndiye aliyempendekeza kwa Rais Jomo Kenyatta kupewa cheo cha Kadhi mkuu wa Kenya, jambo ambalo Rais Kenyatta alilikubali bila kipingamizi.\nKwa muda wa miaka 14 alikuwa Kadhi mkuu wa Kenya, daraja yenye heshima kubwa sana aliyoitumikia kwa muda wote huo kwa ikhlasi, hekima, uwezo wa hali ya juu, na uerevu mkubwa sana mpaka alipoamua kustaafu katika mwaka 1980.", "John Michuki\nKisha alihamishwa kwa nafasi ya Waziri wa Barabara na Ujenzi wa Umma katika baraza lililoundwa na Rais Kibaki mnamo 8 Januari 2008, kufuatia utata wa uchaguzi wa rais Desemba 2007. Baada ya Kibaki na mpinzani wake, Raila Odinga, kufikia makubaliano ya kugawana madaraka, Michuki aliteuliwa kuwa Waziri wa Mazingira na Rasilimali za Madini katika baraza lililotangazwa tarehe 13 Aprili 2008 na alikula kiapo mnamo 17 Aprili. Rais Kibaki alimteua Michuki kama Kaimu Waziri wa Fedha tarehe 11 Julai 2008 baada ya kujiuzulu kwa Amos Kimunya. Alifanya kazi katika Wizara ya Fedha mpaka uteuzi wa Uhuru Kenyatta kama Waziri.", "Musalia Mudavadi\nKatika uchaguzi wa urais nchini Kenya mwaka 2002, Mudavadi alikuwa ni mgombea mwenza wa Uhuru Kenyatta. Pamoja na kuungwa mkono na rais aliyekuwa akimaliza muda wake, Moi, na mtandao mkubwa wa KANU, Kenyatta na Mudavadi walishindwa uchaguzi, Kenyatta hakuchaguliwa kuwa rais na Mudavadi alipoteza kiti cha ubunge wa Sabatia.", "Uhuru Kenyatta\nMkutano mkuu wa KANU katika mwezi Oktoba 2002 uliitikia mapenzi ya rais ukamtangaza Uhuru kama mgombea wa urais.", "Kenya African National Union\nWakati huu wa upinzani baada ya 2002 KANU iliona mafarakano mengi. Chama kilichobaki kiliongozwa na Uhuru Kenyatta lakini alipingwa na kundi chini ya Nicolas Biwott kilichojitenga kwa muda. 2006 wakajiunga na serikali ya umoja wa kitaifa cha Kibaki.", "Geoffrey William Griffin\nAlipatiwa cheo cha Moran of the Order of Burning Spear na Rais Kenyatta mwaka wa 1970, ya Moran of the Order of the Golden Heart na Rais Moi mwaka wa 1986 na Order of the British Empire na Malkia Elizabeth II mwaka wa 2002, na tuzo ya Lifetime Achievement na Tume ya Kitaifa ya Kutetea Haki za Binadamu ya Kenya mwaka wa 2005", "Uhuru Kenyatta\nUhuru Muigai Kenyatta (amezaliwa 26 Oktoba 1961) ni mwanasiasa nchini Kenya ambaye amekuwa rais wa nne na wa sasa wa Jamhuri ya Kenya. Baada ya kuongoza nchi, ameshinda uchaguzi mkuu wa Agosti 2017 lakini mahakama kuu ikaamua na kuamuru na kudai urudiwe, marudio ambayo licha ya kujiondoa kwa mpinzani wake mkuu Raila Odinga, Kenyatta aliibuka mshindi kwa asilimia tisini na nane. Hatimaye alitangazwa rasmi kuwa mshindi na kuapishwa kwa kipindi chake cha pili kwa mujibu wa sheria.", "National Alliance Party of Kenya\nMiezi michache kabla uchaguzi kulitokea farakano kubwa katika KANU. Kundi la Raila Odinga iliondoka pamoja na wanaKANU wa miaka mingi waliosikitika uteuzi wa Uhuru Kenyatta kama mgombea wa urais upande wa KANU.", "Uhuru Kenyatta\nKatika uchaguzi mkuu wa mwaka 2007 Uhuru alichaguliwa tena kama mbunge wa Garundu Kusini kwa tiketi ya KANU.", "National Development Party of Kenya\nLakini katika Oktoba 2007 farakano kubwa likatokea ndani ya KANU baada ya rais Moi kumteua Uhuru Kenyatta kama mfuasi wake. Raila aliondoka katika KANU akifuatwa na kundi lake la NDP ya awali. Kundi ka NDP liliondoka pamoja na wanaKANU waliosikitika uteuzi wa Uhuru Kenyatta.", "Huduma ya Vijana kwa Taifa\nMwaka 2013, serikali ya Rais Uhuru Kenyatta ilianza mageuzi ya huduma ili kutatua ukosefu wa hali ya juu wa ajira kwa vijana nchini Kenya. Huduma iliyorekebishwa ilizinduliwa mwezi Septemba 2014. Iliruhusu makurutu kutoka vikundi vya jamii ambao waliruhusiwa kuajiriwa na shirika hili bila kupata mafunzo ya kijeshi.", "Tom Mboya\nMboya alisomea katika shule mbalimbali za Kikatoliki. Mnamo Mwaka 1942, alijiunga na Shule ya Sekondari ya St Mary's School Yala iliyo katika jimbo la Nyanza. Mwaka wa 1946, alikwenda Holy Ghost College ambayo kwa sasa inaitwa Mang'u High School, ambapo alifanya vizuri hadi akafaulu kufanya mtihani wa Cambridge School Certificate . Mwaka wa 1948, alijiunga na Royal Sanitary Institute's Medical Training School for Sanitary Inspectors mjini Nairobi, baadaye alifuzu kama mkaguzi wa usafi mnamo mwaka wa 1950. Mwaka wa1955, Mboya alipokea udhamini wakimasomo kutoka Britain's Trades Union Congress kuhudhuria Ruskin College, Oxford, ambapo alisomea usimamizi wa viwanda.Alihitimu mwaka wa 1956. Aliporudi Kenya alijiunga na siasa wakati serikali ya Uingereza ilikuwa ikipata udhibiti wa Kenya Land Freedom Army iliyojulikana kama Mau Mau.", "Uhuru Kenyatta\nJamii:Wanasiasa wa Kenya Jamii:Waliozaliwa 1961 Jamii:Watu walio hai Jamii:Marais wa Kenya", "John Githongo\nBaba yake aliyeitwa Joe Githongo alikuwa na kampuni ya uhasibu,ambapo Rais Jomo Kenyatta alikuwa mmoja wa wateja wake John Githongo lienda shule ya kifahari ya St Mary's School mjini Nairobi. Alisomea sheria katika Chuo Kikuu cha Nairobi na kufuzu katika miaka ya tisini Pia alisomea uchumi na Falsafa katika Chuo Kikuu cha Wales kabla ya kurudi nyumbani Kenya. Kwa muda mfupi alifanya kazi kazi kama msimamizi mshauri na mtafiti kabla ya kuhamia katika uandishi Katika jukumu hili aliandika sana gazeti la EastAfrican lililokuwa mjini Nairobi akishambuli ufisadi nchini Kenya chini ya utawala wa Moi.", "Uhuru Kenyatta\nAlizaliwa kama kitinda mimba wa Jomo Kenyatta aliyekuwa rais wa kwanza wa Kenya na mke wake Ngina Muhoho aliyeitwa Mama Ngina.", "Wagikuyu\nJomo Kenyatta (Rais wa kwanza wa Kenya) Uhuru Kenyatta (Rais wa sasa wa Kenya) Wangari Maathai (mwenye Tuzo ya Nobel ya Amani ya mwaka 2004) Ngugi wa Thiong'o (mwandishi anayeishi Marekani)", "Raila Odinga\nKabla ya uchaguzi wa 2002 farakano likaonekana. Inawezekana Raila alitegemea kupata nafasi ya kuwa mgombea wa urais wa KANU Mpya baada ya Moi lakini rais alianza kutangaza ya kwamba chaguo lake lilikuwa Uhuru Kenyatta. Kwenye mkutano ulionthebitisha Kenyatta kulingana na mapenzi ya Moi Raila pamoja na sehemu ya viongozi wa KANU waliondoka na kujiunga na upinzani uliowahi kuunga mkono chini ya bendera ya National Alliance of Kenya (NAK).", "Uchumi wa Kenya\nMiaka kumi na tano ya Uhuru wa Kenya, kama ilivyokua miaka iliyopelekea uhuru, ilitawaliwa na sifa zilizomhusu Jomo Kenyatta miongoni mwa watu. Utawala wa Kenyatta uliofikia kikoma mnamo Agosti 1978, wakati kitabu hiki hakijakamilika, unaelezewa kwa ufasaha na. Kinaelezea mchango aliokuwanao Rais huyo katika muelekeo wa Kibepari (capitalist) na kijamaa (socialist) unaodhihirika katika mikakati ya kiuchumi nchini Kenya hivi sasa.\nUshawishi wa ari ya “kinyakuzi” enzi za Kenyatta ulikuwa na athari zake. Jomo Kenyatta, muasisi wa Taifa la Kenya atakumbukwa daima kwa mchango wake katika kupatikana kwa uhuru nchini mwake. Hata hivyo, inasemekana kuwa uhuru wa Kenya ulikuja na matatizo chungu mzima: Ukabila, Rushwa, na Choyo. Nafasi za kiutawala zilipatikana kwa wachache waliokuwa na madhumuni ya kukusanya Utajiri mkubwa kadiri iwezekanavyo. Hata hivyo, mtizamo huu wa jinsi hali ilivyokuwa, unakingana na jinsi hali halisi ilivyokuwa. Je? Hakukuwa na ukabila kabla ya uhuru? Kiukweli, Jomo Kenyata hakuwa muanzilishi, bali mdhibiti mkuu wa hali ya kikabila nchini humo. Ulikuwepo na bado upo japo kuwa unadhihirika katika ngazi fulani fulani. Miezi ya mwanzo ya utawala wa Rais Daniel Arap Moi, ilitawaliwa na bidii za dhati za kutaka kuondoa makosa yote yaliyojidhihirisha katika utawala uliotangulia na kwa bahati mbaya, ulikuwa ni wakati mbaya na mgumu kiuchumi nchini Kenya. Hata hivyo, mawazo ya kuwa matatizo yote yangeweza kuisha kufumba na kufumbua, yalikosa msingi pamoja na uzuri wa matokeo yaliyokusudiwa na kwamba ukabila na rushwa ambavyo hupatikana ulimwenguni kote, vingeweza kupotea. Ni rahisi sana kulaumu nyakati zilizopita kuwa ni sababu ya matatizo ya sasa na ni rahisi pia kufikiri kuwa mambo mazuri yanaweza kupatikana kwa haraka. Kukubali matatizo yaliyouandama uongozi wa Kenyatta, sio kukataa mazuri yalo ambatana nao. Hatua kubwa zilipigwa kimaendeleo ya jamii ya watu wa Kenya miaka kumi na tano baada ya uhuru, bila kuzingatia baadhi ya maandiko yanayoweza kuwa yameandikwa nchini Kenya na kitabu hiki, kinalenga kutoa ukweli na uhalisia wa mambo.", "Peter Kenneth\nPeter Kenneth alihudhuria Shule ya Msingi ya Uhuru (CPE) huko Bahati na baadaye akajiunga na shule ya upili ya Starehe Boys kwa masomo yake ya ngazi ya 'O' al maruf \"O levels\". Yeye ni mmiliki wa shahada ya sheria kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi, na Mtendaji wa Taasisi ya Mpango wa Kimataifa wa Maendeleo ya Usimamizi cha Lausanne, Uswisi. Yeye pia alisomea uhasibu na uana benki pamoja na masomo ya bima.Baada ya kufuzu kama mwanabenki alifanya kazi katika taasisi kadhaa.", "Daniel Arap Moi\nRais Moi, kazuiwa na katiba kwa Uchaguzi wa 2002. Wengi kwa faraja za Moi walisema katiba itekelezwe ili achaguliwe mara ya tatu, lakini Moi mwenyewe kawapinga na Kutawa, na kumchagua Uhuru Kenyatta kama mwenye kiti kwa chama cha KANU, mwana wa Rais wa kwanza. Raila Amollo Odinga kwa bidii, alikampainia Mwai Kibaki,a mbapo alishinda urais kwa muungano wa NARC na Kukiriwa 29 Desemba 2002.", "Gatundu\nGatundu ni mji uliopo eneo la kati la Kenya katika Kaunti ya Kiambu. Mji huu una umaarufu kwa kuwa rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta na mwana wake rais Uhuru Kenyatta, waliishi karibu na hapa. Unapatikana juu ya kilima kilichozingirwa na Mto Thiririka na Mto Muthurumbi. ", "Familia ya Jomo Kenyatta\nUhuru Kenyatta", "Jimbo la Uchaguzi la Gatundu Kusini\nMbunge wa sasa wa Jimbo la Gatundu Kusini ni Uhuru Kenyatta, Mwanasiasa maarufu wa Kenya na mwana wa Rais wa kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta.", "Historia ya Kenya\nKatiba haikumruhusu Rais Moi kukimbilia urais kwa muda mwingine. Moi aliamua kumpa Uhuru Kenyatta fursa ya kugombea urais katika uchaguzi wa Desemba 2002, kwa kumfanya awe mrithi wake. Muungano wa Rainbow wa vyama vya upinzani ulikishinda chama tawala cha KANU, na kiongozi wake, aliyewahi kuwa makamu wa rais Moi, Mwai Kibaki, akachaguliwa kama rais." ]
83
Je,Marekani Ina idadi ya watu wangapi?
[ "Marekani\nNchi ina wakazi zaidi ya milioni 320, na ina mchanganyiko mkubwa kuliko nyingine zote duniani." ]
[ "Umaskini\nVipimo hivi vimekosolewa na watu mbalimbali. Shaohua Chen na Martin Ravallion wanasema kuwa ingawa “ni wazi ya kuwa idadi ya watu fukara imeshuka... bila usawa katika maeneo yote... nchi zinazoendelea mbali na Uchina na India hazijafaulu kupunguza kwa kiwango cha maana idadi ya watu maskini. Kutokana na ongezeko la idadi ya watu duniani, idadi isiyobadilika ya watu maskini ingehusishwa na kiwango kinachopungua.\"", "Wilaya ya Laikipia\nWakikuyu walikuwa takribani 60% ya idadi ya watu wote kwenye wilaya hii, huku idadi iliyosalia ikijumuisha watu wa makabila mengine, ni pamoja na Mukogodo Masai, Wasamburu, Wameru, Waborana, Wakalenjin, Wasomali, Wazungu, Watu wa asili ya Asia, na Waturkana, wakiipa wilaya hii idadi ya watu tofauti tofauti. Mashamba mengi yanamilikiwa na idadi ndogo ya masetla wa ukoloni.", "Mariupol\nidadi ya wakazi wa Mariupol ni 486,856 watu (2011), ikizingatiwa vitongoji. Makabila: Ukrainians — karibu 48 %, Kirusi — 43 %, Wagiriki — 7 %, Belarusians, Wayahudi, Waarmenia, Wabulgaria na watu wengine. upeo wa idadi ya watu — karibu 550,000 watu ilionekana mwaka 1992. wengi kabisa (87 %) anaongea Kirusi, Kiukreni Lugha anatumia chini ya 10 % ya idadi ya watu (karibu wote kusema «Surzhik» — mchanganyiko wa lugha ya Kirusi na Ukrainian). Sifa tofauti ya mji ni mitaa Kigiriki lugha («Azov Wayunani»): Rumaiic lugha (Kigiriki-Hellenic) na Urum lugha (Kigiriki-Tatar). Kuhusu 2 % ya idadi ya watu wa mataifa mengine anaongea lugha za mitaa.", "Maana ya maisha\nWanahisia hutumia mawazo hayo kuendeleza dhana kuwa matukio yote ya kibinadamu yanaweza kuelezwa kwa kutumia lengo letu la kuzaa:\nKwa nini watu wanapinga sana ndoa baina ya watu wa jinsia moja? Kwa sababu watu katika jozi la namna hiyo hawawezi kuzaa\nKwa nini watu hupendana? Kwa sababu upendo husababisha ngono, ambayo huchangia ustawi wa spishi ya binadamu\nKwa nini akina mama hupenda watoto hata kama hawajazaliwa bado? Kwa sababu inachangia kutunza na kuongeza idadi ya binadamu\nKwa nini watu wengi hupinga utoaji mimba? Kwa sababu inazuia uzazi\nKwa nini madaktari wengi sana na matibabu mengi? Ili kutunza idadi ya watu \nKwa nini uuaji ni hatia kubwa sana? Kwa sababu kuua kunapunguza idadi ya watu", "Biolojia\nMifumo ya ikolojia huchunguzwa katika ngazi kadhaa tofauti, kutoka kwa watu binafsi na idadi ya watu hadi mifumo ikolojia na bayongahewa. Neno biolojia ya idadi mara nyingi hutumika kwa kubadilishana na ikolojia ya idadi, ingawa biolojia ya idadi mara nyingi zaidi hutumika wakati wa kuchunguza maradhi, virusi, na vijiumbe maradhi, ilhali ikolojia ya idadi kwa kawaida hutumiwa wakati wa kuchunguza mimea na wanyama. Kama inavyoweza kukisiwa, ikolojia ni sayansi inayotumia taaluma kadhaa.", "Insha ya wasifu\nWanafunzi hukadiria ugumu wa mazoezi wapewayo. Yale wayaonayo kuwa ni rahisi wao hujifanyia. Yale magumu kidogo hushughulikia kwa pamoja kwa kusaidiana wenyewe kwa wenyewe. Walimu hushirikishwa tu wakati wa mazoezi tata.\nShule ya Sekondari ya Mwananchi ni ya kuvutia sana. Ina miti mingi sana ya matunda. Ina maua ya aina aina. Kutokana na nidhamu na uwajibikaji matunda hukomaa ndipo yatumiwe kwa mpango wakati wa chakula.", "Ugonjwa wa Alzheimer\nHatua mbili kuu hutumiwa katika masomo ya epidemolojia: matukio na maenezi. Matukio ni idadi ya kesi mpya kwa idadi ya watu -na wakati kuna hatari ya kuambukiza (kwa kawaida idadi ya kesi mpya kwa watu na miaka elfu moja) matukio ya mwezi kwa kila wa elfu-); ilhali maenezi ni jumla ya idadi ya matukio ya ugonjwa kati ya watu wote katika wakati fulani.", "Umaskini\nOngezeko la idadi ya watu na ukosefu wa huduma za uzazi wa mpango vinatajwa pengine kati ya sababu za umaskini: hata hivyo ni vyema kutambua ya kuwa watu huongezeka taratibu tu au hata idadi yao inaweza kupungua. Hii inatokana na mabadiliko kama vile kiwango cha vifo na kiwango cha waliozaliwa na jinsi zinavyoathiri idadi ya watu ", "Heroes\nIlianza 24 Septemba 2007. Ina jumla ya vipindi 11. Watu hawa wenye vipawa (\"heroes\") wanashirikiana na kuja pamoja ili kuzuia uenezaji wa virusi utakaouwa watu wote duniani.", "Mkono\nKwa kawaida mkono wa binadamu una tarakimu tano vidole vinne na kidole kimoja . Kwa lugha nyingine, mkono wa binadamu unasema kuwa na vidole vitano, ikiwa ni pamoja na kidole kama kidole. Ina mifupa 27, ikiwa ni pamoja na mfupa wa samoid, idadi ambayo inatofautiana kati ya watu, 14 kati yake ni phalanges karibu, kati na distal ya vidole na kidole. Mifupa ya metacarpal huunganisha vidole na mifupa ya kamba ya mkono. Kila mkono wa binadamu una metacarpals tano na mifupa nane ya carpal.", "Kiini cha atomu\nKwa hali ya kawaida atomu haionyeshi chaji ya umeme. Ina chaji ndani yake kulingana na idadi ya protoni ambazo ni chanya na elektroni ambazo ni hasi. Katika hali ya kawaida idadi yake ni sawa, kwa hiyo chaji zinabatilishana. Lakini kama elektroni zinaondoka katika mzingo elektroni hali inabadilika na atomu huonyesha chaji. Kiini cha atomu peke yake daima kina chaji chanya maana hakina elektroni zilizomo katika mzingo.", "Nakumatt\nNakumatt ni mtandao wa maduka nchini Kenya. Ina maduka 18 kote nchini Kenya na inaajiri watu 3,200. Ina mipango ya kupanua maduka yake mpaka nchini Uganda, Rwanda na nchi nyingine za Afrika Mashariki. ", "Lugha ya taifa\nKigezo cha idadi ya watumiaji, Lugha ya Taifa ina idadi kubwa ya watumiaji, kwa mfano, nchini Tanzania lugha ya Kiswahili inatumiwa na idadi kubwa ya watu katika mawasiliano yao wakati lugha rasmi ina idadi ndogo ya watumiaji, kwa mfano, lugha ya Kiingereza inatumiwa na watu wachache.", "Bremen\nBremen ni mji mwenye bandari muhimu katika Ujerumani ya Kaskazini. Iko kando ya mto Weser takriban 50 km kabla haujaingia katika Bahari ya Kaskazini. Ina wakazi 546,000. Pamoja na eneo la jirani kuna watu milioni 2.37 katika mazingira ya Bremen. Weser inapanuka baada ya kupita mji kuwa na mdomo pana sana kabla ya kuishia baharini hivyo meli zinaweza kufika hadi mjini. ", "Ubelgiji\nIna kwenye Bahari ya Kaskazini.", "Kaunti ya Kitui\nKaunti ya Kitui inapakana na kaunti za Tana River, Taita Taveta, Makueni, Machakos, Embu na Tharaka Nithi. Ina hali ya tabianchi kavu na nusu kavu. Ina vilima na ardhi tambarare. Kitui hupata misimu miwili ya mvua, Machi hadi Mei na Oktoba hadi Disemba.", "Jeraha sugu\nMajeraha sugu zaidi huathiri watu wenye umri wa miaka 60 au zaidi.[8] Matukio ni 0.78% ya idadi ya watu na maambukizi ni kati ya 0.18 hadi 0.32%.[19] Kadri idadi ya inavyoongezeka, idadi ya majeraha sugu inatarajiwa kuongezeka.[10]", "Fur Elise\nKipenge au sehemu kuu ina alama ya muda wa 3/8. Ipo katika msingi wa arpeggio ambayo inatambaa kutoka mkono mmoja hadi mwingine. Hiki ni kipengele ambacho watu wengi wanaoanza kujifunza upigaji piano wanapenda kukipiga. Vipinge vya pili ambavyo vipo kati ni vigumu sana kuvipiga katika mwendo sahihi. Ina jamii ya sauti (scale) inayoenda kasi sana, arpeggio na mkono wa kushoto ni demisemiquavers (nota 32).", "Seneti ya Kenya\nIna uwezo wa kuwakilisha maslahi ya kaunti na serikali zake Hushiriki katika utungaji wa sheria kwa kuzingatia, kujadili na kuidhinisha miswada zinazohusu kaunti Huamua ugawaji wa pato la taifa kwa kaunti Ina nguvu ya kutoa mashtaka dhidi ya Rais, Naibu Rais, Magavana wa Kaunti na Naibu Magavana", "Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu\nHii ni orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu (makadirio ya Umoja wa Mataifa kwa mwaka 2017). ", "Helgoland\nHelgoland ni fungukisiwa ndogo cha Kijerumani katika Bahari ya Kaskazini takriban 70 km mbele ya Ujerumani bara. Ina visiwa viwili: Helgoland yenyewe ni kisiwa kinachokaliwa na watu halafu kisiwa kisicho na watu cha \"Düne\" (= tuta la mchanga). Kisiwa kikuu kina urefu wa 1700 m na wakazi 1,650.", "Insha ya wasifu\nShule hii, ambayo ni maarufu sana, ipo katika Tarafa ya Mkunazini. Imejengwa katika uwanja wa hekta kumi na mbili. Ina madarasa kumi na mawili ya vidato vinne vya mikondo mitatu kila kimoja. Ina wanafunzi mia tano na wanne badala ya idadi halali ya wanafunzi mia nne themanini. Ni shule inayopendwa sana.\nWanafunzi wa kike ni mia mbili na watatu na wa kiume ni mia tatu na mmoja. Walimu ni thelathini na mmoja. Jamii hii inapendana sana. Wanafunzi wana imani kubwa sana na walimu wao. Walimu huwahimiza wawe wanafanya bidii katika kazi na masomo kwa ujumla.", "Heroes\nIna vipindi 25 iliyoanza kuonyesha mnamo 22 Septemba 2008.[3] Inaanza pindi Nathan Petrelli karibu auwawe. Wafungwa wanapata nafasi ya kukimbia jela na \"The Company\" inawasaka. Pia, wanatafuta namna ya kuwafanya binadamu wa kawaida wapate vipawa.Sylar anatafuta wazazi wake wa ukweli. Mwishowe, Nathan anauliwa baada ya kupigana na Sylar. Matt anamsakanya Sylar ili asiwe na uwezo wa kuwanasa watu wenye vipawa.", "Mkimbizi\nNchi yenye idadi kubwa ya waliohamishwa makwao nchini mwao ni Sudan, ambapo idadi hiyo ni watu milioni 5. Kufikia mwaka wa 2006, ikiwa na wakimbizi na watu wasiokuwa na makao 800,000. Wakazi wote walipohesabika, Azerbaijan ilikuwa na idadi kuu ya watu waliofukuzwa kutoka makwao ulimwenguni kote.", "Geita\nWilaya ya Geita ni mojawapo kati ya wilaya za Mkoa wa Geita, nchini Tanzania. Ina postikodi namba 30000. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 712,195 ", "Tamale, Ghana\nTamale ni mji mkuu wa Mkoa wa Kaskazini wa Ghana, ulio na wakazi 305.000 (2005). Ina wakazi wengi waDagomba ambao wanazungumza Dagbani na ni wafuasi wa Uislamu. Iko katika sehemu ya kaskazini ya nchi, ambapo nchi ni savanna, nyasi na miti isiyoathiriwa na ukame. Mji huu ni kama mseto ya vijiji, na watu wengi wanaishi katika nyumba za jadi za matofali na matope. Wakati wengi nyumba huwa na paa ya mabati, idadi nzuri huwa na paa ya nyasi. Wengi wa hawa wana waya za umeme na televisheni.\nChuo Kikuu cha Masomo ya Maendeleo ina kampasi Tamale.\nTamale ina umeme ambayo husafirishwa kutoka Bwawa la Akosombo katika sehemu kuu ya Ghana. Huduma ya umeme imekuwa ya kuaminika na inaweza kutegemewa. Katika kipindi cha ukame, Tamale huwa katika giza kwa sababu ya mgawo wa umeme (na maji kupitia bwawa).", "Antiokia\nHivyo Kanisa lilionekana wazi si madhehebu ya Uyahudi, bali dini mpya. Ndiyo sababu watu waliwatungia jina jipya, \"Wakristo\" (watu wa Kristo). Sababu nyengine ni tabia zao, matendo yao na hotuba zao zilikuwa kama za Kristo. Ilitumika kiasili na watu wasiookoka wa Antiokia kama jina la kimajazi (utani) ili kuwadhihaki wakristo hao. Ina maana sawa na “Kuwa mmoja wa kundi la kristo” au “mfuasi wa kristo,” ambayo imefanana na tafsiri ya Neno hili katika kamusi ya Webster.", "Maziwa ya mama\nWakati wa siku za kwanza chache baada ya kujifungua matiti hutoa kolostramu. Hii ni maji mepesi ya rangi ya manjano ambayo ni maji yale yale yanayoka kwa matiti wakati wa ujauzito. Ina idadi nyingi ya protini na kingamwili ambazo hutoa kinga kwa mtoto (mfumo wa mtoto wa kinga huwa haujakomaa vikamilifu wakati wa kuzaliwa). Kolostramu pia husaidia mfumo wa mtoto kufungua chakula kukua na kufanya kazi vizuri.", "Serena Hotels\nSerena Hotel iliyomo mjini Islamabad, Pakistan ilibuniwa na mbunifu maarufu Nayyar Ali Dada na kufunguliwa mwaka 2002. Ina vyumba 220, pamoja na chumba cha densi ya watu 200, mikahawa mitatu, maduka ya kununua vitu, na klabu ya afya na bwawa la kuogelea. Dari la juu la hoteli pamoja na uwanja wake unaweza kuchukua wageni 1,000 kwenye karamu. Hii pia ni mwanachama wa Leading Hotels of the World. ", "Kansa ya ini\nThe American Liver Foundation ilianzishwa miaka 33 iliyopita. Ina habari na msaada kwa wagonjwa na familia zinazokabiliana na ugonjwa huo. The American Liver Foundation inadai kwamba kansa ya ini ni miongoni mwa sababu kuu kumi za kifo. Kuelewa jinsi utendaji kazi wa ini na umuhimu wake kwa afya bora kunaweza kusaidia watu ambao ni wagonjwa wa ini. [2]" ]
18
Je,lugha ya kiswahili ndyio lugha rasmi ya nchi ya Tanzania?
[ "Tanzania\nKiswahili ndiyo lugha ya taifa na inazidi kuwa lugha mama kwa watoto wengi, hasa mijini[3]. Walau asilimia 90 za wakazi wanakitumia walau kama lugha ya pili. Kiswahili ni mojawapo kati ya lugha za Kibantu: hii imesaidia sana kukubaliwa kwa Kiswahili nchini, kwa sababu idadi kubwa ya Watanzania ni wasemaji wa lugha za Kibantu. Kiswahili kinatumika kama lugha baina ya watu wa makabila mbalimbali na kwa mambo rasmi; kwa hiyo ni lugha rasmi ya dhati.", "Lugha ya taifa\nLugha ya Taifa inakuwa kama nembo ya Taifa husika, hii inachangiwa na suala la lugha ya Taifa kuwa kama kitambulisho cha Taifa husika, kwa mfano, lugha ya Kiswahili nchini Tanzania inakuwa kama nembo ya Taifa, kwa sababu ni sehemu ya utamaduni yaani mila na desturi za Watanzania." ]
[ "Kikurdi\nNi lugha rasmi mojawapo katika nchi ya Iraq.", "Makaburu\nMwaka 1910 maeneo ya Kiingereza pamoja na majimbo ya Makaburu yaliungana kuwa Muungano wa Afrika Kusini. Hapo lugha ya Kiholanzi (lugha mama ya Kiafrikaans) ilitambuliwa kama lugha rasmi ya nchi pamoja na Kiingereza. Mwaka 1925 Kiafrikaans ilikubaliwa kama lugha rasmi badala ya Kiholanzi.", "Historia ya Gambia\nMwaka 2015 Jammeh alitangaza Gambia kuwa nchi ya Kiislamu na mwaka uliofuata alitangaza Kiarabu kuwa lugha rasmi badala ya Kiingereza.", "Kivietnam\nLugha ya Kivietnam ni lugha rasmi nchini Vietnam. Pia huzungumzwa katika nchi nyingi na wahamiaji Wavietnam, k.m. Marekani, Australia na nchi za Ulaya.", "Kamusi ya Kiswahili sanifu\nKamusi hii inakusanya maneno ya Kiswahili sanifu na kuyaeleza kwa lugha ya Kiswahili yenyewe.\nInaongoza kwa kiswahili sanifu", "Lugha ya taifa\nKatika nchi mbalimbali lugha rasmi imetajwa katika katiba ya Taifa au katika sheria mahususi lakini nchi nyingine hazina sheria juu ya lugha rasmi hata kama hali halisi ipo, kwa mfano, nchini Namibia Kiingereza ni lugha rasmi kufuatana na katiba lakini lugha nyingine pamoja na Kiafrikana na Kijerumani zimetajwa kama lugha za kitaifa zinazoweza kutumiwa pia kama lugha ya mafundisho shuleni.", "Urusi\nLugha rasmi na ya kawaida ni Kirusi kwenye maeneo yote ya Shirikisho la Kirusi lakini katiba ya nchi inatoa kibali kwa Jamhuri za shirikisho kujiamulia lugha rasmi ya nyongeza kwa eneo lao pamoja na Kirusi.[12]. Kuna pia \"maeneo huru\" ya pekee yenye lugha zao pamoja na Kirusi.", "Kifaransa\nBaada ya Ufaransa kuwa nchi yenye koloni lugha ilisambazwa hata nje ya Ulaya. Ubelgiji yenye Kifaransa kama lugha rasmi ilikuwa pia na koloni na kupeleka lugha huko.", "Kitigrinya\nLugha ya Kitigrinya ikiwa ni pamoja na lugha ya Kiarabu, zilikuwa moja katika ya lugha rasmi katika shirikisho lilidumu kwa muda mfupi la Ethiopia na baadae nafasi yake ilichukuliwa na lugha ya Kiamhari. Tangu kupatikana kwa uhuru wa Eritrea mwaka 1991, lugha ya Kitigrinya iliendelea kutumika kama lugha ya inayotumika zaidi nchini humo, na kuifanya nchi hiyo kuwa nchi pekee dunia kuitambua lugha ya Kitigrinya katika ngazi ya taifa.", "Romania\nLugha rasmi ya nchi nzima ni Kiromania ambayo ni lugha ya Kirumi kama Kiitalia, Kifaransa na Kihispania, lakini lugha nyingine kadhaa zinatambuliwa na sheria, kuanzia Kihungaria.", "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nKifaransa ni lugha rasmi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Ilikuwa lugha ya utawala ya koloni ikaendelea kutumiwa kama lugha isiyoelekea upande wowote kati ya makabila, lugha na tamaduni za nchi hii.", "Bara Arabu\nKiarabu ndiyo lugha inayotumika kwenye nchi hizi saba, na ndiyo lugha rasmi ya nchi hizi, lakini hivi karibuni Kiingereza kimeanza kutumika sana kwa sababu ya kuwepo dharura ya kutumia lugha hii katika biashara, mawasiliano baina ya wananchi na wageni, na katika uhusiano wa kimataifa baina ya nchi mbalimbali ulimwenguni.", "Kiarabu\nKiarabu (ar.: العَرَبِيَّة‎‎, al-ʻarabiyyah, kwa kirefu al-luġatu al-ʿarabiyya ) ni lugha ya Kisemiti inayotumiwa na watu milioni 206 kama lugha ya kwanza[1] na milioni 246 wa ziada kama lugha ya pili. Ilhali kuna lahaja nyingi, Kiarabu sanifu (ar. الفصحى fuṣḥā) ni lugha rasmi ya nchi 22 za Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na ya Mkutano wa Kilele wa Kiislamu na mojawapo ya lugha rasmi za Umoja wa Mataifa. Kuna pia matumizi kama lugha ya kidini katika Uislamu.", "Burundi\nJina lenyewe la nchi hii, limetokana kwa msingi na kutanuka kwa lugha ya Kirundi ambacho ni lugha ya Kibantu kama vile Kiswahili ambacho pia kinatumika sana ingawa si lugha rasmi mojawapo.", "Homa ya ndengi\nHaijulikani sana mahali ambapo neno \"dengi\" lilitokea. Watu wengine hukisia kuwa linatoka katika Swahili kirai \"Ka-dinga pepo\" Kirai hiki kinazungumzia kuhusu huo ugonjwa kusababishwa na pepo za kishetani Neno la kiswahili \"dinga\" linakisiwa kutoka katika neno la Kihispania \"dengi\". Neno hili linamaanisha \"makini\". Huenda neno hilo lilitumika kumwelezea mtu aliyeathiriwa na maumivu ya mifupa yanayotokana na homa ya dengi; uchungu huo ungemfanya mtu kutembea kwa makini. Hata hivyo, pia kuna uwezekano kuwa neno hilo la Kihispania lilitokea katika lugha ya kiswahili na sio ilivyosemwa hapo awali. ", "Kiurdu\nNdiyo lugha rasmi ya Pakistan na ya majimbo 6 ya India (katika nchi hiyo ni mojawapo kati ya 22 zinazokubaliwa na katiba).", "Kiingereza\nBaada ya makoloni kuwa nchi huru mara nyingi Kiingereza kimeendelea kuwa lugha rasmi za nchi hizo.", "Amerika ya Kilatini\nAmerika ya Kilatini humaanisha kwa kawaida nchi za Amerika ambako lugha za Kihispania na Kireno pamoja na Kifaransa hutumiwa kama lugha rasmi au lugha ya watu wengi. Lugha hizi zote zimetokana na Kilatini na hujumlishwa kama \"Lugha za Kirumi\".", "Qatar\nKiarabu ni lugha rasmi ya nchi lakini Kiingereza hutumiwa mara nyingi kwa mawasiliano ya biashara na ofisini. ", "Lugha ya taifa\nLugha rasmi ni lugha iliyopewa hadhi maalumu katika nchi fulani, kwa kawaida lugha rasmi ni lugha inayotumiwa haswa na serikali kwa mawasiliano kati ya ofisi zake pia katika matangazo rasmi. Vile vile lugha rasmi ni lugha iliyopewa hadhi maalumu katika eneo fulani au nchi fulani ili itumike katika mazingira maalumu. Mara nyingi lugha rasmi katika Taifa huteuliwa ili itumike kwenye mahakama, bungeni na kwenye shughuli nyinginezo za kiutawala. Lugha inaweza kupewa hadhi maalumu na kuwa lugha rasmi ijapokuwa lugha hiyo haijasambaa eneo kubwa, pia inaweza isiwe na wazungumzaji wengi, kwa mfano, nchini New Zealand Kimaori kiliteuliwa kuwa lugha rasmi mwaka 1987 ijapokuwa lugha hii inazungmzwa na watu wachache.", "Lugha ya taifa\nTofauti katika malengo au madhumuni, Lugha ya Taifa lengo kuu ni kuwasiliana ndani ya Taifa au kukidhi haja ya mawasiliano katika nchi husika katika nyanja mbalimbali, kwa mfano, kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na kijamii, lakini lugha rasmi lengo lake ni kukidhi haja ya mawasiliano katika shughuli maalumu za kiserikali kama mahakama na ofisi. Kigezo cha utamaduni, lugha ya Taifa ni sehemu ya utamaduni wa nchi husika, lakini lugha rasmi mara nyingi si sehemu ya utamaduni wa jamii husika kwani hukidhi mahitaji ya watu wachache kwa sababu imeteuliwa kutumika katika shughuli maalumu.", "Lugha rasmi\nLugha rasmi ni lugha iliyopewa cheo maalumu katika nchi fulani. Kwa kawaida ni lugha inayotumiwa hasa na serikali kwa mawasiliano kati ya ofisi zake na pia kwa matangazo rasmi, kwa mfano kwa kutangaza sheria. Ni pia lugha ya kuendesha kesi mahakamani na kuandika hukumu.", "Lugha rasmi\nKatika nchi mbalimbali lugha rasmi imetajwa katika katiba ya taifa au katika sheria mahsusi, lakini nchi nyingine hazina sheria juu ya lugha rasmi hata kama hali halisi ipo na kueleweka.", "Kipoland\nKatika historia, Kipoland kilikuwa lugha muhimu katika Ulaya ya Kati na Mashariki. Leo hii, kinazungumzwa na zaidi ya watu milioni 38.5 ikiwa kama lugha rasmi katika Poland. Pia kinazungumzwa kama lugha ya pili katika sehemu za magharibi mwa nchi ya Belarus, Lithuania, na Ukraine. ", "Kamembe\nHali ya kipekee kubwa ya mji wa Kamembe ni matumizi ya lugha ya Kiswahili. Tofauti na kwengineko kote Rwanda ambako lugha inayotumiwa ni lugha ya taifa ya Rwanda ya Kinyarwanda, Kamembe ndiko utumiaji wa lugha ya kiswahili ulizagaa kukubwa. ", "Lugha rasmi\nKuna nchi zenye lugha rasmi moja tu lakini nchi nyingi huwa na lugha mbalimbali zinazokubaliwa kama lugha rasmi kwenye ngazi tofauti za serikali.", "Guinea ya Ikweta\nNi nchi pekee ya Afrika ambapo lugha ya Kihispania ndiyo lugha rasmi na ya taifa, hasa ukiacha Ceuta na Melilla (maeneo ya Hispania yaliyozungukwa na Moroko) na Jamhuri ya Sahara ya Kidemokrasia ya Kiarabu (nchi-isiyotambulika-kimataifa). Pamoja nacho, Kifaransa na Kireno pia ni lugha rasmi.", "Kimalta\nKimalta ni lugha rasmi kwenye nchi ya kisiwani ya Malta katikati ya Bahari ya Mediteranea. Kimalta huhesabiwa kati ya lugha za Kisemiti ikiwa ni lugha pekee ya familia hiyo katika nchi za Ulaya.", "Kislovakia\nKislovakia ni lugha rasmi inayoongelewa nchini Slovakia, nchi iliyopo Mashariki mwa Ulaya. Ni moja kati ya Lugha za Kislavoni, mkusanyiko wa lugha unajumlisha Kirusi, Kipoland na lugha nyingine kadhaa za Mashariki ya Ulaya. ", "Lugha za Kirumi\nLugha ambazo ni muhimi zaidi kama lugha za kitaifa ni:Lugha za Kihispania, Kifaransa na Kireno zimesambaa duniani kwa sababu ni lugha kuu za nchi ambazo zilikuwa na makoloni mengi, zikaacha lugha zao katika nchi nyingi, hasa Kihispania ambacho ni lugha kuu ya bara la Amerika, Kireno ambacho ni lugha rasmi ya Brazili na nchi 5 za Afrika na Kifaransa ambacho ni lugha rasmi katika nchi nyingi za Afrika, Amerika visiwani na Kanada. " ]
73
Mto Kongo una urefu gani?
[ "Kongo (mto)\nUrefu wake ni kilomita 4,700 ukipimwa kuanzia chanzo cha tawimto wa mbali zaidi ambayo ni mto Chambeshi wenye chanzo nchini Zambia. Mara nyingi urefu hutajwa kuanzia chanzo cha Lualaba halafu ni kilomita 4,374." ]
[ "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "Ureno\nUmbo la Ureno ni kanda lenye upana wa kilomita 150 na urefu wa kilomita 475 upande wa magharibi wa Rasi ya Iberia. Mpaka na Hispania una urefu wa km 1,214 na pwani ya Atlantiki huwa na km 1,793.", "Mto Avon (Warwickshire)\nMto Avon pronounced/ˈeɪvən/(deprecated template) ni mto wa kata za Leicestershire, Northamptonshire, Warwickshire, Worcestershire na Gloucestershire, Uingereza. Pia unajulikana kama Avon ya juu, Warwickshire Avon au Avon ya Shakespeare. Mto una urefu wa 96 miles (154km). Jina Avon limetoka katika Kiwelsh na linalomaanisha 'mto' (linatamkwa kama afon katika Welsh)", "Ndezi\nNdezi ni wagugunaji wakubwa wa familia Thryonomyidae ambao wana mnasaba karibu kiasi na nungunungu. Wanatokea mahali panyevu pa Afrika kusini kwa Sahara. Wamo miongoni mwa wagugunaji kubwa kabisa duniani. Mwili wao una urefu wa sm 35-60 na uzito wa kg 6-10. Wana manyoya magumu yenye rangi ya kahawa na vidoa kijivu na njano. Hula manyasi ya maji porini lakini katika maeneo ya kilimo hula mimea ya shamba kama muwa, muhogo n.k. Wanaweza kudidimiza hasara kubwa. Ndezi hufugwa sana huko Benini na Togo, na hata nchini Kameruni, Kodivaa, Gaboni, Gana, Nijeria, Senegali na Kongo wakulima wahimizwa kufuga wanyama hawa. Nyama yao ni nzuri sana.", "Aruwimi\nAruwimi (pia: Ituri) ni tawimto wa Kongo wenye urefu wa km 1.287.", "Mto Avon (Warwickshire)\nKutoka ukuta wa Alveston , ambao ni 2 miles (3.2km) juu ya Stratford-juu ya -Avon, chini hadi Tewkesbury na Mto Severn, mto huu una uwezo wa ujenzi wa kufuli na kuta. Njia ya Stratford-juu-Avon hushikana na Avon kupitia mlango katika mbuga mbele ya jumba la Shakespeare katika ya Stratford-juu ya -Avon. Urambazaji wa Mto Avon huzingatia boti za upeo wa urefu wa 72ft (21,94 d), boriti la 13ft 6 katika (4,11 m), urefu wa 10ft (3,04 m) na janga la 4ft (1,18 m).", "Tuul (mto)\nTuul (Kimongolia: Туул гол) ni mto muhimu wa Mongolia. Mto una urefu wa km 704 na beseni ya km² 49,840. ", "Mto Sibiti\nMto Sibiti (pia: Sibili) una urefu wa kilometa 75 ukiunganisha Ziwa Eyasi na Ziwa Kitangiri, ambayo yote mawili yanapatikana kusini kwa Hifadhi ya Serengeti, Tanzania. Ni mpaka kati ya mikoa ya Singida na Simiyu.", "Milima ya Udzungwa\nPia Mto Sanje ni kivutio kikubwa sana. Mto huu una maporomoko ya maji yenye urefu wa mita zipatazo 170 yakianguka kupitia msituni na kututa mithili ya mianzo ya ukungu bondeni.\"Majarida ya hifadhi za Taifa Tanzania\"", "Lualaba\nMto Lualaba ni mto katika mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Ni tawimto kubwa wa Mto Kongo yaani inabeba maji mengi kuliko tawimito nyingine. mwedno wake una urefu wa kilomita 1800. Vyanzovyake viko katika mkoa wa Katanga karibu na Zambia.", "Italia\nMto mrefu zaidi unaitwa Po na una urefu wa kilomita 652. Mito mingine ni Tiber, Arno n.k.", "Basilika la Mt. Petro\nUkumbi wake una urefu wa mita 187 na upana wa 27.50. Ukumbi wa pili una urefu wa mita 138. ", "Hakuna matata\nJambo, Jambo Bwana, habari gani? Mzuri sana!", "Orodha ya milima\nUswidi una vilele 12 juu ya urefu wa mita 2,000.", "Mto Wharfe\nMto huu una urefu takriban 97 km kabla ya kujiunga na Mto Ouse.", "Mto Kinder\nKinder Mto ni mto mdogo amabao una urefu wa , katika Kaskazini magharibi ya Derbyshire, Uingereza. Umeanzia katika platu ya Peat moorland ya Kinder Scout, na unatiririka kuelekea upande wa magharibi katika makutano yake na Mto Sett katika daraja la Bowden . inatiririka katika miamba ya milango ya Kinder , juu ya maporomoko ya maji ya Kinder na kupitia hifadhi katika Kinder , iliyojengwa katika mwaka wa 1911 na Shirika la Stockport la Ujenzi ma.", "Mto Njano\nMwendo wake una urefu wa kilomita mnamo 5,000 (viwango mbalimbali hutajwa kati ya kilomita 4,845 hadi 5,464) kuanzia nyanda za juu za Tibet hadi delta yake kwenye Ghuba ya Bohai ambayo ni sehemu ya Bahari ya Mashariki ya China.", "Kinyarwanda\nMuraho = Habari gani?", "Mto Mpiji\nMwendo wake una urefu wa km 12.7. Unakusanya maji katika beseni la kilomita za mraba 52.", "Mto Nore\nMto Nore una urefu wa kilomita 140 (87 mi) na eneo la kumwagia maji yake ni ni maili za mraba 977.", "Mto Gombe\nUnatiririka hadi kuingia katika mto Malagarasi, ambao ni wa pili kwa urefu nchini na hatimaye unamwaga maji yake mengi katika ziwa Tanganyika.\nKutoka huko maji yanachangia mto Kongo na hatimaye Bahari ya Atlantiki.", "Mto Leam\nMto Leam au Mto Leame ni mto mdogo nchini Uingereza unaopita mashariki na kusini mwa Warwickshire unaoishia katika mto Avon. Ni mto mfupi ambao una urefu usiozidi kilomita 50. Mji wa Leamington Spa huwa juu yake uliopokea jina lake kutoka kwa mto huu.", "Kafue (mto)\nMto Kafue ni kati ya kandomito mikubwa ya mto Zambezi una chanzo chake kwenye mpaka wa Kongo na Zambia. Urefu wa mwendo wake ni takriban kilomita 960.", "Mahabharata\nIkiwa na karibu mistari laki moja, vifungu virefu vya kinathatari, na karibu maneno milioni 1.8 kwa jumla, \"Mahabharata\" ndilo shairi ndefu zaidi la utendi Duniani. Ni takriban mara kumi urefu wa Utendi wa \"Iliadi\" na \"Odisei\" zinapouanganishwa, utendi huo una urefu ambao ni karibu mara tano zaidi wa \"Kichekesho cha Kimungu\" cha Dante na karibu mara nne urefu wa \"Ramayana\". ikijumuisha \"Harivaṃśa\", utendi wa \"Mahabharata\" una jumla ya mistari 90,000.", "Mto Sanje\nMto Sanje ni kivutio kikubwa sana katika Hifadhi ya taifa ya Udzungwa, kwa kuwa una maporomoko ya maji yenye urefu wa mita zipatazo 170 yakianguka kupitia msituni na kututa mithili ya mianzo ya ukungu bondeni.", "Orodha ya milima ya Ulaya\nUswidi una vilele 12 juu ya urefu wa mita 2,000.", "Lukuledi\nMto Lukuledi una urefu wa takriban km 160. ", "Mto Moyowosi\nMto Moyowosi ni jina la miwili kati ya mito ya Tanzania (upande wa magharibi), ukiwa tawimto muhimu zaidi la mto Malagarasi, wa pili nchini kwa urefu (km 475) ambao unatiririka hadi ziwa Tanganyika, ukiwa mto unaoliingizia maji mengi zaidi. Baadaye, maji mengine yanachangia mto Kongo na hatimaye Bahari ya Atlantiki.", "Mto Conwy\nMto Conwy (Kiwelsh: Afon Conwy) ni mto katika kaskazini Wales. Kutoka chanzo chake hadi mwisho wake katika Bay Conwy una urefu kidogo juu ya 27 miles (43km) . \"Conwy\" wakati mwingine hujilikana kama \"Conway.\"", "Mto Welland\nMto Welland ni mto katika mashariki ya England, ambao una urefu wa 56 km (35 m) kwa , na nu njia kuu ya sehemu ya The Fens inayoitwa \" Holland mashariki\" kwa maelfu ya miaka. Huanzia katika Hothorpe Hills, (kujiunga na Welland Rise, Sibbertoft) katika northamptonshire, kisha unaelekea mashariki katika Soko Harborough, Ketton, Stamford, The Deepings, Crowland, Cowbit na Spalding, kisha katika daraja la Fosdyke Osha ." ]
36
Je,mlima Himalaya ina urefu wa mita ngapi?
[ "Orodha ya milima mirefu duniani\nMlima mrefu duniani kwa kuangalia kimo juu ya uwiano wa bahari ni Mlima Everest ulioko kwenye mpaka baina ya Nepal na China. Kilele chake kipo mita 8,848 juu ya usawa wa bahari. Mlima Everest ni sehemu ya milima ya Himalaya. Pamoja na Everest kuna milima mingine 13 inayopita kimo cha mita 8,000, yote iko katika Himalaya na milima jirani ya Karakoram ambayo ni tokeo la kukunjwa kwa ganda la dunia tangu bamba la Uhindi lilianza kugonga bamba la Ulaya-Asia.", "Orodha ya milima\nEverest (m 8,848), Nepal - Tibet, Asia K2 (m 8,611), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia Kangchenjunga (m 8,586), Nepal - India, Asia Lhotse (m 8,511), Nepal - Tibet, Asia Makalu (m 8,463), Nepal - Tibet, Asia Cho Oyu (m 8,188), Nepal - Tibet, Asia Dhaulagiri (m 8,167), Nepal, Asia Manaslu (m 8,163), Nepal, Asia Nanga Parbat (m 8,125), Pakistan, Asia Annapurna (m 8,091), Nepal, Asia Gasherbrum I (m 8,080), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia Shishapangma (m 8,012), Tibet, Asia" ]
[ "Toyota Fortuner\nFortuner ilianzishwa mwaka wa 2005 na mara moja kuwa maarufu na wanunuzi wa SUV . Tatizo ilikuwa kutafuta mahali ya SUV hii katika mijini ya kichaak ya Singapore. Baadhi ya matatizo ni pamoja mahali pa kupakiakwani ina urefu wa mita 1.85 na baadhi ya maeneo ya kupakia hayawezi kuchukua urefu huo. Toleo la mwaka wa 2009 iko tayari lakini9 ni chache kuliko 1000 katika Singapore .", "Kathmandu\nKathmandu (Kinepali: काठमाडौं, काठमान्डु)ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Nepal mwenye wakzi milioni 1.5. Iko katika bonde la Kathmandu kando la mto Bagmati kwenye milima ya Himalaya kwa kimo cha mita 1,300. Miji ya Patan na Bhaktapur iko karibu. Mahali pake ni 27°43′N 85°22′E.", "Mpira wa miguu\nUwanja una umbo la mstatili. Hakuna kipimo kamili, ila kanuni zinasema urefu ni baina ya mita 90 na 120, upana baina ya mita 45 na 90. Kwa michezo ya kimataifa urefu uwe baina ya mita 100 - 110 na upana baina ya mita 64 na 75.", "Mahindi\nWakati baadhi ya mimea ya mahindi’ ikikua hata kufikia urefu wa mita 7, yale yanayokuzwa kibiashara mengi huwa na urefu wa mita 2.5. ", "Axum\nMihimili mingine mitatu, yenye urefu wa mita 18.2,na mita 1.56 kwa upande wa upana, huku ikiwa na urefu wa mita 0.76 kwenda chini, na yenye uzito wa tano 56, wakati nyingini ikiwa na Urefu wa mita 15.8, upana mita 2.35 na urfu kwenda chini mita 1, na uzitzo wa tani 75, Nyingini ina urefu wa mita 15.3, upana wa mita 1.47 na urefu kwenda chini ukiwa mita 0.47 na kuwa na uzito wa tani 43. . Nguzo hizo zinaamika kuwa alama ya makaburi graves lakini hii inatiliwa mashaka na kusema kuwa, kama yangekuwa ni alama ya makabauri, basi yangekuwa na alama ya vyuma ambavyo vingekuwa vimebandikwa katika pande za nguzo hizo. Nguzo hizo pia zimepambwa na michoro mbalimbali katika pande zakee", "Eneo\nMakadirio ya eneo yana faida nyingi katika maisha ya kila siku. Nikitaka kupiga rangi kuta za chumba naweza kupima maeneo yote ya kuta zake. Kwa mfano chumba cha mita 3x4 na kimo cha mita 2 lina eneo la kuta zake za 28 m² (Kuta 2 zenye upana wa mita 3 x kimo mita 2 ni 2x3=6 x kimo 2 = 12m²; kuta 2 zenye upana wa mita 4 ni 2x4= 8 x kimo 2= 16 m²; 16m²+18m² = 28 m²). Nikijua hii naweza kuuliza dukani je wana rangi gani kwa ajili ya ukuta na kopo la rangi linatosha kwa mita za mraba ngapi? Wakisema 10 m ² najua nitahitaji kununua kopo 3. Katika mfano wa juu naweza kutoa eneo la mlango na madirisha labda zinatosha kopo 2 kubwa na 1 ndogo.", "Mekong (mto)\nChanzo chake ni katika nyanda za juu za Tibet kwenye kimo cha zaidi ya mita 5,000. Mwendo wake una urefu wa zaidi ya km 4000 na beseni ina eneo la kilomita za mraba 795,000. ", "Himalaya\nMilima yote iliyofika mita elfu nane juu ya usawa wa bahari iko katika safu ya Himalaya:", "Basilika la Mt. Petro\nUkumbi wake una urefu wa mita 187 na upana wa 27.50. Ukumbi wa pili una urefu wa mita 138. ", "Ambohimanga\nSehemu ya juu ya mlima penye ikulu na makazi zimezungukwa kwa mifereji ya ulinzi zenye urefu hadi mita 30 na kuta imara. Kuna geti imara 14 zilizofungwa kwa duara ya jiwe . Kila geti ina jina la pekee na geti moja ilikuwa haki ya mfalme pekee aliyeweza kupita hapa. Katika karne ya 19 wageni wa nje walikataliwa kuingia geti yoyote.", "Mlima Longonot\nKilele cha Mlima Longonot una kasoko yenye kipenyo cha kilomita 1.8 na urefu wa mita 200 au zaidi kwenda chini kutegemeana na urefu wa kuta za kasoko. Njia nyembamba inaelekea kutoka kiingilio cha mbuga hadi mdomo wa volkeno, na kuendelea kwenye kona ya kasoko ya volkeno. Ziara nzima ni kilomita 8-9 tu lakini ina mwinuko sana, hivi kwamba safari ya kutoka lango la Hifadhi hadi kilele cha Longonot na kurudi tena langoni huchukua takriban masaa 5 kwa miguu. Lango liko aghalabu mita 2150 juu ya usawa wa bahari na upeo unafikia mita 2760 m juu ya usawa wa bahari lakini kufuatia mzunguko wake usio sawa kunahusisha zaidi ya tofauti ya mita 630.", "Nyangumi\nSpishi nyingi za nyangumi ni kubwa sana. Nyangumi buluu (Blue whale) anaweza kufikia uzito wa tani 200 na urefu wa mita 33. Nyangumi wadogo ni hasa familia ya pomboo ambao wale wadogo wanafikia urefu wa mita na nusu tu.", "Kifaru\nFaru wa Java pia wana pembe moja. Pia ngozi yao ya kijivu ina mikunjo na wana nundu kama faru wa India, na hawana nywele. Urefu wa mwili wake ni mita 3.1 – 3.2, pamoja na kichwa na urefu wa mita 1.5 – 1.7. Faru wakubwa wanaripotiwa kufikia uzito wa kilogramu 900 – 1400 au 1360 – 2000, kwa chanzo tofauti. Pembe za faru dume hufikia mpaka sentimeta 26 huku faru jike huwa na nundu tu, na wakati mwingine hawana kabisa.", "Myanmar\nKaskazini mwa nchi kuna milima mingi. Safu tatu za Rakhine Yoma, Bago Yoma na Nyanda za Juu za Shan zimeanza katika Himalaya na kuelekea kusini. Milima ya Hengduan Shan iko mpakani kwa China. Mlima mkubwa ni Hkakabo Razi kwenye jimbo la Kachin wenye kimo cha mita 5,881.", "Nyayo House\nNyayo House ni jumba la ofisi za serikali jijini Nairobi, Kenya. Lilijengwa wakati wa serikali ya rais Daniel Toroitich Arap Moi na kupokea jina lake kutokana na itikadi ya \"Nyayo\" iliyokuwa wito wa raisi huyu.\nNyayo House ilikamilishwa mwaka 1982 ina ghorofa 27 na urefu wa mita 84.1. Ndani yake kuna ofisi mbalimbali za serikali pamoja na serikali ya mkoa wa Nairobi na idara ya uhamiaji na mengi mengine. ", "Emirates Palace\nHoteli ina miviringo kama ya mskiti takriban 114 iliyo na urefu wa mita 60. ", "Bara la Antaktiki\nBarafu ya ngao haikai kimyakimya lakini yote ina mwendo ikifuata mtelemko wa uso wa nchi. Katika sehemu kadhaa barafu ina mwendo wa haraka zaidi na sehemu hizi zinaitwa \"mito ya barafu\" na ni aina ya barafuto. Mito ya barafu hii iko yenye urefu hadi kilomita mia kadhaa, upana wa 50 km na unene wa kilomita 2. Mwendo unafikia hadi mita 1.000 kwa mwaka. Pale inafikia kwenye ufuko wa bahari inajenga ulimi wa barafu inayosukumwa katika maji.", "Lambo la Magenge Matatu\nSehemu ya juu ya ukingo wa maji ya bwawa ina urefu wa mita 3,035, maji baada ya kulimbikizwa katika hali ya kawaida ni yanakuwa na kina cha mita 175. Bwawa la maji la mradi huo linaweza kulimbikiza jumla ya mita za ujazo bilioni 39.3. Bwawa huwa na urefu wa kilomita 600 hadi mji wa Chongqing.", "Ghuba ya Aden\nGuba ya Aden ni mkono pana wa Bahari Hindi kati ya Somalia upande wa kusini na Rasi ya Uarabuni upande wa kaskazini. Inaanza kwenye sehemu ya Bahari Hindi iitwayo pia Bahari Arabu na kuelekea kwa mlango wa bahari wa Bab el Mandeb unaoiunganisha na Bahari ya Shamu.\nGhuba hii ina urefu wa kilomita 1,000 na upana wake ni kati ya 150 km hadi 440 km. Kimo cha maji hufikia urefu wa mita 3,748. Imepakana na nchi za Yemen, Somalia (au Somaliland) na Jibuti.", "Himalaya\nHimalaya ina milima mikubwa duniani. Milima 14 mirefu kabisa ya dunia iko Himalaya.", "Ndizi\nMmea wake sio mti kamili, huwa na urefu wa mita 6 – 7.6. majani yake hukua kuzunguka mmea na hufukia urefu wa mita 2.7 kwa urefu na sentimita 60 kwa upana. Mgomba ndiyo mmea mkubwa zaidi kuliko mimea mingine ya jamii yake. Majani yake huwa makubwa sana na huchanwa kwa urahisi sana na upepo.", "Kifaru\nFaru weusi wana mdomo uliochongoka. Wanafanana kwa rangi na faru weupe. Hii inachanganya sana, sababu majina yao ni tofauti lakini rangi zao ni sawa kabisa. Spishi hii ina spishi nyingine nne ndani yake. Faru mkubwa mweusi huwa na urefu wa sentimeta 132 – 180 mabegani mwake na urefu wa mita 2.8 – 3.8 kuanzia kichwani mwake.[3] Huwa na uzito wa kilogramu 850 mpaka 1600, na wachache mpaka kg 1800, huku faru jike wakiwa na umbo dogo kiasi kuliko wanaume. Pembe kubwa mbili zimetengenezwa kwa keratini huku ile kubwa ya mbele ikiwa ina urefu wa mpaka sentimeta 50, na mmoja aliwahi hata kufikia sentimeta 140. Wakati fulani hata pembe la tatu hujitokeza. Faru weusi ni wadogo kiasi kuliko faru weupe, na wana mdomo uliochongoka kwa ajili ya kukusanya majani kabla ya kula.", "Kisiwa cha Bouvet\nBouvet ina urefu wa kilomita 9 na upana wa 7.5 km, eneo lake huwa na 49 km². Sehemu ya juu ni mlima wa Olavtoppen yenye kimo cha mita 790 juu ya UB. ", "Kiboko (mnyama)\nViboko wana urefu wa mita 3.3 mpaka 5.2, kujumuisha na mkia wenye urefu wa sm 56, inayojumuisha pembe kubwa na nywele upande wa kulia kulingana na jinsia yake, na urefu wa karibia mita 1.5 kwenye mabega yake. Japokuwa ni wanyama wakubwa, viboko wana uwezo wa kukimbia sana kuliko hata binadamu wakiwa nchi kavu. Makadiriio ya mwendokasi wao ni kutoka km 30 mpaka 40 au hata 50 kwa saa. Kiboko anaweza akabakia na mwendo huu kwa umbali wa walau mita mia kadhaa tu.", "Hektari\nHektari ni kipimo cha eneo lenye upana na urefu wa mita mia moja. Hektari moja ina mita za mraba (=m²) 10,000. ", "Nyati-maji wa mwitu\nNyati-maji wa mwitu ana urefu wa mita 2.4–3, urefu wa mkia wa mita 0.6–1, kimo cha mita 1.5–1.9 mabegani, na uzito wa hadi tani 1.2 kwa madume.", "Hifadhi ya Kitulo\nJamii mpya ya nyani (\"Lophocebus Kipunji\") waligunduliwa mwaka 2003 Kitulo. \nHifadhi hii ina uwanda wa tambarare, mabonde, vilima na maporomoko ya maji. Ndani ya msitu, kuna miti aina ya cidar yenye urefu wa zaidi ya mita 50 na inakadiriwa kuwa mirefu kuliko yote duniani.", "Axum\nMaeneo kadhaa yanavutia katika eneo la Aksum, Nguzo za Aksumite, zilizopo katika mji wa Stelae, nguzo hizi zenye urefu wa kiasi cha mta 33, na mita 3.84 kw upana , wakati mita 2.35 ni kwa upande wa kwenda chini, na pia, kila nguzo ina kiasi cha uzito wa tani 520, nguzo ya Great Stele inaamika kuanguka na kuvunjika wakati wa kuitengeneza\nNguzo ambayo inaoongoza kwa urefu, ni ile yenye urefu wa mita 20.6, na upana wa mita 2.65 na wakati urefu kwenda chini ni mita 1.18, na kuwa na urefu wa tani 160,", "Mnara wa taa\nSiku hizi minara ina urefu kati ya mita 15 hadi 40. Kama mnara umejengwa mwambanoni juu ya jabali unaweza kuwa mfupi zaidi maadamu nuru yake inaonekana bila matatizo." ]
61
Je,Anthony Alexandre Anderson alizaliwa mwaka upi?
[ "Anthony Anderson\nAnthony Alexandre Anderson (amezaliwa tar. 15 Agosti 1970) ni mwigizaji wa filamu, mchekeshaji, na mwandishi kutoka nchini Marekani. Amepata kucheza kwenye ucheshi wake mwenyewe wa All About the Andersons, vilevile kwenye igizo kama vile K-Ville, The Shield na Law & Order. Pia amepata kucheza kama mwigizaji mwandamizi kwenye filamu kama vile Transformers, The Departed, na Agent Cody Banks 2: Destination London." ]
[ "Anthony Anderson\nAnderson amejiunga kwenye igizo refu la TV la uharifu la NBC, Law & Order mnamo 2008. Awali alipata kuonekana kwenye mifululizo mingine miwili ya uharifu, K-ville (akiwa kama mmoja kati ya wahusika wakuu) na The Shield.", "Wamasoni\nWamasoni wanatamka rasmi kutokuwa na ubaguzi wowote kati yao na kwa wanaotaka kujiunga nao, kufuatana na taratibu zilizopangwa katika \"Katiba ya waashi huru\" ambayo iliandikwa na James Anderson mwaka 1723 na inakubaliwa na miundo yote ya Kimasoni duniani ingawa kati yake kuna tofauti kadhaa kadiri ya mazingira.", "Sean Kingston\nKisean Anderson (amezaliwa tar. 3 Februari 1990 mjini Miami, Florida, Marekani) anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Sean Kingston, ni rapa na mwimbaji wa raggae wa Kijamaika-Marekani. Japokuwa, Sean alizaliwa Marekani, lakini makuzi yake yote yalikuwa mjini Kingston, Jamaika, aliondoka Marekani akiwa na umri wa miaka sita. Jina hilo analo tumia la \"Sean Kingston\" amemaanisha kuwa kama anatoa heshima kwa Kingston, Jamaika. Sean vile vle ana urafiki mkubwa na baadhi ya waimba Reggae maarufu nchini Jamaika (Buju Banton) ambaye pia ndiye aliyemshauri Sean kujiusisha na maswala ya muziki.", "Alexandre Lacazette\nAlexandre Lacazette (amezaliwa 21 Mei 1991) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa kimataifa wa Ufaransa ambaye anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya Premier League Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa.", "Philip Anderson\nPhilip Warren Anderson (amezaliwa 13 Desemba 1923) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza upitishaji wa umeme, na usumaku. Mwaka wa 1977, pamoja na John Van Vleck na Nevill Mott alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia. Pia alikuwa stadi wa mchezo wa Kijapani Go.", "Anthony Anderson\nAnderson alizaliwa mjini Los Angeles, California, akiwa kama mtoto wa Dora, mshughulikiaji simu na mwigizaji; baba yake wa kufikia, Sterling Bowman, ana miliki maduka mengi ya nguo.[1] Anderson ni mhitimu wa Los Angeles County High School for the Arts na [[Chuo Kikuu cha Howard. Amesoma na waigizaji wenzake kama vile Avery Brooks, Ruby Dee na Ossie Davis.[2]", "Anthony Anderson\nMnamo mwaka wa 2009, Anderson amepata kuongoza filamu-fupi ya dakika moja akishirikiana na nyota mwenzi wa kwenye Law & Order,Jeremy Sisto. Filamu hiyo ilitengenezwa kwa ajili ya Responsibility Project, mpango unganishi wa NBC na Liberty Mutual Group. Kipande hicho kilirushwa wakati wa onyesho la Law & Order katika kipengele cha \"Reality Bites\" mnamo tar. 16 Oktoba 2009.", "Maxwell Anderson\nJames Maxwell Anderson (15 Desemba 1888 – 28 Februari 1959) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1933, alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Tamthiliya kwa tamthiliya yake \"Both Your Houses\".", "Yes\nYes ni bendi ya muziki aina ya rock kutoka Uingereza iliyoanzishwa mwaka 1968. Iliundwa na \nJon Anderson (mwimbaji), Peter Banks (gitaa), Chris Squire (besi), Tony Kaye (kinanda) na Bill Bruford (ngoma).", "Paul W. S. Anderson\nPaul William Scott Anderson (amezaliwa tar. 4 Machi 1965), pia anajulikana kama Paul W. S. Anderson au Paul Anderson, ni mwongozaji wa filamu ambaye kikawaida hufanya kazi hasa filamu za uzushi wa kisayansi na kuchukua michezo ya video na kuibadili kuileta kwenye filamu.", "Anderson Talisca\nAnderson Talisca (anayejulikana pia kama Talisca tu; alizaliwa tarehe 1 Februari mwaka 1994) ni mchezaji wa soka wa Brazil ambaye anacheza klabu ya China Guangzhou Evergrande, kwa mkopo kutoka klabu ya Ureno Benfica. ", "Anthony Anderson\nMnamo mwaka wa 1995, amemwoa kipenzi chake cha roho waliokuwa wakisoma wote chuo Bi. Alvina. Wawili hao wana watoto wawili. Kwa sasa wanaishi mjini Hancock Park, Los Angeles, California.", "Mnara wa Eiffel\nMnara huu ulipokea jina lake kutoka kwa mjenzi wake aliyekuwa mhandisi Alexandre Gustave Eiffel.", "The Matrix\nMwanzoni mwa filamu kuonekana mtu mmoja aitwaye Thomas Anderson (Keanu Reeves) anafanya kazi katika kampuni ya kompyuta. Akiwa katika mtandao wa internet, Thomas Anderson anaona ujumbe unaomwambia kwamba Thomas Anderson jina lake ni Neo.", "Alexandre Lacazette\nLacazette alijitokeza kama mwanachama wa taasisi huko Lyon, ambako alifanya mwanzo wake wa kitaaluma akiwa na miaka 19. Alisaidia klabu kushinda Coupe de France na Tropheée des Champions mwaka 2012, na aliitwa kama mchezaji bora wa mwaka 2014-15 wa Ligue 1. Wakati wa Ufaransa, Lacazette alikuza sifa kama mchezaji mkubwa, kuweka rekodi misimu mingi ya mabao ishirini, ambayo iilifanya Arsenal kwa rekodi ya klabu hiyo £ 46.5 milioni (€ 53,000,000) mwaka 2017. ", "Becky Anderson\nAnderson ana shahada ya Uchumi na Kifaransa kutoka Chuo Kikuu cha Sussex, na shahada ya pili ya Uanahabari kutoka Chuo Kikuu cha Arizona State. Ameanza kazi kama mwandishi wa habari kwa kufanya kazi mjini Arizona mnamo mwaka wa 1990, na pindi alipoanza kazi CNN mwaka 1999, alikuwa akitangaza \"World Business This Morning.\" Yeye ni mtangazaji wa CNN International kutoka afisi ya London.", "Tuzo ya Nobel ya Fizikia\n1936 Carl David Anderson na Victor Francis Hess ", "Alex Song\nAlexandre Dimitri Song Billong (mara nyingi hujulikana kama Alex Song; alizaliwa mnamo 9 Septemba 1987) ni mwanakandanda wa kulipwa kutoka nchi ya Kamerun ambaye anaichezea klabu ya Arsenal Ligi Kuu ya Uingereza.", "Becky Anderson\nAnderson ni shabiki wa Tottenham Hotspur.", "Alien vs. Predator\nAlien vs. Predator (pia inajulikana kama AVP) ni filamu ya bunilizi ya kisayansi ya mwaka wa 2004 - kutoka nchini Marekani. Filamu iliongozwa na Paul W.S. Anderson kwa ajili ya 20th Century Fox. Igizo la filamu linatokana na nyusika mbili zilizolewa pamoja kwa ajili ya ushabiki tu wa wapenzi wa viumbe. Viumbe hivyo ni pamoja na kukutanishwa baina ya \"Alien\" na \"Predator\", wazo ambazo linatokana na kitabu cha katuni cha mwaka wa 1989 cha \"Aliens versus Predator\". Anderson, Dan O'Bannon, na Ronald Shusett wametunga hadithi, na Anderson na Shane Salerno wameinakili hadithi na kuileta kwenye mtindo wa filamu. Utunzi wao uliathiriwa na hadithi za kale za Waaztec, mfululizo wa kitabu cha katuni, na tungo za Erich von Däniken.", "Alexandre Lacazette\nInajulikana kwa kutembea kwa kasi na uwezo wa miguu miwili, Lacazette amekuwa akilinganishwa na mbele ya Arsenal mbele ya Ian Wright na Gérard Houllier.", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Carl David Anderson\nCarl David Anderson (3 Septemba 1905 – 11 Januari 1991) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza sehemu za atomu. Mwaka wa 1936, pamoja na Victor Hess alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.", "Deco\nDeco (jina halisi: Anderson Luís de Souza; alizaliwa 27 Agosti 1979) alikuwa mchezaji wa timu ya taifa ya Ureno na klabu mbalimbali za Ulaya ambazo ni Porto, Barcelona F.C. na Chelsea F.C..", "Anderson Talisca\nAnaweza kucheza kama kiungo mshambuliaji au mbele.", "Hoyce Temu\nHoyce Anderson Temu (amezaliwa katika Wilaya ya Ilala, jiji la Dar es Salaam, 20 Machi 1978) alikuwa mshindi wa taji la urembo Tanzania mwaka 1999 na kuiwakilisha nchi ya Tanzania katika mashindano ya urembo wa dunia nchini Uingereza,anajulikana kama Mrembo wa Millenium wa mwaka 1999.", "Becky Anderson\nBecky Anderson (amezaliwa 15 Novemba 1967) ni mwandishi wa habari Mwingereza, na mtangazaji wa CNN International kwenye kipindi cha \"Connect the World with Becky Anderson\".", "Anthony Anderson\nJamii:Waliozaliwa 1970 Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani Jamii:Watu walio hai", "Anthony Anderson\nAnderson amekuwa akifanya kazi kama mwigizaji, hasa kwenye nyanja za uchekeshaji, kwa miaka mingi. Kazi zake za televisheni ni pamoja na kuonekana san akiwa kama nyota mwalikwa kwenye mfululizo wa NYPD Blue, Malcolm & Eddie, In the House, na Ally McBeal. Nyusika zake zilizokuwa zikijirudia ni pamoja na mfululizo wa Til Death na The Bernie Mac Show. Alikuwa muhusika wa kati kwenye mfululizo wa All About the Andersons, ambao uliishia kwa msimu mmoja tu kwenye televisheni ya the WB." ]
50
Je,mji mkubwa zaidi Italia ni upi?
[ "Milano\nMilano (pia Milan) ni mji mkubwa wa Italia ya kaskazini mwenye wakazi milioni 1.3. Rundiko la mji lina wakazi milioni 7.5. Ni mji mkuu wa eneo la Lombardia na kitovu cha uchumi na utamaduni.", "Italia\nRepubblica Italiana Jamhuri ya ItaliaLugha rasmiKiitalia; kijimbo pia Kijerumani, Kifaransa, Kiladino, Kislovenia, KisardiniaMji MkuuRomaRaisSergio MattarellaWaziri MkuuGiuseppe ConteEneo301.338 km²Wakazi60,579,000 (31-7-2017) (23º duniani)Wakazi kwa km²201.7JPT31,022 US-$ (2008)PesaEuroWakatiUTC+1Wimbo wa TaifaFratelli d'Italia (Ndugu wa Italia)Sikukuu ya Jamhuri2 JuniSikukuu ya Taifa25 ApriliSimu ya kimataifa+39" ]
[ "Rasi ya Italia\nRasi ya Italia au Rasi ya Apenini ni kati ya rasi kubwa za Ulaya, yenye urefu wa zaidi ya kilomita 1,000 kutoka milima ya Alpi hadi kuishia katikati ya Mediteranea.", "The Bridges of Madison County\nRiwaya hii inahadithia maisha ya mwanamke aliyeolewa na mwenye asili ya Italia aliyeishi maisha ya upweke katima mika ya 1960 katika eneo lililofahamika kama Madison County, Iowa, ambaye baadae alikuja kujihusisha na mahusiano ya kimapenzi na mpiga picha wa National Geographic kutoka eneo la Bellingham, Washington , ambaye alitembelea eneo la Madison Country kwa ajili ya kutengeneza hadithi ya picha katika madaraja yaliyofahamika kama Covered Bridge.\nHadithi hiyo inasimuliwa na kuibua hisia kama vile ni hadithi ya ukweli, lakini katika hali ya uhalisia, si hadithi ya uhalisia na matukio yote yamebuniwa. Hata hivyo, mwanzoni mwa riwaya hiyo, mwandishi ameanza kwa mahojiano ambayo yanaelekea kuonesha uhusiano mkubwa baina ya mhusika mkuu wa riwaya hiyo na mwandishi mwenyewe. \nRiwaya hii ni moja kati riwaya ambazo zimeweza kufanya vizuri kwa upande wa mauzo kwa karne ya ishirini na moja, kwa kufanikiwa kuuza zaidi ya nakala milioni hamsini dunia nzima", "Cristiano Ronaldo\nUhamisho huo ulikuwa wa juu zaidi kwa mchezaji aliyo zaidi ya miaka 30, na ni mchezaji anyaongoza kulipwa na klabu ya Italia hiyo Juventus. Baada ya kusaini, Ronaldo alitoa haja yake na changamoto mpya kama sababu yake ya kuondoka Real Madrid.", "Taff B.\nBrian Haule (16 Mei, 1978 Ilala Bungoni/Sharif Shamba, Dar es Salaam) ni rapa, mtangazaji wa redio ya mtandaoni (Bongo Radio) na mdau mkubwa wa muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Taff B au lile la kimtandao zaidi ni Ngomanagwa. Huyu ni ndugu wa baba mkubwa na mdogo wa Professor Jay.", "Kisangani\nKisangani ni mji mkubwa wa mashariki mwa Kongo wenye wakazi zaidi ya 1,600,000. Ni mji mkubwa wa tatu wa nchi hiyo.", "Italia\nKutokana na urefu mkubwa wa Italia toka kaskazini hadi kusini, hali ya hewa ni tofauti sana, kuanzia baridi kali sana hadi joto kali sana.", "Italia\nKutokana na umati wa Waitalia waliohama nchi hiyo karne za nyuma, sasa zaidi ya watu milioni 60 nje ya Italia wana asili ya nchi hiyo, mbali na raia zaidi ya milioni 4 wanaoishi nje.", "Waklara\nBaada ya ongezeko la nusu ya kwanza ya karne XX, uhaba wa miito Ulaya umerudisha nyuma ustawi wa monasteri nyingi. Takwimu ya uenezi ni kama ifuatavyo:\nMwaka 1907 Waklara tu walikuwa 11,000 katika monasteri 561 (Hispania + Ureno 185, Italia 157, Amerika 40, Ulaya ya Kati 53, Ufaransa 43). Monasteri za Wakonsesioni zilikuwa 88 na za Waanunsyata 6.\nMwaka 1980 Waklara tu walikuwa 17,000 katika monasteri 824 (Hispania + Ureno 289, Italia 144, Amerika 172, Ulaya ya Kati 78, Asia+[[Afrika]]+[[Australia]] 60, Ufaransa 43). Monasteri za Wakonsesioni zilikuwa 153 na za Waanunsyata 4.\nMwaka 2000 Waklara tu walikuwa 13,160 katika monasteri 926. Monasteri za Wakonsesioni zilikuwa 164 na za Waanunsyata 7.\nKuhusu matawi, mwaka 2005 takwimu zilikuwa hivi: Waklara wa kawaida 7,662, Waklara Wakoleta 681, Waklara Waurbani 1,122, Waklara Wakapuchini 2,246, Wakapuchini wa Sakramenti Kuu 295, Waklara wa Kuabudu Mfululizo 587 = Jumla ya Waklara 12,593 katika monasteri 928. Wakonsesioni walikuwa 2,019 katika monasteri 157 na Waanunsyata 96 katika monasteri 8.\nWaklara wafiadini wengine 6 wa karne XX, hasa Wahispania, wameshatangazwa wenye heri. Mklara maarufu zaidi wa milenia mpya ni [[Maria Anjelika]] wa Kupashwa Habari ambaye, karibu na monasteri yake ya kuabudu ekaristi mfululizo, ameanzisha (1981) mtandao wa Kikatoliki mkubwa kuliko yote ya Amerika (EWTN)!", "Isopodi mkubwa\nIsopodi mkubwa ni mfano mzuri wa viumbe vikubwa kabisa katika kina cha bahari, vile ni wakubwa zaidi ya isopodi wa kawaida ambao ni hadi sentimita 5 (inchi 2.0).", "Italia\nMto mrefu zaidi unaitwa Po na una urefu wa kilomita 652. Mito mingine ni Tiber, Arno n.k.", "Antoni Maria Claret\nMnamo Februari 1857, aliitwa na Malkia Isabella II wa Hispania, na kufanywa kuwa muungamishi wake. Alipata ruhusa ya kutorudi Cuba tena na aliteuliwa kwenda Trajanopolis. Kwa nyongeza alikuwa mshauri wa kiroho wa Malkia, na ndipo mvuto wake ulielekea zaidi katika kuwasaidia maskini na uenezaji wa elimu; aliishi kwa umakini na uadilifu mkubwa na alilazimika kuwa na makazi ndani ya hospitali huko Italia (yaani wanamolelewa maskini wasiojiweza). ", "Italia\nMilima ya Appennini inaunda uti wa mgongo wake na ile ya Alpi, ambayo ni mirefu zaidi inaunda kwa kiasi kikubwa mpaka kati ya Italia na nchi nyingine za Ulaya.", "Campania\nCampania ni mkoa wa Italia upande wa kusini-magharibi. Ndio wenye wakazi wengi zaidi kati ya ile yote ya Italia Kusini. ", "Italia\nLugha rasmi ni Kiitalia, inayotegemea zaidi lahaja za Italia ya Kati, lakini siku hizi inatumiwa na wananchi walio wengi hata katika mikoa mingine, ambayo kwa jumla ni 20.", "Papa Yohane Paulo II\nZiara zake 104 kati nchi 129 ulimwenguni kote, mbali na 146 nchini Italia na 317 katika parokia za Roma, zilikusanya mara nyingi umati mkubwa (hadi zaidi ya milioni 4 huko Manila, Ufilipino), na kumfanya asafiri kuliko jumla ya mapapa wote waliomtangulia, akiwa mmojawapo kati ya viongozi wa dunia waliosafiri zaidi.", "Italia\nMakao makuu ni jiji la Roma, lenye umuhimu mkubwa katika historia ya dunia nzima.", "Waklara\nTakwimu ni kama ifuatavyo:\nMwaka 1253: monasteri 111: Italia + visiwa 68, [[Hispania]] + [[Ureno]] 21, Ufaransa 14, Ujerumani + Ulaya Mashariki 8.\nMwaka 1300: Waklara zaidi ya 15,000 katika monasteri 413: Italia + visiwa 196, Hispania + Ureno 57, Ufaransa 68, Ujerumani + Ulaya Mashariki 46, Mashariki + [[Korasia]] 23, [[Uingereza]] + [[Irelandi]] 23.", "Roberto Baggio\nBaggio alicheza Italia katika mechi 56, akifunga mabao 27, na ni mchezaji wa nne mwenye kushinda zaidi kwa timu yake ya taifa, pamoja na Alessandro Del Piero. Alikuwa nyota katika timu ya Italia iliyokamilisha michezo na kuwa mshindi wa tatu katika Kombe la Dunia la FIFA la mwaka1990, akifunga mara mbili. Katika Kombe la Dunia la 1994, aliongoza Italia kwa mabao ya mwisho, akifunga mabao matano.", "Italia\nItalia ina volkeno 14, ambazo 4 kati yake ziko hai: ile ndefu zaidi kuliko zote za Ulaya (mita 3,329) inaitwa Etna na iko mashariki mwa Sicilia.", "Ukristo\nKumbe, uenezi wa Uislamu kuanzia karne ya 7 ulidhoofisha na pengine kukomesha kabisa Ukristo katika nchi nyingi, ukirudisha nyuma ustawi wa Kanisa lote. Hata hivyo, mwanzoni mwa karne ya 8, Uislamu ulizuiwa na Wafaranki kuenea zaidi Ulaya bara. Kabila hilo kubwa la Kigermanik liliwahi kujiunga na Kanisa Katoliki likawa msaada mkubwa kwa Mapapa. Isipokuwa kwa kuwaachia watawale Italia ya Kati, walisababisha Papa aanze kuwa kama mfalme wa dunia hii, jambo lililoathiri sana majukumu yake ya kiroho hadi mwaka 1870.", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Mario Mandzukic\nMario Mandžukić (alizaliwa 21 Mei 1986) ni mchezaji wa soka wa Korasya ambaye anacheza mbele ya klabu ya Italia Juventus na timu ya taifa ya Croatia. Mbali na kuwa mkamilifu, anajulikana kwa mchango wake mkubwa wa kujihami na nguvu za anga.", "Mtaguso wa Firenze\nHuko Italia ulifika ujumbe mkubwa kutoka Konstantinopoli kwa ajili ya kurudisha umoja kati ya Kanisa Katoliki na Waorthodoksi. ", "Zoezi\nZoezi (kutoka kitenzi \"kuzoea\") ni tendo linalorudiwarudiwa ili kupata ufanisi mkubwa zaidi na zaidi katika kulifanya.", "Yosefu wa Leonesa\nAlizaliwa Leonessa, mji mdogo wa Italia ya Kati, na alionyesha mapema mwelekeo mkubwa kwa mambo ya dini, hata kujipiga mijeledi siku ya Ijumaa ili kushiriki mateso ya Yesu. ", "Mont Blanc\nMont Blanc (yaani \"Mlima Mweupe\" kwa Kifaransa; kwa Kiitalia: \"Monte Bianco\") ni mlima mkubwa wa Alpi wenye kimo cha mita 4,810 juu ya usawa wa bahari. Iko kwenye mpaka wa Italia na Ufaransa ikiwa nchi hizo mbili hazikubaliani kilele kiko upande gani.", "Roma\nKatika karne zilizofuata Italia pamoja na Ulaya iliona vita na mashambulio ya makabila yasiyostaarabika. Mnamo mwaka 1000 Roma ilikuwa mji mdogo wenye wakazi 20,000 pekee walioishi ndani ya maghofu ya mji mkubwa wa kale.", "Lilian Thuram\nThuram alicheza nchini Ufaransa, Italia na Hispania kwa misimu zaidi ya 15, ikiwa ni pamoja na kumi katika Serie A, Parma na Juventus.", "Casablanca\nCasablanca (Kihispania \"nyumba nyeupe\",tamka kasablanka, ar.| ad-Dār al-Bayḍā’) ni mji mkubwa zaidi nchini Moroko. Ni mji wa bandari uliopo kwenye magharibi ya nchi mwambaoni wa Bahari Atlantiki. Pia ni mju mkubwa kabisa wa nchi za Maghrib na kati ya miji muhimu zaidi kwenye bara la Afrika." ]
38
Je, ni kina nani wanaoishi Antaktiki?
[ "Bara la Antaktiki\nKwa sababu ya baridi kali katika bara hilo, ni bara pekee ambako binadamu hawaishi kwa namna ya kudumu, isipokuwa kuna watu 5,000, hasa wanasayansi, wanaokaa kwa muda katika vituo vyao." ]
[ "Goromwe\nGoromwe au spika ni samaki wa baharini wa familia Synodontidae katika oda Aulopiformes wanaoishi sakafu ya bahari hadi kina cha m 400 katika kanda za tropiki na nusutropiki. Spishi nyingine huitwa bumbo, (m)bumbura au jumbereru. ", "Hotuba ya mlimani\nJe, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba mkate, atampa jiwe? ", "Klara wa Asizi\nSuala lingine lililojitokeza mapema, halafu likaendelea kusababisha migogoro, ni nani awajibike kuwasaidia Waklara upande wa roho na upande wa riziki. ", "Krim\nRasi hii ina historia ndefu iliyoona mabadiliko mengi kiasi ya kwamba haiwezekani ni nani wanaoweza kuitwa \"wakazi asilia\" wa nchi hii. ", "Hotuba ya mlimani\nMtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La! ", "Goromwe\nGoromwe ni samaki wa sakafu ya bahari wanaoishi katika maji kame ya pwani; hata spishi za goromwe zinazokaa kwa kina kikubwa huishi katika maji si zaidi ya kina cha m 400. Spishi fulani za jenasi \"Harpadon\" huishi katika milango ya mito yenye maji ya chumvi kidogo. Wanapendelea mazingira ya mchanga na huwa na rangi za mwili ambazo zinawasaidia kuwanyerereza katika mazingira kama hayo.", "Anania wa Damasko\n5 Naye Saulo akauliza, \"Ni nani wewe Bwana?\" Na ile sauti ikajibu, \"Mimi ni Yesu ambaye wewe unamtesa.", "Majina ya Yesu katika Agano Jipya\nMajina ya Yesu katika Agano Jipya ni namna mbalimbali za kumuita kwa heshima na katika jitihada za kuweka wazi yeye ni nani kweli, tena ni nani kwetu sisi binadamu. ", "Waraka wa Yuda\nHatujui vizuri mwandishi ni nani (ingawa anajiita ndugu wa Yakobo), wala aliandika lini (wengi wanakisia miaka ya 80 B.K.), wala aliwaandikia akina nani (barua ni kwa wote, ingawa baadhi wanahisi walengwa kuwa ni Wakristo wa Kiyahudi walio nje ya Israeli).", "Tanakh\nHasa Wakristo wanawauliza kaka zao Wayahudi: imekuwaje ufunuo wa Mungu kwao ulisimama tangu miaka zaidi ya 2000 ingawa wao wanamsubiri bado Masiya afike? Je, historia ya wokovu imekatika?", "Nyaraka za Paulo\nNa Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa, na masaidiano, na maongozi, na aina za lugha. Je, wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni waalimu? Wote wanena kwa lugha? Wote wafasiri? Takeni sana karama zilizo kuu. Hivyo nawaonyesha njia iliyo bora. (1 Wakorintho 12:28-31). ", "Kanieneo angahewa\nKinyume chake kuna viumbe wanaoishi chini ya bahari katika kina kubwa penye shinikizo ya juu katika maji na wanyama hao wakifikishwa kwenye uso wa bahari sharti wanakufa kwa sbabau ya tofauti kubwa ya kanieneo.", "Ilias\nAnayetajwa kama mwandishi ni mshairi Homer hata kama wataalamu wa kisasa wanajadiliana huyu alikuwa nani na kama aliishi kweli.", "Kitenzi\nnafsi ya mtenda - ni nani au nani anayetenda na hivi ni silabi ni /u / a upande wa umoja na tu / m / wa upande wa uwingi mtawalia katika hali yakinishi na \"si\"/ \"hu\"/\"ha\" kuwa vikanushi vya viambishi vya nafsi za mtenda- umoja na \"hatu\"/\"ham\"/\"hawa\" kuwa vikanushi vya viambishi vya nafsi za mtenda-wingi . njeo au wakati - kama tendo linatokea sasa au lilitokea wakati uliopita au litatokea wakati ujao ; mifano ni silabi za a pamoja na na kwa wakati wa sasa, li kwa wakati uliopita na ta kwa wakati ujao katika hali yakinishi.", "Historia ya teolojia\nHistoria ya teolojia inapitia mchango wa wataalamu mbalimbali katika kuchunguza Mungu ni nani pamoja na kazi yake.", "Historia ya Wokovu\nHatujui vizuri mwandishi wa barua hii ni nani (ingawa anajiita ndugu wa Yakobo), wala aliandika lini (wengi wanakisia miaka ya 80), wala aliwaandikia akina nani (barua ni kwa wote, ingawa baadhi wanahisi walengwa kuwa ni Wakristo wa Kiyahudi walio nje ya Israeli). Ujumbe ni kujihadhari na wazushi wanaobunibuni mafundisho mapya badala ya kushika imani ile iliyofunuliwa mara moja na ikatosha; ujumbe huo ulitolewa kwa kuwatukana na kuwalaani wazushi hao (Yuda 1-4, 17-25).", "Hotuba ya mlimani\nWaangalieni ndege wa mwituni: hawapandi, hawavuni, wala hawana ghala yoyoye. Hata hivyo, Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, ninyi si wa thamani kuliko hao? ", "Bad (wimbo)\nKatika kitabu chake cha mwaka wa 1988 cha \"Moonwalk\", Jackson aliandika: \"'Bad' ni wimbo unaohusiana na masula ya mtaani. Inahusiana na watoto wanaotoka katika familia mbaya ambao wamepata kwenda mbali kwenye shule za watu watukutu. Amerejea zake kule mtaani kwao kwa zamani wakati amekimbia shule na watoto wa pale mtaani wanaanza kumletea matata. Anaimba, 'Mimi' mbaya, wewe mbaya, nani mbaya, je, ni nani aliyemwema?' Anasema kwamba unapokuwa mwema na mkakamavu, basi ujue we mbaya.\"", "Torati\n46 Je, mtapata tuzo gani kwa kuwapenda tu wale wanaowapenda ninyi? Hakuna! Kwa maana hata watoza ushuru hufanya hivyo!", "Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko\nWakarmeli walipoanza kuelekeza Watersyari wao kuweka nadhiri ya useja (kuna ushahidi wa mwaka 1283), desturi hiyo ikaenea haraka: mwaka 1307 mwanamume Mfransisko aliweka nadhiri tatu kufuatana na kanuni ya Nikola IV ingawa hiyo haitaji kabisa nadhiri. Kadiri Watersyari walivyozidi kujilinganisha na wanadhiri, yalizuka maswali juu yao: mbona kanuni haisemi juu ya kuishi pamoja? Mbona wanaweka nadhiri kama si watawa? Mbona wanawake wanaoishi kijumuia hawashiki ugo? Mbona wengine wanaweka nadhiri halafu wanaendelea kuishi kwao? Je, ni watawa? Majibu yakapatikana polepole, mpaka wakabainishwa Wasekulari (yaani ndugu wa ulimwenguni) na Waregulari (watawa hasa).", "Uhasibu\nMashirika mengi huwaza jinsi ya kutafuta mhasibu anayefaa katika shirika zao awafanyie hesabu na kuona kwamba pesa zinatumika sawa. Je, ni yapi wanafaa kuangazia wanapoajiri mhasibu:", "Kura\nTaratibu za kupiga kura zinaweza kuwa mbalimbali, kwa mfano kuhusu nani apige, nani apigwe kura, kwa namna gani n.k.: mara nyingi ni muhimu itunzwe siri kuhusu kura iliyotolewa na kila mtu, aweze kuitoa bila hofu au shuruti kutoka nje.", "Hotuba ya mlimani\n\"Ndiyo maana nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula na kinywaji mnavyohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu. Je, maisha ni chakula tu au zaidi? Na mwili, je, si zaidi ya mavazi? ", "Pluto\nPluto ilikuwa ikitambulika kama sayari ya tisa katika mfumo wa jua na sayari zake toka mwaka 1930 hadi Agosti 2006. Vipimo vipya vilileta wasiwasi juu ya swali: Je, sayari ni kitu gani?, hasa baada ya kugundua magimba ya ziada nje ya Pluto yanayokaribia ukubwa wake lakini hayafai kuitwa sayari.", "Divai\nKitabu cha Yoshua bin Sira (31:27-29) kinasema: ”Kwa wanadamu mvinyo ni kama maji ya uzima, ukinywa kwa kiasi. Je, anao uzima gani mtu asiye na mvinyo? Nayo imeumbwa ili kuwafurahisha wanadamu. Mvinyo ni furaha ya moyo na changamko ya roho, ikinywewa kwa wakati wake na ya kutosha. Lakini kunywa mno ni uchungu wa roho, na fedheha, na ugomvi.”", "Steal\n Slim, Frank, Otis na Alex ni kundi la vijana wanaojishuighulisha na masuala ya wizi wa benki kwa kutumia uvumbuzi wa hali ya juu mno kama kuendesha ubao wa kutelezea (skate board). Kundi linakwepa kukumatwa na Polisi, -naongozwa na Luteni Macgruder, na kupanga kuiba kuthubu kuiba tena zaidi. Lakini kuna mtu asiyejulikana anaonekana kuwajua kuwa wao ni kina nani na kuwatishia kwamba wasipo mpa kitu kidogo atawachowa kwa Polisi - kwa maana hiyo waibe kwa ajili yake. Baadaye, Mafia linalowakilishwa na mlazimishaji Surtayne analipa maelekezo kundi namna ya kufanya vinginevyo watauawa. Punde kundi limebadilisha kibao kwa mtu mmoja asiyejulikana (ambaye aligundulika kuwa ni Luteni Macgruder) na Mafia walitoroka na mihela yote ya kazi yao ya mwisho. Imekadiriwa kwa asilimia 29% kwenye tahakiki za filamu katika tovuti ya Rotten Tomatoes.", "Mana\nYesu alikitumia hicho pia kujitambulisha ni nani kwa binadamu wote: \"Mimi ndimi chakula cha kweli kilichoshuka kutoka mbinguni\" (Yoh 6).", "Je, hii ni ungwana\nJe Huu ni Ungwana ni kipindi maarufu cha mtangazaji maarufu Leonard Mambo Mbotela cha elimu, burudani, na ucheshi nchini Kenya katika redio ya Kenya Broadcasting Corporation.", "Mtakatifu Paulo\n5 Naye Saulo akauliza, \"Ni nani wewe Bwana?\" Na ile sauti ikajibu, \"Mimi ni Yesu ambaye wewe unamtesa.", "Hotuba ya mlimani\nJe, mtapata tuzo gani kwa kuwapenda tu wale wanaowapenda ninyi? Hakuna! Kwa maana hata watoza ushuru hufanya hivyo! " ]
28
Mji mkubwa Kongo ni upi?
[ "Kinshasa\nKinshasa (jina la awali kwa Kifaransa: Léopoldville, na kwa Kiholanzi: Leopoldstad) ni mji mkuu na mji mkubwa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, iliyojulikana kama Zaire miaka 1971-1997. Mji uko kwenye Mto Kongo.", "Kongo (mto)\nLualaba inabadilisha jina lake mjini Kisangani ambako mto umepita maporomoko ya Bayoma na baada ya hapo huitwa Kongo. Mto unaelekea kwenda kaskazini halafu mwendo wake unapinda kuelekea kusini magharibi, unapita mji wa Mbandaka unapopokea mto Ubangi halafu unaingia katika Bwawa la Malebo (ing. Stanley Pool). Miji ya Kinshasa na Brazzaville inatazamana ikiwa pande mbili za bwawa hili. Baada ya bwawa mto unakuwa mwembamba ukipita katika mabonde ya korongo kwenye idadi ya maporomoko inayojulikana kama maporomoko ya Livingstone Falls). Unapita miji ya Matadi na Boma (Kongo) na kuufikia baharini kwenye mji mdogo wa Muanda." ]
[ "Vietnam\nMji mkuu ni Hanoi lakini mji mkubwa ni Mji wa Ho Chi Minh (zamani: Saigon).", "Ekuador\nMji mkuu ni Quito, lakini mji mkubwa zaidi ni Guayaquil.", "Mahore\nMji mkubwa ni Mamoudzou. Kitovu cha kiuchumi ni Kawéni.", "Mto\nChanzo cha mto mara nyingi ni chemchemi au ziwa au maungano ya vijito vidogo. Mto hufuata mwendo wake kwa mtelemko hadi mwisho wake baharini au ziwani au kwa mto mwingine. Kama mto ni mdogo huitwa kijito. Mto mkubwa sana kama Kongo au Nile unaweza kuitwa mto mkubwa au jito.", "Chambeshi (mto)\nChambeshi (pia Chambezi) ni tawimto mkubwa wa mto Lualaba na ilhali chanzo chake ni chanzo cha mbali katika ya tawimito ya beseni ya Kongo kinatazamiwa pia kama chanzo cha mto Kongo mwenyewe.", "Kisangani\nKisangani ni mji mkubwa wa mashariki mwa Kongo wenye wakazi zaidi ya 1,600,000. Ni mji mkubwa wa tatu wa nchi hiyo.", "Funguvisiwa la Lamu\nMji mkubwa zaidi ni Lamu kwenye Kisiwa cha Lamu. Mji huu uko katika orodha ya Urithi wa dunia ya UNESCO.", "Ukanda wa Gaza\nMji mkubwa ni Gaza.", "Uswisi\nMji mkubwa ni Zürich wenye benki nyingi. ", "Ubangi\nUbangi ni tawimto mkubwa wa mto Kongo na kati ya mito mirefu ya Afrika.", "Kongo (mto)\nBeseni ya Kongo pamoja na tawimito yake ni eneo kubwa la pili duniani la msitu wa mvua. Kwa kiasi cha mshuko wa maji mdomoni ni mto mkubwa wa pili duniani baada ya Amazonas Amerika ya Kusini.[1] Pia ni mto wenye kina kirefu zaidi duniani.", "Mkoa wa Kongo Kati\nMji mkuu ni Matadi.", "Moroko\nMji mkuu ni Rabat wenye wakazi milioni 1.2. Mji mkubwa ni Casablanca (kwa Kiarabu: الدار البيضاء dar al-baiDa = nyumba nyeupe). Miji yote miwili mikubwa ni miji ya bandari.", "Kisangani\nMji uko kando ya mto Kongo mahali ambako mto huu mkubwa umepita maporomoko ya Bayoma na kuwa njia ya maji hadi Kinshasa.", "Ingushetia\nIngushetia (Kirusi: Ингушетия) ni jina la kutaja mkoa ulioko nchini Russia. Mji mkuu wake ni Magas. Mji mkubwa wake ni Nazran.", "Lomami (mto)\nLomami ni tawimto mkubwa wa mto Kongo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwenye mwendo wa takriban 1500 km. Chanzo chake kiko katika kusini ya nchi kwenye jimbo la Katanga karibu na mji wa Kamina.", "Michigan\nMji mkuu ni Lansing na mji mkubwa ni Detroit.", "Mji\nMji ni mkusanyiko wa makazi ya watu, shule, hospitali, ofisi, maduka, viwanda n.k. ulio mkubwa kuliko ule wa kijiji. Mji ukizidi kukua unakuja kuitwa pia jiji.", "Quintana Roo\nMji mkuu ni Chetumal na mji mkubwa ni Cancún. ", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Quebec\nMji mkuu ni Jiji la Quebec ambayo ni kati ya miji ya kale ya Amerika ya Kaskazini. Mji mkubwa wa jimbo na mji wa pili wa Kanada ni Montreal.", "Kongo (mto)\nMto wa Kongo (kati ya miaka 1971 na 1997 uliitwa zaidi \"Zaire\") ni mto mkubwa wa Afrika ya kati. Ni mto mrefu wa pili katika Afrika baada ya Nile.", "Mto\nKwa mfano mito ya Ubangi na Kongo inakutana kwenye mji wa Mbandaka. Huko Kongo ni mto mkubwa kushinda Ubangi; hivyo baada ya Mbandaka kuelekea bahari mto unaendelea kuitwa \"Kongo\".", "North Dakota\nMji mkuu ni Bismarck na mji mkubwa ni Fargo.", "Alaska\nMji mkuu ni Juneau lakini mji mkubwa ni Anchorage. ", "Slovakia\nMji mkubwa na mji mkuu ni Bratislava.", "Mkoa Huru wa Hanty-Mansi\nMkoa Huru wa Hanty-Mansi ni jina la kutaja mkoa ulioko nchini Russia. Mji mkuu wake ni Hanty-Mansiysk. Mji mkubwa wake ni Surgut.", "Mji mkuu\nMji mkuu kwa kawaida ni mji wenye makao makuu ya serikali ya nchi fulani. Katika nchi nyingi mji huo ni pia mji mkubwa na muhimu zaidi kushinda miji mingine nchini. Huo ni sehemu yenye maendeleo makubwa sana katika nchi yoyote: ina kila huduma muhimu na miundombinu iliyo bora. Mfano: nchini Tanzania mji mkubwa ni Dar es Salaam, ingawa makao makuu ni Dodoma.", "Brazil\nMji mkuu ni Brasilia, uliopangwa na kujengwa kati ya 1957 na 1960. Mji mkubwa ni Sao Paulo.", "New Mexico\nMji mkuu wa jimbo ni Santa Fe. Mji mkubwa ni Albuquerque. Idadi ya wakzi wa jombo lote hufikia watu 1,819,046 wanaokalia eneo la 315,194 km² ambalo ni hasa milima na jangwa." ]
98
Nchi ya Kamerun ilipata uhuru mwaka gani?
[ "Kamerun\nJamhuri ya Kamerun République du Cameroun Republic of Cameroon (Bendera ya Kamerun)(Coat of Arms of Cameroon)Kaulimbiu ya Taifa Paix, Travail, Patrie (Kifaransa: Amani, Kazi, Taifa | Wimbo wa TaifaChant de Ralliement wimbo wa faraja | Lugha ya TaifaKifaransa, KiingerezaMji MkuuYaoundéMji MkubwaDoualaRais wa Kamerun Waziri mkuu wa KamerunPaul Biya Philémon YangEneo - Jumla -Maji -Eneo kadiriwa475,440 km² 1.3% Kadiriwa 52 dunianiUmma - Kadiriwa - Sensa, - Umma kugawa na Eneo (kilomita)16,380,005 Kadiriwa 59 duni sensa (2003) ; 34/km² (138 duni)Pato la uchumi - Jumla - kwa kipimo cha umma$32.35 Bilioni ((91 ) kadir) $2,176 140 duniUhuru - Kadirifu - BarabaraKutoka Ufaransa, Uingereza 1 Januari 1960<FedhaCFA frank (XFA)Saa za EneoUTC +1Intaneti TLD.cmkodi za simu237", "Historia ya Afrika\nKatika mwaka wa 1960 Ufaransa ukatoa uhuru kwa Cameroon, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Congo (Brazzaville), Cote d'Ivoire, Dahomey (Benin), Gabon, Madagascar, Mali, Mauritania, Niger, Senegal na Volta ya Juu (Burkina Faso)." ]
[ "Sao Tome na Principe\nNchi ilifuata siasa ya chama kimoja tangu uhuru hadi mwaka 1990. Katiba ya 1990 imeruhusu vyama vingi. ", "Historia ya Morisi\nNchi ilipata uhuru tarehe 12 Machi 1968, ikawa jamhuri tarehe hiyohiyo mwaka 1992.", "Kamerun ya Kiingereza\nBaada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia usimamizi wa maeneo ya kukabidhiwa ulihamia mikononi mwa Umoja wa Mataifa ulioamua ya kwamba maeneo hayo yapewe uhuru kuanzia mwaka 1960. Ilhali Kamerun ya Kiingereza ilitazamiwa kuwa ndogo mno kwa kuanzisha nchi ya pekee, pia haikuwa na eneo mfululizo, wananchi walipewa chaguo cha kujiunga na nchi jirani.", "Nigeria\nNigeria ilipata uhuru wake tarehe 1 Oktoba 1960 kutoka kwa Uingereza ikiunganisha maeneo ya koloni la Nigeria na sehemu ya kaskazini ya eneo lindwa la Kamerun ya Kiingereza.", "Amerika ya Kusini\nMnamo mwaka 1800 harakati ya kutafuta uhuru ilipata nguvu. Kwa upande moja walowezi Wahispania walisikia juu ya uhuru wa makoloni ya Uingereza katika Marekani. Walisikitika pia kutawaliwa na nchi iliyo mbali katika Ulaya, ambayo haikuangaliwa tena na sehemu ya wenyeji kama nchi mama. Kwa upande mwingine Hispania ilidhoofika kutokana na vita za Napoleon, uvamizi wa Wafaransa na mapinduzi katika Hispania.", "Historia ya Namibia\nMwaka 1978 Umoja wa Mataifa uliamua ya kwamba Afrika ya Kusini-Magharibi unapaswa kupewa uhuru. Baada ya miaka ya vita vya kupigania uhuru kati ya SWAPO na jeshi la Afrika Kusini, mchakato wa kimataifa wa kuelekea uhuru ulianza mwaka 1988 na hatimaye mwaka 1990 nchi ilipata uhuru wake kwa jina la Namibia.", "Historia ya Jamhuri ya Afrika ya Kati\nIlipokuwa koloni la Ufaransa, Ubangi-Shari ziliwekewa mamlaka ya madaraka kama eneo la Jamii ya Wafaransa mwaka wa 1958, lakini baadaye ilipata uhuru tarehe 13 Agosti 1960. ", "Afro-Shirazi Party\nKatika uchaguzi kabla ya uhuru mwaka 1963 ASP ilipata asilimia 54.2 za kura lakini, kutokana na mfumo wa uchaguzi, haikupata wabunge wengi, hivyo serikali ya kwanza baada ya ukoloni ilianzishwa na vyama vya ZNP na ZPFP.", "Jamhuri ya Afrika ya Kati\nIlipokuwa koloni la Ufaransa, Ubangi-Shari ziliwekewa mamlaka ya madaraka kama eneo la Jamii ya Wafaransa mwaka wa 1958, lakini baadaye ilipata uhuru tarehe 13 Agosti 1960.", "Kroatia\nKroatia ilikuwa kati ya majimbo ya Yugoslavia na ilipata uhuru wake mwaka 1991. ", "Namibia\nMwaka 1978 Umoja wa Mataifa uliamua ya kwamba Afrika ya Kusini-Magharibi unapaswa kupewa uhuru. Baada ya miaka ya vita vya kupigania uhuru kati ya SWAPO na jeshi la Afrika Kusini, mchakato wa kimataifa wa kuelekea uhuru ulianza mwaka 1988 na hatimaye mwaka 1990 nchi ilipata uhuru wake kwa jina la Namibia.", "Historia ya Ufaransa\nMakoloni yake mengi katika Afrika yalipata uhuru bila vita mnamo 1960. Ila Aljeria, iliyowahi kutangazwa kuwa sehemu ya Ufaranya yenyewe, ilipata uhuru wake baada ya vita vikali vya kupigania uhuru vya miaka 1954 - 1962.", "Tajikistan\nBaada ya kuporomoka kwa Umoja wa Kisoviet, Tajikistan ilipata uhuru wake mwaka 1991. ", "Afrika ya Kusini-Magharibi\nBaada ya mapatano ya kumpumzisha silaha mwaka 1988, majadiliano kati ya pande mbalimbali yalianzishwa rasmi na mwaka 1990 nchi ilipata uhuru wake kwa jina la Namibia.", "Historia ya Nigeria\nNigeria ilipata uhuru wake tarehe 1 Oktoba 1960 kutoka kwa Uingereza ikiunganisha maeneo ya koloni la Nigeria na sehemu ya kaskazini ya eneo lindwa la Kamerun ya Kiingereza.", "Ufaransa\nMakoloni yake mengi katika Afrika yalipata uhuru bila vita mnamo 1960. Ila Aljeria, iliyowahi kutangazwa kuwa sehemu ya Ufaranya yenyewe, ilipata uhuru wake baada ya vita vikali vya kupigania uhuru vya miaka 1954 - 1962.", "Julius Nyerere\nMwaka 1961 Tanganyika ilipata uhuru wake na tarehe 9 Desemba 1961 Nyerere alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Tanganyika huru; mwaka mmoja baadaye akawa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Tanganyika.", "Morisi\nNchi ilipata uhuru tarehe 12 Machi 1968, ikawa jamhuri tarehe hiyohiyo mwaka 1992.", "Australia\nAustralia ilipata uhuru wake mwaka 1901 lakini inaendelea kumkubali malkia ya Uingereza kama Mkuu wa Dola akiwasilishwa na Gavana Mkuu. Mamlaka imo mikononi mwa waziri mkuu na serikali yake.", "Malawi Congress Party\nKatika uchaguzi kabla ya uhuru mwaka 1961 MCP ilipata kura nyingi kikawa chama cha kuongoza nchi kwenda uhuru. Tangu mwaka 1966 kilikuwa chama pekee kilichoruhusiwa.", "Bendera ya Mali\nNchi ilipata uhuru ngazi ya kwanza yaani madaraka ya kujitawala mwaka 1959. Wakati ule ilikuwa imeungana na Senegal kama \"Shirikisho la Mali\". Bendera ile ya kwanza ilionyesha umbo la mwanadamu. Mali ilipobaki peke yake ilifuta picha kwa sababu ya kanuni za imani ya Kiislamu zinazokataza picha ya watu.", "Ethiopia\nEthiopia ni moja ya nchi mbili za Afrika ambazo hazikutawaliwa na wakoloni wakati walipong’ang’ania Afrika. Nchi nyingine ni Liberia. Kabla ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia Ethiopia ilivamiwa na Waitalia (1936) lakini ilipata uhuru wake tena baada ya miaka michache.", "Kuba\nBaada ya majadiliano marefu Kuba ilipata uhuru wake kuanzia mwaka 1902 lakini ilipaswa kukubali mkataba uliotunza haki ya Marekani kungilia kati mambo ya ndani na kuipa Marekani eneo kwa kituo cha kijeshi.", "Jibuti\nNchi ilipata uhuru tarehe 27 Juni 1977.", "Historia ya Jibuti\nNchi ilipata uhuru tarehe 27 Juni 1977.", "Nchi za Kibalti\nBaada ya kuporomoka kwa Umoja wa Kisoveti mwaka 1990 / 1991 zikapata uhuru wao.", "Yaunde\nYaounde ilianzishwa mwaka 1888 BK na wanfanya biashara Wajerumani. Baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia na mgawanyo wa nchi ikawa sehemu ya Kamerun ya Kifaransa na mji mkuu wa koloni kuanzia mwaka 1922. Wakati wa uhuru mwaka 1961 ilikuwa mji kuu wa Kamerun yote pamoja na sehemu zilizokuwa chini ya Uingereza. ", "Historia ya Kroatia\nKroatia ilikuwa kati ya majimbo ya Yugoslavia na ilipata uhuru wake mwaka 1991. ", "Tanganyika Rifles\nTanzania bara ilipata uhuru wake kutoka ukoloni wa Kiingereza mwaka 1961 kwa jina la Tanganyika. Zanzibar bado ilikuwa nchi ya pekee. ", "Eneo la kudhaminiwa\nChini ya ulezi wa Uingereza:\nSehemu ya kiingereza ya Kamerun iligawiwa tena; wakazi wa kusini walipiga kura kujiunga na Kamerun ya Kifaransa baada ya uhuru mwaka 1960, lakini watu wa kaskazini walipendelea kujiunga na Nigeria. " ]
97
Nchi ya Thailand iko na wakazi wangapi?
[ "Uthai\nNchi ina wakazi zaidi ya milioni 67, hivyo inashika nafasi ya 20 duniani.", "Asia\nJina la nchi au eneo, benderaEneo (km²)Wakazi (1 Julai 2008)Wakazi kwa km²Mji mkuuAsia ya Kati: Kazakhstan2,724,92715,666,5335.7Astana Kirgizia198,5005,356,86924.3Bishkek Tajikistan143,1007,211,88447.0Dushanbe Turkmenistan488,1005,179,5739.6Ashgabat Uzbekistan447,40028,268,44157.1TashkentAsia ya Mashariki: Uchina9,584,4921,322,044,605134.0Beijing Hong Kong1,0927,903,3346,688.0— Macau25460,82318,473.3— Japani377,835127,288,628336.1Tokyo Taiwan35,98022,920,946626.7Taipei Korea Kaskazini120,54023,479,095184.4Pyongyang Korea Kusini98,48049,232,844490.7Seoul Mongolia1,565,0002,996,0821.7UlaanbaatarAsia ya Kaskazini: Urusi17,075,400142,200,00026.8MoscowAsia ya Kusini-Mashariki: Brunei5,770381,37166.1Bandar Seri Begawan Myanmar676,57847,758,22470.3Pyinmana Kamboja181,03513,388,91074Phnom Penh Timor Mashariki15,0071,108,77773.8Dili Indonesia1,919,440230,512,000120.1Jakarta Laos236,8006,677,53428.2Vientiane Malaysia329,84727,780,00084.2Kuala Lumpur Ufilipino300,00092,681,453308.9Manila Singapuri7044,608,1676,545.7Singapuri Uthai514,00065,493,298127.4Bangkok Vietnam331,69086,116,559259.6HanoiAsia ya Kusini: Afghanistan647,50032,738,77542.9Kabul Bangla Desh147,570153,546,9011040.5Dhaka Bhutan38,394682,32117.8Thimphu Uhindi3,287,2631,147,995,226349.2New Delhi Uajemi1,648,19570,472,84642.8Tehran Maledivi300379,1741,263.3Malé Nepal147,18129,519,114200.5Kathmandu Pakistan803,940167,762,049208.7Islamabad Sri Lanka65,61021,128,773322.0Sri JayawardenapuraAsia ya Magharibi: Armenia29,8002,968,586111.7Yerevan Azerbaijan46,8703,845,12782.0Baku Bahrain665718,306987.1Manama Kupro9,250792,60483.9Nikosia Palestina3631,537,2693,315.7Gaza Georgia20,4604,630,84199.3Tbilisi Irak437,07228,221,18154.9Baghdad Israel20,7707,112,359290.3Yerusalemu Yordani92,3006,198,67757.5Amman Kuwait17,8202,596,561118.5Jiji la Kuwait Libanon10,4523,971,941353.6Beirut Omani212,4603,311,64012.8Muskat Qatar11,437928,63569.4Doha Uarabuni wa Saudia1,960,58223,513,33012.0Riyad Syria185,18019,747,58692.6Dameski Uturuki756,76871,892,80776.5Ankara Falme za Kiarabu82,8804,621,39929.5Abu Dhabi Yemeni527,97023,013,37635.4Sana'aJumla43,810,5824,162,966,08689.07" ]
[ "Samoa\nSamoa ni nchi ya visiwani ya Polynesia katika Pasifiki ya kusini yenye wakazi 176,710 (2001 sensa). Nchi huru ya Samoa ni sehemu ya magharibi ya funguvisiwa ya Samoa. Sehemu ya mashariki iko chini ya Marekani.", "Afrika Kusini\nImepakana na Namibia, Botswana, Zimbabwe, Msumbiji na Uswazi. Nchi nzima ya Lesotho iko ndani ya eneo la Afrika Kusini.", "Uthai\nentry in Library of Congress Country Studies. 1987 from UCB Libraries GovPubs at Curlie from the BBC News Encyclopædia Britannica entry Wikimedia Atlas of Thailand On-line Thailand maps in English and Thai from International Futures", "Wikipedia Zero\nWikipedia Zero ilianza nchini Malaysia Mei 2012. Nchi za Thailand na Saudia zilifuata. ", "Uthai\nGovernment of Thailand Ministry of Foreign Affairs National Electronics and Computer Technology Center", "Soka kwa ajili ya Urafiki\n65. Ufalme wa Thailand", "Camping\nNchi penye maeneo makubwa bila wakazi wengi huwa pia na makambi ya camping katika hifadhi zua kitaifa ambako nafasi mara nyingi ni za duni zaidi.", "Historia ya Algeria\nNchi imebaki na idadi kubwa (25-30%) ya wakazi wa kabila la Waberber ambao kihistoria ndio wakazi asilia. Lakini kwa lugha, utamaduni na historia Algeria ya leo ni sehemu ya dunia ya Kiarabu.", "Tanzania\nNchi iko katika eneo la Maziwa makubwa ya Afrika, hivyo maziwa yanafunika km2 61,500, yaani 6% za eneo lote la nchi.", "Benin\nNchi ya Benin iko kati ya Mto wa Niger upande wa Kaskazini na Bahari ya Atlantiki upande wa Kusini. Haina milima mirefu. ", "Algeria\nNchi imebaki na idadi kubwa (25-30%) ya wakazi wa kabila la Waberber ambao kihistoria ndio wakazi asilia. Lakini kwa lugha, utamaduni na historia Algeria ya leo ni sehemu ya dunia ya Kiarabu.", "Panama\nNchi iko kwenye sehemu nyembamba kabisa ya Amerika ya Kati. ", "Nchi ya kimabara\nNchi kadhaa yana maeneo ya ng'ambo kama urithi wa uenezi wa kikoloni, hasa kama wakazi wa maeneo yasiyopewa uhuru wamezoea au kukubali kabisa kuendelea kama raia wa nchi iliyokuwa mkoloni zamani.", "Nchi isiyo na dini\nNchi zisizo na dini (yaani zisizo na dini rasmi) ni nchi zilizoamua kutosimama upande wa dini yoyote kati ya zile zinazofuatwa na wakazi wake. ", "Tony Jaa\nTatchakorn Yeeramu (maarufu zaidi duniani kama Tony Jaa na nchini Thailand kama Jaa Phanom; alizaliwa 5 Februari 1976) ni msanii wa karate wa Thailand, mwigizaji, mtendaji wa choreographer, mchezaji, mkurugenzi, na mtawala wa Buddha. ", "Sao Tome na Principe\nNchi ina mikoa miwili (inayolingana na visiwa viwili) na wilaya saba. Wilaya sita ziko kwenye kisiwa kikubwa cha Sao Tome na ya saba iko Principe.", "Mataifa ya G20 ya viwanda\nMataifa yote wanachama 19 ni kati ya chumi bora 32 kama ilivyo pimwa katika Pato la Taifa kwa bei nomino katika orodha iliyochapishwa na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) mwakani 2008. Nchi ambazo hazijawakilishwa katika G-20 ni Uswisi (19), Norway (25), Taiwan (26), Iran (28) na Venezuela (31), hata ingawa wako juu ya orodha kuliko baadhi ya wanachama. Uhispania (9), Uholanzi (16), Poland (18), Ubelgiji (20), Uswizi (22), Austria (24), Ugriki (27) na Denmark (29) wanawakilishwa tu kama memba wa EU, na wala sio memba kamili. Wakati Pato la Taifa linapimwa kwa viwango vya nguvu za ununuzi (PPP), wanachama wote 19 ni kati ya bora 24 duniani katika mwaka 2008, kulingana na IMF. Iran (17), Taiwan (19) na Thailand (23) si wanachama wa G-20, huku Uhispania (12), Uholanzi (19) na Poland (20)wakijumuishwa tu katika kipengele cha EU. Hata hivyo, katika orodha ya wastani wa Pato la Taifa, iliyokadiriwa kwa miaka tangu kuundwa kwa kundi hili (1999-2008) kwa viwango vyote vya nomino na vya PPP, Uhispania, Uholanzi, Taiwan, na Poland tu ndiyo wanaonekana juu ya mwanachama yeyote wa G-20 katika orodha zote mbili mtawalia.", "Jamhuri ya China\nNchi inaheshimu uhuru wa dini na wakazi wengi (81.3%) wanayo moja ya kwao. Serikali inazitambua 26.", "Marekani\nNchi ina wakazi zaidi ya milioni 320, na ina mchanganyiko mkubwa kuliko nyingine zote duniani.", "Jumuiya ya Madola\nLeo zipatao asilimia 30 ya watu wote duniani (watu 1,800,000) huishi katika nchi wanachama za Jumuiya ya Madola. Nchi za jumuiya hii wenye wakazi wengi ni hasa Uhindi, Pakistan, Bangladesh na Nigeria. Kuna pia nchi ndogo sana kama Tuvalu yenye wakazi 11,000 pekee.", "Nchi huru\nSiku hizi duniani kuna nchi huru karibu 200, ya mwisho kutambulika ikiwa Sudan Kusini (2011) na ndogo zaidi ikiwa Mji wa Vatikano (km 0.44 na wakazi 600 hivi tu).", "Nchi lindwa\nZote mbili ni eneo chini ya mamlaka ya nchi ya nje. Tofauti ni kwamba koloni liko kabisa chini ya utawala wa nje. Nchi lindwa iko katika hali yake kwa sababu imekubali kulindwa ama kwa hiari yake au kwa sababu ililazimishwa kukubali. Koloni ni mali ya nchi ya nje, lakini nchi lindwa imetambuliwa kama nchi ya pekee. Kwa kawaida nchi lindwa huratibu siasa yake ya ndani na nchi mlinzi inaangalia mambo yake ya nje. ", "Jiografia ya Tanzania\nNchi iko katika eneo la Maziwa makubwa ya Afrika, hivyo maziwa yanafunika km2 61,500, yaani 6% za eneo lote la nchi.", "Kithai\nKithai ni lugha ya taifa na lugha rasmi ya nchini Thailand pamoja na kuwa lugha mama ya Wathai, kikundi kikubwa cha Thailand. ", "Nchi za visiwa\nNchi ndogo za visiwani hasa kama ni ndogo sana zina tabia za pekee. Mara nyingi ardhi haitoshi kulisha watu wengi hivyo idadi ya wakazi ni ndogo na wengi wamehamia nje. Siku hizi nchi nyingi za aina hii zimetegemea hasa utalii. Mifano yake ni Komori, Bahamas, Tonga na Maldivi.", "Orodha ya milima\nNgga Pulu (m 4,862) Indonesia Trikora (m 4,751) Indonesia / New Guinea Mandala (m 4,701) Indonesia / New Guinea Mlima Rinjani au Gunung Rinjani (m 3,726), volikano ya kisiwa cha Lombok nchini Indonesia Mlima Victoria (m 3,100) katika Nat Ma Taung, jimbo la kusini mwa Chin Myanmar Mlima Dulang-dulang (m 2,938), mlima wa pili wa Ufilipino, wa juu Mindanao Mlima Pulag (m 2,922) mlima wa tatu nchini Ufilipino, wa juu Luzon Mlima Merapi (m 2,911), Indonesia Mlima Mayon (m 2,875), katika Bicol, Ufilipino Mlima Tambora (m 2,850), Indonesia Gunung Kau Palatmada (m 2,700) katika Buru, Indonesia Mlima Halcón (m 2,582) katika Mindoro, Ufilipino Mlima Vineuo (m 2,536), Goodenough Island, Papua Guinea Mpya Kanlaon (m 2,435) katika Negros, Philippines Doi Huamod Luang (m 2,330), katika Chiang Mai, Thailand Doi Pha Hom Pok (m 2,285), katika Chiang Mai, Thailand Doi Chiang Dao (m 2,175), katika Chiang Mai, Thailand Mlima Popa au Popa Hill (m 1,518), volikano katika mashariki ya kati Myanmar Bagan Mlima Agad-Agad (m 487), Iligan City, Lanao del Norte, Philippines", "Burkina Faso\nNchi iko kusini kwa pinde la mto Niger", "Banana Yaya\nYaya alicheza kwa mara ya kwanza Cameroon katika mechi ya kirafiki dhidi ya Thailand mwezi Machi 2015.", "Japani\nNchi ina eneo la km² 377.944; na wakazi milioni 127; idadi hiyo imeanza kupungua." ]
56
Je,R. Kelly alianza kuimba mwaka upi?
[ "R. Kelly\nRobert Sylvester Kelly (amezaliwa tar. 8 Januari 1967) ni mwimbaji wa muziki wa R&B na soul-mtunzi wa nyimbo, rapa, na mtayarishaji wa rekodi kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama R. Kelly. Alianza kuingia katika kazi ya muziki kwa mara kwanza kunako mwaka wa 1992 akiwa na kundi la Public Announcement, halafu baadaye Kelly akaenda kuwa kama msanii wa kujitegemea mnamo 1993 na kuweza kupata mafanikio makubwa kabisa kwa kazi za kujitegemea baada ya kutoa albamu yake ya 12 Play." ]
[ "R. Kelly\nKatika maisha yake binafsi, Kelly amekuwa na kashfa kadhaa za ngono. Taarifa zilielezwa kwamba amemwoa kabinti kadogo Aaliyah, ambaye yeye ndiye alikuwa mtunzi wake wa nyimbo. Kelly na Aaliyah wakasitisha ndoa yao. Baada ya kutolewa video ya mtu moja aliyedaiwa kuwa yeye kufanya mapenzi na msichana mdogo, Kelly akashtakiwa katika kesi kadhaa za ngono za watoto mnamo 2002. Baada ya makawio kadhaa, kesi yake ikapelekwa kizimbani mnamo 2008, na baraza la wazee wa mahakama likamwona Kelly hana kosa katika mshtaka yote 14.", "Flora Mbasha\nFlora Mbasha alianza kuimba akiwa darasa la tatu wakati huo akienda na mama zake wadogo kwaya hadi alipokuwa na miaka kumi na tatu alipoanza kushiriki kuimba kwaya kanisani na kuimbisha baadhi ya nyimbo.", "Angel Bernard\nAngel ni mtoto wa tatu katika familia ya watoto sita. Ameanza kupenda uimbaji tangu akiwa na umri mdogo na alianza kuimba akiwa na umri wa miaka 6 katika Kanisa Katoliki la Tabata magengeni, akiwa mshirika wa kwaya kuu.", "Wayinke\nWayinke alianza kuimba wakati mdogo sana na kama binti mchungaji alijifunza muziki katika kanisa. Alipenda kuimba na vitu vyote ambavyo anahusika katika msanii, Muziki ni upendo wake wa kwanza. Alipenda kuimba na daima alitaka kuimba. ", "Lloyd Banks\nTony Yayo, ni mkubwa kiumri na anauzoefu katika muziki wa rap, alijiunga na 50 Cent katika safari ya kumtafutia soko Nas, Cash Money na Ruff Ryders. Banks yeye alibaki nyumbani akimsubiri 50 Cent na Yayo kurudi huko safarini.\nBanks yeye alianza kuimba mtaani huku akizunguka katika nyumba za majirani huku akizidi kujitamba mtaani.", "Jason Statham\nStatham amewahi kuwa mahusiano ya kimapenzi na mwigizaji filamu-mwanamitindo wa Kiingereza Bi. Kelly Brook kwa takriban miaka saba, lakini wakaja kutengana pale mwanamama Kelly alipokutana na mwigizaji filamu mwenzi Bw. Billy Zane wakati wa kucheza filamu ya Survival Island na kupelekea kuwa mpenzi wa mwigizaji huyo. Mnamo mwaka wa 2005, Statham akaanzisha mahusiano na mwimbaji wa zamani Bi. Sophie Monk, lakini mapenzi yao hayakudumu sana wakaachana.", "Peter Tosh\nPeter alianza kupiga ala za muziki akiwa kijana wa umri mdogo, alijifunza kupiga kinanda kwa miezi sita pia alijifunza kupiga gitaa, ala hiyo ndiyo iliyo kuja kumpa umaarufu, mwaka 1956 baada ya kuondoka Savanna-la-mar Peter na shangazi yake walikwenda mji wa Denham katika jiji la Kingston, Peter alipofikia umri wa miaka kumi na tano shangazi yake alifariki, hivyo alikwenda kwa mjomba wake West Road huko Trench Town. Peter alikutana na Robert Nesta Marley (Bob Marley) na Neville O'Reilly Livingston (Bunny Wailer) na wakajiunda kuwa watatu wa kwanza wa Wailer halisi na wakajiita Wailin'Wailers, na walianza kuimba pamoja mwaka 1962 na alikuwa ni yeye tu kati yao aliyeweza kupiga ala, hivyo alifanya bidii ya kuwafundisha wenzake na alikuwa ni mmojawapo aliyemfundisha Bob kupiga gitaa. Peter alijitoa Wailers mwaka 1974 hii ni baada ya Chris Blackwell kukataa kutoa albamu yake ya kwanza yeye akiongoza safu ya uimbaji.", "Malouma\nAlizaliwa 1 Oktoba 1960 katika mji mdogo wa Mederdra katika Mauritania kusini magharibi. Familia yake ilikuwa ya waimbaji na wanamuziki, hivyo alifundishwa tangu utotoni kuimba na kutumia ala za muziki. Pamoja na kusikiliza muziki wa kimapokeo wa Kiberber, alipenda pia uimbaji wa Kiarabu kama nyimbo za Umm Kalthoum au Fairuz. Alipokua alianza kuvutwa pia na muziki wa blues.", "R. Kelly\n2005: Trapped in the Closet (1–) 2007: Trapped in the Closet (13–) 2007: R. Kelly Live The Light It Up Tour", "Fredinah Peyton\nMwanadada huyu asiyekuwa na historia kubwa katika ulimwengu wa muziki alianza kuimba baada ya kuwa mpenzi mkubwa wa wanamuziki wa kutoka nchini Marekani kama vile akina Mc Lyte,Queen Pen na Destiny Child, mara nyingi alikuwa akiigiza nyimbo za wanadada hawa na kuzicheza kwenye matamasha mbalimbali ya kishule jambo lililomuongezea umaarufu mkubwa huku mama yake mzazi akipinga vikali kitendo cha mwanae kujishughulisha na muziki akiwa shuleni lakini wakati huohuo akipata msukumo kutoka kwa Dada yake mkubwa Georgia.", "Mark Schultz (mwanamuziki)\nHapo 6 Mei 2007, Mark Schultz alianza kuendesha baiskeli kutoka [[California]] hadi [[Maine]] akipanga kusimama njiani na kuimba katika matamasha na kushiriki katika matukio maalum. Hapo awali,ziara ilipangwa kufikia mwisho katika eneo la [[New Hampshire]], lakini ziara ilimalizika tarehe 8 Julai 2007 katika [[Bangor]], [[Maine]].", "Ja Rule\nAlizaliwa mjini Hollis, Queens, alianza kutamba kunako mwaka wa 1999 akiwa na albamu ya \"Venni Vetti Vecci\" na kibao chake kikali cha \"Holla Holla\". Kuanzia 1999 hadi 2005, Ja Rule amekuwa na vibao kadhaa vilivyoingia kwenye 20 bora ya chati za \"Billboard\" Hot 100, ikiwa ni pamoja na \"Between Me and You\" akishirikiana na Christina Milian, \"I'm Real (Murder Remix)\" na Ain't It Funny akiwa na Jennifer Lopez, ambazo zote zilitingisha katika chati za US \"Billboard\" Hot 100, kibao namba 1 kilichobahatika kuchaguliwa katika Tuzo za Grammy, \"Always on Time\" akiwa na Ashanti, \"Mesmerize\" nacho pia alikuwa na Ashanti, na \"Wonderful\" akiwa na R. Kelly na Ashanti.", "Justin Timberlake\nJustin Timberlake (amezaliwa tar. 31 Januari 1981 mjini Memphis, Tennessee) ni mwimbaji wa muziki wa pop na R&B kutoka nchini Marekani. Timberlake alianza kujipatia maarufu baada ya kucheza kipindi cha televisheni (Mickey Mouse Club) kilichokuwa maalum kwa ajili ya watoto, na baadaye katika kuwa kama mmoja wa washindi wa tuzo ya Grammy-bendi bora ya vijana *NSYNC. Baadaye alianza kuimba akiwa kama msanii pekee na akafanikiwa kutoa albamu mbili za muziki, Justified na FutureSex/LoveSounds.", "Don Williams\nBaada ya miaka saba pamoja na kundi la Pozo-Seco Singers, alianza kiumba pekee yake mwaka wa 1971, na kuimba Ballads na amassing 17 No 1.", "R. Kelly\n— R. Kelly official website on Twitter on MySpace on YouTube on Facebook on IMDb", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "R. Kelly\nKelly pia ametayarisha na kuimba katika nyimbo nyingine kibao za wasanii wengine wa R&B na hip-hop. Mnamo mwaka wa 1994, Kelly ametayarisha na kutunga albamu ya kwanza ya mwimbaji wa R&B Aaliyah na mwaka wa 1995, Kelly ameshiriki-kutayarisha na kutunga wimbo wa \"You Are Not Alone\" kwa ajili ya Michael Jackson, ambao uliingizwa kwenye albamu ya Jackson, HIStory.", "Yvonne Chaka Chaka\nChaka Chaka alianza kuimba akiwa na miaka 19 mwaka 1985 wakati Phil Hollis wa Dephon Records alimgundua mjini Johannesburg- Muda mfupi baada ya albamu yake \"I'm in Love With a DJ\", kuuzwa nakala 35,000, wimbo huo ulikuwa umependwa mara moja.", "Kumar Sanu\nBaba yake Pashupati Bhattacharjee alikuwa muimbaji na mtunzi wa bora. Alimfunza Sanu kuwa mwimbaji na mchezaji wa tabla. Baada ya kupata shahada ya biashara kutoka Chuo Kikuu cha Calcutta, Sanu alianza kuimba hadharani mwaka wa 1979, Liimba katika maonyesho na ha na mikahawa iliyokuwa Calcutta. Aliunda mtindo wake wa kuimba baada ya mwimbaji maarufu wa sauti Kishore Kumar.Baadaye aliendeleza mtindo wake kuimba.", "Chris Brown (mwimbaji)\nBrown alijifunza kuimba na kucheza akiwa na umri mdogo, mara nyingi akimtaja Michael Jackson kama mwimbaji aliyemtia moyo.[11] Kisha alianza kuimba katika kwaya ya kanisa lake na katika maonyesho kadhaa ya kuonyesha talanta mtaani.[13][14] Wakati mmoja alipokuwa akiiga wimbo wa Usher, mama yake walitambua talanta yake na wakaanza kutafuta fursa ya rekodi. [13] Wakati uo huo, Brown alikuwa amepitia mambo kadhaa binafsi. Ndoa ya wazazi wake ilikuwa tayari imevunjika, na alisema mpenzi wa mama yake alimwogofya kila wakati, kutokana na dhuluma mama yake aliyovumilia kutoka kwa mpenzi huyo.[15]", "Khadija Kopa\nKhadija Omar Abdallah Kopa (amezaliwa 1963 huko Zanzibar) ni mwimbaji wa muziki wa Taarab, mtunzi wa nyimbo na mfanyabiashara kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa ushirikiano wake mkubwa na bendi ya TOT. Ameanza kuimba Taarab tangu 1990 na bendi ya kwanza kujiunga nayo ilikuwa Culture Musical Club.\nKhadija Kopa alizaliwa mwaka 1963 kisiwani Zanzibar na ni mtoto wa kipekee katika familia ya Kopa. Ameolewa na ana watoto wanne na wajukuu wawili. Kazi ya sanaa alianza mwaka 1990 katika Kikundi cha Culture Musical Club.\nMbali ya muziki, Kopa ni mama wa nyumbani, mfanyabiashara na pia mwanaharakati wa kisiasa nchini Tanzania. Khadija alikuwa akipenda kuimba tangu akiwa mdogo, akisomea madrasa Zanzibar. Akiwa chuoni (madrasa) alikuwa msomaji mzuri wa qaswida, halafu vilevile alipokuwa Young Pioneer, alikuwa kwenye kikundi cha kwaya.\nHalkadhalika Shuleni alikuwa kwenye mambo ya ngoma, mambo ya utamaduni na kwaya. Shule yao ilikuwa bingwa kwa kwaya Zanzibar. Aliendelea hivyo hadi katika shule ya upili.", "Ice Cube\nIce Cube alianza shughuli zake za kimuziki kama mmoja wa waanzilishi wa kundi la muziki aina ya hip hop maarufu kama N.W.A., baadae akaanza shughuli za kuimba muziki akiwa peke yake bila ushirika wowote ule huku kwa mbali anaigiza filamu, kitu ambacho kilimpa mafanikio makubwa sana. Mnamo mwaka wa 1992, akamuoa Kimberly Woodruff, kwa pamoja wamezaa watoto wanne.", "Kassim Mapili\nMzee Mapili alizaliwa katika kijiji cha Lipuyu, Tarafa ya Lionya, Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi mwaka 1937. Hivyo mauti ilimkuta Mzee Mapili akiwa na umri wa miaka 79. Alipata elimu ya msingi huko kwao Lipuyu, sambamba na kupata elimu ya dini na mwenyewe aliwahi kusema alianza kupata mapenzi ya kuimba wakati alipokuwa Madrasa akighani Kaswida. Mwaka 1958 alijiunga na White Jazz Band iliyokuwa na masikani yake huko Lindi. ", "Kanku Kelly\nKanku Kelly ni raia halali wa Tanzania aliyefanikiwa kupata uraia mapema Aprili 27, 2011. Matarajio yake ya baadaye ni kuwa mtayarishaji mkubwa aiyekamilika kwa vyombo vya kufanyia kazi hiyo. Ametoa shukrani nyingi za dhati kwa watanzania wote waliomlea toka alipokuja hapa nchini, akiwa bado kinda wa miaka 19 hadi leo ana zaidi ya nusu karne. Kanku Kelly ni Baba wa familia. Alifunga ndoa ya kiserikali mwaka 1987 na Bi. Mwajuma Kibwana ambaye ni Mtanzania, katika jiji la Nairobi huko Kenya. Katika maisha yao ya ndoa wamefanikiwa kupata mabinti wawili Agnes Chichi Kelly (26), anayesoma katika Chuo Kikuu nchini Malaysia na mdogo wake Lucy Kelly (20) ambaye anamuelezea kwamba amefuata nyayo zake katika muziki.", "Kanku Kelly\nSafu hiyo ilikuwa burudani tosha katika ukumbi wa White House wakati huo kwa jinsi walivyokuwa wakimudu kulimiliki jukwaa kwa uchezaji wao. Kanku Kelly anatamka kwamba mwaka 1978 ilikuwa kama ‘bahati ya mtende kuotea Jangwani’ anasema hatakuja kuisahau siku ile aliyopelekwa kukutana na Baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam. Anakumbuka alishikana mikono na rais wa Tanzania wakati huo, Mwalimu Nyerere na alimuuliza “unatoka Kongo ya Lumumba”? Akiwa na hofu isiyokuwa na sababu, Kelly alijibu \"ndiyo\". Maisha ni kutafuta. Ndivyo alivyosema Kanku kwamba mwanzoni wa mwaka 1981 alichomoka na kwenda kujiunga na bendi ya Orchestra Safari Sound (OSS). Bendi hiyo ilikuwa ikimilikiwa na mfanyabiashara maarufu Hugo Kisima. Katika kipindi cha mwaka mmoja wa 1981 aliondoka Orchestra Safari Sound(OSS) kwenda kujiunga katika bendi ya mzee Makassy ambako huko nako hakudumu kipindi kirefu na alirudi tena OSS.", "Beyoncé Knowles\nKnowles alisomea St Mary's Elementary School katika Texas, ambapo yeye alihudhuria madarasa ya kucheza dansi, ikiwa ni pamoja na ballet na jazz. Kipawa chake cha kuimba kiligunduliwa wakati mwalimu wake wa dansi alipoanza kuimba wimbo na yeye akaumaliza wimbo huo, na kuweza kuimba noti za juu.[5] Ingawa alikuwa msichana mwenye soni, kama mama yake alivyosema, upendo wa Knowles wa kuimba na kucheza muziki ulianza bila kutarajiwa baada ya kushiriki katika shindano la kuonyesha vipawa shuleni. Mara tu alipopata nafasi ya kupanda jukwaani, yeye aliweza kukabiliana na soni zake na akataka kuwa mwimbaji na mchezaji dansi.[6] Akiwa na umri wa miaka saba, Knowles aliingia shindano lake la kwanza la kuonyesha kipawa chake, na kuimba wimbo wa John Lennon, \"Imagine\". Yeye alishinda na akapongezwa kwa shangwe na vifijo.[7][8] Akiwa na umri huo, Knowles alianza kuwavutia waandishi wa habari, alipotajwa katika Houston Chronicle kama mmoja wa walioteuliwa kushindana katika maonyesho ya mtaani ya 'The Sammy'.[9]", "Tshimanga Assosa\nAssossa alizaliwa katika mji wa Kamina uliopo Jimbo la Shaba huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mnamo tarege 4 Aprili, 1949. Alipata elimu ya Sekondari katika Shule iliyojulikana kama Charles Ruangwa hapo Kamina. Assosa alianza kuimba akiwa bado mdogo na kwamba aliyejipeleka mwenyewe katika kwaya ya Kanisa la Mtakatifu Baram huko Kamina ambako Mapadri walimsaidia kumfundisha muziki. Pamoja na juhudi zake hizo, Baba yake mzazi kamwe hakutaka mwanaye ajitumbukize katika muziki na kumtaka afuate masomo yake shuleni.", "Edgar Ngelela\nMwezi wa kumi mwaka 2001, Edgar alianza rasmi mafunzo ya kupiga gitaa, na hadi kufikia mwezi wa kumi na mbili akiwa tayari ameshatunga wimbo wake wa mpweke alianza kutunga na kuimba kwa kutumia gitaa, ambapo alikuwa bado alikuwa akiimba kama msanii mdogo.", "Don Williams\nAlianzisha bendi yake ya kwanza na Lofton Kline, iitwayo \"The Strangers Two\", na mwaka wa 1964 alimwajiri Susan Taylor na walianzisha Pozo-Seco Singers, kikundi cha folk pop. Bendi ilisaini mkataba na Columbia Records, na kuwa na mlolongo wa nyimbo hamsini. Kundi hili liliisha ama lilivunjika mwaka wa 1971, ambapo Williams alianza kuimba kibinafsi." ]
31
Gabon ilipata uhuru mwaka upi?
[ "Historia ya Afrika\nKatika mwaka wa 1960 Ufaransa ukatoa uhuru kwa Cameroon, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Congo (Brazzaville), Cote d'Ivoire, Dahomey (Benin), Gabon, Madagascar, Mali, Mauritania, Niger, Senegal na Volta ya Juu (Burkina Faso)." ]
[ "Uganda\nUganda ilipata uhuru wake tarehe 9 Oktoba 1962 kwa katiba ya jamhuri yenye serikali ya kibunge.", "Libreville\nTangu 1866 ikawa makao makuu ya jimbo la Gabon. katika karne ya 20 ikawa bandari kuu ya Afrika ya Ikweta ya Kifaransa ikaendelea kukua polepole. Tangu uhuru wa Gabon mwaka 1960 imekuwa mji mkuu wa nchi hii.", "Historia ya Morisi\nNchi ilipata uhuru tarehe 12 Machi 1968, ikawa jamhuri tarehe hiyohiyo mwaka 1992.", "Amerika ya Kusini\nMnamo mwaka 1800 harakati ya kutafuta uhuru ilipata nguvu. Kwa upande moja walowezi Wahispania walisikia juu ya uhuru wa makoloni ya Uingereza katika Marekani. Walisikitika pia kutawaliwa na nchi iliyo mbali katika Ulaya, ambayo haikuangaliwa tena na sehemu ya wenyeji kama nchi mama. Kwa upande mwingine Hispania ilidhoofika kutokana na vita za Napoleon, uvamizi wa Wafaransa na mapinduzi katika Hispania.", "Historia ya Namibia\nMwaka 1978 Umoja wa Mataifa uliamua ya kwamba Afrika ya Kusini-Magharibi unapaswa kupewa uhuru. Baada ya miaka ya vita vya kupigania uhuru kati ya SWAPO na jeshi la Afrika Kusini, mchakato wa kimataifa wa kuelekea uhuru ulianza mwaka 1988 na hatimaye mwaka 1990 nchi ilipata uhuru wake kwa jina la Namibia.", "Tanganyika\nTanganyika ilipata uhuru wake tarehe 9 Desemba 1961 (taz.: Historia ya Tanzania).", "Historia ya Tanzania\nTanganyika ilipata uhuru wake tarehe 9 Desemba 1961.", "Historia ya Jamhuri ya Afrika ya Kati\nIlipokuwa koloni la Ufaransa, Ubangi-Shari ziliwekewa mamlaka ya madaraka kama eneo la Jamii ya Wafaransa mwaka wa 1958, lakini baadaye ilipata uhuru tarehe 13 Agosti 1960. ", "Afro-Shirazi Party\nKatika uchaguzi kabla ya uhuru mwaka 1963 ASP ilipata asilimia 54.2 za kura lakini, kutokana na mfumo wa uchaguzi, haikupata wabunge wengi, hivyo serikali ya kwanza baada ya ukoloni ilianzishwa na vyama vya ZNP na ZPFP.", "Jamhuri ya Afrika ya Kati\nIlipokuwa koloni la Ufaransa, Ubangi-Shari ziliwekewa mamlaka ya madaraka kama eneo la Jamii ya Wafaransa mwaka wa 1958, lakini baadaye ilipata uhuru tarehe 13 Agosti 1960.", "Gabon\nJamhuri ya Gabon, kutoka kushinda uhuru kutoka Ufaransa tarehe 17 Agosti 1960, imeongozwa na Rais watatu, Léon M'ba, El Hadj Omar Bongo ambaye amekuwa kiongozi kutoka mwaka wa 1967 hadi kifo chake (2009: ndiye aliyekuwa kiongozi barani Afrika aliyeshikilia uongozi kwa muda mrefu zaidi), halafu mwanae Ali.", "Kroatia\nKroatia ilikuwa kati ya majimbo ya Yugoslavia na ilipata uhuru wake mwaka 1991. ", "Namibia\nMwaka 1978 Umoja wa Mataifa uliamua ya kwamba Afrika ya Kusini-Magharibi unapaswa kupewa uhuru. Baada ya miaka ya vita vya kupigania uhuru kati ya SWAPO na jeshi la Afrika Kusini, mchakato wa kimataifa wa kuelekea uhuru ulianza mwaka 1988 na hatimaye mwaka 1990 nchi ilipata uhuru wake kwa jina la Namibia.", "Historia ya Ufaransa\nMakoloni yake mengi katika Afrika yalipata uhuru bila vita mnamo 1960. Ila Aljeria, iliyowahi kutangazwa kuwa sehemu ya Ufaranya yenyewe, ilipata uhuru wake baada ya vita vikali vya kupigania uhuru vya miaka 1954 - 1962.", "Afrika ya Kusini-Magharibi\nBaada ya mapatano ya kumpumzisha silaha mwaka 1988, majadiliano kati ya pande mbalimbali yalianzishwa rasmi na mwaka 1990 nchi ilipata uhuru wake kwa jina la Namibia.", "Ufaransa\nMakoloni yake mengi katika Afrika yalipata uhuru bila vita mnamo 1960. Ila Aljeria, iliyowahi kutangazwa kuwa sehemu ya Ufaranya yenyewe, ilipata uhuru wake baada ya vita vikali vya kupigania uhuru vya miaka 1954 - 1962.", "Julius Nyerere\nMwaka 1961 Tanganyika ilipata uhuru wake na tarehe 9 Desemba 1961 Nyerere alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Tanganyika huru; mwaka mmoja baadaye akawa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Tanganyika.", "KwaZulu\nButhelezi alikataa kukubali hali ya kujitawala kwa KwaZulu kama mabantustan mengine yaliyotangazwa kuwa nchi za pekee nje ya Afrika Kusini hata kama uhuru huu ulikuwepo tangazo tu lisilokubaliwa na jumuiya ya kimataifa. Hata hivyo mwaka 1977 KwaZulu ilipata kiwango cha kujitawala kama eneo chini ya Afrika Kusini. ", "Morisi\nNchi ilipata uhuru tarehe 12 Machi 1968, ikawa jamhuri tarehe hiyohiyo mwaka 1992.", "Australia\nAustralia ilipata uhuru wake mwaka 1901 lakini inaendelea kumkubali malkia ya Uingereza kama Mkuu wa Dola akiwasilishwa na Gavana Mkuu. Mamlaka imo mikononi mwa waziri mkuu na serikali yake.", "Malawi Congress Party\nKatika uchaguzi kabla ya uhuru mwaka 1961 MCP ilipata kura nyingi kikawa chama cha kuongoza nchi kwenda uhuru. Tangu mwaka 1966 kilikuwa chama pekee kilichoruhusiwa.", "Bendera ya Mali\nNchi ilipata uhuru ngazi ya kwanza yaani madaraka ya kujitawala mwaka 1959. Wakati ule ilikuwa imeungana na Senegal kama \"Shirikisho la Mali\". Bendera ile ya kwanza ilionyesha umbo la mwanadamu. Mali ilipobaki peke yake ilifuta picha kwa sababu ya kanuni za imani ya Kiislamu zinazokataza picha ya watu.", "Uswazi\nChini ya mfalme Sobhuza II aliyetawala kwa muda mrefu sana (1921-1982), Swaziland ilipata uhuru tarehe 6 Septemba 1968.", "Kuba\nBaada ya majadiliano marefu Kuba ilipata uhuru wake kuanzia mwaka 1902 lakini ilipaswa kukubali mkataba uliotunza haki ya Marekani kungilia kati mambo ya ndani na kuipa Marekani eneo kwa kituo cha kijeshi.", "Jibuti\nNchi ilipata uhuru tarehe 27 Juni 1977.", "Historia ya Gabon\nJamhuri ya Gabon, kutoka kushinda uhuru kutoka ukoloni wa Ufaransa tarehe 17 Agosti 1960, imeongozwa na Rais watatu, Léon M'ba, El Hadj Omar Bongo ambaye amekuwa kiongozi kutoka mwaka wa 1967 hadi kifo chake (2009: ndiye aliyekuwa kiongozi barani Afrika aliyeshikilia uongozi kwa muda mrefu zaidi), halafu mwanae Ali.\nMwaka wa 1990 Gabon ilianza demokrasia ya vyama vingi na katiba ya kidemokrasia ambayo inaruhusu ukweli wa uchaguzi na utekelezaji wa idara za serikali.", "Historia ya Jibuti\nNchi ilipata uhuru tarehe 27 Juni 1977.", "Historia ya Kroatia\nKroatia ilikuwa kati ya majimbo ya Yugoslavia na ilipata uhuru wake mwaka 1991. ", "Tanganyika Rifles\nTanzania bara ilipata uhuru wake kutoka ukoloni wa Kiingereza mwaka 1961 kwa jina la Tanganyika. Zanzibar bado ilikuwa nchi ya pekee. ", "Tajikistan\nBaada ya kuporomoka kwa Umoja wa Kisoviet, Tajikistan ilipata uhuru wake mwaka 1991. " ]
94
Je mlima Kilimanjaro inapatikana katika nchi gani?
[ "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro\nHifadhi ya Mlima Kilimanjaro ni hifadhi ya taifa nchini Tanzania, lakini ni maarufu duniani kutokana na mandhari nzuri ya Mlima Kilimanjaro ambao ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika na unapatikana katika nchi ya Tanzania.", "Kilimanjaro (Volkeno)\nKilimanjaro ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika. Mlima huu uko nchini Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro. Una urefu wa mita 5,895 (futi 19,340)." ]
[ "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro\nKuna njia sita za kukwea mlima Kilimanjaro hadi kileleni.", "Safu ya Ruwenzori\nBaada ya Kilimanjaro na mlima Kenya, Ruwenzori ni mlima mkubwa wa tatu barani Afrika. Pamoja na hiyo miwili ndiyo milima pekee yenye barafuto za kudumu kwenye bara hilo.", "Mlima Makungwini\nMlima Makungwini ni jina la mlima ulioko katika Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania.", "Kibosho\nKibosho ni jina la eneo kwenye mitelemko ya mlima Kilimanjaro katika Tanzania. Wakazi wake ni Wachagga. Mwaka 2012 ni sehemu ya kata za Kibosho Kati, Kibosho Magharibi na Kibosho Mashariki katika wilaya ya Moshi Vijijini.", "Wachagga\nWachagga wana historia ndefu ya asili yao na ya maingiliano yao na makabila mengine. Kabila la Kichagga ni mkusanyiko wa makabila madogomadogo (ya Kichagga) yaliyosambaa kijiografia kuzunguka mlima Kilimanjaro kuanzia mashariki (Tarakea, Rombo) hadi magharibi kwa Kilimanjaro (Siha, Machame). ", "Mlima Kolosoya\nMlima Kolosoya ni jina la mlima ulioko katika Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania.", "Mlima Meru\nKupanda Mlima Meru kunachukua siku tatu hadi nne na wakati mzuri kwa kupanda mlima ni kuanzia mwezi Juni hadi Februari ambapo mvua zinaweza kunyesha katika mwezi Novemba. Na wakati mzuri wa kuona mlima Kilimanjaro kutokea Meru ni kati ya Desemba na Februari.\"Majarida ya Utalii na maliasili za Tanzania\"", "Mlima\nKwa kawaida mlima huwa na kilele kimoja au zaidi; kwa mfano Kilimanjaro huwa na vilele vitatu vya Kibo, Mawenzi na Shira. Kama mlima ni mpana sana vilele vyake vinaweza kuitwa mlima kila mmoja; kama mwinuko fulani hutazamwa kama mlima wa pekee au kama kilele kimojawapo hutegemea uzoefu. Wakati mwingine Kibo hutajwa kama \"mlima\" si kama kilele cha Kilimanjaro pekee, halafu kwa maana huu Kilimanjaro si mlima mmoja bali safu ndogo ya milima.", "Karl Peters\nKatika mkataba huo Wajerumani walikubali kuwa maeneo ya Uganda, Zanzibar na nchi kaskazini kwa mstari kati ya Ziwa Viktoria (Nyanza) na mlima Kilimanjaro pamoja na Witu yawe chini ya athira ya Uingereza. Waingereza waliahidi kwamba watamshawishi Sultani wa Zanzibar kuwapatia Wajerumani pwani ya sehemu iliyoitwa baadaye \"Tanganyika\". Mapatano mengine yalihusu mipaka kati ya maeneo ya Waingereza na Wajerumani huko Afrika ya Magharibi na kisiwa cha Helgoland katika Bahari ya Kaskazini.", "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro\nZaidi ya watalii 20,000 hupanda mlima huu kila mwaka wakiwemo wageni kutoka nje ya nchi na Watanzania. Mpandaji wa mlima huu huhitaji angalau siku tano, siku tatu kupanda na siku mbili kuteremka.", "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro\nSafari ya kupanda mlima huu humpitisha mpandaji katika kanda za hali ya hewa tofauti kuanzia ile ya nchi za tropiki hadi aktiki.", "Mlima Kinondo\nMlima Kinondo ni jina la mlima ulioko katika Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania.", "Mlima Umari\nMlima Umari ni jina la mlima ulioko katika Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania.", "Kilimanjaro (Volkeno)\nTabianchi ya Kilimanjaro inaathiriwa na kimo cha mlima inayoruhusu kufika kwa upepo kutoka bahari mwenye unyevu mwingi na wakati moja pia upepo za juu sana. Tabia niyngine ni hali yake ya kuwa mlima wa juu sana peke yake bila jirani ya karibu sana. Mlima huwa na mfumo wa upepo ambako mchana upepo unaelekea juu na wakati wa usiku kuna upepo unaotelemka kutoka juu. Hii inatokea zaidi upande wa kusini kuliko upande wa kaskazini kwa sababu tako la mlima ni pana Zaidi upande wa kusini na mitelemko yake inaelekea Zaidi hivyo kuathiri tabianchi zaidi. [20].", "Ghana\nGhana ni nchi ambayo inapatikana katika Ghuba ya Guinea, nyusi chache kaskazini mwa Ikweta, jambo ambalo linaipa nchi hii hali ya joto. Nchi hii inapatikana katika eneo la kilomita mraba 238,500 (maili mraba 92,085)238,500km2 (92,085sqmi). Eneo hili limezungukwa na Togo kwa upande wa mashariki, Cote d’Ivoire upande wa magharibi, Burkina Faso upande wa kaskazini na Ghuba ya Guinea (Bahari ya Atlantiki) upande wa kusini. Laini ya Greenwich Meridian hupita ndani ya Ghana, katika jiji la viwanda la Tema. Kijiografia Ghana inapatikana karibu zaidi ya sehemu ya “katikati” mwa ulimwengu kuliko nchi yoyote ile ingawa sehemu halisi ya katikati, (0°, 0°) inapatikana katika Bahari ya Atlantiki kwa makadirio kilomita 614 (maili 382) 614km (382mi) kusini mwa Accra, Ghana, katika Ghuba ya Guinea.[12]", "Mlima Kejanja\nMlima Kejanja ni jina la mlima ulioko katika Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania.", "Milima kunjamano\nMilima kunjamano ni umbo la kawaida kati ya milima mirefu duniani. Mifano ni milima ya Atlas katika Afrika ya Kaskazini, Alpi katika Ulaya na Himalaya katika Asia. Kilimanjaro ni mlima mrefu kwa upande wa Afrika lakini si mlima kunjamano kwa sababu ni volkeno ya pekee.", "Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro\nUwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (Kilimanjaro International Airport - KIA) unahudumia eneo la mlima Kilimanjaro pamoja na miji ya Moshi na Arusha katika Tanzania ya kaskazini. .", "Mlima Taroti\nMlima Taroti ni jina la mlima ulioko katika Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania.", "Tabianchi ya Tanzania\nMabadiliko ya tabianchi duniani kote yanajitokeza Tanzania pia. Kwa mfano, ongezeko la joto Duniani linasababisha barafuto la mlima Kilimanjaro kuzidi kuyeyuka. Serikali ya nchi imeungana na zile za nchi nyingi kukabili tatizo hilo lakini iliyopangwa ni ndogo.Vitabu vya Jiografia ya Tanzania", "Mkoa wa Kilimanjaro\nMkoa wa Kilimanjaro ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 25000[1]. Mlima Kilimanjaro, mlima mrefu kupita yote barani Afrika, umo ndani ya mkoa wa Kilimanjaro. Jina la mlima huu ndilo limeupatia mkoa jina lake.", "Mlima Makungwini Mashariki\nMlima Makungwini Mashariki ni jina la mlima ulioko katika Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania.", "Jumuiya ya Afrika Mashariki\nHuku inapatikana minne kati ya milima mirefu zaidi barani Afrika: Mlima Kilimanjaro (Tanzania), Mlima Kenya (Kenya), milima ya Rwenzori (Uganda/DRC) na Mlima Meru (Tanzania).", "Kilimanjaro (Volkeno)\nHali halisi Kilimanjaro ni zaidi ya mlima tu, ni kama safu ndogo ya milima mitatu: Kibo, Mawenzi na Shira. Hii mitatu inaonekana kama vilele vitatu vya mlima mmoja hivyo si vibaya kusema Kilimanjaro ni mlima.", "Kilimanjaro (Volkeno)\nKama barafu juu ya Kilimanjaro ingepotea kabisa hii isingekuwa tatizo kubwa kwa maji yanayopatikana katika maeneo yanayozunguka mlima. Kiasi cha barafu juu ya mlima ni kidogo sana kuliko kiasi cha maji yanayohifadhiwa na misitu kwenye mitelemko ya mlima chini zaidi. Misitu hii ni chanzo cha maji yanayotiririke chini katika mito na vijito vya mlima mkubwa.[38]", "Nembo ya Tanzania\nNgao inalala juu ya mlima Kilimanjaro ambayo ni mlima mkubwa wa Tanzania.", "Kilimanjaro (Volkeno)\nMlima Kilimanjaro hujulikana kuwa kuwa ni mlima wa Afrika mwenye kofia ya barafu ya kudumu. Pamoja na Kilimanjaro kuna sehemu mbili nyingine tu barani Afrika, ni Ruwenzori na Mlima Kenya. Lakini kiasi cha barafu imepungua kwa kipindi cha zaidi ya miaka 100. Mwingereza P.C. Spink aliona mwaka 1944 ya kwamba barafu ilipungua sana kulingana na taarifa aliyojua kutoka mpandaji wa kwanza Hans Meyer. Baina 1912 eneo la ngao ya barafu limepungua kutoka kilomita za mraba 12 hadi 1.85 km² kwenye mwaka 2009. Hii inalingana na kupunguzwa asilimia 85%. Sababu kuu ya mabadiliko haya ni kupungukiwa kwa kiwango cha usimbishaji katika mazingira ya mlima tangu mwisho wa karne ya 19.", "Mlima Kirangi\nMlima Kirangi ni jina la mlima ulioko katika Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania." ]
81
Je,jina ya kisayansi ya mmea wa Moringa ni ipi?
[ "Mrungi\nMrungi, murungu au mlonge (lakini tafadhali tumia kwa Moringa oleifera) ni kichaka au mti mdogo wa familia Celastraceae. Majani na vitawi yake huitwa miraa na hutafunwa kama kichocheo." ]
[ "Uainishaji wa kisayansi\nKatika mabano lipo jina la mtaalamu aliyeeleza spishi hii mara ya kwanza kwa namna ya kisayansi pamoja na mwaka alipoandika. Katika mfano wa paka ni Carolus Linnaeus anayefupishwa mara nyingi kama \"L.\". Aliandika kitabu chake mwaka 1728.", "Mbolea za chumvichumvi\nN.P.K ni ufupisho wa maneno yafuatayo; N-naitrojeni, P-fosfati na K-potashi.kazi ya naitrogeni ni kukuza mmea na kushamiri vizuri na kutoa suke pana na kazi ya fosfati ni kutengeneza rangi ya kijani(chanikiwiti) na kutengeneza shia na virutubisho vya mmea na potashi ni kufanya mmea kukua kwa kasi na kustawisha mmea.", "Kipoland\nco? - nini?\nkto? - nani?\ngdzie? - mahali gani?\ndokąd? - wapi?\nkiedy? - hini?\njak? - vipi?\ndlaczego? - kwanini?\nktóry? - ipi?", "Maadili ya utafiti\nNyanja ya utafiti wote wa kisayansi umejengwa kwenye msingi wa uaminifu. Wanasayansi huwa na imani kuwa matokeo yaliyoripotiwa na wengine ni halali. Jamii huamini kwamba matokeo ya utafiti huonyesha jaribio lenye uaminifu la wanasayansi kueleza dunia kwa usahihi na bila upendeleo. Lakini uaminifu huu utaendelea tu kama jamii ya kisayansi itajitolea yenyewe kueneza maadili ya kisayansi yanayohusiana na vitendo vya kimaadili. ", "Majina ya kisayansi\nMifano mashuhuri ni kitabu cha Species Plantorum (Aina za mimea) cha Carl Linne kilichoandikwa kwenye mwaka 1753 kwa Kilatini na kuwa msingi wa uainishaji wa kisayansi katika biolojia hadi leo.", "Carl Linnaeus\nUtaratibu wa uainishaji wa Linnaeus unaendelea kufuatwa hadi leo, na kila mmea au mnyama unapewa jina la kisayansi yenye sehemu mbili: sehemu ya kwanza inataja jenasi na sehemu ya pili spishi. Kwa kawaida linafuatwa na herufi ya kwanza ya jina la mtaalamu aliyeeleza spishi hiyo kwa mara ya kwanza katika maandiko ya kisayansi.", "Mpunga wa kiasia\nMpunga\nKutoka Wikipedia, ensaikopidia huru.\nmpunga mrefu wa Amerika. \naina ya mpunga, Oryza sativa.\nMpunga ni mbegu ya mmea wa jamii ya monokotiledoni ya mmea wa Oryza sativa. Ukiwa ni miongoni mwa nafaka, ni chakula kikuu kwa sehemu kubwa duniani, hasa Mashariki, Kusini na Kusini Mashariki mwa Asia, Kati na Masharik mwa Amerika ya Kusini na India Mashariki. Ni nafaka inayolimwa kwa wingi zaidi duniani baada ya mahindi. ", "Mtipitipi\nMtipitipi (pia mturituri, mchechepwa, kikwajuzi, kitimutimu, sindamu na songu; kwa lugha ya kisayansi \"Abrus precatorius\") ni mmea mtambaa wa familia Fabaceae. Mbegu zake nyekundu na nyeusi huitwa matipitipi na hutumika kama shanga.", "Mbangi\nMajani ya mmea wa kike wa Mbangi hutumika kutengeneza bangi. Bangi hutumika katika dawa ya kulevya kwa sababu inasababisha namna ya ulevi. Mbangi ni mmea wa nyuzinyuzi ambazo hufumwa nyuzi zinazotumika katika ushonaji wa vitu tofautitofauti. Mbangi, hasa spishi ya Cannabis sativa, hupasuliwa mbao, fito na vikingi za ujenzi. Mbegu za Mbangi, hasa Hemp iliyo katika spishi ya Mbangi-mwitu, hutumika kama chakula [5]", "Mnjugu Hausa\nMnjugu Hausa (\"Macrotyloma geocarpum\") ni mmea wa mazao wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae. Kama mnjugu wa kawaida vikonyo vya matunda machanga huingia ardhini na makaka yanakomaa chini. Mbegu zake, zinazoitwa njugu Hausa, zipo mbili mbili ndani ya makaka. Asili ya mmea huu ni Afrika ya Magharibi. Hukuwza katika nchi mbalimbali za eneo hili, kwenye Benin hasa.", "Bangi\nBangi huhusishwa na Bwana Shiva kwani mmea wa Hampa hujulikana kama mtakatifu kwa Wahindu wa Kaskazini mwa India. Kuna hata imani kwamba kukutana na mtu aliyebeba bangi ni ishara mbaya ya kufanikiwa. Na kama hamu ya mmea wa hampa kunaashiria furaha, kuuona katika ndoto kunahakikisha mafanikio kwa mtu katika siku zijazo. Pia, kutembea juu ya jani takatifu la bangi huaminika kuashiria mabaya.", "Mharagwe-pana\nMharagwe-pana (Vicia faba) ni jina la mmea katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa maharagwe mapana. Asili ya mmea huu ni Mashariki ya Kati lakini siku hizi hukuzwa mahali poti katika kanda za nusutropiki na wastani. Vipande vinavyolika ni mbegu (bichi na bivu), matumba machanga na majani.", "Ngano nyekundu\nNgano nyekundu (lat. \"Secale cereale\"; \"ing. rye\") ni mmea wa familia ya manyasi katika ngeli ya monokotiledoni. Mbegu au punje za ngano nyekundu ni nafaka ambayo ni chakula muhimu katika sehemu za dunia hasa kwenye kanda zisizo na joto au baridi kali. Ni mmea ulio karibu na ngano.", "Chungwa\nMichungwa huweza kukuzwa maeneo yenye joto na hata yale yenye baridi. Kama ilivyo kwa matudna mengine ya citrus, ili kupata mazao mazuri haina budi kukuza michungwa katika joto la 15.5°C - 29°C. Miti ya machungwa iliooteshwa kutokana na mbegu zilizonunuliwa madukani inaweza kuwa tofauti kabisa na ile miti ya asili iliyozalidha mbegu hizo. Hii hutokana na mabadiliko ya kizazi yanayotokana na kuchanganywa mbegu kisayansi kwa muda mrefu. Ili kupata mmea wa mchungwa kama tunda ulilolininunua, huna budi kuitunza mbegu hiyo kwenye unyevunyevu kisha tu baada ya kuzitua kwenye tunda na kuziotesha katika hali ya unyevu; na pindi mmea uchipuapo hapo ukapandwe kwenye udongo kusudiwa.", "Mnyanya\nNeno la Kiingereza ‘tomato’, lenye maana ya nyanya, limetoka ana Nsha ya Manati ‘lomatl’. Mtaalamu wa mmea wa kifaransa, Joseph Pitton de Tournefort, alitoa jina la kisayansi ’Lycopersion esculum’ kwa nyanya, na wakati huo nyanya ilifikiriwa kuwa ina sumu ndiyo maana ilipewa jina la mito lenye maana ya tunda la mbwa mwitu. Watu wa Acret na wengine wanaanza kutumia nyanya kwenye mapishi yao, wakti huo ikilimwa huko Peru, mnamo mwaka 500KK. Baadaye nyanya zilizobadilika na kuwa laini, kubwa kutoka kwenye mboga laini, na kuanza kushamiri huko Amerika ya Mwanzo. Huaminika hii ndiyo asili ya nyanya tunazotumia sasa.", "Mbegu\nMbegu ni sehemu ya tunda la mmea inayoweza kuendelea kuwa mmea mpya. Mbegu ni njia ya kuzaa kwa mimea mingi zinazoitwa kwa njia ya kibiolojia spermatophytina. \nMbegu inaanzishwa ndani ya ua la mmea inaendelea kukua. Kuna mbegu ndogo sana ambazo ni vigumu kuona kwa jicho na mbegu kubwa kama nazi.", "Msalvia (mmea)\nMsalvia (ujulikanao pia kama Salvia divinorum, sage of the diviners, ska maría pastora, seer's sage, yerba de la pastora ama kwa kifupi salvia) ni mmea ambao utumizi wa majani yake kwa njia ya kutafuna, kuvuta kama sigara au kupika kama chai unasababisha namna ya ulevi.[1] Majani ya mmea huu yana vidonge aina ya opioindi zinazosababisha ukumbusho-wazimu (hallucination).[2] Kwa vile mmea huu haujifanyiwa utafiti kwa kina, madhara yake na usalama wa matumizi yake kwa muda mrefu bado haujathibitishwa.", "Majina ya kisayansi\nUtaratibu wa uainishaji wa wanyama na mimea ulioanzishwa na Carl Linnaeus unaendelea kufuatwa hadi leo, hivyo kila mmea au mnyama unapewa jina la kisayansi yenye sehemu mbili: sehemu ya kwanza inataja jenasi na sehemu ya pili spishi. Kwa kawaida linafuatwa na herufi ya kwanza ya jina la mtaalamu aliyewahi kueleza spishi hiyo katika maandiko ya kisayansi.", "Utafiti\nUtafiti wa kisayansi ni njia ya utaratibu wa kukusanya data na kuunganisha udadisi. Utafiti huu hutoa maelezo ya kisayansi na nadharia kwa ufafanuzi wa asili na mali za dunia. Inafanya maombi ya vitendo iwezekanavyo. Utafiti wa kisayansi unafadhiliwa na mamlaka ya umma, na mashirika ya usaidizi na kwa makundi binafsi, ikiwa ni pamoja na makampuni mengi. Utafiti wa kisayansi unaweza kugawanywa katika ugawaji tofauti kulingana na taaluma zao za kitaaluma na maombi. Utafiti wa kisayansi ni kigezo kinachotumiwa sana kwa kuzingatia hali ya taasisi ya kitaaluma, lakini wengine wanasema kwamba vile ni tathmini isiyo sahihi ya taasisi, kwa sababu ubora wa utafiti hauelezei ubora wa mafundisho.", "Silika kadiri ya C. G. Jung\nWanaotumia hisi za nje katika kutambua hali halisi na utendaji ambao unahitajika na kuwezekana. Kwa kawaida ni hodari kuamua mambo na kutenda kadiri ya mazingira bila ya kusitasita. Kisha kuamua wanataka kutekeleza mara moja, wasiwe na raha mpaka uamuzi wao utimizwe. Ni hodari kwa kazi fupi. Hawapendi kuwaza hewani. Wanaamini mang’amuzi kuliko miguso. Kwao ni vigumu kujinyima matakwa ya milango ya fahamu. Wanapenda mno starehe na anasa, wanafuata tamaa za mwili. Wanathamini sana maoni na kusema ukweli. Hawaogopi kukabili wengine. Katika maelezo yao wanatumia maneno mengi na kufuata utaratibu. Wanajiuliza, “Hali ni ipi? Nifanye nini?”", "Kuvu\nKuvu (kisayansi: Fungi) ni kiumbehai ambacho si mmea wala mnyama. Uainishaji wa kisayansi unavipanga katika himaya ya pekee ndani ya Eukaryota. Kati ya kuvu kuna viumbe vikubwa kama uyoga na pia vidubini yaani vidogo vyenye seli moja tu kama hamira au maungano ya seli kama koga. Utaalamu wa kuvu ni mikolojia.", "Majina ya kisayansi\nHadi leo aina za mimea au wanyama zilizoainishwa na Linnaeus zinatajwa kwa herufi \"L.\" baada ya jina la kisayansi. Kwa mfano, mpunga ni mmea wa jenasi inayotajwa kwa jina la kisayansi kama Oryza (L.) na \"L.\" katika mabano inaonyesha kwamba jenasi hii ilielezwa mara ya kwanza na Linnaeus. Jina la kisayansi ya simba ni Panthera leo L. kwa sababu pia mnyama huyu aliwekwa na Linnaeus katika utaratibu wa uainishaji wa kisayansi. ", "Mtango-tamu\nMtango-tamu (\"Solanum muricatum\") ni mmea wa familia Solanaceae. Ijapokuwa mmea huu una mnasaba na mnyanya, matunda yake, yaitwayo matango matamu, yana ladha tofauti kabisa. Matunda haya yanafanana na magogwe makubwa na ladha yao ni mchanganyiko wa tikiti-asali na tango.", "Mizizi\nMizizi (kwa Kiingereza: \"roots\") ni sehemu ya mmea iliyoko chini ya ardhi ambayo husaidia mmea kukua. ", "Korosho\nKorosho ni mbegu wa mkorosho ni mmea wa jamii ya mimea itoayo maua ya familia ya Anacardiaceae.", "Mfiwi mafuta\nMfiwi mafuta au mnjahe (\"Lablab purpureus\") ni jina la mmea katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa fiwi mafuta au njahe (kutoka na Kikikuyu: ). Mfiwi mafuta ni mmea wa Afrika unaokuzwa mahali popote katika ukande wa tropiki siku hizi.", "Carl Linnaeus\nHadi leo aina za mimea au wanyama zilizoainishwa na Linnaeus inatajwa kwa herufi \"L.\" baada ya jina la kisayansi, kwa mfano mpunga ni mmea wa jenasi inayotajwa kwa jina la kisayansi kama Oryza (L.) na \"L.\" katika mabano inaonyesha jenasi hii ilielezwa mara ya kwanza na Linnaeus. Jina la kisayansi ya simba Panthera leo L. kwa sababu pia mnyama huyu aliwekwa na Linnaeus katika utaratibu wa uainishaji wa kisayansi. ", "Mgwaru\nMgwaru ni mmea wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae (miharagwe). Maua na makaka yake ni katika mafundo mazito. Mbegu zake huitwa magwaru (kutoka na Kiurdu گوار \"guaar\"). Yamkini mhenga wa mgwaru ni mmea wa Afrika \"Cyamopsis senegalensis\" lakini umegeuka mashambani kwa Uhindi na Pakistani.", "Muazuki\nMuazuki (\"Vigna angularis\") ni mmea wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa azuki. Asili yake ni Asia ya Mashariki, Japani hasa. Katika Afrika ya Mashariki mmea huu hukuzwa mahali pachache, huko Somalia hasa. Azuki ni kiambato muhimu cha chakula cha Kisomali." ]
77
Je,nyangumi ndiye mnyama mkubwa zaidi katika spishi ya mamalia?
[ "Nyangumi\nOda nyingine ndogo ya Cetacea ni Mysticeti, ambayo hujumuisha nyangumi wa bluu, ambaye ndiyo mnyama mkubwa kuliko wote aliyeripotiwa kuishi, nyangumi mwenye nundu, na wanyama wengine wanaokula kutoka kwenye maji ya baharini kutumia michirizi mirefu iliyopo badala ya meno, ambayo ndiyo walikopatia jina lao.", "Ndovu\nTembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82." ]
[ "Paka-mchanga\nPaka-mchanga (\"Felis margarita\") ni mnyama mbuai wa nusufamilia Felinae katika familia Felidae. Spishi hii inatokea majangwa ya Afrika ya Kaskazini, Uarabuni, Uajemi na Pakistani.Pengine \"F. m. thinobia\" inakadirika kama spishi tofauti.", "Nyati-maji wa mwitu\nNyati-maji wa mwitu ni wanyama wakubwa wa pori wa spishi \"Bubalus arnee\" katika familia Bovidae, ambao pia huitwa nyati-maji wa Uhindi au arni. Nyati-maji wa mwitu anafanana sana na nyati-maji (\"Bubalus bubalis\") aliye mnyama wa kufugwa.", "Furukombe wa Afrika\nFurukombe, fukombe, kwazi, yowe au tai mlasamaki (Haliaeetus vocifer[1]) ni spishi mkubwa wa tai. Yeye ndiye ndege wa kitaifa wa nchi za Zimbabwe na Zambia.", "Nilgai\nNilgai ni mnyama mkubwa wa pori wa spishi Boselaphus tragocamelus katika familia Bovidae. Huyo ndiye mnyama pekee katika jenasi Boselaphus.[1] Nilgai, anayeitwa nilgau pia, ndiye palahala mkubwa kabisa wa Asia. Ni mmoja wa wanyama pori wa kawaida kuonekana Uhindi ya kati na kaskazini, na huona mara nyingi katika ardhi ya shamba au pori. Madume wazima hufanana kidogo na ng'ombe, na hujulikana pia kama \"fahali wa buluu\". Nilgai wanaishi Uhindi na sehemu za Nepali ya kusini na Pakistani ya mashariki. Spishi hiyo imetoweka Bangladesh.", "Kulungu Mwekundu wa Atlas\nKulungu mwekundu wa Atlas ni mnyama mkubwa wa jenasi Cervus katika familia Cervidae anayetokea Afrika ya kaskazini magharibi na visiwa vya Korsika na Sardinia. Zamani alifikiriwa kuwa nususpishi ya kulungu mwekundu wa Ulaya (Cervus elaphus barbarus), lakini wanyama wa Afrika wana mnasaba karibu na wale wa Korsika na Sardinia. Uchunguzi wa ADN unapendekeza kwamba wanyama hawa ni spishi tofauti.", "Lama (mnyama)\nLama ni mnyama wa kufugwa wa spishi \"Lama glama\" katika familia Camelidae, anayeishi Amerika Kusini. Lama ametumiwa kwa upana na watu wa milima ya Andes tangu kabla ya historia, kwa nyama yake na kubeba mizigo.", "Kuro (jenasi)\nKuro ni spishi ya kawaida zaidi ya jenasi \"Kobus\" katika familia Bovidae. Spishi nyingine za jenasi hii zinaitwa lechwe, mraye na sheshe. Kuna nususpishi mbili za kuro: (kuro) ndogoro na kuro singsing. Spishi zote zinatokea karibu na maji na hutorokea maji wakitishwa na mnyama mbua. Rangi ya spishi nyingi ni ya mchanga lakini rangi ya kuro na spishi nyingine kadhaa ni kahawia hadi kijivu au nyeusi. Mara nyingi iko rangi ya nyeupe kuzunguka macho na pua na matako. Wanyama hawa hula manyasi.", "Nyati wa Afrika\nKama mmoja wa \"Wakubwa tano\" au \"Kifo cheusi\" katika Afrika, nyati wa Afrika anajulikana kama mnyama hatari sana, wakiua watu zaidi ya 200 kila mwaka. Nyati wakati mwingine huripotiwa kuua watu zaidi katika Afrika kuliko mnyama mwingine yeyote, ingawa wakati mwingine hudaiwa kusababishwa na kiboko au mamba. Nyati huwa na sifa mbaya miongoni mwa wawindaji kama mnyama hatari sana, kwa sababu ya wanyama waliojeruhiwa wakiripotiwa kuvizia na kushambulia wawindaji.", "Chui wa Tasmania\nChui wa Tasmania (kutoka Kiing.: Tasmanian tiger) au thilasini (kutoka Kilatini: , Kisayansi: \"Thylacinus cynocephalus\") ni spishi iliyokwisha ya mnyama ya Marsupialia wa Australia, Tasmania na Nyugini.", "Nyati-maji\nNyati-maji ni mnyama mkubwa anayejulikana sana, aliye wa spishi \"Bubalus bubalis\" katika nusufamilia Bovinae. Spishi hii ina nususpishi tano ndani yake:", "Nyati wa Afrika\nNyati au mbogo (jina la kisayansi: \"Syncerus caffer\") ni mnyama wa Afrika. Hana uhusiano wa karibu na nyati-maji wa Asia aliye mkubwa zaidi kidogo, lakini asili yake haieleweki. Kutokana na tabia yake isiyotabirika na inayomsabibisha kuwa hatari sana kwa binadamu, nyati wa Afrika hafugwi, kinyume na mwenzake wa Asia.", "Nyangumi\nNyangumi jike huzaa ndama mmoja tu. Muda wa kumkuza ndama huyo ni zaidi ya mwaka mmoja kwa spishi nyingi na hujumuisha uhusiano mkubwa kati ya mama na ndama. Nyangumi huwa tayari kuzaa wakiwa na miaka saba mpaka kumi. Mtindo huu huruhusu watoto wachache tu lakini wakiwa na uwezo mkubwa wa kuishi.", "Ubongo\nLabda kipengele cha wazi zaidi cha tabia ya mnyama yoyote yule ni mzunguko wa kila siku kati ya kulala na kuamka. Usisimuaji na utahadhari pia huongozwa kwa kiwango sahishi zaidi cha muda, ingawa, kwa mtandao mkubwa wa maeneo ya ubongo.[76]", "Mende\nMende ni wadudu wakubwa spishi nyingi wana ukubwa wa dole gumba na baadhi huwa wakubwa zaidi mende mkubwa zaidi ni yule wa Australia, ambae alifikia urefu wa sentimita 9 na uzito wa gramu 30.", "Nyangumi\nNyangumi wa bluu ndiye mamalia mkubwa zaidi aliyepata kuishi, na pia mnyama mkubwa, kufikia mpaka mita 35 kwa urefu na uzito wa tani 150.", "Kulungu pembe-nne\nKulungu pembe-nne ni mnyama mdogo wa spishi Tetracerus quadricornis katika familia Bovidae, anayefanana na kulungu na kuishi msituni wazi kwa Uhindi na Nepal. Huyo ndiye mnyama pekee katika jenasi Tetracerus. Akiwa na kimo cha sm 55–64 tu mabegani, huyo ni mnyama mdogo kabisa katika familia Bovidae huko Asia (suni wa Afrika ni wadogo zaidi). Madume wa spishi hiyo ndio wa pekee miongoni mwa mamalia wote kwa kuwa wana pembe nne za kudumu.", "Chui\nChui ni mnyama mwindaji anayewinda kimyakimya sana. Ingawa ni mdogo kuliko wanyama wote wa jenasi ya Panthera, chui bado anaweza kuwinda mnyama mkubwa kwasababu ya fuvu lake kubwa lenye taya zenye nguvu. Ukilinganisha na paka mwili wake ni mrefu zaidi na miguu yake ni mirefu. Urefu wa kichwa na mwili wake ni kati ya sm 125 na 165 na mkia wake unakaribia sm 60 mpaka 110. Urefu wa mabega ni sm 45 mpaka 80. Chui dume ni wakubwa 30% zaidi ukilinganisha na jike, kufikia uzito wa kg 37 mpaka 91 ukilinganisha na jike wenye kg 28 mpaka 60. Chui wenye miili mikubwa hupatikana kwenye maeneo yaliyojitenga na wanyama wengine wala nyama hasa toka kwa wale jamii ya paka wakubwa waliozoeleka kama vile simba na chui wakubwa wenye milia,\"tigers\".", "Nyati-maji wa mwitu\nAkiwa na uzito zaidi ya tani moja, nyati-maji wa mwitu ni mnyama mkubwa mwenye nguvu sana aliye na pembe pana kuliko wanyama wengine wote katika familia ya Bovidea. Pembe hizo zina umbo wa hilali na ni nzito kwenye tako na nyembamba karibu na ncha, na madume wana pembe pana kuliko majike. Mara nyingi hizo pembe zina upana zaidi ya mita\nmbili. Kwato kubwa zinazotanuka pia ni faida kwa kutembea katika matope na vinamasi pale wanapokula nyati hao. Mnyama huyo ana manyoya marefu ya kutawanyika, yenye rangi ya kijivu hadi nyeusi, na ana miguu meupe-michafu chini ya magoti. Mkia wake ni mrefu kiasi mwenye manyoya zaidi kwenye ncha yake, naye ana alama ya 'V' nyeupe katika chini ya shingo yake.", "Kiboko (mnyama)\nKiboko huishi kwa miaka 40 mpaka 50. Kiboko aitwaye Donna, anayeishi akiwa na umri mkubwa kuliko wote sasa 57, huko Mesker Park Zoo katika Evansville, Indiana. Kiboko aliyewahi kuripotiwa kuwa na umri mkubwa zaidi aliitwa Tanga, aliishi huko Munich, Ujerumani na alifariki mnamo 1995 akiwa na umri wa miaka 61. Macho, masikio na pua za kiboko yapo juu ya fuvu la kichwa. Hii huwaruhusu kuzamisha sehemu kubwa ya mwili wao kwenye maji au matope na kupata ubaridi kujizuia na mwanga mkali wa jua. Mifupa yao imejengwa kuweza kubeba uzito wa mnyama wote. Kama mamalia wengine waishio majini, kiboko pia wana nywele chache za mwilini.", "Alpaka\nAlpaka ni mnyama wa kufugwa wa spishi \"Vicugna pacos\" katika familia Camelidae, anayeishi Amerika Kusini. Alpaka anafanana na lama mdogo, lakini ameainishwa katika jenasi tofauti. Kuna nususpishi mbili za alpaka; alpaka suri na alpaka huacaya.", "Fungo\nFungo, fungo wa Afrika, ngawa au paka-zabadi wa Afrika (\"Civettictis civetta\") ni mnyama mbua na spishi pekee ya jenasi yake. Pia ni mwanafamilia mkubwa kabisa wa Viverridae. Binturongi ni mfupi lakini mzito kuliko fungo. Spishi hii inatokea mahali pengi pa Afrika kusini kwa Sahara. Hukiakia usiku hasa na kulala mchana katika uoto mzito. Usiku huonekana katika maeneo mbalimbali kutoka msitu mzito hadi mbuga.", "Manikwe\nManikwe mkubwa kabisa anaweza kufika urefu wa m 1.2 bila mkia na uzito wa kg 20, lakini takriban spishi zote nyingine huzifika zaidi ya sm 30 tu.", "Mamba (mnyama)\nMamba ni mnyama mwenye uwezo mkubwa wa kung’ata kwa nguvu zaidi kuliko mnyama mwingine yeyote. Kwa mfano, mamba wa maji chumvi wanaopatikana Australia, wanaweza kung’ata kwa nguvu mara tatu zaidi ya samba au samba marara. Pia, taya la mamba lina uwezo wa hali ya juu wa hisi. Uwezo huo unazidi ule wan cha ya kidole cha mwanadamu. Hilo linawezekanaje ukizingatia kwamba ngozi ya mamba ina magamba? Taya la mamba limefunikwa kwa maelfu ya viungo vya hisi. Kila neva imeunganishwa na fuvu la kichwa. Mpangilio huo unalinda nyuzi za neva zilizo katika taya na kufanya sehemu fulani za taya kuwa na uwezo mkubwa wa kuhisi. Kwa sababu ya kuwa na uwezo huo, mamba huweza kutofautisha chakula na uchafu mdomoni mwake. Hilo pia linamwezesha mamba jike kubeba watoto wake kwa kutumia mdomo bila kuwaua.", "Mbozi\nO'Connar anasema baadhi ya mifupa aliyogundua inadhihirisha kuwepo kwa mamba wadogo chini ya futi moja walioishi duniani hapa miaka milioni 100 iliyopita. Mifupa ya dinasaure inaonesha mnyama huyo alikuwa mkubwa na uzito wa zaidi ya tani 40.(Hayo yamo katika mahojiano kati ya Kenneth Mwazembe na Prof. O'Connar yaliyofanyika Julai 2008 kijijini Magamba wilayani Mbozi)", "Kirukanjia Meno-meupe\nKama ni lazima watoto wahamishwe, mama na watoto huunda mnyororo au msafara, kila mnyama akishikilia yule mbele yake. Mwenendo huu umeonwa pia miongoni mwa spishi kadhaa za jenasi \"Sorex\". Virukanjia meno-meupe wana akili kama ile ya mbwa. Wameonwa wakishirikiana katika kundi.", "Salamanda\nSalamanda ni wanyama wa oda Caudata katika ngeli Amfibia wafananao na mijusi. Wanatofautiana na vyura kwa kuwa na mkia hata katika hatua ya mnyama mzima. Ngozi yao haina magamba na ni laini na nyevu, lakini ngozi ya spishi nyingi za familia Salamandridae ni kama mahameli au ina sugu. Rangi ya salamanda ni nyeusi, kijivu au kahawia kwa kawaida, lakini madume ya spishi nyingi hupata rangi kali wakati wa kuzaa. Spishi kadhaa zina sumu katika ngozi yao na hizi zina daima madoa au milia ya rangi kali ili kuonya wanyama mbuai. Takriban salamanda wote wanatokea nusudunia ya kaskazini, lakini spishi kadhaa zinatokea Amerika ya Kusini. Spishi nne zinatokea Afrika tu, huko kaskazini (Maroko, Aljeria na Tunisia).", "Koypu\nKoypu (kutoka Kimapuche: koypu) au panya-mito (kutoka Kiingereza: river rat) ni mnyama mgugunaji mkubwa kiasi na spishi pekee ya familia Myocastoridae. Kinyume na jina lake “panya-mito” mnyama huyu si panya wa kweli, kwa sababu panya ni wana wa familia Muridae. Koypu wanatokea Amerika ya Kusini kwa asili lakini wamewasilishwa sasa katika Amerika ya Kaskazini, Ulaya, Asia na Afrika, na wafugaji wa wanyama-sufu hasa. Sikuhizi Kenya ni nchi pekee katika Afrika ambapo wanaendelea kuishi porini. Hata kama wanaendelea kutathminiwa kwa ajili ya sufu yao, katika nchi nyingi wanafikiriwa kama spishi mvamizi kwa sababu ya mwenendo wake mharibifu wa kula na kuchimba.", "Honey Smacks\nWatumbuizaji wanaojulikana kama \"clown\" wametumika ,pia, katika kutangaza bidhaa hii kutoka mwaka wa 1953 mpaka 1956 kwa mfano \"Cliffy the Clown\" alitumika katika matangazo. Katika mwaka wa 1957 , mnyama wa kuogolea majini anajulikana kama \"seal\" aliyevaa sare za baharia ndiye aliyekuwa mwakilishi wa bidhaa hii. Katuni farasi ya Hanna-Barbera iliyoitwa Quick Draw McGraw ikawa mwakilishi katika mwaka wa 1961 na ikafuatiwa na \"The Smackin' Bandit\" katika mwaka wa 1965. Alibadilishwa katika mwaka wa 1966 na \"Smackin' Brothers\" waliokuwa kaka wawili waliovaa kaptula za dondi na kinga za dondi. Mwanzoni mwa miaka ya 1970, Chifu Mhindi alikuwa mwakilishi kwa muda mfupi na akabadilishwa na Dig 'Em Frog katika mwaka wa 1972. Dig 'Em aliendelea kuwa katuni mwakilishi wa bidhaa hiyo hata baada ya kubadilishwa jina kuwa \"Honey Smacks\". Dig 'Em alibadilishwa na mnyama anayehusiana zaidi na asali, Wally Dubu, katika mwaka wa 1986, lakini Dig 'Em akarudishwa kwa sababu ya mahitaji ya umma katika mwaka wa 1987. Katika miaka ya 1990, matangazo ya kampeni kwa ajili ya bidhaa hi ilihusisha Dig 'Em akijaribu kula Smacks ilhali akimhepa adui wake, Kitty. Katika mwaka wa 1997, matangazo hayo yakaacha kutangazwa.", "Kindi-miamba\nKindi-miamba (Petromus typicus) ni mnyama mgugunaji mdogo na spishi pekee ya familia Petromuridae. Kinyume na jina lake mnyama huyu si kindi lakini jamaa ya nungunungu. Spishi hii inatokea Namibia na sehemu za Angola na Afrika Kusini katika maeneo yenye miamba. Jina la “Petromus” linatoka kwa Kilatini petra = mwamba na mus = kipanya.", "Saola\nSaola ni mnyama wa pori wa spishi \"Pseudoryx nghetinhensis\" katika familia Bovidae, aliye mmoja wa mamalia adimu zaidi kuliko wote duniani. Huyo ndiye mnyama pekee katika jenasi \"Pseudoryx\"." ]
79
Je,Patrice Lumumba alizaliwa mwaka upi?
[ "Patrice Lumumba\nPatrice Lumumba (2 Julai 1925 – 17 Januari 1961) alikuwa mwanasiasa mwanamapinduzi wa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Mwaka wa 1958 alikuwa miongoni mwa waanzishaji wa Chama cha Taifa la Kongo (kwa Kifaransa: Mouvement National Congolais). Mwaka wa 1960 alipata kuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kuongoza harakati za kugombea uhuru toka kwa utawala wa kikoloni wa Wabelgiji. Baada ya miezi miwili tu ya kuwa Waziri Mkuu, Lumumba alipinduliwa na baadaye kutiwa ndani kabla ya kuuawa katika mazingira ya kutatanisha katika eneo la Katanga upande wa kusini wa Kongo." ]
[ "Historia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nChama cha Patrice Lumumba kilishinda kwa kura nyingi naye akawa kiongozi wa kwanza wa nchi huru kama waziri mkuu.", "Steve Biko\nNtsiki na Biko kwa pamoja walizaa watoto wawili: mtoto wa kwanza alikuwa wa kike aliyejulikana kwa jina la Lerato, alizaliwa mnamo mwaka 1974, ambaye baadae alifariki akiwa na umri wa miezi miwili tu. Mtoto wa pili alikuwa wa kiume, allitwa Hlumelo, alizaliwa mnamo mwaka 1978, baada ya kifo cha Biko.", "William Wallace\nWallace alizaliwa kati ya miaka 1270-1272. Ni vitu vichache tu vinavyofahamika kuhusu kuzaliwa kwake au utoto wake. Mahali husika pamoja na muda ambao Wallace alizaliwa bado havijafahamika vizuri mpaka sasa. Watu wengine husema kuwa alizaliwa mnamo mwaka 1272, lakini kitabu kilichochapishwa kwenye karne ya 16 kiitwacho \"History of William Wallace and Scottish Affairs\" kinasema alizaliwa mwaka 1276. Jamii ilisema alizaliwa Elderslie, karibu na Paisley uliopo Renfrewshire. Kuna viungo katika Ayrshire pia, na bado pia haipo wazi kuwa Wallace alipigana na Waingereza wa Ayrshire au Lanark. Jamii ilimwona Wallace kama mtu wa kawaida tu. Robert the Bruce, ambaye pia alipigana na Waingereza, alionekana kuwa mtu mwenye heshima. Lakini huu si ukweli madhubuti kwa sababu familia ya Wallace ilikuwa na heshima kwa kiwango fulani pia.", "Siti Binti Saad\nSiti binti Saad alizaliwa katika kijiji cha Fumba, Zanzibari mwaka 1880. Alipozaliwa alipewa jina la 'Mtumwa' hii ni kwa vile alizaliwa katika kipindi cha utumwa wa Kiarabu. Jina la Siti alipewa na mkabaila mmoja wa kiarabu.", "Mtakatifu Ireneo\nIreneo alizaliwa yapata mwaka 130. ", "Force Publique\nSasa serikali ya Patrice Lumumba alimpandisha sajenti Joseph Mobutu kuwa jenerali mkuu wa Force Publique lakini Mobuto alishirikiana na Wabelgiji kumwua Lumumba akawa dikteta wa kijeshi hadi mwaka 1997.", "Patrice Lumumba\nMnamo mwezi wa Octoba, mwaka 1959, Lumumba, kama kiongozi wa chama cha MNC, alikamatwa kwa kosa la kuchochea vurugu za kupinga serikali ya kikoloni katika mji wa Stanleyville ambapo watu takriban 30 waliuawa na yeye alihukumiwa kwenda jela kwa muda wa miezi sita. Mnamo tarehe 18 ya mwezi Januari 1960 ambayo ilikuwa siku ya majaribio na hapohapo katika siku ya kwanza ya mkutano wa wa kuzungumzia hatma ya nchi ya kidemokrasia ya Kongo itakumbukwa kwamba licha ya Lumumba kuwa jela katika kipindi hicho cha chake cha MNC kilifanikiwa kuwashawishi wananchi kwenye uchaguzi uliofanyika mwezi Decemba na kushinda katika jamhuri ya Congo. Kutokana na nguvu ya umma iliyokuwa ikifanywa na wananchi wa Congo dhidi ya kuachiliwa kwa Lumumba kutoka kila kona, aliachiliwa na kuruhusiwa kuhudhuria katika mkutano wa Brussels. Mkutano huo ulifikia kilele tarehe 27, June 1960 kwa azimio la uhuru wa nchi ya Kongo na kupanga uchaguzi tarehe 30 ya mwaka huo huo wa 1960 Uchaguzi Mkuu wa Congo 11–25 May 1960. Lumumba na chama chake cha MNC walipata ushindi uliowawezesha kuunda serikali kwa tangazo la tarehe 23 June 1960 na Patrice Lumumba anapata cheo cha uwaziri mkuu akiwa na umri wa miaka 34 na Joseph Kasa-Vubu akiwa ndie Rais wake wa kwanza. Kwa mujibu wa katiba ya Congo mnamo tarehe 24 June serikali ilipitisha kura ya kijasiri ambayo iliamuliwa na baraza la maseneta kwamba tarehe 24 iwe ni siku ya ya kuadhimisha uhuru wa Congo.", "Patrice Lumumba\nJamii:Waliozaliwa 1925 Jamii:Waliofariki 1961 Jamii:Wanasiasa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Jamii:Viongozi wa Afrika", "PLO Lumumba\nLumumba ni mwanasheria mwenye ujuzi wa kuzungumza hadharani, na ana shahada ya Udaktari wa Falsafa katika sheria za bahari kutoka Chuo Kikuu cha Ghen nchini Ubelgiji. ", "Kongo ya Kibelgiji\nChama cha Patrice Lumumba kilishinda kwa kura nyingi naye akawa kiongozi wa kwanza wa nchi huru kama waziri mkuu. ", "Patrice Lumumba\nkwa uhuru huu wa Congo hata kama tunasherehekea leo na wabeljiji , nchi rafiki ambayo tupo sawa kwa sawa, hakuna mkongoman hata mmoja ambaye atasahau kwamba vita waliyipigana hatimae wakashinda wamaeshinda, kwa mapambano yaliyokuwayakiendelea, mapambano ambayo kwamba watu tulijitoa ambayo kwayo watu walikuwa tayari kwa lolote hata kumwaga damu, kwa namna kwa hakika yalikuwa mapambano maukufu na yalikuwa na mwelekeo wa kukomesha utumwa ambao ulikuwa ukiendeshwa dhidi yetu kwa nguvu.[6]", "Patrice Lumumba\nMaadhimisho ya uhuru wa Congo kwa mara ya kwanza yalifanyika mnamo tarehe 30 June 1960 ambapo maadhimisho hayo yalihudhuriwa pia na Mfarme Baudouinwa Ubeljiji pamoja na vyombo mbalimbali vya habari kutoka nchi za nje. Lumumba alitoa hotuba yake kama Waziri mkuu katika nchi huru japo yeye alikuwa ameenguliwa katika ratiba ya shughuli hiyo.[4] Hotuba ya Mfalme wa Ubeljiji Mfalme Baudouin alihutubia kwa kutukuza utawala wa kikoloni, huku akilingania fikra za mjombae ambae alikuwa mfalme wa Ubeljiji akiitwa Léopold wa Pili glossing over atrocities committed during the Taifa huru la congo.[5] Mfalme aliendelea kutoa masharti, \"aliwataka kuto kufanya mabadiliko yoyote mpaka hapo wao watakapo ona kwamba wanaweza kufanya vyema, na kwamba hawakutakiwa kufanya mabadiliko yoyote yalika bidhiwa na kwamba tutaendelea kutoa ushauri. \"[6] Lumumba aliufahamisha umma kwamba uhuru uliotolewa na wabeljiji sio haukuja hivihivi:[6]", "Fatimah\nHakuna uhakika juu ya tarehe ya kuzaliwa kwake kulitokea kati ya 606 na 615; waandishi Wasunni wengine husema alizaliwa katika mwaka wa kutengenezwa kwa Kaaba yaani miaka mitano kabla ya ufunuo wa kwanza; wengine hudai kulitokea mwaka wa ufunuo na waandishi Washia mara nyingi husema alizaliwa miaka mitano baada ya ufunuo.", "Kilema Kusini\nAskofu Mkuu wa Mwanza (tangu mwaka 2011) Juda Thadaeus Ruwa'ichi alizaliwa hapa mwaka 1954 katika kijiji cha Mulo.", "Abeti Masikini\nBaba yake, mzee Jean Finant aliuawa kikatili mwaka 1961 mjini Mbuji Mayi kutokana na matatizo ya kisiasa akiwa mfuasi wa Chama cha Hayati Patrice Lumumba ambapo mama yake alilazimika kuhama nao na ndipo wakahamia jijini Kinshasa ambako aliendelea na masomo hadi alipohitimu sekondari na baadaye kupata bahati ya kuajiriwa katika Ofisi ya Waziri wa Utamaduni wakati huo Waziri akiwa Mhe. Pierre Mushete. Kwa upenzi wa muziki, ilimlazimu aache kazi huko wizarani na kuendelea na muziki.", "Maksimo Muungamadini\nMaksimo Muungamadini alizaliwa mwaka 580 akafariki Schemaris (Lazica) mwaka 662.", "Idi Amin\nHakuna uhakika juu ya mwaka na mahali alikozaliwa. Amin mwenyewe hakuandika kumbukumbu ya maisha yake wala hakuagiza taarifa rasmi juu ya maisha yake. Vyanzo mbalimbali vinasema ya kwamba alizaliwa mnamo 1925 Koboko au Kampala. [7] Mtafiti Fred Guweddeko amedai Amin alizaliwa 17 Mei 1928,[8] lakini hii imepingwa.[9] Mwanawe Amin Hussein alisema babake alizaliwa Kampala mwaka 1928.[10]", "Laurent Kabila\nBaada ya kuuawa wa Lumumba alijiunga na kundi la wafuasi wa marehemu akaingia katika upinzani wa kijeshi dhidi ya serikali ya Joseph Desiree Mobutu. Majaribio haya yalikandamizwa na jeshi la serikali. Kabila alikuwa kati ya viongozi wachache walioendelea na upinzani.", "Yesu\nDionisi Mdogo, mmonaki aliyeanzisha (mwaka 533 hivi) mtindo wa kuhesabu miaka tangu kuzaliwa Yesu kurudi nyuma (K.K.) au kwenda mbele (B.K.), alikosea hesabu zake. Leo tunakisia Yesu alizaliwa mwaka 6 hivi K.K. kwa sababu alizaliwa Bethlehemu chini ya Herode Mkuu aliyefariki tayari mwaka 4 K.K.", "Katanga\nBaada ya uhuru wa Kongo mwaka 1960 jimbo lilijitenga na kuwa nchi ya pekee chini ya urais wa Moise Tshombe. Jeshi la UM lilimaliza kipindi hiki kwa nguvu ya kijeshi na kurudisha Katanga kuwa sehemu ya Kongo tena hadi Januari 1963. Katika kipindi hiki kifupi waziri mkuu wa Kongo Patrice Lumumba aliuawa katika Katanga.", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "PLO Lumumba\n==Maandishi=\nProfesa Lumumba ameandika vitabu kadhaa kuhusu sheria na siasa:", "Bruce Lee\nBruce Lee alizaliwa Novemba 27, 1940, katika Hospitali ya Kichina, katika Chinatown ya San Francisco. Kwa mujibu wa zodiac ya Kichina, Lee alizaliwa wakati wote na mwaka wa Dragon, ambayo kwa mujibu wa utamaduni ni nguvu na yenye nguvu.", "Patrice Lumumba\nPatrice Lumumba alizaliwa na François Tolenga Otetshima, na Julienne Wamato Lomendja, ambao walikuwa wafugaji katika kijiji cha Katakokombe katika mkoa wa Mkoa wa Kasai katka jimbo la Kanyalwaunga.[1] alikuwa mwanachama wa Kikundi cha nidhamu jina halisi la Patrice Lumumba lilikuwa Élias Okit'Asombo. Jina hili likiwa na maana \"heir of the cursed\"ambalo lilitokana na neno la Tetela ambayo ni miongoni mwa makabila ya congo okitá/okitɔ́ ('Mrithi')[2] na asombó ('cursed or bewitched people who will die quickly').[3] Alikuwa na kaka za watatu ambao ni (Charles Lokolonga, Émile Kalema, and Louis Onema Pene Lumumba) na ndugu yao wa karibu (Tolenga Jean).[1]Alilelewa katika makuzi ya familia ya Kikatoliki, alisoma katika shule ya msingi ya Shule ya kiprotestanti , Shule ambayo ilikuwa inamilikiwa na wamisionari wa Kanisa Katoliki, na baadaye alipata mafunzo katika chuo kimoja cha serikali , alijishindia kozi mbalimbali na kisha kuajiriwa, alipata kazi katika mji wa Léopoldville ambao kwa sasa unajulikana kwa jina la Kinshasa) na baadaye katika mji wa Stanleyville ambao nao kwa sasa unajulikana kwa jina la Kisangani ambapo alifanya kazi kama karani wa posta na pia alikuwa akifanya kazi ya uuzaji wa bia kwa wasafiri. Mnamo mwaka 1951 alimuoa Pauline Opangu . Mwaka 1955 Lumumba alipanda cheo na kuwa Cercles wa mji wa Stanleyville na baadaye alijiunga na chama cha Liberal Party of Belgium, ambapo alifanya kazi ya uhariri na usambazaji wa kijarida cha chama cha Chama cha Kiliberali cha Ubeljiji. Na baadaye alifanya ziara ya mafunzo ya wiki tatu nchini Ubeljiji,mwaka 1956 alikamatwa na kushitakiwa kosa la ubadhilifu na kuhukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kifungo cha nje na kisha baadaye wakili wa kibelgiji kuthibitisha kwamba Lumumba amesharejesha zile fedha aliachiliwa huru mnamo mapema mwaka 1956. Na baada ya kuachiliwa kwake alisaidiwa na kuanzisha chama chama w:Mouvement national congolais (MNC) mnamo. Mwaka 1958, alichaguliwa kuwa Rais wa chama hicho. Mnamo mwaka 1958 mwezi wa Desemba Lumumba na wenzake walikiwakilisha chama chao katika mkutano wa w:All-African Peoples' ConferenceBaraza la watu wote wa Africa mjini Accra, Ghana, katika mkutano huo wa Desemba wa Pan-African uliokuwa chini ya Rais wa Ghana hayati Kwame Nkrumah , Ndg Lumumba ambaye alionekana kuongea lugha nyingi zikiwemo za Tetela, French, Lingala, kiswahili, na Tshiluba alijitambulisha ziai dhidi ya imani yake kwa bara la afrika .[1]", "Mobutu Sese Seko\nBaada ya uhuru wa Kongo serikali ilimpa cheo cha kanali. Katika nafasi yake kama mkuu wa jeshi la Kongo alishirikiana na rais Joseph Kasavubu katika uasi dhidi ya waziri mkuu wa kwanza Patrice Lumumba aliyepinduliwa tarehe 14 Septemba 1960 na kuuawa baadaye.", "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nChama cha Patrice Lumumba kilishinda kwa kura nyingi naye akawa kiongozi wa kwanza wa nchi huru kama waziri mkuu.", "PLO Lumumba\nPatrick Loch Otieno Lumumba (alizaliwa 17 Julai 1962) ni Mkenya aliyekuwa Mkurugenzi wa Tume ya Kupambana na Rushwa ya Kenya kutoka Septemba 2010 hadi Agosti 2011 na sasa ni Mkurugenzi wa Shule ya Sheria ya Kenya tangu mwaka 2014.", "1997\nNi mwaka mbao Steve Iwatta alizaliwa", "Yohane wa Dukla\nYohane alizaliwa Dukla, Polandi, mwaka 1414 akafariki mwaka 1484 huko Lviv, leo nchini Ukraina. " ]
41
Je, mji mkubwa Nigeria ni upi?
[ "Mji mkuu\nNigeria iliamua mwaka 1976 kuhamisha mji mkuu wa kitaifa kutoka Lagos kwenda mahali pa katikati ya nchi. \"Eneo la Mji Mkuu wa Shirikisho\" limeteuliwa. Mji mpya wa Abuja ndani ya eneo hili ukawa mji mkuu wa Nigeria mwaka 1991.", "Nigeria\nMji mkuu ni Abuja ikitanguliwa na Lagos hadi mwaka 1991." ]
[ "San Jose, California\nSan Jose (IPA: sænhoʊˈzeɪ) ni mji mkubwa wa jimbo la Kalifornia (Marekani) na pia mji mkubwa wa tatu jimboni. Iko kusini kabisa ya mji wa San Francisco.", "Tijuana, Baja California\nTijuana ([tiˈxwana]) ni mji mkubwa wa Mexiko katika jimbo la Baja California. Ni mji mkubwa kuliko yote ya jimbo. Eneo lake ni 637 km². Kuna wakazi 1,286,187 (2005). Iko kusini kabisa ya mji wa San Diego.", "Kisangani\nKisangani ni mji mkubwa wa mashariki mwa Kongo wenye wakazi zaidi ya 1,600,000. Ni mji mkubwa wa tatu wa nchi hiyo.", "Benue (mto)\nMto Benue (Kifaransa: Bénoué) ni tawimto mkubwa wa mto Niger. Chanzo chake ni katika nyanda za juu za Kamerun hasa milima ya Adamawa. Katika sehemuy a kwanza ya mwendo wake unatelemka mita 600 kwa mwendo kali. Karibu na mji wa Garua unaungana na mto Mayo Kébi. Baada ya mwendo wa 350 km mto unatoka Kamerun na kuingia Nigeria karibu na bandari ya Jimeta. Hapa mto una upana wa kilomita moja unaoweza kupanua wakati wa mvua. Baada ya Yola mto unapokea tawimto wake muhimu zaidi mto Gongola. ", "Chicago\nChicago ni mji mkubwa wa jimbo la Illinois na pia mji mkubwa wa tatu nchini Marekani. Iko kando ya Ziwa Michigan. Idadi ya wakazi ni 2,900,000 (2000) na pamoja na rundiko la mji ni watu milioni tisa.", "Abia (jimbo)\nAbia ni jimbo la kujitawala la Nigeria lenye wakazi milioni 4.2 (2005) na eneo la 5,834 km². Mji mkuu ni Umuahia na mji mkubwa Aba mwenye wakazi 900,000.", "Amsterdam\nAmsterdam ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Uholanzi. Inajulikana kama mji wa mifereji mingi wenye wakazi 800,000, vyuo vikuu viwili na uwanja wa ndege wa kimataifa mkubwa wa \"Schiphol\".", "Köln\nKöln ni mji mkubwa wa nne wa Ujerumani na mji mkubwa wa jimbo la Rhine Kaskazini - Westfalia (Nordrhein-Westfalen). ", "Guadalajara, Jalisco\nGuadalajara ni mji mkuu na pia mji mkubwa katika jimbo la Jalisco. Ni mji upande wa kati ya jimbo na magharibi ya nchi Mexiko. Idadi ya wakazi ni 1,579,174, pamoja na mitaa ya jirani rundiko la mji lina wakazi 4,095,174. Guadalajara ni mji mkubwa wa pili nchini Mexiko. Uneo lake ni 151 km².", "Historia ya Nigeria\nIdadi ya watumwa ndani ya Nigeria ilizidi kukua katika karne ya 19 ambako biashara ya watumwa kwenye Atlantiki ilikwisha. Manmo 1890 mkusanyiko mkubwa wa watumwa katika Afrika walikuwa watumwa katika milki ya Khalifa wa Sokoto, takriban watu milioni 2. [18]", "Adamawa (jimbo)\nAdamawa ni jimbo la kujitawala la Nigeria lenye wakazi milioni 3.7 (2005) na eneo la 36,917 km². Mji mkuu ni Yola na mji mkubwa ni Jimeta mwenye wakazi mit 248,166 (2005). ", "Xalapa\nXalapa (pia: \"La ciudad de las flores\"; Kiswahili: mji wa maua) ni mji mkuu katika jimbo la Veracruz. Ni mji mkubwa wa pili jimboni baada ya mji mkubwa Veracruz. Idadi ya wakazi ni 387,879. ", "Sankt Peterburg\nSankt-Peterburg (Kirusi: Санкт-Петербург; majina ya kihistoria: Sankt Petersburg, St. Petersburg, Petrograd, Leningrad) ni mji mkubwa katika Urusi ya magharibi kwenye mwambao wa Bahari ya Baltiki. Kuna wakazi milioni 4.7 ikiwa ni mji mkubwa wa pili wa Urusi. Iliwahi kuwa mji mkuu wa nchi.", "Sydney\nSydney ni mji wa pwani ya mashariki katika nchi ya Australia. Sydney ni mji mkubwa wa New South Wales. Takribani watu milioni 4 wanaishi katika mji wa Sydney na ndio mji mkubwa kabisa nchini Australia. ", "Federal Capital Territory, Nigeria\nNigeria Federal Capital Territory ni eneo la mji wa Abuja, mji mkuu wa Nigeria. ", "Nigeria\nKwa sasa ni nchi ya Afrika yenye watu wengi na uchumi mkubwa kuliko zote. Kimataifa, ni ya 7 kwa idadi ya watu na ya 20 kwa uchumi.", "Kano\nKano ni mji mkubwa wa tatu nchini Nigeria na makao makuu ya jimbo la kujitawala la Kano. Kuna wakazi 3,626,204.", "Delta (jimbo)\nJimbo la Delta ni jimbo la Nigeria kusini. Iko kwenye eneo la delta ya \"mto Niger\". 1991 ilianzishwa kutokana na jimbo la awali la Bendel. Mji mkuu ni Asaba lakini mji mkubwa jimboni ni Warri. ", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Akwa Ibom (jimbo)\nAkwa Ibom ni jimbo la kujitawala la Nigeria lenye eneo la 7,081 km² na wakazi milioni 4,8 (2005). Mji mkuu ni Uyo na mji mkubwa jimboni ni Ikot Ekpene mwenye wakazi 254,821 (2005).", "Ibadan\nIbadan (kwa Kiyoruba \"Ìbàdàn\" , kirefu (Ìlú) Ẹ̀bá-Ọ̀dàn, (mji kwenye) ombwe la mbuga) mji mkubwa wa tatu wa Nigeria wenye wakazi 3,800,000 (kadirio 2007) na wengi wao ni Wayoruba. Ni mji mkuu wa jimbo la Oyo.", "Niger (mto)\nWengine waliona utaishia kwenye mto Senegal au mto Kongo. Kuchanganyikiwa huku kulisababisha kwa karne nyingi ramani zisizoonyesha mwendo halisi wa mto. Wasafiri na wataalamu wa nje hawakuelewa ya kwamba mto mkubwa ulio karibu na Timbuktu na mto mkubwa unaoingia Atlantiki kwenye Ghuba ya Guinea huko Nigeria ni mto uleule.", "Nigeria\nMji mkubwa zaidi ni Lagos (mji mkuu wa zamani) ukiwa na wakazi 15,000,000. Kati ya miji mingine kuna Abuja, Kano, Ibadan, Oshogbo, Ilorin, Abeokuta, Ogbomosho na Port Harcourt.", "Niger (mto)\nNiger ni mto mkubwa kabisa wa Afrika ya Magharibi na mto mrefu wa tatu barani Afrika ukiwa na mwendo wa km 4.374. Njia yake ni kama upinde ikianza Guinea katika nyanda za juu za Futa Djallon kuelekea kaskazini-mashariki kupitia Mali hadi Niger. Karibu na mji wa Timbuktu inageukia kuelekea mashariki, halafu mashariki-kusini kupitia Benin na Nigeria hadi kufika mdomo wa delta yake kwenye Ghuba ya Guinea ya bahari ya Atlantiki.", "Mji mkuu\nMji mkuu kwa kawaida ni mji wenye makao makuu ya serikali ya nchi fulani. Katika nchi nyingi mji huo ni pia mji mkubwa na muhimu zaidi kushinda miji mingine nchini. Huo ni sehemu yenye maendeleo makubwa sana katika nchi yoyote: ina kila huduma muhimu na miundombinu iliyo bora. Mfano: nchini Tanzania mji mkubwa ni Dar es Salaam, ingawa makao makuu ni Dodoma.", "Kisumu\nKisumu ni mji mkubwa wa tatu wa Kenya, ukiwa na wakazi 968,909 (sensa ya mwaka 2009). Pia ni mji mkubwa wa Kenya ya Magharibi na makao makuu ya kaunti ya Kisumu.", "Hamburg\nHamburg ni mji mkubwa wa Ujerumani ya Kaskazini. Ni mji mkubwa wa pili nchini baada ya mji mkuu Berlin. Ina bandari kubwa ni kitovu cha biashara ya nje. Idadi ya wakazi ni 1,744,215.", "Jimbo la Ebonyi\nJimbo la Ebonyi ni jimbo la nchi kavu lililoko kusini-mashariki mwa Nigeria, kimsingi, wakaazi wake ni Waigbo (95% ya idadi ya watu). Mji mkuu wake na mji mkubwa ni Abakaliki. Afikpo ni mji mkubwa wa pili. Miji mikubwa mingine ni Edda, Onueke, Nkalagu, Uburu, Onicha, Ishiagu, Amasiri na Okposi. Ni mojawapo ya majimbo sita mpya nchini Nigeria yaliyoumbwa mwaka wa 1996;Ebonyi aliumbwa kutoka kwa tarafa ya zamani ya Abakaliki ya Jimbo la Enugu na tarafa ya zamani ya Afikpo ya Jimbo la Abia.", "Nigeria\nIdadi ya watumwa ndani ya Nigeria ilizidi kukua katika karne ya 19 ambako biashara ya watumwa kwenye Atlantiki ilikwisha. Manmo 1890 mkusanyiko mkubwa wa watumwa katika Afrika walikuwa watumwa katika milki ya Khalifa wa Sokoto, takriban watu milioni 2. [18]", "Borno (jimbo)\nBorno ni jimbo la Nigeria katika kaskazini ya nchi lenye wakazi milioni nne na nusu. Mji mkuu pia mji mkubwa wa jimbo ni Maiduguri (wakazi 1,112,511)." ]
46
Kombe la Mataifa ya Afrika hufanyika mara ngapi kwa mwaka?
[ "Kombe la Mataifa ya Afrika\nKombe la Mataifa ya Afrika, ni shindano kuu la la soka la kimataifa katika Afrika. Shindano hili husimamiwa na Confederation of African Football (CAF), na lilichezwa kwa mara ya kwanza mwaka wa 1957. Tangu mwaka wa 1968, shindano hili hufanyika baada ya miaka miwili. Wabingwa wa FIFA Confederations Cup walifuzu katika shindano hili." ]
[ "Rashidi Yekini\nAidha,Yekini alisaidia Nigeria kushinda Kombe la Mataifa ya Afrika la 1994. Alikuwa amecheza katika michezo ya Olimpiki ya 1988 jijini Seoul.Yekini alifunga mabao mengi katika Kombe la Mataifa ya Afrika kuliko mwanakandanda mwingine katika shindano hilo.", "Kombe la Dunia la FIFA 2018\nKombe la Dunia la FIFA 2018 ilikuwa michuano ya 21 ya Kombe la Dunia la FIFA inayohusisha timu za taifa za wanaume katika mchezo wa soka. Michuano hii ilishirikisha timu za wanaume kutoka nchi mbalimbali duniani ambazo ni wanachama wa FIFA na hufanyika mara moja kila baada ya miaka minne. Ilifanyika nchini Urusi ikaanza tangu tarehe 14 Juni na kilele cha michuno hii kilikuwa 15 Julai 2018 ambapo timu zilizoingia fainali Ufaransa na Kroatia zilicheza kuamua bingwa wa dunia. Ufaransa ilishinda kwa 4:2.", "Sadio Mane\nAlianza kazi yake na Metz nchini Ufaransa, alihamia Red Bull Salzburg mwaka 2012. Baada ya kushinda Bundesliga ya Austria na Austria Cup mwaka 2014, alisainiwa na Southampton. Mwaka 2015, Mané aliweka rekodi mpya ya Ligi Kuu kwa kasi ya kufunga kofia wakati alifunga mara tatu katika sekunde 176 wakati wa kushinda 6-1 dhidi ya Aston Villa. [4] Alihamia Liverpool mwaka 2016 kwa ada ya £ 34 milioni, na kumfanya kuwa mchezaji wa gharama kubwa zaidi wa Kiafrika katika historia wakati huo.\nMané amepata mateka zaidi ya 40 kwa Senegal tangu mwanzo mwaka 2012, na aliwakilisha timu ya kitaifa katika Olimpiki za 2012, 2015 Kombe la Mataifa ya Afrika na Kombe la Mataifa ya 2017.", "Kombe la Mataifa ya Afrika\nMisri ndiyo taifa lililofanikiwa zaidi katika historia kombe hili kwa kuwa na rekodi ya kushinda kombe hili mara sita. Ghana na Kamerunwameweza kunyakuwa ubingwa mara nne. Nyara tatu tofauti zimetunzwa katika historia ya shindano hili. Ghana na Kamerunwameshinda matoleo mawili ya kwanza baada ya kila timu kushinda shindano hili mara tatu mfululizo . Nyara iliyo sasa ilitunzwa mara ya kwanza mwaka wa 2002.", "Sibusiso Zuma\nYeye ameiwakilisha Afrika Kusini katika mechi 67. Aliicheza nchi yake katika Kombe la Dunia la FIFA la mwaka wa 2002. Zuma alikuwa nahodha wa timu ya kitaifa ya Afrika Kusini katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka wa 2006.", "Kombe la Mataifa ya Afrika\nUle mpango wa timu 12, na tatu kila kundi kundi ulitumika tena miaka miwili baadaye, ambapo Tunisia iliyokuwa nyumbani iliwezwa kuondolewa katika shindano hili. Nigeria, ambayo ilifaulu katika Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia, ilishinda shindano hili baada ya, kuchapa Zambia, ambayo mwaka kabla ilipatwa na msiba wa maafa ambapo wengi wa wachezaji wao waliaaga dunia katika ajali ya ndege wakielekea katika mchuano wa kufuzu katika kombe la dunia. Mchezaji wa mbele kutoka Nigeria , Rashidi Yekini, aliyekuwa akiongoza kwa mabao wa 1992 aliweza kuongoza tena kwa mabao matano mwaka huo.", "Mike Okoth Origi\nOrigi alikuwa mchezaji wa mara kwa mara ya wa timu ya kandanda ya kitaifa ya Kenya na alicheza katika Kombe la Mataifa ya Afrika mara tatu (1990, 1992 na 2004).", "Kombe la Mataifa ya Afrika\n(FIFA) (Misri State Information Service) (Misri....)", "Didier Drogba\nIvory Coast ya kimataifa kati ya mwaka 2002 na 2014, Drogba alifunga timu ya kitaifa tangu mwaka 2006 mpaka kustaafu kutoka timu ya Ivory Coast na ni lengo la taifa la wakati wote juu ya malengo 65 kutoka maonyesho 104. Aliongoza Ivory Coast kwenye Kombe la Dunia ya FIFA ya 2006, kuonekana kwao kwanza katika mashindano, na pia alifunga lengo lao la kwanza. Baadaye alipata Ivory Coast kwenye vikombe vya Dunia vya 2010 na 2014. Alikuwa sehemu ya timu ya Ivory Coast ambayo ilifikia mwisho wa Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2006 na 2012, lakini ilipigwa kwa adhabu kwa mara mbili. Mnamo Agosti 8, 2014, alitangaza kustaafu kutoka kwa soka ya kimataifa.", "Kombe la Mataifa ya Afrika\nMorocco (2015) Libya (2017)", "Riyad Mahrez\nAlizaliwa nchini Ufaransa, Mahrez alicheza mechi yake ya kimataifa na Algeria mwaka 2014 na aliiwakilisha kwenye Kombe la Dunia la FIFA la 2014 na Kombe la Mataifa ya Afrika 2015 na 2017. Mnamo mwaka wa 2016 aliitwa Mchezaji bora wa Afrika na CAF.", "Kombe la Mataifa ya Afrika\nAfrika ya Kusini iliweza kuwa mwenyeji wa shindano la 20 la ANC mwaka wa 1996, na kushiriki katika shindano hili mara ya kwanza baada ya kupewa fursa ya kushiriki katika shindano hili walipoacha ubaguzi.Pia walikuwa wamejaribu mwaka wa 1994 lakini hawakufuzu. Idadi ya washiriki katika fainali iliongezeka hadi timu 16 ambazo ziligawanywa katika makundi manne. Hata hivyo, idadi halisi ya timu zilizocheza katika fainali mara ilikuwa15 tu kwani Nigeriailijiondoa katika shkindano hili dakika ya mwisho kwa sababu za siasa katika nchi yao. [11] Timu ya Bafana Bafana iliweza kushinda taji kwa mara ya kwanza kwa kuwalaza Tunisia. Nahodha wa Afrika Kusini Neil Tovey ndiye aliyekuwa mchezaji mzungu wa kwanza kuskika kile kikombe. [13] Afika Kusini ingeweza kufika fainaliwa miaka miwili baadaye nchini Burkina Faso, lakini hawakuweza kutetea taji lao kwani, iliweza kunyakuwa ushindi kwa mara ya nne.", "Kombe la Mataifa ya Afrika\nChimbuko la Kombe la Mataifa ya Afrika lilikuwa mnamo tarehe Juni 1956, wakati uundaji wa Confederation of African Football ulipendekezwa katika mkutano wa tatu wa bunge la FIFA mjini Lisbon. Kulikuwa na mipango ya haraka kwa mashindano ya mataifa ya bara kufanyika, na mwaka wa 1957 mwezi wa Februari shindano la kwanza la Kombe la Mataifa ya Afrika lilifanyika mjini Khartoum, Sudan. Hakukuwa na mechi za kufuzu katika shindano hili , kwani uwanja ulikuwa na mataifa manne ambao ndio wanzilishi wa CAF (Sudan, Misri, Ethiopia, na Afrika ya Kusini). Kukataa kwa Afrika ya Kusini kupeleka kikosi chenye wachezaji wa rangi tofauti katika ushindani kulisababisha wao kuadhibiwa na Ethiopia iliweza kufuzu katika fainali .[2] Kutokana na tukio hilo mechi mbili ndizo zilizochezwa na Misri kuwa bingwa wa kwanza katika bara baada ya kushinda Sudan katika nusu fainali na Ethiopia katika fainali. Miaka miwili baadaye, Misri ndiyo ilikuwa mwenyeji wa pili wa ANC mjini Cairo ambapo timu zile tatu ndizo zilishiriki .Kama mwenyeji na bingwa tetezi Misri iliweza kushinda baada ya kuwalaza sudan katika fainali.", "Emmanuel Ake\nAke alikuwa katika timu ya Kenya katika Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Tunisia mwaka wa 2004 na aliichezea mechi tatu Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kenya, Harambee Stars. Alifunga bao la tatu wakati Kenya ilipata ushindi wake wa kwanza katika shindano hilo la Kombe la Mataifa ya Afrika dhidi ya Burkina Faso.", "Kombe la Mataifa ya Afrika\nToleo la 2000 liliweza kufanyika Ghana na Nigeria, badala ya Zimbabwe kwa kuwa ilitoka sare ya 2-2 baada ya muda wa ziada katika fainali, Kamerun ilishinda Nigeria katika penalti. Mwaka wa 2002,timu ya Indomitable Lions ilipokea taji mara ya pili mfululizo kama Ghana ilivyofanya katika miaka ya 1960 baada ya Misri kufanya vivyo hivyo mwaka 1957 na 1959. Kupitia penalti, ya Kamerun ilishinda Senegal ambayo ilikuwa mara yao ya kwanza kucheza fainali, ambayo pia ilipata kushika nafasi katika Kombe la ulimwengu baadaye mwaka huo. Timu hizi mbili zilizofika fainali waliweza kutolewa katika robo fainali nchini Tunisia ambapo timu ya nchi hii ilipokea ubingwa baada ya kuchapa Moroko 2-1 katika fainali. Shindano la 2006 lilishindwa na, Misri ambayo ilikuwa nyumbani.Iliweza kuweka rekodi ya bara kwa kuwa washindi mara tano. Shindano la 2008 lilifanyika Ghana ambapo Misri waliweza kutetea ubingwa wao na kunenepesha rekodi na ushindi wa sita baada ya kuwalaza Kamerun 1-0 katika fainali.", "Kombe la Mataifa ya Afrika\nMwaka wa 1992 Kombe la Mataifa ya lilipanua mipaka na kuongeza idadi ya washiriki katika fainali ya shindano hili hadi 12; Timu hizi ziligawanywa katika makundi manne Kila kundi lilikuwa na timu tatu ambapo timu mbili za juu katika kila kundi zilifaulu katika robo fainali. Mjchezaji wa Ghana wa katikati kwa majina kiungo Abedi \"Pelé\" Ayew ambaye alifunga bao tatu, alitiwa taji la mchezaji bora wa shindano hili mwaka huo baada ya mchango wake kusaidia Ghana kufuzu fainali; hata hivyo alisimamishwa kucheza mechi hiyo na Ghana kushindwa na Ivory Coast katika mikwaju ya penalty ambako kila pande ilijaribu mara 11 ili kutambua timu itakayoshinda. Cote d'Ivoire waliweza kuweka rekodi katika shindano hili kwa kushinda mechi sita bila kufungwa bao.", "Kombe la Mataifa ya Afrika\nKatika historia ya Kombe la Mataifa, kumekuwa na aina tatu za taji ambazo zimepatianwa .Kombe la kwanza mbalo lilikuwa la fedha, lilijulikana kama \" Kombe la Abdelaziz Abdallah Salem \", ambalo ilikuwa jina lake rais wa kwanza wa kutoka Misri jenuari Abdelaziz Abdallah Salem. Baada ya ushindi wa tatu katika Kombe la Mataifa Ghana iliweza kumiliki kombe hilo mwaka wa 1978.[4]", "Teko Modise\nModise aliichezea timu ya Afrika Kusini kwa mara ya kwanza wakati wa kombe la COSAFAmwaka wa 2007. Alicheza mechi yake ya kwanza na timu mwandamizi mnamo 26 Mei 2007 dhidi ya Malawi. Alijumuishwa katika orodha ya Afrika Kusini ya wachezaji watakao shiriki katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Ghana. Pia hujulikana kama Jonas Andersen. Kwa sasa ameichezea timu mwandamizi ya Afrika Kusini mechi 33 na amefanikiwa kufunga mabao 9. Modise amekuwa mchezaji muhimu katika mechi nyingi za kimataifa za Bafana Bafana. . Mwaka wa 2008 aliteuliwa kama mchezaji bora wa barani Afrika wakati wa msimu.", "Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa\nMkutano huu hufanyika mara moja kwa mwaka kwa kawaida kuanzia Septemba hadi Desemba kwenye makao makuu ya UM mjini New York, Marekani. Mkutano Mkuu wa kwanza ulifanywa tarehe 10 Januari 1946.", "Boison Wynney\nBoison alizaliwa huko Palma, Majorca ambapo anaishi baba yake Liberia na mama yake anaishi Brazil. Kwa hiyo alikuwa na haki ya kuwakilisha Liberia au Brazil. \nAlipokea muito kwa mara yake ya kwanza kuchezea Timu ya taifa ya Liberia mnamo 2 Novemba 2016. Alicheza kwa mara ya kwanza timu yake ya taifa lakini wlifungwa 3 kwa 0 dhidi ya Zimbabwe kwa ajiliya kufuzu ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2019 .", "Timu ya Taifa ya Kandanda ya Jibuti\nKandanda ilianzishwa nchini Jibuti kabla ya Uhuru kutoka Ukoloni, huku ikichezwa san asana na Majeshi wa Kifaransa. Huku eneo hilo enzi hizo likiitwa French Somaliland, walikuwa wakishiriki katika mijuano ya kufuzu kwa Kombe la Dunia la FIFA kutoka 1930 hadi 1974. Hata hivyo hawakuwahi kufuzu kwa kombe hilo hata mara moja. Baada ya Uhuru mnamo 1977, Jibuti ilishirikishwa katika Kombe la Mataifa Bingwa Barani Afrika lakini matokeo yake yalikuwa duni.", "Kombe la Mataifa ya Afrika\nJamii:Kombe la Mataifa ya Afrika Jamii:Mpira wa Miguu Jamii:CAF mashindano kwa timu ya taifa", "Aïssa Mandi\nMandi alicheza mechi yake ya kimataifa kwa Algeria mwezi Machi 2014. Alikuwa mwanachama wa timu ya Algeria katika Kombe la Dunia la FIFA la 2014 huko Brazil na 2015 Kombe la Mataifa ya Afrika yaliyofanyika huko Guinea ya Equatorial.", "Alex Song\nKombe la Mataifa ya Afrika 2008 wachezaji bora 11", "Dennis Oliech\nOliech baadae alitokea kua mfungaji mabao wakutegemewa katika Timu ya Taifa ya Kenya mashuhuri kwa jina la Harambee Stars kwa kila mechi nyingi za taifa alikua akifunga magoli.\nNi mchezaji alieingia katika kipindi cha pili na alifunga goli la kusaidia Kenya ili kupata tiketi ya kuingia katika Kombe la Mataifa ya Afrika na mechi hiyo ilikua ni ya mwisho dhidi ya Cabo Verde. Alicheza katika Kombe la Mataifa ya Afrika huko Tunisia mwaka 2004. Na huo mwaka ndio alichaguliwa kua miongoni mwa wachezaji chipukizi bora wenye kipaji pamoja na Wayne Rooney wa Manchester United", "Kombe la Dunia la FIFA\nKombe la Dunia 2010 lilifanyika katika bara la Afrika kwa mara ya kwanza katika nchi ya Afrika Kusini.", "Kombe la Mataifa ya Afrika\nKatika mwaka 1963, Ghana ilishiriki kwa mara ya kwanza katika shindano hili , na iliweza kunyakua ushindi baada ya kuilaza Sudan katika fainali. iliweza kunyakuwa ubingwa miaka miwili baadaye katika Tunisia -ikisawazisha na Misri kama bingwa wa misimu miwili - na kikosi ambacho kilikuwa na wachezaji wawili tu kutoka timu ya 1963.[3]", "George Weah\nWeah aliichezea pia timu ya taifa ya Liberia na aliiwakilisha nchi yake katika Kombe la Mataifa ya Afrika mara mbili.", "Kombe la Mataifa ya Afrika\nShindano hili lilienea na kuwa na timu tisa ambazo zilishiriki. Shindano hili la tatu la ANC mwaka 1962lilikuwa mjini Addis Ababa, na kwa mara ya kwanza kulikuwa na mechi za kufuzu ambapo timu nne zilifuzu kupigania ubingwa. Ethiopia kama mwenyeji Misri kama bingwa tetezi zilipata fursa ya kufaulu mara moja, na kuungwa na Nigeria na Tunisia katika timu nne za mwisho zilizo waania ubingwa. Misri iliweza kucheza fainali kwa mara ya tatu lakini Ethiopia waliwezakushinda, baada ya kupiga Tunisia katika semifinali nakulaza Misri katika muda wa ziada." ]
71
Je, ndovu anabeba uja uzito kwa miezi mingapi?
[ "Ndovu\nTembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82." ]
[ "Ali Baba na Wezi Arobaini\nBaada ya kuondoka kwa kundi la majambazi Ali Baba anaenda kwa sehemu alipoona uwazi na kusema maneno aliyosikia. Mlango unafunguka na Ali Baba anayeingia ndani anaona pango kubwa katika mwamba linalojaa mifuko ya dhahabu, almasi na pesa pamoja na bidhaa nyingi yenye thamani. Ali Baba anabeba kiasi cha dhahabu kwake nyumbani na kuionyesha kwa mke wake. ", "Hayya (kundinyota)\nHii ni kundinyota ya pekee inayopatikana angani kwa sehemu mbili za pekee zinazotengwa na kundinyota ya Hawaa (). Sehemu mbili zinaitwa Serpens Caput (kichwa cha Hayya au nyoka) upande wa magharibi na Serpens Cauda (Mkia wa Hayya au nyoka) upande wa mashariki. Katikati ya pande hizi mili iko Hayya au Ophiuchus anayetazamia kuwa anabeba nyoka.", "Kisukari aina ya 2\nLishe bora na mazoezi ndio msingi wa kudhibiti kisukari[4]huku mazoezi mengi yakileta matokeo bora zaidi.[41]Mazoezi ya kipumzi huchangia upungufu wa HbA1C na kuboresha kiwango cha usikivu dhidi ya insulini.[41] Mazoezi ya kuinua uzani pia husaidia huku matokeo bora yakitarajiwa kwa kujumulisha aina zote mbili za mazoezi.[41] Lishe la kudhibiti kisukari linaoimarisha uzito wa chini wa mwili ni muhimu.[42]Ingawa kuna utata kuhusu aina ya lishe mwafaka katika kuboresha matokeo, [42]lishe lenye kielezo cha chini cha glisemia limetambulika kuboresha udhibiti wa sukari ya damu.[43]Elimu bora kwa kawaida inaweza kusaidia watu walio na aina ya 2 ya kisukari kudhibiti kiwango cha sukari ya damu, hadi angalau miezi sita.[44]Ikiwa mabadiliko ya kimienendo katika watu wenye kisukari kidogo hayajaboresha viwango vya sukari ya damu katika wiki sita, matibabu yanafaa kupendekezwa.[4]", "Bongo na Flava\nWanafahamiana na kupeana muhtasari wa maisha wa kila mmoja kaja kufanya nini mjini hapa. Zopa alijinadi kama mwanamuziki, wakati Anita alisema yeye ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha usimamizi wa fedha (IFM). Punde anatokea bwanake na kila mtu anabaki na hamsini zake. Baadaye wanakutana tena na Anita, safari hii mchana kweupe. Zopa anaamua kuacha uzoba na kuomba namba ya Anita zoezi ambalo halikufanikiwa. Lakini kwa msaada zaidi, Anita anamtajia klabu ya usiku ambayo anapenda kwenda sana inaitwa Club X. Zopa mfukoni majalala, anamsogelea Joseph amlipe pesa zake alizomkopesha. Joseph hana kitu, anamwambia kama vipi chukua puri moja kule home. Zopa anabeba tayari kwa kufanya usambazaji kule disko. Anita anatokea kaunta, anakutana na Zopa, wanaongea, kabla maongezi kunoga, anatokea mshefa wake, vurumai, kumbe bwana jamaa kaja na pira, wanamsachi wanamkuta na puri jamaa anaingia ndani kwa mara ya kwanza maishani mwake.\nIli kutoka, anatakiwa awauze wanawe wanaomletea mzigo ndio kwake inakuwa salama. Kwa kuonesha ujanadume, Zopa anagoma. Heri abaki ndani kuliko kuwa snitch. Anita anakata tamaa, lakini anafanya alilofanya ndani ya miezi sita, mchizi anaachiwa. ", "Ndovu\nPembe-jino zake zinatafutwa sana kama mapambo na biashara ya pembe za ndovu imeshakuwa hatari kabisa kwa ndovu wote kwa sababu wanawindwa mno. Hivyo kwa mapatano ya kimataifa biashara ya pembe hizi imepigwa marufuku.", "Ndovu\nPenye ndovu wengi mno wanaharibu miti. Wanapenda majani ya miti na hivyo wanavunja matawi ili wapate majani. Wakiweza wanaangusha pia mti wote kwa chakula hiki. Uharibifu huu ni tatizo katika mbuga za wanyama kadhaa ambako ndovu hawawezi kutoka nje kwa sababu nje wanawindwa.", "Hotuba ya mlimani\nMtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La! ", "Pembe za ndovu\nPembe za ndovu ni meno yalioendelea na kuongezeka mbele na mara nyingi hupatikana zaidi katika vinywa vya mamalia, hasa tembo, lakini pia kifaru n.k. ", "Shinikizo la juu la damu\nShinikizo juu la damu hutokea takriban 8-10% za ujauzito. Wanawake karibu wote wenye shinikizo juu la damu wakiwa na mimba walikwishaumwa na shinikizio la damu la kawaida. Hali hiyo ikitokea katika ujaa uzito ni dalili ya kwanza ya kifafa cha mimba kabla hakijashikika kabisa. Maradhi hayo hutokea katika muda wa pili wa ujaa uzito na majuma machache baada ya kujifungua. Uaguzi wa maradhi hayo ni pamoja na shinikizo la damu kuongezeka na dalili za protini ndani ya mkojo. Maradhi hayo hutokea takribin 5% ya ujaa uzito yakisababisha takribin 16% ya vifo vya wenye ujaa uzito. Hatari ya kifo cha mtoto inaongezeka maradufu kutokana na maradhi hayo dunia nzima. Kwa kawaida hakuna dalili maalum za kifafa cha mimba kabla hakijashikika kabisa hugunduliwa na uchujaji wa kawaida. Zinapotokea dalili za maradhi hayo hizo ndizo ni kuumwa kichwani, taabu za kuona vizuri (mwanga wa kumulika ghafla) kutapika, maumivu ya epigastriumu na kuvimba. Kifafaa cha mimba kabla hakijashikika kabisa wakati mwingine inaweza kuletea hali inayotisha maisha inayoitwa kifafa cha mimba. Kifafa cha mimba kinaleta hali ya dharura ya shinikizo la damu inayotatiza sana. Matatizo hayo ni pamoja na upofu, kuvimba kwa ubongo, utendaji wa kiklonasi ulio katika hali ya kukazika au kuvutika na kutia kifafa, kuharibika kwa mafigo, edema ya mapafu, disseminated intravascular coagulation (kutoganda vizuri kwa damu). Shinikizo juu ya damu ikiathiri uja uzito: Dawa Ukunga na Elimuuzazi:[13]", "Liposuction\nLipo sanasana hutumika kwa kujaribu kubanilisha maumbile ya mwili. Upungufu wa uzito kutoka kwa lipo unaonekana kuingia ama kujitokeza kwa muda mchache) lakini kusababisha madhara ya muda mrefu. Baada ya miezi   kadhaa mafuta yanarudi na kutapakaa mwilini. Lipo haiwezi kusaidia watu walio na unene wa kupindukia unaotokana na sababu za kimetaboli kama vile upinzani wa insulini (insulin resistance). ", "Historia ya Wokovu\nKwa namna ya pekee inajibu kinaganaga maswali kuhusu wokovu: unapatikana kwa njia gani? Kwa nini Wayahudi wengi walishindwa kumuamini Yesu ili kuupata? Kwa nini mataifa yameupokea badala yao? Aliyepata wokovu anaishi vipi? Je, Wayahudi wametupwa moja kwa moja?", "Pwani na Bara ya Afrika Mashariki 1800-1845\nMeno ya ndovu na watumwa ndizo bidhaa zilizokuwa na faida kubwa zaidi kwa usultani wa Oman kwa sababu ya mahitaji yake makubwa ndani na nje ya nchi. Wayao, kikundi cha bara, walikuwa na mtandao wa biashara ya masafa marefu waliotumia kuleta pwani meno ya ndovu na watumwa. Shughuli zao zilienea kuzunguka ziwa Nyasa, na bidhaa zao zilifika pwani ya Zanzibar kupitia Kilwa Kivinje. Kwa hakika kukua kwa umaarufu na ustawi wa Kilwa Kivinje kulitokana na kuongezeka kwa mashirikiano ya kibiashara kati ya watu wa pwani na bara katika karne ya 19.", "Unene wa kupindukia\nFahamu za umma katika jamii ya Ulaya na Marekani kuhusu uzito bora wa mwili zinatofautiana na zile zinazohusu uzito unaofikiriwa kuwa bora  – na zote zimebadilika tangu mwanzo wa karne ya 20. Uzito unaochukuliwa kuwa bora umekuwa chini tangu miaka ya 1920. Marekani uliongezeka kwa asilimia 2 kutoka mwaka wa 1922 hadi 1999 ilhali wastani wa uzito wao ulipungua kwa asilimia 12. Kwa upande mwingine, mitazamo ya watu kuhusu uzito bora imebadilika na kuchukua mkondo pinzani. Nchini Uingereza, uzito ambapo watu walijiona kuwa na uzito wa kupita kiasi ulikuwa juu kwa kiasi cha haja katika mwaka wa 2007 kuliko 1999. Mabadiliko haya yanaaminika kusababishwa na viwango vinavyoongezeka vya uadiposi (unene), hali inayopelekekea ukubalifu wa mafuta ya ziada mwilini kama jambo la kawaida.", "Hamed bin Mohammed el Murjebi\nBabake alikuwa mfanyabiashara Mwarabu Muhammed bin Juma, mamake aliitwa Nyaso. Hamed aliingia katika shughuli za biashara tangu umri wa miaka 12 akafaulu katika biashara ya misafara kati ya Zanzibar na Kongo. Alipanga misafara ya mahamali waelfu akipeleka bidhaa kutoka Bagamoyo kupitia Tabora hadi Ujiji kwa Ziwa Tanganyika na ndani ya Kongo. Bidhaa alizobeba alitumia kujipatia pembe za ndovu na watumwa; watumwa walisaidia kubeba pembe za ndovu njia ya kurudi hadi pwani. Hemed alitajirika sana. Athira yake ilipanuka katika Kongo ya Mashariki hadi alitawala eneo kubwa sana.", "Nguruwe-kaya\nNguruwe wa nyumbani hutambulika kwa jina la kisayansi 'Sus scrofa'. Walianza kufugwa karibu miaka 5,000 mpaka 7,000 iliyopita. Walizaliwa na rangi ya kahawia na kuendelea kuwa wa kijivu. Meno chonge ya juu huwa kama ndovu za kipekee zilizopinda nje na kuelekea juu. Urefu wa nguruwe huweza kufikia milimita 900 – 1800 na uzito wa kg 50 – 350.", "Torati\n46 Je, mtapata tuzo gani kwa kuwapenda tu wale wanaowapenda ninyi? Hakuna! Kwa maana hata watoza ushuru hufanya hivyo!", "Ndovu\nNdovu au tembo ni aina za wanyama wenye umbo kubwa kupita wanyamapori wote. Watoto wake wakizaliwa hufikia kg 100 na ndovu mzima huwa na uzito wa tani 2 hadi 5; kimo ni hadi m 4.", "Mfuko wa backpack\nFremu husaidia kugawanya uzito wa mzigo kwa mfuko wote ili kusiwe na uzito mahala pamoja tu.\nHaswa fremu huweka uzito kwa miguu ya mbebaji na kuutoa kwa mabega ili asiende akaumia kwa uzito mwingi.", "Waraka kwa Waroma\nKwa namna ya pekee inajibu kinaganaga maswali kuhusu wokovu: unapatikana kwa njia gani? Kwa nini Wayahudi wengi walishindwa kumuamini Yesu ili kuupata? Kwa nini mataifa yameupokea badala yao? Aliyepata wokovu anaishi vipi? Je, Wayahudi wametupwa moja kwa moja?", "Hotuba ya mlimani\n\"Ndiyo maana nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula na kinywaji mnavyohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu. Je, maisha ni chakula tu au zaidi? Na mwili, je, si zaidi ya mavazi? ", "Ndovu\nKwa sababu ya ujangili wa ndovu ili kupata pembe zao aina za ndovu bila pembe zimetokea kwa mahali mbalibali, kaskazini kwa Msumbiji hasa. Ndovu hawa huitwa buda.", "Upara\nWakati mwingine pia mchakato wa homoni huweza kusababisha upotevu wa nywele kwa mwanamke. Baadhi ya mifano ni: uja uzito, kufikia kutoweza kuzaa, uwepo wa uvimbe wa ovari, dawa za kudhibiti upataji mimba na kiwango juu cha androjeni, dalili za vimbe nyingi za ovari. Pia matatizo ya tezi, anemia, ugonjwa sugu na baadhi ya dawa husababisha upotevu wa nywele kwa mwanamke .", "Kulungu pembe-nne\nMsimu wa kupandisha hudumu toka Mai mpaka Julai, na madume na majike kwa kawaida hubaki mbali kwa salio la mwaka. Mwenendo wao wa ubembe ni kuwa dume na jike kupiga magoti na kusukumana huku shingo zao kufungamana, yakifuatwa na dume kutamba. Kipindi cha kubeba mimba ni takribani miezi minane, halafu ndama mmoja au wawili huzaliwa. Wakati wa kuzaliwa, ndama wana urefu wa sm 42–46, na uzito wa kilo 0.74–1.1. Ndama hubaki pamoja na mama wao kwa mwaka moja, na huweza kuzaa wakiwa na umri wa miaka miwili.[1]", "Bagamoyo (mji)\nHasa kuhamia kwa makao ya Sultani wa Oman kuja Zanzibar kuliongeza umuhimu wa mwambao karibu na Unguja. Wafanyabiashara wa Zanzibar walikusanya bidhaa zao huko Unguja wakavuka bahari na kuajiri mahamali. Wakarudi miezi au miaka kadhaa baadaye wakileta pembe za ndovu na watumwa. Kwa njia hiyo Bagamoyo ilijulikana kama bandari kuu ya biashara ya watumwa kwenye pwani ya Afrika ya Mashariki katika karne ya 19. Watumwa wakasafirishwa kwa jahazi au dhau hadi Unguja wakiuzwa huko sokoni. ", "Nguruwe\nNguruwe wa nyumbani hutambulika kwa jina la kisayansi Sus scrofa. Walianza kufugwa karibu miaka 5,000 mpaka 7,000 iliyopita. Walizaliwa na rangi ya kahawia na kuendelea kuwa wa kijivu. Meno chonge ya juu huwa kama ndovu za kipekee zilizopinda nje na kuelekea juu. Urefu wa nguruwe huweza kufikia milimita 900 – 1800 na uzito wa kg 50 – 350.", "Al-Qaeda\nKatika mwaka wa 2007, karibu na maadhimisho ya sita ya 11 Septemba na miezi michache kabla ya \"Rationalizing Jihad\" kuonekana katika magazeti, ya Saudi Salman al-Ouda alitoa kemeo binafsi kwa Bin Laden. Al-Ouda, mwanachuo wa kidini na mmoja wa baba wa Sahwa, harakati ya kifandamentalisti iliyoamka na kuenea kote Saudi Arabia katika miaka ya 1980, ni mpinzani wa kuheshimiwa sana wa ujihadi. Al-Ouda alimuuliza kiongozi wa al Qaida kwenye televisheni\nNdugu yangu Osama, ni damu kiasi gani imemwagika? Watu wasio na hatia wangapi, watoto, wazee, na wanawake wameuawa ... katika jina la Al Qaeda? Je, utakuwa na furaha kukutana na Mwenyezi Mungu ukibeba mzigo wa hawa mamia ya maelfu au mamilioni [ya waathiriwa] nyuma yako? ", "Ndovu\nSpishi nyingine ya ndovu wa Afrika ni ndovu-misitu (Loxodonta cyclotis), ambao ni wadogo na wa mviringo kiasi, pembe zao zikiwa fupi kiasi na zilizonyooka kuliko tembo wa savanna. Tembo wa misituni hufikia mpaka uzito wa kg. 4500 na husikia urefu wa mita 3. Mambo mengi hayafahamiki kuhusu tembo hawa ukivilinganisha na tembo wa savanna, kutokana na mazingira wanamoishi. Mara nyingi huishi katika misitu ya Afrika, ile mizito nay a mvua, ya kati na magharibi mwa Afrika. Japo mara chache husogea mipakanai mwa misitu yao, na kuzaliana na tembo wa savanna.", "Mtemi Mirambo\nMirambo alitajirika kama mfanyabiashara ya pembe za ndovu na watumwa kwa njia ya misafara kati ya pwani ya Bahari Hindi na Kongo. ", "Hotuba ya mlimani\nJe, mtapata tuzo gani kwa kuwapenda tu wale wanaowapenda ninyi? Hakuna! Kwa maana hata watoza ushuru hufanya hivyo! " ]
79
Je rais Uhuru Kenyataa alikuwa mbunge wa wapi kabla ya kuwa rais?
[ "Uhuru Kenyatta\nKatika uchaguzi mkuu wa mwaka 2007 Uhuru alichaguliwa tena kama mbunge wa Garundu Kusini kwa tiketi ya KANU." ]
[ "Pierre Nkurunziza\nNkurunziza alizaliwa mwaka 1963 mjini Bujumbura katika familia ya kabila la Wahutu. Alisoma shule ya msingi kwenye mkoa wa Ngozi.\nBabaye Eustache Ngabisha alikuwa mbunge wa Burundi mwaka 1965 akaendelea kuwa mkuu wa mkoa katika mikoa miwili. Mzee aliuawa katika kipindi cha vita ya wenyewe kwa wenyewe mwaka 1972 pamoja na Warundi wengine 400,000 hivi.\nNkurunziza alikuwa mwalimu wa Chuo Kikuu cha Burundi wakati vita ya wenyewe kwa wenyewe ilianza baada ya kuuawa kwa rais wa kwanza aliyechaguliwa kutoka jamii ya Wahutu Melchior Ndadaye mwaka 1993.", "Wagikuyu\nMwaka 1961, Jomo Kenyatta aliachiliwa huru na kuwa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Kenya mwaka 1964. Tangu mwaka huo, Wakikuyu wametoa marais watatu wa Kenya, ikiwemo Emilio Stanley Mwai Kibaki na Uhuru Muigai Kenyatta.", "Raila Odinga\nRaila Amolo Odinga (*7 Januari 1945) ni mwanasiasa wa upinzani nchini Kenya na tangu 13 Aprili 2008 waziri mkuu nchini humo hadi 2013. Aliwahi kuwa mbunge tangu 1992 na waziri katika serikali ya rais Mwai Kibaki kati ya 2001 hadi 2005. Katika uchaguzi wa mwaka 2007 alikuwa mgombea wa urais upande wa Orange Democratic Movement (ODM). Ajulikana kote Kenya kwa jina la la kwanza Raila. Waluo wenzake hupenda kumwita \"Agwambo\".", "Uhuru Kenyatta\nKatika kura maalumu ya wananchi kuhusu katiba Uhuru alishikamana na viongozi wa LDP katika kambi ya Chungwa. Mipango yake ya kushiriki katika Orange Democratic Movement (ODM) yalipingwa vikali ndani ya chama kwa sababu wanaKANU pamoja na rais mstaafu Moi waliogopa kupotea kwa chama cha kwanza katika historia ya Kenya.", "John Aidan Mwaluko Kabudi\nJohn Aidan Mwaluko Kabudi ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Uteuzi wa rais kwa miaka 2015 – 2020.", "Ellen Johnson-Sirleaf\nEllen Johnson Sirleaf alizaliwa mjini Monrovia, mji mkuu wa Liberia, na elimu ya wazazi. Kabila lake ni nusu Gola kutoka upande wa baba yake, na robo Kru na robo Kijerumani kutoka upande wa mama yake.\nBabake Sirleaf Jahmale Carney Johnson, alikuwa mzaliwa wa Liberia wa kwanza kuweza kukaa katika mbunge la taifa.\nSirleaf alisoma maswala ya uchumi na akaunti katika Chuo Afrika Magharibi mjini Monrovia. Aliolewa na James Sirleaf akiwa na miaka 17 tu na kuhamia Marekani katika mwaka wa 1961 ambapo aliendelea na masomo yake katika chuo kikuu cha Colorado na kuhitimu na shahada ya digri. Alisomea maswala ya uchumi na sera za umma katika chuo Chuo Cha Maswala Ya Serikali ya John F. Kennedy, mjini Harvard katika miaka ya 1969 na 1971 na kupata shahada ya maswala ya serikali. Kisha alirudi Liberia na kufanya kazi chini ya rais William Tolbert.\nAlikuwa naibu waziri wa fedha kati ya mwaka wa 1972 na 1973. Alikuwa waziri wa fedha toka mwaka wa 1979 hadi Aprili 1980.\nAliweza kuwa naibu mwenyekiti wa benki ya CitiBank mjini Nairobi, Kenya kutoka mwaka wa 1983-1985. Aliwahi kufungwa mafungo ya nyumbani na Samule Doe aliyepindua serikali kwa kutangaza nia ya kugombea urais.\nBaadaye alienda uhamishoni.\nKati ya miaka ya 1986-1992 alikuwa makamu wa rais na mwanachama wa bodi ya benki ya Equator, Washington, DC. Kati ya miaka ya 1988-1999 alikuwa mbunge wa bodi ya wakurugenzi wa Taasisi ya Synergos. ALigombea urais kwa tiketi ya chama ya maungano(Unity Party) katika mwaka wa 1997 na kuwa", "Abdallah Saleh Possi\nAbdallah Saleh Possi ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge kwa Uteuzi wa rais kwa miaka 2015 – 2020.", "Mwanasheria Mkuu\nMwanasheria mkuu wa Tanzania anateuliwa na rais tu. Anaweza kuwa mbunge kutokana na wahifadhi wake na atashika madaraka yake mpaka uteuzi wake utakapofutwa na rais au mara tu kabla ya rais mteule kushika madaraka.", "Musalia Mudavadi\nKatika uchaguzi wa urais nchini Kenya mwaka 2002, Mudavadi alikuwa ni mgombea mwenza wa Uhuru Kenyatta. Pamoja na kuungwa mkono na rais aliyekuwa akimaliza muda wake, Moi, na mtandao mkubwa wa KANU, Kenyatta na Mudavadi walishindwa uchaguzi, Kenyatta hakuchaguliwa kuwa rais na Mudavadi alipoteza kiti cha ubunge wa Sabatia.", "Asha-Rose Mtengeti Migiro\nChini ya rais Benjamin Mkapa Migiro alikuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Alikuwa mbunge kwa njia ya kiti maalumu cha wanawake.", "Meno kunyoosha\nKabla ya kupata tabasamu hiyo nzuri, ni muhimu kuwa na wakati mzuri. \"Mark Jones, DDS, ana daktari wa meno huko Norwalk, Connecticut. Hapa ni kwa nini ni muhimu sana, \"Madaktari wa meno Mara nyingi kuona watu kwa kinywa kamili ya mashimo nani wanataka kinywa weupe kabla Wao Je kinywa afya,\" anasema John Mullins, DDS, meno ya msingi katika Southwest Nebraska. \"Lengo la kama huna kushughulikia masuala Thesis wewe-na maumivu na unyeti Unapojaribu bleach.\" Usikose Thesis kila siku makosa 30 unaweza kuwa na kufanya Kwamba ni Kuharibu meno yako.", "Uhuru Kenyatta\nMkutano mkuu wa KANU katika mwezi Oktoba 2002 uliitikia mapenzi ya rais ukamtangaza Uhuru kama mgombea wa urais.", "Benito William Malangalila\nBenito William Malangalila (amezaliwa tar. - ) ni mbunge wa jimbo la Mufindi Kusini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania. Anatokea katika chama cha CCM. Alikuwa Mbunge wa jimbo la Mufindi kusini (ccm) 2005-2010,alipoamua kustaafu na kumwachia mbunge wa Sasa Bw Menderady Kigolla (CCM) hata hivyo mbunge huyo kabla na baada ya kustaafu alikuwa akiugua mara kwa mara na muda wote toka alipoamua kuachana na siasa alikuwa akiugua na kujipumzisha nyumbani kwake.", "Uhuru Kenyatta\nUhuru Muigai Kenyatta (amezaliwa 26 Oktoba 1961) ni mwanasiasa nchini Kenya ambaye amekuwa rais wa nne na wa sasa wa Jamhuri ya Kenya. Baada ya kuongoza nchi, ameshinda uchaguzi mkuu wa Agosti 2017 lakini mahakama kuu ikaamua na kuamuru na kudai urudiwe, marudio ambayo licha ya kujiondoa kwa mpinzani wake mkuu Raila Odinga, Kenyatta aliibuka mshindi kwa asilimia tisini na nane. Hatimaye alitangazwa rasmi kuwa mshindi na kuapishwa kwa kipindi chake cha pili kwa mujibu wa sheria.", "Robert Ouko\nMuda mfupi kabla ya uhuru wa Kenya mnamo 1963 alifanya kazi kama Katibu msaidizi katika ofisi ya Gavana. Punde alipandishw kuwa Katibu mkuu katika Wizara ya Kazi. Baadaya kuporomoka kwa Muungani wa Afrika Mashariki, Ouko aliteukiwa kuwa mbunge na akachaguliwa kuwa Waziri wa Mipango ya Kiuchumi na Maswala ya Kijamii[2]. Alichaguliwa kama mbunge katika Uchaguzi Mkuu wa 1979 kuwakilisha Jimbo la Uchaguzi la Kisumu Rural na akakihifadhi kiti hicho mnamo katika Uchagizi Mkuu wa 1983. Katika uchaguzi wa 1988 alihamia Jimbo la Uchaguzi la Kisumu Town (Baadaye lilitawanyawa kuwa Kisumu Town Mashariki na Kisumu Town Magharibi) na hapo alichaguliwa tena kama mbunge[3]. Ouko alikuwa akiwakilisha Chama cha KANU, ambacho kilikuwa chama cha pekee kilichokubaliwa na Sheria.", "Alan Paton\nMnamo mwaka wa 1948, miezi mine baada ya kuchapishwa kwa \"Lia, Nchi Inayopendwa\", chama cha utengano cha Kimataifa kilichukua mamalaka nchini Afrika Kusini. Mnamo mwaka wa 1953 Paton alianzisha chama cha Uhuru Cha Afrika Kusini, ambacho kilipambana na sheria za ubaguzi wa rangi zilizoanzishwa na Chama cha Kimataifa. Libaki kama rais wa chama hicho hadi wakati kilipolazimishwa kuvunjwa na serikali ya ubaguzi katika miaka ya 1960, kwa sababu wanachama wake walikuwa weusi na weupe. Paton alikuwa rafuiki yake Bernard Friedman, mwanzilishi wa Chama cha Maendeleo (Afrika Kusini) . Rafiki ya Paton aliyekuwa mwandishi Laurens van der Post, aliyekuwa amehamia Uingereza katika miaka ya 1930, alikisaidia chama kwa njia nyingi.\nVan der Post alijua kuwa Majeshi ya Kijasusi ya Afrika Kusini yalijua kuwa alikuwa akimlipa fedha Paton, lakini haingeweza kukomesha shughuli hiyo kupitia njia halali za kisheria. Paton mwenyewe alifahamika kwa upinzani wake wa amani dhidi ya mfumo wa ubaguzi wa rangi, kama tu watu wengi katika chama chake, ingawa wachache walitumia njia ya moja kwa moja, ya vurugu. Kutokana na hayo, chama kilitazamwa kama mtenda mbaya kwa sababu ya matukio haya. Pasipoti ya Paton ilinyakuliwa aliporudi kutoka New York mnamo mwaka wa 1960, ambapo alikuwa amepewa Tuzo la Kila Mwaka la Utetezi wa Uhuru. Pasipoti hiyo ilirudishwa tuu baada ya miaka kumi. Paton alistaafu katika eneo la mlima wa Botha, ambapo aliishi hadi kifop chake. Anakumbukwa katika eno la Uhuru la Shirika la Uhuru la Kimataifa.", "Philip Isdor Mpango\nPhilip Isdor Mpango ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge kwa Uteuzi wa rais kwa miaka 2015 – 2020.", "Raila Odinga\nAlizaliwa 1945 katika familia ya Waluo akiwa mtoto wa chifu Jaramogi Oginga Odinga aliyekuwa makamu wa rais wa kwanza nchini Kenya. Baba yake alikuwa kiongozi mkuu wa Waluo akatazamiwa baadaye kama mpinzani mkuu wa rais wa kwanza Jomo Kenyatta. Kaka yake Raila, Oburu Odinga amekuwa mwanasiasa na mbunge vilevile.", "National Development Party of Kenya\nLakini katika Oktoba 2007 farakano kubwa likatokea ndani ya KANU baada ya rais Moi kumteua Uhuru Kenyatta kama mfuasi wake. Raila aliondoka katika KANU akifuatwa na kundi lake la NDP ya awali. Kundi ka NDP liliondoka pamoja na wanaKANU waliosikitika uteuzi wa Uhuru Kenyatta.", "Illinois\nRais wa 16 wa Marekani Abraham Lincoln Rais wa 18 wa Marekani Ulysses S. Grant Rais wa 40 wa Marekani Ronald Reagan Mchoraji na mkurugenzi wa filamu Walt Disney Hillary Clinton seneta wa New York na mke wa rais Bill Clinton Rais wa 44 wa Marekani Barack Obama alikuwa seneta wa Illinois kabla ya kuwa rais.", "Rais wa Marekani\nBaada ya vita, na katika mwitikio Roosevelt's shattering ya watangulizi, wa Twenty-pili Marekebisho mara ratificerat, barring yeyote kuchaguliwa rais zaidi ya mara mbili au mara moja kama mtu aliwahi kuwa zaidi ya nusu ya rais mwingine muda mrefu. Harry S. Truman, ambaye alikuwa rais wakati marekebisho antogs, na hivyo kwa marekebisho ya vifungu ruhusa kutoka juu yake, pia walitaka ufupi tatu (a pili kamili) avskaffandet kutoka mrefu kabla ya uchaguzi wa 1952.", "Gatundu\nMbunge wa eneo hili ni Moses Kuria (pia MK). Rais wa sasa wa Jamuhuri ya Kenya, Uhuru Muigai Kenyatta, alikuwa mbunge wa eneo hili miaka 2002-2013.", "Uhuru Kenyatta\nMwaka 1999 rais Daniel arap Moi alimpa cheo cha mwenyekiti wa bodi ya utalii. Moi aliendelea kumpandisha ngazi kwa kumpa nafasi ya mbunge wa kitaifa na waziri msaidizi.", "Jomo Kenyatta\nBaadaye alioa mke wa tatu aliyeitwa Mama Ngina Kenyatta ambaye alikuja kuwa mke wa rais wa kwanza na ambaye ndiye mama yake Uhuru Kenyatta, rais wa sasa.", "Gatundu\nGatundu ni mji uliopo eneo la kati la Kenya katika Kaunti ya Kiambu. Mji huu una umaarufu kwa kuwa rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta na mwana wake rais Uhuru Kenyatta, waliishi karibu na hapa. Unapatikana juu ya kilima kilichozingirwa na Mto Thiririka na Mto Muthurumbi. ", "Uhuru Kenyatta\nJuni 2007 Uhuru alionyesha wazi ya kwamba alitaka kuacha ushirikiano na ODM kwa kutopeleka jina lake kati ya wagombea wa urais upande wa ODM. Badala yake alieleza ya kuwa atampigania rais Kibaki achaguliwe tena.", "Historia ya Kenya\nKatiba haikumruhusu Rais Moi kukimbilia urais kwa muda mwingine. Moi aliamua kumpa Uhuru Kenyatta fursa ya kugombea urais katika uchaguzi wa Desemba 2002, kwa kumfanya awe mrithi wake. Muungano wa Rainbow wa vyama vya upinzani ulikishinda chama tawala cha KANU, na kiongozi wake, aliyewahi kuwa makamu wa rais Moi, Mwai Kibaki, akachaguliwa kama rais.", "Carlos Ruckauf\nYeye alikuwa Waziri wa Leba katika serikali ya Isabel Perón kabla ya mapinduzi ya kijeshi ya Machi 1976,alitia saini amri ya 261/75 iliyoamrisha \"kuangamizwa kwa watu\" na kuanzisha kilichitwa \"Vita Vichafu\". Baada ya mwaka wa 1983,uanzishaji tena wa serikali wa raia, Carlos alikuwa Waziri wa Ndani kisha akawa naibu wa rais wa Argentina mnamo Julai 1995 katika serikali ya Carlos Menem na akabaki katika ofisi hiyo hadi Desemba 1999, serikali ya Menem ilipotoka uongozini. Katika uchaguzi wa 1999, alichaguliwa kuwa gavana wa jimbo la Buenos Aires.", "Joel Nkaya Bendera\nAlihudumia kama Mkuu wa Mikoa ya Morogoro na Manyara. Mwezi wa Oktoba 2017 alistaafishwa na rais John Magufuli akaendelea kuwa mbunge wa Tanga hadi kifo chake." ]
44
Je,ziwa kubwa zaidi Kenya ni gani?
[ "Ziwa Viktoria\nZiwa Viktoria (pia: Viktoria Nyanza, Ziwa Nyanza) ni ziwa kubwa la Afrika ya Mashariki lililopo baina ya Tanzania, Kenya na Uganda. Ni ziwa kubwa kuliko yote barani Afrika, na la pili duniani, baada ya Ziwa Superior ambalo lipo Amerika ya Kaskazini." ]
[ "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "Tusker (pombe)\nTusker ndiyo bidhaa kuu ya East African Breweries iliyo na zaidi ya asilimia 30% ya soko Kenya ya bia ikiuzwa zaidi ya hektolita 700.000 kwa mwaka. Tusker ndiyo bia kubwa katika kundi la makampuni Diageo ..[1] Iliuzwa mara ya kwanza katika mwaka wa 1923, muda mfupi baada ya mwanzilishi wa Kenya Breweries Ltd, George Hurst, aliuawa na tembo wakati wa ajali uwindaji . Ilikuwa mwaka huu kwamba alama ya tembo , iliwekwa katika chupa ya pombe ya Tusker Lager. Msemo \"bia Yangu, Nchi Yangu\", maana yake \"My Beer, My Country\" katika kimombo.", "Kipoland\nco? - nini?\nkto? - nani?\ngdzie? - mahali gani?\ndokąd? - wapi?\nkiedy? - hini?\njak? - vipi?\ndlaczego? - kwanini?\nktóry? - ipi?", "Kundi la AccessKenya\nKundi linajumuisha AccessKenya(kampuni ya Kenya inayoongoza kwa huduma ya mtandao) , Broadband Access (BLUE)(mojawapo ya kampuni kubwa zinazohusishwa na data) na sasa Openview Business Systems. Kundi sasa lina zaidi ya kampuni 2400 za Kenya zinazolipia huduma za mtandao za waya,inaajiri zaidi ya watu 275 na ina ofisi za Nairobi na Mombasa pamoja na uwakilishi katika Kisumu, Eldoret, Nakuru na Nyeri.", "AFC Leopards\nAFC Leopards SC ina wafuasi wengi tofauti, ambao wanaupinzani mkubwa na vilbu vingine, hasa Gör Mahia.\nInaweza kupingwa kuwa klabu hii ndiyo kubwa zaidi na maarufu nchini Kenya na Afrika ya Mashariki – lina wafuasi waliokadiriwa kuwa milioni 6 nchini Kenya. Mashabiki hawa wanajumuishwa katika matawi ya wafuasi yaliyoenea kote nchini. Hata hivyo, ufuasi na umaarufu wake unapita mipaka ya Kenya hadi wa bara zima sansana Afrika ya Mashariki na Kusini mwa Afrika. Kiakili, klabu maarufu zaidi Kenya na Afrika ya Mashariki kamwe halijwahi kucheza mechi ya ugenini - AFC Leopards SC hupata wafuasi zaidi katika mechi za ugenini kuliko timu za upinzani za nyumbani..Hata kwa sasa bado klabu hii inadumisha wastani wa juu zaidi wa kutazamwa na wafuasi wao kuliko vilabu vingine vyote vya Ligi Kuu ya Kenya.Mechi yao ya kwanza waliporudi katika Ligi Kuu mwaka wa 2009 ilibidi isimamishwe kwa sababu ya uhaba wa usalama ulyosababishwa kwa kuanguka kwa mzunguko kutokana na umati wa wafuasi wake ndani na nje ya uwanja.", "Benki ya Kenya Commercial Bank\nBenki ya KCB ina zaidi ya matawi 150 kote nchini kenya, yanayoifanya iwe benki yenye mtandao mkubwa zaidi katika kanda hiyo. Ndiyo benki inayomiliki mitambo ya ATM yenye rajamu yake mingi zaidi nchini kenya. Tangu mwaka 2004 matawi yote nchini Kenya yamewekwa rajamu upya kama sehemu zoezi kubwa la kuipatia benki hiyo rajamu upya. Benki ya KCB imeshirikiana na Pesa Point ili kuongeza idadi ya vituo vya mitambo ya ATM ambayo wateja wanaweza kujichukulia pesa zao.", "Kenya Commercial Bank (Uganda)\nKenya Commercial Bank (Uganda) ni mwanachama wa makampuni ya KCB Group. Makampuni haya ni:KCB Group ndio kundi kubwa zaidi ya huduma za kifedha katika Afrika Mashariki, pamoja na wigo wa mali zaidi ya juu US $ 2.5. Kotoka Julai 2009, KCB Group ina mtandao wa mkubwa zaidi wa matawi ya benki likijumuisha zaidi ya matawi 180 nchini Kenya, Rwanda, Sudan Kusini, Tanzania na Uganda.", "Kenya Commercial Bank\nKenya Commercial Bank (KCB) ni kati ya benki kubwa za Kenya. Makao makuu yapo Nairobi.", "Hakuna matata\nJambo, Jambo Bwana, habari gani? Mzuri sana!", "Mlima Kenya\nMlima Kenya hushuhudia misimu miwili tofauti, misimu ya joto na misimu ya mvua, kama maeneo mengine ya Kenya.[40] Miteremko ya mashariki kaskazini hupata mvua kubwa zaidi kwa kuwa uko katika upande wa pepo za kusi ambazo huleta mvua kutoka Bahari Hindi. Mvua hii huwezesha msitu uliosongamana katika upande huo. Katika miinuko ya juu, usimbishaji hufanyika kama theluji na kutengeneza barafuto.[41]", "International School of Kenya\nInternational School of Kenya ni shule ya kimataifa inayofunza wanafunzi kuanzia darasa la chekechea hadi darasa la 12. Shule hii iko nje ya jiji la Nairobi, Kenya. Ilianzishwa mwaka wa 1976 iliyojengwa katika uwanja wa hekta 25. Wanafunzi wanaweza kusomea mfumo wa elimu wa diploma ya Amerika ya Kaskazini au diploma ya International Baccalaureate. Shule hii inatambulika na MSA, na ni shule kubwa zaidi ya kimataifa mjini Nairobi. Shule hii pia ni mwanachama wa Chama cha Association of International Schools in Africa (AISA).", "Historia ya Wokovu\nKwa namna ya pekee inajibu kinaganaga maswali kuhusu wokovu: unapatikana kwa njia gani? Kwa nini Wayahudi wengi walishindwa kumuamini Yesu ili kuupata? Kwa nini mataifa yameupokea badala yao? Aliyepata wokovu anaishi vipi? Je, Wayahudi wametupwa moja kwa moja?", "Wakamba\nWakamba ni kabila kubwa la watu wa Kenya wakikalia eneo la Ukambani kati ya Nairobi, Voi na kati ya mlima Kenya na mlima Kilimanjaro. Wakamba ni kabila kubwa la nne nchini Kenya.", "Tala, Kenya\nTala ni mji wa Kenya katika kaunti ya Machakos. Umeunganika na Kangundo katika halmashauri moja kubwa (ya tisa nchini).", "Jumuiya ya Afrika Mashariki\nLugha kubwa zaidi katika Mtangamano ni Kiswahili, ambacho kutoka pwani ya Kenya na Tanzania kimeenea kwa namna moja au nyingine katika nchi zote sita na nje yake pia. Lugha rasmi ni Kiingereza pia. Lugha nyingine muhimu ni kama vile Kirundi na Kinyarwanda, ingawa Kifaransa kimeenea pia.", "Waluhya\nKatika Kenya kuna koo 18, Uganda koo 4 na Tanzania ukoo mmoja wa Kiluhya. Koo kubwa zaidi ni Wabukusu, Wamaragoli, Wawanga, Wanyore, Waidakho, Wakisa, Waisukha, Watiriki, Wakabras, Wagisu na Wasaamia.", "Kinyarwanda\nMuraho = Habari gani?", "Kiteso\nHabari --- yoga \nU hali gani? --- Ijai biai \"(umoja)\" \nIjaasi biai \"(wingi)\" \nSalama salmini, na wewe je? Ejokuna, arai ijo? \nNjema --- ejokuna \nWaitwaje? --- \nIngai bo ekon'kiror? \nJina langu ni ... ---\nEka'kiror ... \nJina ---\nEkiror \nNi vizuri kukujua. ---\nEyalama ewanyun \"(pia:\" Eyalama aanyun) \nTutaonana baadaye tena ---\nAwanyunos Bobo \nKitabu --- Eitabo \nSababu --- Naarai", "Wakisii\nWakisi wanajulikana kama mojawapo ya jamii zinazojishughulisha zaidi kenya, waliobarikiwa na mashamba makubwa ya chai, kahawa na mashamba ya ndizi. Hata hivyo, wilaya ya Kisii ina msongamano mkubwa sana wa watu. Ni moja ya maeneo yaliyo na watu wengi sana nchini Kenya (baada ya miji ya Nairobi na Mombasa), na yenye watu wengi zaidi katika maeneo ya mashambani. Pia ina moja ya idadi kubwa zaidi ya uzalishaji nchini kenya(kama inavyothibitishwa na mfululizo wa demographia na utafiti). Idadi ya uzalizashi katika jamii ya makisii ni mojawapo ya za juu zaidi ulimwenguni, (angalia \"Kenya Conundrum: A Regional Analysis of Population Growth and Primary Education (Paperback) by Juha I. Uitto [Mwandishi]). \" Mambo haya yamefanya wakisii kuwa miongoni mwa jamii zilizoenea zaidi kijiografia katika Afrika Mashariki. Idadi kubwa ya wakisii pia imeenda ugenini kutafuta masomo ma maisha mazuri zaidi.\nWakisii ni baadhi ya Wakenya wengi zaidi kuwakilishwa katika vyuo vikuu vya kigeni (kawaida India na Marekani).\nMajina kama Mogeni, Bogonko, Osebe, Bosire, Moseti, Onkoba, Onchiri, Isaboke, Kiberi, mogaka na wengine ni majina ya familia ya kawaida tu kama Smith na Johnson katika tamaduni za Anglo-Saxon. Majina ya kike kama Moraa, Nyanchama, Nyaboke, Kemunto, Kwamboka, Kerebi na mengine pia ya kawaida yaliyopewa wasichana.", "Elimu nchini Kenya\nIngawa Kenya ina vyuo vikuu yake, baadhi ya wazazi huchagua kupeleka watoto wao katika nchi mbalimbali za kigeni. Wengi wanaamini kwamba Uingereza ina vyuo vikuu bora, na kwamba itakuwa fursa kubwa kwa watoto wao kuhudhuria chuo kikuu huko. Vyuo vikuu vya Kenya pia ni vigumu zaidi kujiunga navyo kutokana na mahitaji makubwa sana ya elimu ya juu na kuwepo kwa nafasi chache kwa wanafunzi kujiunga navyo.", "Dameski\nHakuna huduma kubwa za usafirishaji. Kuna njia za basi ndogo. Wakazi wa mji wanategemea “microbus.” Microbus ni kama matatu ya Kenya au daladala za Tanzania. Huko Dameski, kuna njia zaidi ya mia moja ya microbus zinazokwenda kila mahali mjini.", "Inesha\nMasi kubwa zaidi huwa na inesha kubwa zaidi na inahitaji nguvu kubwa zaidi kwa kubadilisha mwendo wake. Tunaiona kwa urahisi tukijaribu kusukuma baisikeli, gari au lori: masi zake ni tofauti, hivyo nguvu inayohitajika kuzisukuma au kuzisimamisha inatofautiana.", "Gideoni\n\"Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani?\nTazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase,\nna mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu\".", "Kenya Data Networks\nKenya Data Networks (KDN), ni kampuni binafsi ya mawasiliano ya data nchini Kenya Ndiyo kubwa zaidi ya kuwasilisha data mtoa na miundombinu nchini Kenya. KDN inaendesha mchanganyiko wa \"microwave radio\" na viungo miungano ya \"fibre optic\" huduma za kuwasilisha ya tabaka la pili (\"Ehternet, Frame Relay\") kwa wateja wao. Aidha, KDN huweka na kuhifadhi idadi \"gateway\" ya intaneti ya kimataifa, ambayo huuzia kwa wateja wke kama vile \"ISP\", yaani wanao wasilisha intaneti.", "Mlima Kenya\nMlima Kenya ni eneo kuu la vyanzo vya maji vya mito miwili mikubwa nchini Kenya; Mto Tana na Mto Ewaso Ngiro Kaskazini.[6] Mfumo wa ekolojia wa Mlima Kenya hupatia watu zaidi ya milioni 2 maji.[6] Wiani wa vijito ni kubwa hasa katika miteremko ambayo haijawahi kuwa na barafuto.[31] Vijito na mito inayoanza Mlima Kenya humwaga maji ndani ya Mto Sagana, Mto Tana na Mto Ewaso Ngiso Kaskazini moja kwa moja au kupitia mito mingine. [31][32]", "Kutoka (Biblia)\nWaisraeli walitakiwa watambue historia yao si kama kusanyiko la masimulizi ya matukio, bali kama ufunuo wa tabia ya Mungu. Yeye kwao alikuwa nani, aliwafanyia nini, naye aliwatazamia wafanye mambo gani? ", "Benki ya Kenya Commercial Bank\nBenki ya Kenya Commercial Bank (KCB) hutoa huduma za fedha na ina makao yake makuu jijini Nairobi, Kenya. Ni miongoni mwa benki tatu kubwa za kibiashara nchini Kenya na ina rasilimali ya zaidi ya dola za kimarekani bilioni 2. benki zingine mbili za kibiashara kubwa ni benki ya Barclays ya Kenya na benki ya Standard Chartered Bank ya Kenya.", "Yosefina Bakhita\nSaa za mwisho akili yake ilirudia mateso ya utumwani akalia, \"Minyororo inanibana mno, muilegeze kidogo, tafadhali!\". Alipozinduka, aliulizwa: \"U hali gani? Leo ni Jumamosi\". \"Ndiyo, nina furaha iliyoje: Bibi yetu... Bibi yetu!\". Ndiyo maneno yake ya mwisho. \nBakhita alifariki saa 2:10 usiku tarehe 8 February 1947. Siku tatu mfululizo watu waliandamana kuheshimu masalia yake kabla hajazikwa.", "Airbus A380\nAirbus A380 (pia inaitwa \"Super-jumbo-jet\") ni ndege ya injini nne, yenye sakafu mbili, iliyotengenezwa na kampuni ya Airbus. Ndiyo ndege ya abiria iliyo kubwa zaidi duniani, kubwa kuliko Boeing 747 Jumbo Jet. Hata hivyo, siyo ndege kubwa zaidi duniani; maana Antonov An-225 ni kubwa zaidi.", "Benki ya Kenya Commercial Bank\nKampuni za KCB Group ndiyo kampuni kubwa zaidi ya huduma za fedha katika Afrika Mashariki na yenye rasilimali inayokadiriwa kuwa dola za kiamrekani zaidi ya bilioni US $ 2,5. Kufikia Machi mwaka 2009, kampuni ya KCB ilikuwa imeenea zaidi na ilikuwa na matawi zaidi ya 170 nchini Kenya, Rwanda, Sudan Kusini na Tanzania yaliyotoa huduma za fedha." ]
33
Je Oslo ni mji mkubwa wa nchi gani?
[ "Oslo\nOslo ni mji mkuu wa Norwei pia mji mkubwa nchini mwenye wakazi 590,041(1.403.268) 2010). Rundiko la mji lina wakazi zaidi ya milioni.", "Norwei\nUnowe (au Norwe au Norwei; kwa Kinorwei Norge/Noreg au rasmi huitwa Kongeriket Norge kwa Bokmål na Kongeriket Noreg kwa Nynorsk, Ufalme wa Unowe) ni nchi ya Skandinavia katika Ulaya ya Kaskazini." ]
[ "Kisangani\nKisangani ni mji mkubwa wa mashariki mwa Kongo wenye wakazi zaidi ya 1,600,000. Ni mji mkubwa wa tatu wa nchi hiyo.", "Oslo\nJengo mashuhuri la mji ni boma la Akershus lililojengwa kuanzia mwaka 1290.", "Belfast\nBelfast ni mji mkuu wa Eire ya Kaskazini na mji mkubwa wa nchi hii mwenye wakazi 267,500.", "Jiji\nJiji ni mji mkubwa. Kuna tofauti kati ya nchi na nchi ni sifa gani pamoja na ukubwa gani zinazofanya mji kuwa mji mkubwa au jiji.", "Lagos\nLagos ni mji mkubwa wa Nigeria. Ilikuwa mji mkuu wa nchi hadi mwaka 1991.", "Hamhung\nHamhung (Kikorea: 함흥) ni mji nchini Korea Kaskazini. Ni mji mkubwa wa pili katika nchi wa Korea Kaskazini. Kuna wakazi 768,551. ", "Chongjin\nChongjin (Kikorea: 청진) ni mji nchini Korea Kaskazini. Ni mji mkubwa wa tatu katika nchi wa Korea Kaskazini. Kuna wakazi 327,000.", "Bisau\nBisau ni mji mkuu wa nchi ya Guinea Bisau ikiwa na wakazi 190,000. Bisau ni mji mkubwa wa nchi na kitovu wa utawala, biashara na viwanda. \nBiasharanje inapita bandari ya Bisau hasa ni ubao, karanga, mafuta ya mawese na mpira. ", "Lisbon\nLisbon (kwa Kireno: \"Lisboa\") ni mji mkuu wa Ureno, pia mji mkubwa wa nchi wenye wakazi 560,000; pamoja na rundiko la mji ni milioni mbili.", "Guadalajara, Jalisco\nGuadalajara ni mji mkuu na pia mji mkubwa katika jimbo la Jalisco. Ni mji upande wa kati ya jimbo na magharibi ya nchi Mexiko. Idadi ya wakazi ni 1,579,174, pamoja na mitaa ya jirani rundiko la mji lina wakazi 4,095,174. Guadalajara ni mji mkubwa wa pili nchini Mexiko. Uneo lake ni 151 km².", "Manama\nManama ni mji mkuu wa Bahrain pia mji mkubwa wa nchi mwenye wakazi 150.000. Iko katika kaskazini ya nchi ambako kuna ardhi yenye rutba kiasi tofauti na jangwa tupu katika kusini.", "Södertälje\nSödertälje ni mji nchini Uswidi. Kuna wakazi 60,279 (mwaka 2005). Ni mji mkubwa wa kumi na tano katika nchi wa Uswidi", "Nampho\nNampho (Kikorea: 남포특별) ni mji nchini Korea Kaskazini. Ni mji mkubwa wa nne katika nchi wa Korea Kaskazini. Kuna wakazi 455,000.", "Oslo\nOlso iko kwenye mwisho wa kaskazini wa fyord ya Oslo (fyord ni jina la hori ndefu na nyembamba za pwani la Norwei). Visiwa 40 ni sehemu ya eneo la mji. Mahali pa juu ni mlima wa Kirkeberget mwenye kimo cha mita 629. Kuna misitu mingi ndani ya eneo la mji huu.", "Nassau (Bahamas)\nNassau ni mji mkuu wa Bahamas ambayo ni nchi ya visiwani katika Atlantiki mbele ya mwambao wa Kuba na Florida. Nassau ina wakazi 210,832 ni pia mji mkubwa wa nchi hii ndogo. Iko kwenye kisiwa cha New Providence.", "Sydney\nSydney ni mji wa pwani ya mashariki katika nchi ya Australia. Sydney ni mji mkubwa wa New South Wales. Takribani watu milioni 4 wanaishi katika mji wa Sydney na ndio mji mkubwa kabisa nchini Australia. ", "Cardiff\nCardiff ni mji mkuu wa Welisi na mji mkubwa wa nchi hii mwenye wakazi 346,090 (2011).", "London\nLondon ni mji mkuu wa Uingereza na mji mkubwa wa nchi hii wenye wakazi milioni 7.5. Kwenye rundiko la mji idadi ya watu ni karibu milioni 14.", "Oslo\nKumbukumbu za Norwei ziandai ya kwamba mji uliundwa na mfalme Harald III manmo mwaka 1048 lakini wataalamu wa akiolojia wamekuta makaburi ya kikristo yanayotangulia tarehe hii.", "Madrid\nMadrid ni mji mkuu wa Hispania pia mji mkubwa wa nchi mwenye wakazi 3,129,600 na pamoja na rundiko la mji milioni 5.8.", "Beida\nAl Bayda au Beida (Kar البيضاء \") ni mji mkubwa wa tatu nchini Libya na mji mkubwa wa pili katika sehemu ya mashariki. Na wakazi wa 2010 (250.000 watu).\nWalikuwa katika serikali ya zamani wa kifalme katika mji mkuu wa nchi hiyo.", "Jönköping\nJönköping ni mji nchini Uswidi. Ni mji mkubwa wa tisa katika nchi wa Uswidi. Jönköping ni mji mkuu wa mkoa ya Småland. Kuna wakazi 125,154 (mwaka 2005).", "Gyumri\nGyumri (Kiarmenia: Գյումրի, pia unajulikana kwa majina ya Kirumi kama Kumayri, Kümri, Gumry, Gumri, Gimri, Kyumayri, na Kyumri) ni mji mkuu na mkubwa wa Mkoa wa Shirak kaskazini-magharibi mwa nchi ya Armenia. Upo takriban kilomita 120  kutoka mji mkuu wa nchi Yerevan, na idadi ya wakazi wapatao 168,918 (2008; kutoka 150,917 ilivyoripotiwa kwenye sensa ya mwaka wa 2001, na kuufanya uwe mji mkubwa nchini Armenia.", "Umeå\nUmeå ni mji nchini Uswidi. Ni mji mkubwa wa kumi na mbili katika nchi wa Uswidi. Umeå ni mji mkuu wa mkoa ya Västerbotten. Kuna wakazi Emelie Vestin (mwaka 2005).", "Seongnam\nSeongnam (Kikorea: 성남) ni mji nchini Korea Kusini. Ni mji mkubwa wa tano katika nchi wa Korea Kusini. Kuna wakazi 981.390. ", "Mji mkuu\nMji mkuu kwa kawaida ni mji wenye makao makuu ya serikali ya nchi fulani. Katika nchi nyingi mji huo ni pia mji mkubwa na muhimu zaidi kushinda miji mingine nchini. Huo ni sehemu yenye maendeleo makubwa sana katika nchi yoyote: ina kila huduma muhimu na miundombinu iliyo bora. Mfano: nchini Tanzania mji mkubwa ni Dar es Salaam, ingawa makao makuu ni Dodoma.", "Yangon\nYangon (pia:Rangun) ni mji mkubwa wa Myanmar. Ilikuwa mji mkuu wa nchi hadi 2005.", "Casablanca\nCasablanca (Kihispania \"nyumba nyeupe\",tamka kasablanka, ar.| ad-Dār al-Bayḍā’) ni mji mkubwa zaidi nchini Moroko. Ni mji wa bandari uliopo kwenye magharibi ya nchi mwambaoni wa Bahari Atlantiki. Pia ni mju mkubwa kabisa wa nchi za Maghrib na kati ya miji muhimu zaidi kwenye bara la Afrika.", "Stockholm\nStockholm (pia Stokolimi) ni mji mkuu wa Uswidi na pia mji mkubwa wa nchi hito wenye wakazi 864,324 (31 Desemba 2011) ambao pamoja na rundiko la mji ni watu milioni 1.3." ]
38
Ukraine iko na idadi ngapi ya watu?
[ "Ulaya\nJina la nchi au eneo, benderaEneo (km²)Wakazi (mnamo Julai 2002 takriban)Wakazi kwa km²Mji Mkuu Ulaya ya Mashariki: Belarus207,60010,335,38249.8Minsk Bulgaria110,9107,621,33768.7Sofia Ucheki78,86610,256,760130.1Praha Hungaria93,03010,075,034108.3Budapest Moldova33,8434,434,547131.0Kishineu Poland312,68538,625,478123.5Warshawa Romania238,39121,698,18191.0Bukarest Urusi (2)3,960,000106,037,14326.8Moscow Slovakia48,8455,422,366111.0Bratislava Ukraine603,70048,396,47080.2Kiev Ulaya ya Kaskazini: Denmark43,0945,368,854124.6Kopenhagen Estonia45,2261,415,68131.3Tallinn Visiwa vya Faroe (Denmark)1,39946,01132.9Tórshavn Finland337,0305,183,54515.4Helsinki Guernsey (3)7864,587828.0St Peter Port Iceland103,000279,3842.7Reykjavík Eire (Ireland )70,2803,883,15955.3Dublin Kisiwa cha Man (3)57273,873129.1Douglas Jersey (3)11689,775773.9Saint Helier Latvia64,5892,366,51536.6Riga Lituanya65,2003,601,13855.2Vilnius Norwei324,2204,525,11614.0Oslo Visiwa vya Svalbard and Jan Mayen (Norway)62,0492,8680.046Longyearbyen Uswidi449,9648,876,74419.7Stockholm Uingereza (Ufalme wa Maungano)244,82059,778,002244.2London Ulaya ya Kusini: Albania28,7483,544,841123.3Tirana Andorra46868,403146.2Andorra la Vella Bosnia na Herzegovina51,1293,964,38877.5Sarayevo Kroatia56,5424,390,75177.7Zagreb Gibraltar (Uingereza)5.927,7144,697.3Gibraltar Ugiriki131,94010,645,34380.7Athens Italia301,23057,715,625191.6Roma Masedonia25,3332,054,80081.1Skopje Malta316397,4991,257.9Valletta Montenegro316397,4991,257.9Podgorica Ureno (6)91,56810,084,245110.1Lisbon San Marino6127,730454.6San Marino Serbia102,17310,280,000100.6Belgrad Slovenia20,2731,932,91795.3Lyublyana Hispania (7)498,50640,077,10080.4Madrid Mji wa Vatikani0.449002,045.5Mji wa Vatikani Ulaya ya Magharibi: Austria83,8588,169,92997.4Vienna Ubelgiji30,51010,274,595336.8Brussels Ufaransa (8)547,03059,765,983109.3Paris Ujerumani (Udachi)357,02183,251,851233.2Berlin Liechtenstein16032,842205.3Vaduz Luxemburg2,586448,569173.5Luxemburg Monako1.9531,98716,403.6Monako Uholanzi (9)41,52616,318,199393.0Amsterdam, Den Haag Uswisi41,2907,301,994176.8Bern Asia ya Magharibi: Armenia (10)29,800——Yerevan Azerbaijan (11)39,7304,198,491105.7Baku Kupro (12)5,995780,133130.1Nikosia (Lefkosa) Georgia (13)}49,2402,447,17649.7Tbilisi Uturuki (14)24,37811,044,932453.1Ankara Asia ya Kati: Kazakhstan (15)370,3731,285,1743.4AstanaTotal10,431,299709,022,06168.0" ]
[ "Vielezi\nHivyo basi kielezi ni neno au maneno yanayotoa taarifa ili kukujulisha kuwa kitenzi hicho kimetendeka namna gani au jinsi gani, mara ngapi au kwa kiasi gani, wapi, lini na kwa sababu gani.", "Ukraine\nOrodha ya nchi kufuatana na wakazi", "Ukraine\nTangu uhuru serikali imeendesha sera ya kujenga lugha ya taifa, pamoja na kujali lugha nyingine 18 za kieneo.", "Kirai\nKirai kielezi: ni neno moja au zaidi ambayo yanafanya kazi ya kielezi yaani kutoa taarifa zaidi kuhusu kitenzi au tendo kirai kielezi hutoa taarifa zinazojibu maswali kama vile lini,wapi,kwa vipi,na mara ngapi", "Mariupol\nJamii:Miji ya Ukraine", "Historia ya Ukraine\nJamii:Ukraine Jamii:Historia ya Ukraine Ukraine", "Asilimia\nMfano: Jumla ya maksi kwenye mtihani ni 250. Sheria inasema ya kwamba 65 % ni sharti kwa kupita. Je maksi ngapi zinahitajika ila kupita mtihani huu? ", "Slovakia\nImepakana na Ucheki, Austria, Poland, Ukraine na Hungaria.", "Ukraine\nUkraine ulianza polepole pamoja na Urusi huko makabila ya wasemaji wa Kislavoni cha Mashariki walikoanza kujenga maeneo yao kuanzia karne ya 8 BK.", "Historia ya Ukraine\nMiaka 1922 - 1991 Ukraine ilikuwa jamhuri mwanachama wa Umoja wa Kisovyeti.", "Historia ya Ukraine\nHistoria ya Ukraine inahusu eneo la Ulaya ambalo wakazi wake leo wanaunda Jamhuri ya Ukraine (au Ukraina).", "Ukraine\nUkraine (Kiukraine: Україна, Ukrayina) ni nchi ya Ulaya ya Mashariki. Imepakana na Urusi, Belarus, Poland, Slovakia, Hungaria, Romania na Moldova.", "Ukraine\nKiukraine ni lugha ya Kislavoni karibu sana na Kirusi.", "Logi\nMfano:\nSwali: Tunahitaji kuzidisha mara ngapi namba \"2\" ili tufikie 8?\nJibu: 2 x 2 x 2 = 8; kwa hiyo tunazidisha \"2\" tatu za kufikia 8.\nKwa hiyo logi ni 3.", "Mariupol\nMariupol ni moja ya miji unajisi Ukraine kutokana na idadi kubwa ya gesi kuondolewa viwanda na vumbi. kubwa vyanzo vya uchafuzi wa mazingira ni metallurgiska coke na mimea. Downtown iko katika njia ya upepo na matendo ya metallurgiska «Azovstal», nini kujengwa mwaka 1933 katika moyo wa mji kwenye pwani ya Bahari Azov. Aidha chanzo muhimu cha uchafuzi wa mazingira ni overload wa bidhaa hatari katika bandari.", "Marudio\nMarudio (ing. \"\", alama yake ni f) ni kipimo kichachosema ni mara ngapi tukio linatokea tena na tena kila baada ya kipindi fulani. ", "Ukraine\nPamoja na hayo, idadi ya wakazi inazidi kupungua haraka.", "Vielezi vya idadi\nVielezi vya idadi au kiasi (alama yake ya kiisimu ni: E) ni maneno yanayofafanua kielezi kuwa kitenzi hicho kitemetendeka mara ngapi au kwa kiasi gani. Idadi hiyo inaweza kuwa idadi ya jumla au idadi kamili/halisi.", "Ukraine\nMiaka 1922 - 1991 Ukraine ilikuwa jamhuri mwanachama wa Umoja wa Kisovyeti.", "Ukraine\nHivyo kwa muda mrefu Ukraine ilikuwa sehemu ya Dola la Urusi.", "Logi\nMifano mingine:\nMfano a) log(625) ni nini?\nSwali letu ni: Tunahitaji kuzidisha \"5\" mara ngapi ili tupate 625?\n5 × 5 × 5 × 5 = 625, hivyo tunahitaji 5 nne. \nJibu: log(625) = 4", "Asilimia\nSasa inawezekana kugawa kiasi kingine kwa ile 1% na kuona inashika asilimia ngapi za kiasi husianifu.", "Ukraine\nDola la Kiev liliporomoka kutokana na mashambulio ya Wamongolia baada ya Jingis Khan, na maeneo madogo zaidi yalijitokeza yaliyopaswa kukubali ubwana wa Wamongolia.", "Soka kwa ajili ya Urafiki\n191. Ukraine", "Ukraine\nKwa muda mrefu Ukraine ilitawaliwa na Urusi na Kirusi kilikuwa lugha ya utawala hali halisi.", "Krim\nWakati Umoja wa Kisovyeti iliporomoka mwaka 1991 na Ukraine kuwa nchi huru rasi ya Krim ilikuwa ndani ya Ukraine kwa hali ya \"Jamhuri ya kujitawala ya Krim\".Baada ya mapindizi ya Ukraine ya mwaka 2014 sehemu ya wakazi wa Krim walikataa mwelekeo mpya wa serikali ya Kiev. Rais wa Urusi Vladimir Putin alitumia nafasi hii kutuma wanajeshi wa Kirusi wasiovaa sare rasmi ndani ya Krim na baada ya kura ya maoni wananchi wengi walipigania kura kujiunga na Urusi. Mwezi wa Machi Urusi ilitangaya eneo la Krim kuwa sehemu ya Shirikisho la Urusi.", "Mkimbizi\nPoland na Ukraine ya Kisovyeti zilifanya ubadilishanaji wa raia- wa Kipolandi ambao waliishi mashariki ya mpaka uliokuwa umeundwa na Poland na Wasovyeti walifukuzwa kwenda nchini Poland (takriban watu 2,100,000) (Tazama Kurudishwa Nyumbani kwa Wapolandi) na Wayukreni walioishi magharibi mwa mpaka kati ya Poland na Umoja wa Kisovyeti walihamishwa hadi Ukraine ya Kisovyeti. Uhamisho wa raia kwenda Ukraine ya Kisovyeti ulifanyika kuanzia Septemba mwaka wa 1944 hadi Mei mwaka wa 1946 (takriban watu 450,000) (angalia Kurudishwa nyumbani kwa Wayukreni). Baadhi ya Wayukreni (takriban watu 200,000) walihama kutoka Poland ya kusini-mashariki kwa hiari yao (kati ya 1944 na 1945).", "Historia ya Ukraine\nHivyo kwa muda mrefu Ukraine ilikuwa sehemu ya Dola la Urusi.", "Ukraine\nKuna pwani ya Bahari Nyeusi na ghuba ya Azov.", "Historia ya Ukraine\nUkraine ulianza polepole pamoja na Urusi huko makabila ya wasemaji wa Kislavoni cha Mashariki walikoanza kujenga maeneo yao kuanzia karne ya 8 BK." ]
39
Je, kuna dini ngapi nchini Israeli?
[ "Israel\nTakriban 74.9% za wakazi ni Wayahudi ambao wengi wao wanafuata dini ya Uyahudi, na 20.7 % ni Waarabu ambao wengi ni Waislamu (16%) lakini pia Wakristo (2% za raia wote: kati ya Wakristo hao karibu 80% ni Waarabu). Wahamiaji wengi wasiopata uraia ni Wakristo." ]
[ "Vielezi\nHivyo basi kielezi ni neno au maneno yanayotoa taarifa ili kukujulisha kuwa kitenzi hicho kimetendeka namna gani au jinsi gani, mara ngapi au kwa kiasi gani, wapi, lini na kwa sababu gani.", "Kirai\nKirai kielezi: ni neno moja au zaidi ambayo yanafanya kazi ya kielezi yaani kutoa taarifa zaidi kuhusu kitenzi au tendo kirai kielezi hutoa taarifa zinazojibu maswali kama vile lini,wapi,kwa vipi,na mara ngapi", "Hotuba ya mlimani\nJe, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba mkate, atampa jiwe? ", "Dini nchini Urusi\nKuhusu watu wasio na dini kuna makadirio kuwa kati ya 16% na 48% ya wananchi wote. ", "Ethiopia\nMbali na dini hizo za kimataifa, kuna wafuasi wa dini za jadi za Kiafrika.", "Asilimia\nMfano: Jumla ya maksi kwenye mtihani ni 250. Sheria inasema ya kwamba 65 % ni sharti kwa kupita. Je maksi ngapi zinahitajika ila kupita mtihani huu? ", "Maziwa ya mama\nKiasi cha maziwa kinachotolewa hutegemea ni mara ngapi mama hunyonyesha na/au kusukuma maziwa, mama anayenyonyesha mtoto wake zaidi au kukamua,ndivyo anavyotoa maziwa zaidi.[8][9][10][11][12] Ni jambo la manufaa kunyonyesha kwa mahitaji - nyonyesha wakati mtoto anataka badala ya kufuata ratiba. Kama ni kukamua, pampu ya umeme ya gradi ya juu husaidia mama ili dakti zote zichochewe. Baadhi ya akina mama hujaribu kuongeza ugavi wa maziwa yao kupitia njia zingine - kwa kuchukua mmea wa fenugreek, ambao umetumika kwa mamia ya miaka kuongeza upatikanaji[13] (chai ya \"maziwa ya mama\" huwa na fenugreek pamoja na mimea nyingine yenye kuongeza ugavi), pia kuna dawa nyingine ambazo zimependekezwa zinazoweza kutumika, kama vile Domperidone (matumizi yasiyobandikwa) na Reglan. Dawa zenye kuongeza ugavi wa maziwa hujulikana kama galaktagogu.", "Hotuba ya mlimani\nMtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La! ", "Uislamu nchini Mauritius\nWaislamu wengi wa Mauritius ni wale wenye asili ya India; hata hivyo, kuna idadi kubwa inayoongezeka hasa ya wale wanaobadili dini na kwenda Uislamu katika idadi ya jamii ijulikanayo kama Kreole na wengine kutoka Sino vilevile wale wenye asili ya Kichina. Ubadilishaji huu umesukuma jumuia za Kiislamu na kupanua wigo wa utamaduni wake.", "Uislamu nchini Algeria\nUislamu nchini Algeria ni dini karibu ya watu wote wa Algeria. Imeenea karibuni katika kila nyanja za maisha ya Walgeria. Sehemu kubwa ya raia wake ni waumini wa dhehebu la Sunni. Uislamu nchini Algeria unatoa huduma zake za kijamii na utamaduni ikiwa pamoja na mazingira yanayouzunguka Uislamu kila siku. Uchunguzi wa imani ya Orthodox ni mdogo mno hata uenezi na ukuaji wa haraka wa shughuli zake ni hafifu kulinganisha na ujulikanaji wa dini ya Uislamu. Pia kuna salfasa za Wasufi ambayo imeanza kutoa somo lake kwa baadhi ya wanafunzi wake.", "Matendo ya huruma\nWaraka wa Yakobo, ukiwa kama mwangwi wa hotuba hiyo, unasema: \"Maana, Mungu hatakuwa na huruma atakapomhukumu mtu asiyekuwa na huruma. Lakini huruma hushinda hukumu. Ndugu zangu, kuna faida gani mtu kusema ana imani, lakini haonyeshi kwa vitendo? Je, hiyo imani yawezaje kumwokoa? Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula. Yafaa kitu gani ninyi kuwaambia hao: \"Nendeni salama mkaote moto na kushiba,\" bila kuwapatia mahitaji yao ya maisha? Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa. Lakini mtu anaweza kusema: \"Wewe unayo imani, mimi ninayo matendo!\" Haya! Nionyeshe jinsi mtu anavyoweza kuwa na imani bila matendo, nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo yangu\". (Yak 2:13-18).", "Logi\nMfano:\nSwali: Tunahitaji kuzidisha mara ngapi namba \"2\" ili tufikie 8?\nJibu: 2 x 2 x 2 = 8; kwa hiyo tunazidisha \"2\" tatu za kufikia 8.\nKwa hiyo logi ni 3.", "Marudio\nMarudio (ing. \"\", alama yake ni f) ni kipimo kichachosema ni mara ngapi tukio linatokea tena na tena kila baada ya kipindi fulani. ", "Dini nchini Urusi\nUpande wa Wakristo, wengi wanakadiriwa kuwa Waorthodoksi (kati ya hao wengi hawashiriki kwenye ibada za mara kwa mara) na wachache ni Wakatoliki na Waprotestanti.\nUislamu ni dini yenye wafuasi wengi baada ya Kanisa la Kiorthodoksi. Ni dini kuu kati ya watu wengi wa Kaukazi kama vile Wachecheni, Waingushi na Wacherkesi, pia kati ya wasemaji wengi wa Lugha za Kiturki kama vile Watatari na Wabashkiris. Kwa jumla kuna kadirio la kuwepo kwa milioni 9,400,000 Waislamu ambao ni sawa na asilimia 6.5% ya wananchi wote. Walio wengi ni Wasunni, pamoja na wafuasi wachache wa Shia na Ahmadiya. Sehemu kubwa wanajihesabu kuwa Waislamu bila madhehebu. ", "Uislamu nchini Sudan\nUislamu nchini Sudan ni dini yenye wafuasi wengi mno, na Waislamu wameshikilia taasisi nyingi za serikali tangu uhuru mnamo 1956. Kwa mujibu wa UNDP Sudan, idadi ya Waislamu umefikia asilimia 97 ya wakazi wa nchi nzima, wakiwemo makundi mbalimbali ya Waarab na wasio Waarab. Asilimia tatu ilobakia huhesabiwa aidha Ukristo au dini nyingine za jadi. Sehemu kubwa ya waumini wa ni wafuasi wa dhehebu la Sunni wanaofuata mafundisho ya imamu Maliki, wenye athira kubwa ya Usufi. Vilvile kuna baadhi ya taasisi za Shia huko mjini Khartoum.", "Kairo\nZamani Kairo ilikuwa mji penye wakazi wengi wa tamaduni na dini mbalimbali na hadi leo nyumba zao za ibada ni kama kumbukubu ya historia hii. Maelfu ya Wagiriki wa Misri waliondoka nchini baada ya mapinduzi ya 1952. Wayahudi walianza kuona ubaguzi mkali na madhulumu tangu vita ya Israeli na Waarabu wa 1948 wakaondoka. Leo hii kuna chini ya Wayahudi 100 waliobaki Misri baada ya historia ya miaka 2,500.", "Uislamu nchini Angola\nUislamu nchini Angola ni dini yenye waumini wachache sana. Vyanzo vingi vinakadiria kuna idadi ya watu 90,000, ingawaje wengine wanatoa kiwango kikubwa zaidi ya hapo. ", "Logi\nMifano mingine:\nMfano a) log(625) ni nini?\nSwali letu ni: Tunahitaji kuzidisha \"5\" mara ngapi ili tupate 625?\n5 × 5 × 5 × 5 = 625, hivyo tunahitaji 5 nne. \nJibu: log(625) = 4", "Falme za Kiarabu\nUislamu ndio dini ya wenyeji (85% Wasuni na 15% Washia) na dini rasmi ya nchi, lakini kuna uhuru wa dini kwa wote, isipokuwa si uhuru wa kuieneza kwa wengine. Kati ya wakazi wote, Waislamu ni 76-77%, Wakristo (hasa Wakatoliki) ni 9-12%, Wahindu ni 4%, Wabuddha 2%, n.k.", "Asilimia\nSasa inawezekana kugawa kiasi kingine kwa ile 1% na kuona inashika asilimia ngapi za kiasi husianifu.", "Torati\n46 Je, mtapata tuzo gani kwa kuwapenda tu wale wanaowapenda ninyi? Hakuna! Kwa maana hata watoza ushuru hufanya hivyo!", "Dini nchini Urusi\nWafuasi wa dini hawahesabiwi katika sensa, hivyo kuna makadirio tu. Kwa jumla Waslavi mara nyingi ni Wakristo wa Kiorthodoksi, wasemaji wa lugha za Kiturki ni zaidi Waislamu, na wenye lugha za Kimongolia mara nyingi hufuata Ubuddha.", "Ukombozi\nKati ya dini zinazofundisha ukombozi, kuna Uhindu, Ubuddha na dini za Abrahamu, hasa Ukristo na Uislamu.", "Waarabu\nWaarabu walikuwa wakifuata dini mbali mbali za Kiyahudi na Kikristo na Kimajusi na wengineo walikuwa hawana dini kabisa au dini za kienyeji, na juu ya kuwa wengi waliingia kwenye dini ya Uislamu baada ya kuja Mtume Muhammad (SAW), lakini wale walioamua kubakia kwenye dini zao hawakulazimishwa kuingia kwenye Uislamu na ndio maana leo tunaona kuna Waarabu Wakristo sehemu za Syria na Lubnani na Iraqi na Misri na kwengineko.", "Mauti\nKatika dini na falsafa kuna misimamo mbalimbali kuhusu mauti kama vile", "Wilaya ya Tharaka\nWatu wa Tharaka wengi ni wa dini ya Kikristo \"(Methodist, Presbyterian na Roman Catholic)\", ikiashiria kazi ya Wamisionari.\nWengine ni Wahindi, ambao dini yao ni Hindu.\nPia kuna Waafrika na Waarabu ambao ni Waislamu.\nTharaka pia ina baadhi ya wakazi wa asili ya Kizungu.", "Mkimbizi\nMsimamo wa serikali ya Marekani kuhusu wakimbizi ni kwamba kuna ukandamizaji wa makundi ya kidini yenye watu wachache katika eneo la Mashariki ya Kati na nchini Pakistan hasa Wakristo, Wahindu, na vilevile madhehebu ya Kiislamu ya Ahmadiya na Zikri. Nchini Sudan ambapo Uislamu ndiyo dini rasmi ya nchi, Waislamu hushikilia wadhifa mkubwa serikalini na wao hudhibiti shughuli za Wakristo, wafuasi wa dini za jadi za kiasili za Kiafrika na wengine wasiokuwa Waislamu . Swala la wakimbizi wa Kiyahudi, Kikristo na wengineo kutoka nchi za Kiarabu na Kiislamu liliwasilishwa mnamo Machi mwaka wa 2007 mbele ya Bunge la Marekani .", "Uislamu nchini Gambia\nUislamu ni dini yenye wafuasi wengi nchini Gambia, ikiwa na asilimia 95.3 za idadi ya wakazi wote wa nchi hiyo. Sehemu kubwa ya Waislamu wa Gambia ni wa dhehebu la Sunni wanaofuata mwongozo wa Maliki, wenye athira pia ya Usufi. Vilevile kuna nyendo za Wahmadiyya.", "Je, hii ni ungwana\nJe Huu ni Ungwana ni kipindi maarufu cha mtangazaji maarufu Leonard Mambo Mbotela cha elimu, burudani, na ucheshi nchini Kenya katika redio ya Kenya Broadcasting Corporation.", "Hotuba ya mlimani\nJe, mtapata tuzo gani kwa kuwapenda tu wale wanaowapenda ninyi? Hakuna! Kwa maana hata watoza ushuru hufanya hivyo! " ]
8
Satelaiti iliwekwa angani kwa njia ipi?
[ "Satelaiti\nDunia inazungukwa na maelfu ya satelaiti ambazo ni vifaa au vyombo vilivyorushwa katika anga la nje kwa njia ya roketi na kuzunguka Dunia kwa obiti mbalimbali. Satelaiti hizi zinatekeleza kazi za kisayansi, za kibiashara na za kijeshi." ]
[ "Satelaiti\nSatelaiti (pia setelaiti, setilaiti, kutoka Kilatini satelles, \"msindikizaji\", kupitia Kiingereza satellite) ni kitu kinachofuatana na kitu kingine. Neno linatumiwa kwa maana mbili ambayo ni:", "Kundinyota\nPicha za kundinyota ya Jabari (Orion) katika makala hii zinaonyesha njia kuanzia kutazama nyota angani hadi kufikia wazo la kundinyota.", "Klaudio Ptolemaio\nKatika kitabu chake cha Almagest alieleza jinsi Wagiriki walivyoona ulimwengu. Walidhani Dunia iko kwenye kitovu cha ulimwengu. Magimba mengine ya angani yaani Mwezi, Jua na sayari tano zilizojulikana ziliizunguka kwa njia za mizingo yenye umbo la duara. Mizingo hii ilidhaniwa kama tufe za kioo. Tufe la nje kabisa lilikuwa tufe la nyota. Ili kupatanisha mwendo wa sayari na miendo yao jinsi ilivyotazamwa angani ilikuwa lazima kuwaza pia miendo mingine ya sayari ya kuzunguka tena katika duara ndogo wakati wa kufuata njia zao kwenye mzingo katika tufe husika. ", "Kipoland\nco? - nini?\nkto? - nani?\ngdzie? - mahali gani?\ndokąd? - wapi?\nkiedy? - hini?\njak? - vipi?\ndlaczego? - kwanini?\nktóry? - ipi?", "Satelaiti\nJamii:Usafiri wa anga la nje *", "Antonov An-225\nAn-225 Mriya ni ndege ya Ukraine iliyo kubwa kuliko zote duniani. Ina injini sita. Ilitengenezwa na kampuni inayoitwa \"Antonov\". Tatu kati ya hizo zilijengwa ili kubeba visafirishaji vya angani vya Wasovyeti yaani 'Buran', lakini tangu kuhamisha haijawahi kumalizika, ndege zimekuwa zikibeba vitu vingi ambavyo haviwezi kusafirishwa kwa njia nyingine.", "Namba sanifu ya kimataifa ya vitabu\nISBN inapangwa kwa kila toleo na tofautisho (isipokuwa marekebisho) la kitabu. Kwa mfano, Kitabu cha kielektroniki, paperback na toleo gumu (hardcover) la kitabu kilekile kila moja itakuwa na ISBN tofauti. ISBN ina urefu wa tarakimu 13 kama iliwekwa kuanzia tarehe 1 Januari 2007, na urefu wa tarakimu 10 kama iliwekwa kabla ya mwaka 2007. ", "Mtandao wa kompyuta\n\"Mawasiliano ya Satelaiti\" - Satelaiti hutumia mawimbi madogo ya redio kama njia yake ya mawasiliano ambayo hayapindwi na anga ya dunia. Satelaiti huwekwa katika anga, karibu maili 22,000 juu ya ikweta. Mifumo hii inayozunguka-Dunia huwa na uwezo wa kupokea na kupeperusha sauti, data, na siginali za TV.", "Galaksi\nIdadi kamili ya galaksi zote angani haijulikani. Kuna makadirio ya kwamba idadi ya galaksi zinazoweza kuangaliwa kwa vyombo vinavyopatikana ni mabilioni. Hadi sasa sehemu ndogo tu imehesabiwa lakini mara kwa mara galaksi mpya zinatambuliwa kwa njia ya darubini au vyombo vya angani. ", "Darubini\ndarubiniredio hutumiwa pia na wanaastronomia zikikusanya mawimbi ya sumakuumeme zinazofaa kutupa picha za violwa vya mbali sana isizoonekana kwa njia ya nuru ya kawaida. Zinafaa pia kuonyesha tabia za violwa vya angani vya karibu zaidi zisizotambulika kwa njia ya nuru.", "Buruji za falaki\nBuruji za falaki (pia: alama za nyota; kwa Kiingereza: \"zodiac constellations\") ni jina la makundinyota yanayoonekana kwenye ekliptiki zaani njia ya Jua angani (ing. \"ecliptic\") na kuunda Zodiaki. ", "Vita baridi\nUhusiano mbaya ulianza mara baada ya ushindi ukaonekana kabisa miaka 1948-1949 ambapo Wasovyeti walijaribu kuwalazimisha Wamarekani na wenzao kuondoka katika Berlin ya Magharibi kwa kufunga barabara zote zlizounganisha mji huo na Ujerumani ya Magharibi na kuzuia vyakula visifike mjini tena. Marekani iliweza kulisha wakazi kwa njia ya daraja la angani na ndege zilileta bidhaa. ", "Satelaiti\nKila satelaiti inashikwa na graviti ya gimba kubwa zaidi, kama ni sayari au asteroidi au galaksi.", "Lubumbashi\nKatika miaka ya 1960, sehemu ya kutoka kwa Mutshatsha hadi Lubumbashi iliwekwa umeme wa hadi 25 KV AC.", "Satelaiti\nKatika astronomia satelaiti ni gimba dogo linalozunguka gimba kubwa zaidi kwa njia ya obiti (en:orbit). Satelaiti ni hasa gimba linalozunguka sayari; kwa maana hii ni sawa na \"mwezi\" lakini inatumiwa pia kwa galaksi ndogo inayozunguka galaksi kubwa zaidi. Kuna pia asteroidi zenye satelaiti zao.", "Mzingo (jiometria)\nKatika fani ya astronomia mzingo au njia mzingo inataja pia obiti yaani njia ya gimba la angani kama sayari ya kuzunguka jua au mwezi kuzunguka sayari yake kwa sababu njia hii inafanana na mzinga wa duaradufu.", "Obiti\nObiti (kutoka neno la Kiingereza \"orbit\" lenye asili ya Kilatini \"orbita\" \"njia, mzunguko\"; pia: njia mzingo) ni njia inayotumiwa na gimba la angani linalozunguka gimba kubwa zaidi katika anga ya ulimwengu ilhali inashikwa na mvuto wa graviti. Mfano wake ni mwendo wa sayari inayozunguka jua, au mwezi unaozunguka sayari yake, au satelaiti inayozunguka dunia. ", "MESSENGER\nNjia ya chombo cha angani haikuelekea moja kwa moja kwenda Utaridi kwa sababu hii ingehitaji fueli nyingi mno. Kwa hiyo MESSENGER ilizunguka jua na sayari mbalimbali mara kadhaa hadi kufikia umbali na Utaridi ambako ilishikwa na graviti ya sayari katika njia imara.\nKwa ujumla MESSENGER ilielea kilomita bilioni 8 hadi kufikia njia yake ya kuzunguka sayari ya Utaridi. Kwa kusudi la kupunguza matumizi ya fueli chombo kilipita karibu kwenye sayari za Dunia (2 Agosti 2005) na Zuhura (5 Juni 2007) hadi kukaribia Utaridi mara ya kwanza 14 Januari 2008. Halafu ilipita Utaridi mara tatu kwenye njia ambako graviti ya sayari inachelewesha mwendo wa chombo cha angani yaani mpito wa \"swing-by\". ", "Satelaiti\nSatelaiti hutekeleza shughuli mbalimbali:", "Mshale (kundinyota)\nMshale inaonekana pale angani ambako njia nyeupe inang'aa zaidi yaani kuelekea kitovu cha galaksi yetu.", "Satelaiti\nSatelaiti ya kwanza iliyorushwa angani ilikuwa Sputnik 1. Ilitumwa na Umoja wa Kisovyeti tarehe 4 Oktoba 1957.", "Carl Friedrich Gauss\nKatika falaki alitumia mbinu wa namba mraba ndogo kukadiria njia ya asteoridi kadhaa na kwa njia hii aliweza kutabiri mahali pao angani na kurahisisha kuziona kwa darubini.", "Satelaiti\nmagimba asilia katika anga ya nje, na vifaa au vyombo vilivyotengenezwa na kurushwa na binadamu ili kuzunguka dunia kwa kazi mbalimbali, au kwa lugha nyingine vyombo vya angani. Satelaiti havibebi watu.", "Zodiaki\nZodiaki ni kanda kwenye anga zenye upana wa takriban nyuzi 20 zinazofuata mstari wa ekliptiki yaani mstari wa njia dhahiri ya Jua angani katika mwendo wa mwaka mmoja. Mstari huo unapatikana kwa kutazama Jua wakati wa mapambazuko ambako linaonekana katika mazingira ya makundinyota tofauti. Kila mwaka Jua linapambazuka katika eneo la makundinyota yaleyale.", "Nyotamkia\nNyotamkia (kometi, pia nyota msafiri, shihabu, ing. comet) ni gimba dogo la angani linalozunguka jua kwa njia ya duaradufu yenye sehemu kubwa mbali na jua na sehemu ndogo karibu na jua. Pale inapokaribia jua inaotesha \"mkia\" unaoipa jina lake la \"nyota yenye mkia\". Mkia huu ni hasa mvuke unaong'aa kutokana na nuru inayoakisiwa. ", "Unajimu\nKwa mfano kuonekana kwa nyota fulani (hii inategemea mahali duniani) inaweza kuwa alama ya kwamba mvua ni karibu, au majira ya baridi yanaanza. Sababu yake ni ya kwamba nyota huonekana kwa vipindi fulani wa mwaka tu; kwa nyakati nyingine ziko angani kwenye\nmchana ambako nuru ya jua inaficha nyota zote hazionekani tena. masaa ya usiku kuna vipindi ambako nyota fulani zinaonekana vizuri angani juu kabisa na kwa njia hiyo zinaweza kutambuliwa kama ishara za majira.", "Satelaiti\nKwa kufuata maana hii ya 2, Satelaiti au Setilaiti ni kifaa cha kuundwa na binadamu ambacho huundwa kwa kusudi la kukiweka kwenye obiti kwaajili ya shughuli maalumu kama vile utafiti wa kisayansi. Mara nyingine vifaa hivi huitwa satelaiti za kutengenezwa ili kuzitofautisha na satelaiti asilia kama vile mwezi wa Dunia.", "Solistasi\nWakati wa solistasi ya Juni, Jua linafika mahali pa juu zaidi kwenye anga wakati wa adhuhuri kwa mtazamaji kwenye nusutufe ya kaskazi ya Dunia, baadaye inaanza kushuka yaani kuonekana chini zaidi angani wakati wa adhuhuri hadi sikusare ya Septemba. Kwa hiyo njia yake angani ni ndefu na hivyo muda wa mchana ni mrefu. Siku hiyo hiyo ya solistasi ya Juni, Jua linafika mahali pa chini angani pawezekanavyo wakati wa adhuhuri kwa mtazamaji kwenye nusutufe ya kusini ya Dunia. Hapa njia yake angani ni fupi hivyo muda wa mchana ni mfupi. Kinyume chake muda wa usiku unabadilika kuwa mrefu au mfupi.", "Qurani\nQur'an tukufu haikuwa kitabu cha maandiko wakati wa uhai wa mtume Muhammad; iliwekwa kwa mawasiliano ya kimdomo tu. Bimaana, watu walihifadhi kichwani." ]
3
Rais wa Jamhuri ya Watu wa China mwaka 2018 anaitwa nani?
[ "Jamhuri ya Watu wa China\nUongozi huo ni kundi dogo la wakubwa wa chama na jeshi. Mwanasiasa muhimu ni Xi Jinping. Kwa sasa yeye anaunganisha vyeo vya Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti, Rais wa Jamhuri ya Watu wa China na mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Kijeshi. Kwa jumla katika mapokeo ya Kikomunisti vyeo vya chama ni muhimu kuliko vyeo vya serikali ingawa katiba na sheria inasema tofauti." ]
[ "Jamhuri ya Watu wa China\nHistoria ya China hugawanyika katika vipindi vya nasaba za kifalme mbalimbali. Vipindi muhimu zaidi ni kama ifuatavyo:", "Jamhuri ya Watu wa China\nBaada ya mwisho wa vita kuu Wakomunisti waliendelea kupingana na serikali na mwaka 1949 Kuomintang ilishindwa. Wakomunisti chini ya Mao Zedong walianza kutawala China Bara kama Jamhuri ya Watu wa China na Kuomintang walikimbilia kisiwa cha Taiwan walipoendelea kutawala kama \"Jamhuri ya China\".", "Jamhuri ya China\n\"Makala hii yaeleza habari za Jamhuri ya China iliyoko hasa Taiwan. Habari za Jamhuri ya Watu wa China au China bara tazama hapa\"\nJamhuri ya China (pia: Taiwan) ni nchi ya visiwani katika Asia ya Mashariki upande wa kusini-mashariki wa China bara. ", "Rais wa Afrika ya Kusini\nRais wa Jamhuri ya Afrika Kusini ni mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali chini ya katiba ya Afrika Kusini. Kuanzia 1961 hadi 1994, mkuu wa nchi alikuwa anaitwa Rais wa Nchi.", "Jamhuri ya Watu wa China\nSura ya nchi inaonyesha tabia tofautitofauti.", "Jamhuri ya Watu wa China\nChina imepakana na Vietnam, Laos, Myanmar, India, Bhutan, Nepal, Pakistan, Afghanistan, Tajikistan, Kyrgyzstan, Kazakhstan, Urusi, Mongolia, Korea ya Kaskazini.", "Jamhuri ya Watu wa China\nUpana wa China kati ya kaskazini na kusini ni kilomita 4,200 na kati ya mashariki na magharibi ni kilomita 4,200.", "Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira (Tanzania)\nMuungano na Mazingira ni wizara kamili ambayo ipo chini ya Ofisi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: kwa hivyo Waziri wake anaitwa waziri wa Nchi Ofisi ya makamu wa Rais Muungano na Mazingira. ", "Jamhuri ya Watu wa China\nKuna pwani ndefu kwenye Bahari ya Kusini ya China na Bahari ya Mashariki ya China ambazo ni bahari ya kando ya Pasifiki.", "Jamhuri ya Watu wa China\nChina (pia: Uchina, Sina; kirefu: Jamhuri ya Watu wa China) ni nchi kubwa ya Asia ya Mashariki ambayo ndiyo nchi yenye watu wengi kuliko zote duniani.", "Jamhuri ya Watu wa China\nPwani ina urefu wa kilomita 14,400.", "Jamhuri ya Watu wa China\nJamii:Nchi za Asia", "Jamhuri ya Watu wa China\nTaiwan na visiwa vingine vya Jamhuri ya China vinatazamwa na serikali ya Beijing kuwa majimbo yake lakini vimekuwa kama nchi ya pekee tangu mwaka 1949.", "Hong Kong\nKama matokeo ya mazungumzo kati ya China na Uingereza, Hong Kong ilirudishwa kwa Jamhuri ya Watu wa China chini ya Azimio la Pamoja la mwaka 1984. Mji ukawa wa kwanza kati ya Mikoa yenye utawala maalumu nchini China tarehe 1 Julai 1997 chini ya kanuni ya \"nchi moja, mifumo miwili\".", "Jamhuri ya China\nNchi jinsi ilivyo sasa ni tokeo la vita ya wenyewe kwa wenyewe ya China iliyokwisha mwaka 1949 na ushindi wa Wakomunisti chini ya Mao Zedong na kuundwa kwa Jamhuri ya Watu wa China huko Beijing. ", "Jamhuri ya Watu wa Zanzibar\nRais wa kwanza alikuwa Abeid Amani Karume hadi mwaka 1972.", "Jamhuri ya Watu wa China\n—Authorized government portal site to China", "Jamhuri ya Watu wa China\nHong Kong iliyokuwa koloni la Uingereza na Macau iliyokuwa koloni la Ureno ni maeneo ya China yenye utawala wa pekee.", "Jamhuri ya Watu wa China\nChina kuna makabila 56 tofauti. Wahan ndio kabila kubwa zaidi nchini China kwa idadi ya watu ikiwa na asilimia 92.", "Pol Pot\nYa Jamhuri ya Watu wa China ilikuwa kuu ya kimataifa msaidizi wa Khmer Rouge na kiongozi wake Pol Pot. Kichina fedha zinazotolewa na msaada wa kijeshi kwa chama hata baada ya kuangushwa mwaka 1979. Ya umoja wa MATAIFA pia kutambuliwa na Serikali ya Umoja wa Kidemokrasia Kampuchea, ambayo ni pamoja na Khmer Rouge, badala ya Jamhuri ya Watu wa Kampuchea.", "Soka kwa ajili ya Urafiki\n47. Jamhuri ya Watu wa China", "Ukonfusio\nBaadaye mafundisho hayo yakawa rasmi nchini hadi mwanzo wa Jamhuri ya China na Jamhuri ya Watu wa China katika karne ya 20.", "Jamhuri ya Watu wa China\nKutokana na madawa ya kilimo na maji machafu ya viwanda, mito na maziwa ya China hupambana na machafuko makali; mwaka 2007 ziwa Tai lilisafishwa kwa gharama kubwa mno kwa sababu maji hayakufaa tena kwa mahitaji ya binadamu (maji ya bomba).", "Jamhuri ya Watu wa China\nBaada ya kipindi cha vurugu, jamhuri ya China ilitawaliwa na chama cha Kuomintang chini ya rais Chiang Kai-shek.", "Jamhuri ya Watu wa China\nWikimedia Atlas of the People's Republic of China", "Jamhuri ya Watu wa China\nChina ina eneo la kilomita za mraba milioni 9.6 hivyo ni nchi ya tatu au ya nne[1] kwa ukubwa duniani.", "Jamhuri ya Watu wa China\nUtawala wa kifalme uliendelea hadi mapinduzi ya China ya 1911.", "Jamhuri ya China\nTarehe 25 Oktoba 1971 mkutano mkuu wa UM uliamua ya kuwa Jamhuri ya Watu wa China iwe mwakilishi halisi wa China kwenye UM, hivyo Jamhuri ya China ilifukuzwa.", "Jamhuri ya Watu wa China\nMajimbo ya China Orodha ya nasaba za Kichina Orodha ya nchi kufuatana na wakazi" ]
52
Mohammed VI ni mfalme wa ngapi wa Moroko?
[ "Muhamad VI\nMohammed VI (kwa Kiarabu: الملك محمد السادس للمغرب al-malik muhamad as-saadis lil-maghrib yaani \"mfalme Muhamad wa sita kwa Moroko\") ni mfalme wa Moroko. Anaitwa pia \"Muhamad Ben Al-Hassan\"." ]
[ "Historia ya Moroko\nMtoto wake Muhamad VI akawa mfalme kijana mwaka 1999 akaanza mageuzi ya kisiasa ya wazi zaidi.", "Moroko\nMtoto wake Muhamad VI akawa mfalme kijana mwaka 1999 akaanza mageuzi ya kisiasa ya wazi zaidi.", "Hamed bin Mohammed el Murjebi\nHamed bin Mohammed el Marjebi amejipatia nafasi katika historia ya Afrika ya Mashariki kwa kuandika tawasifu au kumbukumbu ya maisha yake yeye mwenyewe. Katika lugha ya Kiswahili ni mfano wa kwanza wa tawasifu. Pia ni mfano wa pekee wa kumbukumbu ya kimaandishi ya matokeo ya siku zile zisizoandikwa na Mzungu lakini ny mwenyeji. Aliandika kwa lugha ya Kiswahili akitumia mwandiko wa Kiarabu.", "Pamela Jelimo\nAlikosa msimu wa ndani (indoor) wa 2009 kutokana na kunyooka kwa achilles wakati wa mazoezi. Badala yake, alianza msimu wake mwezi wa Aprili katika pambano la Athletics Kenya huko Kakamega, na kukimbia mbio za mita 200 na 1,500 kwa ajili ya mazoezi. Tarehe 23 Mei alikimbia mbio yake ya kwanza ya mita 800 ya mwaka wakati wa pambano la Kimataifa wa Mohammed wa VI mjini Rabat, Morocco, na kumaliza wa sita (muda wa 2:02.46) - hii ilikuwa mbio ya kwanza ya mita 800 ambayo hakushinda. l Wiki mbili baadaye alimaliza wa mwaisho katika pambano la Prefontaine Classic huko Eugene, Oregon. Kutokana na matokeo haya mabaya, alijinuiza kwa mazoezi kwa zaidi ya mwezi. Alifanikiwa kurejea mbioni kwa kushinda pambano la Heusden-Zolder tarehe 18 Julai kwa kukimbia chini ya dakika mbili (1:59.59).", "Bibi Titi Mohammed\nMwaka 1969 Bibi Titi Mohammed alikamatwa na mwaka uliofuata alifikishwa mahakamani kwa kosa la kula njama ya kutaka kupindua serikali. Katika kesi hiyo, Bibi Titi alikuwa ni mwanamke pekee katika washtakiwa 7. Baada ya kesi hiyo kusikilizwa alipatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha maisha. Hata hivyo, mwaka 1972 alisamehewa na rais Julius Nyerere.\nJuu ya kutolewa kwake, Mohammed aliongoza maisha yake akiwa mpweke. Mume wake alimtelekeza wakati wa kesi, ushirika wake wa kisiasa ukanyang'anywa, na marafiki zake wengi wakamlani.", "Elizabeth II wa Uingereza\nAlizaliwa kwa jina la Elizabeth Alexandra Mary Windsor mjini London tarehe 21 Aprili 1926 kama mtoto wa kwanza wa mfalme George VI wa Uingereza na Elizabeth Bowes-Lyon.", "Faida Mohammed Bakar\nFaida Mohammed Bakar (amezaliwa tarehe 20 Machi 1963) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge kupitia kwa viti maalum vya wanawake kwa miaka 2015 – 2020.", "Asilimia\nMfano: Jumla ya maksi kwenye mtihani ni 250. Sheria inasema ya kwamba 65 % ni sharti kwa kupita. Je maksi ngapi zinahitajika ila kupita mtihani huu? ", "Mkoa wa O'Higgins\nO'Higgins \"(Kihispania: VI Región del Libertador General Bernardo O'Higgins au VI Región de O'Higgins)\" ni jina la kutaja mkoa ulioko nchini Chile. Mji mkuu wake ni Rancagua.", "Muhamad VI\nAmepokea cheo cha mfalme tarehe 23 Julai 1999 masaa machache baada ya kifo cha baba yake, mfalme Hassan II. Yeye ni mfalme wa 18 katika familia ya Waalawi anayetawala nchi hii.", "Muhamad VI\nAlizaliwa mjini Rabat tarehe 21 Agosti 1963 kama mtoto wa pili na mwana wa kwanza wa mfalme Hassan II na mke wake wa pili Latifa Hammou. Alisoma sheria kwenye chuo kikuu cha Rabat akachukua digrii ya kwanza mwaka 1985. Akaongeza masomo huko Ufaransa na kupokea shahada la daktari tarehe 29 Oktoba 1993 kwenye chuo kikuu cha Nizza kwa utafiti kuhusu „Ushirikiano kati ya Umoja wa Ulaya na nchi za Maghreb\".", "Twahir Awesu Mohammed\nTwahir Awesu Mohammed ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CUF. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mkoani kwa miaka 2015 – 2020.", "Hemed Mohammed Hemed\nHemed Mohammed Hemed ni Mbunge katika Bunge la Tanzania.", "Marudio\nMarudio (ing. \"\", alama yake ni f) ni kipimo kichachosema ni mara ngapi tukio linatokea tena na tena kila baada ya kipindi fulani. ", "Mohamed Ali Alabbar\nMohammed bin Amer Al Abbar (pia: Amer Kiarabu: محمد بن علي العبار) ni raia mashuhuri wa Falme za Kiarabu, kutoka Emirate ya Dubai. Yeye ni msaidizi mkuu wa mtawala Dubai na Makamu wa Rais / Waziri Mkuu wa UAE, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum. Alabbar anatumikia kama \"Mkurugenzi Mkuu\" wa Idara ya Maendeleo ya Uchumi ya Dubai, na \"Mwenyekiti\" wa Emaar moja ya makampuni kubwa zaidi duniani ya kuuza manyumba na ploti. Alabbar pia ni mwanachama wa Baraza la Watendaji ya Dubai.", "Edward VI wa Uingereza\nEdwad wa VI wa Uingereza (12 Oktoba 1537 - 6 Julai 1553) alikuwa mfalme wa Uingereza na Ireland kutoka tarehe 28 Januari 1547 mpaka kufa kwake. ", "Bendera ya Uskoti\nMfalme James VI wa Uskoti alichaguliwa kuwa pia mfalme wa Uingereza kwa jina la James I mwaka 1601 akaunganisha bendera za nchi zote mbili kuwa bendera yake ya kifalme. Sheria ya muungano wa Uingereza na Uskoti ya mwaka 1707 ilifanya bendera hii kuwa bendera ya kitaifa.", "Edward VI wa Uingereza\nAlipewa taji mnamo 20 Februari akiwa na umri wa miaka tisa. Edward alikuwa mtoto wa Henry VIII na Jane Seymour, na mfalme wa Uingereza wa kwanza kulelewa kama Mprotestanti.", "Mohammed Rajab Soud\nMohammed Rajab Soud (amezaliwa tar. 18 Februari 1959) ni mbunge wa jimbo la Jang'ombe katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania. Anatokea katika chama cha CCM.", "Halima Ali Mohammed\nHalima Ali Mohammed ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CUF. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 2015 – 2020.", "Hispania\nMfalme Felipe VI amevaa taji mwaka 2014, akishika nafasi ya baba yake Juan Carlos I, anayeheshimiwa sana kwa sababu aliongoza taifa katika mabadiliko ya kutoka udikteta wa jenerali Francisco Franco kuelekea demokrasia. Hasa tendo la mfalme la kuzuia mapinduzi wa kijeshi linakumbukwa sana.", "Muhamad VI\nTarehe 21 Machi 2002 alimwoa mtaalamu wa kompyuta Salma Bennani aliyezaa mtoto wa kwanza Mulai Hassan ambaye ni mfalme mteule wa Moroko.", "Dubai\nAmiri wa Dubai, ambaye ni pia Makamu wa Rais wa shirikisho, ni Mohammed bin Rashid Al Maktoum.", "Uingereza\nTangu mwaka 1601 mfalme James VI wa Uskoti alichaguliwa kuwa mfalme wa Uingereza pia. Nchi jirani zote mbili ziliendelea na wafalme wa pamoja hadi mwaka 1707. Mwaka ule Uingereza pamoja na Welisi na Uskoti ziliunganishwa kuwa Ufalme wa Muungano wa Britania. Tangu 1801 jina likawa Ufalme wa Muungano wa Britania na Eire (United Kingdom of Great Britain and Ireland) hadi 1927 wakati sehemu kubwa ya Eire ikapata uhuru wake. Tangu 1927 Uingereza ni sehemu ya Ufalme wa Muungano wa Britania na Eire ya Kaskazini (United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland).", "Mohammed Said Sinani\nMohammed Said Sinani (alizaliwa 11 Agosti 1950) ni mwanasiasa wa CCM. Ni mwenyekiti wa mkoa wa Mtwara,Tanzania..", "Mohammed bin Rashid Al Maktoum\nMy Vision - Challenges in the Race na Mohammed bin Rashid Al Maktoum (2006); katika Kiarabu; anaelezea maono ya Sheikh Mohammed ya Dubai Dubai The Maktoum Story na John M. Smith; katika Kiingereza; kitabu kinachotuhumu utawala wa Sheikh Mohammed", "Muhamad VI\nMohammed VI ameanza siasa ya mageuzi. Mara baada ya kupokea cheo alihutubia wananchi akaahidi kupambana na rushwa na umaskini, kujenga uchumi wa kisasa na kuimarisha haki za wananchi.", "Mohammed Al-Owais\nMohammed Al-Owais (alizaliwa 10 Oktoba 1991) ni mchezaji wa soka wa Saudi Arabia ambaye anacheza kama kipa wa klabu ya Al-Ahli na timu ya taifa ya Saudi Arabia. ", "Mohammed bin Rashid Al Maktoum\nMohammed bin Rashid Al Maktoum (Kiarabu: محمد بن راشد آل مكتوم; Muḥammad bin Rāshid al Maktūm pia Sheikh Mohammed , (aliyezaliwa 15 Julai 1949), ni Waziri Mkuu na Makamu wa Rais wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE), na Emir wa Dubai." ]
1
Je,rais wa kwanza wa shirikisho ya soka FIFA aliitwa nani?
[ "FIFA\nKisheria ni shirika binafsi lililoandikishwa huko Uswisi. Makao makuu yapo Zurich. Rais Joseph Blatter[1] ameongoza kwa muda wa miaka 18 kabla ya kumuachia Gianni Infantino, raia wa Uswisi. Fatma Samba Diouf Samoura wa Senegal ndiye Katibu Mkuu wake." ]
[ "UEFA\nUEFA ilianzishwa tarehe 15 Juni 1954 mjini Basel, Uswisi kufuatia majadiliano kati ya mashirika ya soka ya Ufaransa, Italia na Ubelgiji. Makao makuu yalikuwa Paris hadi 1959 wakati shirikisho hili lilihamia Bern. Henri Delaunay ndiye aliyekuwa Katibu Mkuu wa kwanza na Ebbe Schwartz rais. Ofisi ya utawala wake imekuwa katika Nyon, Uswisi, tangu mwaka 1995. Awali ilikuwa inajumuishwa na vyama 25 vya kitaifa. Hivi sasa kuna vyama 53 (angalia chini ya ukurasa huu au \"Orodha ya UEFA timu za kitaifa za kandanda).\" Timu za UEFA za kitaifa zimeshinda Kombe la Dunia la FIFA mara tisa (Italia 4, Ujerumani 3, Uingereza na Ufaransa nyara kila moja), kama timu za mataifa ya CONMEBOL, na vilabu vya UEFA vimeshinda Kombe la intercontinental mara 21 na Kombe la dunia la Klabu la FIFA mara 3, kombe moja tu chini ya vilabu vya CONMEBOL.", "UEFA\nUEFA ndilo shirikisho la bara kubwa zaidi katika FIFA kwa sita yaliyomo. Kati ya mashirikisho yote, kwa mbali ndilo lenye nguvu zaidi katika masuala ya mali na ushawishi katika ngazi ya klabu. Karibu wachezaji wote mashuhuri wa soka ulimwenguni hucheza katika ligi za Uropa, kidogo kwa sababu ya mishahara inayopatikana kutoka vilabu tajiri zaidi duniani, hasa katika Uingereza, Uhispania, Italia na Ujerumani. Nyingi ya timu za kitaifa zenye nguvu zaidi duniani ziko katika UEFA. Katika nafasi 32 zilizoko katika Kombe la Dunia la FIFA 2010, 13 zilitengewa timu za mataifa ya UEFA, na kwa sasa 12 ya timu bora 20 kulingana Orodha ya FIFA ya Dunia ni wanachama wa UEFA.", "David Beckham\nAlitangaza kustaafu mwezi Mei 2013 baada ya kazi ya miaka 20, wakati ambapo alishinda mataji 19 makubwa. Alijulikana kwa njia yake kama winga wa kulia, Beckham alikuwa mshiriki katika Ballon d'Or, aliyekimbia mara mbili kwa Mchezaji wa Dunia wa FIFA na mwaka 2004 aliitwa na Pelé katika orodha ya FIFA 100 ya wachezaji wanapofuatilia zaidi soka. ", "Bastian Schweinsteiger\nSchweinsteiger alicheza kwa timu ya kitaifa ya Ujerumani tangu mwaka 2004 hadi 2016. Yeye ndiye mchezaji wa nne wa Ujerumani zaidi ya wakati wote, akiwa amepewa makopo 121 na alifunga malengo 24, katika kazi ya kimataifa ya miaka 12 kuanzia mwaka 2004. Alichaguliwa katika vikosi vyao kwa mashindano manne ya Ulaya na vikombe vitatu vya Dunia, ikiwa ni pamoja na ushindi wao katika Kombe la Dunia la FIFA ya 2014. Kufuatia ustawi wa kimataifa wa Philipp Lahm tarehe 2 Septemba 2014, Schweinsteiger aliitwa nahodha wa timu ya kitaifa. Alicheza mechi yake ya mwisho kwa Ujerumani dhidi ya Ufini tarehe 31 Agosti 2016, baada ya hapo akastaafu kutoka soka ya kimataifa.", "Jasper Cillessen\nMnamo Mei 2011, aliitwa kwa mara yake ya kwanza katika timu ya taifa ya Uholanzi. Alicheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa mwaka 2013 na alikuwa kipa wa kwanza wa Uholanzi kumaliza kama washindi wa tatu katika Kombe la Dunia la FIFA la 2014.", "Kim Min-woo\nMnamo Mei 2018 aliitwa jina lake katika kikosi cha kwanza cha kuwakilisha Korea Kusini kwa ajili yaKombe la Dunia la FIFA 2018 nchini Urusi.", "Mohammed Al-Owais\nAl-Owais aliitwa katika kikosi cha kwanza cha kuiwakilisha Saudi Arabia kwa ajili ya kufuzu katika Kombe la Dunia la FIFA 2018 dhidi ya Timor-Leste mnamo Septemba 2015. ", "Xavi\nXavi aliitwa up tena kwa majaribio ya 2010 FIFA Kombe la Dunia na meneja mpya Vicente del Bosque na aliendelea na fomu nzuri kutoka Euro 2008. Katika ushindi wao wa 3-0 dhidi ya Estland, mabao mawili yalitoka kwa mikwaju yake. Alichaguliwa katika kikosi cha watu 23 kwa Shirikisho la Kombe la FIFA la 2009 na kuanza katika michezo yote mitatu ya Uhispania.", "Farouk Ben Mustapha\nMwezi Mei 2018 aliitwa jina lake katika kikosi cha kwanza cha timu ya taifa ya Tunisia mwaka 2018 katika Kombe la Dunia la FIFA 2018 nchini Urusi.", "Lionel Messi\nMchezaji wa kimataifa wa Argentina, Messi ni mchezaji wa kuongoza wakati wote. Katika kiwango cha vijana, alishinda michuano ya vijana wa FIFA ya 2005, kumaliza mashindano hayo na Bingwa la dhahabu na viatu vya dhahabu, na medali ya dhahabu ya Olimpiki katika michezo ya Olimpiki ya Majira ya joto ya 2008. Mtindo wake wa kucheza kama mchezaji wa kupungua kwa miguu ya kushoto aliwafananisha na mwenzake Diego Marado , ambaye alitangaza kijana mrithi wake. Baada ya kufanya mchezaji wake wa kwanza mnamo Agosti 2005, Messi akawa Mchezaji mdogo zaidi wa Argentina na kucheza katika Kombe la Dunia ya FIFA wakati wa toleo la 2006, na akafikia mwisho wa 2007 Copa América, ambapo aliitwa mchezaji mdogo wa mashindano hayo. Kama nahodha wa kikosi kutoka Agosti 2011, aliongoza Argentina kwa fainali tatu za mfululizo: Kombe la Dunia ya 2014, ambalo alishinda mpira wa dhahabu, na 2015 na 2016 Copa América", "Javier Hernandez\nHernández ni mchezaji wakuongoza wakati wote. Alifanya kwanza kwa Mexico huko Septemba 2009 katika mechi dhidi ya Colombia. Amewakilisha Mexico katika Kombe la Dunia ya FIFA 2010, Kombe la CONCACAF dhahabu 2011, Kombe la FIFA la 2013, Kombe la Dunia la FIFA ya 2014, Copa América Centenario na Kombe la 2017 FIFA Confederations. Alikuwa mchezaji bora wa Kombe la dhahabu wa 2011 akiwa na malengo saba na aliitwa jina la mchezaji muhimu zaidi wa mashindano.", "FIFA kombe la shirikisho la Mabara 2009\nMiji minne ilitumika kama kumbi kwa 2009 FIFA Confederations Cup.", "FIFA kombe la shirikisho la Mabara 2009\nFIFA kombe la shirikisho la Mabara 2009 lilikuwa kombe ka shirikisho, la mara ya nane na lilifanyika Afrika ya Kusini kuanzia 14 Juni - 28 Juni 2009 likifatia Kombe la Dunia la FIFA 2010. Droo ilifanyika tarehe 22 Novemba 2008 kwenye ukumbi wa Sandton Convention Centre mjini Johannesburg. Mechi ya ufunguzi ilichezwa katika uwanja wa Coca-cola park mjini Johannesburg. Brazili, ilishinda michuano hii ambapo walitetea kikombe ambacho walikinyakua tena mwaka 2005 kwa kuwafunga Marekani magoli 3-2 katika fainali.", "Kim Min-woo\nAlikuwa mwanachama wa timu ya Korea Kusini chini ya miaka 20 katika Kombe la Dunia la FIFA chini ya miaka 20 mwaka 2009. Kim aliitwa katika kikosi cha Korea Kusini katika mechi ya kirafiki dhidi ya Nigeria kwa mara ya kwanza mwaka 2010 ", "Kombe la Mataifa ya Afrika\nKombe la Mataifa ya Afrika, ni shindano kuu la la soka la kimataifa katika Afrika. Shindano hili husimamiwa na Confederation of African Football (CAF), na lilichezwa kwa mara ya kwanza mwaka wa 1957. Tangu mwaka wa 1968, shindano hili hufanyika baada ya miaka miwili. Wabingwa wa FIFA Confederations Cup walifuzu katika shindano hili.", "Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil\nTimu ya soka ya taifa la Brazil inawakilisha Brazili katika soka ya kimataifa ya wanaume. Brazil inasimamiwa na Shirikisho la Soka la Brazil CBF, kikundi kinachoongoza kwa soka nchini Brazil. Wamekuwa mwanachama wa FIFA tangu 1923 na mwanachama wa CONMEBOL tangu 1916", "Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kenya\n25 Oktoba 2006, Kenya iliahirishwa tena kutoka soka ya kimataifa kwa kushindwa kutimiza mkataba wa Januari 2006 uliobuniwa kutatua matatizo yasioisha katika Shirikisho lao la Soka yao. FIFA ilitangaza kuwa ahirisho hilo lingetimizwa hadi shirikisho lirejee kwenye mikataba ya iliyofikiwa awali.[2][3]", "Mpira wa miguu\n[5] Shirikisho la Soka Duniana (FIFA) ndilo shirikisho kuu linalosimamia kandanda duniani. Wanachama wake ni mashirikisho ya kandanda ya nchi mbalimbali. Kufikia mwaka wa 2000, lilikuwa na wanachama 204 kutoka pembe zote za dunia. Shirikisho hili huandaa mashindano mbalimbali ya soka kama vile Kombe la Dunia la FIFA na pia huwatunuku wachezaji.", "Wataru Endō\nMnamo Mei 2018 aliitwa jina lake katika kikosi cha kwanza cha Japan kwa Kombe la Dunia la FIFA 2018 nchini Urusi.", "Jonas Knudsen\nMnamo Mei 2018 aliitwa jina lake katika kikosi cha kwanza cha Denmark cha kuwakilisha Denmark katika Kombe la Dunia la FIFA 2018 nchini Urusi.", "Ghana\nSoka ndiwo mchezo ulio na umaarufu zaidi nchini. Timu za kitaifa za soka ya wanaume zinajulikana kama The Black Stars, the Black Satellites na the Black Starlets na timu hizi hushiriki katika michuano mingi ikiwemo ile ya Kombe la Mataifa ya Afrika, Kombe la Dunia la FIFA na Kombe la Dunia la FIFA kwa walio chini ya miaka 20. Timu ya the Black Satellites ilishinda Kombe la Dunia la FIFA kwa walio chini ya miaka 20 mnamo 2009 baada ya kushinda timu ya Brazili ya Seleção. Kuna timu za soka kadhaa nchini Ghana za kutajika zaidi zikiwa Accra Hearts ya Oak SC na Asante Kotoko baina ya zingine. Baadhi ya wachezaji wa soka wa Ghana wanaojulikana katika daraja ya kimataifa au waliopata ufanisi katika soka ya Ulaya ni Abedi Pele, Ibrahim Abdul Razak, Tony Yeboah, Anthony Annan, John Paintsil, Asamoah Gyan, Samuel Osei Kuffour, Richard Kingston, Sulley Muntari, Laryea Kingston, Stephen Appiah, Andre Ayew, Emmanuel Agyemang-Badu, Dominic Adiyiah na Michael Essien.", "Lionel Messi\nAlizaliwa na kukulia katikati ya Argentina, Messi alipata ugonjwa wa homoni ya kukua akiwa mtoto. Alipokuwa na umri wa miaka 13, alihamia Hispania kujiunga na Barcelona, ​​ambaye alikubali kulipa matibabu yake. Baada ya mafanikio ya haraka kupitia kikao cha vijana wa Barcelona, ​​Messi alifanya ushindani wake wa umri wa miaka 17 mnamo Oktoba 2004. Licha ya kujeruhiwa wakati wa mechi yake ya kwanza, alikuwa mchezaji muhimu kwa klabu ndani ya miaka mitatu ijayo, kumaliza 2007 kama Mwisho wa Ballon d'Or wote na tuzo ya FIFA ya Mchezaji wa Mwaka wa FIFA, na alirudia mwaka uliofuata. Kampeni yake ya kwanza isiyoingiliwa ilikuja msimu wa 2008-2009, ambapo alimsaidia Barcelona kufanikisha safari ya kwanza katika soka ya Hispania. Katika umri wa miaka 22, Messi alishinda Ballon d'Or na tuzo ya Mchezaji wa Mwaka wa FIFA kwa rekodi za kupiga kura.", "Jens Stryger Larsen\nMwezi wa Mei 2018 aliitwa jina lake katika kikosi cha kwanza cha Denmark Denmark katika Kombe la Dunia la FIFA 2018 nchini Urusi.", "Robert Skov\nMnamo Mei 2018 aliitwa jina lake katika kikosi cha kwanza cha kuwakilisha Denmark katika Kombe la Dunia la FIFA 2018 nchini Urusi.", "Rodrigo Battaglia\nMwezi Mei 2018 aliitwa jina lake katika kikosi cha kwanza cha Argentina kwa ajili ya Kombe la Dunia la FIFA 2018 nchini Urusi.", "Cristiano Ronaldo\nMara nyingi huchukuliwa kuwa mchezaji bora duniani na kuonekana kuwa mojawapo ya mchezaji mzuri wa nyakati zote, Ronaldo ana tuzo tano za FIFA Ballon d'Or, ni mcheza soka mzuri zaidi Ulaya, na ni mchezaji wa kwanza katika historia kushinda viatu vinne vya dhahabu.", "Roberto Baggio\nMwaka 1993 aliitwa Mchezaji bora wa dunia wa Mwaka na alishinda Ballon d'Or. Mwaka 2004, aliitwa na Pelé katika FIFA 100, orodha ya wachezaji wengi wanaoishi duniani.", "DCC Mlimani Park Orchestra\nTchimanga Assossa ambaye alikuwa amekuja na Bendi ya Fukafuka alibaki nchini na alikuwa katika hatua za mwisho za kwenda kufuata wanamuziki wengine kutoka Kongo kwa ajili ya ukumbi huo. Hivyo basi Dar International wakati huo ndio wakivuma na nyimbo kama Magreti walianza kuporomosha muziki chini ya kiongozi wao Abel Balthazal. Uongozi wa Mlimani Park ulipigwa butwaa na muziki wa hawa jamaa, Abel aliitwa pembeni na kuulizwa bendi iko chini ya mkataba wa nani? Na je, wanamuziki wangeweza kukubali kuajiriwa na na Mlimani Park wakati huo ikiendeshwa na TTTS? ", "Lee Yong\nMnamo Mei 2018 aliitwa jina lake katika kikosi cha kwanza cha kuiwakilisha Korea Kusini katika mashindano ya Kombe la Dunia la FIFA 2018 nchini Urusi.", "Edson Álvarez\nÁlvarez aliitwa kwa ajili ya kambi ya timu ya soka ya chini ya miaka 20 ya Mexico katika michuano ya mwaka 2017 ya CONCACAF chini ya miaka 20 kwenye Kombe la Dunia la 2017 la FIFA chini ya miaka 20." ]
14
Sayari kubwa kuliko zingine inaitwaje?
[ "Mfumo wa Jua\n* Utaridi ni jina la sayari ya kwanza kutokana na lugha ya Kiarabu na pia katika mapokeo ya Kiswahili tangu kale. Vitabu vingine hutumia neno \"Zebaki\" ambalo pia lina asili ya Kiarabu likimaanisha metali mojawapo; inaonekana limepatikana kama tafsiri ya jina la Kiingereza la sayari ya kwanza \"Mercury\" bila kujua historia ya majina ya sayari sita ya kwanza yaliyoingia katika Kiswahili kutoka katika lugha ya Kiarabu. [2] ** Zuhura - Ng'andu ni sayari ambayo hutambulika kwa jina la Kibantu(Ng'andu) pamoja na jina lenye asili ya Kiarabu(Zuhura) *** Tazama makala ya Dunia kwa ajili ya namba halisi. Neno \"ardhi\" hutumika na waandishi kadhaa badala ya \"dunia\" wakitaka kutaja sayari ya tatu.Jina la sayariKipenyo kwenye ikweta kulingana na kipenyo cha dunia = 1 MasiNusukipenyo ya mzingo wa kuzunguka juaMuda wa mzingo (miaka)Kuinama kwa mzingo wa kuzunguka jua Pembenukta (°)Muda wa siku ya sayari (siku)MieziUtaridi [3]0.3820.060.3870.2417.0058.60Zuhura (Ng'andu)**0.9490.820.720.6153.39-2430Dunia (Ardhi)***1.001.001.001.000.001.001Mirihi (Murihi, Meriki, Mars)0.530.111.521.881.851.032Mshtarii [4]11.23185.2011.861.310.41463Zohari (Zohali, pia Zuhali) [5]9.41959.5429.462.480.42649Uranus [6] 3.9814.619.2284.010.77-0.71827Neptun [7] 3.8117.230.06164.81.770.67113", "Sayari\nSayari za jua letu hutofautiana kwa ukubwa na muundo. Mshtarii (Jupiter) ni sayari kubwa na masi yake ni mara 318 masi ya dunia yetu. Sayari ndogo ni Utaridi na masi yake ni takriban nusu ya dunia." ]
[ "Sayari ya Tisa\nAnn-Marie Madigan na Michael McCourt wameangalia uwezekano wa kuwepo kwa ukanda wenye masi kubwa kushinda ukanda wa Kuiper huko nje ambao haujatambuliwa bado. [17][18]", "Udhibiti wa uzazi\nBaada ya kuzaliwa kwa mtoto, mwanamke asiyenyonyesha tu anaweza kuwa mjamzito mapema kuanzia wiki nne hadi sita. Njia zingine za kudhibiti uzazi zinaweza kuanzishwa baada ya kuzaa, ilhali zingine hungoja hadi miezi sita. Kwa wanaonyonyesha mbinu za projestini tu hupendekezwa kuliko kontraseptivu za kunywa. ", "Sayari ya Tisa\nSayari ya Tisa (pia Sayari Tisa, kwa Kiingereza Planet Nine) ni jina la muda kwa sayari isiyojulikana bado lakini inayoaminiwa kuwepo kwenye sehemu za nje kabisa za mfumo wa jua letu.", "Sayari ya Tisa\nKufuatana na makadirio ya Konstantin Batygin na Michael E. Brown wa California Institute of Technology (Caltech) ya mwaka 2016, uwezekano wa kuwepo kwa Sayari ya Tisa ni mkubwa. Waliingiza data zote za obiti katika vielelezo vya kompyuta, wakafikia suluhisho la kwamba, kuwepo kwa sayari kubwa inayozunguka jua katika umbali mkubwa nje ya ukanda wa Kuiper kunaweza kueleza mambo yasiyo ya kawaida ya obiti zilizochunguliwa. [14]", "Dimenshia\nDimenshia ni kategoria pana ya magonjwa ya ubongo yanayosababisha upunguaji wa muda mrefu na mara kwa mara wa polepole katika uwezo wa kufikiria na kukumbuka kiasi kwamba utendakazi wa kawaida wa mtu unaathiriwa.[1] Dalili zingine zinazotokea sana ni matatizo ya kihisia, matatizo ya lugha, na upungufu katika motisha.[1][2] Ufahamu wa mtu hauathiriwi.[1] Ili utambuzi uweze kufaulu, ni lazima kuwe na mabadiliko kutoka kwa utendakazi wa kawaida wa akili ya mtu na upungufu mkubwa kuliko utokanao na kuzeeka.[1][3] Magonjwa haya pia yana athari kubwa kwa watunzaji wa mtu.[1]", "Sayari kibete\nSayari kibete (\"dwarf planet\") ni jina jipya katika mafundisho ya astronomia. Lilianzishwa mwaka 2006 baada ya kugundua violwa mbalimbali vinavyozunguka jua letu ambavyo ni vikubwa kuliko asteoridi zilizojulikana hadi wakati ule lakini hazifai kuitwa \"sayari\" kamili. Azimio la kuyaita \"sayari kibete\" lilifanywa kwenye mkutano wa mwaka huo wa Umoja wa kimataifa wa wanaastronomia.", "Uislamu nchini Liberia\nSehemu kubwa ya Waislamu wa Liberia ni wale wanaofuata mafundisho ya Maliki dhehebu la Sunni, kukiwa na idadi kiasi ya Shia na Ahmadiyya. Kundi kubwa la Waislamu nchini humo ni la kabila la Wavai na Mandingo lakini pia Wagbandi, Kpelle na jamii zingine ndogondogo.", "Sayari ya Tisa\ninawezekana data zinazohusu obiti ya Pluto zina makosa makubwa inawezekana bado kuna masi isiyotambuliwa ndani ya mfumo wa jua letu, kama vile sayari ndogo, pamoja na Sayari ya Tisa inayowezekana nje. inawezekana kuna sayari iliyo ama kubwa zaidi au iko karibu zaidi na jua kuliko Sayari ya Tisa iliyotabiriwa na Batygin na Brown.[19]", "Sayari ya nje\nHadi miaka ya 1990 idadi kubwa ya wanaastronomia bado walihangaika kama sayari za nje ziko au la. Mwaka 1992 watafiti Aleksander Wolszczan na Dale Frail waliofanya kazi ya astronomia ya redio walitangaza kugunduliwa kwa sayari mbili zinazozunguka nyota tutusi (\"pulsar\") PSR 1257+12. Miaka michache baadaye taarifa hii ilithibitishwa na wagunduzi wengine.", "Bakteria\nFimbriae ni nyuzi nyororo za protini, zenye kipenyo cha nonimita 20-10 tu na urefu wa mikromita kadhaa. Huwa wamesambaa kwenye sehemu za sseli, na hufanana na nywele laini zinapoonwa kupitia kwa hadubini ya elektroni. Inaaminika kuwa Fimbriae huhusika katika kuunganisha vitu yabisi kwenye sehemu zingine au katika seli zingine na ni muhimu katika kutengeneza sumu kali ya pathojeni fulani za bakteria.[66] Pili (kwa umoja pilus) ni viambatisho vya seli, kubwa kidogo kuliko fimbriae, ambavyo vinaweza kuhamisha vitu vya jenetiki baina ya seli za bakteria katika mchakato uitwao muungano (tazama jenetiki ya bakteria, hapa chini).[67]", "Sayari ya Tisa\nHadi sasa Sayari Tisa haijaonekana moja kwa moja, hivyo ni sayari ya kinadharia tete.", "Asteroidi\nTangu mwaka 2006 umoja wa kimataifa wa wanaastronomia umeamua kutofautisha kati ya asteroidi na sayari kibete. Sayari kibete ni gimba mango kubwa lenye masi ya kutosha kufikia umbo la tufe. Kutokana na mapatano haya violwa vilivyohesabiwa kama asteroidi kubwa kama Ceres siku hizi huitwa sayari kibete. Hakuna ufafanuzi rasmi wa kimondo (meteoridi) bado.", "Sayari kibete\nKuna uwezekano wa kuwepo kwa sayari kibete nyingine katika mfumo wa jua lakini hadi sasa hakuna taarifa za kutosha zinazoruhusu azimio kuwa gimba kubwa lina tabia zote za sayari kibete. ", "Sayari kibete\nSayari kibete (kwa Kiingereza ) ni kiolwa cha angani kinachofanana na sayari ndogo lakini hakitimizi tabia zote za sayari kamili. Masi yake yanatosha kufikia umbo la tufe sawa na sayari kamili, lakini haikusafisha obiti yake kwa kujivutia sehemu kubwa sana za violwa vya angani vidogo vinavyozunguka kwenye obiti hiyohiyo. ", "Sayari\nNyingi kati ya hizo zilikuwa na ukubwa kufanana na Mshtarii au kubwa zaidi. Lakini sayari ndogo zaidi zimetambuliwa pia. [10]", "Sayari ya Tisa\nUwepo wa Sayari ya Tisa haujakubaliwa na wanaastronomia wote. Kuna nadharia mbadala. Zote zinakubali kuna kitu nje ambacho kutokana na graviti yake kinasumbua obiti za magimba zilizopimwa.", "Sosholojia ya elimu\nKatika nchi zinazoendelea idadi na uzito wa shida zilizoko kwa kawaida ni kubwa.[onesha uthibitisho] Watu wa vijijini wakati mwingine huwa hawana habari kuhusu umuhimu wa elimu. Hata hivyo, nchi zingine zina wizara ya elimu na katika masomo mengi kama vile kujifunza lugha za kigeni, kiwango cha elimu kimo juu zaidi kuliko ilivyo katika nchi zilizoendelea. Kwa mfano, ni kawaida kupata wanafunzi katika nchi zinazoendelea wakizungumza lugha nyingi za kigeni kwa usanifu mkubwa ilhali jambo hili ni nadra katika nchi zilizoendelea ambapo idadi kubwa ya watu huzungumza lugha moja.", "Sayari ya Tisa\nUwezekano utategemea pia mahali pa Sayari ya Tisa kenye obiti yake - kama iko karibu na periheli yake itakuwa rahisi zaidi; kama iko karibu na afeli yake itakuwa vigumu zaidi.", "Wasangu (Tanzania)\nBiashara nyingine kubwa ambayo ilikuwa inafanywa na Waarabu katika mbuga hizi za Usangu ilikuwa biashara ya utumwa. Wasangu walikuwa ni watu ambao walijua namna ya kupigana vita sawasawa na kwa kuwa walikuwa na chifu wao mmoja tu ilikuwa rahisi kwao kuungana pamoja na kufanya jeshi moja kali na lenye nguvu sana kuliko jamii zingine walizopakana nazo ambazo zilikuwa hazina utawala mmoja kama vile Wanyakyusa, Wasafwa na kadhalika. Lakini Wahehe na Wakimbu walikuwa na utawala mmoja sawa kama Wasangu walivyokuwa.", "Sayari ya Tisa\nKatika hesabu yao Sayari ya Tisa ingekuwa sayari jito ya gesi yenye masi takriban mara kumi kuliko dunia. Brown anawaza ya kwamba sayari itagunduliwa katika miaka mitano ijayo. [15] Kama ina masi hii na kama muundo wake unafanana na Uranus na Neptun, ni lazima sayari hii iwe na kipenyo mara 3.7 za dunia (km 46,600) na halijoto usoni ya K 47 (−226°C). [16]", "Historia ya Wasangu\nBiashara nyingine kubwa ambayo ilikuwa inafanywa na Waarabu katika mbuga hizi za Usangu ilikuwa biashara ya utumwa. Wasangu walikuwa ni watu ambao walijua namna ya kupigana vita sawasawa na kwa kuwa walikuwa na chifu wao mmoja tu ilikuwa rahisi kwao kuungana pamoja na kufanya jeshi moja kali na lenye nguvu sana kuliko jamii zingine walizopakana nazo ambazo zilikuwa hazina utawala mmoja kama vile Wanyakyusa, Wasafwa na kadhalika. Lakini Wahehe na Wakimbu walikuwa na utawala mmoja sawa kama Wasangu walivyokuwa.", "Angahewa\nSayari kubwa za nje kama Mshtarii (Jupiter) na Zohari (Saturn) si rahisi vile kuofautisha kati ya sayari yenyewe na angahewa yake. Sayari hizi huitwa pia \"jitu za gesi\" kwa sababu asilimia kubwa ya sayari yote ni elementi kama hidrojeni na heli ambazo kwetu duniani zinapatikana kama gesi. Kutokana na umbali mkubwa na jua ni baridi zaidi hadi gesi hizi kupitia katika hali mango. Vilevile hidrojeni katika kiini cha Mshtarii inaaminiwa kuwa katika hali metalia kutokana na sinikizo kubwa ya masi yake.\nKuna miezi kadhaa zinazunguka sayari za jua ambako angahewa zimegundliwa, kwa mfano kwa mwezi Titan wa Zoai na miezi ya Europa na Ganymed ya Mshtarii.", "Sayari ya Tisa\nWalipotafuta kwa nini obiti hizo si za kawaida, wataalamu walianza kuwaza ya kwamba kuna kitu chenye masi kubwa kinachoathiri magimba hayo na kubadilisha njia zake. Awali mawazo yalitofautiana kama ni kitu kimoja au labda vitu viwili huko nje.", "Sayari\nZamani kulikuwa na sayari 5 tu zilizoonekana angani kwa macho matupu kama nyota zinazobadilisha mahali[2]. Tangu kupatikana kwa mitambo kama darubini miaka 400 iliyopita idadi ya violwa angani vyenye miendo ya pekee imeongezeka sana lakini imeonekana pia kuna tofauti kubwa sana kati ya violwa hivi.", "Sayari ya Tisa\nKatika kielelezo obiti ya Sayari ya Tisa ingekuwa kabisa nje ya obiti ya Neptun.", "Sayari ya nje\nSayari ya nje (ing. , au extrasolar planet) ni sayari inayozunguka nyota isiyo Jua letu. Iko nje ya mfumo wetu.", "Upepo jua\nSayari ya Zuhura (Venus) iliyo karibu na Jua kuliko dunia ina angahewa nzito. Vyomboanga vimepima ya kwamba muda wote kuna wingu la gesi kutoka Zuhura kuingia katika anga-nje linalofuata kanuni za mkia wa nyotamkia yaani kuelekea upande wa mbali wa Jua. Maana yake, sawa na kometi, gesi za angahewa ya Zuhura zinasukumwa na upepo wa jua. Gesi ya angahewa ya Zuhura inaendelea kupungua polepole.", "Sayari\nSayari za mwamba: sayari hizi zina muundo unaofanana na dunia yetu; asilimia kubwa ya masi ni mwamba. Hizi ni sayari za ndani za mfumo wa jua letu. Zote ni ndogo kuliko sayari za nje. Sayari jitu za gesi: sayari hizi kama Mshtarii (Jupiter) na Zohali (Saturnus) ni kubwa na zimefanywa na hidrojeni na heli. Masi ya Mshtarii ni mara 318 ile ya dunia, Zohali mara 95. Ilhali sayari hizi ni baridi kutokana na umbali mkubwa na jua, hidrojeni inapatikana kwa kiasi kikubwa katika hali mangu na kwenye sehemu za ndani hidrojeni ina tabia kama metali kutokana na shinikizo kubwa. Sayari jitu za barafu: hizi ni Uranus na Neptun. Ni kubwa kuliko dunia, lakini si kama sayari jitu za gesi; Uranus huwa na masi 14 za dunia, Neptun na masi 17 za dunia. Ganda la nje ni mchanganyiko wa hidrojeni na methani, na sehemu za ndani ni barafu ya maji na methani.", "Sayari kibete\nSababu ya kuanzisha utaratibu mpya wa sayari kibete ilikuwa kutambuliwa kwa Eris mwaka 2005. Wataalamu walio wengi hawakuwa tayari kuikubali kama sayari ya kumi. Lakini ilhali Eris ni kubwa kiasi kushinda Pluto (iliyohesabiwa kati ya sayari hadi wakati ule) yalitokea majadiliano kati ya wataalamu na kitengo kipya cha \"sayari kibete\" kilianzishwa. Pamoja na hayo Pluto haikuhesabiwa tena kuwa sayari kamili bali sayari kibete." ]
3
Rais wa Kenya wa kwanza alikuwa nani?
[ "Jomo Kenyatta\nJomo Kenyatta (1893-1978) alikuwa rais wa kwanza wa Kenya." ]
[ "Daniel Arap Moi\nDaniel Toroitich arap Moi (amezaliwa 2 Septemba 1924) alikuwa Rais wa Kenya kutoka mwaka 1978 mpaka 2002.", "Rais wa Afrika ya Kusini\nRais anachaguliwa na wabunge wa kitengo cha chini \"(National Assembly)\" cha Bunge la Afrika Kusini. Kwa kawaida huwa kiongozi wa chama kikubwa zaidi bungeni, ambacho kimekuwa African National Congress tangu uchaguzi wa kwanza baada ya kupinduliwa kwa apartheid (ubaguzi wa rangi) uliyofanyika tarehe 27 Aprili 1994. Rais wa kwanza kuchaguliwa chini ya katiba mpya alikuwa Nelson Mandela, ambaye alifuatwa na Thabo Mbeki mwaka wa 1999, kufuatiwa na Kgalema Motlanthe mnamo Septemba 2008 na kisha Jacob Zuma mnamo Mei 2009. Katika § 5, sehemu ya 88, katiba inaruhusu wakati wa Rais ofisini kuwa muhula miwili. Marais huchaguliwa kila baada ya uchaguzi wa wabunge, na uchaguzi huu huwapa marais muda wa miaka mitano, pamoja na nafasi ya kurudishwa mara moja.", "Mwai Kibaki\nKibaki ameweka historia mwezi Novemba 2005 baada ya kuwa Rais wa kwanza nchini Kenya kuondoa baraza lote la mawaziri kufuatia kura ya maoni ambayo ilikuwa inahusu katiba mpya ya Kenya. Kibaki alikuwa upande wa kundi lililokuwa likiunga mkono katiba hiyo kambi ya ndizi. Kundi lililokuwa likiipinga katiba hiyo kambi ya machungwa lilipata ushindi.", "Makamu wa Rais wa Kenya\nMakamu wa Rais wa Kenya ni afisa mtendaji wa pili juu zaidi katika serikali ya Kenya.", "Moody Awori\nArthur Moody Awori (aliyezaliwa 5 Desemba 1927), anajulikana kama \"Uncle Moody\", alikuwa Makamu wa Rais wa 9 wa Kenya kutoka 25 Septemba 2003 hadi 9 Januari 2008.", "Omar Bongo\nKiongozi huyo amevunja rekodi ya kuwa Rais aliyekaa muda mrefu marakani kuliko Rais yeyote barani Afrika. Rais huyo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73, ambapo ameiongoza Gabon kwa miaka 42.\nBongo alijiunga na serikali ya Gabon mwaka 1965 na mwaka 1967 akawa makamu wa Rais ambapo mwaka huo huo akashika hatamu ya kuwa Rais wa nchi hiyo kufuatia cha kifo cha ghafla cha Rais Leon Mba.\nBongo alipoingia madarakani alijenga utawala imara ambao ulinufaika zaidi baada ya kugunduliwa kwa mafuta nchini Gabon ingawa utajiri wake ulinufaisha idadi ndogo ya watu wanaokadiriwa kuwa milioni 1.5. kitu kilicholeta lawama kubwa kwa kiongozi huyo.\nRais huyo amefariki dunia wakati akipata tiba ya saratani jijini Barcelona nchini Hispania.\nRais Bongo ameaga dunia takribani miezi mitatu baada ya kifo cha mkewe, Edith Lucie Bongo Ondimba (45) aliyefariki dunia 14 Machi mwaka huu wakati akipata tiba mjini Rabat nchini Morocco.\nBongo na Edith walifunga ndoa mwaka 1990. Edith aliuguzwa kwa miezi kadhaa nchini Morocco, na umma haukutangaziwa sababu za kifo chake. Edith alikuwa binti wa Rais wa Congo, Denis Sassou Nguessou. Mwanaharakati huyo wa mapambano dhidi ya Ukimwi alikuwa mke wa pili kwa Bongo, mke wa kwanza wa Rais huyo alikuwa, Josephine Nkama.", "Lucy Kibaki\nLucy Muthoni Kibaki (1940 - 26 Aprili, 2016) alikuwa mke wa Rais wa Kenya Mwai Kibaki, yaani alikuwa Mwanamke wa Kwanza wa Kenya (2003-2013).", "Andrew Jackson\nAndrew Jackson (15 Machi 1767 – 8 Juni 1845) alikuwa Rais wa saba wa Marekani kuanzia mwaka wa 1829 hadi 1837. Alikuwa na Kaimu Rais wawili: kwanza John C. Calhoun, halafu Martin Van Buren aliyemfuata kama Rais.", "Gertrude Mongella\nGertrude Ibengwe Mongella alikuwa Rais wa kwanza wa Bunge la Umoja wa Afrika. Pia alikuwa mbunge wa jimbo la Ukerewe katika bunge la taifa nchini Tanzania. Anatokea katika chama cha CCM. ", "Historia ya Uganda\nRais wa kwanza alikuwa Kabaka Sir Edward Mutesa II na waziri mkuu Milton Obote.", "Richard Nixon\nRichard Milhous Nixon (9 Januari 1913 – 22 Aprili 1994) alikuwa Rais wa 37 wa Marekani kuanzia mwaka wa 1969 hadi 1974. Kaimu Rais wake alikuwa kwanza Spiro Agnew (1969-73), na halafu Gerald Ford aliyemfuata kama Rais, Nixon alipojiuzulu madarakani.Nixon alikuwa ni rahisi pekee wa Marekani ambaye ali ng'atuka na aliye wahi kuchaguliwa mara mbili kwenye nafasi za Uraisi na Umakamo rais.", "Historia ya Sudan Kusini\nKatiba imeweka Tawi Kuu linaloongozwa na Rais ambaye ni Mkuu wa Nchi, Mkuu wa Serikali, na Kamanda Mkuu wa Sudan People's Liberation Army. John Garang, mwanzilishi wa SPLA / M alikuwa Rais wa kwanza hadi kifo chake tarehe 30 Julai 2005.", "Ivan Gašparovič\nIvan Gašparovič (amezaliwa tar. 27 Machi 1941) ni mwanasiasa na profesa wa sheria kutoka nchini Slovakia. Kuanzia mwaka wa 2004 hadi 2014 alikuwa Rais wa nchi hiyo. Pia, huyu ndiye Rais wa kwanza kuchaguliwa tena kwa mara ya pili wakati wa uchaguzi wa nchi hiyo.", "Makamu wa Rais wa Kenya\nKenya Rais wa Kenya Wakuu wa Serikali ya Kenya Wakoloni wakuu wa Kenya Orodha ya viongozi", "Joe Biden\nJoseph Robinette \"Joe\" Biden Jr. (amezaliwa 20 Novemba 1942) ni mwanasiasa wa Marekani. Kuanzia mwaka wa 1973 hadi 2009 alikuwa mbunge wa Senati ya Marekani akiwakilisha jimbo la Delaware. Halafu alikuwa Kaimu Rais wa Marekani chini ya Rais Barack Obama kuanzia mwaka wa 2009 hadi 2017, akiwa Mkatoliki wa kwanza na pia Mdelaware wa kwanza kuwa Kaimu Rais.", "Ulysses S. Grant\nUlysses Grant (27 Aprili 1822 – 23 Julai 1885) alikuwa Rais wa 18 wa Marekani kuanzia mwaka wa 1869 hadi 1877. Alikuwa na Kaimu Rais wawili, kwanza Schuyler Colfax (1869-73), halafu Henry Wilson (1873-75).", "Corazon Aquino\nMaría Corazón Sumulong Cojuangco-Aquino (25 Januari 1933 – 1 Agosti 2009) anafahamika zaidi kwa jina la Cory Aquino, alikuwa Rais wa 11 kwa nchi ya Ufilipino, ambaye alitumikia taifa hilo tangu mwaka wa 1986 hadi 1992. Aquino, ndiyo mwanamke wa kwanza kuwa Rais kwa nchi ya Ufilipino na ni wa kwanza kwa nchi za Asia.", "Togo\nRais wa kwanza alikuwa Sylvanus Olympio.", "Jamhuri ya Watu wa Zanzibar\nRais wa kwanza alikuwa Abeid Amani Karume hadi mwaka 1972.", "Wakalenjin\nRais wa pili wa Kenya Daniel Arap Moi alikuwa Mkalenjin.", "Abedi Amani Karume\nSheikh Abeid Amani Karume alikuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar. Alizaliwa mwaka 1905 na kufariki tarehe 7 Aprili 1972 kwa kupigwa risasi.", "William Henry Harrison\nWilliam Henry Harrison (9 Februari 1773 – 4 Aprili 1841) alikuwa Rais wa tisa wa Marekani kwa mwezi mmoja tu wa mwaka wa 1841 hadi kifo chake. Alikuwa rais wa kwanza kufariki madarakani. Kaimu Rais wake alikuwa John Tyler aliyemfuata kama Rais. Mjukuu wake aliyeitwa Benjamin Harrison alikuwa Rais wa 23.", "Sudan Kusini\nKatiba imeweka Tawi Kuu linaloongozwa na Rais ambaye ni Mkuu wa Nchi, Mkuu wa Serikali, na Kamanda Mkuu wa Sudan People's Liberation Army. John Garang, mwanzilishi wa SPLA / M alikuwa Rais wa kwanza hadi kifo chake tarehe 30 Julai 2005.", "Kenneth Kaunda\nKenneth David Kaunda, anafahamika zaidi kama KK (amezaliwa tar. 28 Aprili 1924) alikuwa Rais wa wa kwanza kwa nchi ya Zambia. Alitumikia taifa hilo kuanzia mnamo mwaka wa 1964 hadi 1991.", "Michael Wamalwa Kijana\nMichael Wamalwa Kijana (25 Novemba 1944 - 23 Agosti 2003) alikuwa mwanasiasa nchini Kenya na wakati wa mauti yake, alikuwa Makamu wa Rais wa Kenya.", "Kwame Nkrumah\nKwame Nkrumah (21 Septemba 1909 - 27 Aprili 1972) alikuwa Rais wa kwanza wa Ghana na mmoja wa viongozi wenye nia ya kujenga Muungano wa Afrika, tena mchochezi wa falsafa ya Umajinuni.", "Uganda\nRais wa kwanza alikuwa Kabaka Sir Edward Mutesa II na waziri mkuu Milton Obote.", "Modibo Keïta\nModibo Keïta (4 Juni 1915 - Mei 16, 1977) alikuwa Rais wa kwanza wa Mali (1960-1968) na Waziri Mkuu wa Shirikisho la Mali. Aliongoza kwa kutumia itikadi ya Ujamaa wa Afrika.", "Jimbo la Uchaguzi la Gatundu Kusini\nMbunge wa sasa wa Jimbo la Gatundu Kusini ni Uhuru Kenyatta, Mwanasiasa maarufu wa Kenya na mwana wa Rais wa kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta.", "Historia ya Togo\nRais wa kwanza alikuwa Sylvanus Olympio." ]
14
Je,Jomo Kenyatta alizaliwa lini?
[ "Jomo Kenyatta\nJomo Kenyatta (1893-1978) alikuwa rais wa kwanza wa Kenya." ]
[ "Chuo Kikuu cha Kenyatta\nChuo kikuu cha Kenyatta inaendelea kupanuka na kimefungua matawi mengine fauka ya tawi lake kuu. Matawi hayo ni pamoja na:", "Koigi Wamwere\nKoigi Wamwere ni mwanasiasa, mwanaharakati, na mwandishi kutoka nchi ya Kenya. Koigi alizaliwa mwaka wa 1949 huko Bahati, wilaya ya Nakuru. Koigi anajulikana kwa kujaribu kupindua serikali za Jomo Kenyatta na Daniel arap Moi. Koigi aliwekwa kizuizini na watawala hawa, na baadaye alikimbilia uhamishoni nchini Norway miaka ya 80. Baada ya kurudi Kenya miaka ya 90, Koigi alikamatwa na kushtakiwa kwa madai ya kuhusika na uhaini na uporaji kwa kutumia silaha. Kutokana na kampeni kubwa ya kimataifa dhidi ya kesi hiyo ambayo ilichukuliwa kuwa na nia ya kumnyamazisha, serikali ya Kenya ilimwachia huru. ", "Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta\nUkumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta ulijengwa kati ya miaka ya 1966-1973. Ilifadhiliwa na serikali. Mwaka 1989 umiliki wake uli kwa chama cha kisiasa cha KANU, chama cha kisiasa cha kisheria pekee nchini Kenya. KICC ilirejeshwa kwa serikali mwaka 2003, wakati KANU walitolewa kwa serikali [1]", "Hospitali ya Taifa ya Kenyatta\nKenyatta National Hospital ina uwezo wa vitanda 1800 na ina wafanyakazi zaidi ya 6000. Ipo kwenye eneo la hekta 45.7. Shule ya Udakitari ya Chuo Kikuu cha Nairobi, na mashirika kadhaa ya serikali yako hapa.", "Evans Wadongo\nEvans Wadongo alizaliwa kama mtoto wa wazazi walimu katika wilaya ya Kakamega, Kenya. Alisoma shule ya msingi Bisunu akaendelea baadaye kwenye sekondari ya Kakamega High School alipomaliza kati ya wanafunzi bora wa Kenya akishika wastani ya A kwenye Kenya Certificate of Secondary Education mwaka 2002. Akajiunga na Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology akamaliza mwaka 2009 kama bachelor of science.", "Kenya African National Union\nMwaka 2002 Moi alipanga kukabidhi uongozi wa taifa mkononi mwa Uhuru Kenyatta aliye mtoto wa mzee Jomo Kenyatta kwa njia ya uchaguzi wa rais. Hii ilileta farakano ndani ya KANU. Kundi la Raila Odinga pamoja na wanaKANU wa miaki mingi waliondoka kwa sababu hawakuridhika na Kenyatta kuwa mgombea wa urais.", "Musalia Mudavadi\nKatika uchaguzi wa urais nchini Kenya mwaka 2002, Mudavadi alikuwa ni mgombea mwenza wa Uhuru Kenyatta. Pamoja na kuungwa mkono na rais aliyekuwa akimaliza muda wake, Moi, na mtandao mkubwa wa KANU, Kenyatta na Mudavadi walishindwa uchaguzi, Kenyatta hakuchaguliwa kuwa rais na Mudavadi alipoteza kiti cha ubunge wa Sabatia.", "Kenya African Union\nMwisho wa mwaka 1946, Kenyatta alirudi Kenya akiwa mwongozi asiyepingwa katika harakati za kinchi. Kati ya 1947, Jomo Kenyatta alichaguliwa kuwa rais wa Kenya African Union.", "Chuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Jomo Kenyatta\nChuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Jomo Kenyatta (Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology - JKUAT) ni chuo kikuu cha umma kilicho karibu na jiji la Nairobi, Kenya. Chuo hiki kinapatikana mjini Juja, kilometa 36 Kaskazini Mashariki mwa Nairobi, katika barabara kuu ya Nairobi-Thika. Chuo hiki hutoa kozi katika Uhandisi, Sayansi, pamoja na Sanaa ya Uchoraji(Architecture) na Ujenzi (Construction). Chuo hiki kina nia imara ya utafiti katika maeneo ya teknolojia na uhandisi.", "Paul Ngei\nTamko la hali ya dharura katika Oktoba 1952 ulisababisha kukamatwa kwa Ngei, Jomo Kenyatta na wengine. Ngei alichuma urafiki wa dhati wa Kenyatta walipokuwa kizuizini wilayani Lodwar wakati Ngei alimsimamisha kimwili askari wa gereza wa kikoloni kutompiga Kenyatta na kukichukua mjeledi na kumpasha changamoto Askari wa gereza kumpiga yeye (Ngei) kwanza. \"Kapenguria six\" walijumuisha Fred Kubai, Bildad Kaggia, Achieng Oneko na Kungu Karumba. Mwanachama wa mwisho wa “Kapenguria six” ambaye bado alikuwa hai, Bw. Oneko, alifariki mnamo 9 Juni 2007 Siku ya Kenyatta, likizo ya kitaifa nchini Kenya, hufanyika nchini humo kufira(commemorate) mashujaa wale sita ambao waliwekwa kizuizini mnamo 20 Oktoba 195", "Familia ya Jomo Kenyatta\nFamilia ya Jomo Kenyatta ni jina la kutaja familia ya Rais wa awamu ya 1 wa Kenya.", "Jomo Kenyatta\nKenyatta alifariki mjini Mombasa tarehe 18 Agosti 1978 na kuzikwa jijini Nairobi kwenye jengo la bunge.", "Uhuru Kenyatta\nUhuru Muigai Kenyatta (amezaliwa 26 Oktoba 1961) ni mwanasiasa nchini Kenya ambaye amekuwa rais wa nne na wa sasa wa Jamhuri ya Kenya. Baada ya kuongoza nchi, ameshinda uchaguzi mkuu wa Agosti 2017 lakini mahakama kuu ikaamua na kuamuru na kudai urudiwe, marudio ambayo licha ya kujiondoa kwa mpinzani wake mkuu Raila Odinga, Kenyatta aliibuka mshindi kwa asilimia tisini na nane. Hatimaye alitangazwa rasmi kuwa mshindi na kuapishwa kwa kipindi chake cha pili kwa mujibu wa sheria.", "Ukomavu\n4. Kutokana na hofu hashiriki vizuri katika mambo yote. Anatambua kwamba akibaki peke yake hapati nafasi ya kupendwa, lakini anashindwa kukabili hofu yake.\n5. Matokeo yake ni kwamba anajihisi hastahili kutimiziwa haja zake. Hatimaye anaweza akajichukia kama kwamba ndiye anayesababisha watu wasimtimizie haja zake.\n6. Anafadhaika asijue la kufanya mbele ya matatizo hayo. Anashindwa kupata jibu kuhusu haja zake kutimizwa kesho: ikiwa leo hapati anayoyahitaji hata kwa watu wenye wajibu kwake, je, atayapata lini? ", "Jomo Kenyatta\nTarehe 1 Juni 1963 Kenya ilipata madaraka na Jomo Kenyatta alitawazwa kuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa Kenya.", "Jomo Kenyatta\nJina lake halisi lilikuwa Johnstone Kamau wa Ngengi. Alipewa jina la utani ambalo ni Mkuki wa Moto (Burning Spear). Jina la Kenyatta lilitokana na mkanda aliopenda kuuvaa ambao ulitengenezwa kwa shanga. Wagĩkũyũ wanauita kenyaata.", "Kenya African National Union\nChama kilianzishwa 1960 na wanasiasa waliyekuwa wanachama wa Kenya African Union ilichoanzishwa mwaka 1944 kwa jina la Kenya African Study Union. Jina likabadilishwa haraka kuwa \"Kenya African Union\" likabaki hivyo hadi 1952 KAU iliposimamishwa na serikali ya ukoloni. Mwenyekiti wa KAU ilipos ajiliwa alikuwa James Gichuru. Gichuru alipatiya kiti chake cha uongozi Jomo Kenyatta wakati Kenyatta aliporudi Kenya baada ya miaka 20 ngambo. Gichuru angerudia tendo hili wakati alipochaguliwa kuongoza KANU ilipofufuliwa kupigania uchaguzi ambayo ingekuwa 1963. Kenyatta angeendelea kuongoza hiki chama tangu mwaka 1960 hadi kifo chake 1978. Tangu Oktoba 1978 Daniel Arap Moi akawa kiongozi wa chama.", "Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta\nMpisho wa uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta una sehemu tatu ambazo hutumiwa kwa wanaowasili na wanaoondoka. Sehemu ya kwanza na ya pili hutumiwa mno mno kwa usafiri wa ng'ambo na sehemu ya tatu hutumiwa kwa usafiri wa humu nchini.", "Chuo Kikuu cha Kenyatta\nChuo Kikuu cha Kenyatta (kwa Kiingereza: Kenyatta University), kilichoko katika mji wa Nairobi, Kenya, ndicho chuo kikuu cha umma cha pili kwa ukubwa nchini Kenya (baada ya Chuo Kikuu cha Nairobi). Chuo Kikuu cha Kenyatta kimo katika eneo la Kahawa, umbali wa kilomita 20 (maili 12) kutoka mji wa Nairobi, katika barabara kuu ya kuelekea mji wa Thika.", "Uhuru Kenyatta\nAlizaliwa kama kitinda mimba wa Jomo Kenyatta aliyekuwa rais wa kwanza wa Kenya na mke wake Ngina Muhoho aliyeitwa Mama Ngina.", "Wagikuyu\nJomo Kenyatta (Rais wa kwanza wa Kenya) Uhuru Kenyatta (Rais wa sasa wa Kenya) Wangari Maathai (mwenye Tuzo ya Nobel ya Amani ya mwaka 2004) Ngugi wa Thiong'o (mwandishi anayeishi Marekani)", "Hospitali ya Taifa ya Kenyatta\nHospitali ya Kitaifa ya Kenyatta iliyoko jijini Nairobi, ni Hospitali kongwe zaidi nchini Kenya. Ilianzishwa mwaka wa 1901 na uwezo wa vitanda takribani 40 kama Native Civil Hospital, ilibadilishwa jina na kuitwa King George VI mwaka 1952. Wakati huo,masetla walikuwa wakihudumiwa na hospitali ya jamii iliyoko karibu, European Hospital (sasa inaitwa Nairobi Hospital). Ilibadilishwa jina hadi Kenyatta National Hospital - baada ya Jomo Kenyatta - kufuatia uhuru kutoka Uingereza. Kwa sasa ndiyo hospitali kubwa ya rufaa na mafundisho nchini.", "Jomo Kenyatta\nKutokana na kuhusishwa na harakati za vita vya msituni vya kundi la Mau Mau alihukumiwa miaka saba jela mwaka 1952. Huwezi kuzungumza historia ya Kenyatta bila ya kuitaja Maumau.", "Chuo Kikuu cha Kenyatta\nChuo Kikuu cha Kenyatta kina historia yake kutoka kwa kambi la wanjeshi wa ukoloni kwa jina \"Templer Barracks\" ambapo mnamo mwaka wa 1965 \"Templer Barracks\" ilibadlishwa na kuwa Kenyatta University College, yaani taasisi ya mafunzo ya mwalimu wa shule za msingi.Baadaye,ilipata muinuko na kuwa sehemu ya [Chuo Kikuu cha Nairobi] katika mwaka wa 1970.Mnamo mwaka wa 1985 chuo hiki kilifanywa kiweze kujisimamia ana aliyekuwa rais wa jamhuri ya [Kenya], [Daniel arap Moi] kisha kikaitwa Chuo Kikuu cha Kenyatta. Hii ilifanyika baada ya mswada kupitishwa bungeni kulingana na katiba ya Kenya.", "Chuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Jomo Kenyatta\nMnamo Tarehe 1 Septemba 1988, Daniel Arap Moi, alitangaza JKCAT kuwa Chuo husika cha Kenyatta University kupitia kwa Notisi ya kisheria, chini ya kifungu cha Sheria cha Kenyatta University (CAP 210C). Jina la JKCAT lilipadilishwa rasmi na kuwa Jomo Kenyatta University College of Agriculture and Technology (JKUCAT). Hatimaye kilifahamika kama Chuo Kikuu kupitia kifungu cha sheria JKUAT cha 1994 na kuzinduliwa rasmi tarehe 7 Desemba 1994.", "Jomo Kenyatta\nBaadaye alioa mke wa tatu aliyeitwa Mama Ngina Kenyatta ambaye alikuja kuwa mke wa rais wa kwanza na ambaye ndiye mama yake Uhuru Kenyatta, rais wa sasa.", "Familia ya Jomo Kenyatta\nUhuru Kenyatta", "Jomo Kenyatta\nMwaka mmoja baadaye, Kenyatta akawa rais wa kwanza wa Kenya juu ya uanzishwaji wa jamhuri.", "Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta\nUkumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta au Kenyatta International Conference Centre (KICC) ni jengo la ghorofa 30 iliko mjini Nairobi, Kenya." ]
44
Mto mkubwa Rwanda ni gani?
[ "Mto Kagera\nMto Kagera (kwa Kinyarwanda: Akagera) ni kati ya mito inayounda mto Nile, pia ni mto mkubwa kabisa wa kuingia ziwa la Viktoria Nyanza." ]
[ "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "Mto Kagera\nJamii:Mito ya Burundi Jamii:Mito ya Rwanda Jamii:Mito ya Uganda Jamii:Mito ya Tanzania Jamii:Ziwa Viktoria Jamii:Nile Jamii:Mkoa wa Kagera Jamii:Mediteranea", "Mto\nChanzo cha mto mara nyingi ni chemchemi au ziwa au maungano ya vijito vidogo. Mto hufuata mwendo wake kwa mtelemko hadi mwisho wake baharini au ziwani au kwa mto mwingine. Kama mto ni mdogo huitwa kijito. Mto mkubwa sana kama Kongo au Nile unaweza kuitwa mto mkubwa au jito.", "Rwanda\nRepublic of Rwanda (ing.) République Rwandaise (far.) Repubulika y'u Rwanda (Kinyarwanda) Jamhuri ya Rwanda (Kiswahili) (Details)(Details)Lugha rasmiKiingereza, Kifaransa, Kinyarwanda, KiswahiliMji MkuuKigaliSerikaliJamhuriRaisPaul KagameWaziri MkuuAnastase MurekeziEneokm² 26.338Eneo la Rwanda Kazembekm² 123.553Idadi ya wakazi11,262,564 (Januari 2015)Wakazi kwa km²445Uhurukutoka Ubelgiji 1 Julai 1962PesaRwanda-FrancWimbo wa TaifaRwanda nziza (Rwanda nzuri)", "Kipoland\nco? - nini?\nkto? - nani?\ngdzie? - mahali gani?\ndokąd? - wapi?\nkiedy? - hini?\njak? - vipi?\ndlaczego? - kwanini?\nktóry? - ipi?", "Daraja la Rusumo\nDaraja la Rusumoni daraja la kimataifa linalovuka Mto Kagera na kuunganisha nchi jirani za Rwanda na Tanzania.", "Hakuna matata\nJambo, Jambo Bwana, habari gani? Mzuri sana!", "Rwanda\nKwa wastani kuna wakazi 300 kwa kilomita ya mraba ambayo ni msongamano mkubwa kabisa katika Afrika. Karibu nusu ya wakazi ni watoto hadi umri wa miaka 14.", "Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ya Rwanda\nMahakama ya Kimataifa ya Jinai ya Rwanda (ing. International Criminal Tribunal for Rwanda, ICTR), au Tribunal pénal international pour le Rwanda (TPIR) kwa Kifaransa, ni mahakama ya kimataifa yaliyoanzishwa mnamo mwezi Novemba mwaka wa 1994 na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ili kuwahukumu watu walisababisha mauaji ya kimbari ya Rwanda na hatia zingine kuu za sheria ya kimataifa nchini Rwanda, au raia wa Kirwanda katika nchi jirani, kati ya tarehe mosi Januari na tarehe Desemba mwaka wa 1994", "Rwanda\nRwanda ni mwanachama wa Umoja wa Mataifa na wa Umoja wa Afrika.", "Rwanda\nWakazi wa Rwanda ni zaidi ya milioni 11. Banyarwanda milioni 2 wako Uganda na wengi zaidi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.", "Kinyarwanda\nMuraho = Habari gani?", "Kiteso\nHabari --- yoga \nU hali gani? --- Ijai biai \"(umoja)\" \nIjaasi biai \"(wingi)\" \nSalama salmini, na wewe je? Ejokuna, arai ijo? \nNjema --- ejokuna \nWaitwaje? --- \nIngai bo ekon'kiror? \nJina langu ni ... ---\nEka'kiror ... \nJina ---\nEkiror \nNi vizuri kukujua. ---\nEyalama ewanyun \"(pia:\" Eyalama aanyun) \nTutaonana baadaye tena ---\nAwanyunos Bobo \nKitabu --- Eitabo \nSababu --- Naarai", "Kigali\nKigali ni mji mkuu wa Rwanda na pia mji mkubwa kuliko mingine yote nchini.", "Orodha ya miji ya Rwanda\nHii ni orodha ya miji ya nchi ya Rwanda yenye angalau idadi ya wakazi 10,000 (2005).", "Daraja la Kimataifa la Rusumo\nDaraja la Kimataifa la Rusumo ni daraja lililofunguliwa mwaka 2014 unaovuka Mto Kagera na kuunganisha nchi jirani za Rwanda na Tanzania.", "Mto Njano\nMto Njano (Kichina Huang He) ni mto mkubwa wa China ya Kaskazini, mto mkubwa wa pili wa China yote na mto mrefu wa nane duniani. Jina limetokana na rangi ya matope ya ardhi unamopita.", "Gideoni\n\"Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani?\nTazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase,\nna mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu\".", "Historia ya Rwanda\nUkoloni ulichelewa kufika Rwanda; mwaka 1890 Ujerumani na Uingereza walipatana ya kuwa Rwanda na Burundi ni sehemu ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. Lakini ilikuwa mwaka 1908 tu ya kwamba Wajerumani walimtuma afisa wa kudumu aliyekaa Rwanda kama mwakilishi wa serikali ya Ujerumani. Mwaka 1916 Ubelgiji na Uingereza walivamia Rwanda katika Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. Baadaye ikawa chini ya Ubelgiji pamoja na Burundi kama \"Rwanda-Urundi\" katika hali ya eneo la kudhaminiwa kutokana na azimio la Shirikisho la Mataifa.", "Historia ya Rwanda\nMnamo 1990 ilikuwa wazi ya kwamba Rwanda ilikuwa na hali ngumu. Kwa upande moja nchi za nje zilisukuma serikali za Afrika kuruhusu kura huru za kisiasa; katika Rwanda ongezeko la wakazi lilileta msongamano mkubwa na uhaba wa ardhi ya kilimo. Uchumi ilikuwa duni. Wakati huohuo wapinzani Wahutu walikusanyika nje ya nchi ny kudai demokrasia. Na kati ya watoto wa Watutsi waliokuwa walitoka nchini sauti zikasikika zilizodai warudi tena.", "Kutoka (Biblia)\nWaisraeli walitakiwa watambue historia yao si kama kusanyiko la masimulizi ya matukio, bali kama ufunuo wa tabia ya Mungu. Yeye kwao alikuwa nani, aliwafanyia nini, naye aliwatazamia wafanye mambo gani? ", "New York (jimbo)\nMto mkubwa ni Mto Hudson.", "Yosefina Bakhita\nSaa za mwisho akili yake ilirudia mateso ya utumwani akalia, \"Minyororo inanibana mno, muilegeze kidogo, tafadhali!\". Alipozinduka, aliulizwa: \"U hali gani? Leo ni Jumamosi\". \"Ndiyo, nina furaha iliyoje: Bibi yetu... Bibi yetu!\". Ndiyo maneno yake ya mwisho. \nBakhita alifariki saa 2:10 usiku tarehe 8 February 1947. Siku tatu mfululizo watu waliandamana kuheshimu masalia yake kabla hajazikwa.", "Mto Ruvuvu\nMto Ruvuvu (pia Ruvubu au Rurubu) ni mto ambao unaanzia nchini Burundi na kuishia Tanzania ambapo unaungana na mto Nyabarongo kutoka Rwanda kuunda mto Kagera ambao unaishia katika Ziwa Viktoria.", "Colorado\nMto mkubwa ni Mto Colorado.", "Uislamu nchini Rwanda\nUislamu nchini Rwanda ni dini yenye wafuasi wachache mno nchini humo, inaabudiwa na watu asilimia 2 ya idadi ya wakazi wote wa nchini humo - kwa sensa ya mwaka wa 2012. Wako zaidi upande wa mashariki wa nchi na katika miji mikubwa. Sehemu kubwa ya Waislamu wa Rwanda ni wale wa dhehebu la Sunni.", "Mto Kagera\nJina la mto wa Kagera umekuwa pia jina la mbuga ya wanyama ya Akagera National Park huko Rwanda na pia la Mkoa wa Kagera katika Tanzania.", "Kamembe\nTofauti nyingine ni kuzagaa kukubwa kwa dini ya Uislamu. Ukilinganisha na kwengineko Rwanda ambako dini iliyo zagaa ni dini ya kikristo ya mazehebu ya kikatoliki, zaidi ya asilimiya 95 ya wakaaji wa mji wa Kamembe ni waislam. Utumiaji wa kiswahili na kujiri kwa kwa dini hii vilifanya Kamembe kutafautiyana kabisa na mahala pengine nchini Rwanda: Ki mila na kiutamaduni. Huku kulifanya wanasiyasa waliyo itawala Rwanda kabla ya serikali ya sasa iliyoko nchini Rwanda kuwashika raia wa Kamembe kama vile raia wasio wa Rwanda. Kwa serikali hizi raia wa Kamembe waliitwa Waswahili. Hii ilisababisha wanyimwe haki zao mbali mbali za kiraia. Japo kuwa haya yalibadilika wakati serikali ya sasa ikiongozwa na RPF iliingiya madarakani nchini Rwanda mnamo mwaka wa 1994. Kamembe ni mmoja ya miji ya Rwanda ambako ziwa Kivu linapatikana.", "Rwanda\nRwanda (kwa Kifaransa: Le Rwanda; zamani pia \"Ruanda\") ni nchi ya Afrika ya Mashariki isiyo na pwani kwenye bahari yoyote.", "Rwanda\nVita vya wenyewe kwa wenyewe vya miaka ya 1990 vilileta uangamizaji mkubwa wa Watutsi. Kati ya asilimia 75 hadi 90 za wakazi Watutsi waliuawa katika wiki chache za mwaka 1994. Baada ya mwisho wa vita Watutsi wengi ambao wenyewe au wazazi wao walikuwa wamekimbilia Uganda na Tanzania walirudi tena Rwanda." ]
33
The Hard Part ni sehemu ya ishirini na moja ya kipindi gani?
[ "The Hard Part\n\"The Hard Part\" ni sehemu ya ishirini na moja ya msimu wa kwanza wa mfululizo wa kipindi cha ubunifu wa kisayansi kinachorushwa hewani na televisheni ya NBC, Heroes. Ni sehemu ya kwanza katika sehemu tatu za mwisho za msimu wa kwanza.[1] Jina linatokana na mstari wa mwisho wa Hiro kwenye sehemu iliyopita, \"Now the hard part.\" Pia ni mstari wa kwanza kwenye kipengele hiki." ]
[ "The Hard Part\nMohinder anakutana na Thompson, ambaye pia kwa mara ya pili anajaribu kumshawishi ajiunge na kikosi. Mohinder amesita, na kusema kwamba wao wote ni wahuni. Thompson bado anang'ang'ania, anamtambulisha Mohinder kwa Molly Walker, msichana mdogo mwenye uwezo wa kutazama mbali na kuona kila mtu alipo hataka kama yupo wapi. Hata hivyo, hawezi kutumia uwezo huu kwa kufuatia uchache wa ugonjwa uliomuua dada'ke Mohinder, Shanti.", "Nagib Mahfuz\nA translation into Arabic of James Baikie's Ancient Egypt (1932) مصر القديمة Whisper of Madness (1938) همس الجنون Mockery of the Fates (1939) عبث الأقدار. His first full-length novel, translated title in English Khufu's Wisdom. Rhadopis of Nubia (1943) رادوبيس The Struggle of Thebes (1944) كفاح طيبة Cairo Modern (1945) القاهرة الجديدة Khan al-Khalili (1945)خان الخليلي Midaq Alley (1947) زقاق المدق The Mirage (1948) السراب The Beginning and the End (1950) بداية ونهاية Palace Walk (1956) بين القصرين (Cairo Trilogy, Part 1) Palace of Desire (1957) قصر الشوق (Cairo Trilogy, Part 2) Sugar Street (1957) السكرية (Cairo Trilogy, Part 3) Children of Gebelawi (1959) أولاد حارتنا The Thief and the Dogs (1961) اللص والكلاب Quail and Autumn (1962) السمان والخريف God's World (1962) دنيا الله Zaabalawi (1963)زعبلاوي The Search (1964) الطريق The Beggar (1965) الشحاذ Adrift on the Nile (1966) ثرثرة فوق النيل Miramar (1967) ميرامار The Pub of the Black Cat (1969) خمارة القط الأسود A story without a beginning or an ending (1971) حكاية بلا بداية ولا نهاية The Honeymoon (1971) شهر العسل Mirrors (1972) المرايا Love under the rain (1973) الحب تحت المطر The Crime (1973) الجريمة Karnak Cafe (1974) الكرنك Stories from Our Neighbourhood (حكايات حارتنا (1975 Respected Sir (1975) حضرة المحترم The Harafish (1977) ملحمة الحرافيش Love above the Pyramid Plateau (1979) الحب فوق هضبة الهرم The Devil Preaches (1979) الشيطان يعظ Love and the Veil (1980) عصر الحب Arabian Nights and Days (1981) ليالي ألف ليلة Wedding Song (1981) أفراح القبة One hour remains (1982) الباقي من الزمن ساعة The Journey of Ibn Fattouma (1983) رحلة ابن فطومة Akhenaten, Dweller in Truth (1985) العائش فى الحقيقة The Day the Leader was Killed (1985) يوم مقتل الزعيم The Hunger (Al-Go'a) (1986) الجوع Morning and Evening Talk (1987) حديث الصباح والمساء Fountain and Tomb (1988) Echoes of an Autobiography (1994) Dreams of the Rehabilitation Period (2004) أحلام فترة النقاهة The Seventh Heaven (2005) Dreams of Departure (2007; posthumous translation) Before the Throne (2009; posthumous translation) أمام العرش", "Mia moja na ishirini na moja\nMia moja na ishirini na moja ni namba inayoandikwa 121 kwa tarakimu za kawaida na CXXI kwa zile za Kirumi. ", "Coast to Coast\nAlbamu ya \"Coast to Coast\" ilishika namba moja katika chati ya muziki ya Uingereza, UK Top 75 Albumsna kufanikiwa kuuza nakala 234,000 katika wiki ya kwanza peke yake, na albamu nzima iibaki katika nafasi ya kwanza kwa kipindi cha wiki moja nzima, na kufuatiwa na kundi la The Beatles na albamu yao ya The Beatles 1, albamu ambayo ilitambulika kama yenye ubora wahali ya juu, hususani baada ya kuuza nakala milioni 1.5, katika nchi ya Uingereza peke yake.", "The Rescuers\nThe Rescuers (kwa Kiswahili: Waokoaji) ni filamu ya katuni ya mwaka wa 1977. Ilitayarishwa na Walt Disney Productions na kutolewa kwa mara ya kwanza tarehe 22 Juni 1977. Hii ni filamu ya ishirini na tatu kutolewa katika mfululizo wa Walt Disney Animated Classics. ", "How to Stop an Exploding Man\n\"How to Stop an Exploding Man\" ni sehemu ya ishirini na tatu na mwisho ya msimu wa kwanza wa mfululizo wa kipindi cha ubunifu wa kisayansi kinachorushwa hewani na televisheni ya NBC, Heroes. Sehemu hii ilitungwa na Tim Kring na kuongozwa na Allan Arkush. Kipengele ndiyo cha mwisho katika vipande vitatu vya mwisho katika msimu wa kwanza.[1]", "Another Part of Me\n\"Another Part of Me\" imeshika nafasi zifuatazo:Muziki wa video rasmi ulitolewa mnamo 1988, na uliongozwa na Patrick Kelly, unamwonyesha Jackson akiimba moja kwa moja wakati wa ziara yake ya Bad World Tour kwenye uwanja wa michezo wa Wembley Arena.", "The Bronx\nThe Bronx ni moja kati ya sehemu za New York City, Marekani. Jina linatokana na Bronck's Farms, ambalo linamilikiwa na mlowezi mmoja aitwaye Jonas Bronck.", "213 (kundi)\nMwaka wa 2004, waliungana tena na kutoa albamu ya \"The Hard Way\", ambayo ilifikia #4 katika chati za Billboard 200 huko nchini Marekani. Albamu ilitoa single kama vile \"Groupie Luv\" na \"So Fly\". Jina la kundi linatokana na kodi ya eneo la Long Beach kwa kipindi chicho.", "Spiceworld\nSpiceworld ni albamu ya pili ya kundi la muziki wa pop la Kiingereza, Spice Girls. Albamu ilitolewa mwaka wa 1997. Jina hili pia ni jina la filamu yao iitwayo Spiceworld The Movie. Albamu hii ilipata kuwa mashuhuri sana ulimwenguni, na kuthubutu hata kuitwa homa ya \"Spicemania\" kwa kipindi hicho. Albamu imetoa single tatu babkubwa zilizoingia kwenye ishirini bora za Marekani, single nne kali zilizoingia kwenye chati za UK, na single zilizoshika namba moja katika tano bora za Asia. Albamu imeuza kopi milioni 20 kwa hesabu ya dunia nzima. Hii pia ilikuwa albamu ya mwisho kumshirikisha Geri Halliwell hadi hapo walipokuja kutoa albamu ya vibao vikali ya Greatest Hits miaka 10 baadaye, mnamo 2007.", "The Hard Part\n, Director's blog on the filming of this episode.", "Don Gordon (Mwigizaji)\nGordon alizaliwa jijini Los Angeles, California, akapewa jina la Donald Walter Guadagno. Filamu zake maarufu ni zile alizoigiza akiwa na mwenzake Steve McQueen hasa Bullitt, Papillon na The Towering Inferno. Aliigiza kama mwigizaji mgeni katika kipindi cha McQueen katika stesheni ya CBS kilichoitwa Wanted: Dead or Alive. Katika mwaka wa 1981, Gordon aliigiza kama msaidizi wa Mpinga Kristo Damien Thorn katika filamu. Gordon ,pia, aliigiza sehemu ndogo kama afisa wa polisi katika filamu ya Lethal Weapon, iliyohusisha Mel Gibson na Danny Glover. Katika mwaka wa 1962, alichaguliwa kama mshindani kwa tuzo ya Primetime Emmy kwa uigizaji wake kama Joey Tassil katika kipindi cha CBS cha The Defenders.", "The Tech (gazeti)\nThe Tech, lililochapishwa kwa mara ya kwanza 16 Novemba 1881, ni gazeti kongwe kabisa na kubwa kabisa la kampasi katika Taasisi ya Teknolojia ya Massachusetts( Massachusetts Institute of Technology-MIT) . Linapatikana katika eneo la Cambridge, Massachusetts. Matoleo huchapishwa Jumanne na Ijumaa katika mwaka wa masomo, kila siku katika kipindi cha wanafunzi wapya kuripoti, mara moja kwa wiki katika mwezi wa Januari na mara kadhaa katika majira ya joto. Nakala huchapishwa na husambazwa kote katika kampasi ya MIT katika asubuhi hiyo ya uchapishaji.", "Don Gordon (Mwigizaji)\nMwaka wa 1963, Gordon alihusishwa katika \"Without Wheat, There is No Bread katika kipindi cha CBS cha The Lloyd Bridges Show. Mwaka uo huo, yeye alihusishwa katika kipindi cha televisheni ya stesheni ya NBC cha The Eleventh Hour. Katika msimu wa 1963 -1964, yeye aliigiza kama askari kutoka vita ya Vietnam Kusini katika kipindi cha ABC, Channing ,kilichohusisha kampasi ya kubuni ya Chuo cha Channing.Channing ilihusisha waigizaji maarufu kama Jason Evers na Henry Jones. Alipewa jukumu jingine katika toleo la The Invisible katika kipindi cha The Outer Limits. Katika mwaka wa 1974, yeye aliigiza mhusika ambaye ni mwasi aliyekuwa ametoka gerezani. Mhusika huyu anauawa na Dick Van Dyke katika toleo la kipindi cha Columbo la Negative Reaction.", "Five Years Gone\n\"Five Years Gone\" ni sehemu ya ishirini ya msimu wa kwanza wa mfululizo wa kipindi cha ubunifu wa kisayansi kinachorushwa hewani na televisheni ya NBC, \"Heroes\". Hiki ni kipengele cha mwisho kabla ya vipande vitatu vya mwisho vya msimu wa kwanza.\nSehemu hii awali ilijulikana kama \"String Theory.\" Jina lilibadilishwa na kuwa \"Five Years Gone\", na \"String Theory\" ilitumika kama jina la Ukurasa wa 30 kwenye riwaya za picha za Heroes. ", "The Hard Part\nKwenye mkesha wa uchaguzi, matukio yanaendelea kutoa wahusika huko mjini New York City. Kwenye karakana ya Isaac Mendez, Sylar anaendela kuchora. Akiangalia matokeo, anaona mchoro wa mapambano baina yake yeye na Ted Sprague, na mlipuko mwingine wa nyuklia huko mjini New York. Anagundua ya kwamba huenda akawa ndiye chanzo cha mlipuko, Sylar anampigia simu Mohinder Suresh na kuomba msaada wake, anasema kwamba hataki kuua watu wasio na hatia, na kwamba amechukua nguvu kutoka kwa watu ambao \"hawa-kustahili kuwa nazo\" - lakini kisha akakata simu baada ya kumsikia Mohinder anapiga '911' kupitia simu yake ya mkononi. Sylar kisha anampigia mama'ke, Virginia Gray (Ellen Greene), na kumwuliza kama anaweza kwenda kumuona.", "Jean-Claude Van Damme\nAnajulikana kwa majukumu yake katika The Expendables 2, JCVD, Bloodsport, Kickboxer, Hard Traget, Timecop, Kifo cha Ghafla, Askari wa Universal, Cyborg na Siku ya Jeshi la Universal Reckoning.", "A Good Man is Hard to Find\nIgizo la Televisheni la hadithi \"The Life You Save May Be Your Own,\" likimshirikisha Gene Kelly kama nyota, lilikuwa kipindi cha televisheni ya CBS network \"Schlitz Playhouse\" mnamo 1 Februari 1957. O'Connor hakupendezwa na matokeo.\"", "Mariah Carey (albamu)\nAlbamu ya \"Mariah Carey\" ilifanikiwa kufanya vizuri katika chati ya nchini Marekani ya Billboard 200 na kufika hadi nafasi ya 80, na kuingia katika nyimbo ishirini bora katika juma la nne tangu iwe katika chati hiyo na hatimaye ilifika katika nfasi ya kwanza katika juma la arobaini na tatu, na kushikilia nafasi hio kwa kupindi cha majuma kumi na moja mfululizo. Hadi hii leo ,hii ndio albamu ya Carey iliyowahi kukaa katika nafasi ya kwanza kwa kipindi kirefu zaidi. wimbo huu uliendelea kukaa katika nyimbo ishirini bora kwa kipindi cha majuma sitini na tano, na kukaa katika nyimbo mia moja bora za Billboard kwa kipindi cha mjuma 113. Kwa mujibu wa shiria laRIAA Albamu ya hii kutoka kwa Carey ni moja ya albamu zilizowahi kupata mauzo mazuri zaidi nchini Maekani, na hadi kufikia mwezi Machi mwaka 2006,albamu hii ilikuwa tayari imekwisha kuuza nakala zaidi ya milioni nane nchini Maekani. Pia ilikuwa albamu iliyoongoza kwa mauo kwa mwaka 1991 chini Marekani =..", "Hard Knock Life (Ghetto Anthem)\n\"Hard Knock Life (Ghetto Anthem)\" ni single kutoka katika albamu ya tatu ya rapa wa JKimarekani, Jay-Z. Single inatoka katika albamu ya \"Vol. 2... Hard Knock Life\". Imechukua sampuli ya wimbo wenyejina lilelile la kigwagizo cha Broadway \"\". Wimbo umetayarishwa na The 45 King na wakati wimbo huu ulivyokuwa unatoka, ulikuwa wimbo uliopata mfanikio makubwa kabisa katika kazi za Jay-Z. Jumuia ya utoaji wa tunu za muziki ya Marekani ya , imeitunukia single hii dhahabu mnamo mwezi wa Machi ya mwaka wa 1999. Mengineyo, single ilipatwa kushindanishwa katika Tuzo za Grammy katika upande Rap Bora za Msanii Mmoja-Mmoja wakati wa ugawaji wa tuzo wa 41 mnamo 1999.", "A Good Man is Hard to Find\nIgizo la jukwaani la dakika 45 linalitokana na \"A Good Man Is Hard to Find\" lilikamilishwa mnamo 2003 na David Volk, mmoja wa wanafunzi wa muziki katika chuo cha Georgia kama mradiwake wa mahitaji katika utunzi wa kisanaa. Igizo hili lilifanyiwa Seney-Stovall Chapel jijini Athens kwa msaada wa kifedha kutoka kwa chuo kikuu cha Ideas for Creative Exploration (ICE). Baadaye mwaka huo, kazi yake iliigizwa tena katika chuo cha Piedmont jijini Demorest, GA, na pia Milledgeville, GA, \"Flannery O'Connor: The Visionary and the Venacular,\" ambalo ni kongamano la nyanja mbalimbali lililothaminiwa na chuo cha Georgia (ambacho pia ni maskani ya Flannery O'Connor Library). Mnamo 2007, kazi hii iliigizwa katika tawi la Chuo Kikuu cha Virginia mjini Wise ambapo Dk. Volk anafunza kama Profesa msaidizi wa Somo la Muziki.", "Chris Brown (mwimbaji)\nBrown amehudhuria kipindi cha UPN cha One on One na katika tukio la majaribio la kipindi cha The N' s Brandon T. Jackson Show .[24][25] Aidha, Brown alipata nafasi ndogo ya kuigiza kama mmoja wa wanabendi katika msimu wa nne wa kipindi cha Fox The O. C. katika mwezi wa Januari 2007.[26] Kisha Brown akapata nafasi yake ya kwanza katika filamu Stomp the Yard, wakiwa na Ne-Yo, Meagan Good na Columbus Short katika mwezi wa Januari 2007.[27] Baadaye Brown alishiriki katika filamu ya This Christmas, igizo la drama ambalo mhusika mkuu alikuwa ni Regina King, iliyotolewa tarehe 21 Novemba 2007.[28] Mnamo 9 Julai 2007, Brown alishiriki katika sehemu ya onyesho la MTV la My Super Sweet 16 (kwa ajili ya tukio hilo, jina lilibadilishwa na kuitwa: Chris Brown: My Super 18) kuadhimisha kutimiza kwake kwa miaka kumi na nane mjini New York.[29] Brown pia aliigiza kama mhusika wa kualikwa katika filamu ya Disney ya The Suite Life of Zack & Cody kama yeye mwenyewe.[30] Brown anatarajiwa kuigiza kama mhusika mkuu katika filamu ya drama ya mpira wa kikapu Phenom. [31]", "Paul Kellerman\nPaul Kellerman ni jina la kutaja uhusika wa katika mfululizo wa kipindi cha televisheni cha Kimarekani cha Prison Break. Uhusika ulichezwa na Paul Adelstein. Uhusika huu ulitambulishwa katika sekta ya Huduma ya Siri ya kikachero (agent) katika mfululizo wa pilot, lakini mwigizaji huyu hakuingizwa katika wahusika hadi hapo ilipofikia kwenye sehemu ya tatu ya mfululizo huu. Uhusika huu ni maarufu kwa kuwa upo katika sehemu ya watu wenye roho mbaya (mmoja kati ya makachero wa The Company).", "Landslide (Heroes)\n\"Landslide\" ni sehemu ya ishirini na mbili ya msimu wa kwanza wa mfululizo wa kipindi cha ubunifu wa kisayansi kinachorushwa hewani na televisheni ya NBC, \"Heroes\". Ni sehemu ya pili ya vipande vitatu vya mwisho katika msimu wa kwanza.", "Trilogy\nTrilogy neno la kutaja mfululizo wa hadithi au filamu zilizo na sehemu tatu, yaani, 1, 2 na 3. Kwa mfano, mflulizo wa filamu ya The Godfather unaitwa trilogy kwasababu ipo katika sehemu tatu: The Godfather, The Godfather Part II, na The Godfather Part III.", "Al Jazeera\n- ni kipindi kinachoonyeshwa mara moja kwa wiki, ikitangazwa na Teymoor Nabili. Maudhui yake ni kama siasa nchini Asia, biashara na habari za mambo leo. - inayotangazwa na Amanda Palmer (mwandishi habari) na huonyesha jinsi maisha yanavyokwenda katika miji tofauti tofauti. - inayotangazwa na Shiulie Ghosh, na hueleza kuhusu pilkapilka za wanawake nchini Mashariki ya Kati. - inayotangazwa na Amanda Palmer kipindi kiachozungumzia kuhusu uigizaji na sanaa. Frost Over The World - inayotangazwa na David Frost ni kipindi cha mahojiano kuhusu mambo leo. - inayotangazwa na Jasim Al-Azzawi, ni kipindi cha mahojiano kuhusu siasa za nchi yz Iraki", "The Hard Part\nJamii:Sehemu za Heroes", "Professor Jay\nAnafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii Professor Jay (zamani Nigga Jay). Katika Tanzania anatazamika kama msanii aliyeweza kuwateka wazee wasikilize muziki wa Bongo Flava. Hasa kwa kibao alichofanya wakati yupo na kundi la Hard Blasters Crew - Chemsha Bongo. Kundi hilo ni moja ya makundi yaliyofanya muziki hup, ambao hujulikana kama 'muziki wa kizazi kipya', kukubaliwa na sehemu kubwa ya Watanzania.Jay vilevile ni moja kati ya waanzilishi au wasanii wa awali kabisa katika muziki wa hip hop ya Tanzania.", "Westlife\nNdani ya mwezi mmoja tangu,McFadden aondoke, Kundi lilianza maonesho ya matamasha ya albamu ya Turnaround Tour onesho la moja kwa moja la Flying Without Wings ilitolewa maalumu, na kuwasaidia kupata namba moja katika chati ya Uingereza, .Baada ya hapo, walaiamua kuweka Rat Park katika albamu.Allow Us To Be Frank ikishika namba tatu. Hakuna wimbo uliotolewa kama pekee katika albamu hii. Ain't That A Kick In The Head\", ukiwa na video ya muziki ulitolewa kwa ajili ya mataifa mengine ya Uropa. Smile na Fly Me to the Moon na video ya muziki pia.ilitolewa, tangu kutolewa kwa albumu yao,Westlife wamekuwa wakitafuta washabiki wa hakika ili kuwasadia katika kuinua album yao,katika moja yamaonesho yao maalumu ya \"She's The One\"niliyofanywa na Kate Thornton Baada ya X-Factor walimpata Joanne Hindley ambaye waliweza kurekodi nae wimbo wa The Way You Look Tonight.Kutengeneza huu ushirikiano maalumu, kipindi maalumu kiliandaliwa kikionesha nyimbo na maonesho ya moja kwa moja .Matamasha yaliyojuisha Joanne, Westlife waliendela kwenda hadi Uropa kama sehemu ya maonesho yao. Ya The Number Ones Tour kabla ya kuchukualikizo ya miezi minane kutoka kazini.\nTarehe 4/5/2005, Westlife walipoteza nembo yao ya biashara ya \"West\" kutoka kwa Kampuni ya Kijerumani.Mwaka2005, walirudi na na wimbo mmoja wa You Raise Me Up ambao pia ulichuliwa katika albamu yao ya Face To Face Tarehe 6/11/2005, nyimbo hiyo pamoja na albamu zilikua tayari zimeshafika katika namba moja katika chati ya muziki ya Uingereza naukafanya hivyo hivyo katika wiki ya pili ." ]
57
Roma ni mji katika nchi gani?
[ "Roma\nRoma (pia: Rumi) ndio mji mkuu (\"Roma Capitale\") wa Jamhuri ya Italia." ]
[ "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "Waorthodoksi\nWaorthodoksi ni Wakristo wanaofuata mapokeo ya Mitume wa Yesu jinsi yalivyostawi kihistoria katika Ukristo wa Mashariki upande wa mashariki wa Dola la Roma iliyoitwa pia Bizanti na nje ya mipaka yake. Leo hii ni nchi za Ulaya ya Mashariki pamoja na nchi za Mashariki ya Kati ulipoenea baadaye dini ya Uislamu.", "Dola la Roma\nDola la Roma lilianza kupanuka katika Italia. Mwaka 396 KK mji jirani wa Veio ulitwaliwa na kuharibiwa. Katika karne ya 4 KK vilitokea vita kati ya Roma na majirani na eneo lote la Lazio likatawaliwa na Roma. ", "Djemila\nDjemila (kar.: جميلة \"mzuri, unaopendeza\") ni kijiji katika Algeria ya kaskazini penye maghofu ya Curculum (pia: Cuicul) uliokuwa mji wa Roma ya Kale katika jimbo la Numidia. Maghofu yamepokelewa katika orodha ya urithi wa dunia tangu 1982. ", "Jamhuri ya Roma\nJamhuri ya Roma ilikuwa kipindi cha Roma ya Kale ambako mji na milki yake ilitawaliwa kwa mfumo wa jamhuri.", "Roma ya Kale\nRoma ya Kale ni ustaarabu uliokua kutoka katika mji Roma, ulioanzishwa katika rasi ya Italia kabla ya karne ya 9 KK. ", "Hakuna matata\nJambo, Jambo Bwana, habari gani? Mzuri sana!", "Warumi\nKirumi au Warumi inaweza kumaanisha:Kwa maana ya kihistoria, Waroma ni watu wa Dola la Roma lililotawala eneo kubwa katika Ulaya, Afrika ya Kaskazini na Asia ya Magharibi takriban karne ya 1 hadi ya 5 BK. Kiasili ndio watu wa mji wa Roma na mazingira yake tu, lakini baadaye sehemu kubwa ya wakazi wote wa dola wamekuwa raia wakiitwa Waroma.\"Angalia: vipengee vifuatazo vimeandikwa katika mpangilio wa kietimolojia.\"", "Dola la Roma\nLilianza kwenye mji mkuu wa Roma na rasi ya Italia ikaendelea kuunganisha makabila na mataifa ya nchi nyingi kwenye mabara matatu ya Ulaya, Afrika na Asia.", "Basilika la Mt. Petro\nBasilika hilo lote liko ndani ya eneo la Vatikani ambalo ni dola au nchi huru ndogo iliyoko ndani ya mji wa Roma (makao makuu ya Italia). ", "Israeli ya Kale\nWakati wa Agano Jipya, mji wa Yerusalemu, pamoja na nchi ya Israeli/Palestina, vilikuwa chini ya Dola la Roma, ambalo lilitawala maeneo yote yanayozunguka bahari ya Mediteranea. Mkuu wa Dola alikuwa na cheo cha \"Kaisari\" akikaa mjini Roma (Italia).", "Dola la Roma Magharibi\nDola la Roma Magharibi ni sehemu ya Dola la Roma upande wa Magharibi iliyo na mji mkuu wa Roma. Kuanzia mwaka wa 285 Dola la Roma lilikuwa na makaisari wawili ili kurahisisha utawala wa en eneo lililokuwa kubwa mno. ", "Kinyarwanda\nMuraho = Habari gani?", "Roma\nNdani ya mji wa Roma lipo eneo la mji wa Vatikano ambao ni nchi ya kujitawala chini ya Papa wa Kanisa Katoliki.", "Dola la Roma\nDola la Roma (kwa Kilatini \"Imperium Romanum\") lilikuwa milki kubwa lililoenea kwa karne kadhaa katika nchi zote zinazopakana na bahari ya Mediteranea (ambayo kwa sababu hiyo iliitwa \"Mare Nostrum\", yaani \"Bahari yetu\") na nyinginezo. ", "Historia ya Kanisa\nWatu wa Roma walifaulu kujenga dola hilo kubwa katika muda wa karne nyingi. Kwa jumla walitawala kwa hekima, hivyo wakafaulu kuendelea muda mrefu. Mwanzoni uraia ulikuwa kwa wakazi huru wa mji wa Roma tu, lakini polepole hata wakazi wa maeneo mengine chini ya Roma wakapewa haki za uraia.", "Ukristo\nKuanzia mwaka 100 hivi Kanisa likaitwa \"katoliki\" maana yake Kanisa moja kwa ajili ya nchi zote na watu wote, tofauti na vikundi vilivyojitenga nalo. Kila mji ulikuwa na askofu wake aliyeongoza kanisa. Maaskofu wa eneo au mkoa mmoja walikuwa chini ya Askofu Mkuu. Maaskofu wa Roma (Ulaya hadi Afrika Kaskazini-Magharibi), Aleksandria (Afrika) na Antiokia (Asia), waliheshimiwa kuliko maaskofu wengine wote wakaitwa \"Papa\" na \"Patriarki\". Cheo cha Patriarki kilipatikana pia kwa Askofu wa Bizanti (leo nchini Uturuki) baada ya makaisari wa Roma kuhamia kule, na vilevile kwa Askofu wa Yerusalemu.", "Waetruski\nWaetruski walianzisha miji 12 waliohusiana kama shirikisho. Inaaminika ya kwamba misingi ya mji wa Roma ni ya Kietruski pia. Wafalme wa kwanza wa Roma walikuwa wa asili ya Kietruski. Hivyo hadi mwaka 396 Roma ilikuwa chini ya athira ya Waetruski. ", "Dola la Roma\nMabaki ya himaya ya Karthago, pamoja na mji wenyewe, yalimalizwa na Roma katika vita ya tatu dhidi ya Wapuni kati ya miaka 149 KK na 146 KK. Karthago iliharibiwa kabisa na wakazi wote wasiouawa waliuzwa kama watumwa. \nWakati wa vita ya pili ya Wapuni mfalme Filipo V wa Makedonia aliwahi kuwasaidia Karthago. Roma ilitumia nafasi ya ushindi kupinga upanuzi wa Makedonia katika Ugiriki kwa kusaidia madola madogo za Ugiriki ya kusini dhidi ya Filipo V. Vita hizi kati ya Roma na Makedonia zilikuwa na shabaha za kuzuia kipaumbele cha ufalme wowote wa Ugiriki. Roma likabaki katika siasa ya Ugiriki zaidi kama mtazamaji.", "Kanisa la Roma\nKanisa la Roma ni hasa jimbo la Kanisa Katoliki lilipo katika mji wa Roma (Italia) na kandokando yake.", "Pompei\nPompeii ilikuwa mji wa Roma ya Kale uliopo katika Italia ya kusini karibu na mji wa Napoli ya leo.", "Gideoni\n\"Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani?\nTazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase,\nna mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu\".", "Campania\nMji mkuu wake ni Napoli, mji wa tatu wa nchi baada ya Roma na Milano.", "Vatikani\nWakati huo serikali ya Italia ilitaka kumuachia Papa Pius IX sehemu ya mji wa Roma kama eneo lake lakini Papa alikataa akitumaini Wakatoliki wa Italia na nchi nyingine duniani watalazimisha serikali ya Italia kumrudishia mji wote.", "Istanbul\nKonstantinopoli uliendelea kama mji mkuu wa Dola la Roma na baadaye Roma ya Mashariki uliojulikana pia kama Milki ya Bizanti hadi mwaka 1453 ambapo mji ulitwaliwa na Waturuki. Tangu mwaka ule uliendelea kama mji mkuu wa Milki ya Osmani hadi mwaka 1923. Baadaye serikali ya Uturuki ilihamia Ankara.", "Roma\nKatika karne zilizofuata Italia pamoja na Ulaya iliona vita na mashambulio ya makabila yasiyostaarabika. Mnamo mwaka 1000 Roma ilikuwa mji mdogo wenye wakazi 20,000 pekee walioishi ndani ya maghofu ya mji mkubwa wa kale.", "Sofia\nSofia ni mji wa kale mianzo yake ni katika karne ya 7 KK. Wakati wa Dola la Roma ilijulikana kwa jina \"Serdica\" au \"Sardica\".", "Mapatano ya Laterano\nLengo lake lilikuwa kumaliza suala la Roma lililovuruga Italia tangu mwaka 1870, nchi hiyo ilipoteka mji huo uliotawaliwa na Mapapa kwa karne nyingi. ", "Roma (maana)\nRoma (pia: Rumi) ni jina linalotumika kwa mji wa Roma (mji mkuu wa Italia), ama kwa dola la Roma lililokuwa kwa karne kadhaa kabla na baada ya Kristo dola kubwa kuliko zote duniani, tena kwa Kanisa la Roma ambalo ni kiini cha Kanisa Katoliki lote. Lilikuwa pia jina la mungu wa kike katika dini ya Roma ya Kale.", "Papa\nPapa ni pia mkuu wa nchi huru ya Mji wa Vatikano iliyopo ndani ya mji wa Roma (ambao ni mji mkuu wa Italia)." ]
38
Aina ya Sayari ni ngapi?
[ "Sayari\nJua letu lina sayari nane ambazo ni Utaridi (Mercurius), Zuhura (pia: Ng'andu; Venus), Dunia yetu (Earth), Mirihi (Mars), Mshtarii (Jupiter), Zohali (Saturnus), Uranus na Neptun. Toka mwaka 1930 hadi Agosti 2006 Pluto ilikuwa ikitambulika kama sayari hivyo kufanya idadi ya sayari zinazojulikana kuwa tisa. Hata hivyo chama chenye mamlaka juu ya masuala ya sayari na nyota, International Astronomical Union kimetangaza rasmi kuwa Pluto si sayari na kuiita sayari kibete[7]. Vitabu vya shule vilibatilishwa ili kukidhi mabadiliko haya japo bado kuna vitabu katika shule vya toleo la zamani ambazo bado zaonyesha Pluto kuwa sayari kweli." ]
[ "Sayari ya Tisa\nSayari ya Tisa (pia Sayari Tisa, kwa Kiingereza Planet Nine) ni jina la muda kwa sayari isiyojulikana bado lakini inayoaminiwa kuwepo kwenye sehemu za nje kabisa za mfumo wa jua letu.", "Sayari\nSayari (kwa Kiingereza planet) ni kiolwa kikubwa cha angani linalozunguka jua (au nyota nyingine) na kung'aa kutokana na nuru ya jua iliyoakisiwa, tofauti na nyota na jua zinazong'aa peke yake. Kwa macho inaonekana kama nyota, lakini baada ya kuitazama kwa muda wa mwaka inaonekana inabadilisha mahali pake angani, tofauti na nyota kwa jumla.", "Sayari\nSayari nyingine katika mfumo wa jua zimetambuliwa tangu kutokea kwa astronomia ya kisayansi kwa darubini. Hizi ni Uranus na Neptun. Katika lugha ya Kiswahili sayari zinazoonekana kwa macho huwa na majina ya asili ya Kiarabu isipokuwa Zuhura ina jina la Kibantu la Ng'andu pamoja na jina la asili ya Kiarabu. Majina mengine ni ya asili ya Kilatini.", "Eneo\nMakadirio ya eneo yana faida nyingi katika maisha ya kila siku. Nikitaka kupiga rangi kuta za chumba naweza kupima maeneo yote ya kuta zake. Kwa mfano chumba cha mita 3x4 na kimo cha mita 2 lina eneo la kuta zake za 28 m² (Kuta 2 zenye upana wa mita 3 x kimo mita 2 ni 2x3=6 x kimo 2 = 12m²; kuta 2 zenye upana wa mita 4 ni 2x4= 8 x kimo 2= 16 m²; 16m²+18m² = 28 m²). Nikijua hii naweza kuuliza dukani je wana rangi gani kwa ajili ya ukuta na kopo la rangi linatosha kwa mita za mraba ngapi? Wakisema 10 m ² najua nitahitaji kununua kopo 3. Katika mfano wa juu naweza kutoa eneo la mlango na madirisha labda zinatosha kopo 2 kubwa na 1 ndogo.", "Sayari ya Tisa\nKufuatana na makadirio ya Konstantin Batygin na Michael E. Brown wa California Institute of Technology (Caltech) ya mwaka 2016, uwezekano wa kuwepo kwa Sayari ya Tisa ni mkubwa. Waliingiza data zote za obiti katika vielelezo vya kompyuta, wakafikia suluhisho la kwamba, kuwepo kwa sayari kubwa inayozunguka jua katika umbali mkubwa nje ya ukanda wa Kuiper kunaweza kueleza mambo yasiyo ya kawaida ya obiti zilizochunguliwa. [14]", "Sayari\nKwa Kiswahili kuna tofauti kuhusu majina ya sayari kati ya vikundi viwili:", "Sayari ya Tisa\nUhakiki wa nadharia unahitaji kutambua Sayari ya Tisa au magimba mengine kwa vipimo. Hii haitakuwa rahisi. Sayari zinaonekana kwa sababu zinaakisia nuru ya jua. Katika umbali mkubwa vile ni nuru ndogo sana inayofika kutoka jua na kiasi kidogo zaidi kinachoweza kuakisiwa tena. Kwa hiyo ingeonekana kama nukta hafifu sana kwa darubini za astronomia. Njia ya pekee inategemea tabia ya sayari inayobadilisha mahali pake angani hata kama ni polepole, tofauti na nyota zinazokaa mahali pamoja. Hapa watazamaji wanapiga picha nyingi za maeneo wanayochungulia wanapoona mamilioni ya nyota. Sasa wanalinganisha kwa kompyuta kama kuna nukta za nuru zinazobadili mahali. Katika chaguo la sehemu wanapochungulia wanategemea utabiri zinazowezekana kutegemeana na vielelezo.", "Sayari kibete\nSayari kibete (\"dwarf planet\") ni jina jipya katika mafundisho ya astronomia. Lilianzishwa mwaka 2006 baada ya kugundua violwa mbalimbali vinavyozunguka jua letu ambavyo ni vikubwa kuliko asteoridi zilizojulikana hadi wakati ule lakini hazifai kuitwa \"sayari\" kamili. Azimio la kuyaita \"sayari kibete\" lilifanywa kwenye mkutano wa mwaka huo wa Umoja wa kimataifa wa wanaastronomia.", "Sayari ya Tisa\ninawezekana data zinazohusu obiti ya Pluto zina makosa makubwa inawezekana bado kuna masi isiyotambuliwa ndani ya mfumo wa jua letu, kama vile sayari ndogo, pamoja na Sayari ya Tisa inayowezekana nje. inawezekana kuna sayari iliyo ama kubwa zaidi au iko karibu zaidi na jua kuliko Sayari ya Tisa iliyotabiriwa na Batygin na Brown.[19]", "Mfumo wa Jua\nKuna magimba 8 yanayozunguka Jua letu yanyoitwa sayari. Sayari ya kwanza Utaridi(ing. Mercury) hadi Zohali (ing. Saturn) zinaonekana kwa macho. Tangu zamani ziilpewa majina na watu. Sayari za mbali zaidi ziligunduliwa tu baada ya kupatikana kwa darubini. Hadi mwaka 2006 Pluto iliyopo nje ya mzingo wa Neptuni ilihesabiwa kuwa sayari, lakini baada ya azimio la Umoja wa Wanaastronomia, Pluto inaitwa sasa \"sayari kibete“ pamoja na nyingine, si sayari kamili tena.", "Sayari ya Tisa\nHadi sasa Sayari Tisa haijaonekana moja kwa moja, hivyo ni sayari ya kinadharia tete.", "Sayari kibete\nSayari kibete (kwa Kiingereza ) ni kiolwa cha angani kinachofanana na sayari ndogo lakini hakitimizi tabia zote za sayari kamili. Masi yake yanatosha kufikia umbo la tufe sawa na sayari kamili, lakini haikusafisha obiti yake kwa kujivutia sehemu kubwa sana za violwa vya angani vidogo vinavyozunguka kwenye obiti hiyohiyo. ", "Sayari ya Tisa\nJamii:Sayari Jamii:Mfumo wa jua", "Aina za maneno\nAina za maneno ni dhana au maana ya neno/maneno. Pia aina za maneno huhusisha mgawanyo wa maneno hayo kulingana na matumizi yake.", "Sayari\nJamii:Astronomia Jamii:Kiolwa cha angani *", "Sayari ya Tisa\nUwepo wa Sayari ya Tisa haujakubaliwa na wanaastronomia wote. Kuna nadharia mbadala. Zote zinakubali kuna kitu nje ambacho kutokana na graviti yake kinasumbua obiti za magimba zilizopimwa.", "Sayari ya Tisa\nUwezekano utategemea pia mahali pa Sayari ya Tisa kenye obiti yake - kama iko karibu na periheli yake itakuwa rahisi zaidi; kama iko karibu na afeli yake itakuwa vigumu zaidi.", "Sayari\nSayari za jua letu hutofautiana kwa ukubwa na muundo. Mshtarii (Jupiter) ni sayari kubwa na masi yake ni mara 318 masi ya dunia yetu. Sayari ndogo ni Utaridi na masi yake ni takriban nusu ya dunia.", "Sayari ya Tisa\nKatika hesabu yao Sayari ya Tisa ingekuwa sayari jito ya gesi yenye masi takriban mara kumi kuliko dunia. Brown anawaza ya kwamba sayari itagunduliwa katika miaka mitano ijayo. [15] Kama ina masi hii na kama muundo wake unafanana na Uranus na Neptun, ni lazima sayari hii iwe na kipenyo mara 3.7 za dunia (km 46,600) na halijoto usoni ya K 47 (−226°C). [16]", "Angahewa\nSayari kubwa za nje kama Mshtarii (Jupiter) na Zohari (Saturn) si rahisi vile kuofautisha kati ya sayari yenyewe na angahewa yake. Sayari hizi huitwa pia \"jitu za gesi\" kwa sababu asilimia kubwa ya sayari yote ni elementi kama hidrojeni na heli ambazo kwetu duniani zinapatikana kama gesi. Kutokana na umbali mkubwa na jua ni baridi zaidi hadi gesi hizi kupitia katika hali mango. Vilevile hidrojeni katika kiini cha Mshtarii inaaminiwa kuwa katika hali metalia kutokana na sinikizo kubwa ya masi yake.\nKuna miezi kadhaa zinazunguka sayari za jua ambako angahewa zimegundliwa, kwa mfano kwa mwezi Titan wa Zoai na miezi ya Europa na Ganymed ya Mshtarii.", "Sayari ya Tisa\nKatika kielelezo obiti ya Sayari ya Tisa ingekuwa kabisa nje ya obiti ya Neptun.", "Zuhura\nSayari hii ina majina mawili kwa Kiswahili: Zuhura, kwa matamshi mengine pia \"Zuhra\", ni jina leye asili ya Kiarabu زُّهَرَة zuhara lenye maana asilia ya \"mwenye kung'aa\".", "Sayari\nSayari tano za Utaridi, Zuhura, Mirihi, Mshtarii na Zohari [8] huonekana kwa macho kama nyota angani. Lakini tangu zamani zilitambuliwa kuwa tofauti kwa sababu hazikai mahali palepale kama nyota ya kawaida bali huhamahama angani. Kutokana na tabia hii zimetazamwa mara nyingi kuwa na nguvu za pekee au hata kuwa miungu. Unajimu umetumia mwendo wa sayari zinazoonekana kwa macho kama msingi muhimu wa makadirio yao.", "Sayari ya nje\nSayari ya nje (ing. , au extrasolar planet) ni sayari inayozunguka nyota isiyo Jua letu. Iko nje ya mfumo wetu.", "Mfumo wa Jua\nSayari ambazo zipo katika mfumo wa Jua ni kama zifuatazo:", "Sayari kibete\nKufuatana na azimio la Umoja wa kimataifa wa wanaastronomia \nTabia za sayari kibete ni hizi nne:", "Sayari\nMuundo wa sayari ni tofauti; kuna vikundi kulingana na mata inayojenga sayari:", "Mfumo wa Jua\nSayari hupatikana katika vikundi viwili mara nying zinaitwa \"Sayari za ndani\" na \"Sayari za nje\".Sayari nne za ndani ni Utaridi, Zuhura, Dunia na Mirihi ambazo ni ndogo na ni sayari za mwamba kama Dunia.", "Sayari\nSayari za mwamba: sayari hizi zina muundo unaofanana na dunia yetu; asilimia kubwa ya masi ni mwamba. Hizi ni sayari za ndani za mfumo wa jua letu. Zote ni ndogo kuliko sayari za nje. Sayari jitu za gesi: sayari hizi kama Mshtarii (Jupiter) na Zohali (Saturnus) ni kubwa na zimefanywa na hidrojeni na heli. Masi ya Mshtarii ni mara 318 ile ya dunia, Zohali mara 95. Ilhali sayari hizi ni baridi kutokana na umbali mkubwa na jua, hidrojeni inapatikana kwa kiasi kikubwa katika hali mangu na kwenye sehemu za ndani hidrojeni ina tabia kama metali kutokana na shinikizo kubwa. Sayari jitu za barafu: hizi ni Uranus na Neptun. Ni kubwa kuliko dunia, lakini si kama sayari jitu za gesi; Uranus huwa na masi 14 za dunia, Neptun na masi 17 za dunia. Ganda la nje ni mchanganyiko wa hidrojeni na methani, na sehemu za ndani ni barafu ya maji na methani.", "Sayari\n(c) kama ni kiolwa tawala cha obiti yake na hivyo limeondoa violwa vingine kwenye obiti kwa graviti yake." ]
3
Mji mkubwa Burundi ni upi?
[ "Bujumbura\nBujumbura, ni mji mkuu wa Burundi unaokadiriwa kuwa na idadi ya wakazi 300,000. Mji upo kaskazini mashariki mwa Ziwa Tanganyika, na ni mji mkubwa zaidi Burundi, kitovu cha mawasiliano na uchumi nchini humo.", "Afrika ya Mashariki\nBurundi (mji mkuu Bujumbura) Djibouti (mji mkuu Jibuti (mji)) Eritrea (mji mkuu Asmara) Ethiopia (mji mkuu Addis Abeba) Kenya (mji mkuu Nairobi) Komori (mji mkuu Moroni) Madagaska (mji mkuu Antananarivo) Malawi (mji mkuu Lilongwe) Morisi (mji mkuu Port Louis) Mozambique (mji mkuu Maputo Rwanda (mji mkuu Kigali) Zambia (mji mkuu Lusaka) Shelisheli (mji mkuu Victoria) Zimbabwe (mji mkuu Harare) Somalia (mji mkuu Mogadishu) Sudan Kusini (mji mkuu Juba) Tanzania (mji mkuu Dodoma) Uganda (mji mkuu Kampala)" ]
[ "Ontario\nMji mkuu ni Toronto ambayo pia ni mji mkubwa wa Kanada.", "Vietnam\nMji mkuu ni Hanoi lakini mji mkubwa ni Mji wa Ho Chi Minh (zamani: Saigon).", "Ekuador\nMji mkuu ni Quito, lakini mji mkubwa zaidi ni Guayaquil.", "Mahore\nMji mkubwa ni Mamoudzou. Kitovu cha kiuchumi ni Kawéni.", "Hispania\nMji mkuu ni Madrid ambayo ni pia mji mkubwa wa nchi.", "Virginia\nMji mkuu ni Richmond (Virginia) na mji mkubwa ni Virginia Beach. ", "Funguvisiwa la Lamu\nMji mkubwa zaidi ni Lamu kwenye Kisiwa cha Lamu. Mji huu uko katika orodha ya Urithi wa dunia ya UNESCO.", "Ukanda wa Gaza\nMji mkubwa ni Gaza.", "Uswisi\nMji mkubwa ni Zürich wenye benki nyingi. ", "Luvironza\nLuvironza ni jina la mlima mkubwa wa Burundi na pia jina la mto wenye chanzo chake huko mlimani. ", "Moroko\nMji mkuu ni Rabat wenye wakazi milioni 1.2. Mji mkubwa ni Casablanca (kwa Kiarabu: الدار البيضاء dar al-baiDa = nyumba nyeupe). Miji yote miwili mikubwa ni miji ya bandari.", "Ingushetia\nIngushetia (Kirusi: Ингушетия) ni jina la kutaja mkoa ulioko nchini Russia. Mji mkuu wake ni Magas. Mji mkubwa wake ni Nazran.", "Krete\nMji mkuu na mji mkubwa ni Heraklion. ", "Michigan\nMji mkuu ni Lansing na mji mkubwa ni Detroit.", "Mji\nMji ni mkusanyiko wa makazi ya watu, shule, hospitali, ofisi, maduka, viwanda n.k. ulio mkubwa kuliko ule wa kijiji. Mji ukizidi kukua unakuja kuitwa pia jiji.", "Uhindi\nMji mkuu ni New Delhi, lakini mji mkubwa zaidi ni Mumbai. ", "Mto Ruvyironza\nJina linatokana na \"Mlima Luvironza\", mkubwa kuliko yote ya Burundi ambapo mto una chanzo chake. Mlima Luvironza una kimo cha m 2,700 juu ya UB uko kilomita 45 upande wa mashariki wa Ziwa Tanganyika.", "Quintana Roo\nMji mkuu ni Chetumal na mji mkubwa ni Cancún. ", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Quebec\nMji mkuu ni Jiji la Quebec ambayo ni kati ya miji ya kale ya Amerika ya Kaskazini. Mji mkubwa wa jimbo na mji wa pili wa Kanada ni Montreal.", "North Dakota\nMji mkuu ni Bismarck na mji mkubwa ni Fargo.", "Alaska\nMji mkuu ni Juneau lakini mji mkubwa ni Anchorage. ", "Slovakia\nMji mkubwa na mji mkuu ni Bratislava.", "Mkoa Huru wa Hanty-Mansi\nMkoa Huru wa Hanty-Mansi ni jina la kutaja mkoa ulioko nchini Russia. Mji mkuu wake ni Hanty-Mansiysk. Mji mkubwa wake ni Surgut.", "Christchurch\nChristchurch (Kimaori: \"Ōtautahi\") ni mji mkubwa na mji mkubwa wa pili wa New Zealand mwenye wakazi 376,700 (2010). Iko upande wa kusini wa kisiwa. Uneo lake ni 1,426 km². Mji ulinazishwa mwaka 1848. Upande wa mashariki ni maji ya Pasifiki.", "Mji mkuu\nMji mkuu kwa kawaida ni mji wenye makao makuu ya serikali ya nchi fulani. Katika nchi nyingi mji huo ni pia mji mkubwa na muhimu zaidi kushinda miji mingine nchini. Huo ni sehemu yenye maendeleo makubwa sana katika nchi yoyote: ina kila huduma muhimu na miundombinu iliyo bora. Mfano: nchini Tanzania mji mkubwa ni Dar es Salaam, ingawa makao makuu ni Dodoma.", "Burundi\nWanawake wanazaa kwa wastani watoto 6: hii nafasi ya juu ya tano duniani kote. thumbnail|250px|Piramidi ya umri kwa Burundi Jamii ya Burundi ni jamii ya vijijini, ni asilimia 13 pekee wanaoishi katika miji.[7]", "Brazil\nMji mkuu ni Brasilia, uliopangwa na kujengwa kati ya 1957 na 1960. Mji mkubwa ni Sao Paulo.", "New Mexico\nMji mkuu wa jimbo ni Santa Fe. Mji mkubwa ni Albuquerque. Idadi ya wakzi wa jombo lote hufikia watu 1,819,046 wanaokalia eneo la 315,194 km² ambalo ni hasa milima na jangwa." ]
75
Je,seli nyeupe ya damu ina kazi gani kuu kwenye mwili?
[ "Seli nyeupe za damu\nSeli nyeupe za damu (kwa Kiingereza: White blood cells, kifupi: WBCs; pia leukocytes au leucocytes) ndizo seli za damu zinazohusika na mfumo wa kingamaradhi ili kulinda mwili hidi ya maambukizi.", "Seli za damu\nSeli nyekundu za damu (erithrosaiti au erythrocyte) ambazo zinabeba oksijeni na kuisafirisha ndani ya mwili kutoka mapafu hadi seli za mwili. Kutokana na oksijeni zina rangi nyekundu inayofanya damu yote kuonekana nyekundu. Seli nyeupe za damu (lukosaiti au leukocyte) ambazo zinahusika na kinga ya mwili zikishambulia na kuharibu bakteria za hasara, seli za kansa na virusi. Visahani vya damu (thrombosaiti au thrombocyte) ambavyo vinahusika na uwezo wa damu ya kuganda na kufunika vidonda.", "Damu\nNdani ya damu kuna utegili (kwa Kiingereza plasma) ambao ni kiowevu chake pamoja na seli za damu nyekundu na nyeupe. Seli nyekundu hubeba oksijeni wakati daioksaidi ya kaboni hubebwa na utegili. Seli nyeupe ni kama walinzi wa mwili wa kupambana na magonjwa. Pia kuna chembe sahani." ]
[ "Nyota kibete nyeupe\nNyota kwenye safu kuu kama Jua huwa na nusukipenyo ya kilomita milioni lakini kibete cheupe kina nusukipenyo ya km 10,000 pekee yaani kama sayari. Hata hivyo kibete cheupe kina masi sawa na nyota katika mjao mdogo na pia graviti kama nyota. Densiti yake ni kubwa sana.", "Damu\nUpelekaji wa oksijeni kwenye tishu (zilizoungana na himoglobini, ambayo hubebwa kwenye seli nyekundu) Ugavi wa virutubishi kama vile glukosi, amino asidi, na asidi zenye mafuta (zilizoyeyushwa kwenye damu au zimeungana na protini za plazma (kwa mfano, lipidi za damu) Uondoaji wa taka kama vile dioksidi ya kaboni, urea, na asidi ya maziwa yaliyochachuka Kazi za kukinga mwili, ikiwa ni pamoja na mzunguko wa seli nyeupe za damu, na utambuzi wa vifaa vya nje kupitia zindiko Kuganda, ambayo ni sehemu moja ya utaratibu wa kujirekebisha kwa mwili (ambapo damu huganda wakati mtu anapokatwa ili kuziba kutoka kwa damu) Kazi za mjumbe, ikiwa ni pamoja na usafirishaji wa homoni na kutoa ishara ya uharibifu wa tishu Udhibiti wa pH(kiwango cha uasidi au ualikali) mwilini Udhibiti wa kiwango cha joto mwilini Kazi za mwendo wa maji", "Kifua kikuu\nKifua Kikuu huainishwa kama moja ya magonjwa granuloma ya inflamesheni tatizi. Macrophages, T lymphocytes, B lymphocytes, na fibroblasts ni miongoni mwa seli zinazoungana kuunda limfu granulomas. Lymphocytes na lymphocytes jirani macrophages kwa walioambukizwa. Granuloma huzuia usambazaji wa mycobacteria na hutoa mazingira ya mahali hapo kwa ajili ya mwingiliano wa seli ya mfumo wa kinga. Bakteria ndani ya granuloma inawezalala, kusababisha maambukizi ya fiche. Kipengele kingine cha granulomas ni maendeleo ya kifo isiyo ya kawaida katikati (necrosis) katika kituo cha tubercles. Kwa jicho uchi, hii ina umbo la jibini laini, nyeupe na inaitwa caseous necrosis. [47] Bakteria ya TB inaweza kuingia kwenye mfumo wa damu kutokana na eneo la tishu kuharibiwa. Zinaweza kuenea kwa mwili na kuanzisha maenezi ya ukimwi, tubercles zote huonekana vidogo, nyeupe katika tishu. [48]Aian hii kali ya ugonjwa wa TB hupatika kawaida zaidi kwa watoto wachanga na wale wanaoishi na VVU, inaitwa kifua kikuu military .[49] Watu wenye TB hii huwa na kiwango cha juu cha vifo hata kwa matibabu (takriban 30%).[14][50]", "Ukimwi\nHivyo si kila mtu aliye na VVU ana UKIMWI. Wakati watu wanapata VVU, wanaweza kuwa na afya kwa miaka mpaka akakutwa na aina maalumu ya magonjwa na vipimo vya damu vikionyesha kuwa ina idadi ndogo sana ya seli nyeupe za damu ambazo ndizo zinazopambana na maambukizi.", "Ateri\nAorta (au \"aota\") ni ateri kuu kwenye mwili: inaanza kwenye ventriko ya kushoto ya moyo ambayo ina damu iliyobeba oksijeni kutoka kwenye mapafu.", "Damu\nVena katika ngozi huonekana kuwa na rangi ya bluu kutokana na sababu mbalimbali ambazo hutegemea rangi ya damu kwa kiwango kidogo pekee. Kujitokeza kwa sehemu nyeupe kwenye ngozi na uchakataji maono ya rangi pia huchangia. [23]", "Edward Tingatinga\nMwaka 1968 baada ya kufunga ndoa na Agata Mataka alikazia uchoraji. Wengine walisema ya kwamba aliendelea na kazi ndogo kwenye hospitali ya Muhimbili ingawa hapa haijulikana alifanya kazi gani kamili na hadi lini.", "Figo\nFigo ni kiungo cha mwili ambacho ni cha kutatanisha: figo hufanya kazi mbalimbali muhimu katika mwili wa binadamu na wanyama wengi. Ila kazi yake kuu ni kusawazisha maji ndani ya mwili kwa kuchuja na kusitiri bidhaa za chembechembe kama vile urea na minerali katika damu na kuchuja hizo, pamoja na maji na mkojo. ", "Boroni\nKwa kiasi ndogondogo boroni ina kazi katika miili ya wanyama isipokuwa bado haijaeleweka ni kazi gani isipokuwa imeonekana ni muhimu.", "Ventriko\nVentriko ni chumba kikubwa cha moyo ambacho hufanya kazi ya kupokea damu kwenye auriko na kuipeleka kwenye mishipa ambayo hufanya kazi ya kuipeleka damu kwenye sehemu za mwili hadi kwenye mapafu. ", "Párvusz\nStaili yake kubwa ni ile ya kutumia wino mweusi wa Kihindi. Pia kuna kipindi hutumia rangi za maji, lakini kikawaida hufanya kazi zake kwa kutumia staili moja tu ya picha yaani rangi nyeupe na nyeusi. Watu mashuhuri wa Kihungaria \"Endre Szász\" na Dutch \"M. C. Escher\" wameona kazi zake. Staili hii ilizaliwa mnamo 2004, tabia kuu anayoitumia kuchora picha zake ni kutengeneza miraba kadhaa na kuichanganya pamoja. Moja kati ya kazi zake za mwanzoni ni pamoja na ile iliyokuwa ikiitwa \"Homeland\" ya mwaka wa 2004. Mnamo mwaka wa 2009 amenza kutumia kwenye vibao.", "Wengu\nKazi yake ni kuongeza idadi ya seli nyeupe za damu halafu kuondoa seli nyekundu za damu zilizozeeka.", "Vanadi\nVanadi ina pia umuhimu fulani kwa miili ya viumbe ingawa wataalamu hawana uhakika bado vanadi inafanya kazi gani mwilini.", "Homa ya ndengi\nKwa watu wengine, ugonjwa huu huingia katika awamu ya ukali baada ya joto hili jingi kuisha. Awamu hii hudumu siku 1 au 2. Katika awamu hii viowevu vinaweza kujikusanya kwenye kifua nafumbatio. Hii hutendeka kwa sababu mishipa midogo ya damu huvuja. Viowevu hujikusanya na kukomakuzunguka Mwilini. Hii ina maana kuwa ogani muhimu zaidi hazipati damu ya kutosha kama kawaida. Kwa sababu hii ogani hizi hazifanyi kazi kikawaida. Pia mtu huyu anaweza kutokwa na damu nyingi(huwa kutoka kwa ufereji wa utumbo.) ", "Damu\nDamu inachangia 8% ya uzito wa mwili wa binadamu,[3] ulio na uzito wastani wa 1060 kg/ m 3, inakaribiana sana na uzito wa maji safi ya 1000 kg/m3. [4] Mtu mzima wa kadiri ana kiasi cha damu cha kama lita 5 (1.3 gal), linalojumuisha plazma na aina kadhaa za seli (zinazoitwa mara kwa mara chembedamu); elementi hizi zilizoundwa kutoka kwa damu ni chembechembe nyekundu (seli nyekundu za damu), lukosaiti (seli nyeupe za damu), na thrombositi (chembe za kugandisha damu). Kwa kiasi, seli nyekundu za damu huchangia takribani 45% ya damu yote, plazma takribani 54.3%, na seli nyeupe takribani 0.7%.", "Kekeo\nKekeo ni ndege wadogo mpaka wakubwa kadiri wa nusufamilia Cuculinae katika familia Cuculidae. Wana mkia mrefu na mabawa marefu na membamba. Miguu yao ina vidole viwili vikabilivyo mbele na viwili vikabilivyo nyuma. Rangi zao kuu ni nyeusi, nyeupe na rangi ya kijivi, pengine rangi ya majani na ya manjano. Kekeo hula wadudu, mabuu ya wadudu na matunda, na spishi kubwa hula wanyama wadogo pia.", "Homa ya ndengi\nMtu anapokuwa na homa ya dengi, badiliko la kwanza linaloweza kuonekana kwenye vipimo vya maabara ni upungufu wa seli nyeupe za damu. Idadi ndogo ya pleteleti na ongezeko la asidi ya umetaboli pia ni dalili za homa ya dengi. Ikiwa mtu huyu ana homa kali sana ya dengi i kuna mabadiliko mengine yanayoweza kuonekana kwenye damu yake ikichunguzwa. Homa kali ya dengi inaweza pia kusababisha viowevu kuvuja kutoka kwenye mfumo wa damu. Hii husababisha ukolezi wa damu (ambapo kuna plazma kidogo - sehemu ya majimaji ya damu - na seli nyekundu za damu zaidi kwenye damu). Pia husababisha viwango vya chini vya alibumini kwenye damu ", "Damu\nKulingana na tafsiri yao ya maandiko, kama vile Matendo 15:28-29 (\"Endelea kujitenga ... na damu.\"), Mashahidi wa Yehova hawali damu wala kukubali kuongezewa damu yote au sehemu kuu za damu: seli nyekundu za damu, chembechembe nyeupe za damu, chembe za kugandisha damu (thrombositi), na plazma. Wanachama wanaweza kujiamulia binafsi ikiwa watakubali taratibu za matibabu zinazohusisha damu yao wenyewe au dutu ambazo zinagawanywa zaidi kutoka kwa sehemu nne kuu.[28]", "Dunia Uwanja wa Fujo\n\"Dhamira kuu\" ni wazo kuu linalojitokeza katika kazi ya fasihi, dhamira kuu katika\nriwaya hii ni matatizo na mikinzano ya kijamii, kiuchumi, na kisiasa, sasa\ntuangalie ni kwa jinsi gani mwandishi ameijadili dhamira hii.", "Viungo Vinavyosafisha Mwili\nKazi yake ni kuongeza idadi ya seli nyeupe za damu halafu kuondoa seli nyekundu za damu zilizozeeka.", "Damu\nKati ya viumbe wenye uti wa mgongo, damu imetengenezwa kwa seli za damu zinazoelea katika umajimaji unaoitwa plasma ya damu. Plasma, inayoundwa kwa 55% ya giligili ya damu, ambayo hasa ni maji (90% kwa kiasi), [1] na ina protini, glukosi, ioni za madini, homoni, dioksidi ya kaboni (Plasma ikiwa ndiyo chombo kikuu cha usafirishaji wa bidhaa taka), chembe za kugandisha damu na seli za damu zenyewe. Seli za damu zilizo kwenye damu hasa ni seli nyekundu za damu (zinazofahamika pia kama RBC yaani Red Blood Cells au erithrosaiti) na seli nyeupe za damu, zikiwa pamoja na lukosaiti na chembe za kugandisha damu.", "Ventriko\nPia ventriko imegawanyika katika sehemu mbili ambazo ni: ventriko ya kulia na ventriko ya kushoto. Ventriko ya kulia ina ukuta mkubwa kuliko ya kushoto kwani huzuia damu kwa nguvu kubwa kuliko ya kushoto, kwani ya kushoto yenyewe haifanyi kazi ya kuzuia bali huelekeza damu kwenye ateri ya mapafu.", "Homa ya ndengi\nMbu anapomuuma mtu, mate yake huingia katika ngozi ya mtu huyu. Virusi hubebwa kwenye mate ya mbu huyu iwapo ana dengi. Kwa hivyo, mbu anapomuuma mtu, virusi huingia kwenye ngozi yake pamoja na mate ya mbu. Virusi hujishikiza na kuingia katika seli nyeupe za damu yake. (Seli nyeupe za damu zinafaa kuukinga mwili kwa kupigana na hatari kama maambukizi.) Seli nyeupe za damu zinapozunguka mwilini, virusi hivi huzaana. Seli nyeupe za damu hujibu kwa kutoa ishara nyingi protini (ziitwazo saitokini), kama vile intalukini, intaferoni na tumonekrosisi. Protini hizi husababisha joto jingi, dalili kama za homa na maumivu makali ambayo ni sifa bainifu ya dengi. ", "Kaidi\nKaidi - Alkaid ina mwangaza unaoonekana wa Vmag +1.84. Mwangaza halisi ni −0.67. Hivyo iko kati ya nyota angavu zaidi 40 kwenye anga ya usiku.\nKaidi iko kwa umbali na Dunia wa miaka ya nuru 100. Masi yake ni takriban M☉ 6 na nusukipenyo chake R☉ 3.4 (vizio vya kulinganisha na Jua letu) . \nNi nyota ya safu kuu katika kundi la spektra B3 V. Uso wake una joto kubwa mnamo nyuzi za Kelvini 16,823 na hivyo rangi yake ni nyeupe – buluu.", "Damu\nKatika hali ya kawaida kwa binadamu anayepumzika, himoglobini kwenye damu inayotoka kwenye mapafu ina ukolezo wa kama 98-99% wa oksijeni. Kwa mtu mzima mwenye afya anayepumzika, damu isiyo na oksijeni inayorudi kwenye mapafu bado ina ukolezo wa takribani 75%. [16] [17] Ongezeko la matumizi ya oksijeni wakati wa mazoezi yanayoendelea hupunguza uloweshwaji wa oksijeni kwenye damu ndani ya vena, ambayo inaweza kufikia chini ya 15% katika mwanariadha aliyepitia mafunzo; ingawa kiwango cha kupumua na mtiririko wa damu huongezeka ili kuifidia, uloweshwaji wa oksijeni kwenye damu ndani ya ateri unaweza kushuka hadi 95% au chini zaidi chini ya hali hii. [18] Uloweshwaji wa oksijeni ulio chini hivi ni hatari kwa mtu aliyepumzika (kwa mfano, wakati wa upasuaji akiwa ametiwa ganzi. Haipoksia inayoendelea (uwekaji oksijeni ulio chini ya 90%), ni hatari kwa afya, na haipoksia kali (uloweshwaji wa chini ya 30%) unaweza kusababisha kifo ghafla. [19]", "Bendera ya Togo\nBendera ya Togo ina milia mitano ya kulala ya kijani (juu na chini) inayobadilishana na njano. Mraba mwekundu uonyeshayo nyota nyeupe ya pembe tano uko kwenye kona ya juu upande wa kushoto. ", "Jongo\nHipaurikemia ni dalili maalum ya jongo. Jongo hutokea kwa karibu nusu ya visa vyote visivyoandamana na hipaurikemia. Umuhimu wa kupima kiwango cha asidi ya mkojo ni mdogo. Hipaurikemia inafasiliwa kuwa kiwango cha plasma kinachozidi molekuli 420 kwa lita \"μ\"mol/L (7.0 mg/dL) kwa wanaume na 360 \"μ\"mol/L (6.0 mg/dL) kwa wanawake. Uchunguzi mwingine wa damu ambao kwa kawaida hufanywa ni idadi ya seli nyeupe za damu, elektroliti, utendakazi wa figo, na kima cha ushapaji wa elekroliti Kima cha ushapaji wa elekroliti pamoja na seli nyeupe zilizo katika damu zinaweza kuongezeka kufuatia jongo hata ikiwa hakuna maambukizi. Idadi ya juu ya seli nyeupe katika damu, kama 40.0×10/L (40,000/mm) imetambulika katika watu walio na jongo.", "Ukimwi\nvinafaulu mara nyingi kuepukana na seli za ulinzi mwilini vinaingia hasahasa katika seli nyeupe za damu za aina \"seli za T\". VVU vikianza kuongezeka katika seli nyeupe ya damu vinadhoofisha na hatimaye kuharibu seli hii.", "Bendera ya Kenya\nBendera ya Kenya ina msingi katika bendera ya muungano wa kitaifa wa Kenya African . Rangi zinaashiria weusi wengi wenyeji , nyekundu ni damu iliyomwagwa wakati wa mapambano ya uhuru, na kijani kibichi ni mali asili; mikanda meupe yaliongezwa baadaye na yanasimamia amani. Ngao nyeusi, nyekundu, na nyeupe ya jadi ya Kimaasai na mikuki miwili yanaashiria ulinzi wa mambo yote yaliyotajwa hapo juu." ]
45
Je ni sayari gani ndogo zaidi?
[ "Sayari\nSayari za jua letu hutofautiana kwa ukubwa na muundo. Mshtarii (Jupiter) ni sayari kubwa na masi yake ni mara 318 masi ya dunia yetu. Sayari ndogo ni Utaridi na masi yake ni takriban nusu ya dunia." ]
[ "Ukristo barani Afrika\nKatika nchi nyingi Kanisa limekuwa nguvu ya kutetea haki za binadamu. Tumesikia habari za Desmond Tutu kule Afrika Kusini au za Janani Luwum katika Uganda jinsi walivyojaribu kutetea haki za wananchi dhidi ya utawala mbaya. Ikiwa Wakristo wanajisikia wito wa kusimama na kusema mbele ya wakubwa hukumbuka manabii wa Agano la Kale hadi Yohane Mbatizaji. Wanakumbuka pia Wakristo wengi katika historia walioweza kusimama mbele ya wafalme na kutetea haki za watu. Labda tunamkumbuka Askofu Ambrosio wa Milano (aliyemvuta kijana Agostino kuwa Mkristo) alivyomtenga Kaisari na Kanisa kwa sababu ya uuaji wa wananchi wengi wasio na kosa uliofanywa na wanajeshi wa serikali. Msingi wake ni katika mafundisho juu ya kazi ya uumbaji. Mbele ya Mungu tuko sawa: kuna msingi gani kuona wengine ni sawa zaidi?", "Mtakatifu Paulo\n16 Sasa basi, ya nini kukawia zaidi? Simama ubatizwe na uondolewe dhambi zako kwa kuliungama jina lake.`", "Klaudio Ptolemaio\nKatika kitabu chake cha Almagest alieleza jinsi Wagiriki walivyoona ulimwengu. Walidhani Dunia iko kwenye kitovu cha ulimwengu. Magimba mengine ya angani yaani Mwezi, Jua na sayari tano zilizojulikana ziliizunguka kwa njia za mizingo yenye umbo la duara. Mizingo hii ilidhaniwa kama tufe za kioo. Tufe la nje kabisa lilikuwa tufe la nyota. Ili kupatanisha mwendo wa sayari na miendo yao jinsi ilivyotazamwa angani ilikuwa lazima kuwaza pia miendo mingine ya sayari ya kuzunguka tena katika duara ndogo wakati wa kufuata njia zao kwenye mzingo katika tufe husika. ", "Asilimia\nMfano: Jumla ya maksi kwenye mtihani ni 250. Sheria inasema ya kwamba 65 % ni sharti kwa kupita. Je maksi ngapi zinahitajika ila kupita mtihani huu? ", "Sayari ya Tisa\nUhakiki wa nadharia unahitaji kutambua Sayari ya Tisa au magimba mengine kwa vipimo. Hii haitakuwa rahisi. Sayari zinaonekana kwa sababu zinaakisia nuru ya jua. Katika umbali mkubwa vile ni nuru ndogo sana inayofika kutoka jua na kiasi kidogo zaidi kinachoweza kuakisiwa tena. Kwa hiyo ingeonekana kama nukta hafifu sana kwa darubini za astronomia. Njia ya pekee inategemea tabia ya sayari inayobadilisha mahali pake angani hata kama ni polepole, tofauti na nyota zinazokaa mahali pamoja. Hapa watazamaji wanapiga picha nyingi za maeneo wanayochungulia wanapoona mamilioni ya nyota. Sasa wanalinganisha kwa kompyuta kama kuna nukta za nuru zinazobadili mahali. Katika chaguo la sehemu wanapochungulia wanategemea utabiri zinazowezekana kutegemeana na vielelezo.", "Utaridi\nUhaba wa hewa umesababisha uso wa sayari kujaa mashimo ya kasoko. Kasoko hizi zimesababishwa kwa kugongwa na meteoridi. Angahewa kama duniani ingeangamiza meteoridi ndogo na kusababisha kupasuka kwa kubwa lakini Utaridi zote zinafika usoni bila kizuizi. Alama za meteoridi ni mmomonyoko wa pekee unaoonekana hakuna dalili ya mmomonyoko kutokana na hewa au maji ya awali.", "Sayari\nJua letu lina sayari nane ambazo ni Utaridi (Mercurius), Zuhura (pia: Ng'andu; Venus), Dunia yetu (Earth), Mirihi (Mars), Mshtarii (Jupiter), Zohali (Saturnus), Uranus na Neptun. Toka mwaka 1930 hadi Agosti 2006 Pluto ilikuwa ikitambulika kama sayari hivyo kufanya idadi ya sayari zinazojulikana kuwa tisa. Hata hivyo chama chenye mamlaka juu ya masuala ya sayari na nyota, International Astronomical Union kimetangaza rasmi kuwa Pluto si sayari na kuiita sayari kibete[7]. Vitabu vya shule vilibatilishwa ili kukidhi mabadiliko haya japo bado kuna vitabu katika shule vya toleo la zamani ambazo bado zaonyesha Pluto kuwa sayari kweli.", "Anania wa Damasko\n16 Sasa basi, ya nini kukawia zaidi? Simama ubatizwe na uondolewe dhambi zako kwa kuliungama jina lake.`", "Dunia\nDunia ni mojawapo ya sayari zinazoelea katika anga ya ulimwengu. Kuna sayari nane zinazolizunguka jua, dunia yetu ikiwa sayari ya tatu katika mfumo wa jua na sayari zake.", "Carl Friedrich Gauss\nGauss alibuni mambo mengi.\nAlikuwa mtu wa kwanza aliyeonyesha jinsi gani kuchora pembekuminasaba. Alitengeneza jedwali inyoonyesha tarehe ya Pasaka kwa kila mwaka. Alitoa nadharia juu ya namba tasa inayoonyesha jinsi gani namba tasa zinatawanyawa kati ya namba za kawaida. Mbinu wa namba mraba ndogo ulimsaidia kubuni uenezi kawaida wa mchirizo unaoeleza wastani ya vipimo vinavyotofautiana kiasi. Mbinu huu umekuwa msingi wa ueneaji yamkini na takwimu ya kisasa.", "Ceres (sayari kibete)\nCeres (tamka \"seres\") ni sayari kibete ndogo inayojulikana katika mfumo wa jua letu na sayari kibete ya pekee iliyoko ndani ya ukanda wa asteroidi. Jina rasmi katika orodha ya sayari ndogo ni 1 Ceres.", "Edward Tingatinga\nMwaka 1968 baada ya kufunga ndoa na Agata Mataka alikazia uchoraji. Wengine walisema ya kwamba aliendelea na kazi ndogo kwenye hospitali ya Muhimbili ingawa hapa haijulikana alifanya kazi gani kamili na hadi lini.", "Sayari kibete\nTabia za 1) na 2) ni sawa na sayari. Tabia kuu ya kufanana na sayari ni umbo la tufe. Umbo hili linatokana na graviti ya gimba lenyewe kama masi yake au ukubwa wake unatosha kujifinyanga masi hii katika umbo la tufe. Kama masi ni ndogo zaidi graviti ya gimba haitoshi kufikia umbo la tufe.", "Upepo jua\nHapa linatokea swali: Je nguvu hii ya upepo wa jua inafanya nini na gesi za angahewa ya sayari?", "Ekolojia\nWataalamu wa ekolojia huchungulia kila kitu kuanzia bakteria ndogo katika myeyusho wa kuwalisha hadi athira ya msitu wa mvua kwa halihewa ya dunia.\nEkolojia inalenga kuelewa jinsi gani pande mbalimbali za uhai duniani zinahusiana na mazingira yao. Kila spishi ya viumbehai inategemea makazi maalumu kwa kudumisha maisha yake. Hapo ekolojia inachungulia pia athira ya mabadiliko yanayosababishwa na binadamu kwa makazi haya na ekolojia yao. ", "Sayari kibete\nSayari kibete (kwa Kiingereza ) ni kiolwa cha angani kinachofanana na sayari ndogo lakini hakitimizi tabia zote za sayari kamili. Masi yake yanatosha kufikia umbo la tufe sawa na sayari kamili, lakini haikusafisha obiti yake kwa kujivutia sehemu kubwa sana za violwa vya angani vidogo vinavyozunguka kwenye obiti hiyohiyo. ", "Sayari\nNyingi kati ya hizo zilikuwa na ukubwa kufanana na Mshtarii au kubwa zaidi. Lakini sayari ndogo zaidi zimetambuliwa pia. [10]", "Angahewa\nNje ya dunia yetu angahewa imetambuliwa pia kwenye sayari nyingine. Katika mfumo wa jua na sayari zake kuna sayari 4 za ndani zinazofanana kiasi, ni Utaridi(Mercury), Zuhura (Venus), Dunia na Mirihi (Mars). Zote nne ni sayari zinazofanywa na mwamba.", "Asteroidi\nAsteroidi (kutoka Kigiriki ἀστήρ \"aster = nyota\" na είδες \"-eides= ya kufanana\") ni kiolwa cha angani kinachozunguka jua jinsi inavyofanya sayari. Ni ndogo kuliko sayari kibete lakini kubwa kushinda kimondo. Mara nyingi huitwa pia \"planetoidi\" kwa sababu tabia zao zinalingana katika mengi na sayari. \nIstilahi ya asteroidi ilianzishwa na William Herschel mnamo mwaka 1802 kutokana na neno la Kigiriki ἀστεροειδής \"astero-eides\" inayomaanisha \"ya kuonekana kama nyota\". Tangu siku zake neno hili lilitumiwa kutaja violwa vidogo kwenye anga la nje vinavyoakisia nuru ya kutosha ili kuonekana kwenye darubini. Kutokana na maendeleo ya teknolojia idadi ya magimba yanayoweza kuangaliwa iliongezeka. ", "Ukristo\nKatika nchi nyingi Kanisa limekuwa nguvu ya kutetea haki za binadamu. Tumesikia habari za Desmond Tutu kule Afrika Kusini au za Janani Luwum katika Uganda, jinsi walivyojaribu kutetea haki za wananchi dhidi ya utawala mbaya. Ikiwa Wakristo wanajisikia wito wa kusimama na kusema mbele ya wakubwa hukumbuka manabii wa Agano la Kale hadi Yohane Mbatizaji. Wanakumbuka pia Wakristo wengi katika historia walioweza kusimama mbele ya wafalme na kutetea haki za watu. Labda tunamkumbuka Askofu Ambrosi wa Milano (aliyemvuta kijana Agostino kuwa Mkristo) alivyomtenga Kaisari na Kanisa kwa sababu ya uuaji wa wananchi wengi wasio na kosa uliofanywa na wanajeshi wa serikali. Msingi wake ni katika mafundisho juu ya kazi ya uumbaji. Mbele ya Mungu tuko sawa: kuna msingi gani kuona wengine ni sawa zaidi?", "Hotuba ya mlimani\n\"Ndiyo maana nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula na kinywaji mnavyohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu. Je, maisha ni chakula tu au zaidi? Na mwili, je, si zaidi ya mavazi? ", "Paralaksi\nParalaksi ya sayari kama Zuhura itakuwa ndogo zaidi kwa sababu sayari hii iko mbali zaidi kuliko Mwezi hivyo tofauti mbele za nyota za mandharinyuma ni kiasi tu ikitazamwa kutoka sehemu tofauti za Dunia. Mpito wa Zuhura mbele ya uso wa Jua ulileta nafasi ya kupima paralaksi linganifu na ukingo wa Jua na hivyo kuwa msingi kwa makadirio ya kwanza kwa ajili ya kujua kizio astronomia. Hapa kipenyo cha Dunia kinachojulikana kilikuwa ni kipimo cha mstari wa msingi.", "Instagram\nUnapotumia programu ya Instagram, yafaa kwanza uangalie ni heshitegi gani ambazo zinapendwa sana na watu na ambazo zina wafuasi wengi. Ni vizuri pia uwe na picha maalumu ambayo inaonyesha wewe ni nani na taarifa ndogo kukuhusu ili wafuasi wako waweze kujua msimamo wako na masuala unayozingatia.", "Rajesh Roshan\nRajesh Roshan ni mwana wa mwandishi wa filamu za Kihindi na mkurugenzi wa muziki Roshan Sahani Je (ne Roshanlal Nagrath) na ana watoto wawili, mvulana na msichana.", "Mfumo wa Jua\nSayari hupatikana katika vikundi viwili mara nying zinaitwa \"Sayari za ndani\" na \"Sayari za nje\".Sayari nne za ndani ni Utaridi, Zuhura, Dunia na Mirihi ambazo ni ndogo na ni sayari za mwamba kama Dunia.", "Sayari\nWataalamu wa astronomia wamegundua sayari za nje (ing. exoplanets) yaani sayari zilizo nje ya mfumo wa jua letu zinazozunguka nyota mbalimbali. Kutokana na umbali mkubwa na matatizo ya utazamaji kwa muda mrefu hakukuwa na uhakika kama nyota kuwa na sayari ni jambo la kawaida angani au kama sayari ni chache tu. Hadi Mei 2018 kuwepo kwa sayari 3,767 kumethibitishwa na kati ya hizi mifumo ya sayari 628 imetambuliwa ambako kuna zaidi ya sayari moja..[9]", "Sayari\nSayari za mwamba: sayari hizi zina muundo unaofanana na dunia yetu; asilimia kubwa ya masi ni mwamba. Hizi ni sayari za ndani za mfumo wa jua letu. Zote ni ndogo kuliko sayari za nje. Sayari jitu za gesi: sayari hizi kama Mshtarii (Jupiter) na Zohali (Saturnus) ni kubwa na zimefanywa na hidrojeni na heli. Masi ya Mshtarii ni mara 318 ile ya dunia, Zohali mara 95. Ilhali sayari hizi ni baridi kutokana na umbali mkubwa na jua, hidrojeni inapatikana kwa kiasi kikubwa katika hali mangu na kwenye sehemu za ndani hidrojeni ina tabia kama metali kutokana na shinikizo kubwa. Sayari jitu za barafu: hizi ni Uranus na Neptun. Ni kubwa kuliko dunia, lakini si kama sayari jitu za gesi; Uranus huwa na masi 14 za dunia, Neptun na masi 17 za dunia. Ganda la nje ni mchanganyiko wa hidrojeni na methani, na sehemu za ndani ni barafu ya maji na methani.", "Carl Sagan\nAlifikiria kuhusu maisha gani katika sayari nyingine yanaweza kuwepo. Alisema kuwa watu wanapaswa kutafuta maisha kwenye sayari nyingine (SETI). ", "Je, hii ni ungwana\nJe Huu ni Ungwana ni kipindi maarufu cha mtangazaji maarufu Leonard Mambo Mbotela cha elimu, burudani, na ucheshi nchini Kenya katika redio ya Kenya Broadcasting Corporation." ]
3
Jina Hydrox linatokana na nini?
[ "Hydrox\nHydrox ni aina ya kuki iliyojazwa chokoleti ambayo ilianzishwa katika mwaka wa 1908 na ikatayarishwa na Kampuni ya Sunshine Biscuits. Jina lake la Hydrox linatokana na vipengele vya atomu vinavyounda maji: hasa haidrojeni na oksijeni. Baadhi ya ripoti kadhaa ,inasemekana kuwa Oreo ,iliyoanzishwa baadaye katika mwaka wa 1912, ilikuwa imeundwa ikiiga mfano wa Hydrox. Ingawaje, Hydrox imeshambuliwa na wengi kuwa bidhaa hii ilikuwa ikiiga Oreo. Ikilinganishwa na Oreo, kuki ya Hydrox ilikuwa inaonja \"tamu kidogo\" na ilikuwa ngumu na bora kuliwa na maziwa." ]
[ "Wakopti\nJina \"Kopti\" linatokana na Kigiriki Αἰγύπτιος, \"Egyuptios\", yaani \"Mmisri\".", "Saba abati\nJina hilo linatokana na neno la Kiaramu סַבָּא (sabba') lenye maana ya \"mzee\".", "Mkoa wa Mai-Ndombe\nJina linatokana na ziwa Mai-Ndombe linalopatikana katikati yake.", "Makanisa ya Kikelti\nJina linatokana na lugha ya Wakelti, wakazi asili wa visiwa hivyo. ", "Muziki wa Kigregori\nJina linatokana na hadithi ya kwamba Papa Gregori I ndiye aliyeagiza utumike kanisani.", "Atlas (milima)\nJina la milima hii linatokana na mmoja wa miungu ya Ugiriki ya Kale, Atlas. ", "Azimio la Arusha\nJina la azimio linatokana na mji wa Arusha lilipitishwa tarehe 26-29 Januari 1967.", "Sikukuu za Nanenane\nJina linatokana na kwamba inaadhimishwa kila mwaka tarehe 8 mwezi wa nane (Agosti).", "Damu baridi\nJina linatokana na sifa ya damu hiyo kufuata halijoto ya mazingira. ", "Mkoa wa Ubangi Kaskazini\nJina linatokana na mto Ubangi.", "Kismet\nJina Kismet linatokana na neno la Kituruki linalomaanisha \"hatima\" au wakati mwingine \"bahati\".", "Milima ya Uvidunda\nJina linatokana na kabila la Wavidunda ambao ndio wenyeji wa eneo hilo.", "Mkoa wa Ubangi Kusini\nJina linatokana na mto Ubangi.", "Hydrox\nKatika mwaka wa mia wa kuki hizi, Kellog's ilianzisha tena usambazaji wa Hydrox chini ya jina la Sunshine. Bidhaa za kwanza zilianza kusambazwa katika mwisho wa mwezi wa Agosti 2008. Mashabiki wa Hydrox waliisumbua kampuni ya Kellog's huku maelfu wakipiga simu na kuandika ombi la kutaka kuki hizo zitayarishwe tena. Upishi wa Hydrox mpya ulibadilishwa kidogo kutoka ile ya zamani; walitoa mafuta ya aina ya trans-fats kutoka matumizi katika upishi. Kuki hizo zilikuwa zinafaa kupatikana katika taifa zima kwa muda mfupi lakini baada ya muda chini wa mwaka mmoja Kellog's ilitoa Hydrox kutoka tovuti yao.", "Litania\nJina linatokana na neno la Kigiriki \"λιτανεία\" (\"litaneía\"), linalotokana na \"λιτή\" (\"litê\"), yaani \"dua\".", "Kandambili\nJina linatokana na kanda mbili zinazokutana karibu na kidole gumba na zinazowezesha kiatu kufuata mguu katika mwendo.", "Mapokeo\nJina la Kiingereza \"tradition\" linatokana na kitenzi cha Kilatini \"tradere\", yaani kueneza au kukabidhi.", "San Jose, California\nJina la San Jose ni la Kihispania, maana yake ni \"Mtakatifu Yosefu\". Jina lake linatokana na lile la misheni ya Ndugu Wadogo iliyoanzishwa kwa heshima ya mtakatifu huyo.", "Kericho\nJina la mjii huu linasemekana kwamba linatokana na mganga wa zamani wa Kikipsigis aliyeitwa Kipkerich.", "Sakramenti\nJina hilo linatokana na neno la Kilatini \"sacramentum\" linalofanana na lile la Kigiriki \"mysterion\" (fumbo) . ", "Elfu\nNi namba ambayo inafuata 999 na kutangulia 1001. Jina linatokana na Kiarabu na kutamkwa pia alfu.", "Mkoa wa Kwilu\nJina linatokana na mto Kwilu unaopita mkoani kutoka kusini hadi kaskazini.", "Jibuti\nJina la nchi linatokana na lile la mji mkuu, Jibuti.", "Saratani\nJina la saratani linatokana na neno la Kiarabu sartan linalomaanisha pia \"kaa\". Sababu yake ni ya kwamba mtaalamu Galenos wa Ugiriki wa Kale aliona uvimbe uliofanana na miguu ya kaa. Jina hili lilitafsiriwa baadaye kwa lugha nyingi.", "Mkoa wa Kwango\nJina linatokana na mto Kwango unaotumika kama mpaka na Angola.", "Mmisionari\nJina linatokana na neno la Kilatini missio lenye maana ya utume (kutuma au kutumwa). ", "Hydrox\nSunshine Biscuits ilinunuliwa na kampuni ya Keebler katika mwaka wa 1996 na katika mwaka wa 1999 ,Keebler ilibadilisha Hydrox na kuki zinazofanana na hizo mpya zilizoitwa Droxies. Keebler ilinunuliwa , baadaye, na kampuni ya Kellog's katika mwaka wa 2001. Kellog's ilitoa bidhaa za aina ya Droxies kutoka kwenye soko katika mwaka wa 2003. Kellog's ,hivi sasa, inauza kuki za chokoleti chini ya jina la Famous Amos. Mashabiki kadhaa wa Hydrox ya hapo awali hushuku kuwa hizi ni ni kuki za Hydrox zinazoanzishwa tena huku wengine wakitafuta furaha kwa kuki zingine kama za Newman-O's na zingine mbalimbali. Kampuni ya Kellog's husema upishi wa Hydrox ni wa kipekee usiojulikana na kampuni zingine.", "Ndoo (kundinyota)\nJina asilia la Dalu linatokana na Kiarabu دلو \"dalu\" ambalo linamaanisha \"ndoo ya kubebea maji\". Jina hili lilipokelewa na Waarabu kutoka kwa Wagiriki wa Kale waliosema Ὑδροχόος \"hidro-kho-os\" \"mwagiliaji maji\" na hao walipokea kundinyota hii kutoka kwa Wababeli. ", "Milima ya Ukaguru\nJina linatokana na kabila la Wakaguru ambao ndio wenyeji wa eneo hilo." ]
90
Je,Tanzania ina mikoa ngapi?
[ "Mikoa ya Tanzania\nTanzania imegawanyika katika mikoa 31." ]
[ "Mikoa ya Uholanzi\nHata kama kila mkoa huwa na bunge na kamati ya serikali haiwezi kuitwa \"jimbo\" kwa sababu madaraka yake si makubwa. Serikali ya kitaifa ina haki ya kubadilisha mikoa lakini mipaka imekaa vile tangu karne ya 19. ", "Saksonia\nSaksonia ina mikoa 3 (Chemnitz, Dresden na Leipzig) zenye wilaya 10:", "Eneo\nMakadirio ya eneo yana faida nyingi katika maisha ya kila siku. Nikitaka kupiga rangi kuta za chumba naweza kupima maeneo yote ya kuta zake. Kwa mfano chumba cha mita 3x4 na kimo cha mita 2 lina eneo la kuta zake za 28 m² (Kuta 2 zenye upana wa mita 3 x kimo mita 2 ni 2x3=6 x kimo 2 = 12m²; kuta 2 zenye upana wa mita 4 ni 2x4= 8 x kimo 2= 16 m²; 16m²+18m² = 28 m²). Nikijua hii naweza kuuliza dukani je wana rangi gani kwa ajili ya ukuta na kopo la rangi linatosha kwa mita za mraba ngapi? Wakisema 10 m ² najua nitahitaji kununua kopo 3. Katika mfano wa juu naweza kutoa eneo la mlango na madirisha labda zinatosha kopo 2 kubwa na 1 ndogo.", "Mikoa ya Madagaska\nMadagaska ina majimbo au mikoa kumi na moja. Katiba mpya ya mwaka 2007 ilipanga mgawanyo mpya katika mikoa 22 inayotakiwa kuundwa kufikia mwaka 2009.", "Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo\nTaarifa kwa ajili ya mikoa ya Tanzania bara zinatolewa na . Taarifa kwa ajili ya mikoa ya Tanzania visiwani, yaani, Unguja na Pemba hutolewa na .", "Mikoa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nJamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ina mikoa ishirini na sita kadiri ya Katiba mpya ya mwaka 2005.", "Nakuru\nNakuru ni watu kutoka kwa wakazi wote wa Kenya na kutoka mikoa mingi ya dunia. Mji ina sizable idadi ya Wakenya wa asili ya India na wachache wa familia settler asili uliendelea pia katika eneo hilo. Ingawa idadi ya mji ni unategemea Afrika, mji ina Cosmopolitan kujisikia. Watu kutoka mikoa mbalimbali ya nchi na aliongeza ladha ya kipekee ya mji. Watu na siasa zao kufanya livskraftig mji wa Nakuru. Kama Kenya Population per 1999 Census[3] Nakuru alikuwa mkubwa wa tatu wakazi wa mijini nchini Kenya.", "Sri Lanka\nSri Lanka ina mikoa 9:", "Mkoa wa Haut-Ogooué\nKwa upande wa kaskazini-mashariki, mashariki, na kusini, Haut-Ogooué imepakana na mikoa kadhaa ya Jamhuri ya Kongo:\nKwa nyumbani, mkoa umepakana na mikoa ifuatayo:", "Mkoa\nNchi zenye muundo za shirikisho zinakuwa na majimbo au madola ndani ya taifa na kila jimbo au dola la shirikisho linaweza kuwa na mikoa yake ambayo ni ngazi ya pili katika mfumo huu. Ila tu si lazima kuwa na mikoa kuna pia wilaya moja kwa moja chini ya majimbo au madola ya shirikisho kama ngazi ya pili bila kutumia ngazi ya mikoa tena.", "Gabon\nGabon imegawiwa katika mikoa 9 nayo ina jumla ya wilaya (départements) 37.", "Malawi\nUtawala hutekelezwa katika mikoa mitatu ya nchi zinazogawiwa katika wilaya 28. Wakuu wa mikoa na wilaya huteuliwa na serikali kuu.", "Kwanza (mto)\nMwanzoni inaelekea kaskazini halafu kaskazini-magharibi ikiwa mpaka kati ya mikoa ya Bie na Malange, baadaye kati ya mikoa Cuanza Sul na Malange, halafu kati ya mikoa ya Cuanza Sul na Bengo. Ikielekea magharibi inapita mkoa wa Cuanza Norte hadi kufikia Atlantiki kusini ya Luanda mji mkuu wa Angola.", "Mikoa ya Tanzania\nOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo ukubwa wa mikoa kwa ujumla wa eneo, eneo la ardhi, na eneo la maji. Wilaya za Tanzania", "Bendera ya Uruguay\nBendera ya Uruguay ina milia ya nyeupe na buluu pamoja ya eneo katika kona ya juu linaloonyesha jua la njano (dhahabu). Idadi ya milia ni tisa kulingana na mikoa ya nchi wakati wa kuanzishwa.", "Sao Tome na Principe\nNchi ina mikoa miwili (inayolingana na visiwa viwili) na wilaya saba. Wilaya sita ziko kwenye kisiwa kikubwa cha Sao Tome na ya saba iko Principe.", "Mkoa wa Manyara\nSensa zinaonyesha kwamba ni kati ya mikoa ya Tanzania yenye ongezeko kubwa la wakazi. Pia ni kati ya mikoa yenye maambukizi machache zaidi ya Ukimwi.", "Catalonia\nCatalonia ina ya mikoa minne: Barcelona, Girona, Lleida, na Tarragona.", "Orodha ya mikoa ya Argentina\nHii ni orodha ya mikoa ya Argentina.", "Mkoa wa Manyara\nMkoa wa Manyara ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 27000\n. Umepakana na mikoa ya Arusha na Kilimanjaro upande wa kaskazini, Mkoa wa Tanga upande wa mashariki, Mkoa wa Dodoma upande wa kusini na mikoa ya Singida na Shinyanga upande wa magharibi.", "Poland\nKusini mwa kanda ya kaskazini-mashariki mwa mikoa ya Silesia na Masovia, ambapo kuna alama za mto na mabonde ya zama za barafu. Mkoa wa Silesia una rasilimali nyingi na watu wengi. Kuna makaa ya mawe tele. Silesia ya Chini ina mgodi wa shaba mkubwa kabisa. Tambarare ya Masovian ipo kati ya Poland. Ipo katika mabonde ya mito mikubwa mitatu: Vistula, Bug na Narew.", "Al-Qaeda\nMtandao wa Al-Qaida ulijengwa \"ex nihilo\" kama mtandao wa kuhitaji kutoka kwa viongozi wa mikoa yake yote \"kama na wakati muhimu kutumika kama sehemu muhimu ya amri yake kuu.\" Alipoulizwa kuhusu uwezekano wa Al Qaida kuhusika na ulipuaji mabomu ya London 7 Julai 2005 ya mwaka wa 2005, mkuu wa Metropolitan Police Sir Ian Blair alisema:\n\"Al Qaeda si shirika. Al Qaeda ni njia ya kufanya kazi ... lakini hii ina fadhila mahususi ya mbinu hiyo ... Al Qaeda kwa wazi ina uwezo wa kutoa mafunzo ... kutoa utaalamu ... na nadhani kuwa ni hicho kilitokea hapa. ", "Mkoa wa Morogoro\nMkoa wa Morogoro ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye Postikodi namba 67000. Umepakana na mikoa ya Tanga, Pwani, Lindi, Ruvuma, Iringa, Dodoma na Arusha.", "Japani\nJapan ina mikoa arubaini na saba. Kila mkoa unasimamiwa na gavana mmoja, bunge na urasimu utawala. Kila mkoa umegawanyika katika miji na vijiji.", "Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo\nHii ni orodha ya tawala za mikoa ya Tanzania katika mpangilio wa: *jumla ya eneo,", "Unyevu\nKatika Tanzania kuna baadhi ya mikoa huwa asubuhi kuna unyevu; mikoa hiyo ni kama Arusha, Kilimanjaro na mingineyo. Pia unyevu unaweza kuwa katika nguo zilizokuwa karibu kukauka.", "Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo\nTaarifa hii inalingana na uanzishwaji wa mikoa mipya minne mnamo Machi 2012, ambao umefikisha jumla ya idadi ya mikoa kuwa 31. Baada ya hapo ulianzishwa Mkoa wa Songwe wenye eneo la [[km<sup>2</sup>]] 26,595 kutokana na mkoa wa Mbeya.", "Orodha ya mikoa ya Hispania\nHii ni orodha ya mikoa ya Hispania:", "Uturuki\nSerikali ina utaratibu wa kidemokrasia ya vyama vingi. Utawala wa nchi ni kwa mikoa 81.", "Rasi ya Korea\nMipaka ya kaskazini ya Peninsula ya Korea inaeleweka kikawaida kwamba imepakana baina ya Korea Kaskazini na majirani zake wa kaskazini, Uchina (1,416 km ikiwa pamoja na mikoa ya Jilin na Liaoning) na Urusi (19 km). Mipaka hii imejiumba kiasili na mito ya Yalu/Amnok na Tumen/Tuman/Duman. Kwa kuchukua ufafanuzi huu, Peninsula ya Korea (ikiwa pamoja na visiwa vyake) ina eneo la kilomtia za mraba zipatazo 220,847 (85,270 sq mi)." ]
92
Je,mlima Kilimanjaro ina urefu wa kiasi gani?
[ "Kilimanjaro (Volkeno)\nKilimanjaro ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika. Mlima huu uko nchini Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro. Una urefu wa mita 5,895 (futi 19,340).", "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro\nKilele cha Kibo, chenye urefu wa mita 5895 (futi 19340), ndicho kivutio kikubwa kwa wageni kutoka ndani na nje ya nchi kwa sababu ya kufunikwa na theluji mwaka mzima." ]
[ "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "Kilimanjaro (Volkeno)\nKibo iliyo juu zaidi Mawenzi yenye kimo cha mita 5149[13] Shira yenye urefu wa mita 4005.[14] Vyote vitatu vina kasoko.", "Kilimanjaro (Volkeno)\nKibo ina theluji na barafuto ndogo kadhaa.", "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro\nHifadhi hii ina ukubwa wa kilometa za mraba 755 na iko umbali wa kilometa 45 kutoka Moshi mjini, kusini mwa Mkoa wa Kilimanjaro, 2 ° 50'-3 ° 10'S latitude, 37 ° 10'-37 ° 40'E longitude.", "Skizofrenia\nSkizofrenia ni ugonjwa ulio na gharama kuu za kibinadamu na kiuchumi.Hali hii hupelekea upungufu wa matarajio ya urefu wa maisha wa miaka 12 hadi 15, kwa kimsingi kwa sababu ya hali hii inavyohusiana na mienendo inayoathiri afya. Ongezeko la viwango vya kujiua (mtu kujiua) huathiri kwa kiasi kidogo. Tofauti hizi za matarajio ya urefu wa maisha ziliongezeka kati ya miaka ya 1970 na 1990. Hata hivyo, kati ya miaka ya 1990 na miaka ya kwanza 10 ya karne ya 21, tofauti hizi hazikubadilika sana nchini Finland, ambayo ina mfumo wa afya ulio na ufikiaji wazi wa huduma ya afya.", "Eksirei\nEksirei ina urefu wa wimbi mfupi, na hivyo zina nishati kubwa zaidi kuliko mionzi urujuanimno. Hizo zina urefu wa wimbi mfupi sana kuliko mwanga unaoonekana (mwanga ambao tunaweza kuona). Mionzi yenye urefu wa wimbi mfupi (nishati zaidi) kuliko eksirei inaitwa mionzi ya Gamma. Hizi ni sehemu zote za wigo wa umeme.", "Kilimanjaro (Volkeno)\nHalijoto kwenye kilele ina wastani ya sentigredi -7 yaani jalidi. Halijoto juu ya ngao ya barafu upande wa kaskazini wakati wa usiku huwa na wastani wa sentigredi -9 na wakati wa mchana -4. Viwango vya chini vya -15 hadi -27 vimepimiwa pia.[28]:674", "Urefu\nKatika Mfumo wa Kimataifa wa Vipimo, urefu ni kiasi chochote cha umbali. Katika mazingira mengine \"urefu\" ni kipimo cha kitu. Kwa mfano, inawezekana kupunguza urefu wa waya ambao ni mfupi kuliko unene. ", "Mkoa wa Kilimanjaro\nKatika sekta ya elimu wakazi wameendelea kidogo kwa maeneo ya mjini, lakini katika sehemu za vijijini elimu bado inatetereka kwa kiasi kikubwa, maana teknolojia ya utandawazi katika eneo kubwa haijashamiri.", "Jiografia ya Kenya\nEneo hili la milima ndilo la juu zaidi nchini Kenya (na la pili kwa urefu barani Afrika): Mlima Kenya, unaofikia urefu wa mita 5,199 (futi 17,0570) na ni eneo lenye mito ya barafu. Ng'ambo ya mpaka wa Tanzania Mlima Kilimanjaro () huweza kuonekana upande wa kusini.", "Msumbiji\nPwani ya Bahari Hindi ina urefu wa km 2.470.", "Ndovu\nTembo wa savanna wa Afrika, ndiyo tembo mkubwa kuliko wote. Ndiyo mnyama wa ardhini aliye mkubwa kuliko wote, huku tembo dume akiwa na urefu wa mita 3.2 mpaka 4 mabegani na uzito wa kg. 3,500 mpaka 12,000. Tembo jike huwa mdogo kiasi huku wengi wakiishia urefu wa mita 3 tu.", "Jamhuri ya Watu wa China\nPwani ina urefu wa kilomita 14,400.", "Barafuto\nAfrika ina barafuto ndogo kadhaa juu ya mlima Kilimanjaro na mlima Kenya lakini zinaelekea kupotea kutokana na uhaba wa mvua itakayobadilika kuwa theluji mpya.\nZamani za enzi ya barafu kiwango cha barafu kwenye ncha ya kaskazini kilikuwa kikubwa kiasi cha kusababisha barafuto kutokea zilizosukuma barafu hadi Ulaya ya Kati.", "Kilimanjaro (Volkeno)\nKilele cha kale zaidi ni Shira iliyoanza kutema moto takriban miaka milioni 2.5 iliyopita ikaacha miaka milioni 1.9 iliyopita. Wakati ule upande wa kaskazini wa mzingo wa kasoko ulipinduka. [15] Leo hii Shira ina tambarare pana kwenye kilele chake kwenye kimo cha mita 3800; inawezekana hii kiasili ilikuwa kaldera iliyojaa lava. Mabaki ya mzingo wa kaldera yamepungua sana kutokana na mmomonyoko. Kabla ya kutoa moto na kutokea kwa mmomonyoko kimo cha Shira kilikuwa kati ya mita 4,900 na 5,200. Mata yake ni hasa lava pamoja na kiasi cha piroklasti. [15][18][19]", "Kinyarwanda\nMuraho = Habari gani?", "Kilimanjaro (Volkeno)\nKilimanjaro ni volkeno iliyolala kwa sasa. Kwenye kilele cha Kibo gesi bado inatoka. Kumbukumbu ya wenyeji ina habari ya mlipuko mnamo mwaka 1730.", "Kilimanjaro (Moshi mjini)\nKilimanjaro (Moshi mjini) ni jina la kata ya Wilaya ya Moshi Mijini katika Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ina wakazi wapatao 5,298 waishio humo.", "Kilimanjaro (Volkeno)\nMaana Kilimanjaro ni mlima wa juu vile ya kwamba mvua wote (pamoja na ukungu na usimbishaji mwingine) unaofika kwenye kilele chake utaganda na kuwa theluji. Theluji inayokaa muda mrefu tena katika ganda nene itakuwa barafu. Lakini wakati uleule mishale ya jua zinasababisha kupotea kwa theluji na barafu kwa njia ya uvukizaji. Kwa jumla kuongezeka au kupungukiwa kwa barafu kwenye kimo hiki ni swali la kiasi cha mvua na usimbishaji mwingine zinazofika hapa.", "Kifaru\nFaru weusi wana mdomo uliochongoka. Wanafanana kwa rangi na faru weupe. Hii inachanganya sana, sababu majina yao ni tofauti lakini rangi zao ni sawa kabisa. Spishi hii ina spishi nyingine nne ndani yake. Faru mkubwa mweusi huwa na urefu wa sentimeta 132 – 180 mabegani mwake na urefu wa mita 2.8 – 3.8 kuanzia kichwani mwake.[3] Huwa na uzito wa kilogramu 850 mpaka 1600, na wachache mpaka kg 1800, huku faru jike wakiwa na umbo dogo kiasi kuliko wanaume. Pembe kubwa mbili zimetengenezwa kwa keratini huku ile kubwa ya mbele ikiwa ina urefu wa mpaka sentimeta 50, na mmoja aliwahi hata kufikia sentimeta 140. Wakati fulani hata pembe la tatu hujitokeza. Faru weusi ni wadogo kiasi kuliko faru weupe, na wana mdomo uliochongoka kwa ajili ya kukusanya majani kabla ya kula.", "TANZAM\nTANZAM ina urefu wa kilomita 2,400 na zote zina lami. Katika Zambia huitwa \"Great North Road\" na ndani ya Tanzania ina namba \"T1\". ", "Kenya\nEneo hili la milima ndilo la juu zaidi nchini Kenya (na la pili kwa urefu barani Afrika): Mlima Kenya, unaofikia urefu wa mita 5,199 (futi 17,0570) 5,199m (17,057ft) na ni eneo lenye mito ya barafu. Mlima Kilimanjaro (5,895m (19,341ft)Error in convert: Ignored invalid option \"disp=s\" (help)) huweza kuonekana upande wa kusini, ng'ambo ya mpaka wa Kenya na Tanzania .[7]", "Nanomita\nNanomita ni pia kipimo cha kawaida kwa kutaja urefu wa mawimbi ya usumakuumeme. Nuru inayoonekana ina urefu wa wimbi kati ya 400 nm hadi 800 nm. .", "Kilimanjaro (Volkeno)\nKama barafu juu ya Kilimanjaro ingepotea kabisa hii isingekuwa tatizo kubwa kwa maji yanayopatikana katika maeneo yanayozunguka mlima. Kiasi cha barafu juu ya mlima ni kidogo sana kuliko kiasi cha maji yanayohifadhiwa na misitu kwenye mitelemko ya mlima chini zaidi. Misitu hii ni chanzo cha maji yanayotiririke chini katika mito na vijito vya mlima mkubwa.[38]", "Frati\nFrati ina urefu wa takriban 2,781 km. ", "Axum\nMaeneo kadhaa yanavutia katika eneo la Aksum, Nguzo za Aksumite, zilizopo katika mji wa Stelae, nguzo hizi zenye urefu wa kiasi cha mta 33, na mita 3.84 kw upana , wakati mita 2.35 ni kwa upande wa kwenda chini, na pia, kila nguzo ina kiasi cha uzito wa tani 520, nguzo ya Great Stele inaamika kuanguka na kuvunjika wakati wa kuitengeneza\nNguzo ambayo inaoongoza kwa urefu, ni ile yenye urefu wa mita 20.6, na upana wa mita 2.65 na wakati urefu kwenda chini ni mita 1.18, na kuwa na urefu wa tani 160,", "Kilimanjaro (Volkeno)\nMlima Kilimanjaro hujulikana kuwa kuwa ni mlima wa Afrika mwenye kofia ya barafu ya kudumu. Pamoja na Kilimanjaro kuna sehemu mbili nyingine tu barani Afrika, ni Ruwenzori na Mlima Kenya. Lakini kiasi cha barafu imepungua kwa kipindi cha zaidi ya miaka 100. Mwingereza P.C. Spink aliona mwaka 1944 ya kwamba barafu ilipungua sana kulingana na taarifa aliyojua kutoka mpandaji wa kwanza Hans Meyer. Baina 1912 eneo la ngao ya barafu limepungua kutoka kilomita za mraba 12 hadi 1.85 km² kwenye mwaka 2009. Hii inalingana na kupunguzwa asilimia 85%. Sababu kuu ya mabadiliko haya ni kupungukiwa kwa kiwango cha usimbishaji katika mazingira ya mlima tangu mwisho wa karne ya 19.", "Australia\nKwa jumla ina pwani yenye urefu wa kilomita 34,218." ]
61
Je,nchi kubwa zaidi bara Asia ni ipi?
[ "Asia\nJina la nchi au eneo, benderaEneo (km²)Wakazi (1 Julai 2008)Wakazi kwa km²Mji mkuuAsia ya Kati: Kazakhstan2,724,92715,666,5335.7Astana Kirgizia198,5005,356,86924.3Bishkek Tajikistan143,1007,211,88447.0Dushanbe Turkmenistan488,1005,179,5739.6Ashgabat Uzbekistan447,40028,268,44157.1TashkentAsia ya Mashariki: Uchina9,584,4921,322,044,605134.0Beijing Hong Kong1,0927,903,3346,688.0— Macau25460,82318,473.3— Japani377,835127,288,628336.1Tokyo Taiwan35,98022,920,946626.7Taipei Korea Kaskazini120,54023,479,095184.4Pyongyang Korea Kusini98,48049,232,844490.7Seoul Mongolia1,565,0002,996,0821.7UlaanbaatarAsia ya Kaskazini: Urusi17,075,400142,200,00026.8MoscowAsia ya Kusini-Mashariki: Brunei5,770381,37166.1Bandar Seri Begawan Myanmar676,57847,758,22470.3Pyinmana Kamboja181,03513,388,91074Phnom Penh Timor Mashariki15,0071,108,77773.8Dili Indonesia1,919,440230,512,000120.1Jakarta Laos236,8006,677,53428.2Vientiane Malaysia329,84727,780,00084.2Kuala Lumpur Ufilipino300,00092,681,453308.9Manila Singapuri7044,608,1676,545.7Singapuri Uthai514,00065,493,298127.4Bangkok Vietnam331,69086,116,559259.6HanoiAsia ya Kusini: Afghanistan647,50032,738,77542.9Kabul Bangla Desh147,570153,546,9011040.5Dhaka Bhutan38,394682,32117.8Thimphu Uhindi3,287,2631,147,995,226349.2New Delhi Uajemi1,648,19570,472,84642.8Tehran Maledivi300379,1741,263.3Malé Nepal147,18129,519,114200.5Kathmandu Pakistan803,940167,762,049208.7Islamabad Sri Lanka65,61021,128,773322.0Sri JayawardenapuraAsia ya Magharibi: Armenia29,8002,968,586111.7Yerevan Azerbaijan46,8703,845,12782.0Baku Bahrain665718,306987.1Manama Kupro9,250792,60483.9Nikosia Palestina3631,537,2693,315.7Gaza Georgia20,4604,630,84199.3Tbilisi Irak437,07228,221,18154.9Baghdad Israel20,7707,112,359290.3Yerusalemu Yordani92,3006,198,67757.5Amman Kuwait17,8202,596,561118.5Jiji la Kuwait Libanon10,4523,971,941353.6Beirut Omani212,4603,311,64012.8Muskat Qatar11,437928,63569.4Doha Uarabuni wa Saudia1,960,58223,513,33012.0Riyad Syria185,18019,747,58692.6Dameski Uturuki756,76871,892,80776.5Ankara Falme za Kiarabu82,8804,621,39929.5Abu Dhabi Yemeni527,97023,013,37635.4Sana'aJumla43,810,5824,162,966,08689.07" ]
[ "Dhoruba\nVimbunga vya bara la Amerika (kwa Kiingereza \"hurricane\"), vimbunga vya bara la Asia (kwa Kiingereza \"typhoon\") na vimbunga vya bara la Afrika (kwa Kiingereza \"cyclone\"), mara nyingi, huitwa dhoruba pia, lakini vina majina maalumu kwa sababu vina nguvu sana. ", "Ziwa\nZiwa ni gimba kubwa la maji linalozungukwa na nchi kavu pande zote. Tofauti na bahari ni ukubwa na kutobadilishana maji na bahari kuu. Lakini maziwa kadhaa yamepewa pia jina la \"bahari\" hasa kama yana maji ya chumvi au kama watu wa eneo lake hawajui magimba makubwa zaidi ya maji. Mfano wake ni Bahari Kaspi katika Asia ambayo ni kubwa sana lakini hali halisi ni ziwa lenye maji ya chumvi.", "Umoja wa Nchi za Asia ya Kusini-Mashariki\nUmoja wa Nchi za Asia ya Kusini-Mashariki (Association of Southeast Asian Nations - ASEAN) ni ushirikiano wa kimataifa wa nchi za upande wa kusini mashariki wa bara la Asia.", "Barafu\nBarafu inaeleweka ni maji ya mgando. Hata kiowevu kingine kinaweza kushika baridi na kuganda kuwa barafu, ila kama maziwa yanaganda tunayaita \"barafu ya maziwa\".\nInapatikana katika hali na ukubwa mbalimbali. Kama ni ndogo ni fuweli kadhaa tu; kubwa zaidi ni vipande vya mvua ya mawe. Barafu inaweza kuwa ganda kubwa kama bapa nene sana kama lile linalofunika bara la Antaktiki.", "Madola\nKatika mabara, lile lenye nchi nyingi zaidi ni Afrika likiwa na nchi au madola 54, likifuatiwa na bara la Ulaya likiwa na madola 48, kisha Asia likiwa na madola 44, halafu Amerika ya Kaskazini pamoja na Amerika ya Kati likiwa na madola 23, na baada yake ni Australia na Pasifiki (Oshania) likiwa na madola 14, na mwishowe ni Amerika ya Kusini likiwa na madola 12. Kwa hivyo, kwa ujumla, kuna madola 195 ulimwenguni.", "Asia\nAsia ni bara kubwa kabisa kuliko mabara yote mengine ya dunia. Bara hili lina eneo la kilomita za mraba 44,579,000 (maili za mraba 17,212,000), ambalo ni sawa na asilimia 30% ya ardhi yote. Wakazi wa bara la Asia ni 3,701,000,000 kwa mujibu wa makisio 2003.", "Mlima Wilhelm\nMlima Wilhelm (kwa Kiing. \"Mount Wilhelm\") ni mlima mrefu kuliko yote ya Papua Guinea Mpya, ukiwa na kimo cha mita 4,509 juu ya usawa wa bahari. Baadhi wanauhesabu kuwa wa kwanza katika bara la Oceania kwa vile kisiwa cha Guinea Mpya kimegawanyika: upande wa Magharibi ni sehemu ya bara la Asia (Indonesia), na upande wa Mashariki ni sehemu ya bara la Oceania.", "Asia ya Mashariki\nAsia ya Mashariki ni kanda la bara la Asia linalojumuisha takriban 15% za eneo la bara lote.\nNchi zifuatazo huhesabiwa kuwa sehemu za Asia ya Mashariki:Kiutamaduni nchi hizi zote zimeathiriwa na China jinsi inavyonekana katika maandishi, falsafa ya Konfutse, Ubuddha wa Mahayana na mtindo wa kula kwa kutumia vijiti.", "Ukristo barani Amerika\nMatokeo ni kwamba leo Amerika ndilo bara lenye asilimia kubwa zaidi za Wakristo, wakiwemo hasa Wakatoliki na Waprotestanti, lakini pia Waorthodoksi, Waorthodoksi wa Mashariki na madhehebu mengine ambayo yalitokea Marekani hasa katika karne ya 19.", "Asia\nBara la Asia lina nchi 44 na visiwa mbali mbali vya madola mbalimbali. Mlima mrefu kabisa ulimwenguni ambao ni mlima wa Everesti wenye urefu wa mita 8,850 (futi 29,035) ulioko Nepal pia uko kwenye bara hili. Kadhalika, nchi zenye wakazi wengi zaidi ulimwenguni China na India pia ziko kwenye bara hili.", "Bara\nMabara na mabamba yao ni kama ifuatayo: Afrika (Bamba la Afrika), Antaktika (Bamba la Antaktika), Australia (Bamba la Australia), Ulaya na sehemu kubwa ya Asia (Bamba la Ulaya-Asia), Amerika Kaskazini pamoja na Siberia (Bamba la Amerika ya Kaskazini) na Amerika Kusini (Bamba la Amerika ya Kusini). Mabamba madogo yamejitenga ingawa nchi juu yao inaonekana kuwa sehemu ya bara lingine. Mfano wake ni Bara Hindi iliyokuwa kama bara ndogo au kisiwa kikubwa zamani lakini tangu miaka milioni 10 imejisukuma chini ya bamba la Asia-Ulaya na kuikunja hadi kutokea kwa milima ya Himalaya.", "Asia Ndogo\nJina la Asia lina asili yake hapa. Asia ilikuwa jina la jimbo la Kiroma katika maeneo ya magharibi tu yaliyotazama Ugiriki. Kutoka hapa jina la Asia lilitumiwa pia kwa bara lote lililokaa nyuma yake mahoni pa Waroma wa Kale.", "Lugha za Kisino-Tibeti\nLugha za Kisino-Tibeti ni familia kubwa ya lugha ambazo huzungumzwa katika bara ya Asia, hasa nchini Uchina. Idadi ya lugha katika familia hiyo ni zaidi ya 400.", "Dunia\nKwa pamoja maeneo ya maji hufunika 70.7% za uso wa dunia. Nchi kavu huwa na 29.3% na sehemu kubwa ya eneo la nchi kavu ni bara 7 za Asia, Afrika, Amerika Kaskazini, Amerika Kusini, Antarktika, Ulaya na Australia. (Ulaya inaweza kuangaliwa pia kama sehemu ya Asia ikiwa kama rasi yake ya magharibi. Azimio la kutazama Australia kama bara na Greenland kama kisiwa tu ni azimio la hiari si la lazima).", "Ugonjwa wa uti wa mgongo\nKuna tofauti kuu kwa kusambaa katika eneo kwa visababishi vya meninjitisi ya kibakteria. Kwa mfano, huku vikundi vya B na C vya \"N. meningitides\" vikisababisha visa vingi zaidi ya magonjwa barani Uropa, magonjwa ya kikundi cha A hupatikana bara Asia na kuendelea kuwa tisho kuu barani Afrika, ambapo husababisha idadi kubwa ya majanga katika ukanda wa meninjitisi, yakijumlisha asilimia 80 hadi 85 ya matukio meninjitisi ya meningokokasi yaliyorekodiwa.", "Laos\nLaos ni nchi ya bara la Asia upande wa Kusini-Mashariki. ", "I Lay My Love on You\n\"I Lay My Love on You\" ni moja kati ya nyimbo zilizoimbwa na kundi la Westlife, wimbo huu ulitoka rasmi mwaka 2001, katika nchi za Australia, Kusinimashariki mwa bara la Asia na katika bara la Uropa isipokuwa katika nchi za Uingereza na Ieland.", "Bamba la Ulaya-Asia\nBamba la Ulaya-Asia ni bamba la gandunia kubwa katika ganda la dunia. Inabeba sehemu kubwa za bara za Ulaya na Asia isipokuwa Bara Hindi na mashariki ya Siberia si sehemu zake. Kwa lugha nyingine inawezekana kusema inabeba Eurasia.", "Asia ya Kati\nAsia ya Kati ni eneo kubwa katikati ya bara la Asia. Kuna maelezo yanayotofautiana kati yao kuhusu eneo lenyewe. ", "Asia Ndogo\n\"Asia Ndogo\" likawa jina baada ya matumizi ya jina \"Asia\" kwa bara kubwa kuwa kawaida.", "Asia ya Kaskazini\nAsia ya Kaskazini ni kanda ya kaskazini ya bara la Asia. Kuna maelezo ya kutofautiana lakini kwa jumla ni sehemu kubwa ya Siberia au sehemu ya Kiasia ya Urusi.", "Afrika\nAfrika ni bara la pili duniani kwa ukubwa, likiwa na eneo la kilometa za mraba zipatazo 30,370,000 na kwa idadi ya wakazi, hao wakiwa 1,225,080,510 (mwaka 2016). Asia ndiyo bara pekee la kushinda Afrika.", "Rasi ya Korea\nRasi ya Korea ni rasi (kwa neno lenye asili ya Kilatini: peninsula) kubwa katika Asia ya Mashariki. Inaingia kuelekea upande wa kusini takriban km 1,100 kutoka Asia bara ndani ya bahari ya Pasifiki. Bahari upande wa mashariki huitwa bahari ya Japani (inaitwa pia Bahari ya Mashariki) na upande wa magharibi huitwa Bahari Njano, kwenye Mlango wa Korea unaounganisha njia mbili za kwanza za maji. Mlango wa bahari wa Korea hutenganisha Korea na Japani ukiunganisha bahari zote mbili za kando. Bahari ya Uchina ya Mashariki iko upande wa kusini.", "Asia ya Magharibi\nAsia ya Magharibi (inalingana kwa kiasi kikubwa na jina la Mashariki ya Kati) ni sehemu ya magharibi-kusini ya bara la Asia. Inatajwa kati ya kanda za dunia ya UM. ", "Misri\nMisri (kwa Kiarabu: مصر, Masr) ni nchi ya Afrika ya Kaskazini-Mashariki ikiwa na eneo la Rasi ya Sinai kwenye bara la Asia pia.", "Asia ya Kusini-Mashariki\nAsia ya Kusini-Mashariki ni kanda la bara la Asia lenye nchi zifuatazo:Maeneo ya kibara -bila visiwa- yanajulikana pia kwa jina la Indochina.", "Primates\nPrimates wengi hukalia miti na viungo vya vinlingana na maisha yao. Kwa spishi nyingi miguu ni mikubwa na yenye nguvu zaidi kuliko mikono, isipokuwa Giboni wa Asia Kusini-Mashariki na sokwe kubwa wasio binadamu. ", "Kamboja\nKamboja au Kampuchia ni ufalme katika bara la Asia upande wa Kusini-Mashariki, katika rasi ya Indochina.", "FIFA\nNchi kadhaa ni wanachama nje ya bara lao: Guyana na Surinam ziko CONCACAF, nchi katika Asia ni wanachama wa UEFA (Armenia, Azerbaijan, Georgia, Kupri na Israel), pia nchi zenye maeneo katika Ulaya na Asia kama Uturuki, Urusi na Kazakhstan. Australia iliondoka mwaka 2006 kenye OFC ikaingia katika AFC kwa shabaha ya kupata wapinzani wenye uwezo zaidi.", "Waslavi\nWaslavi (kwa Kiingereza Slavs, pia \"Slavic\" au \"Slavonic people\") ni kundi kubwa la mataifa yanayotumia lugha za Kihindi-Kiulaya barani Ulaya. Pamoja na kuwa wenyeji wa nchi za Ulaya Mashariki, Ulaya ya Kati na Ulaya Kusini kuanzia karne ya 6 BK, tangu zamani wameenea Asia Kaskazini na Asia ya Kati. Nchi zao zinatawala zaidi ya 50% za bara la Ulaya." ]
28
Mji mkuu wa Brazil ni upi?
[ "Mji mkuu\nBrazil: Hapo Wabrazil wamehamisha mji mkuu kutoka Rio de Janeiro uliyoko pwani na kandokando la eneo la Brazil kwenda mji mpya wa Brasilia kuanzia mwaka 1960. Brasilia ilijengwa mahali pasipo na mji katika miaka 1956 - 1960 BK.", "Brazil\nMji mkuu ni Brasilia, uliopangwa na kujengwa kati ya 1957 na 1960. Mji mkubwa ni Sao Paulo." ]
[ "Vietnam\nMji mkuu ni Hanoi lakini mji mkubwa ni Mji wa Ho Chi Minh (zamani: Saigon).", "Athi River\nMji huo ni makao ya Baraza la Mji wa Mavoko na ni mji mkuu wa divisheni ya Mavoko ambayo ni sehemu ya kaunti ya Machakos. ", "Brazil\nMji mkuu ulihamishwa kwenda Rio de Janeiro mwaka 1763.", "Bohemia\nMji mkuu wa Bohemia ni pia mji mkuu wa kitaifa ni Praha (Kiing.: Prague).", "Brazil\nMji mkuu wa Brasilia ulijengwa kama ishara ya umoja wa nchi katika miaka mitatu tu.", "Amazonas, Brazil\nAmazonas ni jimbo ya Brazil. Mji mkuu wake ni Manaus.", "Ngazija\nKuna takriban wakazi lakhi tatu na nusu. Mji mkuu ni Moroni ambao ni pia mji mkuu wa kitaifa.", "Mayotte\nMji mkuu ni Mamoudzou tangu 1977. Mji mkuu wa zamani ni Dzaoudzi kwenye kisiwa cha Pamanzi.Kuna lugha tatu ambazo hzungumzwa kisiwani Mayotte, yaani Kifaransa (lugha rasmi), Kimaore ya Komori, na Kibushi.", "Brazil\nUhuru wa Brazil ulisababishwa na siasa za Ulaya. Mwaka 1807 Ureno ilivamiwa na Ufaransa ya Napoleon Bonaparte. Mfalme wa Ureno João VI alikimbilia Brazil, Rio de Janeiro ikawa mji mkuu wa dola la Ureno.", "Des Moines, Iowa\nDes Moines ni jina la mji mkuu wa jimbo la Iowa nchini Marekani. Mji wa \nDes Moines ulianzishwa mnamo mwaka wa 1843 mahali ambapo Mto Raccoon na Mto Des Moines inapokutana. Mji wa Des Moines umekuwa mji mkuu wa Iowa mnamo mwaka wa 1857.", "Brazil\nMreno wa kwanza aliyefika mwambao wa Brazil tarehe 22 Aprili 1500 alikuwa Pedro Alvares Cabral. Makazi ya kwanza ya Wareno ni mji wa São Vicente mwaka 1532. Mji mkuu wa kwanza ulikuwa bandari ya Salvador da Bahia tangu 1549.", "Rio de Janeiro\nIlikuwa mji mkuu wa nchi hadi tarehe 21 Aprili 1960. Leo ni mji mkuu wa jimbo la shirikisho la Rio de Janeiro. Mwaka 2000 rundiko la jiji lilikuwa na wakazi 5,473,909.\nRio de Janeiro ni jiji la Brazil linalojulikana zaidi kote duniani. Ni kitovu cha utalii na cha utamaduni. Kanivali yake inavuta wageni wengi kila mwaka. Mlima wa Corcovado unabeba \"Sanamu ya Mwokozi\" ambayo ni sanamu kubwa ya Yesu yenye kimo cha mita 30.", "Brazil\nSão Paulo ni jiji kubwa kabisa linalokua haraka sana. Ni moyo wa uchumi wa Brazil wenye viwanda vingi.", "Mji mkuu\nNigeria iliamua mwaka 1976 kuhamisha mji mkuu wa kitaifa kutoka Lagos kwenda mahali pa katikati ya nchi. \"Eneo la Mji Mkuu wa Shirikisho\" limeteuliwa. Mji mpya wa Abuja ndani ya eneo hili ukawa mji mkuu wa Nigeria mwaka 1991.", "Mji wa Basel\nMji wa Basel ni jina la kutaja jimbo liliopo nchini Uswisi. Iko kando ya mto Rhine. Mji mkuu wake ni Basel.", "Muziki wa Angola\nMji mkuu wa Angola ni Luanda ambao una sampuli tofauti tofauti za midundo ikiwemo merengwe, kilapanda na semba, ya mwisho ikiwa mwondoko ambao unashirikisha Roots na Samba ya Brazil zikiwekwa pamoja. Katika pwani ya Luanda pia kuna nji wa Ilha do Cabo, ambao umetawalwa na muziki unaotumia vyombo vya accordion na harmonica. Mwondoko unaitwa rebita.", "Lazio\nMji mkuu wake ni Roma, ambao ni pia mji mkuu wa taifa na mji mkubwa kuliko yote nchini.", "Brasilia\nBrasília ni mji mkuu wa Brazil mwenye wakazi 2,282,049. Ni mji mpya uliojengwa baada ya katika miaka 1956 - 1960 BK. ", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Ufilipino\nMji mkuu wa Manila uko Luzon. Quezon City ni mji mkubwa. Cebu City ni mji mkubwa upande wa Visaya. Davao City ni mji mkuu wa Mindanao.", "Msumbiji (kisiwa)\nMwanzoni Msumbiji ilitawaliwa kama sehemu ya Uhindi ya Kireno kutoka mji mkuu wa Goa. Mwaka 1720 Msumbiji ilikuwa kama jimbo la pekee na kisiwa cha Msumbiji kikawa mji mkuu. Kisiwa kilikuwa bandari muhimu katika biashara ya watumwa kwa visiwa vya Bahari Hindi na pia hadi Brazil ya Kireno.", "Brazil\nRio de Janeiro ilikuwa mji mkuu wa nchi hadi kuanzishwa kwa Brasilia. Imejulikana kote duniani kutokana na uzuri wa mazingira yake na sherehe ya Kanivali. Ina pia viwanda muhimu na ni kitovu cha utamaduni wa nchi.", "Mkoa Huru wa Hanty-Mansi\nMkoa Huru wa Hanty-Mansi ni jina la kutaja mkoa ulioko nchini Russia. Mji mkuu wake ni Hanty-Mansiysk. Mji mkubwa wake ni Surgut.", "Brasilia\nMji mkuu ulihamishwa kutoka Rio de Janeiro uliyoko pwani na kandokando la eneo la Brazil kwenda mji mpya wa Brasilia kuanzia mwaka 1960. Brasilia ilijengwa mahali pasipo na mji kabla ya ujenzi wake. Ujenzi ulilenga kupata mji mkuu ulioko katikati ya nchi na kuachana na mapokeo ya kikoloni yaliyojenga mji mku mwambaoni wa bahari kwa sababu ya mawasiliano kati ya koloni na nchi tawala.", "Mauritania\nMji mkuu ni Nouakchott. Mji wa pili na kitovu cha uchumi ni bandari ya Nouadhibou karibu na mpaka wa Sahara Magharibi.", "Brazil\nBrazil ina mto mkubwa na mrefu wa dunia ambayo ni Amazonas wenye urefu wa takriban kilometa 7000. Tawimito yake muhimu ni Río Purús, Rio Negro na Rio Tapajós.", "Mji mkuu\nKwa nia hiyohiyo Tanzania iliamua kuhamisha mji mkuu kutoka Daressalaam uliyoko pwani la Bahari Hindi kwenda Dodoma iliyoko katikati ya Tanzania. Uhamisho huu umepangwa tangu 1967 na kutangazwa rasmi mwaka 1997 lakini haujatekelezwa bado. Ni ofisi chache za serikali zimehamia hapo. Watanzania wanaochoka na kuchelewe huku waangalie mfano wa Brazil: Katiba ya Brazil ya mwaka 1891 ilishataja mahali pa mji mkuu mpya badala ya Rio de Janeiro lakini mipango haikuanza hadi 1926 halafu ujenzi ulianza 1956!", "Papa\nPapa ni pia mkuu wa nchi huru ya Mji wa Vatikano iliyopo ndani ya mji wa Roma (ambao ni mji mkuu wa Italia)." ]
98
Jina piano lina maana gani?
[ "Piano\nPiano (kutoka neno la Kiitalia linalofupisha jina asili \"pianoforte\") ni ala kubwa ya muziki yenye vibanzi (vinaitwa pia vipande au funguo) vyeupe na vyeusi ambavyo hubonyezwa na kutoa sauti tofauti. Sauti hutokea wakati nyundo ndogo zinapopiga nyaya zinazofungwa kwenye fremu ya metali." ]
[ "Uganda\nJina Uganda lina asili yake katika ufalme wa Buganda ulioko kusini mwa nchi pamoja na mji mkuu, Kampala.", "Sayari\nJina la Kiswahili \"sayari\" lina asili yake katika neno la Kiarabu كوكب سيار kaukab sayar \"nyota inayotembea\" [1]. Neno hili la Kiarabu linalingana au ni tafsiri ya neno la Kigiriki πλανήτης planetes (lenye maana ya \"yenye kutembea\") ambalo ni asili ya jina \"planet\" kwa Kiingereza na lugha nyingine za Ulaya.", "Mafarisayo\nMafarisayo waliunda madhehebu mojawapo ya Uyahudi ambayo wakati wa Yesu Kristo iliweza kufikia 5% ya Wayahudi wote, lakini ilikuwa na athari kubwa katika jamii yao, kutokana na sifa ya kuwa wanadini hasa. Jina lenyewe lina maana ya waliojitenga (na wakosefu) ili kushika kiaminifu masharti yote ya Torati ya Musa.", "Aina za maneno\nKwanza neno ni umbo lenye maana ambalo lina nafasi pande mbili. Neno ni silabi au mkusanyo wa silabi wenye kubeba au kuleta maana fulani.", "Kitabu cha Mika\nJina la nabii huyo, aliyefanya kazi wakati uleule wa nabii Isaya, mwishoni mwa karne ya 8 K.K., lina maana ya \"Nani kama Mungu?\".", "Pentekoste\nJina hili lilianza kutumika kwa sababu kwa lugha ya Kigiriki lina maana ya namba 50. Hivyo \"πεντηκοστή [ἡμέρα]\" (\"pentekostē [hēmera]\") ni \"(siku ya) hamsini\". ", "Kitawe\nKitawe ni neno lenye maana zaidi ya moja. Kwa mfano \"nyanya\" lina maana ya bibi na lina maana ya tunda ambalo ni kiungo cha chakula. Neno \"paa\" lina maana ya sehemu ya juu ya nyumba na vilevile ni jina la mnyama fulani.", "Katibu\nNeno Katibu pia lina maana ya mtu katika shirika anayepatiwa kazi maalumu. ", "Libreville\nLibreville ina wakazi 578,000 (2005). Jina la “Libreville” lina maana ya “mji huru” au “mji wa watu huru” kutokana na historia yake.", "Takadini\nJina TAKADINI lina maana ya \"Sisi tumefanya nini?\" Jina hili limetokana na kitendo cha Sekai wakati anajiandaa kutoroka kijijini kwao na kwenda mahali asikokujua, kwa ajili ya kukimbia adhabu ya kuuawa kwa mwanawe. Mwandishi anasema kuwa, Sekai alikwishaamua aondoke asubuhi inayofuata, uamuzi wake wa kutoroka ulikamilika kwa usahihi na ushwari. Alimfunika mtoto wake katika gudza na kumtia mkekani. Kisha akafanya maandalizi ya safari yake. Alichukua mkuki pamoja na ngao na nyama iliyokaushwa kwa ajili ya safari yake. Sauti ya jogoo aliyewika katika eneo hilo ilimuamsha. Sekai alimnyonyesha mtoto wake, kisha aliketi kuiambia mizimu matatizo yake akaomba akingwe na watu na wanyama katika safari yake ya hatari. Wakati akiwasiliana na mizimu, punde jina likamjia moyoni taratibu, TAKADINI. Ni jina ambalo hakuwahi kulisikia mahali popote. Huo ulikuwa ndio mwanzo wa Sekai kuanza safari ya kutoroka kijijini kwao.", "Sierra Leone\nJina la nchi lina asili ya Kireno na linamaanisha \"Mlima wa Simba\". ", "Kajiado\nJina halisi wa mji huu ni \"Olopurupurana\", ambalo lina maana ya \"kilima cha mviringo\".", "Ndovu\nTembo wametokea sana kwenye tamaduni za dunia. Ni ishara/alama ya hekima huko Asia na ni maarufu kwa uwezo wao wa kumbukumbu na akili, ambapo hufanikiwa kukaribiana na jamii ya binadamu wa kale. Mwanafalsafa Aristotle aliwahi kusema ndiye “mnyama pori anayewapiku wengine wote kwa hekima na akili”. Jina la tembo kwa Kiingereza lina asili ya neno la Kigiriki lenye maana ya meno/pembe za ndovu.", "Filioque\nNi kwamba neno la Kigiriki \"ἐκπόρευμαι\" lina maana ya \"kuvuviwa\", nalo linaeleza namna gani Roho Mtakatifu anatokana na Baba, tofauti na ile ya Mwana ambayo ni ya \"kuzaliwa\". Kumbe neno la Kilatini \"procedit\" lina maana ya \"kufuata, kuandamana na\", nalo linaeleza kwamba Roho Mtakatifu si nafsi ya kwanza; basi Wakristo waliotumia lugha hiyo waliona afadhali kuweka wazi kwamba si nafsi ya pili pia, bali ya tatu, baada ya Baba \"na Mwana\". ", "Zebaki\nJina la kawaida \"zebaki\" lina asili ya Kiarabu زئبق (tamka \"zibaq\").", "Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe\nKanisa la shule lina viti 1,000 pamoja na piano kubwa , iliyo moja kati ya piano mbili kubwa zilizo shuleni (nyingine ikiwa kwenye ukumbi wa mikutano). Kwaya ya shule imefanikiwa imefanya mafanikio mengi na hivyo ana sifa yachuma ni bora. Katika historia ya shule,wanafunzi wengi wenye vipawa vya kimuziki wamefanikiwa katika mashindano ya kibinafsi na mitihani na kuacha taathira kubwa katika jamii ya kimuziki ya Kenya. Baadhi yao ni wanachama wa Okestra ya mji wa Nairobi.", "Kiteso\nHabari --- yoga \nU hali gani? --- Ijai biai \"(umoja)\" \nIjaasi biai \"(wingi)\" \nSalama salmini, na wewe je? Ejokuna, arai ijo? \nNjema --- ejokuna \nWaitwaje? --- \nIngai bo ekon'kiror? \nJina langu ni ... ---\nEka'kiror ... \nJina ---\nEkiror \nNi vizuri kukujua. ---\nEyalama ewanyun \"(pia:\" Eyalama aanyun) \nTutaonana baadaye tena ---\nAwanyunos Bobo \nKitabu --- Eitabo \nSababu --- Naarai", "Haile Selassie\nHaile Selassie (23 Julai 1892 – 27 Agosti 1975) alikuwa Kaisari au Negus Negeste wa Ethiopia. Alizaliwa katika kijiji kiitwacho Ejersa. Kabla ya kuwa mfalme aliitwa Ras Tafari Makonnen. Jina lake la kifalme lina maana ya \"Utukufu wa Utatu (Mtakatifu)\". Pia anafahamika kwa jina la Simba wa Yuda, Mfalme wa wafalme (H.I.M).", "Winnipeg\nJina la Winnipeg ni ya Kikree maana yake ni \"maji matibwitibwi\". Jina inahusu Ziwa Winnipeg", "Eldoret\nJina \"Eldoret\" lina misingi ya Wamaasai neno \"eldare\" maana \"mto ulio na mawe\"", "Kaa\nKaa ni neno la kiswahili ambalo lina maana zaidi ya moja na linaweza kumaanisha:", "Wasukuma\nJina \"Wasukuma\" lina maana ya watu wa Upande wa \"Kaskazini\", lakini maana hii haiwakilishi maana halisi ambayo watu wengi huitafsiri kwa mfano Wasukuma hutumia alama ya utambulisho (dira) kwa eneo fulani kwa viashirio vya makabila, kwa mfano wa jina kama hili: Kiya. Hili lina maana ya mashariki ambako ni maawio ya jua. Huu ni utambulisho ambao haukufananishwa ama kuitwa kwa jina la kabila fulani. Mfano mwingine ni upande wa \"Dakama\" ambapo yatambulisha kama eneo la Unyamwezi lakini zaidi ya mpanuko wake ni upande wa \"kusini\". Zaidi ya hapo neno hili hutumiwa sana na kabila la Wanyamwezi ili kutambulisha eneo la Wasukuma ambapo Wasukuma nao husema \"dakama\". Upande mwingine ambao unapewa alama ya utambulisho ni \"Ushashi\" maana yake ni upande wa kabila la Washashi na neno hili Washashi ni mkusanyiko wa makabila ya mkoa wa mara, japo pia neno hili \"shahi\" linamaanisha kabila la Wakurya ambalo pia mpanuko wake unakomea hapo, ambapo zaidi ya hapo eneo zima la upande huo unamaanisha upande wa kaskazini. Upande wa mwisho kutambulishwa ni \"Ngw’eli\", neno hili halikupewa kabila na badala yake linawakilisha upande wa magharibi (dira), ambako ni machweo ya jua. \"Wasukuma wenyewe hulirejea jina hili kama \"Basuguma\" kwa wingi na \"Nsuguma\" kwa umoja.", "Tano\nNeno hilo lina asili ya Kibantu. Kiswahili kina neno lingine kwa maana hiyohiyo, nalo lina asili ya Kiarabu: hamsa. Siku hizi halitumiki sana, lakini kutoka kwake limepatikana hamsini (hamsa mara kumi) ambalo ni la kawaida.", "Rabi\nNeno lenyewe lina maana ya \"ustadh\", \"profesa\", \"mwalimu\". ", "Al-Qaeda\nJina hili linatoka katika jina la Kiarabu \"qā'idah,\" ambalo lina maana ya \"msingi\" na pia inamaanisha kambi la kijeshi. Silabi ya kwanza \"al-\" ni makala \"ya\" uhakika \"the\" ya lugha ya Kiingereza katika Kiarabu.", "Ghana\nKatika muktadha wa kitamaduni, kitambaa cha kente kina umuhimu zaidi ya vazi tu. Ni uwakilishi wa kuonekana wa historia, na pia aina ya lugha iliyoandikwa kwa kufuma. Neno Kente lina mizizi yake katika neno la Kitwi kenten ambalo lina maana ya kikapu. Wasusi wa kwanza wa kente walitumia nyuzi za ukindu kufuma vitambaa vilivyoonekana kama kenten (kikapu); na hivyo vilikuwa vinaitwa kenten ntoma; kumanisha kitambaa cha kikapu. Jina la kiasili la Kiasante la kitambaa hiki lilikuwa nsaduaso au nwontoma, kumaanisha “kitambaa kilichotengenezwa kwa mkono kwenye kitanda cha mfumi”; hata hivyo neno kente ndilo hutumika zaidi na watu wengi siku hizi. Aina nyingi tofauti za vipande vyembamba vya vitambaa vinavyofanana na kente hufumwa na makabila mengi tofauti nchini Ghana kama Ewe, Ga na mengine ya Afrika. Kente pia hupendwa na Waafrika wanaoishi katika nchi za ng’ambo.", "Madagaska\nJina Madagaska lina maana ya \"Kisiwa kikubwa\" na linatokana na lugha ya wenyeji, Wamalagasi ambao waongea Kimalagasi.", "Ngoma\nNeno ngoma lina maana mbalimbali:", "Pakistan\nJina la Pākistān lina maana ya \"nchi ya watu safi\" kwa Kiurdu.", "Ololosokwan\nJina la \"Ololosokwan\" limetokana na kuwepo kwa nyati wengi katika sehemu hiyo (nyati kwa lugha ya Kimasai anaitwa Olosokwan, hivyo jina Ololosokwan lina maana \"Yenye Nyati\"). " ]
90
Je, Ruwaza ya Kenya 2030 ilizinduliwa mwaka upi?
[ "Ruwaza ya Kenya 2030\nSerikali ya Kenya ilitangaza wakati wa 2008 Summer Michezo ya Olimpiki mjini Beijin ina mpango kabambe wa kuwa mwenyeji wa Micheza ya Olimpiki mwaka 2028 kam amojawapo ya mipanngo ya kutimiza ruwaza ya kenya 2030." ]
[ "Lamborghini Reventòn\nLamborghini Reventón (matamshi ya Kihispania: [reβenˈton]) ni gari la michezo ambayo ilizinduliwa mwaka 2007 kwenye maonyesho ya Frankfurt Motor Show. ", "Ruwaza ya Kenya 2030\nSerikali ya Kenya inatarajia kwamba mpango huu utaimarisha sekta ya utalii nchini Kenya. Hivi sasa, utalii umeegemea safari porini. Mpango huu unatoa wito kwa uwekezaji katika miji ya pwani.[2]", "2030 (wimbo)\nKatika wimbo, ametaja mauaji ya Mapadri na Masheikhe. Hina haja ya kutukana Quran wala Biblia. Anaimba kwa amani zote kuhakikisha ya kwamba haiegemei upande wa mtu yeyote ndani yake.", "Hotuba ya mlimani\nJe, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba mkate, atampa jiwe? ", "Hotuba ya mlimani\nMtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La! ", "Ruwaza ya Kenya 2030\nKulitangazwa 10 Juni 2008, kwamba wilaya ya Isiolo, itakuwa ya kwanza ya mradi wa kewekezwa. Mpango unazimia kuufanya mji wa Isiolo kuimarika kama eneo la kitalii ambalo litajumuisha kasino, mahoteli, masoko rejareja, uwanja wa ndege wa kisasa na vifaa vya usafiri.[3]", "Miaka ya 2030\nMakala hii inahusu miaka 2030 - 2039.", "Ruwaza ya Kenya 2030\nRuwaza ya Kenya 2030 (Kiingereza: Kenya Vision 2030) ni mpango wa maendeleo ya kiuchumi wa serikali ya Kenya kuendeleza maeneo mbalimbali ya kiuchumi katika maeneo mbalimbali ya nchi. Malengo ya mpango kuzalisha ukuaji wa uchumi wa mwaka wa 10%. [1] Hivi sasa, Kenya ina ukuaji wa Pato la Taifa 4.9% (2007). Maono haya yamefululizwa katika miaka mitano mitano ya mipango, mwanzo wake ukiwa 2008-2012. Mpango wa kwanza unaazimia uwekezaji katika sekta sita muhimu na miradi ishirini kabambe .[2] Sekta zilizolengwa ni pamoja na utalii, kilimo, viwanda, biashara, teknolojia ya habari, na huduma za kifedha.", "A Boy From Tandale\nAlbamu ilianza kutolewa kwa oda kwanza kwenye majukwaa mengi tu ya muziki mtandaoni, hasa iTunes, Songa Music na kwengineko.Albamu ilizinduliwa rasmi mnamo tarehe 14 Machi nchini Kenya chini ya udhamini kamili wa Songa Music (tawi la Safaricom ya Kenya linalojihusisha na masuala mazima ya muziki). Jinsi Songa inavyofanya kazi sawa na Mkito au Mzikii ya Tanzania. Sababu hasa zilizoplekea kuizindulia Kenya ikiwa ni pamoja na kukosekana vifaa ambavyo vingeweza kuonesha mandahari mbalimbali yaliyokuwa yanaonekana nyuma ya fanani aliyekuwa anatoa burudani katika uzinduzi huo. Halkadhalika kuonesha umoja wa kweli wa Afrika Mashariki na sio unafiki. Uzinduzi ulifanyika katika ukumbi wa \"Kenya National Theatre\".", "Jacqueline Ntuyabaliwe\nmwaka 2016 Jacqueline ilizinduliwa \"MOLOCAHO\" na Amorette, brandi na kuweza kushinda tuzo ,brandi hiyo ilizinduliwa viwandani na kampuni yake Amorette.", "Kenya\nMfumo wa sasa wa 8-4-4 ilizinduliwa Januari 1985. Ulitilia mkazo masomo ya kiufundi kwa matarajio kuwa, muundo huu mpya utawawezesha wanaoacha shule katika viwango mbalimbali aidha kujiajiri wenyewe au kupata ajira katika sekta ya juakali.", "2030\nUkurasa huo unahusu mwaka 2030. \nMakala hii inahusu mwaka 2030 BK (Baada ya Kristo).", "UEFA\nUEFA pia huendesha mashindano mawili makuu ya vilabu barani Ulaya (yajulikanayo kama \"mashindano ya vilabu ya UEFA\" : Ligi ya Mabingwa ya UEFA ilifanyika kwanza mwakani 1955, na ilikuwa ikijulikana kama Kombe la Vilabu Bingwa barani Uropa (au Kombe la Uropa tu) hadi 1992; na Ligi ya Uropa ya UEFA (awali Kombe la UEFA), kwa washindi wa mchujo wa kitaifa na timu za ligi bora zaidi, ilizinduliwa na Uefa mwaka 1971 kama mwandamizi wa Kombe la Inter-Cities Fairs (pia ilianza mwaka 1955 lakini haikutambuliwa na UEFA Shindani la tatu,Kombe la Washindi, lilianza mwaka 1960 na lilimezwa na kombe la UEFA mwaka 1999.", "Wakuu wa Serikali ya Kenya\nKenya This article is part of a series on the politics and government of Kenya National Government Constitution History Human rights Executive President (list) Uhuru Kenyatta Deputy President William Ruto Cabinet Attorney General Githu Muigai Director of Public Prosecutions Keriako Tobiko Legislature National Assembly Speaker: Justin Muturi List of members Constituencies Senate Speaker: Kenneth Lusaka List of members Judiciary Chief Justice David Maraga Deputy Chief Justice Philomena Mbete Mwilu Supreme Court Court of Appeal High Court Subordinate courts Magistrates Courts Kadhi Courts Courts Martial Tribunals Judicial Service Commission Administrative divisions Counties Sub-Counties Constituencies CommissionsOffices Electoral and Boundaries Ethics and Anti-Corruption National Human Rights and Equality National Commission on Human Rights Administrative Justice National Land Commission Revenue Allocation Salaries and Remuneration Service Commissions Judicial National Police Parliamentary Public Teachers Offices Auditor-General Controller of Budget Recent elections General: 200220072013 Local: 200220072013 Political parties The National Alliance United Republican Party Orange Democratic Movement Wiper Democratic Movement Party of National Unity Kenya African National Union Kenya National Congress Foreign relations Ministry of Foreign Affairs Minister: Monica Juma Diplomatic missions of / in Kenya Passport Visa requirements Visa policy Economic schemes Vision 2030 Kenya Economic Stimulus Program Kenyaportal Other countries Atlas vt", "Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe\nShule ya Wavulana ya Starehe ilihitimisha miaka 50 mnamo mwaka 2009. Shule ya wasichana ilizinduliwa mnamo mwaka 2005. Katika mwaka huo wa Jubilei ya Dhahabu, Starehe ya Uingereza ilizindua mwito wa miaka miwili na nusu ili kujaribu kuruzuku mustakabali wa shule hizi mbili- wito unaoiotwa STarehFuture Appeal. Ufadhili unahitajika kujenga au kuboresha vifaa vya shule na kujenga Wakfu wa Griffin. Ruzuku hii inatarajiwa kuhakikisha kwamba kutakuwa na nafasi za bure katika shule zote mbili milele. Fedha zinazopatikana Uingereza zinatarajiwa kuongezea fedha zinazopatikana kwa kuchangisha nchini Kenya.", "Bendera ya Kenya\nBendera ya Kenya (English:Flag of Kenya) ilizinduliwa rasmi tarehe kumi na mbili Desemba, mwaka wa 1963.", "Ruwaza ya Kenya 2030\nJamii:Uchumi wa Kenya", "2030 (wimbo)\n2030 ni jina la kutaja wimbo uliotungwa na kuimbwa na msanii wa muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania, Roma Mkatoliki. Wimbo ulirekodiwa mnamo mwaka wa 2012 kupitia studio ya Tongwe Records chini ya utayarishaji wake Jay Rider. Kama jinsi ilivyo kawaida ya Roma, wimbo unalenga masuala ya kijamii zaidi kuliko habari za starehe. Maelezo ya ndani yanabashiri au kutazamia namna Tanzania ya 2030 jinsi itakavyo kuwa. Hasa anaponda sera za serikali ya CCM namna inavyoendesha nchi na huu mmong'onyoko wa udini unaoendelea kuikumba Tanzania kwa kipindi hiki.", "Dabby K\nKukua katika Bungoma, Kenya haikuwa \nbarabara rahisi kwa Paul Munialo Barasa,Kama \nkijana kama umri wa miaka saba, Paulo alifundishwa \nmwenyewe kama mwimbaji na mwigizaji \nmila ya wengi wa kubwa \nWafanyakazi wa dancehall wa Kenya waliokuja kabla yake. \nWengi wa marafiki zake walichukua vizuri- \nkusafiri njia ya madawa ya kulevya na uhalifu ila,\nDabby K aliendelea kufuata muziki wake \nwito. Mapumziko yake alikuja wakati alipokuwa \nuliona na DJ Masita kwa mitaa \nmashindano ya talanta na vitu viliondoka \nhuko. Kuchukuliwa chini ya mrengo wa DJ Masita ambaye alimwongezea DJ LYTMAS Aliyemwona talanta ndani yake na kumsajili chini ya studio yake Dapstrem Burudani, \nDabby K hupanda kwenye eneo hilo na \nkipengele kwenye \"Piga Mtawala wa Mi Yuh\" na kamwe ukiangalia nyuma. \nKujitokeza kwa haraka kama moja ya \nWasanii wengi wenye vipaji wa Kenya, wake \nsauti tofauti na silika ya kushangaza \nkwa ajili ya nyimbo alimwimbia kupitia kimataifa \nhits, kutoka \"Dancehall Daddy\" kwa \n\"Dance Fi Mi\" Vipengele vyake vya nyuma vya orodha \nkila kitu ambacho dancehall inapaswa kutoa - \nkutoka ghetto ya mashairi hulia kwa chama \nNyimbo za kusaga na gyallis. \nKama vile fanbase kubwa ya ndani na \nkujitolea duniani kote kufuatia, \nNyota ikawa ngoma ya kwanza \nMsanii kuwa na albamu yake ilizinduliwa mwaka wa kwanza wa kazi yake ya muziki, ifuatiwa hivi karibuni na uwekaji wa hart kadhaa. Wake vizuri- \ncatchphrases inayojulikana na charismatic \nnishati imempeleka kwenye ibada ya ibada, \nkutafuta shabiki mwaminifu katika wasanii wa African Dancehall kama vile \ninahusika na wasanii mbalimbali wa Kenya na wasanii wa Afrika Kusini. \nKuendeleza kozi ya pop \nstardom, mwaka huu uliopita alimwona kipengele \nkwenye Safi G ya Anavokata.", "Makamu wa Rais wa Kenya\nKenya This article is part of a series on the politics and government of Kenya National Government Constitution History Human rights Executive President (list) Uhuru Kenyatta Deputy President William Ruto Cabinet Attorney General Githu Muigai Director of Public Prosecutions Keriako Tobiko Legislature National Assembly Speaker: Justin Muturi List of members Constituencies Senate Speaker: Kenneth Lusaka List of members Judiciary Chief Justice David Maraga Deputy Chief Justice Philomena Mbete Mwilu Supreme Court Court of Appeal High Court Subordinate courts Magistrates Courts Kadhi Courts Courts Martial Tribunals Judicial Service Commission Administrative divisions Counties Sub-Counties Constituencies CommissionsOffices Electoral and Boundaries Ethics and Anti-Corruption National Human Rights and Equality National Commission on Human Rights Administrative Justice National Land Commission Revenue Allocation Salaries and Remuneration Service Commissions Judicial National Police Parliamentary Public Teachers Offices Auditor-General Controller of Budget Recent elections General: 200220072013 Local: 200220072013 Political parties The National Alliance United Republican Party Orange Democratic Movement Wiper Democratic Movement Party of National Unity Kenya African National Union Kenya National Congress Foreign relations Ministry of Foreign Affairs Minister: Monica Juma Diplomatic missions of / in Kenya Passport Visa requirements Visa policy Economic schemes Vision 2030 Kenya Economic Stimulus Program Kenyaportal Other countries Atlas vt", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Data\nNi watu na kompyuta ambao hukusanya data na kulazimisha ruwaza kwa data. Ruwaza hizi ni huonekana kama taarifa ambayo inaweza kutumika kuongeza maarifa. Ruwaza hizi zinaweza kufasiriwa kama ukweli, na zina mamlaka kama estetiska na vigezo vya kimaadili. Matukio ambayo huacha nyuma mabaki yanaweza kufikiwa data. Alama hazifikiriwi tena kama data mara tu kiungo kinachounganisha alama na mtazamo kinavunjwa. Hii inamaanisha kuwa, wakati tukio linawacha alama za khabari, alama hizo zinapata hadhi ya data. [3]", "Pluto\nPluto ilikuwa ikitambulika kama sayari ya tisa katika mfumo wa jua na sayari zake toka mwaka 1930 hadi Agosti 2006. Vipimo vipya vilileta wasiwasi juu ya swali: Je, sayari ni kitu gani?, hasa baada ya kugundua magimba ya ziada nje ya Pluto yanayokaribia ukubwa wake lakini hayafai kuitwa sayari.", "Ruwaza ya Kenya 2030\nMaeneo ya mijini nchini Kenya itakuwa karibu maradufu kufikia mwaka 2030, na yatavujika na zaidi ya 2 / 3 ya idadi ya watu ambao watazingira maeneo ya mijini.", "M-pesa\nM-pesa ni huduma ya kutuma pesa kwa kutumia simu ya mkononi inayotolewa na kampuni ya mawasiliano ya Safaricom. Kenya ndiyo nchi ya kwanza kuwahi kutumia huduma hii maarufu ambayo ilizinduliwa mwezi Aprili mwaka wa 2008 kwa ushirikiano kati ya Safaricom na Vodafone. Tangu wakati huo, Mpesa imetia fora sana hasa kwa wananchi wa mapato ya chini wasio na akaunti za benki. Kulingana na takwimu rasmi za Safaricom, Mpesa ina wateja zaidi ya milioni Saba na imewezesha wakenya kutuma na kupokea takriban shilingi bilioni 230 kufikia Agosti 2009. Mwaka huu, Safaricom iliboresha huduma hii zaidi hivi kwamba wakenya wanaweza kupokea pesa moja kwa moja kutoka kwa jamaa zao walioko nchini Uingereza.", "Doris Mollel\nMnamo mwaka 2015 Doris Foundation ilizinduliwa rasmi na Doris akiwa mkurugenzi wa taasisi.", "2030 (wimbo)\nJamii:Nyimbo za Roma Jamii:Nyimbo za 2012 Jamii:Nyimbo za 2013", "Kenya\nMwaka wa 2007, serikali ya Kenya ilizindua Ruwaza 2030, ambao ni mpango wa kiuchumi wenye matumaini makuu na ambao ikiwa utatekelezwa kikamilifu , una uwezo wa kuifanya nchi hii kuwa katika kiwango sawa na mataifa yaliyoendelea kiuchumi ya Asia.", "Je, hii ni ungwana\nJe Huu ni Ungwana ni kipindi maarufu cha mtangazaji maarufu Leonard Mambo Mbotela cha elimu, burudani, na ucheshi nchini Kenya katika redio ya Kenya Broadcasting Corporation." ]
22
Barack Obama aliingia urais Marekani mwaka upi?
[ "Orodha ya Marais wa Marekani\nKumeapishwa marais 43, na kumekuwa na marais 44, kwa sababu rais Grover Cleveland alihudumu mihula miwili isiyofuatana, na kwa hivi anahesabiwa mara mbili, kama rais nambari 22 na nambari 24. Marais wanne walifariki kawaida wakiwa mamlakani (William Henry Harrison, Zachary Taylor, Warren G. Harding, na Franklin D. Roosevelt), mmoja akajiuzulu (Richard Nixon), na wanne wakauawa (Abraham Lincoln, James A. Garfield, William McKinley, na John F. Kennedy). Rais wa kwanza wa Marekani alikuwa George Washington, aliyeapishwa 1789 bada ya kupigiwa kura na wajumbe wote katika kongamano. William Henry Harrison alihudumu kwa muda wa siku 31 pekee, mwaka 1841, naye Franklin D. Roosevelt akahudumu kwa muda mrefu zaidi kuliko wote, miaka 12. Rais wa sasa ni Barack Obama, aliyeapishwa 20 Januari 2009.", "Barack Obama\nAlitangaza kusimama kuchaguliwa kama rais wa Marekani mwezi Februari, mwaka 2007. Baada ya kampeni kali katika uteuzi wa chama cha Democratic Party dhidi ya Hillary Clinton, aliteuliwa kama mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho. Katika uchaguzi wa urais wa Marekani wa 2008, alimshinda John McCain, aliyekuwa ameteuliwa na chama cha Republican Party, akaapishwa kama rais tarehe 20 Januari 2009." ]
[ "Barack Obama\nObama alihudumu mihula mitatu katika Bunge la jimbo la Illinos (Illinois Senate) tangu 1997 hadi 2004. Baada ya kushindwa katika jitihada zake za kuchaguliwa katika Bunge Dogo la Marekani mwaka 2000, Obama alisimama kuchaguliwa katika Bunge La Maseneta La Marekani mwaka 2004. Alishinda uchaguzi hapo Novemba 2004.", "Michelle Obama\nMichelle Obama ni dada wa Craig Robinson, kocha wa mpira wa kikapu wa Oregon State University. Alikutana na Barack pale alipojiunga na Sidley Austin. Pale Barack Obama alipochaguliwa kuwa kama Seneta, familia ya Obama ikachagua kuishi mjini Chicago South Side kuliko kuishi mjini Washington, D.C.", "Barack Obama\nJamii:Waliozaliwa 1961 Jamii:Marais wa Marekani Jamii:Senati (Marekani) Jamii:Hawaii Jamii:Watu katika Chuo Kikuu cha Columbia Jamii:Chicago, Illinois Jamii:Washington, DC", "Barack Obama\nBaada ya shahada ya kwanza Obama aliwahi kufanya kazi ya kijamii huko Chicago. Mwaka 1991 alirudi Chicago alipopata kazi katika ofisi ya wanasheria akafundisha pia kozi za sheria kwenye chuo kikuu cha Chicago.", "Barack Obama\nAlihudumu baadaye kama mwanaharakati wa mambo ya kijamii, kabla ya kuhitimu katika masomo ya kisheria.", "Chris Hughes (Facebook)\nChris R. Hughes (aliyezaliwa 26 Novemba 1983) ni mmoja wa waanzishi na alitumikia kama msemaji wa tovuti ya kijamii, Facebook, na wenzake wa Harvard Mark Zuckerberg na Dustin Moskovitz. Alikuwa mratibu wa tovuti rasmi ya kampeni ya Barack Obama ya rais ya mwaka 2008 ya My.BarackObama.com. Hughes kwa sasa ni mfanyabiashara katika kampuni ya General Catalyst Partners, kampuni ya uwekezaji iliyoko Cambridge, na mshauri wa mikakati katika kampuni ya GMMB, kampuni ya ushauri wa kisiasa ambayo ilifanya kazi katika kampeni ya Obama mwaka 2008. [1]", "John McCain\nTangu mwaka 1987 hadi kifo chake alikuwa mbunge wa Senati ya Marekani akiwakilisha jimbo la Arizona. Mwaka wa 2008 aligombea urais lakini akashindwa na Barack Obama.", "Barack Obama\nObama aliongoza kama rais tangu Januari 2009 hadi Januari 2017.", "Barack Obama\nMwezi wa Februari 2007 alitangaza ya kwamba atatafuta nafasi ya mgombea wa urais upande wa chama cha kidemokrasia. Katika kampeni ya kitaifa ndani ya chama chake alifaulu kumshinda mgombea mwenzake mama Hillary Clinton. Tarehe 28 Agosti 2008 aliteuliwa na mkutano wa chama cha kidemokrasia kuwa mgombea wa chama hicho kwa urais. Katika uchaguzi wa Novemba 2008 alimshinda mgombea wa chama cha kijamhuri seneta John McCain.", "Barack Obama\nBarack Hussein Obama II (amezaliwa 4 Agosti 1961) alikuwa rais wa 44 wa Marekani. Ni Mwafrika-Mwamerika wa kwanza kushika wadhifa huo, na pia mtu wa kwanza mwenye kuzaliwa Hawaii kuwa rais wa Marekani.", "Urais wa Barack Obama\nSera zake Obama zimejumuisha majaribio ya kuyaondoa matatanisho ya kiuchumi ya miaka 2008-2009, na pia mabadiliko katika sheria za ushuru za Marekani. Katika sera zinazohusu nch za kigeni, Obama amejaribu kuukarabati uhusiano wa Mrekani na nchi nyingine, na pia kuanza kutamatisha ufungwaji wa mahabusu wa kigeni katika kituo cha kijeshi cha Guantanamo Bay. Obama ametanganza kwamba atajaribu kupunguza silaha za nyuklia zinazohifadhiwa na jeshi la Marekani.", "Barack Obama\nBarack ana dada mmoja kutoka ndoa ya pili ya mama yake na baba ya kambo kutoka Jakarta, Indonesia", "Chama cha Kidemokrasia cha Marekani\nChama cha Kidemokrasia cha Marekani (Kiing. “Democratic Party”) ni chama cha kisiasa nchini Marekani. Kilianzishwa mwaka wa 1828 na Rais Andrew Jackson, yaani ni chama cha zamani kabisa duniani ambacho bado hufanya kazi. Kikawa chama chenye nguvu tangu pale kikigombeana na Chama cha Jamhuri. Kulikuwa na Marais kumi na wanne kutoka Chama cha Kidemokrasia, kuanzia Andrew Jackson (1829-1837) hadi Barack Obama (2009-2017).", "Joe Biden\nJoseph Robinette \"Joe\" Biden Jr. (amezaliwa 20 Novemba 1942) ni mwanasiasa wa Marekani. Kuanzia mwaka wa 1973 hadi 2009 alikuwa mbunge wa Senati ya Marekani akiwakilisha jimbo la Delaware. Halafu alikuwa Kaimu Rais wa Marekani chini ya Rais Barack Obama kuanzia mwaka wa 2009 hadi 2017, akiwa Mkatoliki wa kwanza na pia Mdelaware wa kwanza kuwa Kaimu Rais.", "Barack Obama\nObama awali alihudumu kama Seneta mdogo kutoka jimbo la Illinois, tangu Januari 2005 hadi alipojiuzulu baada ya kushinda uchaguzi wa rais wa Marekani mwaka 2008, mwezi wa Novemba.", "Barack Obama\nObama alimwoa Michelle Robinson ambaye ni mwanasheria kama yeye mwenyewe. Wana mabinti wawili Malia Ann (*1998) na Natasha (*2001) anayeitwa Sasha. Familia ina nyumba yake huko Chicago.", "Barack Obama\nWazazi walioana wakati ndoa kati ya watu weupe na weusi bado ilikuwa marufuku katika sehemu za kusini za Marekani. Wazazi waliachana baada ya miaka miwili na mtoto Barack alibaki na mama.", "Ready or Not\nRais wa Marekani Barack Obama ameuita \"Ready or Not\" kama wimbo wake kipenzi kutoka katika orodha ya 10 bora iliyotolewa na \"Blender\" mnamo mwezoi wa Agosti katika mwaka wa 2008.", "Bunge la jimbo la Illinois\nBunge hili huketi katika mji wa Springfield, Illinois. Barack Obama alikuwa mjumbe katika bunge hili kwa mihula mitatu, kabla ya kuchaguliwa kujiunga na Bunge La Maseneta La Marekani mwaka 2004.", "Barack Obama\nObama alifuzu mwanzo kutoka katika chuo kikuu cha Columbia University, kisha akafuzu katika masomo ya sheria kutoka katika kitivo cha masomo ya sheria kwenye chuo kikuu cha Harvard, ambako alikuwa rais wa jarida la Harvard Law Review.", "Illinois\nRais wa 16 wa Marekani Abraham Lincoln Rais wa 18 wa Marekani Ulysses S. Grant Rais wa 40 wa Marekani Ronald Reagan Mchoraji na mkurugenzi wa filamu Walt Disney Hillary Clinton seneta wa New York na mke wa rais Bill Clinton Rais wa 44 wa Marekani Barack Obama alikuwa seneta wa Illinois kabla ya kuwa rais.", "Barack Obama\nMwaka 2012 alishinda tena uchaguzi mkuu na kuendelea kuongoza hadi tarehe 20 Januari 2017, alipompisha Donald Trump.", "Urais wa Barack Obama\nUrais wa Barack Obama ulianza tarehe 20 Januari 2009 saa sita mchana EST, alipoapishwa kama rais nambari 44 wa Marekani. Obama alikuwa mjumbe katika Bunge La Maseneta La Marekani kutoka Illinois alipomshinda mjumbe wa Arizona, Seneta John McCain, katika uchaguzi wa rais wa Marekani mwaka 2008.", "Tuzo ya Nobel ya Amani\n2009 Barack Obama", "Michelle Obama\nMichelle LaVaughn Obama (jina la kuzaliwa ni Michelle LaVaughn Robinson), amezaliwa mnamo tar. 17 Januari 1964) ni Mwanasheria wa Kimarekani na ndiyo mke wa Rais wa Marekani Bw. Barack Obama.\nHuyu ndiye Mwafrika-Mwamerika wa kwanza kuwa Mwanamke wa Kwanza wa Marekani.", "Barack Obama\nTarehe 9 Oktoba 2009, Obama alituzwa kwa Tuzo ya Nobel ya Amani.", "Barack Obama\nBaadaye mama yake aliolewa na mwanafunzi kutoka Indonesia akamfuata aliporudi kwake. Hivyo Barack aliishi Jakarta hadi 1971 aliporudi Marekani na kukaa na babu yake huko Hawaii hadi alipomaliza shule ya sekondari.", "Barack Obama\nBaba yake Obama alikuwa Mjaluo wa Kenya Barack Obama aliyeaga dunia 1982. Mzee Obama alitoka mkoa wa Nyanza nchini Kenya akaenda Marekani masomoni. Mama yake, Ann Dunham, alikuwa Mwamerika Mzungu kutoka jimbo la Kansas aliyeaga dunia 1995.", "Rais wa Marekani\nJimmy Carter (D), aliwahi 1977-1981 George HW Bush (R), aliwahi 1989-1993 Bill Clinton (D), aliwahi 1993-2001 George W. Bush (R), aliwahi 2001-2009 Barack Obama (D), aliwahi 2009-2017" ]
0
Je,mji mkuu wa Brazili ni upi?
[ "Brazil\nMji mkuu ni Brasilia, uliopangwa na kujengwa kati ya 1957 na 1960. Mji mkubwa ni Sao Paulo." ]
[ "Rivaldo\nRivaldo (alizaliwa 19 Aprili 1972) alikuwa mchezaji wa soka wa timu ya taifa ya Brazili na klabu ya Barcelona F.C. ya nchini Hispania aliyekuwa anacheza nafasi ya kiungo mshambuliaji.", "Korosho\nKorosho pia hupatikana mara nyingi kwenye mapishi ya thai na China, huliwa nzimanzima na kusagwa na kuliwa kama unga hasa kama kiungo. Huko Malaysia majani huliwa mabichi kama saladi na Brazili korosho hupatikana kwa wingi mno. Maeneo yote wageni hupata kununua korosho zikiuzwa barabarani kwenye paketi ndogo ambazo zimefungwa ndani yake na chumvi kiasi.", "Alisson\nAlisson Ramses Becker (anayejulikana sana kama Alisson; alizaliwa 2 Oktoba 1992) ni mchezaji wa soka wa Brazili ambaye anacheza kama golikipa wa klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza Liverpool FC na timu ya taifa ya Brazili.", "Bebeto\nAliingia katika siasa katika uchaguzi mkuu wa 2010 wa Brazili na alichaguliwa kwa Bunge la Sheria la Rio de Janeiro akiwakilisha Chama cha Kazi cha Kidemokrasia.", "Buganivilia\nWaandishi tofauti wanakubali kuwa kuna kati ya spishi 4 na 18 katika jenasi hii. Mimea hii iligunduliwa nchini Brazili mnamo mwaka wa 1768 na Philibert Commerçon, msomi wa mimea kutoka nchi ya Ufaransa alipokuwa akimwandama mkuu wa Jeshi la Wanamaji la Kifaransa na mpelelezi Louis Antoine de Bougainville wakati wa safari yake ya kuizunguka dunia.", "Danilo\nDanilo Luiz da Silva (anayejulikana sana kama Danilo; alizaliwa 15 Julai 1991) ni mchezaji wa soka wa Brazili ambaye anacheza katika klabu ya Uingereza Manchester City FC kama beki wa kulia au kushoto.", "King'amuzi rada\nHata hivyo umiliki na matumizi ya King'amuzi rada ni kinyume cha sheria katika nchi nyingi duniani na huchukuliwa kama uvunjaji sheria. Chombo hiki ni kinyume cha sheria kwenye nchi kama vile Australia, Ubelgiji, Brazili na Ufaransa, wakati katika nchi za Japani, Kazakistani, Pakistani na Ufilipino ni halali. ", "Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil\nTimu ya soka ya taifa la Brazil inawakilisha Brazili katika soka ya kimataifa ya wanaume. Brazil inasimamiwa na Shirikisho la Soka la Brazil CBF, kikundi kinachoongoza kwa soka nchini Brazil. Wamekuwa mwanachama wa FIFA tangu 1923 na mwanachama wa CONMEBOL tangu 1916", "Alisson\nAlisson aliiwakilisha Brazili katika viwango mbalimbali vya vijana kabla ya kuanza mwanzo wake wa kimataifa mwaka 2015 ambapo baadae aliliwakilisha taifa lake katika Copa América Centenario mwaka 2016 na Kombe la Dunia la FIFA 2018.", "Éder Militão\nEder Gabriel Militão (alizaliwa 18 Januari 1998) ni mchezaji wa soka wa Brazili ambaye anacheza kama beki wa kati au kiungo mkabaji wa klabu ya FC Porto.", "Tuzo ya Sao Paulo ya Fasihi\nTuzo ya Sao Paulo ya Fasihi () ni tuzo ya fasihi ya Kibrazili ambayo hutolewa kwa ajili ya riwaya zilizotungwa kwa lugha ya Kireno na kuchapishwa nchini Brazil. Tuzo hii ilianzishwa mnamo mwaka wa 2008 na Waziri wa Utamaduni wa Jimbo la São Paulo. Ijapokuwa si la kale sana kama jinsi zilivyo tuzo zingine za fasihi huko nchini Brazili kama Prêmio Machado de Assis. ", "Milo (kinywaji)\nHapo awali Milo ilipatikana katika Ureno na Brazili. Nestle Brazili ilikoma katika utengenezaji wa Milo nchini Brazili ili kuzingatia bidhaa zilizokuwa maarufu kama Nescau na Nesquik.", "Maharagwe\nAina nyingine ya maharagwe ni haragwe pana, mbegu ya Vicia faba, ambayo tani milioni 3.7 tu zililimwa mwaka 2007. Biashara ya maharagwe imejigawanya vizuri katika nchi za Asia, Afrika, Ulaya, Oceania, Amerika ya Kusini na Amerika ya Kaskazini. Brazili ndiyo wazalishaji wakuu wa maharagwe makavu huku China wakiwa ndiyo wazalishaji wakuu wa maharagwe mabichi, kwa wastani sawa na wazalishaji kumi wote waliobakia kwa pamoja.", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Buganivilia\nBuganivilia ni jenasi ya mimea inayotoa maua yenye asili yake katika Bara la Amerika ya Kusini kuanzia Brazili na kusonga magharibi kuelekea Peru na kusini hadi Argentina kusini (Mkoa wa Chubut). Mimea hii ina maua meupe madogo. Sehemu za mimea zenye rangi kali si maua ya kweli lakini aina ya majani maalum yanayoitwa braktea. Yanahami maua.", "Kombe la Dunia la FIFA\nBrazili ndio nchi pekee ambayo imeweza kutwaa kombe hilo mara tano. Ujerumani na Italia zimelitwaa mara nne. Nchi nyingine ambazo zimewahi kulitwaa ni Uruguay, Argentina, Uingereza, Ufaransa na Hispania.", "Thiago Cionek\nAlihamia Ulaya katika klabu ya GD Bragança iliyomo nchini Ureno kabla ya kurudi Brazili katika klabu ya Clube de Regatas Brasil.", "Maumivu\nMaumivu ni jina la kutaja wimbo uliotungwa na Bob Junior akiwa na mwimbaji wa muziki wa hip hop ROMA. Wimbo unazungumzia mtu anayejitia mwema ilhali si mwema. Wimbo umerekodiwa baada ya ahadi aliyoifanya ROMA mapema 2014 ya kwamba iwapo Brazili watafungwa katika michuano ya Kombe la Dunia, basi atatoka Tongwe Records na kuhamia Sharobaro Records kwa Bob Junior. Ahadi ameitimiza.", "Pelé\nAlicheza kama mshambuliaji wa kati. Aliisaidia Brazili kutwaa kombe la dunia 1958, 1962 na baadaye tena mwaka 1970. Aliweka rekodi mwaka 1958 ya kuwa mchezaji mdogo kuliko wote duniani kucheza katika fainali ya kombe la dunia alipocheza akiwa na umri wa miaka 17. Alivuma sana katika miaka ya 1970 duniani kote. ", "AIESEC\nAIESEC inajitambulisha yenyewe kama \"jukwaa la kimataifa kwa ajili ya vijana kutafiti na kuendeleza vipaji vyao vya uongozi.\"\nMwaka 2008 ulihitimisha jubilei ya miaka 60 ya tangu kuanzishwa AIESEC. Maadhimisho yalifanyika katika mji wa London (Januari 2008), Tokyo (Machi 2008), Budapest (Mei 2008), Bryssel (Juni 2008), Brazili (Agosti 2008), Stockholm (Oktoba 2008), na Marekani (Desemba 2008).\nKudumisha uhusiano wake katika uso wa mabadiliko ya mahusiano ya kimataifa, AIESEC inajipanua katika nchi mpya mara kwa mara, mchakato ambao umeainishwa katika maandishi ya kazi za taasisi hiyo kimataifa. Nchi zilizotajwa kama \"Upanuzi maalumu\" wa AIESEC mnamo 13 Machi 2009, ni pamoja na Algeria, Angola, Azerbaijan, Bahrain, Benin, Ethiopia, Gabon, Georgia, Ireland, Iran, Mauritius, Mongolia, Oman, Qatar, Ufalme wa Saudi Arabia, Tajikistan, na Vietnam.", "Thiago Silva\nKimataifa kamili tangu 2008 na mwanachama asiyecheza wa timu yao ya Kombe la Dunia ya FIFA ya 2010, Silva alijiunga Brazili kwa ushindani kwenye Kombe la Confederations la 2013 FIFA na nafasi ya nne katika Kombe la Dunia mwaka mmoja baadaye. Alikuwa pia sehemu ya vikosi vyao kwa mashindano mawili ya Olimpiki - kushinda shaba mwaka 2008 na fedha miaka minne baadaye - na matoleo mengi ya Copa América, na kupata zaidi ya caps 70 kwa wote.", "Filipe Luis\nFilipe Luis (alizaliwa 9 Agosti 1985) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa timu ya taifa ya Brazili na klabu ya Atletico Madrid ya nchini Hispania anayecheza katika nafasi ya beki.", "Pelé\n= Ngazi ya kimataifa =\nMechi ya kwanza ya Pelé kimataifa ilikuwa dhidi ya Argentina waliposhinda 2-1 Julai 7 1957 uwanja wa Maracanã.Kwenye mechi hiyo alifunga goli lake la kwanza akiwa na timu yake ya taifa akiwa na miaka 16 na miezi tisa na anabaki kuwa mchezaji mdogo wa Brazili kuwahi kufinga goli kwenye timu yake ya taifa. ", "Gilberto Gil\nMwaka 1969, Gil na mwanamuziki mwenzake, Caetano Veloso walikamatwa na askari wa serikali ya kijeshi ya Brazili kwa tuhuma za kujihusisha na harakati dhidi ya serikali. Walipoachiliwa, wote wawili walikimbilia uhamishoni London, Uingereza.", "Pepe\nPepe (alizaliwa 26 Februari 1983) ni jina la utani la mchezaji wa mpira wa miguu wa timu ya taifa ya Ureno na klabu ya Beşiktaş ya nchini Uturuki mwenye asili ya Brazili anayecheza katika nafasi ya beki wa kati.", "Ronaldo\nMmojawapo wa michezo maarufu zaidi duniani, viatu vya kwanza vya Nike Mercurial- R9-waliagizwa kwa Ronaldo mnamo mwaka 1998. Aliitwa jina la FIFA 100, orodha ya wachezaji wengi walioishi katika mwaka 2004 na Pelé, na aliingizwa kwenye Burudani ya Burudani ya Soka ya Familia ya Brazili na Hall ya Fame ya Italia.", "Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko\nIlianza Jamhuri ya Venezia (1767) kwa kufuta kanda moja ya TOR. Akafuata malkia wa Austria na Hungaria, aliyekataza (1776) OFS isipokee tena watakaji. Mtoto wake akafuta Utawa III kwa namna zake zote (1782). Ufaransa ukafuta miundo yote ya kidini (1790), ikiwa ni pamoja na Utawa III, na kutaifisha mali yake. Baadhi ya Watersyari kwa uaminifu wao walifungwa hata kuuawa. Hispania (1812) na Ureno (1834) pamoja na Brazili mashirika yote yakafutwa, ingawa jamaa za OFS zikaendelea. Hata Italia jamaa hizo ziliondolewa hadhi yao mbele ya sheria (1861-1866), lakini zikaendelea kama vyama vya hiari.", "Nchi\nManeno sawa katika lugha ya Kifaransa na Kirumi \"(pays\" na variants) hayajabeba mchakato wa kutambuliwa na majimbo ya kisiasa yaliyo huru kama \"nchi\" katika Kiingereza, na katika mengi ya nchi za Ulaya maneno haya hutumiwa kwa vitengo vidogo vya maeneo ya kitaifa, kama katika Länder ya Kijerumani, vilevile kama neno lisilo rasmi kwa jimbo au taifa huru. Ufaransa ina \"pays\" nyingi sana ambazo zinatambuliwa rasmi katika kiwango fulani, na ni aidha kanda ya asili, kama Pays de Bray, au zinaashiria miungano ya kale ya kisiasa au kiuchumi, kama Pays de la Loire. Wakati huo huo Wales, Marekani, na Brazili pia ni \"pays\" katika matamshi ya kila siku Kifaransa.", "Ndimu\nIndia inaongoza kwa kuzalisha kwa wingi malimao na ndimu kwa wingi zaidi kwa asilimia 16, ikifuatwa na Meksiko (14. 55%), Ajentina (10%), Brazili (85%) na Hispania (7%)", "Lugha za Kirumi\nLugha ambazo ni muhimi zaidi kama lugha za kitaifa ni:Lugha za Kihispania, Kifaransa na Kireno zimesambaa duniani kwa sababu ni lugha kuu za nchi ambazo zilikuwa na makoloni mengi, zikaacha lugha zao katika nchi nyingi, hasa Kihispania ambacho ni lugha kuu ya bara la Amerika, Kireno ambacho ni lugha rasmi ya Brazili na nchi 5 za Afrika na Kifaransa ambacho ni lugha rasmi katika nchi nyingi za Afrika, Amerika visiwani na Kanada. " ]
98
Rais wa kwanza wa Amerika kujiuzulu Urais aliitwa nani?
[ "Orodha ya Marais wa Marekani\nKumeapishwa marais 43, na kumekuwa na marais 44, kwa sababu rais Grover Cleveland alihudumu mihula miwili isiyofuatana, na kwa hivi anahesabiwa mara mbili, kama rais nambari 22 na nambari 24. Marais wanne walifariki kawaida wakiwa mamlakani (William Henry Harrison, Zachary Taylor, Warren G. Harding, na Franklin D. Roosevelt), mmoja akajiuzulu (Richard Nixon), na wanne wakauawa (Abraham Lincoln, James A. Garfield, William McKinley, na John F. Kennedy). Rais wa kwanza wa Marekani alikuwa George Washington, aliyeapishwa 1789 bada ya kupigiwa kura na wajumbe wote katika kongamano. William Henry Harrison alihudumu kwa muda wa siku 31 pekee, mwaka 1841, naye Franklin D. Roosevelt akahudumu kwa muda mrefu zaidi kuliko wote, miaka 12. Rais wa sasa ni Barack Obama, aliyeapishwa 20 Januari 2009.", "Rais wa Marekani\nTangu marekebisho's ratificering, marais wanne kuwa aliwahi mbili Matokeo kamili: Dwight D. Eisenhower, Ronald Reagan, Bill Clinton na George W. Bush. Jimmy Carter na George HW Bush pili wakatafuta mrefu, lakini walikuwa na kushindwa. Richard Nixon alichaguliwa kwa muda ya pili, lakini alijiuzulu kabla ya kukamilisha hayo. Lyndon B. Johnson alikuwa rais tu chini ya marekebisho ukastahiki kumtumikia zaidi suala katika jumla mbili, baada ya kutumikia kwa miezi kumi tu zifuatazo John F. Kennedy 's kuuawa. Hata hivyo, Johnson kujiondoa kutoka 1968 Kidemokrasia ya Msingi, inashangaza Wamarekani wengi kwa kusema 'Mimi wala kutafuta, na mimi si kukubali, uteuzi wa chama wangu kwa muda mwingine kama rais wako'. Gerald Ford walitaka muda kamili, baada ya kutumikia nje miaka miwili iliyopita na miezi mitano ya pili ya Nixon mrefu, lakini hakuwa kuchaguliwa." ]
[ "Wayao (Tanzania)\nJina Tunduru linatokana na ukoo wa Machemba ambaye alikuwa mtawala na mke wake aliyekuwa bibi mkubwa aliitwa \"Akwitunduru\". Mpelelezi wa Kidachi wa kwanza Linder alimkuta Kadewele akiishi Akwitunduru.", "Jan Bednarek\nMnamo tarehe 4 Septemba 2017, Bednarek alianza kwanza Poland kwa ushindi wa 3-0 juu ya Kazakhstan.Mwezi wa Mei 2018, aliitwa jina katika kikosi cha kwanza cha Poland 35 kwa Kombe la Dunia ya 2018 nchini Urusi. Mnamo tarehe 28 Juni 2018, alifunga bao lake la kwanza kwa Poland.", "Chris Okotie\nOkotie aligombea kiti cha Urais mara ya kwanza akitumia tikiti ya chama cha Justice; lakini alishindwa na Olusegun Obasanjo katika uchaguzi mkuu wa Mei 2003. Alijaribu tena mwaka 2007 kama mwanachama wa 'Fresh Democratic' lakini alishindwa na Umaru Yar'Adua katika uchaguzi mkuu wa Mei 2007.", "Kristoforo Kolumbus\nMara nyingi aliitwa Mzungu wa kwanza wa kufika Amerika, lakini baadaye imejulikana ya kwamba Waviking walitangulia kufika Amerika ya Kaskazini mnamo mwaka 1000. Ila jitihada zake zilianzisha njia ya mawasiliano ya kudumu kati ya Amerika na mabara mengine tofauti na safari zote zilizovuka bahari kabla yake.", "Moïse Katumbi\nMnamo 29 Septemba 2015 alijiuzulu kuwa Gavana, baada ya viongozi wa vyama saba vya siasa walipofurushwa kutoka kwenye Upande wa Wengi wa Urais kwa kuandika barua kwa Kabila ambapo waliuliza nia yake ya kujiondoa mwisho wa muhula wake wa pili mwaka wa 2016. Katumbi aliongeza kuwa kujiuzulu kwake kutoka kwenye People's Party for Reconstruction and Democracy kungalimruhusu kuangazia majaribio ya serikali ya taifa kukiuka katiba na kuchelewesha uchaguzi na pia kupata uhuru wake wa kuongea na kuchukua hatua. Katika azimio lilo hilo, alitangaza kuwa ushauri muhimu miongoni mwa wanachama wa mashirika ya raia ungalifanyika ili kuunda vuguvugu la jamhuri na demokrasia nchini. Mnamo 19 Desemba 2015, Moïse Katumbi alijiunga na watu wengine mashuhuri wa Kongo katika muungano ulioitwa \"Front Citoyen 2016\". Chombo hiki kinajishughulisha na kulinda Katiba na kuhakikisha kuwa uchaguzi wa mwaka wa 2016 unafanyika.", "Antonio José de Sucre\nAntonio José de Sucre (3 Februari 1795 - 4 Juni 1830) alikuwa mwanajeshi na mwanasiasa wa Amerika Kusini akipigania uhuru wa nchi mbalimbali pamoja na rafiki yake wa karibu Simon Bolivar. Alikuwa Rais wa sita wa Peru kuanzia tarehe 23 Juni hadi 17 Julai, mwaka wa 1823. Tena alimfuata Simon Bolivar kuwa Rais wa pili wa Bolivia kuanzia tarehe 29 Desemba 1825 hadi 18 Aprili 1828. Alijiuzulu na kuhamia mjini Quito. Aliuawa kwa kupigwa risasi aliposafiri karibu na mji wa Pasto nchini Colombia.", "PW Botha\n1989 alilazimishwa kujiuzulu baada ya kupata matatizo ya kiafya. Mfuasi wake alikuwa Frederik W. de Klerk aliyeruhusu baadaye uchaguzi huru wa kwanza nchini na mwisho wa Ubaguzi wa rangi.", "Hermann von Wissmann\n1895 aliitwa na serikali kuwa gavana wa pili wa koloni lakini Desemba 1896 alipaswa kujiuzulu kutokana na matatizo ya kiafya akawa mtumishi wa wizara ya koloni huko Berlin.", "Jasper Cillessen\nMnamo Mei 2011, aliitwa kwa mara yake ya kwanza katika timu ya taifa ya Uholanzi. Alicheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa mwaka 2013 na alikuwa kipa wa kwanza wa Uholanzi kumaliza kama washindi wa tatu katika Kombe la Dunia la FIFA la 2014.", "André-Marie Ampère\nMwaka 1799 alipata ajira ya kwanza kama mwalimu wa hisabati na mwaka 1802 aliitwa kuwa mwalimu wa fizikia na kemia mjini Bourg-en-Bresse. ", "Eduardo Duhalde\nAligombea kiti cha urais katika mwaka wa 1999, baada ya Carlos Menem kushindwa kushinda muhula ya tatu, lakini akashindwa na Fernando de la Rúa. Duhalde alichukua nafasi ya pili katika uchaguzi huo na asilimia 37 ya kura. Baada ya de la Rúa kujiuzulu kwa sababu ya shida za kiuchumi na maandamano ya Desemba 2001,Duhalde aliteuliwa kama Rais wa Argentina na Bunge mnamo 2 Januari,2002 baada ya mfululizo wa matukio ambayo watu wanashuku kuwa njumu.", "Rais wa Marekani\nUmoja stater Katiba inataja ya kujiuzulu rais lakini inte reglera form av kama kujiuzulu au uhalali wake masharti. Kwa Sheria ya Bunge, halali tu ushahidi wa rais uamuzi wa kujiuzulu ni chombo written kutangaza kujiuzulu saini na rais na mikononi ofisi ya Katibu wa Jimbo. [12] Tarehe 9 Agosti 1974, inakabiliwa na uwezekano impeachment katika katikati ya kashfa ya Watergate, Richard Nixon akawa rais tu milele kujiuzulu kutoka ofisi. Tu kabla yake ya kujiuzulu, Kamati ya Mahakama ya Nyumba walivyoripoti favorably tarehe makala ya impeachment dhidi yake.", "Rais wa Marekani\nKatiba inasema kwamba makamu wa rais anakuwa rais juu ya kuondolewa kutoka ofisi, kifo au kujiuzulu rais wa lililotangulia. Kama ofisi ya rais na makamu wa rais wawili ni aidha vacant au wana walemavu wadogowadogo wa ofisi ya pili wa rais afisa katika mstari wa mfululizo, ya Spika wa Baraza, anakuwa kaimu rais. Mstari inavyopanuka rais pro tempore wa Sena baada ya msemaji, ikifuatiwa na kila mwanachama wa baraza la mawaziri katika kuweka utaratibu.", "John Michuki\nKisha alihamishwa kwa nafasi ya Waziri wa Barabara na Ujenzi wa Umma katika baraza lililoundwa na Rais Kibaki mnamo 8 Januari 2008, kufuatia utata wa uchaguzi wa rais Desemba 2007. Baada ya Kibaki na mpinzani wake, Raila Odinga, kufikia makubaliano ya kugawana madaraka, Michuki aliteuliwa kuwa Waziri wa Mazingira na Rasilimali za Madini katika baraza lililotangazwa tarehe 13 Aprili 2008 na alikula kiapo mnamo 17 Aprili. Rais Kibaki alimteua Michuki kama Kaimu Waziri wa Fedha tarehe 11 Julai 2008 baada ya kujiuzulu kwa Amos Kimunya. Alifanya kazi katika Wizara ya Fedha mpaka uteuzi wa Uhuru Kenyatta kama Waziri.", "Simeon Nyachae\nNyachae alistaafu kutoka kwa utumishi wa umma mnamo mwaka wa 1987 akaanza kujenga maisha yake ya kisiasa. Katika mwaka 1992 alichaguliwa mara ya kwanza kama mbunge wa Nyaribari Chache na Rais Moi akamteua kuwa Waziri wa Kilimo. Mwaka wa 1997 akawa Waziri wa Fedha. Mwaka mmoja baadaye, Rais Moi alimteua kama Waziri wa Usitawi na Nyachae akakataa na kujiuzulu kama Waziri na pia kutoka chama cha KANU, na akjiunga na Ford-People, chama kidogo cha upinzani, kilicho na ushawishi wa wanasiasa wa kutoka katika mkoa wa Kati.", "Rais wa Marekani\nVacancies katika ofisi ya rais yanaweza kutokea chini kadhaa iwezekanavyo mazingira: kifo, kujiuzulu na kuondolewa kutoka ofisi.", "Bonaventura wa Bagnoregio\nWazazi wake walikuwa mganga Yohane Fidanza na Maria wa Ritello; kwanza aliitwa kwa jina la baba yake, lakini alipoingia utawani aliitwa Bonaventura (yaani Bahati Njema). Inasemekana jina hilo lilikuwa shangilio la Fransisko wa Asizi alipomuona bado mtoto kabla hajamponya kimuujiza ulemavu wake baada ya kufa na kutangazwa mtakatifu.", "Orodha ya Marais wa Marekani\nKatika Katiba ya Marekani, Rais wa Marekani ni Mkuu wa Taifa pamoja na kuwa Mkuu wa Serikali wa nchi hiyo. Kama mkuu wa tawi la utendaji na mkuu wa serikali ya majimbo, rais ndiye mwenye cheo na madaraka makuu zaidi katika nchi ya Marekani. Rais pia ndiye Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Marekani. Kuchaguliwa kwa rais wa Marekani ni kupitia mfumo wa kura za wajumbe, ambapo rais huchaguliwa kwa muhula wa miaka minne. Inawezekana pia kwamba rais achaguliwe kupitia katika Bunge Dogo la Wajumbe (US House of Representatives), ikiwa kongamano la wajumbe halikuweza kumchagua rais kwa kumpa mgombea mmoa kura nyingi kuliko mwingine yeyote. Kulingana na Katiba ya Marekani, mtu yeyote hawezi kuchaguliwa kuwa rais wa nchi hiyo zaidi ya mara mbili.[1] Kukitokea kifo, kujiuzulu au kuondelewa mamlakani kwa rais, Makamu wa Rais wa Marekani atachukulia kiti cha rais. Orodha hii inajumulisha tu wale watu ambao waliapishwa kama rais kufuatia kupitishwa ka Katiba ya Marekani hapo 4 Machi 1789.", "Wabondei\nBaada ya wabondei kuona kuwa kujivuna kwao ndio tatizo la kutawaliwa na mmbugu wakaamua kukaa vikao na kupanga wamchague kiongozi wao kutoka kwa wabondei wenyewe, Wakamteua Elasto mang’enya ambae kipindi hicho alikuwa balozi wa kwanza wa Tanzania nchini America, Kiongozi huyu ki mila aliitwa Mtema wa bonde na mkewe (mwashiti) aliitwa mamweta.", "Vital Kamerhe\nBaada ya kujiuzulu kama Rais wa Bunge, alikuwa mpinzani na kuanzisha UNC. Alikuwa mgombea katika uchaguzi wa rais wa mwaka 2011.", "Martha Karua\nMartha Karua alijiuzulu kama Waziri wa Katiba na Sheria 6 Aprili 2009, akiongelea kusumbulia katika kutoa majukumu yake. Mfano wazi wa kusumbuliwa kwake ulikuwa wakati Rais Mwai Kibaki aliwateua Majaji bila maarifa yake siku chache kabla hajajiuzulu. Alikuwa Waziri wa kwanza kujiuzulu kwa hiari tangu mwaka wa 2003.", "David Mwiraria\nKufuatia Ishara kwamba alikuwa amehusika katika Kashfa ya Anglo leasing, aliamua kujiuzulu kama Waziri wa Fedha tarehe 1 Februari 2006 Alisisitiza kwamba alikuwa hana hatia na kuwa alijiuzulu ili uchunguzi ufanywe. Hata kama hakukuwa na ripoti ya uchunguzi ya kumwondolea Mwiraria mashtaka, Rais Mwai Kibaki alimteua kama Waziri wa Mazingira tarehe 24 Julai 2007.", "Malezi\nAnahitaji kusaidiwa ajibu maswali makuu ya maisha: “Mimi ni nani? Nimetoka wapi? Ninakwenda wapi? Nafikiriwa kuwa wa namna gani?” ", "Urais wa Barack Obama\nUrais wa Barack Obama ulianza tarehe 20 Januari 2009 saa sita mchana EST, alipoapishwa kama rais nambari 44 wa Marekani. Obama alikuwa mjumbe katika Bunge La Maseneta La Marekani kutoka Illinois alipomshinda mjumbe wa Arizona, Seneta John McCain, katika uchaguzi wa rais wa Marekani mwaka 2008.", "Amos Kimunya\nWakati National Rainbow Coalition (NARC) ilishinda uchaguzi mkuu Desemba 2002, Rais Mwai Kibaki alimteua Kimunya kama Waziri wa Ardhi na Makazi. Alikuwa kuchaguliwa Mbunge wa Jimbo la Kipipiri. Tarehe 14 Februari 2006 aliteuliwa kama Waziri wa Fedha na Rais Kibaki kufuatia kujiuzulu kwa David Mwiraria, ambaye alikuwa amejiuzulu ili uchunguzi wa kashfa ya Anglo leasing uweze kuendelea.", "DCC Mlimani Park Orchestra\nTchimanga Assossa ambaye alikuwa amekuja na Bendi ya Fukafuka alibaki nchini na alikuwa katika hatua za mwisho za kwenda kufuata wanamuziki wengine kutoka Kongo kwa ajili ya ukumbi huo. Hivyo basi Dar International wakati huo ndio wakivuma na nyimbo kama Magreti walianza kuporomosha muziki chini ya kiongozi wao Abel Balthazal. Uongozi wa Mlimani Park ulipigwa butwaa na muziki wa hawa jamaa, Abel aliitwa pembeni na kuulizwa bendi iko chini ya mkataba wa nani? Na je, wanamuziki wangeweza kukubali kuajiriwa na na Mlimani Park wakati huo ikiendeshwa na TTTS? ", "Wilbrod Peter Slaa\nKatika CHADEMA amewahi kuwa makamu mwenyekiti kabla hajachaguliwa kuwa katibu mkuu mwaka 2004, mwaka ambao Freeman Mbowe alichaguliwa kuwa mwenyekiti. Mwaka 2015 Willbroad Peter Slaa aliwashangaza wengi, wanachama wa Chadema na Watanzania kwa ujumla, pale alipotangaza kujiuzulu nafasi ya ukatibu mkuu wa Chadema, kujitoa uanachama wa Chadema na kuachana na siasa, kwa ujumla kwa madai ya kupinga ujio WA waziri mkuu mstaafu Edward lowassa ambaye ndiye aliyepewa nafasi ya kugombea Urais kupitia Chama hiko katika uchaguzi mkuu mwaka 2015.", "Pelé\nMwaka 1973 Pele aliitwa mpira wa miguu bora katika Amerika ya Kusini.", "Bill Clinton\nMnamo mwaka 1994, wakati wa kipindi cha kwanza cha uraisi wa Clinton, Bunge la Marekani, lilikuwa linamilikiwa na Wana-Republican. Hata hivyo, Clinton aliendelea kumshinda mmoja wa wagombea Urais kutoka chama cha Republicans Bw. Bob Dole, katika uchaguzi uliofanyika mwaka wa 1996 .", "George Saitoti\nSiku ya 13 Februari 2006 kujiuzulu kwa Saitoti kama Waziri wa Elimu ulitangazwa na Rais Mwai Kibaki katika televisheni, baada ya madai kwamba alikuwa amehusika katika kashfa ya Goldenberg. Mahakama ya juu ya Kenya iliamuru tarehe 31 Julai 2006 kuwa Saitoti haipaswi kushtakiwa juu ya kashfa ya Goldenberg. Tarehe 15 Novemba 2006 alirudishwa kazini kama Waziri wa Elimu na Kibaki." ]
52
Je,mlima mkubwa zaidi nchini Tanzania ni upi?
[ "Orodha ya milima mirefu duniani\nKwa kutumia marejeo hayo Mlima Everest una nafasi ya sita tu kati ya milima ya Dunia, ilhali milima kadhaa iliyopo karibu na ikweta inasogea mbele, kama milima katika Andes na mlima Kilimanjaro nchini Tanzania.", "Orodha ya milima\nMilima Aberdare (m 3,999), Kenya Milima Ahaggar (m 2,918), Algeria Milima Ahmar (m 2,965), Ethiopia Milima Air (Azbine) (m 2,022) Niger Milima Amaro (m 3,240), Ethiopia Milima Atlantika (m 1,300), Nigeria - Kamerun Milima Atlas (m 4,167), Moroko - Algeria - Tunisia Milima Auas (m 2,484), Namibia Mlima Baker (m 4,844), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda Milima Bakossi (m 2,064), Kamerun Milima Bale (m 4,377), Ethiopia Milima Bvumba (m 1,911), Zimbabwe - Msumbiji Milima Cal Madow (m 2,410), Somalia Milima Cederberg (m 2,026), Afrika ya Kusini Chappal Waddi (m 2,419), Nigeria Compassberg (m 2,504), Afrika ya Kusini Drakensberg (m 3,482), Lesotho - Afrika ya Kusini Mlima Elgon (m 4,321) - volikano, Kenya - Uganda Emi Koussi (m 3,415) - volikano, Chad Mlima Emin (m 4,798), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda Milima Entoto (m 3,200), Ethiopia Milima Erta Ale (m 988) - volikano, Ethiopia Mlima Gessi (m 4,715), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda Milima Golis (m 1,371), Somalia Mlima Kadam (Debasien au Tabasiat) (m 3,054), Uganda Mlima Kamerun (m 4,075), Kamerun Mlima Karisimbi (m 4,507) - volikano, Rwanda - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mlima Karthala (m 2,362) - volikano, Komori Mlima Kenya (m 5,199) - volikano, Kenya Mlima Kilimanjaro (m 5,895) - volikano, Tanzania - mlima wa juu kabisa katika Afrika Mlima Kinyeti (m 3,187), mlima mrefu zaidi wa Sudan Kusini Milima ya Kipengere (m ), Tanzania Milima Lebombo (m 776), Msumbiji Mlima Luigi di Savoia (m 4,627), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda Milima Magaliesberg (m 1,852), Afrika ya Kusini Milima ya Mahale (m 2,462), Tanzania Milima Mandara (m 1,494), Nigeria - Kamerun Mlima Meru (m 4,566) - volikano, Tanzania Mlima wa Meza / Tafelberg (m 1,088), Cape Town, Afrika ya Kusini Mlima Moco (m 2,610), Angola Mlima Moroto (m 3,083), Uganda Mlima Morungole (m 2,750), Uganda Mlima Mulanje (m 3,002), Malawi Nyanda za Juu za Mashariki (m ), Zimbabwe - Msumbiji Milima Ogo (m ), Somalia Milima Outeniqua (m 1,578), Afrika ya Kusini Pico de São Tomé (m 2,024) - volikano, Sao Tome na Principe Piton de la Fournaise - volikano (m 2,632), Réunion Piton des Neiges – volikano (m 3,069), Réunion Ras Dejen (m 4,533), Ethiopia Mlima Rungwe (m 3,175), Zambia Ruwenzori (m 5,109), Uganda Milima Semien (m 4,550), Ethiopia Mlima Serbal (m 2,070), Misri Mlima Sinai (m 2,285), Misri Mlima Speke (m 4,890), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda Mlima Stanley (m 5,119), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda Milima Swartberg (m 2,325), Afrika ya Kusini Tao la Mashariki (m ), Tanzania - Kenya Milima Teffedest (m 2,370), Algeria Teide (m 3,717) Tenerife - mlima wa juu kabisa wa Hispania (ingawa kijiografia katika visiwa vya Afrika) Milima Tibesti (m 3,445), Chad - Libya Jbel Toubkal (m 4,167), Moroko Milima ya Udzungwa (m 2,579), Tanzania Milima ya Uluguru (m 2,630), Tanzania Milima ya Upare (m 2,643), Tanzania Milima ya Usambara (m ), Tanzania Mlima Zulia (m 2,149), Uganda" ]
[ "Bujumbura\nBujumbura, ni mji mkuu wa Burundi unaokadiriwa kuwa na idadi ya wakazi 300,000. Mji upo kaskazini mashariki mwa Ziwa Tanganyika, na ni mji mkubwa zaidi Burundi, kitovu cha mawasiliano na uchumi nchini humo.", "Steven Kanumba\nHivi sasa amejibebea umaarufu mkubwa nchini Tanzania na amekuwa kipenzi cha wengi na amekubalika karibuni nchi zote za Afrika Mashariki na maziwa makuu.", "Tanganyika (ziwa)\nMto mkubwa zaidi unaoingia ni Ruzizi unaofika upande wa kaskazini kutoka Ziwa Kivu. Malagarasi, ambao ni mto mrefu wa pili nchini Tanzania, inaingia upande wa mashariki.", "Franz Lambert\nFranz Lambert (amezaliwa tar. 11 Machi 1948 mjini Heppenheim, Ujerumani) ni mtunzi na mpiga organ kutoka nchini Ujerumani. Anependa sana kupiga organ ya Hammond lakini pia alifahamika zaidi baadaye kwa uwezo wake mkubwa wa kupiga Wersi ambayo ni organ ya umeme wakati wa shughuli zake na kutweza kutoa zaidi ya albamu 100.", "Shirika la Reli Tanzania\nShirika la Reli Tanzania au Tanzania Railways Limited (TLC - hadi 2007 TRC ) ni kampuni ya umma inayoendesha usafiri kwenye mtandao mkubwa zaidi wa reli nchini Tanzania. \nInaendesha hasa usafiri kwenye njia za reli zifuatazo katika Tanzania", "Taff B.\nBrian Haule (16 Mei, 1978 Ilala Bungoni/Sharif Shamba, Dar es Salaam) ni rapa, mtangazaji wa redio ya mtandaoni (Bongo Radio) na mdau mkubwa wa muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Taff B au lile la kimtandao zaidi ni Ngomanagwa. Huyu ni ndugu wa baba mkubwa na mdogo wa Professor Jay.", "Milima Aberdare\nAberdares iko katika sehemu ya vyanzo vya maji kwa mabwawa ya Sasumua na Ndakaini, ambazo hutoa zaidi ya maji kwa wakazi wa mji mkuu wa Kenya, Nairobi. Maeneo ya Msitu wa Mlima ni vyanzo vya Mto Tana, mto mkubwa zaidi nchini Kenya, ambayo husambaza maji kwa “Seven Fork hydropower plants” zinaotengeneza zaidi ya asilimia 55 ya jumla ya umeme nchini Kenya. ", "Wapogolo\nInasemekana asili yao ni Afrika Magharibi, hasa katika nchi ya Senegal, pia Afrika ya Kati Congo. Kuna mila nyingi Senegal na ngoma zake nyingi zinafanana na Sangula. Sababu ya kuhamia Tanzania ilikuwa utafutaji wa ardhi ya kilimo na mabadiliko ya hali ya hewa. Waliendelea kuhama zaidi kutoka Senegal na wengine walikimbilia pia Zambia, Zimbabwe na Malawi. Ndiyo maana kuna ukoo mkubwa wa Matimba kule Malawi na huko Zimbabwe.", "Orodha ya mito nchini Tanzania\nOrodha ya mito nchini Tanzania inaitaja zaidi ya 2,000, lakini hiyo ni baadhi tu.", "Kenya Commercial Bank (Uganda)\nKenya Commercial Bank (Uganda) ni mwanachama wa makampuni ya KCB Group. Makampuni haya ni:KCB Group ndio kundi kubwa zaidi ya huduma za kifedha katika Afrika Mashariki, pamoja na wigo wa mali zaidi ya juu US $ 2.5. Kotoka Julai 2009, KCB Group ina mtandao wa mkubwa zaidi wa matawi ya benki likijumuisha zaidi ya matawi 180 nchini Kenya, Rwanda, Sudan Kusini, Tanzania na Uganda.", "Olduvai Gorge\nBonde la Oltupai (maarufu kwa Kiingereza kama Olduvai Gorge) ni eneo la kiakiolojia linalopatikana katika mkoa wa Arusha nchini Tanzania ambalo ni kati ya yale muhimu zaidi duniani.", "Benki ya Kenya Commercial Bank\nBenki ya KCB ina zaidi ya matawi 150 kote nchini kenya, yanayoifanya iwe benki yenye mtandao mkubwa zaidi katika kanda hiyo. Ndiyo benki inayomiliki mitambo ya ATM yenye rajamu yake mingi zaidi nchini kenya. Tangu mwaka 2004 matawi yote nchini Kenya yamewekwa rajamu upya kama sehemu zoezi kubwa la kuipatia benki hiyo rajamu upya. Benki ya KCB imeshirikiana na Pesa Point ili kuongeza idadi ya vituo vya mitambo ya ATM ambayo wateja wanaweza kujichukulia pesa zao.", "Oslo\nOslo ni mji mkuu wa Norwei pia mji mkubwa nchini mwenye wakazi 590,041(1.403.268) 2010). Rundiko la mji lina wakazi zaidi ya milioni.", "Tel Aviv\nTel Aviv-Yafa (kwa Kiebrania תֵּל־אָבִיב-יָפו; kwa Kiarabu تَلْ أَبِيبْ-يَافَا) ni mji mkubwa wa pili nchini Israel, wenye wakazi 380,000. Rundiko la mji kuna watu zaidi ya milioni 3. Mji uko kando ya bahari ya Mediteranea.", "Wasuba\nMwaka 1987 idadi ya Wasuba wa Tanzania ilikadiriwa kuwa 30,000 . Lakini wengi zaidi huishi nchini Kenya, idadi yao ni 129,000. ", "Uwanja wa ndege wa Mwanza\nUwanja Wa Ndege Wa Kimataifa Mwanza ni uwanja mkubwa wa ndege kwa miji ya karibu na nchi za jirani iliyoko jijini la Mwanza nchini Tanzania . Uwanja huu ni kitovu kikuu cha Auric Air na Delavia- Far East Airways, na pia kitovu kidogo kwa aajili ya Precision Air na Air Tanzania", "Gideon Moi\nBaada ya baba yake kustaafu siasa mwaka 2002, yeye aligombea uongozi wa Baringo Central Constituency ambayo awali ilikuwa inamilikiwa na baba yake tangu mwaka 1955. Aliwakilisha watu wa Baringo ya Kati kwa temu moja, 2002-2007. Yeye pia alikuwa na ushawishi mkubwa zaidi na baba yake ambaye bado ana ushawishi mkubwa katika chama cha KANU, chama tawala cha zamani nchini Kenya, ambayo Gideoni ni mwanachama.[5]", "Old Trafford\nUkiwa na uwezo wa kuchukua watu 74,994, Old Trafford ni uwanja mkubwa zaidi wa klabu nchini Uingereza, na wa kumi na moja kwa ukubwa zaidi katika bara la Ulaya. ", "Amazon (kampuni)\nMnamo mwaka 2015, Amazon iliipita kampuni ya Walmart kama kampuni ya uuzaji wa rejareja yenye thamani kubwa zaidi nchini Marekani. Amazon ni kampuni ya pili ya thamani zaidi duniani (nyuma ya Apple tu), kampuni kubwa ya intaneti kwa mapato duniani, na baada ya Walmart, mwajiri wa pili mkubwa nchini Marekani. ", "Aliko Dangote\nKundi la Dangote, awali biashara ndogo iliyoanzishwa mwaka 1977, sasa ni muungano wa makampuni mengi iliyo na thamani ya naira trilioni mingi na iliyo na oparesheni nchini Benin, Ghana, Nigeria na Togo. Biashara za Dangote ni pamoja na usindikaji wa chakula, utengenezaji saruji na kusafirisha mizigo. Kundi la Dangote linatawala soko la sukari nchini Nigeria, kwani yeye ndiye msambazaji mkubwa zaidi wa sukari nchini katika makampuni ya vinywaji laini, watengenezaji pombe na watengenezaji peremende. Kundi la Dangote limekua kutoka kwa biashara kampuni ya biashara hadi kuwa kundi kubwa zaidi la Viwanda nchini Nigeria, pamoja na kiwanda cha kusafishia sukari cha Dangote (kampuni iliyo na pesa zaidi katika Soko la Hisa la Nigeria, yenye thamani ya zaidi ya dola bilioni 3 na usawa wa Aliko Dangote umefika bilioni $ 2), kiwanda kikubwa zaidi barani Afrika cha kutengeneza simiti: Obajana Cement, Kiwanda cha Unga cha Dangote miongoni mwa mengine.", "Miikka Mwamba\nMiikka Aleksanteri Kari (amezaliwa tar. 16 Oktoba 1971, mjini Helsinki, Ufini) ni mtayarishaji wa muziki na mhandisi wa sauti toka nchini Ufini-Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kitayarishaji kama Miikka Mwamba. Miikka Mwamba ni mtayarishaji mashuhuri sana kwa nchi ya Tanzania, na ameweza kujibebea umaarufu mkubwa sana nchini Tanzania kunako miaka ya 2000.", "Mad Ice\nMad Ice ambae ni Mganda anae fanya shughuli zake za kimuziki nchini Tanzania, amejibebea umaarufu mkubwa nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla.", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Mji mkuu\nMji mkuu kwa kawaida ni mji wenye makao makuu ya serikali ya nchi fulani. Katika nchi nyingi mji huo ni pia mji mkubwa na muhimu zaidi kushinda miji mingine nchini. Huo ni sehemu yenye maendeleo makubwa sana katika nchi yoyote: ina kila huduma muhimu na miundombinu iliyo bora. Mfano: nchini Tanzania mji mkubwa ni Dar es Salaam, ingawa makao makuu ni Dodoma.", "Kanku Kelly\nKanku Kelly ni raia halali wa Tanzania aliyefanikiwa kupata uraia mapema Aprili 27, 2011. Matarajio yake ya baadaye ni kuwa mtayarishaji mkubwa aiyekamilika kwa vyombo vya kufanyia kazi hiyo. Ametoa shukrani nyingi za dhati kwa watanzania wote waliomlea toka alipokuja hapa nchini, akiwa bado kinda wa miaka 19 hadi leo ana zaidi ya nusu karne. Kanku Kelly ni Baba wa familia. Alifunga ndoa ya kiserikali mwaka 1987 na Bi. Mwajuma Kibwana ambaye ni Mtanzania, katika jiji la Nairobi huko Kenya. Katika maisha yao ya ndoa wamefanikiwa kupata mabinti wawili Agnes Chichi Kelly (26), anayesoma katika Chuo Kikuu nchini Malaysia na mdogo wake Lucy Kelly (20) ambaye anamuelezea kwamba amefuata nyayo zake katika muziki.", "Casablanca\nCasablanca (Kihispania \"nyumba nyeupe\",tamka kasablanka, ar.| ad-Dār al-Bayḍā’) ni mji mkubwa zaidi nchini Moroko. Ni mji wa bandari uliopo kwenye magharibi ya nchi mwambaoni wa Bahari Atlantiki. Pia ni mju mkubwa kabisa wa nchi za Maghrib na kati ya miji muhimu zaidi kwenye bara la Afrika.", "Bongo na Flava\nFilamu ilisifiwa na wengi, hasa kwa utumbuizaji mkubwa aliyoufanya One the Incredible. Miongoni mwa waliosifia ni pamoja na msanii wa muziki wa hip hop nchini Tanzania A.Y.", "Carlos Slim Helu\nAlipata bahati yake kutokana na umiliki wake mkubwa wa idadi ya makampuni ya Mexiko kupitia kikundi chake, \"Grupo Carso\". Kuanzia Juni 2018, yeye ni mtu tajiri zaidi anayeshikilia nafasi ya saba ulimwenguni, kwa mujibu wa orodha ya Forbes ya Mabilionea wa Dunia, yeye ana wastani wa thamani $ 61.3 bilioni. Yeye ni mtu tajiri zaidi nchini Mexiko.", "Camp Nou\nCamp Nou ina uwezo wa kuchukua watu 99,354, Ni uwanja mkubwa zaidi nchini Hispania na Bara la Ulaya, na ni uwanja wa pili wa soka mkubwa ulimwenguni.", "Amini Cishugi\nAmini ana uwepo mkubwa katika mitandao ya kijamii na maelfu ya wanachama, mwezi wa Februari 2018 gazeti \"Souther\" lilimweka nafasi ya nane kati ya orodha ya watu 30 wenye ushawishi mkubwa uko Kivu. Kituo chake ni zaidi ya 40 iliyofuatiwa kote nchini na wanachama wa 3.1K mwezi Julai 2018 na iko karibu na milioni moja elfu moja views." ]
81
Rais wa kwanza wa nchi ya Libya anaitwa nani?
[ "Historia ya Libya\nKisha kupindua mfalme Idris I, Muammar al-Gaddafi alitawala kidikteta tangu mwaka 1969 hadi alipopinduliwa na kuuawa mwaka 2011." ]
[ "Tanzania\nTanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.", "Libya\nLibya ni nchi ya Afrika ya Kaskazini kwenye Bahari ya Mediteraneo, inayopakana na Misri, Sudan, Niger, Chad, Algeria na Tunisia.", "Muungano wa Madola ya Afrika\nKiongozi wa zamani wa Libya Muammar al-Gaddafi, ambaye 2009 alikuwa mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (UA), aliendeleza wazo la Muungano wa Madola ya Afrika katika mikutano mwili ya kanda ya Afrika: wa kwanza mwezi Juni 2007 mjini Conakry, Guinea, halafu tena mnamo mwezi wa Februari mwaka 2009 mjini Addis Ababa, Ethiopia. Gaddafi awali alisukuma kuanzishwa kwa suala hili katika mkutano uliofanyika mwaka 2000 mjini Lomé, Togo, aliealeza UA kama kushindwa kwa baadhi ya mambo; Gaddafi alidai ya kwamba muungano wa kweli pekee ndiyo unaweza kutupatia uthabiti na utajiri kwa Afrika yetu. \nBaadhi ya viongozi wakuu wa UA walikubaliana na shirikisho lililopendekezwa, wakiamini ya kwamba ingeliweza kuleta amani katika Afrika mpya. Alpha Oumar Konaré, Rais wa zamani wa Mali na mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Umoja wa Afrika, alizungumzia wazo hili katika sherehe za Siku ya Afrika, mnamo Mei 25, 2006.", "Lukio wa Kurene\nInatajwa pia kama askofu wa kwanza wa Kurene, mji wake wa asili, uliokuweko Libya mashariki.", "Omar Bongo\nKiongozi huyo amevunja rekodi ya kuwa Rais aliyekaa muda mrefu marakani kuliko Rais yeyote barani Afrika. Rais huyo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73, ambapo ameiongoza Gabon kwa miaka 42.\nBongo alijiunga na serikali ya Gabon mwaka 1965 na mwaka 1967 akawa makamu wa Rais ambapo mwaka huo huo akashika hatamu ya kuwa Rais wa nchi hiyo kufuatia cha kifo cha ghafla cha Rais Leon Mba.\nBongo alipoingia madarakani alijenga utawala imara ambao ulinufaika zaidi baada ya kugunduliwa kwa mafuta nchini Gabon ingawa utajiri wake ulinufaisha idadi ndogo ya watu wanaokadiriwa kuwa milioni 1.5. kitu kilicholeta lawama kubwa kwa kiongozi huyo.\nRais huyo amefariki dunia wakati akipata tiba ya saratani jijini Barcelona nchini Hispania.\nRais Bongo ameaga dunia takribani miezi mitatu baada ya kifo cha mkewe, Edith Lucie Bongo Ondimba (45) aliyefariki dunia 14 Machi mwaka huu wakati akipata tiba mjini Rabat nchini Morocco.\nBongo na Edith walifunga ndoa mwaka 1990. Edith aliuguzwa kwa miezi kadhaa nchini Morocco, na umma haukutangaziwa sababu za kifo chake. Edith alikuwa binti wa Rais wa Congo, Denis Sassou Nguessou. Mwanaharakati huyo wa mapambano dhidi ya Ukimwi alikuwa mke wa pili kwa Bongo, mke wa kwanza wa Rais huyo alikuwa, Josephine Nkama.", "Rais wa Afrika ya Kusini\nRais wa Jamhuri ya Afrika Kusini ni mkuu wa nchi na kiongozi wa serikali chini ya katiba ya Afrika Kusini. Kuanzia 1961 hadi 1994, mkuu wa nchi alikuwa anaitwa Rais wa Nchi.", "Sahara\nSahara iko kaskazini mwa Afrika. Ina nchi za Moroko, Algeria, Tunisia na Libya upande wa kaskazini. Upande wa kusini kuna nchi za kanda la Sahel kama Chadi, Mali, Mauritania na Niger. Sahara ya Magharibi ina sehemu ufukoni mwa Atlantiki, na upande wa mashariki ni Sudani na Misri ambako oasisi ya mto Nile inakata eneo lake.", "Ahmed Sékou Touré\nAlichaguliwa kama Rais wa kwanza wa Guinea akatumikia kuanzia mwaka 1958 hadi kifo chake 1984. Touré alikuwa miongoni mwa wazalendo wa awali wa Guinea waliojishughulisha katika harakati za kupigania uhuru wa nchi kutoka mikononi mwa Wafaransa. ", "Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira (Tanzania)\nMuungano na Mazingira ni wizara kamili ambayo ipo chini ya Ofisi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: kwa hivyo Waziri wake anaitwa waziri wa Nchi Ofisi ya makamu wa Rais Muungano na Mazingira. ", "Ellen Johnson-Sirleaf\nJohnson amekuwa Rais wa kwanza mwanamke barani Afrika. Hata hivyo yeye sio mwanamke wa kwanza kuongoza nchi barani Afrika. Malikia Zauditu wa Ethiopia aliongoza nchi yake kwa miaka 13 toka mwaka 1917 hadi 1930. Ruth Perry ni mwanamke wa kwanza Afrika kuwa mkuu wa nchi pale alipokuwa mwenyekiti wa urais wa pamoja wa jamhuri ya Liberia toka mwaka 1996 hadi 1997.", "Ivan Gašparovič\nIvan Gašparovič (amezaliwa tar. 27 Machi 1941) ni mwanasiasa na profesa wa sheria kutoka nchini Slovakia. Kuanzia mwaka wa 2004 hadi 2014 alikuwa Rais wa nchi hiyo. Pia, huyu ndiye Rais wa kwanza kuchaguliwa tena kwa mara ya pili wakati wa uchaguzi wa nchi hiyo.", "Eratosthenes\nAlichora ramani ya dunia isiyohifadhiwa lakini ilitajwa mara nyingi katika maandiko ya watu wa kale. Eratosthenes alijua bara 3 za Ulaya, Libya (Afrika) na Asia. Asia ilijulikana kwake hadi Uhindi, nchi iliyofikiwa na Aleksander Mkuu. Alijua ya kwamba Afrika, iliyojulikana kwa jina la Libya wakati ule, ilizungukwa kwa maji kutokana na taarifa ya msafara wa Wamisri miaka 300, kabla yake lakini hakujua ya kwamba inaenea pia kusini kwa ikweta. ", "Corazon Aquino\nMaría Corazón Sumulong Cojuangco-Aquino (25 Januari 1933 – 1 Agosti 2009) anafahamika zaidi kwa jina la Cory Aquino, alikuwa Rais wa 11 kwa nchi ya Ufilipino, ambaye alitumikia taifa hilo tangu mwaka wa 1986 hadi 1992. Aquino, ndiyo mwanamke wa kwanza kuwa Rais kwa nchi ya Ufilipino na ni wa kwanza kwa nchi za Asia.", "Libya\nWakazi wa Libya ni hasa mchanganyiko wa Waberberi, Waarabu na Waturuki (74 %), mbali na Waberberi (25%) ambao ndio wakazi asilia, lakini wengi wao wameanza kutumia lugha ya Kiarabu pia. Kuna pia wahamiaji kutoka nchi za jirani, za kandokando ya Bahari ya Kati na kutoka Bara Hindi.", "Jean-Bedel Bokassa\nKatikia miaka ya 1970 Bokassa alitafuta usaidizi wa Libya akasilimu baada ya kumtembelea Rais Gadhaffi akajiita Salah Eddine Ahmed Bokassa.", "Kenneth Kaunda\nKenneth David Kaunda, anafahamika zaidi kama KK (amezaliwa tar. 28 Aprili 1924) alikuwa Rais wa wa kwanza kwa nchi ya Zambia. Alitumikia taifa hilo kuanzia mnamo mwaka wa 1964 hadi 1991.", "Jamhuri ya Afrika ya Kati\nMwaka wa 1993, kura za kidemokrasia za kwanza zilifanywa na kumchagua Ange-Félix Patassé kuwa Rais. Lakini Rais Patassé alipinduliwa na Jenerali François Bozizé mwaka wa 2003. Baadaye huyo alishinda uchaguzi mnamo Mei 2005 na kuiongoza nchi mpaka Machi 2013 alipolazimika kukimbia.", "Beida\nAl Bayda au Beida (Kar البيضاء \") ni mji mkubwa wa tatu nchini Libya na mji mkubwa wa pili katika sehemu ya mashariki. Na wakazi wa 2010 (250.000 watu).\nWalikuwa katika serikali ya zamani wa kifalme katika mji mkuu wa nchi hiyo.", "Karolo Mkuu\nPengine anaitwa \"baba wa Ulaya\" kwa kuwa milki yake iliunganisha nchi zilizoanzisha Jumuiya ya Kiuchumi ya Ulaya (chanzo cha Umoja wa Ulaya) katika karne ya 20.", "Historia ya Jamhuri ya Afrika ya Kati\nMwaka wa 1993, kura za kidemokrasia za kwanza zilifanywa na kumchagua Ange-Félix Patassé kuwa Rais. Lakini Rais Patassé alipinduliwa na Jenerali François Bozizé mwaka wa 2003. Baadaye huyo alishinda uchaguzi mnamo Mei 2005 na kuiongoza nchi mpaka Machi 2013 alipolazimika kukimbia.", "Malezi\nAnahitaji kusaidiwa ajibu maswali makuu ya maisha: “Mimi ni nani? Nimetoka wapi? Ninakwenda wapi? Nafikiriwa kuwa wa namna gani?” ", "Historia ya Kanisa\nMwaka 325 mkutano wa kwanza wa Kanisa zima ukafanyika kule Nisea (Asia Ndogo). Wakristo wa nchi mbalimbali walikuwa wanatofautiana katika maelezo yao juu ya tabia ya Kimungu na ya kibinadamu za Kristo. Yaani kiasi gani Yesu ni mwanadamu na kiasi gani yeye ni Mungu. Kama alikuwa mwanadamu, je aliumbwa kama wanadamu wote? Lakini kama anaitwa Mungu ndiye Muumba mwenyewe. Kama yeye ni Mungu - aliwezaje kuumia msalabani? Au ni Mungu aliyejificha tu katika umbo la mwili, kumbe hakuteswa kweli, ilikuwa kama igizo tu.", "Peace Corps\nMradi mkubwa ya Tanzania na Kenya ni kwa kuleta waliumu wa Sekondari kwa hisabati, scienci, na komputa na kuleta wakufunzi wa Vyuo vya Uelimu kwa komputa na ICT. Tanzania, miradi mingine linahusika mavoluntia wa kufundisha kuhusu afya na mazingira vijijini. Kenya, wankuwana na mradi wa biashara. Miradi yanatengamea na maombi la serekali ya nchi wanapowasiliana serekali ya Merikani. Kwa mfano, Mei 2009, Rais Kikwete alipokutana na Rais Obama kwenye Nyumba Nyupe, akaanza mwanzoni ya mazungumzo kwa kuomba mavoluntia wa Peace Corps mia tatu zaidi kwa nchi yake. Peace Corps inakuwa na historia ndefu na Tanzania: Rais Kennedy alipeleka kikuni cha kwanza ya mavoluntia mpaka Tanzania na Ghana tarehe 28 Agosti 1961 kujibu maombi la Rais Nyerere kwa usaidizi.", "Libya\nEneo kubwa la nchi ni sehemu ya jangwa la Sahara. Chini yake kuna akiba kubwa ya petroli, ambayo ndiyo utajiri wa nchi.", "Libya\nOrodha ya nchi kufuatana na wakazi Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa Demografia ya Afrika", "Mkuu wa dola\nKatika nchi zilizo chini ya muundo wa ufalme (pamoja na emirati, usultani au utemi) mkuu wa dola anaitwa mfalme au sultani n.k. ", "Madeleine Albright\nMadeleine Korbel Albright (alizaliwa tarehe 15 Mei 1937). Yeye ndiye mwanamke wa kwanza kuwa Katibu wa Taifa wa nchi ya Marekani. Alichaguliwa na Rais Bill Clinton wa Marekani mnamo tarehe 5 Desemba mwaka wa 1996, na alikubaliwa bila pingamizi na Bunge la Marekani. Matokeo ya kura ya kumchagua yalikuwa 99-0. Aliapishwa mnamo tarehe 23 mwezi Januari, mwaka wa 1997.", "Idris I wa Libya\nIdris I \"(kwa Kiarabu:\" إدريس الأول \"idris-al-auwwal)\" (12 Machi 1890 - 25 Mei 1983) alikuwa mfalme wa kwanza na wa mwisho wa Libya kati ya miaka 1951 na 1969. ", "Afrika\nWakati huo Wagiriki wa Kale walitumia zaidi jina la Libya kwa ajili ya nchi kusini kwa Bahari ya Mediteraneo.", "Uislamu nchini Libya\nSehemu kubwa ya waumini wa Libya ni wale wanaofuata dhehebu la Sunni, ambapo hutoa mafunzo ya kidini na mwongozo wa sera za utawala wa nchi na serikali kwa ujumla. Ni vigumu kubagusha dhana hii kwani hata kwa wale ambao hawakuamini Uislamu kikamilifu nao wamekuwa wafuasi wa utaratibu huu nchini humo. " ]
14
Umoja wa Afrika ulianzishwa mwaka gani?
[ "Umoja wa Mataifa\nUmoja huo ulianzishwa na nchi washindi wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia kuchukua nafasi ya Shirikisho la Mataifa (1919 - 1946). Makubaliano yalifikiwa tarehe 24 Oktoba 1945 huko San Francisco, California.", "Umoja wa Afrika\nUmoja wa Afrika (UA) (kwa Kiingereza: African Union (AU); Kifaransa: Union Africaine (UA); Kihispania: Unión Africana (UA) ; Kireno: União Africana (UA) ) [1] ni muungano wa nchi 55 za Afrika ulioanzishwa mnamo Julai 2002." ]
[ "Mradi wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Mazingira\n= Historia =\nUNEP ulianzishwa na Baraza Kuu wa Umoja wa Mataifa mnamo tarehe 15 Desemba 1972 kupitia sheria la ishirini na saba.\nMkurugenzi wa UNEP anajulikana kama mkurugenzi-tekelezi. Kwa sasa ni Bw. Achim Steiner alieichukua wahdhifu hiyo tarehe15 Machi,2006 kutoka kwa Bw. Klaus Toepfer aliyejiuzulu baada ya miaka minane katika wadhifu huo.\nUNEP imejuhusisha na mpango wa Kyoto kupunguza gesi zinazoongeza joto duniani.", "Umoja wa Afrika\nUmoja huu unaendeleza kazi za Umoja wa Muungano wa Afrika (kwa Kiingereza: Organisation of African Union - OAU) uliokuwepo 1963 hadi 2002.", "Umoja wa Muungano wa Afrika\nMwishoni nchi zote za Afrika zilikuwa wanachama isipokuwa Moroko iliyojitenga mwaka 1985 baada ya Sahara ya Magharibi kupokelewa katika OAU.", "Muungano wa Madola ya Afrika\nKiongozi wa zamani wa Libya Muammar al-Gaddafi, ambaye 2009 alikuwa mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (UA), aliendeleza wazo la Muungano wa Madola ya Afrika katika mikutano mwili ya kanda ya Afrika: wa kwanza mwezi Juni 2007 mjini Conakry, Guinea, halafu tena mnamo mwezi wa Februari mwaka 2009 mjini Addis Ababa, Ethiopia. Gaddafi awali alisukuma kuanzishwa kwa suala hili katika mkutano uliofanyika mwaka 2000 mjini Lomé, Togo, aliealeza UA kama kushindwa kwa baadhi ya mambo; Gaddafi alidai ya kwamba muungano wa kweli pekee ndiyo unaweza kutupatia uthabiti na utajiri kwa Afrika yetu. \nBaadhi ya viongozi wakuu wa UA walikubaliana na shirikisho lililopendekezwa, wakiamini ya kwamba ingeliweza kuleta amani katika Afrika mpya. Alpha Oumar Konaré, Rais wa zamani wa Mali na mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Umoja wa Afrika, alizungumzia wazo hili katika sherehe za Siku ya Afrika, mnamo Mei 25, 2006.", "Thaura\nThaura (kutoka neno la Kiarabu) ni aina ya mapinduzi ambapo serikali hugeuzwa na jeshi au watu wanaohusiana na serikali bila wananchi kwa jumla kushiriki. Mashirika kama vile Umoja wa Afrika na Ushirika wa Nchi za Amerika yamepitisha mifumo ya kupambana na mapinduzi ya kijeshi. Kupitia tishio la vikwazo, mashirika hayo hujaribu kukabiliana na mapinduzi ya kijeshi. Utafiti wa mwaka 2016 umegundua kuwa Umoja wa Afrika unachukua hatua za maana katika kupunguza thaura katika bara la Afrika.", "Burundi\nKipindi kilichofuata kilikuwa cha Vita ya wenyewe kwa wenyewe katika sehemu mbalimbali za nchi. Tangu mwaka 1995 Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zilijitahidi kujenga mapatano kati ya vikundi. Marais na wanasiasa walioshiriki katika jitihada hizo walikuwa pamoja na Julius Nyerere, Boutros Boutros-Ghali, Nelson Mandela, Thabo Mbeki na rais wa Marekani Bill Clinton.", "Historia ya Namibia\nMwaka 1978 Umoja wa Mataifa uliamua ya kwamba Afrika ya Kusini-Magharibi unapaswa kupewa uhuru. Baada ya miaka ya vita vya kupigania uhuru kati ya SWAPO na jeshi la Afrika Kusini, mchakato wa kimataifa wa kuelekea uhuru ulianza mwaka 1988 na hatimaye mwaka 1990 nchi ilipata uhuru wake kwa jina la Namibia.", "Umoja wa Muungano wa Afrika\nUmoja wa Muungano wa Afrika (Kiingereza: Organisation of African Unity, OAU; Kifaransa: Organisation de l'Unité Africaine, OUA) ulikuwa jumuiya ya nchi huru za Afrika iliyoanzishwa 1963 na kudumu hadi 2002. Ulikuwa mtangulizi wa Umoja wa Afrika ambao ni jumuiya ya nchi za Afrika tangu Julai 2002.", "Songea (mji)\nMji wa Songea (iliyoandikwa Ssongea wakati ule) ulianzishwa mwaka 1897 kama kituo cha kijeshi cha Kijerumani. Ukakua kuwa makao makuu ya utawala wa mkoa Songea wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. ", "Siku ya Ukimwi Duniani\nUngano wa mpango wa Umoja wa Mataifa juu ya UKIMWI (UNAIDS) ulianzishwa mwaka 1996, na ukasimamia mipango na uendelezaji wa Siku ya Ukimwi Duniani. Badala ya kuzingatia siku moja, UNAIDS iliumba Kampeni ya Ukimwi Duniani mwaka 1997 kwa lengo la kueneza mawasiliano, kuzuia na kuelimisha mwaka mzima. ", "Afrika ya Kusini-Magharibi\nWakati wa kuvunjwa kwa Shirikisho la Mataifa mwaka 1946, Umoja wa Mataifa ulichukua wajibu wa kuratibu maeneo ya kudhaminiwa. ", "Mkataba kuhusu anga-nje\nMkataba huu ulianzishwa kama mapatano baina Marekani, Umoja wa Kisovyeti na Ufalme wa Maungano (Uingereza) mwaka 1967 na mataifa yote yalikaribishwa kujiunga nao. Hadi Aprili 1967 nchi 107 zilitia sahihi na kukubali kisheria masharti yake.", "Addis Ababa\nMfalme Haile Selassie alisaidia kuanzisha Organization of African Unity mwaka 1963 akaikaribisha kuwa na makao makuu mjini. Ilipogeuka kuwa Umoja wa Afrika mwaka 2002, makao yakabaki yaleyale.", "Tanganyika (ziwa)\nSamaki wa ziwani wanauzwa kote Afrika ya Mashariki. Katika miaka ya 1950 uvuvi wa kibiashara ulianzishwa ziwani ukasabisha kupotea kwa samaki: kufikia mwaka 1995 mavuno ya samaki yalipungua hadi tani 180,000. Kampuni nyingi za uvuvi zilizostawi katika miaka ya 1980 ziliporomoka.", "Namibia\nMwaka 1978 Umoja wa Mataifa uliamua ya kwamba Afrika ya Kusini-Magharibi unapaswa kupewa uhuru. Baada ya miaka ya vita vya kupigania uhuru kati ya SWAPO na jeshi la Afrika Kusini, mchakato wa kimataifa wa kuelekea uhuru ulianza mwaka 1988 na hatimaye mwaka 1990 nchi ilipata uhuru wake kwa jina la Namibia.", "Umoja wa Afrika\nUmoja wa Afrika ina nchi wanachama 55, yaani nchi zote za bara la Afrika (baada ya kurudi kwa Moroko, iliyokuwa imejiondoa mwaka 1985 kwa sababu UA ilitambua Sahara ya Magharibi kuwa nchi ya kujitegemea wakati Moroko inadai ya kwamba ni eneo la majimbo yake ya kusini). [2]Hata hivyo mwaka 2016 Moroko ilionyesha nia ya kujiunga tena na UA.[3]", "Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika\nMwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika ni mkuu wa Tume ya Umoja wa Afrika.", "Amina Salum Ali\nAmina Salum Ali (Alizaliwa 24 Oktoba1956 )Ni mwanamke mtanzania aliyewahi kuwa balozi wa Umoja wa Afrika huko Marekani tangu mwaka 2007.", "Umoja wa Afrika\nMkutano wa kwanza wa Bunge la Umoja wa Afrika ulifanyika mwaka 2004 huko Afrika Kusini.", "Bunge la Umoja wa Afrika\nBunge la Umoja wa Afrika ni mkutano wa wawakilishi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika.", "Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu\nHii ni orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu (makadirio ya Umoja wa Mataifa kwa mwaka 2017). ", "Mkutano wa mawaziri wa Afrika kuhusu mazingira\nMawaziri hao walikutana mara ya kwanza mwaka 1985 mjini Kairo, Misri. Baadaye mkutano ulianzishwa kama taasisi ya kudumu mwenye shabaha ya ", "Umoja wa Nchi za Asia ya Kusini-Mashariki\nUmoja huu ulianzishwa mwaka 1967 na Indonesia, Malaysia, Ufilipino, Singapur na Uthai. Baadaye Brunei, Kambodia, Laos, Myanmar na Vietnam zlijiunga nao.", "Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika\nMnamo Juni 2015, Umoja wa Afrika ulianzisha majadiliano ili kufikia Continental Free Trade Area (CFTA) ambayo ihusishe nchi zote 55 za Afrika kufikia mwaka 2017.", "Jumuiya ya Afrika Mashariki\nKenya, Tanzania na Uganda zina historia ya ushirikiano tangu mwanzoni mwa karne ya 20, wakati wa ukoloni, ikiwa ni pamoja na Umoja wa Forodha baina ya Kenya na Uganda mwaka 1917, Tanganyika ilijiunga mnamo mwaka 1927, katika Ubalozi wa Afrika Mashariki (1948-1961), 'East African Common Services Organisation' (1961-1967) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (1967-1977).[11]", "Shirikisho la Mataifa\nShirikisho la Mataifa lilikuwa umoja wa madola ya dunia 63 kati ya 1920 na 1946 BK. Umoja huu ulianzishwa na mataifa washindi wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. Katika miaka 1920-1930 mataifa mengine yalijiunga nao. Shirikisho la Mataifa lilikwisha 1946 baada ya kuundwa kwa Umoja wa Mataifa iliochukua nafasi yake.", "Demografia ya Afrika\nKwa sasa ongezeko ni la asilimia 2.6 kwa mwaka na wakazi wa Afrika wamekuwa 1,225,080,510 (2016), sawa na 15% za watu wote duniani. Umoja wa Mataifa unatabiri kwamba wanaweza kufikia 26% mwaka 2050 (2,500,000,000) na 39% mwaka 2100 (4,400,000,000).", "Umoja wa Afrika\nSpika wa Bunge la Umoja wa Afrika ni Roger Nkodo Dang.", "Umeme wa upepo\nKatika Afrika ni hasa Afrika Kusini iliyoanza kutumia chanzo hiki cha nishati. Nchini Kenya Mradi wa umeme wa upepo wa Ziwa Turkana ulianzishwa mwaka 2010 ukilenga kutoa megawati 300 baada ya kukamilika." ]
22
Bwana Heri bin Juma alikuwa sultani wa Saadani mwaka upi?
[ "Bwana Heri\nBwana Heri bin Juma (pia: bana Heri) alikuwa sultani wa Saadani iliyokuwa bandari ya biashara kwenye mwambao wa Bahari Hindi (katika Tanzania kaskazini-mashariki ya leo) tangu miaka ya 1870." ]
[ "Taarab\nNeno \"taarab\" laaminiwa lina asili katika Unguja ambako mnamo 1870 Sultani Sayyid Bargash alialika kundi la wanamuziki kutoka Misri kuja Zanzibar walioleta uimbaji wao aina ya \"tarab\". Alipopenda muziki huu sultani alimtuma Mzanzibari Mohammed bin Ibrahim kwenda Misri ajifunze vyombo vya huku. Mohammed aliporudi alikuwa mwanashairi wa Sultani akaendelea kuwafundisha marafiki vinanda vyake. Pamoja waliunda kundi la Nadi Ikhwani Safaa linalosemekana ni bendi ya kwanza iliyotumia jina la \"taarab\".[1]. Kundi limeendelea hadi leo na kujulikana sasa kwa jina la \"Malindi Taarab\"[2].", "Saadani\nChini ya utawala wa Bwana Heri Saadani ilishindana na Bagamoyo juu ya nafasi kubwa katika biashara hii ya misafara.", "Bwana Heri\nAlitawala chini ya Sultani wa Zanzibar kama mkubwa wake lakini akafaulu kutetea nafasi yake kama sultani aliejitegemea.", "Saadani Abdu Kandoro\n9) Hakimi wakamwambia\nItatushinda fidia\nHata na faini pia\nHeri jela kuingia.", "Khalifa bin Harub wa Zanzibar\nMwaka 1900 akamwoa Sayyida Matuka bint Hamud Al-Busaid aliyekuwa binti wa sultani wa saba wa Zanzibar Sayyid Hamud bin Muhammed Al-Busaid. ", "Bwana Heri\nMwaka 1894 alijaribu tena kupambana na Wajerumani lakini alishindwa kwa mara ya pili. Akaondoka bara kwenda Zanzibar alipokufa baadaye.", "Chacun Pour Soi\nBwana anakuwa na subira ya mapenzi, lakini baadaye yanamshinda anaomba poo. Heri abaki peke yake.\nPapa Wemba anasema (kwa tafsiri isiyo-rasmi);", "Dk. Omar Ali Juma\nDk. Omar Ali Juma alikuwa mfanyakazi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar tangu mwaka 1967 hadi mwaka 1984 ambapo alihamishiwa katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 1995 hadi alipofariki dunia.", "Bwana Heri\nAlishambuliwa na kiongozi Mjerumani Hermann von Wissmann aliyekuwa na silaha za kisasa akapaswa kuacha kambi yake Saadani tarehe 6 Juni 1889. Aliendela na vita ya msituni.", "Khalifa bin Harub wa Zanzibar\nAlikuwa sultani kuanzia 9 Desemba 1911 hadi 9 Oktoba 1960. Hali halisi alikuwa mtawala kwa jina tu wakati mamlaka ya serikali ilikuwa mkononi mwa afisa mkazi Mwingereza.", "Khalid bin Barghash wa Zanzibar\nAlikuwa sultani kwa siku tatu pekee kuanzia 25 Agosti hadi 27 Agosti 1896 akaondolewa madarakani na Waingereza kwa nguvu ya kijeshi.", "Saadani Abdu Kandoro\n1. Labeka muheshimiwa\nJulius msifiwa\nKambarage muelewa\nBwana nakuitikia.", "Afrika ya Mashariki ya Kijerumani\nBaada ya upinzani wa wenyeji wa pwani mwaka 1889/1890 wakiongozwa na Abushiri na Bwana Heri serikali ya Ujerumani iliamua kutwaa mamlaka kutoka kwa kampuni na kufanya eneo lote kuwa koloni la Dola la Ujerumani badala ya shirika.", "Bwana Heri\nBaada ya kushambuliwa tena na jeshi la Wajerumani katika Januari na Machi 1890 uwezo wake ulikwisha. Sayyid Khalifa aliwasiliana naye na Wissmann akatayarisha kujisalimisha kwake tarehe 6 Aprili 1890. Wissmann aliyemheshimu Bwana Heri hakumwua kama Abushiri bali akamwambia kujenga Saadani upya.", "Bwana Heri\nSaadani kama miji mingine ya pwani ilifaidika na biashara ya Wazungu walioleta bidhaa na kulipa ushuru. Alielewana vema nao.", "Bwana Heri\nMwaka 1886 Sultani Sayyid Khalifa wa Zanzibar alikodisha eneo lake katika Tanganyika bara kwa Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki. Bwana Heri pamoja na viongozi wengine aliona amesalitiwa na Sultani hakuwa tayari kukubali utawala wa Wajerumani. 1888", "Bwana Heri\nMwaka 1882 aliweza kushinda jeshi la Sultani Sayyid Bargash aliyetaka kutawala Saadani moja kwa moja.", "Vita ya Abushiri\nViongozi wake waliojulikana zaidi walikuwa Abushiri ibn Salim al-Harthi kutoka Pangani na Bwana Heri wa Saadani.", "Khalifa bin Harub wa Zanzibar\nAliyemfuata alikuwa mwana wake Abdullah bin Khalifa sultani wa mwisho kisiwani.", "Bwana Heri\nUpinzani wa wenyeji ulishindwa lakini ulisababisha mwisho wa utawala wa kampuni iliyoshindwa kukandamiza uasi wa Waafrika. Serikali ya Ujerumani iliona haja ya kuingilia kati na kuchukua utawala wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani mikononi mwake kama koloni la serikali ya Ujerumani.", "Julius Nyerere\nNyerere alikuwa kiungo muhimu katika muungano wa Tanganyika na Zanzibar kutengeneza Tanzania mara baada ya mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964 yaliyomtoa madarakani sultani wa Zanzibar Jamshid bin Abdullah.", "Vita ya Abushiri\nAbushiri alikamatwa na kunyongwa tarehe 16 Desemba 1889. Bwana Heri alipaswa kujisalimisha. Kufikia Agosti 1889 vita ilikuwa imekwisha.", "Bwana Heri\nJamii:Watu wa historia ya Tanzania Jamii:Afrika ya Mashariki ya Kijerumani", "Khalid bin Barghash wa Zanzibar\nKhalid bin Bargash alikuwa mwana wa kwanza wa Sayyid Barghash bin Said Al-Busaid. Baada ya kifo cha mjomba wake, sultani Hamad bin Thuwaini wa Zanzibar, alitangazwa na sehemu ya viongozi kuwa sultani mpya, lakini wengine walimpinga. Kulikuwa na uvumi ya kwamba alisababisha kifo cha mjomba wake kwa kumsumisha.", "Khalid bin Barghash wa Zanzibar\nSultani aliyefukzwa aliishi Dar es Salaam hadi mwaka 1916. Mwaka ule Waingereza walitwaa mji wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia wakamkuta aliyewahi kuwa sultani wa siku 3 wakampeleka kifungoni huko visiwa vya Shelisheli na baadaye Morisi.", "Vita ya Abushiri\nLakini mwaka uliofuata (1887) tayari alikubali dai la Uingereza kukodisha pwani ya Kenya kwa shirika la Kiingereza; baadaye alianza kushauriana na Karl Peters juu ya mkataba wa aina hiyohiyo. Mkataba huu ulikwisha kusainiwa na mfuasi wake sultani Khalifa bin Said mnamo mwaka 1888. ", "Bwana Heri\nBwana Heri aliungwa mkono na upinzani wa Abushiri dhidi ya Wajerumani akipata usaidizi wa makabila wa eneo lake hasa Wazigua.", "Khalid bin Barghash wa Zanzibar\nMwakilishi wa Uingereza aliwahi kumkubali mgombea mwingine kutoka familia ya kisultani, Hamud bin Mohammed, hakuwa tayari kumwona Khalid kwenye kiti cha mtawala akirejea mkataba kati ya Uingereza na Zanzibar ya mwaka 1890 iliyowapa Waingereza nafasi ya kumkubali sultani mpya.", "Usultani wa Zanzibar\nMwaka 1886 mkataba kati ya Uingereza na Ujerumani ulibana eneo la sultani barani katika kanda yenye upana wa maili kumi tu kati ya Rasi Delgado na Mogadishu. Barghash na mfuasi wake Khalifa bin Said waliamua kuuza maeneo hayo au kuyakodisha." ]
12
Get Rich or Die Tryin' ilizinduliwa mwaka gani?
[ "Get Rich or Die Tryin' (album)\nGet Rich or Die Tryin' ni albamu ya kwanza ya kibiashara ya msanii/rapa kutoka mjini New York City, 50 Cent. Albamu ilitolewa kupitia studio za Interscope Records. Albamu ilitakiwa itoke mnamo tar. 11 Februari 2003, lakini kwa kufuatia kuvuja kwake na kuibiwa sana kwenye mtandao wa Internet, albamu ikabidi itolewe wiki moja kabla mnamo tar. 4 Februari 2003. Albamu ilitayarishwa na Eminem na Dr. Dre. Single za kutoka katika albamu hii ni pamoja na \"In Da Club\", \"21 Questions\", \"P.I.M.P.\", na \"If I Can't\"." ]
[ "Lamborghini Reventòn\nLamborghini Reventón (matamshi ya Kihispania: [reβenˈton]) ni gari la michezo ambayo ilizinduliwa mwaka 2007 kwenye maonyesho ya Frankfurt Motor Show. ", "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "AZ (rapa)\nNa kwa mwezi wa Oktoba wa 2009, anafanyia kazi albamu yake yake ya 10 iitwayo \"Doe or Die 2\" itakayotolewa mwanzoni mwa mwaka wa 2010.. Ana matumaini ya kuwaingiza kikosi cha utayarishaji cha awali cha Doe Or Die kama vile L.E.S., Pete Rock, DR Period na Buckwild. Ametibitisha hata kwamba amefanya nyimbo mbili na Pete Rock, ikiwa ni pamoja na \"Rather Unique Part II\". AZ pia ana mpango wa kuchukua biti kutoka kwa DJ Toomp, Dr. Dre na Kanye West kwa ajili ya DOD2 ikiwa ni pamoja na kumwingiza mkali wake wa mistari wa zamani Nas, pia kwa mujibu wa akaunti yake kwenye Twitter ametaja ya kwamba ameomba biti kutoka kwa RZA vilevile na kupanga kuitoa albamu kunako mwezi wa Mei au Juni 2010. Single ya kwanza kutoka albamu itakuwa \"Feel My Pain\" iliyotayarishwa na Frank Dukes.", "Thugs Get Lonely Too\nPia kuna toleo ambalo halikutolewa lina-kwenda kwa jina la \"Thugs Get Lonely 2\" ambalo lilikuwepo tangu siku za mwanzo za 2pac ambalo pia limemshirikisha rapa kutoka mjini Kansas City, Tech N9ne.", "Sean Combs\n18 Septemba 2007, Combs teamed up with 50 Cent na Jay-Z kwa \"Forbes I Get Money Remix dola bilioni.\" Yeye pia alifanya kuonekana na Jay-Z American Gangster Concert yake ziara mwaka 2007.", "Donald Trump\nThe Art of the Deal (1987), co-written with Tony Schwartz, ISBN 978-0-345-47917-4 Surviving at the Top (1990), ISBN 978-0-394-57597-1 The Art of Survival (1991), ISBN 978-0-446-36209-2 The Art of the Comeback (1997), co-written with Kate Bohner, ISBN 978-0-8129-2964-5 The America We Deserve (2000), with Dave Shiflett, ISBN 1-58063-131-2 How to Get Rich (2004), ISBN 978-0-345-48103-0 The Way to the Top: The Best Business Advice I Ever Received (2004), ISBN 978-1-4000-5016-1 Think Like a Billionaire: Everything You Need to Know About Success, Real Estate, and Life (2004), ISBN 978-0-345-48140-5 The Best Golf Advice I Ever Received (2005), ISBN 978-0-307-20999-3 Why We Want You to be Rich: Two Men – One Message (2006), co-written with Robert Kiyosaki, ISBN 978-1-933914-02-2 Think Big and Kick Ass in Business and Life (2007), co-written with Bill Zanker, ISBN 978-0-06-154783-6 The Best Real Estate Advice I Ever Received: 100 Top Experts Share Their Strategies (2007), ISBN 978-1-4016-0255-0 Trump 101: The Way to Success (2007), ISBN 978-0-470-04710-1 Never Give Up: How I Turned My Biggest Challenges into Success (2008), ISBN 978-0-470-19084-5 Think Like a Champion: An Informal Education in Business and Life (2009), ISBN 978-0-7624-3856-3 Midas Touch: Why Some Entrepreneurs Get Rich – and Why Most Don't (2011), co-written with Robert T. Kiyosaki, ISBN 978-1-61268-095-8 Time to Get Tough: Making America No. 1 Again (2011), ISBN 978-1-59698-773-9 Crippled America: How to Make America Great Again (2015), ISBN 978-1-5011-3796-9 Great Again: How to Fix Our Crippled America (2016), ISBN 978-1-5011-3800-3", "Rudi\n\"Rudi\" ni jina la wimbo ulitoka tarehe 1 Novemba, 2017 kutoka kwa msanii wa muziki wa kizaizi kipya kutoka nchini Tanzania, Rich Mavoko. Wimbo umemshirikisha msanii wa muziki wa ragga kutoka nchini Nigeria, Patoranking. Huu ni wimbo wa pili kwa Patoranking kushirikiana na msanii kutoka katika ngome ya WCB. Awali alifanya na Diamond Platnumz katika Love You Die uliotoka 1 Septemba, 2017. Ambamo Diamond alikamia kisawasawa ushirikishwaji wake katika wimbo huo.\nWimbo huu wa Rudi ni ushirikiano wa watayarishaji wawili mahiri Abby Daddy akiwa na S2Kizzy. Video ya wimbo huu imeongozwa na Mr. Moe Musa ambaye ndiye aliyeongoza kazi nyingine ya WCB kama vile Halellujah (2017) na Bum-Bum (2014). Wimbo ulitambulishwa kama sauti mnamo tarehe 25, Oktoba, 2017 na kuja kutolewa rasmi mnamo tarehe 1 Novemba, 2017.", "Jet Li\nKwa upande wa Marekani, Jet Li alianza kucheza kama adui katika filamu ya Lethal Weapon 4 kunako mwaka wa 1998, na kwa upande wa filamu alizocheza Marekani kwa mara ya kwanza na kuwa kama nyota kiongozi ilikuwa katika Romeo Must Die ya mwaka wa 2000.", "Thugs Get Lonely Too\nToleo la awali la \"Thugs Get Lonely Too\" limechukua sampuli ya wimbo wa \"If I Was Your Girlfriend\" wa Prince. Jina la wimbo pia linafana kabisa na kibao kiitwacho 'Gigolos Get Lonely Too' w The Time, uliotungwa na Prince.", "50 Cent\nMnamo mwaka 2003 50 Cent alianzisha Studio yake iitwayo G-Unit Records, ambayo iliingiza Marapa maarufu kama vile Young Buck, Lloyd Banks, na Tony Yayo, kitu ambacho kilipelekea kupata uhasama na chuki nzito na baadhi ya wasanii nchini marekani, moja kati ya wasanii hao ni Ja Rule, The Game, na Fat Joe.\nPia 50 Cent alikuwa akiibia masuala ya uigizaji na kuonekana kwenye baadhi ya filamu zenye kuhusu albamu yake na filamu illitwa \"Get Rich or Die Tryin\" na akashiriki pia kwenye filamu ya \"Iraq War\" na filamu ya \"Home of the Brave\" iliyotoka mwaka 2006.", "Hakuna matata\nJambo, Jambo Bwana, habari gani? Mzuri sana!", "In da Club\n\"In da Club\" ni wimbo wa hip hop ulioimbwa na rapa 50 Cent kutoka kwenye albamu yake ya kwanza ya kibiasha, \"Get Rich or Die Tryin'\". Wimbo ulitayarishwa na Dr. Dre kwa ushirikiano wa Mike Elizondo. 50 Cent, Dr. Dre, na Elizondo wameutunga wimbo huu. Wimbo ulitolewa mwishoni kabisa mwa mwaka wa 2002 ukiwa kama wimbo kiongozi wa albamu na ulipata sifa nzuri katika medani ya muziki.", "Jacqueline Ntuyabaliwe\nmwaka 2016 Jacqueline ilizinduliwa \"MOLOCAHO\" na Amorette, brandi na kuweza kushinda tuzo ,brandi hiyo ilizinduliwa viwandani na kampuni yake Amorette.", "Black or White\n\"Black or White\" ilikuwa single ya kwanza kuchukuliwa kwenye albamu ya Michael Jackson ya \"Dangerous\", imetoka tarehe 11 Novemba katika mwaka wa 1991. Single hii ilipata kusifiwa kwamba ni wimbo bora wa rock uliouza sana kwenye miaka ya 1990. \"Black or White\" ni mchanganyiko wa hard rock, na rap.", "Die Welt\nDie Welt ni gazeti la kuchapishwa kila siku la Ujerumani. Gazeti hili huchapishwa na kampuni ya Axel Springer AG.", "Kinyarwanda\nMuraho = Habari gani?", "Ready or Not\nRais wa Marekani Barack Obama ameuita \"Ready or Not\" kama wimbo wake kipenzi kutoka katika orodha ya 10 bora iliyotolewa na \"Blender\" mnamo mwezoi wa Agosti katika mwaka wa 2008.", "Bendera ya Kenya\nBendera ya Kenya (English:Flag of Kenya) ilizinduliwa rasmi tarehe kumi na mbili Desemba, mwaka wa 1963.", "C U When U Get There\n\"C U When U Get There\" ni wimbo wa Coolio akiwa na 40 Thevz. Wimbo mzima umechukua sampuli ya Johann Pachelbel katika tungo yake ya Canon katika D Major. Wimbo ulitolewa mnamo mwaka 1997 ukiwa kama single ya kwanza kutoka katika albamu ya Coolio \"My Soul\". \"C U When U Get There\" vilevile ulionekana kama \"kibwagizo\" cha filamu ya mwaka wa 1997, Nothing to Lose. Wimbo ulishika nafasi ya 12 kwenye chati za \"Billboard\" Hot 100 na nafasi ya 7 kwenye chati za Hot Rap Tracks nchini Marekani. Vilevile ulipata mafanikio kimataifa, kwa kushika nafasi ya 10 katika kibao za Ulaya. Wimbo umechukua sampuli ya Pachelbel's Canon kwa kila kitu. Rekodi hii ilizadiwa dhahabu na RIAA.", "Get Rich or Die Tryin' (album)\nJamii:Albamu za 2003 Jamii:Albamu za 50 Cent Jamii:Albamu za Aftermath Entertainment Jamii:Albamu zilizotayarishwa na Eminem Jamii:Albamu zilizotayarishwa na Denaun Porter Jamii:Albamu zilizotayarishwa na Rockwilder Jamii:Albamu zilizotayarishwa na Dr. Dre Jamii:Albamu za kwanza Jamii:Albamu za Shady Records Jamii:Albamu za Interscope Records", "Get It Poppin\n\"Get It Poppin'\" ni wimbo wa rapa Fat Joe akimshirikisha rapa wa po - Nelly na umetoka mnamo mwaka 2005. Wimbo umetolewa ukiwa kama wimbo wa pili kutoka katika albamu yake ya All or Nothing, ya kwanza yake ilikuwa \"So Much More,\" na kuthubutu kushika nafasi ya 9 katika chati za Billboard. Video yake yaonekana watu wakiwa katika kumbi ya starehe ya usiku na Nelly anaonekana wakiwa kifua wazi huku akiwa anachezacheza na Fat Joe. Waliouza sura katika video alikuwa T.I., Ying Yang Twins, Boyz N Da Hood, na Layzie Bone.", "Ulevi\n...maladaptive alcohol use with clinically significant impairment as manifested by at least three of the following within any one-year period: tolerance; withdrawal; taken in greater amounts or over longer time course than intended; desire or unsuccessful attempts to cut down or control use; great deal of time spent obtaining, using, or recovering from use; social, occupational, or recreational activities given up or reduced; continued use despite knowledge of physical or psychological sequelae.", "Ready or Not\n\"Ready or Not\" ni single ya pili kutoka kwa kundi zima la muziki wa hip hop The Fugees. Wimbo ulitoka mwaka wa 1996 kutoka katika albamu ya \"The Score\". Wimbo umechukua sampuli ya wimbo wa \"Boadicea\" wa Enya, na kiitikio chake kinatokana na wimbo wa \"Ready or Not Here I Come (Can't Hide from Love)\" wa The Delfonics. Wimbo ulitumia majuma mawili kwenye chati za UK Singles Chart mnamo mwezi wa Septemba katika mwaka wa 1996.", "Get Heavy\nGet Heavy ni jina la kutaja albamu ya pili ya Lordi.", "Doris Mollel\nMnamo mwaka 2015 Doris Foundation ilizinduliwa rasmi na Doris akiwa mkurugenzi wa taasisi.", "50 Cent\nAmeanza kupata umaarufu zaidi baada ya kutoa albamu yake ya \"Get Rich or Die Tryin\" na 'The Massacre'.\n50 Cent amepata Plantinam nyingi na mafanikio makubwa katika albamu zake mbili, aliuza nakala zaidi ya Mil. 21 kwa hesabu ya dunia nzima.", "If I Can't\n\"If I Can't\" ni wimbo wa nne na wa mwisho kutoka katika albamu ya kwanza ya msanii/rapa wa Kimarekani 50 Cent, \"Get Rich or Die Tryin'\". Wimbo huu umepata chati hafifu sana katika orodha ya nyimbo za 50 Cent zilizotolewa nchini Marekani. Ulitolewa mwaka wa 2003, na kushika nafasi ya 76 katika maingizo ya 100 bora. Wimbo ulitungwa na 50 Cent na kutayarishwa na Dr. Dre, kwa ushirikiano wake mpiga kinanda Mike Elizondo.", "Rudi\nHuu ndio wimbo wa mwisho Rich Mavoko kutolewa chini ya lebo ya WCB. Baada ya gumzo kwa takriban miezi mitatu minong'ono ya chini kwa chini ya kwamba Rich katoka WCB.", "21 Questions\nNyimbo ilitungwa na mwenyewe 50 Cent, K. Risto, J. Cameron, na V. Cameron kwa ajili ya albmu ya 50 Cent ya Get Rich or Die Tryin' ya mwaka wa 2003. Single ilitoka mnamo mwaka wa 2003 ikiwa kama single ya pili kutoka katika albamu hiyo, na ikawa single yake ya pili kushika nafasi ya kwanza katika nchi ya Marekani baaada ya \"In Da Club\"." ]
66
Tanzania ina muziki aina ngapi?
[ "Tanzania\nUtamaduni wa Watanzania ni pamoja na utaraab. Muziki ana nyimbo za kitaraab ndizo muhimu sana kwa nchi nzima, hasa visiwani na pwani. Pia kuna miziki ya Kinyarwanda, dansi kama intore n.k." ]
[ "Swahili Rap from Tanzania\nSwahili Rap from Tanzania ni jina la albamu ya nyimbo mchanganyiko za muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Tanzania. Albamu imetoka tarehe 15 Novemba mwaka wa 2004 chini ya kampuni ya Kijerumani maarufu kama Out Here Records. Albamu imetayarishwa na studio mbalimbali jijini za jijini Dar es Salaam. Albamu ina nyimbo kali kibao za miaka ya 2003 na 2004 yenyewe. Nyimbo hizo kama vile Zali la Mentali, Wauguzi, Alikufa kwa Ngoma, Asali wa Moyo na nyingine kibao. Hii ndiyo albamu ya kwanza ya nyimbo mchanganyiko za Bongo Flava kupata kutumiwa na mashirika ya kimataifa.", "Utamaduni wa Nigeria\nmuziki wa Nigeria ni pamoja na aina ya nyimbo za jadi na muziki maarufu , baadhi ya miziki hii inajulikana duniani kote. Wanamuziki wa jadi hutumia vyombo mbalimbali, kama vile ngoma za Gongon s.", "Muziki wa Jibuti\nJibuti ina matabaka mawili: Kabila na Somali, pamoja na Wafaransa na Waarabu.\nMuziki wa Afra unafanana na Muziki wa Ethiopia ukiwa na ikiwa na vipengele vya Muziki wa Kiarabu. Historia ya muziki huu imenakiliwa katika ushairi na nyimbo za watu wake ambao ni wafugaji wa kuhamahama na inaanzia maelfu ya miaka iliyopita hadi wakati Jibuti ikifanya biashara za kubadilishana ngozi kwa manukato na Wamisri, Waindia na Wachina. Ngano za Kisomali hujumuisha ushairi, na Methali, nyingi zao zikiwalenga mitume wa Sufi na maisha yao.\nFasihi ya watu wa Afar imeundwa kimuziki na ni ya aina nyingi, ikijumisha nyimbo za Ndoa, Vita, kusifu na kujigamba.", "Gilberto Gil\nGil alianza safari yake ndefu ya muziki akipiga muziki aina ya Bossa Nova kisha baadaye akaanza kuandika nyimbo za kuchochea mwamko na ufahamu wa kisiasa na kijamii.", "Hafsa Kazinja\nHafsa Kazinja ni mwanamuziki wa muziki aina ya Zouk kutoka nchini Tanzania. Anafamika zaidi kwa kibao chake mashuhuri cha Presha, vilevile na Mashallah. Hasfa anatoka katika kikundi cha THT (yaani Tanzania House of Talent) cha mjini Dar es Salaam, Tanzania.", "Zilipendwa (WCB)\nTarehe 7 Novemba, 2017, bendi ya muziki wa dansi nchini Tanzania maarufu kama Msondo Ngoma Baba ya muziki wafungua mashtaka ya madai kwa WCB kutumia sehemu ya saxafoni la wimbo wa Ajali katika wimbo huu mwishoni bila ruhusa kutoka kwa wamiliki halali wa melodi ile. Msondo wanataka walipwe pesa za Kitanzania milioni 300 kutoka kwa WCB. Msondo wametoa barua hiyo kupitia wanasheria wao Maxim Advocates kwenda kwa WCB huku nakala kwenda Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) pamoja na COSOTA. Hadi sasa hakuna mrejesho kutoka kwa WCB. Habari hii imechukuliwa kwa aina yake katika tasnia ya muziki Tanzania. Wapo waliona ni sawa kudadi haki yao hao Msondo. Wapo waliona hii ni kuendekea njaa na sifa tu katika muziki.", "Jazz\nJazz ni aina ya muziki iliyoanzishwa nchini Marekani. Jazz huunganisha tabia za muziki ya Kiafrika pamoja na tabia za muziki ya Ulaya.", "Kuku Mashuhuri Tanzania\nTanzania ina aina nyingi za kuku wa kigeni nao wamegawanyika katika mafungu makubwa matatu.", "Muziki wa klasiki\nTangu mwaka 1970, watunzi wengi wa muziki huo wakaanza kutofautisha baina ya muziki wa rock, pop, classical, asili, jazz na muziki wa dunia, kwa kutoa aina mpya za mitindo ili kuendeleza fani nzima ya muziki.", "Rhythm na blues\nRhythm na blues (kutoka Kiing. R&B au RnB) ni aina ya muziki uliomaarufu, ambao umejumlisha muziki wa jazz, gospo, na athari nzima za muziki wa blues. Kwa mara ya kwanza, muziki huu ulikuwa ukiimbwa na wasanii Waamerika Weusi. Lakini baadaye ulipendwa na watu wengi na kufikia hata kutumika na makundi na tamaduni za watu mbalimbali duniani.Lakini pia muziki huu ni muziki unaoonekana kuwa mgumu sana kwa wasanii wengi sana maana ukiangalia wengi wanachanganya na Zuku hivyo kupoteza uhalisia wake", "Blues\nBlues ni aina ya muziki ambao ulianzia nchi Marekani mwanzoni kabisa mwa karne ya 20. Uliazishwa na watumwa wa zamani wa Kiafrika waliokuwa wakiimba nyimbo za kiroho, nyimbo za utukufu, na muziki wa chant.", "Machozi Jasho na Damu\nJay amerudia tena kuwataja waasisi wa muziki wa aina mbalimbali (Ugly Faces, KU Crew, Mr. 2, Taff B., Mack D, John Dillinger]], Tough B) nchini Tanzania katika wimbo wa \"Yataka Moyo\". Katika wimbo huo, Jay anajaribu kutazama kazi ya sanaa na kipato wanachokipata wasanii katika kazi hiyo. Halkadhalika anataja wasanii walioisukuma gemu ya muziki wa Tanzania katika kiwango cha sasa.", "Lecrae\nTarehe 8 Oktoba 2008, albamu ya tatu,\"Rebel\", iliingia chati ya \"Billboard\"\nkatika nafsi ya 60 ikiwa imenunuliwa na watu 9,800.Albamu hiyo ilipata sifa nyingi kabisa kwa muziki ya aina hiyo.Jesusfreakhideout ilisema,\"Katika ulimwengu wa muziki,albamu hii ni nzuri sana\nkuliko muziki ya aina hiyo yenye utasikia katika stesheni za redio.Katika utunzi wa nyimbo, Lecrae ana ujumbe mzuri kwako na mtu yeyote.\" Albamu hii,hivi sasa(Januari 2010),imekuwa katika chati ya\n\"BillBoard\" ya albamu za Kikristo kwa wiki 66.", "Johann Sebastian Bach\nJohann Sebastian Bach (21 Machi 1685 hadi 28 Julai 1750) alikuwa mtungaji wa muziki na mpiga piano na kinanda cha filimbi kutoka nchi ya Ujerumani. Alitunga muziki za aina zote, iliyotumika kidini na kidunia. Alitunga muziki kwa kwaya, chombo kimoja cha muziki, na kundi la wanamuziki (\"okestra\"). Ingawa hakuunda mifumo mipya ya muziki, alitajirisha mitindo ya muziki kule Ujerumani; tena alitohoa mitindo ya muziki ya Kiitalia na ya Kifaransa.", "Ghana\nNchi ya Ghana ina aina nyingi ya muziki wa kitamaduni na wa kisasa. Midundo hii hutofautiana kutoka kabila moja hadi jingine na eneo moja hadi lingine. Muziki wa Ghana unajumuisha aina nyingi tofauti za vyombo vya muziki kama vile ngoma za talking drum ensembles, zeze ya goje na kinubi cha koloko, muziki wa jumba la mfalme, ikiwemo miziki ya Waakan wa Atumpan, wa Waga wa mitindo ya Kpanlogo, na marimba ya gogo itumikayo katika muziki wa Waasonko. Aina za muziki ambazo zinajulikana zaidi kutoka Ghana ni Afro-jazz ambayo ilifumbuliwa na msanii Mghana Kofi Ghanaba.[33] na aina ya awali zaidi ya muziki wa kidunia inayoitwa Highlife. Highlife ni muziki uliochimbuka katika miaka ya mwisho ya 1800 na miaka ya mwanzo ya 1900 na kuenea kote Afrika Magharibi hasa Sierra Leone na Nigeria. Katika miaka ya 1900 aina mpya ya muziki ilizinduliwa na vijana huku ikiunganisha jinsi za Highlife, Afro-reggae, Dancehall na Hiphop. Mchanganyiko huu huitwa Hiplife. Wasanii wa Ghana kama vile mwimbaji wa R&B na Soul Rhian Benson, mwimbaji wa Highlife Kojo Antwi na msanii wa rap Tinchy Stryder (Kwasi Danquah) wamekuwa na ufanisi wa kimataifa.", "Sacrosanctum Concilium\nKuhusu aina za muziki mtaguso umekubali aina yoyote inayoweza kulingana na utakatifu wa ibada; vilevile umeruhusu ala mbalimbali za kufaa.", "Simba Wanyika\nJamii:Vikundi vya muziki vilivyoanzishwa mwaka wa 1968 Jamii:Makundi ya muziki wa Rumba Jamii:Makundi ya muziki ya Tanzania Jamii:Makundi ya muziki ya Kenya", "Music of the Sun\nMusic of the Sun ni albamu ya kwanza kutoka kwa mwimbaji wa Kibarbados - Rihanna. Ilitolewa mnamo tar. 30 Agosti 2005 ikiwa chini ya Def Jam Records nchini Marekani. Rihanna amefanya kazi na watayarishaji kadhaa kwa ajili ya albamu yake wa kwanza, hasa ni Carl Sturken na Evan Rogers ambaye ametayarisha na kuanda nyimbo nyingi kutoka katika albamu hii. Kimuziki, imechanganya aina kadhaa za muziki wa Kikaribi hasa kwa ajili ya asili ya maisha yake ya awali. Albamu ilitolewa ikiwa na ripoti mchanganyiko ambao wengine wanaponda na kusema kwamba bado msanii mdogo katika nyanja za R&B na kuna wengine wanadai kwamba albamu ina athira kubwa ya Kikaribi.", "Rock and roll\nRock and Roll ni aina ya muziki wa rock ulioanza kuundwa kunako miaka ya 1950 na 1960. Muziki wa rock unajumlisha aina nyingi za muziki kama vile muziki wa country, muziki wa folk, muziki wa kwayac, nyimbo za kazi, blues na jazz. ", "Radio Tanzania Dar Es Salaam\nRadio Tanzania Dar Es Salaam ni chombo cha taifa la Tanzania ambacho hutoa burudani za aina mbalimbali kama vile muziki, ngoma za utamaduni, mpira, mashairi, taarabu na taarifa mbalimbali za kitaifa na kimataifa. Redio hii ina ofisi kuu yake Barabara ya Nyerere (zamani ilijulikana kama Pugu Road), Dar es Salaam.", "Muziki wa Tanzania\nKatika kipindi hiki, muziki wa kizazi kipya na muziki wa dansi ulibadilka sana. Vijana wengi walikuja katika muziki wa dansi. Lakini Bongo Flava imepiga hatua maradufu. Msanii kama Diamond Platnumz ameupeleka mbali muziki wa Tanzania nje ya nchi kwa kiasi kikubwa kupita msanii yeyote yule tangu muziki huu ulipoanza. Katika kipindi hiki, rundo la wasaniii wa muziki wa Bongo Flava (walibatizwa kama wabana pua), waliongezeka na kuigana kupita kiasi. Watayarishaji wa muziki huu waliongeza maradufu. Bongo Flava, ilianza kuchukua miundo mbalimbali ya miziki mingine kama vile Kwaito, Zouk Rhumba, Singeli, Raggae, muziki wa Nigeria hasa waliiga na kadhalika. Na ndicho kipindi kilichoanza na ushamba katika muziki, hasa kwa kuanzisha makundi-makundi kati ya msanii na msanii.", "Women Jazz Band\nMwaka 1965 kundi jipya la muziki la aina yake lilianzishwa Tanzania. Lilikuwa ni bendi ya akina mama watupu. Akina mama hawa, wengine wakiwa wafanya kazi wa Government Press walijichagua na kuanza kuhudhuria mafunzo ya muziki chini ya yule mwanamuziki mahiri Mzee Mayagilo aliyekuwa kiongozi wa shughuli za muziki katika Jeshi la Polisi. ", "Singeli\nAidha, katika sherehe, kama kumtoa mtoto (vibeseni), ndoa na sikukuu za kidini muziki huo ndio unapigwa kwa asilimia 95 ukilinganisha na muziki mwingine kama nyimbo za injili, dansi na bongo fleva. Hivyo basi miaka ijayo muziki wa singeli utakuwa juu zaidi ya muziki wa aina nyingine nchini Tanzania kwani hata redio na vyombo vya habari vingine vimeupokea vizuri muziki huo mfano mzuri ni radio EFM.", "Professor Jay\nJay na HBC walitoa albamu ya kwanza iitwayo 'Funaga Kazi' mwaka 2000. Albamu hiyo inaaminika kwamba ilileta mapinduzi makubwa sana ya muziki wa Hip Hop nchini Tanzania. Albamu hii yenye ujumbe mzito ina nyimbo kama 'Chemsha Bongo' na 'Mamsapu' ambazo zilichangia kufanya muziki wa 'Bongo Flava' kuwa wa kila rika na kupewa heshima. Kabla ya hapo muziki huo ulionekana kuwa ni muziki wa wahuni.", "Muziki wa Tanzania\nBendi zilitunga nyimbo, ambazo zilipitia katika kamati iliyozipitia kabla ya kuruhusiwa kurekodiwa na kurushwa hewani. Kwa upande wake serikali nayo ikatengeza idhaa tatu katika redi ya taifa, External Service, iliyokuwa ikitangaza kwa lugha ya Kiingereza na lugha ya nchi za kusini zilizokuwa zikipigania uhuru wakati huo, kukaweko na Idhaa ya Biashara ambayo ilikuwa na vipindi vikitangaza biashara mbalimbali vilivyodhaminiwa na wafanya biashara, katika idhaa hii, uliweza kusikia muziki kutoka popote duniani, lakini kwa makusudi kabisa kukaweko na idhaa ya Taifa ambako huku ungesikia kila aina ya muziki wanchi hii, pamoja na kuwa kwa sasa kuna vituo vya radio zaidi ya 80 vimeshindwa kufanya kazi hii iliyoweza kufanywa na kituo kimoja cha Taifa, bahati mbaya kituo hicho cha Taifa kimeshapoteza muelekeo wake huu uliokuweko awali.", "G-funk\nG-Funk, au Gangsta-Funk, ni kiji aina au aina ndogo ya muziki wa hip hop ambayo imeibukia katika mtindo wa West Coast Gangsta rap mwanzoni mwa miaka ya 1990.", "Muziki wa Tanzania\nMuziki uliyokuwa unakubalika kwa makabila yote ulianza, aina ya muziki maarufu kama Beni ilienea katika ukanda mzima wa Afrika Mashariki. Waafrika waliokuwa wamesoma nao wakaanza kuwaiga Wazungu hata kuanza kuteengeneza Club zao ambazo zilikuwa maarufu kama Dancing Clubs. Katika club hizi kulipigwa nyimbo mbalimbali kwa kutumia santuri na wapenzi kucheza muziki katika staili mbalimbali kama vile Cha cha, Tango, Foxtrot, swing, waltz nakadhalika.", "Dancehall\nDancehall ni aina ya muziki maarufu sana huko nchini Jamaica na ulimwenguni kwa ujumla. Aina hii ya muziki ilianza mwishoni mwa miaka ya 1970 na kuendelezwa vyema katika miaka ya 1980 na kuja kutambulikana ulimwenguni kote kwenye miaka ya 1990. Muziki huu ni kombinenga la muziki wa reggae, hip hop, na R&B.", "Watengwa\nWatengwa ni kundi la muziki kutoka Arusha, Tanzania. Kundi hili lilianzishwa mnamo mwaka 1999 \nkatika eneo linaloitwa Kijenge Juu. Kundi hili ni maarufu kwa aina ya muziki wao wa Hard Hip Hop,\nRagga, Reggae, African Culture nchini Tanzania na pia inasemekana kuwa ni kundi linalobeba wasanii\nwengi kuliko kundi lolote la hip hop Afrika.", "Waluo\nPhilemon Sarungi - Mtaalam wa udaktari na kiongozi nchini Tanzania Gidi Gidi Maji Maji - Wasanii wa muziki aina ya hip hop Tom Mboya - mwanasiasa aliyeuawa 1969 Barack Obama - mwanasiasa na Rais wa Marekani ni mwana wa baba Mjaluo Jaramogi Oginga Odinga - mwongozi wa Wajaluo kutoka wakati wa kupigania uhuru, mwanzilishaji wa vyama vya KANU, KPU, FORD-Kenya na makamu wa rais wa kwanza Raila Amolo Odinga - mwana wa Jaramogi na mwanasiasa muhimu wa kitaifa Robert Ouko - hayati waziri wa mambo ya kigeni aliyeuawa 1990.(Hayati Daniel owino missiani mwanamuziki mtanzania aliyewahi kuwania tuzo la muziki aina ya rhumba huko nchini kenya alifariki mwaka 2006 nakuzikwa huko shirati rorya.wajaluo wengine maarufu ni Riaga ogalo.ni mwenyekiti wa wajaluo afrika mashariki,baadhi ya wazee maarufu wilayani rorya ni kama,mtemi odemba kagose wa buturi.mtemi ochuodho awino wa kamageta. pia mzee mirimbo oreck ragare huyu ndiye mzee wa kwanza kamageta kununua baiskeli, alikufa mwaka 1999 huko kamageta ktk kijiji cha osiri.daniel opanga oole wa kamageta(babake balozi joshua watson opanga) alifariki mwaka 1992 ndiye mwanzilishi wa kanisa la menonite huko kamageta kata ya roche rorya,wengine ni timothy apiyo waziri mkuu mstaafu wa watanzania." ]
42
Sungura hubeba mimba kwa miezi ngapi?
[ "Sungura wa Kizungu\nJike la sungura wa Kizungu huwa hawatoi mayai mpaka baada ya kupandwa. Uterasi yao imegawanyika sehemu mbili hivyo kupandana kunaweza kuhusisha matendo kadhaa ambayo yaweza kusababisha mimba kadhaa kutoka kwa madume tofauti. Dume la sungura huwa hawawezi kutoa shahawa wakati wa joto la kiangazi (majira ya joto). Sungura jike hubeba mimba kwa siku 30 mpaka 32 na kuzaa watoto 12 – 13. Wakati mwingine huweza kufikisha watoto 18." ]
[ "Uzazi wa mpango kwa njia asilia\nKama mwanamke hajapata mimba baada ya miezi michache, wafanye tendo la ndoa siku ya kwanza na ya pili ya ute wa uzazi halafu wapumzike mpaka siku ya nne baada ya kilele. Waendelee hivyo kwa miandamo michache. \nKama mwanamke hajapata mimba baada ya miezi michache, wafanye tendo la ndoa pia siku ya tatu ya ute wa uzazi halafu wapumzike mpaka siku ya nne baada ya kilele. Waendelee hivyo kwa miandamo michache. ", "Sungura wa Kizungu\nSungura wakiwa wanyama wanaowindwa kwa ajili ya chakula huchunguza kwa makini kubwa makazi yao mapya na pindi na pindi wanapopata vitisho / hatari hutulia kimya na kutazama kwa makini. Uoni wa sungura ni uwanja mpana na kwa kiasi kikubwa huweza hata kuona juu ya vichwa vyao hata akiwa ndani sungura atatafiti hali ya anga.", "Utoaji mimba\nMbinu nyingine lazima zitumike tu kuavya mimba katika miezi mitatu ya pili ya ujauzito. Uzazi wa kabla ya kipindi kuwadia unaweza kuchochewa kwa kutumia dawa zinazotoa mimba; hii inaweza kuambatanishwa na kudungwa sindano iliyo na mchanganyiko wa toni ya misuli (haipatoni) pamoja na chumvi au urea kwenye majimaji ya amnioni.", "Sungura\nSungura wanapatikana maeneo mengi sana na wameyazoea, na kuzaliana kwa haraka, hivyo hata uwindaji wao hauthaminiwi sana kama kwa wanyama wengine. Wakati fulani huko Amerika ya Kaskazini walitumika sana kwa chakula, lakini kutokana na kiasi kidogo cha mafuta kwenye nyama zao hawatumuki kama chakula cha kutegemewa, Sungura huandaliwa, huchomwa kama kawaida au kuliwa pamoja na mkate ama la.", "Nyati wa Afrika\nMajike huzaa mara ya kwanza baada ya miaka mitano, baada ya kipindi cha mimba miezi 11.5. Ndama waliozaliwa hufichwa katika vichaka kwa wiki chache za kwanza wakitunzwa na mama zao kabla ya kujiunga na kundi kuu. Ndama huwa katikati ya kundi kwa ajili ya usalama. ", "Aina ya damu\nWanawake wengi wajawazito hubeba mimba yenye aina ya damu tofauti na yao, na mama huweza kutengeneza kingamwili dhidi ya chembechembe nyekundu za damu za mimba. Wakati mwingine kingamwili hizi za mama ni IgG, imunoglobulini ndogo, ambayo inaweza kuvuka kondo na kusababisha hemolosia ya chembechembe nyekundu za damu, ambayo kwa upande mwingine inaweza kusababisha ugonjwa wa hemolitiki wa mtoto mchanga, ugonjwa wa hesabu ya chini ya damu ya mimba unaoweza kuwa hafifu au kali. ", "Sungura\nSungura ni wanyama wa jenasi mbalimbali katika familia Leporidae ambao wanaweza kukimbia kwa kasi sana. Sungura wa Ulaya (\"Lepus europaeus\") anaweza kwenda hata mpaka km 72 kwa saa. ", "Mbuzi-kaya\nMara nyingi mbuzi-kaya hubeba mimba na kuzaa mapacha kadhaa.", "Sungura wa Kizungu\nSungura wa Kizungu ni chakula kwa watu wa Ulaya, Australia na Nyuzilandi. Sungura bado ni maarufu na wanauzwa katika bucha za huko Uingereza, japo si mara nyingi sana kwenye masoko makubwa. Sungura pia walikuwa wanauzwa sana huko Australia na tangu uzuke ugonjwa wa sungura huko watu waliacha tena kula nyama ya sungura. Wanapotumika kwa chakula sungura huwindwa kwa ajili ya nyama. Sungura huwindwa kwa bunduki, na wakati mwingine mbwa husaidia kuwinda. Maeneo mengine sungura hufugwa maalumu kwa ajili ya nyama. Sungura huuwawa kwa kugongwa kwa nguvu kisogoni kabla ya kuchinjwa. Nyama ya sungura ni chanzo kizuri cha protini. Inaweza kutumiwa kw namna nyingi ambavyo nyama ya kuku ingeweeza kutumika. Kuna baadhi ya wapishi husema nyama ya sungura huwa na radha ya kuku. Sungura pia ni chakula kizuri kwa chatu hasa kwa huko Bama ambapo chatu hula sungura mmoja kila baada ya wiki moja. Ngozi ya sungura ikiwa na manyoya, hutumika nguo na mavazi mbalimbali kama vile kofia. Sungura waitwao angora hufugwa kwa ajili ya nywele zao ndefu zxitumikazo kwa ajili ya nguo kama vile kondoo wa sufu. Sungura pia huzalisha mbolea nzuri, na mkojo wao wenye naitrojeni ya kutosha hufanya milimao izae vizuri sana. Maziwa ya sungura pia huwa dawa na kirutubisho kizuri sana kwasababu ya kiwango kikubwa cha protini.", "Mimba kuharibika\nKisababishi kikuu cha mimba kuharibika katika miezi mitatu ya kwanza huwa matatizo ya kromosomu ya kiinitete / kijusi, hali ambayo husababisha angalau 50% ya kutoka kwa mimba mapema. ", "Vidonge vya kupanga uzazi vilivyochanganywa\nKama uandaaji wa kidonge ni wa awamu moja, inawezekana kutopata damu hii na bado uendelee kukingwa dhidi ya utungaji wa mimba kwa kuruka kumeza dawa za kipoauongo na kuanza moja kwa moja kumeza dawa za pakiti inayofuata. Kujaribu kufanya hivi wakati wa kumeza dawa zilizotengenezwa kutumiwa awamu mbili au tatu hubeba ni hatari iliyoongezeka ya kutoka damu isiyotarajiwa katikati ya mzunguko wa kumeza vidonge jambo ambalo halitakikani. Hata hivyo, jambo hili haliongezi hatari ya kupata mimba.", "Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba\nWasipotumia vifaa vya kizuia mimba katika kipindi ambapo mimba inaweza kutungwa, wanandoa wanalazimika waache ngono. Ila kupunguza uwezekano wa kupata mimba uwe chini ya 1% kwa mwaka, katika kila mzunguko kuna takriban siku 13 ambapo lazima waache ngono.[29] Kwa wanawake wenye mzunguko unaobadilikabadilika sana - kama ilivyo kawaida wakati wa kunyonyesha, karibu na hedhi kwisha kabisa, au kwa wenye magonjwa ya homoni (kama vile Polycystic ovary syndrome = PCOS) kuacha kujamiiana au kutumia vizuizi kunaweza kuhitajika miezi mfululizo. Wengi hawana motisha au nidhamu ya kutosha wafanye hivyo kwa muda mrefu. Wanaposhindwa kufuata masharti, ni rahisi kupata mimba isiyopangwa. Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba haukingi dhidi ya maradhi ya zinaa.[30]Ndiyo maana inafaa zaidi kati ya watu ambao ni waaminifu wao kwa wao, kama watu wa ndoa.", "Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba\nKwa sababu ya viwango vya juu vya mimba kutoka mapema sana (25% za mimba hupotea katika wiki sita za kwanza tangu hedhi ya mwisho ya mwanamke), mbinu zinazotumika kuchunguza uwepo wa mimba zinaweza kusababisha upendeleo katika viwango vya utungaji mimba. Mbinu tofauti na hizo zinaweza kuonyesha viwango vya chini kwa sababu tu huwa zinakosa kugundua mimba zilizotoka mapema. Utafiti mmoja nchini China kati ya wanaoshiriki ngono bila mpangilio ili kutungisha mimba ulitumia mbinu bora za kugundua mimba, ikapata kiwango cha 40% cha kutungwa mimba kwa kila mzunguko katika kipindi cha utafiti cha miezi 12.[46]", "Depo-Provera\nDepot medroxyprogesterone acetate (DMPA) ni njia ya homoni ya kukinga mimba iliyo na projesteroni pekee inayodumu kwa muda mrefu na huweza kuondolewa mwilini,ambayo hudungwa kila baada ya miezi 3. Ni mchanganyiko mzito wa sindano ya depoti ya pregnane 17α-hydroxyprogesteroni- iliyotolewa kwa progestini ya \"medroksiprogesteroni acetate.\"", "Sungura wa Kizungu\nWakiwa ndani hasa ya visanduku vyao sungura huwekewa malazi na wanasesere pia. Huongezewa nyingine kwa ajili ya mzoezi kama vile kuwekewa mandhari waliyopaswa kuwa nayo mwituni. Sungura huweza kuchangamana kwa urahisi hata na wanyama wengine. Huweza kuishi hata na mbwa, paka na wakati mwingine hata nungu bandia. Sungura hawafai sana watoto wadogo, sababu watoto wadogo wa binadamu huwa hawawezi kuwa watulivu kama vile sungura wanavyohitaji. Sungura wana mifupa laini sana migongono mwao na hutakiwa kushikiliwa tumboni mwao wakati wa kunyanyuliwa.", "Hongwe\nLiche ya makazi yao ya kibahari hongwe wana matohoaji kadhaa ya kipekee ambayo yanawaweka tofauti na samaki wengine kama kambale. Takriban spishi zote ni samaki wanaoatamia mayai kinywani. Madume hubeba idadi ya makumi machache ya mayai madogo kinywani kwa muda wa miezi miwili hadi wachanga watoke na kuanza kuogelea peke yao.", "Krismasi\nLakini kadirio la tarehe 25 Desemba lina asili katika Misri pia. Kuanzia mwaka 200 (kwa mara ya kwanza katika maandishi ya Sixtus Julius Africanus) wataalamu nchini Misri waliona tarehe 14 Nisan ya kalenda ya Kiyahudi ambayo ni sawa na 25 Machi ilikuwa tarehe ya kufa kwake Kristo na pia siku ya utungaji mimba wake. Kwa kuongeza miezi tisa ya mimba inajitokeza 25 Desemba kama tarehe ya kuzaliwa.", "Nguruwe\nKuzaa huwezekana msimu wote wa mwaka katika ukanda wa tropiki, lakini hasa misimu ya mvua. Nguruwe jike huweza kubeba mimba akiwa na miezi 8 mpaka 18. Kisha ataanza kupata hedhi kwa muda wa siku 21 kama hajashika mimba. Nguruwe dume huweza kushiriki masuala ya uzazi katika umri wa miezi 8 mpaka 10.[2] Kwa uzao mmoja, wanaweza kupatikana watoto 6 mpaka 12, waitwao vibwagala. Kisha kuachishwa kunyonya, familia mbili au tatu zinaweza kuishi pamoja mpaka msimu mwingine wa kujamiiana.", "Nguruwe-kaya\nKuzaa huwezekana msimu wote wa mwaka katika ukanda wa tropiki, lakini hasa misimu ya mvua. Nguruwe jike huweza kubeba mimba akiwa na miezi 8 mpaka 18. Kisha ataanza kupata hedhi kwa muda wa siku 21 kama hajashika mimba.", "Taya (mnyama)\nWakati wa majira ya kuzaa, kutoka Agosti hadi Desemba, dume hupanda majike wote wanaogawana bara lake naye. Kwa kawaida majike mmoja au wawili tu wamo katika kila bara. Baada ya muda wa mimba wa miezi 6–7 mtoto mmoja azaliwa. Pindi ya wiki 8–10 za kwanza jike huficha mwanake katika manyasi mazito ambapo atalala bila kujongea akikaribiwa. Mamake hurudi mara kwa mara kumnyonyesha. Watoto hulikizwa baada ya miezi 4–5. Majike hupevua baada ya miezi 10, madume baada ya miezi 14.", "Mende\nMende jike wakati fulani huonekana wakibeba vipeto vya mayai. Kipeto cha mayai cha mende wa Ujerumani hubeba mayai takribani 30 mpaka 40, membamba na yaliojipanga vema. Mayai hujiangua kutokana na mgandanizo wa hewa na kutoa tunutu ambao huendelea kupata hewa na huwa wengi na wagumu baada ya masaa manne kipindi cha mpito wakati wakuanguliwa na wakati wa kuvua. Magamba yaliozeeka ulizua hisia kwamba hao ndio mende zenuzenu kwanzia mende kukua mpaka kufikia umbo kamili huchukuwa miezi mine na kwaujumla mende huishi kwa muda wa mwaka mmoja tu. Mende jike anaweza kutaga mpaka mara nane katika maisha yake na kuzalisha mende takribani 300 hadi 400. Baadhi ya spishi mende hupewa mimba mara moja tu na kutaga mayai yake yote.", "Sungura wa Kizungu\nSungura ni wanyama wala nyasi wanaokula hasa nyasi na majani ya magugu. Kwa bahati mbaya chakula chao huwa na kiai kikubwa cha selulozi ambayo ni kazi sana kumeng’enya. Sungura hutatua tatizo hili kwa kutoa aina mbili za kinyesi; kimoja huwa kigumu na kingine huwa kilaini na chenye kunata. Hiki cha pili laini na chenye kunata huliwa tena. Hivyo sungura hula vinyesi vyao badala ya kuwa kama ng’ombe na wanyamma wengine ambao hula baada ya kucheua ili kumeng’enywa ili kupata virutubisho zaidi.", "Pomboo\nPomboo hujamiiana kwa vipindi vifupi lakini mara nyingi katika muda mfupi. Hubeba mimba kwa muda wa miezi 11-12 kutokana na spishi husika. Pomboo huanza mapema sana kuwa tayari kujamiiana katika umri mdogo, na umri hasa wa kukomaa kijinsia hutofautiana kutoka spishi moja mpaka nyingine.", "Twiga\nTwiga hubeba mimba kwa siku 400 mpaka 460 ambapo mara nyingi huzaa ndama mmoja hatimaye japo mapacha hutokea mara kadhaa. Mama hujifungua akiwa amesimama na kende lake hukatika mtoto aangukapo ardhini. Ndama akizaliwa huwa na urefu wa mita 1.8. Baada ya masaa kadhaa, mama huweza kukimbia japo ndani ya wiki mbili za mwanzo ndama hutumia muda mwingi kujilaza chini huku akilindwa na mama yake. Ndama huyo huwa hatamaniwi kuwindwa na simba, chui, fisi au mbwa mwitu. Ni asilimia 25–50 tu ya twiga ndiyo hufikia kuwa wakubwa. Twiga hukadiriwa kuishi miaka 20–25 mwituni na miaka 28 wakifugwa nje ya mbuga.", "Udhibiti wa uzazi\nUdhibiti wa uzazi huboresha kuishi kwa mtoto katika ulimwengu unaokua kwa kuacha nafasi kubwa kati ya mimba. Katika idadi hii ya watu matokeo huwa mabaya zaidi mama anaposhika mimba kati ya miezi kumi na nane ya baada ya kujifungua. Kuchelewesha mimba baada ya kuharibika kwa mimba hata hivyo hakuonekani kupunguza hatari na wanawake hushauriwa kujaribu kushika mimba katika hali hii wakati wowote wanapokuwa tayari.", "Sabreena Hamza Sungura\nSabreena Hamza Sungura ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CHADEMA. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 2015 – 2020.", "Ndovu\nTembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82.", "Ufahamu wa uwezo wa kushika mimba\nKinyume chake, wakitaka mtoto wa kike wanatakiwa kufanya tendo la ndoa siku ya kwanza ya ute wa uzazi. Halafu wapumzike mpaka siku ya nne baada ya kilele. Waendelee hivyo kwa miandamo michache. Kama mwanamke hajapata mimba baada ya miezi michache, wafanye tendo la ndoa siku ya kwanza na ya pili ya ute wa uzazi halafu wapumzike mpaka siku ya nne baada ya kilele. Waendelee hivyo kwa miandamo michache. Kama mwanamke hajapata mimba baada ya miezi michache, wafanye tendo la ndoa pia siku ya tatu ya ute wa uzazi halafu wapumzike mpaka siku ya nne baada ya kilele. Waendelee hivyo kwa miandamo michache. Kwa njia hiyo mbegu zenye kromosomu Y zitakufa kabla ya kuweza kuungana na kijiyai, na hivyo zitabaki zenye kromosomu X kuwa na nafasi hiyo. Siku nzuri ya kupata mtoto wa kike ni kufanya tendo la ndoa siku mbili kabla ya kilele.", "Chui\nChui jike mwenye mimba hutafuta pango, uwazi kwenye miamba, mti wenye uwazi mkubwa au kichaka kwaajili ya kuzalia na kuweka makazi ya mwanzo. Watoto hufungua macho yao baada ya siku 10. Manyoya ya watoto huwa marefu na mengi kuliko ya wakubwa. Ndani ya miezi mitatu watoto huanza kuwafuata mama zao nje kuwinda. Wakiwa na umri wa mwaka mmoja chui wana uwezo wa kujilisha wenyewe lakini hubaki na mama zao kwa miezi 18 mpaka 24." ]
77
Filamu ya Sarafina ilitengenezwa mwaka upi?
[ "Sarafina!\nFilamu ilitolewa tarehe 18 Septemba 1992. Filamu ilifanywa Soweto na Johannesburg, Afrika ya Kusini. Darrell Roodt aliiongoza, kutumia maudhui ya Mbongeni Ngema na William Nicholson. Leleti Khumalo bado alicheza kama Sarafina, pamoja na Whoopi Goldberg kama Maria Masombuka na Miriam Makeba kama Angelina.", "Leleti Khumalo\nKatika 1985, alijaribu kuigiza katika kimuziki cha Mbongeni Ngema, ambayo baadaye ikawa filamu kubwa ya kimataifa ya Sarafina!, Ngema aliiandika sehemu ya uongozi ya Sarafina hasa kwa Khumalo. Sasa ameolewa na Mbongeni Ngema. Lakini kumekuwa na madai kwamba yeye amekuwa na mahusiano kadhaa na wanawake tofauti, ikiwa ni pamoja na marehemu Brenda Fassie.", "Leleti Khumalo\nMwaka 1992, alishirikiana sambamba na Whoopi Goldberg, Miriam Makeba na Yohana kani katika filamu ya Darrell James Roodt ya Sarafina Ambayo ilikuwa filamu kubwa zaidi kutolewa Barani Afrika. Kwa mara nyingine, Khumalo aliteuliwa kwa tuzo la Image pamoja na Angela Bassett, Whoopi Goldberg na Janet Jackson." ]
[ "Leleti Khumalo\nIliyoigizwa kulingana na fujo za vijana katika mji wa Soweto mwaka 1976, Sarafina inaelezea hadithi ya msichana wa shule ambaye haogopi kupigania haki zake na kuwahamasisha wenzake kusimama katika maandamano, hasa baada ya mwalimu wake, Maria Masembuko (Whoopi Goldberg) kutiwa mbaroni.", "Boyz n the Hood\nBoyz n the Hood ni filamu ya hood ya mwaka wa 1991, ambayo imetungwa na kuongozwa na John Singleton. Kwenye filamu anacheza nyota Ice Cube, Cuba Gooding, Jr., Morris Chestnut, Nia Long, Angela Bassett, Regina King, na Laurence Fishburne. Filamu inaenelezea maisha ya kimaskini ya South Central (sasa hivi South) Los Angeles, California, na ilitengenezwa na kutolewa wakati wa majira ya joto ya mwaka wa 1991. Ilipata kushindanishwa kote kwenye \"Mwongozaji Bora\" na \"Mchezo Bora\" wakati wa ugawaji wa Tuzo za Academy mnamo mwaka wa 1991, na kumfanya Singleton mtu mdogo sana ambaye amepata kushindanishwa akiwa kama Mwongozaji na Mwafrika-Mwamerika wa kwanza kuchaguliwa kuwa kama Mwongozaji bora kwenye tuzo hizo.", "Cherehani\nCherahani ya kwanza ilitengenezwa mwaka 1790 na mwingereza Thomas Saint na baadaye ikaendelea kuboreshwa ili iwe ya kufana Zaidi na kufanya kazi kwa haraka zaidi.", "Makumbusho ya reli Nairobi\nInjinitreni \"Hugh F Marriott\" ilitengenezwa mwaka 1951 nchini Uingereza na kampuni ya W.G. Bagnall katika mji wa Stafford. Ikafanya kazi kwa Magadi Soda Company hadi 1970.", "Imperative programming\nLugha ya COBOL (mwaka 1960) na ya Basic (mwaka 1964) zikawa lugha za kwanza ambazo watengenaji wao walijaribu kufanya lugha zifanane na lugha ya Kiingereza. Miaka ya sabini Niklaus Wirth alitengeneza lugha ya Pascal. Dennis Ritchie alitengeneza lugha ya C. Mwaka 1978 timu ya watengenezaji wa kampuni ya Honeywell ilianza kutengeneza lugha ya Ada, specification yake ilitengenezwa mwaka 1983 na ilitengenezwa upya mwaka 1995 na miaka 2005-2006. Mnano miaka ya themanini kuliongezeka mvutio wa object-oriented programming.", "Riksho\nRiksho ya kwanza ilitengenezwa mwaka wa 1869 nchini Japani. Taarifa zinatofautiana kama mvumbuzi alikuwa mwenyeji wa Japani au mgeni kutoka Ulaya au Marekani . ", "Leleti Khumalo\nAlikuwa muigizaji msaidizi katika filamu ya muziki ya Mbongeni Ngema ya Magic at 4 AM ambayo ilikuwa wakfu wa Muhammad Ali. Alikuwa muigizaji mkuu katika filamu nyingine ya Ngema, Mama (1996), ambayo ilifanya ziara ya Ulaya na Australia. Mwaka 1997, aliigiza pia katika Sarafina 2.", "The Matrix\nFilamu ilitolewa rasmi mnamo tarehe 31 Machi ya mwaka wa 1999 katika nchi ya Marekani, na ni toleo la kwanza kutoka katika mfululizo wa filamu za Matrix. Filamu imepokea Tuzo nne za Academy.", "Kona\n'Kona ni jina la filamu iliyotoka mwaka 2015 kutoka nchini Tanzania. Ndani yake anakuja Salim Ahmed (Gabo), Riyama Ally na Christian Komba. Filamu imeongozwa na Gabo na kutayarishwa na Christian Komba huku picha ikipigwa na Landline Production. Filamu ilitengenezwa mwaka 2014 huko wilayani Songea katika mkoa wa Ruvuma na kusambazwa na Steps Entertainment kwa Tanzania nzima. Muswaada andishi umeandikwa na Patrick Komba. Filamu inaelezea umuhimu wa malezi ya pande zote mbili za wazazi ili kusimamia elimu imara kwa mtoto.\nKijana Zazuba aliyekuwa anaishi na mjomba wake, hakuwa na kipato kikubwa lakini malengo yake yalikuwa mwanaye asome hadi Chuo Kikuu. Kwa mujibu wa sheria mtoto huyo iliamriwa akae na mama yake. Mtoto huyo anakosa uangalizi mzuri katika masomo yake na umakini katika malezi maana muda mwingi bibi na mama yake wana shughuli nyingi za biashara ya pombe. Siku moja mtoto anakunywa pombe ya gongo iliyoachwa na mlevi, mwishowe anapoteza maisha kwa ungalizi mdogo.", "Leleti Khumalo\nMwaka 1993, Khumalo alitoa albamu yake ya kwanza, Leleti and Sarafina", "Fake Pastors\n'Fake Pastors ni jina la filamu iliyotoka mwaka 2007 kutoka nchini Tanzania. Ndani yake anakuja Adam Kuambiana (Petro), Vicent Kigosi (Ray), Jokette Mwegelo (Jach), Lisa Jensen (Lisa), na Blandina Chagula. Filamu imeongozwa na Gervas Kasiga na kutayarishwa na Eric Shigongo na Kigosi. Filamu inahusu wachungaji wawili wanaotumia shida za waumini wao kama sehemu ya mtaji wa kuwataka aidha kimapenzi au kifedha. Filamu inaonesha tabia za baadhi ya wachungaji bandia waliokithili katika ulimwengu wetu. Kuambiana ameonesha uwezo wa hali ya juu katika filamu hii. Tangu hapa kajitengenezea baadaye yenye nuru na kutambulika katika ulimwengu wa filamu za Tanzania. Filamu imetengenezwa na Doroth Kipeja na kampuni yake ya Tripod Media.\nFilamu inaanza na vijana wawili watanashati Patrick (Vicent Kigosi) na Petro (Adam Kuambiana) waliohitumu Chuo Kikuu cha Mzumbe, Morogoro. Akilini mwao wanaelewa kitu kimoja tu walichoambiwa tangu utotoni kuwa ukiwa na shahada masiha yatakuwa rahisi jambo ambalo baada ya kuingia mitaani wanakuta ni tofauti kwani hakuna ajira na maisha yanakuwa magumu sana kwao.", "Underclassman\nUnderclassman ni filamu ya mwaka wa 2005 ambamo ndani yake ina mapigano na vichekesho. Filamu imeongozwa na Marcos Siega, na waigizaji wake ni Nick Cannon, Shawn Ashmore, Roselyn Sánchez, Kelly Hu, Hugh Bonneville, na Cheech Marin. Filamu ilitolewa mnamo tar. 2 Septemba 2005, awali ilipanga itolewe kunako mwaka wa 2004.", "Michael Radford\nMichael alifahamika duniani wakati wa filamu yake ‘’1984’’, ambayo ni fashi=oni yake ya filamu kutokana na riwaya ya George Orwell, \"Nineteen Eighty-Four\", ambayo nyota wake ni John Hurt kama Winston Smith, na pia filamu ambapo Richard Burton aliigiza kwa mara ya mwisho. Filamu hii ilitengenezwa jijini London mnamo Aprili hadi Juni 1984, wakati na mahali ambapo riwaya hiyo ilitengenezewa.", "Anthony Anderson\nMnamo mwaka wa 2009, Anderson amepata kuongoza filamu-fupi ya dakika moja akishirikiana na nyota mwenzi wa kwenye Law & Order,Jeremy Sisto. Filamu hiyo ilitengenezwa kwa ajili ya Responsibility Project, mpango unganishi wa NBC na Liberty Mutual Group. Kipande hicho kilirushwa wakati wa onyesho la Law & Order katika kipengele cha \"Reality Bites\" mnamo tar. 16 Oktoba 2009.", "Alvin and the Chipmunks\nAlvin and the Chipmunks ni filamu ya vichekesho-muziki ya mwaka wa 2007 kutoka nchini Marekani. Filamu inachanganya wahusika, live-action, yaani, wahusika binadamu na CGI, yaani, vikatuni. Filamu ipo katika kipindi cha msimu wa siku-kuu za mwishoni mwa mwaka. ", "Leleti Khumalo\nInvictus (2009) .... Mary Faith's Corner (2005) .... Faith Hotel Rwanda (2004) .... Fedens Yesterday (2004) .... Yesterday Cry, the Beloved Country (1995) (kama Leleti Kumalo) .... Katie Sarafina! (1992) .... Sarafina Voices of Sarafina! (1988)", "Chumo\nChumo ni jina la filamu iliyotoka mwaka 2011 kutoka nchini Tanzania. Ndani yake anakuja Hussein Mkiety (Juma), Jokate Mwegelo (Amina), Jafari Makati (Ali), Yusuph Mlela (Yustus). Filamu imetayarishwa na Tanzania na kufadhiliwa na JHU-CCP kupitia Mfuko wa Rais wa kutokomeza Malaria na USAID. Chumo inawasilisha ujumbe wa malaria wakati wa ujauzito kupitia hadithi ya kusisimua ya wapenzi wenye bahati mbaya. Wawili wanapendana lakini vikwazo vya kifamilia vinapelekea mapenzi yao kuwa magumu. Filamu imeongozwa na Jordan Riber ambaye ni mtoto wa John Riber ambaye ndiye aliyetayarisha filamu ya Neria (1993) na kuongoza Yellow Card (2000). Filamu ilipata kuchaguliwa katika kinyang'aro cha tuzo za ZIFF huko Zanzibar mwaka 2011. Vilevile filamu imeshinda tuzo ya \"Golden Hamster\" huko nchini Marekani katika tamasha la filamu la Northwest Projections, mjini Washington. Filamu ilipata kuteuliwa katika matuzo kemkem kwa kipindi cha mwaka mmoja tangu kutolewa. Filamu ilizinduliwa rasmi tarehe 4 Juni, 2011 katika viwanja vya BIAFRA ambapo kulikuwa hakuna kiilingilio.", "The Matrix\nThe Matrix ni filamu ya kupigana na yenye uzushi wa kisayansi, ambayo ilitengenezwa mwaka wa 1999. Filamu ilitungwa na kuongozwa na Wachowski Brothers. Washiriki wakuu katika filamu hii ni Keanu Reeves, Laurence Fishburne, Carrie Anne Moss na Hugo Weaving. Mhusika mkuu katika filamu hii ni Neo (Keanu Reeves).", "Alvin and the Chipmunks: The Squeakquel\nAlvin and the Chipmunks: The Squeakquel ni filamu ya mwaka wa 2009 kutoka nchini Marekani. Filamu inachanganya wahusika (live-action, yaani, wahusika binadamu na CGI wahusika vikatuni. Filamu ina mandhari ya ucheshi na ni mfululizo wa pili baada ya \"Alvin and the Chipmunks\". Ndani yake anakuja Jason Lee, Zachary Levi, Anjelah Johnson, Wendie Malick, na David Cross. Filamu hii pia imeshirikisha sauti za nyota maarufu kama vile Justin Long, Matthew Gray Gubler, Jesse McCartney, Christina Applegate, Anna Faris, na Amy Poehler.", "Elizabeth Michael\nMnamo Mwaka 2015 Alizindua Filamu Yake ya pili Kama mtayarishaji iitwayo Mapenzi Ya Mungu .Filamu Hio ilionyeshwa katika Tamasha La Filamu La Kimataifa La Zanzibar (ZIFF) na mwaka 2016 ilishinda Filamu Bora Afrika Mashariki katika Tuzo Za Africa Magic Viewers Choice Awards zilizofanyika Lagos Nigeria.", "Leleti Khumalo\nLeleti Khumalo (aliyezaliwa 1970 katika mji wa KwaMashu, kaskazini mwa Durban, Afrika Kusini) ni mwigizaji mwenye asili ya Zulu wa Afrika Kusini ambaye alicheza nafasi ya kuongoza katika filamu ya Sarafina ! sambamba na Whoopi Goldberg na aliyeigiza katika filamu za Hotel Rwanda na Yesterday .", "Vigae vya mwandiko wa kikabari\nMifano ya kale kabisa iliyohifadhiwa ilitengenezwa mnamo mwaka 3000 KK[1].", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Darubini\nDarubini ya kwanza inayojulikana ilitengenezwa mwaka 1608 na Mholanzi Hans Lipperhey aliyekuwa fundi miwani akaunganisha lenzi mbili katika bomba.", "Pikipiki\nPikipiki ya kwanza iliyotumia petroli na mfumo wa internal combustion iliitwa Daimler Raitwagen na ilitengenezwa na Wajerumani wawili kwa jina Gottlieb Daimler na Wilhelm Maybach mwaka 1885 nchini Ujerumani. ", "Leleti Khumalo\nKhumalo aliigiza katika filamu za mwaka wa 2004 za Hotel Rwanda na Yesterday , ambazo Yesterday iliteuliwa kupata tuzo la Academy Award 2005 katika kitengo cha \"Filamu bora zaidi isiyo ya kiingereza\". Yesterday pia hivi karibuni ilipata tuzo la Filamu bora Zaidi katika masherekeo ya Kimataifa ya Filamu ya India ya Pune na ilipokelewa vizuri katika masherekeo ya Kimataifa ya Filamu ya Venice na Toronto.", "Norplant\nNorplant ni aina ya uzazi wa mpango ambayo ilitengenezwa na Baraza la Idadi na iliidhinishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1983 nchini Ufini ambapo ilitengenezwa na kampuni ya madawa ya Leiras Oy.", "Trinitrotoluene\nTNT ilitengenezwa mara ya kwanza mwaka 1863 na mwanakemia Mjerumani Julius Wilbrand[1] aliyeitumia kama dawa ya rangi njano. Baadaye tabia ya kilipukaji ilitambuliwa lakini haikutumiwa kwa miaka kadhaa kwa sababu vilipukaji kali zaidi kama dainamiti na nitrogliserini zilipendelewa.[2]" ]
66
Je,albamu ya Money Monday ina nyimbo ngapi kwa jumla?
[ "Money Mondays\n\"Money Monday\" ni jina la albamu ya kwanza kutoka kwa msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Tanzania, Vanessa Mdee. Albamu imetoka rasmi tarehe 15 Januari, 2018, japo utangazaji wake ulianza tangu Novemba na mnamo tarehe 29 Disemba 2017 aliita vyombo vya habari kwa ajili ya utambulisho na uzinduzi huku akisindikizwa na Mohombi kutoka Sweden.[1] Januari 20, 2018 alikutana na mashabiki wake pale Mlimani City na kuwauzia albamu hii huku akitia saini katika kava za albamu. Baadaye Jux akaja na kununua albamu 25 kuahidi kuzigawa kwa watu wake wa karibu.[2] Albamu ina jumla ya nyimbo 18, huku 2 zikiwa kama nyimbo za ziada. Albamu imetayarishwa na watayarishaji mbalimbali lakini kazi kubwa ya kuiboresha ilifanywa na Chizan Brain kupitia B. Records. Nyimbo zilizotolewa kama singo ni pamoja na Cash Madame, Kisela na Bounce. Nyimbo zilizowekwa kama za ziada ni pamoja na No Body But Me aliyoimba na KO na Juu aliyoimba na Jux.[3] Wasanii walioshirikishwa kutoka katika albamu ni pamoja na Mohombi kutoka Sweden, Konshens kutoka Jamaica, Cassper Nyovest na K.O wote kutoka Afrika Kusini. Wengineo ni kina Joh Makini, Mr P, Reekado Banks, G Nako, Tahpha, Tammy Flavor, Maua Sama na Jux. Kwa upande wa utayarishaji albamu kuna mkono wa Nahreel, Kelly, S2Keezy, Tahpha, Bob Manecky, Breezy na Lufah." ]
[ "Swahili Rap from Tanzania\nSwahili Rap from Tanzania ni jina la albamu ya nyimbo mchanganyiko za muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Tanzania. Albamu imetoka tarehe 15 Novemba mwaka wa 2004 chini ya kampuni ya Kijerumani maarufu kama Out Here Records. Albamu imetayarishwa na studio mbalimbali jijini za jijini Dar es Salaam. Albamu ina nyimbo kali kibao za miaka ya 2003 na 2004 yenyewe. Nyimbo hizo kama vile Zali la Mentali, Wauguzi, Alikufa kwa Ngoma, Asali wa Moyo na nyingine kibao. Hii ndiyo albamu ya kwanza ya nyimbo mchanganyiko za Bongo Flava kupata kutumiwa na mashirika ya kimataifa.", "Pepe-Kalle\n\"Pepe-Kalle\" ni albamu iliyotoka mwaka 1989 kutoka kwa mwanamuziki wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pepe Kalle. Albamu ina nyimbo nne tu basi. Hii ni albamu ya tano ya Pepe Kalle kuitengeneza akiwa nchini Ufaransa baada ya Soucis Ya Likinga, Kwasa Kwasa, Moyibi na L'Argent Ne Fait Pas Le Bonheur!. \nZifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.", "Vielezi\nHivyo basi kielezi ni neno au maneno yanayotoa taarifa ili kukujulisha kuwa kitenzi hicho kimetendeka namna gani au jinsi gani, mara ngapi au kwa kiasi gani, wapi, lini na kwa sababu gani.", "God Will Make a Way - Kali ya Don Moen\n\"God Will Make a Way - Kali ya Don Moen\" ni albamu ya muziki wa kuabudu ya kikristo iliyorekodiwa na Don Moen. Albamu ya kikristo ya kisasa ina baadhi ya nyimbo za Moen zilizopata umaarufu sana Ilitolewa na Uaminifu / Hosana!Muziki / Sony tarehe 13 Mei 2003. Albamu pia inakuja na ofa ya DVD yenye nyimbo tano, nyimbo zote zilioneshwa huku watu wakiona na kusikia kwa uhalisia(papo kwa hapo)", "The Karaoke Collection\nThe Karaoke Collection ni DVD ya kundi la Westlife iliyotoka nchini Hong Kong pekee mnamo mwezi Januari mwaka 2009. DVD hii ina nyimbo zao za video zipatazo 22, mingi kati ya hiyo ni nyimbo zalizofanya vizuri katika chati mbalimbali za nchini Uingereza na maeneo mengine. DVD ya Karaoke ndiyo iliyokuwa DVD ya kwanza kutengenezwa kutoka kwa kundi la hili katika kampuni ya Sony.", "Cash Money Records\nCash Money Records ni studio ya kurekodia muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Studio ilianzishwa mnamo mwaka wa 1991, ikiwa chini ya ndugu wawili - Bryan \"Baby\" Williams na Ronald \"Slim\" Williams. \nCash Money Records", "Fasihi simulizi\nKatika jamii isiyo na uandishi ni wazi kuwa hakuna fasihi andishi. Hata hivyo kila jamii ina hazina ya mapokeo yapokelewayo mdomo kwa mdomo—kwa mfano utenzi, ngano au nyimbo za jadi—hivyo vyote ni sehemu za fasihi simulizi.", "Soucis Ya Likinga\n\"Soucis Ya Likinga\" ni albamu iliyotoka mwaka 1986 kutoka kwa msanii wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pepe Kalle. Albamu ina nyimbo nne tu, mbili upande A na mbili upande B. Hii ni albamu ya kwanza ya Pepe Kalle kuitengeneza akiwa nchini Ufaransa. Katika albamu Pepe Kalle katunga nyimbo mbili tu—Soucis Ya Likinga na Dadou 2e Version. Wakati Perfusion ukiwa utunzi wake Misha Mfum na Simplicité imetungwa na Solo Sita. ", "Asilimia\nMfano: Jumla ya maksi kwenye mtihani ni 250. Sheria inasema ya kwamba 65 % ni sharti kwa kupita. Je maksi ngapi zinahitajika ila kupita mtihani huu? ", "Money Mondays\nIli kutimiza jina la albamu, karibia nyimbo nyingi za Nessa zimetolewa siku ya Jumatatu, yaani, Monday. Nyimbo hizo ni pamoja na Kisela, Hawajui, na albamu imetolewa tarehe 15 Januari, 2018 nayo ni Jumatatu. Vilevile mapato atakayopata kupitia wimbo wa \"Pumzi ya Mwisho\" atagawana nusu kwa nusu na familia ya Mbaraka Mwinshehe. Nessa kabla ya kutoa albamu, aliiendea familia ya marehemu Mbaraka Mwinshehe na kuomba ridhaa ya kutumia sehemu ya kionjo cha nyimbo hiyo. Gawio kwa familia hiyo ni kwa manunuzi ya kidijitali, yaani uuzwaji kwa njia ya mtandaoni.[5]", "Logi\nMfano:\nSwali: Tunahitaji kuzidisha mara ngapi namba \"2\" ili tufikie 8?\nJibu: 2 x 2 x 2 = 8; kwa hiyo tunazidisha \"2\" tatu za kufikia 8.\nKwa hiyo logi ni 3.", "Et L'Empire Bakuba – Untitled\n\"Pepe Kalle\" (albamu hii haina jina) ni albamu iliyotoka mwaka 1982 kutoka kwa msanii wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pepe Kalle. Albamu ina nyimbo nne tu, upande A 2 na upande B 2. \nZifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.", "Vielezi vya idadi\nVielezi vya idadi au kiasi (alama yake ya kiisimu ni: E) ni maneno yanayofafanua kielezi kuwa kitenzi hicho kitemetendeka mara ngapi au kwa kiasi gani. Idadi hiyo inaweza kuwa idadi ya jumla au idadi kamili/halisi.", "Makaveli &amp; Dillinger Don't Go 2 Sleep\nMakaveli & Daz Dillinger Don't Go 2 Sleep - Tha EP ni albamu ya kutaja nyimbo mchanganyiko iliyotolewa na Makaveli na Daz Dillinger. Albamu hii ina nyimbo nane. Kuna matoleo mengine mawili ya (bootleg) ambayo pia ni EP, lakini toleo halisi lina nyimbo nane tu. Albamu ilitolewa mnamo tar. 24 Desemba, 2001 kupitia studio ya D.P.G. Recordz. Albamu zilirekodiwa katika studio za Death Row Records kati ya mwaka wa 1995-96 kwa ajili ya mradi wa Tupac na Boot Camp Clik \"One Nation\". Baadaye wakati Daz ameondoka Death Row, amekwiba baadhi ya nakala kuu ya kiasi cha nyimbo za Tupac ambazo hazijatolewa, baadhi zinaweza kusikika katika albamu hii ya EP. Wimbo pekee ambao umeachwa bila kuguswa na Daz ni \"They Don't Give a Fucc About Us\", lakini hizo nyingine alifanya remixi zake na kujiingiza kwenye nyimbo ambamo awali hakuwepo.", "Royal Media Services\nRoyal Media services Ltd ni kampuni ya magazeti, televisheni, na redio, nchini Kenya.Kwa Kiswahili,Kiingereza na Lugha ya mama.Inachapisha magazeti ya Citizen Weekend na Monday Special\nRoyal Media ina stesheni moja ya televisheni, Citizen Tv na stesheni zao za redio ni kumi na nne.", "Babyface\nAlbamu yake ya \"Playlist\" ina nyimbo nane za kurudia kutoka kwa wasanii wengine na mbili nyimbo zake. Ilitolewa mnamo tarere 18 Septemba, 2007. Hii ndio albamu ya kwanza kutolewa upya na lebo ya Mercury Records label.", "Omarion\nIliripotiwa kuwa siku ya 20 Julai, Omarion alikuwa ametia mkataba na Studio ya Lil Wayne Young Money chini ya rekodi ya Cash Money . Lakini fununu zilianza kuenea kwamba Omarion ilikuwa imefukuzwa kutoka studio kutokana na kinachovuja ya wimbo \"I Get It In\" akimshirikisha Lil Wayne. Tarehe 21 Agosti 2009 Omarion aliandika katika tovuti ya Twitter kwamba hakuwa imefukuzwa kutoka Rekodi ya Young Money kwa kuvuja wimbo, lakini kuwa aliomba kuachiliwa kutoka rekodi hiyo kutekeleza mipango mingine na hakuna mgogoro na kampuni wala hawakukosana. Hii iliungwa mkono fungate moja baadaye katika mahojiano na Lil Wayne yeye mwenyewe alisema kwamba ilikuwa tu 'uamuzi wa kibiashara ' na Omarion aliuliza kwa ajili ya kutolewa kwa bora ya kazi yake. Tangu kutoka rekodi ya Young Money, Omarion aliunda kikundi chake mwenyewe StarWorld Entertainment na kuunda mkataba na EMI wakati akiuimba tena wimbo \"I Get It In\", ambayo sasa ulishirikisha msanii wa Atlanta Gucci Mane. \"Hoodie\" utakuwa wimbo wa kufuatia pamoja na Jay Mwamba ", "Legal Drug Money\nLegal Drug Money ni albamu ya kundi la muziki wa hip hop la The Lost Boyz, ikiwa imeshirikisha wanachama kama vile Mr. Cheeks, Freaky Tah, DJ Spigg Nice na Pretty Lou. Alabmu imeshirikisha vibao vikali vitano ikiwa pamoja na wimbo kama \"Renee\", \"Music Makes Me High\", \"Jeeps, Lex Coups, Bimaz & Benz\", \"Get Up\" na \"Lifestyles Of The Rich & Shameless\". Makeke yao imeifanya alabmu kufikirika kama ni albamu ya hip hop ya juu sana kwa maiaka ya 90.", "Maria Tebbo\n\"Maria Tebbo \" ni jina la albamu iliyotoka mwaka 1979 kutoka kwa msanii wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Sam Mangwana. Albamu ina nyimbo nne tu, upande A 2 na upande B 2. Albamu ilitolewa katika muundo wa Vinyl (LP). Kazi ya utayarishwaji ilifanywa huko mjini Abidjan, Cote d'Ivoire, chini ya Internation Sam Production. Mtindo uliotumiwa humu kwa nyakati hizo uliitwa \"highlife\". Wimbo maarufu ni huohuo Maria Tebbo. \nZifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.", "Asilimia\nSasa inawezekana kugawa kiasi kingine kwa ile 1% na kuona inashika asilimia ngapi za kiasi husianifu.", "Honey (Wimbo wa Mariah Carey)\n\"Honey\" ni wimbo wa Mariah wa kumi na mbili kuwahi kufika katika nafasi ya kwanza katika chati ya Marekani ya Billboard Hot 100 na kuwa single yake ya tatu kuwahi kufika katika nafasi ya kwanza, na kumafanya kuwa msanii mwenye nyimbo nyingi zaidi kuwahi kufika katika nafasi ya kwanza, huku single zake nyingine zilizowahi kufika katika nafasi hiyo zikiwa ni pamoja na \"Fantasy\" na \"One Sweet Day\" zate za mwaka 1995, ambazo baada ya kutoka zilikaa kwa majuma matatu katika nafasi ya kwanza ya chati, yaani kuanzia tarehe 7 mwezi Septemba hadi tarehe 27, mwezi huo huo. Nafsi hii, ilikuja kuchukuliwa na wimbio wa \"Mo Money ulioimbwa na Nortorious B.I.G akishirikiana na Puff Daddy pamoja na Mase. Wimbo wa \"Honey\" ulisalia katika nyimbo arobaini bora kwa majuma kumi na nane.", "Flicker Records\nFlicker Records ni studio ya kurekodimuziki ya Kikristo ambayo ina makao yao mjini Franklin, Tennessee. Ilianzishwa na wanachama wa kundi la Kikristo la Audio Adrenaline. Hasa studio hii inalenga wasanii wanaoimba nyimbo za aina ya \"mwamba\", ingawa pia ina sehemu ya, Big House Kids,inayorekodi nyimbo za watoto za Kikristo.", "Kwasa Kwasa\n\"Kwasa Kwasa\" ni albamu iliyotoka mwaka 1988 kutoka kwa msanii wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pepe Kalle. Albamu ina nyimbo nne tu, mbili upande A na mbili upande B. Hii ni albamu ya pili ya Pepe Kalle kuitengeneza akiwa nchini Ufaransa baada ile ya Soucis Ya Likinga. \nZifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.", "Bitoto\n\"Bitoto\" ni albamu iliyotoka mwaka 1985 kutoka kwa msanii wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pepe Kalle. Albamu ina nyimbo nne tu. Na imetoka katika muundo wa Vinyl, LP. \nZifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.", "The Remixes\n\"The Remixes\" ni albamu ya kwanza yenye nyimbo za mseto kutoka kwa mwimbaji Mariah Carey, iliyotoka nchini Marekani tarehe 14 Oktoba 2003 na Columbia Records. Ni mkusanyiko wa nyimbo za Mariah Carey: CD moja ni ya nyimbo za klabu, na CD ya pili ina nyombo za hip hop pamoja na za mseto.", "Money Mondays\nHii ni orodha ya nyimbo zinazopatikana katika albamu ya \"Money Mondays\".", "Money Mondays\nMazungumzo juu ya albamu yalianza miaka mingi. Lakini tarehe19 Aprili, 2015, Vanessa alifunguka kiasi kuhusu jina la albamu na nia ya kuita hivyo katika kipindi cha \"The Playlist\" cha Times FM - katika mahojiano yake na Lil Ommy. Nessa alisema kwa vile wanamwita Vee Money, na alitaka kutengeneza albamu ambayo itaelezea pilika zake za muziki tangu alikotoka hadi sasa. Hasa ukitazamia Monday ni siku ya kwanza katika wiki za kazi, na kila mtu huenda mihangaikoni kujitafutia riziki.[4] Yeye hasa aliona kila Jumatatu, yaani, Monday, ni fursa mpya katika kubadilisha maisha yako. Halkadhalika imetumika kama sitiari ya kutokata tamaa, kwani ikiwa umekosa Jumatatu iliyopita, basi Jumatatu hii ile fursa unaweza kujaribu tena na tena. Nessa, anaona safari yake ya kimuziki inaanza rasmi baada ya kutoa albamu. Katika mahoajiano hayo, alitaja baadhi ya nyimbo zitakazo kuwepo katika albamu. Nyimbo hizo ni pamoja na Closer, No Body But Me, Come Over, Siri na Hawajui. Lakini baada ya kutoka albamu nyimbo zilizotajwa hazikuwepo zote, bali moja tu \"No Body But Me\". Nayo iliwekwa kama wimbo wa ziada ikiwa imeongozana na \"Juu\" ambayo kaimba na mpenzi wake Juma Jux.", "Released\nReleased ilikuwa albamu kutoka kwa Westlife na ilitolewa nchini Afrika Kusini pekee. Albamu hii ilitolewa rasmi tarehe 31 Machi 2005. Hii ikiwa katika ziara yao ya Face To Face \nAlbamu hii ina jumla ya nyimbo 18, ikiwa ni pamoja na rimixes ya nyimbo mbalimbali za kundi hili zilizowahi kupata umaarufu hapo kabla. Upande B wa albamu hii una nyimbo kama vile \"\n\"Don't Calm The Storm\" na \"I Won't Let You Down\" ambao ulifanya vizuri katika redio za nchini humo. Pia inajumisha toleo la Kihispana la nyimbo za I Lay My Love on You na When You're Looking Like That.", "Moyibi\n\"Moyibi\" ni albamu iliyotoka mwaka 1988 kutoka kwa mwanamuziki wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pepe Kalle. Albamu ina nyimbo sita. Hii ni albamu ya tatu ya Pepe Kalle kuitengeneza akiwa nchini Ufaransa baada ile ya Kwasa Kwasa. Baadhi ya matoleo katika muundo tofauti—moja—wapo lilitolewa nchini Zambia. Hii ni albamu ya kwanza kushirikiana na Nyboma. \nZifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii." ]
84
Mji mkuu wa Uganda ni upi?
[ "Uganda\nJina Uganda lina asili yake katika ufalme wa Buganda ulioko kusini mwa nchi pamoja na mji mkuu, Kampala." ]
[ "Wilaya za Uganda\nUganda imegawanywa katika wilaya 121 na mji mkuu wa Kampala [1] zilizosambaa katika mikoa minne.", "Vietnam\nMji mkuu ni Hanoi lakini mji mkubwa ni Mji wa Ho Chi Minh (zamani: Saigon).", "Athi River\nMji huo ni makao ya Baraza la Mji wa Mavoko na ni mji mkuu wa divisheni ya Mavoko ambayo ni sehemu ya kaunti ya Machakos. ", "Andrew Mwenda\nAndrew Mwenda ni mwandishi wa habari Uganda . Yeye alihudhuria Chuo cha Busoga Mwiri mashariki mwa Uganda kabla ya kuhudhuria Chuo Kikuu cha Makerere. Alikamatwa na kutolewa na dhamana na serikali ya Uganda kwa ajili ya \"kumiliki vifaa na kuchapisha makala ya uchochezi \". Alipata shahada ya bwana yaUchumi katika Chuo Kikuu cha London nchini Uingereza. Awali alikuwa mhariri wa siasa wa gazeti la \"Monitor\" na mwenyeji wa kipindi cha \"Andrew Mwenda Live\" katika redio ya KFM . Mwaka wa 2005, alikuwa miongoni mwa waandishi wa habari kumi na sita walioalikwa na serikali ya Uingereza kukutana na waziri mkuu Tony Blair kommande kujadili ripoti ya Tume ya Afrika.", "Janani Luwum\nLuwum alikuwa askofu mkuu wakati wa utawala wa kidikteta wa Idi Amin aliyetwaa urais wa Uganda tangu mwaka 1971. ", "Bohemia\nMji mkuu wa Bohemia ni pia mji mkuu wa kitaifa ni Praha (Kiing.: Prague).", "Mkoa wa Nyanza\nNyanza ni mkoa wa magharibi ya Kenya kando la ziwa Viktoria Nyanza. Mji mkuu ni Kisumu. Mkoa umepakana na Tanzania, Uganda halafu mikoa ya Kenya ya Magharibi na Bonde la Ufa. ", "Ngazija\nKuna takriban wakazi lakhi tatu na nusu. Mji mkuu ni Moroni ambao ni pia mji mkuu wa kitaifa.", "Busia, Uganda\nMji huu, pamoja na mji dada yake wa Busia, Kenya kando ya mpaka, ni vituo vya shughuli za kibiashara kubwa na trafiki ni nzito katika pande zote mbili. Bidhaa kutoka Uganda ni pamoja na mazao ya biashara kama kahawa, pamba na mbao zinazopelekwa katika bandari ya Mombasa nchini Kenya kwa ajili ya kuuza nje. Vyakula kama ndizi, mananasi na maembe zinazopelekwa kwa soko ya Kenya pia hupita mpakani. Kwa upande mwingine, Uganda huagiza mafuta ya petroli, bidhaa za viwandani na nyumbani kama mafuta ya kupikia, sabuni, nguo,vifaa vya elektronik na magari.\nBusia ndio mji wa shughuli nyingi sana mpakani kati ya nchi hizi mbili jirani wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Mji wa mpaka wa Malaba ulioko takribani kaskazini, ni wa pili kwa shughuli za kibiashara kati ya Uganda na Kenya katika eneo la pamoja la mpaka wao. Tazama jadwali hapa chini:", "Mayotte\nMji mkuu ni Mamoudzou tangu 1977. Mji mkuu wa zamani ni Dzaoudzi kwenye kisiwa cha Pamanzi.Kuna lugha tatu ambazo hzungumzwa kisiwani Mayotte, yaani Kifaransa (lugha rasmi), Kimaore ya Komori, na Kibushi.", "Daniel Agina\nPia alikuwa mchezaji muhimu wakati Kenya ilishinda Kombe la Castle Lager katika mji mkuu wa Dar es Salaam na pia alikuwa kwenye timu ya Kenya ambayo ilichukua nafasi ya pili dhidi ya Uganda katika mji mkuu wa Nairobi. ", "Des Moines, Iowa\nDes Moines ni jina la mji mkuu wa jimbo la Iowa nchini Marekani. Mji wa \nDes Moines ulianzishwa mnamo mwaka wa 1843 mahali ambapo Mto Raccoon na Mto Des Moines inapokutana. Mji wa Des Moines umekuwa mji mkuu wa Iowa mnamo mwaka wa 1857.", "Mji mkuu\nNigeria iliamua mwaka 1976 kuhamisha mji mkuu wa kitaifa kutoka Lagos kwenda mahali pa katikati ya nchi. \"Eneo la Mji Mkuu wa Shirikisho\" limeteuliwa. Mji mpya wa Abuja ndani ya eneo hili ukawa mji mkuu wa Nigeria mwaka 1991.", "Historia ya Uganda\nRais wa kwanza alikuwa Kabaka Sir Edward Mutesa II na waziri mkuu Milton Obote.", "Mji wa Basel\nMji wa Basel ni jina la kutaja jimbo liliopo nchini Uswisi. Iko kando ya mto Rhine. Mji mkuu wake ni Basel.", "Lira, Uganda\nLira ni mji mkuu wa Wilaya ya Lira nchini Uganda. Idadi ya wakazi wake ni takriban 98,300.", "Kisumu\nMji uko kando ya ziwa Viktoria Nyanza, una bandari kubwa ya nchi katika ziwa hilo. Mji na bandari vilianzishwa kwa jina la \"Port Florence\" mwaka 1901 wakati reli ya Uganda ilipofika huko kutoka Mombasa. ", "Kamuli, Uganda\nKamuli ni mji mkuu wa Wilaya ya Kamuli nchini Uganda. Idadi ya wakazi wake ni takriban 13,700.", "Busia, Uganda\nBusia iko katika Wilaya ya Busia, mashariki mwa Uganda, kwenye mpaka na Kenya. Mji huu ni takriban kwa barabara, mashariki mwa Kampala, jiji kubwa na mji mkuu wa Uganda. ", "Lazio\nMji mkuu wake ni Roma, ambao ni pia mji mkuu wa taifa na mji mkubwa kuliko yote nchini.", "Bungoma\nMji wa Bungoma ulianzishwa kama kituo cha reli ya Uganda katika miaka ya 1920. Bungoma ikateuliwa kama kituo cha mwisho ndani ya Kenya kabla ya kufikia mpaka wa Uganda. ", "Mbinu ya rediokaboni\nMbinu huu wa rediokaboni unaweza kutambua umri hadi miaka 50-60,000 hivi. Kama sampuli ina miaka zaidi ya hii haiwezekani kwa sababu kiasi cha 14C kimeshapungua mno kutokana na mchakato wa kuyeyuka („mbunguo nyuklia“). Kama kiwango cha mata ni kidogo mno hata nii ni tatizo. Kwa hiyo mbinu wa 14C haileti matokeo kwa swali, je umri wa chokaa mawe ni upi? kwa sababu umri huo ni miaka milioni kadhaa.", "Mbarara\nMbarara ni mji mkuu wa Wilaya ya Mbarara nchini Uganda Jumuia ya Afrika Mashariki. Idadi ya wakazi wake ni takriban 197,500. ", "East African Breweries\nMmiliki mkuu ni Diageo Plc. Uorodheshaji wa msingi wa EABL ni kwenya Soko la Hisa la Nairobi, na pia imeorodheshwa kwenye Soko la Hisa la Uganda na Soko la Hisa la Dar-es-Salaam.", "Mkoa Huru wa Hanty-Mansi\nMkoa Huru wa Hanty-Mansi ni jina la kutaja mkoa ulioko nchini Russia. Mji mkuu wake ni Hanty-Mansiysk. Mji mkubwa wake ni Surgut.", "Uganda\nRais wa kwanza alikuwa Kabaka Sir Edward Mutesa II na waziri mkuu Milton Obote.", "Mauritania\nMji mkuu ni Nouakchott. Mji wa pili na kitovu cha uchumi ni bandari ya Nouadhibou karibu na mpaka wa Sahara Magharibi.", "Idi Amin\nAmin alipandishwa cheo na waziri mkuu Milton Obote baada ya uasi wa wanajeshi katika Afrika ya Mashariki wa 1964 uliokomeshwa na askari Waingereza katika Tanganyika, Kenya na Uganda akawa makamu wa mkuu wa Jeshi aliyekuwa bado Mwingereza. Kutoka hapa alishirikiana na Obote katika hatua za kuimarisha utawala wa waziri mkuu. Wakati bunge la Uganda lilitaka utafiti kuhusu mashtaka ya Obote kushiriki katika biashara ya siri ya pembe za ndovu kutoka Kongo Obote iliamua kubadilisha katiba na jeshi la Amini lilimfukuza Mkuu wa Dola Kabaka Mutesa kwa nguvu, halafu Obote alijitangaza kuwa rais. Sasa Amin alikuwa kanali na Mkuu wa Jeshi.[15][16]", "Timothy Dennis Awany\nTimotheo Dennis Awany (alizaliwa 6 Agosti 1996) ni mchezaji wa soka wa kimataifa wa Uganda ambaye anacheza kama kiungo katika klabu ya Authority ya jiji la Kampala ambalo ni mji mkuu wa nchi.", "Papa\nPapa ni pia mkuu wa nchi huru ya Mji wa Vatikano iliyopo ndani ya mji wa Roma (ambao ni mji mkuu wa Italia)." ]
98
Mongolia ina idadi ngapi ya watu?
[ "Mongolia\nNi nchi kubwa ya 19 duniani lakini kuna wakazi wachache tuː jumla milioni 2.6 hivyo msongamano wa watu ni mdogo sana." ]
[ "Mongolia\nMongolia (kwa Kimongolia: Монгол Улс, mongol uls) ni nchi ya bara la Asia.", "Kikazakhi\nMwaka wa 2009 idadi ya wasemaji wa Kikazakh nchini Kazakhstan imehesabiwa kuwa watu karibu milioni kumi. Pia kuna wasemaji 1,250,000 nchini Uchina (2000), 500,000 nchini Urusi (2002), 992,000 nchini Uzbekistan (2010), 7700 nchini Uturuki (2014), 3000 nchini Uajemi (1982), na kuna Wakazakh 106,000 nchini Mongolia (2010) ambao wengi wao huongea Kimongolia ya Halh lakini.", "Ulaanbaatar\nJamii:Miji Mikuu Asia Jamii:Miji ya Mongolia", "Vielezi\nHivyo basi kielezi ni neno au maneno yanayotoa taarifa ili kukujulisha kuwa kitenzi hicho kimetendeka namna gani au jinsi gani, mara ngapi au kwa kiasi gani, wapi, lini na kwa sababu gani.", "Kievenki\nKievenki ni lugha ya Kitungusi nchini Uchina, Urusi na Mongolia inayozungumzwa na Waevenki. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kievenki nchini Uchina imehesabiwa kuwa watu 11,000. Pia kuna wasemaji 4800 nchini Urusi (2010) na 1000 nchini Mongolia (1992). Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kievenki iko katika kundi la Kitungusi ya Kaskazini. Nchini uchina Kievenki huandikwa na alfabeti ya Kimongoli. Nchini Urusi, Kievenki imeandikwa na alfabeti ya Kikirili tangu 1937.", "Kiuyghur\nKiuyghur ni lugha ya Kiturki nchini Uchina, Kazakhstan, Uzbekistan, Mongolia na Uturuki inayozungumzwa na Wauyghur. Ni lugha rasmi katika jimbo la Xinjiang, nchini Uchina. Mwaka wa 2010 idadi ya wasemaji wa Kiuyghur nchini Uchina imehesabiwa kuwa watu zaidi ya milioni kumi. Pia kuna wasemaji 191,000 nchini Kazakhstan (2009) na 1000 nchini Mongolia (1982). Idadi ya wasemaji nchini Uturuki na Uzbekistan haujulikani. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiuyghur iko katika kundi la Kiturki ya Mashariki.", "Kirai\nKirai kielezi: ni neno moja au zaidi ambayo yanafanya kazi ya kielezi yaani kutoa taarifa zaidi kuhusu kitenzi au tendo kirai kielezi hutoa taarifa zinazojibu maswali kama vile lini,wapi,kwa vipi,na mara ngapi", "Asilimia\nMfano: Jumla ya maksi kwenye mtihani ni 250. Sheria inasema ya kwamba 65 % ni sharti kwa kupita. Je maksi ngapi zinahitajika ila kupita mtihani huu? ", "Mongolia\nSekta ya kisasa ya biashara iko hasa kwenye mji mkuu.", "Mongolia\nat UCB Libraries GovPubs at Curlie from the BBC News at Encyclopædia Britannica Wikimedia Atlas of Mongolia", "Asia ya Kaskazini\nWengine wanahesabu Mongolia humo.", "Lugha ya taifa\nKigezo cha idadi ya watumiaji, Lugha ya Taifa ina idadi kubwa ya watumiaji, kwa mfano, nchini Tanzania lugha ya Kiswahili inatumiwa na idadi kubwa ya watu katika mawasiliano yao wakati lugha rasmi ina idadi ndogo ya watumiaji, kwa mfano, lugha ya Kiingereza inatumiwa na watu wachache.", "Logi\nMfano:\nSwali: Tunahitaji kuzidisha mara ngapi namba \"2\" ili tufikie 8?\nJibu: 2 x 2 x 2 = 8; kwa hiyo tunazidisha \"2\" tatu za kufikia 8.\nKwa hiyo logi ni 3.", "Mongolia\nAsilimia 10 pekee za nchi ina misitu hasa mlimani na ardhi inayolimika ni 1 % tu.", "Amur\nAmur ina chanzo chake penye kuungana kwa tawimito ya Argun na Shilka karibu na kijiji cha Moguhe katika jimbo la Heilongjiang. Kuanzia hapa inafuata mwendo wake kwa urefu wa 2,874 km hadi kuishia katika Bahari ya Ohotsk (Pasifiki) karibu na kisiwa kikubwa cha Sakhalin. Tawimito Argun na Shilka inaanza katika Mongolia yenyewe na Mongolia ya Kichina.", "Ulaanbaatar\nUlaanbaatar (pia: Ulan Bator; Kimongolia Улаанбаатар - \"mshujaa mwekundu\") ni mji mkuu wa Mongolia mwenye wakazi 844,818. Sehemu ya wakazi hufuata mapokeo ya Mongolia wakiishi mjini miezi ya baridi tu lakini miezi ya joto huhamahama kwenye hema pamoja na mifugo yao.", "Marudio\nMarudio (ing. \"\", alama yake ni f) ni kipimo kichachosema ni mara ngapi tukio linatokea tena na tena kila baada ya kipindi fulani. ", "Vielezi vya idadi\nVielezi vya idadi au kiasi (alama yake ya kiisimu ni: E) ni maneno yanayofafanua kielezi kuwa kitenzi hicho kitemetendeka mara ngapi au kwa kiasi gani. Idadi hiyo inaweza kuwa idadi ya jumla au idadi kamili/halisi.", "Kimandarin\nKimandarin ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uchina inayozungumzwa na Wachina. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kimandarin nchini Uchina imehesabiwa kuwa watu milioni 840. Pia kuna wasemaji katika nchi zifuatazo: 10,600 nchini Brunei (2006), 60,900 ndani ya Hong Kong (2006), 24,320,000 nchini Taiwan (1993), 460,000 nchini Indonesia (1982), wengi nchini Malaysia ambapo ni lugha ya taifa (lakini bila idadi rasmi ya wasemaji), 35,000 nchini Mongolia (1993), 500,000 nchini Myanmar (1994), 500 nchini Ufilipino (1990), 1,210,000 nchini Singapuri (2010), na 5880 nchini Uthai (1984). Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kimandarin iko katika kundi la Kichina.", "Mikoa ya Mongolia\nHii ni orodha ya mikoa ya Mongolia.", "Kituva\nKituva ni lugha ya Kiturki nchini Urusi, Mongolia na Uchina inayozungumzwa na Watuva. Mwaka wa 2010 idadi ya wasemaji wa Kituva nchini Urusi imehesabiwa kuwa watu 254,000. Pia kuna wasemaji 27,000 nchini Mongolia (1993) na 2400 nchini Uchina (1999). Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kituva iko katika kundi la Kiturki ya Kaskazini.", "Mongolia\nMikoa ya Mongolia Orodha ya nchi kufuatana na wakazi", "Soka kwa ajili ya Urafiki\n78. Mongolia", "Mongolia\nLugha rasmi na ya kawaida ni Kimongolia.", "Asilimia\nSasa inawezekana kugawa kiasi kingine kwa ile 1% na kuona inashika asilimia ngapi za kiasi husianifu.", "Mongolia\nUchumi wa Mongolia hutegemea hasa migodi na ufugaji. Kihistoria Wamongolia walikuwa wafugaji waliohamahama na wanyama wao na kuishi katika hema. Tangu mapinduzi ya mwaka 1921 sekta ya migodi na viwanda ilijengwa.", "Mongolia\nHali ya hewa ni ya kibara na ina tofauti kubwa. Majira hubadilishana kuwa na joto pia baridi kali. Wastani wa siku ni kati ya −25°C na +20°C. Hali halisi wakati wa joto mchana kuna joto kali lakini usiku huwa baridi.", "Mongolia\nSehemu za kusini mwa Mongolia ya kihistoria ziko ndani ya Jamhuri ya Watu wa China.", "Mongolia ya Kichina\nMongolia ya Kichina huitwa pia \"Mongolia ya Ndani\" ni eneo la kujitawala ndani ya Jamhuri ya Watu wa China iliyokuwa eneo la makabila ya Wamongolia ingawa siku hizi Wahan ni wakazi wengi. Wamongolia wenyewe mara nyingi huita eneo \"Mongolia ya Kusini\".", "Mongolia\nMongolia ni nchi ya mbuga yabisi, majangwa na milima inayofikia kimo cha mita 4,374 juu ya UB (Nayramadlin Orgil)." ]
18
Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru ilianzishwa lini?
[ "Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru\nMbuga ilianzishwa mwaka 1961. Sababu ya kuianzisha ilikuwa idadi kubwa ya ndege wa heroe wanaokusanyika hapa. Wakati mwingine huhesabiwa kuwa hadi milioni mbili. Idadi ya heroe hubadilika kimajira kulingana na kiasi cha algae ambazo ni chakula chao hasa.", "Ziwa Nakuru\nZiwa Nakuru ni mojawapo ya maziwa ya magadi katika Bonde la Ufa. Linapatikana kusini mwa mji wa Nakuru, katika eneo la kati nchini Kenya na linazungukwa na Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru. Hifadhi hiyo ilianzishwa mwaka 1961. Ilianza ndogo, ikizingira ziwa hilo maarufu na maeneo ya milima yaliyo karibu. Na sasa imeongezwa kujumuisha sehemu kubwa ya maeneo ya mbuga." ]
[ "Hifadhi ya Taifa ya Hell's Gate\nHifadhi ya Taifa ya Hell's Gate iko kusini mwa Ziwa Naivasha nchini Kenya, kaskazini magharibi mwa Nairobi. Mbuga ya Taifa ya Hell's Gate inapata jina lake kutokana na vifusi vyembamba vilivyovunjika kutoka kwa miinuko, kwa wakati mmoja ilikuwa vijito vya ziwa la kale lililolisha binadamu wa kwanza katika Bonde la Ufa. Ilianzishwa mwaka wa 1984. Mbuga hii ndogo inajulikana kwa wingi wake wa aina ya wanyamapori na kwa ajili mandhari yake. Hii ni pamoja na minara ya Fischer's Tower na Central Tower na Giba ya Hell's Gate. Hifadhi hii ya Taifa pia ni makao ya vituo vitatu vya nishati za mvuke zilizoko Olkaria. Hifadhi hii ina kambi tatu msingi na inajumuisha a Kituo cha Utamaduni wa Wamasai, kinachotoa elimu kuhusu kabila la Kimasai utamaduni na mila zake.", "Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru\nBaadaye vifaru walipelekwa hapa wakati walivindwa ovyo katika mbuga nyingine nchini na kuwa hatarini mwa kupotea. Leo hii kuna takriban vifaru 60 mbugani wanaolindwa na walinzi wa pori. Hadi leo watoto yatima wa vifaru wanaopatikana katika mbuga mbalimbali wanapelekwa hapa. Vilevile kama hali ya uwindaji ovyo unazidi katika eneo fulani na walinzi walishindwa kuukomesha vifaru walitiwa sindano ya kuwatuliza, kukamatwa na kupelekwa Nakuru. Kutokana na hali ya kuhatarishwa kwa vifaru mbuga yote imezungukwa na fensi.", "Shirika la Huduma kwa Wanyama Pori ya Kenya\nMbuga ya Kitaifa ya Aberdare Mbuga ya kitaifa ya Amboseli Mbuga ya Kitaifa ya Arabuko Sokoke Hifadhi ya Kitaifa ya Arawale Hifadhi ya Kitaifa ya Bisanadi Hifadhi ya Kitaifa ya Boni Mbuga ya Kitaifa ya Central Island Mbuga ya Kitaifa ya Milima ya Chyulu Hifadhi ya Taifa ya Hell's Gate Hifadhi ya Msitu wa Kakamega Mbuga ya Majini ya Kisite-Mpunguti Hifadhi ya Paa ya Kisumu Mbuga ya Kitaifa ya Kora Mbuga ya Kitaifa ya Ziwa Nakuru Hifadhi ya Kitaifa ya Losai Mbuga ya Kitaifa ya Majini ya Malindi Mbuga ya Kitaifa ya Malka Mari Mbuga ya Kitaifa ya Marsabit Mbuga ya Kitaifa ya Meru Mbuga ya Majini ya Mombasa Mbuga ya Kitaifa ya Mlima Elgon Mbuga ya Kitaifa ya Mlima Kenya Mbuga ya Kitaifa ya Mlima Longonot Hifadhi ya Kitaifa ya Mwea Mbuga ya Kitaifa ya Nairobi Hifadhi ya Kitaifa ya Ndere Island Mbuga ya Kitaifa ya Ol Donyo Sabuk Mbuga ya Kitaifa ya Ruma Hifadhi ya kitaifa ya Saiwa Swamp Hifadhi ya Kitaifa ya Samburu Hifadhi ya Kitaifa ya Shaba Hifadhi ya Kitaifa ya Milima ya Shimba Mbuga ya Kitaifa ya Sibiloi Hifadhi ya Nyani ya Mto Tana Mbuga ya Kitaifa ya Tsavo Mashariki Mbuga ya Kitaifa ya Tsavo Magharibi Mbuga ya Majini ya Watamu", "Hifadhi ya Taifa ya Ghuba ya Jozani Chwaka\nHifadhi ya Taifa ya Ghuba ya Jozani Chwaka, ni Hifadhi ya Taifa ya Tanzania yenye kilomita 502 (yenye mita za mraba 19) iko katika kisiwa cha Zanzibar. Ni Hifadhi pekee ya kitaifa huko Zanzibar.", "Hifadhi ya Taifa ya Hell's Gate\nKatika miaka ya kwanza ya 1990, Mlima Longonot ulilipuka, na majivu yake bado yanaweza kupatikana ndani ya Hell's Gate. Stesheni ya mvuke ya Olkaria, ya kwanza ya aina yake barani Afrika, ilianzishwa mwaka wa 1981 na nishati za mvuke huzalisha chini ya Hell's Gate kutoka maeneo ya chemchemi za joto. Hifadhi hii ilifunguliwa rasmi mwaka wa 1984.", "Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru\nZiwa Nakuru Jamii:Ziwa Nakuru Jamii:Kaunti ya Nakuru", "Hifadhi ya Ziwa Manyara\nHifadhi ya Ziwa Manyara ni hifadhi ya Taifa ya Tanzania iliyo maarufu sana nchini kwa simba wanaopanda juu ya miti. Aina hii ya simba hupatikana ndani ya hifadhi hii pekee barani Afrika. ", "Hifadhi ya Ziwa Manyara\nHifadhi hiyo iko katika Mkoa wa Arusha na Mkoa wa Manyara, lakini mikoa hiyo miwili ya utawala haina mamlaka juu ya hifadhi, bali inasimamiwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa ya Tanzania. ", "Ziwa Nakuru\nZiwa Nakuru imelindwa chini ya Mkataba wa Ramsar ya maeneo ya maji.", "Ziwa Nakuru\nJamii:Maziwa ya Kenya Nakuru Jamii:Ziwa Nakuru Jamii:Maziwa ya chumvi", "Ziwa Nakuru\nMbuga ya kitaifa ya Wanyama ya Ziwa Nakuru (188km ²), ilianzishwa mwaka 1961 kuzunguka Ziwa Nakuru, karibu na mji wa Nakuru . Inajulikana sana kwa maelfu, wakati mwingine mamilioni ya ndege aina ya flamingo yanayokusanyaka ufuoni mwa ziwa Nakuru. Ya usawa wa ziwa vifupi recog Idadi ya flamingo katika ziwa hutegemea maji na hali ya chakula na pahali bora kuwatazama ni juu ya kiinuko kinachoitwa Baboon Cliff. Eneo lingine lenye kivutio ni eneo la 188km ambalo limezingirwa kwa ukuta wa seng'enge kuhifadhi wanyama walio na hatari ya kuangamia kama twiga , Kifaru mweusi na Kifaru mweupe", "Mkoa wa Kigoma\nKuna maeneo mawili yenye sokwe: ndipo Hifadhi ya Taifa ya Gombe (alikofanya utafiti wake mwanabiolojia Jane Goddall) na Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Mahale. ", "Orodha ya Hifadhi za Taifa nchini Cote d'Ivoire\nHii ni orodha ya Hifadhi za Taifa ya Cote d'Ivoire:", "Hifadhi ya Virunga\nHifadhi iliundwa mwaka 1925 na Mfalme Albert I wa Ubelgiji kama Hifadhi ya Taifa ya kwanza katika bara la Afrika. Ilianzishwa hasa kulinda masokwe wa milimani wanaoishi katika misitu ya milima Virunga, lakini baadaye ilipanuliwa kaskazini ni pamoja na tambarare za Rwindi, Ziwa Edward na Milima Rwenzori katika kaskazini ya mbali.", "Ziwa Nakuru\nHifadhi hii ya wanyama sasa (2009) ina zaidi ya vifaru weusi 25, moja ya viwango vya ukubwa nchini, pamoja na takriban vifaru weupe 70. Pia kuna idadi fulani ya twiga aina ya Rothschild, ambazo ziliamishwa kwa usalama kutoka magharibi mwa Kenya mwanzo wa mwaka 1977. Waterbuck ni ya k Kati ya wanyama wanaokula wenzao ni simba na chui, lakini ni chui ambayo imekuwa ikionekana sana hivi karibuni. Hifadhi hii pia ina nyoka wakubwa ambao wanaishi ndani ya msitu na uonekana ya kivuka barabara ama kurukaruka mitini.", "Mlima Kenya\nHifadhi ya Taifa ya Mlima Kenya, ilianzishwa mwaka 1949. Inahifadhi eneo linalozunguka mlima. Awali ilikuwa hifadhi ya misitu.[46] Tangu Aprili 1978 eneo limeteuliwa kama Hifadhi ya Mazingira ya dunia UNESCO .[47]", "Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru\nNje ya vifaru kuna takriban spishi 56 za mamalia mbalimbali pamoja na spishi 450 za ndege.", "Hifadhi ya Taifa ya Hell's Gate\nMbuga ya Taifa ya Hell's Gate imekalia eneo ndogo kiasi kwa viwango vya Afrika. Hifadhi hii iko futi 5000 juu ya usawa wa bahari. Iko ndani ya Wilaya ya Nakuru, karibu na Ziwa Naivasha na wastani kutoka Nairobi. Mbuga iko baada ya mpinduko wa zamani katika barabara ya Nairobi kwenda Naivasha , na ina hali ya hewa ya joto na ukavu. Volkano za zamani za Olkaria na Hobley, zilizoko katika mbuga hii zinaweza kuonekana pamoja na miundo ya obsidian kutoka kwa mawe yaliyoyeyushwa na volkano kisha kupoa. Ndani ya Hell's Gate kuna Giba ya Hells Gate, na kuzungukwa na miamba miekundu ambayo ina hasho mbili za volkeno: Fischer's Tower na Central Tower. Kutoka kwa Central Tower kuna giba ndogo ambayo huelekea kusini na njia hushuka kutoka kwayo hadi katika chemchemi moto.", "Kaunti ya Samburu\nMsitu Loroki, Hifadhi ya Taifa ya Samburu, Hifadhi ya Taifa ya Bisanadi na Hifadhi ya Taifa ya Buffalo springs hupatikana Samburu. Kaunti hiyo pia ina Mlima Ng'iro, Milima Ndoro na Ol Doinyo Lenkiyo[1].", "Hifadhi ya Ziwa Manyara\nWakati mzuri wa kutembelea hifadhi hii ni kuanzia mwezi Juni hadi Desemba baada ya mvua za masika.\"Majarida ya hifadhi za Taifa Tanzania\"", "Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru\nHifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru ni mbuga ya wanyama nchini Kenya iliyoko kando ya Ziwa Nakuru, karibu na mji wa Nakuru. Umbali wa Nairobi ni km 140. Geti kuu liko kilomita 4 kutoka mji wa Nakuru. Eneo lake ni takriban km² 188. Inajulikana hasa kwa wingi wa ndege aina ya heroe na kundi la vifaru ambao wanaonekana hapa kwa uhakika mkubwa kulingana na mbuga nyingine za Kenya.", "Tanzania\n1979 – Hifadhi ya Taifa Ngorongoro 1981 – Hifadhi ya Serengeti 1981 – Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara 1982 – Hifadhi ya Taifa Selous 1987 – Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro 2000 – Mji Mkongwe wa Jiji la Zanzibar / Unguja 2006 – Michoro ya Kondoa", "Hifadhi ya Taifa ya Meru\nHifadhi ya Taifa ya Meru imekuwa yenye shughuli kabambe na yenye watalii chungu nzima waliofurika furifuri ili kujionea maajabu ya Mlima Kenya. ", "Nakuru\nUtalii ni muhimu katika shughuli za kiuchumi Nakuru. Majaliwa na rasilimali za Mji, na kanda, huwa mapato muhimu ya utalii. Nakuru ni makao ya Ziwa Nakuru, moja ya maziwa soda ya Bonde la Ufa, ambayo hutengeneza sehemu ya Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru. Hifadhi hii ni maarufu kwa idadi kubwa ya Flamingo. Pia ina wanyama pori wengi wanaoweza kuonekana wakati wa safari. Bali na wanyama maeneo mengine kadhaa ya riba hupatikana Nakuru. Hizi ni pamoja na Menengai Crater, vilkano. Waliopona mkubwa wa pili volkeno volkeno katika ulimwengu, it plunges 483 m chini kutoka rim na mkutano huo ni kupatikana kwa miguu au gari 8km kutoka barabara kuu Nyahururu. Kuni-covered volkeno ardhini ni hifadhi ya asili.", "Hifadhi ya Taifa ya Tsavo Magharibi\nTsavo (mto) Hifadhi ya Taifa ya Tsavo Mashariki", "Hifadhi ya Taifa ya Hell's Gate\nHifadhi hii ina kambi tatu msingi. Pia kuna pumziko kadhaa karibu na Ziwa Naivasha, maarufu miongoni mwa watalii kwa michezo ya maji, ndege na kutazama wanyama katika mashamba ya kibinafsi na kufanya matembezi katika Crescent Island, Crater Lake, na Mlima Longonot.", "Hifadhi ya Taifa ya Tsavo Mashariki\nHifadhi ya Taifa ya Tsavo Magharibi ina milima zaidi na mabwawa kuliko ile ya mashariki na pia ina chemi chemi za maji za Mzima na Ziwa la Jipe. Inajulikana sana kwa kuwa na ndege wengi na kwa mamalia wakubwa. Pia ni nyumbani kwa vifaru weusi.", "Ziwa Nakuru\nHifadhi hii ya wanyama hivi karibuni imepanuliwa kupatia hifadhi Kiporu mweusi ili kuwazuia wawindaji haramu kuwavamia. Im Hifadhi maandamano kwa" ]
22
Nchi ya Komori ina zungumza lugha ngapi kuu?
[ "Komori\nIna lugha rasmi tatu ambazo ni Kifaransa, Shikomor (inayofanana na Kiswahili) na Kiarabu." ]
[ "Uislamu nchini Komori\nKulingana na makadirio yaliyofanywa mwaka wa 2006 na Wamarekani - inasemekana asilimia 98 ya wakazi wa Komori ni Waislamu. Waislamu wengi wa Komori ni Sunni wanaofuata mafunzo ya imam Shafi. Waumini walio wengi ni Waarabu-Waswahili au Waajemi, lakini pia kuna watu wenye asili ya Kihindi.", "Kimwali\nKimwali (pia Shimwali au Kiswahili ya Komori) ni lugha ya Kibantu nchini Komori inayozungumzwa na Wakomori. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kimwali kisiwani kwa Komori imehesabiwa kuwa watu 27,200. Pia kuna wasemaji 1000 nchini Madagaska na 500 kisiwani kwa Réunion. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kimwali iko katika kundi la G40, yaani iko karibu na Kiswahili.", "Indonesia\nNchi ina wakazi 238,452,952 (2004) hivyo ina nafasi ya nne kati ya mataifa makubwa duniani. Ni nchi yenye Waislamu wengi kuliko nyingine zote duniani. Makabila asili ni 300 hivi; kubwa zaidi ni Wajava (42 %).", "Jamhuri ya Kongo\nNchi ina lugha 62 tofauti, zikiwemo lugha 2 za taifa: Kingala na Kikongo (Kituba). Hata hivyo lugha rasmi ni Kifaransa.", "Kroatia\nNchi ina umoja mkubwa upande wa kabila, lugha na dini, watu wengi wakiwa Wakroatia asilia (90.4%), wakisema Kikroatia (95.6%) na kufuata imani ya Ukristo katika Kanisa Katoliki (86.28%).", "Komori\nNje ya Kifaransa, Kiarabu na Kimalagasy Sanifu, kuna lugha tatu za asili ambazo huzungumzwa na Wakomori, yaani Kimwali, Kindzwani na Kingazidja ambazo ziko karibu na Kiswahili.", "Shikomor\nShikomor ni lugha asilia ya wakazi wa funguvisiwa ya Komori katika Bahari Hindi. Pamoja na Kifaransa na Kiarabu ni moja ya lugha rasmi ya Komori. ", "Utamaduni wa Nigeria\nUtamaduni wa Nigeria umeumbwa na kabila nyingi za Nigeria. Nchi hii ina zaidi ya lugha 250 na tamaduni mbalimbali. Hata hivyo, kabila kubwa ni Hausa - Fulani ambao ndio wengi kaskazini, Igbo ambao ndio wengi kusini-mashariki na Yoruba ambao ndio wengi kusini. Makabila ya Benin yamejaa katika kanda kati Yorubaland na Niger Delta. Asilimia 80 ya Benin huwa Wakristo wakati asilimia 20 iliyobaki huwabudu Ogu. Wanafuatwa na Ibibio / Annang / Efik watu wa pwani ya kusini mashariki mwa Nigeria na Ijaw wa Niger Delta.", "Uthai\nNchi ina wakazi zaidi ya milioni 67, hivyo inashika nafasi ya 20 duniani.", "Burger Ranch (Israeli)\nWakati Burger King ilijaribu kuingia katika soko ya Israeli baada ya McDonald's, ili zungumza na usimamizi wa Burger King wawe na mkataba uliosema kwamba Burger Burger Ranch itajumuishwa katika mnyororo wa hoteli za Burger King. Mpango huo kamwe haukufaulu. (1992). Kufuatia hayo, Burger King ilifungua mikahawa 50 bila mafanikio. Burger Ranch kisha ilijaribu kuchukua uendeshaji wa Burger King huko Israeli, lakini ilikatazwa na sheria. Hatimaye (2005) Burger King ilinunuliwa nje ya Sura ya 11 na \"Orgad Holdings\" na ina karibu mikahawa 45 .", "Shirikisho la Mikronesia\nNchi ina majimbo manne ya kujitawala ambayo ni Chuuk, Kosrae, Pohnpei na Yap. ", "Komori\nKomori ina visiwa vitatu vikubwa: Grande Comore (Ngazidja), Anjouan (Nzwani) na Moheli (Mwali). Kisiwa cha Mayotte ni sehemu ya funguvisiwa kijiografia lakini kisiasa ni sehemu ya Ufaransa kwa sababu wakati wa kupata uhuru watu wa Mayotte walitamka kwa kura nyingi (73%) ya kwamba wanataka kukaa na Ufaransa. Lakini Komori inadai ni sehemu ya eneo lake.", "Historia ya Komori\nKufuatana na katiba ya uhuru ya mwaka 1975 Komori ilitangazwa kuwa jamhuri ya Kiislamu. ", "Komori\nKomori ni kati ya nchi maskini zaidi duniani. Kilimo, uvuvi, uwindaji na misitu ni misingi ya uchumi wote.", "Kingazidja\nKingazidja (pia Shingazidja au Kiswahili ya Komori) ni lugha ya Kibantu nchini Komori inayozungumzwa na Wakomori. Mwaka wa 2004 idadi ya wasemaji wa Kingazidja kisiwani kwa Mayotte imehesabiwa kuwa watu 300,000. Pia kuna wasemaji 8000 nchini Madagaska na 4000 kisiwani kwa Reunion. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kingazidja iko katika kundi la G40, yaani iko karibu na Kiswahili.", "Jumuiya ya Nchi za Kiarabu\nJumuiya ya Nchi za Kiarabu ni ushirikiano wa nchi za Afrika ya Kaskazini na Asia ya Magharibi. Ilianzishwa na nchi zinazokaliwa hasa na Waarabu. Imepokea pia nchi kama Komori zisizotumia Kiarabu kama lugha rasmi.", "Komori\nJina limetokana na lugha ya Kiarabu ambapo Juzur al-Qamar (جزر القمر) linamaanisha \"visiwa vya mwezi\".", "Historia ya Sudan Kusini\nNchi ina muundo wa shirikisho.", "Kindzwani\nKindzwani (pia Shindzwani au Kiswahili ya Komori) ni lugha ya Kibantu nchini Komori inayozungumzwa na Wakomori. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kindzwani kisiwani kwa Komori imehesabiwa kuwa watu 264,000. Pia kuna wasemaji 8000 nchini Madagaska na 3000 kisiwani kwa Reunion. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kindzwani iko katika kundi la G40, yaani iko karibu na Kiswahili.", "Jamhuri ya Afrika ya Kati\nNchi ina watu 4,709,000 waliogawanyika katika makabila 80, kila moja likiwa na lugha ya pekee. Ile inayowaunganisha katika mawasiliano ni Kisango, ambacho ni lugha rasmi pamoja na Kifaransa.", "Afrika Kusini\nNchi ina majina rasmi 11 kutokana na lugha rasmi 11, nazo ni: Kiafrikaans, Kiingereza, Kizulu, Kixhosa, Kiswati, Kindebele, Kisotho cha Kusini, Kisotho cha Kaskazini, Kitsonga, Kitswana na Kivenda.", "Kiingereza\nNchi nyingi za Afrika zinatumia Kiingereza kama lugha rasmi, lakini ni Waafrika wachache (isipokuwa Waafrika Kusini) wanaoitaja kuwa lugha ya kwanza kwao. Nchi hizo ni Afrika Kusini, Ghana, Lesotho, Liberia, Kamerun, Kenya, Namibia, Nigeria, Sierra Leone, Swaziland, Zambia na Zimbabwe. ", "Turkmenistan\nNchi ina eneo la km² 488,100, karibu sawa na Kamerun. ", "Marekani\nNchi ina wakazi zaidi ya milioni 320, na ina mchanganyiko mkubwa kuliko nyingine zote duniani.", "Komori\nKomori ni sehemu ya bara la Afrika. Ina pia visiwa mbalimbali vidogo.", "Orodha ya miji ya Komori\nHii ni orodha ya miji ya nchi ya Komori yenye angalau idadi ya wakazi 4,000 (2005).", "Sudan Kusini\nNchi ina muundo wa shirikisho.", "Ghana\nNchi ya Ghana ina idadi ya watu inayokadiriwa kuwa milioni 27.", "Haiti\nNchi ina wilaya kumi. " ]
73
Ibada ya kipaimara ilianzia dhehebu lipi?
[ "Ukristo barani Afrika\nUkristo barani Afrika una historia ndefu inayokaribia miaka elfu mbili." ]
[ "Ibada\nIbada ni tendo la heshima ya hali ya juu linalotolewa kwa Mungu au miungu.", "Mali\nIbada na desturi asilia zinapatikana pia katika mazingira ya Waislamu.", "Sakramenti za kuingizwa katika Ukristo\nKanisa Katoliki na yale ya Waorthodoksi na ya Waorthodoksi wa Mashariki yanaamini kwamba mtu anaingizwa katika Ukristo kwa sakramenti tatu zinazofungamana: ubatizo, kipaimara na ekaristi. Kabla hajazipokea zote tatu, mtu hahesabiwi kuwa Mkristo kamili.", "Usiku wa Pasaka\nNdio wakati mwafaka wa kubatiza hasa watu wazima, kwa sababu sakramenti hiyo, pamoja na kipaimara na ekaristi, inashirikisha kifo na ufufuko wa Yesu.", "Uislamu nchini Kenya\nSehemu kubwa ya Waislamu wa Kenya ni wafuasi wa dhehebu la Sunni wanaofuata mafundisho ya Shafi. Vilevile kuna kiasi kadhaa cha Waislamu wanaoafuata dhehebu la Shia na Ahmadiyya. Katika sehemu kubwa, Shia ni Waismailia waliotokana au wenye athira kutokana na wafanyabiashara wa majini/bahari kutoka Mashariki ya Kati na India. Hao Washia ni pamoja na Dawoodi Bohra, ambao wanakadiriwa kuwa kati ya 6,000-8,000 nchini humo.", "Lumen Gentium\nBaada ya kuona hayo makundi mawili ya waamini, wanaotofautiana kwa alama walizotiwa rohoni na ubatizo na kipaimara tu, au na daraja takatifu pia, sura ya tano inahusu wito unaowaunganisha wote, yaani kupata utakatifu.", "Maulid\nNeneo lenyewe ni la asili ya kiarabu kutokana na مولد النبي (maulid an-nabi) au (milaad an-nabi) ميلاد النبي . Sikukuu inafuata kalenda ya Kiislamu. Waislamu wa dhehebu la Sunni husheherekea tar. 12 Rabi'-ul-Awwal na Waislamu wa dhehebu la Shia husheherekea tarehe 17. Rabi'-ul-Awwal. Muhammad alizaliwa takriban mwaka 570 BK.", "Ibada\nKatika Kiswahili neno linaweza kuwa na maana ya mazoea: \"Kwake ulevi ni ibada\".", "Misa\nIbada ya Kiroma ilivyokuwa na inavyoweza kuadhimshwa leo nje ya kawaida", "Uislamu nchini Mozambique\nSehemu kubwa ya Waislamu wa Mozambique ni wale wa dhehebu la Sunni wanaofuata mafundisho ya imamu Shafi, japokuwa kuna Waislamu wachache wa dhehebu la Shia ambao pia wamejisajili.\nWaislamu nchini wanajumuishwa na Wamozambique wenyewe, raia wenye asili ya Asia Kusini (Wahindi na Wapakistani), na idadi ndogo kabisa ya wahamiaji wa Afrika Kaskazini na Mashariki ya Kati.", "Misa\nIbada ya Kiroma ilivyo leo kwa kawaida", "Frances Cabrini\nJumuiya hiyo ilianzia Italia na kufanya kazi hasa Marekani kati ya wahamiaji kwa kujenga shule, hospitali na nyumba kwa watoto yatima. ", "Kiingereza\nLugha ya Kiingereza ilianzia huko Uingereza kutokana na kuingiliana kwa lugha mbalimbali, hasa lugha za kale za Ujerumani, Denmark na Ufaransa.", "Waha\nHistoria ya Waha ilianzia katika kijiji kiitwacho Buha kilichopo Heru: hapo ndipo Waha walipofikia baada ya kutoka maeneo ya Burundi, Rwanda na Kongo.", "Mafuta\nYanatumika katika ibada, kama vile krisma ambayo hutumika katika ubatizo, kipaimara na daraja takatifu, na kijadi yametumiwa kutawaza mfalme na malkia, lakini pia kuhani katika Agano la Kale (Biblia ya Kiebrania).", "Yosefina Bakhita\nTarehe 9 Januari 1890 Bakhita alibatizwa kwa jina la Yosefina Margaret \"Fortunata\" (ndiyo tafsiri ya \"Bakhita\"). Siku hiyohiyo alipata kipaimara na kupokea ekaristi kwa mikono ya kardinali Giuseppe Sarto, ambaye baadaye akawa Papa Pius X akatangazwa mtakatifu.", "Sala ya moyo\nNimeitwa na kutumwa hasa kwa kipaimara nimshuhudie Yesu mwema kwa maneno na matendo yangu ya kila siku. ", "Renaissance\nAwali Renaissance ilianzia nchini Italia, lakini punde ikaenea katika Ulaya nzima. Katika Italia kipindi hiki kimegawanyika katika makundi matatu:-", "Historia ya Ghana\nHistoria ya Ghana ilianzia mbali sana, hata kabla ya ukoloni tunaweza kuizunguzia Ghana katika nyanja mbalimbali ikiwemo uchumi, utawala au jamii.", "Ekaristi\nKatika imani ya Kanisa Katoliki na Waorthodoksi sakramenti inayokamilisha ubatizo na kipaimara ni ekaristi, iliyo kuu kuliko sakramenti zote kwa sababu ndiyo Yesu mzima, Mungu-mtu, katika maumbo ya mkate na divai. Walioshiriki kifumbo kifo na ufufuko wake wakapokea kwake paji la Roho Mtakatifu, wanaalikwa kukaribia mara kwa mara meza anapowalisha na kuwanywesha Mwili na Damu yake ili washiriki uhai wake kwa dhati zaidi na zaidi. “Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu hukaa ndani yangu, nami hukaa ndani yake. Kama vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, nami ni hai kwa Baba; kadhalika naye mwenye kunila atakuwa hai kwa mimi” (Yoh 6:56-57). Ubatizo na kipaimara havirudiwi, vinadumu ndani ya mtu kama mifupa ambayo ekaristi ya mara kwa mara inazidi kuitia mwili na damu.", "Ibada\nDini zinaelekeza binadamu kufanya ibada inavyotakiwa.", "Sakramenti za uponyaji\nSakramenti za uponyaji, kadiri ya Kanisa Katoliki, ni sakramenti mbili zinazolenga kuponya roho na mwili wa mwamini aliyekwisha kupokea uzima mpya, wa Kimungu, katika sakramenti za kuingizwa katika Ukristo, yaani ubatizo, kipaimara na ekaristi.", "Kesha\nKatika kesha hilo yanafanyika masomo mbalimbali kutoka Biblia, yakifuatana na Zaburi na nyimbo nyingine pamoja na sala. Baada ya hapo unaadhimishwa ubatizo ambao ni sakramenti ya kufa na kufufuka pamoja na Yesu Kristo, na pengine kipaimara na ekaristi pia.", "Ambrosi\nAlipewa mara ubatizo, kipaimara na ekaristi, halafu baada ya wiki moja daraja takatifu ya uaskofu (tarehe 7 Desemba, ambayo imekuwa sikukuu yake hadi leo) akatoa kwa Kanisa na mafukara dhahabu na fedha zake zote.", "Liturujia ya Canterbury\nIbada nyingine kwa ajili ya ndoa na mazishi zilipitishwa na idara hiyo tarehe 22 Juni 2012.", "The Love Tour\nThe Love Tour ilikiwa ni ziara ya bendi ya Westlife. Ziara hii ilianzia nchini Aistralia na kuelekea Afrika na hatimaye Uingereza", "Dei Verbum\nIbada hizi ziliendeshwa hasa kwa Kilatini hata baada ya lugha hiyo kufa katika karne za kati. ", "Ibada\nIbada inasisitiza ukweli wa yule anayetolewa heshima hiyo, kwa mfano kutokana na imani ya dini fulani.Vilevile ukweli wa mtoaji kwa maana ibada lazima itoke moyoni: ndiyo sababu haiwezi kulazimishwa.", "Sakramenti za kuingizwa katika Ukristo\nUpande wa magharibi, maadhimisho ya sakramenti hizo yamefanyika mara nyingi kwa nyakati tofauti, na katika Uprotestanti kwa kawaida kipaimara hakitazamwi kuwa sakramenti iliyowekwa na Yesu Kristo, ila ibada au maombezi tu.", "Mashahidi wa Yehova\nMashahidi wa Yehova (kwa Kiingereza Jehovah's Witnesses) ni wafuasi wa dini jamii ya Ukristo ambayo ilianzia Marekani na kuenea ulimwenguni kote. " ]
59
Karatasi ya kwanza ilitumika nchini gani?
[ "Karatasi\nKaratasi yenyewe ilibuniwa nchini China. Waziri Tsai-Lun alieleza mnamo mwaka 105 mbinu ya kutengeneza karatasi katika kitabu chake. Mabaki ya hariri yalichanganywa na nguo zilizochakaa na utembo wa miti. Yote yalipondwa na kusagwa halafu kupikwa katika maji na kusafishwa. Nyuzi tupu zilizobaki zilichotwa kwa chujio halafu zikasilibiwa ndani ya chujio na kukandamizwa na kukaushwa." ]
[ "Katerina wa Siena\nKwa sababu gani? Bila ya shaka kwa upendo.", "Karatasi\nKaratasi (kutoka Kigiriki Χαρτί kharti kupitia Kiarabu قرطاص qartas) ni laha bapa na nyembamba ya konge za mimea zilizokandamizwa na kushikamanishwa. Watu huandika kwenye karatasi, vitabu na magazeti hufanywa kwa karatasi, tena vipande vikubwa vya karatasi hutumika kwa kufunga vitu ndani yake.", "Karatasi ya picha\nKaratasi ya picha ni karatasi iliyopakwa kwa fomula ya kemikali nyepesi kuathirika na nuru na hutumika kwa kufanya chapisho za picha. ", "Karatasi\nKaratasi hutumiwa kwa madhumuni mengi:", "Karatasi\nKaratasi za kusafishia (kwa mfano karatasi ya chooni) zinatakiwa kuwa laini sana.", "Pablo Oscar Cavallero Rodríguez\nMiaka tisa ya kazi yake ya kitaaluma ilitumika nchini Hispania, hasa na Celta. Alionekana katika michezo 152 ya La Liga, juu ya kipindi cha misimu nane.", "Karatasi\nKaratasi hunywa kiowevu, hivyo hutumiwa pia kwa shughuli za kusafisha.", "Hakuna matata\nJambo, Jambo Bwana, habari gani? Mzuri sana!", "GSM\nMikondo haba ya megawati 400 na 450 zimepeanwa katika mataifa mengine ambamo mikondo hii awali ilitumika kwa mifumo ya kizazi cha kwanza", "Karatasi\nMataifa jirani walipokea ujuzi kuhusu karatasi kutoka kwa Wachina. Mnamo 750 wafungwa Wachina waliwafundisha Waarabu mtindo huu na kitabu cha kwanza kilichoandikwa juu ya karatasi kilipatikana Baghdad mnamo 870.", "Shayiri\nBia ya shayiri pengine ndiyo kinywaji cha kwanza kuwahi kutengenezwa na watu wa Neolithic. Baadaye shayiri ilitumika kama fedha. Pamoja na ngano, shayiri ikawa chakula kikuu huko Misri, ambako ilitumika kutengenezea mikate na bia. Katika dini, hasa jamii za zamani, shayiri ilitumika kama zao kuonyesha haki.", "Kabati\nKabati inaweza kutumika pia kama kitu cha mapambo katika nyumba.Kabati ilianza kutumika miaka ya 1600 huko Emilia-Romagna nchini Italia na mara nyingi ilitumika ukumbini.", "Karatasi\nKaratasi ya kuandikia hutumiwa kwa madaftari na laha zinazouzwa kwa rimu Karatasi ya kuchapisha vitabu na magazeti hutengenezwa kwa vikuto Karatasi ya kusafishia hutengenezwa pia kwa vikuto Karatasi za noti inatakiwa kudumu muda mrefu, hivyo inaungwa pia na nyuzi za metali zinazotakiwa kufanya iwe vigumu kutengeneza pesa bandia Karatasi nene kiasi yenye rangi na bombwe hutumiwa kama mapambo ya nyumba ikipakwa kwenye kuta za nyumba Karatasi ni muhimu kwa kufunga bidhaa katika masanduku ya karatasi nene Katika utamaduni wa Asia kuta za vyumba mara nyingi ni karatasi tu", "Karatasi\nKaratasi kwa matumizi kwenye mashine kubwa za kuchapa hutengenezwa mfululizo kwa umbo la kanda ndefu linaloviringishwa kuwa vikuto vikubwa. Mashine za kutengeneza karatasi hukausha uji wa konge njiani kwa kuipasha joto.", "Karatasi\nKiwanda cha kwanza cha Ulaya kilianzishwa Fabriano (Italia) kabla ya mwaka 1264.", "Kinyarwanda\nMuraho = Habari gani?", "Karatasi\nUbao husagwa halafu kuchanganywa na maji kuwa aina ya uji. Karatasi ya kuandikia huongezwa madawa ya kuondolea rangi yote ili karatasi itokee nyeupenyeupe. Uji huo unatandikwa na kusukumwa kuwa laha bapa inayofaa kwa ukurasa. Baadaye hukatwa vipande-vipande jinsi vinavyotakiwa.", "Karatasi\nKaratasi hutengenezwa hasa kutokana na ubao uliosagwa lakini inawezekana kutumia konge za mimea mingine pia. Inawezekana kutumia pia karatasi iliyokwishatumiwa (kwa mfano magazeti ya kale) kwa kutengezea karatasi mpya.", "Homa ya Q\nMara ya kwanza ulielezwa na Edward Holbrook Derrick katika machinjio ya Brisbane, Queensland, Australia. Herufi \"Q\" husimama kwa \"query\" na ilitumika wakati kimelea kisababishi hakijulikani, na iliteuliwa baada ya mapendekezo kama, \"homa ya machinjio\" na \"homa ya Queensland rickettsial\", ili kuepuka ukinzani mbaya, aidha katika sekta ya mifugo au jimbo la Queensland. ", "Karatasi ya picha\nEmalshani mbalimbali pia zinapatikana ambazo zinatofautiana katika uathirikaji wao na mwanga, itikio la rangi, na ukunjufu wa taswira ya mwisho. Karatasi za rangi zinapatikana pia kwa ajili ya kufanya picha za rangi.", "Betri ya gari\nHapo kitambo, hakukuwa na betri za gari. Injini ziliweza kuanzishwa na uzio uliojulikana kama crank kwa lugha ya Kimombo. Gari hazikuhitaji nguvu za kielektroniki maana kengele ilitumika badala ya honi huku mataa yakitumia nguvu za gesi kumulika. Betri ya kwanza ilitengenezwa mwakani 1920 pale ambapo watu waliona kwamba gari lafaa liwe na nguvu nyingi zaidi za kielektroniki.", "Karatasi ya picha\nKaratasi za picha zinaangukia katika moja ya makundi matatu madogo:Karatasi za picha zote zinakuwa na emalshani ya unyeti wa nuru, yenye chumvi za fedha halide (silver halide) zilizoangikwa katika nyenzo colloidal - kawaida ni gelatin - iliyofunikizwa kwenye karatasi, karatasi iliyofunikwa na utomvu au kwa msaada wa polyester. ", "Gideoni\n\"Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani?\nTazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase,\nna mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu\".", "Karatasi\nWatu wa kwanza kutengeneza karatasi walikuwa Wachina.", "Karatasi ya picha\nKaratasi ya picha inaweza pia kuwa wazi kwa mwanga kwa kutumia vichapishi dijitali kama vile LightJet, kwa kamera (kwa kuzalisha picha hasi), kwa kuchanganua chanzo cha mwanga uliogeuzwa juu ya karatasi, au kwa kuweka vitu juu yake (ili kuzalisha photogram).", "Bangi\nBangi mwanzoni ilitumika kama sehemu ya ibada ya Uhindu nchini India mnamo mwaka wa 1000 KK na baadaye ikawa sehemu muhimu ya utamaduni wa Kihindi.", "Uenezi wa Kiswahili\nKiswahili ni lugha ambayo ilikuwa ikitumiwa na wakazi wa maeneo ya pwani ya Afrika Mashariki hata kabla ya ukoloni. Lugha hii ilitumika katika kufanyia mawasiliano na ilitumika kuwaunganisha watu kwa kuwa waliweza kuelewana na kuongea kwa mshikamano wa watu wengi.", "Karatasi ya picha\nAthari za mwanga katika giza karatasi iliyotayarishwa iligunduliwa na Thomas Wedgwood mnamo mwaka 1802. Karatasi za picha zimetumika tangu mwanzo wa michakato ya picha hasi – chanya kama zilivyoendelezwa na kupewa umaarufu na William Fox Talbot (Uingereza/1841-calotype).", "Karatasi ya picha\nLicha ya kuletwa picha dijitali, karatasi ya picha bado zinauzwa kibiashara. Karatasi za picha zinazalishwa viwandani katika ukubwa mbalimbali wa kawaida, uzito wa karatasi na malizo za uso. " ]
78
Je,jiji la Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi?
[ "Dar es Salaam\nMji una wakazi wapatao 4,364,541 kwa hesabu ya sensa iliyofanyika katika mwaka wa 2012.[1]", "Mkoa wa Dar es Salaam\nKuna wilaya tano: Kinondoni (wakazi 1,775,049), Ilala (wakazi 1,220,611) na Temeke (wakazi 1,368,881) ambazo zimeongezewa Kigamboni na Ubungo. Kila moja inaangaliwa kama mji. Takwimu hizi ni za mwaka 2012, kwa ujumla idadi ya wakazi ilikuwa 4,364,541." ]
[ "Umma wa Wapanda Baiskeli Dar es Salaam\nUmma wa Wapanda Baiskeli Dar es Salaam (kifupi: UWABA au UWABADAR) ni jina la Shirika Lisilo la Kiserikali la umoja wa Wanabaiskeli kutoka Dar es Salaam, Tanzania. Umma huu unaruhusu mtu yeyote mwenye baiskeli kujiunga nao bila ada yeyote ile.", "Boma la Kale, Dar es Salaam\nTangu mwaka 2014 taasisi ya Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage (DARCH) iliweza kupatana na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuhusu mipango ya ukarabati na matumizi ya Boma la Kale. Tangu mwaka 2017 Boma la Kale ni kituo cha kiutamaduni chenye programu na maonyesho kuhusu historia na urithi wa Dar es Salaam, mazingira, uchumi na mshikamano wa kijamii wake.", "Mkoa wa Dar es Salaam\nOrodha ya mito ya mkoa wa Dar es Salaam Kata za Mkoa wa Dar es Salaam", "Boma la Kale, Dar es Salaam\nWakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia Dar es Salaam ilivamiwa na jeshi la Uingereza kwenye mwaka 1916. Tanganyika iliendelea kuwa chini ya Uingereza na Dar es Salaam kuwa mji mkuu. Boma la Kale lilikuwa kituo cha polisi hadi uhuru wa nchi tarehe 9 Desemba 1961.", "Hananasif\nHananasif ni jina la kata ya Wilaya ya Kinondoni katika Mkoa wa Dar es Salaam\n,Tanzania yenye postikodi namba 14109\n. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ina wakazi wapatao 37,115 waishio humo.", "Kigamboni\nKigamboni ina umbo la rasi kati ya Bahari Hindi na maji ya bandari. Imetengwa na jiji la Dar es Salaam kwa maji ya Kurasini Creek. ", "Saba Saba (Tanzania)\nKati ya maonyesho haya ni hasa Maonyesho ya Saba Saba ya Dar es Salaam (Dar es Salaam International Trade Fair, Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam) ambayo ni maarufu kama tukio la kitaifa na la kimataifa inayoendelea kuvuta wageni wengi hadi leo[2].", "Orodha ya mito ya mkoa wa Dar es Salaam\nOrodha ya mito ya mkoa wa Dar es Salaam inataja kwa mpangilio wa alfabeti baadhi tu ya mito ya eneo hilo la Tanzania Mashariki.", "Chuo Kikuu cha Dar es Salaam\nChuo Kikuu cha Dar es Salaam (kifupisho chake UDSM kutoka Kiingereza \"University of Dar es Salaam\") ni chuo kikuu cha kwanza nchini Tanzania. Ni chuo cha umma kilichopo katika jiji la Dar es Salaam. ", "Historia na Maendeleo ya Mji wa Dar es Salaam\nDar es Salaam ilikuwa ikiitwa “Mzizima”(Ikimaanisha mji wenye neema), ni mji wa zamani ulioanza mwanzoni mwa miaka ya 1857. Ingawa historia ya Mzizima ilianza tangu miaka 1000 iliyopita ambapo watu wa Barawa (ambao walijichanganya na Wazaramo na kuwa kati yao) ambao walitulia na kulima katika maeneo ya mbwa maji magogoni (kwa sasa kivukoni), Mjimwema na Gezaulole.\nMji ulianza kuonesha mabadiliko kutokana na ujio wa wa Masultani, Wajerumani na Waingereza. Mwaka 1866 Sultan Seyyed Majid of Zanzibar aliupa jina la ambalo ndilo linalotumika sasa neno la kiarabu lililomaanisha “Mbingu ya Amani”. Baaba ya kifo cha Sultan Majid mwaka 1870, Dar es Salaam ilianguka lakini iliinuka tena mara baada ya ulio wa kampuni ya Kijerumani (\"German East Africa Company\") iliyoanzisha kituo cha biashara mwaka 1887 na kuuondoa utawala wa Kiarabu hata kutawala pwani ya Africa Mashariki.", "Historia na Maendeleo ya Mji wa Dar es Salaam\nDar es Salaam iliendelea kuwa mji mkuu mpaka ulipohamishiwa Dodoma mwaka 1973 , ambao ni mji ulio katikati ya nchi ya Tanzania. Licha ya kutokuwa na tawala za mji mkuu lakini Dar es Salaam iliendelea kuwa makao makuu ya serikali.", "Sheikh Ilunga Hassan\nSheikh Ilunga Hassan Kapungu kaingia katika historia ya Dar es Salaam katika kifo chake. Bahari ya watu walijazana Msikiti wa Kichangani kuja kuswalia jeneza lake na kisha kulifata nyuma jeneza hilo hadi Makaburi ya Mwinyimkuu, Magomeni Mapipa. Sheikh Ilunga ni mgeni katika mji wa Dar es Salaam kwa maana ya kuwa hakuzaliwa Dar es Salaam wala hakuwahi kuishi Dar es Salaam. Alikuwa akija na kuondoka zamani akirejea kwao Tabora na baadaye kuhamia Mwanza, akija Dar es Salaam na kurejea Mwanza.", "Hifadhi ya bahari ya Dar es Salaam\nHifadhi ya bahari ya Dar es Salaam inajumlisha maeneo kadhaa kwenye Bahari Hindi karibu na Dar es Salaam, Tanzania. Kwa jumla kuna visiwa tisa visivyokaliwa na watu pamoja na sehemu za bahari kati ya visiwa hivi. Kuna visiwa vinne upande wa kusini wa Dar es Salaam ambavyo ni Bongoyo, Mbudya, Pangavini na Fungu Yasini, halafu vitano upande wa kusini ambavyo ni (Makatumbe, Finda na Kenda). Hifadhi hii inalinda sehemu za matumbawe, za miti ya mikoko na mimea mingine chini ya uso wa maji. ", "Kivukoni\nKivukoni ni jina la kata ya Wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam Tanzania. yenye postikodi namba 11101. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ina wakazi wapatao 4,826 waishio humo.", "Ally Sykes\nAlly Sykes alikuwa mtu maarufu kupita kiasi. Alikuwa kwanza ana umaarufu wa kuzaliwa. Kazaliwa Dar es Salaam Gerezani, mtoto wa mjini. Kisha alikuwa maarufu kwa nasaba. Baba yake Kleist Sykes alikuwa mmoja wa watu mashuhuri katika siasa zote za Dar es Salaam katika miaka ya ya mwanzo ya 1900 hadi alipofariki mwaka 1949. Baba yake alikuwa maarufu kwa kuwa alilelewa na Affande Plantan askari kiongozi katika jeshi la Wajerumani lilokuja Tanganyika na Herman Von Wissman wakati Wajerumani walipoingia kuitawala Tanganyika.", "Simu\nMfano: simu ya namba 556677 iko mjini Dar es Salaam. Namba ya eneo la Dar es Salaam ni 022. Kufikia simu hii ndani ya eneo la Dar es Salaam inatosha kupiga 556677. Mtu anayetaka kuipigia kutoka Dodoma au Arusha anatangulia namba ya eneo na kupiga 022-556677.", "Radio Tanzania Dar Es Salaam\nRadio Tanzania Dar Es Salaam ni chombo cha taifa la Tanzania ambacho hutoa burudani za aina mbalimbali kama vile muziki, ngoma za utamaduni, mpira, mashairi, taarabu na taarifa mbalimbali za kitaifa na kimataifa. Redio hii ina ofisi kuu yake Barabara ya Nyerere (zamani ilijulikana kama Pugu Road), Dar es Salaam.", "Majohe\nMajohe ni jina la kata ya Wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam Tanzania yenye postikodi namba 12113 .Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ina wakazi wapatao 81,486 waishio humo.", "Dar es Salaam\nDar es Salaam ni jiji kubwa kuliko yote nchini Tanzania. Pia ni jina la mkoa wake. Dar es Salaam ni mji mkongwe na wenye watu wengi zaidi katika Jumuia ya Afrika Mashariki. Katika Tanzania ndio mji wenye vitega uchumi vingi na ndio mji unaoangaliwa na watu wengi.", "Ukonga\nUkonga ni jina la kata ya Wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam Tanzania yenye postikodi namba 12107 . Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ina wakazi wapatao 80,034\nwaishio humo.", "Sylvia Bahame\nMwaka 2001 alirudi nchini Tanzania na familia yake ambapo alifanya kazi ya kufundisha katika shule moja hivi ya jijini Dar es Salaam maarufu kama \"Dar es Salam Independent\" ambapo alikuwa akifundisha darasa la pili na la tatu. Mwaka wa 2002 akajiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambako alisomea masomo ya sheria. Mpaka anakuwa Mrembo wa Tanzania alikuwa ana mwaka wa pili toka aanze Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.", "Daraja la Mfugale\nJICA, na washika dau wengine ikiwa ni pamoja na wakazi wa Dar es Salaam na Tanzania nzima, walikuwa wakisubiria kwa hamu ujenzi wa daraja hili. Serikali ya Japan, kupitia wakala wake JICA, ina historia ndefu ya zaidi ya miaka 30 imekuwa ikisaidia miundombinu mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam, tangu walivyojenga daraja la Selander mnamo mwaka wa 1980.", "Mkoa wa Dar es Salaam\nEneo la mkoa ni jiji la Dar es Salaam ambalo ndilo kitovu cha shughuli za biashara (na za utawala, kwa kiasi fulani) nchini Tanzania, na ni kati ya majiji yanayokua haraka zaidi duniani.", "Nyumba ya Makumbusho\nNyumba ya Makumbusho ya Dar es Salaam ni eneo lililopo karibu na bustani ya \"botanical\", na ni eneo la makumbusho lililopo wilaya ya Ilala Dar es Salaam mkabala na barabara ya Shaban Robert na Samora nchini Tanzania.", "Kiwalani\nKiwalani ni kata mojawapo kati ya kata zilizopo katika wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania yenye postikodi namba 12108 . Iko ndani ya jiji la Dar es Salaam. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka 2012, kitongoji kina idadi ya wakazi wapatao 82,292.", "Dar es Salaam\nHuduma ya maji Dar es Salaam imekuwa na tatizo kubwa katika kudhibiti mfumo wa maji taka katika mkoa wa Dar es Salaam kwa muda mrefu. Tangu shirika la maji DAWASCO (Dar es Salaam Water Supply Company) lilipowekwa rasmi kama shirika husika katika kuratibu utaratibu mzima wa mfumo wa maji safi na maji taka, kumekuwa na nafuu kidogo tu, lakini baada ya muda, liliibuka tatizo la kuibiwa kwa mabomba na uharibifu wa vyanzo mbalimbali vya maji.", "Boma la Kale, Dar es Salaam\nJamii:Historia ya Dar es Salaam", "Dar es Salaam\nDar es Salaam ilichaguliwa na wakoloni Wajerumani kuwa mji mkuu wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani kwa sababu ya bandari asilia yenye mdomo mpana wa mto Kurasini. Hivyo kuanzia mwaka 1891 Dar es Salaam ilichukua nafasi ya Bagamoyo kama makao makuu ya utawala.", "Redio\nPia hata zilizoko nje ya mkoa wa Dar es Salaam zinapambana kila kukicha kuhakikisha zinakuwa na studio nyingine kwenye jiji hilo lenye idadi kubwa ya watu nchini Tanzania. Kwa mfano RFA na Kiss FM zinarusha matangazo yake kutoka jijini Mwanza (Kanda ya Ziwa Viktoria), lakini kutokana na ushindani uliopo zimejikuta zikiweka studio nyingine jijini Dar es Salaam ili kupambana na ushindani huo.", "Dar es Salaam\nDar es Salaam inakadiriwa kuwa na wakazi wapatao milioni tatu. Ingawa Dodoma inafahamika kama ndio mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salaam ndiko ziliko ikulu, mabalozi, mashirika ya kimataifa, n.k." ]
9