taarifa hiyo ilisema kuwa ongezeko la joto la maji juu ya wastani katikati ya bahari ya UNK inaashiria kuwepo kwa mvua za el nino UNK hadi mwishoni mwa april ishirini moja sifuri imeelezwa kuwa ongezeko la joto magharibi mwa bahari ya hindi linatarajiwa kuhamia katikati ya bahari hiyo hali ambayo itasababisha pepo kutoka kaskazini mashariki kuvuma kuelekea bahari ya hindi aidha ilisema kuwa mwelekeo wa kupungua kwa joto kusini mashariki mwa bahari ya atlantic UNK kusababisha pepo kutoka magharibi kuvuma kuelekea magharibi mwa tanzania katika maeneo ya ziwa victoria mwelekeo wa mvua wa septemba hadi desemba ishirini sifuri tisa unatarajiwa kuwa katika namna tofauti ambapo baadhi ya maeneo yanaweza kunufaika huku mengine UNK ilifafanua kuwa msimu wa vuli UNK maeneo ambayo hupata mvua mara mbili ambayo ni kaskazini mwa nchi ikiwa ni nyanda za juu kaskazini mashariki kanda ya ziwa victoria na pwani ya kaskazini katika maeneo hayo mvua zinatarajiwa kunyesha wiki ya pili na tatu ya septemba mwaka huu mvua za msimu ambazo UNK mara moja kwa mwaka zinatarajiwa katika mikoa ya magharibi ambayo ni tabora rukwa kigoma kusini mwa mkoa wa shinyanga ambapo zinatarajiwa kuanza wiki ya kwanza ya novemba mwaka huu ambapo wastani wake unatarajiwa kuwa juu katika mikoa ya kati mvua zinatarajiwa kunyesha singida na dodoma kuanzia wiki ya tatu na nne ya novemba mwaka huu na kupimwa juu ya wastani mikoa ya nyanda za juu magharibi mvua UNK kuanza wiki ya tatu hadi ya nne ya novemba mwaka huu ambapo zinatarajiwa kuwa zaidi ya wastani wa kawaida katika mikoa ya kusini na pwani ya kusini ambayo ni ruvuma mtwara pamoja na lindi mvua zinatarajiwa kuanza katika wiki ya tatu na nne ya novemba ambapo zinatarajiwa kuwa chini ya wastani taarifa hiyo ilieleza kuwa baadhi ya maeneo yanaweza kuathirika kutokana na uwepo wa mvua hizo huku mengine UNK kwa kuwa na mvua za wastani mamlaka ya hali ya hewa nchini UNK wakulima kuchagua zao UNK kupanda pamoja na kupata ushauri kutoka kwa maofisa ugavi wa kilimo ili kuongeza mavuno rais jakaya kikwete amewataka majaji na mahakimu kuhakikisha tabaka la masikini linapata haki zao kupitia mahakama rais kikwete aliyasema hayo jana wakati alipokuwa akifungua mkutano wa siku mbili wa chama cha kimataifa cha majaji wanawake wa afrika unaofanyika katika kituo cha mikutano ya kimataifa cha arusha ni lazima muelewe kuwa kazi yenu ni kutafsiri sheria na ndio maana hata katiba ya tanzania UNK hivyo UNK uwezo huo kwa kutoa upendeleo kwa upande mmoja ama kwa tabaka fulani lenye uwezo kuliko lingine kwa kufanya hivyo mtakuwa UNK haki alisema rais kikwete alisema kuwa haki ni msingi kwa maisha ya binadamu yeyote ndio sababu ya kuwepo kwa mahakama ili iweze kutenda haki kwa watu wote hivyo ni changamoto kwa majaji kuhakikisha kuwa jamii inayowazunguka UNK na inathamini mchango wao katika kutenda haki alisema kuwa majaji wamepewa jukumu la kutafsiri sheria hivyo wanatakiwa kufanya hivyo bila ya kutumia visivyo uwezo na nguvu walizopewa kisheria kwa maslahi ya mtu fulani ama kikundi fulani aliwataka majaji kuhakikisha uendeshwaji wa kesi unafanywa kwa haraka ili kuwezesha kesi UNK muda mrefu ambapo pia itasaidia kupungua kwa kesi kwenye mahakama akizungumzia chama cha majaji wanawake tanzania rais kikwete alisema kuwa chama hicho kimekuwa na mchango mkubwa dhidi ya serikali kwa kusaidia katika masuala ya uanzishwaji sera za taifa ambapo alitaja baadhi kuwa ni mkakati wa taifa wa kupambana na umasikini hata hivyo alisema nchi za afrika tanzania ikiwa mojawapo zipo tayari kupata maoni kutoka kwa majaji kuhusiana na masuala ya sheria ili ziweze kutoa haki kwa watu wote kwa maslahi ya taifa husika mkutano huo ambao washiriki ni majaji wanawake kutoka nchi tisa za afrika utajadili baadhi ya mada ikiwemo haki za wanawake na mtoto haki za binadamu na uendeshwaji wa kesi na tumaini makene rais jakaya kikwete UNK salamu za rambirambi rais barack obama wa marekani kufuatia kifo cha seneta mashuhuri na mpigania hali bora za maisha ya watu bwana edward UNK katika salamu hizo rais kikwete UNK marehemu kennedy kuwa ni kiongozi UNK daima kwa mchango wake UNK katika kupigania masuala ya haki za kiraia kwa watu wote amani huduma za afya na maendeleo ya kiuchumi kwa wamarekani bila kujali tofauti za rangi taarifa iliyotolewa na wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa imesema rais kikwete binafsi na kwa niaba ya watanzania amepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha seneta kennedy na kuiombea faraja familia yake katika wakati huu mgumu watanzania tuko pamoja na wamarekani wote na hasa familia ndugu na jamaa wa hayati kennedy katika wakati huu mgumu wa kuondokewa na kiongozi muhimu UNK kwa mungu UNK nguvu na uvumilivu ilisema taarifa hiyo seneta edward kennedy aliyefariki juzi kwa saratani ya ubongo UNK kwa muda mrefu anatarajiwa kuzikwa kesho pembeni mwa makaburi ya kaka zake wawili katika eneo la UNK national nje kidogo ya jiji la washington familia kennedy ikiwajumuisha rais wa thebathini na tano wa marekani marehemu john kennedy robert kennedy edward kennedy na dada yao UNK UNK ilikuwa moja ya familia mashuhuri yenye ushawishi katika duru za siasa za marekani katika kile kinachoonekana kuwa ni kujivua lawama mahakama kuu ya tanzania imesema haihusiki kwa namna yoyote na ucheleweshaji wa kesi ya samaki wa magufuli ambao wamekuwa UNK serikali gharama kubwa ya kuwatunza mahakama kuu imesema kuwa serikali haijawahi kutuma maombi tena kuomba ruhusa ya kuwauza samaki hao baada ya ombi la kwanza kusitishwa kwa mujibu wa sheria na ombi la pili kuondolewa mahakama kuu na upande wa mashitaka kwa mujibu wa taarifa ya mahakama hiyo iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari amri ya kuwauza samaki hao kwa njia ya zabuni na mnada wa hadhara ilitolewa na mahakama ya hakimu mkazi kisutu aprili sita mwaka huu kabla shauri hilo UNK kusikilizwa katika mahakama hiyo na kuhamishiwa mahakama kuu pamoja na amri hiyo ya kuwauza samaki hao baadae ilitolewa hoja ya kisheria iliyokubalika na pande zote kuwa mahakama ya hakimu mkazi kisutu haikuwa na mamlaka kisheria UNK shauri hilo kwa hiyo lilikuwa limefunguliwa kwenye mahakama hiyo kimakosa ilisema sehemu ya taarifa hiyo aprili thebathini ilitolewa amri kusitisha mwenendo wa shauri hilo na kuelekeza kwa mujibu wa sheria ya mwenendo wa jinai shauri hilo UNK kwanza na mahakama hiyo baadae washtakiwa wapelekwe mahakama kuu kwa ajili ya shauri lao kusikilizwa taarifa hiyo iliyosainiwa na msajili wa mahakama kuu bwana john utamwa ilisema mei ishirini na moja mwaka huu jamhuri ilituma maombi mahakama kuu ikiomba samaki hao wauzwe kwa kuwa wangeweza kuharibika lakini baadaye upande huo uliomba kuondoa maombi hayo huku mahakama ikitoa uhuru kwa ombi hilo kupelekwa tena kama UNK mahakama haina jukumu la kukamata na kupeleka watuhumiwa hivyo makosa ya kupeleka shitaka katika mahakama isiyo na mamlaka haiwezi kutafsiriwa kama ucheleweshaji wa wa shauri iliongeza kuwa hakukuwa na amri UNK uamuzi wa kwanza wa kuruhusu uuzwaji wa samaki hao kabla ya kusitishwa kwa mwenendo wa shauri la awali na wala serikali haijawahi kuomba kufanya hivyo baada ya kuondoa maombi yake ya pili taarifa hiyo ya mahakama kuu imekuja baada ya hivi bwana magufuli kuitupia mpira mahakama kuwa inachelewesha kusikilizwa kwa shauri linalohusu raia thebathini na saba wa kigeni ambao wanatuhumiwa kuvua samaki kinyume cha sheria katika bahari ya hindi eneo la tanzania samaki waliokamatwa kama kidhibiti UNK tani mia mbili na tisini na mbili wanadaiwa kuigharimu serikali kiasi cha shilingi milioni thebathini saba kwa mwezi kuwahifadhi katika kampuni ya bahari food mwenge dar es salaam sakata la mradi wa upimaji na uthamini wa viwanja linalofanyika katika eneo la kigamboni temeke dar es salaam UNK familia ya baba wa taifa mwalimu julius nyerere nakujikuta ikitakiwa kuachia eneo lao familia hiyo ya baba wa taifa ilihamia kijiji cha gezaulole kilichopo kigamboni tangu mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na tatu baada ya kuhamasishwa na mke wa mwalimu mama maria nyerere akizungumza na majira nyumbani kwake gezaulole kigamboni jana mzee warioba chacha alisema yeye na wenzake hao wa jamii ya wasimbiti kutoka mkoa wa mara UNK na mama maria kuwa kulikuwa na pori lenye rutuba nje kidogo ya jiji la dar es salaam hivyo wahamie na kuanzisha makazi alisema walipofika eneo hilo kulikuwa na msitu UNK wenye wanyama wakali wakiwemo simba chui na fisi ambao walikuwa tishio kwa wenyeji na kuwafanya kuamua kuishi mbali na gezaulole UNK hapa agosti elfu moja na mia tisa na sitini na tatu baada ya mama maria kutuambia tuje tuanzishe makazi hapa tulikuwa watu kumi na tatu na kwa sababu kulikuwa na wanyama wakali wenyeji wachache waliokuwa wakiishi hapa walikuwa wakilala kwenye nyumba ambazo walijenga juu ya miti kujilinda na wanyama wakali wakati wa usiku mzee chacha alisema kutokana na msitu huo kuwa na miti mingi na mikubwa walishindwa kufyeka kwa kutumia mapanga na shoka ndipo mwalimu nyerere aliwapelekea matrekta matatu kusaidia shughuli hiyo kwa kweli UNK jinsi UNK kusafisha eneo hili naona UNK alisema mzee chacha akionesha kupinga hatua ya kutakiwa kuachia maeneo hayo akielezea UNK jicho lake la kulia baada ya kupigwa na mti alisema ilikuwa kazi ngumu ambayo sasa ilipaswa kutulia na kula matunda ya kazi hiyo na si kunyangganywa viwanja vyao halafu sasa watu wanakimbilia kuja gezaulole na kutaka UNK nasikitika sana hivi unavyoniona nimevaa miwani mwaka huo nilipoteza jicho moja ambalo UNK baada ya kuchomwa mti mkubwa alisema mzee chacha huku akionesha sehemu ya jicho hilo alisema baada ya kufyeka pori hilo walianza kulima mazao mbalimbali yakiwemo pamba viazi vitamu na matunda ambayo UNK alisema mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na nane UNK pamba ambayo UNK kwa kiasi kikubwa na kuwashinda kuvuna na baba wa taifa aliwapa vijana wa jeshi la kujenga taifa kuwasaidia vijana hao walivuna pamba hiyo jumapili huku wakiongozwa na mwalimu nyerere na baada ya UNK walichambua katika madaraja ya ubora na UNK alisema walipata fedha nyingi ambapo mwalimu nyerere aliwashauri kubuni miradi ambao ingekuwa endelevu hivyo UNK kuanza ufugaji wa kuku alisema mradi wa kuku ulikuwa wa mafaniko kutokana na usimamizi wa mwalimu nyerere ambaye alifika mara kwa mara na kulala katika kijiji cha gezaulole hadi UNK gari kwa ajili ya kusafirisha mazao mzee marwa alisema baada ya kuingia mfumo wa vijiji vya ujamaa mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na moja UNK na watu wengine ambao walisababisha kufilisika kwa mradi huo alisema mwaka ishirini sifuri saba aliwashauri wenzake kupima ardhi yao kama UNK rais jakaya kikwete katika moja ya mikutano yake hata hivyo anashangazwa na habari za wakazi kulazimika kuondoka eneo hilo ili kupisha mradi wa uendelezaji mji unaofanywa na manispaa ya temeke mara ya kwanza nilitoa laki nane baadaye laki sita mara ya mwisho nilitoa laki saba lakini UNK hivyo tukakubaliana na UNK wangu kuwa nikishapata hati ya umiliki UNK kiwanja kimoja alisema bwana chacha alisema familia hiyo imejikuta haina mtetezi wala mahali pa kwenda baada ya mwalimu nyerere kufariki mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa na mama maria kushindwa kuwatembelea mara kwa mara kama zamani kutokana na umri mkubwa sasa yataka viongozi wa dini wapime madhara yake yasema jamii UNK wote UNK yadai hata waumini wao wataanza UNK UNK uhuru wa maoni UNK vibaya siku moja baada ya askofu mkuu wa jimbo kuu la dar es salaam muadhama polycarp kardinali pengo kuonya wanasiasa UNK utendaji wa maaskofu serikali UNK juu viongozi hao ikiwataka wapime matokeo ya mwongozo walioutoa hasa unapokuwa na sura ya kikatiba kama chama cha siasa viongozi dini wapime manufaa wanayopata kutokana na mwongozo huo na athari zake mwongozo wa mwaka huu umeleta malumbano wapime manufaa yake kwa dhehebu lao na waumini wao kauli hiyo ilitolewa dar es salaam jana na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bwana philip marmo alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari waliomtaka atoe maoni yake kuhusu kauli ya kardinali pengo ingawa alisema alikuwa hajasikia kilichoelezwa na kardinali pengo bwana marmo alisisitiza kuwa viongozi wa dini ni watu waadilifu wapime matokeo ya maamuzi yao waangalie manufaa UNK na athari zake aliendelea kusema kuwa unaweza kuleta kitu ambacho hakiwezi kuleta faida jamii ikianza kuathirika wote UNK hakutakuwa na cha UNK au UNK alibainisha kuwa UNK mwongozo wenye sura ya katiba basi wanavyofanya hivyo UNK kama chama cha siasa tukifanya kama tunavyofanya sasa hata waumini wenyewe wanakuwa na wasiwasi alisema na kuongeza kila kiongozi apime maana ya mwongozo huo alitahadharisha kuwa uhuru mpana uliotolewa na katiba usiwe chanzo cha kuutumia kwa makusudi ambayo UNK kuhusu hatua ya waislam kutaka kutoa mwongozo wao bwana marmo alisema kama wataona una manufaa wafanye hivyo lakini wapime matokeo kama wao ni wazalendo wapime matokeo ya miongozo hiyo ama waumini wao na hatima ya nchi alisema bwana marmo kauli hiyo ya bwana marmo imetolewa wakati kardinali pengo akiwa ameelezea kukerwa na tabia ya baadhi ya wanasiasa kutaka kugeuza mamlaka ya kanisa kuwa chama cha siasa akizungumza wakati wa misa ya mazishi ya askofu mkuu wa jimbo kuu la mwanza marehemu anthony mayala aliyefariki jumatano iliyopita na kuzikwa juzi kardinali pengo alisema tabia ya baadhi ya viongozi kuendelea kukumbatia mfumo UNK wa UNK unachangia kupora haki za wananchi na kuua uadilifu wa taifa lazima tukubaliane UNK mamlaka ya kanisa kuwa chama waacheni maaskofu wafanye kazi zao kutekeleza majukumu ya mungu tuondokane na kelele UNK katika moyo mwema alionya kardinali pengo aliongeza kuwa kila mmoja ana mchango wake wa kuzuia uovu mchango huo UNK moyoni lakini maneno UNK yanachangia kutuongezea hasira na kujenga chuki tangu maaskofu wa kanisa katoliki watoe waraka huo yamekuwepo malumbano kutoka kwa viongozi wa siasa na serikali wengine UNK akiwemo mwanasiasa mkongwe kingunge ngombale UNK timu ya soka ya simba imeendelea kufanya mauaji katika michuano ya ligi kuu tanzania bara baada ya jana kuichapa toto african ya mwanza mabao tatu moja mchezo huo UNK uwanja wa uhuru dar es salaam kipindi cha kwanza cha mchezo huo toto african ndio walioonekana UNK mchezo dakika sita walipata bao kupitia kwa lawrence mgia baada ya kupiga mpira wa kona uliokwenda moja kwa moja wavuni dakika ya thebathini na moja mussa hassan mgosi wa simba alikosa bao baada ya kupata pasi nzuri kutoka kwa haruna moshi boban na kushindwa kufunga simba walisawazisha bao dakika ya arobaini na tano kwa mkwaju wa penalti uliopigwa na mgosi kufuatia beki wa toto african philimon UNK kuunawa mpira ndani ya eneo la penalti kipindi cha pili simba walionekana kucheza kwa kuelewana tofauti na kipindi cha kwanza ambapo dakika ya arobaini na saba boban aliipatia timu yake bao baada ya kuwatoka mabeki wa toto na kufunga bao la pili bao hilo UNK nguvu simba waliendelea kulishambulia lango la wapinzani wao huku boban mgosi na okwi wakikosa mabao dakika ya hamsini na tisa mchezaji wa toto juma abdul alionesha kadi nyekundu baada ya kumpiga na UNK cha mkono uhuru seleman simba walipata bao la tatu dakika ya sitini na sita baada ya salum kanoni kutoa safi kwa emmanuel okwi ambaye hakufanya makosa na kuukwamisha mpira wavuni leo manyema rangers itaumana na kagera sugar katika mfululizo wa ligi hiyo kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam simba juma kaseja salum kanoni juma jabu kelvin yondan juma nyosso mohammed banka nico nyagawa amri kiemba ramadhan kijuso mussa hassan mgosi uhuru seleman emmanuel okwi ramadhan chombo redondo haruna moshi boban toto african msafiri abdallah juma abdul philimon UNK UNK mbogo william UNK tete UNK ally mrisho jacobo masawe ally sultan lawrence mgia juma seif amani george athuman UNK semi kessy chesido UNK wilaya ya kongwa inakabiliwa na upungufu mkubwa wa chakula kwa asilimia sabini na mbili ya mahitaji yake sawa na tani hamsini mia sita na thebathini na sita kutokana na upungufu wa mvua katika msimu wa kilimo kwa mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa akiwasilisha taarifa ya wilaya hiyo kwa mkuu wa mkoa wa dodoma daktari james msekela juzi mkuu wa wilaya hiyo bwana UNK UNK alisema kutokana na upungufu huo mkubwa wilaya UNK utaratibu wa kuhakikisha kwamba inaondokana na hali hiyo katika msimu ujao licha ya hali hiyo ya chakula cha nafaka UNK wilaya imejiwekea utaratibu wa kuhakikisha UNK na chakula na kuwa na ziada kama ilivyo kuwa huko nyuma baadhi ya mbinu hizo ni kununua na kusambaza tani sitini na tano za mtama kwa wakulima usambazaji wa mbegu bora za kilimo na zana za kukokotwa na wanyama kazi alisema bwana kipuyo kuhusu zao la korosho ambalo ni jipya la biashara alisema wilaya ya kongwa imejiwekea lengo kwa kila kaya kulima hekari tatu ya zao hilo sawa na miti sitini na sita taasisi za elimu kulima hekari zisizopungua kumi na wawekezaji wakubwa kulima hekari zisizopungua hamsini ili kufikia lengo la kuzalisha zao hilo pamoja na kuwa na chakula cha kutosha kamati ya kilimo imeundwa na itapita kila kijiji kuhakikisha kila kaa inatekeleza lengo hilo pia maofisa ugani wetu wamepewa maelekezo maalum ya kuwa na daftari la kazi ya kila siku ambayo inaweka kumbukumbu na taarifa zote za wakulima UNK alisema bwana kipuyo kuhusu utawala bora alisema wilaya ya kongwa imefanikiwa kutekeleza dhana hiyo kwa kusoma taarifa ya mapato na matumizi kwa kila kijiji na kwamba kilimo cha umwagiliaji umepewa kipaumbele kwa kutengewa zaidi ya hekari mia tatu na sabini na mbili kwa upande wake daktari msekela alipongeza wilaya hiyo kufikia malengo ya serikali na kuwa wilaya ya kwanza kutekeleza ilani ya uchaguzi wa ccm ya mwaka ishirini sifuri tano na kuagiza mapato na matumizi UNK ukutani katika ofisi za serikali za vijiji ili wananchi waweze kupitia mara kwa mara jumuiya ya makanisa ya kikristo tanzania imezindua mwongozo UNK mapambano dhidi unyanyapaa ubaguzi na unyanyasaji kwa watu wanaoishi na virusi vya ukimwi mwongozo huo ulizinduliwa dar es salaam jana na mwenyekiti wa taasisi ya wanawake na UNK mama salma kikwete ambapo walikuwepo wachungaji wa makanisa kutoka sehemu mbalimbali nchini akizindua mwongozo huo mama salma aliwataka watanzania kuendeleza mapambano hayo ili kutokomeza hali ya unyanyapaa kwa watu UNK na virusi vya ukimwi aliipongeza jumuiya hiyo kwa kuamua kwa nia moja kutoa elimu kwa wakristo juu ya kuelimisha jamii ili kuendeleza vita dhidi ya unyanyapaa makanisa kupitia mwongozo huu naamini yatakuwa mstari wa mbele katika kukemea kwa nguvu zote na kuhakikisha wenzetu wanaishi kwa amani alisema UNK wananchi wasiogope kuendeleza kampeni ya kupima virusi kwa hiari UNK rais kikwete julai kumi na nne mwaka ishirini sifuri saba na kwamba si wote wanaoishi na virusi walivipata kwa zinaa bali wengine walivipata kupitia njia nyingine watoto wengi wamepata maambukizi kutoka kwa wazazi hiyo ni kutokana na wazazi kutokuwa tayari kupima afya zao ili kuruhusu mama kupata kinga kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto na kujikuta UNK watoto wenye virusi vya ukimwi alisema kwa upande wake mwenyekiti wa kamati ya katiba na sheria za kikristo askofu john nkola alisema lengo la kuandaa UNK huo ni UNK uwezo makanisa wanachama katika kuendesha mambo mbalimbali ya kujikinga na ugonjwa wa ukimwi akikabidhi mwongozo huo mama salma kikwete alisema baada ya kuzinduliwa UNK kwenye UNK bali utumike katika utekelezaji wa shughuli ambazo UNK ndani yake askofu mkuu wa kanisa la full gospel bible fellowship church UNK kakobe amesema anamheshimu na kumtambua askofu msaidizi wa jimbo kuu la dar es salaam methodius kilaini mbali na yeye kutomtambua kama UNK akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu dar es salaam juzi askofu kakobe alisema kuwa alitarajia kauli kama hiyo kutoka kwa askofu kilaini na kwa mkatoliki yoyote yule kwa kuwa dhehebu hilo UNK muumini wa dhehebu jingine kama UNK askofu kilaini UNK wazi kuwa kanisa lake ni la kibaguzi ndio maana wakaamua kutoa waraka maalumu kwa ajili kuwagawa watanzania kwa matabaka ya dini jambo ambalo liliibua hisia za waislam nao kutoa mwongozo wao alisema askofu kakobe na kuongeza we kama hujui mtu yoyote asiye mkatoliki hujulikana kama muasi wa kanisa hilo UNK hivyo kwa nini UNK mwenzio muasi kama wewe siyo UNK alihoji askofu kakobe alisema misingi ya katoliki inatambulika duniani kote kuwa uaskofu huteuliwa na papa lakini UNK UNK hawakupewa uaskofu na papa bali waliwekwa na yesu mwenyewe neno askofu maana yeke ni UNK wa makanisa hivyo yoyote UNK wa makanisa ni askofu alisema askofu kakobe alisema kuwa kama rais UNK kujenga taifa hili kwa misingi ya udini na ukabila tutajenga taifa lenye chuki ambayo huzaa mapigano ndio maana muasisi wa taifa aliamua nchi hii isiwe na dini ili wenye dini UNK na utanzania aidha askofu kakobe alisema kuwa kumtaka rais jakaya kikwete kutoa tamko haina maana kuwa UNK kwake kama baadhi ya watu UNK bali yeye ni mtu mwenye msimamo pale akiona kuna tatizo lazima UNK alisema kuwa umaarufu wake UNK kwa kupinga waraka na mwongozo kwani yeye ni maarufu toka zamani hivyo amewataka watanzania kutazama mbali zaidi kwani taifa UNK ni pabaya mbunge wa singida kaskazini bwana lazaro nyalandu ameonya tabia ya vyama vya siasa kuingiza mambo yanayohusu imani za dini katika masuala ya siasa na kusema kuwa hali hiyo itasababisha kugawa nchi alisema pia ni hatari kwa mstakabali wa amani na utulivu wa nchi kama mamlaka ya nchi itatumia pesa za walipa kodi na kujiingiza katika uendeshaji wa mambo ya dini yasiyokuwa na maslahi ya umma kwa watanzania wote bwana nyalandu ambaye ni mbunge wa UNK kaskazini alisema hayo jana dar es salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari juu ya kutimiza adhima yake ya kupeleka hoja binafsi kulitaka bunge kupitisha azimio la kutoruhusu masuala ya imani za dini kujadiliwa bungeni katika bunge lililopita UNK kuwa nitawasilisha hoja binafsi kwenye mkutano ujao wa kumi na saba kulitaka bunge kupitisha azimio la kutoruhusu kabisa kujadili masuala ya imani za dini ndani ya bunge kwa kuwa ni hatari kwa amani ya nchi yetu na uvunjaji wa masharti na misingi ya katiba yetu ambayo inaeleza kuwa serikali haina dini alisema bwana nyalandu alisema msukumo wa kutoa hoja hiyo umechangiwa kwa kiasi kikubwa na tabia iliyojitokeza kwa baadhi ya wabunge kujadili na kutaka kutungwa kwa sheria itakayowezesha serikali kuanzisha mahakama ya kadhi na tanzania kujiunga na na jumuiya ya nchi za kiislamu mijadala kuhusu masuala ya kidini katika bunge imekuwa mikali sana na UNK kwa hisia za imani za dini husika na hivyo kuacha masuala yenye manufaa kwa nchi kwani muda huo ungeweza kutumika kujadili na kutafuta suluhu kwa mambo yenye maslahi kwa umoja wa kitaifa uendeshaji wa taasisi za kidini unapaswa kuwa nje ya mamlaka ya nje ingawa serikali inaweza kushirikiana na taasisi hizo katika mambo yanayohusiana na huduma kwa jamii nzima alisema bwana nyalandu alisema ipo nchi ambazo zimejikuta kwenye migogoro mikubwa ya kisiasa na kijamii hadi kusababisha kuvunjika kwa amani na wakati mwingine hadi vita ambapo ukifuatilia chanzo chake pamoja na mambo mengine ni mijadala mbalimbali inayohusu na masuala ya imani za dini alisema kuwa hoja yake haina nia ya UNK bunge uhuru wake wa kujadili jambo lolote lenye maslahi ya taifa UNK ilivyoelezwa katika katiba bali ana lengo la kuwakumbusha wabunge kujadili masuala UNK na katiba ya nchi bwana nyalandu aliongeza masuala ya imani ya dini UNK kwa mtu mmoja mmoja kujiunga na imani anayotaka isipokuwa UNK bungeni pale UNK na hoja mahsusi inayohusu suala la dini linalotishia UNK wa taifa UNK kuwa hoja ya namna hiyo itajadiliwa baada ya kamati ya uongozi ya bunge kuidhinisha kwa kujiridhisha kuwa UNK masharti ya misingi ya katiba ya nchi msingi huo ndiyo UNK nchi yetu kuwa miongoni mwa nchi chache duniani ambapo utakuta mtaa wake mmoja kuna msikiti kanisa UNK na ofisi ya mganga wa jadi na taasisi zote hizo zinafanya UNK zake kwa amani na watu wote wanaishi kwa amani na UNK bila mfarakano alisema alipoulizwa na waandishi wa habari kuwa suala la mahakama ya kadhi liliibuliwa na chama chake cha ccm katika ilani yake bwana nyalandu alisisitiza kuwa masuala ya dini ya dini UNK kuachwa mbali na chama chochote cha siasa ili kuiepusha nchi na UNK kwa mujibu wa bwana nyalandu hoja yake hiyo UNK mkono na wabunge takribani kumi sifuri na watu wengine wa kada nyingine wakiwemo viongozi wa dini huku akiwa bado anaendelea kutafuta uungwaji zaidi alipopigiwa simu ili kujua msimamo wa ccm kuhusiana na hoja hiyo ya bwana nyalandu katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho bwana john chiligati alisema kuwa tayari wamekwisha kutoa tamuko juu ya mijadala inayohusiana na masuala ya imani na dini sina cha UNK siwezi kusema kingine tofauti na UNK na mkutano wa nec hivi karibuni ambapo tulisema kuwa serikali ikutane na wadau wote na kuyazungumza mambo hayo na kuyamaliza alisema bwana chiligati katika tamuko la nec ccm kiliamua kuwa suala la mahakama ya kadhi waachiwe waislamu wenyewe UNK bila kuihusisha serikali katika uendeshaji wake kwa upande wake hamad rashid ambaye ni UNK wa wawi na mkuu wa kambi ya upinzani bungeni alionesha wasiwasi kwa hoja kupata uungwaji mkono kwa kusema kuwa inaweza kupingana na katiba UNK bunge uhuru wa kujadili jambo lolote katika jamii nina wasiwasi kama hoja hiyo inaweza kuwa na ushawishi wa kutosha UNK kwa sababu ukisema leo UNK kujadili mambo ya dini kesho mwingine atakuja akiomba tuache kujadili mambo ya wafugaji mwingine atasema mambo ya wavuvi au wafanyakazi UNK naye katika kukataa watu kuchangia mijadala kwa ku UNK watu lakini siyo kuyajadili kabisa masuala hayo maana ni kama alivyosema mwalimu kuwa ukianza dhambi moja ya ubaguzi UNK nyingine the UNK thing is UNK alisema bwana hamad hoja hiyo ya bwana nyalandu imekuja wakati huu kukiwa na mkanganyiko mkubwa ndani ya jamii kuhusiana na masuala ya dini na siasa kuchanganywa kwa kiasi kikubwa hata baadhi ya watu kuhofia UNK nchi huko UNK masuala hayo ya dini UNK yamekuwa UNK watu katika msingi ya imani yao ni pamoja na kuwepo kwa madai ya kuundwa kwa mahakama ya kadhi huku ikiendeshwa na serikali nchi kujiunga na oic waraka wa kanisa katoliki na mwongozo kamti ya ashura ya waislamu mijadala kama vile kuruhusu kujiunga oic na kuanzishwa kwa sheria ya kuendeshwa kwa mahakama ya kadhi imekuwa UNK hata wabunge UNK katika vikao bungeni huku mmoja mmoja wakionekana kutetea kulingana na imani za dini zao waandishi wa habari walipotaka kujua kama wabunge ambao misimamo yao kuhusiana na masuala UNK watu hivi sasa kama vile kingunge UNK mwiru na bwana manju UNK wameunga hoja hiyo bwana nyalandu hakutaka kuweka wazi juu ya hilo kwa mujibu wa taratibu za kibunge siyo muda mwafaka kuweka wazi majina ya wabunge hao kumi sifuri wanaoniunga mkono katika hoja hii lakini wapo na UNK wengine wataongezeka UNK kwa makini kwa kuangalia mambo yote ikiwemo mambo ya katiba na sheria za nchi amiri jeshi mkuu na rais wa tanzania daktari jakaya kikwete ameyataka majeshi ya afrika mashariki kuyatumia mazoezi UNK jana kuboresha uhusiano baina ya wanajeshi na wananchi wa nchi wanachama pia amewataka kutumia mazoezi hayo UNK jina la mazoezi mlima kilimanjaro kuwa nafasi muhimu kwa majeshi hayo katika kukabiliana na UNK zinazowakabili wananchi hao ki afrika mashariki rais kikwete alikuwa akizindua mazoezi ya kwanza ya aina yake yanayotarajiwa kufanyika kwa takribani wiki tatu ya nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki katika mikoa ya arusha na tanga naamini kwa kufanya mazoezi haya ya pamoja UNK uzoefu kuongeza uhusiano kudumisha amani na mshikamano zaidi baina ya wanajeshi na wananchi wa nchi wanachama alisema rais alisema mazoezi hayo UNK baada ya nchi wanachama kuimarisha mahusiano baina ya nchi hizo na kwamba kwa kufanikisha mazoezi hayo na wazi UNK hao na wananchi kwa ujumla UNK UNK wanachama watajifunza mengi UNK nchi hizo yapo mengi makubwa na madogo UNK kuyafanya ikiwa na pamoja na kupunguza umaskini kwa wananchi wa nchi wanachama UNK mazoezi haya tutaongeza uwajibikaji umakini na nidhamu katika majeshi yetu alisisitiza makubaliano ya jumuiya ya afrika mashariki UNK wazi kwa majeshi yetu na vyombo vya usalama kwa kushirikiana katika nyanja mbalimbali ikiwa ni pamoja na mafunzo ya kijeshi oparesheni za pamoja masuala ya kiufundi na kubadilishana taarifa na UNK aliongeza uzinduzi huo ulioshirikisha mawaziri wa ulinzi wa nchi wanachama na waziri wa ulinzi wa tanzania daktari hussein mwinyi ambaye awali alisema kuwa mazoezi hayo yanaweza kupunguza kwa kisi kikubwa migogoro inayojitokeza katika nchi husika mazoezi hayo yanatarajiwa kufikia tamati septemba ishirini na tatu mwaka huu UNK kutoa mafunzo kwa majeshi na wadau wengine wa nchi hizo katika dhana za operesheni za ulinzi wa amani vita dhidi ya ugaidi na kukabiliana na maafa zaidi ya wanajeshi elfu moja na mia sita na hamsini UNK zoezi hilo kutoka nchi wanachama na idadi yao katika mabano tanzania rwanda kenya na uganda kila nchi na burundi wanajeshi hamsini rais jakaya kikwete ameitaka benki ya wanawake tanzania katika kutengeneza sera ya mikopo bila kusahau kilimo rais kikwete alitoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki alipokuwa akizindua rasmi benki hiyo ambapo pamoja na mambo mengine alisema kuwa anaelewa hisia na hasa hofu za benki kukopesha sekta ya kilimo nawaomba UNK hofu hizo ila UNK wala kuendeleza hofu na kuwafanya UNK sekta ya kilimo zaidi ya asilimia themanini ya watanzania wanaishi UNK na wanategemea kilimo katika kuleta maendeleo alisema alisema kuwa wengi wa watanzania hao UNK kilimo ni wanawake ambapo alidai kuwa benki hiyo ikitoa mikopo kwa sekta ya kilimo UNK wadau wengi na UNK mtoe mikopo kwa UNK wanaojihusisha na shughuli hizo mkifanya hivyo pia mtakuwa UNK katika utekelezaji wa mkakati mpya wa kusukuma kilimo maarufu kama kilimo kwanza alisema viongozi na waumini wa dini nchini wametakiwa kutumia mahubiri na nyimbo kuombea nchi iondokane na malumbano yanayoendelea yanayoashiria kuleta chuki mifarakano na uhasama na hivyo kuhatarisha amani na ustawi wa nchi hayo yalisemwa na naibu waziri wa kazi ajira na maendeleo ya vijana daktari makongoro mahanga katika hafla ya usiku wa marafiki wa agape iliyofanyika makao makuu ya shirika la dini la agape dar es salaam daktari mahanga alisema viongozi wa dini wanatakiwa kutumia fursa waliyonayo kuombea neema UNK hii ili mungu UNK maovu ukiwemo uhalifu wa ujambazi ubadhirifu rushwa na ufisadi alisema anaamini kwamba maombi na nyimbo za kumtukuza na kumwomba mungu zinaweza kuondoa balaa na maovu nchini badala ya viongozi wa dini kutumia utaratibu wa wenyewe UNK vidole na viongozi wa kisiasa na dini nyingine akizungumzia tatizo la ukosefu wa ajira nchini alisema linasababishwa na ukosefu wa mitaji elimu na hali ya uchumi na vijana UNK kukuza na kutumia vipaji walivyopewa na mungu hivyo akawataka wawe wabunifu na thomas dominick masheikh nchini wametoa tamko la kulaani vikali tukio la kushambuliwa na kupigwa kofi rais mstaafu bwana ali hassan mwinyi na kijana ibrahim said wakati wa baraza la maulid lililofanyika ukumbi wa diamond jubilee wakitoa tamko hilo dar es salaam jana masheikh waliohudhuria mkutano ulioandaliwa na taasisi ya mwinyi baraka UNK foundation ambapo msemaji mkuu sheikh mohamed idd imamu wa msikiti wa UNK alisema waislamu inabidi kulaani kitendo hicho na kama wanataka kupeleka ujumbe watumie njia sahihi masheikh UNK kwa kina na mfumo sahihi wa kufikisha ujumbe katika jamii ikizingatia kitendo cha kushambuliwa bwana mwinyi na misimamo mbalimbali iliyotolewa kuhusisha uislamu na mafundisho yake alisema sheikh idd katika mkutano huo ambapo pia ulihudhuriwa na mufti mkuu wa tanzania sheikh issa shaban bin simba baada ya majadiliano ya kina wanasheria wa kiislamu walitoa msimamo wa pamoja kuhusu njia sahihi ya kufikisha ujumbe kwa jamii ikiwemo kutaka UNK ujumbe kuwa na elimu juu ya kuufikisha kuwa mpole wakati wa kufikisha na kuzingatia maslahi kwa UNK ili kuepusha madhara kwake na jamii UNK ujumbe masheikh hao walisema kitendo cha kupigwa bwana mwinyi ni kibaya na UNK uislamu wala maadili ambayo waumini wa kiislamu wanatakiwa UNK wote UNK mkono kwa madai ya kufuata mafundisho ambayo yametolewa na mtume mohamed wanasumbuliwa na matatizo ya ufahamu wa mafundisho hayo maslahi binafsi ya kisiasa na uchumi na kushindwa kuzingatia yale yaliyosemwa na mzee mwinyi ambaye UNK matumizi ya kondomu alisema alisema bwana mwinyi aliwataka masheikh kutoa maelekezo na misimamo ya pande mbili za waislamu juu ya njia ya kukabiliana na maradhi ya ukimwi ambayo inasisitiza na kuweka wazi kuwa zinaa ni dhambi kubwa na chukizo mbele ya mungu hata hivyo walitumia fursa hiyo kumpata pole bwana mwinyi kwa UNK na wamefarijika na UNK mungu wake ambao ulisababisha kumsamehe kijana huyo mara tu baada ya tukio kutokana na tatizo hili tumeamua kuunda jopo wataalamu wa dini na wanasheria wa kiislamu kwa ajili ya kufuatilia matukio mbalimbali yanayohusu uislamu kitaifa kikanda na kimataifa na kuyatolea kauli muafaka na majibu sahihi kwa wakati alisema tamko hilo UNK saini na masheikh watano kwa niaba ya wote waliohudhuria kikao hicho ambao ni sheikh UNK UNK sheikh suleiman UNK sheikh shehata shaban sheikh muharami juma doga na sheikh abubakari UNK wabunge wa chama cha mapinduzi wanaopinga ufisadi nchini wameibuka kwa staili ya vijembe na kuendelea UNK mafisadi wakitumia mafumbo nukuu za biblia koran na hata nyimbo za taarab kufikisha ujumbe staili yao hiyo mpya iliibuliwa juzi wakati kundi la wabunge hao UNK nafasi ya kusalimia wananchi wa jimbo la nzega mkoani tabora katika uzinduzi wa mfuko wa akiba na kukopa wilayani humo uliofanyika kwenye viwanja vya kanisa la pentekoste UNK bwana lucas seleli mbunge wa nzega ambaye ndiye aliyekuwa mwenyeji wao alishika kipaza sauti saa saba arobaini na tano mchana aliyewataka wananchi waunge mkono jitihada zao na rais jakaya kikwete katika kupambana na ubadhirifu wa mali za nchi mbunge wa kishapu bwana fred mpendazoe ndiye aliyekuwa wa pili kuzungumza alisema kwa mafumbo si rahisi mtu kuukumbatia UNK bali ni rahisi kuuzunguka lakini akabainisha kuwa bwana UNK ameweza kuukumbatia hivyo naye amefuata nyayo zake kwa kuukumbatia UNK alisema watu wamekuwa UNK kujadili mambo mazito ya taifa na kutafuta njia za mkato nchi inakwenda pabaya inahitaji ujasiri wa hali ya juu nawaomba tumuunge mkono rais jakaya kikwete kwani ana nia ya dhati ya kulikomboa taifa hili tumuunge mkono spika wa bunge la tanzania samwel sitta kwani ana nia ya dhati ya kupigania maslahi ya taifa muungeni mkono watu wanaotoa mali zao kutetea wanyonge muungeni mkono mengi UNK mkono UNK mhanga selelii mwakyembe sendeka kilango na wengine alisema mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ccm bwana nape nnauye ambaye pia ni katibu msaidizi idara ya siasa na uhusiano wa kimataifa ccm makao makuu ndiye alikuwa wa tatu kuzungumza akikamata kipaza UNK saa nane kumi na mbili na kusema hata babu huwa UNK UNK zake wapeleke mkono sehemu UNK kugusa mimi ndiye UNK utekelezaji wa ilani ya ccm UNK aseme hao waache wafanye UNK na UNK kama mjukuu na babu lakini wakipeleka mkono UNK UNK huko hapa safari ya mamba na kenge hawakosi hivyo katika safari hii ipo haja ya UNK mamba ni nani na kenge ni nani mnyonge UNK lakini haki yake mpeni na mwenye macho UNK tazama alimalizia bwana nape na kumpa kipaza sauti mbunge wa kilindi beatrice shelukindo aliyewataka watanzania UNK kupambana na mafisadi aliyepokea UNK sauti kutoka kwa bibi shelukindo saa nane thebathini na moja alikuwa mbunge wa simanjiro bwana christopher ole sendeka UNK alianza kunukuu maandiko ya biblia akisema yesu alisema UNK aibu nami UNK aibu katika mambo UNK aibu ni haya ya kumsaidia mnyonge na maskini pia alinukuu UNK kumweleza mtume muhammad alivyoweza kuishi na watu bila UNK kisha UNK wote UNK uongozi kwa misingi ya dini kama haitoshi bwana sendeka aliimba wimbo UNK mafisadi baadhi ya maneno UNK walipewa dhamana na kuaminiwa leo wamegeuka mafisadi UNK chama na nchi yetu ndipo tena akaanza UNK kwa wimbo wa taarab usemao kupendwa ni bahati yangu na wala si mzizi kutumia huku akishangiliwa na UNK alipopewa kipaza sauti saa nane arobaini na mbili mbunge wa kyela daktari harison mwakyembe alieleza kwa ufupi kuwa kwakua mafisadi wanatumia fedha kufanya mambo yao wananchi wakipewa fedha UNK lakini UNK wanayotaka mafisadi ndipo UNK mwenyekiti mtendaji wa ipp bwana reginald mengi bwana mengi aliyepewa kipaza sauti saa tisa ishirini na tano alieleza umma wa wananchi waliokusanyika kuwa anashangazwa na watu UNK juhudi za kusafisha ufisadi nchini na kusema binafsi hatoi misaada kwa kusaka madaraka wanasiasa wana wivu wakiona unashangiliwa sana wanadhani unataka kuwanyangganya madaraka yao mimi sitaki siasa na wala madaraka yao sipendi uongozi wa kisiasa sipendi uongozi wowote alieleza bwana mengi chama cha wananchi kimeeleza wasiwasi kuhusu mwenendo wa uchaguzi wa serikali za mitaa na kusema hautakuwa huru na haki hayo yalisemwa jana dar es salaam na mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba kuwa ni miaka arobaini na nane tangu tanzania ilipopata uhuru lakini imeshindwa kusimamia uchaguzi kuwa huru na wa haki huu usanii utaendelea hadi lini tunahitaji tume huru ya uchaguzi ili tuweze kupata viongozi waadilifu UNK maendeleo ya nchi alisema profesa lipumba alisema kasoro zilizojitokeza katika uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa upande wa serikali za mitaa na mgawanyo mbovu wa mitaa ni kielelezo kuwa UNK huo hautakuwa wa haki na huru alisema mgawanyo huo umezingatia maslahi ya kisiasa badala ya vigezo vya msingi vya kugawa maeneo kama vile wingi wa watu ukubwa wa UNK na upatikanaji wa huduma muhimu za kijamii maeneo mengi ya mitaa hii mipya UNK baada ya kuona kuna wana ccm wakihisi ndio njia ya kujipatia maeneo ya kutawala alisema profesa lipumba alisema kukataliwa kuandikishwa katika daftari kwa wananchi ambao wameshindwa kujua tarehe zao za kuzaliwa hata kama kama wanatambua mwaka wao wa kuzaliwa ni kuwanyima haki ya msingi wananchi alisema cuf inalaani kitendo cha naibu waziri wa tamisemi bibi celina kombani kupuuza makubaliano ya mkutano wa wadau kuhusu kanuni na taratibu za uchaguzi wa viongozi wa vijiji mitaa na vitongoji ishirini sifuri tisa yaliyofikiwa hivi karibuni pia alielezea cuf chama chake kusikitishwa na jeshi la polisi kutumiwa ili kudhoofisha shughuli za maandalizi ya uchaguzi wa chama hicho ambapo viongozi wa jeshi UNK wamegeuka kuwa makada wa ccm badala ya kuwa watumishi wa umma hujuma tena treni UNK kuangushwa baada ya UNK kamanda wa polisi kitengo cha reli azungumza siku mbili baada ya wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania kufanya mgomo wakidai mshahara na hatma ya ajira yao limetokea kundi maalumu lenye nia ya kutaka kuangusha treni mbili za abiria katika maeneo mawili tofauti jijini dar es salaam tukio la kwanza limetokea juzi eneo la gongolamboto saa moja usiku baada ya kuondolewa kipande cha reli wakati treni namba sabini na tatu r kumi na tisa ikitoka mwanza kupitia kigoma kwenda dar es salaam hata hivyo kabla ya treni hiyo kufika eneo hilo wasamaria wema walitoa taarifa kwa kamanda wa polisi kitengo cha reli bibi ruth makelemo ambapo alifika katika eneo la tukio akiwa na askari pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa trl na UNK dereva kusimama kabla ya kufika eneo hilo akizungumza na wafanyakazi waliokuwa UNK kiongozi kutoka serikalini bibi makelemo alisema taratibu za kiufundi zilifanyika na kuweza kuepusha hujuma hizo ambazo haijulikani ni kutoka upande wa wafanyakazi wenyewe au rites katika tukio la pili jana saa nne asubuhi eneo la stesheni wakati treni namba trl sabini na tatu r kumi na tisa ikiwa inakaribia inaingia kituoni ghafla mtu mmoja UNK alijitokeza na kubadili njia kwa lengo la UNK wafanyakazi waliokuwepo karibu kwa jitihada za haraka na uzoefu wao walikimbia na kuirudishia njia ile huku wakipiga UNK kuashiria mwizi na wengine kuanza kumfukuza ili kumkamata lakini kwa bahati baya UNK pasipo UNK eneo la barabara ya kawawa hata hivyo taarifa hiyo UNK kwa bibi makelemo kwa mara ya pili aliamua UNK za kufungwa kwa njia zote za treni na kuweka UNK wa askari hadi hapo migogoro hiyo itakapomalizika na hasa UNK na vifaru vya uganda ambavyo hadi sasa UNK kusafirishwa kutokana na mgomo huo alisema kutokana na hali ya kutokuwepo usalama kwenye njia za treni kutakuwepo na operesheni itakayohusisha wahandisi askari na fundi kwa ajili ya ukaguzi wakati wa usafirishaji wa abiria na vifaru hivyo akizungumzi abiria waliokwama siku tatu kusafiri alisema kuwa nauli zao UNK na abiria waliotakiwa kusafiri jana hata hivyo alieleza kuwa ma kabla ya kurudisha fedha hizo UNK malumbano kati ya mwekezaji rites bwana UNK UNK UNK UNK nauli kitu ambacho UNK na kuagiza askari kushirikiana naye kutoa huduma ya kurudisha nauli hizo bibi makelemo alisema kuwa abiria tisa waliokamatwa juzi kwa kusababishwa vurugu watafikishwa leo mahakamani kusomewa shitaka la kuanzisha fujo hatma ya wafanyakazi hao itajulikana leo baada ya waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa kutoa taarifa kwa viongozi wa trawu kuwa atafika leo ili kuwasikiliza matatizo yao katika mgomo huo UNK makundi mawili ambayo kundi la kwanza lipo kwa mwekezaji ambalo UNK majina ya wafanyakazi wenzake na kumweleza kuwa ndio chanzo cha migogoro kitu ambacho kimeleta hofu baada ya kupatikana majina sabini na mbili ya wafanyakazi wanaotakiwa kufukuzwa kazi leo kwa kauli ya pamoja viongozi wa trawu na wafanyakazi wameahidi kukutana leo asubuhi ili kumsubiri daktari kawambwa na kusema kuwa kamwe UNK kuchukua barua hizo labda wafukuzwe wote kazini migogoro na migomo mingi imekuwepo katika UNK hiyo ya trl tangu menejimenti ya iliyokuwa shirika la reli tanzania kukabidhi trl huku wafanyakazi wakidai haki zao mbalimbali na kusababisha ufanisi wa kampuni hiyo kuwa dhaifu mara ya mwisho wafanyakzi hao kugoma ilikuwa mwanzoni mwa agosti na UNK kushinikiza kusainiwa kwa mkataba wa hali bora ambao tayari UNK lakini baada ya mvutano mkubwa na mgomo huu unaoendelea ulianza tangu ijumaa siku moja baada ya kamati ya mashindano ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania kuwafungia kocha mkuu wa timu ya yanga dusan kondic na kiungo wake athuman idd chuji uongozi wa timu hiyo UNK na adhabu aliyopewa chuji kwa UNK kuwa ni kubwa mno kamati hiyo iliwafungia kondic kutojihusisha na masuala ya soka kwa michezo mitatu mfululizo huku chuji akifungiwa miezi mitatu kucheza soka na pia UNK faini ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kutokana na mashabiki wao kufanya fujo kitendo ambacho yanga inadai UNK wakizungumza kwa nyakati tofauti dar es salaam jana msemaji wa timu hiyo louis sendeu alisema adhabu iliyotolewa kwa chuji ni kubwa kwani inaonekana ni kutaka kuikomoa yanga sijawahi kusikia au kuona mchezaji anafungiwa kwa muda mrefu tena kwa kosa kama lile analodaiwa kufanya ingekuwa jambo la busara kama UNK faini au UNK kipindi kile wenzetu walioendelea mambo ya UNK muda mrefu kwa sasa hakuna alisema sendeu alisema wanashindwa UNK kamati iliyotoa uamuzi huo walikuwa na lengo na kwani anadhani kwa mtindo huo soka la hapa nchini halitaweza kukua kutokana na kuwa adhabu zinazotolewa ni za kukomoana na si za maendeleo naye katibu mtendaji wa klabu hiyo lawrance mwalusako alisema licha ya kamati hiyo kutoa maamuzi yao lakini wao kama yanga watakaa chini na kutafakari kujua la kufanya baada ya uamuzi huo alisema hadi jana mchana walikuwa UNK barua yoyote ya kuelezea adhabu hizo lakini kwa kuwa klabu yao huifadhi kumbukumbu ya matukio yote wataangalia katika kumbukumbu za mchezo wa kwanza na kisha watajua la kufanya baada ya mabingwa watetezi wa ligi kuu tanzania bara yanga kukwaa kisiki kwenye mchezo dhidi ya majimaji jumamosi leo wanatarajia kurudi dar es salaam kuwa UNK maafande wa jkt ruvu katika mechi UNK uwanja wa uhuru yanga ambayo imeanza vibaya katika hiyo baada ya kutoka sare ya bao moja moja kwenye mechi ya ufunguzi dhidi ya african lyon na baadaye kuzinduka na kuichapa manyema mabao tatu sifuri kabla ya kukutana na kipigo cha bao moja sifuri kutoka kwa majimaji mabingwa hao leo watashuka uwanjani bila ya kocha wake mkuu dusan kondic na kiungo wake wa kutegemea athumani idd chuji baada ya kufungiwa na shirikisho la mpira wa miguu tanzania kutokana na utovu wa nidhamu mchezo huo unatarajiwa kuwa mgumu kwa yanga kutokana na kuhitaji ushindi kwa hali na mali ili kurudisha matumaini kwa wapenzi wa klabu hiyo baada ya kuvurunda katika UNK iliyopita wakati mabingwa hao wakipiga hesabu za ushindi jkt nayo itakuwa UNK kuhakikisha inatoka na pointi zote tatu katika mechi hiyo dhidi ya yanga na kuhakikisha UNK vizuri katika msimamo wa ligi hiyo kwani hadi sasa imepoteza mechi moja tu akizungumzia mechi hiyo msemaji wa yanga louis sendeu alisema mchezo huo utakuwa mgumu kwao kutokana na wachezaji wake kuwa na uchovu wa safari ikiwa ni pamoja na kuwakosa nyota wao ambao wapo nje ya nchi UNK timu zao za taifa UNK huu ni mgumu kwetu kutokana na ratiba mbovu iliyopangwa na tff tumerudi jana usiku kesho tunatakiwa kucheza wachezaji hawawezi kuwa katika hali nzuri ya kucheza pia hatutakuwa na wachezaji wetu waliokuwa na timu zao za taifa labda wisdom ndhlovu ndiyo pekee anaweza kurudi alisema sendeu sendeu alisema wanatarajia kuwatumia wachezaji steven bengo na moses odhiambo kama tff itatoa ruhusa kwani muda wao wa kuwaombea itc UNK bila ya vyama vyao kutoa hati hizo kwa upande wake kocha wa jkt charles kilinda alisema wanatarajia kuibuka na ushindi katika mchezo huo kwani kikosi chake UNK vizuri kwa mchezo huo huku akiahidi kurekebisha makosa ya umaliziaji yaliyofanya katika mchezo wake wa mwisho dhidi ya mtibwa sugar watu wasiofahamika wamemuua kwa kumkata na kitu chenye ncha kali kichwani na mdomoni bwana richard UNK mkazi wa kitongoji cha UNK kata ya UNK manispaa ya sumbawanga mkoani rukwa na kumnyofoa meno manne sehemu zake za siri na kutoweka nazo kamanda wa polisi mkoa wa rukwa bwana isunto mantage alisema jana kuwa mauaji hayo yalitokea mwishoni mwa wiki nyumbani kwa marehemu ambapo walichukua mwili wake na UNK shambani alisema wauaji hao walimtoa meno manne ya juu na kumnyofoa sehemu za siri aidha alisema kuwa kufuatia tukio hilo polisi walianza uchunguzi na kufanikiwa kuona michirizi ya damu ikitokea nyumbani kwa mke mkubwa wa marehemu huyo hadi katika eneo UNK mwili huo kamanda mantage alisema kuwa kufuati tukio hilo jeshi hilo UNK mke huyo mkubwa bibi flora mwanakatwe kwa uchunguzi zaidi kuhusiana na mauaji hayo katika kipindi cha wiki mbili zilizopita wanawake watatu UNK na jeshi hilo kwa tuhuma ya kuhusika na mauaji ya waume zao aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi katika benki kuu ya tanzania bwana amatus liyumba amekwama kufika kufika mahakamani kuendelea na kesi yake kutokana na kuugua hatua ya kuugua bwana liyumba ilijulikana jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kusikilizwa mbele ya jopo la mahakimu bwana lameck mlacha bwana edson UNK na bwana benedict UNK akiomba kuahirisha kesi hiyo wakili wa serikali bwana justus mlokozi aliiambia mahakama kuwa pamoja na upande wa mashitaka kuwa tayari kwa ajili ya kuanza kusikilizwa kwa kesi ya bwana liyumba wanaomba UNK kutokana na mshitakiwa huyo kushindwa kufika mahakamani kutokana na kuugua kwa mujibu wa taarifa UNK kutoka jeshi la magereza ni kwamba mshitakiwa ni mgonjwa asingeweza kuletwa mahakamani hapa kuendelea na kesi yake kutokana na hali hiyo tunaomba ipangwe tarehe nyingine kwa ajili ya usikilizwaji wa awali ili haki ya mshitakiwa huyo iweze kutendeka alisema bwana UNK hoja hiyo pia iliungwa mkono na upande wa utetezi kupitia wakili wa mshitakiwa huyo bwana majura magafu ambaye alisema kesi hiyo ipangiwe tarehe nyingine kwa ajili ya kusikilizwa kutokana na hoja hizo mahakama ilipanga kutajwa kwa kesi hiyo septemba ishirini na moja na kusikilizwa septemba ishirini na tano mwaka huu hivyo ikaagiza kuletwa mshitakiwa katika tarehe hizo bwana liyumba anakabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya ofisi yake akiwa mtumishi wa bot ambapo anadaiwa kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kwa kuidhinisha malipo ya majengo pacha ya bot bila idhini ya bodi ya wakurugenzi mshitakiwa huyo anasota rumande kwa kipindi kirefu sasa kutokana na kushindwa kuhimili masharti ya dhamana ambayo UNK kuweka nusu ya fedha mahakamani zinazotokana na hasara hiyo watuhumiwa wengine wawili akiwemo raia wa burundi wanaodaiwa kuhusika na tukio la mauaji katika benki ya nmb tawi la temeke dar es salaam wamefikishwa mahakamani watuhumiwa hao walifikishwa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam ambapo mmoja wao bwana richard muhonza ambaye ni raia wa burundi alisomewa mashitaka akiwa amelala baada ya kushindwa kukaa wala kusimama kutokana na alichodai kupigwa na polisi na kumsababishia maumivu makali kufikishwa kwa watuhumiwa hao wawili kunafanya idadi ya watuhumiwa katika kesi hiyo kufikia kumi ambao wanatarajiwa kuunganishwa kwenye kesi hiyo kesho kutwa washitakiwa hao ni bwana muhonza na bwana seleman nzowa ambao wote kwa pamoja wanadaiwa kuwa julai thebathini na moja mwaka huu wakiwa katika benki ya nmb tawi la temeke waliwaua marehemu seif mkweke na e mia tatu na ishirini na tisa cpl josephat hata hivyo hawakutakiwa kujibu chochote katika mashitaka hayo kutokana na mahakama kutokuwa na uwezo wa kusikiliza kesi hiyo watuhumiwa wengine ni boniface joseph deogratius masawe mkazi wa moshi elfu hamsini na tano na mia tisa na thebathini na tano sgt mathew mwangunga ambaye ni askari wa jeshi la wananchi na mkazi wa kibaha antony sokya said hamisi issack abuu mkazi wa moshi jopo salum na yusuph rajab ambao UNK na wenzao kesho kutwa mauaji haya yalisababishwa na uporaji wa fedha katika benki hiyo ambapo silaha kali yakiwemo mabomu ya kutupa yalitumika na zaidi ya shilingi milioni sitini ziliporwa kutokana na hali aliyokuwa nayo bwana muhonza mahakama iliamuru uongozi wa magereza UNK hospitali kwa ajili ya matibabu wakati huo huo waandishi grace ndossa na mercy james wanaripoti kuwa jeshi la polisi kanda maalum ya dar es salaam limefanikiwa kukamata watuhumiwa wengine sita akiwemo mwanamke mmoja wanaodaiwa kuhusika katika tukio la mauji na uporaji ya nmb temeke akizungumza jana kamanda wa polisi kanda maalum ya dar es salaam bwana suleiman kova alisema watuhumiwa hao walipatikana baada ya kufanyika msako katika mikoa ya arusha mwanza pwani na dar es salaam kwa kutumia vikosi maalumu vya kudhibiti vitendo vya uhalifu bwana kova alisema watuhumiwa hao walikutwa na silaha tatu ambazo ni smg namba ab mbili saba sita tatu nane tatu sita na risasi arobaini magazine moja ikiwa na risasi thebathini na magazine nyingine na risasi kumi alisema silaha nyingine ni bastola aina ya UNK namba sifuri saba tatu sifuri tisa tano ikiwa na risasi mbili na aina ya UNK ikiwa na risasi sita kwenye magazine na zingine kumi zikiwa kwenye UNK ya sigara na kufichwa kwenye UNK aliwataja watuhumiwa wanne kati ya waliokamatwa kuwa ni wilbert UNK mkazi wa arusha bwana muhonza raia wa burundi anayedaiwa kuingiza mabomu ya kurusha kwa mkono na ambaye tayari amefikishwa mahakamani jana na seleman nzowa mkazi wa kigogo mburahati dar es salaam alimtaja mwanamke mmoja mkazi wa mburahati halima mvungi kuwa anashikiliwa kwa tuhuma za kuhifadhi majambazi pamoja na silaha watuhumiwa wawili UNK majina kwa maelezo kwamba bado jeshi la polisi linaendelea na mahojiano mkazi wa yombo vituka jijini dar es salaam mchungaji denis milanzi anaendelea kushikiliwa na polisi kuhusiana na kifo cha mkewe bibi rose marcel ambaye UNK kwa moto chumbani kwake na kufariki dunia katika hospitali ya muhimbili juzi akizungumza na majira kwa njia ya simu jana kamanda wa polisi mkoa wa temeke bwana liberatus sabas alidai kuwa mchungaji huyo wa kanisa la the winners lililopo banana ukonga jijini dar es salaam anahusishwa na kifo hicho kwa vile hakutoa ushirikiano wowote kwa UNK bwana sabas alisema licha ya tuhuma hizo za mauaji alikuwa na ugomvi mkubwa na mkewe kwa muda mrefu UNK mchungaji huyo kutaka kuoa mke mwingine kutoka katika kanisani lake kamanda huyo alisema kuwa kuwa saa saba usiku wa kuamkia jumamosi wakati mchungaji alipokuwa sebuleni UNK moto ulizuka chumbani ambako marehemu alikuwa amelala ndipo majirani walisikia kelele za kuomba msaada na kufika eneo la tukio kamanda alisema majirani walipofika walikuta mwanamke huyo akiwa UNK kutoka chumbani baada ya mume wake kufungua mlango ambako moto UNK alisema majirani walimbeba na kumkimbiza katika hospitali ya taifa ya UNK kupatiwa matibabu huku mchungaji huyo akiwa amebaki nyumbani pasipo kutoa ushirikiano inadaiwa huyu mtuhumiwa alikuwa anataka kuoa mke wa pili kwa madai kuwa mkewe si mke halali kwa kuwa alikuwa akipinga kusali kanisani kwake na yeye alitaka kuoa mke mwingine UNK naye alisema hata hivyo ndugu wa marehemu na majirani walisema kulikuwa na ugomvi wa muda mrefu kuhusu kuwepo kwa ndoa nyingine ambapo marehemu alikuwa akipinga hatua hiyo pia inadaiwa alikuwa akipokea ujumbe wa simu wa vitisho katika simu yake kutoka kwa mtuhumiwa kuwa ipo siku atakufa hali ambayo ilisababisha kuamini kuwa tukio hilo limesababishwa na yeye mwenyewe jitihada za kuokoa maisha yake zilishindikana kwani alifariki wakati akipatiwa matibabu UNK hapo polisi wanaendelea na uchunguzi kuhusiana na tukio hilo na mtuhumiwa atafikishwa mahakamani mara upelelezi utakapo kamilika mbunge wa jimbo la morogoro kusini mashariki bwana sameer lotto jana UNK makali ya dola baada ya kukamatwa na jeshi la polisi na kuswekwa mahabusu kwa tuhuma za kukaidi mwito wa jeshi hilo kumtaka kuripoti kituoni hapo kwa madai ya kumshambulia mfanyakazi wa mamlaka ya maji safi na maji taka morogoro akiwa kazini mwandishi wa habari hizi alishuhudia mbunge huyo UNK na polisi katika eneo lake la ujenzi lililoko barabara ya zamani ya dar es salaam na baadaye kupandishwa kwenye gari la polisi toyota land cruiser namba t mia moja na themanini na tano UNK kwanza alifikishwa ofisi ya upelelezi mkoa na baadaye kupelekwa kituo cha polisi kati na kuwekwa chini ya ulinzi saa sita arobaini mchana akizungumzia mazingira ya tukio hilo mtumishi wa moruwasa ambaye alikuwa eneo la kituo hicho bwana michael mapunda alidai kuwa alifanyiwa kitendo hicho na mbunge huyo agosti ishirini mwaka huu saa sita mchana katika eneo lake la ujenzi barabara ya zamani ya dar es salaam alidai kuwa UNK shingo na mbunge huyo baada ya kumuuliza kuwa UNK maji eneo hilo au la kauli ambayo UNK mtumishi huyo anadai alimtaka mbunge huyo UNK kwanza deni lake analodaiwa ndipo UNK huduma hiyo ambapo UNK bwana mapunda alidai kuwa katika tukio hilo mbunge huyo pia UNK faili alilokuwa UNK kumbukumbu za wateja na nyaraka zingine za ofisi pamoja na fedha taslimu shilingi mia moja na hamsini sifuri sifuri sifuri alisema kutokana na tukio hilo alilazimika kulifikisha suala hilo polisi kwa ajili ya hatua za kisheria ambapo polisi waliendelea na uchunguzi hadi jana mchana UNK alifafanua kuwa kutokana na kumbukumbu zilizopo moruwasa mbunge huyo anadaiwa kiasi cha shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri ikiwa ni deni lake la muda mrefu ambalo anadaiwa UNK maji kinyume cha sheria alisema hata hivyo baada ya kukatiwa maji mbunge huyo anadaiwa kutumia ya jirani yake ambayo alikuwa akidaiwa kiasi cha shilingi saba sabini sifuri na ili kurejeshewa huduma hiyo alipaswa kulipa kiasi cha shilingi kumi sifuri sifuri sifuri ikiwa ni faini pamoja na deni mbunge huyo UNK UNK rb UNK rb elfu nane na mia moja na themanini na saba sifuri tisa na mo moja r elfu nne na mia saba na tisini na saba sifuri tisa katika kituo cha polisi kati mjini morogoro na nyakasagani masenza polisi jijini dar es salaam jana walilazimika kurusha risasi hewani wakati UNK na vijana wawili wenye asili ya kiasia wanaodhaniwa kuwa majambazi sakata hilo lililofananishwa na mchezo wa kuigiza ndani ya filamu za kibabe lilianzia makutano ya barabara ya nyerere na kawawa ambapo vijana hao wakiwa ndani ya gari aina ya toyota land cruiser lenye namba t mia saba na ishirini ang walipotakiwa kujisalimisha kwa polisi polisi waliokuwa na land rover mia moja na kumi namba t kumi tano UNK UNK njia gari la vijana hao waliokuwa wakitokea barabara ya nyerere mbele ya taa za usalama barabarani ili UNK hata hivyo dereva wa gari hilo alikataa kutii amri hiyo na UNK gari la polisi kwa kasi kwenye taa nyekundu akienda upande wa keko nalo gari la polisi likiwa na askari wenye silaha UNK nyuma kwa kasi gari la vijana hao lilipofika kituo cha daladala keko fenicha ambako magari yalikuwa UNK barabara dereva UNK kwa staili ya aina yake na kuwaacha polisi UNK kugeuza gari lao baada ya polisi kufanikiwa UNK gari lao walianza tena UNK gari hilo na hatimaye kuwatia mbaroni vijana hao baada ya kurusha risasi mbili hewani UNK UNK karibu na kiwanda cha simba UNK kufuatia kukamatwa kwa vijana hao wanaodaiwa kuwa majambazi umati mkubwa wa wananchi ulijaa kushuhudia tukio hilo wakati polisi UNK chini ya UNK wa gari lao na hatua zaidi wananchi walioshuhudia tukio hilo walisema eneo hilo limekuwa na matukio ya mara kwa mara yanayohusisha polisi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi kurushiana risasi aliyekuwa mgombea wa serikali ya mtaa wa ubungo kibangu kinondoni dar es salaam kwa tiketi ya tpp maendeleo bwana maulid lugonzo amesema ni vigumu kwa rais jakaya kikwete kutoa tamko la kukataa waraka wa kanisa katoliki na mwongozo wa waislamu kwani alikubali kuitwa chaguo la mungu akizungumza na gazeti hili jana dar es salaam bwana lugonzo alisema ni vigumu kwa viongozi wa nchi hii kutenganisha dini na siasa kutokana na wanasiasa wengi kukubali kuungwa mkono na taasisi za kidini alisema jambo hilo UNK wakati askofu wa kanisa la full gospel bible fellowship zacharia kakobe alipojitokeza hadharani kumpigia kampeni mwenyekiti wa tanzania labour bwana augustino mrema kwa kuwa siasa inaweza kuizungumzia dini vivyo hivyo hata dini inaweza kuizungumzia siasa ndio maana ccm wakati inakwenda kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini sifuri tano ilibeba nguvu ya maaskofu alisema bwana lugonzo alisema viongozi wa juu wa kanisa katoliki nchini waliwahi kusimama na kusema rais kikwete ni chaguo la mungu lakini bwana kingunge ngombale mwiru hakusema kitu lakini baada ya wakatoliki kutoa waraka kwa ajili ya elimu ya uraia katika uchaguzi mkuu ujao bwana kingunge aliibuka na kudai wanachanganya dini na siasa bwana lugonzo alisema jambo hilo UNK kuwa ccm ipo zaidi kwa ajili ya maslahi ya kichama na si kitaifa ndiyo maana iko tayari kukubali kuungwa mkono na taasisi za dini ili kushinda kwa kishindo na kutoa ahadi katika ilani yake kama hoja ya waislamu kuwa na mahakama ya kadhi na kujiunga na oic leo mashekhe na maaskofu UNK na kuipigia debe ccm hakuna atakayesema UNK lakini UNK utaona wanadai kuwa wanachanganya dini na siasa alisema bwana lugonzo wafanyakazi wa kampuni ya reli nchini jana walirejea kazini ikiwa ni siku moja baada ya mkutano wao na waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa wakizungumza na majira dar es salam jana wafanyakazi hao walisema wameamua kurudi kazini ili kutoa nafasi kwa serikali kushughulikia matatizo yao kamanda wa polisi kitengo cha reli bibi ruth makelemo alithibitisha kuwa safari za treni zitaendelea kama UNK hata hivyo wafanyakazi hao walionesha wasiwasi juu ya mishahara yao kufuatia kitendo cha UNK mkuu wa kampuni ya rites ya india bwana vinay agarwal kushikilia msimamo wake wa kutaka kusitisha huduma za usafirishaji kuanzia septemba kumi mwaka huu kampuni inakabiliwa na madeni makubwa kutoka kampuni UNK ya usambazaji wa mafuta mbao na magurudumu ya mabehewa hivyo tuna wasiwasi kama shughuli UNK mishahara yetu itatoka wapi alisema mmoja wa wafanyakazi hao aidha wafanyakazi hao UNK jeshi la polisi nchini kufuta mashitaka dhidi ya abiria saba waliofikishwa mahakamani kwa kosa la kufanya mkusanyiko kinyume cha sheria na kusababisha usumbufu kwa watumiaji wa barabara hata hivyo bibi makelemo alisema wasimamizi wa miundombinu na mali zote za reli wana haki ya kufikishwa mahakamani kwa kuuza baadhi ya injini na mabehewa bila kuishirikisha serikali malalamiko yanayotolewa na wafanyakazi wa trl juu ya kampuni ya rahco ni ya haki na ya msingi kwa kuwa kitendo hicho hakikuwa cha UNK alisema alisema kamati iliyoundwa kuchunguza madai hayo haina budi kutoa majibu ya kweli kwa kuwa kila mfanyakazi anafahamu ukweli wa suala hilo na ushahidi UNK hata hivyo UNK hali ya mwekezaji alidai yeye hana mamlaka ya kuelezea udhaifu wake bali alikabidhiwa mamlaka na serikali ya kumlinda mwekezaji ili UNK gazeti hili lilifika katika ofisi za rahco ili kupata ufafanuzi lakini uongozi wote ulikuwa kwenye kikao kuzungumzia suala hilo na kuahidi kukutana na waandishi leo hata hivyo mjumbe wa chama cha wafanyakazi wa reli ambaye hakutaka jina lake liandikwe gazetini alisema hujuma za kuangusha treni za juzi zilifanywa na wafanyakazi wa zamani wa trc na si wafanyakazi wa trl jumla ya wanafunzi moja sifuri mbili sita themanini sita nchini wanafanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi leo naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi bibi mwantumu mahiza jana aliwaambia waandishi wa habari dar es salaam kuwa idadi hiyo imepungua kwa asilimia moja tisa ikilinganishwa na mwaka jana akitoa taarifa ya mtihani huo bibi mahiza alisema idadi ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mitihani hiyo mwaka huu ni moja sifuri mbili sita themanini sita ambapo kati yao wasichana ni mia tano na kumi na nne mia tisa na sitini na sita na wavulana ni mia tano na kumi na moja mia nane na arobaini kati ya ya watahiniwa hao kumi na tatu mia moja na themanini na tisa wanatarajiwa kufanya mtihani kwa lugha ya kiingereza ambayo wamekuwa wakiitumia UNK mtihani huo utafanyika katika masomo matano ambayo ni kiswahili kiingereza sayansi hisabati na maarifa ya jamii mtihani huu ni muhimu kwa wanafunzi na jamii kwa ujumla kwa kuwa hupima uwezo na uelewa katika yale UNK alisema bibi mahiza aliagiza kuwa wanafunzi wote waliosajiliwa waruhusiwe kufanya mtihani bila kikwazo na wale wenye matatizo ya ulemavu wameandaliwa mitihani kutokana na hali zao kama mwanafunzi amegundulika kuwa ana ujauzito baada ya kusajiliwa au ana tatizo na uongozi aruhusiwe kufanya mtihani na baada ya hapo achukuliwe hatua nyingine UNK aliwaasa wazazi na wasimamizi kujiepusha na udanganyifu wa aina yoyote unaoweza kufanyika katika kipindi cha mitihani kutoka manyara mwandishi wetu mohamed hamad anaripoti kuwa jumla ya wanafunzi tatu mia nne na themanini na sita wakiwemo wavulana moja mia nane na arobaini na nne na wasichana elfu moja na mia sita na arobaini na tano wilayani kiteto wanatarajiwa kufanya mtihani wa taifa leo akizungumza na gazeti hili ofisini kwake ofisa elimu wa wilaya bwana emmanuel mwagala alisema idadi hiyo ni ongezeko la wanafunzi mia mbili na kumi na tano sawa na asilimia sita tano ukilinganisha na mwaka jana ambao wanafunzi tatu mia mbili na sabini na nne waliofanya mtihani wa kuhitimu darasa la saba bwana mwagala alisema ongezeko la wanafunzi hao ni sehemu ya mikakati inayofanywa na wilaya kupandisha kiwango cha elimu wilayani humo kila mwaka kuna ongezeko la wanafunzi wanaofanya mtihani kutokana na jitihada zinazofanywa na wadau mbalimbali wa elimu ikiwemo bodi ya elimu ya wilaya ambayo kwa sasa imesaidia watoto sitini na nane wa wazazi wasiojiweza alisema rais jakaya kikwete leo usiku UNK maswali ya papo kwa papo UNK na wananchi kwa njia ya redio na televisheni ikiwa ni njia mpya ya kuwasiliana na wananchi kwa kuwasikiliza hoja maoni na ushauri wao taarifa iliyotolewa jana na kurugenzi ya mawasiliano ya ikulu ilisema mazungumzo hayo yatatangazwa moja kwa moja na shirika la utangazaji tanzania na vyombo vingine vya utangazaji nchini kuanzia saa mbili na nusu usiku mbali na tbc moja televisheni nyingine za itv UNK mlimani tv tumaini tv na channel ten pia zinatarajia kuonyesha mazungumzo hayo kwa mujibu wa taarifa hiyo rais atatumia mtindo huo mpya kusikiliza ushauri kutoka kwa wananchi na pia kupata maoni juu ya mambo mbalimbali yanayohusu mustakabali wa nchi serikali na maendeleo taarifa hiyo ilieleza kuwa rais atasikiliza matarajio ya wananchi katika jitihada zao za kuboresha maisha yao kwa kujiletea maendeleo ilieleza kuwa mazungumzo hayo UNK dakika tisini yataanza saa mbili thebathini usiku hadi saa nne kamili usiku taarifa hiyo iliongeza kuwa mazungumzo hayo yatatangazwa katika vituo vya redio za tbc taifa sauti ya tanzania zanzibar radio mlimani radio clouds radio tumaini na radio uhuru ilieleza kuwa maswali maoni hoja ushauri utapokelewa moja kwa moja na tbc kupitia simu namba ishirini na mbili mbili saba saba mbili nne nne nane ishirini na mbili mbili saba saba mbili nne tano mbili na ishirini na mbili mbili saba saba mbili nne tano nne maswali maoni hoja ama ushauri yanaweza kutumwa moja kwa moja tbc kupitia ujumbe mfupi wa sms kwenye namba sifuri saba nane nane tano sifuri sifuri sifuri moja tisa sifuri saba moja nne tano tisa moja tano nane tisa na sifuri saba sita nne nane sifuri saba sita nane tatu na kwenye barua pepe kuanzia leo taarifa hiyo UNK wananchi kutumia kikamilifu nafasi hiyo ya kuwasiliana moja kwa moja na rais hatimaye siri nzito za maisha na kifo cha bibi rosemary munseri kinachodaiwa kusababishwa na mumewe bwana denis mlanzi anayedaiwa kuwa mchungaji wa kanisa la the winners lililopo gongolamboto jijini dar es salaam UNK kwa mujibu wa ufuatiliaji uliofanywa na timu ya waandishi wa gazeti hili UNK kuwa kifo hicho UNK kusababishwa na bwana mlanzi kwa lengo la kutaka kuoa mwanamke mwingine aliyetambulika kwa jina la rosemary ambaye pia ni mshirika wa kanisa lake akizungumza na gazeti hili jana nyumbani kwake ubungo maziwa baba mdogo wa marehemu bwana fredy munseri alidai huenda kifo hicho kimetokana na mgogoro wa kifamilia uliodumu kati ya wanandoa hao kwa muda mrefu hali inayojenga mazingira tata ya tukio hilo bwana munseri alisema katika miaka ya hivi karibuni bwana mlanzi alikuwa akionesha dhahiri jeuri na ukatili kwa kumpiga mkewe huku UNK kumfukuza ndani ya nyumba kwa lengo la kutaka kumiliki mali ambazo alidai hata hivyo si zake aliongeza kuwa ugomvi wa wanandoa hao kwa mara ya mwisho UNK maamuzi ya bwana mlanzi ya kutaka kuoa mke mwingine ambaye alifahamika kwa jina la rosemary UNK bwana mlanzi tangu UNK binti yetu mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nane hakuwa na kazi rasmi zaidi ya kutegemea kipato kutoka kwa mkewe ambaye ndiye alikuwa UNK familia hiyo kwa kipindi chote cha uhai wake alidai binti yangu alikuwa na taaluma ya uuguzi na alishafanya kazi sehemu mbalimbali ikiwamo hindu mandal muhimbili regency na kabla ya kukutwa na mauti hayo alikuwa akifanya kazi na shirika moja lisilokuwa la kiserikali hata hivyo alisema kuwa hakuwahi kumtambua UNK huyo bwana mlanzi kuwa ni mchungaji ingawa taarifa hizo UNK siku ya tukio akiwa hospitali ya muhimbili ambako ulikuwa umehifadhiwa mwili wa marehemu kwa mujibu wa mdogo wa marehemu bibi UNK munseri aliyekuwa akiishi na marehemu ijumaa baada ya chakula cha jioni bwana mlanzi alitoa agizo mtoto wao baraka denis UNK na mama yake kama ilivyokuwa kawaida badala yake UNK na ndugu yake wa kiume aliyetambulika kwa jina la ephraim agizo ambalo UNK naye mdogo wa marehemu bibi UNK alisema kuwa siku ya tukio waliposikia kelele za kuomba msaada walijaribu kufungua mlango na kukuta umefungwa kwa nje wakati wakijaribu kuufungua ndipo bwana mlanzi UNK mlango wa chumba walichokuwa wamelala shemeji alionesha ujasiri wa hali ya juu kwani wakati dada UNK yeye alikuwa sebuleni huku akiendelea kutoa vitu ndani ili UNK hadi majirani walipofika kutoa msaada wa UNK marehemu hospitalini alisema bibi UNK bwana munseri alisema jambo ambalo UNK ni kitendo alichokifanya bwana mlanzi cha kutojishughulisha kumpeleka mkewe hospitalini ambapo hata hivyo alikwenda hospitalini hapo kesho yake saa mbili asubuhi huku akiwashutumu wauguzi kuwa mkewe UNK kiasi hicho hali iliyosababisha wauguzi hao kumshangaa huku akiendelea kusema mkewe UNK bali amelala hata hivyo majira UNK hapo ilifika hadi eneo la tukio yombo vituka ambapo lilizungumza na baadhi ya majirani kwa sharti la kutotajwa majina yao gazetini walisema wakati UNK hospitalini marehemu alikuwa akiongea UNK kumlalamikia mumewe mwili wa marehemu umehifadhiwa hospitali ya taifa muhimbili na unatarajiwa kusafirishwa leo kuelekea kijijini kwao kilima mkoani kagera kwa maziko asema kamwe kanisa halitakubali UNK asema watapambana na ufisadi hadi mwisho aapa kupambana na yeyote anayetetea UNK katoliki UNK mgombea urais mwaka ishirini moja sifuri askofu wa jimbo kuu katoliki la dar es salaam muadhama polycarp kardinali pengo ameibuka tena na kutangaza mapambano mapya dhidi ya mafisadi huku huku akidai nchi UNK na kamwe kanisa UNK kimya na kulea hali hiyo sisi viongozi wa dini hatuwezi kunyamaza huku UNK nchi inaendelea kuozeshwa na viongozi wasiozingatia maadili ya utawala bora lazima UNK kwa nguvu zote alisema kiongozi huyo wa kanisa katoliki aliyasema hayo jana wakati wa jubilee ya miaka sabini na tano ya shirika la UNK wa bibi yetu kilimanjaro iliyokwenda sambamba na harambee ya kuchangia shule ya sekondari henry UNK iliyopo wilayani rombo aliwataka wananchi kushirikiana na viongozi wa dini UNK mafisadi na kuwakemea popote pale walipo wananchi UNK katika vita hii viongozi wa dini hawawezi kuwajua mafisadi wote unaweza kumjua mmoja wapo lakini ninyi mnawajua wengi na wametapakaa nchini kote hata hivyo tutapambana nao hata angekuwa nani alisema kardinali pengo kardinali pengo alisema kanisa katoliki halina mgombea wa urais UNK kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini moja sifuri kama ambavyo imekuwa ikidaiwa na baadhi ya watu nchini alisema kanisa halina ugomvi na rais jakaya kikwete katika uongozi wake bali lina ugomvi na mafisadi ambao hutumia nafasi zao kuiangamiza nchi alisema ni jukumu la kanisa katika UNK waumini wake na wananchi kwa ujumla kuhusu athari za ufisadi ambazo zimeendelea UNK taifa kardinali pengo alisema kanisa UNK kukemea viongozi wanaotumia madaraka yao kuendeleza na kuwatetea mafisadi bali lipo tayari kuwasaidia watu wote wenye nia njema na nchi katika kuongoza vita ya kupinga vitendo hivyo alisema nyaraka za kichungaji zipo na zinalenga kuamsha wananchi kwa ujumla kwa vile wananchi hao wanawajua mafisadi zaidi kwa sababu UNK mara kwa mara hususani wakati wa kampeni ili UNK katika nafasi mbalimbali kardinali pengo alisema waraka wa kanisa katoliki haulengi kutangaza dini hiyo wala kuligawa taifa kwa misingi ya kidini bali unazingatia zaidi kuelimisha wananchi kuhusiana na athari za ufisadi na umuhimu wa kuwa na viongozi UNK kanisa halina ugomvi na yeyote aliyepo madarakani wala dhehebu lolote la dini UNK ni msafi waraka wetu UNK lakini anayehusika na ufisadi hafai kuwa kiongozi wa wananchi alisema alisema kanisa katoliki halina ugomvi na madhehebu ya dini UNK mipango ya mungu inavyoelekeza lakini wasiofuata mipango ya mungu lazima UNK na UNK macho alisema vita dhidi ya ufisadi UNK dhehebu la dini na kwamba hata kama fisadi huyo atakuwa UNK lazima UNK na kumueleza waziwazi kwamba kanisa haliko pamoja naye akitoa salamu za serikali waziri wa maliasili na utalii bibi shamsa mwangunga ambaye UNK waziri mkuu bwana mizengo pinda alisema serikali itaendelea kushirikiana na taasisi zote kuendeleza sekta ya elimu katika harambee hiyo waziri mwangunga alichangia shilingi milioni kumi na moja tano mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya mwalimu nyerere bwana joseph butiku amesema mapambano ya ufisadi nchini UNK kutokana na viongozi kukosa ujasiri wa kukemea kama alivyokuwa waziri mkuu wa zamani hayati edward sokoine bwana butiku kwa muda mrefu amekuwa msitari wa mbele katika kukosoa mwenendo wa baadhi ya viongozi wa serikali na ccm wanaotuhumiwa kwa ufisadi akitaka wawajibishwe na kuchukuliwa hatua akizungumza juzi katika kipindi cha jambo tanzania kinachorushwa na shirika la utangazaji tanzania bwana butiku alisema hayati sokoine ataendelea kukumbukwa kwa ushujaa wake alisema sokoine alikuwa tofauti na viongozi wa sasa ambao UNK na kuwaogopa wenzao wa juu UNK wakati yeye UNK kila kiongozi lakini UNK yule alikuwa kiongozi wa mfano hakuwa wa kuitikia ndiyo mzee ndiyo brother ndiyo bosi na huu ndiyo udhaifu wa viongozi wetu wengi wa kuwa UNK kwa kila kitu alisema bwana butiku kwa mtazamo wa bwana butiku hali ya sasa ya ufisadi nchini ingekuwa UNK kwa watuhumiwa kukamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kama sokoine angekuwa hai alisema waziri mkuu huyo wa zamani alikuwa akiona kiongozi anafanya jambo la hovyo lenye kuharibu maisha ya watu alikuwa UNK rais nyerere muda wa mwezi mmoja ili UNK nadhani bado watu UNK jinsi UNK na walanguzi wakati ule nchi ilipokuwa na njaa baadhi ya wafanyabishara UNK bidhaa na kupandisha bei kwa kisingizio kuwa ziko adimu alisema bwana butiku alisema mwalimu nyerere alimpenda sana sokoine hasa kwa jinsi alivyokuwa anapambana na kutatua matatizo ya wananchi bila kuchoka wala kumwonea mtu haya kwa jinsi tuhuma za ufisadi UNK kasi nchini bwana butiku alisema kama hayati sokoine angekuwepo leo UNK mtuhumiwa mmoja baada ya mwingine na kuwashauri UNK serikalini na kwenye ccm alisema hata kama asingekuwa na ushahidi wa moja kwa moja kuwatia hatiani lakini kwa manufaa ya taifa UNK kwa vile kwenye suala la rushwa hayati sokoine alikuwa kama paka na panya bwana butiku alisema siyo kwamba serikali UNK vita dhidi ya ufisadi isipokuwa imekuwa kama UNK ama inakwenda pole pole katika hatua za mapambano kwa kweli vita hii inawahitaji watu mashujaa kama hayati sokoine kwani mapambano hayo UNK kwa kusubiri ushahidi wa kimahakama tu bali inabidi hatua nyingine za kuwajibishwa zifanyike alisema alisema jambo kubwa UNK viongozi wengi wa sasa ni ukosefu wa uzalendo na uadilifu wa kweli kama alivyokuwa hayati sokoine badala yake kila kiongozi UNK UNK yeye kwanza bwana butiku ambaye alikuwa katibu UNK wa rais nyerere alisema watu UNK umma kwa kujiita wazalendo wakati wanaficha fedha kwenye benki za nje na wengine UNK mali bila kufafanua UNK hata hivyo bwana butiku alidai hayati sokoine UNK vya kutosha kulingana na mchango wake kwa taifa ndiyo eneo UNK ajali serikali ilijenga shule ya msingi lakini hii siyo hadhi yake UNK UNK kitu chenye hadhi kubwa kama chuo kikuu alisema jana nchi UNK kumbukumbu ya miaka ishirini na tano tangu kufariki kwa sokoine nje kidogo ya mji wa morogoro kwa ajli ya gari iliyotokea aprili kumi na mbili elfu moja na mia tisa na themanini na nne wakati akitoka dodoma asilimia kumi ya watoto wanaozaliwa na walio chini ya miaka mitano hufa kila mwaka kwa kushindwa kupumua mara baada ya kuzaliwa hayo yalisemwa jana na katibu mkuu wa wizara ya afya na ustawi wa jamii bibi UNK nyoni katika uzinduzi wa mpango wa kusaidia watoto wachanga kupumua watoto wengi hupoteza maisha kutokana na kuzaliwa na uzito chini ya gramu mbili mradi huu utasaidia kupunguza vifo vya watoto ili kufanikisha hilo tayari tumeanza kutoa mafunzo kwa wauguzi katika hospitali za mikoa wilaya na zahanati ambapo jijini dar es salaam yameanza jana na mikoani yataanza januari mwakani alisema bibi nyoni naye mratibu wa huduma za watoto wachanga nchini daktari georgina msemo alisema kazi ya ziada inatakiwa ili kupunguza vifo hivyo nchini na kufikia lengo la kusaidia watoto milioni moja kwa mwaka alisema idadi ya hamsini na moja sifuri sifuri sifuri ya watoto UNK kila mwaka ni sawa na kila siku basi moja kupata ajali na kuua abiria wote ambapo alisema wakunga hawana miongozo ya kutosha ili kuwasaidia watoto UNK alisema utafiti unaonesha kuwa asilimia ishirini ishirini na tano ya vituo vya vya afya havina vifaa na wataalamu wa kutosha ili kuwasaidia watoto wanaozaliwa kusafishwa njia ya hewa kwa upande UNK alisema wajawazito huchangia vifo hivyo kwa kutohudhuria huduma za kliniki na kujua afya na matatizo yao mapema ili kuweza kusaidiwa kabla ya kujifungua mradi huo UNK na wizara ya afya na ustawi wa jamii kupitia shirika la afya duniani na shirika la kimataifa la maendeleo duniani wanawake wa wilaya ya ngorongoro mkoani arusha wameshangazwa na kitendo cha serikali kukaa kimya baada ya UNK nyumba zao na kuharibiwa mali zao na mwekezaji katika eneo hilo kwa madai kuwa wanatakiwa kupisha UNK wakizungumza na waandishi wa habari jijini jana wanawake hao walisema kuwa katika operesheni hiyo ya kuhamishwa kwa ajili ya kumpisha mwekezaji kuwinda UNK maeneo ya kwenda na kwamba wamekuwa wakipata manyanyaso ya hali ya juu pamoja na kitendo cha kuchomewa makazi yetu UNK na manyanyaso mengi serikali UNK maeneo ya kuishi na badala yake UNK mbugani UNK kama wanyama pori kwa sababu hii wanawake na watoto wadogo wamejikuta katika hali ngumu ikiwa ni pamoja na kupata magonjwa hasa kwa watoto na kukosa ulinzi alisema bibi UNK UNK kwa niaba ya wenzake aliongeza kuwa katika operesheni hiyo ya kuwahamisha pia watoto watatu walipotea na baadae kuja kupatikana wawili tu wanawake wengi walipata matatizo ya uzazi ikiwa ni pamoja na mimba kutoka watoto kushindwa kuendelea na masomo na mali zao kuungua ikiwemo vyakula fedha taslim vyombo vya ndani na mifugo wameitaka serikali kuwapa kibali cha kuandamana kwa ajili ya kudai haki zao kwani hapo awali UNK kufanya hivyo hivi karibuni vitongoji nane vya loliondo ambavyo ni UNK UNK UNK UNK UNK UNK na sero na vinginevyo UNK maboma yao na kaya arobaini na tatu zimeathirika idadi ya watu walioathirika ni mia moja na thebathini na nne na thamani ya uharibifu wa mali ni shilingi milioni sitini na tatu sifuri mbili mwisho wanafunzi wa chuo cha the mwalimu nyerere kigamboni katika wilaya ya temeke wameiomba serikali na wafadhili mbalimbali kujitokeza UNK ili waweze kuboresha mradi wao wa pamoja ambao utawasaidia kuwafikia vijana wa elimu ya juu nchini kwa ajili ya UNK akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam jana ofisa uhusiano wa umoja bibi furaha thonya alisema mradi huo ambao uko katika awamu ya pili unalenga kuwafikia vijana wote nchini hasa wale wa elimu ya juu alisema mradi huo utawawezesha kuwafikia vijana na kutoa elimu ya jinsi ya kutoendelea kuwa tegemezi kwenye masuala mbalimbali yakiwemo ya kisiasa kujiendeleza kiuchumi utamaduni mazingira pamoja na suala zima la kujituma katika kuhakikisha wanaweka bidii katika kusoma aidha alisema kuwa mwaka huu wamefanikiwa kuwasafirisha wanafunzi kumi na mbili kutoka nje ya nchi ambao wameungana pamoja katika kubadilishana mawazo kuhusiana na suala zima la masomo na masuala ya uchumi na siasa bibi thonya alisema vile vile mradi huo unalenga kuwafikia vijana wa vyuo vya mikoani na kuendelea kuwahamasisha zaidi kuhusu mambo hayo yaliyotajwa hapo juu hata hivyo alisema kuwa anaimani kwamba pamoja UNK vijana wengi kwani wamejiandaa vizuri na kwamba timu hiyo ni ya wanafunzi watanzania ni kumi na mbili na wanafunzi kutoka ujerumani kumi na mbili mwisho morogoro tanzania kupitia kampuni ya kiwanda cha tumbaku kilichopo morogoro imefanikiwa kushinda tuzo bora katika afya na usalama mahali pa kazi barani afrika inayofahamika kama tuzo ya nosa akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa ambao walitembelea kiwandani hapo daktari wa kiwanda hicho ambaye pia ni mratibu wa afya na usalama kazini kwenye kampuni hiyo daktari UNK gugten alisema kuwa tuzo hiyo imepatikana kutokana na ushirikiano mzuri wa wafanyakazi wote alisema kuwa tuzo hiyo ilitolewa katika hafla iliyofanyika katika mji wa UNK afrika kusini mwezi uliopita tuzo hii hutolewa na chama cha afya na usalama mahali pa kazi katika nchi za kusini mwa afrika na mwaka huu zaidi ya UNK ishirini sifuri UNK na sisi tulifanikiwa kushinda ushindi wetu ulikuwa mpango wa kimataifa UNK kama green star health and UNK unaohusu usindikaji wa vyakula vinywaji baridi na tumbaku alisema daktari UNK tuzo hiyo ilitokana na matokeo ya ukaguzi wa hesabu wa nosa uliofanyika novemba mwaka jana ambapo kiwanda hicho kilipata hadhi ya nyota tano kwa miaka UNK mfululizo alisema kuwa wakaguzi wa nosa huangalia idadi ya masuala ya afya na usalama katika kipindi cha mwaka mmoja na kutoa alama kuanzia asilimia UNK hadi kumi sifuri mchakato huo wa ukaguzi ulifanyika aprili ishirini sifuri nane hadi machi thebathini na moja mwaka huu na kutokana na ukaguzi huo kiwanda hicho kilikuwa na idadi ndogo ya matukio ya kudhuru afya na usalama kazini hivyo kujizolea asilimia tisini na moja daktari gugten alisema kuwa ni mara ya kwanza kwa kampuni hiyo kupata tuzo ya juu inayojumuisha afrika zima hata hivyo kampuni hiyo iliwahi kupata tuzo nyingine mbili ndogo mwaka ishirini sifuri sita na ishirini sifuri saba ambazo UNK programu za afya na usalama kazini UNK eneo dogo la afrika alisema kuwa mwaka ishirini sifuri sita ttpl iliibuka mshindi katika programu ya afya na usalama kazini na kutunukiwa tuzo yenye hadhi ya nyota tano katika kundi la usindikaji vyakula vinywaji baridi na tumbaku katika kanda ya kaskazini na mwaka ishirini sifuri saba ilipokea tuzo kwa kuwa na programu bora ya afya katika kanda ya kaskazini kuwa washindi kimataifa mwaka huu ina maana kubwa sana kwa kampuni yetu na ni kielelezo tosha cha uwekezaji wa ttpl katika mitambo yake na pia kuboresha viwango vya afya na usalama kila mwaka nosa hutoa tuzo kwa kampuni zilizofanya vizuri katika masuala ya afya na usalama mahali pa kazi UNK ii inatokana na kutoa kipaumbele katika masuala hayo mwisho vyombo vya habari vimechangia kutoa elimu kwa walipa kodi nchini kutokana na shughuli ya ulipaji kodi mamlaka ya mapato tanzania kufanyika kwa urahisi hayo yalisemwa na kaimu mkurugenzi wa idara ya huduma na elimu kwa mlipakodi bwana allan kiula wakati akizungumza na majira kuhusu mlipakodi alisema wateja wao wanalipa kodi kwa hiari na kwa wakati na kuchangia pato la taifa kuongezeka pia kuisaidia tra kufanya kazi zake kwa ufanisi mafanikio yaliopo kwa mlipakodi kulipa kodi kwa hiari yametokana na kazi kubwa inayofanywa na vyombo vya habari kwani kila mteja anajua umuhimu wa kulipa kodi hiyo alisema bwana UNK alisema UNK analipa kwa njia ya hundi katika akaunti ya tra benki na kisha fedha hizo huenda benki kuu na wao kubaki na rekodi za malipo hayo alisema utaratibu wa ukusanyaji kodi umekuwa ni mzuri kwa kiasi kikubwa isipokuwa mwaka wa jana uliingia dosari kutokana na mtikisiko wa uchumi duniani vodacom tanzania jana imezindua kitengo cha biashara vodacom business kwa lengo la kukidhi mahitaji ya huduma ya mawasiliano na taarifa kwa wateja wenye kampuni kubwa na ndogo nchini akizungumza wakati wa uzinduzi wa kitengo hicho mkuregenzi mkuu wa kitengo hicho bwana UNK lennox alisema vodacom imefikia katika hatua muhimu kwani kitengo hicho kinatokana na mahitaji makubwa ya biashara UNK kwa kasi kitengo hichi cha kibiashara cha vodacom kinalenga kuboresha na UNK njia za mawasiliano ya wateja wetu kwa kutumia teknolojia za kisasa za mawasiliano ya ofisini kibiashara na ya binafsi kwa gharama nafuu alisema bwana lennox alisema vodacom business inalenga kutoa huduma zote zaidi ya sauti ambapo sasa UNK katika kutoa huduma za UNK huduma mbalimbali za taarifa ambazo UNK kuunganisha kampuni nchini na kampuni mama duniani alisema ili kuhakikisha vodacom tanzania inatoa huduma za uhakika inashirikiana na kampuni ya UNK ya UNK ambayo inamilikiwa na kundi la kampuni ya vodacom bwana lennox alisema vodacom ina mkakati wa kuboresha huduma zake na kuwa za kisasa ili kuhakikisha wateja wake wanapata huduma zote kwa pamoja na kwa wakati muafaka teknolojia inakuwa biashara tanzania inakua na vodacom tanzania kupitia vodacom business itaweza kukabiliana na mabadiliko na kuwa tegemeo la uhakika kwa watanzania wanaopenda maendeleo na ubora alisema kampuni ya uchimbaji dhahabu ya barrick UNK mining tanzania UNK mafunzo ya kilimo kwa wakulima mia tisa na sitini wilayani kahama mkoani shinyanga akizungumza juzi na majira katika mgodi huo meneja wa maendeleo ya jamii wa barrick UNK bibi UNK UNK alisema elimu hiyo imetolewa kwa njia ya semina na katika vijiji nane vina idadi hiyo ya wakulima kutoka vijiji nane vinavyozunguka mgodi huo hizi ni jitihada za kuunga mkono kauli mbiu ya kilimo kwanza na lengo letu ni kuhakikisha wakulima UNK kiuchumi kila kijiji UNK na wakulima mia moja na ishirini tunashirikiana nao na tayari barrick UNK kuwapa trekta alisema alisema mbali ya barrick kufanya shughuli za uchimbaji dhahabu pia imekuwa ikishirikiana na wananchi katika miradi ya maendeleo kama kilimo na elimu uchimbaji dhahabu pia imekuwa ikishirikiana na wananchi katika miradi ya maendeleo ombaomba thebathini na tisa wakiwemo watoto ishirini na tano wanashikiliwa na manispaa ya ilala kwa tuhuma za kuomba fedha na vitu mtaani katika maeneo tofauti jijini dar es salaam akizungumza na majira dar es salaam jana ofisa uhusiano na elimu kwa umma wa manispaa ya ilala bibi tabu shaibu alisema kuwa ombaomba hao wamekamatwa jana katika oparesheni maalumu ya kuwaondoa na kuwarudisha makwao bibi tabu alisema kuwa baada ya kuwakamata ombaomba hao watawapeleka katika ofisi za ustawi wa jamii kwa ajili ya kuwapa ushauri ili waache tabia ya kuombaomba na badala yake wafanye kazi mbalimbali za kujiingizia kipato ushauri watapatiwa ili waweze kufahamu juu ya kufanya kazi na UNK na dhana ambayo UNK ya kuomba kwa watu ambapo elimu hiyo itatolewa katika ofisi za ustawi wa jamii na wakishapewa elimu hiyo kila mmoja atapelekwa sehemu aliyotoka alisema bibi UNK alisema kuwa katika operesheni hiyo imebainika kuwa watoto ambao wapo chini ya miaka kumi na nane ndio wanaofanya kazi ya kuomba omba na wanatumiwa na walezi ama wazazi wao katika kufanya shughuli hiyo alisema kuwa katika operesheni hiyo jumla ya wanawake kumi na tatu wamekamatwa na akiwemo mwanaume mmoja na kwa sasa wanapatiwa elimu ya ushauri alisema kuwa operesheni hiyo itakuwa endelevu ili kuweza kuwaondoa kabisa katika maeneo ya jiji kwani tabia hiyo imekuwa kero hasa kwa majiji makubwa upelelezi wa kesi ya kuendesha shughuli za upatu kinyume na sheria inayowakabili vigogo wa kampuni ya development entrepreneurship community initiative bado haujakamilika huku hatma ya mbegu za wanachama ikiwa UNK hatua ya kutokamilika kwa upelelezi huo ilijulikana jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam mbele ya hakimu mkazi bibi warialwande lema wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa wakili wa serikali bwana justus mlokozi aliiambia mahakama kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika hivyo akaomba tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa kutokana na taarifa hiyo mahakama iliahirisha kesi hiyo mpaka oktoba kumi na mbili mwaka huu ambapo UNK washitakiwa katika kesi hiyo ni bwana jackson mtares bwana dominick kigendi bwana timotheo ole loitg nye bwana swamel mtares na bwana arbogast kipilimba wote wakazi wa dar es dar es salaam wote kwa pamoja wanadaiwa kuendesha na kusimamia mradi wa upatu kinyume na sheria za kibenki na taasisi za fedha walidaiwa kuwa kati ya mwaka ishirini sifuri saba na machi mwaka huu wakiwa makao makuu ya kampuni hiyo huko mabibo dar es salaam na maeneo mengine hapa nchini walikusanya fedha kutoka kwa umma kwa ahadi ya matumaini ya kuwapa fedha zaidi ambayo katika mazingira ya biashara ilikuwa ni kubwa tofauti na mradi uliokuwepo katika makosa ya pili washitakiwa hao walidaiwa kupokea amana kutoka kwa umma kinyume na sheria ambapo kosa hilo linadaiwa kufanyika katika kipindi cha mwaka ishirini sifuri saba hadi machi mwaka huu katika maeneo mbalimbali ya nchi hii walipokea amana hizo bila kuwa na leseni kutokana na kuwepo kwa kesi hiyo hatma ya mbegu za wanachama wa kampuni hiyo haijulikani huku viongozi hao wakiwa na zuio la kuendesha mkutano wowote kuhusiana na mambo ya upatu huo mpaka kesi yao itakapomalizika watuhumiwa wa mauaji yaliyofanyika katika benki ya UNK tawi la temeke UNK silaha kali pamoja na bomu la kurusha kwa mkono wameiomba mahakama kuwahakikishia usalama wao endapo UNK wachukuliwe na polisi kwa ajili ya hatua zingine za mahojiano ombi hilo lilitolewa jana na washitakiwa bwana antony sokya na bwana yusuph rajab baada ya kuwasilishwa ombi la kuwataka warejeshwe mikononi mwa polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi mheshimiwa mimi hapa sijui kusoma wala kuandika na UNK hawa polisi wanataka tukubali mambo yao wanayotaka wenyewe hivyo naogopa wasije UNK vitu vingine na UNK UNK hivyo naomba kuhakikishiwa ulinzi na mahakama yako aliomba bwana UNK naye bwana sokya aliiomba mahakama kuwa iangalie afya walizonazo kabla ya kukabidhiwa kwa askari hao ili UNK mahakamani wawe kama UNK kwani wanahofia vipigo wakiwa mikononi mwa askari hao hawa askari UNK hapa ni kama rafiki zetu lakini tukiondoka hapa ni hatari tuangalie mheshimiwa tuna hali nzuri hivyo UNK tuwe hivi hivi aliomba bwana UNK kutokana na maombi ya washitakiwa hao upande wa mashitaka uliowakilishwa na bwana shadrack kimaro ulisema kuwa una imani washitakiwa hao UNK wakiwa salama hivyo UNK askari polisi kuhakikisha wanarudi wakiwa na hali za kawaida mbali na hayo mahakama hiyo pia UNK washitakiwa wa kesi hiyo na kufanya idadi yao kuwa kumi ambao walisomewa mashitaka upya washitakiwa hao wanadaiwa kuwa julai thebathini na moja mwaka huu wakiwa katika benki ya nmb tawi la temeke waliwaua bwana seif mkweke na e mia tatu na ishirini na tisa cpl josephat watuhumiwa wengine ni boniface joseph deogratius masawe mkazi wa moshi elfu hamsini na tano na mia tisa na thebathini na tano sgt mathew mwangunga ambaye ni askari wa jeshi la wananchi na mkazi wa kibaha said hamisi issack abuu mkazi wa moshi jopo salum na yusuph rajab seleman nzowa na richard lucas ambaye ni raia wa burundi mauaji haya yalisababishwa na uporaji wa fedha katika benki hiyo ambapo silaha kali yakiwemo mabomu ya kutupa yalitumika na zaidi ya shilingi milioni sitini ziliporwa kesi nyingine iliyohusisha washitakiwa wote ni ya uporaji wa gari aina ya prado kwa kutumia silaha ambapo mbali na gari hilo jumla ya shilingi milioni kumi na nne zilidaiwa kuporwa na washitakiwa hao ambao wanadaiwa kutenda julai thebathini mwaka huu mwisho chama cha wananchi kimegundua mabaki ya shahada za kupigia kura ambazo zilikuwa zimechomwa moto katika bohari kuu ya kutunzia nyara za serikali iliyopo eneo la keko karibu na wizara ya maliasili na utalii jijini dar es salaam cuf ilidai kugundua vitambulisho hivyo juzi na baada ya kukamilisha uchunguzi jana UNK waandishi wa habari na kuwapeleka eneo la tukio kwa ajili ya UNK msafara wa waandishi wa habari ukiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho profesa ibrahimu lipumba ulifika eneo la tukio na kukuta vitambulisho hivyo ambavyo baadhi yake vilikuwa UNK kabisa huku vingine vikiwa UNK sana vikiwa katika lundo la majivu na baadhi ya UNK akizungumza baada ya kufika eneo la tukio profesa lipumba alisema kuwa jambo hilo ni la kusitisha na linaloonesha kuwa tanzania haina demokrasia ya kweli tunaingia katika uchaguzi gani namna hii vitambulisho hivi zaidi ya milioni moja tumeshuhudia leo UNK moto katika bohari ya serikali na hatujui ni nani muhusika ina maana hawa watu hawataweza kupiga kura tena alisema profesa lipumba aliongeza kuwa anashangazwa na tume ya uchaguzi na kudai kuwa hafahamu inafanya kazi gani na kudai kuwa serikali ya chama cha mapinduzi iliyopo madarakani haina misingi ya utawala bora ina maana watu wote hawa milioni moja hawakupiga kura na UNK kura sasa tunataka serikali UNK vitambulisho hivi vinatoka wapi alisema mbunge wa micheweni zanzibar bwana shoka khamis shoka ambaye alikuwepo katika msafara huo alisema kuwa vitambulisho hivyo ni wazi UNK kutoka kwa wananchi mimi nilishawahi kulieleza jambo hili hapo kabla na UNK bungeni badala yake nilitakiwa kutoa maelezo huku spika akidai kuwa suala hilo halina ukweli wowote na kwamba ni madai tu lakini leo jambo hili UNK alidai bwana shoka viongozi waandamizi wa cuf ambao pia walikuwepo katika msafara huo walichukua lundo la vitambulisho kama ushahidi kuondoka nalo mwisho rais jakaya kikwete amewataka viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini nchini kuacha kutoa nyaraka na miongozo inayolenga kuelekeza wanaumini wao namna ya kuchagua viongozi kwenye uchaguzi mkuu ujao mwakani ili kuepuka madhara yanayoweza UNK taifa akijibu maswali ya papo kwa papo kwa njia ya simu na barua pepe kupitia redio na televisheni katika kipindi maalum kiitwacho muulize rais kupitia televisheni ya taifa kilichorushwa pia na vituo vingine jana usiku rais alisema jambo hilo UNK serikali hususani wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu alisema tabia hiyo ikiendelea itawafanya watanzania kupigakura kwa maelekezo ya dini zao jambo alilosema binafsi UNK hofu kwani tanzania si nchi ya kidini alisema kwa kuzingatia hali hiyo kikao cha halmashauri kuu ya taifa ya chama cha mapinduzi kilichokutana hivi karibuni mjini dodoma UNK kuwa hoja hizo na hali hiyo zikiendelea UNK utaifa wetu alieleza kuwa hatua hiyo ina mwelekeo mbaya kwani baba wa taifa marehemu mwalimu julius nyerere alijenga taifa lenye umoja na mshikamano bila kujali rangi dini wala ukabila bali alizingatia utanzania alisema katika kikao hicho nec iliwataka viongozi wa ccm UNK katika mambo hayo na kumwagiza rais na wakuu wenzake wa serikali kukaa pamoja na kuzungumza na viongozi wa dini kuona mwelekeo wa taifa na namna ya kuepuka hatari UNK ni hofu ambazo na sisi tunazo UNK kukaa nao na kuona ni wapi tutafikisha suala hilo alisema rais kikwete aliwataka viongozi wa dini kutoendelea kutoa matamko tena na kuviomba vyombo vya habari UNK kuepusha jambo hilo ili UNK kuwasha moto unaweza UNK taifa na kutoa mifano ya nchi kadhaa ikiwemo UNK ambazo UNK na migogoro ya kidini ufisadi akizungumzia suala la ufisadi na mafisadi nchini rais kikwete alisema serikali yake imechukua hatua madhubuti katika vita hiyo hasa kwa kujenga chombo cha kuratibu mapambano ya rushwa taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa alisema kuwa hilo lilikuwa moja kati ya mambo ya msingi kuchukuliwa kwa wakati huu ambalo lilihusisha kubadili sheria ya rushwa ya mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na moja iliyokuwa na makosa machache na muundo wa takukuru kwa kweli UNK kama swali hilo la ufisadi na mafisadi UNK si kweli kuwa UNK hatua za kutosha tumefanya mambo makubwa ikiwemo kuiangalia upya ile sheria ya zamani hii ya sasa UNK tafsiri ya rushwa ambapo hata ubadhilifu wa mali ya umma ni makosa ya rushwa tumebadili muundo wa takukuru ambapo sasa inapatikana katika kila wilaya nchini tumeongeza watumishi na kuwapatia vitendea kazi huku UNK waendelee kuwahamasisha watu UNK vitendo vya rushwa na watoe taarifa zaidi za makosa hayo alisema rais kikwete alikiri kuwa katika vita dhidi ya ufisadi yamekuwepo UNK malalamiko kuwa watuhumiwa wakubwa wenye dhamana na majina makubwa katika jamii hawachukuliwi hatua hivyo mkono wa sheria kuwaangukia zaidi watu wadogo alisema kuwa amekuwa akiwasihi watumishi wenzake serikalini kuwa lazima wachukue hatua dhidi ya wale wote wanaohusika na vitendo vya ufisadi na wananchi waone hatua hizo UNK ni kweli kuwa pamoja na yote tuliyoyafanya bado UNK kusikia malalamiko kutoka kwa wananchi kuwa UNK tunachukulia hatua dagaa tu lakini papa wale samaki wakubwa wanaachwa lakini ni vyema kutambua kuwa hili lina ugumu wake watu wakubwa nao pia wana mbinu na maarifa makubwa ya UNK lakini tumechukua hatua katika kashfa za epa minara pacha ya bot na bado takukuru wameniambia kuwa wana kesi mbili tatu UNK mahakamani hivi karibuni kwa kweli yale UNK fanya UNK sasa yanaifanya serikali hii iwe na rekodi ya pekee ya kuthubutu kuwafikisha watu wakubwa mahakamani alisema rais kikwete kagoda na richmond alipoulizwa juu ya tuhuma kwamba mafisadi walioshiriki katika kashfa za kagoda na richmond ni marafiki zake wa karibu ndio maana serikali yake imeshindwa kuwachukulia hatua rais kikwete alisema katika mapambano ya rushwa hakuna rafiki wala adui alisema baada ya kashfa ya epa aliunda tume kusaidia kuwapata UNK pesa hizo ili UNK kabla hawajafikishwa mahakamani kuepuka uwezekano wa kukosa vyote kama wangepelekwa mahakamani na kushinda kesi baada ya hapo UNK uchunguzi na hatimaye watuhumiwa UNK mahakamani sasa hilo la nani UNK au UNK halimo ndani ya mamlaka yangu ilikuwa kazi ya UNK katika hilo la richmond kwa kweli nilikuwa na wasi wasi mapema na nilimwambia hilo waziri wakati wa kuitafutia dhamana kampuni hiyo kupitia hazina kuwa awe makini isije ikawa kampuni hiyo haipo nilikuwa nikiita kwa kiingereza UNK company yaani kitu ambacho hakipo kampuni ya UNK baada ya uchunguzi wa kamati ya bunge ambayo hata hivyo haikusema wazi kama kulikuwa na rushwa sasa kuna watu UNK viongozi wa kisiasa UNK kwa nafasi zao kwa makosa yaliyofanywa na watu waliokuwa chini yao sasa wapo maofisa ambao tunasubiri taarifa yao katika bunge la novemba ambayo natumaini itakuwa nzuri waraka mwongozo alisema waraka uliotolewa na kanisa katoliki na mwongozo uliotolewa na shura ya maimamu UNK hofu alisema ni mambo hayo UNK kwa kuwa yametokea katika kipindi cha kuelekea katika uchaguzi mkuu ujao na kueleza hofu yake kwamba watanzania wanaweza kupiga kura kutokana na maelekezo ya dini zao rais kikwete alisema kuwa kutolewa kwa maandiko hayo kutoka kwa viongozi wa dini katika kipindi hiki UNK mgawanyiko katika jamii kwani kuna uwezekano wa kupata viongozi UNK udini badala ya UNK na kulifikisha taifa mahali pabaya alisema kwa kuwa maandiko ya viongozi wa madhehebu ya dini wanatoa maelekezo kwa waumini wa dini tofauti jinsi ya kumchagua kiongozi yanaweza kuhatarisha amani na kusababisha kutoelewana miongoni mwao alisema baada ya uchaguzi mkuu kuisha kuna uwezekano kutokea kwa na majigambo kati ya wanachama wanamuunga mkono aliyeshindwa na yule aliyeshindwa na kusababisha matafaruku mkubwa aliwataka viongozi hao kuacha kuzungumzia mambo hayo kwa sasa kutoka na kuchukua sura mpya inayoashiria malumbano miongoni mwa serikali na viongozi hao wa dini alisema kwa kuwa bado kuna muda wa kutosha hadi kufikia uchaguzi mkuu wa ishirini moja sifuri anafanya UNK za kuonana na viongozi hao ili kujadili kwa kina suala hilo tumekubaliana na katika vikao vyetu vya chama kuwa UNK suala hili waache kulizungumzia na wale mambo wako mbioni kulizungumzia pia nawaomba UNK kwani sasa nimeanza kufanya mawasiliano na viongozi wa dini ili kujadili suala hilo alisema rais kikwete alivitaka vyombo vya habari kutambua kuwa jambo hilo ni hatari na kuvitaka kuacha UNK kwani ni hatari kubwa kwa amani ya nchi na iwapo amani itavunjika hakuna mtu UNK UNK alisema katika kikao cha halmashauri kuu ya taifa ya chama cha mapinduzi kilichofanyika mwishoni mwa agosti mwaka huu mjini dodoma walikubaliana kuacha UNK suala hilo hadi hapo UNK ufumbuzi ucheleweshaji kesi rais kikwete alikiri kuwa katika mahakama nyingi nchini haki UNK kesi UNK sana na hii ni kutokana na uhaba wa majaji na mahakimu pamoja na vitendea kazi rais kikwete alisema kuwa serikali yake katika kukabiliana na uhaba wa majaji na mahakimu iliamua kuongeza majaji ishirini na kufikia idadi ya majaji arobaini na mbili nchini kama njia ya kuboresha utendaji wa mahakama aliongeza kuwa mbali na kuteua majaji pia serikali yake UNK vema kuongeza idadi ya mahakimu wakazi pamoja na wilaya ambapo aliteua zaidi ya mahakimu mia moja na themanini na kufikisha idadi ya mahakimu wakazi na wa wilaya mia tatu na ishirini nchini kwa upande wa mahakimu wa mahakama za mwanzo waliteuliwa mahakimu wengi na kufikisha idadi yake kuwa sabini sifuri jambo ambalo UNK kwa kiasi fulani tatizo la uhaba wa mahakimu nchi alisema jambo lingine linalochangia katika ucheleweshaji wa kesi ni pamoja na mahakama kutokuwa na zana bora za kufanyia kazi zikiwamo kompyuta hivyo UNK watendaji hao muda mrefu kuandaa kazi zao hukumu ya zombe kuhusu kesi ya mauaji ya wafanyabiashara watatu wa madini wa mkoani morogoro na dereva teksi mmoja mkazi wa manzese jiji dar es salaam rais kikwete alisema serikali UNK na hukumu iliyotolewa na mahakama kuu ya tanzania ya UNK washitakiwa wa kesi ya mauaji ambapo imeamua kukata rufaa mahakama ya juu alisimulia kuwa baada ya kufika dar es salaam kutoka kwenye ziara zake kikazi alipewa taarifa kuwa polisi wameua majambazi wakati UNK kwa risasi naye UNK kwa kazi nzuri kwani wakati huo wimbi la ujambazi lilikuwa limekithiri sana lakini aliposikia malalamiko yameongezeka akaunda tume kuchunguza mauaji hayo muafaka zanzibar akijibu swali kuhusu muafaka wa hali ya kisiasa zanzibar rais kikwete alisema kuwa hata yeye hali ilivyo visiwani humo UNK kwani hakuna jambo ambalo haliwezi kuzungumzwa mezani na kushangazwa na UNK iliyopo alisema kuwa kakika suala la muafaka linahitaji kuketi na kuzungumza badala ya kulaumiana mimi jambo ambalo UNK kuwa ni tatizo sana kwa yale yanayozungumzwa ni kuhusu katiba ya zanzibar uendeshaji wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar lakini tumezungumza na tukafika mahali hatukuweza kumalizia alisema mafuta zanzibar alisema suala la mafuta zanzibar awali lilikuwa la muungano lakini baada ya kuona mafuta yanaweza kupatikana zanzibar ndio likawa sio jambo la muungano hatuna sababu za kulumbana katika suala hili kwani mimi sioni kama ni tatizo kubwa lakini kama lingekuwa suala la kuvunja muungano hapo kweli lingekuwa jambo kubwa alisema rais kikwete makundi ndani ya ccm akijibu swali la bwana UNK UNK wa arusha aliyetaka kujua sababu za kuibuka kwa makundi mawili ndani ya chama cha mapinduzi rais kikwete alikanusha kuwepo kwa makundi ndani ya chama rais pia alizungumzia kilichotokea katika mkutano wa halmashauri kuu ya taifa ya ccm mjini dodoma na kukiri kwamba chuki miongoni mwa wabunge wa ccm ilikuwa kubwa hatua iliyosababisha kuundwa kamati ya watu watatu bwana pius msekwa mzee ali hassan mwinyi na bwana abdulrahaman kinana kufuatilia mwenendo wa wabunge wa ccm hata hivyo aliwataka wabunge wa ccm kumaliza tofauti zao kupitia vikao vya chama na si kulumbana kupitia vyombo vya habari ili kulinda hadhi ya chama akijibu UNK la bwana tido mhando kuhusu kampuni ya reli alisema serikali inaendelea kushugulikia maslahi ya wafanyakazi hao akijibu swali lililoulizwa na mkurugenzi mtendaji wa shirika la utangazaji tanzani bwana tido mhando aliyetaka kujua serikali UNK vipi na changamoto za sekondari za kata rais kikwete alisema serikali imeongeza kasi ya kufundisha walimu kupita vyuo vya umma na binafsi jambo ambalo limeongeza idadi ya walimu alisema walimu wanaohitimu wameongezeka kutoka hamsini sifuri kwa mwaka ishirini sifuri tano hadi kufikia tano mia tatu na thebathini na moja kwa mwaka ishirini sifuri tisa aliongeza kuwa serikali ina mpango wa kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu katika bajeti ya mwaka ujao kuhusu suala la ujenzi wa maabara alisema serikali ina mpango wa kuongeza fedha kwa ajili ya ujenzi wa maabara na kwamba tayari benki ya dunia imetoa kiasi cha shilingi milioni tisini kati ya milioni mia tatu na hamsini zinazohitajika habari hii imeandikwa na peter masangwa edmund mihale elisante kitulo na tumaini makene kesi ya wizi wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje inayowakabili wafanyabiashara akiwemo bwana jeetu patel na wenzake itaanza kusikilizwa upande wa mashahidi wa mashitaka septemba ishirini na tisa mwaka huu hatua hiyo ilijulikana jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa mbele ya hakimu bibi grace mwakipesile na bwana ruwaichi meela katika kesi hiyo upande wa mashitaka unatarajia kuwa na mashahidi kumi na nane ambao watafika mahakamani hapo na kueleza wanachokifahamu UNK wizi wa mabilioni hayo kutoka benki kuu ya tanzania washitakiwa katika kesi hiyo wanadaiwa kuwa septemba mbili ishirini sifuri tano waliiba jumla ya shilingi bilioni saba sita baada ya kughushi mkataba wa makubaliano ya kuhamishiwa deni kutoka kampuni ya marubeni corporation ya japan kwenda kampuni ya bencon UNK ltd mbali na fedha hizo pia washitakiwa hao wanadaiwa kuwa agosti kumi na mbili ishirini sifuri tano walijipatia jumla ya shilingi bilioni mbili tano baada ya kughushi mkataba mwingine wa makubaliano ya kuhamishiwa deni kutoka kampuni ya matsushita UNK UNK washitakiwa wengine ni bwana amit nandy na bwana devendra patel hata hivyo washitakiwa hao wamekuwa wakiwasilisha maombi ya kusimamishwa kwa kesi zao mahakamani hapo mpaka kesi ya kikatiba UNK mahakama kuu ya tanzania itakapomalizika kesi hiyo UNK wakitaka kufutwa kwa kesi zote zinazowakabili kutokana na kuwa tayari UNK na jamii kwa kuitwa mafisadi kabla ya baada ya kufikishwa mahakamani serikali mkoani arusha UNK uongozi wa wilaya ya ngorongoro UNK asasi zisizo za kiserikali zinazofanya kazi katika maeneo ya hifadhi ya loliondo mkuu wa mkoa wa arusha bwana UNK shirima alisema jana kuwa hatua hiyo imetokana na baadhi ya asasi hizo kufanya kazi kinyume na malengo ya kuwapo kwao katika eneo hilo bwana shirima alisema utitiri wa ngo s eneo la loliondo umekuwa kero kutokana na malumbano yasiyo na maana yanayosumbua wananchi alisema katika kudhibiti hali hiyo amemwagiza mkuu wa wilaya hiyo kuorodhesha mashirika hayo na baada ya hapo serikali itafuatilia kujua shughuli ya kila moja eneo hilo wingi wa mashirika haya ungekuwa unamaanisha maendeleo basi utitiri wa asasi hizo UNK maisha na mazingira katika eneo hilo tengefu lakini mambo ni kinyume sijui wanafanya nini alisema alisema kuwa katika uchunguzi huo pia watataka kujua wamiliki halisi wa asasi hizo pamoja na uraia wao kutokana na kuwapo kwa taarifa kuwa baadhi wamiliki hao si raia wa watanzania mkuu huyo wa mkoa alisema kuwa tatizo jingine kubwa linaloikabili wilaya hiyo ni kuingia kwa makundi makubwa ya mifugo kutoka nchi jirani ya kenya na kuzidi kuharibu mazingira alisema hatua madhubuti UNK kukabiliana na changamoto hiyo ikiwamo UNK mifugo UNK kuingia nchini na wamiliki wake kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria hawa wenzetu kule kwao wameshamaliza kila kitu hata wanyama pori kwa ajili ya shughuli za kitalii sasa UNK kwa wanataka kuja kwetu UNK mazingira UNK na sisi tutajikuta siku moja mbuga zetu hazina wanyama asilimia sabini hadi themanini ya utalii nchini kwetu ni kutoka katika eneo hili kwa sababu ndipo kwenye mazalia ya wanyama sasa UNK miti UNK na mifugo iingie kwenye maeneo ya hifadhi tutakuwa watu wa ajabu sana hivyo tunasema hapana alisema bwana shirima alisisitiza kuwa katika operesheni iliyofanyika kuwaondoa wavamizi kwenye maeneo ya hifadhi hakukuwa na matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari hata ukienda kwenye hospitali ya wilaya au polisi hakuna tukio lolote UNK huko hakuna watu UNK kupigwa au kujeruhiwa hizo zote ni propaganda zisizo na mantiki yoyote ile alisema hali bado tete kwa waziri wa miundombinu bwana shukuru kawambwa baada ya kampuni ya rites kushikilia msimamo wake wa kusitisha kutumia mabehewa na injini zinadaiwa jumla ya dola za marekani milioni kumi tano kampuni ya rites kutoka india agosti thebathini na moja mwaka huu ilitoa siku kumi kwa kampuni ya reli tanzania ambazo UNK jana na hali UNK serikali juzi kumwandikia barua mkurugenzi wa rites bwana vinay agarwal kumwomba kulegeza msimamo huo akizungumza na majira dar es salaam jana msemaji mkuu wa wizara wa miundombinu bwana martin ntemo alisema kuwa viongozi wa rites waliitwa na waziri daktari shukuru kawambwa katika vikao vinavyoendelea kuwataka kukubaliana na barua yao alisema vikao vinavyoendelea takribani siku tatu mfululuzo UNK muafaka kwani kumekuwa na mvutano kati ya pande zote kila mmoja akivutia kwake leo viongozi wa rites wameitwa wizarani baada ya ukimya wao wa UNK barua UNK juzi hivyo wapo kwenye kikao cha majadiliano na waziri kawambwa ingawa kuna mvutano mkubwa kati ya pande zote alisema bwana UNK gazeti hili lilifika kwa kamanda wa polisi kitendo cha reli bibi ruth makelemo ili kufahamu safari za treni kuanzia jana alisema kuwa hajapokea mabadiliko yoyote kutoka serikalini abiria mikoa ya kaskazini UNK saa tatu barabara kuu iendayo tanga kilimanjaro na arusha jana ilifungwa kwa saa tatu na kusababisha magari zaidi ya kumi sifuri kushindwa kupita katika kijiji cha mkata baada ya kuzuka vurugu kubwa kati ya wakazi wa eneo hilo na kigogo mmoja anayedaiwa kupandisha bei ya maji tofauti na wenzake mmoja wa abiria UNK na mkasa huo na kujitambulisha kwa jina la bwana UNK UNK aliliambia gazeti hili kwa njia ya simu kuwa jana asubuhi umati mkubwa wa wakazi wa eneo hilo UNK barabara na kuzuia magari yasipite kushinikiza kigogo huyo UNK maji shilingi sabini sifuri kwa dumu apunguze bei sambamba na wenzake wanaouza shilingi arobaini sifuri alisema msururu mrefu wa magari hayo yakiwemo mabasi ya abiria malori magari wadogo yalilazimika kusimama kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa saba mchana mgogoro huo UNK uongozi wa mkoa wa tanga kwa kushirikiana na jeshi la polisi UNK mkutano wa dharura chini ya mkuu wa mkoa huo bwana said kalembo kutafuta ufumbuzi akizungumza kwa simu kutoka mkata bwana kalembo alikiri kutokea tukio hilo na kueleza kuwa tayari UNK ufumbuzi unajua mkata kuna uhaba mkubwa wa maji kilichotokea ni kuwa kuna magari matatu yanauza maji lakini gari moja UNK dumu moja shilingi sabini sifuri wakati wenzake wanauza kwa shilingi arobaini sifuri huo ndiyo ugomvi uliosababisha wananchi kuchukua sheria mkononi bwana kalembo alisema wananchi wa mkata hawakupaswa kufunga barabara kwa sababu hilo ni kosa la kujichukulia sheria mkononi badala ya kufuata taratibu kaimu kamanda wa polisi mkoa wa tanga bwana simon mgawe naye alikiri kutokea vurugu hizo na alipotakiwa na kuthibitisha kuwa vurugu hizo UNK chama cha wananchi cuf kimemtaka mwenyekiti wa tume ya uchaguzi jaji lewis makame kujiuzulu kwa kushindwa kusimamia na kutetea haki za wapigakura wake hayo yalisemwa dar es salaam jana na mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari juu ya vitambulisho wanavyodai UNK moto juzi katika bohari kuu ya serikali iliyoko keko dar es salaam alisema kuwa jaji makame ambaye amekuwa mwenyekiti wa tume hiyo tangu mfumo wa vyama vingi uanze nchini ameshindwa kuijenga taasisi hiyo kuwa yenye uwezo na UNK na wadau wake profesa lipumba alieleza kusikitishwa na kitendo hicho na kudai kuwa anayepaswa kuwa na shahada ni UNK mwenyewe na siyo serikali wala taasisi nyingine yoyote alisema katiba na sheria ya uchaguzi UNK tume ya uchaguzi wajibu wa kutoa na kusimamia elimu ya uraia na elimu ya uchaguzi kwa wapigakura ambapo tume imeshindwa kutoa mafunzo hayo ambayo yamechangia wananchi kutoa shahada zao za UNK na kukusanywa au kununuliwa na mafisadi ni dhahiri kabisa kadi UNK zikichomwa moto ni zile za wananchi ambazo kwa kipindi kirefu tumekuwa UNK taarifa kuwa kuna biashara ya kununua shahada za wapigakura licha ya jambo hilo kufanyiwa kazi lakini juzi tumeshuhudia wenyewe alidai profesa lipumba alidai katika shahada zilizochomwa juzi nyingi ni za mwaka ishirini sifuri tano na nyingine zilitolewa mwaka ishirini sifuri nane ambapo inaonesha wazi kuwa serikali ya ccm inahusika na ukusanyaji wa shahada hizo za wapiga kura aliongeza kuwa inaonesha dhahiri kuwa mchezo huo mchafu unafanya na tume ya uchaguzi zanzibar kwa kushirikiana na nec kwani baadhi ya shahada hizo tatu UNK kuwa za wapigakura kutoka UNK katika shahada zilizochomwa nyingi ni za wakazi wa mkoa wa dar es salaam wilaya ya kinondoni ambapo katika uchaguzi mkuu wa ishirini sifuri tano wapigakura halisi waliojiandikisha walikuwa asilimia hamsini na tano ambapo asilimia arobaini na tano kati yao hawakupiga kura huku asilimia kumi pekee ndio UNK alisema profesa lipumba aidha cuf UNK kitendo vya nchi wahisani kuendelea kutoa fedha kwa tume ya uchaguzi kwa lengo la kuboresha usimamizi wa kura jambo ambalo limekuwa likifanyika kinyume mahakama ya wilaya ya kinondoni dar es salaam imetamka wazi kuwa aliyekuwa mkuu wa jeshi la polisi nchini bwana omar mahita ndiye baba halali wa mtoto juma mahita ambaye UNK na mfanyakazi wake wa ndani bibi rehema shaaban mbali na kutamka kuwa ndiye baba halali mahakama hiyo imemwamuru bwana mahita kulipa malimbikizo ya gharama za matunzo ya mtoto huyo tangu mwaka ishirini sifuri tatu hukumu hiyo ilitolewa jana mahakamani hapo mbele ya hakimu mkazi bibi suzan UNK ambapo mlalamikaji wa kesi UNK na wakili wa kituo cha sheria na haki za binadamu bwana UNK daud kesi hiyo ya madai ambayo bibi rehema alikuwa UNK mahakama kutamka wazi kuwa bwana mahita ndiye baba wa mtoto huyo na UNK kugharimia matunzo ya mtoto juma kwa mujibu wa hukumu hiyo pamoja na kutamka kuwa bwana mahita ndiye baba wa mtoto huyo anatakiwa kubaki kwenye uangalizi wa mama yake hadi atakapofikisha umri wa kujitegemea uamuzi wa mahakama hiyo ulifikiwa kutokana na ushahidi uliowasilishwa mahakamani hapo ambapo UNK bila kuacha shaka kuhusu madai hayo na bwana mahita kutakiwa kuhakikisha UNK masomo ya mtoto huyo kwani ndiye baba halali pia mdaiwa huyo ameamriwa kutoa shilingi kumi sifuri sifuri sifuri sifuri kila mwezi kama gharama za matunzo kwa mtoto na mama yake bibi rehema baada ya kusomwa hukumu hiyo upande wa wadaiwa UNK una haki ya kukata rufaa endapo UNK na uamuzi uliofikiwa na mahakama hiyo awali kesi hiyo ilifunguliwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu ambayo ilikuwa mbele ya hakimu mkazi bibi UNK UNK ambaye sasa ni jaji wa mahakama kuu ya tanzania lakini ilifutwa mahakamani hapo na kuamriwa kufunguliwa katika mahakama ya wilaya kutokana na maelekezo ya sheria bwana mahita katika kesi hiyo alikuwa UNK na wakili wa kujitegemea bwana charles UNK ambapo mshitakiwa huyo kupitia wakili wake walipinga vikali kuwa mtoto juma si mwanawe bibi rehema katika maelezo yake alisema kuwa alipata ujauzito wa mtoto juma wakati akifanya kazi za ndani kwa bwana mahita katika kipindi cha mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano ambapo baada ya kuzaliwa kwa mtoto huyo bwana mahita alimtelekeza na kushindwa kutoa gharama za matunzo hatua iliyomfanya kufungua kesi ya madai naye kulwa mzee anaripoti kuwa mwenyekiti wa tanzania labour tlp bwana augustino mrema UNK umoja wa wanawake wa chama hicho kwa kulipa gharama za wakili UNK bibi rehema bwana mrema alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na gazeti hili baada ya mahakama kutoa hukumu dhidi ya bwana mahita alisema wanawake wengi wanaangamia kwa kukosa msaada lakini wanawake wa tlp kwa kutambua hilo waliamua kumsadia mwanamke huyo kwa kuchangishana fedha na kupata wakili wa UNK hukumu hii inaonesha wazi jinsi mahakama UNK haki alisema mwenyekiti na kushauri vyama vingine vya siasa kuiga mfano wa chama chake kusaidia kisheria wanawake wenye shida wasiokuwa na uwezo UNK yalikuwa mepesi hayakukidhi haja za wananchi UNK wasiwasi baadhi ya maswali UNK shekhe issa UNK rais kukemea tishio la udini hamad rashid apongeza utaratibu wa papo kwa papo lakini slaa UNK waraka lipumba UNK muafaka mrema apongeza baadhi ya maswali aliyoulizwa rais jakaya kikwete jana kwenye utaratibu mpya wa muulize rais kwa kupiga simu kutuma barua pepe na kujibiwa moja kwa moja kupitia redio na televisheni UNK ufafanuzi wa kina kulingana na uzito wa masuala husika kama ilivyotarajiwa na wengi imedaiwa masuala yanayodaiwa rais hakuyatoa majibu fasaha ni pamoja na vita dhidi ya ufisadi safari zake za nje na nyaraka zinazotolewa taasisi za dini ambapo imedaiwa majibu yake yalikuwa mepesi na hayakukidhi haja ya wananchi mhadhiri mwandamizi wa chuo kikuu cha dar es salaam profesa mwesiga baregu aliliambia gazeti hili jana kuwa wananchi wengi waliondoka na kiu kubwa ya majibu kutokana na maswali mengi aliyoulizwa rais kikwete UNK kwa kina profesa baregu ambaye ni UNK wa masuala ya sayansi ya siasa na uhusiano wa kimataifa alisema majibu aliyotoa rais kikwete juu ya vita dhidi ya ufisadi hayalingani na uzito wa jambo hilo ambalo limechukua sehemu kubwa ya mijadala nchini takribani kipindi chote cha utawala wake suala la ufisadi UNK majibu ya kuridhisha kulingana na uzito wake UNK mpaka sasa ni moja ya mambo ambayo UNK muda mrefu katika kuyajadili bila kupata majibu sahihi alizungumzia takukuru tu kwa muda mrefu lakini ninavyojua mimi chombo hicho pia UNK kutuhumiwa katika vita dhidi ya rushwa kuwa UNK watu na hakifanyi kazi yake sawasawa sidhani kama kuongelea chombo hicho pekee ilikuwa ndio jibu sahihi la swali lile juu ya vita vya ufisadi alisema profesa baregu akizungumzia safari za mara kwa mara ambazo rais kikwete amekuwa UNK nje ya nchi profesa baregu alisema huenda rais hakuelewa mantiki ya UNK swali hivyo kujikuta akijibu tofauti alisema mantiki ya swali lile lilikuwa ni kutaka kujua umuhimu wa safari hizo ambapo muda mwingi rais kikwete amekuwa akitumia kuzunguka kuomba misaada kwa nchi tajiri kuisaidia tanzania badala ya kuiuza nchi kwa kutumia maliasili zilizopo na kutafuta wawekezaji makini wanaoweza kusaidiana na serikali UNK swali lile nahisi UNK chenga safari zake hizo za nje badala ya kutuingizia nafikiri zimekuwa UNK cost zaidi badala ya kutumia fursa hiyo kutambulisha rasilimali zetu UNK ili UNK wananchi wote amekuwa akienda kuomba misaada mbali ya kuwa unapoomba unajinyima uwezo wa kujitegemea lakini pia hakuna nchi UNK kitu bure hivyo swali UNK tutaendelea kuomba omba mpaka lini alihoji profesa baregu huku akionekana kuwa na wasiwasi na utaratibu uliotumika kuwasiliana na rais akisema kuwa inawezekana baadhi ya maswali yalikuwa yameandaliwa mapema profesa baregu alisema suala la nyaraka za taasisi za dini nalo pia UNK majibu muafaka alisema haoni mantiki ya majibu ya rais kikwete kuwa nyaraka hizo UNK mgawanyo miongoni mwa UNK nafikiri nyaraka hizo kwa jinsi UNK na kuzielewa zililenga kupata viongozi waadilifu na kwa hakika viongozi wa dini wana wajibu wao katika jamii kuhakikisha kuwa maadili yanakuwepo sasa vipi UNK matatizo ingawa pia viongozi wa dini walitakiwa kuunganisha nguvu zao za madai pamoja lakini kama taifa linalotaka kuwa na viongozi waadilifu basi rais hakuwa na haja ya UNK alisema profesa baregu kwa upande wake shekhe mohamed issa ambaye ni mwanazuoni na mchambuzi mahiri wa masuala ya dini alisema wanashukuru kuwa hatimaye rais kikwete amezungumzia masuala hayo baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu shekhe issa alisema rais anastahili kupongezwa kwa hatua hiyo ya kuzungumzia hatari ambayo taifa linanyemelewa kwa UNK na mambo ya kidini lakini akahoji kwa nini hatua hiyo imekuja baada ya waislam kutoa mwongozo wao waraka wa wakatoliki umetolewa karibu miezi tisa nyuma tunaamini kabisa rais kikwete alijua kwa kutumia njia zake za kupata habari anajua mambo ya waraka toka januari lakini alikaa kimya lakini mara zote katika nchi hii hatari imekuwa inaonekana pale waislam wanapoamua ku UNK katika UNK yao hapo ndipo watu huanza kusema kuna hatari na hali hii imekuwepo toka awamu ya kwanza ya utawala wa nchi hii alidai mwanazuoni huyo akizungumzia kuhusu waraka na mwongozo alisema kuwa kimsingi demokrasia inahusisha mambo mengi ikiwemo kusikiliza na kusimamia maoni yanayotolewa na makundi ya kijamii alisema hakuna tatizo kwa makundi mbalimbali ya kijamii kama yale ya kidini walemavu wawindaji na mengine kutoa maoni na malalamiko yao kupigania haki au stahili yao lakini itakuwa vibaya tu endapo kundi moja litatoa maelekezo ya kukandamiza maslahi ya makundi mengine mfano watu wenye ulemavu wa ngozi wenye virusi vya ukimwi wahadzabe wote UNK ya kutoa maoni yao jinsi UNK kutimiziwa stahili zao UNK tu UNK maslahi ya makundi mengine hivyo hakukuwa na makosa kwa watu wa dini kutoa utashi wao kwa serikali au vyama vya siasa UNK namna gani wanapaswa UNK ikiwa ni mojawapo ya michakato ya demokrasia ilani ya wakatoliki na mwongozo wetu haina shida labda tatizo liko kwa ule waraka wa kichungaji ambao umeweka mambo ya kidini zaidi hivyo sisi tunasisitiza UNK yeyote yule bila kujali dini ilimradi atimize haki zetu za msingi alisema naye kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni bwana hamad rashid mohamed amesema mbali na kuridhishwa na utaratibu mpya wa rais jakaya kikwete kujibu maswali ya wananchi papo kwa papo kupitia vyombo vya habari amesikitishwa na kiongozi huyo kuwa kigeugeu katika suala la muafaka wa kisiasa visiwani zanzibar bwana hamad alidai rais kikwete ndiye kikwazo kikubwa cha kupatikana muafaka visiwani zanzibar kwani wakati UNK bunge alisema kuwa ajenda zote tano zilizokuwa UNK baina ya ccm na cuf zimemalizika lakini baadaye alikuja na ajenda ya sita ya kupigakura ya maoni kwa wananchi rais kikwete ni mwepesi wa kujua matatizo yanayojitokeza katika jamii lakini ni mzito wa kutoa majibu jambo ambalo ni hatari sana hasa kwa suala kama la muafaka visiwani zanzibar alisema bwana rashid alidai kuwa vyama vyote katika vikao vyake UNK kwa pamoja mambo yote UNK kwenye ajenda tano ambazo UNK lakini cha kushangaza wakati wakielekea mwisho rais akaja na ajenda ya sita ya kupigakura za maoni kitendo ambacho hakiwezi kuleta suluhu kutokana na udhaifu uliopo kwenye chaguzi zote huwezi kuwa na double UNK kwamba mazungumzo yamemalizika lakini unakuja na ajenda nyingine ya kura za maoni kwa madai kuwa kuna mabadiliko makubwa ya katiba na utendaji wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar alisema na kuongeza kuwa shughuli ya uchaguzi zanzibar haiaminiki kwa nini ulete kura ya maoni alisema dosari hiyo inaweza kuigharimu zanzibar kwani UNK za muafaka zinaanza aliahidi kufanyika kwa wiki tatu lakini cha kushangaza imechukua zaidi ya wiki kumi na nane bila ufumbuzi naye mbunge wa karatu daktari wilbroad slaa alisema rais kikwete UNK kuhusu waraka uliotolewa na kanisa katoliki kuelimisha wanaumini wao namna ya kuchagua viongozi kwenye uchaguzi mkuu ujao mwakani kwa kueleza kuwa una hatari kwa mustakabali wa taifa daktari slaa ambaye pia ni katibu mkuu wa chadema alidai rais kikwete alipaswa kusoma vizuri waraka huo na kuuelewa rais alitakiwa kuusoma vizuri waraka huo kabla UNK suala hilo mbele ya wananchi ambao wengi wa UNK wameonesha kuukubali alisema alisema rais kikwete alipaswa kuwapongeza wanataaluma wakatoliki kwa UNK waraka huo kwani unalenga kutoa elimu kwa watanzania hususan katika kipindi hiki cha kuelekea katika uchaguzi mkuu UNK mtu yeyote anayepinga waraka huu kwani UNK kuchagua kiongozi kutokana na dhehebu au dini UNK bali UNK jinsi ya kumpata kiongozi UNK na rushwa na ubinafsi alisema daktari slaa naye mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba alisema chama chake UNK na majibu ya rais kikwete kwani alipaswa kuelezea undani wa suala la muafaka wa ccm na cuf lakini hakufanya hivyo kwa kweli majibu aliyotoa UNK UNK barua zaidi ya nne kuhusu jambo hilo lakini hadi sasa hakuna hata moja UNK alisema profesa lipumba kuhusu waraka wa kanisa katoliki profesa lipumba alisema wameshangazwa majibu ya rais kikwete kwani pamoja na malalamiko yote vipo vipengele umuhimu vyenye manufaa makubwa akizungumzia ahadi ya maisha bora kwa kila mtanzania kama ilani ya chama cha mapinduzi inavyoeleza profesa lipumba alisema hali ya maisha inazidi kuwa ngumu siku hadi siku alisema rais kikwete anakosea kutumia kigezo cha huduma za jamii kama afya na elimu kwani idadi ya vifo vya kina mama wajawazito na watoto inaongezeka siku hadi siku mwenyekiti wa tanzania labour bwana augustino mrema alisema kuwa ufisadi uliokithiri nchini ndicho chanzo cha nyaraka zinazotolewa na madhehebu kwani watu wamechoshwa na hali hiyo alisema wananchi wamechoshwa kuona watu wachache wanafaidi rasilimali za umma na wengine wakiumia kwa umasikini wa kutisha hata hivyo bwana mrema alimpongeza rais kikwete kwa jitihada zake za kupambana na mafisadi kwa kuwa ndiye rais wa kwanza kushughulikia kero hiyo na kumshauri kuongeza nguvu zaidi na grace ndossa chama cha demokrasia na maendeleo kimetoa mafunzo kwa viongozi wote wa wilaya ya temeke ili waweze kukabiliana na changamoto zilizopo ndani ya chama hicho na wilaya hiyo akizungumza dar es salaam jana wakati akifungua semina hiyo mkurugenzi wa mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa wa chama hicho bwana john mnyika alisema mafunzo hayo ya siku moja yatawasaidia viongozi hao kutumikia wananchi kwa uaminifu na kuondoa kero zilizopo ndani ya wilaya ya temeke alisema viongozi wa wilaya hiyo wanatakiwa wawe chachu ya maendeleo na kupiga vita ufisadi ili waweze kuendelea wenyewe na kuboresha huduma za jamii ikiwemo hospitali ya wilaya wajibu wa chama cha chadema ni kukemea ufisadi unaofanywa na wananchi viongozi pamoja na kukabiliana na changamoto zilizopo ndani ya wilaya ya temeke alisema bwana mnyika mkurugenzi huyo alisema mafunzo hayo yatachangia katika mabadiliko ndani ya wilaya hiyo kwa kutoa vifaa vya kusaidia hospitali ya wilaya temeke na kuboresha miundombinu iliyopo alisema viongozi wa chadema wanatakiwa wawe mstari wa mbele katika kufichua maovu yote yanayofanywa ndani ya chama hicho na kusaidia halmashauri ya wilaya hiyo kujenga kituo kikubwa cha mabasi mbagala kama kilichopo ubungo bwana mnyika alisema viongozi wa chadema wanatakiwa kuwa mahiri na sera mbadala katika ngazi ya siasa hasa kipindi hiki ambacho uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji unakaribia uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika oktoba mwaka huu awali semina hiyo ilikuwa UNK na mwenyekiti wa chadema bwana freeman mbowe ambaye alishindwa kufanya hivyo kutokana na majukumu mengine jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania limesema mabomu kumi na nne aina ya anti UNK yaliyokamatwa na polisi katika kiwanda cha simba UNK cha mabibo ubungo si mali ya jeshi hilo akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya jeshi hilo jana mnadhimu mkuu wa jwtz luteni kanali abraham shimbo alisema mabomu yalikamatwa haina uhusiano kwa sababu yale ya jeshi yana alama maalum ya kuonesha uhalali wa UNK alisema mabomu hayo huenda UNK baharini kwa kuisha muda wake na UNK na watu waovu kwa nia ya kufanya uhalifu lakini jeshi hilo halina upungufu wa silaha katika maghala yake luteni kanali shimbo alisema jeshi linaendelea kufanya uchunguzi wa mabomu yaliyolipuka kambi ya jwtz kambi ya mbagala na kusababisha maafa aliwatahadharisha wananchi kuacha kuokota vitu ambavyo UNK mashaka na kupiga ripoti kwa maofisa wa jeshi hilo ili UNK alisema baada ya mabomu ya kambi ya mbagala kulipuka UNK angani na mengine kujichimbia chini ya ardhi hivyo bado kuna hatari ya kuendelea kulipuka UNK misukosuko na joto imebainika kundi la linalojiita mungiki UNK makundi mawili na kuteka msitu wa sakare uliopo wilayani korogwe mkoani tanga kiwanda cha kusindika chai cha lupembe na msitu wake wa UNK wilayani njombe mkoani iringa huenda lina mkono wa watu wakubwa serikalini kundi hilo UNK na vyombo vya dola UNK mali hizo kwa takribani miezi tisa sasa na kuzuia uzalishaji wa chai kutoka kwa wakulima wadogo na ajira za wafanyakazi wapatao kumi sifuri sifuri kusitishwa kwa muda usiojulikana huku viongozi wa ngazi mbalimbali UNK mpira kuwa suala hilo linashughulikiwa na viongozi wa kitaifa hata baadhi wa wanahabari miezi michache iliyopita waliokwenda njombe kufuatilia sakata la mgogoro huo na kujeruhiwa kwa kupigwa na kunyang anywa vifaa vyao vya kazi na kundi hilo lakini hadi leo polisi katika ngazi zote wameshindwa kuwatia mbaroni wahusika wa tukio hilo kwa madai kuwa lina baraka kutoka ikulu akizungumza na gazeti hili mmoja wa waandishi waliopigwa alidai kuwa licha ya kulalamika kwa igp said mwema na kuagiza uongozi wa mkoa na wilaya kuwakamata wahusika mara moja na kuwafikisha mahakamani hadi leo hakuna yeyote aliyekamatwa kwa madai kuwa kuna amri kutoka ngazi za juu mwandishi huyo alishangazwa na polisi kushughulikia mambo madogo na kupuuzia suala lao UNK kupoteza maisha ya watu na kutoa mfano wa mbunge samir lotto wa morogoro kusini UNK ofisa wa moruwasa na akawekwa sero mara moja na suala lake kufikishwa kwa mwendesha mashtaka wa serikali ndani ya siku mbili bwana nawab mulla ambaye ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa lupembe tea estate kampuni UNK kiwanda hicho kupitia tume ya rais ya kurekebisha mashirika ya umma alisema kuwa alifuata taratibu zote za manunuzi na kukabidhiwa kiwanda tangu mwaka ishirini sifuri nne na sasa anaona kuna njama ya UNK mali hizo bwana mullah alisema anashindwa kuelewa wavamizi hao kulenga viwanda UNK na kampuni zake za lushoto tea company na lupembe na kwa nini UNK zaidi ya miaka miaka kumi ipite ndipo wachukue hatua nimewekeza mabilioni ya fedha katika kupanda misitu kukarabati viwanda na kulipa madeni mbalimbali sasa eti wavamizi hao wanadai vilikuwa mali zao nataka serikali UNK nani mkosaji mimi UNK kihalali au hawa UNK alilalamika mwekezaji huyo katika maelezo yake yaliyoambatana na nyaraka mbalimbali zinaonesha masharti ya ubinafsishaji wa kiwanda hicho yaliyokuwemo kwenye tangazo la kuuza viwanda na misitu hiyo ilimtaka mwekezaji kuingia ubia na muungano wa vyama vya ushirika vya lupembe ambapo asilimia thebathini kwa ushirika huo na mwekezaji asilimia sabini alishangaa kimya cha serikali kutokana na mgogoro huo UNK mahakama kuu kitengo cha biashara na kuamuliwa kuwa wavamizi waondolewe ili uzalishaji uendelee wakati kesi ya msingi kuhusu pande hizo zote mbili UNK lakini dalali wa mahakama ilipokwenda kutekeleza amri hiyo alipata UNK UNK kutoka kwa mungiki alisema gazeti hili UNK kuwa uvamizi huo unafadhiliwa na kundi la wafanyibiashara wenye ushawishi mkubwa ndani ya ccm na viongozi wazito serikalini ikiwemo ikulu ili kumwondoa mwekezaji huo ambaye pia ni mwenyekiti wa ccm mkoa wa mbeya na baadaye kuwauzia wawekezaji wengine wenye nia ya kummaliza kiongozi huyo kisiasa mgogoro wa njombe umetokana na baadhi ya wanahisa wa mvyulu kushinikiza fedha zilizolipwa na mwekezaji kwa tume ya rais ya kurekebisha mashirika ya umma psrc ilipwe kwenye ushirika huo kwa vile licha ya kuwa wanahisa baada ya ubinafsishaji bado mali hizo UNK ni zao na hivyo kuvamia msitu huo ili mwekezaji huyo UNK kiwanda cha chai cha lupembe kilikuwa UNK na iliyokuwa mamlaka ya chai kwa asilimia sabini na wanachama wa mvyullu walimiliki kiwanda cha kusindika chai cha lupembe lakini kutokana na madeni na kushindwa kusimamia uzalishaji serikali iliamua kubinafsisha mali hizo mwaka ishirini sifuri nne wazazi UNK dua watoto wao UNK mitihani ya taifa wengine UNK wafanye madudu kwa makusudi lengo ni kuepuka kuwasomesha usumbufu wa serikali wakati watahiniwa mia saba na tisini na nne kumi mbili wakiwa wamefanya mtihani wa taifa wa kuhitimu darasa la saba mwaka huu katika hali ya kushangaza baadhi ya wazazi katika halmashauri ya wilaya ya lindi vijijini wanaomba dua ili watoto wao wasifaulu mtihani huo kutokana na kukosa uwezo wa kuwasomesha wazazi wengine wameenda mbali zaidi na kufikia hatua ya kushawishi watoto wao kujibu mitihani yao chini ya kiwango ili UNK uchunguzi uliofanywa na gazeti hili wiki hii wilayani humo kwa kuwahusisha wanafunzi wazazi walimu na viongozi wenye dhamana ya kusimamia elimu wilayani humo umebaini kuwa kutokana na hali tete ya umasikini inayowakabili wazazi wengi hawataki kusikia mtoto amefaulu ndiyo maana wanaomba dua hatua hiyo inalenga kuwaepusha na misukosuko ya kuwafikisha polisi au mahakamani kwa kushindwa kupeleka watoto wao shule baada ya kufaulu darasa la saba wakizungumza na gazeti hili baadhi ya wananchi wa vijiji vya UNK UNK UNK jangwani moka UNK UNK makumba UNK na UNK walisema hali ya umasikini ndiyo UNK katika hatua hiyo bwana paul ngole alisema wazazi kuomba dua ili mtoto UNK mtihani ni jambo la kawaida kutokana na hali duni ya maisha wanayoishi alisema mtoto UNK wazazi hujikuta wakibeba jukumu la kuwapangia nyumba kutokana na shule za kata kutokuwa na mabweni kuwanunulia chakula na mahitaji mengine mzazi anajikuta UNK kutunza familia mbili ingawa wengi wetu hatuna kipato ndiyo maana wengine wanaamua kuomba mungu wasifaulu ili kuepuka usumbufu alisema bwana UNK hebu angalia watoto wale wazazi wameshindwa kuwanunulia sare unadhani wakifaulu wataweza kulipa ada hiyo ya shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri alihoji bwana ngole na kusema wanaona ni bora waombe dua bwana hussen said alisema kipato UNK siyo cha kuwasaidia kusomesha watoto kwa kuwa ni kidogo wazazi waliozungumza na gazeti hili walithibitisha kuwepo kwa tabia ya kuwashawishi watoto ili wafanye vizuri mitihani yao mwalimu mkuu wa shule ya msingi UNK bwana yusuf rashid alisema katika mkoa huo wazazi kuomba dua ili watoto wasifaulu darasa la saba ni jambo la kawaida katika familia nyingine mtoto akifaulu mtihani wa darasa la saba amani inatoweka kwa sababu wazazi wanakuwa hawana uwezo wa kuwasomesha wakati huo huo wakiandamwa na viongozi wa serikali ili UNK kwa nguvu alisema bwana rashid alibainisha kuwa alishawahi kufanya utafiti na kubaini hilo kutokana na kukithiri kwa umasikini mtoto akifaulu amani inatoweka ndani ya familia zao hivyo wanaona ni heri waombe mungu washindwe alisema alizidi kufafanua kuwa wazazi wanaoshindwa kuwasomesha watoto wao wanafikishwa polisi hivyo kukosa amani mwalimu huyo alisema shule za sekondari za kata kwa kiwango kikubwa zimejengwa kwa nguvu za wananchi hivyo hata watoto wakifaulu wanajikuta hawana uwezo wa kuwasomesha pia ipo michango inayojitokeza wanakuta UNK na wanaoshindwa wanafikishwa mahakamani alisema na kuongeza katika hali hii baadhi ya wazazi wanaona ni bora watoto wasifaulu ili waendelee kuishi kwa amani kwa upande wake mwalimu mkuu wa shule ya msingi songambele bwana rashid UNK alisema tatizo la wazazi wa mkoa huo UNK mkazo elimu linatokana na umasikini watu UNK lakini hawapati cha kuuza familia nyingi zinaishi kwa kubahatisha matokeo yake hawatoi kipaumbele kwa elimu ndiyo maana wazazi wanashauri watoto wao wafanye vibaya mitihani yao makusudi ili wasifaulu alisema bwana UNK akifaulu amani inatoweka nyumbani mzazi fedha hana serikali UNK ili kumfikisha kwenye vyombo vya sheria wengine wanaamua kukimbia na kutekeleza familia alifafanua mwalimu huyo alieleza kuwa baadhi ya watoto wanashindwa kuhudhuria shuleni kutokana na kulala njaa na wale wanaokwenda wengine wanasinzia kiasi cha kushindwa kufuatilia masomo kutokana na hali hiyo bwana UNK alisema wanafunzi wengine wanaamua kuacha masomo na kwenda kutafuta vibarua ili kusaidiana na wazazi kuongeza kipato cha familia mwalimu mkuu wa shule ya msingi UNK bwana mbinga UNK alisema umasikini unaendelea kuathiri maendeleo ya elimu kwa kuwa watoto wa kike UNK masomo na UNK mratibu elimu katika kata ya mnonela bwana abbas UNK alisema katika shule ya sekondari mnonela kuna wanafunzi watatu ambao waliandika barua za kuacha shule kutokana na wazazi wao kutokuwa na uwezo wa kuwasomesha UNK barua wakisema kusoma ni sawa na biashara ya UNK hivyo hawataki kuendelea na masomo kwa kuwa wazazi wao hawana uwezo wa kusomesha alisema na kuongeza walimweleza kuwa iwapo UNK kuendelea na masomo UNK mkuu wa kituo cha polisi cha UNK bwana daud alisema katika eneo lake la kazi kuna wanafunzi hamsini na mbili waliofaulu darasa la saba lakini hawajapelekwa shuleni kwa kuwa wazazi hawataki tatizo la wazazi wale ni kipato suala hilo limefikishwa kwangu imekuwa vigumu kuwasaidia kwa kuwa wazazi hawana kitu alisema bwana daud akizungumzia suala hilo ofisa elimu wa halmashauri ya lindi vijijini bwana mussa minduva alikiri kuwa idadi kubwa ya watoto wanaofaulu mtihani wa darasa la saba wanashindwa kujiunga na sekondari kutokana na wazazi kukosa uwezo kuanzia mwaka ishirini sifuri sita tulikuwa na mkakati wa kupeleka sekondari watoto wote wanaofaulu lakini wengi UNK kutokana na wazazi kuwa na uwezo mdogo alisema bwana UNK alisema matokeo ya hali hiyo ni watoto wengi kuolewa kwa sababu hata wakifaulu wazazi hawana uwezo wa kuwasomesha alikiri kuwa baadhi ya wazazi wamekuwa wakitoa kauli za kuwakatisha tamaa watoto wao hivyo kushindwa kuongeza bidii kwenye masomo akithibitisha jinsi wazazi wa wilaya yake UNK na uwezo wa kusomesha watoto wake bwana minduva alisema kwa mwaka huu alipokea fomu hamsini za kuwawezesha vijana waliohitimu elimu ya msingi na sekondari kujiunga na mamlaka ya vyuo vya ufundi lakini zilizochukuliwa hadi sasa ni nane ili UNK watoto ambao wazazi wao hawana uwezo kuendelea na masomo ya sekondari bwana minduva alisema kwa kushirikiana na tume ya taifa ya kudhibiti ukimwi na taasisi mbalimbali halmashauri yake imekuwa UNK kusomesha watoto ambao wazazi wao hawana uwezo ingawa tatizo bado ni kubwa alisema UNK imeweza kusomesha wanafunzi themanini na tano wa kidato cha tano alisema kupitia mfuko wa elimu mwaka jana halmashauri yake ilitumia kiasi cha shilingi milioni mbili kusomesha watoto hamsini na tano ambao wazazi wao walishindwa kuwasomesha kutokana na kukosa uwezo kwa mwaka huu alisema zilitumika kiasi cha shilingi milioni tano sita kwa ajili ya kusomesha wanafunzi mia mbili na sitini hata hivyo mwaka huu hali ya mahudhurio ya wanafunzi itakuwa mbaya kutokana na zao la korosho kushindwa kustawi alisema alisema imefikia hatua katika wilaya yake watu wanajivunia kutojua kusoma na kuandika nenda pale UNK ukipita pale mnolela kuna vijana wengi ukiuliza ni nani hajui kusoma na kuandika UNK UNK kwa furaha utafikiri UNK ni wa ngapi wapo kidato cha sita alisema wasomi wasema vyama vya upinzani ni dhaifu wasema UNK kama kampuni za watu binafsi demokrasia katika vyama vya siasa tanzania imeelezwa kuwa iko katika UNK kiasi ambacho upinzani umeshindwa kuaminika kwa wananchi na kama hali itaendelea kuwa hivyo ni UNK pekee UNK chama cha mapinduzi madarakani imeelezwa kuwa vyama vya upinzani ambavyo vinapaswa kuwa mbadala wa chama tawala katika siasa za ushindani vimeshindwa kuonesha kulitambua na kuwa tayari kwa jukumu hilo kwa jinsi UNK demokrasia hali hiyo inatokea huku vyama hivyo UNK kuchukua sehemu kubwa katika uwanja wa demokrasia ilihali ni mmoja tu ya wachezaji katika uwanja huo mpana huku pia wananchi wakishuhudia demokrasia UNK kwa aidha kutofanya uchaguzi viongozi wake kukaa madarakani kwa muda mrefu na kutotaka kupingwa wakizungumza na gazeti hili jana na juzi dar es salaam wasomi waliobobea katika taaluma ya sayansi ya siasa na wananchi wa kawaida wamesema kuwa mwenendo UNK na vyama vya siasa UNK wapiga kura wengi ahueni kwa UNK kuwa mbadala wa ccm profesa amon chaligha mhadhiri mwandamizi katika chuo kikuu cha dar es salaam alisema kuwa takribani vyama vyote nchini vimeshindwa kuitetea demokrasia kinyume na jinsi vinavyoonekana kupiga kelele katika ngazi ya taifa au chama tawala huku akitoa mifano inayoonesha kuminywa kwa demokrasia ndani ya vyama hivyo profesa chaligha alisema kuwa vyama vya upinzani vinapaswa kuonesha utofauti na chama kilichopo madarakani hasa kwa UNK demokrasia ili waweze kuaminika mbele ya wapiga kura demokrasia katika vyama vya siasa hasa vile vya upinzani ambavyo watu UNK kama mbadala wa ccm bado UNK kwa kiasi fulani vyama hivyo UNK mpiga kura ahueni ya UNK UNK nchi kwa kuwa UNK kwa ccm profesa chaligha ambaye pia ni mtafiti wa mambo ya demokrasia katika mpango wa utafiti na elimu ya demokrasia nchini aliongeza kwa kutoa mifano kuwa kwa sababu ya kuminywa kwa demokrasia ndani ya vyama hivyo wanachama wake wamekuwa wakikosa uhuru na hivyo wengine kuhama au kuamua kukaa kimya na kufuata kile kinachoweza kuitwa UNK wa ngoma alisema kuwa tafiti mbalimbali zinazofanyika UNK kwa uwazi nafasi ya vyama vya upinzani kushika madaraka bali wananchi wamekuwa wakionekana UNK kwa kutoa changamoto kwa ccm lakini UNK kushika madaraka alishangazwa na wapinzani kufurahia tafiti mbalimbali ambazo zinaonesha kuwa asilimia kubwa ya wabunge wa ccm wataondoka madarakani wakati huo huo wakiwa hawajui kama nafasi hizo zitachukuliwa na wabunge wa upinzani au UNK na wana ccm wengine wananchi wameshuhudia akina tambwe hizza wilfred lwakatare wakikimbia cuf kwa sababu ya mizengwe UNK huko chadema tumewaona akina UNK hata hiyo ya zitto demokrasia UNK kwa kuzuia wanachama kutoa uamuzi kwa njia ya mchakato wa uchaguzi hakika hapo wamerudi kinyume UNK tlp iko taabani huko nako akina UNK na mwenzake wameonekana wabaya kwa sababu tu UNK mwenyekiti katika uchaguzi nccr UNK udp hakina utaifa ni cha kikanda zaidi ingawa siyo kosa kisheria cuf UNK na demokrasia ya kuridhisha vingine ndio kabisa UNK kusikika wakati wa uchaguzi alisema profesa chaligha ambaye pia ni UNK tume ya uchaguzi tanzania kwa upande wake mkufunzi mwandamizi mwingine wa UNK daktari benson bana alisema kama vyama vya upinzani UNK kwa kuendesha mambo yake kwa kufuata misingi ya demokrasia na kuweka sera mbadala zenye kutokana na tafiti watanzania watakuwa na upinzani dhaifu kwa muda mrefu ujao alisema hali hiyo inatokana na vyama hivyo kutengeneza ilani bila bila ya kuwa na taarifa za kitaalamu ili kutoa majibu ya kero za wananchi kwa njia UNK kuwa wako tayari kuchukua madaraka ya kuongoza nchi daktari bana ambaye pia ni mkuu wa idara ya sayansi ya siasa na utawala wa jamii chuoni hapo aliongeza kuwa vyama vingi vya siasa ukiachilia ccm kwa kiasi kidogo havina hazina ya kupata viongozi walioandaliwa vyema ndani ya chama kwani wanaojitokeza hawapewi fursa ya UNK kwenda juu safari nyingine kusitishwa leo yalalamikia wafanyakazi kwa UNK hujuma za miundombinu UNK kampuni ya reli tanzania imetoa ufafanuzi uliosababisha ifikie uamuzi wa kusitisha baadhi ya huduma zake kuanzia septemba kumi mwaka huu na kutahadharisha kuwa huenda UNK kupunguza huduma za safari za abiria kufuatana na hali UNK taarifa iliyotolewa kwenye vyombo vya habari dar es salaam jana na kusainiwa na mkurugenzi mtendaji bwana hundi chaudhary ilieleza kuwa moja ya sababu hizo ni mabehewa UNK kuchelewa kufanyiwa ukarabati mkubwa kutokana na kukosa vipuri trl inashindwa kununua vipuri hivyo kwa kukosa fedha kwa vile imeshindwa kukopeshwa kutokana na kutokuwa katika hali nzuri ya kifedha ilieleza taarifa hiyo na kuongeza kuwa mabehewa saba kati ya hayo imebidi UNK kutoa huduma kwa sababu ya kiusalama aliongeza kuwa UNK mabehewa yaliyotajwa mabehewa mengine sita ya trl imebidi UNK kutoa huduma kwa vile yameharibika sana kutokana na ajali ya treni ya abiria iliyotokea kati ya stesheni za UNK na mkata agosti nane mwaka huu ambapo inatuhumiwa kufanyika hujuma katika njia ya reli taarifa hiyo ya bwana chaudhary ilieleza kuwa kutokana na kutolipwa ada ya ukodishwaji inayofikia dola za kimarekani milioni kumi arobaini na mbili rites UNK barua trl ikiitaka kulipa malimbikizo hayo ya ada au kusimamisha matumizi ya vichwa ishirini na tano vya treni na pia matumizi ya mabehewa ishirini na tatu ya daraja la tatu kulala kupitia kwenye taarifa yake hiyo bwana chaudhary alieleza kuwa wafanyakazi hawajitumi vya kutosha ikiwa ni pamoja na kutunza nyenzo za kazi hali ambayo inahatarisha usalama wa abiria licha ya UNK kuhusu tabia hiyo mara nyingi kutokana na hali hiyo trl imeamua kuchukua hatua ya kusimamisha treni ya kila wiki ya express inayotumia mabehewa daraja la tatu kulala kwenda kigoma kuanzia septemba kumi ishirini sifuri tisa alisema bwana UNK alitua nyingine aliitaja kuwa ni kusimamisha huduma ya treni ya abiria kwenda kigoma kila jumapili kuanzia leo UNK kumi na tatu ishirini sifuri tisa na kusimamisha huduma ya abiria kutoka dodoma kwenda singida kuanzia septemba kumi mwaka huu wakati trl ikitoa ufafanuzi wa kusitisha huduma zake hali ndani ya shirika bado ni tete kutokana na habari zilizopatikana kueleza kuwa huduma za treni zitakazokuwa zikiendelea ni za jumanne na ijumaa akizungumza na majira dar es salaam jana mkuu wa kituo cha reli kitengo cha usafirishaji bwana francis bendera alisema ili kuwaondolea abiria usumbufu wamelazimika kutumia injini na mabehewa yaliyokuwa ya kampuni ya reli tanzania kusafirisha abiria na mizigo treni itakayoingia kesho kutoka mwanza ambayo iliondoka baada ya mgomo kumalizika UNK tena na ile inayotakiwa kuondoka dar es salaam kesho ilisimamishwa kigoma hivyo tumelazimika kusitisha safari na kurudisha nauli kwa wale wanaotaka au kubadilisha tiketi na kusubiria jumanne alisema gazeti hili lilifika kwa ofisa mahusiano wa trl bwana UNK maez kujua safari za treni UNK lakini hakutoa ushirikiano badala yake alianza kuwa mkali umefuata nini hapa kwanza unajua leo ni siku gani wewe UNK kwenda wapi mimi siyo mwajiriwa wa rites pigeni simu india mkawaulize naomba UNK toka nje au UNK walinzi UNK hapa UNK bwana UNK wakati huo huo vikao vilivyokuwa vikiendelea katika wizara ya miundombinu takribani siku tano mfululizo UNK viongozi kutoka trawu rahco na menejimenti ya rites chini ya waziri daktari shukuru kawambwa UNK bila muafaka kupatikana akizungumza na majira kwa njia ya simu dar es salaam jana msemaji wa wizara ya miundombinu bwana martin ntemo alisema kuwa vikao UNK kutatua matatizo ya trl UNK juzi ambapo kila mmoja anashikilia msimamo wake hasa rites kwa kuanza kusimamisha injini na mabehewa yao mkuu wa wilaya UNK ffu wakaa chonjo jwtz UNK yasema jeshi sio katili wakati kampeni ya kuwaondoa wananchi walioweka makazi katika eneo la loliondo lililoko katika hifadhi ya ngorongoro ikiendelea baadhi ya wananchi waishio katika eneo hilo jana walivamia lango la ikulu jijini dar es salaam wakitaka kuonana na rais jakaya kikwete kuhusiana na mgogoro huo akizungumzia suala hilo msemaji wa wakazi hao UNK majengo yao bibi paulina UNK alisema kuwa waliamua kwenda ikulu kupata tamko kutoka kwa rais mwenyewe kwa kuwa hawana mahali pa kuishi kutokana na makazi yao kubomolewa nia yetu kubwa ya kuja hapa ni kuonana na rais kwa sababu sisi ni wapiga kura wake halali UNK kwa kura zote na tunasikitishwa na kitendo cha kuondolewa bila hata UNK zozote alilalamika hata hivyo baada ya mkuu wa wilaya ya ilala bwana evans balama kuwasili maeneo ya ikulu na kuzungumza nao waliamua kuondoka na kuazimia kwamba endapo tatizo lao halitapatiwa ufumbuzi atarudi tena na safari hii watalala katika lango kuu la ikulu bwana balama aliwashukuru kwa kuwa waelewa na kuwajibu kwamba rais asingeweza kuonana nao kwa vile alikuwa kwenye kikao muhimu hata UNK UNK kesho sina uhakika kama UNK nae alisema hata hivyo mkuu huyo wa wilaya alikabidhiwa tamko la wakazi hao ili UNK kwa rais jakaya kikwete mwenyewe kamanda wa kanda maalum ya dar es salaam suleiman kova na askari wa kikosi cha kutuliza ghasia walifika katika eneo hilo ingawa hawakuchukua hatua yoyote baada ya mkuu wa wilaya kuwatuliza wananchi hao naye gloria mhiliwa anaripoti kuwa waziri wa maliasili na utalii bibi shamsa mwangunga amezungumzia mgogoro uliopo loliondo wilayani ngorongoro kufuatia serikali kuendesha operesheni ya kuwaondoa wafugaji waliojenga kwenye kitalu cha uwindaji na kusema kuwa operesheni hiyo ilifanyika kwa maslah ya taifa waziri mwangunga aliyasema hayo jana ngorongoro muda mfupi baada ya makabidhiano ya mradi wa asasi ya UNK kwa baraza la wafugaji wa ngorongoro pamoja na halmashauri ya wilaya ya ngorongoro ambapo alisema kuwa operesheni ya kuwaondoa wafugaji hao ilifanyika kwa utulivu isipokuwa baadhi ya taasisi zisizokuwa za kiserikali ambazo zimekuwa zikitumia baadhi ya vyombo vya habari kupotosha kweli kwa maslah yao na taasisi zao alisema kuwa eneo la loliondo ni pori tengefu ambalo UNK serikali fedha nyingi sana na wananchi wa eneo hilo kupitia makubaliano yao na mwekezaji wa kampuni ya uwindaji ya UNK business company ambapo kwa mwaka serikali inapata milioni hamsini sifuri na wananchi wa vijiji nane UNK na eneo hilo la obc hupewa kila mwaka shilingi milioni thebathini sifuri kupitia makubaliano yao alisema serikali haiwezi kukaa kimya kuona uharibifu wa mazingira UNK loliondo kwa kuwaacha watu wakate miti ya kujenga maboma pamoja na kuendeleza shughuli za kilimo alisema kuwa wananchi wa vijiji hivyo hususani katika eneo la pembezoni na eneo la uwindaji waliruhusiwa kupeleka mifugo kwa ajili ya malisho lakini siyo kujenga maboma ambapo hukata miti mara kwa mara ama kulima na kwamba kufanya hivyo ni kuharibu mazingira ambayo yatasababisha kutoweka kwa wanyamapori alisema kuwa bila ya pori la loliondo hifadhi ya taifa ya serengeti UNK kwa kuwa maji yote ya hifadhi hiyo kama mto grumeti vyanzo vyake vipo kwenye msitu wa loliondo pia ni mapito ya wanyamapori kutoka ngorongoro serengeti kwenda masai mara nchini kenya pia ni chanzo cha maji cha loliondo yenyewe alisema kuwa uharibifu wa mazingira kwenye eneo hilo la msitu ulianza taratibu kuanzia mwaka ishirini sifuri sita na ndipo serikali ilipoamua kuanzisha operesheni hiyo julai nne ya mwaka huu ambapo viongozi wa vijiji walishirikishwa inagawa waziri mwangunga alikiri kuwa kulikuwa na mapungufu kidogo katika kuwashirikisha wananchi japokuwa ni mapungufu madogo sana mimi mwenyewe nimekwenda loliondo mara nyingi tangu mgogoro huo uanze lakini UNK UNK wala UNK chakula chake kama nilivyosema hapo awali baadhi ya taasisi ndizo UNK wananchi zinawapa nauli kwenda dar na kuwaeleza mambo ya kuzungumza kwa nini wawaeleze vitu vya kuzungumza hapa kuna maslahi binafsi inatakiwa UNK alisema mwangunga wakati huo huo jeshi la ulinzi la wananchi limetoa tahadhari kuwataka wananchi wa kata ya UNK arusha kutoandamana kwenda ikulu kwa kuwa mgogoro huo ulikuwa UNK ufumbuzi akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya jeshi hilo jana mnadhimu mkuu wa jwtz luteni kanali abraham shimbo alisema waziri wa ulinzi na jkt daktari hussein mwinyi na mkuu wa majeshi jenerali davis mwamunyange wametoa maelekezo ya muafaka wa kumaliza mgogoro huo alisema jeshi hilo haliwezi kuwa katili kwa wananchi wake UNK japokuwa UNK ardhi hiyo kwa mujibu wa sheria sawa na taasisi nyingine kulingana na sheria ya ulinzi wa taifa ya mwaka ishirini sifuri mbili alisema ardhi inayomilikiwa na jeshi hutumika kuweka kambi zana za ulinzi mafunzo mazoezi shule maghala karakana hospitali viwanda viwanja vya ndege viwanja vya shabaha mafunzo ya zana mafunzo ya vikosi maalum na mashamba ya UNK na maghala yote ni salama UNK mali alisema baadhi ya wananchi wamekuwa UNK ardhi ya jeshi UNK eneo la wazi au msitu bila kujua eneo hilo limetengwa kwa kazi hizo luteni kanali shimbo alisema wananchi ndiyo wanaofuata huduma katika kambi za jeshi lakini badala yake wamekuwa wakali kuondoka UNK kufanya hivyo kupisha kazi nyingine aliwashauri wananchi wanaofuata huduma katika kambi za jwtz kuanza ujenzi baada ya kupata ridhaa ya manispaa zinazohusika na wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi kamati kuu ya ccm imeridhia utaratibu UNK rais jakaya kikwete wa kuwapa fursa wananchi kuhoji serikali yake kwa kumuuliza maswali ya papo kwa papo kwa kuwa unafaa licha ya kupingwa na wanasiasa UNK na gazeti hili dar es salaam jana katibu wa itikadi na uenezi wa UNK kuu ya taifa ya ccm bwana john chiligati alisema cc imeona utaratibu huo unafaa kwa sababu UNK rais kujua matatizo ya wananchi moja kwa moja kikao kimeona utaratibu huo unafaa na UNK wanasiasa uchwara UNK mfumo huo na kwa kauli moja wamekubaliana na wao UNK rais aendelee kutumia mfumo huo katika siku za usoni alisema bwana chiligati alisema mfumo huo ni mzuri na wa kihistoria kwani haujawahi kutokea tangu nchi hii ipate uhuru kwa kuwa UNK wananchi wengi kwa wakati na haraka zaidi na kwa kujua kero zao UNK watakuwa wakizitoa papo hapo na UNK alibainisha kuwa cc ilijadili mfumo UNK na rais kikwete ambapo kikao hicho UNK kuwa unafaa na uendelee UNK licha ya kupingwa na wanasiasa wa vyama vya upinzani bwana chiligati alisema tafiti UNK kwa muda mfupi umebaini kuwa mfumo huo unapendwa zaidi na wanachi wa hali ya chini kuliko aliokuwa akitumia awali wakati huo huo kikao hicho kimeweka mikakati ya kuhakikisha ccm inashinda viti vyote katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika oktoba ishirini na tano mwaka huu wabunge wa bunge wa kenya wamefurahishwa na taratibu za manunuzi zinazotumika nchini na kuwezesha vifaa UNK na serikali kupatikana kwa wakati tofauti na nchini mwao ziara ya wabunge hao sita nchini iliyomalizika mwishoni mwa wiki ilikuwa ni utekelezaji wa ahadi ya rais mwai kibaki ya kuwatuma nchini wabunge wa nchi hiyo kuja kujifunza jinsi tanzania UNK taratibu za manunuzi akizungumza kwa niaba ya wabunge UNK mbunge wa jimbo la UNK kati bwana devid UNK ekwee alisema wameridhishwa na utaratibu mzima unaotumiwa na tanzania kuagiza vivuko kutoka nje na jinsi wataalam wazalendo wanavyoweza UNK kwa muda mfupi alisema serikali ya kenya imekuwa ikisubiri kwa muda wa miaka saba kupata kivuko chenye ukubwa wa tani hamsini sifuri bila mafanikio wakati tanzania iliweza UNK kwa muda wa miaka miwili bwana ekwee alisema kutokana na rais mwai kibaki kuvutiwa na utaratibu unaotumiwa na tanzania aliamua kuwatuma waje nchini kujifunza mwenendo mzima wa manunuzi ili baadaye waweze kutuma wahandisi wao kupata uzoefu akizungumza na wabunge hao mkurugenzi wa huduma za ufundi wizara ya miundombinu bwana john ndunguru alisema kivuko cha mv magogoni kimenunuliwa na serikali kutokana na bajeti yake ya mwaka ishirini sifuri sita ishirini sifuri saba ambapo mkataba wa ujenzi wa kivuko hicho ulisainiwa octoba ishirini sifuri sita na ujenzi kuanza novemba ishirini sifuri saba alisema kivuko hicho UNK na watanzania kulingana na viwango vya kimataifa vinavyosimamia vyombo vya baharini kivuko hicho kina urefu wa mita sabini na nne moja upana wa mita kumi na saba arobaini na nne kimefungwa injini nne mpya zenye arobaini sifuri hp kila moja aina ya UNK r mitambo ya uendeshaji aina ya UNK UNK jet mawasiliano life UNK UNK na vifaa vya kisasa kuongoza UNK wakati kukiwa na tetesi kuwa waziri mkuu aliyejiuzulu bwana edward lowassa anaweza kugombea kiti cha urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi katika uchaguzi mkuu ujao mwanasiasa huyo ameweka bayana kwamba hataki kuzungumza jambo lolote na waandishi wa habari bwana lowassa aliweka msimamo huo alipozungumza na gazeti hili kwa njia ya simu alipotakiwa kutoa maoni yake kuhusu tetesi hizo alipopigiwa simu na gazeti hili bwana lowassa kama kawaida yake alitoa ushirikiano mzuri mwanzoni mwa mazungumzo lakini UNK kuwa anazungumza na mwandishi kutoka chumba cha habari gazeti la majira kabla ya kuelezwa UNK alisema UNK sitaki kuongea na waandishi wa habari kuhusu jambo lolote lile hapa nchini i won t give my comment on UNK baada ya kutoa kauli hiyo bwana lowassa alikata simu yake kabla ya kuelezwa chochote zaidi gazeti hili lilimtafuta bwana lowassa ili kujua ukweli kuhusu tetesi kuwa ana mpango wa kugombea urais mwaka ishirini moja sifuri pamoja na kuwepo na taarifa hizo katika vyombo vya habari mara kwa mara bwana lowassa amekuwa kimya hali inayowafanya wananchi wengi kuwa na kiu ya kutaka kujua msimamo wake bwana lowassa ambaye bado anakumbukwa kwa ujasiri wake katika baadhi ya masuala kama vile kuvunja mkataba mbovu wa city water na ufuatiliaji wa maamuzi mbalimbali ya serikali na yale aliyokuwa UNK na wakubwa wake bila kuchoka alijiuzulu wadhifa wake uwaziri mkuu februari mwaka jana baada ya kuwajibika kutokana na yaliyojitokeza katika mkataba tata wa richmond tangu wakati huo bwana lowassa amekuwa kimya kiasi cha kufikia hatua watu kutoa tafsiri mbalimbali na kuwakanganya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wengine wamekuwa wakiona ukimya huo kama moja ya mikakati mkali kuhakikisha anarudi katika chati ya juu kisiasa na wengine wakidhani ni hatua muhimu ya kutotaka kujiingiza kwenye malumbano ya kisiasa wengine wamekuwa UNK kitendo hicho cha kukaa kimya katika masuala mengi ya kitaifa ambayo kama mtu mwenye ushawishi wa kisiasa na kijamii alipaswa kusikika UNK maoni hivi karibuni gazeti hili lilimtafuta bwana lowassa ili atoe maoni yake kuhusu utekelezaji wa mapendekezo ya richmond yaliyowasilishwa bungeni na serikali ambapo kama ilivyokuwa jana alikataa kutoa maoni yake ni wapambanaji wa vita dhidi ya ufisadi yasema UNK mabegani na mafisadi yadai UNK iwapo UNK wenyewe chama cha mapinduzi mkoa wa dar es salaam kimewataka wabunge wake UNK kupambana na ufisadi kuacha kubebwa mabegani na mafisadi vinginevyo jamii UNK kombora hilo dhidi ya wabunge UNK lilitolewa juzi na katibu wa ccm mkoa wa dar es salaam bwana UNK nggenda wakati akifungua semina ya viongozi wa mashina na matawi katika kata ya ukonga unakuta hawa wapambanaji wanapambana na ufisadi lakini ukiwaangalia nao wamebebwa mabegani na mafisadi kwa kulipwa posho na vitu vingine hii UNK maana halisi ya wao kupambana na ufisadi alisema bwana nggenda na kuongeza ili UNK maana wanatakiwa wasimame wenyewe UNK ndipo itakuwa na maana kwa kuwa chama chetu UNK mafisadi alisema bwana UNK kuna kundi la wabunge wa ccm ambao wanasema watapambana na mafisadi kufa na kupona ndani ya chama sisi tunasema kuwa vita ya ufisadi ni kubwa ambayo inatakiwa kupambana na wana ccm pamoja na wananchi wengine kwa ujumla na sio kikundi cha watu alisema na kuongeza kuwa alibainisha kuwa hata mjadala ulioendeshwa kwenye mkutano wa halmashauri kuu ya ccm haukuwa na lengo la kuwaziba midomo wabunge wa ccm kama ambavyo imekuwa ikidaiwa na baadhi ya watu wabunge waendelee UNK mambo mbalimbali wananchi wana matatizo makubwa ambayo wanatakiwa kuyajadili lakini mijadala yote hiyo izingatie maslahi ya ccm na serikali yake hivyo hakuna UNK mdomo alisema alisema kuwa baadhi ya watu wamekuwa UNK hoja za ccm na kuzifanya kuwa za malumbano bila hata ya ccm yenyewe UNK alisema mwenendo huo unatia shaka kwa siku za karibuni baadhi ya wabunge wa ccm wamekuwa mstari wa mbele kupiga vita vitendo vya ufisadi ndani na nje ya bunge kiasi cha kuibua mjadala miongoni mwa wana ccm wenyewe tayari baadhi ya wabunge hao wameapa kuendeleza mapambano dhidi ya mafisadi hata kama UNK maisha katika mkutano wa kumi na sita wa bunge la jamhuri ya muungano spika wa bunge bwana samuel sitta aliiomba serikali UNK ulinzi kutokana na kutishia usalama wake na mafisadi wabunge wengine wa ccm ambao wamekuwa mstari wa mbele kupita vita ufisadi na majimbo yao kwenye UNK ni bwana jemes lembeli fred mpendazoe daktari harrison mwakyembe christopher ole sendeka na lucas selelii na zamzam abdul mwenyekiti wa democratic party mchungaji christopher mtikila amewapa wiki mbili viongozi wa serikali wanaoipinga taasisi ya upatu ya deci kuacha mara moja kuifuatilia na kushauri watafute shughuli nyingine za kufanya akihutubia mkutano wa hadhara kwenye viwanja wa jangwani dar es salaam jana mchungaji mtikila alidai anawashangaa viongozi UNK kufanya shughuli zao na kufuatilia mbegu UNK wananchi wa tanzania nataka niwaambie viongozi pamoja na wanachama wa deci wasiwe na wasiwasi kwani dp iko nao pamoja katika kuwatetea japokuwa waliniambia UNK mkutano wangu jangwani kwani UNK matatizo na kuonekana nafanya siasa mimi UNK mpaka mwisho kwa sababu wamekuwa wakifanya kazi nzuri sana alidai mchungaji huyo wa kanisa la UNK kamili alidai anawashangaa viongozi wa benki kuu ya tanzania kusema deci haijasajiliwa wakati viongozi hao na wa deci wamekuwa UNK tangu zamani sasa leo UNK wenzao na kusema hawaitambui taasisi hiyo kwani UNK tunasema mpango wa kuifungia mbegu yenye faida UNK akilini kabisa hao wanaoipinga deci kama wanatafuta fedha kijanja wakatafute kwa njia nyingine lakini sio njia hiyo ya kuifungia alidai bwana mtikila katika mkutano huo ambao hata hivyo UNK na wana deci wengi kama ilivyotarajiwa alisema wataendelea kuitetea deci kwa gharama yoyote ile kama walivyofanya mkutano huo wa jangwani bila gharama japokuwa wenyewe wana deci UNK vita UNK wanachama wa deci waendelee kupanda na kuvuna wala wasiwe na wasiwasi wasiogope mtu yeyote kwani wajue huduma hiyo UNK na wakumbuke watashinda tu kwa ushindi wa UNK wakati serikali ikisisitiza nia yake ya kupinga hukumu UNK huru aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana abdallah zombe na wenzake kitabu kinachoelezea UNK wa kesi hiyo UNK na UNK katika maeneo mbalimbali nchini bwana zombe na wenzake walikuwa wakikabiliwa na mashitaka ya mauaji ya wafanyabiashara watatu wa madini na dereva teksi mmoja mwaka ishirini sifuri sita mwandishi wa kitabu hicho bwana charles mullinda alisema kitabu hicho kinaelezea matukio muhimu tangu kutokea kwa mauaji hayo uchunguzi wake kukamatwa kwa polisi waliodaiwa kuhusika na mauaji hayo mwenendo wa kesi hadi kutolewa kwa hukumu hiyo kitabu hiki kinaitwa kesi ya zombe UNK na UNK tayari kimeanza kusambazwa sehemu mbalimbali nchini anasema anasema pamoja na kitabu hicho kuwa na mambo mengi ya msingi tetesi zilizopo ni juu ya kitabu hicho kununuliwa kwa wingi na kundi la watu ambao UNK kwa sababu UNK bwana mullinda alisema kuwa aliamua kuandika kitabu hicho kutokana na mvuto wa kipekee wa kesi hiyo ambayo ilikuwa UNK kwa karibu na watanzania wengi aliongeza kuwa lengo la kuandika kitabu hicho ni kuweka kumbukumbu ya kudumu ya tukio hilo la kihistoria katika nchi na kuwawezesha watu waliokosa nafasi ya kufuatilia kesi hiyo kujua mwenendo wake kitabu hiki UNK mambo ya kawaida yaliyotokea katika kesi hiyo lakini UNK na taarifa UNK kuwa UNK kwa wingi na kundi la watu ambalo mimi UNK na UNK ili kisiweze kusomwa na watu mbalimbali alisema kampuni ya mafuta ya gapco imezindua kampeni ya kuelimisha wateja ya UNK wa kuaminika kupitia misingi ya usafi na uaminifu ili kupambana na UNK mafuta ofisa mkuu wa operesheni wa gapco bwana godfrey UNK alisema jana dar es salaam kuwa kampeni hiyo ambayo imezinduliwa katika vituo kumi na tisa vya mafuta katika jiji la dar es salaam inalenga kuwaelimisha wateja kujua mafuta halisi na feki alisema kutokana na huduma bora UNK na gapco imetoa mafunzo kwa wafanyakazi wake jinsi ya kutumia pampu za kujaza mafuta kwa uaminifu na kuwapa wateja mafuta bora kwa magari yao awali mwenyekiti wa wafanyabiashara wa mafuta nchini bwana george UNK alisema serikali inapaswa kuwachukulia hatua kali wafanyabiashara wanaouza mafuta kiholela na kuhatarisha maisha ya wananchi ambao wanaweza kuteketea kwa moto na kuleta maafa makubwa endapo kutatokea mlipuko alisema kutokana mafuta hayo kuuzwa holela mitaani kwenye madumu na mapipa imefika wakati serikali UNK hatua kali watu wanaokwenda kuuza mafuta hayo stendi ya mabasi ya mikoani ubungo na sehemu nyingine za kurasini na temeke naye waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja alisema serikali imekuwa ikipambana na wafanyabiashara wasio waaminifu wanaochakachua mafuta na kuharibu sifa ya tanzania alisema kutokana na mapambano hayo gapco imeonesha nia ya kusaidia serikali ambayo UNK na kuthamini mchango wa sekta binafsi nchini alisema dawa ya wafanyabiashara wanaochakachua mafuta inakuja baada ya ewura na wafanyabiashara wa sekta hiyo kubuni njia ya kumaliza tatizo hilo serikali imesema inachunguza kwa kina kubaini endapo haki za binadamu zilikiukwa wakati wa operesheni ya kuhamisha wafugaji wa pori tengefu la loliondo mkoani arusha na endapo itabainika hatua kali za kisheria zitachukuliwa akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana waziri wa maliasili na utalii bibi shamsa mangunga alisema kwa sasa UNK kwa kina kama kuna haki za binadamu zilikiukwa au la mpaka hapo watakapofanya uchunguzi serikali imeamua kulifanyia uchunguzi suala hilo na endapo ikibainika kuwa haki za binadamu zilikiukwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa ili iwe fundisho kwa wengine alisema bibi mangunga alisema kama ikibainika kuwa kuna taasisi zozote za misaada au kuna mkono wa mtu kwa namna moja au nyingine UNK na uchochezi wakati wa operesheni hiyo ikifanyika serikali itachukua hatua kali za kisheria bibi mangunga alisema inashangaza kuona kuna taasisi zaidi ya thebathini ambazo zipo loliondo hivyo UNK kuna kitu gani ambacho kinafanyika huko kiasi kwamba taasisi zote UNK huko kuna baadhi ya taasisi UNK na waandishi wa habari na UNK umma kuwa katika operesheni hiyo kuna wanawake walibakwa mifugo kuchomwa moto na nyumba hivyo UNK safari mpaka huko na kuzungumza na wananchi kuhusiana na matukio hayo lakini wananchi wa huko walikana kutokea kwa vitendo hivyo alisema chama cha walemavu tanzania UNK utaratibu mpya uliotumiwa na rais jakaya kikwete kujibu maswali ya papo kwa moja na wananchi kwa njia ya redio na televisheni kwamba haukuzingatia mahitaji ya makundi maalum akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa chawata bibi shida salum alisema mazungumzo ya rais hayakuzingatia mahitaji ya walemavu wa kusikia alisema kukosekana mkalimani wa lugha za ishara UNK walemavu hao haki ya kupata habari hivyo kushindwa kushiriki katika kuuliza UNK tumepeleka malalamiko kwenye kamati ya maendeleo ya jamii na hatuelewi kwa nini walemavu wasiosikia hawapewi nafasi ya kujua kinachoendelea katika nchi yao alisema alisema ni vyema serikali na vyombo vya habari UNK mtazamo na UNK walemavu wasiosikia kwa kuweka UNK wa lugha za ishara kwani nao wana haki ya kupata habari kama wananchi wengine aidha bibi shida alikemea tabia ya baadhi ya watu kutaka kujipatia umaarufu kupitia walemavu kwa kutangaza kutoa misaada feki kauli hiyo imetokana na kuwepo taarifa mmoja wa viongozi wa umoja wa vijana wa ccm mkoani tabora kusaidia kuwasomesha walemavu wa viungo kumi sifuri wilayani nzega kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne uchunguzi UNK kupitia ofisi zetu umebaini kuwa watoto wenye ulemavu wa viungo katika wilaya hiyo hawafiki idadi hiyo iliyotajwa alisema wakati huo huo mwenyekiti wa kamati ya usalama barabarani kwa watu wenye ulemavu bwana UNK kabatele alisema chawata inatarajia kuzindua kitabu cha alama za usalama barabarani kwa walemavu katika wiki ya nenda kwa usalama mkoani mbeya bwana kabatele alisema lengo la uzinduzi wa kitabu hicho ni kuwalinda walemavu wa viungo macho ngozi na akili kwa kuwatengenezea mazingira rafiki UNK vyombo vya moto aliongeza kuwa vyombo vya moto vya wenye ulemavu hao UNK kwa namba za pekee ambazo UNK wawapo barabarani bwana kabatele ambaye ni mbunifu wa kwanza wa alama za usalama barabarani kwa watu wenye UNK aliongeza kuwa alama hizo hazilengi kutengua alama za awali bali ni nyongeza ya alama zilizopo shirika la umeme tanzania limetangaza magawo wa umeme kwa kipindi UNK kwa mikoa sita ya tanzania bara kutokana na kuzidiwa kwa gridi ya taifa taarifa iliyotolewa dar es salaam jana na ofisi ya mawasiliano makao makuu ya tanesco imetaja mikoa hiyo kuwa ni mwanza shinyanga arusha kilimanjaro tabora na dodoma wakati tatizo hilo likiendelea jitihada mbalimbali zinafanywa na uongozi wa shirika hilo kuhakikisha huduma ya umeme inarudi katika hali ya kawaida mgawo huo utahusisha vitongoji tofauti katika maeneo yote ambayo yatahusika na mgawo mkoa wa mwanza umeme utakatika kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa nne usiku katika maeneo mengine ya mkoa huo umeme utakatika kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa kumi na mbili jioni mkoani dodoma umeme utakatika kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa nne usiku kwa kuhusisha vitongoji mbalimbali kama ilivyo kwa mikoa mingine ya shinyanga na kilimanjaro shirika hilo limesema taarifa kamili ya mgawo kwa mikoa ya tabora na arusha itatangazwa baadaye na kuwaomba radhi kwa usumbufu wote UNK na mgawo huo UNK shitaka la mauaji hatimaye mchungaji denis lawrence mlanzi anayedaiwa kuua mkewe kwa kumchoma moto akiwa usingizini amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya temeke akikabiliwa na mashitaka ya mauaji mchungaji huyo alifikishwa jana mahakamani hapo na kusomewa mashitaka na mrakibu wa polisi bwana basil pandisha mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo bibi hellen UNK akisomewa mashitaka yake alidaiwa kuwa septemba sita mwaka huu saa kumi na moja alfajiri katika maeneo ya yombo vituka malawi dar es salaam alimuua mkewe bibi rosemary UNK katika mashitaka hayo mshitakiwa huyo hakutakiwa kujibu chochote kutokana na mahakama hiyo kutokuwa na uwezo wa kusikiliza kesi za mauaji upande wa mashitaka ulieleza kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika hivyo itatajwa tena septemba ishirini na nane mwaka huu wakati akitoka mahakamani mchungaji huyo aliwashangaza watu waliokuwa mahakamani hapo baada ya kuinua mikono yake juu kama ishara ya kumwomba mwenyezi mungu watu waliokuwa mahakamani hapo walikuwa wakizungumzia tukio hilo kwa masikitiko huku UNK mchungaji huyo marehemu rosemary alikufa kutokana na moto uliozuka ghafla kwenye chumba alimokuwa amelala mshitakiwa anatuhumiwa kusababisha moto huo kutokana na ugomvi waliokuwa nao kwa muda mrefu na mke wake utata wa kifo hicho uliibuka baada ya mchungaji huyo kudai kuwa wakati tukio hilo likitokea alikuwa sebuleni akiandaa somo la biblia kwa kutumia kompyuta kwa ajili ya waumini wake kutokana na maelezo hayo ambayo yaliibua utata mkubwa wazazi na ndugu wa marehemu walikuja juu kiasi cha UNK kufanya matanga na ndugu wa mshitakiwa hivi karibuni kamanda wa polisi mkoa wa temeke bwana liberatus sabasi alikaririwa akisema mchungaji huyo alidai kuwa wakati akiandaa somo ghafla alisikia kelele za kuomba msaada kutoka kwa mkewe aliyekuwa amelala ndani na baada ya kufungua mlango alitoka na kuanguka sebuleni hapo marehemu alizikwa ijumaa iliyopita kwa wazazi wake katika kijiji cha UNK wilaya ya bukoba vijijini mkoani kagera mume wa aliyekuwa mbunge wa viti maalum kwa tiketi ya chama cha mapinduzi kupitia umoja wa vijana marehemu amina chifupa bwana mohamed mpakanjia maarufu kama UNK mpakanjia amefariki dunia ndugu wa karibu wa marehemu kwa sharti la kutotajwa jina gazeti alithibitisha kutokea kifo hicho na kueleza kuwa marehemu mpakanjia alifariki jana saa tisa alasiri katika hospitali ya jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania lugalo dar es salaam bwana mpakanjia alilazwa hospitalini hapo kwa muda usiozidi siku tatu akisumbuliwa na ugonjwa wa homa ya mapafu hadi kifo UNK jana na anatarajiwa kuzikwa leo jana jioni mipango ya mazishi ilikuwa ikiendelea kufanywa nyumbani kwa marehemu sinza jijini dar es salaam tupo sinza nyumbani kwa marehemu tunafanya tunaendelea na mipango ya mazishi ni kweli amefariki leo katika hospitali ya lugalo alisema alisema ndugu huyo mpakanjia ambaye pia alikuwa mshauri wa zamani wa bendi ya ddc mlimani park sikinde UNK kwa mchango wake mkubwa katika fani ya burudani nchini ndoa ya mpakanjia na amina marehemu amina ilikuwa na mvuto wa aina yake hatua iliyofanya vyombo vya habari kuwafuatilia kwa karibu wanandoa hao na kuvuta hisia za jamii hadi mkewe huyo alipofariki juni ishirini na sita mwaka juu baada ya kifo cha mkewe si mara moja wala mbili taarifa za uvumi wa kifo cha bwana mpakanjia zilikuwa UNK kwa njia ya mitandao na vyombo vya habari baadaye kuthibitika kwamba hazikuwa na ukweli awali mpakanjia UNK kifo agosti mwaka ishirini sifuri saba baada ya kuugua na kulazwa katika hospitali ya lugalo na baadhi ya vyombo vya habari kuandika kwamba yuko mahututi bwana UNK ambaye pia mfanyabishara kabla ya kuwa mshauri wa sikinde aliwahi kuwa mmoja wa wakurugenzi wa bendi ya UNK sound iliyokuwa na maskani yake wilayani kinondoni na kupiga muziki wake katika mahadhi ya UNK mwenyezi mungu ailaze mahala pema peponi roho ya marehemu UNK wananchi wagoma kujiandikisha risasi za UNK ffu watumia mabomu ya machozi kutawanya wananchi watoto wajawazito wazee UNK hospitali wananchi UNK UNK vinyesi upupu kituoni wakati shughuli ya UNK daftari la kudumu la wapigakura ikiendelea zanzibar hali si shwari kisiwani pemba baada ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia na jeshi la kujenga uchumi kulazimika kurusha risasi za moto na mabomu ya machozi angani kutuliza wananchi hatua hiyo ilitokana na baadhi ya wananchi hao kugoma kwenda kujiandikisha na kupinga kile walichodai kulazimishwa kwa nguvu na askari kufanya hivyo tafrani hiyo ilisababisha watoto watano wajawazito kadhaa na wazee kukimbizwa hospitali ya wete baada kuathiriwa na moshi huo wa mabomu sakata hilo lilitokea kwenye kituo cha sizini mjini kiuyu na UNK ya UNK mkuu wa mkoa wa kaskazini pemba bwana dadi faki dadi ndiye aliyeongoza vikosi hivyo kupita nyumba kwa nyumba kutaka wananchi hao kujiandikisha malori yenye askari waliokuwa na silaha UNK mitaani na kupita kila nyumba kutaka wananchi hao kwenda kujiandikisha hata hivyo watu walioandikishwa kituo cha kambini ni hamsini na nne na kiuyu ni ishirini na nne tu maeneo mengine watu UNK kabisa kujiandikisha wakati huo huo uandikishaji daftari hilo visiwani zanzibar limezidi kugubikwa na matukio ya utata baada ya kundi la watu wasiofahamika kuvamia kituo cha shehia ya mwange wilaya ya kaskazini a na kupaka kinyesi milango na UNK hali hiyo ilijitokeza jana alfajiri wakati mawakala na wasimamizi walipofika kituoni hapo na kushuhudia vinyesi vya binadamu vikiwa UNK kila kona ya chumba hicho mbali na vinyesi viti vya kukalia na meza kituoni hapo zilikuwa UNK upupu hali iliyosababisha waandikishaji na mawakala UNK wakati wote shughuli hiyo ilipokuwa UNK akizungumzia sakata hilo sheha wa mwange bwana makame hamis ali alisema hali hiyo imejitokeza baada ya kundi la watu kuzuiwa kujiandikisha kutokana na kutokidhi masharti kwa kukosa vitambulisho vya ukaazi shughuli iliyokamilika juzi pamoja na UNK kinyesi watu hao walikata nyaya za umeme na kusababisha uandikishaji kukwama katika eneo hilo hadi umeme UNK mara ya pili bwana ali alisema baada ya kubaini hali hiyo mawakala wa vyama walishiriki kusafisha chumba hicho na baadaye kurejea katika hali ya kawaida na uandikishaji kuendelea akizungumzia hali ya UNK mkuu wa kituo cha mwange bibi UNK abeid alisema idadi ya watu kujiandikisha imeongezeka tofauti na siku mbili za kwanza ambapo shughuli hiyo ilihusisha watu ambao hawajawahi kupigakura na ni mara yao ya kwanza kushiriki alisema hadi kufikia saa nane thebathini jumla ya watu mia moja na ishirini walikuwa wamejiandikisha tofauti na idadi ya watu saba waliojitokeza kwa siku ya kwanza na ya pili na kwamba hata hivyo anaamini kazi hiyo itakamilika na kufanyika kwa ufanisi akizungumza na waandishi wa habari mkuu wa wilaya ya kaskazini a bibi riziki juma UNK alisema pamoja na dosari zilizojitokeza watu wamepata mwamko na UNK kwa wingi katika uandikishaji kwa siku ya tatu alisema kazi hiyo si ya siku moja na watu watapata uzoefu na anaamini uandikishwaji utafanikiwa kwa asilimia kubwa aidha baadhi ya wakazi ambao hawakupata fursa ya kujiandikisha kwa kile kilichodaiwa kuwa hawana sifa ya ukaazi UNK serikali kuanzisha utaratibu huo kwa madai kuwa umelenga kuwagawa wazanzibar walisema kuwa utaratibu huo hauna mantiki kutokana na aina mbili za uchaguzi unaofanyika visiwani wa kumchagua rais wa zanzibar rais wa jamhuri mbunge na mwakilishi ilhali upande wa bara UNK rais wa jamhuri na mbunge pekee viongozi wa serikali za mitaa vijiji na kimila katika maeneo ya loliondo wilayani ngorongoro mkoa wa arusha wamepinga madai ya kundi la jamii ya wafugaji UNK ikulu dar es salaam jumamosi iliyopita wakizungumza kwa nyakati tofauti walisema madai yaliyotolewa si ya kweli na yanalenga kuvuruga amani ofisa mtendaji wa kijiji cha UNK bwana elias UNK alipongeza juhudi zilizofanywa na serikali kuwaondoa wafugaji kutoka nchi jirani ya kenya waliokuwa wamevamia maeneo ya pori tengefu la loliondo tunaishukuru serikali kwa kuwaondoa wafugaji wavamizi kutoka nchi jirani waliovamia loliondo na maelfu ya mifugo hadi kwenye maeneo ya kijiji chetu kwa kweli hali ilikuwa mbaya sana lakini sasa imerejea na kuwa ya kawaida baada ya operesheni nzuri ya kuwaondoa na hata sasa wanyama wameanza kuonekana kwa kweli tunaishukuru serikali alisema kuwa katika operesheni hiyo viongozi wa ngazi zote za kata na vijiji walihusishwa na kushiriki kwa asilimia kumi sifuri na kwamba tuhuma za ukiukwaji wa haki za binadamu UNK wakazi wa loliondo naye kiongozi wa kimila wa kabila la UNK UNK sumari sayi alisema asasi zisizo za kiserikali kwa sasa ni tatizo kubwa wilayani loliondo alisema badala ya asasi hizi kuleta maendeleo wilayani kwetu zenyewe UNK kuwa adui namba namba moja wa maendeleo na kama hiyo haitoshi sasa wameamua kuwagawa wananchi lakini pamoja na kuwapo asasi hizi na wawekezaji wengine lakini huyu mwekezaji obc amefanya mambo ambayo mtu hahitaji kuambiwa kwa sababu yanaonekana kwa hiyo sote tunapaswa kushirikiana na kuacha chuki ili tuendelee alisema kwa upande wake mwenyekiti wa kijiji cha UNK UNK bwana UNK UNK alihoji na UNK ngos kuwa kama wanataka wawekezaji waondoke na kama wawekezaji wakiondoka sasa wao watabaki wanafanya kazi gani sisi UNK kwa uwepo wa wawekezaji hasa obc ingawaje hatumsifii lakini misaada aliyoitoa inaonekana wazi na kila katika wilaya yetu mfano shule ya sekondari loliondo hospitali ya wilaya visima vya maji na kulipia ada watoto wetu kwa sisi ambao UNK ni mwekezaji muhimu kwetu sasa hii foleni ya ngo s hapa kwetu UNK nini tunataka tusikie au kuona ngo yoyote ambayo inaweza kutoka hadharani na kujivunia kutuletea maendeleo hatutaki malumbano kwenye vyombo vya habari alisema juzi waziri wa maliasili na utalii bibi shamsa mwangunga wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam alinukuliwa akisema kuwa wafugaji waliondolewa kutoka maeneo ya pori tengefu la loliondo wengi wao walikuwa kutoka nchi jirani ya kenya alisema kuwa serikali iliamua kufanya operesheni ya kuwaondoa wafugaji kutokana na kukithiri kwa UNK wa mazingira ambao ulikuwa ukitishia uhai na UNK wa wanyamapori mkurugenzi wa kampuni ya uchapishaji UNK printers limited bwana rashid mbuguni amewataka walimu wa kuwa mabalozi katika jamii na kuleta mapinduzi ya kitamaduni kwa njia ya utafiti kupitia shule zao akizungumza dar es salaam jana katika semina iliyohusisha walimu na kampuni hiyo bwana mbuguni alisema kwa kipindi cha miaka kumi sasa amesaidia katika kujenga uwezo wa watanzania kufanya utafiti wa mambo mbalimbali bwana mbuguni alisema lengo la utafiti ni kutafuta njia ya kuyapatia ufumbuzi matatizo UNK katika jamii lakini walimu kwa kutumia nafasi zao wana uwezo mkubwa wa kuisaidia jamii kwa njia hiyo tumieni fikra zenu kutengeneza maisha vitabu hivi mnavyotumia UNK na watu isipokuwa UNK kwa lugha rahisi ili UNK lakini maudhui ni yale yale tu alisema bwana UNK alisema wameamua kutoa nafasi kwa walimu kuwawezesha kuchapisha vitabu vya aina zote ili kuwapa uhuru wa kuandaa mada za kufundishia mashuleni ambazo zinaendana na mitaala ya elimu naye mmoja wa washiriki wa semina hiyo bwana ally UNK alisema ofa hiyo ya kuchapisha vitabu itawasaidia kwani walimu wengi wana uwezo wa kuandika vitabu lakini wanashindwa kukidhi gharama za UNK semina hiyo iliyohudhuriwa na wadau mbalimbali wakiwemo centre for UNK change na junior UNK tanzania ina lengo la kuwawezesha walimu wa shule za sekondari UNK ya hesabu na biashara ikiwa na lengo la kukuza upeo wa kuweza kufundisha kwa vitendo ili kusaidia wanafunzi kuelewa zaidi chama cha demokrasia na UNK kimesema hakuna wapambanaji wa vita dhidi ya ufisadi ndani ya chama cha mapinduzi kwa kuwa hawajawahi kutaja majina ya wahusika wa ufisadi kama UNK na chama hicho septemba ishirini sifuri saba chama hicho kimesema kama kweli wapo wapinga ufisadi kwanini wasijitenge na ccm kwani wengi watuhumiwa ufisadi wanaotajwa na waliofikishwa mahakamani wanatoka katika chama hicho kauli hiyo ilitolewa jana dar es salaam na mkurugenzi wa sheria katiba na haki za binadamu chadema bwana tundu lissu alipozungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya chama hicho ikiwa ni miaka miwili tangu orodha ya mafisadi itolewe alihoji kuwa wanamgambo wanaopambana na ufisadi ndani ya ccm wanapambana na nani aliwataka kutoa orodha ya majina yao ili kuonesha jamii kuwa ni nani maadui zao kama kweli wapo vitani na wanapigana na ufisadi kwanini wasijitenge na mafisadi hawawezi kusema ccm ni nzuri ila viongozi wake ndio wabaya labda tukubali kuwa chama ni majengo na si watu alisema bwana lissu alidai kuwa safari ya kusafisha nchi bado ndefu kwa kuwa watawala wale wale wanaohusika na uchafu ndio wanaoshika madaraka mpaka sasa safari ya kusafisha serikali na mfumo wa kisiasa ni ndefu kwa sababu tatizo liko kwenye ccm ambacho ndio chimbuko la mafisadi UNK taifa alidai bwana lissu alisema kwamba nchi haiwezi kutatua tatizo la ufisadi kama haitaweza kutatua tatizo la ccm kwa kwani ndiko UNK mafisadi hatuwezi kutatua tatizo la ufisadi bila kuanza na ccm ccm ndio tatizo alisema alifafanua kuwa hilo haliwezekani kwa kuwa watuhumiwa wengi wamo katika kamati muhimu na zenye nguvu katika maamuzi bwana lissu alisema tangu chadema UNK orodha ya mafisadi waliotumia mabilioni ya fedha ndani ya nchini serikali haijachukua hatua za kinidhamu kwa watuhumiwa hao alisema serikali UNK mazingira mazuri ya ushindi washitakiwa kwa kuwashitaki kwa makosa mepesi hapa UNK ya UNK UNK kutokana na kushitakiwa kwa makosa madogo alisema bwana lissu alisema kati ya watuhumiwa kumi na moja waliotajwa majina yao septemba kumi na tano ishirini sifuri saba katika viwanja vya mwembeyanga jijini dar es salaam saba walichukuliwa hatua za kisiasa ambazo ni kujiuzulu na wengine wamechukuliwa hatua za kisheria ambazo ni kufikishwa mahakamani kwa makosa madogo pamoja na kuwa ni hatua muhimu zilizochukuliwa lakini haitoshi UNK kwa makosa makubwa ila wameshitakiwa kwa makosa madogo alisema bwana lissu alipoulizwa na waandishi kama chadema UNK orodha ya mafisadi wengine alisema bado kwa kuwa ni kazi kubwa inayohitaji kuwa na ushahidi wa UNK kabla ya kutoa orodha hiyo aliwashukuru waandishi kutokana na mchango wao mkubwa katika kuelimisha wananchi vita dhidi vitendo vya ufisadi maofisa wanne wa benki kuu ya tanzania wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya ilala wakikabiliwa na mashitaka ya uhujumu uchumi ambapo wanadaiwa kusababisha hasara kwa serikali ya shilingi bilioni kumi nne washitakiwa hao walifikishwa jana mahakamani hapo na kusomewa mashitaka na wakili wa taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa bwana ben UNK mbele ya hakimu mfawidhi bwana samwel UNK watuhumiwa hao ni mkurugenzi wa benki kuu ya tanzania bwana saimon jengo naibu mkurugenzi wa idara ya sarafu bwana kisima mkango mwanasheria wa bot bwana bosco kimera na bwana ally bakari ambaye ni mstaafu wa benki hiyo katika mashitaka yao ya kwanza ambayo yalimkabili bwana jengo na bwana mkango walidaiwa kuchukua oda kutoka kwa mtoa huduma ya uchapishaji wa noti na kubadili tarakimu za hesabu kwa kuweka kiasi kikubwa tofauti na kilichokuwa kinatakiwa mbali na hiyo pia bwana jengo alidaiwa kutoa amri ya uchapishaji wa noti nyingi zaidi ya kiasi kilichokuwa kinatakiwa na idara ya sarafu katika mashitaka mengine ambayo yaliwakabili washitakiwa wote walidaiwa kuwa wakiwa waajiriwa wa benki hiyo walisababisha hasara ya shilingi kumi nne mia moja na hamsini na nane mia tatu na thebathini na tisa mia moja na arobaini na sita baada ya kusomewa mashitaka hayo washitakiwa hawakutakiwa kujibu chochote kwa kuwa kesi hiyo inatakiwa kusikilizwa na mahakama kuu ya tanzania ambayo ndiyo ina mamlaka ya kesi za uhujumu uchumi kwa upande wa mawakili wa washitakiwa ambao ni bwana mpare mpoki na bwana mabere marando walipinga kufunguliwa kwa mashitaka mahakamani hapo kwa kudai kuwa kifungu cha sitini na tano cha sheria ya bot kinatoa kinga kwa wafanyakazi wa bot kushitakiwa kwa kitu chochote UNK wakiwa UNK majukumu yao kazini akiwasilisha hoja hizo bwana mpoki alisema kuwa mashitaka yote UNK nayo washitakiwa hao ni makosa ambayo yamefanyika wakiwa kazini hivyo kutokana na kifungu hicho hawakustahili kushitakiwa mbali na hiyo alisema kuwa kesi hiyo imepokelewa kwa makosa mahakamani hapo kwa kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza mashitaka hayo hivyo wakaomba kesi hiyo ifutwe upande wa mashitaka ulipinga vikali hoja hizo na kudai kuwa mashitaka hayo yamefunguliwa chini ya sheria ya uhujumu uchumi ambapo iko wazi na inaelekeza mambo ya kufanya hivyo UNK mahakama kutupilia mbali hoja hizo kutokana na kuwasilishwa kwa hoja hizo mahakama iliahirisha kesi hiyo na kuamuru washitakiwa hao warejeshwe rumande hadi septemba kumi na nane mwaka huu ambapo itatoa uamuzi juu ya hoja zilizowasilishwa baada ya kupitia na kuona sheria UNK kuhusiana na jambo hilo shughuli ya uandikishwaji daftari la kudumu la wapigakura awamu ya pili visiwani pemba imeendelea kuwa tete baada askari wa kikosi cha kutuliza ghasia na wale wa jeshi la kujenga uchumi kuendelea kurusha mabomu ya machozi na kusababisha majeruhi kadhaa huku nyumba mbili za wakazi wa sizini zikichomwa moto jana asubuhi tukio hilo ambalo limekuja siku moja baada ya askari hao kurusha mabomu ya machozi na kujeruhi wajawazito watoto wanawake na wazee na kusababishwa kulazwa hospitali ya wilaya ya wete limesababisha wakazi wa sizini kuhama makazi yao na kukimbilia porini mabomu yaliyorushwa na askari hao yalisababisha nyumba mbili moja ya mfuasi wa chama cha wananchi na nyingine ya mfuasi wa chama cha mapinduzi ambao bado hawajatambuliwa majina yao kuteketea hata hivyo hakuna aliyejeruhiwa lakini mali zote UNK ndani ya nyumba hizo UNK sakata hilo limeendelea katika siku ya pili ya uhakiki wa uandikishwaji kwa wale wenye vitambulisho vya kupigia kura ambapo hata hivyo makundi ya watu walioshindwa kupata vitambulisho vya ukaazi walishindwa kujiandikisha kwa siku mbili za awali askari wakiwa katika gari la matangazo waliwataka wananchi kujitokeza kujiandikisha katika daftari la kudumu kila UNK amri hiyo askari hao UNK mabomu ya machozi na risasi za moto angani kuwatisha hatua hiyo ilianza kujenga hofu miongoni mwa wakazi wa maeneo hayo ambapo makundi ya akina mama watoto na watu wazima walionekana wakikusanya virago vyao na kukimbia makazi yao kuelekea katika mji wa shumbu ya mjini uliopo katika jimbo la UNK makundi hayo ya askari UNK na kamanda wa polisi mkoa wa kaskazini pemba bwana yahaya UNK yalionekana yakiendelea na operesheni hiyo ya kulazimisha wananchi kujitokeza kujiandikisha hivyo kuzua UNK watu wawili akiwemo mmoja wa UNK nyumba wanadaiwa kushikiliwa na polisi kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kushiriki kushawishi vurugu na watu kutojiandikisha katika daftari la kudumu akizungumza katika eneo la tukio mbunge wa micheweni bwana shoka hamis shoka alisema hali hiyo imeibuka siku moja baada ya vurugu zilizosababishwa kutokana na hatua ya askari kupita nyumba hadi nyumba kulazimisha wakazi hao kujiandikisha naye mkurugenzi wa uenezi wa bwana salim bimani alisema utaratibu unaoendelea wa kutumia vyombo vya dola UNK wananchi ni wa hatari na unajenga chuki kwa serikali na kuzidi kuifanya pemba kukosa maendeleo alisema risasi na mabomu yanatokana na kodi za wananchi badala ya kupewa haki yao ya msingi ya kujiandikisha UNK na kuumizwa kutokana na jasho lao wenyewe serikali itafute ufumbuzi wa tatizo hili wala si sifa kusikia wananchi wakikimbia na kuhama makazi yao kwa sababu ya kujiandikisha tunataka kuipeleka wapi nchi yetu alilalamika bwana bimani juzi ffu na UNK wakiongozwa na mkuu wa mkoa wa kaskazini pemba bwana dadi faki dadi waliendesha operesheni kupita nyumba kwa nyumba kuwataka wananchi wajitokeze kujiandikisha jambo ambalo lilisababisha vurugu na watu kadhaa kujeruhiwa na kulazwa hospitali urafiki wake na jk sasa kitendawili kigumu salim sumaye mwandosya UNK kufunga buti ikiwa imebaki takribani miezi mitano kabla ya kuanza mchakato kupata mgombea urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi kwenye uchaguzi mkuu ujao mwakani migongano ya kauli kuhusu nani ni nani imeanza kuibuka ndani ya chama hicho kikongwe nchini taarifa za hivi karibuni kupitia vyombo vya habari UNK kada wa chama hicho mwenye ushawishi mkubwa bwana edward lowassa kwamba ni mmoja wa wanachama UNK mkono na wajumbe wengi ndani ya vikao vya chama hicho UNK petroli ya kinyangganyiro hicho ingawa bwana lowassa amekataa katakata kuzungumza lolote kuhusu tetesi za kugombea urais kwa tiketi ya ccm mwakani wachunguzi wa mambo wanaamini kuwepo shinikizo kubwa kutoka kundi la mtandao kutaka mwanasiasa huyo agombee bwana lowassa aliyewahi kuwa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania kabla ya kujiuzulu mwaka juzi kwa shinikizo la kisiasa kutokana na kashfa ya richmond anatajwa kuwa na nguvu zinazoweza kubadilisha mwelekeo kwenye mchujo huo uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa ingawa bwana lowassa UNK dalili zozote kutaka nafasi hiyo kuna shinikizo kubwa la kundi la wanamtandao maslahi kumtaka aingie uwanjani bwana lowassa alitoa mchango mkubwa katika mtandao UNK rais kikwete kuteuliwa mwaka ishirini sifuri tano na kwa kutumia uzoefu huo anaweza kuleta ushindani mkubwa ndani ya vikao vya chama na kuteuliwa kugombea chanzo chetu cha kuaminika kutoka ndani ccm kimeeleza kuwa kundi la wanamtandao maslahi limejipanga kumshinikiza bwana lowassa kujitosa kwenye kinyangganyiro hicho kinachotarajiwa kuanza kutimua vumbi mapema mwakani hata hivyo kilisema urafiki wake wa siku nyingi na rais kikwete ni mtihani mgumu kwa mwanasiasa huyo kufikia uamuzi huo mzito mbali ya shinikizo UNK kutoka kwa wanamtandao hao lowassa ni rafiki wa siku nyingi wa kikwete wanafahamiana vizuri walipigana bega kwa bega mwaka ishirini sifuri tano UNK lowassa akiwa kiongozi wa mtandao lakini katika siasa kijana hakuna urafiki wala uadui wa kudumu UNK upepo na kusikiliza washauri wake atajitosa ingawa ngumu kusadikika kwa wengi lakini kumbuka hii ni siasa kilieleza chanzo hicho wanamtandao wanaoshinikiza bwana lowassa agombee UNK kuwa wengi wao ni majeruhi UNK na kuwekwa nje ya serikali ya rais kikwete baada ya kuingia madarakani lowassa aliongoza mtandao wa kikwete bado ana nguvu kwenye mtandao huo walioachwa nje ya serikali sasa UNK ndiye mtu wa mwisho kurejeshea matumaini yao hata kama yeye hataki kugombea wanajipanga kumshinikiza afanye hivyo ili UNK majeraha yao kilisema juzi bwana lowassa alikaririwa na gazeti hili akikataa katakata kuzungumzia tetesi hizo na kumweleza mwandishi kwamba hayuko tayari kuzungumzia suala lolote lile hapa nchini wakati tetesi hizo zikiendelea baadhi ya makada wa chama hicho wamekuwa na mitazamo tofauti huku wengine wakiunga mkono kwa maelezo kwamba itafunga milango zaidi ya demokrasia ndani ya chama akizungumza na gazeti hili jana kwa sharti la kuhifadhiwa jina kada mkongwe wa ccm aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali za juu na sasa ni mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya ccm alisema hatua hiyo ni mwanzo mzuri wa kufunguka milango zaidi ya demokrasia katika chaguzi za chama hicho hili ninyi waandishi UNK kuwa lowassa anataka kugombea urais UNK ni kitu kizuri tu ccm ina demokrasia kubwa tofauti na UNK UNK yeye na wengine UNK ndio mafanikio ya chama alisema kada huyo na kuongeza sisi UNK kwa kura baada ya hapo tunarudi kuwa wamoja alifafanua kwamba kufunguka milango zaidi kwa wanachama kugombea nafasi za juu bila hofu wala vitisho ni changamoto muhimu kwa maendeleo ya demokrasia nchini mwaka ishirini sifuri tano mliona walijitokeza wagombea kumi na moja wakapita kwenye UNK la moto kweli kweli mwisho tukapata mgombea mmoja na kwenye uchaguzi mkuu alishinda kwa kishindo hivyo yote ni sawa ni nafasi nzuri kwa wanachama wengine hata kama kina salim sumaye mwandosya akina shibuda waliojitokeza mwaka ishirini sifuri tano wajitokeze tena UNK mimi naamini kuwa kama UNK mwaka huo kwanini wasiwe na hamu kujaribu tena tunawataka sana tujenge demokrasia ndani ya chama alipotakiwa kueleza msimamo wake na mwanachama UNK kura ndani ya chama UNK kutoa kauli ya moja kwa moja na kudai UNK ni sera za kila mmoja kura yangu mimi itategemea kuguswa na sera za mgombea UNK vizuri kama mwanasiasa UNK siasa si ushabiki tunaangalia hoja alisema kada huyo mchakato wa kupata mgombea urais kwa tiketi ya ccm unatarajiwa kuanza mapema mwakani mwaka ishirini sifuri tano uteuzi wa mwisho wa mgombea huyo ulifanyika mwanzoni mwa mei chama cha wananchi kimedai kuwa kimegundua mbinu mpya ya kupandikiza watu kwa kuwaandikisha askari wa kikosi cha kmkm ili kuongeza idadi ya wapiga kura katika uchaguzi mkuu ujao hali hiyo imejitokeza katika kituo cha shehia ya nungwi baada ya kundi la watu wanaodaiwa kuwa askari wa kmkm kuongozwa hadi kwa sheha wa nungwi bwana kombo mkuni ali na kupitishwa kujiandikisha bila ya kuwa na vitambulisho vya UNK akizungumzia hali hiyo naibu katibu mkuu wa cuf zanzibar bwana juma duni haji alidai kuwa kundi hilo la askari lilipitishwa vichochoroni na kuandikishwa ilhali wakijua kuwa hakuna utaratibu UNK kmkm kuwa na vitambulisho vya ukaazi na kujiandikisha kupiga kura huu ni moja ya UNK unaotumika kuhujumu uandikishwaji na upigaji wa kura kuna wengine ni janjaweed hupitishwa hivi katika vituo vingi ipo haja ya kurekebisha hali hii na sisi UNK iendelee hivi alidai bwana duni aidha kundi hilo la watu wapatao kumi akiwemo mmoja UNK sare za kmkm UNK na waandishi wa habari lilianza kutoa vitisho na kutishia kuvunja kamera zao iwapo UNK kupigwa picha hata hivyo hali hiyo UNK na polisi waliokuwepo eneo hilo na kutoa maelekezo kwa askari hao wa kmkm kwamba waandishi wote wenye vibali wanaruhusiwa kupiga picha shughuli nzima ya uandikishaji wa daftari la kudumu visiwani humo pamoja na hali hiyo bado askari hao walionekana kuhamaki na kutaka kuwavamia waandishi ambao walikimbilia kwa askari polisi ambapo hata hivyo askari hao wa kmkm walionekana kubabaika na kupitishwa moja kwa moja kwenye sehemu ya kujiandikisha na kupita kundi kubwa la watu waliokuwa wamesimama kwenye mstari kusubiri zamu yao akizungumzia hali hiyo sheha wa nungwi bwana mkuni alionekana kubabaika na kusema kuwa suala hilo si la kuzungumza yeye na kwamba mwandishi UNK katika ofisi ya mkurugenzi wa vitambulisho ili kubaini kama kuna watu ambao hawakuwa na sifa ya kujiandikisha UNK katika kituo cha UNK hata hivyo idadi ya watu waliojitokeza kuandikishwa daftari la kudumu katika kituo hicho imefikia moja thebathini tano katika siku ya tano mkuu wa kituo cha nungwi bibi sunna seif ahmed alisema kuwa watu wameanza kujitokeza kwa wingi katika shughuli hiyo tofauti na siku ya kwanza ambayo wananchi wengi waliojitokeza walikuwa hawajawahi kupiga kura tanzania imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza uzalishaji na matumizi ya kemikali zinazoharibu tabaka la ozoni kupitia utekelezaji wa mikataba ya kimataifa inayolenga kukabiliana na uharibifu wa tabaka hilo hayo yalisemwa juzi na waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais mazingira daktari batilda burian wakati akifungua maadhimisho ya siku ya kimataifa ya hifadhi ya tabaka la ozoni katika UNK yanayoendelea katika chuo cha ufundi daktari burian alisema mafanikio hayo yametokana na utekelezaji mzuri wa mikataba ya UNK na UNK ambayo imesababisha kupungua kwa matumizi ya kemikali za UNK toka tani mia mbili na hamsini na nne mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa hadi kufikia tani kumi na nne mwaka ishirini sifuri saba alisema kutokana na uelewa wa wanasayansi nchini kampuni nyingi za biashara na viwanda vinavyotumia mitambo ya kupoozea UNK kemikali mbadala ambazo ni rafiki wa mazingira alisema kemikali zinazoharibu tabaka la ozoni zitapatikana katika viyoyozi majokofu dawa za UNK pamoja na vifaa vya kuzima moto hivyo amewataka wananchi kubadili matumizi ya kemikali hizo kupitia mafundi mchundo waliopata mafunzo ya UNK natoa mwito kwa UNK UNK kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa tabaka la ozoni na kuikabili changamoto ya mabadiliko ya teknolojia hasa katika vifaa vya kupoozea alisema maadhimisho hayo yanaenda sambamba na maonesho ya mafundi mchundo kuhusu namna ya kubadili matumizi ya kemikali UNK na kuwa kemikali rafiki wa mazingira katika magari na UNK maadhimisho ya siku ya kimataifa ya hifadhi ya tabaka la ozoni hufanyika septemba kumi na tano hadi kumi na sita kila mwaka kaulimbiu ya mwaka huu ni ushiriki wa wote hifadhi ya tabaka la ozoni UNK dunia upungufu uliomo katika menejimenti ya kampuni ya reli tanzania na uwezo mdogo kifedha umechangia migogoro inayoendelea sasa kauli hiyo ilitolewa jana dar es salaam na katibu mkuu wa chama cha wafanyakazi wa reli bwana sylvester rwegasira wakati akieleza msimamo wa chama hicho kuhusu hali ya trl alisema mkataba mbovu UNK na viongozi katika ubinafsishaji wa kampuni hiyo haukuzingatia maslahi ya taifa hivyo kusababisha sintofahamu na kufanya trawu kuonekana wakorofi menejimenti ya trl katika siku za karibuni imekuwa na dhana kwamba sisi wafanyakazi ni wakorofi na ndio chanzo cha kutofanya vizuri na kutoa masharti kwa serikali ikiwa mojawapo ni UNK kazi alisema bwana rwegasira msimamo wa trawu umeelezwa kuwa kwa kuwa haki ni yao kamwe hawatasita kusema na wataendelea kupinga kunyanyaswa pamoja na njama zilizopo na zinazolenga kuua shirika hilo kwa maslahi binafsi alisema miaka thebathini ya trc usafirishaji wa mizigo na abiria ulikuwa wa juu sana ukilinganisha na wakati huu baada ya kuvunjika jumuiya ya afrika mashariki miaka kumi ya mwanzo tulisafirisha tani mia tisa na ishirini sifuri sifuri sifuri miaka kumi baada ya hapo tulisafirisha tani moja sifuri saba sifuri sifuri sifuri sifuri na miaka kumi ya mwisho elfu moja na mia tisa na tisini na nane sifuri saba tulisafirisha tani moja kumi sifuri sifuri sifuri sifuri kila mwaka ambapo uwezo huo ulitokana na wafanyakazi wazalendo ambao tulikuwa tayari na tuko tayari kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu alisisitiza bwana rwegasira aidha alisema baada ya rites kusitisha mabehewa yake na injini UNK wafanyakazi waliweza kukarabati zilizokuwepo bila msaada wa mwekezaji huyo ili kuonesha uzalendo wao alidai kwamba serikali UNK kuvunja mkataba huo kwa nia njema iangalie vipengele UNK kwenye mkataba kama kulipia gharama za vitendea kazi ambazo UNK kulipwa na mwekezaji huyo alisema baada ya mwekezaji rites kuanza kazi alikabidhiwa vitendea kazi na rasilimali watu ambazo UNK vibaya na nyingine UNK kabisa na kudai kuwa mkataba huo ulikuwa wa UNK baada ya mwekezaji rites kuchaguliwa kushika hatamu za iliyokuwa trc alikabidhiwa vitendea kazi na rasilimali watu lakini kwa hali ya kusikitisha sana hali ya kiutendaji na UNK imekuwa kinyume na UNK na hata vitendea kazi UNK kwa kiwango cha kutisha alisema bwana rwegasira alisema mwekezaji huyo alikabidhiwa injini mia moja na kumi na saba kati ya hizo tisini na tatu zilikuwa zinafanya kazi lakini sasa UNK kazi ni thebathini na mbili tu UNK mabehewa moja mia nane na arobaini na saba ya kubeba mizigo kati ya hayo moja mia mbili na themanini na tano yalikuwa yanafanya kazi lakini sasa ni mia sita na thebathini ndio yanayofanya kazi pia alikabidhiwa mabehewa ya abiria mia moja na ishirini na nne ambapo tisini na nane yalikuwa UNK lakini sasa ni thebathini na mbili ndio yanayoendelea na kazi wafanyakazi hao wameiomba serikali UNK mkono kwa kufuta mkataba huo ili iweze kunusuru shirika hilo na kuwanufaisha watanzania wote watu sita wamekufa katika matukio tofauti yaliyotokea mkoani shinyanga likiwemo la mwanafunzi wa shule ya sekondari kuchomwa kisu katika ugomvi wa deni la simu ya mkononi kamanda wa polisi wa mkoa wa shinyanga bwana daudi siasi alimtaja mwanafunzi aliyekufa kuwa ni UNK masatu aliyekuwa akisoma kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya UNK wilayani shinyanga kamanda siasi alisema tukio hilo lilitokea juzi saa nane mchana katika kijiji cha UNK shinyanga vijijini na kwamba mwanafunzi huyo alichomwa kisu kichwani na mwenzake aliyetajwa kwa jina la UNK UNK chanzo cha ugomvi ni UNK simu ya mkononi alisema chanzo cha ugomvi wa wanafunzi hao ni deni la simu ya mkononi ambalo walikuwa UNK na kwamba jeshi la polisi linamshikilia mtuhumiwa wa mauaji hayo ambaye atafikishwa mahakamani baada ya upelelezi kukamilika kamanda huyo alisema watu wengine wanne walikufa kutokana na ajali ya gari iliyotokea juzi saa kumi na moja jioni katika kijiji cha msasa barabara ya ushirombo runzewe wilayani bukombe baada ya gari aina ya toyota UNK namba t mia tano na ishirini na saba UNK kuacha njia na kupinduka kamanda siasi aliwataja waliokufa katika ajali hiyo kuwa ni bwana seif UNK mwalimu wa shule ya msingi kahama bwana peter UNK bwana UNK mashaka wakazi wa kahama na abiria mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja alisema chanzo cha ajali hiyo ni kupasuka tairi la mbele abiria wengine kumi na sita walijeruhiwa katika ajali hiyo na wamelazwa hospitali ya wilaya ya bukombe mwingine aliyekufa alitajwa kuwa ni bibi UNK UNK mkazi wa kijiji cha UNK wilayani meatu aliyeuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wauaji kuondoka na mkono wake mmoja kamanda siasi alisema polisi wanaendesha msako wa kusaka wahusika vurugu zinazotokana na uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili visiwani zimeanza kuathiri sekta ya utalii baada ya baadhi ya wageni hao kutoka nchi mbalimbali zikiwemo marekani na ulaya kuanza kuondoka kwa hofu ya usalama wao katika maeneo mbalimbali yenye vivutio vya utalii kama vile nungwi na maeneo ya UNK katika shehia za UNK UNK na maeneo mengine hoteli zimebaki wazi hatua UNK na vurugu hizo mwandishi wa habari hizi alitembelea katika jumba la historia na makumbusho la unguja maarufu kama UNK el UNK na kushuhudia idadi ndogo ya watalii UNK eneo hilo tangu kuzuka kwa vurugu za UNK mmoja wa UNK wageni ambaye pia mfanyabiashara wa bidhaa za asili bwana farouk abdillah alisema kuwa tangu kuzuka vurugu za uandikishwaji mwishoni mwa wiki iliyopita jumba hilo UNK na watu wachache tofauti na ilivyokuwa awali alisema kabla ya shughuli ya uandikishwaji wageni wa nje waliokuwa wakitembelea katika jumba hilo walifikia thebathini hadi hamsini kwa siku na sasa idadi hiyo imeshuka kufikia watalii watano hadi kumi kwa siku hali kama UNK tangu asubuhi wamekuja watalii wawili tu wakati ule ungeona kundi la watalii limejaa katika jumba hili wengi wameanza kuondoka baada ya kuibuka vurugu alisema bwana UNK aidha alisema biashara ya bidhaa za asili UNK zinategemea watalii na kwamba tangu kuibuka vurugu hizo mauzo yake pia yameshuka kwa kiasi kikubwa wakati wa ujio wa watalii wengi naweza kuuza bidhaa kwa wingi na kuhitaji bidhaa zaidi kutoka kwa watengenezaji lakini sasa UNK kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuuza chochote hata hela ya kula inakosekana alisema majira pia lilitembelea eneo la ufukwe wa bahari ya hindi ambako katika siku za awali walionekana watalii wengi UNK lakini sasa muda mwingi fukwe hizo ni tupu na thomas dominick padri john mlekano wa kanisa la anglikana la UNK mtukufu mbagala kizuiani dar es salaam amekata alizokuwa UNK mtoto wakati wa ubatizo na kuzichoma mbele ya UNK tukio hilo lilitokea kwenye UNK wa pasaka wakati wa ubatizo wa watoto wadogo ambapo ilipofika zamu ya mtoto janet daudi alikutwa na hirizi ambazo alikuwa amefungwa mikononi na shingoni ambazo UNK padri huyo kusimamisha ibada hiyo na UNK mdhamini wa mtoto huyo bwana joseph UNK alisema kitendo hicho kinaonesha bado wazazi wa mtoto huyo hawajakubali na kumuamini mungu bado wazazi hawa wanaonesha imani yao bado potofu mbele ya mungu na ni kitendo cha UNK mbele ya waumini wote wanatakiwa kushika imani sana na nitawaambia wasirudie tena kumfunga uchafu ule alisema bwana UNK wazazi wa mtoto huyo hawakuweza kupatikana mara moja kwa vile waliondoka kabla ya ibada kuisha kitendo kilichotafsiriwa kuona aibu kwa kile kilichotokea kanisani humo naye padri mlekano alisema bado kuna wakristo ambao UNK imani potofu kwa kuwafunga hirizi watoto wao kwa ajili ya kuwakinga kwa vile wanawaamini waganga wa jadi inawabidi wakristo wamuamini mungu na mwanae yesu hao ndio walinzi wao wa kila siku na hakuna mlinzi mwingine ambaye anaweza kuwalinda kama yupo basi ni batili alisema padri UNK aliongeza kuwa nililazimika kusimamisha ibada kwa sababu hauwezi UNK huku akiwa amefungwa hirizi na kama UNK ubatizo huo mungu UNK kwa sababu yupo mwingine ambaye walikuwa UNK alisema alisema kama mkristo hapaswi kuchanganya mambo mawili kwa wakati mmoja yaani mungu na imani potofu za kishirikina kwa kufanya hiyo ni UNK mungu alitoa mwito kwa waumini wenye imani kama hizo UNK nazo mara moja na UNK mungu kwa nguvu zao zote na kwa uwezo wao ili UNK kupitia kwake UNK waliopiga kura ishirini sifuri tano kulikoni kukosa haki hiyo leo nyumba ya kamanda wa polisi UNK UNK yadai kinachoendelea pemba ni mazoezi ya kijeshi si kulinda amani chama cha wananchi kimeandaa maandamano makubwa kupinga tume ya uchaguzi ya zanzibar kwa madai kwamba tume hiyo si huru na imeshindwa kutenda haki akizungumza dar es salam jana katibu mkuu wa chama hicho maalim seif sharif hamad alisema zec na idara ya uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura wanashirikiana kuendesha hujuma dhidi ya chama hicho maalim seif alisema kinachoendelea visiwani humo si uboreshaji wa daftari bali uandikishaji mpya kwani watu UNK vigezo vya kuandikishwa mwaka ishirini sifuri tano sasa wamekosa vigezo hivyo alisema shughuli ya uandikishaji katika daftari imegeuka kuwa zoezi la kijeshi ambapo silaha nzito vikiwemo vifaru mabomu ya machozi pamoja na magari ya maji ya kuwasha vinatumika kutisha wananchi hatua hiyo ya serikali kutumia vyombo vya dola haina tofauti na zinazochukuliwa na viongozi UNK kuwanyamazisha wanachi wanaopinga dhuluma na unyanyasaji dhidi yao alisema alidai idara ya uandikishaji wa daftari na vyombo vya dola zinafanya kazi chini ya chama tawala kupandikiza mamluki toka bara ili kuhakikisha ccm inapata ushindi haramu watu kadhaa wamepigwa kuwekwa ndani na kuchomewa nyumba zao wakiwemo wanawake wajawazito nyumba kadhaa zimeungua moto kutokana na fukuto la mabomu ya machozi alimtaka amiri jeshi mkuu rais jakaya kikwete kuacha kuruhusu vikosi vyake kutesa raia wasio na hatia UNK haki yao ya msingi ya kupiga kura cuf inalaani matumizi yote ya nguvu kutoka kwa mtu yeyote na inawataka wanachama na wazanzibari wote kwa ujumla kuendelea kuwa watulivu na UNK vitendo vya UNK badala yake waendelee kudai haki zao kwa njia za amani na utulivu alisema maalim alitoa mwito kwa zec kusitisha shughuli ya uandikishaji hadi hapo wananchi wote wenye sifa watakapo UNK vitambulisho vya mzanzibari mkaazi ili waweze kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura naye mkuu wa idara ya mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa wa cuf bwana ismail UNK alisema kinachoendelea zanzibar ni uharibifu na uporaji mkubwa wa haki ya wazanzibari kuchagua na kuweka madarakani viongozi UNK naye ali suleiman kutoka zanzibar anaripoti kuwa kamanda ya kamanda wa polisi mkoa wa kaskazini pemba bwana yahya rashid bugi UNK kuteketea baada ya watu wasiojulikana kuchoma moto usiku wa kuamkia jana eneo la UNK mjini hapa moto huo ulizimwa na majirani kabla UNK madhara inasadikiwa watu hao UNK petroli kwa nia ya kuteketeza nyumba hiyo kamanda wa polisi mkoa wa mjini magharibi bwana khatib bakari shaaban alithibitisha kutokea tukio hilo na kusema uchunguzi unaendelea kusaka waliofanya kitendo hicho watu wasiojulikana walijaribu kuchoma moto nyumba ya kamanda wa polisi mkoa wa kaskazini pemba usiku tunaendelea kufanya uchunguzi kujua chanzo cha tukio hilo alisema alisema ni mapema mno kubaini kama tukio hilo linahusiana na mambo ya kisiasa au ni hujuma hata hivyo inasadikiwa kwamba tukio hilo UNK na mambo ya kisiasa zaidi hususan uandikishaji daftari la kudumu la wapigakura unaoendelea unguja na pemba kamanda bugi amekuwa UNK kulinda amani mkoa wa kaskazini pemba katika uandikishaji daftari na kadi za vitambulisho vya mzanzibari mkaazi amekuwa UNK vikali na baadhi ya wafuasi wa chama cha wananchi pemba ambao wamekuwa wakisababisha vurugu katika shughuli hiyo na kusababisha isitishwe kwa wiki nne chuki na uhasama zimeanza kujitokeza unguja na pemba kuelekea uchaguzi mkuu mwakani hali inayotishia amani katika shughuli hiyo uongozi wa klabu ya simba UNK wachezaji wake ulimboka mwakingwe na UNK nyanda huku wakipewa onyo kutorudia tena kufanya makosa hayo wachezaji hao walifungiwa na kamati ya utendaji ya klabu hiyo baada ya kugundulika wanachochea mgomo wa mazoezi wakati timu hiyo ikijiandaa na ligi kuu tanzania kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya kamati ya nidhamu ya klabu hiyo wachezaji hao wameachiwa kwa masharti ya kutorudia utovu wa nidhamu kamati hiyo ambayo ilikutana juzi jijini dar es salaam kwa lengo la kuwasikiliza wachezaji hao iliamua kuwafungulia ili kukiongezea nguvu kikosi cha timu hiyo katika ligi kuu chanzo hicho kilisema kuwa baada ya kuwasikiliza wachezaji hao iligundulika kweli walifanya makosa lakini kwa kuwa tayari UNK nje ya uwanja kwa muda mrefu ndiyo maana ikaamuliwa UNK UNK ilibidi itumike kuwasamehe wachezaji hao kwani wamekaa nje kwa muda mrefu ambao kimsingi watakuwa wamejirekebisha kwani kwa mchezaji kusimamishwa hata wiki ni adhabu kilisema chanzo hicho chanzo hicho kiliendelea kusema kuwa taarifa ya kuwasamehe wachezaji hao itawakilishwa katika kamati ya utendaji ambayo itawapa taarifa wachezaji hao kujiunga na wenzao tangu kusimamishwa kwa wachezaji hao hadi sasa inakaribia kufikia mwezi mmoja hivyo kuwafanya wachezaji hao kushindwa kucheza mchezo hata wowote katika ligi hiyo mamlaka ya mapato tanzania imefunga kifaa UNK kiitwacho UNK kwa kila yadi na ofisi zote za forodha UNK kuonesha gari au mzigo UNK na kutoka pia kilichomo ndani ya gari hayo yalisemwa dar es salaam juzi na naibu kamishna idara ya forodha bibi UNK bateyunga katika semina ya siku moja kwa wafanyakazi wa forodha na wafabiashara wanaomiliki yadi za magari na mizigo hatua hiyo UNK wafanyakazi wawili wanaodaiwa kushirikiana na mawakala kufanya udanganyifu hivi karibuni UNK na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha na mizigo ya wafanyabiashara bibi bateyunga alisema kuwa baada ya kubainika walifukuzwa kazi ambapo mawakala wanane wamefungiwa yadi zao huku wafanyakazi kumi na saba UNK kwa uchunguzi zaidi jeshi la polisi mkoani pwani linamshikilia bwana frank maganga kwa tuhuma za kumchinja aliyekuwa mkewe bibi joyce jeremia kutokana na wivu wa mapenzi kamanda wa polisi mkoa wa pwani bwana absalom mwakyoma alisema tukio hilo lilitokea septemba kumi na tano mwaka huu saa kumi alfajiri katika kijiji cha UNK wilayani kibaha kamanda mwakyoma alisema kuwa siku ya tukio mtuhumiwa UNK nyumbani kwa marehemu na kumchinja kwa panga na kusabisha kifo hicho alisema baada ya kumshambulia watoto wa marehemu walipiga kelele hali iliyowafanya majirani kufika na kumkamata mtuhumiwa na kuwaita polisi waliofika na kumpeleka mahabusu chanzo cha kumuua ni wivu wa mapenzi lakini hata hivyo watu hao walikuwa UNK kwa sababu ambazo UNK lakini ni jambo la kusikitisha alisema kamanda UNK alisema mtuhumiwa anatarajiwa kufikishwa mahakamani uchunguzi utakapokamilika chama cha mapinduzi kata ya kitangiri manispaa ya shinyanga kimepata pigo baada ya wanachama wake mia moja na kumi kurejesha kadi huku wakitishia kujiunga na chadema kwa kile walichodai kupinga upendeleo kwenye upigaji wa kura za maoni katika mtaa wa kitangiri a wakizungumza na majira juzi wanachama hao walisema wamechukua hatua za kurejesha kadi hizo baada ya kuona demokrasia ndani ya chama hicho UNK kwa makusudi kwa matakwa ya viongozi wachache wanaopanga safu zao za uongozi hatua hiyo inafuatia uchaguzi wa kura za maoni katika mtaa huo wenye matawi matatu kurejewa mara mbili baada ya mwenyekiti wake wa zamani bwana nyerere moris kukata rufaa akipinga matokeo ya kura hizo baada ya kushindwa na bwana UNK UNK mmoja wa wanachama hao ambaye hakupenda kutajwa gazetini alisema hatua yao ya kurejesha kadi za ccm ni kuonesha jinsi UNK na kitendo cha wasimamizi wa uchaguzi katika mtaa wao walionesha wazi kuwa walikwenda katika uchaguzi huo wakiwa na jina la mtu wanayemtaka awe mwenyekiti mwanachama huyo alifafanua kuwa katika uchaguzi wa awali mwenyekiti wao wa zamani aliangushwa hivyo alikata rufaa akipinga matokeo hayo ambapo ilikubalika kuwa uchaguzi UNK lakini wanachama wa tawi moja UNK katika uchaguzi huo wa marudio na matawi mawili pekee ndiyo UNK UNK hata hivyo katika uchaguzi huo wa marudio bwana nyerere aliangushwa tena na bwana makoye kuongoza kwa mara ya pili lakini katika hali ya kushangaza wasimamizi walichukua matokeo ya awali ya tawi ambalo UNK kupiga kura na UNK na ya uchaguzi wa pili kitendo UNK na wanachama hao kwa upande wake bwana makoye alikiri kuwepo tukio hilo na kurejeshwa kadi hizo na kwamba kati ya wanachama UNK wamo wenyeviti wa mashina UNK kumi na wajumbe wa kamati ya siasa ya tawi hata hivyo alisema wanachama hao UNK watajiunga na chama kipi cha upinzani naye katibu wa ccm wa wilaya ya shinyanga mjini bwana shukuru rajabu alikiri kuwepo tukio la wanachama hao kurejesha kadi zao lakini alisema tayari diwani wa kata ya kitangiri bibi mary UNK UNK kwa kurekebisha kasoro zilizojitokeza na kuwasihi wanachama hao kurudi ndani ya chama ni kweli wanachama wetu hao UNK kadi zao wakipinga kitendo cha kuwepo mizengwe katika upigaji kura za maoni katika mtaa wao lakini diwani wetu ameingilia kati tatizo hilo na UNK wasichukue uamuzi UNK kuuchukua na leo wanasubiri matokeo ya kikao cha uteuzi ili kuona ni hatua zipi watachukua alieleza bwana rajabu naye UNK kapinga kutoka songea anaripoti kuwa wanachama wa ccm wa mtaa wa ccm songea mjini wametishia UNK chama hicho na kujiunga na chadema kwa madai kuwa viongozi wa ccm wilaya wamekuwa UNK taratibu na kanuni za chama kwenye uchaguzi wa kura za maoni wakizungumza na waandishi wa habari kwa nyakati tofauti kwenye maeneo mbalimbali ya mtaa huo wananchama hao walidai kusikitishwa na mazingira UNK kwenye uchaguzi huo ambapo uongozi wa ccm umeonesha wazi kwamba kulikuwa na chuki binafsi na mizengwe iliyofanywa na baadhi wa chama hicho baadhi ya wanachama bwana mustapha hassani na bibi aisha selemani ambao ni wafanyabiashara wa soko kuu la songea mjini waliwaeleza walitaka hekima itumike zaidi kwa viongozi wa wilaya wakati wa uchaguzi serikali kwa ushirikiano na benki ya dunia imezindua mradi wa usimamizi endelevu wa rasilimali ya madini UNK kurasimisha sekta ya uchimbaji mkubwa na mdogo wa madini akizindua mradi huo dar es salaam jana kwa niaba ya waziri wa fedha na uchumi katibu mkuu wa wizara hiyo bwana ramadhan khijjah alisema mradi huu unalenga kusaidia kupunguza umasikini kwa kukuza kipato UNK na shughuli za uchimbaji mdogo wa madini bwana khijjah alisema mradi huo pia UNK na kuboresha matumizi ya teknolojia kwa wachimbaji wadogo kupunguza athari kwa mazingira na jamii UNK kuongeza kiwango cha madini UNK thamani nchini serikali imekuwa ikipoteza pato la taifa kwa kuuza madini ghafi kupitia mradi huu tunatarajia kufungua viwanda vya kusafisha madini ili UNK thamani katika soko kabla ya UNK alisema naye katibu mkuu wizara ya nishati na madini bwana arthur mwakapugi alisema mradi huo ni mwendelezo wa mageuzi katika sekta ya madini kufuati utekelezaji wa mradi wa kuendeleza sekta ya madini pamoja na sera mpya ya madini iliyopitishwa na serikali julai mwaka huu idara ya kazi madini UNK ya kukagua madini yote lazima tujue madini kiasi gani yamepatikana na thamani yake na sisi kama nchi tunapata nini kwa hiyo mradi huu utaleta uwazi na utawala bora katika sekta ya madini alisema alisema katika utekelezaji wa mradi wizara imeainisha wadau washiriki kuwa ni pamoja na wizara na serikali za mitaa taasisi za ufundi taasisi za fedha washirika wa maendeleo kampuni na vyama vya wachimbaji asasi za kimataifa vyombo vya habari pamoja na watoa huduma wa ndani na nje idadi ya mashahidi upande wa mashitaka wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya kuiingizia hasara serikali inayowakabili mawaziri waandamizi wa serikali ya awamu ya tatu bwana basil mramba wa fedha na bwana daniel yona itatajwa jumanne wiki ijayo hatua ya kutajwa mashahidi hao UNK na upande wa mashitaka baada ya kuchambua ni wapi wanaostahili kufika mahakamani hapo na kutoa ushahidi kuhusu tuhuma za washitakiwa hao hatua hiyo ilijulikana jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu bwana saul kinemela bwana john utamwa na bwana sam rumanyika baada ya kumalizika kusomwa maelezo ya awali ya washitakiwa hao upande wa mashitaka uliowakilishwa na wakili mkuu wa serikali bwana stanslaus boniface uliiomba mahakama kutoa muda ili upande huo uweze kuchambua mashahidi ambao wataweza kuthibitisha mambo yaliyobishaniwa na upande wa utetezi katika hatua ya usomwaji wa maelezo ya awali tunaomba muda ili UNK mashahidi wetu orodha tuliyokuwa nayo hapa ni mashahidi ishirini na tano lakini kutokana na baadhi ya mambo kutokuwa na ubishani tuna haja ya UNK ili tuone ni mambo gani yanayohitaji mashahidi pamoja na vielelezo alisema bwana boniface kabla ya hatua hiyo washitakiwa walitakiwa kuieleza mahakama ni mambo gani UNK kati ya maelezo UNK na upande wa mashitaka mahakamani hapo kwa upande wa bwana mramba aliieleza mahakama kuwa mambo UNK ni pamoja na kuwa na wadhifa wa juu serikali kati ya mwaka ishirini sifuri mbili hadi ishirini sifuri tano kuombwa ruhusa ya kusaini hati ya makubaliano kati ya serikali na kampuni ya alex UNK na aliyekuwa gavana wa benki kuu ya tanzania bwana daud balali mbali na hayo pia alikiri kuhojiwa na taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa ambapo alitoa maelezo kuhusiana na tuhuma hizo kwa upande wa bwana yona alikiri kuwahi kuwa waziri wa nishati na madini pamoja na kuhojiwa na takukuru na kwa upande wa mshitakiwa wa tatu bwana gray mgonja alikiri kuwa katibu mkuu wa fedha na uchumi baada ya kumalizika kwa hatua hiyo upande wa mashitaka ulitakiwa kutoa idadi ya mashahidi na vielelezo ambavyo wanatarajia kuvitumia kuthibitisha kesi yao lakini kutokana na baadhi ya mambo UNK upande huo uliomba muda ili uweze UNK kesi itaendelea septemba ishirini na mbili mwaka huu washitakiwa wote kwa pamoja wanadaiwa kusababisha hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba kutokana na kuidhinisha matangazo ya serikali ambayo yalitoa msamaha wa kodi kwa kampuni ya alex stewart kinyume na ushauri uliokuwa umetolewa na wataalam mbalimbali ambao walipinga kuwa kampuni hiyo haikustahili msamaha huo baadhi ya wakazi wa eneo la kipawa ilala dar es salaam wanaohamishwa kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere wanatuhumiwa kutaka kuhujumu uwanja huo na kuchoma moto nyumba ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa huo bwana juma UNK kamanda wa polisi mkoa ilala bwana faustine shilogile aliwaambia waandishi wa habari dar es salaam jana kuwa watu hao ni miongoni mwa wanaodai fidia na polisi wanaendesha msako dhidi yao alisema juzi UNK mwenyekiti wa kamati ya wenye nyumba wanaodai fidia hizo bwana magnus mulisa ambaye alihojiwa na kuachiwa kwa dhamana tutahakikisha UNK wote waliotoa vitisho hivyo kwa kuwa tunao mashahidi UNK ambao walisikia baadhi yao wakitoa vitisho hivyo katika mikusanyiko UNK alisema bwana UNK aliongeza kuwa UNK la hujuma dhidi ya uwanja huo limefunguliwa kituo cha polisi msimbazi na lile la kutaka kuchoma moto nyumba ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa limefunguliwa kituo cha polisi UNK alisema wakazi hao septemba kumi na nne mwaka huu walikusanyika ofisi za mkuu wa wilaya ilala bwana evans balama kushinikiza kulipwa fidia zao kwa kutumia sheria mpya ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa badala ya ile iliyotangazwa na serikali ya mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba bwana shilogile alisema baada ya kutofikia maafikiano na mkuu huyo wa wilaya kuhusu sheria itakayotumika kuwalipa walitoa lugha ya vitisho mbele yake kitendo UNK utovu wa nidhamu aliwataka wakazi hao kuacha kufanya mikusanyiko isiyo halali na kutishia kuandamana kwenda ikulu kwani upande wa usalama hautasita kuchukua hatua kali dhidi yao pindi UNK sheria alisema polisi inatarajiwa kukamilisha msako huo wiki ijayo na wote UNK kuhusika watafikishwa mahakamini kujibu tuhuma zinazowakabili hali bado si shwari kisiwani pemba katika shughuli ya uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura kutokana na kuendelea vitendo vya kumwaga upupu kwenye vituo vya kujiandikisha chumba cha uandikishwaji katika skuli ya nungwi kililazimika kuhamishwa baada ya kuta meza na viti vilivyokuwa UNK na waandikishaji UNK UNK akizungumza na waandishi wa habari waliotembelea kupata UNK ya shughuli hiyo mkuu wa kituo cha UNK skuli ya nungwi bibi sunna seif ahmed alisema walilazimika kuhamia chumba kingine baada ya kubaini upupu huo tumelazimika kuhama chumba kwani meza kuta na vitu vyote UNK upupu wenzetu waliotangulia asubuhi wamekutana na adha hii alisema bibi UNK kituo cha nungwi ni miongoni mwa vyenye watu wengi ambako pia kumekuwa na tafrani za hapa na UNK tangu kuanza shughuli hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita wakizungumzia hali hiyo wakazi wa maeneo hayo ambao wamekosa sifa ya kujiandikisha walidai kuwa kinachofanyika sasa ni kuambiwa wafuate vitambulisho katika ofisi ya mkurugenzi wa vitambulisho eneo la gamba ambako nako kuna idadi kubwa ya wananchi ambao huzuiwa kupata vitambulisho tumefika hapa leo siku ya tatu kutokea tumbatu lakini hadi sasa hakuna dalili ya kupata vitambulisho UNK makusudi ili UNK watu UNK alisema bwana khamis haji ali mkazi wa tumbatu aidha majira ilifika katika ofisi za vitambulisho vya gamba na kushuhudia umati mkubwa ukisubiri vitambulisho jitihada za kuwaona maofisa watoa vitambulisho zilikwama baada ya mlango wa ofisi yao kufungwa mara baada ya kusikia kuna waandishi wamefika ofisini hapo kujua chanzo cha tatizo linalosababisha uandikishwaji kukwama wakati huo huo waathirika ambao nyumba zao ziliteketea kwa mabomu wakati UNK kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura katika shehia ya sizini kaskazini pemba wamepata hifadhi kwa majirani zao familia hizo ni za bwana dadi sheha hassan bwana juma makame juma na naibu sheha wa sizini bwana suleiman UNK ambao wote nyumba zao UNK kwa mabomu yaliyorushwa na polisi juzi asubuhi aidha katika sakata hilo watu wanne wanashikiliwa na polisi kufuatia matukio ya vurugu yanayodaiwa kusababishwa kuteketezwa nyumba hizo watu hao ni yusuf haji yusuph kombo hassan UNK hamad na UNK bakari ambao walifikishwa katika mahakama ya mkoa ya UNK kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mbunge wa jimbo la micheweni bwana shoka hamis shoka washitakiwa hao walifikishwa mahakamani na UNK kwa fedha taslimu shilingi milioni moja na dhamana ya mali isiyohamishika yenye thamani ya shilingi milioni kumi kila mmoja wakati huo huo baadhi ya watu waliokimbia makazi yao wakati wa vurugu hizo kisiwani pemba juzi walianza kurejea kutoka mafichoni baadhi ya wananchi hao waliokimbilia shumbu ya mjini katika jimbo la micheweni na wale waliokimbilia mashambani walifuatwa na mbunge wa jimbo hilo bwana shoka na kuwataka warejee UNK serikali kwa kuficha uovu wao waeleze ukweli kuhusu chanzo cha mtaji wao wasitumie uchaguzi kama kinga yao mratibu wa shirika la kimataifa la mkate wa kila siku mchungaji UNK mwaisumbe amewaonya maaskofu walioibuka na kuitisha serikali kwa ajili ya kuzuia taasisi yao ya upatu ya deci UNK ambapo amesema vitisho hivyo ni kelele mbele za mungu akizungumza katika mahojiano maalumu jana alipokuwa anaeleza mpango wa shirika lake alisema kazi ya maaskofu ni kuwatunza watu kiroho na si kujiingiza katika malumbano na serikali kwa kisingizio cha kutetea ukweli unajua kazi ya maaskofu ni kubwa sana wao ni wawakilishi wa mungu duniani kazi yao ni kuzungumza na mungu moja kwa moja tena wakijipanga sawa sawa yaweza kutokea yale za zamani ya mungu kushuka ana kwa UNK sasa huu ugomvi wa fedha UNK wapi alihoji aliwahadharisha kuwa wasije wakawa wanatumika kwa ajili ya kuharibu amani na utulivu nchini ambao unatokana ukweli kuwa pamoja na watu wengi kuwa na maisha magumu wameridhika na kuipenda nchi yao na kuendelea UNK mungu kama ilivyo sasa hofu yangu ni pale pale ambapo malumbano haya UNK siasa kwa maaskofu hawa waanzilishi wa deci kutoa matamshi ya kusema mwakani ni kipindi cha uchaguzi na hivyo kuonesha kuwa UNK rais jakaya kikwete hapo UNK kuwa wamesahau wajibu wao alisema alisema kinachotakiwa kwa watumishi hao wa mungu ni kuwa na hofu ya mungu na kuamua kuwa wakweli katika kusema undani wa taasisi hiyo na chanzo cha mapato yake ili kuondoa hofu miongoni mwa watanzania ambao kwa sasa wengine wamefikia kusema fedha hizo ni za UNK mchungaji mwaisumbe wa kanisa la UNK alisema ukweli unashinda fitina na UNK hivyo maaskofu hao waanzilishi wa deci wanachotakiwa kufanya ni kujibu maswali yaliyopo na kuachana na imani kuwa kuna mkono wa mtu aliwaonya maaskofu na wachungaji waliojiingiza katika taasisi hiyo kujihadhari katika kipindi hiki chenye malumbano mengi ya kisiasa ambayo alisema yaweza kuwaambukiza na kujikuta wakiacha hoja ya msingi ya kujibu maswali yenye utata kwenye taasisi yao waziri asema lengo ni kulinda mazingira ya uwekezaji adai serikali inahofia fidia kubwa inayoweza UNK pia inaogopa kuchafuliwa na mwekezaji nje ya nchi hata hivyo akiri upungufu mkubwa wa mwekezaji serikali imesema kamwe haiwezi kuvunja mkataba wake na kampuni ya reli tanzania ili kulinda mazingira ya uwekezaji nchini na kuhofia gharama kubwa UNK kutozwa endapo itachukua uamuzi huo hatua hiyo imekuja siku chache baada ya chama cha wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania na wadau wengine kutaka mkataba trl uvunjwe kutokana na kusuasua kwa mwekezaji kampuni ya rites kutoka india kuendesha reli hiyo akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa alisema kuvunjwa mkataba huo kunaweza kusababisha mwekezaji atakayefukuzwa kuitangaza tanzania vibaya nje ya nchi kuvunjwa mkataba wa trl kutasababisha watanzania kuingia gharama kubwa kulipa fidia wawekezaji hao serikali haiwezi kuvunja mkataba kirahisi kama wengi wanavyofikiria kwa sababu mkataba huu ni wa kimataifa unaohusisha nchi tatu ambazo ni tanzania india na msumbiji hivyo badala yake ina uharaka wa kutenga fedha nyingi za kuboresha reli hata kama mwekezaji ataendelea kuwepo umoja wa mataifa una orodha ya nchi UNK mikataba iliyosainiwa kihalali UNK huu UNK baadaye kama UNK kuuvunja utakuwepo utaratibu maalum wenye maridhiano baina ya pande zote mbili huu ni mkataba wa kimataifa UNK kamwe alisema daktari kawambwa huku waandishi wa habari wakionekana kuwa na hamasa kuuliza maswali juu ya kile kinachoonekana kuwa utendaji mbovu wa trl waziri kawambwa alikiri kudorora huduma za reli hiyo tangu trl UNK jukumu hilo alitaja kasoro zinazosababisha kudorora huduma hizo kuwa ni pamoja na matatizo ya UNK na uwezo mdogo UNK mwekezaji huyo pia alikiri kuwepo upungufu ya mtaji katika utekelezaji wa mkataba wa ukodishaji ambapo alisema hali hiyo imesababisha uhaba wa pesa ambazo zingetumika kufanyia matengenezo njia ya reli na kukarabati vyombo vya uendeshaji akizungumzia uhalali wa ukodishwaji wa lililokuwa shirika la reli ya tanzania UNK wa sasa wa trl alisema waraka wa baraza la mawaziri na ishirini na tisa ishirini sifuri sita uliruhusu utumike utaratibu wa ubia katika kuendesha na kugharamia trl kati ya serikali ya tanzania na kampuni ya rites kutoka india daktari kawambwa alikiri kuwa mkataba huo una matatizo ambayo ni trl kutozingatia mkataba wa ukodishaji uongozi wa trl kutotekeleza makubaliano ya nyongeza ya mshahara wa kima cha chini kati yake na trawu kuhusu uhalali wa rites UNK trl injini na mabehewa na kuamua kusitisha matumizi ya vifaa hivyo mpaka UNK dola za marekani milioni kumi na tatu arobaini na mbili daktari kawambwa alisema serikali haina habari na deni hilo kwani mkataba huo ni kati ya trl na rites alisema serikali itaendelea kuikopesha trl UNK na vitendea kazi vingine alitoa rai kwa wafanyakazi na kuendelea kuchapa kazi kwa mujibu wa kanuni za ajira na kuacha kuingilia majukumu ya serikali ambayo ndiyo ilisaini mkataba nchi ni yetu sote lazima tufuate kanuni na utaratibu wa utawala bora hivyo wasifanye maamuzi yoyote ya kuiondoa UNK ya trl wafanye kazi UNK wananchi wawe wavumilivu kwa kuwa hali ya sasa ya trl ni ya mpito ambayo UNK na kupatiwa ufumbuzi wa kudumu alisema bwana kawambwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi bwana lawrence masha na mkuu wa jeshi la polisi nchini said mwema wanatarajia kwenda pemba wiki ijayo kufuatilia hali ya usalama kisiwani humo naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi balozi khamis kagasheki alisema hayo dar es salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari katika maadhimisho ya siku ya amani ambayo hufanyika kila mwaka septemba ishirini na moja bwana kagasheki alisema serikali UNK zanzibar katika suala la amani bali katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu joto la siasa UNK ndiyo maana hali inaonekana si nzuri na kuitia nchi doa mbaya katika kulitambua hili viongozi wetu watatembelea na kufanya mikutano na wananchi kutafuta njia ya kudhibiti hali ya uvunjifu wa amani inayojitokeza mara nyingi katika kisiwa hicho alisema balozi UNK alisema tatizo zanzibar lilikuwepo tangu enzi za baba wa taifa mwalimu julius nyerere hivyo katika kipindi hiki ni vyema wanasiasa wasitumie vibaya demokrasia UNK wananchi alisema baadhi ya viongozi wa siasa na viongozi wa dini wamekuwa chanzo cha kuchochea migongano miongoni mwa nchi na kuhatarisha amani na utulivu ambayo nchi imekuwa UNK kwa muda mrefu balozi kagasheki alisema nchi ikipoteza amani na utulivu shughuli za UNK zinasimama na UNK taifa katika umasikini uliokithiri aidha alisema katika maadhimisho ya siku ya amani nchi za maziwa makuu zinatakiwa kudhibiti UNK silaha ndogondogo na kubwa ili kuzuia machafuko ambayo ni hatari kwa maisha ya watu na mali zao maadhimisho hayo UNK na umoja wa mataifa kwa ajili ya kuwajengea uwezo vijana na wanafunzi katika kupambana na mazingira yanayochangia uvunjifu wa amani nchini wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania wanajipanga kutoa tamko zito dhidi ya msimamo wa serikali kuhusu kampuni hiyo uliotolewa na waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa juzi kauli ya wafanyakazi imekuja baada ya waziri huyo kutangaza juzi kuwa kamwe serikali UNK mkataba wa trl ili kulinda mazingira ya uwekezaji ikiwa ni pamoja na kuhofia gharama kubwa inayoweza kutozwa endapo itachukua hatua hiyo wakizungumza na gazeti hili dar es salaam jana wafanyakazi hao ambao hawakutaka majina yao yatajwe gazetini walidai UNK na tamko la serikali kwa kuwa ndilo UNK kutokana na serikali kuwa upande wa mwekezaji siku zote tupo katika mchakato wa kukusanya maoni ya wafanyakazi wa vituo vyote vya reli nchini juu ya kauli ya serikali ili maamuzi UNK yawe zaidi ya tamko la waziri na serikali isije UNK kwa hatua UNK chukua alisema mmoja wa wafanyakazi hao awali chama cha wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania kiliitaka serikali kuvunja mkataba wa trl kutokana na kusuasua kwa mwekezaji rites katika kuendesha reli hiyo ambapo waliahidi kusambaratisha ofisi za menejimenti ya trl endapo agizo lao UNK wafanyakazi hao walisema mkataba huo umekuwa wa siri kubwa jambo linalowafanya kukosa imani na serikali kwa kile wanachoamini kuwa inajaribu kuficha upungufu uliomo kwenye mkataba huo waziri aliomba UNK siku kumi ili UNK ufumbuzi mgogoro uliokuwa unaendelea ndani ya trl na kama haya ndio majibu yake UNK kuamini kuwa serikali iko tayari kumkandamiza mtanzania kwa lengo la kujisafisha katika anga za kimataifa alisema wafanyakazi hao walionesha kupoteza matumaini kwa serikali huku baadhi UNK kitendo UNK cha kishujaa cha kuvunjwa kwa mkataba wa city water na aliyekuwa waziri mkuu bwana edward UNK naye ofisa habari wa trl bwana UNK maez alipotakiwa kutoa ufafanuzi juu ya maamuzi ya serikali kushindwa kuvunja mkataba huo alisema suala hilo UNK rites kwa kuwa ndio UNK kukumbatiwa na serikali hata hivyo ofisa wa wizara ya miundombinu bwana martin ntemo alisema upande UNK kuvunja mkataba ni kampuni ya rites na si serikali kwa kuwa kampuni hiyo ndio iliyoshindwa kuendelea na mkataba huo juhudi za kumtafuta katibu wa mkuu wa bwana sylivester rwegasira kutoa msimamo wa chama hazikufanikiwa kutokana na kuwa nje ya ofisi kwa shughuli za kikazi habari hii imeandikwa na benjamin masese elisante kitulo na makumba mwemezi tangazo UNK magazetini UNK wizara menejimenti hawana taarifa tangazo la kazi kwa nafasi ya mkurugenzi mtendaji wa shirika la umeme tanzania lililotolewa kwenye baadhi ya magazeti jana limezua utata mkubwa huku kila upande ukidai UNK utata huo uliibuka baada ya menejimenti ya tanesco kueleza kushtushwa na tangazo lililotolewa na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa shirika hilo akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu ofisa uhusiano wa tanesco bibi badra masoud alisema ofisi yake haina taarifa zozote za kuwepo tangazo linalohitaji mtu mwenye sifa za kuwa mkurugenzi wa shirika hilo nafasi hiyo kwa sasa inashikiliwa na daktari idrisa rashid matangazo yote yanayotolewa na shirika hili UNK ofisini kwangu kabla ya kutolewa magazetini nasikitika kusema kuwa tangazo hilo UNK na sasa nipo bagamoyo kwenye mkutano alisema bibi badra aliongeza kuwa ofisi yake haitahusika na gharama za tangazo hilo magazeti haijafahamika kwamba tangazo kwa hilo linatokana na kumalizika mkataba wa ajira kwa nafasi hiyo au ni kusitishwa kwa sababu za kiutendaji naye msemaji wa wizara ya nishati na madini bwana aloyce tesha alipoulizwa kuhusu suala hilo alisema tanesco ni shirika la umma UNK na bodi hivyo jukumu la kutangaza nafasi ni la bodi si serikali serikali huandaa sera na kanuni kwa ajili ya mashirika ya umma lakini haihusiki katika kuendesha mashirika hayo mwenyekiti wa bodi wa shirika hilo ndiye mwenye mamlaka ya kutoa tangazo hilo alisema aliongeza kuwa wizara yake haitahusika na gharama zozote za tangazo hilo wala uwajibikaji wowote kwakuwa limetolewa na bodi ya wakurugenzi wa tanesco na si wao tangazo lingekuwa ni letu UNK tumeweka saini yetu sisi na ndio maana mnaona amesaini mjumbe wa bodi ya tanesco kwa hiyo wao ndiyo wenye majibu yote kuhusiana na nafasi hiyo kutangazwa alisema bwana tesha gazeti hili lilifanya jitihada za kumtafuta mwenyekiti wa bodi hiyo bwana peter UNK kwa njia ya simu ili kujiridhisha juu ya uhalali wa tangazo hilo lakini jitihada hizo UNK habari hii imeandaliwa na christina gauluhanga elisante kitulo benjamin masese na makumba mwemezi mahakama ya wilaya ya ilala dar es salaam imetupilia mbali hoja za upande wa utetezi kuhusu kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili vigogo wanne wa benki kuu ya tanzania na kuonya kuwa hawakutakiwa kutoa hoja yoyote kabla ya washitakiwa hao kusomewa mashitaka yanayowakabili hoja hizo zilitupwa jana mahakamani hapo na hakimu mfawidhi bwana samwel maweda wakati akitoa uamuzi wa hoja mbalimbali zilizotolewa na wakili wa utetezi bwana mpare mpoki uamuzi huo ulilenga kwenye hoja mbili moja ikiwa ni kinga ya watuhumiwa hao kazini na kama ilikuwa halali kwa mawakili kuwasilisha hoja hizo mahakamani hapo akizungumzia suala la kuwasilisha hoja mahakamani hapo alisema kuwa haikuwa halali upande huo kuanza kuwasilisha hoja kabla ya watuhumiwa hao kusomewa hati ya mashitaka alisema kuwa kifungu cha sheria namba mia mbili na arobaini na tano cha cpa kinatoa maelekezo yote kuhusu makosa ya aina hiyo kuanzia kukamatwa kwa washitakiwa hadi kufikishwa mahakamani kuhusu kinga ya waliyonayo watumishi wa bot alisema anakubaliana na upande wa mashitaka kuwa inawalinda watumishi ambao UNK makosa wakiwa na nia njema lakini kwa upande wa makosa ya washitakiwa hao haiwezi kutumika alisema kesi hiyo imefunguliwa chini ya sheria ya uhujumu uchumi ambayo inaeleza bayana kuwa inaweza kufunguliwa katika mahakama ya wilaya kwa hatua za awali na baadae kusikilizwa katika mahakama kuu ya tanzania yenye mamlaka ya kufanya hivyo kutokana na hayo alitupilia mbali hoja zote za utetezi na kuamuru washitakiwa hao kurejeshwa rumande hadi oktoba mbili mwaka huu kesi hiyo itakapokuja kwa ajili ya kutajwa katika hali isiyokuwa ya kawaida wakati washitakiwa hao UNK mahakamani huku UNK na askari magereza askari hao waliwazuia waandishi wa habari kufanya kazi zao ambapo walizingira mlangoni na kuamuru wasiingie ili kuifanya mahakama hiyo kuwa na hewa mbali na kuzuia waandishi kuingia pia waliwazuia wapiga picha kuwapiga picha vigogo hao bila kubainisha sababu ya kufanya hivyo ambapo hali hiyo imekuwa tofauti na katika kesi zingine UNK washitakiwa wamekuwa wakipigwa picha kwa ajili ya jamii UNK awali washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo wakikabiliwa na mashitaka matatu ya uhujumu uchumi ambapo wameisababishia hasara kwa serikali ya shilingi bilioni kumi nne watuhumiwa hao ni mkurugenzi wa benki kuu ya tanzania bwana saimon jengo naibu mkurugenzi wa idara ya sarafu bwana kisima mkango mwanasheria wa bot bwana bosco kimera na bwana ally bakari ambaye ni ofisa wa bot katika mashitaka yao ya kwanza ambayo yalimkabili bwana jengo na bwana mkango walidaiwa kuchukua oda kutoka kwa mtoa huduma ya uchapishaji wa noti na kubadili tarakimu za hesabu kwa kuweka kiasi kikubwa tofauti na kilichokuwa kinatakiwa mbali na hiyo pia bwana jengo alidaiwa kutoa amri ya uchapishaji wa noti nyingi zaidi ya kiasi kilichokuwa kinatakiwa na idara ya sarafu katika mashitaka mengine ambayo yaliwakabili washitakiwa wote walidaiwa kuwa wakiwa waajiriwa wa benki hiyo walisababisha hasara ya shilingi kumi nne mia moja na hamsini na nane mia tatu na thebathini na tisa mia moja na arobaini na sita katika makosa hayo washitakiwa hawatakiwi kujibu chochote mpaka kesi hiyo UNK katika mahakama kuu ya tanzania waislamu wa makundi mbalimbali nchini wameanza kulumbana kufuatia kutolewa kwa mwongozo unaoelekeza waumini wao jinsi ya kuchagua viongozi kwenye uchaguzi mkuu wa mwakani kutokana na malumbano hayo yanayotokana na upande mmoja kuukubali na wengine UNK amiri wa baraza kuu jumuia na taasisi za kiislamu sheikh mussa kundecha UNK katibu wa kamati ya kuokoa mali za waislamu sheikh khalifa khamis kuwa upeo wake wa elimu ya dini ni mdogo na anajipendekeza kwa baraza kuu la waislamu tanzania kwa maslahi binafsi kundecha ambaye pia amiri mkuu wa shura ya maimamu tanzania alitoa kauli hiyo alipoongea na majira kuhusu kauli ya sheikh UNK kuwa mwongozo wa waislamu UNK kikundi kidogo cha answar sunnah na si waislamu wote nchini na kuwa kuran UNK kila kitu kuhusu siasa uchumi utamaduni na hata teknolojia shekhe khalifa alisema kuwa hakuna haja yoyote ya kutoa mwongozo wowote wa kisiasa kwa kuwa hakuna faida yoyote na kuwa msimamo wao ni kuwa kila anayetaka kugombea katika ngazi mbalimbali na afanye hivyo sisi tuna msimamo toka awali kuwa waislamu wanapaswa kugombea nafasi mbalimbali kama udiwani na ubunge alisema shekhe khalifa alifafanua kuwa katika uislamu kila kitu kimewekewa misingi na taratibu zake kwani masuala ya kisiasa kiuchumi na kiutamaduni yameelezwa katika vitabu hivyo kauli ya shehe khamis haina tofauti na iliyotolewa na sheikh wa bakwata mkoani dar es salaam mussa salum wakati wa akitoa salamu za idi kuwa uislamu unajitosheleza na hivyo hakuna haja na kuongeza mwongozo wowote wa kisiasa akijibu hoja hizo sheikh kundecha mbali na kuzama katika kauli iliyotolewa kwanza alimvaa binafsi shekhe khalifa kuwa si UNK katika mambo mbalimbali na anajipendekeza bakwata ili kupata kile UNK tatizo ni kuwa khalifa haelewi maana ya kuran kinachomsumbua ni elimu ndogo ya dini kiwango chake cha ufahamu ni kidogo alisema shekhe kundecha lakini sheikh kundecha alitofautiana na kauli hizo akisema kuwa kuran imeelekeza mambo mengi ambayo yanahitaji ufafanuzi katika utekelezaji wake kwa mfano alisema katika kuran mwenyezi mungu amewataka waislamu kuswali lakini haikusema kuwa UNK vipi na kwa nyakati gani imewataka waislamu kufungua benki za kiislamu lakini haikusema UNK vipi isipokuwa kuna maelezo ya kina katika kufanikisha kila mahitaji ya kitabu hicho alisema kuwa kauli ya shekhe khalifa inaonesha wazi kuwa uwezo wake katika masuala ya dini ni mdogo na ndio maana UNK katika kuran bila kujua kuwa inahitaji ufafanuzi katika utendaji wake akirejea kauli ya shekhe khalifa kuwa mwongozo huo umetolewa na kikundi kidogo cha answar sunnah alisema kuwa ukweli UNK kutokana na idadi ya watu isipokuwa kile kilichomo ndani yake na wingi wa watu UNK ukweli huo ukweli wa jambo haupatikani kwa kusemwa na watu wengi hata mtu mmoja akisema jambo la kweli litabaki kuwa la kweli alisema shekhe kundecha alisema kuwa mwongozo huo UNK chumbani ulitolewa hadharani na kila mtu aliyetaka kuusoma UNK uliwekwa hadharani na kila aliyetaka kuuona alifanya hivyo alisema kuwa waislamu wa tanzania UNK waislamu kwa kuwa kwenye bakwata pekee na bahati nzuri nchi hii imetoa uhuru na ndio maana kuna taasisi nyingi za kidini zimesajiliwa alisema shekhe kundecha mapema shekhe khalifa aliunga mkono kauli ya sheikh salum kuwa ni sahihi na haina utata wowote kwa kuwa kila kitu UNK katika UNK alisema kuwa nchi hii si ya kidini na hivyo hakukuwa na ulazima wala faida za msingi ya kuwa na mwongozo wa jinsi ya kuchagua viongozi wa kisiasa yumo aliyekuwa naibu wake makamishna wa madini na nishati vigogo kutoka idara mbalimbali serikalini akiwemo aliyekuwa naibu waziri wa fedha bwana abdisalaam issa khatibu watapanda kizimbani kutoa ushahidi dhidi ya mawaziri waandamizi wa serikali ya awamu tatu bwana basil mramba wa fedha na bwana daniel yonna wa nishati na madini mashahidi hao walitajwa jana na upande wa mashitaka katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu watatu bwana john utamwa bwana saul kinemela na bwana sam rumanyika baadhi ya mashahidi hao wapo waliohusika na kutoa ushauri kwa washitakiwa hao kuhusiana na ama kusitisha mchakato wa kuajiri kampuni ya kukagua dhahabu alex stewart au UNK kupewa msamaha wa kodi kwa kampuni hiyo akitaja mashahidi hao wakili mkuu wa serikali bwana boniface stanslaus alisema kuwa upande huo unatarajia kuita mashahidi kumi na saba kuthibitisha mashtaka dhidi ya washitakiwa hao mbali na bwana khatibu mashahidi wengine ni waliokuwa makamishna wa nishati na madini bwana gray mwakalukwa na bwana bashir mrindoko na maafisa wengine wa juu serikalini akiwamo UNK na mkuu wa kitengo cha sheria katika wizara ya nishati na madini bwana godwin UNK wengine ni mkurugenzi wa sheria za madai na za kimataifa bibi maria kejo bibi betha soka bibi rehema kitambi bwana mustapha ismail bwana ludovick kandege bwana saddy kambona christine shekidele bwana p kasera bwana agrey teemba bwana george kaindoa kesysia mbatia nakuwera senzia na bwana george tigiti baada ya kutajwa kwa mashahidi hao bwana stanslaus UNK mahakama iamuru upande wa utetezi nao UNK mashahidi wao watakaofika mahakamani hapo kutoa ushahidi kadri waraka wa jaji mkuu UNK hoja hiyo ilipingwa na wakili wa utetezi bwana herbert nyange kuwa kwa mujibu wa sheria za mwenendo wa jinai katika kifungu cha mia mbili na thebathini na mia mbili na thebathini na moja vinatoa maelekezo namna mshitakiwa UNK kujitetea baada ya kukutwa na kesi ya kujibu alisema kuwa sheria hiyo inamtaka mshitakiwa kutaja mashahidi wake baada ya kufungwa mashitaka na mahakama kuwakuta washitakiwa na kesi ya kujibu huu ni waraka tu wa jaji mkuu ambao hauwezi UNK sheria UNK na bunge hivyo UNK na ombi la upande wa mashitaka alisema bwana nyange kutokana na hoja hiyo mahakama UNK upande wa mashitaka kuusoma waraka huo mahakamani hapo kwa ajili ya mawakili wa upande wa utetezi ili waweze kuuelewa na kutoa sababu za UNK nadhani tutoe muda kwenu ili UNK vizuri huo waraka kwani nayo ni sheria lakini mbali na waraka huo someni na sheria mbalimbali zinazohusiana na suala hili ili tutakapokutana mje na hoja za kisheria ambazo UNK mahakama kufikia uamuzi wa haki alisema bwana UNK kutokana na uamuzi huo kesi iliahirishwa mpaka leo ambapo itakuja kwa ajili ya malumbano ya kisheria kwa pande zote mbili kuhusiana na kutajwa au kutotajwa kwa mashahidi wa washitakiwa waraka wa jaji mkuu unatoa mwongozo au UNK upande wa utetezi kuelezea mashahidi wake mara baada ya upande wa mashitaka kumaliza hatua ya usomaji wa maelezo ya awali ya washitakiwa mbali na akina mramba kesi hiyo UNK pia aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha na uchumi bwana gray mgonja wote kwa pamoja wanadaiwa kutumia vibaya ofisi zao na kusababisha hasara ya mabilioni ya fedha kwa serikali kwa mujibu wa maelezo ya awali na nyaraka zilizosomwa mahakamani bwana yona alikaidi ushauri wa wataalam mbalimbali kuhusiana na kuajiri kampuni hiyo ambayo ilipewa misamaha ya kodi na kusababisha hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba mbali na huyo pia bwana mramba naye alidaiwa kutoa maelekezo ya kusainiwa kwa hati ya makubalino kati ya serikali na kampuni hiyo bila ya suala hilo kufikishwa kwenye baraza la mawaziri au hati hiyo kufikishwa kwa mwanasheria mkuu wa serikali kati ya mashahidi waliotajwa na upande wa mashitaka shahidi namba kumi na saba ambaye ni bwana shekidele ndiye aliandika barua ya ubadhilifu huo kwenda kwa mkurugenzi wa taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa akiomba kuchunguzwa kwa upotevu wa fedha hizo uliosababishwa na misamaha ya kodi kwa kampuni hiyo ambayo UNK jumla shilingi bilioni hamsini na sita tano upande wa utetezi katika kesi ya wizi wa mamilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje inayowakabili kada wa ccm bwana rajab maranda na wafanyakazi wa benki kuu ya tanzania UNK kurejeshwa bot kwa jalada ambalo lilitolewa kama kielelezo mahakamani kwani kufanya hivyo ni kuvunja katiba ya nchi pingamizi hilo liliwasilishwa jana na wakili wa utetezi bwana mpare mpoki katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu bwana john utamwa bwana ignas UNK na bibi eva UNK akiwasilisha hoja za kupinga kurejeshwa kwa jalada hilo alisema kuwa mahakama hiyo kwanza haina uwezo tena wa kusikiliza maombi ya upande wa mashtaka kuhusiana na jalada hilo kwa kuwa tayari imeshatoa uamuzi wake na kuzuia alisema kuwa upande wa mashitaka UNK kuwasilisha ombi hilo kwa kuwa tayari limetolewa uamuzi hivyo walitakiwa kwenda mahakama ya juu zaidi hoja nyingine ni kuhusiana na kiapo cha upande wa mashitaka ambacho bwana mpoki alidai kuwa baadhi ya vipengele UNK uhuru wa mahakama ambayo haitakiwi kuingiliwa kwa mujibu wa katiba ya nchi kuna kipengele kinasema kuwa jalada hilo linatakiwa bot na kampuni ya lazard ambayo inafanya kazi kwa maelekezo ya rais katika akaunti na epa hivyo kipengele hiki UNK moja kwa moja uhuru wa mahakama na endapo mahakama UNK na kiapo hiki ni kuvunja katiba ya nchi alisema bwana mpoki kwa upande wa mashitaka ulizidi kuiomba mahakama hiyo kukubaliana na ombi lao kwa kuwa mahakama hiyo ilisema wanayo nafasi ya kufanya hivyo upande huo ulisema kuwa kampuni ya lazard kufanya kazi kwa maelekezo ya rais haihusiani na kesi hiyo kwa kuwa jalada hilo linahitajika kwa kazi mbalimbali za UNK mahakama hiyo itatoa uamuzi wake oktoba kumi na mbili mwaka huu ambapo kesi hiyo itaendelea kusikilizwa kwa siku mbili mfululizo washitakiwa hao ni bwana maranda bwana farijala hussein bwana imani mwakyosa bibi ester komu na bibi kimera ambao wote kwa pamoja wanadaiwa kuiba jumla ya shilingi milioni ishirini saba moja katika benki kuu ya tanzania baada ya kughushi nyaraka mbalimbali askari ishirini sifuri kutoka vikosi vya jeshi la magereza na jeshi la kujenga taifa wilayani rungwe wamewasili katika msitu wa mlima rungwe mkoani mbeya kukabiliana na moto unaoendelea kuteketeza mlima huo serikali mkoani mbeya imelazimika kuomba msaada wa vikosi hivyo baada ya moto huo ulioanza kuwaka tangu septemba kumi na nane mwaka huu kuwazidi nguvu wananchi mkuu wa mkoa wa mbeya bwana john mwakipesile aliliambia gazeti ili kwa njia ya simu jana kuwa moto huo umeleta athari kubwa kwa rasilimali za misitu zilizopo katika mlima huo UNK kuuliza chanzo cha moto huo kila mtu amekuwa akizungumza lake wengine wanasema ni hujuma na wengine wanadai kuwa wanafunzi walipanda juu ya mlima huo na kuwasha moto lakini mpaka sasa chanzo cha moto huo hakijajulikana alisema alisema kuwa ili kujiridhisha na tetesi hizo UNK kamati maalumu ili kubaini chanzo cha moto huo moto UNK juu ya miti huwezi kuuzima mchana kutokana na upepo UNK na hivyo kulazimika kuuzima usiku na ule wa chini UNK lakini baada ya muda UNK tena hivyo mpango huu kuwa mgumu alisema bwana mwakipesile alisema kuwa kila UNK kuuzima na kufanikiwa wakishuka chini unaanza tena kuwaka hali ambayo imesababisha UNK kuwa gumu kwao huku hofu ya mafua ya nguruwe ikiendelea kutawala miongoni mwa watanzania mgonjwa mmoja amegundulika na ugonjwa na amelazwa katika hospitali ya taifa muhimbili habari UNK UNK majira na kuthibitishwa na mkurugenzi wa huduma ya tiba wa mnh profesa andrew swai mgonjwa huyo ambaye ni mtoto amelazwa katika uangalizi maalum na hali yake inaendelea vizuri hata hivyo profesa swai alikataa kutaja jina lake kwa maelezo kwamba kufanya hivyo ni kinyume cha maadili ya kazi yake mimi sipo UNK hata hivyo nimetoka nipo ofisini jina la huyo mtoto UNK ila yupo na anaendelea vizuri na yupo chini ya uangalizi maalumu ili UNK wengine alisema unajua UNK kukabiliana na ugonjwa huo kila kona kuanzia katika mipaka ya kuingia nchini bandarini na viwanja vya ndege vilivyopo nchini ili kuhakikisha usienee hivyo mgonjwa huyo yupo katika uangalizi maalumu aliongeza profesa swai alidai kuwa mgonjwa si mgeni bali ni mtanzania na anaendelea vizuri na matibabu hivi karibuni wagonjwa wengine wawili raia wa uingereza waligundulika kuwa na ugonjwa huo na kukimbizwa katika hospitali ya taifa muhimbili kwa matibabu raia hao ambao ni ndugu wa familia moja wanaoishi mbezi beach jijini walibainika kuwa na ugonjwa huo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu julius nyerere wakati wakirejea kutoka nairobi kenya walikokwenda kukutana na ndugu zao mgonjwa wa kwanza hapa nchini kuwa na ugonjwa huo aligundulika julai nne mwaka huu katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere wakati akiingia nchini kwa ndege ya shirika la ndege la kenya taarifa ya wizara ya afya ilisema raia huyo wa uingereza alitoka london na kutua nairobi kenya kabla ya kuingia nchini mwanasiasa mkongwe ambaye alipata kuwa mgombea mwenza katika chama cha nccr mageuzi katika uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini sifuri tano bibi UNK jidawi amesema UNK mkono chama cha mapinduzi kama UNK mgombea mzuri anayekubalika na wananchi katika nafasi ya urais wa zanzibar uchaguzi mkuu mwakani akizungumza na gazeti hili bibi jidawi alisema wazanzibari wanataka mgombea wa nafasi ya urais ambaye atasaidia kuvunja makundi na kuwaunganisha wananchi wote bila ya kujali itikadi za kisiasa mimi UNK mkono ccm kama itamsimamisha mgombea ambaye UNK wananchi wa visiwa vya unguja na pemba kwa kuleta suluhu kwani wananchi wamechoshwa na migogoro ya kisiasa UNK alisema jidawi alisema watu UNK na vitendo UNK amani na utulivu katika nchi kila wakati unapokaribia uchaguzi mkuu mambo ambayo UNK nyuma maendeleo na sekta ya uwekezaji nchini alifafanua kuwa kwa sasa hayupo katika chama chochote cha siasa lakini atakuwa tayari kurudi katika ulingo wa kisiasa kama atachaguliwa mgombea urais mwenye sifa za kuleta umoja na kuwaunganisha watu wa visiwa vya unguja na pemba kuwa wamoja kama miaka ya nyuma ccm UNK mgombea anayekubalika na wananchi kama chaguo lao basi mimi UNK kidete na kupiga kampeni UNK kurudi katika ulingo wa kisiasa alisema jidawi jidawi ni maarufu na anakubalika na wananchi wengi wenye kuamini itikadi tofauti za kisiasa huko katika mkoa wa kusini unguja na alitaka kuwa mgombea urais wa zanzibar na kutaka kupambana na katibu mkuu wa chama cha wananchi seif sharif hamad katika uchaguzi mkuu mwaka ishirini sifuri sifuri lakini cuf ilimwekea pingamizi kuwa ni mwanachama wake mwanasiasa huyo alimmwagia sifa rais amani abeid karume ambaye amefanya kazi kubwa katika kuimarisha miundombinu ya barabara zaidi vijijini katika visiwa vya unguja na pemba alisema hivi unatoka bwejuu mkoa wa kaskazini unguja hadi mjini kwa dakika arobaini na tano tofauti na miaka ya nyuma wakati barabara zilipokuwa katika hali mbaya ya mashimo na vumbi mimi sina chuki wala sisemi kwa ajili ya kujipendekeza lakini mtu mwenye sifa yake UNK karume amefanya kazi kubwa sana bwana katika sekta ya miundombinu mimi kama mwekezaji nimeridhishwa na hilo alisema jidawi jidawi ni mmoja ya wawekezaji wa mwanzo UNK wito wa serikali ya zanzibar ya kuwataka wazalendo kuwekeza katika sekta ya utalii huku akimiliki hoteli ya kitalii ya palm beach iliopo bwejuu mkoa wa kaskazini unguja serikali inafanya tathmini katika wilaya sitini na tano za mikoa kumi na tano yenye upungufu wa chakula nchini waziri wa kilimo chakula na ushirika bwana stephen wasira amesema mikoa UNK tathmini kuanzia mwanzoni mwa mwezi huu ni pamoja na arusha manyara kilimanjaro tanga pwani morogoro dodoma singida tabora shinyanga mwanza mara mbeya lindi na mtwara ili kukabiliana na tatizo hilo serikali imetenga tani sitini na tano mia moja na sitini tano katika maeneo yenye upungufu na hadi septemba kumi na saba mwaka huu tani hamsini sifuri sifuri tatu sifuri tatu tano zilikuwa UNK kwa walengwa katika maeneo yaliyokumbwa na njaa hali hiyo ya upungufu wa chakula ilitangazwa jana na bwana wasira alipozungumza na waandishi wa habari kuelezea maandalizi ya kilimo kwa msimu wa ishirini sifuri tisa kumi na kutumia nafasi hiyo kutangaza kuendelea kutoa msaada wa chakula kwa wananchi wanakabiliwa na upungufu huo serikali itaendelea kutoa chakula kwa wananchi UNK kuwa wanaendelea kukabiliwa na upungufu wa chakula alisema bwana wasira ili kukabiliana na tatizo hilo bwana wasira alisema wakala wa hifadhi ya chakula ya taifa UNK sehemu ya chakula katika soko kwa lengo la kupunguza makali katika maeneo ya nchi UNK kuwa na bei kubwa ya chakula vile vile wizara inatoa wito kwa mikoa kuwahamasisha wafanyabiashara kununua chakula katika mikoa na maeneo yenye ziada na UNK katika maeneo yenye upungufu waziri huyo alisema serikali itaendelea kusitisha biashara ya uuzaji wa mazao ya chakula nchi za nje hadi hapo hali itakapokuwa nzuri bwana wasira alitoa wito kwa wakulima waliopata mavuno ya ziada UNK chakula cha kutosha kwa mahitaji ya kaya zao na kuuza ziada tu katika soko la ndani akizungumzia suala la wakulima watakaonufaika na ruzuku kwa utaratibu wa kutumia vocha alisema kuwa idadi imeongezeka kutoka wakulima mia saba na thebathini na saba sifuri sifuri sifuri mwaka jana na kufikia moja hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri mwaka huu wa fedha kwa utekelezaji wa bajeti ili kuongeza uzalishaji aliitaja baadhi ya mikoa UNK kuwa ni ile inayolima mazao ya nafaka kama UNK ya iringa mbeya rukwa ruvuma morogoro kilimanjaro arusha kigoma tabora mara mwanza kagera na shinyanga alisema ili kudhibiti udanganyifu mkulima atakabidhiwa vocha pale tu atakapotoa fedha za kuongezea katika bei ya pembejeo tofauti na ilivyokuwa awali ambapo mkulima alikuwa akikabidhiwa vocha mkononi na UNK kwa UNK kwa upande mwingine katika msimu wa mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa hali ya uzalishaji wa mazao ya chakula haikuwa nzuri kutokana na sehemu kubwa ya nchi kukabiliwa na ukame hali iliyosababisha bei za vyakula nchini kuwa juu na kufanya watu wa kipato cha chini kuwa na hali ngumu mahakama kuu maalumu mjini kahama mkoani shinyanga imewahukumu kunyongwa hadi kufa watu watatu baada ya kupatikana na hatia ya kosa la mauaji ya kukusudia ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi matatizo dunia mkazi wa bunyihuna bukombe waliohukumiwa kutumikia adhabu hiyo ni bwana masumbuko madata mkazi wa kijiji cha ituga wilayani bukombe bwana emmanuel masangwa mkazi wa kijiji cha UNK na bwana charles masangwa mkazi wa kijiji cha nanda bukombe UNK hukumu yao UNK muda wa saa moja jaji gabriel rwakibalila alisema ametoa hukumu ya kunyongwa kwa washitakiwa wote watatu baada ya kuridhishwa na ushahidi uliotolewa mahakamani hapo na upande wa mashitaka kuwa washitakiwa walitenda kosa hilo hukumu hiyo ya kwanza huenda itatuliza hasira za wanaharakati na serikali ambao wamekuwa wakidai kuwa hatua zinazochukuliwa dhidi ya wauaji wa albino ama UNK au UNK mno watu zaidi ya arobaini albino UNK nchini na viungo vyao vimekuwa UNK kwa imani za kishirikina baada ya wahusika UNK kupata utajiri kutokana na mauaji hayo makundi ya watu kadhaa UNK lakini uendeshaji wa kesi zao umekuwa ukienda taratibu na hao ndio watuhumiwa wa kwanza kuhukumiwa jaji rwakibalila alisema pamoja na ushahidi uliotolewa na upande wa utetezi kuonesha kuwa washitakiwa hao hawakuwepo katika tukio hilo lakini ni utetezi huo huo UNK mahakamani hapo kuwa wao ndiyo waliokula njama na kufanya mauaji ya mtoto huyo desemba mosi mwaka jana jaji huyo aliieleza mahakama hiyo UNK wasikilizaji kuwa pamoja na dosari ndogondogo UNK na upande wa jamhuri bado haziwezi kuharibu kwa namna yoyote ile shitaka lililokuwa UNK alisema ushahidi wa mkemia mkuu wa serikali ulionesha wazi kuhusika kwa mshitakiwa wa kwanza na wa tatu katika mauaji hayo kutokana na kupatikana kwa vinasaba UNK na damu ya miguu yote miwili ya marehemu dunia kutokana na hali hiyo jaji huyo alisema ushahidi huo wa upande wa jamhuri unatosha kuwatia hatiani washitakiwa na kupewa adhabu hiyo kwa mujibu wa sheria ya makosa ya jinai mia moja na tisini na sita sura ya kumi na sita iliyofanyiwa marekebisho ya mwaka ishirini sifuri mbili kwa kuzingatia ushahidi huo jaji rwakibalila aliwahukumu washitakiwa kunyongwa mpaka kufa na hata hivyo alisema wanayo nafasi ya kukata rufaa katika mahakama ya juu iwapo watakuwa hawakuridhika na hukumu hiyo muda mfupi mara baada ya kutolewa kwa hukumu hiyo upande wa utetezi ukiongozwa na wakili bwana UNK UNK UNK nia yake ya kukata rufaa katika mahakama ya rufaa kupinga hukumu hiyo hadi sasa kuna kesi nyingine hamsini za mauaji ya albino ambazo UNK kufikishwa mahakamani katika kukabiliana na mauaji hayo serikali ya tanzania ilitangaza mikakati ya kukomesha mauji ya albino ambapo mwezi machi mwaka huu rais jakaya kikwete aliwataka watanzania kujitokeza na kutoa taarifa walizonazo mauaji hayo yamekuwa yakiongezeka katika nchi za maziwa makuu na julai mwaka huu mhakama ya nchi jirani burundi UNK kifungo cha maisha jela na vifungo vingine tofauti watu wengine wanane kwa mauaji ya albino ambao viungo vyao vinadaiwa kuuwa tanzani inakadiliwa kuwa watu wapato kumi na saba sifuri sifuri sifuri wenye ulemavu wa ngozi wanaishi nchini tanzania asema hana tatizo naye UNK na jk akana kuwaomba wazee wa mbeya UNK mkuu wa mkoa wa mbeya bwana john mwakipesile amesema mbunge wa kyela daktari harrison mwakyembe anapotoshwa na wapambe wake kwa kumpa taarifa za uongo bila yeye UNK na kujua ukweli wake vile vile alisema kuwa hana tatizo na mbunge huyo kwa kuwa tofauti zao UNK kupitia tume iliyoundwa na rais jakaya kikwete iliyoongozwa na bwana UNK kinana bwana mwakipesile alitoa ufafanuzi huo jana alipozungumza na gazeti ili ikiwa ni siku chache tangu daktari mwakyembe adai kwenye vyombo vya habari kuwa anatishiwa kuuawa na hivyo kumfanya ashindwe kukaa kwa amani ninashangazwa sana na kauli zinazotolewa na daktari mwakyembe za kudai kuwa anatishiwa maisha mara anataka kuuawa mpaka anashindwa kukaa kwenye nyumba yake na kumfanya UNK wapambe wake wanampa taarifa za uongo ambazo UNK kazi alisema alisema kuwa tangu UNK mgogoro wao na kushikana mikono yeye hana tatizo lolote na daktari makyembe lakini anashindwa kuelewa UNK nyingine zinatokea wapi nimeshangazwa na baadhi ya vyombo vya habari hivi karibuni kuandika habari kuwa eti mimi niliwaomba wazee wa mbeya UNK mimi na daktari makyembe kwa kosa gani wakati UNK na UNK alihoji alisema kuwa kauli hizo za kuuawa kwa daktari mwakyembe amekuwa akizitoa kwenye mikutano kwa wapiga kura wake taarifa ambazo anadai kuwa anapewa na wapambe wake bila ya kuzifanyia kazi mimi ndiye mtawala wa mkoa wa mbeya sina tatizo na mbunge yoyote yule nashindwa kuelewa haya mambo ya UNK yanatoka wapi tangu UNK sijawahi kuzungumza lolote kuhusu daktari mwakyembe hivyo ninashangazwa na kauli zake za mara kwa mara kuhusu kutishiwa kuuawa alisema alisema kuwa alipokutana na baraza la wazee mkoani mbeya hivi karibuni walimuuliza swali kuhusiana na mgogoro wake na daktari mwakyembe ambapo yeye aliwaeleza kwamba UNK baada ya rais kuunda tume UNK lakini cha kushangaza baadhi ya vyombo vya habari UNK maneno na kudai kuwa mimi niliwaomba wazee UNK jambo ambalo siyo kweli bwana mwakipesile alisema kuwa hakuna mwenye muda wa kutaka kumuua daktari mwakyembe kama ambavyo anadai na na kusisitiza kwamba hana tatizo lolote na yeye kama ambavyo inadaiwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari na kumtaka kabla ya kupokea taarifa kutoka kwa wapambe wake akae chini kwanza na UNK taarifa hizo kabla ya kuzitoa kwa wapiga kura wake au katika vyombo vya habari muulizeni daktari mwakyembe mwenyewe labda bado ana tatizo na mimi UNK lakini mimi nasisitiza kwamba sina tatizo lolote na yeye UNK UNK alisema mgogoro kati ya daktari mwakyembe na bwana mwakipesile umedumu kwa muda mrefu ambapo daktari mwakyembe amekuwa akidai kutishiwa maisha mara kwa mara za kutaka kuuawa na watu wasiojulikana kwa kumtumia ujumbe mfupi katika simu yake ya mkononi naye daktari UNK alipoulizwa juu ya mgogoro huo kati yake na bwana mwakipesile alidai kuwa vyombo vya habari vimekuwa UNK habari za uzushi na kumtaka mwandishi wa habari hizi ampigie simu jioni baada ya kusoma kilichoandikwa kwenye magazeti lakini alipotafutwa simu yake UNK mgogoro kati ya wanasiasa hao ni majeraha ya uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini sifuri tano walipokuwa wanawania uteuzi wa kugombea katika jimbo la kyela na mwakyembe akaibuka mshindi UNK mkuu bwana mizengo pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika harambee ya kuchangia mfuko wa elimu wa wilaya ya mbozi mkoani mbeya ambapo zaidi ya shilingi milioni ishirini nane zinatarajiwa kupatikana kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu katika wilaya hiyo akizungumza na waandishi wa habari mjini mbeya mkuu wa wilaya ya mbozi bwana UNK kimollo alisema kuwa tayari waziri mkuu amekubali kufanya jukumu hilo la kimaendeleo kesho alisema kwamba mkakati wa kuwa na mfuko huo ulianzishwa mwaka jana baada ya kuonekana mahitaji mkubwa ya uboreshaji wa miundombinu ya elimu hasa baada ya kufanikiwa kuwa na sekondari zaidi ya mbili kwa kila kata na hivyo kuvuka lengo la serikali bwana kimollo alisema kuwa kutokana na ongezeko kubwa la sekondari katika kata limefanya kuwapo kwa wanafunzi wengi UNK kila mwaka wanaojiunga na elimu ya sekondari na hivyo kuhitajika miundombinu mingine kwa ajili ya kukidhi mahitaji alisema hali hiyo imefanya kuwapo kwa mahitaji makubwa kama nyumba za walimu mia nne na kumi na mbili maabara kumi nne madarasa mia mbili na arobaini na moja na mabweni arobaini na sita hali iliyofanya waamue kubuni mpango wa kuwa na mfuko UNK kazi ya kutatua matatizo hayo wakati uandikishwaji wa daftari la kudumu la wapigakura ukiwa umegubikwa na kasoro za malalamiko kwa baadhi yao kunyimwa fursa ya kuandikishwa kwa kukosa sifa kundi lingine UNK daftari hilo kwa madai ya UNK mgogoro wa ardhi wa muda mrefu uliopo katika shehia ya jongowe kisiwani tumbatu shehia hiyo inayokadiriwa kuwa na wakazi moja sifuri sifuri sifuri UNK kujiandikisha katika daftari la kudumu tangu uandikishwaji uanze katika kisiwa cha tumbatu huku lawama UNK kwa mwakilishi wa jimbo hilo bwana haji omar kheri wakizungumza na waandishi wa habari waliotembelea kisiwani humo wakazi hao walisema kuwa wameamua kutojiandikisha kwa kuwa hakuna umuhimu wa kufanya hivyo huku kilio chao cha mgogoro wa ardhi kikiwa hakina ufumbuzi wananchi wa shehia ya tumbatu jongowe na tumbatu kichangani wako katika mgogoro wa ardhi ya mashamba kwa zaidi ya miaka mitano na kusababisha wakazi wa shehia hizo mbili kususia kuzikana na kutishia kuuana kutokana na sehemu moja ya ardhi kuzidi upande mmoja akizungumza na waandishi wa habari sheha wa shehia ya jongowe bwana mwadini makame UNK alisema wananchi wameamua kutojiandikisha kwa kuwa tatizo lao la ardhi halijapatiwa ufumbuzi kwa muda mrefu na kwamba sehemu moja ya tumbatu kichangani ina eneo kubwa kuliko lile la tumbatu jongowe alisema kutokana na hali hiyo alifikisha kilio cha wananchi hao kwa mwakilishi wa jimbo la tumbatu bwana kheri ambapo hata hivyo hakuna ufumbuzi wa tatizo hilo kwa wakazi hao majira ilibaini kuwa mgogoro uliopo baina ya wakazi wa shehia hiyo haukuwa na itikadi za kisiasa kama shehia nyingine bali wananchi wote kwa umoja wao bila kujali itikadi zao za vyama wameamua kuungana na kuonesha msimamo wa kutojiandikisha hadi hapo mgogoro wa ardhi UNK ufumbuzi hakuna haja ya kujiandikisha mwakilishi wetu UNK UNK UNK maneno ya UNK kwamba hatuna elimu UNK kwamba sisi tuna elimu au la asubiri mwaka ishirini moja sifuri alisikika mmoja wa wakazi wa shehia hiyo aliyejitambulisha kuwa ni mwanachama wa ccm naye bwana zuberi bakari ali mkazi wa eneo hilo alisema kuwa mwakilishi huyo amekuwa akitoa upendeleo kwa watu wa kichangani kwa kuwa yeye ni mmoja wa wakazi wa eneo hilo na kwamba kutokana na hali hiyo wameona hakuna umuhimu wa wao kuwepo katika uandikishwaji kwani matatizo yao UNK na viongozi UNK tunaomba serikali UNK kati mgogoro huu kwani watu UNK wala UNK majumbani wakati sote tu ndugu moja huyu UNK yule na yule UNK kwa huyu UNK uadui huu UNK wenyewe kwa wenyewe alisema mmoja wa wakazi hao tunakaribia wana ccm mia tatu na sitini sote UNK na UNK UNK tutabaki na ujinga wetu UNK UNK mwenyewe alisikika mama mmoja mkazi wa shehia ya jongowe mkuu wa kituo cha uandikishaji katika shehia ya jongowe bwana suluhu ali rashid alisema kuwa wananchi wameamua kususia uandikishaji katika shehia hiyo kwani hakuna mtu hata mmoja aliyejitokeza kujiandikisha tangu siku ya kwanza akizungumzia mgogoro huo mkuu wa mkoa wa kaskazini unguja bwana pembe juma alisema kuwa mgogoro huo ni wa muda mrefu serikali ilipeleka ramani kwa wakazi wa shehia hiyo ambayo UNK tunawaomba wananchi UNK suala lao linashughulikiwa kujiandikisha ni haki yao ya msingi alisema bwana juma jitihada za kumpata mwakilishi wa jimbo la tumbatu bwana kheri zilishindikana kutokana na simu yake ya mkononi kutopatikana kwa muda mrefu mtoto ambaye amelazwa katika hospitali ya taifa muhimbili kutokana na homa ya mafua ya nguruwe ametokea kenya mgonjwa huyo ambaye ni mwanafunzi mwenye jinsia ya kike aligundulika kuwa na ugonjwa huo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere baada ya kushuka akitokea kenya hivi karibuni ingawa hakutaka kutoa taarifa za kina kuhusiana na mgonjwa huyo mkurugenzi wa huduma ya tiba mnh profesa andrew swai alisema kuwa mgonjwa huyo ni mtanzania na hali yake inaendelea vizuri hofu ya ugonjwa wa mafua ya nguruwe imezidi kushika kasi siku hadi siku baada ya idadi ya waliowahi kuugua ugonjwa huo nchini kufikia wanne mgonjwa wa kwanza hapa nchini kuwa na ugonjwa huo aligundulika julai nne mwaka huu katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere wakati akiingia nchini kwa ndege ya shirika la ndege la kenya wagonjwa wengine walikuwa ni raia wa uingereza ambao ni ndugu wa familia moja wanaoishi mbezi beach jijini dar es saalam nao walibainika kuwa na ugonjwa huo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu julius nyerere wakati wakirejea kutoka nairobi kenya walikokwenda kukutana na ndugu zao profesa swai UNK hofu watanzania na kudai kwamba UNK kukabiliana na ugonjwa huo kila kona kuanzia katika mipaka ya kuingia nchini bandarini na viwanja vya ndege hatimaye waliokuwa mawaziri waandamizi wa serikali ya awamu ya tatu bwana basil mramba wa fedha na bwana daniel yonna wa nishati na madini wamefanikiwa kuwaficha mashahidi wao kinyume na matakwa ya upande wa mashitaka kufikiwa kwa hatua hiyo kunaifanya kesi hiyo kuanza kusikilizwa kwa mashahidi wa upande wa mashitaka novemba mbili hadi tano mwaka huu hatua hiyo ilifikiwa jana baada ya malumbano ya kisheria katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu kwa muda wa siku tatu mbele ya jopo la mahakimu bwana john utamwa bwana saul kinemela na bwana sam rumanyika mahakama hiyo ilikubaliana na sababu za upande wa utetezi kuwa kwa sasa hawawezi kuwataja mashahidi wake kwa kuwa hawajui kitakachofumka ndani ya kesi hiyo baada ya mashahidi wa upande wa mashitaka kutoa ushahidi wao uamuzi huo ulifikiwa baada ya busara za mahakama kutumika na kutumia muda mrefu UNK upande wa utetezi kuhusiana na malumbano hayo ya kisheria ambayo yalilenga UNK waraka wa aliyekuwa jaji mkuu francis nyalali UNK pande zote mbili kutaja mashahidi wake katika hatua za awali tunadhani tulikuwa na kazi kubwa ya kusikiliza kesi hii na sio malumbano UNK upande wa utetezi UNK kazi na upande wa mashitaka ambao umesema kuwa kama hamjui kilichomo ndani ya kesi kwa sasa hamuwezi kuwataja mashahidi hao mpaka baada ya kumalizika kusikilizwa kwa mashahidi hao alisema bwana john utamwa mwenyekiti wa jopo la UNK awali akijibu hoja za upande wa mashitaka wakili wa bwana mramba bwana herbert nyange alisema kuwa upande wao una wasiwasi wa kutishwa kwa mashahidi wao endapo UNK mapema kwa kuwa kesi hiyo ni ya serikali ambayo UNK vyombo vingi vya dola na washitakiwa hawawezi kushindana na serikali kutajwa kwa mashahidi wa serikali ni sawa kwa kuwa wateja wetu kwanza hawana uwezo wa kuwatisha mashahidi hao ambao wengi wao wanatoka idara mbalimbali serikalini na hivyo kutishwa kwa mashahidi wetu UNK pale pale endapo watatajwa alisema bwana nyange wakili mkuu wa serikali aliutaka upande wa mashtaka kuchagua moja ama kutaja mashahidi wake au kusema hawajui kitakachofumka ndani ya kesi ili waachwe mpaka mashahidi wa mashitaka UNK ushahidi wake hatua hiyo ya bwana boniface iliwafanya upande wa utetezi kuomba mahakama UNK mashahidi hao kwa madai ya kutojua kilichomo ndani ya kesi na hatua hiyo wataifanya baada ya kukutwa na kesi ya kujibu baada ya upande wa utetezi kuomba kufanya hivyo mahakama iliamuru kuwa malumbano kuhusiana na waraka wa jaji mkuu UNK kando na kesi itaendelea kusikilizwa kwa mashahidi wa upande wa mashitaka mbali na hayo washitakiwa wote akiwemo bwana gray mgonja aliyekuwa katibu mkuu wa fedha wameruhusiwa kusafiri nje ya mkoa wa dar es salaam kwa shughuli zao ambapo kwa upande wa bwana mramba atakwenda jimboni kwake kutembelea wapiga kura na kazi zingine za bunge washitakiwa wote wanakabiliwa na mashitaka ya kuingiza hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba kwa serikali kutokana na matumizi mabaya ya ofisi ambapo walitoa misamaha ya kodi kwa kampuni ya alex UNK adhabu ya kifo iliyotolewa kwa watu watatu wilayani kahama mkoani shinyanga baada ya kupatikana na hatia ya kumuua albino imepokewa kwa hisia tofauti na wanaharakati na wanasheria baadhi UNK wengine UNK kuwa UNK haki za binadamu kituo cha sheria na haki za binadamu kimesema kuwa mahakama kuu kanda ya shinyanga imetekeleza sheria mbovu katika kutoa hukumu ya washitakiwa wa mauaji ya mlemavu wa ngozi kwani mshitakiwa UNK haki ya msingi ya kuishi kikatiba kauli hiyo ilitolewa jana dar es salaam na mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binaadamu bwana francis kiwanga ofisini kwake wakati akitoa maoni yake juu ya adhabu ya kifo iliyotolewa jaji gabriel rwakibalila juzi waliohukumiwa ni masumbuko madata mkazi wa kijiji cha ituga wilayani bukombe bwana emmanuel masangwa mkazi wa kijiji ca bunyihuna na bwana charles masangwa mkazi wa kijiji cha nanda bukombe baada ya kupatikana na hatia kumuua kwa albino matatizo dunia bwana kiwanga alisema hukumu hiyo ni sahihi kwa kuwa imefuata taratibu na matakwa ya kisheria lakini sheria inayotoa dhabu ya kifo ni miogoni mwa sheria mbovu na katili UNK katiba na haki za binadamu hatuwezi kuilaumu mahakama kwa kutoa adhabu hiyo kwa kuwa mahakama inapaswa kutafsiri na kutumia sheria zilizopo tatizo ni katika adhabu yenyewe jamii haipati lolote kutoka katika kuwaua wauaji na hilo ndilo UNK alisema bwana UNK alisema adhabu ya kifo ni adhabu UNK kwa kuwa kila rais anayeongoza tanzania anakwepa UNK kunyongwa kwa watu hao kulingana na takwimu za tanzania zaidi ya miaka kumi na tano iliyopita hakuna mshitakiwa UNK licha ya kuwa adhabu hiyo inatolewa mara kwa mara fikiria sasa jamii itapoteza watu wengine watatu wakati UNK mmoja je familia na jamii ya kijana aliyeuawa inapata nini kutoka katika adhabu ya kifo alilalamika kuwa baadhi ya wafungwa wamekuwa wakiishi maisha ya taabu kutokana na kuhukumiwa adhabu hiyo muda mrefu na kushindwa kutekelezwa tofauti ya wale UNK albino na hawa UNK UNK kwa sasa kwa sababu wote watakuwa wameua UNK adhabu mbadala kwa mfano kifungo cha maisha gerezani ili UNK taifa na si kuuawa alisema pia alisema kuwa katika mila na desturi za watanzania hakuna hata kabila moja lenye hukumu ya kuua alisema kuwa mtu anapopatikana na hatia hata ya kuua UNK fidia na adhabu nyingine kama njia mbadala akizungumzia hilo mwanasheria maarufu profesa abdallah safari alisema kuna ushahidi wa aina mbili ushahidi wa moja kwa moja na ushahidi wa mazingira na kama jaji alifuata ushahidi wa mazingira kuwatia hatiani washitakiwa ni sawa washitakiwa wanayo nafasi ya kukata rufaa profesa safari alisema adhabu ya kifo imekuwa UNK na baadhi ya majaji na wanaharakati wakidai kwamba ni adhabu ya kinyama lakini kuna swali la kujiuliza nani mnyama kati ya mshitakiwa aliyeanza kuua na huo uamuzi wa UNK wakili damas ndumbaro akizungumzia hukumu hiyo alisema ni nzuri na muhimu kwa wakati huu kwani sheria inatakiwa kuondoa matatizo yaliyopo katika jamii naye wakili evarist UNK alisema watuhumiwa kutokuwepo eneo la tukio sio kigezo cha mahakama kuwaachia huru lakini kwa mujibu wa jaji kulikuwa na dosari katika ushahidi UNK na kisheria kunapokuwa na shaka lolote uamuzi hutolewa kwa manufaa ya mshitakiwa alisema hajajua hiyo shaka ina ukubwa kiasi gani kumfanya jaji kutozingatia matakwa ya sheria kwa sababu katika ushahidi wa kimazingira tahadhari kubwa inapaswa kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kuwepo ushahidi mwingine wa kuunga mkono katibu mkuu shura ya maimamu shekhe ponda issa ponda akizungumzia hilo alisema adhabu ni sawa na kwa kuwa imefuata taratibu wanakubaliana na uamuzi wa mahakama kwani hata katika dini UNK kuwa washitakiwa UNK wanastahili kuuawa shekhe ponda alisema jamii haipaswi kuangalia uzito wa adhabu badala yake waangalie athari zinazoweza kupatikana kutokana na utekelezaji wa adhabu hiyo UNK ni uamuzi wa waziri mkuu bwana mizengo pinda kwamba UNK naye auawe papo hapo kawaida katika dini na sheria inapaswa UNK kwanza kama mshitakiwa alitenda kosa alisema imeandikwa na UNK katimba kulwa mzee na makumba mwemezi tahadhari iliyotolewa na waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa daktari husein mwinyi kuwa mbagala siyo salama kwa kuishi UNK jana baada bomu kulipuka na kuua watoto wawili na wengine watatu kujeruhiwa bomu hilo liliibua upya vilio na simanzi kwa wakazi wa mbagala na kuwakumbusha tukio la aprili ishirini na tisa mwaka huu ambapo ghala la jeshi la ulinzi wa wananchi wa tanzania UNK na kusabisha vifo vya watu ishirini na sita tukio la jana lilitokea mbagala kizuiani na kusababisha vifo vya watoto wawili jirani regina chawala na rajabu said na kuwajeruhi asha suleman na sada suleman ambao walitibiwa katika hospitali ya temeke na kuruhusiwa huku mwenzao stella chawala akiendelea kulazwa katika hospitali ya taifa UNK mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi aliwaambia waandishi wa habari katika hospitali ya temeke kuwa mbali na maafa hayo kwa watoto mlipuko huo UNK uharibifu wa mali bwana lukuvi alisema timu ya wataalam kutoka polisi na jeshi la wananchi walifika eneo la tukio ili kubaini chanzo cha mlipuko na aina ya bomu UNK inawezekana bomu hilo lilikuwa eneo hilo kwa muda mrefu hivyo UNK takataka likapata joto na kulipuka alisema na kuongeza kuwa uchunguzi wa awali umeonesha kuwa tukio hilo ni ajali kama ajali zingine kama ilivyokuwa kwa maafa ya awali lukuvi aliahidi kuwa serikali itagharamia gharama za matibabu ya watoto waliojeruhiwa na zile za mazishi ya UNK hivi karibuni daktari mwinyi alisema mbagala siyo mahali salama kwa kuishi kutokana na kuwepo uwezekano mkubwa wa mabomu yaliyosambaa kutokana na tukio la aprili ishirini na tisa hata hivyo ushauri huo wa daktari mwinyi UNK na baadhi ya wakazi wa mbagala bomu hilo lililipuka huku daktari mwinyi akiwa ameahidi kujiuzulu endapo itabainika kuwa milipuko ya aprili ishirini na tisa ilitokana na uzembe wa kiutendaji hatima ya daktari mwinyi kujiuzulu au la itajulikana baada ya ripoti ya uchunguzi wa tukio hilo UNK na maofisa wa jwtz na wizara ya ulinzi UNK hadharani mlipuko huo wa jana ulitokea saa mbili asubuhi na mashuhuda walisema kuwa ulisababishwa na takataka zilizokuwa zikichomwa moto bibi eva paul ambaye ni mama wa asha na sada ambao waliojeruhiwa alisema baada ya kusikia mlipuko alitoka nje na kuwakuta watoto hao wametapakaa damu ndipo UNK hospitali mashuhuda hao walisema mpangaji katika nyumba ya bibi UNK komba ambaye jina lake halikupatikana alikuwa akifanya usafi na baada ya kumaliza UNK takataka na kuzichoma moto walieleza kuwa muda mfupi baada ya takataka hizo kuchomwa moto ndipo ulitokea mlipuko wa bomu uliosababisha vifo na majeruhi kwa watoto waliokuwa wakicheza karibu na eneo hilo vifo vya watoto hao UNK idadi ya waliokufa kutokana na mlipuko wa mabomu kufikia ishirini na nane katika tukio la mlipuko wa kwanza walikufa raia ishirini na wanajeshi sita wakati wa UNK ya aprili ishirini na tisa serikali iligharamia matibabu na mazishi ya waliokufa lakini imekuwa UNK na kugharimia matukio ya ajali za kawaida baadhi ya wananchi waliozungumza na gazeti walihoji iweje serikali UNK gharama ya kuwatibia na kuzika waliokufa kama tukio hilo la jana ni la ajali ya kawaida huku kwenye ajali nyingine imekuwa UNK UNK diwani wa mbagala bwana anderson chale aliwaambia waandishi wa habari kuwa umefika wakati wa kuunda kamati maalumu ya kutafuta masalia ya mabomu maeneo yote ya mbagala vinginevyo yataendelea kuangamiza maisha ya watu naye diwani wa mbagala bwana chale alisema baada ya kutokea milipuko ya kwanza maoafisa wa jwtz walianza kutafuta mabaki ya mabomu yaliyosambaa lakini baadaye UNK tena askari wa jwtz walifika mapema katika eneo la tukio na kuweka uzio wa kuonesha kuwa eneo hilo ni la hatari huku wakiendelea na uchunguzi wa kubaini chanzo cha mlipuko huo tukio hilo limekuja wakati serikali ikitumia shilingi bilioni nane tano kuwalipa fidia wakazi wa mbagala walioathirika na milipuko ya aprili ishirini na tisa mwaka huu katika kambi ya jwtz mbagala kizuiani katika fedha hizo shilingi bilioni mbili nne UNK kwa ajili ya nyumba mia mbili na thebathini na tano UNK kabisa ambazo zinatakiwa kujengwa upya shilingi bilioni nne sita kwa ajili ya fidia ya nyumba nane mia tisa na sabini ambazo UNK lakini hazifai kukaliwa na vitu vingine UNK shilingi milioni hamsini na moja mbili UNK siri ya ugomvi wake na mwakipesile adai kiongozi huyo anafanya kazi ya mafisadi ataka atambue kwamba yeye ni rc na siyo mc mbunge wa jimbo la kyela mkoani mbeya daktari harrison mwakyembe amesema kuwa tatizo UNK kati yake na mkuu wa mkoa wa mbeya bwana john mwakipesile ni harakati zake za kutaka kumnggoa katika jimbo la kyela jambo ambalo UNK alisema kuwa kazi UNK bwana mwakipesile katika jimbo lake ni sawa na kuuza kofia za polisi ambazo hazinunuliki na kwamba anajisumbua anajidhalilisha na kujifedhehesha licha ya kutumwa na mafisadi kwa ajili ya kufanya kazi hiyo daktari mwakyembe alitoa kauli hizo za kejeli alipozungumza na gazeti hili kujibu hoja za bwana mwakipesile kuwa mbunge huyo anapotoshwa na wapambe wake wanaompa taarifa za uongo na kwamba hajawahi kuwaomba wazee wa mbeya ili UNK ni lazima bwana mwakipesile atambue kuwa yeye ni rc na siyo mc kwa maana ya msema chochote mkuu wa mkoa mmoja kati ya wakuu wa mikoa ishirini na moja kuzungumza magazetini kila siku UNK wabunge wanaopambana na ufisadi ni dalili ya UNK ninalazimika kusema kuwa mwenzetu anahitaji ushauri nasaha waandishi UNK bwana mwakipesile ili kujua UNK na mbunge gani mkoani mbeya alisisitiza daktari mwakyembe daktari mwakyembe aliongeza kuwa kila mtu anatambua kuwa bwana mwakipesile anashinda kyela kufanya kampeni za kuhakikisha kuwa UNK mwaka ishirini moja sifuri katika uchaguzi mkuu na kwamba serikali inatambua jambo hilo hili tatizo UNK tabu hata kidogo kwa sababu kazi anayofanya ni kama kuuza kofia za polisi mali ambazo hazinunuliki anajisumbua anajidhalilisha na kujifedhehesha alisema daktari mwakyembe alisema kuwa alipata kura asilimia tisini na tatu katika uchaguzi mkuu mwaka ishirini sifuri tano lakini anashangazwa na kauli aliyoitoa bwana mwakipesile katika gazeti hili kwamba wapambe ndio UNK na kumtaka atambue kuwa wapambe hao ni wananchi wote wa kyela tatizo la bwana mwakipesile UNK sana na mafisadi ambao UNK kama wakala hiyo kazi waliyompa kwa kyela ni ngumu UNK ni sawa na kuuza kofia za polisi kwa wananchi hivyo ni lazima atambue kuwa mimi ni mti UNK UNK dawa alisisitiza daktari mwakyembe alisema kuwa yeye alikuwa nje ya nchi na amerudi juzi ndipo UNK mwenzake akiongea hovyo katika vyombo vya habari huku akitoa malalamiko kwamba yeye ndiye anayekwamisha maendeleo ya mkoa wa mbeya alipoulizwa kiini cha mgogoro kati yake na bwana mwakipesile unasababishwa na nini daktari mwakyembe alisema kuwa yeye hana mgogoro wowote na mkuu huyo wa mkoa bali yeye rc huyo anayekwamisha maendeleo ya mkoa huo kutokana na muda wote kukaa kyela kwa lengo la kumwondoa mbunge mwaka ishirini moja sifuri akizungumzia madai ya kutaka kuuawa alisema kuwa huo ni uongo na kwamba UNK maneno barabarani na kuyafanyia kazi aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi wa benki kuu ya tanzania bwana amatus liyumba amebwaga mzigo wa upotevu wa mabilioni ya fedha kwa bodi wa wakurugenzi wa benki hiyo iliyokuwa ikiongozwa na gavana bwana daud balali bwana liyumba alifikia hatua ya kusema hayo jana wakati wa usikilizwaji wa hoja za awali katika kesi inayomkabili ya kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya majengo pacha ya bot bila idhini ya bodi mbele ya jopo la mahakimu wanaoongozwa na bwana edson mkasimongwa aliiambia mahakama kuwa hakuna fedha iliyokuwa inaweza kutolewa au kufanyika kwa mabadiliko yoyote ya mradi bila ya kupitia na kuridhiwa na bodi hiyo hakuna fedha iliyokuwa ikilipwa bila bodi kujua na kama bodi ilijua kuwa mimi na balali tumebadili yaliyokubaliwa ndani ya mkataba wa majengo pacha na bodi ikashindwa kuchukua hatua basi bodi hiyo ilikuwa ni useless alisema bwana liyumba kauli hiyo ya liyumba ilikuja baada ya upande wa mashitaka kumtuhumu kuwa yeye na marehemu balali walibadili makubaliano ya ujenzi huo na kufanya gharama za mradi huo kuongezeka kwa asilimia mia nne na themanini hatua iliyoisababishia hasara serikali ya tanzania kwa mujibu wa sheria ya bot bodi ya wakurugenzi inaongozwa na gavana na kwa nafasi yake liyumba hakuwa mjumbe alisema kuwa mabadiliko yote ya mradi yaliyofanywa yalipelekwa kwenye bodi na ilibariki mchakato wote huo kwa kuwa mradi huo ulikuwa ukisimamiwa na meneja mradi lakini pia mshauri wa mradi nashangaa kuambiwa haya kwani mradi huu ulikuwa na meneja mradi ambaye hata hapa hajatajwa lakini mbali na hayo balali ndo alikuwa mwenyekiti wa bodi hivyo inashangaza kusikia mimi nilifanya mabadiliko hayo alisema bwana liyumba awali upande wa mashitaka ukisoma maelezo ya kesi hiyo ulidai kuwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini ilitolewa hoja ya ujenzi wa ofisi mpya za bot na michoro ya jengo hilo iliandaliwa na kampuni ya d s ltd na mradi huo ulijulikana kama kumi mirambo ilidaiwa kuwa hoja ya ujenzi wa ofisi mpya ilikuja baada ya ofisi za benki hiyo kuungua moto mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nne lakini ilipofika mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa bwana balali alitoa hoja ya ujenzi wa majengo pacha hivyo mchora michoro aliambiwa kubadili michoro hiyo ili kukidhi matakwa hayo mkataba wa mradi huo ulisainiwa juni ishirini na tano ishirini sifuri mbili kati ya bot na kampuni ya ukandarasi ya group five east ltd kwa gharama za dola za marekani milioni sabini na tatu mradi ambao ulitakiwa umalizike ndani ya miaka mitatu ilidaiwa kuwa bwana liyumba alikuwa na jukumu la kusimamia mradi huo lakini bila kupata idhini ya bodi akishirikiana na bwana balali walibadili makubaliano ya awali ya mkataba huo na kuongeza baadhi ya mambo ikiwemo kutoka ghorofa kumi na nne hadi kumi na nane kwa kila jengo ilidaiwa kuwa mabadiliko haya yalibadili gharama za awali na kuwa dola za marekani mia moja na hamsini na tatu sifuri saba saba mia saba na kumi na tano sabini na tano hoja ambazo zilikanushwa na bwana liyumba baada ya kusomwa kwa maelezo hayo na upande wa mashitaka kutaka kuwasilisha baadhi ya vilelezo ikiwemo mkataba wa mradi huo upande wa utetezi ulipinga vikali na nyaraka hizo kuwekwa sehemu ya vitu vinavyobishaniwa ambavyo vitataka mashahidi mbali na hiyo upande wa mashitaka pia uliomba kupewa muda kwa ajili ya kuangalia ni mashahidi gani ambao watawaita kutokana na mambo yaliyobishaniwa mahakamani hapo kwa upande wa utetezi ulisisitiza kutajwa kwa mashahidi hao pia kupewa maelezo ya mlalamikaji wa kesi hiyo ambaye alisababisha mteja wao kufikishwa mahakamani hapo kutokana na hoja hizo idadi ya mashahidi wa upande wa mashitaka watatajwa oktoba mosi mwaka huu serikali UNK zaidi ya shilingi bilioni thebathini na tatu nane kwenye halmashauri mbalimbali hapa nchini kwa ajili ya malipo ya walimu wa shule za msingi na sekondari yanayotakiwa kukamilika octoba kumi na tano mwaka huu uamuzi huo una lengo la kuharakisha na kumaliza madeni ya walimu yanayohusiana na likizo matibabu kujikimu na marekebisho ya mishahara UNK kulingana na madai UNK uhakiki kwa utaratibu wa ana kwa ana chini ya usimamizi wa makatibu tawala wa mikoa yote nchini waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bibi celina kombani aliyasema hayo jana dar es salaam alipokuwa akitoa taarifa juu ya walimu wapya walioripoti katika mamlaka za serikali za mitaa na malipo ya madai wa walimu alisema kuwa ofisi yake imechukua hatua hiyo kwa lengo la kukabiliana na kero mbalimbali za walimu nchini ambazo zimekuwa UNK mara kwa mara na walimu hao bibi kombani amewataka wakurugenzi wa halmashauri kuwa makini katika zoezi hili ili kuondoa uwezekano wa kuwepo kwa malalamiko mengine yasiyokuwa na sababu za msingi halmashauri zinaweza kupitisha malipo hayo moja kwa moja kwenye akaunti zao binafsi lakini ni muhimu walimu wahusika UNK kuhusu utaratibu huo alisema na kusisitiza uwazi na uwajibikaji katika kutekeleza zoezi la ulipaji wa madai ya walimu akizungumzia suala la walimu wapya alisema serikali imedhamiria kulitekeleza na kuondoa kabisa kero ya walimu wapya kuchelewa kuingizwa kwenye mfumo wa malipo yaani payroll hivyo inajitahidi kuhakikisha walimu UNK walioripoti kwenye mamlaka za serikali za mitaa wanalipwa mishahara yao ya mwezi septemba sanjari na watumishi wengine walioko kwenye mamlaka hizo alisema kuwa ofisi yake UNK kuwa halmashauri nyingi UNK vizuri walimu hao na kuwalipa posho za kujikimu kwa wakati kama UNK nawasihi walimu wote wapya waripoti na kuendelea kufanya kazi katika mamlaka walizopangiwa ili kuondoa uwezekano wa kukosa mishahara yao alisema alisema kuwa ofisi yake UNK walimu na watumishi wote wanaoajiriwa na mamlaka za serikali za mitaa kwamba itaendelea kuboresha mapokezi na utoaji wa huduma kwa watumishi hao na watumishi wengine wote wakiwamo walimu rais mstaafu wa awamu ya pili ali hassan mwinyi maarufu kama mzee ruksa amejikuta akilia kwa kwikwi huku akibubujikwa na machozi na kufanya viongozi alioambatana nao kuanza kumbembeleza baada ya kusikia kauli za kugusa hisia walizotoa walemavu wa viungo waliopewa msaada wa baiskeli hali hiyo UNK juzi kwenye kijiji cha ndungu wilayani same ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za uzinduzi wa wodi ya watoto katika kituo cha afya ndungu iliyojengwa na mbunge wa same mashariki bibi anne kilango malecela sanjari na uzinduzi wa wodi hiyo iliyojengwa kwa shilingi milioni sabini na tano kati yake shilingi milioni tano zikiwa zimechangwa na wananchi walemavu thebathini na mbili walikabidhiwa baiskeli ili ziweze kuwasaidia kwenda sehemu mbalimbali mzee mwinyi UNK sifa kemkem kwa wananchi kutokana na sera zake za kulegeza masharti ya bishara na UNK jina la ruksa alipewa jukumu la kukabidhi baiskeli hizo na watu hao wenye ulemavu wakatoa shukurani kwa UNK ya kuvuta hisia UNK machozi kiongozi huyo walemavu tulikuwa tunakosa fursa nyingi ikiwemo za kwenda kupiga kura kutokana na kutengwa na jamii ndugu kutotaka UNK UNK nje kwa kuwa ni aibu kwa familia lakini kwa viongozi pia UNK kwa kushindwa kutupa msaada wa aina yeyote ukiwemo wa kujiendeleza kiuchumi lakini mbunge wetu mama anne kilango amekuwa kama mkombozi wetu tofauti na wabunge wote waliopita ambao UNK kama kuna kundi moja UNK la walemavu wa viungo lakini kwa kutupa baiskeli hizi UNK tuwe na uwezo wa kwenda kupiga kura alisema bwana charles kaoneka mkazi wa kijiji cha UNK maneno hayo ndiyo yaliyomfanya mzee mwinyi UNK na machozi na kuwafanya baadhi ya viongozi alioambatana nao walie akiwemo kaimu mkuu wa wilaya ya same bwana athuman mdoe mbunge wa viti maalumu mkoa wa kilimanjaro bibi UNK raymond na mwenyekiti wa ccm wilaya ya same bwana UNK UNK mzee ruksa alimmwagia sifa bibi kilango akisema kuwa uongozi ni fani na kipawa hivyo viongozi lazima wawe na sifa hizo ndiyo waweze kuwaongoza wananchi vizuri lakini kama kuna watu wataingia kwenye uongozi bila sifa hizo UNK alisema chanzo cha ufisadi ni viongozi kukosa sifa za namna hiyo mama kilango ni kiongozi wa kweli na ameweza kuongoza wananchi wake kwa kuwa uongozi ni fani na kipawa aliyekosa kipawa hicho UNK kiongozi mzuri kwa kuwa ameingilia shughuli za watu ndiyo maana unasikia kiongozi fulani ni fisadi alisema mzee mwinyi na kuongeza ufisadi ni sawa na chuya ndani ya mchele inakuwa ni kitu kimoja kimoja lakini mwingi ni mchele hivyo hiyo ni hila ya chuya sio ya mchele na ccm vivyo hivyo yenyewe ni safi na viongozi wake ni wasafi lakini ndani yake kuna chuya na ukiamua kuondoa chuya unaweza kwa kuwa ni chache na UNK na mchele mzuri alisema mzee mwinyi akizungumza na UNK huku akilia bibi kilango alisema UNK ni kuona wananchi wake ni maskini huku baadhi ya viongozi wachache ndani ya serikali na ccm UNK rasilimali ya nchi kwa manufaa yao huku jamii kubwa ya watanzania UNK umasikini wa wananchi wangu ndiyo UNK niwe mkali bungeni wengi wa wananchi wa vijijini ni masikini na najua serikali yao haina uwezo wa kuwahudumia kwa kila kitu hivyo UNK mtu anakula rushwa ama kufanya ufisadi kamwe UNK na nitapambana nao hadi kufa alisema bibi kilango katika kituo hicho cha afya bibi kilango UNK wodi ya watoto kukarabati wodi ya wazazi na kuweka njia za kuunganisha wodi na wodi ili kuwawezesha wagonjwa UNK kwa urahisi na kujikinga na mvua na jua inaelekea kwamba mabomu yanayozidi kulipuka na kuleta maafa katika eneo la mbagala kizuiani karibu na kambi ya jeshi la wananchi wa tanzania UNK serikali na sasa imelazimika kuunda tume mpya ya kufuatilia mabomu hayo tume hiyo mpya UNK watalaamu wa jwtz polisi na usalama wa taifa ni ya tatu tangu maafa hayo yatokee aprili mwaka huu na iliundwa jana na mkuu wa mkoa wa dar es salaam william lukuvi kuchunguza masalia ya milipuko ya mabomu yaliyotokea aprili ishirini na tisa mwaka huu kwa mujibu wa lukuvi watalaamu hao watapita sehemu zote wakiwa na vifaa maalumu vya kubaini wakianza na mbagala kizuiani ili kutafuta hata vipande vidogovidogo vilivyosalia ardhini leo tumeunda tume ikiongozwa na jeshi la wananchi polisi na usalama wa taifa ili kuchunguza masalia ya mabomu yaliyosambaa ambao watapita sehemu zote wakiwa na vifaa maalumu vya kubaini mabomu wakianza na mbagala kizuiani ili kutafuta hata vipande vidogovidogo vilivyosalia ardhini alisema bwana lukuvi lukuvi alisema kuwa wameamua kuunda tume hiyo baada ya kubaini kuwa bado kuna masalia ya mabomu ardhini kauli UNK sawa na ile iliyowahi kutolewa na jwtz na waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa daktari hussein mwinyi kuwa eneo la mbagala si salama pia daktari mwinyi aliwahi kusema kuwa serikali itatumia UNK maalumu ya kutambua masalia hayo na kukusanya mabomu UNK hatua ambayo UNK matokeo yake tume hiyo ya lukuvi ni ya tatu baada ya zile zilizoundwa baada ya tukio la aprili ishirini na tisa mwaka huu moja ikiwa na kutafuta chanzo cha milipuko hiyo na nyingine ya kutathmini athali za milipuko hiyo hasa uharibifu wa mali tume ya kutafuta chanzo cha milipuko hiyo UNK ripoti yake kwa daktari mwinyi lakini UNK hadharani wakati ile ya UNK iliwekwa hadharani kuwa shilingi bilioni nane tano zinahitajika kuwalipa fidia walioathirika na milipuko hiyo mkuu wa mkoa alisema tukio lililotokea juzi na UNK vifo vya watoto wawili na kujeruhi wengine watatu limeonesha kuwa mabomu hayo yalisambaa katika eneo kubwa na yanahitaji utalaamu zaidi na kuwapatia vifaa vya kisasa ili kubaini masalia hayo hata hivyo bwana lukuvi aliongeza kuwa timu hiyo ina vifaa vya kutosha na wataalamu UNK katika kuchunguza mabomu ya ardhini aliwataka wananchi kutoa taarifa kwa wataalamu hao kama wanatilia shaka sehemu UNK ili kurahisisha shughuli hiyo wananchi wote wanatakiwa kuchukua tahadhari ni sio kwa watu wa mbagala peke yake kwa kuwa mabomu hayo yalisambaa sehemu kubwa ya dar es salaam na hatuwezi kujua UNK mpaka wapi hivyo watoe taarifa mara wanapokutana na chuma au kitu kisicho cha kawaida alisema vile vile aliwataka wananchi wa mbagala UNK mashimo yasiyo na kazi na kutafuta sehemu maalumu ya UNK takataka pia kukaa mbali pindi kunapokuwa UNK UNK wakati huo huo hali ya mtoto stella chawala aliyelazwa katika hospitali ya taifa muhimbili kutokana na mlipuko wa mabomu uliotokea juzi imeendelea kuwa mbaya na sasa amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum baada ya kufanyiwa upasuaji akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam ofisa uhusiano wa hospitali ya taifa muhimbili bwana jezza waziri alisema hali ya mtoto huyo bado ni tete tangu juzi alipofikishwa hapo na kufanyiwa upasuaji sehemu kadhaa UNK hali bado ni tete na hasa baada ya kufanyiwa upasuaji ila madaktari wanafanya jitihada za kuokoa maisha yake na amewekwa icu kwa uangalizi maalum alisema katika hatua nyingine watoto waliokufa juzi regina chawala na rajab saidi walizikwa jana huku serikali UNK shughuli zote za mazishi yao majeruhi UNK na kuruhusiwa juzi katika hospitali temeke ni asha selemani na sada selemani ambapo hali zao zinaendelea vizuri hadi sasa watu ishirini na nane wamekufa kutokana na milipuko ya mabomu yaliyotokea aprili ishirini na sita mwaka huu na kujeruhi watu kadhaa na kuzua hofu kwa wakazi wa mbagala imeandikwa na godfrida jola benjamin masese na husna ridhiwan msekwa UNK yaliyotokea kenya zimbabwe cuf yasema UNK huo ni usanii chama cha mapinduzi UNK na kutangaza kuwa UNK machafuko yaliyotokea kenya na zimbabwe yatokee zanzibar ndipo UNK serikali ya umoja wa kitaifa visiwani humo kauli hiyo ya ccm imetolewa huku zikiripotiwa vurugu za mara kwa mara visiwani humo za kupinga utaratibu wa uandikishaji wananchi kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kutokana na vikwazo katika UNK wa vitambulisho vya ukaazi kiasi cha kusababisha jeshi la polisi kutumia mabomu kutuliza hali hiyo akihojiwa katika kipindi cha jambo tanzania UNK dar es salaam jana na televisheni ya taifa makamu mwenyekiti wa ccm bwana pius msekwa alisema kuwa chama chake UNK kuwa zanzibar kuna tatizo UNK kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa tatizo ni mfumo tulionao mtu akishindwa kwa kura chache anabaki nje ya serikali alisema bwana msekwa na kutahadharisha kuwa UNK matatizo yatokee kama ya zimbabwe na kenya ndipo iundwe serikali ya kitaifa hayo ndiyo UNK alitolea mfano uchaguzi wa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano ambapo mgombea wa ccm daktari salmin amour ilipata ushindi wa asilimia hamsini mbili na chama kilichofuatia UNK asilimia arobaini na tisa nane kikawa nje ya serikali hii siyo hali nzuri alionya bwana msekwa bwana msekwa UNK kutolea mfano tofauti iliyokuwepo kwa upande wa baraza la wawakilishi akisema chama kimoja kilikuwa na wawakilishi ishirini na tisa na kingine ishirini na nne hata hivyo alisema matatizo ya zanzibar UNK leo bali ni ya tangu nchi hiyo UNK uingereza ambapo kwenye uchaguzi wa kwanza zilitokea vurugu na kwa kumbukumbu zake watu thebathini walikufa bwana msekwa alisema hali ya kutokubali matokeo iliendelea na utulivu uliokuwepo uliletwa na mfumo wa chama kimoja uliokuwa UNK mfumo huu wa vyama vingi UNK matatizo ndipo UNK mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano tukapata muafaka lakini UNK mafanikio mwaka ishirini sifuri tano muafaka UNK tunaendelea alisema bwana msekwa lakini kauli hiyo ya bwana msekwa UNK kwa shingo upande na chama cha cuf na UNK kuwa ni usanii wa kisiasa mkurugenzi wa mawasiliano ya umma wa cuf bwana salim biman alisema mpango huo ni usanii wa kisiasa kwanza hatuwezi kumwamini kwa kuwa UNK na mwenyekiti wake bwana biman alisema cuf haiwezi kukaa kwenye mazungumzo tena kwa kuwa muafaka UNK na kinachosubiriwa ni utekelezaji UNK muundo wa serikali ya umoja utakavyokuwa wao walienda butiama wakarudi na pendekezo la kura za maoni kama wanataka wakutane makatibu wakuu wa vyama kwa ajili ya utekelezaji alisema bwana biman muafaka ulitolewa na chama cha cuf UNK ndiyo makubaliano ya kamati ya muafaka na ccm unaitaka katiba ya zanzibar iwe na kifungu UNK kuwa naibu wa kwanza wa rais ni mjumbe wa baraza la mapinduzi baraza la mawaziri kwa mujibu wa makubaliano hayo ambayo ccm UNK kutakuwa na msaidizi mkuu wa rais kuhusu mambo yote ya zanzibar ambaye atamsaidia rais kufuatilia utekelezaji wa siku hadi siku wa mambo ya muungano katika zanzibar pia kikatiba ndiye atafanya kazi zote UNK na rais na UNK urais wakati rais hayupo nchini pia kutakuwa na manaibu wawili wa rais naibu wa kwanza UNK chama cha pili katika uchaguzi na naibu wa pili atakayetoka chama sawa na UNK rais pia UNK kuwa rais atashirikiana na naibu wa kwanza wa rais katika uundaji wa baraza la mawaziri baraza la mapinduzi na nafasi zipi chama chake UNK kupata muda wa kushika madaraka wa mtu aliyechaguliwa kuwa naibu wa kwanza wa rais utakuwa sawa na ule wa rais na mazingira ya kuacha madaraka yatakuwa sawa na yale yanayomhusu rais UNK kwamba kiti cha naibu wa kwanza wa rais kikawa wazi kutokana na masharti hayo ya kikatiba rais UNK mtu mwingine UNK na chama cha siasa UNK naibu wa kwanza wa rais aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo kuwa naibu wa kwanza wa rais kwa muda UNK mbali na kuzungumzia umuhimu ya serikali ya umoja wa kitaifa bwana msekwa alisema malumbano ambayo yamekuwa yakiendelea ndani ya baraza la wawakilishi na bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania yanadhohofisha nguvu za chama na kukifanya kishindwe kuelekea UNK kwenda malumbano yanadhohofisha nguvu ya pamoja ya kutaka kuelekea kule tunapotaka kuelekea alisema bwana msekwa alisema kutokana na hali hiyo ndiyo maana mwenyekiti wa ccm kwa kutumia busara zake aliamua kuunda kamati ili kufuatilia hali hiyo na kutoa mapendekezo ya kuiondoa aliongeza kuwa hatua ya kikao cha halmashauri kuu ya taifa kukutana na kuunda kamati ambayo yeye ni mjumbe ni utaratibu wa kawaida ndani ya chama wengine wanaounda kamati hiyo ni bwana abdulrahaman kinana na rais mstaafu mzee ali hassan mwinyi anayeiongoza hii siyo kwamba imetokea mara ya kwanza kwenye nec miaka yote tumekuwa tukizungumzia hali ya siasa katika kikao kilichopita UNK macho yetu katika malumbano yaliyotokea katika baraza la wawakilishi na bungeni alisema watoto wenye makengeza kutoka mikoa yote ya tanzania wametakiwa kufika katika hospitali ya taifa muhimbili kwa ajili ya kupata matibabu ya ugonjwa huo bure rai hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na daktari christine mataka wa kitengo cha macho katika hospitali hiyo alipokuwa akitoa taarifa ya wagonjwa waliojitokeza kwa mkoa wa dar es salaam kwa kipindi cha wiki tatu alisema tangu walipotangaza kutoa tiba hiyo dar es salaam kwa watoto wenye umri usiozidi miaka kumi na tano ni watoto kumi na tano tu waliojitokeza kupata huduma hiyo watoto hao walifanyiwa uchunguzi kwa kushirikiana na madaktari kutoka marekani na kumi na mbili kati yao walibainika kuwa na makengeza watatu walikutwa na matatizo mengine ya macho ambayo hayahusiani na makengeza daktari mataka alisema kuna wagonjwa mbao wana makengeza lakini pia jicho au macho yote yanakuwa hayaoni hivyo hata akifanyiwa upasuaji hataweza kuona kwa wenye macho yasiyoona hatuwafanyii haraka upasuaji sababu hauna manufaa kwao kwani hata akifanyiwa bado atakuwa haoni isipokuwa sura yake itakuwa imekaa vizuri kwa mwonekano alisema alisema wanaofanyiwa haraka upasuaji ni wale wenye makengeza na macho yao yanaona kama kawaida akizungumzia watoto wachanga alisema akibainika ana makengeza hushauri asifanyiwe upasuaji haraka hadi atakapokua kidogo kwani akifanyiwa mapema macho yanarudia kupinda tena baada ya miaka mitano hadi sita kufuatia tangazo hilo wagonjwa zaidi wanaendelea kujitokeza na watoto kutoka mikoa mbalimbali wanaruhusiwa kufika kwa ajili ya kupata huduma hiyo baada ya kupata rufaa katika hospitali za mikoa wanamoishi hata hivyo alisema si lahisi huduma hiyo kutolewa mikoani kwani wako wachache na vifaa wanavyotumia ni vikubwa ambayo ni usumbufu kuvisafirisha UNK risasi mmoja UNK gari wasichana wawili wanusurika kifo polisi wadai hawana mafuta vocha majambazi yakiwa na bunduki jana yalimvamia msichana na kumjeruhi vibaya kaka yake maeneo ya sinza UNK jijini dar es salaam katika tukio linaloweza kufananishwa na mchezo wa kuigiza sakata hilo lilitokea eneo hilo usiku wa kuamkia juzi ambapo watu wawili wakiwa na bastola UNK mabinti wawili ambao majina yao hayakuweza kupatikana waliokuwa ndani ya gari lililokuwa limeegeshwa nje ya nyumba ya mama abdul mkazi wa sinza kumekucha katika tukio hilo ambalo iliwachukua polisi wa kituo cha mabatini kijitonyama zaidi ya saa nzima kufika eneo la tukio abdalah amrani mtoto wa mama abdul alijeruhiwa kwa risasi na majambazi hayo watu walioshuhudia tukio hilo wakiwemo mabinti hao UNK vitu na majambazi hayo pamoja na mama abdul walisema mpaka sasa UNK nia ya majambazi hayo ilikuwa ni nini majambazi hao walifuatilia nyendo za mabinti hao na jinsi ambavyo hawakuonesha nia ya kupora gari hilo lakini wakaonekana kutaka pochi na simu walizokuwa nazo mabinti hao baada ya kuwa UNK kioo cha gari kwa kutumia nyundo na kisha kuanza kutoa vitisho vya kuwapiga risasi kabla UNK na watu akizungumza na gazeti hili mama abdul alisema akiwa yuko sebuleni kwake katika muda wa saa sita usiku alisikia honi ya gari getini kwake UNK watoto wake aliambiwa kuwa hao rafiki zake na watoto wake waliokuwa wamekwenda UNK mmoja wa mabinti wa mama huyo kwenda UNK kwa kweli mpaka sasa hatuwezi kuelewa nini hasa ilikuwa nia ya watu hao kwa sababu kwa mujibu wa watu waliokuwa nje walisema kuwa walishushwa na gari aina ya prado iliyokuwa UNK upande ambako mabinti zangu hao walikuwa wameelekeza gari baadaye UNK alisema kuwa dulla alipofungua geti hakuweza kuelewa haraka kilichokuwa kikiendelea pale hivyo aliuliza kilichokuwa kikiendelea pale na kuwataka watu wale waondoke mara moja eneo hilo aliongeza kuwa wakati watu hao wakiondoka mmoja wa walinzi wa maeneo hayo akawa amejitokeza kutoa ushirikiano wa kutaka kumkamata mmoja wao ndipo jambazi mmoja aliyekuwa na bunduki UNK risasi UNK dulla mguuni eneo la paja kwa upande wao mabinti UNK na kuporwa fedha taslimu shilingi sitini sifuri sifuri sifuri pamoja na vitu vingine vyenye thamani kama vile simu za mkononi alisema kuwa kitu cha ajabu UNK kufungua milango majambazi wale walitumia nyundo kupasua kioo na kuwaamuru UNK pochi na simu zao za mkononi huku wakiwa UNK mmoja wao bastola UNK wakizungumzia jinsi walivyopata msaada wa polisi walisema walishangazwa jinsi askari hao UNK muda mrefu kufika eneo la tukio hata baada ya kuwa wameenda kuripoti mapema kituo cha mabatini kwa kisingizo kuwa magari hayakuwa na mafuta na wala hawakuwa na vocha kwa ajili ya kuwapigia simu wakubwa wao kupata maelekezo zaidi kauli za kuwa gari halina mafuta na kutokuwa na vocha zilikuwa UNK mara kwa mara huku wakitaka mwanangu UNK maelezo ndio apatiwe pf tatu wakati yuko katika hali mbaya mpaka UNK basi mimi UNK hapo ili UNK hospitali UNK kuondoka kwa mujibu wa mama abdul hali ya dulla ilikuwa inaendelea vizuri katika hospitali ya taifa muhimbili na alitarajiwa kuruhusiwa wakati wowote jana hiyo baada ya kuonekana risasi UNK sehemu ya UNK wowote mgogoro UNK kati ya mwekezaji katika mashamba ya chai yaliyoko katika mikoa ya iringa na tanga umechukua sura mpya baada ya ikulu ya dar es salaam kuhusishwa nao mwekezaji huo nawab mulla ambaye ndiye mmiliki mwenye hisa nyingi katika kampuni ya chai lupembe iliyoko njombe mkoani iringa na mponde iliyoko korogwe tanga UNK uzalishaji kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa baada ya kundi la watu wanaojiita mungiki kuvamia viwanda hivyo kujeruhi watu na kupora mali ya mamilioni ya shilingi serikali iliuza viwanda vya chai vilivyokuwa chini ya mamlaka ya chai tanzania ambapo mulla pamoja na wawekezaji wengine UNK kwa kufuata taratibu zote kupitia tume ya rais ya kurekebisha mashirika ya umma lakini machi na agosti mwaka jana mungiki walianza uvamizi huo katika msitu wa sakare uliopo korogwe na ule wa iyembele njombe UNK kuni za kukaushia chai hiyo mgogoro wa hivi karibuni umeibuka baada ya waandishi wa habari watano waliokwenda kufuatilia sakata hilo kupigwa na kujeruhiwa na mungiki kabla hawajafika kwenye kiwanda cha lupembe kilichoko njombe julai kumi na tano mwaka huu ambapo hadi leo hakuna hatua UNK dhidi ya wahalifu hao UNK malalamiko yetu hadi kwa igp mwema akaahidi kulishughulikia ndani ya siku kumi na nne lakini hakuna kinachoendelea ila tumeambiwa na mmoja wa maafisa polisi iringa kwamba munguki hawawezi kutishika kwa sababu wanakingiwa kifua na wakubwa ikulu alisema carlos UNK mmoja wa waandishi waliojeruhiwa vibaya katika vurugu hizo mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai robert manumba alipoulizwa kuhusu sakata hilo hakutaka kulizungumzia na badala yake alimwelekeza mwandishi wa habari hizi kuwasiliana na makamanda wa polisi wa mikoa kuhusika alipoulizwa juzi kamanda wa polisi wa mkoa wa iringa UNK mangalla alisema mmoja wa watuhumiwa hao alikamatwa na kufikishwa kortini na kwamba polisi inafanya uchunguzi kuhusu wengine waliohusika kuwajeruhi waandishi kuhusu mungiki kukingiwa kifua na vigogo alisema hana uhakika hili suala UNK mara kwa mara tumemkamata mmoja na kumfungulia mashitaka kuhusu watuhumiwa kulindwa na wakubwa hilo sina uhakika nalo alisema UNK hata hivyo walioshuhudia tukio hilo wanasema UNK waandishi wapo kiwandani hapo hawawezi kuguswa kwa kuwa wana kinga ya ikulu na kwamba ndio maana polisi wanashindwa kwenda UNK machi mwaka jana kundi la mungiki lilivamia msitu wa sakare ulioko korogwe na kusababisha kiwanda cha chai mponde nusura kifungwe lakini UNK na ushirika wa wakulima wa chai wa lushoto utega wakiongozwa na william shelukindo mbunge wa bumbuli ccm kujitolea kutafuta vyanzo vingine vya kuni kwa ajili ya kusindika chai agosti mwaka jana kundi hilo UNK mashambulizi yao katika kiwanda cha chai lupembe iringa wakafanya uharibifu mkubwa wa miundombinu na kusababisha kifungwe hadi leo mwaka jana mahakama kuu ya ardhi UNK kampuni ya udalali ya yono kuwaondoa wavamizi kwenye kiwanda cha chai lupembe lakini maafisa wa kampuni hiyo waliambulia kipigo na kupewa matibabu lakini cha ajabu hakuna mungiki UNK hadi leo hisia kwamba mungiki hao wanaweza kuwa wanakingiwa kifua na baadhi ya vigogo ikulu inaelezwa na ukweli kwamba hakuna hatua zinazochukuliwa dhidi ya watuhumiwa na pili kutokana na ukweli mwingine kwamba katibu mkuu kiongozi philemon luhanjo alitoa kauli iliyoashiria kuwapa nguvu mungiki luhanjo ambaye hivi karibuni alikuwa akizungumza kwenye msiba wa chifu mbanga ambaye ni babake khamis chifupa kijijini kwake lupembe gerezani aliwahamasisha vijana kumuenzi chifu UNK chifu mbanga alikuwa mlezi wa mungiki ambao wengi wao ni wanachama wa vyama vya wakulima lupembe katibu huyu kiongozi pia anatuhumiwa kumpigia simu mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya lupembe tea estate yussuf mulla akimtaka kuruhusu kuuzwa kwa miti katika msitu wa iyembele unazalisha kuni za kukaushia chai huku mgogoro ukiwa bado UNK ufumbuzi hata hivyo UNK alinukuliwa na gazeti moja la kila wiki hivi karibuni akikanusha habari hizo kwamba mungiki UNK na ikulu na kwamba habari hizo UNK na watu wachache wenye lengo la kumharibia jina kisiasa wafuatiliaji wa sakata hilo wanasema kwamba mungiki pia UNK na wafanyabiashara wenye maslahi katika biashara ya chai ambao wanaotumia siasa na hujuma kuwamaliza mwenzao kibiashara na kisiasa mulla ambaye pia ni mwenyekiti wa ccm mkoani mbeya anasema amepata hasara kubwa kwa kuwa amewekeza jumla ya shilingi bilioni tano kwenye miradi hiyo ambayo imefungwa na kwamba wafanyakazi zaidi ya kumi na tano sifuri sifuri sifuri wamekosa ajira tanga na iringa anasema kila anapolalamika anaambiwa uzalishaji hauwezi kuanza kwa sababu ya machafuko ya hali ya siasa lakini mbona maeneo mengine yenye vurugu za uwekezaji polisi wanachukua hatua nahisi kuna watu wanataka kutupora mali iliyopatikana kihalali kwa sababu tu za kisiasa analalamika UNK ni kupitia mchongo wa watumishi moja mia tano na kumi na moja hata waliokufa UNK mabilioni kiaina waziri UNK aapa kuwaburuta vigogo kortini serikali imepoteza shilingi bilioni nne arobaini na nane kwa kuwalipa mishahara wafanyakazi hewa wa sekta ya afya moja mia tano na kumi na moja wakiwemo waliokufa wastaafu waliohamishwa na ambao hawajulikani walipo wafanyakazi hao hewa wamebainika kutokana na uhakiki uliofanywa na ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma kati ya aprili na julai mwaka huu ambapo wizara ya afya na ustawi wa jamii inaongoza kwa kuwa na watumishi mia tatu na tisini na tano hayo yalisemwa dar es salaam na waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma bibi hawa ghasia alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana alisema kiasi hicho cha shilingi bilioni nne arobaini na nane UNK kulipa wafanyakazi hao hewa tangu mwaka ishirini sifuri tano hadi machi mwaka huu tatizo la kuwepo kwa watumishi hewa limeonekana kuwa sugu waajiri walio wengi wanashindwa kuwatafuta watumishi walio katika orodha ya malipo ya mishahara alisema bibi ghasia bibi ghasia alisema hospitali ya taifa muhimbili inashikilia nafasi ya pili kwa kuwa na watumishi hewa mia tatu na sitini na nne mikoa mingine na watumishi hewa kwenye mabano kama ilivyoainishwa na bibi ghasia ni arusha tanga tabora pwani ruvuma mwanza lindi sabini na moja iringa na morogoro alitaja mikoa mingine kuwa ni dodoma kagera kilimanjaro manyara mbeya shinyanga dar es salaam singida mara mtwara na kigoma alisema watumishi hao hewa waligundulika kutokana na uhakiki uliofanyika wizara ya afya hospitali za rufaa hospitali za mikoa hospitali za mshirika ya dini hospitali teule hospitali za wilaya vyuo taasisi za afya wakala vituo vya afya na zahanati bibi ghasia alisema waliogundulika wakilipwa mishahara wakati hawafanyi kazi kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo kufariki kustaafu kuacha kazi na kuhamia taasisi nyingine alisema wengine wamebainika wamekuwa wakilipwa mishahara mikubwa kuliko stahili zao alifafanua kuwa tatizo hilo linachangiwa kwa kiasi kikubwa na ukosefu wa uwajibikaji miongoni mwa wenye dhamana ya masuala ya UNK serikali itachukua hatua kali kwa wale wote watakaobainika kushiriki kwa namna moja au nyingine na kusababisha watumishi hewa kuingizwa kwenye malipo ya mishahara serikalini alisema bibi ghasia aliwaagiza waajiri kuangalia suala zima la watumishi ili kuondoa upotevu wa fedha za serikali zinazolipwa kwa watu ambao UNK taifa hii ni mara ya pili kwa serikali ya awamu ya nne kufanya uhakiki wa watumishi tangu iingie madarakani uhakiki wa kwanza ulifanyika katika sekta ya elimu mwaka juzi ambapo waligundulika watumishi hewa moja mia nne na kumi na tatu ambao walikuwa wameisababishia UNK hasara ya shilingi bilioni tatu sifuri nne nne watumishi wa sekta ya afya na elimu kwa pamoja wameisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni saba tisa bibi ghasia alisema uhakiki kama huo kwa sasa unaendelea kufanyika katika sekta ya sheria ambapo watumishi wa mahakama zote UNK boti mpya UNK uwezo wa kuchukua abiria hamsini sifuri imezinduliwa jijini dar es salaam na itakuwa inafanya safari kati ya dar es salaam unguja na pemba pamoja na uzinduzi huo wamiliki wa boti hiyo wameiomba serikali kuangalia upya kodi za vipuri vya magari na boti ili kusaidia kupunguza gharama za usafiri kwa wananchi ushauri huo ulitolewa jijini juzi na meneja mkuu wa kampuni za azam marine na coastal fast marine bwana hussein mohamed issa katika uzinduzi wa boti mpya ya kilimanjaro inayomilikiwa na kampuni ya azam uliofanyika bandarini jijini dar es salaam alisema kuwa wawekezaji wengi katika usafirishaji wamekuwa wakijitahidi kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa bei nafuu lakini suala hilo linashindikana kutokana na kodi ya vipuri kuwa kubwa bwana issa alisema kuwa ni boti hiyo ni mpya na ya kisasa ikiwa UNK katika madaraja matatu upande wa viongozi v p na daraja la kawaida boti hii UNK kwa oda maalumu kutoka australia na ilichukua muda wa miezi nane kutengenezwa ina kila kitu mpaka huduma kwa wagonjwa ambapo kwa wale UNK wagonjwa wana uhakika wa kupata sehemu nzuri yenye usalama ni boti yenye thamani kubwa kiasi kwamba baadhi ya nchi nyingi afrika hawana kama hii alisema aliongeza kuwa katika utengenezaji wamezingatia watu wenye ulemavu na huduma kwao vikiwamo vyoo viwili kwa ajili yao mbali na fundi UNK na masuala ya umeme kutoka australia bwana matt francis hakuna UNK wa kigeni UNK boti hiyo kapteni ni yule yule bwana clement UNK na mafundi ni walewale na wafanyakazi wote ni watanzania hakuna mgeni alisisitiza meneja huyo chama cha demokrasia na maendeleo kimesema hakitambui muungano wa uliofanywa kati ya wanachama wake na wale wa chama cha wananchi juu ya kuachiana mitaa katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika octoba ishirini na tano mwaka huu afisa habari na uenezi bwana erasto tumbo kuwa chama hakitambui muungano huo UNK mwenyekiti wa UNK mtaa wa picha ya ndege lulanzi mkoani pwani bwana jumanne mohamed bwana tumbo alisema makao makuu ya chama haitambui muungano huo kwa kuwa hatua hiyo imefikiwa bila idhini ya makao makuu chama chetu hakitambui jambo hilo na UNK wagombea katika kila mtaa na hatupo tayari kuacha sehemu eti kwa UNK ya chama fulani kina nguvu katika eneo fulani huu siyo msimamo wa chama alisema bwana tumbo alisema maamuzi yaliyofanywa na kiongozi huyo yalikuwa ni ya kwake binafsi na chama UNK mgombea kila mtaa ili kushindana na vyama vingine mohamed alikaririwa na gazeti hili juzi akisema juzi kuwa chama chake mtaa wa picha ya ndege lulanzi UNK na cuf kuachiana mitaa ambayo chama kinakubalika ili kuongeza nguvu katika uchaguzi wa serikali za mitaa alisema vyama hivyo katika eneo hilo vipo katika mchakato wa kubaini chama kipi kinakubalika wapi na yeye amesimamishwa kugombea nafasi hiyo picha ya ndege lulanzi UNK mtaa wa UNK UNK kwa mgombea wa cuf na gladness mboma kamati ya bunge ya nishati na madini imemtaka waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja kuwasilisha taarifa za siri UNK pamoja na mikataba ya mgodi wa almasi wa UNK uliopo shinyanga kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika ndani ya kamati hiyo iliyokutana dar es salaam jana bwana ngeleja alitakiwa kupeleka taarifa zilizojitosheleza baada ya kuwasilisha ripoti inayohusu mgodi huo ambayo UNK kwa UNK ripoti tumeipokea lakini UNK hata kidogo hivyo tumemtaka bwana ngeleja UNK nyingine na kutuletea taarifa kamili tumemtaka pia UNK taarifa za siri zilizojitosheleza na mikataba ya mgodi wa wdl kwani ripoti nzima haijitoshelezi kilisema chanzo hicho bwana ngeleja UNK wabunge katika maelezo yake baada ya kuwaeleza kuwa kampuni ya petra diamonds limited ambayo imenunua kampuni ya willcroft UNK asilimia sabini na tano bila ya kutolea ufafanuzi kamati imemtaka bwana ngeleja kutupa ufafanuzi ni kwa nini kampuni hiyo ichukue asilimia sabini na tano kuna mkanganyiko mkubwa katika ripoti hii UNK sisi watanzania tutavuna nini kwenye mgodi huo chanzo hicho UNK pia kamati UNK na deni kubwa la dola za marekani milioni themanini na saba tano lililoachwa na willcroft ambalo serikali inapaswa UNK kabla ya kununuliwa na petra diamonds limited tatizo ni kwamba wawakilishi wa serikali kwenye wdl hawajawahi kuhudhuria kikao hata kimoja na ndio maana kampuni hiyo iko kifua mbele uzembe huu ni wa kujitakia alisema wawakilishi wa serikali kwenye kampuni ya wdl UNK vikao kumi baadhi ya wawakilishi hao ni bwana fred mpendazoe bibi lucy mayenga na wengine kutoka wizara za nishati na madini na fedha na uchumi alisema hali hiyo ndiyo inayosababisha sekta hiyo ya madini kulegalega na baadhi ya kampuni kufaidika na madini huku serikali ikiachiwa mzigo mkubwa wa UNK awali kamati hiyo iliruhusu waandishi wa habari kuingia katika kikao hicho baada ya bwana ngeleja kusoma ripoti yake aliiomba kamati hiyo kuijadili wenyewe bila ya waandishi mvutano mkali uliibuka kati ya wabunge wa kamati hiyo ambao baadhi yao walitaka waandishi wabaki na wengine wakitetea kauli ya bwana ngeleja ambaye alisisitiza mwenyekiti atatoa taarifa kwa waandishi baada ya kumalizika kwa kikao hicho jambo ambalo wabunge hao UNK kwa shingo upande licha ya serikali kutafuta mabomu yanayoendelea kulipuka na kusababisha maafa mbagala panya waliohitimu digrii ya kutegua mabomu katika chuo kikuu cha kilimo sokoine UNK eneo hilo kusaidia kubaini mahali yalipo kwa sababu wanaweza kuchanganyikiwa akizungumza na gazeti hili kwa simu juzi mratibu wa mradi huo upande jeshi la wananchi wa tanzania brigedia jenerali charles UNK alisema panya hao UNK kubaini mabomu UNK kwa mpangilio maalumu na ambayo yanakuwa hayajalipuka wanafanya kazi katika eneo ambalo halina alama ya mlipuko kama kuna mlipuko UNK alisema brigedia jenerali UNK gazeti hili lilitaka kujua kama panya hao kwa sasa watapelekwa mbagala kufanya kazi ya utambuzi wa mabomu kufuatia kupungua kwa milipuko ikilinganishwa na ilivyokuwa aprili ishirini na tisa mwaka huu hivyo kuondoa uwezekano wa panya kuchanganyikiwa wasimamizi wa mradi huo waliwahi kulieleza gazeti hili wakati mabomu yalipokuwa UNK kwa wingi kuwa kwa hali ilivyokuwa kama wangepelekwa wangeweza kuchanganyikiwa panya hao UNK kufanyakazi ya uteguaji mabomu ya kutegwa ardhini kwa ufanisi nchini msumbiji uchunguzi wa kutumia panya kunusa na kuashiria UNK mabomu umetokana na faida mbalimbali alizonazo panya ikilinganishwa na wanyama wengine wataalam mbalimbali wanaeleza kuwa udogo wa panya huwafanya kuwa karibu zaidi na ardhi na uwezo mkubwa wa kunusa hivyo kuwa rahisi kwake kutambua mabomu utafiti huo unafanyika kwa ushirikiano mkubwa wa wataalamu wa milipuko wa jeshi la wananchi wa tanzania na unaoendeshwa chini ya mkataba wa ushirikiano baina ya sua na chuo kikuu cha UNK cha ubelgiji na shirika la kujitolea la uondoaji wa mabomu ya kutengwa ardhini mwisho mwendesha pikipiki bwana rajabu saidi mkazi wa minazi mirefu wilaya ya ilala UNK na UNK na kufariki dunia muda mfupi baada ya UNK na kutoka UNK tukio hilo lilitokea juzi saa kumi na moja jioni wakati said akitokea eneo la migombani alipojaribu UNK reli na pikipiki kuzimika ghafla huku treni ikiwa imekaribia eneo hilo akiwa UNK kuvuta pikipiki yake bila mafanikio huku mashuhuda waliokuwepo UNK mayowe kumtaarifu kukimbia lakini kabla UNK hatua ghafla UNK na kumburuza kama mita tano na baadaye kusimama mwili wa marehemu UNK UNK mkono miguu na upande mmoja wa kichwa kujeruhiwa vibaya ulipelekwa hospitali ya amana marafiki wa marehemu walisema kuwa pikipiki hiyo alikuwa UNK kwa jitihada zake mwenyewe na kuanza kuifanyia biashara katika kituo cha UNK kwenda temeke kiwalani na sehemu zingine wazazi wa marehemu walipata mshutuko baada ya kupata taarifa za kifo hicho na kuzimia kwa muda hadi jana tukio hilo halikuwa katika taarifa zilizotolewa na polisi na afisa mmoja alisema hawakuwa na tukio hilo watoto wenye makengeza kutoka mikoa yote ya tanzania wametakiwa kufika katika hospitali ya taifa muhimbili kwa ajili ya kupata matibabu ya ugonjwa huo bure rai hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na daktari christine mataka wa kitengo cha macho katika hospitali hiyo alipokuwa akitoa taarifa ya wagonjwa waliojitokeza kwa mkoa wa dar es salaam kwa kipindi cha wiki tatu alisema tangu walipotangaza kutoa tiba hiyo dar es salaam kwa watoto wenye umri usiozidi miaka kumi na tano ni watoto kumi na tano tu waliojitokeza kupata huduma hiyo watoto hao walifanyiwa uchunguzi kwa kushirikiana na madaktari kutoka marekani na kumi na mbili kati yao walibainika kuwa na makengeza watatu walikutwa na matatizo mengine ya macho ambayo hayahusiani na makengeza daktari mataka alisema kuna wagonjwa mbao wana makengeza lakini pia jicho au macho yote yanakuwa hayaoni hivyo hata akifanyiwa upasuaji hataweza kuona kwa wenye macho yasiyoona hatuwafanyii haraka upasuaji sababu hauna manufaa kwao kwani hata akifanyiwa bado atakuwa haoni isipokuwa sura yake itakuwa imekaa vizuri kwa mwonekano alisema alisema wanaofanyiwa haraka upasuaji ni wale wenye makengeza na macho yao yanaona kama kawaida akizungumzia watoto wachanga alisema akibainika ana makengeza hushauri asifanyiwe upasuaji haraka hadi atakapokua kidogo kwani akifanyiwa mapema macho yanarudia kupinda tena baada ya miaka mitano hadi sita kufuatia tangazo hilo wagonjwa zaidi wanaendelea kujitokeza na watoto kutoka mikoa mbalimbali wanaruhusiwa kufika kwa ajili ya kupata huduma hiyo baada ya kupata rufaa katika hospitali za mikoa wanamoishi hata hivyo alisema si lahisi huduma hiyo kutolewa mikoani kwani wako wachache na vifaa wanavyotumia ni vikubwa ambayo ni usumbufu kuvisafirisha mwisho zikiwa zimepita zaidi ya wiki tatu tangu chama cha demokrasia na maendeleo UNK mfumo wa UNK UNK kupata wanachama kupitia ujumbe wa simu na mtandao wa kompyuta bado UNK huo haujaanza kutumika katibu mkuu wa chadema daktari wilbroad slaa wapo hatua ya mwisho ya kukamilisha utaratibu huo UNK kuanza kutokana na mambo ya kitaalamu mfumo huo ulizinduliwa septemba tatu mwaka huu katika ukumbi wa shule ya sekondari ya mbezi beach na mwenyekiti wa chama hicho bwana freeman mbowe akitamba kuwa UNK chadema kuvuna mamilioni ya wanachama lakini hadi sasa haujaanza kutumika kwa mujibu wa bwana mbowe chama chake kitakuwa ni cha kwanza afrika kutumia mfumo huo ambao umekuwa ukitumiwa na vyama vingi katika nchi zilizoendelea akizungumza na majira kwa njia ya simu jana daktari slaa alisema mfumo huo uko katika hatua za mwisho kwani sasa kilichobaki ni mambo ya data base tumekuwa tukipata simu na ujumbe mfupi kutoka kwa wanachama wetu kutoka katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu mfumo huo lakini tumekuwa UNK kwa bado mambo ya kitaalamu yanafanyiwa kazi na iwapo UNK tutaweka bayana alisema daktari slaa alisema hawezi kutoa siku kamili ya kuanza kufanya kazi kwa mfumo huo kwani yeye si mtalaamu lakini watakapomaliza kufanya kazi hiyo itatangazwa katika vyombo vya habari ili wanachi wote waelewe nini kinachofuata baada ya uzinduzi huo alisema mfumo huo utawezesha wanachama kujiunga na chadema kwa wingi kwani ndio mfumo unaotumiwa na vyama vingi nchini marekani daktari slaa alisema mpango huo utakiwezesha chama hicho kuwa na oganaizesheni ya kiteknolojia sanjari na oganaizesheni yake ya sasa ya matawi na vikao vyake vya UNK bwana slaa alisema kama mtu anayetaka kujiunga na chadema iwapo mfumo huo utakapokamilika atalazimika kutuma ujumbe mfupi wa simu yake ya mkononi kwa kuandika neno chadema kwenda namba elfu kumi na tano na mia saba na kumi na baada ya kufanya hivyo atakuwa UNK kiasi hicho cha shilingi thebathini sifuri kila mwezi mwisho aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi wa benki kuu ya tanzania bwana amatus liyumba amebwaga mzigo wa upotevu wa mabilioni ya fedha kwa bodi wa wakurugenzi wa benki hiyo iliyokuwa ikiongozwa na gavana bwana daud balali bwana liyumba alifikia hatua ya kusema hayo jana wakati wa usikilizwaji wa hoja za awali katika kesi inayomkabili ya kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya majengo pacha ya bot bila idhini ya bodi mbele ya jopo la mahakimu wanaoongozwa na bwana edson mkasimongwa aliiambia mahakama kuwa hakuna fedha iliyokuwa inaweza kutolewa au kufanyika kwa mabadiliko yoyote ya mradi bila ya kupitia na kuridhiwa na bodi hiyo hakuna fedha iliyokuwa ikilipwa bila bodi kujua na kama bodi ilijua kuwa mimi na balali tumebadili yaliyokubaliwa ndani ya mkataba wa majengo pacha na bodi ikashindwa kuchukua hatua basi bodi hiyo ilikuwa ni useless alisema bwana liyumba kauli hiyo ya liyumba ilikuja baada ya upande wa mashitaka kumtuhumu kuwa yeye na marehemu balali walibadili makubaliano ya ujenzi huo na kufanya gharama za mradi huo kuongezeka kwa asilimia mia nne na themanini hatua iliyoisababishia hasara serikali ya tanzania kwa mujibu wa sheria ya bot bodi ya wakurugenzi inaongozwa na gavana na kwa nafasi yake liyumba hakuwa mjumbe alisema kuwa mabadiliko yote ya mradi yaliyofanywa yalipelekwa kwenye bodi na ilibariki mchakato wote huo kwa kuwa mradi huo ulikuwa ukisimamiwa na meneja mradi lakini pia mshauri wa mradi nashangaa kuambiwa haya kwani mradi huu ulikuwa na meneja mradi ambaye hata hapa hajatajwa lakini mbali na hayo balali ndo alikuwa mwenyekiti wa bodi hivyo inashangaza kusikia mimi nilifanya mabadiliko hayo alisema bwana liyumba awali upande wa mashitaka ukisoma maelezo ya kesi hiyo ulidai kuwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini ilitolewa hoja ya ujenzi wa ofisi mpya za bot na michoro ya jengo hilo iliandaliwa na kampuni ya d s ltd na mradi huo ulijulikana kama kumi mirambo ilidaiwa kuwa hoja ya ujenzi wa ofisi mpya ilikuja baada ya ofisi za benki hiyo kuungua moto mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nne lakini ilipofika mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa bwana balali alitoa hoja ya ujenzi wa majengo pacha hivyo mchora michoro aliambiwa kubadili michoro hiyo ili kukidhi matakwa hayo mkataba wa mradi huo ulisainiwa juni ishirini na tano ishirini sifuri mbili kati ya bot na kampuni ya ukandarasi ya group five east ltd kwa gharama za dola za marekani milioni sabini na tatu mradi ambao ulitakiwa umalizike ndani ya miaka mitatu ilidaiwa kuwa bwana liyumba alikuwa na jukumu la kusimamia mradi huo lakini bila kupata idhini ya bodi akishirikiana na bwana balali walibadili makubaliano ya awali ya mkataba huo na kuongeza baadhi ya mambo ikiwemo kutoka ghorofa kumi na nne hadi kumi na nane kwa kila jengo ilidaiwa kuwa mabadiliko haya yalibadili gharama za awali na kuwa dola za marekani mia moja na hamsini na tatu sifuri saba saba mia saba na kumi na tano sabini na tano hoja ambazo zilikanushwa na bwana liyumba baada ya kusomwa kwa maelezo hayo na upande wa mashitaka kutaka kuwasilisha baadhi ya vilelezo ikiwemo mkataba wa mradi huo upande wa utetezi ulipinga vikali na nyaraka hizo kuwekwa sehemu ya vitu vinavyobishaniwa ambavyo vitataka mashahidi mbali na hiyo upande wa mashitaka pia uliomba kupewa muda kwa ajili ya kuangalia ni mashahidi gani ambao watawaita kutokana na mambo yaliyobishaniwa mahakamani hapo kwa upande wa utetezi ulisisitiza kutajwa kwa mashahidi hao pia kupewa maelezo ya mlalamikaji wa kesi hiyo ambaye alisababisha mteja wao kufikishwa mahakamani hapo kutokana na hoja hizo idadi ya mashahidi wa upande wa mashitaka watatajwa oktoba mosi mwaka huu chama cha wananchi kimesema wakati wa maandamano yake keshokutwa UNK baadhi ya barabara za jiji la dar es salaam ili kushinikiza kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi na kutungwa kwa katiba mpya ambayo UNK wigo kwa demokrasia nchini akizungumza jana dar es salaam katika kongamano la wanachama wa cuf katibu mkuu wa chama hicho seif sharif hamad alisema maandamano hayo yataanzia katika barabara ya uhuru bibi titi na maktaba hadi kwa msajili wa vyama vya siasa bwana john tendwa alisema kuwa maandamano hayo yatakuwa ya kihistoria UNK kuwa wananchi wamechoshwa na ubovu wa tume ya taifa ya uchaguzi ambayo imekuwa kichaka cha chama tawala katika maandamano yetu tunatoa wiki mbili kwa bwana tendwa kumaliza UNK hilo kama sivyo tutaandamana tena hadi ofisi ya waziri mkuu na UNK pia huko tutaandamana usiku na mchana hadi ikulu kuhakikisha tunapata haki yetu ya msingi alisema bwana seif alisema kuwa lengo la maandamano hayo pia ni kutaka kuuonyesha mkutano wa bunge la jumuiya ya madola unaoanza leo mpaka oktoba nne mjini arusha kutambua kuwa tanzania hakuna demokrasia akizungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa alisema kuwa wananchi wanatakiwa kupewa haki ya kujiandikisha bila vikwazo na uhuru wa kuwachagua viongozi wanaowataka ili kuepusha migogoro ya kisiasa kwa upande wa kasoro zilizojitokeza katika shughuli za uboreshaji wa daftari la wapiga kura alisema ni chuki za kupandikizwa na baadhi ya viongozi na kutaka kuwanyima wananchi haki yao ya msingi ya kupiga kura katika uchaguzi wa wawakilishi naye mkurugenzi uenezi na mahusiano ya umma cuf bibi ashura mustafa UNK baada ya maandamano dar es salaam septemba thebathini oktoba moja UNK na wenzetu morogoro UNK tume huru ya uchaguzi kuundwa na kutupatia majibu ya kuridhisha kwa kile tunachokidai alisema bibi mustafa mwisho makamu mwenyekiti wa ccm bwana pius msekwa UNK mkono kazi inayofanywa na kikundi cha wabunge wapambanaji wa ufisadi na kusisitiza kuwa kinafuata nyayo za wabunge waliotangulia bwana msekwa ambaye kwa nyakato tofauti amewahi kuwa katibu wa bunge na spika wa bunge alitoa kauli hiyo dar es salaam jana wakati akihojiwa katika kipindi cha medani za siasa kilichorushwa na star tv kuwa na kikundi cha wabunge wachache wa kupambana na uovu siyo jambo baya alisisitiza bwana msekwa ambaye ni mjumbe wa kamati ya nec inayochunguza mahusiano ya wabunge wa ccm na serikali yao akiwa pamoja na abdulrahaman kinana na rais mstaafu ali hassan mwinyi anayeiongoza aliongeza kusema kuwa wakati akiwa spika ndani ya bunge kulikuwa na kikundi cha wabunge wachache wa kupambana na ukimwi chini ya bibi UNK UNK na kingine cha wabunge wachache kilichokuwa UNK na rushwa chini ya uongozi wa mbunge wa kibaha mjini bibi zainab gama sasa kuna uovu unaoitwa ufisadi kazi inayofanywa na kikundi cha wabunge hao kupambana na uovu huo ni sahihi kikundi hicho kinafuata nyayo za vikindi vilivyotangulia alisema bwana msekwa bwana msekwa alitoa kauli hiyo huku ndani ya ccm kukiwa na wanasiasa UNK vita wabunge wapambanaji wa ufisadi huku kukiwa na taarifa kuwa kikao cha halmashauri kuu ya taifa ya ccm iliyokutana hivi karibuni UNK azimio UNK kuwaziba midomo wabunge UNK wa ufisadi katika kikao hicho wabunge wapatao ishirini na mbili walichangia mada ya hali ya siasa na kumshambulia spika wa bunge samuel sitta na UNK kikundi chake cha wabunge wanaopambana na ufisadi kuwa UNK ccm na kuiweka pabaya serikali hivyo kutaka UNK kadi yake ya uanachama jambo ambalo UNK mjadala huo ni tuhuma za baadhi ya wanasiasa wa chama hicho tawala wakiwamo waliokuwa mawaziri UNK na ufisadi na hasa katika kashfa ya ukodishaji wa mitambo ya kuzalisha umeme wa dharura kutoka kwa kampuni tata ya richmond kundi hilo limekuwa likifanya chini juu na wakati mwingine kwa kutumia fedha nyingi kuhakikisha vita dhidi yao UNK na wabunge wanaopambana dhidi yake UNK wabunge ambao wamekuwa wakiendesha mapambano dhidi ya ufisadi wakiongozwa na sitta ni lucas selelii wa nzega daktari harrison mwakyembe wa kyela anne kilango malecela wa same mashariki aloyce kimaro wa vunjo james lembeli fredy mpendazoe wa kishapu na john shibuda wa maswa wabunge hao wake nyakato tofauti wamekuwa wakiapa UNK midomo yao hadi ufisadi UNK lakini siku chache baada ya ccm kutoa tamko la kuwabana UNK vikali na chama hicho kuwa katika wakati mgumu viongozi wa juu wa chama hicho wamegeuka na kuanza kuunga mkono harakati za wabunge hao wa kwanza kuzungumzia suala hilo ni mwenyekiti wa ccm rais jakaya kikwete UNK katibu na nec itikadi na uenezi john chiligati katibu mkuu yusuf makamba UNK hadi utambo na kumpigia debe spika sitta kwa kazi yake nzuri na sasa msekwa kujitokeza kwa msekwa na kutoa kauli hiyo UNK siku moja baada ya mzee mwinyi maarufu kama mzee ruksa anayeongoza kamati ya nec kukaririwa UNK mbunge wa same UNK anne malecela kwa UNK wake wa kupambana na na ufisadi mzee ruksa alikwenda mbali zaidi akisema mafisadi UNK kwenye nafasi za uongozi na sasa UNK mwisho nyaraka zote za uchaguzi mkuu wa rais na wabunge mwaka ujao UNK na idara ya mpigachapa mkuu wa serikali badala ya kuchapishwa nje ya nchi kama ilivyokuwa awali waziri katika ofisi ya waziri mkuu bwana UNK marmo alisema jana jijini dar es salaam kuwa hatua hiyo imechukuliwa ili kudhibiti wizi wa nyaraka za serikali na kuhakikisha usahihi wake bwana marmo alisema hayo alipozungumza na wafanyakazi wa idara hiyo baada ya kutembelea mitambo ya uchapaji inayosimamiwa na mpigachapa mkuu wa serikali na kuongeza kwamba serikali imejipanga vizuri kuhakikisha mitambo mipya ya kisasa UNK ili kutimiza lengo hilo alisema mitambo hiyo itakuwa na uwezo kubandika alama na namba za siri ili kudhibiti wizi na kwamba mpigachapa mkuu wa serikali na maafisa wa tume ya taifa ya uchaguzi UNK kutazama namna bora ya kufanikisha kazi hiyo pia alisema serikali itahakikisha wizara na idara zote UNK nyaraka zote kwa mpigachapa mkuu wa serikali ikiwa ni hatua ya kutunza siri za serikali na kudhibiti wizi wa nyaraka hizo akizungumzia suala hilo mpigachapa mkuu wa serikali bwana cassian UNK aliwataka wafanyakazi kutunza siri za serikali na kuonya kwamba watakaobainika UNK siri hizo watachukuliwa hatua za kisheria mara moja kuna wafanyakazi hapa UNK kwa sababu tu ya tamaa UNK wapo wezi wapo na ndio wanaounda vikundi kuvuruga kiwanda hatutakubali kuendelea nao alionya katika risala yao kwa waziri wafanyakazi waliiomba serikali kuboresha mitambo iliyopo na majengo ambayo walisema yamechakaa kwa kuwa hayajafanyiwa ukarabati kwa muda mrefu mjane wa baba wa taifa mama maria nyerere amesema tuzo aliyopewa marehemu mumewe na baraza la kuu la umoja wa mataifa imetia chachu katika maandalizi ya maadhimisho ya ya miaka kumi ya kumbukumbu ya kifo cha mwalimu akizungumza nyumbani kwake msasani mama maria aliwaambia waandishi wa habari kuwa tuzo hiyo ilitolewa na rais wa baraza hilo padre miguel d UNK imemtangaza mwalimu nyerere kuwa shujaa wa ulimwengu wa haki za jamii mama maria alishauri watanzania kutafakari kwa makini mawazo ya mfumo wa maendeleo walioachiwa na na viongozi akiwemo mwalimu nyerere kama njia mojawapo ya kupambana na changamoto zinazoikabili dunia tuzo hii ni heshima kubwa si kwangu na kwa marehemu mume wangu bali pia kwa viongozi wote waliopigania na wanaoendelea kutetea haki haki usawa na maendeleo ya binadamu wote bila kuzingatia rangi dini uwezo wa kiuchumi itikadi ama ukabila alisema mama maria ambaye hakutaka kujibu maswali mengine nje ya mada tuzo hiyo UNK marehemu mumewe mama maria alisema enzi za uhai wake alijulikana kwa kukemea rushwa katika sura zote kwa nguvu zote na kuifananisha na UNK pia alichukia na kupinga taasisi za kifedha za kimataifa UNK nchi zinazoendelea sera na mustakabali wao mwalimu aliamini na kutetea kwa nguvu na maarifa yake yote heshima ya utu na haki za binadamu wote kama zilivyoainishwa katika tamko la kimataifa la haki za binadamu alisema mama UNK aliongeza kwa kusema kuwa mwalimu nyerere alikuwa na maono kwamba baada ya giza nene la ukoloni na ubaguzi waafrika wataungana katika msingi wa kutafuta maendeleo ya bara lao aidha mama maria alisema tuzo hiyo imetia chachu katika maandalizi ya maadhimisho ya ya miaka kumbukumbu ya miaka kumi ya kifo cha mwalimu katika hafla hiyo mama maria UNK padre miguel machapisho mbalimbali ya mwalimu nyerere kuwa kumbukumbu ya kazi yake katika kutetea wanyonge mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba amesema rais jakaya kikwete anatoa kauli za UNK nafsi yake kuhusu mwenendo wa mazungumzo ya muafaka kati ya ccm na cuf zanzibar alitoa kauli hiyo kufuatia taarifa zilizochapishwa jana katika vyombo mbalimbali vya habari kuhusu kauli ya rais kikwete kuwa UNK kurejesha mazungumzo ya mwafaka wakati alipokuwa akizungumza na katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban ki moon ambaye alitaka kufahamu hali ya kisiasa visiwani zanzibar katika mazungumzo hayo rais kikwete alisema kuwa hajakata tamaa katika UNK vyama vya ccm na cuf ili kufikia mwafaka na hatimaye kutuliza hali inayoonekana kutishia amani ya nchini hasa visiwani zanzibar profesa lipumba alisema kuwa kauli ya rais kikwete UNK sana na kuwa anatoa kauli hizo kwa kujifurahisha yeye mwenyewe kwa kuwa inaenda kinyume na ukweli wa hali halisi kauli ya rais kikwete UNK sana tatizo lake hana kauli dhabiti kwa kuwa anaweza kusema kuwa anashughulikia lakini asifanye hivyo anatoa kauli za kujifurahisha alisema profesa lipumba pia alisema tatizo kubwa lilianzia katika hoja ya kura ya maoni visiwani zanzibar na hata pale UNK rais kikwete kuzungumza naye kipindi cha nyuma hakuwa tayari kufanya hivyo UNK suala hili zaidi ya mara moja UNK mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa ishirini sifuri moja ishirini sifuri saba sifuri nane lakini bado UNK mwisho alisema profesa lipumba baadhi ya maeneo ya wilaya ya UNK yakiwemo makazi ya waziri mkuu ubalozi wa uingereza china japan kenya na nigeria yatakosa umeme leo kuanzia saa mbili sifuri sifuri asubuhi hadi saa nane sifuri sifuri mchana ili kutoa fursa ya matengenezo yanayofanywa na shirika la umeme tanzania matengenezo hayo yanahusu UNK wa kifaa maalumu cha kusambaza umeme katika kituo cha umeme oysterbay kwa ajili ya kituo cha umeme kilichoko eneo la UNK maeneo UNK ni msasani eneo la mamwinyi msasani UNK UNK sehemu ya mikocheni kujumuisha masaki morogoro store UNK hotel and UNK centre UNK hotel tambwe UNK ofisi ya rais st UNK kwale street UNK street na international school of tanganyika sehemu nyingine ni hotel ya karibu hill road tour drive coco beach UNK club kahama mining sea cliff UNK village UNK road bandari quarters ccbrt hospital UNK flats atc quarters UNK UNK hotel na UNK way katika maeneo ya osterbay ni ubalozi wa kenya vodacom kwale street kinondoni government flats UNK bank ubalozi wa urusi na india UNK street kaunda road kinondoni hananasif kinondoni shamba mikocheni a na victoria drive UNK vyama vya tanzania UNK party na chama cha demokrasia na maendeleo vimesema haviko tayari kushirikiana na chama cha wananchi katika maandamano UNK kufanya kutokana na kutoa masharti chama cha cuf kupitia katibu mkuu wake seif sharif hamad UNK vyama vingine vya upinzani kushiriki katika maandamano ili kuonesha umoja wao na kutoa hisia zao za kidemokrasia kwa lengo la kuitaka tume ya uchaguzi UNK katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo daktari wilbrod slaa alisema kuwa wazo la cuf lakini mpango wake una dosari kubwa ya kuviomba vyama vingine vya upinzani kushiriki kupitia vyombo vya habari daktari slaa alisema kuwa chama hicho pia UNK vyama vyote UNK bila bendera zao kama utambulisho jambo ambalo hawawezi UNK sisi kama chama hatuwezi kushiriki katika maandamano ya aina hiyo kwani tutakuwa UNK haki kwa UNK utambulisho wetu alisema daktari slaa daktari slaa aliongeza kuwa UNK cuf barua ya kukitaka UNK mwongozo wa siku hiyo ikiwa ni pamoja na kukubali kushiriki wakiwa na bendera na kadi zao za chama UNK barua UNK kama UNK basi iko njiani wataipata kama UNK na masharti UNK UNK hatutakuwa tayari kushiriki maandamano hayo alisisitiza daktari slaa kwa upande wake mwenyekiti wa tanzania labour party bwana agustine mrema alionesha wasiwasi wake na kusema kuwa cuf imekuwa ikiomba msaada pindi inapopata matatizo tu lakini pasipo matatizo wanaishi kama UNK bwana mrema alisema kuwa uamuzi wao wa kutoshiriki kwa tlp una lengo la kuwataka wajifunze ingawa amekiri kuwa wana hoja ya msingi na inatakiwa kuungwa mkono ingawa wao hawako tayari mimi niko mbele kutoa msaada pale UNK lakini wao wanasubiri pindi wanapopata matatizo ndio UNK sasa huo moyo wa kuwasaidia unatoka wapi ndugu UNK alisema mrema mtoto wa miaka kumi na mbili pendo mwaipopo mkazi wa kigamboni vijibweni UNK minyororo miguuni na kukaa chooni kwa siku nzima na babake mzazi bwana venance mwaipopo akishirikiana na mama wa UNK kana kwamba wazazi hao hawakuridhika UNK binti yao ndoo ya maji ya chooni na kikombe ili UNK maji hayo pindi akisikia kiu tukio hilo la lilitokea jumamosi iliyopita nyumbani kwao vijibweni kabla ya kupata msaada kutoka kwa majirani waliomsikia akilia kwa lengo la kuomba msaada baada ya wazazi hao kumfungia binti yao chooni na wenyewe walifunga nyumba na kuondoka mtoto huyo alianza kupiga kelele kuomba msaada na majirani wakasikia na UNK ukatili dhidi ya mtoto huyo anayesoma darasa la tano katika shule ya msingi vijibweni uliwashangaza wananchi waliofika kumpatia msaada baada ya kumkuta amekaa kwenye tundu la choo huku miguu yake ikiwa imefungwa mnyororo kama UNK UNK baada ya wananchi kufika akiwemo jirani ambaye kwa muda mrefu amekuwa akimsaidia binti huyo kwa kumpatia mahitaji muhimu kutokana na kunyanyaswa na wazazi walienda kutoa taarifa katika kituo polisi UNK baada ya polisi kufika nyumbani kwa mtoto huyo na kushuhudia ukatili huo walimpigia simu bwana mwaipopo na UNK maneno ya UNK ili aweze kurudi nyumbani alipofika alikuta umati wa watu na askari na UNK afungue nyumba yake baada ya kufungua mlango aliongozana na askari na kuingia ndani hadi kwenye mlango wa choo uliokuwa umefungwa kwa nje choo hicho kipo ndani ya nyumba hiyo na alikutwa akiwa kwenye giza kutokana na milango yote ya nyumba hiyo kufungwa ukiwemo ule wa choo binti huyo alikutwa amekaa kwenye tundu la choo askari walimbeba UNK na minyororo miguuni hadi kituo cha polisi wananchi wenye hasira walianza kushambulia nyumba ya bwana mwaipopo kwa mawe na kunggoa miti na mazao UNK shambani kwake iliwalazimu polisi kuingilia kati na kuwatuliza ili wasiendelee na uharibifu huo wakizungumzia tukio hilo majirani walisema mtoto huyo alianza kukumbana na ukatili baada ya mama yake mzazi kwenda kijijini kwao mbeya kutokana na maradhi walidai kuwa baada ya kuona mke wake ameondoka bwana mwaipopo alibadilisha dini na kuoa mke mwingine ambaye ni mfanyakazi mwenzake na kufunga naye ndoa ya kiislamu huku akiwa na ndoa ya kikristo UNK awali na mama wa mtoto huyo aliyeondoka mwaka mmoja uliopita mtoto huyo alipelekwa hospitali ya taifa ya muhimbili kufanyiwa uchunguzi na matibabu na baadaye kuruhusiwa na sasa UNK kwa UNK kamanda wa polisi mkoa wa temeke liberatus sabas hakupatikana ofisini jana wala kwenye simu yake kuzungumzia suala hilo wanafunzi wa shule za sekondari na msingi kibasila jana walifanya vurugu kubwa UNK kulala barabarani na kupiga mawe magari kwa lengo la kuishinikiza serikali kuweka matuta katika barabara ya changgombe baada ya wenzao kugongwa na gari vurugu hizo UNK na nyimbo na mayowe zilidumu kwa saa tano ambapo zilianza tatu sifuri sifuri hadi saa nane sifuri sifuri mchana huku UNK usumbufu mkubwa kwa wenye magari na UNK kwa miguu katika eneo hilo wanafunzi hao walikuwa na mabango yenye ujumbe leo lazima kieleweke tunataka haki zetu kama vile taa za kuongoza magari matuta katika barabara ya mandela na changombe na tumechoka kuzika kuzika bila UNK mgomo huo ulioshirikisha zaidi ya wanafunzi tatu sifuri sifuri sifuri kutoka katika shule hizo na wakazi mbalimbali wa eneo hilo umetokea baada ya wanafunzi watatu na mkazi wa eneo hilo kugongwa huku mwingine akipoteza maisha na wengine kupata ulemavu wa kudumu jana mmoja wa shuhuda alisema kuwa jana asubuhi wanafunzi consolata kilaza na winston sango wote wa darasa la tano katika shule ya msingi kibasila UNK na kupata ulemavu wa kudumu wakati wakisaidiwa UNK na msamaria ambaye pia UNK alisema winston sango alivunjika mguu na kukimbizwa katika UNK ya muhimbili kitengo cha mifupa na kilaza alivunjika mkono na amelazwa katika hospitali ya wilaya ya manispaa ya temeke shuhuda huyo alisema siku ya septemba ishirini na tano mwaka huu katika makutano ya barabara hizo mwanafunzi mmoja wa kidato cha sita katika shule ya sekondari kibasila UNK UNK aligongwa na kufa papo hapo wakati akijaribu UNK tukio hilo lilisababisha magari kutoka katika maeneo mbalimbali kupitia katika makutano hayo kushindwa kupita katika eneo hilo baada ya wanafunzi hao kufunga barabara na kurusha mawe kwa madereva waliokaidi amri katika hali iliyoashiria kuwa wanafunzi hao walikuwa tayari kukabiliana na jambo lolote kuna wakati walishikana mashati na askari wa kutuliza ghasia katika sakata hilo mkuu wa upepelezi kanda maalumu ya dar es salamu bwana charles mkumbo na askari wengine walikuwa na wakati mgumu UNK askari kadhaa waliokuwa wameshikwa na wanafunzi ambao walikuwa UNK mwenzao alikamatwa na polisi hao majira ilishuhudia msururu wa magari yakiwemo ya matatu yakiwa ya jeshi la wananchi wa tanzania polisi na jeshi la magereza yakiwa yamebeba askari aliokuwa wakienda katika vituo vyao vya kazi UNK kutii amri ya wanafunzi hao juhudi za bwana mkumbo UNK kuzima ghasia hizo hazikufanikiwa kutokana na wanafunzi kusisitiza kuwa walitaka mkuu wa mkoa aje kutoa UNK vurugu hizo UNK na mkuu wa wilaya ya kinondoni bwana jordan UNK aliyefika katika eneo hilo kama kaimu mkuu wa wilaya ya temeke ambaye aliitisha kikao cha dharula kilichohusisha uongozi wa wanafunzi walimu na wanahabari kujadili UNK la vurugu hizo wakizungumza katika kikao hicho viongozi wa wanafunzi walisema ni jambo la kusikitisha kuona serikali inashindwa kuweka alama za barabarani katika barabara hiyo muhimu eneo hili limepewa jina la barabara ya machinjio kutokana na umaarufu wake wa matukio kama haya watu wengi wamekufa na serikali inafahamu ilipaswa kuwa UNK kazi alisema mmoja viongozi wa wanafunzi hao kwa jazba rugimbana aliwaahidi wanafunzi hao kulifanyia kazi suala hilo haraka na kuwaomba waonane leo saa tatu kwa ajili ya majibu ya hatua UNK adaiwa kusema kazi ya rais ni kuchekacheka ameshindwa kuongoza na UNK mafisadi mbunge wa viti maalumu cuf bibi nuru awadh bafadhili na viongozi wengine UNK wa chama hicho wilaya ya tanga wamekamatwa na polisi na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kufanya mkutano bila kibali na kumkashifu rais jakaya kikwete mbunge huyo na wenzake walifikishwa jana katika mahakama ya wilaya ya tanga mbele ya hakimu mkazi bwana laurent UNK na kusomewa mashtaka matatu ya kula njama za kutenda kosa kukusanyika bila kibali na kutumia lugha ya kashfa kinyume cha sheria wakili wa serikali bibi UNK massawe aliiambia mahakama hiyo kuwa mnamo septemba ishirini na saba mwaka huu majira ya saa kumi hadi kumi na mbili jioni eneo la UNK jijini tanga mbunge huyo ambaye ni mshitakiwa wa kwanza na wenzake walifanya mkutano bila kibali na kumkashifu rais kikwete kuwa na kazi yake ni kuchekacheka na ameshindwa kuongoza na kukumbatia mafisadi hali iliyosababisha uvunjifu wa amani wakili huyo wa serikali aliendelea kudai mahakamani hapo kuwa washtakiwa hao walisababisha usumbufu kwa majirani waliokuwapo katika eneo hilo mbunge huyo na wenzake rashid jumbe diwani wa kata ya UNK mussa mbarouk diwani wa kata ya UNK kusini UNK hassan mkurugenzi wa haki za binadamu wa chama hicho wilaya ya tanga amina yusuph na mohamed asilia kwa pamoja wamekana mashtaka hayo na wako nje kwa dhamana hadi oktoba kumi na mbili mwaka huu kesi yao itakapojatwa tena mamia ya wafuasi wa chama hicho walifurika katika mahakama hiyo wengi wao kutoka maeneo ya vijijini wakitaka kujua hatma ya viongozi wao UNK wakizungumza na gazeti hili nje ya mahakama ya hiyo wafuasi hao walieleza kuwa kukamatwa kwa viongozi hao UNK kuwa ndio mwisho wa kufanya mikutano na UNK tukio hilo kama ni vita ya kisiasa hasa katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika oktoba ishirini na tano mwaka huu kwa upande wao baadhi ya viongozi wa cuf ambao hawakutaka kutajwa majina yao walieleza kuwa pamoja na tukio hilo bado wataendelea kufanya mikutano ya hadhara ili kuwahamasisha wananchi kujiandikisha ili waweze kupata nafasi ya kushiriki uchaguzi huo mkuu wa wilaya ya kibaha bibi halima kihemba ametishia kuwacharaza bakora madereva wa pikipiki UNK abiria kwa madai kuwa wanavunja sheria za usalama barabarani makusudi bibi kihemba ametoa tishio hilo ikiwa imepita miezi tisa tangu rais jakaya kikwete UNK kazi aliyekuwa mkuu wa wilaya ya bukoba bwana albert mnali kwa kuwacharaza bakora walimu wa shule za msingi UNK na UNK za wilayani humo akihutubia katika sherehe za uzinduzi wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani juzi mjini kibaha bibi kihemba alisema kuanzia sasa ataanza kutembea na bakora kwa ajili ya kuwacharaza madereva hao kwa kukaidi sheria na kusababisha ajali na vifo kwa abiria wao na wao wenyewe pikipiki za abiria UNK kero na kusababisha vifo madereva wake wanavunja UNK sheria za usalama barabarani wanabeba abiria zaidi ya mmoja wakiwaita UNK hawana UNK na hawavai UNK tangu sasa nitaanza kutembea na bakora kuwacharaza wote wanaovunja sheria za barabarani alisema bibi kihemba naomba jeshi la polisi tushirikiane kuifanya kazi hii tuifanye kwa makini na uangalifu mkubwa ili tusipoteze na kufutwa kazi alihimiza bibi kihemba bibi kihemba aliyemwakilisha mkuu wa mkoa wa pwani bibi amina said katika UNK jeshi la polisi mkoani hapa kuwakamata madereva wote wa pikipiki wanaovunja sheria za usalama barabarani na kuzuia pikipiki zao hadi makosa UNK pia alikemea vitendo vya baadhi ya wananchi kuvamia na kupora mizigo ya abiria mara UNK ajali na kuliagiza jeshi la polisi kufika kwa haraka na kudhibiti eneo la ajali ili uporaji wa mali za majeruhi UNK baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya korogwe UNK kazi mweka hazina wa halmashauri hiyo bwana UNK kiwelu kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo halmashauri yao kupata hati ya mashaka pamoja na kumtimua bwana kiwelu pia wamewapa onyo mkurugenzi mtendaji wa halmashauri bibi lilian matinga mganga mkuu wa wilaya daktari rashid said ofisa elimu wilaya bwana shaaban UNK na ofisa ugavi wilaya bwana UNK UNK hata hivyo bibi matinga amekataa kutekeleza agizo hilo akisema mwenye mamlaka ni katibu mkuu wa ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya hiyo bwana UNK kallaghe alisema uamuzi huo ulifikiwa kwenye baraza maalumu la madiwani lililofanyika septemba ishirini na sita mwaka huu na wamemtaka mkurugenzi kumwandikia barua mara moja bwana kiwelu kumsimamisha kazi bwana kallaghe alisema bwana kiwelu pamoja na makosa mengi UNK kwenye ukaguzi wa mahesabu UNK juni thebathini ishirini sifuri nane bado ofisi yake ilizembea kujibu hoja za mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali hivyo kuifanya halmashauri hiyo kupata hati ya mashaka alizitaja baadhi ya hoja kati ya kumi na moja UNK kujibiwa lakini wakashindwa UNK kwa wakati ni halmashauri kushindwa kuandaa taarifa za mwisho wa mwaka wa fedha kwa UNK taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo hivyo kushindwa kujua matumizi ya miradi ikiwa ni kinyume cha kifungu namba themanini na nne cha kanuni za matumizi ya fedha za serikali za mitaa bwana kallaghe alisema kwa upande wa idara ya elimu shilingi milioni ishirini na tatu moja zilitumika kama ziada wakati makisio ya bajeti kwa ajili ya mitihani ya darasa la saba ya ilikuwa shilingi milioni kumi tisa tisa lakini zikatumika shilingi milioni mia moja na thebathini na tatu moja huku watumishi UNK UNK kwa ajili ya safari za kikazi wakishindwa kurejesha pindi fedha UNK bwana kallaghe alisema kibaya zaidi ni bibi matinga kuukumbatia uozo uliopo kwenye idara ya fedha na yeye kudaiwa kughushi kwamba kamati ya uongozi fedha na mipango imekaa na kutoa maoni kuwa waandishi wa taarifa za fedha wawe makini suala hilo UNK mimi kwa mujibu wa sheria pia ndiye mwenyekiti wa kamati ya fedha uongozi na mipango iweje mkurugenzi UNK tumekaa na kutoa maoni yetu kwenye taarifa UNK kwa mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali tangu mweka hazina huyu amekuja hatujawahi kupata hati safi lakini mkurugenzi UNK alisema bwana UNK akizungumza na mwandishi wa habari bibi matinga alisema UNK barua bwana kiwelu kwa kuwa baraza hilo maalumu halikuwa kwa ajili ya kuhukumu watumishi bali ni kujadili hoja za mkaguzi na kusema sheria na kanuni za halmashauri haziruhusu kikao UNK jambo fulani kuingizwa jambo jingine kanuni ya nne inasema hakuna shughuli yeyote UNK katika mkutano maalumu wa halmashauri isipokuwa ile tu UNK kwenye taarifa ya UNK mkutano huo kwa maana hiyo mimi siwezi kumwandikia barua ya kumfukuza kazi mtu mwenye uwezo wa kufanya hivyo ni katibu mkuu wa tamisemi serikali wilayani handeni mkoani tanga imeamuru kufunga shule zote mia moja na sabini na mbili za msingi na sekondari wilayani humo kutokana na hali ya mlipuko kipindupindu kuzidi kuwa mbaya na kuleta athari kubwa kwenye jamii mkuu wa wilaya ya handeni kapteni mstaafu seif mpembenwe amefikia uamuzi huo wa kufunga shule zote baada ya watu ishirini na mbili kufariki dunia kutokana na ugonjwa huo wengi wao wakiwa ni wanafunzi alieleza kuwa shule hizo zitafungwa kwa kipindi cha mwezi mmoja wa oktoba ili kupisha ugonjwa huo na kwamba wanafunzi UNK na masomo huku UNK tahadhari ni wale wa kidato cha nne tu wanaokabiliwa na mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari baadae mwezi ujao pamoja na hatua hiyo serikali wilayani humo imefuta likizo kwa watumishi wote wa afya na kusitisha semina zilizokuwa zifanyike nje ya wilaya hiyo katika kipindi hicho cha mwezi mmoja hatua hiyo imelenga kuweka nguvu ya pamoja katika kukabiliana na ugonjwa huo hatari ambao unaendelea kupoteza watu wilayani humo pia serikali itatumia mahakama za UNK wananchi kwa lengo la kuwafungulia mashtaka na kuwashitaki wananchi wote watakaokuwa UNK UNK za usafi zilizowekwa ikiwemo biashara ya vyakula tangu kulipuka kwa ugonjwa huo agosti kumi na sita mwaka huu wilayani humo watu ishirini na mbili wameshafariki dunia huku wengine moja sifuri moja tisa UNK kutokana na maradhi hayo na hadi sasa eneo UNK zaidi na ugonjwa huo ni chanika kanisa la nyumba ya ufufuo wa uzima la ubungo dar es salaam limeingia katika mgogoro wa kugombea ardhi ambapo uongozi wa kanisa UNK kunggoa mipaka iliyokuwepo na UNK katika eneo la muuzaji wa kiwanja hicho maofisa wa ardhi wilaya ya kinondoni jana walilazimika kufika kwenye kanisa hilo UNK UNK maelfu ya waumini kupima upya mipaka ya eneo hilo UNK baina ya kanisa na bwana josiah baltazar bwana baltazar alidai kanisa hilo pamoja na kuwa na mgogoro wa siku nyingi wa umiliki wa kiwanja hicho bado limeendelea kunggoa mawe ya mpaka yaliyowekwa kutenganisha kiwanja chake na kile cha kanisa maofisa wa ardhi hao waliweka upya mipaka inayotenganisha nyumba ya mlalamikaji na kanisa hilo na UNK upya mawe UNK kunggolewa mmoja wa wachungaji wa kanisa hilo ambaye alikataa jina lake lisichapishwe gazetini alidai UNK mgogoro huo na kubainisha kuwa umegubikwa na utata mkubwa mchungaji alidai eneo UNK na kanisa kwa mujibu wa hati ni la kanisa isipokuwa kuna madai ya shilingi milioni kumi na tano yaliyokuwepo wakati wa kuuziana kiwanja hicho na kanisa UNK kumlipa bwana baltazar baada ya UNK na uongozi wa kanisa mchungaji huyo alidai kuwa walikubaliana kumlipa gari moja aina ya toyota land cruiser kompyuta na printa na baada ya kutumia vifaa bwana baltazar UNK kwa uongozi wa kanisa akidai UNK alidai kesi ya siku nyingi ni utata uliokuwepo wakati wa kuuziana kiwanja hicho ambayo bado ipo mahakamani moja mahakama ya hakimu mkazi kisutu na nyingine mahakama ya kinondoni mchungaji wa kanisa hilo bwana UNK UNK akizungumzia hilo UNK na mwenzake isipokuwa alikanusha kunggoa mawe ya mipaka na aliongeza kuwa hawakuwa na taarifa ya maofisa wa ardhi kufika katika eneo hilo na UNK wakati chama cha wananchi kimepanga kufanya maandamano makubwa kuanzia buguruni UNK hadi kwenye ofisi ya msajili wa vyama vya siasa msajili huyo amepiga marufuku maandamano kufika katika maeneo ya ofisi hizo taarifa za kupingana kwa taasisi hizo mbili zilitolewa jana kwa nyakati UNK na kila moja ikitoa sababu zake za kuchukua hatua husika mapema asubuhi mwenyekiti wa chama hicho profesa ibrahim lipumba alisema msimamo wao ni kumtaka mwenyekiti wa tume ya uchaguzi jaji lewis makame ajiuzulu kutokana na kushindwa kuzuia na kuhakikisha uwajibikaji na uwazi kwenye taratibu za uchaguzi na kutaka tume hiyo ivunjwe na kuweka watu safi wenye kuijua demokrasia tutaendelea na maandamano hayo bila kuchoka na yatafanyika nchi nzima kwani tume imeshindwa kuunda asasi za kuhakikisha usalama na uwazi katika vipindi kadhaa vya uchaguzi hapa nchini alisema profesa lipumba lakini ilipofika mchana msajili wa vyama vya siasa nchini bwana john tendwa naye aliitisha mkutano wa waandishi wa habari na kueleza kuwa yupo tayari kupokea ujumbe wao katika maandamano yanayofanyika leo lakini wapange maeneo tofauti na viwanja vya eneo la ofisi yake ofisi ya msajili wa vyama vya siasa iko katika barabara ya UNK ikiwa takriban mita thebathini sifuri kutoka kwenye geti la ikulu ya rais jakaya kikwete ofisi ndogo ya bunge na maeneo mengine nyeti ya serikali UNK kuwapokea lakini UNK kuwa eneo letu ni dogo na hapa tupo karibu na ofisi mbalimbali ikiwa ni benk kuu ofisi ndogo ya bunge shule ya msingi wizara ya fedha pamoja na magereza tunahitaji kulinda usalama alisema bwana tendwa alisema kuwa katika maandamano hayo si kila mmoja ana nia ya kufikisha ujumbe kama ulivyokusudiwa bali miongoni mwao wapo watu wanaoweza kufanya vurugu na kuvunja amani iliyopo katika msafara wa mamba hata kenge wamo sisi tunaangalia usalama pia kesho ni siku ya kazi UNK na pia UNK msisitizo kuwa tupo tayari kuwapokea mahali popote alisema bwana tendwa alifafanua kwamba baada ya kupata taarifa kuwa wanataka kuandamana aliamua kuwapa taarifa kuwa yupo tayari kukutana katika maeneo mbalimbali ya wazi ikiwa ni pamoja na eneo la mnazi mmoja kidongo UNK pamoja na jangwani lakini hakupata majibu yoyote tatizo la cuf ni kuwa namba UNK katika paper yao UNK UNK mpaka UNK mtu binafsi alisema wakati hayo yakiendelea cuf kwa upande wake ilikuwa ikiendelea na maandalizi ya maandamano na profesa lipumba alipoulizwa msimamo wa tendwa alisema hakuwa na taarifa nao lakini kijana wake alikuwa polisi akizungumzia suala hilo imeandikwa na prosper mosha yusuph katimba na husna ridhiwan mkazi wa vijibweni kigamboni dar es salaam bwana venance mwaipopo amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya temeke akikabiliwa na mashitaka mawili ya kumfanyia ukatiri mwanawe kwa kumfungia mnyororo UNK mshitakiwa huyo alifikishwa jana mahakamani hapo na kusomewa mashitaka na mwendesha mashitaka bwana UNK kombe mbele ya hakimu mkazi bibi rose UNK ikiwa ni siku moja baada ya gazeti hili pekee kuripoti habari hizo katika mashitaka ya kwanza bwana mwipopo anakabiliwa na makosa ya ukatiri kwa watoto kinyume na kifungu mia moja na sitini na tisa a cha kanuni ya adhabu ambapo alifanya ukatiri kwa mtoto upendo mwipopo kwa kumfunga mnyororo miguuni na mikononi katika chumba cha choo alidaiwa kuwa kitendo cha kumfunga mtoto huyo UNK majeraha na maumivu makali shitaka la pili ambalo ni mbadala na shitaka la kwanza ambalo ni kumzuia mtoto huyo isivyo halali kinyume na kifungu cha mia mbili na hamsini na tatu cha kanuni ya adhabu mshitakiwa huyo anadaiwa kumfungia mtoto huyo isivyo halali baada ya kusomwa kwa mashitaka hayo bwana mwaipopo alikana kutenda makosa hayo na upande wa mashitaka uliiambia mahakama kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika mshitakiwa huyo alitakiwa kuwa na wadhamini wawili wa kuaminika hata hivyo alirejeshwa rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti hayo na kesi itatajwa tena oktoba kumi na tatu mwaka huu mada ya rushwa na ufisadi ambayo imekuwa UNK nchini kwa muda sasa itakuwa miongoni mwa agenda ya za mkutano wa hamsini na tano wa chama cha mabunge ya jumuiya ya madola unaoendelea mjini arusha rais wa cpa bwana samwel sitta ambaye amekuwa kinara wa mapambano dhidi ya ufisadi nchini aliyasema hayo jana wakati UNK waandishi wa habari kuhusu mada zitakazojadiliwa katika mkutano huo UNK na rais jakaya kikwete bwana sitta UNK mkutano huo UNK shilingi bilioni tatu kuwa ni wa mafanikio makubwa ukijumuisha wabunge kutoka nchi mbalimbali duniani themanini sifuri wakiwa tayari wamewasili mjini arusha rais kikwete atawasili mjini humo kesho akitokea UNK dc marekani alikokwenda kwa ajili ya uzinduzi wa ubalozi mpya wa tanzania nchini humo na UNK mkutano wa baraza kuu la umoja wa mataifa katika mkutano huu UNK thebathini na nane na manaibu spika kumi na saba UNK huku kaulimbiu ikiwa ni kukabiliana na changamoto mbalimbali wakati ujao alisema mada nyingine zitakazojadiliwa katika mkutano huo kuwa ni jinsi mtindo wa serikali za mseto UNK demokrasia nchi zifanye nini kukabili mtikisiko wa uchumi duniani na jukumu la wabunge kupambana na uhalifu wa kisiasa ufisadi na rushwa UNK katika mkutano huo kwa sababu inawezekana mtikisiko wa uchumi unaweza UNK na rushwa na kwamba ndio maana wabunge wa tanzania wamekuwa UNK sana rushwa alisema sitta kwa mujibu wa sitta kwa mwaka jana tanzania ilipoteza karibu dola bilioni ishirini zilizotokana na mikataba mibovu na ufisadi na kwamba mikataba hiyo UNK vizazi vijavyo UNK shida ya kulipa madeni wakati waliokuwa wanafaidi wamefariki dunia bwana sitta alitaja mada nyingine zitakazojadiliwa kuwa ni mabadiliko ya hali ya hewa inayotokana na vitendo vya uchafuzi wa mazingira unaotokana na wanadamu pamoja na kutazama sababu zipi UNK migongano ndani ya jamii kama vile vita katika nchi za afrika zinazosababisha vifo vya watu wasiokuwa na hatia mada zote hizi zitajadiliwa mara baada ya ufunguzi rasmi wa mkutano huu oktoba mbili hadi mwisho wa mkutano huu na oktoba tatu UNK wajumbe wetu katika maeneo mbalimbali ya vivutio vya utalii kama vile mlima kilimanjaro na wale wenye uwezo watapanda mita kumi sifuri sifuri wengine watakwenda mbuga za wanyama ngorongoro serengeti tarangire na zanzibar alisema bwana sitta alisema kuwa pamoja na tanzania UNK mkutano huo kwa gharama kubwa ya shilingi bilioni tatu fedha hizo zote UNK kutokana na kila mshiriki kulipia gharama ya mkutano huo wakati huo huo bwana sitta alisema kuwa nchi ya rwanda iliomba kushirikishwa katika jumuiya hiyo ambapo ombi lao litajadiliwa katika kamati ya sekretarieti leo na kwamba ana imani kuwa ombi lao UNK UNK kikwete kusema ni mpasuko kidogo yeye asisitiza uliopo ni mkubwa UNK taifa asema tatizo ni tofauti ya kipato cha tajiri maskini waziri mkuu mstaafu jaji joseph warioba amevunja ukimya na kusema kuwa upo mpasuko mkubwa ndani ya chama cha mapinduzi ambao unaweza kuwagawa watanzania katika matabaka ya udini na ukabila jaji warioba alitoa kauli hiyo jana alipozungumza na baadhi ya vyombo vya habari ofisini kwake dar es salaam ili kutoa ujumbe wa miaka kumi ya tanzania bila baba wa taifa mwalimu julius nyerere alisema watanzania wanafahamu kuwa upo mpasuko ndani ya chama ambao pia ulithibitishwa na mwenyekiti wa ccm rais jakaya kikwete alipozungumza na wananchi kupitia televisheni ya taifa kuwa upo mpasuko kidogo hata hivyo jaji warioba aliyeshika UNK ya waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais kati ya mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tano tisini alisema kauli hiyo ya rais kikwete ilimshangaza kwa mwenyekiti wa chama kusema kuwa upo mpasuko mdogo wakati uliopo ni mkubwa alisisitiza kuwa ndani ya ccm kuna mpasuko mkubwa akitolea mfano kauli ya rais kikwete kuwa wabunge wa ccm sasa hawaaminiani hata kuachiana glasi zao za maji kwa kuhofia kuwekeana sumu jambo ambalo jaji UNK alisema linathibitisha kuwa kuna mpasuko mkubwa UNK ya chama kiongozi huyo alisema wakati taifa linaelekea kwenye uchaguzi mkuu mwaka ishirini moja sifuri yameibuka makundi na matabaka kiasi kwamba mtu akitangaza adhima ya kugombea uongozi ndani ya vyama vya siasa anaonekana kuwa adui kiasi cha kutafutiwa sababu tofauti na zamani ambapo wagombea uongozi UNK kabla ya kushindana kwa mujibu wa jaji warioba msingi umeanza kusambaratika tofauti na enzi za mwalimu nyerere ambapo wananchi walikuwa na mshikamano bila ubaguzi UNK ndugu tofauti na sasa ambapo wamegawanyika katika makundi na UNK akizungumzia sababu ya mgawanyiko huo jaji warioba alisema unatokana na tofauti kubwa kati ya matajiri na masikini jambo ambalo UNK wakati wa utawala wa mwalimu nyerere ambaye alijitahidi kuleta usawa kwa wananchi wananchi walikuwa na sauti katika kuongoza nchi leo matajiri ndio wenye UNK viongozi wako karibu na matajiri zamani ukiwa serikalini lazima UNK siri za serikali leo siri UNK sana watu wanaona yanayotendeka wengine wanalipwa milioni tano na marupurupu wengine UNK laki moja ndio maana sasa kuna migomo ya walimu wanafunzi na wananchi alisema jaji warioba alisema imani ya wananchi kwa serikali imepungua matokeo yake yameibuka matabaka huku wengine UNK mkono wabunge UNK mapambano dhidi ya ufisadi na wengine UNK tamaa kwa kuwaona wasaliti ndani ya chama jamii UNK nini kuhusu mgawanyiko ulioibuka ndani ya ccm na kusababisha spika bwana samuel sitta kukumbwa na wakati mgumu na baadaye tuhuma zake kumalizwa kimya kimya nec ilitoa msimamo kuwa spika anafanya mambo peke yake baadaye UNK mgogoro huu UNK kimya kimya UNK maswali mengi kwa wananchi alisema jaji warioba na kufafanua kuwa ccm ina ushawishi mkubwa mgawanyiko UNK ndani yake unaweza kuigawa tanzania nzima alizungumzia pia tanzania kujiunga oic na waraka wa maaskofu jaji warioba niliangalia majadiliano ndani ya bunge akisimama mbunge UNK anapinga hoja akisimama mwislamu anaunga mkono baada ya hapo umekuja waraka na mwongozo sijui msingi wake kila UNK uchaguzi mkuu mambo haya hujitokeza ilianza elfu moja na mia tisa na tisini na nne ikaibuka tena elfu moja na mia tisa na tisini na tisa na ishirini sifuri nne alisema jaji warioba amesema watanzania wameanza kuchanganya dini na siasa wakati wa pasaka mtu UNK watu sikukuu kwa msingi wa siasa hivyo hivyo wakati wa mwezi wa ramadhani kiongozi wa siasa UNK futari wakati UNK jambo ambalo amesema UNK nafasi na watanzania jaji warioba amesema hayati mwalimu nyerere alifanya kazi kwa uadilifu UNK dini na siasa kama ilivyo kwa baadhi ya wanasiasa sasa alikuwa msikivu sana pamoja na wananchi kusema kuwa mwalimu alikuwa mtu mbishi UNK jambo ambalo si kweli kuhusu vita dhidi ya ufisadi jaji warioba amesema inatia matumaini baada ya watu wazito kufikishwa kwenye vyombo vya sheria huku akitoa UNK kuwa kesi za aina hii zinatokana na msukumo wa kisiasa na kwamba kuna hatari zake akitoa mfano kesi za uhujumu uchumi mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tatu ambapo serikali UNK fidia na mwandishi wetu kuanzia mwaka ujao wa fedha serikali itaongeza madaraja ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini kutoka matano ya sasa na kufikia kumi na moja akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari ofisini kwake dar es salaam jana waziri mkuu bwana mizengo pinda alisema hatua hiyo imelenga kutoa nafasi zaidi kwa wanafunzi kupata elimu chini ya utaratibu huo alisema utaratibu wa sasa UNK makundi hayo katika madaraja matano ambapo kundi la a UNK mkopo wa UNK kumi sifuri kundi b asilimia themanini kundi c asilimia sitini kundi d asilimia arobaini na kundi e asilimia ishirini UNK mwaka ujao wa fedha ishirini sifuri tisa kumi serikali itaongeza madaraja hayo ambapo kundi a litapata mkopo wa asilimia kumi sifuri kundi b asilimia tisini kundi c asilimia themanini kundi d asilimia sabini kundi e asilimia sitini kundi f asilimia hamsini kundi g asilimia arobaini kundi h asilimia thebathini kundi i asilimia ishirini kundi j asilimia kumi kundi j asilimia sifuri bwana pinda alisema serikali itajitahidi kusimamia utaratibu huo ili kuhakikisha UNK manungguniko kwa wananchi UNK mambo mengi ikiwa ni pamoja na hali ya mwombaji wazazi shughuli za kiuchumi mali za mwombaji wazazi hali ya maisha ya mwombaji na hali ya kijamii ya mwombaji alisema alisema pamoja na nia njema ya serikali UNK wanafunzi wote wenye sifa wanapata elimu ya juu chini ya utaratibu huo bado kuna ugumu wa kutoa mikopo wa asilimia kumi sifuri kwa kila wanafunzi kutokana na matatizo ya kiuchumi hata hivyo alisema sera ya uchangiaji elimu ya juu si mbaya na kuwataka wenye uwezo kuitekeleza ili kutoa nafasi kwa wanafunzi wengine kupata elimu akizungumzia madai ya mishahara ya walimu alisema serikali imejitahidi kwa kiasi kikubwa kulipa madai hayo na kuahidi kuendelea kutekeleza jambo hilo hilo hata hivyo alisema UNK mambo yanayochangia ulipaji madai mbalimbali ya walimu na kuyataja kuwa ni pamoja na kukosekana kwa nyaraka na viambatanisho vingine vyeti vya ndoa na watoto fomu za likizo barua za uhamisho na vibali vya waajiri vivuli vya risiti udanganyifu wa kughushi alisema serikali itaendelea kulipa madeni hayo na kukubaliana na hoja inayotolewa na walimu kuwa matatizo yao mengine yamechangiwa na idara hiyo kuwekwa katika mamlaka mbalimbali akizungumzia matokeo ya kidato na sita aliwataka walimu UNK taarifa za alama za majaribio ya wanafunzi kuhakikisha wanatekeleza jambo hilo haraka vinginevyo watachukuliwa hatua stahiki hali ya chakula alisema taarifa zilizopo zinaonesha kuwa hali ya chakula nchi si nzuri na kuwataka wananchi kutunza chakula na kueleza kuwa serikali itaendelea kudhibiti UNK chakula nje ya nchi alisema tatizo hilo limechangiwa na baadhi ya mikoa nchini kukosa mvua za vuli na hivi sasa serikali inafanya utaratibu kusambaza mbegu mazao ya muda mfupi yanayostahimili ukame mihogo na UNK UNK baadhi ya mikoa yenye nafuu ya chakula kuwa ni pamoja na kigoma rukwa mbeya iringa morogoro dodoma singida manyara na tabora mikoa inayokabiliwa na upungufu mkubwa wa chakula ni pamoja na pwani lindi mtwara na dar es salaam alisema mtikisiko wa uchumi duniani umeathiri bei ya zao la pamba katika soko la dunia hata hivyo alisema bei za mazao mengine kama sukari tumbaku korosho chai UNK zimeendelea kuwa nzuri dar es salaam kampuni ya simu za mikono ya zain tanzania UNK miaka mitano ya mpango wake wa kusaidia jamii wa build our nation ambao unalenga kusaidia sekta ya elimu nchini akizungumza na waandishi wa habari jana jijini dar es salaam meneja wa huduma kwa jamii wa zain bibi tunu kavishe alisema kampuni ya zain imewekeza UNK ya shilingi bilioni moja kwenye program ya bon kwa kipindi cha miaka mitano kupitia bon tumeweza kuchangia katika jamii na kuimarisha jukumu letu la kusaidia sekta ya elimu hapa tanzania tunaamini kwamba tumeleta mabadiliko mazuri katika elimu na tutaendelea kutoa msaada wa vitabu vya kufundishia na kujifunzia kwa shule zisizo na vifaa au zenye upungufu mkubwa wa vifaa vya kujifunzia bibi tunu alisema ameongeza kuwa kupitia mpango huo shule zipatazo mia sita na sabini za mikoa yote tanzania UNK kwa kupata vitabu na vifaa vya elimu alisema zain pia UNK katika elimu ya juu kupitia mpango wake wa kusomesha wanafunzi ambapo wanafunzi nane bora wa kike na kiume waliosajiliwa katika vyuo vikuu nchini huteuliwa na tume ya vyuo vikuu kwa ajili ya kupata ufadhili wa zain UNK wanafunzi thebathini na moja ambao kati ya hao watatu wamemaliza masomo yao na mmoja tayari ameajiriwa na zain hadi kufikia mwisho wa mwaka UNK wanafunzi thebathini na tisa kupata elimu ya juu kupitia mpango huo ili kuboresha maisha yao na mwezi oktoba ni wa bon bibi kavishe alisema mradi wa uzalishaji na ushindani wa sekta ndogo ya chai UNK dola za marekani milioni tisa kwa ajili ya kuboresha sekta ndogo ya chai na kukuza uchumi kwa miaka sita hayo yalisemwa juzi dar es salaam na waziri wa kilimo chakula na ushiriki bwana stephen wasira katika uzinduzi wa mradi huo alisema mradi huo utasaidia kuongeza uzalishaji na ubora wa chai ili kuongeza soko la chai nje ya nchi ambapo fedha hizo zitatolewa na kampuni ya UNK UNK foundation ya UNK katika dunia nzima tanzania ni nchi ya nane katika uzalishaji wa chai kwa kiasi cha tani thebathini na mbili sifuri sifuri sifuri mradi huu una mpango wa kuongeza uzalishaji hadi tani arobaini na mbili hamsini sifuri kwa mwaka ifikapo mwaka ishirini moja tatu alisema bwana wasira naye UNK kampuni hiyo bwana UNK UNK alisema kikwazo cha uzalishaji duni cha wakulima wadogo wa chai ni upatikanaji wa pembejeo na miundombinu mibovu hali inayochangia upatikanaji wa wawekezaji wapya ambao hupunguza kipato cha wakulima hao aliongeza mradi huo ni sehemu ya UNK wa mpango wa taifa wa maendeleo ya nchi katika maeneo UNK ili kuongeza hamasa na kutangaza sekta ndogo ya chai kwa kuimarisha matumizi ya rasilimali asilia morogoro mkoa wa morogoro unakabiliwa na upungufu wa tani kumi na tisa mia sita na kumi na tano za chakula kutokana na ukame ulioikumba nchi hali itakayochangia watu zaidi ya mia nne na ishirini na nane mia nane na themanini na saba kukosa uhakika wa chakula katika maeneo mbalimbali ya mkoa huu akitoa taarifa ya mkoa wa morogoro kwa makamu wa rais daktari ali mohamed shein katika ikulu ndogo mjini hapa jana mkuu wa mkoa wa morogoro luteni kanal mstaafu issa machibya alisema wilaya za kilosa na mvomero ndizo UNK na upungufu huo wa chakula kwa asilimia kubwa bwana machibya alisema wakazi wa wilaya hizo UNK na upungufu huo wa chakula katika kipindi cha mwaka huu na februari mwakani na tayari juhudi mbalimbali UNK na serikali ya mkoa ili kutatua tatizo hilo alisema katika mpango huo wa kilimo cha umwagiliaji wanatarajia kupata hekta hamsini na tatu sifuri saba sita za kilimo cha umwagiliaji ifikapo mwaka ishirini moja tano ili kuongeza tani nyingine kutoka tani kumi na nane mia tatu na ishirini na moja za kipindi hiki kama wataongeza eneo la umwagiliaji zikiwa zimebaki siku chache kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa katibu mkuu wa chama cha mapinduzi bwana yussuf makamba ameanza ziara ya siku nne katika mikoa ya kigoma na wilaya ya biharamulo kagera kwa lengo la kukutana na kamati za siasa na kuimarisha chama taarifa ya makao makuu wa ccm ilisema jana kuwa makamba atatembelea wilaya za kigoma mjini kigoma vijijini kasulu na UNK na biharamulo ambako pia atazungumza na mabalozi wa nyumba kumi wa ccm wilaya UNK bwana makamba UNK kuwa ngumu kwa chama hicho katika uchaguzi huo utakaofanyika oktoba ishirini na tano mwaka huu kwa kiwango kikubwa zinamilikiwa na chama cha demokrasia na maendeleo wakati chama hicho cha upinzani kinaongoza halmashauri ya kigoma UNK wilayani biharamulo kilitoa upinzani mkali wakati wa uchaguzi mdogo na kuilazimisha ccm kupata ushindi mwembamba katika ziara hiyo bwana makamba atapokea taarifa mbalimbali za maendeleo za wilaya hizo na kukagua kazi za ujenzi wa chama kukutana na kamati za siasa za wilaya pamoja na kuzungumza na halmashauri kuu za wilaya chama cha mapinduzi na chama cha wananchi UNK kuacha kufanyiana vitendo vya UNK ili kufikia makubaliano na hatimaye kutuliza vurugu za kisiasa zinazoendelea sasa visiwani zanzibar kauli hiyo ilitolewa na msajili wa vyama vya siasa nchini bwana john tendwa alipozungumza na waandishi wa habari juzi dar es salaam ofisini kwake huku akisisitiza kuwa mgogoro huo UNK kama wadau hao UNK pamoja na UNK alisema kuwa cuf ndio walio na jukumu kubwa la kusaidia kutuliza vurugu katika kisiwa cha pemba kwa kuwa wao ndio walio na nafasi kubwa ya kulea amani kisiwani humo katika utatuzi wa suala hili lazima ujue mdau wa kwanza ni nani wanaoweza kutatua tatizo hilo ni wadau wenyewe cuf watasaidia kuleta amani kule pemba kwa kuwa wana nafasi kubwa ya kufanya hivyo alisema bwana tendwa alisema kuwa amani ya nchi au eneo UNK kwa kuwatuma wafuasi UNK nyumba moto UNK upupu au kulipua madaraja bali kwa kufuata misingi na taratibu zilizowekwa katika kudai haki pia alisema kuwa polisi wana kila sababu ya kutumia nafasi yao katika kukabiliana na hali yoyote ya uvunjifu wa amani endapo inaonekana kutaka kutokea hata hivyo alikiri kuwa matumizi ya nguvu kama kukamata watu au kutoa adhabu yoyote sio suluhisho la upatikanaji wa amani isipokuwa mazungumzo yanayolenga kufikia muafaka alisema kutokana kwa malalamiko ya mara kwa mara baada ya uchaguzi serikali imeamua kuanzisha baraza la ushauri wa kisiasa ili kushughulikia matatizo hayo baraza hili UNK vyama vyote vya siasa nchini lakini UNK kutokana na taratibu na kanuni zake UNK alisema na kulwa mzee mahakama ya wilaya ya ilala dar es salaam imemwachia huru mtoto wa naibu waziri wa kazi ajira na maendeleo ya vijana daktari makongoro mahanga bwana nixon mahanga baada ya upande wa mashitaka kuamua kuifuta kesi hiyo uamuzi wa kumwachia huru mshitakiwa ulitolewa jana na hakimu mkazi bibi UNK chande baada ya mwendesha mashitaka wa polisi bwana denis mujuba kudai upande wao hawaoni haja ya kuendelea na kesi hiyo bwana mujuba alidai upande wa mashitaka unaomba kuondoa kesi hiyo chini ya kifungu cha sheria ya makosa ya jinai namba tisini na nane a kwani wamezingatia ushauri wa mwathirika ambaye aliomba kesi ifutwe hakimu chande alikubali maombi hayo na kumwambia mshitakiwa yuko huru anaweza kuondoka mshitakiwa alimshukuru hakimu na kuondoka bwana mahanga ambaye ni meneja wa chuo cha ugavi cha UNK chanika alifikishwa mahakamani machi tano mwaka huu UNK kwa kumjeruhi bwana joseph daudi kwa chupa usoni ilidaiwa kortini kuwa machi mosi mwaka huu saa tatu usiku katika baa ya UNK iliyopo chanika kinyume cha sheria mshitakiwa alimpiga bwana daudi kwa chupa ya bia na kumsababishia majeraha usoni sakata la malipo ya wafanyakazi waliohamishwa baraza la mitihani la taifa kwenda kwenye idara nyingine za elimu bado ni tete kutokana na serikali kushindwa kuwalipa mishahara yao ya agosti kama ilivyokuwa imeahidi juzi wakizungumza na gazeti hili dar es salaam wafanyakazi hao walisema hawajalipwa mishahara yao ya agosti na septemba kutokana na katibu mkuu utumishi kushindwa kuidhinisha mishahara hiyo kiongozi wa wafanyakazi hao alisema katibu mkuu huyo hajatoa kibali cha wao kuingizwa katika orodha ya malipo ya utumishi kwa kisingizio kuwa mishahara hiyo ni mikubwa licha ya katibu mkuu wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi kuomba kibali hicho UNK kwa taratibu zisizo sahihi lakini sisi hatuna mgogoro na hilo tunachohitaji ni kulipwa mishahara yetu tuko hapa tangu jumatatu UNK tu hatuelewi nini hatima ya malipo yetu alisema kiongozi huyo wafanyakazi hao waliongeza kuwa kuna mvutano unaoendelea kati ya katibu mkuu utumishi na katibu mkuu wizara ya elimu jambo ambalo limesababisha kuchelewa kulipwa mishahara yao baraza la mitihani ni taasisi UNK tunashangaa uhamisho huo kufanyika kienyeji bila kushirikishwa hata mwenyekiti wa bodi profesa UNK mkandala hakuwa na taarifa ya uhamisho huo ambao kwetu ni kama adhabu aliongeza kiongozi huyo baraza la mitihani liliamua kuikopesha wizara ya elimu shilingi milioni thebathini na mbili kwa ajili ya malipo ya wafanyakazi hao baada ya wizara hiyo kushindwa kuwalipa wafanyakazi hao lakini malipo hayo UNK kwa sababu hundi iliyotolewa haikufuata taratibu za kibenki kwa kuwa ilikuwa inazidi shilingi milioni kumi kutoka mfumo wa utendaji wa fedha serikali kuu ni tofauti na necta hundi hii inapaswa UNK vipande vinne ili iweze kukubalika na benki kuu kwa taratibu za kibenki zilivyo malipo haya yatakuwa tayari hapo ijumaa alisema mhasibu mmoja mwandamizi kutoka wizara ya elimu pamoja na ufafanuzi huo wafanyakazi hao hawakuridhishwa na majibu kutoka ofisi ya uhasibu na kuapa kuwa hawataondoka katika majengo ya wizara hiyo hadi waonane na katibu mkuu ili awapatie nauli za kurudi kwao wafanyakazi hao zaidi ya sabini kutoka mikoa mbalimbali wamekusanyika makao makuu ya wizara ya elimu kudai mishahara yao tangu UNK kutoka necta julai mwaka huu wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha waliofanyiwa mtihani wa hesabu na wanafunzi wa sekondari ya azania UNK kuti kavu na mchakato wa kushughulikia adhabu yao umeanza huku ikielezwa kuwa adhabu yao ni kufukuzwa chuo akizungumza na majira dar es salaam jana mkuu wa chuo hicho profesa edwin mjema alisema wanafunzi hao wa mwaka wa tatu walikamatwa wiki UNK nje ya eneo la chuo wakisubiri wanafunzi wa azania waliokuwa wanawafanyia mtihani kwa kweli tukio hilo UNK sana kwa sababu sheria kanuni na taratibu za mitihani zinatolewa siku ambayo mwanafunzi anajiunga kwa mara ya kwanza lakini lazima UNK na kujieleza UNK na tukio hilo ikiwa ni pamoja na kutaka kujua njia wanazotumia kufanya ujanja huo alisema profesa mjema na kusisitiza kuwa adhabu ya kosa hilo ni kufutiwa mtihani na kufukuzwa chuo alisema bwana frank kaduma aliyekuwa mwanafunzi wa sekondari ya azania alikuwa anamfanyia mtihani bibi tina wakati bwana john kapinga mhitimu wa kidato cha sita ishirini sifuri tatu alikuwa anamfanyia bwana UNK UNK anayesoma stashahada ya juu profesa mjema alisema wanafunzi hao wa azania UNK walikiri kufanya hivyo kwa ahadi ya kupewa shilingi mia moja na hamsini sifuri sifuri sifuri kila mmoja baada ya kufanya mtihani huo hatua hiyo imekuja baada ya wanafunzi hao wakiwa mwaka wa kwanza UNK somo hilo kuwalazimu UNK somo sasa na kwa kuwa hawakuwa UNK vyema walilazimika kukodisha vijana hao kutoka sekondari kuwafanyia mtihani huo profesa mjema alisema pamoja na kwamba wakati tukio hilo yeye hakuwepo lakini atahakikisha zinachukuliwa hatua kali kukomesha tabia hiyo ambayo inaendelea kukithiri chuoni hapo alisema kabla ya kuanza kwa muhula wa mwaka huu lazima kesi zote ikiwamo ya hao wanafunzi zitajadiliwa na kutolewa adhabu ambayo itakuwa fundisho kwa wanafunzi wengine mashahidi wanaotarajiwa kumbana aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi bwana amatus liyumba katika kesi inayomkabili ya kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja watatajwa leo katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mashahidi hao watatajwa na upande wa mashitaka baada ya kuchambua na aina ya mashahidi wanaohitajika bwana liyumba alisomewa maelezo yake ya awali wiki iliyopita ambapo aliieleza kuwa michakato yote ya ujenzi wa mradi wa majengo pacha ya benki kuu ya tanzania ilikuwa na baraka ya bodi ya wakurugenzi mtuhumiwa huyo alikwenda mbali zaidi kwa kusema kuwa kama bodi hiyo iliona amebadili makubaliano ya awali kwa kushirikiana na marehemu bwana daud balali na ikashindwa kumwajibisha basi haikuwa na maana lakini akasisitiza kuwa hakukuwa na malipo yoyote bila idhini ya bodi hiyo kutajwa kwa mashahidi hao UNK kesi hiyo sasa ianze kuunguruma moja kwa moja kwa mashahidi hao kufika mahakamani hapo na kueleza namna mshitakiwa huyo alisababisha hasara ya mabilioni ya fedha mbali na hiyo pia upo uwezekano wa upande wa mashitaka kumtaja mbaya wa bwana liyumba ambaye ndiye alisababisha mshitakiwa huyo kufikishwa mahakamani hapo upande wa utetezi tayari UNK ombi mahakamani hapo la kutaka maelezo ya mlalamikaji wa kesi hiyo ili ujue kilichomo ndani yake hatua UNK upande huo kujiandaa kwa kesi yake serikali imeshauriwa kuhakikisha huduma za dharula kwa wajawazito zinatolewa kuanzia ngazi ya zahanati ili kupunguza vifo vitokanavyo na matatizo ya uzazi ushauri huo ulitolewa dar es salaam jana na mwenyekiti wa chama cha madaktari wanawake daktari UNK njelekela wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu jukwaa la wazi UNK vifo vitokanavyo na uzazi na ulemavu UNK jumatatu ijayo huduma ya dharura ni haki ya kila mwanamke kwani madaktari UNK kati mjamzito anaweza kupoteza maisha alisema daktari UNK akizungumzia vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia daktari njelekela alisema kwa kiasi kikubwa UNK vifo vya wajawazito alitoa mfano akisema baadhi ya wajawazito wamekuwa wakipigwa bila kujali hali waliyonayo na matokeo yake kusababishiwa matatizo wakati wa kujifungua alisema vifo vya wajawazito vimekuwa UNK na sababu mbalimbali mbali ya unyanyasaji wa kijinsia daktari njelekela aliongeza kuwa UNK damu kwa akina mama wajawazito husababisha vifo vya wajawazito kwa asilimia themanini sifuri alitaja sababu nyingine kuwa ni uzazi pingamizi mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida wakati wa ujauzito na maambukizi ya magonjwa kikosi kazi UNK na mkuu wa mkoa wa dar es slaam bwana william lukuvi kwa ajili ya kutafuta masalia ya mabomu katika eneo la mbagala kimefanikiwa kupata mabomu manane likiwemo kombora moja la UNK ndege lilikuwa ndani ya nyumba ya makazi wa mtaa wa kipata UNK hayo ambayo ni masalia ya mabomu yaliyolipuka kuanzia april ishirini na tisa mwaka huu na kuua jumla ya raia ishirini na tisa wakiwemo askari sita na kuharibu nyumba tisa mia mbili na arobaini na saba na mali nyingine katika kambi jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania ya iliyoko mbagala kizuiani kikosi hicho UNK polisi jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania na usalama wa taifa kiliundwa kwa mara nyingine tena baada ya kutokea mlipuko mwingine ambao ulisababisha kifo cha watoto watatu stella chavala regina chavala na rajabu said na kumjeruhi mwenzao UNK suleiman chanzo cha habari kutoka katika eneo la tukio kilisema kuwa mabomu hayo yaliokotwa katika maeneo mbalimbali moja katika eneo la UNK ambalo ni kombora la kutungulia ndege UNK na UNK mabomu matano kwa mujibu wa chanzo hicho shughuli hiyo bado inaendelea katika maeneo UNK hadi hapo watakapojiridhisha kuwa mabomu hayo UNK na UNK eneo hilo kuwa salama hata hivyo chanzo hicho kilisema kuwa pamoja na kazi nzuri inayofanywa na askari walio katika UNK hicho zimeanza UNK kutokana na kukosa huduma za msingi kama chakula na maji kwa wakati wote wa shughuli hiyo majira UNK na bwana lukuvi alisema kuwa tayari UNK timu hiyo madaraka yote na hawezi kuzungumzia jambo hilo na kumtaka mwandishi kuwasiliana na mkuu ya timu hiyo ambaye hata hivyo juhudi za kumpata jana UNK viongozi wa juu ya dini kubwa nchini wamesema matajiri UNK kuamua mustakabali wa nchi kwa kutumia fedha zao kuwaweka madarakani viongozi watakaolinda maslahi yao badala ya maslahi ya umma viongozi hao ambao UNK kwa nadra wametoa kauli hiyo ya pamoja wakati taifa likiwa linaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwezi huu na uchaguzi mkuu mwakani huku kukiwa na tishio la matumizi makubwa ya ya fedha kwenye chaguzi hizo tayari serikali UNK sheria UNK bunge kuweka ukomo wa matumizi ya fedha kwa wagombea na vyama vya siasa lakini pia kukiwa na wimbi la wafanyabiashara wakubwa kujipenyeza kwenye siasa kwa maslahi binafsi waliofikia azimio hilo dar es salaam jana ni wawakilishi wa baraza la waislamu tanzania baraza la maaskofu katoliki jumuiya ya kikristo tanzania ofisi ya mufti zanzibar na ofisi ya kadhi zanzibar wawakilishi hao ni rais wa tec askofu yudda thaddaeus ruwa ichi mufti mkuu wa zanzibar harith khelef mwakilishi wa naibu kadhi mkuu wa zanzibar kadhi said mahmud mwenyekiti wa cct askofu peter kitula na mwakilishi wa mufti mkuu sheikh taufiq ibrahim viongozi hao pia waliwataka UNK kutotumia dini kujipatia madaraka tunawataka wanasiasa wa vyama vyote kutotumia dini kwa siri au kwa wazi kujipatia kura na madaraka walisema katika maazimio ya mkutano huo aidha waliazimia kuvikutanisha vyama vya siasa vya ccm na cuf na UNK kufikia muafaka kumaliza mgogoro kati yao uliodumu kwa muda sasa huku juhudi za kutafuta muafaka zikionekana UNK viongozi hao wanaoheshimika katika jamii waliafikiana kushiriki katika kutoa elimu ya uraia kufanya juhudi kufahamu yanayofanywa na serikali kwa kuitaka iwaruhusu kushiriki kikamilifu katika michakato ya utengenezaji sera sheria na taratibu na masuala muhimu ya kitaifa katika kikao hicho waliitaka serikali kuweka bayana wizara au idara inayoshughulikia mambo UNK vyombo vya dini tunatoa wito wa pamoja kuwakumbusha wadau wote wa uchaguzi kuwa mchakato wa uchaguzi uwe wa amani na huru na tumeazimia kuitisha mkutano wa viongozi wote wa vyama vya siasa na tume ya uchaguzi ili kutoa nasaha za viongozi wa dini kuhusu umuhimu wa amani uhuru na haki katika uchaguzi mkuu ujao mapema akifungua mkutano huo mwenyekiti wa juhudi za viongozi wa dini kuimarisha amani tanzania askofu UNK sendoro aliwaasa viongozi wa dini kutojihusisha moja kwa moja au kutumiwa kwa manufaa ya chama kimoja au mgombea tafakarini kwa makini UNK kuona chaguzi zijazo za serikali za mitaa na ule wa mwakani wa rais wabunge na madiwani zinafanyika kwa amani ili kupata viongozi bora alisema askofu sendoro ambaye askofu mstaafu wa kkkt dayosisi ya mashariki na pwani viongozi wa dini UNK kujihusisha moja kwa moja na chama kimoja yaani isije ikaonekana kuwa kiongozi fulani UNK kampeni mgombea au chama fulani UNK vyama au mgombea alisema alisema UNK kampeni mgombea au chama chochote kutasaidia viongozi wa dini kuingilia kati UNK migogoro na kusikilizwa na pande zote katika shughuli na mijadala yetu kama watanzania lazima tufuate falsafa ya kukubali kutokubaliana lakini UNK wala kuwekeana uadui alisisitiza UNK pia kuwa viongozi wa dini watumie nafasi zao kukemea uendeshaji wa shughuli za kisiasa kiuchumi kidini na kijamii usio na maslahi kwa taifa akichangia katika mkutano askofu wa kkkt dayosisi ya iringa daktari UNK UNK alisema amani UNK nchini kutokana na kutopewa umuhimu katika mambo na alama mbalimbali za kitaifa ukiwamo wimbo wa taifa naye askofu john nkola alipendekeza iundwe kamati ya kitaifa ya viongozi wa dini kuishauri serikali katika mambo ya dini mamia ya wafuasi wa chama cha wananchi jana walifanya maandamano makubwa UNK buguruni na kupokewa msajili wa vyama vya siasa bwana john tendwa katika viwanja vya kidongo UNK ulinzi mkali wa polisi wenye sare na wasiokuwa na sare wakiwamo askari wa usalama barabarani kikosi cha kuzuia ghasia huku gari la upupu lenye maji ya kuwasha UNK barabara ya uhuru walipokuwa UNK waandamanaji hao wafuasi wa cuf walionekana wakiwa na mabango yenye kueleza hisia zao kwa ujumbe tofauti kama vile UNK vitambulisho vya watu UNK na zanzibar iunde serikali ya umoja wa kitaifa kabla ya uchaguzi mkuu ishirini moja sifuri vinginevyo hatutakuwa na uchaguzi ujumbe mwingine ulikuwa tunataka tume ya uchaguzi ivunjwe na iundwe tume UNK demokrasia ya kweli kwa dhamana ya muungano ni hivi UNK wazanzibar na tunasema muungano basi UNK tena waandamanaji hao waliongozwa na magari kadhaa ya polisi pt elfu moja na mia nne na arobaini na nne pt sifuri saba tano nne na pt sifuri mbili tano tano akiwahutubia wananchi waliohudhuria maandamano hayo naibu katibu mkuu bwana juma duni haji alisema kila chenye mwanzo lazima kiwe na mwisho na sasa cuf imefika tamati na inahitaji mabadiliko ya haraka katika serikali ya tanzania hasa katika mfumo wa siasa na utendaji wa baadhi ya viongozi alisema demokrasia ya nchi yoyote akitolea mfano tanzania kuwa kamwe UNK kutokana na kuwa na watendaji wabovu UNK kupokea na kukubali changamoto za kuleta maendeleo hali inayotishia tanzania kuingia kwenye machafuko ya kisiasa endapo UNK kubadilika akizungumzia suala la mwenyekiti wa nec jaji lewis makame kujiuzulu ikiwa ni pamoja na tume hiyo kuvunjwa alisema kuwa tume hiyo imeshindwa kuwa na meno kwa sababu watendaji wake wengi huteuliwa na rais jambo linalowafanya kuwa wazito kuchukua hatua dosari zinapojitokeza nyakati za uchaguzi bwana tendwa aliwasihi wanachama hao na kuwataka kuwa wavumilivu katika kipindi chote UNK malalamiko yao huku yakifanyiwa kazi na kuahidi kuwa UNK katika mahala UNK naahidi kushiriki kikamilifu katika kulitekeleza hili na kulifikisha ingawa ni suala la mchakato hivyo nidhamu na uvumilivu kwenu iwe silaha alisema bwana tendwa katika hatua nyingine reuben kagaruki anaripoti kuwa mwanachama wa cuf na wakili wa kujitegemea profesa abdalla safari alisema maandamano yanayofanywa na cuf ni uhuni wa kisiasa kwa kuwa hayawezi kusaidia kupatikana kwa tume huru ya uchaguzi akizungumza na gazeti hili dar es salaam jana profesa safari alisisitiza wanachofanya ni uhuni wa kisiasa UNK watu masikini kwenye jua lakini hakuna UNK alidai kuwa mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba na katibu mkuu wake maalim seif sharrif hamad wanachotaka ni ruzuku maana sheria inaeleza kuwa chama UNK ruzuku bila kugombea kama hawana imani na tume ya uchaguzi ni kwanini washiriki uchaguzi UNK profesa safari ni kwa nini chama chake kinashiriki uchaguzi kama hakina imani na tume alisisitiza alisema chama hicho kimekuwa kikipata fedha za ruzuku matokeo yake maalim seif anaenda nje kila siku huku wananchi wakiwa hawana wanachopata asema kila mtu ana haki kugombea hata yeye akitaka chiligati tumepokea maoni UNK na wastaafu makalla UNK jaji warioba adai haoni mema ya jk katibu mkuu wa chama cha mapinduzi bwana yusuf makamba amesema ni ruksa kwa waziri mkuu mstaafu daktari salim ahmed salim kujitosa kwenye kinyangganyiro cha urais kupitia chama hicho mwakani kama anajisikia kufanya hivyo bwana makamba alitoa kauli hiyo jana alipozungumza na gazeti hili kufuatia kauli ya daktari salim kutaka ccm iruhusu wagombea zaidi ndani ya chama hicho kupambana na rais jakaya kikwete kwenye uchaguzi mkuu mwakani kwenye uchaguzi mkuu ujao hata yeye kama anataka kuingia katika kinyangganyiro hicho anaruhusiwa kufanya hivyo sababu ccm haina pingamizi kwa wanaotaka kugombea alisema bwana makamba kauli ya makamba UNK na iliyowahi kutolewa na makamu mwenyekiti wa chama hicho pius msekwa kuwa kila mwanachama anaruhusiwa kuwania nafasi hiyo ingawa kwa utaratibu UNK ccm ni kumpisha rais aliyeko madarakani kumalizia kipindi chake bila kupingwa alisema ushahidi uko wazi kwani mbunge wa maswa bwana john shibuda tayari ametangaza azma yake kugombea nafasi hiyo na UNK kwa hilo wala UNK akizungumzia kauli nyingine iliyotolewa na jaji joseph warioba kuwepo mpasuko ndani ya ccm bwana makamba alisema hajui mwanasiasa huyo anazungumzia mpasuko upi ndani ya chama hakuna mpasuko na kama upo UNK yeye chama kipo imara na kina viongozi makini hivyo UNK kupongezwa badala ya kulaumiwa kwani kinapiga vita ubaguzi ukabila na udini kwa nguvu zote alisema bwana makamba naye katibu mwenezi wa ccm bwana john chiligati alipotakiwa kutoa maoni yake kuhusu kauli za wanasiasa hao alisema asingependa kuingia katika malumbano na wazee wastaafu na waliyotoa ni maoni yao ccm haitaki malumbano na wazee wetu hayo waliyotoa ni maoni yao hakuna binadamu mkamilifu UNK ni mungu peke yake alisema bwana chiligati alisema kama kuna UNK kwamba ndani ya ccm kuna upungufu wanashukuru na kama upo wataufanyia kazi naye katibu wa halmashauri kuu ya ccm uchumi na fedha bwana amos makalla amepinga kauli ya jaji warioba na kudai kuwa jaji warioba amekuwa mtu wa kulaumu bila kutoa hoja za kujenga nimesoma kwa makini dukuduku la waziri mkuu mstaafu joseph warioba UNK na vyombo vya habari kuwa nchi inaelekea UNK imani ya wananchi kwa serikali imepungua na pia mgawanyiko katika chama UNK nchi kwa kifupi niseme namheshimu sana mzee warioba kwanza kama kiongozi mkuu mstaafu na pia kama mzee wangu ila nataka niseme mzee warioba amekuwa mtu wa kulaumu tu pasipo kutoa hoja za kujenga kuna usemi usemao kuwa ukiwa unajua tatizo na UNK njia za kutatua wewe pia ni tatizo alisema bwana makalla alipowasiliana na gazeti hili jana kwa barua pepe kutoka london uingereza aliko kikazi bwana makalla alidai kwamba kwa muda mrefu matamshi ya jaji warioba yamekuwa UNK kuilaumu serikali ya rais jakaya kikwete jambo linalochangia wananchi kujenga chuki mimi nachelea kusema kuwa mzee warioba amekuwa mzee UNK namba moja kutengeneza chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao UNK watanzania UNK ni kuwa mzee warioba ni miongoni mwa wanaccm waliokuwa na wagombea wao katika kinyangganyiro cha urais ishirini sifuri tano na yeye mgombea wake alikuwa salim a salim ambaye alishindwa na jakaya kikwete kauli zake zimeelekea siku zote kutaka kuwaonesha watanzania kuwa serikali ya awamu ya nne haijafanya jambo hata moja jema alisema bwana makalla alidai kuwa ni vigumu mwanasiasa huyo kusifia mafanikio ya serikali ya awamu ya nne kwani dhamiri UNK kuwa hakupenda mgombea wake UNK nashangaa mzee warioba hataki kuamini utafiti uliofanywa na watafiti bado serikali ya chama cha mapinduzi UNK hivi jitihada za serikali kuwachukulia hatua watuhumiwa ufisadi kwake yeye serikali ya kikwete haijafanya lolote alihoji bwana makalla alisema ccm imeendelea kushinda chaguzi nyingi ndogo jambo linaloonesha iko imara na wananchi wana imani nayo na kuongeza kuwa vita ya UNK inayoendeshwa sasa utekelezaji wa mambo UNK ndani ya katiba ya chama hicho alimtaka jaji warioba kuacha kueneza propaganda za kuichafua serikali kwa malengo yake ya kisiasa namuomba mzee warioba akumbuke kuwa ukijua kukosoa ujue pia kusifia UNK ni kwa kiasi gani yeye alipambana na rushwa na UNK ni namna gani tume yake UNK hatimaye ndugu UNK kiula UNK kwa ushauri wake na matokeo yake kiula UNK kesi namwomba mzee warioba aiche serikali iendelee kuwatumikia wananchi kuwaletea maendeleo na kukabiliana na changamoto mbalimbali msingi wa umoja amani na mshikamano kwa watanzania ni mambo muhimu kwa ustawi wa nchi yetu kwa kauli za warioba anataka kuvunja misingi hiyo aliwataka watanzania kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali ya ccm na rais kikwete na kuchukulia kauli za jaji warioba kama ni za ubinafsi zenye harufu ya makundi ya urais mwaka ishirini sifuri tano akizungumzia kauli ya daktari salim mwanasheria wa chadema bwana tindu lissu alisema inadhihirisha kuwa ndani ya chama hicho kuna nguzo isiyo salama kauli hiyo siyo ya kupuuza atakuwa UNK UNK na kauli utendaji wake alisema bwana lissu lakini kuhusu kauli ya jaji warioba mwanasheria mwandamizi profesa abdallah safari alisema rais kikwete alikuwa sahihi kusema hivyo ili wananchi waelewe hatua zinazochukuliwa katika vita ya ufisadi aliulizwa na wananchi UNK ingekuwa aibu kwa rais kuulizwa vitu ikaonekana hafahamu alisema na kuongeza ni lazima kesi kubwa UNK nchi UNK leo waziri hawezi kufikishwa mahakamani rais akawa hafahamu dpp kama anajua kitu kikubwa lazima UNK na rais ili aone kama kuna tatizo alizidi kusema kuwa kuna mambo mengi UNK na rais kikwete lakini kwa hili siwezi kusema ana washauri wabaya alisema kila kiongozi ana stahili yake ya UNK katika kipindi hiki cha kupambana na ufisadi na kuelekea uchaguzi ni lazima rais aoneshe anafanya nini alisema profesa safari alisema ni jambo la kawaida rais kupokea taarifa kutoka kwa wasaidizi wake itakuwa ni jambo la ajabu kama kuna taarifa kubwa mkurugenzi wa usalama au dpp anaifahamu rais UNK alisema profesa safari kwa upande wake lissu aliunga mkono kauli ya jaji warioba akifafanua kuwa ofisi ya mwendesha mashtaka wa serikali ipo huru kulingana na mabadiliko yaliyofanyika katika katiba alisema katiba inaeleza kuwa ofisi ya dpp ni chombo huru itafanya kazi kwa uhuru bila kuingiliwa na mtu yeyote sasa rais alijuaje kuwa kuna kesi zinatakiwa kufunguliwa mahakamani hii inadhihirisha kuwa ofisi ya dpp UNK na rais kumpatia taarifa kabla ya kesi kufikishwa mahakamani alisema bwana lissu alibainisha kuwa kazi ya kuandaa mashitaka siyo ya rais kikwete bali ni ya ofisi dpp hivyo rais kikwete hakutakiwa kupelekewa taarifa hizo hata kama hakutaja majina ya watu UNK kesi lakini alijuaje kuwa kuna kesi mbili UNK mashtaka mahakamani alihoji bwana lissu na kuongeza hilo siyo jukumu lake rais hawezi kufanyakazi kila idara wakiachiwa UNK alipoulizwa kama anaungana na kauli ya jaji warioba kuwa washauri wa rais UNK vizuri bwana lisu alijibu inawezekana hana washauri wazuri au UNK inawezekana anashauriwa vizuri UNK mkuu wa majeshi ya ulinzi jenerali davis mwamunyange leo anatarajia UNK kikosi kazi UNK masalia ya mabomu katika eneo la mbagala mwamunyange anatembelea kikosi hicho ikiwa ni siku moja baada ya kuripotiwa na gazeti hili pekee kuwa kimefanikiwa kupata mabomu manane moja likiwa kombora la kutungulia ndege UNK kwenye nyumba ya mtu kikosi hicho kiliundwa wiki iliyopita baada ya mlipuko mpya kuua watoto watatu na kujeruhi mwingine mmoja chanzo cha habari kutoka katika kikosi hicho kilisema mkuu huyo wa jeshi atawasili katika eneo hilo saa mbili sifuri sifuri asubuhi kazi inakwenda vizuri na kesho mkuu wa majeshi anakuja UNK kuangalia jinsi kazi inavyokwenda kilisema chanzo hicho alisema sasa watu wote wameanza kufanya kazi kwa bidii kubwa kutokana na kuanza kupewa huduma za msingi ambazo awali walikuwa UNK na hivyo katika siku ya jana UNK kupata risasi sita aina ya smg na flora amon dodoma polisi mkoani hapa wanamshikilia bwana maneno UNK mkazi wa kijiji cha msanga wilayani chamwino kwa tuhuma za ubakaji wa wanawake kumi na mbili wakiwamo wanafunzi akizungumza mjini hapa jana kamanda wa polisi wa mkoa wa dodoma bwana omari mganga alisema tukio hilo lilitokea juzi saa saba usiku katika kijiji hicho baada ya mtuhumiwa kwenda katika nyumba mojawapo na kufanikiwa kuingia ndani alisema baada ya mtuhumiwa kuingia ndani aliwakuta mke na mume wakiwa wamelala na kuanza kumwingilia mwanamke bila mumewe kujua ambapo inadaiwa hufanya hivyo kwa imani za kishirikina akiwa amevaa UNK hata hivyo mume wa mwanamke huyo alishituka na kuanza kupiga kelele rpc alisema kelele hizo UNK majirani ambapo walifanikiwa kumkamata kijana huyo na kumfungia katika ofisi za serikali ya kijiji ambapo asubuhi wakazi hao UNK mtuhumiwa kuhusiana na tukio hilo alisema siku za hivi karibuni kijana huyo UNK wanawake kumi na moja wakiwamo wanafunzi watatu wa kijiji hicho ambapo juzi ndipo UNK kumwingilia mama huyo na kukamatwa mtuhumiwa alipohojiwa kuhusiana na tuhuma hizo alikiri kutenda kosa hilo ambapo alidai alipewa dawa hiyo na mama yake mzazi ambayo huwa UNK mkononi kama UNK anatarajiwa kufikishwa kortini wakati wowote mara baada ya uchunguzi kukamilika naye wilhelm mulinda anaripoti kutoka mwanza kuwa polisi inamshikilia mkazi wa nyamhongolo bwana said idd kwa tuhuma za kumuua mkewe kwa kumpiga fimbo kichwani rpc wa mwanza bwana jamal rwambow alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa kumi alfajiri aprili kumi na tatu mwaka huu eneo hilo la nyamhongolo na kumtaja mwanamke huyo kuwa ni bibi UNK musa ambaye alikuwa mganga wa kienyeji alisema chanzo cha tukio hilo ni wivu wa mapenzi ambapo inadaiwa mara kwa mara bwana idd alikuwa UNK na kitendo cha mkewe kukamatwa ugoni kabla UNK miaka miwili iliyopita pia katika tukio lingine bwana rwambow amesema UNK watu wawili kwa tuhuma za kumbaka bibi kizee mwenye umri wa miaka sitini katika eneo la UNK UNK aliwataja watu waliokamatwa katika tukio hilo lililotokea juzi saa nane usiku kuwa ni bwana UNK juma na bwana UNK marwa ambaye umri wake UNK mara moja alisema kabla ya tukio hilo ajuza huyo na wanaume hao walikuwa pamoja wakinywa pombe za kienyeji na baada ya kulewa wanaume hao walimbeba ili kumpeleka nyumbani ambapo wakiwa njiani UNK nguo na kuanza kumbaka hatma ya watendaji wa mamlaka ya ustawishaji makao makuu wanaotuhumiwa kupokea rushwa na UNK wananchi kwa uwezo wao wa kifedha ipo mkononi mwa waziri mkuu mizengo pinda hatua hiyo UNK jana baada ya tume iliyoundwa na bodi ya mamlaka hiyo kukabidhi taarifa yake iliyosheheni vielelezo kwa waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bwana philip marmo kwa mujibu wa sheria UNK cda mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na nne mwenye maamuzi ya mwisho juu ya utendaji wa mamlaka hiyo ni waziri mkuu hivyo iwapo UNK maamuzi mazito ndiye UNK akikabidhi taarifa hiyo ya vitabu vitabu kwa marmo mwenyekiti wa tume hiyo bibi UNK bidya alisema tume yake imefanya kazi kama ilivyoagizwa kwa muda wa siku ishirini na moja na kubaini mambo mbalimbali ambayo UNK taarifa yetu imegawanyika katika sehemu kuu tatu kitabu cha kwanza ni taarifa ya malalamiko ya wananchi pili ni mchakato wa kufuatilia tuhuma hizo na cha tatu ni vielelezo kuhusu malalamiko hayo alisema habari zilizolifikia majira tangu juzi zinaeleza kwamba tume hiyo imebaini mambo mengi yasiyofaa yakiwa na vielelezo ambavyo vinaweza kutumika kama ushahidi dhidi ya baadhi ya watendaji wa cda hasa kuhusu suala la viwanja vya wazi na vya michezo pamoja na minara ya simu bwana marmo ambaye pia ni mwenyekiti wa bodi ya cda aliwataka wananchi watambue kwamba serikali UNK bali UNK kazi malalamiko yao juu ya cda marmo UNK kilichomo ndani ya taarifa hiyo kwa sasa siwezi kueleza kwa kuwa tume UNK na bodi ya wakurugenzi wa cda na mimi ni mwenyekiti tu mpaka UNK hii taarifa kwenye bodi ili iamue nini cha kufanya alisema hata hivyo alibainisha kwamba mapendekezo yote ya tume ya bidya yatatekelezwa ndani ya miezi sita hadi miezi kumi kuanzia sasa kuhusu hatma ya wafanyakazi watatu wa cda waliosimamishwa kazi kwa tuhuma mbalimbali alisema bodi yake itatoa uamuzi juu yao ndani ya mwezi mmoja kuanzia jana wajumbe wengine wa tume hiyo walikuwa bwana noel kazimoto hilda kabisa neema mwanda bwana martin mhagama UNK UNK bibi modesta UNK UNK UNK na bwana UNK UNK pia kutoka ofisi ya waziri mkuu katibu mkuu wa chama cha wananchi maalim seif sharif hamad UNK tume ya uchaguzi ya zanzibar kuwa UNK na uchafuzi wa uchaguzi na sio usimamizi wa uchaguzi kama ambavyo UNK katika barua yake iliyoelekezwa kwa mwenyekiti wa tume hiyo bwana khatib mwinyichande alisema kuwa lengo lake ni kuikumbusha tume hiyo kuwajibika ipasavyo ili kuepuka matatizo hapo baadaye tume hiyo imekuwa mara kwa mara UNK utendaji wake kuwa unafuata sheria na kuwataka UNK kuwa na kitambulisho cha mzanzibari mkaazi bali chama cha cuf ndicho kinasababisha vurugu visiwani humo bwana seif alisema kwamba cuf ilifanya uchunguzi na kugundua kuwepo kwa tofauti kubwa katika uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa sababu tume hiyo UNK wapiga kura katika maeneo ambayo uboreshaji wa daftari hilo UNK alidai tume hiyo UNK vitambulisho hivyo kama kigezo cha mtu kuandikishwa kwa kuwa idadi ya waliopewa vitambulisho hivyo na wale walioandikishwa na tume hiyo UNK pia UNK zec na idara ya vitambulisho kuwa wanasema uongo katika takwimu zao za watu waliojiandikisha kwamba kuna watu UNK na masheha kutoka majimbo mengine ikiwa ni njama za UNK chama cha mapinduzi maalim seif alisema kwamba vitendo hivyo UNK mazingira UNK baadhi ya watu kupiga kura zaidi ya mara moja unapaswa kuifahamu hoja yetu kwamba wananchi UNK zoezi hili ambalo tume yako imelipa jina la uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura ni kwa sababu wanafahamu kwamba ni mwendelezo wa uchafuzi na kwamba wewe na tume yako UNK uchafuzi wa haki ya wazanzibari alisema maalim seif hata hivyo alisema kwamba cuf kamwe haitakubali kuwa sehemu ya uchafu huo na wameishauri tume hiyo UNK kwa kujitoa kwenye uandikishaji huo mchafu azimio la viongozi dini kutaka kuvikutanisha tena vyama vya siasa UNK visiwani zanzibar UNK kwa hisia tofauti na vyama husika huku chama cha mapinduzi UNK kurejea mazungumzo na chama cha wananchi kutaka utaratibu mbadala akizungumza na majira makao makuu ya cuf jana naibu mkurugenzi wa uenezi na mahusiano na umma bibi ashura mustapha alisema kuwa hawatakuwa tayari kurudi nyuma na kujadili yaliyopita bali UNK ni kufanya utekelezaji wa UNK alisema kuwa ni furaha kwao kuona taasisi za dini UNK mbali na kuamua kuliingilia suala hilo ingawa amewataka katika utekelezaji wao wazingatie suala hilo lilipofikia ndipo waone UNK la sivyo watoe suluhisho mbadala suala lililopo ni ccm kutekeleza UNK na sio kama UNK wenzetu kwa kulirudisha jambo hili kwa wanachi ili UNK maamuzi alisema alisema kuwa wenzao wa ccm wamekuwa kigeugeu kwani makubaliano yao ya mwisho yalikuwa kwamba iundwe serikali ya mseto lakini wenzao walipokwenda butiama UNK maamuzi na kutaka kura ya maoni kwa upande wake katibu wa itikadi na uenezi wa ccm bwana john chiligati UNK hatua ya viongozi wa dini hao na kusema kuwa wako tayari kwa wito huo wa kutaka kuwakutanisha na mahasimu wao wa cuf alisema anashangaa siku cuf kutotaka kurejea katika meza ya mazungumzo huku UNK waanze utekelezaji wa makubaliano ambayo kwa upande wake yalikuwa na dosari na UNK kwa ajili ya kufanyiwa marekebisho hatutaweza kuyatekeleza haraka hivyo viongozi wa pande zote mbili walikaa wakaona mapungufu yaliyopo na ikaamuliwa UNK yafanyiwe marekebisho kwanza kwa hiyo kuna mambo machache ambayo bado UNK alisema bwana chiligati bwana chiligati alisema kuwa UNK sana endapo cuf hawatakubali UNK wito huo jambo litakaloashiria kuwa hawana nia ya dhati ya kutaka kumaliza mgogoro huo ffu apigwa nondo UNK damu viongozi wa cuf watiwa mbaroni eneo la njiapanda ya segera wilayani handeni mkoani tanga jana UNK uwanja wa vita kwa saa kadhaa baada ya wakazi wa vijiji jirani kufunga barabara kuu ya chalinze segera kwa zaidi ya saa sita kupinga hatua ya kubomolewa vibanda vyao vya biashara kwa lengo la kumpisha mwekezaji mwenye asili ya UNK vurugu hizo zilisababisha mkazi mmoja wa kijiji cha michungwani bwana omari juma kuuawa kwa majeraha ya risasi huku askari wa kikosi cha kutuliza ghasia namba d ishirini sifuri nne UNK sajini ramadhani kujeruhiwa vibaya baada ya kupigwa nondo kichwani na wananchi wenye hasira kipigo hicho kilimfanya atapike damu na kukimbizwa hospitali ya magunga wilayani korogwe ambako amelazwa kwa matibabu vilio UNK eneo hilo wakati operesheni ya kubomoa vibanda hivyo ikiendelea huku wananchi hao wakimtaka mkuu wa mkoa wa tanga bwana said kalembo kufika eneo hilo kuona wazawa UNK kwani walidai hawakupewa taarifa ya bomoa bomoa hiyo sisi hatuna ugomvi na mwekezaji tunachotaka kujua ni kwamba kwa nini waje UNK vibanda vyetu bila ya taarifa tena mali zetu zikiwemo UNK hasara hii UNK nani hivi kweli rais kikwete haya ndiyo maisha bora kwa kila mtanzania alisema mmoja wa wananchi hao aliyejitambulisha kwa jina moja la bakari huku akibubujikwa machozi walisema hatua ya UNK vibanda UNK kwa kiasi kikubwa uchumi wao kwani eneo hilo UNK kuwaingizia kipato UNK na gazeti hili katika hospitali ya magunga wilayani korogwe mkuu wa upelelezi mkoa wa tanga UNK mohamed alithibitisha kutokea kifo hicho na kuumia kwa askari huyo alisema mwananchi huyo alifariki dunia baada ya gari ya benki lililokuwa UNK fedha kutoka tanga kwenda dar es salaam kufika eneo la segera na kukuta mkusanyiko huo mkubwa wa watu na magogo barabarani huku baadhi ya wananchi katika vurugu hizo wakidaiwa UNK mawe gari hilo kutokana na hali hiyo askari wa benki waliokuwa kwenye gari hilo walilazimika kufyatua risasi kuwatawanya wananchi hao katika purukushani za kuwatawanya wananchi hao ndipo risasi hiyo UNK mtu huyo na kufariki dunia baada ya tukio hilo wananchi walimvamia askari huyo na kuanza kumpiga na kumjeruhi vibaya askari wengine pia walijeruhiwa watu kadhaa UNK kwa tuhuma za kuchochea vurugu hizo hali ya askari huyo hadi jana jioni ilikuwa mbaya ambapo utaratibu wa kumhamishia hospitali ya mkoa wa tanga bombo ulikuwa UNK kutokana na vurugu viongozi waandamizi wa chama cha wananchi kata ya segera wanadaiwa kushikiliwa na polisi wakituhumiwa kuhusika kuchochea vurugu hizo viongozi hao ni pamoja na bwana nassoro UNK bwana hassan UNK ambao walikamatwa sambamba na watu wengine wanaosadikiwa kuwa vinara wa vurugu hizo kutokana na kamata kamata hiyo baadhi ya wananchi wa eneo hilo waliingia mafichoni kwa muda UNK kukamatwa baada ya hali ya usalama kutokuwa nzuri siku ya jana mkuu wa wilaya ya handeni kapteni mstaafu seif mpembenwe aliwasili eneo hilo saa nne na ffu na kuanza kuondoa magogo hayo barabarani kuruhusu magari kupita alipotakiwa kueleza sababu za mgogoro huo alisema hapa hakuna mgogoro ni uhuni kwa sababu kama mgogoro wa kiwanja UNK na mahakama wao wanajua lakini wanafanya uhuni alieleza kuwa mtu huyo aliyeuawa kifo chake UNK na ffu bali ni wale wa benki waliokuwa UNK kutokana na UNK huo mkubwa ili UNK fedha hizo aliongeza kuwa tayari mahakama ilishatoa uamuzi kuwa wafanyabiashara hao waondoke katika eneo hilo lakini wakaendelea UNK kama kweli kuna tatizo hakuna kiongozi yeyote wa kijiji aliyekuja kunieleza chochote tangu nilipofika lakini kama UNK ya msingi UNK taratibu zinazostahili sio kufunga barabara alisema kauli za hivi karibuni za waziri mkuu mizengo pinda kuwa watanzania waache kununua suti kwa sababu zina gharama kubwa na ile ya kutaka viongozi waandamizi kuacha kununua magari ya kifahari UNK mjadala na upinzani mkubwa watu wa kada mbalimbali waliozungumza na majira wameonyesha kutokubaliana na kiongozi huyo na wengine kumshambulia kuwa ameanza kulalamika badala ya kuonyesha kuwa mtendaji mbunge wa karatu daktari wilbroad slaa alimtaka pinda kuwa waziri mkuu mtendaji na siyo UNK daktari slaa alisema kuwa waziri mkuu ni mtendaji na ndiye mwenye maamuzi anachotakiwa kufanya ni kuwachukulia hatua wale wote wanaokwenda kinyume na maagizo yake pinda analalamika kama mimi UNK kuhusu mashangingi kambi ya upinzani UNK sana hilo toka mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita tulisema magari yanayotakiwa kutumika yawe suzuki tukatoa mifano mingi wenzetu wa nchi ya india viongozi walivyo na utaratibu mzuri wa kutumia magari lakini UNK kama kauli yetu UNK kutoka mwaka huo tulipokuwa tunapiga kelele tungekuwa tumejenga zahanati ngapi nchini sasa alihoji alisema kuwa UNK ni pale anaposikia waziri mkuu analalamika wakati yeye anatakiwa kuchukua hatua na kwamba tatizo kubwa lililopo nchini ni kwamba hakuna watu wanaofikiria na UNK na ndio maana analazimika kusema kuwa serikali UNK akizungumzia vazi la suti daktari slaa alisema kuwa anaunga mkono kauli ya bwana pinda kwa sababu anashangazwa na baadhi ya viongozi wanaokwenda kukagua bustani au mashamba wakiwa amevaa suti sasa hivi hata bwana maji UNK anakwenda kukagua bomba akiwa amevaa suti na ndio maana mimi UNK hata siku moja nikiwa nimevaa suti UNK UNK wangu na kama wangekuwa wanaruhusu ningekuwa UNK hata bungeni alisema mbunge wa viti maalum bibi anna abdallah aliunga mkono kauli ya bwana pinda akisema kuwa wanaovaa suti sehemu UNK UNK kama weu na ndio maana kazi nyingi zina mavazi yake rasmi kila kazi ina miiko yake sisemi kuwa watu wasiwe nadhifu ni vema turudi UNK ila sijaona mbunge anayekwenda kuwatembelea wananchi wake akiwa amevaa suti labda kwa dar es salaam ila ninachoomba kuwepo vazi la kazi na rasmi alisema naye mbunge wa ilala bwana mussa hassan zungu akizungumzia magari ya kifahari alisema kuwa suala hilo aliwahi kulipigia kelele bungeni na kwamba anashangazwa sana kuona kiongozi akiwa ametinga kwenye gari kubwa la kifahari akienda jimboni huku wananchi wake wakiwa hawana mbele wala nyuma lakini bibi halima mdee ambaye ni mbunge wa viti maalum alisema umaskini wa watanzania hauwezi kwisha kwa UNK suti kwani wanaovaa vazi hilo ni matajiri na viongozi ambao ni sehemu ndogo bibi mdee alisema kuwa vazi hilo hupendelewa kuvaliwa na viongozi wa serikali na watu wenye uwezo kwa sababu wanamudu gharama za manunuzi nashangaa kusikia waziri mkuu kusema kuwa umaskini unachangiwa na kuvaa suti hii sio kweli kwani UNK wa vazi hilo hawajafika watu mbili sifuri sifuri sifuri kinachotakiwa aangalie kitu ambacho kinasababisha umaskini na sio hili UNK alisema bibi mdee alisema kuwa kama pinda anataka wananchi wavae mavazi mengine serikali inatakiwa UNK viwanda vya kutengeneza nguo ili watanzania UNK nguo kutoka nje zikiwemo suti ambazo anasema zinauzwa kwa gharama kubwa chukua hatua kwa kweli sisi ndio UNK mikoani na tunaona watanzania mavazi UNK ni ya kawaida ikiwemo mitumba ambayo wanamudu gharama zake alisema bibi mdee kwa upande wake mbunge wa micheweni kwa chama cha wananchi bwana shoka khamis juma alisema kuwa kuvaa suti au UNK ni UNK la mtu alisema kuwa kinachotakiwa waziri mkuu asiingilie utamaduni wa mtu kumtaka avae vazi gani na pia vazi hilo UNK umaskini wa nchi kama waziri mkuu anataka watu waache kuvaa suti angeanza kuonesha mfano kwa kuwapiga marufuku watumishi wa serikali kama UNK nguo hizo lakini kama UNK haina haja ya UNK naye mkazi wa jiji bwana UNK mdoe alisema uvaaji wa suti umetokana na ukuaji wa sayansi na teknolojia na watu wameanza kuiga vitu kutoka nchi za magharibi vikiwemo na UNK jana pinda alikaririwa akisema kuwa vazi la suti UNK watanzania ni la gharama kubwa ukilinganisha na kipato chao cha kawaida na hivyo kushauri wavae mavazi mengine ya kawaida imeandikwa na gladness mboma arusha rehema mohamed na rehema mwakasese dar asema lengo ni kutaka kulinda maslahi yao adai huo ni udhaifu dawa yake UNK waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bwana philip marmo amekiri kuwapo kwa kasoro za kiuongozi katika serikali ya tanzania ikiwamo ile ya matajiri kuwa na msukumo mkubwa katika kuweka viongozi madarakani ili kulinda maslahi binafsi bwana marmo aliyasema hayo jana alipokuwa akizungumza na majira ili kutoa maoni yake juu ya kauli ya viongozi wa dini walioitaka kuhakikisha matajiri UNK wananchi viongozi alisema pamoja na kwamba sio rahisi kuwabaini kwa mara moja watu hao ila anafurahi kusikia wadau wa madhehebu ya kidini walivyoamua kulivalia njuga kwa lengo la kulinusuru taifa hii inaashiria kuwa tumefikia mahala pazuri katika kupambana na watu wa aina hiyo alisema kauli hiyo ya bwana marmo inakuja siku moja baada ya viongozi wa juu wa madhehebu ya dini nchini kukemea tabia ya matajiri wanaotumia mali zao vibaya kwa kuweka viongozi watakaolinda maslahi yao viongozi waliofikia azimio hilo katika mkutano wa pamoja juzi ni wawakilishi wa baraza la waislamu tanzania baraza la maaskofu katoliki jumuiya ya kikristo tanzania ofisi ya mufti zanzibar na ofisi ya kadhi zanzibar wawakilishi madhehebu hayo ni rais wa tec askofu yudda thaddaeus ruwa ichi mufti mkuu wa zanzibar harith khelef mwakilishi wa naibu kadhi mkuu wa zanzibar kadhi said mahmud mwenyekiti wa cct askofu peter kitula na mwakilishi wa mufti mkuu sheikh taufiq ibrahim bwana marmo alisema kuwa miongoni mwa njia zitakazotumika kuwabaini watu wa aina hiyo ni pamoja kutungwa kwa sheria ya kusimamia matumizi ya fedha wakati wa uchaguzi kuanzia kwenye kura za maoni ambayo mchakato wake umeanza sio rahisi kwa sasa kugundua ni kwa kiasi gani watu wanatumia fedha vibaya wakati wa uchaguzi na namna ya kuwabana na hii ni kutokana na kwamba hakuna sheria UNK mambo haya alisema alisema kuwa muswada wa sheria hiyo unatarajiwa kuchapishwa wiki ijayo kwenye gazeti la serikali kupitia kwa mpiga chapa mkuu wa serikali ili watu UNK na kuupitia huku ukisubiri kupelekwa kusomwa kwa mara ya kwanza bungeni katika mkutano ujao kuanzia oktoba ishirini na saba mwaka huu bwana marmo alisema kuwa sheria hiyo itakapokamilika hawezi kujihakikishia kwa asilimia mia kuwa itatekelezwa na kufuatwa katika nyakati za uchaguzi lakini anaamini kuwa itawabana na kuwawajibisha wahusika kama zilivyo sheria nyingine alisema sheria hiyo mpya itawabana wagombea wa kila chama cha siasa kuonesha viwango halali vya fedha UNK katika kipindi chote cha uchaguzi hivyo kuepusha mianya ya matajiri kuendelea kuivuruga serikali katika kuwania madaraka serikali imesema upatu unaoendeshwa na kampuni ya deci ni mfumo uliojaa ujanja ujanja na haujawahi kufanikiwa sehemu yoyote duniani kutoka na ukweli huo imewataka wananchi kuzingatia onyo lililotolewa hivi karibuni na benki kuu ya tanzania na soko la mitaji kuepuka upatu huo kwa maslahi ya mitaji yao akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari dar es salaam jana waziri mkuu bwana UNK pinda alisema deci inaendeshwa kinyume cha sheria na kamwe serikali haiwezi kukaa kimya kuacha wananchi wahatarishe mitaji yao bwana pinda alisema sheria namba nane ya mwaka ishirini sifuri sita iliyosainiwa na rais na kuanza kutumia januari tano ishirini sifuri saba UNK michezo yote ya upatu alieleza kuwa kifungu cha mia moja na sabini na moja na cha sheria hiyo kimeeleza wazi kuwa yeyote anayeongoza au kuendesha mchezo wa upatu kwa kukusanya fedha kutoka kwa mtu mmoja na kumpa mwingine kwa muda uliopangwa anafanya kosa nilipokaa na wataalamu nikawauliza kuhusu jambo hili wameniambia mfumo huu ni upatu upatu unaendeshwa kwa kuchukua fedha kutoka kwa mtu mwingine bila kumlipa riba ila ni fedha inayolipwa kutokana na ongezeko la wateja wapya nikasema makubwa haya mbona itatuletea mgogoro alihoji bwana pinda na kuongeza upatu unaoeneshwa na deci haujawahi kufanikiwa sehemu yoyote duniani ni mfumo uliojaa ujanja ujanja mwisho wa siku watu UNK bwana pinda alisema deci UNK kwa wakala wa usajili wa kampuni julai ishirini na tano mwaka ishirini sifuri saba na imekuwa ikiendesha skimu mbili ambazo ni vuna UNK na mbegu uliyopanda na elimu skimu kwa kuboresha elimu taarifa za brella zimeonesha deci inamilikiwa na mchungaji jackson mtaresi mwenye hisa kumi na mbili themanini sifuri bwana timotheo ole UNK mchungaji dominick kigendi bwana samwel mtaresi na deci africa limited huku akifafanua viwango mbalimbali vya fedha UNK na kuvunwa na wateja wa deci bwana pinda alionya kwamba pamoja na faida kubwa wanayopata wakati wa mavuno jambo UNK wengi kujiunga mchezo huo ni hatari kwani mtaji UNK kulipa mavuno unategemea fedha za wateja wapya alisema watu wengi sasa wanakimbilia kukopa kiasi kikubwa cha fedha benki na vyama vya akiba na mikopo na kuzipeleka deci jambo ambalo ni hatari kubwa kwa uchumi wa nchi viwango vya deci ni vikubwa sana ukilinganisha na riba ya asilimia sita inayotolewa na mabenki wapo UNK benki na saccos wanachukua fedha nyingi wanapeleka deci hii UNK mambo yatakuwa kama yale ya marekani alionya bwana pinda alisema hadi sasa deci ina matawi arobaini na sita katika mikoa kumi na nane nchini na jumla ya wanachama mia nne na ishirini na tatu mia nne na sabini na sita amana zao zikiwa jumla ya shilingi bilioni kumi na tatu sabini na tano wakati taarifa za mabenki zinaonesha kampuni hiyo ina shilingi bilioni moja themanini na tatu tu ukilinganisha sehemu kubwa ya fedha za deci UNK nje mfumo wa benki maana yake deci ikifungwa leo na mali zake zote kukusanywa hazitoshi kuwalipa wanachama wake alisema na kusisitiza kuwa uhai wa deci unategemea idadi ya wanachama wapya bwana pinda alisema skimu za namna hiyo UNK mara tu UNK wanachama wapya UNK alitoa mfano wa albania mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita ambapo theluthi mbili ya wananchi wake walijiunga kwenye skimu kama hiyo UNK mwamba watu wote waligeuka na kuilaumu serikali jambo UNK machafuko makubwa alieleza kuwa taarifa zimeonesha kuwa deci kenya nayo ilisambaratika kadhalika nchini marekani skimu ya namna hiyo ilisambaratika na kuonya jambo hili leo laweza kuonekana rahisi lakini madhara yake UNK watu wengi wataumia alisema serikali imeunda sekreterieti inayojumuisha bot polisi na soko la mitaji kuchunguza deci na UNK shughuli hiyo na kujua ukubwa wa tatizo hatua za haraka zitachukuliwa mfumo huu ni kinyume cha sheria zetu sasa kama ni kinyume cha sheria vyombo vipo ni lazima sekreterieti hiyo UNK na hatua zichukuliwe alisema na kuongeza upatu huu si jambo ambalo katika ngazi ya serikali tunaweza kusema UNK upatu huu UNK na wajanja wajanja na hakuna cha maono wala UNK alisema bwana pinda alisema mbali na deci amepewa taarifa za kuwepo taasisi zingine kama hiyo zinazoendesha shughuli kama hiyo nchini na kuahidi kufuatilia jambo hilo UNK bot kwa kushindwa kuchukua hatua mapema dhidi ya deci kwani alisema yalikuwepo mawasiliano ya barua ya muda mrefu kati ya chombo hicho kuitaka deci kutoa maelezo ya kukiuka malengo ya usajili wake lakini UNK majibu naye reuben kagaruki anaripoti kuwa wakati bot ikiendelea kuwahadharisha wana upatu wa deci kuwa wanahatarisha mitaji yao wateja hao UNK kiasi cha kufika makao makuu ya kampuni hiyo usiku wa manane kwa ajili ya kuwahi kupanda na kuvuna ili kukwepa msongamano wa watu hali hiyo UNK uongozi wa deci kuwapiga marufuku kufika ofisini hapo kuanzia saa nane usiku vinginevyo itaimarisha ulinzi kuwadhibiti UNK agizo hilo tahadhari hiyo ilitolewa makao makuu ya deci yaliyopo mabibo dar es salaam na mmoja wa maofisa wa kampuni hiyo aliyekataa kutaja jina lake kuanzia sasa ni marufuku watu kufika nyakati za usiku vinginevyo tutaimarisha ulinzi kuanzia saa nane usiku alisema ofisa huyo na kusisitiza kuwa wateja wanaofika usiku ili kuwahi nafasi wanakiuka taratibu hivyo watakaokamatwa UNK pia ofisa huyo aliwaambia wateja hao kuwa deci haitatoa nauli kwa watu wanaokwenda kuvuna lakini kutokana wingi wa watu wakalazimika kuondoka bila kulipwa wengine wamekuwa wakidai nauli deci haiwezi kufanyakazi zote hizo kampuni haitatoa nauli kwa mtu anayedai alihadharisha ofisa huyo na kuongeza kuwa watakuwa wanatoa fedha hadi saa tisa alasiri alisema utaratibu huo mpya UNK kufuatia kuongezeka kwa wateja wanaokwenda kuvuna tofauti na ilivyokuwa kipindi cha nyuma awali ofisa huyo wa deci alizuiwa na wateja alipotaka kuondoka ofisi za mabibo huku wakishinikiza UNK utaratibu utakaotumika kuvuna na kupanda kutokana na kuongezeka kwa UNK wateja wa deci waliendelea kuvuna na kupanda bila wasiwasi licha ya tangazo lililotolewa na bot na baadhi walisikika UNK waandishi wa habari kuwa wanashirikiana na serikali kuua kampuni hiyo ninyi waandishi wa habari UNK na serikali UNK lakini hata UNK bado tuna imani na deci alisema bwana salum abdallah kutoka mbeya thompson mpanji anaripoti kuwa deci imesema kumekuwa na ongezeko kubwa la wateja baada ya kusikia katika vyombo mbalimbali vya habari kuhusu manufaa ya huduma wanayoitoa ya kupanda na kuvuna tumefanikiwa kwa asilimia tisini na tano kuwafikia walengwa wa huduma hii na hasa yule UNK UNK mwenye kipato cha chini ambaye hawezi UNK katika benki ya aina yoyote alisema mmoja wa watendaji wa tawi la mbeya aliyejitambulisha kwa jina la brother jackson aliyedai anazungumza kwa niaba ya meneja wa tawi hilo alifafanua sababu UNK kuchagua neno la kupanda na kuvuna ni kuwa katika maandiko ya kidini na kwamba kutokana na deci kuendeshwa na shirika la dini la madhehebu ya kipentekoste waliona ni neno bora baadhi ya wateja wa deci mbeya wakizungumza na majira UNK waasisi wa kampuni kwa kutoa huduma hiyo na kudai mungu UNK wahitaji wake bibi asha mohamed mkazi wa block t jijini mbeya alisema viongozi wa dini mbalimbali wanapaswa kuiunga mkono deci kutokana na kuwasaidia watanzania wanyonge watumishi kadhaa wa halmashauri ya jiji la mwanza wamekamatwa katika hifadhi ya taifa ya serengeti kwa tuhuma za kuingia kinyume cha sheria na kufanya ujangili katika hifadhi hiyo akizungumza na mwandishi wa gazeti hili juzi ofisini mwake mjini bunda mkuu wa kikosi cha kudhibiti ujangili kanda ya serengeti bwana hassan nkussa alisema watu hao walikamatwa hivi karibuni katika hifadhi hiyo wakitumia gari aina ya toyota pick up lenye namba za usajili UNK elfu sita na mia tatu na sitini na sita mali ya halmashauri hiyo ni kweli tukio hilo lipo lakini kwa sasa hatuwezi kutoa taarifa zaidi wala kutaja majina ya watuhumiwa kwa vile uchunguzi bado unaendelea kuhusiana na suala hili alisema bwana UNK hadi juzi alasiri wakati mwandishi wa habari hizi akitoka ofisini hapo gari hilo bado lilikuwa UNK katika yadi ya ofisi hiyo hata hivyo bwana nkussa hakuwa tayari kueleza ni lini gari hilo UNK ili kuendelea kutumika katika shughuli za serikali mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la mwanza bwana wilson kabwe alipoulizwa ni nani aliruhusu gari hilo kwenda huko alimwambia mwandishi wa habari hizi aende UNK mamlaka UNK na kumshangaa kwa nini UNK suala hilo nendeni bunda mkawaulize UNK gari hilo UNK sana mtu mwenye akili kama wewe kuniuliza kuhusu jambo hilo alieleza bwana kabwe bila kutoa ufafanuzi zaidi rais jakaya kikwete ambaye pia ni mlezi msaidizi wa chama cha mabunge ya jumuiya ya madola ameyataka mabunge wanachama wa jumuya hiyo kuwa na mikakati ya kuzijenga nchi na si UNK na kuziingiza kwenye vurugu zinazoweza kuleta machafuko makubwa duniani rais kikwete alitoa kauli hiyo jana mjini arusha alipokuwa akifungua mkutano wa hamsini na tano wa cpa ambapo alidai kuwa mabunge hayo UNK kubwa katika kuhakikisha nchi hizo UNK rais kikwete pia alizitaka nchi tajiri kutimiza ahadi zake walizozitoa kwa zile nchi masikini ili ziweze kufanikisha malengo ya milenia UNK ikiwa ni pamoja kuwajibika kutokana na uharibifu wa mazingira duniani alisema kuwa kama mabunge hayo hayatakuwa makini katika kutekeleza majukumu yao yanaweza kupelekea mazingira yasiyo na matumaini kwa vizazi vijavyo hivyo UNK kutekeleza majukumu yao na si vinginevyo hali hii inapaswa UNK na wanachama wote wa cpa zikiwamo nchi masikini na tajiri ili kuimarisha ustawi wa maendeleo ya mataifa husika ikiwa ni pamoja na kuhakikisha UNK mikakati na kutatua changamoto mbalimbali zinazokabili nchi hizo alisema rais kikwete pia alizitaka nchi tajiri kutimiza ahadi zao kwa nchi masikini ili ziweze kufanikisha malengo ya milenia wakati kukiwa UNK muda mfupi kabla ya muda uliopangwa wa mwaka ishirini moja tano alisema changamoto nyingine kwa cpa ni kuwezesha mataifa wanachama UNK malengo hayo ya milenia pamoja na mikakati ya kukabiliana na misukosuko ya kiuchumi duniani rais kikwete aliongeza kuwa kwa kiasi kikubwa nchi zinazoendelea bado hazijafikia yale malengo waliyojiwekea hivyo kuna umuhimu mkubwa wa kupewa msaada zaidi kuhakikisha UNK aliitaka cpa kuwa na mikakati UNK kutatuliwa kwa changamoto mbalimbali UNK dunia hivi sasa ikiwamo ya mtikisiko wa kiuchumi ambao umesababisha mataifa mengi kuyumba kiuchumi akizungumzia mabadiliko ya hali ya hewa rais kikwete alisema cpa pia inajukumu la kuweka mikakati ya kupambana na tatizo hilo linalosababisha kuathiri maisha ya viumbe hai ulimwenguni rais kikwete alisema kuwa tayari athari za hali hiyo zimeanza kutishia viumbe duniani ambapo alitoa mfano kupanda kwa joto la dunia kumesababisha barafu kwenye mlima kilimanjaro na maeneo ya kusini mwa kaskazini mwa dunia UNK alisema uoto wa asili umeanza kupotea jangwa limezidi kuenea mifugo inakosa malisho mbu UNK na kusababisha ugonjwa wa malaria katika maeneo ambayo awali hayakuwa na ugonjwa huo naye rais wa cpa ambaye pia ni spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania bwana samuel sitta alisema mkutano huo ni sehemu muhimu kwa nchi wanachama kupata nafasi ya kubadilishana mawazo na kuweka mikakati mbalimbali ya kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wa nchi za jumuiya ya madola ni kwa kauli UNK UNK kuwadhalilisha chama cha walimu tanzania kimemtaka naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi bibi mwantumu mahiza kuomba radhi walimu wote nchini na kufuta kauli yake aliyoitoa wakati UNK walimu na wanachuo wa chuo cha songea agosti ishirini na mbili mwaka huu kuwa wanaodai mishahara mikubwa UNK fani nyingine hayo yalisemwa dar es salaam jana na rais wa cwt bwana gratian mukoba alipokuwa akielezea jinsi kauli hiyo UNK walimu nchini akisema ililenga kuwakejeli na UNK bwana mukoba alisema katika kikao cha dharura cha baraza la taifa la cwt wajumbe walijadili kwa kina kauli hiyo aliyoitoa na kumtaka aombe radhi na kuifuta vinginevyo walimu nchini wataendelea kuongozwa na mtu wasiokuwa na imani naye nasema kauli ya kusema kama unaona mshahara ni mdogo wa ualimu toka sasa nenda UNK biashara au siasa ili uwe mwanasiasa ni mbaya na inaumiza alisema alisema kauli hiyo iliyojaa dharau udhalilishaji na kupuuza hadhi ya walimu na uhuru wa walimu kuhoji na kujieleza ilitolewa na kiongozi wa serikali akijua kuwa mishahara ya walimu ipo chini alisema UNK UNK kuhusu serikali kuona umuhimu wa mishahara ya walimu kuongezwa alikuwa na hoja huku yeye kama naibu waziri UNK na kuwataka wanaotaka mishahara mikubwa kuondoka chuoni hapo kwani UNK serikali UNK alisema baraza linatambua yeye mwenyewe katika kusoma kwake hakusoma sayansi ya siasa wala uongozi wa biashara bali amesomea ualimu hivyo ni mwalimu wenzao na kwamba UNK UNK nao alipewa na wananchi ambao UNK walimu aidha alisema serikali inatakiwa kulipa madeni yote ya walimu wakiwemo walimu wa sekondari vyuo vya ualimu na wakaguzi ifikapo oktoba thebathini na moja mwaka huu vinginevyo chama kitaamua kuchukua hatua kwa mujibu wa sheria za kazi alisema madai mbalimbali yaliyotokana na likizo matibabu walimu kupandishwa madaraja ajira mpya bila ya mafanikio hadi agosti ishirini sifuri tisa jumla ya shilingi bilioni thebathini na tano zimelipwa bali walimu wa wanaohudumiwa na katibu mkuu wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi ni shilingi bilioni kumi na nane bwana mukoba alisema kwa taarifa za serikali ambazo zimethibitishwa na chama jumla ya shilingi bilioni thebathini na mbili za walimu za shule za msingi UNK kwa wakurugenzi wa halmashauri ambapo walimu wamelipwa na wengine wanaendelea kulipwa alisema pia walimu wa shule za sekondari wanadai shilingi bilioni kumi na nane lakini bado hawajalipwa isipokuwa zaidi ya shilingi bilioni moja UNK kuwa ni madai halali mtoto wa aliyekuwa waziri wa kilimo bwana charles keenja bibi UNK keenja ameburutwa katika mahakama ya wilaya ya ilala akikabiliwa na makosa ya kukutwa na dawa za UNK kinyume cha sheria mshitakiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka mbele ya hakimu wa wilaya bibi janeth UNK bibi keenja anatuhumiwa kwa makosa ya kupatikana na dawa za kulevya kinyume cha kifungu kumi na mbili cha sheria ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya alidaiwa kuwa oktoba mosi mwaka huu katika mtaa wa UNK dar es salaam alikamatwa na gramu sita sita za dawa ya kulevya aina ya UNK yenye thamani ya shilingi sitini sifuri sifuri sifuri hata hivyo mshitakiwa huyo alikana kutenda makosa hayo na upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika mshitakiwa huyo aliiomba mahakama kumpatia dhamana ambapo ilimtaka kuwa na wadhamini wawili wa kuaminika ambao watasaini dhamana ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri alitimiza masharti ya dhamana na kesi yake itatajwa tena novemba mbili mwaka huu ni baada ya mwenzao kugongwa na kufa siku chache baada ya wanafunzi wa sekondari ya kibasila dar es s UNK kuandamana na kufunga barabara kwa saa kadhaa wanafunzi wengine tena wa sekondari ya temboni kimara wamefanya vivyo hivyo na kusababisha dhahama kubwa kwa wakazi wa jiji la dar es salaam wanafunzi wao walichukua uamuzi huo baada ya mwenzao mmoja kugongwa na gari maeneo ya kimara temboni na kufariki dunia wakati akiwa kituoni akisubiri kupanda gari wakizungumza na gazeti hili mashuhuda wa tukio hilo walisema mwanafunzi huyo aliyetajwa kwa jina la sebastian fabian wa kidato cha tatu temboni sekondari mkazi wa mbezi UNK alikuwa akisubiri usafiri kituoni kabla UNK na gari hilo unajua ilikuwaje kulikuwa na gari kubwa UNK ikitokea mjini kufika hapa ikawa ina UNK sasa yule dereva aliyesababisha ajali akaona watavaana uso kwa uso UNK hatari hiyo ile kutoka tu barabarani akakuta mbele yake kuna dcm UNK kituoni akaamua kutoka zaidi nje ndio ajali hiyo ikatokea alisema bwana peter mwakyusa na kuongeza kwanza alimkosa kosa mwanajeshi mmoja UNK ndipo akamkuta kijana huyo UNK na kudondoka kwa mbele kabla UNK tena kwa juu alisema bwana peter mwakyusa mmoja wa shuhuda wa ajali hiyo shuhuda mwingine ambaye hakutaka jina lake kuandikwa gazetini alisema baada ya ajali hiyo wanafunzi waliamua kufunga barabara kwa amani kwa kuweka mawe na magogo njiani ghafla walifika vijana wanne amabo walichukua mawe yale na magogo na kuanza kuwatupia wanafunzi ambao nao waliamua kujibu mapigo mwanzoni walikuwa wamesimama barabarani wengine wakicheza bila kufanya vurugu yeyote wala kumdhuru mtu yeyote wakisema wanamtaka mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya aje waongee naye sasa walipokuja wale UNK wale ndio UNK mambo yote lakini kitu walichokosea wanafunzi badala ya kuwalenga wale vijana wakaamua kumalizia hasira zao kwa wenye magari alisema bwana hussen UNK mmoja wa madereva ambaye gari lake lilikuwa UNK kwa UNK mawe gazeti hili lilishuhudia eneo la tukio likiwa UNK mawe vipande vya magogo na vioo vya magari UNK magari yakiwa UNK mawe huku shuhuda mwingine akisema kuwa mwanafunzi aliyegongwa alikufa wakati akipelekwa hospitali ya UNK habari zinasema magari zaidi ya matano yalivunjwa vioo katika vurugu hizo mkuu wa wilaya ya kinondoni bwana jordan rugimbana aliyekuwa kiongozi mwandamizi wa kwanza kufika eneo la tukio alisema kuwa kitendo walichofanya wanafunzi wale ni uvunjifu wa sheria za nchi unajua serikali ili UNK wanafunzi wa kibasila kwa sababu wao pamoja na kwamba walifanya makosa lakini bado UNK vurugu wala kuhatarisha amani na kuharibu mali za watu kiasi walichofanya hawa unaona UNK mawe magogo na kibaya kabisa wahuni pia wamepitia humo na kufanya uharibifu mkubwa katika kuonesha kuwa dhahama ilikuwa kubwa iliwalazimu wanajeshi kadhaa waliokuwa katika magari yao yenye na elfu tano na mia tano na kumi na nane jw o saba elfu tano na mia nne na tisini na tisa jw sifuri saba elfu tano na mia nne na tisini na tisa jw sifuri saba thebathini nne tatu jw sifuri nne na mengine kushuka na kuanza kuwaamuru baadhi ya madereva kupisha njia magari ya jeshi yaliyoonekana kuwa na mizigo wakati wanafunzi wa kibasila walifunga barabara ya changgombe jijini dar es salaam wale wa temboni UNK barabara ya morogoro moja ya njia kuu za kuingia katika jiji la dar es salaam katika maeneo ya kimara kwa tembo katibu wa halmashauri kuu ya taifa uchumi na fedha ya chama cha mapinduzi bwana amos makalla amezidi kumshambulia waziri mkuu mstaafu jaji joseph warioba na kudai kiongozi huyo hapendi kupingwa wala kukosolewa bali anapenda hoja zake zionekane ndio fikra sahihi bwana makalla ametoa hoja hiyo jana kufuatia kauli za jaji warioba kupitia gazeti moja la kila siku nchini kudai kuwa amemtukana na anajipendekeza kwa mwenyekiti wa ccm rais kikwete baada ya kujibu hoja zake za hivi karibu UNK masuala mbalimbali ya chama na utendaji wa serikali katika taarifa yake UNK kwa gazeti hili jana bwana makalla alisisitiza kuwa anamheshimu sana jaji warioba na hajawahi kumtukana bali alimlaumu mwanasiasa huyo kuwa hapendi kukosolewa wala kupingwa hoja zake nimesoma majibu ya mzee warioba katika gazeti leo katika utetezi wake anadai nimemtukana UNK kwa kikwete UNK mtandao na pia amesema yeye UNK matatizo yaliopo sasa ya udini na matabaka yanayohatarisha amani na alitumia fursa hiyo kuishauri serikali naomba niseme tena namheshimu sana mzee warioba na si kweli kama mimi nimemtukana ila mzee warioba ni miongoni mwa wazee wasiopenda kupingwa wala UNK na anapenda hoja yake ichukuliwe ni fikra sahihi ambayo kila mtanzania anapaswa UNK UNK kama kweli yeye ni mwana ccm thabiti tena waziri mkuu mstaafu UNK kutumia uzoefu wake kutoa ushauri kwa viongozi wa chama na serikali katika vikao vyao au kuwaona moja kwa moja maofisini awe rais waziri mkuu na viongozi wa juu katika chama je fursa hizo kwake yeye anaona zimeshindikana na anaona ni vema ashauri kupitia vyombo vya habari au ni UNK gani ya kushauri serikali kwa kuita waandishi wa habari kwanini yeye anapenda kukosoa kupitia vyombo vya habari alihoji bwana makalla bwana makalla alisema kama jaji warioba anataka kuendelea kuheshimika akubali ushauri wake na akitumia staili hii ajiandae pia kupokea changamoto kama hizi za kupingwa hadharani mimi UNK kwa kikwete kama anavyodai yeye mimi ni wajibu wangu kama mwana ccm na kiongozi kutetea chama changu na serikali ya ccm yeye mwenzangu ameamua kutafuta umaarufu wa kuikosoa serikali ya chama chake hadharani kwa maslahi binafsi alidai bwana makalla alikana madai ya kuendekeza mtandao na kudai kuwa jaji warioba UNK sauti kwa hoja dhaifu na kueleza kwamba UNK ni kuambiwa ukweli kuwa kasoro UNK na kulaumu zinasababishwa na kinyongo cha kushindwa mgombea aliyemuunga mkono mwaka ishirini sifuri tano daktari salim ahmed salim namshukuru amekiri kwa mara ya kwanza wazi wazi kuwa alikuwa kwa salim ishirini sifuri tano hivi kama inajulikana hivyo sasa UNK nini UNK serikali hata jambo moja la kusifia hana kwanini nisiamini kuwa UNK makundi mimi sina kinyongo na salim namheshimu sana ila nina tatizo na wapambe kama anavyofanya mzee wangu warioba UNK tu hivi anataka UNK kuwa siku ya mkutano wa kupata mgombea urais ishirini sifuri tano yeye tayari UNK shati lake safi la ccm lenye nembo ya bendera ya taifa huku UNK kuwa salim akishinda anakuwa mgombea UNK kwanini nisiamini kuwa salim UNK kushindwa lakini yeye UNK umakamu basi hasira zake ndiyo kushambulia serikali UNK anasema UNK alilalamika bwana makalla alimtaka jaji warioba kutafakari upya namna bora ya kutoa ushauri kwa serikali na chama pasipo kuingia katika njia ambazo zitawaingiza watanzania katika malumbano nachelea kuamini kama uzee ni dawa lakini si kila mzizi ni dawa ipo mizizi mingine ni sumu mimi niliamini kuwa mzee warioba UNK rais alipoongea na wananchi juu ya udini UNK vizuri sana sasa kama mkuu UNK hakuwa na sababu tena ya kuitisha mkutano suala la tabaka la UNK na UNK ni changamoto kwetu sote kushirikiana na serikali kutafuta majawabu UNK kwa UNK pasipo kutoa majawabu UNK mzee warioba na watanzania wote tushirikiane na serikali kujenga nchi yetu tuache siasa UNK umoja wetu na amani tuliyonayo alisema bwana makalla ni kawambwa wasira masha na kapuya kama UNK UNK ishirini moja sifuri maaskofu na wachungaji ishirini na tano kutoka makanisa mbalimbali nchini wamemtaka rais jakaya kikwete kuwawajibisha mawaziri wake wanne ambao wamedai wameshindwa kutekeleza wajibu wao na kutishia kuwa asipofanya hivyo watahamasisha waumini wao UNK kura viongozi hao katika uchaguzi mkuu ujao mwakani mawaziri waliotajwa na wizara zao katika mabano ni daktari shukuru kawambwa bwana stephen wasira bwana lawrance masha na profesa juma kapuya wakizungumza katika shamba la rais jakaya kikwete UNK wilayani bagamoyo juzi maaskofu hao walidai mawaziri hao wanatia doa serikali na kuonekana kuwa ina upungufu katika katika utendaji wake rais ana muongozo mazuri lakini sasa watendaji wake ndio UNK UNK UNK ingawa naye ana upungufu katika ucheleweshaji wa kutoa majibu yanayohusu masuala magumu yanayolikabili taifa kama mambo yanayoendelea sasa visiwani zanzibar alisema askofu thomas faida wa kanisa la UNK assemblies of god shinyanga walifafanua kuwa waziri kawambwa ameshindwa kusimamia shughuli za kampuni ya reli tanzania na kumuachia mwekezaji kufanya jambo lolote analotaka huku akiwadanganya wananchi kuwa kuna mazungumzo yanayoendelea katika ya serikali na mwekezaji huyo kuhusu profesa kapuya walidai amekuwa kimya katika wizara yake badala ya kutafuta mbinu mbadala za kupunguza UNK mitaani na vijana wanaoishi katika mazingira magumu ambao wizara yake UNK walimlalamikia waziri mwingine bwana masha na kudai kuwa amekuwa UNK katika mradi wa vitambulisho vya utaifa na hoja iliyozua malumbano katika mkutano wa kumi na sita wa bunge wa bunge la jamhuri ya muungano jambo walilodai ni hatari kwa taifa maaskofu hao ambao walifika kujionea jinsi rais kikwete anavyofanya shughuli zake binafsi kama kilimo walifurahishwa na shamba lake linalotumia mbolea ijulikanayo kama earth food kutoka marekani na kusambazwa nchini na kampuni ya UNK internation ltd shamba hilo lenye hekari ishirini na tano ambalo limepandwa UNK migomba pamoja na minazi lipo katika mkoa wa pwani wilaya ya bagamoyo kata ya UNK maaskofu UNK wamemtaka waziri wa kilimo na chakula bwana wasira naye UNK wadhifa wake baada ya kushindwa kujifunza jinsi ya utumiaji wa mbolea kutoka katika shamba hilo na kutoa elimu kwa wananchi walisema bwana wasira amekuwa akitoa elimu ya kutumia mbolea ya chumvi chumvi yenye kemikali kali UNK rutuba katika ardhi na kusababisha njaa katika mikoa kumi na saba walisema waziri huyo anapaswa kujua mbolea inayotumiwa katika shamba la rais kikwete ndiyo mkombozi wa wakulima wa tanzania kwa kuwa UNK kwa kutumia taka za shamba zisizo na UNK akizungumza kwa niaba ya wachungaji wenzake mchungaji william mwamalanga wa shirika la UNK and UNK UNK association alisema lengo la ziara hiyo ni kujifunza namna mbolea hiyo inayotumika katika shamba hilo mchungaji mwamalanga alisema UNK hatua ya kusambaza mbolea ya UNK mikoani hivyo wanaandaa maandamano nchi nzima kupinga matumizi ya mbolea hiyo pamoja na kudai fidia UNK yatokanayo na mbolea hiyo alisema kuwa wanahitaji kuonana uso kwa uso na rais kikwete ili kutoa sababu za msingi juu ya mbolea hiyo huku wakisisitiza athari kubwa ya uingizaji na usambazaji wa mbolea hiyo kwa mkulima na mazingira wakizungumzia siasa nchini walidai kuwa kuna utata ulioibuka kati ya wanasiasa na dini hivyo wameahidi kufanya mdahalo nchi nzima kati ya wanasiasa na dini zote ili kutofautisha vitu hivyo naye mchungaji wa kanisa la UNK to all people lililopo dar es salaam UNK UNK alisema kuhusu matumizi ya mashangingi UNK la suti UNK na waziri mkuu bwana pinda hivi karibuni yeye mwenyewe anapaswa kuonesha mfano kwa kuanza kutumia gari la kawaida badala ya UNK hakuna maana yoyote kukataa kitu kwa wengine kisha UNK wewe mbona hajafanya msafara na bajaj au teksi ili awe mfano kwa wenzake alihoji mchungaji UNK matatizo yanayojitokeza kati ya wapangaji wa shirika la nyumba la taifa na serikali yalisababishwa na maamuzi ya kutaka shirika hilo UNK mwelekeo ili lianze kujenga nyumba na kuuza badala ya UNK kauli hiyo ilitolewa jana dar es salaam na waziri wa nyumba na makazi bwana john chiligati alipokutana na wapangaji hao waliomtaka kukutana naye ili kuelezea kero zao na kutaka ufafanuzi jinsi nyumba hizo UNK hapo baadaye bwana chiligati alisema kutokana na kuwepo kwa malalamiko mengi serikali imeamua kubadilisha mwelekeo wa nhc wa kupangisha na kuwa na majukumu ya kujenga nyumba na kuuza tu serikali imeamua kubadilisha mwelekeo wa shirika hilo na sasa UNK na kujenga nyumba na kuuza na si kupangisha tena kama ilivyo sasa alisema bwana chiligati na kuongeza kwamba kutokana na maamuzi hayo serikali tayari imeimarisha utaratibu wa kuwakopesha wananchi ili waweze kununua nyumba au kujenga nyumba zao hapo baadaye akijibu baadhi ya madai ya wapangaji hao kuwa nhc imeamua kupandisha kodi kiholela waziri alisema kuwa nhc UNK kodi kiholela na kuwa kodi UNK na nhc ni ya kiwango cha chini sana lakini pia kuwa mabadiliko ya kodi lazima UNK ili shika hilo UNK kibiashara aidha alifafanua kwamba utaratibu wa nhc kuamua kuingia ubia na baadhi ya mashirika katika ujenzi wa nyumba hizo ulitokana na shirika hilo kutokuwa na pesa za kujiendeleza hivyo iliamua kuendelea kuwapatia huduma wananchi kwa kutumia mfumo huo bwana chiligati alisema kuwa kutokana na umuhimu wa nyumba hizo kumilikiwa na watu binafsi aliamua kutoa maagizo kuwa baadhi ya nyumba hizo ziuzwe UNK kauli hiyo ukumbi wote UNK na mashaka na kuwa na hamu kubwa ya kutaka kujua mchanganuo wa nyumba zitakazouzwa kwao na zile UNK katika mikono ya nhc alisema kuwa nyumba zilizopo katika maeneo ya uchumi UNK kwa watu UNK bali UNK ili kuiongezea kipato serikali nyumba za makazi ya watu zitauzwa kwa UNK wajumbe wa mkutano wa hamsini na tano wa mabunge ya jumuiya ya madola UNK unggangganizi wa baadhi ya viongozi a afrika kwenye madaraka kuwa UNK demokrasia na kulazimisha serikali za mseto katika nchi zao kauli hizo zilitolewa jana na UNK wa cpa wakati walipokuwa wakichangia mada ya namna serikali za mseto UNK demokrasia duniani katika mada hiyo ambayo ilikuwa ni vute nikuvute mjadala mkali ulizuka katika mkutano huo kuhusu suala la serikali ya mseto katika nchi ya zimbambwe na kenya kama ni za mseto au la hali iliyosababisha kuzua utata wajumbe hao walisema kuwa ili kunusuru balaa hilo ni vema viongozi waliokaa madarakani kwa muda mrefu kuwaachia wengine hata hivyo aliyekuwa spika wa bunge la afrika bibi getrude mongela ambaye ni mbunge wa ukerewe ccm alifafanua maana ya demokrasi akisema kwamba ni mfumo ambao maamuzi UNK kwa kuangalia kura za wengi alisema serikali za mseto maana yake ni UNK wa vyama wa kuunda serikali baada ya mojawapo ya chama kushindwa kupata kura UNK kuunda serikali alionya kuwa kulingana na mfumo huo serikali za kenya na zimbabwe siyo za mseto hivyo UNK wajumbe kuwa makini wakati wa mjadala huo naye mbunge wa viti maalum bibi halima mdee akichangia mada alisema kwamba serikali za mseto UNK pale vyama UNK na wawakilishi wengi bungeni kwa kiwango UNK hivyo kuonekana kuwa ipo haja ya kushirikiana katika kuendesha serikali lakini akasema pia serikali ya mseto huweza pia kuundwa pale inapotokea kutoelewana katika matokeo ya uchaguzi na hata kusababisha UNK kwa sababu hiyo kama njia ya kusuluhisha mgogoro wanaunda serikali ya pamoja yaani mseto alisema alisema pia kuwa kuunda kwa serikali ya mseto inawezekana kuwa ni UNK wa kulazimishwa na jumuia ya kimataifa professa UNK UNK alisema kuwa hata muundo wa serikali za umoja wa kitaifa kama ilivyo zimbabwe na kenya unakandamiza demokrasia naye mchambuzi wa mambo ya siasa nchini jenerali ulimwengu alielezea maana ya serikali ya mseto kuwa ni muungano unaotokea baada ya chama kimoja kushindwa kuwa na haki ya kuunda serikali peke yake alitoa mfano wa mataifa hayo kuwa ni india pakistani australia na uswizi akichangia mada hiyo mbunge wa UNK kupitia chama cha pnu nchini kenya bwana njoroge UNK alisema kwamba muundo wa serikali ya umoja wa kitaifa kama ulivyo nchini kwake unaelekea UNK hata kwa nchi nyingi afrika naye mbunge wa jimbo la UNK kupitia UNK bwana UNK UNK alisema kwamba muundo wa serikali ya kenya ulitokana na chama cha pnu kung ang ania kuendelea kuwa madarakani alisema ni tatizo ambalo limetokea kenya na zimbabwe lakini pia UNK nchi ya uganda kutokana na hali UNK mjadala huo umekuja wakati kuna shinikizo la kuvitaka vyama vya ccm na cuf kufikia makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa kuongoza visiwa vya zanzibar mtihani wa kidato cha nne kwa shule za sekondari na wa maarifa unaanza hii leo nchini kote huku wizara ya elimu UNK dhidi ya udanganyifu kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa dar es salaam jana kwenye vyombo vya habari na waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi profesa jumanne maghembe jumla ya watahiniwa mia tatu na hamsini na moja mia tisa na hamsini na nane watafanya mtihani huo ambao utamalizika oktoba ishirini na tatu mwaka huu kutokana na unyeti wa mtihani huo serikali imewaonya wale baadhi ya watahiniwa na wasimamizi wasio waaminifu ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya udanganyifu katika mitihani watahiniwa watakaobainika kufanya udanganyifu wamekuwa UNK mitihani na matokeo yao yote kwa mujibu wa kanuni za uendeshaji wa mitihani taifa ilisema ilisema kuwepo na vitendo hivyo kunaweza kulisababishia taifa kupata wataalamu UNK ubora na hivyo kurudisha nyuma juhudi za serikali za kutoa elimu bora kwa wote wizara inapenda kuwaasa watahiniwa wasimamizi walimu na wananchi wote kwa ujumla kujiepusha na vitendo vya udanganyifu wa aina yoyote katika kipindi chote cha mtihani ili kuhakikisha mtihani unafanyika katika hali ya amani na UNK ilisema ilisema yeyote atakayebainika kukiuka taratibu za uendeshaji mitihani hatua kali za kinidhamu na za kisheria zitachukuliwa mfanyabiashara maarufu wa zanzibar bwana mohamed raza ameibuka na kusema kuwa bila bunge la tanzania chini ya spika samuel sitta kusimama kidete katika mambo kadhaa yanayoendelea hivi sasa nchini watanzania wangekuwa watumwa wa UNK wachache wenye pesa pia katika hali ambayo inaweza kuzua mjadala mkubwa ndani ya ccm na bila shaka nchi nzima bwana raza alisema kuwa haoni sababu ya chama hicho kutoa karipio kwa wabunge ambao wameamua kusimama kidete kupinga ufisadi wala kuunda kamati ya kuwachunguza akisema hiyo ni kazi bure kwani mambo yanayosumbua UNK mbali na hilo bwana raza ambaye alisema alivuka bahari jana kuja kuongelea masuala matatu ya kitaifa hasa katika wakati huu ambapo taifa liko katika maombolezo ya miaka kumi ya kifo cha baba wa taifa hayati mwalimu julius nyerere aliwataka watu kadhaa wakiwemo makada wa ccm wanaotuhumiwa kwa ufisadi kupisha katika nyadhifa zao na kukaa pembeni bwana raza alisema kuwa kwa sasa bunge la tanzania ndio kimbilio cha kilio na uhai wa watanzania alisema kwa kusimama kwao kidete kupinga ufisadi na kuikosoa serikali wabunge wakiongozwa na sitta wameweka heshima kubwa kwa nchi na walipaswa kupongezwa na kupewa heshima hapa hapa nyumbani ikibidi kwa kuitisha maandamano nchi nzima mheshimiwa spika kada wa ccm yule na wabunge wanaopinga ufisadi wameweka heshima kwa nchi yetu sasa tunashuhudia wanapewa tuzo za heshima na nchi kama marekani kwa kupinga ufisadi kwa nguvu zote bila UNK wanapongezwa kwa mapambano yao kwa nini UNK alihoji tulipaswa kuandaa maandamano nchi nzima kuwapongeza sio kutoa karipio karipio la nini UNK sasa imeundwa kamati ya kuwachunguza ya kazi gani hiyo mbona UNK kazi mzee wa watu mwinyi bila sababu ya msingi masuala yaliyosababisha yote hayo UNK alisema kada huyo bwana raza alikuwa anabeza kazi iliyoundwa kuchunguza mahusiano ya wabunge wa ccm na serikali yao UNK na halmashauri kuu ya taifa ya ccm ikiongozwa na rais mstaafu ali hassan mwinyi na wajumbe wawili makamu mwenyekiti wa ccm pius msekwa na spika wa zamani wa bunge la afrika mashariki UNK kinana alisema ni wakati mwafaka sasa kwa viongozi kuchukua hatua katika masuala hasa yanayohusiana na ufisadi na uhujumu uchumi yanayoendelea nchini badala ya kuishia kuunda tume ambazo zinatumia pesa nyingi lakini inapofikia wakati wa kuchukua maamuzi kunakuwepo na UNK tume nyingi tu zinaundwa zinatoa taarifa lakini ikifika UNK pa kutoa maamuzi watu UNK na UNK sasa kitu cha busara wale wote ambao wanatuhumiwa kwa ufisadi ni bora UNK katika nyadhifa walizonazo kuanzia walioko bungeni ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu wote waondoke haiwezekani bunge ndicho chombo kinachosimamia serikali cc na nec zina nguvu ya kuongoza nchi kote huko kuna watu wamejaa tuhuma za ufisadi vyombo hivyo vinapaswa kuwa safi UNK kuna watu wana tuhuma nyingi tu wanaongoza kamati za maadili za chama UNK hao wakae pembeni mtu mzima akituhumiwa hukaa pembeni UNK alisema alisema kuwa katika kipindi hiki cha miaka kumi bila kuwepo kwa mwalimu nyerere tanzania inapitia misukosuko ambapo maadili miongoni mwa viongozi na wananchi kwa ujumla yameshuka kwa kiwango cha kutisha alisema inashangaza kusikia au kuona kiongozi anatembelea wananchi akiwa ndani ya gari la kifahari lakini wananchi wale hawapati huduma za msingi ambazo ziko ndani ya wajibu wa kiongozi huyo unajua inashangaza labda ninyi UNK vijijini mimi UNK kote huko unguja na pemba kuna matatizo ya skuli vituo vya afya maji lakini unamuona mkurugenzi wa maji au afya akiwa na gari la mamilioni ya pesa anakwenda kuwatembelea wananchi ambao hawana hata uhakika wa kupata maji au dawa katika vituo vya afya watu UNK kutafuta maji kilometa kadhaa taabu kweli mara unasikia shirika limejenga nyumba kwa milioni kama themanini sifuri halafu nyumba hiyo UNK kwa mkurugenzi kwa milioni chache kama sabini hivi kwa nini inakuwa hivi UNK kuunda tume kama hatuwezi kuchukua maamuzi basi bora tume hizo UNK alisema bwana raza huku UNK kutaja majina ya watu kama waandishi wa habari walivyokuwa wakitaka katika maswali yao kwake aliwataka wananchi kutokaa kimya katika masuala ambayo yanafanywa na viongozi na kurudisha maendeleo ya taifa nyuma pia aliwataka kuwaunga mkono ikibidi kuwaombea wale wote wakiwemo wabunge wanaopinga vita ufisadi akizungumzia suala la muungano bwana raza alisema unapaswa kuimarishwa kwa kuzingatia mambo ya msingi kama vile kuridhiana kuheshimiana UNK na kuaminiana alisema ni suala la ajabu badala ya viongozi kuketi pamoja na kuyazungumza mambo ya muungano kama walivyokuwa wakifanya waasisi wa muungano mwalimu nyerere na hayati abeid karume wamebaki kutoleana kauli ambazo UNK mstakabali wa mahusiano baina ya pande zote mbili watu wamesikia harufu ya mafuta tu hata hayajapatikana tayari imefanywa kuwa ajenda kubwa wanagombea mafuta ambayo UNK na kamwe suluhisho la muungano haliwezi kuwa serikali moja huu UNK kwa ajili ya serikali mbili basi tena wengine wanaotoa kauli hizo za ajabu ni makada wa ccm na viongozi wa serikali alisema katika suala la vurugu zinazoendelea tanzania visiwani juu ya uandikishaji vitambulisho vya makazi alisema kuwa kila mmoja anastahili kupata haki hiyo bila kujali itikadi ya kisiasa rangi kabila wala dini ilimradi sheria iliyowekwa kwa mujibu wa katiba UNK alisema ilikuwa inasikitisha kuona vurugu zikiendelea hata wakati wa mwezi mtukufu wa ramadhani hivyo UNK tume ya uchaguzi na mamlaka nyingine husika UNK mambo kama hayo wakati mwingine wakati kaulimbiu ya kampeni UNK madarakani rais jakaya kikwete maisha bora kwa kila mtanzania ikizidi kuhojiwa na wananchi kama imesaidia kuboresha maisha yao jana rais huyo UNK akisema si yake bali ilikuwapo hata kabla ya uhuru taarifa iliyotolewa jana na kurugenzi ya mawasiliano ya rais ikulu UNK rais kikwete UNK sera hiyo kuwa wanaosema UNK yeye wanabeza wakati sera hiyo ilikuwapo na itaendelea kuwapo hata baada yake wapo watu UNK kuwa hii sera ya maisha bora UNK na akina kikwete sisi UNK sera ile ile ambayo taifa hili limekuwa UNK tokea uhuru wetu na wala kazi hii haitaishia kwangu mimi hata wale viongozi UNK wataendeleza sera hii kwa sababu kazi ya kujenga maisha bora kwa wananchi UNK haina kikomo alisema rais kikwete alisema kuwa hata kabla ya uhuru mwalimu julius nyerere alitambua ili uhuru na umoja viweze UNK ni lazima wananchi wake wapate maisha bora na ndiyo maana UNK maadui wakuu watatu ujinga maradhi na umasikini na njia za kukabiliana na maadui hao rais kikwete ameyasema hayo mjini mwanza juzi jioni alipozungumza na vijana wa ccm ambao walioondoka mjini mwanza jana kwenda butiama mkoani mara kwa matembezi maalum ya kumuezi mwalimu kwenye kumbukumbu ya miaka kumi tangu kifo chake oktoba kumi na nne elfu moja na mia tisa na tisini na tisa vijana mia moja na sitini na sita kutoka mikoa yote ya tanzania wanashiriki katika matembezi hayo ya siku kumi na UNK njia ambayo mwalimu nyerere alitembea mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba katika kuunga mkono na kuhamasisha azimio la arusha kaulimbiu ya matembezi hayo ni uhuru na kazi na miongoni mwa mambo ambayo vijana hao watafanya njiani ni kukarabati shule ya msingi ya UNK ambako mwalimu nyerere alipata elimu yake ya msingi rais kikwete UNK watanzania ambao wanabeza uhuru wa tanzania na kufurahia wakati jina la tanzania UNK na wageni na kuwasihi watanzania kuzidi kumuenzi mwalimu wamarekani wale UNK george washington sisi tunaye mwalimu julius UNK nyerere na kila nchi ina mwasisi wake ambaye anakumbukwa kwa UNK amesema mwalimu na kuongeza la kwanza la kumkumbuka mwalimu ni uhuru wa nchi yetu huyu alikuwa ni kiongozi UNK achague kati ya siasa ama kazi ya ualimu huyu mzee wetu akachagua siasa na utumishi wa umma bila hata kujua UNK nini akachagua kupigania uhuru wa nchi yetu kama mnavyojua UNK hii kazi ya siasa ni UNK unakwenda kugombea ukijua kuna kupata ama kukosa lakini yeye alifanya uamuzi sahihi wa kupigania uhuru rais kikwete alisema kuwa uhuru siyo mipaka bali ni heshima ya nchi na ndiyo maana tanzania haitasita kumkabili yoyote ambaye UNK kuchezea uhuru huo kuhusu umoja wa taifa rais kikwete amesema kuwa mwalimu UNK kuwa uhuru wa nchi unazaa umoja ili nchi iwe moja na UNK vipande vipande kwa sababu yoyote ile aliondoa viashiria vyote vya kuvunja umoja wa taifa tokea mwanzo kabisa aliondoa UNK ili kuondoa nguvu za ukabila alitambua hatari ya dini na UNK shule zote za dini ili vijana wetu waelimishwe na kulelewa kama vijana wa taifa moja na siyo vijana wa dini tofauti UNK hotuba UNK na walinzi yaelezwa ni uchovu wa safari nyingi asema ubishi wake ndio umemponza rais jakaya kikwete jana alilazimika kukatisha hotuba yake na kuomba kukaa baada ya kuishiwa nguvu ghafla na kisha kubebwa na walinzi wake kwenda kupumzika tukio hilo UNK jana mchana wakati akihutubia kwenye maadhimisho ya UNK ya kutimiza miaka kumi sifuri ya kanisa la african inland church tanzania kwenye uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza uwanja wa kirumba unaweza kuelezwa kuwa una bahati mbaya kwa rais kikwete kwani akiwa hapo aliwahi kunusurika kuanguka UNK miguu na mganga wa jadi oktoba mwaka ishirini sifuri tano wakati akiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu katika tukio hilo kijana huyo UNK bwana kikwete miguu akiwa juu ya kigoda akisimikwa na mtemi wa wasukuma kwa kumuangusha lakini UNK na walinzi kijana huyo alikamatwa na kushitakiwa baadaye kumhukumu kifungo cha miaka kumi jela pia rais kikwete aliwahi kuanguka na kukimbizwa hospitalini wakati akihutubia mkutano wa kufunga kampeni zake katika uwanja wa jangwani kama ilivyo kuwa jana tukio hili UNK kusababishwa na uchovu uliotokana na safari ndefu ya kampeni baada ya kutokewa na mkasa huo jana rais kikwete aliomba kwenda kuketi ili aendelee na hotuba lakini hali yake ilizidi kuwa mbaya UNK nguvu na UNK mkuu wa mkoa UNK kandoro na ndipo UNK na wasaidizi wake kwenye chumba cha mapumziko UNK kwa takriban dakika kumi wakati rais akipewa huduma ya kwanza UNK mussa UNK UNK na kuvunja ukimya na kuwataka waumini kumwombea rais kikwete kutokana na hali UNK ghafla wote tumuombee rais wetu UNK mungu UNK afya yake alisema wakati wananchi wakiendelea kujiuliza kilichomkuta rais wao bwana kandoro alirejea uwanjani na kutangaza kuwa rais anaendelea vizuri alipatwa na uchovu baadaye aliporejea uwanjani rais kikwete alikuwa mchangamfu UNK kidogo tehe tehe nguvu zimerejea kisha akaongeza kwanza UNK radhi kwa UNK UNK hii yote ni sababu ya ubishi wangu nilikuwa marekani na nilirudi oktoba mbili juzi usiku saa saba kesho yake nikaenda arusha kufungua mkutano wa UNK baadaye UNK dar es salaam na leo niko hapa kushiriki maadhimisho haya ya jubilee ya miaka kumi sifuri ya kanisa la UNK hivyo ni uchovu tu sasa UNK ushauri wa wasaidizi wangu UNK nipumzike lakini nikakataa kuwasikiliza alisema baadaye rais kikwete aliendelea na shughuli yake ya kuzindua mfuko wa kuwachangia walemavu wa ngozi kwa kuchangia shilingi milioni moja na kisha kwenda ikulu ndogo kupumzika watu saba wameripotiwa kufa kutokana na kuugua ugonjwa wa kichaa cha mbwa na homa ya uti wa mgongo kwa kipindi cha wiki moja iliyopita taarifa iliyotolewa na wizara ya afya na ustawi wa jamii jana ilisema vifo vya ugonjwa wa kichaa cha mbwa ni vinne kati yake tatu katika mkoa wa manyara na kimoja mkoa wa kagera kwa mujibu wa taarifa hiyo homa ya uti wa mgongo UNK watu wawili katika mkoa wa kigoma na mmoja katika mkoa wa morogoro huku wagonjwa wengine wanne kutoka mkoa ruvuma na kagera wakiripotiwa kulazwa hospitalini kwa upande wa ugonjwa wa kipindupindu taarifa hiyo ilibainisha kuwa hadi jana kulikuwa na jumla ya wagonjwa sitini sifuri nchini kote mia tano na sitini na saba wakiwa mkoa wa tanga kumi kigoma manyara wagonjwa ishirini na tatu aidha wananchi wametakiwa kufika vituo vya afya UNK huduma pindi wanapoona dalili za magonjwa hayo idadi ya wagonjwa wa mafua ya nguruwe imezidi kupungua kutoka wagonjwa mia moja na sabini hadi kufikia wagonjwa thebathini na moja ambao wanatoka katika mikoa ya dar es salaam na manyara hali hiyo inatokana na hatua za serikali kudhibiti ugonjwa huo mashuleni na kutoa tahadhari kwa wananchi kuwa UNK kwa njia ya kula nyama ya nguruwe bali kwa njia ya hewa akizungumza na majira dar es salaam jana ofisa habari wa wizara ya afya bwana nsachris mwamwaja alisema kuwa idadi hiyo imepungua kutokana na udhibiti wa njia za kuingia wageni na kuboresha huduma za matibabu katika kila hospitali bwana mwamwaja alisema kuwa wagonjwa wengi waliogundulika ni wanafunzi ambao wamekumbwa na ugonjwa huo kutokana na msongamano kwa kuwa ugonjwa huo huambukizwa zaidi kwa njia ya hewa alisema mlipuko wa ugonjwa huo umewatia hofu wazazi na walezi ambao wengi wanahofia maisha ya watoto wao kutokana na ugonjwa huo kuenea zaidi nchini kwa mujibu wa bwana UNK jiji la dar es salaam sasa limebaki na wagonjwa kumi na tatu kutoka mia moja na hamsini na moja wa awali wakati mkoa wa manyara UNK wagonjwa kumi na nane kutoka kumi na tano wa awali ikiwa ni UNK la wagonjwa watatu bwana mwamwaja alisema kuwa wagonjwa hao wamelazwa katika vituo vya afya na hali zao zinaendelea vizuri alisema kuwa serikali imechukua tahadhari ya ugonjwa huo kwa kuimarisha mfumo wa ufuatiliaji katika viwanja vya ndege mipakani na bandarini na utambuzi wa ugonjwa huo umeimarika katika hospitali za rufaa mikoa na wilaya na kuunda kamati za UNK kitaifa mikoa na wilaya ili kupambana nao pia imetoa mafunzo kwa kwa watumishi wa afya katika hospitali zote kuhusiana na ugonjwa huo na kutoa vifaa kinga pamoja na dawa waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi bwana john chiligati amekiri kuwapo uzembe wa baadhi ya watendaji kushindwa UNK makazi UNK serikali pesa nyingi na kusababisha usumbufu kwa wananchi UNK kuendeleza maeneo wanavyojua wao waziri chiligati alisema hali hiyo inasababisha serikali badala ya UNK maeneo hayo kama inavyotakiwa kuishia kuyarekebisha kitu ambacho ni sawa na kushindwa kuzuia ugonjwa na baadaye kulazimika UNK kwa gharama kubwa bwana chiligati aliyasema hayo jana dar es salaam wakati akijibu maswali aliyoulizwa na wadau mbalimbali walioshiriki kuadhimisha siku ya makazi duniani ambayo hufanyika duniani kote jumatatu ya kwanza ya oktoba kila mwaka kunahitajika mapinduzi au mabadiliko ya kifikra kwa wanaohusika suala la kuendeleza makazi kwa kupima maeneo kabla UNK kukaliwa au kuendelezwa na watu linakuwa halipewi kipaumbele kama UNK kwa mfano huko katika halmshauri halmashauri na manispaa wakati mwingine UNK hata bajeti wala hawataki kuona umuhimu wa kuajiri wafanyakazi wa kutosha lakini wakikosa watu wa afya au walimu UNK wakipiga kelele kweli alisema bwana chiligati katika ujumbe wake katibu mkuu wa umoja wa mataifa bwana ban ki moon alisema ushahidi unaonesha serikali nyingi duniani zimeshindwa kukabiliana na changamoto zinazokabili ukuaji wa miji katika karne ya ishirini na moja na akasisitiza suala la utawala bora UNK watu wote katika suala la mipango miji kwa upande wake mwakilishi wa shirika la makazi la umoja wa mataifa bwana phillemon UNK aliyesoma ujumbe kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji bibi anna tibaijuka alisema kuwa kuwepo kwa makazi holela mijini ni alama ya kuwepo kwa umaskini jamii UNK na kutengwa katika dunia ya sasa siku ya makazi huadhimishwa duniani kote kila jumatatu ya kwanza ya mwezi oktoba kila mwaka ikiwa ni utekelezaji wa azimio na arobaini ishirini mbili la baraza kuu la umoja wa mataifa la disemba elfu moja na mia tisa na themanini na tano mwalimu wa shule ya sekondari dumila wilayani kilosa amekamatwa na walinzi wa shule hiyo akifanya mapenzi porini na mwanafunzi wa kidato cha nne shuleni hapo ikiwa ni siku moja kabla ya kuanza mitihani ya taifa wakizungumza kwa nyakati tofauti na mwandishi wa habari hizi mjini dumila mashuhuda wa tukio hilo walisema mwalimu huyo alikamatwa na walinzi wa shule hiyo oktoba mbili saa mbili sifuri sifuri usiku katika pori lilipo shuleni hapo mwalimu huyo na mwanafunzi alikamatwa kutokana na mtego uliowekwa baina ya wanafunzi na walinzi wa shule hiyo baada ya kudaiwa kuwa na tabia hiyo kwa watoto wa kike kwa muda mrefu mkuu wa shule hiyo bwana vitalis shija alikiri kuwepo kwa tukio hilo na kufafanua kuwa watuhumiwa wanashikiliwa na polisi katika kituo kidogo cha dumila kwa maelezo zaidi siku hiyo mimi nilikuwa morogoro mjini kwa maandalizi ya mitihani nikapigiwa simu na makamu wangu akidai kuwa mwalimu huyo UNK akifanya mapenzi na mwanafunzi huyo wa kidato cha nne wakati huo kulikuwa na kelele wanafunzi wakiimba hatutaki fataki shuleni alisema bwana UNK aliongeza kuepusha vurugu na pengine madhara kwa watuhumiwa niliomba msaada wa polisi kufika shuleni hapo ambapo walipofika UNK hadi kituo cha polisi UNK akizungumzia adhabu za wahusika hao bwana shija alisema kwa UNK wa mwanafunzi shule imechukua hatua za dharura kuruhusu afanye mtihani huku mwalimu akisubiri vikao vya uongozi na bodi baada ya kukamilika kwa maelezo yao na walioshuhudia tukio hilo chama cha wananchi UNK kauli aliyoitoa waziri wa habari utamaduni na michezo bwana george mkuchika kuwa hakuna makubaliano yoyote yaliyofikiwa kati ya chama cha mapinduzi na cuf kuhusu uundwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa visiwani zanzibar msemaji wa upinzani bungeni hamad rashidi mohamed alisema kuwa makubaliano kati ya vyama hivyo yalikuwepo na kutiwa saini na baadhi ya viongozi wa vyama hivyo kabla ya taarifa hizo kupelekwa butiama ambako hoja ya kukusanya maoni ya wananchi iliibuliwa ikiwa ni njia ya kukwepa utekelezwaji wa makubaliano hayo aliyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari baada ya ufunguzi wa mkutano wa kumi na saba wa mpango wa utafiti wa elimu ya demokrasia tanzania unaoendelea leo katika ukumbi wa nkurumah katika chuo kikuu cha dar es salaam uliofanywa na bwana mkuchika kwa niaba ya rais jakaya kikwete mimi nashangaa sana kauli yake sisi UNK kabla ya kuibuka kwa suala la kura za maoni zanzibar alisema mohamed na kuongeza kuwa yapo mambo mengi yaliyofanyika kinyume na katiba ya nchi alisema mohamed alihoji kuwa kama suala la uundwaji wa serikali ya pamoja halitawezekana kutokana na kutokuwepo kwake katika katiba kama alivyodai bwana mkuchika mbona uendeshaji wa kura za maoni UNK kufanyika bila katika katiba ya nchi je hili suala la kura za maoni UNK wapi ni kwa nini wanasema UNK wakati jambo hilo UNK toka awali ccm walianzisha kura za maoni lakini mbona pia halipo kwenye katiba alihoji mohamed alisema kuwa rais kikwete amekuwa akiahidi mara nyingi kushughulikia suala la zanzibar bila utekelezaji wowote hivyo hawawezi kumwamini tena alisema bwana mkuchika pia alizindua kitabu kipya kilichoandaliwa na redet na kupewa jina la dini na siasa tanzania ambacho mchakato wake ulianza baada ya mwaka ishirini sifuri moja na kuzinduliwa na makamu wa rais daktari mohamed shein na marekebisho yake kufanyika mwaka ishirini sifuri tatu sifuri nne akitoa maelezo mafupi kuhusu uanzishwaji wa kitabu hicho profesa samuel mushi kutoka udsm alisema redet iliamua kufanya utafiti wa kina mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa baada ya hali ya nchi kuonekana kugubikwa na migogoro ya kisiasa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano alisema kuwa migogoro hiyo UNK katika makundi matatu migogoro ya dini na serikali dini na dini pamoja na madhehebu ndani ya dini moja na kuitaka serikali kuanzisha chombo UNK migogoro hiyo akizungumzia kitabu hicho askofu mkuu wa kanisa la anglikana daktari valentine mokiwa alisema pamoja na uzinduzi wa kitabu hicho bado hakubaliani na neno migogoro ambalo analiona ni kali na UNK kutumika hata hivyo alisema kuwa ni vyema kuwepo kwa chombo hicho cha kushughulikia matatizo ya kidini mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba alisema chombo hicho kinaweza kuanzishwa lakini kikawa hakina meno alidai kuwa jambo jema ni kuwepo kwa mawasiliano ya karibu kati ya viongozi wa kidini na viongozi wa nchi ili kutatua matatizo hayo kwa urahisi mzimu wa kampuni tata ya kufua umeme wa dharura richnond development llc utazidi UNK taifa wakati kamati ya bunge ya nishati na madini kuketi leo na kesho kujadili taarifa ya utekelezaji wa maazimio ya richmond mjadala huo unakuja wakati serikali ikisubiriwa kuwasilisha majibu ya kuhitimisha mjadala huo kwenye mkutano wa bunge utakaoanza oktoba ishirini na saba mwaka huu baada ya taarifa ya utekelezaji iliyo UNK na naibu waziri wa nishati na madini bwana adam malima kukataliwa na bunge kamati hiyo chini ya mbunge wa bumbuli william shelukindo na aliyekuwa mwenyekiti wa kamati teule ya bunge iliyochunguza kashfa ya mkataba huo tata daktari harrison mwakyembe watakuwa wanapitia kifungu kwa kifungu kuona kama serikali imetekeleza maazimio ishirini na tatu kama UNK na bunge au la baadhi ya maazimio UNK muda mfupi baada ya kamati ya mwakyembe kuwasilisha ripoti yake ambapo aliyekuwa waziri mkuu edward lowassa alijiuzulu baada ya kutajwa katika mchakato wa mkataba huo akifuatiwa na waliokuwa wameshika uwaziri katika wizara ya madini na nishati katika vipindi tofauti wakati wa mchakato huo daktari ibrahim msabaha na nazir karamagi wabunge waliendelea kushinikiza serikali UNK hatua ama za kisheria au za kinidhamu watumishi wa umma waliohusika katika mchakato wa mkataba huo akiwamo mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa daktari edward hoseah na mwanasheria mkuu wa serikali johnson mwanyika pia waliokuwa mawaziri karamagi na msabaha pamoja na kujiuzulu nyadhifa zao walitakiwa kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria maazimio UNK serikalini kwa ajili ya kufanyiwa kazi ni maazimio namba tano saba tisa na kumi na nne kwa utekelezaji unaozingatia misingi ya sheria na katiba maazimio hayo yanataka waliohusika katika mkataba huo kuwajibishwa na mamlaka ya juu ya nchi kwa kuchangia kuingiza nchi katika mkataba wa aibu kuwajibishwa kwa maofisa waandamizi wa serikali kwa manufaa ya umma na kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu kwa kuliingiza taifa kwa makusudi kwenye mkataba wa kampuni ya mfukoni hata hivyo rais jakaya kikwete hivi karibuni alipozungumza moja kwa moja na wananchi alisema amemwagiza katibu mkuu kiongozi phillemon luhanjo kuhakikisha utekelezaji wa suala hilo utafikia mwisho kwenye mkutano ujao wa bunge kwa UNK watumishi wa umma UNK hawa wachukuliwe hatua stahiki kwa sababu wangeweza UNK na madhara haya UNK hapa nimemwagiza katibu mkuu kiongozi kuchukua hatua ili ifikapo novemba bunge UNK hatua hizo na umma ufahamu hatua zilizochukuliwa alisema rais kikwete baada ya serikali kuwasilisha utekelezaji wake wa maazimio ya richmond wabunge waliijia juu serikali kwa madai taarifa hiyo ililenga UNK watuhumiwa katika sakata hilo kamati ya nishati na madini UNK utekelezaji wa mapendekezo yaliyokuwa yametolewa katika suala la richmond ambapo iliitaka serikali kuandaa upya taarifa kuhusiana na utekelezaji wa sakata hilo katika hatua nyingine kamati ya miundombinu nayo UNK na kujadili taarifa ya utendaji kazi wa shirika la reli tanzania kamati hiyo itajadili suala hilo siku ya jumatatu wiki ijayo kampuni ya trl imekuwa kwenye mgogoro mkubwa wa uendeshaji wake hali iliyosababisha huduma ya usafiri wa reli kudorora na kuwa kero kubwa kwa wananchi mbali na hilo pia kamati hiyo itajadili taarifa ya utendaji wa shirika la ndege la tanzania shirika ambalo nalo limekuwa na migogoro mikubwa na imeripotiwa kuwepo kwa mchakato wa kupunguza nusu ya wafanyakazi wake sasa kufunga virago novemba sita rais jakaya kikwete amekubali kustaafu kwa lazima kwa mwansheria mkuu wa serikali bwana johnson mwanyika ifikapo novemba sita mwaka huu bwana mwanyika anastaafu kwa lazima katika kipindi ambacho mkutano wa kumi na saba wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania utakuwa ukiendelea UNK kuhitimisha sakata la mkataba tata wa richmond ambao ulisainiwa wakati akiwa mshauri mkuu wa serikali wa mambo yote ya kisheria habari za kustaafu kwa lazima bwana mwanyika ambaye amekanusha mara kadhaa kuhusika kwake na richmond zimethibitishwa dar es salaam jana na ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma majibu ya maandishi kutoka ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma kwa gazeti hili iliyosainiwa na mkuu wa kitengo cha habari elimu na mawasiliano bibi UNK kawawa ilieleza bwana mwanyika UNK kustaafu atakapofikisha umri wa kustaafu kwa lazima wa miaka sitini ifikapo tarehe sita novemba ishirini sifuri tisa hatua ya bwana mwanyika kukubaliwa UNK kwa lazima UNK maswali mengi hasa kwa kuzingatia kuwa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania kifungu cha hamsini na tisa haina kipengele UNK kuwa mwanasheria mkuu wa serikali atastaafu baada ya kufikisha umri wa miaka sitini kifungu kidogo cha kinaeleza kuwa mwanasheria mkuu wa serikali atashika madaraka yake mpaka uteuzi wake UNK na rais au mara tu kabla ya rais mteule kushika madaraka ya rais kwa maana hiyo ya katiba bwana mwanyika angeweka kuacha kushika wadhifa huo ama kwa kuachishwa na rais au kusubiri mwakani baada ya uchaguzi mkuu kabla ya rais mteule kushika wadhifa wa rais kutokana na wadhifa wake huo baada ya mkataba kati ya tanesco na richmond development company llc kusainiwa na baadaye bunge UNK kamati teule ya kuchunguza utata uliogubika mkataba huo chini ya daktari harrison mwakyembe ilibainika kuwa utiaji saini mkataba huo UNK makosa mengi wakati akiwasilisha taarifa ya kamati UNK utiaji saini mkataba huo bungeni daktari mwakyembe alisema mkataba UNK makosa mengi ya kisheria yanayoashiria udhaifu mkubwa wa kitaalamu katika ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali au ukosefu wa umakini katika kuiwakilisha serikali daktari UNK alisema mwanasheria mkuu wa serikali na wakili wa serikali bwana donald UNK ambaye ushiriki wake katika UNK haukuwa na tija yoyote hivyo wawajibishwe na mamlaka ya juu ya nchi kwa kuchangia kuiingiza nchi katika mkataba wa aibu alisema daktari mwakyembe wakati akiwasilisha mapendekezo ya kamati yake kwa bunge kuhusu hatua UNK kuchukuliwa mwanyika baada ya kamati hiyo kutoa mapendekezo hayo serikali kupitia waziri mkuu bwana mizengo pinda ilitoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa mapendekezo ya kamati akisema kikatiba mamlaka ya nidhamu ya mwanasheria mkuu wa serikali ni rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kwa hiyo mwanasheria mkuu wa serikali ambaye alikuwa miongoni mwa watendaji wakuu watatu waliokuwa UNK serikali suala lake la kuhusishwa kwake katika mchakato mzima wa mkataba huo linashughulikiwa na ofisi ya rais ikulu alisema bwana pinda hata hivyo katika mkutano wa kumi na sita wa bunge uliomalizika mjini dodoma serikali kupitia naibu waziri wa nishati na madini bwana adam malima ilitangaza utekelezaji wa awamu ya pili mapendekezo ya kamati ya daktari mwakyembe ambapo alisema bwana mwanyika hakuwa na kosa UNK kutenda kutokana na wadhifa wake huo bwana malima alisema iwapo mtumishi yeyote wa umma UNK na watuhumiwa walioko mahakamani kuwa alihusika katika makosa ya jinai serikali haitasita kumfikisha mahakamani hata hivyo utekelezaji wa mapendekezo hayo pamoja na yaliyohusu maofisa wengine UNK na bunge na kuiagiza serikali kuwasilisha upya utekelezaji mwingine wa maazimio yake katika mkutano wa bunge unaotarajiwa kuanzia oktoba ishirini na saba mwaka huu siku tisa kabla ya bwana mwanyika kustaafu mamlaka ya rufaa katika ya usimamizi wa ununuzi wa umma UNK shirika la umeme nchini kurudia upya mchakato wa utoaji zabuni ya huduma za afya wa mwaka ishirini sifuri tisa kwa wafanyakazi wake hatua hiyo inafuatia kushinda kwa rufaa iliyokatwa na mmoja wa waliokuwa wameomba zabuni hiyo tanzania consortium of UNK and UNK limited wakipinga vitendo vilivyojitokeza na kutia dosari mchakato mzima wa kumpata mshindi wa zabuni ya kutoa huduma hizo kwa mujibu wa jarida la UNK la oktoba sita vol ii toleo na kumi na nne la mwaka huu katika rufaa yao tchc waliwatuhumu waombaji walioshinda zabuni hiyo consortium kwa kufanya vitendo UNK kanuni za zabuni kama zilivyoainishwa katika sheria ya manunuzi ya umma na ishirini na moja ya mwaka ishirini sifuri nne baada ya kuzingatia ushahidi kutoka kila upande tchc tanesco consortium na matokeo ya uchunguzi wetu uliojikita katika mambo UNK ppaa UNK kuwa mchakato wa zabuni ulikuwa na kasoro nyingi na hivyo ushindi wa consortium UNK sheria na hivyo si halali kutokana na ushahidi huo ppaa inakubaliana na rufaa na UNK tanesco kurudia mchakato wa zabuni hiyo kwa mujibu wa sheria ilisema sehemu ya taarifa ya hukumu hiyo katika jarida hilo mbali ya kuvunjwa kwa sheria hiyo pia tchc ilidai kuwa walalamikiwa hao consortium ambao ni muungano wa consortium of alexander UNK ltd UNK UNK co ltd na pharmaccess international wakati wakiwasilisha maombi yao ya zabuni hawakufanya hivyo kwa jina hilo moja na waliamua kuunda jina moja baada ya kuwa UNK katika ushindi wa zabuni hiyo pia tchc katika rufaa yao walihoji uhalali wa pharmaccess international kuwemo katika mchakato wa kupata mshindi wa zabuni kwa sababu haikuwahi kutajwa sehemu yoyote wakati wa mkutano wa kufungua maombi hayo kuwa UNK na wengine na kuwa UNK pia walilalamika kuwa pharmaccess international inajulikana kama shirika la kigeni UNK misaada kutoka jumuiya ya ulaya ili kusaidia shughuli za kijamii na uchumi katika nchi zinazoendelea na hapa nchini limefanya hivyo kwenye mipango ya hiv UNK ndani ya jeshi na polisi hivi karibuni ilidaiwa katika vyombo vya habari kuwa mmoja wa wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa tanesco ana hisa katika moja ya UNK UNK zabuni hiyo jambo UNK mgongano wa UNK waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi profesa jumanne maghembe amesema kuwa wizara yake imejidhatiti vya kutosha kudhibiti uvujaji wa mitihani na kuahidi kuwa hakuna mtihani wowote UNK mwaka huu pia ametumia nafasi hiyo kukanusha habari zilizochapishwa na gazeti moja kuwa kuna baadhi ya mitihani UNK akizungumza na majira jana profesa maghembe alisema kama UNK UNK siyo mtihani wa taifa UNK yeye alisema wapo kwa matapeli wanaojifanya wanauza mitihani jambo ambalo UNK jina la nchi na kujiwekea sifa mbaya hata kwa mataifa ya nje mtihani ni jambo la siri sio la kuzungumzwa kila mahali tena kwa kusema inauzwa hao ni matapeli wa kweli na hizo feki UNK ni feki kweli hakuna mtu mwenye mtihani alisema aliongeza kuwa baraza la mitihani limejipanga kikamilifu na kukiri kuwa mitihani inayofanyika ni migumu lakini lengo ni kupata wasomi bora ambao wamesoma na kuwaacha ambao UNK katika hatua nyingine baadhi ya wanafunzi walilieleza majira juu ya kuwepo kwa tetesi za kuvuja kwa mitihani katika baadhi ya shule za sekondari hapa nchini wanafunzi hao wamesema huo ni uvumi na kuongeza kuwa mitihani inayodaiwa kuvuja ni feki wala si ile inayotolewa na necta mmoja wa wanafunzi hao boniphace warioba alisema kuwa ni vigumu sana mitihani kuvuja hasa kwa shule za hapa des salaam kwa sababu mitihani yetu huletwa asubuhi tofauti na mikoani ambako mitihani UNK UNK taarifa ya utekelezaji wa maazimio hayo ishirini na tatu iliyokuwa iwasilishwe na serikali kwenye kamati ya kudumu ya nishati na madini ya bunge ilikwama jana kwa sababu ya UNK kwa waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja mwenyekiti wa kamati hiyo bwana william shelukindo alisema suala la richmond UNK na taarifa yake itawasilishwa oktoba ishirini katika kamati hiyo awali ratiba iliyotolewa na ofisi za bunge ilionesha kuwa taarifa hiyo UNK jana na leo lakini ilibadilishwa hadi oktoba ishirini mwaka huu baada ya bwana ngeleja kuwa katika shughuli nyingine za kitaifa bwana shelukindo alisema anaamini majibu ya utekelezaji wa maazimio y ishirini na tatu ya bunge bunge yatakidhi matakwa ya wabunge na wananchi na iwapo UNK kamati yake UNK nini cha kufanya dhidi ya serikali waziri wa nishati na madini anayetakiwa kusoma taarifa ya maazimio hayo amesafiri hivyo suala la kampuni ya richmond litajadiliwa kama ratiba UNK asubuhi inavyosema alisema bwana shelukindo alisema anaamini serikali UNK maazimio yote yaliyotolewa na wabunge na hivyo majibu yatakuwa makini na ya kuridhisha moja ya maazimio hayo ni kuwawajibisha watu UNK hasara serikali kwa kuingia mkataba huo tata wakiwamo maafisa waandamizi wa serikali na wengine waliokuwa na nyadhifa za kisiasa katika wizara hiyo nazir karamagi na daktari ibrahim UNK baadhi ya maafisa hao ni mwanasheria mkuu wa serikali bwana johnson mwanyika katibu mkuu wa UNK ya nishati na madini bwana arthur mwakapugi mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa daktari edward hoseah aliyekuwa katibu mkuu wizara ya fedha na uchumi bwana gray mgonja ambapo walikuwa na jukumu la kutoa ushauri kwa waziri wa nishati na madini na serikali kwa ujumla wengine ni timu ya wataalamu na idara wanazotoka katika mabano akiwamo bwana UNK madata daktari lutengano UNK bwana UNK UNK bwana stephen UNK bwana athanas mbawala bwana james UNK na bwana julius UNK wataalamu hao walikuwa na jukumu ya kutathmini UNK wote waliokuwa wameomba zabuni za mitambo ya kukodi ya dharura ya kufua umeme wa megawati kumi tano sita katika sakata hilo aliyekuwa waziri mkuu bwana edward lowassa alijiuzulu baada ya kutajwa katika UNK hiyo akifuatiwa na msabaha na karamagi mkazi mmoja wa UNK dar es salaam bibi rehema UNK ambaye ni mlemavu wa macho jana alisababisha simanzi kwa umati wa watu baada ya UNK mkasa wa mtoto wake mmoja pacha kuibwa katika hospitali ya taifa muhimbili na kubakia na mmoja miongoni mwa UNK na tukio hilo ni waziri wa afya na ustawi wa jamii profesa david mwakyusa aliagiza UNK na matukio ya namna hiyo kuripoti haraka ili hatua zichukuliwe bibi rehema alitoa ushuhuda huo uliompata miaka kumi na tatu iliyopita katika kongamano la jukwaa la wazi la vifo vitokanavyo na uzazi na ulemavu ishirini sifuri tisa lililofanyika dar es salaam jana leo nina mtoto mmoja UNK pacha mwenzake angekuwepo ningekuwa napata msaada mkubwa kutoka kwa watoto wote wawili alisema alieleza kuwa wakati akiwa mjamzito mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba alikuwa akihudhuria kliniki alifanyiwa vipimo kikiwemo kile cha ultrasound ambapo alionekana alikuwa na mimba ya watoto mapacha bibi rehema ambaye kitaaluma ni mwalimu alisema alipopata uchungu wa kujifungua alipelekwa hospitali ya amana lakini kutokana na hali yake kuwa mbaya alihamishiwa mnh ambapo alijifungua kwa UNK baadaye daktari aliniambia nimejifungua watoto wawili mapacha na wauguzi UNK kamba mikono yote miwili zenye namba za watoto wangu alisimulia bibi rehema na kuongeza kuwa watoto wake walilazwa wodi za juu na yeye na wazazi wengine walikuwa chini na muda wa kunyonyesha ulipofika walienda UNK hata hivyo kutokana na hali yake ya ulemavu na UNK uliotokana na operesheni hakutakiwa UNK kitandani isipokuwa watoto wake hao walikuwa wakipewa maziwa alisema mama yake na bibi yake hawakutakiwa kwenda kuwaangalia watoto wake kwa kile UNK kuwa UNK ni baba wa watoto hao ambaye wakati huo alikuwa masomoni mkoani arusha walipokuwa wakija hospitalini nao waliambiwa nimejifungua watoto mapacha na waliridhika kutokana na kamba UNK mikono yote miwili kuashiria UNK watoto mapacha ilipofika siku ya tano mmoja wa wauguzi alinifuata na UNK kamba moja alipohoji aliambiwa na muuguzi huyo kuwa kamba moja alifungwa kimakosa lakini wazazi wenzake walipokwenda kunyonyesha na kurudi walimweleza kuwa watoto wake wote wapo hai na UNK aliongeza kuwa siku ya saba alitolewa nyuzi na bibi yake alipofuata tangazo la uzazi alipewa la mtoto mmoja alieleza kuwa bibi yake alipohoji aliambia alijifungua mtoto mmoja alisema katika mazingira ya kutatanisha hata kadi ya mahudhurio ya kliniki ambayo UNK kwenye kitanda ilipotea katika mazingira hayo bibi rehema aliporuhusiwa kwenda nyumbani hakuweza kufuatilia kutokana na hali yake kuwa UNK hivyo kulazimika kukaa nyumbani bila kurudi UNK ili kujua UNK mtoto wake baada ya kupona nilirudi muhimbili lakini nilikuta vielelezo vyote vinavyoonesha kuwa mimi niliwahi kujifungulia hapo UNK alisema akizungumzia tukio hilo profesa mwakyusa aliwataka watu UNK na matatizo kama hayo UNK kuchukua hatua alisema ikibidi wamuone moja kwa moja waziri ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa mahakama ya hakimu mkazi kisutu imesitisha kusikiliza moja ya kesi za mfanyabiashara maarufu bwana jeetu patel na wenzake mpaka mahakama kuu ya tanzania itakapotoa uamuzi wake kuhusiana na kesi ya kikatiba inayotaka kufutwa kwa kesi zote UNK uamuzi huo ulitolewa jana mahakamani hapo na bwana ruwaichi meela ambaye ni mwenyekiti wa jopo la mahakimu watatu wanaosikiliza kesi hiyo ya wizi wa zaidi ya shilingi bilioni kumi katika akaunti ya madeni ya UNK hatua ya kusitishwa kwa kesi hiyo ilitokana na upande wa utetezi ukiongozwa na bwana gabriel UNK ambaye aliiomba mahakama hiyo kusitisha kesi hiyo kutokana na ukiukwaji wa haki za kikatiba za washitakiwa hao ambao tayari wameitwa mafisadi papa na kuufanya umma UNK kufungwa kwao akitoa uamuzi huo bwana meela alisema kuwa malalamiko ya utetezi kuhusiana na matangazo yaliyotolewa kwenye vyombo vya habari UNK washitakiwa hao kabla ya mahakama kuwakuta na hatia yanaweza kukiuka mwenendo wa usikilizwaji wa kesi hiyo hivyo ni vyema UNK si vyema shauri likiwa mahakamani UNK kujadiliwa na kama walivyosema na kuwasilisha vielelezo kuwa hawa washitakiwa waliitwa mafisadi papa tunaona jalada hili ni vyema UNK mahakama kuu ya tanzania kwa ajili ya kutoa mwongozo na kuona kama matangazo hayo UNK au kukiuka haki za kikatiba alisema bwana meela ingawa UNK majina ya wahusika lakini aliyemtaja bwana patel kuwa ni fisadi papa ni mfanyabiashara maarufu bwana reginald mengi wengine aliowataja ni bwana rostam aziz bwana tanil somaiya bwana subash patel na yusuf manji alisema kuwa kwa mujibu wa kifungu cha tisa cha sheria ya haki na wajibu UNK mahakama inayosikiliza kesi hiyo kuwasilisha jalada mahakama kuu baada ya kugundua kuwepo kwa malalamiko yanayokiuka haki za washitakiwa hao ili UNK mwongozo sisi kama jopo tumeona malalamiko hayo hivyo majaji watatoa mwongozo wao baada ya kupitia na kuridhika alisema bwana UNK mambo yanayotakiwa kujibiwa na mahakama kuu katika kesi ya kikatiba inayotaka kesi zote za mfanyabishara huyo UNK ni pamoja na kwamba kwa nini serikali haikuwa na jukumu la kufuta kesi hizo baada ya matangazo hayo maswali mengine ni je kama shauri hilo litaendelea kusikilizwa kutakuwa na usikilizwaji wa haki na kama matangazo hayo UNK uhuru wa mahakama na haki za kikatiba za washitakiwa hao washitakiwa katika kesi hiyo ni bwana jeetu patel bwana amit nandy na bwana UNK patel ambao kwa pamoja wanakabiliwa na mashitaka ya wizi wa zaidi ya shilingi bilioni kumi kupitia kampuni ya bencon international ltd na kampuni ya japan ya UNK electric trading UNK pia wanakabiliwa na kesi zingine za wizi wa epa hatua ya serikali kuiondolea ukiritimba wa kazi ya kuhudumia makontena bandarini kampuni ya ticts lakini UNK muda wa nyongeza wa miaka kumi na tano imeelezwa ni sawa na kiinimacho na huenda ikaendelea kuigharimu serikali katika mkutano ujao wa bunge wakizungumza na gazeti hili baadhi ya wabunge ambao wamekuwa mstari wa mbele kuisimamia serikali kuupitia upya mkataba wa ticts walisema hatua hiyo ya serikali imekiuka ushauri wa wabunge waliotaka muda UNK na kuwezesha wawekezaji wengine kushindana nayo bwana godfrey zambi mbunge wa mbozi mashariki ambaye aliwasilisha hoja binafsi kuhusiana na kampuni hiyo alisema hatua hiyo ya serikali kufikia makubaliano na ticts ni sawa na kiinimacho kwa watanzania kwa sababu kwa mujibu wa mkataba itaendelea kuwepo kwa miaka ishirini na tano hivyo kuwanyima fursa wawekezaji wengine pamoja na kuwa inawezekana kamati ya bunge ya miundombinu ikatoa maelezo yake zaidi bungeni kwa mawazo yangu mimi UNK hatua hiyo ya serikali kama kitendawili fulani hivi au UNK UNK umeondoa ukiritimba wakati ticts bado ana uwezo wa kukaa hapo kwa miaka ishirini na tano ni sawa una nyumba yako UNK kwa mtu kwa muda mrefu mkataba UNK unasema kuwa iko wazi UNK mtu yeyote kukaa pale sasa UNK mbali na hilo ticts bado inamiliki UNK nyingi na karibu zote za muhimu bandarini tena zingine wameongezwa hivi karibuni sasa huyo mshindani akija UNK wapi hata kama wanasema kazi sio kubeba makontena tu alisema bwana godfrey zambi bwana zambi alisema kuwa jambo jingine ni kuhusu ukarabati wa bandari hiyo ambayo inatakiwa kufanyika kila baada ya miaka kumi hali ambayo UNK kusimama kwa shughuli bandarini lakini kwa jinsi UNK mkataba UNK serikali UNK ticts imalize muda wake wa miaka ishirini na tano ndipo ukarabati ufanyike alisema anachoamini kutokana na UNK mkataba huo haitakuwa rahisi kwa kampuni hiyo kuiacha serikali kufanya ukarabati kwa sasa hivyo kuilazimu serikali kusubiri mpaka miaka ishirini na tano iishe ndio ukarabati ufanyike kitu ambacho itakuwa ni gharama kubwa na bandari itakuwa hali mbaya karibu ya kuoza kwa kweli sijajua msimamo wa kamati juu ya suala hilo lakini ninachoweza kuona suala hilo bado lina utata hasa katika kutatua hoja kwa nini UNK kinyemela hii UNK kama mtanzania sina ugomvi na mtu yeyote unajua wengine wana UNK haya mambo walichofanya UNK tu katika vyombo vya habari lakini mambo bado alisema bwana zambi msemaji mkuu wa kambi ya upinzani bungeni na mbunge wa wawi bwana hamad rashid mohamed alisema serikali UNK kazi ushauri wa wabunge walioitaka kuangalia kwa nini suala la kuongezwa kwa mkataba wa ticts lililofanyika kinyume cha taratibu alisema kuwa serikali inapaswa kujiandaa kutoa maelezo bungeni kwa kushindwa kuchukua hatua dhidi ya ukiukwaji huo wa utaratibu katika kuipatia kampuni hiyo zabuni ya kupakua makontena bandarini pamoja na suala hilo la ukiritimba kitu kingine cha msingi kilichokuwa UNK katika mkataba wa ticts ni kuhusu ukiukwaji wa tendering system serikalini ambapo kampuni ile UNK mkataba wa muda mrefu bila kufuata utaratibu hivyo mara ya mwisho UNK kuwa serikali UNK UNK mkataba huo kuangalia suala hilo lakini nasikitika haijafanya hivyo sasa kama UNK ukiritimba UNK tendering upya ili kuruhusu kupata huo ushindani labda UNK muda wa kuja kutoa maelezo katika kikao kijacho cha bunge alisema bwana hamad aliongeza kuwa suala la ukiritimba wa kampuni hiyo UNK kuwepo wala kuwa hoja ya UNK kwa sasa kwani moja ya sababu ya kubinafsisha ni kuleta ufanisi wa utendaji kazi unaotokana na ushindani wa kibiashara mbunge wa tabora mjini bwana silaji kaboyonga ambaye alipata kumbana waziri mkuu juu ya suala hilo naye kukiri kuwa mkataba huo una dosari na serikali ilikuwa ikiangalia namna ya kuuvunja au kutafuta kampuni nyingine kushindana na ticts alisema anakubaliana na uamuzi huo wa serikali kwa maoni yangu uamuzi huo wa serikali kuondoa ukiritimba ili kuleta ushindani katika uendeshaji wa kitengo cha makontena ni kitu ninachoweza UNK alisema naibu waziri wa miundombinu bwana hezekiah chibulunje alipoulizwa alisema kuwa yuko singida UNK barabara hivyo waulizwe wenzake waliosaini mkataba huo jana dar es salaam lakini waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa hakupatikana UNK hata hivyo katibu mkuu wa wizara hiyo bwana omari chambo alisema wana uhakika kuwa baada ya kuondolewa kwa ukiritimba ushindani utakuwepo kwa sababu UNK kampuni hiyo baadhi ya mageti iliyokuwa nayo hivyo watapewa washindani wengine lakini alipoulizwa kuhusu hoja za wabunge chambo alisema kuwa hawezi kujibu mambo ya wanasiasa bali yeye anashughulikia utendaji mimi UNK mambo ya wanasiasa mambo ya wabunge watafute wenye ubavu wa kuweza UNK mimi UNK mambo ya kiutendaji suala lenyewe UNK UNK halafu bado UNK mambo kwa nini alisema bwana UNK rufaa dhidi yake UNK mahakamani ni siku moja baada ya kusema hatishiki wamo pia askari polisi wenzake wanane hatimaye mkurugenzi wa mashitaka nchini amekata rufani dhidi ya askari polisi tisa akiwemo aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana abdalah zombe ambao waliachiwa huru na mahakama kuu kwa kesi ya mauaji hivi karibuni rufani hiyo yenye namba mia mbili na hamsini na nne ya mwaka huu ina sababu kumi na moja zinazopinga kuachiwa huru kwa washitakiwa hao ambao wanadaiwa kuwaua kwa makusudi wafanyabiashara watatu wa madini kutoka mahenge morogoro pamoja na dereva UNK waliouawa katika tukio hilo ni ephraim chigumbi UNK chigumbi mathias UNK ombe na dereva teksi juma ndugu wa UNK tukio hilo lilitokea januari kumi na nne ishirini sifuri sita katika msitu wa pande mbezi luis dar es salaam sababu zilizowasilishwa na dpp ni kwamba jaji salum massati ambaye ndiye aliyesikiliza kesi hiyo alikosea kisheria katika kujenga na kutoa tafsiri juu ya ushiriki wa wahusika katika kosa la mauaji pia rufani hiyo ilidai kuwa katika mazingira ya kesi hiyo jaji UNK vibaya katika kutumia kanuni zinazolinda nia ya pamoja lakini pia alifanya makosa ya kisheria na ukweli katika kujenga na kutafsiri kanuni ya ungamo hatua iliyosababisha kufikia uamuzi usio sahihi rufani hiyo inadai kuwa jaji massati alifanya makosa katika kumwachia huru mshitakiwa wa kwanza ambaye ni bwana zombe licha ya kuwepo ushahidi wa kutosha wa kimazingira ambao ungeweza kumtia hatiani tayari zombe alikaririwa na gazeti moja jana akisema hatishiki kwa rufaa inayokatwa na serikali kwa kuwa inataka kujikosha kwa wananchi kuwa inafanya kazi nzuri wakati ikijua kuwa wapelelezi wake walikiuka taratibu na kuwa huo ni mwendelezo wa ufujaji wa fedha za walipa kodi kwa upande wa mshitakiwa wa pili ambaye alikuwa ni sp UNK bageni dpp anadai kuwa jaji alikosea kisheria kumwachia mshitakiwa huyo kwa kuwa kulikuwa na ushahidi wa kutosha ambao UNK na upande wa mashitaka sababu za rufani kwa mshitakiwa wa tatu bwana UNK ahmed makelle zilidai kuwa yalifanyika makosa na kushindwa kutoa tafsiri na kutumia vizuri kanuni ya kukutwa na mali ambapo kwa mujibu wa ushahidi mshitakiwa huyo ndiye aliyehusika katika ukamataji wa marehemu hao rufani hiyo pia inadai kuwa jaji alishindwa kutoa sababu za washitakiwa wa wp jane na d mia mbili na thebathini sifuri d cpl UNK ni waathirika wa kimazingira bila kueleza ni jinsi gani waliathirika UNK washitakiwa wengine ni d mia moja na arobaini sita cpl mabula na d elfu nane na mia mbili na themanini na tisa pc shonza ambao sababu zilizomo kwenye rufani hiyo zinadai kuwa yalifanyika makosa ya kisheria katika kuwaachia kwa UNK katika utetezi wa kutokuwepo kwenye tukio kuhusiana na mshitakiwa d elfu nne na mia sita na hamsini na sita d cpl rajab ambaye katika utetezi wake alielezea namna marehemu hao UNK rufani hiyo inasema yalifanyika makosa makubwa katika kumwachia kwa kuwa kulikuwa na ushahidi mzito dhidi yake aidha ilielezwa kuwa jaji alishindwa kuwatia hatiani bwana zombe na mshitakiwa wa tisa d elfu moja na mia tatu na sitini na saba d cpl gwabisabi kwa kuzingatia kifungu cha thebathini sifuri cha cpa lakini pia yalifanyika makosa katika kufanya uchambuzi wa ushahidi uliotolewa mbele yake hali iliyosababisha kuwepo mkanganyiko katika hukumu hiyo washitakiwa hao waliachiwa huru na mahakama kuu ya tanzania ambayo ilisema upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha bila kuacha shaka yoyote katika mashitaka yaliyokuwa yakiwakabili kuachiwa kwao huru kulizua mtafaruku mbele ya jamii ambayo ililalamikia kitendo cha kuachiwa kwa washitakiwa hao taasisi zinazotoa huduma ya afya na wataalamu wa afya wakiwemo madaktari wakunga na wauguzi wanaweza kushitakiwa endapo watafanya uzembe unaoweza kusababisha ulemavu au vifo vya wajawazito wanasheria wamesema kila mwaka zaidi ya wanawake nane sifuri sifuri sifuri hufariki dunia kwa ujauzito hapa nchini ambapo ni wastani wa wanawake ishirini na nne kwa siku kitu UNK tanzania kuwa miongoni mwa nchi zilizo na idadi kubwa ya vifo vya namna hii vinavyoweza kuzuilika kauli hiyo ilitolewa na majaji wawili wa mahakama kuu bibi aisha nyerere na UNK mbise wakiwa na wanasheria wengine katika jukwaa la wazi UNK jinsi ya kupunguza ulemavu na vifo vya wanawake taarifa ya mkurugenzi mtendaji wa chama cha waandishi wa habari tanzania bibi ananilea nkya UNK wanasheria hao wakisema kila UNK anayo haki ya kwenda mahakamani kudai haki yake kama uzembe umefanyika na kusababisha madhara au kifo cha mjamzito walisema kuwa taasisi au mtu aliyesababisha kifo kwa uzembe anaweza kushitakiwa kwa kutumia ibara ya kumi na nne ya katiba ya tanzania pia wanaweza kushitakiwa na kutiwa hatiani kwa kutumia ibara ya mia mbili na thebathini na tatu ya sheria ya makosa ya jinai UNK kuwa mtu yoyote atakayekuwa ametenda vitendo vya kizembe vinavyoweza kudhuru mtu mwingine au kutoa tiba isiyo sahihi mtu huyo atakuwa ametenda kosa la jinai jaji nyerere pamoja na UNK waliwataka wananchi kutumia mahakama zao kudai haki zao dhidi ya ukatili wa aina yoyote UNK vifo vinavyotokana na ujauzito mahakama ya mwanzo temeke UNK elizabeth massawe maarufu kwa jina la mama tema kumlipa aliyekuwa mfanyakazi wake martha elisha shilingi milioni nane tatu kama fidia baada ya kumfungia duka lake kinyume cha sheria hukumu hiyo ilitolewa jana mahakama hapo na hakimu mfawidhi bibi mary goha baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa dhidi yake kuwa alichukua sheria mkononi akitoa hukumu hiyo hakimu goha alisema mahakama UNK kuanzia katika baraza la kata ambapo kesi hiyo ilianzia na imeonekana madai ya bibi elisha ni ya haki na hivyo anatoa hukumu kwa mdaiwa bibi massawe kulipa fedha hizo ambazo zinajumuisha na usumbufu bibi elisha alikuwa ni mfanyakazi katika kampuni ya mdaiwa iitwayo tema enterprises inayohusika na uuzaji wa vinywaji hadi april mosi mwaka huu UNK na bosi mpaka nyumbani kwake na kumfungia dukani akitaka amweleze amepata wapi mtaji wa kuanzisha UNK mdai huyo alidai pia UNK kazi bila mshahara na ndipo alipochukua hatua za kisheria kudai haki zake mhariri wa gazeti la mwanahalisi bwana saed kubenea UNK mshitakiwa wa kwanza bwana alex UNK na kuieleza mahakama kuwa alihusika katika tukio la kumjeruhi na kumwagia tindikali machoni mbali na kumtambua mshitakiwa huyo bwana kubenea aliieleza mahakama hiyo namna alivyokuwa akipokea barua za vitisho na ujumbe mfupi kutoka kwa wanasiasa na watu mbalimbali wakiwemo mawakili kabla ya kutokea kwa tukio hilo hayo aliyasema jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam mbele ya hakimu mkazi bwana UNK shamsham wakati akitoa ushahidi kuhusiana na tukio la kuvamiwa ofisini kwake ambako alijeruhiwa na kumwagiwa UNK mwingine aliyejeruhiwa katika tukio hilo ni bwana UNK UNK ambaye alikatwa na UNK katika maeneo ya kichwa na kusababishiwa maumivu makali bwana kubenea pia aliwatambua washitakiwa bwana hamisi ramadhan na bwana UNK moshi na akabainisha kuwa washitakiwa hao hawakuwepo siku ya tukio hilo bali anawatambua kwa kuwa ni majirani zake katika ofisi za gazeti hilo alidai kuwa siku ya tukio hilo januari tano mwaka jana saa mbili usiku alisikia mlango wa ofisi yake UNK na alipokwenda kufungua na akakutana na watu ambao walimwambia wanamtaka yeye UNK nje ni pamoja na mshitakiwa wa kwanza ambaye kabla hata ya kupigwa nilimwona nje na nilipowauliza wanataka nini mmoja UNK UNK mimi aliyesema hivyo hapa mahakamani hayupo alidai bwana kubenea alidai kuwa mbali na kukutana na mshitakiwa huyo kwenye tukio hilo lakini pia aliweza kumtambua kwenye gwaride la utambulisho ambalo UNK watu kumi na mbili na yeye UNK mtoto wa darasa la awali katika shule ya msingi al UNK iliyoko kijiji cha pangani mashariki wilayani pangani mkoani tanga amejeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili baada ya kuunguzwa kwa kisu cha moto na shangazi yake aliyekuwa akiishi naye mtoto huyo zuhura omari amejeruhiwa vibaya mdomoni sikioni mikononi na maumivu makali na kukimbizwa katika hospitali ya wilaya kwa matibabu zaidi tukio hilo UNK juzi saa nne asubuhi baada ya mtoto huyo kumaliza kunywa chai na kutakiwa na shangazi huyo bibi madawa ramadhani kuosha vyombo lakini UNK kufanya kazi hiyo mara baada ya hali hiyo mama huyo UNK na hasira na kuchukua kisu na UNK jikoni hadi UNK moto akaanza kumchoma mtoto mdomoni na sikioni na kumfungia ndani ya nyumba hiyo ili majirani UNK tukio hilo ofisa mtendaji wa kata ya pangani mashariki bibi rehema salim aliliambia majira jana kuwa kabla ya kuchukua uamuzi huo wa kumchoma moto mama huyo alianza kwa UNK viboko sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha mtoto huyo kupoteza fahamu ofisa huyo UNK kukamatwa kwa mzazi huyo ili hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa dhidi yake jeshi la polisi mkoani hapa UNK kwa kukiuka haki za binadamu kufuatia kumweka rumande mfugaji UNK UNK rotiken aliyepigwa risasi na askari wa kikosi cha kutuliza ghasia wanaoendesha operesheni ya kuwaondoa wafugaji katika kitalu cha uwindaji kinachotumiwa na kampuni ya UNK business UNK wakizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa ndugu wa rotiken walisema mara baada ya ndugu yao kupigwa risasi UNK jicho lake la kushoto septemba ishirini na nne mwaka huu UNK katika hospitali ya wasso wilayani humo kwa matibabu akiwa UNK na baadaye kuhamishiwa kwenye hospitali ya st elizabeth mjini arusha bwana lucas UNK mmoja wa ndugu zake alisema baada ya kupata matibabu madaktari walimruhusu kurudi nyumbani jumanne ya septemba ishirini na tisa mwaka huu lakini ghafla alikamatwa na polisi mjini arusha na kumweka rumande hadi sasa sisi tunaona huu ni unyanyasaji ambao ndugu yetu anafanyiwa tunaomba serikali na wanaharakati UNK kati suala hili kwani ndugu yetu bado ni mgonjwa na ameruhusiwa tu aende nyumbani akaangalie afya yake ili aweze kurudishwa kwa ajili ya uchunguzi zaidi alisema bwana UNK kwa upande wake ndugu mwingine bwana jacob UNK alisema wamejaribu kuonana na viongozi husika katika kituo cha polisi mkoani arusha kwa ajili ya kumwekea dhamana lakini wamekosa msaada wowote kamanda wa polisi mkoa wa arusha basilio matei alikana UNK huyo kupigwa risasi lakini akadai alijeruhiwa tu na askari wa ffu katika mapambano na askari wakati wa operesheni hiyo na UNK kuzungumzia kukamatwa na kuwekwa kwake rumande huku akiwa mgonjwa alisema ha taarifa hizo kwa mujibu wa ndugu wa rotiken askari wa ffu walimpiga risasi ndugu yao huyo akiwa UNK mifugo yake katika eneo la makazi katika kijiji cha UNK na kwamba eneo hilo wamekuwa UNK kwa ajili ya shughuli hizo na sio eneo la kitalu cha uwindaji cha obc na gladness mboma kamati ya bunge ya nishati na madini imekataa kupokea taarifa juu ya utekelezaji wa miradi ya umeme nchini iliyowasilishwa kwao na shirika la umeme tanzania mwenyekiti wa kamati hiyo bwana william shelukindo alisema dar es salaam jana kuwa wamekataa makabrasha hayo kwa sababu yalitakiwa kuwasilishwa kwao tangu aprili tisa mwaka huu mwaka jana tanesco UNK kwenye hoteli ya kempinski ambapo waliwasilisha mpango kabambe wa umeme na sisi wabunge UNK maoni yetu na tuliwaambia mpango huo ukiwa tayari watuletee katika kamati ili UNK kwa ajili ya UNK katika bunge la wiki ijayo alisema alisema mpango huo ambao ulikuwa UNK kwao ni taarifa ambayo ilikuwa UNK jinsi tanesco UNK na ilivyojipanga kwa kipindi chote cha mwaka ishirini sifuri tisa ishirini tatu moja bwana shelukindo alisema makabrasha hayo yenye muongozo mzima wa shirika hilo walitakiwa kupewa mapema ili UNK kwa siku tatu na kuwasilisha bungeni lakini tanesco hawakufanya hivyo cha kusikitisha ni kwamba makabrasha hayo UNK juzi saa kumi na moja na saa nne asubuhi jana ndio wametuletea kwenye kamati kwa ajili ya UNK kamati tumejadiliana na kuona kuwa tunahitaji kupata muda wa kutosha hivyo UNK kwa kuwa muda hautoshi na badala yake UNK UNK mapema ili UNK aprili ishirini na sita mwaka huu bungeni alisema bwana shelukindo alisema kuwa cha kusikitisha zaidi ni kwamba tanesco UNK UNK moja la uwasilishaji na kuacha kuwasilisha lile lenye mpango kabambe kuhusu shirika hilo alisema kuwa kamati ilitaka kujadili hali ya uzalishaji wa umeme ili kujua ni kitu gani kinafanyika ikiwa ni pamoja na kuangalia kama maoni waliyowasilisha siku UNK kempinski yametekelezwa bwana shelukindo alisema kuwa moja ya mambo ambayo walipendekeza siku hiyo kwa tanesco walitaka umeme UNK kwa haraka sana kupitia nishati ya upepo na njia nyingine badala ya kutegemea chanzo kimoja kuna kampuni moja ilikuja bungeni dodoma ya power pool east africa ya singida ambayo ina nia ya kuwekeza teknolojia ya wakorea na wana mitambo ya kisasa ya kuweza kuzalisha umeme wa upepo alisema wakati serikali imewaondolea wananchi wasiwasi kuhusu sumu kwenye maji ya mto ruvu kampuni la maji safi na maji taka mkoa wa dar es salaam na pwani UNK kusaidia kuzuia uchafuzi wa maji yanayotumiwa na wateja wake tamko la serikali kupitia kwa waziri wa maji na umwagiliaji profesa mark mwandosya limekuja ikiwa ni siku tatu baada ya wakazi wa jiji la dar es salaam kulalamika kuwa maji ya mto ruvu mkoani pwani yamewekwa sumu na watu waliokuwa UNK samaki profesa mwandosya aliwaeleza waandishi wa habari jana kuwa uchunguzi wa awali umebainisha kwa hakuna sumu katika mto huo ambayo italeta madhara kwa watumiaji wa maji hata hivyo waziri mwandosya alisema anasubiri majibu ya uchunguzi wa kina kutoka kwa mkemia mkuu wa serikali ili serikali UNK zaidi na uchunguzi UNK profesa mwandosya alikiri kuwekwa kwa sumu katika mto huo lakini kwa umbali wa kilomita sabini kutoka katika chanzo cha maji yanayotumiwa na wakazi wa dar es salaam na pwani alisema kuwa maji hayo mpaka kufika katika eneo la ruvu juu ambapo dawa ya kusafisha maji aina ya UNK huwekwa sumu hiyo UNK uchunguzi wa awali uliofanywa baada ya kutokea kwa tukio hilo ilibainika kuwa viumbe hai vinavyoishi katika mto huo UNK madhara ya aina yoyote kwa sababu sumu hiyo haikuwa na madhara alisema profesa mwandosya alisema kuwa kwa sasa sampuli za maji zinaendelea kuchukuliwa na kupimwa kila baada ya dakika kumi na tano kabla ya UNK ili kuchunguza tofauti yoyote ile isiyokuwa ya kawaida katika tabia ya maji ghafi kwa vile UNK yana samaki ndani yake tunaendelea kuchunguza kwa karibu kama kuna dalili yoyote ya tishio kwa uhai wa samaki sampuli za maji zimechukuliwa na kupelekwa kwa mkemia mkuu wa serikali akiwemo samaki mmoja aliyekufa ili kubaini sababu ya kifo chake alisema profesa mwandosya alisema kuwa mpaka sasa UNK wavuvi wanne ambao wanasadikiwa UNK samaki kwa kutumia sumu katika hatua nyingine dawasco imesema uchafuzi wa vyanzo mbalimbali vya maji ukiwamo mto mto kizinga ambao maji yake yanatumika kwa wakazi wa wilaya ya temeke umekithiri kiasi cha kusababisha kina cha maji kupungua na kusababisha uzalishaji kuwa mdogo meneja wa mtambo wa kuzalisha maji mtoni bwana masoud omari alisema sheria inasema shughuli zote za kibinadamu katika mto kama huu UNK maji kwa matumizi wa binadamu ni kuanzia mita sitini kando ya mto lakini watu UNK na kujenga kila kukicha hivyo UNK maji kwa kuoga kufua na kutupa takataka na magogo alisema bwana omari mto kizinga unaanzia wilayani kisarawe mkoa wa pwani unapita wilaya ya ilala hadi temeke ambako maji yake UNK na kuwekwa kwenye UNK kubwa katika mashine ya maji ya mtoni ambako kuwekwa dawa kwa ajili ya matumizi wa binadamu na kisha UNK mbunge wa same mashariki anne kilango amesema UNK pesa za mafisadi ndio maana watuhumiwa wa ufisadi hawatakuwa na nafasi katika harambee ya kuchangia ununuzi wa mitambo ya kiwanda cha kusindika tangawizi kwa manufaa ya wapiga kura wake alitoa kauli hiyo jana dar es salaam alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu harambee itakayofanyika octoba kumi na sita katika hoteli ya new afrika wakati wa chakula cha usiku UNK mgeni rasmi atakuwa rais jakaya kikwete alikuwa akijibu swali la mwandishi aliyetaka kujua kama yupo tayari kupokea pesa za mafisadi endapo watajitokeza kumuunga mkono katika nia yake ya kumuunga mkono rais kikwete katika utekelezaji wa kaulimbiu ya kilimo kwanza mbunge huyo ambaye katika siku za karibuni amekuwa mwiba kwa mafisadi alisema watu hao hawana nafasi katika harambee hiyo kwa kuwa UNK katika orodha ya watu UNK kuchangia akijibu swali hilo alisema this is a technical UNK mpaka sasa tunayo list ya watu UNK UNK lakini hakuna jina lolote la mtu anayetuhumiwa kwa ufisadi katika list hiyo alisema bibi kilango alisema wanatarajia kukusanya shilingi bilioni moja tano ili kukamilisha ununuzi wa mitambo hiyo ikiwa na lengo la kuwasaidia wakulima wa tangawizi jimboni humo kilimo cha sasa hivi UNK na viwanda jengo lipo tayari tunahitaji vifaa ili tuanze kazi alisema bibi kilango mbunge alisema kuwa hayupo tayari kuona wananchi wake wakiteseka katika kutafuta pesa kupitia mabenki ili kukamilisha ununuzi wa mitambo hiyo ndio maana kama mbunge wao ameamua kukutana na wadau mbalimbali ili kusaidia wananchi wake na kutoa wito kwa viongozi kuwa wateremke chini ili kuwasaidia watu wao alisema kuwa same wamekuwa viongozi katika kujenga kiwanda hicho hivyo tabia hiyo UNK kwa viongozi wengine alifafanua kuwa katika juhudi hizo viongozi wa serikali tayari UNK juhudi zao katika uchangiaji huo waziri mkuu alichangia shilingi milioni kumi na rais UNK kwa kuwa ndiye mgeni rasmi katika shughuli hiyo na sio lazima pesa hizo zitoke epa alisema aliwataka wadau mbalimbali kujitokeza ili kukamilisha lengo la ujenzi wa kiwanda hicho ili kiweze kusaidia maisha ya wananchi katika kuinua kipato chao pia pato la taifa kesi ya waziri wa zamani wa vijana nchini rwanda callixte nzabonimana iliyokwama kwa muda wa miezi ishirini na moja itaanza kusikilizwa novemba tisa mwaka huu mbele ya mahakama ya kimataifa ya mauaji ya kimbari ya rwanda UNK wa ict r UNK UNK alithibitisha kwamba kesi hiyo itaanza kusikilizwa kuanzia tarehe hiyo lakini hakutoa taarifa zaidi nzabonimana sasa anakabiliwa na mashtaka tano katika hati ya mashtaka iliyofanyiwa marekebisho na kutiwa saini na mwendesha mashtaka wa ict r hassan UNK UNK oktoba nne ishirini sifuri nane ikiwa ni pamoja na mauaji ya kimbari kula njama za kufanya mauaji hayo uchochezi kuteketeza kizazi na mauaji awali mtuhumiwa huyo alikana mashtaka kumi na moja dhidi yake ikiwa ni pamoja na mauaji ya kimbari kuteketeza kizazi na ubakaji alipofikishwa kwa mara ya kwanza mahakamani februari ishirini ishirini sifuri nane kwa mujibu wa hati ya UNK inadaiwa kwamba mtuhumiwa huyo alishiriki kikamilifu katika mauaji ya dhidi ya watutsi katika mkoa wa gitarama katikati ya rwanda UNK zaidi ya mara moja kati aprili na julai elfu moja na mia tisa na tisini na nne mkoani gitarama callixte nzabonimana aliwahamasisha raia kuanza kuwaua watusi na kisha kuchukua mali zao inasomeka sehemu ya hati ya UNK hati hiyo ilieleza pia kwamba katika kipindi hicho hicho mtuhumiwa huyo UNK hadharani makundi mbalimbali ya wananchi wakiwemo wanajeshi polisi wanamgambo wa UNK wakuu wa mikoa mameya kikosi cha usalama wa rais na watu wengine wenye mamlaka na raia wa UNK kwa ujumla kuua wenzao wa UNK mtuhumiwa huyo alitiwa mbaroni mkoani kigoma magharibi mwa tanzania februari nane ishirini sifuri nane na kuhamishiwa UNK makuu ya ictr mjini arusha mara moja watuhumiwa wengine wawili wanasubiri kupangiwa tarehe za kuanza kusikilizwa kwa kesi zao watuhumiwa hao ni mameya wawili wa zamani wa rwanda UNK UNK wa wilaya ya UNK na mwingine kutoka wilaya ya UNK jean baptiste gatete kwa mujibu wa makadirio yaliyofanywa na un watu wapatao themanini sifuri sifuri sifuri sifuri wengi wao wakiwa watusi na wahutu wenye msimamo wa wastani walipoteza maisha shahidi wa tano wa upande wa mashitaka ambaye ni mkurugenzi wa benki kuu bwana emmanuel boaz ameieleza mahakama kuwa dokezo la kuomba idhini ya malipo ya kampuni ya changanyikeni residential complex kwa gavana liliandikwa na mkurugenzi wa idara ya madeni bwana imani mwakosya ambaye naye kwa sasa anakabiliwa na kesi nyingine za wizi hayo UNK jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu wakati boaz akitoa ushahidi kuhusiana na wizi katika akaunti ya madeni ya nje uliofanywa na washitakiwa hao mbele ya jopo la mahakimu bibi sekela moshi sam rumanyika na bwana lameck UNK bwana boaz alisema kuwa mkurugenzi wa kampuni ya changanyikeni aliandika barua bot akiomba kununua deni kwa kampuni ya marubeni corporation la dola za kimarekani moja sifuri sita tisa mia moja na ishirini na tano na dola zingine hamsini moja mia mbili na kumi sifuri mbili baada ya kuandikwa kwa barua hiyo bwana mwakosya aliandika dokezo kwenda kwa gavana wa bot akiomba kibali cha kununuliwa deni hilo na kampuni hiyo na gavana daud balali akaridhia malipo ya shilingi moja mia moja na themanini na sita mia tano na thebathini na nne mia saba na hamsini na tisa baada ya kupata idhini hiyo mchakato wa kulipwa fedha hizo uliendelea kufanywa na bot hatimaye fedha hizo kuingizwa katika akaunti namba sifuri moja j sifuri moja tatu tatu saba saba nne sifuri moja katika benki ya crdb tawi la kijitonyama dar es salaam na wahusika UNK kwa hatua hiyo washitakiwa katika kesi hiyo ni bwana bahati mahenge bwana manase mwakale bibi eda mwakale bwana davis kamungu na bwana UNK mosha ambao wanakabiliwa na makosa ya wizi wa fedha hizo chama cha wananchi kimesema kuwa viashiria vyote vya kuvuruga uchaguzi mkuu mwakani tayari UNK na sasa kinachosubiriwa ni maamuzi ya baraza kuu la chama hicho chama hicho kimesema hali hiyo inatokana na jinsi uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura visiwani zanzibar UNK huku kukiwa hakuna mabadiliko yoyote yaliyofikiwa kauli hiyo ilitolewa jana na mkurugenzi wa uenezi na mahusiano na umma bwana salim bimani alipotakiwa kueleza maamuzi ya chama hicho kulingana na hali ya kisiasa ilivyo visiwani humo viashiria vya vurugu vimeongezeka na hofu yetu ni kuwa UNK mjini hali itakuwa mbaya zaidi nadhani wanataka mpaka waone watu wamekufa ndio waamini kuwa mambo si mazuri alisema na kuongeza kuwa kutokana na hali hiyo tume ya uchaguzi zanzibar isitishe uandikishaji huo naye mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni bwana hamad rashid mohamed ameonesha wasiwasi wake kuwa huenda hali hiyo UNK hapo baadaye kwa kile alichosema kuwa ni ukosefu wa demokrasia ya kweli nchini alisema kuwa hata mataifa ya nje UNK kuwa tanzania haina demokrasia tanzania UNK kuwa ipo nyuma kidemokrasia hata au un wanatambua kuwa yapo yanayofanywa nje ya katiba alisema bwana mohamed na kuongeza kwamba kuingia katika uchaguzi mwakani kunategemea na maamuzi ya baraza la chama hicho kwa upande wake naibu mkurugenzi wa uenezi na mahusiano na umma bibi ashura mustafa alisema serikali imeandaa mazingira ya UNK uchaguzi huo hasa visiwani zanzibar alisema kuwa hakuna anayeweza kukubali kuongozwa na rais atakayechaguliwa na watu wachache kwa kuwa wengi wao bado UNK kutafuta haki zao ikiwemo kitambulisho za kupigia kura kitu ambacho UNK kuwa na mizengwe mingi mazingira UNK na serikali katika uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura zanzibar ni kutokuwepo kwa uchaguzi zanzibar alisema pia alihoji kwa nini zanzibar kama ni tanzania wasitumie utaratibu wa kupata masheha kama huku ambako madiwani UNK na wananchi na si kuteuliwa masheha sasa wanafanya kazi kama mawakala wa UNK wao na mwandishi wetu rais jakaya kikwete amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa mikoa kwa UNK vituo vya kazi taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa dar es salaam jana na ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa na kusainiwa na naibu waziri wa wizara hiyo bwana aggrey mwanri ilisema mabadiliko hayo UNK wakuu wa mikoa kumi na moja bwana mwanri alisema mabadiliko hayo UNK kutoa msukumo zaidi wa shughuli za serikali katika mabadiliko hayo mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana abbas kandoro amehamishiwa mkoa wa mwanza wakati mkuu wa mkoa wa dodoma bwana william lukuvi anakuwa mkuu mpya wa mkoa wa dar es salaam mkuu wa mkoa wa mwanza daktari james msekela anakwenda kuwa mkuu wa mpya wa mkoa wa dodoma wengine walioguswa na mabadiliko hayo ni mkuu wa mkoa wa kagera kanali mstaafu enos mfuru anayekwenda kuwa mkuu wa mkoa wa mara kuchukua nafasi ya luteni kanali issa machibya aliyehamishiwa morogoro mkuu wa mkoa wa morogoro meja jenerali mstaafu said kalembo amehamishiwa tanga na aliyekuwa mkuu wa mkoa huo bwana mohamed abdulaziz amepelekwa iringa kuchukua nafasi ya UNK amina mrisho anayekwenda kuwa mkuu wa mkoa wa pwani aliyekuwa mkuu wa mkoa wa pwani daktari christine ishengoma UNK ruvuma kuchukua nafasi ya bibi monica mbega anayekwenda kilimanjaro mkuu wa mkoa wa kilimanjaro bwana mohamed babu amehamishiwa mkoa wa kagera mabadiliko ya wakuu hao wa mikoa yamekuja siku chache baada ya yale ya wakuu wa wilaya yaliyohusisha uteuzi wa sura mpya kumi na tano huku wengine UNK mbali ya wengi kuhamishwa vituo vya kazi wananchi wa kada mbalimbali UNK na ongezeko la gharama za vipimo na matibabu ya magonjwa mbalimbali kwa wagonjwa wa rufaa binafsi katika hospitali ya taifa muhimbili wakizungumza na majira kwa nyakati tofauti baadhi ya wananchi walihoji juu ya hatua hiyo na kudai kuwa kitendo cha mnh kupandisha gharama ni cha kutaka kuwakomoa wananchi nadhani sasa wanataka UNK gharama za mwanzo wengi walikuwa UNK sembuse hizo mpya kwanza wanatakiwa kutambua kwamba hospitali hiyo ni ya serikali na inategemewa na taifa zima na wala si hospitali binafsi sasa kitendo cha kuongeza gharama sisi UNK mfano mimi nilikuwa UNK katika hospitali ya amana halafu UNK rufaa kwenda muhimbili na nikifika huko baadhi ya huduma natakiwa kulipia hivi nitatoa wapi pesa alihoji mwananchi aliyejitambulisha kwa majina ya UNK idd lakini afisa uhusiano wa mnh aminiel aligaesha pamoja na kukiri kupandisha gharama hizo alisema bado huduma za hospitali hiyo ya taifa ni nafuu ukilinganisha na hospitali nyingine za binafsi alifafanua kuwa bei hizo ambazo UNK kwa miaka sita tangu mwaka ishirini sifuri tatu hadi mwezi huu haziwahusu wagonjwa wa kawaida wanaochangia matibabu wala wale wa magonjwa yenye msamaha maalumu wa serikali kama vile kifua kikuu wajawazito watoto na magonjwa UNK wakati aligaesha akitetea uamuzi huo wananachi wakiwamo wanasiasa wamesema hatua hiyo haikuzingatia hali hali ya wananchi mbunge wa same mashariki bibi anne kilango UNK na uamuzi huo na amesema ana imani kamati ya bunge ya huduma za jamii UNK suala hilo kwangu mimi ni mapema mno kuzungumzia suala hili lakini nina imani kamati ya huduma za jamii ya bunge UNK suala hili kama jambo la kufanyia kazi alisema bibi kilango mkazi mwingine wa jijini alisema inaeleweka wazi mtu anapokwenda katika hospitali ya serikali anatakiwa kuchangia huduma na si kulipia sasa iweje UNK kwanza huduma zenyewe mbovu kuna madai ya watu kufa kila siku kwa kukosa huduma badala ya kuboresha huduma UNK bei sijui wametumia vigezo gani alisema bwana said mhina bibi UNK daniel alisema rais jakaya mrisho kikwete anatakiwa kuingilia kati suala hilo kwani UNK wananchi wa kipato cha chini ambao wanaweza kupoteza maisha kwa kushindwa kumudu gharama hizo kwa upande wake bwana juma almasi mkazi wa mbagala kiburugwa alisema alipokea taarifa za kupanda kwa gharama hizo kwa masikitiko kwani serikali imeamua kufanya hivyo ili watu wa kipato cha chini wazidi kufa kwa kukosa fedha kulipia vipimo hata hivyo baadhi ya wananchi walikuwa na maoni tofauti kuwa huenda kuna mipango maalumu wa kuboresha huduma na hivyo kuna kila sababu ya kuueleza kwa umma sidhani kama watakuwa UNK bila UNK kwa maoni yangu mi najua kwamba serikali inafahamu kuna watu wasiojiweza na inajua fika wananchi wengi ni masikini na ndio wanaokwenda kupata huduma katika hospitali alisema bwana charles UNK viwango vipya UNK kutumika tangu octoba mosi mkwa huu UNK na uongozi wa mnh kusababishwa na kupanda gharama za uendeshaji vifaa tiba na matumizi mengine ya wagonjwa gharama zilizopanda ni pamoja na kulazwa kuona daktari na upasuaji ambapo kwa mujibu wa nyaraka mpya kutoka hospitalini hapo baadhi ya gharama za upasuaji zimepanda kufikia zaidi ya shilingi milioni moja huku zingine UNK kwenye UNK hilary komba rabia bakari reuben kagaruki na godfrida jola taarifa ya mwenyekiti wa kampuni za ipp bwana reginald mengi aliyoitoa ikiwa na tuhuma za ufisadi papa imezidi kukwamisha usikilizwaji wa kesi zinazomkabili mfanyabiashara maarufu bwana jeetu patel na wenzake baada ya mahakama kukubaliana na maombi ya kusitishwa kwa kesi ya pili bwana jeetu anakabiliwa na kesi nne tofauti katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu na jana kesi ya pili UNK kusitishwa usikilizwaji wake hadi mambo ya msingi ya kikatiba UNK na mahakama kuu ya tanzania mahakama kuu imeombwa kupitia na kutoa ushauri kama shutuma za mengi kwamba mshitakiwa huyo jeetu patel ni fisadi papa UNK mwenendo wake pamoja na patel mengi UNK pia wafanyabiashara wengine rostam aziz tanil somaiya yusuf manji na subash patel kesi UNK jana mahakamani hapo ni ya wizi wa shilingi bilioni tatu tisa kupitia kampuni ya c UNK company ltd ya japan na kampuni ya UNK UNK ltd ya tanzania akitoa uamuzi wa kusitisha kesi hiyo hakimu bwana amir msumi alikubaliana na maombi ya upande wa utetezi ambao uliomba kusitishwa kwa kesi hiyo mpaka kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na washitakiwa hao ikitaka kufutwa kwa kesi zote za bwana patel kutokana na kuhukumiwa na jamii UNK bwana msumi alisema kuwa kutokana na taarifa ya bwana mengi ambayo iliandikwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari UNK bwana patel kuwa ni fisadi papa hali inayoonesha kumhukumu mshitakiwa huyo kabla ya mahakama kumtia hatiani upande wa utetezi katika hoja zake ulisema kuwa taarifa hiyo UNK jamii kuwa washitakiwa ni watu hatari ndani ya jamii hivyo kuifanya UNK kufungwa kwa washitakiwa hao kutokana na hatua hiyo upande huo ulisema kuwa tayari uhuru wa mahakama UNK na kuondosha usikilizwaji wa haki huku haki za kikatiba za washitakiwa UNK siku tano tangu rais jakaya kikwete UNK nguvu na kupumzishwa kwa muda katika uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza daktari wake binafsi daktari peter mfisi ameweka wazi vipimo mbalimbali vya afya ya rais ukiwamo ugonjwa wa shingo UNK rais kikwete alilazimika kukatisha hotuba yake katika sherehe za miaka kumi sifuri ya kanisa la african inland church baada ya kuishiwa nguvu na alipopata nafuu alisema ni uchovu uliotokana na safari zake nyingi kufuatia hatua hiyo watanzania wamekuwa wakizungumzia afya ya kiongozi wao na wengine kupendekeza afanyiwe uchunguzi wa kina ili kubaini ni kitu gani UNK hasa ikizingatiwa kuwa aliwahi kuanguka wakati akihitimisha kampeni zake katika uwanja wa jangwani dar es salaam mwaka ishirini sifuri tano akizungumza na waandishi wa habari ikulu dar es salaam jana daktari mfisi alisema kwa ridhaa ya rais ameamua kufafanua masuala muhimu kuhusu afya ya rais kikwete ili kuondoa hofu kwa wananchi alisema baada ya kumfanyia vipimo ushahidi wa kitaalamu umethibitisha kuwa rais kikwete hakuwa na matatizo yoyote ya kiafya ambayo yanaweza kuhusishwa na chanzo cha tukio lile isipokuwa tu alizidiwa na uchovu hata hivyo daktari mfisi alibainisha kuwa rais kikwete anasumbuliwa na maumivu ya shingo yaliyotokana na kuumia zamani utotoni na akiwa jeshini na wingi wa damu yake majibu ya vipimo vyake yanaonesha alikuwa na UNK mia moja na thebathini UNK ambayo ni kiwango cha kawaida kwa mtu wa umri wake mapigo ya moyo yalikuwa sabini na sita kwa dakika sukari kwenye damu ilikuwa tano tano UNK moja joto lilikuwa thebathini na saba tano ambavyo vyote ni viwango vya kawaida pia hapakuwa na kiungo chochote kilichoonekana kutetereka jambo ambalo UNK hakupata kiharusi alisema aidha daktari mfisi alisema rais kikwete anasumbuliwa na tatizo la wingi wa damu ambalo UNK kutoa damu kila baada ya miezi sita aliongeza kwa kusema kuwa tatizo lingine ambalo limekuwa UNK mara kwa mara ni maumivu ya shingo yanayotokana na kuumia wakati wa utoto na ujana wake alisema maumivu hayo yanasababishwa na kuumia kwa baadhi ya pingili za uti wa mgongo sehemu ya shingo hata hivyo daktari mfisi alibainisha kuwa rais kikwete anasumbuliwa na maumivu ya shingo yaliyotokana na kuharibika kwa pingili moja kwenye uti wa mgongo na kuwa matatizo ya namna hiyo UNK wanamichezo na wanajeshi kama alivyokuwa rais kikwete pia ameshonwa na madaktari bingwa wa upasuaji wa mishipa ya fahamu hapa nchini na nje madaktari hao kwa dhati wameshauri kuwa kwa sasa maumivu yake hayahitaji upasuaji isipokuwa mazoezi ya viungo alisema daktari huyo alisisitiza kuwa rais kikwete amefundishwa mazoezi anayotakiwa kufanya na amekuwa akiyafanya kwa nidhamu ya hali ya juu hata hivyo daktari huyo alisema kutokana na maumivu hayo ndio maana rais kikwete UNK kunyoosha shingo mara kwa mara kama ilivyokuwa zamani kwa wale UNK alitaja vipimo ambavyo rais UNK kuwa ni pamoja na shinikizo la damu moyo ubongo ini figo UNK UNK mfumo wa njia ya chakula tezi la shingo tezi la kibofu macho masikio pua na damu ambapo vipimo vyote vinaonesha kuwa afya yake haiko hatarini mimi na daktari mwenzangu hatuna mashaka juu ya afya ya rais hana maradhi yanayotishia maisha yake au kupunguza uwezo wake wa kulitumikia taifa alisema daktari huyo ambaye alibainisha kuwa UNK na daktari mohamed UNK ambaye ni daktari bingwa wa magonjwa ya moyo katika hospitali ya taifa muhimbili alisema uchovu uliokithiri ndio chanzo cha rais kuishiwa nguvu na kupumzishwa hata hivyo alisema watalazimika kuwa UNK zaidi katika kupanga ratiba ya kazi zake aidha daktari mfisi alisema bado wanaendelea kufuatilia kwa karibu na kwa umakini mwenendo wa afya ya rais ili kujiridhisha juu ya usalama wake kwa kuwa wao ndio wenye dhamana ya kuangalia afya yake baadhi ya walimu wa shule ya msingi kijiji cha mkundi UNK kata ya mnazi tarafa ya umba wilayani lushoto UNK shule hiyo kwa wengine kuacha kazi na kuhama vituo kutokana na kulazwa walimu sita kwenye nyumba ya vyumba viwili wake kwa UNK hayo yalisemwa juzi na baadhi ya walimu hao shuleni hapo walipokuwa wanazungumza na mwandishi wa habari hizi kwa nyakati tofauti ambapo walisema hawaridhiki na mazingira wanayoishi kijijini hapo tangu UNK septemba tatu mwaka huu bwana godfrey UNK alisema analazimika kulala na UNK kwa kuwa hana uhuru kutokana na UNK kwenye chumba kimoja walimu watatu wa kiume wanaotoka maeneo tofauti ya nchi lakini kibaya zaidi nyumba hiyo ya mwalimu haina choo hivyo usiku wanalazimika kwenda umbali wa zaidi ya mita kumi sifuri kujisaidia kwenye choo cha shule naye bwana haji UNK alisema UNK nyumba mbili kabla ya kupelekwa kwenye nyumba hiyo iliyojengwa kwa ajili ya kuishi mwalimu mwenye familia moja kati ya nyumba hizo moja ilikuwa haina mlango na nyingine haina choo hata kwa jirani mwalimu mwingine bibi maria elia alisema wanalazimika kulala chini kwenye magodoro kwa kuwa kama kila mtu ataweka kitanda chake hataweza kupata nafasi hivyo hajui atafanya nini pindi akienda nyumbani kuchukua godoro lake kwenye likizo ya mwezi wa sita hata hivyo baadhi ya wanakijiji zaidi ya kumi na tatu waliozungumza na mwandishi wa habari hizi kwa nyakati tofauti walisema tatizo UNK walimu hao kukosa nyumba za kuishi linatokana na wananchi kususia shughuli za maendeleo ikiwemo kujenga nyumba za walimu na madarasa mmoja wa wana kijiji hao bwana adam mpemba alisema zaidi ya miaka miwili iliyopita walianzisha ujenzi wa nyumba ya mwalimu yenye uwezo wa kuishi familia mbili na darasa moja ambapo waliweza kujenga boma la darasa pamoja na nyumba ya mwalimu bwana mpemba alisema wakati wanajenga maboma hayo tayari UNK na uongozi wa kijiji kuwa serikali itatoa shilingi milioni tatu sita kwa ajili ya mbao na bati kwa ajili ya UNK nyumba ya mwalimu na shilingi milioni tatu moja kwa ajili ya bati na mbao za UNK alisema walijenga kwa shida majengo hayo ikiwemo kwenda kuchota maji kwa kutumia baiskeli zaidi ya kilomita saba kwa ajili ya kufyatua matofali huku wanawake UNK mchanga na mawe ili kuona wanakamilisha nyumba ya mwalimu na darasa mwandishi alipomuuliza mjumbe wa kamati ya shule ya ujenzi bwana saleh sabuni alisema wao kama kamati walipata kumuhoji takribani mwaka mmoja uliopita mwalimu mkuu wa shule hiyo bwana salim shemweta ni kwa nini UNK majengo hayo mimi na mwalimu mkuu ndiyo tuliokwenda benki ya nmb lushoto kutoa shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri kwa ajili ya kununua boriti za UNK nyumba ya mwalimu na UNK mbona nyumba UNK alisema ameshindwa kusafirisha boriti zilizopo mnazi kutokana na ubovu wa barabara mtendaji wa kijiji bwana seif UNK alisema kwa upande wa wananchi wao UNK kwa kuwa UNK kwenye kazi za UNK ila kuna mambo ya kuweka sawa kwenye shule hiyo ambayo alikiri kuingiziwa kiasi hicho cha fedha na serikali kuu tanzania imetajwa kuwa nchi ya mwisho duniani kutumia huduma ya posta ya kusafirisha barua nyaraka na vipeperushi na kusababisha kudumaa kwa shirika hilo takwimu zilizopo sasa UNK kuwa wastani wa barua kwa kila mtanzania kwa mwaka UNK barua moja huku nchi zinazoongoza kwa viwanda ikiwemo ulaya na marekani UNK barua arobaini tatu kwa mwaka kwa mtu mmoja vile vile hali hiyo UNK katika nchi nyingine zilizoko kusini mwa jangwa la sahara ambako kuna asilimia kumi ya idadi ya watu wote duniani ambapo bara la afrika lina asilimia moja ya idadi ya barua za ndani ambazo kila mtu huandika au kupokea wastani wa barua tatu hayo yalisemwa dar es salaam jana katika kilele cha maadhimisho ya siku ya posta duniani na naibu katibu mkuu wizara ya mawasiliano sayansi na teknolojia daktari patrick UNK daktari makungu alisema kuwa mawasiliano kwa njia ya posta ni nyenzo muhimu na rahisi sana ambayo inaweza kutumiwa na jamii yoyote katika kufanikisha masuala ya kijamii na kiuchumi hakuna njia mbadala au ya mkato kurekebisha huduma za posta bali inabidi zichukuliwe hatua za awali kuwajengea wananchi na hasa vijana wa shule tabia ya kuandika barua zenye mada na maudhui mbalimbali alisema pia alisema kuwa takwimu zilizoandaliwa na umoja wa posta duniani zinaonyesha kuwa kiwango cha barua katika nchi zilizoendelea UNK na kiwango cha nchi zilizo maskini katika hatua nyingine wanafunzi wa shule mbalimbali UNK zawadi zikiwemo fedha taslimu vyeti na vifaa vingine baada ya kushiriki katika uandishi wa barua duniani na kuwa washindi kati ya kumi bora wanafunzi hao ni UNK UNK wa shule ya msingi UNK ya mkoani tanga doreen UNK wa shule ya msingi brooke UNK ya mkoani iringa na UNK nassor wa shule ya brooke UNK hata hivyo ameiomba wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi kuandaa mashindano shuleni ya uandishi wa barua kitaifa sambamba na kuwashirikisha watalaamu wa posta kutoa semina pamoja na tawala za mikoa na serikali za mitaa alisema kuwa huduma za posta zinaweza kupunguza kero katika jamii hasa ikizingatiwa kuwa mitandao ya posta hapa nchini ina ofisi mia mbili na hamsini ambazo ni sehemu ya ofisi za posta mia sita na sitini sifuri sifuri sifuri duniani lengo letu kuu liwe ni kupanua vipaji na ubunifu wa vijana wetu ili waweze kushiriki ipasavyo kwenye utandawazi katika dunia ya soko huria na yenye mapinduzi ya kiteknolojia pia vijana sharti wawe wadau wa maendeleo sio kuwa watazamaji tu alisema tangu shirika la posta kuanzishwa duniani octoba tisa elfu moja na mia nane na sabini na nne limefikia umri wa miaka mia moja na thebathini na tano ambapo tanzania UNK mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na tatu kauli mbiu ya mwaka huu ilikuwa inasema huduma za posta zinazingatia utunzaji wa mazingira hatimaye mahakama kuu ya tanzania imekubali kuwapa dhamana vigogo wanne wa benki kuu ya tanzania wanaokabiliwa na mashitaka ya uhujumu uchumi kwa masharti ya kuweka zaidi ya shilingi bilioni hamsini na mbili mahakamani hapo uamuzi huo ulifikiwa jana mahakamani hapo mbele ya jaji UNK mushi baada ya kupitia malumbano ya kisheria yaliyokuwa yamewasilishwa na pande zote mbili kuhusiana na dhamana kwa washitakiwa hao washitakiwa hao ni mkurugenzi wa benki kuu ya tanzania bwana saimon jengo naibu mkurugenzi wa idara ya sarafu bwana kisima mkango mwanasheria wa bot bwana bosco kimera na bwana ally bakari ambaye ni ofisa wa bot ambao wote kwa pamoja wanadaiwa kusababisha hasara ya shilingi bilioni kumi nne akitoa uamuzi huo jaji mushi alisema kuwa pamoja na dhamana kuwa ni moja ya haki za kikatiba kwa mshitakiwa lakini sheria iko wazi kwa makosa ya uhujumu uchumi ambayo inatoa maelekezo ya namna gani mshitakiwa huyo UNK alisema kuwa baada ya kupitia vipengele na malumbano ya pande zote ameridhika kuwa washitakiwa hao wanatakiwa kudhaminiwa kwa kutumia kifungu namba thebathini na sita cha sheria ya uhujumu uchumi ambacho kinataka kuwekwa nusu ya fedha UNK mahakamani hapo yapo maamuzi mengine ambayo UNK UNK haya kwa washitakiwa ambayo UNK kuchangia kiasi hicho cha fedha hivyo kutokana na kiasi hicho ambacho nusu yake ingekuwa bilioni hamsini na mbili sasa watatakiwa kuweka kila mmoja bilioni kumi na tatu ili kukidhi matakwa ya sheria hiyo alisema jaji mushi kutokana na hali hiyo mahakama iliwataka washitakiwa hao sasa kuweka mahakamani shilingi bilioni kumi na tatu kila mmoja kuwasilisha nyaraka zote zinazohusiana na kusafiri kwa mkuu wa upelelezi wilaya ya ilala kuwa na wadhamini wawili ambao watasaini dhamana ya shilingi bilioni kumi na tatu kila mmoja pamoja na kutosafiri nje ya mkoa wa dar es salaam bila ridhaa ya msajili wa mahakama kuu ya tanzania sharti jingine ni kuripoti kwa UNK kila siku ya jumatatu ya wiki kabla ya saa sita mchana jaji pia alitumia mwanya huo kufafanua sheria na baadhi ya maamuzi ya kesi zinazohusiana na uhujumu uchumi ambapo alisema kuwa mahakama hiyo haiwezi kukiuka sheria zinazohusiana na makosa hayo hata kama dhamana ni haki ya kila mshitakiwa awali kupitia wakili wa washitakiwa hao bwana mpare mpoki aliomba mahakama hiyo kutoa dhamana kwa washitakiwa hao bila kuzingatia vifungu UNK kuweka nusu ya fedha mahakamani kwani kwa kufanya hivyo ni kuwanyima haki zao za msingi mbali na hayo pia bwana mpoki alisema kuwa washitakiwa wataweza kutimiza masharti ya dhamana kwa kuwa wana wadhamini wanaoaminika lakini pia hawawezi kukimbia kwa kuwa wamekuwa waaminifu na kutoa ushirikiano kwa wachunguzi wa kesi hiyo tangu awali katika ukurasa wa kwanza wa gazeti hili toleo la jana UNK habari ya taarifa ya daktari wa rais aliyoitoa juzi kwa waandishi wa habari kuhusu afya ya rais jakaya kikwete habari hiyo ilikuwa na kichwa UNK daktari UNK ugonjwa wa jk ambacho kwa namna moja ama nyingine UNK tofauti na maana halisi iliyokusudiwa ambayo ni kutoa ufafanuzi wa kawaida kuhusu afya ya rais na si kuanika ugonjwa wake neno kuanika linaweza kuwa na tafsiri tofauti kwa wasomaji wetu katika maelezo yake daktari wa rais daktari peter mfisi alisema aliamua kufafanua masuala muhimu kuhusu afya ya rais kikwete ili kuondoa hofu kwa wananchi alisema baada ya kumfanyia vipimo ushahidi wa kitaalamu umethibitisha kuwa rais kikwete hakuwa na matatizo yoyote ya kiafya yanayoweza kuhusishwa na tukio la hivi karibuni la kuzidiwa na uchovu wakati akihutubia mjini mwanza hata hivyo daktari mfisi alibainisha kuwa rais kikwete anasumbuliwa na maumivu ya shingo yaliyotokana na kuumia zamani utotoni na wakati akiwa jeshini na wingi wa damu alisema maumivu hayo yanasababishwa na kuumia kwa baadhi ya pingili za uti wa mgongo sehemu ya shingo tunachukua nafasi hii kuiomba radhi ofisi ya rais ikulu na wale wote ambao kwa njia moja ama nyingine walipata usumbufu kutoka na tafsiri ya kichwa cha habari UNK nia yetu ni kuhabarisha na kuelimisha umma kwa kujenga na si kubomoa wala UNK mhariri vigogo wawili wa chama cha UNK wilayani kahama mkoani shinyanga juzi UNK UNK makonde wakigombea pikipiki ya msaada iliyotolewa kwenye ofisi ya chama hicho na mbunge wa jimbo la msalala bwana ezekiel maige ambaye pia ni naibu waziri wa maliasili na utalii viongozi hao UNK kuchapana makonde ni katibu mwenezi wa wilaya ya kahama bwana UNK mwanangolelwa na katibu wa uchumi na fedha wa wilaya bwana zacharia shinzi aliyekuwa akipinga pikipiki hiyo kuchukuliwa kama mali binafsi na katibu mwenezi huyo katibu wa ccm wilaya ya kahama bwana sospeter nyigoti alisema kutokana na ugomvi huo aliitisha kikao cha sekretarieti UNK hali hiyo huku kila upande ukidai una haki ya kumiliki pikipiki hiyo iliyotolewa kwa shughuli za chama bwana nyigoti alisema baada ya kuitisha kikao cha dharura juzi mchana na kuwaita wahusika na kuwahoji juu ya kugombea pikipiki hiyo chama UNK kuwepo kwa orodha ya mali za chama ili kuondoa mgongano wa umiliki wa mali hizo mwenezi wa wilaya bwana mwanangolelwa alipoulizwa alisema ugomvi huo ulikuwa ni utani japo alikiri alichukua piki piki hiyo na kuanza kuitumia toka ikabidhiwe na kukaa nayo nyumbani kwake kwa upande wake bwana shinzi alikiri kuwepo ugomvi huo na kusema kuwa alikuwa akitetea mali za chama zisitumike kama mali binafsi hali ambayo ilikuwa UNK na kiongozi mwenzie kwa madai amepewa kama mali yake na kwa kazi zake za UNK mbunge wa jimbo la msalala bwana maige alipokuwa akikabidhi piki piki hiyo alisema hiyo ilikuwa ni utekeleza wa ahadi zake kutokana na kutambua utendaji na shughuli za chama kuhusu changamoto kuhusiana na usafiri pikipiki hiyo aina ya UNK ambayo aliikabidhi jumatatu wiki hii katika ofisi ya ccm ya wilaya ina thamani ya shilingi moja arobaini sifuri sifuri sifuri sifuri ilitolewa kurahisisha usafiri katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa baadaye mwezi huu vilio simanzi butwaa na vurugu za hapa na pale zilitawala katika eneo la ofisi za makao makuu ya kampuni ya upatu ya deci iliyoko mabibo dar es salaam baada ya kukuta ofisi hizo zikiwa zimefungwa kutokana na tamko la waziri mkuu mizengo pinda kuwa kampuni hiyo UNK shughuli zake kihalali tamko hilo la serikali UNK juzi na kuwataka wananchi kuzingatia onyo lililotolewa hivi karibuni na benki kuu ya tanzania na soko la mtaji na dhamana kuepuka upatu huo kwa kuwa ni mfumo unaoendeshwa kwa ujanja ujanja majira ikiwa katika ofisi hizo jana ilishuhudia wanachama mbalimbali wakiwa wameshikwa na butwaa wengine UNK kwa UNK kwa lugha mbalimbali wengine wakiwa katika makundi madogo madogo pia wapo waliokuwa katika hali ya majonzi na simanzi na wengine wakiwa wamekata tamaa kabisa baada ya kukuta ofisi hizo zikiwa zimefungwa mbali na eneo la ofisi hizo za makao makuu majira ilishuhudia watu wakiwa wamekaa katika vikundi mbalimbali katika maeneo mengine ya jiji kama ubungo manzese na kinondoni wakiwa katika mijadala mizito kuhusu hatima ya fedha zao akizungumza na majira bwana joshua warioba ambaye ni mmoja wa wateja wa deci alidai anashangazwa sana na baadhi ya magazeti jinsi UNK habari za deci akidai UNK kuliko kawaida pia anashangazwa na baadhi ya wateja wa deci wanaojaribu UNK kampuni hiyo kwa UNK ofisi zake kwani hilo liko nje ya uwezo wao na kuwataka wawe na subira mpaka uongozi huo utakapotoa tamko mpaka sasa sijaona mtu UNK deci kwa kukosa mavuno yake ila haya yote yanasababishwa na serikali na kama UNK sisi UNK koo serikali kwani ndiyo UNK alidai bwana UNK alisema ni bora mabilioni ya jakaya kikwete UNK nguvu deci kwani iko tayari kuwakomboa maskini na serikali ni bora ingechukua jukumu la kuiboresha badala ya kuwasababishia watu kushindwa kuvuna fedha zao hadi jioni jana wateja wa deci walikuwa wakisubiri kwenye hizo kwa maelezo kuwa UNK wamiliki wa upatu huo UNK kuwa wako kwa waziri mkuu mizengo pinda nao zamzam abdul na said mwishehe wanaripoti kuwa viongozi wa deci jana UNK kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwa sakata la kampuni hiyo na kuomba kukutana na serikali wakisisitiza kuwa UNK na UNK pia wakati wakiomba kufanya mazungumzo na serikali ni vema wanachama wao wakawa na UNK katika kipindi hiki cha mpito na kudai wamekuwa wakitoa huduma hiyo bila kupata faida yoyote bali UNK kwa maono ya mungu wakizungumza ukumbi wa idara ya habari walisema walianzisha deci kwa nia ya kuwakomboa watanzania wa kipato cha chini lakini kutokana na hali ilivyo sasa ni vema wakakutana na viongozi wa ngazi za juu wa serikali ili kuzungumzia hatma yao meneja ushauri wa deci bwana arbogast kipilimba alisema nia yao ni kuwasaidia wananchi basi ni vema wakakutana na viongozi ikiwezekana waziri mkuu bwana mizengo pinda au rais jakaya kikwete ili kueleza sababu za kuamua kufanya shughuli hiyo tunaamini UNK na bot UNK na kututambua na hata yale matangazo yaliyotolewa kwenye vyombo vya habari inaonesha ni kwa kiasi gani inatupa muongozo wa sisi kuendelea na utoaji wa huduma hiyo kwa bahati nzuri hatutaki kulumbana na serikali wala hatupo kwa ajili ya kubishana na mtu au kiongozi yeyote alisema bwana UNK alidai kwa bahati mbaya wananchi wametiwa hofu na baadhi ya watu kutokana na kuichafua kwa kuifanya deci kama kundi la matapeli au watu wa upatu jambo ambalo sio kweli kwani ipo kwa ajili ya kuwakomboa wananchi dhidi ya umasikini kuhusu hatma ya deci alisema kwa sasa hawawezi kuzungumza lolote katika hilo kwa sababu kuna tume ambayo UNK lakini wanatarajia kufanya mazungumzo na serikali na baada ya hapo watatoa msimamo wao kama wataendelea ama la alidai hawawezi kutoa hatma wakati mazungumzo yanaendelea na kuongeza ni vizuri washiriki wao wakaendelea kupanda na kuvuna kwa wingi kama utaratibu ulivyo tangu wanaanza kutoa huduma hiyo ambayo kwa sasa ina wanachama zaidi ya sabini sifuri sifuri sifuri sifuri alisema wakati hayo yakiendelea tayari wananchi waliopanda wameanza kuondoa mbegu zao na katika kipindi cha wiki mbili tayari shilingi bilioni tano UNK jambo ambalo limesababisha wawe katika kipindi kigumu na kufanya mtaji wao kuyumba aliongeza kuwa tangu walipoanza kupanda na kuvuna mbegu shilingi bilioni hamsini na nne UNK na katika hizo shilingi bilioni thebathini na nane UNK na fedha za washiriki ambazo zipo kwa sasa ni shilingi bilioni kumi na moja baada ya shilingi bilioni tano kunggolewa alisisitiza kuwa walisajiliwa rasmi julai mwaka ishirini sifuri saba na wamekuwa wakishirikiana kwa karibu zaidi na bot kupitia kitengo chake cha UNK UNK hata hivyo deci ilisajiliwa kwa ajili ya kutoa mikopo na si kupokea fedha za watu kama wanavyofanya alisema tunashangaa maneno yamekuwa mengi dhidi ya taasisi yetu ya deci lakini tunaomba ifahamike kuwa kama kuna mtu anapambana basi ajue hapambani na sisi bali anapambana na mungu naye mwenyekiti wa bodi ya deci bwana jackson mtaresi alidai kutoa kwao huduma za aina hiyo haina maana kuwa wameamua kupata faida lakini inatokana na maombi ya siku nyingi ya kufunga na kusali na mungu akaitikia kilio chao na kuwawezesha kuanzisha aina hiyo ya mradi wa kuwakomboa masikini alisema deci yao asili yake ni mabibo dar es salaam wala haina UNK wa nchi yoyote kama UNK kuwa inaweza kuwa ni ya nje na wamiliki wake sio watanzania viongozi hao walisema kuwa kwa sasa maisha yao yamekuwa hatarini tangu walipoanza kuandikwa kwenye vyombo vya habari kwa mtazamo hasi kuhusu usalama wa fedha zao walisema wanajua UNK na kuongeza hakuna sababu ya kusema ni wapi UNK kwa sababu hata bot hawasemi wanaweka wapi fedha zao lakini ifahamike kuwa zipo mahali salama kutoka tanga mashaka mhando anaripoti kuwa washiriki wa mchezo wa upatu unaoendeshwa na deci tawi la tanga wamekumbwa na wasiwasi mkubwa wa kujua hatma ya ushiriki wao na namna wavunaji wa leo watakavyoweza kupata fedha hizo hali hiyo inatokana na tangazo lililowekwa jana kwenye ofisi za kampuni hiyo jijini hapa ambalo UNK kwamba shughuli za upandaji na uvunaji zimesitishwa kuanzia aprili kumi na tano hadi UNK tena na makao makuu dar es salaam deci ltd inapenda kuwatangazia washiriki wake kuwa ofisi zote nchini UNK huduma ya kupanda na kuvuna kuanzia kumi na tano nne ishirini sifuri tisa hadi uongozi wa deci utakapotoa maelezo tunaomba kila mwanachama UNK risiti zake na tuwe UNK limetolewa na deci makao makuu UNK tangazo hilo wanachama waliokuwa UNK fedha zao jana UNK ofisini hapo na wengine walifika kujua hatma ya mchezo huo baada ya serikali kutoa onyo na kuwahadharisha wananchi kuendelea na upatu huo walikutwa baadhi ya wameshika vichwa wasijue la kufanya mimi nimefika hapa kujua hali ikoje kwa sababu kesho natakiwa kuvuna lakini nimekuta tangazo hili na hapa ofisini hakuna mtu hatujui ni nini hatma yetu wala ni nani UNK fedha zetu za mavuno tunalia na serikali sasa ni wao wametaka hali hii itokee kwani kama UNK tungeendelea kupanda na kuvuna na kuwa matajiri leo wapo waliokuwa wapande na wengine UNK hatujui twende wapi na UNK nani alihoji bwana paul UNK alisema kama hoja ni kuhofia kufilisika kwa mabenki nchini baada ya wananchi wengi kuyakimbia na kuwekeza fedha zao deci haina maana kwa sababu mpango mzima wa kampuni hiyo ni kuwasaidia wananchi waondokane na umasikini wa kipato bwana shekilango alisema washiriki wote wa mchezo huo wamepanga kukutana ofisi za deci ili kuzungumzia mustakabali wao na namna ya kuonana na viongozi ambapo UNK bwana ernest kimaya kuwa ndiye meneja wa upatu huo mkoani hapa bwana kimaya pia ni mwenyekiti wa albino nchini pia watachagua kamati ya watu wanane ambao wataonana na mkuu wa mkoa wa tanga bwana mohamed abdulaziz ili wapate taarifa rasmi ya serikali kuhusu kusitishwa kwa shughuli za kampuni hiyo na wapi wataweza kupata fedha zao walizopanda hivi karibuni naye reuben kagaruki anaripoti kuwa askofu mkuu wa kanisa la full gospel bible fellowship bwana zakaria kakobe UNK lawama viongozi wa serikali kwa kushindwa kuichukulia hatua za kisheria kampuni ya deci limited kwa lengo kulinda maslahi yao kisiasa huku sheria za nchi zikivunjwa UNK akizungumza dar es salaam jana askofu kakobe alisema inashangaza kuona serikali ikiendelea kukaa kimya ili kuwalinda watu wanaovunja sheria wasipate madhara makubwa kwa kuifungia deci mara moja viongozi wa kisiasa UNK kura kwa wananchi kwa UNK wakivunja sheria badala yake UNK sheria kwani kwa kufanya hivyo tutafanikiwa alisisitiza askofu kakobe askofu kakobe alihoji kwa nini serikali imekuwa UNK mashamba ya bangi na hata bidhaa feki zenye thamani ya mamilioni bila kuwaonea huruma wamiliki wake lakini linapokuja suala la deci ishindwe kusimamia sheria sheria ipo wazi mwendeshaji wa upatu na mshiriki wote wanavunja sheria tukitaka kuwasaidia deci tutaleta shida vinginevyo watu wanaolima bangi na kuingiza bidhaa feki nao wataomba UNK huruma alihadharisha na kusisitiza kuwa viongozi hawatakiwi kuwa na huruma wakati wa kusimamia sheria pia askofu kakobe hakusita kuwalaumu viongozi wa dini kwa alichodai walishindwa kuwa mwanga na dira ya kuipa jamii mambo mema badala yake UNK UNK sheria kwa kutumia vyombo vya dini na nyimbo za UNK kushawishi waumini wao kujiunga na deci alisisitiza kuwa deci ilianzishwa nchini kupitia mgongo wa kanisa kwa waumini kuambiwa kuwa kuna maono ya kuhakikisha watu UNK UNK masikini na viongozi UNK ni wa madhehebu ya pentekoste ambayo pia yeye ni muumini wake akieleza siri ya wamiliki wa deci UNK fedha zao benki askofu kakobe alisema ni kwa sababu wanaogopa sheria ya udhibiti wa fedha haramu ndiyo maana wamekaa nazo kwenye UNK wanajua wakipeleka benki itakuwa vigumu UNK wakitaka kutoweka alisema askofu kakobe na kutoa mwito kwa waliopanda fedha deci kwenda kuzidai vinginevyo UNK UNK hadi sasa wanachama wa deci wamepoteza fedha zao hivyo wale wajanja UNK kwenda kudai ndio UNK chochote alisema kuhusu miongoni mwa waumini wa kanisa lake kupanda mbegu deci alisema hadi sasa hakuna UNK wowote lakini akaonya kwa watakaobainika walifanya hivyo UNK na kanisa lake watu wanane wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyotokea kijiji cha UNK wilayani geita mwanza baada ya mabasi madogo mawili ya abiria maarufu kama vipanya kugongana uso kwa uso akithibitisha tukio hilo kwa njia ya simu kamanda wa polisi mkoa a mwanza bwana jamal rwambow alisema ajali hiyo ilitokea juzi saa tisa thebathini mchana katika barabara kuu itokayo geita kwenda mjini mwanza aliwataja waliokufa katika na ajali hiyo kuwa ni bwana UNK masinde daktari mwanafunzi katika chuo cha udaktari cha muhimbili ambaye alikuwa UNK wilayani geita wengine ni bwana emmanuel UNK mwalimu shule ya msingi UNK wilayani ukerewe bibi lucy mussa mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi tisa pamoja na bwana festo UNK dereva wa gari lililopata ajali lenye namba t mia saba na hamsini na saba atg alisema miili ya maiti wengine bado UNK majina yao na ndugu zao na kwamba majeruhi wote wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya geita kwa matibabu ni ajali mbaya ambayo imepoteza watu wanane na tisa kujeruhiwa vibaya imetokea eneo ambalo barabara ni nzuri tena ya lami hakuna hata kona hivyo chanzo ni mwendo kasi pamoja na uzembe wa madereva wa magari hayo alisema UNK rwambow alisema kuwa ajali hiyo ilihusisha gari lenye namba za usajili t mia tano na kumi na moja UNK ambalo dereva wake alikimbia baada ya ajali na kwamba mmiliki wake bado UNK na lingine lenye namba t mia saba na hamsini na saba atg mali ya bwana UNK ramadhan ambalo dereva wake alifariki papo hapo miili ya watu waliokufa pamoja na majeruhi ilichukuliwa toka eneo la tukio na kupelekwa hospitali ya wilaya ya geita ambako vilio na majonzi toka kwa watu waliofika kushuhudia UNK eneo hilo kwa upande wake mganga mkuu mfawidhi wa hospitali ya wilaya ya geita daktari cassian kabuche UNK majeruhi hao alisema kuwa majeruhi watatu kati ya tisa hali zao ni mbaya aliwataja majeruhi ambao hali zao ni mbaya kuwa ni bwana UNK masanja mkazi wa bugando jijini mwanza ambaye amevunjika nyonga bwana dotto UNK mkazi wa geita ambaye amepata majeraha makubwa kichwani na UNK pamoja na bibi asteria UNK ambaye hajitambui kutokana na hali yake kuwa mbaya alisema kuwa majeruhi hao walipelekwa katika UNK ya rufaa ya bugando jijini mwanza kwa ajili ya matibabu zaidi kutokana na hali zao kuwa mbaya kikwete UNK kwa uwazi ujasiri madaktari wasema ni hali ya kawaida hatua ya ikulu dar es salaam kutangaza taarifa ya hali ya afya ya rais jakaya kikwete imeelezwa kwamba imesaidia kuepusha uvumi ambao UNK watanzania kuachwa njiapanda kuhusiana na afya ya mkuu huyo wa nchi watu waliozungumza na gazeti hili jana walisema kuwa uamuzi wa ikulu kutangaza kilichomsibu rais wakati alipoishiwa nguvu jijini mwanza wakati akihutubia katika jubilee ya miaka kumi sifuri ya kanisa african inland church ni wa busara na umetolewa wakati muafaka walieleza kufurahishwa na hatua hiyo wakisema imewaondolea watanzania hofu juu ya afya ya kiongozi wao mkuu wa kambi ya upinzani bungeni na mbunge wa wawi hamad rashid mohamed alisema kuwa kitendo hicho cha kutangazwa hali ya afya ya rais kikwete ni jambo jema UNK mambo mengi ndani ya jamii hasa baada ya kuishiwa nguvu kwa mara ya pili akihutubia wananchi bwana hamad alisema nchi inapokuwa na rais mtendaji mwenye mamlaka makubwa ni vyema wananchi UNK afya na uwezo wake wa kuendelea kufanya kazi kwa ajili ya mstakabali wa nchi unajua rais ni public UNK na kwa nchi kama za kwetu huyu ni executive president anategemewa kufanya maamuzi mengi mbalimbali na anapokuwa UNK na mambo kama hayo hadharani ni vyema UNK ufafanuzi kuhusu afya yake maana UNK hivyo kila mmoja ata UNK anavyojua yeye alisema bwana hamad naibu katibu mwenezi na uhusiano wa umma wa cuf bibi ashura mustafa alisema ingawa hakukuwa na ulazima wa rais kutangaza majibu yake hadharani hatua hiyo UNK hofu wananchi kwa kuwa hali hiyo UNK kwa mara ya pili toka aingie madarakani hakukuwa na ulazima wa kutangaza majibu hadharani kwa kuwa kufanya hivyo ni kuingilia uhuru wa mtu cha msingi wananchi walitakiwa kupewa taarifa kuhusu afya ya rais na si majibu ya vipimo alisema bibi UNK aidha alisema kuwa kwa sasa rais anatakiwa kuwa na uangalizi wa karibu ili kumaliza tatizo linalomsumbua na kuzuia hali kama hiyo kumtokea wakati mwingine mmoja wa madaktari kutoka huduma ya damu ya taifa alisema damu nyingi mwilini husababishwa na vitu kadhaa ikiwemo ugonjwa na kula chakula bora aliongeza kuwa mtu akiwa na damu nyingi mara nyingi UNK na kizunguzungu kuzimia kuumwa na kichwa na hata kutokwa damu UNK kwa ujumla kuwa na damu nyingi UNK isiwe tatizo kubwa sana na kuna wakati wanakuja watu hapa wana damu nyingi mpaka UNK lakini bado wanatembea tu barabarani bila kujitambua lakini ndiyo hivyo ikitokea UNK na matatizo kama hayo alisema daktari huyo kwa upande wake daktari moses UNK wa jijini dar es UNK alisema tatizo la ongezeko la damu halina madhara makubwa katika afya na huweza kudhibitiwa kwa kupunguza damu alisema kuwa wananchi UNK kuwa na wasiwasi kwakua hali hiyo haiwezi kumzuia kuendelea na majukumu yake pia amewataka viongozi na wananchi kuwa na UNK wa kupima afya zao ili kujiepusha na matatizo ambayo siyo rahisi kujitokeza hadi kufanyiwa uchunguzi na daktari naye bwana ridhiwani rashidi mkazi wa jijini dar es salaam alisema hatua ya rais kutoa taarifa ya afya yake ni kitendo cha kishujaa na mfano wa kuigwa na viongozi wengine raisi ni mtu muwazi kwani tangu alipopima virusi vya ukimwi katika viwanja vya mnazi mmoja aliweka wazi majibu yake haikuwa na ulazima kufanya hivyo bali ni kwa mapenzi yake kwa wananchi alisema bwana rashid bwana rashidi alisema kuwa rais anatakiwa kupunguziwa ratiba ya shughuli zake na kuwapatia viongozi wengine kwa kuwa wote wanatakiwa kuwatumikia wananchi aliongeza kuwa rais ni mfano wa kuigwa na viongozi hasa katika bara la afrika ambao wanafikiri kutangaza afya zao ni suala la siri na hakuna mtu anayetakiwa kupata taarifa hizo aidha alisema kuwa wananchi wana haki ya kujiridhisha kuhusu afya ya rais kwakua ni kiongozi wao na hali hiyo itasaidia kuondoa taarifa zisizo rasmi kuhusiana na afya yake hoteli kubwa ya kitalii inayokadiriwa kuwa ya nyota nne ipo hatarini kubomolewa kwa kujengwa katika eneo la hifadhi ya barabara mkoani arusha katika mpango wa ujenzi wa barabara ya njia nne ya jumuia ya afrika ya mashariki aidha hoteli hiyo inayojulikana kwa jina la snowcrest ambayo inaendeshwa chini ya kampuni ya snowcrest yenye vyumba themanini na nne na kumbi za mikutano zenye uwezo wa kubeba watu kuanzia hamsini mpaka thebathini sifuri kibali cha ujenzi wake kilitolewa na halmashauri ya manispaa ya arusha hoteli hiyo ambayo imeanza kutoa huduma hivi karibuni ambapo wageni wa kwanza kuingia hotelini hapo walikuwa washiriki wa mkutano wa wabunge wa jumuiya ya madola uliomalizika mwanzoni mwa wiki huu mkoani hapa ujenzi wake UNK kuleta mgongano baina ya tanzania na jumuia ya afrika ya mashariki mtaalamu kutoka sekretarieti ya jumuia ya afrika ya mashariki alisema wahisani waliojitokeza kufadhili mtandao wa barabara za afrika ya mashariki wanaweza kukataa kutoa fedha za ujenzi huo kutokana na nchi wanachama kutoweka mazingira mazuri ya ujenzi huo kwa kuhakikisha kuwa maeneo ya akiba ya barabara UNK alisema kuwa wahisani hao ambao wamekubali kugharamia ujenzi wa barabara ya njia nne kwa nchi za eac na ujenzi huo UNK katika pande za namanga ya kenya na namanga ya tanzania lengo likiwa kuziwezesha nchi za eac kuwa na mtandao wa barabara kuanzia kusini mpaka kaskazini magharibi mpaka mashariki hatua ya ujenzi wa hoteli hiyo kumega eneo la hifadhi ya barabara ya mkoa wa arusha ambayo ndiyo barabara kuu inayounganisha mkoa wa arusha na mkoa wa kilimanjaro imetafsiriwa kuwa inaleta mkanganyiko kuhusiana na matumizi bora ya ardhi na mpango mkakati wa eac wa barabara hiyo alipohojiwa na majira kwa njia ya simu meneja wa tanroads mkoa wa arusha bwana UNK UNK kuhusiana na hatua ya hoteli hiyo kujenga kwenye eneo la akiba ya barabara ya mkoa alisema kuwa ofisi yake imeanza kushughulikia suala hilo kwa UNK barua ya kuwataka hadi ifikapo novemba kumi eneo lote la akiba ya barabara iliyomegwa na hoteli hiyo kubomolewa ni kweli tumekuwa UNK sheria mpya ya barabara ambapo hoteli hiyo imeingia kidogo kwenye eneo la akiba ya barabara kwa kujenga geti na uzio wa hoteli kwenye akiba ya barabara katika upande wa hoteli ya UNK UNK hiyo barua tangu julai na hii ni barua ya tatu UNK UNK kuhusu kumega eneo la akiba ya barabara alisema bwana UNK alibainisha kuwa tanroads arusha haijatoa barua kwa hoteli hiyo pekee isipokuwa kwa watu wote na taasisi zote UNK eneo la akiba ya barabara alisema lazima ieleweke kuwa eneo la akiba UNK za mkoa ambazo ni barabara za taifa ni mita thebathini kutoka katikati ya barabara huku barabara za wilaya zikiwa ni mita kumi na tano ambazo zinatakiwa UNK kwa matumizi yoyote yale zaidi ya matumizi ya barabara pekee mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya manispaa ya arusha bwana raphael UNK alikiri ofisi yake kutoa kibali cha ujenzi wa hoteli hiyo ambapo alifafanua kuwa ujenzi wa hoteli hiyo umeenda kama ilivyoagizwa na manispaa hiyo isipokuwa suala la hoteli hiyo kumega eneo la akiba ya barabara ni suala la tanroads ambao wao ndio wasimamizi wa sheria ya barabara aidha alipohojiwa na majira jumapili meneja wa hoteli hiyo bwana marc dingiria kuhusiana na hoteli hiyo kujengwa kwenye eneo la akiba ya barabara sanjari na barua ya iliyoandikwa na tanroads UNK na kujenga kwenye eneo la akiba ya barabara alikataa kuzungumzia suala hilo ninachoweza kusema ni kuwa suala la hoteli kudaiwa kujengwa kwenye eneo la akiba ya barabara n na barua UNK na tanroads naona hilo UNK sipo tayari kulizungumzia kwa sasa alisema bwana dingiria wizara yasema wabaneni nhc sio sisi mvutano kati ya wapangaji na uongozi wa shirika la nyumba la taifa unazidi kuongezeka baada ya shirika hilo kudaiwa kukwamisha utekelezaji wa sheria UNK wapangaji kunufaika na nyumba hizo na badala yake kuziuza kinyemela wapangaji wanasema nhc UNK mchango wao wa muda mrefu ambao UNK nyumba hizo hadi hapo UNK licha ya rais kikwete kulitaka shirika hilo kuwauzia nyumba hizo wapangaji waliokaa muda mrefu mwenyekiti wa kamati maalum ya wapangaji wa nyumba za nhc UNK gwao alipozungumza na gazeti hili mara baada ya kamati yake kumaliza kuzungumza na kamati ya ardhi nyumba na mazingira ya bunge iliyo chini ya mwenyekiti wake job ndugai alisema nhc inachelewesha utekelezaji wa sheria mbili za unit titles na mortgage UNK ambazo zinaruhusu wapangaji kuuziwa nyumba hizo haraka kwa mujibu wa gwao kauli ya rais aliyoitoa agosti saba mwaka jana mkoani iringa wakati wa ufunguzi wa majengo mapya ya nhc kuwa haoni sababu kwanini wapangaji UNK na nyumba hizo baada ya kuishi humo kwa miaka mingi ndiyo ililazimisha kuanzishwa kwa sheria hizo haraka sheria ya unit titles inaruhusu mtu kununua na kumiliki sehemu ya jengo UNK wakati sheria ya mortgage financing UNK mtu kutumia sehemu aliyopanga katika jengo husika kuombea mkopo benki ili aweze kununua nyumba ama sehemu UNK hata hivyo sheria hiyo si kwa majengo ya nhc pekee bali hata kwa nyumba za watu UNK wanaweza kuuza sehemu tu ya jengo lao sheria hizo mbili zilipitishwa na bunge mwaka jana baada ya tamko la rais na zilipitishwa kwa hati ya dharura kutokana na kile kilichodaiwa kuwa unyeti na uzito wa suala lenyewe wiki UNK waziri wa UNK nyumba na maendeleo ya makazi john chiligati alikutana na wapangaji wa nhc wapatao hamsini sifuri katika ukumbi wa korea jijini dar es salaam na kutangaza kuwa ubia umesitishwa katika nhc na uuzaji wa majengo umegawanywa katika makundi matatu aliyataja makundi hayo kuwa la kwanza ni nyumba zile zitakazouzwa kama zilivyo bila kuvunjwa wala kukarabatiwa kundi la pili ni nyumba kawaida zilizopo katika kiwanja vikubwa kuwa UNK na kujengwa UNK ili ziweze kuuzwa kwa watu wengi huku haki ya wapangaji wa awali ikiwa palepale na tatu ni nyumba ambazo zipo maeneo muhimu ya kibiashara ambazo UNK kuwa mali ya shirika kwaajili ya UNK mikopo benki malalamiko hayo yamekuja wakati ambapo jengo lililopo mtaa wa kongo na uhuru ambalo linadaiwa kuuzwa kwa raia mmoja wa pakistan huku shirika likiendelea kutumia fedha nyingi kwa ukarabati hatua ambayo inaleta utata hata hivyo afisa habari mkuu wa nhc leonard maganga alitoa ufafanuzi kuwa jengo la mtaa wa kongo na uhuru UNK kama inavyodaiwa na wapangaji bali shirika limeingia ubia na kampuni moja ya raia wa UNK alikiri nhc kulifanyia ukarabati kwa gharama ya shilingi milioni nane licha ya kuwa lipo katika mradi wa ubia na UNK huyo ingawa hakueleza ubia huo ulitangazwa katika vyombo vya habari au ulifanyika kwa siri akijibu swali wiki hii mkurugenzi wa nyumba wa wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi profesa UNK nkya alisema habari zozote zinazo UNK nyumba za nhc yeye hapaswi kujibu isipokuwa nhc wenyewe nafahamu unachotaka kujua kwetu ni kuhusu hizi sheria mbili UNK kwa fast track na bunge ambazo ni unit titles act na mortgage financing act zote za mwaka jana lakini kwa protocol ya wizara mimi sipaswi UNK chochote isipokuwa msemaji wa wizara au nhc wenyewe alisema profesa nkya mwishoni mwa wiki hii wakati msimu wa ununuzi wa chai kutoka kwa wakulima umeanza katika maeneo yanayozalisha chai mkanganyiko juu ya hatima ya viwanda vya chai vya mponde mkoani tanga na lupembe wilayani njombe serikali imekaa kimya juu ya kulichukulia hatua kundi linalojiita munguki UNK viwanda hivyo kumtia hasara mwekezaji na kuwakosesha ajira maelfu ya wafanyakazi katika viwanda UNK majira jumapili UNK mgogoro huo imebaini kuwepo kwa kauli UNK juu ya msitu huo wa sakare UNK kuni za kukaushia chai ya kiwanda cha mponde ambapo consolidated holding UNK UNK shughuli za tume ya rais ya kurekebisha mashirika ya umma wanasisitiza kuuza msitu na kiwanda kwa kampuni ya lushoto tea na ushirika wa wakulima wadogo wa chai wa UNK nyaraka zote kutoka mchakato wa kuuzwa kwa kiwanda cha mponde uanze hadi kukabidhiwa kwa mwekezaji zinazonesha kiwanda kuuzwa pamoja na msitu wake kwa ajili ya kuni za UNK chai kwa mujibu wa nyaraka wawekezaji hao UNK mabilioni ya shilingi kwa ajili ya kuuendeleza msitu huo pia zipo barua kadhaa za iliyokuwa mamlaka ya chai tanzania tta zinazoonesha kuwa msitu wa sakare ulikuwa mikononi mwa mamlaka hiyo na iligharamia mamilioni ya fedha kila mwaka hadi UNK miaka kumi iliyopita kwa wabia hao ambao UNK hadi UNK kundi la mungiki mwaka jana lakini mtendaji mkuu wa bodi ya chai martin assenga alipozungumza na mwandishi wa habari hizi alisema msitu wa sakare kwa mujibu wa kumbukumbu za ardhi ni mali ya mzungu mmoja UNK law ambaye ndiye mmliki halali kauli hii imeifanya serikali kukumbwa na kigugumizi kwa UNK mungiki kwani nao ni wavamizi mwenyekiti wa utega william shelukindo mbunge wa bumbuli alisema anashangaza msitu huo UNK kwa miaka zaidi ya nane UNK leo huku wavamizi hao wamechukua mbolea na vifaa na serikali kuendelea kukaa kimya hadi wakulima kutafuta njia nyingine za kupata kuni na kuzalisha chai kwa gharama kubwa akizungumzia kauli ya assenga mwenyekiti mtendaji wa lushoto tea company nawab mulla alisema kauli ya mtendaji huyo inalenga kuhalalisha uvamizi na kuwaumiza wakulima wa chai ambao yeye ndiye wadau wake wakubwa na kwamba historia ya mashamba yote ya kuni za kusindika chai UNK kutoka kwa wazungu na wahindi kwa upande wa lupembe wilayani njombe assenga alipoulizwa kuhusiana na msitu wa UNK alisisitiza kuwa kwa vile kuna kesi mahakamani asingeweza kutoa maoni yake hadi hapo wanahisa hao dhow mercantile na muungano wa ushirika wa lupembe mvyulu UNK mbele ya vyombo vya kisheria majira UNK historia ya kiwanda hicho ilibaini mchakato wa ubinafsishaji wa mali za kiwanda ulikamilika mwaka ishirini sifuri nne ambapo mali zilizokuwa za tta na muungano wa ushirika wa lupembe mvyulu zilibinafsishwa kwa kampuni ya dhow mercantile kwa hisa za sabini na mvyulu kubaki na hisa zao za asilimia thebathini makubaliano ya ununuzi kati ya mwekezaji huyo na iliyokuwa psrc ilikuwa ya nipe nikupe mwekezaji alilipa fedha hizo kupitia benki ambapo muuzaji alitakiwa kuwasilisha hati za kumiliki kiwanda hicho ili benki iruhusu fedha hizo jambo ambalo psrc ilishindwa kulitekeleza hadi leo baada ya psrc kuvunjwa na shughuli zake kukabidhiwa consolidated holdings corporation UNK suala hili liliibuliwa ambapo mwekezaji alitakiwa kulipa fedha taslimu la sivyo UNK anywa kiwanda jambo hilo UNK mara moja lakini baada ya kukabidhiwa hundi ya malipo hayo shirika hilo UNK kimya hadi uvamizi UNK kujikanganya kwa serikali kuhusiana na uuzwaji wa viwanda hivi imeelezwa kuwa UNK katika wakati mgumu kwamba haina nia nzuri na wawekezaji wa ndani na unazidi kuweka alama ya kuuliza katika uwazi na uwajibikaji wa serikali watu watano wamefariki dunia wanne papo hapo kufuatia ajali mbaya UNK magari mawili ambayo UNK eneo la UNK moshi vijijini mkoani kilimanjaro usiku wa kuamkia jana UNK kutokea kwa ajali hiyo kamanda wa polisi mkoani kilimanjaro lucas ng hoboko alisema jana kuwa ajali hiyo iliyotokea saa sita usiku ikihusisha gari aina ya toyota hiace pick up lenye nambari za usajili t mia nane na ishirini na tatu aea lililokuwa likiendeshwa na probe shirima na gari aina ya mitsubishi fuso lenye namba za usajili t mia tisa na hamsini na tano UNK lililokuwa likiendeshwa na robert richard gari aina ya toyota hiace lilikuwa UNK wapiga tarumbeta maarufu kama kidedea waliokuwa wametoka kwenye sherehe ya send off eneo la marangu moshi vijijini ambapo lilipofika eneo la tukio liligongana na fuso kusababisha vifo na kujeruhi wengine saba alisema aliwataja waliofariki kuwa ni UNK UNK tumaini athumani mhina julius dafa david shirima na dereva wa toyota hiace probe shirima kamanda ng hoboko aliwataja waliojeruhiwa kuwa ni koplo hassan na koplo amiri wote askari wa jeshi la polisi kutoka chuo cha polisi moshi ambao alisema huwa wanashirikiana na wana kikundi hicho cha kidedea katika kutumbuiza aliwataja wengine kuwa ni mbonea athuman UNK gidion UNK manase UNK na UNK UNK aidha alisema koplo amiri bado amelazwa hospitali ya rufaa ya kcmc kwa ajili ya matibabu kufuatia majeraha mabaya aliyoyapata ambapo wengine walitibiwa hospitalini hapo na kuruhusiwa wakati huo huo polisi mkoani kilimanjaro inawashikilia watu wawili kwa kukutwa na silaha aina ya shortgun na risasi nne kinyume cha sheria kamanda wa UNK mkoani kilimanjaro kamishina msaidizi wa polisi lucas ng hoboko aliwataja watu hao kuwa ni yohana mwaipaja na UNK leonard ambao alisema wote kwa pamoja wanatuhumiwa kukutwa na silaha hiyo iliyokuwa na nambari elfu tisa na mia tisa na arobaini na moja watu hawa walikamatwa eneo la kambi ya raha boma nggombe wilaya ya hai mnamo octoba nane mwaka huu baada ya polisi kupata taarifa kutoka kwa raia wema ambao UNK mashaka watu hao wawili ambapo baada ya kwenda kupekuwa nyumbani kwa yohana mwaipaja siku ya tukio saa nane mchana walikuta silaha hiyo na risasi hizo alisema alisema watu hao wamekuwa UNK na polisi kwa muda mrefu kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ya ujambazi katika miji ya moshi rombo na eneo la boma ng ombe wilayani hai katika siku za hivi karibuni UNK mashangingi themanini kwa kumi na tano bilioni ni baada ya pinda kutaka UNK matumizi wakati waziri mkuu bwana mizengo pinda UNK wizara idara na taasisi mbalimbali za serikali kuacha kununua magari ya kifahari serikali imenunua magari ya kifahari themanini maarufu kama mashangingi katika kipindi cha mwaka mmoja agizo hilo la bwana pinda ni la pili kutolewa ndani ya kipindi cha mwaka mmoja tangu ateuliwe UNK madaraka hayo hata juzi alipokwenda nchini indonesia UNK ziwe zinavaliwa nguo za UNK alizovaa kiongozi wa nchi hiyo UNK kumtembelea bwana pinda alisema na yeye na msafara wake waliamua kuvaa mavazi ya aina hiyo na kuondokana na suti uchunguzi ulifanywa na majira jumapili na kuthibitishwa na mmoja wa watumishi idara ya ufundi iliyo chini ya wizara ya miundombinu umebaini magari hayo aina ya toyota land cruiser vx v nane ambayo ni toleo jipya tayari yameanza kutumika katika wizara idara na taasisi mbalimbali za serikali magari hayo ambayo awali yalikuwa yakiuzwa shilingi mia moja na kumi na mbili mia nne na tisini na sita mia nne na tisini na saba kabla UNK marekebisho na kuwa ya kisasa zaidi sasa yanauzwa shilingi mia moja na themanini na saba mia saba na sitini mia mbili na sitini na moja uchunguzi huo umebaini magari yote themanini UNK serikali jumla ya shilingi bilioni kumi na tano sifuri mbili ikiwa ni nje ya gharama za mafuta vipuri na matengenezo endapo mawaziri wote arobaini na saba UNK magari hayo serikali italazimika kutumia shilingi nane mia nane na ishirini na nne mia saba na thebathini na mbili mia mbili na sitini na saba mbali na viongozi wengine wa taasisi za umma UNK kutembelea magari hayo mapya gharama hiyo itakuwa na ongezeko la shilingi bilioni mbili ikilinganishwa na gharama za magari yaliyonunuliwa kwa ajili ya mawaziri na naibu mawaziri sitini na moja mwaka ishirini sifuri sita ambapo zaidi ya shilingi bilioni sita zilizotumika kwa ajili hiyo rais kikwete alilazimika kupunguza ukubwa wa baraza lake la mawaziri mwaka juzi ili kuongeza ufanisi na kupunguza gharama serikalini magari mengine yanayotumiwa na serikali nayo yamepanda bei kama land cruiser hard top milango mitano ambalo sasa linauzwa shilingi kumi sita mia tisa na kumi na nane kumi tatu wakati awali lilikuwa UNK kwa shilingi milioni sabini na toyota land cruiser lenye uwezo kwa kuchukua abiria kumi na tatu linauzwa kwa shilingi tisini na tisa mia tano na hamsini na sita mia moja na sitini na sita awali liliuzwa kwa shilingi milioni sitini wakati viongozi na wakuu wa UNK na idara mbalimbali za serikali UNK kutumia magari hayo ya kifahari tayari baadhi ya idara kama mahakama imeshatoa malalamiko kutokana na kuwa na bajeti ndogo hali ambayo UNK utendaji wa wa idara hiyo nyeti mbali na UNK ya mahakama bajeti ya wizara ya afya na utawi wa jamii nayo bado ni ndogo hali inayosababisha kukosekana kwa vitendea kazi huku idadi ya vifo vitokanavyo na uzazi vikiwa bado tishio kwa sasa bajeti ya sekta ya afya ni asilimia kumi na moja na ili hali iwe shwari katika sekta hiyo bajeti yake inapaswa kufikia asilimia kumi na tano uchunguzi huo umebaini kuwa idara ya mahakama hadi sasa inatumia teknolojia ya kizamani katika UNK wa kesi usafiri duni na malazi kwa watendaji wake hadi sasa baadhi ya majaji wamekuwa wakitumia magari ya kukodi ili kufanikisha majukumu mengine ya kitaifa hata waliokuwa na magari hayana hali nzuri kutokana kutumika kwa zaidi ya miaka kumi hadi kumi na tano na wengine wakiwa hawana nyumba za kuishi malalamiko mengine ni upungufu wa walimu katika shule za kata ambapo majira jumapili imebaini kuwa shule nyingi za kata hazina walimu baadhi ya shule zina wanafunzi hadi mbili sifuri sifuri sifuri kwa shule moja yenye walimu wanne ikiwa na uhaba wa madawati vitabu maabara na nyenzo nyingine chanzo cha habari kutoka ndani wizara ya miundombinu UNK majira jumapili kuwa kilio bwana pinda kutaka kusitishwa kwa ununuzi wa magari hayo ni sawa machozi ya samaki ndani ya maji alisema kimsingi maombi ya ununuzi wa magari hayo hufanywa kupitia katika wizara ya miundombinu idara ya ufundi na baada ya kupitiwa kwa kina maombi hayo hupelekwa kwa katibu mkuu kiongozi bwana UNK luhanjo ambaye ni mtu pekee aliye na mamlaka ya kupitisha au kukataa kwa maombi hayo hata hivyo chanzo hicho kilisema kuwa utaratibu wa mwanzo ulikuwa kwa mtindo wa kuachiana magari kwa mtindo wa kigogo wa juu kulitumia kwa kilometa kadha na kumwachia aliye chini yake lakini kwa sasa jambo hilo limeshindikana kwa kuwa kila mkuu wa idara amekuwa akiomba gari jipya na kupewa tofauti na ilivyo mwanzo magari ya mawaziri UNK kwa kilometa fulani kutokana na madaraka yake hivyo kilometa hizo zikiisha UNK gari hiyo naibu UNK au katibu makuu ambaye naye ana kilometa zake na mwisho wake gari hilo UNK kuwa la kusambaza barua na kama UNK zaidi huuzwa kwa njia ya mnada alisema UNK maambukizi ya vvu asilimia kumi sifuri itazinduliwa rasmi ngurdoto ufaransa polisi sitini UNK UNK mashujaa profesa aonya isiwe kichocheo cha ngono chuo kikuu cha afya na sayansi kishiriki muhimbili kimesema majaribio ya utafiti wa chanjo ya kutengeneza kichocheo cha kinga dhidi ya maabukizi ya virusi umeonesha mafanikio makubwa makamu mkuu wa chuo hicho profesa UNK pallangyo akizungumza dar es salaam jana alisema utafiti ulioanza mwaka ishirini sifuri saba na UNK katika chuo hicho umepata mafanikio ambayo yamesaidia kupatikana kwa chanjo ya kukinga maambukizi ya virusi vya ukimwi majibu ya utafiti wa chanjo ya kukinga maambukizi ya vvu katika chuo cha muhas ni mazuri sana walioshiriki wote ambao UNK asilimia kumi sifuri miili yao imetengeneza kinga ya ukimwi alisema profesa UNK alisema baada ya mafanikio hayo muhas inatarajia kuwasilisha ripoti hiyo wiki ijayo kwenye hoteli ya ngurdoto arusha na baadaye kwenye mkutano wa chanjo ya ukimwi utakaofanyika ufaransa oktoba kumi na tisa profesa pallangyo alisema matokeo ya majaribio hayo ambayo yameonesha kutengeneza vichocheo vya kinga dhidi vvu yanafanana na majaribio ya awamu ya kwanza nchini swideni nchi ambayo pia ilitoa fedha za kufanya utafiti kupitia shirika lao la maendeleo la kimataifa ambalo lilitoa fedha za kununulia vifaa na kufanya utafiti mkurugenzi wa mafunzo wa muhas daktari muhammad bakari alisema majaribio ya chanjo ya vvu kwa binadamu yalifanywa kwa askari polisi baada kutimiza masharti ya kutokuwa na maambukizi ya vvu ambao UNK majaribio ya chanjo ya kuangalia usalama na uwezo wa kutengeneza UNK daktari bakari alisema japokuwa chanjo hiyo imeonesha mafanikio katika kuzuia maambukizi ya vvu lakini hakuna uhakika kwamba inaweza kuua virusi vya ukimwi kwa wagonjwa ambao tayari wanaugua ugonjwa huo alisema chanjo hiyo UNK mwili kutengeneza vichocheo vya kinga ambavyo huenda UNK kinga dhidi ya maambukizi ya vvu na kuimarisha zaidi uwezo wa kitaalamu katika kufanya majaribio ya chanjo dhidi ya vvu nchini tanzania daktari bakari alisema utafiti huo ambao UNK majaribio kwa washiriki ambao ni miongoni mwa askari polisi polisi sitini wa mkoa wa dar es salaam ambao walikubali kwa utashi na ridhaa yao na katika majaribio hayo hapakuwa na madhara yaliyotokea baada ya kupatiwa chanjo hiyo alisema majaribio hayo yalianza kufanyiwa polisi hao baada ya kutimiza vigezo vya kutokuwa na maabukizi ya ukimwi afya njema na wenye uwezekano mdogo wa kupata vvu ambao kutokana na ujasiri wao wanastahili kupewa heshima ya kishujaa kama wale wanaokwenda mstari wa mbele vitani katika warsha hiyo mratibu wa maabara wa muhas profesa UNK lyamuya alisema washiriki ishirini na nne kati ya hamsini na mbili walipatiwa chanjo hiyo walifanikiwa kutengeneza vichocheo vya kinga dhidi ya vvu baada ya kupata chanjo tatu za dna alisema washiriki thebathini na tano kati ya arobaini na nane nao walitengeneza vichocheo baada ya kupata chanjo ya kupiga jeki na katika chanjo ya tatu washiriki ishirini na tatu kati ya hamsini na tisa UNK vichocheo na wengine thebathini na nne kati ya hamsini walipata chanjo hiyo walipata mafanikio kwa asilimia kumi sifuri profesa lyamuya alisema pamoja ya mafanikio hayo chuo hicho kinakabiliwa na changamoto ya kuongeza maabara wafanyakazi wa maabara na kuongeza vifaa vya maabara naye mtaalam wa kinga na magonjwa yanayosababishwa na virusi profesa fred mhalu na alisema chanjo hiyo isiwe kichocheo cha kufanya ngono bila kufuata ushauri wa kitaalamu wa kuacha kujamiiana na kuchelewesha ngono kwa vijana hadi umri wa kuoana au kuishi pamoja uaminifu kwa wenye ndoa ambao wamepima na matumizi ya mipira ya kiume au ya kike ambayo ikitumiwa vizuri UNK kwa asilimia tisini alisema tanzania yenye watu watu milioni arobaini kati yao watu milioni moja nne UNK virusi vya ukimwi kati yao mia saba na sitini sifuri sifuri sifuri ni wanawake na watoto wanaoishi na virusi ni mia moja na arobaini sifuri sifuri sifuri profesa mhalu alisema kutoka utafiti huo uanze kufanyika muhas UNK gharama za majaribio ya kutafuta chanjo ya vvu ya shilingi bilioni tano ambazo zimetumika ajili ya kununua vifaa vya kupima vinasaba na kwa sasa imeanzisha programu kwa ajili ya kutoa mafunzo ya mafundi wa maabara mbunge wa zamani wa jimbo la monduli bwana lepilall ole molleimet amesema umefika wakati rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania asiwe mwenyekiti wa chama cha mapinduzi kwa sababu wanachama wake wanashindwa kumkosoa kumshauri na kumdhibiti pindi anapokosea akizungumza kwa njia ya simu kutoka monduli jana bwana molleimet alisema angefurahi iwapo katika kipindi kijacho chama hicho kitafanya marekebisho ili anayekalia kiti cha urais asiwe mwenyekiti wa chama kwani chama kwa sasa chama kinashindwa kumkemea au kumpa ushauri pale anapokosea nitafurahi iwapo katika siku zijazo rais kama akatoka katika moja ya ngazi yeyote ya chini ndani ya chama ili kusudi chama kiweze kumkosoa na kumwajibisha pale anapofanya makosa kuliko ilivyo sasa kwani rais anapokuwa pia mwenyekiti wa chama inasababisha kushindwa kumkosoa kwa kuwa anakuwa anaogopwa hata katika vikao vya chama kwa kuwa ndiye anaongoza kikao alisema bwana molleimet luteni molloimet aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya kadhaa alisema hatua ya kujilimbikizia madaraka ndani ya chama kwa wakati huu ni sawa na kukiuwa na kukifanya kionekane kuwa kimeshikwa na wateule wachache hali ambayo inasababisha makundi ndani ya chama hicho na kukipeleka pabaya alisema chama hicho kina mpasuko mkubwa ambao kwa sasa hauwezi kuzibika hadi hapo kitakapozaliwa upya kwani kwa sasa kimepoteza mmelekeo wake kutokana kukifanya kuwa cha kibiashara na kuwatelekeza walengwa ambao ni wakulima na wanfanyakazi wa hali ya chini tofauti na ilivyokuwa wakati wa marehemu baba wa taifa mwalimu julius nyerere alisema hivi sasa chama hicho kimekuwa ni cha wafanyabishara wakubwa ambao wameingia katika ulingo wa siasa kwa kutafuta na kulinda maslahi binafsi na si kwa manufaa ya wananchi waliowachagua bwana molleimet ambaye amekuwa mbunge wa monduli kwa miaka tisa kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na saba hadi elfu moja na mia tisa na tisini na tano alimshutumu katibu mkuu wa ccm bwana yusuf makamba kuwa anakiharibu chama hicho kuwa kuwarubuni na kurudisha ndani ya ccm kisha kuwapa madaraka makubwa wanachama kutoka katika vyama vya upinzani hali ambayo ni hatari kwa uhai wa chama alisema hali hiyo inasababisha chuki ndani ya chama hicho katika ya wanachama waliokulia na kulelewa ndani ya chama hicho wakiwa hawana madaraka makubwa hali ambayo ni sawa na kuingiza mamaluki ndani ya chama na kuhatarisha usalama ndini ya chama hicho bwana molleimet alisema kutoka na kukithiri kwa wafanyabiashara ndani ya ccm imefika hatua unapozungumua suala la rushwa ndani ya chama hicho unajenga uadui miongoni mwa wanachama ndani ya chama hicho alisema kuzuka kwa mambo ya ufisadi ndani ya chama hicho yametoka na kuifanya siasa ya tanzania kuwa ni biashara na ili kukidhibiti suala hilo na kutojilimbikizia madaraka kama ilivyo sasa mbunge wa zamani wa jimbo la monduli bwana lepilall ole molleimet amesema umefika wakati rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania asiwe mwenyekiti wa chama cha mapinduzi kwa sababu wanachama wake wanashindwa kumkosoa kumshauri na kumdhibiti pindi anapokosea akizungumza kwa njia ya simu kutoka monduli jana bwana molleimet alisema angefurahi iwapo katika kipindi kijacho chama hicho kitafanya marekebisho ili anayekalia kiti cha urais asiwe mwenyekiti wa chama kwani chama kwa sasa chama kinashindwa kumkemea au kumpa ushauri pale anapokosea nitafurahi iwapo katika siku zijazo rais kama akatoka katika moja ya ngazi yeyote ya chini ndani ya chama ili kusudi chama kiweze kumkosoa na kumwajibisha pale anapofanya makosa kuliko ilivyo sasa kwani rais anapokuwa pia mwenyekiti wa chama inasababisha kushindwa kumkosoa kwa kuwa anakuwa anaogopwa hata katika vikao vya chama kwa kuwa ndiye anaongoza kikao alisema bwana molleimet luteni molloimet aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya kadhaa alisema hatua ya kujilimbikizia madaraka ndani ya chama kwa wakati huu ni sawa na kukiuwa na kukifanya kionekane kuwa kimeshikwa na wateule wachache hali ambayo inasababisha makundi ndani ya chama hicho na kukipeleka pabaya alisema chama hicho kina mpasuko mkubwa ambao kwa sasa hauwezi kuzibika hadi hapo kitakapozaliwa upya kwani kwa sasa kimepoteza mmelekeo wake kutokana kukifanya kuwa cha kibiashara na kuwatelekeza walengwa ambao ni wakulima na wanfanyakazi wa hali ya chini tofauti na ilivyokuwa wakati wa marehemu baba wa taifa mwalimu julius nyerere alisema hivi sasa chama hicho kimekuwa ni cha wafanyabishara wakubwa ambao wameingia katika ulingo wa siasa kwa kutafuta na kulinda maslahi binafsi na si kwa manufaa ya wananchi waliowachagua bwana molleimet ambaye amekuwa mbunge wa monduli kwa miaka tisa kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na saba hadi elfu moja na mia tisa na tisini na tano alimshutumu katibu mkuu wa ccm bwana yusuf makamba kuwa anakiharibu chama hicho kuwa kuwarubuni na kurudisha ndani ya ccm kisha kuwapa madaraka makubwa wanachama kutoka katika vyama vya upinzani hali ambayo ni hatari kwa uhai wa chama alisema hali hiyo inasababisha chuki ndani ya chama hicho katika ya wanachama waliokulia na kulelewa ndani ya chama hicho wakiwa hawana madaraka makubwa hali ambayo ni sawa na kuingiza mamaluki ndani ya chama na kuhatarisha usalama ndini ya chama hicho bwana molleimet alisema kutoka na kukithiri kwa wafanyabiashara ndani ya ccm imefika hatua unapozungumua suala la rushwa ndani ya chama hicho unajenga uadui miongoni mwa wanachama ndani ya chama hicho alisema kuzuka kwa mambo ya ufisadi ndani ya chama hicho yametoka na kuifanya siasa ya tanzania kuwa ni biashara na ili kukidhibiti suala hilo na kutojilimbikizia madaraka kama ilivyo sasa nyota za kisiasa za waziri kiongozi mstaafu daktari mohamed gharib bilali na katibu mkuu wa chama cha wananchi maalim seif sharif hamad zinaendelea kunggara kisiwani pemba huku viongozi hao kupewa nafasi kubwa ya kushinda urais wa zanzibar katika uchaguzi mkuu ishirini moja sifuri kupitia vyama vyao uchunguzi wa kina uliofanywa hapa katika mikoa miwili ya kisiwa cha pemba unaonesha kwamba majina ya viongozi hao ndiyo yenye nafasi kubwa katika vinywa vya wananchi wa kisiwa cha pemba uchunguzi huo hauko mbali na ule wa kisayansi uliofanywa na kampuni ya UNK UNK viongozi hao kuwa juu kisiasa maalim seif UNK daktari balali uchunguzi wa mwandishi wa habari hizi unaonesha kwamba makamo wa rais wa muungano daktari ali mohamed shein UNK nafasi yoyote huku akiwa UNK kabisa akizungumza na majira mohamed bakari wa ccm huko micheweni kiuyu UNK alisema wafuasi na wananchama wa ccm wanamkubali bilali kama mgombea na rais mtarajiwa wa zanzibar kwa tiketi ya ccm mwakani mapenzi yetu hapa kwa wanaccm yapo kwa dokta bilali na UNK chama cha ccm kuacha kabisa mpango wa kupindisha suala hilo alisema hadi sasa hakuna mwana ccm yoyote aliyejitokeza na kutangaza nia ya kuwania nafasi ya urais kwa tiketi ya ccm lakini baadhi ya majina yamekuwa UNK miongoni mwa wanaotajwa ni waziri kiongozi wa sasa shamsi vuia nahodha waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais mohamed seif khatib balozi ali karume na naibu waziri afrika mashariki mohamed aboud mohamed hivi karibuni dokta bilali UNK wananchi katika kisiwa cha pemba na watu wengi walihudhuria licha ya kuwepo kwa juhudi za kutaka UNK baadhi ya wafuasi wa ccm kuhudhuria mimi UNK salamu na kuambiwa kwamba UNK lakini UNK na kupinga wazo hilo kwa sababu halikuwa agizo halali alisema mwana ccm mmoja ambaye hakuwa tayari kutaja jina lake katika UNK kwa upande wa cuf maalim seif bado ni tishio kwa ccm huku kasi yake ikiwa haina kizuizi katika uchaguzi huo ambao rais aman karume atakuwa anamaliza muda wake mwanachama mmoja wa cuf hamad salim alisema nyota ya maaalim seif katika duru za kisiasa pemba haina mpinzani kutokana na kukubalika na kuwa kipenzi cha wengi kwa upande wa chama chetu maalim UNK kuwa ni nguzo imara isiyokuwa na mpinzani katika harakati za kisiasa zanzibar ndiye mgombea wetu asiye na mpinzani alisema hamad asema ameshindwa kutatua kero nzito za kitaifa adai anajali masuala mepesi akerwa na UNK mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahimu lipumba amesema kuwa imani ya wananchi kwa serikali ya ccm imeanza kupungua kwa sababu mwenyekiti wake rais jakaya kikwete na washauri wake hawana msimamo katika kutatua kero nzito za kitaifa badala yake amesema kiongozi huyo anajihusisha na masuala yanayotokana na sera za chama cha mapinduzi yasiyokuwa na tija kwa taifa alisema kutokana na hali hiyo wananchi wanatakiwa kuzinduka ili kuleta mabadiliko kwa kuchagua viongozi UNK katika chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani kwa kuwa hatima ya taifa iko mikononi mwao niwaambie wananchi kuwa rais kikwete ameshindwa kutoa maamuzi katika kutatua kero kubwa za kitaifa bali ni rais anayependa usanii na kutoa majibu mepesi yasiyoridhisha kuhusu namna gani taifa liwe na mshikamano alisema bwana lipumba baadhi ya kero UNK rais UNK vikali ni mpasuko wa kisiasa zanzibar ufisadi katika akaunti ya madeni ya nje kashfa ya richmond dowans kashfa ya rada ndege ya rais tatizo la umeme na mikakati ya kudumu ya kuondoa umaskini kwa watanzania pia profesa lipumba alirejea kauli yake kuwa kutokana na nafasi ya rais kikwete kuwa kiongozi wa baraza la mawaziri moja kwa moja anahusika katika kashfa ya ufisadi wa richmond napenda pia wananchi watambue kuwa baraza la mawaziri liko chini ya rais hivyo mkataba wa richmond UNK vizuri na hii ndio maana hawataki kulitolea uamuzi alisema profesa lipumba kashfa ya mkataba tata wa richnond iliibuliwa na bunge na kusababisha aliyekuwa waziri mkuu edward lowassa kujiuzulu UNK na mawaziri wa wawili waliokuwa wamewahi kuongoza wizara ya nishati na madini nazir karamagi na daktari UNK msabaha februari ishirini sifuri saba tangu wakati huo suala hilo limekuwa UNK mjadala kati ya bunge na serikali na mara ya mwisho kwenye mkutano wa bunge uliopita wabunge walikataa taarifa ya serikali na kuiagiza kuleta majibu yenye tija kwenye mkutano UNK oktoba ishirini na saba mwaka huu aidha profesa lipumba ameonesha kukerwa na picha moja UNK hivi karibuni katika gazeti moja la kila siku UNK rais kikwete UNK keki mkewe salma kwamba kitendo hicho UNK kiongozi wa nchi kwa kuwa haikuwa na maana yoyote kwa wananchi viongozi hao wa kitaifa wa wako mkoani mara ambapo wanaendesha kampeni ya zinduka inayolenga kuelimisha wananchi kujua hali ya nchi ilivyo hivi sasa na namna wanavyoweza UNK kwa kuchagua viongozi wanaofaa shahidi wa saba katika kesi ya shambulio na kutishia kwa silaha inayomkabili mbunge wa simanjiro bwana christopher ole sendeka ameiambia mahakama ya hakimu mkazi arusha kuwa mbunge huyo UNK wala kumyooshea silaha mlalamikaji bwana james ole millya badala yake shahidi huyo shahidi huyo bwana UNK akyoo ambaye ni daktari wa mifugo alisema kwamba mlalamikaji ndiye alimfuata ole sendeka ambaye alikuwa akizungumza na baadhi ya wabunge waliokuwa wamealikwa katika semina hiyo bwana akyoo aliyasema hayo alipokuwa akihojiwa na wakili wa upande wa utetezi bwana mpaya kamara na kusema kuwa alikuwepo katika eneo hilo wakati wa tukio lakini hakuona bwana sendeka akimpiga wala kumyooshea UNK bwana millya ila alishangaa kumuona bwana millya akiwa ameanguka chini na ndipo UNK na watu wengine UNK hata hivyo shahidi huyo alipotakiwa kuieleza mahakama kama aliona au alisikia bwana sendeka UNK na bwana millya alisema kuwa hakusikia kitu chochote nilimwona james ole millya akitoka mbele alipokuwa amekaa na kwenda nyuma alipokuwepo mheshimiwa ole sendeka UNK na baadhi ya wabunge baada ya muda mfupi nilishangaa kumuona ole millya akiwa amelala chini na UNK kulikoni niliambiwa kuwa UNK ila mimi sikuona wakati UNK wala kupigwa alisema shahidi huyo alipokuwa akihojiwa na wakili mpaya kamara wa upande wa utetezi wakili unafahamu bwana christopher ole sendeka anashitakiwa kwa makosa gani hapa mahakamani shahidi sifahamu wakili katika tukio hilo uliona mshtakiwa anatoa bastola shahidi sikuona wakili uliona UNK na kumyooshea ole millya shahidi sikuona wakili UNK ole sendeka akimpiga ngumi ole millya shahidi hapana wakili na wewe ulikuwepo kwenye tukio kuanzia mwanzo hadi mwisho shahidi ndio hata hivyo shahidi huyo alipotakiwa kueleza ni kwa nini baada ya watu UNK ole millya UNK katika chumba alisema kuwa hajui kesi hiyo imeahirishwa hadi novemba ishirini na tatu katibu wa kamati ya wazee wa chama cha mapinduzi iliyoteuliwa na halmashauri kuu ya taifa kufuatilia mahusiano ya wabunge wake na serikali bwana pius msekwa amesema kuwa utaratibu wa kuwajadili wabunge wa chama hicho utaendelea na sio mpya kwa kuwa ulikuwepo tangu awamu ya kwanza akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana kuhusu kazi za kamati hiyo bwana msekwa ambaye pia ni makamu mwenyekiti wa ccm bara alisema kuwa kutokana na serikali kuundwa na ccm si jambo la kushangaza kwa chama kuwajadili wabunge wake ili kuleta UNK ni utaratibu wa chama kwamba wabunge wakibishana mpaka kuleta mpasuko UNK katika halmashauri kuu kwa hiyo watu UNK kwanini tunaanza leo kwani UNK tangu awamu ya kwanza alisema alifafanua kuwa kazi ya kamati hiyo iliyoundwa na halmashauri kuu ya ccm chini ya uenyekiti wa rais mstaafu wa awamu ya pili alhaji ali hassan mwinyi ni kurejesha mshikamano wa wabunge ccm hata hivyo alisema mwongozo wa ccm wa mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na moja unaotumika mpaka sasa unaruhusu kiongozi kukosoa na kukosolewa UNK maadili ya chama hata mimi niliwahi kujadiliwa wakati nikiwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano baada ya kuruhusu mjadala wa kuundwa kwa serikali tatu kwa hiyo tunapojadili mwenendo wa wabunge wetu spika ambaye ni miongoni mwa wabunge hao lazima UNK alisema aidha bwana msekwa alisema kuwa kamati hiyo bado haijaanza kazi yake tangu iundwe na kwamba UNK kuanza kwa kikao cha kumi na saba cha bunge kamati UNK mbunge mmoja mmoja bali tutazungumza nao wote katika kikao cha wabunge na kikao cha baraza la wawakilishi tutaanza na baraza la wawakilishi zanzibar ambalo UNK vikao vyake wiki ijayo aliongeza bwana msekwa akijibu swali la mwandishi aliyetaka kujua ni hatua gani kamati itachukua dhidi ya wabunge watakaobainika kuwa chanzo cha makundi hayo bwana msekwa alisema UNK kumtafuta mtu ili kumwadhibu bali kuchunguza kwa undani kiini cha makundi hayo ili kujiridhisha kama kweli suala la ufisadi tu ndio chanzo cha wabunge wetu kutofautiana au kuna tatizo jingine suala la adhabu UNK kamati ya maadili ya ccm alieleza kuwa hatua hiyo hailengi kuwaziba midomo wabunge wa ccm bali kujenga nidhamu ya chama kwa kufuata taratibu zilizopo ukweli ni kwamba hii ni serikali ya chama hivyo wabunge wa ccm wanalazimika kuunga mkono masuala ambayo kama UNK UNK uhai wa serikali kama vile suala la kupitisha bajeti lakini bado wana uhuru wa kuikosoa serikali alisema pia bwana msekwa aliongeza kwa kusema kuwa hana ugomvi wowote na spika bwana samuel sitta na kuvitaka vyombo vya habari kuacha UNK kamati ya wazee wa ccm inayoundwa na wajumbe watatu ambao ni rais mstaafu alhaji hassani mwinyi bwana pius msekwa na bwana UNK kinana inatarajiwa kutoa ufumbuzi kutokana na kuibuka kwa makundi UNK kati ya wabunge wa chama hicho benki kuu ya tanzania inatarajia kutoa noti mpya hivi karibuni baada ya kampuni ya crein carens ya sweden na dela rue ya uingereza kushinda zabuni ya kuchapisha noti hizo noti UNK mpya ni zile za shilingi kumi sifuri sifuri sifuri tano sifuri sifuri sifuri mbili sifuri sifuri sifuri moja sifuri sifuri sifuri na hamsini sifuri akizungumza na waandishi wa habari jana mara baada ya kikao cha kamati ya bunge ya hesabu za serikali ambacho kilikuwa kikijadili hali ya kiuchumi na mfumuko wa bei gavana wa bot bwana beno ndulu alisema kuwa noti hizo UNK baada ya miezi tisa kuanzia sasa kati ya kampuni kumi zilizojitokeza lakini kati yao kampuni mbili ndizo UNK na kupatiwa zabuni hiyo ya uchapaji wa noti hizi ambapo zitaanza kuchapishwa hivi karibuni alisema wakati kampuni ya crein carens ya swiden UNK noti za shilingi kumi sifuri sifuri sifuri tano sifuri sifuri sifuri mbili sifuri sifuri sifuri na hamsini sifuri ile dela rue ya UNK noti za shilingi moja sifuri sifuri sifuri bwana ndulu alisema kuwa baada ya miezi tisa kazi ya uchapishaji itaanza na kuingiziwa kwenye mzunguko lakini noti za zamani zitaendelea kutumika hadi zitakapoisha kwenye mzunguko taarifa hiyo ya gavana imekuja wakati vitendo vya kughushi noti vikiwa UNK na watu mbalimbali wamekuwa UNK na kufikishwa mahakamani kuhusiana na matukio hayo hata hivyo bwana ndulu alisema bot inakusanya taarifa za watu UNK fedha ili waweze kuchukuliwa hatua na kwamba sasa hivi kuna mashine maalumu ambayo imekuwa UNK kila noti UNK kwenye mzunguko na kuangalia kama UNK au la alisema kuwa bot pia imekuwa ikitoa elimu kwa wananchi ili waweze kugundua fedha ambazo siyo salama na kwamba ubora wa fedha ni mzuri kwa sababu zinatengenezwa na kampuni zenye uzoefu wakati huo huo bwana UNK alisema kuwa hali ya uchumi bado ni tete tanzania japo kuna matumaini ya uchumi kuendelea kuimarika kidogo kidogo na mapato yatokanayo na uuzaji wa mazao nje siyo mbaya licha ya bei kuwa ndogo alisema kuwa bot imetoa shilingi bilioni kumi na sita kwa benki ya nmb na shilingi bilioni ishirini na mbili kwa crdb kwa ajili ya kuwakopesha wananchi ambao UNK na mikopo ya mwanzo hasa katika mikoa ambayo UNK wakati wa awamu ya kwanza bwana ndulu alisema kuwa mpango huu utaendelea tena kwa awamu ya tatu lengo ni kuhakikisha kwamba wananchi wote wanakopeshwa ili waweze kujiimarisha kiuchumi baadhi ya wanasiasa hapa nchini wamemtaka rais jakaya kikwete kuhakikisha anatekeleza sheria ya viongozi kutaja mali walizonazo kabla hajaanza kutunga sheria mpya ya kuwabana matajiri kauli za wanasiasa hao zinakuja siku moja baada baada ya rais kikwete akiwa mkoani mara kwenye maadhimisho ya miaka kumi ya kifo cha baba wa taifa mwalimu nyerere kusema kuwa miswada ya sheria ya kuwabana matajiri kwenye siasa na ule wa kudhibiti matumizi ya fedha kwenye chaguzi itapelekwa bungeni kwenye mkutano ujao mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba alisema rais hana uhakika na kauli zake kwani ni UNK wa kauli ambazo amekuwa akizitoa kwa watendaji wake na kwa wananchi bila kufuatilia UNK wake alisema wazo la kupelekwa kwa UNK miwili ya sheria bungeni yenye lengo la UNK wanasiasa na wafanyabiashara ni kupoteza wakati kwani hata sheria zilizopo zinazotoa mwanya wa kuwabana watu wa namna hiyo bado hazitekelezeki itakuwa kazi ngumu kwa rais kujinasua kutoka kwenye makucha ya hao UNK matajiri ikizingatiwa kuwa ni miongoni mwa wanachama wenzake na UNK alisema katika hilo wala sina imani kabisa kuwa UNK UNK kitu cha namna hiyo alisema na kuongeza kuwa matajiri hao ndio wanaoiongoza nchi je UNK hatua nchi itaongozwa na nani sasa kwa upande wake mwanasheria mwandamizi chuo kikuu cha dar es salaam daktari sengondo mvungi alisema rais kikwete amechelewa kufanya hivyo na anashangaa yeye kuzinduka sasa hivi daktari mvungi alisema siasa ya tanzania kwa sasa inaendeshwa kwa pesa jambo ambalo ni doa kubwa kutokana na wanasiasa wake kukaa kibiashara zaidi yeye ni shuhuda mzuri katika chaguzi fedha zinavyotumika bila mpangilio kwa kuwa naye ni miongoni mwa watu walioshiriki uchaguzi wa ishirini sifuri tano hivyo alishiriki kikamilifu aliona na anajua yanayofanyika alisema alisema matajiri ni watu hatari sana katika kuliongoza taifa la tanzania na kusema kuwa utajiri huo unaweza kuwa umetokana na ama kufanya ramli ufisadi kumilikishwa kinyemela au wizi kwa msingi huu basi ni rahisi matajiri kuwanunua wanasiasa kwa sababu hawawezi kufanya siasa bila UNK matajiri UNK kuwa wanasiasa UNK wanasiasa na kufanya utajiri wao kuwa siasa alisema kichaa mmoja mkoani arusha amemuua mwanafunzi wa mwaka wa pili wa chuo kikuu cha dar es salaam na baadaye wananchi wenye hasira UNK muuaji kwa mapanga kisha kumchoma moto kamanda wa polisi mkoani arusha bwana basilio matei amemtaja mwanafunzi aliyeuawa kuwa ni bwana jeremia lucas mkazi wa sanawari mjini hapa na kwamba tukio hilo lilitokea juzi saa kumi jioni katika eneo hilo la sanawari UNK matei alisema kuwa kichaa huyo alifika katika mgahawa unaomilikiwa na mama wa mwanafunzi huyo na kutaka apewe chakula kwa nguvu na UNK alianza UNK vitu na kuanza kumpiga mama huyo kijana huyo aliyeuawa alipoona mama yake UNK aliingilia ili kumwokoa mama yake na ndipo kichaa huyo alipochukua kisu na kumchoma shingoni upande wa kushoto kijana huyo alifia njiani wakati UNK hospitali alisema bwana matei baada ya wananchi kugundua tukio hilo UNK kichaa huyo na walipomkamata UNK kwa mapanga hadi kufa na kisha UNK moto serikali imetakiwa kutumia nguvu yake kufanya uamuzi UNK na wengi wa kutaifisha mitambo ya umeme ya dowans ili kunusuru uchumi wa nchini kutokana na kuwepo kwa mgao wa umeme kwani inapoteza shilingi milioni ishirini sifuri kwa siku kauli hiyo ilitolewa jana dar es salaam na naibu katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo zitto kabwe alipozungumza na waandishi wa habari alisema hilo linawezekana kutokana na utata kuhusu uwepo wa mitambo hiyo nchini mitambo hiyo itaifishwe nani kasema kuwa mitambo hiyo haiwezi kutaifishwa serikali UNK dola kwanini hilo UNK alisema alifafanua kuwa serikali ifanye maamuzi ya kutaifisha mitambo hiyo licha ya kuwa madhara madogo yanaweza kujitokeza ikiwa ni pamoja na wasiwasi kutoka kwa wawekezaji kuwekeza nchini alisema kuwa kama marekani imeweza kufanya hivyo katika mabenki nchini humo katika harakati za kuokoa hali ya mtikisiko wa uchumi hivyo hata tanzania inaweza kufanya hivyo kwa kuwa mitambo hiyo inaweza kuzalishwa megawatt mia moja na ishirini alisema kuwa serikali imekuwa kimya huku taifa UNK na matokeo ya mgao huo aliongeza kuwa hali ya maisha ni mbaya kwa watanzania alisema kuna kila sababu ya serikali kuamua kufanya haraka katika mazungumzo kuhusu mitambo ya iptl huku mitambo hiyo ikiendelea kutoa huduma ya umeme kwani ina uwezo mkubwa wa UNK megawatt kumi sifuri alisema kuwa yupo UNK kupoteza umaarufu wake kwa kutetea taifa lake kuhusu uwezekano wa kuwashwa kwa mitambo ya iptl ili kuinusuru nchi kuingia katika UNK serikali lazima wazungumze na iptl wakubaliane iptl UNK mitambo yao na kuendelea kutoa umeme huku mazungumzo yakiendelea haiwezekani nchi kwenda kizani wakati tunayo mitambo nipo tayari kupoteza umaarufu wangu kwa kulitetea taifa alisema bwana zitto aidha alisema kuwa kwa kufanya hivyo serikali itakuwa UNK taifa katika kuongeza uzalishaji umeme bwana kabwe alisema kuwa UNK serikali kutokana na UNK kimya tatizo hilo ambalo linaonekana kuathiri sehemu kubwa ya uchumi wa nchi aliongeza kuwa viongozi wanapaswa kujali zaidi madhara yake ambapo kwa wananchi si rahisi kutambua madhara hayo alisema kuwa kutokana na utafiti mbalimbali alioufanya kutokana na mgao huo ni dhahiri kuwa sekta mbalimbali za uchumu UNK kwa kiwango kisichotarajiwa alitoa mfano kuwa kiwanda cha simenti ambacho kilikuwa kikitumia umeme kwa dola za marekani kumi kwa siku baada ya mgao kiwanda hicho kinatumia dola za marekani arobaini kwa siku hivyo kuongeza gharama za uzalishaji gharama hizo zinashuka moja kwa moja mpaka kwa mwananchi ambaye ndio UNK zaidi kwa kuwa hakuna mtu UNK kuendesha biashara kwa hasara kutokana na mgao huo bei ya simenti itaongezeka juu kwa UNK cha shilingi kumi sifuri sifuri ambapo hiyo ni bei ya mlangoni alisema kuwa mpaka sasa serikali haijafanya kitu chochote aliongeza kuwa awali kulikuwa na tetesi kuwa tatizo la umeme lilitokana na hujuma lakini baada ya kutumia wiki mbili kuangalia chanzo cha tatizo hilo waligundua kuwa si hujuma lakini kitu cha kushangaza serikali haifanyi lolote katika kutafuta suluhisho sioni hatua zozote zikichukuliwa na serikali suala la umeme ni suala la kitaifa sio suala la kuchezea UNK na wanasiasa kurushiana maneno kila mmoja amekaa kimya kusubiri nani ajibu alisema bwana kabwe alisema kuwa hivi karibuni kutakuwa na mikutano UNK ya kimataifa nchi mmoja wako ni ule unaohusu masuala ya uwekezaji ma kudai kuwa wawekezaji hawawezi kuja kuwekeza wakati nchi UNK kwa UNK alisema kuwa tatizo kubwa la viongozi wa nchi hii wamekuwa na majibu mepesi katika maswali magumu kwa mtazamo wake alisema kuwa katika nchi hii hajawahi kuona mkurugenzi makini kama mkurugenzi wa shirika la umeme tanzania daktari idrisa rashid naamini kuwa the best UNK in tanzania ni daktari rashidi alisema bwana zitto alifafanua kwa huu si wakati wa wanasiasa kuviziana ama kumtafuta mchawi kwa kuwa taifa linaendelea kuathirika kiuchumi isipokuwa ni kufanya maamuzi UNK taifa alisema kuwa kama serikali itashindwa kufanya maamuzi ya haraka katika kuinua maisha ya wananchi basi wananchi UNK kwa kushindwa kuwapatia maisha bora kutokana na gharama za maisha kuwa juu ni wakazi wa kipawa wanaotakiwa kuhama walitaka kufikisha kilio chao cha fidia eneo la shule ya msingi kipawa na maeneo yanayozunguka jana iligeuka uwanja wa mapambano baada ya wenye nyumba wa kipawa kupigwa mabomu ya machozi wakati wakijiandaa kufunga barabara kumsimamisha rais jakaya kikwete UNK awalipe fidia kwa sheria mpya ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa sakata hilo lilitokea jana saa sita thebathini wakazi hao ambao wanatakiwa kuhama eneo hilo ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu nyerere walihamasika kumzuia rais kikwete ambaye alirejea jana kutoka butiama ambako alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka kumi ya kifo cha hayati mwalimu nyerere katika UNK hizo kikosi cha kutuliza ghasia na baadhi ya askari polisi na makachero wakiongozwa na kamanda wa polisi mkoa wa ilala bwana faustine shilogile na mkuu wa kituo cha stakishari bibi komba wakazi hao UNK kilio cha nguvu wakidai UNK katika nchi yao haikuishia hapo polisi hao walimkamata mwenyekiti wa wenye nyumba wa kipawa bwana magnus mulisa na wengine wanne kuwapeleka katika kituo cha polisi askari wa ffu polisi na makachero wakiwa katika sare na wengine wamevaa nguo za kiraia walitoa matangazo ya kuwataka wenye nyumba hao UNK lakini walikaidi na hakuna aliyeondoka ndipo waliporusha mabomu ya machozi na kurusha maji ya kuwasha UNK na kuwafanya wakimbie hovyo gari lililokuwa UNK maji ya kuwasha lilizunguka eneo hilo na kurusha maji hayo ambayo mengine UNK abiria waliokuwa wakipita barabara ya nyerere ambao UNK na kukimbia huku na huko kutafuta hifadhi na wengine kutafuta maji ya kunawa usoni ili kuondoa UNK wa mabomu hayo wakati wakazi hao UNK na polisi wengine ambao UNK walikuwa wakichukua hundi zilizoanza kutolewa jana magereza ukonga na kuridhika na kiwango UNK mgogoro wa ulipwaji wa fidia eneo la UNK uwanja wa ndege ulianza baada ya serikali kuu kupitia wizara ya miundombinu kutoa tamko kuwa italipa fidia ya nyumba za wakazi wa kipawa UNK na UNK kwa sheria ya mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba ambayo inapingwa na wakazi hao wenye nyumba waliochukua hundi zao jana na kugoma kutaja majina yao kuhofia usalama wao walisema wamefikia uamuzi huo kwa sababu hawataki malumbano na serikali kwani wanaamini walicholipwa ni haki yao walisema kiasi walicholipwa kinatosha kwenda kujenga nyumba nyingine kauli ambayo inapingwa na wale ambao wanapinga kuchukua hundi hizo ambao wanadai waliokwenda kuchukua ni watu wenye uwezo na UNK zaidi ya moja ambao UNK na fidia kiduchu ofisa ardhi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana edgar japhet alisema UNK iliyofanyika haikuwa na kasoro na watu watalipwa kutokana na thamani ya nyumba yake UNK wa uthamini mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba wenye nyumba hao wamepewa viwanja na hundi zao na waliosaini kuchukua hundi zao UNK na hakuna aliyelalamika ingawa watu wa mirathi na UNK nyumba zao waje na ushahidi wa kutosha kutoka kwa UNK wa awali malipo ya fidia ya wakazi wa kipawa yalianza kwa awamu ya kwanza kwa watu kumi sifuri wa mwanzo na yataendelea kwa siku arobaini na tano habari za uchunguzi wa gazeti hili zinaonesha kuwa kuna ujanja uliotumika wakati wa uthamini wa nyumba hizo ambao kuna baadhi ya watu ambao nyumba zao zilikuwa UNK kulipwa milioni thebathini na tano na kuendelea na wengine ambao nyumba zao UNK na kuwekwa ukuta UNK chini ya milioni ishirini wakazi wa kipawa juzi waliiandikia wizara ya miundombinu notisi ya siku tisini kudai UNK sheria ya kulipa fidia yao kutoka ya mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba itumike ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa kama UNK wanapeleka shauri hilo mahakama kuu ya tanzania kitengo cha ardhi serikali ya mapinduzi ya zanzibar imesema inaendelea na maandalizi ya sera ya nishati na kwamba haitabadilisha uamuzi huo hayo yalisemwa na waziri wa maji ujenzi nishati na ardhi wa smz bwana mansoor yussuf himid alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu swali lililoulizwa na mwakilishi wa jimbo la mikunguni kwa tiketi ya ccm aliyetaka kujua maandalizi ya sera ya nishati yamefikia wapi bwana suleiman alisema aliuliza swali hilo baada ya kuelezwa kuwa wajumbe waliambiwa kwamba UNK mbele ya baraza la wawakilishi bwana mansoor alisema tatizo kubwa UNK kwa serikali kushindwa kuwasilisha sera hiyo mapema ni kujitokeza kwa kasoro ndogondogo na kamati za baraza kushindwa kukutana kwa wakati dhamira na malengo ya kuwasilishwa kwa sera ya nishati yapo pale pale hakuna mabadiliko yoyote itawasilishwa katika vikao vijavyo vya baraza la wawakilishi alisema bwana UNK alisema kinachofanyika kwa sasa ni kwa wizara kuwasiliana na baadhi ya wafadhili kuhakikisha vijana wanapatiwa mafunzo ya kitaalamu nchi za nje mkuu wa mkoa wa iringa bwana mohamed abdulaziz anatarajia kumwona rais jakaya kikwete kumweleza mateso wanayoyapata wakulima wa chai wa tarafa ya lupembe wilaya ya njombe mkoani iringa mateso hayo yanatokana na mgogoro wa muda mrefu kati ya mwekezaji wa kiwanda cha lupembe tea factory na muungano wa vyama vya ushirika lupembe ni kweli mimi ndiye mwakilishi wa rais UNK kilio chenu kwake ili naye aweke baraka zake kuhusu ufunguzi wa kiwanda hiki UNK na mwekezaji waondoe tofauti hizo ili kiwanda UNK na mzunguko wa fedha kwa wananchi uanze alisema mkuu huyo wa mkoa alisema hayo wiki hii katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kitongoji cha UNK tarafa ya lupembe baada ya mmoja wa wakulima wa chai wa tarafa hiyo kutaka kujua kwa nini kiwanda kimefungwa huku yeye akiwa kimya wakati ni mwakilishi wa rais katika mkoa huo akijibu swali hilo bwana abdulaziz alikiri kuwa kiwanda kilifungwa baada ya wafuasi wa chama cha ushirika chenye ubia kwenye kiwanda hicho kumfanyia vurugu mwekezaji ambaye alikwenda mahakamani alisema asingeweza kulizungumzia kwa undani kwa kuwa suala hilo liko mahakamani UNK kusema hapa ni kwamba walichofanya muvyulu ilikuwa ni hasira tu lakini kwa sasa wote mwekezaji na muvyulu wanatakiwa kukaa pamoja haraka iwezekanavyo na kuangalia namna ya kufungua kiwanda hicho bila kuathiri kesi zilizopo mahakamani alifafanua kauli hiyo ya rc UNK na uamuzi wa jaji mziray wa mahakama kuu kitengo cha ardhi aliyetoa uamuzi mapema mwaka jana kuwa kiwanda hicho kiendelee na uzalishaji kama awali huku kesi za pande zote mbili zikiendelea mahakamani lakini muvyulu UNK uamuzi huo wa mahakama na kuendelea kushikilia kiwanda kimya kimya hadi leo huku kikiwa UNK uzalishaji kiwanda cha lupembe tea factory kilifungwa agosti moja mwaka jana baada ya wafuasi wachache wa muvyulu kuvamia kiwanda na kuwatimua wafanyakazi na menejimenti ya kiwanda hicho hadi leo imekuwa ikidaiwa kuwa munguki wanapata kiburi kwa kuwa UNK na baadhi ya vigogo wa ikulu akiwamo katibu mkuu kiongozi philemon luhanjo ingawa amekuwa akikanusha jambo hilo tangu kufungwa kwa kiwanda hicho uongozi wa muvyulu UNK vijana wa kihuni wanaolinda kiwanda hicho maarufu kama mungiki ambao wamekuwa UNK watu wakiwemo waandishi wa habari watano waliopigwa na kujeruhiwa walipokwenda kuandika habari za mgogoro huo watu wa kwanza kushambuliwa na mungiki hao ni mawakala wa mahakama kumi na moja waliokwenda kiwandani kutekeleza amri ya mahakama ya kuwaondoa septemba mwaka jana lakini UNK kipigo cha mungiki hao na kulazwa huku serikali ikiwa haijachukua hatua yoyote hadi leo wengine kortini kwa kutaka kuzuia msafara wa kikwete wakati serikali ikiendelea kulipa fidia za kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu nyerere dar es salaam baadhi ya wenye nyumba waliochukua hundi zao wamegawanyika katika makundi ya wenye furaha na huzuni mgawanyiko huo umetokana na malipo kiduchu kwa baadhi yao na wengine kulipwa fidia UNK wakati nyumba zao hazikuwa na thamani inayolingana na malipo hayo bibi fatuma juma alisema hundi ya shilingi milioni tano UNK hailingani na thamani ya nyumba yake ambayo ina vyumba vinne na ilikuwepo wakati wa tathmini iliyofanywa na kampuni ya uthamini ya tan UNK ya dar es salaam haya ni maumivu makali sijui fedha hizi UNK kufanya nini kwa sababu UNK kujenga vyumba viwili tu wakati familia yangu ni kubwa alisema bibi UNK mwingine bibi modester UNK aliliambia gazeti hili kuwa amelipwa shilingi milioni kumi na tatu saba ambayo hailingani na thamani ya nyumba yake na kusema huo ni uonevu kwa sababu wengine ambao hawana nyumba yenye thamani kubwa kuliko yake wamelipwa fedha nyingi fedha hizi hazitoshi kujenga nyumba ya kuishi familia yangu kama ya kipawa nilijenga nyumba yangu kutokana na UNK mgongo UNK baada ya kuachishwa kazi mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita kwa shilingi milioni kumi na mbili tano hata majirani UNK malipo haya alisema bibi UNK wakati hundi hizo zikiendelea kutolewa wakazi wengine ambao wanapinga fidia hiyo kulipwa kwa sheria ya mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba walisema hawakubali kuchukua malipo hayo hadi serikali UNK kulipa kwa sheria ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa mkuu wa wilaya ya ilala bwana evans balama alisema wakazi wa kipawa wanaotaka kuchukua hundi hizo wafanye hivyo kwa sababu serikali haitabadilisha uamuzi huo katika hatua nyingine watu tisa akiwemo mwenyekiti wa wenye nyumba wa kipawa bwana magnus mulisa waliokamatwa juzi wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya ilala UNK kwa makosa matatu ya kuandamana kufanya usumbufu na kumpiga askari polisi wakisomewa mashtaka hayo mbele ya hakimu mfawidhi bibi joyce minde washtakiwa hao bwana athumani UNK bwana abdallah dadi bwana ali abdallah bwana joseph laizer bwana juma mussa bwana samuel gidion bwana mathew thomas na bibi teddy UNK washtakiwa hao kwa pamoja UNK dhamana hadi oktoba ishirini na tatu upelelezi utakapokamilika na kupewa dhamana juzi saa tatu asubuhi wakazi hao wa kipawa zaidi ya hamsini sifuri walikusanyika wakiwa na mabango yaliyokuwa UNK kuwa hawaridhiki na viwango vya malipo yanayotolewa ya UNK kutoka eneo hilo huku wakipania kuzuia msafara wa rais kikwete kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere alikuwa akisubiri matokeo darasa la saba ajuza mwenye umri unaokadiriwa miaka kati ya themanini na tisini mkazi wa kijiji cha UNK kata ya UNK wilayani same mkoa wa kilimanjaro bibi fatuma UNK UNK kwa kile kinachodaiwa kukerwa na kitendo cha mjukuu wake mwenye umri wa miaka kumi na nne kuozwa na wazazi wake wakati akisubiri majibu ya mtihani wa darasa la saba bibi huyo UNK kwa UNK inadaiwa enzi za uhai wake alisisitiza sana umuhimu elimu kwa mjukuu wake huyo aliyemaliza elimu ya msingi mwaka huu tukio hilo lilitokea oktoba tano mwaka huu usiku ambapo mwili wake UNK asubuhi oktoba sita kwenye mti nje ya nyumba aliyokuwa akiishi baadhi ya majirani wa eneo hilo walisema ajuza huyo kabla ya kifo chake aliacha ujumbe kuwa endapo mjukuu huyo aliyekuwa akiishi naye UNK katika umri mdogo asije kwenye msiba wake wala asirudi tena kwao na atapata matatizo maishani mwake mjukuu wa marehemu bwana rashidi UNK alisema baada tukio hilo alitoa taarifa ya kifo hicho katika ofisi ya ofisa mtendaji wa kijiji hicho bibi zaituni abeid ambaye alikiri kutokea tukio hilo na kueleza kuwa iliwalazimu kutoa taarifa polisi habari zaidi kutoka kijijini hapo zilieleza kuwa baada ya ajuza huyo kujinyonga majirani walimshusha kwenye mti huo na kwenda kumzika haraka kisha kukata mti huo na UNK kwa mujibu wa mila zao akizungumzia tukio hilo kwa njia ya simu kamanda wa polisi mkoa wa kilimanjaro bwana lucas ng UNK alikiri kupokea taarifa za tukio hilo na kueleza kuwa jeshi hilo linaendelea na uchunguzi kubaini kiini cha tukio hilo aidha kamanda UNK alitumia nafasi hiyo kuwaonya wazazi kuacha tabia ya UNK mabinti zao na kueleza kuwa hatua za kisheria zitachukuliwa kwa wazazi wa aina hiyo wakati serikali ikikemea malumbano ya kidini na kuonya kwamba ni hatari kwa mshikamano na amani ya taifa waraka UNK chama cha demokrasia na maendeleo na ukristo UNK nchini waraka huo ambao majira inayo nakala yake unadaiwa kuandaliwa na viongozi wa madhehebu ya kikristo nchini na kusisitiza kuwa kanisa lina nafasi kubwa ya kushiriki katika masuala ya umma tofauti na kauli UNK kuwa jukumu lake ni la UNK waraka huo umedai kuwa kanisa litaendelea kushika hatamu za uongozi na kamwe halitakubali kupoteza sauti katika masuala yanayohusu nchi na kueleza mkakati wa kuunga mkono chadema kwenye uchaguzi mkuu ujao waraka huo UNK masikitiko ya kanisa kukataliwa baadhi ya mambo ambayo UNK kuwa yana athari kwa mshikamano wa taifa kama vile suala la kuanzishwa mahakama ya kadhi na tanzania kujiunga na jumuiya ya kiislamu duniani suala la mahakama ya kadhi na kujiunga na oic yalipingwa na kanisa lilisisitiza hapo awali kwa kuwa lilieleza madhara yatakayotokea kwa vyombo hivyo lakini serikali ya awamu ya nne UNK kauli ya kanisa ilidai sehemu ya taarifa hiyo na kuendelea kueleza vile vile ikumbukwe kuwa kanisa halina manufaa kwa serikali hii kwa mfano mdogo angalieni hata hili la msamaha wa ushuru wa kodi kwa kanisa serikali hii ya ccm ilitaka kufutia msamaha wa kodi masuala haya yote kanisa UNK kuvumilia kuna haja za maksudi kukabiliana na serikali hii ya ccm katika chaguzi zijazo muelekeo wa kanisa kwa sasa ni kuelekeza nguvu zetu kwa wakristo wote wa tanzania kwa chama chetu cha chadema katika uchaguzi ujao waraka huo ulidai kuwa maandalizi yote yamekamilika ikiwa ni pamoja na kukutana na viongozi na kutengeneza mtandao mzuri UNK endelevu kazi iliyobaki ni kuhamasisha wakristo wote kupigia kura chadema ili kulinda maslahi ya kanisa ofisa habari wa chadema bwana david kafulila alipoulizwa na gazeti hili kwa simu alikiri kuwepo kwa taarifa hizo ofisini kwake kwa zaidi ya wiki mbili zilizopita na kueleza kwamba hizo ni propaganda zinazoenezwa na chama kimoja cha upinzani kujaribu UNK chama chake nimezipata taarifa hizo zaidi ya wiki mbili waraka huo waligawa viongozi wa chini ili kukimaliza chadema sisi hatutaki kabisa kujihusisha na masuala ya dini chama hiki ni cha wote hatuwezi kukataa kuungwa mkono na wakristo alisema bwana kafulila alisema kuhusisha dini na vyama vya siasa ni hatari kwani inaweza kusababisha umwagaji damu na kuongeza kuwa kufanya hivyo UNK dini husika pia ni dhambi kwa mwenyezi mungu alipoulizwa naibu katibu mkuu wa chadema bwana zitto kabwe kuhusu taarifa hizo alisema kuwa hana jibu lolote no UNK msaidizi wa rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki tanzania father UNK alipoulizwa kuhusu suala hilo alisema kanisa katoliki halina taarifa zozote kuhusu waraka huo na kueleza kuwa jambo hilo si la kweli kwa kuwa msimamo wa kanisa ni kutounga mkono chama chochote cha siasa sina taarifa hizo pia naamini hazina ukweli kanisa kamwe haliwezi kuungana na chama chochote cha siasa kama taarifa hizo UNK basi hazina ukweli wowote alisema father UNK wasema serikali UNK UNK popote pia haiwezi kudaiwa malipo hata ya shilingi kumi baadhi ya wanasheria na wanasiasa nchini wamesema serikali haiwezi kuingia kwenye kesi ya aina yoyote ile kwa mujibu wa sheria za kimataifa za uwekezaji endapo itachukua uamuzi wa kutaifisha mitambo ya kufua umeme ya kampuni ya dowans na kutowalipa hata shilingi moja kauli hizo zinakuja siku moja baada ya naibu katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo bwana zitto kabwe kuitaka serikali kutaifisha mitambo hiyo huku akiitaka umeme unaozalishwa na UNK ni ya independent power tanzania limited yenye uwezo wa kuzalisha megawati kumi sifuri kuingizwa kwenye gridi ya taifa ili kuinusuru nchi na mgawo wa umeme akizungumza jana na majira kwa kutoa ufafanuzi wa kisheria kuhusu hoja hiyo mwanasheria mwandamizi nchini bwana tundu lissu alisema kauli ya mwenyekiti wa kamati ya nishati na madini bwana william shellukindo kuwa endapo serikali itakubali mapendekezo hayo taifa UNK kwenye kesi si sahihi kwani mikataba hiyo UNK kuwa UNK hivyo hawana UNK hoja ya shellukindo finyu nchini haiwezi kushitakiwa popote pale kama UNK mitambo ya dowans tena watu hao hawatakiwi kulipwa hata hata shilingi kumi ndivyo sheria za uwekezaji UNK alisema alisema kuwa haoni sababu ya serikali kuchelewa kufanya hivyo kwani UNK mzigo mzito na kupata hasara kutokana na nchi kukosa UNK kuishauri kufanya kila linalowezekana kunusuru taifa kwa upande wake katibu mkuu wa chadema daktari wilbroad slaa alisema anashangaa kuona serikali inaogopa kutaifisha mitambo hiyo huku ikitambua kuwa UNK hapa nchini UNK sheria ya rushwa UNK wala hatuhitaji UNK serikali wala mtu yoyote katika hili kwenye kuchukua maamuzi au UNK lakini bado UNK hata moja alisema mmoja wa wananchi bibi hellen mgomba alisema upungufu huo unasababishwa na utendaji mbovu wa serikali kushindwa kuchukua hatua za uhakika kwenye matatizo ya namna hii na kujikuta ikiingia kwenye hasara hatuwezi kuingia gharama bila sababu za msingi wakati UNK wetu wataalamu lakini mambo UNK hayaendani na hali halisi wanatakiwa kuchukua hatua madhubuti ili UNK na mgawo UNK alisema waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja alipotakiwa kutoa maoni yake kuhusu hatua hiyo alieleza kuwa alikuwa kwenye mkutano sasa niko kwenye vikao vyangu bwana nitafute baadae alisema na kukata simu tanzania inayo nafasi kubwa kutumia fursa zilizopo katika nyanja ya biashara ya kimataifa iwapo sekta muhimu katika usafirishaji na uchukuzi kama vile bandari na reli zitaongeza ufanisi katika kutekeleza majukumu yake tofauti na ilivyo sasa hayo yalisemwa jana dar es salaam na waziri wa biashara viwanda na biashara bibi mary nagu alipozungumza na gazeti hili baada ya kuuliza nafasi ya sekta hizo katika kuisaidia tanzania kushindana vizuri katika ushindani uliopo katika biashara ya kimataifa ili tuweze kushindana vizuri na kutumia fursa kadhaa zilizopo katika biashara ya kimataifa lazima kuwepo na ushirikiano wa sekta nyingi kwa mfano bandari na reli lazima UNK ufanisi wake bandari inajaribu kujitahidi lakini kwa kweli bado sana bibi nagu aliongeza kuwa kukosekana kwa ufanisi unaotakiwa katika sekta kama hizo kunasababisha ongezeko la gharama na hatimaye gharama katika bei ya bidhaa hivyo kufanya ushindani kuwa mgumu mkurugenzi mkuu wa shirika la biashara duniani bwana pascal lamy alisema kuwa wako tayari kuisaidia bandari hiyo hasa katika maeneo ya kuratibu shughuli zake na kuwawezesha wafanyakazi UNK bwana lamy alisema UNK hawatoi misaada ya kifedha moja kwa moja kama mashirika mengine UNK na isipokuwa wanaweza kutumia nafasi waliyonayo kushawishi ili kusaidia bandari hiyo kushindana na kuisaidia nchi katika biashara ya kimataifa mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya bandari nchini bwana ephraim mgawe alisema pamoja na changamoto UNK bandari ya dar es salaam wamekuwa wakichukua hatua ili kuboresha utendaji kazi UNK bandari ya dar es salaam kutimiza wajibu wake kulingana na mahitaji yaliyopo chama cha maendeleo na demokrasia manispaa ya morogoro UNK naibu mstahiki meya wa manispaa ya UNK amir nondo kuwa anaingilia mchakato wa demokrasia katika maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa mjini hapa katika barua yao ya malalamiko ya oktoba kumi na nne mwaka huu kwenda kwa msimamizi wa uchaguzi manispaa ya morogoro katibu mwenezi wa chadema bwana elias mwalusako amedai kuwa bwana nondo amekuwa UNK mgombea wao kwa nafasi ya uenyekiti wa mtaa kata ya mlimani bwana richard chacha ajitoe kuwania nafasi hiyo vinginevyo UNK kazi amedai mgombea wao ambaye kwa sasa ni mtumishi wa halmashauri hiyo amekuwa akishinikizwa na bwana nondo ambaye pia ni diwani wa kata ya mlimani kujitoa katika uchaguzi huo hali ambayo inaweza kuhatarisha demokrasia na hivyo kumuomba msimamizi wa uchaguzi kuchukua hatua haraka bwana mwalusako pia amedai kuwa mchakato mzima umegubikwa na kasoro mbalimbali katika kata za bigwa UNK kiwanja cha ndege na sabasaba alitaja baadhi ya kasoro kuwa ni madaftari ya wapiga kura kutoandikwa jina la mtaa vituo UNK kwa majina karatasi kwenye daftari la UNK wapiga kura kutokuwa na namba na uandikishaji wa watu wasiokuwa na sifa ya ukaazi katika eneo husika akijibu tuhuma hizo bwana nondo alisema kuwa UNK mgombea huyo kujitoa na kwa nafasi aliyonayo katika siasa unaibu meya na ujumbe wa vikao mbalimbali vya ccm kutoka ngazi ya tawi hadi taifa angekuwa ametumwa na ccm kuwarubuni wagombea wa vyama vingine UNK katika uchaguzi angepata faraja na UNK maagizo hayo haraka sana hata hivyo ametahadharisha kwamba watumishi wa halmashauri ya manispaa ya morogoro na UNK kugombea ni lazima wachague moja kuendelea na utumishi wao kwenye manispaa hiyo au kuingia kwenye uongozi wa serikali za mitaa kwa kuwa endapo UNK nafasi zote mbili kutakuwa na mgongano wa kimaslahi katika uwajibikaji jengo la ghorofa moja jijini dar es salaam UNK na kusababisha uharibifu wa mali kutokana na ujenzi uliokuwa ukiendelea pembezoni mwa jengo hilo taharuki hiyo ilitokea jana saa tano asubuhi katika makutano ya barabara za UNK na UNK katika jengo lililopo pembezoni mwa barabara hizo lililokuwa likiendelea kujengwa huku wenyeji na majirani wakiendelea na shughuli zao kama kawaida mmoja wa wapangaji katika UNK hilo bwana bashir UNK na mfanyabiashara katika jengo hilo UNK alisema kuwa wakati ujenzi ukiendelea ghorofa hilo UNK wamepanga kwenye vyumba vya chini ilikuwa UNK dalili zote za kuanguka jambo UNK waishi hapo kwa hofu siku zote alisema mkandarasi wa jengo lililokuwa likijengwa aliwaeleza kuwa kuporomoka kwa jengo hilo unatokana na kuchimbwa vibaya kwa msingi ambao UNK kwa kuingia ndani na kulifuata jengo hilo UNK palikuwa UNK kienyeji sana kwani UNK kabisa namna ya kuchimba ambayo UNK madhara alisema na kuongeza kuwa huenda mkandarasi huyo alikuwa anatumia mafundi wasio na uwezo baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo bibi elizabeth joseph alisema kuwa ujenzi huo haukuwa na kibao kinachoonesha mmiliki wa jengo hilo wala mkandarasi wake jambo linalotia shaka baada ya tukio hilo lilikuja gari likiwa UNK bango linaloonesha kibali cha ujenzi mkandarasi na mmiliki wa jengo hilo muda mfupi baada ya tukio hilo kwa mujibu wa mashuhuda hao jeshi la polisi lilifika katika eneo hilo na kuwachukua baadhi ya mafundi waliokuwapo katika eneo hilo kwa ajili ya mahojiano zaidi siku chache baada ya mkuu wa mkoa wa iringa mohamed abdulaziz kuahidi mbele ya wakulima wa chai wa lupembe kuufikisha mgogoro wa kiwanda cha chai kwa rais jakaya kikwete baadhi ya wakulima wamedai uwezo wa kukifungua kiwanda hicho upo mikononi mwa mkuu mwake na siyo rais wakizungumza na majira jumapili baadhi ya wakulima wamedai kiutawala mkuu huyo anao uwezo wa kulimaliza tatizo hilo kutokana na kuamuru kutekelezwa kwa maagizo ya kamati ya ulinzi ya wilaya njombe UNK agosti kumi na mbili mwaka jana ambayo viongozi wa uvamizi wa kiwanda hicho UNK hata hata kipengele kimoja mmoja wa wakulima aliyezungumza na gazeti hili aliyeomba jina lake lisitajwe UNK mwandishi wa habari UNK barua iliyokuwa na maagizo ya kamati hiyo na nakala yake kufikishwa kwa mkuu wa mkoa ambapo uongozi huo wa wilaya ilitoa siku saba wavamizi wanaojiita mungiki wawe wameondoka na kufuata mkondo wa sheria katika kudai haki zao walidai kuwa sasa ni zaidi ya mwaka mmoja bado wavamizi hao wapo kiwandani hapo na kuzuia uzalishaji jambo linaloendelea kuwatia umaskini wananchi wengi na kudai pia viongozi hao UNK vyama tisa UNK muungano wa vyama vya ushirika vya lupembe UNK mkutano na kujadili maslahi ya wanachama agizo ambalo UNK hadi leo sisi UNK huku wavamizi hao kwa mujibu serikali UNK sheria na UNK kiwanda na walipewa siku saba kuhakikisha kiwanda na mali zote pamoja na watumishi wanakuwa katika hali ya usalama sasa tunashangazwa na mkuu huyo UNK hatua na UNK mzigo rais kikwete alisisitiza mkulima huyo pia alisema kuwa iwapo mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya ya njombe walishinda kutumia njia za utawala kuwachukulia hatua mungiki hao wengeweza kutumia njia ya kutekeleza amri ya mahakama kuu ya ardhi ambayo iliamua kiwanda UNK katika hali yake ya awali wakati mgogoro wa wanahisa ukiendelea wakulima hao walidai kauli hiyo ya mkuu wa mkoa ina nia ya kutaka UNK mgogoro huo huku wao wakiteseka pia ina lengo la UNK wao na serikali kwa kuwa UNK utawala wa sheria endapo viongozi wa wilaya na mkoa UNK basi bila shaka kuna watu wazito waliopo kwenye UNK huo wanaohitaji amri ya rais alisema mmoja wa wakulima hao katika siku za nyuma baada ya madalali wa mahakama kupigwa na kundi la wavamizi wanahabari UNK habari juu ya mgogoro huo nao walipigwa mkuu wa mkoa UNK kamati ya kukifungua kiwanda lakini kamati hiyo ilijikuta inashindwa na hatimaye mgogoro huo kuchukua zaidi ya misimu miwili ya uvunaji wa zao la chai na kulwa mzee mashahidi watatu wa upande wa mashitaka katika kesi ya mauaji yaliyotokea ubungo dar es salaam wamedai kortini kuwa shilingi bilioni moja zilizotolewa na benki kuu ya tanzania kwa ajili benki ya nmb tawi la wami morogoro UNK ushahidi huo ulitolewa mahakama kuu dar es salaam jana mbele ya jaji UNK rugazia mashahidi hao walikuwa wakiongozwa na wakili wa serikali mwandamizi bwana obadia UNK shahidi wa kwanza ambaye ni kaimu meneja wa nmb kibaha ambaye wakati wa tukio aprili ishirini ishirini sifuri sita alikuwa meneja shughuli wa tawi la wami morogoro bwana abdul kirumbu alidai aliandaa barua ya kuomba shilingi bilioni moja nmb tawi la benki house dar es salaam alidai barua nyingine alipeleka ffu morogoro kwa ajili ya kuomba askari wa kumsindikiza mfanyakazi wa benki hiyo bwana evarist manyoni aliyekuwa na jukumu la kufuata fedha dar es salaam maombi UNK na askari wanne waliambatana na marehemu manyoni katika safari hiyo msafara huo ukitokea morogoro UNK fedha chakavu UNK kwa matumizi kwa ajili ya kuzirudisha dar es salaam na kufuata shilingi bilioni moja UNK shahidi alidai fedha chakavu zilizokuwa UNK ni dola za marekani tatu ishirini tano euro mia moja na ishirini na shilingi milioni mia moja na ishirini na nne ambazo UNK salama bwana kirumbu alidai shilingi bilioni moja UNK dar es salaam kwa ajili ya tawi la wami UNK na alipata taarifa kuwa msafara ulivamiwa maeneo ya ubungo shahidi wa pili ofisa wa benki hiyo tawi la mbagala bwana ibrahim mfaume ambaye wakati wa tukio alikuwa ofisi ya kanda dar es salaam alidai aliidhinisha gari moja kwa ajili ya kubeba shilingi bilioni moja kwenda wami morogoro lakini muda mfupi baada ya kuondoka alipewa taarifa msafara UNK aende hospitali ya taifa muhimbili kwa ajili ya kuwaangalia majeruhi alidai alipofika mnh alimkuta dereva wa gari alilotoa bwana juma nyundo na ali omari wakiwa wamejeruhiwa na mfanyakazi wa nmb wami bwana manyoni amekufa majehuri wengine ambao ni askari kutoka morogoro UNK naye shahidi wa tatu bwana UNK UNK ambaye ni meneja wa nmb tawi la dodoma katika ushahidi wake alidai akiwa meneja uendeshaji tawi la benki house dar es salaam alikuwa UNK kiwango cha fedha UNK na matawi husika UNK alidai alipokea maombi kutoka benki ya wami morogoro aprili kumi na nane ishirini sifuri sita ya shilingi bilioni moja siku iliyofuata alipeleka maombi ya kiasi hicho cha fedha bot na aprili ishirini mwaka huo fedha hizo zilipatikana na kukabidhiwa kwa marehemu evarist manyoni kwa ajili ya kuzifikisha tawi la wami washitakiwa katika kesi hiyo ni mashaka mahenge rashid lembresi john mndasha martine mndasha philipo mushi jackson wangu haji hamisi yasin juma hamisi mjata musa mustafa mt elfu sabini na saba na mia saba na hamsini na nne pte UNK UNK wickliff angaruki rashid abdikadiri james chamangwana na hussein iddi awali ilidaiwa aprili ishirini ishirini sifuri sita maeneo ya ubungo dar es salaam washitakiwa walimuua evarist manyoni pia siku hiyo hiyo maeneo ya ubungo washitakiwa walimuua kwa makusudi askari d elfu sita na mia tatu na sitini na moja pc abdallah maro kesi inaendelea leo mizengwe ya kurudisha nyuma juhudi za mbunge wa maswa john shibuda kutaka kukamilisha nia yake ya kumnggoa rais kikwete katika uchaguzi wa kiti cha urais mwakani inazidi kutokota baada ya makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi pius msekwa kusema kuwa hana ubavu wa kumpiku rais kikwete alisema kuwa licha ya katiba ya ccm kuruhusu kila mwanachama aliye na sifa kugombea lakini bado mbunge huyo hawezi UNK rais kikwete katika nafasi hivyo bwana msekwa alitoa kauli hiyo alipozungumza na shirika la utangazaji la uingereza la bbc jana bwana UNK pia aliwahi kuwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania alisema kuwa kila mwanachama anayo sifa na kuongeza kuwa baada ya mwanachama kuchukua fomu na kurejesha mchakato hupita na kuwa yule aliye na sifa ndio UNK hatamu huku akimtaja rais kikwete kuwa ndiye aliye na sifa kwa sasa bwana shibuda amekuwa akikumbwa na misukosuko mbalimbali ndani ya chama chake julai mwaka jana alijikuta UNK nje ya kikao cha kamati ya siasa ya ccm ya wilaya ya maswa ilidaiwa kuwa hakuwa mjumbe halali wa kamati ya siasa alitimuliwa na mwenyekiti wa ccm wa wilaya hiyo bwana peter UNK na katibu mwenezi na itikadi bwana jeremiah UNK baada ya kutangaza nia yake ya kumnggoa rais kikwete kwa kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu mwakani UNK huku akisema ana uwezo wa UNK na kuongoza nchi pia alionesha kushangazwa na uamuzi wa kamati kuu na halmashauri kuu kuondoa jina lake katika UNK UNK cha nafasi ya uenyekiti wa jumuiya ya wazazi taifa kipindi hicho alikaririwa na vyombo vya habari akisema potelea mbali liwalo na liwe nimechoka kuwa mfungwa wa kisiasa ndani ya ccm wakati nina uwezo wa kuwaongoza watanzania UNK suala la rushwa jinsi UNK katika uchaguzi bwana msekwa alisema suala la fedha kuhusishwa katika uchaguzi ni suala la kawaida kwa kuwa hakuna uchaguzi unaofanyika bila kutumia fedha aliongeza kuwa rushwa na matumizi ya fedha lazima UNK ni kwa UNK magari nyumba kutokana na ukosefu wa nyumba na usafiri wa uhakika kwa watumishi wa idara ya mahakama serikali inapoteza shilingi milioni mia mbili na arobaini na sita kila mwezi kwa ajili ya kupanga nyumba na gharama za usafiri wa majaji arobaini na moja uchunguzi uliofanywa na majira jumapili kwa miezi miwili umebaini kuwa majaji hao UNK nyumba jijini dar es salaam na mikoa mbalimbali hapa nchini baada ya zile za serikali kuuzwa kiasi hicho cha fedha inayotumiwa kwa usafiri na malazi kwa maafisa hao ni sawa na shilingi bilioni mbili tisa kwa mwaka mmoja tu mara baada ya uteuzi wa baraza la mawaziri na watumishi wengine wa serikali ya awamu ya nne walijikuta wakiwa hawana nyumba za kuishi baada ya kuwa UNK katika utaratibu UNK kelele wa kuuza nyumba za serikali wapo baadhi walioripotiwa kuishi katika hoteli za kitalii kwa gharama za UNK wengine walilazimika kuishi katika nyumba za ndugu zao baada ya kutakiwa kuripoti katika vituo vyao vya kazi hata hivyo serikali UNK nyumba mpya UNK eneo la mikocheni watumishi wa serikali wakiwamo mawaziri makatibu wakuu na watumishi wengine huku ikiwaacha majaji wakiendelea kuishi katika hoteli hadi serikali ilipoamua UNK nyumba za kuishi uchunguzi umeendelea kubaini kuwa serikali inalazimika kulipa kodi ya shilingi milioni tatu kwa mwezi kwa ajili ya jaji mmoja kuna majaji arobaini na moja ambao hawana nyumba na hivyo kuilazimu serikali kupoteza shilingi milioni mia moja na ishirini na tatu kila mwezi kiasi ambacho kingeweza kuokolewa ikiwa wangekuwa wakiishi kwenye nyumba za serikali mbali na nyumba majaji hao wamekuwa UNK teksi kwa ajili ya usafiri ili kurahisisha majukumu yao ya kikazi baada ya kukosa magari na kuilazimu serikali kulipa kiasi cha shilingi kumi sifuri sifuri sifuri sifuri kwa siku ambazo ni jumla ya shilingi milioni tatu kwa mwezi kwa jaji mmoja katika kipindi cha mwaka mmoja serikali inatumia takribani shilingi bilioni tatu kwa ajili kugharimia usafiri na malazi ya majaji hao uchunguzi huo umeendelea kubaini kuwa kuna uwezekano kuwa majaji hao wataendelea kupanga na kutumia magari hayo ya kukodi kwa muda mrefu kwa kuwa huo ni mradi mzuri kwa waliowekeza kwenye nyumba na usafiri kwa maafisa hao wa serikali gazeti hili wiki iliyopita liliandika kuhusu serikali UNK kwenye gharama kubwa bila ulazima wowote kwa kutumia shilingi bilioni kumi na tano kununua mashangingi kwa vigogo wa serikali huku sekta za huduma za jamii UNK kutokana na hali mbaya ya kiuchumi adaiwa pia kumtishia kwa bastola ni mpendazoe mpiga vita ufisadi yeye asema hayo ni mambo ya siasa mbunge wa jimbo la kishapu mkoani shinyanga bwana fred mpendazoe amejikuta matatani baada ya kutuhumiwa kumshambulia mmoja wa makada wa chama cha mapinduzi wilayani UNK tukio hilo linadaiwa kutokea juzi usiku mjini shinyanga jirani na kiwanda cha UNK mikate UNK na kanisa katoliki imedaiwa mbunge huyo alimshambulia kada huyo wa ccm aliyetajwa kwa jina la bwana abdulkadir mohamed mkazi wa kishapu kwa UNK makofi na kumsababishia maumivu akizungumza na majira jumapili jana katika kituo cha polisi cha mjini shinyanga bwana mohamed alidai alifikwa na mkasa huo juzi saa nne thebathini usiku alipokuwa akitokea kununua UNK ambapo ghafla aliitwa na bwana mpendazoe aliyekuwa jirani na UNK hiyo ya mkate akiwa na vijana wengine wawili bwana mohamed alidai alipokuwa akirejea katika nyumba ya wageni aliyofikia ya mtemi alisikia mtu akimwita na UNK ni mbunge wake alikwenda mpaka eneo alilokuwa amesimama lakini hata hivyo baada ya kumsalimia ghafla alianza kutukanwa matusi ya nguoni huku akimuhoji kwa nini ameacha kumsaidia kwa kweli nilishangaa na kushitushwa na uamuzi wa mheshimiwa mbunge maana UNK ghafla na kuanza UNK makofi usoni mpaka UNK sehemu ya mdomo wa chini na kusababisha shati nililokuwa nimevaa UNK alieleza bwana mohamed hata hivyo alidai kuwa baada ya kubaini kuwa bwana mpendazoe alikuwa hafanyi mzaha aliamua kujinasua kutoka mikononi mwake na kutaka kukimbia lakini ghafla alitoa bastola yake na kumwelekezea akidai kuwa akikimbia angeweza UNK mara moja UNK sana ilibidi UNK lakini wakati huo wenzangu niliokuwa nao bwana isaack UNK na bwana paulo charles walikuwa UNK ili waweze kunisaidia baada ya kubaini kuwa nilikuwa UNK alipowaona UNK UNK silaha yake mfukoni na kuondoka katika eneo hilo wenzangu walifika na UNK kilichotokea alieleza alisema kutokana na hali hiyo waliamua kwenda katika kituo cha polisi kutoa taarifa ambako alipatiwa fomu namba tatu kwa ajili ya kwenda kutibiwa lakini hata hivyo alidai kuwa polisi walikataa kufunga jalada usiku huo kwa madai kuwa hayo yalikuwa ni mambo ya kisiasa kwa upande wake bwana mpendazoe alikanusha madai ya kada huyo wa ccm na kueleza kuwa kwa usiku huo wa juzi UNK mtu ye yote na kudai kuwa kijana huyo ana matatizo yake mimi UNK huyo kijana wala UNK kabisa nafikiri haya ni mambo ya siasa tu anatunga mimi UNK UNK na watumishi wa basi la mombasa raha ambao walikuwa UNK eneo ambalo nilitaka kuteremka sasa kama yeye anadai UNK basi aende polisi waje wanikamate alieleza bwana mpendazoe kamanda wa polisi wa mkoa wa shinyanga bwana daud siasi alikiri kupata taarifa kuhusu tukio hilo hata hivyo alisema angeweza kutoa maelezo kwa kina mara baada ya kupelekewa taarifa rasmi kwa maandishi bwana mpendazoe ni kati ya wabunge wa ccm ambao wamekuwa mstari wa mbele kupiga vita ufisadi na kutaka viongozi waliotumia madaraka yao vibaya akiwamo rais mstaafu benjamin mkapa wachukuliwe hatua za kisheria waziri mkuu mizengo pinda UNK baadhi ya wakazi UNK eneo la shamba kubwa la mngeta wilayani kilombero mkoani morogoro kuondoka kistaarabu kupisha uwekezaji mkubwa katika kilimo cha kibiashara wa pamoja kati ya shirika la umma na kampuni ya binafsi pinda alikuwa akihutubia mkutano wa hadhara mngeta juzi katika siku yake ya pili ya ziara ya siku nne ya mkoa wa morogoro kukagua shughuli za kilimo hasa mashamba na vituo vya utafiti alisema wakazi hao wapatao mbili sifuri sifuri sifuri wa eneo la mngeta na UNK ambao UNK hekta thebathini sifuri katika shamba hilo la zaidi ya hekta tano sifuri sifuri sifuri lenye hati miliki itabidi waondoke na wapatiwe eneo jingine la karibu na wasaidiwe kuanzisha upya shughuli zao za kilimo viongozi wa mkoa wa morogoro na hasa wilaya ya ifakara kwa kushirikiana na halmashauri na wamiliki wa shamba la mngeta wafanikishe shughuli hii kwa njia za kistaarabu badala ya kutumia nguvu alisema shamba hilo la mpunga linamilikiwa kwa pamoja baina ya mamlaka ya kuendeleza bonde la mto rufiji na kampuni binafsi ya kuendeleza kilimo ya wawekezaji wa uingereza UNK UNK na UNK wameunda kampuni ya pamoja UNK kilombero UNK limited UNK kilimo cha kibiashara cha aina yake nchini kwa ushirikiano wa shirika la umma na kampuni binafsi shamba hilo lilianzishwa mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na sita chini ya uwekezaji wa pamoja wa kampuni ya pamoja ya korea ya kaskazini na tanzania lakini UNK baada ya mradi huo wa kushindwa kuendelea rais jakaya kikwete amesema kuwa kwa UNK mabenki yote duniani hayana tabia ya kukopesha watu maskini na badala yake hukopesha wale ambao tayari UNK alisema wananchi wanatakiwa kuwezeshwa ili waweze UNK na kisha wapate sifa ya kuaminiwa na kukopeshwa na mabenki kwa lengo la kuinua vipato vyao alitoa kauli hiyo juzi dar es salaam katika chakula cha usiku kilichoandaliwa na mbunge wa same mashariki bibi anne kilango kwa ajili ya harambee iliyolenga kuchangisha fedha za ununuzi wa mitambo ya kiwanda cha kusindika tangawizi kilichopo wilayani same mkoani kilimanjaro ambapo pesa taslimu shilingi mia mbili na themanini na tano mia tatu na ishirini sifuri sifuri sifuri na ahadi shilingi milioni arobaini na tatu UNK benki UNK maskini hukopesha wale UNK maskini wa mamba lazima wasaidiwe na ifike mahali benki UNK na tukisubiri UNK mpaka yesu atarudi alisema rais kikwete katika UNK hiyo rais kikwete alichangia ya shilingi milioni tano na kuahidi kuwa serikali UNK na kuangalia sula UNK ili kujua namna gani UNK rais kikwete alitaka mambo matano yanayoweza kufanikisha kilimo kuwa ni maji mbegu bora mbolea dawa za wadudu na ujuzi wa kutosha alisema kuwa kitendo cha bibi kilango kufikiria suala la kuwawezesha wakulima katika jimbo lake UNK kuungwa mkono kwa kuwa UNK na UNK watu hao kuwa na sifa ya kupata mkopo kutoka katika mabenki rais kikwete alisema kuwa miongoni mwa sababu zilizomfanya kukubali dhana ya bibi kilango ni kutokana na kulenga kauli mbiu ya kilimo kwanza hivyo aliona uwepo wa sababu za kumsaidia kukamilisha malengo hayo bibi kilango alisema kuwa amefarijika baada ya kuona kuwa jambo lake linafanikiwa kila mtu UNK kinamna yake mimi UNK kitu changu lazima mpaka nione mwisho wake nimefurahi sana hasa baada ya kuona UNK mkono alisema waziri wa fedha na uchumi bwana mustapha mkulo amesema kuwa kuna upungufu mkubwa katika utayarishaji wa taarifa za hesabu katika sekta mbalimbali hapa nchini akizungumza dar es salaam juzi wakati wa mahafari ya thebathini na moja ya bodi ya wahasibu na wakaguzi wa hesabu bwana mkulo alisema baadhi ya wanataaluma UNK taarifa za fedha kwa kufuata kanuni na viwango vya UNK alisema ripoti zinazotolewa na mdhibiti na mkaguzi mkuu hesabu za serikali zinaonesha baadhi ya wizara idara taasisi za umma na halmashauri hazikupata hati safi kutokana na kutofikia viwango vinavyohitajika mhasibu UNK na kuifahamu vyema kazi yake anahitajika kutumia ujuzi alioupata katika mafunzo yake ili kuongeza ufanisi sehemu yake ya kazi na si kupindisha taratibu za kifedha kwa maslahi binafsi alisema aidha bwana mkulo aliongeza kwa kusema kuwa ripoti za tafiti mbalimbali kutathmini hali ya rushwa na utawala bora nchini hivi karibuni zimeonesha kuwa matatizo mengi ya kiuchumi kisiasa na kijamii yanatokana na UNK kwa misingi ya utawala bora uzoefu unaonesha kuwa mashirika mengi hasa yale ya umma ambayo yanazingatia utawala bora ari ya utendaji kazi upande wa wafanyakazi huwa ni kubwa kutokana na uhusiano mzuri kikazi na hivyo kuleta maendeleo katika taasisi husika alisema alisema katika kutekeleza dhima nzima ya utawala bora serikali UNK UNK bodi hiyo ili iwe na uwezo zaidi wa kusimamia na kuhakikisha kuwa taarifa zote za fedha zinafuata miongozo UNK kwa upande wake mwenyekiti wa bodi ya taifa ya wahasibu na wakaguzi wa hesabu daktari mussa UNK alisema idadi ya wahitimu katika shahada ya juu ya uhasibu imepungua ukilinganisha na mwaka jana kutokana na mabadiliko katika mitaala na mitihani katika mahafali hayo wahitimu mia tatu na sabini kati yao wakiwemo mia mbili na sabini na sita wa cpa na tisini na nne katika ngazi ya utunzaji vitabu vya hesabu walipata vyeti vya UNK serikali imetakiwa kuacha siasa katika suala la umeme badala yake itoe nafasi kwa watalaamu kulipatia ufumbuzi tatizo hilo ushauri huo umetolewa na mwenyekiti wa chama cha nccr mageuzi bwana james mbatia alipozungumza na waandishi wa habari dar es salam jana katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa bwana mbatia alisema kuwa badala ya kuleta umeme serikali imekuwa ikitumia muda mwingi katika malumbano badala ya kutafuta ufumbuzi wa kitaalamu katika suala la umeme tuache siasa na lawama zisizo na msingi bali tukae na kufikiria namna ya kuyapatia ufumbuzi masuala muhimu katika jamii ikiwa ni pamoja na tatizo hili la umeme ambalo UNK nyuma shughuli za uzalishaji alisema alisema serikali imekuwa ikipoteza zaidi ya shilingi bilioni tatu sita kila mwezi kutokana na mkataba wa iptl huku maisha ya watanzania yakiendelea kuwa duni mimi mwenyewe UNK masuala ya umeme kama UNK kutoa mchango wangu niko tayari kufanya hivyo na UNK kabisa masuala ya kisiasa katika masuala yenye maslahi kwa taifa aliongeza aidha bwana mbatia ameiomba serikali kuwachukulia hatua za kisheria wale wote waliohusika katika mikataba mibovu ya dowans richmond na iptl na kuisababishia serikali hasara kubwa akizungumzia suala la uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini oktoba ishirini na tano bwana mbatia aliwataka wagombea wa nafasi mbalimbali kujenga hoja zinazolenga kuboresha maisha ya watanzania na si kuwalaghai kwa rushwa na ahadi za uongo kwa upande wake mwanasheria wa chama hicho daktari sengondo mvungi alisema kuwa wakati umefika sasa kwa chaguzi za serikali za mitaa kusimamiwa na tume huru ya uchaguzi na si ofisi ya waziri mkuu alifafanua kuwa serikali ya tanzania imeundwa na chama kimoja na kwamba uchaguzi huo kusimamiwa na ambayo ni wakala wa serikali ni sawa na mchezaji kuwa mwamuzi kwa wakati mmoja mwaka ishirini sifuri nne UNK kesi kupinga uchaguzi huu kuendeshwa na tamisemi mahakama haijatoa uamuzi mpaka sasa tumeamua kushiriki uchaguzi si kwa kuunga mkono sheria ya uchaguzi wa serikali za mitaa bali kuwapa wananchi haki yao ya msingi ya kuchagua alisema daktari mvungi alisema kuwa wagombea wa vyama vya upinzani wamekuwa wakati mgumu kwa kufanyiwa vitendo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kunyimwa fomu za kugombea na kuenguliwa kwa visingizio vya kukosa sifa za kugombea raia wa china bwana zhang hong fa ameuawa na wenzake watano kujeruhiwa kwa kupigwa risasi na majambazi juzi jioni kufuatia tukio hilo raia wengine wa chini UNK kuwa mwenzao amefariki dunia hawakukubali UNK tafrani na kuwatishia madaktari wa hospitali ya tumbi mkoani pwani msemaji wa hospitali ya tumbi bwana gerald UNK alisema walipokea mwili ya marehemu na majeruhi wa tukio hilo lakini baada ya wachina hao kuelezwa kuwa mwenzao amefariki walipinga kauli hiyo wakaanza kufanya vurugu hospitalini kwa kuruka sarakasi na kuwatisha madaktari na UNK wa hospitali hiyo alisema baada ya kumaliza mbwembwe hizo UNK mwili wa mwenzao na majeruhi na kuondoka katika eneo la hospitali bila kupewa ruhusa ya daktari na kutokomea kusikojulikana wakati wa uhai wake marehemu na wenzake walikuwa UNK mabomba ya maji katika kijiji cha kwa mathias wilaya kibaha mkoa wa pwani waliojeruhiwa katika tukio hilo na kupelekwa katika hospitali teule ya tumbi ni bwana UNK UNK bo bwana UNK bwana UNK UNK UNK bwana UNK na bwana UNK UNK mkuu wa mkoa wa pwani bibi amina said alisema wachina hao walivamiwa na majambazi hayo wakati UNK posho ya wiki vibarua waliokuwa wakifanya kazi ya kutandaza mabomba ya maji bibi amina alisema kuvamia na kuporwa kwa wachina hao ni uzembe ulisababishwa na kutofuata taratibu na sheria za fedha kwani walipaswa kuomba ulinzi wa jeshi la polisi wakati UNK posho hizo alisema kiasi cha fedha UNK kutoka kwa wachina hao bado hakijafahamika na kwamba serikali kwa kushirikiana na polisi inafanya uchunguzi na msako mkali ili kuwabaini majambazi hao madaktari bugando UNK sikuamini macho yangu baada ya kugundua mwanangu ambaye UNK katika hospitali ya rufaa ya bugando kuanzia septemba thebathini mwaka ishirini sifuri tano na baadaye kufariki dunia oktoba tatu mwaka ishirini sifuri tano UNK baadaye UNK naye akiwa hai hayo ni maneno ya bibi stella joseph ambaye ni mama mzazi wa binti anayedaiwa kufariki na baadaye kukutwa shambani miaka minne baadaye bibi juliana gembe baada ya kifo chake inadaiwa kuwa mwili wake UNK katika makaburi ya sweya nyegezi kata ya mkolani wilayani nyamagana kwa heshima zote zikiwemo misa sala na maombolezo kutoka kwa wakazi wa maeneo ya UNK UNK na gazeti hili kwa uchungu bibi joseph amesema kuwa binti yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa malaria na alikuwa amelazwa katika wodi namba nane katika hospitali ya rufaa ya bugando jijini mwanza UNK baada ya binti yake kufariki dunia uongozi wa hospitali ya bugando ulitoa kibali cha mazishi chenye nambari sifuri nane sita moja nane sifuri sifuri cha oktoba tatu ishirini sifuri tano na marehemu kuzikwa siku hiyo hiyo kwa kufuata utaratibu wote wa mazishi na baba paroko wa parokia ya mtakatifu augustino aliendesha ibada ya kumuombea marehemu mama huyo anasema UNK hisia wala imani zozote za kishirikina kwa sababu yeye ni mcha mungu na kuwa anajali sana maombi hata kuliko dawa za hospitali au UNK kwa ajili ya kuponya magonjwa mwilini anasema kuwa wakati UNK mwanawe mgonjwa huyo alikuwa akimwambia kuwa alikuwa anaona watu kadhaa UNK kwa wingi kitandani mwake na kutaka kumchukua na kuwa hata UNK atarudi tu na wala hawezi kuishi nao milele mama naona watu UNK kwa wingi kitandani hapa eti wanataka UNK eti UNK UNK ila mimi UNK kunipeleka mie ni jeuri nitarudi tu muda wowote alisikika binti huyo UNK mama yake maneno ambayo UNK na mama huyo akisimulia jinsi binti huyo UNK akiwa hai mjumbe wa ccm shina nambari tano kitongoji cha UNK UNK nyegezi bwana sadik ramadhani amesema kuwa mnamo UNK kumi na tano mwaka huu majira ya saa kumi sifuri sifuri jioni UNK umati wa watu ukifika nyumbani kwake na kumweleza kuwa kwenye ubalozi wake ametokea kiumbe wa ajabu mwenye jinsi ya kike ambaye ni wa kutatanisha bwana sadik alisema kuwa aliongozana na umati huo wa watu hadi mahali ambapo binti huyo alikuwa amekaa huku akiwa akionekana kuchoka UNK UNK akiwa hawezi kuongea ila kwa UNK wakati alipokuwa akiulizwa kama anahitaji chakula bwana sadik amesema kuwa UNK binti huyo hadi nyumbani kwake huku UNK na watu hao na kumpikia ugali ambao alikuwa UNK bila UNK amesema wakati UNK zaidi aligundua kuwa ulimi wake ulikuwa ndani na UNK huku akiwa na meno mawili moja likiwa juu na lingine chini pia UNK mwake kulikuwa na michirizi kama ya mtu ambaye alikuwa UNK fimbo bwana sadik anasema binti huyo kwa muda mrefu alikuwa UNK macho hata mtu akijaribu UNK UNK tena hali ambayo anaendelea nayo hata wakati huu akiwa katika wodi c moja katika hospitali ya bugando UNK akili yake bwana sadiki amesema kuwa kadri watu walivyokuwa UNK kwenda kumwangalia baadhi yao walimtambua kuwa ni binti ambaye alifariki mwaka ishirini sifuri tano na baadaye UNK wengine ni wale ambao walikuwa wanasoma naye katika shule ya msingi UNK iliyoko nyegezi jijini mwanza amesema kuwa giza UNK ilibidi UNK watu wote waliokusanyika katika nyumba yake hadi siku iliyofuata wakati alipowasiliana na mtendaji wa kata ya mkolani ambaye alifika nyumbani kwake akiwa na polisi wakamchukua hadi bugando kwa uchunguzi zaidi mama mzazi wa binti huyo anasema UNK UNK zote alizokuwa nazo binti yake wakati wa uhai wake alithibitisha kuwa ni mtoto wake ambaye alifariki mwaka ishirini sifuri tano daktari rodrick UNK wa hospitali ya rufaa bugando katika wodi c moja UNK wagonjwa wenye matatizo ya akili amesema kuwa ugonjwa alionao binti huyo unatokana na mtu kuishi mbali na jamii na pia kuishi sehemu moja bila ya kuongea na mtu naye bwana UNK UNK ambaye ni mkuu wa idara ya afya katika hospitali hiyo alisema kuwa tayari idara yake UNK matukio mawili ya aina hiyo lakini hili la sasa lina utofauti kidogo kutokana na kujitokeza mtu mmoja tu ambaye anadai kuwa mgonjwa ni binti yake amesema kesi aliyowahi kuipokea ni ile ya mtoto mmoja aliyejulikana kwa jina la peter ambaye alifariki huko ukerewe na baadaye akaonekana na kukajitokeza ndugu wawili ambao walikuwa wakimgangania na matokeo yake alipopima vipimo vya dna kwa ndugu waliokuwa wakimgangania mmoja wapo ndiye aliyeonekana kuwa ana uhusiano naye amesema kuwa serikali ilipotoa kibali cha kufufua kaburi hiyo walikuta kisiki ndicho kilikuwa UNK katika kaburi hiyo badala ya kukuta mifupa ya binadamu amesema kuwa hata hospitalini bugando itabidi UNK vipimo vya binti huyo pamoja na wazazi wake ambavyo vitasaidia kubaini kama huyo binti ni wa kwao au vinginevyo ndipo ndugu zake wataweza kupata fursa ya kwenda polisi ili kupata kibali cha kumchukua katika hospitali hiyo akipata nafuu hata hivyo kiongozi mmoja wa ngazi ya juu katika hospitali alisema hakuna haja ya vipimo hivyo ambavyo ni gharama kwa vile ndugu walimtambua kutokana na alama na UNK picha UNK akiwa hai ambao ni ushahidi tosha wa kuruhusu jamaa kumchukua binti yake endapo atapata nafuu mzozo wa mafuta ambao umekuwa UNK katika baraza la wawakilishi zanzibar unatarajiwa kuibuka katika kamati ya rais mstaafu wa awamu ya pili ali hassan mwinyi ambayo ilianza kukutana na wajumbe wa baraza hilo jana kamati hiyo inakutana na wajumbe kupitia chama cha mapinduzi katika ofisi kuu ya ccm UNK mjini hapa kutafuta kiini cha malumbano na uhasama baina ya wabunge wa ccm kwa upande mmoja na wawakilishi UNK chama hicho kwa upande mwingine mbali na bwana mwinyi ambaye ni mwenyekiti kamati hiyo iliyoteuliwa na halmashauri mkuu ya ccm UNK pia makamu mwenyekiti wa ccm pius msekwa na mjumbe wa kamati kuu abdulrahman kinana jana kamati hiyo ilikutana na wajumbe wa kamati ya uongozi ya baraza la wawakilishi ambayo ipo chini ya waziri kiongozi wa serikali ya mapinduzi zanzibar shamsi vuai nahodha miongoni mwa wajumbe waliohudhuria kikao hicho ni mawaziri waandamizi wa UNK akiwamo waziri wa maji ujenzi nishati na ardhi mansoor yussuf UNK ingawa hakukuwa na maelezo ya moja moja mambo UNK kutawala katika kikao hicho ni suala la mafuta na gesi asilia ambalo UNK katika mkutano wa bajeti wa baraza la wawakilishi julai mwaka huu na kusababisha wajumbe kutoa maneno makali UNK serikali ya muungano kwa upande wa zanzibar kauli za wezi wa mchana pamoja na wakoloni wanaotaka UNK ndiyo kwa kiasi kikubwa zilizoleta kutoelewana na pengine kusababisha kamati hiyo kuundwa na kutafuta ukweli na sababu ya kuwepo kwa kauli hizo ambazo UNK vikali na rais jakaya kikwete mjadala wa mafuta UNK zaidi na hoja ya zanzibar sio nchi iliyotolewa na waziri mkuu mizengo pinda ziliwafanya baadhi ya wawakilishi wakiwamo mawaziri kutoa kauli kali UNK hatua ya kutikisa misingi ya muungano baada ya kamati hiyo kumaliza shunguli zake zanzibar itaelekea dodoma kuendelea kukutana na wabunge wakati wa mkutano wao utakaoanza oktoba ishirini na saba mwaka huu pia kuangalia mahusiano baina yao hasa baada ya mgawanyiko uliotokana na mkataba tata wa richmond uliosababisha aliyekuwa waziri mkuu edward lowassa kujiuzulu baada ya mgawanyiko huo UNK kundi la wabunge wanaojipambanua kama wapambanaji dhidi ya ufisadi na wengine UNK nao hali ambayo UNK na mwenyekiti wa chama hicho rais kikwete kuwa kuna uhasama mkubwa kati yao kiasi kwamba mtu hawezi kumwachia mwenzie glasi ya maji na grace michael aliyekuwa balozi wa tanzania nchini italia profesa costa mahalu na ofisa utawala wa ubalozi huo bibi grace alfred wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi wamekutwa na kesi ya kujibu katika mashitaka yote yaliyokuwa yakiwakabili kitendo cha kukutwa na kesi ya kujibu UNK washitakiwa hao kupanda kizimbani na kutoa utetezi wao kuhusiana na kesi hiyo ambapo mei nne wataanza kutoa utetezi huo uamuzi huo ulitolewa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam mbele ya naibu msajili wa mahakama ya rufani bwana sivangilwa mwangesi baada ya kupitia ushahidi wa mashahidi watano wa upande wa mashitaka uliotolewa mahakamani hapo akitoa uamuzi huo bwana mwangesi alisema kutokana na ushahidi na vielelezo vilivyowasilishwa korti pasipo shaka imeona ni vyema washitakiwa hao UNK kizimbani kwa ajili ya kutoa utetezi wao katika makosa hayo baada ya kutolewa kwa uamuzi huo mahakama UNK washitakiwa wana haki ya kujitetea na kuita mashahidi wa kueleza wanachokifahamu kuhusiana na kesi hiyo hata hivyo kwa upande wa profesa mahalu aliiambia mahakama kuwa ataanza kutoa utetezi wake mwenyewe na atakapoona kuna umuhimu wa kuita shahidi mwingine atafanya hivyo kuhusiana na bibi alfred katika utetezi wake alisema ataanza kujitetea mwenyewe na baadae UNK kuwa na mashahidi watatu washitakiwa walifikishwa kortini hapo wakidaiwa kula njama kuiba matumizi mabaya ya nyaraka za hesabu kwa nia ya kumpotosha mwajiri wizi na kuisababishia jamhuri ya muungano wa tanzania hasara ya mabilioni ya fedha katika mashitaka ya kwanza walidaiwa kula njama ya kuiba kinyume cha kifungu cha mia tatu na themanini na nne cha sheria ya kanuni ya adhabu ambapo ilielezwa kuwa wote katika muda na mahali ambapo UNK nchini italia na maeneo mengine walikula njama za kutenda kosa la UNK serikali ya tanzania walidaiwa septemba ishirini na tatu ishirini sifuri mbili katika ubalozi wa tanzania nchini italia kwa pamoja wakiwa na nia ya kumdanganya mwajiri wao walitumia hundi namba d mbili tisa ikiwa na maelezo ya uongo kuhusu bei ya ununuzi wa jengo ambalo walidai UNK kwa euro tatu sifuri tisa nane mia saba na arobaini na moja hamsini na nane taarifa ambayo walijua ni ya uongo pia ilidaiwa oktoba moja ishirini sifuri mbili wakiwa waajiriwa wa serikali walitumia mkataba wa mauzo ukiwa na maelezo ya uongo wakionesha gharama zilizonunuliwa jengo hilo wakijua taarifa hizo sio za kweli ilidaiwa wakiwa katika ubalozi wa tanzania walitumia hati hizo kuonesha mwenye jengo alipokea euro tatu sifuri tisa nane mia saba na arobaini na moja hamsini na nane ikiwa ni gharama halisi ya jengo hilo wakati wakijua UNK serikali katika mashitaka ya tano walidaiwa kuiba euro mbili sifuri sita tano mia nane na ishirini na saba sitini wakiwa watumishi wa serikali na vile vile kuisababishia serikali hasara ya euro mbili sifuri sita tano mia nane na ishirini na saba sitini mfanyabiashara wa ndani UNK kwa jina UNK athumani mkazi wa sombetini mjini hapa amefariki dunia baada ya kunywa sumu ya mimea baada ya kushindwa kutoa mimba kaimu kamanda wa polisi mkoani hap deusdedit nsimeki alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa tatu katika eneo la UNK nsimeki alisema kuwa binti huyo alikuwa ni mfanyakazi wa ndani katika nyumba ya bibi UNK mjema ambaye ni mstaafu wa jeshi la polisi siku ya tukio binti huyo alimwambia mwajiri wake kuwa anahitaji kufanya kazi zake haraka na baada ya kauli hiyo bibi mjema alimuacha nyumbani akaenda kanisani na alipoondoka mfanyakazi hiyo akanywa sumu ya mimea na kufa bibi mjema aliporudi alikuta milango wazi na alipoingia alikuta binti huyo akiwa UNK huku UNK UNK katika chumba alichokuwa UNK binti huyo UNK kumuambia mwajiri wake kuwa anataka kufanya uamuzi huo polisi wanaendelea na uchunguzi kuhusiana na kifo cha binti huyo ikiwa ni pamoja na kumtafuta aliyempa mimba UNK serikali imeshindwa kueleza kwa uhakika ni lini mgawo wa umeme unaoendelea nchini utaisha badala yake imesema inafuatilia kwa karibu matengenezo ya mitambo ya kufua umeme ya songas na kihansi UNK ni vigumu kutaja tarehe ambayo mgawo utamalizika lakini serikali inafuatilia matengenezo ya mitambo iliyoharibika tatizo limekuwa kubwa kwa sababu ya mashine hizo kuharibika kwa wakati mmoja alisema waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja waziri bwana ngeleja aliyekuwa anajibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka kujua ni hatua zipi zinachukuliwa na serikali kuhakikisha tatizo la mgawo wa umeme UNK alisema mgawo huo siyo hujuma kama inavyodhaniwa na baadhi ya watu alifafanua kuwa wataalamu kutoka norway wanaendelea kutengeneza mtambo wa kufua umeme wa kihansi alipoulizwa kama kauli iliyowahi kutolewa na mkurugenzi wa shirika la umeme tanzania daktari idrisa rashid kuwa shirika hilo UNK endapo nchi UNK gizani bwana ngeleja hakutaka kuongelea suala hilo kwa undani na kusisitiza kwamba hakuna aliyekuwa akijua kama kutatokea tatizo la umeme daktari rashid alitoa kauli hiyo baada ya mapendekezo ya tanesco UNK baraka za mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za mashirika ya umma zitto kabwe ya kutaka kununuliwa kwa mitambo ya dowans kukataliwa na serikali bwana ngeleja alisema kazi iliyopo sasa ni kwa serikali kuendelea kuboresha miundombinu ya tanesco ili kutatua tatizo hilo alisema tayari serikali kupitia kwa mawakili wake imewasilisha maombi kuiomba mahakama iruhusu mitambo ya iptl ianze kuzalisha umeme ili kukabiliana na makali ya mgawo wakati kesi ya msingi inaendelea mbali na mkakati huo bwana ngeleja alisema tanesco ipo kwenye mchakato wa mwisho wa kutafuta mzabuni wa kununua mitambo miwili ya kufua umeme UNK mikoa ya dar es salaam na mwanza pamoja na juhudi hizo bwana ngeleja alipoulizwa kama kuna uwezekano mgawo wa umeme UNK alijibu suala hilo watu wa UNK ni wataalamu alisema alipoulizwa kuhusu mawazo ya baadhi ya wabunge ya kutaka mitambo ya dowans itaifishwe alisisitiza kuwa UNK hatua kama hizo tutakuwa UNK wawekezaji taifa lina misingi yake kama kuna jambo UNK na sheria tufanye nini alihoji endapo serikali itaamua kutaifisha mitambo ya dowans siku nyingine likitokea tatizo jingine linalohitaji kuchukuliwa kwa mali za watu UNK serikali imewataka wakazi wa eneo la kipawa ilala dar es salaam waliohamishwa kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere kutumia fedha walizolipwa fidia kujenga nyumba badala ya kuchanga kufungua kesi mahakamani akizungumza jana na gazeti hili ofisini kwake dar es salaam waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi kapteni mstaafu john chiligati alisisitiza kuwa wakazi hao wanapaswa kuhamishwa kwa sheria ya ardhi ya mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba na si vinginevyo UNK wananchi hawa wanataka walipwe kwa sheria mpya ya ardhi ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa lakini wakumbuke uthamini wa nyumba zao UNK miaka kumi na mbili iliyopita kabla ya sheria mpya kutungwa hivyo wanapaswa kulipwa kwa sheria ya zamani alisema bwana chiligati alisema chini ya sheria ya mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba wanaohamishwa wanapaswa kulipwa kile UNK juu ya ardhi bila kulipwa gharama ya ardhi yenyewe kwani walipatiwa bure alisema sheria mpya ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa iliyoanza kutumia mwaka ishirini sifuri moja kwa kutambua mazingira ya wakati UNK kulipwa kile UNK juu ya ardhi na ardhi UNK pia kulipa posho ya usumbufu wa kubeba mizigo alisema kilichotokea kipawa ni kwamba baada ya wizara ya miundombinu kukamilisha tathmini hiyo miaka kumi na mbili iliyopita haikuwa na pesa za kuwalipa wakazi hao jambo UNK mgongano wa sheria kama wizara ya miundombinu UNK wakati huo UNK mgogoro huu lakini haikuwa na pesa malipo UNK kwa miaka kumi na mbili sasa wamepata pesa hawa wanataka walipwe kwa sheria ya sasa kumbuka sheria UNK UNK nyuma inakwenda mbele mimi kama waziri mwenye dhamana ya sheria ya ardhi nasema lazima walipwe kwa sheria ya wakati ule jambo lao UNK jambo la leo UNK kwa sheria ya leo la juzi sheria ya juzi waziri chiligati alisema pamoja na wakazi hao kulipwa kwa sheria ya zamani wizara ya miundombinu kupitia mamlaka ya viwanja vya ndege imewapatia viwanja kwa ajili ya ujenzi jambo linalotoa nafuu kubwa mtu UNK UNK kiwanja UNK sana kwa mfano baadhi ya wakazi hao walikuwa na viwanja vyao hapo kipawa lakini hawakuwa na hati miliki sasa wamepatiwa viwanja na hati miliki vinavyoweza kuwasaidia hata kupata mikopo benki alisema bwana chiligati aliongeza kuwa pamoja na malalamiko ya wakazi hao kuna unafuu mkubwa wanaoupata kwenye operesheni hiyo kwani watalipwa pia asilimia sita ya riba kila mwaka kwa kipindi chote tangu ilipofanyika tathmini hiyo nawashauri wakazi hao UNK UNK pesa hizo kuwachangia watu kusimamia kesi yao mahakamani kesi ambayo hawajui hata kama watashinda kuna wajanja wanafanya mambo haya kama mradi wa kuishi mjini alionya bwana chiligati kuhusu madai ya wakazi hao kutaka kufanywa tathmini upya eneo hilo alisema hilo haliwezekani kwani kufanya hivyo ni kuongeza gharama zisizo za lazima narudia tena kuwashauri wakazi wa kipawa pesa walizolipwa fidia UNK mahakamani waelekeze kujenga alisema wizara ya afya na ustawi wa jamii imepata kibali cha ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma UNK na kuwapangia UNK vituo vya kazi wahitimu wote wa kada mbalimbali za afya kibali hicho cha septemba ishirini na mbili ishirini sifuri tisa UNK masharti ya kuajiri watumishi wa kada za afya na kuwachukua wahitimu hao UNK maombi ya ajira serikalini katika wizara idara za serikali zinazojitegemea sekretarieti za mikoa na halmashauri za wilaya kwa mwaka wa fedha ishirini sifuri tisa kumi wahitimu UNK ni kuanzia ngazi ya uuguzi hadi madaktari na wote wametakiwa kufikisha barua zao za maombi wizarani kwa ajili ya kupangiwa vituo vya kazi kuanzia jana hata hivyo msemaji wa wizara ya afya na ustawi wa jamii bwana nsachris mwamwaja alisema si rahisi kwa sasa kufahamu ni wahitimu wangapi wataajiriwa kwa kuwa idadi yao inategemea maombi UNK na kupitishwa kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na wizara hiyo jana UNK anatakiwa awe raia wa tanzania na umri usiozidi miaka arobaini na tano masharti mengine ni pamoja na mhitimu kuambatanisha cheti chake cha taaluma nakala ya cheti cha kumaliza elimu ya sekondari maelezo binafsi picha mbili za hivi karibuni na nakala ya cheti cha UNK UNK na barua ya maombi aidha waombaji wametakiwa nakala za vyeti vyao vya taaluma na vyeti vya kuhitimu elimu ya sekondari UNK na hakimu ama UNK kamati ya bunge ya hesabu za serikali imesema haitavumilia kuona hati chafu zinaendelea kutolewa kwa ofisi ya bunge kutokana na kuwepo matumizi mabaya ya fedha za serikali katika kupitia ripoti ya matumizi ya ofisi hiyo mwaka ishirini sifuri saba sifuri nane iliyotolewa na katibu wa bunge daktari thomas kashililah kamati hiyo imebaini matumizi mabaya ya fedha za serikali yaliyosababisha kupewa hati chafu kutoka kwa mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali akizungumza katika kikao cha mahojiano ya kamati na bwana kashililah mwenyekiti wa pac bwana john cheyo alisema taarifa za ufujaji wa fedha katika ofisi za bunge UNK bunge na kumtaka katibu huyo kutoa ufafanuzi juu ya matumizi hayo kamati hiyo iliomba kupata ufafanuzi juu ya matumizi ya zaidi ya shilingi bilioni moja moja zisizo na mchanganuo sahihi wa jinsi gani fedha hizo UNK ripoti hiyo inaonesha kuwa fedha hizo UNK na bodi ya matumizi ya bunge oktoba ishirini sifuri saba wakati mkataba wa ujenzi na malipo UNK februari ishirini sifuri saba jambo ambalo ni kinyume na sheria za matumizi kamati hiyo pia UNK ofisi hiyo kwa kutofuata taratibu na sheria za manunuzi na matumizi ya fedha za umma kwa kuidhinisha fedha kwa watumishi bila stakabadhi jambo UNK serikali hasara kubwa akijibu tuhuma hizo bwana kashilila amekiri kuwepo kwa mkanganyiko katika mchanganuo wa matumizi ya fedha zilizoainishwa kwenye ripoti huku akidai kuwa matatizo yaliyojitokeza UNK mh mwenyekiti taarifa hizi mimi UNK usingizi kwa sababu UNK maoni ya cag na kuona kuwa kwa timu niliyonayo ninaamini kuwa UNK na UNK radhi kwa utendaji wa awali lakini UNK alisema bwana kashilila alisema kuongezeka kwa UNK za ujenzi wa ofisi ndogo ya bunge kutoka shilingi milioni mia nne na ishirini na tano hadi milioni mia nane na kumi na tatu na baadaye shilingi bil moja kumi na tatu ni kutokana na kubadilika badilika kwa aina ya mradi na wala si kutokana na nia ya ubadhilifu kama UNK awali mradi ulikuwa juu ya ujenzi wa maegesho ya magari peke yake UNK shilingi UNK milioni arobaini sifuri lakini baadaye tukaambiwa zijengwe ofisi ndogo za bunge hivyo ikabidi bajeti UNK hadi kufikia shilingi milioni mia nane na kumi na tatu alidai bwana UNK kuhusu kuidhinishwa kwa malipo yasiyo na stakabadhi tena kwa watu wasio watumishi wa ofisi za bunge bwana kashilila alisema mtu pekee anayetajwa na kamati hiyo ni bwana UNK ambaye ni msaidizi binafsi wa spika ambaye amekuwa akichukua fedha kwa niaba ya spika zaidi ya shilingi milioni sabini anapewa mtu kwa imani tu mtaweza vipi kuzirejesha fedha hizo ikiwa hata jumla ya mshahara wake kwa miaka hamsini hauwezi kufikia hapo hata wasaidizi wa rais kwa ujumla hawajawahi kufikia kiwango hicho cha matumizi alilalamika bwana cheyo hatahivyo kamati imemwamuru katibu huyo kuhakikisha kuwa ndani ya miezi sita fedha zilizotolewa bila stakabadhi ziwe UNK huku UNK kutoa msimamo wa kamati juu ya matumizi mabaya ya shilingi bil moja kumi na tatu baada ya kukaa kuchambua utetezi alioutoa katibu huyo mbunge wa maswa bwana john shibuda amesema kauli ya makamu mwenyekiti wa ccm bwana pius msekwa kuwa hana ubavu wa kumvaa na kumpiku rais jakaya kikwete katika kinyangganyiro cha urais ni sawa na kumpa kadi nyekundu hata kabla ya kuchukua fomu za kuwania nafasi hiyo bwana shibuda ambaye tayari ametangaza nia yake ya kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa mwaka ishirini moja sifuri kwa tiketi ya ccm aliliambia gazeti hili jana kuwa kauli ya bwana msekwa ni maoni yake binafsi kwani uamuzi wenyewe utatolewa na vikao vya chama akihojiwa na shirika la UNK la uingereza mwishoni mwa wiki bwana msekwa alisema bwana shibuda hana ubavu wa kumpiku rais kikwete katika nafasi ya urais UNK bwana msekwa kwa kutoa maoni ambayo ni yake binafsi vikao ndivyo UNK dira ya nani atakuwa mbadala wa jk kwani uwezo sifa na vigezo vyote UNK nia na dhamana ya urais siyo ya kukurupuka na ndio maana sasa tupo wawili UNK alisema alisema kuwa mwalimu nyerere enzi za uhai wake alisema mtu yoyote anayetaka kugombea urais anapaswa kujitangaza mapema na ndio maana aliamua kufanya hivyo mapema alisema kwa sasa watu ambao wametangaza kuwania kiti hicho ni yeye na rais kikwete nasisitiza kama kuna mtu mwenye uwezo na shabaha ajitokeze na UNK na siyo mtu aje kuotea kwenye mpira wa kuvizia watuache mimi na jk ndio tulio na uwezo wa kujipima ubavu alisema bwana shibuda na kuongeza bwana msekwa ni refarii anaanza kunipa red card mapema kabla UNK mpira wenyewe kauli yake inanipa shaka kuwa anaweza UNK haki katika vikao vya kupendekeza wagombea kwa sababu yeye ndiye msimamizi mkuu alisema bwana shibuda alisema anamshangaa ni kwa bwana msekwa UNK mapema na kwamba inawezekana ana wasiwasi nafasi yake ya makamu mwenyekiti wa ccm UNK pindi akichaguliwa kuwa rais napenda UNK wasiwasi kuwa UNK UNK haki nikiwa kama rais na mwenyekiti wa ccm hivyo UNK aondoe wasiwasi ila kwa wale UNK nafasi zisizo na wajibu wa dhamana UNK UNK huruma alisema alisisitiza kuwa bwana msekwa asianze kumuonesha kadi nyekundu kwani yeye ni mcheza mpira asubiri dakika tisini za mchezo na siyo kuanza kumuonesha red UNK alibainisha kuwa hadi sasa wagombea UNK ni wawili na kutaka wengine wanaotaka kuwania kiti hicho UNK na siyo kuzungumza UNK bwana shibuda alisema anashukuru ccm UNK lolote baya tangu atangaze nia yake ya kugombea ila anamshangaa refarii mkuu kuanza kutangaza matokeo ya mchezo kabla ya mpira kuwekwa uwanjani nampongeza katibu mkuu wa ccm UNK kimya na wengine wanatakiwa kumuiga kwani UNK kwa uamuzi wangu wa kutangaza kuwania kiti hicho alisema bwana shibuda na kuongeza ninachoomba ni jina langu lifikishwe katika vikao husika na UNK na UNK kwani mimi ni UNK jipya na nuru ya UNK kwa wanyonge ambayo ndiyo sera ya ccm aliishukuru ccm kwa UNK vyema kushika madaraka ya urais na kuwataka wanachama wa chama hicho kuwa makini ili UNK na kauli ambazo zimeanza kutolewa kuhusu baraza la mawaziri UNK UNK pindi akichaguliwa kushika wadhifa huo bwana shibuda alisema hiyo ni siri yake alisema kama mungu ameamua kwamba yeye ndiye atakayekuwa rais basi itakuwa hivyo na kama amempangia jk kuwa rais basi akishinda UNK mkono uteuzi huo alitoa mwito kwa wabunge UNK watu kwenda kugombea katika majimbo UNK kwa kuwa ni haki ya kila mtu mwenye uwezo kupeleka UNK wabunge ni lazima UNK ukomavu wa demokrasia ndani ya ccm alisema mwaka ishirini sifuri tano bwana shibuda alichukua fomu za kuomba kuwania nafasi hiyo kwa tiketi ya ccm lakini jina lake UNK kwenye vikao vya vyanzo vya ccm hivi karibuni alitangaza nia yake ya kuwania kiti hicho ndani ya ccm katika mahojiano hayo bwana msekwa alisisitiza kuwa rais kikwete ndiye mwenye sifa za kuendelea kuwa rais naye UNK likizo ya kustaafu kwa lazima utekelezaji wa richmond kujadiliwa leo wakati kamati ya bunge ya nishati na madini inakutana leo kujadili utekelezaji wa maazimio ya bunge kuhusu mkataba wa kifisadi wa richmond imebainika kuwa katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini bwana athur mwakapugi ambaye iliazimiwa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kushindwa kuishauri vizuri serikali ameanza likizo ya kustaafu kwa lazima kigogo huyo ni wa tatu kustaafu katika orodha ya watumishi wa umma UNK kwenye kamati teule ya bunge iliyochunguza mkataba huo UNK mwanasheria mkuu wa serikali bwana johnson mwanyika ambaye pia yuko likizo ya kustaafu akitarajia kukamilisha ngwe yake novemba sita mwaka huu mwingine UNK katika orodha hiyo ni aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha gray mgonja ambaye pia anakabiliwa na mashtaka ya matumizi mabaya ya ofisi habari za uhakika ambazo gazeti hili limezipata zimeeleza kuwa bwana mwakapugi ameshaanza likizo na anatarajia kustaafu januari mwakani habari hizo zimekuja wakati bunge UNK hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa na serikali UNK mapendekezo ya kamati teule ya bunge kwa sasa yupo likizo ya kustaafu atastaafu wowote kuanzia sasa kama sikosei itakuwa ni januari kilisema chanzo chetu cha habari kutoka wizara ya nishati na madini bwana mwakapugi anastaafu huku azimio la kumi na nne la bunge la kutaka achukuliwe hatua kali za kinidhamu kwa kuliingiza taifa kwa makusudi kwenye mkataba wa kampuni ya mfukoni likiwa UNK wengine waliopendekezwa kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu ni aliyekuwa katibu mkuu wizara ya fedha bwana gray mgonja na mwanasheria mkuu wa serikali bwana mwanyika bwana mwakapugi alikuwa kwenye kamati ya makatibu wakuu iliyoundwa na baraza la mawaziri UNK februari ishirini sifuri sita ikiwa na jukumu la kusimamia mchakato mzima wa zabuni ya richmond ili kuharakisha kazi hiyo serikali iliunda kamati ya wataalamu ili kuisaidia kwa karibu kamati ya makatibu wakuu watalaamu hao pia wanatakiwa kuchukuliwa hatua za kisheria katika kutekeleza pendekezo la kamati serikali UNK barua bwana mwakapugi kumtaka UNK katika maeneo ambayo kamati teule ya bunge iliyoongozwa na mbunge wa kyela daktari harrison mwakyembe ilibaini kuwa hakuzingatia maslahi ya taifa hatua hii imechukuliwa kwa kuzingatia sheria na kanuni za nidhamu katika utumishi wa umma na misingi ya kanuni asilia ya haki ya kusikilizwa kwanza kabla ya hatua nyingine kuchukuliwa alisema waziri mkuu bwana mizengo pinda wakati akieleza utekelezaji wa maazimio ya bungeni agosti mwaka jana bwana mwakapugi UNK maelezo yake kwa katibu mkuu kiongozi ambaye ndiye mamlaka yake ya nidhamu katika muda UNK baadhi ya maeneo ambayo bwana mwakapugi alitakiwa kujieleza ni kutozingatia maagizo ya baraza la mawaziri kuhusu suala la ununuzi wa mitambo ya umeme wa dharura kutozingatia ushauri wa kitaalamu uliotolewa na mamlaka ya udhibiti wa manunuzi ya umma kuhusu kufuata sheria ya manunuzi ya umma ya mwaka ishirini sifuri nne na kanuni zake za mwaka ishirini sifuri tano maeneo mengine ni UNK serikali ipasavyo kuhusu umuhimu wa kuifanyia uchunguzi zaidi kampuni ya richmond development company llc ili kujiridhisha na uwezo wake kifedha kiutendaji kiutaalamu na UNK ili kulinda maslahi ya taifa katika ripoti ya utekelezaji wa maazimio hayo iliyosomwa na naibu waziri wa nishati na madini bwana adam malima kwenye mkutano wa bunge uliopita alisema serikali UNK watendaji wake watendaji waliotajwa kuwajibishwa kwa mujibu wa kanuni namna arobaini na tisa ya sheria ya utumishi wa umma ya mwaka ishirini sifuri mbili ni pamoja na bwana UNK juhudi za gazeti hili kumpata bwana mwakapugi kuzungumzia suala hilo hazikuweza kuzaa matunda kamati ya nishati na madini inakutana leo kujadili utekelezaji wa mapendekezo ishirini na tatu ya richmond kabla ya kuwasilishwa katika kikao kijacho cha bunge na mwandishi wetu mfanyabiashara maarufu wa zanzibar na kada wa chama cha mapinduzi bwana mohamed raza naye UNK kwenye sakata la mafuta na kuhoji uhalali wa kuwa suala la muungano akizungumza dar es salaam jana bwana raza alikiri kuwa mafuta UNK katika orodha ya masuala ya muungano lakini alielezea wasiwasi kuwa UNK nje ya utaratibu kama mafuta yako ndani ya muungano UNK minutes na saini za wakuu UNK suala hilo kwenye muungano mimi kama raza nakuhakikishia hakuna minutes hizo alisema bwana raza alisema muungano wa tanganyika na zanzibar ulikuwa wa kuaminiana ambapo waasisi bwana julius nyerere na bwana abedi karume walifanya hivyo kwa maslahi ya pande zote mbili mfanyabiashara huyo alisema pande zote mbili za muungano lazima UNK UNK na UNK kwa zote zina haki sawa ndipo utakuwa wa kushikamana zaidi kusema mafuta ya zanzibar yawe ndani ya muungano halafu dhahabu na gesi isiwe kwenye muungano labda UNK minazi na UNK alisema mfanyabiashara huyo bwana raza alisema waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais bwana muhammed seif khatib alikosea kutoa tamko kuwa mafuta ni suala la muungano na badala yake alipaswa kwanza kuwasiliana na mwanasheria mkuu kuliko kuchukua ushabiki wa kisiasa alisema kwa vile suala hilo liko kwenye katiba angewasiliana kwanza na wanasheria wakuu wa tanzania na zanzibar ambao UNK kwa mtazamo wa kisheria katiba UNK kuwepo au kutokuwepo kwa muungano UNK hivyo suala la mafuta ni dogo kama watu watakaa na kuzungumza huku pande zote mbili zikiwa na haki sawa kwani wakati UNK kila moja ilikuwa ni nchi huru alisema alisema wanaoweza kuondosha kero za muungano ni marais na marais wastaafu wa pande zote mbili kwa vile kamati zote zilizoundwa UNK hadi miaka kumi sifuri ijayo kwa sababu haziwezi kwenda ndani ya misingi ya muungano nawaambia viongozi waandamizi huwezi kuziba pua UNK pumzi itokee masikioni ili watanzania waweze kushikamana zaidi kwa nini UNK mkataba wa muungano wetu kuna siri gani alihoji bwana raza wafanyakazi wawili wa kampuni ya ujenzi ya UNK inayotengeneza barabara ya mkuranga UNK UNK kwa moto hadi majivu baada ya gari UNK kugonga mti na kulipuka tukio hilo lilitokea juzi mchana eneo la kurungu mkoani pwani wakati wafanyakazi hao wakirejea katika kituo chao cha kazi wafanyakazi waliokufa wametajwa kuwa ni dereva aliyekuwa akiendesha gari hilo aina ya toyota corolla namba t mia tano na arobaini na moja UNK aliyejulikana kwa jina moja la charles na meneja mradi william UNK pia katika ajali hiyo mtu mwingine aliyetajwa kwa jina martine samweli alijeruhiwa vibaya na amelazwa katika hospitali ya temeke dar es salaam baadhi ya watu walioshuhudia tukio hilo wamedai kuwa marehemu hao wakiwa na mwenzao mmoja walionekana wakinywa pombe katika baa ya dream na baadaye kuhamia baa nyingine ya UNK na kuendelea kunywa watoa habari hao walieleza kuwa ilipofika saa sita thebathini mchana waliondoka kwenye baa hiyo ili kuelekea katika kituo chao cha kazi chanzo hicho kilieleza kuwa ndani ya gari hilo walikuwa UNK madumu ya petroli waliyokuwa wakipeleka kazini kwao baada ya kupita eneo la kilima cha kurungu kwa karibu mita kumi sifuri gari hilo liliyumba na UNK UNK na kisha kulipuka moto watu walifanikiwa kuokoa mtu mmoja lakini meneja wa mradi na dereva UNK ndani ya gari na kubaki majivu kilisema chanzo chetu cha habari UNK UNK majivu na mifupa iliyokuwa kwenye kiti cha dereva UNK pamoja na mengine sehemu yake kwa kuwa hatukuwa na namna nyingine alisema mmoja wa UNK habari zilisema kuwa majeruhi katika ajali hiyo atakuwa amepata majeraha kichwani kwani baada ya kutolewa ndani ya gari alikuwa akitokwa damu puani na UNK sifuri ni hiyo ni ajali ya tatu ya magari kuungua moto wilayani humo na tukio la kwanza lilitokea aprili mwaka huu na lingine wiki mbili zilizopita kamanda wa polisi mkoani pwani UNK mwakyoma amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lakini hakuweza kuzungumzia kiundani kutokana na kuwepo kwenye UNK baadhi ya wajumbe katika mkutano unaofanyika leo nchini ufaransa kujadili maendeleo ya utafiti wa chanjo ya virusi vya ukimwi wameonesha matumaini makubwa kuhusu matokeo ya chanjo yaliyotolewa hivi karibuni na chuo kikuu cha afya na sayansi muhimbili kuwa yana ubora kuliko yale yaliyofikiwa nchini thailand wakizungumza na vyombo vya habari nchini humo UNK kuwa matokeo hayo UNK kwa watu sitini yanaweza kusaidia kuzuia maambukizi ya hiv kwa asilimia hamsini wakati chanjo UNK thailand kwa watu kumi na sita sifuri sifuri sifuri ilifanikiwa kwa asilimia thebathini tu utafiti UNK na wataalamu hao unafanyika muhas kwa msaada wa shirika la maendeleo la kimataifa la sweden tuna matumaini kwamba chanjo hiyo nchini tanzania inaweza kuongeza usalama katika UNK kwa asilimia hamsini alisema profesa UNK UNK kutoka taasisi ya UNK iliyopo nchini ufaransa chanjo hiyo iitwayo UNK UNK kwa askari polisi sitini mwaka ishirini sifuri saba na matokeo yake yakawa mazuri katika mkutano huo wataalamu mbalimbali watapata fursa ya kuuliza na kufafanua baadhi ya mambo ikiwa ni pamoja na mjadala kuhusu udhaifu wa chanjo ya hiv ya nchini thailand hata hivyo baadhi ya wataalamu wamekataa kutoa tathmini yao kuhusu chanjo hiyo mpaka watakapopata maelezo ya kina na kuona matokeo yake tunahitaji kupata taarifa kamili za utekelezwaji wake na kisha tuanze kujadili na UNK alisema daktari alan UNK ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa shirikisho la chanjo ya hiv duniani aliongeza kuwa tunakutana katika mkutano muhimu wa kujadili UNK hii kwa sasa utafiti wa chanjo ya hiv unaonekana kwenda haraka sana kuliko nyakati zote za awali kwa miaka ishirini na sita iliyopita hata hivyo bwana UNK UNK anayeshughulikia kitengo cha kupambana na hiv na malaria nchini humo alionesha wasiwasi wa mataifa husika kutokuwa na uwezo wa kuchangia mfuko wa kimataifa wa programu ya ukimwi hasa baada ya mtikisiko wa uchumi kutokea mtikisiko wa uchumi kwa kiwango fulani umeathiri na utaendelea kusababisha wadau wakuu kushindwa kuchangia maendeleo ya mfuko huo wakati wataalamu hao UNK chanjo hiyo baadhi ya watu wanasema kutangazwa kwa chanjo hiyo katika hatua za awali kunaweza kusababisha UNK la maambukizi kutokana na watu kushawishika kufanya ngono zaidi vile vile waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bwana philip marmo juzi alitoa onyo kali kwa wanaotangaza matokeo ya chanjo hiyo bila kibali cha wizara ya afya na ustawi wa jamii na tume ya sayansi watu wasiojulikana wamevamia nyumba ya bibi muhoja kulwa mkazi wa sweya nyegezi mtaa wa silivia wakimtuhumu kuwa ndiye alihusika kumficha binti ambaye anadaiwa kufariki dunia mwaka ishirini sifuri tano na baadaye kupatikana akiwa hai mapema wiki iliyopita tukio hilo limekuja wakati biti huyo anayesadikiwa kuwa ni bibi juliana gembe akiwa amelazwa katika hospitali ya rufaa bugando kwa ajili ya uchunguzi wa akili huku ikifanyika mipango ya kuchukua vipimo vya dna kwa lengo la kubaini kuwa ana uhusiano na mama anayedai ni mzazi wake lakini wakati vipimo hivyo vya kitaalamu UNK imani potofu za wenyeji wa eneo hilo UNK kuwa huenda tukio ni la kishirikina na UNK UNK hilo bibi kulwa kuwa ndiye mhusika bibi kulwa alisema kuwa ijumaa iliyopita sasa kumi usiku watu wasiojulikana walifika katika nyumba yake na kubomoa dirisha la chumba UNK na kutoa vitisho kwamba wanataka kumkata mapanga kutokana na kifo cha kutatanisha cha bibi gembe na baadaye kupatikana hivi karibuni akiwa hai lakini UNK alisimulia kuwa watu hao ambao alidai huenda wamo katika ukoo wake UNK mlango wa mbele huku wakiwa UNK mapanga katika mlango wake na kutoa vitisho zaidi kuwa wana lengo la kumjeruhi kwa UNK UNK bibi kulwa alidai kuwa kutokana na sauti alizokuwa anasikia kundi hilo UNK na mjomba wa bwana gembe alisema kuwa mbali ya kupiga kelele na filimbi kwa ajili ya kuomba msaada kutoka kwa majirani hakuna mtu aliyejitokeza ili kusaidia kuokoa maisha yake hata hivyo mume wa mama huyo bwana mashindano njashi alisema kuwa tangu aishi na mke huyo hajawahi kusikia kuwa alikuwa UNK na vitendo vya ushirikina huyo binti ni mjukuu wangu na wala siwezi kukubali kuona mke wangu ambaye ni bibi yake wa UNK anamfanyia vitendo vya ushirikina huo ni uzushi ambao utaweza kuleta mfarakano miongoni mwa familia yetu alisema bwana njashi kwa uchungu balozi wa ccm shina nambari kumi na saba katika mtaa wa silivia alikiri kupokea malalamiko kutoka kwa bibi kulwa na kuongeza kuwa yeye alichofanya ni kumwandikia barua ya malalamiko na kumshauri kwenda kituo cha polisi cha igogo kwa UNK hata hivyo bibi kulwa alipofika katika kituo hicho aliambiwa UNK shilingi kumi sifuri sifuri sifuri kwa ajili ya petroli ya gari la polisi na hakuweza kuzitoa kwa wakati huo na hivyo hakupata msaada hadi juzi majira ilipofika katika eneo la tukio polisi walikuwa hawajafika kunusuru maisha ya bibi kulwa anayeishi kwa mashaka ofisa mmoja wa polisi kituo cha igogo ambaye hakupenda jina lake UNK gazetini kwa kuwa kuwa siyo msemaji alikiri kupokewa malalamiko ya bibi kulwa na kuwa bado wanajitahidi ili kufika katika eneo hilo kufanya uchunguzi zaidi bila kufafanua kama kweli fedha zilidaiwa au vinginevyo mahakama ya wilaya ya temeke imewahukumu kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri kila mmoja washitakiwa watatu baada ya kuwatia hatiani kwa makosa matatu likiwemo la kutengeneza pombe haramu kwa kutumia nembo ya konyagi katika hukumu yake hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya temeke bibi hellen riwa alisema mahakama imeridhika kuwa washtakiwa hao wamepatikana na hatia ya kutenda makosa matatu alisema washtakiwa hao UNK UNK mohamed rashid na aden karim wamekutwa na makosa ya kutengeneza pombe ya konyagi bandia kutumia nembo ya konyagi kwa nia ya kuziuza na kupatikana na mali ya wizi kinyume cha sheria hakimu riwa alisema kutokana na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka uliongozwa na mrakibu wa polisi bwana basil pandisha washtakiwa hao walihusika katika kosa hilo hivyo wanastahili adhabu kali alisema kutokana na makosa hayo aliwahukumu kwenda jela miaka tano au kulipa faini ya shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri kila mmoja washtakiwa hao walikamatwa na jeshi la polisi septemba saba mwaka jana katika eneo la makangarawe temeke UNK pombe na kuweka nembo ya konyagi na nembo ya mamlaka ya kodi ya mapato tanzania kwa nia ya UNK washtakiwa hao kwa pamoja UNK faini ya shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri kila mmoja na kuachiwa huru wakati kampuni ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ya songas imetangaza UNK kwa jenereta ya megawati ishirini keshokutwa serikali imeelezwa kuwa haiwezi kujivua lawama kutokana na uzembe uliosababisha nchi kuwa na magawo umeme kwa kipindi kirefu kauli hiyo ya UNK lawama serikali imetolewa na mbunge wa tabora mjini bwana siraji kaboyonga muda mfupi baada ya mwanasheria wa kampuni songas bwana reuben UNK UNK kamati ya bunge nishati na madini kuwa kuna uwezekano mkubwa megawati ishirini kurejea kwenye gridi ya taifa ingawa haziwezi kuleta unafuu mkubwa akizungumza na waandishi wa habari ofisi ndogo za bunge dar es salaam jana mbunge wa tabora mjini bwana kaboyonga ilisema lawama zozote zinazotolewa na kuhusu magawo huo zinapaswa kuelekezwa serikalia kuu na wala si kwa shirika la umeme tanzania kama ilivyo sasa UNK kumi sifuri kwa shirika hilo bwana kaboyonga alisema wananchi wamechoshwa na majibu na sababu nyepesi katika masuala ya msingi kama nishati ya umeme na kuitaka serikali kuwa na mipango ya muda mrefu badala ya hii ya muda mfupi ambayo UNK serikali na wananchi kila mwaka tunapaswa kuwa na mipango ya muda mrefu UNK na UNK za dharura kila mwaka suala la upungua kwa kina cha maji si la dharura serikali ilipaswa kuwa na ufumbuzi tayari sielewi ni kwanini inashindwa kuona mbali alisema bwana UNK alisema kuwa wataalamu kutoka katika shirika hilo walitoa tahadhari mapema lakini serikali ilizembea na kushindwa kuzingatia ushauri huo badala yake sasa inafanya mambo ya zimamoto alisema serikali inapaswa kuweka mikakati ya kudumu na madhubuti katika suala zima la kuzalisha nishati ya umeme kwani kushindwa kufanya hivyo taifa litaendelea kuingia hasara kubwa na kushusha pato la nchi alisema tanesco kwa sasa UNK na inahitajika igawanywe katika sekta tatu sekta ya uzalishaji usafirishaji na usambazaji na kila sekta ijitegemee ili kuboresha ufanisi kama UNK waandishi kampuni hizi nyingi zimekuja kwa maelezo kuwa UNK umeme wa dharula tulitegemea kuwa wakati vina vya maji katika mabwawa yetu UNK basi umeme huu utumike sasa huu mgao unatoka wapi aliuliza bwana kaboyonga alisema sheria ya ewura inaruhusu uzalishaji wa umeme wa jenereta binafsi hivyo kuitaka serikali kuondoa ukiritimba katika suala la nishati ya umeme kwa kuruhusu uzalishaji binafsi wa umeme bwana kaboyonga ilisema kama suala hili lingetokea nchi za ulaya ilikuwa inatosha kwa wahusika kuwajibika kwa kujiuzuru na kushauri tamaduni hizo za uwajibikaji kuigwa na watanzania ili kuonesha uzalendo na UNK na uzembe mfanyabiashara maarufu bwana mohamed raza na ametahadharisha kuwa dodoma kamwe isiwe machinjio ya wazanzibar wanaoshinikiza umiliki wa mafuta ya zanzibar na kwamba hakuna mwanachama atakayefukuzwa ndani ya ccm kutokana na msimamo huo akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana bwana raza alisema inashangaza kuona mafuta ya zanzibar UNK ya muungano wakati gesi asilia dhahabu na mafuta yaliyopo upande wa bara yanabaki kuwa ya UNK kauli ya bwana raza inakuja huku kamati ya iliyoundwa mjini dodoma na halmashauri kuu ya ccm inaendelea kuchunguza sababu za kauli za mfarakano zinazotolewa na wajumbe wa baraza la wawakilishi zikiwamo zinazohusiana na mafuta pamoja na hadhi ya zanzibar kama nchi au la mji wa dodoma una historia ya kuwa mchungu kwa wazanzibari kwani maamuzi ya vikao vya ccm yamekuwa UNK viongozi wengi akiwamo aliyekuwa rais wa visiwa hivyo aboud jumbe waziri kiongozi maalim seif sharif hamad na kufuta ndoto za rais mstaafu salmin amour kutaka kujiongezea kipindi cha kuwa madarakani ili tujenge mawasiliano mema ni lazima uamuzi ya baraza mapinduzi kuwa mafuta siyo ya muungano uheshimiwe na dodoma kamwe isiwe machinjio ya wazanzibar alisema bwana raza alisema hata mtu ambaye haoni wala kusikia hawezi kukubali gesi asilia mafuta na dhahabu zilizopo upande wa bara yasiwe kwenye muungano lakini mafuta ya zanzibar yawe ya muungano hii UNK hoja vinginevyo UNK mgogoro wa kikatiba na siyo kutaka UNK watu katika kipindi hiki alisema bwana raza alisisitiza kuwa suala la mafuta halina mjadala kwa sababu uamuzi uliotolewa ulikuwa ni kwa maslahi ya wazanzibar alisema inashangaza kuona suala la mafuta linafanywa ni la chama wakati baraza la mapinduzi na wawakilishi wote wakiwemo ya ccm na cuf UNK suala hilo kuwa ni la wazanzibar nadhani umefika wakati kama suala hili limekuwa la muungano basi tuoneshwe UNK za vikao UNK kuwa mafuta ya zanzibar yawe ya muungano na tuoneshwe sahihi za rais UNK jambo hili alisema bwana raza alisema masuala yote yanayotokana na katiba pande zote mbili za muungano zinatakiwa kukaa na kuamua kwa pamoja hiyo ndiyo itaondoa fitina kama UNK hivyo hata kamati ya mwinyi UNK alisema bwana raza na kuongeza UNK mimi raza mafuta ya muungano lakini gesi asilia na dhahabu siyo ya muungano naona hakuna ccm zanzibar katika kipindi hiki UNK UNK alisema matamshi yaliyotolewa bungeni na katika baraza la wawakilishi ambayo UNK kamati yametolewa na wana ccm wenyewe tena ambao ni wajumbe wa kamati kuu na halmashauri kuu ya taifa hivyo inaonesha wazi kuwa kuna tatizo alisisitiza kuwa suala la uchumi halipo kwenye muungano bunge halina mamlaka ya kuliambia baraza la wawakilishi nini lifanye hata wawakilishi hawana ubavu huo alisema na kuongeza kuwa tukijenga mawasiliano mema uamuzi wa baraza la mapinduzi kuwa mafuta siyo ya muungano UNK alisema pande zote mbili UNK jamhuri ya muungano zina nguvu sawa hivyo kinachotakiwa ni viongozi UNK alikuwa UNK amchome sindano daktari wa hospitali ya mkoa wa rukwa iliyopo mjini hapa daktari UNK UNK UNK kisu tumboni na mgonjwa wakati akijaribu kumshawishi amchome sindano tukio hilo lilitokea jana saa kumi na mbili asubuhi katika wodi namba tatu ambapo kwa mujibu wa mashuhuda daktari huyo aliyekuwa zamu ya usiku alifika katika kitanda cha bwana UNK UNK ili ampe huduma hiyo walisema mgonjwa huyo alimwambia daktari kuwa UNK huduma yoyote kutoka kwake na daktari huyo akiwa katika harakati za kumshawishi ndipo mgonjwa huyo UNK kisu chini ya godoro na kumchoma daktari huyo tumboni mganga mkuu wa hospitali hiyo daktari UNK UNK alisema daktari huyo ameshonwa tumboni na kuruhusiwa kurudi nyumbani kwa mapumziko ambapo hali yake inaendelea vizuri alisema kuwa tukio hilo la aina yake ni la kwanza kutokea katika hospitali hiyo na kuwataka wauguzi na madaktari wa hospitali hiyo kuwa makini wakati UNK wagonjwa kwa upande wake kamanda wa polisi mkoa wa rukwa bwana isunto mantage alisema kufuati tukio hilo UNK chini ya ulinzi mgonjwa huyo na kwa uangalizi maalumu alisema lengo ni kuhakikisha hawezi kuwadhuru madaktari wengine na wagonjwa wenzake waliolazwa katika wodi hiyo UNK wagonjwa wa majeraha mwanyika mgonja mwakapugi UNK wasomi wanasiasa wataka hatua zaidi wadai kikwete anashindwa kuchukua hatua kustaafu kwa baadhi ya vigogo wa serikali UNK kuhusika kwa namna moja au nyingine na kashfa ya zabuni ni mitambo ya umeme wa dharura ya richmond UNK maswali ya wasomi wanasiasa na wabunge huku wakipendekeza hatua zaidi dhidi yao zichukuliwe pia wasomi hao waliozungumza na majira wamesema kuwa kushindwa kuwachukulia hatua kama serikali ilivyoagizwa na bunge kunasababishwa na rais jakaya kikwete kutokuwa na misimamo katika uamuzi wake kauli hizo zimetolewa kwa nyakati tofauti jana dar es salaam na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa nchini wakati walipokuwa wakizungumzia kustaafu kwa katibu mkuu wa nishati na madini bwana arthur mwakapugi johnson mwanyika na gray mgonjwa ambao iliazimiwa na bunge wachukuliwe hatua za kinidhamu kwa kushindwa kuishauri vizuri serikali kuhusu mkataba wa kifisadi wa richmond mbunge wa karatu daktari UNK slaa alisema kuwa matatizo yanayojitokeza ni kutokana na nchi kutokuwa na maamuzi na kwamba hakuna kiongozi UNK maamuzi kikwete mwenyewe UNK maamuzi ndio maana nchi UNK nchi hii viongozi hawana maadili mema na ndio maana mambo yanakwenda kinyume kuna watu UNK kwamba UNK nchi vizuri ili waweze kulindwa matokeo yake ndio haya tunayaona nchi kuingia gizani alisema daktari slaa alisema kuwa aliyekuwa katibu mkuu wizara ya fedha bwana gray mgonja UNK na kupewa haki zake zote wakati UNK serikali hasara ya mabilioni ya fedha na mwakapugi naye UNK na kupewa haki zake zote na inawezekana baadaye UNK mahakamani kwa UNK tu hakuna hatua zozote UNK ninachosisitiza hapa ni kwamba nchi inazidi kuporomoka kutokana na kulindana alisema alisema kuwa UNK nchi ni watanzania ambao UNK upuuzi unaoendelea kwa kuchukua hatua mwakani ili kuhakikisha kuwa UNK tena rais kikwete daktari slaa alisema bunge UNK tangu mwaka ishirini sifuri saba viongozi wote waliotajwa katika kamati teule ya bunge iliyochunguza mkataba wa kifisadi wa richmond kuchukuliwa hatua lakini UNK kabla ya kuchukuliwa hatua inaonyesha ni jinsi gani watu wanakwenda kinyume na taratibu za bunge hata rais mwenyewe hana mamlaka ya kwenda kinyume na bunge lakini tunashangaa anaingilia alisema kwa upande wake mwenyekiti wa chama cha wananchi professa ibrahim lipumba alisema kuwa matatizo yanayojitokeza yanatokana na rais kikwete kutokuwa makini katika uongozi wake bwana mwakapugi hana tatizo kwa sababu yeye alikuwa akitekeleza matakwa ya rais anayeongoza baraza la mawaziri na ndio maana anastaafu bila kuchukuliwa hatua yoyote kutokana na rais kuwa mhusika mkuu wa richmond alisema alisema kuwa mtu anayetakiwa kuwajibishwa kwa misukosuko yote UNK nchi hususani katika suala la kuingiza nchi gizani ni rais kikwete pekee na wala si vinginevyo akizungumzia suala hilo wakili wa kujitegemea bwana theonest rutashoborwa alisema inashangaza watuhumiwa kustaafu na kulipwa mafao yao yote alisema kustaafu ni sehemu ya kutambua utumishi mwema wa mfanyakazi ndio sababu analipwa mafao yake mtuhumiwa UNK maana yake hajapewa adhabu kumlipa mafao mtuhumiwa ni kumwonesha kwamba hana tuhuma kitendo hicho UNK umma wa watanzania alisema bwana rutashoborwa alisema hatua hiyo imekiuka katiba na sheria ya nchi kwa kuwa mafao ya watuhumiwa hao yanatakiwa UNK hadi uchunguzi na hatua zinazostahili zichukuliwe dhidi yao naye wakili damas ndumbaro alisema kama muda wa kustaafu umefika ni lazima wastaafu hata kama wanakabiliwa na tuhuma za jinai alisema kustaafu inawezekana ingawa ni njia moja wapo ya kukwepa tuhuma hizo lakini UNK kwani sheria UNK huko huko alipo na kushitakiwa kama inaonekana kuna haja ya kufanya hivyo hata kama mtuhumiwa akiamua kuacha kazi mwenyewe hiyo UNK kosa la jinai UNK na sheria itachukua mkondo wake alisema vyama viwili vya upinzani jana UNK kwa nyakati tofauti kuchezewa rafu katika kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zinazoendelea nchini kote cha kwanza kutoa malalamiko hayo kilikuwa chama cha wananchi ambacho kilitangaza kutokuwa na imani na mchakato wa uchaguzi kwa madai kuwa umegubikwa na mizengwe mwenyekiti wa cuf profesa ibrahimu lipumba alisema karatasi za kupigia kura tayari UNK mitaani hali inayozua wasiwasi kuwa matokeo huenda UNK kabla ya uchaguzi kufanyika karatasi za kupigia kura hizi hapa UNK mitaani kwa hiyo watu wanaweza kupiga kura wakati tayari masanduku yenye kura tofauti UNK alisema pia aliongeza kuwa wagombea wa cuf wamewekewa pingamizi na kusababisha maeneo mengi wagombea wa ccm kupita bila kupingwa mfano wilaya ya handeni tanga wagombea wa cuf katika vijiji kumi nne UNK kugombea kwa madai kuwa fomu zao zimedhaminiwa na kata na ilitakiwa kudhaminiwa na ngazi ya chini lakini wakati huo huo wagombea wa ccm UNK na ofisi zao za kata wameruhusiwa kuendelea kugombea tabora nako hivyo hivyo alisema lakini malalamiko UNK UNK mbali na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bibi celina kombani aliyesema kuwa hafahamu karatasi za kupigia kura profesa lipumba UNK wapi kwani karatasi zinatengenezwa na nembo ya halmashauri husika na mpiga kura lazima ahakikishe karatasi UNK kura ina nembo ya halmashauri yake hakuna UNK matokeo labda hiyo kazi ifanywe na hao cuf kwa sababu siku ya kupiga kura majina ya watu wote waliojiandikisha na ya wagombea UNK katika vituo vya kupigia kura kwa upande wake chama cha nccr mageuzi UNK ccm wilaya ya ngara mkoani kagera kwa kutaka mtendaji wa kata UNK bwana abdul ngangula kuhamishwa kituo cha kazi kwa tuhuma za kupigia kampeni chama hicho mkuu wa idara ya sheria na haki za binadamu wa UNK r daktari sengondo mvungi alisema kuwa barua hiyo ilidai kuwa mtendaji huyo akiendelea kukaa kijijini hapo UNK chama tawala mbali na hayo barua hiyo ilidai kuwa bwana ngangula alitakiwa kuhamishwa katika kata hiyo kwa kuwa uchaguzi wa jumapili UNK ukweli kuwa mtendaji huyo anajihusisha na masuala ya siasa kinyume cha waraka wa mkuu wa utumishi wa umma vyama vyote vilivyosajiliwa vina haki ya kusaidiwa na watendaji na hakuna chama kilicho na mamlaka ya kumkatalia mtendaji kuwasaidia wananchi wake alisema daktari mvungi sakata la mbunge kishapu mkoani shinyanga bwana fred mpendazoe limechukua sura mpya baada kukataa kutoa maelezo yake polisi akitaka kwanza apate wakili UNK kufuatia kitendo hicho polisi wamempa siku mbili kuteua wakili atakayemsaidia kujibu hoja dhidi ya tuhuma za kumpiga kada mmoja wa ccm zinazomkabili katika kesi hiyo inayofanana na ile inayomkabili mbunge wa simanjiro bwana christopher ole sendeka ya kumpiga mwenyekiti wa umoja wa vijana mkoani arusha james ole millya mbunge huyo wa kishapu anatuhumiwa kumshambulia bwana abdulkadir mohamedi ambaye pia ni kada wa ccm wilayani humo bwana sendeka katika kesi yake inayoendelea mkoani arusha na kuvuta hisia za watu wengi hasa wanasiasa mbali na kudaiwa kumpiga kibao bwana ole millya pia anatuhumiwa kumtishia kwa bastola jambo ambalo pia UNK kwenye kesi ya bwana mpendazoe wabunge hao wawili wamo kwenye kundi moja la wanaojipambanua kuwa UNK wa mbele katika mapambano dhidi ya ufisadi kamanda wa polisi mkoa wa shinyanga bwana daudi siasi aliwaeleza waandishi wa habari mjini hapa kuwa baada ya mbunge huyo kutoa maelezo akiwa na wakili wake atafikishwa mahakamani kujibu mashitaka dhidi yake kamanda siasi alisema kwa mujibu wa sheria za nchi hairuhusiwi kwa mtu ye yote anayemiliki silaha ya moto kumtishia mtu mwingine na kwamba iwapo UNK sheria itachukua mkondo wake mbunge huyo anadaiwa kumshambulia kwa kumpiga makofi bwana mohamedi UNK nguo aliyokuwa UNK na kumtisha kwa bastola mambo ambayo tayari mbunge huyo amekanusha vikali kuwa ni uongo dhidi yake wenye lengo la kutaka kumchafua kisiasa waziri mkuu bwana mizengo pinda amezindua maonyesho ya asali na kutangaza nia yake ya kuhakikisha kila kaya ina mzinga wa nyuki nitahakikisha kila kaya inakuwa na mzinga wa nyuki ili kuona umuhimu wake na matumizi ya ufugaji hivyo ni vema kila mtu akaona umuhimu wa kuwa na mizinga ya nyuki kwani asali ni dawa asali ni chakula na asali ni mali alisema bwana pinda pia amezitaka taasisi zinazoshughulikia ubora wa viwango mamlaka ya chakula na dawa na shirika la viwango tanzania UNK mbinu mbadala ili kuiwezesha asali ya tanzania ikubalike kimataifa kauli hizo alizitoa jana dar es salaam wakati wa uzinduzi wa maonesho ya tatu ya kitaifa ya asali ambako UNK wizara ya maliasili na utalii kusimamia vizuri sekta hiyo kwa kuweka mikakati ya na kuwasaidia wazalishaji wa mazao ya nyuki alisema serikali imeandaa mazingira mazuri kwa kuhakikisha kuwa kuna sera na sheria kuhusu ufugaji nyuki na kuendeleza sekta hiyo ili iwe endelevu shirikisho la wenye viwanda tanzania limeonya kuwa endapo mgawo wa umeme utaendelea hadi mwishoni mwa oktoba mwaka huu viwanda nchini UNK UNK kwa asilimia kumi hadi kumi na tano na kupoteza ajira za wafanyakazi wasio wa kudumu kwa asilimia ishirini angalizo hilo lilitolewa dar es salaam jana na mkurugenzi wa sera na ushawishi wa cti bwana hussein kamote wakati akizungumza na majira juu ya athari za mgawo wa umeme katika sekta ya viwanda nchini hali hiyo inafuatia mgao wa umeme UNK kutokana na kuharibika mitambo ya songas UNK na hale na kusababisha mgao umeme wa kuanzia saa kumi na nne na kuendelea kila siku bwana kamote alibainisha pia kuwa mapato ya serikali UNK kwa asilimia kumi na tano kutokana na mgao huo unaosababisha kushuka kwa uzalishaji viwandani mgawo wa umeme kwa mwaka huu haukuwa wa lazima kama serikali ingechukua tahadhari mapema kuhakikisha kuwa umeme uliokuwa umepungua wa megawati themanini katika grid ya taifa unapatikana ufumbuzi alisema bwana kamote alifafanua kuwa kuna njia nyingi za kukabiliana na mgawo wa umeme katika kipindi hiki kama serikali ingefanya mipango ya haraka ya kutumia UNK kubwa za kuzalisha umeme zilizokuwa zikitumika katika migodi ya UNK na buzwagi kabla ya kuanza kutumia umeme wa grid ya taifa UNK haya yanaweza kutumika kuzalisha umeme na kuingizwa katika gridi ya taifa ili kupunguza upungufu ya megawati themanini alisema bwana kamote ameitaka serikali kuwapunguzia kodi ya mafuta kwa wenye viwanda nchini ambao wanatumia jenereta katika uzalishaji kwa kipindi hiki cha mgao ili kuzuia kushuka kwa uzalishaji bwana kamote alisema kwamba jitihada zinatakiwa ili kuondokana na mgawo wakati nchi ikiingia katika soko la pamoja katika shirikisho la afrika mashariki ili kutoa ushindani wa kibiashara tanzania ina uwezo mkubwa wa kiushindani katika shirikisho hilo lakini ikiwa tatizo la umeme nchini UNK tanzania itakuwa soko la bidhaa za nje alisisitiza alisema kuna hatari pia ya kupoteza soko la bidhaa zinazozalishwa nchini kutokana na walaji kuzoea bidhaa za nje na hivyo kuwa vigumu UNK polisi mkoani manyara wanamshikilia bwana UNK shauri kwa kosa la kumkeketa binti yake UNK daniel na kumsababishia kifo mtoto huyo UNK oktoba kumi na moja mwaka huu na kuendelea kuvuja damu sehemu za siri hadi oktoba kumi na nane alipofariki dunia kamanda wa polisi mkoa wa manyara parmena sumary alisema kuwa tukio hilo lilitokea siku hiyo saa kumi sifuri sifuri jioni katika kijiji cha UNK wilayani UNK kamanda sumary alisema kabla ya kifo chake mtoto huyo alikuwa akiishi na mtuhumiwa baada ya mama yake mzazi bibi UNK daniel kupata kichaa na kumtelekeza akiwa mdogo kutokana na hali hiyo mtoto huyo alikosa afya na kupata na homa za mara kwa mara kwa sababu ya kukosa maziwa ya mama hali iliyosababisha wazazi wa mtuhumiwa kushauri UNK ili kuondokana na matatizo hayo kamanda alisema kuwa mtuhumiwa alitekeleza ushauri potofu wa wazazi wake lakini alishangazwa na hali ya mtoto huyo kuendelea kuwa mbaya hadi alipofariki dunia kwa kupoteza damu nyingi baada ya kifo hicho kutokea mtuhumiwa alitaka kuuzika mwili wa mtoto huyo bila ya watu kujua lakini wasamaria alitoa taarifa kwa mtendaji wa kijiji hicho UNK UNK ambaye alifika nyumbani kwa mtuhumiwa na kukuta maandalizi ya mazishi na kuwaamuru kusimamisha shughuli hiyo hadi hatua za kisheria UNK baada ya UNK hiyo mwili huo ulichukuliwa hadi hospitali ya wilaya ya babati kwa uchunguzi zaidi na ndipo iligundulika kuwa marehemu alipatwa na mauti hayo baada ya UNK na kuvuja damu nyingi kwa mujibu wa kamanda huyo UNK aliyehusika kumkeketa mtoto huyo mama UNK alitoroka baada ya hali ya mtoto inakuwa mbaya na polisi wanaendelea kumsaka kujibu shtaka hilo mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi nyawilimilwa wilayani geita mwanza mwenye ulemavu wa ngozi gasper elikana ameuawa kwa kukatwa shingo na mguu wake kunyofolewa mbali na kumuua albino huyo saa mbili thebathini usiku juzi wauaji hao walimjeruhi vibaya kwa mapanga baba yake mzazi elikana UNK kufuatia tukio hilo jeshi la polisi limetangaza zawadi ya shilingi moja sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri kwa yeyote UNK taarifa za kukamatwa kwa wahusika kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoani mwanza bwana elias kalinga alipozungumza na majira jana jioni baada ya kufika eneo la tukio mkuu wa mkoa wa mwanza bwana abbas kandoro alisema kuwa alipokea taarifa za tukio hilo kwa masikitiko makubwa na kwamba kitendo hicho lazima UNK na kila mtanzania anayejali maisha ya binadamu wenzake bwana kandoro alisema utajiri haupatikani kwa kukata viungo vya albino bali ni watu kufanya kazi kwa bidii ili UNK maendeleo alisema kuwa serikali inatoa wito kwa jamii kutoa ulinzi kwa walemavu wa ngozi mkoani mwanza na si kuiachia serikali pekee katika mapambano dhidi ya watu wanaojihusisha na vitendo hivyo vya kinyama bwana kandoro alisema ameagiza timu maalumu kutoka mkoani mwanza ikiongozwa na bwana kalinga kwenda wilayani geita kufanya uchunguzi kuungana na kikosi kazi kinachoongozwa na mkuu wa wilaya ya geita bwana philemon UNK mganga mfawidhi wa hospitali ya wilaya ya geita daktari cassian kabuche alisema kuwa majeruhi ambaye amelazwa wodi namba nane hospitali hapo hali yake si ya kuridhisha kutokana na majeraha aliyopata kichwani alifikishwa hapa jana usiku akiwa hajitambui kiasi kwamba iwapo hali UNK hivyo hadi leo UNK katika hospitali ya rufaa bugando jijini mwanza lakini kutokana na juhudi UNK hali yake angalau inatia moyo kidogo alisema daktari UNK habari zilizopatikana kijijini hapo zinasema wauaji hao wakiwa na mapanga walifika nyumbani kwa bwana ngelela na kuanza kumshambulia kwa mapanga na kisha kumuua UNK mkazi wa kijiji hicho bwana UNK UNK alisema majirani walisikia kelele za kuomba msaada kutoka kwa mama wa mtoto huyo na walipofika walikuta wauaji UNK na mguu wa kulia wa mtoto huyo huku mwili wake ukiwa UNK UNK huku baba yake akiwa UNK baada ya kuona hali hiyo wakazi wa kijiji hicho walimchukua majeruhi na mwili wa marehemu hadi hospitali ya wilaya ya geita ambako maiti imehifadhiwa na majeruhi akiendelea na matibabu mwanasheria mkuu wa serikali UNK jana jaji fredrick werema amesema hatafanya kazi hiyo kwa kushinikizwa na mtu au umma bali kulingana taaluma yake jaji werema aliapishwa jana katika viwanja vya ikulu baada ya kuteuliwa na rais jakaya kikwete kushika nafasi iliyoachwa wazi na bwana johnson mwanyika UNK kwa lazima wengine UNK na rais kikwete ni naibu mwanasheria mkuu george UNK bwana david UNK bwana UNK UNK na bwana mbarak UNK mara baada ya kuapishwa kwake jaji werema UNK na waandishi wa habari na kuweka msimamo wake kuwa kufanya kazi kwa kufuata mtu au umma unavyosema ni kukiuka madili ya taaluma yake nitafanya kama nilivyoapa wengi UNK kwa hiyo kana nitafanya kinyume na nilivyoapa nitakuwa nimeingia katika maeneo mengine hilo hata UNK analifahamu alisema jaji werema jaji werema ambaye anashika kiti hicho huku UNK wake bwana mwanyika akituhumiwa kushindwa kuishauri serikali kuhusu mkataba wa kampuni ya kufua umeme ya richmond na UNK hasara taifa alikataa kabisa kuzungumzia jambo hilo na kuwaomba waandishi waliotaka kujua jambo hilo kuliacha kwani bado liko katika UNK wa kupata ukweli moja ya mambo UNK ni kuropoka na ni kosa kubwa kwa jaji kuropoka bila kufanya utafiti jaji UNK halafu jambo likaja kuwa siyo kuna madhara makubwa katika jamii hivyo naomba niingie ofisini kwanza nione ofisi ilivyo ndiyo UNK hayo mikataba ni mambo ya ofisi ya mwanasheria mkuu na katika ofisi yangu kuna wanasheria wa kutosha hivyo naamini nitafanya kazi zangu vizuri kulingana na katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ibara ya hamsini na tisa inavyosema alisema jaji werema akizungumzia ufisadi jaji werema alisema hawezi kuzungumzia suala hilo kuwa kuwa tayari liko katika mkono ya sheria na UNK maamuzi hivyo si vema kulizungumzia kwa sasa UNK mtu kuwa fisadi lazima uwe na ushahidi wa kutosha jamani UNK UNK kabla UNK hili UNK alisema jaji werema UNK waandishi kutoandika habari ambazo ziko mahakamani na bado hazijatolewa maamuzi kwani kwa kufanya hivyo kuingilia uhuru wa mahakama na zinatoa hisia tofauti kwa umma na kuonekana maamuzi yatakayotolewa na mahakama kuwa si sahihi bali yaliyoandikwa na kusemwa katika vyombo vya habari ndiyo sahihi jaji werema alizaliwa april kumi elfu moja na mia tisa na hamsini na nne na kusoma katika vyuo vikuu vya dar es salaam uingereza marekani italia ambako alisoma mambo ya mikataba na bolivia UNK mambo ya kuzalisha kuuza na kusambaza umeme serikali UNK kamati ya shellukindo yadai si busara kujadiliwa dar es salaam wabunge UNK tena kuitoa jasho bungeni mzimu wa kampuni tata ya richmond umezidi kuitesa serikali baada ya kushindwa kwa mara ya tatu kuwasilisha maelezo ya utekelezaji wa maazimio ya bunge kwenye kamati ya nishati na madini na kuhamishia mjadala huo mjini dodoma kwa mara ya tatu jana serikali ilitarajiwa kuwasilisha hatua ya mwisho ya utekelezaji wa maazimio ishirini na tatu ya bunge dhidi ya mkataba wa kitapeli wa richmond uliosababisha aliyekuwa waziri mkuu edward lowassa kujiuzulu lakini haikufanya hivyo wala kutoa sababu za kuhamishia mjadala huo dodoma waziri wa ni wabunge wapania kuitoa jasho UNK na madini bwana willliam ngeleja jana alifika mbele ya kamati hiyo lakini badala ya kutoa taarifa ya utekelezaji wa maazimio ya bunge kama ilivyotarajiwa aliiomba kamati UNK maelezo hayo kwenye mkutano wa bunge mjini dodoma badala ya dar es salaam hata hivyo bwana ngeleja hakuweza kutoa sababu za msingi kueleza ni kwanini hakutaka ripoti yake ijadiliwe na kamati hiyo dar es salaam kama ilivyokuwa taarifa za nyingine badala yake akasema tu serikali imeona ni busara taarifa hiyo ijadiliwe katika vikao vya bunge UNK jumanne ijayo mwenyekiti wa kamati hiyo bwana william shellukindo alisema haoni sababu ya kukataa ombi hilo hivyo kamati wakakubali maazimio hayo kujadiliwa mjini dodoma badala ya dar es salaam kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na ofisi ya bunge serikali ilitakiwa kuwasilisha taarifa hiyo oktoba sita UNK UNK oktoba ishirini na ishirini na moja pia UNK hadi jana UNK dodoma wachunguzi wa mambo wanasema kuwa serikali UNK kuwasilisha maelezo ya utekelezaji wa maazimio hayo kwa sababu za kiusalama jambo ambalo UNK hisia ya kuwepo kwa siri nzito huku wabunge wakipania kuitoa jasho ikiwa majibu UNK mkutano ujao wa bunge unatarajiwa kufunga jamvi la mjadala wa richmond kufuatia ahadi ya rais jakaya kikwete aliyotoa hivi karibuni alipozungumza moja kwa moja na wananchi kuwa suala hilo litakuwa UNK ifikapo novemba katika siku za karibuni kumekuwa na dalili za kumaliza suala hilo baada ya watuhumiwa waliotajwa na bunge na kutakiwa kuchukuliwa hatua kuanza kustaafu kwa lazima na rais kikwete kuteua wengine kuchukua nyadhifa zao miongoni mwa waliostaafu ni mwanasheria mkuu wa serikali johnson mwanyika katibu wa wizara ya nishati na madini arthur mwakapugi na aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha na uchumi gray mgonja huku macho na masikio UNK mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kupambana na UNK rushwa daktari edward hoseah baada ya ofisi za kampuni ya upatu ya deci kufungwa juzi na jana sasa uongozi wa kampuni hiyo UNK wanachama wao kusubiri hatma yao wiki ijayo kwa mujibu wa taarifa zilizotangazwa jana kwa wanachama waliokuwa wakisubiri kufahamu hatma yao baada ya kufungwa kwa ofisi hizo ziliko mabibo dar es salaam wanatakiwa UNK hadi wiki ijayo hali iliyosababisha baadhi kuanza kukata tamaa juu ya fedha walizopanda akitangaza mbele ya wanachama hao mmoja wa viongozi wa deci akiwa na ulinzi mkali wa polisi pamoja na askari wa kampuni hiyo alidai kwa vile wanataka kuonana na viongozi wa serikali wanatarajia kutoa hatma ya upatu huo wiki ijayo wale ambao wamepanda mbegu bila kuvuna watarudishiwa fedha zao wiki ijayo na baada ya kufungua ofisi wale ambao UNK na kuvuna tutangalia ni jinsi gani UNK suala lao alisema na kuondoka katika eneo la akiwa chini ya ulinzi pia aliwataka washiriki wote kutokuwa na wasiwasi na fedha zao kwani ziko salama na zitaendelea kutunzwa hadi serikali itakapotoa maelekezo mengine akizungumza na majira kwa simu mmoja wa kiongozi wa deci bwana dominic kigendi alisema hadi sasa bado UNK na viongozi wa serikali kama wanavyotaka lakini wanatarajia kuonana nao kuanzia jumatatu kwa sasa UNK suala la kukutana na viongozi kama UNK hivyo kuhusu suala la kupanda au kuvuna tunasubiri kwanza majibu yao alisema bwana UNK wakati kiongozi huyo akitoa kauli hiyo baadhi ya wanachama waliofika ofisi za deci walionekana kukata tamaa ya kutopata fedha zao huku wengine UNK matumaini kuwa UNK wapo walionekana wakiwa na furaha baada ya taarifa hiyo na wengine wakiwa katika hali ya huzuni na pia wapo waliokuwa wakilaumu uamuzi wa serikali kuifungia kampuni hiyo washiriki hao walikuwa katika makundi madogo madogo wakijadiliana kuhusu taarifa hiyo ya kiongozi huyo huku ofisi hiyo ikiwa katika ulinzi mkali wa polisi na askari wa kampuni hiyo huku wakitoa amri ya UNK ukuta wa jengo hilo mijadala katika makundi hayo ilikuwa ni ya kulaani tamko hilo la serikali lililotolewa jumanne na waziri mkuu mizengo pinda na mjadala mwingine ulikuwa ni kuweka mikakati ya UNK kura chama cha mapinduzi katika uchaguzi mwakani wakati mijadala hiyo ikiendelea kulikuwa na uvumi kuwa watu watatu walizirai na mmoja kufa baada ya kubaini kuwa uwezekano a kuvuna ni mdogo anayedaiwa kufariki ni mwanamke ambaye aliweka fedha zake katika kampuni hiyo baada ya kuuza nyumba ili aweze kuzalisha zaidi na kisha kununua nyumba nyingine baada ya kushauriwa na rafiki yake wa karibu mtu mwingine aliyeonekana kuwa na majonzi ni kutoka mkoa wa kigoma ambaye alisema UNK jamaa yake fedha na kupanda katika kampuni hiyo kwa makubaliano ya kurudisha aprili ishirini lakini hadi jana alikuwa hajui hatima ya fedha hizo akizungumza na majira bwana robert milozi mlemavu UNK mkazi wa mbagala kiburugwa alisema amekuwa mshiriki wa deci kwa miaka miwili na kupata amepata mafanikio makubwa lakini sasa hajui hatima ya maisha yake kama serikali imesema kuwa hawa jamaa hawako sahihi basi watafute utaratibu mwingine UNK alisema bwana UNK alisema deci ambayo imetafsiriwa kuwa ndiyo mkombozi wa walalahoi iwe funzo kwa serikali ili iweze kusimamia vizuri mabilioni ya shilingi yaliyotolewa kwa ajili ya kuinua maisha ya watanzania wa kipato cha chini bwana milozi alisema mabilioni hayo yaliyotolewa na rais jakaya kikwete UNK walengwa kama UNK kwani asilimia tisini na tisa hawana uwezo wa kumiliki nyumba ambazo zitatumika kama dhamana katika benki ili kukopeshwa fedha hizo katika hatua nyingine kwa mujibu wa UNK cha habari kutoka benki kuu ya tanzania na jeshi la polisi pamoja na kuundwa tume inayochunguza kampuni hiyo tayari bot na soko la mitaji na dhamana UNK uchunguzi deci kwa miaka miwili na kinachofanyika sasa ni uhakiki tu baada ya uchunguzi huo gavana wa bot profesa benno ndulu aliwasiliana na jeshi la polisi makao makuu na kisha kuunda kamti UNK maofisa kutoka jeshi hilo soko la mitaji na dhamana na bot wafanyakazi wa benki ya biashara makao makuu dar es salaam jana walikumbwa na taharuki na kulazimika kuziacha ofisi zao kukimbia tishio la moto UNK kuzuka katika ofisi hizo hali hiyo iliyoshuhudiwa na gazeti hili ilitokea baada ya mitambo inayotoa tahadhari ya majanga kutoa viashirio vya kuwepo kwa moto na kudumu kwa karibu nusu saa kuanzia majira ya saa kumi thebathini akizungumza na gazeti hili mmoja wa wafanyakazi wa kitengo UNK na kuzuia na kupambana na majanga katika benki hiyo ambaye hakutaka jina lake litajwe alisema kuwa hali hiyo ilijitokeza baada ya mitambo inayotoa tahadhari kugundua viashirio vya kuwepo kwa moto na hivyo kupiga kelele za kuwashtua watu unajua umeme wetu hauko UNK ulikuwa UNK kwa hivyo inaonekana umerudi mwingi hivyo wakati jenereta lina pick UNK kuwa kutakuwa na tatizo la umeme mitambo yetu ya UNK UNK na kutoa tahadhari mkazi wilaya wa tunduru katika kijiji cha UNK amani bibi UNK chande ambaye alifika dar es salaam kwa matibabu amepotea wakati UNK watoto wake akizungumza kwenye ofisi za gazeti hili jana bibi chande alisema kuwa alifika dar es salaam juzi usiku akitokea tunduru na hadi sasa hajawaona watoto wake bibi chande alisema kuwa hana mawasiliano na watoto hao na wala UNK sehemu wanazoishi ila anasikia wanaishi katika maeneo ya tandika na mbagala aliwataja UNK kuwa ni bwana mohamed rashidi amour ambae anaishi tandika na bwana UNK rashidi amour anayeishi mbagala alisema kuwa kabla ya kufika dar es salaam watoto wake walimtumia nauli lakini tangu watume fedha hizo hakukuwa na mawasiliano yoyote nao hadi akaamua aje mwenyewe alisema kuwa mpaka sasa hajui UNK vipi katika jiji ili kwani hana sehemu ya kufikia na jana alilala katika kituo cha basi cha sudan kwa sasa bibi chande anaishi kwa bwana yusufu UNK ambaye ni mkazi wa tandika ameomba watoto wake hao au yoyote UNK UNK simu namba sifuri saba tatu saba sifuri sita tisa nne mbili sita wafuasi saba wa cuf katika kijiji cha kwale wilayani mkinga mkoa wa tanga wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya tanga wakikabiliwa na shtaka la kuchoma moto nyumba ya ofisa mtendaji wa kijiji hicho bwana omari tamimu na kusababisha hasara watuhumiwa hao fadhili bakari omari mwaita hamisi UNK UNK mamboleo UNK mwaita mwaita ayubu na UNK mohamed walifikishwa jana katika mahakama hiyo mbele ya hakimu mkazi bibi UNK UNK akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali bwana andrew UNK alidai mahakani hapo kuwa mnamo oktoba ishirini mwaka huu saa saba thebathini usiku watuhumiwa hao UNK kwa moto nyumba ya ofisa mtendaji wa kijiji hicho bwana tamimu na kusababisha hasara kubwa wakili huyo wa serikali aliiambia mahakama hiyo kuwa watuhumiwa siku na saa ya tukio UNK nyumba na kusababisha hasara ya shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri hakimu UNK aliiambia mahakama kuwa kosa hilo UNK na kwamba watuhumiwa hao kila mmoja alitakiwa kwa na wadhamini wawili watakaoweza kusaini dhamana ya shilingi milioni moja kila mmoja hata hivyo washitakiwa hao walikana shtaka hilo na kushindwa kutimiza masharti hayo ya dhamana na kwamba wamerudishwa rumande hadi hapo novemba tatu mwaka huu kesi hiyo itakapojatwa tena mwenyekiti wa mtaa UNK mkoani iringa bwana aldo kaduma ambaye ni mgombea wa nafasi hiyo tena kwa tiketi ya ccm amefikishwa katika mahakama ya hakimu ya mkazi mkoa wa iringa kwa tuhuma za kujifanya ofisa takukuru na kupokea rushwa ya shilingi mia mbili na hamsini sifuri sifuri sifuri kutoka kwa padri wa parokia ya ifunda ili kumaliza mgogoro wa baadhi ya wakazi wa shamba la parokia hiyo akisoma mashitaka mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya mkoa wa iringa bibi consolata singano mwanasheria wa takukuru mkoa wa iringa bwana UNK mizizi alisema kuwa mtuhumiwa anakabiliwa na mashitaka matatu ambayo ni kujifanya ofisa wa takukuru na kisha kuomba rushwa ya shilingi arobaini sifuri sifuri sifuri sifuri kutoka kwa padri UNK UNK wa parokia ya ifunda kuomba rushwa kinyume cha sheria kifungu cha kumi na tano kifungu kidogo cha kwanza kupokea rushwa ya shilingi i mia mbili na hamsini sifuri sifuri sifuri baada ya tuhuma hizo mtuhumiwa alimwomba padri ampe shilingi arobaini sifuri sifuri sifuri sifuri ili aweze kulimaliza suala hilo na ndipo septemba ishirini na moja mwaka huu padri alimkabidhi mtuhumiwa shilingi kumi sifuri sifuri sifuri sifuri na kuahidi kumalizia kiasi kilichobaki baadaye ilielezwa kuwa mtuhumiwa alimfuata tena padri kudai fedha iliyobaki ambapo padri huyo alikwenda takukuru kwa nia ya kumtafuta ambapo ilibainika kuwa si ofisa wa takukuru na ndipo mtego UNK na kufanikiwa kukamatwa akipokea shilingi mia moja na hamsini sifuri sifuri sifuri kutoka kwa padri septemba ishirini na nane mwaka huu mtuhumiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo baada ya uchunguzi kukamilika ambapo mshitakiwa alikana mashitaka yote na yuko nje kwa dhamana ya shilingi milioni mbili na kesi itatajwa tena novemba tisa mwaka huu kwa ajili ya kusikiliza maelezo ya awali shahidi wa kwanza wa upande wa mashitaka bwana seif mohamed ameieleza mahakama kuwa bodi ya wakurugenzi wa benki kuu ya tanzania iliidhinisha mabadiliko ya mradi wa majengo pacha baada ya kazi kufanyika mabadiliko hayo yalidaiwa kufanyika kutokana na maelekezo yaliyotolewa na aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi bwana amatus liyumba na baadaye yalipelekwa kwenye bodi kwa ajili ya UNK bwana mohamed ambaye ni afisa wa takukuru aliyasema hayo jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu chini ya mwenyekiti bwana edson mkasimongwa wakati akitoa ushahidi wake kuhusiana na uchunguzi alioufanya katika mradi huo akihojiwa na wakili wa upande wa utetezi bwana hillary mkate ilikuwa kama hivi swali je mabadiliko ya mradi wa majengo hayo yalifanywa na nani shahidi mabadiliko hayo yalifanywa na bwana liyumba kwa maelekezo aliyokuwa akiyatoa kwa njia ya barua kwa mhandisi mshauri wa mradi huo swali je liyumba angewezaje kufanya mabadiliko kama hayo akiwa kama mkurugenzi wa utawala na utumishi na ukizingatia alikuwa sio mjumbe wa bodi shahidi uchunguzi unaonesha kuwepo kwa maelekezo yake katika mabadiliko ya mradi ukilinganishwa na mkataba wa awali swali je UNK mabadiliko hayo yalifanywa na bodi UNK shahidi uchunguzi wangu wangu UNK hilo ila idhini zote za bodi zilikuwa zikitolewa baada ya kufanyika kwa mabadiliko ambayo moja kwa moja yalikuwa UNK kwa liyumba na kwenda kwa mhandisi UNK swali je huyo mhandisi alikubali kufanya mabadiliko hayo na kama ndiyo kwani mkataba ulikuwa kati yake na liyumba shahidi alikubali kwa kuwa mradi huo ulikuwa ukiratibiwa na kurugenzi yake lakini mkataba ulikuwa kati ya bot na kampuni ya group five east ltd swali je katika mabadiliko haya gavana wa benki hiyo bwana balali hakuhusika shahidi hakuhusika swali je uchunguzi wako umeona kweli liyumba amefanya makosa ya rushwa shahidi yanayohusiana na rushwa swali je kama yeye amefanya makosa hayo ambayo bodi nayo iliidhinisha utakubali kuwa na bodi nayo UNK shahidi wajumbe wa bodi wakija UNK swali je ni hasara gani ambayo serikali imepata na wakati majengo UNK yapo na UNK shahidi mkataba uko wazi ambao awali ulikuwa unagharimu dola za marekani milioni sabini na tatu sita na baada ya mabadiliko hayo gharama yake ilifikia dola za marekani milioni mia mbili na hamsini na tatu tisa swali je balali UNK kuhusiana na mchakato huo shahidi UNK swali kwa nini bodi UNK kuwa mabadiliko ambayo UNK UNK mradi huo kwa kulinda maslahi ya benki na serikali shahidi uchunguzi unaonesha kuwa bodi ilikuwa ikikemea kwa nguvu lakini hapakuwa na mafanikio yoyote swali utakubaliana na mimi kama liyumba alifanya makosa UNK kazi shahidi UNK swali utakubali kuwa mkataba una vipengele UNK na mabadiliko yoyote shahidi ndiyo kipengele hicho UNK swali je UNK mshitakiwa sababu iliyomfanya aongeze ghorofa hizo shahidi ndiyo alisema kuna ongezeko la watumishi swali je barua za liyumba UNK gharama UNK shahidi hapana ila hesabu hiyo UNK baada ya kufanya hesabu ambazo nilifanya mwenyewe swali utakubaliana kuwa mpaka sasa hujui hasara iliyotokana na mradi huo shahidi najua ni iliyopo kwenye mashtaka awali akifanyiwa mahojiano na wakili wa serikali bwana juma ramadhan shahidi huyo alidai kuwa mabadiliko yaliyofanywa ni pamoja na kuongezwa ghorofa nne kila jengo eneo la kutua helkopita eneo la kupaki magari ukumbi wa mikutano na vingine ambavyo UNK kuongezeka kwa gharama hatima ya kulipwa au UNK kwa malipo ya hisa za wamiliki wa mgodi wa kiwira familia ya rais mstaafu wa awamu ya tatu bwana benjamin mkapa na daniel yona UNK katika mkutano wa kumi na saba wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania utakaoanza jumanne ijayo huku baadhi ya wabunge wakitaka viongozi hao watoke UNK taarifa kuhusu jinsi serikali UNK mradi wa mgodi wa kiwira ilikuwa ijadiliwe dar es salaam jana na kamati ya bunge ya nishati na madini lakini ghafla uamuzi huo UNK na UNK suala hilo UNK katika vikao vya kamati hiyo UNK mjini dodoma jumanne ijayo hoja hiyo ni ya pili kuahirishwa hatua za mwisho baada ya ile ya utekelezaji wa maazimio ishirini na tatu ya bunge kuhusu mkataba tata wa richmond lakini katika hali ya kushangaza suala hilo UNK na kupangwa kujadiliwa mkoani dodoma wakati mjadala huo UNK dodoma baadhi ya wabunge waliozungumza na gazeti hili bila kupenda kutajwa walisema UNK UNK huo urudi mikononi mwa umma bila kuwalipa wawekezaji wake hata senti moja licha ya kwamba kilichomo kwenye taarifa hiyo bado ni siri lakini jambo moja UNK wabunge hao ni kuwa mgodi huo umerudi mikononi mwa watanzania akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi ndogo ya bunge waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja alisema hoja ya kiwira itajadiliwa mkoani dodoma lakini hakutaka kuingia ndani kueleza ni kwa nini imeamuliwa hivyo UNK kichwa cha habari kuhusu kile UNK kwenye kamati ya bunge ni taarifa ya jinsi serikali inavyoshughulikia mgodi wa kiwira alisema bwana ngeleja na kuongeza suala hili linashughulikiwa na serikali kwa kufuata na kanuni na taratibu za bunge bwana ngeleja alisema tayari mgodi huo upo mikononi mwa serikali na itaanza kuwalipa wafanyakazi wote kuanzia mwishoni mwa mwezi huu ambapo watalipwa malimbikizo ya mishahara ya miezi kumi na tano hata hivyo bwana ngeleja hakuwa tayari kuzungumzia juu ulipwaji wa hisa anazomiliki bwana mkapa na mwenzake bwana daniel yona alipoulizwa na waandishi wa habari kuhusu hatima ya kulipwa hisa zao bwana mkapa na bwana yona waziri ngeleja alijibu kwa kifupi hayo yatajulikana bungeni kwa upande wake mwenyekiti wa kamati ya nishati na madini bwana william shellukindo alisema kamati yake imepokea taarifa na imeridhia kulipwa kwa wafanyakazi hao cha kufurahisha zaidi ni taarifa ya mgodi huo kuwa mikononi mwa serikali alisema kuhusu kulipwa kwa hisa za wawekezaji wa mgodi huo alisema kuna mambo ambayo UNK tuhuma za rais mtaafu bwana mkapa na bwana yona kujimilikisha mgodi wa kiwira ziliibuliwa na mbunge wa vunjo bwana aloyce kimaro katika mkutano wa kumi na moja wa bunge baada ya kuibuliwa kwa hoja hiyo baadhi ya wabunge walitaka kiongozi huyo mstaafu aondolewe kinga na kufikishwa katika vyombo vya sheria kwa kutumia vibaya madaraka yake akiwa rais lakini hivi karibuni halmashauri kuu ya ccm UNK kifua na kuwataka wabunge wa chama hicho pamoja na wanachama wengine wamwache apumzike wakati wabunge hao wakipendekeza hivyo tayari bwana yona anakabiliwa na mashitaka tofauti ya kutumia madaraka vibaya na kuliingizia taifa hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba mamlaka ya chakula na dawa imeanza kufanya uchunguzi mpya wa kimaabara wa dawa zote zinazoingizwa nchini hasa za malaria ili kubaini UNK wa dawa bandia nchini akizungumza na majira jana dar es salaam mkurugenzi wa tfda bibi UNK ndomoko alisema kuwa hatua hizo za ufuatiliaji ndizo UNK kufahamu kuwepo kwa dawa bandia za kutibu malaria aina ya due co tecxin ambazo zimesambazwa kwa wingi mitaani tumegundua kuwepo kwa dawa hizo bandia baada ya kufuatilia na kufanya uchunguzi wa kimaabara na kugundua kuwa haziwezi kutibu ugonjwa huo na mpaka sasa tunaendelea kufanyia uchunguzi dawa zingine alisema alisema kuwa timu ya tfda pia imewekwa mipakani mwa nchi kuakikisha kwamba wanakagua dawa zote zinazoingizwa nchini kama ni halisi au bandia kabla ya kusambazwa mitaani alisema dawa hiyo bandia UNK co tecxin toleo namba mia nane na ishirini tatu sifuri nane UNK novemba ishirini na sita mwaka juzi na mwisho wa matumizi yake ni oktoba ishirini na sita mwaka kesho bibi ndomoko alisema moja ya tofauti iliyoko katika dawa hiyo halisi imeandikwa tarehe ya kutengenezwa na tarehe ya kuisha muda wake wa matumizi na namba ya toleo UNK kwa muhuri wa moto UNK vizuri alisema tofauti nyingine iliyoko katika dawa hiyo kuna maandishi ya nyuma ya UNK na jina la dawa na kiasi cha dawa pamoja na jina la mtengenezaji ambavyo vyote vinasomeka na kuonekana vizuri katika eneo lenye vidonge wakati kwa upande wa dawa feki vitu vyote hivyo havionekani vizuri tofauti nyingine iliyoko katika dawa halisi ni kwamba vidonge vina rangi ya bluu iliyokolea na upande mmoja kuna mstari katikati na upande wa pili kuna neno d c vyote hivyo vinasomeka vizuri wakati ile feki UNK vizuri alisema mkurugenzi huyo alisema kuwa karatasi maelezo ya dawa halisi ina urefu wa sentimeta ishirini na moja na upana wa sentimita kumi na tano tano na upande mmoja umechapishwa kwa lugha ya kiingereza na mwingine ni lugha ya UNK dawa bandia ina urefu wa sentimita kumi na tatu tisa na upana wa sentimita kumi nne na pia upande mmoja umechapishwa kwa lugha ya kiingereza na mwingine UNK maandishi alisema bibi ndomoko aliitaka jamii kuwa kuwa makini katika ununuzi wa dawa za malaria ili waweze kufahamu tofauti UNK ili waweze kuepuka kununua dawa hiyo pamoja na UNK mkurugenzi huyo aliwataka pia wamiliki wa maduka ya dawa kuhakikisha kuwa wananunua katika maeneo UNK na tfda na kutoa taarifa haraka iwezekanavyo pale UNK kuuziwa dawa bandia alisema kwa sasa mamlaka hiyo inawasaka watu wanaojihusisha na uuzaji wa dawa bandia na hatua kali zitachukuliwa kwa wale watakaogundulika kuwa ndio wahusika wakuu UNK uteuzi wa dc temeke rais jakaya kikwete amefanya mabadiliko madogo ya vituo vya kazi kwa baadhi ya wakuu wa wilaya nchini ikiwa ni pamoja na kufanya uteuzi mpya wa mkuu wa wilaya mmoja wakati huohuo rais UNK uteuzi wa bwana said mkumbo aliyekuwa mkuu wa wilaya ya temeke na kumhamishia katika idara nyingine ya serikali taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na kusainiwa na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu ilieleza kuwa rais amemteua bwana anatory choya kuwa mkuu wa wilaya ya mbulu ambapo uteuzi huo umeanza oktoba kumi mwaka huu rais pia amefanya mabadiliko madogo ya vituo vya wakuu wa wilaya ambapo bwana francis isaack aliyekuwa mkuu wa wilaya ya mbulu sasa UNK wilaya ya bunda na bibi chiku gallawa amehamishiwa wilaya ya temeke akitokea wilaya ya bunda bibi gallawa amehamishiwa wilaya ya temeke kuziba nafasi inayoachwa wazi baada ya rais kutengua uteuzi wa aliyekuwa mkuu wa wilaya hiyo bwana saidi mkumbo taarifa hiyo inaeleza kuwa kutokana na utenguzi huo rais ameagiza bwana mkumbo ahamishiwe katika ofisi ya waziri mkuu hata hivyo taarifa hiyo haikueleza sababu za utenguzi huo yadaiwa ni mzigo UNK milioni mia saba na hamsini kwa siku siku chache baada ya serikali kutangaza kuwashwa kwa mitambo ya kuzalisha umeme ya iptl baadhi ya wadau wamekuja juu wakisema uamuzi huo unatarajia kuwa mzigo mkubwa kwa wananchi akizungumza katika mkutano wa hadhara katika mtaa wa UNK wazo hill dar es salaam jana naibu katibu mkuu wa chama cha wananchi tanzania visiwani bwana juma duni haji alisema kuwa uamuzi utazidi UNK wananchi kwa kuwa gharama za umeme zitapanda na UNK gharama hizo si serikali bali mwananchi wa kawaida umeme wa iptl na richmond si wa serikali bali ni wa watu binafsi hivyo UNK UNK mitambo yake atataka kufanya biashara kwa hiyo si ajabu UNK umeme umepanda na wananchi UNK kwa gharama kubwa rais jakaya kikwete ni wazi suala la kusimamia umeme UNK na si umeme tu bali hata mambo mengi tu UNK alisema bwana duni haji mitambo hiyo ya iptl ambayo UNK miaka miwili iliyopita UNK kwa saa ishirini na nne itatumia mafuta lita mia sita na ishirini na tano sifuri sifuri sifuri endapo yatakuwa yakiuzwa shilingi moja ishirini sifuri kwa UNK kiwango hicho UNK serikali kulazimika kutumia zaidi ya shilingi bilioni ishirini na tatu hadi itakapofika mwishoni mwa mwezi novemba bwana duni aliwataka wananchi hao kusimama imara na kudai haki zao za msingi ili kuondokana na maisha magumu wanayokabiliana nayo sasa mabadiliko hayawezi kutokea bungeni dodoma wala hayawezi kutokea popote zaidi ya huku chini kwanza ninyi mfanye mabadiliko na ndipo yatakuja huko juu alisema aliwataka wananchi kuwa jasiri na kupambana na uonevu na ujasiri wao utatokana na kupiga kura sambamba na kukataa kuibiwa kura hizo mkiamua na UNK hata aje simba mwenye meno makali UNK UNK na UNK nyama alisema bwana juma duni alikuwa katika ziara ya operesheni zinduka wilaya ya kinondoni sambamba na kufanya mikutano ya hadhara sehemu mbalimbali za wilaya hiyo pia alikuwa UNK wagombea wa cuf wa serikali za mitaa wakati huo huo reuben kagaruki anaripoti kuwa shehena ya kwanza ya mafuta yenye ujazo wa tani saba mia tano na ishirini na nne yatakayotumika kuwasha mtambo wa kufua umeme wa iptl inatarajia kuwasili nchini wakati wowote ifikapo kesho akizungumza na waadishi wa habari ofisini kwake dar es salaam jana waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja alisema meli yenye shehena ya mafuta hayo itakuwa imewasili ifikapo kesho na kwamba fedha za malipo ya shehena hiyo zipo tayari tuna uhakika wa kupata UNK wa kwanza wa mafuta ifikapo oktoba ishirini na tano na novemba mosi mwaka huu mitambo ya iptl itakuwa imeanza kupasua anga alisema bwana ngeleja na kuongeza kuwa tatizo la mafuta siyo changamoto tena alipoulizwa shehena hiyo itagharimu kiasi gani cha fedha bwana UNK alisema wataalamu kutoka kampuni inayoleta mafuta hayo ya total tanzania wasimamizi wa mitambo ya iptl na wale wa shirika la umeme tanzania walikuwa wakiendelea kukusanya takwimu ili kujua gharama zake bwana ngeleja alisema mara baada ya kukamilisha hesabu UNK ndipo wizara ya fedha na uchumi UNK malipo alisema mafuta hayo UNK nchini na kampuni ya total tanzania kwa kuwa ndiyo yenye mkataba wa kusambaza mafuta hayo kwa iptl alibainisha kuwa pindi mtambo huo utaanza kufanyakazi utapunguza kwa kiasi kikubwa makali ya mgawo alipoulizwa ni kwa nini rais jakaya kikwete aliamuru mitambo hiyo iwashwe wakati kuna kesi ya msingi mahakamani bwana ngeleja alisema msimamizi wa mitambo hiyo ana mamlaka ya kuruhusu UNK maagizo ya rais UNK kesi kwani utekelezaji wa kuwasha mitambo hiyo unapitia kwa msimamizi wa muda aliyeteuliwa na mahakama hilo lipo chini ya mamlaka yake ndiyo maana serikali imeamua kugharimia gharama za mafuta alisema bwana ngeleja rais kikwete aliagiza mitambo hiyo inayotumia mafuta iwashwe baada ya nchi kuingia gizani kutokana na kuharibika kwa mitambo ya songas na kihansi asema biblia inasema auaye kwa upanga atakufa kwa upanga ni mwenyekiti wa kongamano la wachungaji maaskofu mia moja na hamsini kutokana na wimbi la mauaji ya albino kuendelea kuitikisa nchi serikali imetakiwa kutunga sheria mpya ili wale wote wanaohusika na mauaji hayo wauawe hadharani hatua hiyo imekuja siku mbili baada ya mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi nyawilimilwa mkoani mwanza ambaye alikuwa na ulemavu wa ngozi kuuawa kwa kukatwa shingo na mguu wake kunyofolewa kauli hiyo ilitolewa dar es salaam jana na mchungaji wa kanisa la pentekoste mbeya bwana william mwanalanga ambaye pia ni mwenyekiti wa kongamano la wachungaji na maaskofu wapatao mia moja na arobaini na tisa kutoka mikoa mbalimbali linaloendelea hapa jijini mchungaji mwanalanga alisema kutokana na wimbi la mauaji hayo kuibuka tena siku za hivi karibuni serikali inatakiwa kuchukua hatua kali zaidi ili kukomesha mauaji hayo ikiwa ni pamoja na kutunga sheria itakayotoa hukumu ya kunyongwa hadharani kwa wauaji wa UNK alisema kuwa haki za binadamu zimekuwa UNK ndivyo sivyo jambo ambalo limechangia kuongezeka kwa uharifu katika jamii mimi pia ni mwanaharakati wa haki za binadamu lakini haki hizo UNK kutetea uhalifu katika jamii zetu kama ilivyo sasa bali kuleta amani na utulivu hata biblia inasema auaye kwa upanga naye atakufa kwa upanga sasa ni vipi UNK adhabu ya kifo kwa watu kama hawa alisema akizungumza kwa uchungu mwingi mchungaji mwanalanga alisema inasikitisha sana kuona albino UNK kama mnyama katika nchi yake na wahusika wakiendelea kuishi kupitia UNK wa haki za binadamu aidha mchungaji mwanalanga alisema kuwa kuna siri nzito inayowahusisha baadhi ya viongozi na wafanyabiashara maarufu hapa nchini na vitendo hivyo vya kinyama tumepokea taarifa kuwa kuna kijana aliyekuwa katika mtandao wa mauaji hayo UNK na yuko tayari kutaja orodha ya viongozi wanaohusika katika mauaji hayo alisema aidha mchungaji mwanalanga alisema kuwa umoja wa wachungaji nchini utafanya maandamano makubwa kushinikiza viongozi UNK na mauaji hayo waondolewe madarakani na kuchukuliwa hatua za kisheria pale ushahidi UNK alieleza kuwa serikali inatakiwa kutangaza hali ya hatari katika mkoa wa mwanza ikiwa ni pamoja na kuunda kikosi maalum cha askari kufanya msako na kuwakamata wanaohusika na vitendo hivyo alisema anasikitishwa na kitendo cha wabunge wa mkoa wa mwanza kukaa kimya kama UNK nini kinatokea na kuwataka wachukue hatua za kukemea vitendo hivyo bungeni na kwenye majimbo yao ya uchaguzi kongamano hilo linahusisha wachungaji na baadhi ya waislamu wenye utaalamu mbalimbali UNK kutafuta UNK ya kuisaidia serikali katika sekta ya afya maji na utunzaji wa mazingira vyama vya ccm na chadema UNK kuchuana vikali katika mpambano wa kuwania uongozi wa serikali za mitaa katika vijiji na vitongoji vilivyopo katika mji mdogo wa tunduma wilayani mbozi mkoani mbeya katika kampeni za vyama hivyo ccm ambayo inadai UNK kwa asilimia tisini katika jumla ya vitongoji mia tisa na arobaini na tisa na vijiji mia moja na themanini na nne ambavyo UNK wagombea na kupita bila kupingwa wilayani mbozi chadema kwa upande wake inasema katika vitongoji ishirini na mbili UNK wagombea katika kata ya tunduma hakuna kitongoji ambacho ccm itaambulia kura wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye kampeni za uchaguzi uliofanyika katika kitongoji cha unyamwanga viongozi hao wa vyama walisema kwa kujinadi kila mmoja kwa wakati wake kuwa wana uhakika wa kushinda uchaguzi huo kutokana na kukubalika na wananchi akizungumza wakati akimnadi mgombea wa uenyekiti wa kitongoji cha unyamwanga bwana samson simbeye mwenyekiti wa wilaya wa ccm bwana aloyce UNK alisema chama chake UNK uchaguzi huo kutokana na wagombea wake kupita bila kupingwa katika vitongoji mia tisa na arobaini na tisa vya wilaya hiyo alisema hivi sasa wanatekeleza ratiba na kusafisha njia kwa UNK vichache ambavyo wapinzani UNK wagombea hata hivyo vyama hivyo havina sera mbadala ambayo inaweza UNK wananchi ili UNK vyama hivyo kwa upande wake viongozi wa chadema ambao nao walipata fursa ya kumnadi mgombea wa uenyekiti wa kitongoji hicho bwana omar sikazwe mwenyekiti wa kata ya tunduma wa chadema bwana herode jivava alisema kuwa ana uhakika wa kushinda uchaguzi huo kutokana na kushindwa kwa watendaji wa chama tawala kutekeleza ilani ya uchaguzi ya mwaka ishirini sifuri tano alisema serikali ya ccm imeshindwa kuboresha miundo mbinu ya kata huku kukiwa na malalamiko lukuki juu ya michango ya wananchi ambayo UNK na kuwa wazi matumizi yake ambazo ni kodi za wananchi wa hali ya chini wanaohitaji kupata mchanganuo wa matumizi yake imebainika kuwa hali chakula kwa mwaka ishirini sifuri tisa kumi katika wilaya ya njombe mkoani iringa ni nzuri kwani hadi kufikia septemba wakulima walikuwa wamekwisha UNK mavuno ya msimu uliopita akitoa taarifa ya maendeleo ya kilimo katika wilya ya njombe kwa waziri wa kilimo chakula na ushirika bwana stephen wasira aliyekuwa katika ziara ya siku moja wilayani humo mkuu wa wilaya ya njombe bwana UNK charles alisema hali ya chakula kwa mwaka katika wilaya hiyo ni njema na kwamba kipo chakula cha UNK bwana charles alisema uongozi wa wilaya katika jitihada za kumpunguzia mkulima mzigo wa kazi ya kuongeza eneo UNK unasisitiza matumizi ya zana za kilimo badala ya kulima kwa jembe la mkono alisema hadi hivi sasa wilaya ina jumla ya maghala arobaini na tano yenye uwezo wa kuhifadhi tani ishirini sifuri sifuri sifuri za mazao kwa mwaka na kwamba ili UNK wakulima wanaendesha kilimo cha kisasa zaidi wilaya ina vituo vinne vya mafunzo na zana mbalimbali za kilimo pia alisema mpango wa serikali wa kuleta mbolea ya ruzuku kwa miaka sita UNK wakulima kwa kuzalisha mazao mengi ya chakula na biashara tofauti na miaka ya nyuma ambapo sasa wakulima wamepata vocha za mbolea ya ruzuku karibu mara mbili ya mgao wa vocha za msimu uliopita aidha bwana wasira alisema serikali inatambua mchango wa UNK hiyo katika kuzalisha kwa wingi chakula na kuwataka viongozi kuwahimiza wakulima kutumia vyema mbolea wanayopata kwa utaratibu wa vocha ili kuweza kupata mazao mengi zaidi baadhi ya wakulima wanaomiliki wa mashamba madogo ya chai tarafa ya lupembe wilayani njombe mkoa wa iringa wamemtaka mkuu wa wilaya yao kuiga mfano wa mkuu wa wilaya ya korogwe bwana UNK UNK aliyeamuru UNK wakulima wa wilaya yake kuuza chai yao kwenye kiwanda cha mponde wilayani lushoto wakamatwe na UNK wakizungumza na majira jumapili wakulima hao walisema kuwa wavamizi wa kiwanda cha chai lupembe wanaojiita mungiki hawana mashamba lakini wanaendeleza mgogoro UNK na kusababisha chai yao kuharibika mashambani huku serikali ikiwa UNK kuondokana na ugumu wa maisha huku wakilazimika kufanya vibarua vya kuvuna chai kwenye mashamba UNK kauli zinazotolewa na viongozi muungano wa ushirika wa lupembe UNK dhidi ya mwekezaji kuwa ameshindwa kutimiza masharti ya ununuzi wa hisa za serikali na kudai kuwa kauli hiyo ilikuwa itolewe na serikali yenyewe badala ya viongozi hao wa ushirika kwa vile wao UNK hisa zao asilimia thebathini tangu mwekezaji huyo aanze kusindika chai UNK kwa kulipwa madeni yote ya nyuma kuletewa umeme vijijini na mazao yetu kununuliwa kwa fedha taslimu tena kwa bei ya tija lakini tangu kiwanda UNK hakuna kiongozi UNK hasara waliyopata ndani ya misimu hii miwili UNK alihoji mmoja wa wakulima aliyeomba UNK jina kwa hofu ya kuvamiwa na mungiki waliendelea kudai kufungwa kwa kiwanda hicho kumesababisha hasara kubwa ambayo itabidi wabia wa kampuni hiyo UNK wafanyakazi zaidi ya kumi sifuri kukosa kazi chai ya wakulima wadogo kuharibika mashambani na malengo ya uzalishaji wa chai kiwilaya kimkoa na kitaifa UNK na hivyo serikali kukosa mapato kwa njia ya kodi inashangaza viongozi wa serikali kila mara kuahidi kulinda wawekezaji wa ndani na wa nje lakini hapa njombe UNK kimya wakati wenzao wa mufindi wawekezaji mkoani humo humo mwekezaji wa msitu wa UNK UNK uvamizi na baadhi ya wananchi mkuu wa mkoa na wilaya hiyo walitoa askari wa ffu kuwaondoa wavamizi waliendelea kuwashutumu viongozi kwa kurefusha mgogoro huo kwa kudai ni wa kisiasa na kuongeza kudai hailingani na sera za ccm na uchumi wa kisasa kwani mwisho wa yote raslimali UNK na kampuni lazima mikopo yake ilipwe na migogoro ya wanahisa ambao na viongozi wa UNK wenyewe ni sehemu ya hasara nyaraka zinaonesha kuwa mchakato wa ubinafsishaji wa mali za kiwanda ulikamilika ishirini sifuri nne ambapo mali zilizokuwa za mamlaka ya chai na mvyulu zilibinafsishwa kwa kampuni ya dhow UNK kwa masharti mwekezaji lazima aingie ubia na mvyulu ili kukiendesha kiwanda hicho makubaliano ya ununuzi kati ya mwekezaji huyo na iliyokuwa tume ya rais ya kurekebisha mashirika ya umma psrc ilikuwa ya nipe nikupe mwekezaji alilipa fedha hizo kupitia benki ambapo muuzaji alitakiwa kuwasilisha hati za kumiliki kiwanda hicho ili benki iruhusu fedha hizo jambo ambalo psrc ilishindwa kulitekeleza hadi leo uchunguzi wa gazeti hili umebaini chanzo cha mgogoro huo ni baadhi ya wanasiasa na viongozi serikalini ambao UNK mabadiliko ya uongozi katika ushirika wa mvyulu kutaka kuvuruga taratibu za ubia za uendeshaji wa kiwanda na kushinikiza kupata mgao wa sehemu ya fedha zilizolipwa UNK na manunuzi ya kiwanda hicho hivi karibuni mkuu wa mkoa wa iringa bwana mohamed UNK UNK wakulima hao kuwa kilio chao UNK kwa rais jakaya kikwete na kwamba hata yeye mwenyewe ameamua UNK njuga mgogoro huo na kudai kwa vyovyote mvyullu hawawezi kufungua kiwanda hicho bila kukaa na mbia mwenzao lakini wakazi hao walipinga wakisema kuwa hana haja ya kumuona rais bali anao uwezo wa kuchukua hatua kama mkuu wa mkoa vilio na simanzi vimetawala katika mazishi ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi gasper elikana aliyeuawa kwa kukatwa shingo kwa imani za kishirikina huku chama cha maalbino mkoani mwanza UNK serikali kuongeza mapambano dhidi ya watu UNK kama inavyofanya kwa mafisadi mazishi ya mtoto huyo yalifanyika katika kijiji cha nyawilimilwa wilayani geita mtoto huyo aliuawa na watu wasiojulikana oktoba ishirini mwaka huu saa mbili thebathini usiku katika tukio hilo baba yake mzazi wa mtoto huyo bwana elikana ngelela alijeruhiwa vibaya kichwani wakati akijaribu kumnusuru UNK mazishi ya mtoto huyo yaliyofanyika juzi saa moja usiku na kuhudhuriwa na mamia ya wakazi wa kijiji hicho waliokuwa UNK vilio kutokana na kuguswa jinsi gasper UNK kikatili akizungumza mara baada ya mazishi hayo mwenyekiti wa chama cha maalbino mkoani mwanza bwana alfred UNK alisema serikali bado UNK mkazo vita dhidi ya wanaoua walemavu hao alisema viongozi wa serikalini wanatoa kauli za kuwafariji zikiwa ni za kisiasa zaidi bila kuonesha vitendo pamoja na kutoa madai hayo tayari watu wawili wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatia hatia ya kuua albino pia kesi zingine zinaendelea kusikilizwa mahakama kuu alisema hata kura za maoni zilizopigwa hivi karibuni za kuwabaini wauaji wa albino bado matokeo yake UNK naye mkurugenzi wa asasi ya new light for child centre wilayani geita bibi paulina alex alisema kuwa serikali bado UNK njuga mauaji hayo ndio maana vitendo hivyo UNK kufanyika alisema kuwa wananchi na mashirika yasiyo ya kiserikali nayo lazima UNK na vitendo hivyo katika maziko hayo halmashauri ya wilaya ya geita iliwakilishwa na ofisa utamaduni wa wilaya bwana mfungo mfungo ambapo ilitoa ubani wa shilingi mia mbili na hamsini na sita mia mbili na hamsini kwa upande wake kaimu kamanda wa polisi mkoani mwanza bwana elias kalinga aliliambia gazeti hili kwa njia ya simu kuwa jeshi hilo linaendelea na juhudi za kuwanasa wauaji wa mtoto huyo mmiliki wa mabasi ya super UNK yaendayo mwanza bwana hassan khan anadaiwa kuamuru wafanyakazi wake wawili kumpiga na UNK UNK UNK mfanyakazi mwenzao wakimshinikiza aseme mafuta ya dizeli UNK yalipelekwa wapi hayo yalibainika juzi katika mahojiano kati ya aliyepigwa bwana UNK kahindi na UNK bwana bwana baraka kimaro na bwana silaji maganga maeneo ya jangwani dar es salaam ilipo gereji ya magari hayo akizungumzia kipigo UNK kwa shida bwana kahindi alisema tuhuma za kuibwa kwa mafuta hayo lita ishirini zilisababisha bosi wao bwana khan kutoa amri kwa wafanyakazi wake ya kutoa dozi kwa mlalamikaji hadi aseme UNK mafuta hayo kijana huyo ambaye ni mtunza stoo UNK hapo imedaiwa alipigwa ngumi mateke na UNK na kiwembe mdomoni bila msaada wowote kutoka kwa bosi wake na watu wengine waliokuwa wakishuhudia tukio hilo walipoulizwa bwana kimaro na maganga UNK kumpiga walidai kwa nyakati tofauti kwamba amri hiyo ilitolewa na bwana khan ambaye aliwaagiza UNK hadi UNK ambapo nao walifanya hivyo wakiwa nyumbani kwa mmiliki huyo tungekuwa tunataka kumpiga wenyewe UNK mapema kwa sababu UNK naye gereji amri ilitoka kwa bosi alisema bwana baraka na kudai hata yeye baadaye alisikia uchungu alipohojiwa bwana khan kuhusiana na tukio hilo alisema si kweli hakutoa amri ya mfanyakazi wake kupigwa yeye alikuwa akizungumza na aliyejeruhiwa ghafla kina kimaro na maganga wakatokea na kuanza kumpiga mwenzao sikuweza UNK kwa sababu sina nguvu ni mgonjwa waswahili wenzao walikuwepo na walishindwa kutokana na nguvu walizonazo vijana hao mimi mhindi ningeweza wapi alihoji alisema kitendo cha kuteswa kijana huyo UNK sana na taarifa UNK polisi hivyo wakati wowote waliohusika UNK kweli walimpiga wanataka UNK mzigo mimi walikuwa na visa vyao tangu wakiwa ubungo alisema bwana kihindi alifungua kesi katika kituo cha polisi msimbazi na kupewa rb namba UNK UNK elfu kumi na mbili na mia tatu na sitini na tano ishirini sifuri tisa ni endapo serikali UNK mshahara wafanyakazi nchini kupitia shirikisho la vyama vya wafanyakazi wametishia UNK kura chama cha mapinduzi katika uchaguzi mkuu ujao mwakani iwapo serikali UNK kilio chao cha muda mrefu cha kutaka UNK maslahi yao mbali ya kutoichagua ccm pia wafanyakazi hao wanakusudia kuitisha mgomo wa nchi nzima kushinikiza kuboreshwa kwa maslahi yao na UNK serikali miezi mitatu kuanzia jana iwe imefanya marekebisho ya mishahara ya kima cha chini mkutano mkuu wa tucta umeazimia kutoa muda wa miezi mitatu tu kuanzia oktoba ishirini na tano ishirini sifuri tisa hadi januari ishirini na tano mwaka ujao serikali iwe UNK mishahara ya wafanyakazi kupunguza kodi katika mishahara ya wafanyakazi na kurekebisha kero zote za mifuko ya hifadhi ya jamii walieleza wafanyakazi hao katika tamko lao walilolitoa juzi walisema kitendo cha serikali kutojali kabisa kurekebisha kima cha chini cha mishahara licha ya wafanyakazi kulalamika kwa muda mrefu UNK mahali pabaya na kusababisha waanze kufikiria njia mbadala za kudai maslahi yao badala ya kuendelea na majadiliano na serikali ambayo UNK matunda kwa muda mrefu kwa upande mwingine wajumbe wa mkutano huo walilaani tabia ya ubinafsi inayooneshwa na wabunge wa tanzania ya kutetea zaidi maslahi yao na kusahau yale ya wanyonge wakiwemo wafanyakazi nchini wajumbe hao wameiomba serikali UNK kiwango cha kima cha chini cha mshahara ili UNK shilingi mia tatu na hamsini sifuri sifuri sifuri kwa mwezi ambacho walisema kinaweza kumpa mfanyakazi unafuu wa kuhimili makali ya maisha pamoja na punguzo la kodi kwa kiasi cha asilimia kumi kwa mshahara UNK shilingi mia tatu na hamsini sifuri sifuri sifuri ndugu mwenyekiti hivi sasa tuache woga tuungane pamoja mwenzetu mmoja UNK jambo basi UNK kidete UNK kwa mfano wenzetu wa trl na cwt hawa tuwasaidie ili matatizo yao yaweze kupatiwa ufumbuzi wa haraka alieleza bwana ismail masoud wa UNK walisema UNK tatizo la umeme hapa nchini ni dili la wakubwa na kwamba hawawezi kudai maslahi bora wakati viwanda UNK kutokana na kukosa umeme na kwamba iwapo tatizo hilo halitapatiwa ufumbuzi wa haraka wao watachukua hatua za kugoma ili kushinikiza umeme kupatikana kwa umeme wa uhakika nchini wanajeshi helikopta kuimarisha ulinzi itatua kila UNK simu penye fujo uchaguzi umeishajaa mizengwe lipumba kinyangganyiro cha uchaguzi wa wagombea uongozi ngazi ya serikali mitaa vitongoji na vijiji UNK leo ulinzi ukiwa umeimarishwa mara dufu jijini dar es salaam ambako polisi UNK na askari wa jeshi la kujenga taifa pamoja na mgambo kukabili matukio UNK kuvuruga uchaguzi huo ili kuhakikisha usalama zaidi unakuwepo jeshi la polisi limesema litatumia helkopta itakayokuwa ikizunguka viunga vya jiji la dar es salaam na kila eneo UNK kuwepo matukio yanayoashiria vurugu upigaji kura katika uchaguzi huo UNK na rais jakaya kikwete ambaye atapiga kura yake katika kituo kilichoko katika shule ya msingi bunge leo asubuhi na saa kumi jioni atarudi tena kusikiliza matokeo UNK UNK akizungumza na waandishi wa habari jana kamanda wa polisi mkoa wa dar es saalam bwana suleiman kova alisema jeshi lake limejipanga kuhakikisha hakuna fujo UNK ambapo vituo vya polisi vitakuwa na askari wa jkt na mgambo tofauti na ilivyozoeleka alisema katika ofisi za wilaya ulinzi utakuwa chini ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia watakaokuwa na magari yenye maji ya kuwasha tayari kukabiliana na ghasia zozote UNK bwana kova alisema wakati huo kutakuwa na helikopta itakayokuwa UNK kubaini UNK wa amani aliwataka wananchi wenye taarifa za UNK kwa matukio ya vurugu kupiga simu namba sifuri saba tano nne sifuri tatu nne mbili mbili sifuri sifuri na sifuri saba nane tatu sifuri tatu nne mbili nne sifuri sifuri na itatua eneo husika UNK ulinzi siyo kwa nia ya kuwatisha wananchi bali ni kuhakikisha wanapata fursa ya kuchagua viongozi wao kwa amani alisema bwana kova na kuongeza kuwa ulinzi kwa siku ya leo UNK na yeye mwenyewe alisema wameamua kuimarisha ulinzi kiasi hicho kutokana na uzoefu waliopata katika chaguzi zilizopita kuna wakati ililazimika polisi kuwapiga wananchi safari hii tutahakikisha UNK wale tu watakaofanya fujo alisema bwana kova aliwataka wananchi kupiga kura na kurudi nyumbani kwao kwa amani akizungumzia uchaguzi huo mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi alisema mtu atakayepatikana na kosa UNK kuvuruga uchaguzi UNK na kifungo cha mwaka mmoja au faini ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri bwana lukuvi alisema ili kuhakikisha watu wanapata fursa ya kupiga kura uongozi wa mkoa UNK shirika la maji safi na maji taka kusitisha operesheni ya kukata maji iliyokuwa ianze jana dawasco ilikuwa imetangaza kukata maji katika maeneo mbalimbali ya jiji la dar es salaam kuanzia juzi ili kutoa nafasi ya kufanyia matengenezo mitambo yake ya kusambaza maji bwana lukuvi alisema katika mkoa wake waliojiandikisha kupiga kura ni mia tano na ishirini na moja mia saba na ishirini na mbili sawa n asilimia arobaini na tatu arobaini na tano alifafanua kuwa rais kikwete ataongoza wananchi kupiga kura ambapo kura yake UNK kituo cha bunge na jioni kurudi kusikiliza matokeo aliongeza kuwa waziri mkuu bwana mizengo pinda atapiga kura yake katika kituo cha shule ya msingi oysterbay alisema vituo vya kupiga kura UNK mbili sifuri tano nane tofauti na ilivyotarajiwa alisema awali walitarajiwa UNK moja ishirini sifuri mia tano na thebathini na saba na vituo vilivyokuwa UNK vilikuwa mbili mia nne na ishirini na saba tumegundua katika baadhi ya vituo UNK watu wachache hivyo hakuna sababu ya kuweka vituo vya upigaji kura alisema bwana lukuvi kwa upande wake UNK wa manispaa wa ilala bwana gabriel fuime alikiri kuzagaa kwa karatasi za kupigia kura katika UNK ya wilaya tumewahi kudhibiti tatizo hilo na UNK karatasi nyingine zenye namba mbili za siri tofauti alisema bwana fuime alikiri kuzagaa kwa UNK zilizokuwa UNK kwa ajili ya uchaguzi huo ikiwa ni siku chache tangu mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba aitishe mkutano na waandishi wa habari na kuongelea tatizo hilo akizungumzia UNK kwa karatasi za kupigia kura profesa lipumba alisema uchaguzi huu umeishajaa mizengwe UNK tangu mwanzo tayari karatasi za kupigia kura zimeisha UNK hivyo inawezekana mtu akaenda kupiga kura yake wakati matokeo UNK ndiyo maana tunataka tume huru hata hivyo kauli hiyo ya profesa lipumba ilipingwa vikali na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa bibi celina UNK alihoji kuwa profesa lipumba UNK kupata karatasi hizo wakati hazijatolewa kwa mtu yeyote taarifa hiyo imeandaliwa na stella aron rabia bakari na reuben kagaruki wananchi wa madizini kata ya mtibwa wilaya ya mvomero wamemlalamikia msimamizi wa uchaguzi kutokana na hitimisho la kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika jana kutawaliwa na lugha ya matusi fujo na takrima ya kuni za kupikia hayo yametokea katika siku mbili za mwisho wa kampeni za uchaguzi katika viwanja mbalimbali vya mji wa madizini ambapo viongozi wa chama cha mapinduzi na chama cha mapinduzi walianzisha matusi na chama cha wananchi kujibu siku UNK wakizungumza na majira juzi ukiwa mwisho wa kampeni wananchi wa madizini walisema wamesikitishwa na kampeni za matusi ya nguoni zilizoanzishwa na viongozi wa ccm UNK kuwa dira ya kauli nzuri na takrima ya kugawa kuni za kupikia mwandishi umeona na kusikia mwenyewe kiongozi wa ccm kutoka kijiji cha UNK anayeheshimika UNK ccm na wananchi kwa kutoa lugha ya matusi ya nguoni alisema mpiga kura wa kikubwa bwana mike UNK cuf kilishindwa kuvumilia na kujibu mashambulizi kupitia msemaji wake kwamba mgombea wa ccm ni mcheza ngoma UNK lakini tangu huko nyuma alikuwa jambazi na kama UNK atoe nguo waone makovu yaliyosababishwa na kipigo hata hivyo chadema na tlp UNK kampeni kwa kusema haviwezi kurudisha matusi kama UNK kwa sababu lugha ya matusi ni tabia ya mtu aliyeshindwa kutoa sera ambaye silaha yake kila siku ni kinywa UNK polisi wawili na afisa misitu mmoja wa taarafa ya bereko wilayani kondoa dodoma wamenusurika kifo baada ya kuvamiwa na wananchi zaidi ya ishirini sifuri kwa lengo la kuwaokoa wenzao wawili waliokuwa wamekamatwa kwa uharibifu wa mazingira askari hao walivamiwa na wanakijiji wa mkekena kata ya masange wilayani kondoa katika tukio hilo lililotokea mwishoni mwa wiki watumishi hao UNK kwa jina moja moja la jerry na ramadhani na askari mwenzao ambaye jina lake halikupatikana iliwachukua takribani saa moja kujinasua katika mikono ya wananchi hao kwa sharti la kuwaachia huru UNK chanzo cha mgogoro huo ni shamba linalomikiwa na watu watatu wa kijiji cha UNK bwana mohammed duru mohamed UNK na adamu hussein ambalo inadaiwa UNK na wakazi wa mkekena akiwemo UNK UNK aliyekuwa amekamatwa na askari hao kabla ya kuokolewa na wananchi na abbas UNK UNK mara baada ya askari hao kufika eneo hilo wana kijiji wa mkekena zaidi ya watano wanadaiwa kuvamia eneo hilo linalosadikiwa kuwa ni hifadhi ya mazingira kwa kuwa limepandwa miti hivyo wamiliki wa awali kulalamikia hali hiyo na kulazimika askari hao kuingilia kati habari zaidi zimedai baada ya askari hao na afisa misitu huyo UNK kufanya kazi yao walilazimika kurudi bereko UNK hadi uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa uliofanyika jana utakapomalizika ili wajipange upya kuwasaka watuhumiwa hao siku ya tukio wakazi wa mkekena walijikusanya na kufika eneo la tukio wakiwa na silaha mbalimbali za jadi kama mikuki UNK na mishale pamoja na mapanga wakiwa tayari kwa lolote hadi afisa mtendaji wa kata ya masange bwana iddi UNK alipofika na kuwasihi kuachana na vita mkuu wa wilaya ya kondoa bwana saidi bwanamdogo alipoulizwa na majira kwa njia ya simu alisema hakuwa na taarifa yoyote na kwamba atawasiliana na serikali ya kata na suala hilo litashughulikiwa kikamilifu mkuu wa jeshi la polisi nchini inspekta jenerali saidi UNK amefanya mabadiliko madogo kwa makamanda wa polisi na wakuu wa upelelezi wa mikoa kadhaa hapa nchini msemaji mkuu wa jeshi hilo kamishna msaidizi wa polisi abdallah mssika alisema jana kuwa katika mabadiliko hayo igp mwema amewateua makamanda wawili wapya wa mikoa na wakuu wawili wa upelelezi wa makosa ya jinai wa mikoa walioteuliwa kuwa ni kamishna msaidizi wa polisi stiven buyuya aliyekuwa afisa mnadhimu mkoa wa mara ambaye sasa anakuwa kamanda mpya wa mkoa wa mtwara na kamishna msaidizi wa polisi augustine UNK aliyekuwa mkuu wa upelelezi wa mkoa wa mwanza kuwa kamanda mpya wa mkoa wa kusini unguja wengine ni mrakibu mwandamizi wa polisi deusdedit UNK aliyekuwa afisa mnadhimu mkoa wa arusha ambaye ameteuliwa kuwa mkuu mpya wa upelelezi mkoa wa mwanza na mrakibu wa polisi joseph UNK kutoka makao makuu ya upelelezi jijini dar es salaam anayekwenda kuwa mkuu mpya wa upelelezi mkoa wa kigoma kamanda mssika amesema kuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa kigoma mrakibu mwandamizi wa polisi UNK UNK amehamishiwa mkoa wa pwani kuchukua nafasi ya mrakibu mwandamizi wa polisi gabriel njau anayehamishiwa ofisi ya mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai nchini makamanda UNK na kupangiwa vituo vipya vya kazi ni kamanda wa polisi mkoa wa mtwara kamishna msaidizi wa polisi robert UNK anayekwenda mkoa wa mara kuchukua nafasi ya acp liberatus lyimo aliyehamishiwa mkoani tabora kuchukua nafasi ya kamanda acp UNK mmari ambaye amehamishiwa makao makuu ya idara ya upelelezi jijini dar es salaam mwingine ni kamanda wa polisi mkoa wa kusini unguja acp rashidi UNK anayehamishiwa makao makuu ya jeshi la polisi kusaidiana na naibu kamishna venance tossi katika operesheni maalum za polisi amesema mrakibu msaidizi wa polisi mnada UNK aliyekuwa ofisi za polisi wa kimataifa interpol tawi la tanzania ameteuliwa kuwa mkuu wa kwanza wa kitengo cha uchunguzi wa makosa yatokanayo na mitandao ya kompyuta mkoani dodoma viongozi wenye tabia ya kubadilisha katiba kwa lengo la kuendelea kuwepo madarakani moja kwa UNK wanakuwa wamejiondoa katika kinyangganyiro cha tuzo ya uongozi bora afrika UNK na mfanyabiashara mo ibrahim kila mwaka kwa viongozi wastaafu wa afrika kauli hiyo ilitolewa jana dar es salaam na mjumbe wa taasisi hiyo daktari salim ahmed salim alipozungumza na waandishi nyumbani kwake daktari salim alifafanua kuwa hakuna kiongozi asiye na matatizo katika taifa lake lakini UNK zaidi katika tuzo hiyo ni kwa kiasi gani kiongozi wa taifa husika alikuwa UNK matatizo kwa haraka na njia aliyotumia kufanya hivyo alisema katika tuzo hiyo UNK viongozi ila huangalia walio na sifa husika sisi UNK viongozi katika tuzo hii ila tunaangalia wale viongozi walio na sifa husika pia ndani ya muda unaohitajika katika kipindi cha miaka mitatu baada ya kuondoka madarakani alisema daktari salim alisema oktoba tano nchini afrika kusini taasisi hiyo ilishindwa kumpata mshindi wa tuzo hiyo kutokana na kutokuwepo mwenye sifa matokeo ya viongozi walio na sifa hufanywa na taasisi hiyo kwa kushirikiana na michango ya watafiti UNK kamati ya ushauri inayojumuisha wasomi wa afrika vigezo UNK huzingatia usalama na utawala wa sheria UNK na haki za binaadamu fursa na uchumi endelevu pamoja na maendeleo ya watu taasisi hiyo hupima utawala bora kwa kutumia vigezo themanini na nne aidha alisema kwamba kutokana na kutopatikana mshindi wa tuzo hiyo mwaka huu hakutakuwepo na sherehe za tuzo hiyo UNK kufanyika dar es salaam na badala yake siku hiyo itatumika katika kutilia mkazo umuhimu wa uongozi bora afrika kuna matukio mawili yatafanyika jioni ya novemba kumi na nne kutakuwa na tukio la kitamaduni ambalo licha ya shughuli nyingine watakaohudhuria watashuhudia michango ya wasanii mahiri kama UNK n UNK na UNK UNK na kutangazwa moja kwa moja katika vituo vya redio na runinga mbalimbali barani afrika alisema daktari salim pia alisema tukio la pili litakalofanyika ni uzinduzi wa jukwaa ambalo UNK wadau mbalimbali wakiwemo viongozi maofisa wakuu wa serikali wafanyabiashara wanaharakati wasomi wanafunzi na vijana kutoka nchi mbalimbali barani afrika mada ya kwanza katika mjadala huo utahusu haki na mabadiliko ya hali ya hewa duniani ambapo mwenyekiti wake atakuwa rais mstaafu wa botswana bwana festus UNK ambaye pia ni mshindi wa tuzo hiyo kwa mwaka ishirini sifuri nane mjadala wa pili utahusu kilimo na usalama wa chakula ambapo mwenyekiti wa mjadala huo atakuwa katibu mkuu mstaafu wa umoja wa mataifa bwana kofi annan na mjadala wa tatu utahusu ushirikiano wa kikanda wa kiuchumi chini ya mwenyekiti wake bwana UNK UNK umeme UNK baada ya kuwashwa kwa na mitambo ya independent power tanzania limited UNK bei ya UNK hiyo kwa watumiaji wa kawaida waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akitoa taarifa ya kuwasili kwa shehena ya kwanza ya mafuta yenye ujazo wa tani saba mia tano na ishirini na nne yatakayotumika kuwasha mtambo wa kufua umeme wa iptl mitambo ya iptl inayozalisha megawati kumi sifuri za umeme inatarajiwa kuwashwa ifikapo novemba mosi huku ikielezwa kuwa UNK taifa mabilioni ya fedha kwa kuwa inatumia lita hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri za dizeli kwa siku mafuta hayo iwapo UNK kwa bei ya shilingi moja ishirini sifuri kwa lita inakadiriwa kuwa UNK shilingi bilioni ishirini na tatu kwa mwezi jambo ambalo UNK wasiwasi kuwa UNK kwa watumiaji wa umeme bwana ngeleja alisema kutokana na mgawo huo bei za umeme UNK kwa mtumiaji wa kawaida kwa kuwa kuwa mpangaji wa bei hizo ni mamlaka ya udhibiti wa nishati na maji na si tanesco shehena hiyo iliwasili jana jijini ambapo taratibu zote za kuyatoa mafuta hayo UNK leo ili kuwasha mitambo ya iptl kama alivyoahidi awali na hivyo kupunguza mgawo wa umeme bwana ngeleja alisema iptl imekubali kuirekebisha mitambo yake ili kutumia gesi asilia badala ya dizeli katika kipindi cha miezi miwili ya mkataba jambo ambalo linaweza kupunguza mzigo kwa serikali mazungumzo yalikwenda vizuri na tumekubaliana kimsingi na kuanzia kesho wataalamu wataanza UNK moto mitambo hiyo kesho ili kupunguza mgao unaoendelea sasa nchini alisema bwana ngeleja aliongeza kuwa gharama za uendeshaji wakati wa makubaliano zitakuwa dola za marekani milioni mbili nane kwa mwezi ambazo UNK kutokana na serikali kugharamia mafuta UNK kutumika kuendesha UNK huo hata hivyo bwana ngeleja alisema kuwa makubaliano hayo siyo ya kudumu bali yatakuwa ndani ya miezi miwili kipindi ambacho tatizo la mitambo ya kihansi litakuwa UNK na kumaliza mgawo wa umeme uchaguzi wa serikali za mitaa ulifanyika nchini kote huku UNK na vurugu kupigana UNK madai ya wizi wa kura na kucheleweshwa UNK vua uchaguzi waandishi wa majira katika maeneo mbalimbali nchini wameshuhudia mambo mbalimbali huku ikitarajiwa kuwa ccm itaibuka na UNK mkubwa geita UNK ngumi UNK wetu faida muyomba anaripoti kutoka geita akuwa kada wa chama cha mapinduzi katika kijiji cha UNK kata ya kharumwa amejeruhiwa vibaya kichwani baada ya kutwangana na mwenzake wa chama cha demokrasia na maendeleo katika ugomvi wa kisiasa msimamizi msaidizi wa kata ya kharumwa bwana edward UNK alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi katika pilikapilika za mwisho za UNK wagombea wa ambapo bwana UNK joseph UNK alisema kuwa kada huyo wa ccm alipigwa kwa kitu chenye ncha kali kichwani hali iliyosababisha kulazwa katika kituo cha afya kharumwa kwa ajili ya matibabu baada ya kupewa hati ya matibabu toka kituo cha polisi UNK mganga mfawidhi wa kituo hicho daktari leonard mgema alisema baada ya majeruhi kufikishwa hapo UNK nyuzi kadhaa kichwani kisha kuruhusiwa kurudi nyumbani ccm na wapigakura UNK kutoka korogwe tanga yusuph mussa anaripoti kuwa mwenyekiti wa chama cha wananchi wilaya ya korogwe bwana saburi ally ambaye alikuwa anagombea uenyekiti wa mtaa wa manundu kati amesema ccm imepeleka mamluki kwenda kupiga kura kwenye mtaa huo bwana saburi ambaye alikuwa UNK na bwana mashaka ally wa ccm alisema wapigakura zaidi ya thebathini wametoka kwenye mitaa UNK UNK UNK na UNK wakala wa cuf wa kituo cha shule ya msingi mazoezi bwana ibrahimu abdillah alisema mamluki hao walikuwa wanataka kufanya fujo baada ya kutaka kukataliwa kupiga kura lakini walikuwa wanapata nguvu kutoka kwa mgombea wa ccm bwana mashaka msimamizi wa uchaguzi katika mtaa wa manundu kati kituo cha mazoezi alikiri kuwapo wapigakura sita ambao si wakazi wa mtaa huo lakini bwana mashaka alikana kuhusika kwa watu hao wala kushinikiza wapige kura bwana mashaka alishinda kwa kura arobaini na sita dhidi ya kumi na tisa za bwana ally wanane wakamatwa chadema iringa mwandishi wetu kutoka iringa eliasa ally anaripoti kuwa uchaguzi huo umeingiwa na dosari baada ya wafuasi wanane chadema katika kijiji cha maperamengi kata ya UNK kushikiliwa na polisi wakidaiwa kuleta vurugu katibu wa chadema wa mkoa wa iringa UNK UNK alisema kuwa wanachama hao walikamatwa walipokwenda kuchukua vifaa vya chama ambavyo UNK na katibu mwenezi wa chadema bwana mussa UNK aliyehama chama hichi oktoba ishirini na tatu mwaka huu kwenda ccm akiwa na nyaraka za chama chao nyaraka hizo ni kadi hamsini za chama bendera kumi na UNK ya majina ya wananchama zaidi ya ishirini na tano ambavyo UNK vurugu na kurushiana makonde kati ya wanachama wa ccm na chadema baada ya vurugu hizo uongozi UNK uchaguzi UNK na polisi na kikosi cha kutuliza ghasia kilifika na kuwakamata UNK wanane wa chadema waliokamatwa ni matatizo UNK ambaye ni mwenyekiti wa tawi la maperamengi ester UNK UNK haule UNK kayombo yona UNK fred UNK festo mapunda na UNK UNK mwenyekiti wa ccm wa mkoa wa iringa bwana deo sanga alisema hana taarifa yoyote na kuwa amewaagiza viongozi wa ngazi za chini kufanya uchunguzi wa tukio hilo lakini kamanda wa polisi wa mkoa wa iringa bwana UNK mangalla alipohojiwa alikiri kuwepo kwa tukio hilo lakini alisema kuwa hakuna mtu yeyote aliyekamatwa katika vurugu hizo singida vifaa UNK taarifa kutoka mkoani singida zilisema kuwa vifaa vya kupigia kura UNK kufika vituoni UNK katika jimbo la singida kusini linalodaiwa kuwa na nguvu kubwa ya upinzani habari kutoka katika eneo hilo zilisema kuwa hadi saa tisa mchana vifaa hivyo vilikuwa UNK katika maeneo ya kupigia kura asema UNK bila kufuata taratibu kanuni shellukindo akiri kuhojiwa UNK na richmond takukuru tuko sahihi hakuna aliye juu ya sheria sakata la uchunguzi unaofanywa na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa dhidi ya wabunge kupokea posho mara mbili UNK hatua mpya baada ya spika wa bunge bwana samuel sitta kusema kitendo hicho UNK wabunge kwani taasisi hiyo haikufuata utaratibu kauli hiyo ya bwana sitta imekuja siku moja baada ya takukuru kutoa ufafanuzi kuhusu uchunguzi tuhuma za kuchukua posho katika taasisi mbalimbali UNK huku wakiwa wameshalipwa na ofisi ya bunge katika taarifa yake iliyokaririwa na vyombo vya habari jana takukuru ilisema ofisi ya bunge ndiyo iliomba ufanyike uchunguzi dhidi ya wabunge UNK na kulipwa takrima serikalini na katika mashirika UNK katika ziara zao za kazi akizungumza na majira kwa njia ya simu jana bwana sitta alisema hatua iliyofikiwa na takukuru ni udhalilishaji na imekiuka utaratibu na kanuni na sheria za nchi dhidi ya bunge kama taasisi UNK mimi sijui kama kuna jambo hilo kwani UNK na kama UNK bila UNK huu utakuwa ni udhalilishaji mkubwa katika ofisi yangu na wabunge pia alisema bwana sitta alisema hata hivyo yeye kama spika hadi sasa hajui ni nini UNK na taasisi hiyo kutokana na kutokuwa na taarifa yeyote katika ofisi yake bali anashangaa kuliona jambo hilo katika vyombo vya habari bwana sitta alisema kimsingi ofisi ya takukuru ilitakiwa kuandika barua katika ofisi yake juu ya tuhuma hizo za wabunge kuwa inahitaji kufanya uchunguzi huo na ilipaswa kuwataarifu wabunge juu ya suala hilo kuliko UNK na taasisi hiyo natoa tahadhari kwa taasisi nyingine za uchunguzi kama takukuru kuwa linapotokea jambo kama hilo ni lazima watoe taarifa kwa maandishi katika ofisi za bunge ili bunge liwe na taarifa ya bunge litoe utaratibu wabunge wana kinga kama walivyo viongozi wengine wa serikali ona kitendo kilichofanywa na polisi morogoro kwa kumdhalilisha mbunge kwa kumburuza katika pick up kisa shilingi saba sifuri sifuri sifuri za UNK ya maji tena UNK askari wa ngazi ya chini UNK nini maana ya kinga ya mbunge kuwa ni moja ya udhalilishaji alisema bwana sitta alisema kisheria mbunge anapaswa kukamatwa au kuhojiwa na mtu wa ngazi ya juu wa chombo chochote cha UNK kwa kufuata utaratibu kanuni na sheria za nchi kwani mbunge UNK kukimbia na siyo askari wa ngazi za chini kama ilivyofanya takukuru na jeshi la polisi mkoa wa morogoro lakini msemaji wa takukuru doreen UNK alipozungumza na majira jana alisisitiza kauli ile ile ya juzi kuwa wabunge hawako juu ya sheria na katiba ya nchi inasema hivyo kwa hiyo walistahili kuhojiwa takukuru inapenda UNK umma kwamba wabunge kama ilivyo kwa mwananchi mwingine yeyote wanawajibika kisheria kuitikia wito katika ofisi za takukuru iwe ni kwa kuhojiwa au kwa kutoa ushahidi kwani hakuna raia yeyote aliye juu ya sheria na katiba ya nchi iko wao wazi kwa hili alisema wakati taarifa ya juzi ya takukuru iliweka bayana kuwa ofisi ya bunge iliiomba rasmi taasisi hiyo UNK nyendo za wabunge hao katibu wa bunge daktari thomas UNK alikana kufanya hivyo badala yake akasema ofisi yake UNK barua na uongozi wa juu wa serikali ikimtaka kutoa ushirikiano bwana kashililah alisema barua hiyo iliitaka ofisi yake itoe ushirikiano kwa taasisi hiyo pale inapobidi na hivyo aliandika kukubali ombi hilo lakini alitegemea kupata majibu ya utekelezaji wa uchunguzi huo lakini hadi leo hajui nini UNK wabunge hao wakati taasisi hizo UNK mbunge wa jimbo la bumbuli bwana william shelukindo ambaye vyanzo vyetu ndani ya takukuru vilidai kuwa amegoma kutoa ushirikiano katika uchunguzi huo alizungumza na gazeti hili na kukiri kuhojiwa na taasisi hiyo kuhusu tuhuma hizo na kuwa alitoa ushirikiano wa kutosha hawa watu wananitaka nini mie au kwa kuwa mkurugenzi wao UNK wiki UNK ndiyo wanatufanyia visa hivi nilipigiwa simu na mtu mmoja anaitwa UNK mwezi mmoja uliopita UNK mafuta yangu kutoka jimboni kwangu hadi dar es slaam UNK na UNK ushirikano wa kutosha sasa wanataka ushirikano upi niliwaambia kuwa kweli UNK posho hiyo kama takrima na wala si kosa kwani ni taasisi tofauti kama ingekuwa ni ofisi moja hili lingekuwa ni kosa hapa ninaona kuna kuna jambo UNK hapa kwanini hoja hii ije wakati huu tunapojadili jambo la richmond ambapo bosi wao anahusika naomba niwambie kuwa UNK nyuma katika hili tunaingia bungeni na UNK kwa kina jambo hilo hadi hapo UNK ukweli wasitubabaishe alisema bwana shelukindo alisema kitendo kilichofanywa na takukuru kumhoji bila kutoa taarifa katika ofisi yake ni udhalilishaji mkubwa kwa bunge alisema kuwa kama inafanya fitina hizo ili kumnusuru bosi wao wamechelewa kwani walitakiwa kufanya hivyo kabla hajatoa uamuzi kuutangazia umma kuwa hakukuwa na rushwa katika kuingia mkataba wa kampuni tata wa richmond kwa upande wake waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu UNK sera utaratibu na bunge bwana philip marmo alisema iwapo wabunge hao wanaona kuwa UNK wanapaswa kwenda katika vyombo vya sheria ili sheria ifuate mkondo wake na sio kukimbilia katika vyombo vya habari kwa miezi mwili takukuru imekuwa ikifanya uchunguzi na kuwahoji wabunge wa wanaotuhumiwa kuchukuwa posho mara mbili katika UNK ya umma UNK katika ziara UNK za kikazi hospitali ya taifa muhimbili ipo mbioni kuanzisha wodi kwa ajili ya wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu UNK na uwezo wa kulaza watu ishirini na sita mkakati huo UNK huku kukiwa na taarifa kuwa hospitali hiyo imekuwa UNK na wingi wa wagonjwa hadi kufikia hatua ya wale wa icu kuhamishiwa wodi za kawaida madai ambayo UNK na uongozi wa hospitali akizungumza na gazeti hili ofisa uhusiano wa hospitali hiyo bwana aminiel aligaesha alisema kwa sasa hospitali hiyo ina wodi mbili za icu moja ikiwa na uwezo wa kulaza wagonjwa wanane na nyingine ya moyo yenye vitanda UNK alifafanua kuwa uongozi wa hospitali hiyo upo mbioni kuanza kuweka vifaa maalumu kwenye wodi hiyo mpya ili ianze kutumika alipinga madai kuwa hospitali hiyo UNK na wingi wa wagonjwa kiasi cha wale waliolazwa icu kuhamishiwa wodi za kawaida lakini waandishi UNK wodi hiyo UNK wagojwa watatu badala ya wanane wanaohitajika hata hivyo bwana aligaesha alikiri kuwapo kwa wagonjwa wengi lakini siyo kwa kiwango cha kutisha hospitali yetu haina mlundikano wa wagonjwa kama ilivyo hospitali za ilala mwananyamala na temeke hapa kunakuwepo msongamano kama kuna dharura ya wagonjwa lakini hiyo ni kwa siku moja na baadaye ufumbuzi unapatikana alisema bwana aligaesha aliongeza kuwa hata nyumbani kwako una vyumba vitatu wakija wageni wengi wengine watalala sebuleni hiyo ni hali ambayo UNK kufurika wagonjwa wa UNK alisema bwana aligaesha mkazi wa kijiji cha UNK darajani kata ya maramba wilayani mkinga mkoani tanga UNK fransis anayesadikiwa kuwa na matatizo ya akili anatuhumiwa kumuua baba yake mzazi kwa kumchinja shingoni kwa kutumia panga tukio hilo la kuhuzunisha limetokea oktoba ishirini na nne mwaka huu saa saba mchana wakati baba huyo alipokuwa amejipunzisha nyumbani kwake kamanda wa polisi mkoa wa tanga bwana simon sirro alimtaja aliyeuawa kuwa ni fransis yohana ambaye ni baba mzazi wa mtoto mtuhumiwa kamanda sirro alisema kuwa wakati baba huyo akiwa amejipunzisha ghafla kijana huyo alikwenda na kumlaza UNK UNK kwa kutumia panga ana kufa papo hapo baada ya kupoteza damu nyingi tukio hilo UNK umati mkubwa wa watu ambao walifika katika eneo hilo mara baada ya kusikia kelele za kuomba msaada zilizopigwa na baba huyo kabla ya kukata UNK hata hivyo baada ya kufika eneo hilo watu hao walitoa taarifa polisi na kijana huyo alikamatwa na kupelekwa polisi kamanda sirro alisema hadi sasa bado wanamshikilia kijana huyo kwa uchunguzi na hatua zaidi mahakama kuu maalumu wilayani kahama imemhukumu kunyongwa hadi kufa bwana joseph lugata baada ya kupatikana na hatia ya kumuua kinyama bibi kizee mmoja bwana lugata ambae ni mkazi wa UNK wilayani kahama alihukumiwa wiki iliyopita na jaji gabriel rwakibalila kwa kumtia hatiani kwa kosa la kumkata mapanga kikongwe bibi nggwama UNK wa kijiji cha UNK kata ya UNK wilayani hapa katika mwendelezo wa mauaji ya vikongwe yanayoendelea katika kanda ya ziwa akitoa hukumu hiyo jaji rwakibalila alisema kutokana na ushahidi uliotolewa na upande wa jamhuri umethibitisha bila shaka kuwa mshitakiwa alimuua kinyama kwa kumkata mapanga kikongwe huyo kutokana na imani za kishirikina jaji rwakibalila alisema ushahidi uliotolewa ikiwamo kofia UNK mshtakiwa kukutwa na nguo zake zikiwa na UNK ya damu ya bibi aliyeuawa na baada vipimo vya vinasaba kutoka kwa mkemia mkuu wa serikali UNK kunyongwa mpaka kufa awali ilidaiwa mahakamani hapo na upande wa mashitaka kuwa bwana lugata alimuua kinyama kwa kumkata mapanga kikongwe bibi nggwama januari nane ishirini sifuri tisa saa nane usiku akiwa amelala nyumbani mwake kabla ya hukumu hiyo upande huo wa jamhuri uliiomba mahakama kutoa adhabu kali kwa mshtakiwa ili liwe fundisho kwa wengine kutokana na kukithiri kwa vitendo vya mauaji ya kinyama kwa kuwakata mapanga vikongwe katika mkoa wa shinyanga hukumu hiyo ya kunyongwa hadi kufa itakuwa ya pili kutolewa na mahakama hiyo na jaji rwakibalila baada ya ile ya watu watatu wa mauaji wa albino waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa hivi karibuni waliohukumiwa kunyongwa kwa mauaji ya albino ni masumbuko madata emmanuel masangwa na charles masangwa ambao walimuua albino matatizo dunia aliyekuwa akiishi kijiji cha bunyihuna wilayani bukombe rais jakaya kikwete ametoa rai kwa watu wenye asili ya afrika waliotawanyika sehemu mbalimbali duniani watumie uwezo wao walionao kuwekeza katika bara hilo kuondoa umaskini na kusaidia kuleta maendeleo rais kikwete pia amepinga mtazamo hasi uliotawala katika nchi nyingi za magharibi hasa katika vyombo vya habari kuonesha kuwa afrika ni bara lisilokuwa na kitu kizuri bali machafuko magonjwa njaa na umaskini rais kikwete aliyasema hayo jana dar es salaam alipokuwa akifungua kongamano la tano la mtandao wa mtawanyiko wa afrika duniani lililoanza jana alisema kuwa kongamano hilo lina maana kubwa mbili kuonesha jinsi watu wenye asili ya afrika walivyo pamoja na pia kulitangaza bara hili kiuchumi kwa UNK maeneo ya kihistoria yanayohusiana na mtawanyiko wa waafrika kuwa vivutio vya kitalii rais kikwete alisema kuwa kwa namna ile ile ambayo watu wenye asili ya afrika waliotawanyika sehemu mbalimbali duniani UNK kiutamaduni na wenzao walioko afrika hawana budi kuendelea kuungana nao kwa kuwasaidia kupambana na umaskini kutokana na uwezo wa kitaalamu teknolojia na pesa tumieni uwezo UNK katika teknolojia maarifa ya utaalamu mbalimbali na pesa kuwasaidia kaka na dada zenu walioko afrika wanaopambana na umaskini kama vile historia na utamaduni UNK basi hatuna budi pia kuwa pamoja katika katika masuala ya maendeleo bara hili UNK vitu vizuri vya kujivunia kama vile juu ya chimbuko la binadamu utamaduni na UNK hivi sasa tuko katika mwendo mzuri UNK na rushwa kwa nguvu zote uwekezaji unaongezeka uchumi UNK ingawa inashangaza kuwa kwa miongo kadhaa watu wengi katika nchi zilizoendelea wamekuwa na mtazamo hasi juu ya bara la afrika kama vile hakuna cha maana kinachopatikana hapa alisema rais kikwete rais kikwete alisema waafrika waliotawanyika duniani kote wanapaswa kuwa jasiri na kutokuogopa kuja nyumbani pamoja na picha mbaya inayooneshwa juu ya bara hili aliongeza kuwa kongamano hilo linapaswa kuwa daraja la kuwezesha harakati za maendeleo miongoni mwa waafrika kwa upande wake waziri wa maliasili na utalii bibi shamsa mwangunga alisema kongamano hilo linafanyika katika wakati mwafaka ambapo dunia iko katia harakati za kusaka amani na umoja ili kupata maendeleo hivyo kukutana kwa waafrika katika bara la asili yao ni moja ya fursa ya maendeleo inayopaswa kutumika bibi mwangunga alisema kuwa kongamano hilo ni moja ya mikutano yenye hadhi kubwa ambayo inapaswa kutumika kama jukwaa kutangaza utajiri wa kitamaduni na vivutio mbalimbali vilivyopo tanzania tanzania imekuwa nchi ya kwanza katika bara la afrika kuandaa kongamano hilo la mtawanyiko wa waafrika lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika oktoba thebathini mwaka huu mwanaharakati bwana UNK msemakweli UNK mawaziri sita na wabunge wanne kuwa na vyeti vya kughushi ameburutwa katika mahakama kuu ya tanzania ambapo mahakama hiyo imeombwa iamuru alipe shilingi bilioni tatu kama fidia ya kashfa hiyo kwa mujibu wa hati ya madai iliyofunguliwa mahakamani hapo jana na naibu waziri wa kazi ajira na maendeleo ya vijana daktari makongoro mahanga inaomba fidia ya kiasi hicho kwa madai kuwa habari hizo zilikuwa za uongo na zilizojaa chuki kesi hiyo yenye namba mia moja na arobaini na tano ina walalamikiwa wanne akiwemo bwana msemakweli bwana UNK said mkurugenzi mtendaji wa gazeti la nipashe pamoja na kampuni ya UNK ambayo ndiyo UNK wa gazeti UNK na habari za mawaziri hao kughushi vyeti vya vya shahada ya UNK hati inadai kuwa kutokana na maelezo yaliyomo kwenye habari UNK kughushi vyeti vya taaluma zao na kuwalaghai wananchi wa majimbo yao ililenga kuonesha kuwa mlalamikaji ni mtu wa kughushi mwanasiasa UNK asiyefaa kushika nafasi ya kisiasa aliyonayo pamoja na kupata ubunge kwa njia za jinai au kutofuata maadili mlalamikaji anadai kuwa habari hiyo ambayo ilichapwa na UNK la nipashe na kusambazwa nchi nzima UNK heshima yake kwa wananchi ambayo UNK kwa muda mrefu lakini pia UNK utendaji kazi wake katika mambo ya kisiasa hati hiyo inadai kuwa mdai ana wadhifa mkubwa serikalini lakini pia ni mbunge hivyo kutokana na chapisho hilo ambalo halikuwa na uthibitisho wowote UNK kuathirika kisaikolojia kudharauliwa katika jamii na kuishi katika hali ya majonzi kutokana na hali hiyo mlalamikaji anaomba kulipwa shilingi bilioni tatu au kiwango UNK na mahakama ambacho UNK shilingi milioni ishirini sifuri madai ya kiasi hicho cha fedha ni kutokana na kudhalilishwa kisiasa kijamii na kuathiriwa katika mambo mbalimbali mbali na fidia hiyo mlalamikaji anaomba kuombwa radhi na gazeti hilo katika ukurasa wake wa kwanza lakini pia kutolewa zuio la kuchapisha habari zozote zinazomhusu mlalamikaji huyo bila ya kuwa na kibali chake hivi karibuni UNK wa kwanza ambaye alijitambulisha kuwa ni mwanaharakati aliwataja mawaziri sita na wabunge wanne kuwa UNK vyeti vya taaluma zao hali iliyosababisha kujipatia nafasi UNK serikalini matukio ya vurugu na kupigana masumbwi yaliyoanza juzi wakati wa upigaji kura yaliendelea hadi wakati wa kusubiri matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa huku UNK vifo viwili na ushindi wa UNK wa chama cha mapinduzi mshindi afa kwa furaha kibaha mkoani pwani UNK UNK anaripoti kuwa aliyeshinda uenyekiti wa kitongoji cha UNK kijiji cha UNK wilaya ya kisarawe mkoani pwani aliyetambulika kwa jina moja la bwana shaban amefariki dunia muda mfupi baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa hapo akitoa taarifa za kifo hicho katibu wa ccm pwani bibi UNK UNK alisema kuwa bwana shaban juzi jioni baada ya kutangazwa kuwa ni mshindi wa nafasi ya mwenyekiti katika kitongoji hicho aliondoka na wapambe wake kuelekea nyumbani alidai kuwa mara baada ya shamrashamra kumalizika bwana shaban aliingia ndani kwake kujipumzisha na akiwa amelala alifariki dunia na kwamba hakuwa anaumwa na wala hakuwahi kuumwa siku za karibuni siwezi kujua kifo hicho kimetokana na nini au kwa sababu ya furaha aliyokuwa nayo kutokana na ushindi alioupata alisema bibi UNK UNK katika ugomvi geita katika tukio jingine faida muyomba anaripoti kutoka geita kuwa mfuasi mmoja wa chama cha mapinduzi katika kitongoji cha UNK kijiji cha UNK wilayani geita bwana fabian pani amefariki baada ya kupigwa katika ushabiki wa vyama kuhusiana na uchaguzi wa serikali za mitaa habari zinasema kuwa bwana pani alifariki baada ya kupigwa na watu wasiojulikana wakati wakibishana kuwa ni chama kipi kitashinda kati ya chadema na ccm ambapo UNK ugomvi wakati mfuasi huyo akipoteza maisha katika kijiji cha UNK mfuasi mwingine wa chadema amejeruhiwa vibaya katika kipigo baada ya kutokea vurugu kubwa ambapo masanduku ya kupigia kura yalidaiwa kuvunjwa huku karatasi za kupigia kura UNK vile vile katika mji mdogo wa katoro hali haikuwa shwari baada ya watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa chadema kuchoma jiko kuvunja mlango na madirisha ya nyumba ya msimamizi msaidizi wa kijiji hicho kwa madai kuwa alichelewa kutangaza matokeo na kwenda kujificha nyumbani kwake wakati hali ya mambo ikielezwa hivyo wilaya jirani ya sengerema habari zinasema kuwa wafuasi wa udp wamedaiwa kuchoma moto masanduku yaliyokuwa na karatasi za kupigia kura katika kijiji cha UNK kata ya UNK habari kutoka wilayani chato zinasema kuwa waziri wa uvuvi na maendeleo ya mifugo bwana john magufuli UNK na uchaguzi huo baada ya chadema kushinda kiti cha serikali ya kijiji cha nyumbani kwake cha UNK kondoa UNK vibaya ccm mwandishi wetu rehema UNK anaripoti kutoka dodoma kuwa wilaya ya kondoa imeonekana kuwa ndio eneo pekee ambalo limetoa upinzani mkubwa kwa ccm matokeo ya awali UNK katika wilaya mbalimbali mkoani hapa yanaonesha kuwa ccm UNK kwa zaidi ya asilimia tisini na nane katika maeneo mbalimbali isipokuwa kondoa chama UNK ushindi wa vijiji sitini na mbili kati ya mia moja na sabini na saba na vitongoji ishirini mbili kati ya mia saba na tisini na nne huku UNK mitaa kumi kati ya kumi na moja cuf wataka kombani UNK katika hatua nyingine rabia bakari anaripoti kuwa mbunge wa viti maalumu mkoani lindi kwa tiketi ya cuf bibi mwanawetu zaraf amemtaka waziri wa serikali za mitaa na tawala za mikoa bibi celina kombani kuingilia kati hali ya utata wa uchaguzi wa serikali za mitaa wilaya ya kilwa baada ya baadhi ya wananchi kushindwa kupiga kura kutokana na vifaa vya uchaguzi kucheleweshwa katika vituo vya kupigia kura akizungumza na waandishi wa habari jijini jana bibi zaraf alisema kuwa uchaguzi huo ulijaa utata mkubwa ambapo kuna baadhi ya wananchi walishindwa kupiga kura baada ya vifaa kucheleweshwa na hivyo kuahirishwa hadi jana huku waziri akitangaza utafanyika kabla ya oktoba thebathini na moja mwaka huu hali inayotishia kuondoa amani na demokrasia ya kweli selelii kimaro wataka afikishwe kortini UNK serikali kwa kutoa majibu ya ovyo lowassa UNK na vyombo vya habari wakati mkutano wa bunge unaanza leo mzimu wa mkataba tata wa richmond umeendelea kumwandama aliyekuwa waziri mkuu bwana edward lowassa baada ya baadhi ya wabunge kudai kuwa anastahili kuchukuliwa hatua zaidi ya ile ya kujiuzulu kutokana na kutajwa kwake katika kashfa hiyo wabunge hao kwa nyakati tofauti wamesema kuwa urafiki ambao bwana lowassa alisema upo baina yake na rais jakaya kikiwete UNK urais serikali na UNK ifanye kazi yake kwa kumchukulia hatua kutokana na kuliingizia taifa hasara akizungumza na majira kwa njia ya simu jana mbunge wa nzega bwana lucas seleli bwana selelii alisema kutochukuliwa hatua za kisheria kwa bwana lowassa kunatokana na urafiki uliopo kati rais kikwete na mbunge huyo wa UNK alisema rais kikwete anapaswa kuamua kusuka au kunyoa kwa kuacha urafiki na kufuata sheria za nchi kwa kumfikisha bwana lowassa katika vyombo vya sheria kwani alionekana wazi kushiriki kupitisha mkataba huo tata tulipokuwa UNK taarifa ya kamati teule ya bunge tulibaini kuwa bila shaka alishiriki katika uamuzi huo hivyo UNK apime UNK akaamua kujiuzulu huu ulikuwa ni uamuzi wake binafsi lakini sisi UNK hapo UNK na serikali nayo iamue nini cha kufanya lakini hadi sasa imekuwa UNK majibu ya ovyo ovyo tu tunajua hawa watu ni marafiki tangu muda mrefu lakini urafiki na urais ni kitu tofauti hapa ni kazi wanatakiwa kuweka urafiki pembeni na kuwatumikia wananchi alisema bwana selelii alisema kama kweli nchi inafuata sheria na utawala bora serikali inatakiwa kumshtaki bwana lowassa kutokana na kosa alilofanya kwani limekuwa UNK nchi pato kubwa hadi sasa alisema kuwa sheria ni sawa na moto kwa kuwa moto unaweza UNK UNK lakini UNK alisema katika mkutano wa kumi na saba unaoanza leo mjini dodoma UNK kumaliza suala hilo na kuhakikisha kuwa sheria UNK mkondo wake kwa UNK hatua watu wote walihusika katika mkataba huo tata kauli ya UNK imekuja siku moja baada ya gazeti moja kutoa vielelezo vinavyoonesha jinsi bwana lowassa alivyohusika kushinikiza kusainiwa kwa mkataba wa UNK lakini bwana lowassa alipoulizwa hakuwa tayari kuzungumza na gazeti hili sikusikia vizuri swali lako kwa kuwa simu UNK lakini siko tayari kuzungumza na vyombo vya habari kwa sasa hadi hapo UNK alisema bwana lowassa na kukata simu mapema mbunge wa vunjo bwana aloyce kimaro naye aliungana na bwana selelii akisema kuwa rais kikiwete anatakiwa kuuweka pembeni urafiki wao na kuchukua uamuzi UNK wananchi UNK madarakani alisema rais anatakiwa kukumbuka kuwa madaraka aliyonayo ni ya milele na UNK na wananchi hivyo hatakiwi kufanya UNK kwa kuchanganya urafiki na madaraka hayo kwani UNK hatua bwana lowassa ni sawa na kuwadharau wananchi UNK iwapo atachukua uamuzi mzito wa kumfikisha bwana lowassa katika vyombo vya sheria utakuwa si uamuzi wake bali ni wa wananchi kwa kuwa cheo hicho si mali ya lowassa au ya kikwete bali ni mali ya wananchi alisema bwana kimaro alisema hadi sasa hajui ni kwa nini rais anakuwa mzito katika kutoa maamuzi katika jambo hilo kwani mapendekezo ya kamati teule ya bunge na maoni ya wabunge yako wazi mwansheria wa chama cha demokrasia na maendeleo bwana tindu lisu alihoji lowassa mwenye alishasema kuwa urafiki wake na rais kikwete UNK barabarani sasa kwenye mazingira ya aina hiyo anaweza UNK mtu wa kumshitaki mahakamani ni dpp ambaye anachaguliwa na rais na rais ni rafiki yake bwana lowassa sasa UNK kumshitaki katika mazingira hayo alihoji bwana lissu alisisitiza kuwa rais akitaka anaweza kumfikisha bwana lowassa katika vyombo vya sheria kujibu mashitaka ya kutumia vibaya ofisi yake kuna ushahidi mkubwa unaoonesha jinsi bwana lowassa alivyohusika ukisoma ripoti yote ya daktari mwakyembe utaona inavyoeleza wazi jinsi UNK barua zipo nyingi UNK alivyoshiriki alisema na kuongeza kuwa lowassa ni rafiki wa karibu wa rais kikwete bado ana nguvu serikalini ndiyo maana UNK alisema hata makosa aliyofanya bwana lowassa UNK macho lakini baadaye anaweza kushitakiwa makosa yanayomkabili ni ya jinai ambayo UNK hadi baada ya miaka sitini alisema na kufafanua kuwa hata serikali zijazo zinaweza kumfikisha mahakamani akizungumza na majira kwa njia ya simu aliyekuwa mwenyekiti wa kamati teule ya bunge iliyochunguza kashfa ya richmond daktari mwakyembe alisema yeye kama mwenyekiti hawezi kusema lolote kuhusu taarifa hiyo bali anasubiri kile UNK na serikali unajua mimi nilikuwa mwenyekiti wa kamati sasa siwezi kusema lolote waache wabunge wengine waseme mimi nikisema inaweza kutafsiriwa vibaya kwa kuwa nilikuwa mwenyekiti alisema daktari mwakyembe kauli hizo za wabunge zimekuja wakati serikali inatarajia kuwasilisha taarifa yake ya utekelezaji ya maazimio ishirini na tatu ya bunge kuhusu richmond muda wowote kuanzia leo ubalozi wa uturuki nchini umesema shirika la ndege la nchi hiyo litaanza kufanya safari zake nchini tanzania kuanzia mwaka ujao balozi wa uturuki hapa nchini daktari UNK gurbotz amemweleza makamu wa rais daktari ali mohamed shein kuwa wamefikia makubaliano na mamlaka ya anga tanzania kwa ajili ya safari za moja kwa moja kutoka uturuki hadi dar es salaam daktari gurbotz ambaye alikwenda kumsalimia daktari shein ofisini kwake ikulu alisema hatua ya shirika hilo kuanza safari zake nchini itasaidia kuendeleza mahusiano ya kiuchumi biashara na utalii kati ya tanzania na uturuki balozi huyo alisema ana mpango pia wa kuwasiliana na wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ili kufikia makubaliano juu ya biashara huria na kuanzisha tume ya kudumu ya ushirikiano kati ya nchi hizo mbili alisema katika kipindi cha miezi mitatu UNK nchini amefanya jitihada ya kushawishi wafanyabiashara wa uturuki waweze kuja kuwekeza nchini tanzania akiamini kuwa hiyo ndiyo njia pekee ya kuongeza ajira na kukuza uchumi kwa mfano tuna viwanda vya nguo vya kisasa kabisa uturuki ambavyo UNK na ukosefu wa malighafi wafanyabiashara watakuwa katika nafasi nzuri ya kusafirisha ili sote tuweze kunufaika alisema aliongeza kuwa tayari nimefanya mkutano mkubwa na bodi ya pamba tanzania juu ya kuhamasisha uwekezaji katika pamba katika mazungumzo hayo makamu wa rais alimtaka balozi huyo kuhamasisha wawekezaji wa uturuki waje UNK mikoa inayolima pamba ikiwemo ya shinyanga mwanza tabora na mara badala ya kutegemea taarifa pekee alisema serikali hivi sasa kupitia kaulimbiu yake ya kilimo kwanza UNK wafanyabiashara wakiwemo wa kutoka uturuki kuwekeza kwenye kilimo ili nchi iweze kujitosheleza kwa chakula na kuinua uchumi kwa ujumla utafiti wa kina unahitajika kufanywa ili kubaini uhalisia na kupata undani wa mahusiano waliyonayo watu wenye asili ya afrika UNK sehemu mbalimbali ndani na nje ya bara la afrika hali hiyo itawezekana iwapo waafrika wataweza kujikita katika kufundisha elimu itakayowasaidia kujua chimbuko lao pia kuelewa umuhimu wa kutunza maeneo mbalimbali kwa ajili ya UNK wa kihistoria na kuvutia utalii hayo yalisemwa jana dar es salaam na watoa mada katika kongamano la tano la mtandao wa mtawanyiko wa waafrika sehemu mbalimbali duniani lililoanza juzi akizungumza katika moja ya midahalo iliyofanyika jana naibu waziri wa hoteli na utalii kutoka angola bwana UNK UNK alisema kuwa kongamano la UNK na tafiti zingine kama ile inayoendeshwa na shirika la elimu sayansi na utamaduni la umoja wa mataifa ni hatua nzuri katika kutafiti na kugundua asili ya mtawanyiko wa waafrika hii ni nafasi UNK kuvumbua na kujua madhara ya historia ya biashara ya utumwa katika angola afrika na duniani kote ni fursa ya kuwapatia watu wenye asili ya afrika habari za uhakika juu ya historia yao yale ya kale pamoja na ya karibuni nchini angola bado kuna upungufu kuhusu mtawanyiko wa watu wenye asili ya angola UNK ulimwenguni lakini huko brazil na marekani kuna ushahidi wa vitu UNK na utamaduni wetu ikiwa ni dhahiri kuwa kuna watu wa asili yetu kwa mfano ngoma ya samba huko brazil alisema bwana UNK mtoa mada mwingine bwana UNK UNK ofisa mchumi katika ubalozi wa afrika kusini huko marekani alisema kuwa elimu inayotolewa katika nchi nyingi za afrika ina lengo la kufuta kumbukumbu muhimu zinazohusu mtawanyiko wa waafrika na uelewa wa masuala ya historia yao kwa ujumla alisema mathalani afrika kusini hawafundishwi elimu ya historia inayoweza kuwapatia ufahamu kuwa kuna watu kutoka nchini humo UNK maeneo mbalimbali barani afrika ikiwa ni pamoja na afrika mashariki hususani kusini mwa tanzania kama vile songea elimu ya historia hiyo UNK kinachofundishwa na kile kinachohusu historia ya kuanzia mwaka elfu moja na mia sita na hamsini na mbili pale wazungu UNK afrika kusini lakini UNK zaidi ya hapo kujua hasa waafrika wenzetu UNK na kufika wapi si hivyo tu hata maeneo yenye kumbukumbu muhimu kwa waafrika kama vile mapambano ya kupinga utawala wa kikoloni na kibaguzi UNK thamani halisi mfano halisi ni eneo UNK marehemu steve UNK huko kings UNK halipewi umuhimu pamoja na kwamba ndipo hasa UNK vuguvugu la kumsaidia mwafrika kujitambua alisema bwana UNK kwa upande wake UNK mdahalo bwana jenerali ulimwengu UNK suala la utafiti na kuyapatia heshima maeneo ya historia ya mwafrika ili kuwa maeneo ya vivutio vya kitalii UNK kufanya utafiti wa kutosha kwa kweli ili kujua asili na mahusiano ya waafrika walioko katika maeneo mbalimbali mathalani hivi karibuni UNK waziri shamsa mwangunga akisema kuna watu huko nchi ya UNK UNK kuwa na uhusiano na eneo la rufiji nchini tanzania hilo ni UNK la kutafiti alisema wilaya ya bagamoyo mkoani pwani inakabiliwa na upungufu wa chakula wa tani thebathini na sita sifuri sifuri sifuri za mazao ya nafaka zinahitajika akizungumza na wananchi wa bagamoyo mwishoni mwa wiki iliyopita mkuu wa wilaya hiyo bwana magesa mulongo alisema wilaya yake inakabiliwa na upungufu huo hivyo akawataka wananchi kukitumia vizuri chakula UNK alisema tayari wilaya imepokea tani mia tatu na sabini na mbili za mazao ya nafaka kutoka serikali kuu kwa ajili kuwanusuru na njaa wananchi wenye upungufu huo nusu ya chakula hicho UNK bure kwa wananchi wasio na uwezo na kilichobaki UNK wenye uwezo kidogo kwa bei ya shilingi hamsini kwa kilo bwana mulongo aliyataja maeneo yaliyoathirika zaidi na upungufu huo kuwa ni kata ya UNK UNK ruvu darajani kibindu na kwa UNK ambayo yamefikiwa na msaada huo aliwataka wananchi kuendeleza kilimo cha mazao ya muda mfupi ikiwa ni pamoja na zao la muhogo ili kuweza kukabiliana na upungufu huo kwani kilimo cha muhogo kimesaidia sana kunusuru baadhi ya familia asema hawezi kuwaziba midomo wabunge asisitiza chanzo ni kashfa ya richmond mbunge wa kyela daktari harison mwakyembe amemshukia mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzua na kupambana na rushwa daktari edward hosea na kumtaka aache mara moja kutafuta njia ya kujihami kwa kuwahoji ili kuwaziba midomo wabunge badala yake izingatie utawala wa sheria daktari mwakyembe aliyeongoza kamati teule ya bunge iliyochunguza kashfa ya kampuni tata ya kuzalisha umeme wa dharura ya richmond na kumtuhumu daktari hosea kwa kuisafisha anaungana na mbunge wa bumbuli william shelukindo kuhusisha kashfa hito na hatua ya takukuru kuwahoji wabunge kuhusiana na posho UNK madai ya wabunge hao yamekuja wakati takukuru ikiendelea kuwahoji baadhi ya wabunge UNK kupokea posho mara mbili kutoka serikalini na kwenye mashirika ya umma huku wakiwa wameshalipwa na ofisi ya bunge tofauti na bwana shelukindo aliyekiri kuhojiwa na kutoa ushirikiano daktari mwakyembe ambaye kitaaluma ni mwanasheria amesema hawezi kukubali kuhojiwa na takukuru kwa sasa hadi hapo serikali itakapomaliza kutekeleza maamizio ishirini na tatu ya kamati teule ya bunge mojawapo UNK kumwajibisha daktari UNK akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa habari wa bunge jana daktari mwakyembe alisema amesikitishwa na kitendo cha takukuru kuwaita wabunge katika kundi kwa kuwapigia simu kuwahoji kuhusu malipo ya posho ya vikao mbalimbali huku taasisi hiyo nayo ikiwa inawalipa wabunge pale inapokutana nao dar es salaam leo nimesoma gazeti moja likiwa limeandika habari kwamba sijui mwakyembe amechanganyikiwa ameitwa na takukuru ameomba hifadhi kwanza hili ni gazeti la mafisadi na si mara ya kwanza kuandika habari kama hizi gazeti hili linamilikiwa na mafisadi waandishi wa wapo hapa UNK kagoda ni nani richmond ni nani hili gazeti linamilikiwa na mafisadi na mnawajua sina haja ya kuwataja na UNK alisema mbunge huyo aliongeza lakini ninachotaka niseme ni kwamba kwa muda wa karibu mwezi sasa takukuru wamekuwa wakiwaita wabunge kwa makundi tena kwa kuwapigia simu na mimi walinipigia simu nikiwa jimboni nikakataa kwenda sasa huo ni ujasiri kwa sababu bado tunasubiri utekelezaji wa serikali kuhusu takukuru katika suala la richmond hatujapata majibu hayo huyo huyo anayetakiwa UNK UNK eti UNK alisema daktari mwakyembe na kuongeza huo siyo utawala wa sheria hili ni bunge la tisa lakini hata sisi tumekuta wabunge wakilipwa posho au kuandaliwa chakula sisi UNK mawaziri kila siku katika maeneo yetu hatujawahi kusema kwamba leo UNK chakula kwa kuwa amelipwa hapana hata wao takukuru UNK pale dar es salaam UNK posho tena mpaka ya kulala yapo masuala mazito ambayo tunataka takukuru UNK watanzania si michezo michezo hii alisema alisema fedha zinazotumika katika fungu hilo hupitishwa bungeni kila mwaka kwa jina la hospitality na kwamba ni jambo la kawaida UNK mgeni UNK na kwamba kama mtu hapendi kufanya hivyo UNK lakini kuwahoji wabunge juu ya malipo hayo ni kutaka kuwaziba midomo ili wawe na hofu kuhoji utekelezaji wa serikali kuhusu mkuu wa takukuru mimi UNK na nimekataa kwenda sasa kama wana hoja waende mahakamani tutakutana huko na UNK huko alisema daktari mwakyembe alisema yeye kama mbunge mwana taaluma ya sheria hawezi kukubali kuona watu wanatumia baadhi ya vyombo vya habari kuendelea kupotosha ukweli kwa maslahi yao na kuwaomba wanahabari kusaidia jamii kuelewa hoja za msingi za taifa badala ya baadhi yao kupotosha ukweli kwa maslahi yao eti mafisadi wanataka kuniangusha kule jimboni kwangu najua leo kuna ndege imepeleka magazeti ya fulani kyela na kugawa bure lakini nawaambia wananchi ni waelewa mafisadi UNK oa kyela UNK wao na wake zao wapige kambi na wahamie kyela kwa miaka mitano alisema daktari mwakyembe kauli hizo za daktari mwakyembe zimekuja siku mbili baada ya spika wa bunge samuel sitta UNK takukuru kupitia gazeti kuwa UNK wabunge kwa kuwahoji bila kufuata taratibu ikiwamo UNK ofisi yake lakini taasisi hiyo kwa upande wake inasema ilipata baraka za bunge kufanya hivyo na wabunge wanastahili kuitikia wito kwa kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria malumbano hayo yanaendelea wakati mkutano wa kumi na saba wa bunge unaotarajia kuhitimisha kashfa ya richmond kwa serikali kueleza UNK maazimio ishirini na tatu ya bunge ukiendelea idadi ya wagonjwa wa mafua makali ya nguruwe katika wilaya ya mbulu mkoani manyara imezidi kuongezeka na sasa imefikia mia tano na kumi na moja tangu ugonjwa huo ulipoingia septemba ishirini na mbili mwaka huu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya mbulu bwana mohamed ngwalima aliyasema hayo jana alipozungumza na majira ofisini kwake na kubainisha kuwa ugonjwa huo umeenea kwa kasi ndani ya wilaya hiyo bwana ngwalima alisema kuwa idadi hiyo ni jumla kuu ya wagonjwa wa zamani na wapya kati yao waliothibitishwa ni mia mbili na arobaini na tano UNK dawa aina ya tamiflu ni wagonjwa mia mbili na ishirini na tisa idadi hii ni jumla ya wagonjwa wa zamani na wapya na pamoja na vipimo ambavyo UNK zamani na sasa hivyo hii ndio hali halisi ya ugonjwa wa mafua makali ya nguruwe ndani ya wilaya yetu alisema mkurugenzi huyo wa halmashauri alifafanua kuwa ugonjwa huo hadi sasa umewakumba watumishi sita wa hospitali hiyo ambao UNK wakati wakitoa huduma kwa wagonjwa wengine hata hivyo bwana ngwalima alifafanua kuwa idadi ya wagonjwa UNK nayo inaongezeka kutoka watatu oktoba kumi na tisa na sasa kufikia kumi na nne jambo ambalo litaweza kusababisha wagonjwa hao kuendelea kuambukiza watu wengine huko UNK idadi ya wagonjwa waliopo kambini kwa sasa ni themanini na sita kati ya hao themanini na nne ni wa zamani na wapya ni wawili huku wagonjwa UNK kwenda majumbani kwao ni mia nne na kumi na moja bwana ngwalima alisema serikali inajitahidi kuhakikisha wagonjwa waliotoroka wanapatikana ili kumalizia dozi zao na kuwadhibiti kikamilifu ili wasije UNK watu wengine mfungwa semayoga michael kutoka gereza la ukonga dar es salaam anatarajiwa kutunukiwa cheti cha kuhitimu shahada ya sheria katika chuo kikuu huria keshokutwa mfungwa huyo ni wa pili kupata shahada hiyo katika chuo hicho baada ya haruna pembe UNK kuhitimu katika gereza hilo oktoba mwaka juzi makamu mkuu wa chuo hicho profesa tolly mbwette aliyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu mahafali ya watakaohitimu shahada na vyeti mbalimbali profesa mbwette alisema miongoni mwa watakaohitimu ni viongozi mawaziri na wanasiasa akiwemo bibi anna kilango malecela UNK shahada ya kwanza akiwa tayari UNK kuanza shahada ya uzamili chuoni hapo mkuu huyo wa chuo hakuwa tayari kutaja majina wala idadi ya viongozi watakaokuwa miongoni mwa wahitimu moja mia tatu na arobaini wakiwemo wanawake mia tano na ishirini na moja na wanaume mia nane na kumi na tisa kwa madai kuwa hilo ni suala binafsi hata hivyo kuna wanafunzi ambao UNK vyeti kutokana na matokeo yao kutia shaka uchunguzi dhidi yao umeanza kufanyika na endapo wataonekana hawana hatia UNK vyeti vyao katika mahafali mengine kesho waziri mkuu bwana mizengo pinda atazindua UNK ya UNK ya ualimu wa shule ya msingi na shahada ya uzamili ya sheria ili kuwa na uelewa katika matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano pia bwana pinda atatoa zawadi kwa kamati bora tatu za ushauri walimu bora watatu watafiti bora washauri wakurugenzi wa mikoa na wafanyakazi bora wa utawala watatu profesa mbwette alisema chuo hicho pia UNK kuwa mwenyeji wa kuratibu masuala ya ualimu baada ya kushindana na vyuo kumi huria afrika ikiwa imesalia miezi kumi na mbili kufanyika kwa uchaguzi mkuu serikali imeweka wazi kwamba itawasilisha bungeni muswada wa sheria ya gharama za uchaguzi katika mkutano wa kumi na nane wa bunge januari mwakani katika mkutano huo pia itawasilisha muswada wa kurekebisha sheria ya maadili ya viongozi kwa lengo la kutenganisha siasa na biashara kama sehemu ya UNK wa ahadi ya rais jakaya kikwete akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa habari wa bunge jana waziri nchi ofisi ya waziri mkuu bwana philip marmo alisema katika muswada huo wa sheria ya garama za uchaguzi hakuna chama UNK kupata fedha au msaada wa aina yoyote kutoka nje ya nchi katika sheria hiyo ya garama za uchaguzi kuna kipengele cha fedha haramu na hizo fedha haramu ni pamoja na fedha kutoka nje ya mpaka wa tanzania alisema alisema hata kama mtoa msaada ni ndugu wa mgombea au kiongozi wa chama chochote akitoa msaada itakuwa ni kinyume cha sheria na haitaruhusiwa katika sheria hiyo mpya alisema kila chama kitalazimika kutaja vyanzo halali vya mapato yake na kwamba iwapo UNK fedha nje ya vyanzo vyake halali itakuwa ni kosa na kwamba wagombea pia UNK kutaja viwango vya fedha UNK kutumia katika uchaguzi na kueleza jinsi walivyopata fedha hizo kila mgombea UNK kwa msajili wa vyama vya siasa kiwango cha fedha UNK kutumia katika uchaguzi UNK wataweka wazi mchanganuo wa matumizi kwa kueleza wazi ni kwa nini anatumia fedha hizo na UNK kufanya tofauti na maelezo yake kwa hali hii ofisi ya msajili wa vyama vya siasa itakuwa na kazi kubwa sana alisema bwana marmo alisema kutokana na sheria hiyo serikali itafanya marekebisho makubwa katika sheria ya uchaguzi ya mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tano na ile ya vyama vya siasa ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na mbili ili iweze kuendana na utaratibu wa kusimamia mapato matumizi na gharama za uchaguzi kwa vyama vya siasa na UNK muswada wa sheria hii tayari umekamilika baada ya waraka wa baraza la mawaziri kupitishwa upo katika hatua zake za mwisho kujadiliwa na wadau muda wowote kuanzia sasa alisema kuhusu marekebisho ya sheria ya maadili ya viongozi wa umma ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano inayolenga kutenganisha biashara na uongozi katika utumishi wa umma katika ngazi za juu alisema serikali iliunda timu ya kufanya UNK wa mapendekezo ya awali kutoka katika nchi mbalimbali na kwamba tayari UNK mapendekezo yake wajumbe wa timu hiyo walitoka kutoka sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma ofisi ya msajili ya vyama vya siasa tume ya taifa ya uchaguzi ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa alisema kutokana na umuhimu wa sheria hizo mbili kugusa jamii moja kwa moja serikali UNK wananchi vyama vya siasa mashirika yasiyokuwa ya kiserikali UNK ya dini kujitokeza kutoa maoni yao kwa lengo la UNK ili UNK bungeni iwe imepata ridhaa ya wananchi na kuleta manufaa kwa taifa ofisi ya waziri mkuu imeagiza makatibu tawala wa mikoa nchini kuweka mikakati ya kukabiliana na mvua za el nino kwa kuwahamisha wananchi wanaoishi mabondeni ili kuepuka maafa yanayoweza kuepukika taarifa ya ofisi ya waziri mkuu iliyosainiwa na katibu mkuu bwana UNK lyimo inazungumzia taadhari iliyotolewa na idara ya hali ya hewa siku chache zilizopita kuwa kuna uwezekano wa tanzania kukumbwa na mvua za el nino kati ya oktoba ishirini sifuri tisa na machi ishirini moja sifuri bwana lyimo alisema makatibu tawala wa mikoa waweke mipango mbadala katika maeneo yote yanayoweza kupata mafuriko ikiwemo kuwahamisha wanachi kutoka mabondeni na kuwapeleka katika sehemu salama ili kuepusha madhara UNK na kujiandaa kurejesha mawasiliano endapo UNK na mvua mikoa iliyoko katika hatari zaidi ya kuathirika na mvua hizo ni dar es salaam pwani tanga kilimanjaro na arusha mikoa mingine ni manyara mwanza mara kagera shinyanga kigoma singida dodoma morogoro lindi na mtwara pia makatibu tawala hao wameagizwa kuhakikisha mikoa yao inakuwa na dawa za magonjwa ya milipuko kwa binadamu na mifugo kama vile UNK kipindupindu na dawa za kusafisha maji ya kunywa kwa upande wa chakula bwana lyimo amewaagiza viongozi hao kuhakikisha mikoa inaweka UNK ya chakula cha kutosha ili kuepuka baa la njaa kila katibu tawala UNK bajeti ya mkoa wake itakayosaidia kukabiliana na madhara ya mafuriko na UNK vifaa vya kukarabati miundombinu ya mawasiliano UNK kuhusu maeneo ya migodi ofisi hiyo imeagiza makatibu tawala kusimamia UNK wa mitaro UNK maji katika migodi ya wachimbaji wadogo wadogo na kuchukua taadhari zinazostahili kuepusha maafa yanayoweza kusababishwa na maji kuingia ndani ya migodi wananchi nao UNK kutumia mvua hizo kuzalisha mazao UNK mvua nyingi kama mpunga na ufugaji wa samaki siku moja baada ya gazeti hili kuripoti kuuawa kwa wafanyabiashara wawili mkoani kagera polisi mkoani humo wamekiri kuwaua kwa bahati mbaya wakati wakifuatilia majambazi walioteka magari na kupora mali za abiria waliouawa katika tukio hilo kuwa ni alex theonest na UNK simon wote wakulima wa muleba mkoani kagera katika tukio hilo pia polisi walimuua jambazi mmoja george UNK mwenye umri kati ya miaka thebathini na thebathini na tano kati ya sita waliokuwa UNK magari mawili juzi saa tatu thebathini usiku kwenye mlima UNK kamachumu wilayani muleba taarifa ya jeshi la polisi UNK kamanda wa polisi mkoani kagera kamishna msaidizi henry salewi akisema kuwa wafanyabiashara hao waliuawa kwa bahati mbaya baada ya polisi kuwasili katika eneo la utekaji kwa lengo la kuwaokoa mateka hao kwa mujibu wa kamanda huyo majambazi hayo yakiwa na silaha mbalimbali waliweka mawe barabarani na kuteka magari mawili yaliyokuwa UNK kati ya UNK na kamachumu yenye namba t mia tisa na thebathini na tisa UNK mitsubish na t mia nane na ishirini na tatu UNK pia UNK kamanda salewi amesema kuwa mara baada ya polisi kuwasili katika eneo hilo UNK watu wote wakae chini lakini majambazi hayo pamoja na abiria kadhaa waliokuwa kwenye magari hayo wote walitimua mbio na kutokomea UNK alisema polisi walifyatua risasi kwa kuamini kuwa waliokimbia kutoka kwenye eneo la tukio walikuwa ni majambazi na waliobaki walikuwa ni UNK jana majira lilimkariri akizungumza na na gazeti hili jana shuhuda wa tukio hilo bwana UNK angelo maarufu kwa jina la marco akisema kuwa polisi walifika dakika kumi baada ya majambazi kuondoka eneo la tukio na kuwakuta wafanyabiashara waliouawa wakiwa wanatafuta simu waliyokuwa UNK kwenye majani wakati wa UNK baada ya polisi hao kuwasili waliwataka watu hao wasimame lakini kwa kuhofia kuwa huenda majambazi mengine yamekuja kuwavamia walianza kukimbia na polisi UNK risasi na kuwaua papo hapo shuhuda huyo alidai pia kuwa baada ya tukio hilo wakazi wa vijiji jirani walijikusanya kufuatilia UNK hiyo ya risasi na kufanikiwa kumkamata mtu mmoja UNK UNK aliwataja majambazi wenzake na kisha wananchi UNK kipigo hadi kufa kisha mwili wake UNK kwa moto kamanda salewi ametoa pole kwa ndugu na jamaa wa marehemu na kutoa wito kwa abiria UNK UNK na badala yake kutoa ushirikiano kwa polisi katika kuwabaini hata wale watakaobaki UNK mwao amesema wakati polisi wakiendelea na uchunguzi juu ya tukio hilo wananchi waendelee kutoa taarifa kama UNK mtu au watu waliojeruhiwa wakitafuta msaada wa chakula au tiba ili watiwe nguvuni mbunge wa bariadi magharibi bwana andrew chenge amesema hakuna mtu UNK kwa ufisadi na kama yuko UNK bariadi UNK vile vile bwana chenge amewataka wapiga kura wake kuwapuuza wanasiasa aliosema wanaeneza uvumi huo kwa madai kuwa ni wanasiasa uchwara UNK kisiasa mbunge huyo UNK kujiuzulu uwaziri wa miundombinu aprili ishirini mwaka huu baada ya akaunti yake ya nje kwenye kisiwa cha UNK kubainika ina zaidi ya shilingi bilioni moja zinazodaiwa kupatikana kwa rushwa ya rada alisema kuwa yeye ni safi na pia mbunge wa vitendo ndugu zangu nataka niwaambie kitu kimoja wapo wanasiasa uchwara hasa hawa wa chama cha wenye chama cha ukoo wanasema eti mie siwezi kuja kwenye jimbo langu ni waongo mimi UNK UNK wana nia ya kuwalaghai UNK kura kama UNK UNK niko bariadi waje wanikamate alisema UNK bwana chenge aliyasema hayo mwishoni mwa wiki iliyopita mjini bariadi alipokuwa akihitimisha kampeni za wagombea wa uongozi katika uchaguzi wa UNK za mitaa uliofanyika jumapili iliyopita aliwalaumu mwenyekiti wa udp bwana john cheyo na mdogo wake bwana isack cheyo aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo mwaka ishirini sifuri tano kabla ya kiti hicho kuchukuliwa bwana chenge kuwa wanaeneza maneno ya uongo kwamba yeye hawezi kufika jimboni hilo kwa sababu anatafutwa na makachero wa uingereza bwana chenge UNK na taasisi ya kuchunguza rushwa ya uingereza kama alihusika na rushwa ya rada UNK taifa zaidi ya shilingi bilioni arobaini kutoka kwa kampuni ya kuuza zana za kijeshi ya uingereza serikali ya japan UNK kuwa itaendelea kuchangia maendeleo visiwani zanzibar kwa kufadhili miradi ya kusambaza maji katika kijiji cha fumba unguja na mradi wa umwagiliaji UNK pemba balozi wa japan nchini bwana hiroshi nakagawa ametoa ahadi hiyo dar es salaam jana wakati wa hafla ya utiaji saini wa msaada wa dola za marekani mia moja na sabini na sita mia tano na kumi zilizotolewa na japan kwa serikali ya mapinduzi zanzibar chini ya mpango wa usalama kwa watu wa hali ya chini bwana nakagawa alisema japan inatambua umuhimu wa kuwa na maji safi na salama pamoja kutumia mbinu mbadala ya kilimo cha umwagiliaji ndio sababu iliamua kufadhili miradi hiyo chini ya mpango UNK wa kufadhili maeneo yasio na huduma hizo UNK saini kwa niaba serikali ya tanzania waziri wa nchi ofisi ya rais UNK anayeshughulikia masuala ya fedha na uchumi bwana mwinyihaji makame aliishukuru japan kwa ushirikiano ambao imekuwa UNK katika kuchochea maendeleo nchini watu watatu wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ilala kwa tuhuma za kujifanya usalama wa taifa na watumishi wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa kisha kumtapeli mfanyakazi wa benki ya afrika bibi UNK temba mali yenye thamani ya shilingi milioni arobaini na tisa washtakiwa hao ni bwana mathew emmanuel bwana UNK hussein na godfrey UNK wote wakazi wa dar es salaam mwendesha mashitaka bibi UNK mwanga alisema mbele ya hakimu bwana samweli maweda kuwa washitakiwa wanakabiliwa na makosa manne tofauti likiwemo la kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kosa la pili ni la kujifanya ni watumishi wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa katika kosa la tatu washitakiwa hao wanadaiwa kumtaka bibi temba kufika pan beach hoteli na kujifanya ni wafanyakazi wa usalama wa taifa na kumtapeli kiasi cha shilingi milioni kumi na tano katika kosa la nne washitakiwa hao wanadaiwa walimtaka mfanyakazi huyo awape kiasi cha shilingi milioni thebathini na nne huku UNK kuwa UNK UNK kuhusika na kesi ya akaunti ya madeni ya nje washtakiwa wako nje kwa dhamana ya shilingi milioni kumi na sita kila mmoja na mali isiyohamishika kama vile nyumba au shamba kesi itatajwa tena desemba moja mwaka huu mbunge wa busega bwana raphael chegeni amemtaka waziri mkuu bwana mizengo pinda kueleza kama anatambua mvutano wa kibiashara uliopo kati ya kampuni mbili za bia serengeti breweries na tanzania breweries UNK amani ya nchi akijibu maswali ya papo kwa papo bungeni jana bwana pinda alikiri kuwepo kwa mvutano huo na kwamba tayari amekutana na baadhi ya wahusika akiwemo jaji mark bomani na kuzungumzia tatizo hilo katika swali lake la nyongeza bwana chegeni alimtaka bwana pinda kuona umuhimu wa kushughulikia suala hilo kwa karibu na hatua zaidi kuchukuliwa haraka kwa kuwa moja ya washindani hao ameagiza kung olewa kwa mabango ya mshindani UNK kwa UNK mawe jambo ambalo ni kinyume na ushindani wa kibiashara na hatari kwa amani na utulivu wa nchi bwana pinda alisema serikali haiwezi kuingilia kati tatizo hilo moja kwa moja kwa kuwa ipo mamlaka iliyoundwa kisheria kwa lengo la kushughulikia ushindani wa haki katika biashara bali serikali inaweza kuingilia kati pale tu UNK kwamba tume hiyo ya ushindani imeshindwa kumaliza tatizo hilo mgogoro huo umekuwa wa muda mrefu na hivi karibuni iliripotiwa kuwa kampuni mojawapo UNK baadhi ya wamiliki wa baa ili UNK bia za washindani wao katika hatua nyingine bwana pinda amekanusha tuhuma dhidi ya chama cha mapinduzi na serikali ya mapinduzi ya zanzibar kuhusisha na vurugu kila inapokaribia uchaguzi katika visiwa vya unguja na pemba na kuweka wazi kwamba hata chama cha wananchi nacho UNK vurugu hizo waziri mkuu alisema ni makosa kwa cuf kujivua lawama hizo UNK kuwa ni watakatifu wenye haki kwa kila jambo na kujiona kwamba wao wanaonewa na ccm siku zote wakati nao wanachangia kuwepo kwa tatizo hilo mara nyingi cuf UNK UNK katika suala hili UNK sana mnataka kujenga picha kwamba ni serikali ndio inahusika UNK kwamba ninyi ni watakatifu kabisa mna haki kwa kila jambo kila wakati UNK hili si kweli hata kidogo hapa kinachotakiwa ni kila moja wetu atambue kwamba anayo dhamana ya kusimamia amani na utulivu lakini katika hali hii ya kulaumiana na kulumbana haifai na haitasaidia sana alisema bwana pinda katika swali lake mbunge wa konde daktari ali UNK ali alimtaka waziri mkuu kueleza ni lini wananchi wa tanzania visiwani watakaa kwa amani na utulivu wakati wa uchaguzi kwa kuwa kila inapokaribia uchaguzi vijana wasio na hatia UNK na kuswekwa ndani bila kosa kwa madai kwamba ni agizo kutoka juu naye mbunge wa mkanyageni injinia mohamed habib mnyaa alimtaka waziri mkuu kueleza bunge kama ni haki kwa waziri wa serikali ya mapinduzi zanzibar kuamuru majeshi kutumika wakati wa uandikishaji wapiga kura wakati amiri jeshi mkuu ni rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania peke yake akijibu swali hilo waziri mkuu alisema kinachotakiwa kwa viongozi hao ni kuhakikisha watanzania wanaishi kwa hali ya amani na utulivu na kwamba iwapo kuna tatizo lolote la kiusalama lilitokea katika kazi ya uandikishaji katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa tanzania visiwani wahusika wanatakiwa kukaa pamoja na UNK badala ya UNK awali kabla ya kujibu swali hilo bwana pinda alimtaka mbunge huyo UNK swali lake UNK alisema UNK UNK rais katika suala hilo ni kwamba katiba ya nchi inatamka rais ndiye amiri UNK mkuu na kwamba waziri wa smz alitamba kwamba atatumia majeshi yote katika kazi hiyo jambo ambalo UNK hivyo kuleta picha kwamba alipata ridhaa ya amiri jeshi mkuu kufanya hivyo kiongozi wa upinzani bungeni bwana hamad UNK mohamed yeye alimtaka waziri mkuu kueleza utaratibu uliotumiwa na tume ya taifa ya uchaguzi kukusanya hadi kupata UNK la kadi za wapiga kura zilizochomwa moto septemba tisa mwaka huu akijibu swali hilo bwana pinda alisema suala hilo ni kubwa na linalohitaji taarifa sahihi kutoka kwa wahusika kwa kuwa linagusa maslahi ya watu hivyo kuomba apate muda kufanya mawasiliano na wahusika ili kutoa taarifa sahihi kulingana na uzito wake haya hivyo jibu hilo halikumtosheleza bwana hamad hivyo kumuuliza waziri mkuu swali la nyongeza akiitaka serikali kukubali kuundwa kwa tume ndogo kuchunguza suala hilo na kuwasilisha taarifa kutokana na uzito na ukubwa wa suala lenyewe akijibu swali hilo waziri mkuu alisisitiza msimamo wake kwamba kulingana na uzito na ukubwa kwa suala hilo ni bora zaidi mbunge huyo UNK subira ali apate taarifa sahihi toka kwa wahusika mwenyekiti wa kampuni ya uwekezaji ya taifa bwana felix mosha amesema fedha za wanahisa wa kampuni hiyo ziko salama bwana mosha alitoa kauli hiyo dar es salaam jana baada ya gazeti moja la kila siku kudai kuwa fedha za wanahisa wa kampuni hiyo UNK salama nataka kusisitiza UNK fedha za wanahisa ziko salama na zaidi ya asilimia themanini na tano ya mali za nicol UNK katika benki ya national microfinance na wanahisa wanazidi kuongezeka mara tatu kwani ndiyo taasisi pekee nchini inayofanya vizuri kwenye uchumi wa sasa hii ni rekodi nzuri kwa kampuni alisema bwana mosha akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu bwana mosha alikili kuwepo kwa baadhi ya mambo ambayo mamlaka UNK UNK ikiwemo kusahihisha baadhi ya akaunti za mwaka ishirini sifuri nane alisema kuwa nicol haijawahi kukataa kufanya kazi zake isipokuwa kulikuwa na majadiliano marefu katika kusahihisha mambo yake ambao UNK UNK hivi karibuni nicol ilisimamishwa kufanya biashara zake katika soko la hisa la dar es salaam wadau wa muswada wa sheria mpya ya matumizi ya fedha kwenye chaguzi mbalimbali wameanza kupinga mapendekezo ya serikali UNK vyama vya siasa kuingiza fedha za uchaguzi kutoka nje ya nchi wakisema hatua hiyo ina lengo la UNK vyama vya upinzani waliozungumza na gazeti hili jana na UNK utaratibu huo ni bwana james mbatia wa nccr mageuzi bwana freeman mbowe wa chadema bwana augustine mrema wa tlp na mhadhiri wa chuo kikuu cha dar es salaam idara ya sayansi ya siasa profesa mwesiga baregu kwa upande wake mwenyekiti wa chadema bwana mbowe alisema hatua ya serikali ni ushuhuda mwingine wa tabia mbaya ya ccm ya kubomoa misingi ya demokrasia akizungumza na gazeti hili dar es salaam jana bwana mbowe alisema ni jambo la kushangaza kwa serikali kuzuia vyama vya siasa kupata fedha kutoka nje wakati hata yenyewe inashindwa kujiendesha serikali inashindwa kujiendesha inategemea misaada tume ya uchaguzi nayo hivyo hivyo sasa iweje vyama vya siasa UNK alihoji bwana mbowe na kusisitiza kuwa mpango huu una dhamira mbaya alisema wao wanakubali matumizi wa fedha kwenye uchaguzi UNK lakini kama zinatoka kwenye vyanzo vilivyo wazi na UNK hakuna sababu ya kuzuia watu wanawekeza nje ninaweza kuwa nimewekeza nje ya nchi mfano afrika kusini au dubai na nikawa na watu UNK nao wakitaka kunisaidia kwenye uchaguzi kuna ubaya gani alihoji bwana mbowe naye mwenyekiti wa nccr mageuzi bwana mbatia alisema uamuzi huo ni wa kifisadi na umeandaliwa kwa ajili ya kusambaratisha vyama vya upinzani bwana mbatia alisema ccm inatafuta mbinu za kudhibiti vyama vya upinzani ndiyo maana muswada huo UNK kabla ya kuandaa muswada huo serikali ilipaswa kutengeneza mazingira mazuri ya demokrasia na kuboresha mfumo wa uchaguzi na kuweka uwakilishi wenye wa uwiano sawa alisema bwana mbatia alibainisha kuwa muswada huo unaweza kupingwa mahakamani kwa kuwa ni wa kibaguzi na UNK kwa ajili ya tukio fulani kwa nia mbaya siku zote walikuwa wapi kama siyo ujanja ujanja unafanywa kuhakikisha vyama vya upinzani UNK nguvu katika uchaguzi mkuu mwakani alihoji bwana mbatia alisema ccm inapata ruzuku ya shilingi bilioni mbili kwa mwezi na inatumia vyombo vya dola kuendesha shughuli za siasa hivyo UNK kuwepo muswada huo ili UNK midomo wapinzani aliongeza kuwa kama vyama vya siasa UNK fedha kutoka nje kwa ajili ya shughuli za kisiasa kuna haja gani ya UNK alitolea mfano kitendo cha mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi kutangaza matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa wakati siyo kazi yake kuwa hiyo inaonesha jinsi ambavyo anafanya kazi kwa ajili ya ccm kwa upande wake mhadhiri chuo kikuu cha dar es salaam katika kitivo cha sayansi ya siasa profesa mwesiga baregu alisema utaratibu wa kudhibiti masuala ya fedha wakati wa uchaguzi UNK lakini UNK kuwa muswada huo UNK ukaonekana una nia nzuri kumbe ndani yake una lengo jingine huu muswada UNK maisha ya kila mtanzania hivyo unatakiwa kujadiliwa kwa mapana hata ikibidi kwa mfumo wa white paper alisema profesa baregu na kusisitiza kuwa ni lazima wananchi washirikishwe kwa wingi alisema nchi nyingi ikiwemo marekani zina sheria UNK michango ya fedha jinsi zinavyotumika alisema na kuongeza kuwa nchini tanzania suala la UNK lipo hivyo ni lazima kuwa na sheria UNK maeneo hayo profesa baregu alisema kumekuwa na ongezeko la fedha wakati wa uchaguzi kiasi cha kuwafanya watu wengine kuingiwa na hofu ya kwenda kugombea alibainisha kuwa suala la kudhibiti fedha ili UNK uchaguzi na kuwafanya watu washindwe kuchagua viongozi bora ni la msingi pia mwenyekiti wa tanzania labour party bwana augustine mrema alisema muswada huo utapelekwa bungeni kwa ajili ya kuwaangusha wapinzani katika uchaguzi mkuu mwakani kwa mazingira hayo hakuna sababu ya kuwepo kwa vyama vya upinzani nchini kwa sababu wengi tunategemea fedha kutoka nje wakati wa uchaguzi sasa muswada huo UNK UNK vyama alihoji bwana mrema alisema kwa mazingira hayo itakuwa vigumu kwao kuisambaratisha ccm alisema chama cha tlp hakina fedha yoyote ambayo kinapata kutoka nchini bali UNK misaada kutoka nje ya nchi hivyo ikizuiwa hakitaweza kushiriki uchaguzi kikamilifu juzi waziri wa nchi ofisi ya rais bwana philip marmo alisema muswada huo UNK bungeni januari mwakani na serikali inakusudia kuzuia fedha zozote kutoka nje ya nchi UNK waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi bwana john magufuli ametangaza rasmi hatma ya samaki waliokamatwa mkononi mwa maharamia wa nchi za nje miezi saba iliyopita katika bahari ya hindi UNK bure kwa taasisi mbalimbali za kijamii kuhusu ubora wa samaki hao bwana magufuli alisema bado ni salama kabisa kwa kuwa UNK katika ubaridi wa ishirini c hivyo wanaweza kukaa kwa miaka miwili bila UNK natoa wito kwa wakuu wa taasisi hizo husika UNK kutuma maombi samaki waliopo wanaweza kulisha watu milioni moja gharama za kusafirisha samaki kutoka dar es salaam hadi eneo husika ni juu ya taasisi husika alisema bwana magufuli akizungumza na waandishi dodoma jana bwana magufuli alisema serikali imefikia uamuzi huo baada ya kupata ridhaa ya mahakama na kuridhika na ushahidi UNK hivyo hakuna sababu ya kuendelea kuwatunza samaki hawa watagawiwa kwa taasisi za kijamii kama vile hospitali shule za sekondari vyuo mbalimbali magereza vituo vya watoto yatima lakini si kwa watu binafsi nakaribisha maombi kutoka taasisi hizo ili waweze kupatiwa samaki alisema licha ya samaki hao tani mia mbili na tisini na sita thebathini na mbili kuwa na thamani kubwa ya shilingi bilioni mbili serikali haiwezi kufanya biashara kwa kuwauza kwa kuwa kufanya hivyo UNK manufaa yaliyokusudiwa ya kuwafanya watanzania wanufaike na UNK zao na kuzidisha moyo wa kutunza rasilimali za nchi waacheni watanzania wale rasilimali yao ambayo walikuwa UNK kwa miaka mingi watakapokuwa UNK UNK kulinda rasilimali yao kwa manufaa yao alisema bwana magufuli alitaja faida zitakazopatikana kutokana na kukamatwa kwa samaki hao katika meli ya UNK one kuwa ni pamoja na serikali kufanikiwa kulinda rasilimali za nchi baada ya kukamata meli hiyo uwezekano wa nchi kuanza kunufaika na uvuvi yenye faida kwa taifa kutokana na nchi kadhaa kujitokeza kutaka kuvua katika eneo la tanzania faida nyingine kuwa ni uwezekano mkubwa wa serikali kushinda kesi hiyo ambapo kwa mujibu wa sheria za kimataifa kama serikali itaibuka na ushindi katika kesi hiyo itachukua meli hiyo yenye thamani kubwa kuwa mali ya tanzania tangu tumepata uhuru inakadiriwa kuwa jumla ya meli ishirini sifuri zilikuwa UNK samaki katika eneo ambalo UNK hiyo meli ikiwa na hawa samaki sasa kama kwa siku meli ilikuwa inatoka na samaki kama wale maana yake ni kwamba kila siku tulikuwa tunapoteza shilingi bilioni mbili na sasa hatupotezi tena fedha hizo lile eneo sasa ni salama alisema bwana magufuli alisema mwaka ishirini sifuri nane ziwa victoria UNK serikali mapato ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na nne kutokana na uvuvi huku bahari ya hindi eneo la tanzania ambalo ni kubwa zaidi UNK taifa shilingi UNK mia tisa na themanini na moja tu hali iliyotokana na uvuvi haramu alipoulizwa kuhusu mbinu itakayotumika kuhakikisha kwamba wale watakaopewa hao samaki hawafanyi biashara alisema ameweka utaratibu ambao hawezi kuuweka wazi wa kufuatilia kila UNK samaki hao na kwamba UNK kwamba anaweza kufanya biashara na hao samaki ni bora aache kutuma maombi kwa kuwa UNK kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wadau mbalimbali kwamba kutunzwa kwa samaki hao UNK mzigo serikali kwa kutoa mamilioni ya fedha kuhifadhi wa samaki hao barua inayodaiwa kuandikwa na aliyekuwa waziri mkuu bwana edward lowassa kwenda aliyekuwa waziri wa nishati na madini daktari ibrahim msabaha UNK UNK kwa karibu kampuni ya kufua umeme ya richmond imetafsiriwa kuwa ilikuwa ni ya kujikosha kwa kuwa alifanya hivyo baada ya kubaini mambo yamekwenda kombo wachunguzi wa mambo wamesema tahadhari dhidi ya richmond iliyotolewa na bwana lowassa septemba ishirini na moja ishirini sifuri sita ikiwa ni miezi takribani mitatu baada ya kusainiwa kwa mkataba wa richmond juni ishirini na tatu ishirini sifuri sita haikuwa na lolote zaidi ya kuweka mambo sawa baada ya kuonekana kuwa kampuni hiyo haina uwezo wa kuleta UNK watu mbalimbali waliozungumza na gazeti hili kwa nyakati tofauti walisema tahadhari hiyo ilipaswa kutolewa kabla ya mkataba kusainiwa na si miezi mitatu baadaye kama alivyofanya bwana UNK wengine wameenda mbali zaidi wakisema licha ya bwana lowassa kukana kuhusika mara kwa mara kuhusika na mkataba huo ripoti ya kamati teule ya bunge iliyoongozwa na daktari harrison mwakyembe ilieleza vya kutosha uhusika wake ripoti hiyo ilisema mambo mengi UNK mchakato wa mkataba huo ni viashiria vya nguvu kubwa iliyo juu ya wizara ya nishati na madini kutumika katika suala hilo na kuwa kutokana na ushahidi wa kimaandishi kimazingira na wa mdomo kamati teule iliona nguvu hiyo kuwa ni waziri mkuu akizungumza na majira kuhusiana na barua hiyo kuandikwa baada ya mkataba mwenyekiti wa chadema bwana freeman mbowe alisema hayo yanayojitokeza sasa ni ushahidi kuwa suala hilo UNK na UNK kamanda unajua siku zote mwenye makosa anakuwa na hofu penye nia mbaya UNK mradi wa richmond ulikuwa dili ya wakubwa walifanya hivyo kwa nia ya kujinufaisha na baada ya kuona mambo hayaendi vizuri walianza kujihami alisema bila kumtaja bwana lowassa moja kwa moja bwana mbowe alisema wakubwa baada ya kuona mambo hayaendi safi walianza UNK alisisitiza kuwa barua za kujikosha ziliandikwa kwa lengo la kujihami baada ya kuona mambo UNK hata hivyo bwana mbowe alisema picha ya jumla ya ccm na serikali yake imegubikwa na ufisadi hivyo wale wote UNK lao ni moja ufisadi unafanywa katika maeneo mengi UNK lowassa ni haki yake lakini na wenzake nao UNK alisema bwana mbowe na kuwataka wana ccm wanaojiita wapambanaji wa ufisadi kugusa hata maeneo mengine badala ya kushikilia richmond peke yake wale waliopo ndani ya ccm wana mambo ambayo wanaficha richmond inashughulikiwa kwa sababu zao za kimaslahi au za kiuchumi lakini kuna vitu vya binafsi katika suala la richmond nchi hii imejaa ufisadi katika maeneo mengi kwa upande wake mhadhiri wa chuo kikuu cha dar es salaam profesa mwesiga baregu alisema yanayoendelea kujitokeza katika sakata zima la richmond ni kielelezo kuwa ukweli na undani wake UNK wazi inaelekea ukweli na undani wa mambo mengine kuhusu richmond UNK yote tunabaki kujiuliza maswali mengi alisema profesa baregu na kuongeza ukisoma zile barua unaweza kusema alikuwa anajali sana au alikuwa kwenye utaratibu wa mgongano wa kimaslahi alisema na kuongeza sakata la richmond UNK huku serikali nayo ikishindwa kufanyia kazi maazimio ya bunge watu wanabaki kujiuliza kulikoni UNK kujua kuna nini ndani yake haijulikani vizuri alisema na kuongeza kuwa wakati umefika sasa wa wananchi kuelezwa namna kila mmoja alivyoshiriki kwa kuwa kuna mambo ndani ambayo hayako wazi barua inayodaiwa kuandikwa na bwana lowassa septemba ishirini na moja mwaka huu imekuwa UNK kwenye vyombo vya habari wiki hii huku vingine vikilenga kuonesha kuwa ndicho kielelezo cha uadilifu wa kiongozi huyo na vingine vikisema ni uthibitisho wa jinsi alivyoshiriki kwenye mchakato wa richmond zaidi ya shilingi milioni hamsini sifuri zitatumika katika ulipaji fidia kwa wakazi wa manispaa ya temeke ili kupisha upanuzi wa ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni pamoja na shule na zahanati katika halmashauri hiyo akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana mkurugenzi wa manispaa hiyo bwana stephen kongwa alisema kuwa fedha hizo zitalipwa kwa awamu kwa watu waliohamishwa makazi yao alisema kuwa fedha hizo ni kwa ajili ya kulipa fidia kwa wakazi waliohamishwa maeneo yao kwa ajili ya upanuzi wa kujenga shule na zahanati fedha hizo UNK kwa awamu katika kipindi hiki cha mwaka wa fedha ishirini sifuri tisa na ishirini moja sifuri ili kila mmoja aweze kupata fidia ya kujenga nyumba sehemu nyingine alisema bwana kongwa pia maeneo hayo UNK watu yatatumika kujenga shule na zahanati za kwa ajili ya kuongeza huduma kwa watu wa halmashauri ya ma UNK ya temeke na wanafunzi wa eneo hilo alisema bwana kongwa alisema baada ya kukamilika kwa ujenzi huo wa zahanati utapunguza msongamano wa wagonjwa katika hospitali ya temeke na wengi watapatiwa huduma ya matibabu kwa haraka zaidi hata hivyo fedha hizo tunajitahidi UNK katika kipindi hiki ili kuharakisha kasi ya kulipa fidia pamoja na kujenga shule hizo kwa ajili ya kurahisisha wanafunzi wasiende shule za mbali ofisi ya waziri mkuu UNK vikali na wakulima wadogowadogo wa chai kwa kushindwa kuumaliza mgogoro unaohusu msitu wa magogo wa sakare uliopo wilayani korogwe na kiwanda cha kusindika chai cha mponde kilichopo wilayani lushoto wakizungumza kwa nyakati tofauti wakulima hao walisema UNK mgogoro huo uendelee kuwepo huku ukitishia kusimamisha uzalishaji wa kiwanda chao ni waziri mkuu mizengo pinda kutokana na kutotekeleza ahadi yake aliyoitoa mapema mwaka jana bwana pinda alitoa ahadi kuwa atahakikisha anazungumza na rais ili kujua msitu wa sakare ni mali ya nani baada ya watu UNK na kuzuia wafanyakazi wa kiwanda cha mponde kukata magogo katika msitu huo uliokuwa mali ya mamlaka ya chai kabla kiwanda hicho UNK mbali ya kuvamia wananchi hao walifanya uporaji wa mali za kiwanda cha mponde pamoja na kuzuia kuni zilizokuwa UNK tayari kwa kupelekwa UNK akijibu swali la mwandishi wa habari hizi mkuu wa wilaya ya lushoto kilipo kiwanda cha mponde bibi sophia mjema alikiri kuwa ni kweli msitu wa sakare ulivamiwa na wananchi wa wilaya jirani ya korogwe kwa kuwa upo katika wilaya hiyo licha ya madai kuwa miti UNK na kiwanda cha UNK jibu la suala UNK lipo ofisi ya waziri mkuu tuliambiwa tusubiri hadi aonane na rais amweleze hali ilivyo katika mgogoro huo kwa hiyo bado tunasubiri majibu toka kwake alisema bibi UNK kwa upande wake mkuu wa wilaya ya korogwe bwana erasto sima alisema alizuiwa na sekeretarieti ya mkoa wa tanga kuwa UNK jambo hilo nilipofika tu hapa wilayani na kuambiwa UNK mgogoro huo nilitaka kwenda kuwakutanisha watu wa pande zote mbili lakini sekeretarieti ya mkoa UNK UNK hadi hap UNK mkoani na nategemea kwenda kwenye kikao cha sekeretarieti ya mkoa kesho alisema sima wiki mbili zilizopita na kuahidi kuwa UNK mwandishi kuhusu UNK mwandishi wa habari wa waziri mkuu bwana saidi nguba alizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wa habari hizi na kusema suala hilo anayetakiwa kutolea majibu ni mkuu wa mkoa wa tanga meja jenerali said kalembo UNK rc kama UNK ushirikiano UNK ili niweze kuwasaidia alisema hata hivyo juhudi za kumpata mkuu wa mkoa wa tanga kwa njia ya simu ambazo UNK matunda hadi tunakwenda mitamboni bado zinaendelea waziri mkuu mizengo pinda amesema serikali itakuwa ikitoa shilingi bilioni mbili kila mwaka kufadhili chuo kikuu huria cha tanzania waziri mkuu alisema hayo dar es salaam jana wakati akiweka jiwe la msingi la kuanza ujenzi wa makao makuu ya chuo hicho kibaha mkoani pwani katika eneo la UNK bwana pinda alisema serikali itawatumia wakuu wa mikoa nchini ambao chuo hicho UNK kuwa wasimamizi wakuu wa vituo vya chuo hicho na kuhakikisha kila wilaya inapata kituo kwa ajili ya watanzania waishio vijijini na kuhakikisha wanapata elimu ya juu tunatambua umuhimu wa mchango wa chuo hiki tunaahidi kuwa serikali itakuwa inachangia shilingi bilioni mbili kila mwaka ili kuhakikisha chuo kinafanya shughuli zake kwa ufanisi na kuwafikia watanzania wengi waweze kusoma kupitia mfumo wa elimu ya masafa mahali walipo alisema alisema watanzania wanatakiwa kuondoa dhana kuwa elimu kwa njia ya masafa ni elimu ya kiwango cha chini kwani ulimwengu wa sasa mfumo huo ndio unaotumika na unaopendwa kutokana na mwanafunzi anakuwa anasoma huku akifanya kazi bwana pinda alisema ofisi yake UNK waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi kuorodhesha wakuu wa vyuo vyote vikuu na matatizo UNK ili kuyafanyia kazi kwa ajili ya UNK elimu nchini naye mkuu wa chuo hicho bwana john malecela alisema chuo chake kinalenga kuwafikishia watanzania wengi elimu mahali walipo hivyo serikali inatakiwa kuwa karibu na chuo hicho kiweze kufikia malengo ya kuwakomboa kielimu watanzania adaiwa kutumia vijana kuvamia ujenzi wa shule yaelezwa ni hofu UNK kugombea ishirini moja sifuri mbunge wa jimbo la muleba kusini bwana wilson masilingi yuko katika mvutano mkubwa na mwekezaji mmoja uongozi wa halmashauri ya wilaya ya muleba na naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi UNK UNK bwana masilingi anadaiwa kutumia vijana kuvamia eneo hilo ambalo tayari mwekezaji huyo alikuwa ameanza kujenga shule akidai kuwa eneo hilo linapaswa kujengwa shule ya sekondari ya kata huku uongozi wa kijiji cha bunyagongo na halmashauri ya wilaya ya muleba UNK kuwa eneo hilo UNK kwa ajili ya mwekezaji hata hivyo UNK wa masuala ya kisiasa wanasema mvutano huo unatokana kwa sehemu kubwa na mbio za uchaguzi mkuu jimboni humo unaotarajiwa kufanyika mwakani ambapo aliyekuwa kamanda wa polisi wa kanda maalum ya dar es salaam bwana alfred tibaigana anatajwa kuwa mmoja wa wanaolinyemelea jimbo hilo UNK na bwana masilingi katika hatua UNK na wananchi wa jimbo hilo kuwa ni hofu ya kupoteza nafasi yake ya ubunge mwakani masilingi anadaiwa kukwamisha ujenzi wa shule ya sekondari ya binafsi inayojengwa na mfanyabiashara jackson faustine katika eneo la UNK katika UNK cha bunyagongo kata ya nshamba inadaiwa masilingi naye anataka kujenga shule eneo hilo hilo akizungumzia suala hilo waziri kabaka alisema masilingi aliiambia wizara yake kuwa shule UNK eneo hilo ni ya kata lakini baada ya kufuatilia wamebaini si uongozi wa kijiji cha bunyagongo wala halmashauri ya wilaya ya muleba wanaotambua kwa mchakato wa ujenzi wa shule hiyo ya kata masilingi ni rafiki yangu ndivyo UNK alikuja ofisini kwangu kuomba shilingi milioni nane akidai ni za ujenzi wa shule ya kata lakini sasa UNK kwa sababu alichoeleza ni tofauti tulidhani shule ya wananchi kumbe ni yake halafu haijasajiliwa na haina ramani utaratibu UNK si sahihi waziri kabaka alikaririwa UNK kikao cha kamati ya maendeleo ya kata ya nshamba alipotakiwa kutolea ufafanuzi wa suala hilo akizungumzia sakata hilo mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya muleba ernest UNK alisema utaratibu wa serikali ni down up lakini mheshimiwa masilingi alifanya up down hakufuata utaratibu amevamia alishangaa mkurugenzi huyo habari zinasema mzozo huo ni matokeo ya hofu UNK nayo bwana masilingi kwamba mwekezaji huyo anashirikiana na bwana tibaigana ambaye inadaiwa ana nia ya kugombea ubunge wa jimbo hilo katika uchaguzi wa mwakani alipoulizwa kuhusu madai hayo bwana tibaigana alikiri kuwa ana nia ya kuwania ubunge kwa kuwa aliombwa na wananchi kufanya hivyo lakini UNK kuhusika katika mzozo huo ni kweli nina nia kugombea ubunge katika jimbo hilo lakini kama yanayotendeka yanatokana na hofu juu yangu hilo UNK yeye kwanza huyu UNK UNK alisema tibaigana mmoja wa wakazi wa jimbo hilo alisema katika kata ya nshamba kuna shule mbili za sekondari za kata nshamba na UNK zenye kuhitaji msaada wake na kwamba kama ana nia ya kutoa msaada kwa nini UNK eneo ambalo tayari mwekezaji ameanza ujenzi alipotakiwa kuzungumzia madai ya kuvamia eneo la mwekezaji huyo bwana masilingi UNK waziri kabaka mkurugenzi wa halmashauri ya muleba pamoja na viongozi na wanakijiji wa bunyagongo akidai kwamba hawana mamlaka ya kuingilia suala hilo ambalo alidai linashughulikiwa na ikulu waziri UNK hata hivyo hana mamlaka ya kuingilia suala hilo kwa kuwa linashughulikiwa na takukuru kwa kuwa takukuru iko chini ya rais na naibu waziri anateuliwa na rais hivyo hana uwezo wa kuingilia mamlaka ya ofisi ya rais wote UNK hawawezi kuingilia mamlaka ya rais alisema masilingi alipohojiwa katika ofisi ndogo ya bunge jijini dar es salaam juzi bwana masilingi ambaye aliwahi kuwa waziri anayeshughulikia utawala bora katika serikali ya awamu ya tatu alisema hana uhusiano mzuri na halmashauri hiyo hata hivyo hakusema sababu UNK uhusiano huo kuwa mbaya kuvamiwa kwa eneo hilo na vijana wanaodaiwa kutumwa na masilingi ulisababisha dalili za kuvunjika kwa amani ambapo aliyekuwa kamanda wa polisi wa mkoa wa kagera wakati huo abdallah msika alishauri upande unaopinga mwekezaji kuendelea na ujenzi katika eneo hilo UNK kesi katika baraza la ardhi la kata ya UNK ushauri kama huo wa kufungua kesi katika baraza la ardhi iwapo kuna upande ulikuwa unahisi kuwepo kwa ukiukwaji wa taratibu katika kumpatia mwekezaji eneo hilo ulitolewa pia na halmashauri ya wilaya ya muleba lakini licha ya shauri hilo kufunguliwa walalamikaji ambao masilingi ni miongoni mwao UNK baraza hilo na badala yake baada ya muda kupita bwana masilingi aliwaongoza wenzake kuwafungulia kesi inayohusiana na rushwa mwekezaji huyo pamoja na baadhi ya viongozi wa kijiji katika kesi hiyo iliyoko katika mahakama ya wilaya ya muleba mwekezaji na viongozi hao wa kijiji wanatuhumiwa kushiriki vitendo vya rushwa katika UNK kipande cha ardhi kilichotolewa kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo ya binafsi kesi hiyo UNK mara kumi na nane lakini walalamikaji hawajawahi kuhudhuria mahakamani cwt yadai malipo yao yamejaa ufisadi chama cha walimu tanzania kimetangaza mgomo wa walimu nchi nzima kuanzia novemba saba mwaka huu kutokana na kutolipwa kikamilifu madeni yao UNK serikali huku UNK kasoro zilizojitokeza kwenye malipo hayo kuwa ni ufisadi wa kitoto kasoro nyingi za malipo ya walimu tunayo na UNK ufisadi wa kitoto kwa sababu hundi walizopewa walimu zinatofautiana na hundi UNK alisema bwana gratian mkoba rais wa cwt alipozungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana akitolea mfano alisema kuna mwalimu salama UNK alitakiwa kulipwa shilingi mia moja na sabini na sita mia nane na hamsini badala yake amelipwa shilingi elfu themanini alisema mwalimu mwingine UNK UNK anayedai fedha za uhamisho wa shilingi mia nne na thebathini na tano sifuri sifuri sifuri alilipwa kwa hundi ya shilingi thebathini na tano sifuri sifuri sifuri alisema walimu wanadai madeni mengi ikiwa ni pamoja na fedha za malimbikizo ya mishahara uhamisho likizo malipo ya kwenda masomoni na mengineyo bwana mkoba alisema mgomo huo utahusisha walimu wote wa shule za msingi sekondari vyuo vya ualimu na wakaguzi wa shule pamoja na serikali kuanza kulipa baadhi ya walimu wa shule za msingi malipo hayo hayaendi kihalali kwa kuwa baadhi yao wanalipwa fedha nusu kinyume na UNK je hizi nyingine zinakwenda wapi na zitalipwa lini alihoji bwana mkoba akitolea UNK wa mkoa wa dar es salaam hususan manispaa za temeke na ilala alisema kuna walimu wengi waliolipwa kinyume na hundi zao UNK huku UNK kuandika majina na kusaini katika karatasi na kuambiwa kuwa fedha zilizobaki watalipwa baadaye bwana mkoba alisema kuwa katika malipo ya walimu yanayoendelea ofisi za wakurugenzi UNK kufanya hila ya kuvuruga zoezi zima la ulipaji kwa kuwalipa kiasi kidogo UNK na kile UNK na timu za uhakiki bwana mukoba alisema kuwa pamoja na serikali kutoa shilingi bilioni thebathini na mbili na kuanza kuwalipa walimu wa shule za msingi bado wapo walimu wa sekondari vyuo na wakaguzi ambao wanadai jumla ya shilingi bilioni kumi na nane ambazo hazijulikani siku ya kulipwa akizungumzia mgomo huo alisema walimu watatakiwa kwenda shuleni kama kawaida ila hawataingia darasani kufundisha na badala yake watakaa ofisini kujadili hatima ya malipo yao nchi nzima alisema kuwa kama itapita wiki moja tangu waanze mgomo huo na serikali haijafanya lolote cwt itatoa mwongozo wa mgomo wao huo na kuwataka viongozi wa cwt wa ngazi za mkoa na wilaya kufikisha taarifa hizo kwa wanachama wao najua serikali UNK kutoa vitisho kutokana na kutangaza mgomo wetu huu lakini napenda kuwatangazia walimu nchi nzima kuwa wasiwe na wasiwasi na UNK mshikamano katika kulitatua hili kwani tunachokidai ni haki yetu ya msingi na hakuna mwalimu atakayefukuzwa kazi alisema na kuongeza nashangaa kuona wabunge wakitetea na kufurahia kupokea posho mara mbili ukiacha fedha zao za mishahara huku serikali UNK madeni yetu hii inaonesha serikali UNK walimu alisema kuwa endapo serikali UNK UNK mgomo huo hayuko tayari na kama atakwenda atakwenda kudai madeni yake kwani wanachotaka ni kulipwa kwa madeni ya walimu wote huu utakuwa mgomo mwingine wa walimu ukiacha ule wa novemba mwaka jana UNK na mahakama kuu divisheni ya kazi novemba kumi na saba ambapo walimu walidai jumla ya shilingi bilioni hamsini ataka watanzania kamwe UNK adai ukweli UNK kuficha uwongo spika wa bunge bwana samwel sitta amewataka watanzania kutokubali kuyumbishwa na watu wenye nia ya kupotosha ukweli kuhusu mjadala wa uhalali wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa kuwahoji wabunge bila kufuata taratibu na badala yake watafute kwanza ukweli kabla ya kutoa hukumu amesema watu UNK ukweli UNK mambo mawili tofauti ambayo kimsingi kila moja lina utaratibu wake wa kushughulikiwa amesema wamefanya hivyo kwa lengo la kuwachanganya wananchi ili waondoke katika ajenda kuu muhimu yaliyopo mbele yao kwa manufaa yao binafsi akizungumza na majira ofisini kwake jana bwana sitta alisema anasikitishwa na sura inayotaka kujengeka kwa jamii kwamba bunge lina dosari bila kufuata utaratibu na kujua ukweli halisi na kwamba watanzania wanatakiwa kuwa macho na watu hao kwa kuwa huenda wanafanya hivyo kwa kuhofia utendaji wa bunge la kasi na viwango mimi nisingependa kuzungumzia suala hili tena lakini kwa kuwa umeomba ufafanuzi wa kina ni hivi kwanza kuna mambo mawili katika jambo hili na kila moja linatakiwa lishughulikiwe kwa taratibu tofauti moja kuna taarifa kwamba yupo mtumishi wa kamati ya bunge aliandika barua tanapa kutaka walipwe milioni hamsini katika kuwatembelea sasa katibu akajibu kiutawala kwamba anatakiwa kushughulikiwa alisema kama kuna mbunge alihusika ilitakiwa takukuru UNK ofisi yake ili wafuate taratibu za kushughulikia tatizo hilo kama wabunge walihusika wakati wakitekeleza shughuli zao kama wabunge jamani tuwasaidie wananchi wetu kujua ukweli juu ya haya mambo mawili badala ya kuwapotosha na maneno ya uwongo kwa lengo la kuficha ukweli au kutaka kupaka matope bunge UNK bunge kwa maneno haya ya ovyo UNK zaidi ni wananchi wetu ambao wanataka kuona UNK na kuwatoa katika hali ya umasikini alisisitiza alisema suala la mtumishi UNK barua linatakiwa lishughulikiwe na katibu wa bunge kwa kufuata taratibu za utumishi na suala la wabunge kushiriki katika suala hilo linatakiwa kushughulikiwa kwanza na kamati ya maadili ya bunge baada ya spika kupata barua kutoka kwa taasisi husika au takukuru kwa mujibu wa kanuni zetu mbunge anapotekeleza shughuli zake kama mbunge huwezi kumhoji tu kwa namna unavyotaka wewe ni lazima uwasilishe barua kwa spika juu ya kosa alilofanya mbunge spika atawasilisha suala hilo katika kamati ya maadili ya bunge na kutolea maamuzi baada ya hapo spika atawasilisha maamuzi hayo kwa mwanasheria mkuu wa serikali kuchukua hatua dhidi ya mbunge au wabunge na si mtu mwingine alisema spika sitta alipoulizwa hatua UNK kuchukuliwa mbunge iwapo kamati hiyo ya maadili itaona UNK mbunge ni kinyume cha sheria hata kama alikuwa katika shughuli zake za bunge alisema hatua zitakazochukuliwa dhidi ya mbunge ni juu ya mwanasheria mkuu wa serikali si juu yangu wala mtu mwingine alisisitiza alisema chini ya sheria hiyo ya kinga na madaraka ya bunge ni makosa kumhoji mbunge kwa jambo lolote alilofanya wakati akitekeleza kazi zake kama mbunge bila kupitia utaratibu huo kuhusu suala la wabunge kulipwa posho mara mbili alisema kwa kuwa suala hilo linagusa kazi za mbunge anapotekeleza kazi zake za kibunge utaratibu wake ni uleule wa mhusika UNK kuwasilisha malalamiko yake kisha kufikishwa katika kamati ya maadili ambayo baadaye maamuzi huwasilishwa kwa mwanasheria mkuu wa serikali ambaye baadaye huchukua hatua kama UNK na sheria hata hivyo ni lazima tujue kwamba mbunge UNK mtu huko barabarani UNK na mtu uko barabarani hana kinga kinga hii ni pale tu anapotekeleza wajibu wake kama mbunge haya ndio mambo ambayo wananchi wanatakiwa wajue alisema alisema maneno yanayotolewa na baadhi ya watu kuhusu wabunge kulipwa posho mara mbili UNK kwa kuwa wakati wa bajeti ya serikali ya mwaka ishirini sifuri tisa kumi mbunge moja aliitaka serikali kufuta fungu hilo kwa madai kuwa ilikuwa na shilingi bilioni kumi na tisa UNK ni za kunywa chai lakini bunge ilipitisha fedha hizo alisema iwapo suala hilo linaonekana kuwa ni tatizo ni bora serikali UNK UNK bungeni ya kufuta takrima na kuondoa kabisa fungu hilo la hospitality katika bajeti zake vinginevyo UNK suala hilo wanapoteza muda wakati za kampuni ya development entrepreneurship for development initiative zikiendelea kufungwa wanachama waliopanda mbegu zao na kutarajia kuvuna jana walipanga jaribio la maandamano dhidi ya viongozi wao ambalo UNK na polisi katika kile kinachoonesha wateja hao wanazidi kuchanganywa na kinachoendelea zimeibuka dalili za baadhi ya wanachama kutoamini kauli zinazotolewa na viongozi wao hususani wale waliotarajiwa kupata mavuno yao jana pamoja na uongozi wa deci kusisitiza UNK zote za wateja hao zipo salama na kuwataka wanachama hao kuwa watulivu wakati suala hilo UNK wanachama hao wanazidi UNK imani siku hadi na kushinikiza kulipwa pesa zao majira lilibaini jana kuwepo mkakati wa kuandamana baadhi ya wavunaji watarajiwa ambao walikubaliana kutekeleza jambo kwenye kikao maalumu uchunguzi huo ulibaini kuwepo kundi la wanachama wa deci UNK kuandamana kwenda kituo cha polisi urafiki ubungo kuomba kibali cha kufanya maandamano kushinikiza kurejeshewa fedha zao wakati wanachama hao wakijipanga kukamilisha lengo hilo walijitokeza baadhi ya watu na kujifanya wanaweza kuwasaidia kwa kutoa namba za simu ili UNK na viongozi wa deci kabla ya kufika kituoni hapo baada ya kupiga simu hiyo kabla UNK eneo la kituo walikutana na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mmoja wa viongozi wa deci ambaye aliomba kuzungumza na mmoja wa wanachama vinara waliokuwa kwenye heka heka za kutaka kukamilisha taratibu za maandamano hayo kiongozi huyo ambaye hakufahamika jina mara moja UNK pembeni na kuzungumza na mwanachama huyo ambaye baadaye alirudi kwa wenzake bila kufahamika UNK jambo hilo nusura UNK mzozo mkubwa miongoni mwa wanachama hao kwa madai kuwa mwenzao alikwenda UNK chochote ili kushawishi wenzake wasifanye maandamano tetesi za baadhi ya wanachama kupewa chochote ili kutoandamana zilitawala hadi eneo la makao makuu ya deci mabibo ambapo baadhi ya wateja hao waliwaambia waandishi wetu kuwa kuna baadhi ya wenzao wanapokea chochote ili kuzima moto wa mkakati wa maandamano UNK katika kituo cha polisi urafiki wanachama hao wa deci walionekana kukaa katika vikundi vikundi huku wakijadili namna ya kukamilisha mkakati huo lakini hata hivyo inaonesha polisi UNK wazo lao kwa kuhofia hatua hiyo ingeweza UNK uvunjifu wa amani mkakati wa mzima wa kutaka kufanya maandamano hayo ulizimwa na mkuu wa kituo cha polisi urafiki majira lilishuhudia mmoja wa makamanda kituoni hapo UNK wanachama hao kutawanyika eneo hilo na kuwaeleza kuwa hawaruhusiwi kuchukua hatua yoyote kwa sasa kwani viongozi wao bado wanaendelea na mazungumzo ya suala hilo mimi mwenyewe nina machungu naomba tusubiri viongozi wetu wanaongea na viongozi wa serikali wakishamaliza kama UNK jana UNK wamefikia wapi hivyo tunaomba wote tuliokuwa hapa UNK na kuondoka eneo hili nalazimika kuangalia usalama wenu kwa muda wote kwa sababu shida imetokea katika eneo langu alisema kamanda huyo na kuongeza nikiita vijana wangu patakuwa safi dakika chache hivyo naomba tutumie UNK UNK kuna watu wamekaa UNK hapa wanachochea maandamano maandamano yanakwenda kisheria hatufanyi hivyo kwa maana hiyo mnatakiwa kuomba kibali na UNK mtafanya lakini hilo si suluhisho kwa sasa alisema kamanda huyo hata hivyo baadhi ya wanachama walionekana kukaidi agizo hilo kwa madai kuwa hawawezi kuondoka wakati hawajui nini hatma ya fedha zao ingawa UNK kuwa ziko salama hatuwezi kuambia tuondoke wakati hatujui fedha zetu UNK ama la tutaendelea kukaa hadi tusikie kauli za viongozi UNK kama UNK basi serikali ndio UNK ya kulaumiwa alisema mmoja wa wanachama hao kwa upande mwingine wanachama hao walisema hawawezi kuilamu serikali kwa sababu haijui kinachoendelea na kama lawama basi UNK kwa viongozi wa deci suala la kusitishwa huduma za deci limeonesha kuwagawa kwa kiasi kikubwa wateja hao ambapo wakati wengine wakishinikiza kurudishiwa pesa wapo walisikika wakisema mavuno waliyopata UNK UNK mbegu zao mbali na mkanganyiko huo wanachama hao wameunda kamati nyingine ya watu ishirini ambayo jukumu lake ni kukutana na viongozi wa deci kisha kurudisha ujumbe kwa wanachama hao kama hiyo jana ilitarajia kutoa majibu kabla ya saa sita mchana lakini hawakuweza kufanya hivyo hali UNK kuwa huenda na wao UNK idadi ya wanachama waliofika ofisi za deci jana ilionekana kupungua kwa sababu walikuwa wakifika na baada ya muda wanaondoka tofauti na siku zingine ambapo walikuwa wakishinda siku nzima kwa mujibu wa sehemu ya tangazo UNK na mkuregenzi mtendaji wa deci bwana timotheo ole UNK na UNK katika ofisi hizo lilisema uongozi umelazimika kusitisha kwa muda shughuli zote kwa sababu wanaheshimu tamko la waziri mkuu bwana mizengo pinda alilotoa kupitia vyombo vya habari na sasa wanatafuta njia ya kufanya mazungumzo na serikali kuondoa utata kuwa deci sio upatu wala pia kama ilivyotafsiriwa vibaya kwa tangazo hili napenda kuwafahamisha washiriki wetu kwamba pesa zenu zipo salama viongozi wote wapo salama tunaomba UNK vizuri risiti zenu mpaka hapo huduma UNK na UNK radhi kwa usumbufu wote uliojitokeza ilisema sehemu ya tangazo hilo naye rehema mohamed anaripoti kuwa democratic party kimesema kitaendelea kuitetea deci kwa madai kuwa ni mkombozi wa walala hoi wengi waliokata tamaa kimaisha kiuchumi kutokana na kipato chao duni akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana UNK dp mchungaji UNK mtikila alisema hakuna haja ya kuendelea kupinga deci kwa kuwa taasisi zingine za fedha zimeshindwa kuwakomboa walala hoi kutokana na masharti magumu ya mikopo UNK mchungaji mtikila alisema masharti magumu ya mikopo ya taasisi hizo yamekuwa UNK nyuma wananchi kimaendeleo ndiyo maana wengi wao waliamua kwenda UNK deci deci inafanyakazi ya kuwakomboa watu wa hali ya chini kama walimu wakulima na wengine ambao kipato chao hakiwezi kukidhi haja ya mahitaji yao ya kila siku kama kuwasomesha watoto kujenga nyumba pamoja na matatizo mengine alisema mchungaji UNK katika hatua nyingine mchungaji mtikila alimuomba waziri mkuu bwana mizengo pinda kuiunga mkono taasisi hiyo badala ya kuipinga kwakuwa mafanikio yake yameonekana kwa muda mfupi kwa wananachi wengi kuendelea kuipinga ni sawa na kufanya ukatili mkubwa kwa wanyonge walio wengi kinachotakiwa ni kutafuta njia ya kuweza kuiboresha ili iweze kuleta mafanikio kwa walio wengi kama ilivyoanza awali na ukizingatia hakuna mwanachama wa deci UNK alisema mchungaji mtikila alisema kuwa UNK malengo ya deci yalikuwa ni kuifanya iwe benki ambapo asilimia kubwa ya wanahisa wake wangekuwa wanachama waliopanda mbegu alisema hatua hiyo UNK kwa kushirikiana na benki kuu ya tanzania ambayo tangu awali walionesha nia ya kuisaidia kwa kuwapa kibali cha kuanzisha biashara ya kukopesha watu akizungumzia utofauti wa kauli za baadhi ya viongozi wa dini juu ya deci akiwemo kiongozi wa kanisa la full UNK bible fellowship askofu zakaria kakobe alisema kila mtu ana imani yake hivyo wana wajibu wa kusema kile UNK wakati huo huo christina gauluhanga anaripoti kuwa baada ya wanachama wa deci kupigwa butwaa kutokana na kushindwa kuelewa hatima ya mbegu zao walizopanda uongozi wa kata ya kipawa nao UNK taasisi nyingine UNK na shughuli za upatu inayofahamika kama mali ngumu ya majumba sita ukonga dar es salaam panda UNK umasikini basi akizungumza na gazeti hili diwani wa kata ya kipawa bwana UNK stambuli alisema kuwa wameamua kuifungia taasisi hiyo kutokana na kushindwa kutoa maelezo ya kina juu ya biashara zao na vilevile kutokuwa na leseni na tahadhari iliyotolewa na waziri mkuu mizengo pinda alisema kuwa kutokana na adha wazipatazo wana deci uongozi wa kata uliamua kuifanyia uchunguzi taasisi hiyo ambapo UNK na ofisa biashara wa kata bibi mary UNK na baada ya kufika walibaini upungufu mwingi aliongeza kuwa wamebaini kuwa mali ngumu inamilikiwa na mfanyabiashara mmoja na inadaiwa kuwa ofisi zake zipo kitunda kivule na haina uhalali wa kuwepo majumba sita pia hawana taarifa kamili jinsi ya kuendesha shughuli zao kwakweli UNK katika ofisi ile UNK jinsi wananchi wanavyohatarisha fedha zao kwani haina hadhi wanachama wanakaa kwenye UNK pia hawana nyaraka zozote zinazoonesha uhalali wa kuwepo kwa biashara yao alisema alisema kuwa baada ya wafanyakazi waliokuwepo katika ofisi hiyo kushindwa kutoa maelezo ya kina wameamua kuifungia taasisi hiyo hadi hapo UNK maelezo ya kina bwana stambuli amewaomba wakazi wake kuwa macho na taasisi za fedha UNK kinyemela kwani zitawaingiza katika umasikini na kuua mitaji yao mbunge wa jimbo la ziwani kisiwani pemba bwana ali said salim amelitaka jeshi la polisi visiwani humo kuwabana askari polisi waliokuwa zamu wakati wafuasi wawili wa cuf UNK na watu wasiofahamika kwani mazingira yanaonyesha kuwa UNK vyema watuhumiwa wa tukio hilo akizungumza na majeruhi hao baada ya kuruhusiwa kutoka hospitali ya taifa ya muhimbili dar es salaam jana bwana ali said salim alisema kuwa wavamizi hao UNK kuwaua wafuasi hao wa chama cuf alisema kutokana na mazingira ya tukio hilo jeshi hilo UNK watu hao na taarifa zao zipo katika jeshi hilo lakini anashangaa kusikia hadi sasa hakuna anayeshikiliwa kwa kosa hilo kabla ya kufika katika eneo walilokuwa wanaishi majeruhi hawa ni lazima UNK katika kizuizi cha polisi na walikuwa na gari pamoja na silaha ina maana UNK na gari inajulikana na polisi walikuwa zamu katika kizuizi hicho bada ya tukio tukio kutokea na sisi UNK na difenda ya polisi katika kizuizi hicho lakini UNK lolote na wala kuhoji wana maana gani ina maana tukio walikuwa UNK fika mwanzo mpaka mwisho alisema bwana ali said salim akizungumzia tukio hilo mmoja wa majeruhi bwana said amour hamis alisema kuwa alinusurika kufa baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana ambapo walimwambia UNK roho yake na si kitu kingine bwana UNK tukio hilo na matukio ya kisiasa yanayoendelea visiwani pemba walivamia watu kama saba wakiwa na silaha mbalimbali walinipiga marungu kichwani na nikaamua kulala chini wakaanza UNK kwa mnyororo wa pikipiki na mkia wa taa UNK tumboni kisha UNK pumzi kuhakikisha kama nimekufa na waliporidhika waliondoka huku wakisema wanaenda kummaliza bwana mdogo aliyebaki sikujua cha kufanya nilipopata nafuu nilipiga simu na kuomba msaada polisi alisema bwana amour UNK majeruhi mwingine katika tukio hilo ni bwana mbarouk salum hamis ambaye naye alinusurika kufa baada ya kujeruhiwa vibaya na kutupwa msituni huku wahalifu waliofanya tukio hilo wakiamini kuwa amekufa tukio hilo lilitokea oktoba ishirini na nane mwaka huu katika kijiji cha mchanga wa pwani jimbo la ziwani pemba saa saba sifuri sifuri usiku ambapo majeruhi hao UNK kwa ndege ili kupata matibabu katika hospitali ya taifa muhimbili baada ya hali zao kuwa mbaya askofu wa kanisa la moravian tanzania mhashamu alinikisa cheyo amesema chanzo cha matatizo makubwa nchini ukiwemo ugumu wa maisha na ufisadi unasababishwa na wasomi wanaoshindwa kutumia vema elimu yao akizungumza katika mahafali ya pili ya chuo kikuu cha UNK UNK jijini hapa juzi alisema maana ya kuwa na wasomi ni kupata ukombozi katika masuala sugu UNK watanzania na kuwafanya wabaki katika maisha magumu alisema wahitimu wa cheti na shahada ya elimu katika lugha UNK na watakuwa na maana katika jamii iwapo tu wataitumia elimu hiyo kushiriki katika mchakato wa kuwapatia watanzania maisha bora na s kuwa chukizo katika jamii alisema kuwa nchi inawategemea kutokana na elimu waliyoipata kwani wataweza kuisaidia jamii na si kuiweka mfukoni wapo UNK elimu zao mifukoni na kushindwa kuwa msaada katika jamii UNK UNK kwani UNK vema kupata shahada na wengine vyeti lakini ukweli ni kuwa tunawasubiri katika maeneo yenu ya kazi je UNK kama kweli elimu mliyopata UNK na si kuiweka mfukoni alisema askofu cheyo aidha aliwataka wahitimu hao kuepuka kuitwa majina machafu yasiyofaa kuitwa wasomi kama ilivyo kwa viongozi wengi hapa nchi kwani kwa kufanya hivyo watapoteza dira ya usomi wao na kushindwa kuwa msaada kwa watanzania kwa upande wake mkuu wa wilaya ya hai daktari UNK UNK aliutaka uongozi wa kanisa la UNK ambao ndio wamiliki wa chuo hicho kwa kushirikiana na watalaamu wao wa chuo kuhakikisha wanakuwa wabunifu katika mtaala UNK ili kuwezesha wasomi wa chuo hicho kuwa mfano wa kuigwa upande wa mashitaka leo unatarajiwa kuanza kutoa ushahidi katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayowakabili waliokuwa mawaziri bwana basil mramba wa fedha na bwana daniel yonna wa nishati na madini kuanza kusikilizwa kwa ushahidi huo kwa siku tano mfululizo UNK bwana mramba kukatisha mkutano wa bunge unaoendelea mjini dodoma ushahidi huo utatolewa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu ambao ni bwana john utamwa bwana saul kinemela na bwana sam rumanyika miongoni mwa mashahidi wanaotarajiwa kuoa ushahidi wao leo ni aliyekuwa naibu waziri wa fedha bwana abdisalaam issa khatib na wengine kumi na sita wakiwemo wataalamu mbalimbali waliohusika katika kutoa ushauri kwa washitakiwa kuhusu msamaha wa kodi kwa kampuni ya alex UNK mashahidi wengine ni bwana godwin nyelo bibi maria kejo bibi betha soka bibi rehema kitambi bwana mustapha ismail bwana ludovick kandege bwana saddy kambona christine shekidele na makamishna wa nishati na madini bwana gray mwakalukwa na bwana bashir UNK wengine ni bwana p kasera bwana agrey teemba bwana george kaindoa kesysia mbatia nakuwera senzia na bwana george tigiti kwa mujibu wa maelezo ya awali na nyaraka zilizosomwa mahakamani bwana yonna alikaidi ushauri wa wataalamu mbalimbali kuhusu kuajiri kampuni hiyo ambayo ilipewa msamaha ya kodi na kusababisha hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba bwana mramba naye alidaiwa kutoa maelekezo ya kusainiwa kwa hati ya makubalino kati ya serikali na kampuni hiyo bila ya suala hilo kufikishwa kwenye baraza la mawaziri au hati hiyo kufikishwa kwa mwanasheria mkuu wa serikali mshitakiwa mwingine katika kesi hiyo ni aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha na uchumi bwana gray mgonja ambaye kama ilivyo kwa wenzake anadaiwa kutumia vibaya ofisi kwa kutoa UNK ya kodi kwa kampuni hiyo hatua iliyosababisha hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba kitendo cha serikali kuendelea kuzuia ripoti ya utekelezaji wa maazimio ya bunge kuhusu kashfa ya richmond kimewakera wajumbe wa kamati ya nishati na madini ya bunge na sasa imepanga kukutana kujinga kukabiliana na hali hiyo hali hiyo inajitokeza ikiwa ni wiki ya mwisho ya mkutano wa kumi na saba wa bunge UNK kuwa utajadili na kuhitimisha suala hilo UNK na kamati teule ya bunge februari mwaka juzi habari kutoka ndani ya kamati hiyo zinasema kutokana na serikali kuficha ripoti yake hadi sasa inaweza kusababisha kamati hiyo kujiondoa katika suala hilo au kutoa notisi ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ambaye ni kiongozi wa shughuli za serikali bungeni chanzo chetu ndani ya kamati hiyo UNK majira kuwa imepanga kukutana leo kama mkutano kati ya wabunge wa ccm na kamati ya mzee mwinyi itamalizika mapema au kesho jumanne kwa lengo la kujiweka sawa kuhusu masuala mbalimbali wakati ikisubiri kupokea na kujadili taarifa hiyo ya serikali kwa muda mrefu kamati hiyo imekuwa inasubiri taarifa hiyo bila mafanikio mara mbili serikali UNK kuwasilisha ripoti hiyo jijini dar es salaam na kuahidi kufanya hivyo dodoma kabla ya mkutano kuanza lakini hadi sasa haijafanya hivyo ilielezwa kwamba kamati hiyo UNK na kitendo cha serikali UNK kuikabidhi taarifa hiyo mapema wiki iliyopita ili ijipange mapema kulijadili kwa ufasaha huku mmoja wa watuhumiwa katika taarifa hiyo mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa bwana edward hosea akidaiwa kutaka kuwaziba midomo wabunge kwa kuwahoji kuhusu posho UNK baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo walisema kwamba UNK ni kwamba wengi walioitwa kuhojiwa na takukuru ni wajumbe wa kamati hiyo na wale waliokuwa kwenye kamati teule UNK maovu ya richmond hivyo kuthibitisha kwamba serikali UNK kwa lengo la kuwaziba mdomo mwenyekiti wa kamati hiyo bwana willliam shelukindo hakupatikana jana kwa kilichoelezwa kuwa alikuwa kwenye mkutano wa kamati ya mwinyi aliyekuwa mwenyekiti wa kamati iliyochunguza zabuni ya richmond daktari UNK mwakyembe aliahidi kutoa jibu leo kwa kuwa alikuwa safarini nje ya mji wa dodoma hadi jioni hata hivyo habari kutoka ndani ya serikali zinaeleza kwamba taarifa hiyo UNK kwenye kamati hiyo kesho jumanne baada ya kukamilika na kwamba uenda UNK alhamisi au ijumaa pia UNK kwamba iwapo kutakuwa na shughuli nyingi za bunge uenda mkutano UNK siku mbili ili kumaliza kabisa taarifa hiyo kama UNK kati ya serikali na bunge kampuni ya smart holdings limited ya kukusanya ushuru katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi ubungo imekabidhi mikoba kwa halmashauri ya jiji la dar es salaam kampuni hiyo inayomilikiwa na familia ya mbunge wa kuteuliwa na rais kingunge ngombale mwiru ilikabidhi shughuli hiyo usiku wa kuamkia jana baada ya mkataba wake wa miaka mitano kumalizika halmashauri ya jiji UNK shughuli hiyo miezi minane baada wa waziri mkuu mizengo pinda kuagiza mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali kukagua hesabu za makusanyo ya fedha katika kituo hicho pinda UNK uchunguzi huo machi mwaka huu baada ya kushangazwa kuona mazingira UNK kupatikana kwa kiasi kikubwa cha fedha lakini serikali UNK shilingi milioni moja tano pekee kwa siku kampuni hiyo ilikuwa inakusanya ushuru wa magari yanayoingia wasindikizaji na UNK wa abiria pamoja na kodi za pango ya UNK kampuni hiyo iliingia mkataba huo novemba moja mwaka ishirini sifuri nne baada ya kushinda zabuni ya kukusanya mapato ya ushuru na kodi za magari yote yanayoingia na kutoka kituo hicho akizungumza jana dar es salaam mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo bwana hassan khan alisema kuwa mkataba wao wa kukusanya mapato umeisha juzi saa sita usiku na kukabidhi kwa kaimu mkurugenzi wa jiji kampuni hiyo imekuwa UNK ushuru wa mlango na kuilipa halmashauri ya jiji shilingi milioni mbili kwa siku kutokana na tathmini mbili za mwaka ishirini sifuri nne zilizofanywa na kampuni ya ushauri UNK UNK na ile ya wataalamu wa jiji UNK kati ya shilingi milioni moja nane milioni mbili kuhusu kodi za pango wafanyabiashara kiasi kilichokuwa kinatakiwa kukusanywa kwa mwezi ni shilingi ishirini na sita mia nane na themanini na nane mia nane na themanini kati yake halmashauri inapata asilimia themanini kwa mwezi na kampuni hiyo ishirini kulingana na maelezo ya bwana khan jumla ya fedha ilizokuwa inapata halmashauri ya jiji kutoka kwa kampuni hiyo kwa mwezi ni asilimia sabini na tano kutoka milangoni na themanini kutoka kwenye ofisi za biashara ndogondogo kutimiza lengo hili lilikuwa vigumu sana lakini kutokana na kampuni kuheshimu mkataba ilibuni njia mbalimbali za kutuwezesha kutimiza malengo ya mkataba na iliwekeza katika miundombinu ya ujenzi wa ofisi kujenga vizuizi kuweka milango ya kisasa na radio call aliongezea gharama za uendeshaji zimekuwa UNK kila siku lakini kwa mujibu wa mkataba kamisheni UNK kampuni yetu ndiyo iliyokuwa ikitumika kurudisha gharama za uendeshaji kama vile mishahara ya wafanyakazi kurudisha gharama za uwekezaji kulipia simu umeme usafiri bima sare za kazi uchapishaji wa stakabadhi kulipia kodi za serikali matibabu kwa wafanyakzi pamoja na chakula na malazi alisema bwana khan alisema baada ya mkataba kuisha baadhi ya vitendea kazi muhimu kama vile mageti na kamera za usalama UNK katika kituo hicho vitakuwa mali ya jiji ili kusaidia kuongeza ufanisi na kuongeza mapato mkurugenzi huyo alisema kwa kipindi cha miaka mitano UNK halmashauri ya jiji jumla ya shilingi bilioni tatu nane yatakiwa UNK kuziba midomo wabunge wabunge waapa UNK na serikali baadhi ya wabunge UNK kuwa iwapo kamati ya mwinyi UNK nao leo itakuja na sura ya kutaka UNK na serikali rais jakaya kikwete ajiandae ccm UNK mkononi mwake wabunge hao wametoa onyo hilo kamati hiyo ikiwa tayari imekutana na kamati ya uongozi ya wabunge wa ccm chini ya waziri mkuu mizengo pinda na badaye kukutana tena na kamati ya uongozi ya bunge chini ya spika samuel sitta kwa nyakati tofauti kwa lengo la kupata picha na kujua uelekeo wa kikao cha leo cha wabunge wote wa chama hicho kamati hiyo iliundwa na halmashauri kuu ya taifa ya ccm kwa lengo la kuchunguza mahusiano baina ya wabunge na serikali yao hasa baada ya kauli ya za wabunge hao bungeni kuwakera viongozi wa serikali na wa chama hicho wakizungumza na majira kwa nyakati tofauti jana baadhi ya wabunge walisema lengo la kamati ni kuwaziba midomo ili kuacha hoja za msingi zinazotakiwa kujibiwa na serikali kwa ufasaha badala yake wakubali kuburuzwa jambo ambalo limepitwa na wakati hivi sasa tunasubiri majibu ya serikali kuhusu richmond huku takukuru inataka kutuziba midomo huku kamati ya mheshimiwa mzee mwinyi nayo inataka kutuziba midomo haya mambo UNK kwa makini wakati wa ccm UNK mkono mwa jk umefika kwanza kuwepo kwa kamati hii ni kuficha ukweli chanzo cha tatizo UNK lakini hawataki UNK UNK chanzo cha tatizo ni kwamba kumejitokeza kundi dogo tu ndani ya ccm lenye nguvu ya fedha haramu lenye lengo la UNK au kukiendesha chama kama kampuni ya mtu binafsi inapotokea wenye uchungu na nchi kuona hilo na UNK kwa nguvu zote matokeo yake ni kuundwa kwa kamati badala ya kushughulikia chanzo cha tatizo alisema mbunge mmoja mbunge mwingine machachari wa ccm alisema yeye kama mwakilishi wa wananchi anasikitishwa na hali iliyopo ndani ya ccm ya sasa ya kuacha hoja za msingi na kupoteza muda kwa lengo la kuficha ukweli ninachoweza kuzungumza kwa sasa ni kwamba tunasubiri sana hiyo kamati ya wazee wetu kesho ila tunasikitika sana kwamba tunapoteza muda wa kulumbana badala ya kunggoa mzizi wa fitna tatizo linajulikana UNK ni kutokubali kuwa wawazi na UNK hoja zinazotarajiwa kutawala mkutano ni pamoja na kuwepo kwa uhasama baina ya wabunge wa ccm vikao vya ccm kushindwa kushughulikia matatizo ndani na kuyaweka hadharani bungeni na bunge kutumika kama rungu la kupiga serikali pamoja habari kutoka ndani ya kikao cha kamati na ile ya uongozi wa bunge zilieleza kwamba kulikuwa na mjadala mkali kuhusu hoja hizo huku baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo wakiweka wazi kwamba kinachotakiwa ni kushughulikia matatizo si watu ilielezwa kwamba kikao hicho kilikuwa na mvutano mkali huku baadhi ya wajumbe UNK kamati hiyo kwamba iwapo UNK alama za nyakati uenda kikao cha leo kitakuwa kigumu zaidi na hata kuweza kuvunjika kwa kuwa wabunge wanatambua kuwa kilichopo nyuma ya kamati hiyo ni kutaka UNK akiri kutoa vibali vya msamaha wa kodi akana kusababisha hasara ya UNK ataka wapelelezi wakaangalie hansard na grace michael aliyekuwa waziri mwandamizi katika serikali ya awamu ya tatu bwana basil mramba amekiri kutoa vibali vya msamaha wa kodi katika kampuni ya alex UNK kutokana na kuridhiwa na ikulu mbali na hiyo pia amekana kusababisha hasara kwa serikali ya tanzania ya shilingi bilioni kumi na moja saba na kusema kuwa hasara hiyo UNK na mkataba mbovu uliokuwa umeingiwa kwa maridhiano hayo hayo yalisemwa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam mbele ya hakimu mkazi bwana UNK UNK kupitia wakili wa mshitakiwa huyo bwana herbert nyange wakati wa usikilizwaji wa awali wa kesi hiyo mteja wangu UNK hasara ya mabilioni hayo bali ni mkataba mbovu uliokuwa umeingiwa lakini pia asingeweza kufanya hayo bila ya ikulu kuridhia na kwa kuwasaidia wapelelezi wakaangalie hansard ya bunge ya mwaka ishirini sifuri nne alisema bwana nyange hatua ya kusema hivyo ilitokana na upande wa mashitaka kusoma maelezo yote ya awali ya kesi hiyo ambapo washitakiwa walitakiwa kueleza ni mambo gani UNK na yapi UNK kwa upande wa bwana mramba alikiri kushika nyadhifa ya juu katika serikali ya awamu ya tatu kama waziri wa fedha lakini pia kuandika barua kwa mshitakiwa wa pili bwana daniel yona aliyekuwa waziri wa nishati na madini kwamba shughuli ya kuingiza kampuni hiyo UNK wakati bajeti ya ishirini sifuri tatu sifuri nne ikiwa imefungwa hivyo inawezekana kufanyika katika bajeti ya nyongeza mbali na hiyo pia bwana mramba alikubaliana na kuandika barua namba UNK m thebathini mbili ikitoa maelezo kwa gavana wa benki kuu ya tanzania kuwa UNK dola za marekani milioni moja kama fedha za awali katika kampuni alex UNK kwa upande wa mshitakiwa wa pili bwana yona alikubaliana na vipengele vya majina yake na kushika wadhifa wa juu serikalini lakini UNK na maelezo ya kuandika barua ambayo bwana mramba alikiri kuandika kwake kuhusiana na fedha kupatikana kwenye bajeti ya nyongeza hata hivyo mshitakiwa wa tatu ambaye alikuwa ni katibu mkuu wa wizara ya fedha na uchumi bwana gray mgonja alikanusha maelezo yote na kukubaliana na wadhifa aliokuwa nao maelezo UNK ni kupokea barua kutoka mamlaka ya mapato tanzania ikisisitiza kampuni hiyo ilipe kodi kulingana na sheria ya nchi maelezo hayo yalidai kuwa bwana mgonja alimshauri bwana mramba kuendelea na zoezi la kusaini notisi za msamaha wa kodi kwa kampuni hiyo baada ya kumaliza kusomwa kwa maelezo hayo upande wa mashitaka uliiambia mahakama kuwa unatarajia kuita jumla ya mashahidi kumi na tatu na vielelezo mbalimbali kuhusiana na kesi hiyo upande wa utetezi uliwasilisha ombi kuhusiana na bwana mramba kuruhusiwa kuhudhuria kikao cha bunge mpaka mei mosi mwaka huu ambapo mahakama ilikubaliana na ombi hilo kesi hiyo itaanza kuunguruma mahakamani hapo mei kumi na nane mwaka huu awali washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo wakidaiwa kutumia vibaya ofisi zao kwa kuidhinisha vibali mbalimbali vya msamaha wa kodi na hatimaye kuisababishia hasara serikali ya tanzania jumla ya shilingi bilioni kumi na moja saba tatizo la mgawo wa umeme nchini bado halijapatiwa ufumbuzi wa kudumu kutokana na kutokuwashwa kwa mitambo ya kampuni ya independent power tanzania limited wala kukamilika kwa matengenezo ya mtambo mpya wa UNK mitambo hiyo UNK na serikali kuwa ingekuwa tayari novemba mosi na kuingia megawati kumi sifuri za iptl na nyingine arobaini na tano za mtambo wa gesi asili unaojengwa kampuni la wartsla tegeta dar es salaam akizungumza na gazeti hili ofisini kwake dar es salaam jana ofisa mkuu wa habari wa wizara ya nishati na madini bwana aloyce tesha alikili kutokuwashwa kwa mitambo hiyo kwa sababu bado umaliziaji mdogo wa kituo hicho cha tegeta cha kuunganisha umeme huo katika gridi ya taifa bwana tesha alisema kuwa kwa ujumla ujenzi wa kituo hicho kimeshakamilika na sehemu iliyobaki ni kuunganisha nyaya hizo kwenye gridi ya taifa ili uweze kusambazwa kwa watumiaji jambo ambalo UNK wiki hii ni kweli kituo cha tegeta bado UNK kutokana na ukamilishaji unaoendelea huko lakini naamini ndani ya wiki hii watamaliza kuunganisha katika gridi ya taifa na kama umekwenda huko nadhani umejionea hali halisi wewe mwenyewe alisema bwana tesha akizungumzia kutokuwashwa kwa mitambo ya iptl alisema kuwa mitambo hiyo ni kweli bado UNK lakini serikali UNK majadiliano na kampuni hiyo katika kuwasha mitambo na kwa sasa kazi ya mwisho inafanywa na mfilisi pamoja na iptl ili kufanikisha kuwasha mitambo hiyo bwana tesha alibainisha kuwa mbali na kutokuwashwa kwa mitambo ya iptl na kituo cha tegeta tatizo la mgawo wa umeme limepungua kutokana na kutengenezwa kwa mitambo ya kihansi hale pangani na ule wa songas ubungo na kunyesha kwa mvua katika baadhi ya maeneo mmoja wa wahandisi wa wartsla bwana UNK UNK alisema bado ufundi unaendelea na mimi siwezi kusema lolote hivi karibuni rais jakaya kikwete aliagiza kuwashwa kwa mitambo ya iptl kutokana na mgawo wa umeme UNK taifa na kusababisha adha kwa wananchi na wafanyabiashara kutokana na UNK kwa uzalishaji wa bidhaa viwandani kutokana na kauli waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja UNK mitambo hiyo na kuahidi kuwa umeme UNK novemba mosi malumbano kuhusu uanzishwaji wa mahakama ya kadhi nchini yameibuka upya baada ya baraza la maaskofu wa makanisa ya kipentekoste kulitaka bunge kutokubali kupokea kujadili au kupitisha muswada au kanuni ya mipango yoyote inayohusu dini yoyote akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana mwenyekiti wa pct taifa askofu david batenzi alisema kuwa endapo mswada huo utapelekwa bungeni watanzania wa imani zingine watakuwa hawajatendewa haki tunatoa ushauri suala hili UNK bungeni kwa sababu ni uvunjaji wa katiba ya nchi kifungu namba kumi na tisa kanuni ndogo ya sita endapo serikali UNK kulipeleka suala hilo bungeni imani nyingine zitakuwa UNK haki alisema alisema kwa kuwa serikali imetamka bayana kuwa aina dini hivyo kitendo cha muswada huo kupelekwa bungeni serikali itakuwa na agenda ya siri ambayo inaweza kusababisha kuvunjika kwa amani na kuleta machafuko nchini tukumbuke amani tuliyonayo tumeipata kwa mwasisi wa taifa ili marehemu mwalimu nyerere ambaye UNK kudai kuwa serikali aina dini lakini watu wake ndio wenye dini zao na wala UNK wala kusimamia dini yoyote alisema bwana batenzi aliongeza kuwa ni vema watanzania UNK mwalimu nyerere kwa kufuata nyayo zake kwa muda wote kwani hakuwa na ubaguzi katika dini yoyote au kuifanya dini moja kuwa bora kuliko nyingine hata hivyo alisema pct haiko kinyume na uanzishwaji wa mahakama ya kadhi kwa waislamu isipokuwa suala hilo UNK bungeni bali walimalize wenyewe kwa kushirikisha mabaraza yao pia bwana batenzi alisema kuwa si sahihi kutumia fedha za walipa kodi wa tanzania ambao ni wafuasi wa dini mbalimbali na kuziingiza katika kutengeneza na kuendesha mfumo wa dini moja kama mahakama ya kadhi alisema kuwa wanaamini bunge kazi yake ni kulinda na kutetea katiba ya nchi na wala si vinginevyo naye askofu daktari mathew UNK alisema kitendo cha waziri mkuu bwana mizengo pinda kukubali kuundwa kwa kamati ndogo ya waislamu kwa ajili ya kufuatilia mswada huo kinaonyesha dhahiri kuwa kinaweza kuhatarisha amani kama waziri mkuu amekubali kamati iundwe hiyo kamati ikimaliza kufanya kazi yake UNK makubaliano yake bungeni na UNK UNK bungeni UNK na baadaye unakuwa sheria hapo unaweza kusababisha UNK wa dini nyingine kutokubaliana alisema kauli hiyo imekuja wakati kamati iliyoundwa na bwana pinda kushirikiana na timu ya mashehe wa baraza la waislamu tanzania linaendelea kujadili jinsi mahakama hiyo UNK na waislamu wenyewe mtu mmoja anayedaiwa kuwa na upungufu wa akili amekamatwa na polisi mkoani kilimanjaro kwa tuhuma za kumuua lariki peter mushi na kula sehemu ya viungo vyake kamanda wa polisi mkoani kilimanjaro bwana lucas ng hoboko alimtaja anayeshikiliwa kuwa ni thadei mushi anayedaiwa kuwa na umri kati ya miaka thebathini na tano na arobaini mkazi wa kibosho kindi wilaya ya moshi vijijini kwa mujibu wa kamanda ng hoboko jumapili iliyopita saa nne sifuri sifuri asubuhi bwana lariki alikuwa ametoka kuchota maji na mtuhumiwa alimpiga kwa shoka kichwani na UNK alianza UNK kwa kisu na kunyofoa baadhi ya viungo vyake vikiwemo maini na UNK baada ya kunyofoa vitu hivyo mtuhumiwa ambaye kwa mujibu wa historia yake ana matatizo ya akili alianza UNK viungo hivyo hadi wananchi walipofika na kumdhibiti alisema alisema haijajulikana mapema mahali alipopata shoka hilo na kwamba tayari polisi wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo wakati UNK viungo hivyo vya marehemu mtuhumiwa alikuwa na silaha pembeni mwake na hivyo ikabidi wananchi watumie nguvu ili kumdhibiti na UNK anya silaha alizokuwa nazo alisema kamanda ng hoboko alisema baada ya kumdhibiti alipelekwa hadi UNK ya mkoa ya mawenzi ambako yuko chini ya ulinzi huku akipewa matibabu kufuatia majeraha aliyoyapata wakati wananchi wakijaribu UNK mwili wa marehemu upo katika hospitali ya rufaa ya kcmc alipokuwa amekimbizwa ili apate matibabu kamanda ng hoboko alisema kuwa uchunguzi wa awali wa polisi unaonyesha kuwa mtuhumiwa ambaye huwa anaishi na mama yake ana upungufu wa akili na kwamba mara kwa mara huwa anamfanyia hata mama yake vurugu na kwamba alishawahi kuwekwa katika gereza la karanga moshi na pia kupata matibabu katika hospitali ya UNK na kwamba huwa UNK akili yake UNK kamanda UNK aliwapongeza wananchi UNK mtuhumiwa kwa kufanya hivyo bila ya kuchukua hatua mikononi mahakama kuu maalumu inayosikiliza kesi za mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi mkoani shinyanga jana imewahukumu watu wanne adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa kumuua lyaku wille huko katika kijiji cha nkindwabiye wilaya bariadi waliohukumiwa adhabu hiyo ni bwana mboje mawe bwana chenyenye kishiwa bwana sayi gamaya na sayi mafizi wote wakazi wa kijiji cha nkindwabiye wilayani bariadi mkoani shinyanga akitoa hukumu hiyo jaji gadi mjemas alisema ameridhika na ushahidi uliotolewa mahakamani hapo na upande wa mashitaka kuwa washitakiwa wote kwa pamoja walikula njama na kupanga kumuua kwa kukusudia bwana UNK hii ni hukumu ya pili kutolewa kwa watu wanaodaiwa kuwaua albino baada ya hivi karibuni watu wengine watatu kuhukumiwa kunyongwa wilayani kahama mkoani humo jaji mjemas alisema pamoja na ushahidi wa upande wa utetezi kuwa upande wa mashitaka ulishindwa kuthibitisha mashitaka yake mahakamani hapo kwa kuwepo baadhi ya ushahidi uliokuwa UNK lakini kwa mujibu wa sheria ya ushahidi namba thebathini na tatu kifungu kidogo na inaonesha washitakiwa hao walitenda kosa UNK nalo upande wa utetezi ulipinga kutiwa hatiani kwa washitakiwa namba mbili tatu na nne kwa vile ushahidi pekee uliotolewa mahakamani hapo ni ule wa ungamo na onyo la mshitakiwa wa kwanza bwana mboje mawe UNK washitakiwa wenzake hao kuhusika na mauaji hayo katika kesi hiyo wakili wa upande wa utetezi bwana UNK alidai kuwa ushahidi wa ungamo na onyo uliotolewa na mshitakiwa huyo wa kwanza UNK kuungwa mkono na ushahidi mwingine huru na kuiomba mahakama hiyo kuwaachia huru washtakiwa hao kutokana na upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha mashitaka yake jaji mjemas alisema hakubaliani na maelezo ya upande wa utetezi japo anaunga mkono hoja kwamba ushahidi wa ungamo na onyo wa mshitakiwa mmoja hauwezi kuwatia hatiani washitakiwa wenza mpaka UNK na ushahidi mwingine UNK mkono ushahidi huo alisema katika kesi hiyo ushahidi wa onyo na ungamo la bwana mboje unaungwa mkono na ushahidi huru wa shahidi wa kwanza ofisa mtendaji wa kijiji cha nkindwabiye bwana UNK matongo na ushahidi wa mkemia wa mkuu wa serikali bibi gloria UNK aliyekuwa shahidi wa kumi na moja upande wa mashitaka jaji huyo alisema pamoja na bwana mboje UNK ushahidi wake alioutoa kwa njia ya onyo na ungamo lakini maelezo ya shahidi wa saba upande wa mashitaka yameonesha kuwa mshitakiwa huyo alitoa maelezo kama hayo hata kabla ya kufikishwa katika kituo cha polisi na kwa mlinzi wa amani kutokana na hali hiyo ni wazi kuwa mshitakiwa wa kwanza alikiri kwa hiari yake pasipo kulazimishwa wala kutumia nguvu na hii UNK na maelezo ya shahidi wa kwanza na wa saba kuwa alikiri mbele yao kuhusika na mauaji hayo UNK katika kijiji cha UNK walipokwenda kumkamata baada ya kubainika alitoroka katika kijiji cha nkindwabiye alieleza jaji UNK alisema ushahidi huo wa onyo na ungamo unaungwa mkono pia na ushahidi huru uliotolewa na mkemia wa mkuu wa serikali kuwa vinasaba vya marehemu vilivyokutwa katika panga na kisu vilivyotumika katika mauaji ya bwana wille UNK na vinasaba vya washitakiwa wote kutokana na hali hiyo jaji mjemas alisema upande wa mashitaka umethibitisha kuwa washitakiwa walikula njama na kushiriki kumuua kwa pamoja marehemu lyaku wille na kwamba upande wa utetezi ulishindwa kuionesha mashaka mahakama kuwa washitakiwa UNK kosa hilo jaji mjemas alisema kutokana na upande wa mashitaka kuthibitisha mashitaka yake bila ya kuacha shaka na kwa vile hapa nchini kuna adhabu moja tu ya mtu anayepatikana na hatia ya kosa la mauaji ambayo ni kifo UNK washitakiwa wote kwa pamoja adhabu ya kunyongwa hadi kufa na wanayo nafasi ya kukata rufaa iwapo hawakuridhika na hukumu hiyo wakili UNK alisema wanakusudia kukata rufaa kupinga hukumu hiyo kutokana na jaji mjemas kuzingatia ushahidi mmoja ambao ni wa onyo na ungamo la mshitakiwa wa kwanza ambao kisheria UNK kuwatia hatiani washitakiwa wa pili hadi wa nne rais jakaya kikwete amezindua huduma ya kusafisha damu katika hospitali ya taifa muhimbili na kusema kuwa kuanza kwake ni moja ya hatua kubwa kuelekea kuanzisha uwezo wa kufanya upasuaji wa moyo nchini rais aliyasema hayo jana dar es salaam mara baada ya kuzindua jengo na mashine zitakazotumika kutoa huduma hiyo na kueleza kuwa hatua hiyo UNK huduma muhimu watanzania bila kulazimika kwenda nje ya nchi rais kikwete alisema kuwa serikali inafanya kila jitihada kuhakikisha kuwa huduma za msingi kwa wananchi zinapatikana kwa haraka katika maeneo wanayoishi hivyo kuwepo kwa huduma hiyo kutapunguza mahitaji ya wagonjwa kusafirishwa nje ya nchi alisema kuwa kutokana na uhalisia wa mahitaji uliopo serikali itaongeza fungu katika kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora kwa watanzania kupitia sekta ya afya mbali na kuzindua huduma hiyo ya kusafisha damu rais pia alizindua huduma nyingine nne ambazo zinaifanya hospitali ya muhimbili kuwa moja ya vituo vya ufanisi katika huduma ya afya nchini na katika ukanda wa afrika mashariki huduma hizo ni ile ya dharura huduma za kisasa za matibabu ya meno na kinywa vipimo vya huduma za utambuzi wa magonjwa ambavyo kwa mujibu wa waziri wa afya na ustawi wa jamii daktari david mwakyusa vipimo hivyo ni vya kisasa vyenye uwezo wa kutoa majibu sahihi na ya kina zaidi kuliko x ray za kawaida katika hospitali yoyote duniani idara ya huduma za dharura ina umuhimu wa pekee kwa sababu kucheleweshwa kwa matibabu au kutolewa matibabu yasiyo sahihi kwa wagonjwa mahututi UNK hospitalini kitendo hicho kitaamua kati ya kifo au kupona kwa mgonjwa alisema bwana mwakyusa wabunge wawili machachari katika vita dhidi ya ufisadi wameomba watanzania kuwaombea ili wamalize vita hivyo salama na UNK wameapa kwamba licha ya UNK na UNK na ufisadi kamwe hawatarudi nyuma kwa kuwa mungu yuko upande wao wabunge hao daktari harrison mwakyembe na bwana christopher ole sendeka wote kutoka ccm waliyasema hayo katika ibada maalumu ya kuchangia ujenzi wa kanisa la UNK UNK of god tanzania kongwa mkoani dodoma juzi wabunge hao walisema UNK sana kutambua wazi kwamba watu UNK wako nyuma yao kwa maombi hivyo wamewatia moyo kutokata tamaa kwa kuwa mungu UNK kamwe baba askofu wa kanda baba wachungaji mimi kwa jinsi UNK na kwa maneno UNK hapa UNK siku nilipopata ajali mbaya sana juzi nilirudi kuangalia lile gari nikawa najiuliza hivi kweli UNK kupona bila kuvunjika UNK jibu hapa ni rahisi tu kwamba UNK kwa maombi yenu naamini kabisa kwamba mungu UNK katika ajali ile mbaya vita vya ufisadi ni kubwa na UNK kweli lakini kwa maombi yenu tutashinda nataka niwahakikishie kwa hali hii naamini tutashinda kabisa nami nataka niwahakikishie UNK nyuma mpaka mungu UNK kwa yuko pamoja nasi alisema daktari mwakyembe alisema mungu UNK taifa la tanzania kuwa na rasilimali nyingi na kwamba kinachotakiwa kwa waumini wa dini mbalimbali ni maombi ili azidi kuwasimamia viongozi wenye uchungu na wananchi wa nchi hii na kuwatetea pale UNK vita na fitna alisema mungu hapendi kuona tanzania pekee ikiwa inazalisha madini ya tanzanite huku ikiwa ya tano kwa kuuza madini hayo nyuma ya nchi jirani UNK jasho la watanzania mimi leo UNK kweli ninachoweza kusema ni kwamba jamani endeleeni kutuombea vita hivi ni vigumu kweli lakini UNK tutashinda kwa kuwa mungu wetu hajawahi kushindwa alisema bwana sendeka askofu wa kanda ya mpwapwa na kongwa ambaye pia ni mchungaji wa kanisa hilo askofu livingstone UNK alisema UNK daktari mwakyembe kutokana na sifa yake ya kuwa kinara wa vita vya ufisadi bila kurudi nyuma kwa upande wake katibu mkuu wa UNK taifa mchungaji brown mwakipesile UNK daktari mwakyembe kwamba kanisa hilo UNK mkono yeye UNK wote wanaopiga vita ufisadi na kumwombea afikishe salamu kwa wenzake kuwa mungu UNK hadi mwisho hivyo UNK waumini hao pia walielezea kufurahishwa na kitendo cha mbunge wa singida kaskazini bwana lazaro nyalandu kutaka kuwasilisha hoja binafsi kuhusu bunge kuacha kujadili masuala yanayohusiana na dini atangaza kamwe hawezi kujiuzulu nggo adai wabunge UNK wasitake UNK wakitaka wapige kura kukosa imani naye mkurugenzi wa taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa daktari edward hoseah ameibuka na kuapa kuendelea kuwahoji wabunge wanaodaiwa kupokea posho mara mbili kwa kazi moja na kuweka wazi kwamba kamwe hatajiuzulu wadhifa wake na kama wakitaka wampigie kura ya kutokuwa na imani naye mimi UNK kazi yangu sina mpango wa kujiuzulu UNK kwa UNK na siyo kwa hisia tu kama wanataka UNK kura ya kutokuwa na imani na mimi UNK usingizi kwa hilo kwani nimepewa kazi ya kuwatumikia watanzania wote alisema daktari hoseah daktari hoseah alitoa kauli hiyo dar es salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari akitolea ufafanuzi uchunguzi unaendelea dhidi ya wabunge wanaotuhumiwa kupokea malipo ya posho zaidi ya moja na kuhusishwa kwa kitendo hicho na kashfa ya richmond akizungumza kwa kujiamini alisema kazi ya kuwachunguza wabunge kama ilivyo kwa watu wengine inaendelea UNK jukumu hilo na sheria sihitaji kibali cha mtu alisisitiza kuwa hata kama akifukuzwa kazi takukuru huo hautakuwa mwisho wa maisha yake kwa kile kilichoonekana wazi kushikilia msimamo wake na kuamini kile anachokifanya daktari hoseah alizidi kuwaambia wabunge siwezi UNK kamba shingoni na kujiuzulu ili UNK UNK daktari hoseah aliendelea kuwaambia wabunge wanaodai kuwa taasisi yake UNK kwa kuwahoji akisema hapana hakuna kudhalilishana mbona watu wengine UNK alisema kazi yake ndani ya taasisi hiyo ina ambayo ni kuchukiwa na siyo kazi ya kupendwa hakuna kazi ngumu kama ya kumchunguza mtu UNK kiongozi waziri au mbunge lakini hiyo ndiyo kazi UNK lazima UNK alisema aliwataka wabunge wote kuitikia mwito wa kuhojiwa kwa kuwa sheria ni msumeno na kuwatahadharisha kwamba wasitake kufikisha suala hilo UNK daktari hoseah anatoa kauli hiyo huku wabunge wakipinga hatua ya UNK na taasisi hiyo na tayari mbunge wa kyela daktari harrison mwakyembe akiwa ametangaza UNK taasisi hiyo kwa madai kuwa taratibu hazikufuatwa aliitwa kwa simu badala ya barua wanaofanya kazi hiyo ni watumishi wa ngazi za chini na kuwa suala hilo UNK kufunika kashfa ya richmond ambayo daktari hoseah ni mtuhumiwa alisema tuhuma za wabunge kuwa wanapokea posho mara mbili UNK takukuru na ofisi ya bunge aprili ishirini na sita mwaka huu UNK barua na ofisi ya bunge tena kwa jina langu UNK UNK kazi tuhuma hizo sasa nitashangaa UNK alisema wakati daktari hoseah anadai hivyo spika wa bunge anapinga kufahamu suala hilo huku katibu wa bunge daktari thomas kashililah akisema alipewa maagizo kutoka juu serikalini kuandika barua hiyo maelezo ambayo UNK na ya waziri mkuu mizengo pinda kuwa uchunguzi huo UNK na ofisi ya rais ikulu abainisha kuwa hatua ya kuwahoji wa bunge imefikiwa baada ya taasisi yake kujiridhisha kuwa malalamiko yaliyopelekwa na ofisi ya bunge na baadhi ya wananchi ni ya kweli kupokea posho mara mbili kwa kazi ambayo umetumwa kuifanya si sahihi alisisitiza bwana hoseah na kuonya waheshimiwa wabunge ninyi ndiyo kioo cha nchi hii msipende kuvuruga amani UNK mtoe ushirikiano maana ninyi ndiyo UNK bendera ya kupambana na ufisadi kuhusu madai kuwa takukuru kuwahoji wabunge imekiuka sheria inayohusu kinga madaraka na haki ya wabunge daktari hoseah alisema tunavyojua sisi kinga ya wabunge haihusu vitendo kama hivi UNK alisema na kufafanua kuwa kinga ya bunge inahusu kauli aliyoitoa bungeni au kwenye kamati yoyote ya bunge maandishi ya mbunge kwenye taarifa ya bunge au kamati ya bunge au kwa chochote UNK na mbunge bungeni kwa njia ya muswada uwe wa binafsi au vinginevyo alisema taasisi hiyo haijavunja sheria inayohusu haki na kinga ya wabunge wala sheria nyingine tuliyoyafanya wakati wa kutimiza wajibu wetu yapo ndani ya mamlaka chini ya sheria ya kupambana na kuzuia rushwa namba ya kumi na moja ya mwaka ishirini sifuri saba kupokea posho zaidi ya mara moja kwa kazi ile ile na mazingira hayo hayo UNK na sheria ya takukuru UNK sheria alisema daktari hoseah na kuongeza je wanataka sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa ambayo inatoa mamlaka yanayohusu sheria na kanuni ya fedha za umma haiwahusu waheshimiwa wabunge ndiyo kusema kinga ya wabunge UNK uwezekano wa kuhojiwa kabisa na UNK kama hivyo ndivyo je ina maana sheria hiyo inawahusu watu wengine tu na wabunge UNK alifafanua kuwa takukuru UNK vitendo vyote vya rushwa ukiwemo ukiukwaji wa matumizi ya fedha za umma kuhusu madai kuwa mazingira ya kuwahoji wabunge hayaendani na hadhi yao daktari hoseah alisema hilo linaweza kuwa na ukweli kwa kiasi fulani kutegemea na mtazamo wa mtu lakini hayo ndiyo mazingira ya kufanyia kazi takukuru siku zote aliiomba bunge kuipatia taasisi hiyo bajeti ya kutosha ili kuboresha mazingira hayo ya kazi kuhusu tuhuma kuwa wabunge wamekuwa wakihojiwa na maofisa wadogo sana daktari hoseah alisema ofisa anayeshughulikia suala hilo ni ofisa UNK mkuu na amekuwa katika fani hiyo tangu mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na tatu alisema kwa umri alionao sasa anatarajia kustaafu mwakani hivyo ndiye mwenye umri kuwazidi wafanyakazi wote wa taasisi hiyo aliwataka wabunge hao waiache taasisi hiyo ifanye kazi zake kwa mujibu wa sheria waheshimiwa wabunge naomba UNK kwa mfano bunge letu lina sifa ya kuongoza mapambano dhidi ya ufisadi ambao ni pamoja na matumizi mabaya ya fedha za umma matumizi mabaya ya madaraka tungependa suala hili UNK chanzo cha UNK heshima ndani na nje ya nchi ambayo bunge letu tukufu UNK alisema daktari hoseah UNK ni kwa nini wabunge wengi wanaotakiwa kuhojiwa kwa kupokea posho mara mbili ni wale waliokuwa wajumbe wa kamati kuchunguza mkataba wa richmond daktari hoseah alijibu ni kawaida mtu UNK au kutuhumiwa UNK kuonekana anaonewa mbona mimi katika sakata la richmond UNK na kusemwa kwa miaka mitatu sijawahi kulalamika alipoulizwa hatma ya taasisi na mashirika yanayodaiwa kutoa posho hizo kwa wabunge daktari hoseah alisema waliohusika nao hawatabaki salama hivyo nao lazima UNK kuhusu madai yaliyotolewa na kiongozi wa upinzani hamad rashid mohamed aliyetaka pia rais kikwete achunguzwe daktari hoseah alisema anavyojua ni kuwa rais akiwa kwenye ziara yake ndani ya nchi UNK UNK alisema katika ziara yake anaenda na magari yake walinzi UNK na kila kitu anaenda nacho mbunge wa jimbo la simanjiro bwana christopher ole sendeka ameitaka serikali kutoa maelezo ya matumizi ya shilingi bilioni kumi zilizokusanywa kutokana na akaunti ya madeni ya nje kwenda wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi zimefanya kazi gani na kwa maeneo gani bwana ole sendeka alitoa kauli hiyo jana wakati akiuliza swali la nyongeza kwa wizara hiyo huku akitaka kuelezwa kiasi hicho cha fedha kimefanya kazi gani kwa ajili ya kuwasaidia wananchi hasa maeneo ya wafugaji katika majibu yake naibu waziri wa maendeleo ya UNK na uvuvi bwana james UNK alisema kuwa fedha zilizotokana na epa UNK kwenye ununuzi wa dawa za mifugo na kusambazwa kwa wananchi alisema kuwa wizara yake ambayo ilipewa dhamana hiyo ilishatumia kiasi hicho cha fedha na tayari UNK ambapo usambazaji wa madawa hayo umeshafanyika na wananchi UNK dawa hizo na taarifa UNK katika swali la msingi la mbunge wa viti maalumu bibi mkiwa UNK serikali ilitakiwa ieleze imeandaa mazingira gani ya kuwasaidia wavuvi wadogo kupata zana za kisasa bila vikwazo pia serikali imechukua hatua gani za kuvutia wawekezaji katika uanzishwaji wa viwanda vya kusindika samaki katika mikoa ya pwani bwana wanyancha alisema kuwa katika kuwasaidia wavuvi wadogo serikali tayari imeandaa sheria ya uvuvi katika bahari kuu na kumi na mbili ishirini sifuri saba na kanuni zake kwa upande wa wawekezaji kuja kuwekeza katika viwanda vya kusindika samaki alisema kuwa kupitia tic na kupitia sera ya taifa ya uvuvi wawekezaji UNK kuwekeza katika viwanda vya UNK samaki ambapo hadi sasa viwanda ishirini na mbili UNK nchi nzima na kati ya hivyo vitano vipo ukanda wa bahari hata hivyo alisema kuwa hadi sasa viwanda kumi na saba tayari vinafanya kazi na tayari wawekezaji wawili wamejenga viwanda vya UNK UNK ambavyo ni UNK fishnet ltd kilichopo mwanza na kiwanda kingine cha imara fishnet ltd kilichopo dar es salaam mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi UNK wilayani arumeru mkoa wa arusha UNK ombeni UNK UNK kwa panga baada ya kubakwa na vijana wawili kwa kile kilichodaiwa kuwa walitumwa damu ya kafara na mganga wa kienyeji kaimu kamanda wa polisi mkoa wa arusha ssp leonard paulo alieleza kuwa tukio hilo lilitokea oktoba thebathini mwaka huu saa tano asubuhi katika kijiji hicho wakati binti huyo UNK na baba yake bwana ombeni UNK kumpelekea bibi yake mafuta ya taa na majani ya chai kamanda alisema baada ya kumpelekea bibi yake vitu hivyo bibi yake naye alimpa kuni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na alipokuwa njiani akirudi nyumbani alipita karibu na wanapoishi watuhumiwa hao ndipo vijana hao walipomkamata na kumwingiza ndani ya nyumba alisema mwanakijiji mmoja watuhumiwa hao ni frank michael na joseph UNK wote wafanyakazi wa mashambani na kwamba baada ya kumwingiza binti huyo UNK kwa zamu hadi alipoishiwa nguvu kisha kumchinja kwa panga ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya mganga wao aliyewataka kufanya hivyo ili kufanikisha utajiri baada ya kutekeleza unyama huo vijana hao UNK mwili wake hadi saa tano usiku kisha kwenda kuutupa kwenye shamba la mahindi lililopo karibu na wanapoishi ambapo siku ya pili yake wazazi wake UNK na kuanza msako sehemu mbalimbali ikiwemo kwa bibi yake ambapo walielezwa kuwa UNK siku UNK alisema bwana UNK aliongeza kuwa baada ya kupata taarifa ya kupotea kwa binti huyo polisi kwa kushirikiana na wananchi wa eneo hilo walianza kumsaka ndipo UNK mzigo wa kuni jirani na nyumba ya vijana hao pia sketi nyekundu ambayo marehemu alikuwa amevaa kabla ya kifo chake ilionekana kabla ya kukuta mwili wake ukiwa hauna nguo hatua chache karibu na nyumba wanayoishi watuhumiwa hao kamanda huyo alisema kuwa uchunguzi uliendelea ambapo walifanikiwa kupata habari za siri UNK vijana hao UNK UNK na begi lenye nguo na dawa za kienyeji panga ambalo lilikutwa na damu UNK kwa mchanga na katika mahojiano vijana hao walikiri kuua kwa sababu ya kupata utajiri UNK mganga jafari jabiri mwenye majina mengine ya mramba na kawawa mkazi wa kijiji cha ishinde wilayani same kilimanjaro na kwamba walitumwa damu na mganga huyo alisema baada ya kupata taarifa hizo UNK mbaroni mganga huyo pamoja na lundo la tunguri katika mabegi mawili zikiwa na dawa za kienyeji zinazofanana na zile zilizokutwa kwa vijana hao serikali imeombwa kupeleka haraka chakula cha msaada katika wilaya ya ukerewe mkoa wa mwanza ili kunusuru watu wasife kwa njaa ombi hilo lilitolewa jana na mbunge wa ukerewe daktari getruda mongela kwa makamu wa rais daktari mohamed shein aliyefanya ziara ya siku moja katika wilaya ya UNK alisema baadhi ya wananchi UNK uji na wakati mwingine wanashinda na kulala njaa kutokana na tatizo la njaa linaloikabili wilaya hiyo mkuu wa wilaya hiyo bibi UNK mlozi katika taarifa yake alisema katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita zao la mhogo ambalo ndilo chakula kikuu cha wakazi wa wilaya ya ukerewe UNK kwa magonjwa ya UNK kali na UNK UNK hali ambayo UNK uzalishaji wa chakula alisema hivi sasa UNK wananchi kulima mazao mengine kama mtama na mahindi ili kukabiliana na hali hiyo katika hatua nyingine bibi mlozi aliiomba serikali kuangalia uwezekano wa kutumia fedha ya kununua magari katika wilaya hiyo badala yake zitumike kununua boti zenye mwendo mkali zitakazo UNK kuwafikia na kuwapa huduma wananchi alisema wilaya hiyo yenye visiwa thebathini na nane katika ziwa victoria inahitaji zaidi boti zenye mwendo mkali badala ya magari akipokea taarifa hiyo daktari shein alisema serikali imepokea taarifa hizo na itatatua matatizo hayo mapema na itahakikisha hakuna mtu UNK na njaa mwili wa aliyekuwa mbunge wa ruangwa mkoa wa lindi bwana UNK UNK tu UNK kesho katika ukumbi wa karimjee dar es salaam na kusafirishwa kwa ndege kwa ajili ya mazishi yatakayofanyika keshokutwa kijijini kwao UNK akizungumza na gazeti hili msemaji wa familia ya marehemu bwana andrew mapacho alisema kuwa mwili huo UNK kutoka hospitali ya taifa muhimbili na kuhifadhi katika hospitali ya jeshi lugalo ili kuweka ukaribu wa kufanyiwa UNK ya kifamilia mbezi beach UNK bwana mapacho alisema kuwa kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa katibu wa bunge bwana thomas kashililah wabunge hamsini wa vyama vyote UNK kuagwa mwili huo na wengine UNK hadi mazishi mbunge huyo alifariki dunia juzi usiku kutokana na ugonjwa wa kiharusi kisukari na malaria ameacha mjane na watoto wanne lucy david gabriel na UNK pia UNK watoto wawili aliokuwa UNK anna na UNK taarifa za awali zilisema kuwa marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kiharusi tangu kumi na nne mwaka huu na kulazwa katika tasisi ya moi kabla ya kugundulika kuwa ana ugonjwa wa kisukari na malaria waziri wa zamani wa nishati na madini bwana daniel yona ameieleza mahakama kuwa aliingia mkataba kati ya serikali na kampuni ya alex sterwart kutokana na maelekezo ya rais wa awamu ya tatu bwana benjamin mkapa aliyeagiza waendelee haraka na mchakato huo kauli hiyo ilitolewa na wakili wa utetezi bwana herbert nyange UNK mawaziri hao wa zamani bwana yona na bwana basil mramba wa fedha hayo yalijitokeza jana wakati akifanya mahojiano na shahidi wa kwanza wa upande wa mashitaka bwana nyelo godwin kuhusiana na mapendekezo aliyoyatoa kwa bwana yona ya UNK kazi kampuni hiyo kwa kuwa haikuwa wazi na ada yake ilikuwa ni kubwa mahojiano hayo yalifanyika katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu bwana john utamwa bwana sam rumanyika na bwana saul kinemela nyange je huyu waziri wako ndio alikuwa mwenye mamlaka ya mwisho je kama huyo mkubwa wake alisema ana haraka UNK ushauri wako wewe jibu endapo bwana yona alipewa maelekezo na mkubwa wake alistahili kufuata baada ya kutolewa kwa jibu hilo na shahidi huyo bwana nyange alikwenda mbali zaidi kwa kuonesha dokezo la bwana yona ambalo UNK rais mkapa akiomba ridhaa ya kuendelea na mchakato wa kuajiri kampuni hiyo na rais akajibu nakubali endeleeni haraka hata hivyo dokezo la bwana yona ambalo UNK kwa rais UNK bayana ushauri wowote kutoka kwa wataalamu kama ambavyo bwana nyelo alikuwa ameshauri au bali lilisisitiza umuhimu wa kuwa na mkaguzi wa madini na kwa kuzingatia maslahi ya nchi awali shahidi huyo akihojiwa na bwana nyange ilikuwa kama hivi nyange shahidi UNK nini katika mchakato wa kupewa mkataba kampuni hiyo jibu nilishauri alex sterwart asipewe mkataba kwa kuwa hapakuwa na uharaka wowote na ada ilikuwa kubwa kuliko uzalishaji nyange je hiyo ada ya asilimia moja tisa ndiyo UNK kwenye kamati yenu jibu UNK ila tulifanya UNK wa gharama kutokana na hesabu UNK nyange kampuni gani ilishinda na UNK mapendekezo kwa UNK jibu alex sterwart ndio ilishinda kwa pointi tisini na mbili tisa na ndio UNK kwa gavana kuwa imeshinda japokuwa suala la kushinda ni tofauti na UNK nyange UNK nini baada ya kupeleka majibu ya ushindi wa kampuni hiyo kwake jibu alitakiwa kuiita kampuni hiyo ili UNK nayo namna ya kufanya kazi nyange wewe ulipinga ada hiyo kuwa ni kubwa je unaelewa kuwa ada za nchi zingine zilikuwa ni kubwa zaidi na tayari serikali ya tanzania ilikuwa imeshafanya utafiti huo jibu sina uhakika kama serikali ilifanya utafiti huo na ada hizo inategemea iko katika kitu gani nyange je UNK ya mkataba ilikuwa na tatizo gani jibu ada ya asilimia moja tisa ndio ilikuwa ni tatizo nyange je ni kweli kampuni hii UNK hasara yoyote jibu ndiyo kwa kuwa hapakuwepo na mabadiliko yoyote kwenye takwimu za uzalishaji wa madini nyange unajua sababu ya kampuni hiyo kuongezwa muda wa kufanya kazi je utakubaliana na mimi UNK kuwa kitendo cha baadhi ya kampuni kuficha nyaraka ndio ilisababisha hilo jibu inaweza ikawa ni moja sababu ya kuongezwa kwa mkataba UNK unajua kampuni hiyo ilibaini upotevu wa dola za marekani mia moja na sitini kutoka kwa kampuni za uchimbaji madini mbili jibu sijui ila nafahamu kufichwa kwa baadhi ya nyaraka za kampuni hizo nyange kwa nini sasa unasema haikufanya kazi yoyote jibu kampuni hiyo UNK baadhi ya makubaliano kama kuwafundisha watanzania namna ya ufanyaji kazi wake ili utaalamu huo waendelee nao mbali na mahojiano hayo pia kuliibuka malumbano ya kisheria kati ya pande zote mbili kuhusiana na nyaraka mbalimbali ambazo upande wa utetezi walitaka kuzitumia katika kumfanyia mahojiano shahidi huyo bila nyaraka hizo kujulikana mahakamani hapo hali iliyomfanya bwana nyange kuomba kuondoa hoja za kutumia vielelezo hivyo hata hivyo kesi hiyo ililazimika kuahirishwa mpaka leo kutokana na muda wa mahakama kumalizika lakini pia kutoa nafasi kwa mahakimu na pande zote kujiandaa zaidi visa vya ufisadi mikakati ya kumalizana kisiasa na madai ya baadhi ya viongozi kunyimwa mafuta vimetawala mjadala baina ya wabunge na kamati ya mzee mwinyi mjini dodoma kamati hiyo jana usiku UNK wabunge wote wa ccm juu ya chanzo cha mfarakano baina yao ikiwa ni siku ya pili baada ya kukutana na kamati ya uongozi ya ccm na ile ya uongozi ya bunge na kuelezwa mambo mazito UNK UNK katika vikao vya awali katibu mkuu wa ccm bwana yusuf makamba alilazimika kukatisha kikao hicho baada ya kupatwa kile alichoeleza kuwa ni kizunguzungu hivyo kuondoka kwenda kupumzika huku kikao kikiwa UNK hata makamba UNK ukweli mpaka akashindwa kusema ghafla akaonekana kama mgonjwa nadhani kisukari UNK kidogo kutokana na kupewa vidonge vyake hadharani kilisema chanzo chetu katika kikao hicho mmoja wa wajumbe ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu ya ccm alianza kwa kutaka kuwakandamiza wabunge hali iliyosababisha UNK kumbana na kuweka mambo hadharani hali iliyosababisha hata waziri mkuu mizengo pinda kukubali baadhi ya changamoto habari kutoka ndani ya kamati hizo zilisema kuwa maneno mazito UNK mzee mwinyi na ujumbe wake ulisababisha rais huyo mstaafu kufuta machozi kutokana na mambo aliyoambiwa wazi kuwa ndio chanzo cha mpasuko kamati hiyo iliundwa na halmashauri kuu ya taifa ya ccm ikijumuisha mzee mwinyi kama mwenyekiti akiwa na wajumbe wawili makamu mwenyekiti wa ccm pius msekwa na kada wa chama hicho abdulrahaman kinana wakati mzee mwinyi UNK kufuta machozi kutokana na yale aliyoambiwa wazi kuwa ni chanzo cha mpasuko miongozi mwao baadhi ya wabunge waliozungumza na majira walisema wanasubiri kikao cha jana ili kupasua ukweli na kuonya kuwa hawatakubali kuburuzwa wala kuyumbishwa kuficha ukweli kwa kulinda baadhi ya watu chanzo cha majira ndani ya vikao vilivyotangulia hali ilikuwa tete kwa upande wa watu UNK kwa ufisadi na kwamba wajumbe UNK kwa majina kama chanzo cha tatizo ndani ya bunge UNK ukweli tuliwaambia hakuna mpasuko ndani ya ccm wala kwa wabunge wa ccm isipokuwa kuna kuficha ukweli ndio maana wanaotaka ukweli wamekasirika watu walilia mzee mwenyewe UNK machozi wazi kilisema chanzo chetu ndani ya kikao hicho ilielezwa kwamba mjumbe moja aliweka wazi jinsi mafisadi UNK ccm na kutoa mfano wa moja za chaguzi ndogo ambapo aliyekuwa makamu mwenyekiti wa ccm john malecela aliwai kuwekewa mafuta kiduchu kwenye gari na kunyimwa posho kama sehemu ya kumkomoa kutokana na msimamo wake wa kuwa mkweli na kupinga ufisadi ndani ya ccm baadhi ya wajumbe walimwomba mzee mwinyi kuwaita kwenye kikao kuwahoji watuhumiwa wa ufisadi kuhusu vikao wanavyofanya usiku kuweka mkakati wa jinsi ya kujilinda na kuwashughulikia wanaopinga ufisadi wajumbe walipanda joto na kusema machafu UNK na UNK mzee mwinyi kwamba UNK ukweli wajiandae kuzika ccm kilisema chanzo chetu kingine habari zaidi kutoka ndani ya kikao zilieleza kwamba wajumbe walimwomba mzee mwinyi kumshauri rais jakaya kikwete kukubali kushughulikia tatizo ndani ya ccm bila kuogopa mtu hata kama alichangia kumpa msaada wa kisiasa katika kugombea urais mwaka ishirini sifuri tano watu hawaogopi walisema wazi chanzo cha tatizo ni serikali kutokubali mabadiliko ya zama za uwazi na ukweli na kusoma alama za nyakati kwamba wabunge wamechoka kuhifadhi mchwa UNK mema ya nchi na UNK watanzania uchumu duni huku wao kwao uchumi ukiwa umeimarika na kuwawezesha UNK watu hata bilioni nne ili kumwondoa mtu jimboni kilisema chanzo kingine habari zaidi zilieleza kwamba suala la kampeni chafu katika baadhi ya UNK kwa lengo la kuwaangusha baadhi ya wabunge pia liliibuka kama mfano wa hali halisi huku baadhi ya vigogo wakituhumiwa kuwakumbatia mafisadi kwa kuwasaidia kuwapa mbinu za kukabiliana na wale wanaopinga ufisadi wasema hana hadhi ya kupigiwa kura ya kukosa imani UNK bungeni kimya azungumza na spika sitta siku moja baada ya mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa daktari edward hoseah kuonesha jeuri kwa wabunge kuwa hatajiuzulu na ataendelea kuwahoji wakitaka wampigie kura ya kukosa imani naye wao UNK kuwa hana hadhi ya UNK kura hiyo wabunge waliozungumza na majira kwa nyakati tofauti walisema kwamba anajitafutia makuu kwa kujilinganisha na rais wakati hawezi kufikia cheo hicho kutokana na utendaji wake hafifu walisema bunge haliwezi kushughulika na watendaji wadogo kama yeye badala yake UNK na mkuu wake ambaye ni rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania na waziri mkuu kauli hizo za wabunge tofauti na kwa nyakato tofauti UNK kuwa kauli za daktari hoseah UNK nyongo huku wakieleza kuwa mkuu huyo wa takukuru hajui madaraka ya bunge hasa kwa kauli yake kuwa wabunge UNK usingizi na wakipenda wampigie kura ya kutokuwa na imani naye bunge ni mhimili mkubwa sana si ndogo kama UNK huyo hoseah tunaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na rais waziri mkuu na spika hawa watu wadogo kama akina hosea UNK bosi wake waziri mkuu kwamba ondoa huyu au ondoka wewe lakini hatuwezi kushuka mpaka kwake yeye si size yetu alisema mmoja wa wabunge machachari wa ccm mbunge huyo alisema hawezi kukubali kutajwa jina kwa kuwa daktari hoseah ni mtu mdogo kiasi kwamba kujibizana naye kwenye vyombo vya habari ni aibu kwao hasa kwa kauli yake kile kitendo cha hoseah kuweka wazi kwamba masuala ya wabunge hayamnyimi usingizi ni dalili ya wazi ya dharau kwa wabunge lakini sijui kama anajua maana ya bunge mle ndani kuna waziri mkuu kuna waziri wake maana yake ni kwamba UNK hata hao na kuwatukana wote kwa UNK hivi UNK mkuu wako wa kazi kwamba UNK usingizi ni UNK wa nidhamu au ni kiburi cha aina gani alihoji mbunge huyo na kuongeza huyo hosea anataka aidha kuchonganisha bunge na serikali au ametumwa na watu fulani kwa lengo la kutaka UNK rais la pili anajitafutia umaarufu kwa kutaka bunge UNK mkurugenzi wa takukuru kwenye orodha ya watu wanaoweza kupigiwa kura ya kutokuwa na imani na bunge hili haliwezi yeye ni mtu mdogo sana alisisitiza mbunge huyo mbunge huyo UNK serikali pia kushindwa kumchunguza daktari hoseah na takukuru kwa kitendo cha UNK tata ya richmond na UNK kuwa haina dosari wakati kamati teule ya bunge iligundua dosari kila kona ya zabuni hiyo inabidi rais awe makini na watu kama hoseah anaweza kutaka tu kuvuruga takukuru ili akitoka aiche katika hali mbaya ya kiutendaji ili baadaye ionekane kwamba alikuwa anafaa kumbe ni mbinu za kuficha ubovu wake ni kesi ngapi takukuru inachunguza lakini hili la wabunge na posho tu UNK kwenye vyombo vya habari kuna nini kama si kutaka kuvuruga serikali alihoji kwa upande wake mbunge wa mbinga mashariki bwana gaudence kayombo alisema suala hilo imefika pabaya na kwamba kinachotakiwa sasa ni viongozi wakuu kuingilia kati kulimaliza kabla ya kuleta athari kubwa zaidi mimi nafikiri sasa wakubwa wakutane kumaliza suala hili wakikaa pamoja nina uhakika linaweza kwisha tu badala ya kuendeleza malumbano hatuwezi kufika kwa mfumo huu hayo ndio maoni yangu mimi alisema bwana kayombo alipoulizwa maana ya watu wakubwa UNK kukutana na kukaa pamoja na kumaliza suala hilo alisema analenga kuazia spika wa bunge samuel sitta daktari hosea na waziri mkuu mizengo pinda kwa upande wake mbunge wa mpanda kati bwana said UNK alisema japo yeye si mwana ccm lakini UNK rais kikwete kuwa macho kwa kuwa kiongozi huyo ana ajenda yake ya siri inayolenga UNK ili wananchi UNK serikali yake na bunge spika wa bunge sitta alisema hawezi kusema lolote kwa sasa kwa kuwa kufanya hivyo UNK malumbano yasiyo na tija kwa watanzania maskini wanaotaka viongozi wao watumie muda wao kubuni mbinu mbalimbali za kuwakwamua kutoka katika hali duni ya maisha badala ya kupoteza muda na mambo ya ovyo alipotakiwa kutoa mwongozo zaidi kuhusu kanuni za bunge na jinsi bunge UNK kumwondoa daktari hoseah bwana sitta alisema wewe mwandishi naamini ni mzoefu wa masuala ya bunge UNK unajua naomba tu uelewe hivyo alisisitiza kwa mujibu wa kanuni za bunge chini ya kinga na madaraka ya bunge iwapo mbunge analalamikiwa kwa kukiuka sheria akiwa anatekeleza shughuli za bunge mhusika anatakiwa kuwasilisha taarifa hiyo kwa spika wa bunge ambaye UNK malalamiko hayo kweye kamati ya maadili ambayo kazi yake ni kuchunguza kujadili na kutoa mapendekezo kwa spika iwapo kamati hiyo UNK makosa kwa mbunge spika UNK taarifa kwa mwanasheria mkuu wa serikali ambaye ndiye huchukua hatua kwa mujibu wa sheria kulingana na uzito wa kosa lenyewe mwanasheria mkuu wa serikali ndiye anao uwezo wa kuamua kumkabidhi mbunge husika kwenye yenye uwezo wa UNK hata hivyo tayari takukuru imeeleza UNK wake kuwa itaendelea kuwahoji wabunge kwa kuwa hakuna aliye juu ya sheria mwenyekiti wa kamati ya bunge ya nishati na madini bwana william shellukindo alisema yeye hawezi kuzungumza lolote kwa sasa kwa kuwa anasubiri taarifa ya serikali na moja kati ya watu wanaotakiwa UNK ni pamoja na mtendaji mkuu wa takukuru mimi kwa sasa hapana hivi sasa mimi nasubiri tu taarifa ya serikali kwanza kuhusu richmond moja ya watu ambao bunge ilitaka UNK ni pamoja na mtendaji mkuu wa takukuru sasa nikianza tena kuzungumza naweza UNK ngoja kwanza UNK taarifa bungeni alisema bwana shellukindo wakati huo huo daktari hosea jana alitinga katika eneo la bunge mjini hapa na kufanya mazungumzo ya muda mfupi na bwana sitta na bwana pinda huku akikataa katakata kuzungumza na waandishi wa habari majira UNK kutoa ufafanuzi wa sababu UNK kusema lolote kwa wanahabari alisema kwa sasa sina lolote labda ukija dar wasiliana na huyu msaidizi wangu tutazungumza tu lakini hapa hapana alisisitiza huku UNK hakuna habari zilizotolewa kuhusiana na mazungumzo ya viongozi hao na daktari hoseah huku spika sitta akisema alikuja tu kusalimia kidogo na mwandishi wa waziri mkuu bwana said nguba akisema kuwa hata hakujua kama kiongozi huyo UNK na bosi wake na juddy ngonyani sumbawanga polisi mkoani rukwa inamshikilia john UNK mkazi wa kitongoji cha UNK kilichopo katika kijiji cha UNK kata na mamba tarafa ya UNK wilayani mpanda kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mwenye umri wa miaka arobaini na moja pamoja na kutishia kuua kwa silaha huku akikutwa akimiliki silaha kinyume cha sheria kamanda wa polisi mkoa wa rukwa bwana isunto mantage alidai kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa la kwanza aprili kumi na saba majira ya saa saba usiku katika kitongoji hicho kwa kuvamia nyumba ya mwanamke huyo kisha kuvunja mlango wa nyumba hiyo na kuingia ndani na kumbaka mama huyo alidai kuwa akiwa UNK mama huyo mama huyo alipiga kelele za kuomba msaada na kisha majirani wakiwa njiani kuelekea katika nyumba ya mama huyo kwa lengo la kutoa msaada ndipo mtuhumiwa huyo alianza kukimbia na wananchi kuanza kumkimbiza hadi katika nyumba yake kamanda mantage alidai kuwa alipofika katika nyumba yake aliingia ndani na kutoka na bunduki moja aina ya UNK na kuanza kuwatishia wananchi hao ili wasiweze UNK alisema kuwa licha ya kuwatishia wananchi hao waliweza kumkamata na kumfikisha katika kituo kidogo cha polisi kilichopo katika kijiji cha UNK siku moja kabla ya bunge kupitisha UNK wa sheria ya mtoto ya mwaka ishirini sifuri tisa wanaharakati kutoka kituo cha msaada wa kisheria na asasi nyingine zisizopungua thebathini wametinga bungeni kuitaka serikali kuongeza vipengele vya kuifanya sheria hiyo UNK matakwa ya jamii vipengele hivyo ni malengo muhimu na misingi ya mwelekeo wa sheria misingi ya maslahi bora kwa mtoto na mfumo wa usimamizi na utekelezaji wa sheria yenyewe lakini mapendekezo hayo UNK mwamba kwani kamati isingeweza UNK serikalini kutokana na muda akiwasilisha mapendekezo yao kwa kamati ya bunge ya maendeleo ya jamii katika ukumbi wa pius msekwa juzi jioni mkurugenzi mtendaji wa UNK bwana clement mashamba alisema juzi ilikuwa mara ya pili kuwasilisha vipengele hivyo lakini hadi havikuonekana kwenye muswada uliowasilishwa bungeni vipengele hivyo vitatu muhimu vyote hapo awali asasi hizo zilikubaliana na serikali UNK kwenye nyongeza ya UNK wa sheria hii ya mtoto ya mwaka ishirini sifuri tisa lakini tunashangaa havionekani wazi alisema bwana mashamba alisema iwapo sheria hiyo UNK vipengele hivyo UNK malengo yanayokusudiwa na jamii hivyo mtoto ataendelea kukosa haki zake kama ilivyo sasa alisema vipengele hivyo ndio msingi ya mwelekeo wa sheria husika na kumjengea mtoto misingi na maslahi bora na mfumo wa utekelezaji wa sheria yenyewe hii itawezesha kutafsiri malengo na madhumuni ya sera katika mikakati na programu UNK katika ngazi za taifa halmashauri na jamii alisema bwana mashamba waziri mkuu bwana mizengo pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika misa maalumu ya toba kwa jamii ya kabila la wameru inayofanyika kesho kumuomba mungu kuwaondolea kile UNK ni laana iliyopo katika kabila hiyo askofu mkuu wa kanisa la international UNK church la sakila wilayani arumeru bwana UNK isangya alisema misa hiyo inajumuisha madhehebu yote yanayotoa huduma za kiroho katika halmashauri ya meru askofu isangya aliwaeleza waandishi wa habari mjini hapa kuwa hali katika eneo la meru si shwari kwa muda mrefu sasa kutokana na chuki zilizopo mioyoni mwao kwa kila koo kujiona ni bora zaidi ya nyingine hivyo kuzuka kwa mapigano ya UNK mara alifafanua kuwa historia ya uhasama huo ilianzia mbali kwa kabila hilo kufikia hata kuwaua wamisionari miaka ya sabini walipofika kueneza dini katika kata ya UNK hivyo kudhihirisha laana ya mungu dhidi yao aidha alisema kuwa pia matukio ya miaka ya tisini ya mapigano baina ya wameru wenyewe kwa wenyewe na UNK nyumba yanazidi kudhihirisha kuwapo kwa laana hiyo ya mungu ndio maana viongozi wa kiroho wameamua kufanya sala hiyo ya toba ili mungu aondoe hali hiyo alisema kuwa serikali kwa upande wake imejitahidi kudhibiti hali ya vurugu katika maeneo ya meru lakini haina uwezo wa kuondosha chuki iliyoko mioyoni mwa jamii hiyo bali ni mungu pekee mwenye jukumu hilo na ndio msingi wa toba hiyo pia akizungumza katika mkutano huo mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya misa hiyo ya toba mchungaji godfrey UNK alisema kuwa maandalizi yote ya misa hiyo yamekamilika mwalimu mmoja wa shule ya msingi luhala iliyoko wilayani kwimba UNK UNK kuuawa na watu wenye hasira wakiwemo wanafunzi wa shule hiyo baada ya kufumaniwa akifanya mapenzi na mwanafunzi wake aliyekuwa UNK darasa la saba mwalimu huyo UNK wakati wa sherehe za mahafali ya kuwaaga wanafunzi wa darasa la saba ambazo zilifanyika katika shule hiyo mapema wiki hii baadhi ya wanafunzi ambao walikuwa wakifuatilia mwenendo wa mwalimu huyo na UNK huyo UNK mwanafunzi huyo UNK taratibu kwenye mkusanyiko wa wenzake na kwenda moja kwa moja katika nyumba ya mwalimu huyo baada ya kujiridhisha na hatua hiyo wanafunzi hao walitoa taarifa wa mwalimu mwingine aliyekuwa akiongoza sherehe ambaye UNK shughuli zake na kufuatilia mwalimu huyo alipofika katika nyumba ya mwalimu huyo akiwa na wanafunzi na wananchi wengine ambao walikuwa wamealikwa katika sherehe hiyo UNK nyumba hiyo na kumlazimisha afungue mlango walipoingia ndani walimkuta mwanafunzi huyo akiwa chumbani kwa mwalimu sakata hilo UNK hasira baadhi ya wananchi na wanafunzi ambao walitaka kumchoma moto lakini aliokolewa na mkuu wa wilaya ya kwimba bwana christopher UNK UNK wananchi UNK sheria mkononi mkuu huyo wa wilaya alikemea vikali tabia ya baadhi ya walimu kujihusisha na vitendo vya kufanya mapenzi na wanafunzi wao hususani UNK mitihani ya darasa la saba jambo ambalo linasababisha wengi wao kupata ujauzito na kushindwa kuendelea na masomo polisi dar es salaam inawashikilia watu kumi na nne wakiwemo raia wa kigeni kwa tuhuma za kujipatia shilingi milioni sabini na nne kwa njia ya udanganyifu akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana kamanda wa polisi wa kanda maalum ya dar es salaam bwana suleiman kova alisema kuwa watuhumiwa hao walikamatwa na askari wa kikosi maalumu baada ya kuweka mtego eneo la mikocheni karibu na kiwanda cha coca cola kamanda kova alisema watuhumia hao ni raia wa jamhuri ya kidemokrasia ya congo india na wengine kumi na mbili ambao ni raia wa tanzania wakiwemo na wanawake wawili kamanda kova alisema watuhumia hao walienda kwa mfanyabiashara mmoja wa jijini wakidai wanauza madini ya dhahabu ndipo walipoingia mkataba wa UNK baada ya mfanyabiashara huyo kuoneshwa baadhi ya madini aliwakabidhi dola hamsini na saba sifuri sifuri sifuri na UNK mkataba wa kumletea madini yaliyobakia alisema kamanda kova alisema baada ya kukabidhiwa fedha hizo watuhumia waliacha namba zao za simu kwa madai kuwa watawasiliana UNK madini yaliyobaki lakini baadaye walizima simu hali iliyomlazimu mfanyabiashara huyo kutoa taarifa polisi aliongeza kuwa baada ya polisi kupata taarifa hizo walituma makachero ambao nao UNK kuwa ni wateja wa madini kuweka mtego uliofanikisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao baada ya kukamatwa watuhumiwa hao UNK katika ofisi UNK na kukutwa na vifaa mbalimbali wanavyotumia kutapeli ambavyo ni pamoja na mikataba mbalimbali ya UNK aidha aliwaomba wananchi mbalimbali waliowahi kutapeliwa kujitokeza kuwatambua watuhumiwa hao kabla ya kufikishwa mahakamani katika tukio lingine kamanda kova alisema watu UNK wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kukutwa na vipande thebathini na tatu vya meno ya tembo yenye thamani ya shilingi saba mia tatu na tisini na tisa mia tano na thebathini na tano kinyume cha sheria alisema kuwa watuhumiwa hao bwana UNK UNK bwana hassan rashidi bwana salumu saidi na bwana UNK masaki walikamatwa eneo la mbagala UNK nje kidogo ya jiji la dar es salaam kampuni ya independent power tanzania limited imeshindwa kuweka baya siku ambayo UNK mitambo yake huku ikisisitiza kuwa bado inapashwa moto na kuendelea na ukaguzi ili kubaini kama iko salama akizungumza na waandishi dar es salaam jana meneja mkuu wa iptl daktari UNK subramaniam alisema kuwa kazi kubwa inayofanyika sasa ni kukagua kila injini ili UNK kama ziko salama kwa mujibu wa meneja huyo ukaguzi wa injini namba tano ilikamilika jana na wahandisi wa kitanzania na wanaendelea kukagua nyingine bwana subramaniam alisema kuwa mitambo hiyo itawaka siku yoyote baada ya kupatikana kwa mafuta na kumalizika kwa malipo yaliyokuwa UNK kwa ajili ya kulipia gharama za uendeshaji mitambo hiyo itawaka siku yoyote baada ya ukaguzi ambapo sasa injini namba tano imekwisha kukaguliwa nje na ndani na wahandisi kutoka tanzania na sasa wanakagua injini namba moja alisema daktari UNK alisema kuwa tayari wahandisi wawili wa wartisla wamewasili kwa ajili ya UNK mitambo hiyo na wengine watatu wanatarajiwa kuwasili leo ili kuongeza nguvu katika kuharakisha kazi hiyo vile vile jana walikuwa na kazi ya kukagua na kuhakiki ujazo wa mafuta UNK katika kampuni hiyo kwa ajili ya kuendeshea mitambo hiyo na hadi jana alasiri malori matatu UNK na UNK yakiwa na zaidi ya lita tisini sifuri sifuri sifuri alibainisha kuwa kila injini kati ya kumi zilizopo ikifanya kazi kwa saa ishirini na nne inaweza kutumia tani hamsini za mafuta na kama zitakuwa UNK kazi kwa pamoja kwa saa ishirini na nne hivyo zaidi ya tani hamsini sifuri kila siku kwa mantiki hiyo mafuta UNK na serikali tani saba hamsini sifuri yanaweza kutumika kwa siku kumi na tano iptl UNK na serikali zaidi ya shilingi bilioni kumi na tano zimelipwa na serikali kwa ajili ya kulipia mafuta lita milioni saba tano yaliyonunuliwa kutoka katika kampuni ta total uendeshaji wa mitambo hiyo hundi tuliyopewa na serikali ni ya shilingi bilioni kumi na tano ambayo ni UNK ya kulipia mafuta kuwalipa wartisla na iptl hivyo siwezi kuanza kuwafafanulia kila mmoja amepata kiasi gani alisema bwana UNK mwanasheria wa wa serikali anayeshughulikia masuala ya UNK wa iptl alipoulizwa siku rasmi ya kuwashwa kwa mitambo hiyo alisema kuwa hafahamu ni lini itawashwa lakini anaamini kufika kwa wahandisi wa wartisla kutaharakisha kazi hiyo kwa juhudi UNK zikiendelea hapa wanaweza kuwasha umeme ndani ya wiki hii lakini siwezi kusema au kutaja siku bwana UNK ataka pia chenge karamagi waachie nyadhifa zao ccm kimiti asema mpasuko unatokana na kukumbatia mafisadi daktari mahanga UNK kifua adai taarifa za kupikwa moto wa kikao kati ya wabunge wa ccm na kamati ya mwinyi uliendelea kuwaka mjini dodoma usiku wa kuamkia jana baada ya wabunge hao kutolewa hoja nzito za kuwabana wenzao wanaotuhumiwa kwa ufisadi kwamba bila watu hao UNK hatua ccm UNK kamati hiyo inayoongozwa na rais mstaafu wa awamu ya pili mzee ali hassan mwinyi ilikutana na wabunge hao ikiwa tayari imekutana na kamati mbili za uongozi moja ya ccm inayoongozwa na waziri mkuu bwana mizengo pinda na nyingine ya bunge iliyoko chini ya spika wa bunge bwana samuel sitta habari za uhakika kutoka ndani ya kikao hicho kilichoanza saa mbili usiku hadi saa sita kumi usiku bila kumalizika zilieleza kwamba wabunge walimtaka mwenyekiti wa ccm taifa rais jakaya kikwete kuwaengua watuhumiwa wa ufisadi katika kamati kuu ya ccm na halmashauri pamoja na kuchukuliwa UNK zaidi kama njia ya kumaliza mpasuko huo mheshimiwa mwenyekiti tatizo letu kubwa ni kuacha maadili na miongozo ya chama chetu ni kwa nini tusikubali UNK na UNK kama hatutakubali kukosolewa na UNK UNK hiki chama bwana rostam lowassa karamagi na chenge wanatakiwa waondoke kwenye nyadhifa zao ndani ya chama wao ndio UNK dosari kilisema chanzo chetu UNK mbunge wa simanjiro bwana christopher ole sendeka akisema mbunge huyo alikuwa ni mchangiaji wa kwanza kati ya wachangiaji kumi waliochangia usiku wa UNK jana huku akitumia nukuu kadhaa za baba wa taifa mwalimu julias nyerere yule mheshimiwa sendeka alipasua ukweli alikuwa UNK UNK fulani UNK mwongozo wa ccm ya mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na moja na kuwaacha wajumbe hoi kwa kukumbuka mambo mazito ambayo ndiyo msingi wa ccm kilisema chanzo UNK ndani ya kikao hicho bwana sendeka aliripotiwa kuweka wazi kukerwa na kitendo cha ccm kuwa mkononi mwa wafabiashara wache wanaotaka kununua na kuweka mkononi mwao ccm huku wakitaka kutumia nafasi UNK nazo ndani ya chama hicho UNK kuwashughulikia wasema kweli mbunge UNK alimtaka mzee mwinyi kumfikishia salamu za live kwamba katibu wake mkuu wa chama ni tatizo tena alimtaja kwa jina bila UNK akiwa amekaa kuwa yeye UNK mafisadi na kukimaliza ccm kilisema chanzo chetu habari zilieleza kwamba mbunge wa sumbawanga bwana paul kimiti naye alipasua jipu kwa kuwekwa wazi jinsi UNK na madai ya UNK kwa mpasuko ndani ya bunge jambo ambalo UNK na kukumbatiwa kwa mafisadi huku UNK kuvuruga ccm ilielezwa kwamba bwana kimiti aliionya uongozi wa juu wa ccm kuhusu hatua za kukinusuru chama hicho mkononi mwa watu UNK kuleta mgongano mkubwa ndani ya ccm huku akitaka busara za wazee zitumike kumaliza mpasuko huo kwa kuwashughulikia UNK wa ufisadi mbunge wa longido bwana michael laizer naye ni moja kati ya wabunge UNK moto kwenye kikao hicho huku UNK kwamba bila suala la ufisadi kushughulikiwa kwa umakini uhasama utazidi miongoni mwa wabunge wa ccm kwa kuwa wanaopenda ukweli hawatakubali kuona baadhi UNK nchi na kukaa kimya kila mbunge aliyezungumza jana alikuwa akifanya tu marudio lakini ajenda kuu ilikuwa suala la ufisadi ndio chanzo cha mpasuko na uhasama kwa wabunge wa ccm kilisema chanzo chetu kikao hicho kilishindwa kumalizika jana baada ya mzee mwinyi kuweka wazi kwamba hakuna ukomo wa muda kwa mchangiaji kwa lengo la kutaka kila mmoja atapike kila alichonacho kama njia ya kumaliza mpasuko miongoni mwa wabunge wa ccm kwa upande wake naibu waziri wa kazi ajira na maendeleo ya vijana daktari UNK mahanga aliwatetea watuhumiwa hao kwa kudai kwamba taarifa nyingi UNK ikiwemo richmond ni za kupikwa hali UNK hamasa ya wajumbe kuzidi kumwaga hoja za kuwatimua mafisadi ndani ya ccm ilielezwa kwamba kitendo cha naibu waziri huyo kuweka wazi kuwatetea watuhumiwa hao iliongeza joto la kikao hicho huku baadhi wakitaka kumkatisha kumpa ukweli jambo iliyosababisha mwenyekiti wa kikao hicho kutuliza watu na kumpa nafasi yake ya kuchangia unajua kuna kitu ambacho wengi hawajui kuhusu sababu iliyowafanya watuhumiwa wa ufisadi wawe na furaha kwamba hawakuhusika na richmond mpaka taarifa UNK bungeni ndipo UNK kuna sehemu ya taarifa ya richmond iliibwa kwa spika na UNK wao UNK kwamba wamepona sasa walipofika bungeni UNK kilisema chanzo chetu ilielezwa kwamba chanzo cha kauli ya naibu waziri huyo inatokana na kuibwa kwa sehemu ya taarifa ya kamati teule ya bunge katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu julius nyerere dar es UNK katika mzigo wa spika wa bunge bwana samwel sitta alipokuwa safarini kwenda nje ya nchi hivyo kuamua kuchukua taarifa hiyo ili UNK akiwa safarini kwa kuwa muda wa bunge UNK UNK wakati aliyekuwa waziri mkuu bwana UNK alipokuwa UNK februari saba mwaka ishirini sifuri saba bungeni mjini hapa alitoa kauli sawa na ya naibu waziri huyo huku ikielezwa kwamba alisema hivyo kutokana na imani kwamba kile sehemu ya taarifa aliyopelekewa baaada ya UNK katika mzigo wa spika ndio ilikuwa taarifa sahihi unajua ile taarifa UNK na kupigwa kopi kisha kurudishwa muda mfupi kabla ya spika kuondoka ilikuwa kama hadithi walienda wakaa na kufanya na sherehe kwamba wao UNK bila kujua kwamba walichukua ka kipande tu ya taarifa tena sehemu ya mapendelezo tu sasa hiyo ndio chanzo cha hizi kauli za UNK kilisema chanzo chetu kikao kati ya wabunge na wazee hao iliendelea tena jana kuanzia saa kumi na moja jioni huku wabunge kadhaa wakiwa wameapa kufa na mafisadi na kusisitiza kwamba hatma ya ccm kuimarika au kupasuka inategemea matokeo ya kikao hicho uchunguzi wa majira ulibaini kwamba kabla ya kikao hicho kuanza jana jioni wabunge kadhaa walikuwa wakifanya mazungumzo ya UNK na wazee hao kwa awamu huku kila kundi ilijaribu kujitafutia hoja za msingi kutetea upande wao majira ilishuhudia vikao vya makundi vikiendelea ndani ya eneo la bunge na nje ya bunge huku upande wa watuhumiwa wa ufisadi pia wakiwa wanaonesha wasiwasi wa kutokubali kuzungumza wala kupoke simu UNK kwa hofu ya kuhojiwa mwandishi wa habari hizi alipiga simu za UNK vya watuhumiwa hao karibu wote zikiita bila kupokelewa kwa awamu jambo ambalo uenda inaweza UNK ukweli kuhusu taarifa hizo za kundi hilo kutotaka kupokea simu za watu UNK kwenye simu zao katibu mkuu mpya wa wizara ya mambo ya ndani bwana mbarak abdulwakil amesema atahakikisha UNK wahamiaji haramu UNK wafanyabiashara wa china wanaofanya biashara bila kufuata sheria za uwekezaji katika maeneo mbalimbali ya nchi akizungumza na waandishi wa habari katika viwanja vya ikulu jana bwana abdulwakil alikiri kuongezeka kwa wafanyabiashara hao na kwamba wamekuwa kero kwa wafanyabishara ndogo UNK hapa nchini si vizuri kila UNK akiingia nchi apewe kibali cha kufanya biashara bila kuangalia uwezo wake wa UNK kwani wengi wamekuwa wakifanya biashara ambazo zinafanywa na wazawa alisema bwana abdulwakil bwana abdulwakil aliyekuwa naibu katibu mkuu ofisi ya makamu wa rais aliteuliwa kuwa katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani ya nchi oktoba kumi na tisa mwaka UNK nafasi ya bwana patrick UNK ambaye alihamishiwa wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi kuwa katibu mkuu kuziba nafasi ya bibi salome sijaona UNK wakati huo huo rais jakaya kikwete UNK bwana UNK mtupa kuwa msaidizi wa rais masuala ya sheria uteuzi ulianza tangu novemba tatu mwaka huu bwana mtupa ambaye alikuwa mkurugenzi wa msaidizi wa katika wizara ya mambo ya katiba na sheria anachukua nafasi ya bwana george UNK aliyeteuliwa kuwa naibu mwanasheria mkuu wa serikali rais jakaya kikwete ameutaka uongozi wa mamlaka ya bandari tanzania kuhakikisha UNK huduma za kuhudumia mizigo bandarini rais kikwete alitoa kauli hiyo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa pili wa kibiashara ulioandaliwa na jarida la the UNK dar es salaam jana mkutano hupo ulikuwa na lengo la kujadiliana na serikali jinsi ya kuunda sera mbadala katika kukabiliana na athari za msukosuko wa uchumi rais kikwete alilazimika UNK uongozi wa tpa mara alipoulizwa swali juu ya uboreshwaji wa shughuli za bandari hiyo ili kujua kama maazimio yaliyowekwa mwaka jana na mkutano kama yametekelezwa rais kikwete alijibu kuwa nimetembelea zaidi ya mara tatu katika bandari ya dar es salaam na UNK na baadhi ya uendeshaji wake hasa katika ucheleweshaji wa mizigo na msongamano wa makontena UNK kuhakikisha UNK haraka utendaji wao kutokana na umuhimu wa wake katika uchumi hivyo kwa kuwa wahusika wapo naomba mkurugezi wa tpa ajibu swali hilo mkurugenzi wa masoko wa tpa bwana UNK kinunda alisimama kwa niaba ya mkurugenzi mkuu wa tpa na kusema kuwa ufanisi katika kuondoa mizingo UNK kutoka siku ishirini na tatu za awali hadi kumi na sita lakini haujafikia kiwango kilichokuwa kimepangwa cha siku kumi kutokana na sababu ambazo ziko nje wa uwezo wa bandari bwana kinunda alisema kuwa kuna sababu kuu nne ambazo zinasababisha kuchelewa kwa shughuli za bandari ikiwa ni pamoja na mlolongo mrefu wa ukamilishaji wa nyaraka za mizigo hivyo kulazimu mizigo kukaa bila sababu alisema kuwa vizuizi vya barabarani ikiwemo UNK pia ni sababu mojawapo UNK UNK wa mizigo na vituo vya kutoza ushuru vimekuwa UNK msongamano na adha kubwa aliongeza kuwa vituo vya polisi na mipakani navyo vimekuwa UNK UNK wa kusafirisha mizigo hivyo kulazimu wasafirishaji kukaa zaidi ya siku arobaini njiani hasa wanaokwenda tunduma miundombinu pia imetajwa kuwa kikwazo kikubwa hasa usafiri wa reli kutokana na kutegemewa kwa zaidi ya asilimia themanini ya mizigo husafirishwa kwa kutumia reli na asilimia iliyobaki kwa barabara huku nayo ikiwa na changamoto nyingi aidha alisema kuwa UNK wa bidhaa nao huwa kikwazo kutokana na kuchelewa kuchukuwa mizigo yao huku wakijua kuwa siku za mizigo kukaa bandari ni siku saba kwa mizigo ya ndani na wiki mbili kwa mizigo ya nje polisi mkoani rukwa wanamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma za kuiba mtoto mdogo mwenye umri wa mwaka mmoja katika kijiji cha kirando wilayani nkasi katika mwambao wa ziwa tanganyika kamanda wa polisi wa mkoa wa rukwa bwana isunto mantage alisema tukio hilo limetokea juzi saa tatu asubuhi wakati UNK mussa mkazi wa kitongoji cha isaba kilichoko kwenye mwambao wa ziwa tanganyika alikamatwa na polisi kamanda mantage alifafanua kuwa siku ya tukio mtuhumiwa akiwa kwenye maeneo ya soko la kirando akitokea mjini sumbawanga alimkuta mama wa mtoto huyo bwana elizabeth musa akiwa amembeba mwanaye huku akiwa anapanga mkaa wa biashara mtuhumiwa huyo alimshawishi mama wa mtoto kuwa si vyema kuendelea kupanga mkaa akiwa amembeba mtoto mgongoni kwani vumbi la mkaa linaweza kumdhuru na hivyo alimwomba amsaidie kumshika na mama wa mtoto akakubali ushauri huo alisema mapema mtuhumiwa huyo alijitambulisha kwa mama huyu kuwa ni mtoto wa baba yake mdogo na kwa vile watoto wa baba yake huyo mdogo hawafahamu UNK wakati akiendelea na biashara zake za mkaa mtuhumiwa huyo UNK na mtoto baada ya kutomuona mama huyo alikimbilia kwenye kituo kidogo cha polisi cha kirando kutoa taarifa na msako ukaanza mara moja kamanda mantage alisema kuwa baada ya msako mkali mtuhumiwa alikamatwa akiwa na mtoto huyo katika kitongoji hicho cha isaba UNK mwendo wa saa nne kwa boti kutoka katika kijiji cha UNK mbunge wa igunga bwana rostam aziz amepata mpinzania katika kinyangganyiro cha ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini moja sifuri baada ya bwana bakari nyorobi kutangaza azima yake ya kuwania nafasi hiyo kupitia chama cha mapinduzi bwana nyorobi alitangaza azima yake hiyo kwenye mkutano wake na waandishi wa habari dar es salaam jana ambapo alisisitiza kuwa uamuzi huo ni wake mwenyewe na hakuna mtu aliyemtuma ili UNK bwana rostam nimeamua kuwania nafasi hii kwa sababu katika jimbo letu mambo mengi yapo yapo sihitaji kuyataja mnayajua yanayoendelea igunga ni ya UNK wenyewe na hivyo basi maendeleo ya igunga UNK na UNK mwenyewe mwenye uchungu wa maendeleo na eneo lake alisisitiza bwana nyorobi ambaye ni mganga wa tiba asili mmoja wa wapambe wa bwana nyorobi aliyejitambulisha kwa jina la bwana edward haule alisema mwelekeo wa sasa wa serikali ni kutenganisha biashara na siasa hivyo kuwa na fursa ya kupata nafasi hiyo kutokana na mbunge wa sasa wa jimbo hilo kuwa mfanyabiashara alisema mbunge wa igunga ana mambo mengi ya kufanya pia ni mfanyabiashara hivyo wameona atafutwe kijana wa kuchukua nafasi yake kwani mkakati wa serikali ni kutenganisha siasa na biashara bwana nyorobi alidai kuwa amekuwa kwenye siasa kwa miaka kumi na mbili hivyo UNK na ana uwezo wa kuwatumikia wana igunga alitaja kati ya mambo UNK kuwa ni vitendo vya ufisadi na muda wote amekuwa mstari wa mbele UNK vita hata hivyo hakuwa tayari kuzungumzia suala hilo kwa undani pale UNK na waandishi wa habari alisema akiwa mtaalamu wa tiba za asili pindi akichaguliwa kuingia bungeni atatumia taaluma yake kueleza namna ya kukabiliana na vitendo vya mauaji ya albino waziri mkuu mizengo pinda ametetea kitendo cha tume ya taifa ya uchaguzi kuchoma moto shahada za wapiga kura na kukataa UNK tume maalumu kuichunguza badala yake UNK chama cha wananchi kwenda mahakamani kama wana shaka waziri mkuu alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akijibu swali la kiongozi wa upinzani bwana hamad rashid mohamed katika kipindi cha maswali ya papo kwa papo ambapo alisisitiza kwamba katika mazingira halisi ya sasa serikali na cuf haviwezi kufikia muafaka juu ya suala hilo kwa kuwa kila moja UNK mwenzake hivyo upande UNK utafute haki mahakamani kwa mujibu wa sheria ya nec walichofanya ni kwa kutimiza tu sheria pale UNK ombe tume ina ofisi mbili moja ya ugavi na nyingine ya masuala ya daftari la kudumu la wapiga kura taarifa nilizopewa ni kwamba walikusanya kadi zaidi themanini sifuri sifuri sifuri sifuri za watu mbalimbali wengine walifariki na wengine UNK maeneo na waliona vema kuzichoma ili kupisha vitu vingine alisema bwana pinda na kuongeza katika mazingira ya kuviziana kila siku haihitaji tume maalumu na mimi nitasema hizo shahada zako si za kweli mimi nadhani nendeni tu mahakamani UNK UNK ushahidi lakini katika hali hii UNK na UNK jibu alisema bwana pinda alisema hakukuwa na mizengwe yoyote katika utekelezaji wa shughuli hiyo kwa kuwa UNK sheria za nec na kwamba katika mazingira ya kawaida haikutarajiwa kuwa viongozi wa vyama vya siasa wangeweza kufika eneo hilo kwa kuwa ilikuwa ni utendaji wa kawaida wa nec katika swali lake la nyongeza bwana mohamed alisema kwa kuwa baadhi ya shahada ni za watu walio hai mheshimiwa waziri mkuu huoni kwamba kuna haja ya kuundwa kwa tume huru kwa kuwa tuna mashaka na lile UNK wiki iliyopita bwana mohamed UNK waziri mkuu swali hilo na yeye akaahidi kufuatilia na kutoa jibu baadaye UNK co tz UNK UNK UNK UNK ni ya maelewano makubwa mazungumzo hayo kwa mujibu wa taarifa ya ikulu ya zanzibar UNK mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na haja ya kudumisha amani na utulivu nchini na maelewano na ushirikiano kati ya wananchi wote viongozi hao wamezingatia haja ya kuzika tofauti zilizopo ambazo zinachangia kuwatenganisha wazanzibari na kutoa wito kwa viongozi wa vyama vyote vya siasa na wananchi kwa jumla kushirikiana katika kujenga nchi bila ya kujali itikadi zao za kisiasa viongozi hao walifafanua kuwa wananchi wakishirikiana na kujenga nchi kwa pamoja watapiga hatua kubwa zaidi za maendeleo katika mazungumzo hayo viongozi hao UNK umuhimu wa mchakato wa mazungumzo endelevu baina yao na vyama vyao kwa jumla akizungumza na gazeti hili jioni jana msaidizi wa maalim seif bwana ismail UNK alisema mazungumzo yamekuwa ya mafanikio makubwa na wameahidi kufanya kazi kwa pamoja ili kuleta umoja na ushirikiano kwa maslahi ya wananchi wa zanzibar wakati serikali ikitarajiwa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa maazimio ishirini na tatu ya bunge kuhusu kashfa ya richmond jana iliwasilisha kwenye kamati ya bunge ya nishati na madini taarifa ya utekelezaji kuhusu mgodi wa makaa ya mawe kiwira huku taarifa zote UNK kuwaka moto leo wakati taarifa ya kiwira UNK na kamati serikali imepata pigo baada ya taarifa yake kuhusu ticts kukataliwa na kamati ya bunge ya miundombinu kutokana na kutozingatia matakwa ya bunge na maslahi ya taifa habari za ndani zilieleza kwamba taarifa hiyo iliwasilishwa kwenye kamati hiyo jana mchana baada ya kipindi cha maswali na majibu na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bwana philip marmo UNK taarifa ile na UNK lakini tumeona halifai kwa kuwa ina mapungufu mengi ambayo UNK kama tulivyotaka UNK na UNK UNK kwanza serikalini kilisema chanzo chetu ndani ya kamati hiyo mwenyekiti wa kamati hiyo bwana william shellukindo alikiri kupokea taarifa ya UNK huku akikataa kueleza chochote kwa kuwa kanuni UNK kuzungumza masuala ya kamati kwenye vyombo vya habari kabla ya kuwasilishwa bungeni kuhusu richmond chanzo chetu kilisema kuwa serikali imeweka kiporo taarifa hiyo hadi leo kutokana na kile kilichodaiwa kuwa kanuni za bunge haziruhusu kamati moja kupokea taarifa mbili siku moja hivyo UNK ya kiwira na kuipa nafasi kupokea ya richmond leo adai ni mtendaji mzuri kivuli chake kinatisha watu asema chenge daktari hoseah ni watu safi hawana UNK UNK spika sitta kwa kuruhusu mijadala ya ufisadi UNK kwa wabunge wa ccm katika kikao kati yao na kamati ya mzee ali hassan kumezidi kutoa sura mpya zaidi baada ya waziri wa nchi ofisi ya rais bibi sophia simba kuweka wazi msimamo wake wa kumtetea mbunge wa monduli bwana edward lowassa kuwa ni mwanaume shupavu habari za uhakika kutoka ndani ya kikao hicho zilieleza kwamba si tu kwamba bibi simba alimtetea bwana lowassa pekee bali hata wabunge wengine ambao wamekuwa UNK tuhuma mbalimbali za ufisadi ndani na nje ya bunge mheshimiwa lowassa ni mwanaume shupavu ni mtendaji mzuri sana kivuli chake UNK watu hana hatia yoyote alionewa tu kisiasa makamba ni mchapa kazi na UNK sana ccm acheni mzee UNK kazi pia UNK lawama spika wa bunge samuel sitta kwa kuruhusu mjadala wa richmond epa na mijadala kuhusu ufisadi kwamba kwa kufanya hivyo haitakii mema serikali ya ccm kwa kuwa angeweza kuzuia ndio maana wajumbe wa nec walitaka kuchukua kadi yake ni busara tu za mwenyekiti UNK chanzo chetu UNK waziri huyo waziri huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa umoja wa wanawake tanzania UNK pia mwenyekiti wa ipp reginald mengi kuwa ni UNK wa chadema akiwataka wabunge wa ccm wanaonufaika na misaada yake chini ya vicoba UNK chadema habari zaidi zilieleza kwamba kama vile bibi simba alikuwa anatoa taarifa za serikali alieleza kamati hiyo kuwa mbunge wa bariadi magharibi bwana andrew chenge kuwa ni mtu safi kwa kuwa UNK na kikosi maalumu cha UNK ubadhirifu cha uingereza na pia kwamba mkurugenzi wa taasisi ya kuzuia na kupamba na rushwa daktari edward hoseah hana hatia yoyote katika sakata la richmond kamati ya mwinyi iliundwa na halmashauri kuu ya ccm kuchunguza chanzo cha mpasuko miongoni mwa wabunge na UNK mjini dodoma tangu mwanzoni mwa wiki kwa ajili ya kazi hiyo wajumbe wengine ni makamu mwenyekiti wa ccm na kada wa ccm abdulrahaman kinana baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kisiasa walihoji kama kauli za waziri simba ni msimamo wa ikulu au ni mawazo yake binafsi kwa kuwa inaaminika asingeweza kusema maneno hayo kwa uzito ule bila uhakika wa ikulu habari kutoka katika kundi la wabunge vinara wa vita vya ufisadi zilieleza kwamba wameamua kukaa kimya kwanza kusubiri kundi linalodaiwa kuunga mkono ufisadi kumaliza kisha wataoa majibu kwa njia rahisi ili kuepusha mpasuko zaidi kwa sasa hatutaki kuzungumza kitu chochote jana tulishambuliwa sana UNK sana tena matusi ya nguoni UNK hata na watu ambao si wabunge lakini sisi kwanza tunashangaa ila kwa sasa tusubiri kwanza sisi tunajua wananchi wataoa jibu ambao ndio waathirika zaidi na ufisadi alisema mmoja wa wabunge hao kikao hicho leo kinaendelea kwa siku ya tatu na bado haijulikani kama UNK au kitaendelea pia kesho huku ila upande UNK msimamo wake kufuatia kuwepo kwa vitendo vya wizi wa fedha za mapato ambao umekuwa ukifanywa na baadhi ya watendaji wa halmashauri ya wilaya ya bahi mkoani hapa halmashauri inatarajia kumpeleka mkaguzi wa mahesabu ya ndani katika vijiji hamsini na sita vya wilaya hiyo lengo la kumpeleka mkaguzi huyo wa ndani katika vijiji hivyo ni kukagua vitabu vya mapato kwa watendaji wa halmashauri hiyo kwa lengo la kudhibiti ubadhirifu wa fedha mkurugenzi wa halmashauri hiyo bibi beatrice UNK alitoa taarifa hiyo mjini hapa na kusema hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya watendaji wa kata wilayani bahi kuiingizia hasara halmashauri hiyo kutokana na kukusanya fedha chini ya malengo alisema kuwa ili kuweza kudhibiti wizi huo ambao umekuwa ukifanywa na baadhi ya watendaji hao mkaguzi huyo ataenda katika vijiji hivyo hamsini na sita kwa ajili yakufanya ukaguzi wa mahesabu ya mapato kwa watendaji hao alifafanua kuwa halmashauri hiyo ya bahi hivi sasa imeanzisha utaratibu maalum wa kuwazawadia watendaji ambao watakuwa wakikusanya mapato yao vizuri ikiwa ni pamoja na kuwapa zawadi katika kukabiliana na tatizo hilo la wizi huo wa fedha za halmashauri hiyo aliongeza kuwa kwa kuanza kutekeleza suala hilo wameshatoa jumla baiskeli tano na fedha taslimu shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri kila mmoja katika kata za UNK UNK UNK ambapo watendaji wake walikusanya mapato vizuri zaidi ya asilimia sabini na tano mkurugenzi huyo alisema kuwa katika mwaka huu wa fedha ishirini sifuri tisa ishirini moja sifuri halmashauri ya wilaya ya bahi inatarajia kukusanya shilingi milioni ishirini sifuri ili kuweza kufikia lengo la makusanyo ya mapato ya ndani na subira UNK morogoro moto mkubwa UNK hoteli ya kingstone iliyopo eneo la nane nane katika manispaa ya morogoro na kusababisha hasara kubwa ambayo bado haijaweza kufahamika mara moja akizungumza na waandishi wa habari mkoani hapo jana mmiliki wa hoteli hiyo meja wa jwtz msabaha UNK alisema hoteli hiyo UNK usiku wa kuamkia jana majira ya saa tisa thebathini alfajiri mmiliki huyo alisema moto huo ulianzia kwenye sehemu ya kaunta na baadaye kushika katika eneo lote la hoteli hiyo ambayo UNK kwa makuti hadi kwenda upande wa pili wa vyumba vya kulala wageni alisema mara baada ya kuanza kuwaka kwa moto huo watu ambao hawakuweza kujulikana na ambao UNK kuwa ni vibaka walifika katika hoteli hiyo na kuiba vitu mbalimbali ambavyo alivitaja kuwa ni spika za muziki meza na viti na kusema thamani ya vitu hivyo bado UNK kufuatia tukio hilo mkuu wa wilaya ya morogoro bwana said mwambungu ameteua kamati ya muda UNK kwa muda wa wiki moja kwa ajili ya kuchunguza chanzo cha moto katika hoteli hiyo na kusaidia uongozi wa wilaya pamoja na watendaji wengine kujua ni namna gani wataweza kuzuia majanga mengine ya moto yasije UNK mkuu huyo wa wilaya alisema kamati hiyo itaongozwa na mkurugenzi wa manispaa hiyo mkuu wa polisi wilaya afisa usalama wilaya meneja wa tanesco mkoa mhandisi wa ujenzi wa manispaa hiyo pamoja na mkuu wa kikosi cha zimamoto aidha mwambungu alitoa wito kwa wamiliki wa majengo na taasisi kubwa katika manispaa hiyo kuhakikisha wanaweka miundo mbinu ya umeme vizuri kwa kutumia mafundi wenye uhakika pamoja na kuita tanesco kwa ajili ya ukaguzi kabla ya kuanza kazi ili kuweza kunusuru majanga ya moto yanayojitokeza mara kwa mara mahakama ya hakimu mkazi kisutu imeombwa UNK maelezo ya onyo yanayodaiwa kutolewa na ofisa ugavi wa wizara ya maliasili bibi UNK moshi kwa kuwa hayahusiani na makosa aliyoshitakiwa nayo mahakamani hapo mbali na hilo pia mahakama imeombwa kutangaza kuwa shahidi wa upande wa mashitaka ambaye ndiye alikuwa mpelelezi wa kesi hiyo kutoka takukuru hana sifa za kutoa maelezo hayo kwa kuwa makosa yanayowakabili washitakiwa hayo hayahusiani na makosa ya rushwa hayo yalijitokeza jana mahakamani hapo mbele ya hakimu mkazi bwana UNK sanga wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kusikilizwa kesi inayowakabili maofisa wa wizara ya maliasili ambao wanadaiwa kuiba shilingi milioni mia moja na kumi na tisa tano malumbano hayo ya kisheria yalijitokeza baada ya shahidi wa pili wa upande wa mashitaka bwana philip mbega kutoka takukuru kuiomba mahakama kupokea maelezo ya onyo ya mshitakiwa huyo ambaye alidai kumhoji wakati wa upelelezi wa kesi hiyo akipinga kupokewa kwa maelezo hayo wakili wa utetezi bwana hudson ndusyepo alisema kuwa maelezo hayo yanaonesha mshitakiwa UNK kwa makosa ya kutengeneza nyaraka kwa nia ya kumdanganya mwajiri wake tofauti na makosa yaliyoko mahakamani alisema kuwa mbali na kumhoji kwa makosa mengine lakini shahidi huyo hana mamlaka ya kukamata wala kuchunguza makosa aliyoshitakiwa nayo mshitakiwa huyo kwa kuwa wenye mamlaka hayo ni polisi ambao UNK kwa sheria ya kanuni ya adhabu ambayo ndiyo ameshitakiwa nayo kwa kuzingatia haya takukuru walitakiwa kuripoti polisi ili washughulikie suala hili kwani makosa yaliyoko mahakamani hapa hayahusiani na rushwa alisema bwana UNK katika majibu ya upande wa mashitaka kuhusiana na pingamizi hilo walisisitiza kupokewa kwa maelezo hayo kwa kuwa lipo kosa linalohusiana na makosa ya rushwa ambalo liko kwenye sheria ya uhujumu uchumi kutokana na malumbano hayo mahakama itatoa uamuzi wa kupokea maelezo hayo au la novemba ishirini na sita mwaka huu washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni bwana elias mziray bwana david UNK na bwana joseph rweyemamu ambao wote kwa pamoja wanakabiliwa na makosa ya kula njama kuiba na kusababisha hasara ya shilingi mia moja na kumi na tisa mia tano na thebathini sifuri sifuri sifuri wakiwa waajiri wa wizara hiyo jumla ya wanafunzi wa ishirini na tano wa jamii ya wafugaji wa kimasai wilayani kiteto katika mkoa wa manyara wamepatiwa hifadhi na serikali kusubiri matokeo ya mtihani wa darasa la saba ikihofia wanaweza kuolewa kabla ya matokeo hayo kutangazwa akizungumza na majira ofisini kwake mkurugenzi mtendaji wa halmashuri ya wilaya ya kiteto bibi UNK lyimo amesema hifadhi hiyo imetokana na ombi maalumu la madiwani lililotolewa kwenye kikao kuhusu hifadhi hiyo hadi sasa jumla ya wanafunzi ishirini na tano wa kike wa jamii ya UNK wamasai ambao wamemaliza mtihani tumewapa hifadhi shule moja ya msingi katika kata ya UNK alisema na kuongeza pamoja na hifadhi hiyo bado kuna haja ya kutazamwa upya jinsi ya kuisaidia jamii kuona umuhimu wa kusomesha watoto wao sio kweli kuwa wanashindwa kusomesha kwakuwa hawana uwezo alisema pamoja na serikali kuwapa hifadhi wanafunzi hao bado wazazi wana wajibu wa kusomesha kwa kuwa kufanya hivyo jamii itaendelea kubweteka kusubiri serikali ambayo hata hivyo UNK na watu tegemezi bibi lyimo aliendelea kusema kuwa jamii ya wafugaji hao ina uwezo mkubwa wa kifedha kulingana na jamii zingine kutokana na shughuli zao za ufugaji hawana sababu ya kusubiri serikali UNK watoto wao pamoja na kupatiwa hifadhi hiyo bado kuna kila sababu ya mzazi kumlinda mtoto huyo kwa kuwa bado yuko mikononi mwake na kama itabainika akapata mimba mzazi atawajibika kwa nafasi yake kisheria alisema akiwa hajafurahishwa na kitendo hicho wanafunzi hao majira ilifuatilia kama wapo shuleni hapo na kubaini kuwa wengi wao wametoroka kwa kile kilichodaiwa kuchoshwa kukaa bweni bila kazi wakati wakisubiri matokeo wenzetu wametoroka hawapo hapa hata sisi tumechoka kukaa bila kazi wala UNK UNK UNK tunakula na kulala tu UNK hata hivyo kuna tatizo la uhaba wa chakula shuleni wazazi wametakiwa kuchangia na hawatakubali alisema mmoja wa wanafunzi hao ambaye hakutaka jina lake litajwe mwenyekiti mtendaji wa kampuni ya ipp bwana regnald mengi amemshauri waziri wa nchi ofisi ya rais bibi sophia simba kunyamaza kimya katika vita dhidi ya ufisadi kwa sababu akida kuwa siyo mwadilifu na kwamba hawezi kusimama kupinga vita dhidi ya ufisadi vile vile amemshauri kabla UNK aombe ushauri kutoka taasisi za serikali kama vile usalama wa taifa badala ya kupotosha ukweli bwana mengi alisema hayo jana dar es salaam wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tuhuma ambazo zimekuwa zikielekezwa kwake na baadhi ya viongozi wa chama cha mapinduzi kwamba yeye si mwanachama wa chama hicho na hatoi misaada ya hali na mali kwa chama bwana mengi alipotakiwa na waandishi wa habari aeleze alichodai ni uchafu wa bibi simba alisema kuwa uko wazi na hakuna UNK ambapo alimtolea mfano uchaguzi wa jumuiya ya wanawake wa chama cha mapinduzi jinsi alivyokuwa UNK kinyume na maadili ndugu wanahabari kuna msemo wa kiingereza usemao don t UNK with a fool because people may not know the UNK between you the fool wenye maana kwamba usibishane na mjinga kwa sababu watu wanaweza kushindwa kufahamu tofauti yako na huyo UNK wakati mwingine UNK kujibu hoja UNK mtu UNK mambo kwa makusudi na kuanza kuropoka kwamba sitoi misaada kwa ccm hilo ni jambo UNK na watu binafsi na kwa malengo binafsi alisema bwana mengi alisema kuwa viongozi wa ccm ambao ni waadilifu na wanaosimamia ukweli wanajua undani wa jambo hilo iwapo kama anachangia au la kuhusu UNK wangu wa ccm napenda kuwaambia kwamba mimi ni mwanachama wa ccm tangu aprili kumi na nane mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na saba na kadi yangu ni namba b laki moja na elfu ishirini na nne na mia tano na tisini na tano iliyotolewa na tawi la kisutu wilaya ya ilala mkoa wa dar es salaam alisema huku UNK UNK hiyo kwa UNK bwana mengi alisema madai yote kwamba yeye si mwanachama au alijiunga na chama hivi majuzi kama inavyoelezwa na bibi simba katibu wa ccm mkoa wa dar es salaam bwana shaaban nggenda na mwenyekiti wake bwana john UNK ni uongo uzushi na UNK wenye lengo la kudhoofisha juhudi za viongozi wa juu wa chama hicho na baadhi ya wanachama za kupiga ufisadi vita alisema kuwa ameshangazwa na kauli ya bwana nggenda aliyoitoa juzi katika vikao vya chama dodoma kuwa katika ukaguzi wake alioufanya katika matawi ya kisutu hakuona jina lake wakati yeye ni UNK hai wa ccm alisema kuwa yeye na wenzake wamekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kwamba chama kinaongozwa katika misingi yake ya asili ya kupiga vita rushwa na maovu mengine bwana mengi alisema kuwa wanaodai kuwa ndani ya ccm hakuna kiongozi msafi ni wazi kwamba UNK chama hicho hivi majuzi ambapo aliwashauri waondoke na kuwaachia chama chao kwa kuwa hawafahamu msingi wake imara baadhi ya vyombo vya habari jana vilimkariri bibi simba akidai kwamba chama chao kilikuwa UNK bwana mengi kuwa ni kada wa ccm na kwamba tayari hata uamuzi wake wa kuamua kujiunga na chama hicho katika siku za hivi ulikuwa UNK katika hatua ambayo haikutarajiwa waziri simba badala yake aliwataka wabunge wa ccm UNK na bwana mengi na kuunga mkono jitihada zake za kuchangia fedha za misaada katika maeneo mbalimbali nchini kufanya hivyo hivyo hata katika michango ya mabilioni iliyotolewa na rais jakaya UNK sehemu tofauti nchini wabunge wapania kuendeleza mapambano UNK asisitiza rostam anahusika richmond wabunge wengi mjini dodoma wamesikitishwa na hatua ya serikali kutowasilisha taarifa kuhusu kampuni ya richmond kama bunge UNK na kusema kuwa hatua hiyo inalenga kuzorotesha vita dhidi ya ufisadi kinyume na matarajio ya wabunge na watanzania wengi serikali jana haikuweza kutoa maelezo kuhusu ripoti yake ambayo ilikataliwa na bunge katika mkutano wa uliopita kwa maelezo kwamba haikukidhi matarajio yao wabunge waliohojiwa jana walisema hata hivyo kwamba wataendeleza mapambano dhidi ya ufisadi na kuhakikisha kwamba waliohusika katika kashfa hiyo wanachukuliwa hatua suala hili UNK makusudi halafu mbaya zaidi UNK taarifa za kuridhisha mapema haya ni UNK mabaya ya kodi za watanzania alisema mbunge mmoja ambay hakutaka kutaja jina lake jana spika wa bunge samwel sitta kabla ya kumkaribisha waziri mkuu kuahirisha bunge alieleza kuwa ripoti ya richmond pamoja na ile ya ticts na trl zitatolewa katika mkutano wa bunge UNK wakati huo huo kikao cha faragha kati ya wabunge wa ccm na wazee wa chama hicho chini ya rais mstaafu ali hassan mwinyi kilimalizika juzi saa sita na nusu usiku huku mtihani wa kumaliza mpasuko miongoni mwa wabunge ukizidi kuwa ngumu zaidi dalili za wazi za kuota mizizi kwa mpasuko huo UNK na majibizano makali UNK kikao hicho kilichokaa siku tatu huku jana UNK kwa mbunge wa nzega bwana lucas selelii kutoa maelezo ambayo alidai ni ushahidi wa jinsi watuhumiwa wa ufisadi walivyohusika moja kwa moja na kashfa ya richmond kuna shahidi mmoja aliyekuwa akiishi dar es salaam alituambia wazi kwamba nyumba alimokuwa UNK UNK na rostam na kwamba mwandishi mmoja aliyekuwa ikulu alisema alipewa kazi ya kuhakikisha richmond UNK vizuri wafanyakazi wa richmond walikuwa ni walewale wa UNK kampuni ya rostam sasa UNK nini kutohusika na richmond kilisema chanzo chetu ndani ya kikao akimnukuu bwana selelii aliendelea kama wanaona wameonewa kama wanavyodai basi waende mahakamani au tumieni kanuni kurudisha upya hoja ya richmond bungeni barua zote za wizara ya nishati na madini kila moja ina msisitizo wa kwa agizo la waziri mkuu lakini pia ile richmond iliyopo marekani ni ya UNK haijui hata kufunga balbu richmond llc haipo marekani kama hayo ni uongo basi waende mahakamini alinukuliwa akisema selelii ilielezwa kuwa mbunge huyo machachari aliweka wazi jinsi richmond UNK kwamba iliwahi kujenga uwanja wa taifa imetengeneza barabara ilijenga bomba la mafuta mambo ambayo katika uchunguzi UNK kuwa ya uwongo awali mbunge wa igunga bwana rostam aziz alitaka kuundwa kwa tume huru kuchunguza ukweli wa taarifa ya richmond kwa maelezo kwamba taarifa hiyo UNK yeye aliyekuwa waziri mkuu edward lowassa na watendaji wengine waliotajwa kutokana na hali hiyo baadhi ya wabunge waliozungumza na majira kwa masharti ya kutotajwa majina kwa madai kwamba kikao hicho ni cha ndani walieleza UNK kwao na yaliyojiri katika kikao huku wakihofia hatma ya ccm kwanza nafikiri kama mimi ningekuwa sophia simba UNK yeye ni waziri wa utawala bora UNK kuzungumza yale UNK hata kidogo yawe ya kweli au ya uwongo UNK wengine waseme kama ni ya kweli UNK rais kama waziri ili zifanyiwe kazi mapema hata kabla ya kikao chetu alisema mbunge mmoja mzoefu wa ccm kuhusu kauli ya waziri huyo aliyoitoa jana na juzi mbunge mwingine alisema UNK huruma sana mwenyekiti wetu wa chama akisema ana mtihani mgumu sana wa kuchambua pumba na mchele lakini ukweli UNK kama UNK maamuzi sahihi na bila kujali sura ya mtu tutakwenda pabaya zaidi kuwa UNK nguo sasa hatua za haraka zinahitajika alisema mbunge mwingine wakati hayo yakiendelea vyanzo vya majira vilieleza kwamba waziri simba amesikitishwa na jinsi watu UNK mchango wake huku akiweka wazi kwamba hawezi kutukana mtu kwa kuwa yeye anajua umuhimu wa kuzingatia maadili ya ccm naye kulwa mzee anaripoti kuwa hakuna kiongozi hata mmoja ndani ya chama cha mapinduzi anayepinga ufisadi kwa dhati kwa sababu hiyo ndiyo falsafa ya chama hicho madai hayo yalitolewa na wakili maarufu nchini profesa abdallah safari alipokuwa akizungumza na majira kuhusiana na malumbano yanayoendelea kati ya wabunge na mawaziri kuhusu nani fisadi profesa safari alisema UNK waziri ofisi ya rais sophia simba ni kweli na kwamba walioguswa UNK lakini ukweli utabaki pale pale jana waziri huyo UNK kwenye kikao UNK na rais mstaafu ali hassan mwinyi UNK bwana edward lowassa na andrew chenge kwamba tuhuma za ufisadi dhidi yao UNK na kwamba mbunge wa same mashariki anne kilango ni UNK mumewe john malecela UNK na mafisadi wakati wa uchaguzi mwaka ishirini sifuri tano kama kuna viongozi ambao ni UNK wa kupiga vita ufisadi mbona hawataki nyumba za serikali UNK zirudi alisema na kuongeza kwamba kuuzwa kwa nyumba hizo UNK hasara kubwa serikali alisema viongozi UNK kushughulikia vitu kama hivyo UNK wanashughulikia UNK na vilivyo katika uchunguzi akizungumzia hilo shekhe ponda issa ponda alisema hali ni mbaya kwa upande wa serikali lakini ni nzuri kwa upande wa wananchi kwani sasa wanafahamu kuwa viongozi wote walioko madarakani si wazuri alisema kutokana na hali iliyopo ni wazi kwamba viongozi waliopo madarakani wanaendelea kuwepo kutokana na mfumo uliokuwepo awali ambao unatakiwa kubadilishwa shekhe ponda alisema bila kuwepo kwa mfumo huo viongozi wote wanaonekana hawana sifa za kuendelea kushika nyadhifa walizonazo mahakama ya hakimu mkazi kisutu imewaachia huru wanafunzi watano wa chuo kikuu cha dar es salaam ambao walituhumiwa kufanya mkusanyiko usio halali baada ya upande wa mashitaka kushindwa kupeleka mashahidi wa kesi hiyo uamuzi huo wa kuachiwa huru kwa wanafunzi hao ulitolewa jana mahakamani hapo na hakimu mkazi bibi victoria UNK ambaye kabla ya kufuta kesi hiyo alitoa ahirisho la mwisho kwa upande wa mashitaka mahakama ilitoa ahirisho la mwisho kwa upande wa mashitaka ili waweze kuleta mashahidi lakini imeshindikana hivyo washitakiwa wanaachiwa huru kutokana na upande wa mashitaka kushindwa kuleta mashahidi wa kesi hii ilisema amri ya mahakama wanafunzi UNK huru ni antony machibya UNK steven UNK UNK titus UNK na paul issa ambao walifikishwa mahakamani hapo januari ishirini na moja mwaka huu wakikabiliwa na makosa ya kufanya mkusanyiko usio halali chini ya sheria ya kanuni za adhabu kifungu cha sabini na nne ambapo mkusanyiko huo ulisababisha uvunjifu wa amani ilidaiwa kuwa katika mkusanyiko huo walikuwa na mabango ambayo yalikuwa na ujumbe UNK laiti nyerere UNK leo UNK machozi ya damu kweli kikwete umesahau umasikini wa watanzania ilisema sehemu ya bango hilo sehemu nyingine ilisema kuwa hivi pinda kweli wewe ni mtoto wa mkulima wazazi wetu UNK huruma UNK vyuo vya umma vimeuzwa kwa matajiri yalisema mabango hayo upande wa mashtaka katika kesi hiyo UNK kuita mashahidi sita kutoka jeshi l polisi ambao ni ssp gervas mapunda sp nyangasa c elfu nane na mia saba na sabini na sita d UNK nyangasa pc hamis pc william na pc nsajigwa serikali ya japan imesaini mkataba wa dola za marekani mia moja na sabini na tatu mia mbili na arobaini na nane kwa ajili ya kusaidia mradi wa maji mkoani iringa na ujenzi wa kituo cha afya mkoani dodoma mkataba huo ulisainiwa jana dar es salaam kati ya balozi wa japan bwana hiroshi nakagawa na wenyeviti wa miradi hiyo bwana stephano mgina alisaini mkataba wa mradi wa maji wa kijiji cha mlangali na UNK wilayani ludewa mkoa wa iringa wenye thamani ya dola za marekani themanini na nane mia tisa na arobaini na moja msaada huo kwa ajili ya ujenzi wa matangi mawili na kusambaza bomba katika vijiji hivyo mkataba wa mradi wa ujenzi wa kituo cha afya cha mkonze manispaa ya dodoma wenye thamani ya dola za marekani themanini na nne thebathini saba ulisainiwa na bwana yona wami fedha hizo kwa ajili ya ujenzi wa chumba cha matibabu na mapokezi ambapo watu kumi sifuri sifuri sifuri UNK balozi nakagawa alisema sekta ya afya ni muhimu na serikali ya tanzania inajitahidi kwa nguvu zote kuhakikisha wananchi wanapata huduma inayostahili pia alisema mradi wa maji wa mlangali utasaidia kuwapatia maji safi na salama wakazi saba themanini sifuri wa vijiji hivyo na kupunguza magonjwa ya kuhara na mengine yatokanayo na matumizi ya maji yasiyo salama balozi aliiomba kamati ya maji kuhamasisha wananchi kuchangia huduma hiyo na fedha UNK zifanye kazi UNK akishukuru baada ya kusaini mkataba huo mwenyekiti wa mkonze bwana wami alisema watatumia fedha hizo kwa matumizi yaliyokusudiwa na si vinginevyo ili kuwapunguzia wananchi adha wanayokabiliana nayo naye mwenyekiti wa mlangali bwana mgina alisema wananchi watashiriki kwa hali na mali katika kufanikisha mradi huo na fedha hizo zitatumika kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa watu wanne wamefariki dunia na wengine kumi na sita kujeruhiwa baada ya basi la kampuni ya super UNK lenye namba t mia tisa na thebathini na tano UNK kugongana na fuso lenye namba t mia mbili na arobaini na tatu UNK maeneo ya dakawa barabara ya morogoro dodoma kamanda wa polisi mkoa wa morogoro bwana thobias andengenye amesema tukio hilo lilitokea novemba tisa majira saa moja kumi na tano usiku maeneo hayo ya dakawa wilaya ya mvomero ambapo alisema chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa madereva hao andengenye amesema dereva wa basi hilo lilikuwa likitokea mwanza kwenda dar es salaam alikimbia baada ya tukio hilo na dereva wa fuso aliyefahamika kwa jina la bwana aron UNK mkazi wa kibaigwa anashikiliwa na polisi amewataja watu waliofariki katika ajali hiyo kuwa ni bibi UNK paschal mkazi wa mkoani mwanza bwana issa mwezi ambaye ni kondakta wa basi ambapo marehemu wawili bado hawajatambulika ambapo miongoni mwao mmoja ni mwanaume mtu mzima na mwingine ni mwanamke UNK kuwa na umri kati ya miaka kumi na saba na kumi na tisa kamanda huyo amewataja majeruhi wa ajali hiyo kuwa ni bwana UNK UNK askali mstaafu wa jwtz musoma bwana UNK mohamed mkazi wa kibaigwa bwana UNK UNK ambaye ni utingo wa fuso bibi salome nicholaus bwana raphael john bwana benard ndege mkazi wa misungwi bwana ally mkombozi mkazi wa dodoma bibi veronica UNK mkazi wa igunga bibi getrude dominick mkazi wa nzega na mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka moja ambaye UNK jina lake wengine ni mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka moja ramadhan mohamed mkazi wa singida bwana pascal sungura bibi UNK pascal mkazi wa mwanza na matiku UNK mkazi wa dar kamanda andengenye amesema majeruhi wote wamelazwa katika hospitali ya mkoa wa morogoro kwa matibabu na maiti UNK katika chumba cha kuhifadhia maiti katika UNK hiyo ya mkoa na mashaka mhando handeni taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa wilayani hapa UNK na kusimamisha zoezi la usaili walioomba nafasi za ajira katika halmashauri ya wilaya ya handeni akidai kwamba mchakato mzima wa zoezi hilo UNK na mazingira ya rushwa na uwepo wa dalili za ukabila hatua hiyo inafuatia malalamiko yaliyowasilishwa takukuru na baadhi ya waliomba ajira kufuatia matangazo mbalimbali UNK kwenye magazeti na mbao za matangazo ambao afisa mmoja wa halmashauri hiyo UNK majina yao bila kuzingatia sifa zao na taratibu za usaili wa awali UNK baadhi ya watu walioomba ajira na kukatwa majina yao walisema kuwa baadhi ya wanzao walitakiwa chochote ili waweze kupewa upendeleo ikiwemo kuitwa kwenye usaili ambao ulipangwa kufanyika kwa siku tatu kuanzia aprili kumi na nne hadi kumi na sita na UNK hao tayari wakiwa wamefika wilayani hapa wakitokea mikoa ya dar es salaam singida arusha kilimanjaro singida dodoma iringa na mikoa mingine mimi niliomba nafasi ya ugavi nina sifa zote zinazotakiwa lakini cha kushangaza walioitwa kwenye usaili hawana sifa na vigezo vinavyotakiwa hii inaonyesha ofisi ya utumishi iliyokuwa ikishughulikia zoezi hili imetumia mazingira ya yasiyoeleweka alisema mkazi wa dodoma bwana UNK hashim aliyeomba nafasi ya maendeleo ya jamii akitokea wilayani handeni aliyezungumza na majira jumapili kwa njia ya simu alisikitishwa na hatua ya kusimamishwa kwa zoezi hilo akielezea kwamba limewatia hasara UNK ambao wametokea mbali na handeni na kwamba UNK kabla ya kufika kituoni kamanda wa takukuru mkoa wa tanga bwana UNK UNK alipoulizwa jana juu ya hatua hiyo alikiri kusimamisha zoezi hilo lakini akasema kwa kuwa yupo nje ya ofisi UNK suala hilo jumatatu bwana kimaro ambaye ni ofisa utumishi UNK suala hilo UNK matafaruku mkubwa alipoulizwa alisema suala hilo litazungumzwa na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo bwana UNK UNK alisema tatizo kubwa katika zoezi hilo ni suala la kupendekeza majina kwa kutumia mfumo wa short UNK ambao UNK majina ya watu kutokana na namna UNK akitoa mfano kwamba sehemu iliyokuwa na watu ishirini UNK majina UNK pekee wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania jana walitangaza uamuzi wa kutofanya kazi na mwekezaji kampuni ya rites kutoka nchini india hadi mkataba kati yake na serikali UNK wafanyakazi hao wametoa tamko hilo ikiwa ni siku moja baada ya kumalizika notisi ya siku sitini iliyotolewa na mwekezaji huyo kuitaka serikali kutekeleza makubaliano ya mkataba wao juu ya uendeshaji wa kampuni hiyo mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wa reli tanzania bwana juma lema alibainisha jijini dar es salaam katika mkutano wa wafanyakazi hao kuwa hawako tayari tena kufanya kazi na mwekezaji huyo na hawamtambui kuanzia jana mwenyekiti huyo alisema kitendo cha serikali kushindwa kutoa ufafanuzi na uamuzi wowote baada ya kupokea notisi hiyo kimedhihirisha udhaifu na woga dhidi ya mwekezaji huyo na ndio maana wamechukua uamuzi wa mwanzo wa UNK hali hii inazidi kuongeza utata wa hatma ya kampuni hiyo kwani ni muda mrefu sasa tangu mvutano huo uanze pamoja na mwekezaji huyo kuonesha kasoro kadhaa serikali imekuwa ikipinga kuchukua uamuzi mzito katika suala hilo hakuna sababu kuendelea kuogopana huku wananchi waliokuwa wakitegemea huduma ya usafiri wa treni kuzidi kusota stesheni kila siku kutokana na udhaifu wa mwekezaji reli ya kati ni kongwe iliyojengwa enzi za ukoloni leo hii watanzania walipaswa kuona UNK na kufikia kiwango cha kuendeshwa kwa umeme lakini maamuzi UNK yanazidi kuirudisha nyuma na huduma zake kuwa na taswira ya enzi ya UNK serikali ifike mahali iseme inatosha na kuachana na mwekezaji huyu na kutangaza zabuni upya kuwapa nafasi wawekezaji wengine wenye uwezo kuendesha kampuni hiyo serikali UNK huruma wananchi UNK kila siku kwa kukosa usafiri na ikubali kuchukua maamuzi UNK rais wa zamani wa jamhuri ya afrika ya kati bwana UNK felix patasse ambaye alirejea nchini humo kutoka uhamishoni mwezi uliopita amekutana na UNK oa madarakani na kisha kutangaza kuwa UNK kiti hicho tena kwenye uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwakani bwana patasse alikutana na rais UNK UNK juzi ambaye UNK oa madarakani mwaka ishirini sifuri tatu ikiwa ni baada ya kukalia nafasi hiyo kwa muda wa miaka kumi naweza kuthibitisha kuwa nitakuwa mgombea kwenye uchaguzi wa rais mwaka ishirini moja sifuri bwana patasse alieleza katika taarifa yake ningependa kumshukuru kiongozi wa nchi ambaye UNK tujadiliane kuhusu matatizo yanayokabili nchi aliongeza katika taarifa hiyo yeye na mimi tumeipokea kwa mikono miwili hali hiyo kwa sababu UNK wazi na inaeleweka kila mmoja UNK mwenzake vizuri jambo ambalo nilikuwa UNK wakati UNK nchini iliongeza sehemu ya taarifa hiyo ya bwana UNK bwana patasse sabini na mbili alirejea nchini oktoba thebathini mwaka huu akiwa ni baada ya miaka saba ya kuishi uhamishoni nchini UNK UNK nchi hiyo kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu hadi machi ishirini sifuri tatu wakati UNK na jenerali UNK mwishoni mwa mwezi agosti mwaka huu rais huyo wa zamani ndipo alipotangaza kuwa UNK nchini humo kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwezi juni mwaka huu bwana patasse alitimuliwa ndani ya chama chake cha central african people s UNK movement ambacho UNK waziri mkuu wa zamani bwana martin UNK kuwa mgombea wake wa kiti cha urais serikali imeanzisha sensa ya kupata idadi halisi ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu na kujua chanzo chake naibu waziri wa maendeleo ya jamii jinsia na watoto bibi lucy nkya alisema katika maadhimisho ya miaka ishirini tangu ufikiwe mkataba wa haki ya mtoto na umoja wa mataifa jana kuwa sensa hiyo imekwishaanza kwa wizara yake kushirikiana na shirika la kimataifa lisilo la kiserikali alisema katika utafiti wa awali serikali imebaini kuwa sheria ya watoto ambayo imepitishwa na bunge hivi karibuni itawabana wazazi ambao wanajificha na kuwatuma watoto wao kuomba barabarani na kuwabana UNK watoto kwa ajira naibu waziri huyo alisema maadhimisho hayo UNK tanzania ikiwa imefanikiwa katika sheria mpya ya mtoto kwa kutoa elimu ya msingi sekondari na kupunguza vifo vya watoto kwa kutoa huduma za afya mwakilishi wa haki za watoto kutoa kituo cha UNK hussein cheyo alisema wanaomba serikali ianzishe mabaraza ya watoto kutoka ngazi ya mitaa wilaya mikoa na taifa ili kueleza matatizo UNK nayo mwakilishi wa haki za watoto nchini bwana UNK nyange alisema ili elimu ya sheria ya haki ya watoto nchini UNK walengwa shirika lake litaendelea kutoa vipeperushi vya kutoa elimu kwa watoto mmoja wa wadau wanaoshughulikia matatizo ya watoto nchini bwana geofrey mhagama aliomba serikali isaidie kuisambaza sheria mpya ya watoto kuanzia mahakama za mwanzo na mahakama kuu ili sheria hiyo ifahamike kwa watu wote na UNK kutumika ipasavyo kampuni ya uwakili ya malegesi law chambers imewasilisha pingamizi la awali katika mahakama kuu ya tanzania ikitaka kufutwa kwa madai UNK mahakamani hapo na benki kuu ya tanzania ikitaka kulipwa zaidi ya shilingi bilioni moja pingamizi hilo liliwasilishwa jana mahakamani hapo na mdaiwa huyo UNK na sababu nne zinazopinga kusikilizwa kwa madai hayo sababu zilizowasilishwa ni kwamba malalamiko ya bot yaliyotolewa kwenye hati ya madai yamejaa tuhuma uzushi na UNK pingamizi hilo lilidai kuwa mlalamikaji hana UNK la msingi kwa kuwa upotoshwaji unaolalamikiwa ni juu ya misingi ya sheria na mkataba UNK na pande zote mbili sababu zingine ni kwamba mahakama hiyo haina mamlaka ya awali ya kusikiliza shauri hilo kwa mujibu wa taarifa za gazeti la serikali namba mia tano na kumi na tano ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na moja juu ya mishahara na kodi za mawakili mbali na hayo pia pingamizi hilo linadai kuwa kutokana na upotoshwaji shitaka hilo linapaswa kutupiliwa mbali kwa kuwa UNK na kanuni ya sheria ya mwenendo wa makosa ya madai kesi hiyo iko mbele ya jaji UNK shekhe ambayo imepangwa kusikilizwa kwa pingamizi hilo aprili saba mwaka kesho awali bot ilifungua kesi hiyo mahakamani hapo ikiomba kulipwa na kampuni hiyo ya uwakili kiasi cha dola za marekani mia tisa na tisini na nane sifuri sifuri sifuri kutokana na udanganyifu katika mkataba waliokuwa wameingia kwa ajili ya ushauri wa kisheria katika kesi mbili zilizokuwa UNK bot polisi UNK vifo vya kutatanisha vya watu wawili wawili ambao miili UNK katika vyumba walivyokuwa wanavyoishi miongoni mwa watu yumo mfamasia wa hospitali ya UNK iliyopo mbezi wilaya ya kinondoni bwana bakari UNK kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni bwana mark kalunguyeye alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa tisa sifuri sifuri jioni maeneo ya boko bus UNK UNK maiti ya bwana jongo ikiwa imelala kitandani bila ya jeraha lolote mwilini pia bwana kalunguyeye alisema baadaye jioni katika eneo la kunduchi beach ilikutwa maiti nyingine ya mwanaume aliyetambulika kwa jina bwana pascal msomaji ikiwa imelala kwenye UNK na kuharibika vibaya bwana kalunguyeye alisema inadaiwa marehemu alifariki siku tatu nyuma na kwa taarifa za majirani marehemu hakuwa na maradhi yoyote ila inadaiwa alikuwa mnywaji mkubwa wa pombe za kienyeji miili ya marehemu imehifadhiwa katika hospitali ya mwananyamala na uchunguzi unaendelea UNK na vifo hivyo wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi jana ilishindwa kuanza ugawaji wa samaki waliokamatwa kwa wavuvi haramu kutokana na kutokamilika kwa taratibu naibu waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi bwana james wanyancha alisema kuwa wamesitisha utaratibu wa ugawaji wa samaki hao kutokana na UNK kwa utaratibu wenye lengo la kuhakikisha kuwa samaki hao wanawafikia walengwa na sio kuwakuta wakiwa sokoni kwa malengo ambayo UNK ni kweli tulitakiwa kugawa samaki hao leo lakini UNK kwa utaratibu ndio UNK maombi ya ugawaji wa samaki kwa kuwa wako watu wengi ambao UNK macho na sisi kama wizara lengo letu ni kuhakikisha wanawafikia walengwa bwana wanyancha alisema awali taarifa zilizolifikia gazeti hili zilisema kuwa samaki hao UNK kutokana na kukosekana kwa UNK maalumu ya UNK kwa kuwa ni wakubwa lakini zilikanushwa na bwana wanyancha naibu waziri alitoa wito kwa wananchi kutokuwa na wasiwasi kuhusu suala hilo ila waendelee kuwa na subira na UNK tena pindi taratibu hizo za ugawaji wa samaki hao UNK samaki hao UNK baada ya kuvuliwa na wavuvi haramu katika bahari ya hindi na mahakama UNK kuwa samaki hao wauzwe kwa utaratibu wowote lakini wizara hiyo ikaamua kugawa bure taasisi kama hospitali shule magereza na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu mahakama ya wilaya ya ilala jijini dar es salaam imemhukumu mfanyabiashara bwana mohamed yusuph mkazi wa kariakoo kutumikia kifungo cha miaka thebathini jela baada ya kupatikana na hatia ya UNK mtoto wa miaka kumi na moja kabla ya hukumu hiyo kutolewa mahakama iliamuru mshitakiwa huyo kufungwa kifungo cha maisha kutokana na uzito wa kosa lakini baada ya mshitakiwa kuomba UNK adhabu kutokana na matatizo ya kiafya iliamuru aende jela miaka thebathini mwendesha mashitaka mkaguzi wa polisi bwana musa gumbo alimtaka hakimu kutoa adhabu kali kwa mshitakiwa ili iwe fundisho kwa watu wenye tabia kama hizo akitoa hukumu hiyo hakimu wa mahakama hiyo bibi janeth UNK alisema ametoa hukumu hiyo baada ya kuridhishwa na ushahidi uliotolewa na upande wa mashitaka ambao UNK hatiani mshitakiwa awali ilidaiwa kuwa februari ishirini na moja mwaka jana maeneo ya feri mshitakiwa UNK mtoto wa miaka kumi na moja na kumsababishia maumivu makali hatua madhubuti na nia makini ya kuzitekeleza zinahitajika kuchukuliwa sasa ili kuinusuru dunia na uchafuzi wa mazingira unaosababisha mabadiliko makubwa ya tabia nchi endapo jumuiya ya nchi za kimataifa haitafanya hivyo sasa maisha ya binadamu na viumbe wengine yatakuwa hatarini kuanzia sasa na vizazi vijavyo hayo yalisemwa juzi dar es salaam na balozi wa ufaransa nchini bwana jacques de labriolle katika siku ya asasi za kiraia juu ya mabadiliko ya tabia nchi iliyoandaliwa na ubalozi huo balozi de labriolle alisema huu ni wakati mwafaka wa mataifa yote maskini na tajiri kuungana kuchukua na kutekeleza hatua madhubuti ili kuinusuru dunia na athari hasi zinazotokana na mabadiliko hayo UNK nayo kwa sasa alisema kuwa umuhimu wa kuchukuliwa hatua hizo haraka iwezekanavyo ambazo ni pamoja na kuongeza kasi ya kufanya utafiti wa kisayansi kubadili misimamo katika uendeshaji wa shughuli za biashara na viwanda na kuhamasisha tabia ya utunzaji mazingira miongoni mwa wanajamii yanafanya mkutano wa copenhagen utakaofanyika majuma machache yajayo kuwa na umuhimu wa kipekee katika historia ya dunia kama mnavyojua UNK majuma UNK kabla ya mkutano wa copenhagen ambayo ni moja ya majukumu makubwa jumuiya ya kimataifa imejipatia ili kufikia maamuzi UNK kupambana na athari za mabadiliko ya tabia nchi mkutano huu ni moja ya mikutano ya kihistoria mabadiliko ya tabia nchi yanasababisha athari kubwa mno katika dunia hii kwa jamii nzima na malengo yetu ya kimaendeleo uamuzi wa haraka unatakiwa kuamuliwa na kutekelezwa la sivyo dunia nzima itakuwa katika matatizo makubwa sasa na vizazi vijavyo hapo matatizo makubwa sasa na vizazi vijavyo baadaye alisema balozi de labriolle alisema kwa sababu ya athari zinazotokana na mabadiliko hayo kuongeza umaskini kwa nchi zinazoendelea ufaransa na hata jumuiya ya nchi za ulaya kwa ujumla imedhamiria kuchukua msimamo imara huko copenhagen kwa kutilia maanani matatizo UNK nchi zote kutokana na suala la athari hizo kwa sababu kila mmoja anahitaji kuona watoto wetu wakiishi katika mazingira mazuri na kupata maliasili wanazostahili hatuna budi kufikia makubaliano ya msingi huko copenhagen nawahakikishia kuwa ufaransa pamoja na jumuiya ya nchi za ulaya zitakuwa na msimamo madhubuti kupigania hatua madhubuti alisema balozi de labriolle aidha balozi de labriolle alisisitiza umuhimu wa asasi za kiraia katika kuleta msukumo wa kimaendeleo akisema kuwa asasi hizo kama vile mashirika yasiyokuwa ya kiserikali UNK kuwa mashahidi wa mabadiliko katika jamii bali washiriki wakubwa aliahidi kutokana na kutambua muhimu na mchango wa asasi za kiraia ufaransa imekuwa ikitoa nafasi na kusikiliza maoni yao mkutano wa copenhagen utakaofanyika baadaye mwaka huu unasubiriwa kwa hamu na jumuiya ya kimataifa ambapo njia za kukabiliana na mabadiliko tabia UNK mkutano huo utafanyika huku kukiwa na kumbukumbu jinsi marekani UNK kutekeleza makubaliano ya mkutano wa kuhusu mazingira uliofanyika UNK japan pia kumekuwepo na hali ya nchi tajiri UNK utayari pamoja na kuwa zinachangia kwa kiasi kikubwa kuathiri kwa mabadiliko ya tabia nchi duniani gari la mahakama ya ardhi dar es salaam land cruiser hard top limeibwa kwenye maegesho ya tawi la chama cha mapinduzi kibamba juzi usiku habari ambazo majira imezipata na kuthibitishwa na kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni bwana mark kalunguyeye zimesema walinzi wa ccm tawi la kibamba na dereva wa gari hilo wanashikiliwa kwa mahojiano zaidi akisimulia tukio hilo bwana kalunguyeye alisema kuwa baada ya dereva kuegesha gari hilo juzi usiku alielekea nyumbani kwake na baadaye wezi walifika na kuwafunga kamba walinzi wa tawi hilo UNK kwa silaha UNK gari kwa funguo bandia na kuondoka nalo alisema kuwa dereva wa gari hilo aligundua kuibwa kwa gari hilo asubuhi alipokwenda kulichukua na kupewa taarifa na walinzi kuwa limeibwa na majambazi katika tukio lingine mlinzi wa kampuni ya ulinzi ya nas jijini bwana hassan mohamed anashikiliwa na polisi kwa kumjeruhi kwa risasi mpita njia ambaye ni kondakta wa daladala bwana martin UNK kamanda wa polisi mkoa wa temeke bwana liberatus sabasi alisema kuwa tukio hilo lilitokea jana saa kumi na mbili asubuhi maeneo ya tandika baada ya bunduki yake kufyatuka risasi wakati akiwa lindoni huyu mlinzi baada ya kuamka leo asubuhi alisahau kama silaha yake ina risasi tisa na ndipo UNK kwa chini risasi moja kufyatuka na kumjeruhi mguuni mpita njia huyo alisema kamanda alisema kuwa mlinzi huyo ambaye alikuwa akilinda kisima cha mafuta cha bwana UNK ahmed anashikiliwa na polisi kwa mahojiano zaidi na majeruhi amelazwa katika hospitali ya temeke same kilimanjaro alhamisi novemba kumi na mbili ishirini sifuri tisa miili ya watu kumi na tisa kati ya ishirini na tano UNK kufariki kutokana maporomoko ya miamba na udongo kwenye vijiji viwili vya UNK na goha vilivyopo kata ya mamba myamba wilaya ya same mkoani kilimanjaro UNK leo katika maeneo mawili tofauti kwenye vijiji hivyo naibu waziri wa kilimo chakula na ushirika mh UNK mathayo na mkuu wa mkoa wa kilimanjaro mama monica mbega ni miongoni mwa viongozi wa ngazi ya juu walioshiriki katika mazishi hayo ambayo ibada ya mazishi UNK na UNK UNK wa kanisa la sabato parokia ya same akisaidiwa na wachungaji tisa wa kanisa hilo kutoka mkoani kilimanjaro na makao makuu ya dayosisi ya sabato mjini arusha hata hivyo idadi hiyo imeongezeka kutoka watu kumi na nane UNK jana na kufikia kumi na tisa leo baada ya kupatikana kwa mwili wa mwanamke mmoja aitwaye UNK UNK mwili ambao UNK kutoka kwenye kifusi cha udongo ndani ya nyumba UNK akiishi aidha baada ya vikao mbalimbali vya kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya na mkoa kwa kuwashirikisha ndugu wa marehemu imeamuliwa kuwa maiti zote zilizopatikana UNK kwa heshima zote katika viwanja vya makaburi ya pamoja kwenye vijiji hivyo naye kamanda wa polisi mkoani kilimanjaro acp lucas UNK UNK amesema kuwa bado vikosi vya uokoaji kutoka polisi mkoani tanga na wenzao wa kilimanjaro kwa kushirikiana na wananchi wa vijiji hivyo na maeneo UNK vimeendelea na zoezi la kutafuta miili mingine ya watu waliobaki ambao hadi sasa hawajulikani walipo amesema UNK utafutaji wa miili hiyo lilianza tene mapema asubuhi leo baada ya kusitishwa kwa muda jana jioni kutokana na kuingia kwa giza wakizungumza wakati UNK hayo mkuu wa mkoa wa kilimanjaro mama monica mbega na naibu waziri wa chakula kilimo na ushirika mh mathayo wamesema kuwa taifa limepoteza nguvukazi kubwa kwa kuondokewa na idadi hiyo ya wanakijiji kwa pamoja wananchi hao UNK baada ya kunyesha kwa mvua kubwa usiku wa kuamkia jana ambapo UNK miamba miti na mawe makubwa yenye UNK wa zaidi ya tani ishirini hadi arobaini UNK kutoa kwenye mlima manka kupitia kwenye nyumba za wananchi wa kijiji hicho mengine UNK na mengine UNK wasiweze UNK vijiji hivyo vimejengwa kandokando ya milima hiyo UNK na milima ya UNK jambo ambalo UNK kusababisha mawe UNK kutoka katika milima hiyo kupoteza maisha ya viumbe wote waliopo kwenye eneo hilo pamoja na wananchi hao pia mifugo zikiwemo nggombe zaidi ya ishirini mbuzi kondoo mbwa na paka pamoja na kuku pia wamepoteza maisha katika janga hilo la UNK mbunge wa bariadi magharibi bwana andrew chenge amebaki peke yake kwenye kesi ya kusababisha vifo vya watu wawili kwenye ajali ya gari baada ya dereva wa bajaj bwana majid gharib aliyekuwa UNK naye kuachiwa huru bwana chenge na bwana gharib walikuwa UNK katika kesi hiyo iliyosababisha vifo vya victoria george na beatrice UNK lakini jana upande wa mashtaka umeomba dereva huyo wa bajaj aachiwe chini ya kifungu tisini na nane uamuzi wa kuachiwa huru kwa dereva huyo ulitolewa jana katika mahakama ya wilaya ya kinondoni mbele ya hakimu mfawidhi bwana emilius mchauru baada ya wakili anayeendesha kesi hiyo bwana richard rweyongeza kuomba kuachiwa kwa mshitakiwa huyo baada ya bwana chenge kubaki mshtakiwa pekee hatua inayofuata ni kusomwa kwa maelezo ya awali ya kesi hiyo na kuanza UNK kesi itatajwa desemba kumi na tano mwaka huu kwa ajili ya kupanga tarehe ya kuanza kusikilizwa bwana chenge UNK yuko nje kwa dhamana alifikishwa kortini machi thebathini mwaka huu kwa makosa ya kusababisha vifo vya watu wawili kutokana na uendeshaji gari kizembe tukio lililotokea machi ishirini na saba mwaka huu saa kumi thebathini alfajiri katika barabara ya haile UNK dar es salaam pia UNK kwa kuendesha gari bila kuwa na bima jambo ambalo ni kosa kisheria baraza la watumiaji usafiri wa majini na nchi kavu UNK serikali kupitia mradi wa mabasi yaendayo kwa kasi kuharakisha kutekeleza mradi huo ili kuondoa msongamano wa magari na usumbufu wanaoupata abiria katika daladala hayo yalisemwa dar es salaam jana na katibu mkuu wa baraza hilo bwana oscar kikoyo wakati akizungumza na majira kuhusu mradi wa mabasi yaendayo kwa kasi ambao umekuwa UNK alisema mradi huo ulitangazwa kuwa awamu ya kwanza kuwa ungeanza na barabara ya morogoro mwaka ishirini sifuri nane lakini UNK hadi kipindi hiki huku shida ya usafiri dar es salaam ikizidi kuongezeka sasa hivi tumeambiwa kuwa basi la kwanza litaanza kufanyakazi mwaka ishirini moja sifuri yaani kabla ya uchanguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani hivyo tunaomba watekeleze kama walivyopanga alisema bwana UNK alisema baraza UNK serikali kwa kuanzisha mradi huo na linaona kuwa ukikamilika tatizo la msongamano wa magari na abiria litakuwa limeisha na itasaidia kuharakisha maendeleo kwa wakazi wa dar es salaam hata hivyo alipongeza hatua ambazo zimeshaanza za kupanua barabara ya morogoro ambapo tayari watu wameshaanza kulipwa fidia kupisha upanuzi wake kwa ajili ya mabasi hayo bwana kikoyo alisema mradi huo ukikamilika utapunguza gari binafsi za watu kuingia mjini kutokana na usafiri wa uhakika ambao hautakuwa wa purukushani na utakuwa wa haraka kufika sehemu ambayo abiria UNK mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi ametangaza kuwa ifikapo oktoba thebathini mwaka huu wamachinga wawe wameondoka katika maeneo yasiyo rasmi vinginevyo timuatimua itaanza upya bwana lukuvi alisema hayo dar es salaam katika mazungumzoa yake na watendaji wa manispaa ya ilala wakiwamo wenyeviti wa serikali za mitaa watendaji na madiwani juzi alisema biashara zote ambazo zinafanywa katika maeneo yasiyo rasmi yakiwemo maeneo ya barabara zinatakiwa kuondoshwa kabla ya tarehe hiyo ambayo imetangazwa kwa lengo la kufanya jiji kuwa tofauti na lilivyo hivi sasa jiji la dar es salaam limekuwa chafu sana kutokana na uzembe wa kusimamia sheria sasa wakati umefika kwa wakazi UNK na nitahakikisha jiji hili linakuwa safi na kufanana na halmashauri ya moshi ambayo imetumia sheria zake kuyaweka mazingira katika hali ya usafi alisema timuatimua hiyo UNK biashara zote zinazofanywa katika maeneo UNK zikiwemo biashara za maji ya kunywa ya chupa nguo miwa machungwa na aina ya zote za vyakula kwa mujibu wa bwana lukuvi shughuli hiyo ya timuatimua itafanywa na askari wa jeshi la polisi na wale wa jiji ambao UNK watakaokaidi kuondoka alisema UNK hiyo pia UNK wenye gereji katika maeneo yasiyo rasmi baa UNK muziki wa juu katika makazi ya watu vyoo UNK maji ya UNK UNK UNK barabarani kutupa taka ovyo UNK maeneo yasiyo rasmi naye kamanda wa kanda maalumu ya dar es salaam bwana UNK kova alisema jeshi lake limejipanga vizuri kwa kuwakamata na kuwafikisha watu wanaovunja sheria kwa kufanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi alisema shughuli hiyo haitakuwa nguvu ya soda kwani yeye hapendi kushindwa jambo hivyo machinga watakaokaidi amri yake UNK huruma kwa sababu mpango huo ni wa kuliweka jiji katika mazingira ya usafi siku chache baada ya wafuasi wa chama cha wananchi kutaka kumshambulia katibu mkuu wao maalim seif sharif hamad kwa kukubali kumtambua rais wa zanzibar amani abeid karume jumuiya za chama hicho zimetangaza kuunga mkono hatua inayoashiria muafaka mpya wakati jumuiya ya wanawake wa chama hicho zanzibar imeandaa maandamano ya kuunga mkono mazungumzo hayo ile ya vijana UNK maalim seif kwa hatua hiyo maandamano ya wanawake hao yamepangwa kufanyika jumapili na kupokewa na makamu mwenyekiti wa chama hicho machano khamis ali yakiwa na ujumbe wa kuwaeleza wafuasi hao faida ya muafaka huo mkurugenzi wa uenezi na mawasiliano ya umma bwana salim bimani aliwaambia waandishi wa habari jana matayarisho yote yameshakamilika na mzungumzaji mkubwa atakuwa maalim seif sharif hamad lengo kubwa ni kuunga mkono mazungumzo ya viongozi ambayo yamesaidia cuf kuondosha mpasuko wa kisiasa siku nyingi na sasa wazanzibari wameamua kuungana na kusahau tofauti zao alisisitiza bwana bimani alisema mbali na maandamano hayo viongozi wa kitaifa wameanza kufanya ziara za kutembelea majimbo na kukutana na wanachama ili waweze kuwafahamisha sababu zilizofanya baraza kuu la uongozi wa cuf kumtambua rais karume maandamano hayo yataanzia uwanja wa komba wapya kupitia mikunguni na UNK viwanja vya UNK wakati hayo UNK zanzibar jijini dar es salaam sekretarieti ya vijana wa cuf imetoa pongezi kwa bwana hamad kwa hatua aliyofikia mwenyekiti wa sekretarieti hiyo bwana mohamed UNK alisema kuwa hiyo ni njia muafaka ya kufikia suluhisho la amani visiwani humo kitendo cha kukutana kwa maalim seif na rais karume na hatimaye cuf kuitambua serikali ya rais karume ni ishara njema ya kulimaliza tatizo la zanzibar alisema bwana UNK aliongeza kuwa matatizo ya kisiasa visiwani zanzibar yamefikia katika hali mbaya sana na ni viongozi pekee wanaotakiwa kuchukua hatua madhubuti za kumaliza tatizo hilo watu wamekuwa wakipigwa mara kwa mara kujeruhiwa vibaya kukamatwa na UNK haki yao ya msingi ya kuandikishwa kupigwa kura vijana wa chama cha cuf tunaamini matatizo haya na mengine yatamalizika kutokana na kitendo cha cuf kuitambua serikali ya rais karume na tunatoa wito kwa wanachama wote kwa ujumla kutoa nafasi kwa viongozi wetu wafikishe mwisho hatua waliyoanza ili kumaliza kabisa mtafaruku wa kisiasa zanzibar alisema novemba tano mwaka huu rais karume alikutana na maalim seif kuzungumzia mpasuko wa kisiasa wa zanzibar ambayo UNK zote mbili zilisema ni ya mafanikio makubwa mwenyekiti wa ccm rais jakaya mrisho kikwete ametakiwa kuchukua maamuzi magumu UNK chama hicho kabla ya matokeo yake UNK mwaka ishirini moja sifuri rai hiyo imetolewa na kada wa chama hicho wa muda mrefu bwana UNK ole molloimet alipozungumza na majira juu ya hali ya kisiasa ndani ya chama hicho na kulaani kauli ya katibu mkuu wa ccm bwana yusuf makamba kuwa wanaotaka ang UNK wasubiri afe alisema umefika wakati kwa mwenyekiti wa ccm rais kikwete kutoa maamuzi magumu ya kukisaidia chama ya UNK watu walafi madarakani ambao kazi zao UNK kuwa za maslahi binafsi ukimya wa mwenyekiti unaendelea UNK katika utawala wake kwa kuwa hakuna UNK bali malumbano ya muda mrefu yasiyo na tija kwa wananchi huku UNK mambo ya msingi kwa wananchi alimtaka mwenyekiti huyo UNK haya UNK kidole viongozi waovu kwa kuwa wanaonekana kubinafsisha ccm ambayo ni chama cha wakulima wafanyakazi akizungumzia kauli ya bwana makamba alisema mimi ni kada wa ccm wa muda mrefu tumekuwa UNK na UNK wa chama hiki mwalimu nyerere yeye hakuwa na kauli ya UNK hii hata siku moja na ndio maana hata leo hii tunaendelea kumuenzi yale yote mazuri aliyoyafanya alisema ole molloimet alisema kauli hiyo inaonyesha ni ya kibabe yenye utovu mkubwa wa nidhamu kisiasa sio ya wana ccm UNK upotoshaji ambayo inaonyesha kuwa chama hicho ni cha watu wachache kwa maslahi yao waliyopo madarakani alisema ccm UNK mtu uongozi na ndio maana kuna demokrasia ambayo inatakiwa kuzingatiwa kwa kauli za bwana makamba hazina mafunzo ya kuiga kwa kizazi kijacho alisema kauli hiyo inakatisha tamaa wanachama wa ccm na kujiona kuwa hawana chao bali chama ni cha akina makamba na baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi ambao UNK kujiuzulu badala yake wamekuwa UNK ang UNK chama kimekuwa kichaka cha baadhi ya watu kuficha maovu yao ambao UNK wakidhani wananchi UNK na kujipa moyo kuwa wao ndio wasemaji wakuu kuliko wenye chama maamuzi ya chama ni kauli za wanachama wakiongozwa na katiba na si kauli isiyokuwa na maadili kama ya bwana mkamba kwa wanachama ambao ni waadilifu na wenye uwezo mkubwa kimaamuzi kuliko yeye alisisitiza ole molloimet akizungumza na majira jana bwana makamba alisema kauli yake haikuwa na lengo baya bali alitaka UNK watoto kwenye mahafali kuwa UNK nchi yao kwa kuwa muda wake UNK bwana makamba hivi karibuni alikaririwa akisema wanaotaka UNK wasubiri amalize miaka minne iliyosalia kwenye maisha ya binadamu ambayo ni miaka sabini na tano wakati yeye amefikisha sabini na moja kada huyo alitolea mfano malumbano UNK muda mrefu yasiyo na tija kwa wananchi ya viongozi UNK kuitana mafisadi huku wengine wakidaiwa sio wana ccm serikali UNK kiundugu inaongozwa kwa uadilifu mkubwa baada ya kupata ridhaa kwa wananchi ambao ndio wenye kauli na si walio madarakani kujiamulia na UNK wananchi ambao sasa wanajua na majibu yake yataonekana mwaka ishirini moja sifuri alisema ole molloimet alisema maadili ya uongozi UNK na hao hao walioko madarakani kwa kuheshimu pesa kuliko utu na hata baadhi ya wanaoingia madarakani hasa wanasiasa lengo lao ni kuchuma pesa tu wakati zimebaki siku kumi na tano za wakazi wa magomeni kota kuondolewa katika nyumba hizo wameomba waongezewe miezi mitatu ili watafute nyumba za kupanga mbali ya maombi hayo mkutano wa wakazi hao uliofanyika jana dar es salaam UNK mwenyekiti wa kamati yao bwana lucas UNK na kumlalamikia diwani wa kata ya ndughumbi kupitia ccm bwana charles mgonja kuwa hana msaada kwao mkutano huo UNK na jazba baada ya nyumba zao zote mia sita na arobaini na nne za kota magomeni kukatiwa umeme wiki iliyopita huku kukiwa hakuna majibu sahihi kuhusu hatma yao waliazimia kuchanga shilingi kumi sifuri sifuri sifuri kila mkazi za kumlipa mwanasheria UNK kisheria kuhusu UNK yao bibi mwajuma hamisi ambaye hoja yake ya kuomba kuongezwa miezi mitatu waendelee kuishi magomeni kota kupitishwa wakazi hao pia waliomba malipo ya mwaka ishirini sifuri sita ya shilingi mia saba na ishirini sifuri sifuri sifuri UNK kwa sababu thamani ya fedha hizo UNK makamu mwenyekiti wa kamati hiyo bwana nkurumah munjoli UNK kuwatuliza wakazi hao UNK diwani kujibu tuhuma UNK kwake na wakazi hao diwani mgonja UNK kwa wananchi hao alisema hakuwa anahudhuria vikao vya wakazi wa UNK kota kwa sababu hajawahi kupata taarifa rasmi za kimaandishi na kuwepo kwake jana ni utashi wake akitokea hospitali kupata matibabu UNK UNK wakazi wa magomeni kota katika kipindi hiki kigumu ambacho ufumbuzi wake utatokana maamuzi ya kikao cha baraza la madiwani wa manispaa ya kinondoni UNK ili suala hilo kwa hili mimi UNK mawe lakini UNK kwa sababu asilimia tisini na tisa ya kura zangu zimetokana na ninyi wale UNK UNK inawezekana kutokana na mawazo yao lakini hii ni kazi ngumu sana alisema diwani mgonja wakazi hao pia walisema wana wasiwasi na viongozi wa juu wa manispaa ya kinondoni kutoa maamuzi bila kujali ni wapangaji wa nyumba hizo kutoka mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na suala lao linahitaji maafikiano ya kimaandishi na si kuweka mabango na kutoa taarifa kupitia vyombo vya habari jeshi la polisi nchini limekabidhiwa vifaa vitendea kazi na kampuni mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni kumi sifuri kwa ajili ya kusaidia juhudi za jeshi hilo katika kutekeleza majukumu yake ya kulinda usalama wa wananchi na mali zao akizungumza dar es salaam jana wakati wa hafla ya makabidhiano hayo waziri wa mambo ya ndani ya nchi bwana lawrence masha alisema vifaa hivyo UNK wakati muafaka ambapo jeshi la polisi limekuwa UNK na uhaba wa vitendea kazi ambavyo kwa kiasi kikubwa vimekuwa vikichangia jeshi hilo kushindwa kufanya kazi kwa UNK UNK jeshi la polisi nchini kwa jitihada kubwa wanazofanya katika kuwatambua wadau mbalimbali ambao wamekuwa wakishirikiana na jeshi hili na kuwa karibu na jamii katika utendaji kazi wao alisema bwana masha bwana masha aliwapongeza wadau mbalimbali ambao walichangia vifaa hivyo katika kutekeleza dhana jamii ya polisi na ulinzi shirikishi na kwamba huo ni mfano wa UNK kwa wadau wengine kuweza kushirikiana bega kwa UNK na jeshi hilo ili kuleta maendeleo nchini kampuni zilizotoa msaada huo ni pamoja na kampuni ya UNK UNK iliyotoa viatu pea hamsini sifuri aina ya buti UNK traders ambayo pia imetoa viatu pea ishirini sifuri vya kawaida na UNK ishirini sifuri ya UNK UNK tanzania iliyotoa kofia kumi sifuri sifuri za UNK na UNK internation iliyotoa mipira nane jezi za mpira wa miguu seti moja na pampu moja ya UNK upepo kampuni nyingine ni UNK enterprise iliyotoa UNK UNK mita kumi sifuri sifuri sifuri na vitabu vya kurekodi taarifa za uhalifu arobaini sifuri chama cha riadha tanzania UNK UNK na sare za mbio za riadha UNK traders iliyotoa UNK vitano mikanda ya filimbi hamsini sifuri na UNK hamsini sifuri open UNK waliotoa mahema mawili na kampuni ya mafuta ya big bon iliyotoa pikipiki nne waziri huyo amewahakikishia wadau hao kuwa misaada hiyo UNK bure bali itafanyiwa kazi kama UNK ili kupunguza vitendo UNK na kuimarisha hali ya UNK nchini mgogoro kati ya viongozi wa umoja wa vijana katika wilaya ya arumeru pamoja na wanachama wake umechukua sura mpya baada ya wanachama hao kumkataa katibu wa umoja huo wilaya bwana UNK saidi kwa madai kuwa hawana imani naye sambamba na hilo umoja huo ambao UNK mwishoni mwa wiki iliyopita ulimtaka katibu wa umoja wa vijana mkoa wa arusha bwana athumani shesha kutojihusisha na mgogoro huo kwa madai kuwa ni miongoni kati ya viongozi wanaochangia kuwepo kwa UNK huo kaitka kikao cha wanachama hao cha kutafuta suluhu wanachama hao walimvika madaraka kwa muda katibu wa umoja huo bwana UNK UNK huku wakimtaka katibu aliyekuwepo madarakani kutojihusisha na masuala ya umoja huo chanzo cha mgogoro huo ndani ya uvccm arumeru kinadaiwa kusababishwa na baadhi ya viongozi akiwemo katibu aliyesimamishwa pamoja na viongozi wengine wa ngazi ya mkoa na wanachama kumpitisha bwana UNK ole mendei kuwa kamanda wa vijana arumeru bila kufuata kanuni wanachama hao wakizungumza na majira kwa sharti la kutotajwa majina yao walidai kuwa licha ya UNK katibu huyo lakini pia wametaka katibu wa vijana mkoa bwana shesha kutoingilia masuala ya uvccm arumeru kwa kuwa alichangia kuvunja kanuni za uchaguzi huo UNK kamanda ole mendei na kumpitisha ni kamati ya utekelezaji ya wilaya na viongozi wa mkoa bila ya kutushirikisha sisi wanachama hii si kanuni waliofanya hivyo hatutaki UNK kwenye mpango wa kuleta UNK ndani ya uvccm alisema mmoja wa wanachama hao mwishoni mwa wiki iliyopita kulitokea vurugu kwenye kikao cha wanachama hao baada ya baadhi ya wanachama kudai kukiukwa kwa kanuni katika kumchagua kamanda wa ccm vijana mkoani humo kampuni ya simu za mkononi tigo imekabidhi zawadi kwa washindi watatu wa mchezo wa promosheni ya tigo bingwa iliyokuwa UNK kwa kipindi cha mwezi mmoja uliopita zawadi zilizokuwa UNK katika mchezo huo kwa mshindi wa kwanza ni moja UNK tv nchi ishirini na sita mshindi wa pili ni UNK na mshindi wa tatu ni digital kamera ambapo washindi UNK wote ni wa mkoa wa dar es salaam akizungumza dar es salaam jana wakati UNK washindi zawadi zao ofisa uhusiano wa tigo jackson mbando alisema promotion hiyo imefanywa na tigo kwa ajili ya watanzania wanaotumia mtandao huo ambapo washindi waliofanikiwa kunyakuwa zawadi hizo ni jamal jumbe UNK mohamed na UNK UNK mbando alisema promotion hiyo ya tigo bingwa ilizinduliwa oktoba kumi na mbili mwaka huu na kufikia kilele chake novemba kumi na mbili na washindi hao kupatikana UNK fahari sana kuendesha promosheni hii ya kipekee kwa kuwa kila mteja wetu alipoamua kushiriki alijiwekea lengo la kushinda zawadi anayotaka kutoka kwetu alisema UNK alisema bado kampuni hiyo inaendelea kuwazawadia watanzania UNK mtandao huo kwa kupitia promotion ya UNK inayoendelea na kwamba UNK sasa wamefikisha zaidi ya washindi mia mbili na thebathini walioibuka na zawadi za shilingi milioni moja hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri na thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri wafanyakazi wa kiwanda cha kutengeneza vyombo vya plastiki cha cello jana waligoma ili UNK uongozi kuwarejesha kazini wanzao wawili waliosimamishwa kazi kwa madai ya kuandika barua ya kuomba kuongezewa mshahara na muda wa ziada wafanyakazi waliosimamishwa novemba kumi na nne mwaka huu ni mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wa viwandani na taasisi za fedha tawi la cello bwana UNK UNK na mjumbe wa chama hicho bwana mohamed UNK wakizungumza na majira dar es salaam jana wafanyakazi hao walisema wameamua kufanya hivyo kutokana na uonevu unaofanywa wa na mmiliki wa kiwanda hicho kwa kuwa wamekuwa wakifanya kazi zaidi ya muda wa nyongeza kwa malipo duni tofauti na mikataba ya ajira UNK tumeamua kufanya hivi ili kuonesha umoja wetu kwani bila kufanya hivi hawa watu UNK wanasema eti viongozi waliosimamishwa UNK macho sisi ambao elimu yetu ni ya chini lakini si kweli kwani hata sisi tunaona kuwa UNK alisema mmoja wa UNK hao kwa hasira alisema wamekuwa UNK malipo ya muda wa nyongeza kwa zaidi ya miezi mitano lakini wanapokwenda kudai huambiwa kuwa hawastahili kulipwa kwani wamekuwa wakifanya kazi kwa UNK alisema wamekuwa wakifanya kazi kwa zaidi ya saa tisa kutoka saa mbili sifuri sifuri asubuhi hadi saa moja sifuri sifuri jioni bila kupumzika na zamu nyingine saa moja sifuri sifuri hadi mbili sifuri sifuri usiku hivyo kwa kuwa mwajiri wao ameshindwa kulipa nyongeza ya muda wa ziada walimtaka aongeze zamu nyingine ya tatu jambo ambalo UNK na kuamua kuwasimamisha kazi viongozi hao meneja UNK wa kampuni hiyo bwana UNK UNK alipoulizwa na majira kuhusu madai ya wafanyakazi hao alisema hakuwa na habari hiyo na hakuwa na cha kusema wananchi UNK gari la polisi na reuben kagaruki geita vuguvugu la uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la busanda wilayani geita mkoani mwanza limeanza kupamba moto baada ya polisi wenye bunduki aina ya smg na mabomu ya machozi kuwashusha jukwaani viongozi wa kitaifa wa chadema waliokuwa UNK wananchi katika sakata hilo polisi nao walijikuta UNK na wananchi wenye hasira UNK kumwachia huru kijana mmoja aliyekamatwa na askari hao wakitaka kumpeleka kituoni tukio hilo lilitokea jana mjini hapa katika kijiji cha katoro baada ya msafara wa viongozi wa kitaifa wa chadema kuwasili kijijini hapo na kupokewa na umati wa watu pamoja na msafara ya pikipiki na magari baada ya msafara huo kufika kijijini hapo viongozi wa kitaifa wa UNK wakiongozwa na mkurugenzi wa oganazesheni na mafunzo wa chama hicho bwana benson UNK walianza kupanda jukwaani kusalimia umati mkubwa wa wananchi waliojitokeza kuwapokea wakati viongozi hao UNK na kusalimia wananchi ndipo walifika askari wakiwa ndani ya gari la polisi namba tp elfu moja na mia moja na hamsini na tano aina ya land UNK wakiongozwa na mkuu wa polisi wa wilaya ya geita bwana kimei na kuwataka viongozi hao washuke jukwaani kwa kuwa mkusanyiko huo haukuwa halali hata hivyo vingozi wa chadema waliendelea na ratiba yao ya UNK ndipo askari wa kikosi cha kutuliza ghasia akiwa na bunduki aina ya smg akiongozana na askari kanzu walipoenda moja kwa moja kwenye gari la matangazo la chama hicho lililokuwa likitumiwa kama jukwaa na kuwaamuru wateremke chini na kuondoka hata hivyo hatua hiyo ilipingwa na viongozi wa chadema wakidai hawafanyi mkutano wa hadhara bali wamesimama kusalimiana na wananchi waliojitokeza kuwapokea polisi UNK sisi hapa hatufanyi mkutano bali UNK UNK wananchi kwani chama chetu hakina tofauti na ccm alisema mkurugenzi wa kampeni na uchaguzi wa chadema bwana msafiri UNK hata hivyo polisi hao waliendelea na msimamo wao ambao ulionekana wazi kuwakera wananchi waliokuwa na shauku ya kuwaona viongozi wa kitaifa kufuatia hali hiyo wananchi walianza kuwatia moyo viongozi hao wa chadema wakidai kama waliweza kupambana na vitendo vya aina hiyo katika uchaguzi wa tarime ambapo walimwagwa askari wengi iweje waogope askari wachache baada ya viongozi wa chadema kutii amri ya polisi na kuanza kuwatangazia wananchi UNK ndipo polisi walimkamata kijana mmoja bwana safari UNK na kutaka kuondoka naye baada ya wananchi kuona hivyo walizingira gari la polisi na kuliweka katikati huku wakishinikiza aachiwe huru wakidai kuwa hakuna kosa lolote hata hivyo polisi walikataa kumwachia ndipo wananchi walianza kuvutana nao huku na wao wakijiandaa kufyatua hewani mabomu ya machoni baada ya wasiwasi kuzidi kuongezeka viongozi wa chadema waliwafuata polisi na kuwasihi UNK kijana huyo kwa kuwa siku zote mtutu wa bunduki haujawahi kuibuka na ushindi baada ya majadiliano ya muda mrefu polisi walikubali kumwachia kijana huyo hali iliyowafanya wananchi waanze kushangilia kwa kuimba nyimbo za UNK chama hicho wakati huo huo kamati kuu wa chadema inatarajia kumtangaza mgombea ubunge wa chama hicho katika uchaguzi mdogo wa jimbo la busanda kesho baada ya kutangazwa kwa mgombea huyo timu ya kampeni ambayo tayari imewasili mjini hapa itaenda kupiga kambi mkoani kagera kwa takribani siku tisa ikiendelea na mikutano yake ya operesheni UNK ikisubiri muda wa kampeni UNK kampeni katika jimbo hilo zinatarajia kuanza aprili ishirini na tisa mwaka huu ambapo chadema UNK kampeni zake mei mosi akizungumza na gazeti hili mkurugenzi wa oganazesheni na mafunzo bwana UNK alisema wanachama wawili wa chama hicho wamejitokeza kuwania nafasi hiyo aliwataja wanachama hao ambao jana walipigiwa kura za maoni kuwa ni bwana magesa finias na bwana nasoro bakari alisema taratibu zote za kampeni za chama hicho zimekamilika na kinachosubiriwa sasa ni UNK uchaguzi mdogo wa jimbo la busanda unafanyika kufuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya ccm bwana kabuzi UNK hatma ya wakurugenzi na mameneja sita waliofukuzwa kazi katika wakala wa barabara tanzania itajulikana kesho baada ya kamati iliyoundwa kukamilisha uchunguzi wa majalada yao akizungumza na majira jana kaimu mwenyekiti wa tanroads bwana samwel nyatahe alisema kamati hiyo ilianza kufanya uchunguzi kwa wafanyakazi hao tangu ijumaa iliyopita ili kupata kumbukumbu za utendaji kazi wao kamati inaendelea na uchunguzi wa majalada na kesho itakutana na wafanyakazi hao ili UNK malalamiko yao kabla ya kutoa uamuzi alisema bwana nyatahe hivi karibuni mtendaji mkuu wa tanroad bwana ephraem mrema aliwafukuza kazi wakurugenzi na mameneja wa mikoa kinyume na maagizo ya bodi hali ambayo UNK mkanganyiko ndani ya bodi ya tanroad na wizara ya miundombinu kumekuwa na mgongano kati ya bodi ya tanroads bwana mrema na wizara baada ya mtendaji huyo bwana mrema kuitisha kikao cha wafanyakazi oktoba thebathini mwaka huu na kutangaza kuwafukuza kazi baadhi ya watendaji UNK waliokumbwa na sakata hilo ni mkurugenzi wa matengenezo ya barabara bwana thomas mosso mkurugenzi wa mipango bwana jason rwiza meneja wa tanroads mkoa wa dodoma bwana gerson lwenge meneja mkoa wa morogoro bwana charles madinda meneja mkoa wa ruvuma bwana abraham kissimbo na mhandisi makao makuu tanroads bwana william shilla mchungaji wa kanisa la evangelical assemblies of god tanzania lililopo katika eneo la sakina mkoani arusha bwana UNK UNK anashikiliwa na polisi mkoani arusha baada kutaka kujiua kwa kutumia kamba tukio hilo lilitokea saa chache baada ya mchungaji huyo kufunga ndoa lakini akadai kuwa mchungaji mwenzake aliyepaswa kufungisha ndoa hiyo alichelewa kufika katika shughuli hiyo na kumsababishia usumbufu kwa wageni waalikwa na mke wake huyo UNK wakifunga naye ndoa kaimu kamanda wa polisi mkoani hapa bwana leonard paulo alisema kuwa ndoa hiyo ilipangwa kufanyika jumamosi saa nne sifuri sifuri UNK na kwamba ilichelewa hadi saa saba sifuri sifuri mchana kitu ambacho UNK bwana UNK kamanda alisema kuwa mchungaji aliyepaswa kufungisha ndoa hiyo bwana marko haule alichelewa kufika na alimkuta bwana harusi akiwa hana raha na alikubali UNK ndoa hiyo kwa shingo upande siku iliyofuata mchungaji marko alifika nyumbani kwa bwana harusi ili kumuomba msamaha kwa UNK kinyume na matarajio yake kulitokea kutokuelewana kiasi cha kujibizana kwa maneno yasiyofaa baada ya hapo bwana harusi alichukua kamba ya manila na kutaka kujiua kwa kujitundika chumbani kwake na ndipo raia wema walifika na kumuokoa alipohojiwa na waandishi wa habari ni kwanini alifikia uamuzi wa kutaka UNK maisha yake alisema kuwa UNK na shetani ambaye anapaswa UNK wakati huo huo mwanafunzi wa shule ya msingi ngurdoto aliyefahamika kwa jila la mbonea UNK amefariki dunia mara baada ya kuanguka kutoka katika trekta alilokuwa UNK polisi wanamshikilia mmiliki wa trekta hilo charles mbise baada ya dereva wake aliyefahamika kwa jina la lameck victor kukimbia mbunge wa zamani wa jimbo la morogoro kusini mashariki bwana UNK pawa amewaomba wanachama wa chama hicho kumchagua wakati utakapofika kwa kuwa bunge UNK sana akizungumza na majira mjini morogoro bwana pawa alisema atagombea ubunge katika jimbo hilo na kwamba ana uhakika kuwa wakazi wa jimbo hilo UNK kuanzia kura za maoni kupitia ccm na baadaye katika uchaguzi mkuu kwa kuwa UNK na wanasikitika kukosa kwake kuwawakilisha katika kipindi UNK kufanya kosa si kosa ila kurudia kosa ndio kosa nina uhakika hawatafanya makosa na kwa kweli wamekuwa wananiambia UNK kweli jimboni nami pia UNK sana wananchi wangu wote na pia nataka wajue kuwa bunge nalo UNK zaidi kwani huwa UNK simu na wabunge wenzangu na wengine tunakutana wanatamani sana uwepo wangu na uwakilishi wangu mzuri wa wananchi wangu alisema UNK bwana pawa ambaye pia ni mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm mkoa wa morogoro alisema kabla ya kumaliza kipindi chake cha ubunge mwaka ishirini sifuri tano alikuwa anatoa burudani ya pekee bungeni kwa misemo iliyokuwa UNK mbavu wabunge na watu wengine UNK anachofahamu yeye uongozi ni kupokezana vijiti na kwamba kama awali alikuwepo yeye sasa ni zamu ya bwana sameer lotto aliyeshinda mwaka ishirini sifuri tano na wakati ujao itakuwa zamu yake yeye au mtu mwingine na kwamba suala kubwa linalotakiwa kufanywa na yeyote atakayechaguliwa ni kuwaletea wananchi maendeleo na kuwaondolea kero alisema zipo changamoto nyingi UNK bado UNK UNK wakazi wa jimbo hilo ambazo ni pamoja na kuwaongoza wananchi kuondokana na ujinga umaskini maradhi na kukosa mawasiliano mazuri ya barabara kauli hiyo ya bwana pawa imekuja siku chache baada ya mbunge wa sasa UNK na gazeti hili UNK wanaotaka kugombea ubunge kwa tiketi ya ccm katika jimbo hilo UNK kwa kuwa wataishia aibu kwa kuwa anaamini atashinda kutokana na mapenzi makubwa UNK nayo wananchi na wanachama wa ccm kwake mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya maeneo huru ya biashara daktari UNK meru ameshauri kaulimbiu ya kilimo kwanza UNK na kuitwa kilimo na viwanda vyake kwanza ili kuleta maana halisi UNK daktari meru alikuwa akiwasilisha mada juu ya uhusiano kati ya kilimo na viwanda katika mchakato wa uzalishaji bidhaa na umuhimu wa kuuza bidhaa zilizopita viwandani katika kongamano la siku ya viwanda jijini dar es salaam kwa kuuza malighafi nje ya nchi tunapoteza pesa ajira kwa watu wetu bidhaa utaalamu na mwisho tunakuwa soko la bidhaa za viwandani zilizotengenezwa kutokana na bidhaa zetu wenyewe hivyo ili UNK katika kilimo kwanza tuseme wazi kilimo na viwanda vyake kwanza alisema daktari meru kongamano hilo la siku mbili lilianza jana na UNK leo likiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya viwanda UNK UNK kila novemba ishirini hapa nchini yanakwenda sambamba na maonesho ya viwanda katika viwanja vya karimjee katika kongamano hilo wasomi mbalimbali waliotoa mada zao walikuwa na lugha moja wakitaka mapinduzi ya kilimo yanayotarajiwa kufikiwa kupitia kilimo kwanza yatafanikiwa iwapo yatakwenda sambamba na yale ya viwanda na ushirikiano wa dhati kati ya sekta ya umma na binafsi akifungua kongamano hilo waziri wa viwanda biashara na masoko bibi mary nagu alisema kuwa kuna umuhimu wa kubadili mfumo na muundo wa kiuchumi miongoni mwa nchi za afrika ili kuongeza kasi ya ukuaji wa viwanda viweze kuongeza mchango wake kwa pato la taifa mpaka asilimia ishirini na tano badala ya asilimia kumi na tano bibi nagu alisema kutokana na ukweli kuwa kilimo ni shughuli UNK watanzania wengi kwa kuzalisha chakula malighafi za viwandani na ajira hakuna namna mapinduzi ya sekta hiyo yatafanikiwa bila sekta ya viwanda kuchukua nafasi yake stahiki nilazima tufanye kila linalowezekana kuzifahamu na kukabiliana na changamoto zilizopo ili kuchochea maendeleo ya viwanda afrika alisema bibi nagu mwenyekiti wa baraza la kilimo tanzania bwana salum shamte alisisitiza ushirikiano wa dhati baina ya sekta ya UNK na binafsi katika kufanikisha nguzo kumi za kampeni ya kilimo kwanza mpaka sasa asilimia sitini na tano ya malighafi inayotumika viwandani inatokana na kilimo bila kuwa na mapinduzi ya kilimo hakuna njia ya mkato kufikia maendeleo UNK hivyo tunahitaji kuwa na viwanda vinavyozalisha nyenzo na kusaidia kilimo kama vile mbegu UNK kusindika na kuhifadhi alisema bwana shamte hatimaye kundi la mahujaji lililokuwa UNK katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere kwa takribani siku nne jana UNK baada ya kukamilisha taratibu za usafiri wakizungumza na majira dar es salaam jana mahujaji hao walisema safari yao UNK jana baada ya taasisi ya taibah iliyokuwa na jukumu la kuwasafirisha kuwapatia tiketi mmoja wa maafisa wa taibah bwana ali saleh alisema kuwa kwa sasa mahujaji wote wana uhakika na safari yao baada ya taratibu zote kukamilika aidha aliongeza kuwa taasisi hiyo ililazimika kuwarudishia fedha mahujaji saba kutoka familia mmoja ambao hawakupenda kusafiri kwa ndege tofauti wakihofia kupata usumbufu mbele ya safari mmoja wa mahujaji UNK pesa ambaye hakutaka jina lake liandikwe gazetini aliliambia majira kuwa UNK kuifikisha mahakamani taasisi hiyo baada ya kurejea kutoka makka kutokana na kuwasababishia usumbufu mkubwa wakati huo huo baraza kuu la waislam tanzania linatarajia kuzindua mpango wenye lengo la UNK waislamu wengi zadi hasa wenye kipato cha chini kumudu gharama za kwenda kuhudhuria UNK ya takatifu hijja akizungumza dar es salaam jana katika mkutano na waandishi wa habari uliolenga kutoa taarifa juu ya hali za mahujaji walioko makka na meddina kaimu katibu mkuu bakwata sheikh suleiman lolila alisema mpango huo UNK hivi karibuni baaada ya mufti kurejea kutoka UNK katika mkutano huo kaimu mufti sheikh ismail makusanyo alieleza kuwa hali za mahujai walioko katika miji ya makka na meddina zinaendelea vizuri na kuongeza kuwa hakuna mtu yeyote aliyepata matatizo mpaka sasa akizungumzia suala la mahujaji waliokwama dar alisema bakwata haina mamlaka ya UNK taasisi iliyosajiliwa kisheria kutoa huduma za kusafirisha UNK hata hivyo aliongeza kuwa bakwata iko tayari wakati wowote kutoa msaada kwa taasisi hizo iwapo tu UNK msaada na si kwa kusikia kupitia vyombo vya habari katibu mkuu wa chama cha maendeleo na demokrasia daktari UNK slaa amesema hawezi kuzungumza kuhusu kugombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ishirini moja sifuri kwa sasa kwani bado ni mbunge wa jimbo la karatu kauli hiyo daktari slaa imekuja siku kadhaa baada ya baadhi ya vyombo vya habari UNK kuwa anatarajia kugombea kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao mchakato wa kugombea kiti hicho ndani ya chadema ulianza kuzungumzwa baada ya mwenyekiti wa chama hicho bwana freeman mbowe ambaye aligombea mwaka ishirini sifuri tano kutangaza kugombea ubunge katika jimbo la hai mkoa wa kilimanjaro katika mchakato huo daktari slaa amekuwa akitajwa kuwania nafasi hiyo lakini chama hicho kimekuwa na wakati mgumu kutangaza nafasi hiyo mapema kwa hofu ya kupoteza jimbo la karatu akizungumza na majira kwa njia ya simu jana daktari slaa alisema taarifa hizo ni propaganda na hazina ukweli wowote kwani iwapo atahitaji kufanya hivyo atafuata utaratibu na kanuni zilizowekwa na chama chake ili kumpata mgombea wa kiti hicho yameandikwa mengi sana juu yangu kuhusu kugombea lakini katika habari hizo hakuna hata moja UNK kama nina nia ya kugombea au la jamani UNK chadema UNK mgombea wake kwa kufuata taratibu kanuni na sheria kama katiba inavyosema UNK UNK alisema daktari slaa juzi gazeti moja lilimkariri mwenyekiti wa chadema mkoa wa kilimanjaro phillemon ndesamburo akihutubia wananchi wa karatu wakati wa kufunga kampeni za serikali za mitaa akiwataka wananchi wa jimbo hilo kumchagua mtu ambaye UNK badala ya daktari slaa kwa sababu chama kimeamua kumpa majukumu mengine hata hivyo gazeti hilo lilidai kuwa kauli hiyo ilipingwa na umati wa watu waliohudhuria mkutano huo akiwemo mwenyekiti wa halmashauri ya karatu titus lazaro ambaye amekuwa akitajwa kutaka kumrithi daktari slaa bwana lazaro alisema hadi sasa anaamini hakuna mtu wa kumrithi daktari slaa karatu hivyo ni bora UNK aendelee kuwa mbunge wa jimbo hilo na kuwa kitendo cha kuanza kutafuta mrithi wa daktari slaa sasa kunaweza UNK jimbo hilo ambalo limekuwa likinyemelewa na ccm hata hivyo UNK ulifanywa na majira tangu uchaguzi mkuu wa chama hicho UNK septemba nne mwaka huu kuna mkakati wa chini chini wa kumsimamisha daktari slaa kuwa UNK katika kiti hicho cha urais unatarajiwa kufanyika oktoba mwakani hatua ya kumsimamisha daktari slaa ni moja ya UNK UNK na chama hicho uliowekwa ili kukiimarisha zaidi kwa kuwa anakubalika na hatimaye kushinda katika uchaguzi mkuu wa uchaguzi mwaka ishirini moja tano uchunguzi huo iwapo daktari slaa atagombea urais katika uchaguzi mkuu mwaka ujao ataweza kushawishi wapiga kura wengi UNK kura chama hicho na kupata wabunge wengi watakaoingia bungeni akiwamo mwenyekiti wake bwana freeman mbowe na kuwa na uwezekano wa kuongoza hata kambi ya upinzani ambayo kwa sasa inashikiliwa na chama cha wananchi chanzo chetu ndani ya chama hicho kimeeleza kwamba kwa kutumia wabunge watakaopatikana katika uchaguzi mkuu wa mwakani chama hicho UNK mtandao mkubwa ndani ya nchi na kujenga imani kwa wananchi na kujihakikishia kushika dola mwaka ishirini moja tano UNK wataka kulipwa mbegu zao moto wasambaa matawi yote nchini mwandishi wetu tanga washiriki wa mchezo wa upatu uliokuwa ukiendeshwa na kampuni deci jijini tanga UNK mkutano wa dharura ili kutafuta uwezekana wa kuwafikisha mahakamani viongozi wa kampuni hiyo wakidai hawaoni matumaini ya kulipwa fedha zao wakizungumza katika kikao cha dharura UNK nje ya ofisi za deci mabanda ya papa jijini tanga jana washiriki hao walielezea kuchoshwa na kwenda kila siku katika ofisi hiyo bila kupewa maelezo ya kuridhisha baadhi ya washiriki waliokuwa katika kikao hicho walionekana kuwa na jazba kwa jazba UNK mahali wataifikisha deci mahakamani ili haki iweze kutendeka serikali imeshatoa msimamo kuwa wake kuwa shughuli za deci UNK sheria kwa nini sasa wao deci UNK serikali kuhusu uhalali wake ili kuondoa migongano hii ambayo mwisho wake ni mbaya alisema bibi UNK UNK mkazi wa UNK katika kikao hicho washiriki hao wa deci UNK kikundi maalum kuelekea jijini dar es salaam ili kukutana na vongozi wa juu wa deci ili kujua hatma ya fedha walizopanda aidha baadhi ya washiriki hao walisikika wakiendelea kulalamika juu ya hatma yao na wengine UNK katika eneo la mkutano kutokana na kukata tamaa naye said mwishehe anaripoti kuwa ikiwa leo ni siku ya tano tangu ofisi za kampuni ya deci makao makuu UNK kufuli hali inaonekana kuendelea kuwa tata kutokana na uongozi wa kampuni hiyo kuendelea kukaa kimya bila kueleza kinachoendelea baada ya tamko la waziri mkuu bwana mizengo pinda ambalo alilitoa kupitia vyombo vya habari kuhusu utata wa kampuni hiyo uongozi wa deci uliamua kufunga ofisi zake kwa madai kuwa watafungua baada ya kufanya mazungumzo na serikali uchunguzi uliofanywa na majira jumapili umebaini kuwa washiriki wa deci waliokuwa wakipanda na kuvuna fedha zao wameanza kukata tamaa juu ya hatma yao huku wengine wakionesha kuwa na shauku ya kusikia kauli ya viongozi wao kama watawalipa fedha zao ama UNK baadhi ya wanachama waliokuwa katika makao makuu ya deci mabibo dar es salaam walisema kuwa huu ni wakati wa kuonesha mshikamano hadi UNK kwa kuhakikisha watu UNK fedha zao badala ya kuendelea kusikia kauli za kusubiri kutoka kwa viongozi wao hatuwezi kusubiri bila kujua ni lini muafaka utapatikana wao wafungue watu UNK kuchukua fedha zetu tuchukue haiwezekani kuacha fedha ikae sehemu ambayo inaanza kutia mashaka binafsi nipo tayari wakati wowote kurudishiwa fedha zangu UNK kwa sababu UNK zaidi ya kuingia katika mtego alisema mmoja wa washiriki waliokuwa eneo hilo mbali ya kauli ya mshiriki huyo pia kumekuwepo na mazungumzo ya kila aina kutoka kwa washiriki lakini wengi wao wakionesha wapo tayari kwenda kutoa malalamiko ili waweze kusaidia suala lao na kupatiwa ufumbuzi ikiwa ni pamoja na kurudishiwa fedha walizopanda na wengine wakisema wapo tayari kwenda UNK kudai haki yao kwa mujibu wa taarifa za viongozi hao ambazo walizotoa wakati wameamua kufunga kwa sababu wanataka kufanya mazungumzo na serikali na baada ya hapo watafungua ili kuendelea na huduma kwa bahati mbaya hawakuweza ni lini wataweza kufungua ofisi zao tangazo ambalo lilikuwa UNK katika ofisi za deci kutoka kwa uongozi wa juu wa kampuni hiyo ulieleza kuwa washiriki wasiwe na hofu kwani fedha zao zipo mahali salama pia walisema kuwa wanatarajia kuanzia kesho wanaweza kukutana na viongozi wa serikali na hasa wanatarajia kuonana na bwana pinda ili kuweza kufanya mazungumzo ya kina juu ya mwenendo mzima wa shughuli za deci kwa jana jioni eneo hilo la deci hali ilikuwa shwari kutokana na kukosa washiriki ambao wamekuwa wakishinda hapo kusubiri tamko la viongozi wao baadhi ya washiriki walifika eneo hilo asubuhi ambapo kila walipofika walikaa na baada ya kuona kimya walikuwa wakiondoka baada ya kujadiliana wenyewe kwa wenyewe wakati hali ikiwa hivyo katika makao makuu ya deci jijini dar es salaam mikoani washiriki hao wameendelea UNK ili hatma ya fedha zao UNK wakati huo huo thompson mpanji anaripoti kutoka mbeya kuwa kufuatia ofisi za kampuni ya deci kufungwa nchi nzima baadhi ya washiriki ambao ni wafanyakazi katika serikali na mashirika ya watu binafsi wenye dhamana ya kutunza fedha UNK kukumbwa na matatizo makubwa kazini kutokana na kile walichodai kujiingiza katika mchezo wa kuvuna na kupanda wakizungumza na majira jumapili baada ya kutembelea katika ofisi za kampuni hiyo tawi la mbeya zilizoko maeneo ya forest ya zamani jijini mbeya baadhi ya washiriki hao walisema kuwa kuna baadhi ya washiriki wenzao ambao ni wahusika na utunzaji wa fedha katika maeneo yao ya kazi walitumia nafasi hiyo kwa kuchukua fedha za ofisi na kwenda kupanda na kujipatia faida kubwa baada ya kuvuna kibaya zaidi waliendelea kuingiwa na tamaa na kuchukua fedha nyingi za ofisi ili waendelee kuvuna na sasa ofisi zimefungwa huduma hiyo haieleweki UNK lini kwa hiyo pesa UNK kwa ajili ya shughuli za kiofisi hakuna kwa hiyo wataishia jela alisema mmoja wa washiriki UNK kwa jina moja la UNK mbunge wa UNK na rais bwana kingunge ngombale mwiru amewataka wanachama wa chama cha mapinduzi waliopewa za ukamanda wa vijana wa mikoa na wilaya nchini UNK kuwa wamepewa tiketi ya kugombea ubunge kupitia chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao bwana kingunge ametoa ufafanuzi huo siku chache baada ya UNK makamanda wa vijana mkoani mbeya na kitendo hicho kudaiwa ni hatua ya UNK vijana hao kuwania ubunge na kuwanggoa wabunge wa sasa wanaotajwa machachari katika vita ya ufisadi UNK vijana hao mwezi mmoja uliopita bwana kingunge anadaiwa kutamka kuwa kuwa kipindi hiki ni cha vijana na kuwa utafiti unaonyesha kuwa katika bunge lijalo kutakuwa na mabadiliko makubwa kwani asilimia arobaini ya wabunge watakaoingia watakuwa ni sura mpya kauli hiyo iliyobeba baadhi ya magazeti ilitoa UNK tofauti kwa vijana wa umoja huo hapa nchini kusababisha wengi wao kujipanga na wengine kujitokeza kuwania nafasi za kugombea ubunge katika majimbo mbalimbali lakini ghafla jana akizungumza wakati UNK kamanda wa vijana wa ccm mkoa wa morogoro bwana mustapha mkulo makamanda na manaibu wao wa wilaya za mkoa huo bwana kingunge alisema dhana hiyo ya UNK ukamanda na ubunge ni potofu na UNK miongoni mwa wanachama wa chama hicho juzi tu nilikuwa mbeya UNK makamanda kama hawa baada ya kutoka nikaona kwenye vyombo vya habari kingunge UNK njia ya ubunge sasa UNK nani UNK pale anawania UNK UNK hakuna hata mmoja UNK naye sasa nanyi tambueni hii si tiketi ya ubunge fanyeni kazi UNK na hizi nafasi za ubunge UNK bado wanastahili kuwa nazo hadi itakapofika wakati alisema aliyewahi kuwa mshauri wa rais wa masuala ya kisiasa bwana kingunge ambaye pia ni naibu kamanda mkuu wa vijana taifa alisema kamwe si malengo ya chama hicho kuwapatia nyadhifa hizo makamanda wake kwa lengo la kuwapa tiketi ya kuwania ubunge kama inavyotafsiriwa na baadhi ya makamanda na wanaccm bali lengo lake ni kuwapatia nafasi za kuwashauri na kuwaongoza vijana ili kufikia malengo ya jumuiya na chama hicho kwa mujibu wa taarifa za awali baadhi ya majimbo UNK na makamanda waliosimikwa na bwana kingunge mkoani mbeya ni lile kyela la daktari UNK mwakyembe na rungwe magharibi ambalo kwa sasa liko chini ya profesa mark mwandosya makada wa ccm waliosimikwa kuwa makamanda wa vijana wilaya za mkoa wa mbeya ni pamoja na laurent mwakajumulo ambaye anakuwa kamanda wa vijana wa mkoa wa mbeya kuchukua nafasi ya mwenyekiti wa ccm mkoa wa mbeya nawab mullah aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo na naibu wake alikuwa ni profesa mwandosya profesa mwandosya sasa UNK cheo kwa kuchaguliwa kuwa kamanda wa vijana wilaya ya rungwe uteuzi ambao umefanywa na kamati ya utekelezaji ya uvccm katika kila wilaya na kisha kuidhinishwa na kamati ya utekelezaji ya mkoa mwakajumulo ambaye ni mtumishi wa benki kuu tanzania tawi la mbeya alishatangaza kugombea ubunge mwakani katika jimbo la rungwe magharibi kupambana na profesa mwandosya makamanda wengine wa vijana wa wilaya waliosimikwa ni philemon msomba anayekuwa kamanda wa wilaya ya chunya msomba UNK nia ya kutaka kugombea ubunge katika jimbo la songwe kuchuana na mbunge wake wa sasa UNK UNK kada mwingine ni elias mwakalinga ambaye anakuwa kamanda wa vijana wilaya ya kyela ambaye haikuweza kufahamika kama ana undugu na george mwakalinga anayeishi nje ya nchi ambaye pia anataka kugombea ubunge jimbo la kyela kupambana na daktari harrison mwakyembe katika hafla hiyo ya jana bwana kingunge aliwaeleza vijana hao kuwa njia rahisi ya kufuatilia maendeleo ya vijana wa chama hicho kitaaluma katika vyuo vikuu sekondari na shule za msingi ili kuwaonesha kuwa wanatambua uwepo wao na ushiriki wao katika shughuli za kimaendeleo badala ya kuwaacha hadi pale wenyewe wanapopata mwamko wa kuifuata jumuiya na chama kwa ujumla awali katika taarifa yake mwenyekiti wa uvccm mkoa wa morogoro bwana jonas nkya alimweleza bwana kingunge kuwa jumuiya hiyo mkoa wa morogoro imekuwa ikiimarika siku hadi siku na hasa katika masuala ya uongozi kiuchumi na kijamii wananchi wanaojihusisha na shughuli za kilimo wilaya ya ilala wametakiwa kutumia mpango wa serikali wa kilimo kwanza kuboresha kilimo uvuvi na ufugaji ili kuongeza uzalishaji wa mazao na kuondokana na hali duni ya maisha UNK kauli hiyo ilitolewa dar es salaam jana na mkuu wa wilaya ya ilala bwana evans balama katika semina ya mafunzo elekezi kuhusu kilimo kwanza kwa wananchi wa kata ya msongola ambao wanajihusisha na kilimo cha zao la korosho na minazi bwana balama alisema wananchi wa kata hiyo wanatakiwa kutumia zana za kisasa na dawa zinazohitaji kusaidia kuzalisha mazao bora ili kupata soko la uhakika na kukidhi mahitaji yao wananchi wanaweza kuondokana na umaskini kama watatumia fursa mbalimbali ambazo serikali imejiwekea katika kuendeleza kilimo kuwa cha kisasa na kuzitumia pia benki kukopa fedha kuendeleza kilimo alisema bwana balama alisema kampeni ya kilimo kwanza unalenga kuingiza nchi katika kilimo ufugaji na uvuvi wa kisasa ili kutosheleza mahitaji ya nchi na kuachana na tabia ya kutegemea bidhaa kutoka nje ya nchi huku taifa likiwa UNK maliasili nyingi ofisa kilimo na mifugo wa manispaa ya ilala daktari assenga severine alisema lengo la kilimo kwanza ni kuingiza wananchi katika kilimo uvuvi na ufugaji wa kisasa ili kuongeza uzalishaji unaokidhi mahitaji na kuwaondolea hali duni ya maisha alisema pia kuanzisha na kuendeleza viwanda katika sekta ya kilimo ili kuongea thamani ya mazao na kupanua sekta ya uvuvi na mifugo na gladness mboma wizara ya mawasiliano sayansi na teknolojia inatarajia kujenga chuo cha nelson mandela katika eneo la karangai mkoani arusha kitakachokuwa kikitoa mafunzo katika kiwango cha elimu ya juu ya sayansi mwenyekiti wa kamati ya bunge ya miundombinu bwana godfey zambi aliyasema hayo mwishoni mwa wiki mara baada ya wizara ya mawasiliano sayansi na teknolojia kuwasilisha taarifa kuhusu ujenzi wa chuo hicho bwana zambi alisema kuwa pamoja na chuo hicho kutoa mafunzo ya sayansi kwa kiwango cha elimu ya juu pia UNK shahada ya uzamili na uzamivu wizara UNK kuwa kikosi kazi UNK na ujenzi wa kituo hicho maendeleo yake ni mazuri na ujenzi unatarajia kuanza mwaka ishirini sifuri tisa kumi alisema alisema februari kumi na sita mwaka huu kamati yake UNK eneo la karangai ambapo kituo hicho kitajengwa walihoji mambo mbalimbali na kuitaka wizara iwasilishe taarifa katika kikao chao wametuletea taarifa nzuri kuhusiana na chuo hicho na jinsi walivyojipanga na wametuambia kuwa kuna mradi mwingine unaoitwa sayansi UNK sector utakuwa unafanya tafiti mbalimbali zitakazosaidia nchi alisema alisema kuwa kutokana na taarifa hiyo kuwavutia wabunge watahakikisha kwamba UNK serikali kusaidia ikiwa ni pamoja na kutafuta wafadhili mbalimbali wa UNK rais mstaafu wa awamu ya tatu bwana benjamin mkapa leo atakutana na wadau wa ukimwi jijini dar es salam na kuzungumzia suala la uongozi kwenye mazingira yenye rasilimali hafifu pamoja na mambo mengine pia bwana mkapa UNK vyeti wafanyakazi waliomaliza mkataba wa miaka mitatu wa taasisi ya benjamin mkapa mgeni rasmi katika mkutano huo UNK na wajumbe zaidi ya ishirini sifuri atakuwa makamu wa rais daktari ali mohamed shein ambaye atazindua kitivo cha wataalamu wa masuala ya ukimwi nchini akizungumza na waandishi wa habari jijini jana mkurugenzi wa UNK bibi UNK senkoro alisema kuwa mkutano huo utahusisha majadiliano ya kitaalamu yenye lengo la kuboresha utoaji huduma na kutafuta mbinu za kuongeza watumishi wa masuala ya ukimwi pia waziri wa afya na ustawi wa jamii profesa david mwakyusa atatoa mada na kutoa takwimu mpya za maambukizi ya virusi vya ukimwi nchini wataalamu wapya wa afya watapata ujuzi kutoka kwa wenye UNK wa kutoa huduma vijijini ili kusaidia sekta ya afya kupambana na maambukizi ya vvu aliongeza ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kutesa jiji la dar es salaam kutokana na idadi ya wagonjwa wapya kuendelea kuripotiwa katika vituo vya afya na hospitali za wilaya kutokana na hali hiyo manispaa za jiji zimeanza ukaguzi wa mazingira na maeneo ya biashara ikiwa ni pamoja na kutoa elimu ya afya ili kupunguza kuenea kwa ugonjwa huo taarifa hiyo iliyotolewa dar es salaam jana na kaimu mganga mkuu wa mkoa bibi hawa kawawa ilisema kuwa kumekuwepo na ongezeko la wagonjwa kila siku katika manispaa zote kumekuwepo na ongezeko la wagonjwa kila siku katika manispaa za wilaya zote ambapo kwa sasa kuna wagonjwa wapya kumi na saba ambao wametoka maeneo mbalimbali ya jiji alisema bibi kawawa bibi kawawa alisema hakuna kifo hata kimoja na manispaa zote zinafanya ukaguzi wa usafi katika maeneo mbalimbali ya jiji na kuwataka wananchi wazingatie usafi kama vile uondoaji wa taka UNK vyoo UNK maji ya kunywa serikali UNK siku ya taifa ya kupanda miti kutoka januari mosi iliyokuwa UNK kila mwaka kuwa aprili mosi naibu waziri wa maliasili na utalii bwana ezekiel maige alisema dar es salaam jana kuwa uamuzi huo umetokana na waraka namba moja wa waziri mkuu bwana mizengo pinda wa mwaka ishirini sifuri tisa kubadilisha siku ya taifa ya kupanda miti nchini alisema kwa mujibu wa waraka huo kuanzia mwaka huu maadhimisho hayo yatakuwa yanafanyika kila aprili mosi lakini kila mkoa utaendelea kujipangia siku ya kupanda miti kutokana na majira ya mvua UNK kubadilishwa kwa siku ya taifa ya kupanda miti mapendekezo ya rais jakaya kikwete UNK maadhimisho mwaka jana kuwa UNK kipindi ambacho sehemu nyingi nchini zitakuwa zimepata mvua naibu waziri maige alisema waraka huo umeagiza kuwa kazi ya kupanda miti UNK na wadau wote na kuagiza wizara mikoa wilaya halmashauri za jiji manispaa za miji midogo tarafa kata vijiji na mitaa kuandaa programu za utekelezaji mapema iwezekanavyo waraka huo umemtaka kila kiongozi ahakikishe upandaji miti unatekelezwa na kusimamiwa ipasavyo kwenye eneo lake na kiongozi atapimwa kwa juhudi zake za kuhamasisha kutekeleza na kusimamia wananchi kupanda miti alisema naibu waziri maige alisema maofisa misitu walioko mijini mikoani wilayani na vijijini wametakiwa kuwa mstari wa mbele kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu aina ya mbegu na miche inayofaa katika eneo husika na kushauri utayarishaji vitalu vya miche kwa wakati alisema waziri mkuu pinda katika waraka huo pia ametahadharisha kuwa kupanda miti pekee UNK kukabiliana na jangwa kama hatua za makusudi za kutunza na kulinda uoto wa asili UNK alisema waziri mkuu pinda pia alisema halmashauri zote zihakikishe UNK miti kando kando ya barabara zote nchini bwana maige alisema mbali ya wizara yake kukabiliwa na uchache wa maofisa misitu lakini itasimamia kikamilifu uharibifu wa misitu unaofanywa na baadhi ya wananchi kukabiliana na tishio la jangwa wawekezaji kutoka brazil wanatarajia kuwasili nchini mwaka ishirini moja moja kuwekeza katika uchimbaji wa gesi maeneo ya kilwa mkoani lindi balozi wa brazil nchini bwana UNK luz aliyasema hayo jana dar es salaam wakati akizungumza na mwenyekiti mtendaji wa ipp bwana reginald mengi bwana luz alisema kuwa tayari wawekezaji hao UNK dola milioni moja kwa ajili ya kuchimba gesi katika maeneo hayo UNK ofisi katika nchi mbalimbali za afrika ikiwemo tanzania kwa ajili ya kuangalia jinsi gani UNK hasa katika masuala ya gesi na kilimo cha nafaka zinatumika kuzalisha mafuta ya kuendeshea mitambo mitambo na magari hata hivyo alisema kuwa wawekezaji wengi wa brazil wanaogopa kuwekeza nje ya nchi yao kwa sababu ya soko kubwa walilonalo kwao lakini serikali nchini humo imekwishaanza kuwashauri waende kuwekeza nje UNK waziri wa viwanda na biashara aje tanzania ili aweze kukutana na kuongea na baadhi ya wizara kuangalia maeneo ambayo tunaweza kusaidia alisema mtoto benson UNK mkazi wa kijiji cha UNK kata ya mashati wilayani rombo mkoani kilimanjaro ameuawa kwa kuchinjwa kisha muuaji akanywa damu yake mtuhumiwa wa mauaji hayo ni agrey joseph mkazi wa kijiji hicho ambaye sasa anatarajiwa kupimwa akili ili kuandaa taratibu za kumfikisha katika vyombo vya sheria kwa tuhuma za mauaji kamanda wa polisi mkoani kilimanjaro bwana lucas ng hoboko alisema tukio hilo lilitokea juzi saa tano ishirini asubuhi kijijini humo akizungumza na majira mmoja wa wananchi aliyeshuhudia tukio hilo bibi asteria tesha alisema tukio hilo si la kawaida na kwamba wananchi walimpiga mtuhumiwa na kumjeruhi vibaya alisema siku ya tukio mtuhumiwa alikwenda nyumbani kwa wazazi wa mtoto huyo na kuwakuta watoto watatu akiwamo marehemu na kumkamata kisha kuanza kumchinja kama UNK mtuhumiwa alikuwa ameshika panga na alikwenda nyumbani kwa wazazi wa mtoto wakati hawapo na kumlaza chini mtoto na kumchinja kikatili kisha kuanza kunyonya damu alisema alisema wakati wa tukio walisikia kelele za watoto lakini UNK walikwenda kuangalia ndipo UNK mtuhumiwa kamshikilia mmoja wa watoto huku akimnyonya damu baada ya UNK UNK mtuhumiwa amepiga magoti huku kamshikilia marehemu akimnyonya damu tulipiga kelele kuomba msaada kwa wanaume ili UNK alisema mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya huruma wilayani rombo ukisubiri taratibu za mazishi huku mtuhumiwa akitarajiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote matukio ya mauaji ya kikatili yameendelea kukithiri mkoani humo ambapo hivi karibuni mtu mmoja UNK mushi mkazi wa kibosho kindi wilayani moshi vijijini alimuua UNK mushi na kisha kula utumbo na UNK hata hivyo katika tukio hilo lililotokea novemba mosi mwaka huu mtuhumiwa huyo UNK na polisi alidaiwa kuwa mgonjwa wa akili mgogoro uliopo kati ya serikali na kampuni binafsi ya umeme ni kikwazo kwa serikali kubadili matumizi ya mitambo hiyo kutumia gesi katika kufua umeme badala ya mafuta kama ilivyo sasa hali hiyo inamaanisha kuwa serikali haitaweza kuepuka gharama kubwa za kuzalisha umeme kwa mafuta mazito wakati matumizi ya gesi yangeweza kupunguza gharama kwa kiasi kikubwa lakini ufanisi wa kuzalisha UNK UNK hayo yalisemwa jana dar es salaam na kamishna wa wizara ya nishati na madini bwana UNK mrindoko alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwa amewasilisha mada juu ya mstakabali wa hali ya umeme nchini katika kongamano la maadhimisho ya siku ya viwanda katika ukumbi wa karimjee kwa kweli kama mnavyojua umeme unaozalishwa kwa kutumia gesi unatumia gharama kidogo ukilinganisha na ule unaotumia mafuta kama iptl sasa UNK kwa nini UNK ili kupata hiyo nafuu nitawaambia kuwa ni kwa sababu ya mgogoro uliopo baina ya serikali na iptl umesababisha kushindwa kubadili mitambo ile itumie gesi mnajua kuwa tumeomba kutumia mitambo ile kuzalisha umeme kwa sasa lakini hatuwezi kwenda kwa undani zaidi mpaka kubadili matumizi yake pia kitu kingine UNK kutumia gesi ni mfumo wa kusafirisha gesi kuileta bado sio mzuri hivyo tumeamua UNK tatizo la miundombinu hiyo kwanza alisema bwana UNK kauli hiyo ya bwana mrindoko imekuja wakati jana kampuni hiyo imeanza kuzalisha megawati arobaini baada ya kuwasha mashine ya nne kati ya kumi zinazofanyiwa kazi ili kuzalisha megawati kumi sifuri iwapo mitambo hiyo itawashwa yote itakuwa inatumia lita hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri za mafuta kila siku sawa na shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri kwa siku kama mafuta hayo yanauzwa kwa shilingi moja ishirini sifuri kwa lita jambo ambalo linaufanya umeme huo kuzalishwa kwa gharama kubwa akizungumzia suala la mtambo mpya wa tegeta unaotarajiwa kuingiza megawati arobaini na tano kwa kutumia gesi asilia bwana mrindoko alisema kwa sasa wanafanya UNK lakini ukiondoa masuala juu ya matengenezo na utaalamu yanayoweza kujitokeza tunategemea kuwasha mtambo ule mwisho wa mwezi huu au mapema mwanzoni makadirio hayo ya muda wa kukamilika kwa mtambo huo yanazidi kuwakanganya watanzania hasa wakikumbuka tamko la awali la waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja UNK UNK huo na ule wa iptl UNK novemba mosi jambo ambalo UNK katika kuonesha kuwa suala la umeme wa uhakika na wenye gharama nafuu ni la muhimu kwa nchi inayotaka kukuza uchumi waziri wa viwanda biashara na masoko bibi mary nagu UNK suala hilo naomba kusisitiza hili na kamishna akiwepo hapa suala la umeme wa uhakika na wenye gharama nafuu ni kilio cha walio wengi nchini kutokuwa na umeme wa uhakika na gharama kuwa juu ni moja ya sababu za kuongeza gharama za uzalishaji alisema bibi nagu pia aliongezea kuwa suala la kilimo kwanza na kusema kuwa linapaswa kufanyiwa kazi na watu wote na sio suala la watu wachache suala la masoko kwa bidhaa za wakulima ni muhimu sana katika kilimo kwanza kutakuwa hakuna haja ya mkulima kuzalisha vitu kwa wingi kama anajua kuwa baada ya matumizi yake UNK UNK UNK badala ya kuuza ndiyo maana tunakutana hapa ili UNK katika kuboresha sera mikakati au UNK sera mbalimbali kumsaidia mkulima alisema bibi nagu kongamano juu ya mchango wa sekta binafsi katika kampeni ya kilimo kwanza lilifanyika kwa siku mbili tangu jumatatu siku ya jana mada zilizokuwa UNK kwa hamu ni mikakati ya serikali juu ya hali ya umeme nchini athari za mgogoro wa uchumi kwa tanzania na mfuko wa kusisimua hali ya uchumi nchini na suala la mswada wa sheria ya ajira serikali imewataka walimu wa shule za msingi waliojiendeleza na kuhitimu katika ngazi za stashahada shahada na shahada za uzamili kujiorodhesha kwa makatibu tawala wa mikoa wakurugenzi na wakurugenzi watendaji wa halmashauri zote nchini ili UNK kufundisha katika shule za sekondari kuanzia januari mwakani hatua hiyo ya serikali imekuja baada ya kubaini kuwepo kwa walimu waliojiendeleza na kuhitimu katika ngazi hizo lakini wanaendelea kufundisha katika shule za msingi jambo ambalo ni kinyume na maendeleo ya mtumishi akizungumza na waandishi wa habari ikulu jana katibu mkuu kiongozi bwana phillemon luhanjo alisema tayari ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa tanzania bara imetangaza orodha ya walimu kwa kila halmashauri ikionesha viwango vya elimu kwa kila walimu hadi novemba thebathini ambapo mwezi ujao walimu hao UNK UNK na kupangiwa vituo vipya vya kazi madhumuni ya taarifa hii ni kusisitiza na kuwasihi walimu wote ambao UNK hadi kufikia katika ngazi ya stashahada na hata shahada na uzamili kwenda kwa maofisa elimu UNK elimu ya sekondari UNK kutoa vyeti vyao kwa UNK hao alisema bwana UNK alisema lengo la serikali ni kupunguza tatizo la uhaba wa walimu wa shule za sekondari kwa kuwatumia walimu hao waliojiendeleza na kupata sifa na UNK zinazotakiwa alisema uamuzi huo haulengi kusababisha upungufu wa walimu katika shule za msingi bali unalenga kuwapangia walimu hao kufundisha kulingana na viwango vya elimu yao kutokana na sera ya elimu alisema kutokana na taifa kuwa na upungufu wa shule zilizojengwa na kwa nguvu ya wananchi serikali inaendelea kuwapandisha madaraja walimu wote wa shule za msingi UNK kwa sasa ili kufikia ngazi ya kufundisha katika shule za sekondari bwana luhanjo alisema tayari mkoa wa dar es salaam UNK majina ya walimu waliohitimu katika ngazi hizo katika wilaya zake tatu kwa upande wa wilaya ya ilala idadi wahitimu ikiwa katika mabano shahada stashahada mia moja na kumi na tano katika wilaya ya temeke shahada stashahada na kinondoni shahada na UNK alisema kutokana na takwimu hizo walimu hamsini na saba wa shule za msingi wamepata shahada kutoka vyuo vikuu vinavyotambulika walimu ishirini na saba wanaendelea na masomo katika vyuo hivyo walimu mia nne na themanini na tano wamejiandikisha kupata stashahada ya elimu na walimu mia moja na thebathini na tano wanaendelea na masomo hivyo kufikisha idadi ya walimu mia tano na arobaini na mbili kutoka katika manispaa tatu za jiji la dar es salaam ambao wanastahili kufundisha sekondari bwana luhanjo alisema shughuli hiyo itaenda sanjari na kufidia pengo la walimu katika shule za msingi UNK walimu hao kwa UNK na shule zenye walimu wengi ili kuwapeleka katika shule zilizo na upungufu jambo ambalo UNK na kuajiri walimu wengine na thomas dominick mkuu wa mpya wa wilaya ya ilala bwana evance balama amewataka watendaji wanaofanya kazi kiujanja ujanja na UNK ipasavyo kwa wananchi wilayani humo kujiondoa serikalini UNK kazi zingine hayo yalisemwa dar es salaam mwishoni mwa wiki na mkuu huyo wa wilaya wakati UNK kwa viongozi mbalimbali wa manispaa hiyo wakiwemo madiwani wenyeviti wa mitaa watendaji wa mitaa na baadhi ya viongozi wa ccm bwana balama alisema kuwa viongozi wote wanapaswa kuwajibika mbele ya wananchi na kuwaheshimu pia kuwatendea haki muda wote ili kudhihirisha kuwa serikali yao UNK pia aliwataka viongozi hao kushirikiana na wananchi wao katika kutekeleza usafi wa mazingira ili kuiweka manispaa hiyo katika hali ya usafi zaidi inatubidi tushirikiane na wananchi wetu sio kuwaachia UNK mambo kinyume na taratibu za usafi wa mazingira kama UNK UNK tunaweza kukumbwa na magonjwa ya mlipuko alionya bwana balama aliwatahadharisha mabwana na mabibi afya wa manispaa hiyo kufanya kazi zao kikamilifu bila UNK wananchi tujipange vizuri kutekeleza kanuni za usafi ambazo zitasaidia kuiweka manispaa yetu katika hali ya usafi zaidi nitashangaa kuona mkurugenzi UNK hatua watendaji wabovu ambao hawatekelezi wajibu wao alisema aliongeza kuwa usafi ni jambo la kawaida na UNK UNK na viongozi wa ngazi za juu kuhusu suala hilo ndipo UNK wananchi wao mahakama ya hakimu mkazi kisutu imewaachia huru waliokuwa wabunge wa chama cha wananchi kutoka pemba na mashehe waliokuwa wakikabiliwa na tuhuma za kula njama kuwasilisha nyaraka za uongo na kughushi vyeti vya ndoa kwa nia kujipatia visa za kusafiria lakini furaha ya washitakiwa hao ilitumbukia nyongo ghafla baada ya polisi waliokuwa mahakamani hapo kuwatia mbaroni upya na kuwapeleka kituo kikuu cha polisi washitakiwa walioachiwa huru na kukamatwa tena ni khamis salehe na khalifa mohamed ambao walikuwa wabunge kutoka pemba kwa upande wa mashehe ni abdul wakati khamis UNK na abdallah UNK pamoja na aliyekuwa mfanyakazi wa idara ya uhamiaji augustino haule kesi hiyo ya mwaka ishirini sifuri sita iliondolewa jana mahakamani hapo na kuachiwa huru kwa washitakiwa hao mbele ya hakimu mkazi bibi UNK wambura baada ya upande wa mashtaka kuieleza mahakama kuwa hawana nia tena ya kuendelea na kesi hiyo hivyo kuomba kuachiwa huru washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo tangu mwaka ishirini sifuri sita ambapo walikuwa wakikabiliwa na mashtaka ishirini na moja yakiwemo ya kula njama kuwasilisha hati za uongo kughushi vyeti vya ndoa kwa nia ya kujipatia visa za kusafiria nchini ujerumani kesi hiyo ilitakiwa kuwa na mashahidi ishirini wa upande wa mashitaka lakini mpaka kesi hiyo UNK jana mahakamani hapo ni shahidi mmoja wa upande huo ndio alikuwa ametoa ushahidi dhidi ya washitakiwa hao kitendo cha kukamatwa tena kwa washitakiwa hao kiliwafanya wafuasi wao kuanza kulalamika nje ya mahakama huku wakidai kuwa UNK haki kwa kitendo hicho kwa kuwa tayari mahakama UNK huru mtanzania mmoja ambaye ni miongoni mwa mahujaji zaidi ya moja hamsini sifuri UNK nchini saudi arabia kwa ajili ya kutekeleza ibada ya hijja amekamatwa kwenye uwanja wa ndege wa madina na kutozwa fani ya UNK thebathini sifuri baada ya kukutwa na vitabu UNK kuhusika na mambo ya kishirikina taarifa kutoka nchini saudi arabia kama UNK na mwandishi wetu bwana juma UNK UNK kuwa mtanzania huyo amepigwa faini hiyo ambayo ni sawa na dola ishirini sifuri za marekani baada ya kuonekana ni mgeni lakini kwa nchi ya saudia arabia UNK kufungwa kifungo cha mwaka mmoja jela au miezi sita imedaiwa kuwa vitabu hivyo UNK kuwa ni vya kishirikina ni vile vya kuunga na vinavyotumiwa na watu ambao huitumia kuran vibaya na ambavyo huleta athari kwa jamii ikiwa ni pamoja na kumfanya mtu kupoteza akili wakati huo huo mahujaji moja mia tano na tisini kutoka tanzania tayari UNK katika uwanja wa ndege wa madina na gida ambapo sasa njia za kuelekea katika mji mtakatifu zimefungwa imeelezwa kuwa kutokana na hali hiyo mahujaji wote sasa UNK uwanja wa ndege wa gida watalazimika kwenda moja kwa moja makka kusubiri kutekeleza rasmi ibada ya UNK akizungumza na gazeti hili jana katibu mkuu wa baraza la waislamu tanzania suleiman lolila alisema bakwata haina taarifa zozote kuhusiana na tukio hilo mbona hizo taarifa sisi UNK alihoji katibu huyo na kuongeza ndiyo kwanza nasikia kutoka kwako sielewi kitu chochote kuhusiana na suala hilo alisema katika hatua nyingine rehema mwakasese anaripoti kuwa hofu ya kulipuka kwa ugonjwa wa mafua ya nguruwe kwa mahujaji wanaoshiriki ibada ya hijja UNK na mambo kuendelea kuwa shwari awali kulikuwa na hofu kuwa huenda mlipuko wa ugonjwa huo UNK nchini humo kutokana na idadi kubwa ya mahujai kutoka nchi mbalimbali duniani ambao wanashiriki ibada hiyo akizungumza na majira kwa njia ya simu kutoka madina saudi arabia kiongozi wa kundi la UNK sheikh abdallah amani alisema hadi sasa hakuna taarifa zozote za matatizo ya kiafya kwa mahujaji wa tanzania wala hofu ya kutokea kwa ugonjwa huo sheikh abdallah alisema mahujaji wote wa tanzania wanaendelea vyema na maandalizi ya ibada hiyo ambapo kesho wanatarajia kuondoka kwenye mji wa madina kwenda makka ili kuanza rasmi ibada kwa upande wake sheikh muharami juma doga amewaomba watanzania kuwaombea mahujaji wote waliopo nchini humo ili waweze kumaliza vyema ibada zao na hatimaye warejee nyumbani wakiwa salama mpango wa rais jakaya kikwete kuwa endapo atachaguliwa tena kuwa rais mwakani UNK mawaziri vijana UNK na kuelezwa kuwa analenga UNK karibu ili wamuunge mkono katika uchaguzi wa mwaka ishirini moja sifuri hiyo ni kampeni kwenye siasa tunasema anawakonyeza vijana ili wamuunge mkono katika uchaguzi mkuu lakini ukweli ni kwamba rais kikwete UNK hawezi kusema kitu UNK mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba alisema rais kikwete anafahamu kuwa katika uchaguzi ujao anahitaji kuungwa mkono na vijana ndiyo maana UNK mbinu ya kuwavuta karibu kwa ahadi ya kuwapa uongozi akitoa mfano jinsi rais kikwete UNK ahadi zake profesa lipumba alisema mwaka ishirini sifuri tano aliahidi ajira za vijana na kuongeza mapambano dhidi ya ufisadi mambo ambayo alidai ameshindwa kuyatekeleza anawakonyeza vijana ili wawe na matumaini kuwa watapata uongozi alitakiwa kuonesha ni jinsi gani UNK mapema kushika nafasi hizo alisema kwa upande wake mwenyekiti wa tpp maendeleo bwana peter mziray alisema ahadi ya rais kikwete ya kuwapatia vijana uongozi hawezi kuitekeleza kwa kuwa na wenyewe UNK ufisadi wakiwa ndani ya ccm hao vijana UNK wapi ndani ya chama hicho vijana wanajifunza ufisadi wengine wana digrii zenye matatizo sasa hao UNK madaraka UNK alihoji bwana mziray alisema kama ana mpango huo basi hata yeye UNK nafasi yake ya urais UNK vijana kwani amekuwa ndani ya serikali tangu awamu ya kwanza tangu awamu ya kwanza alikuwa kiongozi ikafuata awamu ya pili na ya tatu vipindi vyote akawa waziri leo hii ni rais ana jipya gani aliuliza bwana mziray bwana mziray alisema anachoweza kufanya rais kikwete ni kuongeza idadi ya wanawake katika safu ya uongozi ili kuleta UNK kwa upande wake mwenyekiti wa tanzania labour party bwana augustino mrema alisema kauli ya rais kikwete ni ya kuhamasisha vijana waunge mkono serikali yake anawapa matumaini ili waishi kwa imani na tumaini jipya alisema wakati wanasiasa hao UNK mpango huo wa rais kikwete umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi umepokea mpango huo kwa kicheko kwamba umedhihirisha jinsi alivyo na imani nao katibu mkuu wa uvccm bwana martin shigela alisema rais kikwete anajua uwezo wa vijana hivyo kauli yake hiyo inatoa matumaini makubwa kwao rais anajua alikuwa kiongozi wa vijana anaelewa vijana wana uwezo na elimu ya kutosha wanaweza kuongoza bila matatizo yoyote alisema na kuongeza tunapenda kuwa na uhakika wa taifa la kesho uhakika huo utapatikana kwa kuongeza vijana katika safu ya uongozi alisema alisema vijana hawana mashaka na mpango huo wa rais kikwete kwa upande wake mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya ccm bwana nape nnauye alisema mpango huo wa rais ni mzuri na amekuwa nao tangu alipoingia madarakani lakini hoja si idadi ya vijana bali vijana wenye uwezo na uzalendo wa kweli kwa maneno na matendo yao tangu aingie madarakani mtazamo wake umekuwa wa aina hiyo hivyo alichosema ni ahadi kuwa atafanya zaidi UNK ni nzuri kama itatekelezwa kwani vijana wana haki ya kutoa mchango wao kwa maendeleo ya nchi yao leo na kesho UNK mpaka wamechoka ndo waanze kupewa dhamana alisema bwana nnauye naye katibu wa uhamasishaji na chipukizi wa uvccm bibi esther UNK alisema mpango huo wa rais utaondoa dhana iliyojengeka kuwa maisha ni ndani ya siasa baada ya kustaafu akizungumza na vijana wa nchi kadhaa za afrika rais kikwete alisema wale viongozi wa rika langu lazima waanze kuwaachia nafasi vijana tunahitaji wakuu wa wilaya vijana zaidi wakuu wa mikoa vijana zaidi na hata mawaziri vijana zaidi ndivyo ilivyotokea kwetu tulipokuwa vijana polisi dar es salaam UNK wananchi makampuni taasisi na wafanyabiashara kujihadhari na wimbi la utapeli wa kutumia majina ya viongozi wakiwemo mawaziri kamanda wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam bwana suleiman kova alisema kumezuka wimbi la utapeli wa kupiga simu na kutapeli mamilioni ya fedha mtu anapiga simu na kujifanya yeye ni waziri fulani na hata kuiga sauti yake na kusema ana shida ya fedha kiasi fulani kwa ajili ya ada safari au hata matumizi mengine na kisha huambiwa UNK huyo muhusika alisema bwana kova alisema UNK UNK matapeli hao UNK madereva wenye magari ya serikali yenye namba za bandia za stk na UNK kujifanya ni madereva wa mawaziri alieleza kuwa matapeli hao hawapendi kukutana ana kwa ana na watoaji fedha kwa kuhofia kukamatwa hivyo ni vyema tahadhari UNK kwani inaharibu sifa za viongozi katika tukio jingine polisi linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za tuhuma za kuiba magari kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwemo ya UNK madereva kwa dawa za kulevya bwana kova aliwataja watu hao kuwa ni bwana ibrahimu abdallah bwana hassani UNK bwana alfred masawe na mwanamke mmoja bibi happy ali mkazi wa UNK mwanamke huyo hutumia mbinu mbalimbali kama dawa za kulevya baada ya kufanya hivyo huondoka na gari na kukimbia nalo na kuwapelekea wanaume ambao ni wezi wenzake alisema bwana kova aidha bwana kova aliwatahadharisha wananchi hasa wanaume kuwa makini wakati wa kuwapa watu UNK serikali imeahidi kuendelea kuboresha mazingira ya biashara ikiwa ni njia ya kuwajengea uwezo wafanyabishara wa kitanzania kushindana ndani na nje ya nchi mazingira yanayopaswa kuboreshwa ni pamoja na na miundombinu kama vile umeme usafiri wa reli huduma za bandari maji na nyingine ambayo yatawasaidia wafanyabishara wa tanzania kujiandaa na soko la pamoja la nchi za afrika mashariki hayo yalisemwa jana dar es salaam na waziri kiongozi wa serikali ya mapinduzi zanzibar bwana shamsi vuia nahoda alipokuwa akifungua maadhimisho ya siku ya viwanda afrika inayotarajiwa kuadhimishwa novemba ishirini mwaka huu nawahakikishia kuwa serikali yenu itafanya kila linalowezekana kuhakikisha kunakuwepo mazingira bora ya ya biashara lazima tujenge mazingira ili hata soko la pamoja la jumuiya ya nchi za afrika mashariki likija tusiogope tudiriki na kututhubutu kushindana na wenzetu alisema bwana nahoda kwa upande wake waziri wa viwanda biashara na masoko bibi mary nagu alisema kuwa sekta ya viwanda ina jukumu la kubadilisha uchumi kuwa wa kisasa unaojitegemea na kisha kuendeleza teknolojia za kisasa katika uzalishaji wa sekta nyingine kama vile kilimo mifugo uvuvi na maliasili katika kufikia azima hiyo ni lazima tufikie malengo ya kuhakikisha ukuaji wa sekta ya viwanda kufikia kumi na tano ifikapo ishirini moja sifuri mpaka sasa mchango wake ni tisa nne hali ambayo inaonesha kuwa juhudi zaidi na mikakati mipya inapaswa serikali imeahidi kuendelea kuboresha mazingira ya biashara ikiwa ni njia ya kuwajengea uwezo wafanyabishara wa kitanzania kushindana ndani na nje ya nchi mazingira yanayopaswa kuboreshwa ni pamoja na na miundombinu kama vile umeme usafiri wa reli huduma za bandari maji na nyingine ambayo yatawasaidia wafanyabishara wa tanzania kujiandaa na soko la pamoja la nchi za afrika mashariki hayo yalisemwa jana dar es salaam na waziri kiongozi wa serikali ya mapinduzi zanzibar bwana shamsi vuia nahoda alipokuwa akifungua maadhimisho ya siku ya viwanda afrika inayotarajiwa kuadhimishwa novemba ishirini mwaka huu nawahakikishia kuwa serikali yenu itafanya kila linalowezekana kuhakikisha kunakuwepo mazingira bora ya ya biashara lazima tujenge mazingira ili hata soko la pamoja la jumuiya ya nchi za afrika mashariki likija tusiogope tudiriki na kututhubutu kushindana na wenzetu alisema bwana nahoda kwa upande wake waziri wa viwanda biashara na masoko bibi mary nagu alisema kuwa sekta ya viwanda ina jukumu la kubadilisha uchumi kuwa wa kisasa unaojitegemea na kisha kuendeleza teknolojia za kisasa katika uzalishaji wa sekta nyingine kama vile kilimo mifugo uvuvi na maliasili katika kufikia azima hiyo ni lazima tufikie malengo ya kuhakikisha ukuaji wa sekta ya viwanda kufikia kumi na tano ifikapo ishirini moja sifuri mpaka sasa mchango wake ni tisa nne hali ambayo inaonesha kuwa juhudi zaidi na mikakati mipya inapaswa waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais daktari batilda burian amewataka wavuvi katika mwambao wa bahari ya hindi kuwa makini kutokana na ongezeko la maji baharini daktari burian alitoa tahadhari hiyo jana wakati akizindua ripoti ya idadi ya watu duniani iliyotolewa na shirika la umoja wa mataifa la idadi ya watu alisema kuwa pia ni vema wazazi wakawa makini na watoto wao kwa kuwakataza kwenda kuogelea katika maeneo hayo ya mwambao kutokana na maji kuongezeka baharini siku hadi siku ili kuepusha maafa katika kipindi hiki ambacho mvua zimekuwa UNK katika maeneo mbalimbali ninawashauri watanzania kuhakikisha kwamba wanajenga nyumba imara ambazo haziwezi UNK na upepo UNK na mvua za el nino alisema alisema madhara ya mabadiliko ya tabia nchi yanatokea kwa kasi tofauti na ilivyotarajiwa hadi kusababisha kuongezeka kwa kina cha bahari UNK maisha ya watu waishio mwambao wa bahari daktari burian alisema kuwa maisha ya watu wanaoishi katika maeneo hayo wanakabiliwa na changamoto kubwa kutokana na kubadilika kwa hali hewa hivyo kuathiri kilimo walichokuwa UNK zaidi ya asilimia sitini ya tanzania inakabiliwa na hali ya jangwa na kupungua kwa vyanzo vya maji kutokana kuadimika kwa kipindi cha mvua kwa kipindi kirefu jambo ambalo UNK tu maisha ya watu bali hali ya kijamii na kiuchumi kwa ujumla alisema akitolea mfano maporomoko ya udongo yaliyotokea same athali UNK za mvua katika maeneo ya bagamoyo na kongwa daktari alisema kuwa hali hiyo imetokana na mabadiliko ya tabia ya nchi yaliyosababishwa na uharibifu wa mazingira waziri huyo alisema kuwa ripoti ya idadi ya watu duniani ya mwaka huu inakumbusha kwamba mabadiliko ya tabia ya nchi ni zaidi ya teknolojia inayozungumzia upunguzaji wa hewa chafu ya ukaa lakini pia inakumbusha kuwa na ubinadamu mwakilishi wa UNK daktari UNK UNK alisema kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yanaweza kupoteza mafanikio ya maendeleo yaliyopatikana katika miongo kadhaa iliyopita na hasa katika jitihada za kufikia malengo ya milenia ya maendeleo hali hii inatokana hasa na tatizo la maji mvua kubwa mafuriko kupotea udongo wenye rutuba kukosekana kwa vyakula vya kutosha na hata UNK matatizo ya afya alisema katibu mkuu wa wizara ya maji na umwagiliaji bwana wilson mukama UNK mamlaka za majisafi na majitaka mijini kupambana na upotevu mkubwa wa maji yanayozalishwa na ili kufanikisha azma ya serikali ya kufikiwa lengo la kutoa maji safi kwa wakazi wa mijini kwa asilimia tisini ifikapo mwakani ishirini moja sifuri bwana mukama alitoa agizo hilo juzi mjini babati wakati akifunga mkutano mkuu wa watendaji wakuu wa mamlaka za maji katika taarifa zao mamlaka hizo zilisema zinakabiliwa na upotevu mkubwa wa maji UNK kutokana na wateja wao UNK huduma hiyo kinyemela kuharibu mita za maji na uchakavu wa mabomba akisisitiza suala la ubunifu bwana mukama alizitaka mamlaka hizo kuiga ubunifu uliofanywa na mamlaka ya majisafi na majitaka dodoma ambayo hivi karibuni imefanya mawasiliano na mwakilishi wa kampuni ya UNK UNK ya afrika kusini ili kuweza kufunga mita za kisasa zinazoweza kudhibiti wateja UNK maji kwenye mtandao wa kusambazia maji teknolojia hiyo mpya iliyowasilishwa kwenye kikao hicho cha siku mbili na mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo tawi la tanzania bwana gaston francis inaonesha mita hizo zina uwezo wa kutambua na kutoa taarifa kwa mamlaka iwapo kuna mteja UNK maji bila utaratibu wa mamlaka husika kwa kutumia mitambo ya UNK aidha bwana gaston UNK wajumbe kuwa kampuni yake ina mita za watumiaji wakubwa wa maji na mita nyingine zinazofanya kazi kama zile za tanesco aina ya UNK ambapo mteja anaweza kununua kiasi cha maji anachotaka kutokana na fedha aliyonayo na mara kiasi cha maji UNK UNK UNK kutoka mita nyingine UNK kwa wajumbe ni ile yenye uwezo wa kusoma mita zilizofungwa umbali wa mita mia moja bila kubisha hodi ndani ya nyumba za wateja ambazo maofisa wa mamlaka wanatembea nazo pia kuweza kuuza maji kwa wateja na kutoa risiti na taarifa zake kufikishwa kwenye ofisi za mamlaka husika kwa mujibu wa mkurugenzi wa duwasa bwana peter mokiwa mamlaka yake ilituma maofisa wake wawili kwenda afrika kusini kuona na kutafiti jinsi mita hizo zinavyofanya kazi na kujiridhisha kuwa ni vigumu kwa wateja kuzichezea au kuiba na kuziuza kwenye vyuma chakavu kwa vile ni plastiki akisisitiza matumizi ya teknolojia mpya bwana mukama alisema kuwa wakurugenzi hao wasiogope kuingia kwenye matumizi ya teknolojia kama hiyo kwani zitasaidia kudhibiti upotevu wa maji pia kukusanya madeni kutoka kwa wateja wao alisema deni ambalo mamlaka zote za maji nchini UNK wateja wao sasa linafikia shilingi bilioni thebathini sakata la wakurugenzi na mameneja wa wakala wa barabara tanzania waliofukuzwa kazi limeingia katika sura mpya baada ya kamati iliyoundwa kuchunguza sakata hilo kushidwa kutoa majibu jana kama ilivyoahidiwa na kaimu mwenyekiti wa tanroads bwana samwel UNK akizungumza na majira jana bwana nyatahe alisema mchakato huo unaendelea baada ya kupata maelezo pande zote mbili ambapo kinachosubiriwa ni ushauri kati ya bodi na waliofukuzwa ili kubaini UNK kati ya bwana mrema bodi ya tanroads na wizara ya miundombinu taasisi mbalimbali zinatakiwa kupitia mchakato mzima toka UNK wafanyakazi hao ili kupata ukweli na uhalali wao bila kupendelea wiki ijayo kila kitu kitakuwa tayari alisema na kuongeza kwa sasa hatupo tayari kutoa taarifa katika vyombo vya habari UNK wananchi tutatoa taarifa ya maamuzi hayo baada ya kuridhiana kwa pande zote mbili ambayo yatamalizika wiki ijayo bwana nyatahe hatma ya wafanyakazi hao na uamuzi wa bodi iliyoundwa ilitakiwa kutolewa jana baada ya kupitia majalada yao kuchunguza kumbukumbu za utendaji kazi wa wafanyakazi hao na kuwasikiliza ili kubaini chanzo cha mgogoro huo hivi karibuni mtendaji mkuu wa tanroad bwana ephraem mrema alipuuza maagizo ya bodi ya tanroads na UNK kazi wakurugenzi na mameneja wa mikoa bila kufuata utaratibu za utumishi serikalini awali alitii agizo la kusitisha UNK baadaye alibadili maamuzi yake na kuwafukuza ambayo UNK mkanganyiko ndani ya bodi ya tanroad na wizara ya miundombinu sakata hilo liliingia katika sura mpya baada ya kuwa na mgongano kati ya bodi ya tanroads bwana mrema na wizara ya miundombinu ambapo oktoba thebathini mwaka huu bwana mrema aliitisha kikao cha wafanyakazi na kutangaza kuwafukuza kazi baadhi ya watendaji waandamizi na baadhi ya mameneja waliokubwa na sakata hilo ni pamoja na mkurugenzi wa matengenezo ya barabara bwana thomas mosso mkurugenzi wa mipango bwana jason rwiza meneja wa tanroads mkoa wa dodoma bwana gerson lwenge mkoa wa morogoro bwana charles madinda mkoa wa ruvuma bwana abraham kissimbo na mhandisi makao makuu tanroads bwana william shilla katibu mkuu wa chama cha UNK taifa bwana yussuf makamba amekerwa na kitendo cha chama cha wananchi kushinda UNK kimoja kati ya kumi na tano vilivyomo katika kijiji cha mdaula kata ya chalinze bagamoyo mkoani pwani bwana makamba UNK baada ya kusikia taarifa hiyo ambayo kwake ni mbaya kwa kuwa eneo hilo ndiko anakotoka mwenyekiti wa ccm rais jakaya kikwete hivi mwenye chama chake rais jakaya kikwete akifika hapa UNK kitu gani kutokana na makosa UNK na kupoteza kitongoji alihoji bwana makamba aliendelea kijijini kwangu wana ccm wenyewe walianza kujiuliza endapo watapoteza hata kitongoji kimoja nini UNK iweje hapa ambako ndiko alikotoka mwenye chama chake bwana makamba ambaye pia ni mbunge wa kuteuliwa na rais alitoa kauli hiyo baada ya kusikia maelezo ya mwenyekiti wa ccm kata ya chalinze bwana nassa tamimu kuwa wameshinda kwa kishindo katika vitongoji kumi na nne lakini wakapoteza kimoja UNK na cuf katibu mkuu huyo aliyekuwa safarini kuelekea morogoro alisimama kwa dakika kadhaa baada ya kuwaona wana ccm wa mdaula katika sherehe za ushindi na kutumia fursa hiyo kuwataka wakazi wa mdaula kufanya juhudi za kukomboa kitongoji hicho aliwataka wana ccm wa kijiji hicho kuwa karibu na mfanyabiashara bwana UNK suchak kwa kile alichoeleza kuwa amekuwa na mchango mkubwa wa kuhakikisha chama hicho UNK kwa kuwa na miradi taarifa ya UNK wa kata bwana nassa tamimu imeeleza kuwa ndugu yetu suchak amekuwa mstari wa mbele katika UNK maendeleo chama hiyo ni faraja hivyo nawaomba watu kama hawa UNK vizuri kwani ni tunu tuliyopewa wana ccm alisema kwa upande wake bwana suchak alisema kuwa ataendelea kujitolea kwenye shughuli mbalimbali za kimaendeleo ndani ya chama na katika jamii ikiwa na lengo la kuona kijiji hicho kinapiga hatua kuelekea katika maendeleo polisi mkoani kilimanjaro wameua watu wawili na wengine wawili kutoroka katika kile walichoeleza yalikuwa majibizano ya risasi na majambazi walioteka baa na kuwapora wateja waliouawa katika tukio hilo ni antony mandela maarufu kama mandeu mkazi wa UNK katika manispaa ya moshi na peter massawe maarufu kama mashaka mkazi wa rongai wilayani rombo miili yao imehifadhiwa katika hospitali ya mkoa ya UNK kamanda wa polisi mkoani humo bwana lucas ng hoboko alisema tukio hilo lilitokea jana saa nne sifuri sifuri usiku eneo la baa ya UNK iliyopo soweto mjini moshi ambako majambazi walikuwa wamevamia kuwateka wateja na kumjeruhi kwa risasi mtu mmoja bwana wilfred charles ambaye amelazwa katika hospitali ya mawenzi na hali yake inaendelea vizuri kamanda ng hoboko alisema majambazi hao walikuwa wanne wakiwa na bunduki aina ya short gun yenye risasi kumi na sita na bastola ambayo walikuta maganda matatu ya risasi zake katika eneo la tukio wakati majambazi hao wakiendelea kuwapora wateja polisi walipata taarifa na kuwahi katika eneo la tukio na kukuta uporaji ukiendelea na kutoa amri ya kuwataka wahusika kujisalimisha lakini walikaidi na UNK askari risasi kutokana na jeuri ya majambazi wale polisi nao walijibu na majibizano yaliendelea kwa muda kidogo ndipo polisi UNK kuwauwa wawili kati ya wanne juhudi za kuwasaka waliokimbia zinaendelea alisema kamanda ng hoboko aliwataja watu wawili wanaotafutwa wakihusishwa na tukio hilo kuwa ni UNK UNK mkazi wa UNK kibosho na mwingine aliyetambuliwa kwa jina moja la emmanuel maarufu kama UNK bwana ng hoboko alisema watuhumiwa waliokimbia walitoroka na bastola moja na mali ndogo ndogo UNK eneo la tukio uchunguzi wa awali wa polisi ulibainisha kwamba majambazi hao walikuwa wakishiriki katika matukio mbalimbali ya uhalifu mkoani humo ingawa pia polisi ilikuwa UNK mmoja wa majambazi hao UNK baada ya kuuawa mandeu alikutwa na bunduki aina ya short gun namba mv elfu themanini na nane na mia moja na arobaini na tatu h ikiwa na risasi kumi na sita ambayo UNK novemba nne kwa mlinzi wa kiwanda cha sukari tpc UNK katika lindo lake alisema mandeu pia anadaiwa kushiriki katika tukio jingine la ujambazi lililotokea novemba kumi na moja mwaka huu eneo la rongai UNK wilayani hai nyumbani kwa fabian victor ambaye UNK bunduki aina ya UNK namba elfu ishirini na tatu na mia tisa na sabini na tisa na risasi ishirini na tano za UNK katika tukio hilo polisi UNK mmoja wa watuhumiwa ambaye ni abel UNK akiwa na silaha hiyo na alipohojiwa na alimtaja mandeu kwamba walishiriki pamoja katika tukio hilo alisema kamanda ng hoboko alisema baada ya mandeu kubaini kwamba polisi UNK alipiga simu kituo cha polisi na kueleza kuwa ameacha ujambazi na kusalimisha silaha aina ya shortgun namba mia nane na kumi na mbili iliyokatwa kitako na mtutu ikiwa na risasi tisa baada ya taarifa hiyo nilimwita mandeu ofisini kwangu ili tuzungumze lakini alikataa huku akisisitiza kuwa yeye si jambazi lakini UNK jana ni miongoni mwa watu UNK huu ni ushahidi kuwa hakuacha ujambazi alisema rufaa ya kupinga hukumu ya kifungo cha miaka mitatu jela iliyofunguliwa na mfanyabiashara deus mallya imeshindwa kuanza kusikilizwa jana kutokana na jaji aliyetakiwa kuisikiliza kesi hiyo kuwa mgonjwa hukumu UNK ilitolewa machi kumi na nane mwaka huu na hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya dodoma bwana thomas simba UNK ya mshtakiwa huyo kupatikana na hatia ya makosa mawili kuendesha gari kwa mwendo kasi na kusababisha kifo cha aliyekuwa mbunge wa tarime chacha wangwe mashtaka hayo UNK na ajali ilitokea julai ishirini na nane mwaka jana katika kijiji cha UNK kongwa ambapo wangwe na bwana mallya walipata ajali wakiwa njiani kuelekea dar es salaam na mbunge huyo kufa pale pale bwana mallya alikata rufaa dhidi ya hukumu hiyo na sasa itasikilizwa januari nne ishirini moja sifuri na jaji mfawidhi wa kanda ya dodoma bibi mary UNK ambaye UNK jana kwa sababu ya maradhi awali akizungumza mbele ya msajili wa mahakama hiyo bwana richard UNK UNK rufaa hiyo mwanasheria wa serikali bibi maria UNK aliomba mahakama ipange tarehe nyingine ya kuanza kusikiliza rufaa hiyo akizungumza na waandishi wa habari nje ya mahakama bwana godfrey UNK ambaye ni wakili wa bwana malya alisema rufaa ya mteja wake ilichelewa kuanza kutokana na kucheleweshwa kwa hati ya hukumu mkurugenzi wa fedha wa benki kuu ya tanzania bwana julius andrew amesema malipo mengi makubwa yaliyofanywa katika ujenzi wa majengo mapacha ya benki hiyo yaliidhinishwa bila idhini ya bodi na aliyekuwa gavana marehemu daud balali shahidi huyo watatu kwa upande wa mashitaka alidai hayo jana alipokuwa akitoa ushahidi katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu watatu linaloongozwa na bwana edson UNK akiongozwa na mwendesha mashitaka wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa bwana ben UNK shahidi alidai julai kumi na moja mwaka ishirini sifuri sita alikuwa miongoni mwa waliohudhuria kikao cha bodi ya wakurugenzi alidai ajenda kuu ya kikao hicho ilikuwa kuwasilisha taarifa ya maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo pacha ya bot ambapo menejimenti UNK bwana andrew alidai baada ya kuwasilisha taarifa hiyo bodi UNK matumizi yaliyofanyika nje ya bajeti iliyopangwa na UNK shahidi alidai malipo mengi makubwa UNK na bodi yaliidhinishwa na marehemu balali na mshitakiwa liyumba aliidhinisha malipo madogo madogo kulingana na utaratibu wa benki hiyo bila baraka za bodi alidai maoni na mapendekezo ya kufanyika kwa malipo hayo nje ya bajeti UNK kwa meneja wa mradi bwana deogratius kweka UNK kwa mkurugenzi wa utawala na utumishi bwana amatus liyumba na kumalizia kwa gavana wa bot wakati huo marehemu balali alidai malipo hayo yalifanyika bila kupata baraka za bodi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo gharama za kodi ya vifaa vya ujenzi na sababu zingine za kitaalamu akiendelea na ushaidi alikubaliana na wakili wa utetezi bwana majura magafu wakati akimuhoji kwamba uamuzi wa mwisho kuhusu ujenzi wa majengo hayo ni wa bodi na mshitakiwa liyumba hakuwa na uwezo wa kutoa uamuzi UNK ya ushahidi huo upande wa mashitaka uliomba kuahirisha kesi hadi jumatatu na kwamba UNK maombi ya kuongeza idadi ya mashahidi badala ya kumi UNK awali mahakimu walikubali maombi yao na kesi hiyo itaendelea kusikilizwa jumatatu mshitakiwa katika kesi hiyo bwana amatus liyumba anakabiliwa na mashitaka ya kutumia vibaya ofisi yake na kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya mradi huo bila idhini ya bodi ya wakurugenzi na hillary shoo singida mwenyekiti wa jumuiya ya wanawake wa ccm mkoa wa singida bibi diana chilolo amesema madai kwamba misaada anayotoa mwenyekiti mtendaji wa kampuni za ipp bwana reginald mengi inalenga UNK njia kisiasa ni upuuzi usio na msingi mwenyekiti huyo alitoa kauli hiyo juzi wakati akikabidhi kwa niaba ya bwana mengi hundi za misaada mbali mbali zenye thamani ya shilingi milioni mia moja na hamsini kwa vikundi mkoani hapa hafla hiyo iliyofanyika viwanja vya ccm mkoa watu wanaosema hayo ni kwamba hawajiamini katika uongozi wao na ni woga alisema bibi chilolo vikundi UNK hundi hizo na thamani yake kwenye mabano ni kikundi cha wenye ulemavu cha faraja kikundi cha wanawake wanaoishi na virusi vya ukimwi uwt saccos mkoa wa singida na kikundi cha wanaoishi katika mazingira hatarishi bibi chilolo alisema bwana mengi ni mtu safi ambaye si mwanasiasa na hana mawazo wala nia ya kuwania nafasi yoyote ya kisiasa alisema misaada anayotoa kwa makundi ya watu yenye mahitaji kama wenye ulemavu yatima na masikini ni moyo wake wa kuunga mkono juhudi za serikali kusaidia makundi mbalimbali kuondokana na umasikini ukiacha wadhifa wangu huu wa uenyekiti wa uwt mkoa mimi ni mbunge wa viti maalum mkoa na ni mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya ccm sijawahi kusikia wala kuona dalili yoyote inayoashiria kuwa bwana mengi UNK au mwenye nia ya kuomba uongozi yeye ni mtu safi wa kusaidia watu wenye shida mbalimbali na kufanya biashara zake hakuna zaidi ya hapo alisema bibi chilolo alisema hatua ya kujitokeza kukemea na kulaani kwa nguvu zote mafisadi ni juhudi zake za kumuunga mkono rais jakaya kikwete na serikali yake katika vita dhidi ya watu wachache wenye uchu wa kutumia rasilimali ya nchi UNK kutokana na ukweli huo ndugu zangu ninyi wenye kutawaliwa na hisia na woga wa kutokujiamini acheni mambo hayo UNK bwana mengi aendelee na kazi yake ya kusaidia makundi haya yanayohitaji misaada kutoka kwa watu wema alisistiza UNK makundi UNK na misaada hiyo ya bwana mengi kuitumia vizuri kwa malengo yaliyokusudiwa na si vinginevyo serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania imesema inatarajia kufungua benki ya wakulima tanzania UNK kutoa fedha na mikopo kwa wakulima nchini hayo yalisemwa dar es salaam jana na daktari wa kilimo na mifugo manispaa ya ilala bwana UNK asenga wakati wa ziara ya ufunguzi wa mafunzo ya kilimo kwanza kata ya chanika bwana asenga alisema mpango huo ni mikakati ya serikali iliyojiwekea kwa lengo la kuwakwamua wananchi wake wa mijini na vijijini kama UNK benki ya wanawake miaka ya nyuma wakulima wa nchini walikuwa wakisaidiwa kwa asilimia kubwa na benki ya crdb ambayo kipindi lakini kipindi hichi serikali imejidhatiti kufungua benki ya wakulima kwani kilimo ni uti wa mgogo wa taifa letu alisema alisema kuwa asilimia kumi ya bajeti ya serikali kila mwaka UNK kwa ajili ya wakulima ambapo fedha hizo UNK katika kila halmashauri za manispaa nchini naye bwana jeremiah UNK alisema malengo ya kilimo kwanza kwa wakulima ni kuongeza uzalishaji kwa hekta kwa kutumia zana za kisasa kama vile matrekta ya UNK UNK pamoja na kufundisha wahandisi wa umwagiliaji pia alisema wakulima na wafugaji wana majukumu ya utekelezaji wa dhana ya kilimo kwanza katika ngazi ya wilaya UNK kwenye utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya kilimo ya wilaya chini ya mpango wa kitaifa wa uendelezaji wa sekta ya kilimo kampuni ya precision air imeendelea kupata mafanikio baada ya abiria wa ndani kuongezeka kwa asilimia kumi na mbili na mizigo kwa asilimia mia moja na sitini na nane ukilinganisha na mwaka jana licha ya kuwepo kwa tatizo la UNK wa uchumi wa dunia akizungumza dar es salaam jana mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo bwana UNK UNK alisema kampuni hiyo imefanya maboresho kwa kununua ndege nne na kuongeza huduma za safari ndani na nje ya nchi hali iliyochangia kupata wateja wengi kampuni hii imenunua ndege nne kutoka kampuni ya atr nchini ufaransa ambapo mpaka kufikia julai mwakani kampuni itakuwa na ndege mpya saba alisema na kuongeza tuko katika mchakato wa kuboresha huduma zetu ikiwa ni pamoja na kubadili vitendea kazi vya zamani kwa kuleta vipya pia safari za kigoma na tabora UNK kwa muda kutokana na matengenezo ya uwanja na ndege alisema kampuni hiyo pia imepanga kutumia dola za marekani milioni tano tano za ujenzi wa karakana binafsi kwa ajili ya kuboresha huduma kwa ndege za shirika hilo UNK kupanua huduma ya safari zetu ili zifike sehemu nyingi zaidi UNK ndege aina ya UNK mia saba na thebathini na saba ambayo itafanya safari kati ya afrika kusini lubumbashi na lusaka alisema meneja wa mawasiliano wa kampuni ya kusambaza vifaa vya maji bibi desta laiser amesema kushindwa kwa miradi mingi ya visima kunachangiwa wakandarasi na washauri wanaoshindwa kutoa ushauri sahihi katika ununuzi ya sampuli na mashine UNK akizungumza katika semina ya wahandisi dar es salaam jana bibi desta laiser alisema ni makosa kutoa ushauri usio sahihi katika miradi hiyo kwani kunasababisha upotevu wa fedha za wahisani na serikali tumeamua kutoa semina hii baada ya kugundua kuwa washauri na wahandisi wengi wa maji wamekuwa wakichangia kukwamisha miradi kwa kushindwa kutoa ushauri mzuri katika manunuzi ya vifaa alisema bibi UNK alisema kampuni yake imeamua kutoa semina hiyo kwa wahandisi wa maji kutoka katika mikoa ya tabora singida dodoma arusha na dar es salaam ili kuwapa elimu itakayowasaidia kubaini makosa hayo bibi laizer alisema kampuni yake imepata malalamiko kutoka katika maeneo mbalimbali ya vijiji kuhusu mashine UNK kwa ajili ya visima kuwa ni vibovu lakini baada ya uchunguzi walibaini kuna tatizo katika utoaji wa ushauri au takwimu za vipimo wakati wa manunuzi kampuni hiyo UNK vifaa ikiwa ni pamoja na mita za maji mabomba vifaa vya umeme wa jua jenereta na kuchimba visima pia ilizindua pampu mpya na ya kisasa kwa ajili kuvuta maji katika kisima chenye urefu wa mita thebathini sifuri benki ya taifa ya biashara kupitia mpango wake endelevu wa kuchangia maendeleo ya jamii imetoa msaada wa vitabu vya masomo mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni mbili tano katika shule ya msingi UNK iliyopo dar es salaam akizungumza wakati wa kukabidhi dar es salaam jana mhasibu wa nbc tawi la mbezi beach bibi UNK kibisa alisema benki ya nbc imejiwekea mikakati ya kuinua kiwango cha elimu nchini hasa katika shule za msingi na sekondari ambazo mara nyingi hukabiliwa na upungufu wa vitendea kazi bibi kibisa alisema benki imetoa msaada huo wa vitabu ambao utawawezesha watoto kupata fursa ya kuazima vitabu kwa kujisomea wenyewe na UNK sisi mpango wetu endelevu wa kuchangia maendeleo ya jamii hasa UNK katika kutoa misaada ya kimaendeleo inayolenga miradi ya kielimu yenye thamani ya kuanzia shilingi milioni mbili tano au zaidi ya hapo katika shule mbalimbali na tutaendelea kusaidia pale UNK alisema akipokea msaada huo kwa niaba ya shule ya msingi wanafunzi na walimu wengine mwalimu mkuu wa shule hiyo bibi UNK UNK alitoa shukrani za kipekee kwa nbc kwa kuwapa vitabu ambavyo UNK kujifunza na kuinua kiwango chao cha elimu kwa ujumla hatimaye watalaamu wa chuo kikuu cha kilimo sokoine wanatarajia kwenda kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini kama kuna mabomu yaliyosalia katika eneo la mbagala mabomu hayo yalisambaa kutokana na milipuko iliyotokea aprili ishirini na tisa mwaka huu baada ya ghala ya kuhifadhia silaha la katika kambi ya jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania lililoko mbagala kizuiani kulipuka na kusababisha vifo vya watu ishirini na sita kuteketeza nyumba mali na ulemavu wa kudumu kwa baadhi ya watu siku chache baada ya milipuko hiyo watalaamu wa chuo hicho walisema UNK kupeleka panya waliofuzu mafunzo ya kutambua mabomu kwa sababu wangeweza kuchanganyikiwa kutokana na harufu ya mabomu yaliyokuwa yanaendelea kulipuka akizungumza dar es salaam jana na waandishi wa habari makamu mkuu wa chuo hicho profesa UNK monela alisema kwa sasa hali imetulia hivyo wataangalia uwezekano wa panya kufanya shughuli hiyo kwa mwanzo panya UNK na UNK kwani bado kulikuwa na harufu fulani ya moshi wa mabomu kila mahali UNK kwa sasa tutajaribu kufanya hivyo alisema napenda kusema kuwa uwezo wa panya hao ni mkubwa lakini wanafanya kazi ya kugundua bomu moja moja na kwa kufanya hivyo itasaidia kubaini mabomu yaliyosalia ili tuweze UNK na kuwaondoa hofu wakazi wa mbagala ambao kwa sasa wanakaa kwa hofu ya kulipuka kwa bomu alisema profesa UNK profesa monela alikuwa anazungumzia maadhimisho ya miaka ishirini na tano ya chuo hicho yatakayofanyika novemba ishirini na tatu mwaka huu yakiambatana na maonesho ya wazi ambayo yatasaidia wananchi kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu sekta ya kilimo mgeni rasmi akiwa waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi profesa jumanne UNK mtu mmoja amekufa na wengine kumi na nne wamelazwa katika vituo vya kutibu ugonjwa wa UNK katika jiji la dar es salaam huku wilaya ya temeke ikiongoza kwa kuwa na wagonjwa saba kaimu mganga mkuu wa jiji la dar es salaam daktari hawa kawawa alisema hadi kufikia jana wilaya ya temeke ndiyo inaongoza kwa kuwa na ongezeko kubwa la wagonjwa ina wagonjwa saba waliolazwa katika vituo vya afya wakati manispaa ya ilala ina wagonjwa wa nne na kinondoni mmoja maeneo yaliyokumbwa na ugonjwa huo ni pamoja na pugu vingunguti tabata buguruni kipawa mchikichini jangwani na ukonga maeneo mengine ni tandale manzese UNK na kunduchi kibaoni katika manispaa ya kinondoni wakati katika manispaa ya temeke ugonjwa huo upo mbagala kuu mbagala mission makangarawe na UNK daktari kawawa alisema kuwa wananchi wanatakiwa kuweka mazingira safi wakati wa kipindi cha mvua ili ugonjwa huu usienee kwa kasi kwani maeneo UNK maji watu wanaweza kuathirika zaidi aliwataka wakazi wa dar es salaam waache tabia ya kula ovyo katika maeneo ambayo siyo safi na kuepuka kula matunda yanayosambazwa mitaani kwani yanaweza kusababisha kuenea kwa ugonjwa huo idara zinazohusika na takwimu nchini zimetakiwa kutoa taarifa kwa wakati muafaka badala ya kusubiri mwisho wa mwaka ili kuwezesha kufanyika kwa mipango mbalimbali ya maendeleo wito huo ulitolewa dar es salaam juzi na katibu mkuu wa wizara ya fedha na uchumi bwana ramadhan kijjah katika maadhimisho ya siku ya takwimu afrika ambayo huadhimishwa novemba kumi na nane kila mwaka bwana kijjah alisema takwimu zinapotolewa kwa wakati muafaka zitasaidia UNK sera na watoa maamuzi kupanga mipango yao ya maendeleo UNK bila takwimu hatujui tumetoka wapi tuko wapi na tunakwenda wapi takwimu zitasaidia kufanya uboreshaji ili kufikia malengo tuliyojiwekea iwapo zitatolewa kwa wakati muafaka alisema alisema utekelezaji wa malengo ya maendeleo ya millenia unategemea sana jinsi tunavyoweza kuandaa takwimu zetu akizungumzia suala la vitambulisho vya utaifa bwana kijjah alisema mpango huo utakapo kamilika utasaidia kupunguza tatizo la uhamiaji haramu tunaingia katika jumuiya ya afrika mashariki wenzetu wana vitambulisho sisi hatuna itakuwa vigumu sana kumtambua mtanzania pasipo kitambulisho hicho alisema alisema gharama zinazotumika kuandikisha wapiga kura kila mara zinaweza UNK iwapo kila mtanzania atakuwa na kitambulisho cha utaifa aidha bwana kijjah alisema kuwa vitambulisho hivyo UNK kupunguza ufisadi kwa kuwa taarifa za kila mtanzania zikiwemo za kifedha UNK kupitia kitambulisho hicho kwa upande wake kaimu mkurugenzi ofisi ya taifa ya takwimu bwana stanley UNK alisema UNK yake UNK changamoto nyingi katika ukusanyaji wa takwimu likiwemo suala la ubovu wa miundombinu na baadhi ya idara kukusanya takwimu UNK na matakwa yao tu kauli mbiu ya mwaka huu ni uimarishaji wa mfumo wa takwimu za raia uzazi na vifo katika kusaidia maendeleo ya taifa na malengo ya millenia afrika ambapo idara mbalimbali wa takwimu zilishiriki hukumu dhidi ya washitakiwa kumi na moja wanaokabiliwa na kesi ya wizi wa mamilioni ya fedha za benki ya nbc ubungo itatolewa desemba kumi na saba mwaka huu uamuzi huo ulitolewa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu wakati kesi hiyo ilipotajwa kwa ajili ya kupangwa siku ya hukumu mwanzoni mwa mwezi huu pande zote zinazopingana UNK ushahidi na kuwasilisha majumuisho ya kesi ambapo upande wa mashitaka uliiomba mahakama kuwaachia huru washitakiwa watatu baada ya kupitia ushahidi kwa makini na kuona hakuna ushahidi wa kuweza kuwatia hatiani miongoni mwa walioombewa kuachiwa huru ni hussein masoud UNK kuwa UNK mashtaka baada ya UNK polisi UNK dawa za kulevya UNK nazo wengine ni UNK UNK na martin mndasha kwa sababu ya kukosa ushahidi maombi hayo yaliwasilishwa na wakili wa serikali bwana edgar luoga alipofanya majumuisho ya kesi mbele ya hakimu UNK khaday anayesikiliza kesi hiyo alidai katika mashahidi wote ishirini waliofika mahakamani hakuna UNK kuwa washitakiwa walihusika katika wizi huo wakili huyo aliomba mahakama UNK hatiani washitakiwa wengine tisa waliobakia kwa sababu walikiri kuhusika na walisaidia kupatikana kwa silaha zilizotumika siku ya tukio pia mashahidi wote waliwatambua washitakiwa kwa kuwa wakati wa uhalifu huo UNK nyuso zao kesi hiyo ilifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza juni ishirini sifuri sita ambapo ramadhani abdulrahaman na wenzake kumi wanadaiwa kupora shilingi mia moja na sitini na nane mia tano na sabini na saba mia mbili na sabini na tano themanini na nne mali ya benki nbc upungufu wa umeme katika gridi ya taifa umepungua kutoka megawati mia moja na hamsini oktoba ishirini na tatu hadi megawati hamsini sasa shirika la umeme tanzania limesema upungufu huo uliotokana na kuharibika kwa moja ya mitambo ya kampuni ya songas ubungo na ile ya kihansi na hale na kusababisha kero kubwa kwa watumiaji wa nishati hiyo na kupanda wa bidhaa h meneja mawasiliano wa tanesco bibi badra masoud alisema jana kuwa makali ya mgawo wa umeme UNK kutokana na ongezeko hilo la umeme kwenye gridi ya taifa alisema hali hiyo imetokana na kuongezeka kwa uzalishaji katika mitambo iliyokuwa imeharibika ya kihansi mtera hale na songas hivyo kusababisha upungufu wa megawati kushuka kutoka megawati mia moja na hamsini hadi hamsini hata hivyo hakuwa tayari kubainisha muda ambao mgao wa umeme utaendelea kuwaathiri wateja wa shirika hilo bali alisema hadi sasa megawati zinazopatikana katika gridi ya taifa ni zaidi ya hamsini sifuri mkurugenzi mtendaji wa shirika la makazi la umoja wa mataifa profesa anna tibaijuka wiki ijayo atakabidhiwa tuzo ya masuala ya mazingira iitwayo goteborg ambayo umaarufu wake unakaribiana na ule wa tuzo ya amani ya nobel profesa tibaijuka ambaye ni mmoja wa watanzania wanaoshikilia nyadhifa za juu katika jumuiya za kimataifa atapokea tuzo hiyo mnamo novemba ishirini na nne mwaka huu mjini goteborg sweden kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari UNK saini na afisa habari wa un habitat bibi UNK hassan profesa tibaijuka atakuwa mmoja wa watu watatu ambao watapokea tuzo hiyo kutokana na mchango wao katika kutafuta suluhisho la changamoto zinazokabili mazingira hususani ukuaji wa miji UNK kwa kasi duniani mwaka huu tuzo hiyo imelenga zaidi masuala ya changamoto zinazosababishwa na ukuaji wa miji duniani kwa kuwa nusu ya watu wote duniani wanaishi katika miji na majiji huku idadi hiyo UNK kuongezeka kwa theluthi mbili ndani ya miongo mitatu ijayo zaidi ya kuchafua mazingira ukuaji wa miji pia unachangia kwa kiasi kikubwa miji ndiyo iko katika hatari kubwa ya kuathiriwa na mabadiliko ya hali ya hewa pindi yanapotokea ilisema sehemu ya taarifa hiyo wengine UNK tuzo hiyo pamoja na profesa tibaijuka ni UNK UNK kutoka UNK na soren UNK kutoka denmark washindi waliopita wa tuzo hiyo ni aliyekuwa makamu wa rais wa marekani al UNK na UNK UNK UNK na benedict kaguo tanga jeshi la polisi mkoani tanga limewatia mbaroni nahodha na mmliki wa jahazi la amana pemba UNK kwa moto na kuzama baharini wakati UNK kutoka tanga kwenda zanzibar usiku wa aprili kumi na nne mwaka huu na kusababisha vifo vya watu kadhaa jahazi hilo lenye namba za usajili z mia saba na thebathini na tatu linalomilikiwa na bibi UNK salehe suleiman UNK na nahodha wake bwana ngwali haji ali mkazi wa pemba UNK katikati ya bahari ya hindi na kusababisha vifo vya abiria ambao hadi sasa idadi kamili haijafahamika UNK wengine akizungumza jana na majira makao makuu ya polisi mkoa wa tanga kaimu kamanda wa polisi wa polisi bwana simon mgawe alisema UNK na nahodha huyo UNK polisi juzi jioni kamanda mgawe aliongeza kuwa katika maelezo ya awali nahodha wa jahazi hilo alisema chanzo cha ajali ni hitilafu iliyotokea kwenye injini na kusababisha magodoro yaliyokuwa ndani kushika moto kisha jahazi lote kuteketea na UNK hata hivyo nahodha huyo hakutaja idadi kamili ya abiria UNK kwani chombo hicho ni maalum kwa ajili ya kusafirisha mizigo kamanda mgawe alisema watuhumiwa hao wanatarajiwa kufikishwa mahakamani leo kujibu mashitaka yanayowakabili katika hatua nyingine serikali ya mapinduzi ya zanzibar imewataka abiria wa vyombo vya usafiri majini kutumia vilivyosajiliwa kisheria ili linapotokea tatizo iwe rahisi kwa waathirika wa kupata haki stahiki naibu katibu mkuu ofisi ya waziri kiongozi wa serikali ya mapinduzi zanzibar bwana UNK abdallah hamisi alitoa rai hiyo juzi alipotembelea ofisi ya mkuu wa mkoa wa tanga kujua kiini cha ajali hiyo alisema hadi sasa hawajapata taarifa zozote za kupatikana miili ya watu hao na kuwataka wananchi kukata tiketi wanaposafiri kwa kutumia vyombo vilivyosajiliwa kisheria ili kupunguza uwezekano wa kupoteza haki zao viongozi wa smz wako tanga kutathmini ajali hiyo maadhimisho ya miaka ishirini mkataba wa kimataifa wa haki ya mtoto unafanyika leo duniani wakati tanzania ikiwa imetekeleza mkataba huo kwa bunge la kupitisha sheria ya haki ya mtoto hivi karibuni mwakilishi wa unicef nchini bwana UNK laakkonen alisema jana dar es salaam kuwa wakati dunia ikiadhimisha kufikiwa mkataba huo uliofikiwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini tanzania inajivunia mafanikio kuzingatia haki ya mtoto ya kuishi afya watoto wenye ulemavu na kuwakinga na maambukizi ya vvu bwana laakkonen alisema tanzania imebaki na changamoto ya kuokoa maisha ya watoto arobaini sifuri wa umri wa chini ya miaka mitano ambao hufariki dunia kila siku lakini ikiwa imepunguza idadi hiyo kutoka hamsini sifuri waliokuwa UNK kila siku miaka ya nyuma alisema tanzania pia imepiga hatua katika utekelezaji wa haki ya mtoto ya kupatiwa elimu ya msingi bila malipo ulioanza mwaka ishirini sifuri moja na watoto wanaotoka kwenye familia duni kiuchumi kuandikishwa shuleni mwakilishi huyo alisema bado ipo haja ya kuinua ubora wa elimu na kupunguza tofauti za uwezo wa kimapato ili watoto wote UNK nafasi ya kujiunga na elimu alisema watoto wenye ulemavu na wale wanaotoka katika makabila ya wafugaji UNK na wanaotoka katika familia zilizoathiriwa na vvu na ukimwi mara nyingi ndio ambao hushindwa kuhudhuria shuleni na idadi kubwa ya watoto hao UNK masomo kabla ya kuhitimu elimu ya msingi bwana laakkonen alisema hata hivyo kuna mabadiliko yanayokuja tanzania ambako wanafunzi wa kike ambao watapata ujauzito na kujifungua watakuwa na haki ya kurejea shuleni na kukamilisha elimu yao na kuongezeka idadi ya wanafunzi wanaojiunga na elimu ya sekondari mkurugenzi mkuu wa unicef duniani bwana UNK veneman alisema UNK kusikia nchi nyingi UNK mkataba wa haki ya kuwahudumia mtoto bwana veneman akizungumza kutoka new york marekani jana alisema idadi ya vifo vya watoto chini ya miaka mitano duniani imeshuka kutoka milioni kumi na mbili tano mwaka elfu moja na mia tisa na tisini hadi milioni nane nane mwaka ishirini sifuri nane ikiwa ni asilimia ishirini na nane na kati ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na ishirini sifuri sita ni jambo la kusikitisha watoto wengi wanakufa duniani kutokana na magonjwa ya UNK malaria na ukosefu wa chakula bora na wengine hawajui darasa na wanakumbana na matukio ya mapigano udhalilishaji na UNK serikali ya oman imeahidi kuendeleza ushirikiano kati yake na tanzania katika nyanja mbalimbali ili kufikia ustawi wa wananchi wa nchi zote mbili hayo yalisemwa juzi usiku dar es salaam na balozi wa nchi hiyo nchini bwana yahya UNK al UNK alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya sherehe kuadhimisha miaka thebathini na tisa ya kumbukumbu ya sultan wa oman tuko katika mchakato wa kusaini mikataba miwili ambao mmoja utahusu masuala ya kodi na mwingine utahusu kupeana mazingira mazuri ya uwekezaji pia hivi karibuni tumetoka kusaini mkataba wa makubaliano kuhusu ushirikiano wa kibiashara kwa hakika tunafanya biashara vizuri alisema bwana al UNK akizungumzia masuala ya siasa za zanzibar hasa baada ya kuulizwa kwa kuwa oman imekuwa na mahusiano ya UNK na watu wa visiwa hivyo alisema kuwa wanategemea nchi hiyo itafanya uchaguzi wenye amani ingawa UNK sana na masuala ya ndani ya nchi huko zanzibar lakini tumekuwa UNK mkono juhudi za serikali ya zanzibar katika kuleta amani miongoni mwao bila shaka tunategemea watafanya uchaguzi wa amani pia alizungumzia juu ya utaratibu wa kubadilishana wanafunzi kati ya nchi yake na tanzania ambapo alisema kuwa katika utaratibu wa kuanzisha nafasi za masomo ili wanafunzi kutoka tanzania waweze kwenda kusoma oman akizungumzia juu ya mkutano wa copenhagen denmark juu ya mabadiliko ya tabia nchi balozi huyo alisema kuwa msimamo wa nchi yake ni kuona kuwa hatua madhubuti zinachukuliwa na jumuiya ya kimataifa ili kusaidia dunia kuepuka madhara ya mabadiliko yao askofu mkuu wa kanisa anglikana tanzania daktari valentino mokiwa ametangaza masharti anayopaswa kutimiza rais mstaafu bwana benjamini mkapa ili watanzania wamsamehe kutokana na kashfa zinazomwandama akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana askofu mokiwa alisema ili bwana mkapa hajajutia makosa yake na kuonesha moyo wa toba ili asamehewe alisema ili kiongozi huyo asamehewe serikali ya awamu ya nne inapaswa kuboresha huduma zote za jamii ikiwa ni pamoja na kukomesha mgawo wa umeme kuboresha vituo vya afya na kumaliza kero zote zinazowakabili watanzania kauli ya daktari mokiwa imekuja siku moja baada ya rais mkapa kukaririwa akisema tuhuma zote zinazomwandama na mambo yote yanayosemwa kuhusu utawala wake anamwachia mungu bwana mkapa alitoa kauli hiyo wakati akimkaribisha makamu wa rais daktari ali mohamed shein kufungua mkutano wa kujadili hali ya maambukizi ya virusi vya ukimwi nchi jijini dar es salaam juzi tuhuma zinazomkabili bwana mkapa ni pamoja na kutajwa kusajili kampuni ya anben anayoimiliki na mkewe mama anna na kufanya biashara akiwa ikulu rais mkapa pia anatuhumiwa kushirikiana na aliyekuwa waziri wake wa nishati na madini bwana daniel yona kupitia kampuni ya tanpower resources kununua mgodi wa makaa ya mawe wa kiwira wenye thamani ya shilingi bil nne kwa bei poa ya shilingi milioni sabini sifuri na kulipa shilingi milioni sabini tu tayari serikali imetangaza kurudisha mgodi huo kiongozi huyo pamoja na serikali yake kujipatia mafanikio makubwa kiuchumi amekuwa akitajwa kutumia madaraka kwa kuiongezea mkataba kampuni ya kupakua na kupakia makontena bandarini ambayo mkaguzi mkuu wa hesabu za serikalia bwana ludovick utouh alisema ilikiuka sheria ya manunuzi ya mwaka ishirini sifuri nne askofu mokiwa alisema matamshi ya bwana mkapa kwenye mkutano wa juzi hayaoneshi toba na kujutia makosa yake hivyo hayuko sahihi wakati watanzania wana matatizo mengi yanayowakabili yaliyotokana na kasoro zilizojitokeza wakati wa utawala wake mkapa angekiri makosa aliyofanya wakati wa uongozi wake angekuwa sahihi nikifikiri ukimya wake wa muda mrefu alikuwa anatafakari nini cha kuwambia watanzania lakini jibu lake limekuwa tofauti na matakwa ya watanzania kwani anasema tuhuma zote anamwachia mungu huko si kukiri alisema askofu mokiwa aliongeza kuwa alitarajia serikali ingekuwa na ujasiri wa kutumia sheria na kumshurutisha rais mkapa kusimama na kuwaomba radhi watanzania wanaoishi katika lindi la umaskini kutokana mikataba mibovu ya madini ambayo hadi sasa hakuna mwananchi anayefaidika nayo ameishauri serikali kuwachunguza viongozi walioko madarakani na wale walio nje kama ili wachukuliwe hatua kama wamekwenda kinyume taratibu za uongozi kuna viongozi wengine wamekuwa wakipiga kelele majukwani kuhusu mkapa lakini hatujui usafi wao uko vipi bora tumeambiwa rais mkapa alinunua magodi wa kiwira na uko hapa tanzania kama ungekamilika ungeajiri watu wetu je hawa wanaojenga majumba nje tunawafanyaje kwani hayatusaidii watanzania wanataka kujua kampuni ya kagoda na meremeta zinamilikiwa na nani serikali ina maslahi gani kwa ticts hadi waikumbatie kiasi hicho bado kuna trl inatusumbua na wahusika wapo dawa katika vituo vya afya hakuna umeme wa uhakika hakuna na mambo mengine yasiyo na maslahi kwa watanzania alisema askofu mokiwa kwa upande wake daktari sengondo mvungi alisema huu si wakati wa kutafuta mchawi tugange yajayo kwani rais mkapa alikosa kutokana na makosa yaliyosababishwa na katiba alisema katiba ya sasa inampa madaraka makubwa rais wa nchi hali ambayo inamfanya ajikute anaingia katika kashfa iwapo kila rais aliyepita atachuguzwa atakutwa na makosa ambayo yanatokana na mfumo wa katiba iwe kwa rais wa awamu ya pili alhaji ali hassan mwinyi bwana mkapa au rais jakaya kikwete alisema kutokana na katiba nchi imekuwa na matatizo mengi yanayotokana na miundombinu ya utawala bora hivyo mambo mengi yanayofanywa ni ovyo kutokana na katiba na kushauri kubadilishwa katiba naye mbunge wa vunjo bwana aloyce kimaro alisema kwa kuwa rais mkapa ametambua makosa yake naye ni binadamu ambaye si mkamilifu sasa amefungua ukurasa mpya na imekuwa fundisho kwa wengine watakaofanya makosa wakiwa madarakani bwana kimaro ndiye aliyeibua hoja bwana mkapa kununua mradi wa makaa ya mawe kiwira kwenye mkutano wa kumi na moja wa bunge huku baadhi ya wabunge wakiunga mkono hoja hiyo na kushinikiza kiongozi huyo avuliwe kinga na kushitakiwa kwa kufanya biashara akiwa madarakani wakati mji wa arusha ukiwa katika hekaheka ya ugeni wa wakuu wa nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki polisi mkoani hapa wamezima tukio la ujambazi UNK kufanywa chini ya uratibu wa mganga maarufu wa kienyeji wa jijini dar es salaam katika tukio hilo lililofananishwa na sinema askari wa kikosi cha pikipiki zaidi ya kumi kwa kushirikiana na askari kanzu iliwachukua zaidi ya saa tano kufuatilia nyendo za watuhumiwa na kufanikiwa kuwanasa wakiwa katika baa moja eneo la UNK huku moja ya risasi ya bastola yao ikiwa tayari UNK watu watano wanaosadikiwa kuwa majambazi sugu akiwemo mganga huyo wa kienyeji walinaswa wakiwa na bastola hiyo na risasi tisa rungu panga na tunguri wakiwa katika harakati za kuvamia kwa mfanyabiashara moja maarufu mjini arusha kwa mujibu wa shuhuda mmoja wa tukio hilo UNK na kaimu kamanda wa polisi wa mkoa wa arusha bwana leonard paul watu hao walikutwa katika baa ya zumbukuku wakiendelea na vinywaji kujiandaa na uvamizi huo na UNK kamanda paul lisema juzi jioni kuwa watuhumiwa hao pia walikutwa na gari aina ya toyota corolla t mia moja na hamsini na tatu any UNK kutumika katika uporaji huo na pikipiki aina ya UNK UNK mia mbili na hamsini t mia tatu na sabini na tano UNK ambayo huitumia kwa uchunguzi kabla ya kufanya uharamia wao waliokamatwa wakihusishwa na tukio hilo ni bwana UNK omari mkazi wa kibonde maji jijini dar es salaam anayesadikiwa kuwa ndiye mganga wao bwana frank UNK bwana fredy mkenya wote wa sombetini arusha bwana UNK mushi wa sakina na bwana UNK UNK wa makao mapya mjini hapa kuondoa huyo mganga hao wengine wanne UNK katika baa ya zumbukuku iliyopo kwa UNK wakijiandaa kufanya uvamizi huo baada ya kupata taarifa za UNK kutoka kwa timu yetu na kufuatilia nyendo zao kabla ya kuwatia mbaroni alisema kamanda paul wakulima wawili wakazi wa kijiji cha UNK kata ya UNK singida vijijini bwana UNK mathias na bwana joseph UNK wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja na kisha kumuua mwanamke huyo lucia UNK alipoteza maisha kutokana na kubakwa huku akiwa UNK mdomo kwa UNK UNK shingo hivyo kukosa pumzi kutokana ugomvi wa mashamba kamanda wa polisi mkoani hapa bibi celina UNK alisema tukio hilo lilitokea juzi saa kumi na mbili jioni huko katika kijiji hicho alisema siku ya tukio hilo kaka wa marehemu bwana peter petro mkulima wa kijiji hicho aligundua kuuawa kwa dada yake na chanzo cha mauaji hayo kinachosadikiwa kuwa ni ugomvi wa mashamba baina ya marehemu na watuhumiwa hao baada ya mwili wa marehemu kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya mkoa wa singida ilibainika kuwa alibakwa kubakwa na shingo yake ilikuwa UNK watuhumiwa wanatarajiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote mara baada ya upelelezi kukamilika kampuni ya UNK corporation ya malaysia inayomiliki mitambo ya kampuni binafsi ya kuzalisha umeme yenye asilimi sabini ya hisa katika kampuni hiyo imekubali mitambo yake kubadilishwa ili iweze kutumia gesi asilia badala ya mafuta taarifa hiyo imetolewa kwenye vyombo vya habari jana dar es UNK na wizara ya nishati na madini ilifafanua kuwa kampuni hiyo ilitoa ridhaa hiyo oktoba kumi na tatu mwaka huu ili yafanyike mabadiliko yaliyokusudiwa kutokana na makubaliano hayo mpango wa kubadilisha utaanza kutekelezwa sambamba na mradi wa kuongeza kuongeza miundombinu ya kusafirisha gesi asili kutoka kisiwani songosongo ili kukabili kuongezeka kwa mahitaji ya gesi hiyo katika jiji la dar es salaam mradi wa kusafisha na kusafirisha gesi asili uko kwenye mchakato unaoendeshwa na mdhibiti wa sekta za nishati na maji alisema sehemu ya taarifa hiyo taarifa hiyo ambayo UNK na mtu yeyote lakini ikiwa na nembo rasmi ya serikali ilikuwa inafafanua habari zilizoandikwa na vyombo vya habari likiwamo gazeti hili UNK kamishna wa nishati bwana bashir mrindoko akisema kuwa mgogoro uliopo mahakamani kati ya serikali na iptl ndio unakwamisha mitambo hiyo kubadilishwa na kuanza kutumia gesi kuhusu UNK kwa mitambo ya iptl kutumia gesi asili badala ya mafuta ni suala la kihistoria sababu ya msingi siku za nyuma UNK kubadilishwa kwa mitambo hiyo ilikuwa ni kwa wenye mitambo kutotoa ridhaa ya kufanyika mabadiliko yaliyokusudiwa UNK sehemu ya taarifa hiyo kukubali kwa iptl kubadili mitambo hiyo kunaweza kuwa ni mwanza wa serikali kupunguza gharama za kuzalisha umeme kwa kutumia mafuta ambapo kila siku zinatumika lita hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kupata megawati kumi sifuri endapo kila lita inauzwa shilingi moja ishirini sifuri kila siku mitambo hiyo UNK shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri taarifa hiyo pia UNK upatikanaji wa umeme wa kituo kipya cha tegeta cha megawati arobaini na tano kilichojengwa na serikali ni kuwa kina mitambo mitano ya uwezo wa kuzalisha megawati tisa kila mmoja ambayo imeanza kuwashwa novemba kumi mwaka huu kwa mchakato wa kuwasha mmoja mmoja na kutathimini uzalishaji wake umeme unaozalishwa wakati wa majaribio ya kituo hicho unaingizwa kwenye gridi ya taifa na kufikia novemba kumi na tisa mwaka huu jumla ya megawati ishirini na sita zimekuwa zikizalishwa na kuingizwa kwenye UNK kwa mujibu wa taarifa hiyo mchakato wa majaribio ya kuzalisha unatarajiwa kuendelea hadi kukamilisha megawati arobaini na tano mwisho wa mwezi huu hata hivyo taarifa hiyo ya wizara inapingana na iliyotolewa na shirika la umeme iliyosema kwamba kinachofanyika sasa kwenye mtambo wa tegeta ni majaribio ya kiufundi na kwamba bado mtambo huo haujaanza kufanyakazi na umeme wake UNK rasmi kwenye gridi ya taifa barua pepe iliyotumwa juzi kwa gazeti hili na meneja mawasiliano wa tanesco badra masoud ilisema taarifa za kuanza kufanya kazi rasmi na umeme wa mtambo huo kuingia katika gridi zitatolewa baadaye baada ya majaribio ya kiufundi kukamilika na mtambo huo kuanza kazi rasmi na si vinginevyo mtambo wa umeme unaotumia gesi wa tegeta una injini tano na kila moja inakadiriwa kuzalisha megawati nane saba na leo jumatano novemba kumi na nane injini tatu zinatarajiwa kufanyiwa majaribio ilisema na israel mwaisaka mtafaruku mkubwa umezuka ndani ya kikao cha kamati ya maadili ya chama cha mapinduzi wilayani kyela uliosababisha polisi kuingilia kati na kumwokoa katibu wa chama hicho wilaya bibi maria UNK polisi walichukua hatua hiyo baada ya bibi mwambanga kupokea kipigo kutoka kwa wanachama hao UNK kuwa ni kibaraka wa baadhi ya wanasiasa huku wajumbe wengine UNK makonde wao kwa wao kikao hicho cha kamati ya maadili UNK makatibu kata wa chama hicho wa kata za kyela mjini UNK UNK UNK UNK songwe UNK na diwani wa kyela mjini bwana UNK mahenge wakidaiwa kuwa UNK mbunge wa kyela daktari harrison mwakyembe kwenye kikao cha halmashauri kuu ya ccm wilaya kamati hiyo ikiongozwa na mwenyekiti bwana japhet mwakasumi na katibu wake bibi mwambanga waliwaeleza makatibu hao na diwani kuhusu kumkashifu daktari mwakyembe na kuwataka waeleze sababu za kufanya hivyo na kwanini UNK hatua za kinidhamu kwa mujibu wa mmoja wa watuhumiwa hao ugomvi uliibuka baada ya wao kuhoji hatua ya kuitwa peke yao bila pande zote zinazohusika kwenye mvutano huo baada ya suala hilo kuzua mtafaruku mkubwa polisi walifika eneo hilo la ofisi ya ccm wilaya kumwokoa katibu huyo aliyekuwa akipokea kipigo huku wajumbe wa kikao hicho UNK kila mtu na njia yake kwa hofu ya kukamatwa na polisi mwenyekiti wa ccm wilaya bwana japhet mwakasumi alipotakiwa kuzungumzia sakata hilo alisema kwa muda huo akili yake ilikuwa haijatulia hadi hapo baadae naye mwandishi grace michael anaripoti kuwa katika kile kinachoonesha kuwa hali si shwari katika majimbo mengi ndani ya ccm kuelekea uchaguzi mkuu mwakani mbunge wa ukonga daktari makongoro mahanga ameonya dhidi ya tabia ya wana ccm UNK daktari mahanga amewataka badhi ya wanachama wenye nia ya kugombea udiwani na ubunge kuacha mara moja tabia ya kupitapita kwa wananchi na kuchafua majina ya viongozi waliopo madarakani kwa lengo la kujipatia umaarufu kisiasa alidai mbali ya kuchafua majina ya vingozi pia wanakwamisha utekelezaji wa ilani ya ccm kwa kuwachanganya wananchi na kupoteza mwelekeo wao wa kushirikiana na viongozi katika shughuli mbalimbalia za maendeleo akifungua semina ya jumuiya ya wazazi katika kata ya ukonga dar es salaam juzi daktari mahanga alisema ni vyema wanachama wa ccm wakatumia muda huu kuweka mikakati ya namna chama hicho UNK na ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa serikali za mitaa wapo baadhi ya wana ccm ambao tayari wameanza UNK wagombea wao kwa wananchi ili kufanya kampeni za ubunge mwakani UNK watu kujitokeza kugombea kwani ni haki yao kidemokrasia lakini ni lazima kanuni na taratibu za uchaguzi za ccm UNK kwa maana ya muda wa kuanza kampeni hizo alisisitiza daktari mahanga alisema kuwa tatizo kubwa UNK na wagombea hao ni kupita kwa wananchi huku wakitoa kashfa kwa viongozi ambao bado wako madarakani UNK kuacha mara moja tabia hiyo na kujikita katika kumaliza kero za wananchi zilizobaki katika kipindi hiki daktari mahanga alisema kuwa vitendo vya UNK kwa sasa UNK kukwama kwa utekelezwaji wa ilani ya ccm ambapo kiongozi aliyepo madarakani anatakiwa kushirikiana na wananchi wake katika utekelezaji huo kuanza kuvutana kwa sasa ni kupoteza dira kwani uchaguzi ni mwakani hivyo ni bora UNK kwanza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na sio kuweka nguvu katika uchaguzi ambao muda wake bado lakini wanaotumia jina la mbunge kusaka udiwani hilo nalo pia ni tatizo linaloweza UNK na wanachama wangu haya mambo tuyaache kwanza alionya daktari mahanga naye mjumbe wa kamati ya utekelezaji bwana ahmad UNK alisema kuwa vitendo vya watu kupita kwa wananchi huku UNK majina ya viongozi si sahihi hivyo aliwataka wanajumuiya hiyo kuwa makini na watu hao hawa UNK na viongozi wetu tunatakiwa kuwa makini zaidi na sio kusikiliza maneno ya watu bila kuangalia wamefanya nini ndani ya jamii yetu wanatakiwa kuja kwa hoja lakini si kwa kashfa kwa kiongozi aliyepo na UNK UNK na madhara makubwa yatatokea ndani ya chama chetu alisema bwana UNK tanzania UNK masharti ya kuonesha jinsi misaada ya wafadhili UNK na ilivyojipanga kushughulikia masuala ya utawala bora hasa mapambano dhidi ya ufisadi ili iendelee kunufaika na misaada ya wahisani masharti hayo yalitolewa jana na mwenyekiti mwenza wa nchi wafadhili bwana UNK dorst dar es salaam wakati wa kongamano la mwaka juu ya masuala ya sera ya taifa katika kutimiza malengo ya maendeleo ya millenia na mpango wa kupambana na kupunguza umaskini tanzania na zanzibar mbele ya waziri wa fedha na uchumi mustapha mkulo bwana dorst alisema ufisadi na usimamizi mbovu wa fedha za umma vimeendelea kuwa kikwazo cha maendeleo kiuchumi na kijamii na akaweka msimamo kwamba wahisani wengine wanapata shida kuchangia wakihofia matumizi mabaya ya misaada hiyo alisema kwa kuwa shughuli za maendeleo nchini zimekuwa UNK na mfuko wa pamoja wa kuchangia bajeti za nchi ambao pia UNK na ufisadi na usimamizi mbovu wa fedha za umma suala la rushwa UNK sana wadau wa maendeleo hadi kwa walipa kodi wetu nchini kama UNK kuwa tanzania inapokea misaada wa jumla kwa bajeti na UNK kwa mwaka uliopita jinsi watanzania UNK madhara ya rushwa katika maendeleo ya taifa na mkakati wa kupunguza umaskini alisema alisema wanaamini kuwa ni muhimu kwa serikali kuendelea kuonesha juhudi zake za kupambana na rushwa zaidi hasa rushwa kubwa kwani hivi karibuni vyombo vya habari UNK kuwa tanzania imeshuka kwa nafasi ishirini na nne katika suala la uwazi wa kupambana na rushwa ya kimataifa hii UNK kwamba mtazamo wa watu katika mapambano dhidi ya rushwa nchini inazidi kuwa mbaya badala ya kuwa nzuri jambo ambalo linaweza kuwawia vigumu wadau wa maendeleo kuendelea kuisaidia tanzania alisema alisema jambo la kuangalia ni kwamba watanzania UNK kuwa na ujasiri wa kuhakikisha kuwa rasilimali zilizopo zinatumika kuboresha maisha yao badala ya raslimali hizo kupotea kutokana na rushwa akizungumzia suala la kilimo kwanza alisema kuwa sera hiyo inaweza kupunguza umaskini vijijini kama mpango huo UNK vema lakini kilimo pekee yake UNK mbadala wa punguza umaskini hivyo serikali inapaswa kuboresha sekta zingine kwa pamoja ili kuongeza thamani ya mazao ni jambo la msingi kukuza sekta nyingine pia kwani baada ya mazao kupatikana inatakiwa kuwepo mazingira bora ya biashara za ndani na za kimataifa pamoja miundombinu ya nishati na usafirishaji pamoja na viwanda alisema UNK kuonesha uwajibikaji katika maeneo hayo na matokeo yakaonekana ni wazi tutakuwa katika nafasi nzuri ya kujadili kuendelea kuchangia mpango wa maendeleo nchini UNK jina la mkukuta ii alisema bwana UNK akizungumza baada ya kauli hiyo waziri mkulo alikiri kwamba suala la rushwa nchini ni gumu kutokomezwa kutokana na kasi ndogo ya kushughulikia kesi za rushwa hizo ambazo ziko mahakamani waziri huyo alisema kuwa kesi hizo zimeongezeka kutoka hamsini na nane mwaka ishirini sifuri tano hadi moja mia tano na sabini na nane mwaka huu hata hivyo alishindwa kutoa sababu za kushindwa kushughulikia tatizo la rushwa kwa madai kuwa ni mapema mno bwana mkulo alisema kuwa mkukuta wa awamu ya kwanza unamalizika mwakani na kwamba hawataweza kuingia katika mkukuta wa pili hadi hapo UNK kwa wafadhili fedha za mkukuta wa kwanza UNK kwa wastani tunaweza kukiri kwamba tumeshindwa kuondoa umaskini hiyo yote inatokana na matatizo ya miundombinu ya barabara na kilimo japo sehemu UNK UNK na hilo UNK kwa wafadhili na kuahidi kuendelea kusaidia alisema alisema kuwa lengo la majadiliano hayo na wadau wa maendeleo ni kujaribu kuangalia jinsi serikali UNK malengo ya maendeleo ya millenia ya kupunguza umaskini duniani mkutano huo utafanyika kwa siku tano kujadili mafanikio ya UNK na mkukuta pamoja na kuangalia ni jinsi gani serikali UNK fedha za wafadhili katika kutoa huduma kwa jamii maeneo mengine yatakayojadiliwa ni kuendelea kukua kwa umaskini vijijini mazingira ya biashara changamoto za utoaji huduma sawa matumizi ya bajeti na utawala wa fedha katika mamlaka ya serikali kuu na serikali za mitaa askofu mkuu wa kanisa anglikana tanzania daktari valentino mokiwa ametangaza masharti anayopaswa kutimiza rais mstaafu bwana benjamini mkapa ili watanzania wamsamehe kutokana na kashfa zinazomwandama akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana askofu mokiwa alisema ili bwana mkapa hajajutia makosa yake na kuonesha moyo wa toba ili asamehewe alisema ili kiongozi huyo asamehewe serikali ya awamu ya nne inapaswa kuboresha huduma zote za jamii ikiwa ni pamoja na kukomesha mgawo wa umeme kuboresha vituo vya afya na kumaliza kero zote zinazowakabili watanzania kauli ya daktari mokiwa imekuja siku moja baada ya rais mkapa kukaririwa akisema tuhuma zote zinazomwandama na mambo yote yanayosemwa kuhusu utawala wake anamwachia mungu bwana mkapa alitoa kauli hiyo wakati akimkaribisha makamu wa rais daktari ali mohamed shein kufungua mkutano wa kujadili hali ya maambukizi ya virusi vya ukimwi nchi jijini dar es salaam juzi tuhuma zinazomkabili bwana mkapa ni pamoja na kutajwa kusajili kampuni ya anben anayoimiliki na mkewe mama anna na kufanya biashara akiwa ikulu rais mkapa pia anatuhumiwa kushirikiana na aliyekuwa waziri wake wa nishati na madini bwana daniel yona kupitia kampuni ya tanpower resources kununua mgodi wa makaa ya mawe wa kiwira wenye thamani ya shilingi bil nne kwa bei poa ya shilingi milioni sabini sifuri na kulipa shilingi milioni sabini tu tayari serikali imetangaza kurudisha mgodi huo kiongozi huyo pamoja na serikali yake kujipatia mafanikio makubwa kiuchumi amekuwa akitajwa kutumia madaraka kwa kuiongezea mkataba kampuni ya kupakua na kupakia makontena bandarini ambayo mkaguzi mkuu wa hesabu za serikalia bwana ludovick utouh alisema ilikiuka sheria ya manunuzi ya mwaka ishirini sifuri nne askofu mokiwa alisema matamshi ya bwana mkapa kwenye mkutano wa juzi hayaoneshi toba na kujutia makosa yake hivyo hayuko sahihi wakati watanzania wana matatizo mengi yanayowakabili yaliyotokana na kasoro zilizojitokeza wakati wa utawala wake mkapa angekiri makosa aliyofanya wakati wa uongozi wake angekuwa sahihi nikifikiri ukimya wake wa muda mrefu alikuwa anatafakari nini cha kuwambia watanzania lakini jibu lake limekuwa tofauti na matakwa ya watanzania kwani anasema tuhuma zote anamwachia mungu huko si kukiri alisema askofu mokiwa aliongeza kuwa alitarajia serikali ingekuwa na ujasiri wa kutumia sheria na kumshurutisha rais mkapa kusimama na kuwaomba radhi watanzania wanaoishi katika lindi la umaskini kutokana mikataba mibovu ya madini ambayo hadi sasa hakuna mwananchi anayefaidika nayo ameishauri serikali kuwachunguza viongozi walioko madarakani na wale walio nje kama ili wachukuliwe hatua kama wamekwenda kinyume taratibu za uongozi kuna viongozi wengine wamekuwa wakipiga kelele majukwani kuhusu mkapa lakini hatujui usafi wao uko vipi bora tumeambiwa rais mkapa alinunua magodi wa kiwira na uko hapa tanzania kama ungekamilika ungeajiri watu wetu je hawa wanaojenga majumba nje tunawafanyaje kwani hayatusaidii watanzania wanataka kujua kampuni ya kagoda na meremeta zinamilikiwa na nani serikali ina maslahi gani kwa ticts hadi waikumbatie kiasi hicho bado kuna trl inatusumbua na wahusika wapo dawa katika vituo vya afya hakuna umeme wa uhakika hakuna na mambo mengine yasiyo na maslahi kwa watanzania alisema askofu mokiwa kwa upande wake daktari sengondo mvungi alisema huu si wakati wa kutafuta mchawi tugange yajayo kwani rais mkapa alikosa kutokana na makosa yaliyosababishwa na katiba alisema katiba ya sasa inampa madaraka makubwa rais wa nchi hali ambayo inamfanya ajikute anaingia katika kashfa iwapo kila rais aliyepita atachuguzwa atakutwa na makosa ambayo yanatokana na mfumo wa katiba iwe kwa rais wa awamu ya pili alhaji ali hassan mwinyi bwana mkapa au rais jakaya kikwete alisema kutokana na katiba nchi imekuwa na matatizo mengi yanayotokana na miundombinu ya utawala bora hivyo mambo mengi yanayofanywa ni ovyo kutokana na katiba na kushauri kubadilishwa katiba naye mbunge wa vunjo bwana aloyce kimaro alisema kwa kuwa rais mkapa ametambua makosa yake naye ni binadamu ambaye si mkamilifu sasa amefungua ukurasa mpya na imekuwa fundisho kwa wengine watakaofanya makosa wakiwa madarakani bwana kimaro ndiye aliyeibua hoja bwana mkapa kununua mradi wa makaa ya mawe kiwira kwenye mkutano wa kumi na moja wa bunge huku baadhi ya wabunge wakiunga mkono hoja hiyo na kushinikiza kiongozi huyo avuliwe kinga na kushitakiwa kwa kufanya biashara akiwa madarakani UNK akaunti zake zote viongozi wake UNK kutoka yachunguza ziliko fedha zingine hatimaye serikali imetangaza rasmi kufuta shughuli za kupanda na kuvuna fedha zilizokuwa zikiendeshwa na kampuni ya development enterpreneurship for UNK tamko hilo la serikali lilitolewa jana na waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo mbele ya waandishi wa habari ofisini kwake dar es salaam ambapo alibainisha kuwa upatu huo ni kinyume cha sheria serikali ilishatoa taarifa kuhusu UNK wa shughuli za deci ltd hii ni kwa mujibu wa sheria ya kanuni ya adhabu sura ya kumi na sita ya sheria ya tanzania kama ilivyorekebishwa na sheria ya mabadiliko mbalimbali ya mwaka ishirini sifuri sita na ile ya michezo ya kubahatisha ya sura ya arobaini na moja ya sheria ya tanzania imeeleza sehemu ya taarifa hiyo hili ni tamko la serikali mpaka nakuja hapa ni kwamba tayari waziri mkuu makamu wa rais na rais mwenyewe wameridhika na uchunguzi na UNK deci isitishwe alisisitiza bwana mkulo alisema iko mifano hai ambako mipango kama hii iliendeshwa na UNK na kuutaja wa UNK mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita tisini na saba na ule wa kenya ambako madhara makubwa UNK ikiwa ni pamoja na watu kupoteza maisha alisema taarifa mbalimbali kupitia vyombo vya habari kuhusu deci kusitisha shughuli zake zimesababisha wasiwasi mwingi miongoni mwa wanachama na serikali imeamua kuchukua hatua kadhaa kukabili hali hiyo hatua hizo ni pamoja na kuhakikisha maeneo yote ya shughuli za deci UNK sambamba na kuzuia pesa zote zilizopo kwenye akaunti za waendeshaji wa deci na deci yenyewe hadi hapo hatma ya shughuli za chombo hicho UNK bwana mkulo alisema serikali inafanya jitihada za kujua ziliko fedha zingine ambazo hazipo kwenye mabenki na UNK kuhakikisha UNK salama hatua nyingine ni kukusanya na kutunza kumbukumbu zote za wanachama ikiwa ni pamoja na kiasi UNK na UNK tangu deci ilipoanza shughuli zake hapa nchini kuendelea na uchunguzi wa kina juu ya waendeshaji na wamiliki wote ikiwemo deci ltd iliyosajiliwa nchini kenya ambayo shughuli zake UNK na deci ltd kutokana na wamiliki wake kuwa wa kanisa hilo hilo la UNK alisema serikali pia inaendelea na hatua ya kuhakikisha waendeshaji na wamiliki wote wa deci UNK nchini alisema serikali itaendelea kuelimisha wananchi uelewa vyema kuhusu madhara ya upatu wa UNK bwana mkulo aliwataka wananchi wawe watulivu na kuepuka ushabiki na uchochezi unaoweza kusababisha uvunjifu wa amani wakati wa kushughulikia suala hili alisema madhumuni ya serikali kuchukua hatua hizo kwanza ni kukinga umma wa watanzania UNK kirahisi na watu UNK alisema lingine ni kuhakiki kumbukumbu zitakazopatikana katika ofisi za deci ili kuwezesha kuweka mikakati ya kurudisha kwa wanachama chochote UNK bwana mkulo alisisitiza kuwa deci ni kampuni ya kitapeli inayofanya shughuli za upatu ambazo ini kinyume cha sheria za nchi alisema taasisi kadhaa zilithibitisha kutotoa leseni kwa deci ikiwa ni pamoja na mamlaka ya masoko ya mitaji na dhamana benki kuu ya tanzania wizara ya mambo ya ndani wizara ya biashara viwanda na masoko bodi ya michezo ya kubahatisha na wizara ya kilimo chakula na ushirika alikiri serikali kupitia bot kuchelewa kuchukua hatua kutokana na uchunguzi wa kina walioufanya ili kupata ukweli namna deci UNK ikiendesha shuguli zake deci ilisajiliwa januari ishirini sifuri saba na walijiandikisha kama kampuni ya kanisa kwa ajili ya kuwasaidia waumini la kipentekoste hivyo serikali awali haikuwa na wasiwasi nayo alisema bwana mkulo alisema baada ya bot kukataa maombi ya deci ya kupewa kibali cha kukusanya fedha kwa wananchi kutokana na kutokuwa wametimiza masharti walikiuka maagizo ya bot na kuanza kukusanya fedha alisema kuwa pamoja na bot kuita deci itoe mchanganuo wao namna UNK faida na riba kubwa bado UNK agizo hilo hadi leo bwana mkulo alisema katika wasiwasi huo serikali kupitia chombo chake maalum cha kuchunguza fedha haramu ilibaini kuwa deci ilikuwa imekusanya fedha nyingi na kuweka kiasi kidogo benki nyingine zikiwa mikononi mwa UNK hapa kuna utata mwingi kuhusu deci mambo yao mengi hayakuwa wazi waliomba kufanya kazi kama kampuni ya kanisa baadae UNK deci sasa hapa UNK kanisa deci na wamiliki kila mmoja ana akaunti yake alidai aliongeza kuwa katika uchunguzi huo UNK kukuta mmoja wa wanahisa ambaye awali alikuwa na kiasi kidogo cha fedha lakini ghafla na kwa muda mfupi akaunti yake ina mamilioni yasiyo na ufafanuzi UNK bwana mkullo alisema kuwa kiuchumi serikali haijapata hasara yoyote kutokana na deci isipokuwa hasara inaweza kuwa kwa wananchi ambao katika kurudishiwa fedha zao inawezekana wengine wakakosa kutokana na mfumo ulivyokuwa unatumika UNK faida UNK aliwataka wananchi UNK kuwa na subira kwa kuwa hatua zitakazochukuliwa na serikali kwa wamiliki zitaonekana hivi karibuni kulingana na ukweli utakavyokuwa UNK tamko la serikali UNK mijadala ya wiki kadhaa sasa ambayo iliibuka nchini kote ambako baadhi ya wanachama wa deci walizidi kuonesha imani yao kwa chombo hicho huku wakishinikiza UNK UNK shughuli zake hivi karibuni waziri mkuu bwana mizengo pinda alikaririwa akisema upatu wa si lolote bali ni mchezo bali ni mchezo unaoendeshwa na wajanja wajanja na kuwatahadharisha wananchi kuepuka jambo hilo kwa manufaa ya mitaji yao bwana pinda aliwataka wananchi kuzingatia onyo lililotolewa hivi karibuni na bot na soko la mitaji kuepuka upatu huo ili kuponya pesa zao waziri mkuu alitoa kauli hiyo alipokutana na wahariri wa vyombo vya habari ofisini kwake jijini dar es salaam jana na kubainisha kuwa deci inaendeshwa kinyume cha sheria na kamwe serikali haiwezi kukaa kimya kuacha wananchi wake wahatarishe mitaji yao nilipokaa na wataalamu nikawauliza kuhusu jambo hili wameniambia mfumo huu ni upatu upatu unaendeshwa kwa kuchukua pesa kutoka kwa mtu mwingine bila kumlipa riba ila ni fedha inayolipwa kutokana na ongezeko la wateja wapya nikasema makubwa haya mbona itatuletea mgogoro alikaririwa akisema bwana pinda na kuongeza upatu unaoeneshwa na deci haujawahi kufanikiwa sehemu yoyote duniani ni mfumo uliojaa ujanja ujanja mwisho wa siku watu UNK alieleza waziri mkuu halmashauri ya wilaya ya mwanga mkoani kilimanjaro na manispaa ya arvidsjaur nchini sweeden zimefikia makubaliano ya kushirikiana katika nyanja za kiuchumi ambayo UNK sweeden kuwekeza wilayani mwanga meya wa manispaa ya arvidsjaur bwana jerry johansson alisema hivi karibuni wameridhishwa na mazingira ya wilaya ya mwanga na wameamua kuwekeza katika nyanja za viwanda vidogo vikiwemo vya kukoboa na kuanika kahawa afya uvuvi na elimu alisema makubaliano hayo yatawawezesha wananchi wa wilaya ya mwanga kuwa na maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua na umaskini yamefikiwa katika kikao cha pamoja UNK na mkuu wa wilaya hiyo bwana athuman UNK bwana johansson aliongeza kuwa kutokana na mazingira ya wilaya hiyo kuna muhimu kuwepo pia na nishati ya upepo na jua ili kuwa na uhakika wa uzalishaji wa bidhaa na UNK ya mawasiliano ya UNK naye mkuu wa wilaya ya mwanga bwana athumani mdoe aliipongeza manispaa ya arvidsjaur kwa kuja kuwekeza katika wilaya yake na kuwa kijiji cha UNK UNK kuwa cha uwekezaji wa viwanda vidogo kwa kutumia rasilimali zilizopo na mafunzo ya ufundi yatatolewa kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya UNK naye mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya hiyo bwana UNK mamboleo amewataka wananchi kuwa tayari UNK na kuchangia miradi UNK na manispaa hiyo ya UNK wajasiriamali wadogo na wakubwa walioko katika maeneo ya migodi ya dhahabu inayomilikiwa na kampuni ya barrick tanzania wametakiwa kutumia fulsa za kufanya biashara zinazotolewa katika migodi hiyo kwa lengo la kuwainua kiuchumi changamoto hiyo ilitolewa hivi karibuni mjini kahama na ofisa maendeleo ya biashara wa barrick tanzania bwana UNK tenga kwenye semina kwa wafanyabiashara UNK fulsa za kufanyabiashara na migodi zilizopo na zitakazo endelea kutolewa bwana tenga alisema migodi ya barrick imekuwa UNK fulsa mbalimbali kwa wajasiriamali wadogo na wakubwa na kuwapa kipaumbele wale walioko maeneo ya migodi kwa lengo la kuwanufaisha na kuwainua kiuchumi lakini wamekuwa UNK alisema barrick inapenda sana kufanya biashara na wajasiriamali waliopo maeneo yao ili mradi wawe UNK wajibu wao na taratibu na sheria za inchi zilizopo katika maswala ya biashara na ambazo ndiyo zimekuwa UNK UNK fulsa za kufanya biashara na migodi alisema wajasiriamali wazawa wanaoishi maeneo ya migodi wataendelea kuwapa elimu mara kwa mara kwa njia ya semina ili waweze kufanya biashara katika migodi hiyo na kwa wale wanaofanya nao na kukiuka miongozo na maadili UNK UNK awali mkuu wa wilaya ya kahama bwana bahati UNK akifungua semina hiyo aliwataka wajasiriamali hao kuzingatia fulsa zinazotolewa na barrick ili wanufaike kwa kufuata kanuni na UNK wawekezaji hao ambazo zinalenga kuwainua kiuchumi badala ya kukaa na kulalamika tu vikundi vya wakulima wadogowadogo wa uzalishaji wa zao la kahawa wilayani hai mkoani kilimanjaro vimefanikiwa kupanda miche bora ya kahawa arobaini sifuri sifuri sifuri sifuri katika kipindi cha miezi kumi kwa lengo la kuunga mkono jitihada za serikali za kufufua kahawa hayo yalibainishwa na mwenyekiti wa vikundi hivyo bwana UNK swai wakati wa uzinduzi wa umoja wa wakulima wa kahawa bora wilayani hai UNK katika kijiji cha UNK machame na kushirikisha vikundi thebathini na moja vya wakulima wa kahawa wilayani hapa alisema kupitia vikundi hivyo wakulima wataweza UNK kahawa kwa asilimia kubwa ambapo ilionekana kudidimia na kufanikisha jitihada za kuwakwamua wakulima kiuchumi na kuwakomboa katika lindi la umaskini lengo la kuunda umoja huu ni kuwaunganisha wakulima pamoja na kwamba baada ya kuvuna kahawa yao wataweza kuiuza wenyewe bila kupitia kwenye vyama vya ushirika kama ilivyo sasa na kila mmoja ataweza kujifunza namna ya kulima kahawa bora ambayo itamsaidia kuongeza pato lake alisema bwana swai bwana swai alisema kupita vikundi hivyo kila mwanachama amepewa shamba la majaribio ili kuweza kutambua mbinu na njia za kupanda na kuitunza kahawa hiyo ambayo UNK na wadudu na kwamba mche mmoja wa kahawa una uwezo wa kuzalisha kilo tatu kwa mara moja kwa upande wao baadhi ya wakulima hao walisema kuwa wanakabiliwa na changamoto mbalimbali za kufikia malengo ya kuzalisha kahawa bora ikiwemo ukosefu wa pembejeo za kutosha sanjari na upatikanaji wa maji ya umwagiliaji serikali ikifanikiwa kudhibiti bidhaa kutoka nje wakulima wa tanzania watanufaika kwa kuuza malighafi zao katika kampuni mbalimbali nchini hayo yalisemwa hivi karibuni na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa kampuni ya bia ya tanzania bwana anold kileo wakati UNK kituo kipya cha kuuzia vinywaji hivyo katika eneo la UNK mkoani hapa alisema kampuni nyingi hapa nchini UNK vinywaji kwa kutumia mazao ya wakulima kama vile zabibu na ulezi na hivyo kampuni za nje ya nchi UNK bidhaa zao nchini kiholela UNK juhudi za mkulima kupata faida alisema bidhaa kutoka nje ya tanzania UNK nchini hutumiwa na kampuni kutengeneza bidhaa zao kwa kusema bidhaa zao UNK kutoka nje ya nchi na kuacha mazao asilia yanayozalishwa na mkulima wa tanzania ambayo huwa na ubora zaidi bwana kileo alizitaka kampuni UNK vinywaji nchini kutumia bidhaa zinazozalishwa nchini tanzania kwani zina ubora ambao husaidia mkulima katika kuondokana na umaskini wa kipato wakati wakazi wa magomeni kota wakisubiri waongezewe miezi mitatu ili watafute nyumba za kupanga jitihada mbalimbali zinafanyika kumuona waziri mkuu bwana mizengo pinda mwenyekiti wa kamati ya wakazi wa magomeni kota bwana nkurumah munjoli alisema katika mkutano wa wakazi hao jana dar es salaam kuwa wamegundua njia ya kupata msaada ni kumuona waziri mkuu pinda bwana munjoli aliwaambia wakazi hao kuwa kitendo cha kukatiwa umeme na kutakiwa kuondoka bila maombi yao kufanyiwa kazi wameona ni unyanyasaji ambao wamekilalamikia kituo cha sheria na haki za binadamu na taratibu za kwenda mahakamani UNK alisema kwa sababu sekeseke la kuhamishwa UNK utaratibu wa makubaliano kati yao na manispaa ya kinondoni wameanza kuandikisha watoto ambao UNK pasipo sababu kwa vile manispaa ya kinondoni UNK wazi kimaandishi kuhusu makubaliano ya pande mbili hizo tulitaka tutambuliwe kama wapangaji wanunuzi na tulipwe fedha za kukodisha nyumba wakati tukisubiri ujenzi wa nyumba za maghorofa ya kisasa kutoka shilingi mia saba na ishirini sifuri sifuri sifuri ya mwaka ishirini sifuri sita lakini pamoja na maneno mazuri ya mdomo hatujui ukweli wake alisema bwana UNK wakazi wa magomeni kota wapatao thebathini sifuri sifuri sifuri ambao wamekata tamaa ya kupewa kipaumbele cha kuendelea kuishi eneo hilo jumapili iliyopita walimlalamikia diwani wa kata ya ndughumbi kupitia ccm bwana charles mgonja kuwa hana msaada kwao nyumba mia sita na arobaini na nne za kota magomeni hazina umeme baada ya shirika la umeme tanzania tawi la magomeni kukata huduma hiyo kushinikiza wananchi hao wajiandae kuhama kupisha ujenzi wa nyumba za kisasa mwenyekiti wa wazazi wa chama cha mapinduzi mkoa wa kilimajaro bwana UNK ngawaiya ameitaka serikali kuchukua hatua za haraka kuthibiti watu UNK chinichini kama mchwa kwa ajili ya kutaka UNK nchi kwa kutumia fedha zao UNK na majira dar es salaam jana bwana ngawaiya alionesha kukerwa na kupita katika maeneo mbalimbalia wakitoa misaada mikubwa ya fedha ambazo chanzo chake hakijulikani alisema kuwa hali hiyo inasababisha watu hao kuwa na sauti kubwa kuliko serikali kutokana na fedha ambazo wamekuwa wakizitoa kama misaada kwa jamii bila kueleza kuwa zimetoka wapi utashangaa mtu anatoa milioni ishirini sifuri hadi thebathini sifuri kwa jamii kama msaada lakini fedha hizo UNK UNK wapi hali hii UNK mashaka kabisa kwani serikali inatakiwa iwe UNK uhalali wake UNK na kuota mizizi wataifikisha serikali pabaya alisema bwana ngawaiya alisema kuwa watu hao wamekuwa wakitumia vyombo vya habari vibaya kwa kutangaza mambo yao na kwamba serikali UNK hatua mapema tanzania itaelekea pabaya hawa watu wanapata fedha hizo kutoka nje ya nchi haiwezekani wawe wanatoa misaada ya mabilioni ya fedha kila mara kutoka mifukoni kwao nchi UNK sasa na watu wachache nasisitiza serikali kuwa macho na kufanya utafiti kuhusu vyanzo vya fedha vya watu hao alisema bwana ngawaiya bila kuwataja majina bwana ngawaiya alihoji ukimya UNK na kitengo cha usalama wa taifa wakati nchi UNK na watu wachache na kufafanua kuwa kutokana na hali hiyo baadhi ya mataifa yameingia katika migogoro kutokana na hali hiuyo ya kutoa UNK ya kifedha lakini chanzo cha fedha hizo hakijulikani katika hatua nyingine bwana ngawaiya alisema anashangazwa na baadhi ya viongozi wanaomsema vibaya rais wa awamu ya tatu bwana benjamini mkapa kuhusu mambo UNK kufanya katika kipindi cha uongozi wake wakati alifanya mambo mazuri kama mkapa UNK kugombea tena baada ya kipindi cha miaka kumi baada ya kumalizika kwa uongozi wa rais kikwete watanzania wangemkubali na kumchagua kwa sababu kipindi anaingia madarakani UNK hata senti tano benki kuu ya tanzania lakini alikaa na kupanga mipango ambayo ni imara mpaka kukawepo kwa fedha za kutosha ambazo UNK baada ya kumaliza muda wake alisema bwana ngawaiya alisema anashangaza na jinsi watu UNK UNK uchumi nyuma pamoja na UNK mambo mbalimbali bila kufikiria alipoingia madarakani ni mambo mangapi UNK bwana ngawaiya alisema kuwa viongozi wanaotoa visingizio kwa ajili ya kumchafua mzee wa watu wamwache UNK kambi ya ulipaji fidia kwa wakazi wa kipawa dar es salaam imefungwa rasmi mwishoni mwa wiki baada ya watu mia nane na sitini na moja kulipwa jumla ya shilingi bilioni kumi na tatu tano ba matukio manane ya udanganyifu wa malipo baada ya kufungwa kwa kambi hiyo na mkuu wa wilaya ya ilala bwana evance balama malipo kwa watu waliosalia yatafanyika kati ya novemba ishirini na sita na ishirini na nane katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam na baadaye hundi UNK na wadai wengine wataendelea kulipwa kwa utaratibu mpya tumeamua kufunga kambi ya ulipaji baada ya kuona idadi ya watu imepungua hivyo kutokana na watu kutojitokeza hali inayoashiria pengine kumalizika kwa UNK lakini kazi hiyo itaendelea novemba ishirini na sita hadi ishirini na nane mwaka huu alisema bwana balama alisema wakazi mia tatu na sitini wanaodai shilingi nne mia tano na thebathini na nane mia nane na sabini na mbili mia moja na kumi na nne ambao kati yao ishirini na tano ni wa UNK iliyofunguliwa kati ya oktoba ishirini hadi novemba kumi na tatu mwaka huu ambazo ziko mahakamani na kuwataka wanaodhani wana madai halali wafike na vitambulisho na maelezo sahihi UNK kuchelewa ulipwaji wa fidia ulianza oktoba kumi na tano mwaka huu UNK wakazi moja mia mbili na ishirini na moja UNK jumla ya shilingi kumi na nane sifuri tano nne mia tatu na arobaini na sita sifuri sifuri sifuri ikiwa ni fidia za majengo na mali zilizokuwa katika eneo hilo wakati wa udhamini ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere hata hivyo alisema shughuli hiyo UNK na wajanja ambao katika malipo yanayoendelea watatakiwa kwenda katika eneo zilipokuwa nyumba zao UNK akizungumzia kesi nane za udanganyifu katika malipo ambazo upelelezi unaendelea bwana balama alisema kuwa baadhi yao UNK fedha katika hundi zao tofauti na inavyotakiwa kwa kuzidishiwa kiwango vitendo UNK kufanywa na watendaji waliofanya kazi hiyo ya UNK aliwaomba wakazi UNK kuondoa mali zao katika eneo hilo ndani ya muda wa notisi waliopewa badala ya UNK nyumba zao kubomolewa kwa nguvu baada ya siku arobaini na tano za notisi kumalizika na hakutakuwa na mjadala mpya isipokuwa kuendelea na upanuzi wa uwanja huo waziri mkuu bwana mizengo pinda ametoa siku tatu kwa mhandisi ya maji wilayani newala kutatua tatizo la maji ambalo ni kero kwa wananchi ametoa kauli hiyo juzi wakati akijibu hoja za wakazi wa mji wa newala kuwa kabla hajaondoka mkoani humo jumanne apatiwe ufumbuzi kuhusu tatizo la maji katika wilaya hiyo katika watu sita UNK maswali watano waligusia tatizo la maji na umeme katika mji huo jambo UNK bwana pinda na kusema haelewi ni kwa nini wananchi hao wanateseka wakati rais jakaya kikwete alihangaika kutafuta jenereta la kuwasha pampu za kusukuma maji kutoka chanzo cha mkunya wilayani humo lakini UNK UNK siku tatu zilizopita rais kikwete amehangaika kutafuta jenereta hadi UNK kule UNK limekuja siku nyingi na hela za mafuta shilingi milioni thebathini zilikuwepo waliposikia waziri mkuu anakuja ndipo UNK alisema huku akishangiliwa na wakazi hao alisema kwa jitihada za rais kama kweli injinia huyo alikuwa ana nia ya kuwasaidia wananchi hilo tatizo lilipaswa kuwa limeisha kwa asilimia kubwa sana asubuhi wakati naenda kukagua chanzo cha maji cha mkunya UNK na mabango UNK maji ni mradi wa wakubwa UNK UNK mkazi kuwa nataka aweke ratiba ya kugawa maji na UNK kwenye UNK vya maji ili watu wote wapate kwa bei nafuu alisisitiza alisema mtaalamu mzuri ni yule mwenye kuhangaika usiku na mchana kutatua matatizo yanayowakabili wananchi na kumtaka mhandisi mkazi wa maji katika mradi wa maji makonde injinia bernard UNK atafute ufumbuzi wa tatizo la maji katika kijiji cha UNK kabla UNK mkoa huu ninataka kujua hatua gani zimechukuliwa kutatua tatizo hili wakati wa majumuisho tarehe ishirini na nne nitapenda kupata taarifa alisema waziri mkuu huku akishangiliwa na wakazi hao alisema amepata taarifa kuwa wako watu wachache UNK maji na UNK katika visima vyao ili wayauze kwa wananchi wengine kwa shilingi hamsini sifuri kwa ndoo moja na wengine UNK maboza na kupita mitaani wakijifanya wasamaria wema kwa kuuza maji hayo kwa shilingi hamsini sifuri hadi sabini sifuri kwa ndoo moja waziri mkuu ambaye jana alikuwa katika siku ya tatu ya ziara yake mkoani mtwara alisema amejifunza mengi katika ziara ya mikoa ya lindi na mtwara na anaondoka akiwa na changamoto ya kufuatilia utekelezaji wa maagizo yake umefikia wapi nina timu yangu ambayo kila baada ya miezi mitatu huwa inafuatilia maagizo UNK katika ziara ole wenu warudi na kukuta tatizo la maji kule mkunya halijaisha na maboza bado yanauza maji hapa mjini UNK alisema anatambua mtihani mkubwa unaoikabili wilaya hiyo kuwa ni ubovu wa mfumo wa mabomba ya kusambazia maji kwani mengi yamechakaa na ndiyo maana akasisitiza kuwepo kwa mgao baina ya vijijini na mji wa newala ili watu wote wapate kidogo kidogo katika mkoa wa mtwara wilaya yenye kiwango cha chini cha watu wanaopata maji safi ni newala ambapo asilimia ishirini tu ya wakazi wake wanapata maji safi chama cha wazalishaji chumvi nchini UNK serikali kufuta kodi katika uingizaji wa madini joto na kuitoa kama ruzuku ili wazalishaji wadogo waweze kuichanganya vema na kupata chumvi yenye ubora unaokubalika kimataifa mwenyekiti wa taifa wa UNK bwana habib nuru alisema juzi kwenye mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika mjini hapa kuwa moja ya matatizo UNK wazalishaji wa chumvi nchini ni upatikanaji wa madini joto ambayo yana umuhimu mkubwa kabla chumvi UNK mtumiaji madini joto UNK nchini UNK ushuru wakati fulani UNK serikali UNK sasa tunataka utaratibu huu uwe wa kudumu ili UNK wa madini joto haya kwenye chumvi ufikie viwango kwa wazalishaji mashambani alisema bwana UNK matatizo mengine ni wingi wa kodi katika uzalishaji wa chumvi ambayo serikali katika ukusanyaji wa kodi UNK bidhaa hiyo kama madini mengine UNK ardhini wakati ni moja ya viungo vya chakula kwa UNK ya binadamu akifungua mkutano huo katibu tawala wa mkoa wa tanga bwana paul UNK alikipongeza chama hicho kwa kubeba jukumu la kulinda afya za UNK kwa kusimamia ubora wa uzalishaji wa chumvi iliyowekwa madini joto kuwakinga watumiaji na UNK makubwa yatokanayo na ukosefu wa madini joto katika mwili wa binadamu hata hivyo katibu tawala huyo alikiri kwamba mojawapo ya changamoto walizokuwa nazo ni kuhakikisha kwamba madini joto ambayo ni ghali katika soko la dunia lakini wanatakiwa kuwa na taratibu mbadala za kuyafikisha kwa wazalishaji wote nchini ambao wengi wao ni wazalishaji wadogo rais jakaya kikwete ametakiwa kutoa nafasi za uongozi kwa vijana sasa na si kusubiri mpaka atakapochaguliwa tena awamu nyingine kwa kuwa ilikuwa ahadi yake kwenye kampeni za uchaguzi mkuu mwaka ishirini sifuri tano mwenyekiti wa nccr mageuzi bwana james mbatia aliyasema hayo wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi kadi ya uanachama bwana david kafulila ambaye amejiunga na chama hicho akitokea chama cha demokrasia na maendeleo bwana mbatia alisema rais kikwete anatakiwa kutimiza ahadi yake ya kutoa uongozi kwa vijana katika serikali kuanzia sasa ili kutoa fursa kwao kulitumikia taifa lao na kuleta mabadiliko katika sera za maendeleo ya taifa hatuwezi kuendelea kusema vijana ni taifa la kesho wakati kuna baadhi ya wazee hawataki kuwaachia nafasi za uongozi rais kikwete alipoingia madarakani vijana wengi walikuwa na matumaini makubwa ya kupata uongozi lakini hali imekuwa tofauti akizungumzia viongozi UNK madaraka bwana mbatia alisema ni vyema UNK mfano wa UNK wao akiwemo mwalimu julius nyerere ambaye UNK madarakani akiwa na umri wa miaka sitini na tatu alisema wakati watanzania zaidi ya milioni kumi na sita ni maskini wa kutupwa wakiishi chini ya dola moja kwa siku viongozi waliopo madarakani wanajadili watu badala ya kusimamia maslahi ya taifa akizungumzia hatua ya bwana kafulila kujiunga na chama hicho bwana mbatia alisema kutoka chama kimoja cha mageuzi kwenda chama kingine cha mageuzi ni kuendeleza mageuzi kwa kuwa UNK wananchi walewale akizungumza baada ya kukabidhiwa kadi ya uanachama wa nccr mageuzi yenye namba laki mbili na elfu thebathini na saba na mia tisa na themanini na tatu bwana kafulila alisema dhamira yake ya kujiunga na chama hicho ni kuleta mapinduzi katika siasa na si UNK alisema tangu akiwa mtoto amekuwa na ndoto ya kuleta mapinduzi katika mfumo wa siasa nchini kwa kutoa mchango katika ujenzi wa demokrasia ya kweli alisema vyama vya upinzani vinatakiwa kukubali kukosolewa pale UNK ili kujenga maamuzi imara ikiwa ni pamoja na kufikia malengo yao ya kuwatumikia watanzania ni vyema kuona kuwa mtu UNK anapinga hoja yako si wewe UNK hivyo basi UNK ili kukubaliana kwa pamoja alisema bwana kafulila bwana kafulila ambaye alishatangaza azma yake ya kugombea nafasi ya ubunge jimbo la kigoma kusini alisema amejiunga na chama hicho kwa ridhaa yake na ya wapiga kura wake na si shinikizo la mtu yeyote alisema chama cha mapinduzi kimeshindwa kusimamia rasilimali za nchi katika kuleta maendeleo ambapo kumekuwa na ongezeko la umaskini kutoka asilimia kumi na moja mwaka ishirini sifuri tano mpaka kumi na mbili saba mwaka huu sekta binafsi zimetakiwa kuwekeza katika miradi ya kupunguza gesi joto zinazotokana na takataka ili kujiongezea kipato na kushiriki katika kukabiliana na mabadiliko ya hali ya nchi wito huo umetolewa na kaimu mkurugenzi mtendaji wa kituo cha uwekezaji nchini bwana raymond mbilinyi wakati akifungua mkutano wa kuhamasisha uwekezaji katika miradi ya kupunguza gesi joto uliofanyika jijini dar es salaam mwishoni mwa wiki kutokana na mabadiliko ya hali ya nchi UNK dunia hivi sasa ni fursa pekee kwa sekta binafsi kuwekeza katika sekta hiyo ili iweze kushiriki kikamilifu katika kupunguza gesi joto na kukabiliana na mabadiliko ya hali ya nchi alisema bwana UNK bwana mbilinyi alisema kutokana na mabadiliko ya hali ya nchi inayoendelea UNK dunia tic imeamua kuangalia na kuishawishi sekta binafsi kushiriki katika kuanzisha miradi ya kupunguza gesi joto alisema nchi nyingi zimekumbwa na mabadiliko ya hali ya nchi ikiwemo tanzania hivyo dunia nzima imeanza kutafuta njia mbadala ya kukabiliana na hali hiyo ikiwemo kuanzisha miradi itakayoweza kusaidia kukabiliana na hali hiyo nchi nyingi zimekumbwa na mabadiliko ya hali ya nchi ikiwemo tanzania kama vile kule manyara mifugo inakufa kwa njaa kwa hiyo ni muhimu kuangalia ni jinsi gani tunaweza kukabiliana na hali hiyo alisema alisema tayari tanzania ina mradi mkubwa mmoja ambao pia ni wa kwanza afrika kufikia katika hatua ya juu ya utekelezaji katika kupunguza gesi joto nchini bwana mbilinyi UNK mradi huo ni ule wa dampo la mtoni ambao tayari kwa sasa hatua za awali zimekamilika na kinachosubiriwa ni fedha za utekelezaji naye afisa mtendaji mkuu wa mazingira kutoka ofisi ya makamu wa rais bwana UNK manyika alisema tanzania imejipanga na msimamo wake UNK katika mkutano unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni huko copenhagen denmark kuhusu njia za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa baada ya mkataba wa UNK mkutano huo wa copenhagen umefika wakati mwafaka na sisi tayari UNK na msimamo wetu wa kwenda kuwasilisha na kuisemea afrika hasa katika fursa zinazoweza kupatikana katika kuwaletea wananchi maendeleo alisema bwana manyika alisema tanzania ni wadau muhimu katika mkutano huo na walipewa majukumu likiwamo la kujenga uwezo katika nchi zinazoendelea ili ziweze kushiriki UNK katika kupunguza mabadiliko ya hali ya nchi na tayari UNK kazi jukumu jingine ni upunguzaji gesi joto kupitia sekta ya misitu ambalo tayari UNK msimamo wa kuisemea afrika aidha aliwataka wadau wa miradi ya kupunguza gesi joto kwenda sanjari na maendeleo ya nchi kwa kuzingatia sheria za nchi na zile UNK mazingira na sera UNK naye mtafiti wa masuala ya UNK kutoka shirika la umoja wa mataifa UNK mazingira nchini denmark daktari UNK ngara aliipongeza tanzania kwa kuwa mfano mzuri wa kwanza katika kuanzisha miradi ya kupunguza gesi joto na hasa katika mradi wa dampo la mtoni wasomi katika nyanja za uchumi na siasa UNK juu ya ushirikiano wa soko la pamoja UNK ijumaa baina ya nchi wanachama wa jumuiya ya mashariki UNK nafasi ya tanzania ili iweze kunufaika na kuendeleza ustawi wa uchumi wakizungumza na gazeti hili jana wasomi hao pamoja na kukubaliana na hatua hiyo ya kimaendeleo walitoa tahadhari kuwa tanzania kwa nafasi yake na eac kwa ujumla inapaswa kuchukua hadhari katika masuala kadhaa ili kudumisha malengo mazuri ya kuendeleza nchi hizo kiuchumi profesa samwel wangwe alisema tanzania inapaswa kuwa makini na sehemu ambazo inapaswa kujizatiti na kuchagua masuala yapi yaanze kuingizwa na kufanyiwa kazi katika ushirikiano huo na mengine UNK ili nchi iweze kujipanga vizuri alisema ili nchi iweze kushindana vizuri na kunufaika na fursa zitakazopatikana katika soko la pamoja ambapo kutakuwa na uhuru wa biashara na ajira ni muhimu nchi UNK maeneo ambayo yanahitaji kujipanga kwanza na hatimaye UNK baada ya muda ili UNK uwezo wa kushindana kitu cha kwanza ni kwamba jambo hilo ni kitu kizuri ambapo kutakuwa na wigo mpana wa kufanya na kuendeleza biashara ingawa bado kuna watu wana wasiwasi na baadhi ya masuala kama vile ardhi ambayo bila shaka tunadhani UNK utaratibu mzuri ili UNK matatizo kwa mfano hata katika muungano wetu hapa huwezi kutoka tu ukaenda kununua ardhi zanzibar lazima kuwepo na utaratibu fulani lakini lazima tuangalie na kuchagua sehemu UNK kujizatiti na kujikita vizuri kwanza ili tuweze kushindana kweli UNK muda wa kujipanga kwanza tuangalie skills zipi zianze zipi UNK sio kwamba tujipange UNK hapana UNK wenzetu katika hili UNK miaka miwili au mitatu baada ya muda huo tunakuwa tumejiandaa kikamilifu alisema profesa wangwe akizungumzia suala la mgawanyo wa uzalishaji wa bidhaa profesa wangwe ambaye alipata kuwa mwenyekiti wa kamati ya kukusanya maoni juu ya ama kuharakisha shirikisho la kisiasa la eac au la alisema hilo UNK lenyewe bila UNK kupangwa alisema kama nchi mwanachama ana uwezo wa kuzalisha bidhaa fulani UNK vizuri kwa mfano tanzania inavyoweza kuzalisha ndizi huko bukoba au konyagi inapaswa kuendelea kuongeza ubora kwa kuwa kizuri UNK kwa upande wake profesa ibrahim lipumba alisema kuna ulazima wa wananchi kushirikishwa kwa kuanzia na ngazi ya chini ili kila mmoja aweze kujua soko la pamoja ni kitu gani na namna gani litaweza kusaidia maisha ya mtu wa kawaida mpaka wa juu pia alizungumzia suala la misingi imara ya kisiasa kwa kuepuka migogoro akisema kuwa hilo lina umuhimu mkubwa kwa sababu ndilo UNK mustakabali wa ushirikiano wa soko la pamoja baina ya nchi za eac na malengo mazuri UNK mpaka sasa wananchi UNK ni kitu gani hasa kinaendelea sasa ili tuweze kupata ushirikiano na maridhiano ni vyema wananchi wakapewa taarifa juu ya masuala haya ili waweze kutoa ushiriki wao ipasavyo tukiwa tunasubiri hayo masuala ya free movement of labour na freedom of UNK lakini pia suala la misingi imara ya siasa na demokrasia ni muhimu migogoro hasa ya kisiasa UNK masuala mazuri ukiangalia kenya bado kuna matatizo ya mungiki na wakimbizi wa ndani UNK hawana makazi nchini humo hapa tanzania wazanzibar wamekuwa wakisema wazi kuwa mambo mengi yanayozungumziwa katika eac wao hawana ushirikishwaji wa moja kwa moja hivyo ni muhimu tukawa na mifumo ya kidemokrasia inayolingana ili isije UNK malengo mazuri alisema profesa lipumba ambaye ni UNK wa masuala ya uchumi profesa mwesiga baregu alisema zipo changamoto ambazo eac inapaswa UNK ili iweze kufanikisha malengo ya soko la pamoja ambapo alisisitiza suala la mgawanyo wa uzalishaji wa bidhaa kama ilivyokuwa katika jumuiya iliyokufa kwa kufuata makubaliano ya kampala alisema uzalishaji ndio UNK biashara hivyo tanzania na eac kwa ujumla hazina budi kujikita katika sehemu hiyo kwa kuvipatia umuhimu viwanda na kilimo ili kujenga soko la bidhaa zao wenyewe uzalishaji ndio UNK eac hapa UNK ili tuweze kutumia soko kubwa la eac lazima UNK sisi wenyewe sio bidhaa za kutoka sehemu nyingine ni vyema kujua nani UNK nini kulingana na uwezo wake tukizungumzia hali ya siasa kama UNK hilo nalo lina umuhimu wake ukiangalia rwanda wana katiba mpya kenya wamekuwa UNK bila kufika mwisho burundi bado uganda hali kadhalika hapa tuko nyuma pia maana yake ni kuwa hatuna utamaduni wa kisiasa unaofanana kama wenzetu wa ulaya ambao majuzi wamesaini makubaliano ya lisbon kwa kuwa katiba zao zinaendana na ile UNK katika jumuiya alisema profesa baregu ambaye amebobea katika masuala ya siasa na uhusiano wa kimataifa tahadhari hiyo ya wasomi hao imekuja siku chache baada ya wakuu wa nchi wanachama wa eac kutia saini itifaki ya makubaliano ya soko la pamoja ambapo inahusu UNK mbalimbali kama vile uhuru wa biashara ajira na UNK akizungumza na waandishi wa habari mara bada ya wakuu wa nchi kusaini makubaliano hayo waziri wa ushirikiano wa afrika mashariki bwana UNK kamala alisema kuwa masuala mbalimbali yaliyoko katika itifaki hiyo yatakayoanza rasmi julai mwakani yatatekelezwa kulingana na sheria za kila nchi akizungumzia masuala kadhaa kama vile ajira uhamiaji na umiliki wa ardhi alisema mbali ya kufuata sheria na taratibu za kila nchi husika bado nchi mwanachama ina uhuru wa kukubali au la kusainiwa kwa itifaki hiyo kunafanya idadi ya masuala UNK katika mkataba wa eac mpya ambayo yamekwisha kusainiwa kufikia mawili kati ya manne kama inavyoelezwa katika kifungu cha tano cha mkataba huo la kwanza lilikuwa ni ushuru wa UNK wananchi wa makwalu na ndavindavi kata ya mtibwa katika wilaya ya mvomero wamekumbwa na hofu kiasi cha kushindwa kwenda shambani wakiogopa kundi la wafugaji wa asili ya kimang ati baada ya mwenzao bwana duseni mejaragili kuuawa na mkulima mmoja kwa kukatwa na jembe kichwani tukio la mauaji hayo lilitokea UNK kumi na sita ishirini sifuri tisa baada ya mfugaji huyo kuingiza mifugo kwenye shamba la mkulima huyo na kula mazao yake na alipojaribu kumhoji mfugaji huyo alichampa fimbo mbili mbavuni zilizompa hasira naye akaamua kumkata na jembe kichwani na kufa mwenyekiti wa kijiji cha kunke bwana joseph kihombo amekiri kuwepo kwa hofu miongoni mwa wananchi wake katika vitongoji vya makwalu ndavindavi na kunke wanaolima huko kutokana kundi la wafugaji kuingiza ovyo mifugo mashambani na kuharibu mazao na kuchafua kisima cha maji ya kunywa katika kikao nilichofanya nao nimewaambia kama walivyokuja kinyemela waondoke hivyo hivyo kabla sijachukua hatua za kisheria kuliko kuwatisha wananchi wasilime wakati mkoa umefanywa ghara la chakula nimewauliza kwa nini wamekuja kwa wingi baada ya taarifa za kuuawa mwenzao wamesema wanatafuta nggombe wao sitini UNK na nilipowauliza sababu za kuvamia na mifugo mingi na kuharibu mazao na kuchafua kisima cha maji ya kunywa walinyamaza kimya alisema bwana kayombo wakati huo huo wananchi wa mgongola wakiwemo wafugaji wenye asili ya kimasai wameweka pingamizi mahakamani kutokana na eneo lao lililotengwa kwa ajili ya mifugo kupewa vigogo na watu wenye uwezo kutoka nje ya mkoa watumie kwa kilimo cha mpunga kwa kisingizio cha kaulimbiu ya kilimo kwanza mmoja wa viongozi wa wafugaji aliliambia majira kwamba vurugu nyingi na za mauaji kati ya wafugaji na wakulima zinasababishwa na viongozi wa chama tawala au wa serikali kukiuka ahadi zao wakati wa kampeni wakishapata UNK husahau ahadi zao alisema mkuu wa jeshi la polisi mtaafu omary mahita amesema chuo kikuu cha kiislamu morogoro UNK kuajiri wahadhiri kwa imani za kidini bali UNK kigezo cha ubora wao akizungumza katika mahojiano na majira wakati wa mahafari ya pili ya chuo hicho jana bwana mahita alisema kama uongozi wa chuo hicho utakubali kuajiri wahadhiri wazuri pasipo kujali imani zao za kidini elimu inayotolewa na chuo hicho itaendelea kuwa bora nchini alisema kuwa kama uongozi wa chuo hicho utakuwa na msimamo wa kidini na kungganggania kuwa wahadhiri wake ni lazima wawe waislamu bila kuzingatia uwezo wao wa kufundisha malengo ya chuo hicho ya kutoa elimu bora yenye kuwawezesha wahitimu kumudu ushindani wa soko la ajira UNK kama tunataka vijana wetu wapate elimu bora kama UNK na ili waweze kushindana na wahitimu wa vyuo vikuu vingine ni lazima uongozi usiangalie imani ya walimu na kama UNK imani ya kidini nadhani hatuwezi kufanikiwa alisema mahita alisema ili kuweza kuajiri wahadhiri wa aina hiyo ni lazima waislamu kote nchini kukisaidia chuo hicho kwa hali na mali kwa kuwa wahadhiri wa aina hiyo wanapaswa kulipwa vizuri haki zao zote kuishi mahali pazuri na kuwa na vitendea kazi vya kutosha ikiwemo vifaa vya kufundishia na maabara za uhakika mfanyabiashara wa temeke yombo bwana daniel UNK amefikishwa mahakamani akidaiwa UNK watu watatu UNK kuwatafutia ajira ndani ya jeshi la polisi mshitakiwa huyo alifikishwa jana katika mahakama ya wilaya ya kinondoni mbele ya hakimu bwana ferdnand UNK alidaiwa kuwa aprili ishirini na tatu mwaka huu eneo la hospitali ya magomeni UNK mohamed hassan shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri kwa makubaliano kuwa atampa kazi polisi katika shtaka jingine mtuhumiwa huyo huyo anadaiwa kumtapeli bwana pius UNK shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri pia kwa ahadi ya kumpa ajira polisi mtuhumiwa huyo pia alifikishwa mbele ya hakimu bibi hilda lyatuu akidaiwa kuomba shilingi milioni mbili tatu kutoka kwa bwana omari UNK akitumia njia hiyo hiyo kuwa UNK ajira katika jeshi la polisi jambo ambalo si kweli wakati huo hu o mkazi wa tabata kimanga bwana peter john amefikishwa mahakamani hapo kwa tuhuma za kuiba fedha katika mashine ya kutolea hela ambako alijipatia shilingi milioni nne sita kutoka kwenye akaunti ya mtu mwingine wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania wameunga mkono kauli ya waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa kuwa serikali haitavumilia kukaa kimya na UNK mwekezaji katika kampuni hiyo rites kutoka india kufanya kazi anavyotaka huku ufanisi ukiendelea kudidimia kauli hiyo imekuja siku chache baada ya daktari kawambwa kutembelea shughuli za maendeleo katika stesheni ya reli za tabora na mpanda na kuzungumza na abiria baada ya kushuhudia shehena ya mahindi katika ghala la serikali UNK kusafirishwa kwenda mikoa mbalimbali inayokabiliwa na njaa kutokana na kauli hiyo wafanyakazi walio katika vitengo mbalimbali trl makao UNK walisema kuwa kauli hiyo imewapa nguvu katika utendaji kazi wao walisema kuwa kauli kama hizo ndizo zinazotakiwa kutamkwa kama kiongozi wa serikali na sio kutegemea michango ya mawazo ya wengine mmoja wa wafanyakazi hao ambaye hakutaka jina lake litajwe kwa kuhofia uongozi alisema kuwekwa hadharani kauli ya serikali kutasababisha hata menejimenti ya trl kueleza bayana sababu za kuipa serikali notisi ya siku sitini huku wakitishia kusitisha ubia wao daktari kawambwa alikaririwa na gazeti moja akisema kuwa hadi sasa wanaendelea na mazungumzo na rites kuhusu utendaji wake na migogoro inayoendelea lakini hakuna mwelekeo mzuri wa makubaliano hayo kwani kumejitokeza baadhi ya maeneo kuwa UNK aliongeza kuwa endapo muafaka kamili UNK ndani ya mazungumzo hayo serikali itachukua jukumu la kurejesha kampuni hiyo trc na kuliendesha wenyewe ili kuepuka hasara na adha UNK mara kwa mara kwa abiria na wafanyakazi wakazi wa mabondeni katika eneo la jangwani wametakiwa kuhama ili kuepuka maafa yanayoweza kutokea wakati wa mvua zinazonyesha na kuepukana na maafa na magonjwa ya mlipuko UNK kipindupindu hayo yalisemwa jana dar es salaam na mkuu wa wilaya ya ilala bwana evans balama kuwa watu hao wanatakiwa kutekeleza agizo la mkuu wa mkoa bwana william lukuvi ili kuepuka usumbufu katika kipindi cha mvua hasa zile za el nino UNK kunyesha wakato wowote wanatakiwa kuondoka eneo hilo kwa kuwa maji ya mvua zinazoendelea kunyesha yanaingia ndani hivyo ugonjwa wa kipindupindu unaweza kuenea kwa kasi sana alisema bwana balama baadhi ya wakazi wa eneo hilo walisema kuwa hawataondoka eneo hilo kwa bila fidia kwa sababu hawana mahali pa kwenda na wameishi hapo kwa miaka thebathini na mbili mkazi mmoja wa eneo hilo bwana UNK omary alisema kuwa kama kama serikali inawataka waondoke eneo hilo UNK fidia za nyumba na mali ili watafute eneo lingine alisema sisi hapo UNK kwani hakuna mvua inayoweza kunyesha na kutuzuia kulala ndani ya nyumba zetu walidai wakazi hao rais jakaya kikwete atakuwa kuwa mgeni rasmi katika baraza la idd al hajj inayotarajia kufanyika nchini kote novemba ishirini na nane mwaka huu akizungumza dar es salaam jana na waandishi wa habari kaimu mufti wa tanzania sheikh ismail habibu alisema kuwa sherehe hizo zitafanyika kitaifa jijini dar es salaam alisema kuwa swala ya idd itafanyika katika msikiti wa UNK uliopo bakwata makao makuu kinondoni kuanzia saa moja na nusu asubuhi na kufuatiwa na baraza la idd saa tatu asubuhi sheikh habibu alisema kuwa UNK wa mwezi dhul hajj umeonekana novemba kumi na nane mwaka huu na kuashiria kuanza kwa mwezi mtukufu wa dhul hajj mfungo tatu bakwata inapenda kuungana na waislamu wote nchini katika kusherekea sikukuu ya idd al hajj na kuwataka waumini kutimiza nguzo za ibada alisema sheikh habibu aliwataka waumini nchini kusherekea sikukuu kwa amani na kuhakikisha inawalinda watoto wao ili wasipate majanga mbalimbali ambayo yanakuwa yanatokea katika kipindi cha UNK aliongeza kuwa bakwata imeimarisha ulinzi kuhakikisha usalama ili kuzuia kosa lililotokea mwaka jana ambapo rais mstaafu wa awamu ya pili al haji hassan mwinyi alipigwa kibao watu UNK kutokana na makosa tumejipanga vizuri na tunaamini UNK salama kama kuna mwenye nia mbaya atakamatwa kabla ya kukamilisha azma yake alisema sheikh habibu makamu mwenyekiti wa ccm bwana pius msekwa amesema kauli ya rais wa zanzibar amani karume juu ya kurejea kwa amani visiwani na kuundwa serikali ya mseto ndiyo kauli ya chama akizungumza dar es salaam jana mara baada ya kusaini mkataba wa miaka mitano wa UNK wa kirafiki kati ya ccm na chama cha UNK cha cuba bwana msekwa alisema haoni cha kuongeza juu ya kauli za rais karume rais karume ni makamu mwenyekiti kama mimi hivyo sioni cha kuongeza katika yale aliyosema UNK hayo na huo ndio msimamo na kauli ya chama chetu alisema bwana msekwa vyombo vya habari jana vilimnukuu rais karume akisema kuwa hatimaye amani ya kweli imepatikana zanzibar na kwamba siasa za chuki uhasama zimefikia mwisho wake visiwani humo na kuwa hatma ya kisiasa ya zanzibar iko mikononi mwa ccm rais karume alitoa kauli hizo juzi katika viwanja vya kibandamaiti zanzibar wakati akiwahutubia mamia ya wananchi wa mikoa mitatu ya unguja huku akisema suala la kuundwa serikali ya mseto au la ni uwamuzi wa wananchi wenyewe alilazimika kutoa kauli hiyo kutokana na kuwepo na shauku kutoka kwa wananchi wakitaka kufahamu nini UNK wakati wa kikao cha siri kati yake na katibu mkuu wa cuf seif sharif hamad ikulu ya zanzibar siku chache zilizopita rais karume aliiambia hadhara hiyo kuwa pamoja na kuwa maalim seif ndiye aliyeomba wakutane naye lakini ccm kama chama UNK maazimio na kutangaza kuwa milango ya ikulu iko wazi kwa majadiliano yanayolenga kuleta suluhu bwana msekwa alimwambia balozi wa cuba nchini bwana ernesto diaz kuwa kumekuwa na migogoro ya kisiasa visiwani zanzibar kila baada ya uchaguzi mkuu lakini ana matumaini hali hiyo UNK tena baada ya viongozi hao UNK naye balozi diaz akizungumza baada ya utiaji saini wa makubaliano ya uhusiano wa kirafiki kati ya ccm na UNK aliipongeza ccm kwa juhudi zake za kukuza amani nchini na kuimarisha mahusiano kati yake na vyama vingine alisema tanzania ina historia ya muda mrefu ya uhusiano wa kirafiki kati yake cuba hasa kutokana na mchango wa mwalimu nyerere na harakati zake za kupinga ukoloni na UNK rais fidel castro na mwalimu nyerere wamekuwa karibu kwa muda mrefu katika kupigania uhuru wa nchi zao ni katika uhusiano huo tanzania ilimpokea na kumhifadhi kwa muda mwanaharakati wa cuba UNK UNK alisema ujenzi wa nyumba na uendelezaji makazi kwa kutumia teknolojia ya kati inayopatikana kwa urahisi ndani ya nchi UNK nchi zinazoendelea kutengeneza ajira kulinda viwanda vya ndani na kupunguza matumizi ya pesa za kigeni UNK suala la makazi linapaswa kupewa kipaumbele na watunga sera katika nchi husika na kuwajali watu wasiokuwa na uwezo kuliko ilivyo sasa ili nchi husika iweze kufikia maendeleo ya kijamii na kiuchumi hayo yameelezwa na mkurugenzi mtendaji wa shirika la umoja wa mataifa UNK na makazi duniani profesa anna tibaijuka katika kitabu chake kiitwacho UNK UNK UNK and UNK UNK katika kitabu hicho ambacho UNK leo huko nchini denmark profesa tibaijuka amezungumzia uhusiano uliopo kati ya ujenzi wa nyumba na makazi bora UNK kuchangia kukuza ustawi wa uchumi katika nchi UNK uzinduzi wa kitabu hicho utakwenda sambamba na UNK wa tuzo maarufu ya masuala ya mazingira iitwayo goteborg ambayo umaarufu wake unakaribiana na ule wa tuzo maarufu ya amani ya nobel profesa tibaijuka ni mmoja kati ya watu watatu UNK tuzo hiyo leo ikiwa ni ishara ya kutambuliwa kwa mchango wao hasa katika kutafuta suluhisho kutokana na changamoto mbalimbali zinazokabili mazingira hususani hali ya ukuaji wa miji na makazi holela taarifa kwa vyombo vya habari kutoka un habitat nairobi kenya ilisema profesa tibaijuka ametoa ushauri huo kwa kuangalia fursa zinazoweza kupatikana katika UNK katika ujenzi wa nyumba kwa sababu itatoa fursa ya kutumia teknolojia ya nyumbani na ile ya UNK pale UNK kwa sababu ya kiwango cha juu cha ukosefu wa ajira na maendeleo duni nchi zinazoendelea zinapaswa kuzingatia teknolojia ya kati inayopatikana maeneo waliyonayo karibu katika kujitimizia mahitaji ya ujenzi wa makazi ambayo yanaongezeka kila siku faida ya kutumia teknolojia inayopatikana katika maeneo ya karibu ni kwamba UNK viwanda vya ndani inapunguza gharama kutunza fedha za kigeni inatumia njia rahisi zenye manufaa inatengeneza na kuimarisha nafasi za ajira ndani ya nchi UNK profesa tibaijuka akisema katika kitabu hicho katibu mkuu wa umoja wa mataifa bwana ban ki moon alisema kitabu hiki kina mchango mkubwa katika mdahalo uliopo hivi sasa duniani kuhusu mchango wa sekta ya nyumba katika maendeleo ya uchumi UNK mapendekezo yaliyomo yatasaidia kupatikana kwa ustawi mkubwa duniani kote kwa ajili ya watu wasiokuwa na uwezo waishio mijini kitabu hicho kimekuja wakati dunia nzima sasa inazungumzia namna ya kuwa na makazi bora kwa sehemu ya mijini ikiwemo ujenzi wa nyumba na miundombinu ili kukabiliana wimbi kubwa la uhamaji wa watu kutoka maeneo ya vijijini kwenda mijini UNK kuwa kwa mwaka ishirini sifuri saba pekee na kwa mara ya kwanza katika historia ya dunia idadi ya wakazi wa mijini imezidi ile ya watu wa vijijini hivyo nchi zinazoendelea zina changamoto ya kuwekeza katika makazi bora kwa ajili ya watu bilioni moja walioko katika makazi holela mwanamke fatuma nassoro mkazi wa kisiwani kigamboni amelalamikia kitendo cha kuzuiwa na walinzi wa ikulu na wale wa taasisi ya wanawake na maendeleo inayoongozwa na mke wa rais mama salma kila anapokwenda kueleza matatizo yake kinachomsumbua bibi huyo ni kutaka kumwomba rais jakaya kikwete au mkewe mama salma UNK fedha za kulimia shamba lake la ekari tatu UNK kufika mara kwa mara kwenye ofisi za viongozi hao lakini sikupata msaada wowote kutokana na ugumu wa kuingia alilalamika akizungumza katika ofisi za majira jijini dar es salaam jana bibi nassoro alisema endapo viongozi hao UNK basi anaomba aonane na waziri wa kilimo chakula na ushirika bwana stephen wasira alisema shamba lake hilo limeshindikana kulimwa baada ya mume wake kufariki mwaka huu hivyo kufanya liendelee kukaa bila kulimwa wakati ndilo tegemeo kupata mazao ya chakula na kuuza ili kupata fedha za kujikimu kimaisha naomba ofisi husika UNK kuwaona viongozi hawa ili UNK shida yangu hiyo kwani shamba hili ndilo UNK na wajukuu wangu kitendo cha kukaa bila kulimwa kinasababisha UNK huku na kule alisema bibi nassoro gavana balali yalikuwa maji marefu kwake rais mkapa pekee angeweza kumwajibisha waziri wa fedha wa zamani bwana basil mramba amedaiwa kufahamu kilichokuwa kinaendelea katika ujenzi wa majengo pacha ya benki kuu ya tanzania lakini alishindwa kutoa uamuzi wa kumwajibisha gavana wa benki hiyo kwa sababu anateuliwa na kuwajibika kwa rais hayo yalidaiwa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu linaloongozwa na hakimu bwana edson mkasimwongwa wakati mkurugenzi wa shirika la ndege la precision bwana michale shirika akitoa ushahidi katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi wa bot bwana amatus liyumba shahidi huyo wa nne kwa upande wa mashitaka aliwahi kuwa mkurugenzi wa bodi katika benki hiyo tangu mwaka ishirini sifuri mbili hadi januari ishirini sifuri sita kipindi chake kilipomalizika baada ya kuteuliwa na waziri wa fedha wakati huo bwana mramba shahidi huyo alidai kuwa katika vikao vya bodi kulikuwa na taarifa zilizokuwa zikiwasilishwa na menejimenti ya benki zikionesha kuongezeka kwa matumizi katika mradi na waliomba bodi kuidhinisha pamoja na kuwa tayari matumizi hayo yalishafanyika shahidi alidai bodi haikuridhika na nyongeza ya matumizi katika mradi huo na walikuwa wakiidhinisha kwa sababu menejimenti ilikuwa ikitoa sababu mbalimbali alidai menejimenti iliiambia bodi kwamba isipoidhinisha malipo hayo hasara kubwa ingepatikana kutokana na jinsi mkataba na mkandarasi wa ujenzi majengo pacha ya bot ulivyokuwa mkurugenzi huo kwa kutoridhika kwake anadai aliamua kumtaarifu waziri mramba na kumuuliza kama wizara yake inafahamu na kuafiki matumizi hayo bwana shirika alidai waziri alijibu kwamba anafahamu matumizi hayo lakini gavana wa bot ndiye mwenye maamuzi na anawajibika kwa rais kwani ndiye aliyemteua bada ya hapo alidai kuwa hakuona sababu ya yeye kuendelea kuwepo katika bodi hiyo kwani alihisi hana mchango wowote hivyo alitaka kujiuzulu lakini baadaye alipata ushauri wa kutofanya hivyo kwa sababu kipindi chake kilikuwa kinakaribia kumalizika bwana shirika alidai hakuwahi kuuona mkataba wa ujenzi wa majengo hayo isipokuwa alikuwa akiona mapendekezo ya kuongezeka kwa matumizi yaliyokuwa yakipelekwa katika bodi na menejimenti akihojiwa na wakili wa utetezi bwana majura magafu kwamba ni nani aliyekuwa akihusika moja kwa moja katika mapendekezo hayo shahidi bwana shirika alidai hakuna mtu maalumu aliyekuwa akihusika kwani yalikuwa yakiwasilishwa na menejimenti ya bot pia alidai bodi ilikuwa sahihi kuidhinisha matumizi hayo ya fedha na hakuna mtu aliyenyooshewa kidole na kulalamikiwa kwa ajili ya ongezeko hilo bali malalamiko yaliwasilishwa kwa menejimenti mshitakiwa katika kesi hiyo anakabiliwa na mashitaka ya kutumia vibaya ofisi yake na kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya mradi huo bila idhini ya bodi ya wakurugenzi kesi iliahirishwa inatarajiwa kuendelea leo rais jakaya kikwete yuko nje ya nchi kwa ziara ndefu ya kikazi itakayomchukua takribani siku kumi ambako atahudhuria mikutano na kufanya mazungumzo rasmi katika nchi tatu tofauti huko amerika ya kaskazini na amerika ya kati katika ziara hiyo rais kikwete ambaye aliondoka nchini usiku wa UNK jumapili novemba ishirini na mbili ataanzia katika nchi ya jamaika ambako atatumia siku tatu kuanzia jumanne ishirini na nne kutokana na mwaliko na waziri mkuu wa nchi hiyo bwana UNK bruce UNK kwa mujibu wa taarifa ya kurugenzi ya mawasiliano ikulu rais kikwete ndani ya siku hizo tatu atafanya mazungumzo rasmi na mwenyeji wake bwana UNK atakutana kwa mazungumzo na gavana mkuu wa kisiwa cha jamaica UNK patrick allen kuhutubia kikao cha pamoja cha bunge la jamaika pamoja na kutoa UNK maalum kwenye chuo kikuu cha west UNK UNK kuu ya UNK kwa mujibu wa taarifa hiyo baada ya jamaica rais kikwete atahudhuria mkutano wa viongozi wa nchi wanachama wa jumuiya ya madola huko trinidad na tobago kitakachoanza novemba ishirini na saba ishirini na tisa baada ya kuhudhuria mkutano wa jumuia ya madola rais kikwete atatembelea cuba kuanzia novemba thebathini hadi desemba tatu ishirini sifuri tisa kwa mwaliko wa raul castro ruz rais wa jamhuri ya UNK wakati wa ziara hiyo mheshimiwa rais kikwete atakutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake mheshimiwa rais raul castro ruz na kutembelea sehemu mbalimbali zinazohusiana na ushirikiano kati ya tanzania na cuba ilisema sehemu ya taarifa hiyo ziara za jamaika na cuba zimetajwa ni kuwa ni muhimu kwa ajili ya kudumisha ushirikiano wa muda mrefu katika nyanja mbalimbali za maendeleo baina ya tanzania na nchi hizo mbili za amerika ya kaskazini taarifa ilisema kuwa rais kikwete ni kiongozi wa tatu wa tanzania kutembelea jamaica kufuatia ziara za rais julius nyerere mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na nne na rais benjamin mkapa mwaka ishirini sifuri tano tanzania na jamaica zimekuwa na uhusiano wa muda mrefu wa kirafiki na kindugu tokea miaka ya elfu moja na mia tisa na sitini uhusiano ambao uliimarishwa wakati wa uongozi wa rais nyerere na waziri mkuu michael UNK kwa upande wa uhusiano wa tanzania na cuba UNK kuwa zimekuwa na uhusiano wa kirafiki kindugu na wa karibu mno kwa miaka mingi UNK kwa karibu katika masuala mengi likiwemo lile la ukombozi katika afrika cuba pia imekuwa inatoa misaada katika nyanja za afya elimu kilimo na pia nchi hizo mbili zina tume ya kudumu ya pamoja ya ushirikiano jamhuri ya cuba pia inaendesha vyuo viwili vya udaktari katika zanzibar na pemba ilisema taarifa hiyo ng ombe zaidi ya thebathini sifuri sifuri wamekufa katika vijiji mbalimbali katika kata ya makuyuni wilayani monduli kufuatia kuibuka kwa ugonjwa wa ajabu UNK mifugo hiyo ambao unadaiwa kuletwa na mifugo ya nchi jirani iliyoingizwa nchini kwa ajili ya kutafuta UNK wananchi wengi katika kata hiyo wameiomba serikali iangalie namna ya kuwasaidia kwani wengi wao wamepoteza mifugo mingi ilihali nggombe wengine wanaendelea kufa kutokana na kukosekana kwa tiba ya ugonjwa huo UNK kwa jina la kienyeji kama UNK wakizungumza na waandishi wa habari waliotembelea eneo hilo wananchi hao walisema kuwa ugonjwa huo umeibuka katika kipindi cha kuanzia mwezi wa tisa mwaka huu hadi sasa ambapo umekuwa ukisababisha zaidi ya mifugo watano kufa kwa mara moja katika kila boma kwa siku moja baadhi ya wafugaji hao bwana abdilah UNK bwana omary said bwana yusuph abdi bwana UNK UNK bwana UNK ole mapii na bwana UNK UNK wameiomba serikali iwasaidie kwani hali hiyo imewafanya wawe masikini zaidi kweli UNK sana UNK tumepoteza mifugo wengi kwa wakati mmoja tulikuwa tunategemea mifugo kupeleka watoto wetu shule na kupata chakula sasa inakufa hatujui UNK tunaomba serikali UNK alisema bwana abdilah UNK wananchi hao wa vijiji vya UNK UNK zaburi makuyuni na UNK juu pia UNK lawama UNK wa mifugo wa wilaya hiyo ya monduli kwa kushindwa kutatua tatizo hilo kwa UNK wafugaji na badala yake wanashinda UNK bwana UNK ole mapii maarufu kama UNK mkazi wa kijiji cha zaburi ambaye ngombe wake zaidi ya hamsini sifuri wamekufa ameiomba serikali iangalie namna ya kuwasaidia akitolea mfano wa jinsi mifugo yake UNK na hadi sasa hajui cha kufanya gazeti hili lilishuhudia idadi kubwa ya mizoga mizoga ya ngombe ikiwa UNK katika maeneo mbalimbali ya vijiji hivyo hali iliyosababisha pia kuwepo kwa harufu mbaya ambayo inaweza kusababisha magonjwa ya milipuko endapo UNK katika maeneo hayo ya makazi ya watu watumishi wawili wa manispaa ya kinondoni wamefikishwa mahakama ya wilaya ya kinondoni kwa tuhuma za kushawishi na kupokea rushwa ya shilingi themanini sifuri sifuri sifuri sifuri kutoka kwa mmliki wa baa ya UNK iliyoko sinza dar es salaam mwendesha mashitaka wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa bwana ronald manyiri aliambia mahakama mbele ya hakimu mkazi bibi sundi fimbo kuwa washitakiwa hao kwa pamoja walitenda kosa hili novemba kumi na sita na kumi na saba mwaka huu washitakiwa hao hassan makono na catherine semvua wanatuhumiwa kufanya kosa hilo wakati wakitekeleza majukumu yao mbalimbali ambapo walibaini kuwepo kwa vinywaji ambavyo muda wake wa matumizi ulikuwa umekwisha ilidaiwa kuwa baada ya kubaini kuwepo kwa vitu hivyo UNK mmliki wa baa hiyo bwana mabula masanja kuwapa shilingi themanini sifuri sifuri sifuri sifuri ili UNK hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufunga baa hiyo na kumnyangganya leseni bwana manyiri aliendelea kusema kuwa novemba kumi na saba mwaka huu saa kumi na moja jioni katika baa ya africa sana mshitakiwa hassan alipokea fedha hizo shilingi themanini sifuri sifuri sifuri sifuri kama walivyokuwa UNK washitakiwa wote wawili walikanusha madai hayo na kurudishwa rumande kwa kukosa dhamana mpaka kesi hiyo itakapotajwa tena desemba saba mwaka huu askofu kiongozi wa kanisa la moravian tanzania mhashamu alinikisa cheyo ameonya tabia ya viongozi wa dini kugeuza UNK za mahubiri kuwa sehemu ya kupiga siasa na hivyo kuwajeruhi waumini wanaotegemea hekima za mungu kutoka kwao askofu cheyo ambaye pia ni askofu wa jimbo la kusini magharibi alitoa ujumbe huo wakati wa ibada maalumu ya kuwapa baraka wachungaji ishirini ambapo alisema viongozi wa dini wanapaswa kutubu mbele za mungu kwa UNK haki watanzania alisema UNK UNK kwa ajili ya kutoa hekima na mafundisho UNK waumini mbinguni lakini ajabu ni kuwa watumishi UNK kuwa sehemu ya kupiga siasa na hivyo kuonekana wazi kuwa hasira ya mungu itashuka juu yao ninyi leo UNK kazini ili UNK kazi ya mungu nendeni UNK kundi la mungu na si UNK kama ambavyo baadhi wamekuwa wakifanya kutokana na misimamo yao isiyo ya UNK ambayo imekuwa ikiishia kuleta UNK katika jamii alisema aliwataka wachungaji hao na vingozi wa dini nchini kuhakikisha wanafanya kazi ya mungu kwa hofu kubwa huku UNK kutokana na kauli zao zinazotolewa wanapokuwa UNK UNK injili ya mungu baada ya mahubiri hayo mwenyekiti wa jimbo hilo mchungaji UNK UNK alisema kuwa ujumbe huo wa askofu hauwezi kupita bure bali kinachotakiwa ni kwa kila kundi na kiongozi wa kanisa kwenda katika eneo lake kwa ajili ya kutubu kutokana na dhambi ya kudharauliana na UNK ambayo alisema imefanywa na watu wengi alisema kuwa kwa kufanya hivyo itapatikana na tanzania yenye upendo mkubwa yenye uwezo wa kudumisha amani na utulivu kinyume na hayo itakuwa ni kukaribisha uvunjifu wa amani kaimu mkurugenzi wa wizara ya maliasili na utalii daktari ismail UNK amefikishwa mahakani akikabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya ofisi na kuandaa ripoti ya uongo mshitakiwa huyo alifikishwa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya hakimu bwana paul UNK akisoma mashitaka mwendesha mashitaka wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa bwana UNK nkya alidai mshitakiwa alitenda makosa hayo kati ya mei ishirini sifuri tano na machi ishirini sifuri nane inadaiwa katika mashitaka ya kwanza kwamba mei mbili ishirini sifuri tano mshitakiwa alitangaza mauzo ya magogo kinyume cha sheria na makubaliano ya kampuni ya aqeel traders ltd katika mashtaka ya pili inadaiwa machi kumi na saba ishirini sifuri tisa katika ofisi za makao makuu ya takukuru wakati wa uchunguzi mshitakiwa alitoa ripoti ya uongo akionesha kulikuwa na tangazo la mnada wa mazao ya misitu na nyuki uliokuwa unatakiwa kufanywa na kampuni ya aqeel traders ltd huku akijua ni uongo mshitakiwa alikana kutenda makosa hayo upelelezi wa kesi umekamilika na UNK maelezo ya awali desemba ishirini na tatu mwaka huu mshitakiwa yuko nje kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya kuwa na wadhamini wawili waliosaini dhamana ya shilingi milioni moja waziri wa fedha wa zamani bwana basil mramba amedaiwa kufahamu kilichokuwa kinaendelea katika ujenzi wa majengo pacha ya benki kuu ya tanzania lakini alishindwa kutoa uamuzi wa kumwajibisha gavana wa benki hiyo kwa sababu anateuliwa na kuwajibika kwa rais hayo yalidaiwa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu linaloongozwa na hakimu bwana edson mkasimwongwa wakati mkurugenzi wa shirika la ndege la precision bwana michale shirika akitoa ushahidi katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi wa bot bwana amatus liyumba shahidi huyo wa nne kwa upande wa mashitaka aliwahi kuwa mkurugenzi wa bodi ya bot tangu mwaka ishirini sifuri mbili hadi januari ishirini sifuri sita kipindi chake kilipomalizika baada ya kuteuliwa na waziri wa fedha wakati huo bwana mramba shahidi huyo alidai kuwa katika vikao vya bodi kulikuwa na taarifa zilizokuwa zikiwasilishwa na menejimenti ya benki zikionesha kuongezeka kwa matumizi katika mradi na waliomba bodi kuidhinisha licha ya kuwa tayari matumizi hayo yalishafanyika shahidi alidai bodi haikuridhika na nyongeza ya matumizi katika mradi huo na walikuwa wakiidhinisha kwa sababu menejimenti ilikuwa ikitoa sababu mbalimbali alidai menejimenti iliiambia bodi kwamba isipoidhinisha malipo hayo hasara kubwa ingepatikana kutokana na jinsi mkataba na mkandarasi wa ujenzi wa majengo pacha ya bot ulivyokuwa mkurugenzi huo kwa kutoridhika kwake anadai aliamua kumtaarifu waziri mramba na kumuuliza kama wizara yake inafahamu na kuafiki matumizi hayo bwana shirika alidai kuwa waziri huyo alijibu kwamba anafahamu matumizi hayo lakini gavana wa bot ndiye mwenye maamuzi na anawajibika kwa rais kwani ndiye aliyemteua bada ya hapo alidai kuwa hakuona sababu ya yeye kuendelea kuwepo katika bodi hiyo kwani alihisi hana mchango wowote hivyo alitaka kujiuzulu lakini baadaye alipata ushauri wa kutofanya hivyo kwa sababu kipindi chake kilikuwa kinakaribia kumalizika bwana shirika alidai hakuwahi kuuona mkataba wa ujenzi wa majengo hayo isipokuwa alikuwa akiona mapendekezo ya kuongezeka kwa matumizi yaliyokuwa yakipelekwa na menejimenti katika bodi akihojiwa na wakili wa utetezi bwana majura magafu kwamba ni nani aliyekuwa akihusika moja kwa moja katika mapendekezo hayo bwana shirika alidai hakuna mtu maalumu aliyekuwa akihusika kwani yalikuwa yakiwasilishwa na menejimenti ya bot pia alidai bodi ilikuwa sahihi kuidhinisha matumizi hayo ya fedha na hakuna mtu aliyenyooshewa kidole na kulalamikiwa kwa ajili ya ongezeko hilo bali malalamiko yaliwasilishwa kwa menejimenti bwana liyumba anakabiliwa na mashitaka ya kutumia vibaya ofisi yake na kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya mradi huo bila idhini ya bodi ya wakurugenzi kesi iliahirishwa inatarajiwa kuendelea leo shirika la umeme tanzania tawi la magomeni UNK kigogo mmoja wa chama cha mapinduzi kata ya magomeni makuti kwa kosa uharibifu wa miuondombinu ya shirika hilo na wizi wa umeme inadaiwa kuwa kigogo huyo alikuwa akitumia umeme wa tanesco kwa zaidi ya miaka miwili kinyume cha sheria ndipo wasamalia wema walipokwenda kutoa taarifa za wizi huo katika ofisi za shirika hilo tawi la magomeni ofisa usalama wa tanesco mkoa wa dar es salaam bwana henry UNK alisema baada ya kupokea taarifa hizo walifanya uchunguzi na kubaini wizi huo ambapo juzi walikwenda katika eneo la tukio na kunggoa mita iliyokuwa ikitumiwa na kigogo huyo katika eneo lake la biashara mtaa wa UNK magomeni UNK alisema mita hiyo aina ya UNK ilikuwa na namba moja mbili tatu sifuri sita saba saba sifuri ambayo kigogo huyo alidai kuuziwa na mfanyakazi wa tanesco tawi la magomeni mtuhumiwa wetu tumemkamata leo na kumpeleka katika kituo kikuu cha polisi ambako tumefungua kesi yenye namba cd rb elfu kumi na mbili na mia nne na tisini na nne sifuri tisa na uzito wa kesi hiyo umepewa namba cd UNK mia nne na sitini moja sifuri tisa malipo kwa ajili ya fidia ya umeme uliokuwa akitumiwa na mtuhumiwa yatafanyika kulingana na usomaji wa namba sifuri nane mbili nne tisa saba ambazo UNK katika mita alisema bwana UNK alisema kitengo chake kitaendelea kufanya kazi usiku na mchana ili kuwabaini wananchi wanaotumia umeme wa tanesco kwa njia wa wizi au kuharibu miundombinu ya shirika hilo na kuwafikisha katika vyombo vya sheria meneja uhusiano wa tanesco bibi badra masoud aliahidi kufuatilia jambo hilo na kulitolea ufafanuzi badaye lakini akasema wananchi wanaotumia umeme kinyume cha sheria wanachangia kulifanya shirika hilo kukosa mapato wakati tahadhari ya mvua za el nino UNK wakazi wa eneo la bonde la mpunga msasani wilayani kinondoni wameingiwa na wasiwasi mkubwa juu ya usalama wa mali na maisha yao kutokana na kutokamilika kwa mfereji UNK na serikali eneo hilo limekuwa likijaa maji kila mvua UNK na kuleta usumbufu mkubwa ambao unatarajiwa kuongeza pindi mvua za el nino UNK lakini mamlaka husika hazijakamilisha mfereji UNK waziri mkuu bwana mizengo pinda alipotembelea eneo hilo akizungumza na majira ofisini kwake dar es salaam jana mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni bibi lucy UNK alisema licha ya juhudi zinazofanywa na manispaa hiyo kusafisha mifereji hali katika bonde hili bado si ya kuridhisha tunajitahidi sana kutoa tope na mchanga lakini baada ya siku mbili tu mifereji hiyo UNK tena kutokana na mchanga na uchafu unaoletwa kwa wingi na maji kutoka maeneo mengine alisema alisema kuwa manispaa haina fedha za kutosha kulipatia ufumbuzi wa kudumu tatizo hilo bali kinachofanyika sasa ni kushirikiana na wakazi wa eneo hilo katika kusafisha mifereji ili kuruhusu maji kupita hata hivyo wahandisi wa manispaa kwa kushirikiana na wahandisi wa mkoa wameshafanya tathmini ya mradi wa ujenzi wa mfumo imara wa majitaka mahali hapo ambapo tayari UNK mapendekezo katika ofisi ya waziri mkuu alisema kwa upande wake mhandisi wa manispaa hiyo bwana faustine mosha alisema kinachofanyika sasa ni kusafisha mifereji katika bonde hilo wakati wakisubiri majibu ya mapendekezo yao eneo hili ni mkondo wa maji kutoka mwananyamala kijitonyama na makumbusho jambo ambalo linafanya shughuli ya UNK mitaro kuwa ngumu alisema aidha manispaa inaendelea kuhamasisha wakazi wa eneo hilo kuhama ili kuepuka athari zinazoweza kuwapata kutokana na mvua za UNK zinazotarajiwa kunyesha mwaka huu na rabia bakari ukata ndani ya jumuiya ya wazazi ya chama cha mapinduzi ndiyo UNK kufanyika uchaguzi wa jumuiya hiyo licha ya wagombea kuchujwa miezi sita iliyopita akizungumza kwa simu dar es salaam jana katibu wa itikadi na uenezi wa ccm kapteni mstaafu bwana john chiligati alisema hivi sasa wapo katika maandalizi ambapo baada ya maandalizi hayo kukamilika uchaguzi huo UNK uchaguzi mkuu katika jumuiya ya wazazi upo katika maandalizi UNK hivi karibuni utafanyika alisema kapteni mstaafu huyo ambaye pia ni waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi akitaja maandalizi hayo alisema kuwa ni pamoja na UNK usafiri kwa wajumbe wanaotoka sehemu mbalimbali nchini unajua wajumbe wengi wanatoka mikoani wanahitaji usafiri kula na kulala hivyo ni lazima kuwe na maandalizi ya kutosha ili kuweza kufanikisha uchaguzi huo pia ccm haina mpango kabisa wa kutaka kuivunja jumuiya ya wazazi naomba nieleweke hivyo alisema bwana chiligati awali ilidaiwa jumuiya hiyo ilishindwa kufanya uchaguzi mwaka jana kama UNK nyingine za umoja wa wanawake na umoja wa vijana kwa vile kaimu mwenyekiti wake bwana athuman mhina alikuwa mgonjwa bwana mhina ambaye UNK nafasi hiyo baada ya kusimamishwa na hatimaye kuondolewa kwa aliyekuwa mwenyekiti bwana UNK maregesi kwa muda mrefu alikuwa mgonjwa ambapo kuna wakati alilazwa katika hospitali ya taifa muhimbili mbali ya bwana mhina wagombea wengine waliopitishwa kuwania uenyekiti ni bwana abdallah bulembo na bibi esther UNK hatimaye mtuhumiwa wa kesi ya unyanyasaji mtoto anayedaiwa kumfunga UNK kwa mnyororo chooni bwana venance mwaipopo ameachiwa kwa dhamana baada ya kusota rumande kwa takriban miezi miwili mtuhumiwa huyo mkazi wa vijibweni kigamboni dar es saalam aliachiwa jana baada ya kupata wadhamini walioweka ahadi ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kila mmoja kesi ya mshitakiwa huyo iko katika mahakama ya mwanzo temeke mbele ya hakimu bibi rose UNK katika shtaka la kwanza bwana mwaipopo anadaiwa kumfanyia ukatili binti huyo kinyume na kifungu mia moja na sitini na tisa cha kanuni ya adhabu kwa kumfunga na mnyororo UNK shtaka la pili ambalo ni mbadala ni na shitaka la kwanza ni la kumzuia mtoto huyo isivyo halali kinyume na kifungu cha mia mbili na hamsini na tatu cha kanuni ya adhabu mshitakiwa yupo nje kwa dhamana ya watu wawili na bondi ya kiasi cha pesa shilingi laki tano kila mmoja kesi hiyo itaanza kusikilizwa tena januari ishirini na saba mwakani tukio hilo lilitokea septemba ishirini na sita nyumbani kwao vijibweni kabla ya kupata msaada kutoka kwa majirani waliomsikia akilia kuomba msaada baada ya kufungiwa chooni na mnyororo na wazazi wake ambaye ni baba yake mzazi na mama mlezi na kwenda sehemu isiyojulikana baada ya muda watu walisikia kelele na kukusanyika kwa lengo la kumsaidia ikiwa pamoja kutoa taarifa polisi hatimaye polisi walifika kumsaidia na kumpigia simu bwana mwaipopo na kufika nyumbani kwake na kukuta watu wakiwa UNK polisi walimkuta binti huyo akiwa amekaa kwenye tundu la choo walimchukua na kumpeleka kituo cha polisi waziri mkuu bwana mizengo pinda ameshangazwa na teknolojia ya kutengeneza njia ya umeme mkubwa bila kuzima nishati hiyo alipotembelea mitambo ya kuzalisha umeme ya artumas katika ziara yake mkoani mtwara bwana pinda UNK vijana wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi ya kurekebisha nguzo katika njia ya msongo wa thebathini na tatu UNK bila ya kuzima umeme wakati wa ziara hiyo ambayo aliongozana na mkewe mama tunu bwana pinda alionyesha UNK kama kweli kazi hiyo ilikuwa ikifanyika bila ya kuzima umeme jamani hii si hatari vijana hawa wanaweza kufa UNK kufanya kazi bila ya kuzima umeme alisikika akiuliza bwana pinda na kujibiwa na uongozi wa artumas kuwa kazi hiyo inawezekana kwa kuwa wanatumia vifaa maalumu na ujuzi ili kuzuia hatari yoyote katika tukio hilo ilielezwa kuwa tanzania inaweza kuokoa mabilioni iwapo teknolojia hiyo ya kufanya kazi katika njia kuu za umeme bila kuzima UNK meneja mkuu wa artumas group bwana richard taiton alisema teknolojia hiyo inayotumiwa na kampuni ya mc donald liveline inasaidia kuwaondolea usumbufu wateja wa mikoa kusini wakati UNK na kati matengenezo ya njia za umeme bwana taiton alisema kampuni hiyo UNK heshima artumas tangu kupewa kandarasi ya kujenga na kufanya marekebisho ya njia hizo kwani UNK mifumo ya miundombinu bila kuathiri watumiaji wa umeme UNK ni kwamba kampuni hii ni ya mtanzania na UNK kukuta teknolojia kama hii katika nchi kama tanzania alisema bwana UNK mkurugenzi wa kampuni ya mc donald liveline bwana donald mwakamele alisema kampuni yake ina uwezo wa kufanya kazi katika njia za msongo mkubwa kuanzia kilovoti kumi na moja hadi hamsini sifuri umeme UNK kwa ajili ya matengenezo kwa siku nzima ni viwanda vingapi UNK au ni vitu vya nyumbani vingapi vinaweza kuharibika hata wajasiliamali wanaotengeneza bidhaa mbalimbali kwa umeme na hata UNK hulazimika kufunga kazi zao alisema hivyo alisema kuwa iwapo kampuni na mashirika yanayozalisha umeme UNK teknolojia hiyo tatizo la kukatika umeme nchini linaweza kupungua labda tatizo libaki kwenye uzalishaji bwana mwakamele alisema kwa sasa baada yatoa mafunzo kwa vijana wa kitanzania na kujijengea uwezo kampuni hiyo inaanza kutoa huduma katika mashirika mbalimbali ya umeme katika nchi za afrika mashariki ambako teknolojia hiyo UNK kampuni ya mc donald liveline UNK ni kampuni pekee inayotoa huduma kama hiyo katika ukanda wa afrika mashariki na kati halmashauri ya jiji la dar es salaam UNK kampuni ya east africa UNK UNK ambayo iliundwa ili ijenge machinjio ya kisasa katika eneo gongolamboto dar es salaam baada ya kushindwa kutekeleza majukumu hayo kwa kipindi cha miaka minane kampuni hiyo iliundwa na manispaa zote tatu za jiji la dar es salaam kila moja ikichangia shilingi milioni hamsini sifuri kampuni ya nico iliyotoa shilingi milioni kumi sifuri na UNK moja ya ujerumani ambayo ilikuwa UNK mashine za kiwanda hicho lakini ikashindwa na kukwamisha mradi huo hayo yalisemwa dar es salaam jana na naibu meya wa jiji hilo bwana ahmed mwilima katika kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri ambapo walikubaliana kuivunja kampuni hiyo kutokana na kushindwa kufanya kazi hiyo tumefikia maamuzi haya katika kikao cha madiwani wa halmashauri wa jiji kutokana na kampuni hii ya ujerumani kushindwa kutimiza majukumu yake japo tulikuwa tunahitaji sana dar es salaam iwe na machinjio ya kisasa lakini imebidi UNK kampuni hii alisema bwana mwilima alisema kwa sasa halmashauri inafanya utaratibu wa kisheria ili kuona kama kuna madeni yanatakiwa kulipwa na baadaye kila mwanahisa achukue kilicho chake kutokana na UNK na kiwanja cha eneo hilo kubaki mali ya jiji hadi sasa katika eneo hilo la ambalo machinjio UNK hakuna shughuli inayoendelea na tayari wananchi wamevamia eneo hilo na kulifanya mashamba wagonjwa thebathini na moja bado wamelazwa katika hospitali za manispaa jijini dar es salaam kwa kusumbuliwa na ugonjwa wa kipindupindu wagonjwa hao wamelazwa katika hospitali za temeke amana na kinondoni kwa nyakati tofauti na wanatokea sehemu mbalimbali za jiji akizungumza dar es salaam jana kaimu mganga mkuu wa hospitali ya temeke bwana gilbert buberwa alisema kuwa wagonjwa wapya hadi jana walikuwa kumi na moja badala ya kumi na tatu ambao walikuwepo awali alisema kuwa mpaka jana hakuna mgonjwa yoyote ambaye alifariki hivyo aliwataka wakazi wa jiji kuzingatia suala la usafi ili kuweza kukabiliana na ugonjwa huo taarifa iliyotolewa jana na kaimu mganga wa jiji daktari hawa kawawa ilisema kuwa takwimu zinaonyesha kuwa wilaya ya ilala bado inaongoza kwa kuwa na wagonjwa wengi ikifuatiwa na temeke alisema kuwa ilala ina wagonjwa kumi na nne wakati na kinondoni ya mwisho kwa kuwa na wagonjwa sita alisema tangu kuanza kwa ugonjwa huo watu mia mbili na themanini na sita wameugua ugonjwa huo na wilaya ya temeke inaongoza kwa kuwa na UNK kumi sita ikifuatiwa na ilala ina wagonjwa kumi moja na kinondoni wagonjwa sabini na tisa umoja wa wanawake tanzania wa chama cha mapinduzi umevunja ukimya na kufafanua kilichotokea kwenye kikao cha baraza kuu mjini dodoma kuwa katibu mkuu bibi UNK mwilima alihojiwa kwa kushindwa kutekeleza baadhi ya maagizo taarifa katika vyombo vya habari UNK na kusainiwa na ofisa habari na mkuu wa idara ya organization siasa na mahusiano ya kimataifa bibi sarah msafiri ilifafanua kuwa kilichotokea ni baraza kuu UNK kwa utekelezaji wa baadhi ya maagizo ya vikao UNK vya umoja huo kwa mujibu wa katiba ya uwt katibu mkuu ndiye mtendaji mkuu wa jumuiya ya uwt hivyo baraza lilimtaka kutoa ufafanuzi kwa baadhi ya maagizo ambayo UNK ipasavyo ilisema sehemu ya taarifa hiyo pia taarifa hiyo ambayo haikuweka bayana kama UNK na mpango wa kumnggoa bibi mwilima au la UNK kuwapo kwa tofauti kati ya mwenyekiti wa taifa wa umoja huo bibi sophia simba na katibu mkuu wake bibi hasna mwilima kama inavyodaiwa kwenye vyombo vya habari malumbano yanayotolewa kwenye vyombo vya habari kuhusu kutokuelewana kwa viongozi wa juu wa uwt sio ya kweli bali ni mambo ya kiutendaji ambayo baraza kuu UNK yatekelezwe hivyo UNK kuhoji juu ya mambo hayo alisema bibi UNK baraza kuu la uwt UNK na kutoa mapendekezo kwa chama juu ya utaratibu wa kuwapata wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika kupitia nafasi za wanawake na kutoa wito kwa wanawake kuthubutu na kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kugombea kwenye uchaguzi mkuu ujao wakurugenzi na mameneja sita wa wakala wa barabara nchini waliokuwa wamefukuzwa kazi wamerudishwa kazini ijumaa iliyopita baada ya bodi ya wakala hao wakurugenzi wa wakala wa barabara baada ya kamati iliyoundwa kukamilisha uchunguzi wa majalada ya wafanyakazi hao na kupita katika taasisi zote akizungumza na majira jana kaimu mwenyekiti wa bodi ya tanroads daktari samwel nyatahe alisema hatua hiyo ilifikiwa baada ya kufuatilia sheria na kanuni za utumishi wa umma iliyopitishwa oktoba kumi na sita mwaka huu ambapo nafasi za wafanyakazi hao zilitakiwa kujazwa kwa ushindani na uwazi wafanyakazi wote waliofukuzwa UNK kazini pamoja na bwana mrema toka ijumaa iliyopita na baada ya UNK baina ya kamati iliyoundwa bodi ya tanroads na wizara ya miundombinu alisema daktari nyantahe akifafanua zaidi daktari nyantahe alisema kuwa badala ya kuwafukuza kazi wafanyakazi hao bwana mrema alitakiwa kutumia njia ya kutangaza nafasi hizo ili UNK kwa ushindani au kuwachagua baadhi ya wafanyakazi wa wizara ya miundombinu ambao ni wachapakazi na kupewa nafasi hizo hivi karibuni mtendaji mkuu wa tanroads bwana ephraem mrema alipuuza maagizo ya bodi ya tanroads na kuwafukuza kazi wakurugenzi na mameneja wa mikoa bila kufuata taratibu za utumishi serikalini awali bwana mrema alitii agizo la kusitisha kuwafukuza lakini baadaye alibadili maamuzi akingganggania uamuzi wake wa awali wa kuwafukuza jambo ambalo UNK hali ya mkanganyiko ndani ya bodi ya tanroad na wizara ya miundombinu mgongano huo kati ya mrema bodi na wizara ulianza oktoba thebathini mwaka huu pale bwana mrema UNK kikao cha wafanyakazi na kutangaza kuwafukuza kazi baadhi ya watendaji waandamizi na baadhi ya mameneja waliokumbwa na sakata hilo ni pamoja na mkurugenzi wa matengenezo ya barabara bwana thomas mosso mkurugenzi wa mipango bwana jason rwiza meneja wa tanroads mkoa wa dodoma bwana gerson lwenge mkoa wa morogoro bwana charles madinda mkoa wa ruvuma bwana abraham kissimbo na mhandisi makao makuu tanroads bwana william shilla mwanazuoni maarufu wa siku nyingi nchini profesa issa shivji amesema kitendo cha vyama vya siasa kufadhiliwa na watu wachache wa ndani au je ya nchi ndio chanzo cha vyama hivyo kukosa sauti ya kukemea maovu na badala yake kufuata wanavyotaka wafadhili profesa shivji ambaye ni msomi wa fani ya sheria alitoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki alipozungumza na gazeti hili kwa njia ya simu juu ya faida za wanachama kufadhili chama badala ya kuwaachia wahisani au matajiri kukiendesha kwa fedha UNK alisema kuwa chama huendeshwa na kufadhiliwa na wanachama wenyewe kwa kujitoa UNK kwa hali na mali bila kujali nani UNK nini na kiasi gani hali hii inatokana na shida ya mfumo mzima wa vyama jamii na nchi kukubali kufadhiliwa kupita kiasi hivyo kukosa nguvu ya kusimamia mambo ya msingi UNK katika jamii au wanachama alisema profesa UNK profesa shivji alisema ili watu wawe na uchungu na vyama vyao lazima washirikishwe katika UNK chama ili wawe na sauti wakati wa maamuzi ya kujenga taifa na kuondoa mvutano wa kimaslahi kati yao ili kujikita na kutatua matatizo UNK ni siku hizi tu vyama UNK mfumo wake lakini zamani wanachama wenyewe ndio waliokuwa wakishikana mashati kuendesha chama hapakuwa na mfadhili hata kidogo alisema upande wa mashtaka katika kesi ya shambulio la kudhuru mwili na kutishia kuua inayomkabili mbunge wa simanjiro bwana christopher ole sendeka UNK kutoa ushahidi wao jana kwenye mahakama ya hakimu mkazi mjini arusha mwendesha mashtaka ambaye ni wakili wa serikali bwana michael UNK aliieleza mahakama hiyo kuwa mashahidi tisa pamoja na vielelezo vitatu vilivyowasilishwa mahakamani hapo UNK kukamilisha ushahidi wa upande wa mashtaka katika kesi hiyo shahidi wa tisa kwa upande wa mashtaka bibi flora john mnzava ambaye ni afisa UNK wa hospitali ya wilaya ya monduli aliyekuwa shahidi wa mwisho alisema mlalamikaji bwana james ole millya alipofika hospitalini alikuwa na majeraha katika shavu lake kwa upande wa kulia licha ya kuwa na alama shavuni pia alidai kuwa anasikia maumivu kiunoni ambayo UNK baada ya kusukumwa na kuanguka chini ambapo UNK matibabu na kumruhusu aondoke alisema bibi UNK shahidi huyo aliongeza kuwa yeye ndiye aliyepokea fomu ya polisi kwa ajili ya matibabu ambapo UNK na kuisaini baada ya kumpatia huduma ya matibabu bwana ole millya mahojiano kati ya wakili wa upande wa utetezi bwana mpaya kamara na shahidi huyo yalikuwa kama ifuatavyo wakili ulitumia nini kupima ukubwa wa sehemu ya jeraha alilokuwa nalo millya shahidi UNK UNK wakili UNK jeraha lina urefu gani shahidi nilikuta lina sentimita kumi na mbili wakili sentimita kumi na mbili za nini shahidi za urefu wa kuanzia juu kwenda chini wakili baada ya uchunguzi wako uvimbe unaosema ulikuwa shavuni unaonyesha ulisababishwa na nini shahidi unaonyesha alipigwa na silaha isiyo na makali wakili unamaanisha nini shahidi silaha isiyo na ncha inaweza kuwa mkono mbao au fimbo wakili wewe unaruhusiwa kujaza hiyo fomu pf tatu shahidi hapana ila UNK kwa niaba ya mganga mkuu baada ya UNK huo wakili anayemtetea ole sendeka bwana kamara alimueleza hakimu bwana james UNK kuwa wapo tayari kuleta vielelezo vyao kuwa mteja wao hana kesi ya kujibu kesi hiyo imeahirishwa hadi desemba nne itakapotajwa mahakamani hapo na kupangiwa tarehe ya kutoa uamuzi wa kujiridhisha endapo mshitakiwa huyo ana kesi ya kujibu au la mbunge wa moshi mjini bwana philemon ndesamburo amesema wakazi wa jimbo la moshi mjini hawadanganyiki na kauli ya mbunge wa same mashariki bibi anne kilango aliyetamba kumnggoa katika katika uchaguzi mwakani alisema hata kama mbunge huyo ataamua kupiga kambi kwa miaka mitano hana ubavu wa kuleta mabadiliko katika jimbo hilo na atashindwa kama rais mstaafu wa awamu tatu bwana benjamini mkapa aliyehamishia nguvu za chama na serikali jimboni humo ili shemeji yake bibi elizabeth minde ashinde akizungumza na majira kwa njia ya simu jana bwana ndesamburo alitoa kauli hiyo baada ya mbunge wa same mashariki bibi anne kilango kutangaza nia yake ya kupiga kambi katika jimbo la moshi mjini ili kuhakikisha ccm inachukua jimbo hilo mwaka ishirini moja sifuri mimi namwambia bibi kilango ajaribu bahati yake kwani mwaka ishirini sifuri tano bwana mkapa UNK serikali yote katika jimbo langu kwa lengo la kutaka kuninggoa lakini mgombea wake bibi minde alianguka vibaya alisema bwana ndesamburo alisema kuwa anashangazwa na kauli ya bibi kilango ya kudai kuwa yeye UNK kura na wana ccm jambo ambalo halina ukweli wowote wala hakuna sababu ya kutafuta mchawi kwani wapiga kura katika jimbo si mashabiki wa vyama kama UNK napenda bibi kilango atambue kuwa mimi UNK kura na wananchi wa moshi wasiokuwa wanachama wa chama chochote hao ndio wanaoniunga mkono na ndio UNK madarakani UNK mbali wanachama wa chama changu alisema alisema kuwa kama bibi kilango anaamua kuleta vita vya siasa moshi mjini yeye yuko UNK na anamkaribisha kwa nguvu zote katika mapambano hayo yasiyokuwa na tija na kumtaka atambue kuwa wananchi wa jimbo hilo hawadanganyiki na propaganda zake wananchi wa hili jimbo siyo watoto wadogo huu ni mkoa mwingine bwana achilia mbali watu hawa wakiamua jambo hawarudi nyuma kama yeye anadhani siasa zake za propaganda UNK stendi juzi ndizo UNK mawazo aendelee kwani hawa watu hawadanganyiki alisisitiza alisema kuwa kama bwana mkapa alishindwa kumnggoa madarakani mwaka ishirini sifuri tano baada ya UNK serikali na chama chake chote moshi anaamini hakuna mtu mwingine atakayeweza na kusisitiza kuwa bibi kilango ajaribu bahati yake labda anaweza kufanikiwa alisema kuwa kama ccm UNK yote ambayo UNK wananchi wa moshi mjini hadi kuendelea kumchagua wafanye hivyo na kwamba anaamini utendaji kazi wake mzuri kwa wananchi ndio uliosababisha wananchi wa mkoa huo waendelee kumkubali na wala si vinginevyo bibi kilango aendelee kutafuta mchawi ccm kwani UNK UNK sana eti anapiga kambi kwa ajili ya kuninggoa mimi na kutafuta mchawi mbona anajisumbua UNK alisema kama bibi kilango anataka niende kwenye jimbo lake UNK nitakwenda UNK kweli kweli na vita hii anayodai kuianzisha itakuwa ni ya karne UNK hata kidogo alisema bwana ndesamburo alisisitiza kuwa ccm inashindwa UNK moshi mjini kutokana na ufisadi wao na kwamba kazi anazofanya kwa wananchi wa mkoa huo chama hicho tawala hakiwezi kuzifanya na ndio maana anakubalika licha ya kuwekewa UNK UNK wananchi wa moshi mjini juzi bibi kilango aliwaambia wanachama na viongozi wa ccm kuwa bwana ndesamburo ameshinda mara mbili mfululizo kutokana na matatizo ya wanaccm wenyewe na kuwataka UNK bibi kilango alisema kuwa atapiga kambi mkoani hapo kwani hawezi kukubali kuwa wanaccm ambao mchana wamevaa kijani lakini usiku wamevaa nguo nyingine mtoto wa rais jakaya kikwete ridhiwani kikwete UNK mahakamani fundi UNK na mkazi wa mikocheni a bwana omary said kwa kumtapeli shilingi milioni mbili mbele ya hakimu mkazi wa mahakama hiyo bibi lina msanga mwendesha mashitaka bibi batiseba UNK aliiambia mahakama kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo novemba tano mwaka huu huko mikocheni jijini dar es salaam bibi batiseba alidai kuwa mshitakiwa alipewa fedha hizo na bwana ridhiwani ambaye ni mwanasheria kwa lengo la kununulia vifaa mbalimbali kwa ajili ya kukarabati nyumba yake lakini fundi huyo UNK kwa matumizi mengine na hakufanya UNK mshitakiwa ambaye amekana shitaka hilo UNK rumande kwa kukosa wadhamini kesi hiyo ambayo upelelezi wake unaendelea itatajwa tena desemba nane mwaka huu na glory mhiliwa arusha kesi inayomkabili mbunge wa simanjiro bwana christopher ole sendeka ambaye anashitakiwa kwa kumpiga mwenyekiti wa vijana wa ccm mkoa wa arusha bwana james UNK imeendelea kunguruma jana mahakama ya hakimu mkazi arusha ambapo mwendesha mashtaka wa serikali ameongeza mashitaka ya kutishia kwa bastola akisoma mashitaka hayo mwendesha mashtaka bwana agustine komba aliiambia mahakama mbele ya hakimu mkazi bwana james karayemaha kuwa UNK mashitaka mengine ambayo awali UNK alidai kuwa ole sendeka anatuhumiwa januari tisa mwaka huu wilayani monduli katika semina ya wazee wa kimasai ambayo iliandaliwa na mbunge wa mbulu bwana edward lowassa UNK kwa bastola na kumdhuru mwili bwana UNK hata hivyo mwendesha mashtaka huyo aliiomba mahakama kupanga tarehe ya kuanza kusikiliza kesi hiyo ambayo UNK kwa mara mbili baada ya upelelezi kukamilika mheshimiwa hakimu naomba tarehe kwa ajili ya kuanza kusikilizwa na kutolewa ushahidi ambapo upande wa upelelezi UNK tutaleta mashahidi kumi na tatu bastola iliyotumiwa na mshitakiwa kutishia fomu namba tatu UNK nayo mlalamikaji alisema mwendesha mashtaka aliwataja mashahidi watakaotoa ushahidi kuanzia mei ishirini na saba kuwa ni askari polisi wawili ambamo pia atakuwepo mkuu wa mkoa wa singida bwana vicent kone ambapo siku ya tukio alikuwepo kwenye semina hiyo hakimu karayemaha aliahirisha kesi hiyo mpaka mei ishirini na saba ambapo itaanza kusikilizwa akizungumza nje ya mahakama hiyo mbunge huyo aliwashukuru wananchi wa jimbo lake waliojitokeza kwa wingi kwa ajili ya kujua hatma ya kesi yake ambapo aliwataka kuendelea na kazi za ujenzi wa taifa kwa vile sheria itachukua mkondo wake nawashukuru sana naona ni vyema wakulima muendelee na kilimo na wafugaji muendelee na ufugaji UNK kuja mahakamani tuache sheria ichukue mkondo wake alisema sendeka licha ya ushauri wa daktari na ofisi binafsi ya rais jakaya kikwete kuwa kiongozi huyo apumzike baada ya kuishiwa nguvu na kukatisha hotuba mjini mwanza safari zake za ndani na nje ya nchi UNK kufanya zimezua upya mjadala huku akidaiwa UNK mjadala huo umeibuka wakati rais kikwete akiwa nje ya nchi kwa ziara ndefu itakayomchukua takribani siku kumi za kukutana na viongozi wa nchi na kufanya mikutano kadhaa katika nchi tatu tofauti safari ya sasa ya rais kikwete ambayo UNK katika nchi za jamaica UNK na tobago na cuba itakuwa ni mwendelezo wa ratiba ndefu ya kusafiri ndani na nje ya nchi kuanzia katikati ya oktoba siku hamsini na tatu baada ya kuishiwa nguvu huko katika uwanja wa kirumba mwanza wakati wa maadhimisho ya miaka kumi sifuri ya kanisa la africa inland UNK masuala mawili ambayo kwa sasa yameibua mjadala huo wa mara kwa mara ni kuhusiana na hali ya afya yake kama UNK na UNK wake daktari peter mfisi oktoba saba mwaka huu pamoja na tija zinazotokana na safari za nje ya nchi ambazo zinatumia gharama kubwa baadhi ya watu waliozungumza na gazeti hili kuhusu iwapo ikulu UNK kazi taarifa yake kuwa ofisi binafsi ya rais ingepitia upya ratiba ya mkuu huyo wa nchi na ushauri wa madaktari wake wa kumtaka apumzike wameonesha wasiwasi juu ya utekelezaji wa suala hilo katika kulinda afya ya rais wamehoji pia kauli yake baada ya kupata nafuu kuwa alipata msukosuko wa kiafya kutokana na kazi nyingi na safari ndefu na ahadi yake kuwa UNK ubishi na kuanza kuwasikiliza washauri wake wanaotaka apumzike siku chache baada ya tukio la kuishiwa nguvu oktoba nne rais kikwete alianza safari ya kikazi mkoa wa mara alipofanya shughuli ya kuzima mwenge na kukagua miradi mbalimbali oktoba kumi na saba alikuwa kwenye harambee ya kiwanda cha tangawizi iliyoandaliwa na mbunge wa same mashariki bibi anna kilango na baadaye kufanya ziara siku sita katika mikoa ya iringa na mbeya kuanzia oktoba ishirini na sita rais pia aliongoza na kutoa mada kwenye kongamano la wadau wa maendeleo novemba tano na sita kabla hajaondoka kwenda misri akarejea nchini na baadaye kwenda italia ambako alihutubia mkutano wa chakula novemba ishirini rais alipokea kombe la dunia katika uwanja wa taifa na siku iliyofuata akawa mkoani arusha katika maadhimisho ya miaka kumi ya jumuiya ya afrika mashariki siku UNK baadaye rais aliondoka kwenda safari ya jamaica UNK na tobago na kumalizia cuba inayoendelea sasa mwanazuoni profesa mwesiga baregu alilieleza majira kuwa rais ni binadamu wa kawaida hivyo kama UNK na wataalamu kupunguza ratiba ngumu ni bora afanye kazi za karibu ambazo si lazima asafiri umbali mrefu hivi karibuni tulisikia maelezo ya daktari wake kuhusu afya yake tukaambiwa kuwa anapaswa kupata wasaa wa kupumzika tulitarajia itakuwa hivyo na badala yake angeweza kufanya kazi za karibu rais ni binadamu wa kawaida UNK kuwa ni mzima kama hali UNK awe hivyo UNK apumzike alisema profesa baregu profesa baregu ambaye ni mtaalamu wa sayansi ya siasa na ushirikiano wa kimataifa alisema ni ngumu kuona moja kwa moja tija zitokanazo na safari za rais kwa sababu hakuna taarifa za ziara hizo alisema ni muhimu wananchi wakapewa taarifa za ziara za rais wao ikibidi kabla ya kuondoka na baada ya kurudi ili waweze kutoa tathmini iwapo UNK na kile UNK katika ziara hizo wakati mwingine unaweza kufikiri rais kikwete ni waziri wa mambo ya nje kila baada ya siku chache unamsikia yuko nje akirudi nyumbani atakwenda vijiji viwili vitatu kama vile kiinimacho halafu tena UNK UNK na UNK msafara wake UNK watu ishirini tumefikia mahali nchi hii rais anapaswa kufanya kama mwalimu nyerere ambaye alikuwa akiwatembelea watu anapiga kambi kijijini na kujua kwa undani shida zao si kila wakati kwenda nje kunaweza kuwa na tija kwa maslahi ya taifa alisema profesa baregu cuba na aliongeza kuwa si vibaya ofisi ya rais UNK wananchi UNK nchi fulani ni kitu gani hasa kwa sababu gharama UNK ni za walipa kodi alisema kama ilivyo kwa waziri wa mambo ya nje UNK kutoa taarifa kwa rais anaporudi kutoka ziara rais naye anapaswa kufanya hivyo kwa wananchi ambao ndio waajiri wake tumewahi kupata ripoti ya ziara za rais nje ya nchi mara moja nafikiri tunaambiwa ameenda kuomba lakini hatujui kama UNK UNK na UNK wapi pia ni vyema tukafanya uchambuzi wa nchi UNK nazo kama ni sahihi kwa sisi kuweza kuendelea kwa upande mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahimu lipumba ambaye aliwahi kuchambua ziara hizo na kueleza kuwa hazina manufaa alisema rais kikwete ana hulka ya kupenda safari na kumfananisha na vasco da gama mreno wa zamani aliyekuwa maarufu kwa kusafiri na UNK wa nchi kadhaa profesa lipumba alisema kwa kusafiri mara kwa mara rais kikwete anakwepa majukumu na kuwa hataki bugudha ya kukaa nchini na kufanya mipango ya kuendeleza nchi ikiwemo kutatua masuala kadhaa ambayo yamekuwa UNK serikali yake na chama cha mapinduzi hivi karibuni tumesikia ripoti moja ikionesha kuwa katika taasisi zinazoongoza kwa UNK allowances ikulu iko juu ya zote sasa mojawapo ya njia za posho hizo ni hizo safari ambazo kwa kweli tija yake ni ndogo ukilinganisha na gharama UNK kuna kazi zingine alipaswa kutumia wasaidizi wake mawaziri au wawakilishi wetu huko nje ya nchi yeye yuko safarini muda wote huku mambo UNK waziri wake wa utawala bora UNK mtu kwa kuuza dawa za kulevya alisema profesa lipumba ambaye ni mchumi alisema safari za rais haziwezi kusaidia nchi kupunguziwa au kusamehewa madeni kwani hiyo inatokana na mipango ya nchi kupitia wizara zao za fedha na kuongeza kuwa anapaswa kubaki nyumbani kusaidia kutoa maamuzi magumu hasa juu ya vita dhidi ya ufisadi ufisadi unaongezeka na hii ni moja ya vigezo ambavyo wafadhili wanatumia kutuongezea au UNK misaada sio safari za rais kama safari hizo zitakuwa hazijengi kama UNK vita dhidi ya rushwa na ufisadi mwingine kwanza lazima ieleweke kuwa UNK ya namna hiyo UNK na rais bali watendaji wa serikali alisema UNK UNK UNK polisi UNK wavunaji na edmund mihale siku moja baada ya waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo kutangaza kuifungia kampuni ya upatu ya deci jeshi la polisi limemtia mbaroni mwenyekiti wa kamati ya dharura ya wanachama wa upatu huo mchungaji isaack kalenge kwa kuhutubia bila kibali katika eneo la ofisi za makao makuu ya kampuni hiyo iliyopo mabibo mchungaji huyo alishikiliwa kwa saa tano katika kituo cha polisi magomeni na kisha kuachiwa kwa dhamana saa kumi jioni tukio hilo lilitokea saa tano kumi na tatu asubuhi wakati akihutubia umati wa washiriki wa upatu huo dhahama hiyo ilimkuta mtumishi huyo wa mungu baada ya kuombwa na mwenyekiti wa chama cha siasa cha dp mchungaji christopher mtikila kutangaza ajenda UNK jumamosi katika mkutano wa washiriki wote utakaofanyika viwanja vya jangwani awali mchungaji kalenge aliwatangazia washiriki kuwa kutakuwa na mkutano saa tano asubuhi hali iliyowapa hamasa ya kusikia nini UNK juu ya hatima ya fedha walizopanda katika kampuni hiyo ilipofika saa tano sifuri sifuri mchungaji mtikila akiwa na mchungaji kalenge bila kujali tangazo lilitolewa na deci kupinga washiriki kutumia uwanja wa ofisi hiyo kama ukumbi wa mikutano aliwaita washiriki wote mchungaji mtikila alimpa kipaza sauti mchungaji kalenge ili atoe ratiba ya mkutano wa jumamosi tunasikia eti igp amewaagiza viongozi wa kampuni hii kwamba walipwe wanachama wapya hiyo itakuwa ni kuleta machafuko makubwa na UNK serikali kwa kuwa yenyewe ilichelewa kuwahadharisha wananchi alisema mchungaji huyo huku akiendelea kuhutubia ghafla ofisa wa jeshi hilo kutoka kituo cha urafiki aliyefahamika kwa jina moja la bwana bundala alimvamia na kumshika kisha UNK wote chini na kuanza UNK katika lindi la vumbi baadaye polisi alifanikiwa kumdhibiti mchungaji huyo katika purukushani zilizodumu kwa dakika tano na kumuweka chini ya ulinzi hadi walipofika wenzake kutoka kituo cha magomeni polisi hao zaidi ya kumi waliofika UNK tano ishirini na tisa wakiwa katika gari aina ya land rover defender namba t mia saba na sitini ady walifanya mazungumzo na mchungaji mtikila ambaye kwa muda wote alionekana kutoa ushirikiano kwa mwenzake aliyekuwa chini ya ulinzi kwa muda wote kuwasili kwa askari hao kulizua hali ya woga katika eneo hilo na kuwaacha washiriki hao wa deci wakiwa katika wasiwasi mkubwa huku wakiwa na minonggono ya hapa na pale wakiwa katika makundi madogo madogo kwa woga wa kukamatwa walikuwa wakisema ni mwisho wa serikali ya ccm kugawa fulana na kofia kisha wapewe kura katika uchaguzi badala yake wanatakiwa kuanzisha deci nyingine ili UNK mtanzania kundi lingine UNK wenzao kuwa na msimamo wa kijasiri katika kudai fedha hizo kutokana uongozi wa kampuni hiyo kutokuwa makini katika uamuzi wao uchunguzi ulifanywa na majira umebaini kuwa washiriki hao UNK kufungua kesi makahama kuu kitengo cha biashara kupitia kampuni ya uwakili ya brilliance law chambers kudai mavuno yao naye rehema mohamed anaripoti kuwa jeshi la polisi kanda maalum ya dar es salaam litawachukulia hatua za kisheria wanachama wa taasisi ya upatu ya deci watakaofanya maandamano ama kukusanyika katika ofisi hizo kwa madai wanachochea uvunjifu wa amani kwa vile suala lao linashughulikiwa kisheria akizungumza dar es salaam jana kamanda wa polisi wa kanda hiyo bwana suleiman kova alisema hatua hiyo inatokana na taarifa UNK kuwa kuna watu UNK suala hilo kisiasa na kuchochea mikusanyiko UNK maandamano alisema kanda yake itasimamia suala hilo kwa lengo la kuhakikisha usalama katika jiji la dar es salaam suala la deci tayari UNK kushughulikiwa kisheria na serikali kuanzia wizara ya fedha benki kuu pamoja na viongozi wa deci ambapo hatma yake itatangazwa baadaye baada ya uchunguzi kukamilika hatutapenda kuona mikusanyiko ya aina yoyote ikiendelea pale alisema bwana kova kamanda kova alisema kama kuna watu wanataka kuandamana wafuate hatua za kisheria zinazohitajika na sio kuweka mikusanyiko kiholela katika ofisi hizo kampuni ya tanga UNK imeongeza uzalishaji wa UNK kutoka tani mia saba na hamsini sifuri sifuri sifuri hadi kufikia tani moja mia mbili na hamsini sifuri sifuri sifuri ikiwa ni mafanikio ya asilimia sitini na saba baada ya kumalizika kwa awamu ya kwanza ya mradi wa upanuzi wa mitambo yake akizungumza na waandishi wa habari walitembelea mitambo hiyo mipya juzi mkoani tanga mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo bwana UNK fluehmann alisema kumalizika kwa mtambo huo kutasaidia UNK mahitaji ya bidhaa hiyo kwa tanzania kwani wanazalisha tani milioni tatu na mahitaji ya nchi ni milioni mbili kwa mwaka bwana fluehmann alisema mradi huo umegharimu dola za marekani milioni arobaini na sita mpaka kukamilika hali itayosaidia soko la afrika mashariki kwa ajili ya UNK wa uchumi mwaka jana tanga simenti ilichangia zaidi shilingi bilioni thebathini kwa ajili ya kodi na tunatoa sehemu ya faida tunayopata kwa ajili ya kuchangia huduma za kijamii alisema alisema kampuni inakabiliwa na changamoto za mgao wa umeme kwani mitambo yao inafanya kazi saa ishirini na nne hivyo ukataji wa umeme unachangia mitambo hiyo kusimama kwa muda kabla ya kuunganisha tena bwana fluehmann alisema kampuni hiyo imeajiri wafanyakazi thebathini sifuri na wengine hamsini sifuri sifuri ni wafanyakazi wa nje ya kampuni wanaofanya kazi ya kuleta malighafi kwa ajili ya uzalishaji wa UNK kampuni hiyo UNK simenti nje ya nchini tani ishirini sifuri sifuri sifuri kwa mwezi tofauti na awali ambapo ilikuwa UNK tani kumi sifuri sifuri kwa mwezi ikiwa ni mafanikio ya utambo mpya ulioanza kazi novemba kumi na moja mwaka huu watanzania nchini wameshauriwa kuzalisha bidhaa bora na kwa wingi ili kukuza mitaji na uchumi katika hali itakayosaidia kupata soko la kimataifa hayo alisema meneja miradi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya inayoshughulikia agenda mbalimbali za biashara bwana UNK UNK wakati wa warsha ya jumuiya ya afrika mashariki na UNK alisema UNK kuwa viwanda vilivyopo tanzania UNK bidhaa zao kwa wingi na kwa ubora unaotakiwa hali inayochangia bidhaa hizo kukosa soko la nje na kuzipa nafasi bidhaa za nje kuuzwa nchini alisema uchumi wa nchi unazidi kudidimia kutokana na miundombinu ya barabara kuwa UNK hali inayosababisha hata bidhaa UNK kufika pale panapotakiwa kwa wakati akitolea mfano wa bidhaa inayotengenezwa hapa tanzania na UNK kwa wingi kwenda katika mikoa mingine ni pamoja na kinywaji cha dodoma UNK inayotengenezwa dodoma lakini hata mkoani dar es salaam haifiki kwa sababu ya uchache wa bidhaa hiyo hali inayosababisha mikoa mingine kampuni ya UNK internation trading imesema wapo katika mchakato wa kuleta ngombe wa maziwa ambao watawakopesha wakulima ili waweze kujikwamua kiuchumi akizungumza dar es salaam jana mkurugenzi wa kampuni hiyo bwana stanley mdaki alisema kuwa kabla ya kuleta ngo mbe hao wa mkopo watatoa mafunzo ya jinsi ya kuwatunza nggombe hao kwa wakulima alisema ngo mbe hao wanauwezo wa kutoa lita sitini hadi tisini za maziwa kwa siku na UNK zaidi vijijini ili waweze kuongeza kipato cha wakulima ambao ndio nguzo ya taifa bwana mdaki alisema kuleta kwa ngo mbe hao hapa nchini kutasaidia serikali kujenga kiwanda cha kitaifa cha maziwa na hali hiyo itaongeza ajira kwa vijana kuwa kufikia mwaka ishirini moja tano watanzania wengi watakuwa UNK na nggombe hao hali itayosaidia umaskini kupungua nchini pia alisema desemba nane hadi ishirini na tatu mwaka huu watakuwa na maonesho ya kilimo kwanza ambayo yatakuwa yanatoa elimu kwa wakulima juu ya kilimo kwanza alisema kuwa asilimia kubwa ya watanzania hawana elimu ya kutosha ya kilimo kwanza kwahiyo elimu hiyo itasaidia kuongeza pato la mkulima na taifa kwa ujumla ambapo maonesho hayo yameandaliwa na UNK UNK corporation mwanasheria mkuu wa serikali jaji frederick werema ameitaka mamlaka ya mapato tanzania kuwabana wakwepa kodi kwa mujibu wa sheria na kuchukua hatua dhidi ya ufisadi unaotokea katika mchakato wa ukusanyaji kodi nchini lakini ili waweze kutimiza majukumu yao kwa urahisi na kupata ushirikiano kutoka kwa walipa kodi alisema tra hawana budi kutoa elimu ya ulipaji kodi itakayowafanya wananchi kutimiza wajibu huo wa kisheria bila UNK jaji werema aliyasema hayo jana jijini dar es salaam alipokuwa akizindua taarifa inayohusu majumuisho ya kesi na maamuzi mbalimbali kuhusu mabishano ya sheria za kodi nchini kuanzia mwaka ishirini sifuri mbili ishirini sifuri nne jaji werema ambaye jana ilikuwa mara yake ya kwanza kutokea katika hadhara ya namna hiyo tangu ateuliwe katika wadhifa huo alisema ili kufanikisha kazi muhimu ya ukusanyaji kodi tra inapaswa kuhakikisha inakuwa na watumishi wenye ari ya kufanya kazi weledi na waaminifu kwanza napenda kuwapongeza tra kwa majukumu yao hasa ya ukusanyaji kodi ambayo kwa hakika siyo kazi rahisi moja ya changamoto UNK ni kuwaelimisha walipa kodi ili wajue umuhimu wa wajibu huu inahitajika kuwepo na msimamo thabiti katika kushugulikia masuala yanayohusu ukusanyaji na ulipaji kodi ndiyo maana nawasihi tra kuhakikisha wanazingatia utawala wa sheria na uwajibikaji katika kutekeleza majukumu yao alisema aliongezea kusema kuwa mbali ya kuzingatia na UNK tra pia inapaswa kupunguza malalamiko ya walipa kodi kwa upande wake kamishna mkuu wa tra bwana harry kitilya alisema ripoti hiyo ina umuhimu wa pekee kwani itaisaidia mamlaka hiyo kutimiza malengo yake ya kutoa huduma bora inayoendana na uwajibikaji ili kuwezesha ulipaji kodi ripoti hii ya sheria UNK masuala ya kodi imekuja katika wakati mwafaka ambapo serikali inajipanga kuhakikisha UNK katika kupanga bajeti yake kwa kutumia vyanzo vyake vya ndani hii ni ripoti ya kwanza kabisa kuandaliwa na wataalamu wetu wa hapa nchini alisema bwana kitilya mwenyekiti wa bodi UNK ripoti hiyo bwana kibuta UNK alisema makusudi ya kuandaa taarifa hiyo ni kuhakikisha maamuzi ya kisheria yanayohusu malalamiko ya kisheria katika masuala ya kodi yanakuwa ya aina moja somo la maadili kwa watumishi wa afya limetakiwa kutolewa vyuoni na kuwekewa mitihani ambao mtahiniwa atalazimika kufaulu kabla ya kuhitimu ili aweze kufanya kazi yake kwa umakini zaidi kauli hiyo ilitolewa dar es salaam jana na waziri wa afya na ustawi wa jamii daktari david mwakyusa wakati akizindua baraza la wataalamu wa macho alisema kuwa ni bora maadili liwe somo UNK na kuwekewa mitihani ambao mtahiniwa UNK kabla ya kuhitimu ili aweze kufuata maadili ya kazi na kuwa na nidhamu ya hali ya juu ni utaratibu UNK kwamba wataalamu wa afya UNK kiapo UNK na kupewa nyeti vyao katika kiapo hicho UNK kufanya kazi kwa kufuata maadili yaliyowekwa na kwa nidhamu ya hali UNK alisema aliongezea kuwa anasikitika kusema kwamba baadhi ya wataalamu hawafuati maadili na hili ni eneo linalohitaji kuangaliwa kwa umakini zaidi kwani mara nyingi tunapata taarifa za wagonjwa kudaiwa fedha na matumizi ya lugha chafu kwa wagonjwa hospitalini tabia hizi kwa wataalamu hazina nafasi katika ulimwengu wa leo alisema daktari mwakyusa alilitaka baraza la wataalamu UNK kufanya kazi kwa umakini na kuelimisha wananchi ili watambue umuhimu wa kupima afya zao badala ya kununua miwani mitaani ambayo inahatarisha afya ya macho pia alilitaka baraza hilo kuweka utaratibu wa kuteua wasimamizi wa sheria husika mikoani na wilayani kwa lengo la kurahisisha shughuli za usajili utekelezaji na usimamizi wa sheria yenyewe na makumba mwemezi mahakama ya rufani tanzania jana imelitupa shauri la mapitio ya uamuzi wake ilioutoa katika kesi ya madai namba kumi na nane ya mwaka ishirini sifuri tano lililowasilishwa kwake na walalamikaji ambao walikuwa askari wa kikosi maalum cha kuzuia magendo cha zanzibar wakidai kulipwa shilingi mia moja na arobaini na moja mia saba na arobaini na nane sifuri sifuri sifuri walalamikaji waliokuwa wakiilalamikia katibu mkuu wizara ya nchi tawala za mikoa na vikosi vya serikali ya mapinduzi zanzibar ni abdallah ali mohamed said salum hamisi omar ali omar na saleh khamis saleh akisoma uamuzi huo msajili wa mahakama ya rufani tanzania daktari ferdinand wambali alisema baada ya kupitia hoja za walalamikaji na kubaini hazina msingi kwani hazikuonesha kuwepo udanganyifu kutosikilizwa wala mahakama kukosa mamlaka ya kusikiliza walalamikaji walifungua kesi kwa kutoridhishwa na uamuzi wa kmkm kuwaachisha kazi pamoja na kutowapa barua rasmi zinazoonesha kuachishwa huko akizungumza nje ya mahakama ya rufani mara baada ya uamuzi huo mwakilishi wa walalamikaji ambaye ni mlalamikaji wa kwanza abdallah ali mohamed alidai korti haikuwatendea haki pia aliomba bunge la tanzania pamoja na baraza la wawakilishi zanzibar kuwapa nafasi ya kuwasilisha vielelezo walivyonavyo kwani vyombo hivyo ndivyo wawakilishi wa wananchi naibu waziri wa kazi ajira na maendeleo ya vijana daktari makongoro mahanga amewataka wananchi wa jumuiya ya afrika mashariki kujenga utamaduni wa kutumia bidhaa zinazozalishwa nchini mwao kwa kuwa zina ubora wa kutosha akizungumza dar es salaam juzi wakati alipotembelea maonesho ya nguvukazi daktari mahanga alisema kwa kufanya hivyo kutasaidia kuwainua kiuchumi wajasirimali wa ndani na kuleta maendeleo katika nchi zao daktari mahanga alisema ununuaji wa bidhaa za ndani pia utaondoa matatizo ya utafutaji wa masoko kwa wajasiriamali wengi UNK bidhaa zao katika mabanda ambayo nimetembelea bidhaa nyingi zimeonekana kuwa bora tena kushinda hata za nje UNK kununua ni vyema sasa wanajumuiya UNK utamaduni wa kuthamini kile UNK wenyewe ili wazalishaji wetu UNK kiuchumi alisema daktari mahanga aliwataka wajasiliamali hao kuhakikisha bidhaa zao UNK katika mashirika ya viwango kama vile tbs la tanzania yaliyopo nchini mwao ili kujihakikishia soko UNK maonesho hayo UNK wajasiliamali zaidi ya themanini sifuri kutoka nchi za jumuiya ya afrika mashariki ambazo ni tanzania kenya uganda na rwanda isipokuwa burundi ambao UNK akizungumza katika maonesho hayo jana waziri wa ushirikiano wa afrika mashariki daktari UNK kamala alisema nchi za jumuiya hiyo UNK na kufanya tathmini ya maonesho hayo tangu UNK ili kuona mahali UNK kwa lengo la kuwasaidia kweli bidhaa ni nzuri lakini nyingi UNK kwa hiyo tutakaa nchi zote za afrika mashariki na kuona haja ya kuwawezesha zaidi ili kuzalisha bidhaa tofauti na ilivyozoeleka waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi profesa jumanne maghembe amewataka walimu kuwahamasisha wanafunzi kujiwekea utamaduni wa kujisomea ili kuongeza misamiati ya lugha ya kiswahili akizungumza juzi dar es salaam katika hafla ya kuwazawadia wanafunzi walioshinda katika uandishi wa insha kuhusu faida za kombe la mataifa linalochezwa angola na la dunia dunia linalochezwa na jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa afrika alisema vijana UNK kuandaliwa mapema kuhusu shughuli zote za jumuiya ya afrika mashariki kwa kuwa ndio watakuwa walinzi wa jumuiya hiyo kwa miaka ijayo wanafunzi wanakuwa waoga kushiriki mashindano ya insha kwa kukosa ushauri wengi wao wanakuwa na uwezo lakini lugha UNK hivyo wanahitaji mtu wa UNK alisema profesa maghembe katika mashindano ya mwaka huu tanzania imeshika nafasi ya kwanza katika nchi za sadc ambapo mshindi wa kwanza allen UNK akitoka katika UNK ya maua na wa pili mary UNK wa sekondari ya machame zote za mkoani kilimanjaro pia peter UNK wa shule ya sekondari tosamaganga mkoani iringa ameshika nafasi ya tatu katika nchi za jumaiya ya afrika mashariki na kuifanya tanzania kuwa mshindi wa kwanza akizungumza baada ya kupokea zawadi mkuu wa shule ya sekondari ya tosamaganga bwana julius UNK alisema mashindano hayo UNK wanafunzi uwezo wa kujieleza na kujifunza lugha nyingine mashindano ya uandishi wa insha ya jumuiya ya UNK mashariki yalianza mwaka ishirini sifuri nne kwa lengo la kuwahamasisha wanafunzi wa nchi hizo kuelewa masuala yanayohusu jumuiya mwenyekiti wa wazazi wa chama cha mapinduzi mkoa wa kilimajaro bwana thomas ngawaiya ametangaza rasmi kugombea ubunge katika jimbo la moshi mjini mwakani kwa madai kuwa jimbo hilo liko wazi kwa kuwa halina mbunge wa chama hicho tamko hilo la bwana ngawaiya limekuja siku moja baada ya mbunge wa sasa wa jimbo hilo bwana philemon ndesamburo kusema wakazi wa moshi mjini hawadanganyiki bali wanamkubali yeye kutokana na huduma UNK ambazo ccm haiwezi UNK kauli hiyo ya bwana ndesamburo ilikuwa ni majibu kwa mbunge wa same mashariki bibi anne kilango alitangaza kupiga kambi katika jimbo hilo ili kuhakikisha ccm inaibuka na ushindi katika jimbo hilo baada ya kuukosa kwa miaka kumi na tano mfululizo wakati vumbi la malumbano UNK bwana ngawaiya alilieleza majira kwa njia ya simu jana kuwa UNK bwana ndesamburo anayetokea chama cha demokrasia na maendeleo nina kila sababu ya kuwa mbunge katika jimbo la moshi mjini kwa sababu bwana ndesamburo kazi yake ni ya kufadhili badala ya kufanya kazi ya msingi ya uwakilishi wa wananchi katika ngazi za juu serikali alisema alisema kuwa katika kipindi cha mwaka ishirini sifuri sifuri hadi ishirini sifuri tano alichokuwa mbunge wa moshi vijijini kupitia aliwatetea wakulima wa kahawa ambao walikuwa hawajalipwa kwa kipindi cha miaka kumi kwa mujibu wa bwana ngawaiya mwaka ishirini sifuri moja wakulima hao walilipwa shilingi bilioni arobaini na mbili ambazo zilitoka UNK union kati ya hizo fedha shilingi bilioni kumi na mbili UNK lyamungo kwa ajili ya kufanyia utafiti wa kahawa kwa kutengeneza miche UNK na wadudu UNK shilingi bilioni thebathini UNK kutengeneza barabara za maeneo UNK kahawa vijijini mambo niliyofanya kwa kipindi hicho ni makubwa nina imani UNK nafasi kwa upande wa moshi mjini nitafanya mambo makubwa zaidi hususan ya kuhakikisha kwamba vijana wanapata ajira na viwanda kumi na sita UNK UNK ubunge kwa bwana ndesamburo kwake mwisho ni mwaka kesho wananchi UNK kwani nimepata mitaa thebathini na tisa katika jimbo hili na yeye amebaki na mitaa ishirini na moja hivyo ninaamini nitashinda alisema bwana ngawaiya alisema kuwa anaamini kuwa wananchi wa moshi watamchagua kutokana na kujenga hoja wakati alipokuwa mbunge hadi kodi ya kichwa ya shilingi mbili sifuri sifuri sifuri hadi shilingi tatu sifuri sifuri sifuri waliyokuwa UNK wananchi na kusababisha kukimbilia mashambani UNK upelelezi wa kesi ya mauaji inayomkabili mwanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam masama msiba UNK kumuua mpenzi wake bado haujakamilika na mshtakiwa huyo ataendelea kusota rumande kesi hiyo ilitajwa jana katika mahakama ya wilaya ya kinondoni jijini dar es salaam mbele ya hakimu mkazi bibi hilda lyatuu na UNK kwa mara nyingine hakutakiwa kujibu lolote kwa kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza kesi za mauaji mshtakiwa masama ambaye ni mwanafunzi UNK wa elimu katika chuo hicho anadaiwa kumuua kwa kitu chenye ncha kali mwanafunzi mwenzake bibi bertha mwarabu anayedaiwa alikuwa mpenzi wake mwendesha mashtaka mkaguzi wa polisi benedict nyagabona alidai mahakamani hapo kuwa tukio hilo lilitokea juni sita mwaka huu majira ya saa ishirini na moja arobaini na tano katika hosteli za mabibo zilizopo UNK jijini dar es salaam kwenye chumba mia mbili na hamsini block c upelelezi wa kesi hiyo bado unaendelea na mtuhumiwa yupo rumande wakati kesi hiyo imepangwa kutajwa desemba nane mwaka huu waandishi wa habari wametakiwa kuandika kwa kina habari za uchunguzi ili kuiwezesha jamii kupata taarifa zenye usahihi na za kweli na kuepusha uwezekano wa vyombo vya habari kushitakiwa mwito huo ulitolewa kwa waandishi wa habari dar es salaam juzi na mwandishi wa siku nyingi bwana fili karashani wakati akitoa mada katika semina ya siku mbili iliyoandaliwa na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa kwa ajili ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari za uchunguzi alisema ni lazima uandishi wa habari za uchunguzi UNK vyanzo mbalimbali ikiwa ni pamoja kuziona pande zote UNK ili kuwatendea haki wahusika ni lazima habari ya uchunguzi iwe na usahihi na ukweli na kuepuka uandishi usiozingatia matakwa ya uandishi wa habari alisema bwana karashani huku akionesha mifano UNK ya uandishi usiozingatia taaluma bwana karashani alisema waandishi wa habari wanatakiwa kujiamini kuondokana na woga na wawe na uwezo wa kuzungumza na watu wa kada mbalimbali wakiwemo viongozi kama wewe ni mwandishi wa habari mwoga basi kazi hii UNK bora UNK nayo na kwenda kuuza UNK ya UNK alisema bwana karashani aliongeza kuwa waandishi wa habari wanatakiwa kuifahamu kwa ufasaha lugha UNK ili kuepuka kutumia maneno yanayoweza kuleta mkanganyiko kwa jamii uzinduzi wa siku kumi na sita za kupinga ukatili wa kijinsia umeanza kwa simanzi miongoni mwa washiriki baada ya mwanamke mmoja kutoa shuhuda wa jinsi jinsi mtoto wake UNK akiwa na umri wa miezi miwili jijini dar es salaam akisimulia mkasa huo bibi rachel kasuke mkazi wa iringa alisema alianza mahusiano ya kimapenzi mwaka ishirini sifuri sita na bwana abdul seleman ambaye alikuwa dereva wa magari makubwa nilikuwa naishi iringa na bibi yangu nilipokutana na mwanaume huyo sikufahamu alipokuwa akiishi na tulikutana njiani alisema bibi kasuke katika ushuhuda wake UNK na waziri mkuu bwana mizengo pinda alisema baada ya mwaka mmoja alipata ujauzito na kujifungua mtoto wa kike ambaye kwa sasa ana umri wa miezi nne akiwa iringa alikokuwa akiishi na bibi yake ilipofika julai mwaka huu bwana seleman alimfuata kijijini kwao na kumleta jijini dar es salaam manzese UNK ili waweze kuishi pamoja kutokana na hali ya maisha na hakuwa na zaidi ya bibi yake ambaye alimruhusu kuja kumlea mtoto wake baada ya mtoto kutimiza miezi mbili mama mkwe wake UNK na kumweleza kuwa mtoto huyo alitakiwa kufanyiwa mila bila UNK aina ya mila UNK kufanyiwa zilipita siku mbili UNK UNK kuwa ni mila gani hiyo lakini aliendelea UNK siku ya tatu nilipoingia ndani nilimkuta mume wangu akiwa UNK mtoto bila nguo mama mkwe alikuwa ameshika kiwembe na pamba alisema bibi kasuke aliongeza kuwa baada ya jitihada za kumwokoa mtoto huyo mikononi mwa mumewe kushindwa aliamua kukimbia nje na kumweleza baba mwenye nyumba kilichokuwa kinafanyika ndani lakini hakupata msaada wowote bali alishauriwa na majirani wengine kwenda kituo cha polisi baada ya kufika kituo cha polisi magomeni alipokelewa na askari ambaye alimwelekeza kwa mkuu wa kituo kutokana na ukubwa wa tukio mkuu wa kituo alimpatia askari sita na gari walipofika nyumbani walikuta mtoto pekee amefanyiwa UNK lakini mume na mama mkwe wake hawakuwepo ndani polisi waliamua kumchukua mwenye nyumba kwa ajili ya uchunguzi na kumhifadhi bibi kasuke na mwanaye katika kituo cha polisi baada ya kukosa sehemu ya kuishi hadi alipokuja kuchukuliwa na chama cha wanasheria wanawake tanzania hadi leo mfanyabiashara john UNK mkazi wa mbeya amekamatwa jijini dar es salaam kwenye kituo cha treni cha tazara akiwa na vipodozi UNK marufuku aina ya UNK vyenye thamani ya shilingi milioni mbili nane mwendesha mashtaka bwana basil pandisha alisema mbele ya hakimu UNK mzava wa mahakama ya wilaya ya temeke kuwa mshtakiwa alikamatwa novemba ishirini na tatu mwaka huu saba thebathini mchana akiwa na mzigo huo alisema mzigo huo ulijaa losheni zenye sumu ambayo inaleta madhara ya ngozi kwa binadamu mshtakiwa amekana kosa hilo na dhamana yake iko wazi lakini amekosa wa wadhamini na kulazimika kwenda rumande mpaka UNK mdhamini huku kesi yake ikitarajiwa kutajwa desemba nane mwaka huu wakati huo huo bwana joseph UNK mkazi wa kigamboni mji mpya amekamatwa kwa makosa manne likiwemo la uvuvi haramu mwendesha mashtaka bwana isaya mwanga alidai mbele ya hakimu aziza UNK wa mahakama hiyo kuwa mkono wa sheria UNK mshtakiwa novemba kumi na tisa mwaka huu saa kumi na moja kumi na tano jioni katika maeneo ya buyuni temeke jijini dar es salam UNK makosa mbalimbali katika kosa la kwanza anadaiwa kufanya shughuli ya uvuvi bila leseni pili kuvua kwa chombo ambacho UNK na kosa la tatu kupatika na vifaa vya mlipuko vya kuvulia samaki mshtakiwa alikana makosa yote na licha ya dhamana yake kuwa wazi ikihitaji wadhamini wawili wenye mali isiyohamishika shilingi sh milioni moja kila mmoja alirudishwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti kesi hiyo itatajwa desemba tatu mwaka huu kampuni taasisi mbalimbali na watu binafsi wamejitokeza kwa wingi kushiriki katika tamasha la punguzo la bei na burudani linaloendelea katika viwanja vya mlimani city barabara ya sam UNK dar es salaam tamasha hilo UNK kilele kesho linahusisha wadau kutoka sehemu mbalimbali likiwa na lengo la kuhamasisha wananchi kujenga tabia ya kununua bidhaa zinazopatikana katika maduka ya mlimani city mratibu wa tamasha hilo bwana fred kimiti alisema kuwa hatua hiyo imefikiwa kutokana na watu wengi kujitokeza kununua bidhaa ambazo UNK bei kwa kiasi kikubwa kuna kampuni nyingi ambazo zimejitokeza kuomba nafasi za kuonesha bidhaa zao baada ya kuona mwamko wa watu kununua bidhaa katika tamasha hilo alisema alitaja baadhi ya kampuni na taasisi ambazo zimejitokeza kuleta bidhaa na huduma kuwa ni pamoja na dstv na hospitali inayotoa huduma ya macho kampuni ya business times limited inayochapisha na kusambaza magazeti ya business times majira spoti starehe na dar leo ndio mdhamini pekee wa tamasha hilo kwa upande wa vyombo vya habari kampuni hiyo imejitokeza kushiriki tamasha hilo ili kutoa nafasi kwa watanzania kujionea bidhaa na huduma mbalimbali zinazotolewa na kampuni hiyo taarifa iliyotolewa na kampuni hiyo kwa vyombo vya habari jana ilieleza kuwa wananchi UNK banda la business times ltd watapata nafasi ya kujionea nakala za mwanzo za magazeti hayo likiwamo la business times ambalo ni kwanza binafsi kuchapishwa nchini mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nane aidha nakala za bei za matangazo na huduma ya kujaza fomu za UNK kwa wale wanaohitaji huduma ya kupelekewa nakala za magazeti yanayosambazwa na kampuni hiyo mahali walipo zitatolewa msuguano wa uongozi ndani ya jumuiya ya wanawake tanzania umeelezwa kuchochewa na mgawanyiko uliopo baina ya wabunge ambao kwa siku za karibuni umesababisha uhasama mkubwa baina yao majira UNK habari zilizopatikana kutoka katika vyanzo mbalimbali zimeeleza kuwa harakati za mwenyekiti wa uwt bibi sophia simba kutaka UNK oa katibu mkuu wa umoja huo bibi hasna mwilima una mkono wa siasa za kuviziana ambazo sasa imekuwa za kawaida miongoni mwa wabunge katika siku za karibuni bunge la tanzania UNK katika makundi mawili moja UNK kupamba na ufisadi na jingine UNK watuhumiwa wa ufisadi UNK bibi simba ambaye hivi karibuni alieleza msimamo wake kwenye kamati ya maridhiano iliyoongozwa na mzee ali hassan mwinyi kuchunguza chanzo cha mpasuko vyanzo vyetu ndani na nje ya uwt vimeeleza kuwa siasa hizo zimeingia ndani ya jumuiya hiyo na kwa kuwa bibi husna anahusishwa na upande mwingine unaopambana dhidi ya ufisadi lakini umoja huo unadaiwa UNK mgogoro huo wa wabunge kutaka kuigawa jumuiya yao na jana makamu mwenyekiti wa uwt bibi asha bakari makame aliweka wazi msimamo kuwa uwt haitakubali kuona mgawanyiko wa wabunge unaingizwa katika jumuiya hiyo kwa vile kila chombo kina majukumu yake na badala yake UNK viongozi wa jumuiya watekeleze majukumu yake UNK mambo ya bungeni UNK katika jumuiya watuache tufanye kazi kwa kuleta maendeleo kwani uwt ndio UNK mkuu katika ccm alisema makamo huyo kauli hiyo ya bibi makame imekuja siku chache baada ya mbunge wa same mashariki bibi anne kilango ambaye ni miongoni mwa wabunge wanaopambana na ufisadi kuwataka wanachama wa uwt mkoani kilimanjaro kuwapuuza bibi simba na bibi mwilima kwa kuwa UNK baina yao ni suala la binafsi na si la jumuiya hivi karibuni katika kikao cha baraza kuu la uwt ilidaiwa kuwa uliandaliwa mkakati wa kumnggoa bibi mwilima hatua ambayo uwt imekanusha lakini UNK kiongozi huo alihojiwa na kujadiliwa kutokana na kutotekeleza baadhi ya mambo yaliyopitishwa na vikao vya jumuiya katika kikao hicho ilidaiwa pia kuwa bibi simba UNK wajumbe kuwa bibi kilango ameandaa mawakili kumi kwa nia ya kumshtaki kwa tuhuma dhidi yake kuwa anauza dawa za kulevya UNK kutoa katika kamati ya mzee mwinyi jambo ambalo linaashiria kuwa mgogoro baina ya wabunge unazidi kujichimbia ndani ya uwt pamoja na maelezo ya bibi makame jana UNK na taarifa ya uwt juzi kuwa wajumbe UNK bibi mwilima kwa jazba alisema hakuna mgogoro wowote wa uongozi ndani ya jumuiya isipokuwa kuna watu wanamuona mwenyekiti wa jumuiya hiyo tishio kutokana na uwezo wake mkubwa kiutendaji na kumpiga vita vya kisiasa katibu mkuu wa uwt bado ni katibu na anaendelea na majukumu yake kama kawaida na hawezi kufukuzwa bila ya kupitia taratibu za vikao alisema bibi UNK hata hivyo alisema yeye na mwenyekiti wake walionesha busara kubwa katika kikao hicho licha ya baadhi ya wajumbe kuwa na jazba kwa vile mambo yote UNK kwa uwazi askari wa jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania private yusuph haji hussein UNK askari wenzake wawili praveti UNK masanja na praveti rashid hassan nawawi toka zanzibar kwa kuwapiga risasi kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na kurugenzi ya habari na uhusiano ya makao makuu ya jwtz dar es salaam tukio hilo lilitokea novemba ishirini na tatu mwaka huu saa moja jioni katika kijiji cha UNK kasulu mkoani kigoma ambako wanalinda mpaka wa tanzania na burundi siku ya tukio askari huyo alikuwa amepewa ruhusa ya kwenda benki mjini kasulu kuchukua mshahara wake na aliporejea aliwakuta wenzake wanne wakiwa wanakula chakula cha jioni na kuwaambia kuwa maskini anaishi muda mrefu kwa tabu nyingi na tajiri anaishi muda mfupi kwa raha nyingi baada ya kutoa kauli hiyo aliingia katika chumba cha silaha na kuchukua bunduki aina ya smg moja yenye nambari elfu sita na mia saba na sitini na risasi thebathini kisha kumpiga private masanja risasi mbili kichwani na moja mkono wa kushoto na kufa papo hapo kutokana na mauaji hayo askari wenzake walikimbilia porini na kumuacha UNK huyo ambaye aliingia tena katika chumba cha silaha na kuchukua risasi mia moja na ishirini na kisha kuchoma moto chumba chake na vyumba vya wenzake na kuelekea makao makao makuu ya UNK hicho UNK ulinzi akiwa njiani kiasi cha kilometa mbili askari huyo UNK mwaka ishirini sifuri mbili akitokea zanzibar alikutana na askari mwingine private nawawi na kumpiga risasi UNK kifo private nawawi alikuwa akitokea mjini kigoma ambako naye aliruhusiwa kwenda kuchukua mshahara wake baada ya tukio hilo mtuhumiwa UNK silaha hiyo na risasi tisini na mbili na kutokomea kusikojulikana risasi nyingine hamsini na moja hazijulikani zilipo hata hivyo taarifa hiyo haikueleza chanzo cha mauaji hayo na sasa jeshi la polisi nchini kwa kushirikiana na askari wa jwtz wanaendelea kumtafuta askari huyo na makumba mwemezi mahakama ya rufani tanzania jana imelitupa shauri la mapitio ya uamuzi wake ilioutoa katika kesi ya madai namba kumi na nane ya mwaka ishirini sifuri tano lililowasilishwa kwake na walalamikaji ambao walikuwa askari wa kikosi maalum cha kuzuia magendo cha zanzibar wakidai kulipwa shilingi mia moja na arobaini na moja mia saba na arobaini na nane sifuri sifuri sifuri walalamikaji waliokuwa wakiilalamikia katibu mkuu wizara ya nchi tawala za mikoa na vikosi vya serikali ya mapinduzi zanzibar ni abdallah ali mohamed said salum hamisi omar ali omar na saleh khamis saleh akisoma uamuzi huo msajili wa mahakama ya rufani tanzania daktari ferdinand wambali alisema baada ya kupitia hoja za walalamikaji na kubaini hazina msingi kwani hazikuonesha kuwepo udanganyifu kutosikilizwa wala mahakama kukosa mamlaka ya kusikiliza walalamikaji walifungua kesi kwa kutoridhishwa na uamuzi wa kmkm kuwaachisha kazi pamoja na kutowapa barua rasmi zinazoonesha kuachishwa huko akizungumza nje ya mahakama ya rufani mara baada ya uamuzi huo mwakilishi wa walalamikaji ambaye ni mlalamikaji wa kwanza abdallah ali mohamed alidai korti haikuwatendea haki pia aliomba bunge la tanzania pamoja na baraza la wawakilishi zanzibar kuwapa nafasi ya kuwasilisha vielelezo walivyonavyo kwani vyombo hivyo ndivyo wawakilishi wa wananchi vigogo wa chama cha wananchi UNK naibu waziri kiongozi wa zanzibar bwana ali juma shamhuna na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bwana mohamed seif khatib kwa kauli zao kuwa zanzibar hahitaji serikali ya mseto wala ya umoja wa kitaifa kuwa wameonesha jinsi UNK mema nchi hiyo wakati hayo UNK makamu mwenyekiti wa jumuiya ya wanawake tanzania bibi asha bakari makame ameongeza utambi kwenye kauli za mawaziri hao akisema suala la serikali ya mseto UNK hatuwezi tukasema UNK serikali ya mseto UNK kwa vile hii nchi imepatikana kwa mapinduzi na wenyewe bado wapo UNK wa chama hicho aliyezungumza na gazeti hili jana waliwataka wananchi kuwapuuza viongozi hao kwa vile hawawezi kumsaidia rais amani abeid karume mjadala huo baina ya viongozi wa cuf na ccm umekuja baada ya bwana shamhuna kukaririwa akisema kuwa zanzibar hahitaji UNK ya mseto bali kinachotakiwa ni kujenga utamaduni wa kukubali matokeo ya uchaguzi ya kushinda au kushindwa naye bwana khatib alisema katika suala la umoja hakuna haja ya ushirikiano na chama kingine kwa kuwa ccm yenyewe inaweza kuwaunganisha UNK wote kauli za viongozi hao ambazo zimetolewa katika kipindi ambacho wazanzibari wanashangilia mafanikio ya kihistoria yaliyofikiwa baina ya rais karume na maalim seif juu ya uwezekano wa kuwepo kwa serikali ya mseto UNK wana cuf na UNK huku wakiwa makini kukwepa kuingilia mazungumzoa yaliyopo kiongozi mmoja wa juu wa cuf na mwenye ushawishi mkubwa ndani ya chama hicho UNK majira kuwa rais karume ameonesha nia nzuri ya kujenga nchi pasipo uhasama lakini watu kama hao ni wa kupuuza kwani wamechoka na hawawezi kumsaidia rais kiongozi huyo ambaye alikataa jina lake kutajwa kwa sababu jukumu ya kuzungumzia makubaliano ya rais karume na cuf ni katibu mkuu wa chama hicho maalim seif sharif hamad alisema wao wanafuata maelekezo ya rais karume na siyo ya mtu mwingine kama bwana UNK kauli hiyo kiongozi huyo inaungwa mkono na mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba UNK majira kuwa yeye anaongozwa na kauli ya rais karume kwa kuwa hotuba yake ilikuwa ni nzuri yenye madhumuni ya kuwaunganisha wazanzibari kiongozi mwingine ambaye pia alikataa jina lake lisichapishwe gazetini alisema kauli iliyotolewa na viongozi hao wawili bwana shamhuna na bwana khatib haiwezi kuwakatisha tamaa wana cuf kauli hizo UNK tamaa wana cuf wanachama wetu wameridhika wanasikiliza UNK na katibu mkuu wetu na hawawezi kumsikiliza mtu mwingine alisema kiongozi huyo alimshangaa bwana shamhuna kwa kutoa kauli hiyo kwenye vyombo vya habari wakati ana fursa ya kutoa ushauri wake katika baraza la mawaziri la serikali ya mapinduzi ya zanzibar au moja kwa moja kwa rais karume kwanza UNK ni wapi kwenye makubaliano kati ya rais karume na maalim seif walisema wamekubaliana kuunda serikali ya umoja wa kitaifa alihoji kiongozi huyo alibainisha kuwa nia ya kukubali kuitambua serikali ya rais karume siyo kutaka kuunda serikali ya mseto bali kuwaunganisha wazanzibari mbona UNK ana wasiwasi UNK vya kutosha lengo letu siyo tupewe vyeo nia yetu ni kuwahudumia wananchi siasa siyo ukubwa alisema alisisitiza kuwa watu wanahitaji kushirikiana kujenga nchi hakuna sehemu rais karume na maalim seif walisema wamekubaliana serikali ya mseto kiongozi huyo alibeza kitendo cha bwana shamhuna kutoa kauli hiyo kwenye vyombo vya habari wakati rais ameonesha nia ya kujenga umoja akizungumzia kauli hiyo mwenyekiti wa tanzania labour party bwana augustino mrema alisema maalim seif alikubali kuitambua serikali ya rais karume kiungwana lakini waliyokubaliana UNK alisema kuwa rais karume aliwahi kutamka kuwa silaha za mapinduzi bado zipo na hadi sasa hajawahi kukanusha kauli hiyo aliwahi kusema kuwa uhuru haupatikani kwa karatasi hatujasikia akikanusha sasa hapa kuna mwafaka wa aina gani alisema bwana mrema alihoji kama muafaka wa maadishi UNK itawezekana vipi kwa makubaliano ya mdomo urafiki wao ni sawa na wa sungura na mbwa kamwe wanyama hawa hawawezi kujenga urafiki wa kudumu alisema kwa upande wake bibi makame aliwaeleza waandishi wa habari zanzibar kuwa suala hilo linahitaji kuzingatia taratibu za nchi UNK viongozi wanaweza kupigwa mawe iwapo wataamua bila ya kuzingatia matakwa ya katiba na pia ni vigumu UNK kwa njia ya mkato na kulwa mzee shahidi wa nane upande wa mashitaka katika kesi ya mauaji ya ubungo mrakibu wa polisi abdallah dunia amedai vocha iliyotumika UNK ndani ya gari la majambazi UNK kuwajua baadhi ya washitakiwa waliohusika katika tukio hilo bwana dunia alidai hayo jana mahakama kuu ya tanzania mbele ya jaji projest rugazia wakati akitoa ushahidi kwa kuongozwa na wakili wa serikali bibi UNK mushi shahidi alidai namba hiyo ya simu UNK na simu za baadhi ya washitakiwa aliomba kielelezo hicho cha vocha UNK na mahakama ilikubali pia alidai aprili ishirini na tatu ishirini sifuri sita siku tatu baada ya tukio la ubungo kutokea alipata taarifa kuwa mwanajeshi alihusika alimtaja mwanajeshi anayedaiwa kuhusika kuwa ni mt elfu saba na mia saba na hamsini na nne pte nazareth amulike alikwenda nyumbani kwake kurasini shimo la UNK saa kumi alfajiri kumkamata lakini hawakukuta chochote UNK na tukio hilo alidai kambini kwa mshitakiwa walikuwa wakijua yuko shinyanga katika michezo lakini hakwenda kwa sababu UNK kutokuwa si za msingi akihojiwa na upande wa utetezi shahidi alikiri kwamba katika maelezo aliyoandika baada ya tukio kuna baadhi ya vitu UNK lakini katika ushahidi wake kortini alivieleza na vingine UNK katika kuandika washitakiwa katika kesi hiyo ni mashaka mahenge rashid lembresi john mndasha martine mndasha philipo mushi jackson issa haji UNK yassin juma hamisi mjata musa mustafa mt elfu saba na mia saba na hamsini na nne pte nazareth amulike mt laki saba na elfu sitini na moja na mia sita na ishirini na moja emmanuel lameck UNK angaruki rashid abdikadiri james chamangwana na hussein iddi wanadaiwa aprili ishirini ishirini sifuri sita kwa makusudi walimuua evarist manyoni aliyekuwa mfanyakazi wa nmb tawi la wami na katika mashitaka ya pili walimuua askari d elfu sita na mia tatu na sitini na moja pc abdallah maro kesi inaendelea leo waziri mkuu bwana mizengo pinda amezitaka mamlaka zinazosimamia ubora wa bidhaa nchini kutokuwa kikwazo cha wajasiriamali kuthibitisha ubora wa bidhaa zao mamlaka hizo ni pamoja na shirika la viwango tanzania na mamlaka ya chakula dawa tanzania bwana pinda aliyasema hayo dar es salaam juzi jioni wakati akizindua maonesho ya nguvukazi UNK yanayoshirikisha nchi zote za afrika UNK isipokuwa burundi bwana pinda alisema kuwa bidhaa nyingi UNK katika mabanda UNK hazina nembo ya mashirika ya viwango huku baadhi ya wajasiliamali wakionesha kukata tamaa katika uthibitishaji wa bidhaa zao kutokana na maelezo UNK kutoka kwa baadhi ya wajasiliamali hasa wazawa wameonesha kukata tamaa katika uthibitishaji wa bidhaa zao UNK tfda tbs na wengine kuwasaidia wajasiliamali hawa badala ya kuwa kikwazo kwao alisema bwana pinda katika hatua nyingine amewataka waandaaji wa maonesho hayo kuwa na mfumo wa kutoa mafunzo kwa wajasiriamali wakiwamo wale wadogo kama sido kabla ya maonesho ili kubaini mapungufu yao na kuwasaidia pia alizitaka nchi washiriki kutenga sehemu maalumu ya wajasiriamali hao kuonesha bidhaa zao hasa katika msimu wa maonesho makubwa kama sabasaba akizungumza katika uzinduzi huo waziri wa kazi ajira na mendeleo ya UNK profesa juma kapuya UNK nchi za jumuiya hizo kutoweka ukiritimba mipakani kwa wajasiriamali wanaotaka kuvuka kwenda nchi jirani kufanya biashara katika nchi hizo profesa kapuya alisema ukiritimba huo UNK nyumba UNK ya kuwekwa kwa soko la pamoja katika jumuhiya hiyo na kurudisha nyuma juhudi za kujiletea maendeleo UNK pale mtu UNK mipakani watu UNK muda usiozidi nusu saa lakini utakuta wakati mwingine mtu UNK muda pasipo sababu za msingi na hii UNK kama changamoto kwetu alisema profesa kapuya wakazi wa jiji la dar es salaam wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari katika suala la usafi ili kusaidia kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa kipindupindu hatua hiyo imekuja baada ya idadi ya wagonjwa wa kipindupindu kuongezeka kutoka tisa hadi thebathini na nane ambao wamelazwa katika hospitali za manispaa za wilaya ya temeke ilala na kinondoni akitoa taarifa za ugonjwa huo dar es salaam jana kaimu mganga mkuu wa jiji daktari hawa kawawa alisema wagonjwa kumi na tisa wametoka wilaya ya ilala na kumi na moja temeke mpaka sasa tuna wagonjwa thebathini na nane tumewapokea juzi asubuhi na wa zamani wanane wengi wao wametoka maeneo ya pugu vingunguti kiwalani segerea kiwalani kipawa ukonga ilala tabata UNK yombo vituka na kinyerezi ambao wanaendelea kupata matibabu alisema daktari kawawa daktari kawawa alisema ukaguzi wa maeneo ya biashara unaendelea kufanywa katika manispaa zote ili kudhibiti maambukizi zaidi ya ugonjwa huo na dawa za kukabiliana na ugonjwa huo zimesambazwa katika zahanati na hospitali tatu za wilaya tunaishukuru serikali kwa kutoa dawa hasa UNK kwani tumejitahidi UNK wagonjwa kadri inavyowezekana ndio maana hakuna kifo hata kimoja lakini wananchi UNK kuchukua tahadhari zaidi ili kumaliza tatizo hilo aliongeza aidha amewataka wananchi kuzingatia usafi UNK vyakula pindi UNK kupika kunawa mikono kabla ya kula na UNK chooni UNK maji ya kunywa na kila wanapopata dalili za kipindupindu ambazo ni UNK maji yenye rangi ya mchele na kutapika wawahi hospitali ili kupatiwa matibabu mwenyekiti wa chama cha tanzania labour bwana augustino mrema amesema kwa gharama yoyote ile atahakikisha jimbo la vunjo linakuwa mikononi mwake mwaka ishirini moja sifuri licha ya mbunge wa sasa bwana aloyce kimaro UNK bwana mrema alitoa kauli hiyo jana dar es salaam wakati akikanusha kuhusika na kuzomewa kwa mbunge bwana kimaro kama UNK na vyombo vya habari akilalamika jana badala yake akasema sababu UNK mikakati ya kupeleka maji katika jimbo hilo alisema kuwa wananchi walikuwa wakisubiri kwa hamu kupata taarifa za maji badala yake mbunge wao alitaka kuwasimamisha viongozi wa tlp UNK ili UNK kitu ambacho UNK hasira za wananchi na kuanza kumzomea bwana mrema alisema kuwa kama bwana kimaro angekuwa ametekeleza yale yote aliyokuwa UNK wananchi wakati wa kampeni mwaka ishirini sifuri tano UNK na hivyo akamtaka UNK yeye kwamba ndiye aliyetuma watu UNK UNK kuna tatizo kubwa sana la maji na wananchi walitegemea katika mkutano huo ambao bwana kimaro alikuwa ameambatana na bibi anna kilango UNK mikakati aliyofikia kuhusu suala la maji badala yake UNK mada nyingine alisema bwana mrema alisema kuwa operesheni safisha anayodai kuifanya bwana kimaro vunjo ni kurubuni viongozi wa tlp ambapo juzi katika mkutano UNK viongozi hao wa mitaa na vitongoji bwana abel shirima wa kilema chini na bwana steven tumbo wa UNK cha makame chini wasimame na kutangaza UNK lakini waligoma na ndipo alipoanza kuzomewa kwa taarifa yake mimi ndiye mgombea wa jimbo hilo mwakani piga UNK UNK na kuhakikisha kwamba UNK kwa gharama yoyote hata kama anasema kuwa UNK kwa miaka ishirini bila ya mafanikio lakini sijawahi kuzomewa kama yeye UNK kila mara anapokuwa akifanya mkutano alisema alisema kuwa wananchi ndio wanaojua alichokifanya kwa kipindi cha miaka ishirini na siyo bwana kimaro hivyo akamtaka aeleze alichokifanya kwa kipindi chote cha uongozi wake na siyo kumnadi mrema mimi sina wasiwasi yeye apige kelele na kumwaga UNK lakini ninachotaka akae akitambua ni kwamba mimi ndiye mbunge wa vunjo mwakani na nimejipanga ipasavyo na ninaamini ninakubalika kwa vijana wanawake na wazee alisisitiza bodi ya usajili wa wahandisi imepokea majina mawili wahandisi ambao wanatakiwa kufutwa kutokana na kushindwa kufanya kazi zao kwa mujibu wa taaluma kwenye halmashauri mbalimbali nchini msajili wa bodi hiyo bwana steven mlote ameyasema hayo alipozungumza na majira kuhusu kauli ya waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bibi celina kombani aliyoitoa kwenye maadhimisho ya siku ya wahandisi nchini kuwa bodi iwafute usajili wahandisi wanaofanya kazi chini ya viwango katika halmashauri tumepokea majina mawili japo alisema ana majina mengi ya wahandisi wanaoshindwa kufanya kazi kitaaluma katika halmashauri mbalimbali na kusabisha serikali kupoteza fedha kwa miundombinu inayojengwa bila viwango na kuharibika baada ya muda mfupi na sisi hatuwezi kuwafukuza mara moja lazima kwanza UNK kama ni kweli alisema bwana UNK alisema kwa sasa bodi UNK watu kuwachunguza wahandisi hao kuangalia taaluma zao shule na vyuo UNK na mazingira ya kazi kama walikuwa na vitendea kazi vya kutosha vya kufanyia kazi ili kubaini uzembe uliopo bwana mlote alisema wanafanya hivyo kabla ya kuchukua uamuzi wa UNK katika usajili kwa lengo la kuwatendea haki huenda walishindwa kutimiza majukumu yao kutokana na kukosa vitendea kazi aidha alimtaka waziri kuhakikisha UNK katika halmashauri kuwa makini katika kuwatambua watu wenye taaluma hiyo ili kujiepusha na kuajili watu ambao ni wavamizi katika taaluma alisema kazi ya uhandisi UNK na UNK wengi hiyo kama hawatakuwa makini wanaweza UNK watu UNK taaluma kazi UNK na taifa likapata hasara na grace michael hatimaye kesi ya wizi wa zaidi ya shilingi bilioni tatu nane katika akaunti ya madeni ya nje inayomkabili kada wa ccm rajab maranda na wafanyakazi wa benki kuu ya tanzania itaanza kunguruma juni kumi na sita hadi thebathini mwaka huu baada ya kupangiwa jopo la mahakimu watatu flora mutungi samwel karua na UNK mgeta hatua hiyo ilijulikana jana mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam wakati kesi hiyo ilipotajwa na kujua endapo UNK jopo la mahakimu wa kuisikiliza kesi hii itasikilizwa kuanzia juni kumi na sita hadi thebathini mwaka huu na itakuja kwa ajili ya kutajwa mei kumi na nane mwaka huu hivyo upande wa mashitaka hakikisheni mashahidi UNK alisema mgeta washitakiwa katika kesi hiyo ni maranda farijala hussen ajay somani ambao wote ni wafanyabiashara ambapo wafanyakazi wa bot ni ester komu sophia UNK na iman UNK awali washitakiwa hao walifikishwa kortini hapo wakidaiwa kati ya januari kumi na nane na novemba tatu mwaka ishirini sifuri tano walikula njama ya kuiba mabilioni ya fedha kutoka bot washitakiwa hao wanadaiwa kuiba shilingi bilioni tatu nane baada ya kughushi nyaraka za usajili wa kampuni na kudai wamehamishiwa deni katika kampuni yao ya mibare farm na kampuni ya lakshimi textile mills ltd ya japan wakati huo huo kesi nyingine inayomkabili kada huyo ya wizi wa shilingi milioni ishirini saba mbili ambayo ilitakiwa UNK jana ilikwama kutokana na upande wa mashitaka kushindwa kupata mashahidi upande wa mashitaka ulikwama kupata mashahidi hao kama mahakama ilivyokuwa imeagiza juzi kutokana na ufinyu wa muda uliokuwa UNK akiomba kuahirishwa kwa kesi hiyo wakili mkuu wa serikali boniface stanslaus alisema wamefanya jitihada za kuwapata mashahidi ambao ni askari lakini kwa ufinyu wa muda wote wamekutwa kwenye majukumu mengine kutokana na hali hii tunaomba kesi hii ije kesho tutakuwa na uhakika wa kuwa na mashahidi aliomba bwana stanslaus hoja hiyo UNK na upande wa utetezi hivyo kuamriwa kusikilizwa kwa kesi hiyo leo washitakiwa ni maranda farijala komu mwakosya na bosco UNK upande wa mashitaka unatarajia kuita mashahidi kumi na mbili washitakiwa wanashitakiwa kwa wizi wa mamilioni hayo ambayo wanadaiwa kuyaiba kupitia kampuni ya rashhas ltd mkuu wa majeshi mstaafu jenerali george waitara anatarajia kupanda mlima kilimanjaro kuanzia UNK sita mwaka huu akisindikizwa na jopo la viongozi kumi kutoka nje na ndani ya nchi akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana katika uzinduzi rasmi wa upandaji wa mlima UNK kwa mwaka huu mwenyekiti wa kampuni ya kj traders bwana joseph UNK alisema kuwa bwana waitara ataambatana na mkewe na waziri wa viwanda na biashara daktari marry nagu wengine watakaoshiriki ni makamu wa rais wa chama cha kupanda milima china bwana li UNK shamrashamra za UNK wapandaji zitafanyika siku moja kabla ya kuanza kupanda desemba sita katika wilaya ya UNK mkoani kilimanjaro na watatumia siku sita kupanda na kushuka kaulimbiu ya mwaka huu ni kuwasaidia watoto yatima ambayo ina malengo makuu manne ambayo ni pamoja na kuadhimisha siku ya uhuru kuwasaidia watoto yatima hasa wanaoishi karibu na mlima kutangaza utalii wa ndani na UNK watanzania juu ya mlima kilimanjaro mwaka jana watu ishirini na nne walishiriki kupanda mlima kilimanjaro akiwemo bwana waitara ambaye alipanda kwa saa tatu na kushindwa kuendelea kutokana na hali ya hewa na umri wake ikiwa washiriki kumi na moja ndio waliofika kileleni bwana waitara ameahidi kwa mwaka huu lazima afike kileleni ili kulinda heshima ya nchi na chama cha wapandaji milima cha china wakati huo huo kampuni ya bia ya serengeti kama mdhamini wa wapandaji wa mlima kilimanjaro kwa mwaka huu imetoa shilingi milioni kumi na mbili ikiwa kama kianzio cha maandalizi na mipango UNK UNK majengo mapacha ya benki kuu ya tanzania bwana harold webb amedai fedha zote zilizoongezeka kinyume na mkataba wa awali zilitumika kwa ujenzi wa majengo hayo na hakuna aliyesababisha hasara hayo yalidaiwa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu linaloongozwa na hakimu bwana edson mkasimwongwa wakati shahidi huyo wa saba upande wa mashitaka akitoa ushahidi dhidi aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi wa benki hiyo bwana amatus liyumba bwana webb ambaye ni raia wa uingereza kitaaluma ni mkadiriaji majengo alidai mkataba wa awali wa ujenzi wa majengo hayo ulikuwa wa dola za marekani sabini na tatu sitini sifuri na baada ya mabadiliko na kazi kuongezeka gharama UNK na kuwa dola mia tatu na hamsini na saba mia sita na sabini na tano mia tano na sitini na nane shahidi alidai mabadiliko ya mkataba ni kawaida katika ujenzi si jambo la ajabu kutokea kwa bot na kwamba fedha zilizoongezeka zilitumika zote na hakuna mtu anayeweza kuambiwa alisababisha hasara alidai mabadiliko yote yalikuwa yakitoka kwa mteja wao ambaye ni bot na haikuwa kazi yake kujua kwa nini yalikuwa UNK mkadiriaji huyo alidai hajawahi kupata maelekezo kutoka katika menejimenti ya bot kuhusiana na mabadiliko ya kazi alikuwa akipata maelekezo kutoka kampuni ya d s shahidi alipotakiwa kueleza kama alikuwa na mawasiliano binafsi ya mshitakiwa kuhusu mradi huo alidai hakuwa na mawasiliano yoyote na bwana liyumba mshitakiwa katika kesi hiyo anakabiliwa na mashitaka ya kutumia vibaya ofisi yake na kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya mradi huo bila idhini ya bodi ya wakurugenzi kesi iliahirishwa inatarajiwa kuendelea kusikilizwa januari ishirini na sita mwakani na kabla ya hapo itakuwa inatajwa mamlaka ya mapato nchini imetakiwa kuweka mikakati madhubuti UNK wigo wa ukusanyaji wa kodi ili kuhakikisha mapato stahili UNK kuiwezesha nchi kufikia lengo la kupata asilimia kumi na nane ya pato la taifa na kupunguza utegemezi kwa wahisani katika kupanua wigo huo tra wanapaswa kuwa na mfumo mzuri utakaowawezesha kuorodhesha shughuli na biashara ikiwemo UNK maanani zile zinazofanywa na sekta isiyo rasmi ili ziweze kuchangia pato la taifa tofauti na ilivyo sasa hayo yalisemwa jana dar es salaam na waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo wakati wa maadhimisho ya nne ya siku ya mlipa kodi tanzania bwana mkulo alisema ili kuhakikisha sekta isiyo rasmi yenye watu takribani milioni kumi na sita inalipa kodi kunahitajika kuwepo kwa mazingira bora ya kufanyia biashara ikiwemo UNK wa kodi ni kweli kuwa mapato ya serikali yamekuwa yakiongezeka mwaka hadi mwaka tangu tuanzishe mamlaka hii kutoka shilingi bilioni mia moja na kumi na saba kwa mwezi mwaka ishirini sifuri tatu ishirini sifuri nne hadi shilingi bilioni mia nne na ishirini na moja septemba ishirini sifuri nane wakati tunatambua mafanikio hayo bado UNK mkazo kuhakikisha kuwa mapato yote stahiki ya serikali UNK kwa sababu bado UNK haja ya mahitaji yetu ambayo nayo pia yanaongezeka mwaka hadi mwaka tunatakiwa kupiga hatua nyingine zaidi ili kuhakikisha kuwa mapato yanaongezeka na kutuwezesha kupunguza kiasi cha utegemezi wa misaada ya wahisani mbalimbali alisema bwana mkulo kamishna mkuu wa tra bwana harry kitilya alisema wakati wakiendelea kuboresha wigo wa kodi kwa wale walioko nje ya mfumo kwa sasa mamlaka hiyo imejipanga kupambana na tatizo la ukwepaji kodi linalosababishwa na walipa kodi wachache wasiokuwa waaminifu UNK faraja ni kuwa walipa kodi wengi wanatambua wajibu wa kulipa kodi stahiki ili serikali yao UNK maisha bora na huduma muhimu UNK lakini wako wachache ambao si waaminifu wasiotekeleza wajibu wao hatuna UNK nao hata kidogo moja ya mikakati yetu katika mpango mkakati wa tatu ni kupambana na tatizo la ukwepaji kodi alisema bwana kitilya naye mwenyekiti wa bodi ya tra daktari UNK UNK alisema katika kutekeleza mikakati mbalimbali ya utendaji ndani ya tra wamekuwa UNK umuhimu suala la uadilifu kwa kuchukua hatua za kinidhamu kwa watumishi wasiokuwa waadilifu ambao wamekuwa wakifanya hivyo kwa kushirikiana na vyombo vya dola kama takukuru na wadau wengine spika wa bunge bwana samuel sitta anatarajia kuwa mgeni rasmi katika harambee ya kuchangia ujenzi wa shule maalumu ya vipaji kwa watoto yatima jijini dar es salaam taarifa iliyotolewa jana na kaimu mufti wa tanzania shekhe ismail makusanya ilisema shilingi milioni mia moja na ishirini zinatarajiwa UNK ili kumalizia majengo ya shule hiyo ya vipaji vya watoto hao iliyopo UNK kigamboni dar es salaam katika hafla hiyo itakayofanyika desemba tano mwaka huu bwana sitta atashirikiana na kamishna mstaafu wa polisi alfred tibaigana kufanikisha michango hiyo shekhe makusanya amewaomba wadau wa elimu na watanzania wote kwa ujumla kushiriki katika harambee hiyo ili watoto hao wapate sehemu ya kupata elimu mapema mwakani tunaomba watanzania kujitokeza kwa wingi kuchangia fedha za ujenzi huu ambao una manufaa makubwa kwa vijana wetu wanaoishi katika mazingira hatarishi kwani sisi ndio kama wazazi wao UNK hivyo tuliangalie suala hili na tuweze kushiriki kwa ukamilifu alisema mufti ismail kaimu mufti huyo ametoa shukrani kwa sitta kwa kukubali kushiriki katika harambee hiyo licha ya kuwa na shughuli nyingi jambo UNK kuwa anajali maslahi ya umma katika suala la elimu ya vipaji kwa watoto yatima kwa ajili ya manufaa yao ya baadaye ukaguzi na UNK ya mabasi ambayo UNK mikanda katika viti vya abiria ilianza jana kwa mabasi yaendayo mikoani kamanda wa kikosi cha usalama barabarani bwana james kombe amesema shughuli hiyo imeanza baada ya kazi ya ufungaji mikanda kumalizika novemba ishirini na sita mwezi huu alisema serikali ilitoa agizo hilo kwa wamiliki wa mabasi yaendayo mikoani na daladala kufunga mikanda hiyo katika viti kwa hiari lakini kwa sasa wakati huo umeisha na jeshi la kikosi cha usalama barabarani UNK sambazwa UNK kwa sasa tumejipanga vizuri na UNK UNK mabasi yote ambayo UNK mikanda na kuyafikisha kwa mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa majini na nchi kavu ili UNK faini kwa kukaidi kufunga mikanda hiyo kwa hiari alisema bwana kombe alisema sumatra itakuwa UNK faini kwa mabasi UNK mikanda kuanzia shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri sifuri na kuendelea ambapo shughuli hiyo inatarajiwa kuwa endelevu na baada ya kumaliza mabasi yaendayo mikoani UNK kwa daladala mwalimu wa shule ya msingi UNK wilayani kiteto mkoani manyara bwana paulo charles amekufa papo hapo baada ya kupigwa risasi na mtu ambaye hakufahamika akiwa maeneo ya shule kamanda wa polisi mkoani manyara bwana parmena sumary alisema tukio hilo lilitokea jumanne saa tatu usiku wakati mwalimu paulo charles akiwa maeneo ya shule alipopigwa risasi tumboni na kufa chanzo cha kifo hicho hakijafahamika na jeshi la polisi wilayani kiteto linaendelea na uchunguzi na mwili wa marehemu UNK kwenda marangu moshi kwa mazishi rafiki wa marehemu huyo bwana damson mhando alisema marehemu inadaiwa kupigwa risasi na UNK wake ambao UNK vibaya naye kabla ya kifo chake mimi UNK kwa bwana paulo UNK na ndugu yake wa arusha UNK mzigo wake kutoka arusha nilipofika kiteto nikapata taarifa kuwa ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana alisema alisema baada ya kwenda kijijini hapo alizungumza na watu mbalimbali wakiwepo majirani ambao walisema marehemu kabla ya kifo chake aliishi kwa mashaka na watu na siku mbili kabala ya kifo chake nyumba yake ilipigwa mawe nyakati za usiku na watu wasiojulikana kwa upande wake afisa elimu wa wilaya ya kiteto bwana emmanuel mwagala alisema amesikitishwa na kifo cha mwalimu huyo na UNK kuwa alikuwa UNK na mzoefu wa kazi timu ya taifa ya tanzania bara kilimanjaro stars jana ilianza vibaya michuano ya chalenji baada ya kufungwa bao mbili sifuri na timu ya taifa ya uganda the cranes katika mechi kali iliyopigwa saa kumi jioni kwenye uwanja wa UNK wakati kilimanjaro stars ikiangukia pua ndugu zao wa zanzibar zanzibar heroes walianza vyema michuano hiyo baada ya UNK uganda mabao nne sifuri katika mechi iliyochezwa saa nane mchana katika uwanja huo bao la kwanza la uganda lilipatikana katika dakika ya pili ambalo liliwekwa kimiani na owen UNK baada ya kuunganisha mpira wa adhabu uliopigwa na UNK UNK baada ya kilimanjaro stars kufungwa bao hilo ilikuja na kulishambulia goli la wapinzani wake dakika za kumi na moja ishirini na moja na thebathini na mbili lakini UNK wake john boko kigi makasy na danny mrwanda walishindwa kufunga baada mipira kuokolewa na mabeki wa uganda hata hivyo kilimanjaro stars ilipata pigo dakika thebathini na saba baada ya beki wake juma nyoso kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuunawa mpira makusudi wakati awali alikuwa na kadi ya njano uganda UNK tamaa kilimanjaro stars baada ya kufunga bao la pili katika dakika ya themanini na nane lililofungwa na mike UNK baada ya kuunganisha mpira wa adhabu kipindi cha pili ilifanya mabadiliko ambapo makassy shaban nditi na boko na wakaingia mrisho ngassa henry joseph na UNK tegete ambao kwa kiasi kikubwa UNK hali ya mchezo katika mechi iliyopigwa saa nane mchana zanzibar heroes ilianza UNK bao lake la kwanza katika dakika ya kumi na sita lililofungwa na thomas moris baada ya kuunganisha kona iliyochongwa na nadir haroub canavaro bao la pili la zanzibar lilipatika dakika ya kumi na nane baada ya mchezaji wa burundi UNK hassan kujifunga akiwa katika harakati za kuokoa shambulizi la wapinzani wao katika dakika ya ishirini na tano suleiman kassim aliipatia zanzibar bao la tatu baada ya kupokea pasi ya hassan seif na bila ajizi UNK mpira kimiani na kuifanya zanzibar heroes kwenda mapumziko ikiwa mbele kwa mabao tatu sifuri zanzibar heroes ilifunga karamu ya magoli katika dakika ya sitini na sita ambapo beki wa timu ya burundi UNK hussein UNK baada ya kutaka kuokoa krosi iliyochongwa langoni mwake na seleman kassim na timu hiyo kuipa zanzibar zawadi ya magoli mawili ya UNK na mwandishi wetu rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi daktari amani abeid karume ametuma ujumbe rasmi wa serikali ya mapinduzi zanzibar kwenda mombasa kenya kushughulikia mazishi ya watu waliokufa kwenye ajali ya jahazi la amana wakati wakisafiri kutoka tanga kwenda pemba hivi karibuni taarifa ya ikulu ya zanzibar iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na mwandishi wa habari wa rais karume bwana rajab UNK ilisema kiongozi huyo alipokea kwa mshtuko na huzuni kubwa taarifa ya vifo vya wananchi hao wananchi hao UNK kufa maji baada ya jahazi hilo kuwaka moto na kuzama katikati ya bahari ya hindi maiti wachache UNK na kuna taarifa miili zaidi inayosadikiwa ni ya abiria wa jahazi hilo imepatikana shimoni UNK ujumbe wa smz unaongozwa na mawaziri wawili akiwemo waziri wa afya na ustawi wa jamii bwana sultan mohamed UNK waziri wa nchi ofisi ya waziri kiongozi bwana hamza hassan na daktari mmoja kushughulikia masuala hayo pamoja na mazishi ya maiti UNK rais karume alisema tukio hilo ni msiba mkubwa kwa wananchi wote wa zanzibar ametoa rambirambi kwa wafiwa na kumuomba mwenyezi mungu UNK waliofariki na awape UNK wanafamilia ndugu jamaa na marafiki wa marehemu tayari smz UNK maofisa wake kushughulikia maafa hayo mjini tanga ambapo walitarajiwa kuonana na walionusurika na majeruhi na kuwapatia msaada UNK kampuni ya simu ya zain imezindua huduma mpya ya mtandao wenye vifungu vidogo vidogo vya mahitaji vinavyokidhi wateja mbalimbali wa malipo ya awali na UNK kuzinduliwa kwa huduma hiyo kunatokana na muunganisho wa zain kwenye UNK wa UNK UNK ambao ulizinduliwa hivi karibuni na zain ilikuwa ya kwanza kuunganishwa akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam wakati wa uzinduzi huo meneja masoko bwana costantine magavilla alisema huduma hiyo itawasaidia wateja kupata taarifa mbalimbali kama UNK mpira na kuwasiliana na ndugu kwa njia intaneti kwa gharama nafuu tumeamua kuzindua huduma yenye vifungu vya maneno mbalimbali itakayowawezesha wateja kutumia mtandao mahali popote tanzania kwa bei rahisi zaidi na kutokana na wigo wa zain nchini asilimia kubwa ya watanzania watafaidika alisema bwana magavilla alifafanua kwamba ili kupata huduma hiyo unatakiwa kutuma ujumbe kati ya kifungu kimoja cha neno kwenda namba mia mbili na thebathini na tatu kwa wateja wa malipo ya kabla kutoka kwenye simu zao za huduma na wateja wa baada watawasiliana na idara ya mauzo na UNK na huduma hiyo ambayo kwa mwezi ni shilingi arobaini na tano sifuri sifuri sifuri alivitaja vifungu hivyo ni ishirini sifuri mb ishirini na tano mb kumi sifuri mb na hamsini sifuri mb ambapo alisema kuwa wateja wanaruhusiwa kununua zaidi ya kifungu kimoja ndani ya siku thebathini baada ya kumaliza vifungu vya awali pia watapokea ujumbe za maelekezo zaidi umoja wa wanawake wa wilaya ya ilala jijini dar es salaam UNK chama cha kukopa na kuweka ya wilaya hiyo kwa ajili ya kuinua kipato cha wanawake ikiwa ni pamoja na kujiajiri wenyewe akizungumza katika uzinduzi huo hivi karibu mbunge wa viti maalum mkoa wa dar es salaam bibi janeth UNK alisema wanawake wajasiriamali wa mkoa wa dar es salaam hawana budi kujiunga na kuanzisha saccos yao ili waweze kujulikana na kupatiwa mikopo yenye masharti nafuu alisema dar es salaam kuna wanawake wengi wajasiriamali hivyo wakitumia vyema nafasi walizonazo wanaweza kujitangaza kwa kupitia katika saccos au vikundi mbalimbali ili waweze kufahamika serikalini na kupatiwa mikopo yenye masharti nafuu naomba nitoe mwito kwa wanawake wote nchini pamoja na vijana wajasiriamali kujiunga na saccos au vikundi mbalimbali vya uzalishaji mali ili iwe rahisi kupatiwa mikopo yenye gharama nafuu na serikali alisema bibi UNK alisema serikali haina uwezo wa kupita kwa mtu UNK na kumpatia mkopo hivyo suluhisho ni kuanzisha saccos ili wapate mkopo kwa urahisi alisema kuwa pia amekubali maombi ya UNK ya kuwapatia kompyuta yenye thamani ya shilingi milioni moja tatu pamoja na kuwatoa semina inayohusu kilimo cha uyoga kwa ajili ya kuwatengenezea mazingira ya kufanya biashara mbalimbali benki ya wananchi wa dar es salaam imesema itazidi kutoa huduma ya mkopo ya fedha kwa walengwa ambao ni wafanyabiashara wenye mitaji midogo ili kukidhi haja yao ya kuwa na miradi mikubwa akizungumza hivi karibuni katika mafunzo ya UNK kwa wananchi UNK masharti ya mikopo dar es salaam meneja wa dcb tawi la tabata wilaya ya ilala bwana UNK ahmed alisema benki hiyo itaendelea kuwakopesha wateja wake kwa masharti nafuu bwana ahmed alisema kwa sababu ya kuwa na mitaji midogo baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakikimbia kulipa kodi ya mapato hivyo kupitia benki ya dcb UNK masharti ya kujiunga na urejeshaji kwa riba nafuu yenye ambayo ni asilimia mbili nne kwa mwezi huku mkopaji akibaki na akiba isiyopungua shilingi mia moja na hamsini sifuri kwa kila wiki wakopaji hao wanatakiwa kuwa wakazi wa dar es salaam ambao wanafahamiana kuaminiana kuheshimiana kuishi jirani na wawe wafanyabiashara ambao kwa hiari yao wenyewe wamekubaliana kuunda kikundi cha watu watano pia waunde ofisi yao nasi UNK shilingi laki tano alisema bwana ahmed bwana ahmed alisema benki ya dcb inafanya biashara kwa kuzungusha pesa ya wananchi ambapo UNK fedha wananchi baada ya wakopaji wa mwanzo UNK aliongeza kuwa kabla ya kukopeshwa fedha hizo lazima mkopaji awe UNK mafunzo ya mikopo UNK na benki hiyo mara moja kwa kila wiki kwa saa moja kwa saa moja bwana ahmed alisema benki yao ina matawi manne katika mkoa wa dar es salaam ambayo ni tawi la UNK eneo la mnazi mmmoja magomeni temeke na tabata lengo kuu ni kufanikisha biashara za wajasiriamali wadogo wanafanikisha kukua kwa biashara zao na edmund mihale kampuni ya upatu ya deci imeanza kuandikisha majina ya washiriki wanaopaswa kulipwa ambao UNK kwa mara ya kwanza kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa juzi washiriki walioweka fedha mwezi huu walitakiwa kujiandikisha jana na kuchukua fedha zao aprili ishirini na tano walioweka mwezi uliopita walitakiwa kujiorodhesha leo hadi aprili ishirini na nne watachukua fedha zao aprili ishirini na saba hadi thebathini na waliopanda februari walitakiwa kujiorodhesha aprili ishirini na tano na ishirini na saba hadi thebathini na kufika katika ofisi hizo mei nne hadi sita kurejeshewa fedha zao ratiba hiyo inaonesha walioweka fedha januari ishirini sifuri tisa walitakiwa kujiorodhesha mei moja na mbili na nne hadi sita na kuchukua fedha zao mei nane hadi kumi na mbili waliopanda desemba ishirini sifuri nane walitakiwa kujiandikisha mei saba hadi tisa na mei kumi na moja hadi kumi na mbili mwaka huu na kuchukua fedha zao mei kumi na nne hadi kumi na tisa hatua hiyo ya uongozi wa deci UNK wengi ambao walikuwa tayari UNK katika kampuni hiyo na kuvuna mara moja na wengine mara mbili hadi matatu wapo baadhi ya washiriki ambao wameanza kufikiria kuchukua sheria kutokana na kampuni hiyo UNK juu ya utaratibu huo mpya mwenyekiti wa kamati ya dharura mchungaji isaac kalenge alisema jana kuwa tayari wameshafanya mazungumzo na kampuni ya uwakili ya brilliance law UNK ili kuishitaki kampuni hiyo kutokana na kukatisha mkataba wa na kushindwa kulipa fedha zao UNK na uongozi wa deci lazima utueleze ni kwa nini umefanya hivi haya si makubaliano yetu tuliambiwa kuwa tutapanda mbegu na tutavuna zaidi ya mara tatu lakini leo UNK lazima fedha hizi zirudi alisema mchungaji UNK mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo alisema uamuzi huo umetokana na kukosa fedha za kuwarudishia washiriki hao kutokana na kutokuwa na upandaji baada ya kusimamishwa na serikali kwa hili kaka kama umepanda na UNK mara moja tu itakuwa imekula kwako hivyo hutakiwi UNK hapa tunapokea watu ambao wamepanda na hawakuwahi kuvuna hata mara moja alisema mfanyakazi huyo wa kike hata hivyo chanzo ndani ya kampuni hiyo kimesema watu na taasisi mbalimbali za kidini tayari wameanza kurudishiwa mbegu walizopanda licha ya kuwa walishawahi kuvuna zaidi ya mara moja makanisa mawili tayari UNK shilingi milioni mia mbili na sitini wengine ni maaskofu kutoka makanisa mbalimbali ya kipentekoste chama cha wasafirishaji wa bidhaa nje ya nchi kimeitaka serikali kutoa mianya ya kuwawezesha wajasiriamali nchini kupata mikopo ili waweze kuendesha shughuli zao kiufasaha katika kukabiliana na tatizo la umasikini hayo yalisemwa jana dar es salaam na mwenyekiti wa sekta binafsi nchini bwana aloyce mwamanga wakati akifungua mkutano wa siku moja kwa wanachama hao na wadau mbalimbali wa biashara na masoko bwana mwamanga alisema kwa sasa wajasiriamali wengi nchini wanashindwa kuendelea kwa kutekeleza vizuri majukumu ya kazi zao kwa kukosa mahitaji UNK wanaomba kutoka katika mabenki kama serikali hii ina lengo la kuona maendeleo ya kila namna yanapatikana inatakiwa kuhakikisha kwanza inapunguza kiasi cha riba UNK na benki za biashara hapa nchini pindi mtu anapotaka kupewa mkopo UNK bwana UNK alisema kuwa kinachoonekana katika benki nyingi hapa nchini nafasi ya kupewa mikopo kwa wajasiriamali ni ndogo na yenye usumbufu mkubwa ambapo UNK watu na vikundi vingi kushindwa kutimiza malengo yao kwa kukosa mitaji kwa upande wake mwenyekiti wa UNK bwana isaack UNK alisema tatizo linalowafanya wajasiriamali wengi kushindwa kufikia malengo yao ni kutokana na ukiritimba uliotawala katika benki nyingi hapa nchini alisema kuwa kama serikali ina nia ya kuona wanaendelea haina budi kuanzisha chombo kitakachokuwa UNK moja kwa moja matatizo yao alisema kuwa hali hiyo ndiyo pekee UNK chama hicho na wajasiriamali kupiga hatua zaidi katika jitihada za kukuza uchumi wa nchi hii ambapo kwa sasa bado UNK taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa imekiri kukithiri na kuongezeka kwa vitendo vya rushwa nchini na sasa taasisi hiyo imeamua kutumia wasanii ili kuhamasisha wananchi kuepuka vitendo hivyo ambavyo ni hatari kwa maendeleo ya nchi na jamii kwa ujumla akizungumza na wawakilishi wa wasanii jijini dar es salaam mwishoni mwa wiki mwakilishi wa mkurugenzi wa elimu kwa umma takukuru makao makuu bwana jonathan semiti alisema wasanii wakitumiwa ipasavyo kuelimisha jamii kuhusu athari za rushwa jamii inaweza kuhamasika na kuachana na vitendo vya kutoa na kupokea rushwa bwana semiti alisema takukuru kwa kutambua uwezo na nguvu ya wasanii katika kuelimisha jamii imeamua kuwapa mafunzo ili wajue wajibu wao na namna ya kuzungumzia rushwa kisanii wakiamini jamii inaweza kuelewa kwa haraka zaidi na kubadilika kwa haraka mmoja wa viongozi kutoka baraza la sanaa tanzania bwana denis mango alisema wasanii kwa kutumia sanaa zao wanaweza kuliwezesha taifa kushinda vita dhidi ya mapambano ya rushwa kwani nguvu yao ni kubwa katika kuhamasisha jamii UNK kwa haraka na wepesi zaidi bwana mango alisema sanaa ina uwezo mkubwa wa kuigeuza jamii katika jambo lolote lile na kwamba lugha yake huwa nyepesi kueleweka hivyo endapo wasanii UNK vizuri katika mapambano hayo ya rushwa akasema ushindi wa kweli UNK naye mmoja wa waelimishaji kutoka takukuru makao makuu bibi renalda UNK aliwambia wasanii hao kuwa wajibu wao katika mapambano dhidi ya rushwa ni kuhamasisha na kuelimisha jamii kuhusu athali za rushwa na madhara yake bibi renalda aliyataja baadhi ya madhara ya rushwa kuwa ni pamoja na wananchi kukosa imani na viongozi wao ukosefu wa huduma za jamii kuchaguliwa kwa viongozi wasiofaa pato la taifa kupungua kuwepo kwa matabaka ya watu kuongezeka kwa maambukizi ya vvu nchi kuendelea kuwa maskini na uovu kuongezeka bibi renalda aliyataja baadhi ya makosa ya rushwa kuwa ni pamoja na hongo rushwa katika mikataba rushwa katika manunuzi na zabuni rushwa katika UNK rushwa katika ajira kutumia nyaraka kumdanganya mwajiri kumiliki mali UNK na kipato ufujaji na udanganyifu UNK wa mali ya umma kushiriki na kusaidia kutenda uovu matumizi mabaya ya madaraka kula njama na kujifanya ofisa wa takukuru aidha alivitaja vyanzo vya rushwa kuwa ni tamaa usimamizi mbovu kukosa uwazi na uwajibikaji mmomonyoko wa maadili mashindano ya maisha viongozi UNK kwa rushwa umaskini na kipato kidogo na rushwa kuwa kama sehemu ya utamaduni katika hatua nyingine msanii maarufu na wa siku nyingi anayejulikana kwa jina la kisanii mhogo mchungu aliomba idara na taasisi za serikali na zisizo za serikali hasa jeshi la polisi kuwapa ushirikiano wasanii watakapoingia vitani kupambana na rushwa ambaye alisema ili kumtokomeza lazima UNK kama UNK bila kumtazama usoni utafiti uliofanywa na taasisi ya ustawi wa jamii kwa wanafunzi wa elimu ya juu umebaini kuwapo kwa ongezeko kubwa la maambukizi ya virusi vya ukimwi unaochangiwa na hali ngumu ya maisha inayowakabili wawapo katika mazingira ya shule utafiti huo ulifanyika julai mwaka huu na kubaini kuwapo kwa ufahamu mdogo wa namna ya maambukizi hayo ya virusi vya ukimwi ikiwa ni pamoja na kuendelea kuwapo kwa unyanyapaa kwa watu UNK kuwa na virusi miongoni mwao hayo yalisemwa na mratibu wa maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani bwana daud chanila wakati kizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni dar es salaam kuhusiana na siku hiyo UNK kilele cha maadhimisho hayo bwana chanila alisema kuwa kuna haja ya watu kutambua kuwa ukimwi ni hali ya kuwa na mchanganyiko wa magonjwa mengi mwilini na hivyo UNK na unyanyapaa bwana chanila alisema kuwa katika kuhakikisha wanapambana na maambukizi ya virusi vya ukimwi taasisi hiyo kwa kushirikiana na kituo kimoja cha ushauri nasaha wameunda na kuandaa sera ya ukimwi ya taasisi hiyo yenye kupinga maambukizi zaidi ya virusi tuna kituo cha ushauri nasaha ubao wa matangazo ya ukimwi lakini kubwa ni kuwafundisha vijana na waajiriwa juu ya uelimishaji rika alisema na kuongeza kuwa huo ni mkakati kamambe wa kupiga vita maambukizi zaidi ya vvu alisema mkuu wa mkoa wa shinyanga daktari yohana balele ameagiza kukamatwa mara moja kwa mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha kisesa wilayani meatu baada ya kutajwa kuwa ni miongoni mwa wanaotuhumiwa kwa wizi wa vifaa vya ujenzi wa sekondari moja ya kata mwenyekiti anayetuhumiwa kwa wizi wa vifaa hivyo alitajwa kuwa ni bwana sasa kishola ambaye awali alikuwa ndiye mwenyekiti wa kamati ya ujenzi wa sekondari ya kata hiyo ya kisesa kabla ya kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa kijiji kwa tiketi ya chama cha mapinduzi oktoba ishirini na tano mwaka huu daktari balele aliyekuwa ametembelea kata hiyo wiki iliyopita kusikiliza kero zinazowakabili wananchi alitoa agizo la kukamatwa kwa kiongozi huyo baada ya kusikiliza malalamiko yaliyotolewa na wananchi wakidai wamegoma kuchangia shughuli za maendeleo baada ya watuhumiwa hao kutochukuliwa hatua zozote za kisheria mheshimiwa mkuu wa mkoa kweli huko nyuma tulikuwa tunachangia sekondari yetu bila matatizo lakini hivi sasa tumegoma baada ya kukamata wezi wa vifaa vya ujenzi shuleni hapo lakini waliachiwa na mpaka leo hawajachukuliwa hatua zozote zile alieleza mmoja wa wakazi wa kata hiyo bwana nyasama adamu kutokana na maelezo hayo daktari balele alimtaka bwana adamu kuwataja wahusika wa wizi huo ambapo katika hali isiyokuwa ya kawaida alimtaja kwanza mwenyekiti wa serikali ya kijiji aliyekuwa amekaa meza moja na daktari balele pia watu wengine watatu ambao alisema awali walikamatwa na kuachiwa bila maelezo bwana adamu alivitaja vifaa vilivyoibwa katika shule hiyo na kukamatwa katika nyumba ya mmoja wa watuhumiwa hao kuwa ni pamoja na bati thebathini na tatu za geji ishirini na nane nyavu za madirisha na vyuma vya kutengenezea madawati ambavyo mpaka sasa vipo palepale vilipokamatiwa nakubaliana nanyi kuwa hilo ni tatizo sasa naagiza wahusika wote wakamatwe kwa kuanzia na aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya ujenzi na wafikishwe katika vyombo vya sheria ili ukweli ubainike na mimi nitaleta tume ya kuchunguza matumizi ya fedha zenu kama zimeliwa na wahusika wataliwa na sheria alieleza daktari balele mkuu wa mkoa wa shinyanga daktari yohana balele ameagiza kukamatwa mara moja kwa mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha kisesa wilayani meatu baada ya kutajwa kuwa ni miongoni mwa wanaotuhumiwa kwa wizi wa vifaa vya ujenzi wa sekondari moja ya kata mwenyekiti anayetuhumiwa kwa wizi wa vifaa hivyo alitajwa kuwa ni bwana sasa kishola ambaye awali alikuwa ndiye mwenyekiti wa kamati ya ujenzi wa sekondari ya kata hiyo ya kisesa kabla ya kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa kijiji kwa tiketi ya chama cha mapinduzi oktoba ishirini na tano mwaka huu daktari balele aliyekuwa ametembelea kata hiyo wiki iliyopita kusikiliza kero zinazowakabili wananchi alitoa agizo la kukamatwa kwa kiongozi huyo baada ya kusikiliza malalamiko yaliyotolewa na wananchi wakidai wamegoma kuchangia shughuli za maendeleo baada ya watuhumiwa hao kutochukuliwa hatua zozote za kisheria mheshimiwa mkuu wa mkoa kweli huko nyuma tulikuwa tunachangia sekondari yetu bila matatizo lakini hivi sasa tumegoma baada ya kukamata wezi wa vifaa vya ujenzi shuleni hapo lakini waliachiwa na mpaka leo hawajachukuliwa hatua zozote zile alieleza mmoja wa wakazi wa kata hiyo bwana nyasama adamu kutokana na maelezo hayo daktari balele alimtaka bwana adamu kuwataja wahusika wa wizi huo ambapo katika hali isiyokuwa ya kawaida alimtaja kwanza mwenyekiti wa serikali ya kijiji aliyekuwa amekaa meza moja na daktari balele pia watu wengine watatu ambao alisema awali walikamatwa na kuachiwa bila maelezo bwana adamu alivitaja vifaa vilivyoibwa katika shule hiyo na kukamatwa katika nyumba ya mmoja wa watuhumiwa hao kuwa ni pamoja na bati thebathini na tatu za geji ishirini na nane nyavu za madirisha na vyuma vya kutengenezea madawati ambavyo mpaka sasa vipo palepale vilipokamatiwa nakubaliana nanyi kuwa hilo ni tatizo sasa naagiza wahusika wote wakamatwe kwa kuanzia na aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya ujenzi na wafikishwe katika vyombo vya sheria ili ukweli ubainike na mimi nitaleta tume ya kuchunguza matumizi ya fedha zenu kama zimeliwa na wahusika wataliwa na sheria alieleza daktari balele mkuu wa mkoa wa mbeya bwana john mwakipesile jana alikuwa mbogo kwa wakandarasi UNK barabara za jiji hilo na kuwaeleza kuwa hazina kiwango bali kinachofanyika ni wizi wa fedha za serikali zinazotolewa na wavuja jasho msimamo huo aliutoa juzi wakati wa kikao cha kamati ya bodi ya barabara mkoa wa mbeya baada ya kupokea taarifa ya ujenzi na ukarabati wa barabara za jiji lakini yeye akahoji ubora wake kutokana na kuonekana hazina viwango UNK katika kikao kilichopita UNK ile barabara inayokwenda kwangu UNK itaonekana vema baada ya miezi sita lakini cha ajabu hadi sasa hakuna kilichofanyika pale na kinachoonekana ni wizi mtupu wenye ufisadi tena UNK mbele ya macho yangu alisema alisema kuwa inasikitisha kuona fedha za serikali UNK bila ya kuheshimiwa katika ujenzi wa barabara mbovu kama hizo na kisha watalaamu wa jiji UNK na kuona kuwa ni halali hivi ninyi UNK jinsi ambavyo barabara ile UNK na kiwango na hata asiyejua utalaamu huo anaweza kutambua kuwa hapo kuna wizi alisema alipotakiwa kufafanua kaimu mhandisi wa jiji bwana masalu UNK alisema kuwa wawe na subira kwa kuwa mtindo wa ukarabati wa barabara hizo matokeo ya ubora huonekana mwishoni alisema kwa sasa mtu UNK anaweza kusema kuna wizi mkubwa unaofanyika kutokana na kuonesha vumbi lakini wao kama watalaamu UNK onyo hilo la bwana mwakipesile wanalifanyia kazi kwa maslahi ya mkoa wa mbeya pia bwana mwakipesile alionya tabia ya wakala wa barabara nchini kupenda kufanya kazi wilayani bila ya kuwashirikisha wahandisi wa wilaya ambapo alisema kuwa wao ndio wenyeji na hivyo kinachotakiwa ni kuhakikisha UNK heshima yao afisa wa polisi kutoka makao makuu ya polisi dar salaam sp UNK amepewa siku saba askari mwenye cheo cha UNK na e elfu sita na mia saba na sitini na saba pc mesiaki kumlipa shilingi milioni hamsini sifuri kwa kumwambia ni mgonjwa wa akili na kampuni ya mawakili ya kimale mjini arusha kuanzia tarehe ishirini na nne novemba ishirini sifuri tisa kujibu tuhuma za kumwambia askari polisi akizungumza na gazeti hili pc mesiaki alisema kuwa kauli hiyo ya bosi wake ni kinyume cha sheria na taratibu za utumishi kwa kuwa hajawahi kufanyiwa uchunguzi wowote wa akili kwa kipindi cha miaka kumi na saba ya utumishi wake UNK sana afisa huyu kuniambia kuwa ni mgonjwa wa akili hivyo nimeamua kulifuatilia suala hili kisheria anapaswa UNK fidia ya shilingi milioni hamsini sifuri kwa UNK kutokana na kauli yake hiyo alisema pc UNK tayari kampuni ya uwakili ya kimale ya mjini arusha imetoa notisi ya siku saba kuanzia novemba ishirini na nne ishirini sifuri tisa kumtaka afisa huyo wa polisi kumlipa mlalamikaji kiasi hicho la sivyo atafikishwa mahakamani gazeti hili lilipowasiliana na sp UNK kuhusiana na shutuma hizo alidai yeye si msemaji wa suala hilo bali aulizwe kamanda wa polisi mkoani arusha na yeye hawezi kusema lolote kwa chombo cha habari kuhusiana na suala hilo kaimu kamanda wa UNK mkoani hapa bwana leonard paul alisema kuwa hawezi kusema lolote kwani suala hilo ni mambo ya ndani ya jeshi kampuni ya uwekezaji ya chama cha wafanyabiashara wenye viwanda na kilimo UNK saini ya mkataba wa kibiashara na chama cha pamoja cha wafanyabiashara cha comoro kuuziana mazao ya kilimo ikiwa ni moja ya njia za kutekeleza adhma ya kilimo kwanza hatua hiyo ya kutiliana saini ilifanyika mwishoni mwa wiki jijini dar es salaam kati ya kaimu mwenyekiti wa kampuni ya tccia investiment ltd kwa upande wa tanzania bwana gideon kaunda na mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya pamoja ya wafanyabiashara wa comoro bwana said chaihane akizungumza katika hafla hiyo bwana kaunda alisema tukio hilo la kutiliana saini ya kibiashara ya mazao ya kilimo ni la kihistoria baina ya nchi hizo mbili na lengo kubwa ni kutekeleza adhma ya falsafa ya kilimo kwanza tukio hili ni la kihistoria baina yetu na comoro na kwamba lengo kubwa ni kufanya biashara inayotekeleza UNK ya falsafa ya kilimo kwanza alisema bwana UNK bwana kaunda alisema kuwa mkataba huo UNK milango ya kibiashara kati ya nchi hizo mbili na kwamba hiyo ni fursa pekee kwa wakulima wafanyabiashara kutumia fursa hiyo kuuza mazao ya kilimo alisema mazungumzo ya kuanza kufanya biashara ya mazao ya kilimo na comoro yalianza muda mrefu kutokana na ziara za kibiashara zilizofanywa na kampuni hiyo na ndipo UNK hiyo ya kibiashara bwana kaunda alisema licha ya kusaini mkataba huo tayari kampuni hiyo ya comoro imeagiza tani zaidi ya sita za vitunguu kwa kuanzia ikiwa kama ishara ya kufungua milango ya kibiashara hasa mazao yatokanayo na kilimo aliwataka wanachama wa tccia investiment ltd kuchangamkia fursa hiyo ya kibiashara ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na kampuni hiyo ili kutambua fursa za kibiashara zilizopo na kuongeza uzalishaji wa mazao ya kilimo ili kukidhi haja ya mahitaji ya bidhaa za kilimo naye bwana UNK alisema mkataba huo ni sehemu tu ya kufungua milango ya kibiashara baina ya tanzania na kwamba lengo kuu ni kuongeza mahusiano ya kibiashara baina ya nchi hizo mbili huu ni mwanzo tu bali tunapenda kuongeza mahusiano zaidi ya kibishara kati yetu na tanzania na lengo letu ni kuongeza mahusiano na kuunga mkono juhudi ya serikali ya tanzania katika falsafa ya kilimo kwanza na kwa kutambua hili tumeamua kuanza kufanya biashara ya mazao ya chakula alisema bwana chaihane afisa mtendaji mkuu wa tccia investiment co ltd bwana donald UNK alisema hii ni hatua ya awali tu ya kibiashara na kwamba kwa upande wao wamejiandaa vya kutosha kukidhi mahitaji ya bidhaa za kilimo huko UNK na mwandishi wetu wakili moses maira aliyekuwa akimtetea ofisa wa zamani wa upelelezi wa makosa ya jinai mkoani dar es salaam bwana abdallah zombe anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini wa mahenge morogoro na dereva teksi wa dar es salaam amefariki dunia taarifa ambazo gazeti hili lilizipata jana jioni zilieleza kuwa wakili hiyo maarufu UNK na mauti hayo akiwa nje kwa matibabu akizungumza na gazeti hili jana jioni kwa njia ya simu wakili mwenzake na rafiki yake bwana mabere marando alithibitisha kutokea kwa kifo hicho bwana marando alisema bwana maira alifariki usiku wa kuamkia jana mjini houston marekani alikokwenda kutibiwa kwa watoto wake alisema marehemu alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo na kisukari hali iliyosababisha afya yake kuyumba na kulazimika kwenda marekani kwa matibabu zaidi mipango ya kurejesha nchini mwili wa marehemu maira inaendelea kufanywa na wanawe nchi marekani itakapokamilika itafahamika ni lini UNK ni kweli mzee maira amefariki usiku wa kuamkia leo huko houston marekani alikokwenda kutibiwa kwa watoto wake alikuwa akisumbuliwa kisukari na presha magonjwa ya uzee alisema bwana marando na kuongeza muda huu ndio natoka nyumbani kwake lakini mipango zaidi itafahamika kesho kwani familia itakaa na kufanya maandalizi ya mazishi kesho tutajua zaidi bwana marando alisema msiba wa wakili huyo uko nyumbani kwake tabata karibu na hospitali ya UNK alimwelezea marehemu maira kuwa ni mmoja wa mawakili bora jijini dar es salaam na nchini kwa ujumla ambaye UNK kutokana na upeo wake wa masuala ya sheria madiwani wa halmashauri ya wilaya ya muheza wamesema UNK wa wagonjwa katika hospitali teule wilayani hapa linachangiwa na mji huo kukosa kituo cha afya hivyo wameshauri zahanati ya ubwari iongezwe majengo na kupewa hadhi ya kuwa kituo cha afya kupunguza tatizo hilo akizungumza katika kikao cha baraza la madiwani mwishoni mwa wiki diwani wa kata ya UNK bwana makame seif alisema ipo haja ya kuongeza majengo ya zahanati hiyo ili itumike kuwatibia wagonjwa wenye shida ndogo ndogo kuliko wote kwenda kupata matibabu hospitali ya wilaya mheshimiwa mwenyekiti ni vizuri sasa ili kupunguza mzigo wa wagonjwa katika hospitali UNK ambayo inachukua wagonjwa kutoka wilaya nyingine ni vema sasa majengo ya ubwari UNK ili kupunguza msongamano pale teule hali ni mbaya sana wagonjwa wakati mwingine wanalala wawili wawili kwenye vitanda alisema diwani huyo katika hatua nyingine madiwani wa UNK hiyo wameagizwa kusimamia ujenzi wa vyumba vya madarasa ya sekondari katika kata zao ili kuhakikisha wanafunzi waliomaliza darasa la saba mwaka huu wanaingia kidato cha kwanza wote mwenyekiti wa halmashauri bwana bakari mhando alisema kuwa madiwani wanawajibika kusimamia ujenzi wa vyumba vya madarasa ya sekondari na kuwahamasisha wananchi kushiriki ujenzi huo jaji salum massati ambaye alimwachia huru aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana abdallah zombe na wenzake wanane waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kuua wafanyabiashara watatu wa madini wakazi wa mahenge na dereva teksi leo anatarajiwa kuwa miongoni mwa jopo la majaji UNK rufaa ya mwanamuziki nguli nguza UNK na watoto wake watatu mwanamuzi huyo nguli na watoto wake watatu UNK nguza nguza UNK and francis nguza wanapinga kifungo cha maisha UNK na mahakama ya hakimu mkazi kisutu na baadaye hukumu hiyo UNK na mahakama kuu ya tanzania mbali na jaji massati rufaa hiyo UNK jaji UNK kimaro na jaji mbarouk UNK babu seya na watoto wake walihukumiwa kifungo hicho mwaka ishirini sifuri nne baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa katika kesi iliyokuwa ikiwakabili ya kudhalilisha kijinsia watoto wa kike ilitolewa na hakimu bibi addy lyamuya ambaye kwa sasa UNK kazi maombi ya rufaa yaliyowasilishwa na aliyekuwa UNK wa babu seya bwana hubert nyange ambaye sasa amejitoa yanaonesha sababu kumi na tano za kupinga adhabu hiyo ikiwamo kwa nini jaji wa mahakama kuu hakuona kuwa hakimu aliyesikiliza kesi hiyo alishindwa kutokuwa na upande na kuathiriwa na mtazamo hasi juu ya wateja wake babu seya na watoto wake walikata rufaa mahakama ya rufaa baada ya mahakama kuu chini ya jaji thomas mihayo kutupilia mbali rufaa yao nguza na watoto wake watatu walihukumiwa adhabu hiyo kwa kuwadhalilisha kijinsia wanafunzi wa kike maeneo ya sinza dar es salaam mmoja wa UNK alieleza mahakama jinsi watuhumiwa UNK kwa fedha soda na UNK kabla ya kufanyiwa kitendo hicho siku chache baada ya maafisa wawili wa chama cha demokrasia na maendeleo kutenguliwa nyadhifa zao na kujivua uanachama chama hicho UNK na kupinga madai kuwa UNK vijana kushika nyadhifa za uongozi na kudai hizo ni propaganda za ccm UNK akizungumza dar es salaam jana katika kongamano la baraza la vijana wa chadema kaimu katibu mkuu chadema bwana john mnyika alisema kuwa propaganda hizo UNK na ccm kwa nia ya UNK chama chake ili UNK imani kwa watanzania alisema wakati huu ambapo nchi inajiandaa kuingia katika uchaguzi mkuu hapo mwakani mengi UNK kuhusu chama chake ili kuonesha kuwa kuna mpasuko kama ilivyo kwa ccm hasa ukizingatia kuwa ccm UNK kimaadili na hivyo kuingiwa na hofu ya kushinda katika uchaguzi ujao chadema ni chama cha kizazi kipya sisi ndio UNK kaulimbiu ya vijana ni taifa la leo na si kesho kama ilivyokuwa awali sasa iweje UNK kwa kuwatenga vijana wakati ndio chama pekee chenye asilimia thebathini ya wabunge vijana hizo ni propaganda tu alisema alisema kuwa propaganda hizo zimeibuka baada ya kutenguliwa nyadhifa kwa waliokuwa maafisa wawili wa chama hicho kutokana na kwenda kinyume cha maadili ya chama kwa mujibu wa bwana mnyika si kila kijana anaweza kuongoza na kuwa wakati mwingine ni bora kuwa na waziri mzee kama daktari slaa kuliko kuwa na mawaziri vijana kama waliopo sasa ambao hawawezi kuongoza wizara aidha bwana mnyika ameonesha wasiwasi kutokana na kauli ya ccm kutumia bilioni arobaini katika uchaguzi mkuu ujao na kukitaka chama hicho UNK mchanganuo wa mapato na matumizi ya pesa hizo alisema mwaka ishirini sifuri tano rais kikwete alichangisha pesa kupitia harambee kwa madai kuwa ni pesa safi kumbe za mafisadi wa epa na kuongeza kuwa kama kweli ccm imedhamiria kukusanya pesa safi katika uchaguzi ujao ni vyema UNK hatua watuhumiwa wote wa waliopora fedha za epa hasa kampuni ya UNK si busara kutumia shilingi bilioni arobaini katika uchaguzi ambazo ni sawa na kutumia milioni ishirini sifuri kwa kila jimbo wakati ambapo wakina mama wajawazito wanakufa kwa kukosa huduma nzuri wakati wa kujifungua alisema akizungumzia tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za ruzuku bwana mnyika alisema chadema imekuwa ikipata hati safi kila UNK na kuongeza kuwa baraza kuu la chama hicho UNK mapendekezo kuwa mahesabu ya vyama vya siasa UNK na mkaguzi mkuu na mdhibiti wa hesabu za serikali kwa kuwa daktari slaa aliwataja mafisadi na zitto kabwe ambaye anaendesha mapambano dhidi ya mafisadi anatoka chadema sasa wanataka kukifanya chama kionekane cha mafisadi ili kuwachanganya wananchi alisema alisema kuwa mtu yeyote mwenye tuhuma za msingi za ufisadi dhidi ya chama chake atoe mchanganuo wa ufisadi huo kama ambavyo chadema ilifanya kwa mafisadi wa ccm katika kongamano hilo ambalo linahusisha vijana hamsini kutoka katika mikoa ya kichama ya ilala temeke na kinondoni vijana hao walijadili taarifa za uchaguzi wa serikali za mitaa na kupanga mikakati ya uchaguzi mkuu ujao katika hatua nyingine grace ndossa anaripoti kuwa bwana mnyika amesema chama hicho UNK kwa ukabila wala siyo cha mtu binafsi kama inavyoelezwa bali kinafuata taratibu sheria na kanuni za siasa bwana mnyika aliyasema hayo wakati akizungumza katika kipindi cha mambo leo kinachorushwa na radio times ya jijini dar es salaam alisema kuwa watu wengi wamekuwa na UNK potofu kuwa chama ni cha mtu binafsi ambaye kinaongozwa kwa matakwa yake kitu ambacho siyo kweli wala UNK kwa ukabila alisema kuwa ndani ya chama hicho kuna watu wa makabila mengi katika nafasi za uongozi na kwamba wanaosema UNK na wachaga UNK tumekuwa tukipata malalamiko mengi kuwa chadema ni chama cha mtu binafsi siyo kweli hii ni taasisi inayoshughulika na mambo ya siasa na ni chama makini ambacho UNK mtu wala kutazama kabila wala dini tunafanya kazi za kusaidia jamii alisema bwana mnyika alisema kuwa chadema kiko salama na kitaendelea na oparesheni sangara nchi nzima ili kiweze kuwa na watu wengi na wamejipanga kushinda uchaguzi wa mwakani chama cha wananchi UNK kauli ya chama cha mapinduzi ya kufanya harambee kwa wanachama wake nchi nzima kuchangia uchaguzi mkuu wa ishirini moja sifuri kwamba inashangaza kwa sababu chama hicho tawala hakiwezi kukwepa michango ya matajiri iliyotokana na ufisadi kauli hiyo ya cuf imekuja siku moja baada ya ccm kupitia katibu wa fedha na uchumi wake wa ccm taifa bwana amos makala kutangaza kutumia mpango huo kutokana na chama hicho kutuhumiwa kufadhiliwa kwa fedha zilizopatikana kwa njia ya ufisadi katika uchaguzi mkuu uliopita taarifa ya cuf kwa vyombo vya habari iliyotolewa na naibu naibu mkurugenzi uenezi na mahusiano ya umma bibi ashura mustapha ilisema kuwa ccm haina ubavu wa kuzikwepa fedha za mafisadi kwani ndizo zitakazotumika katika uchaguzi ujao na kuwa kauli hiyo ni propaganda za kuwahadaa wananchi ili chama hicho kionekane kinapiga vita ufisadi ilieleza kuwa miongoni mwa wanachama wa chama hicho wanatuhumiwa kuhusika katika ufisadi wengi wao ni viongozi katika halmashauri kuu taifa na kamati kuu na hadi sasa hakuna hata mmoja ambaye amevuliwa madaraka au uanachama kutokana na kashifa hiyo cuf UNK watanzania kuwa ukiona mtu anafukuza mwizi UNK kidole mbele ambako hakuna mtu hali mwizi huyo yupo naye bega kwa bega utambue fika kuwa ana UNK ya karibu huyo mwizi au na wizi unaofanywa na mwizi huyo hivyo njia pekee ya kuwatambulisha kuwa kwa sasa wananchi UNK ni UNK wagombea wote UNK na ccm katika uchaguzi mkuu mwakani ishirini moja sifuri na badala yake kuchagua chama mbadala chenye nguvu nchini ilieleza sehemu ya taarifa hiyo cuf ilimtaka bwana makala kuweka bayana kwanza ni njia zipi chama chake UNK kujipatia fedha katika uchaguzi uliopita ambazo UNK kuwa ni za kifisadi ambazo UNK katika uchaguzi huu na kuwataja wanachama ambao misaada yao UNK kutokana na kuhusishwa na ufisadi katika mpango wake ccm UNK kuhamasisha wananchi kuchangia chama chao kwa njia ya sms njia ambayo tayari chama cha demokrasia na maendeleo UNK UNK kukusanya mamilioni kupitia simu za mkononi na mtandao wa mawasiliano ya UNK mfumo huo unaotumiwa na vyama vya siasa katika nchi zilizoendelea za bara la ulaya na marekani ulizinduliwa na mwenyekiti wa chadema freeman mbowe mara baada ya kutoa hotuba yake ya ufunguzi wa mkutano mkuu wa chama hicho katika ukumbi wa shule ya sekondari mbezi beach jijini dar es salaam septemba mwaka huu tanzania imeutaka umoja wa mataifa kuiomba radhi kutokana na ripoti ya kikundi cha wataalamu na wachunguzi wake kuituhumu kwamba inatoa silaha kwa kikundi cha waasi cha fdlr UNK dhidi ya raia wa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo na rwanda akizungumza na waandishi wa habari mjini port of spain trinidad na tobago jana waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa bwana bernard membe alisema tanzania UNK na kushangazwa na taarifa hiyo ambayo haina ukweli wowote na kuutaka umoja wa mataifa kuilaani UNK mbali taarifa hii na kuomba radhi taarifa hii haina ukweli wowote na ni ya UNK ni uongo uliotengenezwa UNK matope jina zuri la tanzania na serikali yetu tanzania wala vyombo vya usalama havijatoa wala kusadia vikundi hivyo alisema bwana membe na kuongeza tanzania inachofanya ni kusaidia harakati za amani na usalama mashariki mwa congo kwa kumteua rais mstaafu bwana benjamin mkapa kuungana na viongozi wengine kutafuta amani na usuluhishi nchini humo na si vinginevyo alisistiza waziri membe amelazimika kutoa msimamo kufuatia taarifa za kuituhumu tanzania UNK kusambaa kwenye mitandao huku baraza la usalama la un likiwa UNK ripoti hiyo jumatano taarifa hiyo ilisema kwamba tanzania ni miongoni mwa nchi ishirini na tano zikiwamo nyingine za marekani na ulaya ambazo UNK waasi hao kwa kuwapatia silaha na fedha na kuwa jumuiya ya kimataifa haijafanya chochote kuzuia misaada hiyo taarifa hiyo iliendelea kusema kuwa mawasiliano ya simu UNK baina ya makamanda wa fdlr na viongozi wa juu wa tanzania na burundi akifafanua jinsi tanzania inavyoshughulikia amani ya maziwa makuu bwana membe alisema tanzania UNK dola za marekani hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kugharamia mchakato wa amani na usuluhishi mashariki mwa congo chini ya bwana mkapa pia alisema tanzania imekuwa mstari wa mbele katika kutafuta amani katika ukanda wa maziwa makuu kwa miaka kumi na tano na kwamba tangu mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na tisa hadi sasa tanzania imekuwa kimbilio la wakimbizi UNK vita na mauaji na itaendelea kufanya hivyo na si kuchochea vitendo vyovyote vya uvunjifu wa amani katika kipindi chote tangu uhuru tanzania imekuwa mstari wa mbele katika kutetea amani afrika hivi tutapata nini kuingilia amani ya nchi jirani na rafiki kama kongo na rwanda alihoji bwana membe kwa upande mwingine bwana membe ametoa changamoto kwa umoja wa mataifa kuieleza tanzania zilikotoka silaha hizo na UNK kwani UNK katika taarifa ya kikundi hicho waziri membe aliongeza kuwa tanzania haina maduka ya kuuza silaha za kivita na wala UNK na kwamba silaha kama hizo zipo mikononi mwa vyombo vya usalama pekee nataka kumhakikishia kila mmoja kuwa hii UNK na wala haitatokea kamwe serikali UNK vyombo vyake vya usalama kufanya hivyo na hata hivyo hakuna taarifa kutoka vyombo vya usalama kwamba UNK na silaha na hii ndio sababu UNK niseme taarifa ya kikundi hicho ni uongo uliotengenezwa dhidi ya tanzania UNK umoja wa mataifa na kila mmoja kuilaani taarifa hii alisisitiza bwana membe bwana membe alikuwa katika ujumbe wa rais mjini port of spain trinidad na tobago kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi na serikali wa jumuiya ya madola uliomalizika jana watu mia nne na hamsini na nane UNK ugonjwa wa kipindupindu tangu uliingia katika mkoa wa dar salaam novemba kumi na mbili mwaka huu hayo yalisemwa jana dar es salaam na kaimu mganga mkuu wa jiji daktari hawa kawawa alipokuwa anatoa takwimu ya idadi ya wagonjwa kwenye hospitali za UNK alisema kuwa wilaya ya temeke imekuwa na jumla ya wagonjwa mia moja na themanini na nne ilala mia moja na themanini na nne wakati kinondoni imefikisha tisini hadi sasa kama watu UNK kufanya usafi katika maeneo yao na kutii masharti ya kutokula vyakula UNK maeneo ambayo si salama kipindupindu UNK alisema daktari kawawa alisema kuwa kati ya wagonjwa hao wawili wameshafariki mmoja kutoka temeke na mwingine ilala wagonjwa wamekuwa UNK na wanapopata nafuu UNK kurudi majumbani lakini hadi jana kulikuwa na wagonjwa ishirini na tisa waliolazwa katika wilaya zote katika wilaya ya ilala wagonjwa wametoka vingunguti pugu na kariakoo wakati katika wilaya ya temeke wanatoka mbagala kuu mbagala sabasaba temeke azimio kigamboni UNK na mtoni huku wilaya ya kinondoni wanatokea mabibo na UNK wananchi wa mitaa ya zavala mgeule na nyeburu kata ya chanika ilala dar es salaam wamedai kuwa hawako tayari kuachia mashamba na nyumba zao wapewe wakazi wanaohamishwa kipawa bila kulipwa fidia kutokana na mgogoro huo wananchi hao wameunda kamati ya watu kumi kuonana na waziri mkuu bwana mizengo pinda kueleza kilio na kile walichodai ni dhuluma UNK kufanyiwa na serikali katika mkutano wao uliofanyika juzi waasisi wa mitaa hiyo wenyeviti wa mitaa na viongozi wa zamani wa ccm walikataa kufanya makubaliano na serikali kuhusu kutoa ardhi au kuidhinisha malipo kwa ajili ya fidia mwenyekiti wa mtaa wa mgeule bwana agrey UNK mwenyekiti wa mtaa wa zavala bwana mohamed ramadhani na mwenyekiti wa zamani wa ccm bwana ali UNK UNK mbele ya kikao hicho kuwa hawajawahi kupata taarifa ya serikali kuhusu kupimwa viwanja kwa ajili ya watu wa UNK malipo ya fidia ya serikali kwa ajili ya kupimwa viwanja vya watu wa kipawa ilitolewa kwa watu wa pugu UNK na UNK wananchi wa mitaa ya mgeule zavala na nyeburu ambao sasa UNK ardhi yao mimi nimewahi kukamatwa wengine wamewekwa ndani na kufunguliwa mashtaka ya kudaiwa kuzuia serikali kufanya kazi lakini wananchi hawa hawajalipwa kitu na hakuna maandishi alisema mwenyekiti wa mtaa wa mgeule bwana UNK wenyeviti hao waliwaambia wananchi hao kuwa mradi wanaoufahamu wa serikali ni upimaji wa viwanja ishirini sifuri sifuri sifuri ambao hauna mgogoro na wananchi hao lakini mradi wa upanuzi uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere UNK serikali inayoheshimu watu haifanyi uhuni imefika mahala uvumilivu unakoma hatuwezi kuona tingatinga UNK nyumba zetu na kukanyaga matofali eti UNK fidia alipewa nani wakati tunajua waliolipwa fidia ni watu wa pugu UNK alisema bwana ali UNK awali mkutano huo uliwataka wakazi wote waliowahi kulipwa fidia kwa ajili ya kupimwa viwanja vya watu wa kipawa wajitokeze lakini hakuna aliyekiri kuchukua fidia hiyo katika umati huo wa wakazi zaidi ya wanachi ishirini sifuri UNK ofisa tawala msaidizi wa rasilimali watu wa mkoa wa dar es salaam bwana UNK said alisema anachofahamu mamlaka ya viwanja vya ndege tanzania iliwahi kuwalipa fidia wananchi hao na wanaolalamika ni wale walionunua viwanja karibuni askari wa operesheni kipepeo wanaoendelea kudhibiti wa ujangili ndani na nje ya pori ya akiba la selous na hifadhi za taifa hapa nchini wamewatia nguvuni majangili kumi na moja yakiwemo sita yenye asili ya kiarabu majangili hayo yalikamatwa huko kwenye eneo la pori la kimera katika wilaya ya mvomero mkoani morogoro kandokando mwa pori la akiba la selous wakiwa wamepiga kambi tayari uwindaji haramu mkuu wa UNK maalumu za jeshi la polisi nchini naibu kamishna venance tossi anayeongoza operesheni kipepeo alisema jana kuwa majangili hayo yalikamatwa kutokana na taarafa za wananchi wa vijiji vinavyozunguka pori hilo waliotoa taarifa za kuwepo kwa majangili hayo dcp tossi alisema kuwa wakati wa upekuzi kwenye kambi ya majangili hayo zilipatikana silaha tano za aina mbalimbali ikiwemo bastola moja na rifle nne na risasi mia mbili na kumi na tano kati ya hizo tisini ni za rifle na ishirini na tano za bastola aliyataja majangili yaliyokuwa yamepiga kambi kwenye eneo hilo kuwa ni abdallah edha abdallah faraji mbaraka mohammed mbaraka UNK saidi mbaraka saidi na saidi edha abdallah wote wakiwa na asili ya kiarabu wengine ni hamissi UNK hamissi mohammed UNK UNK mbaraka salum na rashidi urea ambaye ni mwenyekiti wa jumuiya ya uhifadhi wa wanyamapori kwenye vijiji UNK pori la UNK naye meneja wa hifadhi ya pori la akiba la selous bwana john UNK ambaye UNK na dcp tossi katika ukamataji huo amethibitisha kuwa majangili hayo hayakuwa na kibali chochote cha uwindaji kutoka kwa mkurugenzi wa idara ya wanyamapori nchini majangili hayo yakiwa na magari matatu na majokofu kadhaa yenye barafu ya kuhifadhia nyama UNK kusimamisha mara moja shughuli za uwindaji katika eneo hilo tengefu la mapori ya akiba ya selous na kwenda kituo cha polisi kwa hatua zaidi hadi sasa operesheni kipepeo inayoendeshwa kwa pamoja kati ya jeshi la polisi na idara ya wanyamapori nchini imewatia nguvuni majangili zaidi ya sabini na kukamata silaha mbalimbali mfungwa UNK kifungo cha miaka kumi katika gereza la ukonga jijini dar es salaam bwana semayoga ernest UNK shahada ya kwanza ya sheria na chuo kikuu huria tanzania sherehe ya mfungwa huyo ambaye ni wa pili UNK shahada hiyo baada ya bwana haruna gombela UNK oktoba thebathini na moja ishirini sifuri saba itafanyika katika katika viwanja vya kikosi maalumu cha magereza ukonga bwana ernest UNK kifungo cha miaka kumi nchini mauritius lakini kutokana na utaratibu wa kubadilishana wafungwa UNK nchini na kutokana na utaratibu wa kuhesabu saa ishirini na nne kuwa siku mbili UNK kifungo na anatarajia kumaliza kifungo chake agosti mwakani akiwa mwanasheria kama ilivyokuwa kwa bwana gombela mfungwa huyo ambaye haijulikani alifungwa kwa kosa gani atafanyiwa mahafali ya pekee yake ikiwa ni mwezi mmoja baada ya wahitimu wenzake huru wa sheria kupata shahada zao oktoba ishirini na tisa mwaka huu akizungumza na waandishi wa habari kamishna mkuu wa magereza bwana augustine nanyaro alisema kuwa mafanikio hayo yametokana na jitihada za urekebishaji wa wahalifu UNK na jeshi la magereza kwa kushirikiana na wadau mbalimbali nchini dhana ya urekebishaji wa wahalifu UNK program mbalimbali zinazoandaliwa kwa ajili ya wafungwa ili kuwawezesha kubadili tabia ya uhalifu na kurejea kwenye jamii wakiwa raia wema program hizo ni pamoja na mafunzo ya elimu mafunzo ya stadi mbalimbali za ufundi mafunzo ya kiroho na utoaji nasaha kwa mfungwa mmoja mmoja au kulingana na matatizo yao kwa lengo la kuwafanya wabadilike kisaikolojia na UNK aliongeza bwana UNK kwa upande wake makamu mkuu wa out profesa tolly UNK alisema kuwa shahada za wafungwa hao ni mwanzo katika kuwasaidia wafungwa kielimu kutokana na makubaliano maalumu yaliyofanyika baina ya chuo hicho na wizara ya mambo ya ndani kupitia jeshi la magereza lengo kubwa la makubaliano hayo lilikuwa ni kurekebisha tabia za wafungwa kuwapatia taaluma na ujuzi ili waweze UNK na kuwapatia stadi za kuwawezesha kupambana na maisha baada ya kumaliza kutumikia vifungo vyao na kuwawezesha kutumia muda wao gerezani kwa manufaa zaidi kwa ajili yao na kuwasaidia wafungwa wenzao kujua vizuri haki zao alisema aidha jeshi la magereza linatarajia kujenga maktaba kubwa na ya kisasa ya kujisomea katika gereza la ukonga itakayokuwa ikitumiwa na wafungwa na watumishi wote kesi ya mauaji ya inayomkabili mgonjwa wa akili bwana devid UNK anayetuhumiwa kuwaua wagonjwa wenzake wawili na kuwajeruhi wengine watano ilitajwa tena na mahakama kuelezwa kuwa upelelezi bado haujakamilika hivyo mtuhumiwa kuendelea kuwa rumande mbele ya hakimu bwana samweli UNK mwendesha mashtaka bwana musa gumbo alisema agosti kumi na moja ishirini sifuri nane katika wodi ya UNK hospitali ya taifa muhimbili mtuhumiwa UNK na kuwajeruhi wenzake kwa kutumia stendi ya kutundikia UNK kwa mara ya kwanza mshtakiwa huyo alisomewa mashtaka yake agosti kumi na tatu ishirini sifuri nane akiwa ndani ya gari la polisi huku akiwa uchi mshtakiwa huyo aliyeonekana UNK jana aliomba mahakama upelelezi wa kesi yake UNK haraka kesi hiyo imeahirishwa mpaka desemba kumi na tano mwaka huu kwa ajili ya kutajwa kwa kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo jumla ya shilingi bilioni arobaini na tano zinahitajika katika ukarabati wa kiwanja cha ndege cha sumbawanga kilichopo mkoani rukwa ili kukiwezesha kuwa na uwezo wa kuhudumia ndege kubwa aina ya atr arobaini na tatu taarifa iliyotolewa dar es salaam jana na waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa ilisema gharama hiyo imetokana na upembuzi yakinifu uliofanywa ili kutimiza nia ya serikali kufanya kiwanja hicho kuwa cha kisasa na kukidhi haja ya usafiri katika ukanda huo upembuzi huo ilifanywa na washauri wa kampuni ya UNK UNK and UNK ya uingereza na UNK ya tanzania ambao UNK kuwa kiwanja hicho kitajengwa katika maeneo makuu matano maeneo hayo ni pamoja na njia ya kurukia kwa kiwango cha lami yenye urefu mita moja mia saba na hamsini na upana mita thebathini kituo cha umeme jengo jipya la abiria viungio vya njia na maegesho ya ndege kubwa na ndogo changamoto iliyopo sasa ni kwa serikali na mamlaka ya viwanja vya ndege tanzania kutafuta fedha kutoka vyanzo mbalimbali ili kufanikisha UNK shughuli hiyo alisema naye mwakilishi wa taa mhandisi white majura alisema kuwa kwa sasa shilingi mia mbili na thebathini mia mbili na tisini na sita mia tisa na sabini na nne zimetengwa kwa ajili ya kiwanja cha sumbawanga na mpanda alifafanua kwamba shilingi milioni hamsini zitatumika kwa ununuzi wa gari aina ya pick up shilingi milioni kumi sifuri zitatumika katika matengenezo ya njia ya kuruka na kutua ndege na shilingi milioni themanini mbili ni gharama za uendeshaji wa viwanja wakati huo huo daktari kawambwa alisema kuwa serikali itaanza kujenga barabara ya tunduma UNK hadi sumbawanga yenye urefu wa kilomita mia mbili na ishirini na nne tano katika mwaka huu wa fedha alisema barabara hiyo itajengwa kwa kiwango cha lami kutokana na makubaliano ya kampuni ya millenium challenge UNK tanzania na kampuni na UNK UNK kutoka UNK tuna uhakika kufikia kati ya machi na aprili mwaka kesho tutakuwa tumeanza ujenzi wakati huu tupo katika harakati za kumpata UNK mradi huu UNK na serikali ya marekani kupitia millenium challenge corporation pamoja na serikali ya tanzania alisema watu wanne wamekufa na wengine ishirini kujeruhiwa sehemu mbalimbali za miili yao katika ajali za barabarani zilizotokea mwishoni mwa wiki akizungumza na waandishi wa habari jana dar es salaam kamanda wa polisi mkoa wa temeke bwana liberatus sabasi alisema kuwa ajali ya kwanza ilitokea juzi saa saba mchana katika makutano ya barabara ya nyerere na UNK katika ajali hiyo gari t mia moja na arobaini na mbili afc aina ya UNK pajero ikiendeshwa na bwana UNK mnyama mkazi wa uwanja wa taifa liligongana na toyota corolla t mia nane na ishirini na tatu UNK lililokuwa likitokea kimara kwenda uwanja wa ndege alisema kuwa katika ajali hiyo abiria bibi joyce UNK anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka sitini hadi sitini na tano mkazi wa dodoma na mtoto christina wilson umri kati ya miaka miwili na minne walikufa papo hapo na wengine wanne kujeruhiwa katika tukio lingine kamanda wa polisi wa mkoa wa ilala bwana faustine shilogile alisema kuwa abiria ishirini walijeruhiwa sehemu mbalimbali za miili yao baada ya gari walilokuwa wakisafiria lenye namba za usajili t mia moja na themanini na saba UNK aina ya toyota UNK pick up iliyokuwa ikitokea vingunguti kwenda viwandani kugongana na daladala kamanda shilogile alisema kuwa katika ajali hiyo iliyotokea juzi walitibiwa katika hospitali ya amana na kuruhusiwa madereva wa magari hayo UNK na kutelekeza magari katika eneo la tukio naye msichana mwenye umri wa miaka miaka nane na kumi amekufa papo hapo baada ya kugongwa na gari t mia nane na sitini na saba aina ya toyota corolla iliyokuwa ikiendeshwa na UNK UNK mkazi wa tabata UNK kamanda shilogile alisema msichana huyo alikuwa akivuka barabara na aligongwa na gari hilo kwa kile kinachodaiwa ni mwendo kasi wa dereva dereva anashikiliwa na polisi wakati maiti imehifadhiwa katika hospitali ya amana wakati huo huo emmanuel UNK mkazi wa kigogo amekufa papo hapo baada ya kugongwa na gari wakati akivuka barabara ya kigogo kati kaimu kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni sebastian masinde amesema kuwa ajali hiyo ilitokea juzi saa kumi na moja jioni katika maeneo ya UNK alisema kuwa gari UNK ni t mia tano na themanini na tisa UNK aina ya scania bus ikiendeshwa na bwana salum sheikh na alikuwa akitokea tabata kuelekea kigogo polisi mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya mwananyamala na polisi wanaendelea na uchunguzi juu ya tukio hilo jeshi la polisi mkoa wa arusha UNK watu sita wanaosadikiwa kuwa majambazi hatari akiwemo raia mmoja wa uganda wanaotuhumiwa kuhusika na tukio la mauaji ya mfanyabiashara wa kampuni ya utalii john justine lililotokea sombetini mjini hapa juzi pia jeshi hilo limefanikiwa kushika bastola moja aina ya UNK iliyotengenezwa UNK na risasi moja ikiwa UNK chini ya godoro huku namba zake zikiwa zimefutwa na kofia moja ya kufunika uso na macho wakati wakifanya uhalifu huo UNK wa polisi mkoa wa arusha bwana leonard paul aliwataja walikamatwa akiwemo samson james maarufu kwa jina la kababaa wa unga ltd mjini hapa aliyeachiwa huru kwa rufaa mwaka jana baada ya kufungwa miaka thebathini jela mwaka ishirini sifuri tano kwa hatia ya wizi wa kutumia silaha wengine ni daudi UNK mganda anayeishi wilayani monduli mkoa wa arusha wambura chacha mkazi wa sokoni one na ali ernest mparee mkazi wa UNK mjini moshi mkoani kilimanjaro hata hivyo UNK majambazi mengine UNK kwa sababu ya UNK pia jeshi hilo linamtafuta kwa udi na uvumba anayedaiwa kuwa jambazi sugu na ambaye pia anasadikiwa kuachiwa kwa rufaa mwaka jana baada ya kufungwa miaka thebathini mwaka ishirini sifuri tano kwa kupatikana na hatia ya wizi wa kutumia silaha aliyemtaja kwa jina moja la oscar mkazi wa unga ltd mjini arusha akizungumzia tukio la mauaji ya justine alisema kabla ya mauaji hayo kutokea awali watu wawili walifika nyumbani kwake eneo la sombetini saw UNK na UNK kama yupo na UNK hayupo waliondoka walirejea tena saa tatu usiku na kumshambulia kwa risasi na kufa papo hapo walirejea usiku huo wakiwa wengi zaidi na kuutumia mwanya wa shemeji yake justine UNK mlango akienda dukani na kumshambulia kwa na kufa papo hapo kupora simu na shilingi sitini sifuri sifuri sifuri huku UNK matusi ya nguoni alisema kamanda alisema baada ya tukio hilo walijipanga na kufanya UNK kali UNK kumshika kababaa aliyekiri kuhusika katika tukio hilo la mauaji na kuwataja wenzake ambapo aliongoza kikosi maalumu kuwasaka wenzake na kufanikiwa kumnasa mparee mjini moshi katika tukio jingine jeshi la polisi mkoani hapa kwa kushirikiana na shirika la hifadhi za taifa na mamlaka ya hifadhi ya ngorongoro katika kijiji cha UNK wilayani ngorongoro wamefanikiwa kukamata bunduki aina ya g tatu namba mbili moja tatu sita tatu sifuri saba na risasi kumi na tatu UNK na mtu mmoja aliyetambuliwa kwa jina la munga UNK anayesadikiwa kukimbia nchini kenya kwa UNK serikali ya iran imeidhinisha mpango wa kujenga mitambo kumi ya UNK madini ya UNK licha ya mpango huo kupigiwa makelele na nchi za magharibi kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali serikali hiyo UNK shirika UNK nishati ya nyuklia kuanza kazi katika maeneo matano wakati mitambo mingine mitano itaanza kazi katika kipindi cha miezi miwili ijayo hatua hiyo imetokea siku kadhaa baada ya shirika la umoja wa mataifa la kudhibiti nguvu za atomiki kuikosoa iran kwa kuweka siri mitambo inayohusika na shughuli hizo ikulu ya marekani white house ilisema hatua hiyo ni mwendelezo wa vitendo vya iran kukiuka majukumu yake bayana huku uingereza UNK taarifa hizo kuwa ni tatizo kubwa na la kusikitisha uingereza ilisema kuwa hatua hiyo ya iran pia imelenga kuvunja azimio la umoja wa mataifa kwa kipindi kirefu mataifa ya magharibi yenye nguvu yamekuwa yakisema kuwa iran inataka kujaribu koboresha silaha zake za nyuklia ingawa nchi hiyo imekuwa ikisema kuwa mpango huo ni kwa ajili ya amani hata hivyo mtambo wa kwanza wa nyuklia ambao unajengwa katika eneo la UNK bado unaendelea na ujenzi huku mitambo mingine ikiwa bado ipo katika michoro ya ramani inaelezwa kuwa chini ya mpango huo iran itaongeza uzalishaji kutoka tani iliyokuwa ikizalisha miaka iliyopita hadi kufikia uzalishaji wa tani thebathini sifuri kwa kila mwaka mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya mwalimu nyerere bwana joseph butiku amewataka vijana kuondoa mtandao na makundi yaliyopo serikalini ili kujenga nchi UNK maslahi ya wananchi akizungumza jana dar es salaam katika kongamano la kujadili mustakabali wa taifa na kumbukumbu ya miaka kumi ya ya kifo cha baba wa taifa hayati julius nyerere alisema kuwa makundi yaliyopo sasa yalianza mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano katika kikao cha kamati kuu bwana butiku alisema katika kikao hicho vijana walienda na ilani tofauti ya ccm ambapo walilazimisha maamuzi yao kuliko ya ccm UNK mtandao katika chama chenu na sasa UNK na katika mtandao huo hakuna mzee hata mmoja labda rais kikwete hivyo nendeni UNK alisema bwana butiku wakati akijibu hoja ya mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya ccm bwana nape nnauye aliyedai kuwa wazee ndio wanaoleta mgawanyiko ndani ya ccm bwana nnauye alisema wazee ndani ya ccm UNK vijana kile UNK na mwalimu nyerere hasa maadili unapotaka ubunge UNK una kiasi gani cha fedha badala ya kuulizwa UNK au UNK kuongoza alisema bwana nnauye katika majibu yake aliyotoa huku UNK bwana butiku alisema mkishindwa kuondoa UNK UNK na UNK kusudi UNK kama mnavyotaka hadi UNK alisema bwana butiku aliongeza kuwa katika makundi hayo wananchi wengi wamebaki hewani kwa kutojua chanzo chake kutokana na viongozi wengi kutofautiana alisema kuwa baba wa taifa aliiacha tanzania ikiwa safi ambapo uroho wa mali za baadhi ya viongozi umesababisha nchi kuwa na takataka ambazo haziwezi kuondolewa mapema hatuwezi kuwa na rais ambaye ni mtumwa tunatakiwa kumsaidia rais kuondokana na matatizo yaliyopo kwa UNK mafisadi na kuwaondoa kabisa katika uongozi UNK rais acheni kupiga majungu alisema bwana butiku aliongeza kuwa viongozi wanaoleta mpasuko ndio hao wanaogombea pesa za kuleta maendeleo na mali nyingi kwa ajili ya maslahi yao wenyewe kiongozi huyo alitoa ujumbe kwa wananchi nchi hii ukisema ukweli unaonekana mbaya na unaweza kufukuzwa kazi ukisema kuwa kiongozi hafai UNK mabaya yake sio kuongea na kuwaacha watu bila suluhisho alisema bwana butiku amewaomba viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa dini kuungana na kuwafundisha wananchi maadili ili kuyaenzi UNK baba taifa hoja ya iliyotolewa na katibu wa fedha na uchumi wa chama cha mapinduzi bwana amos makala juu ya mpango wa kufanya harambee ili kukinusuru chama hicho dhidi ya fedha za kifisadi katika uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini moja sifuri imekuwa wa msumari moto ndani ya chama hicho moto wa hoja hiyo umesababisha katibu mkuu wa chama hicho bwana yusuf makamba kujitenga nayo na kulieleza gazeti hili kwa ufupi kuwa jambo hilo aulizwe aliyesema kisha alikata simu huku bwana makala aliyetoa hoja hiyo naye akiweka baya kuwa haikuwa kauli ya chama bali mapendekezo yake binafsi tayari mpango huo UNK na chama cha wananchi ambacho kimedai kuwa ccm haina ubavu wa kukwepa michango ya matajiri iliyotokana na ufisadi na kwamba kauli hiyo ya bwana makalla ni propaganda za kuwahadaa wananchi ili chama hicho kionekane kinapiga vita ufisadi taarifa ya cuf iliyokaririwa na gazeti hili jana ilisema mpango huo hautaweza kufanikiwa kwa kuwa miongoni mwa wanachama wa ccm wanatuhumiwa kuhusika katika ufisadi huku wengi wao wakiwa ni viongozi katika halmashauri kuu ya taifa na kamati kuu na hadi sasa hakuna ambaye amevuliwa madaraka au uanachama kutokana na kashfa hiyo UNK na majira kwa simu jana bwana makala alidai kuwa kauli hiyo aliyoitoa mjini songea yalikuwa ni mapendekezo yake binafsi ambayo UNK katika vikao vya idara ya fedha ambayo yeye ni mkuu wake kwa ajili ya kupitishwa na kupelekwa katika vikao vya juu alisema baada ya kuwasilisha mapendekezo hayo ndani ya vikao vya idara yake yatapelekwa katika sekretarieti ya kamati kuu na kujadiliwa na baadaye UNK katika vikao vya kamati kuu ambayo kimsingi ndiyo yenye maamuzi ya mwisho katika masuala ya uchaguzi suala hili ni mapendekezo yangu na wala si kauli ya chama bado ni nadharia tu UNK hata rais wetu jakaya kikwete alishawahi kuyasema kuwa lazima chama UNK kutafuta mapato kwa kutegemea jasho la wanachama badala kutegemea wafadhili jambo hilo UNK mimi kama makala kwani ni mapendekezo yaliyotoka katika vikao vya idara yangu na sio kama chama kama ingekuwa imeamuliwa na kamati kuu angezungumza mheshimiwa john chiligati na hata UNK mheshimiwa mkamba UNK kwani litakuwa limezungumzwa katika vikao vya maamuzi alisema katika mapendekezo yake juu ya mpango huo alipendekeza njia tatu michango ya UNK wenyewe harambee itakayofanyika katika ngazi ya taifa hadi wilaya na kuchangia fedha kupitia ujumbe mfupi wa simu za mikononi alisema mbinu hizo zinaweza kufanikiwa kwa kuwa chama hicho kina wanachama zaidi ya milioni nne hivyo kama kila mwanachama UNK shilingi hamsini sifuri UNK shilingi bilioni mbili na iwapo watachanga shilingi moja sifuri sifuri sifuri kwa kila mwanachama UNK shilingi bilioni nne hata hivyo bwana makalla UNK juu cuf kuwa UNK mpango huo kwa kuogopa mafanikio yake cuf UNK sauti kwa hoja dhaifu ccm inajivunia ushindi mkubwa wa asilimia themanini na tano wa serikali za mitaa na wanachama wake UNK milioni nne mpango huu UNK kuchangisha fedha unawatia hofu cuf na wasioitakia mema ccm alisema na kuongeza tunasema mpango huu ni mzuri wenye uwazi na vyanzo safi vya kupata fedha kauli ya cuf inatutia nguvu kwani UNK wa china mao UNK aliwahi kusema ukiona adui yako UNK jambo ujue hilo ni hatari liache mara moja lakini ukiona adui yako anabeza jambo hilo ni jema UNK kwa kuwa cuf UNK jambo hili ni jema na pigo kwa cuf na wote UNK mema ccm tanzania imesaini mkataba ushirikiano wa biashara ya pamoja na hong kong ili kuwasaidia wakulima wa chai na kahawa ili waweze kuzalisha wa wingi na kuweza kusaidia kukuza uchumi akizungumza jana katika hafla ya kusaini mkataba huo UNK wa bodi biashara ya nje bwana khalfan ramadhani alisema wafanyabiashara wa mazao ya chai wajitahidi kuhudhuria maonesho hayo yatakayofanyika machi mwakani wachina UNK zaidi ya mara sita lakini tutumie njia hii kujifunza jinsi wanavyofanya biashara na mataifa mengine bodi ya biashara ya nje ipo tayari kuwasaidia watakaojitokeza kuhudhuria maonesho hayo alisema bwana UNK alisema watanzania wanatakiwa kufanya biashara ya kujinufaisha na UNK taifa ambapo wengi wao huridhika na faida kidogo wanayoipata tofauti na kiwango UNK naye msaidizi wa mkurugenzi mkuu wa baraza la maendeleo la biashara hong kong bwana raymond yip alisema kuwa mkataba huo utasaidia kuongeza pato la taifa kutokana na kilimo kuwa na umuhimu katika ukuaji wa uchumi alisema ushirikiano wa biashara kati ya tanzania na hong kong umesaidia tanzania kupata dola za marekani milioni arobaini na tisa ikilinganishwa na uganda iliyopata dola za marekani milioni kumi na nane bwana yip aliwataka watanzania kujitokeza kushiriki maonesho hayo ili kupata kujifunza jinsi ya kutengeneza bidhaa na kufanya biashara pato la kila hisa la kampuni ya bia tanzania limeongezeka kwa asilimia thebathini hadi kufikia shilingi mia moja na thebathini kwa mwaka unaoishia septemba ishirini sifuri tisa ikilinganishwa na pato la shilingi kumi sifuri zilizopatikana mwaka ishirini sifuri nane hali hii imesababisha bodi ya wakurugenzi wa kampuni hiyo kutoa gawio la shilingi sitini kwa kila hisa japokuwa hakuna badiliko ikilinganishwa na gawio UNK na bodi kwa mwaka unaoishia septemba ishirini sifuri nane kwa mujibu wa taarifa ya fedha ya muda ya kampuni hiyo faida imeongezeka kwa asilimia ishirini na sita hadi bilioni hamsini na tisa mwaka huu kutoka bilioni arobaini na sita zilizopatikana mwaka ishirini sifuri nane taarifa hiyo inaonesha kwamba hesabu za kifedha za kampuni hiyo ni nzuri huku viashiria mbalimbali vya biashara UNK kukua kwa kiwango UNK tbl ambayo UNK katika soko la hisa la dar es salaam ina jumla ya hisa mia mbili na tisini na nne mia tisa na ishirini na nane mia nne na sitini na tatu zilizouzwa huku kila hisa ikiuzwa kwa shilingi moja mia saba na sitini hadi kufikia mwanzoni mwa wiki hii na mtaji wake katika soko ni bilioni mia tano na kumi na tisa ambazo ni kubwa ikilinganishwa na kampuni nyingine mkurugenzi wa tbl bwana robin UNK anaamini kwamba kukua kwa faida kumetokana na kukua kwa ukubwa wa soko la bidhaa za tbl nchini pamoja na kuongezeka kwa bei ya bidhaa kampuni yetu imeendelea kujikita katika kupanua uzalishaji ili kuendana na ukuaji wa mahitaji ya bidhaa zetu alisema katika taarifa yake alisema kwa nusu ya kwanza ya mwaka huu kampuni yake imewekeza kiasi cha shilingi bilioni hamsini na saba huku nyingine shilingi bilioni hamsini na tano zikiwa zimepangwa kutumiwa katika nusu ya pili ya mwaka unaoishia machi ishirini moja sifuri na makumba mwemezi mwili wa aliyekuwa wakili katika kesi ya abdallah zombe marehemu moses maira aliyefariki dunia juzi nchini marekani alikokuwa kwa matibabu unatarajiwa kuwasili nchini aprili thebathini kwa ajili ya mazishi akizungumza nyumbani kwa marehemu dar es salaam jana msemaji wa familia bwana UNK wilson alisema awali walitarajia kusafirisha mwili wa marehemu kesho ambapo UNK jumapili lakini kutokana na ndege kujaa wamepangiwa aprili ishirini na nane ambapo ndege itafika nchini aprili thebathini alisema taratibu za mazishi zinaendelea vizuri na kuwa marehemu anatarajiwa kuzikwa dar es salaam mara baada ya mwili kuwasili marehemu maira ndiye aliyekuwa wakili katika kesi inayomkabili aliyekuwa kaimu kamanda wa polisi mkoa wa dar es salaam ambapo anatuhumiwa kuwaua wafanyabiashara wa madini kutoka mahenge morogoro pamoja na dereva teksi wa dar es salaam kifo cha wakili wa zombe kimekuja siku chache baada ya kifo cha aliyekuwa mshitakiwa na shahidi muhimu katika kesi hiyo ya mauaji marehemu koplo rashid lema aliyefariki dunia kwa ugonjwa wa saratani akimzungumzia wakili maira mkwe wa marehemu ambaye pia ni wakili katika kampuni ya membar law UNK bwana yassin membar alisema alikuwa UNK mwenye upendo na moyo wa kusaidia ndugu wawili wenye asili ya kiasia bwana ajay soman na bwana UNK soman wanaokabiliwa na mashtaka sita likiwemo la wizi wa shilingi milioni mia nne na hamsini na tano nane katika akaunti ya madeni ya nje katika benki kuu ya tanzania wameachiwa kwa dhamana baada ya kukamilisha masharti ya kutoa hati ya nyumba yenye thamani ya shilingi milioni mia nane na themanini na nane washitakiwa hao pia wamekamilisha sharti jingine la kuwasilisha hati za kusafiria na mdhamini mmoja kwa kila mmoja kwa ahadi ya kauli ya shilingi milioni kumi hata hivyo kwa kuwa hati ya nyumba iliyotolewa mahakamani UNK mshtakiwa kwa kwanza na upande wa utetezi ukaomba itumike kwa wote hakimu bibi devota kisoka alimtaka mwenye hati hiyo kukubali kwa maandishi hati yake itumike kumdhamini mwenzake washitakiwa hao walifikishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu wakikabiliwa na mashtaka sita tofauti mashtaka yanayowakabili ni kula njama za wizi wa shilingi milioni mia nne na hamsini na tano nane UNK kufanya kati ya januari ishirini na nne na oktoba thebathini na moja mwaka ishirini sifuri tano katika shtaka la pili inadaiwa kuwa UNK aprili kumi na mbili mwaka ishirini sifuri tano jijini dar es salaam washitakiwa kwa pamoja walighushi hati za kuhamisha deni kutoka kampuni ya urg UNK ya uingereza kwenda kampuni ya ruaha investment ya tanzania washitakiwa hao wanadaiwa kuwa mnamo oktoba kumi na tano mwaka ishirini sifuri tano walitoa hati za uongo katika benki ya bot UNK kuwa kampuni ya urg ya uingereza UNK deni la shilingi milioni mia nne na hamsini na tano nane kampuni ya ruaha ya tanzania shtaka la nne ni la kughushi ambapo inadai mnamo januari ishirini na nne mwaka ishirini sifuri tano jijini dar es salaam washitakiwa kwa pamoja hati za usajili namba elfu arobaini na tano na mia tatu na sitini na nane ya januari ishirini na nne mwaka ishirini sifuri tano iliyoonesha hati hizo ni halali na UNK na kutolewa na msajili wa kampuni ya UNK shtaka la tano ni la kutoa hati za uongo oktoba ishirini na tano mwaka ishirini sifuri tano katika benki ya UNK ambazo zilionyesha kuwa ni halali na zimesajiliwa na msajili wa kampuni ya ruaha UNK shitaka la mwisho ni wizi shilingi milioni mia nne na hamsini na tano nane ambapo inadaiwa kati ya oktoba ishirini na saba na oktoba thebathini na moja mwaka ishirini sifuri tano washitakiwa kwa pamoja waliiba fedha hizo kutoka katika akaunti ya epa mbali na kesi hiyo pia washtakiwa hao wanakabiliwa na kesi nyingine katika mahakama hiyo kesi hiyo imeahirishwa hadi desemba saba mwaka huu itakapotajwa tena kampuni ya tanzania UNK ltd imeahidi kuhudumia wafanyakazi wake watakaogundulika kuambukizwa virusi vya ukimwi meneja raslimali watu na utawala wa tdl bwana ramadhani njenje alisema amefarijika kuwa asilimia tisini na saba ya wafanyakazi hao wamepima afya zao na kuwahimiza kuendelea na ujasiri huo ni jukumu la kila mfanyakazi kujilinda na maambukizi ya vvu lakini UNK na kukutwa UNK kampuni itamsaidia na UNK siri alisema bwana UNK meneja ufundi wa tdl bibi khadija madowili aliyemwakilisha meneja mkuu alisema mapambano dhidi ya ukimwi sehemu za kazi ni mpango ambao utaendelea kuhamasishwa ili wafanyakazi wote wawe na afya njema bibi madowili katika maadhimisho hayo wafanyakazi hao UNK UNK kuwakumbuka wenzao waliofariki kwa ukimwi na kuzima baada ya kuwaombea dua meneja mauzo wa tdl bwana charles fumbo alisema kiwanda hicho si kama UNK fedha kugharimia mapambano ya ukimwi kwa sababu lengo ni kuhakikisha wafanyakazi wanafanya kazi wakiwa na ari hasa baada ya kujua hali ya afya zao mwenyekiti wa kamati ya uhamasishaji wa mapambano ya ukimwi wa tdl bibi UNK sharrif alisema juzi kuwa ugonjwa huo UNK kama wafanyakazi hao na jamaa inayowazunguka UNK ngono UNK katika maadhimisho hayo wafanyakazi wa tdl walipewa elimu ya kuepuka maambukizi kwa UNK vipeperushi kondomu na kuelimishwa kuepuka UNK chuo kikuu cha st john kimepanga kuanzisha mfuko wa udhamini kwa ajili ya kutoa msaada au mkopo wa ada kwa wanafunzi walioko katika makundi maalumu wanaosoma katika chuo hicho ili kuwawezesha watanzania wengi kutimiza ndoto zao za kuhitimu elimu ya juu ili kutimiza adhima hiyo desemba nane mwaka huu chuo hicho UNK mfuko maalumu wenye lengo la kutoa udhamini kwa wanafunzi wasiokuwa na uwezo ambapo watu mbalimbali watachangia ili kuongeza kiwango cha pesa mbali na UNK na uongozi wa st UNK hayo yalisemwa jana dar es salaam na mkurugenzi wa maendeleo na mipango wa st john bwana UNK benedict alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari juu ya mpango huo wa kuwasaidia wanafunzi wanaosoma katika chuo hicho kama mnavyojua gharama za masomo kwa wanafunzi wa elimu ya juu limekuwa ni suala gumu kiasi mpaka sasa serikali imekuwa ikijitahidi kadri ya uwezo wake lakini haiwezi kumudu UNK watanzania wote lakini tumedhamiria kutoa ushirikiano kwa serikali kwa kuanzisha mfuko huu wa ufadhili kwa wanafunzi mfuko huu wa ufadhili UNK kuwasaidia wanafunzi wanaosoma katika chuo chetu walioko katika makundi maalumu ya walemavu maskini wa kipato wale wanaotoka katika jamii zilizoko nyuma ki elimu na wanawake ili kuleta usawa wa kijinsia alisema bwana benedict bwana benedict alisisitiza kuwa watanzania mbalimbali wanapaswa kuwa wadau wa elimu wanapaswa kuziba mwanya UNK na serikali katika kudhamini wanafunzi hivyo UNK kujitokeza kuchangia katika mfuko huo kama wanavyofanya katika masuala mengine ya kijamii kwa upande wake afisa habari wa chuo hicho bwana karim meshack alisema wameamua kuanzisha mfuko huo wa udhamini kwa wanafunzi baada ya kugundua kuwa wanafunzi kati ya asilimia tano kumi wanashindwa kumaliza masomo yao chuoni hapo kwa kukosa karo kama chuo tayari tumeweka fungu kwa ajili ya mfuko huo kwa sababu hauwezi kuomba msaada wa UNK bila kuwa na kiasi fulani tunategemea mfuko huu uanze kufanya kazi januari mwakani alisema bwana meshack hafla ya uchangiaji na uzinduzi wa mfuko huo inayotarajiwa kuhudhuriwa na watu mbalimbali itafanyika mkoani dodoma ambako ndiko yaliko makao makuu ya chuo hicho serikali imepanga kuhamishia huduma za mfuko wa afya ya jamii na ule wa utaratibu wa tiba kwa kadi kuwa chini ya mfuko wa bima ya afya nhif katika bajeti ya mwaka ujao wa fedha ili kuimarisha mifuko hiyo na kuiwezesha kuhudumia watu wengi kwa ufanisi mganga mkuu wa wizara ya afya na ustawi wa jamii daktari deo mtasiwa aliyasema hayo dar es salaam jana wakati akizungumza na ujumbe wa watu kumi na moja wakiwemo mawaziri wabunge wakurugenzi wa idara ya fedha uchumi mipango na sheria kutoka uganda daktari mtasiwa alisema kuwa lengo ujumbe huo ambao unaongozwa na waziri wa afya wa uganda daktari UNK richard ni kujifunza kwa tanzania jinsi gani UNK bima ya afya nchini mwao alisema kuwa mwaka ishirini sifuri moja mfuko wa afya ya jamii ambao kwa sasa huko chini ya wizara ya afya na ustawi wa jamii ulianzishwa ili kutoa huduma ya afya hasa vijijini ambapo ule wa tiba kwa kadi ulianzishwa mijini ambako kuna mwingiliano wa watu wengi alisema tatizo kubwa ambalo UNK mifuko hiyo ni UNK usiokuwa imara na tatizo la upatikanaji wa dawa ambapo wananchama walikuwa wakienda hospitali lakini hawapati huduma UNK na michango yao lakini kwa sasa matatizo hayo UNK ila tatizo lingine lililopo ni juu ya ongezeko kubwa la wanachama wapya ukilinganisha na kasi ya utoaji huduma alisema alisema kuwa lengo la serikali ni kuhakikisha kwamba kila mtu anajiunga na mfuko huo na kwamba wataweka utaratibu kwa wazee na watu wasiojiweza kifedha kupatiwa kadi za kutibiwa bure akizungumzia ujumbe huo wa uganda daktari mtasiwa alisema kuwa aliueleza namna ambavyo tanzania ilianzisha mfuko huo changamoto UNK nazo na jinsi ambavyo na wao wanatakiwa kukabiliana nazo pindi UNK daktari mtasiwa aliwashauri pia kuangalia ni jinsi gani UNK kiwango ambacho kila mwananchi ataweza UNK daktari richard alisema kuwa wizara yake ina mchakato wa kuanzisha bima ya afya na tayari UNK muswada wa sheria bungeni mwaka ishirini sifuri sita wa kutaka kuanzishwa kwa mfuko huo na wanatarajia sheria hiyo kuanza kazi mwakani alisema kuwa yeye na ujumbe wake umekuja tanzania kwa lengo la kujifunza namna ya kufanya mchakato wa kuanzisha mfuko wa bima ya afya nchini mwao ili watakaporudi waweze kuhamasisha wananchi na kuishauri serikali namna ya kuanzisha mfuko huo nchi UNK bonde la mto nile zinatarajia kuadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa kwa ushirikiano baina yake desemba sita hadi nane mwaka huu ili kujadili mafanikio na changamoto wanazokabiliana nazo maadhimisho hayo yatafunguliwa na UNK wa rais daktari ali mohamed shein jijini dar es salaam na baada ya hapo majadiliano ya jumla ya jumla juu matumizi ya bonde hilo kwa ajili ya nishati kilimo na rasilimali za maji UNK nchi UNK kwenye ushirikiano huo ni kenya ethiopia UNK burundi uganda drc djibout na tanzania UNK maadhimisho hayo katibu mkuu wa wizara ya maji na umwagiliaji bwana christopher sai alisema jana kuwa kuwa watu hamsini sifuri wakiwamo mawaziri wa maji watalaamu mashirika ya umma binafsi na mabalozi kutoka nchi mbalimbali watashiriki alisema majadiliano hayo UNK na watalaamu wa kimataifa waliobobea katika masuala ya rasilimali za maji ili yaweze kutumika kwa usawa bila ya nchi moja kuona ina UNK zaidi ya kutumia zaidi ya nyingine ushirikiano wa nchi za bonde la mto nile ulianzishwa dar es salaam february ishirini na mbili elfu moja na mia tisa na tisini na tisa na sasa UNK miaka kumi mwaka huu ambapo kwa sasa kupitia maadhimisho haya tutakuwa na fursa nzuri ya kujadili na kuleta mahusiano mazuri zaidi katika utumiaji wa maji hayo tofauti na ilivyokuwa huko nyuma alisema bwana UNK akifafanua zaidi alisema majadiliano hayo UNK katika kupanga njia za matumizi ya maji hayo kwa usawa uanzishaji wa miradi ya pamoja utunzaji wa mazingira na vyanzo vya UNK hilo alisema mto nile ni wa pili kwa urefu duniani baada ya UNK wa america kusini ukiwa na urefu wa kilomita sita sabini sifuri watu milioni mia moja na sitini hutegemea maji yake kwa jili ya kilimo nishati kunywa na matumizi mbalimbali bwana sai alisema tanzania kwa sasa inatarajia kutumia maji ya mto nile kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji ukiachilia mbali mradi wa maji ya ziwa victoria ili kuongeza uzalishaji katika kilimo zikiwa zimesalia siku ishirini na nane kabla ya muda wa usajili wa namba za simu za mkononi kumalizika imefahamika kuwa simu zilizosajiliwa zimefikia milioni tano kati ya milioni kumi na tano na kufanya zile ambazo bado kuwa milioni kumi mkurugenzi mkuu mamlaka ya mawasiliano nchini professa john nkoma alibainisha hayo dar es salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari kuelezea maandalizi ya mkutano wa tisa wa wadau wa sekta ya utangazaji nchini unaotarajia kufanyika desemba nne mwaka huu professa nkoma alisema mpaka sasa namba zilizosajiliwa na kuingizwa katika mtandao ni milioni tano na kuongeza kuwa idadi hiyo inaweza kuongezeka baada ya namba zote zilizosajiliwa kuingizwa kwenye mtandao shughuli ya kusajili namba hizo inafungwa mwishoni mwa mwezi huu baada ya kudumu kwa miezi sita na baada ya hapo namna zote ambazo zitakuwa hazijasajiliwa zitafungwa huku kila atakayekuwa UNK laini mpya atalazimika kusajili papo hapo kuhusu mkutano wa wadau wa sekta ya utangazaji profesa nkoma alisema utajadili makakati wa kuhama kutoka katika mfumo wa UNK kwenda dijitali ambapo wadau mbalimbali watapata fursa ya kutoa mchango wao UNK kufanikisha azma hiyo mkutano kama huu wa kila mwaka umekuwa UNK wamiliki na viongozi waandamizi kutoka vituo vya televisheni na redio hapa nchini na kualika wataalamu kutoka nje kuelezea uzoefu walionao alisema professa nkoma alisema baada ya kutangaza zabuni ya kurusha matangazo katika mfumo wa dijitali kampuni tatu zimeshinda zabuni hiyo ambapo kampuni moja wapo UNK leseni ya kuanza kurusha matangazo hayo baada ya mchakato kukamilika alizitaja kampuni hizo kuwa ni star media yenye ubia na shirika la utangazaji tanzania na star communication basic UNK ltd yenye ubia na kampuni za ipp media sahara communication na kampuni ya agape UNK yenye ubia na kampuni nyingine mbalimbali mfumo wa matangazo kwa njia ya UNK unalenga kuboresha programu na masafa ya utangazaji ambapo mpaka kufikia juni kumi na sita mwaka ishirini moja tano matangazo yote ya redio na televisheni UNK kwa mfumo huo kupitia kampuni moja UNK dhamana hiyo wakati huo huo tcra imebaini kuwepo kwa kampuni inayotoa huduma ya mawasiliano kupitia mtandao wa UNK bila kibali cha mamlaka hiyo katika wilaya ya loliondo na kuahidi kuchukua hatua za kisheria pale uchunguzi utakapokamilika hata hivyo hakuitaja kampuni hiyo kwa madai kuwa kufanya hivyo ni kukiuka sheria ya utangazaji kwa kuwa uchunguzi bado unaendelea wakati baadhi ya wakazi wa mpwapwa dodoma waishio dar es salaam wamemtaka mbunge wa jimbo hilo bwana george lubeleje kutogombea nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa ishirini moja sifuri kwa madai ameshindwa kuleta maendeleo katika kipindi cha miaka ishirini yeye amesema hayo ni mawazo yao na mchezo wa siasa wakizungumza na majira dar es salaam juzi mwenyekiti wa umoja huo bwana jeremia chakwe amesema azimio hilo UNK hivi karibuni katika kikao chao kilichofanyika manzese UNK top dar es salaam na kuhudhuriwa na watu mia mbili na hamsini bwana chakwe alisema katika kipindi cha miaka ishirini bwana lubeleje akiwa mbunge wa jimbo hilo ameshindwa kuleta maendeleo kwa wapiga kura ambao walimchagua wakiwa na imani kuwa angeweza kumaliza matatizo yao ya msingi na kuharakisha maendeleo katika jimbo hilo madai ambayo UNK mbali na mbunge huyo akisema kuna maendeleo makubwa jimboni humo akizungumza na majira kwa simu jana bwana lubeleje alisema kikundi cha watu wachache hakina uwezo wa kumshawishi UNK tena nafasi hiyo kutokana na ukweli kwamba jimbo hilo limepiga hatua kubwa ya maendeleo tofauti na madai yanayotolewa na umoja huo hiki ni kipindi kigumu kwa wanasiasa hasa waliofanya mambo makubwa ya maendeleo katika majimbo yao ya uchaguzi jimbo langu la mpwapwa lina zaidi ya wakazi sitini sifuri sifuri sifuri ambao wamekuwa UNK siku hadi siku lakini bado nimefanikiwa kumaliza kero za wananchi wengi wa jimbo langu alisema bwana UNK alisema mbali ya changamoto hizo za kisiasa suala zima la miundombinu ya barabara jimboni maji afya na sekta elimu UNK na kuimarishwa zaidi ambapo jimbo hilo lina jumla ya shule za sekondari ishirini na sita anaongeza kuwa ni haki ya kikatiba ya kila mwananchi kugombea ubunge katika jimbo analotaka ambapo wapiga kura ndio uamuzi wa kumchagua kiongozi wanayemtaka bwana lubeleje aliongeza kuwa hivi sasa kuna mradi mkubwa wa maji uliopo mpwapwa mjini UNK shilingi bilioni nne saba ambao utekelezwaji wake umekamilika kwa asilimia sabini na unatarajiwa kukamilika aprili ishirini moja sifuri mradi huo unafadhiliwa na shirika moja la ufaransa kutokana na juhudi zake pamoja na serikali maelezo hayo ya bwana lubeleje yanaonekana si lolote kwa bwana chakwe UNK wapiga kura katika jimbo la mpwapwa wameanza kuichukia ccm kwa sababu mbunge wake ameshindwa kutatua kero zao kama kuboresha miundombinu ya barabara huduma bora za afya katika hospitali za kata umeme na maji ambayo ni tatizo la muda mrefu linalokwamisha ustawi wa maendeleo ya wananchi alisema bwana UNK alisema ili imani ya wapiga kura iweze kurudi kwa chama hicho na jimbo hilo kuendelea kushikiliwa na ccm bwana lubeleje anapaswa kutumia UNK kutangaza kutogombea katika uchaguzi mkuu ujao ili kupisha wagombea wengine wenye nia na uwezo wa kutatua kero za wananchi katika kipindi kifupi alisema tamko la umoja huo UNK malalamiko ya wananchi wa jimbo hilo dhidi ya mbunge wao kwa madai ya kushindwa kutatua kero za msingi na kumtaka aige mfano wa mbunge wa dodoma mjini bwana ephraim madeje ambaye ametangaza kutogombea tena nafasi hiyo nchi za afrika zimetakiwa kuwa na msimamo mmoja kabla ya kufanyika kwa mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi copenhagen denmark wiki mbili zijazo ili UNK nchi tajiri UNK hali ya hewa kauli hiyo ilitolewa dar es salaam jana na waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais daktari batilda burian wakati akifungua mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi dar es salaam alisema kuwa nchi za afrika zinatakiwa ziwe na msimamo mmoja ili ziweze kubana nchi tajiri zinazozalisha hewa ya ukaa kabla ya mkutano mkutano huo ili kukabilina na hali hii ya mabadiliko ya tabia nchi wananchi pamoja na jamii wanatakiwa kutunza mazingira kwa kupanda miti na kuacha UNK mifugo mingi kupita kiasi katika eneo alisema daktari burian alisema kuwa tayari serikali UNK dola za marekani milioni tatu tano kwa ajili ya kujenga ukuta wa mto pangani na wakazi wa pwani walioathiriwa na maji ya chumvi yanayosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi pia alisema wamepokea dola za marekani milioni tatu kutoka japani kusaidia meneo ya longido pwani na njombe kukabilina na tatizo hilo alisema euro UNK mbili mbili zitasaidia kujenga vituo katika vijiji sita tanzania bara na visiwani ili wananchi waweze kupatiwa elimu jinsi ya kutunza mazingira na kukabiliana na tatizo la mabadiliko ya hali ya hewa serikali imetoa onyo kali kwa wakazi na wafanyabiashara katika eneo la wilaya ya ilala wanaoendelea kukiuka sheria na taratibu za utunzaji wa mazingira kuwa hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao uamuzi huo wa kuwachukulia hatua kali za kisheria umefikiwa baada ya kipindi cha elimu ya utunzaji wa mazingira kuisha huku kukiwa hakuna mabadiliko ya kuridhisha hata katikati ya jiji la dar es salaam mkuu wa wilaya ya ilala bwana evans balama alivieleza vyombo vya habari hatua zinazochukuliwa na serikali ya wilaya yake kuzuia uchafuzi wa mandhari ya mji na kujikinga na ugonjwa hatari wa kipindupindu wananchi waache tabia ya uchafu tabia ya kula au kunywa vitu na kutupa tupa ovyo watu wanakula maembe machungwa ndizi miwa na kisha wanatupa barabarani wengine wanauza vyakula sehemu ambazo hazijathibitishwa na wataalamu wa afya tunawataka kuanzia sasa wafuate taratibu za manispaa ya ilala tumetoa elimu vya kutosha UNK waache mazoea hayo UNK kuwa watasikia sasa muda huo umekwisha wote wanaokiuka tutawafikisha mbele ya sheria UNK wakitamba na kuidharau serikali kuwa haitafanya jambo lolote kwa kuwa wamezoea kusikia ikisema bila kuchukua hatua alisema bwana balama bwana balama alisema kuwa hatua hizo za kisheria pia UNK watumishi wazembe wa manispaa ya ilala ambao kwa namna moja au nyingine wamekuwa chanzo cha kuendelea kwa uchafuzi wa mazingira ya mji alisema anao ushahidi jinsi wafanyakazi wa manispaa hiyo UNK katika kuvunja kanuni za usafi na kuwaruhusu wafanyabiashara kuendelea kufanya shughuli zao katika maeneo yasiyoruhusiwa hivyo amewataka kuacha mara moja na kuwataka kila mmoja atimize majukumu yake kadri UNK UNK nimezungumza leo asubuhi na wenzetu wa manispaa kwa kweli tumeazimia kuwa kila mmoja UNK sehemu ya kufanyia kazi ili UNK sehemu hiyo ni chafu na hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa basi mtumishi huyo anapaswa kuwajibika akizungumzia hatari ya mvua za el nino alisema pia nitumie fursa hii kuwakumbusha wale wenzetu wanaokaa mabondeni kama jangwani na wale UNK kandokando ya mifereji kuhama mara moja ili kujiepusha na athari zinazoweza kujitokeza pindi mvua kubwa UNK UNK sakata la wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania la kudai mshahara wao wa mwezi novemba mwaka huu limefikia hatua ya kutangazwa mgomo nchini nzima sambamba na kusitisha huduma ya usafirishaji wa abiria na mizigo mgomo huo ambao UNK kutangazwa jana ulitokana na kauli ya mkurugenzi mtendaji wa trl bwana hundi al UNK kwa katibu wa chama cha wafanyakazi wa reli bwana UNK rwegasira kuwa hana matarajio ya kuwalipa mshahara wao jana kutokana na kauli hiyo bwana rwegasira aliwaeleza wafanyakazi ambao walipendekeza mkurugenzi huyo afunge virago na kuondoka kuelekea kwa watetezi wake waliotajwa ni wizara ya miundombinu ujumbe huo UNK kwake UNK lakini akaomba usalama wa menejimenti yake na magari yao matano wakati wa kutoka ndani ya ofisi zao baada ya juzi magari hayo kutolewa upepo na wafanyakazi baada ya maelezo hayo shangwe vigelegele na nyimbo zilitawala kwa kwa wafanyakazi ambao walijipanga mistari miwili kutoka ofisi hizo hadi barabara ya stesheni mtaa wa algeria UNK mbwembwe za wafanyakazi hao ziliendelea kwa kuyapamba magari kwa matawi ya miti na karatasi za zawadi na kuwekewa msalaba mkubwa UNK UNK ishirini sifuri saba kufariki ishirini sifuri tisa na utazikwa leo miundombinu au kesho india muda mfupi kabla ya safari kuanza huku kukiwa UNK mchango wa kununuliwa kufuli za kufunga mageti ghafla kamanda wa polisi kikosi cha reli bibi ruth makelemo alifika na kundi la askari na kuzuia msafara huo na kuwataka viongozi hao wa trl kurejea ofisini kwa maelezo zaidi bibi ruth aliwakutanisha trawu na menejimenti ya trl na kuelezwa kilichojiri hadi kufikia uamuzi huo ambao hakukubaliana nao na kusema ni kinyume cha sheria kuwaondoa bila kibali chochote kutoka wizarani alisema kuwa moja ya matatizo ambayo yangetokea kwa wakati huo ni mengi yakiwemo usalama duni kupotea kwa nyaraka za kampuni kukiuka sheria za mkataba na hata yeye asingepata cha kueleza kama kamanda wa reli viongozi wa trawu walianza kujibizana na kamanda huyo na yeye akatishia kutumia dola kuwatawanya ndipo bwana rwegasira alipotangaza rasmi mgomo nchi nzima huku akimpa masharti likiwamo la kufuatilia mishahara yao hadi UNK benki kuunganisha mabehewa na vichwa vyake ulinzi wa mali za kampuni kuhakikisha mkono wa heri kwa wafanyakazi UNK pia walimtaka kamanda huyo ambaye alizomewa na kuambiwa amepewa rushwa kuwatangazia kupitia vyombo vya habari kuwa mkataba umevunjwa ndipo watakaporejea kazini baada ya hapo bwana rwegasira aliwasiliana na vituo vyote vya treni nchini kusitisha huduma ya usafiri hapo hapo walipo ikiwemo treni UNK dar es salaam juzi saa kumi na moja jioni kwenda kigoma ambayo UNK kituo cha manyoni na grace michael upelelezi wa kesi inayomkabili mkurugenzi wa kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ya richmond tanzania bwana naeem gire ya kutoa taarifa za uongo kuhusiana na kampuni hiyo bado haujakamilika hatua hiyo ilijulikana jana mahakama ya hakimu mkazi mbele ya hakimu mkazi bibi warialwande lema wakati kesi hiyo UNK upande wa mashitaka uliokuwa ukiongozwa na wakili wa serikali bwana timoth vitalis uliiambia korti kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika hivyo ipangwe tarehe ya kutajwa wakati upande huo ukiendelea na uchunguzi zaidi kutokana na maombi hayo kesi iliahirishwa mpaka mei ishirini na sita mwaka huu awali mshitakiwa alifikishwa mahakamani hapo akidaiwa machi kumi na tatu ishirini sifuri sita kinyume cha sheria alighushi hati inayompa nguvu kisheria akionesha imetolewa na mwenyekiti wa kampuni hiyo wa marekani bwana mohamed gire UNK kuendesha shughuli za kampuni hiyo hapa tanzania alidaiwa kuwa kwa makusudi akiwa tanesco ubungo aliwasilisha hati UNK inayompa mamlaka ya kuendesha shughuli za kampuni hiyo anadaiwa kutoa taarifa za uongo kwa watumishi wa umma ambao walikuwa ni wajumbe wa bodi ya tenda kuwa richmond ilikuwa na uwezo wa kuzalisha megawati kumi sifuri za umeme kwa lengo la kuwashawishi wajumbe hao kuichagua kampuni hiyo pia anadaiwa kutoa taarifa za uongo kwa timu ya majadiliano ya serikali ambao ni watumishi wa umma kuwa kampuni ina uwezo wa kuzalisha umeme kwa lengo la kutoa ushawishi ili iweze kuidhinisha kampuni hiyo kufanya biashara hiyo hapa nchini katika shitaka la mwisho mshitakiwa alidaiwa juni ishirini sifuri sita akiwa dar es salaam aliwasilisha hati iliyosainiwa na bwana gire wa nchini marekani ikionesha kumpa mamlaka ya kuendesha biashara za kampuni ya richmond hapa nchini umoja wa mataifa umetoa taarifa rasmi kuhusu ripoti UNK tanzania kuwasaidia waasi wa jamhuri ya kidemokrasia ya watu wa congo kuwa UNK wakati haijachapishwa rasmi pia umoja huo UNK na ripoti hiyo UNK kuwa ilitolewa na jopo la wataalamu walioteuliwa na kupewa mamlaka ya kutafiti iwapo maamuzi ya UNK vikwazo vikundi vya waasi vilivyoko drc UNK taarifa ya un UNK gazeti hili jana ilisema ripoti hiyo haipaswi kuhusishwa moja kwa moja na sekretarieti ya un wala mashirika yake yaliyopo nchini bali UNK na jopo hilo chini ya mwenyekiti wa kamati ya vikwazo vya drc ambayo kwa sasa inaongozwa na uturuki taarifa hiyo iliyosainiwa na afisa habari wa un bibi UNK UNK imekuja siku chache baada ya waziri wa mambo ya nje bwana bernard membe kutoa tamko la kulaani ripoti hiyo kwamba ni ya uongo na kuitaka un kuiomba radhi tanzania ufafanuzi huo wa un unamaanisha kuwa bwana membe alilalamikia taarifa hiyo kabla ya kuchapishwa wala kujadiliwa na baraza la usalama la umoja huo hivyo kuondoa uhalali wake tayari chama cha demokrasia na maendeleo kimetoa tamko la kumkosoa bwana membe UNK kujibu hoja moja moja na kuwaacha waliotajwa katika taarifa hiyo kuwajibika badala ya kufunika kombe UNK apite hata hivyo pamoja na un kujitenga na ripoti hiyo imesema baada ya kukamilika itajadiliwa na baraza lake la usalama kundi hilo wa wataalamu limekuwa likitoa taarifa mara kwa mara juu ya utafiti wao kuhusu masuala ya vikwazo vya silaha huko drc ripoti ya sasa ambayo imezua mjadala katika vyombo vya habari haijachapishwa wala kupitishwa rasmi ingawa hatua hiyo itafanyika hivi karibuni kwa hiyo kikundi hicho cha wataalamu UNK mamlaka ya kufanya utafiti wa mara kwa mara na kutoa mapendekezo katika taarifa ambayo UNK na kamati ya vikwazo na baraza la usalama ambako kikundi hicho kinawajibika ilisomeka sehemu ya taarifa hiyo ya un nchini huku UNK kuwa wataalam hao UNK muda wao wa kufanya kazi kwa mwaka mzima un inafanya kazi kama kitu kimoja kwa UNK idara mifuko mashirika na mipango mbalimbali bado kuna umuhimu wa kutofautisha kati ya mihimili ya utendaji kama baraza la usalama na ile inayohusika na utekelezaji wa sera kama vile sekretarieti ya un na mashirika yake yaliyoko nchini UNK na serikali katika shughuli za kimaendeleo ilisema taarifa hiyo na zahoro mlanzi kocha mkuu wa timu ya yanga kostadic papic anatarajia kupata kikosi cha kwanza cha timu yake mara baada ya kuwasili kwa wachezaji wake kumi waliopo katika mashindano ya kombe la chalenji yanayoendelea nchini kenya mbali na hilo yanga imesema mpaka jana mchana mshambuliaji wao raia wa kenya boniface ambani UNK nchini kujiunga na wenzake kujindaa na mzunguko wa pili wa ligi kuu ya tanzania bara na mashindano ya kombe la tusker akizungumza na gazeti hili dar es salaam jana msemaji wa timu hiyo UNK sendeu alisema timu yao inaendelea vizuri na maandalizi ya ligi kuu pamoja na kombe la tusker ila mpaka sasa papic hana wachezaji wa kikosi kwanza alisema kukosekana kwa wachezaji kumi ambao wana UNK na mataifa yao katika chalenji ndio sababu kubwa UNK kupata kikosi cha kwanza hivyo inabidi UNK mpaka mashindano UNK unajua kwa sasa UNK vigumu kocha wetu papic kupata kikosi cha kwanza kama unavyojua wachezaji wetu karibu kumi wapo kwenye chalenji hivyo UNK na kazi ya ziada kupata timu itakayoanza maana UNK wachezaji wote wapo fiti huko alisema sendeu mbali na hilo alizungumzia hatma ya UNK ambapo alisema mpaka jana mchana hana taarifa yoyote ya mchezaji huyo kama amekuja au la ila kwa mujibu wa mawasiliano waliyofanya ilitakiwa awasili juzi kuhusu ambani mpaka leo hii mchana hajafika ila kwakuwa siku haijaisha labda anaweza kuja jioni lakini mpaka sasa sina taarifa UNK kuhusu yeye mimi ninachojua alitakiwa aje jana alisema sendeu wakati huohuo sendeu alisema UNK kwa hamu kubwa matokeo ya uchaguzi wa viongozi wa tawi la yanga mkoani mwanza kwani uchaguzi huo unafanywa kwa mujibu wa katiba yao timu za majeshi ya tanzania UNK medali mbili za dhahabu baada ya wanariadha wake sarah UNK na francis UNK kumaliza mbio za nusu marathon zilizofanyika juzi blantyre nchini malawi timu hiyo ambayo ipo nchini humo kushiriki mashindano ya jumuiya ya majeshi kwa nchi za kusini mwa afrika imekwenda na timu ya riadha soka na mchezo wa UNK ambapo jumla ya nchi kumi na mbili zinashiriki mashindano hayo kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari dar es salaam jana na mkurugenzi wa michezo wa jeshi la polisi tanzania jonas mahanga alisema medali hizo wamezipata kwa upande wa wanawake na wanaume alisema kwa upande wa wanawake nafasi ya pili ilikwenda kwa UNK william wa tanzania nafasi ya tatu ilikwenda kwa mzimbabwe nafasi ya nne ilikwenda kwa zambia na nafasi ya tano ilikwenda afrika kusini alisema kwa upande wa wanaume nafasi ya pili ilikwenda kwa mzimbabwe nafasi ya tatu ilichukuliwa na daniel sumuni wa tanzania nafasi ya nne imekwenda kwa paul sumaye wa tanzania na nafasi ya tano ilikwenda kwa UNK michuano hiyo UNK nchi za malawi zambia msumbiji lesotho zimbabwe swaziland botswana namibia afrika kusini tanzania na mauritius na kulwa mzee shahidi wa tisa upande wa mashitaka bwana dotto ally amedai aliwaona majambazi maeneo ya ubungo mataa wakiwa UNK gari nyeupe huku UNK risasi na aliwatambua baada ya kumvamia na kumpora gari bw ally alidai hayo jana mahakama kuu ya tanzania mbele ya jaji projest rugazia alipokuwa akitoa ushahidi katika kesi ya mauaji yaliyotokea ubungo dar es salaam aprili ishirini ishirini sifuri sita alidai siku ya tukio akiwa na gari aina ya toyota UNK eneo la ubungo mataa aliona gari aina ya UNK likiwa UNK na watu huku UNK risasi hali hiyo ilimfanya UNK gari na kurudi maeneo ya buguruni alikotoka aliamua kuruka UNK ili kukimbia risasi zilizokuwa UNK alifanikiwa lakini alipofika tabata UNK alilazimishwa kusimama shahidi alidai aliona gari ndogo kushoto kwake watu waliokuwa ndani ya gari hilo UNK kusimamisha lake katikati ya barabara na kwa kuwa walikuwa wameshika bunduki UNK mwingine alimtoa nje ya gari aliwataja washitakiwa hao kuwa ni wa nane yasini juma aliyevunja kioo kwa kitako cha bunduki na wa kumi na moja mt elfu sabini na saba na mia saba na hamsini na nne pte nazareth amulike UNK mke wa bosi wake akiwa kifua wazi akihojiwa na wakili wa utetezi bwana majura magafu kuhusu usahihi wa mahali UNK maelezo yake baada ya tukio alidai ni kituo cha urafiki bwana magafu UNK mwisho wa maelezo yake inaonesha alitoa kwa ocd ilala na si urafiki bwana ally alidai hayo ni makosa ya aliyekuwa UNK washitakiwa katika kesi hiyo ni mashaka mahenge rashid lembresi john mndasha martine mndasha philipo mushi jackson wangu haji hamisi yasin juma hamisi mjata musa mustafa mt elfu sabini na saba na mia saba na hamsini na nne pte nazareth amulike wickliff angaruki rashid abdikadiri james chamangwana na hussein iddi inadaiwa aprili ishirini ishirini sifuri sita maeneo ya ubungo mataa dar es salaam washitakiwa walimuua aliyekuwa mfanyakazi wa nmb tawi la wami morogoro evarist manyoni na mashitaka ya pili walimuua kwa makusudi askari d elfu sita na mia tatu na sitini na moja pc abdallah maro kesi itaendelea kesho wafanyabiashara wa viazi UNK katika wilaya ya njombe mkoani iringa wameiomba serikali kupitia wizara ya kilimo chakula ushirika na masoko nchini kuwatafutia soko la zao hilo baada ya masoko kukataa ujazo ambao UNK na idara ya vipimo mkoani hapa wakizungumza na majira wafanyabiashara hao walisema kufuatia utaratibu uliowekwa na halmashauri ya wilaya hiyo ya kuzuia ujazaji wa gunia kwa mtindo wa lumbesa badala yake wanatakiwa kujaza mtindo wa UNK hali iliyofanya wafanyabiashara kusuasua kununua viazi hivyo bwana jordan mpinge ambaye ni mwenyekiti wa wafanyabishara wa viazi UNK wilayani humo alisema miaka miwili iliyopita kitengo cha vipimo cha serikali UNK marufuku kwa wafanyabishara kujaza gunia na UNK mtindo wa UNK bwana mpinge alisema huo pia umesababisha wakulima kutopata faida kwani wanunuzi wamepungua tofauti na awali hali inayochangia kurudisha nyuma maendeleo yao ikiwa ni pamoja na kukosa soko la uhakika kama ilivyozoeleka alisema athari wanazopata kutokana na kutii kwa amri iliyotolewa na watu wa vipimo kutoka mkoani wafanyabiashara kutoka mikoa ya arusha tanga pamoja nchi jirani ya kenya wamekuwa wakipata soko la uhakika kwani wao bado wangali wanatumia ujazaji wa lumbesa ambao wanunuzi UNK alisema upande wao hulazimika kukaa na mzigo zaidi ya wiki moja katika masoko ya dar es salaamu huku viazi vikiwa ndani ya gari wakisubiri wanunuzi ambao hata hivyo alisema ni wa kubahatisha na kusababisha viazi UNK vikiwa katika magari walitumia UNK mkuu wa mkoa wa dodoma daktari james msekela UNK uongozi wa wilaya ya kongwa kuhakikisha wanasimamia sheria na kanuni za kilimo cha mtama hayo aliyasema jana wakati akizungumza na viongozi wa wilaya hiyo wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani hapa kwa lengo la kukagua shughuli mbalimbali za kimaendeleo hasa kilimo daktari msekela alisema kuwa wilaya ya kongwa ni UNK mwa wilaya ambazo zimepata fursa ya kuwa na zana nyingi za kilimo hivyo ni lazima uongozi wa wilaya kwa kushirikiana na maofisa ugani wakashiriki katika kuendeleza kilimo alisema mtama UNK zaidi dodoma hivyo juhudi nyingi hivi sasa zinaelekezwa katika zao hilo na wakulima wanatakiwa waelimishwe juu ya zao hilo ambalo linastahili katika mazingira ya ukame alisema viongozi wa wilaya hiyo lazima wawe na tabia ya kujifunza kutoka kwa watu wengine lakini pia lazima maofisa ugani nao lazima wajenge tabia ya kuwa na ushindani wajasirimali wenye ulemavu wa aina mbalimbali wamelalamikia bidhaa zinazotoka nje na kudai kuwa UNK soko la ndani hali inayowafanya kudidimia kiuchumi akizungumza kwenye maonesho ya siku ya maadhimisho ya walemavu disemba tatu mwaka huu mlemavu mmoja alisema fenicha za ndani hazipewi kipaumbele ukilinganisha za nje alisema serikali hununua fenicha zinazotoka nje ya nchi ambazo UNK kwa mbao halisi hali inayoleta hasara kwa UNK mimi ni mwanzilishi wa keko fenicha na kazi yangu kubwa ni kuchonga lakini tatizo UNK ni soko fenicha zinazoingia sasa UNK hakuna anayetaka fenicha zetu za mbao halisi ambazo ndio imara alisema bwana salehe UNK maarufu kwa jina la UNK ambaye ni mlemavu wa miguu walemavu wengine walisema kuwa UNK kwao ni tatizo kwani kuna baadhi hawana ofisi hivyo wamekuwa wakiuza bidhaa kama maonesho UNK kwenye warsha na katika makundi mengine ya watu baada ya kukagua mabanda ya wajasiriamali wenye ulemavu mbalimbali mkuu wa wilaya ya ilala bwana evans balama alisema kuwa wafanye juhudi kutengeneza bidhaa bora ili kukabiliana na ushindani wa soko waziri wa nchi ofisi ya rais utawala bora bibi sofia simba amesema bunge haliwezi kusimamia taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini kwa kuwa lina majukumu mengi yaliyo chini yake bibi simba aliyasema hayo dar es salaam jana baada ya kufungua semina ya wadau waliopata ruzuku katika mfuko wa uadilifu uwajibikaji na uwazi bibi simba alisema kuwa kazi ya kutunga sheria ni kubwa hivyo kama taasisi hiyo itakuwa chini yake ni sawa na kuiongezea mzigo haiwezekani kila kitu kiwe chini ya bunge kila taasisi ina majukumu yake na itafanya kazi kama UNK bila kujali mtu yeyote alisema bibi simba kauli ya bibi simba ilitokana na maswali ya waandishi wa habari juu ya mapendekezo ya baadhi ya wadau UNK kongamano la miaka kumi ya kifo cha baba wa taifa mwalimu julius nyerere kutaka taasisi hiyo iwe chini ya bunge wadau hao walitaka takukuru iwe chini ya bunge kwa madai kuwa huenda ikashindwa kuchunguza baadhi ya viongozi wanaoiongoza taasisi hiyo katika utendaji wao wa kazi walidai kuwa takukuru haitaweza kuchunguza mabosi wao kwa kuwa ndiyo vingozi wanaowaongoza hivyo kazi ya taasisi hiyo itakuwa haina maana akizungumzia juu ya maadili ya viongozi bibi simba alisema kila kiongozi na mfanyakazi wa umma anatakiwa kuwa nayo yakienda sambamba na uadilifu serikali inaendelea na UNK kazi yake ya kuhakikisha uwajibikaji wa watumishi wake unakuwa wa hali ya juu japo uadilifu wa watumishi ni hali ya mtu binafsi alisema bibi simba aliwataka wadau waliopata ruzuku katika mfuko wa uadilifu uwajibikaji na uwazi kuzitumia fedha hizo kama ilivyopangwa ili kuelimisha jamii juu ya utawala bora mshitakiwa bwana jonson lukaza anayekabiliwa na kesi ya wizi wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje amekiri kupeleka bot hati ya kutaka kulipwa zaidi ya shilingi bilioni sita akionesha kuwa walihamishiwa deni hilo na kampuni ya marubeni corporation ya japan mshitakiwa huyo alikiri jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu linaloongozwa na hakimu UNK lyimo wakati wakisomewa maelezo ya awali ya mashtaka yanayowakabili yeye na mdogo wake bwana mwesiga UNK mshitakiwa huyo alidai kwamba hana uhakika na tarehe iliyopo katika hati ya mashitaka novemba kumi na nne ishirini sifuri tano pia wote walikiri kwamba ni wakurugenzi wa kampuni inayodaiwa kuhusika ya kernel ltd ya tanzania na wanaishi dar es salaam washtakiwa walikana maelezo mengine yote likiwamo la kukubaliana kuiba fedha bot kutengeneza hati ya kununua deni la zaidi ya shilingi bilioni sita ikionesha kampuni ya kernel UNK deni na kampuni ya marubeni kwa kiasi hicho wakili timony kabla ya kuwasomea maelezo hayo aliwasomea hati mpya ya mashtaka ambapo alidai washitakiwa kwa pamoja wanatuhumiwa kufanya uhalifu kati ya mwaka ishirini sifuri tatu na ishirini sifuri tano katika kesi hiyo washtakiwa wanadaiwa walikula njama kufanya wizi wa zaidi ya shilingi bilioni sita na mshitakiwa wa pili anadaiwa novemba ishirini sifuri tano alighushi hati ya kuhamisha deni ikionesha kampuni ya kernel UNK deni la kisi hicho cha fedha na kampuni ya marubeni wakati si kweli pia inadaiwa novemba kumi na nne ishirini sifuri tano mshitakiwa jonson alipeleka bot hati hiyo ya kughushi ya kuhamisha deni wakitaka kulipwa mashtaka mengine inadaiwa walijipatia kiasi hicho cha zaidi ya shilingi bilioni sita kwa njia ya udanganyifu desemba saba mwaka ishirini sifuri tano kabla kesi kuahirishwa hadi januari sita mwakani itakapotajwa upande wa utetezi uliomba washitakiwa waruhusiwe kusafiri nje ya dar es salaam na mahakama ilikubali kesi hiyo itaanza kusikilizwa mfululizo februari ishirini na mbili hadi ishirini na sita mwaka huo mkazi wa mbagala kibonde maji bwana juma UNK amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya temeke kwa tuhuma za kukutwa na vifaa mia moja na hamsini vya kulipulia mabomu kinyume cha sheria mbele ya hakimu mkazi bibi fatuma kiwanga ilielezwa na mwendesha mashitaka wa polisi bwana UNK kombe kuwa mtuhumiwa alikamatwa novemba ishirini na tisa mwaka huu saa kumi na moja jioni maeneo ya UNK mjimwema dar es salaam akiwa na vifaa hamsini vya kulipulia mabomu pamoja na waya zake pia mshitakiwa inadaiwa alikutwa na vifaa vingine kumi sifuri visivyo na waya na mifuko ishirini na tano ya mbolea aina ya urea inayosadikiwa kutumika kutengenezea milipuko hiyo kinyume cha sheria mshtakiwa alikana makosa hayo na kwenda rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ya kuwa na wadhamini wawili wanaofanya kazi serikalini au katika mashirika UNK na kila mmoja asaini dhamana ya shilingi milioni kumi upelelezi haujakamilika na kesi iliahirishwa hadi desemba ishirini na moja mwaka huu watu wanane wamekufa kwa kipindupindu huku watu mia tano na sitini na nne wakiwa tayari wameugua ugonjwa huo katika wilaya zote za dar es salaam tangu UNK novemba kumi na mbili mwaka huu ugonjwa huo ambao hutokana na uchafu na kuwapata watu wasiozingatia kanuni za afya umeendelea kujichimbia dar es salaam na kuhatarisha maisha ya wakazi wake kaimu mganga mkuu wa jiji daktari hawa kawawa alisema jana kuwa ugonjwa huo kitu ambacho UNK kwa kuwa UNK katika wilaya zote alisema daktari kawawa na kufafanua kuwa hadi jana ilala walikuwa wamefikia wagonjwa mia mbili na hamsini na tatu temeke mia mbili na ishirini na kinondoni tisini na moja pamoja na idadi ya wagonjwa kuongezeka daktari huyo alisema juhudi zinafanyika kuhakikisha mazingira yanakuwa masafi na ugonjwa huo UNK kwa mujibu wa daktari kawawa majengo ya kuishi mia nne na arobaini na sita UNK na kati ya hayo thebathini na sita hayakuwa na vyoo imara hivyo wamechukuliwa hatua za kisheria wakati katika majengo ya kufanyia biashara ndogo ndogo themanini UNK kwa kutofuata kanuni za afya watu hamsini na sita wamefikishwa katika mabaraza ya kata kwa kukiuka sheria na kanuni za afya na kutozwa faini ya kati ya shilingi tano sifuri sifuri sifuri hadi shilingi ishirini na tano sifuri sifuri sifuri kesi iliyofunguliwa na wafanyakazi wa kampuni ya ssb dhidi ya mmiliki wake bwana said salim bakharesa imeingia katika sura mpya baada ya wakili wa mdaiwa kuieleza mahakama ya kazi kuwa mteja wake hawatambui wafanyakazi hao akitoa hoja hiyo dar es salaama jana wakili huyo bwana issa maige alisema kuwa wadai hao hawana ajira kwa mdaiwa na kuongeza kuwa waliingia mkataba na kampuni ya nasoro ltd kwa upande wa wafanyakazi uliowakilishwa na wakili bwana thadei UNK ulipinga hoja hiyo na kudai kuwa washtakiwa wana mkataba na bwana bakharesa na kuwa hata vitambulisho vyao UNK na UNK hakimu anayesikiliza kesi hiyo bwana rweyemamu aliwataka mawakili hao wakae pamoja ili UNK na kupeana baadhi ya vielelezo ambavyo vitasaidia katika uendeshaji wa kesi hiyo wafanyakazi hao UNK na kumtaka wakili aliyekuja UNK bwana bakharesa kuwa mstaarabu baada ya hakimu kumtaka asome baadhi ya vielelezo vinavyoonesha madai ya wafanyakazi hao na yeye kudai hakuwa na muda haiwezekani wakati sisi UNK kazini wewe unadai huna muda wa UNK vielelezo na kudai kuwa UNK UNK wewe kwani wewe ni nani alihoji haji jongo mmoja wa wafanyakazi mahakama hiyo ilishindwa kutaja tarehe ya kusikilizwa kesi hiyo baada ya kuona wafanyakazi hao UNK na kudai kuwa mawakili hao wafike ijumaa UNK tarehe ya kusikilizwa wafanyakazi hao walifungua kesi hiyo machi mwaka huu ya kumlalamikia bwana bakharesa kuwakataza kufungua tawi la wafanyakazi kiwandani kwake na kukataa kuwatambua kama waajiriwa katika kampuni yake wakati wengi wao UNK zaidi ya miaka kumi upande wa mashitaka katika kesi inayomkabili mkurugenzi wa kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura richmond tanzania bwana naeem gire umetakiwa kukamilisha upelelezi au kueleza hatua gani umefikia februari kumi mwakani hakimu anayesikiliza kesi hiyo katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu bibi UNK lema alifikia hatua hiyo baada ya upande wa utetezi kulalamikia taarifa za kutokamilika kwa upelelezi zinazotolewa na upande wa mashtaka kila siku ya kesi kesi hiyo ilitajwa jana na upande wa mashtaka ukiongozwa na wakili wa serikali bwana timony vitalis ulidai UNK haujakamilika na hivyo kuomba kesi UNK kutokana na ombi hilo wakili wa utetezi bwana alex mgongolwa aliiomba mahakama kutoa ahirisho la mwisho kwa upande wa mashitaka ili siku inayofuata wawasilishe taarifa ulipofikia upelelezi kwani wamechoshwa na kila siku upelelezi bado hakimu lema alisema anatoa ahirisho la mwisho na siku ya kesi upande wa mashtaka UNK kama upelelezi umekamilika au la uwasilishe taarifa ya upelelezi UNK kesi hiyo iliahirishwa hadi februari kumi mwakani bwana gire alifikishwa mahakamani hapo akikabiliwa na mashitaka manne yakiwemo ya kughushi kuwasilisha hati ya uongo na kutoa taarifa za uongo kuhusiana na richmond jeshi la polisi UNK na kuanza kuwasaka upya watuhumiwa wa mauaji waliotoroka mkono wa sheria baada ya kudaiwa kuwaua wafanyabiashara wa madini wa mahenge na dereva teksi mmoja wa manzese dar es salaam katika utekelezaji wa zoezi hilo polisi wamesema watatangaza upya picha za watuhumiwa hao akiwamo saad UNK ambaye alidaiwa mahakamani kuwa ndiye UNK risasi wakati wa mauaji hayo wengine ni frank mbutu na james UNK mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai robert manumba alisema hayo jana dar es salaam katika mkutano wa mkuu wa polisi nchini igp said mwema na waandishi wa habari kuhusu masuala mbalimbali likiwamo la hatima ya watuhumiwa hao na kibarua cha aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana abdalah zombe mpaka sasa upelelezi bado unaendelea tunataka kuzitoa tena upya picha katika vyombo vya habari tunaomba wananchi wenye taarifa za watuhumiwa hao watoe taarifa ili waweze kuchukuliwa hatua alisema kauli hiyo ya dci imekuja wakati kuna agizo la mahakama kuu lililotolewa kwenye hukumu ya jaji salum masati kuwa polisi waendelee kuwatafuta UNK hasa wa mauaji hayo huku UNK akina zombe na UNK wanane kuwa hawakuwa na hatia tayari serikali imekata rufaa kupinga hukumu hiyo akifafanua juu ya watuhumiwa hao dci manumba alisema kuwa wahalifu waliokimbia ndio hasa wanahusika katika mauaji hayo na kwamba pindi UNK ndipo ukweli kamili wa mauaji hayo UNK akizungumzia hatima ya kibarua cha bwana zombe dci alisema UNK wakati UNK huru na mahakama UNK kurudi kazini kwa kutokuwa na hatia lakini bwana zombe aliomba kustaafu na wakati ombi linashughulikiwa ngazi za juu rufaa UNK dhidi yake alisema kuwa wanachosubiri sasa ni rufaa na baadaye hatima yake katika utumishi UNK mtoto pacha aliyenusurika kuzikwa akiwa hai baada ya kuzinduka muda mfupi kabla ya kuingizwa UNK amekufa mtoto huyo ambaye alikuwa na umri wa siku moja aliibua hisia nzito kwa familia ya ally athuman baada ya madaktari wa hospitali ya temeke kudaiwa kuruhusu mazishi ya watoto wawili ambao ni mapacha lakini UNK UNK UNK hai mtoto huyo alishangaza UNK baada ya kuonyesha dalili za uhai na kuamua kumkimbiza hospitali ya taifa muhimbili ambako jana asubuhi alifariki dunia watoto hao mapacha UNK na mama aitwaye aisha jabir mkazi mbagala maji UNK ambaye alipelekwa jumamosi saa sita mchana kwa ajili ya mapumziko akiwa na ujauzito wa miezi saba lakini hata hivyo hali yake ilibadilika ambapo juzi asubuhi alijifungua watoto wawili mapacha wa kiume ambapo madaktari waliokuwa UNK walidai kuwa wamefariki dunia akizungumzia tukio hilo babu wa watoto hao balozi babu alisema kuwa mtoto huyo UNK kukimbizwa muhimbili kwa ajili ya matibabu kwa sababu ya kuchelewa gari la wagonjwa amedai kuwa pia baada ya gari hilo kuwasili ilichukua zaidi ya masaa matatu ndipo mtoto huyo alipopelekwa hospitali ya muhimbili kutokana na hali hiyo familia hiyo iliamua kwenda moja kwa moja kituo cha polisi changgombe kwa ajili ya kuandika maelezo kwa ajili ya hatua zaidi hata hivyo mtoto huyo amefariki dunia jana asubuhi na mazishi yamefanyika jana mchana katika makaburi ya tambaza upanga akizungumza na majira baba wa marehemu bwana ally athuman alisema kuwa baada ya kumalizika kwa taratibu za maziko wanatarajia kwenda polisi kufungua mashtaka kwa ajili ya hatua zaidi amesema kuwa wanachoamini wao ni kuwa uzembe ndiyo ulichangia kwa kiasi kikubwa kifo cha mtoto wao ambaye alikuwa UNK gazeti hili lilifanya jitihada za kumtafuta mganga mkuu wa hospitali ya temeke bibi aisha mahita alisema kuwa uchunguzi wa kina unaendelea dhidi ya tuhuma hizo na kuahidi kutoa taarifa zaidi mwanafunzi mmoja wa shule ya sekondari anayetuhumiwa kufanya mauaji mkoani mwanza na UNK shinyanga amekamatwa na akiwa amevaa mavazi ya kike aina ya baibui akiwa katika harakati za UNK kamanda wa polisi wa mkoa wa shinyanga bwana daudi siasi amemtaja mwanafunzi aliyekamatwa kuwa ni daudi rashidi ambaye pia hutumia jina la athumani rashidi anayetuhumiwa kumuua mwanafunzi mwenzake jijini mwanza wiki iliyopita kamanda siasi alisema mbali ya mwanafunzi huyo ambaye alikamatwa juzi katika kituo kikuu cha mabasi mjini shinyanga polisi UNK watu wengine watatu wanaodaiwa kushiriki katika mauaji hayo wengine waliokamatwa ni nixon robert pia mwanafunzi wa sekondari anayetuhumiwa kushiriki kumpiga mwanafunzi aliyekufa bwana ally rashid mfanyabiashara wa mtaa wa rufiji mjini mwanza ambaye anadaiwa UNK wanafunzi hao na bibi margaret george mkazi wa UNK shinyanga aliyekuwa awapatie hifadhi mtuhumiwa daudi UNK na abiria wenzake aliokuwa nao katika basi hilo kutokana na sauti yake kuwa ya kiume wakati mavazi aliyokuwa amevaa ni ya kike ikiwa ni baibui nyeusi iliyokuwa UNK uso wake wote na kuachia uwazi kidogo katika sehemu ya macho na hivyo kutoa taarifa polisi baada ya kuwakamata UNK na wenzetu wa mwanza ambao baada ya kuwatajia majina ya daud na nixon waliwatambua kuwa ndiyo UNK kuhusiana na kesi ya mwanafunzi wa sekondari aliyeuawa kwa kipigo na sasa tunaandaa mipango ili kuwarejesha mwanza kujibu shtaka la mauaji alieleza kamanda UNK hata hivyo kamanda huyo alisema kuwa polisi walikuwa na taarifa za siri zilizotolewa na raia wema mkoani mwanza kwamba wanafunzi hao na mtu UNK kuwaficha UNK shinyanga kutokana na taarifa hizo na raia UNK mmoja wa watuhumiwa polisi walifanikiwa kuwanasa wakati UNK kwenye basi la kampuni ya mohamed trans mjini shinyanga wamiliki wa daladala UNK uwanja wa uhuru na zisizokuwa na leseni wametakiwa UNK mabasi yao katika uwanja huo ili kuwawezesha wananchi wengi wa dar es salaam kushiriki maadhimisho ya miaka arobaini na nane ya uhuru kesho pia kampuni ya majembe auction mart vijana wa kazi na mamlaka ya usafiri nchi kavu na majini ambazo tayari zimezua kiwewe kwa wamiliki na watumishi wa daladala korofi zimetakiwa kutoyakamata mabasi hayo ili kutoa usafiri wa kutosha kwa wakazi wa wilaya zote tatu kuhudhuria maadhimisho hayo mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi aliyasema hayo dar es salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya maadhimisho ya uhuru siku hiyo magari UNK ya abiria UNK uwanja wa uhuru na UNK askari wa usalama barabarani sumatra na majembe auction mart kutoyakamata mabasi hayo pia mabasi ambayo hayana leseni ya kusafirisha abiria ndani ya jiji hili siku hiyo ruksa kufanya hivyo mwisho saa nane mchana alisema bwana lukuvi aliwataka wakazi hao kujitokeza kwa wingi kushuhudia maadhimisho hayo akisisitiza kuwa vyema kwa wakazi wa dar es salaam kushuhudia maadhimisho hayo kupitia vyombo vya habari wakati wana uwezo wa kufika na kushiriki katika tukio hilo muhimu na la kihistoria alisema milango ya uwanja itakuwa wazi kuanzia saa kumi na mbili sifuri sifuri asubuhi na kuongeza kuwa maadhimisho hayo UNK na vijana wa halaiki gwaride maalumu la majeshi ya ulinzi na usalama maadhimisho hayo kitaifa yatafanyika dar es salaam kesho ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa rais jakaya kikwete saba wanusurika kufa wengine UNK na mwandishi wetu wanachama wa upatu wa deci UNK waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo kuwa UNK kulingana na kauli zake kwani kwao alifungua tawi la deci akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam mwenyekiti wa kamati ya dharura ya wana deci mchungaji isaac kalenge alisema hawana imani na waziri huyo kutokana na kauli zake kutofautiana na za watendaji wake kwa vile UNK katika vikao UNK na viongozi wa deci alidai waziri mkulo UNK kwao mkoani morogoro kufungua tawi la deci hivyo wanashangaa msimamo wake hivi sasa kuhusu mchezo huo wa upatu mchungaji huyo alidai kuwa kuna ujanja unaofanywa kati ya viongozi wa serikali na deci ili kuhakikisha wanachama hawapati fedha zao kwa kukaa vikao bila kuwashirikisha kamanda wa polisi mkoa wa dar es salaam bwana suleiman kova anapaswa kujua kwamba wanachama wa deci sasa UNK kwamba fedha zao UNK na kampuni ya deci na ndiyo maana wanahitaji kukaa vikao ili watoe taarifa sahihi za uhalifu huo kwa vyombo vya usalama kama hawatafanya hivyo wanachama UNK nafasi ya kutoa mawazo katika UNK ni hatari kwa viongozi wa deci kwani wanaweza kushambuliwa na aibu ikawa kwa serikali alidai mchungaji kalenge alisema wanachama wana taarifa kuwa viongozi wa deci wameanza kurejesha fedha kwa wateja waliopanda hivi karibuni ambao hawajawahi kuvuna pia alisema zipo habari kwamba maaskofu wachungaji na vigogo wa serikali waliopanda fedha nyingi zaidi ya shilingi milioni kumi UNK fedha hizo na mavuno kinyemela hata mkutano huo na waandishi wa habari uliofanyika ukumbi wa idara ya habari baada ya maofisa waandamizi wa idara hiyo kudai ulikuwa ukiwakashifu viongozi wa serikali waziri mkulo mwenyewe hakuweza kupatikana jana kuzungumzia madai ya wanachama hao wa deci naye edmund mihale anaripoti kuwa watu saba waliokuwa wanatarajia kunggoa mbegu zao katika kampuni ya deci wamenusurika kufa baada ya kutumbukia katika shimo UNK kwa ajili ya kutunzia maji jirani na ofisi hizo wateja hao waliokuwa miongoni mwa maelfu ya washiriki ya upatu waliofika kunggoa mbegu UNK katika shimo hilo baada ya UNK uliokuwa UNK kuzidiwa nguvu na kutumbukia watu hao ambao wote walikuwa ni wanawake waliokolewa wa watu waliokuwa jirani na shimo hilo shughuli hiyo ya kuorodhesha majina UNK na matukio ya hapa na pale ilianza saa mbili thebathini asubuhi na baadaye kusitishwa saa tatu hamsini baada ya kuonekana kwa dalili za vurugu kutokana na umati mkubwa uliojitokeza ofisi hizo UNK tena saa nne kumi baada ya polisi kutoka kituo cha magomeni kufika wakiwa katika magari aina ya land rover defender namba pt sifuri saba tano mbili t mia saba na sitini ady na t mia mbili na kumi na tatu UNK ambayo yalikuwa tayari kwa lolote ambalo lingetokea katika shughuli hiyo umati wa watu waliofika katika ofisi hizo ulisababisha msongamano wa magari UNK barabara ya morogoro na kwenda mabibo UNK ambayo yalionekana kupita kwa tabu pia watu wengi walizirai baada ya kukosa hewa kutokana na wingi wa watu waliofurika kwa ajili ya kujua hatma ya mbegu zao walizopanda majira UNK msichana mmoja wa shule ya sekondari UNK kwa kukosa hewa saa tano thebathini na nane lakini alipatiwa huduma ya kwanza na kuchukuliwa na mzazi wake UNK simu ya mkononi na msamaria mwema na gladness mboma katika hali isiyo ya kawaida mwenyekiti mtendaji wa kampuni za ipp bwana reginald mengi ameibuka na kudai nchi UNK kundi dogo la watu aliowaita mafisadi papa na wamejiandaa kutoa roho za UNK kwa gharama yoyote bwana mengi alitoa kauli hiyo jana dar es salaam katika mkutano wake na waandishi wa habari na kueleza kuwa mafisadi hao UNK nchi pabaya kwani hawataki kuguswa aliwataja watu hao wakiwemo wafanyabiashara na wanasiasa na kueleza kuwa UNK nchi kwa kiasi kikubwa nia njema ya rais jakaya kikwete ya kupambana na mafisadi na aina zote za uovu UNK mafisadi na sasa UNK wanapambana na watu wote UNK rais kupambana nao kuwazuia wasiendelee kuitafuna nchi alisema bwana mengi bwana mengi alisema mafisadi hao wanatuhumiwa kuiba mabilioni ya fedha za wananchi na baya zaidi UNK pesa hizo nje ya nchi alisema wanaotuhumiwa UNK na karibu ya kila kashfa kubwa iliyoibuka hapa nchini jitihada kubwa za rais kikwete kuleta maendeleo na maisha bora kwa kila mtanzania UNK na wizi mkubwa wa rasilimali za taifa alisema bwana mengi na kuongeza bado watanzania wengi wanaandamwa na umasikini mkubwa hawajui hata mlo mmoja kwa siku UNK wapi bwana mengi ambaye pia ni mfanyabiashara maarufu nchini alisema cha kusikitisha ni kwamba pale mtanzania mwema mwenye uwezo UNK jamii kuondokana na umaskini mafisadi wamekuwa wakipiga kelele kuwa misaada ya aina hiyo ina agenda na kupinga kwa kutaka watanzania wafe njaa na matatizo mengine inavyoonekana nia ya mafisadi hao sasa ni kuvuruga nchi na si ajabu UNK mkono matatizo yanayotokana na kampuni ya kuvuna na kupanda mbegu deci na watanzania wakabaki UNK na wachungaji bila kujiuliza ni kina nani hasa wanachochea vurugu hizo alisema bwana mengi alisema deci imeleta matatizo makubwa katika nchi mbalimbali duniani ambapo UNK serikali ya albania na kwamba hatma yake ikiendelea kuchochewa na watu wapenda vurugu italeta matatizo makubwa hapa nchini alisema kuwa mafisadi papa hao UNK rasilimali tu bali UNK pia muda badala ya wananchi kutumia muda katika shughuli za maendeleo wanajikuta wakiutumia kupambana nao bwana mengi alidai mafisadi hao wanatumia fedha walizoiba kuanzisha magazeti ya kujenga kiburi cha kudharau watanzania kuwatukana na kuwanyanyasa inakuwa ni kesi ya mwizi kumkimbiza na kumpiga UNK hata sasa hivi mafisadi hao wanaendelea kutumia uwezo wao wa kiuchumi uliotokana na wizi wa rasilimali za nchi kuwashawishi na kupata miradi mikubwa mikubwa kwa kutumia majina tofauti tofauti huku UNK kabisa kelele za wananchi kuhusu ufisadi wao alisema alisema watanzania UNK na ufisadi ni mamilioni wakiongozwa na rais kikwete lakini wachache waliojitokeza na wanajulikana kwa majina alieleza kuwa hata hivyo kuna tetesi kwamba mafisadi papa wamedhamiria UNK kabisa wapinga ufisadi UNK kwa majina alisema mafisadi hao ni lazima wajue kwamba iwapo wapambanaji hao wa ufisadi UNK kwa njia yoyote ndani au nje ya nchi UNK na watanzania alisema mafisadi hao wanafanya kila UNK kuhakikisha watanzania wanaopiga vita ufisadi wanaangamia kwa njia mbalimbali UNK sumu ajali au kwa kupigwa risasi ili kuondoa ushahidi watanzania mtasikia tu kwamba fulani amefia nje ya nchi na UNK kama kitu cha kawaida kumbe mafisadi ndio waliotekeleza azma yao ni lazima muwe macho kwani wanataka kuisambaratisha nchi alisema aliwataka watanzania kujiuliza mafisadi wanapata wapi ujasiri majigambo dharau nguvu za kuwatukana na kuwanyanyasa alisema mafisadi wote hususani wale wanaotuhumiwa kuwa mafisadi papa ni lazima UNK la sivyo UNK na kuitikisa nchi na kwamba ni lazima watanzania waone kwamba sasa nchi imefika mahali pa kusema imetosha bwana mengi alisema amejitoa UNK kupigana vita dhidi ya mafisadi na kubainisha kuwa yeyote UNK na hatua ya kuitwa fisadi papa aende mahakamani ili UNK kisheria na said mwishehe jeshi la polisi nchini limesema linafanya uchunguzi wa kina zaidi ili kubaini wanaojihusisha na mtandao wa kompyuta unajulikana kama ze utamu ambao unatumika kudhalilisha watu wakiwemo viongozi wa ngazi za juu hatua hiyo ya jeshi la polisi imetokana na kukithiri kwa picha mbalimbali za kudhalilisha kupitia mtandao huo siku za hivi karibuni mtandao huo umekuwa ukitumia nafasi ya uhuru wa vyombo vya habari kudhalilisha viongozi jambo ambalo ni kinyume cha ustaarabu na maadili ya jamii akizungumza na majira jana kwa njia ya simu mmoja wa maofisa wa ngazi za juu wa jeshi la polisi alisema kuwa mtandao huo umefikia mahali ambapo UNK tena na kazi inayoendelea sasa ni kuwasaka wahusika wake tumeona jinsi mtandao huo UNK viongozi wetu sisi kama jeshi la polisi UNK uchunguzi wa kina umeanza na muda sio mrefu mtasikia nini UNK kwa watu hao alisema ofisa huyo mbali ya kuchunguza wahusika jeshi hilo pia UNK kwa undani kupata wamiliki wa mtandao huo ambapo kutokana na vitendo vyake UNK tena tume ya mawasiliano tanzania imekiri kuwepo vitendo mbalimbali vya udhalilishaji kupitia mtandao huo na kuahidi kulishughulikia suala hilo haraka iwezekanavyo tumeona hili tunachokifanya sasa tunakutana kikao cha dharura kujadili suala hilo kwa undani alisema mmoja wa maofisa wa tume hiyo aliyeomba kutoandikwa jina gazetini ambaye pia hakutaka kufafanua hatua UNK kudhibiti tatizo hilo wakizungumza na gazeti hili wananchi mbalimbali walilaani vikali kitendo kilichofanywa na mtandao huo na kutaka upigwe marufuku sambamba na wahusika wake kukamatwa mara moja popote walipo na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria sisi kama watanzania UNK vitendo hivi vya kipuuzi na fedheha kupitia mtandao huo viendelee vyombo vya dola UNK hatua za haraka kuwakamata wote wanaojihusisha na mtandao huo alisema mama aliyejitambulisha kwa jina la bibi hawa UNK mwananchi mwingine aliyeomba kutoandikwa jina mkazi wa upanga jijini dar es salaam alisema hatua iliyofikia na mtandao huo UNK na UNK kama vyombo vya dola UNK kuwanasa wahusika na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria hatimaye sakata la kampuni ya development entrepreneurship community initiative imechukua sura mpya baada ya mbunge wa wawi bwana hamad rashid mohamed kumbana waziri mkuu bwana mizengo pinda akiitaka serikali kueleza sababu za kusitisha shughuli zake katika swali lake la kwanza la papo kwa papo kwa waziri mkuu jana asubuhi bwana rashid ambaye pia ni kiongozi wa upinzani bungeni UNK UNK za deci na matukio mengine mawili ya kuhamisha wafugaji toka bonde la ihefu mbeya pamoja na kufungwa uchimbaji UNK la kunduchi dar es salaam alisema matukio hayo ni dalili ya serikali kuwa na mfumo wa ukandamizaji kwa wananchi wake alisema wafugaji waliokuwa katika bonde la ihefu walikaa eneo hilo kwa muda mrefu hivyo UNK walipata madhara makubwa huku tatizo hiyo UNK kwa wale waliokuwa wakichimba kokoto kunduchi na sasa ni kampuni ya deci kufungiwa baada ya serikali kupitia benki kuu ya tanzania kuiruhusu mwaka ishirini sifuri saba akijibu swali hilo bwana pinda alikanusha serikali kuwa na utaratibu mbovu UNK wananchi na kueleza kwamba deci ilikiuka sheria baada ya kuingia katika shughuli za upatu ambazo kisheria ni kosa la jinai baada ya kuacha kutoa mikopo kwa akina mama kama ilivyoomba awali mwaka ishirini sifuri saba kwanza niseme tu kwamba serikali haina sera wala utaratibu wa namna hiyo mfumo wowote wa upatu ni kosa tena ni kosa la jinai kwa utaratibu mtu akifanya kosa la jinai UNK na kupelekwa mahakamani kwa hili la deci ni vizuri waheshimiwa wabunge jambo hili liliingia kupitia dini jesus UNK iliingia kiimani imani hivi ndio maana walipokwenda benki kuu walisema wana mtaji wa kukopesha akina mama lakini UNK kwamba hawaruhusiwi kuchukua amana yoyote kutoka kwa watanzania na kuambiwa kama wanataka kufanya kinyume cha hapo inawabidi warudi tena bot lakini waliingia kwenye upatu kimyakimya ndio maana imechukua muda kujulikana alisema bwana pinda hata hivyo majibu hayo yalimfanya bwana UNK kuuliza swali la nyongeza akihoji uhalali wa waziri wa fedha bwana mustafa mkulo kujiingiza katika mtego na kuwa mgeni rasmi na kufungua tawi la deci wilayani kilosa mheshimiwa spika nina swali moja la nyongeza kama unavyosema waziri mkuu ni sahihi ni kwa nini waziri wa fedha aende kufungua tawi la deci kule kilosa alihoji akijibu swali hilo waziri mkuu alisema kwanza hilo silijui ninachojua ni kwamba si halali na hata kama alifanya hivyo sasa ni halali hapana lakini kama alienda basi na yeye alienda kama UNK japo alitakiwa awe wa kwanza kujua hilo alisema waziri mkuu naye edmund mihale kutoka anaripoti kuwa wanachama wa deci usiku wa kuamkia jana walijikuta UNK kukesha eneo la makao makuu ya mabibo dar es salaam kuwahi foleni ya kujiorodhesha kurejeshewa mbegu zao walizopanda wanachama hao walionekana wakiwa katika hali uchovu iliyotokana na usingizi huku wengine wakiwa wamekata tamaa baada ya kushindwa kujiandikisha au kupewa namba kutokana misururu mirefu ya kujiandikisha na kupewa namba mwanachama bwana edward moris alifika katika eneo hilo saa kumi alfajiri na kukuta tayari wanachama hao wamepanga msururu uliokuwa na watu zaidi ya tatu sifuri sifuri sifuri huku kukiwa hakuna huduma yeyote katika eneo hilo nimefika hapa tangu saa kumi lakini nimekuta wanachama UNK wakiwa wamelala bila hata ya kutojali kama kuna mvua lakini pamoja na kuwahi nimepata namba mbili mia nane na thebathini na tano hebu ona kuna watu wangapi mbele yangu kuanzia namba moja alisema bwana moris alisema wamekuwa UNK utaratibu wa foleni tangu juzi na hakuna fujo licha ya kutokuwa na ulinzi wa kutosha hadi ofisi hizo UNK saa kumi na mbili thebathini asubuhi majira ilishuhudia wanachama wakiwa katika foleni ndefu iliyokuwa na urefu wa mita sitini sifuri huku mvua kubwa ikinyesha na hakuna mwanachama UNK mvua hiyo pamoja na kuwepo kwa utaratibu mzuri ulipangwa lakini tayari malalamiko mbali miongoni mwa washiriki yameanza kutokea kutoka na UNK fedha zao kwa wale ambao tayari UNK nma wengine UNK UNK kampuni hiyo kwa kukiuka mkataba mwanachama bibi janet UNK ambaye alikuwa ni mfanyabishara ya UNK alisema alipanda mbegu katika kampuni hiyo tangu ishirini sifuri saba baada ya kuachana na UNK alisema UNK kiasi cha shilingi milioni tano nje ya kiingilio ni shilingi moja mia tatu na sabini na tano sifuri sifuri sifuri katika kipindi tofauti katika kipindi cha miaka miwili na ameweza kuvuna karibu kila mwezi hali iliyompa matumaini ya kuishi katika maisha ya pepo lakini alisema UNK kusikia uamuzi kampuni hiyo wa kuwa mbegu zote ambazo UNK na kupandwa tena UNK na benedict kaguo tanga mlinzi wa kampuni ya ulinzi UNK ya jijini tanga amefariki dunia baada ya kujifyatulia risasi sehemu zake za siri mlinzi huyo bwana mbwana UNK mkazi wa UNK wilayani mkinga alichukua uamuzi huo aprili ishirini na mbili mwaka huu saa kumi thebathini alfajiri akiwa lindoni akiwa lindoni huku akiwa UNK bunduki ya UNK alichukua uamuzi huo wa kutisha kwa kujifyatulia risasi sehemu za siri na kufariki papo hapo hata hivyo uchunguzi wa awali umeonesha kuwa huenda marehemu UNK hakuwa makini kushika silaha hiyo hali iliyofanya UNK na kumuua kamanda wa polisi mkoa wa tanga kamishna msaidizi wa polisi bwana simon sirro alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa mlinzi huyo hakuwa makini na silaha yake jambo lililosababisha kifo chake kamanda sirro UNK maiti ya mlinzi huyo imehifadhiwa hospitali ya mkoa wa tanga UNK na edmund mihale kampuni development entrepreneurship for community initiative imezua biashara nyingine ya kuuza kadi zenye namba maalumu kwa ajili ya kujiorodhesha ili kunggoa mbegu uchunguzi uliofanywa na majira na kuthibitishwa na mmoja wa washiriki wa kampuni hiyo umebaini kuwa kadi hizo maalumu zilikuwa zikiuzwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo kwa lengo la kuwawezesha wanachama hao kuwahi kuingia kwenye ofisi hizo ili kujiorodhesha kunggoa mbegu zao uchunguzi huo umebaini kuwa kadi iliyoanzia namba moja hadi ishirini sifuri ziliuzwa kwa shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri hadi thebathini sifuri sifuri sifuri kwa kadi moja kadi iliyoanzia namba ishirini moja hadi moja sifuri sifuri sifuri ilikuwa ikiuzwa shilingi tano sifuri sifuri sifuri hadi shilingi kumi sifuri sifuri sifuri kwa kadi moja kadi iliyoanzia namba moja sifuri sifuri moja hadi mbili sifuri sifuri sifuri iliuzwa kwa shilingi mbili sifuri sifuri sifuri hadi tatu sifuri sifuri sifuri huku kadi ilianzia namba mbili sifuri sifuri moja hadi tatu sifuri sifuri sifuri iliuzwa kwa shilingi moja sifuri sifuri sifuri hata hivyo uchunguzi huo ulibaini kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kadi hizo kuuzwa bei kubwa zaidi kutokana na washiriki waliowekeza fedha nyingi ambao ni UNK katika kampuni mashirika na idara mbalimbali za serikali kushindwa kusubiri foleni ndefu mshiriki bibi anna kassim ambaye alijitambulisha kuwa ni mfanyakazi serikalini alisema kutokana kushindwa kupata muda wa kutoka ofisini na kupanga foleni yuko tayari kununa kadi hiyo kwa shilingi sabini sifuri sifuri sifuri bibi anna alisema amewekeza fedha nyingi katika kampuni hiyo hivyo kiasi UNK kwa ajili kununulia kadi si kitu kaka nimesikia UNK kuhusu kuuzwa kadi naomba nami UNK nani anauza niko tayari kununua hata kwa shilingi sabini sifuri sifuri sifuri iwapo itaanzia namba moja hadi kumi sifuri kwani nimeshindwa kupanga foleni alisema bibi anna huku akionesha risiti UNK mbegu hizo mbali na kuuza kadi hizo biashara nyingine iliyojitokeza ni kuuza sehemu ya foleni kwa watu waliowahi na kupanga foleni mapema nafasi hiyo inauzwa shilingi hamsini sifuri hadi shilingi mbili sifuri sifuri sifuri kutokana na umbali kutoka msimamizi anayetoa kadi zenye namba katika hatua nyingine mwenyekiti wa kamati ya dharura ya washiriki wa deci mchungaji isaack kalenge alisema leo ameitisha mkutano mkubwa katika viwanja vya jangwani kwa ajili ya kujadili hatima ya fedha UNK katika kampuni ya deci akizungumza na majira kwa njia ya simu mchungaji kalenge alisema lengo la mkutano huo ni kuitaka serikali UNK kampuni hiyo iendelee na huduma zake kama kawaida kwa kuwa hadi sasa hakuna madhara yoyote UNK alisema moja ya agenda ni kujadili kauli ya waziri mkuu bwana mizengo pinda aliyoitoa katika kikao cha bunge wakati akijibu maswali ya papo kwa hapo kuwa kampuni hiyo ni ya kidini kwani UNK haki juu ya kampuni hiyo kwani imekuwa UNK watu wote bila kujali dini wala kabila alisema katika mkutano huo UNK viongozi mbali mbali wa vyama vya siasa wanasheria na UNK alikuwa akienda dar kugombea umakamu tlp alikuwa nje ya bunge kusubiri rufani kortini na benny kisaka kilosa mbunge wa jimbo la biharamulo magharibi mkoani kagera bwana phares kabuye amefariki kwa ajali ya basi akiwa safarini kutoka kagera kwenda dar es salaam kuhudhuria mkutano mkuu wa tanzania labour party uliopangwa kufanyika kesho katika mkutano huo bwana kabuye alikuwa ameomba kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti wa chama hicho kwenye uchaguzi huo UNK kwa shauku na wanachama wengi wa chama hicho marehemu kabuye mbunge aliyesimamishwa wa tlp alifariki jana saa mbili asubuhi eneo la magubike wilayani kilosa morogoro katika ajali hiyo watu wengine wawili walikufa na wengine hamsini na nne kujeruhiwa ajali hiyo ilihusisha basi la rs investment lenye namba za usajili t mia tisa na thebathini na nne UNK UNK na kupinduka likiwa kwenye UNK spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania bwana samuel sitta amethibitisha tukio hilo na kueleza kusikitishwa kwake na kifo cha mbunge huyo ambaye hadi mauti UNK alikuwa UNK rufani yake mahakamani kupinga kuvuliwa ubunge na mahakama kuu kanda ya kagera abiria walionusurika walisema basi hilo liliserereka na kupinduka baada ya mtu aliyekuwa akiendesha anayedaiwa kuwa utingo kushindwa UNK walimweleza mwandishi wa habari hizi kuwa basi hilo lilikuwa katika mwendo na waliokaa sehemu ya mbele walisikia dereva aliyekaa pembeni UNK utingo huyo kushika breki haraka UNK na UNK basi hilo UNK upande wa pili wa barabara na kupinduka tairi zikiwa juu na kugeuka UNK dereva na utingo huyo walikimbia baada ya ajali hiyo na hawajulikani waliko bwana kabuye alifariki baada ya kufikishwa hospitali ya UNK wenzake wawili UNK eneo la tukio walioshuhudia ajali hiyo walisema bwana kabuye alifikishwa hospitalini hapo akiwa mzima akiongea lakini hali ilibadilika ghafla na kufariki dunia mwandishi wa habari hizi aliyefika hospitalini hapo alisema mbunge huyo aliumia sehemu ya kichwa na kifuani alisema baada ya ajali hiyo mkuu wa wilaya ya kilosa bibi halima UNK alifahamishwa kifo cha mbunge huyo na kufika hospitalini hapo kufuatilia tukio hilo naye john daniel kutoka dodoma anaripoti kuwa spika wa bunge bwana sitta amepokea taarifa za kifo bwana kabuye kwa huzuni kubwa akizungumza kwa njia ya simu akiwa safarini kuelekea dar es salaam bwana sitta alisema tayari katibu wa bunge ametuma gari kwenda kilosa kuchukua mwili wa marehemu alisema bunge UNK mwakilishi kwenye mazishi lakini taratibu zingine za kibunge UNK kwani marehemu UNK wadhifa huo na mahakama taratibu zingine za bunge haziwezi kukubalika lakini UNK suala hili kibinadamu alisema bwana sitta bwana sitta alimwelezea marehemu kabuye kuwa ni mtu UNK naye siku nyingi na kufanya kazi pamoja kuanzia miaka ya sabini naye mbunge wa rufiji profesa idrisa UNK alisema marehemu kabuye ameacha pengo kubwa kwani alikuwa mtetezi wa wananchi wake na alipenda watu bila kujali itikadi zao marehemu kabuye alizaliwa januari moja mwaka elfu moja na mia tisa na thebathini na nane wilayani biharamlo mkoani kagera na alipata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi UNK kuanzia elfu moja na mia tisa na hamsini na tatu hadi elfu moja na mia tisa na hamsini na tano mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na sita hadi elfu moja na mia tisa na hamsini na saba alijiunga shule ya kati UNK na baadae alijiunga na chuo cha ualimu katoke kwa ngazi ya cheti mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na nane hadi elfu moja na mia tisa na hamsini na tisa baadaye alikwenda chuo cha UNK nchini uganda kusomea cheti cha ualimu mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na moja hadi elfu moja na mia tisa na sitini na tatu kabla ya kujiunga na chuo cha british UNK mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na tatu mpaka elfu moja na mia tisa na sitini na nne mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na tano hadi elfu moja na mia tisa na sitini na nane alipata elimu ya sekondari ya juu katika chuo cha UNK UNK na kurejea tena chuo cha ualimu katoke mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na mbili alifanya kazi ya ualimu tangu mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na tisa hadi elfu moja na mia tisa na sabini na sita UNK kuwa mratibu kata wa elimu alijiunga na shughuli za kisiasa mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na saba alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi wa wilaya ya biharamlo na mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tano alichaguliwa kuwa mbunge kwa tiketi ya ccm hadi mwaka elfu moja na mia tisa na tisini mwaka ishirini sifuri tano alijiunga na tlp na kufanikiwa kuchaguliwa mbunge jimbo la biharamlo magharibi ambao alidumu hadi oktoba kumi ishirini sifuri saba UNK na mahakama kuu kanda ya kagera kufuatia kesi iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea ubunge wa ccm bwana anatory UNK katika kesi hiyo marehemu alitiwa hatiani baada ya kubainika kuwa alitumia lugha za matusi ya nguoni kumkashifu mpinzani wake wa ccm kwenye mikutano ya hadhara wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka ishirini sifuri tano hadi mauti UNK kesi yake ya kupinga uamuzi wa mahakama ilikuwa ikiendelea kusikilizwa na mahakama ya rufani akizungumza na majira jana kwa njia ya simu mwenyekiti wa tlp bwana augustino mrema alisema chama chake UNK kwa majonzi makubwa kifo hicho kwani marehemu alikuwa na historia nzuri katika utendaji wake ndani na nje ya bunge mzee kabuye kila mbunge UNK alipokuwa bungeni na kutokana na rekodi yake nzuri wabunge walimchagua kuwa mbunge katika bunge la afrika akiwakilisha kambi ya upinzani alisema bwana mrema bwana mrema alisema chama chake kitakutana kuandaa mazishi ya mbunge huyo UNK uwezekano wa kuahirisha uchaguzi kesho pamoja na mambo mengi bwana kabuye atakumbukwa kwa kauli yake kwamba hakutoa rushwa hata kidogo kwenye uchaguzi wa mwaka ishirini sifuri tano na ni mgombea pekee aliyefanya kampeni zake kwa UNK baiskeli na reuben kagaruki kyaka hotuba iliyotolewa na mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo bwana freeman mbowe imewatia huzuni wakazi wa wilaya ya kyaka waliojitokeza kwa wingi kuhudhuria mkutano wake wa oparesheni sangara baada ya kuwaeleza jinsi tanzania ilivyo nyuma kiasi cha kuzidiwa na uganda ambayo imekuwa kwenye misukosuko ya kivita kwa muda mrefu waganda UNK miaka thebathini iliyopita wakati wa vita vya kagera lakini leo hii wanatuzidi mbali kimaendeleo alisema bwana mbowe wakati akihutubia wananchi hao jana alisema kwamba pamoja na kupigana vita na tanzania uganda imekuwa UNK vita na bwana joseph UNK na kwa nyakati tofauti imewahi kuingia kwenye migogoro ya kivita na rwanda na jamhuri ya kidemokrasi ya kongo lakini ipo mbele kimaendeleo hebu UNK nani ni mtoto gani wa uganda anayesoma tanzania alihoji bwana mbowe na kujibiwa na wananchi kuwa hakuna leo hii UNK watoto wadogo wa UNK kusoma uganda halafu tuseme kwamba tuna serikali hapo aliendelea kuhoji bwana mbowe alisema ni jambo la kusikitisha kuona watoto wa tanzania UNK mpaka kwenda kusoma uganda wakati wao hawaji na UNK kwamba umakini wa serikali UNK kwa kuangalia maendeleo ya elimu bwana mbowe alisema kwamba licha ya tanzania kuzidiwa kielimu na nchi UNK hata bidhaa zinazouzwa nchini kwa wingi zinatoka nje ya nchi angalieni hapa kwenu kyaka bidhaa zote zinazouzwa hapa zinatoka uganda kuondoa bia na UNK alisema mwenyekiti huyo na UNK wananchi hao bidhaa zinazotoka uganda zinazouzwa hapa nchini wakati bidhaa zetu UNK kuuzwa huko alisema kwamba alipofika UNK alivuka eneo la mpaka na kuingia eneo la uganda lakini hakuona bidhaa ya tanzania inayouzwa katika eneo hilo katika mkutano huo bwana mbowe UNK kusikitishwa kwake na hatua ya mbunge wa jimbo la nkenge bwana kamara kujiunga na chama cha mapinduzi wakati wananchi walitarajia kwamba UNK kwa ajili ya kuwakomboa na umasikini tulidhani kamara amesema kuja kuwatetea badala yake ameungana na mafisadi ccm wakati yeye hana historia ya kutoka kwenye familia wenye uwezo alisema bwana mbowe na kufafanua kwamba wakati UNK kwa wananchi kuwakataa watu UNK siasa kama UNK na kupanda kwenye majukwaa na kuanza kuimba mashairi huku UNK wananchi badala ya kuzungumzia mustakabali wa nchi na peter masangwa mtwara waziri mkuu bwana mizengo pinda amesema kuwa taifa linakabiliwa na changamoto kubwa katika kutafakari kwa makini kuhusu juhudi UNK katika kupambana na malaria UNK kila tu ajiulize iweje ugonjwa unaotibika na kuzuilika uendelee kuongoza katika idadi ya vifo ndani ya jamii mbali na mikakati iliyopo ya kupambana na janga hili akizungumza katika maadhimisho ya siku ya malaria duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani mtwara bwana pinda alisema kuwa wengi wa watu UNK na malaria na kufariki ni watoto wenye umri usiozidi miaka mitano wakifuatiwa na kundi la wajawazito bwana pinda alisema kuwa uchumi wa nchi UNK kwa sababu UNK hupunguza nguvu kazi ya taifa na hivyo kuathiri uzalishaji wa nchi kwani inakadiriwa kuwa tanzania hupoteza asilimia tatu nne ya pato lake kutokana na tatizo hili ikiwa ni pamoja na gharama UNK na zisizoonekana moja kwa moja ugonjwa huu unaifanya jamii kupata usumbufu mkubwa katika kuwatunza wagonjwa wa malaria na kwenye mashule wanafunzi wengi hukosa masomo kutokana na kuumwa na ugonjwa huu kwa kipindi cha masomo alisema bwana pinda alisema kuwa ugonjwa wa malaria hauna mipaka hivyo mikakati ya kupambana nao inahitaji ushiriki wa wadau wote na si tu katika bara la afrika peke yake bali ulimwenguni kote bwana pinda alisema kuwa katika kupambana na malaria serikali imehakikisha kuwa huduma zote za kinga na tiba zinapatikana na kwamba huduma hizi UNK wananchi wote kwani juhudi za kugawa vyandarua vyenye UNK vya muda mrefu zinaendelea hapa nchini alisema kuwa pamoja na kutumia vyandarua vinavyotolewa na serikali wananchi wanao wajibu wa kushirikiana na serikali kupambana na mbu wanaoeneza malaria kwa kuwaangamiza na hii ni pamoja na kuondoa mazalio yake kufukia UNK na kusafisha UNK naye waziri wa afya na ustawi wa jamii profesa david mwakyusa amesema kuwa serikali imedhamiria kujenga hospitali maalum kwa kanda ya kusini na kwa mwaka huu imetenga shilingi arobaini sifuri milioni kwa ajili ya mradi huo pamoja na hospitali ya mkoa UNK UNK UNK na vifaa ili iwe hospitali ya rufaa ambapo UNK na shirika la UNK la japan UNK mwakyusa amewataka wazazi na walezi kuwapeleka watoto katika vituo vya afya ili kupatiwa huduma ya afya mapema mara dalili UNK kwani UNK mara nyingi UNK mpaka homa UNK kuwa kali UNK ambalo ni hatari sana na edson kamukara aliyekuwa mkuu wa dar es salaam bwana abbas kandoro jana alikabidhi ofisi hiyo kwa mkuu mpya na kutangaza kuwa tume UNK kuchunguza kifo cha dereva teksi imebaini kuwa polisi walimuua kimakosa hakuwa UNK bw kandoro ambaye amehamishiwa mwanza kikazi alisema kutokana na malalamiko ya wakazi wa kimara UNK yaliyojitokeza alilazimika kuunda tume kubaini kama dereva huyo UNK mwapi aliuawa katika tukio la ujambazi alisema tume hiyo iliyoongozwa na kamanda wa mgambo wa jiji ilianza kazi machi ishirini na saba mwaka huu na kuwahoji mashahidi ishirini na mbili wakiwamo madereva teksi wenzake askari waliohusika katika tukio la mauaji na wakazi wa kimara kwa mujibu wa mkuu huyo wa mkoa tume hiyo ilibaini kuwa marehemu alikuwa UNK tu kuwa ni jambazi lakini hakuwahi kujihusisha na vitendo vyovyote vya UNK hivyo basi tume UNK kuwa marehemu mwapi aliuawa kwa makosa kwa kupigwa risasi na polisi wakimtuhumu kuwa jambazi alisema bwana kandoro aliongeza kuwa tayari amekabidhi ripoti hiyo kwa mwanasheria mkuu wa serikali ili achukue hatua zaidi dhidi ya wahusika wa mauaji hayo marehemu mwapi aliuawa machi ishirini na nne mwaka huu kwa eneo la kimara stop UNK kwa kupigwa risasi na polisi kwa tuhuma kuwa ni jambazi na alizikwa nyumbani kwao njombe mkoani iringa aprili tatu awali UNK nyaraka mkuu mpya wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi UNK tangu dodoma bwana kandoro alimweleza kuwa UNK na changamoto nyingi hasa za wakazi wa jiji kutotaka kutii sheria na kufanya mambo kinyume na sheria tuna UNK kila kona ya miji ziko baa na gereji bubu zimejengwa maeneo yasiyoruhusiwa msongamano wa magari na miundombinu duni na UNK kubwa ya wakazi walijenga maeneo yasiyoruhusiwa alisema bwana kandoro katika hatua ya pekee bwana kandoro alimweleza bwana lukuvi kuwa anamkabidhi migogoro kadhaa ya viwanja akitaja eneo la wazo hill ambako wakazi wa huko wana mgogoro na mwenye kiwanda lakini alidai kuwa katika juhudi za kuendeleza maeneo mapya wamejikuta kwenye migogoro na wakazi wa kipawa kwembe na tabata dampo hatua UNK kuwa ni vyema wakazi hao UNK haki zao za malipo kabla ya UNK kuhusu msongamano wa magari jijini alisema kuwa walikuwa kwenye mazungumzo wa wawekezaji binafsi wenye uwezo wa kujenga barabara za juu ili wajenge na watakuwa UNK fedha yao kupitia kwenye kutoza ushuru kwa upande wake bwana lukuvi alisema kuwa anaifahamu dar kwa kiasi kikubwa kwa vile amekuwa mkazi tangu mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nne hivyo aliwaomba wajipange kuangalia vipaumbele kwa vile muda wa serikali ya awamu ya nne UNK unakaribia asema tlp peke yake haitaweza na said mwishehe mwenyekiti wa tanzania labour party bwana augustino mrema UNK rais jakaya kikwete pamoja na serikali yake kusaidia katika mazishi ya aliyekuwa UNK wa biharamulo magharibi mkoani kagera marehemu phares kabuye ambaye amefariki kwa ajali ya basi juzi wilayani kilosa hata hivyo wakati mbunge huyo amekufa wakati akienda kuhudhuria mkutano wa mkuu wa tlp bwana mrema amesema ni lazima mkutano huo ufanyike kwa sababu itakuwa sehemu ya kumuenzi na wakati huo huo kukinusuru chama UNK na msajili wa vyama vya siasa bwana john tendwa bwana mrema akizungumza na majira jumapili jana kwa njia ya simu dar es salaam alisema msiba wa mbunge huyo umekuja katika kipindi kigumu ndani ya chama hicho kwa sababu wapo katika harakati za kufanya mkutano mkuu huo ambao unatarajia kufanyika leo alisema wakati mkutano huo UNK kufanyika tayari amemuomba rais kikwete kuhakikisha anafanya jitihada za kusaidia kifedha ili kufanikisha mazishi ya bunge huyo kwa sababu miundombinu yao ya kifedha UNK wao kufanikisha mazishi hayo bila kupata msaada alisema binafsi ameguswa na msiba huo mzito kwa chama na watanzania kwa kuwa alikuwa mbunge machachari na UNK kusimama katika ukweli wakati wote hivyo lazima mazishi yake yawe na heshima zote pia alisema mbali ya rais kikwete pia ameomba msaada kutoka kwa wabunge wote ambao watashirikiana kwa pamoja katika kusaidia msiba huo bila kujali ni mbunge wa chama gani kwa sababu msiba huo ni wa watu wote alisema ameomba msaada kwa rais kwa sababu chama chake hakiko katika hali nzuri kifedha marehemu kabuye alikuwa ni miongoni mwa wanachama waliomba kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti katika uchaguzi huo ambao unasubiriwa kwa hamu kubwa na wanachama wa chama hicho pamoja na watanzania wengine lakini hakufanikiwa kutimiza ahadi yake kutokana na kupatwa na kifo bwana mrema alisema kwa hali hiyo ni vema marehemu kabuye UNK kwa kufanya mkutano huo ambao marehemu alikuja anakuja kushiriki na kwa bahati nzuri ni mkutano ambao umepata baraka zote ikiwa ni pamoja na mahakama UNK UNK ufanyike pia alisema mbali ya kumuenzi marehemu kabuye kwa kufanya mkutano huo unalenga kukifanya chama kiendelee kuwa hai kwa sababu bila mkutano huo kitafutwa kwa mujibu wa msajili wa vyama vya siasa bwana john tendwa kutokana na uongozi uliopo sasa UNK muda wake msajili UNK muda wa miezi mitatu kufanya mkutano mkuu kwa sababu viongozi waliopo sasa wamemaliza muda wao na tukisema UNK chama kitafutwa kwa sababu siku UNK na msajili zimebaki tano mwisho wetu ni aprili thebathini na moja mwaka huu alisema bwana mrema aliongeza katika mazingira ya aina hiyo unaweza kuona mambo UNK lakini pia bado kuna umuhimu wa kuendelea na mkutano na ninawashauri wanachama wenzangu kumaliza hilo ambalo nalo lina UNK wake ndani ya chama ingawa mambo yote mawili ni ya kwao kwa hali hiyo UNK mkutano tutaendelea na hapo tutaweza pia kufanikisha yote yaliyoko mbele yetu kama tlp tutajua mwenzetu anazikwa vipi lakini kwa upande mwingine chama kitaendelea kuwa salama alisema bwana mrema na said mwishehe hali ya kukata tamaa kwa baadhi ya washiriki waliokuwa wamepanda mbegu zao kwa lengo la kuvuna jana kutoka kwenye mchezo wa upatu wa kampuni ya deci imeongezeka kutokana na kuona kama hakuna kinachoendelea zaidi ya kufanyiwa mchezo wa kuigiza hali ambayo imesababisha wengi kuona kuna kila dalili za kutopata fedha zao hata hivyo wakati katika makao makuu ya deci mabibo dar es salaam hali ilikuwa tete baadhi ya matawi mengine ya jijini asubuhi ya jana wananchi walijitokeza katika matawi hayo ili kuendelea kupatiwa risiti ambazo watazitumia wakati wa kurudishiwa mbegu zao majira jumapili kwa upande wake lilifanya uchunguzi wa kazi ya utoaji risiti hizo katika eneo la mabibo ambapo kwa jana idadi ya washiriki waliofika kuchukua haikuwa kubwa kama siku mbili zilizopita na hiyo inatokana na kukata tamaa ya kulipwa washiriki wengi waliokuwa wakifika kuchukua risiti hizo walionekana UNK na nenda rudi ambayo wamekuwa UNK tangu kuanza kwa sakata zima la kampuni hiyo baada ya serikali kuwatahadharisha wananchi juu ya utendaji kazi wa shughuli za deci wakizungumza na majira jumapili kwa nyakati tofauti baadhi ya washiriki hao walisema kama deci walisema fedha zao ziko salama basi hakuna sababu ya kuendelea kuwapatia risiti hizo na UNK fedha ili kumaliza utata ulioko na kisha waweze kuendelea na shughuli nyingine za kijamii mkazi wa kimara UNK bibi asha msomi alisema kuwa yeye hakufurahishwa na kitendo cha kuona anapewa risiti hiyo kwa ajili ya kuja kuchukua fedha siku nyingine kwani majina ya walipanda yapo na wanafahamika hivyo kilichotakiwa ni kupewa mbegu zao sioni sababu ya kupewa risiti ili tusubiri hadi UNK tena lini UNK nilichokuwa UNK ni kuona washiriki UNK mbegu UNK fedha zetu ziko salama binafsi naanza kukata tamaa na utendaji kazi wa deci na sioni kama kweli tunaweza kurejeshewa fedha zetu alisema wakati huo huo stella aron anaripoti kuwa baadhi ya washiriki wa deci katika kituo cha gongo la mboto ambao jana walifika katika ofisi hizo kwa nia ya kuvuna mbegu zao kama ambavyo uongozi UNK awali wamedai uongozi wa deci unatafuta mbinu ya kukimbia na mbegu zao washiriki hao ambao licha ya kuwepo kwa mvua waliamua kulowa kutokana na kuibuka kwa makundi mawili tofauti huku wengine wakidai kuwa uongozi UNK na wengine kuitupia lawama serikali sasa imani ya kurudishiwa mbegu yangu imekwisha hapa inadhihirisha kuwa viongozi wana njama fulani na sisi kwanini UNK UNK mbegu zetu alafu washindwe kufanya hivyo alidai mshiriki mmoja ambaye alikuwa katika kundi mojawapo wakijadiliana namna ya kurudishiwa mbegu zao pamoja na kuwepo kwa hali ya mvua washiriki hao jana walionekana kukata tamaa kabisa kutokana na kuwepo kwa tangazo UNK kuwa ndugu washiriki uongozi wa deci pamoja na tume inayosimamia urejeshaji wa mbegu unapenda kuwajulisha kwamba zoezi la ulipaji UNK mpaka hapo UNK tena samahani kwa usumbufu uliojitokeza kutoka dodoma pendo mtibuche anaripoti kuwa washiriki wa mchezo wa upatu wa deci tawi la dodoma jana walivamia ofisi za tawi hilo wakitaka uongozi wa kampuni hiyo UNK mbegu zao walizopanda kutokana na kukosa imani na kampuni hiyo wanachama hao walivamia ofisi hizo majira ya saa mbili thebathini asubuhi huku ofisi hizo zikiwa zimefungwa kwa UNK makubwa majira jumapili ilifika eneo la ofisi hiyo na kushuhudia umati wa washiriki hao wakiwa nje ya ofisi hiyo huku kukiwa na ulinzi mkali wa polisi wa kuzuia wananchi hao wasifanye vurugu wanachama hao walitinga katika ofisi hizo wakidai kuwa mkurugenzi mtendaji wa deci mchungaji ole UNK alikuwepo kwa lengo la kuwahamasisha wanachama wake kuwa na moyo wa subira na kuwataka UNK risiti zao halisi ili uhakiki wa kurudishiwa fedha zao uweze kutekelezwa kitendo hicho cha mkurugenzi hiyo kuwaambia UNK hao watoe vivuli vya risiti zao na zile halisi UNK ofisini kiliwakera washiriki hao na kusababisha kuwepo kwa vurugu kubwa wakidai viongozi hao wamekuwa wababaishaji na hivyo kwa sasa hawana imani nao tena na UNK UNK hivi sasa ni mbegu zao hata hivyo wanachama hao walihoji ni lini fedha zao zitakuwa tayari na watarudishiwa kwani imekuwa muda mrefu sasa wakisubiri huku wakipewa majibu yasiyo UNK hali ambayo walisema kuwa imekuwa ni ya ubabaishaji sasa hata hivyo polisi walifanikiwa kutuliza vurugu katika ofisi hizo na washiriki hao ilipofika majira ya saa nne thebathini waliondoka katika ofisi hizo huku wakiwa hawajaridhika na maelezo ambayo yalitolewa na viongozi wa kampuni hiyo ni kuhusu uteuzi wa ma dc wakurugenzi wengine UNK na daktari slaa kuhusu mishahara baadhi ya wabunge wamehoji uteuzi wa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri mbalimbali unaofanywa na uongozi wa juu kwa maelezo kwamba baadhi yao wanapewa nyadhifa hizo bila kuwa na uzoefu na hivyo kuwa kufanya kazi kama wanafunzi badala ya kuwa viongozi pia wameitaka serikali kuhakikisha kwamba maboresho ya utumishi wa umma UNK wafanyakzi wa kima cha chini badala ya kuwainua vigogo huku watumishi wa chini wakiendelea kulipwa mishahara UNK kukidhi hata mahitaji ya muhimu ya kila siku ya mtanzania wabunge hao walikuwa wakichangia mada katika semina UNK na ofisi ya rais menejiment ya utumishi wa umma kwa lengo la kueleza programu ya pili ya mabadiliko ya UNK wa umma ulioanza kutekelezwa januari mwaka huu hadi ishirini moja moja mtu anatoka shule anapewa ukuu wa wilaya anajua nini badala yake yeye ndiye anaongozwa badala ya kuwa kuongoza watu ninyi utumishi UNK hili vizuri kuna UNK mwingi sana serikali maamuzi ya wanachi UNK muda mrefu bila kutolewa maamuzi sasa mtuambie alisema bwana raynald mrope mbunge wa masasi ccm naye mbunge wa iramba mashariki bwana mgana msindai ccm alisema ma dc na wakurugenzi walikuwa wanapitia kwanza pale magogoni kujifunza utumishi wa utawala sasa ninyi utumishi mtuambie siku hizi wanajifunza wapi alihoji mbunge huyo akizungumzia maboresho ya hali ya maisha mbunge wa mbozi mashariki bwana godfrey zambi ccm alisema maboresho yanayoendelea serikali UNK UNK mtumishi wa kima cha UNK na badala yake UNK zaidi wale wa juu hivyo haiwezi kuwa na UNK kama hayo maboresho yanayoendelea serikalini hayawezi kumsaidia mtumishi wa kima cha chini hayatakuwa na manufaa naona maboresho UNK sana huku juu badala ya wafanyakazi wa chini UNK UNK huku juu ili na wa chini nao wapate alisema bwana zambi alisema licha ya maboresho hayo bado kuna tatizo kubwa la rushwa kwa baadhi ya watumishi hususan katika mikataba na huduma za chini na kuongeza kwamba suala la upandishwaji vyeo pia bado ni tatizo kubwa inayotakiwa kumulikwa zaidi katika programu hiyo ya pili naye mbunge wa peramiho bibi jenista mhagama ccm aliitaka serikali kueleza mafanikio yaliyopatikana katika awamu ya kwanza ikiwa ni pamoja na kuweka wazi iwapo wananchi wamekubali kwamba wanapata huduma bora kwa kuwa ndio walengwa na huduma za serikali zinazotolewa na watumishi wa umma kwa upande wake mbunge wa kongwa bwana job ndugai ccm aliitaka serikali kuwa na utaratibu wa UNK viongozi wote baada ya kila awamu mpya inapoingia madarakani badala ya kazi hiyo kuishia katika ngazi za wilaya kwa maelezo kwamba baadhi ya watendaji wanakuwa wazito kwenda na kasi ya serikali mpya hivyo kukwamisha maendeleo kila baada ya uchaguzi mkuu serikali mpya UNK tunaona uteuzi wa mawaziri wakuu wa mikoa UNK wakurugenzi lakini makatibu tarafa watendaji wa kata wanabaki wale wale nashauri serikali mpya inapoingia mchujo ufike mpaka chini kabisa kumaliza uozo wote kuna tatizo kule kumejaa uozo unaweza kupata kiongozi mzuri lakini kule chini kuna wazito UNK tuondoe uozo wote alisisitiza bwana UNK naye mbunge wa karatu daktari wilbrod slaa chadema aliitaka serikali kueleza kama kanuni ya utumishi wa umma unaruhusu kuwepo kwa nyaraka zenye sura ya UNK za ufisadi au UNK ukweli katika majalada ya serikali na kuhoji kama anayetoa nyaraka hizo ndiye anafanya kosa au kuhifadhiwa katika majalada za serikali ndio kosa baadhi ya wabunge pia walilalamikia sheria ngumu ya utumishi namba nane ya mwaka ishirini sifuri mbili kuwa inawalinda UNK na wanaofanya makosa hivyo kustahili kuondolewa katika utumishi lakini sheria hiyo inawapa haki ya kuendelea kuwepo bila kujali athari zake kwa taifa akijibu hoja za wabunge katibu mkuu wa wizara ya menejiment ya utumishi wa umma bwana george UNK alisema wizara hiyo UNK mamlaka UNK wakuu wa wilaya na wakurugenzi na kuongeza kwamba inachofanya ni kutoa mafunzo ili kusaidia utendaji wao na kwamba serikali inatarajia kuanzisha chuo kwa ajili ya watumishi hao kuhusu swali la daktari slaa la nani anayestahili haki kati ya utunzaji wa nyaraka za UNK za ufisadi na UNK nyaraka hizo bwana UNK alisema jibu iliyotolewa na waziri wa wizara hiyo wiki iliyopita bungeni inatosha katika majibu yake waziri hawa ghasia alisema ni kosa kwa mtu yeyote kuwa na nyaraka za serikali za serikali na kwamba kufanya hivyo ni kosa la jinai na UNK sasa mbunge UNK hivyo atachukuliwa hatua za kisheria mra moja na grace michael kampuni ya dowans imewasilisha pingamizi mahakama kuu ya tanzania kitengo cha biashara ikipinga maombi ya tanesco ya kuzuia kuuzwa kwa mitambo yake pingamizi hilo liliwasilishwa hivi karibuni ambapo UNK kusikilizwa mbele ya jaji robert makaramba wa mahakama hiyo mwishoni mwa wiki hata hivyo usikilizwaji wa pingamizi hilo ulikwama baada ya jaji huyo kuzitaka pande zote mbili kuwasilisha hoja zake kwa maandishi kutokana na hali hiyo upande wa dowans ambao unawakilishwa na wakili bwana abduel UNK ulitakiwa kuwasilisha hoja zake aprili ishirini na nane mwaka huu ambapo wakili wa tanesco daktari alex UNK atatakiwa kuwasilisha hoja zake mei tano mwaka huu na endapo upande wa dowans utakuwa na nyongeza yoyote utawasilisha mei nane mwaka huu ambapo mahakama itatoa uamuzi wa pingamizi hilo mei kumi na tatu mwaka huu katika pingamizi hilo dowans inaomba mahakama kutupilia mbali maombi ya tanesco kwa kuwa imetumia kifungu kisichokubalika katika kuwasilisha maombi yake kwa upande wa tanesco inaiomba mahakama kuzuia kampuni ya dowans kuuza mitambo yake kwa namna yoyote hadi shauri lililowasilishwa na kampuni hiyo kwenye mahakama ya usuluhishi ya kimataifa iliyoko ufaransa litakapotolewa uamuzi pia tanesco inaiomba mahakama kuamuru dowans kuweka mahakamani asilimia kumi ya dola za marekani kumi tisa mia nane na hamsini na saba mia sita na themanini na sita kama dhamana ya gharama zitakazotumika katika kesi iliyopo ufaransa inadaiwa juni ishirini na tatu ishirini sifuri sita tanesco iliingia makubaliano ya uzalishaji wa umeme wa dharura na kampuni ya richmond ambayo ilielekeza majukumu yake kwa kampuni ya dowans holding s a na baadaye dowans holding nayo ilielekeza majukumu yake kwa kampuni yake dada ya dowans tanzania ltd baada ya mapitio ya makubaliano hayo na upungufu uliojitokeza juni thebathini mwaka jana tanesco UNK dowans ikieleza kuwa uhamishaji wa majukumu ya kiutendaji katika kampuni hizo haukuwa halali novemba mbili mwaka jana dowans ilifungua kesi ikidai dola za marekani kumi tisa mia nane na hamsini na saba mia sita na themanini na sita kama gharama za huduma za umeme ambazo zilikuwa hazijalipwa na zamzam abdul wakazi wa kijiji cha UNK kata ya UNK tarafa la ifakara wilaya ya kilombero mkoani morogoro wamemlalamikia mkuu wa wilaya hiyo bwana evarist UNK na mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya hiyo bwana mark UNK kwa kuwanyangganya ardhi yao kwa ajili ya kumpa mwekezaji wakizungumza kwenye ofisi za gazeti hili dar es salaam jana wakazi hao walisema ardhi yao ambayo ni ya kijiji chenye hekta tatu themanini sifuri inadaiwa kutaka kupewa mwekezaji na viongozi hao jambo ambalo UNK bwana UNK haule akizungumza kwa niaba ya wenzake alisema hawapo tayari kumuachia mwekezaji huyo kwani wana uwezo wa kumiliki na kuwekeza wenyewe katika eneo hilo tunashangaa kwa kitendo hicho ambacho ni cha UNK sasa leo hii wanataka kutuondoa katika ardhi yetu ambapo ndio makazi tunayoishi tuna mashamba pamoja na shule wanategemea tutaenda wapi alisema bwana haule walisema kuwa cha kusikitisha zaidi viongozi hao walidai rais jakaya kikwete alitoa agizo la kuchukuliwa kwa ardhi hiyo ili apewe mwekezaji jambo ambalo si la kweli kwa sasa tunakwenda kumuona rais kwani UNK malalamiko katika ofisi yake na UNK UNK mkuu wa mkoa ili UNK kwa umakini tatizo hilo lakini mpaka sasa hakuna kinachoendelea zaidi tunaambiwa tuvute subira wakati mkuu wa mkoa anafanya uchunguzi ili kupata ufumbuzi wa tatizo letu alisema bwana haule aliongeza kuwa UNK rais kikwete kuliangalia suala hilo kwa makini kwani kuna hatari ya damu kumwagika na lengo lao si machafuko kama hayo yatokee kama yale ya tarime na mwandishi wetu singida mbunge wa singida mjini bwana mohammed dewji amesikitishwa kutokana na shule na vijiji jimboni kwake kushindwa kulitumia trekta UNK shilingi milioni ishirini na tano dewji aliyasema hayo juzi mjini hapa wakati akizungumzia utekelezaji wa ahadi zake katika mkutano mkuu maalum wa ccm wilaya ya singida mjini uliofanyika ukumbi wa askofu UNK alisema amejitahidi UNK kila sekta kuanzia elimu afya kilimo michezo na hata burudani ambapo katika kilimo juhudi zake zilianza kwa kukabiliana na uhaba wa chakula baada ya kutoa msaada wa tani kumi sifuri zenye thamani ya shilingi milioni arobaini kuanzia pale nilijifunza mengi nikapata wazo la kutafuta ufumbuzi wa kudumu ni kutoa trekta UNK mashamba ya shule na vijiji ili mazao yatakayopatikana UNK katika maghala lakini trekta lile UNK hadi sasa alisema dewji mbunge huyo alisema mara baada ya kikao hicho UNK tena na madiwani ili wapate ufumbuzi juu ya matumizi ya trekta hilo ndani ya jimbo lao alisema UNK shilingi bilioni moja tano katika kutekeleza ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka ishirini sifuri tano na kuongeza kuwa anapata faraja kubwa kuchangia maendeleo ya jimbo lake kwa upande wa elimu mbunge huyo UNK watoto moja sifuri sifuri sifuri alisema anajivunia kujenga vyumba vya madarasa nyumba za walimu na maabara katika kila kata ikiwemo kuweka samani kwa gharama ya shilingi milioni mia tano na ishirini na moja kiasi kama hicho kinatarajiwa pia kutumika katika kuondoa tatizo la maji huku tayari shilingi milioni mia mbili na hamsini na tano zikiwa UNK kwa ajili ya kuchimba visima katika kata mbalimbali za jimbo lake alisema baada ya kufanikiwa kuongeza mara saba idadi ya shule za sekondari kutoka mbili hadi kumi na tano sasa ni zamu ya wana singida kujipanga kuhakikisha zinajengwa shule za kidato cha tano na cha sita na mwandishi wetu mtwara kampuni ya a to z textile mills limited ya arusha imeanza kusambaza vyandarua mia nne na sabini sifuri sifuri sifuri aina ya olyset vyenye dawa inayodumu kwa miaka mitano kwa mikoa ya lindi na mtwara mradi huo ambao ni wa serikali una lengo la kuwapatia watoto walio chini ya umri wa miaka mitano ambapo UNK katika kipindi cha kuanzia mwezi huu hadi katikati ya mwezi ujao akizungumza katika maadhimisho ya siku ya malaria mjini hapa juzi meneja wa mradi wa kupambana na malaria nchini daktari alex mwita alisema a to z imepewa jukumu la kutengeneza na kusambaza vyandarua hivyo kwa UNK na shirika lisilo la kiserikali la UNK tayari mpango huu UNK katika mkoa wa tanga na wilaya ya mpanda mkoani rukwa alisema na kuongeza kuwa awamu nyingine ya mpango huo itaanza julai katika kanda ya ziwa ukijumuisha mikoa ya mwanza mara na kagera tunatarajia kusambaza vyandarua milioni saba mbili kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano katika kipindi cha mwaka mmoja kuanzia sasa alisema naye meneja wa masoko wa a to z bwana sylvester kazi alisema kampuni yake kwa kushirikiana na wadau wengine imeshaanza kuainisha maeneo husika ambayo vyandarua hivyo UNK na wanatarajia kukamilisha lengo ndani ya muda UNK a to z ambayo ina ubia na kampuni ya kimataifa ya UNK UNK ya japan inaendesha kiwanda cha kisasa mkoani arusha ambacho kinazalisha chandarua ya olyset ambayo inatumia teknolojia ya UNK UNK dawa kwa muda wa miaka mitano wakati huo huo a to z imetoa msaada wa vyandarua kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi na viungo wa mkoani mtwara kama sehemu za kuadhimisha siku ya malaria duniani iliyoadhimishwa kitaifa mjini hapa na grace michael rais jakaya kikwete jana aliongoza mamia ya watanzania kuadhimisha miaka arobaini na tano ya muungano wa tanganyika na zanzibar ambapo rais wa zanzibar amani abeid karume alikwama kuungana katika maadhimisho hayo kutokana na ndege kukwama kutua katika uwanja vya zanzibar hatua ya kukwama kufika kwa rais huyo katika maadhimisho hayo ilijulikana uwanjani hapo baada ya mtangazaji kutoa tangazo UNK wananchi kuvuta subira kutokana na ndege iliyotoka bara kukwama kutua uwanjani huko ambako ilikwenda UNK jamani rais wa zanzibar UNK kidogo kufika katika viwanja hivi na hii inatokana na hali ya hewa ambayo imesababisha ndege iliyokwenda kumchukua kukwama kutua hivyo tusubiri kidogo alitangaza mtangazaji wa sherehe hizo hata hivyo jitihada za kumsubiri rais huyo zilikwama na UNK chochote kuhusiana naye bali rais kikwete aliingia uwanja wa uhuru saa nne ishirini na tano ambapo alitakiwa kuingia saa tatu sifuri sifuri asubuhi katika kuadhimisha sherehe hizo mizinga ishirini na moja ilipigwa na rais kikwete alikagua gwaride na baada ya hapo lilipita mbele yake kwa heshima ikiwa ni mwendo wa pole na haraka ikifuatiwa na kuruka kwa ndege za kivita ambapo UNK mbili kutokana na hali ya hewa kuwa mbaya mbali na gwaride hilo pia kulikuwa na maandamano ya vijana waliozaliwa aprili ishirini na sita elfu moja na mia tisa na sitini na nne ambao kwa umoja wao walifika mbele ya rais kikwete na kurusha njiwa waliokuwa nao kila mmoja maandamano hayo pia UNK na waendesha pikipiki mia moja na hamsini kutoka tanzania bara na visiwani ambao nao UNK na UNK baiskeli kumi sifuri pia maonesho mengine yalikuwa ni ya kikosi ya cha polisi ambacho kinatumia mbwa katika kupambana na uhalifu mbalimbali ikiwemo dawa za kulevya kukamata majambazi na kutegua mabomu mbali na hayo pia waasisi wa muungano ambao walishiriki katika kuchanganya mchanga wa bara na visiwani nao walipita mbele ya mgeni rasmi wakiwa wameshika UNK na chungu ambavyo UNK katika zoezi la muungano wa nchi mbili waasisi hao ni bibi sifael mushi ambaye kwa kipindi hicho alikuwa na umri wa miaka ishirini na tisa bwana hassan omar mzee aliyekuwa na miaka kumi na sita pamoja na bibi hadija abbas rashid ambaye naye alikuwa na umri wa miaka kumi na sita kutokana na hali ya mvua kuongezeka baadhi ya vikundi vya ngoma UNK nafasi ya kutumbuiza na badala yake nafasi hiyo UNK kwa vikundi viwili tu kimoja kutoa zanzibar na kingine bara maadhimisho hayo yalihudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo mama maria nyerere makamu wa rais daktari mohamed ali shein waziri kiongozi wa zanzibar shamsi vuai nahodha waziri mkuu bwana mizengo pinda na wengine na suleiman abeid shinyanga askari mmoja wa kike wa jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani wilayani bukombe mkoani shinyanga bibi mwajuma rajab anadaiwa kukatisha masomo ya kijana mmoja wa kiume bwana kulwa william au kwa jina lingine wilfred UNK kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kijana huyo anadaiwa kushindwa kufanya mitihani yake ya kumaliza kidato cha nne mwaka jana baada ya kuleweshwa penzi la trafiki huyo licha ya kushauriwa na wenzake kutoacha masomo kijana huyo alifikia uamuzi wa kukatisha masomo januari baada ya kuvunja ghafla safari ya kwenda shuleni nchini uganda akiwa kituo cha mabasi mjini ushirombo kitendo ambacho kiliwashangaza wenzake bibi mwajuma alikiri kuwa na uhusiano ya kimapenzi na mwanafunzi huyo lakini alikanusha madai ya kumkatisha masomo yake kwani mwenyewe ndiye aliyeanza kumtaka kimapenzi mwishoni mwa mwaka ishirini sifuri sita alisema wakati huo UNK ombi hilo na hakufahamu kama ni mwanafunzi kwani alimuona kama kijana wa kawaida wa mitaani mwanzoni mwa mwaka ishirini sifuri saba ndipo UNK ombi lake na kuanza naye uhusiano wa kimapenzi ni kweli mimi na kulwa tuna uhusiano na hivi sasa ni UNK lakini si kweli kwamba UNK masomo huyu ni kijana mkubwa tu na alikuwa UNK sekondari kama inavyodaiwa mimi nafahamu UNK kompyuta uganda alisema bibi UNK alisema januari mwaka jana baada ya likizo yake ya miezi mitatu bwana kulwa UNK mizigo yake na UNK kuwa anakwenda chuoni kuendelea na masomo hata hivyo alisema alishangaa kumuona bwana kulwa akirejea ghafla nyumbani akiwa na mizigo yake na alipomuuliza sababu alieleza kuwa ameamua kutokwenda chuoni baada ya baba yake anayeishi wilayani kahama kumpigia simu kuwa alikuwa na matatizo katika biashara zake alisema bwana kulwa kama alivyodai mwenyewe aliombwa na baba yake arejee nyumbani ili amsaidie kazi zake za biashara na kama ni masomo UNK kuendelea nayo baadae bibi mwajuma alisisitiza kuwa hiyo ndiyo sababu ya bwana kulwa kuacha kuendelea na masomo na siyo sababu ya kuleweshwa penzi alilokuwa UNK naye bwana kulwa alikana kukatisha masomo sababu ya mwanamke na si mwanafunzi wa sekondari kwani UNK kidato cha nne mwaka ishirini sifuri tano katika shule ya UNK wilayani sengerema mkoani mwanza UNK chuo UNK UNK kompyuta nchini uganda kuwa ni kampala international UNK na hivi sasa anafanya mipango ya kuendelea na masomo yake nchini iwapo atapata chuo cha mafunzo hayo jijini mwanza na edmund mihale washiriki wa mchezo wa upatu wa development enterpreneurship for community intiative wamewataka viongozi wa kampuni hiyo kutoa kauli itakayowapa matumaini ya kurudishiwa mbegu zao wakizungumza na majira kwa nyakati tofauti jana makao makuu ya deci yaliyopo mabibo dar es salaam walisema UNK uongozi wa kampuni hiyo kwa kushindwa kuweka wazi mambo yanayowahusu washiriki katika kampuni hiyo uongozi UNK kila siku tuko hapa lakini UNK kukutana na wasaidizi tu na ndiyo wanatupa habari za kusitishwa kwa shughuli zote za deci na wala si uongozi alisema mmmoja wa washiriki hao walisema UNK tamaa na ukimya wa viongozi wa kampuni hiyo kwani kila siku wamekuwa wakishinda katika ofisi hizo hali ambayo UNK kurudi nyuma kimaendeleo walisema kutokana na ukimya huo ambao ni kati ya serikali na viongozi wa kampuni hao wameshindwa kujua ni lini na nani UNK mbegu hizo washiriki hao walisema tangu kusimamishwa kwa shughuli za kampuni hiyo viongozi hao UNK nao kama ilivyokuwa awali majira ilishuhudia kundi dogo UNK katika ofisi hizo ili kujiorodhesha na kisha kurudishiwa mbegu hizo huku wakiwa katika hali kukata tamaa wengine wakiwa katika majadiliano ya hapa na pale akizungumza kwa njia ya simu jana mkurugenzi mtendaji kampuni hiyo bwana timoth ole loitinnggye alisema uongozi huo hauko tayari kusema lolote kwa kuwa mambo yote yanayohusu kurejeshwa au UNK kwa mbegu hizo yapo UNK mwa tume iliyoundwa na serikali ndugu kwa sasa sisi tuna kazi ya kuhakiki washiriki wetu na tupo makini kuhakikisha wale tu wanaostahili wanapata mbegu zao kwa hiyo siko tayari kuzungumza ni lini UNK mbegu alisema bwana ole loitinnggye na shukrani kawogo jeshi la polisi kanda maalumu ya dar es salaam linawashikilia watu wanne wanaotuhumiwa kuwa majambazi sugu nane kwa kutuhuma za kuiba kompyuta sita na gari namba stk hamsini mbili mali ya ofisi ya mkurugenzi wa mashitaka ya jinai gari hiyo ndiyo iliyokuwa imebeba kompyuta hizo siku ya tukio ambazo zilikuwa zinatakiwa kusambazwa katika ofisi za dpp zilizoko mikoani akizungumzia tukio hilo jana kamanda wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam bwana UNK kova alisema lilitokea machi tano mwaka huu saa tatu usiku eneo la tabata UNK jijini alisema baada ya kutokea tukio hilo polisi walifanikiwa kumkamata dereva wa gari namba stk hamsini mbili bwana ally ramadhani ambaye anasadikiwa kushirikiana na majambazi hayo UNK dereva ambaye baada ya kubanwa aliwataja majambazi hao na hatimaye kufanikiwa kuwakamata baadhi kwani wengine wamekimbia pamoja na gari hiyo siku ya tukio alisema alisema sababu za kumkamata dereva huyo ilitokana na mazingira ya tukio kwani alitakiwa kulaza gari hilo eneo salama badala yake aliamua kulaza tabata ambapo muda mfupi baadaye majambazi yaliyokuwa na silaha yalitokea na kuondoka na gari hiyo kamanda huyo alisema kukamatwa kwake kulisaidia kufanyika msako ambao UNK kupatikana kwa kompyuta hizo ambazo UNK kwa dpp baada ya kesi kumalizika gari bado UNK hadi sasa aliongeza kuwa majambazi hayo ni sugu lakini watano kazi yao ni kuiba na kisha kupeleka kwa wenzao watatu ambao kazi yao ni kupokea mizigo ya wizi alitumia nafasi hiyo kutoa ufafanuzi kuwa kompyuta zilizoibiwa haina maana kwamba ni zile ambazo UNK na dpp bali ni nyingine mpya ambazo zilikuwa UNK UNK hata hivyo alisema kitendo cha dereva huyo kupaki gari katika maeneo yasiyokuwa salama ni makosa kwani alishauriwa kuweka eneo lolote la polisi mpango wa utafiti na elimu ya demokrasia umesema kupanda kwa gharama za maisha huduma mbaya za jamii rushwa viongozi wabovu ufisadi ukosefu wa ajira kudorora kwa kilimo na mikataba mibovu ndiyo mambo yanayokwamisha utendaji wa rais jakaya kikwete hata hivyo utafiti huo ulibainisha kuwa watanzania wengi waliohojiwa wanaonekana kuwa na imani na rais kikwete kuliko baraza lake la mawaziri na chama chake cha ccm mtafiti mkuu wa redet daktari UNK kiliani na makamu mwenyekiti wa mpango huo daktari benson bana waliwaambia waandishi wa habari dar es salaam jana kuwa matokeo hayo ya utafiti wa novemba ishirini sifuri nane UNK mikoa yote ya tanzania kwa kuchagua wilaya moja kila mkoa na watu hamsini daktari kiliani alisema kati ya waliohojiwa asilimia thebathini na tisa tano walisema wanaridhika sana na utendaji wa rais kikwete asilimia thebathini na tisa sifuri wanaridhika kiasi huku asilimia kumi na tisa tatu wakisema hawaridhiki na utendaji alisema takwimu hizo UNK na utafiti wa oktoba ishirini sifuri sita na oktoba ishirini sifuri saba kutathimini uongozi wa rais kikwete tangu aingie madarakani ni kwamba asilimia ya wanaosema wanaridhika sana na utendaji wake inapungua kutoka sitini na saba mwaka ishirini sifuri sita hadi arobaini na nne mwaka ishirini sifuri saba kufikia thebathini na tisa tano utafiti huo UNK kuwa sababu zilizotolewa na watu ambao hawaridhiki na utendaji wa rais ni kushindwa kwake kuboresha maisha kuchagua viongozi wasiofaa kushindwa kupambana na rushwa na utafiti ulifanywa kipindi vigogo wakipelekwa kortini kwa tuhuma za wizi wa fedha za epa daktari kiliani alisema UNK wengi waliotoa tathmini yao ya utendaji kazi wa serikali na baadhi ya taasisi zake kiwango cha kuridhika sana kilikuwa chini ya asilimia arobaini kwa kila asasi iliyokuwa kwenye UNK katika orodha hiyo bunge liliibuka kidedea kwa asilimia serikali za mitaa jeshi la polisi mahakama baraza la mawaziri na taasisi ya kupambana na kudhibiti rushwa UNK mkia kwa kuambulia asilimia kumi na tatu nne tu alibainisha kuwa watu wengi bado hawaridhiki na jinsi serikali ya rais kikwete inavyoshughulikia matatizo kama migomo ya wanafunzi vyuo vikuu migomo ya walimu suala la epa na sakata la oic katika suala la imani kwa viongozi wa serikali rais kikwete aliongoza kwa kuwa na asilimia hamsini tatu akifuatiwa na waziri mkuu bwana mizengo pinda hamsini na nne sita makamu wa rais daktari ali shein arobaini na nane tano mkuu wa mkoa husika thebathini na sita tatu na mbunge kwenya jimbo thebathini na mbili mbili kuhusu utendaji wa rais amani karume na serikali yake visiwani zanzibar utafiti unasema kuwa ingawa katika matokeo ya mwaka ishirini sifuri sita ishirini sifuri saba alionekana kushuka katika matokeo ya ishirini sifuri nane amepanda kidogo kutoka asilimia thebathini na tano tano hadi arobaini na nne na joyce ngowi serikali itapiga mnada tani mia mbili na tisini na sita za samaki waliokamatwa katika meli ya mv UNK iliyokuwa UNK kinyume cha sheria ndani ya bahari ya hindi eneo la tanzania fedha zitakazopatikana zitawekwa katika akaunti maalum kama UNK cha kesi hiyo inayoendelea ikihusisha meli hiyo ya kigeni akizungumza jana dar es salaam mkurugenzi mwendeshaji wa kampuni ya udalali ya yono iliyopewa tenda na wizara ya maendelea ya mifugo na uvuvi bibi UNK kevela alisema samaki hao UNK mnada mei mbili mwaka huu baada ya kukamatwa meli hiyo haramu serikali yetu iliamua kuwahifadhi samaki hao kampuni ya bahari UNK ltd ili kusubiri maamuzi ya mahakama na kuamua kutafuta kampuni UNK kwa mnada ili UNK alisema bibi UNK na kuongeza fedha zitakazopatikana katika mnada huo UNK kwenye akaunti maalum kama kidhibiti cha kesi hiyo sasa tunafanya tathimini ya samaki hao baada ya kuteua kamati inayoshughulikia mnada huo alisema wameanza utaratibu wa kuwasiliana na wafanyabiashara mbalimbali ambao UNK na kuwauza kwa wafanyabiashara wadogo wadogo akizungumzia hali za samaki hao alisema hadi sasa wapo katika hali nzuri kwani wamehifadhiwa katika sehemu maalum na edmund mihale uongozi wa kampuni ya development enterpreneurship for community intiative umesema utaanza kurudisha mbegu baada ya zoezi la kuorodhesha na kuhakiki wanashiriki wanaostahili kulipwa UNK UNK na gazeti hili jana mkurugenzi mtendaji wa deci bwana timoth ole loitinnggye alisema kutokana na muda waliopewa na serikali kuwa mfupi watajitahidi kusimamia zoezi hilo kwa umakini zaidi na kwa muda mfupi unajua nguvu ya kuivunja deci ilikuwa kubwa mno nasi hatukuwa tumejipanga vizuri naweza kusema kuwa UNK masharti tuliyopewa na serikali kuorodhesha washiriki na tukimaliza nadhani tutaanza kurudisha mbegu alisema bwana ole loitinnggye alisema kwa sasa serikali imewataka kuhakiki wanachama wanaotakiwa kurudishiwa mbegu zao ndipo itoe utaratibu wa kufanya ratiba iliyotolewa na uongozi wa kampuni hiyo inaonesha siku na tarehe ya kuandikishwa kwa washiriki wanaotakiwa kunggoa mbegu unatarajia kumalizika juni mwaka huu mkurugenzi huyo amewataka washiriki hao kuheshimu utaratibu uliowekwa na kampuni hiyo hadi hapo serikali itakapotoa utaratibu mwingine majira lilishuhudia mamia ya washiriki hao wakiwa katika ofisi za kampuni hiyo huku wakiwa katika mijadala UNK wengi wakihoji ukimya wa viongozi wa kampuni hiyo hata hivyo makundi hayo yalianza kutawanyika baada ya mhudumu ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja katika ofisi za deci makao makuu mabibo kuwatangazia washiriki waliokuwa wakiendelea kumiminika kuwa hawatatoa malipo kwani bado serikali inashikilia akaunti zao UNK malipo kwa sasa na UNK tunaanza kulipa lini kwani fedha zote UNK na serikali hadi shughuli zote za kujiorodhesha UNK na UNK siku ya kulipwa kama tutakuwa UNK fedha zetu UNK alisema mhudumu huyo baadhi ya washiriki waliozungumza na majira tayari wamekata tamaa kurudishiwa mbegu zao kwani awali uongozi UNK kuwarudishia kuanzia aprili ishirini na tano mwaka huu na baadaye kubadilishwa wamedai kuwa baada ya hapo uongozi ulidai kuwa ungeanza kuwalipa baada ya wiki mbili jambo ambalo wamedai kuwa lina mpango wa UNK ili UNK hivi karibuni benki kuu ya tanzania ilitoa tangazo na kutoitambua kampuni hiyo na kuwahadharisha wananchi kutojihusisha na kampuni hiyo kutokana na kuendesha shughuli zake kinyume cha sheria na reuben kagaruki biharamulo mazishi ya marehemu phares kabuye aliyefariki kwa ajali ya gari april ishirini na nne mwaka huu mkoani morogoro akiwa njiani kwenda kuhudhuria mkutano mkuu wa taifa yalifanyika jana kijijini kwao UNK mkoa wa kagera mwili wa marehemu UNK juzi jioni kwa ndege ya kukodi na kupokelewa na umati mkubwa uliojitokeza uwanja wa ndege kutoka wilayani hapo na UNK na viongozi wa taifa wa tlp ukiongozwa na mwenyekiti wao bwana mrema marehemu kabuye ameacha wajane wawili watoto sita na wajukuu watano ibada ya UNK nyumbani kwa marehemu kabuye ikiongozwa na mchungaji elias UNK wa kanisa la UNK miongoni wa viongozi wa serikali na vyama vya siasa waliohudhuria mazishi ni bwana augustino mrema wa tlp mbunge wa karagwe bwana UNK UNK mwenyekiti wa chadema bwana freeman mbowe na viongozi wenzake zaidi ya thebathini waliomo mkoani kagera wakiendesha UNK UNK viongozi UNK i waliohudhuria ni pamoja na mbunge wa chato ambaye pia ni waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi bwana john magufuli mkuu wa wilaya ya biharamulo bwana ernest UNK akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya serikali bwana magufuli alisema kabuye alikuwa mchapa kazi na ameacha pengo kubwa bwana magufuli alitoa salaamu za rambirambi UNK na rais kikwete na kukabidhi familia ya marehemu shilingi laki tano alizotoa mwenyewe mfukoni kwake na edson kamukara serikali imejipanga kudhibiti kwa kufuatilia mienendo ya wasafiri katika viwanja vya ndege na mipakani ili kuzuia kuingia nchini ugonjwa wa mafua ya nguruwe msemaji wa wizara ya afya na ustawi wa jamii bwana nsachris mwamwaja aliwaambia waandishi wa habari dar es salaam jana kuwa ugonjwa huo huambukizwa kwa njia ya hewa kwa nguruwe na kirusi kiitwacho UNK a UNK alisema ugonjwa huo mbali na kuambukizwa kwa nguruwe kwa nguruwe vilevile unaweza kuambukizwa baina ya binadamu au binadamu kwa nguruwe alizitaja dalili za ugonjwa huo kuwa kwa binadamu ni sawa na dalili za mafua ya kawaida pamoja na homa kukohoa maumivu ya koo kukosa hamu ya chakula maumivu ya mwili kuumwa kichwa UNK baridi na mwili kuchoka kwa nguruwe alisema dalili zake ni homa ya ghafla UNK kuzubaa kukohoa mafua kupiga chafya kupumua kwa shida macho kuwa mekundu na kugoma kula bwana mwamwaja alisema ili kujikinga na ugonjwa wananchi wanapaswa kunawa mikono vizuri kwa sabuni na maji mara kwa mara kutokuwa karibu na watu UNK kuwa na dalili kuzui midomo na pua kwa UNK wakati wa kukohoa au kupiga UNK alisema katika kujiandaa kukabiliana na ugonjwa huo serikali ina vifaa vya kutosha kwa makundi maalum ambayo yatahusika kwa karibu iwapo UNK UNK nchini alisema kuwa kwa sasa ugonjwa wa mafua ya nguruwe UNK na kuzuilika kwa dawa ya aina ya tamiflu au UNK na hakuna chanjo kwa binadamu ugonjwa huo UNK tena machi mwaka huu na hadi sasa nchi nane ambazo ni mexico marekani canada UNK hispania ufaransa israel na brazil zimeripotiwa kuwa na mambukizi adai tatizo ni kuyumba utawala wa UNK amtaka mkapa UNK kwa watanzania na said mwishehe kauli ya mwenyekiti wa kampuni za ipp bwana reginald mengi kutaja majina ya mafisadi papa imezidi kuwasha moto baada ya mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba kumvaa akidai anajipendekeza kwa rais jakaya kikwete kwa bei rahisi UNK lipumba alidai mbali ya kujipendekeza anapanda mbegu ya ubaguzi kwa watanzania majina ya mafisadi papa waliotajwa wote wana asili ya kiasia huku kauli ya profesa lipumba imekuja siku moja baada ya waziri wa nchi ofisi ya rais bibi sofia simba na waziri wa habari utamaduni na michezo bwana george mkuchika kupinga hatua hiyo ya bwana mengi na kudai UNK profesa lipumba alisema jijini dar es salaam jana kuwa kauli ya bwana mengi haisaidii vita dhidi ya rushwa bali UNK na kupoteza malengo ya mapambano ya uovu huo bwana mengi ametoa kauli anayodai UNK mkono rais kikwete katika vita UNK ya kupambana na ufisadi amedai mafisadi wapo kumi kati ya hayo mafisadi papa ni watano ambapo UNK ufisadi utamalizika bwana mengi anadai watumishi wa serikali UNK au kulazimishwa na mafisadi wakubwa mfumo wa maamuzi na watendaji serikalini siyo tatizo la msingi la ufisadi sidhani kama kweli hiyo ndiyo sababu ya kuwepo kwa ufisadi alisema profesa lipumba aliongeza bwana mengi hapambani na ufisadi kama anavyodai bali UNK malengo ya mapambano hayo tatizo la ufisadi linasababishwa na ukosefu wa uongozi imara wa rais jakaya kikwete sioni kama bwana mengi amefanya ujasiri wowote hapa kama ana ushahidi mzuri kuhusu mafisadi alipaswa kuwasiliana na vyombo husika pamoja na takukuru ili waweze kushughulikiwa jambo la busara ilikuwa kuchukua ushahidi alionao na kuupeleka kwa rais kama rais UNK ushahidi huo ndipo UNK na kueleza umma alidai profesa lipumba profesa lipumba alidai bwana mengi anacheza karata ya ubaguzi wa rangi kwa kutaja majina hayo anataka kuufanya umma wa watanzania uamini tatizo la ufisadi UNK na wahindi wachache hii ni dhana potofu na ya hatari hasa ukizingatia baadhi ya wananchi wengi wana mashaka na uzalendo wa watanzania wenye asili ya UNK anatumia vita dhidi ya ufisadi kupanda mbegu ya ubaguzi alisema profesa lipumba alisisitiza maamuzi na kutowajibika ndani ya serikali ndiyo chanzo cha kuongezeka kwa rushwa na siyo wahindi wachache UNK mbegu za ubaguzi wa rangi UNK na kuingia katika ubaguzi wa kidini na wa ukabila alisema profesa lipumba akizungumzia utendaji kazi wa serikali ya rais kikwete alisema imeshindwa kuwatumikia watanzania kutokana na kukosekana uongozi madhubuti na utawala bora alisema kwa hali hiyo ndio maana kila siku baadhi ya viongozi wamekuwa wakihusishwa na ka kashfa mbalimbali zikiwemo richmond na sakata la wizi wa akaunti ya madeni ya nje katika benki kuu ya tanzania uongozi wa rais kikwete na chama chake cha ccm umeshindwa baadhi ya watu UNK nchi kwa rushwa alisema alisema kutokana na kukosekana uongozi bora rushwa UNK mifumo ya sekta ya elimu uchumi uwekezaji na maeneo mengine ya maendeleo hali hiyo imesababisha watanzania kushindwa UNK matunda ya kukua kwa uchumi alisema akitoa mfano wa kukosekana kwa uongozi bora alidai ndio uliochangia ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali kuingia mikataba mingi feki UNK taifa pabaya alisema umefika wakati wa rais kikwete kujipanga na kuhakikisha kesi za rushwa UNK ipasavyo pia alimtaka rais mstaafu benjamin mkapa kuwaomba radhi watanzania kwa sababu katika utawala wake ziliibuka tuhuma nyingi za ufisadi juzi bwana mengi alikaririwa UNK na kauli za mawaziri UNK hatua yake ya kutangaza mafisadi papa mimi UNK kwa mwenyezi mungu na kwa masikini watanzania UNK kwa sababu hajui UNK bwana mengi alikaririwa ajibu kauli ya waziri simba asema alikuta wengine watatu wamelala chini adai afande zombe alimtisha asiseme ukweli UNK UNK tume ya jaji kipenka mshitakiwa wa kumi na mbili katika kesi ya mauaji ya wafanyabiashara watatu toka mahenge na dereva teksi wa jijini dar es salaam d elfu nne na mia sita na hamsini na sita pc rajabu bakari ameieleza mahakama kuu kanda ya dar es salaam kuwa alishuhudia pc saad UNK marehemu mmoja kati ya marehemu wanne katika msitu wa pande mshitakiwa huyo akiongozwa na wakili wake wa utetezi denis msafiri alieleza kuwa januari kumi na nne mwaka ishirini sifuri sita akiwa msitu wa pande alishuhudia pc saad ambaye alikimbia baada ya tukio UNK risasi marehemu mmoja kati ya wanne huku miili ya watu wengine watatu UNK ikiwa imelala chini alieleza kuwa baada ya tukio la mauaji kumalizika miili ya marehemu ilichukuliwa na kupakizwa ndani ya gari aina ya landrover defender ambapo dereva pc james UNK na afande bageni kuipeleka miili hiyo katika hospitali ya taifa muhimbili akielezea tukio hilo mshitakiwa rajabu alisema kuwa anakumbuka januari kumi na nne mwaka ishirini sifuri sita alikuwa katika kituo chake cha kazi polisi UNK na kupangiwa doria na mkuu wao wa kazi ambapo katika kundi lao walipangwa yeye na askari wenzake ambao ni saad na marehemu rashid UNK alisema kuwa UNK kazi maeneo ya mwananyamala mikocheni na kinondoni ambapo yeye alipewa silaha aina ya bastola na wenzake walipewa bunduki aina ya smg ambapo pia walipewa usafiri wa gari aina ya UNK pajero ambayo namba zake alidai UNK na kuanza safari ya kwenda doria alieleza kuwa baada ya kumaliza doria walirudi kituoni kwa ajili ya kwenda kutoa taarifa kwa mkuu wao wa kazi ambaye ni mshitakiwa namba mbili bagen lakini kabla ya kufika kwa bagen majira ya saa kumi na mbili jioni alikutana naye akiwa UNK ngazi kuelekea nje alieleza kuwa baada ya kukutana na bagen kwenye ngazi na kabla UNK taarifa ya doria bagen alimwambia mshitakiwa huyo kuwa wapande kwenye gari kuelekea barabara ya sam nujoma alisema kuwa haikuchukua muda bagen marehemu rashid na saad walipanda kwenye gari yao ambalo walirudi nalo toka kwenye doria na kuondoka kuelekea barabara ya sam nujoma aliongeza kuwa wakiwa wanaelekea huko bagen aliwaambia kuwa kuna majambazi wamefanya uporaji wa kampuni ya bidco na walipofika sam nujoma UNK gari lori lililokuwa kati ya barabara pamoja na watu wanne alisema kuwa walipokuwa wanakwenda kwenye tukio la kampuni ya bidco walipita barabara ya ali hassan mwinyi kinondoni UNK mwananyamala kisha wakatokea sinza na kuelekea barabara ya sam nujoma mshitakiwa huyo UNK na wakili wake wake msafiri kama anawafahamu watu wanne aliowakuta pale kwenye tukio la UNK alikana kuwafahamu mshitakiwa aliendelea kudai kuwa ndipo bagen alipoanza kuwahoji wale watu aliowakuta pale ambapo UNK kuwa wao ni wafanyakazi wa kampuni ya bidco na walitokea majambazi wanne na kuwatishia bastola kisha kuwapora milioni tano alidai kuwa baada ya bagen kuwahoji wale wafanyakazi wa bidco alimuona UNK pembeni huku akiwa anaongea na simu ya mkononi alisema wakati bagen akiwa anaendelea kuongea na simu lilifika gari la polisi la chuo kikuu likiwa na askari pamoja na watu wanne waliokuwa UNK chini pamoja na gari nyingine dogo aina ya saloon yenye rangi ya dark blue likifuatiwa na gari lingine saloon yenye rangi nyeupe mshitakiwa huyo aliendelea kudai kuwa baada ya magari hayo kufika watu wanne waliokuwa kwenye gari la chuo kikuu walishushwa ambapo bagen aliwauliza wafanyakazi wa kampuni ya bidco kama UNK wale watu wanne waliokamatwa sinza alidai kuwa dereva wa bidco alijibu kuwa anamfahamu mmoja kati ya wale wanne ambaye ndiye UNK pesa na baada ya muda ilifika gari aina ya defender yenye namba za usajili UNK elfu sita na mia tano na hamsini na tisa kutoka kituo cha polisi oysterbay likiwa na askari polisi wanne mshitakiwa huyo aliwataja baadhi ya askari hao wanne waliofika na defender toka oysterbay kuwa ni pc UNK pc john na pc abubakar ambapo mshitakiwa wa pili bagen aliamuru wale waliokuwa kwenye pick up kushuka na kuingia kwenye UNK alisema kuwa baada ya hapo magari yote UNK kuelekea ubungo ambapo walipofika ubungo dereva wa chuo kikuu aliamriwa kupeleka gari katika kituo cha polisi urafiki rajab alisema kuwa gari aina ya UNK pamoja na defender ziliingia barabara ya morogoro kuelekea kimara ambapo kituo cha kwanza waliingia kituo cha mafuta kwa ajili ya kuweka mafuta alisema baada ya kuweka mafuta waliondoka hadi kituo cha polisi mbezi luis ambapo bagen alishuka na kuingia kituoni na baada ya muda bagen alirudi akiwa ameongozana na askari ambaye alikuwa amevaa sare alisema kuwa waliondoka kituo cha polisi mbezi louis kama wanaelekea mjini ambapo walipofika katika kituo cha daladala wakili msafiri baada ya kutoka kituo cha polisi mbezi mlikwenda wapi mshitakiwa UNK magari kama tunaelekea mjini na tukafika kwenye kituo cha daladala wakili msafiri kituo gani mbezi au mshitakiwa hapana sifahamu wakili mlipofika hapo kiliendelea nini mshitakiwa bagen alishuka na kuongea na simu yake ya mkononi wakili msafiri bagen alikuwa anaongea maneno gani kwenye simu na UNK mazungumzo gani mshitakiwa sifahamu mshitakiwa aliendelea kudai kuwa wakati bagen akiendelea kuongea na simu alimuuliza yule askari aliyetoka kituo cha polisi mbezi luis kuwa anakwenda wapi ambapo yule askari alimjibu kuwa wanakwenda kupita UNK alidai kuwa alimuuliza tena kwani kuna mtu yeyote UNK na alijibiwa kuwa hajui chochote alidai kuwa baada ya bagen kumaliza kuongea na simu ghafla ilifika UNK nyingine ya polisi na wakati huo bagen alikuwa UNK yule askari wa kituo cha polisi mbezi luis kuwa wanaelekea wapi alidai kuwa jibu hilo UNK kuwa wanaelekea msitu wa pande lakini mshitakiwa huyo hakuwa wazi kutaja msitu ambapo UNK kwa kusema kuwa walielekea sehemu ambapo mahakama ilienda kutembelea ambao ndio msitu wa pande alisema kuwa walielekea hadi UNK nyumba na kuingia UNK wakili wake mlipofika msituni nini kiliendelea mshitakiwa askari aliyepandia kituo cha polisi mbezi alisema kuwa msitu huo una chui wengi sana alisema baada ya kufika magari UNK lakini wakati huo giza lilikuwa tayari limekwisha ingia ndipo mshitakiwa wa pili bagen marehemu rashid lema pamoja na saad UNK alisema kuwa yeye pamoja na askari wawili na yule aliyepandia UNK cha polisi mbezi luis UNK na wakati bagen UNK toka kwenye gari alimpa radio call iliyokuwa UNK alidai kuwa baada ya kupokea radio call hiyo UNK na ndipo aliposikia tukio la ujambazi la kijitonyama alisema kuwa wakati akisikiliza radio call baada ya dakika moja alisikia mlio wa risasi wakili msafiri mlio wa bunduki zipi mshitakiwa sifahamu wakili msafiri baada ya kusikia mlio wa bunduki ilikuaje mshitakiwa nilisogea hadi ilipokuwa defender na kumuona mtu mmoja kati ya wale wanne UNK ndani ya gari na kulala chini na ndipo saad UNK risasi mshitakiwa aliendelea kusema kuwa tukio la watu hao kupigwa risasi UNK muda wa dakika moja kwani ni kazi iliyofanyika kwa haraka sana wakili msafiri baada ya hapo nini kiliendelea mshitakiwa baada ya yule mtu kupigwa risasi na saad pia niliona watu wengine watatu wakiwa wamelala chini wakili msafiri unawafahamu watu waliopigwa risasi mshitakiwa hapana wakili msafiri wale waliokuwa wamelala chini je walikuwa wamekufa au walikuwa katika hali gani mshitakiwa walikuwa wamelala na kutulia kimya mshitakiwa aliendelea kudai baada ya mauaji aliona miili ya marehemu UNK kwenye defender ambapo hakutaja ni kina nani UNK miili hiyo alisema kuwa baada ya kupandisha miili kwenye gari nao waliingia kwenye pajero yao na kuanza safari ya kuelekea mjini ambapo walipokuwa njiani yule askari aliyepandia kituo cha polisi mbezi luis walimshusha kabla ya kufika barabara kuu ya morogoro huku akiwa amechanganyikiwa kutokana na tukio lililotokea pande alisema kuwa bageni alimwambia pc james ambaye alikuwa dereva wa gari UNK miili ya marehemu kuwa apeleke miili hiyo hospitali ya muhimbili na james alifanya hivyo alidai kuwa yeye na bagen walielekea kituo cha polisi urafiki ambapo bagen alishuka na kuingia ndani wakili UNK UNK muda gani urafiki mshitakiwa UNK mshitakiwa alidai kuwa walipoondoka kituo cha polisi urafiki UNK kituo cha polisi oysterbay ambapo walishuka kwenye gari na kila mtu kuendelea na majukumu yake ambapo bagen aliwaambia kuwa anaenda kufungua faili kuhusu tukio zima aliendelea kudai kuwa siku iliyofuata januari kumi na tano mwaka ishirini sifuri sita UNK silaha walizopewa jana yake ambapo yeye na mshitakiwa rashid waliondoka na kumuacha kituoni pc UNK wakili msafiri sasa kuna tukio la kufyatua risasi je UNK na UNK kufyatuliwa wapi mshitakiwa ndio zilifyatuliwa bunju wakili msafiri zilifyatuliwa lini mshitakiwa zilifyatuliwa baada ya tukio la mauaji la januari kumi na nne mwaka ishirini sifuri sita alidai kuwa yeye akiwa na marehemu rashid lema pamoja na saad ndio waliokwenda kufyatua risasi bunju ambapo walitumwa na mshitakiwa wa pili UNK bagen aliwaambia saad na rashid ambao walikuwa na silaha kwenda bunju lakini huku akitaka UNK na mimi ili UNK na tulifanya hivyo alisema mshitakiwa huyo wakili msafiri kabla ya kwenda bunju ilikuaje mshitakiwa bagen alimtaka saad UNK risasi sita na rashid risasi sita na maganda yote UNK na jumla ya maganda aliyokuwa UNK bagen ni maganda tisa mshitakiwa aliendelea kudai kuwa walifanya kama UNK kufanya ambapo walipewa gari aina ya pajero na kisha kwenda bunju baada ya kutoka bunju saad na lema UNK bagen kwa ajili ya kumpa yale UNK na kumtaka rajab kuchukua yale maganda ili bagen akifika UNK naye alifanya hivyo mshitakiwa huyo alipohojiwa kama aliwahi kutoa maelezo yake sehemu yoyote alidai kuwa ndiyo na aliwahi kutoa maelezo katika tume ya jaji kipenka na ile ya polisi iliyokuwa ikiongozwa na afande UNK alidai kuwa katika tume ya afande mgawe alieleza kama UNK mahakama lakini aliidanganya tume ya jaji UNK alipoulizwa kwa nini aliidanganya tume ya jaji kipenka mshitakiwa huyo alidai kuwa kwa kuwa alipata maelekezo kutoka kwa mshitakiwa wa kwanza abdallah zombe UNK kusema uongo wakili UNK kusema uongo kwa nini mshitakiwa kwasababu UNK UNK onyo kama UNK ukweli wa tukio zima UNK UNK wakili je zombe aliwataka mtoe maelezo gani mshitakiwa zombe alitupa vikaratasi UNK UNK tume ya jaji kipenka kuwa tukio lilitokea ukuta wa posta kwa majambazi kurushiana risasi na polisi wakili kwa nini wakati mauaji yanatokea UNK taarifa sehemu yoyote mshitakiwa niliogopa kwa sababu zombe alituambia UNK wakili karatasi UNK na zombe ipo wapi mshitakiwa UNK wakili wangu ambaye ni msafiri kesi hiyo imeanza kusikilizwa leo mbele ya jaji wa mahakama ya rufani salum masati baada ya kusimama kwa muda mrefu kusubiri mshitakiwa koplo rashid lema apate nafuu na kujitetea lakini hata hivyo ilishindikana na alifariki dunia kutokana na kifo cha mshitakiwa namba kumi na moja lema kufariki dunia wakili wa serikali mugaya mutaki ameomba mahakama UNK cheti cha kifo cha rashid lema ili iwe uthibitisho alifariki aprili tatu mwaka huu ocean road na kuomba kesi dhidi yake ifutwe zombe aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam na wenzake wanadaiwa kuwa januari kumi na nne mwaka ishirini sifuri sita wakiwa katika msitu wa pande luisi ulioko mbezi dar es salaam waliwaua ephraim chigumbi sabinusi chigumbi juma ndugu na mathias lukombe washitakiwa wengine ni christopher bageni ahmed makele f wp elfu nne na mia tano na kumi na tatu jane andrew d elfu nane na mia mbili na themanini na tisa michael shonza d mia mbili na thebathini sifuri abeneth UNK d elfu nne na mia sita na hamsini na sita rajab bakari na d elfu moja na mia tatu na sitini na saba festus na philipo UNK kesi hiyo inaendelea leo leo na said mwishehe na UNK mihale wakati tukienda mitamboni mbali ya kuwepo taarifa za UNK vya watu watatu watu zaidi wanadaiwa kufa katika UNK la milipuko ya UNK iliyotokea jijini dar es salaam jana wanaripoti hospitali ya temeke dar es salaam UNK vifo vya watu kutokana na tukio hilo ingawa taarifa nyingine ambazo hazijathibitishwa rasmi zinasema watu waliokufa ni ya hao waandishi wa habari hizi waliokuwa hospitali ya temeke kufuatilia vifo na majeruhi waliokufa ni mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina na bibi hawa mkazi wa mbagala mwanafunzi ambaye hajafahamika jina na mtu mwingine ambaye hakufahamika mara moja taarifa zaidi zinasema bibi hawa alikufa wakati alipokuwa akijaribu kukimbia ili kunusuru maisha yake lakini kwa bahati mbaya alipigwa na bomu na kukatika vipande viwili na mwanafunzi aligongwa na gari wakati akikimbia kuponya roho yake mganga mkuu wa manispaa ya temeke dar es salaam daktari UNK UNK alisema kuwa idadi kamili ya watu waliokufa bado haijafahamika ingawa kuna taarifa kuwa idadi ya waliokufa ni kubwa watu ambao wamekufa na kuhifadhiwa katika hospitali ya temeke ni wawili lakini kuna taarifa nyingine wengine wawili wapo eneo la tukio tutatoa taarifa zaidi baada ya kufanyika UNK ya kina juu ya tukio hili alisema daktari UNK alisema kwa mujibu wa taarifa za eneo la tukio ni kwamba wale UNK kufa UNK vichwa alisema kutokana na ukubwa wa tukio hilo idadi kubwa ya majeruhi wamefikishwa UNK hapo kwa ajili ya kupatiwa huduma kutokana na majeraha UNK alisema wengi wamejeruhiwa katika maeneo mbalimbali ya miili yao huku wengine wakiwa wamevunjika mikono miguu na hata UNK vichwani na wengine UNK na mshtuko kutokana na sauti ya mlipuko tunaendelea kuwapatia huduma walie UNK hapa lakini wengine wanaendelea kupatiwa huduma katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kutoa huduma kwa majeruhi baadhi ya majeruhi wapo uwanja wa taifa viwanja vya sabasaba na hospitali ya taifa muhimbili alisema mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi alisema taarifa kamili kuhusu tukio hilo itatolewa baadaye ili UNK umma alisema kwa sasa kazi inayoendelea ni kuhakikisha maeneo yaliyokuwa karibu na tukio yanakuwa salama kwa kuhakikisha hata kama mabomu yataendelea kulipua moto wake UNK mbali zaidi bwana UNK alisema kwa bahati mbaya mabomu hayo UNK katika maeneo mbalimbali ya dar es salaam kutokana na taarifa alizonazo nimeambiwa kuwa bomu lingine limeonekana ilala hivyo tuna wasiwasi huenda maeneo mengine yakawa na mabomu hivyo wananchi UNK kitu chochote ambacho UNK wala kushika UNK wanachotakiwa ni kutoa taarifa polisi ua kwa jeshi la wananchi wa tanzania alisema aliongeza askari wa jwtz pamoja na polisi wataendelea kubaki katika eneo la tukio ili kulinda usalama lakini wakati huo huo kusubiri mabomu mengine UNK kwa sasa ghala moja la mabomu ndio UNK lakini watahakikisha moto haufiki katika maghala mengine tunavyojua sisi mabomu yaliyobaki hayana matatizo na ndio maana tumeamua UNK yote hatukuwa na uwezo wa kudhibiti UNK kulipuka na dawa ni UNK yote alisisitiza kutokana na hali hiyo ambayo inaendelea kuwa salama kadri muda unavyokwenda amewataka wakazi mbagala kurudi majumbani mwao kwa sababu hataendelea kupata madhara pia kwa wale ambao UNK watoto kutoa taarifa katika kituo chochote cha polisi kilichokuwa jirani hiyo inatokana na kuwepo kwa taarifa za watoto wengi kupotea na hata watu wazima kutoonekana katika familia zao alisisitiza wataendelea kutoa taarifa za tukio hilo kutokana na matukio UNK na watalaamu ambao wengine UNK katika maeneo mbalimbali ya dar es salaam kuchunguza athari za mlipuko wa mabomu hayo pia alisema kwa sasa mbali ya mambo mengine wameamua kuunda tume ambayo itahakikisha shughuli zima ya ufuatiliaji inafanya kwa umakini zaidi katika nyanja zote ikiwemo ya uteguaji mabomu matibabu na kupata taarifa kwa wananchi diwani wa kata ya mbagala bwana titi UNK alisema kuwa watu wawili waliokufa wanatoka katika kata yake ambayo imeathirika zaidi mbali ya kuwepo kwa watu waliokufa pia nyumba zimeungua na wanafunzi wa shule nne wamepata majeraha alisema kibaya zaidi kuna nyumba mmoja katika kata yake bomu limeingia ndani na bado UNK wakati hali ikiendelea maelfu ya wakazi wa dar es salaam walionekana kushikwa na simanzi huku vilio vikiwa vimetawala miongoni mwao kutokana na hofu kuwa huenda ndugu zao waliofikishwa hospitalini hapo UNK kutokana na idadi ya watu waliofika katika hospitali hiyo polisi walilazimika kutumia mbwa na farasi kwa ajili ya kutuliza watu ambao walikuwa wakitaka kuingia ndani ya lango la hospitali hiyo kuona ndugu na familia zao fununu za vifo baadhi ya watu wamekuwa wakitoa taarifa mbalimbali za matukio ya vifo kutokana na tukio hilo wakizungumza na majira baadhi ya wakazi wa mbagala walisema kuwa wapo watu ambao UNK katika mto mzinga wakati UNK maisha yao walisema watu hao hadi sasa hawajapatiwa msaada wowote na UNK kama watakuwa salama kutokana na maji yaliyokuwemo ndani ya mto huo huku wakisisitiza kati ya watu ambao wanahisi kupoteza maisha watoto ni wengi pia taarifa nyingine baadhi ya wanafunzi ambao wameathirika na tukio hilo walisema kuna mwenzao mmoja amekufa kutokana na mlipuko wa mabomu hayo baadhi ya wanafunzi ambao wameathirika na mabomu hayo wanatoka shule ya sekondari st UNK shule ya askofu mkuu john sepetu na shule ya msingi UNK jijini misaada hospitali ya temeke magari mbalimbali ya idara za serikali yalifika hospitalini hapo kwa kupeleka dawa pamoja na vifaa vingine kwa ajili ya kutoa huduma kwa majeruhi pia wauguzi na madaktari kutoka hospitalini nyingine za serikali walilazimika kuweka kambi kwa ajili ya kusaidia wenzao wa temeke vyakula na maji kwa ajili ya majeruhi vilikuwa UNK na UNK baadhi ya majeraha ambao hali zao zilikuwa zinaendelea vizuri wakisubiri kuruhusiwa nyumbani katika kuhakikisha huduma za misaada UNK zaidi gari za hospitali binafsi na magari ya watu mbalimbali yalisaidia kubeba majeruhi kutoka maeneo mbalimbali UNK na kuwafikisha hospitalini hapo jiji la dar es salaam na vitongoji vyake mishale ya UNK jana liligubikwa hofu na simanzi kufuatia milipuko mizito ya mabomu iliyosababisha wakazi wake UNK huku wakiona hapatoshi kana kwamba wamefungiwa kwenye chumba cha kidogo cha futi sita kwa kumi na mbili tukio hilo UNK kusababisha vifo vya watu watatu kati yao akiwemo mama mmoja UNK kiwiliwili baada ya kukatwa tumboni na kipande cha bomu watu wengine zaidi ya kumi sifuri wamejeruhiwa balaa hilo lilikuja baada ya kulipuka ghala la silaha yakiwemo mabomu katika kambi ya jeshi la wananchi wa tanzania iliyopo eneo la mbagala kizuiani tafrani hiyo iliwafanya wakazi wa karibu maeneo yote ya mbagala kukimbia huku na kule ilhali wafanyakazi katika ofisi zikiwemo zile za maeneo ya katika kati ya jiji wakitikishwa kwa vishindo vizito vya mabomu hayo ambapo mengine UNK kuruka na kutua maeneo kadhaa ofisi mbalimbali jijini zilifungwa na wafanyakazi kutakiwa kurudi majumbani hususani kwenye majengo marefu ya ghorofa kwa ajili ya usalama wao katika maeneo ya mtoni kijichi baadhi ya watu walilazimika kukimbilia baharini na nusura baadhi yao wanase kwenye tope baada kukimbilia upande huo kwa lengo la kutaka kujiokoa tukio hilo lililokuwa kama vita ambalo liliwalazimu wakazi hao kuhaha huku na kule huku wengine wakiwa wamejeruhiwa sehemu mbalimbali za miili yao na baadhi ya wakazi kulazimika kukimbia nyumba zao kuhofia usalama wa maisha yao katika tukio hilo la aina yake lililoanza dakika kadhaa baada ya saa tano asubuhi vibaka nao UNK mwanya kuiba mali za wakazi wa eneo hiyo kutokana na kuacha milango wazi ambapo hata nyumba ya meja wa kambi ya kizuiani bwana benedict mnari UNK vibaka hao walikwenda mbali zaidi baada ya kupora vipande vya mabomu UNK na kutapakaa eneo hilo kwa lengo la kwenda kuuza vyuma chakavu hata hivyo watuhumiwa hao wa wizi wa vyuma chakavu vya mabomu walikamatwa na askari kanzu pamoja na wanajeshi na kuwekwa chini ya ulinzi jirani na lango moja wapo la kambi hiyo vijana hao UNK kwa majina ya UNK ally na mwenzake waziri UNK ambao baada ya kushikwa na vipande hivyo vya mabomu wakiwa chini ya ulinzi walichukuliwa maelezo yao na polisi jeshi na askari kanzu waliokuwa eneo hilo jeshi la polisi pamoja na vikosi mbalimbali walipata kazi ya ziada kuwaokoa watoto ambao walikuwa wakihaha huku na kule huku wengine UNK na magari hali hiyo ilisababisha maduka kufungwa watu kutembea mwendo mrefu kwa miguu kutokana na daladala nyingi kusimamisha huduma huku wanajeshi wakilazimika kusaidia kukusanya waliokuwa wakitangatanga baada ya kusambatarishwa na kupotezana na familia zao mbali na hao pia watu kadhaa walizirai na kukimbizwa katika vituo vya tiba huku askari wa jeshi la wananchi wa tanzania UNK na kikosi cha usalama barabarani kuzuia magari UNK kupita eneo la hatari kutokana na hali hiyo polisi walimwagwa ili kuwaondoa wananchi ambao wengi walikuwa UNK kusogea eneo la tukio huku wakati walinzi wa amani wakijitahidi kuimarisha ulinzi katika maeneo hayo mabomu yaliendelea kulipuka na kuwafanya walimu na baadhi ya watu kuwafungia watoto UNK ili kujaribu kuwahifadhi UNK na kukumbwa na madhara baadhi ya wakazi walilazimika kutoka na kukimbilia katika vituo vya polisi kwa ajili ya kujaribu kunusuru roho zao mabomu hayo kadri muda ulivyokuwa ukienda yaliendelea kulipuka na kudondokea nyumba za watu ambapo takribani nyumba tatu ziliteketea na mali zilizokuwemo ndani wakazi wa eneo hilo walionekana wakiwa katika makundi makundi wakitafakari mahali pa kwenda kuishi kwakuwa kulikuwa na fununu kuwa huenda mabomu makubwa yanaweza kulipuka na kusababisha madhara zaidi wazazi wenye watoto katika shule za mbagala kizuiani na nyinginezo walipata kazi ya ziada kuwasaka watoto hao waandishi wa gazeti hili walishuhudia vikosi vya zimamoto mbalimbali UNK kujitahidi kuokoa nyumba zilizokuwa UNK lakini hata hivyo jitihada hizo zilikwama kutokana na miundombinu mibovu ya barabara vilevile vikosi mbalimbali vya jeshi UNK katika eneo la tukio kwa magari elfu mbili na mia tano na arobaini na tisa jw tisini na saba mia mbili na sabini sita jw tisini na saba stk elfu moja na mia tisa na sabini na moja yalifika kuimarisha ulinzi japokuwa baadhi ya askari walionekana UNK kutokana na mabomu hayo UNK kulipuka kila baada ya dakika kadhaa kutokana na hali hiyo polisi walifika katika maeneo mbalimbali ya biashara na kuimarisha ulinzi huku wakitangaza kwa kipaza sauti wakiwa na gari namba pt elfu moja na mia tano na ishirini na nne kuwataka wananchi wakae mbali na eneo hilo la hatari ambalo pia lilisaidia kubeba majeruhi waliokuwa UNK kutokana na mshituko wa mabomu hayo kamishna msaidizi wa jeshi la polisi bwana paul UNK alipatwa na wakati mgumu na kulazimika kufanya vikao vya dharura na askari wake ili waweze kuimarisha ulinzi na kuchunguza kwa makini juu ya tukio hilo naomba wananchi wakae mbali na eneo hili kwani ni la hatari na muda wowote panaweza kutokea madhara makubwa zaidi kwakuwa yanaendelea kulipuka na kuruka ovyo mitaani alisikika akizungumza bwana UNK kutokana na hali hiyo kuzidi kuwa ngumu kulisababisha baadhi ya maeneo kukata mawasiliano ambapo baadhi ya wakazi walikuwa wakipiga simu kuomba msaada zaidi kutokana na wenzao wawili kufariki baada ya kuangukiwa na mabomu hayo huku bomu lingine likiwa maeneo hayo likiwa bado UNK pia tukio hilo lilitoa mwanya kwa baadhi ya watuhumiwa katika kesi mbalimbali ambao walikuwa kwenye mahakama ya mwanzo mbagala ambao walitimua mbio baada ya askari makarani mahakimu kukimbia mbio kuhofia maisha yao majira UNK maeneo mbalimbali ya mbagala na kushuhudia athari zilizotokea kutokana na tukio hilo ambapo kutokana na mabomu hayo kurukia katika baadhi ya nyumba UNK na kuleta madhara makubwa miongoni mwa nyumba hizo ni pamoja na ile ya msemaji wa jeshi la polisi nchini bwana abdallah msika ambaye nyumba yake imeharibika bwana msika kwa sasa yuko nje ya nchi kwa matibabu gazeti hili UNK kuingia ndani ya nyumba hiyo na kukuta paa UNK na kusababisha mali kadhaa zilizokuwemo ndani kuharibika tukio hilo lilisababisha baadhi ya viongozi wakuu kutoka ndani ya jeshi la polisi serikali pamoja na vyama mbalimbali vya kisiasa kufika eneo la tukio kujionea maafa hayo hali ya usafiri ilikuwa ngumu ambapo wakazi walilazimika kutembea kwa miguu kutoka kariakoo hadi mbagala huku wengine wakifanya uhamisho wa dharura kwenda kwa ndugu na jamaa zao wanaoishi mbali na maeneo hayo wakizungumza na waandishi wa habari katika eneo la tukio viongozi kutoka jeshi la polisi na serikali walisema kwa nyakati tofauti kuwa hawezi kulizungumzia kwa undani tukio hilo kwakuwa bado wanaendelea kufanya tathimini ya kina mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana wiliam lukuvi amewataka wakazi wa jijini dar es salaam kutulia wakati jeshi likiendelea kuimarisha hali ya usalama alisema hadi sasa hawana idadi kamili ya watu waliopoteza maisha katika janga hilo na kujeruhiwa ambapo taarifa kamili zitatolewa baada ya tathimini ya kina naomba wananchi wawe na subira wakati tukiendelea na tukio hili na kwa wale waliokosa makazi wataandaliwa mazingira mazuri ya kuishi katika kipindi hiki alisema bwana lukuvi mabomu yaliyolipuka juzi katika maghala ya silaha ya jeshi la wananchi wa tanzania kikosi cha mia tano na kumi na moja kj kilichopo mbagala kizuiani dar es salaam UNK jiji lote kama UNK tahadhari za kitaalamu ndani ya maghala hayo majira UNK chanzo chetu kutoka ndani ya kambi hiyo kilidai kuwa mabomu hayo yangeweza kuteketeza sehemu kubwa ya jiji la dar es salaam kama UNK yamepangwa kitaalamu kuelekezwa eneo la nje ya mji yenye madhara madogo chanzo hicho kilifafanua kuwa endapo mabomu hayo UNK kuelekea upande wa kaskazini au magharibi yaliko makazi ya watu wengi na majengo ya ghorofa sehemu kubwa ya dar es salaam leo ingekuwa UNK kilichosaidia ni kunatokana na mpangilio na jinsi UNK kuelekezwa upande wa kusini ambako baadhi ya nyumba UNK vibaya kilisema chanzo hicho na kuendelea makombora hayo UNK kitaalamu huwa UNK kienyeji UNK kuelekea juu upande usio na madhara UNK kama vile yamewekwa juu ya meza yawe UNK kaskazini au magharibi UNK mji ingekuwa habari nyingine kilisema chanzo hicho kilizidi kueleza kuwa mabomu yaliyoruka kwa bahati mbaya na kulipuka maeneo mengine ya jiji hayakuwa na nguvu kwani yalikwenda huko kwa bahati mbaya baada ya kugongana na kupoteza mwelekeo wakati UNK kwa mujibu wa chanzo hicho maghala sita yaliyolipuka UNK mabomu yenye madhara madogo tofauti na yale UNK kulipuka ilikuwa balaa niliona moshi mzito UNK juu ya moja ya maghala ya silaha nikajua leo kiama UNK kwanza nilianza kukimbia huku nikitoa taarifa kwa wengine kilisema chanzo hicho chanzo hicho UNK kuwa baada ya kukimbia kidogo kutoka sehemu kilipokuwa UNK kishindo kizito kutoka kwenye moja ya maghala hayo hali iliyozua tafrani kubwa kambini hapo na baada ya hapo mabomu hayo yalilipuka mfululizo huku kila mtu akihaha kujiokoa huku UNK kuhifadhiwa jina ili kuponya ajira yake kilisema walilazimika kuomba kila mmoja kwa imani yake ili moto UNK upande wa pili ambako kwenye ghala UNK mabomu mazito ambayo yangeweza kuleta madhara makubwa zaidi kwa mujibu wa chanzo hicho maghala UNK yalikuwa UNK silaha za kivita bunduki aina ya smg risasi ndogo na kubwa ambazo juzi UNK mitaani na kuleta hofu kwa wananchi wakidhani ndio mabomu yenyewe hali kwa ilikuwa ya kutisha sana watu walikimbia huku na huku kuponya roho zao ni tukio la hatari kubwa sikuamini UNK chanzo kingine toka ndani ya kikosi hicho UNK kuwa kililazimika kukimbia bila kujua UNK na kujikuta UNK na ofisa mmoja wa kambi hiyo ambaye naye alikuwa UNK mbio kuponya roho yake wakati huo huo taarifa zilizopatikana jana kutoka jeshi la polisi zilidai kuwa chanzo cha mlipuko wa mabomu hayo ni kutokana na kutofanyiwa ukaguzi kwa muda mrefu kwa mujibu wa gazeti dada la dar leo wataalamu waliokuwa wakifanyia ukaguzi ghala hilo kila baada ya miezi mitatu ambao walipata mafunzo hayo urusi kwa kipindi cha miaka kumi wengi wao UNK hali inayokwamisha ukaguzi huo hata hivyo taarifa rasmi za chanzo cha tukio hilo UNK idadi ya watu waliopoteza maisha katika milipuko ya mabomu juzi katika kambi ya ya jeshi la wananchi wa tanzania iliyopo eneo la mbagala kizuiani dar es salaam imeongezeka kutoka watatu na kufikia saba wakati idadi ya watu waliothibitishwa kufa ikiwa imeongeza idadi ya majeruhi imeanza kupungua kutokana na wengi kuruhusu baada ya kupatiwa matibabu kutokana na tukio hilo amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama rais jakaya kikwete jana alifanya ziara eneo la tukio na kutembelea majeruhi hospitali akizungumza na majira jana mganga mkuu wa hospitali ya temeke dar es salaam daktari asha mahita ilisema hadi jana mchana idadi ya watu waliokufa imefikia saba na wamehifadhiwa chumba cha maiti hospitalini hapo UNK kuwa watu hao ni wanaume watatu na wanawake wanne kutokana na tukio la mlipuko huo hadi sasa watu saba wamekufa alisema daktari mahita mbali ya waliokufa alisema majeruhi waliolazwa hospitalini hapo hali zao zinaendelea vizuri na baadhi yao wameanza kuruhusiwa kurudi majumbani aliongeza kuwa majeruhi walikuwa ishirini tisa na kati ya hao thebathini na nane bado wamelazwa hospitali ya temeke na wengine thebathini wamehamishiwa hospitali ya taifa ya muhimbili kutokana na hali zao kuendelea kuwa mbaya majira lilipata nafasi ya kuzungumza na baadhi ya majeruhi waliokuwa wamelazwa katika hospitali hiyo ambao baadhi yao walikiri kuwa hali zao ni nzuri ingawa hawajui lini UNK majeruhi hao walisema wanamshukuru mungu kwa kuwa salama ingawa tukio hilo UNK historia katika maisha yao hawajawahi kuona kitu kama hicho baadhi ya wanafunzi waliojeruhiwa katika tukio hilo happines charles thabit abdallah na happines rogat walisema UNK baada kugongwa na vitu UNK kisha kupoteza fahamu wakati idadi ya ya waliokufa UNK na majeruhi kupungua rais kikwete alitembelea kambi hiyo kupata maelezo kutoka kwa maofisa wa jeshi na kujionea hali halisi ya tukio hilo baada ya ziara yake kambini hapo rais kikwete alikwenda hospitali ya temeke na muhimbili kuwafariji majeruhi pamoja na wale waliolazwa taasisi ya tiba ya mifupa rais kikwete ambaye aliwasili jijini jana asubuhi akitokea mkoani arusha alikokuwa akikutana na wakuu wenzake wa jumaiya ya afrika mashariki alifanya kikao cha dharura na viongozi mbalimbali wa mkoa na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kabla ya kutembelea eneo la tukio hata hivyo habari ambazo hazijathibitishwa UNK kuwa mabaki ya miili ya wanajeshi watano ilipatikana eneo la tukio huku wengine sita wakiwa hawajulikani walipo chanzo halisi cha tukio hilo hakijafahamika hadi sasa wala idadi ya silaha UNK hata hivyo inadaiwa maelfu ya silaha zimeteketea huku nyumba zaidi ya hamsini za wakazi wa mbagala na maeneo mengine ya jiji zikiwa zimeharibika na uharibifu wa mali chanzo chetu UNK kuwa sehemu iliyoharibika ni nyeti sana kwa usalama wa nchi ambayo kimsingi ni hatarini hatari kwani maadui wanaweza kuitumia kufahamu siri za jeshi kwa upande wa hospitali ya taifa muhimbili ni kwamba hali za majeruhi kumi na mbili waliolazwa hali zao zinaendelea vizuri isipokuwa majeruhi ishirini na tano waliolazwa moi hali zao bado siyo nzuri na hadi jana majeruhi wawili walikuwa wamelazwa katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum wagonjwa waliolazwa moi baadhi yao wamevunjika mikono miguu UNK nyonga na UNK wakati bibi UNK hamisi ambaye amelazwa icu UNK mguu w kulia na bwana juma mbwana UNK icu kutokana majeraha makubwa aliyopata kichwani akizungumza na majira kwa njia ya simu naibu waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa daktari emmanuel nchimbi alisema hadi sasa sababu chanzo cha mlipuko huo hakijafahamika na itafahamika baada ya baraza la uchunguzi UNK kukamilisha taarifa yake daktari nchimbi alitoa jibu hilo baada ya kuwepo taarifa kuwa mabomu hayo yalitakiwa kuondolewa eneo hilo siku nyingi lakini kutokana na serikali kukosa fedha ilishindwa UNK tayari kuna chombo ambacho UNK kuchunguza tukio hilo na hao ndio watatoa taarifa rasmi taarifa UNK sasa nyingi ni za uongo na wanachofanya kubuni mambo UNK sitaki kuamini kama serikali imeshindwa UNK mabomu hayo kama inavyodaiwa hakuna mabomu ambayo yanakaa sehemu moja muda mrefu naomba tusubiri na chanzo UNK kutoka kwa wataalamu alisema daktari UNK kamanda wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam bwana suleima kova alisema kinachotakiwa kwa sasa ni wananchi kuendelea kutulia pamoja na wale ambao wamekimbia makazi yao kurudi majumbani mwao tunaomba waliokimbia warudi kwa sababu hali UNK ba hakuna milipuko mingine kama inavyodaiwa na baadhi ya watu huenda wanaofanya hivyo ni vibaka na wanafanya hivyo kutisha wananchi ili wapate nafasi ya kuiba alisisitiza akizungumza katika kituo cha shirika la habari tanzania mnadhimu mkuu wa jwtz luteni jenerali abrahaman shimbo alikiri kutoonekana askari wanne wa jeshi hilo na juhudi za kuwatafuta zinaendelea hadi sasa askari wetu wanne UNK wako wapi lakini tunaendelea kuwatafuta alisema luteni jenerali UNK naye mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi alisema kwa sasa kazi inayoendelea ni kufanya tathimini ili kujua hasara iliyopatikana kutokana na tukio hilo alisema kitu ambacho wanaendelea kukifanya ni kuwaomba wananchi ambao wamekimbia makazi yao kurudi katika nyumba zao huku akisisitiza kuwa watoto ambao walikuwa UNK wameanza kupata wazazi wao baadhi ya wakazi wa dar es salaam waliohojiwa na majira walipendekeza maghala ya silaha za kijeshi UNK katika maeneo ya watu na kupelekwa maeneo ya mbali walisema kimsingi jeshi haliwezi kulaumiwa kwa sababu wakati kambi zinajengwa hakukua na makazi ya watu kutokana na idadi ndogo ya wakazi wa dar es salaam katika hatua nyingine UNK mbalimbali ikiwemo dawa chakula na vinywaji vimeendelea kutolewa na watu na mashirika mbalimbali meya wa jiji la dar es salaam bwana adam UNK ambaye pia ni katibu mkuu wa msalaba mwekundu alitoa misaada yenye thamani ya shilingi milioni ishirini huku milioni nyingine kumi sifuri zikiwa zimetengwa maalumu kwa ajili ya kusaidia majeruhi UNK msaada huo kwa kofia yangu kama kiongozi wa UNK UNK msaada huu msaada huu unajumuisha blanketi ishirini sifuri dawa na vifaa mbalimbali vya matibabu alisema pia uongozi wa timu ya mpira wa miguu african lyon ya temeke dar es salaam pamoja na wachezaji wametoa msaada wa maji juisi unga wa ngano pamoja na shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri sifuri msaada huo kwa pamoja una thamani ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri habari hii imeandikwa na edson kamukara said mwishehe na peter masangwa na said mwishehe kiongozi wa kanisa kipentekoste la UNK UNK centre mchungaji UNK lusekelo amemtetea mwenyekiti wa kampuni za ipp bwana reginald mengi kwa kauli yake ya kutaja majina ya watu alidai ni mafisadi papa na kutaka serikali UNK ushirikiano katika mapambano hayo mchungaji amewashangaa watu wanaodai bwana mengi anajipendekeza kwa rais jakaya kikwete na kubainisha kwamba ni bora kujipendekeza kwa rais kuliko kwa mafisadi papa akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana mchungaji lusekelo alisema tuhuma alizozitoa bwana mengi kwa kutaja majina ya mafisadi papa ni nzito hivyo serikali haipaswi kupuuza bali kushirikiana naye kuhakikisha watuhumiwa UNK na hatimaye kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria alisema haoni sababu baadhi ya watu UNK kupuuza kauli ya bwana mengi kwa sababu ni mtoa taarifa mwema ambaye ameamua kuanika uhalifu hadharani hivyo ni jukumu la serikali kumlinda mtoa taarifa kwa mujibu wa taratibu za utawala bora kwa sasa serikali UNK kufanya ni kuona jinsi gani inashughulikia majina ya mafisadi papa ambao wametajwa na bwana mengi naamini serikali imekuwa mstari wa mbele kushughulikia mafisadi alisisitiza mchungaji UNK alidai anashangazwa kuona wakati bwana mengi anatekeleza kazi ya kupambana na mafisadi inayosimamiwa na serikali baadhi ya mawaziri akiwemo waziri wa nchi ofisi ya rais bibi sofia simba na waziri wa habari utamaduni na michezo bwana george mkuchika UNK badala ya UNK tulitegemea serikali kuyafanyia kazi maneno ya mengi dhidi ya mafisadi papa ambao wanaweza kumdhuru wakati wowote baada ya UNK hadharani alisema aliongeza kuwa bwana mengi alishasema ana vielelezo vyote vya ushahidi wa tuhuma alizotoa dhidi ya watu hao hivyo ni jukumu la serikali kuwasiliana naye ili kuchukua hatua zaidi kisheria alitoa mfano kuwa jeshi la polisi kwa sasa UNK programu ya polisi jamii na bwana mengi ni miongoni mwa watanzania walioamua kutumia fursa hiyo kama raia kutaja watu UNK kwa ufisadi alitoa rai kwa viongozi wa dini washirikiane na wanasiasa wachache ambao wamejitokeza hadharani kupiga vita ufisadi pia ametoa mwito kwa chama cha mapinduzi kuchukua hatua ya kumfukuza uanachama bwana rostam azizi ambaye ni mbunge wa igunga ili kulinda heshima ya chama hicho alisema tuhuma zinazomkabili mbunge huyo ni nzito na UNK taifa jamii na bunge aliongeza ripoti ya redet ya hivi karibuni inaonesha wananchi bado wanaimani na ccm na vyama vya upinzani havina uwezo wa kushika hatamu wanachama wanaoandamwa na kashfa mbalimbali kama bwana rostam wanaweza UNK chama hicho kupata ushindi kwenye uchaguzi mkuu ujao mwalimu nyerere aliwafukuza akina juma duni sharif hamad shabani UNK na wenzake ili kuimarisha chama alitoa mfano UNK aliyetuhumiwa kwa ukahaba na kuachwa na mfalme alisema mchungaji lusekelo kwa lengo la kuitaka ccm kuchukua hatua dhidi ya wanachama wote wanaohusishwa na tuhuma mbalimbali mchungaji huyo UNK rais kikwete kwa juhudi zake za kusimama kidete kupinga ufisadi na kuhimiza uwajibikaji aliwapongeza baadhi ya wanasiasa wakiwemo wabunge waliojitokeza na kuamua kupambana na ufisadi na grace michael rais jakaya kikwete ameshindwa kuhudhuria sherehe za siku ya wafanyakazi duniani ambazo kitaifa zilifanyika mkoani mara kutokana na kushughulikia tukio UNK kwa mabomu lililosababisha vifo na kujeruhi mamia jijini dar es salaam wiki hii kukwama kwa rais kikwete kuhudhuria sherehe hizo UNK jana na makamu wake daktari ali mohamed shein aliyemwakilisha ambaye alibainisha kwamba mkuu huyo wa nchi amelazimika kutohudhuria sherehe hizo ili kushughulikia maafa hayo rais wetu alikuwa amefanya maandalizi ya kuja hata hotuba UNK lakini kutokana na janga kubwa UNK na mlipuko wa mabomu katika kambi ya jeshi iliyoko mbagala dar es salaam UNK kubaki huko kwa ajili kutoa maelekezo sehemu mbalimbali hivyo UNK UNK yake kama alivyokuwa UNK alisema daktari shein katika hotuba hiyo wafanyakazi ambao walikuwa na kiu ya kusikia nyongeza za mishahara walitoka mikono mitupu huku serikali ikieleza kuwa huenda isifanye maboresho ya mishahara mwaka huu kutokana na hali ya sasa ya mtikisiko wa uchumi duniani daktari shein alisema kuwa kutokana na UNK huo serikali kwa upande wake imesitisha utekelezaji wa baadhi ya mipango yake hadi hali itakapotengemaa inawezekana kabisa kusiwe na maboresho ya maslahi ya wafanyakazi kwa maana ya mishahara kwa mwaka huu hivyo kama itatokea kila mmoja afahamu sababu zilizosababisha kuwa hivyo tufanye kazi kwa bidii huku tukisubiri hali kuwa nzuri ili kufanyike kwa maboresho hayo alisema daktari shein alisema kuwa serikali ilikuwa na matarajio ya kukua kwa uchumi kwa asilimia nane lakini kwa sasa UNK na matokeo yake uchumi UNK hadi asilimia tano au sita kushuka kwa uchumi huu kunatokana na kushuka kwa bei za bidhaa zinazozalishwa hapa nchini ikiwemo pamba ambayo imeshuka kutoka senti sabini hadi senti arobaini na tano za marekani ambapo kahawa imeshuka kwa asilimia thebathini mbali na hayo pia alisema kuna upungufu mkubwa wa watalii hali itakayochangia kwa kiasi kikubwa kupungua kwa pato la taifa kupitia sekta hiyo mtikisiko wa uchumi pia umeathiri sekta ya ajira kutokana na kuathirika kwa kazi mbalimbali huku baadhi ya kampuni UNK wafanyakazi alisema kuwa serikali itahakikisha wafanyakazi wanapata maslahi mazuri ya kuwawezesha kuendesha maisha yao lakini kwa sasa inaangalia uwezekano wa kufikia malengo hayo akijibu suala la mapendekezo ya tume iliyoundwa kuchunguza namna ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi alisema kuwa haikuwa na maana ya kuanza kutekelezwa mapendekezo yote kwa mara moja bali mengine UNK ukuaji wa pato la taifa akizungumzia UNK kazini alisema kuwa viongozi wa vyama vya wafanyakazi wamekuwa wakitumia muda mwingi katika malumbano badala ya kushughulikia matatizo ya wafanyakazi kwa lengo la kupigania haki zao kutokana na hali hiyo alivitaka vyama hivyo kuzingatia maadili na utawala bora ili kuhakikisha UNK haki za wafanyakazi lakini pia uhamasishaji wa utendaji kazi sisi kama serikali tutahakikisha tunashirikiana na vyama hivi ili kutimiza wajibu na malengo yake alisema daktari shein akithibitisha serikali kushirikiana na vyama hivyo alisema kuwa waziri mkuu bwana mizengo pinda aliweza kukutana na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kwa siku kadhaa ikiwa lengo ni kukuza ushirikiano kupata maoni na changamoto zinazowakabili wafanyakazi kuhusu mchango wa sekta binafsi alisema kuwa UNK umuhimu mkubwa hivyo serikali inapambana ili kuhakikisha maslahi yake UNK aidha alisema kuwa kwa sasa serikali inakosa mapato makubwa kutoka katika sekta binafsi isiyo rasmi kutokana na UNK hivyo akasema ipo michakato inayoendelea ili kuweza kurasimisha sekta hiyo na hatimaye kupata mapato hayo akizungumzia sakata la mapambano ya rushwa na ufisadi daktari shein aliwataka wafanyakazi kupambana na hali hiyo kwa kukataa kupokea rushwa wala kutoa rushwa lakini pia UNK wanaofanya hivyo katika mamlaka husika kwa upande wa tucta ambayo hotuba yake ilisomwa na bwana UNK mgaya ililalamikia namna ya utekelezaji wa mapendekezo ya tume ya uboreshwaji wa maslahi na UNK wazi kwa ripoti hiyo kwa vile tume hiyo ilitumia fedha za wananchi tunaomba ripoti hiyo iwekwe wazi na kima cha chini cha mshahara kiwe mia tatu na kumi na tano sifuri sifuri sifuri kwa mwezi ili kumwezesha mfanyakazi kumudu gharama za maisha mbali na hilo pia walitaka serikali kuondoa kodi katika mishahara hiyo ambayo inaongeza umasikini kwa wafanyakazi hao serikali inatakiwa kuangalia upya sera ya kodi kwani UNK mtumishi kuondokana na umasikini bali inaendelea UNK alisema bwana UNK mbali na hayo pia serikali ilitakiwa kutoa nafasi kwa vyama vya wafanyakazi kushiriki katika chombo cha utungaji sheria kiwango cha kufaulu UNK kumi na saba UNK matokeo na said mwishehe baraza la mitihani la tanzania limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato sita uliofanyika februari mwaka huu huku shule za wasichana UNK katika matokeo hayo shule ya wasichana ya kibosho ya mkoani kilimanjaro imeshika nafasi ya kwanza ikifuatiwa na sekondari ya wasichana ya marian ya mkoani pwani akitangaza matokeo hayo dar es salaam jana katibu mtendaji necta daktari joyce ndalichako alisema ubora wa shule umepangwa kwa kutumia kigezo cha madaraja kuanzia daraja la i hadi iii pia alisema shule hizo zimegawanywa katika makundi mawili kulingana na idadi ya UNK kundi la kwanza ni lenye watahiniwa ishirini na tano na zaidi na kundi la pili ni lile lenye watahiniwa chini ya ishirini na tano kutokana na UNK huo shule ya wasichana kibosho na marian UNK nafasi ya kwanza mwaka huu shule za wasichana zimefanya vizuri zaidi hata katika ufaulu pia wasichana wamewazidi wavulana hali inayoashiria kuwa safari hii wasichana wamewazidi wavulana katika kiwango cha ufaulu matokeo ya kidato cha sita alisema daktari UNK akizungumzia matokeo ya watahiniwa wote daktari ndalichako alisema jumla ya watahiniwa arobaini na tano mia saba na kumi na sita sawa na asilimia themanini na tisa sitini na nne ya watahiniwa waliofanya mtihani huo UNK wasichana waliofaulu ni kumi na saba mia moja na hamsini na mbili sawa na asilimia tisini tisini na mbili ya wasichana waliofanya mtihani wavulana waliofaulu ni ishirini na nane mia tano na sitini na nne sawa na asilimia themanini na nane themanini na tisa ya wavulana waliofanya mtihani alifafanua kuwa watahiniwa wa shule waliofaulu ni thebathini na sita mia nne na sabini na mbili sawa na asilimia tisini na nne thebathini na saba ya watahiniwa wa shule waliofanya mtihani huo mwaka ishirini sifuri nane watahiniwa wa shule waliofanya mtihani ni ishirini na tisa mia tisa na ishirini na nne sawa na asilimia tisini na mbili sabini na mbili hivyo idadi ya watahiniwa wa shule imeongezeka kwa watahiniwa sita mia tano na arobaini na nane ambayo ni sawa na asilimia ishirini na moja tisa ikilinganishwa na idadi ya mwaka jana akizungumzia zaidi ubora wa ufaulu kwa jinsia daktari ndalichako alisema ubora wa ufaulu kwa kuangalia madaraja waliyopata watahiniwa wa shule katika mitihani ya kidato cha sita mwaka huu umeonesha jumla ya watahiniwa thebathini na mbili sifuri mbili tatu sawa na asilimia themanini na mbili themanini na sita wamefaulu katika madaraja i iii wasichana waliofaulu katika madaraja hayo ni kumi na mbili sifuri tano tatu sawa na asilimia themanini na mbili themanini na nne na wavulana ni kumi na tisa mia tisa na sabini sawa na asilimia themanini na mbili themanini na saba alitaja shule kumi ambazo zimefanya vizuri katika matokeo hayo zenye watahiniwa zaidi ya ishirini na tano kuwa ni kibosho girls marian girls kibaha mzumbe ilboru malangali maua seminari UNK seminari st mary UNK na boniconsili mabamba UNK kwa upande wa shule kumi bora zenye watahiniwa chini ya ishirini na tano iliyoshika nafasi ya kwanza ni st james seminari ikifuatiwa na UNK masama girls katoke seminari st joseph UNK seminari usa seminari st peter s seminari st francis UNK seminari arusha UNK na UNK UNK shule kumi za mwisho katika kundi la shule lenye watahiniwa zaidi ya ishirini na tano ya kwanza kutoka mwisho ni andrew UNK memorial mount kilimanjaro UNK seminari hekima UNK UNK UNK UNK UNK nyuki na UNK shule kumi za mwisho kwa upande wa shule zenye watahiniwa ishirini na tano na zaidi ya kwanza ni UNK maswa girls dodoma central fidel castro muslim UNK UNK tumekuja UNK daktari UNK na UNK akizungumzia wanafunzi waliofanya vizuri zaidi daktari ndalichako alisema wamepatikana kwa kuangalia wastani wa alama za jumla walizopata pamoja na muunganisho wa masomo mwanafunzi wa kwanza kwa upande wa wasichana ni sophia nahoza wa marian girls lilian ahmed wa boniconsili mabamba girls ya kigoma tunu UNK marian girls na UNK UNK jangwani wengine ni agnes dominick kibosho girls habiba twaha UNK furaha amos marian girls amina mziray machame girls UNK UNK UNK UNK na upendo stiven UNK kwa upande wa wavulana aliyeshika nafasi ya kwanza ni auden kileo kibaha raymond aidan kibaha frank shega tabora boys charles simkonda ilboru maclean mwaijonga UNK boys na atupele kilindu UNK wengine ni athuman juma ilboru dickson mutegeki tabora boys michael andrew ilboru na UNK UNK al UNK UNK wanafunzi kumi waliofanya vizuri kwa ujumla kitaifa ni auden kileo raymond aidan frank shega charles simkonda maclean mwaijonga sophia nahoza atupele kilindu athuman juma dickson mutegeki na michael UNK necta pia limefuta matokeo ya watahiniwa nane wa shule na watahiniwa kumi na saba wa kujitegemea kwa kubainika kufanya udanganyifu katika mitihani pia watahiniwa hamsini na tatu waliofanya mtihani wakiwa na sifa zenye utata UNK uhalali wa matokeo yao baada ya kuwasilisha vielelezo vya kuthibitisha uhalali wao watahiniwa thebathini na tatu wa shule ya sekondari UNK iliyoko manyara na UNK ya pwani hawakupewa matokeo yao kutokana na kutolipa ada ya watahiniwa hadi pale UNK daktari ndalichako alisema baraza limefuta matokeo ya kidato cha nne kwa wanafunzi wawili kwa kubainika kufanya udanganyifu wanafunzi wengine hamsini wa kujitegemea wa kituo cha shule ya sekondari konde matokeo yao UNK kwa kufanya udanganyifu katika mitihani ya kidato cha nne mwaka ishirini sifuri nane maiti UNK mto mzinga serikali kugharamia mazishi hofu mpya mabomu ardhini idadi ya watu waliokufa katika tukio la mabomu eneo la mbagala kizuiani jijini dar es salaam imezidi kuongezeka na kufikia watu ishirini hadi kufikia jana kamanda wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam bwana suleiman kova alisema kuwa maiti tatu za raia zilipatikana katika eneo la mto kizinga na mzinga na kubainisha kuwa kati yao watoto wa kiume ni wanne UNK saba wanawake tatu na wanajeshi sita akizungumza na majira mganga mkuu wa hospitali ya wilaya ya temeke daktari asha mahita alisema hadi kufika jana zilikuwa zimeongezeka maiti za watu wa nne na kufanya idadi kufikia watu kumi na nne aliwataja marehemu kuwa ni bibi hawa marwa bibi mariam jafari fatma mtupa anthony joseph UNK ngoye bwana kassim kaniki bibi sofia UNK na UNK rajabu wengine ni bibi amina makuti fatma suleiman halima said anthony UNK na UNK masoud na mmoja hakuweza kutambulika mara moja wote wakazi wa mbagala hadi kufikia sasa karibu maiti wote walioletwa hapa wametambuliwa na ndugu zao isipokuwa ni maiti mmoja tu ambaye bado UNK alisema daktari mahita alisema kuwa hadi kufikia jana majeruhi ishirini na nane kati ya thebathini na nane walikuwa wameruhusiwa na kubakia majeruhi kumi huku mmoja UNK katika hospitali ya taifa muhimbili kutokana na hali yake kuwa mbaya hata hivyo mratibu wa chama cha msalaba mwekundu mkoa wa dar es salaam bibi grace mawalla alisema kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kuripotiwa vifo zaidi kutokana na idadi kubwa ya wazazi waliofika kutafuta watoto wao katika vituo UNK kwa ajili ya kutunza watu UNK tumebaki na watoto wawili lakini kuna watu zaidi ya thebathini waliofika leo kuulizia watoto pamoja na ndugu zao alisema bibi mawalla bibi mawalla alisema kuwa ofisi yake imetenga vituo viwili kwa ajili ya kupokea watoto au watu walipotea kutokana na maafa hayo ambavyo ni kituo cha mgulani jkt pamoja na kituo cha polisi kipata alisema katika kituo cha mgulani kuna watoto saba na katika kituo cha polisi kipata kuna mtoto mmoja john bosco na binti bibi stella venance wote wakazi wa UNK nje kidogo ya jiji la dar es salaam akizungumza na majira mwenyekiti wa kamati hiyo bwana jerome bwanausi ambaye pia ni meya wa manispaa ya temeke alisema kuwa mpaka jana wasamaria mbalimbali walikuwa wakiendelea kutoa misaada kwa ajili ya kuwasaidia waathirika bwana bwanausi alitaja misaada UNK kuwa ni magodoro ishirini sifuri mchele tani tano katoni za maji ya kunywa na mafuta ya kupikia vyote kwa pamoja vikiwa na gharama ya shilingi thebathini milioni kutoka kampuni ya UNK group inayomilikiwa na bwana yusuf manji pamoja na hundi ya shilingi ishirini na tano milioni kutoka kwa mwenyekiti wa kampuni za ipp bwana reginald mengi tayari chama cha msalaba mwekundu kimetoa zaidi shilingi kumi sifuri milioni na UNK kuendelea kutoa misaada zaidi kama mahema blanketi pamoja na chakula kulingana na hali UNK baadhi ya makamanda wa jeshi la wananchi walioko katika eneo la tukio UNK wananchi kuwa waangalifu kwani jinsi hali ilivyo yawezekana kukawa na mabomu yaliyojikita ardhini hivyo pindi UNK hali hiyo watoe taarifa kwenye vyombo husika kuna taarifa nyingi za kuwepo kwa mabomu mengi katika maeneo mbalimbali hasa mashambani bali kwa sasa UNK na mabomu ambayo UNK kuwa kwenye makazi ya watu alisema mmoja wa UNK pamoja na misaada iliyotolewa na serikali na wasamaria wema mbalimbali bado kumejitokeza malalamiko kutoka kwa wakazi wa mbagala kuu wakidai kuwa misaada hiyo UNK wao kama waathirika wakuu walisema kuwa walishangazwa kuona rais kikwete akipelekwa kwenye kambi ya jeshi na kwenye hospitali wakati wao kama wahanga walitegemea kumwona akipita pia kwenye maeneo yao kuona UNK wa mali walioupata wakati huo huo serikali itagharamia mazishi ya watu wote waliokufa katika tukio la mlipuko wa mabomu hayo kauli hiyo ilitolewa jana na mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani ambapo alisema shilingi milioni moja zitatolewa kwa kila familia kufanikisha shughuli hiyo akihutubia wakazi wa dar es salaam kwenye uwanja wa uhuru bwana lukuvi alisema tukio hilo ni ajali kama zingine lakini UNK ni madhara yaliyotokea kwa waathirika hao serikali itagharamia shughuli zote za mazishi kwa waathirika waliopatwa na ajali ya mlipuko wa mabomu pamoja na kuwasafirisha hadi kwao kwa kutoa misaada ya chakula na vitu vingine UNK alisema bwana lukuvi alisema mbali na vifo hivyo wazazi wanazidi kujitokeza kutambua watoto wao kwenye vituo vilivyowekwa ingawa wapo wachache hawajatambuliwa hadi sasa bwana lukuvi alisema kwa hivi sasa serikali imeunda tume kuchunguza madhara yaliyotokea kwa wananchi wa mbagala na ndani ya kambi ili kutathmini fidia alisema hadi jana operesheni ya uokoaji ilikuwa UNK kamati ya kutathmini ajali hiyo itaanza kufanya kazi jumatatu sambamba na viongozi wa maeneo hayo kwa kuwa wao wanajua hali ilivyokuwa awali ili kuepusha watu wajanja UNK bila kupatwa na tukio hilo alisema bwana lukuvi aliwataka UNK wa dar es salaam kuwa watulivu na kuungana na waliopatwa maafa kwa kuwapa ushirikiano wakati serikali ikishughulikia suala maafa hayo taarifa hii imeandaliwa na edmund mihali peter masangwa edson kamukara joyce ngowi masese na said mwishehe spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania bwana samuel sitta leo anatarajia kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya vyombo vya habari taarifa iliyotolewa jana na taasisi ya vyombo vya habari kusini mwa afrika tawi la tanzania na mkurugenzi wa taasisi hiyo bibi rose haji alisema maadhimisho hayo yatafanyika jijini dar es salaam ambapo waandishi zaidi ya kumi sifuri pamoja na viongozi wengine kutoka serikalini watashiriki katika maadhimisho hayo bibi rose haji alisema kauli mbiu ya mwaka huu katika maadhimisho hayo inasema vyombo vya habari majadiliano na maelewano alisema kutokana na maadhimisho hayo wadau mbalimbali watapata nafasi ya kujadili muelekeo wa vyombo vya habari na changamoto zinazowakabili wanataaluma hao bibi haji alisema misa tan inaamini taifa linaweza kapata maendeleo endelevu na ya haraka kama serikali UNK haki ya kikatiba ya kupashana na kutoa habari bila vikwazo UNK hali hiyo inawezekana iwapo pale waandishi wananchi na serikali UNK pamoja ajenda muhimu katika maendeleo ya taifa aliongeza katika maadhimisho hayo wadau wa habari nchini kote watapata nafasi ya kujadili kwa kina uhuru wa vyombo vya habari majadiliano na maridhiano na jinsi gani vyombo hivyo vinaweza kuepukana na vikwazo UNK alisema kwa mara ya kwanza watoto watashirikishwa katika maadhimisho hayo ili kusikia wenyewe jinsi masuala yao UNK ili wapate kuchangia watoto walioalikwa ni kutoka shule za sekondari na wale wanaoishi katika mazingira mbalimbali magumu tumeona ni vema UNK watoto ambao tunaandika habari zao lengo ni kuwapa nafasi ya wao kujua jinsi tunavyoweza kushirikiana katika masuala ya habari ikiwa ni pamoja na wao kutoa muongozo wanataka habari zao UNK vipi alisema alisisitiza kuwa uhuru wa vyombo vya habari utapatikana pale watanzania na wadau wengine UNK imara kujadili kwa pamoja hatma ya uhuru huu na anneth kagenda mtoto amina hamis ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tano katika shule ya kizuiani iliyoko mbagala dar es salaam anawaomba wazazi na walimu wake kufika hospitali ya temeke ili kumjulia hali baada ya kunusurika kifo katika mlipuko wa mabomu akizungumza na majira jumapili jana alisema tangu alipofikishwa hospitalini kwa ajili ya kupatiwa matibabu hajawaona wazazi wake wala walimu kumtembelea kitendo cha kukosa kuona wazazi wake anahisi wamekufa kutokana na tukio hilo alisema UNK kufika hospitalini hapo ni kupata presha baada ya milipuko hiyo kutokea na hivyo kumpelekea UNK nawaomba wazazi wangu na walimu waje kuniona ikiwezekana UNK kwani hivi sasa sina maumivu yoyote mwilini alisisitiza UNK aliongeza hali yake inaendelea vizuri hivyo wazazi wake wakijitokeza anaweza kuomba ruhusa ili arudi nyumbani kwa ajili ya kuendelea na masomo aliwataja wazazi wake kuwa ni bwana salim hamis na bibi elizabeth hamis ambao ni wakazi wa mbagala mkuu wa manispaa ya temeke jijini daktari UNK UNK alisema mtoto huyo tangu alipolazwa hakuna ndugu yeyote aliyefika kumuona pamoja na kufikwa na jangwa hilo chama cha demokrasia na maendeleo UNK kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la UNK wilayani geita mkoani mwanza kwa kuendeshwa kampeni kwa lugha ya kisukuma hali ambayo ilikuwa kivutio kwa wakazi wa eneo la nyarugusu ambako uzinduzi huo UNK uzinduzi huo ulifanyika jana mjini nyarugusu na kuhudhuriwa na umati mkubwa watu aliyekuwa wa kwanza UNK wananchi kwa lugha ya kisukuma ni aliyekuwa mgombea ubunge kwenye kura za maoni kwa tiketi ya chadema kabla ya kushindwa kwenye kinyangganyiro hicho bwana nyasa bakari ambaye aliwataka wananchi kutomchagua mgombea wa chama cha mapinduzi ccm kwa kuwa chama hicho kimeshindwa UNK watanzania hivyo muda wake wa kuendelea kuongoza UNK kwa upande wake wa mkurugenzi wa mawasiliano na haba UNK wa chadema bwana erasto tumbo alisema ccm ikienda kuomba kura wananchi UNK kama wameenda kurejesha migodi UNK UNK akihutubia kwa lugha ya kisukuma bwana tumbo alisema wakati ccm wakitafakari swali hilo tunawaomba kura yako ipige kwa mgombea wa chadema alisema UNK debe mgombea wa chama hicho bwana magessa finias kwa lugha hiyo ya kisukuma mwenyekiti wa chadema UNK shinyanga bwana UNK alisema kwamba wananchi wa geita wana hazina kubwa ya madini lakini wamekuwa UNK kwa sababu ya wao kuendelea kuikumbatia ccm aliwataka wananchi wa jimbo hilo kutokubali kuuza kura zao kwa kurubuniwa na kanga wala fedha naye mkurugenzi wa uchaguzi wa chadema bibi suzan kiwango aliwataka wanawake kutoichagua ccm kwa sababu ndiyo inayosababisha wanawake kuishi maisha magumu na waume zao kufukuzwa kufanya kazi kwenye migodi ccm UNK waume zetu kwenye migodi na UNK UNK maisha magumu dawa ni kuwanyima kura alisema bibi kiwango kwa upande wake naibu katibu mkuu wa chadema zanzibar bwana hamad mussa yusuf alisema kwamba ni jambo la kusikitisha kuona wananchi wa busanda wanaendelea kuishi kwenye mabanda ya nyasi huku chini ya ardhi UNK kumejaa utajiri wa dhahabu alisema pamoja na utajiri huo ni jambo la kusikitisha kuona wasukuma ni waoga kiasi cha kushindwa kupigania raslimali zao aliwataka wananchi kumchagua mgombea wa chama hicho ili kwenda kuongeza nguvu bungeni uchaguzi mdogo wa busanda unafanyika kufuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kabuzi UNK wanunuzi UNK bei yake mnada wa uuzaji wa samaki wenye uzito wa tani mia mbili na tisini na sita UNK na wavuvi haramu katika kina kirefu bahari ya hindi uliokuwa UNK kwa hamu jana ulishindwa kufanyika kutokana na bei kubwa huku wafanyabiashara UNK lawama serikali kuwa imeweka masharti magumu ili walalahoi UNK mnada huo ulioanza jana saa tano asubuhi katika kampuni ya bahari food jijini dar es salaam ukiendeshwa na kampuni ya yono auction mart chini ya wizara ya maendeleo ya uvuvi ulishindwa kuendelea na kusababisha zogo kutokana na viwango vya bei vilivyokuwa UNK wa samaki hao kuwa vikubwa baadhi ya watu waliofika katika maeneo hayo walionekana kukata tamaa na kuanza kurusha maneno ya kejeli baada ya muongozaji mnada huo kutangaza kuwa UNK kununua samaki hao ni kuanzia tani kumi na kuendelea kauli hiyo ilizua zogo huku baadhi ya watu UNK wakidai kuwa serikali imepanga kuwauzia wafanyabiashara wenye fedha nyingi ili waweze kwenda kuuza nje ya nchi hatukubaliani na uuzwaji wa tani hizo kwa sababu unalenga UNK katika manada huu ili wenye uwezo waweze kununua na kwenda kuuza nje ya nchi alisikika akisema mfanyabiashara wa samaki katika soko la feri bwana juma salum alidai kuwa asilimia kubwa ya wafanyabiashara waliofika hapo hawana uwezo wa kununua kuanzia tani hizo kwani walikuwa na nia ya kutaka kununua kuanzia tani moja ili waweze kuwauzia watanzania wote kuwepo kwa mabishano ya muda mrefu kulisababisha viongozi wa serikali na yono kukaa kikao cha dharura ili kujadili madai hayo baada ya kikao hicho muongozaji mnada alibadili uamuzi na kutangaza kwamba wataanza kuuza kuanzia kilo kumi ambapo kilo moja ingekuwa kati ya shilingi tatu hamsini sifuri hadi arobaini sifuri sifuri jambo ambalo pia UNK kutokana na kuwepo kwa makundi makundi ambayo yaliashiria kutokubaliana na viwango vya uuzaji wa samaki hao mkurugenzi wa kampuni ya yono bwana stanley kevela aliingilia kati na kuwaomba wafanyabiashara kutoa mapendekezo ya bei ili waweze kuuzwa wafanyabiashara hao walidai kuwa wanataka kununua samaki hao ili mtanzania wa chini naye aweze kupata lakini kwa bei ya shilingi mia moja na hamsini sifuri hadi shilingi ishirini sifuri sifuri kwa kilo mbali ya wafanyabiashara hao kulalamikia viwango vya bei mfanyabiashara bwana mohamed mohamed kutoka kampuni ya royal UNK iliyopo feri jijini dar es salaam alijitokeza na kuomba apewe kibali cha kununua samaki hao na kuwapeleka umoja wa nchi za ulaya nipo tayari kununua samaki wote hata leo lakini naomba nipewe kibali cha UNK samaki hao kupeleka eu alidai mfanyabiashara huyo hata hivyo mkurugenzi wa idara ya maendeleo na uvuvi bwana UNK nanyaro alisema kuwa serikali ipo tayari kwa mfanyabiashara atakayejitokeza kununua samaki wote na kuwapeleka nchi za nje kwa kumpa kibali alisema kuwa ni bora samaki hao UNK haraka kwani serikali UNK dola nane kwa siku ambapo mpaka sasa tayari jumla ya shilingi milioni mia moja na themanini na tisa UNK hata hivyo bwana yono alisema kuwa mnada huyo umeshindikana kufanyika kutokana na serikali kupanga kilo moja kati ya shilingi saba sifuri sifuri sifuri na shilingi nane sifuri sifuri sifuri mnada umeshindikana kutokana na kuwepo kwa bei hizo hata hivyo tutaendelea na manada huu kwa wiki kama mbili ama tatu tuna imani kuwa watapatikana wanunuzi alisema bwana UNK hivi karibuni wavuvi thebathini na saba kutoka nchi za jirani walifikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu kwa kesi ya uvuvi haramu katika kina kirefu cha bahari ya hindi watuhumiwa hao walinaswa katika operesheni iliyoendeshwa na waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi john pombe magufuli ya kuwanasa watuhumiwa wanaojihusisha na uvuvi haramu baharini na UNK serikali hasara karume UNK eneo la tukio hospitali cuf UNK UNK mali UNK kazi ya kutambua wanajeshi waliokufa baada ya UNK na mabomu katika kambi ya jeshi iliyoko mbagala dar es salaam itafanyika kwa kutumia UNK UNK hatua hiyo imekuja kwa vile kazi ya kutambua miili yao imekuwa ngumu kutokana na kujeruhiwa kiasi cha UNK wakati hayo yote yakiendelea rais wa serikali ya mapinduzi zanzibar aman abeid karume pamoja na waziri kiongozi wa zanzibar bwana shamsi vuai nahodha walitembelea eneo la tukio kwa nyakati tofauti na kuwafariji majeruhi hospitali ya temeke na muhimbili jijini pia waziri mkuu bwana mizengo pinda naye jana UNK majehuri katika hospitali hizo akizungumza na waandishi wa habari jana katika hospitali ya temeke akiwa ameambatana na kamati ya bunge ya ulinzi na usalama mnadhimu mkuu wa jeshi la wananchi wa tanzania luteni jenerali abrahaman shimbo alisema kuwa miili ya askari hao UNK baada ya kutambulika kwa kutumia dna alitoa kauli hiyo baada ya kuulizwa ni lini wanajeshi waliokufa kutokana na mabomu hayo UNK kuanzia jumatatu tutaendelea kufanya ukaguzi wa kuwatambua kwanza tutawatumia wazazi pia katika kuwatambua wanajeshi wetu waliopatwa na kifo kazi hiyo itafanyika jumatatu alisema hadi juzi jumla ya askari sita UNK kufa kutokana na tukio hilo na raia kumi na nne na kufanya jumla ya watu waliokufa kuwa ishirini pia kwa siku ya jana hakuna mtu ambaye ameripotiwa kufa hivyo kufanya idadi ya waliokufa hadi sasa kubaki ili ya ishirini kwa mujibu wa luteni jenerali shimbo wanajeshi hao UNK mara baada ya kuwatambua UNK hadi UNK wote UNK alisisitiza naye mganga mkuu wa hospitali ya temeke dar es salaam daktari asha mahita alisema hadi jana mchana hakuna vifo ambavyo vimeongezeka kutokana na tukio hilo kwa leo hakuna mtu ambaye amekufa kwa ajili ya tukio la mabomu zaidi ya kuongezeka majeruhi wawili ambao wamefikishwa kwetu asubuhi alisema daktari mahita pia alisema maiti zote ambazo zimehifadhiwa katika hospitali hizo UNK na maiti kumi tayari UNK na maiti mbili UNK leo katika mikoa tofauti awali daktari mahita akielezea tukio hilo kwa rais karume alisema kuwa jumla ya watu kumi na nne wamekufa kwa tukio hilo na askari sita mratibu wa chama cha msalaba mwekundu mkoa wa dar es salaam bibi grace mawalla alisema taarifa kuhusu upotevu wa watu imeanza kupungua kutokana na kujirudia kwa watu UNK toa taarifa katika kambi zilizotengwa kwa ajili ya kuwakusanya watu waliokuwa wamekimbia makwao alisema kwa sasa katika kituo hicho UNK watoto watatu amabo bado hawajatambulika na hakuna ndugu yeyote ambaye amefika kwa ajili ya kutoa taarifa alitaja watoto hao kuwa ni UNK UNK eric daud na john UNK hata hivyo alisema kutokana na taarifa ya juzi kuhusu watu ambao hawajaona ndugu zao kuna hatari ya kuripotiwa kwa vifo UNK zaidi watu wanatoa taarifa kuwa UNK na watoto wengine ndugu zao bahati mbaya hao wanaotafutwa hawapo katika vituo UNK hivyo hatujui wako wapi kwa sasa lakini tunaendelea kushirikiana na wananchi ili kujua walipo alisema bibi UNK mwenyekiti wa mtaa chemchem eneo la mto mzinga sekondari bwana msamaha msamaha alisema upo uwezekano mkubwa wa watu wengi kuchukuliwa na maji katika mto kizinga kutokana na kuwa siku ya tukio kulikuwa na maji mengi alisema aliwaona watu wengi na hasa watoto wakipigania kuvuka katika daraja dogo lililoko katika mto huo na wengine wakishindwa kuvuka na kutumbukia tayari maiti ya mtoto aliyetambulika kwa jina bibi amina salumu imepatikana na kuopolewa katika mto huo taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika vimesema kuwa jeshi la wananchi wa tanzania wamekuwa UNK katika mto mzinga kwa ajili ya kuwasaka watu ambao huenda wamekufa maji wakati wa tukio hilo kama baadhi ya wananchi wanavyodai cuf UNK udhaifu naye rabia bakari anaripoti kuwa msemaji wa kambi ya upinzani bungeni na mbunge wa jimbo la wawi pemba bwana hamad rashid amesema kuwa kuna udhaifu mkubwa wa kuwahudumia wahanga wa milipuko ya mabomu yaliyotokea katika UNK ya jeshi mbagala ambapo udhaifu huo unaanzia katika kutathmini mali zao hadi huduma za kwenye UNK akizungumza na gazeti hili jana bwana rashid alisema kuwa baada ya kutembelea eneo la tukio ameshuhudia udhaifu katika mambo makuu manne kwanza viongozi wanaokwenda hawafiki kabisa katika eneo la milipuko nadhani hii ni kwa sababu ya usalama wao lakini tatizo la kwanza kubwa ni uthamini wa mali unaofanyika udhaifu uliopo ni kwamba mali zinazofanyiwa uthamini ni nyumba pekee bila kitu kingine chochote kwa hiyo hata kama kuna mali ya mtu UNK au kuna vitu ndani UNK hilo UNK alisema bwana rashid aliongeza kuwa udhaifu wa pili ni kwa wataalam wanaofanya tathmini wapo wachache sana na cha ajabu mkuu wa mkoa bwana william lukuvi alisema kuwa kutokana na uchache huo UNK wataalam kutoka nchini kenya kwa ajili ya kusaidiana na waliopo kufanya kazi ya uthamini mali za waathirika hapa nchini kwetu kuna vyuo vya ardhi na vina wataalam wengi tu kwa nini UNK wataalam kutoka nchi nyingine alihoji na kuongeza aidha pia udhaifu mwingine upo katika uchache wa mahema na magodoro ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa na msalaba mwekundu wamekiri tatizo hili na wamedai kuwa UNK magodoro kutoka kenya sasa cha kujiuliza vitengo hivi vipo muda mrefu kwanini vinashindwa kuwa na huduma za haraka kama mahema na UNK aliendelea kuhoji akizungumzia udhaifu wa mwisho alisema kuwa pamoja na serikali kutoa chakula lakini UNK matakwa ya wahanga hao kwa mfano wahanga hao UNK mchele na tambi lakini mafuta ya kupikia hakuna na huu ni ndio udhaifu mkubwa UNK katika kutoa huduma kwa wahanga hao alisema wakati huo huo mwenyekiti wa chama cha cuf profesa lipumba UNK wahanga hao leo asubuhi kwa ajili ya UNK na UNK UNK wiki kadhaa baada ya serikali UNK taasisi ya upatu ya deci baadhi ya wananchi mkoani kilimanjaro wameiomba serikali kuifuatilia kwa makini taasisi ijulikanayo kama msaada kwa wote au people s unity for development in africa wakizungumza na majira hivi karibuni wananchi hao walisema kwa kufanya hivyo kutasaidia kujua uhalali wa taasisi hiyo ambayo pia UNK walengwa wake gharama kwa ajili ya huduma wanazohitaji akizungumza kwa niaba ya wenzake UNK nao mmoja wa wananchi hao bwana brian UNK alisema taasisi hiyo UNK vivutio vingi vizuri ikiwemo kuwatafutia wanafunzi ufadhili wa elimu kuanzia ile ya shule ya msingi hadi ile ya chuo kikuu kwa kuwapatia wafadhili kutoka nje ya nchi taasisi hii imetangaza kuwasaidia watoto kupata elimu hadi ya chuo kikuu ila cha kushangaza mtu ambaye anahitaji msaada anatakiwa kutoa mchango wa zaidi ya shilingi laki moja hii inatia shaka hii ni sawa na kwenda kwa mganga ili UNK dawa ya kupata pesa lakini wakati huo huo UNK umlipe fedha hizo hizo tena nyingi tu ambazo umeenda kwake kutafuta dawa ya kuzipata UNK kwa upande wake mkurugenzi wa pufdia mkoa wa kilimanjaro bwana UNK UNK alikiri kuwepo kwa taasisi hiyo na shughuli zake mkoani humo ambazo alisema ziko takribani nchi nzima alisema taasisi yake pamoja na kuwachangisha walengwa wake haina wasi wasi wowote na kuwataka wananchi kutokuwa na hofu nayo kwani ufadhili wa pufdia kutoka nje ya nchi bado UNK wa kujivunia na kuhusu gharama wanazotoza ni kwa ajili ya ada za ufuatiliaji masuala mbali mbali yanayohusiana na mradi huo tayari tumeshapata wanachama mia moja na thebathini na zaidi ya wanafunzi ishirini sifuri ambao wamejiandikisha na lengo hasa ni wanafunzi nne sifuri sifuri sifuri mkoani kilimanjaro ili wapate ufadhili wa masomo kuanzia darasa la kwanza hadi la saba kidato cha kwanza hadi cha sita na elimu katika taasisi za elimu ya juu alisema kwa mujibu wa taarifa inayopatikana katika ofisi ya pufdia kwa malipo ya shilingi hamsini sifuri kwa kila taarifa ili kupata ufadhili wa elimu kwa ajili ya mwanafunzi mzazi au mlezi atahitajika kulipa shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri ili ajiunge na mradi wa elimu pia atahitajika kufungua akaunti ya pufdia inayojulikana kama UNK UNK UNK bureau kwa malipo ya shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri atahitajika pia kulipia gharama nyingine zikiwemo shilingi kumi sifuri sifuri sifuri kwa ajili ya kujaza taarifa za mwanafunzi katika mtandao na kupata jalada la mfadhili na shilingi tano sifuri sifuri sifuri kwa ajili ya kupata kitabu cha benki ya pufdia UNK gharama nyingine ni fedha za uongozi wa ofisi shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri na shilingi kumi na tano sifuri sifuri sifuri kwa ajili ya picha nane za mwanafunzi kwa udhamini na shilingi mbili sifuri sifuri sifuri kama gharama za picha za mzazi wa mwanafunzi UNK kupatiwa mfadhili na shilingi kumi sifuri sifuri sifuri za malipo ya cheti pamoja na kitambulisho cha mwanafunzi kwa udhamini edmund mihale na edson kamukara shughuli ya ugawaji misaada kwa waathirika wa milipuko ya mabomu katika kambi ya jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania mbagala dar es salaam imeingia dosari baada misaada hiyo kutolewa UNK huku walengwa UNK pamoja na mvua zinazoendelea kunyesha eneo hilo waathirika wengi wamejikuta wakiendelea kulala nje kwa kukosa mahema magodoro mablanketi na vyandarua kutokana na vifaa hivyo kutolewa kwa upendeleo kwa watu ambao si walengwa wakizungumza na majira jana kwa nyakati tofauti wakazi wa mbagala kuu walisema kuna udanganyifu unaofanywa na baadhi ya viongozi waliopewa jukumu la kusimamia ugawaji misaada hiyo jana UNK mahema na magodoro hadi usiku lakini ghafla zoezi hilo UNK na tukaambiwa misaada hiyo UNK eneo la mtoni kijichi ambako tunafahamu hakuna kambi ya wahanga alidai mmoja wa wakazi hao mama mmoja ambaye naye hakutaka jina lake liandikwe gazetini alisema kuna watu UNK nyumba zao eneo la tukio na wao walikuwa hawaishi hapo baada UNK kutolewa misaada hiyo wamekwenda kujiorodhesha kama waathirika malalamiko hayo UNK mkono na ofisa maendeleo ya jamii wa manispaa ya temeke bwana john bwana ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati wa kambi ya mbagala kuu ambaye alisema wajumbe zaidi ya ishirini wa nyumba kumi walikuwa UNK wakazi hewa kutokana na ama kupewa rushwa au UNK kimsingi UNK yapo na kulinga na utaratibu wetu UNK maeneo katika kambi nane za mbagala kuu kibonde maji b makuka kizuiani UNK mbagala na mgeni nani lakini kijichi hakuna kambi watu wamelalamika UNK magodoro alisema bwana bwana mapema mkuu wa oparesheni katika kituo cha polisi mbagala kipata bwana UNK UNK alisema tangu juzi walifanya ukaguzi wa maeneo hasa mto kizinga wakishirikiana na wananchi kwa lengo la kuangalia kama kulikuwa na miili mingine kama inavyodaiwa alisema kikosi hicho cha ukaguzi kilihusisha askari wa kikosi cha jeshi la wanamaji kikosi cha majini cha polisi zimamoto kikosi cha kutuliza ghasia kikosi cha UNK na wahudumu wa chama cha msalaba UNK aliongeza kuwa hadi kufikia jana mchana hakuna maiti aliyepatikana katika ukaguzi uliofanywa kwenye mto kizinga naye mratibu wa chama cha msalaba mwekundu mkoa wa dar es salaam bibi grace mawalla alisema katika kambi zao za kipata na mgulani walikuwa UNK na watoto wanne tu hadi kufikia jana mchana ambao wazazi wao walikuwa UNK UNK wakati huo huo baadhi ya watu waliokubwa na tukio hilo wametishia kuandamana UNK urasimu unaofanywa katika upatikanaji misaada hiyo watu hao ambao wengi ni vijana waliliambia gazeti hili kuwa kamwe hawatabaki kimya wakati suala hilo UNK mateso kwao na watafanya maandamano hayo wakati wowote hata hivyo majira UNK kuwa tayari vijana hao walijaribu kuandamana lakini walizuiwa na polisi kwa maelezo kwamba misaada hiyo UNK katika hatua nyingine polisi waliokuwa eneo hilo wamedai kutelekezwa njaa kutwa nzima jana bila kupewa chochote hali inayochangia ugumu katika UNK majukumu yao asema yeye ni mtu safi UNK apinga kuhusika na richmond dowans mbunge wa jimbo la igunga mkoani tabora bwana rostam azizi ameibuka na kukanusha madai ya ufisadi dhidi yake yalitolewa hivi karibuni na UNK mmoja maarufu nchini huku akieleza kuwa hayana msingi bwana rostam alisema tuhuma UNK heshima kwa kiasi kikubwa ndani ya jamii kutokana na nafasi yake kama kiongozi wa kuchaguliwa na wananchi katika nyadhifa mbalimbali alisema hakutaka kujibu mapigo lakini amelazimika kufanya hivyo kwa sababu ameona kukaa kimya UNK watanzania waamini kinachosemwa dhidi yake ni kweli wakati madai hayo hayana hata chembe ya ukweli akizungumza na wahariri na waandishi waandamizi jana dar es salaam bwana rostam alisema tuhuma za ufisadi zilizoelekezwa UNK UNK jina mbele ya wapigakura wake na watanzania kwa ujumla UNK kwa kina athari zinazoweza kulifikia taifa letu ikiwa mwenendo wa baadhi ya watu kujipa haki ya kuchafua wale wanaowaona ni washindani au wapinzani wao UNK uendelee kuendelea kwangu kukaa kimya kunaweza kuwafanya watanzania kuamini propaganda chafu zinazotolewa dhidi yangu ni za kweli nimeona kukaa kimya nitakuwa UNK haki binafsi na watanzania wenzangu alisema bwana rostam alisema yeye ni mtu safi na amekuwa akiweka wazi mambo mbalimbali UNK kwake ikiwa ni pamoja na kukanusha tuhuma za kuhusishwa na kampuni UNK kwa ufisadi alisema kutokana na hali hiyo ameamua kukemea uchafu na uovu unaotaka kupandikizwa na mfanyabiashara huyo na kuhoji kwamba UNK mfanyabishara huyo amepata wapi uhalali wa kujifanya msemaji wa watanzania bwana rostam alisema nimekuwa kiongozi wa kuchaguliwa katika nafasi mbalimbali ikiwemo ile ya kuchaguliwa na wananchi wa igunga kwa hali hiyo nina kila sababu ya kukemea kila aina ya uchafu na uonevu UNK alisema alidai kuwa mfanyabiashara UNK ndiye fisadi na kudai kuwa UNK fedha katika baadhi ya benki za kusaidia watanzania lakini leo UNK ngozi ya kondoo alidai mbali ya kufanya ufisadi wa kutisha wa kuchukua mabilioni na kukataa kurudisha fedha UNK kwenye mabenki amekuwa akitumia njia mbalimbali ili watanzania wamuone yuko safi bwana rostam alisema tuhuma UNK kwa mfanyabiashara huyo ana ushahidi nazo na anatarajia kuziwasilisha katika vyombo husika ndani ya saa arobaini na nane ili zianze kufanyiwa kazi ushahidi wa haya yote UNK kwenu ninao na tuhuma zote ni za kweli kama anaweza UNK anasema mimi na wafanyabiashara wengine wanne tuna akaunti nje ya nchi ambako UNK fedha zetu hata yeye ana akaunti nje na hawezi kupinga alisisitiza bwana rostam alisema kuwa mfanyabiashara huyo amekuwa na kawaida ya kugombana na watu mbalimbali na orodha ya wale UNK nao ni ndefu na akiona UNK UNK ugomvi wake ni wa taifa zima kwa nini tuendelee UNK mtu kama huyu kwa nini anapokuwa na matatizo yake binafsi na wale UNK wabaya wake kibiashara au pengine hata kisiasa UNK nchi nzima na wananchi wote alihoji bwana rostam UNK wanasema mtu UNK wengine kuwa na tabia fulani mara nyingi huwa yeye ndiye mwenye tabia hizo hiyo ndiyo hali halisi ya inayoonekana kwa mfanyabiashara huyo na yale aliyoyasema yanadhihirisha kuwa ndivyo alivyo kwa muda mrefu nimekuwa nikihisi kuna mtu amekuwa akipanga mikakati ya UNK sasa UNK siku zote amekuwa akikanusha lakini sasa hawezi kukanusha tena umri wake ni zaidi hata ya wazazi wangu afahamu nimetoka katika familia ya wafanyabiashara walioanza shughuli hiyo karne moja iliyopita hawezi kushindana alisema ameingiza vurugu kila UNK nchi UNK kila kukicha shughuli imekua porojo zake na malumbano yanayotumia muda mwingi ambao ungeweza kuendeleza nchi alisema bwana rostam alisisitiza kuwa watanzania sio wajinga wanaelewa mchele ni upi na pumba ni zipi mfanyabiashara huyu hana usafi wa kupambana na ufisadi bali ni nyangumi wa ufisadi anayejaribu kuficha ufisadi wake kwa kuchafua wengine aliongeza katika mkutano huo bwana rostam alikanusha kuifahamu kampuni ya dowans lakini alithibitisha kuwafahamu UNK wake pia alisisitiza kuwa UNK katika kashfa yoyote ile ya ufisadi ikiwemo ile ya kampuni ya kagoda UNK kuchota fedha katika akaunti ya madeni ya nje katika benki kuu ya tanzania ni njia rahisi ya kuongeza mitaji kujiimarisha kiuchumi crdb mbioni kuuza hisa zake kuongeza ufanisi wa huduma taasisi za fedha zina umuhimu mkubwa kwa taifa na wananchi ambao huzitumia taasisi hizo kuhifadhi fedha zao katika hali ya usalama na hata kupatiwa mikopo itakayowasaidia kuanzisha miradi ya maendeleo na kujikwamua kiuchumi awali taasisi hizo zilikuwa chini ya serikali kabla ya kutungwa kwa sera ya ubinafsishaji ambapo taasisi binafsi za fedha UNK kuanzishwa ili UNK harakati za ukuaji wa uchumi wa taifa ambao hivi sasa UNK maisha ya jamii kubwa kuanzishwa kwa benki ya crdb kumetokana na utekelezwaji wa sera hiyo katika miaka ya elfu moja na mia tisa na tisini benki hiyo kwa sasa imekuwa mstari wa mbele katika maendeleo ya ukuaji wa uchumi benki hiyo ni taasisi binafsi inayohitaji UNK zaidi ili iweze kutoa huduma zake kwa jamii kubwa ya watanzania wanaohitaji huduma zinazotolewa na taasisi hizo kwa kuhifadhi fedha zao na kujiletea maendeleo hususan katika ulimwengu wa sasa wa sayansi na teknolojia maendeleo ya kampuni au taasisi binafsi yanahitaji mtaji wa kutosha ili kampuni hiyo iweze kujiendesha kwa mafanikio mtaji huo unaweza kupatikana kwa njia ya mbalimbali ikiwemo ile ya kuuza hisa za kampuni husika hivi karibuni benki ya crdb ilizindua zoezi la kuuza hisa zake kwa jamii ili kupanua mtaji wa benki hiyo na kuifanya UNK kwa mafanikio makubwa benki hiyo imekuwa msaada mkubwa kwa wananchi na taifa katika kuchangia ukuaji wa uchumi mkurugenzi mtendaji wa benki hiyo daktari charles kimei anasema benki yake imeamua kuuza hisa zake kwa lengo la kupata mtaji na kuweza UNK zaidi kuongeza idadi ya matawi na kuboresha mfumo wake wa teknolojia kwa jili ya kuboresha huduma zake anasema benki hiyo UNK kwenye soko la hisa ili kuongeza mtaji wake ambapo katika zoezi hilo wataweza kupata mtaji wa kutosha na kupanua mtandao wa shughuli zake katika maeneo mbalimbali nchini daktari kimei anafafanua kuwa uuzaji wa hisa hizo utawawezesha wana hisa kupata bei halisi ya soko wanapotaka kuuza hisa zao na kuwawezesha wananchi wengine ambao UNK kuwa wana hisa kupata fursa ya kununua hisa za benki hiyo hatua ya kujiunga kwenye soko itatoa changamoto ya kiutendaji na uwajibikaji kwa uongozi wa benki hiyo wanahisa wanaweza kupima utendaji kazi wa menejimenti ya benki hiyo kwa kuangalia mabadiliko kwenye bei ya hisa faida nyingine za kujiunga na soko hilo ni kutambulika kwa benki hiyo na kuheshimika na wanahisa ambao UNK thamani halisi ya hisa zake hii ni njia rahisi na sahihi kwa wawekezaji kuuza au kununua hisa zao ambapo mwanahisa atapata faida pale bei ya hisa UNK alifafanua daktari UNK anasema februari mwaka huu benki hiyo ilifanya jambo moja muhimu ambalo UNK na wanahisa katika mchakato wa kujiorodhesha na kutoa hisa zake kwa UNK katika zoezi hilo benki hiyo iliuza hisa zenye thamani ya shilingi bilioni ishirini sita ambayo ni asilimia themanini na saba ya UNK benki hiyo UNK na kuanza kazi rasmi kama benki binafsi ya biashara juni elfu moja na mia tisa na tisini na sita ikiwa na wanahisa kumi na moja sifuri sifuri sifuri mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa ilibadilisha jina kutoka crdb kuitwa crdb benki limited kutokana na mabadiliko hayo ambayo yalifanywa ili kukidhi mahitaji ya sheria mpya ya makampuni desemba ishirini na nane ishirini sifuri saba benki hiyo UNK tena jina lake na kuitwa crdb benki public limited company kama UNK hivi sasa kwa sasa benki hiyo ina wanahisa kumi na tatu mia nne na ishirini na tano baada ya kuuza hisa zake na UNK katika soko la hisa la dar es salaam ikiwa ni ishara ya ufanisi katika utendaji kazi wao ambao benki hiyo imekuwa nao kwa muda mrefu mwaka ishirini sifuri nane benki hiyo iliongoza katika ukuaji wa taasisi za fedha UNK kibiashara kwa kuwa na vigezo vyote UNK mwishoni mwa ishirini sifuri nane UNK za benki hiyo zilifikia shilingi trilioni moja arobaini na tano ikilinganishwa na shilingi bilioni thebathini tatu mwaka ishirini sifuri mbili ukuaji wa rasilimali za benki ulikwenda sambamba na ongezeko la amana za wateja ambazo zilifikia shilingi trilioni moja ishirini na saba mwishoni mwa ishirini sifuri nane kutoka shilingi bilioni mia mbili na sitini na tisa mwaka ishirini sifuri mbili mtaji wa wanahisa UNK kutoka shilingi bilioni kumi na tano mbili mwaka ishirini sifuri mbili mpaka kufikia shilingi bilioni mia moja na arobaini tisa mwaka ishirini sifuri nane matokeo mazuri ya ukuaji huo yametokana na kuongezeka kwa rasilimali za benki shughuli za biashara na mapato mengine mwenyekiti wa bodi ya benki hiyo bwana martin mmari anasema benki hiyo ilifanya uzinduzi wa uuzaji wa hisa zake aprili ishirini ishirini sifuri tisa ambapo uuzaji huo utafungwa mei nane mwaka huu ambapo juni kumi na saba mwaka huu wanatarajia kujiorodhesha katika soko la hisa la dar es salaam anasema jumla ya hisa zote zinazouzwa ni mia moja na ishirini na tano mia nne na ishirini na tisa mia sita na tisini na mbili ambazo kati hizo ishirini na sita mia nne na tisini na sita mia nne na kumi na mbili ni hisa mpya za awali hisa zote zitauzwa kwa bei ya asilimia mia moja na hamsini kwa hisa moja bwana mmari anasema suala la kutafuta mtaji ni muhimu katika kampuni yoyote duniani kwa kuuza hisa zake na kuongeza nguvu ya mtaji wa kampuni ili iweze kujiendesha vizuri na kutoa huduma bora kwa jamii siku moja baada ya mbunge wa igunga bwana rostam azizi kujibu mapigo ya mwenyekiti wa kampuni za ipp bwana reginald mengi na kumwita nyangumi wa ufisadi katika kile kinachoonekana kuendeleza malumbano bwana mengi kupitia mawakili wake jana aliibuka tena mbele ya waandishi wa habari UNK shutuma dhidi yake huku akimtaka bwana rostam kutaja biashara anazofanya na kama kweli analipa kodi sambamba na kutishia UNK mahakamani bwana mengi mbali ya kukanusha tuhuma hizo alisema yeye si nyangumi wa ufisadi huku akitumia nafasi hiyo kumtaka bwana rostam UNK watanzania biashara anazofanya na kodi UNK serikalini juzi wakati bwana rostam akijibu mapigo dhidi ya tuhuma za kuitwa fisadi papa pamoja na UNK wengine wanne alidai bwana mengi hana usafi wowote wa kupambana na ufisadi kwani ni nyangumi wa ufisadi na kwamba UNK fedha nyingi zikiwemo za wafadhili na benki nbc na ameshindwa UNK ambazo UNK watanzania masikini akizungumza na waandishi wa habari jana dar es salaam wakili wa bwana mengi kutoka kampuni ya UNK ya ngalo bwana UNK ngalo alisema tuhuma za bwana rostam kwa bwana mengi ni za kutunga na kuunganisha mambo kutokana na hali hiyo UNK mahakamani hivi karibuni alisema mashambulizi ya bwana rostam dhidi ya mteja wake yamejaa chuki na uchochezi kwa lengo la kumdhoofisha bwana mengi na watanzania wengine wenye nia njema kwa taifa kupiga vita ufisadi ndugu mengi UNK kwa makini hotuba ya bwana rostam ameweza kugundua na kuelewa hajajibu hoja au tuhuma ya msingi UNK na matukio makubwa ya ufisadi nchini katika UNK bwana rostam UNK kibao kwa kumuita ndugu mengi nyangumi wa ufisadi lakini UNK kwa hilo kama kweli bwana mengi ni fisadi alikuwa wapi siku zote asiseme huo ufisadi alihoji bwana UNK aliongeza katika kuonesha mambo ya uongo UNK na kusambaza bwana rostam kupitia hotuba yake hiyo bwana mengi ameamua kuthibitisha yafuatayo akianzia na suala la fedha za uagizaji bidhaa nje bwana ngalo alisema hakuna kampuni yoyote ya mteja wake inayodaiwa fedha hizo kwani UNK fedha za hizo na ushahidi upo alilipa deni kupitia hati za malipo ya benki ya nmb februari ishirini sifuri nane risiti za tra zipo na barua ya wizara ya fedha na mipango imethibitisha kuwa UNK pia alisema kampuni ya UNK UNK ltd suala lake UNK na mahakama kuu kanda ya dar es salaam kupitia hukumu iliyosomwa septemba thebathini mwaka ishirini sifuri nane UNK la nbc lilikataliwa na mahakama hiyo kwa sababu ya kukosekana kwa ushahidi wa kuthibitisha deni hilo nakala ya hukumu hiyo ina kurasa arobaini na tano kwa upande wa utajiri wa bwana mengi bwana ngalo alisema inaelekea bwana rostam hafahamu na hakutaka kufanya utafiti kujua historia ya bwana mengi katika biashara kwani alianza biashara miaka elfu moja na mia tisa na sabini kudai kuwa UNK utajiri wake kati ya elfu moja na mia tisa na themanini na nne elfu moja na mia tisa na tisini na mbili ni uongo usio na msingi wowote na hajaweza kuonesha ni ufisadi upi UNK pia misaada ya bwana mengi anayotoa kwa wananchi inatokana na jasho la kazi zake halali napenda niseme kuwa bwana mengi hakuna mtu ambaye amemtaja kuwa UNK kuwa anataka kumuua bali amekuwa akipata vitisho na tayari alishatoa taarifa hizo polisi ambapo wanaendelea kuzifanyia kazi alisema alisema bwana mengi kama binadamu au raia yeyote ana haki na wajibu wa kutoa taarifa ya vitisho kwa afya na maisha si yake tu bali hata ya watu wengine kwa kutoa taarifa hizo bwana mengi UNK mtu yeyote naye mshauri wa sheria wa bwana mengi bwana UNK nguma alisema bwana mengi ameamua kutoa ujumbe wake kwa watanzania ujumbe huo ni wa kumuuliza maswali muhimu bwana rostam bwana mengi UNK bwana rostam aseme anafanya biashara gani tanzania UNK biashara hizo na kampuni zinazoendesha kama kampuni hizo zimesajiliwa chini ya brela na kama jina lake UNK kama UNK pia alisema kama kampuni hizo UNK kodi na kama zimepata kutoa misaada yoyote kwa maendeleo ya jamii pia alizidi kuhoji kuwa kama bwana rostam anadai hana uhusiano na kampuni ya kagoda kwanini alikwenda benki kujadiliana juu ya akaunti ya kampuni hiyo akahoji kama bwana rostam anadai hana uhusiano na richmond lakini anawafahamu wahusika aseme mazingira ya ufahamu huo alidai watanzania sio wajinga kiasi UNK wengi UNK kwamba yeye ndiye kinara wa richmond dowans kagoda na kashfa nyingine rostam ametoa shutuma za uongo dhidi ya bwana mengi pamoja na kukopa fedha benki lakini rostam akumbuke kwamba anashutumiwa na umma kwa wizi wa fedha watanzania wangependa kumwambia bwana rostam imetosha enough is enough alisema bwana nguma kwa niaba ya bwana mengi hata hivyo baada ya kumaliza kuzungumza na waandishi wa habari UNK hao wa bwana mengi hawakutaka kuulizwa maswali na waandishi wa habari zaidi ya kusema kuwa watakwenda mahakamani muda wowote kufungua mashitaka dhidi ya bwana rostam mkuu wa gereza UNK ushahidi kizimbani mshitakiwa wa kumi na tatu katika kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini kutoka mahenge morogoro bwana festus gwabisaba ameieleza mahakama kuwa UNK wa marehemu hao ulikuwa ni wa amani tofauti na inavyodaiwa mshitakiwa huyo alihusika katika zoezi la kuwakamata marehemu hao na kumpekua mmoja wao ambaye alikuwa na bastola hivyo kusisitiza kutokuwepo majibizano ya risasi zaidi ya kuwakamata marehemu hao bila purukushani zozote mbali na hayo pia alikiri kuitwa na aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana UNK zombe kwa ajili ya kupongezwa kwa kazi ya kukamata majambazi wakiwa na silaha hayo aliyasema jana katika mahakama kuu ya tanzania mbele ya jaji salum massati wakati akitoa utetezi wake kuhusiana na kesi ya mauaji ya wafanyabiashara hao ambao wanadaiwa kuuawa na askari polisi baada ya kufika sinza palestina dar es salaam wakati tukifuatilia majambazi waliopora bidco tulikutana na hao watuhumiwa na mimi UNK kumhoji mmoja wao sambamba na kumpekua ambapo nilimkuta na bastola ambayo UNK alidai bwana gwabisaba alidai kuwa kitu kingine UNK kwenye gari la marehemu ni mkoba mweusi ambao marehemu walisema una jumla ya shilingi milioni tano na kusisitiza kuwa ni mali yao fedha hizo zilikuwa ndani ya mkoba ambao uliwekwa kwenye buti ya gari walilokuwa UNK akilielezea ni nani aliondoka na fedha hizo mshitakiwa huyo alidai kuwa kutokana na watuhumiwa hao kulalamikia fedha zao alishauri UNK fedha hizo mpaka kituo cha polisi kwa ajili ya kuhesabu na mahojiano zaidi wale watuhumiwa UNK walidai fedha ni zao hivyo nilishauri wapewe hadi kituoni ili fedha hizo UNK na kuhojiwa zaidi ili kubaini zilikotoka hivyo UNK nazo kwenye gari la chuo kikuu wakiwa wamefungwa pingu na wengine mashati yao alidai bwana gwabisaba aliendelea kueleza kuwa wakiwa eneo hilo UNK hao watuhumiwa ambao kwa sasa ni marehemu ilifika gari nyingine ikiwa na askari watatu wa urafiki akiwemo bwana ahmad makelle pamoja na wp UNK baada ya kumalizika kwa upekuzi wa wafanyabiashara hao mshitakiwa huyo alishauri wapelekwe kituoni kwa ajili ya mahojiano zaidi kabla UNK hivyo naye UNK kuchukua silaha aina ya smg na kumsindikiza koplo nyangerela kituoni urafiki UNK kuchukua silaha ya nyangerela ili yeye UNK gari walilokuwa nalo marehemu kwa ajili ya kulipeleka kituoni na tulifanya hivyo alidai mshitakiwa huyo aidha alidai kuwa baada ya kukabidhi gari hilo urafiki yeye na koplo nyangerela waliondoka kwenda maeneo ya survey ambako walikuwa wamepangiwa kwa ajili ya doria alidai kuwa urafiki waliondoka kwa kutumia usafiri wa daladala na walifanya kazi ya doria hadi asubuhi yake januari kumi na tano ishirini sifuri sita kisha kurudi nyumbani kwao akiwa nyumbani kwake alipata taarifa kuwa anahitajika ofisini kwa rpc ikiwa ni pamoja na askari aliokuwa nao jioni kwenye tukio la ukamataji wa wale wafanyabiashara tuliongozana na mkuu wa kituo cha polisi chuo kikuu sp masinde pamoja na askari wenzangu ambao tulikuwa wote katika tukio hilo hivyo tulikwenda kuonana na zombe ambaye kwa maneno yake alisema UNK kwa kazi ya kukamata majambazi na silaha bastola hiyo kwa muda huo ilikuwa mezani kwake alidai mshitakiwa huyo alidai kuwa baada ya siku kadhaa alitambua kuwa pongezi zile hazikuwa za ukamataji kama UNK awali kwani tayari kulikuwa na tukio la mauaji hivyo pongezi hizo hazikuwa halali alisema kuwa taarifa za kuuawa kwa wafanyabishara hao UNK kutoka kwenye vyombo vya habari na alishtuka kwani siku wanapongezwa UNK kama kulikuwa na mauaji hayo akizungumzia nakala za maelezo walizopewa na bwana zombe kwa ajili ya kuidanganya tume ya rais kuhusiana na mauaji hayo alisema kuwa hakukubaliana na maelezo ya bwana zombe na matokeo yake alieleza kadri alivyoshughulikia tukio hilo hasa katika UNK yale maelezo ya zombe ambayo UNK tueleze kuwa UNK na wale marehemu katika ukuta wa posta sinza mimi UNK nayo kwani haikuwa hivyo na wala hapakuwa na majibizano yoyote alidai mshitakiwa huyo alipomaliza kutoa utetezi wake na kuhojiwa na pande zote mbili wakili wa bwana zombe bwana jerome msemwa aliiomba mahakama mteja wake aruhusiwe kurudia ushahidi wake kuhusiana na barua ambazo ziliandikwa na washitakiwa wenzake wakiwa gerezani kabla ya yeye kukamatwa bwana zombe UNK barua hizo kuwa ndizo mkurugenzi wa mashitaka nchini alitumia katika kumfungulia mashitaka ya mauaji kuhusiana na hilo upande wa mashitaka haukuwa na pingamizi lolote bali UNK mshitakiwa huyo kufafanua maelezo yaliyosemwa na mwenzake kutokana na hayo mahakama ilikubaliana na bwana msemwa na kumtaka mshitakiwa huyo kupanda kizimbani kwa ajili ya kutoa utetezi tena hatua UNK bwana zombe kutoa utetezi tena kama ilivyoombwa ni kukosekana kwa barua halisi UNK kuwa zilitoka gerezani kwenda kwa dpp kwa ajili ya UNK kesi ya mauaji barua hizo zilitakiwa kutolewa na upande wa mashitaka ambao ulidai kwa wakati huo haukuwa nazo hivyo ukaomba muda ili UNK barua hizo na UNK mahakamani kutokana na hali hiyo mawakili wengine wa upande wa utetezi walipingana na hatua ya mshitakiwa huyo kutoa utetezi tena kama alivyoomba ukidai kuwa endapo UNK washitakiwa wengine basi itawalazimu na wao kuomba nafasi hiyo malumbano hayo yalisababisha kuahirishwa kwa utetezi huo mpaka leo asubuhi mahakama itakapotoa uamuzi hata hivyo mahakama iliruhusu kupanda kwa shahidi wa bwana zombe ambaye ni mkuu wa gereza la ukonga acp samwel nyakitine ambaye alikanusha baadhi ya mambo mbalimbali akidai kuwa hawezi kukiri moja kwa moja kutokana na kutokuwa na nakala za barua zilizoko kwenye jalada la UNK shahidi huyo alisisitiza kuwa kwa mujibu wa taratibu za gereza barua ikitoka bila kuwepo idhini ya mkuu huyo barua hiyo haitakiwi kufanyiwa kazi na taasisi ya serikali kuhusiana na madai ya bwana zombe kuwa washitakiwa wenzake walikamatwa na simu gerezani mkuu huyo wa gereza alidai kuwa simu alizonazo zilikamatwa kwa wafungwa na mahabusu waliokuwa wamekwenda mahakamani ambao ni zaidi ya moja sifuri tatu sifuri shahidi huyo alisisitiza kuwa alifika mahakamani hapo kwa kuheshimu UNK ya mahakama na si vinginevyo washitakiwa katika kesi hiyo wanadaiwa kuwa januari kumi na nne mwaka ishirini sifuri sita wakiwa katika msitu wa pande luisi ulioko mbezi dar es salaam walimuua kwa makusudi bwana ephraim chigumbi bwana sabinusi chigumbi bwana juma ndugu na bwana mathias lukombe washitakiwa hao ni bwana zombe bwana christopher bageni bwana ahmad makele wp elfu nne na mia tano na kumi na tatu jane d mia moja na arobaini sita mabula e elfu sita na mia saba na kumi na mbili felix d elfu nane na mia mbili na themanini na tisa michael d mia mbili na thebathini sifuri abeneth d elfu nne na mia sita na hamsini na sita rajab na d elfu moja na mia tatu na sitini na saba philipo vifo UNK mwanafunzi UNK mtoni serikali UNK milioni ishirini sifuri bakhresa milioni kumi sifuri wizara ya ulinzi na kujenga taifa imetaja majina ya wanajeshi sita waliofariki baada ya kulipuka kwa ghala la kuhifadhia silaha katika kambi ya jeshi la ulinzi la wananchi mbagala kizuiani dar es salaam jumatano iliyopita wizara hiyo imesema mbali ya askari hao hakuna wengine waliokufa ndani ya kambi hiyo zaidi ya raia wawili kujeruhiwa mmoja akiwa UNK waliokuwa nje ya ghala hilo naomba wananchi waache kusikiliza taarifa za mitaani ambazo ni uvumi mtupu UNK sisi waliokufa ni wanajeshi wetu sita na majeruhi ni hawa raia wawili waliokuwa nje ambao tunategemea ndio UNK katika uchunguzi wa kina alisema waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa daktari hussein mwinyi wakati akizungumza na waandishi wa habari jana daktari mwinyi alisema kuwa jeshi limepokea kwa masikitiko tukio hilo na uchunguzi wa kina unaendelea wanajeshi waliokufa wakiwa kazini ni watano aliwataja kuwa ni am muhidin sajini UNK UNK koplo UNK UNK UNK koplo mohamed seif koplo bernard alfred UNK na ofisa mteule daraja la kwanza timothy UNK ambaye alifariki wakati wa kuzima moto na kuokoa UNK kufuatia tukio hilo alisema kuwa wameunda kamati ya wajumbe tisa ambayo itaongozwa na meja jenerali sylvester UNK ambapo itajumuisha wajumbe kutoka wataalam wa milipuko UNK UNK ofisa wa polisi ofisa idara ya zimamoto na ofisa mhaiki mali daktari mwinyi UNK wananchi kuacha kuokota au kuficha chuma chochote kilichotokana na mlipuko silaha risasi UNK eneo la mlipuko kwenye makazi ya watu naomba wananchi vitu vya aina hiyo UNK taarifa kwa timu ya wanajeshi UNK au kituo chochote cha polisi na ikumbukwe kuwa ni kosa la jinai kama mtu UNK UNK silaha risasi au mlipuko wa aina yoyote kinyume na sheria alisema daktari mwinyi waziri huyo kwa niaba ya wizara yake alitoa pole kwa wanajeshi na wote waliopoteza maisha na kuumia kwenye tukio hilo UNK watu mbalimbali waliojitokeza kutoa misaada ya aina mbalimbali kwa waathirika wa tukio hilo wakati huo huo hali bado ni tete katika eneo la mbagala kizuiani ambako mabomu hayo yalilipuka na kusababisha vifo idadi ya watu waliopoteza maisha imeongezeka na kufikia ishirini na tatu hadi kufikia juzi jioni idadi ilikuwa watu ishirini na mbili lakini jana iliongezeka na kufikia watu ishirini na tatu baada ya mwili wa mwanafunzi wa shule ya awali ya maarifa ramadhan salum kuopolewa kwenye mto mzinga akizungumza na majira jana katika eneo la tukio mkurugenzi wa shule ya maarifa bwana omar UNK alisema kuwa kati ya wanafunzi ishirini tatu walionao ni ramadhan tu ambaye alipotea tangu wakati wa tukio hadi mwili wake UNK akiwa amekufa mtoni akithibitisha tukio hilo mganga mkuu wa hospitali ya temeke bibi asha mahita alikiri kupokea mwili wa mtoto huyo na kusema kuwa madaktari walikuwa wakiendelea na taratibu za uchunguzi wa mwili ili UNK kwa ndugu kwa ajili ya mazishi jana majira ilishuhudia askari jwtz na polisi wakiwa UNK na ukaguzi wa kutafuta miili zaidi pamoja na masalia ya mabumu kuzunguka eneo la mto mzinga huku mabumu mengi yakiwa UNK meya wa manispaa ya temeke bwana jerome bwanausi ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya maafa alisema kuwa shughuli za utafutaji wa watu zaidi inaendelea mpaka hapo watakapokuwa wameridhika kuwa wale wote waliopoteza ndugu zao UNK kambi ya misaada kambi ya mbagala kuu hadi jana kulikuwa bado kuna malalamiko ya wahanga wa eneo hilo wakidai utaratibu wa ugawaji wa chakula magodoro na mahema ni mbovu UNK na udanganyifu mkubwa sana kusema ukweli chakula magodoro na mahema vipo isitoshe juzi kila familia ilipewa kilo tano za mchele hema na magodoro lakini hadi leo kuna wenzetu wanalala nje UNK mvua na kupigwa baridi kutokana na wajanja kuingilia na kuvuruga utaratibu alidai bwana ally mawazo mkazi wa eneo hilo malalamiko hayo yanagusa pia utaratibu mzima wa kamati inayofanya tathimini ya majengo yaliyoathirika wakati wa mlipuko kutokana na wahanga kudai kwamba zoezi zima lina kasoro kwa vile UNK wanataka washuhudie vitu vyote UNK wakazi wa eneo hilo baada ya kujaribu bila mafanikio kutaka kuandamana juzi kupinga utaratibu huo kutokana na kudhibitiwa na polisi zaidi ya kumi sifuri waliosambazwa hapa sasa wameandika mabango yenye ujumbe mbalimbali na UNK UNK majira ilishuhudia baadhi ya mabango hayo yakiwa na ujumbe kama ikiwezekana waziri mkuu uje mwenyewe UNK UNK wakati lingine UNK kuwa maafa isiwe sababu ya kufanya ufisadi wa deci kwa viongozi mhanga mwingine asha hamisi alisema tangu tukio hilo litokee yeye pamoja na familia yake ya watoto wa wanne bado hajapata msaada wowote alisema siku ya tukio hilo alikuwa katika UNK zake katika soko la kariakoo alipigiwa simu na kuambiwa juu ya mlipuko wa mabomu katika eneo hilo bibi asha alisema baada ya simu hiyo alipanda basi hadi maeneo ya mbagala alizuiwa na askari waliokuwa katika eneo la tukio ambayo imemfanya aishi katika mazingira magumu mhanga mwingine ni bwana yusuf chande mjumbe wa nyumba kumi ambaye pia ni mmiliki wa nyumba yenye kaya za wapangaji kumi na nane ambazo zote zimeathirika na mabomu alisema hadi jana alikuwa yeye pamoja na wapangaji wake bado hajapata huduma yoyote mbali na matatizo wanayoyapata wakazi hao wametoa pongezi kwa chama caha UNK mwekundu kutokana na huduma UNK katika UNK hilo kulingana na uzito wa tatizo katika eneo kama hawa jamaa wa halmashauri UNK utaratibu unaofanywa na chama cha msalaba mwekundu wa kuhudumia watu kwenye eneo la tukio mambo haya UNK kama ilivyo sasa alisema rashid juma bwana bwanausi alikiri kuwa ugawaji wa misaada hiyo pamoja na ukadiriaji wa majengo ya wakazi uliingiwa na kasoro kutokana na watu UNK waaminifu kujiandikisha kwa watendaji wakitumia takwimu za uongo kuhusu ukadiriaji wa majengo ya wakazi hao bwana bwana UNK alidai kuwa zoezi hilo linaendelea vizuri na wanaimani nyumba zote zaidi ya sabini sifuri zilizoharibiwa UNK na kamati ya ukadiriaji haraka iwezekanavyo ili wahanga waanze kulipwa fidia mratibu wa chama cha msalaba mwekundu mkoa dar es salaam bibi grace mawalla alisema chama chake kimefanya kazi inayotakiwa na wananchi hao kwa kuelekeza juhudi zote katika maeneo UNK lakini uwezo umekuwa ni madogo kutokana na ukubwa wa tukio alisema wameweza kuhudumia kambi ya kuhudumia ndugu na jamaa wa wahanga katika tukio hilo UNK na ndugu zao bila ya kuwa na matatizo yeyote alisema hadi jana UNK UNK kambi za mgulani na ile ya kituo cha polisi mbagala ambacho hata hivyo UNK na mtoto mmoja aliyefahamika kwa jina la bibi rehema abbas alisema binti huyo UNK na shangazi yeke ambaye alimtaja kwa jina la bibi amina ahmed ambaye hadi sasa hajulikani aliko na UNK kituoni hapo na msamaria mwema ambaye alikuwa UNK wakati wote wa tukio hata hivyo wakazi wengi wa maeneo ya mbagala wametoa mapendekezo yao kuwa serikali UNK nguvu katika mto mzinga kwani UNK UNK na maiti zaidi ziara za viongozi kiongozi wa kanisa katoliki nchini UNK polycarp kardinali pengo jana mchana UNK katika hospitali ya temeke ili kuwafariji wagonjwa na baadae alielekea eneo la mbagala kuu kuwapa pole waathirika wa milipuko ya mabomu naye shekhe mkuu wa tanzania mufti shaaban bin simba akiongozana na viongozi kadhaa wa kiislamu jana alitembelea eneo la tukio kuwapa pole wahanga na kutoa misaada kadhaa ya vyakula hospitalini hadi kufikia jana taarifa kutoka hospitali ya taifa ya muhimbili UNK kuwa ni majeruhi kumi walikuwa bado wamelazwa wakati katika kitengo cha taasisi ya mifupa idadi ya majeruhi waliobakia ilikuwa watu sita mmoja akiwa amelazwa kwenye chumba cha uangalizi wa wagonjwa mahututi misaada watu binafsi na taasisi mbalimbali waliendelea kutoa misaada kwa wahanga kupitia ofisi ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam na kamati ya maafa iliyoko chini ya uenyekiti wa meya wa manispaa ya temeke bwana UNK mkuu wa mkoa bwana william lukuvi aliwaambia waandishi jana kuwa ofisi yake ilipokea kiasi cha fedha shilingi milioni kumi sifuri kutoka kwa mfanyabiashara maarufu bwana said bakharesa shilingi milioni ishirini sifuri kutoka serikalini shilingi milioni tano mbili kutoka jumuiya ya mabohora na shilingi milioni sitini kutoka manispaa zote tatu za dar es salaam naye mbunge wa jimbo la kigamboni bwana mwinchumu msomi jana aliikabidhi kamati ya maafa misaada ya vifaa kama unga mifuko arobaini na nane sukari mifuko tatu sabuni katoni ishirini maharage UNK ishirini sifuri vikiwa na ya shilingi milioni moja tatu habari hii imeandaliwa na edson kamukara edmund mihale na peter masangwa hatua ya kuvunjwa jengo la wodi ya wazazi ya hospitali ya UNK iliyoko mkoa wa kaskazini a unguja imezua mtafaruku mkubwa huku baadhi ya wadau wakidai kuwa jambo hilo UNK kwa fitna akizungumza na majira jana mfadhili aliyejenga wodi hiyo bwana mohamed raza alidai kitendo cha kuvunja wodi hiyo si cha kiungwana na kina lengo la kudhoofisha maendeleo ya zanzibar alisema alijitolea kujenga wodi hiyo kutokana na matatizo makubwa UNK wanawake wa mkoa wa kaskazini a ambayo UNK ongezeko kubwa la vifo vya watoto na wajawazito ujenzi huo ulianza februari kumi na tisa ishirini sifuri saba na kukamilika julai kumi na nane ishirini sifuri saba mwaka huo alisema kabla ya hapo wajawazito hospitalini hapo walilazimika kuchangia kitanda kimoja watu wawili hadi watatu hali UNK mateso makubwa kwa wanawake hao tatizo hilo UNK kamati ya maendeleo visiwani humo inayoongozwa na mzee ali hassan mwinyi na kuchukua hatua kadhaa kunusuru jambo hilo ambapo bwana raza alijitolea kujenga wodi hiyo wodi hiyo iliyokuwa na vitanda kumi chumba cha kujifungua na huduma zingine zote ujenzi wake UNK jumla ya shilingi milioni ishirini UNK kwa kiasi kikubwa wanawake wa mkoa wa kaskazini a alisema bwana raza alisema mei mosi mwaka huu alipewa taarifa kuwa serikali kupitia wizara ya afya imevunja jengo lote la wodi hiyo nilishtuka sukari na presha UNK kutokana na ujumbe UNK siku iliyofuata UNK hospitali hiyo na kuhakikisha jambo hilo nilikuta jengo UNK UNK alisisitiza kuwa hatua hiyo si sahihi kwani imechangia kurudisha nyuma jitihada za kuboresha sekta ya afya visiwani humo alisema kama wizara iliona jengo hilo ni dogo hapakuwa na sababu UNK kwani bado kuna maeneo ya kutosha hospitalini hapo wangeweza kujenga sehemu nyingine bila kufanya uharibifu huo alidai hatua hiyo imefanywa kibabe na kamwe maamuzi ya namna hiyo hayajengi nchi bali UNK nyuma maendeleo ya watu wa zanzibar alisema kitendo hicho kamwe UNK moyo wa kujitolea kuchangia maendeleo na ataendelea kujitolea kwa hali na mali bila kujali jinsia rangi wala UNK maana ya mapinduzi ya zanzibar ni kuwaletea watu maendeleo leo tunakwenda kuvunja hospitali bila kuwepo sababu za msingi UNK wananchi masikini wa mashambani kwasababu wao UNK kupata huduma hapo alidai bwana raza alisema aliamua kujitolea kujenga wodi hiyo kwa heshima ya rais mstaafu wa zanzibar daktari UNK amour anayetoka eneo hilo na pia njia ya kuonesha kuunga mkono jitihada zinazofanywa na kamati ya maendeleo ya zanzibar katika UNK maendeleo majira lilipozungumza kwa njia ya simu na waziri wa afya na ustawi wa jamii wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar bwana sultan mugheiry kujua undani wa jambo hilo alisema wanazo taarifa hizo na wanatarajia kutoa ufafanuzi kamili leo mahakama kuu ya tanzania imetupilia mbali ombi la aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana abdallah zombe la kutaka kurejea utetezi wake upya ombi hilo lilitupwa jana mahakamani hapo mbele ya jaji salum massati wakati akitoa uamuzi kuhusiana na ombi hilo ambalo liliwasilishwa juzi kupitia wakili wa mshitakiwa huyo bwana jerome UNK katika maombi ya bwana zombe aliiomba mahakama kumruhusu kurejea ushahidi wake hasa kuhusiana na barua UNK kuandikwa na washitakiwa wenzake na kutolewa gerezani kwa njia za panya hivyo kumsababishia kufunguliwa mashitaka ya mauaji isivyo halali akitoa uamuzi jaji massati kuhusiana na ombi hilo alisema kuwa haoni sababu ya msingi UNK mshitakiwa huyo kurejea ushahidi wake kwa mara nyingine kutokana na kutokuwepo kitu kipya hakuna kitu kipya kinachofanya mshitakiwa arejee ushahidi wake kwani kuhusiana na barua hizo tayari UNK na washitakiwa wengine UNK hapa mahakamani hivyo kwa msingi huo hakuna haja ya kurejea tena alisema jaji massati alisema kuwa endapo mshitakiwa huyo ataruhusiwa kurejea UNK wake washitakiwa wengine nao watakuwa na haki ya kujitetea mahali ambapo UNK jaji massati alisema kuwa katika kujiridhisha na ombi la bwana zombe alijaribu kupitia sheria mbali mbali zikiwemo za india na mahakama ya rufaa ya afrika mashariki lakini aliona maombi yake UNK kifungu cha mia moja na arobaini na saba cha sheria ya ushahidi alisema kuwa kimsingi mshitakiwa ana haki ya kurejea ushahidi wake chini ya kifungu hicho na mahakama inayo mamlaka ya kuamuru mshitakiwa kufanya hivyo lakini kutokana na maombi ya bwana zombe kutokidhi matakwa ya kifungu hicho UNK mbali ombi hilo baada ya kutolewa kwa uamuzi huo jaji massati aliwahoji mawakili wa upande wa utetezi endapo wana mashahidi wengine katika upande wao kwa upande wa bwana jerome msemwa anayemtetea bwana zombe alisema hana shahidi mwingine hivyo akaomba kufunga kesi kwa upande wake mawakili wengine walioomba kufunga kesi kwa upande wao kutokana na kutokuwa na mashahidi ni bwana majura magafu ambaye UNK bwana ahmad makelle wp jane d mia moja na arobaini sita mabula d elfu nane na mia mbili na themanini na tisa michael na d mia mbili na thebathini sifuri UNK wakili bwana denis msafiri anayemtetea d elfu nne na mia sita na hamsini na sita rajab bakari naye alifunga kesi kwa upande wake washitakiwa ambao wana mashahidi ni mshitakiwa wa pili bwana christopher bageni ambaye ameieleza mahakama kuwa anatarajia kuwa na shahidi mmoja ambapo kwa upande wa mshitakiwa wa kumi na tatu bwana festus gwabisaba naye atakuwa na shahidi mmoja kutokana na washitakiwa hao kuwa na mashahidi ambao waliiambia mahakama kuwa wana uhakika wa kupatikana leo mahakamani hapo kesi iliahirishwa na itaendelea leo kwa kusikilizwa kwa mashahidi hao tangu awali katika ushahidi wake bwana zombe aliieleza mahakama kuwa njama zilizokuwa UNK na dpp UNK washitakiwa wengine kuandika barua wakiwa gereza la ukonga na kuzifikisha ofisini kwake kwa njia za panya barua ambazo zilimfanya kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa mujibu wa bwana zombe alieleza kuwa barua hizo UNK kwa kutumia nguo ya mmoja wa washitakiwa juni tatu ishirini sifuri sita na kufika kwa dpp juni tano ishirini sifuri sita na kesho yake ofisi ya dpp iliandika barua ya kumfikisha mahakamani kwa kutumia maelezo ya barua za washitakiwa hao hizi barua ni haramu na sumu kwani UNK kwa mkuu wa gereza na baada tu ya kufika dpp aliandika barua ya mimi kukamatwa na kufikishwa mahakamani hivyo inashangaza huyu bwana ambaye ni jaji kwa sasa atakuwa UNK haki zipi kwa wananchi alihoji bwana zombe wakati akitoa ushahidi awali hata hivyo shahidi wa bwana zombe ambaye ni mkuu wa gereza la ukonga acp samwel nyakitine alishindwa kukiri moja kwa moja kuwa washitakiwa hao UNK barua kwa njia za panya hivyo kumwacha njia panda bwana zombe itikadi UNK kutumika kugawa misaada idadi ya watu waliokufa sasa UNK ishirini na nne itikadi za siasa ujanja ujanja na kujuana vimetawala katika shughuli ya ugawaji misaada waathirika wa milipuko ya mabomu katika kambi ya jeshi la ulinzi la wananchi mbagala kizuiani iliyotokea wiki iliyopita misaada inayotolewa kwa waathirika hao ni maturubai magodoro vyandarua blanketi mchele unga sukari maharage sabuni maji safi pamoja na mafuta huku kukiwa na malalamiko ya ugawaji wa misaada hiyo idadi ya vifo vilivyotokana na milipuko ya mabomu hayo imefikia ishirini na nne baada ya bibi asha kitwana kuripotiwa kufariki baada ya kuruhusiwa kutoka katika hospitali ya wilaya ya temeke huku wagonjwa waliolazwa wakibaki nane uchunguzi uliofanywa na majira kwa siku mbili sasa umebaini kuwa usimamizi mbaya unaofanywa na baadhi ya viongozi wa nyumba kumi na wale wa mtaa ndiyo sababu kubwa ya kuharibu zoezi zima la ugawaji wa misaada hiyo uchunguzi huo umebaini pia kujipenyeza kwa viongozi wa chama cha mapinduzi na kupachika baadhi ya makada wake katika ugawaji huo wanaccm hao wakiwa UNK fulana za chama hicho jana nusura UNK shughuli ya ugawaji misaada baada ya watu kuanza kulalamikia jambo hilo kwa kile walichodai kupendelea zaidi wenzao wa ccm mbali na hilo uchunguzi huo ulibaini vingozi wa nyumba kumi na wale wa mitaa ambao wamekuwa wakiandika majina ya waathirika hao na UNK kabla ya kuyafikisha kwa maofisa wanaogawa misaada hiyo na kupachika mengine ambayo si ya walengwa ujanja mwingine ni ule unaofanywa na wasimamizi kutoka katika kamati ya maafa wa kupakia msaada baada ya kupewa kibali sahihi kutoka katika ofisi husika lakini msaada huo hupita katika njia za panya na kupelekwa katika sehemu isiyojulikana majira ilishuhudia mmoja wa maofisa katika kamati hiyo akimhoji dereva anayeendesha gari lenye namba za usajili UNK elfu nne na mia tatu na ishirini na moja aliyetuhumiwa kufanya uhalifu huo hata hivyo ofisa huyo ambaye UNK jina lake alimtaka dereva huyo kwenda kutoa maelezo yake kwa mkuu wa wilaya ya temeke bwana said mkumbo ambaye muda wote alikuwa eneo hilo wakizungumza na majira kwa nyakati tofauti waathirika hao walisema wamekuwa wakishuhudia kupelekwa kwa misaada hiyo katika eneo la mgeni nani na kijichi ambako hakuna madhara yoyote UNK mlipuko huo jana usiku tumeona gari limebeba magodoro na vifurushi likiwa linaelekea eneo la mgeni nani wakati kuna wahanga wengi wa mlipuko katika eneo la mbagala kuu huu si wizi alihoji mmoja wa waathirika hao waathirika wengine walisema viongozi wengi katika eneo hilo wamekuwa UNK shehena kubwa ya misaada hiyo na kuwaacha baadhi ya walengwa wakiwa katika hali ngumu walisema viongozi hao wamekuwa wakitumia mwanya wa kujiandikisha kwa kuandikisha majina ya watoto wao wanaosoma katika shule za awali ili waweze kujipatia misaada kama watu UNK bwana mussa UNK aliyejitambulisha kuwa anatoka eneo la mjumbe aliyemtaja kwa jina moja la bwana muhidin alisema utaratibu huo umemfanya yeye na familia yake ya watoto wanne kulala nje kwa muda wote tangu tukio hilo UNK alisema pamoja na juhudi zote alizofanya ilikupata huduma hiyo hadi kufikia jana alikuwa hajapata msaada wowote kutoka katika mamlaka husika na amekuwa akilala nje huku mvua mbu na baridi kali UNK pamoja na watoto wake mkazi mwingine bibi UNK joseph mwenye watoto nane alisema amekuwa akilala nje na watoto wake kwa muda wa siku sita bila kupata msaada wowote alisema hadi jana msaada UNK ni kiroba kimoja cha mchele na hana turubai godoro na jiko kwa ajili kupikia kwani vitu vyake vyote UNK na vingine kuibwa na vibaka siku ya tukio bwana hamisi UNK mkazi wa mbagala kuu mwenye nyumba namba ma moja mia tano na ishirini alisema kubomoka nyumba yake UNK kwa kiasi kikubwa kwani amekuwa akipata kodi kutokana na nyumba hiyo kwa miaka mingi baada ya kustaafu alisema watoto wake walikuwa wakitegemea kupata mahitaji ya shule kutokana na kodi ambazo alikuwa akikusanya kutoka katika nyumba hiyo aliitaka serikali inapofanya tathmini kuangalia pia maeneo kama hayo kwani hadi sasa ameshindwa kulipa michango mbalimbali katika shule wanazo soma watoto wake akizungumza na majira jana mkuu wa wilaya ya temeke bwana mkumbo alikiri kupokea malalamiko kutoka kwa waathirika hao jinsi misaada UNK kwa kushindwa kuwafikia baadhi ya walengwa alisema kuwa hilo lilitokana na kuingia giza wakati wakigawa misaada hiyo hivyo kusababisha kusitisha kwa zoezi hilo kweli malalamiko nimepokea lakini leo tunaendelea kugawa kwani chakula kipo kwa wingi na tutahakikisha kila mtu anapata alisema bwana mkumbo alisema kuwa kwa sasa wamejikita kusaidia watu walio UNK zaidi hasa wenye nyumba UNK na kukosa sehemu za UNK na wasio na kipato bwana mkumbo alisema viongozi taasisi na kampuni mbalimbali zimeendelea kutoa misaada yao kama magodoro mafuta ya kupikia matangi ya maji pamoja na maji safi kwa ajili ya kuwasaidia waathirika hao aliwataka wasamaria wema kuendelea kujitokeza kutoa msaada kwani uhitaji bado ni mkubwa ikiwemo chakula maturubai vyandarua pamoja na UNK naye mkurugezi wa ushirikiano wa shirika la psi bibi mary UNK jana alikabidhi msaada wa vidonge sabini na mbili sifuri sifuri sifuri vya kutibu maji wenye thamani ya shilingi milioni moja arobaini na tano ili kuzuia magonjwa ya milipuko kujitokeza pamoja na homa ya matumbo alisema kuwa psi iliona kuwa ni jambo la msingi kuungana na wahanga hao ili kunusuru afya zao ikiwa ni pamoja na kutoa ushauri wa afya kwa watu kujikinga na malaria na kulinda mazingira hasa kwa kipindi hiki kigumu ziara za viongozi jana mkuu wa majeshi meja jenerali davis mwamunyange alitembelea katika hospitali ya taifa muhimbili pamoja na ile ya manispaa ya temeke kwa kuwapa pole majeruhi wa milipuko huo waliolazwa kwenye hospitali hizo naye mwenyekiti wa chama cha tlp bwana augustino mrema alitembelea eneo la tukio kujionea madhara yaliyotokana na milipuko huo bwana mrema alisema kuwa maafa hayo ni makubwa kuliko UNK na vyombo vya habari na ameitaka serikali ijipange vema ili kuepuka aibu na si kuwaachia chama cha msalaba mwekundu kufanya kazi hiyo alisema kuwa kitendo wagawa misaada kuvaa fulana za ccm na kugawa chakula si jambo jema kwani ni la kibaguzi hivyo serikali inapaswa UNK kwa nguvu mashirika ya misaada mratibu wa chama cha msalaba mwekundu bibi grace mawalla alisema kuwa chama chake kinaendelea na zoezi la kufanya tathmini ili kujua ukubwa wa tatizo la uhitaji wa msaada kwani hali bado inaonekana kuwa ngumu na msaada walioutoa UNK alisema kuwa baada ya zoezi hilo kubaini uhitaji wanatarajia kuomba msaada kwa vyama vya msalaba mwekundu duniani ili kuongeza nguvu ya kuwasaidia waathirika hao tumebaini kuna matatizo ya maji safi vyoo na mazingira kwa ujumla kwani ukikaa tu ofisini huwezi kuyaona haya alisema bibi mawalla aidha alisema kuwa wanafanya tathmini ya watu waliokuwa na magonjwa mbalimbali kama ukimwi kifua kikuu na magonjwa mengine yanayomfanya mgonjwa kuwa chini ya uangalizi wa daktari ili kuwapeleka katika mashirika husika kwa msaada zaidi nalo shirika ya kusaidia watoto UNK the UNK UNK katika eneo la tukio na kuendelea na shughuli ya kuorodhesha watoto walioathirika na milipuko hiyo ili kufanya tathmini ya uhitaji wa misaada katika maeneo mbalimbali kama ya kuathirika kisaikolojia kielimu pamoja na afya mbali na mashirika hayo shirika la kuhudumia wazee UNK age nalo limeendelea na shughuli ya kuangalia ni wazee wangapi ambao hawana uwezo walioathirika na mabomu ili waweze kuwapatia msaada baadhi ya mashirika hayo UNK mfumo mbaya wa miundombinu wa eneo hilo kuwa hauwapi fursa ya kufanya tathmini yao kikamilifu kutokana na kuingiliana baina ya kaya na kaya kwa kutokuwepo na mipaka UNK mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam jana imetupa ombi la upande wa utetezi kuifuta kesi dhidi ya aliyekuwa mkurugenzi wa utumishi na utawala wa benki kuu ya tanzania bwana amatus liyumba na mwenzake kutokana na hati ya mashitaka UNK hakimu mkazi bibi UNK lema alikubaliana na kutokamilika kwa vifungu mbalimbali vya sheria katika kuandaa kesi dhidi ya washitakiwa na kusema pamoja na hali hiyo sheria UNK kuifuta kesi hiyo na kuzipa nafasi pande zote mbili kujitetea baada ya hakimu kusoma uamuzi huo UNK nafasi pande zote kujitetea upande wa mashitaka ulikiri kukosea kuiandaa hati ya mashitaka katika kesi hiyo inayomkabili bwana liyumba na aliyekuwa meneja mradi wa benki hiyo bwana deogratius kweka inayowakabili vigogo hao na kuiomba korti UNK kesi hiyo mwendesha mashitaka alikiri kuwa ni kweli hati ya mashitaka ina makosa kwa kuwa kuna baadhi ya vifungu vya sheria kutokuwa kwa mujibu wa sheria alidai kukosewa kwa baadhi ya vifungu vya sheria katika kuandaa hati ya mashitaka hakuwezi kusababisha kesi dhidi ya washitakiwa UNK kama upande wa utetezi UNK hata hivyo awali upande wa utetezi ukiongozwa na wakili profesa mgongo fimbo uliiomba mahakama kufuta kesi dhidi ya washitakiwa kwa kuwa hati ya mashitaka ilikuwa UNK profesa fimbo aliongeza kuwa hati ya mashitaka iliyotumiwa na upande wa mashitaka haiko kwa mujibu wa sheria hivyo hali hiyo inawanyima haki washitakiwa umati mkubwa UNK kortini hapo kushuhudia hatma ya kufutiwa kesi hiyo au la ndugu na jamaa wa UNK walikuwa wengi kutaka kujua kama vigogo hao wataachiwa kutokana na ombi lao walilolitoa mbele ya mahakama kutaka UNK mashitaka kutokana na kukosewa kwa hati ya mashitaka kufuatia ombi hilo hakimu mkazi bibi lema alitaka apewe nafasi UNK tena maelezo ya pande zote mbili ili aweze kutoa uamuzi sahihi juu ya ombi hilo washitakiwa hao wanashitakiwa kwa kutumia vibaya madaraka yao kufanya uamuzi mkubwa wa kuruhusu uendelezaji wa ujenzi majengo ya bot bila kibali cha bodi ya wakurugenzi na kuisababishia serikali hasara ya shilingi mia mbili na ishirini na moja mia moja na tisini na saba mia mbili na tisini na tisa ishirini sifuri tisini na tano mshitakiwa wa kwanza katika kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini kutoka mahenge mkoani morogoro bwana abdallah zombe UNK na machozi kortini wakati shahidi wa mshitakiwa wa kumi na tatu bwana festus gwabisaba d elfu sita na mia nne na arobaini UNK moris akitoa ushahidi kuhusiana na tukio hilo bwana zombe alitokwa na machozi hayo mahakama kuu ya tanzania dar es salaam jana wakati shahidi wa upande wa utetezi akitoa ushahidi wake mbele ya jaji salum massati shahidi huyo alidai haamini kama waliokufa ndio watuhumiwa UNK kuwakamata maeneo ya sinza dar es salaam kwani si kawaida ya polisi kukamata mtuhumiwa na kumuua alidai watuhumiwa UNK kuwa majambazi walikuwa wanne waliwakamata kwa amani hapakuwa na majibizano ya risasi hivyo UNK katika vyombo vya habari kuwa waliuawa katika majibizano ya risasi na polisi alishangaa na aliona ni uongo shahidi alidai baada ya kuwakamata waliokuwa wakituhumiwa yeye na mwenzake gwabisaba waliondoka na gari la watuhumiwa hadi kituo cha polisi urafiki kwa ajili ya kukabidhi gari hilo na baada ya hapo walirudi kufanya doria katika maeneo yao ya kazi chuo kikuu akielezea utaratibu wa kazi alidai matukio ya mkoa mzima UNK kwa kamanda wa mkoa na viongozi wa maeneo husika kwa maandishi na rpc anaweza kufahamu tukio kwa kupitia redio ya upepo kama UNK baada ya kudai hayo ndipo bwana zombe UNK kutokwa na machozi alichukua kitambaa cha mkononi na kuanza kujifuta huku UNK juu haikufahamika ni sababu zipi zilimfanya mshitakiwa huyo UNK na machozi japo wakili wake bwana msemwa alidai alilia kwa furaha katika hatua nyingine utetezi wa mshitakiwa sp christopher bageni UNK na wa shahidi wake koplo jumanne mussa baada ya kuieleza mahakama kuwa bwana bageni alikuwa kazini siku ya tukio tangu asubuhi utofauti huo unatokana na maelezo ya bwana bageni aliyoeleza mahakamani kuwa siku ya tukio la mauaji aliingia ofisini kwake saa moja thebathini usiku akitokea pugu dar es salaam alikokwenda kwa ajili ya kusimamia shughuli za ujenzi wa nyumba yake pia kumbukumbu za matukio yaliyotokea usiku wa januari kumi na nne ishirini sifuri sita na kuwasilishwa tisini na tisa UNK kama bwana bageni alikwenda katika matukio hayo kutokana na kutokuwepo taarifa za UNK kwake kwa matukio hayo katika utetezi wake kuhusiana na matukio hayo bwana bageni aliieleza korti kuwa baada ya kufika ofisini akitokea pugu alipata taarifa za tukio la bidco na kisha kuamriwa na ocd wake kufuatilia vielelezo kituo cha polisi urafiki na baada ya hapo aliendelea na shughuli zingine za matukio hadi saa nane sifuri sifuri usiku katika ushahidi wa shahidi wake koplo jumanne alidai baada ya kumaliza kazi zake ambazo ni kusambaza askari UNK alirejea kituo cha oysterbay kwa ajili ya kusubiri kupangiwa kazi nyingine alidai ilipofika saa moja thebathini alifuatwa na bwana bageni na kumtaka ampeleke kituo cha polisi urafiki na alipofika huko UNK akiingia kwenye ofisi ya ocs lakini hakujua kilichokuwa kikiendelea ofisini huko baada ya bageni kutoka kwa ocs UNK ofisini kwetu ambapo UNK sana akatoka akiwa na askari wawili na UNK twende kijitonyama ambako kulikuwa na tukio la ujambazi alidai shahidi huyo pia aliieleza korti kuwa siku hiyo UNK matukio hali iliyosababisha kurejea kituoni kwao saa nane usiku katika kesi hiyo washitakiwa wanadaiwa januari kumi na nne ishirini sifuri sita wakiwa msitu wa pande ulioko mbezi luisi dar es salaam waliwaua kwa makusudi bwana ephraim chigumbi bwana sabinusi chigumbi bwana juma ndugu na bwana mathias lukombe washitakiwa hao ni bwana zombe bwana bageni bwana makele wp elfu nne na mia tano na kumi na tatu jane d mia moja na arobaini sita mabula d elfu nane na mia mbili na themanini na tisa michael d mia mbili na thebathini sifuri abeneth d elfu nne na mia sita na hamsini na sita rajab na d elfu moja na mia tatu na sitini na saba philipo wananchi UNK wakae umbali wa meta hamsini sifuri masalia ya mabomu na yale yaliyokwisha muda wake katika ghala la kambi ya jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania mbagala kizuiani yanatarajiwa kuteketezwa leo alasiri baada ya kazi hiyo kuahirishwa jana hatua hiyo inafuatia tukio la mlipuko wa ghafla wa mabomu lilitokea aprili ishirini na tisa mwaka huu na kusababisha mabomu hayo kuzagaa katika maeneo mbalimbali yakiwa UNK na mengine yaliokotwa na wanajeshi yakiwa bado hayajalipuka akizungumza jana na majira mkuu wa wilaya ya temeke bwana said mkumbo alisema kazi hiyo ambayo ilikuwa ifanyike jana iliahirisha ili kutoa elimu na matangazo kwa wakazi wa mbagala UNK na hofu wakati wa ulipuaji wa mabomu hayo hatua ambayo ingeweza kusababisha tena maafa mabomu yanayotarajiwa kulipuliwa leo ni ambayo yaliokotwa na wanajeshi katika maeneo mbalimbali ya makazi ya mbagala yakiwa UNK mara baada ya tukio hilo pamoja na UNK muda wake wa kutumika jana majira ilishuhudia wakazi hao wa mbagala wakihaha baada ya kutangaziwa kufanyika kazi hiyo huku wengi wao wakiwa na hofu kuwa huenda wakapata madhara zaidi wengine walionekana wakianza kuhamisha kabisa familia zao kutoka maeneo hayo matangazo hayo ya jwtz yalikuwa UNK wakazi hao kutokuwa na hofu kwa vile kazi hiyo itafanyika chini ya usimamizi wa wataalam wa jeshi hilo na hakutakuwepo na mabomu UNK kwenye makazi watu utaratibu huu unafanywa chini ya usimamizi siyo kama tukio lilivyokuwa awali kwa hiyo wananchi wasihofu kwa vile hayawezi kwenda umbali wa meta hamsini sifuri ambayo ni sawa na ukubwa wa viwanja viwili vya mpira wa miguu alisema kamanda mmoja jana jioni magari ya matangazo yalipita kwenye maeneo hayo na kuwataka wananchi hao kukaa umbali wa meta hamsini sifuri kutoka ilipo kambi hiyo mabomu hayo UNK kuanzia saa tisa sifuri sifuri alasiri hadi saa kumi na moja sifuri sifuri jioni hata hivyo wakazi hao UNK kuwa ni vyema kwa wagonjwa wa mshutuko kama presha UNK umbali kidogo na eneo la kambi hiyo ili wasije UNK wakati sekeseke la ulipuaji wa mabomu UNK akili ya wakazi wa mbagala shughuli ya ugawaji misaada kwa waathirika hao jana ilitumbukia nyongo kutokana na wakazi hao kutokuwa na imani wa wajumbe wa nyumba kumi UNK hali hiyo ilisababisha hata wajumbe wa umoja wa wanawake wa ccm wakiongozwa na katibu mkuu wao wa taifa bibi husna mwilima kulazimika kugawa misaada yao wenyewe ili kuondoa ubadhirifu unaofanywa na wajumbe wa mitaa msaada huo wenye thamani ya shilingi milioni mbili tano ikiwa ni mashuka khanga fulana za watoto juisi maji madaftari kalamu na unga ulilenga UNK akina mama na watoto ambao makazi yao yamekumbwa na UNK hata hivyo wakati shughuli hiyo ikiendelea alijitokeza mjumbe mmoja wa nyumba kumi bwana UNK maginga mwenye nyumba ma moja hamsini tatu akiongozana na kundi dogo la akina mama na kwenda moja kwa moja hadi kwa wajumbe wa uwt UNK samahani akina mama hivi msaada UNK kwa waathirika ama kwa watu wote bila kujali maana huku mtaani kwangu wanawake wote hawa hawajapata msaada wowote na nyie mko UNK nyimbo za ccm UNK janga hili au mnafanya siasa alihoji kauli yake iliungwa mkono na akina mama aliokuwa UNK nao wakidai jana ilikuwa ni siku ya nane tangu mlipuko UNK huku kukiwa na waathirika ambao hawajawahi kupata msaada kama chakula na UNK majina yetu UNK wote yako kwenye daftari la mjumbe sasa hawa ccm wanaleta misaada tunashukuru ila ni kwanini UNK kufuata majina yetu badala ya kufuata utaratibu ambao wengine UNK alihoji bibi UNK ally baada ya uwt kuona hivyo ilibidi baadhi ya wajumbe bibi mwilima bibi zakia meghji na bibi lucy mayenga kuingilia kati UNK wakazi hao kuwa wawe wavumilivu kwa vile hata wao walilazimika kugawa misaada hiyo wenyewe baada ya kuelezwa na mkuu wa mkoa kuwa baadhi ya wasimamizi wanafanya udanganyifu walisema misaada yao isingeweza kuwatosheleza watu wote hivyo waliona ni bora UNK kwa wanawake na watoto walau UNK kujikimu wakati huu sisi tumekuja kwa lengo la kusaidia watu bila kujali itikadi zao na tumefanya kazi ya kuigawa wenyewe ili kudhibiti wizi na udanganyifu japo tunasikitika kuwa hatukuweza kuwapatia waathirika wote alisema bibi meghji katika upande mwingine baadhi ya wakazi bibi vida mushi bibi UNK bakari bibi hidaya hassan na bibi victoria julius waliungana na kauli ya bibi meghji kuwa wajumbe wengi wa nyumba kumi UNK misaada hiyo kuwa miradi ya kujinufaisha wao na jamaa zao tu walisema kwa vile wanajuana wao wenyewe kuwa ni familia zipi zimeathirika kulikuwa hakuna haja kwa misaada hiyo kupitia kwenye kata na badala yake UNK moja kwa moja majumbani kwa watu misaada iko mingi sana na bado mingine inaendelea kuletwa lakini cha ajabu wako waathirika wenzetu hawajapata msaada wowote ule na wajumbe UNK kila siku na kurudia kwa watu wale wale na UNK wanafanya mali yao alisema bibi mushi alisema nyumba yake imebomoka na haifai kuishi binadamu yeyote kutokana na UNK paa na kuta zake kuwa na nyufa kubwa zinazotishia usalama wake watoto wake na pia wapita njia lakini hana hema wala chakula UNK alisema asilimia kubwa ya wakazi wanaotoka eneo la mjumbe bwana hamad bakari wamekuwa katika wakati magumu kupata misaada hiyo kwa kuwa ni wa chama cha cuf akizungumza na majira mjumbe wa nyumba kumi wa mtaa wa mbagala kuu bwana hamad bakari alikiri UNK waathirika hao na pia kukiri ubaguzi unaofanywa na viongozi hao katika ugawaji wa misaada hiyo alisema tangu watu hao wapate msaada hiyo mei nne mwaka huu hawajapata tena kutokana na itikadi za kisiasa zinazoendelea katika eneo hilo msemakweli mpenzi wa mungu ndugu yangu ukweli tangu mei nne mwaka huu UNK msaada wa maharage ndiyo leo natarajia kupata misaada mingine kwani leo UNK na kuniambia watanipa misaada hiyo kwa watu wangu niko hapa tangu asubuhi UNK na watu wangu nina nyumba zaidi ya ishirini sifuri na kutokana na mambo haya ya vyama ninapata tabu sana wenzangu ccm wanashindwa kujua kuwa hili ni janga la kitaifa na mambo ya kampeni wanatakiwa kuweka kando alisema bwana bakari alisema katika jitihada hizo za kuhakikisha watu wake wanapata mahema magodoro shuka na chakula amepata vitisho mbalimbali vya kupelekwa jela na viongozi mbalimbali wa kamati hiyo ya maafa alisema UNK mungu kwa UNK watu wake ili waweze kupata misaada hiyo hadi jana walikuwa wamebaki kaya thebathini na moja zinazohitaji mahema magodoro mashuka blanketi mchele chumvi na mafuta ya kula lakini hadi jana alikuwa amepata hema moja tu katika hatua nyingine mjumbe wa nyumba kumi wa ccm bwana hamis UNK ameripotiwa kukutwa na viroba viwili vya mchele vyenye uzito wa kilo sitini kinyume na utaratibu mkuu wa wilaya bwana mkumbo amekiri kuendelea kuwepo na malalamiko katika ugawaji wa misaada hiyo na kuwataka wote ambao UNK na misaada hiyo kutoa taarifa mahali husika ili utaratibu ufanyike wa kuwasaidia sisi tuna nia njema kabisa ya kumsaidia kila mmoja na kama kuna mtu UNK na msaada atoe taarifa kwa mjumbe wake ili UNK alisema bwana mkumbo misaada mbali na uwt bwana mkumbo alisema kuwa watu na taasisi mbalimbali wameendelea kuleta misaada yao ya dhati kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mabomu alisema kampuni ya watengenezaji wa unga wa ngano ya azania ilitoa msaada wa mafuta lita moja ishirini sifuri magodoro kumi sifuri na ngano viroba moja sifuri sifuri sifuri vya kilo tano kila kimoja bwana mkumbo aliongeza kuwa katika kambi ya chama cha msalaba mwekundu kilichokuwa katika kituo cha polisi mbagala imepokea mtoto bibi maria damson mkazi wa mbagala shimo la mchanga aliyekuwa mfanyakazi wa ndani wa mama hassan ambaye anajishughulisha na biashara ya mbao hospitalini hadi kufikia jana ni majeruhi tisa tu ndiyo walikuwa wamelazwa katika hospitali ya temeke na idadi ya vifo bado ni watu ishirini na tano imeandikwa na edmund mihale edson kamukara na peter masangwa mshitakiwa wa kwanza katika kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini kutoka mahenge mkoani morogoro bwana abdallah zombe ameiomba mahakama kuu imwachie huru kwani upande wa mashitaka umeshindwa kuthibisha mashitaka dhidi yake na kwamba UNK wala kuhusika katika mauaji hayo alidai hayo jana kupitia kwa wakili wake bwana jerome msemwa mbele ya jaji salum massati wakati alipokuwa akiwasilisha majumuisho ya kesi baada ya upande wa utetezi kufunga ushahidi bwana msemwa alidai mambo yote aliyokuwa akiyafanya mteja wake katika matukio ya ujambazi januari kumi na nne ishirini sifuri sita ilikuwa kwa mujibu wa taratibu za jeshi la polisi na wala si kwa ajili ya kumkomoa mtu alidai korti hiyo wakati inatoa uamuzi kuhusu washitakiwa kuwa na kesi ya kujibu ilisema UNK hakuna ushahidi wa moja kwa moja kuwa bwana zombe anahusika katika mauaji ilikubali mshitakiwa huyo hakuwepo eneo la tukio hakuna ushahidi UNK wakati wa tukio alikuwa UNK na kwamba mshitakiwa alikuwa akijua marehemu UNK zombe kunyanyasa ndugu wa marehemu bwana msemwa alidai ushahidi uliotolewa kortini kwamba mteja wake UNK ndugu wa marehemu katika hospitali ya taifa muhimbili UNK na walifungwa kamba si kweli alidai aliyeamuru ndugu hao UNK pingu ni mshitakiwa zombe hakuwa na nia mbaya na kama alikuwa nayo angeweza kuwashughulikia mwenyewe wakili huyo alidai mteja wake hakuwa na dhamira wala kusudio la kuwatisha ndugu hao ambao walikuwa mashahidi wa upande wa mashitaka katika kesi hiyo mshitakiwa katika ushahidi wake UNK mahakama kuwa UNK mashahidi wala kuwanyanyasa kama inavyodaiwa bali yote yaliyokuwa yanafanyika siku hiyo katika matukio ya ujambazi yalifanyika kwa utaratibu wa upelelezi na si kwa ajili ya kumkomoa mtu zombe kwenda kituo cha polisi urafiki wakili msemwa alidai katika majumuisho kuwa mteja wake hakwenda kituo cha polisi urafiki kwa kuamua mwenyewe bali aliitwa na ssp UNK na kama alikuwa na nia UNK kuhusu suala la fedha walizokutwa nazo marehemu UNK zote lakini hakufanya hivyo alidai bwana zombe hakuwa na mawasiliano na mshitakiwa mwingine yeyote wakati wa tukio hilo na kortini hakuna ushahidi wa kuonesha kulikuwa na mawasiliano hayo bwana msemwa alidai hakuna mshitakiwa yeyote katika ushahidi wake alidai kupokea amri ya kuwaua marehemu kutoka kwa mteja wake yaliyozungumzwa mahakamani ni maneno ya kusikia ushahidi uliotolewa na marehemu rashid lema kortini ulikuwa wa kujinasua katika kesi hiyo kwa kutaja washitakiwa wengine kwa sababu kazi ya polisi si kukamata na kuua askari kupongezwa na zombe kutokana na uamuzi wa kama bwana zombe anayo kesi ya kujibu mshitakiwa huyo UNK kujitetea kuwa anawafahamu vipi marehemu hadi UNK askari waliohusika katika tukio la ujambazi alidai tume ya polisi ilisema tukio ni la mauaji na lilitokea sinza na mteja wake alipata taarifa siku ya tukio kutoka kwa mshitakiwa namba mbili bwana christopher UNK wakili huyo alidai mteja wake alifahamu tukio hilo kwa maandishi aliyopelekewa UNK simu na mtu na kwamba dhana kuwa aliandaa kikundi kidogo cha askari kwa ajili ya kuwapongeza si sahihi bwana msemwa alidai pongezi kwa polisi ni jambo la kawaida kama ofisa wa ngazi za juu UNK na taarifa za utendaji mzuri alizopewa na maofisa wa ngazi ya chini alidai mteja wake alithibitisha UNK polisi kwa ridhaa yake bali kwa kanuni za jeshi la polisi kutokana na maelezo aliyopewa zombe kugawa vikaratasi kwa polisi akitoa majumuisho kuhusiana na tuhuma kuwa mshitakiwa huyo aligawa vikaratasi kwa baadhi ya washitakiwa katika kesi hiyo ili watoe taarifa katika tume alidai kuna washitakiwa UNK walipewa vikaratasi na wengine walidai UNK alidai kutokana na ushahidi huo UNK nani mkweli nani muongo na nani anasema ili ajitoe katika kesi na kuonekana hakuhusika katika tukio wakili alidai kama kweli karatasi ipo UNK kortini na kuna shahidi aliyedai hiyo haikuwa amri halali hivyo polisi hawakutakiwa UNK wakili msemwa alidai mawasiliano yaliyokuwepo gerezani kati ya dpp na washitakiwa wengine ndio yaliyosababisha zombe kushitakiwa kwa mauaji na kuongeza kuwa wapelelezi katika kesi hiyo walikuwa wakishinda gereza la ukonga alidai dpp alimshitaki mteja wake sababu ya makaratasi hakuna sababu iliyomfanya mshitakiwa huyo UNK kwa kesi hiyo kwani mashahidi thebathini na saba wa upande wa mashitaka waliofika kortini hakuna hata mmoja aliyesema kama alishirikiana na washitakiwa wala kupanga mauaji hayo baada ya kudai hayo wakili huyo UNK lawama kwa magazeti kuwa UNK mteja wake kiasi hata akipita maeneo ya manzese anasikia watu wakisema zombe amekwisha atanyongwa na mengine mengi jambo ambalo si kweli aliiomba mahakama kupitia ushahidi wote UNK mteja wake hana hatia imwachie huru na ione pia upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha mashitaka dhidi yake akitoa majumuisho kwa mshitakiwa wa pili bwana christopher bageni wakili wake bwana UNK ishengoma alidai kutokana na ushahidi uliotolewa mteja wake hana hatia hivyo mahakama imwachie huru alidai ushahidi katika kesi hiyo UNK katika ushahidi wa mazingira na ili ushahidi huo uweze kumtia hatiani mshitakiwa lazima UNK moja kwa moja na UNK kosa na aliyetenda na si mwingine bwana ishengoma alidai kwa upungufu wa ushahidi marehemu UNK sinza na walikuwa hai na baada ya hapo miili yao ilikutwa katika hospitali ya taifa muhimbili alidai upo ushahidi wa polisi walioondoka na marehemu na hakuna ushahidi kwamba bageni alikuwa miongoni mwa hao na ushahidi aliotoa dpp ni vigumu kufahamu kama alitoa kama katibu wa tume iliyoundwa na rais au kwa nafasi yake wakili huyo alidai alitoa ushahidi kwa sababu nyaraka zote za kesi zilikuwa kwake hata hivyo alidai hakuna ushahidi wa kuthibitisha bwana bageni aliamuru risasi zitolewe bila kufuata utaratibu alidai ushahidi uliotolewa ulikuwa na shaka kama si uongo polisi siku zote wanafikiria kila mtu ni mtuhumiwa hivyo korti inatakiwa kupokea ushahidi wa polisi kwa UNK bwana ishengoma alidai marehemu rashid lema alikuwa mshitakiwa na alitoa maelezo yake kama kielelezo kortini pamoja na ushahidi wake lakini alikufa kabla ya kuhojiwa na mawakili alidai kwa sababu mshitakiwa huyo alikufa ni mawazo yake kuwa ushahidi wake hauna sababu ya kuzingatiwa katika ushahidi wake marehemu lema alidai mshitakiwa bageni alikuwepo katika msafara wa kwenda katika mauaji ya wafanyabiashara wa madini wakili huyo alidai ushahidi unatia shaka haieleweki ni wapi marehemu waliuawa na hakuna ushahidi wowote unaoonesha kuwa mshitakiwa bageni alihusika na kuwepo katika tukio la mauaji kwa kusema hayo aliiomba korti UNK mteja wake hana hatia na imwachie huru kwa kosa la mauaji UNK na ione kuwa upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha mashitaka dhidi yake washitakiwa wote waliwasilisha majumuisho kupitiwa kwa mawakili wao na kuomba waachiwe huru jaji massati alisema kikao cha mahakama kuu kilimalizika jana na hana uwezo wa kuendelea leo jaji mkuu UNK tena mbali ya bwana zombe na bwana mageni washitakiwa wengine katika kesi hiyo ambao wanadaiwa kuwa januari kumi na nne ishirini sifuri sita wakiwa msitu wa pande ulioko mbezi luisi dar es salaam walimuua kwa makusudi bwana ephraim chigumbi bwana sabinusi chigumbi bwana juma ndugu na bwana mathias UNK ni bwana makele wp elfu nne na mia tano na kumi na tatu jane d mia moja na arobaini sita mabula d elfu nane na mia mbili na themanini na tisa michael d mia mbili na thebathini sifuri abeneth d elfu nne na mia sita na hamsini na sita rajab na d elfu moja na mia tatu na sitini na saba philipo hatimaye jeshi la wananchi wa tanzania jana UNK masalia ya mabomu sabini na tano yaliyokuwa UNK baada ya kulipuka kwa ghala la kuhifadhia zana hizo katika kambi ya mbagala kizuiani aprili ishirini na tisa mwaka huu shughuli hiyo ilianza saa tisa kumi na mbili alasiri na kumalizika saa kumi na moja sifuri sifuri jioni huku UNK katika hali ya utulivu bila kuathiri maisha na mali za watu kama wengi walivyokuwa UNK awali na kulazimika UNK nyumba zao wakihofia maafa pamoja na jwtz kuteketeza mabomu hayo sabini na tano ni milipuko mitano tu ndiyo iliyokuwa ya kishindo na sauti yake iliweza kusikika na kuwashtua watu kidogo mapema kabla ya shughuli hiyo kuanza majira ilishuhudia misururu mirefu ya wakazi wa mbagala kuu wakiwa wamehama kutoka kwenye nyumba zao na kuhamia kando kando ya barabara kuu ya kilwa nako huko kwenye makazi ya watu eneo ya mbagala kuu na kijichi mgeni nani na UNK nyumba za makazi na biashara zilikuwa zimefungwa huku wakazi wachache wakiwa wamekusanyika kwenye vikundi nje na kundi kubwa la waandishi wa vyombo mbalimbali kufuatia hali hiyo serikali ililazimika kusambaza mamia ya askari wa jwtz na polisi ili kulinda usalama wa watu na mali zao kwa ajili ya kuwadhibiti vibaka wasitumie nafasi hiyo kujinufaisha askari hao walionekana kuwa doria wakiwa katika magari namba pt elfu moja na mia moja na sabini na mbili pt elfu moja na mia tano na ishirini na nne na t mia mbili na thebathini na saba UNK na wengine wakiwa wanalinda nyumba za wakazi huku zikiwa zimefungwa hata hivyo bomu la mwisho lililolipuka saa kumi na moja sifuri sifuri jioni kishindo chake UNK UNK watu wengi hatua iliyowafanya wakazi wawili kuanguka na kuzirai katika eneo la mbagala kuu mbele ya ofisi ya kata watu hao UNK kuwa bibi UNK tarimo ambaye ni mwanafunzi wa shule ya sekondari UNK na bibi UNK said akizungumza na waandishi nje ya ofisi ya kata ya mbagala kuu mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi alisema mabomu sabini na tano yaliyolipuliwa ni masalia ya zile UNK tani mbili za mabomu yaliyolipuka aprili ishirini na tisa haya UNK leo ni yale yaliyosalia tu na wala siyo mabomu yale UNK kutoka kwenye makazi ya watu baada ya mlipuko yale UNK hapa alisema bwana lukuvi bwana lukuvi katika hatua nyingine alibainisha kuwa idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na tukio zima imeongezeka na kufikia ishirini na sita baada ya bwana dickson gia aliyekuwa amelazwa hospitali ya taifa muhimbili kufariki dunia alisema bwana gia alifikishwa hospitalini hapo mei mbili na kulazwa wodi ya UNK ambapo mei nne alifariki dunia lakini kwa bahati mbaya kumbukumbu zake hazikuwa zimewekwa kwenye orodha ya majeruhi wa mlipuko wa mabomu huyu marehemu baada ya kufariki ndipo taarifa UNK kwetu kuwa ni miongoni mwa waathirika wa mlipuko madaktari kwa muda wote walikuwa wakifanya vipimo na sasa wamethibitisha hilo alisema bwana lukuvi aliongeza kuwa kwa vile awali alikuwa UNK kwa gharama za familia yake serikali UNK gharama hiyo pamoja na kutoa UNK kuhusu majeruhi walioko katika mnh na temeke bwana lukuvi alisema kuwa jana wagonjwa kumi na nane walifika temeke UNK na kuruhusiwa huku majeruhi wanane wakiendelea kulazwa na katika kitengo cha taasisi ya mifupa muhimbili ambapo sita bado wamelazwa mkuu huyo wa mkoa alizungumzia pia shughuli ya ugawaji wa misaada kwa waathirika pamoja na tathmini ya nyumba za wakazi akidai kuwa mambo yanakwenda vizuri ingawa kuna kasoro UNK ndogo za udanganyifu nyumba zilizoathiriwa kwa ujumla ni tatu mia sita na thebathini na sita na kati ya hizo mia mbili na sabini na tano UNK kabisa na bwana lukuvi alidai kuwa kazi ya ukadiriaji linakwenda taratibu kutokana na kukosekana kwa UNK wa majengo wa kutosha UNK kazi tangu wiki iliyopita kwa wale wote waliosomea masuala ya usanifu wa majengo waje tufanye kazi hii haraka na tena kwa malipo mazuri lakini hadi leo wamejitokeza kumi na nne tu alisema bwana lukuvi hata hivyo shughuli la ugawaji misaada mbali ya jana kusitishwa kufuatia uteketezaji wa mabomu lakini wakazi wa eneo hilo bado hawaridhiki na jinsi UNK kaimu mjumbe wa nyumba kumi wa mbagala kuu mama muhidini ambaye UNK wadhifa huo kutoka kwa mumewe bwana muhidin mohamed anatuhumiwa kujilimbikizia misaada na kuandikisha majina ya wajukuu wake kinyume na utaratibu UNK wakazi hao walidai kuwa mama muhidin UNK majina ya wajumbe wake lakini mengi yalikuwa hewa kusababisha wakazi wake kupigwa na butwaa kwa kukosa msaada huo jana majira UNK jinsi utata UNK na mjumbe huyo pamoja na ofisa UNK naye katika shughuli hizo za ugawaji akitoa viroba vya mchele kwa UNK baadhi ya watu UNK misaada kuhusu misaada bwana lukuvi alisema benki ya nmb ilitoa msaada wa vyakula yenye thamani ya shilingi milioni ishirini na tano kwa ajili ya kuwasadia waathirika wa mabomu huko mbagala kuu wakazi wa kariakoo bwana fadhili haji bwana mohamed jerome bwana UNK lucas na bwana juma salum wameshitakiwa juzi kwa kuvunja ghala na kuiba seti ya vitambaa vya gauni mali ya agnes UNK mbele ya hakimu bibi agnes mchome wa mahakama ya wilaya ilala ilidaiwa na mwendesha mashitaka mrakibu msaidizi wa polisi bibi asma shemweta kuwa washitakiwa walitenda kosa hilo mei tatu mwaka huu saa tatu usiku mtaa wa UNK kariakoo na kuiba mali yenye thamani ya shilingi thebathini na nane hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri washitakiwa wamekana mashitaka na kesi itatajwa tena mei ishirini wakati huo huo mkazi wa mbezi kwa yusuf bibi ester sai ameshitakiwa kwa kuuza nyumba ambayo si mali yake mbele ya hakimu bibi agnes mchome ilidaiwa na mrakibu msaidizi wa polisi bibi asma shemweta kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo februari nne mwaka huu saa tano asubuhi maeneo ya UNK ambapo UNK nyumba bwana justine rweyemamu kwa shilingi milioni kumi mshitakiwa amekana mashitaka na kesi itatajwa tena mei ishirini shirika la umeme tanzania UNK umeme mei mbili mwaka huu katika mji wa namanga arusha kutokea kenya ambapo wakazi mia mbili na ishirini na mbili watanufaika na huduma hiyo hayo yalisemwa dar es salaam jana na meneja mawasiliano wa shirika hilo bibi badra masoud katika taarifa kwa vyombo vya habari kuwa huduma hiyo pia UNK shule pampu za maji zahanati taasisi za dini na idara za serikali alisema lengo la tanesco katika mradi huo ni kuhakikisha inaendeleza laini kubwa ya umeme ya msongo wa UNK thebathini na tatu kutoka namanga hadi longido ambapo ndiyo makao makuu ya wilaya laini hii itakuwa na urefu wa kilomita ishirini na nane UNK shirika kutoa umeme kwenye UNK cha UNK ambapo tunategemea kupata wateja kumi na nane na wateja mia mbili na sabini na tatu katika mji wa longido alisema bibi masoud alisema uwekaji umeme katika mji huo ni miongoni mwa kazi hizo pamoja na ujenzi wa laini kubwa kwenye msongo wa kilovoti thebathini na tatu katika viunga vya mji wa namanga yenye urefu wa UNK nne moja na jumla ya nguzo sitini na tatu na laini hiyo UNK mashine umba sita meneja huyo alisema ujenzi wa laini ndogo za umeme umefanyika kwa lengo la kusambaza umeme kwa wateja wa mji wa UNK na ufungaji wa mashine umba nne kwa ajili ya wateja zenye jumla ya kilovoti UNK mia tano na kumi na tano alisema shirika UNK mita katika laini kubwa upande wa tanzania ili kuhakiki umeme UNK UNK ufungaji wa vifaa kutenganisha umeme mkubwa ili kuwezesha kukata umeme upande wa tanzania kwa ajili ya matengenezo au dharura nyingine bibi masoud alisema shirika UNK ushirikiano kutoka kwa wananchi wa maeneo hayo ambayo umeme unapita ili kufanikisha kukamilika kwa mradi huo alisema tatizo la kukatika kwa umeme katika maeneo ya bunda musoma vijijini na serengeti linatokana na hitilafu za kiufundi lakini linashughulikiwa na hali ya umeme itarejea kama kawaida baada ya wiki moja kesi ya kughushi vyeti inayowakabili wafanyakazi wanane wa kitengo cha kuhesabu fedha chakavu katika benki kuu ya tanzania itaendelea kusikilizwa juni tano mwaka huu katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam kesi hiyo ilitajwa jana kortini hapo mbele ya hakimu mkazi bibi UNK lema kwa ajili ya kupangiwa siku ya kuendelea kusikilizwa ambapo awali ilisimama kutokana na hakimu aliyekuwa UNK bibi neema UNK kupata likizo ya uzazi washitakiwa katika kesi hiyo ni bibi justine mungai bibi christine UNK bibi siamini UNK bibi janeth UNK bibi UNK masawe bibi UNK juma bibi UNK UNK na bibi amina UNK wote UNK na mawakili bwana majura magafu bwana jerome msemwa na bwana mpare mpoki akisoma hati ya mashtaka ya watuhumiwa wakili wa serikali bwana edgar luoga alidai baada ya kughushi vyeti hivyo mwaka ishirini sifuri moja UNK kwa mwajiri wao bot na kupata ajira katika kitengo hicho alidai ilipofika mwaka ishirini sifuri tano taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa ilipata taarifa kutoka ndani ya benki hiyo kuwa kuna watumishi waliopata ajira kwa rushwa baada ya kughushi UNK ilifanya upelelezi wake na kupeleka vyeti vya washitakiwa baraza la mitihani la taifa na baraza hilo kuthibitisha kwamba vyeti hivyo vilikuwa vya kughushi mshitakiwa kwanza pili nne na sita walikiri kosa wakati wakihojiwa na polisi hata hivyo baada ya maelezo hayo washitakiwa walikana mashitaka yanayowakabili ofisi ya mkaguzi mkuu na mdhibiti wa hesabu za serikali imetaka serikali UNK kutumia mfumo wa kimataifa wa kudhibiti fedha za umma katika serikali za mitaa ili kuwezesha umakini zaidi wa usimamizi kama ilivyo katika serikali kuu akizungumza dar es salaam jana katika mkutano wa nne wa kamati za hesabu za serikali kwa mabunge ya afrika mashariki msaidizi wa cag bwana athanas pius alisema kutokana na utumiaji wa mfumo wa zamani ofisi yake hushindwa kupanga kukagua na kudhibiti matumizi ya serikali za mitaa hali inayosababisha kodi nyingi inayokusanywa na halmashauri kushindwa kukaguliwa na kudhibitiwa kwa umakini kutokana na mtikisiko wa uchumi duniani serikali haina budi kuwa makini katika ukusanyaji wa kodi lakini katika serikali za mitaa kodi nyingi inayokusanywa inapotea ni vigumu kuidhibiti kwani mfumo unaotumika ni wa zamani unaotumia sheria za zamani sana pia na uandaaji mbaya wa vitabu alisema bwana pius alifafanua kuwa serikali inaweza kuimarisha ukaguzi na udhibiti wa fedha katika serikali kuu na mitaa kwa kuwa na mpango wa ununuzi wa mwaka mpango huo UNK kuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha kutokuwa na mpango wa ununuzi wa mwaka husababisha matumizi yasiyo ya lazima ya fedha za serikali ama fedha kurudishwa kutokana na kushindwa kutumika lakini iwapo tutaweza kurekebisha sheria za ununuzi tutaweza kuufanya mpango huo kufanikisha udhibiti na usimamizi wa hesabu za serikali alisisitiza bwana pius naye mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa bwana wilbrod slaa alieleza kuwa kamati yake wakati wa ziara iliyoifanya katika mikoa kumi na moja na halmashauri sabini na tatu za tanzania bara kuwa kamati iligundua utekelezaji wa miradi ni duni na matumizi mabaya ya fedha unaochangiwa na mfumo na sheria za zamani mfumo unaotumika si wa kimataifa kama ilivyo katika serikali kuu kwani tunatumia mfumo wa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba pamoja na sheria ya mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na mbili hili UNK serikali kuwa katika halmashauri zetu wapo watu wanatumia fedha katika misingi UNK wao wenyewe alisema mkuu wa wilaya ya temeke bwana said mkumbo amejikuta katika wakati mgumu baada ya wajumbe wa nyumba kumi kumtaka kuwachukulia hatua wajumbe wanaofanya ubadhilifu katika misaada inayotolewa kwa waathirika wa milipuko ya mabomu iliyotokea hivi karibuni katika kambi ya jeshi la wananchi wa tanzania iliyopo mbagala kizuiani pamoja na taarifa hizo kutoka kwa wasamaria wema hao mkuu huyo wa wilaya hakuonesha kujali kutatua tatizo hilo na kuwataka wajumbe hao kulimaliza wao wenyewe katika maeneo yao kumekuwa na taarifa ya kuwepo kwa udanganyifu unaofanywa na baadhi ya wajumbe waliopewa dhamana ya kusimamia ugawaji misaada kwa waathirika hao kutokana na kuibwa kwa misaada kinyemela nyakati za usiku tayari gazeti hili UNK juu ya habari ya kuibwa kwa misaada hiyo ambapo baadhi ya wajumbe UNK kufanyika UNK huo na hakuna hatua zozote UNK majira ilishuhudia wajumbe hao UNK mkuu huyo wa wilaya mbele ya ofisa wa ugawaji kuwa ni kwa nini mitaa yao UNK misaada hiyo huku baadhi UNK japo madhara waliyoyapata UNK mjumbe wa shina namba tatu bwana UNK tambi alisema anashangazwa na ugawaji unaofanywa katika hali ya ubaguzi mkubwa kwa baadhi ya wajumbe kupata misaada hiyo kirahisi huku wengi UNK mheshimiwa mimi ni mtu mzima siwezi UNK majungu nina hoja za msingi wakazi wangu UNK huku UNK maneno mazito kuwa nimeshindwa kazi kwamba iweje majirani zao wapatiwe misaada huku wao wakiteseka na njaa alisema bwana UNK bwana UNK alisema maelekezo ya ugawaji yalikuwa yamepangwa kutokana na kipaumbele cha nyumba zilizoathirika zaidi pamoja na watu wasiojiweza lakini jambo hilo UNK na wajumbe wenzao kuanza kugawa kwa kujuana na kinyemela na kusababisha watu wao kuwatupia lawama kwa uzembe wa kuorodhesha majina naye mjumbe wa shina namba ishirini bwana amir UNK alisema katika mtaa wa kibonde maji alishuhudia magari mawili UNK vyakula kinyume na utaratibu sisi tunaweza kuwaleta wajumbe wenzetu wote wanaofanya mchezo huu lakini UNK vigumu kwani tukifanya hivyo UNK hataweza kuishi vizuri na kuzua uhasama mkubwa hivyo UNK bwana mkubwa UNK kazi hili alisema bwana UNK akijibu malalamiko hayo bwana mkumbo alisema wanapoona hali kama hiyo watoe taarifa ngazi husika hali ambayo wajumbe hao walipingana nayo na kumtaka mkuu huyo kulifanyia kazi kwani wamepitia hatua zote na ngazi ya mwisho ni yeye wakati huo huo hali ya wasiwasi na hofu kwa wakazi wa mbagala kuu jana iliondoka na badala yake watu wamerejea kwenye maeneo yao na kuendelea na shughuli kama kawaida hali hiyo inatokana na misukosuko ya juzi wakati wanajeshi UNK masalia ya mabomu sabini na tano kambini hapo hatua iliyowalazimu wakazi wa hao kuzikimbia nyumba zao wakihofia kutokea kwa maafa mengine jana majira ilishuhudia wakazi hao wakiendelea na shughuli kama kawaida huku wengine UNK wa nyumba zao wanafunzi wakiwa shuleni na maduka yakiwa wazi tofauti na ilivyokuwa juzi wakizungumza na majira kwa nyakati tofauti wakazi hao walisema juzi walilazimika UNK makazi yao na kukimbilia mbali zaidi kutokana na hofu ya milipuko ambayo UNK ingeleta madhara kusema kweli kama umewahi kupatwa na tatizo ni lazima utakuwa na hofu kila mara sasa UNK UNK haya masalia ya mabomu sabini na tano wengi UNK UNK yawezekana ikatokea hitilafu kama mwanzo na UNK tena alisema mama mmoja ambaye hakutaja jina lake mbali na watu wawili waliozirai juzi na kupelekwa hospitali ya temeke UNK kuwa hakukuwa na tukio lolote zaidi UNK wakazi hao mganga mkuu wa hospitali ya temeke daktari asha mahita alisema juzi alipokea watu wawili bibi matilda said na bibi roseline tarimo wakazi wa mbagala kuu ambapo bibi matilda alitibiwa na kuruhusiwa na bibi roseline bado amelazwa ingawa hali yake inaendelea vizuri katika eneo la ofisi ya kata mbagala kuu ambapo misaada imehifadhiwa jana shughuli za ugawaji wa misaada hiyo lilikuwa likiendelea vizuri japokuwa kwenye baadhi ya mitaa wakazi waliendelea UNK wajumbe wao kuwa UNK kwa udanganyifu bwana hamza issa mwathirika nyumba ma moja mia tatu na themanini na tisa aliiambia majira kuwa shughuli hiyo UNK awali kutokana na waandikishaji kuwatambua wenye nyumba tu na kutowatambua wapangaji wanaoishi katika nyumba husika hawa waandikishaji kutoka wilayani wakishirikiana na wajumbe wetu wa mitaa kitu walichokosea ni kuwaandikisha wenye nyumba tu anaweza kuwa ana nyumba mia moja na sitini na tatu lakini zikawa na wakazi zaidi ya arobaini sifuri na msaada UNK kwa watu mia moja na sitini na tatu ambayo si sahihi alisema bwana issa hata hivyo uchunguzi uliofanywa na majira ulibaini kuwa baadhi ya wajumbe wa nyumba kumi walilazimika kujiuzulu kwa kukwepa lawama na wengine kutokana na sababu ya kutojua kusoma na kuandika pia ilibainika kuwa baadhi ya waathirika wameshindwa kupata msaada kutokana na vitendo vya kutokuwa wakweli ikiwemo kujiandikisha kwa wajumbe zaidi ya mmoja au kwenye maeneo yasiyo ya kwao hata hivyo wakati akipokea misaada mingine jana mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi alisema watahakikisha kila mwathirika UNK na kupatiwa msaada alisema mpaka sasa bado wana uhaba wa mahema mia moja na hamsini mablanketi mbili sifuri sifuri sifuri tani hamsini za mchele tani hamsini za unga wa UNK na UNK tani ishirini na tano huku akichukua nafasi hiyo kuwaomba wasamaria mbalimbali waendelee kujitokeza kusaidia misaada UNK jana ni shilingi milioni kumi kutoka kampuni ya bia ya serengeti vifaa vya elimu kwa wanafunzi vyenye thamani ya shilingi milioni tano kutoka taasisi ya haki elimu vifaa vya thamani ya shilingi mia nane na sabini na tano sifuri sifuri sifuri kutoka kwa kikundi cha akina mama wa tanzania UNK future women UNK misaada mingine ilitoka kwa wafanyabiashara wa soko la ndizi mbichi na matunda la mabibo urafiki ikiwa ni vifaa vya shilingi mia mbili na hamsini sifuri sifuri sifuri na mchele viroba kumi wenye thamani ya shilingi mia tatu na hamsini sifuri sifuri sifuri kutoka kwa mfanyabiashara wa simu bwana zahoro UNK imeandikwa na edmund mihale edson kamukara na peter masangwa benki ya nmb imekabidhi vifaa vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni kumi na moja kwa timu ya taifa ya tanzania taifa stars kwa ajili ya mchezo wa leo dhidi ya jamhuri ya kidemokrasi ya kongo mchezo huo ambao ni wa kirafiki wa kimataifa utapigwa kwenye uwanja wa taifa dar es salaam ukiwa na lengo la kujiweka sawa kabla ya kuvaana na new zealand juni tatu mwaka huu akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo mkuu wa masoko na mawasiliano wa benki hiyo iman UNK alisema kwa kushirikiana na wadhamini wenzao kampuni ya bia ya serengeti wanatoa vifaa hivyo ili kuwapa motisha wachezaji alisema kila mchezo watakuwa wakitoa jezi mpya kwa kuwa wakati mwingine wachezaji hulazimika kubadilishana jezi kwa kufanya hivyo UNK kwa wale UNK tunatoa vifaa vya michezo kama UNK ugoko jezi za mazoezi jezi za mechi mipira na viatu ambavyo vipo thebathini kwa kila kifaa UNK na sbl na thamani yake ni shilingi milioni kumi na moja alisema UNK naye kocha mkuu wa timu hiyo mbrazili marcio maximo aliwashukuru wadhamini hao kwa jitihada zao UNK katika kukuza soka la tanzania alisema mchezo huo utakuwa kipimo kizuri kwa wachezaji wake chipukizi kwani timu hiyo imekuja na wachezaji mahiri ambao anaamini watatoa changamoto kwa vijana wake yalivamia duka la fedha risasi nje nje asubuhi jeshi la polisi UNK majambazi wawili na UNK mmoja katika mapambano ya kurushiana risasi baada ya kuvamia duka la kubadilishia fedha la UNK bureau de change lililopo kariakoo akizungumza dar es salaam jana kamanda wa polisi kanda maalum dar es salaam kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi bwana suleiman kova alisema majambazi hayo yakiwa na silaha yalivamia duka hilo saa mbili arobaini na tano asubuhi na kupora shilingi milioni kumi na mbili majambazi hayo yakiwa katika gari dogo aina ya corolla nyeupe yenye namba za t mia tisa na kumi apy ambazo zilikuwa si halali yalipofika kwenye duka hilo UNK yanataka kubadili dola mia tisa na hamsini ndipo UNK mhudumu kwa silaha na kisha kufanikiwa kupora fedha hizo na mkoba ambao ni mali ya bibi UNK UNK uliokutwa na shilingi arobaini na nne sifuri sifuri sifuri pamoja na simu tatu za mkononi alisema alisema katika tukio hilo polisi walifanikiwa kukamata silaha kubwa aina ya smg namba uc tatu tano saba mbili mbili moja tisa tisa tatu ambayo inatumia risasi thebathini pia polisi walifanikiwa kuokoa shilingi milioni saba nane zilizokuwa zimeporwa na majambazi hayo zikiwa kwenye mfuko mweusi wa UNK kamanda kova alisema baada ya kupekuwa kwenye buti ya gari hiyo walikuta namba ya usajili iliyo halali ambayo ni t mia tano na sitini na mbili avr alisema katika tukio hilo askari kanzu mwenye namba d elfu nane na mia saba na tisini na tatu koplo godwin alijeruhiwa kwa risasi chini ya bega la kulia na kukimbizwa hospitali ya taifa muhimbili pia mfanyabiashara wa duka la UNK ambalo liko karibu na lile ambalo uporaji huo ulifanyika bwana hillary thabit alijeruhiwa katika paja la mguu wa kulia jeshi la polisi mkoa wa arusha linamshikilia mtoto wa miaka tisa aitwaye richard grayson mkazi wa shangarai ili kumshinikiza baba yake anayetuhumiwa kuhusika katika matukio ya ujambazi ambaye anadaiwa kukimbia kusikojulikana kujisalimisha tukio hilo lilitokea juzi alfajiri majira ya saa kumi na moja baada ya askari polisi wakiwa na gari aina ya land rover defender kwenda nyumbani kwa mtuhumiwa huyo ambapo UNK waliamua kuondoka na mtoto huyo mtuhumiwa huyo grayson mollel jeshi hilo linadai kuwa linamtafuta kutokana na tuhuma za ujambazi zinazomkabili hata hivyo halikuwa tayari kutaja baadhi ya matukio ya ujambazi ambayo mtuhumiwa huyo anadaiwa kuhusika nayo akizungumza na majira jumapili kuhusiana na tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa arusha bwana basilio matei alisema kuwa taarifa za mtoto huyo kushikiliwa ili kumshinikiza baba yake kujisalimisha UNK kwake mimi ndio kwanza nasikia kutoka kwenu lakini naahidi kufuatilia ili kujua ukweli wa tukio hilo kama kweli mtoto huyo alikamatwa na kulazwa rumande kwa kosa ambalo UNK baba yake UNK taarifa kamili alisema UNK aidha mtoto huyo ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi ya UNK wilaya ya arumeru anadaiwa kutiwa nguvuni na askari polisi wakiwa na silaha baada ya kuvamia nyumbani kwao eneo la shangarai wilaya ya UNK hata hivyo askari hao baada ya kumchukua mtoto huyo UNK UNK baba yake alipo ambapo aliwaelekeza nyumba ya mama yake mdogo ambae ni mke mdogo wa baba yake anayeishi sanawari hata hivyo hawakufanikiwa kumkamata mtuhumiwa huyo na ndipo walipoamua kumkamata na mama huyo pia aidha mama huyo aliyefahamika kwa majina ya georgina grayson alikamatwa na kuswekwa rumande kama ilivyo kwa mwanae hatua ya mtoto huyo mwenye umri wa miaka tisa aliyekuwa ametoka hospitali ya wilaya ya west meru alipokuwa UNK kifua baada ya kuanguka kwenye mti UNK na wananchi kuwa jeshi la polisi UNK haki za mtoto bibi neema florence ambae ni mkazi wa shangarai anasema kuwa mtoto huyo ni mdogo sana kulazwa mahabusu ya watu wazima tena kwa kosa alilofanya baba yake wachezaji amani simba mohamed banka na ramadhan waso UNK virago katika timu ya simba kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo umri kuwa mkubwa habari za uhakika kutoka ndani ya klabu hiyo zilieleza jana kuwa wachezaji hao UNK baada ya kamati ya usajili kuwajadili kwa kina chanzo hicho kilieleza kuwa uongozi wa timu hiyo UNK kutangaza juzi kuhusu kuachwa kwa wachezaji hao lakini ikaonekana UNK kocha mkuu patrick phiri ambaye yupo zambia kwa mapumziko mafupi kilieleza kuwa licha ya wachezaji hao kuachwa lakini bado uongozi wa simba utaendelea kuwaheshimu kutokana na mchango wao tangu kujiunga na timu hiyo uongozi wa klabu hiyo awali ulisema utafanya marekebisho makubwa katika kikosi cha timu hiyo ili ishiriki vyema kwenye michuano ya shirikisho katika msimu ujao simba wanataka kujipanga kikamilifu katika suala la usajili ili waweze kuwa tishio katika michuano yote watakayoshiriki alipoulizwa kwa simu jana akiwa njiani kwenda dodoma kwenye kombe la taifa kuhusu suala hilo mohamed banka alisema ahofii kuachwa na simba kwani tayari alifanya mipango na timu nyingine kwa ajili ya kujiunga nayo banka alisema tayari alifanya mazungumzo na timu nyingine miezi miwili iliyopita na ndiyo maana ahofii hatua hiyo ya uongozi mbona mimi niliwaambia UNK katika usajili kwa kuwa nimepata timu ya kuchezea ambayo tumekubaliana kila kitu sina wasi wasi kwa hilo alisema banka mchezaji huyo kabla ya kutua simba aliachwa na yanga ambayo ilidai kiwango cha banka UNK lakini alipotua msimbazi UNK UNK na stella aron baada ya jeshi la polisi kanda maalumu ya dar es salaam juzi kupambana kwa risasi ana kwa ana na majambazi huku mengine UNK na kutoroka tayari polisi limemtia mbaroni usiku wa manane dereva yohana haule mkazi wa keko UNK jijini dar es salaam kamanda wa polisi mkoani humo bwana suleima kova amesema kuwa dereva huyo alikamatwa usiku wa kuamkia jana saa nane eneo la UNK akiwa UNK alisema kuwa dereva huyo alikuwa akielekea mkoani songea ambako ndiko nyumbani kwao huku akiwa na nia ya kupanda UNK kamanda kova alisema gari alilokuwa akiendesha dereva huyo lilikuwa gari ndogo aina ya corola nyeupe lenye namba t mia tisa na kumi apy ambayo ilikuwa ni feki ndani ya gari hilo walikuta namba nyingine t mia tano na sitini na mbili avr ambayo ndiyo sahihi kamanda alisema gari hilo linalomilikiwa na mzee UNK ambaye anatakiwa kufika polisi ili kutoa maelezo kuhusiana na matumizi yake gari hilo UNK mmiliki wa gari hili afike kituoni ili aweze kuelezea mazingira ya matumizi ya gari hili ambalo lilikuwa linahusika UNK majambazi na kwenda kufanya uhalifu alisema kamanda kova alisema kuwa kukamatwa kwa dereva huyo UNK shaka kwani kama angekuwa si mhalifu UNK kituoni na kutoa taarifa na si kukimbia kama ambavyo UNK pia kamanda aliongeza kuwa polisi shujaa aliyejeruhiwa juzi d elfu nane na mia saba na tisini na tatu koplo godwin ambaye alijeruhiwa kwenye bega la kulia anaendelea vizuri katika tukio la juzi polisi walifanikiwa kuokoa kiasi cha fedha shilingi milioni kumi na mbili nane katika duka la kubadili fedha UNK majambazi hayo yaliingia katika duka la kubadilishia fedha lililopo mtaa wa livingstone na mchikichini na kumpora UNK wa duka hilo UNK UNK UNK UNK pochi yake ya iliyokuwa na fedha zaidi ya shilingi arobaini na nne sifuri sifuri sifuri na simu tatu pia katika tukio hilo polisi walifanikiwa kukamata bunduki iliyokuwa ikitumiwa na majambazi hayo aina ya smg uc tatu tano saba mbili moja tisa tisa tatu iliyokuwa na risasi thebathini na UNK majambazi mawili ambayo ni juma fundi mkazi wa tabata na said mohamed mfanyabiashara wa mboga mboga mkazi wa UNK walipora vitu hivyo baada ya mhasibu huyo kufungua ofisi hiyo na kuingia ndani UNK kuwa ni wateja kutokana na tukio hilo ndipo polisi walipopata taarifa na kuanza UNK majambazi hayo yalipita katika mtaa wa sikukuu na pemba ndipo walipokutana na polisi waliokuwa kwenye gari namba pt elfu moja na mia nne na arobaini na saba majambazi hayo kuona hivyo yalibadili mwelekeo na kuingia mtaa wa pemba kwa nia ya UNK ilidaiwa kuwa wakati majambazi hayo UNK mtaa huyo ghafla walikutana na gari nyingine ya polisi yenye namba za usajili t mia mbili na ishirini na saba UNK na hivyo kushindwa kuendelea na safari yao kutokana na UNK hiyo jambazi moja UNK juu ya UNK huku UNK kurushiana risasi na polisi na lingine kuingia katika mahakama ya mwanzo kariakoo edmund mihale mjumbe wa nyumba kumi kwa tiketi ya chama cha wananchi tawi la kipande pwani bwana hamad bakari amejitoa katika uongozi huo kwa madai ya kutengwa katika ugawaji wa misaada ya waathirika wa mabomu mjumbe huyo ambaye pia ni mmoja wa waathirika wa milipuko ya mabomu yaliyotokea hivi karibuni katika kambi ya jeshi la wananchi mbagala kizuiani na kusababisha vifo vya watu ishirini na sita na kuharibu mali za wakazi wa eneo hilo misaada inayotolewa katika eneo hilo ni mahema magodoro UNK shuka vyandarua mchele unga mafuta ya kula sabuni na UNK tayari gazeti hili UNK kuwapo kwa ubaguzi katika ugawaji wa misaada hiyo kutokana kutawaliwa na itikadi za kisiasa ujanja unaofanywa na wajumbe wa nyumba kumi kwa kuandika majina ya watu wasio husika katika misaada hiyo shutuma nyingi za kutumia mgongo wa siasa zimekuwa zikielekezwa kwa viongozi wa mashina na wajumbe wa chama cha UNK akizungumza na majira jumapili juzi mjumbe huyo alisema UNK uamuzi huo kutokana ugawaji huo kutawaliwa na itikadi za kisiasa na ujanja unaotumiwa na baadhi ya viongozi wa nyumba kumi kujinufaisha ndugu mimi ni UNK katika siasa hizi za vyama vingi lakini UNK hapa ni ubaguzi UNK nimekuwa nikibaguliwa kwa kuwa mimi niko katika chama cha cuf nimekuwa nikibaguliwa katika ugawaji huu wa misaada kama unavyoona nina kaya zaidi ya ishirini sifuri hawa wote kama amepata mchele basi maharage UNK kwa muda marefu sijui UNK gani alihoji bwana bakari alisema kwa kuwa yuko kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wa eneo lake kwa moyo mkunjufu lakini UNK nguvu na utaratibu unaotumika katika ugawaji misaada hiyo alisema haoni sababu ya kuendelea kuwa na cheo hicho wakati huu wa maafa kwani uongozi ni kuwatumikia watu na hasa wakati wote wa raha na shida alisema haitakuwa fahari kwake kuendelea kuwa kiongozi katika eneo hilo wakati itikadi ya chama chake inafanya watu wa eneo hilo kukosa misaada huku wengine wakiendelea kuipata na UNK UNK wa rika tofauti wamekuwa wakilalamika kuhusu ugawaji wa misaada hiyo kutokana wengine kukosa kabisa na wengine kupata kidogo tofauti na ahadi ya zinazotolewa na serikali tayari kwa nyakati UNK viongozi wa juu wa mkoa wa dar es salaam wamekiri kutokea kwa makosa hayo ya UNK wa misaada katika eneo hilo wakati ikiwa imebaki takribani miezi kumi na saba kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu wa rais na wabunge mwakani viongoni wa dini mbalimbali nchini wametaka kufanyika mabadiliko makubwa ya UNK katika kile walichodai kulinusuru taifa aidha viongozi hao wamewataka wanasiasa kukaa chini na kutathmini mwelekeo mpya wa nchini kutokana na kuibuka mambo mbalimbali yanayotishia kuendelea kuwepo umoja wa kitaifa walisema hali ya mambo ndani ya nchi si shwari ingawa wanasiasa wamekuwa hawataki kukubaliana na ukweli huo hivyo ni vema katiba UNK upya kabla ya uchaguzi ujao wameshauri kufanyika marekebisho makubwa ya mifumo ya uchaguzi ndani ya vyama vya siasa hususani chama tawala ccm ili kuongeza wigo wa demokrasia UNK nafasi kwa wanachama kujitokeza na kugombea nafasi UNK woga wala vitisho walidai mfumo wa sasa wa ccm UNK fursa wanachama wengi kujitokeza kugombea nafasi za uongozi wa juu wa chama hicho kwa hofu ya kile kinachodaiwa kukiuka taratibu za chama na kuonekana si mwenzetu kuna taratibu zinazowanyima demokrasia wale wanaotaka kugombea uongozi ndani ya ccm mfano hivi sasa yameibuka makundi ya watu UNK huku na kule na kutamka kuwa rais kikwete ndiye mgombea pekee wa urais kupitia chama hicho kwenye uchaguzi mkuu ujao ukiwauliza wanaofanya hivyo UNK chama kina utaratibu kwa rais kuongoza vipindi viwili pamoja na kauli hizo wapo wanachama wengi UNK pembeni kupinga jambo hilo wanataka kugombea lakini wanaogopa UNK hii ni hatari kwa demokrasia na uhai wa chama chenyewe alisema mmoja wa viongozi wa dini alipozungumza na majira jumapili kwa sharti la kutoandikwa jina gazetini kiongozi alisema endapo ccm inataka kuendelea kujenga mshikamano ndani ya chama hicho ni sharti iwe na demokrasia ya kweli itakayowapa wanachama nafasi ya kujitokeza na kugombea uongozi wa juu wa chama wakati wowote na katika mazingira yoyote bila woga alipinga kwa nguvu utaratibu wa chama hicho sasa UNK rais vipindi viwili na kueleza kuwa utaratibu huo UNK demokrasia ndani ya chama alishauri inapomalizika miaka mitano wanachama wawe huru kuchukua fomu na kuomba nafasi hiyo jambo alilosema kwanza litampa changamoto kiongozi aliyeko madarakani kuhakikisha anafanya vizuri katika miaka yake mitano ili kujihakikishia ushindi wa kipindi cha pili alidai kuwa uchaguzi ndani ya ccm unafanywa kwa mazoea na kudai kuwa jambo hilo limechangia viongozi kujisahau kwa kuamini kwamba UNK na chama chao katika mazingira yoyote yale kwa utaratibu unaruhusu hivyo kiongozi mwingine maarufu wa madhehebu ya kikristo nchini aliyeomba kutoandikwa jina gazetini alisema dunia ya sasa UNK na taratibu UNK demokrasia kwa walio wengi na kuishauri ccm kubadili mfumo wao wa uchaguzi alieleza kusikitishwa kwake na msimamo wa hivi karibuni uliwekwa bayana na wazee wa chama hicho wakiongozwa na aliyekuwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa dodoma mzee pancras UNK kutamka kuwa chama hicho UNK rais kikwete kwenye uchaguzi ujao sipingi hata kidogo rais kikwete kutetea nafasi yake ndani ya ccm mwakani lakini kauli za namna hii UNK wanachama wengine wenye nia ya kuomba nafasi hiyo waogope na kurudi nyuma hata kama ndani ya nafsi zao UNK kugombea alisema kiongozi huyo aliongoza kuwa ccm ina watu wengi wenye uwezo mwaka ishirini sifuri tano walijitokeza wagombea kumi na moja rais kikwete akaibuka mshindi wagombea hao wote walikuwa na uwezo wa kuongoza nchi chama UNK na kuridhika kwanini inapomalizika miaka mitano rais aliyeko madarakani apigiwe debe UNK wapingane kwa UNK alisisitiza alizidi kufafanua kama ccm inaona mgombea wao ni wa vipindi viwili haina sababu kufanya mkutano mkuu wa chama baada ya miaka mitano kuteua jina la mgombea kufanya hivyo ni kuchezea raslimali za chama kwanini katiba ya ccm isitamke kuwa mkutano mkuu utafanyika baada ya miaka kumi kuitisha mkutano wa kuteua mgombea baada ya miaka mitano huku UNK ni mmoja ni kupoteza muda na rasilimali za chama hivi wewe mwandishi UNK wale wagombea kumi UNK na rais kikwete mwaka ishirini sifuri tano ni kweli wanaafiki kwa moyo mweupe utaratibu wa vipindi viwili nenda UNK mmoja mmoja na atakayesema hivyo nadhani ana kasoro au aligombea kwa kujifurahisha alisema kiongozi huyo alisema endapo ccm UNK utaratibu huo bunge UNK haraka na kuifanyia marekebisho katiba ya nchi ili kuruhusu wagombea binafsi wa UNK hii itawapa nafasi wanaogopa kupingana na taratibu za chama kujiengua na kugombea kiongozi huyo alisema kama ccm itazidi UNK demokrasia ya uchaguzi ndani ya chama kwa imani kwamba wanachama wote wanaafiki taratibu za sasa UNK uhai UNK hicho kikongwe nchini kuna mgawanyiko ndani ya ccm wapo UNK kwa dhati kuwa rais aongoze vipindi viwili pia wenye UNK na hilo ni wengi zaidi ili kuwapa haki walio wengi chama UNK bayana kuwa ruksa yeyote kujitokeza baada ya miaka mitano bila UNK ushindani mkali ndio UNK chama na kupunguza manungguniko yasiyo ya lazima alisema kiongozi huyo imamu wa msikiti mmoja jijini ambaye naye aliomba kutotajwa jina alisema ccm ni chama imara na kitaendelea kushinda lakini UNK kutokana na baadhi ya viongozi kuheshimu kwa unafiki taratibu UNK nazo ccm wanafanya vizuri ila hili la uchaguzi watu waruhusiwe kugombea kwa uhuru kamili kuwanyima nafasi kusubiri miaka kumi si sahihi miaka kumi mawazo nayo UNK waachiwe wapingane alisema kiongozi huyo aliendelea kusema hivi sasa nchi imegawanyika kuna malumbano ya kila namna dawa yake ni kupanua wigo wa demokrasia kila sehemu kwenye vyama vya siasa na kwingine kote UNK watu UNK pembeni hapo nchi itakwenda vizuri kiongozi huyo pia alishauri utaratibu mpya wa kupata wagombea nafasi za ubunge kwenye majimbo utumike kwa wagombea urais alisema badala ya wagombea urais kupitia chama hicho kupigiwa kura na mkutano mkuu UNK nchi nzima na kupigiwa kura na wanachama wote waziri mkuu mizengo pinda amesema kazi ya kilimo inataka nidhamu ya hali ya juu ili maisha ya mtanzania yawe ni zaidi ya kula na UNK na kuweza kumudu mahitaji mengine ya kiuchumi alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na wakuu wa mikoa sita na wakuu wa wilaya zao kwenye mkutano wa majumuisho ya ziara zake katika mikoa hiyo uliofanyika juzi mjini sumbawanga alisema wataalamu wakikaa kwa haraka na kuona kwamba watu wanakula na kulala watasema wana maisha bora lakini wanaotaka kujua ukweli wa mambo waende kumtazama mtu wa kijijini sisi hapa tunaweza kubishana kuhusu kauli za wakubwa kwamba watanzania wanaishi chini ya dola moja kwa siku lakini ukitaka kuujua ukweli uende kumtazama mtu wa kijijini huyu UNK utasema mbona anakula ugali na maharage kila siku ana nyumba ya kuishi lakini kikubwa hapa ni kipato cha mfukoni alisema bwana pinda alisema nchi kama china na vietnam UNK mbali kwa sababu ya kuweka nidhamu katika kilimo na kuwataka wakuu wa mikoa na wa wilaya wapige marufuku watu kulima bila kufuata kanuni bora za kilimo akichambua kipato cha mtanzania kwa kuangalia pato la mwananchi kwa mwaka ishirini sifuri saba waziri mkuu UNK vipato vya wakazi wa mikoa hiyo sita na nafasi zao kitaifa na kusema mkoa wa iringa ndiyo UNK katika kundi hilo kwa kuwa na wastani wa shilingi mia sita na kumi na saba mia nne na arobaini na nane alisema mkoa wa pili katika kundi hilo ni ruvuma ambao wastani wake ni shilingi mia tano na tisini na tisa mia saba na tisini na nne kwa mwaka ishirini sifuri saba huku ikishika nafasi ya tatu kitaifa wakati mkoa wa tatu ni mbeya yenye wastani wa pato la shilingi mia tano na sitini mia saba na sabini na tatu huku ukishika nafasi ya saba kitaifa mkoa wa morogoro ni wa nne kwa wastani wa shilingi mia tano na ishirini sifuri moja nane huku ukishika nafasi ya tisa kitaifa na rukwa ni wa tano kwa kuwa na wastani wa shilingi mia nne na themanini na sita mia nane na thebathini na mbili huku ukiwa wa kumi na moja kitaifa wakati kigoma ni wa mwisho kwa kuwa na wastani wa shilingi mia tatu na sitini mia mbili na tisini huku ukiwa ni ya kumi na tisa kitaifa serikali imeidhinisha matumizi ya silaha kali zaidi ili kuwakabili majangili wa wanyamapori wanaotumia silaha kubwa za kivita hivyo polisi kushindwa kukabiliana nao akizungumza dar es salaam juzi waziri wa maliasili na utalii bibi shamsa mwangunga alisema hatua hiyo imefikiwa baada ya aliyekuwa ofisa wa wanyamapori wilaya ya UNK kushambuliwa na majangili katika kijiji cha UNK mkoani lindi na kusababishiwa kifo alisema ofisa huyo alikuwa akifuatilia nyendo za majangili hao usiku wa kuamkia aprili nane mwaka huu bibi mwangunga alisema marehemu bwana UNK juma aliuawa na wanakijiji wa chimala kwa madai ndiye aliyekuwa jangili huku wakitambua jangili aliyekuwa akijihusisha na ujangili wilayani humo ndiye aliyekuwa akifukuzwa na askari huyo alisema jangili aliyesababisha kifo cha askari huyo tayari UNK na jeshi la polisi huku watuhumiwa wengine wakishikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa uchunguzi zaidi waziri huyo aliwataja watuhumiwa wanaoshikiliwa kuwa ni bwana nuru majid bwana issa athumani bwana faustin athumani bwana davis binamu na bwana geofrey UNK huku upelelezi wa kuwabaini wengine waliohusika na mauaji hayo ukiendelea alisema hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la ujangili katika hifadhi ambapo majangili wamekuwa UNK wanyama na kuchukua baadhi ya bidhaa kutoka kwa wanyama hao ambazo zina soko kubwa ikiwemo meno ya tembo mfanyabiashara bwana subhash patel amekana UNK za ufisadi zilizoelekezwa kwake na mwenyekiti mtendaji wa kampuni za ipp bwana reginald mengi kuwa ni mmoja wa mafisadi papa watano akizungumza dar es salaam jana kupitia kwa ofisa uhusiano na mawasiliano wake wa UNK holdings limited inayoendesha viwanda na hoteli mbalimbali nchini bwana aboubakary mlawa alisema si mara ya kwanza kwa bwana mengi kumshutumu tena bila sababu yoyote ya msingi alisema katika tuhuma zake nyingi bwana mengi amekuwa UNK na ufisadi katika mchakato wa kumpata mbia wa kushirikiana na serikali katika mradi wa makaa ya mawe ya UNK na wa chuma cha UNK iliyopo mkoani iringa bwana mlawa alisema tuhuma nyingine zilizotolewa na bwana mengi kupitia moja ya chombo chake cha habari ni kuwa kampuni ya UNK steel mills limited inayomilikiwa na bwana patel ilitoa rushwa kwa wanakijiji na pia UNK gazeti UNK napenda UNK umma kwa si bwana subhash patel wala kampuni yake yoyote iliyopewa mradi wowote katika eneo la makaa ya mawe ya UNK UNK sisi mchakato wa kupata mbia au wabia kwa mradi huu unaendelea hivyo habari hizi si kweli na ni uzushi mtupu kilichopo ni kwamba moja ya kampuni zetu iitwayo UNK steel UNK public limited company ilishiriki katika zabuni namba pa sifuri sita nane ishirini sifuri nane UNK UNK sifuri moja ya aprili ishirini sifuri nane ya kutafuta mwekezaji wa ndani ambaye atakuwa na ubia na shirika la maendeleo la taifa katika kuanzisha na kuendeleza mradi wa kuzalisha chuma kiitwacho UNK kampuni yetu ilishiriki zabuni hii kwa kufuata sheria na taratibu zote zinazohusiana na ununuzi wa umma mchakato wa UNK bado unaendelea chini ya uenyekiti wa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali UNK shutuma hizi kwa undani utaona wazi kuwa zina nia ya kuingilia mamlaka zinazohusika katika kuwapata wawekezaji katika miradi hii miwili alisema bwana UNK kuhusu kutoa rushwa kwa UNK alisema bwana patel hajawahi kufanya hivyo isipokuwa anatumia haki aliyonayo katika kusaidia wananchi wenye matatizo mbalimbali na kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo ya kijamii nchini alisema bwana patel ama kupitia kampuni zake mbalimbali amekuwa akitoa misaada ya maendeleo kwa makundi mbalimbali ya wananchi kama anavyofanya bwana mengi ambapo kwa mwaka jana pekee alitumia zaidi ya shilingi milioni themanini sifuri ambapo misaada hiyo alitoa hata mkoani kilimanjaro ambapo hana maslahi yoyote ya kibiashara pia alisema hamiliki UNK wala hana hisa katika gazeti la sauti huru wala chombo chochote cha habari lakini hutangaza huduma zake na bidhaa zake kupitia vyombo mbalimbali vya habari vikiwemo vya bwana mengi aliwataka wananchi watambue kuwa yeye ni mtanzania halisi aliyezaliwa na kukulia kijiji cha lugoba mkoani pwani na uwekezaji wake nchini UNK hivyo hawezi UNK fedha zake nje ya nchi kama UNK bwana mlawa alisema UNK ni kuwa uhusiano uliopo kati ya wawili hao ni wa kibiashara tu ambapo maeneo mengi ya viwanda ambayo yalikuwa yakimilikiwa ama kuhusiana na bwana mengi UNK na kampuni UNK na bwana patel kuhusu kwa nini bwana patel hakwenda mahakamani kama aliona UNK uongo na bwana mengi mwanasheria wake bwana deusdedit duncan alisema ni uamuzi wa mtu binafsi lakini bado UNK kama atakwenda au la taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa imesisitiza kuwa UNK UNK umma kuwa hakukua na rushwa katika kashfa ya zabuni ya ukodishaji mitambo ya kuzalisha umeme wa dharura ya kampuni ya richmond akizungumza katika mkutano wa kamati za hesabu za mabunge ya afrika mashariki uliomalizika dar es salaam juzi mkurugenzi mkuu wa takukuru daktari edward hoseah alisema ili taasisi yake ili imtie mtu hatiani ni lazima iwe na ushahidi wa kutosha kuiridhisha mahakama kama wa kidhibiti nakala na maneno kwa mujibu wa sheria ya kuzuia rushwa ya mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na moja na sheria ya ununuzi ya mwaka ishirini sifuri nne ambazo UNK UNK katika kuzuia rushwa zaidi ya jinsi ya kumtia mtu hatiani na kosa la jinai wala sheria hizo UNK mtu hatiani kwa kufuata malalamiko ya watu hivyo UNK maelekezo ya sheria na lengo lilikuwa si kuisafisha richmond alisema daktari hoseah alisema kwa kesi za rushwa kubwa ambazo takukuru tayari ina ushahidi wa kutosha kwa mujibu wa sheria husika UNK mpango wa kutoa taarifa rasmi kwa umma mwezi julai mwaka huu daktari hoseah aliwaeleza wabunge kuwa takukuru katika kutimiza malengo ya mwaka huu tayari imekamilisha uchunguzi wa ndani wa kesi tano ila bado hatua ya mwisho ya uchunguzi wa nje ambapo ni tofauti na mwaka jana malengo yalifikiwa ya kuchunguza kesi kumi kubwa za rushwa alisema wameamua kuweka malengo ya kesi tano mwaka huu kwa vile nyingi zinahitaji ushahidi wa nje ya nchi kama kesi ya richmond lakini lengo ni kufanikisha uchunguzi kwa muda muafaka licha ya wabunge wengi kuonesha UNK vizuri daktari hoseah aliwahimiza wasome sheria UNK na kuwaeleza waandishi wa habari kuwa hawezi kuzitaja kesi hizo tano mpya za mwaka huu kwa kuzingatia kifungu cha thebathini na saba cha sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa UNK kutoa taarifa kwa umma kwa mtu ambaye bado uchunguzi unaendelea kwa kesi za mwaka jana ambazo UNK taarifa juu ya hali ya uchunguzi wake ni zile UNK bot UNK deep green rada na ile ya buzwagi ambayo dpp aliifunga baada ya kukosa ushahidi wenye vielelezo vya kutosha kuiridhisha mahakama lakini hizi nyingine tano za mwaka huu siwezi kuzitaja hadharani kwa kuwa uchunguzi bado unaendelea na uchunguzi UNK taarifa zote UNK katika tovuti yetu alisema daktari hoseah UNK huyo aliwahakikishia wabunge hao kuwa taasisi yake inayo nia ya dhati ya kupambana na kuzuia rushwa nchini kwa kuweka malengo ya kila kituo chake katika mikoa yote kiwe UNK uchunguzi wa kesi kumi na mbili za rushwa kwa mwezi adaiwa kukwama kupanda jukwaani ccm UNK mikutano mafichoni naibu katibu mkuu wa chama cha chadema bwana kabwe zitto amesema tingatinga la makamu mwenyekiti mstaafu wa ccm bwana john malecela limeshindwa kupanda jukwaani kwa kuwa UNK bajaj kwa kuanza mikutano ya mafichoni alisema hayo juzi wakati akihutubia umati mkubwa wa watu kwenye mkutano wa kampeni katika mji mdogo wa katoro jimboni hapa kumnadi mgombea ubunge wa chama hicho bwana finias magesa ccm hawana ubavu wa kupambana na chadema hata wabunge wao wanaojidai wanapambana na ufisadi ni waongo wakubwa kama wanataka kupambana na ufisadi waondoke ccm kwa sababu hawawezi kupambana na ufisadi wakiwa ndani ya ccm alidai bwana zitto alisema ccm imekuwa na mazoea ya kumtuma bwana malecela kwenye uchaguzi UNK na upinzani mkubwa na ndio maana akaletwa hapa kama tingatinga lakini amejikuta UNK kupanda jukwaani bwana zitto ambaye pia ni mbunge wa kigoma kaskazini alidai moto wa chadema jimboni hapa bwana malecela hauwezi kwa kuwa ni bajaj UNK na ndio maana imeamua kufanya mikutano ya mafichoni na wanachama yenye lengo la kuiba kura katibu huyo ambaye alikuwa akishangiliwa muda wote alisema hata kama ccm watapeleka viongozi wao maarufu wakiwemo wabunge kama akina daktari harrison mwakyembe na bibi anne kilango jimboni hapa lakini UNK kuwa ngoma hawaiwezi kwa kuwa ni nzito bwana zitto aliwaomba wananchi wa busanda kumchagua mgombea wa chama hicho ili waweze kupata nguvu zaidi bungeni ya kupambana na ufisadi nchini naye faida muyomba anaripoti kutoka busanda kuwa mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba na aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chama hicho bwana wilfred lwakatare na wabunge wengine sita wanatarajiwa kuwasili jimboni humo kwa lengo la kuongeza nguvu za kampeni kwa chama hicho katibu wa tume ya uchaguzi wa cuf bwana maole kuchilingulo aliwaambia waandishi habari kuwa kufika kwa mwenyekiti huyo na wabunge hao kutaongeza hamasa kubwa zaidi kwenye uchaguzi huo aliwataja wabunge UNK na profesa lipumba ni bwana omari ali mzee bwana mohamed mnyaa bibi mwanawetu UNK na bibi magreth sakaya wengine kwa mjibu wa katibu huyo ni bibi nuhu bafadhili bwana salum abdallah na bibi UNK UNK na kwamba safu hiyo inatarajiwa kuingia busanda humo wiki hii kwa ajili ya kampeni alisema kuwa lengo ni kuhakikisha wanapata ushindi wa kishindo katika jimbo hilo ikiwa ni pamoja na kudhibiti njama za wizi wa kura zinazodaiwa kutumiwa na chama tawala cha ccm kutokuwepo kwa hakimu mmoja kati ya watatu kwenye kesi ya wizi wa mamilioni ya fedha za epa inayomkabili kada wa ccm bwana rajab maranda na wafanyakazi wa benki kuu ya tanzania kumesababisha kuahirishwa kwa kesi hiyo mbali na kuahirishwa mahakama ya hakimu mkazi kisutu UNK kesi hiyo mfululuzo kuanzia juni mosi hadi kumi na mbili mwaka huu baada ya kurejea kwa hakimu huyo bwana ignas UNK kesi hiyo ilikwama kuendelea jana mbele ya mahakimu wawili ambao ni bibi addy lyamuya na bwana john utamwa ambapo upande wa mashitaka ulikuwa UNK mashahidi watatu akiahirisha kesi hiyo bibi lyamuya alisema kutokana na sheria kuwataka kuisikiliza watatu UNK mpaka hakimu aliyeko arusha kwa ajili ya kusikiliza kesi zingine UNK mashahidi hao ni bwana andrew mkapa kutoka ofisi ya msajili wa kampuni na majina ya biashara bwana UNK UNK kutoka benki ya nbc na ssp sifael mkonyi kutoka ofisi ya upelelezi na makosa ya jinai kanda ya dar es salaam kesi hiyo ina washitakiwa watano ambao ni bwana maranda mkuu wa kitengo cha madeni bot bwana imani mwakosya msaidizi wa kitengo hicho bibi ester komu katibu wa bot bwana bosco UNK na mfanyabiashara bwana farijala hussein wanashitakiwa kwa kutoa taarifa za uongo na kughushi nyaraka mbalimbali kwa ajili ya kujipatia usajili wa kampuni ya rashhas ltd ili kufanikisha wizi wa mabilioni ya fedha kwenye akaunti ya madeni ya nje pia wanashitakiwa kwa kuiba shilingi milioni ishirini saba mbili kwa kutumia kampuni ya rashhas ltd ambayo ilidai UNK deni na kampuni ya general UNK ya india rais jakaya mrisho kikwete jana amefanya mazungumzo na makamu wa rais wa jamuhuri ya kiislam ya iran bwana UNK davoodi ambaye yuko nchini kwa ziara ya siku tatu kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa dar es salaam jana na kurugenzi ya mawasiliano ya rais katika mazungumzo hayo bwana davoodi alimueleza rais kikwete kuwa iran ina nia ya kuendeleza na kupanua shughuli za kilimo nchini mambo mengine yaliyozungumzwa na viongozi hao ni kuendeleza sekta ya biashara madini viwanda elimu gesi na masuala ya UNK bwana davoodi alisema nchi yake itatoa misaada kwa tanzania na UNK deni la tanzania kwa iran ili kuiwezesha kupambana umasikini kupitia sekta ya kilimo rais kikwete UNK bwana davoodi kuwa ili kufanikisha mazungumzo yao tanzania itaangalia kufungua ubalozi wake katika mji mkuu wa UNK ambapo itakuwa ni njia ya kukuza uhusiano kati ya nchi hizo mbili kabla ya kuondoka nchini bwana davoodi anatarajia kusaini mikataba saba ama nane ya madini ikiwa ni pamoja na tanzania kupata huduma ya mikopo kutoka iran taasisi ya deci iliyokuwa ikiendesha mchezo wa upatu imeanza kuorodhesha majina ya wanachama waliopanda februari ili kuwarudishia mbegu zao wanachama waliopanda februari na hawajawahi kuvuna mbegu zao walifika ofisi za deci mabibo dar es salaam jana na risiti UNK na kupewa nyingine zenye namba mpya iliyopigwa UNK na kuambatanisha na ile ya awali kwa malipo ya baadaye taarifa iliyotolewa na uongozi wa deci kwa wanachama wake mapema kabla ya shughuli hiyo kuanza UNK kuwa watakaohusika ni waliopanda februari tu lakini hali ilikuwa kinyume walifika wanachama wengi wakiwemo hata wale ambao UNK na kudai UNK na kusababisha uongozi huo kulazimika kuwatangazia upya utaratibu uliopo kwa sasa ndugu wanachama wetu UNK kuona idadi kubwa ya wateja wetu hapa tofauti na idadi tuliyonayo ndani lakini tumegundua muda mfupi baada ya kuangalia risiti zenu na kukuta waliovuna nao wamefika UNK kwa kuwa UNK baadhi yenu bila kujua tutaendelea kuorodhesha na baadaye tutafanya uchambuzi na kuwabaini wanaostahili hivyo tutatoa ratiba baadaye siku ya kuchukua mbegu zao alisema mmoja wa viongozi wa deci aliongeza kuwa kwa waliovuna faida za mbegu zao UNK mbegu ya UNK ni heri kufanya UNK na kuwapisha wenzao kupata huduma ya kuwarudishia mbegu zao uongozi huo ulisema UNK kufanya shughuli nzito ya kuchambua majina halali ili kutekeleza agizo la serikali la kukamilisha urejeshaji mbegu kwa wale waliopanda bila kuvuna kufikia juni viongozi wa taasisi hiyo waligoma kuzungumzia malipo ya wanachama wao kwa madai hawakuwa tayari hivi karibuni waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo alisema serikali itaendelea kushikilia akaunti za deci kwenye mabenki hadi uongozi wa deci UNK zilipo shilingi bilioni kumi na nne serikali imewataka mbunge wa igunga bwana rostam aziz na mwenyekiti wa kampuni za ipp bwana reginald mengi kufunga midomo na kuacha malumbano mara moja UNK hilo la serikali lilitolewa jana na waziri wa habari utamaduni na michezo kupitia naibu waziri wa wizara hiyo bwana joel bendera bwana bendera alisema serikali haitakubali kusikia malumbano ya bwana aziz na bwana mengi ambayo yanalipeleka taifa mahali pabaya yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani nchini na haitavumilia kuona vyombo vya habari vikichangia kuligawa taifa katika makundi na kudumaza maendeleo alisema badala ya kulumbana wanatakiwa kuwasilisha madai na vielelezo vyao mamlaka husika ili hatua zinazofaa zichukuliwe na wananchi wapewe taarifa na vyombo hivyo waziri alisema bwana mengi na bwana aziz wanatakiwa kuvitumia vyombo vyao vya habari kwa manufaa ya wananchi na si wao binafsi waelewe kuwa malumbano yao ni kutowatendea haki wengine ambao majina yao UNK lakini hawana vyombo binafsi ambavyo wangeweza kuvitumia kujieleza na kujitetea kama walivyofanya wao alisema kuanzia sasa serikali haitasita kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wamiliki wa vyombo vya habari ambao hawatazingatia taaluma sheria ya magazeti ya mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na sita na sheria ya utangazaji ya mwaka ishirini sifuri tatu katika kutekeleza kazi zao za kukusanya na kusambaza habari serikali UNK na kitendo cha bwana mengi cha kuzungumzia kesi ambazo tayari ziko mahakamani sheria za nchi UNK mtu watu kuzungumzia ama kujadili suala lililopo mahakamani kwa kufanya hivyo UNK watuhumiwa hao na kuwatia hatiani bila kupewa nafasi ya kusikilizwa alisema pia wahariri na wanahabari kwa ujumla wametakiwa kuwa makini katika kutimiza wajibu wao kwa taaluma na kuzingatia maadili ya kazi yao badala ya kuandika au kutangaza habari kulingana na matakwa ya mmiliki wa chombo husika bwana bendera alisema kumekuwepo na matumizi mabaya ya vyombo vinavyomilikiwa na wafanyabiashara hao na wanafanya hivyo kwa manufaa yao kinyume na maelekezo ya sera ya habari na utangazaji ya mwaka ishirini sifuri tatu UNK kuwa chombo cha habari UNK kwa manufaa binafsi ya mmiliki bali umma pia chombo cha habari UNK na maadili ya taaluma na jamii husika na UNK habari kwa misingi ya ubaguzi wa rangi kabila dini jinsia ulemavu au kuchochea UNK alisema serikali imebaini malumbano yao UNK wananchi katika makundi mawili kila moja UNK mkono UNK serikali inasisitiza mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi yanaendelea UNK wananchi wenye taarifa watoe kwenye vyombo vya dola UNK majukumu hayo ili hatua zichukuliwe serikali inawataka wafuate taratibu na sheria za nchi katika kuwasilisha hoja zao ili kuendelea kudumisha amani ya nchi yetu alisema takribani wiki mbili sasa kupitia vyombo mbalimbali vya habari taifa UNK na malumbano yaliyojikita katika suala la ufisadi na mafisadi kati ya wafanyabiashara hao wawili wametumia vyombo mbalimbali vikiwemo UNK kila mmoja akimtuhumu mwenzake kuwa fisadi aprili ishirini na tatu mwaka huu bwana mengi alitaja kampuni na wafanyabiashara watano nchini akiwemo bwana aziz akiwaita mafisadi papa na siku chache baadaye bwana aziz naye alijibu na alimtaja bwana mengi kuwa fisadi nyangumi akimtuhumu kwa ufisadi serikali UNK kutoa tamko haiwezi kuacha watu waendelee kulumbana lazima ifuate taratibu UNK kwani ikifanya hivyo UNK nani mwenye kichwa kizuri inatoa kitu UNK UNK hayo yaliyotangulia ni UNK ya kale alisema waziri bendera akijibu swali lililokuwa UNK kuwa serikali imechelewa kutoa tamko diwani UNK akiorodhesha shahada wanafunzi sita wa shule ya sekondari butundwe mjini hapa UNK viboko sita kila mmoja na kupewa adhabu ya kufyeka huku wengine UNK adhabu hiyo baada ya kuuzomea msafara wa mgombea ubunge jimbo la busanda kwa tiketi ya chama cha mapinduzi pia kutokana na tukio hilo wazazi wa wanafunzi hao UNK hadi shuleni hapo kuuona uongozi kwa lengo la kubaini kwa nini watoto wao walifanyiwa kitendo hicho UNK kuwa ni kinyume cha sheria shule hiyo iko katika kijiji alichozaliwa mgombea ubunge kwa tiketi ya chadema bwana finias magesa ambaye pia aliwahi kujitolea kujenga mabweni kwa ajili ya wanafunzi hao tukio hilo lilitokea ijumaa saa kumi jioni wakati msafara wa kampeni za mgombea ubunge kwa tiketi ya ccm bibi lolensia bukwimba UNK jirani na shule hiyo na wanafunzi kuzomea huku wakishika vichwani na kuonesha alama ya vidole viwili inayotumiwa na chadema hali hiyo ya kuzomea UNK mmoja wa makada wa ccm bwana oscar magoli ambaye pia ni mwalimu wa shule ya msingi nyakagomba ambaye alimfuata mkuu wa shule hiyo bibi monica UNK mara baada ya kuambiwa tukio hilo mkuu huyo shule UNK mwalimu mmoja kuwachapa viboko wanafunzi wote lakini wengine waligoma hivyo kufanikiwa kuwachapa hao ambao wote ni wa kidato cha kwanza baada ya hali hiyo jana wazazi wa wanafunzi hao waliandamana hadi shuleni hapo na kulazimika kuitisha kikao cha dharura na mkuu wa shule hiyo ambaye hata hivyo alikana kuagiza mwalimu kuwachapa viboko wanafunzi hao alidai alichosema yeye ni kuwaonya wanafunzi UNK vyama vyovyote vya siasa lakini si kuwapiga wanafunzi kama alivyofanya mwalimu huyo ambaye anadaiwa kutoroka tangu siku ya tukio na hajulikani mahali alipo hata hivyo mkuu huyo wa shule alilazimika kuwaomba msamaha wazazi wa wanafunzi hao na kuwa kitendo hicho UNK tena kufanywa na mwalimu yeyote shuleni hapo katika hatua nyingine chadema UNK diwani wa kata ya busanda bwana alphonce matonange na makada wawili wa chama hicho wakidaiwa kuorodhesha majina na shahada za wapiga kura kwa lengo la UNK akithibitisha tukio hilo kamanda wa polisi busanda ssp kimea alisema tayari watu hao wanashikiliwa katika kituo kikuu cha polisi mjini geita alisema mbali ya diwani huyo wengine wanaoshikiliwa ni bwana abdallah ibrahim na bwana japhet UNK ambao walikutwa wakiwa na orodha ya majina zaidi ya ishirini pamoja na namba za shahada za wapiga kura UNK watu hao watatu wakati tukiendelea na uchunguzi zaidi juu ya tukio hilo alisema kamanda huyo na kuongeza kuwa walikamatwa juzi saa mbili usiku hali ya wasiwasi imeendelea tena kwa wakazi wa mbagala dar es salaam baada ya bomu lingine kulipuka kwenye kikosi cha jeshi cha mia tano na kumi na moja kj saa kumi na moja thebathini jioni jana na kuzua hofu kwa wananchi kwa mujibu wa walioshuhudia mlipuko wa bomu hilo hali ya amani iliyokuwa imerejea baada ya maghala ya jeshi la wananchi wa tanzania kuteketezwa kwa moto wiki iliyopita UNK tena baada ya bomu lingine kulipuka mkazi wa eneo hilo bwana charles kalumanga alisema wakazi wa mbagala walilazimika kukimbia na kuyaacha makazi yao huku wengine wakihoji iweje serikali UNK kurejea kwa amani bila kuwa na uhakika huku UNK kutokana na kukimbia bwana kalumanga alisema wakazi wa mbagala wako tayari kuhama eneo hilo iwapo serikali UNK kuwa hali ya utulivu UNK wiki iliyopita UNK alisema baada ya kutokea kishindo kikubwa kilichosababisha hofu kwa wakazi wa mbagala wananchi UNK nyumba zao na kukimbia hovyo huku wengine wakiacha maduka yao yakiwa wazi hivi tunavyoongea tuko eneo la sabasaba UNK hatuelewi bomu hilo UNK wapi tunaishi kwa wasiwasi kama ndege inasikitisha alisema bwana UNK alisema hii ni mara ya tatu kwa wakazi wa mbagala kukimbia bila mwelekeo hali iliyosababisha baadhi yao kupoteza maisha kwa mabomu kukimbia na wengine kunasa katika mto kizinga hivi karibuni waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa daktari hussein mwinyi aliwataka wakazi wa mbagala kutulia wakati wataalam wa kutegua mabomu kutoka makao makuu ya jeshi walipofanya kazi ya kulipua mabomu UNK hata hivyo shughuli hiyo iliendeshwa kwa saa kadhaa na hatimaye jeshi kutoa taarifa kwa wananchi kuwa hakuna mabomu yaliyosalia kwenye eneo la jeshi UNK kutokea kwa mlipuko huo wa bomu UNK mwelekeo wa wakazi wa mbagala kwa mara nyingine hasa katika kipindi hiki ambacho bado wana kumbukumbu ya kupoteza maisha ya ndugu zao aprili ishirini na tisa mwaka huu saa sita mchana jiji la dar es salaam na vitongoji vyake liligubikwa hofu na simanzi kufuatia milipuko mizito ya mabomu hayo iliyosababisha wakazi wake UNK tukio hilo lilisababisha vifo vya watu ishirini na sita kati yao wakiwemo wanajeshi sita huku mamia wa wakazi wa eneo hilo wakibaki bila makazi baada ya nyumba zao kuteketea balaa hilo lilikuja baada ya kulipuka ghala la silaha yakiwemo mabomu katika kambi ya jeshi jwtz iliyopo eneo la mbagala kizuiani tafrani hiyo iliwafanya wakazi wa maeneo yote ya mbagala kukimbia huku na kule ilhali wafanyakazi katika ofisi zikiwemo zile za maeneo ya katika kati ya jiji wakitikishwa kwa vishindo vizito vya mabomu hayo ambapo mengine UNK kuruka na kutua maeneo ya mbali na kambi hiyo ofisi mbalimbali jijini zilifungwa na wafanyakazi kuruhusiwa kurudi majumbani hususani wanaofanya kazi kwenye majengo marefu ya ghorofa kwa ajili ya usalama wao katika maeneo ya mtoni kijichi baadhi ya watu walilazimika kukimbilia baharini na nusura baadhi yao wanase kwenye tope baada walipokuwa wakijaribu kuokoa roho zao kutokana na milipuko hiyo tukio hilo lililokuwa kama vita ambalo liliwalazimu wakazi hao kuhaha huku na kule huku wengine wakiwa wamejeruhiwa sehemu mbalimbali za miili yao na baadhi yao kulazimika kuzikimbia nyumba zao kuhofia usalama wa maisha yao tukio hilo lilisababisha maduka kufungwa watu kutembea mwendo mrefu kwa miguu kutokana na daladala nyingi kusimamisha huduma huku wanajeshi wakilazimika kusaidia kukusanya watoto waliokuwa wakitangatanga baada ya kusambatarishwa na kupotezana na familia zao baadhi ya wakazi walilazimika kutoka na kukimbilia katika vituo vya polisi kwa ajili ya kujaribu kunusuru roho zao mabomu hayo kadri muda ulivyokuwa ukienda yaliendelea kulipuka na kudondokea nyumba za watu baada ya tukio hilo serikali ilitangaza kugharamia shughuli zote za mazishi ya kwa waliokufa huku ikitoa ubani wa shilingi milioni moja kwa kila familia UNK hadi sasa shughuli ya kufanya tathmini kwa ajili ya kulipa fidia wakazi hao inaendelea na misaada mbalimbali ikitolewa kwa waathirika hao mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya chama cha mapinduzi bibi anne kilango malecela leo anatarajia kuvamia jimbo la busanda mkoani mwanza kumsaidia mgombea ubunge wa chama chake akizungumza jijini hapa jana bibi kilango alisema licha ya kutumwa na chama chake pia ameshawishika kwenda kumsaidia mwanamke mwenzake kwa kuwa yeye ana jimbo hivyo atampa mbinu za ushindi na namna ya kukabiliana na wanaume kwenye uchaguzi mimi kama mwanamke mwenye jimbo nimeona UNK UNK moyo mwenzangu ni namna gani ataweza kupata ushindi ikiwa ni pamoja na kumpa mbinu za kuwashinda wanaume kwenye uchaguzi kama mwanamke ambaye UNK na wanaume katika jimbo la same mashariki na UNK naelewa matatizo UNK wanawake wakati wa uchaguzi kwa kuwa mambo mengi mabaya UNK dhidi yao lakini naamini UNK mbinu atashinda alisema bibi kilango bibi kilango ambaye ni mshindi wa tuzo ya mwanamke jasiri mwaka ishirini sifuri tisa nchini alisema kwa mfumo dume UNK hasa barani afrika kama mwanamke hatakuwa jasiri hawezi kupata hata ubalozi wa nyumba kumi katika uchaguzi huo ccm imemsimamisha bibi lolensia bukwimba wakati chadema UNK bwana finias magesa mahakama kuu ya tanzania imemwamuru mhariri wa gazeti la mwanahalisi bwana saed kubenea kumlipa fidia ya shilingi bilioni tatu mbunge wa igunga bwana rostam aziz kutokana na kuchapisha habari za uongo na chuki uamuzi huo ulitolewa aprili thebathini mwaka huu na jaji robert makaramba ambaye mbali na UNK gazeti hilo kulipa fidia hiyo pia UNK kuomba msamaha katika ukurasa wa kwanza haraka iwezekanavyo amri hiyo inatokana na kesi iliyofunguliwa na bwana aziz dhidi ya mhariri na wachapishaji wa gazeti hilo akidai fidia ya kiasi hicho cha fedha kutokana na kuchapishwa kwa habari za uongo zinazomhusu mbunge huyo habari hizo UNK na gazeti hilo toleo la februari kumi na tatu kumi na tisa mwaka jana katika ukurasa wa kwanza zikiwa na kichwa cha habari richmond ya rostam aziz ikulu ndiye UNK nchini lowassa UNK kwa mujibu wa habari hiyo mlalamikaji huyo ni mmoja wa watu wanaoshiriki katika mambo mbalimbali ya kughushi lakini pia anajihusisha na rushwa alidai habari hizo UNK heshima katika nafasi yake ya ubunge lakini pia kama mfanyabiashara mkubwa nchini hivyo akaamua UNK kortini gazeti hilo akidai kulipwa fidia hizo wadai wengine katika kesi hiyo wanaotakiwa kulipa fidia hiyo ni wachapishaji wa gazeti hilo kampuni ya hali halisi publishers limited na UNK kampuni za UNK limited na standard printers limited akizungumza dar es salaam jana wakili wa bwana aziz bwana kennedy UNK ambaye amewaandikia wadaiwa akiwapa siku kumi na nne kulipa fidia hiyo alisema standard printers limited na mteja wake wanafanya mazungumzo ili kumalizana nje ya hukumu hiyo hata hivyo akizungumza na majira kwa simu jana mhariri mtendaji wa mwanahalisi bwana saed kubenea alidai wamepokea uamuzi huo kwa masikitiko kwani UNK haki yao ya kikatiba ya kusikilizwa alisema tayari wakili wake bwana mabere marando amekata rufani dhidi ya hukumu hiyo kuomba kurudishiwa haki hiyo ya kikatiba hukumu imetolewa bila sisi kusikilizwa UNK UNK mahakama ya rufani wakili wetu jana alikwenda kukataa rufani ili UNK alidai na kuongeza kuwa bwana aziz hapaswi kutamba kwa ushindi mdogo aliupata kwani anaamini UNK mbele ya safari rostam UNK ushindi alioupata huu bado kiduchu tuna hakika UNK mbele ya safari alitamba bwana kubenea alisema gazeti lake litaendelea kufichua maovu bila woga na kwamba uamuzi wa kesi hiyo kamwe UNK nyuma mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam imeutaka upande wa utetezi katika kesi ya wizi wa mabilioni ya fedha kwenye akaunti ya madeni ya nje kuhakikisha mfanyabiashara maarufu bwana jeetu patel anahudhuria kortini siku UNK hatua hiyo ilifikiwa jana baada ya mshitakiwa huyo kushindwa kufika wakati kesi ilipokuwa ianze usikilizwaji wa awali kesi hiyo ipo mbele ya jopo la mahakimu watatu bibi grace mwakipesile bwana john UNK na bwana ruwaichi meela ambao UNK na kuutaka upande huo kuhakikisha mshitakiwa UNK siku ya UNK mshitakiwa huyo alikwama kufika kortini hapo kutokana na kuwa na ahadi ya kuonana na daktari wa matatizo ya moyo kama alivyowahi UNK mahakama hiyo akiwasilisha ombi la kuahirishwa wakili wa upande wa utetezi bwana mpaya kamala alidai walipata taarifa kutoka kwa mshitakiwa inayoeleza sababu za kutofika mahakamani tunaomba kuahirisha kesi kwani tumepata barua ambayo inaeleza kuwa mshitakiwa ana ahadi ya kuonana na daktari wake hivyo tunaomba ipangwe tarehe nyingine aliomba bwana UNK kutokana na maombi hayo pande zote mbili zilikubaliana kusikiliza kesi hiyo mei ishirini na nane mwaka huu ambapo washitakiwa UNK maelezo ya awali awali bwana patel aliwasilisha ombi kortini akidai kushauriwa na hospitali ya hindu mandal kwenda india kuonana na mtaalam wa moyo hatua UNK na kutakiwa kuonana na madaktari wa nchini mshitakiwa huyo na wenzake wanakabiliwa na kesi ya wizi wa shilingi bilioni mbili sita kupitia kampuni ya bencon international ltd ya tanzania na matsushita electric trading company ya japan wengine katika kesi hiyo ni bwana devendra patel na bwana amit UNK serikali inathamini kazi zinazofanywa na wauguzi hivyo kuwataka UNK kuwa ni chanzo cha mabadiliko ikiwemo kila mmoja kukemea maovu ya mwenzake na kutoa taarifa ili wasiotaka kubadilika wachukuliwe hatua waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma bibi hawa ghasia aliyasema hayo jana dar es salaam wakati akizindua mradi wa kuboresha na kuimarisha maadili kwa wauguzi tanzania hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la malalamiko kutoka kwa wateja wa huduma za afya kuhusu ubora wa huduma zinazotolewa na UNK malalamiko haya yanasababishwa na ukosefu wa uadilifu upendo na uwajibikaji kwa baadhi ya watoa huduma wetu wakiwemo wauguzi na wakunga alisema alisema maadili ya uuguzi UNK tabia ya wema upole huruma UNK na heshima katika kujali uhai na maisha ya mgonjwa na jamii kwa ujumla na muda wote wanatakiwa kulinda maisha ya watu na kuhifadhi siri na taarifa wanazopata wakati wa kutoa huduma bibi ghasia alisema kwa kuzingatia kuwa wauguzi na wakunga ni zaidi ya asilimia sitini ya watoa huduma za sekta ya afya ni wajibu wa kila mmoja kutoa mchango mkubwa unaohitajika kufikia malengo ya milenia na kuinua hali ya afya za akina mama na kuzuia vifo vyote vinavyoweza kuepukika serikali inafanya kila jitihada kuongeza idadi ya wataalamu wa huduma za afya na vituo vya kutolea huduma hadi katika ngazi ya kijiji leo UNK mwito kuwa ni wajibu wa kila muuguzi kuchukia ukiukwaji wa maadili na kuwa mwadilifu kwa umma wa watanzania alisema alisema serikali itaendelea kushirikiana na wadau wote kuanzia ngazi ya chini ili mpango wa kuboresha elimu ya maadili kwa wauguzi uwe wa mafanikio benki ya dunia imesema kutokana na mtikisiko wa uchumi duniani imedhamiria kusaidia watu wasio na ajira na wasiokuwa na elimu ya kutosha akizungumza dar es salaama jana mkurugenzi wa benki hiyo bwana john UNK alisema ili jambo liweze kufanikiwa UNK kuwepo na uwazi na uwajibikaji katika jamii na sekta binafsi ili kupata maendeleo katika jamii UNK UNK programu ya tanzania ya ushindani kwa sekta binafsi UNK mazingira ya biashara na kuimarisha uwezo wa sekta binafsi katika kukabiliana na ushindani kwenye masoko ya kanda na ya kimataifa alisema bwana UNK alisema sekta binafsi UNK ina mchango mkubwa katika kutoa ajira nzuri na kuongeza kipato kwa watanzania alisema benki yake itaboresha ukusanyaji kodi na kuimarisha uwezo wa mamalaka ya mapato tanzania katika kubuni na kutumia sera endelevu za kodi ambazo zitasaidia kuongeza mfumo mzuri kukusanya mapato bila UNK shughuli nyingine naye ofisa mradi wa uwazi na uadilifu katika viwanda bwana UNK rwechungura alisema unalenga kuweka uwazi katika mapato ya serikali tunataka kuleta uwazi kwa serikali kutoa taarifa ya mapato yanayotokana na malipo ya leseni na kodi za wananchi pia kampuni UNK nchini katika madini na sekta nyingine zinatakiwa kuwa wazi alisema bwana rwechungura alisema serikali na kampuni binafsi hazina utaratibu wa kutangazia umma kuhusu mapato hayo na hakuna sehemu maalumu ambayo umma unaweza kupata taarifa za mapato naye mkurugenzi mtendaji wa asasi za kiraia tanzania bwana john ulanga alisema changamoto UNK nayo ni kutokuwepo na uwazi katika utekelezaji hali inayosababisha wananchi kuwa na maoni tofauti ni kufuatia lililolipuka juzi mengine si rahisi kuonekana serikali imesema inaandaa mpango wa kutafuta masalia ya mabomu kwa kutumia satelaiti kwa vile kuna baadhi ya mabomu yapo ardhini na ni vigumu kuyaona kwa haraka akizungumza dar es salaam jana waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa daktari hussein mwinyi alisema baada ya kuteketeza mabomu yaliyokuwa UNK vyombo vya usalama vinaendelea na jitihada ya kutafuta ambayo hayawezi kuonekana kwa haraka na satelaiti hiyo itakuwa ikizunguka juu na chini kuangalia baada ya kuona zoezi ni gumu tumejaribu kuomba msaada sehemu mbalimbali na hivi sasa tunategemea kupata satelaiti kwa ajili ya kukagua mabaki hayo ya mabomu maana kuna yaliyokuwa ardhini alisema hata hivyo waziri mwinyi hakufafanua kuwa msaada huo wa satelaiti unatoka sehemu gani kwa madai atalitolea ufafanuzi suala hilo pindi tu mpango mzima UNK muda wowote kuanzia sasa tutaanza shughuli hiyo ya kutafuta mabomu kwa satelaiti kwa kuwa jambo hili ni la haraka sana na tutatoa taarifa wapi tunakopata msaada huo pindi tutakapokuwa na satelaiti hiyo mikononi aliongeza pia alitolea ufafanuzi kuhusu bomu UNK juzi na kudai UNK lenyewe kama ambavyo baadhi ya vyombo vya habari UNK isipokuwa bomu lile UNK wakati wataalam UNK usalama na baada ya kuliona walitoa taarifa kwa wananchi wa eneo la karibu na UNK ni bomu moja hatuwezi kutangaza nchi nzima isipokuwa UNK wakazi wa eneo hilo na kisha UNK alisema wakati huo huo marekani na uingereza zimetoa msaada wa vifaa vya kijeshi kwa jeshi la ulinzi nchini vyenye thamani ya pauni milioni nne kwa ajili ya wanajeshi watakaokwenda kulinda amani darfur nchini sudan akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya msaada huo kaimu balozi wa marekani bwana UNK andrew alisema wataendelea kuunga mkono utekelezaji kamili wa makubaliano ya amani katika jimbo la darfur wanajeshi mia nane na sabini na tano wanatarajia kuondoka nchini mwishoni mwa mwezi ujao kwenda darfur na kati ya hao themanini sifuri ndio watakaofanya kazi ya kulinda amani na sabini na tano ni wanajeshi wahandisi ambao UNK kwa ajili kuweka mahema na kazi nyinginezo mahakama kuu ya tanzania kitengo cha biashara imetupilia mbali pingamizi la kampuni ya kufua umeme ya dowans UNK kutupwa kwa maombi ya shirika la umeme tanzania UNK mahakama hiyo kuzuia uuzwaji wa mitambo yake uamuzi huo ulitolewa jana mahakami hapo mbele ya jaji robert makaramba baada ya kupitia hoja za pande zote mbili zilizowasilishwa kwa njia ya maandishi mahakamani hapo akitoa uamuzi huo jaji makaramba alisema kuwa hoja zilizowasilishwa na dowans zikitaka maombi ya tanesco UNK si za msingi na UNK mahakama hiyo kutokana na hoja za dowans ambazo zinadai kuwa mahakama hii haina mamlaka ya kutoa uamuzi kuhusiana na maombi haya sio za msingi hivyo pingamizi hili UNK alisema jaji UNK baada ya kutupwa kwa pingamizi hilo mahakama ilizitaka pande zote mbili kukubaliana tarehe kwa ajili ya kusikiliza pingamizi la tanesco dhidi ya dowans pingamizi hilo la tanesco linadai kuwa kiapo cha dowans kina makosa na UNK taratibu za sheria kuhusiana na usikilizwaji wa pingamizi hilo pande zote mbili UNK kuwasilisha hoja zake kwa njia ya mdomo ambapo UNK mei ishirini na sita mwaka huu awali tanesco waliwasilisha maombi mahakamani hapo wakiomba mahakama itoe zuio kwa dowans kuuza mitambo yake au itoe asilimia kumi ya dola za marekani kumi tisa mia nane na hamsini na saba mia sita na themanini na sita kama dhamana ya gharama ya mitambo hiyo tanesco iliomba zuio hilo hadi shauri lililowasilishwa na kampuni ya dowans kwenye mahakama ya UNK ya kimataifa iliyoko paris ufaransa litakapotolewa uamuzi kutokana na kuwasilishwa kwa maombi hayo dowans iliwasilisha pingamizi mahakamani hapo ikidai kuwa maombi hayo yaliwasilishwa mahakamani kwa kutumia kifungu kisichokubalika katika uwasilishaji wa maombi hayo dowans ilikuwa ikipinga maombi ya tanesco kwa kuwa UNK kwa kutumia kifungu tisini na tano cha sheria ya mwenendo wa madai na ibara ya ishirini na tatu ya sheria ya kimataifa ya UNK ya biashara hatua hizo UNK na tanesco UNK kuingia makubaliano ya usambazaji wa umeme wa dharura na kampuni ya richmond ambayo ilielekeza majukumu yake kwa kampuni ya dowans holding UNK na baadaye dowans holdings ilielekeza majukumu yake kwa kampuni dada ya dowans tanzania limited kutokana na makubaliano hayo na kufanyika kwa mapitio ilibainika upungufu hatua iliyoifanya tanesco kuiandikia dowans kuwa uhamishaji wa majukumu yake kiutendaji haukuwa halali novemba mbili mwaka jana dowans UNK kesi katika mahakama ya kimataifa ikidai kiasi cha dola za marekani kumi tisa mia nane na hamsini na saba mia sita na themanini na sita kama gharama za huduma za umeme ambazo zilikuwa hazijalipwa ndege iliyokuwa imechukua mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya chama cha mapinduzi ccm bibi anne kilango malecela na kada mwingine wa chama hicho bwana abdulrahman kinana ikitokea dar es salaam kwenda mwanza imepata hitilafu angani na kulazimika kurudi dar es salaam akizungumza kwa simu jana bibi kilango ambaye pia ni mbunge wa same mashariki alisema hitilafu hiyo ilitokea baada ya kusafiri mwendo mrefu na ndege hiyo ya UNK kulazimika kurudi dar es salaam bibi kilango na bwana kinana walikuwa safarini kwenda busanda kupitia mwanza kwa ajili ya kuongeza nguvu katika kumnadi mgombea kwa tiketi ya ccm bibi lolensia bukwimba kwenye uchaguzi mdogo wa jimbo hilo mwandishi wa habari hizi ambaye alikuwa uwanja wa ndege mwanza kuwasubiri wanasiasa hao ambao walipanga kuzungumza na waandishi baada ya kutua alifahamishwa na meneja wa precision air wa mwanza bwana peter dismas kuhusu hitilafu ya ndege hiyo iliyosababisha ishindwe kuendelea na safari ni kweli ndege imepata hitilafu ikiwa angani na imebidi irudi kutua na kuahirisha safari lakini abiria hao watapanda aidha ndege hiyo baada ya hitilafu hiyo kurekebishwa au nyingine kesho saa kumi na mbili asubuhi na watafika mwanza saa tatu asubuhi alisema bwana dismas bibi kilango alisema licha ya kutumwa na chama chake pia ameshawishika kwenda kumsaidia mwanamke mwenzake kwa kuwa yeye ana jimbo hivyo atampa mbinu za ushindi na namna ya kukabiliana na wanaume kwenye uchaguzi katika uchaguzi huo utakaofanyika mei ishirini na nne mwaka huu mchuano mkubwa ni kati ya bibi bukwimba na mgombea wa chama cha demokrasia na maendeleo bwana finias magesa vilio simanzi na majonzi vimetawala eneo la mbagala jana baada ya mabomu manne kulipuliwa katika kambi ya mbagala kizuiani wakati UNK na kusababisha watu sabini na sita kuzirai na wawili kuangukiwa na UNK mabomu hayo ambayo ni mabaki ya yaliyolipuka katika kambi hiyo aprili ishirini na tisa mwaka huu na kusababisha vifo vya watu ishirini na sita na kuharibu nyumba sabini sifuri na mali nyingine yalianza kulipuliwa saa kumi jioni awali gari ya matangazo ya halmashauri ya jiji ilipita katika mitaa mbalimbali ya mbagala na kutangaza kuwa ni bomu moja ndilo UNK na kuwataka wakazi hao UNK na kuendelea na shughuli zao kama kawaida kutokana na tangazo hilo wananchi hao hawakuwa na wasiwasi wowote na waliendelea na shughuli zao kama kawaida baada ya bomu kuwa hafifu wakazi hao walionesha dharau dhidi ya bomu hilo hali iligeuka saa kumi kumi na tano jioni baada ya bomu la tatu kulipuka kwa kishindo kikubwa ndipo watu walianza kuzirai na wengine wakipiga kelele za kuomba msaada saa kumi arobaini na tano jioni taarifa zilianza kumiminika katika kambi ya msalaba mwekundu iliyokuwa jirani na ofisi za kata ya mbagala kuu kutoka katika maeneo la mbagala kuu kijichi mgeni nani na kizuiani kuwa kuna watu UNK hali hiyo ilimpa wakati mgumu mkuu wa wilaya ya temeke bwana said mkumbo na watu wake wakiwa na magari ya halmashauri yaliyokuwa UNK misaada katika eneo hilo na kuondoka saa kumi arobaini na tano jioni huku akiwaacha watu wa msalaba mwekundu skauti na polisi wakihaha kuwahudumia watu waliozirai huku wakiwa na uhaba wa magari watu hao waliokuwa wamezirai walichukuliwa katika maeneo mbalimbali katika mitaa ya mji huo hali iliyowapa taabu msalaba mwekundu ambao walionekana kuchoka na wengine wakilaumu uamuzi UNK na mkuu huyo wa UNK hata hivyo mmoja wa maofisa wa chama hicho aliamua kumpigia simu mkuu huyo na kuomba msaada wa magari lakini alijibu kuwa hakukuwa na gari yoyote ambayo ingefika kutoa msaada wakizungumza na majira jana wakazi wa mbagala walilaani kitendo cha kutoa tangazo kuwa jeshi hilo UNK bomu moja lakini UNK zaidi watu walijua kuwa leo UNK bomu moja lakini mabomu zaidi UNK sasa hii ni siasa au UNK alihoji bwana geoffrey UNK alisema ipo haja ya serikali kuwa kutoa taarifa sahihi kwa wananchi wake kutokana na hali halisi ya matukio yake akizungumza na majira kaimu mganga mkuu wa hospitali ya temeke bwana gilbert buberwa alisema wagonjwa hao walianza kufikishwa hospitalini hapo saa kumi thebathini mpaka sasa tumepokea watu sabini na sita kati yao ni watoto wawili wa jinsia tofauti kati ya hao UNK hakuna aliyekuwa na jeraha lolote wamezirai kwa mshituko alisema bwana UNK mjumbe wa mtaa wa mbagala UNK bwana halfan hamis alisema serikali kuwa UNK kuwa kutakuwa na ulipuaji wa bomu moja kati ya yale yaliyosalia lakini tofauti na ilivyotangazwa mabomu yaliyolipuliwa ni manne hadi tunakwenda mitamboni jeshi la polisi na jeshi la wananchi wa tanzania wakishirikiana na msalaba mwekundu walikuwa bado wanaendelea na shughuli ya kupeleka wagonjwa hospitalini nao wanafunzi wawili abdul kondo wa shule ya msingi maendeleo na maria maganga wa shule ya sekondari ya mtakatifu anthony wameeleza jinsi milipuko ilivyotokea mpaka wao UNK UNK hapo wakizungumza kwa nyakati tofauti abdul alisema bomu la mwisho kulipuka ndilo lililomfanya akawa katika hali hiyo ambapo baada ya kulipuka utumbo UNK moyo na kichwa kuuma na ghafla UNK alisema aliaga nyumbani kwao anakwenda kumuona mama yake mkubwa ambaye yupo mbali na kambi hizo lakini alishangaa kujikuta UNK na dhahama hiyo naye maria alisema wakati akiwa njiani alishangaa kuona nguvu UNK ghafla kwa kuanguka chini huku kichwa UNK ambapo baada ya muda alianguka chini na kujikuta yupo hospitalini imeripotiwa na edmund mihale mercy james joyce ngowi na zahoro milanzi kampuni ya simu za mkononi zain imeshaanza kutayarisha vifaa mbalimbali ikiwemo kamera kwa ajili kusajili upya wateja wake meneja uhusiano wa zain bibi beatrice malya alitoa kauli hiyo dar es salaam jana baada ya kuulizwa na majira kuhusu tamko lililotolewa na mamlaka ya udhibiti wa mawasiliano tanzania kuhusu usajili wa simu za mkononi kuhusu usajili wa simu za mkononi sisi kama zain tumejiandaa kwa sababu tunaamini ni kitu kinachofanyika kwa nia njema alisema na kusisitiza kuwa hawatatumia muda mrefu kukamilisha kazi hiyo naye ofisa uhusiano wa vodacom bwana UNK mtambalike alipoulizwa kuhusu suala hilo alisema lipo serikalini na kuongeza kuwa tangu mwanzo mpango huo UNK na wizara ya mambo ya ndani hivyo wao hawawezi kuzungumza lolote akizungumza na wahariri wa habari dar es salaam juzi mkurugenzi mkuu wa tcra profesa john nkoma alisema mamlaka yake inaendelea na uandikishaji wa kadi za simu pamoja na simu ili kuweka usalama zaidi katika sekta ya mawasiliano hasa kwa UNK vibaya viongozi wa ccm wanaoshindwa katika uchaguzi ndio wasioitakia mema jumuiya ya wazazi ya chama hicho kwa kuunga mkono mawazo ya kuivunja wakidhani ndio chanzo cha kushindwa kwao hayo yalisemwa jana na kaimu mwenyekiti wa wazazi bwana athuman mhina alipokuwa akifungua mkutano wa makatibu wa wazazi wa mikoa uliofanyika dar es salaam kwa ajili ya kujadili masuala yanayoweza kufanikisha mkutano mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu alisema hivi karibuni kamati kuu ya ccm ilikutana ikulu na baadaye dodoma hoja ziliibuka kutoka kwa baadhi ya viongozi wakihoji kuna haja gani ya kuendelea kuwa na shule za wazazi wale waliokuwa wanasema hakuna haja ni UNK nao wanaoshindwa katika uchaguzi kisha wanadai jumuiya ya wazazi ndio iliyosababisha kushindwa kwao alisema mwenyekiti alimpongeza mwanasiasa mkongwe bwana kingunge ngombale mwiru kwa kuitetea jumuiya hiyo walipokuwa dodoma ambapo alisema haiwezi kuvunjika kipindi hiki wakati ilishindikana alipokuwa hai mwalimu nyerere rais jakaya kikwete kasema UNK jumuiya ya wazazi shule za wazazi UNK kamwe zinafanya vizuri hata matokeo ya kidato cha sita yanaonesha alisema na kuongeza hatakuwa tayari kubishana na mkubwa siasa haina madarasa bali ina uzoefu uwezo na ujuzi bwana mhina aliwaasa makatibu kuwa wasikivu mkutano wao uwe wa kihistoria kusiwepo matusi kama yanavyokuwa katika jumuiya zingine wanapofanya mikutano yao makatibu wa wazazi wa mikoa waliofika ni ishirini na tano kati ya ishirini na sita waliotarajiwa kuhudhuria mkutano huo na wakuu wa shule wote walihudhuria kikao hicho kampuni ya changanyikeni residential complex ltd inayodaiwa kuiba mabilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje haikuwa na ofisi na badala yake ilikuwa ni ya mfukoni mbali na hiyo pia kwa mujibu wa maelezo ya mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo bwana bahati mahenge usajili wake na ufunguaji akaunti ya kupitishia fedha ulifanyika kwa maelekezo ya ofisa wa benki kuu ya tanzania na mshitakiwa bwana manase UNK hayo yalibainika jana mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam mbele ya jopo la mahakimu bibi sekela moshi bwana sam rumanyika na bwana lameck mlacha wakati wa usikilizwaji wa kesi ndani ya kesi korti ilifikia hatua hiyo baada ya upande wa utetezi kupinga kupokelewa kwa maelezo ya onyo ya mshitakiwa wa kwanza kwa madai wakati wa uchukuaji maelezo hayo UNK ili kushinikizwa kukubaliana na wizi huo katika kuthibitisha mshitakiwa UNK upande wa mashitaka ulikuwa na mashahidi kwa ajili ya kuieleza mahakama namna mshitakiwa huyo UNK huduma wakati alipokuwa katika ofisi za uchunguzi wa kesi za epa maelezo ya mshitakiwa huyo yalichukuliwa na acp mataba ambaye ni shahidi wa nne aliyeeleza namna UNK maelezo hayo ambayo UNK kortini kama kielelezo bwana mataba alidai mshitakiwa alikiri kuhusika na wizi huo kwa mujibu wa maelezo ya mshitakiwa ambayo UNK kortini yalidai yeye binafsi hakufahamu kama kampuni ilifunguliwa kwa kazi gani bali UNK na bwana manase ambaye alikuwa akishirikiana na ofisa wa bot bwana UNK katika mchakato mzima maelezo hayo yalidai alishiriki kwenda ofisi za brela kwa ajili ya ujazaji fomu za usajili wa kampuni ambapo alitumia jina la samson mapunda na kuigiza saini kwa jina hilo naye shahidi wa pili ambaye alikuwa mlinzi wa ofisi za wapelelezi wa epa koplo UNK alidai mshitakiwa alikuwa akipata huduma za kuoga katika ofisi hizo na chai wakati akitokea mahabusu ya oysterbay alidai baada ya kupatiwa huduma hizo alimsikia mshitakiwa akisema kumbe ukiwa UNK na serikali na serikali UNK UNK hivi mie UNK hilo hayo ni maneno ya bwana mahenge ambaye ni mshitakiwa aliyedai kuteswa kwa kunyimwa chakula ili akiri kuiba mabilioni hayo bwana mahenge na wenzake bwana bahati mahenge bwana manase mwakale bwana davis kamungu bwana godfrey mosha na bibi eda mwakale wanadaiwa kuiba shilingi moja mia moja na themanini na sita mia tano na thebathini na nne thebathini tatu kesi inaendelea leo mkazi wa mkuranga mkoani pwani bwana juma salum amemuua mke wake na mtoto kwa panga kisha kujinyonga kwa kitanzi cha waya wa simu baada ya kubaini mkewe ana uhusiano nje ya ndoa yao akizungumza kwa simu kutoka kibaha jana kamanda wa polisi mkoa wa pwani bwana absalom mwakyoma alisema tukio hilo lilitokea juzi usiku ambapo alimuua mke wake bibi asha ally na mtoto wake wa miezi minane maneno juma na kuwatupa shambani umbali wa meta thebathini kutoka nyumba waliyokuwa UNK alisema baada ya kuwaua naye alikwenda kwenye shamba la baba yake mkubwa lililopo umbali wa meta arobaini sifuri na kujinyonga kwa kutumia waya UNK juu ya mti wa UNK bwana mwakyoma alisema kabla ya kutokea mauaji hayo majirani walisikia kelele za mwanamke huyo lakini UNK kwenda kutoa msaada kwa kuwa UNK mwanaume huyo alikuwa ana matatizo ya akili alisema baada ya kelele kupungua majirani walijitokeza kujua kilichotokea ambapo hawakukuta mtu na ndipo walipoanza kuwasaka maeneo mbalimbali ya nyumba yao aliongeza kuwa jana saa tisa alasiri wanakijiji hao walifanikiwa UNK maiti hizo tatu katika mashamba hayo na ndipo walipotoa taarifa polisi kamanda mwakyoma alisema siku moja kabla ilidaiwa kulifanyika kikao nyumbani kwa bwana salum na wana familia yake ambapo walikuwa wana ugomvi akimtuhumu mke wake kutembea nje ya ndoa ambapo mke huyo alikiri kisha kuomba samahani na walikubaliana kuyamaliza alisema cha kushangaza mwanaume huyo kumbe alikuwa bado na kinyongo moyoni na ndipo alipoamua kutimiza azma yake kwa UNK familia yake maiti walifanyiwa uchunguzi na daktari na kukabidhiwa kwa ndugu kwa ajili ya mazishi mkazi wa kijiji cha UNK kata ya nyahongo wilaya ya rorya mkoani mara bwana magori kitera UNK mwenzake bwana charles waryoba kwa kuidharau kamati ya ardhi ya kijiji hicho kwa kuendelea kumtishia na kukata miti ambayo ni vielelezo vya mpaka vilivyowekwa na kamati hiyo akizungumza ofisi za majira dar es salaam jana bwana kitera alidai licha ya kulifikisha tatizo hilo la mpaka katika kamati ya kijiji hicho na bwana waryoba kukiri kwa maandishi kutonggoa vielelezo vya mpaka huo lakini amekuwa akiendelea UNK mwaka ishirini sifuri saba UNK katika kamati ya ardhi ya kijiji na bwana waryoba alikiri na kuomba msamaha kwa kutorudia tena UNK vielelezo vya mpaka huo UNK na kamati ya ardhi iliridhia msamaha huo na kukubali kwenda kuweka UNK vya mpaka alidai bwana UNK alifafanua kuwa kwa kuwatumia vibarua chini ya UNK wa kamati ya ardhi ya kijiji walipanda miti ambayo UNK kati ya shamba la bwana waryoba na kiwanja chake anapoishi pia alieleza kuwa baada ya muda mfupi alishangaa kuona bwana waryoba UNK na kukata michongoma iliyowekwa na kamati ya ardhi ya kijiji hicho kuwa mpaka bwana kitera alionesha barua ya uthibitisho ya mtendaji wa kata ya nyahongo tarime ya julai ishirini na sita ishirini sifuri saba ambayo inaonesha kuwa bwana waryoba akikiri kutonggoa vielelezo vya mpaka uliowekwa na kamati ya ardhi ya kijiji hicho inayotekeleza majukumu ya serikali mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa majini na nchi kavu imewataka wamiliki wa pikipiki aina ya bajaj nchini kuhakikisha zinakuwa na mikanda ili kuwalinda abiria na ajali zinazotokea mara kwa mara akizungumza dar es salaam jana UNK mkuu wa sumatra bwana israel UNK alisema kuanzia sasa abiria na madereva wa bajaj wanatakiwa kufunga mikanda ili kuwalinda na ajali za mara kwa mara kwa pikipiki hizo za magurudumu matatu alisema wamiliki wa bajaj na madereva wao wanatakiwa wanunue mikanda hiyo kwa ajili ya abiria wanaotumia usafiri huo na kuhakikisha UNK abiria si zaidi ya watatu tu dereva wa bajaj anatakiwa awe na leseni ya daraja c tatu ndipo ataruhusiwa kubeba abiria pamoja na UNK bima ili abiria wanapopata ajali waweze kulipwa alisema bwana UNK mkurugenzi huyo alisema pia madereva wa pikipiki za kawaida wanatakiwa kubeba abiria mmoja na ni lazima dereva na abiria wake wavae kofia za kuwakinga na ajali naye kamanda wa kikosi cha usalama barabarani kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi bwana james kombe alisema atatoa mafunzo kwa wamiliki madereva wa bajaj na wa pikipiki za kawaida ili waweze kufuata kanuni na sheria za barabarani vizuri alisema mafunzo hayo yatatolewa ili kuwakumbusha alama za barabarani na jinsi ya kutumia sheria na kanuni zilizowekwa UNK kombe alisema lazima madereva wote wawe na bima wafunge mikanda wao na abiria pia wazingatie UNK kwa mwendo kasi aliwahadharisha madereva wa bajaj kuwa ni mwiko kupakia zaidi ya abiria watatu ili waweze kuondokana na ajali zinazotokea mara kwa mara na kuongeza kuwa kuanzia septemba mosi magari yote na pikipiki ambazo zitakuwa hazina leseni bima vidhibiti mwendo na mikanda UNK na UNK mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi amesema milipuko ya mabomu mbagala itaendelea kuwepo mpaka shughuli ya kusaka mabomu itakapokamilika katika eneo hilo akizungumza na majira ofisini kwake dar es salaam jana bwana lukuvi alisema kazi ya kutafuta mabomu na vyuma UNK katika mlipuko wa aprili ishirini na tisa mwaka huu kwa ajili ya UNK itaendelea mpaka watakapojiridhisha kuwa yamekwisha alisema shughuli hiyo itahakikisha usalama wa baadaye kwani kama UNK kwa sasa inaweza kuleta madhara makubwa siku zijazo milipuko UNK kutokea haina madhara kwani iko katika usimamizi wa kitaalamu wa kuteketeza masalia ya mabomu yaliyoruka umbali mkubwa bila UNK na yako katika makazi ya watu alisema bwana lukuvi bwana lukuvi alisema watu wasiwe na hofu kutokana na milipuko hiyo na kabla ya kuteketeza watakuwa wanatoa taarifa mapema kwa ajili ya tahadhari ili kama kuna mtu ana matatizo ya mshtuko au presha aondoke karibu na eneo la UNK mabomu hata hivyo bwana lukuvi amewataka waathirika wa mabomu hayo kuacha tabia ya kubweteka kwa kuacha kwenda katika maeneo yao ya kazi kwa kusubiri misaada inayoendelea kutolewa kwani tathmini kwa sehemu kubwa UNK UNK wale wasio na nyumba wakiendelea kukaa kwenye maeneo hayo kwani UNK kuondoka na kwenda kupanga sehemu zingine kwa kuwa UNK vyakula vya kutumia kwa mwezi mzima alisema bwana lukuvi alifafanua serikali UNK kila mtu UNK nyumba pamoja na mali zake zilizoharibika hivyo mtu kama alikuwa mpangaji asubiri fidia yake kwa upande wa mali zilizoharibika kulingana na tathmini iliyofanyika na haitafanya kinyume na utaratibu huo alisema kuna udanganyifu mkubwa UNK kwani walitarajia kupata idadi ya nyumba nne hamsini sifuri zilizoharibika lakini mpaka sasa ziko zaidi ya saba sifuri sifuri sifuri wanaohitaji fidia hivyo watakuwa makini wakati wa fidia watu wanadhani serikali ina hela za bure bure ni bora watu kama hao UNK mapema kwani kuna mmoja alisema ana UNK na jokofu huku katika nyumba yake hakuna umeme huo si uongo jamani aliuliza kwa UNK bwana lukuvi malalamiko walimu wa shule ya msingi mbagala kuu nao jana walidai serikali pamoja na chama cha walimu tanzania UNK kwa kushindwa hata kuwatembelea na kuwapa pole mbali na kutoa misaada ya hali na mali mwalimu mkuu msaidizi bibi mary daniel alisema UNK kama wao siyo sehemu ya jamii wakati ni miongoni mwa waathirika wa mabomu hayo alisema shule na nyumba za walimu hao ziko katika eneo ilipotokea milipuko hiyo na zimeathirika vibaya lakini serikali imekataa kuwapatia msaada wa aina yoyote kwa kigezo kuwa wao ni wafanyakazi tunalia tunasikitika hakika UNK kwani kuathirika UNK dini kabila wala wadhifa wa mtu hivyo nashangaa kwanini UNK misaada eti ni wafanyakazi huku katika eneo hili kuna wafanyakazi wengi wa serikali alisema bibi daniel naye bibi anna UNK alisema siku yanatokea mabomu hayo walikuwa UNK na la kwanza kulipuka walidhani ni gurudumu la gari lakini UNK la pili kila mmoja alikimbia pamoja na wanafunzi na katika hekaheka ya kuvuka mto mzinga wao ndiyo UNK wanafunzi wao kuvuka mto huo hivyo kusababisha kutopoteza mwanafunzi kutokana na milipuko hiyo alisema nyumba zao zimeteketea zote lakini hata turubai la UNK UNK huku akidai ofisa mmoja wa bandari UNK misaada pia alisema ni bora shule ikafungwa kwa muda kutokana na mahudhurio kuwa hafifu ambapo wanahudhuria wanafunzi ishirini tu kati ya kumi sifuri kwa kila darasa na hiyo imetokana na hofu ya wazazi kuwaruhusu kwenda kutokana na kuendelea kwa milipuko ya mabomu hata sisi walimu UNK kisaikolojia kwani hata mtoto UNK kitu UNK na mishtuko na wengi wetu sasa wanasumbuliwa na macho UNK jambo ambalo UNK hapo awali alisema bibi UNK misaada bwana lukuvi alisema wasamaria wema taasisi na kampuni mbalimbali zimeendelea kujitolea misaada ya hali na mali kwa ajili ya kuwasaidia waathirika hao alisema walipokea mahema yenye uwezo wa kuhifadhi watu zaidi ya arobaini kutoka katika ofisi ya waziri mkuu unga sukari mablanketi na mchele vyenye thamani ya shilingi milioni kumi kutoka kampuni ya bia ya tanzania na chama cha msalaba mwekundu ambao pia bado wanaendelea na shughuli ya kuhudumia waathirika hao ni jambo la kujivunia kwani misaada mingi imetolewa na watanzania zikiwemo familia zenye kipato cha chini na kampuni zilizopo ndani ya nchi yetu pamoja na baadhi kutoka watu wa nje alisema hata hivyo bwana lukuvi alisema idadi ya waathirika wa mabomu waliofikishwa hospitalini imeendelea kupungua na kubaki kumi na moja kutoka watu themanini na mbili walioripotiwa juzi ikiwa wengi wao walikuwa na tatizo la mishtuko pamoja na presha kada chadema UNK wananchi UNK polisi jinamizi la kuzomewa limeendelea UNK chama cha mapinduzi katika uchaguzi mdogo wa jimbo la busanda unaoendelea baada ya makada wake akiwemo waziri wa habari utamaduni na michezo bwana george mkuchika mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya chama hicho bibi anne kilango na mkuu wa kitengo cha propaganda bwana tambwe hizza kujikuta wakizomewa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana mji mdogo wa katoro mbali na makada hao wengine waliokumbwa na adha hiyo ni pamoja na waziri wa nishati na madini bwana wiliam ngeleja katibu wa ccm mkoa wa kigoma bwana salum msabaha pamoja na mgombea ubunge kupitia chama hicho bibi lolensia bukwimba mbali ya makada hao kuzomewa mkutano huo UNK na vurugu baada ya watu wanaosadikiwa wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo kukamatwa na askari wa kikosi cha kutuliza ghasia wakidaiwa kusababisha vurugu hizo baadhi ya watu waliokamatwa ni pamoja na kada wa chadema bwana mwita waitara ambaye kabla ya kujiunga na chama hicho alikuwa mwenyekiti wa uvccm mkoa wa tanga na watu wengine sita ambao UNK ndani ya gari la polisi lenye namba pt elfu moja na mia nne na tisini na nane na kupelekwa polisi katoro hali hiyo ilisababisha kundi kubwa la watu kuvamia kituo cha polisi kutaka watu hao waachiwe kwa madai kwamba kukamatwa kwao ni uonevu kwani hawakuhusika na zomeazomea hiyo bwana mkuchika UNK pia ni naibu katibu mkuu wa ccm taifa alikumbana na adha hiyo ya umati mkubwa kuzomea baada ya kutamba kuwa vyama vya upinzani UNK kuwa ccm haipendwi hapo katoro na jimbo zima la busanda jambo ambalo si kweli kutokana na wingi wa watu waliojitokeza katika mkutano huo kauli hiyo ilizua kelele za kuzomea huku watu wengi waliohudhuria mkutano huo wakionesha alama ya vidole viwili inayotumiwa na UNK kumfanya kutulia kwa muda UNK kejeli kuwa hao wanaozomea ni mamluki wa vyama vya upinzani waache UNK kwani hao ni watu walioletwa na wapinzani UNK kwa vile hawajui UNK sisi tuna hakika mgombea wetu atashinda kwa kishindo katika uchaguzi huu na vile vile ukimwona mtu UNK jua UNK tamaa alisema bwana mkuchika huku umati mkubwa ukizidi kumzomea wakati bwana mkuchika akimnadi mgombea wa ccm bibi lolensia bukwimba kuwa ndiye UNK mshindi wa kiti cha ubunge jimbo la busanda watu hao walipiga kelele UNK mgombea wa chadema bwana magesa kuwa ndiye mshindi kwa kuimba magesa magesa magesa naye waziri ngeleja alijikuta akitumia muda wake mwingi kuimba wimbo wa msanii profesa j katika kumnadi mgombea huyo usemao ndio mzee na kusema kuwa ccm haiwezi kuahidi ahadi ambazo hazitekelezeki kwa upande wake bwana tambwe hizza alisema wapinzani wanayatumia magazeti kukishambulia chama hicho na kudai ni uhuni kudai ccm haijafanya kitu chochote cha maendeleo wakati akisema hayo naye alikuwa UNK naye bibi kilango alisema wanawake wana nafasi kubwa ya kuongoza vizuri iwapo watapewa nafasi hiyo kwa kuwa hata familia zinaongozwa na akina mama hivyo UNK mwanamke ana mdharau mama yake mzazi yamekuwepo matukio kadhaa ya zomeazomea dhidi ya makada wa ccm kwenye kampeni hizo hali UNK hali ngumu kwa chama hicho katika kinyangganyiro hicho mei saba mwaka huu makamu mwenyekiti wa ccm bwana pius msekwa na makamu mwenyekiti mstaafu mzee john malecela walijikuta katika wakati mgumu UNK wakati UNK jukwani kwenye mkutano uliofanyika nyarugusu geita mbali na wakongwe hao mgombea wa chama hicho bibi bukwimba na mumewe bwana UNK UNK UNK wakati UNK kwenye mkutano huo dalili za hali mbaya katika mkutano huo zilianza mapema wakati viongozi hao wakiingia eneo la nyarugusu ambalo ni maalumu kwa wachimbaji wa dhahabu viongozi hao UNK kwa alama za vidole viwili kila UNK alama ambayo hutumiwa na chama cha demokrasia na maendeleo kama hiyo haitoshi wanafunzi wa shule ya sekondari katika kijiji alichozaliwa mgombea wa chadema bwana finias magesa walijikuta UNK viboko sita kila mmoja na walimu wao baada ya kuzomea msafara wa mgombea wa ccm bibi bukwimba hivi karibuni chama cha wananchi na chama cha demokrasia na maendeleo UNK kitendo kilichofanywa na makomandoo wa chama cha mapinduzi maarufu kama janjaweed kupiga watu ovyo kwa madai ya kuzomea mikutano ya kampeni za chama hicho na kueleza kuwa kitendo hicho ni uonevu wenye lengo la kuwanyima wananchi uhuru wa demokrasia pia vyama hivyo UNK onyo kali kwa vyombo vya dola UNK katika uchaguzi huo kwa lengo la UNK vyama vya upinzani kwa kutumia mabavu ya kutaka wananchi kuichagua ccm hata kama UNK tamko la vyama hivyo linatokana na hatua ya juzi kukamatwa wafuasi kumi na tatu wa chadema na kufikishwa katika mahakama ya wilaya ya geita jana huku wale wa ccm wakiachiwa bila masharti miongoni mwa wafuasi waliokamatwa wakituhumiwa kufanya fujo katika mkutano huo uliofanyika katoro ni pamoja na kada maarufu wa chadema bwana waitara UNK katika mkutano huo viongozi waandamizi wa ccm walikuwa wakizomewa kila UNK jina ccm UNK ni pamoja naibu katibu mkuu wa ccm ambaye pia ni waziri wa habari utamaduni na michezo bwana george mkuchika waziri wa nishati na madini bwana wiliam ngeleja kaimu mkuu wa propaganda wa ccm taifa bwana tambwe hizza mbunge wa same mashariki bibi anne kilango na mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia ccm bibi lolensia bukwimba ofisa uchaguzi wa cuf bwana hussein UNK jana akizungumza na majira alidai ccm haipendwi busanda ndio maana wamekuwa wakiwatumia makomandoo kama ili kuwatisha wananchi alidai kuwa ccm imeleta vijana kadhaa toka jijini dar maarufu kama janjaweed ambao walikuwa UNK wananchi ovyo jambo ambalo ni kinyume cha sheria za uchaguzi inayosema kuwa kila mtu ana haki ya kusikiliza mkutano wowote bila UNK alitaka vijana hao kumi na tatu waliokamatwa walipwe fidia kwa mujibu wa sheria kwa vile UNK usumbufu kwa ndugu jamaa na marafiki kwani wana haki kuhudhuria na kusikiliza mkutano wowote wa hadhara naye katibu mkuu wa chadema daktari wilbroad slaa akizungumza kwa njia ya simu alisema haoni sababu ya ccm kulalamika kuwa inafanyiwa fujo kwa kuzomewa bali huo ni ujumbe kwamba wananchi wa jimbo hilo wanataka mabadiliko katibu huyo alisema kuwa si kwamba UNK wafuasi wao kufanya fujo katika mikutano ya kampeni ya ccm bali hiyo inatokana na wao wenyewe kufanya maamuzi hayo baada ya kubaini hakuna jipya katika ccm licha ya kupewa ahadi hewa nyingi alisema kitendo cha polisi kuwakamata wafuasi wa chama hicho ni cha uonevu UNK kuwapunguza nguvu lakini hawataweza kwa kuwa wamejiandaa kutwaa jimbo hilo kwa ushindi mkubwa kwa kuwa mgombea wao anakubalika kwa wananachi wote wa busanda ni wale waliohitimu mafunzo sua wakati jiji la dar es salaam likiendelea UNK na milipuko ya mabomu UNK kwenye ghala la silaha la jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania imebainika kuwa panya waliofuzu mafunzo ya uteguaji mabomu katika chuo kikuu cha kilimo sokoine mkoani morogoro endapo watapelekwa eneo hilo wanaweza kuchanganyikiwa kama harufu ya mabomu UNK kila mahali panya huyu hawezi kufanya kazi na huwa UNK kwa kiingereza tunasema UNK hayo yalisemwa dar es salaam jana na mkurugenzi kituo cha kudhibiti viumbe hai waharibifu profesa rhodes makundi alipozungumza na gazeti hili kwa njia ya simu alipotakiwa kutoa ufafanuzi baada ya gazeti hili toleo la jana kuandika maoni kuhoji walipo panya hao ili UNK kubaini mabomu UNK mbagala baada ya milipuko ya aprili ishirini na tisa mwaka huu profesa makundi alisema kwa vile panya hao wana uwezo mkubwa wa kunusa harufu ya mabomu hata ambayo yapo chini sana ardhini inakuwa vigumu kwao kufanya kazi kama kuna uchafuzi wa mazingira uliosababishwa na mabomu yaliyokwisha UNK panya hawa UNK kutafuta mabomu makubwa na UNK protocol ya kisayansi ya kufanya hivyo alisema profesa makundi aliongeza kuwa hadi sasa wana taarifa zinazotoa picha kamili juu ya mabomu UNK mbagala mwanzoni mabomu yalilipuka toka kwenye ghala milipuko ya sasa hivi inatokana na aidha jwtz kulipua mabomu ambayo mwanzoni UNK ili kuondoa hatari kwa wananchi au labda yale ambayo UNK yalipo na kulipuka baadaye alisema alisema panya buku wanaotambua mabomu ya kutegwa ardhini wanaweza kutumika tu kama wataalamu watapata picha kamili na kuwafanyia majaribio ya kitaalamu panya hao kwenye eneo la tukio ili kuona tabia ya panya inabadilika au la kutegemea mazingira mapya UNK eneo la tukio kwa uzoefu tulio nao sidhani kuwa panya waliofunzwa kutambua mabomu ya kutegwa ardhini wanaweza kuwa suluhisho la muda mfupi eneo la mbagala alisema alisema sua haina panya wenye digrii za UNK panya buku wote waliofunzwa na kuhitimu wako kazini huko msumbiji na kazi yao sasa UNK dunia nzima kama tekinolojia mpya na yenye asili ya tanzania alisema alisema panya wote thebathini ambayo UNK mafunzo hayo wapo nchini msumbiji wakiendelea na kazi ya uteguaji mabonu na waliopo sua kwa sasa bado wapo mafunzo na wanatarajia kuhitimu baada ya miezi sita ni kweli chuo chetu kimefanya utafiti wa kina na UNK na utafiti huu wa kuboresha teknolojia ya kutumia panya buku kugundua mabomu UNK ardhini ambayo UNK na kuua au kujeruhi watu na kuwafanya wapoteze viungo vya mwili baada ya milipuko alisema profesa makundi alisema kwa bahati nzuri tanzania hakuna eneo lenye matatizo ya mabomu ya kufukiwa ardhini utafiti wetu umelenga hasa nchi za jirani kama msumbiji angola jamhuri ya kidemokrasi ya kongo ambazo kwa sababu za kihistoria na kijamii zimekuwa na migogoro ya kisiasa na kijamii iliyosababisha kukosekana amani alisema alisema panya mmoja ana uwezo wa kugundua mabomu ardhini kwenye eneo lenye mita ishirini sifuri za mraba kwa siku moja profesa makundi alisema panya hao hawajapelekwa mbagala kwa sababu hakuna vita bali kumetokea ajali ambayo UNK alifafanua kuwa wataalamu wa kituo cha UNK na UNK project UNK kwa undani uwezekano wa kuwatumia panya kutatua janga la mabomu ya mbagala ambapo mambo makuu mawili yalijitokeza yanayohusiana na uwezo wa panya kwenda mbagala kutafuta mabomu yanayoendelea kulipuka alisema panya buku wa kugundua mabomu ya ardhini UNK na kuhitimu kutafuta na kugundua mabomu UNK ardhini kwa kutumia njia mbili alisema njia ya kwanza ni ya kutembea wakiwa wanaongozwa na mtaalamu UNK kwenye eneo UNK kuwa na mabomu ardhini na mara UNK harufu ya bomu toka ardhini anaonesha ishara ya kuchimba hilo eneo mmoja wa watafiti ambaye alizungumza na gazeti hili kwa sharti la jina lake kutochapishwa gazeti alisema panya wana faida katika kazi ya uteguaji mabomu alitaja faida hizo kuwa ni urahisi kuwafunga na kuwasafirisha wakiwa wengi na kuwapeleka maeneo yaliyoathirika na mabomu kama ilivyo mbagala kwa sasa kuliko wanyama wengine wanaoweza kufanyakazi hiyo mtafiti huyo alionesha kushangazwa kwake na jinsi serikali UNK kimya na kushindwa kuona umuhimu wa kuleta panya waliopo msumbiji kuja kufanyakazi ya kutegua mabomu hatujui ni kwa nini serikali UNK maombi kwa mkuu wa chuo kuomba panya wa kushiriki kwenye kazi hiyo alisema mtafiti huyo alisema faida nyingi ya kutumia panya hao ni kwa sababu wanapatikana hapa tanzania na sio gharama kuwakamata na kuwapatia mafunzo udogo wa panya huwafanya kuwa karibu zaidi na ardhi kuliko mbwa inaeleza sehemu ya taarifa iliyotolewa na sua na kuongeza panya ana upeo mdogo wa kuona lakini ana uwezo zaidi wa kunusa na kutambua mazingira yake alisema mtafiti huyo na kuongeza kuwa udogo wa panya unawafanya wawe karibu na ardhi hivyo ni rahisi kutambua UNK mabomu alisema uzuri wa panya buku UNK na sua kutambua mabomu unatokana na wanyama hao kuishi UNK hivyo kutumika hata chini ya ardhi linakuwa sio jambo gumu kwao wataka walipwe madeni yao yote mwezi huu UNK serikali UNK haki za binadamu chama cha walimu tanzania UNK kuwapeleka ikulu kwa rais jakaya kikwete walimu wote wa mkoa wa dar es salaam ambao wanadai malimbikizo ya mishahara yao endapo serikali itashindwa kuwalipa hadi kufikia mwisho wa mwezi huu walimu wote waliopo dar es salaam cwt itawapeleka ikulu ili rais jakaya kikwete UNK jukumu la kuwatunza kwa kuwa yeye ndiye mwajiri mkuu hadi pale watakapokuwa UNK hatua hiyo ilitangazwa dar es salaam jana na katibu mkuu wa cwt bwana ezekiah oluoch kwenye mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika ofisini kwake bwana oluoch alitoa mwongozo kwa walimu waliopo mikoani kuhakikisha nao wanakwenda kupiga kambi kwenye ofisi za wakuu wa wilaya hadi pale UNK madai yao ili kufanikisha mkakati huo bwana oluoch alisema walimu wote wa mkoa wa dar es salaam watakutana makao makuu ya cwt UNK mwishoni mwa mwezi huu ili kuwekeana mikakati ya utekelezaji wake mbali na kutangaza hatua hiyo chama hicho kimechukua uamuzi wa UNK serikali kwa tume ya haki za binadamu na utawala bora na shirika la kazi duniani kwa kushindwa kutekeleza ahadi yake ya kulipa madeni yote ya walimu kama ilivyokuwa UNK chama hicho pia UNK serikali kwa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania kupitia spika wa bunge bwana samuel sitta na kwa shirikisho la vyama vya wafanyakazi tanzania chama kinaamini kuwa taasisi hizo zina uwezo wa kuishinikiza serikali kuzingatia haki za binadamu kwa kuwapa walimu mishahara yao kwa wakati alisema alifafanua kuwa walimu walio wengi walianza kazi julai ishirini sifuri nane wamekuwa kazini kwa muda wa miezi kumi na moja bila kulipwa mishahara yao na wengine kutolipwa hata fedha za kujikimu ambazo hulipwa pale mtumishi anapokuwa amefika katika kituo chake cha kazi alisema kutokana na adha hiyo baadhi ya walimu hasa wale wa shahada wameamua kuacha kazi na kukimbilia kwenye shule binafsi UNK mishahara midogo kuliko serikalini lakini inapatikana kwa wakati chama kimekuwa na majadiliano na serikali tangu mwaka jana kuhusu hoja za walimu hao lakini majibu yanayotolewa ni kuwa urasimu wa serikali ndio kikwazo alisema bwana oluoch alisema madai ya walimu UNK kupatiwa ufumbuzi licha ya viongozi wa cwt kukutana na waziri mkuu na katibu mkuu wa wizara husika aliongeza kuwa pamoja na cwt kumwandikia rais kikwete ambaye ndiye mwajiri mkuu tangu januari tisa mwaka huu hadi sasa chama UNK majibu kutoka kwake chama kilitoa muda wa siku tano kwa serikali kuwashughulikia walimu UNK hadi hadi sasa hakuna kilichofanyika alisema alisema majibu ambayo chama hicho kilipata kutoka kwa naibu waziri wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi bibi mwantumu mahiza yalikuwa ya kejeli kwa cwt badala ya kutoa majibu ambayo UNK suala hilo ufumbuzi alisema jambo la kushangaza ni kuona uhakiki unaofanyika sasa jijini dar es salaam kwa ajili ya kujua wanaodai unachukua muda mrefu kutokana na UNK hiyo kutokuwa na semina elekezi tathimini ya cwt inaonesha kuwa wizara inahitaji msukumo mkubwa wa rais au waziri mkuu ambaye aliahidi kuwa walimu wote watalipwa madeni yao ndani ya mwaka huu wa fedha UNK siku arobaini na tano kama UNK fedha zao kwa muda uliobaki basi itaonekana kauli za serikali zilikuwa za kisiasa na pengine zililenga UNK walimu hao waweze kuridhika alisema kwa muda mrefu cwt imekuwa kwenye mvutano wa kudai madeni ya walimu na serikali hadi kufikia hatua ya kuitisha mgomo wa walimu nchi nzima hatua hiyo UNK serikali kukimbilia mahakama kuu divisheni ya kazi kuomba izuie mgomo huo mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba leo anatarajiwa kufanya mkutano mkubwa wa kampeni katika mji mdogo wa katoro jimbo la busanda utakaoanza kwa mapokezi makubwa akizungumza na waandishi habari jimboni busanda katibu wa tume ya uchaguzi bwana maole kuchilingulo alisema kuwa profesa lipumba amefika jijini mwanza jana saa tano asubuhi kwa ndege ambapo alianza kwa kufanya mkutano na viongozi wa chama hicho mkoani humo alisema kuwa mara baada ya kikao hicho maalumu mwenyekiti huyo atafika wilayani geita ambapo UNK kisha kuzungumza na viongozi ngazi ya wilaya ikiwa ni pamoja na wanachama kwa ujumla baadaye profesa lipumba atafanya mkutano mkubwa wa kampeni katika mji mdogo wa katoro wenye lengo la kumnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho bwana oscar UNK UNK katibu huyo wa tume ya uchaguzi wa cuf alisema kuwa kabla ya mkutano huo kuanza wanachama na wapenzi wa chama hicho na wananchi wa katoro watafanya maandamano makubwa ya kumpokea profesa lipumba alisema chama hicho kina imani kubwa na wananchi wa jimbo la busanda ambapo alisema wanatarajia ushindi wa kimbunga katika uchaguzi huo UNK vyama vinne vikiwemo ccm chadema udp na cuf yenyewe ujio wa mwenyekiti huyo wa cuf taifa kunalenga kuongeza nguvu za mapambano ili kuhakikisha wanatwaa jimbo hilo lililoachwa wazi na marehemu bwana faustine kabuzi rwilomba aliyefariki kwa maradhi ya moyo nchini india uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika mei ishirini na nne taasisi isiyokuwa UNK kiserikali ya utu mwanamke imesema kwamba iko katika mikakati ya kutokomeza matatizo ya ugonjwa wa fistula unaowakabili wanawake nchini kwa kushirikiana na wizara ya afya na shirika la umoja wa mataifa la utafiti na madawa afrika hayo yalielezwa jana na afisa mwandamizi wa shirika hilo bibi UNK mwambingu wakati wa warsha ya siku moja kwa wanawake waamini wa kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania UNK wa azania front dar es salaam bibi mwambingu alisema mpango wa mkakati huo UNK kwa akina mama vijijini kwa kupitia katika wilaya husika na UNK akina mama kujitokeza katika zahanati zilizo karibu mara wanapoona dariri zisizo za kawaida kimaumbile na hasa kwa wajawazito pia alisema mkakati huo wa kitaifa mpaka sasa upo katika wilaya mbalimbali ishirini na nne na kuongeza kuwa UNK zinafanyika kupanua wigo wa mpango huo hasa kwenye maeneo yanayoonekana kuathirika zaidi na tatizo hilo alisema wameanza kutoa elimu kwa filamu kwenye taasisi za kidini kutokana na taasisi hizo kuwa na ushawishi mkubwa kwa jamii pia mtandao wake kuwa mkubwa zaidi hivyo kuwa rahisi kuwafikia walengwa katika warsha hiyo picha za video UNK kwa washiriki ili kujionea jinsi tatizo hilo UNK kukua na walipata fursa ya kuuliza maswali mbalimbali kuhusiana na fistula pia vipeperushi na makabrasha yalitolewa kwa washiriki ili kujifunza zaidi dariri na tiba zake kampeni za chinichini kuelekea uchaguzi wa mwaka ishirini moja sifuri zimeanza mkoani iringa na tayari kuna habari kwamba baadhi ya wananchi wa mkoa huo UNK kwa nguo baiskeli na fedha ili UNK mwaka ujao wanawania nafasi hizo wametajwa kuwa wanatoka vyama vya upinzani pamoja na wengine katika chama tawala cha ccm ambao wamepania kuwanggoa wanasiasa waliopo katika nafasi zao katika jimbo la iringa mjini UNK na bibi monica mbega imebainika kwamba wapinzani wake UNK vipeperushi UNK wakazi wa jimbo hilo kubadilika na kuwapigia kura wagombea wengine wanadai kuwa mbunge huyo wa amekuwa akiwadanganya wananchi kuwa UNK maendeleo na kwamba ahadi zake UNK hata moja na kuwa kutokana na udanganyifu huo inafaa kuwachagua wengine watakao UNK maendeleo hata hivyo kutokana na kuwepo kwa malumbano ya jimbo hilo kukamiwa na wanaccm pamoja na vyama vya upinzani huenda UNK hali ngumu katika kampeni zake kwa mbunge mbega UNK UNK kuwa hana mpango wa kukabithi jimbo hilo mbunge bibi monica mbega alipohojiwa kuhusiana na sakata hilo alisema kuwa anashangazwa na watu ambao UNK jimbo hilo na kuanza UNK wananchi kwa ahadi UNK kutekeleza mbega aliongeza kuwa katika uchaguzi wa hapo mwakani atajitosa kwa nguvu zote na kuwa wasitegemee kulinyakua jimbo hilo kiurahisi na kuonya kuwa wanaofanya kampeni za chinichini waache mara moja kwani UNK wananchi wake alisema kuwa yeye katika utendaji wake UNK kuwa ahadi UNK wananchi katika jimbo lake amezitekeleza na kuwa mpaka sasa yupo katika hatua za mwisho za shughuli mbalimbali kimaendeleo kwa wananchi wake makamu wa rais jamhuri ya muungano wa tanzania daktari ali mohamed shein amemweleza makamu wa rais wa kenya bwana kalonzo musyoka kuwa uhusiano uliopo kati ya kenya na tanzania UNK kwa manufaa ya nchi hizi mbili daktari shein alisema kuwa maeneo ya mipakani ndipo maovu mengi hufanyika yakiwemo UNK mpaka magendo wizi wa mifugo ujambazi wa silaha na vitendo visivyo halali na kwamba ni vitendo UNK mahusiano ya nchi UNK bwana musyoka akiwa nchini kwa ziara ya siku tatu alipokewa na mwenyeji wake bwana shein na kutembelea sehemu mbalimbali za jiji la dar es salaam jana na ikiwamo ubalozi wa kenya uliojengwa hivi karibuni na kugharimu shilingi sh bilioni sita sita bwana musyoka alisema kutokana na ushirikiano huo serikali ya kenya UNK tanzania eneo la hekari kumi kwa ujenzi wa ubalozi wa tanzania eneo la UNK hill aliongeza kuwa rais jakaya kikwete hawezi kusahaulika kwa wananchi wa kenya kwa kuchangia kuwasuluhisha mgogoro ambao ulitokea baada ya uchaguzi mkuu UNK kusababisha umwagaji damu daktari shein alisema kiwango cha biashara kati ya nchi hizi mbili kimeongezeka kutoka dola za marekani milioni mia moja na kumi na saba saba mwaka ishirini sifuri tano hadi kufikia dola za marekani milioni mia mbili na kumi na nne mbili mwaka ishirini sifuri saba na ongezeko hili limetokea katika kipindi ambacho umoja wa forodha wa jumuia ya afrika mashariki ilipoanza kufanya kazi baada ya kuanzishwa mwaka ishirini sifuri tano ziara hiyo ya siku tatu iliyoanza juzi itamalizika kesho leo bwana musyoka UNK zanzibar kabla ya kurejea nchini kenya mali zaidi UNK kuandikishwa wakati askari wa jeshi la wananchi wa tanzania wakiendelea kuhaha usiku na mchana wakitafuta masalia ya mabonu katika maeneo yaliyokuwa karibu na ghala lililolipuka mbagala kizuiani tofauti za kisiasa zimeendelea UNK miongoni mwa viongozi wa serikali za mitaa ya kizuiani kibonde maji na UNK tofauti hizo zinazidi kukwamisha juhudi za ugawaji misaada UNK wa mali na misaada inayotolewa kwa waathirika wa mabomu hayo uchunguzi uliofanywa na majira jumapili umebaini kuwa tofauti za kisiasa zinazidi kukithiri na kuna kila dalili za baadhi ya waathirika kukosa haki wanazostahili ikiwa serikali haitaingilia kati suala hilo mvutano huo unaodaiwa kuelekea kuwaathiri waathirika wa mabomu hayo unachangiwa na viongozi wa serikali za mitaa zinazoongozwa na ccm na cuf kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya habari kutoka maeneo hayo kuna hali ya kutoaminiana kwa viongozi hao wa serikali za mitaa huku kila upande UNK mwingine kwa upendeleo habari za ndani ambazo gazeti hili limezipata zinasema kuwa takwimu halisi ya nyumba zilizoharibiwa na mabonu hayo siyo sahihi na upotoshwaji huo ulichangiwa na tofauti za kisiasa awali ilidaiwa kuwa nyumba zilizoathirika kutokana na milipuko ya mabomu iliyotokea aprili ishirini na tisa mwaka zilikuwa nne mia sita na thebathini na sita hata hivyo idadi hiyo imekuwa ikizidi kuongezeka hadi kufikia nyumba saba sifuri sifuri sifuri na inadaiwa kuwa baadhi ya viongozi wamekuwa hawatoi takwimu za kweli pindi wanapobaini baadhi ya waathirika sio wafuasi wa chama chao diwani wa kata ya mbagala kuu bwana anderson chale aliwaambia waandishi wa habari kuwa kuna uwezekano wa kuongezeka nyumba nyingine zaidi kutokana na malalamiko kutoka kwa wananchi wanaodai mali na nyumba zao nyingine kutofanyiwa tathmini alisema hadi juzi kulikuwa na malalamiko kutoka kwa wananchi wanaodai UNK na watu wanaofanya kazi ya uandikishaji mali na nyumba zilizoharibika kufuatia hali hiyo tayari mkuu wa mkoa wa dar es salaama bwana william lukuvi ameagiza kurudiwa kwa tathmini ya nyumba na mali za wananchi zilizoharibika mara moja ili kuondoa malalamiko hayo UNK watu wanaofanya kazi hiyo UNK wananchi hadi jumapili lengo ni kuhakikisha kila mtu UNK UNK na mali yake UNK na tathmini inafanyika alisema bwana lukuvi gazeti hili UNK baadhi ya ya wamiliki wa nyumba kutoka katika mashina ishirini na tisa ya mtaa kijichi wakilalamikia nyumba zao kutofanyiwa uhakiki na kuoanisha suala hilo na itikadi za kisiasa majina ya wanaolalamika suala hilo UNK kwa bwana anderson chale na mwakilishi wao ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja mmoja wa maskauti UNK na wahudumu wa chama cha msalaba mwekundu ambao wamekuwa wakigawa misaada katika maeneo mbalimbali ya mbagala kuu alikiri kuwa wamekuwa wakipata wakati mgumu wakati wa kuandikisha au kugawa misaada katika mitaa ya kizuiani na kibonde maji ambapo kuna ngome za vyama vya ccm na cuf wakati leo imebakia wiki moja kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la busanda wilayani geita mkoani mwanza joto la kampeni linatarajia kuongeza kuanzia keshokutwa ambapo mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo bwana freeman mbowe ataanza kutumia helikopta kumnadi mgombea wake habari za kuaminika ambazo gazeti hili limezipata kutoka kwa viongozi wa chama hicho waliopo busanda na dar es salaam zimesema kuwa maandalizi yote ya bwana mbowe kuanza kumnadi mgombea wake bwana finias magesa kwa helikopta yamekamilika kamanda wa anga kuanzia keshokutwa ataanza kumnadi mgombea wetu kwa helikopta ambayo UNK kata zote kumi na tatu za jimbo kwa siku tano mfululizo kilieleza chanzo chetu cha habari kutoka busanda chanzo hicho kilieleza kuwa mkakati ya chadema ni kuhakikisha kinaibuka na ushindi kama unakumbuka wakati wa kikao cha kamati kuu kilichofanyika geita mwenyekiti wetu alituambia tumekuja busanda kushinda na sio kusindikiza mtu wala kufanya masihara tumedhamiria kufanya hivyo kilisema chanzo chetu kutoka busanda UNK nukuu bwana mbowe wakati wa kikao hicho bwana mbowe aliwaambia wajumbe wa kamati kuu kuwa ccm ipo UNK sawa na chadema hivyo aliwataka watumishi wa umma hasa vyombo vya usalama na dola kukaa pembeni ili washuhudie mpambano huo habari zaidi zinaeleza kuwa bwana mbowe alikuwa aanze kutumia helikopta kumnadi mgombea wake kuanzia UNK mei ishirini lakini kutokana na nia ya chama chake kuhakikisha kinashinda helikopta itaanza kutumika kesho kutwa tofauti na ilivyokuwa katika uchaguzi mdogo wa tarime ambapo ccm ilitumia helikopta mbili safari hii katika uchaguzi wa busanda ccm UNK helikopta habari za uhakika ambazo gazeti hili limepata kutoka ndani ya ccm ni kuwa chama hicho UNK na utaratibu huo wakati vuguvugu la uchaguzi huo likiwa limezidi kupanda wachambuzi wa masuala ya kisiasa wamesema matokeo ya uchaguzi huo ndiyo UNK kukubalika kwa utawala wa rais jakaya kikwete kwa sasa ccm inajivunia kura UNK kwa aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo marehemu kabuzi rwilomba katika uchaguzi wa mwaka ishirini sifuri tano endapo chama hicho UNK kitakuwa kimepata pigo kubwa akizungumza na waandishi wa habari mjini katoro hivi karibuni naibu katibu mkuu wa ccm bwana george mkuchika alisema katika uchaguzi wa mwaka ishirini sifuri tano mbunge wa ccm UNK kura zaidi ya sitini sifuri sifuri sifuri ikilinganishwa na kura tatu sifuri sifuri sifuri alizopata mgombea wa chadema mkuchika alisema ccm ina uhakika wa kushinda kiti hicho na wanachosubiri kwa sasa ni kutangazwa washindi wachambuzi wa masuala ya kisiasa wanasema kulingana na kura alizopata mbunge wa marehemu rwilomba katika uchaguzi wa mwaka ishirini sifuri tano endapo ccm itashindwa kwenye uchaguzi huo itakuwa ni salamu mbaya kwa utawala wa rais kikwete tuna tuna uhakika wa kushinda ukiona watu anaanza kufanya fujo basi amekata tamaa alisema alikiri kuwa wanaozomea baadhi ya wafuasi wa chama chake ni UNK wananchi UNK chadema kwa UNK kura alisema bwana mkuchika akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika mjini katoro naibu katibu mkuu wa chadema zitto kabwe aliwaambia wananchi kuwa uchaguzi huo sio wa kunadi sera bali wanatakiwa kuutumia kuonesha kukubalika au kutokubalika kwa serikali iliyoko madarakani vyama vinavyoshiriki uchaguzi huo ni ccm ni chadema united democratic party na chama cha wananchi bwana zitto aliwaambia wananchi wa katoro kuwa wakati wa kampeni ya uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini sifuri tano rais jakaya kikwete aliwaahidi watanzania maisha bora hivyo kama wameridhika na utekelezaji wa ahadi hiyo basi wamchague UNK wa ccm alidai kuwa wakati rais akitoa ahadi hiyo idadi ya watanzania masikini ilikuwa milioni kumi na mbili saba lakini imeongezeka kwa idadi ya watu milioni moja moja sisi wabunge wa upinzania ndio tumekuwa mstari wa mbele kufichua uovu unaofanywa na serikali ikiwa ni pamoja na wizi ndani ya benki kuu kufichua mikataba ya madini na richmond kama mnakubaliana na kazi hiyo tuliyofanya tunaomba UNK alisema bwana zitto bwana zitto alisema wakati tanzania inapata uhuru mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na moja asilimia kumi na tano ya watanzania walikuwa wakipata umeme hata hivyo alisema idadi hiyo imepungua kwani wanaopata umeme kwa sasa ni asilimia kumi na mbili wakati huo huo mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba leo anatarajiwa kufanya mkutano mkubwa wa kampeni katika mji mdogo wa katoro jimbo la busanda utakaoanza kwa mapokezi makubwa akizungumza na waandishi habari jimboni busanda katibu wa tume ya uchaguzi bwana maole kuchilingulo alisema kuwa profesa lipumba amefika jijini mwanza jana saa tano asubuhi kwa ndege ambapo alianza kwa kufanya mkutano na viongozi wa chama hicho mkoani humo kabla ya kuunguruma jimboni humu alisema kuwa profesa lipumba amepania kuiteka busanda UNK mkono posho za wabunge maelfu ya wakazi wa wilaya ya karatu na mto wa mbu wilayani monduli jana walimpokea kwa maandamano makubwa mbunge wa jimbo la karatu daktari wilbrod slaa huku wakiunga mkono hoja yake kutaka mishahara na posho za wabunge UNK wakazi hao walianza maandamano hayo katika mji wa mto wa mbu saa mbili asubuhi kwa vijana kujipanga barabarani wakiwa na UNK pikipiki na magari huku wakibeba UNK yenye ujumbe UNK katika maandamano hayo asilimia kubwa ya waandamanaji walikuwa wamebeba mabango UNK baadhi yalikuwa na ujumbe usemao wabunge wa ccm UNK wananchi acheni njaa UNK iongezwe ya nini au mnataka kununua kura maisha bora hayapo ccm daktari slaa kinara wa vita dhidi ya ufisadi na ccm kichaka cha mafisadi daktari slaa endelea na moyo wa ujasiri wa kupambana na mafisadi maandamano hayo yaliongozwa na madiwani wote wa chadema wakiongozwa na mwenyekiti wa halmashauri ya karatu bwana titus lazaro na mwenyekiti wa chadema wilaya hiyo bwana thomas darabe ambaye pia ni makamu mwenyekiti wa halmashauri hiyo mbunge huyo wa karatu alilazimika kufanya mikutano ya hadhara barabarani akiwa kwenye gari la wazi na bwana darabe katika maeneo ya manyara kibaoni na eneo la UNK UNK waandamanaji hao daktari slaa aliwashambulia wabunge wa ccm kwa kumzomea kutokana na hoja yake ya kutaka posho na mishahara ya wabunge UNK wananchi wangu nawapongeza kwa UNK na UNK kama mlikuwa UNK vyombo vya habari na bunge mliona jinsi UNK na wabunge wa ccm baada ya kuweka wazi maslahi yao UNK hata UNK bungeni lakini UNK kulalamikia malipo hayo aliahidi daktari slaa alisema ni aibu wabunge wa ccm kudai kuwa mishahara yao ni midogo ukilinganishwa na wabunge wa nchi nyingine za afrika mashariki kwani walitakiwa kutazama hali za wananchi wao sio za wabunge wenzao ni aibu wabunge wa watanzania kujilinganisha na wabunge wa nchi nyingine wanapaswa kulinganisha hali za wananchi je ni halali posho yao ya siku ni shilingi mia moja na thebathini na tano sifuri sifuri sifuri na mishahara ya milioni saba kwa mwezi alihoji daktari slaa alisema ataendelea kulalamikia mishahara na posho hizo kupunguzwa hadi mwisho wake UNK na maisha ya watanzania hata waajiriwa wa serikali waulizeni walimu askari na wengine wengi kwa mwezi wanalipwa kiasi gani na sisi siku moja tu mia moja na thebathini na tano sifuri sifuri sifuri kweli hii ni haki lazima wenzangu UNK mungu alisema daktari slaa aliomba wananchi kushirikiana na chadema kushinikiza spika wa bunge la jamhuri ya muungano asiwe mwanachama wa chama chochote cha siasa au kiongozi kwani haiwezekani UNK uwanjani akawa na timu yake kama UNK bungeni hata spika anaungana na wabunge wa ccm UNK vita hata UNK hoja ya ufisadi alipinga na kunizuia hata kuongea hapa hakuna mchezo UNK UNK mchezaji wa simba au yanga akawa mwamuzi wa mchezo wa simba na yanga alisema alisema vita dhidi ya ufisadi ni ajenda ya chadema na wataendelea UNK wakati wote alishangaa baadhi ya wabunge wa ccm kudai kuwa hoja ya ufisadi ni yao katika mkutano wa UNK daktari slaa alisisitiza watanzania kuendelea kuwazomea viongozi wa ccm kila mahali kama ilivyo sasa katika jimbo la busanda kwani kuzomea si kosa la jinai hawa ccm ni mafisadi UNK kila mahala hawawezi kuleta maisha bora na si kosa kuzomea kwani inaonesha UNK na mambo yao alisema mbunge huyo wa karatu aliwataka watanzania kuzinduka kwani serikali ya ccm haiwezi kuwasaidia kukabiliana na umasikini kwa kuwa imeamua kuwakumbatia mafisadi UNK mafisadi mara ya kwanza UNK kwenda mahakamani lakini hadi leo wameshindwa badala yake UNK wao kwa wao lakini haitoshi tunataka wafungwe alisema katika kile kinachoonekana lala salama ya kampeni za ubunge jimbo la busanda wafuasi wa chama cha wananchi jana walifanya maandamano ya aina yake kabla ya mkutano wa hadhara katika mji mdogo wa katoro UNK na mwenyekiti wa chama hicho profesa ibrahim lipumba maandamano hayo yaliyoongozwa na mikokoteni ya punda magari pikipiki na baiskeli yalianza saa saba mchana huku waandamanaji wakiwa wamebeba bendera za chama hicho katika mkutano huo ambao awali ulionekana kuwa na watu wachache na kuongezeka kadri muda ulivyokwenda chama hicho kiliitaka serikali kuwashughulikia watu wote wanaotuhumiwa kwa ufisadi na kuhakikisha wanafikishwa mbele ya vyombo vya sheria haraka kwani kuendelea kuwaacha ni kuzidi kuhujumu uchumi wa taifa akihutubia mkutano huo profesa lipumba alisisitiza kuwa chama chake kinataka kuona serikali UNK watu wote wanaotuhumiwa kwa ufisadi wa aina yoyote ile na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria haraka profesa lipumba aliyasema hayo sambamba na kumnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho bwana oscar ndallawa ambapo aliwataka wananchi wa busanda kumuunga mkono kabla ya kuhutubia mkutano huo profesa lipumba alifungua tawi la chama hicho katika kijiji cha UNK alisema mgombea cuf bwana oscar ndallawa ndiye mgombea pekee anayeweza kuondoa kero na mateso wanayopata wananchi wa busanda hususan michango ya sekondari UNK aliongeza kuwa mgombea huyo ndiye anayejua matatizo waliyonayo wananchi wa jimbo hilo na kwamba atapambana na watu wanaotumia miradi ya ulinzi wa UNK vitega uchumi na mitaji ya kuwanyanyasa wanyonge naye yusuph mussa anaripoti kuwa mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya ya chama cha mapinduzi bibi anne kilango malecela amekiri kuwepo mafisadi ndani ya chama hicho lakini amesema kamwe watu hao hawatapata nafasi kuiteka ccm na serikali yake ya awamu ya nne bibi kilango aliyasema hayo jana wakati akihutubia wananchi wa kijiji cha UNK alipokuwa akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya ccm bibi lolensia bukwimba alisema mafisadi hao watashughulikiwa na wanaccm wenyewe kwa kuwa ndani ya ilani ya uchaguzi ya chama hicho ya mwaka ishirini sifuri tano inazungumzia jinsi UNK na ufisadi alisema hata kama anayefanya ufisadi ni waziri bado UNK hadharani kwa maovu anayoyafanya hivyo aliwataka wananchi UNK ufisadi unaofanywa na baadhi ya viongozi wana ccm kuwa ni dira na sera ya chama hicho ndani ya ccm ni kweli wamo mafisadi lakini hiyo ni tabia na tamaa ya kiongozi mmoja mmoja lakini hawafanyi hivyo kwa kuagizwa na chama sisi tupo kwa ajili ya kupambana nao hata kama awe waziri UNK tu madarakani alisema bibi kilango aliwataka wananchi UNK na wanasiasa kuwa michango wanayoitoa kwa ajili ya shughuli za maendeleo yao ni makosa na uonevu ili wakatae kuchangia aliwaasa kuwa hakuna serikali duniani ambayo wananchi wake hawachangii maendeleo na kusema miradi mingi ambayo UNK na UNK ilikwama kwa kuwa wananchi hawakuwa na uchungu nayo upande wa mashitaka katika kesi inayowakabili waliokuwa mawaziri waandamizi wa serikali ya awamu ya tatu bwana basil mramba na bwana daniel yonna wa UNK hati ya mashitaka na kuwaondolea shitaka moja mabadiliko ya hati hiyo yalitakiwa kwenda sambamba na usikilizwaji wa awali wa kesi hiyo ambao ulikwama baada ya upande wa utetezi kuwasilisha ombi la kutaka kupewa nakala za maelezo hayo UNK na nyaraka mbalimbali zinazotarajiwa kutumika kama vielelezo hayo yalifanyika jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu watatu ambao ni bibi fatuma masengi bwana john utamwa na bwana saul kinemela upande wa mashitaka uliokuwa ukiongozwa na wakili mkuu wa serikali bwana boniface stanslaus uliiomba mahakama hiyo kubadili hati ya mashitaka ya washitakiwa hao ambayo awali ilikuwa na mashitaka kumi na mbili hivyo kuondoa shitaka la tano na kufanya mashitaka hayo kubaki kumi na moja baada ya upande wa mashitaka kubadili hati hiyo kwa kuondoa shitaka hilo uliiomba mahakama kusoma maelezo ya awali ya washitakiwa hao hali UNK na maombi ya upande wa utetezi upande wa utetezi uliowakilishwa na profesa leonard shaidi uliwasilisha ombi la kutaka nyaraka zitakazotumika katika kesi hiyo UNK na nakala za maelezo ya washitakiwa hali iliyopingwa vikali na upande wa mashitaka akiwasilisha ombi hilo profesa shaidi alisema kuwa kwa mujibu wa kifungu cha mia moja na tisini na mbili cha cpa kinatoa maelekezo ya namna ya kupewa nyaraka hizo akipinga hoja hiyo bwana stanslaus alisema kuwa sheria UNK wao kama upande wa mashitaka kutoa nyaraka hizo kwa upande wa utetezi hivyo hawaoni sababu ya kufanya hivyo sheria iko wazi kuwa nyaraka ambazo zitakuwa hazina ubishani kwa pande zote mbili zitakuwa hazina sababu ya UNK ushahidi na kwa zile UNK na ubishani ndizo zitatolewa ushahidi na nyaraka hizo zinaweza kuwasilishwa hata kama kesi inaendelea alisema bwana stanslaus akizungumzia nakala za maelezo ya awali aliiomba mahakama kuwapa muda ili kuandaa nakala za kutosha kwa pande zote mbili kwa upande wa mahakama ilisema kuwa kutokana na malumbano makali ya kisheria jopo linaona ni busara kupata muda wa kwenda kupitia kwa makini vifungu vya sheria ili kufikia uamuzi wa haki hivyo uamuzi kuhusiana na maombi hayo ya nyaraka utatolewa alhamisi mahakamani hapo walidaiwa kuwa mei ishirini na nane ishirini sifuri tano walisaini mkataba wa kuongeza muda wa uzalishaji wa madini na kampuni hiyo kinyume na sheria ya manunuzi na madini shitaka la mwisho linawakabili washitakiwa wote ambapo wanadaiwa kuwa kati ya kipindi cha mwaka ishirini sifuri tatu hadi ishirini sifuri tano kwa kutumia vibaya madaraka yao UNK serikali hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba majina ya waliokufa UNK watu watano na wengine wawili wamekufa papo hapo huku kumi na moja wakijeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu katika matukio mawili tofauti mkoani hapa ajali ya kwanza ilitokea jana saa kumi na mbili asubuhi eneo la usa UNK baada ya gari aina ya lori scania namba UNK mia saba na arobaini na mbili c la kenya kugongana uso kwa uso na toyota land cruiser namba t mia tatu na sitini na sita UNK iliyobeba wafanyakazi wa kampuni ya uchimbaji madini ya tanzanite ya tanzanite one ya mkoani hapa katika ajali hiyo watu watano walikufa papo hapo na wengine tisa kujeruhiwa kamanda wa polisi mkoa wa arusha bwana basilio matei alithibitisha kutokea ajali hiyo na kueleza kuwa balaa hilo lilitokea umbali mfupi kutoka kituo cha polisi cha wilaya ya arumeru cha usa UNK alisema chanzo chake ni dereva wa scania aliyetajwa kwa jina la hamis maulid kujaribu kuyapita magari mawili yaliyokuwa mbele yake huyu dereva wa scania ndiye chanzo cha ajali wakati alipokuwa UNK UNK alikuwa akitokea moshi kuja arusha ndipo alikutana uso kwa uso na toyota land cruiser iliyokuwa ikitokea arusha kuelekea UNK kwenye machimbo ya tanzanite alisema bwana matei alisema scania hiyo ambayo ilikuwa imebeba maua ilikuwa kwenye UNK hivyo dereva wake alishindwa kuzuia kugonga land cruiser hiyo na kusababisha vifo huku abiria wengine wakijeruhiwa vibaya majeruhi walipelekwa hospitali za UNK na mount meru kwa matibabu zaidi aliwataja waliokufa kuwa ni bwana mathayo mushi mkazi wa UNK aliyekuwa dereva wa gari hilo ambaye pia ni dalali wa madini ya tanzanite bwana UNK mollel bwana omar makuka mkazi wa majengo bwana UNK UNK mkazi wa sakina pamoja na bwana frank UNK mkazi wa sakina wote wafanyakazi wa tanzanite one waliojeruhiwa katika ajali hiyo ambao nao ni wafanyakazi wa tanzanite one ni bwana boni UNK mkazi wa UNK bwana UNK UNK mkazi wa majengo jacob peter bwana lucas massawe mkazi wa sanawari bwana david makame mkazi wa sombetini bwana gideon zacharia mkazi wa sakina bwana amani julius mkazi wa kambi ya fisi bwana UNK UNK pamoja na bwana UNK mbowe mkazi wa UNK bwana matei alisema ajali ya pili kuwa ilitokea juzi saa nne usiku barabara kuu ya dodoma ambapo gari aina ya suzuki namba t mia mbili na thebathini na mbili UNK r UNK njia na kupinduka kutokana na UNK gari hilo lilikuwa likiendeshwa na mtu aliyetajwa kwa jina la bwana UNK UNK ambaye alikufa papo hapo mwingine aliyekufa ametajwa kuwa ni bwana UNK UNK majeruhi wawili wa ajali hiyo UNK majina na wamelazwa hospitali ya mount meru na hali zao ni mbaya chadema kuanza mashambulizi ya anga leo ccm UNK helikopta tayari UNK mjumbe ccm UNK orodha UNK cuf UNK chadema wadai kupigwa kutekwa mjumbe wa nyumba kumi wa chama cha mapinduzi tawi la msasa kata ya busanda UNK orodha ya majina na namba za shahada za wapiga kura kwa chama cha wananchi baada ya karipio la tume ya uchaguzi kwamba kufanya hivyo ni kosa la jinai akizungumza na waandishi habari jimboni busanda katibu wa tume ya uchaguzi ya cuf bwana maole kuchilingulo alimtaja mjumbe huyo kuwa ni bwana patrick UNK wa tawi namba kumi na tatu kijijini hapo alisema kuwa mjumbe huyo alijisalimisha juzi kwa viongozi wa cuf kijijini hapo akiwa amekwisha UNK majina ya wapiga kura kumi na saba na namba za shahada zao kwa lengo la kutaka kupeleka kwa katibu mwenezi ccm wa kata hiyo alipohojiwa mjumbe huyo alisema aliamua kujisalimisha mwenyewe kwa viongozi wa cuf baada ya kusikia karipio la tume ya taifa ya uchaguzi kwamba kuorodhesha majina na namba za shahada za wapiga kura ni kosa la jinai alisema alikuwa hajui kuwa ni kosa na kudai kuwa walipewa maagizo hayo ya kuandikisha shahada na viongozi wao hivyo alikuwa katika hatua za mwisho ili aweze kukabidhi orodha kwa wakubwa wake kabla ya kutolewa tamko hilo la tume tukio hilo la mjumbe huyo kujisalimisha kwa cuf limekuja siku chache baada ya diwani wa kata hiyo bwana alphonce matonange pamoja na wajumbe wengine wawili wa nyumba kumi kukamatwa wakiwa na majina na namba za shahada za wapiga kura kinyume cha sheria licha ya kukamatwa makada hao waliachiwa huru jambo lililosababisha chadema kudai kususia kikao maalumu kilichoandaliwa na tume ya uchaguzi wakitaka maelezo toka kwa mkuu wa polisi wilaya kwa nini watu hao waliachiwa huru wakati huo huo zikiwa zimebaki siku tano kufanyika uchaguzi jimbo la busanda vyama vya chadema na cuf UNK kuongeza nguvu zaidi huku mwenyekiti wa chadema bwana freeman mbowe leo anaanza kutamba jimboni hapa kwa kutumia helikopta mbali na mwenyekiti huyo wa chadema kufanya kampeni kwa kutumia helikopta kuzunguka jimbo zima pia timu nzima ya viongozi wa chama hicho wakiwemo zito kabwe na daktari wilbroad slaa nao watakuwa wakifanya mikutano ya kampeni katika maeneo mengine ya jimbo hilo wakati timu hiyo ya chadema ikifanya hayo kwa upande wake chama cha wananchi nacho kitakuwa na kampeni za nguvu UNK na mwenyekiti wake profesa ibrahim lipumba akizungumza na mwandishi wa habari hizi kamanda wa kampeni wa chadema bwana benson kigaila alisema kuwa bwana mbowe atakuwa jimboni leo akitumia helkopita na UNK kata saba alizitaja kata UNK bwana mbowe na kuendesha mikutano ya kampeni kuwa ni kamena UNK chigunga katoro busanda na nyarugusu ambapo bwana zito na daktari slaa watakuwa katika tarafa za busanda na UNK alisema lengo la kutumia helkopita hiyo ni kuhakikisha jimbo hilo linashikiliwa na chadema licha ya kwamba ccm wamekuwa wakitumia kila linalowezekana kuwapunguza nguvu kwa kutumia vyombo vya dola ikiwemo jeshi la polisi wakati hali ya mambo ikionekana hivyo kwa upande wa chadema cuf wamesema sasa wameanzisha kampeni za kufa au kupona zinazoongozwa na mwenyekiti wake profesa lipumba katibu wa tume ya uchaguzi ya cuf bwana kuchilingulo alisema kuwa mwenyekiti wa chama hicho ambaye juzi alipokelewa kwa maandamano yaliyoongozwa na punda katika mji mdogo wa katoro atafanya mikutano ya kampeni kuzunguka jimbo zima la busanda alisema kuwa safu nzima ya chama hicho imejipanga kuhakikisha wananyakua jimbo hilo na kwamba profesa lipumba atakaa jimboni humo hadi matokeo ya uchaguzi UNK rasmi mara baada ya uchaguzi kwa upande wao chama cha mapinduzi kimesema kuwa UNK na kampeni hizo za chadema kutumia helikopta kwa madai kuwa tayari chama chao kimekwisha shinda jimbo hilo na wala hakuna upinzani wa kutisha mkuu wa kitengo cha propaganda wa ccm bwana tambwe hiza alisema kuwa chama hicho hakina haja ya kutumia helikopta kwa vile mgombea wao anakubalika kwa wananchi wote jimboni humo alisema kuwa upepo kwa upande wa chama hicho ni mzuri huku UNK vyombo vya habari kuwa ndivyo UNK hali ya vurugu jimboni humo kwa kuandika habari UNK za upotoshaji dhidi ya chama hicho uchaguzi wa ubunge jimbo la busanda ambao una wagombea wanne kutoka ccm chadema cuf na udp utafanyika jumapili ijayo mei ishirini na nne mwaka huu katika tukio lingine makomandoo wa ccm maarufu kama janjaweed wanatuhumiwa kuwapiga wafuasi wawili wa chadema na kuharibu pikipiki yao kisha kutoweka nao kusikojulikana wafuasi hao wa chadema wanaodaiwa kupigwa wakati wakipita katika eneo lililokuwa likifanyika mkutano wa kampeni wa ccm katika kata ya UNK wametajwa kuwa ni bwana chacha UNK na bwana lucas UNK akithibitisha kuwepo kwa tukio hilo kamanda wa polisi busanda ssp shaaban kimea alisema kuwa amepata taarifa za tukio hilo lililotokea jana saa saba mchana kijijini hapo nimepokea taarifa na hivi ninavyozungumza nawe kikosi maalumu cha polisi tena wameenda watu wazito kufuatilia tukio hilo kijijini hapo alisema kamanda UNK akizungumzia tukio hilo kamanda wa kampeni wa chadema bwana kigaila alisema wafuasi hao walikamatwa na makomandoo hao wa ccm mara baada ya kupita barabara ulipokuwa ukifanyika mkutano wa ccm alisema walikuwa safarini wakiwa na pikipiki yao wakielekea kijiji cha UNK na ndipo walikamatwa na makomandoo hao na kupigwa huku pikipiki yao ikiwa imeharibiwa vibaya na baadaye waliondoka na vijana hao kusikojulikana alisema walipofika kituo cha polisi cha chigunga hawakuweza kuwakuta jambo ambalo linawapa wasiwasi kuwa huenda vijana hao walikuwa UNK hivyo kutoa taarifa kwa mkuu wa polisi wilayani humo alisema hali hiyo inachangiwa na polisi kufumbia macho ccm kwa kuwa ni chama tawala ndio maana vijana UNK UNK sheria mikononi licha ya kuwepo polisi katika mikutano ya kampeni inayoendelea jimboni humo serikali imeamua kuanzia mwaka wa fedha ujao ishirini sifuri tisa kumi kupeleka moja kwa moja fedha katika wilaya husika badala ya utaratibu wa awali ambapo fedha hizo zilikuwa UNK ngazi ya mkoa hatua hiyo ya serikali imekuja baada ya kipindi cha miaka ya hivi karibuni kupokea malalamiko kutoka baadhi ya wilaya kuhusu UNK wa fedha na mara nyingine kutopewa fedha kutoka katika ngazi ya mkoa kama zilivyo UNK na bunge akifungua kikao kazi cha wakuu wa wilaya tanzania bara jijini dar es salaam jana naibu waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa bwana aggrey mwanri alisema kuwa serikali imeamua kuanzisha vifungu katika ngazi za wilaya ili kuhakikisha usimamizi wa fedha za wilaya unafanywa na wakuu wa wilaya na makatibu wa wilaya ili kuongeza tija na ufanisi wa shughuli za serikali katika ngazi ya wilaya serikali imeamua fedha za wilaya ziende moja kwa moja ili wakuu wa wilaya na makatibu tawala wa wilaya ambao watakuwa maofisa wahasibu wasaidizi wote watakuwa wasimamizi wa fedha hizo na si watendaji wa kuandika vocha wala kusaini hundi alisema bwana UNK bwana mwanri alieleza kuwa tayari serikali imeshatoa mafunzo kwa makatibu tawala wa wilaya zote mia moja na kumi na nne na UNK katika kutekeleza majukumu ya uhasibu UNK kuanzia julai mosi mwaka huu katibu wa wakuu wa wilaya tanzania bara kapteni mstaafu james yamungu wa maswa alieleza kuwa wilaya nyingi zimekuwa UNK kutekeleza mipango yake ya kuwaondolea wananchi wake umasikini kutokana na UNK wa fedha kutoka katika ngazi ya mkoa pamoja na serikali kuamua kutupatia fedha zetu kupitia kwa makatibu wetu wa wilaya lakini pia na sisi wakuu wa wilaya tunataka serikali UNK katika mchakato wa uandaaji wa bajeti ya serikali ili UNK kazi ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali UNK wilayani alisema bwana UNK kikao kazi cha siku nne cha wakuu wa wilaya tanzania bara kimeandaliwa na ofisi ya waziri mkuu kwa kushirikiana na wizara ya fedha na uchumi lengo lake ni kuwawezesha wakuu wa wilaya hapa nchini kusimamia utekelezaji wa mipango na bajeti za wilaya jumla ya mashahidi ishirini na nne wanatarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya wizi wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje inayowakabili kada wa ccm bwana rajab maranda na mfanyabiashara bwana farijala hussein hatua hiyo ilijulikana jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya usikilizwaji wa awali mbele ya jopo la mahakimu watatu ambao ni bibi fatuma masengi bwana benedict UNK na bibi catherine UNK upande wa mashitaka ambao uliongozwa na wakili mwandamizi wa serikali bwana fredrick UNK kabla ya kuanza kwa hatua ya usomwaji wa maelezo ya awali uliiomba mahakama hiyo kuridhia ili UNK hati ya mashitaka kutokana na kuongezeka kwa shitaka moja ombi hilo halikuwa na pingamizi lolote hivyo mahakama ilikubaliana naye na kuanza kusoma hati mpya ya mashitaka iliyokuwa na jumla ya mashitaka saba yakiwemo ya kula njama kughushi kuwasilisha hati za uongo pamoja na wizi akisoma mashitaka hayo wakili wa serikali bwana oswald UNK alidai kuwa kati ya machi ishirini na mbili ishirini sifuri tano na juni kumi na tano ishirini sifuri sita washitakiwa hao walikula njama ya wizi wa jumla ya shilingi bilioni mbili mbili kutoka benki kuu ya tanzania alidai kuwa machi ishirini na mbili ishirini sifuri tano washitakiwa hao walighushi hati ya usajili ya kampuni ya money UNK yenye namba mia moja na hamsini saba tatu moja wakionesha imesajili wa brela na wao ndio wamiliki wa kampuni hiyo aidha ilidaiwa waliwasilisha hati hizo za usajili katika benki ya biashara ya afrika kwa lengo la kufanikisha ufunguaji wa akaunti ya kampuni hiyo mbali na hilo pia washitakiwa hao walidaiwa kughushi mkataba wa makubaliano wa kuhamishiwa deni na kampuni ya ujerumani ya b UNK company limited katika kampuni yao ya money UNK baada ya kughushi nyaraka hizo washitakiwa waliwasilisha nyaraka hizo bot wakionesha kuwa wamehamishiwa deni hilo la shilingi bilioni mbili mbili na kampuni ya ujerumani ilidaiwa kuwa desemba saba ishirini sifuri tano washitakiwa hao waliiba jumla shilingi milioni mia sita na sitini mbili kutoka bot na baada ya hapo walijipatia UNK katika akaunti yao la shilingi bilioni moja sita hata hivyo washitakiwa walikana kutenda makosa hayo na baada katika maelezo ya awali walikubaliana na majina yao na kupingana na madai mengine yote yaliyokuwa kwenye maelezo hayo maelezo UNK nayo ni pamoja na kukiri kuhusika na wizi wa fedha hizo katika maelezo yao ya onyo ambayo UNK wakiwa polisi pamoja na kuhusika na makosa ya kughushi na kula kula njama ya wizi kumalizika kwa hatua hizo mahakama ilizitaka pande zote mbili kukubaliana tarehe za kusikilizwa kesi hiyo ambapo wote kwa pamoja walikubaliana kusikiliza kesi hiyo mfululizo kwa muda wa siku kumi ambapo itaanza julai mosi hadi kumi mwaka huu hatimaye mgonjwa aliyebadili jinsi yake UNK na kuanza kuongea baada ya kuhamishiwa hospitali ya taifa ya muhimbili kutoka mwananyamala akiwa mahututi mgonjwa huyo ambaye alihamishiwa muhimbili juzi kutokana na hali yake kuzidi kuwa mbaya jana alipata nafuu na kuzungumza kwa mujibu wa ofisa uhusiano msaidizi wa hospitali ya muhimbili bwana jezza waziri bwana waziri alikiri kuwa hospitali ya muhimbili ilimpokea mgonjwa huyo kutoka katika hospitali ya mwananyamala juzi saa saba mchana akiwa hajitambui na kulazwa katika wodi ya akina mama kibasila namba tatu kwa uchunguzi zaidi UNK mgonjwa huyo mchana akiwa UNK alipewa huduma ya kwanza leo ameanza kuongea na kutaja jina lake kamili ingawa anaongea kwa shida lakini amepata nafuu alisema bwana waziri aliongeza kuwa awali alikuwa akijulikana kwa jina moja lakini jana aliweza kutaja jina lake kamili kuwa anaitwa victoria UNK ilielezwa UNK kuwa na umri kati ya miaka arobaini na tano hadi hamsini na tano na ni mkazi wa mbezi beach jijini dar es salaam bwana waziri alisema vipimo vya awali vilivyochukuliwa na daktari baada ya kufikishwa hapo UNK victoria alikuwa anatumia dawa kali ambazo bado zinafanyiwa uchunguzi ili kubaini ni za aina gani mgonjwa huyo alisababisha utata kuhusiana na kubadili jinsi yake kutoka hali ya kiume na kuwa ya kike jambo hilo liliibua maswali mengi kwa wakazi wa jiji hata hivyo bwana waziri hakuweza kutoa ufafanuzi wa kina kuhusu UNK huyo uchunguzi uliofanywa na jopo la madaktari wa hospitali ya wilaya temeke katika shule ya msingi mbagala kuu umebaini wanafunzi wengi wanaodai UNK masikio na macho kutokana na mabomu wanafuata mkumbo na hawana matatizo hayo akizungumza na majira jana mmoja wa wataalamu hao daktari laurent chipata alisema wanafunzi walioripotiwa awali kukumbwa na matatizo ya kusikia walikuwa wachache lakini baada ya kuanza shughuli hiyo wameongezeka UNK daktari chipata alisema wakati wakiendelea na uchunguzi walibaini kuwa wanafunzi wengi hawana matatizo ya kusikia bali waligundua uchafu katika masikio yao ambapo alisema milipuko hiyo ilisababisha kuziba mawimbi ya sauti masikioni ni lazima unielewe hapa kwenye sikio kuna utando uko kama nta inayofanya kazi ya kulinda sikio dhidi ya vumbi na wadudu hivyo baada ya milipuko kutokea UNK na kuwasababisha wanafunzi wengi kushindwa kusikia vizuri alisema daktari UNK alieleza kuwa walioathirika na kushindwa kusikia kabisa ni wawili tu na mwalimu mmoja kati ya wanafunzi tisini na nane waliofanyiwa uchunguzi jana mwalimu huyo na wanafunzi hao UNK kwenda hospitali ya taifa ya muhimbili kwa matibabu zaidi naye bwana aloyce UNK mtalaamu wa magonjwa ya akili kutoka hospitali ya temeke alisema shughuli ya upimaji imekuwa ngumu kutokana na kila mwanafunzi kuibuka na kudai kuwa anasumbuliwa masikio huku wengine wakidai wanaumwa matumbo alisema mbali na tatizo la kusikia amebaini watoto hao wanahitaji kupatiwa ushauri nasaha ili waondokane na fikra za kuwaza mabomu UNK kwa macho jambo ambolo ni gumu na linahitaji maandalizi na utaalamu wa hali UNK juu watoto wengi wanafuata mkumbo na kujichanganya na wale walioandikishwa kufanyiwa uchunguzi hivyo kufanya idadi yao kuwa kubwa wengi wao baada ya kupimwa walionekana hawana tatizo alisema bwana UNK uchunguzi wa gazeti hili umebaini watoto wengi UNK kuripoti matatizo hayo na wazazi ama walezi wao kama njia ya kupatia misaada zaidi mbali na uchunguzi huo wajumbe wa serikali za mitaa wameilalamikia serikali kwa kutowalipa posho zao shilingi tano sifuri sifuri sifuri kwa wiki sasa huku baadhi ya maofisa wakilipwa shilingi sitini sifuri sifuri sifuri kwa siku bwana abdallah UNK ambaye ni mjumbe wa serikali za mitaa mbagala kuu alisema tangu kuanza shughuli ya kutathmini athari za milipuko hiyo wamekuwa pamoja na na maofisa hao lakini katika malipo wamesahaulika na kwa maelezo kwamba hundi za malipo yao UNK tukienda kufuatilia fedha zetu wanatuambia hawajapata hundi za kutulipa huku wao UNK fedha nyingi tunashangaa hizo hundi za UNK wao wanazipata wapi alihoji bwana UNK alisema wajumbe hao leo wamepanga kususia shughuli za tathmini hiyo kwa kushinikiza kulipwa posho hizo adai wamo wabunge makada wa chama asema UNK sumu propaganda chafu helikopta ya chadema UNK UNK ccm nayo UNK kuagiza ya kwake wakati kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la busanda wilayani geita zikielekea ukingoni makamu mwenyekiti UNK wa chama cha mapinduzi bwana john malecela UNK kuwa chama chake UNK na mafisadi kwa kushirikiana na baadhi ya wabunge na makada wake kada huyo mkongwe alikiri kuwepo upinzani ndani na nje ya ccm na kubainisha kuwa baadhi ya wanaccm wenzao wakiwemo wabunge na makada wa chama hicho wanataka washindwe uchaguzi huo na wamekuwa wakitumia vyombo vya habari kukidhoofisha chama hicho baadhi ya mafisadi waliopo ndani ya chama ndio wanaoeneza propaganda kwenye vyombo vya habari ili ccm ishindwe lakini uongo UNK kuwa ukweli na kila siku utabaki kuwa uongo na ukweli utabaki kuwa ukweli alisema bwana malecela wakati kizungumza na waandishi wa habari jana katika kijiji cha nyarugusu wakati bwana malecela akitoa kauli hiyo helikopta ya chama cha demokrasia na maendeleo jana saa saba mchana ilitua mji mdogo wa katoro jimboni busanda kuhamasisha kampeni za mgombea ubunge wa chama hicho bwana finias magesa katika kile kinachoonekana ccm kuingiwa kiwewe kutokana na hatua hiyo kaimu mkuu wa kitengo cha propaganda wa ccm bwana tambwe hiza alisema chama chake kimejipanga kuagiza helikopta yake endapo mambo yatakuwa magumu katika UNK ya lala salama ya kampeni hizo kama UNK muda UNK mgombea wetu hawezi kufika baadhi ya maeneo au kutokana na ugumu wa mawasiliano tutatumia helikopta ingawa UNK hivyo bwana hiza alitoa kauli hiyo alipozungumza na na gazeti hili kwa njia ya simu akiwa mjini katoro muda mfupi baada ya helikopta ya chadema UNK ninavyozungumza na wewe helikopta ya chadema imetua muda huu lakini haiwezi kusaidia chama hicho kunadi sera labda itakusanya watu ambao hawajawahi kuiona kwenda kuitazama alisema bwana UNK alipoulizwa iweje leo ccm ianze kubadilika na kusema helikopta haisaidii chochote wakati chama chake UNK kuitumia katika uchaguzi mdogo jimbo la kiteto na tarime alijibu wale waliokuwepo kiteto wanafahamu wakati wa kampeni kulikuwa na mvua nyingi maeneo mengi yalikuwa UNK hivyo tukaamua kutumia UNK alisema bwana hiza na kuongeza kuwa hata tarime hali ilikuwa hivyo hivyo ndiyo maana ccm ilipeleka helikopta mbili alipoulizwa kama nia ya ccm kupeleka helikopta busanda ni kutokana na ubovu wa miundombinu ambayo serikali ilishindwa kuitengeneza alijibu hiyo sio kweli ccm haiwezi kufanya mambo makubwa kwa wakati mmoja alipoulizwa ni kwa nini chadema inaonekana kuwa na nguvu hasa maeneo ya miji kama katoro na rwamgasa bwana hiza alisema watu UNK mkono chama hicho ni wale waliotoroka makwao na kukimbilia mijini wakidhani kuwa serikali ya ccm itakuwa UNK fedha barabarani na wao UNK hao ndio wanaolaumu na kuunga mkono upinzani lakini wale wenye shughuli zao bado ni wana ccm alisema kipindi kilichopita chama cha wananchi ndicho kilikuwa na nguvu maeneo ya mijini lakini kimeshindwa kuendelea kuyadhibiti maeneo hayo na matokeo yake UNK na chadema alisema cuf inataka kujikita maeneo ya vijijini ambapo kuna ngome ya ccm hivyo sio rahisi kupata kura alisema ccm inashiriki uchaguzi huo ikiwa na rekodi ya kuongeza kura kwenye chaguzi zote ndogo zilizofanyika ikiwa ni pamoja na jimbo la tarime hata kama mgombea wake UNK bwana hiza alisema katika uchaguzi huo mdogo wa tarime ccm iliongeza idadi ya kura zake kwa asilimia kumi na mbili tano ikilinganishwa na zile ilizokuwa imepata mwaka ishirini sifuri tano alivitaka vyama vya upinzania kuondokana na imani kuwa vitaweza kupunguza asilimia sabini na tisa mbili ya kura ambazo aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo marehemu kabuzi rwilomba alipata mwaka ishirini sifuri tano alisema ccm haijawahi kushindwa uchaguzi katika maeneo ya mijini hivyo vyama vya upinzani UNK kushinda alisema ccm inajivunia mafanikio ambayo imepata tangu serikali ya awamu ya nne UNK madarakani habari ambazo gazeti hili limepata kutoka kwa ofisa habari wa chadema bwana david kafulila zilisema helikopta hiyo ilitua katoro katika viwanja vya ccm saa saba mchana alisema baada ya helikopta hiyo kupokelewa na wafuasi wa chama hicho ikiwa na mwenyekiti wake bwana mbowe ilimchukua mgombea ubunge wa chadema bwana magesa kisha kuelekea kwenye mikutano ya kampeni kafulila aliliambia gazeti hili kuwa jana bwana mbowe alitarajia kufanya mikutano mitatu ya kampeni kwenye kata za rwamgasa UNK na jioni kumalizia UNK alisema kuanzia leo bwana mbowe ataanza kuhutubia mikutano sita kwa kutumia helikopta hiyo huku katibu mkuu wa chadema daktari wilbroad slaa akiendesha kampeni za nchi kavu wakati daktari slaa atakapokuwa akiendesha kampeni za nchi kavu kuna maeneo atakuwa UNK na mwenyekiti wetu na kufanya mikutano ya pamoja alisema alisema kuanzia kesho kampeni za chini kwa chini zitapata msukumo mpya baada ya naibu katibu mkuu wa chadema bwana zitto kabwe kutua busanda na kuungana na daktari slaa wakati bwana zitto atakapokuwa busanda daktari slaa atakuwa kata ya butundwe mwenyekiti wetu atakuwa UNK kwenye tarafa yoyote UNK inafaa na kufanya mikutano UNK bwana kafulila alisema wakati viongozi hao wa kitaifa watakapokuwa UNK jimbo la busanda kwa usafiri wa anga na nchi kavu wabunge na wakurugenzi wa chama hicho watakuwa wakiendelea na kampeni za ndani kwa ndani alisema wabunge pamoja na wakurugenzi wa chama watakuwa UNK kwenye maeneo na vituo vya kura kila eneo UNK kituo cha kupiga kura tumeweka maofisa wetu kumi wanaoendelea na kampeni amesema alisema kwa sasa chama chake kina uhakika wa kushinda na kazi iliyopo ni kuhakikisha UNK na mbinu za ccm za kutaka kuiba kura uchaguzi huo UNK kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo marehemu rwilomba aliyefariki mapema mwaka huu nchini india alikokwenda kwa matibabu ya moyo naye bwana malecela alibeza hatua ya chadema kupeleka helikopta hiyo na kueleza kwamba hatishwi na jambo hilo kwani hata chadema UNK helikopta kumi ccm itashinda bwana malecela alisema vita UNK na inayotoa ushindi ni ile ya kupigana ardhini na si angani falsafa ya wachina inasema vita bora ambayo inaweza kukupa ushindi ni ile UNK ardhini lakini sio ya ndege ambayo itapiga na kuondoka hivyo UNK helikopta ya bwana mbowe hata alete kumi busanda alisema bwana malecela alisema UNK bwana mbowe kama angeimarisha mtandao wake wa chama kuanzia mabalozi wa nyumba kumi mashina matawi na ofisi za chama za vijiji kata wilaya mkoa na taifa na kuwa na viongozi na wanachama nchi nzima badala ya kutumia helikopta na kupoteza fedha nyingi angeimarisha chama kuanzia kwenye mashina hadi ngazi ya taifa hapo ndipo UNK lakini kwenda kufanya kampeni huku huna hata viongozi wa mashina na matawi ama wanachama wa kutosha UNK nini alihoji bwana malecela uchaguzi mdogo wa jimbo la busanda unatarajiwa kufanyika jumapili ijayo UNK wagombea wa vyama vinne vya ccm cuf udp na chadema taarifa hii imeandaliwa na yusuf mussa na reuben kagaruki mgonjwa victoria armu aliyebadili jinsi amefariki dunia jana asubuhi katika hospitali ya taifa muhimbili alipokuwa amelazwa baada ya kuhamishiwa akitokea mwananyamala alikolazwa awali akitoa taarifa kwa waandishi wa habari dar es salaam jana ofisa uhusiano msaidizi wa muhimbili bwana jezza waziri alisema hali ya marehemu ilianza kubadilika usiku wa kuamkia jana na kufariki saa moja asubuhi aliongeza kuwa mwili wa victoria umehifadhiwa chumba cha maiti hospitalini hapo kwani hadi anafariki hakuna ndugu wala jamaa aliyejitokeza kumwona bwana waziri alieleza kuwa endapo ndugu wa mtu huyo anayesadikiwa kuwa mkazi wa mbezi beach dar es salaam hawatajitokeza taratibu za mazishi zitafanywa na halmashauri ya jiji la dar es salaam alisema vipimo mbalimbali vilivyochukuliwa kwa mgonjwa huyo tangu hospitali ya mwananyamala hadi alipolazwa muhimbili vinaonesha alikuwa akitumia dawa za kulevya marehemu huyo alikuwa kivutio kwa wakazi wa jiji la dar es salaam baada ya kufikishwa hospitali ya mwananyamala na polisi wa kituo cha kawe mei kumi na saba saa kumi na moja alfajiri ambapo ilidaiwa UNK ufukwe wa bahari ya hindi eneo la mbezi beach akiwa UNK baada ya kufikishwa hospitali ulizuka utata wa kuandika jinsia yake lakini uongozi uliamua UNK wodi ya wanawake hadi UNK chake madaktari UNK waandishi wa habari kumwona wala kufanya mahojiano naye kwa maelezo kuwa kufanya hivyo ni kukiuka kiapo na maadili ya taaluma ya tiba hata hivyo baadhi ya watu waliodai kumwona alipofikishwa hospitali siku ya kwanza walisema victoria alikuwa na sura ya kiume mweupe akiwa ametoboa masikio na nywele zake zikiwa na asili ya kiasia huku matiti yake yakiwa yanaonekana kupandikizwa kwa kudungwa sindano mmoja wa madaktari waliowahi UNK wakati wa uhai wake alidokeza kuwa marehemu huyo UNK kubadili jinsi yake kutoka ya kiume kwenda ya kike miaka michache iliyopita na kupandikizwa viungo hivyo nje ya nchi alidai alionekana kuwa UNK kutembea na wanaume kwa muda mrefu kwa kutumia maumbile ya mbele na nyuma moja ya mambo yenye utata hadi kifo chake ni pamoja na jina lake halisi ambalo hadi sasa inadaiwa anaitwa victoria armu huku wengine wakidai anaitwa abdallah UNK pia taarifa za baadhi ya watu wanaodai majirani zake zilidai marehemu UNK na polisi bali alichukuliwa nyumbani kwake mtaa wa UNK mbezi beach baada ya kuzidiwa na kupiga kelele kuomba msaada mwenye nyumba alipiga simu polisi ndipo walikwenda kumchukua na kumpeleka mwananyamala mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi amefanya ziara ya kushtukiza eneo la mbagala siku moja baada ya wakazi hao walioathiriwa na milipuko ya mabomu aprili ishirini na tisa mwaka huu kumtaka ajiuzulu kwa madai ya kushindwa kusimamia shughuli ya ugawaji misaada akizungumza na waandishi wa habari katika kata ya mbagala kuu bwana lukuvi alisema uongozi wake unawafahamu vinara wa maandamano hayo bandia huku akimtaja mmoja wao kuwa ni mwenyekiti wa serikali za mitaa mbagala kizuiani bwana mashaka suleiman tumegundua kuwa suala hili UNK na harakati za kisiasa ambapo jana walikuja watu mia tatu na kumi na nane kwa maandamano wakidai kupewa chakula na UNK ili UNK nyumba zao wote waliingia mitini alisema bwana lukuvi bwana lukuvi alisema hawezi kuruhusu watu UNK janga hili kwa manufaa ya kisiasa na serikali itahakikisha malipo yanafanyika kwa watu wote wanaostahili kwani pesa zinazotumika ni za walipa kodi aliongeza kuwa haoni sababu ya kujiuzuru kwani shughuli ya kuwahudumia waathirika haina dosari yoyote na hajafanya kosa la kumlazimu kuachia ngazi na kusema kuwa kiongozi wa maandamano hayo atashughulikiwa ikiwa ni pamoja na kupewa onyo kali dhidi ya kitendo UNK kuhusu matibabu kwa walioathirika bwana lukuvi alisema leo wataalamu toka manispaa zote tatu za jiji kinondoni ilala na temeke pamoja na madaktari bingwa wa macho kutoka hospitali ya taifa muhimbili watakwenda mbagala kuhakikisha waathirika wote wanatendewa haki kwa kupewa matibabu bwana lukuvi aliweka wazi kuwa kwa sasa watoto wamepewa kipaumbele katika matibabu lakini mtu yeyote aliyeathirika na mabomu anatakiwa afike mbagala kuu au katika kituo chochote cha afya na atapata matibabu bure mimi narudia tena mtu yoyote aliyeathirika kwa mabomu kama anahisi anasumbuliwa na ugonjwa wowote UNK katika kituo chochote cha afya kuwa ili UNK bila malipo alisema kwa madai ya wenyeviti wa serikali za mitaa UNK na UNK wa nyumba UNK kutokana na mabomu kudai posho zao bwana lukuvi alisema yeye anawatambua maofisa kutoka mikoa ya nje wanaostahili kupewa posho huku wafanyakazi wengine wakifanya kazi hizo kama sehemu ya majukumu yao ya kila siku hata hivyo uongozi wa manispaa ulikiri madai ya wenyeviti hao na kuahidi kuzifanyia kazi hundi za malipo yao ndani ya siku chache zijazo aidha alisema kuwa shughuli ya kutafuta masalia ya mabomu bado inaendelea sambamba na uteketezaji mpaka hapo watakapojiridhisha kuwa yamekwisha amewataka wananchi hao kutoa taarifa katika jeshi la polisi au jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania kama wataona chuma chochote UNK bwana lukuvi pia alipokea msaada wa mabati mafuta ya kupikia saruji vitabu na vifaa vingine vyenye jumla ya thamani ya shilingi milioni thebathini kutoka katika kampuni ya simu za mkoni ya zain ikiwa ni sehemu ya msaada kusaidia shule ya msingi mbagala kuu na maendeleo naye aliahidi kutoa shilingi milioni tano leo ili kufanikisha ujenzi na ukarabati wa majengo ya shule hizo hali ya mgombea ubunge jimbo la busanda kwa tiketi ya chama cha mapinduzi bibi lolensia bukwimba imeeleza kuwa tete baada kuugua ghafla akizungumza na majira jana asubuhi mjini katoro kaimu mkuu wa kitengo cha propaganda wa ccm bwana tambwe hiza alisema hali ya mgombea huyo si nzuri anasumbuliwa na UNK mgombea wetu anaumwa homa lakini si kwamba atasitisha kampeni ataendelea hivyo hivyo japo anaumwa na leo atafanya mkutano wa kampeni katika kijiji cha kamena alisema bwana hiza majira UNK hali ya mgombea huyo jana jioni UNK kupitia bwana tambwe kuwa bado alikuwa ana UNK na homa na wakati huo walikuwa wakijiandaa kwa ajili ya kikao cha ndani ya chama UNK mikakati zaidi ya kampeni hizo wakati huo huo mjumbe wa nyumba kumi wa ccm bwana UNK UNK katika mji mdogo wa katoro anashikiliwa na jeshi la polisi baada ya kukutwa akiorodhesha majina ya wapiga kura ili wapatiwe vyandarua akithibitisha tukio hilo kamanda wa polisi wilaya ya geita ssp shaaban kimea alisema mjumbe huyo alikamatwa jana saa saba mchana akiorodhesha majina ya watu hao ni kweli tunamshikilia mjumbe huyo wa nyumba kumi wa ccm alikutwa akiorodhesha majina ya wapiga kura ili wapewe vyandarua tunamshikilia katika kituo kikuu cha polisi geita na UNK ofisa upelelezi wilaya kuchunguza zaidi kwa nini mtu huyo alikuwa akifanya hivyo na kwa maelekezo ya nani wakati ni kinyume cha sheria UNK alisema kamanda huyo tukio la kukamatwa kwa mjumbe huyo limekuja huku UNK malalamiko toka baadhi ya vyama vya upinzani vinavyoshiriki uchaguzi huo vya chadema na cuf kuwa vitendo hivyo vinafanywa na ccm kwa lengo la kuwarubuni wapiga kura hao akizungumza na majira katibu wa tume ya uchaguzi cuf bwana maole kuchilingulo alisema kuwa ccm imekuwa ikitumia mbinu hizo za ugawaji vyandarua chumvi magodoro kwa wapiga kura kinyume na sheria ya uchaguzi na kueleza kuwa hiyo ni rushwa kutokana na hali hiyo msimamizi mkuu wa uchaguzi huo bwana dan mollel alipiga marufuku shughuli zote zinazofanywa na taasisi ama watu binafsi kugawa vitu ama vifaa kwa wapigakura wakati huu wa uchaguzi katika hatua nyingine jeshi la polisi mkoani mwanza limeongeza askari wake wapatao arobaini jimboni busanda kwa lengo la kulinda amani wakati wa uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mei ishirini na nne mwaka huu tumeongeza askari wengine arobaini ili kuimarisha ulinzi zaidi hasa siku ya uchaguzi ili kuhakikisha hakuna uvunjifu wowote wa amani UNK siku ya upigaji kura hivi sasa pana usalama wa UNK alisema kaimu kamanda wa polisi mkoani mwanza bwana elias kalinga alipozungumza na majira kwa njia ya simu katika hatua nyingine ccm imesema uamuzi wa kutumia au kutotumia helikopta kwenye kampeni hizo ulitarajiwa kufikiwa jana jioni baada ya kikao cha ndani ingawa tayari UNK taratibu za kupata chombo hicho kaimu mkuu wa kitengo cha propaganda wa chama hicho bwana tambwe hiza alisema tayari wamekwisha fanya maandalizi kwa ajili ya kutumia helikopta hiyo kuanzia leo kinachosubiriwa ni maamuzi kutoka kwa wakubwa ndani ya chama hicho kukamilisha maeneo kumi na tatu ambayo mgombea wetu UNK lakini bado tulikuwa tunasuburi maamuzi kutolewa katika kikao cha jioni ndipo ianze kupasua anga alisema bwana hiza alisema uamuzi wa chama hicho kutumia helikopta UNK mkumbo bali unatokana na ukweli kuwa wanataka mgombea wao kufika maeneo yote yaliyobakia huku akitamba chama chake kushinda kwa zaidi ya asilimia tisini kuhusu kuwa baadhi ya mikutano yao imekuwa UNK na watu wachache kutokana na mgombea wao kutokubalika kwa wananchi wengi bwana tambwe alikiri hali hiyo lakini alidai uchache wa watu unategemea na muda unaofanyika mkutano ingawa si yote akizungumzia suala la makamu mwenyekiti mstaafu wa chama hicho bwana john malecela kuwaangukia wazee wa wakiwemo wafanyabiashara katika mji mdogo wa katoro ili kukisaidia chama alikiri na kusema ni jambo la kawaida kwenye kampeni kuzungumza na kila mtu ili kujihakikishia ushindi katika hatua nyingine tume ya uchaguzi jimbo la busanda imetoa onyo kali kwa taasisi UNK kugawa vyandarua na magodoro kuwa hazitakiwi kufanya kazi hiyo wakati huu wa uchaguzi kaimu msimamizi wa uchaguzi huo bwana jackson sombe alisema hayo katika mazungumzo na majira ofisini kwake na kwamba taasisi yoyote UNK ikifanya kazi hiyo itachukuliwa hatua kali za kisheria pia alionya vyama vya siasa vinavyoshiriki katika uchaguzi huo kuacha mara moja kujihusisha na vitendo vya ugawaji vitu kama vile khanga chumvi UNK mazingira hongo kwa wapiga kura kuwa ni kinyume na sheria ya uchaguzi wakati huo huo zoezi la kuwaapisha mawakala wanaoshiriki uchaguzi huo jana liliingia dosari baada ya baadhi mawakala kutoapishwa huku katika kata ya katoro UNK kwa kutumia mwanga wa pikipiki na shughuli hiyo kumalizika saa mbili usiku akizungumza na majira ofisa wa tume ya uchaguzi ya cuf bwana hussein UNK alisema kuwa zoezi hilo lilifanyika baada ya kuwepo upungufu wa fomu za viapo jambo walilodai huenda ni moja ya mizengwe ya chama tawala ccm alisema kuwa mawakala wengine watalazimika kuapa leo ingawa katika viapo hivyo hapakuwepo na mawakala toka udp UNK mgombea wake bibi beatrice lubambe hali inayoashiria kuwa huenda ameamua kuachia ngazi kimya kimya kuhusu kutoapishwa kwa mawakala wanaoshiriki kwenye uchaguzi huo katika shughuli ya juzi kutokana na upungufu wa fomu maalumu za viapo kaimu msimamizi huyo wa tume ya uchaguzi alisema kuwa ni uhuni unaotokana na vyama vya upinzani kutowasilisha mawakala wao katika ofisi za tume hiyo kama UNK UNK watuletee majina ya mawakala wao watakaoshiriki katika uchaguzi huo lakini UNK chama kimoja tu ccm vingine UNK kwa hofu kwamba mawakala wao UNK sasa huu ni uhuni tu hata hivyo bado wanao muda wa kufanya kazi hiyo ya kuwaapisha alisema bwana sombe na kusema kuwa suala la kuwapanga mawakala kwenye vituo ni la vyama na si tume wakati huo huo mwenyekiti wa chadema bwana freeman mbowe jana UNK polisi na kuwaeleza kuwa endapo UNK kwa nguvu jukwaani baada ya muda wa kuhutubia kumalizika hapatatosha kwani nguvu ya umma itafanya kazi yake bwana mbowe alisema hayo wakati UNK mkutano wa kumnadi mgombea wake bwana finias magesa uliofanyika shule ya msingi nyarugusu polisi naomba UNK jukwani UNK ngoma yetu UNK na ccm kama UNK UNK na mkutano hapatatosha hapa alisema bwana mbowe bwana mbowe alifika saa kumi na moja thebathini na tano jioni lakini hadi saa kumi na mbili ishirini alikuwa hajaanza kuhutubia alipofika uwanjani hapo helikopta yake UNK hewani kwa dakika tano baada ya kushindwa kutua kutokana na umati uliofurika chini baada ya umati huo wa watu kusogezwa na mgambo ndipo alitua lakini aliambiwa UNK tena sehemu hiyo ili UNK sehemu nyingine akiwahutubia wakazi hao aliwataka UNK kwenye vituo vya kura baada ya kupiga mei ishirini na nne ila wakae umbali wa mita kumi sifuri alisema wakazi mia mbili na themanini sifuri sifuri sifuri wa busanda UNK umasikini na ccm iliyoshindwa kuwajengea sekondari za kidato cha tano na sita mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam imetupilia mbali pingamizi la upande wa utetezi linalotaka UNK kwa maelezo ya onyo ya mshitakiwa katika kesi ya wizi wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje uamuzi huo ulitolewa mahakamani hapo na jopo la mahakimu watatu ambao ni bibi sekela moshi bwana sam rumanyika na bwana lameck mlacha baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili pamoja na hoja za mawakili uamuzi huo unatokana na pingamizi lililowasilishwa na wakili bwana majura magafu anayemtetea bwana bahati mahenge ambaye anadaiwa kuchota shilingi bilioni mbili mbili kutoka benki kuu ya tanzania kwa kutumia kampuni ya changanyikeni residential UNK katika pingamizi hilo bwana majura magafu alidai mteja wake hakutendewa haki katika uchukuaji wa maelezo ya onyo na hiyo inatokana na kuteswa kwa kunyimwa chakula akishinikizwa kusaini maelezo ambayo hayakuwa yake kwa mujibu wa uamuzi wa mahakama ulisema kuwa kutokana na ushahidi wa upande wa mashitaka uliotolewa mahakamani hapo umeonesha kuwa mshitakiwa huyo hakupata mateso yoyote na badala yake maelezo hayo UNK kwa hiari yake na UNK misingi ya kisheria kuhusiana na suala la kunyimwa chakula kwa shinikizo la kusaini maelezo ambayo alidai hakuyatoa mahakama ilisema kuwa hilo UNK kwani tayari kuna ushahidi wake unaoonesha kuwa alipelekewa chakula na ndugu zake nyakati za usiku hivyo isingewezekana kusaini kwa sababu ya kuzidiwa na njaa aidha mahakama hiyo ilisema kuwa kitu kinachoonekana kwa mshitakiwa huyo kukaa rumande kwa muda wa siku tatu ni kutopatikana na kushindwa masharti ya dhamana ambayo yaliwekwa na tume hiyo katika pingamizi hilo ambalo lilisababisha mahakama hiyo kusikiliza kesi ndani ya kesi upande wa mashitaka ulifanikiwa kuleta mashahidi wanne ambao walithibitisha bila kuacha shaka yoyote kuwa mshitakiwa huyo alipata huduma zote zikiwemo za chakula wakati akihojiwa na tume ya kuchunguza kesi za epa kwa upande wa utetezi jumla ya mashahidi watatu walitoa ushahidi wao kuhusiana na kushikiliwa kwa mshitakiwa huyo ambapo baadhi yao UNK mahakama kuwa bwana mahenge alishikiliwa kwa shinikizo la kusaini maelezo yake kutokana na hatua ya uamuzi huo mahakama UNK maelezo ya mshitakiwa huyo na kuyafanya ni moja ya ushahidi katika kesi hiyo maelezo hayo UNK moja kwa moja kuwa alihusika katika kutenda makosa hayo na yeye ndiye mkurugenzi wa kampuni iliyochota fedha hizo bot washitakiwa katika kesi hiyo ni bwana bahati mahenge bwana manase mwakale bwana davis kamungu bwana godfrey mosha na bibi eda mwakale ambao wanadaiwa kuiba jumla ya shilingi moja mia moja na themanini na sita mia tano na thebathini na nne thebathini tatu kesi itasikilizwa tena julai kumi na tano hadi thebathini na moja mwaka huu washitakiwa katika kesi ya kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja inayowakabili aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi bwana amatus liyumba na meneja mradi bwana UNK kweka jana walibaki hoi baada ya mahakama kushindwa kutoa uamuzi wa kuwaachia huru au la washitakiwa hao walitarajia kusomewa uamuzi huo katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya hakimu mkazi bibi warialwande lema kama ilivyokuwa imepangwa awali baada ya washitakiwa hao kupanda kizimbani huku wakiwa na shauku ya kujua nini mahakama UNK ghafla walibaki katika mshangao mkubwa baada ya mahakama kusema haikuwa tayari kwa uamuzi hivyo itatoa uamuzi huo mei ishirini na saba mwaka huu mahakama hiyo ilitakiwa kutoa uamuzi wa kuwaachia huru washitakiwa hao na kuwaondolea mashitaka dhidi yao au la kwa kutumia hoja mbalimbali zilizowasilishwa na pande zote mbili wakati wa usikilizwaji wa ombi la upande wa utetezi ambalo lilitaka mahakama kuwaachia huru mara moja washitakiwa hao kutokana na mapungufu katika hati ya mashitaka kwa mujibu wa hoja za upande wa mashitaka zilizowasilishwa kuhusiana na ombi hilo upande huo ulikiri kuwa hati hiyo ina upungufu wa kisheria kama upande wa utetezi ulivyokuwa ukidai upande wa utetezi ulisema kuwa vifungu vya sheria vilivyotumika katika kuwashitaki washitakiwa hao havioneshi makosa ya washitakiwa hata hivyo hakimu lema amekuwa akiahirisha mara kwa mara kesi hiyo hasa katika nyakati za kutoa uamuzi kuhusiana na maombi mbalimbali na kuwafanya washitakiwa hao waendelee kusota rumande mahakama hiyo UNK ombi hilo mei sita mwaka huu na kupanga kutoa uamuzi wake jana lakini bibi lema aliahirisha tena kesi hiyo kwa madai kuwa hakuwa tayari kutoa uamuzi huo awali upande wa utetezi uliwasilisha ombi la kufutwa kwa mashitaka hayo kutokana na muda wa siku sitini kumalizika bila ya kuanza kusikilizwa kwa kesi hiyo ombi ambalo lilitupwa na mahakama hivyo kuanza kusikilizwa kwa ombi hili washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo wakikabiliwa na makosa ya matumizi mabaya ya ofisi ambapo kati ya mwaka ishirini sifuri moja na ishirini sifuri sita walitumia madaraka yao vibaya kwa kuidhinisha malipo ya majengo pacha ya bot bila idhini ya bodi ya wakurugenzi hivyo kusababisha hasara kwa serikali ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja mahakama UNK upande wa mashitaka kuanika hadharani ushahidi wake unaotarajiwa kutumika katika kuthibitisha kesi dhidi ya mawaziri waandamizi wa serikali ya awamu ya tatu bwana basil mramba wa wizara ya fedha na bwana daniel yonna wa wizara ya nishati na madini uamuzi huo unatokana na ombi la upande wa utetezi ambalo liliwasilishwa na profesa leonard shaidi likitaka upande wa mashitaka kutoa nakala za maelezo ya awali ya washitakiwa hao yakiambatana na nyaraka zote zitakazotumika katika kesi hiyo kutokana na ombi hilo malumbano makali ya kisheria yaliibuka katika pande zote mbili mbele ya jopo la mahakimu watatu ambao ni bibi fatuma masengi bwana john utamwa na bwana saul kinemela ambao baadae walichambua hoja hizo na kutoa uamuzi huo kesi hiyo UNK katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu ambapo mbali na kuamuru upande wa mashitaka kuanika ushahidi wake pia kesi hiyo itasikilizwa mfululizo bila kuwepo ahirisho lolote UNK na kazi za ubunge wa mshitakiwa wa kwanza bwana mramba uamuzi wa mahakama kuhusiana na ombi hilo ulieleza kuwa sio lazima upande wa mashitaka kutoa nyaraka zitakazotumika katika kuthibitisha kesi yao lakini unapaswa kuhakikisha washitakiwa hao wanaelewa maelezo yote ya awali katika kesi yao mahakama ilisema kuwa maelezo ya awali ni pamoja na nyaraka zote hivyo upande wa mashitaka una wajibu wa kuelezea nyaraka hizo pamoja na maelezo kwa ujumla ili kuwafanya washitakiwa waelewe wanakabiliwa na kitu gani ushahidi wa kushitukiza kwa washitakiwa ni kutowatendea haki na hayo siyo matakwa ya sheria washitakiwa wana haki ya kuelewa kila kitu wakati wa maelezo ya awali alisema bwana utamwa mwenyekiti wa UNK katika uamuzi huo mahakama UNK katika uamuzi ya kesi mbalimbali zilizotolewa na mahakama ya rufaa tanzania na kuelezea umuhimu wa washitakiwa hao katika kuelewa maelezo yao ya awali ikiwa ni pamoja na nyaraka za vielelezo mahakama ilisema kuwa ina wajibu wa kuhakikisha washitakiwa UNK kwa usawa tangu mwanzo wa kesi hiyo mpaka mwisho ili kuweza kufikia haki katika pande zote mbili wakati upande wa utetezi UNK ombi lake ulitumia kifungu cha mia moja na tisini na mbili cha cpa kwa kusema kuwa upande huo una haki ya kupewa nyaraka hizo kwa UNK na nakala za maelezo ya awali katika pingamizi la upande wa mashitaka lilisema kuwa sheria UNK kutoa nyaraka hizo bali wanaweza kuziwasilisha wakati wowote wakati kesi hiyo ikisikilizwa na hasa kwa nyaraka zinazosababisha ubishi kwa pande hizo katika kifungu hicho mahakama ilisema kuwa kusoma maelezo mengine na kuficha baadhi ya vipengele ni kuwanyima haki washitakiwa hao na kufanya hivyo si matakwa ya sheria kutokana na uamuzi huo upande wa mashitaka utalazimika kuelezea kila ushahidi UNK katika kesi yake dhidi ya washitakiwa hao ili waweze UNK baada ya kusomwa kwa uamuzi huo mahakama hiyo ilikubaliana na pande zote mbili kuwa kesi hiyo UNK mfululuzo tangu julai ishirini hadi ishirini na nne mwaka huu na kuutaka upande wa mashitaka kuandaa mashahidi wa kutosha ili kuepuka kupoteza muda mshitakiwa wa kwanza aliwasilisha ombi la kusafiri nje ya mkoa wa dar es salaam kwa ajili ya kamati na vikao vya bunge katika mikoa ya arusha kilimanjaro na dodoma ambapo aliomba ruhusa yake ianze mei ishirini na nne hadi agosti ishirini na nne mwaka huu kutokana na ombi hilo na kwa kuwa mahakama ilikuwa imepanga tarehe za kusikilizwa wa kesi hiyo ilikubaliana naye kwa masharti ya kuwepo mahakamani siku za kesi walidaiwa kuwa mei ishirini na nane ishirini sifuri tano walisaini mkataba wa kuongeza muda wa uzalishaji wa madini na kampuni hiyo kinyume na sheria ya manunuzi na madini shitaka la mwisho linawakabili washitakiwa wote inadaiwa kuwa kati ya mwaka ishirini sifuri tatu hadi ishirini sifuri tano kwa kutumia vibaya madaraka yao UNK hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba serikali polisi UNK janjaweed wa ccm makomandoo wawili janjaweed wa chama cha mapinduzi UNK na polisi kwa tuhuma za kumpiga mfuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo hadi kuzirai huku UNK mbavu kwa madai ya kuwafundisha wenzake mbinu za kudhibiti wizi wa kura siku ya uchaguzi mbali na wafuasi hao wa ccm kumpiga kijana huyo pia polisi wa kituo cha katoro UNK kugoma kumpokea kijana huyo alipofikishwa kituoni hapo usiku hali iliyomlazimu kurudi nyumbani hadi kesho yake UNK akiwa na viongozi wa chadema akithibitisha kuwepo kwa tukio hilo kaimu kamanda wa polisi mkoani mwanza bwana elias kalinga alimtaja aliyepigwa na kulazwa katika hospitali ya wilaya ya geita kuwa ni bwana petro daniel rwehumbiza ni kweli tukio hilo lipo UNK agiza vijana hao waliohusika kumpiga mfuasi huyo kutafutwa mara moja na uchunguzi zaidi ufanyika ili waweze kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria bila kujali itikadi za vyama kwa vile ni kosa polisi hatutaki fujo za aina hii UNK busanda tunataka uchaguzi wa amani kabisa kwa kila mtu na uwe wa mfano kwa chaguzi zingine alisema kamanda huyo alisema kuwa tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia juzi saa tano jirani na kituo cha mabasi madogo ya abiria mjini katoro na kwamba makomandoo hao walimpiga mateke na ngumi na kumwacha UNK akizungumzia tukio hilo mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa chadema bwana hemed UNK alisema alikuwa na kijana huyo muda mfupi kabla ya kupigwa na alifika mahali walipokuwa kwa lengo la UNK alisema wakati UNK aliwapongeza na kuwaambia waongeze ulinzi kwenye kura UNK UNK huku makomandoo hao wa ccm wakiwa pembeni wakisikia maneno hayo baadaye kiongozi huyo aliondoka ndipo makomandoo hao walimvamia na kuanza kumpiga na kumwacha akiwa UNK chini ambapo alipata msaada wa kumwagiwa maji na wanawake waliokuwa eneo hilo alisema wanawake hao baada ya kumwagia maji na kijana huyo kupata nguvu UNK kituo cha polisi usiku huo huo lakini walipofika polisi waligoma kumpokea hadi kesho yake asubuhi UNK UNK rb namba UNK rb mia mbili na kumi na moja ishirini sifuri tisa wakati huo huo kampeni zinazofanya mwenyekiti wa chadema bwana freeman mbowe kwa kutumia helikopta UNK ratiba za mikutano ya vyama vingine na kutishia uvunjifu wa amani kati huku mikutano yake ikikosa ulinzi kutokana na askari kutojua UNK wapi akizungumza na gazeti hili jana msimamizi UNK jimbo la busanda bwana danny mollel alisema hali hiyo inaweza kusababisha uvunjifu wa amani na kugharimu maisha ya watu na mali zao hatuna ugomvi na watu wanaotumia ndege kufanya kampeni lakini kitendo cha kutumia ndege halafu kuingilia mikutano ya kampeni ya vyama vingine ni uvunjifu wa amani kwani mikutano hiyo itakosa ulinzi wa askari alisema bwana mollel na kuongeza matokeo yake watu wanaweza kuanzisha ugomvi na kuharibu mali za wananchi kama watu hao wanataka wafuate utaratibu waje ofisini UNK ratiba ili tuweze kumaliza kampeni zetu vizuri katika hizi siku tatu zilizobaki alisema bwana UNK bwana mollel amewaonya wanaume UNK wake zao shahada za kupigia kura kwa na kusema wanafanya kosa la jinai kwa kuwa binadamu wote ni sawa na wana haki ya kumchagua kiongozi wanayemtaka aliwataka viongozi wa vyama kuwadhibiti wanachama wao wasifanye fujo siku za mwisho kuelekea uchaguzi na siku ya uchaguzi mei ishirini na nne kwani kufanya hivyo ni kuvunja amani na utulivu naye waziri wa uvuvi na maendeleo ya mifugo bwana john magufuli akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya ccm bibi lolensia bukwimba kwenye kijiji cha msasa alisema wananchi wamchague mgombea huyo kwani anafaa na UNK mkubwa alisema mtu kama bwana mbowe ambaye anapita juu kwa juu na helikopta huku akiwa ameongozana na mgombea wa chadema bwana finias magesa hawezi kujua matatizo yao yanayowakabili kama vile ubovu wa barabara gari UNK tairi iringa UNK UNK taya UNK muhimbili wanasiasa UNK hujuma wataka uchunguzi mbunge wa jimbo la kyela kwa tiketi ya chama cha mapinduzi daktari harrison mwakyembe amenusurika kufa baada ya gari alilokuwa UNK kutoka mbeya kwenda dar es salaam kuacha njia na kupinduka eneo la ifunda mkoani iringa ajali hiyo ilitokea jana saa moja kumi asubuhi baada ya gari hilo toyota land cruiser namba t mia tatu na sitini na mbili ach kuchomoka tairi ya mbele likiwa kwenye mteremko wa mlima ihemi kuacha njia na kupinduka porini daktari mwakyembe alikimbizwa hospitali ya mkoa wa iringa kwa matibabu na kulazwa wodi namba tano ya hosptali hiyo kabla ya kusafirishwa jana mchana kwa ndege kwenda hospitali ya taifa muhimbili dar es salaam kwa matibabu zaidi mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa iringa daktari oscar UNK alisema hali ya mbunge huyo inaendelea vizuri ameumia taya baada ya kujibamiza dereva wake alitibiwa na kuruhusiwa kamanda wa polisi mkoa wa iringa bwana advocate nyombi alithibitisha kutokea ajali hiyo na kueleza kuwa chanzo chake ni gari hilo kuingia kwenye shimo lililokuwa barabarani na kusababisha tairi la mbele kulia kuchomoka na kupoteza mwelekeo gari hilo lilikuwa likiendeshwa na bwana joseph UNK alieleza kuwa baada ya kuchomoka tairi liliyumba upande wa kushoto wa barabara kuacha njia na kugonga mti kabla ya kupinduka kwa mujibu wa shuhuda wa ajali hiyo aliyejitambulisha kwa jina la isaya UNK makazi wa ifunda tairi hiyo UNK wakati dereva wa mbunge huyo akijaribu kuyapita magari mawili makubwa na kukuta shimo UNK kuchomoka tairi hiyo kamanda nyombi aliwaambia waandishi wa habari kuwa daktari mwakyembe aliondoka juzi jioni saa mbili usiku jimboni kwake kyela na kulala makambako njombe kabla ya kuendelea na safari jana asubuhi wakati huo huo waandishi wetu wanaripoti kuwa ndege UNK daktari mwakyembe iliwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere jana saa kumi jioni ndege hiyo ndogo yenye namba tano h UNK inayomilikiwa na shirika la ndege ya tanzania ilitua huku mamia ya wanasiasa ndugu jamaa na marafiki wakisubiri kumpokea mgonjwa huyo akizungumza na majira uwanjani hapo katibu wa bunge la jamhuri ya muungano daktari thomas kashililah alisema kuwa bunge limepokea kwa masikitiko taarifa ya ajali hiyo na UNK matibabu ambapo wanatarajia atafanyiwa uchunguzi katika taasisi ya mifupa muhimbili na kama itabainika kuwa ameumia zaidi atapelekwa nje ya nchi kwa matibabu zaidi sisi tunasubiri taarifa za madaktari UNK kutegemea na hali yake kama UNK hapa au nje UNK lakini kwa sasa hatuna cha kuzungumza zaidi ya kumwombea apone haraka alisema daktari UNK naye mbunge wa jimbo la lupa mkoani mbeya bwana victor mwambalaswa ambaye ni rafiki wa karibu wa daktari mwakyembe alisema wananchi wanapaswa kumwombea mbunge huyo ili apate nafuu haraka na UNK harakati zake za kupinga ufisadi daktari mwakyembe ni mtu UNK karibu naye sana nimepokea taarifa hizi kwa majonzi na kwa sasa anaongea kwa taabu lakini kikubwa tunatoa mwito kwa watanzania wote tumuombee ili apone haraka kwani karibuni tutaanza vikao vya bunge na amekuwa kinara wa kupinga ufisadi alisema bwana mwambalaswa aidha mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya ccm bwana nape nnauye alisema kuwa kuna haja ya vyombo vya usalama kuchunguza kwa makini ajali hiyo ili watanzania waweze kuelewa chanzo cha ajali hiyo alisema wiki ijayo mkutano wa bunge unaanza na yeye ni mtu muhimu katika vikao hivyo hasa katika bunge la bajeti kumkosa ni hasara kubwa kwani ni mpigania haki za wanyonge vyombo vya usalama UNK kama kuna njama zozote zimefanyika UNK ili sheria ichukue mkondo wake alisema bwana nape ajali ya daktari mwakyembe ambaye amekuwa kinara wa kundi la wabunge walio mstari wa mbele katika UNK dhidi ya ufisadi imepokewa kwa hisia tofauti huu baadhi ya wanasiasa wakidai imekuja wakati mbaya karibu na mkutano wa bunge la bajeti unaotarajiwa kuanza mapema mwezi ujao mjini dodoma ambapo mwanasiasa huyo amekuwa kivutio kutokana na ujasiri wake chati ya mwanasiasa huyo msomi wa sheria ilipanda zaidi pale UNK kuwa mwenyekiti wa kamati teule ya bunge kuchunguza mchakato wa zabuni ya kuzalisha umeme wa dharura UNK ushindi kampuni ya richmond taarifa ya tume hiyo iliyowasilishwa bungeni februari sita mwaka jana ilipendekeza kuchukuliwa hatua kali wote waliohusika kwa njia moja ama nyingine na suala hilo katika sakata hilo aliyekuwa waziri wa nishati na madini bwana UNK karamagi na mwenzake wa afrika mashariki daktari ibrahim msabaha waliachia ngazi sambamba na aliyekuwa waziri mkuu bwana edward lowassa ambaye tume hiyo ilimtaka UNK aidha kamati hiyo iliitaka serikali kuacha utaratibu wa kutumia mawakala katika ununuzi wa mitambo ya kuzalisha umeme mbali ya ripoti kumpa umaarufu UNK maadui wengi ambao kwa njia moja ama nyingine UNK hata hivyo daktari mwakyembe ameendelea kubainisha waziwazi kuwa ataendeleza mapambano dhidi ya vitendo vyote vya ufisadi na kamwe hatarudi nyuma gazeti hili jumatatu iliyopita UNK habari ikieleza kundi la mafisadi kutenga kiasi cha shilingi bilioni mbili saba UNK wabunge wote wanaoonesha UNK kupinga ufisadi kwa kuhakikisha hawarudi tena bungeni baada ya uchaguzi mkuu mwakani daktari mwakyembe alitajwa kuwa mmoja wa wabunge walio katika kundi la kwanza la utekelezaji wa mkakati huo wengine waliotajwa kwenye kundi hilo ni pamoja na spika wa bunge bwana samuel sitta bwana william shellukindo pamoja na bibi stella manyanya kundi la pili ni wabunge wanaoonesha waziwazi kuchukizwa na vitendo vya ufisadi na kutoa kauli nzito kukemea tabia hiyo chafu hadharani bila woga hao ni pamoja na bibi anne kilango malecela bwana lucas selelii na bwana christopher ole sendeka kundi la tatu kushughulikiwa ni la wabunge wanaonekana kuwa karibu na kundi la kwanza na kuonekana kupinga ufisadi kwa kuunga mkono hoja za makundi hayo mawili na kushauriana kwa karibu mambo mbalimbali hawa ni pamoja na bibi hilda ngoye bwana godfrey zambi profesa mark mwandosya bwana victor mwambalaswa pamoja na bwana benson UNK mjini mbali na wabunge wapo wengine wasiopungua sita wanaodaiwa kuwa mstari wa mbele kukemea vitendo vya ufisadi bila woga miongoni mwao ni bwana fredy mpendazoe bwana james lembeli na bwana aloyce kimaro ambao wote walengwa wa hasira ya mafisadi habari hizo zilisema majimbo hayo tayari UNK milioni arobaini sifuri kila moja kwa ajili ya utekelezaji wa mkakati huo na kwamba mgawo wa kwanza wa fedha hizo tayari UNK jimboni kyela ambapo kata moja imepewa shilingi milioni tano hivi karibuni daktari mwakyembe na mwenyekiti wa ccm wilayani kyela bwana japhet mwakasumi walituhumiwa na halmashauri kuu ya ccm ya wilaya hiyo kuwa ni vinara wa UNK chama hicho katika makundi hali iliyosababisha baadhi ya makatibu kata kuwashambulia na kuwapiga viongozi wa chama wilayani humo katika kikao hicho kilichofanyika jumapili iliyopita wajumbe wengi UNK makombora daktari mwakyembe na kudai kuwa tangu awe mbunge wa jimbo hilo ametengeneza makundi ndani ya chama huku akidaiwa UNK mwenyekiti wa chama wa wilaya ambaye ameonekana kuyumba katika maamuzi mbalimbali walisema kufuatia hali hiyo ndani ya chama hicho kumekuwepo kutokuelewana na kujengeka uhasama mkubwa jambo linalowafanya baadhi yao kudai UNK na hawana haki hivyo kuamua kudai haki hiyo kwa kutumia nguvu kama walivyofanya viongozi hao wa kata mmoja wa wajumbe hao bwana christopher UNK ambaye pia ni diwani wa kata ya UNK alisema kamati ya siasa UNK kufikia uamuzi wa kuwavua uanachama makatibu kata hao badala ya kukaa na kutafakari chanzo cha viongozi hao kuchukua uamuzi kuwapiga viongozi wao wa wilaya daktari mwakyembe kwa upande wake alijitetea na kupinga tuhuma dhidi yake huku akieleza kuwa makundi yanayoendelea ndani ya chama hicho wilayani kyela UNK maendeleo alisema kana kwamba haitoshi mgawanyiko huko umewakumba hata wakazi wa kyela waishio dar es salaam alisema binafsi hapendi kuona viongozi hao wanafikishwa mahakamani na kufungwa bali kilichopo ni chama kuchagua wazee wenye busara kwenda kuwaombea radhi makatibu kata hao kwa viongozi waliopigwa ili mambo hayo yaishe hata hivyo kikao cha halmashauri kuu ya ccm ya wilayani kyela juzi UNK adhabu ya kufutwa uanachama kwa makatibu kata hao gladness mboma godfrida jola mjumbe wa baraza la wawakilishi zanzibar kwa tiketi ya chama cha wananchi bwana soud yusufu mgeni amefariki dunia katika hospitali ya taifa muhimbili jana alikolazwa akitibiwa ugonjwa wa kansa ya mapafu ofisa uhusiano wa hospitali hiyo bwana jezza waziri alisema jana dar es salaam kuwa marehemu mgeni alifariki jana saa tatu hamsini asubuhi katika wodi ya UNK mdogo wa marehemu bwana ayubu yusufu mgeni alisema maradhi UNK ndugu yake ghafla mwezi mmoja uliopita aliondoka salama pemba kwenda kuhudhuria mkutano wa baraza la wawakilishi akiwa huko hali yake ilibadilika ghafla marehemu alikwenda dar es salaam katika hospitali ya regency na kulazwa kwa muda wa wiki tatu kwa tatizo la pumzi alikuwa UNK kwa shida na madaktari waligundua kuwa alikuwa na tatizo la moyo alisema alisema kuwa juzi UNK hospitali ya muhimbili siku iliyofuata hali yake ilionekana kuwa nzuri na alianza kupumua vizuri na kuwapa matumaini lakini jana akiwa katika kipimo cha mwisho UNK ghafla na UNK bwana ayubu alisema mwili wa marehemu UNK jana na anazikwa leo katika kijiji cha UNK chake chake pemba saa nne asubuhi naye ali suleiman kutoka zanzibar anaeleza kuwa mkurugenzi wa habari na mahusiano ya umma wa cuf bwana salim bimani alithibitisha kutokea kwa kifo hicho kwa sasa soud UNK katika dunia hii ndiyo kazi ya mwenyezi mungu amefariki dunia katika hospitali ya muhimbili jijini dar es salaam alisema bimani alisema kifo cha mwakilishi mgeni UNK pengo kubwa kwa cuf kutokana na uzoefu wake mkubwa katika masuala ya siasa bwana mgeni ni miongoni mwa wajumbe wa baraza la wawakilishi mwenye uzoefu mkubwa katika shunguli za baraza amekuwa mjumbe wa baraza hilo tangu mwaka elfu moja na mia tisa na themanini akiwa mwakilishi wa jimbo la vitongoji na waziri katika serikali ya rais idrisa abdul UNK pia aliwahi kuwa waziri wa maji ujenzi nishati na ardhi na baadaye waziri wa kilimo na mifugo huku akiwa mjumbe wa halmshauri kuu ya chama cha mapinduzi alifukuzwa katika chama cha mapinduzi kufuatilia kuchafuka kwa hali ya kisiasa ambayo ilisababisha kufukuzwa viongozi watendaji wakuu wa serikali na ccm wapatao nane akiwemo maalim seif shariff hamad mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na mia tisa na themanini hadi anafariki dunia marehemu mgeni alikuwa mwakilishi wa jimbo la wawi kupitia tiketi ya cuf na mmoja wa vigogo katika kambi ya upinzani wakati huo huo rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi daktari amani abeid karume ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha marehemu mgeni rais karume ameeleza masikitiko yake na kushitushwa na kifo cha mwakilishi huyo alisema kwa niaba yake binafsi serikali na wananchi wa zanzibar anatoa mkono wa rambirambi kwa spika wa baraza la wawakilishi wajumbe na wafanyakazi wa baraza hilo familia ya marehemu ndugu marafiki na jamaa zake wote rais karume ameeleza kuwa kifo cha marehemu mgeni ni msiba kwa wananchi wote wa zanzibar na marehemu atakumbukwa daima kwa utumishi wake kwa wananchi wa jimbo lake la wawi pemba na wananchi wa zanzibar kwa jumla UNK subira na UNK wafiwa wote kifo cha bwana mgeni kinakuwa cha pili katika baraza la wawakilishi kufuatilia kile cha mwakilishi wa ccm marehemu daud hassan daud aliyefariki dunia mwishoni mwaka jana gladness mboma na godfrida jola mbunge wa jimbo la kyela kwa tiketi ya chama cha mapinduzi daktari harrison mwakyembe amesimulia ajali UNK juzi eneo la ifunda mkoani iringa wakati akitoka mbeya kwenda dar es salaam na kusema ni ya kawaida na haihusiani na hujuma zozote akizungumza na waandishi katika wodi ya taasisi ya tiba ya mifupa muhimbili alikolazwa daktari mwakyembe UNK dereva wa lori lililokuwa nyuma ya gari lake ambalo alisema UNK dereva wake kupisha na alikubali lakini alishangaa lori hilo kugonga taa ya kushoto ya gari lake na kusababisha kupoteza mwelekeo baada ya kubaini kuna gari iliyokuwa ikija mbele toyota UNK daktari mwakyembe aliongeza kuwa baada ya lori kugonga taa ya kushoto ya gari lake gari UNK mwelekeo na kugonga mti na ndipo UNK alisema kuwa baada ya hapo alipoteza fahamu na hakuelewa kilichokuwa kinaendelea hadi UNK akiwa hospitalini bwana mwakyembe alipotakiwa kueleza kama kuna hujuma kwenye ajali hiyo alisema ni ajali kawaida na kwamba UNK mungu na kuahidi kuzidi kuwatumikia wananchi wa jimbo la kyela hadi siku ya mwisho na kuwataka wasiwe na wasiwasi naye ofisa uhusiano wa moi bwana almas UNK alisema kuwa hali ya daktari mwakyembe inaendelea vizuri tofauti na alipofikishwa hospitalini hapo juzi alisema kuwa daktari mwakyembe baada ya kufanyiwa uchunguzi iligundulika kuwa ameumia sehemu ya shingo bega na maumivu ya mwili ya kawaida na kwamba bado anaendelea kufanyiwa vipimo zaidi naye dereva wa daktari mwakyembe bwana joseph msuya ambaye alikuwa hospitalini hapo asubuhi jana akiwa na majeraha madogo mwilini alisema nyaraka mbalimbali kamera na mikanda iliyokuwa kwenye gari iliibwa na watu UNK ajali hiyo ilitokea juzi saa moja kumi asubuhi baada ya gari hilo toyota land cruiser namba t mia tatu na sitini na mbili ach kuchomoka tairi ya mbele likiwa kwenye mteremko wa mlima ihemi kuacha njia na kupindukia porini daktari makyembe alikimbizwa hospitali ya mkoa wa iringa kwa matibabu na kulazwa wodi namba tano ya hospitali hiyo kabla ya kusafirishwa kwa ndege kwenda hospitali ya taifa muhimbili dar es salaam kwa matibabu zaidi vyama kuhitimisha kampeni zao leo zaidi ya polisi thebathini sifuri wamwagwa chama cha mapinduzi kimepanga kuchukua hatua kali dhidi ya makada wake wakiwemo wabunge wanaotuhumiwa UNK endapo UNK kwenye uchaguzi mdogo jimbo la busanda unaotarajiwa kufanyika kesho hatua zingine zitakazochukuliwa ni pamoja na kuwashusha vyeo ama kuwatimua kabisa makada hao iwapo itabainika kuwa watakuwa UNK kwa njia moja ama nyingine kwenye hujuma za kuchangia kushindwa chama hicho na wengine watapewa karipio kali kuhusiana na jambo hilo habari za ndani ya ccm zilizopatikana jimboni humo na kuthibitishwa na baadhi ya vigogo wanaoshiriki kampeni za uchaguzi huo UNK kuwa chama hicho UNK hatua hizo kutokana na kile kinachodaiwa baadhi yao walishiriki kumbeba mgombea huyo anayedaiwa kukipa wakati mgumu mbele ya vyama vya upinzani vinavyoshiriki uchaguzi huo miongoni mwa wanaotajwa kukumbwa na sakata hilo ni kigogo mmoja wa umoja wa wanawake wa ccm anayedaiwa kupigana kufa na kupona kumpitisha mgombea huyo kwa kile kilichoelezwa kuwa ni swahiba na mshirika wake mkubwa mmoja wa mtoa taarifa hizo ambaye hakutaka jina lake litajwe gazetini kwa usalama wake alisema chama hicho kimekwisha UNK taratibu hizo za kuwaweka kitimoto baadhi ya wabunge kanda ya ziwa na baadhi ya viongozi wa ccm wilayani geita kwa kile kinachoelezwa kutoa taarifa za uongo kwa viongozi wa juu wa chama hicho alisema chama hicho kimepanga kuchukua hatua hizo ndani ya siku thebathini baada ya uchaguzi wa kesho endapo itatokea bahati mbaya jimbo hilo kuangukia kwa wapinzani taarifa za kuchukuliwa hatua vigogo hao zimekuja siku chache baada ya kauli ya makamu mwenyekiti mstaafu wa ccm bwana john malecela kudai chama hicho kuhujumiwa na mafisadi wakishirikiana na baadhi ya makada wakiwemo wabunge kwenye kampeni hizo bwana malecela alisema hayo katika kijiji cha nyarugusu wakati akizungumza na waandishi wa habari mapema wiki hii mkongwe huyo wa siasa alibainisha watu hao UNK upepo wa kampeni kwa mgombea wao kwenda vibaya hata hivyo baadhi ya wanachama wa chama hicho wamesema kuwa viongozi wao wa juu UNK mapema juu ya kutokubalika kwa mgombea wao lakini mawazo yao UNK na baadhi ya wakubwa ndani ya chama hicho walisema kuwa iwapo maoni yao UNK maanani huenda UNK ugumu katika kampeni hizo UNK na zomeazomea kila mara viongozi UNK jukwaani kumnadi mgombea wao bibi lolensia bukwimba wakati huo huo leo ikiwa ni siku ya mwisho ya kampeni zaidi ya polisi thebathini sifuri wamemwagwa jimboni hapa kuimarisha usalama wakati wa zoezi la upigaji kura kesho mbali ya UNK askari hao ambao kati yao mia moja na tisini na tano UNK juzi kwa mabasi gari maalumu lenye maji ya upupu nalo UNK tayari kukabili endapo vurugu zozote UNK akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana kaimu kamanda wa polisi mkoa wa mwanza bwana elias kalinga alisema kuwa jeshi hilo limejiandaa vilivyo kuweka ulinzi wa kutosha katika uchaguzi huo alisema litakuwa tayari kupambana na mtu yeyote ama chama chochote UNK vurugu kwenye uchaguzi huo hususani wakati wa kutangazwa matokeo tumejiandaa kukabiliana na jambo lolote litakaloashiria kuwepo uvunjifu wa amani siku hiyo tunaomba kila UNK afike na kupiga kura bila hofu kwa kuwa kuna usalama hakuna vitisho wala kuogopa hali itakuwa shwari kabisa alisema kamanda UNK hata hivyo hofu imetanda miongoni mwa wananchi wa busanda baada ya kumwagwa askari hao na kuhisi kuibuka vurugu kwenye uchaguzi huo baadhi ya watu waliozungumza na majira muda mfupi baada ya mabasi hayo kuwasili walidai huenda kumwagwa askari hao kunalenga kukisaidia chama fulani kwa kuwatisha wananchi akizungumza na majira katibu wa tume ya uchaguzi wa cuf bwana maole kuchilingulo alisema kuwa hana hofu na ujio polisi amewataka polisi hao kutekeleza majukumu yao kwa mujibu taaluma yao na UNK kwenye mambo ya siasa katika hatua nyingine vyama vinavyoshiriki uchaguzi huo kila kimoja UNK tambo za kushinda uchaguzi wa kesho akizungumza na majira kaimu mkuu wa kitengo cha propaganda wa ccm bwana tambwe hiza alisema leo UNK shughuli za kampeni katika viwanja vya ccm mjini katoro alisema shughuli hiyo itafanywa na bwana malecela pamoja na naibu katibu mkuu wa ccm kapteni george mkuchika na makada wengine wa ccm akiwemo bwana john magufuli ambaye pia ni waziri wa maendeleo ya mifugo mbunge wa same mashariki bibi anne kilango malecela katibu wa itikadi na uenezi taifa wa ccm kapteni john chiligati alisema chama hicho kitakuwa kikitoa burudani kama sehemu ya maandalizi ya sherehe za ushindi na kutamba kuwa mgombea wao bibi bukwimba anachosubiri ni kutangazwa tu na tume ya taifa ya uchaguzi baada ya kura kupigwa kwa upande wao chadema wamesema kampeni hizo zitafungwa na mwenyekiti wake bwana freeman mbowe wengine katibu mkuu wa chama hicho daktari wilbroad slaa na naibu katibu mkuu wa chadema bwana zitto kabwe mkutano wao utafanyika viwanja vya mnadani katoro kuanzia saa tano asubuhi akizungumza na majira kamanda wa kampeni wa chadema bwana benson kigaila alisema wanachojua wao ni kuwa mgombea wao bwana finias magesa ndiye ataibuka kidedea katika jimbo hilo kutokana na kukubalika kwake kwa wananchi naye katibu wa tume ya uchaguzi wa cuf bwana UNK alisema kampeni za chama hicho zitafungwa na mwenyekiti wake profesa ibrahim lipumba katika kata ya nyarugusu kuanzia saa tisa mchana alisema kuwa wana uhakika mgombea wao atashinda kwa kura nyingi na kuvitaka vyama vingine UNK porojo za majukwaani ambazo hazina lolote kwa vile UNK wapiga kura wa busanda katibu mkuu wa united democratic party bwana john nkolo alisema kampeni za chama hicho zitafungwa katoro kuanzia saa saba mchana hadi saa kumi na mbili jioni na yeye ndiye atakuwa msemaji mkuu alisema wananchi UNK kura nyingi chama hicho kwa kuwa kilikuwa UNK kampeni za kistaarabu tofauti na vyama vingine alivyodai UNK kampeni za kuchambuana na ugomvi alisema vyama hivyo UNK zaidi katika kuchambuana badala ya kutangaza sera jambo UNK UNK maana ya kampeni hizo katika uchaguzi wa kesho wagombea toka vyama vinne watakuwa na kibarua kizito UNK bendera za vyama vyao wagombea hao ni bibi lolensia bukwimba bwana finias magesa bwana oscar ndalahwa na bibi beatrice lubambe uchaguzi huo unafuatia kifo cha mbunge wa jimbo hilo marehemu faustine kabuzi rwilomba kilichotokea mapema mwaka huu nchini india alikokwenda kwa matibabu ya moyo na mwandishi wetu mbunge wa jimbo la kishapu kwa tiketi ya chama cha mapinduzi bwana fredy mpendazoe juzi alimvaa mkurugenzi wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini daktari edward hosea kwa madai kuwa taasisi yake imedorora kutokana na upungufu uliomo ndani katiba ya nchi jambo linalohitaji marekebisho ya haraka akichangia hoja kwenye semina ya wabunge kuhusu rushwa iliyofanyika dar es salaam bwana mpendazoe alisema kutokana na madaraka makubwa ya rais kikatiba anaweza kuteua marafiki zake ambao mamlaka husika kama takukuru haziwezi UNK inapobidi alishauri wateule wa rais kwa nafasi kama takukuru usalama wa taifa na tume ya maadili ya viongozi UNK kwanza na bunge na rais afanye kazi ya uteuzi tu alitoa mfano wa mkurugenzi wa takukuru kushindwa kuwashughulikia baadhi wateule wa rais kwenye sakata la richmond na kueleza kuwa hicho ni kielelezo mojawapo cha madhara ya madaraka makubwa ya rais kikatiba na kusisitiza katiba UNK rais UNK kuanzia dc hadi jaji mkuu maana yake ana nguvu dhidi ya mihimili mingine ya dola na kikatiba hawezi kuhojiwa kwa jambo lolote UNK au maamuzi yake kwa mfano maamuzi ya bunge juu ya richmond UNK yote inaleta utata mfano takukuru inaendelea na uchunguzi wa rushwa wakati bunge UNK kiongozi wa takukuru UNK kwa taarifa yake ya richmond alisema bwana mpendazoe baada ya maelezo hayo daktari hosea aliyekuwa mwenyekiti wa semina hiyo UNK na kuhoji unataka UNK na nani UNK haya alisema daktari hosea huku akimwamuru mbunge huyo kukaa chini katika hoja yake bwana mpendazoe alisema mfumo mzima wa sasa wa serikali umetokana na katiba ambayo ina upungufu mkubwa unaohitaji marekebisho alisema hata baba wa taifa mwalimu julius nyerere aliwahi kuzungumzia suala hilo na kubainisha kuwa katiba ya sasa inampa rais madaraka makubwa yanayoweza kumfanya UNK mbunge huyo pia alikemea rushwa kwenye kura za maoni za vyama vya siasa na chaguzi za jumuiya za vyama alisema katika hilo takukuru inajitahidi kuchukua hatua lakini inashindwa kwasababu ni chombo cha serikali na serikali hiyo inatokana na chama cha siasa ccm inashindwa kuchukua hatua mfano kama mhusika ni waziri au mjumbe wa kamati kuu au halmashauri kuu na ni kiongozi kwenye serikali mapendekezo yangu UNK takukuru iwe huru UNK chama tawala pia kuwe na tume huru ya uchaguzi alisema tatizo kubwa linalochangia rushwa kuota mizizi nchini ni jamii kukumbatia jambo hilo na kutochukua hatua dhidi ya walioonekana kuhusika nayo UNK UNK alisema ulimwenguni pamekuwa mahali pa hatari sana kuishi lakini UNK na uovu unaofanyika bali inatokana na wale UNK uovu UNK na hawachukui hatua dhidi ya uovu huo alisema kumekuwa na tuhuma mbalimbali zinazowakabili watu kuhusu rushwa serikali UNK au inapokuwa haichukui hatua kwa muda mrefu UNK rushwa zaidi mkutano chadema wafurika maofisa wake UNK ccm UNK wananchi wanachama wake UNK udp mambo mazito UNK na rose mhando lipumba UNK nyarugusu cheyo UNK magogoni kura UNK kwa amani matokeo leo na faida UNK geita ngwe ya lala salama ya kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la busanda UNK jana huku mchuano mkali ukionekana ndani ya vyama vitatu vya chadema ccm na cuf na kati ya hivyo kila chama UNK nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi katika mikutano ya mwisho ya kufunga kampeni hizo chadema UNK kampeni zake kwa kulisakama jimbo la busanda kutokea angani na nchi kavu hali hiyo ilisababisha mkutano wake wa kufunga kampeni uliofanyika viwanja vya mnadani na UNK na mwenyekiti wake bwana freeman mbowe na katibu mkuu daktari wilbroad slaa kufurika umati mkubwa wa watu viongozi hao waliwasili kwenye viwanja vya mnadani kwa helikopta huku naibu katibu mkuu wa chama hicho bwana zitto kabwe akiendelea na mikutano ya nchi kavu katika kijiji cha UNK katika mkutano wa mnadani daktari slaa aliwataka wananchi kutoichagua ccm kwa sababu imeshindwa kuwaondolea umasikini alisema wakati walimu ndio wanaofanya kazi kubwa ya kuandaa vijana kitaaluma serikali ya ccm imewasahau na inawalipa mshahara mdogo alitoa mfano posho yake ya ubunge kwa siku moja kuwa ni shilingi mia moja na thebathini na tano sifuri sifuri sifuri ambayo alidai ni kubwa kuliko UNK wa mwalimu UNK kwa mwezi daktari slaa aliendelea kumwandama waziri wa mambo ya ndani bwana lawrance masha akimtaka ajiuzulu kwa madai kuwa kampuni yake inatuhumiwa kujihusisha na ufisadi kwa upande wa mkutano wa ccm uliofanyika viwanja vya katoro ulichelewa kuanza kutokana na idadi ya watu waliojitokeza kuwa ndogo ikilinganishwa na umati uliofurika kwenye mkutano wa chadema habari ambazo gazeti hili lilizipata kutoka kwenye vyanzo vyake ndani ya ccm zilieleza kuwa mkutano huo ulichelewa kuanza kwa lengo la kuwasubiri wanaccm waliokuwa UNK kutoka vijijini ili kuja kuongeza nguvu shughuli za mkutano huo zilianza baada ya kuwasili kwa magari matatu aina ya fuso yakiwa na wafuasi wa chama hicho akihutubia wananchi waliohudhuria mkutano huo waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi bwana john magufuli aliwataka kumchagua mgombea wa ccm kwa kuwa duniani kote hakuna binadamu asiye na kasoro kwa upande wake mzee samwel malecela alikiri kuwa yapo matatizo yanayoikabili serikali ya ccm lakini yanatatuliwa kwa hatua hakuna mtu asiyekuwa na shida tunawaomba watu wawe wavumilivu kwani matatizo yote yanatatuliwa kwa hatua alisema mzee malecela kwa upande wa mkutano wa udp viongozi wa chama hicho wakiongozwa na katibu mkuu wake bwana john UNK walijikuta wakiwa peke yao jukwaani UNK na wimbo wa msanii wa nyimbo za injili bibi rose mhando wa UNK UNK tofauti na vyama vingine ambavyo UNK yake ilifungwa na wenyeviti wake kwa upande wa udp bwana john cheyo UNK kumnadi mgombea wake bibi beatrice UNK mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba UNK mikutano ya chama chake kwenye viwanja vya nyarugusu wakati vyama hivyo UNK ngwe ya mwisho ya kampeni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi jaji lewis makame amesema si kosa kwa vyama vinavyoshiriki uchaguzi huo kutumia mawakala kutoka nje ya jimbo la busanda alitoa ufafanuzi huo kufutia madai kuwa chadema imeleta mawakala wa kusimamia kura kutoka chuo kikuu cha st agustino cha mkoani mwanza na vyuo vingine vilivyopo wilayani tarime habari zaidi zilieleza kuwa ccm iliandika barua kwa msimamizi wa uchaguzi jimbo la busanda kulalamikia hatua hiyo ya chadema kuleta mawakala kutoka nje ya jimbo wakati uchaguzi wa busanda unafanyika leo jana mamia ya wananchi wenye haki ya kupiga kura walijitokeza kwa wingi kupiga kura UNK mwakilishi wa jimbo la magogoni mgombea wa kiti hicho kwa tiketi ya ya ccm bibi asha mohamed UNK alipiga kura yake katika kituo cha UNK saa tatu arobaini na tano UNK akifuatana na katibu mkuu jumuiya ya wanawake tanzania bibi husna mwilima mgombea cuf bwana hamad ali alipiga kura yake katika kituo cha viwanda vidogo vidogo mapema asubuhi ofisa wa tume ya uchaguzi ya zanzibar bwana suluhu ali rashid alisema vituo vya kupiga kura vipatavyo kumi na sita UNK kuanzia saa mbili za asubuhi na masanduku ya kura UNK vituoni mapema upigaji kura unaendelea vizuri katika vituo vyote vya UNK na wapiga kura wengi UNK kupiga kura zao UNK katika uchaguzi huo idadi ya wapiga kura walioandikishwa katika daftari la kudumu la wapiga kura walikuwa tano hamsini tisa uchaguzi mdogo wa jimbo la magogoni unafanyika kufuatilia kifo cha aliyekuwa mwakilishi wake daud hassan daud aliyefariki desemba mwaka jana serikali imesema UNK na kitendo cha kutoa fedha zake kwa ajili ya kulipa mishahara ya wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania na kueleza kuwa inalazimika kufanya hivyo kwa mujibu wa mkataba kauli hiyo ilitolewa jana mjini morogoro na waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa wakati akizungumza na wafanyakazi wa trl mkoa wa morogoro katika karakana kuu ya reli UNK mjini humo si kwamba hatua ya serikali kuchangia sehemu ya mishahara ya trl UNK ni kwa kuwa inalenga kuboresha maisha ya wafanyakazi hao tu pamoja na kufuata taratibu za mkataba na mwekezaji tunafahamu kuwa wananchi UNK pia alisema daktari kawambwa na kuongezea katika mkataba baina ya serikali na mwekezaji kampuni ya rites ya nchini india uliowekwa unafahamika kimataifa hivyo bila kufuata taratibu inaweza UNK hata serikali kufikishwa kwenye vyombo mbalimbali vya kisheria ndio maana UNK taratibu kwani hata sisi UNK kwani yeye mwekezaji anafanya biashara iweje asiweze kuwalipa wafanyakazi mishahara aliongeza kusema aliendelea kufafanua kuwa serikali imekuwa ikichangia kila mwezi shilingi milioni mia tano na ishirini na mbili sita kwa ajili ya kuongezea sehemu ya mishahara ya wafanyakazi wa trl kutoka na mwekezaji kushindwa kulipa kiasi cha mshahara waliotakiwa kulipwa wafanyakazi hao wa kampuni hiyo fedha ambayo inatoka hazina kama mkopo alizidi kubainisha tatizo la kuwepo kwa malalamiko ya kudaiwa kuondolewa kwa injini katika karakana hiyo ambayo ni karakana kuu ya kampuni hiyo UNK kazi zilizo ndani ya uwezo wa kufanyika katika karakana hiyo ni vyema UNK badala ya kupelekwa india wakati na nchini kuna wataalam wenye uwezo daktari kawambwa alisema pia iwapo kama kuna matengenezo ambayo yanatakiwa kufanyika nje ya nchini ni vyema uongozi huo UNK wafanyakazi wote wa karakana hiyo kufahamu hatua hiyo kwa kufuata taratibu husika badala ya kufanyika kimyakimya hali ambayo UNK migongano kama ilivyotokea hivi karibuni ya wafanyakazi kuzuia kuondolewa kwa injini hizo kwenye karakana hiyo alisema serikali ina mkakati wa kuboresha reli ya kutoka jijini dar es salaam hadi isaka na kuunganisha na nchi za jirani ili iweze kuwa na uwezo mkubwa wa kufanya kazi na kuleta ufanisi zaidi naye msaidizi mhandisi mkuu daktari richard kailembo alisema kuwa kwa sasa shirika hilo lina injini sabini ambazo zinafanya kazi ambazo kati ya hizo injini ishirini na tano UNK kutoka kampuni ya rites ya nchini india daktari kailembo alisema kuwa pia kuna UNK sabini tatu ambayo kati ya hayo mia moja na sitini na mbili UNK kutoka kampuni ya rites ya india na injini na UNK yaliyo mengi yana muda mrefu kati ya miaka ishirini na tano hadi thebathini na tano lakini UNK kufanyiwa ukarabati mkubwa kutokana na kukosekana kwa fedha za kununua vipuri pia alisema katika mpango wa kampuni umefanikiwa kukarabati injini kumi ambazo zinafanya kazi ambazo kati ya hizo sita UNK ukarabati nchini india na nne hapa nchini lakini pia kwa utaratibu wa ukarabati wa mara kwa mara unashindwa kufanyika kutokana na kampuni kutokuwa na fedha hata hivyo mhandisi huyo UNK serikali kuendelea kuboresha miundo mbinu ya reli ambapo kwa sasa mikakati imeshaanza ikiwemo utafiti ambao unafanywa na kampuni mmoja ya nchini marekani na kisha utafanyika UNK wa reli inavyotakiwa kuwa kwa lengo la kuongeza uwezo wa reli hiyo katika UNK wa mizigo atangaza msamaha kufuta kesi zote mahakamani mwenyekiti wa tanzania labour party bwana augustino mrema amewataka wanachama wote waliofukuzwa ndani ya chama hicho na waliojiondoa kurudi akiwemo bwana benedict UNK na kueleza kuwa UNK makosa yao yote na kufuta kesi zote mahakamani bwana mrema alitoa kauli hiyo jana jijini dar es salaam alipokuwa akijibu tuhuma zinazoelekezwa kwake kuhusu kumrubuni na kumrudisha aliyekuwa katibu mkuu wa chama hicho bwana hemed tao ambaye UNK watu wanasema mimi UNK bwana tao ndio maana amerudi jamani huo ni uongo yeye aliandika barua na kukiri makosa yake na halmashauri kuu UNK iweje leo UNK kuwa UNK UNK alilalamika bwana mrema alifafanua kuwa bwana tao alifukuzwa baada ya kuvunja maadili na katiba ya chama na ameamua kurudi baada ya kujirekebisha na kwamba amerudi kukijenga chama hicho mimi nawaomba wale wote waliofukuzwa na waliojiondoa wenyewe tlp wakiwemo akina UNK warudi ili tuweze kukijenga chama kesi zote tunataka kuzifuta milango ipo wazi alisisitiza bwana mrema alisema kuanzia sasa wamekubaliana mambo yote yanayohusu chama kumalizwa kwenye vikao vya chama badala ya kupeleka kwa msajili wa vyama vya siasa au mahakamani kama ilivyokuwa UNK kwa upande wake bwana tao alisema amemua kurudi tlp baada ya kujirekebisha na kusamehewa na halmashauri kuu ya tlp na si kwamba amerudi kwa njaa kama inavyodaiwa na baadhi ya watu mimi nakipenda chama hiki kipo ndani ya damu yangu ndio maana nimeamua kurudi kama ni njaa UNK ccm chama chenye fedha nyingi mbona nilikwenda chadema watu wajue UNK tlp kutokana na njaa alisema bwana UNK alimshauri aliyekuwa katibu mwenezi wa chama hicho bwana thomas ngawaiya ambaye sasa amejiunga ccm kurudi ili kuimarisha chama kiweze kurudisha hadhi yake ya zamani bwana tao alisema tlp ni chama imara ndio maana amemua kurudi tena na kuwataka watu UNK kuacha tabia hiyo kwa sababu kila mtu ana uhuru wa kuamua anachotaka wafuasi UNK mitaani ccm UNK cuf udp UNK matokeo ya awali ya uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la busanda geita mkoani mwanza yanaonesha kuwa chama cha demokrasia na maendeleo UNK kwa mujibu wa matokeo UNK kwenye baadhi ya vituo hadi jana jioni yalionesha chadema inaongoza ikifuatiwa na ccm waandishi wetu waliopo busanda UNK kuwa matokeo katika vituo vya shule ya msingi mkapa iliyopo mjini katoro yanaonesha ushindi mkubwa kwa chadema kwa mujibu wa matokeo hayo katika kituo e chadema inangoza kwa kura tisini na tano ccm cuf na udp kituo c chadema ccm cuf udp matokeo katika kituo g chadema ccm cuf na udp matokeo ya kituo a chadema ccm cuf na udp kituo d chadema ccm cuf udp matokeo mengine katika kituo cha store ludete chadema ccm cuf na udp kituo cha UNK ludete bd chadema ccm cuf udp store ludete UNK chadema ccm cuf na udp katika kituo cha store ludete UNK chadema ccm cuf na udp katika kituo cha store ludete UNK chadema ccm cuf cuf store ludete ba chadema ccm cuf udp na matokeo katika kituo cha store ludete UNK yanaonesha chadema ccm cuf udp wakati matokeo hayo yakiendelea kutolewa wafuasi wa chadema waliingia mitaani kushangilia huku wengine wakiandamana kwa mchaka mchaka na kuimba magesa magesa chadema chadema katika vituo ambavyo zoezi la kuhesabu kura lilikuwa likiendelea wafuasi hao walionekana kuwa makini kwa kile walichodai kuziba mianya ya wizi unaoweza kujitokeza kwenye kura hizo mwandishi wetu ameeleza kwamba katika eneo la nyakagomba anakotoka mgombea wa chadema bwana finias magesa matokeo yanaonesha kwenye moja ya vituo chadema imepata kura kumi mbili na ccm kura tano katika kituo kingine eneo hilo chadema wamepata kura tisini na mbili na ccm kumi na mbili alisema katika kata ya busanda chadema inadaiwa kuongoza katika vituo vingi mapema wakati zoezi la upigaji kura likiendelea msimamizi msaidizi wa uchaguzi kata ya katoro aliyetajwa kwa jina moja la bibi esther alikamatwa tisa thebathini alasiri akidaiwa kutoa pesa kwa makarani kinyume cha taratibu za uchaguzi msimamizi huyo alichukuliwa na gari la polisi namba pt elfu moja na mia nne na tisini na tisa kupelekwa kituoni msimamizi wa uchaguzi huo bwana danny mollel alithibitisha kutokea tukio hilo na kueleza kuwa ni kosa kugawa posho wakati upigaji kura ukiendelea ugawaji fedha hizo unapaswa kufanywa baada ya kumalizika upigaji kura wakati huo huo mwandishi yusufu musa anaripoti kuwa jeshi la polisi mkoani mwanza jana UNK jaribio la baadhi ya wafuasi wanaoaminika kuwa wa chadema kutaka kushambulia kwa mawe magari mawili la katibu wa ccm wilaya ya UNK mussa matoroka UNK UNK na maofisa uchaguzi jimbo la busanda katika tukio la kwanza lililotokea mjini katoro wafuasi watu hao wakiongozwa na mgombea ubunge kupitia chama hicho bwana finias magesa UNK gari la bwana matoroka mita thebathini kutoka kituo cha polisi katoro wakidai limebeba kura bandia pamoja na bwana matoroka kujitetea kuwa hapakuwa na kura za namna hiyo watu hao UNK UNK na kuwaacha wafuasi wao wakilinda gari hilo na wao kwenda kuripoti polisi wakizungumza na kaimu kamanda wa polisi mkoa wa mwanza acp bwana elias kalinga viongozi wa chadema walimtaka aende kukagua gari hilo kwani hawakuwa na imani nalo kwa sababu lilitoka kituo cha kupiga kura shule ya msingi mkapa baada ya majadiliano ya takribani dakika ishirini bwana kalinga alikubali kwenda kulikagua gari hilo akiwa ameongozana na askari wake huku wafuasi wa chadema wakiwa pembeni mwa gari hilo hata hivyo baada ya upekuzi gari hilo lenye namba t mia tano na themanini na tano UNK halikupatikana na kitu chochote kinachohusiana na uchaguzi huo gari hilo UNK kuondoka mbali ya matukio hayo hali katika vituo vingi vya upigaji kura ilikuwa ya utulivu na wananchi walijitokeza kupiga bila vurugu wagombea waliopigiwa kura jana ni bibi lolensia bukwimba bwana UNK magesa bwana oscar ndalahwa na bibi beatrice lubambe uchaguzi huo unafuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo marehemu faustine kabuzi rwilomba aliyefariki mapema mwaka huu nchini india alikokwenda kwa matibabu ya moyo chama cha mapinduzi kimefanikiwa kulitetea jimbo la busanda katika uchaguzi mdogo uliofanyika jana na kuvunja sherehe ya chama cha demokrasia na maendeleo iliyokuwa kwenye mazingira mazuri ya kushinda wakati ccm wakijiandaa kupokea matokeo hayo kwa shangwe na UNK kuna habari kuwa chadema wanajiandaa UNK matokeo hayo chadema ikiwa na matumaini makubwa ya kulitwaa taji hilo kutokana na mafanikio yake makubwa wakati wa kampeni kwa kujaza watu UNK matokeo hayo yamekuwa machungu kwao katika kampeni hizo mwenyekiti wa chadema freeman mbowe alikuwa anatumia helikopta katika kampeni ambapo ccm ikiongozwa na makamu mwenyekiti wa zamani wa chama hicho samwel UNK wamefanikiwa UNK habari za matokeo hayo zinaonesha kuwa mgombea wa ccm lolensia bukwimba amepata kura ishirini na tisa mia tatu na arobaini na tisa akifuatiwa na mpinzani wake mkali wa chadema UNK magessa amepata kura ishirini na moja mia mbili na arobaini na tisa na mgombea wa cuf oscar ndalahwa kura mia nane na ishirini na saba akifuatiwa na mgombea wa udp UNK kura mia tatu na ishirini na saba katika kinyangganyiro hicho ccm na chadema UNK vikali kutokana na kuonekana kuwa vyama vyenye upinzani mkali cuf ambayo katika uchaguzi mkuu wa ishirini sifuri tano ilikuwa ya pili kwa mgombea wake kupata kura ishirini na sita sifuri sifuri sifuri imedorora na kuiachia chadema kutamba ambayo mwaka ishirini sifuri tano ilipata kura tatu sifuri sifuri sifuri katika jimbo hilo katika uchaguzi huo watu mia moja na thebathini na tatu sifuri sifuri sifuri UNK kwa ajili ya kushiriki uchaguzi huo huku idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura ni hamsini na mbili mia saba na ishirini UNK tunakwenda mitamboni viongozi wa chadema cuf na udp walikuwa hawajafika kwenye eneo la UNK ya kura na waliokuwepo ni ccm peke yao wakati huohuo cuf kimepata pigo baada ya kushindwa uchaguzi mdogo wa mjumbe wa baraza la wawakilishi jimbo la magogoni zanzibar uliofanyika jumamosi iliyopita katika uchaguzi huo mgombea wa ccm asha mohamed aliibuka mshindi kwa kura mbili mia nne na sabini na nne na mgombea wa cuf hamad ally hamad alipata kura moja mia tisa na sabini na nne wakati madaktari bingwa kutoka hospitali ya taifa muhimbili wakitumia vifaa vya kisasa kuchunguza waathirika milipuko ya mabomu iliyotokea mbagala aprili ishirini na tisa mwaka huu wakazi hao wamelalamikia urasimu katika upatikanaji dawa uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa waathirika wengi wamekuwa UNK kwenda maeneo ya mbali kutafuta dawa za maradhi yaliyotokana na matatizo ya mabomu hayo zikiwemo za kuziba masikio na kupigwa danadana akizungumza na majira mama mmoja mwenye mtoto aliyeathirika masikio bibi mariam muhammed alisema mtoto wake aliacha kusikia na kuota uvimbe sikioni siku chache baada ya milipuko ya kwanza alikwenda hospitali ya wilaya temeke UNK dawa na kuambiwa hazipatikani hospitalini hapo leo nikaamua kuja hapa shuleni na mwanangu UNK uvimbe aliokuwa nao na UNK dawa hizi ambazo wamesema UNK hospitali ya wilaya temeke alilalamika bibi UNK naye bwana ally UNK mkazi wa mbagala kizuiani alidai kuwa upatikanaji dawa umekuwa tatizo kwani baada ya kufanyiwa uchunguzi wamekuwa UNK kwenda hospitali ya wilaya temeke wakifika huko wanaambiwa kwenda kununua kwenye maduka ya dawa huu umekuwa ubabaishaji huwezi UNK mtu halafu wakati wa dawa unaanza UNK wengi tumeshindwa kukamilisha utaratibu wao kutokana na mizengwe mingi bora UNK na dawa zao alisema bwana UNK hata hivyo daktari mariam pesa wa muhimbili aliliambia majira jana kuwa uchunguzi walioufanya umebaini kuwa wakazi wengi wa mbagala UNK na mabomu hayo bali wengi wao walikuwa na matatizo hayo kabla alisema wamebaini hilo baada ya kuanza kutumia kifaa maalumu cha kutambua athari iliyotokana na mabomu hayo na tatizo la asili alisema kuwa mbali na uchunguzi huo wamekuwa UNK ushauri wagonjwa hao kutokana na matatizo mbalimbali ya kiafya ili waweze kuchukua tahadhari vifaa hivi ni vya kisasa vina uwezo wa kupima mawimbi ya sauti ili kubaini tatizo la sikio na chanzo cha tatizo hilo alisema daktari pesa wakati huo huo shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia watoto na shirika la kusaidia watoto limetoa misaada ya vifaa vya masomo na vya michezo ambavyo thamani yake UNK mara moja vifaa hivyo ni pamoja na mabegi ya shule tatu hamsini sifuri madaftari katoni ishirini na sita sifuri sifuri sifuri kalamu za wino kumi na nane sifuri sifuri sifuri madaftari UNK sita tisini sifuri UNK UNK nane na vingine askari wawili wa kikosi cha UNK cha serikali ya mapinduzi ya zanzibar bwana juma mcha ali pamoja na bwana UNK UNK ali UNK na majambazi wakiwa lindo katika kituo cha mafuta UNK majambazi hao hata hivyo hawakufanikiwa kupora fedha lakini walichukuwa silaha aina ya rf ikiwa na risasi kumi kamanda wa polisi mkoa wa mjini magharibi bwana bakari khatib shaaban alithibitisha kutokea tukio hilo saa mbili usiku wa kuamkia jana na kusema majambazi hao walivamia kituo hicho kwa lengo la kupora fedha katika purukushani hizo majambazi hao walifanikiwa kufyatua risasi na kuwauwa askari hao waliokuwa lindoni kwa kuwapiga risasi kichwa na kifuani baada ya hapo walipora bunduki moja na kutoweka kutokana na tukio hilo jeshi la polisi mjini hapa linamshikilia bwana gideon UNK kwa mahojiano baada ya kukiri kumiliki gari namba UNK mia sita na thebathini na nne lililohusika kwenye tukio hilo la ujambazi jeshi la polisi linamshikilia bwana gideon UNK kwa uchunguzi zaidi yeye alijitokeza na kusema anamiliki gari lililohusika kwenye tukio hilo na kutelekezwa na majambazi hayo alisema kamanda shaaban alisema baada ya kufuatilia polisi walifanikiwa kupata bunduki UNK na majambazi hao kamanda shaaban alisema majambazi hao pia walimjeruhi bwana bilali omar aliyekuwa akipita njia wakati wa tukio hilo askari wa vikosi vya serikali ya mapinduzi ya zanzibar hutumika kwa ajili ya kulinda vituo mbalimbali vya mafuta pamoja na taasisi zingine watu binafsi na mabenki kamanda shaaban alisema jeshi lake linaendesha msako mkali kuwanasa majambazi hao ccm UNK kidedea UNK kura ishirini na tisa mia mbili na arobaini na mbili kingunge adai wapinzani UNK mgombea chadema UNK kusaini matokeo mgombea wa chama cha mapinduzi bibi lolensia bukwimba ametangazwa mshindi katika uchaguzi mdogo wa jimbo la busanda uliofanyika juzi matokeo yaliyotangazwa mjini hapa jana na msimamizi wa uchaguzi huo bwana danny mollel yameonesha kwamba bibi bukwimba UNK wapinzania wake kutoka vyama vya cuf chadema na udp akitangaza matokeo hayo bwana mollel alisema bibi bukwimba aliibuka na ushindi wa kura ishirini na tisa mia mbili na arobaini na mbili akifuatiwa na mgombea wa chadema bwana finias magesa ambaye alipata kura ishirini na mbili mia saba na ishirini na nane alisema mgombea wa cuf bwana oscar ndalahwa alipata kura mia sita na sabini na saba na mgombe wa udp bibi beatrice lubambe alipata mia mbili na sabini na moja vituo vya kupiga kura vilikuwa mia tatu na themanini matokeo hayo UNK chadema na kukataa kuyatambua kwa madai kuwa UNK wakati wa kuhesabu kura akizungumza na waandishi wa habari kamanda wa uchaguzi wa chadema bwana benson kigaila alisema chama chake UNK na matokeo hayo chadema ambayo ilikuwa na imani kubwa kuibuka mshindi kwenye uchaguzi huo kutokana na mikutano yake kuhudhuriwa na idadi kubwa ya watu UNK matumaini zaidi jana jioni baada ya matokeo ya awali ya kura UNK katika vituo kadhaa vya mji mdogo wa katoro kuonesha kuwa UNK hali hiyo iliwafanya wafuasi wake kuandamana mitaani na kuimba magesa magesa chadema chadema saa chache kabla ya kibao UNK na ccm kuongoza matokeo hayo ccm ambayo ilionekana kuzoa kura nyingi maeneo ya vijijini ilizidi kupaa kadri muda ulivyokuwa unakwenda na UNK furaha ya chadema hadi matokeo hayo UNK jana alasiri chadema ambayo ilikuwa ikiendesha kampeni zake kwa mtindo wake wa operesheni sangara na kutumia helikopta kama moja ya njia za kufika maeneo mengi haraka na kukusanya watu ilijikuta sangara hao UNK busanda na kupoteza ushindi chini ya operesheni sangara chadema wamekuwa wakizunguka nchi nzima kuitisha mikutano mikubwa na kueleza kero mbalimbali zinazosababishwa na viongozi wa chama tawala na serikali likiwemo tatizo la ufisadi hata hivyo mwanzoni mwa kampeni za busanda makada wa ccm UNK wakisema operesheni sangara si lolote kwenye uchaguzi huo na kuapa kuwa sangara hao UNK busanda baada ya matokeo kutangazwa jambo UNK jana wakati huo huo mgombea wa chadema bwana magesa UNK matokeo hayo kwa madai kuwa yana utata hatua hiyo ya kugomea matokeo hayo iliibua mayowe toka kwa wafuasi wa ccm waliokuwa wakimshinikiza msimamizi wa uchaguzi bwana mollel kutangaza matokeo hayo haraka kwa vile mgombea wao alikuwa ameshinda kihalali tunataka matokeo UNK UNK hao chadema UNK tupeni matokeo walisikika wafuasi hao wa ccm waliokuwa ukumbini hapo UNK matokeo hayo UNK katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya geita saa tisa arobaini na tano alasiri yalikuwa UNK saa tatu asubuhi lakini chadema hawakuwepo hadi saa tano asubuhi UNK ukumbini hapo na kutakiwa kusaini fomu hizo UNK hata hivyo wagombea wa vyama vingine udp na cuf nao hawakuwepo ukumbini hapo hata wawakilishi wao bwana magesa aliyekuwa ameongozana na viongozi wake aligoma kusaini fomu hizo kwa madai kuwa hawakupewa nafasi ya kutoa malalamiko yaliyojitokeza wakati wa uchaguzi huo huku viongozi wake wakidai kuwa mgombea wao hawezi kusaini bila kuoneshwa matokeo chadema walitaka kuoneshwa kwanza matokeo ili UNK na yale waliyokuwa nayo kutokana na kuwepo uvumi kuwa idadi ya kura ilizidi ya wapiga kura akizungumza na waandishi wa habari bwana magesa alidai sababu nyingine iliyomfanya kukataa matokeo hayo ni pamoja na malalamiko kadhaa yakiwemo ya wafuasi wao kufanyiwa UNK kwa kupigwa na wana ccm kisha kukamatwa na kupelekwa polisi huku wenzao wa ccm UNK pia alimtuhumu waziri wa mambo ya ndani bwana lawrence masha kuwatisha vijana wasipige kura kwa madai kuwa UNK na polisi na kwamba siku ya kupiga kura alitembelea vituo vyote na kutoa maagizo kadhaa kwa polisi ambao waliingia ndani ya vyumba vya kupigia kura kinyume cha sheria alidai kuwa siku moja kabla ya kutangazwa matokeo baadhi ya wahusika wa tume walisikika wakitangaza kuwa UNK na kwamba moja ya magari ya tume hiyo yalitumika kugawa pesa siku ya upigaji kura na wale waliokamatwa waliachiwa huru naye kamanda wa kampeni wa chadema bwana kigaila alisema hakubaliani na matokeo hayo huku akidai ni ya ccm na tume na si ya vyama UNK uchaguzi huo alidai kuwa malalamiko yote waliyokuwa wakitoa yakiwemo ya kukamatwa diwani wa ccm na mabalozi UNK kazi na polisi badala yake watuhumiwa hao walikuwa wakiachiwa huru katika hatua nyingine sherehe za ushindi wa ccm zilizokuwa zimeandaliwa kufanyika katika mji mdogo wa katoro UNK katika dakika za mwisho habari toka ndani ya ccm zilisema sherehe hizo zilipangwa kufanyika katika mji huo yalipo makao ya jimbo lakini baadaye walilazimika kubadilisha kufanyikia katika kijiji cha UNK akizungumzia matokeo hayo mwenyekiti wa tanzania labour party bwana augustino mrema alisema ushindi wa ccm umedhihirisha jinsi chama hicho kilivyo na nguvu ccm ni chama dola kina nguvu kubwa kuliko watu wengine wanavyofikiri alisema bwana mrema UNK gazeti hili kwa njia ya simu na kuufananisha na UNK alisema wakati umefika sasa kwa vyama vya upinzania kurudi nyuma na kuangalia ni kitu gani kinasababisha UNK hata vitani jeshi UNK UNK nyuma kujipanga na kisha kuanza kusonga mbele na sisi UNK tufanye hivyo alisema kilichotokea busanda ni tsunami kuna haja ya sisi wapinzani kuangalia sera zetu maneno yetu ili tuweze kujua kama watu UNK alisema alisema ccm sio chama cha kuchezea kwani ndicho UNK na kumfikisha hapo alipo kwa sasa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano nilipata kura milioni moja nane na wabunge kumi na tisa lakini walinishughulikia hadi UNK hapa nilipo alisema alisema vyama vya upinzani vimekuwa UNK yeye kuwa ni kibaraka ndio maana hata busanda UNK mguu lakini ccm imeendelea kushinda alipoulizwa kama matokeo ya busanda yanampa nguvu na matumaini ya kushinda uchaguzi mdogo wa jimbo la biharamulo magharibi unaotarajia kufanyika hivi karibuni kuziba nafasi ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya tlp marehemu phares kabuye bwana mrema alisema kilichotokea busanda ni tsunami kama chadema wamepigwa UNK na helikopta yao kwa sisi wengine itakuwaje hata hivyo alisema amejiandaa kukabiliana na chama hicho kwa sababu mbinu zote za ccm UNK kwa upande wake mkuu wa kitengo cha propaganda cha ccm bwana tambwe hiza alisema ushindi wa chama chake UNK unajua chadema wameanza kufanana na cuf kwa kuwa na watoto wengi wanaopiga kelele mijini wakati hawana lolote alisema sasa tunawasubiri kwenye uchaguzi wa biharamulo magharibi tutawapiga hadi mungu UNK huruma alitamba bwana hiza kwa upande wake mkurugenzi wa siasa wa cuf bwana UNK UNK ambaye kura za chama chake katika uchaguzi huo UNK kutoka thebathini na sita sifuri sifuri sifuri za mwaka ishirini sifuri tano hadi kufikia mia mbili na sabini na moja alisema wanatarajia kukutana ndani ya siku mbili kufanya tathimini ya kilichotokea alikiri kura za mgombea wa chama hicho UNK na kuahidi kuwa chama hicho UNK matokeo ya tathmini hiyo kuhusiana na UNK wakati huo huo mwanasiasa mkongwe nchini na mbunge wa kuteuliwa bwana kingunge ngombale mwiru ameibuka na kusema siri ya kushindwa chadema ni UNK na kukosa mashina na matawi vijijini akizungumza na majira dar es salaam jana bwana kingunge alisema chama hicho kimeshindwa kuwafikia wananchi wengi vijijini na kujikita zaidi mijini ndugu zangu UNK na wamejikita zaidi mijini wameridhika na watu wa mjini lakini UNK watu wa vijijini alisema bwana UNK alisema chama hicho kimekuwa UNK watu wengi wanaofika katika mikutano yake lakini watu hao wamekuwa wakihudhuria katika mikutano hiyo na UNK yale yanayozungumzwa baada ya kukosa wahamasishaji katika ngazi za mashina au UNK bwana kingunge alisema akiwa katika kikao cha bunge mwaka ishirini sifuri tano mjini dodoma aliwahi kukaa na kuwasihi viongozi wa vyama vya upinzani kuwa wanatakiwa kujenga vyama vyao kuanzia katika ngazi za mashina ili viweze kuwa imara katika kila idara alisema katika ushauri aliotoa kwa vyama hivyo ni chama kimoja tu cuf kilifuata ushauri huo na kufanikiwa kuwafikia wananchi katika ngazi za mashina na hatimaye matawi na sasa kimekuwa na nguvu zaidi katika upande wa tanzania visiwani bwana kingunge ambaye UNK mkubwa ndani ya ccm alisema sababu nyingine ya kushidwa kwa wapinzani katika uchaguzi huo ni uwezo mdogo wa wagombea wao kulinganisha na wa ccm alisema hata hivyo chama chake kimeona kasoro zilizojitokeza katika uchaguzi huo na kuahidi kuzifanyia marekebisho katika uchaguzi mwaka ishirini moja sifuri taarifa hii imeandaliwa na UNK muyomba reuben kagaruki na edmund mihali na benjamin masese shughuli ya kulipua masalia ya mabomu katika kambi ya jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania iliyoko mbagala dar es salaam inaendelea leo majira lilipata taarifa za kulipuliwa mabomu hayo jana baada ya askari wawili wa jwtz kufika kituo cha polisi cha temeke UNK kuomba kibali kwa ajili ya shughuli hiyo kwa kamanda wa polisi mkoa wa temeke bwana liberatus UNK baada ya kufika kituoni hapo ambapo mwandishi wa habari hizi hizi alikuwepo askari hao waliwasilisha nyaraka kwa kamanda sabas sambamba na kumweleza ombi la kupata kibali cha kulipua mabomu hayo leo na kuomba polisi kwenda kusimamia usalama wakati wa zoezi hilo bwana sabas aliruhusu kufanyika shughuli hiyo na kuwahakikishia kuwa askari hao UNK hata hivyo majira liligundua mazungumzo kati ya kamanda huyo na askari hao yalionesha kuwa ratiba ya ulipuaji mabomu hayo haikuwa ngeni kwao na walikwenda hapo kukamilisha taratibu tu bwana sabas katika mazungumzo yake na askari hao alisema kazi ya kulipua mabomu hayo leo si kubwa na itachukua muda mfupi kulinganisha na zilizotangulia mlipuko wa mabomu katika kambi hiyo ulitokea aprili ishirini na tisa ambapo watu wapatao ishirini na saba wakiwemo wanajeshi sita walipoteza maisha mbali na vifo hivyo milipuko hiyo ilisababisha nyumba nyingi eneo hilo kuanguka na kuwaacha mamia ya wananchi UNK kwenye UNK na waandishi wetu dodoma na dar makamu mwenyekiti mstaafu wa chama cha mapinduzi bwana john malecela UNK kama shujaa wa vita baada ya kuwasili mjini dodoma akitokea busanda mkoani mwanza UNK mapambano ya kampeni yaliyompa ushindi mkubwa mgombea wa chama hicho bibi lolensia bukwimba mamia ya wanaccm UNK bwana malecela jana saa tisa alasiri kilomita kumi nje ya manispaa ya dodoma na baadaye msafara huo kuelekea nyumbani kwake kujipumzisha huku wakiimba nyimbo za ushindi kabla ya msafara huo kuanza safari wanaccm hao wakiongozwa na mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi mkoa wa dodoma bwana UNK UNK walimvika mgolole na shada la maua kutokana na ushujaa UNK busanda UNK mgolole na shada la maua kama shujaa na UNK UNK vita kwani tunaelewa kazi haikuwa ndogo kama UNK ndio maana UNK hapa tuje UNK kama ishara ya kuthamini mchango wako alisema bwana UNK kabla ya hapo pia walimpokea mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm na mbunge wa same mashariki bibi anne kilango malecela saa nane mchana akitokea dar es salaam ambaye naye alikuwa mmoja wa wanaccm walioongoza mapambano hayo akizungumza na wanaccm hao bwana malecela alisema alimwambia mwenyekiti wa chadema bwana freeman mbowe kuwa hata siku moja ndege haileti ushindi vitani kwa kuwa inapiga na kuondoka ambapo yeye anaogopa vita ya ardhini ndege ya vita UNK nchi kama ndege UNK nchi basi marekani wangeshinda vita na vietnam kwa kuwa walikuwa na ndege inaitwa b hamsini na mbili ambayo UNK ilikuwa na injini nane inapiga mabomu futi sitini sifuri sifuri sifuri kutoka ardhini lakini hawakushinda vita ile alisema bwana malecela alisema hata kama bwana mbowe UNK helikopta kumi bado asingeweza kushinda kwa kuwa hana mtandao wa chama kuanzia ngazi ya nyumba kumi mashina matawi wilaya wala mkoa ambapo huo ndio msingi kwa chama kinachotaka kuongoza nchi bwana malecela aliwataka wanaccm wasibweteke bali UNK chama chao kwani alama za nyakati zinaonesha kuwa wanapaswa kuwa makini kwa chaguzi ndogo na ule mkuu mwakani akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake bwana malecela alisema anashangazwa na kitendo cha chadema kukataa matokeo ya uchaguzi huo na kusema UNK ni fedha nyingi UNK kwa matumizi ya helikopta na kushindwa alisema kitendo cha chadema kukataa matokeo si cha kushangaza kwa kuwa hata cuf walikataa matokeo ya uchaguzi wa urais na kutomtambua rais amani karume wa zanzibar katika uchaguzi huo mdogo wa jimbo la busanda bibi bukwimba aliibuka mshindi baada ya kupata kura ishirini na tisa mia mbili na arobaini na mbili mgombea wa chadema bwana finias magesa alipata kura ishirini na mbili mia saba na ishirini na nane mgombea wa cuf bwana oscar ndalahwa kura mia sita na sabini na saba na mgombea wa udp bibi beatrice lubambe kura mia mbili na sabini na moja wakati huo huo waziri wa maendeleo jinsia na watoto bibi magreth sitta amewapongeza wanawake walioshinda katika uchaguzi wa wabunge katika jimbo la busanda mkoani mwanza na magogoni zanzibar akizungumza na waandishi wa habari jana dar es salaam bibi sitta alisema amefurahishwa sana na ushindi huo kwani inaonesha kuwa ni jinsi gani wanawake wanaweza kushika nyadhifa katika sekta mbalimbali pongezi hizo zimekuja baada ya uchaguzi wa mwakilishi jimbo la magogoni zanzibar uliofanyika mei ishirini na tatu ambapo ambapo bibi asha mohamed aliibuka mshindi katika kiti hicho kwa tiketi ya ccm na ule wa busanda ambapo mgombea mwingine mwanamke wa ccm bukwimba alishinda bibi sitta alisema ushindi huo ni changamoto kwa wanawake kote nchini kuwa mstari wa mbele kujitokeza kugombea nafasi za uongozi zinapotokea bila kujali nafasi hizo zipo katika nyadhifa gani wanawake tupo wengi sana katika nchi yetu kuliko UNK hivyo jitokezeni kwa wingi kugombea nyadhifa msiogope ili tuweze kushirikiana na wanaume katika kuijenga nchi yetu UNK nyuma hata sisi tukiwezeshwa tunaweza alisema bibi sitta waziri sitta aliwapongeza wanawake wote waliojitokeza kuwapigia kura wanawake wenzao bila kujali wanatoka chama kipi pia aliwapongeza mwanamke aliyegombea kupitia udp bibi beatrice lubambe ambaye hata hivyo UNK jimboni busanda nawapongeza sana wanawake wote walioshiriki katika kugombea nafasi hiyo hata kama wanatoka katika kambi ya upinzani pamoja na kwamba hawakushinda wasife moyo ipo siku watashinda nawasihi UNK hapo wasonge mbele alisema taarifa hii imeandaliwa na yusuph musa flora amon shukurani kawogo na mercy james baadhi ya kundi la wahamiaji haramu waliokamatwa wakati wa msako wa polisi wakiwa katika kituo cha polisi changgombe ambako walikuwa wamehifadhiwa baada ya kukamatwa dar es salaam jana chiligati akiri ccm UNK mijini cheyo hajui idadi ya kura za udp na waandishi wetu busanda na dar es salaam chama cha demokrasia na maendeleo kimetoa sababu zilizosababisha kubwagwa kwenye uchaguzi mdogo wa jimbo la busanda na kuelekeza mzigo wa lawama kwa tume ya taifa ya uchaguzi kuwa inaibeba ccm hata hivyo chama hicho kimesema UNK mbinu zinazotumiwa na ccm na kitaingia kwenye uchaguzi mdogo wa jimbo la biharamulo magharibi na nguvu za ziada ili kuhakikisha kinaibuka na ushindi hayo yalisemwa na katibu mkuu wa chadema daktari wilbroad slaa alipozungumza na gazeti hili jana kwa njia ya simu akiwa mjini busanda alisema ushindi wa ccm una uhusiano mkubwa na vitendo vilivyokuwa vikifanywa na makada wa chama hicho kwa kununua na kuorodhesha shahada za UNK kura daktari slaa alisema kibaya zaidi nchi UNK kufuata sheria badala yake wananchi wa jimbo la busanda walijikuta UNK kwa kupewa hongo ya chumvi nguo na fedha ccm inatumia elimu duni ya watanzania kuwarubuni alisema na kusisitiza watanzania wana umasikini mkubwa na ccm inatumia mwanya huo kuwafanya washindwe kuchagua manufaa ya muda mrefu badala yake UNK ya muda mfupi alitaja sababu nyingine iliyosababisha chama hicho kushindwa kuwa ni kuruhusiwa kwa waziri wa mambo ya ndani bwana lawrence masha kuingia kwenye vituo vya kupigia kura wakati sheria haimpi mamlaka hayo nec inaibeba ccm kwa sura zote ndio maana chama hicho kinaendelea kushinda alilalamika daktari slaa na kuongeza kuwa pamoja na nec kuibeba ccm chama chake kinaelekeza nguvu zote biharamulo magharibi ambapo utafanyika uchaguzi mdogo wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge wake marehemu phares kabuye tunakwenda biharamulo na nguvu ya ziada kwani tumejifunza na tutaweka mtandao kuanzia chini kabisa alisema na kuongeza kuwa kazi inayofanywa na chama chake kwa sasa ni kutafuta mgombea UNK alisema timu yote ya maofisa na wakurugenzi wa chadema waliokuwa wamejichimbia busanda wote UNK kambi biharamulo pamoja na magari yote waliyokuwa nayo kwa upande wake mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba alipoulizwa kuhusiana sababu ya chama hicho kushindwa vibaya kwenye uchaguzi huo alisema wanatarajia kutoa taarifa rasmi wakati wowote kuanzia leo gazeti hili UNK zaidi sababu ya kura za chama hicho UNK kutoka thebathini na sita sifuri sifuri sifuri ambazo mgombea ubunge wa cuf alipata mwaka ishirini sifuri tano katika jimbo la busanda hadi kufikia mia sita na sabini na saba profesa lipumba alikataa katakata kuzungumzia hilo akisisitiza kuwa kuna taarifa rasmi ataitoa kuhusu uchaguzi wa busanda kwa upande wake profesa abdallah saffari ambaye katika uchaguzi mkuu wa cuf uliopita aligombea na profesa lipumba nafasi ya uenyekiti na kushindwa alisema amefurahishwa na chama chake hicho kushindwa vibaya niliwaambia kuwa pale hakuna uongozi UNK wakati nadharia yangu ilikuwa kweli nilisema UNK UNK siku moja lakini wao wataendelea kulia maisha yao yote alisisitiza profesa saffari alisema cuf itaendelea kupoteza umaarufu kila kukicha kwa sababu uwezo wa kuongoza wa profesa lipumba na katibu mkuu wake maalim seif sharif hamad UNK kikomo pale hakuna kitu hakuna cha maalim seif wala profesa lipumba alisisitiza na kuongeza kwamba wamebaki kusimamisha wagombea kwa ajili ya UNK demokrasia lakini sio kwa ajili ya kushinda mwenyekiti wa united democratic party bwana john cheyo alipoulizwa kuhusiana na chama chake kufanya vibaya alikataa kuzungumzia matokeo akidai UNK kura za mgombea wake UNK na mwandishi wa habari hizi kuwa chama chake kimepata kura mia tatu na themanini alijibu wewe ndiye unaniambia hivyo wengine wameniambia tumepata kura zaidi ya moja sifuri sifuri sifuri kwa hiyo siwezi kutoa maoni yangu hasa ukizingatia kuwa kwa sasa nipo afrika kusini kwenye mkutano kwa hiyo sijui kinachoendelea huko alisema akizungumzia kitendo viongozi wa chadema UNK matokeo katibu wa itikadi na uenezi wa halmashauri kuu ya ccm bwana john chiligati alisema hali hiyo imechangiwa na uchanga wa kisiasa walionao viongozi wa chama hicho alisema mfumo wa vyama vingi kwa nchi za afrika umeanza karibuni hivyo vyama vingi UNK daktari slaa UNK matokeo ya busanda kwa sababu UNK kisiasa mbona sisi UNK tarime UNK kushindwa alihoji bwana chiligati alipoulizwa ni kwa nini mwelekeo wa sasa unaonesha ccm kutokubali maeneo ya mijini kama ilivyo vijijini hali inayosababisha chama hicho kupata kura kidogo bwana chiligati alikiri hilo na kusema ccm inatekeleza ilani yake kwa kiwango sawa maeneo ya mijini na vijijini lakini mijini mahitaji yao ni makubwa watu wa mijini wanataka maisha bora wakati hawataki kufanyakazi unakuta mtu anaamka asubuhi na kuanza kucheza huku akisubiri maisha bora alisema ccm kupata kura kidogo maeneo ya mijini ni changamoto ambayo viongozi wa ccm UNK na inafanyiwa kazi alipoulizwa ni kwa nini ccm ilimuacha mgombea aliyekuwa UNK zaidi katika jimbo la busanda wakati wa kura za maoni za chama UNK bwana donald UNK aliyeshika nafasi ya pili na kumpitisha bibi bibi lolensia bukwimba ambaye pamoja na kuongoza alikuwa UNK kwa kutoa takrima kwa wagombea alijibu ni kweli aliyeshika namba mbili anafahamika sana hasa kutokana na kujihusisha na biashara ya pamba tofauti na yule mama hata kwenye vikao vyetu UNK sana tuliamua hivyo kwa kizungu wanasema ku risk lile jimbo ili kuwasaidia akina mama unajua UNK akina mama unakuwa umesaidia jamii alisema bwana chiligati hii si mara ya kwanza kwa ccm kufanya maamuzi ya ku risk jimbo UNK kufanya hivyo kwa lucy na tatu ambao kwenye kura za maoni kwenye majimbo yao walikuwa wameshika nafasi ya tatu tunachukua risk kusaidia akina mama lakini wale watakaobainika kujihusisha na rushwa kwenye kura za maoni tutawafikisha mahakamani ccm haina mchezo na hilo hata kama mkakati wetu ni kuongeza idadi ya wanawake kwenye vyombo vya maamuzi alisema uchaguzi huo wa jimbo la busanda ulifanyika jumapili iliyopita ambapo mgombe wa ccm bibi bukwimba alipata kura ishirini na tisa mia mbili na arobaini na mbili akifuatiwa na bwana finias magesa aliyepata kura ishirini na mbili mia saba na ishirini na nane mgombea wa cuf bwana daud ndalahwa alipata kura mia sita na sabini na saba na bibi beatrice lubambe wa udp alipata kura mia mbili na sabini na moja wakati huo huo udp kimetangaza nia yake ya kuweka mgombea katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la biharamlo magharibi unaotarajiwa kufanyika julai tano mwaka huu akizungumza na majira kwa njia ya simu jana katibu wa chama hicho bwana john nkolo ambaye alikuwa jimboni busanda kwenye uchaguzi uliomalizika juzi alisema kuwa wataweka mgombea katika jimbo UNK na viongozi wetu walioko mkoani kagera wameniambia wapo wanachama UNK onesha nia ya kugombea jimbo la biharamlo magharibi lililoachwa na marehemu bwana phares alisema katibu huyo wa udp chama hicho kinakuwa cha tatu kwa upande wa vyama vya upinzani kutangaza nia ya kuwania jimbo hilo vyama vingine UNK tangaza nia hiyo ni tlp cha chadema taarifa hii imeandaliwa na faida muyomba na reuben kagaruki mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa arusha UNK kesi ya mbunge wa jimbo la simanjiro mkoani manyara bwana christopher ole sendeka baada ya mbunge huyo kutofika mahakamani hapo kufuatia kuugua homa ghafla mbunge huyo anakabiliwa na mashitaka ya kushambulia kudhuru mwili na kumtishia kwa bastola bwana james ole millya ambaye ni mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi mkoa wa arusha januari tisa mwaka huu eneo la chuo cha ualimu monduli mkoani hapa wakili wa mbunge sendeka bwana james ngalo alieleza mahakamani hapo jana mbele ya hakimu mkazi bwana james UNK kuwa mteja wake amepata homa ghafla hivyo haikuwa rahisi kufika mahakamani na kuiomba mahakama kupanga tarehe nyingine ya kusikilizwa kesi hiyo mheshimiwa hakimu kesi hii ilipangwa kuanza kusikilizwa leo kwa upande wa mashahidi wa mlalamikaji kutoa ushahidi nasikitika kusema mteja wangu hayupo mahakamani hapa amepata homa hivi ni vyeti vya matibabu na cheti cha mapumziko kutoka kwa daktari alisema wakili huyo kufuatia ombi hilo hakimu pamoja mawakili wa serikali hawakuwa na pingamizi la hoja hiyo na kuomba kupanga tarehe nyingine ya kusikilizwa kesi hiyo mbali ya kutoa ombi la kuahirishwa kesi hiyo wakili ngalo aliiomba mahakama kupanga tarehe hiyo baada ya mkutano wa bunge la bajeti unaotarajiwa kuanza mapema mwezi ujao mahakama iliahirisha kesi hiyo hadi agosti kumi na tisa mwaka huu baada ya kutajwa itasikilizwa mfululizo kwa siku tatu shahidi wa kwanza katika kesi hiyo yenye mashahidi kumi na tatu ni mkuu wa mkoa wa singida bwana UNK kone ambaye jana alikuwa mahakamani hapo tayari kutoa ushahidi UNK wazawa UNK UNK yadai imechangia kudorora hali ya uchumi benki kuu ya tanzania imeishauri serikali kuwamilikisha wazawa reli ya kati kama inataka kujikomboa kiuchumi hususani wakati huu wa mtikisiko wa fedha UNK dunia reli hiyo kwa sasa inamilikiwa kwa ubia kati ya serikali yenye hisa arobaini na tisa na kampuni ya rites kutoka nchini india ambayo tangu UNK reli hiyo imeonesha kushindwa UNK kutoka na ukata UNK bot pia imeishauri serikali kujikita zaidi kwenye kilimo cha mashamba makubwa UNK ongezeko la mazao ya chakula na biashara nchini ushauri huo ulitolewa jana na gavana wa bot profesa benno ndullu wakati akiwasilisha taarifa ya utendaji wa benki hiyo na hali ya uchumi wa nchi kwa kipindi cha julai ishirini sifuri nane hadi aprili ishirini sifuri tisa kwenye mbele ya kamati ya kudumu ya fedha na uchumi ya bunge la jamhuri ya tanzania profesa ndullu alisema ili uchumi uweze kuimarika serikali inapaswa kuimarisha miundombinu yake hususan reli barabara na bandari ili kusadia usafirishaji bidhaa kutoka eneo moja kwenda lingine kwa urahisi iwapo wazawa watachanga fedha zao kama walivyofanya katika sekta zingine za kibenki na kununua shirika la reli wanaweza kufanya vizuri kuliko mwekezaji wa sasa alisema profesa UNK alisema ukuaji uchumi wowote duniani kwa asilimia kubwa unategemea ni jinsi gani sekta ya usafiri UNK profesa ndullu alisema kuanguka kwa bei ya kahawa katika soko la dunia kumechangiwa pia na usafiri mabovu wa reli na uchakavu wa mabehewa yanatumika katika reli hiyo alisema mabehewa mengi yamekuwa UNK kusafirisha mazao kama pamba kahawa na tumbaku kutoka na kuvuja maji wakati wa msimu wa masika hivyo kupunguza ubora wa bidhaa hizo katika soko la dunia alisema sekta nyingine inayochangia kuzorota uchumi ni bandari kutofanya kazi vizuri jambo UNK watumiaji wengi hususani wafanyabiashara kutumia bandari zingine kukwepa urasimu alisema bandari ya dar es salaam imekuwa UNK kutoa mizigo katika na kushindwa kufika katika soko kwa muda unaotakiwa na kusababisha hasara kwa wateja wake pale dola au shilingi UNK na kushuka katika soko la dunia profesa ndullu alisema wateja wengi kutoka katika nchi za ulaya wamekuwa wakiogopa kupitishia mizingo bandari ya dar es salaam kutoka na kushindwa kwenda na muda hali inayochangia kulipotezea taifa mapato katika ripoti yake alisema pamoja na UNK wa kifedha UNK dunia ukuaji wa uchumi nchini umeendelea kwa kasi ya kuridhisha kwa mwaka ishirini sifuri nane na kufikia asilimia saba nne kutoka saba moja mwaka ishirini sifuri saba alisema mfumuko wa bei umekuwa wa juu zaidi kupita makisio ya awali kwa kipindi cha miezi ya hivi karibuni kutokana na ongezeko la bei ya mafuta na vyakula katika soko la dunia alisema hata hivyo mfumuko huo unatarajiwa kupungua katika siku za karibuni kutokana na mwenendo wa hivi karibuni wa kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la dunia aidha kuendelea kuboreka kwa uzalishaji chakula katika nchi za jirani na utulivu wa thamani ya shilingi katika soko la fedha za kigeni alieleza kuwa hali hiyo itasaidia kushusha bei za chakula nchini na pia bei za bidhaa kutoka nchi za nje alisema hadi kufikia aprili ishirini sifuri tisa hazina ya nchi ya fedha za kigeni katika benki hiyo ilikuwa jumla ya dola za marekani milioni elfu mbili na mia saba na thebathini na tano saba UNK UNK kuagiza bidhaa toka nje kwa kipindi cha miezi nne tatu alisema sekta ya fedha imezidi kuimarika katika kipindi chote cha miezi kumi ya mwanzo katika mwaka ishirini sifuri nane na ishirini sifuri tisa kulingana na vigezo na viashiria vya uimara wa sekta ya fedha alisema benki zote thebathini na sita zilizopo nchini zinakidhi kiwango cha mtaji unaoweza kuhimili madai UNK asilimia kumi na sita mbili ukilinganisha na kiwango cha asilimia kumi inayokubalika kimataifa pia benki zote kwa ujumla zina UNK wa kutosha kukidhi malipo ya wateja kwa kiwango cha asilimia arobaini na tano tano ikilinganishwa na kiwango kinachotakiwa cha asilimia ishirini wakati huo huo wajumbe wa kamati hiyo UNK bot na kuitaka kutoa maelezo ya kuchelewa kutoa taarifa mapema kuhusu madhara ya kampuni ya upatu ya deci wakati ikijua kampuni hiyo ilikuwa ikifanya biashara bila kuwa na leseni kampuni hiyo iliyokuwa na makao yake makuu mabibo dar es salaam na kufungua matawi mikoa mingine ilipigwa marufuku na serikali hivi karibuni baada ya kuonekana inaendeshwa kinyume cha sheria akijibu hoja hiyo profesa ndullu alisema kampuni hiyo iliyosajiliwa agosti ishirini sifuri saba haikuwa na leseni wala kibali chochote cha kufanya biashara alisema pamoja na kampuni hiyo ya upatu kupata usajili kutoka brella haikufanya juhudi zozote kutoka idara yoyote ya serikali inayohusika na utoaji wa leseni za biashara katika taasisi za kifedha UNK na utoaji mikopo alisema kampuni hiyo haikuwa chini ya benki yake kwa kuwa haikuweka amana katika benki hiyo lakini kutoka na kuwa benki hiyo ndiye msimamizi mkuu wa fedha nchini ililazimika kutoa taarifa kwa wananchi kwa kuwa ilijua kuwa kampuni hiyo UNK zaidi ya miezi miwili kufilisika alisema uzoefu unaonesha kuwa upatu UNK kufanikiwa bali watu wengi wamekuwa UNK na kuwa masikini wa UNK ni kutokana na upungufu hati ya mashitaka UNK ulinzi mkali UNK takukuru mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam imeondoa hati ya mashitaka na kuwaachia huru aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi bwana amatus liyumba na meneja mradi bwana deogratius kweka pamoja na mahakama hiyo kuwaachia huru washitakiwa hao walikamatwa tena na kuwekwa chini ya ulinzi mkali na baadae kupelekwa katika taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa hayo yalifanyika jana mahakamani hapo ambapo uamuzi wa kuondoa hati ya mashitaka na kuwaachia washitakiwa hao ulitolewa na hakimu mkazi bibi warialwande lema baada ya kupiga danadana kwa muda mrefu kitendo cha washitakiwa hao kukamatwa tena kilizua simanzi kubwa kwa ndugu wa washitakiwa hao ambao awali walionekana kujawa furaha wakiamini kuondoka na ndugu zao uamuzi huo unatokana na ombi lililowasilishwa mahakamani hapo na upande wa utetezi ambao uliiomba mahakama kufuta hati ya mashitaka hayo na kuwaachia huru mara moja washitakiwa hao kutokana na hati iliyokuwepo mahakamani kuwa mbovu akitoa uamuzi huo bibi lema alisema kuwa kutokana na hoja mbalimbali zilizowasilishwa na pande zote mbili mahakama inakubaliana na kuona kuwa hati iliyopo mahakamani hapo ni mbovu hivyo UNK mara moja kwa mujibu wa hoja za upande wa mashitaka zilizowasilishwa kuhusiana na ombi hilo upande huo ulikiri kuwa hati hiyo ina upungufu wa kisheria kama upande wa utetezi ulivyokuwa ukidai upande wa utetezi ulisema vifungu vya sheria vilivyotumika katika kuwashitaki washitakiwa hao havioneshi makosa ya washitakiwa washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo wakikabiliwa na makosa ya matumizi mabaya ya ofisi ambapo kati ya mwaka ishirini sifuri moja na ishirini sifuri sita walitumia madaraka yao vibaya kwa kuidhinisha malipo ya majengo pacha ya bot bila idhini ya bodi ya wakurugenzi hivyo kusababisha serikali hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja baada ya washitakiwa hao kuachiwa huru hawakuweza kupata muda kufurahia uhuru huo kutokana na askari wenye silaha kuwa sambamba nao huku wengine UNK kiraia UNK nao kutokana na msongamano wa watu ambao walifika kwa ajili ya kusikiliza kesi mbalimbali washitakiwa hao UNK katika ofisi ya waendesha mashitaka na baadae kupandishwa kwenye gari namba t mia tatu na thebathini na saba UNK na kuondoka nalo gari hilo ambalo walipanda washitakiwa hao lilikuwa na askari wengi wenye silaha uchunguzi wa majira ulibaini washitakiwa hao kupelekwa takukuru kuachiwa huru chini ya kifungu cha mia mbili na ishirini na tano cha cpa kinawapa mwanya polisi kuwakamata tena washitakiwa na kuwafikisha mahakamani upya hivyo washitakiwa hao wanaweza kufikishwa mahakamani wakati wowote kwa mujibu wa sheria na edmund mihale mamlaka ya bandari tanzania kampuni ya kupakua mizigo bandarini na mamlaka ya mapato tanzania wameanza UNK uchawi kuhusu chanzo cha ucheleweshaji utoaji mizigo katika bandari ya dar es salaam bandari hiyo imekuwa ikilalamikiwa mara kwa mara kwa kushindwa kutoa mizigo kwa wakati na kusababisha nchi zilizokuwa UNK zikiwemo uganda burundi jamhuri ya kidemokrasi ya kongo na rwanda kupitisha mizigo yao bandari ya mombasa kenya wakati tra ikitarajia kuwakilisha ripoti yake leo mbele ya kamati ya kudumu ya fedha na uchumi ya bunge jana tpa UNK lawama kwa tra na ticts kuwa ndio chanzo cha ucheleweshaji mizigo bandarini hapo hayo yalijitokeza wakati tpa ikiwakilisha ripoti ya utendaji wake kwa kamati hiyo ya bunge katika ukumbi wa ofisi ndogo za bunge dar es salaam mjumbe wa kamati hiyo bwana richard ndasa ambaye ni mbunge wa sumve alishangaa tanzania kuwa masikini wakati UNK kuwa na bandari inayokubalika kutumika na nchi jirani kutokana na hali ya kijiografia lakini imeshindwa kufaidika nayo UNK eti hatuna fedha wakati fedha zipo na UNK wenyewe hili linanifanya UNK nafasi ambazo mungu UNK tunashindwa UNK tunasema hatuna fedha na hii bandari ya nini alihoji bwana UNK alisema bandari imebeba dhamana kubwa kuhakikisha uchumi wa taifa unakuwa kutokana na kuhamasisha wateja wengi kusafirisha na kupokea mizigo yao sehemu mbalimbali kwa UNK bwana ndasa alisema imefika wakati bandari hiyo kujifunza kutoka dubai ambayo imekuwa ikiitumia bandari yake kikamilifu na kukuza pato la taifa hilo alisema bandari hiyo imekuwa UNK kontena kumi sifuri na kuondoa msongamano wa mizigo hivyo kukidhi mahitaji ya wateja wake alisema haoni sababu kwa mamlaka hiyo kuendelea kuikumbatia ticts kwa kuipa nafasi kuwa kampuni pekee ya kupakua mizigo bandarini hapo bila ushindani jambo linalochangia kushuka kwa ufanisi alisema imefika wakati wa mamalaka hiyo kujua kuwa dunia ya sasa ni ya ushindani na si ya kulindana wakati uchumi wa nchi UNK kudidimia naye mbunge wa mvomero bwana suleiman UNK alisema taarifa iliyotolewa na mamlaka hiyo ni nzuri kusoma lakini haiendani na hali halisi ya utendaji kazi wa mamlaka hiyo kutoka na UNK mizigo bandarini hapo alisema taarifa zinazotolewa na mamlaka hiyo zimekuwa UNK ukweli jambo ambolo limekuwa UNK kamati hiyo wakati mgumu kushindwa kusaidia mamlaka hiyo inapobidi unajua kama taarifa hii ingekuwa na ukweli UNK ni wapi UNK hapa mnasema kuna mafanikio mimi sioni kama kuna mafanikio hayo UNK ni mafanikio yametokana na msukumo kutoka ngazi za juu UNK nguvu yenu hapa alisema bwana UNK alisema ushahidi wa kushindwa utendaji kazi kwa bandari UNK na baadhi ya nchi kuamua kupitisha mizigo yao mombasa kenya bwana UNK alisema kuzorota sekta ya bandari kumesababisha pia kuyumba sekta zingine kama usafirishaji hoteli nyumba za kulala wageni na ushuru mbalimbali unaotolewa katika barabara zetu hali ambayo inachangia taifa kukosa mapato awali akitoa taarifa hiyo kaimu mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo bibi UNK senkoro alisema katika kipindi cha ishirini sifuri saba na ishirini sifuri nane mamlaka hiyo iliendesha shughuli zake kwa ufanisi mkubwa zaidi ukilinganishwa na miaka ya nyuma alisema mamlaka hiyo kwa kushirikiana na wadau wengine kama tra ticts sumatra UNK UNK UNK trl UNK na UNK walipunguza msongamano mizingo katika bandari hiyo alisema idadi ya meli UNK kupungua siku hadi siku kutoka meli ishirini na tatu hadi nane kwa siku alisema wastani wa meli za kontena kusubiri nje ya bandari umepungua kwa wastani wa siku moja saba ikilinganishwa na wastani wa siku tisa siku za nyuma akijibu hoja za wajumbe hao naibu mwenyekiti wa mamlaka hiyo bwana dustan mrutu alisema ucheleweshaji utoaji mizigo bandarini hapo unatokana na kushindwa kufanya kazi kwa wakati kwa tra na ticts bwana mrutu alisema kuwa vitengo hivyo vina uwezo mdogo katika utendaji wake hali ambayo inasababisha UNK wa mizigo katika bandari hiyo na kusema si tpa inayokwamisha mizigo hiyo alisema kumekuwa UNK wa kutisha sehemu ya UNK UNK hali inayosababisha kero kubwa wateja wengi alisema sababu nyingine ni ubovu wa miundombinu nchini hususan ukosefu mabehewa katika reli ya kati na tazara jambo linalokwamisha wateja wengi kusafirisha mizigo yao na grace michael siku moja baada ya kuachiwa huru kwa aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi wa benki kuu ya tanzania bwana amatus liyumba amefikishwa tena katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu akikabiliwa na mashitaka mawili likiwemo la kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja hatua ya kufikishwa upya mahakamani hapo inatokana na kuondolewa kwa mashitaka ya awali na kuachiwa huru kitendo kilichowafanya wakamatwe tena na polisi hata hivyo bwana liyumba alifikishwa peke yake mahakamani hapo tofauti na ilivyokuwa awali ambapo makosa hayo yaliwakabili watu wawili akiwemo na aliyekuwa meneja mradi wa majengo pacha ya bot bwana deogratius kweka mshitakiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo nyakati za mchana akiwa chini ya ulinzi mkali na baadaye kupandishwa kizimbani mbele ya hakimu mkazi bibi nyigulila mwaseba akisomewa mashitaka na wakili wa serikali bwana UNK UNK mshitakiwa huyo alidaiwa kuwa kati ya mwaka ishirini sifuri moja na ishirini sifuri sita akiwa ameajiriwa na bot alitumia vibaya ofisi yake kwa kuchukua uamuzi katika ujenzi wa majengo pacha ya benki hiyo katika kosa la pili mshitakiwa huyo alidaiwa kuwa kati ya kipindi hicho alitumia vibaya ofisi yake kwa kuidhinisha malipo ya majengo pacha ya bot bila idhini ya bodi ya wakurugenzi hivyo kusababisha hasara kwa serikali ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja mshitakiwa huyo alikana kutenda makosa hayo na wakati alipotakiwa kujibu ndiyo au hapa bwana liyumba alionekana kukerwa na mashitaka hayo kitendo kilichomfanya kuhoji taasisi UNK hasara baada ya kumaliza kusomwa kwa mashitaka hayo upande wa mashitaka ulisema kuwa hauna pingamizi la dhamana kwa mshitakiwa lakini UNK mahakama kuzingatia kifungu cha sheria mia moja na arobaini na nane cha cpa ambacho kinataka mshitakiwa kuweka nusu ya fedha mahakamani anazodaiwa kuiba hoja hiyo ilipingwa vikali na upande wa utetezi ambao uliwakilishwa na wakili bwana majura magafu ambaye aliiomba mahakama kumpa dhamana mshitakiwa kwa kuwa makosa UNK nayo UNK bwana magafu alisema kuwa kifungu cha sheria ambacho UNK na upande wa mashitaka UNK na mashitaka yanayomkabili mshitakiwa huyo kifungu hiki UNK vibaya kwani UNK ni yule mshitakiwa anayedaiwa kuiba fedha au mali yenye thamani inayotakiwa lakini si kwa kosa la kusababisha hasara kwa hiyo haina maana kuwa mshitakiwa UNK fedha hizo alisema bwana magafu alisema sheria hiyo UNK kama mtego wa panya kwa ajili ya kuwatesa washitakiwa au kuwanyima dhamana kwani dhamana ni haki ya mshitakiwa ili dhamana UNK na mahakama ni lazima kuwe na ushahidi wa kutosha kuhusiana na madhara UNK na mshitakiwa baada ya kupata dhamana hiyo lakini wenzetu UNK ni ushahidi wowote hivyo ni rai yetu kuwa makosa haya hayahusiani na sheria hiyo alisema bwana magafu kutokana na malumbano hayo ya kisheria mahakama iliahirisha kesi hiyo na kusema kwa kuwa ubishi ni kuhusiana na masharti ya dhamana na sio pingamizi uamuzi kuhusiana na hilo utatolewa leo mahakamani hapo kuhusiana na bwana kweka majira lilifuatilia na kubaini kuwa bado anashikiliwa na takukuru kwa ajili ya mahojiano zaidi sio kwamba ameachiwa huru kuna mambo ambayo bado yanafanywa kuhusiana na mshitakiwa huyo kilisema chanzo cha habari hata hivyo sababu ya mshitakiwa huyo kuletwa mahakamani hapo mchana ilitokana na ofisi ya mkurugenzi wa mashitaka nchini kukuna kichwa kuhusiana na uandaaji wa hati mpya ya mashitaka chanzo chetu kilieleza kuwa ofisi hiyo ilikaa kikao kwa ajili ya kujadili namna ya uandaaji wa hati hiyo mpya hali iliyosababisha kuchelewa kufikishwa mahakamani ndugu wa bwana liyumba waliokuwa mahakamani hapo walionekana kujawa huzuni muda wote huku wakitafakari mahakama itaamua nini juu ya dhamana asema polisi UNK kuficha ukweli UNK ajali aliyopata iringa kupangwa akerwa uchunguzi kuendeshwa kisiasa siku mbili baada ya jeshi la polisi kumtaka mbunge wa kyela daktari harrison makyembe kuacha kutoa taarifa zisizokuwa za kitaalam kuhusiana na ajali aliyoipata wiki iliyopita mbunge huyo machachari UNK jeshi hilo akisema limeonesha jeuri na kiburi kisichokuwa na tija na ni kielelezo kuwa baadhi ya viongozi kwenye vyombo vya dola wamelewa madaraka daktari mwakyembe kupitia taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari dar es salaam jana alisema purukushani zinazofanywa na jeshi la polisi kuficha ukweli zinamfanya aingiwe wasiwasi kuwa ajali yake haikuwa ya kawaida alielezea kushangazwa na kitendo cha kamati maalum iliyoundwa na mkuu wa jeshi la polisi igp said mwema kuchunguza ajali hiyo kushindwa kumhoji yeye na dereva wake ili kupata picha halisi na kamilifu kuhusiana na ajali hiyo kama mimi na dereva wangu tungesikilizwa nina uhakika taarifa ya kamati maalum UNK kulidhalilisha jeshi la polisi kwa kukosa umakini na viwango alisema daktari mwakyembe alisema uamuzi wa kamati hiyo kumkamata dereva wake na kumshitaki wakati huo huo ikiwa tayari imemhukumu kuwa ni mwongo na UNK hivyo afunguliwe mashitaka mahakamani UNK na utawala wa sheria na misingi UNK na katiba na UNK mahakama kama chombo cha kupiga muhuri maamuzi ya polisi alifafanua kuwa hatua ya jeshi la polisi ina mwelekeo wa kisiasa kuliko utaalam na upelelezi wa uendeshaji mashitaka alisema linapotokea kosa kazi ya polisi ni UNK na kukusanya ushahidi kwa lengo la kufikisha suala husika kwenye chombo cha kutoa haki ambacho ni mahakama kwa kuwa ndiyo yenye utaalam wa kuchuja ushahidi na kutenganisha uongo aliongeza kuwa inashangaza kwa kamati hiyo kupitia maelezo aliyoyatoa na yale ya dereva wake na kisha kukusanya ushahidi wa ziada na baadaye kutoa uamuzi wenye mchakato wa UNK alipinga vikali kauli ya kamati hiyo kuwa wakati ajali hiyo inatokea alikuwa usingizini ningetegemea madai hafifu kama hayo yangetolewa na mganga wa kienyeji anayetumia ramli kufanya maamuzi na sio jeshi la polisi lenye wataalam alisema alisisitiza kuwa ajali hiyo UNK kwa macho yake na asingeweza UNK kwa kuwa safari yake ilianzia makambako na wakati inatokea ilikuwa ni mwendo wa saa moja hivyo kwa mazingira ya kawaida asingekuwa amelala daktari mwakyembe alisema kitendo cha polisi kutumia vyombo vya habari UNK ushahidi wa wahusika wakuu kwenye ajali ni kielelezo cha UNK wa jeshi hilo alisema ajali hiyo ilipotokea mkuu wa polisi mkoa wa iringa alinukuliwa akisema chanzo cha ajali hiyo ilikuwa shimo la barabarani na kwamba ajali hiyo UNK na njama zozote au hujuma aliongeza kuwa kauli hiyo ya rpc inamfanya ajiulize maswali matatu kwanza najiuliza ni kitu gani UNK rpc muda mfupi baada ya ajali kutokea kutoa tamko kuwa chanzo cha ajali lilikuwa shimo alihoji daktari mwakyembe na kuongeza ni nani alimwambia rpc kuwa ajali hiyo ilitokana na hujuma au njama kiasi cha yeye kulazimika kutoa tamko gazetini mapema alisema baada ya kutoa tamko hilo meneja wa tanroad mkoani iringa alinukuliwa na vyombo vya habari akisema shimo linalodaiwa kusababisha ajali lilikuwa dogo kamati hiyo ilibaini sababu zipi za meneja wa tanroad na rpc kutofautiana alihoji alifafanua kuwa dereva wa lori alinukuliwa na vyombo vya habari akisema UNK gari lao na kwamba dereva wangu alikuwa kwenye mwendo kasi na UNK alisema anajiuliza ni kwa nini kamati hiyo ilishindwa kumhoji vizuri dereva huyo wa UNK alihoji sababu kuendelea kuogopa kulikamata lori hilo na kulikagua ili kujua kama lina alama ya UNK na gari lake aliongeza kuwa dereva wa lori alishuhudia ajali ya gari lake lakini UNK bali aliendelea na safari ni nini tafsiri wa kamati hiyo kuhusiana na kitendo cha dereva huyo kuendelea na safari alihoji kuhusu kauli ya kamati hiyo ya kumtaka asitoe kauli zisizo za kitaalam kuhusiana na ajali daktari mwakyembe alionekana kushangazwa na hatua hiyo najiuliza ni utaalam gani unahitajika kueleza kitu kilichomsibu mtu mathalani nyumba yangu UNK moto kwa hiyo kamati hiyo UNK UNK kuwa chanzo cha moto kilikuwa ni UNK au UNK hadi UNK kombe alisema na kuongeza kwa hiyo UNK UNK waje wapige ramli kama walivyofanya kwenye ajali yangu alisema ajali nyingi UNK hapa nchini abiria na madereva huwa UNK lakini iweje taratibu hizo UNK kwenye ajali yake alihoji hamasa ya jeshi la polisi UNK kila analosema na kulitafutia maelezo mbadala inachochewa na nini na kwa faida ya nani alisema mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kutetea uzembe wa dereva kwani kufanya hivyo ni kujichimbia kaburi mwenyewe alilitaka jeshi la polisi kutambua kuwa ni chombo kinachosimamia usalama wa raia wote bila ubaguzi hivyo kamwe UNK kwenye siasa peter masangwa na salum pazzy taarifa ya tathmini ulipaji fidia kwa waathirika wa mabomu eneo la mbagala dar es salaam imekwama kutolewa baada ya tume iliyoundwa kufanya kazi hiyo kushindwa kukabidhi ripoti hiyo kwa mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi jana kama ilivyopangwa maafa hayo UNK milipuko ya mabomu katika kambi ya jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania iliyotokea aprili ishirini na tisa mwaka huu na kusababisha watu ishirini na saba wakiwemo wanajeshi sita kupoteza maisha na mamia ya wananchi kujeruhiwa sambamba na nyumba nyingi UNK akizungumza na gazeti hili kuhusu ripoti hiyo jana bwana lukuvi alisema tume hiyo imeshindwa kufanya hivyo kutokana na UNK shughuli ya kuhakiki nyumba na mali za waathirika hao ili kuondoa utata kwa baadhi ya namba UNK wameniomba UNK ripoti hiyo leo kwa sababu UNK kuhakiki baadhi ya maeneo na mimi nikaona si vema kupokea kitu ambacho UNK hivyo UNK niwape muda kukamilisha alisema bwana lukuvi alisema sababu nyingine iliyochangia kukwama kuwasilishwa taarifa hiyo ni kuongezeka malalamiko baada ya milipuko ya pili kutokea na baadhi ya watu kuhitaji kufanyiwa marekebisho ya tathmini hiyo alieleza kuwa lengo la serikali ni kuhakikisha kila mwathirika anapata fidia stahiki baada ya kupokea taarifa hiyo bwana lukuvi UNK ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa kwa ajili ya malipo hayo bwana lukuvi aliliambia majira kuwa ofisi ya waziri mkuu ndio UNK kutangaza utaratibu utakaotumika kulipa fidia kwa waathirika hao hata hivyo kukwama taarifa hiyo UNK kwa hisia tofauti na baadhi ya waathirika mmoja wao alisema hizo ni dalili za mwanzo zinazoonesha kuwa serikali haiwezi kulipa fidia hiyo kwa wakati tunaomba haki itendeke na UNK kulipwa fidia zetu wameshaanza kusogeza mbele muda wa kutoa taarifa tu sasa malipo yenyewe itakuwaje alisema mmoja wa waathirika hao aliyejitambulisha kwa jina moja la abdallah mkazi wa mbagala kizuiani hao mbali na tathimini hiyo serikali iliamua kuwasaidia chakula na mahema waathirika wote wa mabomu watu binafsi na taasisi mbalimbali nazo zilitoa mchango mkubwa kwa waathirika hao hatimaye aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi wa benki kuu ya tanzania bwana amatus liyumba amefanikiwa kupata dhamana baada ya mahakama kukubaliana na hoja za upande wa utetezi mshitakiwa huyo alifanikiwa kupata dhamana jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam mbele ya hakimu mkazi bibi nyigulila mwaseba uamuzi huo unatokana na upande wa mashitaka kuiomba mahakama kutumia kifungu cha mia moja na arobaini na nane cha cpa ambapo upande wa utetezi ulipinga vikali na kusema kuwa mashitaka yanayomkabili mshitakiwa huyo hayahusiani na kifungu hicho akitoa uamuzi huo bibi mwaseba alikubaliana na upande wa utetezi na kusema kuwa kifungu hicho kinatumika kwa mtu anayedaiwa kuiba fedha taslimu au mali yenye thamani husika lakini si kwa makosa ya kusababisha hasara kama yanayomkabili bwana liyumba kifungu hiki kinahusisha makosa ya fedha taslimu ambazo zinazidi shilingi milioni kumi na kuendelea ambapo mshitakiwa UNK kuweka nusu ya fedha hizo lakini kwa makosa ya mshitakiwa hayahusiani na kifungu hicho alisema bibi mwaseba kutokana na uamuzi huo mahakama ilimtaka mshitakiwa huyo kuweka mahakamani hapo kiasi cha shilingi milioni thebathini sifuri wadhamini wawili wa kuaminika ambao watasaini dhamana ya shilingi milioni hamsini kuwasilisha hati ya kusafiria pamoja na kutosafiri nje ya mkoa wa dar es salaam bila ruhusa baada ya kutolewa kwa masharti hayo mawakili wa mshitakiwa huyo wakiongozwa na bwana majura magafu waliiomba mahakama hiyo kupanga kesi siku ya jumatatu kwa ajili ya kukamilisha masharti ya dhamana ya mshitakiwa huyo kufanikiwa kwa maombi ya upande wa utetezi kumeifanya serikali kubwagwa kwa mara ya pili katika kesi hiyo kwenye maombi mbalimbali ambayo yamewasilishwa na upande huo kitendo cha mahakama kutoa dhamana kwa mshitakiwa huyo kuliwafanya ndugu jamaa na marafiki wa bwana liyumba kujawa furaha huku wengine UNK mungu kwa kuwezesha jambo hilo kutokana na kutokuwa tayari kwa ndugu hao kukamilisha masharti ya dhamana mshitakiwa huyo alirejeshwa rumande hadi jumatatu ijayo ambapo UNK masharti hayo na kuwa nje kwa dhamana mshitakiwa huyo mpaka sasa ana zaidi ya miezi minne rumande alifikishwa mahakamani hapo januari ishirini na saba mwaka huu akikabiliwa na mashitaka ya kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja alidaiwa kuwa kati ya mwaka ishirini sifuri moja na ishirini sifuri sita akiwa ameajiriwa na bot alitumia vibaya ofisi yake kwa kuchukua uamuzi katika ujenzi wa majengo pacha ya benki hiyo katika kosa la pili mshitakiwa huyo alidaiwa kuwa kati ya kipindi hicho alitumia vibaya ofisi yake kwa kuidhinisha malipo ya majengo pacha ya bot bila idhini ya bodi ya wakurugenzi hivyo kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kuhusiana na aliyekuwa mshitakiwa mwenzake bwana deogratius kweka habari zilizopatikana zinadai kuwa bado yuko takukuru kwa mahojiano zaidi yadai ripoti rasmi imewasilishwa jana kwa UNK ni baada ya mbunge huyo kudai ukweli umefichwa siku moja baada ya mbunge wa kyela daktari harrison mwakyembe kutoa taarifa ya kutoridhishwa na taarifa ya kamati iliyoundwa na mkuu wa jeshi la polisi nchini igp said mwema kuhusu mazingira ya ajili yake jeshi hilo UNK taarifa hiyo taarifa hiyo UNK na mbunge huyo ni ile iliyotolewa mei ishirini na sita mwaka huu UNK uamuzi wa kukamatwa na kufikishwa mahakamani dereva wake kwa kosa la uzembe na kusababisha ajali iliyotokea mei ishirini na moja mwaka huu eneo la UNK akizungumza na majira makao makuu ya jeshi hilo jana dar es salaam ofisa mnadhimu kitengo cha habari katika jeshi hilo bibi suzane UNK alisema polisi haitambui taarifa hiyo kwani taarifa inayotambulika ya ajali ya daktari mwakyembe iliwasilishwa jana asubuhi ofisini kwa igp mwema mimi nashangaa kusikia taarifa hiyo katika magazeti kwa kuwa mzungumzaji wa taarifa hiyo ni igp pekee na ndiye aliunda kamati hivyo UNK walipaswa kuileta kwake na leo ndio amekabidhi hiyo taarifa alisema bibi UNK alisema kimsingi kamati hiyo ilipewa kazi ya kuchunguza mazingira ya ajali na kutoa majibu ya uchunguzi wao kwa igp na endapo itabainika uzembe ulifanyika katika ajili hiyo itapelekwa kwa mwendesha mashitaka wa serikali naye UNK maamuzi kupelekwa mahakamani mhusika bibi suzane alisema kamati hiyo UNK kuhukumu mtu yeyote kwani haina mamlaka ya kufanya hivyo na kama itafanya hivyo itakuwa UNK uhuru wa mahakama ambayo kisheria ndiyo yenye mamlaka alipoulizwa kuwa taarifa iliyotolewa na daktari mwakyembe kuwa ilikuwa ni ya kukurupuka kwa kuwa hakustahili kufanya hivyo bibi suzane alisema daktari mwakyembe kama raia anayo haki ya kueleza hisia zake kwa mujibu wa sheria za nchi lakini alisisitiza kuwa taarifa kamili ipo kwa igp na si hiyo UNK alipoulizwa kuhusu taarifa iliyotolewa na kamanda wa polisi mkoa wa iringa bwana advocate nyombi kupitia vyombo vya habari kuwa dereva wa mbunge huyo anatafutwa na jeshi hilo bibi suzane alisema anachofahamu ni kuwa taarifa hiyo si sahihi kwani naye amekuwa UNK katika vyombo vya habari na kwamba taarifa kamili UNK na igp mwema alisema jeshi hilo UNK taratibu za kisheria na UNK katika maamuzi yake hivyo kama itaonekana dereva huyo amefanya kosa UNK kutokana na sheria zilizopo juzi daktari mwakyembe UNK juu jeshi la polisi akidai kutokana na ripoti hiyo limeonesha jeuri na kiburi kisichokuwa na tija na ni kielelezo kuwa baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wamelewa madaraka alisema purukushani zinazofanywa na jeshi la polisi zinamfanya aingiwe na wasiwasi kuwa ajali yake haikuwa ya kawaida alielezea kushangazwa na kitendo cha kamati maalumu iliyoundwa na mkuu wa jeshi la polisi igp mwema kuchunguza ajali hiyo kushindwa kumhoji yeye na dereva wake ili kupata picha hali na kamilifu kuhusu ajali hiyo kama mimi na dereva wangu tungesikilizwa nina uhakika taarifa ya kamati maalumu UNK kulidhalilisha jeshi la polisi kwa kukosa umakini na viwango alikaririwa akisema daktari mwakyembe alifafanua kuwa hatua ya jeshi la polisi ina mwelekeo wa kisiasa kuliko utaalamu na upepelezi wa uendeshaji mashitaka alipinga vikali kauli ya kamati hiyo kuwa wakati ajali hiyo inatokea alikuwa usingizini ningetegemea madai hafifu kama hayo yangetolewa na mganga wa kienyeji anayetumia ramli kufanya maamuzi kuliko jeshi la polisi linalotumia utaalamu alikaririwa akisema na mwandishi wetu rais mstaafu wa awamu ya tatu bwana benjamin mkapa leo UNK mkutano wa hadhara wa wanachama wa ccm mkoa wa dar es salaam kwenye viwanja vya mnazi mmoja kwa lengo la kujibu kashfa mbalimbali zinazomkabili taarifa zilizolifikia majira jana zilisema mkutano huo utaanza saa tano asubuhi UNK pia na viongozi mbalimbali wa chama hicho ngazi ya mkoa wa dar es salaam na baadhi ya viongozi wa kitaifa taarifa hiyo UNK kuwa katika mkutano huo bwana mkapa ambaye ataambatana na mkewe mama anna anatarajia kujibu shutuma mbalimbali ambazo zimekuwa zikielekezwa kwake kukosoa mambo mbalimbali ya utendaji wakati wa uongozi wake wana ccm na wananchi wa mkoa wa dar es salaam wametakiwa kujitokeza kwa wingi kwenye viwanja hivyo ili kujua ukweli kuhusu madai hayo tunaamini UNK jipu na huenda UNK mzizi wa fitna amekuwa kimya muda mrefu pamoja na kusemwa sana zimesema taarifa hizo bwana mkapa pia atatumia mkutano huo UNK vyombo mbalimbali vya habari ambavyo UNK kwa kuandika tuhuma hizo zinazoelezwa UNK kwa kiasi kikubwa taarifa zimesema kwa muda mrefu kiongozi huyo amekuwa UNK kujibu shutuma hizo na si kwamba UNK kama UNK na wengi mkutano huo wa aina yake pamoja na mambo mengine una lengo la kuhamasisha wana ccm kujindaa na uchaguzi wa serikali za mitaa unaofanyika mwaka huu na kuhamasisha kuanza mapema kwa maandalizi ya uchaguzi mkuu ujao mwakani leo ni siku ya wajinga majina ya watu sita waliokufa maji katika ajali ya meli ya mizigo ya mv fatih UNK meli hiyo UNK na kuzama usiku wa kuamkia juzi katika bandari ya malindi muda mfupi baada ya kuwasili ikitokea dar es salaam watu wengine ishirini na saba UNK kwa mujibu wa daktari mariamu ahmed wa hospitali ya mnazi mmoja ya mjini hapa waliokufa ni yusuf ali omari na UNK nassoro ali wote wa familia moja wakazi wa UNK maili nne zanzibar wengine ni bibi ashura suleiman UNK ali haroub mohamed na UNK mohamed ambao ni ndugu wakazi wa UNK zanzibar mwingine ni bibi neema meshack mkazi wa dodoma ambaye UNK jana kwenda kwao wakati huo huo serikali ya mapinduzi ya zanzibar imeamua kuagiza chombo cha kusaidia kuopoa meli hiyo ambayo bado imezama bandarini hapo baada ya juhudi za kuitoa kwa kutumia upepo kukwama hayo yalielezwa na waziri wa nchi ofisi ya waziri kiongozi bwana hamza hassan juma alipokuwa akizungumza na waandishi wahabari katika eneo la tukio muda mfupi baada UNK cha kamati ya maafa kumalizika kujadili suala hilo waziri hamza alisema kwamba serikali imeamua kuagiza kifaa cha kuongozea meli ili kusaidia kuopoa meli hiyo ambayo imezama ikiwa na shehena ya mizigo na abiria alifafanua kuwa awali meli hiyo ilikuwa itolewe kwa kujazwa upepo kwa kutumia mashine maalumu lakini ilishindikana baada ya upepo kutoka kila wataalamu walipokuwa UNK tatizo hilo lilisababishwa na matobo matatu UNK meli hiyo na kulazimika UNK kwa kutumia UNK lakini bado imeshindwa kuja juu alisema bwana UNK UNK mkasa huo alisema ripoti inaeleza kwamba meli hiyo baada ya kufikia eneo la UNK ikiwa umbali mfupi kutoka bandari ya zanzibar ilianza kuingiza maji na UNK walichukua hatua ya kumwaga maji hayo kwa kutumia pampu huku wakiendelea na safari nahodha aliwasiliana na watu wa bandari na wao UNK afunge UNK katika bandari ya malindi lakini chanzo cha kupinduka meli bado UNK na tunaendelea na uchunguzi zaidi alisema hata hivyo alisema kwamba kumbukumbu zinaonesha chombo hicho UNK hivi karibuni na UNK ingawa UNK kina matobo chini lakini hilo UNK ripoti za wataalamu wanaochunguza ajali hiyo aidha alisema idadi ya abiria waliokuwemo katika chombo hicho imeelezwa walikuwa thebathini na tano na mabaharia kumi na tatu lakini UNK ni ishirini na saba jambo ambalo linaonesha meli hiyo ilikuwa na watu wengi zaidi ya waliotajwa ukweli utapatikana baada ya chombo kuopolewa na kama kuna vitendo vya ukiukwaji wa sheria hatua zitachukuliwa kulingana na uzito wa kosa lenyewe alieleza bwana hamza alisema kamati imetenga shilingi milioni ishirini kushughulikia tatizo hilo na kuwataka wananchi ambao UNK ndugu zao watoe ripoti kwa kamati hiyo ambayo imeanza kupokea matatizo hayo kupitia ofisi yake ya muda iliyofunguliwa bandarini hapo kamanda wa polisi mkoa wa mjini magharibi unguja bwana bakari khatib shaaban amesema juhudi zinaendelea za vikosi vya uokoaji lakini hakuna maiti zilizopatikana zaidi ya tano juhudi za kuopoa chombo zinaendelea lakini mpaka sasa sina jipya zaidi ya watu watano waliopatikana na wale ishirini na saba waliokolewa awali alieleza kamanda huyo meli hiyo ilizama katika bandari ya malindi ikiwa na shehena ya mbao mchele unga wa ngano na soda ambapo hadi jana baadhi ya vitu vilikuwa UNK huku ulinzi ukiimarishwa bandarini hapo baada ya vibaka kuanza kuzamia baharini na kubeba vitu hivyo eneo la UNK kutokana na hali hiyo jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania UNK ulinzi katika maeneo ya kuingia na kutoka bandarini hapo lakini kumekuwepo huku UNK mtu yeyote kuingia zaidi ya wafanyakazi wa bandari na abiria na grace michael mahakama kuu ya tanzania kitengo cha biashara imemwamuru mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya taifa ya chama cha mapinduzi bwana ramadhani madabida kulipa zaidi ya shilingi milioni mia sita na tisini na tisa UNK kama mkopo kutoka benki ya stanbic dar es salaam uamuzi huo ulitolewa mwishoni mwa wiki iliyopita mahakamani hapo na jaji frederick werema baada ya kuridhika na hoja zilizowasilishwa na wakili wa benki hiyo bwana dilip kesaria pamoja na ushahidi uliotolewa mahakamani hapo na meneja wa benki hiyo bwana charles daniel mbali na bwana madabida pia uamuzi huo wa kulipa fedha hizo UNK wadaiwa wengine ambao ni kampuni za pharmaceutical investment UNK trading global trading na mkurugenzi wa kampuni ya pharmaceutical bwana salum shamte wadaiwa hao walipatikana na makosa ya kushindwa kurejesha mkopo huo UNK takribani shilingi mia sita na tisini na tisa mia nane na sitini mia saba na kumi na saba kwa mujibu wa uamuzi wa mahakama hiyo wadaiwa hao mbali na kurejesha mkopo huo pia watalipa faida ya asilimia kumi na tano kwa mwaka ya tangu septemba mosi mwaka juzi lakini pia watalipa asilimia saba ambayo inaanza siku ya kutolewa kwa hukumu hiyo hadi malipo UNK mbali na hayo pia mahakama UNK wadaiwa hao kulipa gharama kwa benki ambazo zilitumika kuendeshea kesi hiyo awali ilidaiwa kuwa benki ya stanbic ilitoa mkopo kwenye kampuni ya pharmaceutical ambapo bwana madabida aliweka dhamana katika mkopo huo ambapo oktoba thebathini na moja ishirini sifuri tatu na deni hilo lilikuwa ni shilingi moja mia moja na kumi mia nne na arobaini na nne mia sita na kumi na moja na baadaye UNK na kufikia shilingi mia tisa na sabini na moja mia nane na sitini na moja sifuri saba nne hata hivyo benki hiyo iliendelea kupunguza deni hilo na ilipofika mei ishirini sifuri nne lilifikia shilingi milioni themanini sifuri lakini wadaiwa hao hawakuweza kulipa ambapo walitakiwa walipe kwa miezi ishirini na nne na kila mwezi UNK shilingi ishirini na tano mia sita na arobaini na tisa mia nne na thebathini na sita kutokana na wadaiwa hao kushindwa kulipa deni hilo benki iliendelea kutoa taarifa za kuwakumbusha na ilipofikia agosti thebathini na moja mwaka juzi deni lilikuwa limepungua hadi shilingi mia sita na tisini na tisa themanini saba mia saba na kumi na saba lakini wadaiwa UNK hali iliyosababisha benki hiyo kufungua kesi mahakamani katika uamuzi wa mahakama jaji alisema ameridhishwa na ushahidi uliotolewa na benki hiyo na kupingana na utetezi uliotolewa na wadaiwa UNK bwana madabida ambao walikana kuhusika na deni hilo ushahidi mwingine UNK mahakama hiyo ni kuwepo kwa nyaraka mbalimbali ambazo zilionesha makubaliano ambayo yalisainiwa na bwana madabida kama mkurugenzi mkuu wa kampuni ya pharmaceutical ambayo ndiyo lilikuwa mkopaji mkuu lakini pia alisaini kama mdhamini mbali na bwana madabida kusaini kama mdhamini katika mkopo huo pia mkewe bibi UNK madabida ambaye ni mkurugenzi wa kampuni alisaini kama mdhamini katika utetezi wa bwana madabida UNK kuhusika na deni hilo na UNK kibao benki hiyo kuwa ilitakiwa kumlipa dola za marekani kumi tano sifuri sifuri sifuri ambazo UNK na bohari kuu ya dawa na UNK hilo lilisababishwa na benki kwa kuchelewa kufungua hati ya malipo alidai kuwa kampuni ya pharmaceutical iliingia mkataba na msd wa kusambaza dawa mbalimbali zenye thamani ya dola za marekani milioni tano moja ambazo UNK kutoka nje ya nchi na kwa kuwa kampuni hiyo haikuwa na mtaji wa kutosha iliiomba msd kufungua hati ya malipo ambayo UNK na benki hivyo kusababisha hasara alidai kutokana na ucheleweshaji wa UNK wa hati hiyo ya malipo ambayo ilifunguliwa mwaka mmoja baadae UNK usambazaji wa dawa hizo kitendo UNK kampuni na kutozwa kiasi hicho cha fedha kama fidia wawekezaji UNK wakati wa zabuni rites walipewa kwa kukosekana ushindani UNK atc kuzidiwa na precision air mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za mashirika ya umma bwana zitto kabwe amesema kusuasua kwa kampuni ya reli tanzania kumechangiwa na idadi ndogo ya wawekezaji waliojitokeza kuomba zabuni kuendesha reli hiyo hivyo kuifanya serikali kukosa mbadala na UNK kuipa kampuni ya rites kutoka india kwa mtindo wa hakuna namna bwana zitto aliyasema hayo dar es salaam jana wakati akizungumza katika mahojiano maalumu na kipindi cha mambo leo kinachorushwa na kituo cha times kumi sifuri tano fm alisema migogoro mbalimbali ya wafanyakazi inayoendelea trl inachangiwa na mwekezaji kampuni ya rites kushindwa kuboresha huduma wanazotoa katika kiwango UNK na kuongeza kuwa kampuni imeshindwa hata kuboresha usafiri wa mizigo na abiria hadi sasa alifafanua kuwa pamoja na serikali kumiliki asilimia arobaini na tisa na rites asilimia hamsini na moja serikali imeendelea kubeba mzigo mzito zaidi kuliko kampuni hiyo ambayo wananchi waliamini ingeleta mabadiliko makubwa kwa kuboresha huduma hizo alieleza kuwa katika mchakato wa kutangaza zabuni ya uuzaji shirika la reli tanzania kampuni mbili tu ndizo zilijitokeza ambazo ni UNK ya india na mwekezaji mwingine kutoka afrika kusini ambaye hata hivyo alijitoa hatua za mwisho hivyo kuifanya serikali kukosa namna na kuingia mkataba na mwekezaji UNK sababu kubwa ya mlundikano makontena bandarini ni huduma mbovu zinazotolewa na trl nchi mbalimbali duniani hutumia usafiri wa treni kusafirisha mizigo yao tofauti na tanzania hivi sasa ambayo haina huduma hiyo pamoja na kuwepo mwekezaji aliyepewa shirika hilo alisema alidai kuwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita serikali ilifanya maamuzi mabovu kubinafsisha mashirika ya umma na kwamba yalikuwepo mashirika ambayo UNK hata kufikiriwa kuingizwa katika mchakato wa UNK alitoa mfano wa menejimenti ya shirika la umeme tanzania kwamba haikupaswa kuingizwa katika mpango huo zaidi ya kufanyika mabadiliko ya uwekezaji kutoka serikalini alisema tanzania imebahatika kwa kuwa na nishati nyingi ya gesi na mafuta ambayo kama tanesco itaongezewa nguvu na uwezo wa kuzitumia nishati hizo tanzania itakuwa nchi ya kwanza afrika kutoa huduma ya umeme na kulifanya shirika hilo kujiendesha kwa faida mwaka ishirini sifuri sita tanesco ilipata hasara ya shilingi bilioni mia moja na sitini na saba ikiwa chini ya usimamizi wa UNK group UNK ambayo baada ya kumaliza mkataba wake uongozi mpya chini ya serikali uliweza kupunguza hasara hiyo kutoka shilingi bilioni mia moja na sitini na saba hadi shilingi bilioni sitini na mbili kufikia desemba ishirini sifuri nane hasara hiyo imepungua kutoka shilingi bilioni sitini na mbili mpaka bilioni thebathini alisema alisema serikali haipaswi kuuza shirika hilo zaidi ya UNK kwa kuzingatia mapendekezo ya kamati yake ikiwa ni pamoja na kuuza hisa zake katika soko la hisa bwana zitto alisema kamati yake ilipendekeza kusitishwa zoezi la ubinafsishaji ili kufanya tathimini na kurekebisha makosa yaliyojitokeza kwani alidai UNK uliofanywa nchini kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita umesababisha mali nyingi za umma kupotea na kunufaisha wachache alitoa mfano mwingine kuwa shirika la ndege tanzania lipo mahututi kiasi cha kuzidiwa na kampuni binafsi ya precision air inayotoa huduma zenye ushindani kibiashara katika soko kamati yangu imetoa pendekezo kwa serikali kuipa mtaji wa kutosha atc ili iweze kutoa huduma zake kwa ubora zaidi na kujiendesha kwa faida ikiwa ni pamoja na kuimarisha viwanja vya ndege katika miji mikubwa na midogo na kuingia katika ushindani wa soko la kibiashara alisema aliongeza kuwa asilimia kubwa ya marubani wa ndege za serikali UNK hivyo ni jukumu la serikali kuwawezesha kielimu marubani wapya ili kuongeza ufanisi wa shirika hilo alisema pamoja na mapendekezo mengi yanayotolewa na kamati yake historia inaonesha kuwa kwa nchi nyingi duniani serikali imekuwa ikishindwa kutekeleza mapendekezo yanayotolewa na kamati za bunge alisema mfano mzuri wa mapendekezo hayo ni yale yaliyotolewa na kamati ya bunge kuhusu richmond iliyoongozwa na mbunge wa kyela daktari harrison mwakyembe lakini hadi sasa serikali imeshindwa kuyafanyia kazi na kulwa mzee jeshi la polisi limesema UNK mashitaka aliyekuwa waziri wa maendeleo ya miundombinu ambaye ni mbunge wa bariadi magharibi bwana andrew chenge endapo shirika la bima la taifa UNK bima alizokutwa nazo si halali hayo aliyasema jana mkuu wa kikosi cha usalama barabarani kanda maalumu ya dar es salaam kamishna msaidizi wa polisi bwana mohamed UNK alisema katika uchunguzi waliofanya walibaini bima alizokutwa nazo bwana chenge ni halali na kwa kupata uthibitisho zaidi UNK nic barua ili wathibitishe uhalali wake kwani mshitakiwa alikata bima hizo katika shirika hilo na endapo watasema si halali UNK mashitaka mkuu huyo alisema siku ya tukio la ajali machi ishirini na saba mwaka huu katika kioo cha mbele katika gari ya bwana chenge ilionekana kuwa bima yake ilikwisha tangu mwaka ishirini sifuri saba kwani UNK kwa ajili ya juni ishirini sifuri sita hadi ishirini sifuri saba alisema siku iliyofuata walipofanya ukaguzi ndani ya gari hilo walikuta kadi ya gari na hati iliyokuwa inaonesha UNK bima kwa ajili ya mwaka ishirini sifuri saba hadi ishirini sifuri nane bwana mpinga alisema siku hiyo hiyo mshitakiwa aliwapelekea bima UNK iliyokuwa ikionesha ni kwa ajili ya januari ishirini sifuri nane hadi ishirini moja sifuri bima hizo alikata nic mkuu huyo wa kikosi cha usalama barabarani alisema sheria ya bima inampa mwenye gari siku tano UNK bima halali kama UNK hivyo mshitakiwa UNK siku ya pili baada ya tukio hawakuona haja ya kumfungulia mashitaka kwa kuendesha gari isiyokuwa na UNK akizungumzia sheria hiyo kwa upande wa UNK na leseni ya kuendesha gari alisema unapaswa kuwasilisha leseni yako ndani ya siku tatu tangu UNK kuonesha leseni hiyo kuna umuhimu wa kubandika stika katika kioo pamoja na hiyo pia mwenye gari anatakiwa kuwa na hati ya uthibitisho wa malipo ya bima alisema alisema UNK kumfungulia mashitaka kwa makosa hayo UNK kwa sababu siku tano zilizowekwa kisheria zilikuwa UNK hata hivyo jeshi hilo bado linamtafuta mmiliki wa bajaji UNK pamoja na dereva wa bajaji hiyo bwana chenge alipanda kizimbani juzi mahakama ya wilaya ya kinondoni akikabiliwa na mashitaka ya kusababisha vifo vya wasichana wawili kutokana na kuendesha gari kwa uzembe ilidaiwa mahakamani hapo kwamba katika kosa la kwanza mshitakiwa machi ishirini na saba saa kumi alfajiri barabara ya haile UNK maeneo ya karume shule ya msingi aliendesha gari kwa uzembe na kusababisha kifo cha victoria george mshitakiwa huyo inadaiwa alikuwa dereva wa gari namba t mia tano na kumi na tatu UNK toyota UNK aliendesha gari katika barabara ya umma kwa uzembe na kushindwa kuchukua hadhari kwa watumiaji wengine wa barabara hiyo aliendesha upande wa kulia zaidi matokeo yake akagonga bajaji na kusababisha kifo hicho katika mashitaka ya pili bwana chenge anadaiwa kwa kuendesha gari kwa uzembe alisababisha kifo cha beatrice UNK bwana chenge anadaiwa kufanya makosa hayo kinyume na kifungu namba mia moja na arobaini na moja na sitini na tatu cha sheria ya usalama barabarani namba thebathini ya mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na tatu kama ilivyofanyiwa marekebisho na sheria namba mia moja na sitini na nane ya mwaka ishirini sifuri mbili kosa la tatu mshitakiwa anakabiliwa na mashitaka ya uendeshaji wa uzembe kinyume cha sheria ya usalama barabarani namba hamsini na sitini na tatu na kusababisha uharibifu wa gari yake aliyokuwa akiendesha na bajaji namba t mia saba na thebathini na sita UNK waliyokuwa wamepanda marehemu na mwajuma juma zanzibar kazi ya uopoaji meli UNK juzi ya mv fatih katika bandari ya malindi zanzibar imeanza kufanywa jana na timu ya askari wa kikosi cha wanamaji cha jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania wakitumia chombo maalumu cha kunyanyua vitu UNK chombo hicho maarufu kwa jina la ndovu UNK wa UNK mzigo wa tani mia moja na ishirini na kiliwasili alfajiri jana na kuleta faraja kwa wananchi wa zanzibar ambao walikuwa wakisubiri kwa hamu kuwasili kwa chombo hicho askari hao wa jwtz iwapo watafanikiwa UNK chombo hicho jibu muafaka litakuwa UNK kufuatia wasiwasi UNK katika UNK kuwa meli hiyo ilikuwa na watu wengi kuliko idadi UNK kamanda wa polisi wa mkoa mjini magharibi unguja bwana bakari UNK shaaban aliwaambia waandishi wa habari katika eneo la tukio kuwa chombo hicho baada ya kuwasili wazamiaji walianza kazi kwa kufunga kamba za chuma kabla ya UNK kuja juu mwandishi wa habari hizi alishuhudia zoezi la kwanza lililofanyika saa tisa alasiri kunyanyua meli hiyo lakini kwa bahati mbaya kamba ya chuma ilikatika na wazamiaji kuamua kutafuta mnyororo ili utumike kwa kazi hiyo mnyororo huo ulipatikana kutoka kwenye chombo kingine cha kuvuta meli mali ya mamalaka ya bandari tanzania lakini hadi tunakwenda mitamboni bado zoezi hilo lilikuwa UNK katika hatua nyengine serikali imetoa orodha ya watu thebathini na tatu walionusurika katika ajali hiyo wateja sasa UNK serikali UNK maandamano makubwa kesho sakata la kampuni ya upatu ya deci limechukua sura mpya baada ya wanachama wake kuigeukia serikali na kupanga maandamano makubwa kushinikiza kutoa hatima ya mbegu zao walizoahidiwa kuvuna mwanzoni mwa mwezi huu hali hiyo iliibuka baada ya viongozi wa deci kuwaeleza wanachama waliokusanyika makao makuu ya kampuni hiyo mabibo dar es salaam jana kuwa kwa sasa hawana chochote cha kufanya kwani serikali UNK hatma ya fedha zao hatua iliyosababisha hata mmiliki wa jengo la ofisi UNK yake kutokana na deci kushindwa kulipa pango akizungumza na wanachama hao mkurugenzi wa deci bwana timoth ole loitinggye alisema hawana lolote la kuwaambia wanachama hao isipokuwa serikali kupitia tume iliyoundwa ndiyo UNK wa kutafuta suluhisho kwani hata wao hawana fedha hata fedha za mafuta ya magari yao UNK UNK ili mjue kinachoendelea lakini sisi hatuna cha kuwaeleza bali tutafikisha taarifa zenu kwa wahusika ambao ni tume iliyoundwa tume hii ina watu muhimu wakiwemo waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo igp said mwema na gavana wa benki kuu ya tanzania alieleza bwana loitinggye baada ya maelezo hayo wanachama hao walionesha kukerwa na hatua hiyo ya serikali kuzidi kuwaacha gizani hadi sasa kinyume na taarifa zilizotolewa awali kwamba mbegu hizo UNK kurudishwa mapema mwezi huu walitoa maneno makali kuilamu serikali kwamba badala ya kutatua tatizo lao imegeuka na kuwakandamiza na kuwa kikwazo kupata fedha zao kwanini wanachama UNK na hiyo tume iliyoundwa badala yake wanatufanyia ubabaishaji hii amani inayoonekana hapa itavunjika muda wowote kuanzia sasa sisi UNK hapa mpaka kieleweke kwani mambo yetu mengi UNK kwa sababu ya huu UNK alilalamika mmoja wa wanachama hao wanachama hao waliamua kubaki eneo la ofisi hizo kwa saa tatu baada ya viongozi kumaliza mkutano huo na baadaye kuamua kwenda kuandamana kwenda kwa nyumbani kwa mwenyekiti wa democratic party mchungaji christopher mtikila kutaka muongozo wa kuandaa maandamano makubwa kesho kushinikiza serikali kuwalipa mbegu zao mchungaji mtikila amekuwa mstari wa mbele kutetea wateja hao kupata haki zao na hivi karibuni alihutubia mkutano wa wanachama hao kwenye viwanja vya jangwani dar es salaam na kueleza kuwa kufungwa deci ni uonevu maandamano hayo yamepangwa kuanzia ofisi za deci mabibo hadi wizara ya fedha na uchumi aprili mwaka huu serikali ilitangaza kusitisha shughuli za deci baada ya kubaini kuwa kampuni hiyo inaendeshwa kinyume cha sheria na kuwatahadharisha wanachama wake kutoendelea kuhatarisha mitaji yao naye edmund mihale anaripoti kuwa mbunge wa handeni daktari abdallah kigoda UNK deci ingefanya utaratibu mzuri katika kuendesha shughuli zake mabenki mengi nchini yangesahaulika na kufilisika kwa watu wengi kukimbia riba kubwa akizungumza katika kikao cha kamati ya kudumu ya fedha na uchumi ya bunge jana daktari kigoda ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati hiyo alisema hali hiyo inatokana na riba kubwa inayotozwa kwenye mikopo huku wateja wateja wa benki hizo wakipata faida ndogo naomba nitoe mfano mdogo lakini najua UNK nasema kama deci UNK utaratibu mzuri wananchi wa kipato cha chini wote UNK huko na mabenki yetu yangesahaulika alisema daktari kigoda kamati ya kudumu ya mambo ya nje ulinzi na usalama ya bunge UNK jeshi la polisi kuwa na msemaji mmoja katika taarifa UNK kuhusu matukio yanayogusa jamii na jeshi hilo hatua hiyo imekuja kutokana na taarifa zenye utata zilizotolewa na jeshi hilo baada ya timu iliyoundwa kukagua mazingira ya ajali ya mbunge wa kyela daktari harrison kukataliwa na jeshi hilo kwa maelezo kwamba haikuwa sahihi taarifa ya ajali hiyo iliyotokea mei ishirini na moja mwaka huu katika eneo la ifunda iringa na kusababishia kuharibika vibaya gari na majeraha kwa mbunge huyo machachari wa chama cha mapinduzi imeibua pia imeibua hisia tofauti kwa wananchi na makundi mbalimbali ndani jamii akijibu swali la waandishi waliotaka kujua ni hatua gani UNK na kamati yake kuhusu taarifa hizo tata za jeshi la polisi mwenyekiti wa kamati hiyo bwana wilson masilingi alisema wametoa UNK kwa jeshi hilo kuweka utaratibu wa msemaji mmoja katika mambo yanayohusu taarifa za jeshi hilo UNK waache utaratibu kusema ovyo na wawe na msemaji ili wananchi UNK sasa ona katika taarifa hii mwingine ametoa taarifa mwingine anasema taarifa hiyo si sahihi taarifa sahihi anayo igp mwema sasa wananchi wamuamini nani katika hili alisema bwana masilingi alisema pamoja na kusemwa mambo mengi juu ya ajali za wabunge zilizotokea hivi karibuni ambapo pia mbunge mwingine bwana aloyce kimaro wa vunjo alipata ajali baada ya watu UNK kutega mawe barabarani bwana masilingi alisema anaamini kuwa ajali hizo ni za kawaida na UNK na mambo ya kisiasa kama inavyotafsiriwa na wengi akizungumzia ajali ya daktari mwakyembe UNK wa sheria chuo kikuu cha dar es salaam daktari sengondo mvungi alisema taarifa iliyotolewa na jeshi la polisi inatia shaka kutokana na mazingira ya ajali hiyo alisema hadi sasa UNK ni kwanini jeshi hilo limeshindwa kulikamata gari UNK ajali hiyo na kutoa taarifa UNK upande mmoja bila kuhusisha dereva wa gari jingine UNK taarifa hiyo lakini inatia shaka sidhani kama taarifa hiyo imeandaliwa na wataalamu kutoka katika jeshi letu ambalo tunaamini kuwa ndilo lenye dhamana ya kulinda usalama wetu na mali zetu alisema daktari UNK alisema UNK askari wa UNK barabarani walitakiwa kuwauliza wenyeji walishuhudia ajali madereva wote na kupima eneo la ajali kisha kutoa maamuzi kutokana na mazingira ya maelezo ya mashuhuda na vipimo lakini taarifa hiyo UNK kumhoji dereva wa gari la pili alisema haamini kama kweli jeshi hilo lilishindwa kulikamata gari hilo baada ya tukio kwani kutoka na uwezo wa jeshi hilo UNK kufika hata umbali wa kilomita ishirini kutoka eneo la tukio alisema kimsingi taarifa hiyo UNK kwa kuwa haikueleza upande mwingine wa shilingi na kumtaka igp said mwema kupanga vizuri askari wake ili UNK aibu jeshi hilo rais jakaya kikwete amesema tanzania iko tayari kuvunja uhusiano na nchi tajiri kama UNK viwango vya bei za kununulia mazao ya kilimo kutoka kwa wakulima masikini rais kikwete alisema bei duni za mazao UNK umasikini kwa wakulima na kukwamisha mapinduzi ya kijani ambayo ni muhimu katika maendeleo ya taifa akizungumza katika mkutano mkubwa wa kilimo ulioandaliwa na baraza la biashara la taifa chini ya kaulimbiu isemayo kilimo kwanza rais kikwete alisema ili mkulima wa tanzania UNK na jasho lake ni lazima uwekezaji ulio sawa ufanyika badala ya kumkandamiza kwa kununua mazao yake kwa bei ya chini lengo la kubadilisha mfumo wa kilimo katika taifa hili lilikuwepo tangu uhuru lakini bado UNK na leo tupo hapa kuanisha matatizo yanayoikabili sekta ya kilimo ili kuyapatia ufumbuzi alisema rais kikwete alieleza kuwa mapinduzi ya kijani hayawezi kuletwa na serikali pekee bila ya kushirikiana na taasisi binafsi katika kuboresha vituo vya utafiti wa mbegu pamoja na kujenga viwanda vya kuongeza thamani mazao baada ya UNK alisema serikali imejipanga vizuri kutoa kipaumbele katika kuboresha kilimo cha kati na kikubwa kwa wakulima ili kuongeza uzalishaji kwa kiasi UNK matumizi ya ndani na kuuza nje ya nchi alisema ili kilimo UNK ni lazima wakulima wakubali kutumia teknolojia ya kisasa ili kuongeza uzalishaji ikiwa ni pamoja na kutumia UNK mbegu bora pamoja na zana za kisasa kama matrekta ya mikono tunahitaji mkulima wa kitanzania si tu kuzalisha chakula bali UNK mazao ya biashara ambapo UNK nje na kujiongezea kipato kwa kufanya hivyo taifa nalo UNK kupitia kwake alisema na kuongeza kuwa najua serikali inajukumu la kutengeneza mazingira bora kwa ajili ya kuvutia wawekezaji ikiwa ni pamoja na miundombinu huduma za kibenki ili kuongeza thamani ya mazao alifafanua kuwa ili kufanikisha mapinduzi ya kijana nchini serikali imejipanga kuanzisha benki ya ardhi ambayo itatatua migogoro ya ardhi ambapo itatumika kulipa fidia kwa wananchi ili ardhi iwe mikononi mwa serikali na kuikabidhi kwa kituo cha uwekezaji tayari kuwapatia wawekezaji bila UNK na UNK naye mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya sekta binafsi daktari evans rweikaza alisema sheria ya ardhi bado inakwamisha kuboresha kilimo nchini kutokana na ugumu wa vipengele vya sheria zake daktari rweikaza aliongeza kuwa UNK nyingine ni pamoja na kutegemea kilimo cha mvua miundombinu mibovu na masoko kutoa bei ya chini mambo ambayo serikali kwa kushirikiana na wadau wa kilimo wakikaa pamoja wanaweza kuyatatua mwenyekiti wa kikundi kazi bwana felix mosha alisema kuanzishwa kwa benki ya kilimo UNK UNK za taifa kuondokana na tatizo la chakula kwani kwa sasa mabenki hutoa mikopo asilimia sifuri nane kwa wakulima kiwango ambacho kiko chini sana hii na nikutokana na benki hizo kuwa za kibiashara zaidi mikopo ya kilimo ni ya muda mrefu inaweza kuwa miaka tano hadi kumi na tano hivyo kumpa wakati mzuri mkulima kujipanga vizuri katika UNK wake mbali na mikopo ya muda mfupi alisema bwana mosha wakati huo huo rais kikwete amepongeza juhudi za wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi ya kupambana na UNK haramu kwa kukamata na kuchoma UNK rais kikwete alisema lazima ifike mahali uamuzi wenye maslahi ya kujenga taifa UNK ili kunusuru maisha ya watanzania na maliasili zao bila kujali maslahi ya watu wachache uvuvi mbaya uliofanyika katika ziwa victoria umesababisha hata sangara kwisha mbali na UNK na hii nikutokana na kufumbia macho uharifu unaofanywa na wavuvi UNK alisema rais kikwete UNK zilipo fedha za wateja wanachama UNK kuzui gari polisi waingilia kuwatawanya UNK kusitisha maandamano na wandishi wetu hofu imetanda kwa wanachama wa kampuni ya development enterpreneurship for community initiative kufuatia viongozi kuonekana UNK nyaraka za wanachama hao kutoka ofisi za makao makuu mabibo dar es salaam jana na UNK kusikojulikana viongozi hao waliwasili ofisini hapo saa tano thebathini asubuhi wakiwa kwenye gari dogo toyota corola namba t mia nne na hamsini na tano adm na kuanza kutoa nyaraka na kuziweka kwenye gari hilo kitendo UNK wanachama waliofurika eneo hilo kuingiwa hofu na kuhoji kulikoni nani amewaambia kutoa nyaraka zetu kwani wao ni serikali wanataka kuzipeleka wapi UNK kitu hapa alisikika mwanachama mmoja kutoka kundi hilo UNK baada ya muda viongozi wawili kati ya wanne walioingia katika ofisi hizo walitoka na kuanza kuondoka na gari hilo hali iliyozua mtafaruku mkubwa na wanachama hao kuziba barabara ili gari hilo UNK kushinikiza kujua zinakopelekwa nyaraka hizo hakuna kupita na gari hapa rudisha huko mpaka mtuambie UNK wapi nyaraka zetu na nini hatma ya fedha zetu UNK sana rudisha gari huko alisikika akilalamika mwanachama mwingine aliyekuwa mstari wa mbele kuzuia gari hilo polisi waliokuwa eneo hilo waliingilia kati kutawanya wanachama hao baada ya vurugu hizo kuonekana kupamba moto huku kusisitiza kuwataka kuacha gari hilo liende kama mnataka amani tupeni maelezo kuhusu zinakopelekwa nyaraka zetu na hatma ya fedha zetu vinginevyo hakuna amani hapa tumevumilia tumechoka hakuna amani UNK alilalamika mwanachama mmoja huku zogo la maneno UNK kutoka na kila mmoja kulalamika hali hiyo iliwafanya maofisa waliokuwa ndani ya gari kuingiwa hofu na kuonekana UNK macho huku na kule hata hivyo vurugu hizo zilidumu kwa muda mfupi na polisi walifanikiwa kuwatawanya wanachama hao baada ya kuwatisha kwa silaha kitendo kilichowafanya kuondoka barabarani na gari hilo kupita awali wanachama hao walikuwa UNK katika makundi huku wakijadili mambo mbalimbali ikiwemo maandamano makubwa UNK kufanya leo akizungumza na gazeti hili mmoja wa viongozi wa wanachama hao alisema kuwa wamepata taarifa kwamba waziri mkuu bwana mizengo pinda amekataa kuyapokea maandamano hayo lakini hata hivyo msimamo wao uko pale pale taarifa zilizopatikana kutoka kwa baadhi ya wanachama hao zilidai kuwa baadhi ya wanachama waliopanda fedha nyingi wakiwemo viongozi wa serikali UNK mbegu zao baada ya kuibuka sakata hilo na UNK sasa watu wa chini wanachama hao walisema wamepoteza imani kwa serikali iliyopo kutokana na kutosikilizwa matatizo yao ambapo awali ilitangaza kuwa UNK akaunti za deci lakini kauli ya waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo UNK baada ya kudai serikali haihusiki na fedha za kampuni hiyo majira lilipata tetesi kutoka kwa watu wa karibu wa deci kuwa kuhamishwa kwa nyaraka hizo kunatokana na kumalizika mkataba wa pango hivyo viongozi hao wanalazimika kuhamisha vyombo vyao wakati huo huo viongozi wa kampuni hiyo wameibuka na kueleza kuwa fedha zote za wanachama hao ziko salama salimini hatua hiyo imekuja siku moja baada ya serikali kupitia waziri wa fedha na uchumi bwana mkulo kutoa tamko kupitia vyombo vya habari kuwa haihusiki na fedha za deci hali ambayo imeibua hasira kwa wanachama wa kampuni hiyo akizungumza jana makao makuu ya deci mabibo mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo bwana timoth ole loitinggye alisema fedha zote za washiriki hao zimehifadhiwa katika benki ya nmb kama tume ya serikali ilivyoagiza hatma ya mbegu za wanachama zipo salama tume iliyoundwa na serikali imetoa maagizo ya kuweka fedha zote benki ya nmb napenda kuwahakikishia wanachama wote kuwa fedha zao ziko salama alisema ole UNK alisema kampuni yake imeamua kuvunja ukimya kutokana na kauli ya bwana mkulo kushindwa kutunza siri za tume kwani makubaliano yao yalikuwa kutunza siri za tume hiyo hadi hapo itakapomaliza kufanya uchunguzi wa jambo hilo alisema ameshangazwa na kauli zinazotolewa mara kwa mara na bwana mkulo ambazo alidai ni za uchonganishi na UNK makubaliano yaliyofikiwa na kabla tume hiyo kuanza kufanya kazi ya uchunguzi huo bwana ole loitinggye alisema mbali na hilo wamekuwa UNK kauli ya zinatolewa na viongozi mbalimbali wa serikali kuwaita matapeli na wezi wa fedha za wananchi wakati wao ni watumishi wa mungu wanaoheshimika katika jamii alisema waliamua kuanzisha kampuni hiyo kisheria kwa nia ya kuwasaidia wananchi kiuchumi kinyume na inavyotafsiriwa na baadhi ya viongozi wa serikali alisema kauli hizo zimeanza kujenga chuki kati ya serikali na wanachama wao hata kabla tume ya hiyo iliyoundwa haijatoa majibu ya nini kifanyike baada ya uchunguzi huo aliwataka wanachama hao kuwa na subira kwani tume hiyo iko katika hatua za mwisho na hivi karibuni itatoa tamko la nini kifanyike kuhusu fedha hizo katika hatua nyingine kamanda wa polisi kanda maalum ya dar es salaam suleiman kova jana aliitisha kikao cha dharura na viongozi wa kamati ya muda ya deci saa kumi jioni ofisini kwake na kukubaliana kusitisha maandamano hayo akizungumza na waandishi wa habari baada ya kikao hicho kamanda kova alisema wamekubaliana kusitisha maandamano hayo ili kuepusha matatizo yasiyo lazima ambayo yangeweza kujitokeza wakati wa mkusanyiko huo hakuna sababu ya kuandamana kama viongozi wa deci UNK kwani nia yao ni kufikisha ujumbe kwa serikali kwamba wana kilio cha fedha zao ila sisi kama jeshi tumepanga kulishughulikia tatizo lao kwa ukaribu zaidi alisema kamanda kova aidha alisema kuwa kufuatia kusitishwa kwa maandamano hayo jeshi la polisi limechukua jukumu la kufikisha ujumbe wa deci serikalini kama lilivyo upokea leo kabla ya saa nne asubuhi kamanda kova aliwataka wanachama wa deci kutokubali kutumiwa na vyama vya siasa kwa manufaa ya kisiasa na kwamba kufanya hivyo kutawafanya UNK kiakili na kushindwa kufanya mambo yao wakati huu UNK uamuzi wa serikali kuhusu fedha zao deci haina uhusiano na siasa mimi UNK ofisi yangu kuwa mlango wa kupitishia kero zote za deci ili malalamiko yaweze kufika serikalini kwa muda muafaka na kupatiwa ufumbuzi kwani mimi niko karibu sana na viongozi wa deci hivyo naamini kwamba UNK ushirikiano alifafanua kamanda kova alionya kwamba mtu yeyote UNK kuandamana leo atashughulikiwa kwani kufanya hivyo ni kinyume cha sheria na kwamba jeshi la polisi lina nguvu ya kufanya lolote ila limeamua kufanya mambo yake kwa kushirikiana na wananchi kwa upande wake mwenyekiti wa kamati ya muda ya deci bwana issack kalenge aliwataka wanachama wake kuwa watulivu na kukubaliana na maamuzi waliyofikia kwenye kikao hicho na kumshukuru kamanda kova kwa makubaliano hayo naye meneja wa taaluma na uelimishaji wa deci bwana arbogast kipilimba aliwataka wanachama kuwa na imani na viongozi wao na kueleza kwamba hawajawahi UNK wanachama hao ila wanasubiri maamuzi kutoka serikalini deci ina wanachama zaidi ya sabini sifuri sifuri sifuri sifuri katika matawi mbalimbali nchini ambapo zinahitajika zaidi ya shilingi bilioni hamsini ili UNK kurudisha fedha za wateja hao taarifa hii imeandikwa na benjamin masese godfrida jola rabia bakari edmund mihale anneth kagenda na salum pazi rabia bakari na godfrida jola wanachama wawili wa kampuni ya development enterpreneurship for community initiative walikamatwa na polisi jana baada ya kujaribu kulazimisha kuingia kwa nguvu kwenye kikao cha tume iliyoundwa na serikali wakitaka kuwawakilisha wenzao akizungumza na gazeti hili baada ya kuachiwa mmoja wa wanachama hao bwana UNK daudi alisema mbali ya kukamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi kwa saa kadhaa polisi UNK kwa kuwakemea kama UNK waandishi wa habari hizi walipofika makao makuu ya deci mabibo dar es salaam walikuta umati wa wanachama waliokuwa wakishinikiza kutaka kuandamana licha ya viongozi wao na jeshi la polisi kukubaliana juzi kusitisha maandamano hayo jitihada za wanachama zilizimwa baada ya kundi la polisi wenye silaha wakiwa kwenye magari matatu land rover defender zenye namba pt sifuri saba tano mbili pt sifuri tisa sita nne na t mia moja na thebathini na nane UNK kusambazwa eneo hilo baada ya maandamano hayo kuzimwa wanachama hao walitaka kuzungumza na mkurugenzi mtendaji wa deci bwana timothy ole loitinggye ambaye aliwajibu kwamba hawezi kuzungumza nao chochote kwa sasa kwa kuwa suala lao halipo mikononi mwa deci bali linashughulikiwa na tume kauli hiyo ilizua mtafaruku huku wanachama hao wakidai UNK na hawahitaji tena kumsikiliza na wanachohitaji ni kutafuta wenzao ili UNK na mkurugenzi huyo kwenye UNK cha tume hiyo hatujui hiyo tume inafanya kazi gani kwani hatuoni chochote kinachoendelea isitoshe mpaka sasa hakuna hata mwanachama mmoja UNK na tume wakati sisi ndio waathirika sasa hiyo tume ni kwa ajili ya nani hatukubali lazima leo uende na mwakilishi alisema mwanachama mmoja ambaye UNK mkono na wenzake mkurugenzi huyo alikubaliana na ombi hilo ndipo UNK bwana daudi na mwenzake bwana alex UNK kuwawakilisha ambao walipanda gari tofauti na la mkurugenzi huyo wawakilishi hao walipanda gari namba t mia nne na hamsini na tano adm na mkurugenzi huyo alipanda toyota mark ii namba t mia moja na themanini na sita UNK huku wanachama wenzao wakisubiri majibu ya kikao cha tume hiyo baada ya muda mfupi ilielezwa kwamba wawakilishi hao wamekamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi wa polisi lakini UNK UNK pale deci UNK eneo la kariakoo na kuhojiwa na UNK mkurugenzi UNK UNK maofisa wengine wa deci alisema bwana daudi hivi karibuni benki kuu ya tanzania UNK wananchi wanaoshiriki upatu wa deci kwa maelezo kuwa wanahatarisha mitaji yao kwani kampuni hiyo inaendeshwa kinyume cha sheria baada ya hatua hiyo serikali ilitangaza kupiga marufuku upatu huo UNK na kukamata akaunti zote za kampuni na kuunda tume maalumu kushughulikia suala hilo adai ni kansa UNK nchi asema wengi wao ni UNK UNK waandishi njaa mbunge wa nzega bwana lucas selelii amevunja ukimya baada ya kuibuka na kusema siku za mafisadi nchini zinahesabika kwani kansa UNK taifa na kuongeza watambue mapambano yanaendelea hadi kieleweke pia alisema kundi kubwa la watu wanaofanya ufisadi wanatoka jamatin ambao wengi wao ndugu zao wapo nje ya tanzania hivyo hata watanzania UNK kwa ufisadi huo wao wanaendelea kuwa salama na kuitafuna nchi kila kukicha akizungumza dar es salaam jana bwana selelii alisema tangu alipoanza mapambano dhidi ya mafisadi amekuwa na maadui wengi UNK kwa kutumia baadhi ya waandishi wa habari ambao aliwaita waandishi njaa ili kumchafua kwa watanzania kwa UNK mambo ambayo UNK alisema siku za karibuni kuna chombo kimoja cha habari ambacho kimeandika habari ambazo zinalenga kumchafua kwa wapiga kura wake na watanzania kwa ujumla baada ya kudaiwa kusema amewataka wananchi wa nzega kuchagua viongozi ambao si wa waislamu kitu ambacho hakuwahi kusema huku akisisitiza UNK imani za dini zote na amekuwa akishirikiana kwa karibu bwana selelii alisema huo ni mpango unaofanywa na kundi la mafisadi ambao hakutaka kuwataja kwa majina lakini alisema amekuwa akikumbana na vikwazo vingi kutoka kwao nimekuwa UNK na mafisadi tangu nilipoanza kupambana nao wakati wa richmond lazima mafisadi hao wajue ukweli una asili mbili kwanza unauma na pili UNK kamwe watambue watanzania wana macho na wana akili timamu ipo siku UNK na mbichi zitaonekana na si muda mrefu alisema bwana selelii na kuongeza mungu UNK UNK katika vita hii dhidi ya mafisadi kwani mwasisi wa tanzania mwalimu nyerere UNK kukaa kimya katika vita dhidi ya wakoloni yamkini UNK na tanzania huru leo lakini kwa ushujaa wake tanzania iko huru sasa alisema bwana selelii ambaye pia alikuwa makamu mwenyekiti wa kamati ya bunge ya kuchunguza sakata la mkataba tata wa kampuni ya richmond ambalo lilisababisha aliyekuwa waziri mkuu bwana edward lowassa kujiuzulu alisisitiza kuwa vita dhidi ya mafisadi inaendelea na kuwataka watanzania UNK mkono rais jakaya kikwete ambaye amekua mstari wa mbele katika vita hiyo alisema binafsi ataendelea kusimama kidete kupambana na mafisadi hao ambao wamekuwa wakitumia njia mbalimbali kuitafuna nchi mbunge huyo alikiri kuwa wamekuwa katika wakati mgumu tangu UNK sakata la richmond kupitia kamati yake licha ya kwamba UNK kilikuwa na ukweli lakini badala yake kuna baadhi ya watu UNK uadui kwake alipoulizwa mafisadi hao ni akina nani alishindwa kuwataja kwa majina badala yake alisema wengi wao ni UNK ambao siku zote ndio wanaendeleza ubaguzi na kutoa neno la utani mara nyingi huwa ni baadhi ya wahindi hakuna fisadi mswahili wengi wao ni jamatin ambao wana ndugu nje ya tanzania na hasa dubai hawana uchungu na maisha ya watanzania kwani wanaamini kuwa kitakachotokea ndani ya taifa hili wao UNK UNK waulizeni wana ndugu wangapi nchini hata katika suala la kuoa huwezi kukuta mhindi UNK na mswahili alisema bwana selelii kutokana na mapambano dhidi ya mafisadi nchini bwana selelii alisema vita hiyo itaendelea na watanzania UNK mkono mapambano hayo hadi mwisho huku UNK msemo no UNK no UNK kuhusu ununuzi wa mitambo ya dowans alisema kama yeye angekuwa serikali UNK badala ya kutaka inunuliwe kwa sababu ni mitambo iliyotokana na richmond tena kupitia mkataba wenye utata alisema huwezi kununua mtambo huo ambao umejaa kashfa tangu awali na kama wenye kampuni wanataka kuuza watafute sehemu nyingine alisema wanaotaka mitambo hiyo inunuliwe ni wale wale wanaotaka kuendeleza ufisadi wa richmond lakini lazima watambue kuwa mitambo hiyo haina nafasi kwa sasa huku akisisitiza hiyo inatokana na utata UNK alipoulizwa kama kulikuwa na sababu ya suala la dowans kujadiliwa nje ya bunge wakati UNK uamuzi alisema hakukua na sababu hivyo kama kulikuwa na ulazima wa kujadiliwa hoja ilitakiwa kurudishwa bungeni lakini kwa bahati nzuri mambo yote kuhusu suala hilo UNK akizungumzia kampuni ya kuzalisha umeme wa kutumia upepo ambayo mmoja wa wamiliki wake ni mzalendo alisema haoni kama ni tatizo kama kuna wazalendo ambao wana uwezo wa kuzalisha umeme badala ya kungganggania mitambo ya dowans bwana selelii akizungumza tuhuma za kwamba amezungumzia mambo ya udini katika moja ya mkutano alipokuwa mkoani tabora alisema hakuwahi kutoa kauli ya aina hiyo wala matamshi yoyote yanayoonesha ubaguzi wa dini wala ukabila bali kinachoonekana ni kutaka kuchafuliwa jina lake alisema kutokana na hali hiyo ametoa siku saba kwa chombo ambacho kimeandika habari hizo kuomba radhi kwenye ukurasa kama ule ambao walitoa habari hiyo pia gazeti hilo UNK radhi wapiga kura wake na watanzania vinginevyo UNK kuchukua hatua za kisheria alitumia nafasi hiyo UNK waandishi wa habari kuwa makini kwa kuzifanyia uchunguzi habari zinazohusu imani za dini kwa lengo la kuepuka mtafaruku ambao unaweza kujitokeza na kuonya hakuna sababu ya kuandika habari za dini zinazolenga kuchafua imani ya mwingine mamlaka ya mawasiliano tanzania imeanza kupitia vipengele mbalimbali vya sheria na kanuni za utangazaji ili kubaini hatua sahihi za kuchukua dhidi ya vituo vya televisheni vya itv na tbc kwa kosa la kurusha matangazo yanayokiuka masharti ya leseni tcra imefikia uamuzi huo baada ya kubaini kuwa vituo hivyo viwili vilikiuka masharti ya utangazaji na UNK kinyume na orodha ya vipindi vilivyoidhinishwa na mamlaka kulingana na kanuni namba ishirini na mbili ya kanuni za utangazaji za mwaka ishirini sifuri tano taarifa iliyotolewa na mkurugenzi mkuu wa tcra kwa vyombo vya habari dar es salaam jana ilieleza kuwa mamlaka UNK na kugundua kuwa vipindi UNK na itv na tbc vilikiuka kanuni za mawasiliano vipindi ambavyo UNK vituo hivyo matatani ni pamoja na kile kilichorushwa na itv aprili ishirini na tatu mwaka huu saa tatu usiku ambapo mwenyekiti mtendaji wa ipp bwana regnald mengi alitoa taarifa akiwaita baadhi ya wafanyabiashara mafisadi papa tcra katika taarifa yake hiyo ilieleza kuwa kipindi hicho UNK kinyume na kanuni namba tano na namba tano UNK tcra ilizidi kufafanua kuwa kipindi hicho UNK kuleta athari kwa kushusha hadhi ya wahusika kujenga chuki dhidi yao vikundi au watu kwa misingi ya ukabila rangi jinsia na dini kipindi hicho ni kinyume na orodha ya vipindi vilivyoidhinishwa na mamlaka kufuatana na kanuni namba ishirini na mbili ya kanuni za utangazaji za mwaka ishirini sifuri tano ilieleza taarifa hiyo kwa upande wa tbc tcra ilieleza kuwa mei tatu mwaka huu saa tatu usiku katika kipindi chake maalum ilitangaza UNK mbunge wa igunga bwana rostam aziz akimwita bwana mengi fisadi nyangumi kwa kuonesha kipindi hicho tcra ilifafanua kuwa tbc ilikiuka kanuni namba tano na namba tano ya utangazaji baada ya tcra kutambua na kugundua ukiukwaji wa masharti ya leseni kwa vituo hivyo mei kumi na mbili mwaka huu mamlaka ilichukua hatua kwa kutoa agizo la utekelezaji ilieleza sehemu ya taarifa ya tcra na kuongeza vituo vyote viwili UNK kusitisha kutangaza vipindi husika au vipindi UNK na hivyo au vyenye mwelekeo unaofanana na huo pamoja na kuitwa na mamlaka ya mawasiliano tanzania ili kujitetea na kutoa sababu kwa nini UNK hatua kwa kukiuka sheria na kanuni za utangazaji tcra ilifafanua kuwa kanuni namba tano ya utangazaji inamtaka mtangazaji kuhakikisha vipindi UNK UNK matakwa ya kulinda umoja ndani ya nchi utaifa usalama wa nchi na raia hekima maadili mema kwa umma UNK maisha binafsi na kutokushusha hadhi ya mtu matakwa mengine ni kulinda watoto dhidi ya mitazamo potofu UNK chuki dhidi ya mtu kikundi au vikundi kwa misingi ya kabila rangi jinsia au dini mamlaka hiyo UNK kuwa kanuni namba ishirini na mbili ya utangazaji inawataka watangazaji kutangaza mtiririko wa vipindi vyao katika magazeti ya kila siku na yanayosambazwa kwa kiwango kikubwa na kufuata ratiba ya UNK kulingana na kanuni hiyo tcra ilielezwa kuwa ratiba ya vipindi inabadilishwa pale tu kukiwa na masuala maalumu yanayojitokeza yenye hadhi ya kitaifa umuhimu kwa kimataifa kupitia matangazo ya moja kwa moja vipindi vingine ni vile vyenye matukio maalumu ua taarifa za habari na vituo vinatakiwa kutoa taarifa kwa watazamaji wake kuhusiana na mabadiliko hayo mambo ambayo itv na tbc vinadaiwa UNK mengine kumi na moja kulipuliwa tena jumamosi nyumba zote kurudishiwa UNK kamati ya kutathmini maafa yaliyosababishwa na milipuko ya mabomu katika kambi ya jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania mbagala UNK mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi kwa kukabidhi taarifa yenye upungufu licha ya kuongezewa muda wa kufanya kazi hiyo kutokana na upungufu wa taarifa hiyo bwana lukuvi ameiagiza kamati hiyo kurudi tena mbagala ili kukamilisha sehemu ambazo UNK kiasi cha kumpa wasiwasi hatua hiyo ilifikiwa jana dar es salaam wakati kamati hiyo UNK taarifa ya tathmini hiyo kwa mkuu huyo wa mkoa UNK siku tatu UNK taarifa hiyo na maeneo mengine kufanyiwa marekebisho UNK kamati siku tatu kukamilisha sehemu UNK na jumapili wiki hii UNK tena ili UNK vizuri sehemu ambazo UNK leo alisema bwana lukuvi upungufu wa taarifa hiyo umemfanya bwana lukuvi kukataa kutaja jumla ya kiasi cha fedha UNK UNK waathirika hao kama alivyoahidi hapo awali kwani alisema mabadiliko yanaweza kutokea baada ya marekebisho hayo ya kamati hiyo najua jumla ya gharama ya maafa lakini sitaki kusema kwa sasa kwani kuna upungufu hivyo nasubiri maofisa UNK warudi tena UNK ili UNK kuhusu zile nyumba mia mbili na themanini na sita zilizoharibika kabisa na wale wenye mali zilizoharibika na UNK picha alisema bwana lukuvi alisema serikali UNK mtu yeyote eneo la mbagala hivyo kila UNK fidia atatakiwa kujenga eneo lake la awali mbali licha ya eneo hilo kuwa jirani na kambi hiyo vinginevyo UNK maelekezo mengine na wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa bwana lukuvi aliwashukuru wakazi wa mbagala kwa uvumilivu wao kwa mwezi mzima tangu milipuko hiyo ilipotokea aprili ishirini na tisa mwaka huu maafa ambayo yamewafanya kusitisha shughuli zao kwa sasa wakazi wa mbagala wanaweza kuendelea na shughuli zao kwani serikali imemaliza kazi yake ya kutathmini na kazi iliyobaki sasa ni kuwalipa fidia zao jambo ambalo UNK wao kufanya kazi alisema katika tukio la jana UNK na viongozi mbalimbali wa mkoa madaktari walisema jumla ya wagonjwa mia sita na themanini na moja walitibiwa kutokana na milipuko hiyo mia tano na thebathini na moja kati yao walipatiwa matibabu na kuruhusiwa kurudi tisini na tisa walilazwa na ishirini na sita walipoteza maisha huduma iliyotolewa na madaktari hao mashuleni baada ya kubainika idadi kubwa ya wanafunzi kuwa na matatizo ya macho na masikio ilibaini kuwa zaidi ya watu moja mia mbili na ishirini na moja walifanyiwa uchunguzi hamsini saba walidai kusumbuliwa masikio mia tano na hamsini na mbili macho mia mbili na kumi walibainika kuwa na matatizo ya masikio kuziba kwa nta na wengine matatizo tofauti kuhusu mwathirika UNK mkono bwana lukuvi alisema UNK mkono na wenye matatizo ya macho UNK UNK kamati hiyo iliyokuwa chini ya kamishna msaidizi wa jeshi la magereza UNK UNK ilihusisha wataalamu wengine mbalimbali kutoka mikoa ya tanga morogoro na pwani wakati huo huo jwtz limetangaza kuwa litafanya uteketezaji wa mabomu mengine kumi na moja jumamosi ijayo saa nne asubuhi taarifa iliyotolewa na kurugenzi ya habari na uhusiano ya jwtz jana ilieleza kuwa wakazi wa mbagala watapewa tahadhari kabla na baada ya milipuko hiyo imewataka wakazi hao kuwa watulivu kwani zoezi hilo UNK kitaalamu na halitakuwa na madhara hata hivyo wametakiwa kuwa mbali na eneo hilo kamati UNK wabunge dodoma ni kuhusu umiliki mgodi wa kiwira hatma ya tuhuma zinazomkabili rais mstaafu wa awamu ya tatu bwana benjamini mkapa kuhusu umiliki wa mgodi wa makaa ya mawe kiwira mkoani mbeya itajulikana katika mkutano wa kumi na sita wa bunge unaotarajiwa kuanza jumanne ijayo mjini dodoma tuhuma hizo ambazo zimeelezwa kuwa moja ya hoja nzito UNK wizara ya nishati na madini ziliibuliwa na mbunge wa vunjo kwa tiketi ya chama cha mapinduzi bwana aloyce kimaro katika mkutano wa kumi na moja wa bunge tangu kuibuliwa hoja hiyo baadhi ya wabunge wamekuwa wakishinikiza kiongozi huyo UNK kinga na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria kujibu UNK ya matumizi mabaya ya ofisi wakati akiwa madarakani bwana mkapa anatuhumiwa kuhusika na umiliki wa mgodi wa uchimbaji makaa ya mawe wa kiwira kwa kutumia kampuni yake ya tanpower huku akidaiwa kununua mgodi huo kwa bei poa wengine wanaotuhumiwa sambamba na kiongozi huyo ni aliyekuwa waziri wa nishati na madini enzi ya utawala wake bwana daniel yona bwana yona hivi sasa UNK na kashfa nyingine ya matumizi mabaya ya ofisi na kuliingizia taifa hasara ya mabilioni hatua iliyomfikisha mahakamani na kesi yake inaendelea akizungumza na waandishi wa habari ofisi ndogo za bunge wakati akiwasilisha taarifa ya majukumu na utekelezaji wa shughuli za wizara yake kwa kamati ya kudumu ya nishati na madini ya bunge jana waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja alisema kutokana na unyeti wa suala hilo wamekubaliana na kamati hiyo UNK suala hilo katika vikao vya kamati hiyo hadi UNK na kujadiliwa bungeni najua kuna swali kuhusu maradi wa makaa ya mawe wa kiwira hapa sasa kabla UNK naomba niseme kabisa suala hili tumeamua kulizungumzia katika vikao vya bunge lijalo hata waheshimiwa wajumbe wa kamati pamoja na mwenyekiti kamati ya nishati na madini mheshimiwa shelukindo UNK UNK suala hili katika vikao vya bunge alisema bwana ngeleja mbali na hoja hiyo wizara hiyo inatarajia kuwasilisha hoja ya rasimu ya marekebisho ya sera ya madini ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba iliyokamilika novemba ishirini sifuri nane kwa kuzingatia mapendekezo ya kamati mbalimbali zilizoundwa kwa maagizo ya serikali bwana ngeleja alisema awali rasimu hiyo iliwasilishwa kwa wadau desemba mbili hadi tatu mwaka ishirini sifuri nane kwa kuwashirikisha wadau kutoka wizara taasisi mbalimbali za serikali wachimbaji wakubwa na wadogo wabunge washirika wa maendeleo sekretarieti ya jumuia ya madola wataalamu kutoka vyuo vikuu mashirika yasiyo ya kiserikali na vyombo vya habari alisema rasimu ya sera ya madini ya mwaka ishirini sifuri tisa imeainisha maeneo ya kipaumbele ambayo UNK UNK la sekta ya madini na sekta zingine za uchumi ili kuleta maendeleo endelevu na kuchangia pato la taifa alisema maeneo mengine ya sera ni kuongeza mazingira ya kiuchumi kuimalisha mfumo wa sheria kurekebisha mfumo wa kodi kuimalisha usimamizi wa sekta ya madini na ushiriki wa serikali na watanzania katika shughuli za madini aliyataja maeneo mengine kuwa ni kuboresha uchimbaji mdogo malipo ya fidia ya ardhi kuhamasisha na kuendeleza uongezaji wa thamani ya madini na usimamzi wa mazingira UNK na usalama katika shughuli za madini alisema wizara yake imeendelea na mchakato wa marekebisho ya sheria ya madini ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nane kwa kukusanya maoni na ushauri wa awali kutoka kwa wadau akizungumzia mkakati wa wizara yake katika mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa alisema itaendelea kuwainua wachimbaji wadogo katika maeneo yao na kuwasaidia kupata mafunzo ili kuongeza maarifa kuwapatia mikopo na mitaji uongezaji thamani masoko na kurekebisha mfumo wa kodi usimamizi na utaratibu za shughuli zao katika mafaniko ya wizara hiyo bwana UNK alisema imefanikiwa kufanya ukaguzi wa ubora wa kiasi cha dhahabu UNK na kuuzwa nje ya na kampuni za madini za geita bulyanhulu UNK UNK na north mara kwa lengo la kujua mapato yaliyopatikana na kiasi kilichostahili kulipwa kama UNK kwa serikali alisema ukaguzi huo umewezesha serikali kuanza kulipwa kodi ya mapato kutoka katika kampuni ya dhahabu ya geita kwa kiasi cha dola za marekani mbili mia moja na arobaini na tisa mia moja na sabini na tisa na grace michael kada wa ccm bwana rajab maranda anayekabiliwa na kesi ya wizi wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje ameiomba mahakama UNK na kesi ya kujibu kutokana na upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha makosa dhidi yake hayo aliyasema jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu kupitia wakili wake bwana majura magafu mbele ya jopo la mahakimu ambao ni bibi cypriana william bwana saul kinemela na bwana phocus bampikya wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili majumuisho ya pande zote mbili katika hoja za bwana magafu aliiomba mahakama hiyo kuwaona washitakiwa katika kesi hiyo hawana kesi ya kujibu chini ya kifungu mia mbili na thebathini cha cpa ambapo washitakiwa hao kwenye kesi hiyo wanakabiliwa na makosa ya kula njama ya kutenda kosa la wizi katika benki kuu ya tanzania akielezea sababu za mahakama hiyo kuwaona hawana kesi bwana magafu alisema kuwa upande wa mashitaka katika kesi hiyo ulifanikiwa kuita jumla ya mashahidi tisa ambao hakuna hata mmoja ambaye aliweza kuthibitisha makosa yanayowakabili washitakiwa hao alisema kuwa katika kosa la kula njama upande wa mashitaka UNK shahidi namba sita ambaye UNK ni mpelelezi wa kesi hiyo bwana salum kisai lakini shahidi huyo hakuweza kueleza ni mahali gani washitakiwa hao walikutana kwa ajili ya kula njama kama UNK shahidi mwingine aliyeletwa na upande huo ni ofisa wa benki ya biashara ambapo UNK benki hiyo ndiyo ilikuwa na akaunti ya kampuni ya washitakiwa ambayo UNK katika wizi wa fedha hizo bwana magafu alisema kuwa ushahidi huo hauwezi kuisaidia mahakama hiyo kwa kuwa shahidi huyo UNK katika kuelezea namna ya washitakiwa UNK akaunti yao na kuhusiana na wasiwasi wa wingi wa fedha zilizokuwa kwenye akaunti shahidi huyo aliieleza mahakama kuwa alipata ufafanuzi kutoka bot ambako alielezwa kuwa fedha hizo ni halali alieleza kuwa uhamishaji wa fedha kutoka bot kuingiza kwenye akaunti ya washitakiwa hao ulikuwa halali hivyo kuondoa dhana nzima ya kosa la kula njama ya wizi wa fedha hizo aidha alisema kuwa pamoja na kuwepo jaribio la upande wa mashitaka kuonesha kuwa washitakiwa walighushi mkataba wa makubaliano ya kuhamishiana deni lakini hakuna shahidi yoyote aliyefika mahakamani hapo na kuthibitisha kosa hilo bwana magafu alisema kuwa aliyepaswa kulalamikia wizi huo ni bot lakini hakuna ofisa yoyote kutoka benki hiyo ambaye alilalamikia wizi wa mabilioni hayo na badala yake maofisa wengi walithibitisha uhalali wa malipo hayo kuhusiana na shahidi kutoka benki ya nbc bwana magafu alisema kuwa ushahidi huo hauwezi kuisaidia mahakama kwa kuwa shahidi huyo alielezea namna ya uhamishwaji wa akaunti ya epa kutoka benki hiyo kwenda bot lakini hakueleza namna gani washitakiwa hao walihusika na wizi huo katika makosa ya kughushi hati za usajili wa makampuni hakuna shahidi yoyote UNK UNK hiyo kuwa hati hizo UNK na upande wa mashitaka haukuweza kuleta kitabu cha risiti za hati hizo hivyo kushindwa kuthibitisha hilo na kumaliza mkanganyiko wa kampuni zinazodaiwa kuiba fedha hizo akifafanua kuhusiana na kosa la wizi bwana magafu alisema kuwa washitakiwa hao wanadaiwa kuiba jumla ya shilingi bilioni moja nane lakini hakuna ofisa yoyote wa benki hiyo aliyefika mahakamani kutoa ushahidi na wala hakuna ripoti yoyote ya ukaguzi iliyowasilishwa mahakamani ikionesha wizi huo alisema kuwa pamoja na bot kuwa na gavana wake na maofisa wengine UNK na shahidi wa kutoka benki hiyo ambaye UNK hata kuzikana barua zilizokuwa UNK uhalali wa malipo hayo udhaifu mwingine uliooneshwa ni kukosekana kwa mpelelezi aliyekwenda nchi india kwa ajili ya kupata taarifa za kampuni hiyo kuhusiana na uhamishaji wa deni lake hivyo kutokana na mapungufu hayo akaiomba mahakama hiyo kuwaona washitakiwa hawana kesi ya kujibu baada ya kuwasilishwa kwa majumuisho hayo upande wa mashitaka nao utawasilisha majumuisho yake leo na baadae mahakama itatoa uamuzi kuhusiana na washitakiwa kukutwa na kesi ya kujibu au la mshitakiwa mwingine katika kesi hiyo ni bwana farijala hussein ambao wote kwa pamoja wanadaiwa kuiba jumla ya shilingi bilioni moja nane kutoka bot baada ya kughushi mkataba wa makubaliano ya kuhamishiana deni kati ya kampuni yao ya kiloloma UNK UNK na kampuni ya nje ya b UNK UNK ltd ya mumbai india reuben kagaruki na gladness mboma bunge la jumuiya ya afrika mashariki limesema mgogoro wa kugombea kisiwa cha migingo baina ya kenya na uganda UNK ufumbuzi kwa njia ya mazungumzo kupitia tume za pamoja zilizoundwa kushughulikia tatizo hilo hayo yalisemwa dar es salaam jana na mwenyekiti wa kamati ya kilimo utalii na maliasili wa bunge la eac daktari george nangale alipofanya mahojiano maalum na gazeti hili kuhusiana na uamuzi wa bunge la kenya kumruhusu rais UNK kibaki kutumia jeshi ikibidi kulinda kisiwa hicho alisema tamko lililotolewa na wabunge wa kenya kumruhusu rais kibaki atumie jeshi ikibidi ili kulinda kisiwa hicho lilitolewa kwa bahati mbaya tamko lile litakuwa lilitolewa kwa bahati mbaya kwani jitihada zinafanyika kuupatia ufumbuzi mgogoro huo na tunachotakiwa kusubiri ni matokeo alisema daktari UNK alifafanua kuwa tangu aprili mwaka huu bunge la eac liliafiki mgogoro huo utafutiwe ufumbuzi na nchi za kenya na uganda kwa njia ya amani daktari nangale alisema tangu azimio hilo litolewe juhudi zimekuwa zikiendelea kwa ajili ya kuupatia ufumbuzi mvutano huo aliongeza kuwa chimbuko la mgogoro huo ni UNK iliyowekwa na wakoloni ambayo hadi sasa UNK marekebisho alisema kibaya zaidi wakati wa utawala wa nduli idd amin alikuwa UNK kuwa kisiwa fulani ni sehemu ya nchi yake na hiyo inawezekana ikawa imechangia kuibuka kwa matatizo ya aina hiyo wakati huo huo bunge hilo la eac katika kipindi cha mwaka ishirini sifuri tisa ishirini moja sifuri UNK bajeti ya dola milioni hamsini na nne kwa ajili ya shughuli za maendeleo kauli hiyo ilitolewa jana na mbunge wa afrika mashariki bwana george nangale alipokuwa akizungumzia yaliyojiri katika mkutano wa bunge hilo uliomalizika wiki iliyopita mjini UNK burundi alisema fedha hizo ni mchango kutoka nchi wanachama ambapo asilimia tano ya fedha hizo ni mchango wa wanachama na zilizobaki ni kutoka kwa wafadhili alisema kuwa bajeti hiyo mpaka sasa imeelekezwa katika shughuli za maendeleo matumizi ya kawaida nyingine katika sekta za uvuvi kilimo na mazingira ikiwa ni pamoja na kuhudumia ziwa viktoria katika mkutano huo walijadili pia muswada UNK chombo UNK watalii katika jumuiya hiyo ambapo waliona umuhimu wa nchi hizo kuwa na viza moja ili punguza usumbufu muswada huu bado UNK ila baraza la mawaziri lina mkakati wa pamoja ili kuweka mambo sawa na mambo yakiwa mazuri katika kikao cha novemba mwaka huu muswada unaweza UNK iwapo kutakuwepo na ridhaa ya mawaziri hao wa afrika mashariki alisema alisema wamegundua kuwa kukiwepo na sera tofauti tanzania inaweza kupoteza watalii kwa kuwa wale wanaoingia afrika mashariki huishia kenya bwana nangale alisema kiuchumi ni lazima nchi hizo UNK kwasababu katika miaka kumi i iliyopita jumuiya hizo zimeweza kuweka miundo ya barabara na reli na katika mpango wa sasa reli ya kati kutoka dar es salaam hadi kigoma wamekubaliana UNK alisema UNK mwingine ni umoja wa ushuru wa forodha japo una vikwazo vingi na wadau mbalimbali wanajaribu kutatua matatizo ambapo alisema bado kuna matatizo kutokana na mawasiliano kutokuwa sawa bwana nangale alisema kuwa wamekuwa wakifanya maazimio ya pamoja mjini arusha wa wabunge na UNK wa afrika mashariki lakini utekelezaji hakuna vile vile bwana nangale alisema kuwa serikali ya ujerumani imetoa euro milioni kumi kwa ajili ya kujenga makao makuu ya afrika mashariki mjini arusha utekelezaji ambao utaanza novemba mwaka huu na salum pazzy na godfrida jola wakati viongozi wa kampuni ya development enterpreneurship for community development UNK wateja wao kuvuta subira kuhusu hatma ya mbegu zao baadhi wanachama hao wamepanga kuandamana kwenda bungeni dodoma wiki ijayo kuwasilisha kilio chao kwa wabunge uamuzi huo ulifikiwa jana wakati wanachama hao walipokutana makao makuu ya deci mabibo dar es salaam kujadili hatma ya mbegu zao na baadhi yao kuonesha kutoafiki kauli za viongozi wao na kutangaza uamuzi huo wanachama hao walilalamika kwamba viongozi wao wamekuwa wakiendesha suala hilo kidiplomasia huku wakidai baadhi ya vigogo waliopanda mbegu wamelipwa kinyemela kwanini vigogo walipwe na sisi tunabaki kuhimizwa kuvuta subira wakati wote ni wanachama kama serikali imeshaona deci ni utapeli kwa nini wanangganggania pesa zetu na hiyo tume inachunguza nini siku zote hizi alihoji mmoja wa wanachama hao ambaye alikataa kutaja jina lake wanachama hao walijadili kwa zaidi ya saa moja na kufikia uamuzi wa kukutana leo saa mbili asubuhi kuchangishana pesa zitakazotumika kupeleka wawakilishi wao bungeni dodoma kushinikiza kurudishiwa mbegu zao haraka viongozi hao waligawa vipeperushi kuhamasisha wanachama hao kufika ofisini hapo leo asubuhi ili kukamilisha maandalizi ya safari hiyo kesho asubuhi tunakutana hapa kwa amani ili tujadili mambo yetu ikiwa ni pamoja na kauli za waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo kwani UNK mara aseme fedha UNK mara serikali haihusiki pia UNK pesa ili wenzetu UNK bungeni dodoma UNK tutaweza kuchanga mbona UNK kuchanga shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri za kiingilio UNK alisema mwanachama mmoja aliyejitambulisha kwa jina la bibi salma shabani alisema mkutano huo utajadili ukimya wa viongozi wao ambao unawatia hofu na kuonesha kuwa UNK kwani kila siku wamekuwa UNK maneno kwa upande wake mwenyekiti wa deci mchungaji issack kulenga alisema UNK taarifa za harakati zote zinazofanywa na wanachama hao lakini alizidi kuwaomba kuwa wavumilivu kwani viongozi wanashughulikia suala lao kwa umakini UNK pia makubaliano yao na kamanda wa polisi kanda maalum ya dar es salaam suleiman kova ambaye alijitolea kuwa kiungo kati ya deci na mamlaka zinazoshughulikia tatizo hilo katika hatua nyingine mchungaji kulenga alimlaumu bwana mkulo kutokana na kile alichoita kutoa kauli zinazochangia migogoro kati ya wanachama wa deci na serikali na edmund mihale serikali UNK jumla ya shilingi trilioni tisa tano kwa mwaka ujao wa fedha ishirini sifuri tisa kumi akiwasilisha mwelekeo wa bajeti ijayo mbele ya kamati ya kudumu ya uchumi na fedha ya bunge jana waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo alisema bajeti hiyo imelenga kutekeleza mfumo wa kukusanya kodi ya ndani na kupanua wigo wa mapato kwa kuhusisha vyanzo vipya kuimarisha usimamizi na udhibiti wa makusanyo kutoka vyanzo mbalimbali kuchukua hatua ya kupunguza misamaha ya kodi ili kuongeza mapato alisema bajeti hiyo UNK maeneo mengine kama kuchukua hatua za UNK kukabiliana na athari zinazotokana na misukosuko ya uchumi duniani kuboresha na kupanua miundombinu ya barabara reli bandari viwanja vya ndege na umeme pia imelenga kuhakikisha hatua zinachukuliwa kulinda ajira na kujikinga na madhara ya uhaba wa chakula kuendeleza programu muhimu kama afya elimu na kuboresha utoaji wa huduma kuimarisha mfumo wa matumizi ya fedha na ufuatiliaji wa matumizi pamoja na tathmini ya mpango wa bajeti ili kuhakikisha rasilimali ya fedha inatumika kwa ufanisi kutafuta mikopo zaidi yenye masharti nafuu katika mashirika ya kimataifa nchi za mashariki ya kati na asia ili kuweza kuongeza uwezo wa serikali kugharamia miradi mikubwa ya miundombinu na kushirikisha sekta binafsi mbali na hayo imelenga kupata fedha kwa ajili ya ukamilishaji wa kupima ardhi ya vijiji moja hamsini sifuri na kutenga fedha za kugharamia miradi maalumu katika maeneo yenye mazingira magumu UNK UNK kufanya kazi akifafanua bwana mkulo alisema serikali inatarajiwa kukusanya shilingi trilioni tisa tano na shilingi trilioni tano moja kama makusanyo kutoka vyanzo vya ndani shilingi trilioni tatu mbili ni misaada na mkopo kutoka kwa wahisani na shilingi trilioni moja mbili kutoka katika mapato mengine alisema bajeti hiyo imetenga shilingi bilioni elfu moja na mia saba na arobaini na tatu tisa ili kuimarisha ukaguzi wa elimu katika ngazi zote UNK na shilingi bilioni elfu moja na mia nne na thebathini nne ya mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa sawa na ongezeko la asilimia ishirini na mbili alisema katika kilimo na ufugaji imetenga kiasi cha shilingi bilioni mia sita na sitini na sita tisa ikilinganishwa na shilingi bilioni mia tano na kumi na tatu sifuri ya mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa huku majadiliano na serikali ya india yakiendelea ilikupata mkopo wa ununuzi wa UNK alisema miundombinu imetengewa shilingi bilioni kumi tisa sita sita UNK maji ya matumizi ya kawaida pamoja na umwagiliaji UNK shilingi bilioni mia tatu na arobaini na saba tatu huku upatikanaji umeme UNK shilingi bilioni mia tatu na themanini na tano tano wakijadili mwelekeo huo wajumbe wa kamati hiyo walisema bajeti hiyo haikidhi matakwa ya wananchi kutokana na kutegemea sehemu kubwa ya fedha ya mahitaji yake kutoka kwa wafadhili UNK mheshimiwa mkulo kama bajeti hii itakuja bungeni kama ilivyo hivi kwa mara ya kwanza UNK nggo niko tayari bunge UNK kwa ajili ya bajeti hii hawezekani fedha zote za barabara UNK kwa waziri wa miundombinu kwako na kwa mwenyekiti wa kamati alisema kwa jazba mjumbe wa kamati hiyo bwana anthony diallo ambaye ni mbunge wa ilemela naye mbunge wa viti maalumu bibi devota likokola alisema bajeti hiyo haijaweka UNK katika kilimo bwana UNK chegeni alisema bajeti hiyo inasikitisha kwani UNK miundombinu katika kilimo na imekuwa UNK upande mmoja wa nchi na kuisahau upande mwingine kwa kuangalia sehemu wanazotoka wakubwa naye mbunge wa tabora mjini bwana siraji kaboyonga alisema bajeti hiyo kwa kiasi kikubwa ni tegemezi kwa kutegemea misaada na kukopa kutoka kwa wafadhili jambo ambalo ni hatari kwa maendeleo rais jakaya kikwete amekanusha uvumi UNK kwamba serikali UNK eneo la kigamboni kwa wamarekani na kubainisha kuwa madai hayo ni ya kipuuzi na hayana kichwa wala miguu rais kikwete alisema hayo jana baada ya kuzindua kivuko kipya cha mv magogoni eneo la magogoni dar es salaam kuna watu waongo wanasema mji huo UNK kwa wamarekani uongo wao UNK zaidi huu ni uvumi na uongo wa mchana hauna kichwa wala miguu wamarekani waje hapa wanatafuta nini alisema rais alisema anachofahamu yeye ni kwamba jiji kwa kushirikiana na wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi wanampango wa kuboresha mazingira ya kigamboni alieleza kuwa kinachofanyika ni kwamba wataalamu wa upimaji wanapima na kupanga vizuri mji huo na kamwe wenyeji wa eneo hilo hawatahamishwa bali watapewa maeneo UNK UNK watagawiwa wengine ikitokea watendaji UNK ahadi ya kutoa kipaumbele kwa wakazi wa kigamboni nipewe taarifa na hapo ndipo malalamiko UNK aliahidi rais kikwete akizungumzia usalama wa usafiri wa majini aliitaka mamlaka ya usafiri majini na nchi kavu kuwa makini kufanya ukaguzi wa vyombo na kusimamia ubora wa usafiri ujuzi wa manahodha na wafanyakazi wengine alisema uzembe wa mamlaka hiyo umekuwa chanzo cha maafa kwa abiria na uharibifu wa mali zao aliitaka mamlaka hiyo kufanya ukaguzi bila ubabaishaji na UNK kusikia kiongozi anapita ndipo wafanye ukaguzi huo aliwataka abiria UNK kusafiri na meli yenye UNK yasiyolingana na idadi yao alisema ajali nyingi za majini zinasababishwa na ubovu wa vyombo vyenyewe matengenezo yasiyoridhisha makosa ya manahodha kuzidisha abiria kwa tamaa ya fedha matokeo yake ni chombo kuzama na kusababisha maafa akizungumzia ujenzi wa daraja la kigamboni alisema utaanza mwaka mwakani na serikali imejipanga na mchakato wa kupata mshauri unaendelea kwa ajili ya kutayarisha zabuni ya ujenzi huo akizungumzia msongamano wa magari dar es salaam rais kikwete alisema serikali ina mpango wa kujenga barabara kadhaa ili kupunguza tatizo hilo na baadhi ya mikataba kwa ajili ya ujenzi huo UNK hivi karibuni miongoni mwa barabara hizo ni ile ya kutoka UNK hadi tungi mjimwema pembe mnazi tungi kibada ubungo maziwa kigogo tegeta kibaoni mbezi mwisho UNK UNK kimara mabibo na zote UNK kwa kiwango cha lami barabara zingine zitafanyiwa matengenezo na kuwa njia mbili ikiwemo ya morocco kawe mikocheni UNK sayansi msasani kwa nyerere ambazo serikali ya japani itasaidia ujenzi huo akitoa taarifa za kivuko hicho katibu mkuu wizara ya miundombinu bwana omar chambo alisema kimenunuliwa na serikali ya tanzania kwa gharama ya shilingi bilioni nane tano zilizotengwa kwenye bajeti ya mwaka ishirini sifuri sita sifuri saba alisema kivuko hicho ni cha kisasa chenye uwezo wa kubeba tani hamsini sifuri magari madogo sitini na abiria mbili sifuri sifuri sifuri na kina urefu wa meta sabini na nne na upana wa meta kumi na saba tano na kimefungwa injini nne mpya aina ya UNK zenye uwezo wa arobaini sifuri hp kila moja akimkaribisha rais waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa alisema kivuko hicho ni kikubwa kuliko vyote nchini na kitafanya kazi kwa kusaidia na vingine viwili mv UNK na mv kigamboni alisema wizara yake imedhamiria kuhakikisha sehemu zote zinazohitaji vivuko nchini zinapata vipya na vilivyopo UNK ukarabati wa uhakika UNK kuhusu hatua butu dhidi ya mafisadi UNK ushirikina unaofanywa na viongozi waziri mkuu pinda akiri asema tatizo lipo maaskofu wa jumuiya ya kikristo tanzania wamesema hawaridhishwi na kasi ya serikali ya rais jakaya kikwete kushughulikia watu wanaotuhumiwa kwa ufisadi na kuonya kwamba kusuasua huko kunaweza kuleta mawazo na tafsiri mbaya miongoni mwa watanzania ambao ndio waathirika wa janga hilo pia viongozi hao wa kiroho wameitaka serikali kurekebisha mambo mengine tisa ya msingi likiwemo la ushirikina miongoni mwa viongozi serikalini ambalo walisema sasa linazidi kuipeleka nchi pabaya akisoma hotuba kumkaribisha waziri mkuu bwana mizengo pinda kufungua mkutano mkuu wa cct mjini hapa jana mwenyekiti wa jumuiya hiyo askofu daktari donald mtetemela alisema licha ya serikali kuonesha nia kupambana na ufisadi UNK kasi UNK kushughulikia wahusika tuhuma za ufisadi zimekuwa karibu ngazi zote za uongozi serikali vyama vya siasa mashirika ya umma na asasi zisizo za serikali baadhi ya juhudi za kisheria kuhusiana na tuhuma hizi zinaonekana kuchukua muda mrefu bila kushughulikiwa hii inaweza kutafsiriwa vibaya na jamii ya watanzania alionya askofu UNK alitaja changamoto tisa zinazotakiwa UNK upya na serikali kuwa ni pamoja na ubinafsi miongoni mwa watumishi wa umma unaosababisha kuongezeka kwa kero za wananchi mikataba mibovu kati ya serikali na wawekezaji isiyozingatia maendeleo na usalama wa wananchi na kuwasababishia manyanyaso katika nchi yao hususan katika sekta ya madini changamoto nyingine ni pamoja na kuboreshwa kwa utendaji kazi na uwajibikaji wa vyombo vinavyosimamia haki na kusimamia sheria nchini ugawaji ardhi na upatikanaji wa hati miliki kwa wananchi kulalamikiwa kugubikwa na urasimu bodi za zabuni kutoa kazi kwa upendeleo kwa kudai rushwa hususan katika sekta ya ujenzi wa barabara majengo na ununuzi wa vitu mbalimbali kumekuwa na tuhuma na UNK UNK kwamba ushirikina umetawala sana miongoni mwa viongozi wa umma ngazi zote na siasa baadhi yao inasemekana wanakwenda kwa waganga wa kienyeji ili kuwezeshwa kupata uongozi au nyadhifa fulani kwa kupewa hirizi UNK au kufanyiwa matambiko ya kafara jambo hili UNK taifa letu laana na aibu kubwa serikali ione viongozi wanaobainika kutegemea ushirikina hawajiamini na hawawezi kulisaidia taifa kujenga maadili mema alionya askofu mtetemela na kuongeza bodi ya mikopo ya elimu ya juu imekuwa ikilalamikiwa aidha kuchelewesha au kutoa mikopo kwa upendeleo matokeo ya jambo hili ni migomo na uharibifu wa mali na pia wanachuo wengi ambao wazazi wao hawana uwezo kupata shida kubwa kujikimu tunaiomba serikali iangalie upya muundo wa bodi hii ili kuepusha migomo ya mara kwa mara isiyo ya lazima alisema alitaja changamoto zingine kuwa ni serikali kuangalia upya mfumo wa wanafunzi kusoma katika maeneo yao kuanzia shule za awali hadi kidato cha sita hivyo kupanua mwanya wa kuvunja utaifa na kuwa na fikra ya kule UNK badala ya kujichanganya na wenzao katika shule mbalimbali kama ilivyokuwa awali askofu mtetemela alisema pamoja na juhudi za serikali kuongeza shule UNK UNK ni bora elimu badala ya elimu bora shule hizo na vyuo havina walimu wahadhiri wenye sifa na pia vitendea kazi hakuna achilia mbali maslahi duni tunaiomba serikali kabla ya kuanzisha shule au vyuo ifanye kwanza maandalizi ya kutosha ya walimu wahadhiri na vitendea kazi mambo haya UNK tutajikuta tunazalisha wasomi wasio na sifa na taaluma za kutosha kuingia katika soko huria la ajira alionya katika hatua nyingine maaskofu hao walimtaka waziri mkuu kutoa kauli ya serikali kuhusu taarifa zilizotangazwa katika vyombo vya habari ya polisi kuwaua wananchi katika mgodi wa north mara suala la wafugaji na wakulima mkoa wa morogoro UNK inayoendelea kila kukicha huku UNK serikali kukataa kuweka rehani ardhi ya tanzania kwa jumuiya ya afrika mashariki kabla ya kuwamilikisha watanzania katika hotuba yake bwana pinda alikiri kwamba ufisadi bado ni tatizo kubwa nchini na kwamba wananchi wa tanzania hawapendi uchafu huo na wanataka hatua kali na za haraka zaidi dhidi ya watuhumiwa na kutoa mfano kwa baadhi ya wabunge kupendekeza mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kutembea na polisi anapokwenda kukagua ili akibaini wizi mhusika akamatwe papo hapo ufisadi bado ni tatizo kubwa hata hivyo serikali UNK kukabiliana nalo na kumekuwa na mafanikio vyombo vya habari bunge UNK sana katika suala hili taarifa ya UNK international ya mwaka ishirini sifuri nane tanzania imekuwa nafasi ya kumi mbili duniani ikilinganishwa na nafasi ya tisini na nne mwaka ishirini sifuri saba ukweli ni kwamba kutokana na uwazi ambao serikali imeruhusu watu wamejitokeza na kubainisha bila hofu vitendo vya rushwa ndio maana viongozi waandamizi wa serikali na wafanyabiashara wakubwa wanaotuhumiwa kwa rushwa na kufuja rasilimali za umma wamefikishwa mahakamani na wengine wanaendelea kuchunguzwa alisema bwana pinda mkutano huo wenye wajumbe mia moja na sitini unajumuisha maaskofu wote kutoka makanisa kumi na tano yanayounda cct na mashirika kumi na nne hufanyika kila baada ya miaka minne mkutano huo unamalizika leo jioni na grace michael upande wa mashitaka katika kesi inayomkabili kada wa ccm bwana rajab maranda UNK mahakama kuwa ushahidi uliotolewa na mashahidi wake kuhusu uchotaji mabilioni ya fedha UNK matakwa ya kuwafanya wapande kizimbani kutoa utetezi akitoa majumuisho ya kesi hiyo jana wakili mkuu wa serikali bwana stanslaus boniface mbele ya jopo la mahakimu watatu ambao ni bwana saul kinemela bibi cypriana william na bwana phocus bampikya alisema kuwa ushahidi ulioko mahakamani hapo dhidi ya washitakiwa umethibitisha makosa yote UNK UNK alisema kuwa upande huo ulifanikiwa kuleta mashahidi tisa pamoja na vielelezo kumi na saba ambavyo kwa pamoja UNK makosa hayo bila kuacha shaka yoyote hivyo akaiomba mahakama kuwakuta na kesi ya kujibu washitakiwa hao yapo maungamo ya washitakiwa ambayo UNK na mahakama kama vielelezo ambapo washitakiwa wanakiri moja kwa moja kufanya makosa yanayowakabili hivyo ni ushahidi tosha ambao UNK wapande kizimbani na kuieleza mahakama au kujibu makosa hayo alisema bwana boniface alisema kuwa mahakama inatakiwa kuzingatia maungamo ya washitakiwa hao kwani halali na UNK matakwa ya kifungu tatu cha sheria ya ushahidi alieleza kuwa kwa mujibu wa maelezo ya bwana farijala hussein UNK moja kwa moja kuhusika na ujazaji fomu za kuomba usajili wa kampuni ya kiloloma UNK ambayo ndiyo inadaiwa kuchota mabilioni hayo katika akaunti ya madeni ya nje mshitakiwa huyo katika maelezo yake anakiri kutumia jina la bwana UNK kisa ambalo ndilo UNK katika uombaji wa usajili wa jina la kampuni na kutokana na hali hiyo inaonesha moja kwa moja alivyohusika katika kujipatia usajili kwa njia za udanganyifu alisema kuwa maelezo ya washitakiwa hao UNK mkono na ushahidi wa mashahidi wengine ambao walieleza namna washitakiwa walihusika katika makosa hayo kama ufunguaji wa akaunti ya kampuni ambapo nyaraka za kughushi zilitumika kwa ajili hiyo kutokana na sababu hizo bwana boniface UNK mahakama kuona ushahidi wa upande huo unajitosheleza kuwapandisha washitakiwa hao kizimbani kwa ajili ya kujibu tuhuma zao wakili huyo alitumia maamuzi ya kesi mbalimbali uliotolewa na mahakama kuu na rufaa kwa ajili ya kuishawishi mahakama hiyo UNK na kesi ya kujibu washitakiwa hao akieleza namna washitakiwa hao walivyohusika katika makosa hayo alisema kuwa katika kosa la kujipatia usajili kwa njia za udanganyifu UNK kwa kuwa mshitakiwa huyo alikiri kutumia jina lisilo lake katika kuomba usajili wa kampuni iliyochota fedha hizo katika suala la kughushi hati za usajili alisema kuwa washitakiwa hao walitenda makosa hayo na hayo UNK na ushahidi wa shahidi wa brela ambaye alieleza kuwa msajili wa brela hakuwahi kusaini hati hizo na sahihi zilizopo katika hati hizo sio zake hivyo kuonesha moja kwa moja kuwa UNK alisema kuwa kampuni la washitakiwa hao haliko kwenye kumbukumbu za brela hivyo ni ushahidi tosha kuwa haijawahi kusajiliwa bali UNK kwa kazi maalum upo ushahidi unaoonesha utofauti wa saini katika nyaraka zilizotumiwa na washitakiwa hivyo ushahidi wa upande wa mashitaka UNK na mahakama ione una umuhimu unaowataka washitakiwa hao kujibu alisema bwana boniface akijibu hoja zilizotolewa juzi na bwana magafu bwana boniface alisema kuwa hakukuwa na ulazima wa maofisa wa bot kufika mahakamani hapo kwa ajili ya kutoa ushahidi bali nyaraka zilizotolewa na benki hiyo zilikuwa zinakidhi mahitaji hivyo hawakuona sababu ya kuita mashahidi zaidi kuhusiana na suala la kuleta mashahidi kutoka mumbai india alisema kuwa maelezo ya washitakiwa wenyewe UNK matakwa na kuona kuwa wao ndio walighushi nyaraka za kuhamishiwa deni na kampuni ya nje hivyo hakukuwa na ulazima wa kuita shahidi kutoka huko akihitimisha majumuisho yake bwana boniface aliomba mahakama hiyo kuwaona washitakiwa hao wanayo kesi ya kujibu na wapande kizimbani kuhitimishwa kwa majumuisho ya pande zote mbili UNK mahakama hiyo kupitia kwa makini hoja hizo pamoja na ushahidi uliotolewa ili itoe uamuzi wake kuhusiana na kesi hiyo kutokana na hilo mahakama hiyo itatoa uamuzi wake juni kumi mwaka huu washitakiwa hao wanakabiliwa na makosa mbalimbali yakiwemo ya kula njama udanganyifu wizi kughushi na UNK hati za uongo ambapo wanadaiwa kuiba jumla ya shilingi bilioni moja nane na eckland mwaffisi waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja amesema tatizo la kukatika umeme mara kwa mara linachangiwa na ubovu wa miundombinu ya shirika la umeme tanzania bwana ngeleja aliyasema hayo dar es salaam jana alipokutana na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini kuelezea maendeleo ya utekelezwaji miradi mbalimbali ya umeme na hali ya upatikanaji umeme nchini katika maelezo yake bwana ngeleja alisema tatizo la ubovu wa wa miundombinu ya tanesco linatokana na uwekezaji ambao haukufanyika muda mrefu tangu shirika hilo UNK chini ya uangalizi wa tume ya kurekebisha mashirika ya umma kwenye miaka ya elfu moja na mia tisa na tisini alisema kutokana na mazingira hayo hali ya uzalishaji wa umeme nchini UNK kwa kiasi cha kutosha na ndio sababu ya serikali kuandaa mpango kabambe wa kuendeleza sekta ya umeme kwa kipindi cha mwaka ishirini sifuri saba mpaka ishirini tatu moja katika mpango huu miradi ya uzalishaji na usambazaji umeme UNK ambapo lengo la serikali ni kuhakikisha mpango huo unatekelezwa kwa wakati na ukamilifu mkubwa alisema bwana ngeleja alifafanua kuwa hatua iliyofikiwa katika miradi mingi ya umeme inayotekelezwa nchini itaboresha na kupanua miundombinu ya umeme ili kurahisisha upatikanaji wa nishati hiyo katika maeneo mengi na kupunguza upotevu wa umeme kwenye mfumo wa tanesco upotevu wa nishati hiyo kwenye mfumo wa usafirishaji na usambazaji umeme UNK asilimia ishirini na tatu kwa sasa bwana ngeleja alisema serikali imeweka mikakati mbalimbali ya kukabiliana na upungufu wa umeme chini ya mpango wa UNK kwa kutekeleza miradi ya kipindi kifupi kati na kipindi kirefu ili kukidhi ukuaji wa mahitaji ya umeme aliongeza kuwa sheria mpya ya umeme ya mwaka ishirini sifuri nane UNK kwa lengo la kupanua wigo wa ushiriki wa sekta binafsi kuendeleza sekta ya nishati kutokana na mahitaji ya nishati hiyo nchini alisema pengo la uwezo wa tanesco kushindwa kuzalisha umeme wa karibu mw mia moja na hamsini kwa sasa unatokana na kusitishwa kwa mitambo ya kukodi ya UNK iliyokuwa ikizalisha umeme wa mw arobaini dowans mw mia moja na hamsini UNK power UNK mw arobaini na iptl iliyokuwa ikizalisha mw kumi sifuri kwa sababu ya mgogoro wa kisheria dhamira na kusudio la serikali ni UNK mradi wa makaa ya mawe wa kiwira ambapo hivi sasa UNK ili uweze kuongeza ubora wa huduma za umeme UNK maeneo mengi nchini alifafanua bwana ngeleja na kuongeza kuwa taarifa za UNK huo zinatarajiwa kufikishwa bungeni bwana ngeleja alisema kwa sasa tanesco imekua UNK kiasi cha asilimia kumi na tano ya mapato yake kwa lengo la kuimarisha miundombinu ya shirika hilo akizungumzia suala la madini bwana ngeleja alisema mgodi wa dhahabu wa geita mining limited unaomilikiwa na kampuni ya UNK ashanti ya afrika kusini umeanza kulipa kodi ya mapato baada ya kupata faida alisema ulipaji huo wa kodi unatokana na kazi nzuri ya ukaguzi iliyofanywa na mamlaka ya mapato tanzania kwa kushirikiana na wizara hiyo baada ya kutoridhishwa na taarifa za utendaji wa mgodi kujiendesha kwa hasara mwaka ishirini sifuri tano na kukosekana vielelezo vya hasara hiyo alifafanua kuwa wakaguzi hao walifanya tathmini ya uwekezaji na na kugundua kuwa mgodi huo ulipata faida mwaka ishirini sifuri tano alisema tra kwa kushirikiana na sehemu ya ukaguzi wa madini iliyopo chini ya kamishna wa madini tanzania inaendelea na tathimini ya uwekezaji kwa kipindi cha mwaka ishirini sifuri sita ishirini sifuri nane kwa mgodi wa geita na migodi mingine tathmini hiyo itasaidia kubaini kodi stahiki ya mapato inayotakiwa kulipwa kila mwaka katika kipindi hicho cha uwekezaji ambapo mchakato wa kuandaa sera mpya ya madini umeanza tangu mwaka ishirini sifuri saba baada ya kuundwa kwa kamati mbalimbali kupitia sera ya iliyokuwepo ya kupeleka mapendekezo serikalini mapendekezo ya kamati hizo UNK katika mchakato wa kuandaa sera hiyo na matokeo ya mashauriano na majadiliano na wadau wote kwa lengo la kupata sera na sheria ambazo zitasaidia kuwaendeleza watanzania nma kukidhi matarajio ya wadau peter masangwa na salum pazzy pamoja na jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania kuwataka wakazi wa eneo la mbagala dar es salaam kutulia na kutohofu shughuli ya ulipuaji masalia ya mabomu leo hofu imetanda miongoni mwa wananchi hao huku wengine wakifunga nyumba zao na kuondoka mapema kutokana na uvumi kwamba milipuko hiyo itakuwa mizito kuliko ya awali uvumi huo ulianza kuzagaa jana asubuhi ambapo mazungumzo kuhusu uteketezaji wa masalia hayo UNK kata ya mbagala kuu huku baadhi ya watu wakidai milipuko hiyo itakuwa mikubwa na huenda UNK madhara wakizungumza na gazeti hili kwa nyakati tofauti jana wakazi hao walisema hawawezi kupata utulivu kwa kukumbuka kilichotokea siku chache zilizopita kwa kweli hofu ipo na lazima iwepo kwa sababu mabomu ni silaha ambayo ni vigumu kutabiri madhara yake UNK UNK hamna mjadala mbona mwanzo walisema milipuko haitakuwa na madhara na haikuwa hivyo alihoji mmoja wa wakazi hao alijitambulisha kwa jina la bwana frank UNK kwa upande wake kamishna wa maskauti wilaya ya temeke bibi rehema marango alisema hofu ipo miongoni mwa wakazi hao lakini wao wanaendelea kuhamasisha watu watulie na UNK na shuguli zao za kawaida alisema wao wamejiandaa vya kutosha kuwahudumia wote watakaoathirika na tukio hilo kwani wakazi wengi wa maeneo hayo wamekuwa na tatizo la mishtuko na presha hasa wakisikia vishindo vya mabomu hata hivyo bibi marango alikiri kuwa kuwepo kwa hofu ni hali ya kawaida kwa taarifa nzito kama uteketezaji mabomu kwani ni silaha za maangamizi na kwa jinsi UNK aprili ishirini na tisa mwaka huu ni vigumu hali hiyo UNK mapema wiki hii jwtz ilitoa taarifa ya uteketezaji mabomu kumi na moja leo kwenye kambi ya jeshi hilo iliyopo mbagala dar es salaam taarifa hiyo iliwataka wananchi kutulia na kutohofu kwani uteketezaji huo utafanyika kitaalamu na UNK kuleta madhara hata hivyo waliwataka wakazi hao kuwa mbali na kambi hiyo na godfrida jola serikali itatoa tamko rasmi kuhusu malipo ya fedha za wanachama wa kampuni ya development enterpreneurship for community initiative jumanne ijayo akizungumza na wanachama hao jana makao makuu ya deci mabibo dar es salaam mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo mchungaji timoth ole loitinggye alisema pesa zote zimekabidhiwa kwa serikali na na tume iliyoundwa kuchunguza suala lao imemaliza kazi yake na itatoa tamko jumanne juni tisa mwaka huu mkurugenzi huyo aliwambia wanachama hao walikutana ofisini hapo kwa lengo la kukamilisha mikakati ya kuchanga fedha kwa ajili kutuma wawakilishi dodoma kukutana na wabunge kuwasilisha kilio chao kwamba tatizo lao linashughulikiwa alisema kwa sasa viongozi wa deci hawana cha kueleza zaidi ya kusubiria tamko hilo litakalotoa jibu kamili kwani tume iliyoundwa ina watu wanaoaminika fedha zenu zimekabidhiwa kwa serikali tume iliyoundwa imemaliza kazi zake na itatoa tamko rasmi jumanne ijayo alisema bwana loitinggye hata hivyo baadhi ya wanachama hao hawakuridhishwa na ufafanuzi huo na kuendelea kubaki katika ofisi hizo kwa zaidi ya saa moja na nusu wakiwa kwenye vikundi kujadili kuendelea na msimamo wao kufikisha suala hilo bungeni dodoma wiki ijayo juzi baadhi wanachama hao walipanga kuandamana kwenda bungeni dodoma wiki ijayo kuwasilisha kilio chao kwa wabunge uamuzi huo ulifikiwa wakati wanachama hao walipokutana kujadili hatma ya mbegu zao na baadhi yao kuonesha kutoafiki kauli za viongozi wao wanachama hao walilalamika kwamba viongozi wao wamekuwa wakiendesha suala hilo kidiplomasia huku wakidai baadhi ya vigogo waliopanda mbegu wamelipwa kinyemela kwanini vigogo walipwe na sisi tunabaki kuhimizwa kuvuta subira wakati wote ni wanachama kama serikali imeshaona deci ni utapeli kwa nini wanangganggania pesa zetu na hiyo tume inachunguza nini siku zote hizi alikaririwa akihoji mmoja wa wanachama hao UNK la mgombea UNK kioo kikwete UNK kumaliza UNK mafisadi wadaiwa kupenyeza maslahi kampeni za kugombea nafasi ya uenyekiti wa jumuiya ya wazazi wa ccm ngazi ya taifa zimeingia dosari baada gari la mmoja wa wagombea nafasi hiyo kushambuliwa kwa mawe na kuvunjwa kioo kikubwa cha mbele gari la mgombea huyo bwana athuman mhina UNK kushambuliwa na kundi la watu UNK na kumwona tishio kwa mgombea wao UNK naye katika uchaguzi wa leo tukio la kushambuliwa gari hilo namba t mia sita na thebathini na sita ays toyota prado ilitokea juzi saa nne usiku katika baa ya chako ni chako mjini hapa ambapo wageni mbalimbali na wenyeji mji huu hukutana kwa ajili ya kupata chakula na vinywaji vyanzo vya majira katika baa hiyo vilieleza kwamba kuvunjwa kwa kioo cha gari hilo kulitokana na malumbano makali wa kampeni yaliyokuwa UNK na makundi mawili tofauti la bwana mhina na la mgombea mwingine bwana bulembo UNK mimi sijui na bosi wetu UNK kuzungumza jambo lolote hapa ila nafikiri wale walikuwa UNK nilisikia wakati tunawapa vinywaji wakisema sijui mhina anafaa zaidi ghafla nikaona watu wengine UNK na kusema ni lazima bulembo kisha UNK vurugu UNK UNK kilisema chanzo chetu ndani ya baa hiyo a class UNK UNK UNK UNK UNK UNK UNK media and view images and UNK UNK and e name UNK title image UNK UNK UNK size x mia tano na sabini y arobaini sifuri image akizungumza na waandishi wa habari jana asubuhi mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi mkoa wa kilimanjaro bwana thomas ngawaiya alisema yeye ni moja kati ya watu UNK na kundi analoamini kufadhiliwa na mafisadi na kwamba aliyeongoza mashambulizi hayo ni mwenyekiti wa wazazi wilaya ya nyamagana mkoa wa mwanza bwana emanuel zungu tulikaa pale chako ni chako wakati tukiendelea kuzungumza nikaanza kueleza kwamba kusema ukweli bwana mhina ana sifa uzoefu na elimu nzuri zaidi kuongoza jumuiya ikilinganishwa na wagombea wengine ghafla nilishangaa vijana UNK nikasema uchaguzi wa vijana na wa wanawake ulishapita sasa ni wazazi watuache baada ya muda mfupi kundi kubwa UNK wakiongozwa na bwana zungu nilipoona hivyo UNK busara nikaondoka kimya kimya na kuwaomba wenzangu UNK lolote lakini nyuma yangu gari iliyokuwa na picha ya mgombea UNK kuondoka eneo hilo na baadhi ya wageni UNK na kuvunjwa kioo kama UNK alisema bwana ngawaiya huku akionesha gari hilo alipotakiwa kueleza ni kwa nini anaamini kwamba kundi hilo UNK na watu wanaoaminika kuwa mafisadi alisema unajua siasa haihitaji vurugu inahitaji uwezo wa kushawishi kama walivyosema wenyewe UNK kwamba ngawaiya hapa ni bulembo tu toka UNK UNK wewe unaweza kubadilisha watu alisema bwana ngawaiya UNK aliodai kuwa ni vijana UNK na zungu akizungumza na majira kuhusu madai hayo bwana zungu alikana kuhusika na vurugu hizo na kudai kwamba yeye hana kundi lolote UNK huku akikiri kwamba UNK maneno kidogo tu na bwana ngawaiya katika baa ya chako ni chako juzi saa nne usiku na si kufanya vurugu wala kuvunja kioo cha gari kwanza ndio unaniambia hiyo habari mimi sihusiki kabisa na hizo vurugu ninachojua ni kwamba mimi niko katika kambi ya ccm nimekuja kama mwenyekiti wa wilaya na nitatumia haki yangu kupiga kura kwa mgombea UNK kwa kujieleza kesho alisisitiza bwana zungu alipotakiwa kufafanua jinsi UNK maneno na bwana ngawaiya na kueleza kambi yake kati ya wagombea hao alisema UNK kidogo maneno na ngawaiya baada ya UNK UNK sana bulembo nikamwambia hapana kwani mgombea huyo ana mvuto wa kila kitu uwezo elimu na hata sura yake UNK UNK ndiyo UNK kidogo alisema akizungumza na majira mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai mkoa mkoa wa dodoma salum UNK alithibitisha kupokea taarifa ya tukio hilo na kwamba anaendelea kulifanyia uchunguzi zaidi ni kweli tumepokea taarifa hizo baada ya dereva wa gari namba t mia sita na thebathini na sita ays kuripoti kwamba gari lake UNK na kuvunjwa kioo cha mbele katika eneo la chako ni chako jana saa nne usiku sasa haya ni masuala ya kisiasa sisi kama polisi lazima UNK uchunguzi kwa makini sana na sisi tusije UNK kwenye mambo UNK tunafuatilia alisema kwa upande wao wajumbe wa mkutano huo waliozungumza na majira walisema wao tayari wana uamuzi lakini wanasubiri hotuba ya mwenyekiti wa ccm rais jakaya kikwete ili dira ya kura zao kumbuka kilichofanyika katika uchaguzi wa uwt mafisadi UNK mtu wao na akawa na nguvu kweli kweli lakini mwenyekiti alipokuja na kutoa hotuba ya busara na hekima mambo UNK shwari hata sisi tunasubiri tu hotuba yake iwe dira ya mwisho kila kinachoendelea hapa UNK alisema mmoja wa wajumbe maarufu kutoka mkoa wa mara kwa masharti ya kutotajwa jina majira UNK kampeni zikiwa UNK moto kila kona ya mji wa dodoma huku wapambe wakihaha kutafuta wajumbe kila kona kuhakikisha wagombea wao wanapata ushindi leo wagombea katika UNK cha uenyekiti taifa ni bwana athumani mhina bwana bulembo UNK na bibi esther nyawazwa awali uchaguzi wa wazazi UNK kutokana na matatizo ya ukata jumuiya zingine za ccm tayari UNK uchaguzi wao mwenge wa uhuru UNK kwa mabango kutoka kwa vyama vya upinzani wilayani geita UNK kuwa ujio wa mwenge huo umekuwa chanzo cha ubaguzi wa kisiasa kwa vyama hivyo kwa UNK kadhalika vyama hivyo vya upinzani UNK kushiriki katika mbio hizo za mwenge uliokuwa wilayani geita tangu juzi hali ambayo ilisababisha kiongozi wa mbio hizo kulaani vikali kitendo hicho kinachodaiwa kufanywa na viongozi wa serikali wilayani geita mwenge umeleta ubaguzi wa kisiasa wilayani geita dc geita acha ubaguzi wa kisiasa ubaguzi wa kisiasa ni sumu ya maendeleo yalidai baadhi ya mabango waliyokuwa wamebebwa na wafuasi wa vyama vya siasa wakati UNK tukio hilo lilitokea juzi wakati wa ufunguzi wa mradi mdogo wa maji ya bomba bomani baada ya msafara wa mwenge kufika eneo la mradi na kukutana na mabango hayo kwa watu kadhaa waliokuwepo hapo kila mmoja kuwa na bango akielezea madhumuni ya kufikia uamuzi huo katibu wa cuf wilaya ya geita bwana severine UNK baada ya kupata kipigo kutoka kwa askari polisi amewaambia waandishi wa habari kuwa pamoja na kumpatia kipigo hicho lakini ujumbe umefika unajua inashangaza kwa mkuu wa wilaya kuburuzwa na ofisi ya utamaduni wilaya huyu mratibu wa mwenge wa uhuru wilaya ambaye ni afisa utamaduni wilaya na UNK wake wamekuwa wao ndiyo waamuzi wa kila kitu kiasi cha kumburuza hata dc kiasi cha maamuzi mengine kumpotosha na kukanyaga katiba ya nchi na itifaki amedai UNK sakata lilopelekea kufika hatua ya kususia ni kauli UNK na mkuu wa wilaya ya UNK bwana UNK UNK na afisa utamaduni wilaya ambaye ni mratibu wa mbio za mwenge kiwilaya kwenye kikao cha ujio wa mwenge cha mei ishirini na saba kwamba wapinzani hawana haki ya kuchangia maamuzi ilidaiwa kuwa wao kama vyama vya siasa vya upinzani ni waalikwa tu hawawezi kupewa uzito kama ilivyo kwa ccm na kama wanataka hoja zao UNK UNK wasubiri mpaka nao watakapokuwa wamechukua dola pamoja na kauli hizo wamedai kuwa kwa muda mrefu wamekuwa wanaburuzwa na kutengwa katika matukio yakiwemo yanayohusu maslahi ya taifa hatua UNK inaweza kuhatarisha umoja na UNK wa kitaifa uliopo kutokana na mapungufu UNK wachache kwa UNK yao binafsi ya kiitikadi za kisiasa na john daniel dodoma rais jakaya kikwete amevunja ukimya na kuonesha wazi kukerwa na vurugu ndani ya chama cha mapinduzi na kuonya kuwa hatavumilia tena kusikia vitendo hivyo katika chaguzi zijazo kwa kuwa ni aibu na fedheha kwa chama hicho UNK akihutubia mkutano mkuu wa saba wa jumuiya ya wazazi wa ccm mjini hapa jana rais kikwete alisema watu wanaojihusisha na vurugu UNK wapiga kura na UNK wenzao hawafai kuwa viongozi na hata kuwa wajumbe wa baraza la kuu la jumuiya hiyo kwa kuwa vitendo hivyo ni dalili ya wazi ya kukosa uwezo na kujiamini nawapa pole kwa misukosuko ya uchaguzi uko UNK maana uchaguzi wa siku hizi tabu kweli hata hapa nasikia UNK unajua vitu vingine ni aibu vitu vingine ni fedheha nawaomba sana ninyi UNK UNK wahuni hapa naomba tabia iwe mwisho katika chaguzi zijazo hii isitokee tena alionya rais kikwete aliwaonya wajumbe wa mkutano huo UNK kuchagua mtu kutokana kuhongwa fedha kuambiwa na watu fulani maarufu kuelekezwa na wapiga debe na kuwataka kutambua kwamba iwapo watatumia vigezo hivyo watazidi UNK jumuiya hiyo UNK na dhoruba katika kipindi kilichopita na UNK mabadiliko ya uongozi wa dharura kabla ya uchaguzi mchague watu UNK kwa miaka mitano mkifanya makosa UNK UNK mtu kwa kuambiwa na mtu fulani maarufu au kuoneshwa na mpiga debe au kwa kuhongwa UNK akishinda hatafanya kazi za jumuiya UNK kwanza fedha zake na UNK humu humu kwenye jumuiya alisema kuhusu uhai wa jumuiya hiyo alisema ccm inategemea jumuiya hiyo katika kushinda chaguzi zake mbalimbali na kuwaomba wana jumuiya hiyo kuanza kuonesha uwezo wao UNK ccm ushindi katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani kuhusu shule zilizokuwa zikimilikiwa na jumuiya hiyo alisema tayari kamati kuu ya ccm imeridhia jumuiya hiyo kuachana na masuala ya kusimamia shule za sekondari kutokana na gharama kubwa za uendeshaji na ongezeko la shule za sekondari za serikali za kata UNK baadhi ya shule hizo kukosa wanafunzi wa kutosha alisema akiwa katika ziara yake nchini marekani hivi karibuni alifanikiwa kupata msaada mkubwa wa vitabu katika shule za sekondari nchini na kwamba UNK la vitabu kwa shule za serikali sasa siku zake zinahesabika na kwamba hadi sasa jumuiya hiyo inadaiwa karibu shilingi bilioni tatu kutokana na shule hizo awali akimkaribisha rais kikwete kaimu mwenyekiti wa jumuiya hiyo bwana athumani mhina alionesha UNK wake wa uongozi baada ya kueleza kwamba katika kipindi kifupi UNK nafasi hiyo jumuiya hiyo imefanikiwa kupata shule zenye kidato cha tano na sita ishirini na kati ya hizo kumi na tano UNK wanafunzi zaidi ya moja sifuri sifuri sifuri kwenda vyuo vikuu alisema jumuiya ina uwezo mkubwa wa kufanya mambo mengi mazuri na kuongeza kwamba tatizo ni uongozi na iwapo UNK uongozi mzuri unaweza kuifanya iwe chombo kinachofanya mambo mengi huku akilalamikia jumuiya hiyo kutopewa kipaumbele katika masuala mbalimbali kama uvccm na uwt akizungumza na majira jumapili mmoja wa waanzilishi wa jumuiya hiyo enzi za tanu balozi job UNK alisema amesikitishwa na kitendo cha kuporomoka kwa maadili ya viongozi na kampeni chafu ndani ya jumuiya hiyo hatuwezi kuvumilia hali hii ilivyo sasa ni lazima tuchukue hatua wale wanaofanya vurugu kampeni chafu au hao mafisadi wanatakiwa wachukuliwe hatu kali na hata kama UNK basi wafukuzwe ndani ya chama namuunga mkono sana rais kwa hotuba yake kwa wajumbe alisema balozi UNK viongozi waliochaguliwa jana ni pamoja na mwenyekiti wa taifa makamu mwenyekiti mwakilishi kutoka uvccm mwakilishi kutoka uwt wajumbe watano kutoka tanzania bara UNK na watano kutoka tanzania visiwani wengine wazidi kukimbia makazi yao watu ishirini na mbili wamelazwa katika hospitali ya temeke baada ya kupata mshituko wakati wa ulipuaji wa mabaki ya mabomu ulioendeshwa jana na jeshi la wananchi katika kambi ya jeshi hilo UNK mbagala kizuiani dar es salaam mabaki ya mabomu yanatokana na mlipuko uliotokea katika kambi hiyo aprili ishirini na tisa mwaka huu na kupoteza maisha ya watu ishirini na saba kuharibu nyumba tisa sifuri nne tisa na mali nyingine za wakazi wa eneo hilo akizungumza jana mganga mkuu wa hospitali ya temeke bibi aisha mahita alisema hospitali yake imepokea wagonjwa ishirini na mbili wa mshtuko uliotokana na mlipuko wa mabomu na wote wako katika hali nzuri wote waliokuja hawakuwa wamezirai wamekuja wakiwa UNK na tumewapokea na tunaendelea kuwapa huduma kama kawaida na watakaopata nafuu tutawaruhusu alisema bibi aisha milipuko ya mabomu hayo ilianza saa nne sifuri nne asubuhi huku kukiwa na wakazi wachache hasa wanaume ambao walionekana kuwa na wasiwasi kutokana na kuwa na hisia mbalimbali kuhusiana na mabomu hayo baada ya wakazi wengine kuyakimbia makazi hayo tangu juzi jioni majira jumapili ilishuhudia mamia ya wakazi wa maeneo hayo wakiwa na watoto wadogo huku wakiwa wameshika mifuko kwa jili ya chakula wakiondoka katika makazi hayo kwa UNK mabomu mengine yaliyosababisha wakazi hao kuyakimbia makazi yao yalilipuliwa dakika ya nane tisa ishirini na bomu la tano na sita yalilipuliwa dakika ya thebathini na saba kwa mpigo majira ya saa nne yalionekana kuwa hafifu na UNK mshituko wowote kwa wakazi hao na wandishi wa habari wa vyombo mbalimbali waliokuwepo katika eneo hilo bomu UNK saa nne arobaini na saba ndilo lililoanza kuleta madhara kwa wakazi hao ambao walionesha kutii tangazo la jeshi hilo katika vyombo mbalimbali vya habari kwa UNK kubaki katika nyumba zao na kuendelea kufanya shughuli za maendeleo wakati wa ulipuaji wa mabaki ya mabomu hayo wakazi hao walianza kuishiwa nguvu na kisha kudondoka kutokana na kupata mshituko kutoka katika maeneo mbalimbali kutokana na milipuko hiyo ambao awali UNK kuwa ndio utakuwa ni mkubwa kati ya yote UNK baada ya taarifa hizo magari mawili maalumu kwa ajili ya kubebea wagonjwa ya chama cha msalaba mwekundu yalionekana kuzidiwa nguvu baada ya taarifa za watu kupata mshituko ya moyo katika maeneo ya njiapanda kijichi UNK mtoni kijichi mbagala kuu zakhem sabasaba rangi tatu mission na kibonde maji umahiri wa madereva na wahudumu wa chama hicho katika utoaji huduma ndiyo ilikuwa silaha ya kufanikisha shughuli hiyo baada ya kuwafikia waathirika wote na kuwafikisha katika hospitali ya UNK ya halmashauri ya temeke kwa wakati mjira jumapili UNK mama mjamzito aliyetambulika kwa jina la UNK chande mkazi wa njiapanda ya UNK akiwa UNK wa miezi tisa UNK katika kambi ya chama cha msalaba mwekundu huku akiwa hajitambui na kisha kukimbizwa katika hospitali ya temeke baada ya kupata UNK afisa habari wa chama cha msalaba mwekundu bibi stella UNK amewataka wakazi wa kata ya mbagala kuchukua tahadhari mapema pindi UNK la milipuko hiyo UNK kutokana kuwa milipuko hiyo UNK naye mkuu wa wilaya ya temeke bwana said mkumbo alisema UNK hiyo imekwenda salama kwa kuwa walijiandaa kutoka na uzoefu walioupata tangu aprili ishirini na tisa alisema maandalizi hayo yalifanyika baada ya kutoa taarifa kwa chama cha msalaba mwekundu skauti mganga mkuu wa hospitali ya temeke na askali kwa ajili ya ulinzi wa nyumba za watu waliondoka kutokana na milipuko hiyo wadai alipenda kujenga shule makanisa wengi UNK ufafanuzi ibada za leo siku moja baada ya makao makuu ya kanisa katoliki vatican nchini italia kutangaza kumnyangganya jimbo askofu wa same jacob koda waumini na viongozi wa dini wanaomfahamu askofu huyo wamepokea taarifa hizo kwa UNK mkubwa huku kila mmoja akihoji kilichomsibu baadhi ya mapadri na waumini wa kanisa hilo waliozungumza na gazeti hili kwa nyakati tofauti walisema askofu koda ni kati ya watumishi waadilifu hivyo hakuna aliyetarajia kama UNK na jambo hilo wakati watu mbalimbali wakiwa hawajui kilichomsibu vatican katika taarifa yake jana ilisema uamuzi huo umefikiwa baada ya askofu koda kubainika kukiuka mafundisho ya imani ya kanisa hilo vyombo vya habari vilimnukuu balozi wa vatican nchini askofu mkuu joseph chennoth akithibitisha askofu koda kutakiwa na kanisa kuacha utume huo mara moja na kupumzika ama kufanya shughuli binafsi za mafunzo hatua hiyo ya vatican UNK waumini wengi wanaomfahamu askofu koda kwa moyo wake wa kupenda kujenga mashule na makanisa ni mtu mwadilifu na anayependa kujiendeleza kimasomo hatujui ni kitu gani kilichomsibu alisema mmoja wa watu aliyedai anamfahamu kwa muda mrefu askofu huyo UNK zaidi waumini hao ni hatua ya askofu mkuu wa vatican kushindwa kufafanua kiini cha kuondolewa kwa askofu koda na kuhoji aina ya mafundisho ya kanisa ambayo anadaiwa UNK mmoja wa mapadri wa kanisa katoliki aliyezungumza gazeti hili kwa njia ya simu kutoka mkoani mara alieleza kushangazwa na hatua hiyo lakini hakuwa tayari kuzungumzia suala hilo kwa vile alikuwa hafahamu kwa undani kilichomsibu askofu UNK hata mimi taarifa hizo nimezipata kwenye vyombo vya habari sijui amefanya nini alisema padri huyo alipoulizwa na gazeti hili ni mafundisho ya aina gani ambayo padri au askofu UNK anaweza UNK wadhifa wake kutokana na hatua hiyo taarifa ya askofu mkuu chennoth kwa vyombo vya habari ilieleza kuwa baba mtakatifu benedicto UNK amemteua padri UNK kimaryo kuwa msimamizi wa UNK wa jimbo hilo kabla ya uteuzi huo padri kimaryo alikuwa paroko wa parokia ya kipawa jimbo kuu la dar es salaam habari kutoka same zimeeleza kuwa waumini wa jimbo hilo wameshutushwa na taarifa za askofu koda kunyangganywa jimbo bila kuelezwa mafundisho yapi ya kanisa UNK habari hizo zimeeleza kuwa macho na masikio ya waumini wengi wa jimbo hilo UNK katika ibada za leo ambapo wanaamini UNK ni nini amekosea askofu wao tuna imani leo UNK ni kitu gani amefanya kiongozi wetu hadi ufikiwe uamuzi wa kuondolewa wadhifa wake kilisema chanzo chetu cha habari kutoka same gazeti hili lilipo UNK baadhi ya wafanyakazi wa kanisa katoliki kuhusiana na uamuzi huo walionekana kuguswa na jambo hilo huku UNK lawama zao kwa vyombo vya habari wakidai UNK ukweli askofu koda yupo jimboni na taarifa iliyotolewa na tec hakusema UNK jimbo isipokuwa haijulikani UNK kazi gani pengine anaweza kuitwa vatican alisema mmoja wa wafanyakazi wa kanisa hilo na kisha kuzima simu yake askofu koda aliteuliwa na baba mtakatifu yohana paul wa ii kuwa askofu mpya wa same septemba elfu moja na mia tisa na tisini na tisa kuchukua nafasi ya askofu josephat UNK aliyehamishiwa jimbo kuu arusha magesa magesa na mary margwe arusha serikali UNK mikoa na halmashauri zote nchini UNK na kuweka mikakati madhubuti kuhakikisha wanafunzi wanapata chakula wanapokuwa shuleni waziri mkuu bwana mizengo pinda aliyasema hayo jana katika hotuba yake alipokuwa akizungumza na wananchi na viongozi mbalimbali katika matembezi ya kuchangia fedha kwa ajili ya watoto mashuleni alisema mikakati hiyo inatakiwa kuwekwa mara moja kwani wanafunzi wengi wamekuwa wakishindwa kumudu masomo yao kutokana na kwenda shule wakiwa na njaa hivyo iwekwe mikakati makini kuwapatia chakula cha mchana mashuleni utafiti uliofanywa umebaini kuwa kukosekana kwa lishe mashuleni kumekuwa UNK hali ya uelewa wa mwanafunzi na pia umeonesha kuwa endapo kuna chakula mashuleni kiwango cha uelewa kwa wanafunzi UNK na utoro UNK alisema bwana pinda pia waziri mkuu amewataka wazazi kuhakikisha kuwa wanaweka utaratibu mzuri wa kuwapa watoto wao chakula waende nacho shuleni kwani itasaidia wanafunzi hao kusoma kwa bidii kutokana na UNK waziri mkuu alitoa wito kwa wananchi kuhakikisha kuwa wanatumia teknolojia ya kisasa katika kilimo ili kuongeza uzalishaji utakaosaidia kupunguza njaa kwa upande wake balozi wa kutokomeza njaa nchini bwana reginald mengi alitoa mwito kwa wananchi na kampuni mbalimbali kuhakikisha zinachangia chakula kwa wanafunzi mashuleni na grace michael mahakama kuu ya tanzania leo inatarajia kutoa uamuzi wa kusikiliza au kutosikilizwa maombi ya aliyekuwa balozi wa tanzania nchini italia profesa costa mahalu na mwenzake bibi grace alfred ya kuomba kupitiwa upya mwenendo wa kesi yake iliyokuwa ikisikilizwa na mahakama ya hakimu mkazi kisutu uamuzi huo utatolewa mahakamani hapo na jaji juxon mlay baada ya kupitia malumbano ya kisheria yaliyowasilishwa na pande zote mbili wakati wa usikilizwaji wa pingamizi la upande wa mashitaka kuhusiana na maombi hayo pingamizi la serikali kuhusiana na maombi hayo lilisema kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kufanya UNK ya mwenendo wa kesi hiyo kwa ajili ya kujiridhisha kama ilivyoombwa na washitakiwa hao pingamizi hilo lilipingwa vikali na upande wa utetezi ambao kupitiwa wakili wa bwana mabere marando ambaye alisema kuwa sababu za kuwasilisha maombi hayo ni kutokana na mapungufu makubwa yaliyojitokeza wakati wa usikilizwaji wa kesi hiyo katika mahakama ya kisutu aliyataja mapungufu hayo kuwa ni pamoja na kuendeshwa kesi hiyo bila kuwepo kibali cha mkurugenzi wa mashitaka nchini tunaomba mwenendo wa kesi hiyo UNK upya ili mahakama hii iweze kujiridhisha zaidi kwani hati ya mashitaka UNK na kibali cha dpp kinachotoa ruhusa ya kesi hiyo UNK mahakamani hapo alisema bwana UNK aidha alisema kuwa washitakiwa hao wanakabiliwa na mashitaka sita lakini kati ya hayo ni mashitaka mawili tu ndiyo yanaweza kusikilizwa mahakamani hapo kitu kingine ambacho UNK kuwa ni pungufu ni mahakama ya kisutu kutokuwa na mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo kutokana na makosa yake kufanyikia nchini italia alisema kuwa mahakama ya kisutu inayo mamlaka ya kusikiliza kesi za mkoa wa dar es salaam na sio nje ya hapo hivyo kama ilitaka UNK ilistahili kuwa na kibali kutoka kwa jaji mkuu chini ya kifungu cha tano cha sheria ya mahakama ambacho kinatoa mamlaka kwa jaji mkuu kutoa kibali cha kusikiliza kesi ambayo iko nje ya mamlaka ya mahakama husika suala jingine ambalo UNK na upande huo ni uchukuaji wa ushahidi kwa njia ya video ambayo ni kinyume na matakwa ya kisheria hata hivyo hoja hizo zilipingwa na upande wa mashitaka kwa kusema kuwa kibali cha dpp UNK na kuhusiana na uchukuaji wa ushahidi kwa njia ya video upande huo ulisema kuwa suala hilo lilishatolewa uamuzi na mahakama ya kisutu kutokana na malumbano hayo mahakama kuu leo itatoa uamuzi wake washitakiwa hao wanakabiliwa na makosa ya uhujumu uchumi ambapo wanadaiwa kula njama na kuiba matumizi mabaya ya nyaraka kwa nia ya kumpotosha mwajiri wizi pamoja na kuisababishia hasara ya mamilioni ya fedha jamhuri ya muungano wa tanzania walidaiwa kuiba euro mbili sifuri sita tano mia nane na ishirini na saba sitini wakiwa watumishi wa serikali vile vile walidaiwa kuisababishia hasara serikali ya tanzania kiasi cha euro mbili sifuri sita tano mia nane na ishirini na saba sitini na grace michael mwenyekiti wa a tanzania labour party bwana augustino mrema amesema kuwa endapo vyama vya upinzani UNK ubinafsi wa UNK katika chaguzi mbalimbali UNK UNK chama cha mapinduzi mbali na hilo pia amekitaka chama demokrasia na maendeleo kuacha rafu UNK kuzifanya katika jimbo la biharamulo badala yake wamuunge mkono mgombea wa tlp kwani ndiye anayepaswa kuchukua nafasi hiyo hayo aliyasema jana katika kipindi cha mambo leo kinachorushwa na kituo cha radio kumi sifuri tano times fm ambapo kiongozi huyo alisisitiza kuwa bila mshikamano wa wapinzani ccm itaendelea kubaki madarakani alisema kuwa tatizo kubwa ambalo limekuwa UNK vyama vya upinzani katika chaguzi mbalimbali ni ubinafsi unaofanywa na baadhi ya vyama kwa kujiona wanaweza zaidi ya vingine ccm ina raslimali watu na fedha hivyo kwa kuendekeza ubinafsi wetu UNK mahali popote hakuna UNK mimi nilivyokuwa juu kisiasa lakini ccm walinishughulikia na kufika hapa nilipo hivyo hata wanaojiona kuwa wana wabunge wengi nao watashughulikiwa tu hivyo dawa ni kuungana mkono kwa kusimamisha mgombea mmoja katika chaguzi zinazofanyika ili kuishinda ccm alishauri bwana mrema alisema kuwa ubinafsi wa chadema ndio unaosababisha kushindwa kuunga mkono tlp katika jimbo la biharamulo kiti ambacho kilikuwa UNK na tlp unajua tlp ndio wafiwa hivyo kama ni kurithi mali alitakiwa arithi lakini kwa ubinafsi wa chadema wameonekana wazi kuanza kucheza rafu huko biharamulo kwa UNK katibu wa tlp wilaya kutangaza kuwa UNK mgombea waache hizo mbona mimi UNK mgombea kwenye chaguzi zingine kwa nia ya kuunga mkono vyama vingine alihoji bwana mrema alisema kuwa kumalizika uchaguzi wa viongozi ndani ya tlp na yeye kupewa nafasi ya uenyekiti UNK chama hicho na kujipanga kupata majimbo kumi likiwemo la vunjo UNK kwenda kugombea alisema kuwa ili kuweza kufanikisha mikakati hiyo ni lazima wanachama wote wa tlp kushirikiana na kuvunja makundi ambayo yalisababishwa na uvumi mbaya dhidi yake kwani tayari mkutano mkuu UNK kwa kumpa kura mia moja na kumi na moja hivyo washirikiane na viongozi wote waliochaguliwa kujipanga upya akizungumzia suala la yeye kuitwa kibaraka wa ccm alikanusha na kusema kuwa kama angekuwa kibaraka wa chama hicho basi kingeweza kumpa nafasi nzuri au kumwachia nafasi ya urais ili agombee pamoja na madai ya mimi kuwa kibaraka lakini hakuna kiongozi wa upinzani ambaye ameweza kuvunja rekodi zangu za kura kwani nilishawahi kupata kura milioni moja nane ambapo mbowe alipata kura sitini sifuri sifuri sifuri sifuri huku profesa ibrahim lipumba akipata kura milioni moja mbili hivyo hapa utaona kuwa mimi sio kibaraka bali UNK kwa uongozi wangu UNK alitamba bwana mrema kwa upande wa naibu katibu mkuu wa tlp bwana rajab tao aliwataka wanachama wa tlp ambao walifukuzwa na halmashauri kuu kuomba msamaha na kurejea kundini ili UNK chama na mwandishi wetu mbeya mkuu wa mkoa wa mbeya bwana john mwakipesile ametangaza kuwa hana mpango wa kuwania ubunge jimbo la kyela mwakani kwani ameridhika na heshima aliyopewa na rais jakaya kikwete kumteua mkuu wa mkoa huo hivi ndugu zangu mimi nilikuwa mbunge kwa miaka kumi baada ya kufuatwa na kuombwa baadaye nikashindwa kwenye kura za maoni rais akanipa heshima UNK kuwa mkuu wa mkoa hadi sasa nirudi kugombea ubunge kwa ajili ya kutafuna nini alihoji bwana mwakipesile hivi karibuni wakati akizungumza na maaskofu wa madhehebu mbalimbali mkoani mbeya UNK nyumbani kwake bwana mwakipesile alitoa kauli hiyo wakati akijibu moja ya maswali ya maaskofu hao ambao UNK kwa ajili ya chakula cha jioni na kubadilishana mawazo kuhusu mikakati mbalimbali ya maendeleo mkoani mbeya askofu huyo alitaka kujua mustakabali wa mkuu huyo wa mkoa kugombea ubunge kyela kwenye uchaguzi mkuu ujao mwakani baada ya kuwepo uvumi kwamba anajiandaa kurudi tena kupigania nafasi hiyo bwana mwakipesile alisema sasa ni miaka minne tangu ateuliwe kushika wadhifa huo na kutokana na mshikamano mzuri na wasaidizi wake pamoja na wananchi wamepata mafanikio makubwa hususani katika nyanja ya elimu mkuu huyo wa mkoa alisema kuwa alipokea uteuzi wa rais kwa hofu na heshima kubwa hivyo anachofanya sasa ni kuhakikisha UNK kazi ili UNK rais kikwete aliyempa wadhifa huo maaskofu ninyi ni watumishi wa mungu hivyo kama UNK katika ahadi yangu hii nianguke kwa kuwa hapa nazungumza na mungu kutokana na uzito wa nafasi yenu nasema sina mpango tena kuwania ubunge kyela kama ambavyo baadhi ya wanasiasa waoga wamekuwa UNK alisema bwana UNK aliwataka wanasiasa kuacha malumbano yasiyo na msingi na kuchapa kazi UNK na wananchi na yeye kama mkuu wa mkoa kazi yake kubwa ni kusukuma gurudumu la maendeleo katika wilaya kata na vijiji vyote vya mkoa wa mbeya bila upendeleo wa aina yoyote aliwahakikishia maaskofu hao kuwa kutokana na msimamo wake hana ugomvi na mwanasiasa yeyote bali na UNK na wote kuhakikisha wananchi wanapata maisha bora kama alivyo UNK rais kikwete ambaye ndiye mwajiri wao akizungumza kwa niaba ya wenzake mwenyekiti wa maaskofu hao mhashamu john mwela alieleza kufurahishwa na UNK ya mkuu huyo wa mkoa na kwamba ni kielelezo cha namna UNK na kuthamini mchango wao UNK kuzidi kumpa ushirikiano mzuri katika kuleta maendeleo kwa wananchi wa mbeya na watanzania kwa ujumla kaimu mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi taifa ya chama cha mapinduzi balozi athuman mhina amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa jumuiya hiyo katika uchaguzi huo uliofanyika UNK iliyopita mjini hapa nafasi ya mwenyekiti ilikuwa na wagombea watatu ambao ni bwana mhina bwana abdallah bulembo na bibi esther nyawazwa akitangaza matokeo hayo usiku msimamizi wa uchaguzi huo bibi zakia meghji alisema bwana mhina alimshinda mpinzani wake kwa zaidi ya kura sitini baada ya kupata jumla ya kura mia nne na themanini na moja kati ya kura halali tisini mbili zilizopigwa huku mpinzani wake bwana bulembo akiibuka na kura mia nne na ishirini na moja katika matokeo ya awali bwana mhina alipata kura mia nne na hamsini na tisa bwana bulembo alipata kura mia tatu na hamsini na nne na bibi esther UNK alipata kura kumi tisa kutokana na wagombea hao kutofikia asilimia hamsini UNK kupata mshindi msimamizi wa uchaguzi huo alitangaza kurudiwa upigaji kura kati ya bwana mhina na bwana bulembo ambapo bwana mhina UNK mshindi kwa upande wa makamu mwenyekiti nafasi hiyo ambayo ilikuwa UNK na wajumbe kutoka tanzania visiwani ilichukuliwa na bibi dogo idd mabrouk baada ya kupata kura mia nne na themanini dhidi ya wagombea wenzake bwana UNK na bwana haji abdallah aliyepata kura mia moja na sabini na sita na UNK dadi aliyepata kura ishirini tisa upande wa nafasi tano ya wajumbe wa baraza kuu ambazo zilikuwa UNK na wagombea kumi na tano kutoka tanzania bara ilichukuliwa na bwana said bwanamdogo kepteni mstaafu john UNK bibi mary UNK bwana stephen UNK na bwana athuman UNK kwa upande wa visiwani nafasi hiyo ilichukuliwa na bwana ali haji ali bwana UNK bwana yussuf UNK bibi catherine nao bwana haruna ibrahim masoud na bwana haji juma haji kwa upande wa nafasi ya UNK kutoka wazazi kwenda jumuia ya vijana ilichukuliwa na daktari charles UNK aliyepata kura mia tatu na kumi na tatu dhidi ya bwana talib ali talib UNK kura mia mbili na sabini na mbili na mgombea mwingine bwana frank UNK aliyepata kura ishirini nane nafasi ya uwakilishi kutoka UNK kwenda umoja wa wanawake ilichukuliwa na bibi saumu bendera aliyepata kura mia nne na thebathini na tatu dhidi ya bibi hamida hassan thabit aliyepata kura mia mbili na themanini na mbili na bwana deogratius rutta aliyepata kura themanini na moja baada ya kutangazwa matokeo hayo akitoa shukrani zake bwana mhina aliwashukuru wajumbe na uongozi mzima wa usimamizi wa uchaguzi huo na kuahidi kushirikiana na wagombea wenzake katika kuijenga na kuiendeleza jumuiya hiyo aliwataka wagombea wenzake na wapambe wao kuvunja makundi na kuondoa tofauti zilizojitokeza kwenye kampeni na kuimarisha jumuiya hiyo kwa upande wake bwana bulembo alimpongeza mwenyekiti mpya na kueleza kuwa huo ni mchakato na yeye alikuwa UNK na kupata uzoefu katika uchaguzi alisema anaamini kwamba akipata nafasi tena anaweza kuongoza jumuiya hiyo vizuri alisema yuko tayari kutoa mchango wake wa mawazo na kushirikiana na mwenyekiti mpya kwa hali na mali katika kusukuma mbele jumuiya hiyo alikemea kambi zilizokuwepo na kueleza kwamba ndizo zilisababisha UNK majina kwani yeye na mwenyekiti bwana mhina ni marafiki wakubwa na wanashirikiana katika mambo mengi bwana bulembo UNK kuvunja kambi yake rasmi na kuahidi kushirikiana na viongozi wote waliochaguliwa kuleta maendeleo ya chama na jumuiya hiyo mahabusu watumia kupanga mauaji wengine UNK majaji mahakimu na mwandishi wetu matukio ya ujambazi na mauaji yanayotendeka maeneo mbalimbali nchini mipango yake UNK na wafungwa pamoja na UNK waliopo ndani ya magereza hapa nchini kwa kutumia mawasiliano ya simu selula UNK uchunguzi uliofanywa na majira na kudhibitishwa na baadhi ya maofisa wa jeshi hilo umebaini kuwa baadhi ya mahabusu na wafungwa wanapata simu wakiwa ndani ya magerezani kwa njia za panya na kuzitumia kwa usiri kupanga matukio ya uhalifu na kutoa vitisho kukithiri kwa hali hiyo UNK jeshi la magereza kutangaza operesheni kabambe ya kusaka simu zilizopo magerezani ambapo wale watakaobainika UNK watachukuliwa hatua kali za kisheria habari za uhakika kutoka makao makuu ya magereza zimeeleza kuwa tayari yametolewa maelekezo ambapo askari atakayebainika kushiriki kwa namna moja au nyingine kuwezesha wafungwa au mahabusu kumiliki simu atachukuliwa hatua za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kufukuzwa kazi kisha kuburutwa mahakamani uchunguzi wa gazeti hili ulibaini kuwa ndani ya gereza la keko jijini dar es salaam hali si shwari na inadaiwa kuwepo idadi kubwa ya mahabusu wanaomiliki simu na wakati mwingine kuzitumia kusuka mipango ya uhalifu chanzo chetu kimeeleza kuwa ndani ya gereza hilo kuna mahabusu UNK na simu hivi karibuni baada ya kufuatilia mawasiliano yake ilibainika kuwa mahabusu huyo alikuwa ikiitumia kusuka mipango ya mauaji dhidi ya mtu fulani simu ile UNK tulibaini kuwa mahabusu yule alikuwa UNK kuwasiliana na majambazi UNK namna ya kuhakikisha wanafanikisha mauaji ya mtu fulani na kuelekeza ni wapi anapopatikana kilisema chanzo chetu kutoka ndani ya gereza la keko kwa sharti la jina lake kutochapishwa gazetini uchunguzi zaidi umebaini kwamba baadhi ya mahabusu wamekuwa wakitumia simu hizo kutisha UNK hivyo kuwafanya waogope kwenda mahakamani kutoa ushahidi chanzo chetu kutoka ndani ya jeshi la magereza kimezidi kuanika kuwa baadhi ya mahabusu hao wanatoa vitisho vya kutishia kuwadhuru mahakimu na majaji wanaosikiliza kesi zao imefikia hatua wanatoa matusi kwa polisi na taarifa za upotoshaji kwenye vyombo vya habari kwa kutumia simu hizo kilieleza chanzo chetu na kusisitiza kuwa jeshi la magereza halitakubali hali hiyo iendelee uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa vitendo vya matumizi ya simu vimeshamiri magerezani hapa nchini likiwemo la keko ingawa hatua kali zimeanza kuchukuliwa habari za ndani ambazo gazeti hili limezipata zimeeleza kuwa kutokana na operesheni ya udhibiti wa simu ndani ya gereza keko unaoendeshwa na mkuu wa gereza hilo bwana lameck bankobeza umewafanya baadhi ya mahabusu na wafungwa kuanzisha fitina dhidi yake kwa lengo la kumchafua ili aweze kuondolewa wadhifa huo mmoja wa mahabusu wa gereza hilo aliyezungumza na gazeti hili kwa njia ya simu dar es salaam juzi alimtuhumu bwana bankobeza akidai tangu UNK wadhifa huo hivi karibuni hali ya mambo imebadilika gerezani hapo na kwamba chakula UNK hakina hadhi mahabusu huyo ambaye UNK mwandishi wa habari hizi kuwa endapo atataka kufanya mawasiliano naye simu yake ipo hewani saa ishirini na nne alidai kuwa mei ishirini na tano mwaka huu walifikisha malalamiko yao kwa maofisa wa tume ya haki za binadamu na utawala bora waliotembelea gereza hilo ya kutotendewa haki lakini hadi sasa hakuna hatua UNK hata hivyo madai ya mahabusu huyo yalipingwa na mwenzake akidai hizo ni mbinu za kutaka kumnggoa bwana bankobeza baada ya kuanza kusimamia ipasavyo sheria za magereza zinazowanyima upenyo wa kuingiza vitu visivyotakiwa mahabusu na wafungwa magerezani uchunguzi zaidi umebaini kuwa simu ambazo wanatumia wafungwa hao UNK kufichwa sehemu za siri pia imebainika kuwa simu hizo zimekuwa UNK ndani ya makopo makubwa ya mafuta ya UNK UNK wafungwa au mahabusu na ndugu zao kiasi kwamba si rahisi maofisa wa magereza UNK vyanzo vyetu UNK kufichua kuwa wakati mwingine ndugu wa wafungwa na mahabusu wanachukua vipande vikubwa vya nyama ambapo baada ya UNK UNK katikati kisha kupachikwa simu hizo ndani na kuhifadhiwa vizuri kiasi ambacho ni vigumu kugundulika kirahisi uchunguzi zaidi umebaini kuwa mbali ya simu kuingizwa kwa staili hiyo pia baadhi ya ndugu wamekuwa wakiweka dawa za kulevya katikati ya mifupa na kuwapelekea ndugu zao magerezani jambo ambalo limekuwa gumu kwa maofisa magereza kubaini pia baadhi ya ndugu wa wafungwa na mahabusu wamekuwa wakichukua chupa za maji na kuweka gongo kwa lengo kuiingiza gerezani mbinu ambayo tayari UNK na baadhi ya watu kukamatwa baadhi ya maofisa katika gereza la keko waliozungumza na gazeti hili kwa sharti la majina yao kutochapishwa gazetini kwa kuwa si wasemaji walikiri kukamatwa kwa simu sita ndani ya gereza hilo zikimilikiwa na mahabusu vyanzo vyetu ndani ya gereza hilo vimeeleza kuwa tayari mahabusu mmoja anakabiliwa na shitaka la kukutwa na simu walikiri kuwa mbinu ambazo gazeti hili UNK kwenye uchunguzi wake zimekuwa zikitumika kuingiza simu ndani ya magereza hilo ingawa tayari UNK walifafanua kuwa wameanzisha operesheni kabambe kubaini vitu ambavyo UNK kuingizwa gerezani kwa upande wake mkuu wa gereza hilo bwana bankobeza alipoulizwa kuhusiana na madai ya mahabusu na wafungwa kukutwa na simu katika gereza hilo alikataa kuzungumzia suala hilo kwa kuwa si msemaji wa jeshi hilo kuhusu madai ya mahabusu na wafungwa kumtuhumu kuwa tangu ahamishiwe gerezani hapo chakula wanachokula si kizuri kama ilivyokuwa awali bwana bankobeza alionekana kushtushwa na madai hayo na kuhoji iweje kiwe kibaya wakati mahindi UNK UNK kutoka kwenye hifadhi ya chakula ya serikali UNK kwa ajili ya kusimamia sheria kama kitu UNK ndani ya gereza UNK najua wanapiga kelele kwa sababu UNK alisisitiza kuwa daima mtu anayesimamia sheria hawezi kupendwa bwana bankobeza alisema atahakikisha mambo yote ya msingi yanaenda kama inavyotakiwa tusipokuwa wakali jela inaweza kugeuka sehemu ya biashara watu wakitumia dawa za kulevya au gongo matokeo yake wanaweza kuchochea migomo alisisitiza ili kukabiliana na udanganyifu unaofanywa na ndugu wa mahabusu bwana bankobeza alisema kuanzia maji na juisi UNK UNK kwenye duka lililopo gerezani hapo na hawatakubali vitu hivyo UNK nje hatua hiyo imefikiwa baada ya kugundulika kuwa baadhi ya watu wamekuwa wakitumia mabomba ya sindano UNK dawa za kulevya kwenye maji na juisi hizo UNK mafunzo ya kuchagua viongozi bora UNK wananchi wanaburuzwa kwa kukosa UNK UNK siasa na dini haziwezi kutenganishwa kanisa UNK nchini UNK programu maalumu yenye lengo la kuwafundisha waumini wake namna ya kupata viongozi bora katika uchaguzi mkuu ujao mwakani mbali na hilo kanisa hilo limeonya baadhi ya wanasiasa ambao wamekuwa wakipinga viongozi wa dini kuingilia masuala ya siasa na kueleza kuwa kamwe vitu hivyo haviwezi UNK kanisa hilo limesema serikali imepoteza imani yake kwa wananchi kutokana na kuendelea kukumbatia mafisadi kwa kushindwa kufikia maamuzi ya haraka ya kesi za tuhuma za ufisadi jambo ambalo kanisa UNK limesema UNK kukemea bila woga akizungumza katika maadhimisho ya ibada ya misa takatifu ya kutoa UNK ya kwanza kwa vijana wa parokia ya manzese jimbo kuu la dar es salaam padri baptiste mapunda wa shirika la wamisionari wa africa alisema wakati umefika chama tawala ccm kukubali UNK kwani watanzania sasa wameelimika na hawako tayari kuendelea UNK maovu ni mengi sana katika nchi hii na yanasababisha kuporomoka kwa maadili ambapo vyombo vya habari vinafanya kazi kubwa UNK na kuhabarisha umma na sasa wananchi UNK na wanataka demokrasia ya kweli hivyo utawala lazima ubadilike alisema padri mapunda akifafanua kuhusu uchaguzi mkuu ujao mwakani padri mapunda alisema viongozi wa kanisa hilo wamekubaliana umuhimu wa kufundisha waumini wao na tayari wameanza kutoa mafunzo na semina mbalimbali kuwaelimisha namna ya kupata viongozi bora na kwamba viongozi hao watapatikana kutokana na uwezo wao si kwa kutoa rushwa viongozi wasio na uwezo ndio wanaotumia nguvu kubwa kupata nafasi za kuingia madarakani ambapo badala ya kulitumikia taifa wanafikiria kujilimbikizia mali ili kufidia gharama UNK wakati wa uchaguzi hivyo tuwe makini nao alisisitiza padri mapunda alisema wakati wa mabadiliko ukifika UNK hivyo kama viongozi hawako tayari kubadilika mabadiliko UNK kwa lazima kwani huo ndiyo mfumo wa maisha ya binadamu alisema suala la ufisadi limekuwa wimbo usio na mwitikio kwa wananchi kutokana na serikali kuchukua muda mrefu kumaliza kesi za ufisadi jambo ambalo linaweza kupatiwa ufumbuzi mapema alisema maovu yanayoendelea kutokea hapa nchini kama yale ya ufisadi na mengine yanatokana na ubinafsi mmomonyoko wa maadili na matumizi mabaya ya madaraka miongoni mwa watu wachache wenye nafasi za juu serikalini tatizo ni ubinafsi wa watu wachache wenye tamaa ya kujilimbikizia mali ndio UNK watanzania wengi alisema na kuongeza kuwa ni nguvu za mungu pekee ndizo zitakazosaidia kupiga vita ufisadi huu UNK kwa kasi alisema neno ufisadi na rushwa sasa yamekithiri katika vinywa vya watanzania na kuonya kuwa hali hiyo inaonesha kuwa sasa wamechoka na wakiamua kupambana na uovu huo wataweza alisema ipo haja ya kufanyika mabadiliko katiba kwa ya sasa imejaa UNK na UNK mahitaji ya demokrasia ya kweli alieleza kuwa hali hiyo inayotoa nafasi kwa watu kufanya maovu wanavyotaka bila ya kuchukuliwa hatua stahiki alisema kuwa katiba hiyo ni ya muda mrefu na ina maelekezo UNK na wakati hivyo haikidhi mahitaji ya ulimwengu wa sayansi na teknolojia na inachangia kukwamisha maendeleo ya taifa tunahitaji mapinduzi ya kikatiba wakati tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu kwani hata mtu asiye msomi anaweza kugundua udhaifu wa katiba yetu na kama viongozi hawatakuwa tayari nguvu ya watu italeta mabadiliko alisema padri mapunda aliongeza kuwa serikali ya tanzania imeshindwa kuonesha demokrasia ya kweli kwa kushindwa kuwa na tume huru ya uchaguzi jambo ambalo linasababisha vyama vya siasa kulalamika kila uchaguzi UNK kwa kutotendewa haki alisema nec UNK na viongozi wa chama tawala na wakati huo huo inasimamia uchaguzi wa viongozi wa vyama vyote ambapo mwanya wa kupendelea ccm unakuwa mkubwa hakutakuwa na amani hadi mabadiliko haya yafanyike kama jipu litaendelea kupakwa mafuta ipo siku UNK tu hivyo ni bora marekebisho yakafanyika mapema kuliko kusubiri misukumo kutoka kwa wananchi waliochoshwa na katiba hiyo alisema UNK vyama vya siasa kuacha ubinafsi kwani ni vigumu kwa chama kimoja kuchukua nchi kwa sasa ikiwa havina ushirikiano na badala yake vinapaswa kuweka malengo ya muda mrefu kwa kuzingatia maeneo ambayo vinaweza kuunganisha nguvu na kuweka mgombea anayekubalika na wengi alisema kuwa malumbano baina ya vyama vya upinzani yamezidi kushamiri kutokana na mamluki walio ndani ya vyama hivyo kukwamisha mikakati endelevu na kushindwa kufikia malengo na kupoteza imani kwa wananchi hata pale wanapokuwa na malengo mazuri malumbano hayo UNK hadi ccm kufikia kiasi cha kupigana UNK madaraka hali ambayo inadhihirisha kuwa utawala sasa unahitaji mabadiliko kwani baadhi ya viongozi wamekosa uadilifu alisema padri mapunda na reuben kagaruki kesi za mahabusu wa gereza la keko jijini dar es salaam UNK kula kushinikiza kesi zao kusikilizwa zitaanza kuunguruma mahakama kuu ya tanzania mwezi huu habari za kuaminika ambazo gazeti hili imezipata kutoka kwa maofisa wa gereza hilo mwishoni mwa wiki zilieleza kuwa tayari kesi hizo zimewekwa kwenye kalenda ya mahakama ufafanuzi huo ulitolewa na mmoja wa maofisa wa gereza hilo aliyezungumza na gazeti hili kwa sharti la jina lake kutochapishwa gazetini kufuatia kuwepo taarifa za mahabusu kuanza mgomo hapa hakuna mgomo wa mahabusu kwa sababu wote UNK kuwa kesi zao UNK mwezi huu kilisema chanzo chetu kutoka ndani ya gereza hilo alisema ndani ya gereza hilo wapo mahabusu wanaotaka kuishinikiza serikali iwe inafanya kila kitu wanachotaka jambo ambalo halikubaliki chanzo hicho kilifafanua kuwa ndani ya gereza hilo wapo wafungwa wanaoshinikiza UNK mahabusu hao ni miongoni mwa UNK migomo wakati wanajua wazi kuwa kesi zao zipo mbioni kuanza kusikilizwa alisema wiki iliyopita baadhi wa mahabusu katika gereza hilo UNK ujumbe kwa njia ya simu kwenye vyombo vya habari juu ya kuwepo kwa mgomo wa kugomea chakula ili kushinikiza kesi zao zianze kusikilizwa baadhi ya mahabusu hao walidaiwa hali zao ni mbaya madai ambayo UNK na mmoja wa maofisa wa gereza hilo ofisa huyo alidai kuwa awali mgomo wa mahabusu hao ulikuwa ni UNK kesi zao UNK kama tayari mahakama UNK tarehe ya kusikilizwa kwa kesi zao ni kitu gani UNK alihoji ofisa huyo mwaka jana mahabusu wa gereza hilo waligoma kula wakipinga kesi zao UNK tarehe za kusikilizwa mahabusu hao walikuwa wakihoji sababu za kesi inayomkabili aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana abdallah zombe na wenzake ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini kusikilizwa haraka wakati wao wamekaa muda mrefu gerezani bila kesi zao kupangiwa tarehe ya kusikilizwa mgomo huo UNK maofisa waandamizi wa idara ya mahakama na wizara ya sheria na katiba kuwatembelea gerezani na kuzungumza nao mwisho na charles mwakipesile mbeya sakata la udhibiti mapato ya jumuiya ya wanawake wa chama cha mapinduzi wilayani mbozi UNK hatua mbaya katibu wa jumuiya hiyo bibi UNK mkomwele baada ya kujikuta akipata kipigo kutoka kwa mmoja wa wajumbe wake tukio hilo lilitokea hivi karibuni wilayani humo katika kikao cha kamati ya utekelezaji kwenye mkutano huo wajumbe wa kamati hiyo walitakiwa kuwasilisha taarifa za makusanyo ya michango na katibu huyo kumhoji mjumbe mmoja mmoja kiasi UNK akisimulia tukio hilo katika ofisi za makao makuu ya ccm mkoa wa mbeya bibi mkomwele alisema tukio hilo lilitokea wakati wa maandalizi ya maandamano ya kuunga mkono utekelezaji wa ilani ya ccm alisema kuwa akiwa anaendelea na kuuliza kila mjumbe kuhusu makusanyo hayo ndipo alipofika kwa mjumbe mmoja ambaye badala ya kujibu UNK alimshambulia kwa makonde na UNK hata hivyo alipoulizwa kama alikwenda kuripoti polisi alisema hajafanya hivyo kutokana na kuheshimu taratibu za chama na atatumia vikao husika kwa mujibu wa katiba akizungumzia tukio hilo katibu wa uwt mkoa wa mbeya bibi mwanaidi UNK alisema amepokea taarifa hizo kwa masikitiko kutokana na ukweli kuwa kitendo cha wanachama kuamua kujichukulia sheria mkononi kinaonesha dharau kubwa UNK alisema kwa kuwa utaratibu wa chama upo anaamini kuwa sasa ni mapema kusema hatua zitakazochukuliwa kutokana na ukweli UNK hata hivyo alionya tabia hiyo na kutaka UNK mara moja huu ni mwendelezo wa matukio ya kupiga viongozi mkoani hapa tukio la kwanza kama hili lilitokea wilayani kyela ambapo watendaji wa kata watano UNK viongozi wa chama wa wilaya sambamba na hilo makada wa jumuiya ya wazazi wa ccm wiki iliyopita UNK makonde mjini dodoma wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa jumuiya hiyo uliofanyika jumamosi iliyopita katika uchaguzi huo balozi athuman mhina alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa jumuiya hiyo na grace michael shahidi wa kwanza katika kesi ya wizi wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje inayowakabili wafanyabiashara bwana jonson lukaza na mdogo wake bwana mwesiga lukaza ameshindwa kupanda kizimbani kutoa ushahidi wake baada ya kupandwa na shinikizo la damu akiwa mahakamani hali hiyo ilijitokeza jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu ambapo shahidi huyo bibi maria UNK kutoka brella alifika mahakamani hapo na ghafla hali yake ilibadilika na kushindwa kutekeleza kilichokuwa UNK mahakamani hapo kesi hiyo iko mbele ya jopo la mahakimu watatu ambao ni bwana UNK lyimo bwana emilius mchauru na bwana edson mkasimongwa ambao walilazimika kuipiga kalenda kesi hiyo akitoa taarifa ya shahidi huyo kupatwa na matatizo ghafla wakili mkuu wa serikali bwana stanslaus boniface alisema kuwa kesi hii imekuja kwa ajili ya kusikilizwa lakini shahidi wetu yuko hapo presha imepanda hivyo tunaomba tupewe muda wa kutafuta mashahidi wengine huku tukiangalia hali ya shahidi wetu alisema bwana boniface baada ya kutolewa kwa taarifa hiyo mahakama kupitia mwenyekiti wa jopo hilo bwana lyimo alisema kuwa pamoja na hoja hiyo ya mashahidi lakini kuna mapungufu ndani ya jalada la kesi hiyo hivyo UNK pande zote mbili kutoa UNK kutokana na hilo bwana boniface alisema kuwa mahakama itumie mamlaka yake ya kupeleka suala hilo mahakama kuu kwa ajili ya maelekezo alisema kuwa kifungu cha mia tatu na sabini na tatu cha cpa ambacho kinasema kuwa mahakama kuu inaweza UNK jalada la kesi kutoka mahakama ya kisutu kwa maelekezo zaidi na kufuta yaliyofanyika mwanzo na kuanza upya kwa upande wa utetezi ambao UNK na wakili bwana alex mgongolwa aliunga mkono yaliyosemwa na upande wa mashitaka na kusisitiza kuwa suala hilo ni muhimu UNK maelekezo na mahakama kuu baada ya hayo mahakama ilitoa uamuzi wake kwa kukubaliana na upande wa mashitaka na kusema kuwa shauri hilo UNK mahakama kuu kwa ajili ya kutolewa maelekezo awali kesi hiyo ilikuwa mbele ya hakimu mkazi bibi UNK mingi ambapo washitakiwa walifikishwa wakidaiwa kuwa kati desemba ishirini sifuri tatu na desemba ishirini sifuri tano walikula njama ya kuiba jumla ya shilingi bilioni sita tatu kutoka bot walidaiwa kuwa fedha hizo waliiba kupitia kampuni ya kernel ltd ya tanzania wakidai kuhamishiwa deni na kampuni ya japani ya marubeni corporation viongozi wakwepa kuzungumzia tamko leo wakati wanachama wa kampuni ya development enterpreneurship for community initiative wakisubiri tamko rasmi la serikali kuhusu hatma ya fedha zao leo viongozi wa kampuni hiyo jana walishikwa kigugumizi na kushindwa kuthibitisha jambo wiki iliyopita viongozi wa deci walikaririwa UNK wanachama wao kuwa watulivu huku UNK kwamba leo serikali itatoa tamko rasmi kuhusu mustakabali wa mbegu za wanachama hao walipotakiwa na gazeti hili kueleza ni wapi na nani atatoa taarifa hiyo leo viongozi hao UNK na kuonesha kutokuwa na majibu kuhusu suala hilo katika hali ya kushangaza viongozi hao walidai kuwa hawana taarifa zozote juu ya tamko hilo huku wakisahau kwamba wiki iliyopita waliahidi jambo hilo kujikanganya viongozi hao UNK utata na kuzuia hofu mpya kwa wanachama ambao leo wamepanga kukusanyika makao makuu ya deci mabibo kujua hatma ya tamko hilo na mbegu zao gazeti hili jana lilipowasiliana na mkurugenzi mtendaji wa deci bwana timoth ole loitinggye ambaye ndiye aliyeeleza kuhusu tamko rasmi la mbegu hizo kutolewa leo alidai kutofahamu lolote kuhusu jambo hilo akizungumza na wanachama hao mwishoni mwa wiki bwana ole loitinggye alisema kuwa pesa zote zimekabidhiwa kwa serikali na pia tume iliyoundwa kuchunguza suala lao imemaliza kazi yake na itatoa tamko leo aliendelea kusema kuwa kwa sasa viongozi wa deci hawana maelezo yoyote zaidi ya kusubiria tamko hilo litakalotoa jibu kamili kwa wanachama kwani tume hiyo imeundwa na watu wanaoaminika fedha zenu zimekabidhiwa kwa serikali tume iliyoundwa imemaliza kazi zake na itatoa tamko rasmi jumanne ijayo bwana loitinggye alikaririwa akiwaambia wanachama wake katika hatua nyingine baadhi ya wanachama wa deci wamedai kuwa mgogoro mkubwa ulioibuka kati ya wanachama hao na kuzaa makundi UNK na chama kimoja cha siasa walisema kuwa hatua ya chama hicho kujiingiza katika mgogoro wa deci imeongeza fukuto na kundi linalotishia kwenda bungeni UNK mkono na chama hicho kabla ya serikali kutangaza kupiga marufuku upatu wa deci benki kuu ya tanzania UNK UNK mchezo huo ili kuepuka kuhatarisha mitaji yao wanafunzi UNK barabara ffu wamwagwa kuwatawanya ni baada ya wenzao kugongwa milio ya risasi vurugu na kelele zilitawala hosteli za chuo kikuu cha dar es salaam zilizopo mabibo usiku wa kuamkia jana baada ya polisi na askari wa kikosi cha kutuliza ghasia kuzingira eneo hilo kuzima maandamano ya wanafunzi waliofunga barabara ya mandela kushinikiza serikali kuweka matuta baada ya wenzao wawili kugongwa pikipiki tukio ni mfululizo wa mikasa inayoendelea katika hosteli hizo limekuja siku moja baada ya kutokea mauaji ya kutisha ya mwanafunzi wa chuo hicho bibi bertha mwarabu anayedaiwa kuchomwa kisu na mwanafunzi mwenzake masamba musiba katika kile kinachoelezwa kusababishwa na wivu wa kimapenzi vurugu hizo zilianza saa moja arobaini usiku hadi saa saba baada ya pikipiki iliyokuwa ikiendeshwa mwendo kasi UNK wanafunzi wawili waliokuwa UNK barabara hiyo kutoka upande wa hoteli ya UNK time kwenda upande wa hosteli hiyo hatua hiyo ilisababisha wanafunzi wenzao UNK kuandamana kutoka eneo la hosteli hizo hadi barabara hiyo huku wakiimba nyimbo mbalimbali kulaani kitendo hicho na kufunga barabara wanafunzi hao wakiwa na hasira walizuia magari yote yaliyokuwa yakitoka ubungo kuelekea buguruni na maeneo mengine na yale yaliyotoka buguruni kwenda ubungo na maeneo mengine na kusababisha foleni kubwa katika barabara hiyo mashuhuda waliokuwa katika eneo hilo walisema vurugu hizo zilisababisha daladala moja toyota dcm kuharibiwa vibaya baada ya kuvunjwa vioo na wanafunzi hao majira lilifika eneo hilo dakika chache baada ya polisi kutoka katika kituo cha urafiki kufika katika eneo hilo na kuamuru wanafunzi hao kuondoka barabarani amri hiyo ilionekana UNK na wanafunzi hao baada ya kuanza kuwazomea polisi kwa kejeli huku wakiwakejeli kwa kuimba darasa la saba hao hali hiyo UNK hasira askari hao baada ya polisi kubaini upinzani mkali kutoka kwa wanafunzi hao walianza kupiga risasi angani ili kutawanya na kuomba msaada wa UNK nguvu kutoka ffu kikosi hicho kikiwa na magari nane aina ya land rover defender na magari mawili maalumu kwa ajili kurusha maji ya upupu kiliwasili eneo hilo na kutoa UNK ya wanafunzi hao kuondoka eneo hilo baada ya kufika kikosi hicho wanafunzi hao walitimua mbio na kurudi hosteli na kuacha eneo hilo likiwa na amani na shughuli nyingine zikiendelea kama kawaida katika tukio hilo wanafunzi nane walikamatwa na kufikishwa katika kituo cha polisi urafiki lakini waliachiwa jana asubuhi bila masharti yeyote akizungumza na majira kwa njia ya simu rais wa serikali ya wanafunzi wa chuo hicho bwana festo kiswaga alisema tayari uongozi wa chuo na ujumbe kutoka serikalini umefikia muafaka na kulimaliza mgogoro huo UNK na ujumbe ulifika hapa ukiongozwa na mkuu wa wilaya ya kinondoni bwana jordan rugimbana kuwa UNK matuta ya muda ili kunusuru watu kuendela kugongwa katika barabara hiyo alisema bwana kiswaga bwana kiswaga alisema uzoefu wa kimazingira unaonesha kuwa katika kipindi cha miaka mitatu eneo hilo limekuwa UNK kuwa na ajali za mara kwa mara pindi matuta UNK na UNK ajali hizo UNK alisema katika kikao hicho upande uongozi wa chuo uliwakilishwa na makamu mkuu wa chuo profesa UNK mgaya na upande wa wanafunzi wa waliongozwa na rais UNK hii ni mara pili kwa wanafunzi hao kuandamana UNK serikali kuweka matuta katika eneo hilo baada ya mwaka juzi kufanya hivyo wakati huo huo mwanafunzi wa mwaka wa pili katika chuo kikuu kishiriki cha elimu cha chuo kikuu cha dar es salaam bwana musiba amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kinondoni kujibu shitaka la kumuua mwanafunzi mwenzake bibi betha mwarabu kwa kile kinachodaiwa ni ugomvi wa mapenzi mbele ya hakimu bibi hilda lyatuu ilidaiwa na mwendesha mashitaka inspekta wa polisi bwana benedict nyagabona kuwa juni sita mwaka huu saa tatu arobaini na tano usiku katika hosteli za mabibo mshitakiwa alimchoma marehemu huyo na kitu chenye ncha kali ilidaiwa mahakamani hapo kuwa mshitakiwa huyo alimuua marehemu katika chumba namba mia mbili na hamsini block c alikokuwa anakaa marehemu huyo mshitakiwa hakutakiwa kujibu lolote mbele ya mahakama hiyo kwa kuwa mahakama hiyo UNK kesi za mauaji na kesi hiyo itatajwa tena juni ishirini na mbili awali ya hapo kamanda wa kanda maalum dar es salaam bwana suleiman kova alisema uchunguzi wa awali umeshakamilika tayari kwa mtuhumiwa kujibu mashitaka UNK tumefanya uchunguzi wa awali umekamilika tunatarajia kumfikisha mahakamani muda wowote kuanzia sasa alisema bwana kova jana mashuhuda ambao pia ni wanafunzi wenzake wanaeleza kuwa bwana musiba na marehemu walikuwa wapenzi wa muda mrefu ambapo marehemu alikuwa akimtuhumu mwenzie kuwa na tabia ya ulevi huku UNK kuachana naye kama UNK baada ya bwana musiba kuendelea na tabia yake ya ulevi ndipo marehemu alimpa mwezi mmoja kujirekebisha na kumwambia atasitisha kabisa uhusiano wao lakini mpenzi wake huyo UNK na ndipo marehemu akaamua kuachana naye moja kwa moja ilielezwa baada ya kuachana naye bwana musiba alichukua uamuzi wa kumuua marehemu kwa njia ya kumwita ili wafanye maongezi badala yake alimshambulia kwa kumchoma visu UNK UNK taarifa hii imeandaliwa na edmund mihale rehema maigala na zamzam abdul na grace michael mahakama kuu ya tanzania leo inatarajia kusikiliza rufani ya kupinga uamuzi wa mahakama ya hakimu mkazi kisutu kuhusiana na masharti ya dhamana aliyopewa aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi bwana amatus liyumba usikilizwaji wa rufani hiyo unatokana na hatua ya upande wa mashitaka kukata rufani mahakamani hapo UNK kutupiliwa mbali kwa uamuzi huo na kuwekwa upya masharti ya dhamana ya mshitakiwa huyo kwa mujibu wa sheria rufani hiyo itasikilizwa mbele ya jaji geofrey shaidi ambaye atasikiliza hoja za pande zote mbili kuhusiana na sababu za kukatwa kwa rufaa hiyo ambapo kila upande utalazimika kutetea hoja zake ili mahakama ifikie uamuzi upande wa mashitaka unapingana na uamuzi wa hakimu mkazi bibi nyigulila mwaseba ambaye alikubaliana na hoja za upande wa utetezi ambazo zilisema kuwa makosa ya mshitakiwa huyo hayako kwenye kifungu cha mia moja na arobaini na nane ambacho UNK mshitakiwa kuweka nusu ya fedha anazodaiwa kuiba upande huo unadai kuwa hakimu huyo alitoa masharti ya dhamana kwa mshitakiwa kwa kupuuza mahitaji halisi ya kifungu cha mia moja na arobaini na nane cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai sababu ya pili UNK na upande huo ilidai kuwa mahakama hiyo UNK vibaya kifungu hicho na kumpa masharti yasiyokidhi matakwa ya kifungu hicho mshitakiwa huyo hivyo ukaomba mahakama kuu kutupilia mbali uamuzi huo na kupanga upya masharti ya dhamana kwa kuzingatia matakwa ya sheria husika awali mahakama ya kisutu ilitoa dhamana kwa mshitakiwa huyo kwa kumtaka aweke mahakamani hapo jumla ya shilingi milioni thebathini sifuri kuwa na wadhamini wawili ambao wangesaini dhamana ya shilingi milioni hamsini kila mmoja pamoja na kuwasilisha hati zake za kusafiria mahakamani hapo uamuzi huo ulifikiwa baada ya kukubaliana na hoja za wakili wa mshitakiwa huyo bwana majura magafu ambaye aliieleza mahakama hiyo kuwa makosa UNK nayo mshitakiwa hayako kwenye kifungu UNK kuweka nusu ya fedha mahakamani alisema kuwa kifungu hicho kinatumika katika makosa ambayo yanahusiana na fedha halisi au mali lakini si kwa kusababisha hasara hali iliyopingwa na upande wa mashitaka UNK mahakama kuzingatia kifungu hicho kutokana na malumbano hayo na mahakama kutupilia mbali pingamizi hilo upande wa mashitaka UNK rufaa kupinga uamuzi huo na kuiomba mahakama kutoa tafsiri ya sheria hiyo mshitakiwa alifikishwa mahakamani hapo akikabiliwa na mashitaka mawili ya matumizi mabaya ya ofisi na kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya ujenzi wa majengo pacha ya bot na benjamin UNK maelezo shinyanga kesi inayowakabili washitakiwa wa mauaji ya albino mkoani shinyanga iliendelea kusikilizwa jana ambapo shahidi wa kwanza alianza kutoa ushahidi wake mbele ya jaji gadi mjemas wa mahakama kuu ya tanzania akitoa ushahidi huo huku akiongozwa na wakili wa serikali bibi UNK mlay shahidi huyo bwana mayenga matongo ambaye alikuwa afisa mtendaji wa kijiji cha harawa alidai kuwa desemba nne mwaka juzi akiwa ofisini kwake alipokea taarifa kutoka kwa yusuph ramadhani kuwa kuna maiti imeonekana imetupwa katika mto UNK bwana matongo alidai baada ya kupokea taarifa hizo aliandika barua kwa mwenyekiti wa kitongoji cha UNK bwana sayi gamanya kumtaka aende kuangalia sehemu ya tukio ili kuthibitisha tukio hilo aidha shahidi aliongezea kuwa bwana gamanya UNK agizo hilo ndipo shahidi alikwenda na baadhi ya watu katika mto wa kidamlida na kuanza kuusaka mwili ambapo saa kumi na mbili sifuri sifuri jioni mei nne mwaka jana walifanikiwa kuuona ukiwa kwenye kisima cha UNK mifugo bwana matongo aliendelea kudai kuwa alitoa taarifa polisi wa wilaya ya bariadi aprili tano saa saba mchana polisi walifika eneo hilo na zoezi la kuutoa mwili huo lilianza ambapo ilikutwa imekatwa kichwa na miguu yote miwili na kuhifadhiwa kwenye mfuko wa ambao ulikuwa umeanza kuoza matongo alidai kuwa diwani wa kata hiyo bwana juma UNK kwa kushirikiana na wananchi wengine waliweza kuutambua mwili huo kuwa ni wa marehemu lyaku willy ambapo polisi walianza upelelezi wao ambapo iligundulika mboje mawe na UNK UNK waliokuwa wakiishi kijijini hapo walikuwa hawaonekani alidai kuwa desemba sita mwaka jana alipata taarifa kuwa watuhumiwa hao walikuwa UNK katika milima ya kijiji cha harawa na UNK wanamgambo wawili wa vijiji vya UNK na harawa ili kumsaidia kazi ya kuwatafuta watuhumiwa hao alidai tarehe hiyo hiyo majira ya jioni wanamgambo UNK waliweza kumkamata mboje kwenye milima ya kijiji cha harawa ambapo inadaiwa aliwataja watu wengine UNK nao katika mauaji hayo kuwa ni sayi mafizi chenyenye maganyale sayi gamanya gumbo UNK na UNK UNK kesi hiyo iko mbele ya jaji UNK kuu ya tanzania bwana gadi mjema ambapo mashahidi wanaendelea kutoa ushahidi wao hukumu ya kesi hiyo inatarajiwa kutolewa mwezi ujao peter masangwa na salum pazzy serikali imeahidi kuwalipa mafao kwa muda wa maisha yao yote watu wote waliopata ulemavu wa aina mbalimbali kutokana na milipuko ya mabomu iliyotokea katika ghala la silaha la jeshi la wananchi wa tanzania aprili ishirini na tisa mwaka huu jijini dar es salaam akizungumza na gazeti hili jana mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana wiliam lukuvi alisema watu hao watalipwa fidia kulingana na madhara UNK bwana lukuvi alisisitiza kuwa serikali ipo pamoja nao kwamba na itawasaidia kuendesha maisha yao ya kila siku alifafanua kuwa mafao UNK wakilipwa watu hao yatajulikana baada ya wataalamu wa wizara ya afya na ustawi wa jamii kutoa mchanganuo wa kile UNK kuwa wanalipwa kulingana na aina ya ulemavu UNK wizara ya afya ndio inahusika na kufanya hesabu nimewaagiza watuletee idadi kamili ya watu waliopata ulemavu wa kudumu pamoja na mapendekezo yao alisema bwana lukuvi alisisitiza kuwa taarifa hiyo itaambatana na ile tathmini ya maafa itakayotolewa juni kumi na tatu mwaka huu bwana lukuvi alisisitiza kuwa yupo makini kwa kuwa UNK na maafa yaliyowapata wakazi wa mbagala kuhusu vurugu zilizotokea wakati wa ugawaji misaada kwa waathirika wa mabomu bwana lukuvi alisema kazi ya kusimamia ugawaji wa misaada hiyo ameachiwa mkuu wa wilaya ya temeke bwana said mkumbo na flora amon dodoma watu sita wamekufa papo hapo na wengine thebathini na saba kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupasuka tairi la mbele la upande wa kulia na kupinduka ajali hiyo ambayo ilitokea jana saa tano arobaini na tano asubuhi katika eneo la mtumba kilomita ishirini kabla ya kufika mjini hapa ilihusisha basi liitwalo hajji s aina ya scania lenye namba za usajili t mia nne na arobaini na moja UNK ambalo lilikuwa UNK dar es salaam kwenda singida akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mganga mkuu wa hospitali ya mkoa wa dodoma daktari UNK mtey alisema alipigiwa simu saa sita kasoro robo kuwa kuna ajali imetokea maeneo ya mtumba na ilipofika saa sita mchana walianza kupokea majeruhi daktari mtey alisema kuwa jumla ya majeruhi thebathini na saba walipokelewa hospitalini hapo ambapo majeruhi ambapo kumi na tisa kati yao walitibiwa na kuondoka huku majeruhi wengine wakiwa wamelazwa alisema kuwa kati ya majeruhi hao kumi na nane mmoja kati yao ana hali mbaya ambapo UNK mkono wake wa kulia na juhudi zinafanywa ili kuokoa maisha yake aidha daktari mtey aliwataja majeruhi waliolazwa kuwa ni pamoja na watoto wawili wa familia moja ambao ni UNK daniel na ezekiel daniel bwana idi mussa bwana hassan UNK bwana ali mbegu ambao wote wamelazwa wodi namba moja katika hosptali ya mkoa amewataja majeruhi kuwa ni pamoja na bibi hamida ramadhani bwana agnes blezi bibi UNK lucas bibi mwanaidi UNK bibi amina hussein bibi rehema hassan bibi UNK ngole bibi UNK athman UNK juliana leonard ambao wamelazwa wodi namba kumi daktari mtey aliwataja majeruhi wengine ambao wamelazwa katika wodi namba nane kuwa ni pamoja na bibi UNK blezi UNK na bibi UNK abdul ambaye amevunjika mkono huku hali yake ikiwa mbaya daktari mtey alisema kuwa waliofariki mpaka kufikia jana walikuwa hawajatambuliwa na kuongeza kuwa walikuwa wakiwasubiri ndugu kwenda kuwatambua kamanda wa polisi mkoa wa dodoma bwana omar mganga amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni kupasuka kwa tairi upande wa dereva alisema kuwa dereva wa gari hilo daud john alikimbia baada ya kutokea kwa ajali hiyo na kuongeza kuwa kuwa jeshi la polisi UNK wana upatu UNK kwa risasi wavunja vioo gari la UNK polisi UNK ffu waingilia kati askari wa kikosi cha kutuliza ghasia jana walilazimika kufyatua risasi hewani kutawanya mamia ya washiriki wa mchezo wa upatu ya deci waliokuwa wakifanya vurugu baada ya UNK hatma ya fedha zao sakata hilo lililotokea makao makuu ya kampuni hiyo yaliyopo mabibo jijini dar es salaam ambapo washiriki hao walikuwa wamekusanyika kuelezwa hatma ya mbegu zao walizopanda baada ya uongozi wa kampuni hiyo kutangaza kuwa tamko rasmi UNK jana katika vurugu hizo washiriki hao waliokuwa UNK UNK waliharibu magari mawili ya maofisa wa deci likiwemo aina ya rav nne lenye namba za usajili t mia mbili na sabini na nne UNK ambalo waliharibu vioo vyake wakatoa matairi yote upepo na kujaribu UNK kwa nia ya UNK moto gari jingine UNK ni mitsubish pajero lenye namba za usajili t mia tisa na arobaini na saba UNK ambalo nalo lilivunjwa vioo na kuharibiwa baadhi ya UNK baada ya polisi ambao walikuwa wamejaa eneo hilo kushindwa kudhibiti fujo hizo ffu walilazimika kufyatua risasi kadhaa hewani na kutawanya washiriki hao ambao hata hivyo walikaa hatua kadhaa na ofisi hizo huku UNK waandishi wa habari kwa maneno pamoja na kupiga kelele za kulaani kauli za maafisa hao wa deci licha ya ulinzi mkali wa polisi washiriki hao waliendelea kuzunguka maeneo hayo na kutishia usalama baada ya kusikika wakisema kuwa wamechoshwa na vitendo vya matapeli wa deci tunachotaka ni kujua hatma ya fedha zetu na tumekuja hapa baada ya kutangaziwa kama waliona hakuna la maana UNK na sisi tungeendelea na shughuli zetu mbana tumevumilia kwa kipindi kirefu kwanini UNK sasa alihoji mama mmoja ambaye hakuwa tayari kutaja jina lake wanachama hao waliokuwa wamefika kwa wingi kuanzia majira ya saa mbili asubuhi walikuwa wakiwasubiri viongozi wa deci ili waweze kusikia serikali inasema nini kama ambavyo awali walivyokuwa UNK baada ya kusubiri kwa muda mrefu hatimaye walitokea maofisa wa ngazi za chini na si viongozi wa juu kama ilivyotarajiwa ambapo walianza kuwahoji kuhusu tamko na hatma ya fedha zao katika hali ya kushangaza baadhi ya wafanyakazi wa deci UNK washiriki hao maneno ya kashfa na hivyo kuzua vurugu kubwa huku wakirusha mawe na UNK mtu mmoja UNK ninyi hamna jipya maneno hayo na mengine UNK kutoka kwa watumishi hao kuwaambia wanachama hali iliyozua hasira na kuanza vurugu awali mkurugenzi mtendaji bwana timoth ole UNK e aliwatangazia wananchi hao kuwa tamko kuhusu fedha zao UNK jana na serikali lakini bila kufafanua UNK wapi na kwa mtindo upi katika hali ya kushangaza viongozi wote wakuu waliingia mitini na kuwaachia wafanyakazi wengine sisi tunachotaka kujua kwa sasa ni kwamba UNK vipi fedha zetu na wala si kitu kingine lakini msuguano uliokuwepo ndio UNK matatizo yote hayo alisema kijana mmoja ambaye naye alidai ni mshiriki wa deci naye gladness mboma anaripoti kuwa serikali imeombwa kuwakamata na kuwapeleka mbele ya vyombo vya sheria viongozi wa kampuni ya upatu bila kujali itikadi za kidini ili kuepusha machafuko yanayoweza kutokea kama nchi ya kenya endapo wataachwa wakitembelea magari ya kifahari mitaani huku wananchi wakihaha kusaka mbegu zao makamu mwenyekiti na msemaji wa kamati ya dharura ya UNK deci mwinjilisti emanuel ambakisye alisema jana dar es salaam kuwa lawama zote zinazotokana na utapeli wa deci zielekezwe kwa washauri walezi waanzilishi na wapambe wa kampuni hiyo alisema kuwa kitendo cha viongozi wa deci kuchukua fedha kwa watu kwa kisingizio kwamba wanachangia chama ambacho hakipo wala kusajiliwa kinahatarisha imani ya ukristo nchini na dunia nzima napenda wananchi watambue kuwa viongozi wa deci hawakuwa wakweli tangu mwanzo kwani walijua kabisa kwamba shughuli zao hazijasajiliwa na kwamba ni kinyume na sheria za nchi lakini UNK UNK baraza la UNK tanzania ambapo sasa wakristo wengi UNK alisema mwinjilisti ambakisye alisema kuwa yapo baadhi ya mawazo yaliyotolewa hivi karibuni na wabunge UNK kuishauri serikali kuacha UNK deci kwa kuhofia uchaguzi ishirini moja sifuri mawazo ambayo alidai kuwa yanalenga kujinufaisha matumbo yao na sio maslahi ya wananchi waathirika alisema kuwa kitendo cha maaskofu wote waliohusika na deci kujificha katika kipindi hiki kigumu kwa wanachama pengine wakiogopa aibu ya utapeli uliofanyika na kuitupia lawama serikali si cha busara kwa sababu wao ndio waliokuwa mstari wa mbele kuwashawishi kondo hao masikini kuingia kwenye kamari hiyo mwinjilisti ambakisye alisema kuwa katika uchunguzi waliofanya wamebaini kuwa kuna mikakati mikubwa ya viongozi wa deci wakishirikiana na baadhi ya wachungaji ambao wanajaribu kushawishi watu UNK kuilaumu serikali ili kuepuka aibu inayokuja hivi karibuni hatua ya viongozi wa deci kumtuhumu waziri wa fedha bwana mustafa mkullo kwamba UNK wakristo si ya kweli kwa sababu deci si chombo cha kikristo wala UNK kama ambavyo wanavyodai wao bali ni chombo cha kitapeli alisema hivi karibuni benki kuu ya tanzania UNK wananchi UNK na deci kwa kuwa kampuni bila kibali cha serikali sheria hivyo wanahatarisha mitaji yao na john daniel dodoma waziri wa nchi ofisi ya rais utawala bora bibi sophia simba amesema suala la kufikishwa mahakamani watuhumiwa wa richmond bado lina utata kwani kampuni hiyo UNK hata senti tano kauli hiyo ya waziri simba ni mpya na UNK na taarifa zote zilizowahi kutolewa kuhusu kampuni hiyo hadi kusabisha kuvunjwa mkataba wake huku baadhi ya mawaziri akiwemo aliyekuwa waziri mkuu bwana edward lowassa kujiuzulu kutokana na utata katika mkataba wake na gharama za uendeshaji akijibu swali la nyongeza la mbunge wa simanjiro bwana christopher ole sendeka bungeni jana waziri simba alisema watuhumiwa wa epa na iptl wanashughulikiwa kisheria na kwamba hawezi kujibu lolote kuhusu hatma yao kwa kuwa UNK na sheria za nchi nadhani mheshimiwa mbunge anatambua kwamba serikali inafuatilia kwa karibu masuala hayo na epa ipo UNK siwezi kuzungumzia lolote suala la richmond ipo katika hatua mbalimbali na lina utata kwa kuwa UNK hata senti tano alidai bibi simba na kusababisha wabunge wengi UNK katika swali lake la nyonge bwana sendeka aliitaka serikali kuchukua hatua za utashi wa kisiasa kwa kuwachukulia hatua za haraka watuhumiwa wa richmond epa na iptl ili kuweka nchi katika sura nzuri ya kupambana na rushwa tamati na rose UNK taasisi za dini UNK mpango wa serikali kutaka kuzifutia misamaha ya kodi na kueleza kuwa jambo UNK nyuma maendeleo kwa kuwa taasisi ni wadau wakubwa katika utoaji huduma za jamii kwa mujibu wa tamko la jumuia ya UNK tanzania lililotolewa dar es salaam jana baada ya kumalizika mkutano mkuu wa ishirini na nane wa jumuiya hiyo juni tano mjini dodoma maaskofu hao wameitaka serikali kuangalia jambo hilo kwenye bajeti inayosomwa leo tamko hilo UNK na makamu wa kwanza wa mwenyekiti wa cct daktari valentino mokiwa lilisema zipo taarifa kwamba waziri wa fedha na uchumi bwana UNK mkulo amepanga kuliomba bunge kuleta muswada wa marekebisho ya sheria ili kufuta au kupunguza misamaha ya kodi kwa taasisi za kidini tunasikitishwa na mpango huu na kutokubaliana nao kufutwa au kupunguza UNK ya kodi kwa taasisi za kidini ambazo ni wadau wakubwa wa kutoa huduma za jamii alisema daktari mokiwa alisema kitendo cha kufuta kodi kwa taasisi za kidini kitaongeza mzigo kwa taasisi hizo na badala yake wameishauri serikali kusimamia vizuri usahihi wa kodi hasa kwa wawekezaji wakubwa kwani kuna mianya mingi ya ukwepaji ulipaji kodi kutoka kwa wafanyabiashara wawekezaji na kampuni kubwa daktari mokiwa amewataka wananchi wote kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na ule wa rais na wabunge mwaka ishirini moja sifuri kwani uchaguzi ni mchakato UNK wananchi wote na ndio njia pekee ya kushiriki katika utawala na uendeshaji wa nchi kutoshiriki kuchagua kiongozi ni dalili mbaya ya kuwaruhusu viongozi wasiofaa kujipenyeza na hatimaye kuliingiza taifa katika maafa alisema daktari mokiwa alisema kuna tuhuma na minonggono kwamba ushirikina umetawala miongoni mwa viongozi wa umma wanasiasa na raia wa kawaida alisema ushirikina ni tabia ya mmomonyoko wa maadili ambapo watu wamekuwa wakifanya maovu bila ya hofu ya mungu watu wa jinsia hii hufikiri kwamba wanaweza kufanikiwa katika mambo yao kama vile uchaguzi kupendelewa kupanda vyeo kupata utajiri wa haraka kuepuka magonjwa na balaa aliongeza daktari mokiwa alisema ushirikina umefikia kiwango cha watu fulani kuathiri haki za binadamu wengine ikiwa ni pamoja na kuwakata viganja vya mikono UNK watu mauaji ya albino na mauaji ya vikongwe UNK shilingi trilioni moja saba wanunuzi mazao sasa UNK mabenki kampuni UNK UNK udhaifu mkubwa trl rais jakaya kikwete ametumia staili ya aina yake kumnusuru waziri wake wa fedha na uchumi kwa kutoa hotuba inayogusa maeneo nyeti ya bajeti ya serikali inayosomwa leo ambapo kiasi cha shilingi trilioni moja saba UNK ajili ya kukabiliana na mtikisiko wa kiuchumi hotuba hiyo ya rais ilitolewa mjini dodoma jana zikiwa zimesalia takribani saa ishirini na nne kabla ya waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo kusimama bungeni kusoma bajeti hiyo ilionekana kujibu hoja za wabunge waliokuwa wamepania kuikwamisha kwa kile walichodai baadhi ya ahadi za serikali zinatekelezwa kwa upendeleo hatua hiyo iliungwa mkono na bwana mkulo muda mfupi mara baada baada ya rais kikwete kumaliza hotuba yake akisema rais UNK kazi zikiwa zimebakia saa ishirini na nne kabla ya kuingia bungeni kusoma bajeti yangu UNK wazee wa mkoa wa dodoma na wabunge katika ukumbi wa kilimani alisema katika bajeti ya mwaka huu wa fedha serikali yake imetenga kiasi cha shilingi trilioni moja saba kukabiliana na athari zilizotokana na mtikisiko wa kiuchumi ulioikumba dunia ikiwemo tanzania fidia kwa wanunuzi wa mazao UNK maeneo ambayo UNK kipaumbele kukabiliana na mtikisiko wa kiuchumi rais kikwete alisema serikali yake itatoa fedha kufidia hasara wanunuzi wa mazao pamoja na vyama vya ushirika ili katika msimu ujao wa mazao waweze kuendelea na kazi hiyo katika eneo hilo alisema zimetengwa kiasi cha shilingi bilioni ishirini na moja tisa ambazo UNK kwenye mabenki moja kwa moja kwa ajili ya kulipa mikopo UNK na wanunuzi wa mazao kwa kuwa madeni hayo UNK na uzembe hata hivyo alionya kuwa serikali yake UNK madeni ya zamani asije mtu hapa akataka UNK akisema na mimi UNK tumezungumza na watu wa mabenki na UNK madeni yote yaliyotokana na mtikisiko wa kiuchumi alionya rais kikwete udhamini mabenki kampuni aliongeza kuwa serikali itatoa udhamini wa shilingi bilioni ishirini sifuri saba kwa viwanda na sekta ya utalii kwa kipindi cha miaka miwili kutokana na kuathiriwa na mtikisiko wa kiuchumi UNK madeni hayo na kuahirisha ulipaji wake kwa muda wa miaka miwili katika kipindi hiki riba UNK ili tuone baada ya muda huo hali itakuwaje tuna imani tatizo litakuwa limepungua alisema rais kikwete alifafanua kuwa serikali yake itadhamini kila shilingi moja kwa shilingi tano kwa mantiki hiyo tutakuwa UNK asilimia sabini ya mkopo alisema na kuongeza UNK madeni hayo crdb itaweza kumdhamini mnunuzi wa pamba na UNK kama yule bwana ana deni alisisitiza kuwa bila kufanya hivyo mabenki yanaweza kufilisi kampuni na vyama vya ushirika mitaji ya uendeshaji katika eneo jingine ambalo serikali imejidhatiti kukabiliana na mtikisiko huo rais kikwete alisema ni kutoa mitaji ya uendeshaji kwa riba UNK tumegundua kampuni nyingi zimeshindwa kujiendesha kwa kukosa mitaji yenye riba nafuu serikali UNK benki fedha kwa riba ya asilimia mbili ili yaweze kutoa mikopo alisema alisema serikali itatoa shilingi bilioni themanini na mabenki bilioni arobaini hivyo kufanya mtaji wa UNK kuwa shilingi bilioni mia moja na ishirini mifuko ya UNK rais alisema mifuko yote miwili ya dhamana itaongezewa fedha ili iweze UNK alisema mfuko wa kwanza wenye dhamana ya shilingi bilioni kumi UNK fedha ili uwe na uwezo wa kukopesha shilingi bilioni sitini na tano alisema yule wa pili wenye dhamana ya shilingi bilioni sita tano UNK uwezo uweze kukopesha shilingi bilioni sitini uzalishaji chakula rais kikwete alisema ingawa bado mtikisiko wa kiuchumi UNK uzalishaji wa chakula serikali yake imejidhatiti zaidi ili kuhakikisha UNK kwenye mgogoro huo aliapa vipo viashiria vya kupungua kwa chakula duniani kwani pamoja na kupunguza kodi kwa UNK chakula kutoka nje wameshindwa kupata tani thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri walizotakiwa kuleta badala wake wamepata tani themanini sifuri sifuri sifuri hata tukisema UNK chakula nje napo hakipo hivyo tumeamua tuwe na UNK ya uzalishaji chakula bila kuathiriwa na mtikisiko wa kiuchumi alisema alifafanua kuwa ili kukabiliana na uhaba wa chakula serikali UNK mkopo wa shilingi bilioni ishirini benki ya uwekezaji ili iweze kukopesha wakulima tunafanya hivyo wakati huo huo tukiangalia uwezekano wetu wa kuanzisha benki ya maendeleo ya kilimo alifafanua na kusisitiza kuwa mchakato wake unaendelea vizuri aliongeza kuwa serikali itatoa riba ya shilingi bilioni ishirini kwa ajili ya kununulia dhana za kilimo katika eneo hilo alisema mabenki nayo yatachangia shilingi bilioni ishirini alisema benki ya dunia imetoa shilingi bilioni arobaini na sita na serikali kiasi hicho hicho kwa ajili ya kununulia mbolea ya ruzuku kuongezea nguvu sgr akizungumzia mkakati wa kuimarisha hifadhi ya chakula cha serikali rais alisema serikali imetoa shilingi bilioni ishirini kwa ajili ya kununulia chakula alisema uwezo wa sgr kuhifadhi chakula ni tani mia mbili na arobaini sifuri sifuri sifuri lakini kilichopo sasa mia moja na arobaini sifuri sifuri sifuri alisema sgr ikiwa na chakula cha kutosha ni rahisi kukabiliana na upungufu wa njaa pale UNK ujenzi wa miundombinu akizungumzia eneo hilo rais alisema serikali yake imejidhatiti kuhakikisha mtikisiko wa kiuchumi UNK ujenzi wa miundombinu bajeti ya ujenzi wa miundombinu UNK tutaangalia uwezekano wa kutumia nyenzo za ndani kuendelea na ujenzi wa barabara ni lazima UNK kwani ndiyo dhamira yetu alisisitiza sakata la trl rais alisema matatizo yanayokabili kampuni ya reli tanzania yana sura mbili alitaja tatizo la kwanza mfumo wa uongozi na la pili ni la mahitaji ya uwekezaji alisema kwa sasa zinahitaji shilingi bilioni mia moja na arobaini na nne kuwezesha shirika hilo kusimama alisema benki ya dunia imekubali kutoa shilingi bilioni arobaini na serikali itatoa bilioni themanini na tatu sisi hizo shilingi bilioni themanini na tatu tumesema UNK wakati huo huo tukiendelea kushughulika na tatizo la menejimenti viza kwa watalii alisema kutokana na kupungua kwa idadi ya watalii UNK na mtikisiko wa uchumi serikali imeamua kupunguza gharama za visa kutoka dola kumi sifuri hadi kufikia hamsini rais alisema tayari kenya imeliona hilo na kupunguza bei ya viza hadi kufikia dola ishirini na tano tumefanya hivyo makusudi maana nyumbu wa kenya ndiye yule yule wa serengeti tusipofanya hivyo basi watalii hao UNK nyumbu huyo arudi upande wa pili ili wamuone alisema baada ya kufanya fujo na kuharibu mali kadhaa juzi washiriki wa kampuni ya upatu ya deci wamemtaka waziri mkuu bwana mizengo pinda kutangaza haraka hatma ya fedha zao vinginevyo vurugu hizo UNK washiriki hao waliyasema hayo jana walipofanya mkutano usio rasmi nje ya makao makuu ya deci yaliyopo mabibo jijini dar es salaam ambapo walimtaka bwana pinda kuhakikisha hadi leo jioni ametoa tamko kuhusu mbegu zao tunaomba waziri mkuu atoe tamko kama tutapata pesa au la la sivyo tutakutana tena hapa ijumaa hata kama wakileta polisi UNK UNK kwa risasi tupo tayari kufa alisema bwana james UNK ambaye ni mmoja wa washiriki UNK mkono na wenzake ijumaa tutafika hapa mpaka kieleweke maana wamezoea kuiba pesa za serikali sasa wamevamia pesa yenye sumu UNK kwa njia yoyote alisema mwanachama mwingine na aziza masoud naibu katibu mkuu wa chama cha wananchi tanzania bara bwana wilfred lwakatare UNK nyadhifa zake zote katika chama hicho uamuzi wa bwana lwakatare aliutoa juzi katika kikao cha baraza kuu la cuf kilichofanyika makao makuu ya chama hicho buguruni dar es salaam akizungumza na wandishi wa habari dar es salaam jana mwenyekiti wa chama hicho profesa ibrahim lipumba alisema kuwa tayari amepokea barua ya kujiuzulu kiongozi huyo ni kweli nimepokea barua ya kujiuzulu bwana lwakatare lakini bado UNK mpaka sasa kwani majibu yatategemea majibu yake kama ametaka mwenyewe kufanya hivyo UNK ni demokrasia na kama ni sababu za kichama tutajaribu kuzungumza naye UNK nini kilichomfanya ajiuzulu na UNK arudi kundini kwani hatuna ugomvi naye alisema profesa lipumba alisema baraza kuu ndilo lenye mamlaka ya kuzungumzia suala hilo hivyo itawalazimu kuitisha kikao kujadili uamuzi wake na ikiwezekana kumshauri abadili msimamo huo hata hivyo kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya chama kilisema kujiuzulu bwana lwakatare kunatokana na tofauti zilizojitokeza ndani ya kikao hicho mfanyabiashara bwana emanuel UNK mkazi wa ilala dar es salaam amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kinondoni kujibu shitaka la kumnyonga kisha kumchinja mkewe ilidaiwa mahakamani hapo kuwa mshitakiwa huyo alimuua bibi patricia UNK kwa kinachodaiwa wivu wa mapenzi mbele ya hakimu bibi hilda lyatuu ilidaiwa na mwendesha mashitaka inspekta wa polisi benedict nyagabona kuwa juni nane mwaka huu mshitakiwa alimuua mkewe mshitakiwa hakutakiwa kujibu lolote kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka kusikiliza kesi za mauaji shauri hilo UNK tena juni ishirini na nne mwaka huu wakati huo huo bwana saimon UNK mkazi wa mwananyamala amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kinondoni kujibu mashitaka ya UNK mbele ya hakimu bibi lyatuu ilidaiwa na mwendesha mashitaka inspekta wa polisi bwana nyagabona kuwa juni nne mwaka huu mshitakiwa kwa makusudi alimbaka mwanafunzi mwenye umri wa miaka tisa na kumsababishia maumivu UNK alikana mashitaka hayo na yupo nje kwa dhamana hadi kesi hiyo itakapotajwa tena juni ishirini na nne mwaka huu serikali imewasilisha bungeni bajeti ya yake kwa mwaka ishirini sifuri tisa ishirini moja sifuri ya shilingi trilioni tisa tano huku ikionesha wazi kuwa watanzania watalazimika kufunga mikanda kutokana na athari zilizosababishwa na mtikisiko wa kiuchumi duniani uliochangia ongezeko la kodi mbalimbali katika huduma muhimu za jamii wakati bajeti hiyo ikipewa jina na kilimo kwanza ina viashiria vingi vinavyoonesha kuwa wananchi watalazimika kufunga UNK sekta ya elimu imepewa kipaumbele kwa kutengewa asilimia ishirini na mbili ya UNK yote bwana mkulo alisema kati ya fedha hizo shilingi trilioni sita saba ni za matumizi ya kawaida na sekta maendeleo imetengewa asilimia mbili nane alisema wahisani watachangia bajeti hiyo kwa kutoa shilingi trilioni tatu mbili na mchango wa mapato ya ndani ni shilingi trilioni tano moja bajeti kwa kila sekta alisema sekta ya elimu kwa mwaka huu imetengewa shilingi bilioni moja mia saba na arobaini na tatu tisa ikilinganishwa shilingi bilioni moja mia nne na thebathini nne mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa ongezeko hilo likiwa sawa na asimilia ishirini na mbili ya bajeti yote kwa upande wa kilimo bwana mkulo alisema UNK shilingi bilioni mia sita na sitini na sita tisa ikilinganishwa na shilingi bilioni mia tano na kumi na tatu sifuri mwaka jana sawa na asilimia thebathini ya bajeti alisema bajeti hiyo inajumuisha fedha za epa kuhusu miundombinu alisema sekta hiyo imetengewa shilingi bilioni moja sifuri tisa sita sita tofauti na shilingi bilioni mia tisa na sabini na tatu tatu zilizotengwa mwaka uliopita ongezeko hilo likiwa sawa na asilimia kumi na mbili saba ya bajeti yote kwa upande wa sekta ya afya imetengewa shilingi bilioni mia tisa na sitini na tatu sifuri toka shilingi bilioni mia tisa na kumi nane mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa sawa na asilimia tano saba ya bajeti yote sekta ya maji imetengewa shilingi bilioni mia tatu na arobaini na saba tatu toka shilingi bilioni mia mbili na thebathini na moja sita mwaka ishirini sifuri nane tisa sawa na ongezeko la asilimia hamsini nishati na madini shilingi bilioni mia mbili na themanini na tano tano ikilinganishwa na shilingi bilioni mia tatu na sabini na nane nane za mwaka ishirini sifuri nane tisa sawa na punguzo la asilimia ishirini na nne sita alisema hiyo inatokana na kumalizika kwa UNK ya kuzalisha umeme kwa kampuni ya richmond sasa dowans apr na UNK kodi mpya bajeti ya mwaka huu itakuwa chungu kwa taasisi za dini kwani zitaanza kutozwa kodi kwenye bidhaa mbalimbali isipokuwa zile za kiroho pekee kwa upande wa watumiaji wa simu selula nao wataanza kuonja uchungu wa bajeti hiyo ambapo watakuwa wakitozwa ushuru wa muda wa UNK hatua hiyo inatarajiwa kupandisha bei ya vocha za simu za mkononi waziri mkulo alisema bei ya UNK baridi imepanda kutoka shilingi hamsini na nne mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa hadi shilingi hamsini na nane kwa lita bia UNK nchini ambayo UNK imepanda kutoka shilingi mia moja na tisini na nne hadi shilingi ishirini tisa kwa lita na bia nyingine zote bei imeongezeka kutoka shilingi mia tatu na ishirini na tisa kwa lita hadi shilingi mia tatu na hamsini na nne alisema bei ya mvinyo itaongezeka kwa kiwango cha zaidi ya asilimia ishirini na tano kutoka shilingi moja sifuri tano tatu kwa lita hadi shilingi moja mia moja na thebathini na mbili kwa mvinyo UNK kwa zabibu inayozalishwa nje ya nchi akizungumzia vinywaji vikali bwana mkulo alisema bei yake imeongezeka kutoka shilingi moja mia tano na sitini na moja kwa lita hadi shilingi moja mia sita na sabini na nane kutokana na ongezeko hilo ni wazi wanywaji wa vinywaji vikali na baridi watalazimika UNK zaidi ili kupata huduma hizo bei ya sigara nayo imezidi kupaa ambapo sigara isiyo na UNK inayotengenezwa kutokana na tumbaku inayozalishwa nchini mauzo yake yataongezeka kwa asilimia sabini na tano kutoka shilingi tano mia tatu na arobaini na nane hadi shilingi tano mia saba na arobaini na tisa kwa sigara moja sifuri sifuri sifuri sigara zenye UNK na UNK kutokana na tumbaku inayozalishwa nchini gharama zake zimeongezeka kwa asilimia sabini na tano kutoka shilingi kumi na mbili mia sita na kumi na nane hadi shilingi kumi na tatu mia tano na sitini na nne kwa sigara moja sifuri sifuri sifuri sigara nyingine zenye sifa tofauti bei zake zimepanda kutoka shilingi kumi na moja mia tano na sabini na tatu hadi shilingi kumi na mbili mia nne na arobaini na moja hatua hizi za kuongeza ushuru wa bidhaa kwa pamoja zinatarajiwa kuongeza mapato ya serikali kwa kiasi cha shilingi milioni sabini na mbili mia sita na tisini na moja alisema bwana mkulo sekta ya madini katika sekta ya madini serikali imefanya kweli kwa kuziba mianya iliyokuwa ikitumiwa na wawekezaji kukwepa kodi waziri mkulo alisema kuanzia julai mosi mwaka huu serikali haitatoa msamaha wa ushuru wa mafuta ya petroli yanayotumiwa na kampuni za uchimbaji madini kwa kampuni mpya UNK mikataba baada ya muda huo kwa upande wa kampuni ambazo tayari UNK na kipengele hicho waziri mkulo alisema serikali itaendelea kufanya mazungumzo na wawekezaji hao ili kuona namna ya kukifanyia marekebisho asasi za kiraia na dini waziri mkulo alisema serikali itaondoa msamaha maalum wa kodi ya ongezeko la thamani kwa asasi zisizo za kiserikali na mashirika ya dini hatua itahusisha madhehebu yote wakristo waislamu UNK mabohora na wengineo kutokana na hatua hiyo ni wazi kwamba huduma za matibabu katika taasisi za dini sasa zitapanda juu na watanzania kitanzi wapangaji eneo lingine ambalo linaonesha kuwa na machungu kwa watanzania wa kawaida ni kuongezeka kwa ya pango kwa wapangaji na kwenye kumbi mbalimbali isipokuwa zile za shirika la nyumba la taifa pamoja na msajili wa UNK pia bajeti hiyo inatarajiwa kuongeza bei ya maji na kusabisha machungu kwa watu wa kipato cha chini kutokana na hatua ya serikali kufuta misamaha ya kodi kwa mamlaka za maji safi na taka misamaha ya kodi alisema serikali UNK misamaha hiyo kutokana na kuwa inatoa mianya ya ukwepaji kodi alisema misamaha ya kodi iliongezeka hadi kufikia asilimia thebathini sawa na shilingi trilioni mbili zilizotokana na mapato ya ndani bwana mkulo alisema tanzania imekuwa ikiongoza kutoa msamaha mkubwa wa kodi kuliko nchi za kenya na uganda ongezeko la misamaha ya kodi UNK kasi ya kuwaletea maendeleo wananchi na wakati mwingine kutoa mianya ya ukwepaji kodi alisema bwana mkulo alifafanua kuwa serikali UNK kurejewa upya sheria zinazotoa mianya ya kutoa misamaha ya kodi uwezeshaji wananchi waziri mkulo alisema katika mwaka huu wa fedha serikali itaongeza juhudi za uwezeshaji wananchi kiuchumi kwa kutoa mafunzo kwa wajasiriamali pia iliahidi kuainisha aina za biashara ambazo wajasiriamali wa hapa nchi wataweza kufanya kwa ubia na wenzao wa nje ya nchi kwa upande wa UNK bwana mkulo alisema serikali itaongeza kima cha chini cha pensheni mtaji kwa benki ya rasilimali na kuanzisha benki ya kilimo mafunzo ya jkt katika mwaka huu wa fedha wa ishirini sifuri tisa ishirini moja sifuri waziri mkulo alisema serikali itagharamia maandalizi ya kuanzishwa kwa mafunzo ya jeshi la kujenga taifa alisema mwaka huu jeshi la kujenga taifa na magereza UNK jukumu la kuzalisha mbegu bora za mazao ili ziweze kuwasaidia wakulima barabara vijiji kwa upande wa barabara za vijijini bwana mkulo alisema zitaendelea kuboreshwa ili ziweze kupitika na kuwarahisishia wakulima kusafirisha mazao yao mbali na UNK hizo alisema serikali itaendelea kutoa kipaumbele kwenye ujenzi wa miundombinu ya barabara na umeme alisisitiza kuwa serikali itaendelea kuimarisha kampuni ya simu tanzania kampuni ya reli tanzania kampuni ya ndege tanzania na reli ya tanzania na zambia sekta ya elimu kwa upande wa sekta ya elimu alisema mwaka huu serikali ina mkakati wa kuwajengea uwezo walimu ili kuhakikisha wanakuwa na sifa za kutosha mbali na walimu bwana mkulo alisema mkakati mwingi wa serikali ni kuhakikisha shule zinakuwa na vifaa vya kutosha vya kufundishia alisema serikali itaimarisha ujenzi wa maabara ili kuimarisha ufundishaji wa masomo ya sayansi na kuongeza mkakati wa ukaguzi wa UNK bwana mkulo alisema serikali UNK mradi mkubwa wa ujenzi wa nyumba za walimu kwa kuanzia alisema maeneo UNK kipaumbele ni yale ya pembezoni na yenye mazingira magumu ili kutoa hamasa kwa walimu kwenda kufanyakazi huko sekta ya afya akizungumzia sekta ya afya bwana mkulo alisema serikali itaendelea kuimarisha afya ya msingi ili kukidhi utoaji huduma bora bwana mkulo alisema serikali itaendelea kuimarisha kituo cha upasuaji wa moyo na kuboresha na utoaji huduma zingine ili kuwezesha tanzania kufikia malengo ya UNK wakati huo huo bajeti imepokelewa kwa hisia tofauti huku baadhi ya wabunge wameipongeza na wengine kuikosoa kwa baadhi ya maeneo wabunge walihojiwa mara baada ya mkulo kuwasilisha ni pamoja na mbunge wa jimbo la pangani bwana mohamed abdallah ambaye amepongeza bajeti hiyo hasa kwa kupunguza kodi ya mafuta bajeti ya mwaka huu naipongeza sana kwani serikali imejitahidi kupunguza kodi za mafuta hapo imeonesha nia ya kuwasaidia wananchi wa maisha ya chini alisema bwana abdallah alisema kuwa kitendo cha serikali kupunguza kodi ya mafuta UNK wananchi kumudu maisha kutokana kwa kukidhi mahitaji mbalimbali hata hivyo mbunge huyo alisema kuwa haoni umuhimu wa kupanda kwa vinywaji kwani alichokuwa UNK kwa hamu ni suala la mafuta kwani linagusa maisha ya wananchi naye mbunge wa jimbo la bariadi bwana john cheyo amesema kuwa amesikitishwa na bajeti hiyo kwa kuwakandamiza wanywaji hivyo ni bora serikali itafute suluhu ya kuweza kutatua kero hiyo akizungumzia kuhusiana na suala la kilimo bwana cheyo alisema kuwa ni bora serikali UNK benki ambayo itaweza kuwakopesha wakulima wa pamba ili kuweza kulima kilimo cha kisasa mbunge wa jimbo la mpanda kati christian mzindakaya UNK bajeti hiyo kwa kuwa UNK mahitaji ya wananchi na hasa suala la kilimo ambalo ndilo tegemeo muhimu nchini mbunge mwingine bibi UNK meghji amefurahishwa na bajeti hiyo na hasa suala la mafunzo ya jeshi la kujenga taifa kurudishwa kwani litaongeza mshikamano na nidhamu naye mbunge wa karatu chadema daktari wilbrod slaa alionesha UNK na sehemu ya bajeti hiyo kuhusu kuondolewa kwa misamaha kodi kwa taasisi za dini na kueleza kwamba waliotoa maamuzi hayo hawakuwa na uelewa wa kutosha mimi nimekuwa katibu wa baraza la maskofu zipo baadhi ya shule ambazo zinaendeshwa tu na watu wanaojitolea zipo hospitali ambazo dawa zake nyingi zinatolewa na mashirika ya UNK na UNK sana watanzania tena nyingi hazipo mijini zipo uko vijijini sasa unapotaka alipe kodi maana yake ni kuwatesa watanzania wasio na uwezo alisema daktari slaa naye mbunge wa wawi hamad rashid mohamed alifurahishwa na bajeti hiyo na hususani kupunguzwa kodi za mafuta hata hivyo baadhi ya wananchi walihojiwa na gazeti hili wamedai kuwa UNK na hatua ya serikali ya kupandisha bei ya vinywaji baridi kama soda ikiwa bei ya sasa ya ambayo ni shilingi arobaini sifuri inaonekana kuwa ni kiwango cha juu zaidi kulingana na kipato wanachopata mmoja wa wananchi aliyetoa maoni yake ni bwana john samweli mkazi wa mbagala kiburugwa alisema kuwa itakuwa sahihi kama serikali itaangalia uwezekano wa kuongeza mapato yake katika eneo jingine nje na eneo hili taarifa hii imeandaliwa na john daniel reuben kagaruki na edmund mihale waunda kamati kuzunguka nchi nzima wachanga mamilioni kwa ajili hiyo wataka vigogo wa serikali nao UNK washiriki wa kampuni ya development entrepreneurship for community initiative wameunda kamati maalum UNK mikoa yote nchini kuhamasisha wenzao wapatao sabini sifuri sifuri sifuri sifuri UNK na UNK serikali kuwafikisha mahakamani viongozi wake walioshiriki kufungua matawi mbalimbali wakati kampuni hiyo haipo kwa mujibu wa sheria wakizungumza kwenye ofisi za gazeti hili dar es salaam jana wajumbe wa kamati hiyo walisema hadi sasa tayari shilingi milioni saba zimechangwa kwa ajili ya maandalizi ya mkakati huo akizungumza na gazeti hili mwenyekiti wa kamati hiyo bwana isaac kalenga alisema mkakati wao ni kuhakikisha serikali UNK na kuwafikisha mahakamani wakuu wa mikoa ambayo walishiriki kufungua matawi ya deci mikoani mwao wakati wakijua haipo kwa mujibu wa sheria aliongeza kuwa wanataka waziri wa fedha na uchumi naye achukuliwe hatua kwa kuwa kwa nyakati tofauti baadhi ya wakuu wa wilaya UNK kuzindua matawi ya deci kwa niaba yake mwingine wanayemtaka afikishwe kwenye mkono wa sheria ni gavana wa benki kuu ya tanzania profesa beno ndulu kwa kile walichodai alikuwa akifanya mawasiliano mara kwa mara na viongozi wa deci bila kuwatahadharisha kuwa wanavunja sheria tunataka UNK wanachama wetu na watanzania kwa jumla jinsi UNK na serikali UNK kwani ni jambo la kushangaza nchi inayofuata misingi ya utawala bora kuwaacha watu kwa muda wa miaka miwili wakivunja sheria bila kuchukua hatua alisema alisema ni jambo la kushangaza serikali kutoitambua deci wakati imekuwa ikipata mapato yake kwake UNK kodi ya shilingi milioni mia moja na ishirini hizo i sehemu ya fedha ambazo zimekuwa UNK rais kikwete kwenda nchi mbalimbali kuomba misaada sasa iweje ishindwe UNK alihoji bwana kalenga alifafanua kuwa kitendo cha kuwakamata viongozi wa deci na kuwafikisha mahakamani kitafanya wanachama wa upatu huo kupoteza mbegu zao walizokuwa walizopanda kabla ya kuwafikisha viongozi wetu mahakamani ilitakiwa UNK mkakati ambao UNK wanachama kupata mbegu zao kwanza alisema bwana kalenga alisema kama dhamira ya serikali kuwafikisha viongozi wao mahakamani basi hatua hiyo UNK sambamba na kuwaburuta kortini wana deci wote kwa kushiriki mchezo ambao UNK tunaambiwa mtoa rushwa na mpokeaji wana makosa sawa sasa iweje kwa hili la deci viongozi wetu watolewe kafara peke yao alisema aliongeza kuwa hatua iliyochukuliwa inalenga kuwafanya watu waichukie serikali serikali UNK UNK kura katika uchaguzi ujao kwani UNK mbegu mbaya ili watu waichukie alisema bwana kalenga kwa upande wake katibu wa kamati hiyo bwana samuel mnzava alisema kitendo cha serikali kwenda kuwakamata viongozi wa deci saa nane usiku UNK utawala bora hasa kwa kuzingatia kuwa wao hawakuwa majambazi alisema ili kuionesha serikali jinsi ambavyo hawakufurahishwa na hatua hiyo UNK wafadhili UNK asilimia arobaini ya fedha UNK kwa ajili ya kuchangia bajeti kwa kuwa haina mikakati ya kupambana na umasikini alisema kama serikali ingekuwa na ujasiri kama UNK kwa kuwakamata viongozi wa deci ingekuwa tayari UNK kumchukulia hatua mkurugenzi wa taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa bwana edward hosea kwa kuhusika kwake kuisafisha richmond hatua hii ya serikali inashangaza mbona watu wa epa walipewa muda wa kurejesha fedha walizoiba walishindwa nini kufanya hivyo kwa viongozi wa deci alisema bwana mnzava na kuongeza serikali ikiendelea kufanya ubaya ambao UNK kwa viongozi wa deci amani ambayo tumekuwa UNK hapa nchini UNK aliiomba serikali kuwafutia kesi viongozi hao wa deci bila masharti na kuruhusu shughuli zake kuendelea kwa njia ambayo UNK alisisitiza kuwa kitendo cha serikali kuifungia deci na kuzuia kiasi cha shilingi bilioni kumi na nne kwenye akaunti ya kampuni hiyo kimesababisha mifarakano katika familia nyingi alisema kazi UNK kuifanya mikoani ni kuwaeleza wananchi jinsi serikali ilivyokuwa ikichukua kodi kutoka kwa kampuni hiyo naye rabia bakari anaripoti kuwa vurugu iliyokuwa UNK makao makuu ya deci haipo tena ingawa bado kuna ulinzi wa polisi hali hiyo ni tofauti na siku za nyuma ambapo wanachama hao UNK kufanya vurugu hadi watakapopata ufafanuzi jinsi UNK fedha zao baadhi ya wanachama walifika katika ofisi za deci walishindwa kuelezwa hatima ya fedha zao baada ya kukumbana na ulinzi wa polisi juzi viongozi watano wa kampuni hiyo ambao ni wachungaji wa makanisa ya kipentekoste walifikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu kujibu mashtaka mawili ya kuendesha kampuni ya deci kinyume na sheria na aziza masoud waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa bwana bernard membe amewataka vijana kujitokeza kupiga kura katika uchaguzi mkuu ujao mwakani bwana membe aliyasema hayo jana alipokuwa UNK mradi wa kusaidia kufanikisha uchaguzi mwakani na shirika la maendeleo la umoja wa mataifa hafla hiyo pia UNK na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya taifa jaji lewis makame na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi zanzibar bwana khatib UNK bwana membe alisema mara nyingi katika uchaguzi vijana UNK kwa wingi wakidhani kuwa uchaguzi huo UNK alisema watatumia mradi huo kutoa elimu hasa kwa vijana ili waweze kujitokeza kwa wingi kwani hiyo ni haki yao ya msingi tutatumia vizuri mradi huu ambao tunamatumaini makubwa ya uchaguzi wa mwakani utakuwa wenye mafanikio makubwa kwa kuwa na wapiga kura wengi ikiwa pamoja na kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura alisema bwana membe kwa upande wake mratibu wa UNK bwana oscar fernandez alisema lengo la mradi huo ni kuisadia tanzania katika uchaguzi huo ili uwe bora na wenye kuzingatia misingi ya demokrasia vijijini na mijini alisema mradi huo utagharimu shilingi bilioni sitini na saba ambapo tanzania bara itatumia shilingi bilioni sitini na nne na zanzibar shilingi bilioni tatu na grace michael mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji imesema mpango wa uagizaji wa mafuta kwa pamoja hauna shinikizo lolote la kifisadi bali umelenga kuondoa matatizo yanayojitokeza kwa sasa ikiwemo gharama kubwa za usafirishaji na ununuzi mbali na hilo pia mamlaka hiyo imesisitiza matumizi ya bei elekezi katika vituo vyote vya mafuta na kuonya vituo vinavyokiuka kwa kupandisha bei za nishati hiyo mkurugenzi mkuu wa ewura bwana haruna masebu alisema jana kuwa ili kudhibiti upandishaji bei za mafuta ewura imetoa toleo jipya linaloonesha bei za mafuta ambalo limeanza kutumika juni kumi mwaka huu alisema bei za mafuta katika toleo la januari hadi mwishoni mwa mei mwaka huu lina tofauti na toleo jipya ambalo bei zake zimeanza kutumika juni kumi mwaka huu kwa kuwa bei katika aina zote za mafuta zimepanda aliongeza kuwa petroli imepanda kwa asilimia tano arobaini na saba dizeli kwa asilimia mbili sitini na nne huku dizeli ikiwa imepanda kwa asilimia mbili thebathini na nane na mafuta ya taa yamepanda kwa asilimia tatu sabini na tisa bwana masebu alisema mabadiliko hayo ya bei yametokana na kupanda kwa bei za mafuta katika soko la dunia na kushuka kwa thamani ya shilingi ya tanzania ikilinganishwa na dola ya marekani alisema bei za mafuta zitaendelea kupangwa na soko huku ewura ikiendelea kuhamasisha ushindani kwa kutoa taarifa za bei elekezi za mafuta ikiwa ni pamoja na bei za kikomo ewura imebaini kuwa bei za mafuta ghafi kwa sasa zinakaribia dola za marekani sabini kwa pipa lakini bei hizo zinaweza kufikia dola sabini na tano kwa pipa ikiwa ni bei ya kikomo lakini bei za hapa nchini haziwezi kufikia za julai mwaka jana akizungumzia suala la utaratibu wa uagizaji mafuta wa pamoja bwana masebu alisema kuwa mpango huo bado unasubiri mapendekezo ya mtaalamu kutoka kampuni ya petroleum development consultant ltd ya uingereza lakini pia maoni ya wadau mbalimbali kuhusiana na utekelezaji wa utaratibu huo alisema maoni yote ya wadau yatazingatiwa katika mchakato huo ili kufikia lengo lililokusudiwa la kuondoa gharama kubwa za usafiri msongamano wa meli bandarini na hivyo kusababisha ada za ucheleweshaji wa meli matatizo ambayo yanatokana na kila kampuni kuagiza mafuta nje alisema kuwa washauri wa suala hilo watazingatia mambo mbalimbali ikiwemo sheria na sera za nchi miundombinu ili kuweza kutoa mapendekezo ya namna gani mpango huo ufanyike jeshi la polisi kanda maalumu ya dar es salaam linawashikilia watu watatu akiwemo askari wa jeshi la ulinzi la wananchi tanzania mwenye cheo cha sajini kwa tuhuma za ujambazi akizungumza dar es salaam jana kamanda wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam bwana suleiman kova alisema watu hao walikamatwa maeneo ya njiapanda ya segerea stakishari baada ya polisi kupata taarifa kutoka kwa raia wema baada ya kufuatilia UNK majambazi hao waliokuwa na silaha wakijiandaa kwenda kufanya uhalifu kamanda kova alisema waliweka mtego na kufanikiwa kuwanasa kabla kutekeleza azma yao na kubaini kuwa mmoja wao alikuwa askari wa jwtz mwenye namba mt elfu hamsini na tano na mia tisa na thebathini na tano sajini mathayo mwangunga wa kikosi cha UNK mgulani mkazi wa lugalo UNK d jijini dar es salaam mwanajeshi huyo alikuwa akitumia gari namba t mia nane na sitini na tano UNK toyota UNK na alikutwa na bastola aina ya UNK yenye namba sifuri moja sita sifuri nane sifuri ikiwa na risasi nane zilizohifadhiwa kwenye mfuko mweusi uliokuwa ndani ya gari hilo aliwataja wengine kuwa ni bwana hashimu abdallah mkazi wa changgombe dar es salaam ambaye ni mmliki halali wa bastola hiyo na bwana UNK UNK mkazi wa mbezi beach ambao kwa pamoja walikuwa katika gari namba t mia tatu na sabini na nne UNK toyota UNK rangi nyeupe kamanda kova alisema bastola hiyo iliwahi kunaswa katika tukio la mauaji yaliyotokea desemba kumi mwaka ishirini sifuri nane ambapo majambazi waliuawa changgombe katika kiwanda cha cello plastic na mmoja kati yao alikutwa na bastola ambayo baadaye alijitokeza mtu na kujitambulisha kwa jina la bwana hashim abdallah simba mkazi wa tabata na kuthibitisha kuwa silaha hiyo ni mali yake kamanda kova alisema baada ya mahakama ya hakimu mkazi tanga kuridhia vielelezo vilivyothibitisha kuwa ni mali yake kwa maelezo kuwa UNK silaha hiyo akiwa katika basi la raha leo na kutoa taarifa polisi tanga UNK kulipa shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri kama faini kwa kosa la uzembe na kurudishiwa silaha hiyo hata hivyo kutokana na tukio hilo inaonesha kuwa mmiliki wa silaha hiyo ni mshirika wa kundi la ujambazi wa kutumia silaha baada ya silaha hiyo kukutwa kwa mtu mwingine tena ambaye si mmliki wakiwa UNK katika eneo la tukio wakiwa katika magari mawili tofauti kamanda kova alisema watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani upelelezi utakapokamilika na grace michael mahakama kuu ya tanzania imefuta uamuzi wa masharti ya dhamana uliotolewa na mahakama ya hakimu mkazi kisutu na kumtaka aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi wa benki kuu ya tanzania bwana amatus liyumba kuweka mahakamani nusu ya fedha anazodaiwa kuingiza hasara bwana liyumba anadaiwa kuisababishia serikali hasara ya jumla ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja baada ya kuidhinisha malipo ya mradi wa majengo pacha ya bot bila idhini ya bodi ya wakurugenzi kutokana na uamuzi huo bwana liyumba atatakiwa kuweka jumla ya shilingi bilioni mia moja na kumi tano kama dhamana mahakamani hapo uamuzi huo ulitolewa jana mahakamani hapo mbele ya jaji geofrey shaidi ambaye alisema uamuzi wa mahakama ya kisutu haukuwa sahihi kuhusu masharti ya dhamana ya mshitakiwa huyo hiyo ilitokana na kutafisiriwa vibaya kwa kifungu mia moja na arobaini na nane cha cpa akitoa uamuzi huo jaji shahidi alianza kuchambua hoja za pande zote mbili zilizowasilishwa mahakamani hapo kuhusu rufaa ya upande wa mashitaka ambayo ilikuwa ikipinga uamuzi wa kisutu uliotolewa na hakimu mkazi bibi nyigulila mwaseba jaji shahidi alisema hakubaliani na hoja za upande wa utetezi ambazo zilidai kuwa makosa ya mshitakiwa hayako ndani ya kifungu cha mia moja na arobaini na nane hivyo kusisitiza kuwa makosa hayo yako ndani ya kifungu hicho na sheria hiyo iko wazi na inatakiwa kutumika kama inavyoelekeza bunge katika kutunga sheria hiyo lilisema shitaka lolote linalohusisha fedha inayozidi shilingi milioni kumi mshitakiwa huyo ataweka nusu ya fedha hizo mahakamani na kwa hapa iko wazi kuwa mshitakiwa anadaiwa kubadili kanuni za mkataba wa mradi kwa kuongeza fedha bila kibali cha bodi ya wakurugenzi wa bot na kiwango hiki ni fedha halali sio makadirio hivyo hoja za utetezi hazina msingi wowote alisema jaji shahidi alisema bibi mwaseba alikosea kutafisiri kifungu hicho cha sheria na mashitaka kwa kusema kuwa kinahusisha wizi na kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na katika kosa hili hakuna sababu ya kutumia kifungu kingine kwa kuwa hiki ndicho halali na kiko wazi katika makosa haya kutokana na hoja hizo alitupilia mbali uamuzi wa mahakama ya kisutu na kukubaliana na rufani ya upande wa jamhuri hivyo kuamuru kisutu kutoa dhamana kwa kujikita katika kifungu hicho cha sheria kwa maana ya kuweka mahakamani hapo shilingi bilioni mia moja na kumi tano kuwasilisha hati yake ya kusafiria kwa jeshi la polisi na kutosafiri nje ya mkoa wa dar es salaam bila kibali cha mahakama aidha aliagiza kuwa utekelezwaji wa masharti hayo ufanyike kisutu mbele ya hakimu mwingine na si bibi mwaseba kwa kuwa alikosea kutafisiri kifungu cha sheria kitendo cha kutupwa kwa uamuzi wa mahakama ya kisutu ambao ulikuwa na nafuu kubwa kwa bwana liyumba kilimfanya mshitakiwa huyo kuonesha hali ya kukata tamaa huku akitamka maneno mungu awabariki awali mahakama ya kisutu ilimtaka mshitakiwa huyo kuweka shilingi milioni thebathini sifuri mahakamani hapo wadhamini wawili ambao wangesaini dhamana ya shilingi milioni hamsini kila mmoja na kuwasilisha hati ya kusafiria kubadilishwa kwa masharti hayo ya dhamana kuna kila dalili ya kumfanya mshitakiwa huyo kusota rumande kwa muda usiojulikana kwa kuwa tangu awali alikuwa ameshindwa kukidhi masharti hayo kesi ya bwana liyumba imegubikwa na misukosuko mingi ambapo tangu afikishwe mahakamani hadi sasa jumla ya mahakimu wawili wamejitoa katika kesi hiyo kutokana na mchakato wa dhamana awali hakimu bibi khadija msongo alitoa dhamana kwa mshitakiwa huyo kiutata hivyo kusababisha malumbano makali yaliyomfanya kujitoa katika kesi hiyo mshitakiwa huyo anadaiwa kutumia vibaya ofisi yake na kusababisha serikali hasara ya shilingi milioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya majengo pacha ya bot bila kibali cha bodi ya wakurugenzi na grace michael mahakama kuu ya tanzania imefuta uamuzi wa masharti ya dhamana uliotolewa na mahakama ya hakimu mkazi kisutu na kumtaka aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi wa benki kuu ya tanzania bwana amatus liyumba kuweka mahakamani nusu ya fedha anazodaiwa kuingiza hasara bwana liyumba anadaiwa kuisababishia serikali hasara ya jumla ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja baada ya kuidhinisha malipo ya mradi wa majengo pacha ya bot bila idhini ya bodi ya wakurugenzi kutokana na uamuzi huo bwana liyumba atatakiwa kuweka jumla ya shilingi bilioni mia moja na kumi tano kama dhamana mahakamani hapo uamuzi huo ulitolewa jana mahakamani hapo mbele ya jaji geofrey shaidi ambaye alisema uamuzi wa mahakama ya kisutu haukuwa sahihi kuhusu masharti ya dhamana ya mshitakiwa huyo hiyo ilitokana na kutafisiriwa vibaya kwa kifungu mia moja na arobaini na nane cha cpa akitoa uamuzi huo jaji shahidi alianza kuchambua hoja za pande zote mbili zilizowasilishwa mahakamani hapo kuhusu rufaa ya upande wa mashitaka ambayo ilikuwa ikipinga uamuzi wa kisutu uliotolewa na hakimu mkazi bibi nyigulila mwaseba jaji shahidi alisema hakubaliani na hoja za upande wa utetezi ambazo zilidai kuwa makosa ya mshitakiwa hayako ndani ya kifungu cha mia moja na arobaini na nane hivyo kusisitiza kuwa makosa hayo yako ndani ya kifungu hicho na sheria hiyo iko wazi na inatakiwa kutumika kama inavyoelekeza bunge katika kutunga sheria hiyo lilisema shitaka lolote linalohusisha fedha inayozidi shilingi milioni kumi mshitakiwa huyo ataweka nusu ya fedha hizo mahakamani na kwa hapa iko wazi kuwa mshitakiwa anadaiwa kubadili kanuni za mkataba wa mradi kwa kuongeza fedha bila kibali cha bodi ya wakurugenzi wa bot na kiwango hiki ni fedha halali sio makadirio hivyo hoja za utetezi hazina msingi wowote alisema jaji shahidi alisema bibi mwaseba alikosea kutafisiri kifungu hicho cha sheria na mashitaka kwa kusema kuwa kinahusisha wizi na kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na katika kosa hili hakuna sababu ya kutumia kifungu kingine kwa kuwa hiki ndicho halali na kiko wazi katika makosa haya kutokana na hoja hizo alitupilia mbali uamuzi wa mahakama ya kisutu na kukubaliana na rufani ya upande wa jamhuri hivyo kuamuru kisutu kutoa dhamana kwa kujikita katika kifungu hicho cha sheria kwa maana ya kuweka mahakamani hapo shilingi bilioni mia moja na kumi tano kuwasilisha hati yake ya kusafiria kwa jeshi la polisi na kutosafiri nje ya mkoa wa dar es salaam bila kibali cha mahakama aidha aliagiza kuwa utekelezwaji wa masharti hayo ufanyike kisutu mbele ya hakimu mwingine na si bibi mwaseba kwa kuwa alikosea kutafisiri kifungu cha sheria kitendo cha kutupwa kwa uamuzi wa mahakama ya kisutu ambao ulikuwa na nafuu kubwa kwa bwana liyumba kilimfanya mshitakiwa huyo kuonesha hali ya kukata tamaa huku akitamka maneno mungu awabariki awali mahakama ya kisutu ilimtaka mshitakiwa huyo kuweka shilingi milioni thebathini sifuri mahakamani hapo wadhamini wawili ambao wangesaini dhamana ya shilingi milioni hamsini kila mmoja na kuwasilisha hati ya kusafiria kubadilishwa kwa masharti hayo ya dhamana kuna kila dalili ya kumfanya mshitakiwa huyo kusota rumande kwa muda usiojulikana kwa kuwa tangu awali alikuwa ameshindwa kukidhi masharti hayo kesi ya bwana liyumba imegubikwa na misukosuko mingi ambapo tangu afikishwe mahakamani hadi sasa jumla ya mahakimu wawili wamejitoa katika kesi hiyo kutokana na mchakato wa dhamana awali hakimu bibi khadija msongo alitoa dhamana kwa mshitakiwa huyo kiutata hivyo kusababisha malumbano makali yaliyomfanya kujitoa katika kesi hiyo mshitakiwa huyo anadaiwa kutumia vibaya ofisi yake na kusababisha serikali hasara ya shilingi milioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya majengo pacha ya bot bila kibali cha bodi ya wakurugenzi na reuben kagaruki baada ya kubanwa mbavu na viongozi wa dini hususani maaskofu hatimaye serikali kupitia kamishna mkuu wa mamlaka ya mapato tanzania bwana harry kitillya imetoa mchanganuo wa vifaa vya taasisi za dini ambavyo vitaendelea kunufaika na msamaha wa kodi taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na bwana kitillya dar es salaam jana ilieleza kuwa hatua hiyo inalenga kuondoa wasiwasi uliojitokeza hasa kuhusiana na hatima ya huduma za afya na elimu zinazotolewa na taasisi za dini maeneo hayo mawili ndiyo serikali imejikita kuyatolea ufafanuzi hata hivyo bwana kitillya UNK kama vifaa vya ujenzi wa makanisa misikiti vyombo vya usafiri kwa ajili ya viongozi wa dini kama navyo UNK msamaha au UNK ushuru vingine ambavyo UNK ufafanuzi ni vifaa nya ujenzi wa vituo vya watoto wanaoishi katika mazingira magumu vyombo vya usafiri nguo na vitu vingine muhimu bwana kitillya alisema chini ya sura mia moja na arobaini na nane mashirika ya dini yataendelea kunufaika na misamaha kupitia kodi ya ongezeko la thamani ambapo dawa na vifaa vyote UNK na waziri anayehusika na masuala ya afya UNK kodi hiyo alitaja vifaa hivyo kuwa ni pamoja na vile vya uchunguzi zikiwemo mashine za ultrasound na UNK mitambo ya uchunguzi ya UNK na UNK na mitambo ya mionzi vifaa vingine ni vya UNK vikiwemo UNK UNK mashine za upasuaji na mionzi ya kitabibu vifaa vya kusaidia maisha ya wagonjwa kama UNK vifaa vya maabara na vitanda vya wagonjwa kwa upande sekta ya elimu alisema vitabu UNK ramani pamoja na huduma zote za elimu zinazotolewa na shule zinazomilikiwa na mashirika ya dini ambazo zinatambuliwa na wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi UNK kodi ya vat alisema mashirika ya kidini yataendelea kupata unafuu wa kodi kwa vifaa maalum magari ya kubeba wagojwa na kliniki za afya kwenye magari akizungumzia misamaha katika sheria ya kodi ya mapato bwana kitillya alisema vifungu vya kumi na sita na sitini na nne vya sheria hiyo vinatoa unafuu wa kodi ya mapato kwa mashirika ya kijamii na yale ya kidini alisema kodi hizo UNK kwa mapato yatokanayo na shughuli za mashirika ya kidini na kutumika kwa huduma za kijamii alitaja baadhi ya shughuli hizo kuwa ni zile za kupunguza umasikini kuendeleza elimu kutoa huduma za afya maji ujenzi na ukarabati wa barabara na zile za huduma za kibinadamu dhidi ya majanga kwa jamii kuhusu misamaha katika sheria ya forodha ya jumuiya ya afrika mashariki ya mwaka ishirini sifuri nne bwana kitillya alisema kama ilivyo kwenye sheria ya vat sura ya mia moja na arobaini na nane na sheria ya kodi ya mapato sura ya mia tatu na thebathini na mbili sheria ya forodha ya jumuiya ya afrika mashariki ya mwaka ishirini sifuri nne inatoa nafuu mbali mbali katika shughuli za elimu na afya akitoa mchanganuo huo kwa upande wa elimu bwana kitillya alisema kipengele cha kumi na saba cha sheria ya forodha ya jumuiya ya afrika mashariki kinatoa msamaha wa ushuru wa forodha kwa vifaa na bidhaa zinazoingizwa nchini kwa ajili ya elimu na vile vya kufundishia vifaa na bidhaa hizo ni pamoja na vitabu majarida na UNK vingine ni vile vya sanaa vinavyotumika kwa ajili ya kufundishia vifaa vya kujifunzia kwa kusikiliza na kuona na vile vya kisayansi kwa upande wa sekta ya afya alisema misamaha inaendelea kwenye mifuko ya kuhifadhia haja ndogo na ya usafi UNK kwenye hospitali vifaa vya kufanyia uchunguzi wa kimaabara na majokofu ya kuhifadhia damu vingine ni vifaa vya jikoni kwa matumizi ya hospitali vifaa na mashine za UNK magodoro UNK hewa sare za wahudumu wa afya vifaa vya UNK maji na machela ya kubebea wagonjwa akizungumzia misamaha kwa mujibu wa viwango vya ushuru wa forodha bwana kitillya alisema dawa za binadamu na mifugo samani za hospitali kama vile vitanda meza viti maalumu vya madaktari wa meno meza za kufanyia upasuaji na taa zake ushuru wake UNK katika kiwango cha sifuri alitaja vingine UNK ushuru katika kiwango cha sifuri kuwa ni magari ya kubeba wagonjwa maiti vitabu kamusi na UNK vitabu vya watoto vya UNK picha au kupaka rangi ramani UNK na vitu vya aina hiyo alisema marekebisho UNK kufanywa kwenye bajeti ya serikali ya mwaka ishirini sifuri tisa kumi hayana lengo la kufuta misamaha UNK hapo juu alisema marekebisho hayo yanalenga kuhakikisha kuwa misamaha mingineyo inayotolewa kwa mashirika ya dini UNK msamaha wa kodi kwa vifaa vya kiroho na ibada tu bwana kitillya alisema upeo wa vifaa hivyo ni mpana lakini utajumuisha vitabu vya kidini UNK vikombe vya kanisani UNK na UNK vingine ni mavazi ya ibada vifaa vya muziki vyakula UNK kwa ibada madawati ya ibada na UNK alisisitiza kuwa vifaa vingine vyote ambavyo mashirika ya dini UNK vinatumika kwa ajili ya matumizi ya ibada na kiroho navyo UNK na msamaha huo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya tanzania bara jaji lewis makame mkuu wa mashirika yaliyo chini ya umoja wa mataifa nchini bwana oscar fernandez UNK waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa bwana bernard membe na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya zanzibar bwana khatib mwinyichande wakiweka saini makubaliano dar es salaam jana kusaidia mradi wa maandalizi ya uchaguzi mkuu wa ishirini moja sifuri ambapo nchi wahisani chini ya shirika la mpango wa maendeleo la umoja wa mataifa zitatoa jumla ya dola bil ishirini na tatu wabunge UNK kufutwa UNK wataka maelezo ya kina pesa za UNK wadai mkataba ticts umejaa ufisadi wahoji rites kupewa shirika la reli na john daniel dodoma UNK la kufuta misamaha ya kodi kwa taasisi za dini limeanza UNK waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo baada ya wabunge kumbana wakitaka atoe ufafanuzi wa kina kuhusu hatua hiyo wabunge hao walihoji kujua kulikoni serikali kufuta misamaha hiyo kimya kimya huku UNK nafasi kampuni za uchimbaji madini kujadiliana kabla ya kuchukua uamuzi huo walimtaka bwana mkulo kutoa mchanganuo wa misaada UNK nchini kupitia taasisi za dini kila mwaka kwa sekta za afya na elimu na njia serikali UNK kuziba mapengo hayo baada ya kufutwa misamaha hiyo wakichangia hotuba ya bajeti jana wabunge wengi walionesha wazi kutoridhishwa na uamuzi huo wa serikali huku wakimtaka bwana mkulo kufuta haraka misamaha ya kodi kwa kampuni za madini kwa kile walichoeleza UNK nchi kwa muda mrefu mheshimiwa spika nasikitika serikali inasema itafanya kwanza majadiliano na kampuni za madini kabla ya kufuta misamaha ya kodi mimi ninavyojua msamaha ulikuja baada ya mkataba wao serikali ifute msamaha huo kwa kampuni za madini mara moja alishauri bwana victor mwambalaswa mbunge wa lupa kwa tiketi ya ccm alisema kampuni nyingi za mafuta nchini zimekuwa UNK serikali mapato ambayo UNK kwa maendeleo ya nchi kwa kukwepa kodi alitoa mfano katika barabara ya ya dar es salaam hadi pwani kuna vituo vya mafuta ishirini na saba katika umbali wa kilomita ishirini na kwamba kila kituo kina bohari kubwa UNK ukuta maalumu kwa shughuli ya UNK mafuta ya taa petroli na UNK kampuni za mafuta zinaagiza tani za mafuta taa wanachanganya mafuta hayo na dizeli au petroli wamejenga maboma makubwa kama fort jesus na wamepiga marufuku mtu kuingia humo UNK huruma hawa watanzania masikini alisema bwana mwambalaswa aliendelea kusema nimesikitishwa sana na taarifa ya waziri jana kwamba kuna viongozi wa dini wanatumia vibaya misamaha ya kodi kwa nini alishindwa kuwachukulia hatua viongozi hao wa dini kama ni maaskofu kwa nini UNK nini UNK atueleze hapa kwanza hospitali za dini zipo vijijini ambako hakuna hospitali za serikali na ndege UNK kupeleka vifaa kwenye hospitali hizo waziri atueleze kwanza ni kiasi cha misaada kupitia mashirika ya dini kinaingizwa nchini kila mwaka na jinsi gani serikali itaziba pengo hilo alihoji mbunge mwingine daktari wilbrod slaa wa karatu mheshimiwa spika kwa bahati nzuri mimi nilikuwa katibu mkuu wa baraza la maaskofu hizo hospitali nilishiriki kujenga mimi wikiendi hii UNK nilifanya kazi ya kutafuta orodha ya hospitali vituo vya afya na zahanati zote za dini waziri atueleze ni kwa nini UNK viongozi dini UNK nao kama walifanya kwa kampuni za madini alihoji daktari slaa alisema kama serikali UNK kampuni za madini zinapata faida kubwa kwanini inashindwa kuwaita kwanza viongozi wa dini kujadiliana kabla ya kutoa uamuzi wakati taasisi hizo UNK maisha ya watanzania ikilinganishwa na kampuni za madini daktari slaa alisema sababu iliyotolewa na serikali kwamba baadhi ya viongozi wa dini wanatumia vibaya UNK haina msingi kwani ilipaswa kuwachukulia hatua wahusika kwa kuwafutia misamaha hiyo na si taasisi zote kuhusu deni la ndani alimtaka waziri mkulo kutoa ufafanuzi wa kina juu ya fedha za akaunti ya madeni ya nje lenye utata mkubwa aliitaka serikali kufanya kwanza UNK wa kina kupitia ofisi ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali kwenye kampuni zote ambazo rais jakaya kikwete alitangaza serikali kubeba madeni yake na kuonya kwamba ni lazima kampuni hizo na majina ya wamiliki wake wajulikane kabla ya fedha za walipa kodi UNK hata marekani waliwasilisha kwanza hoja kwenye bunge lao na bunge UNK ni lazima UNK wajulikane wakaguliwe na cag na taarifa hiyo ya ukaguzi iwasilishwe kamati ya fedha na uchumi ya bunge alisema daktari slaa kwa upande wake mbunge nzega bwana lucas selelii aliitaka serikali kuacha kuimba wimbo wa mtikisiko wa uchumi wakati UNK mabilioni katika kwa kuendekeza urasimu wa kampuni ya ticts katika bandari ya dar es salaam na kusababisha nchi kadhaa kuacha kutumia bandari hiyo kutokana na UNK kwa urasimu mungu UNK bandari na kuzungukwa na nchi UNK lakini kwa bahati mbaya UNK vizuri fursa hii wataalamu wetu wamepata kigezo eti UNK wa uchumi UNK ile ticts pale hivi kwanini UNK ania ticts UNK ang ania mkataba wa ufisadi kwa nini alihoji bwana selelii na kuongeza reli yetu tumechukua tukawapa wale wahindi hawawezi tunapoteza fedha nyingi pale hata kabla hawajaja reli ilikuwa na uwezo wa kufanya kazi vizuri kuliko sasa nchi yetu UNK kichaka cha aina gani wafukuzwe wale masikini hata mkataba ule sijui walipata pembeni alisema bwana selelii na kumtaka bwana mkulo kutoa majibu hayo kuhusu miundombinu alimtaka bwana mkulo kueleza sababu zilizomfanya UNK fedha katika barabara ambazo si kipaumbele kwa taifa na kuacha zile muhimu akitolea mifano barabara ya chalinze tanga kupanuliwa wakati barabara ya kati UNK barabara ya tanga chalinze UNK lami na kupanuliwa lakini sasa karibu miaka hamsini ya uhuru barabara ya tabora nzega urambo ni kama UNK hawa UNK mema wabunge wa ccm hawa mawaziri wana roho mbaya mungu UNK alisema bwana selelii kuhusu kufutwa misamaha ya kodi kwa taasisi za dini alisema amepigiwa simu nyingi kutoka jimboni kwake kuhusu hilo na kuitaka serikali kuondoa misamaha kwa kampuni za madini na kuacha kisingizo cha kufutia yale UNK mikataba mipya pekee naye mbunge wa iramba mashariki bwana mgana msindai alimtaka waziri mkulo kurejesha kodi ya asilimia kumi iliyokuwa UNK kwenye mafuta kutoa nje ili kunusuru viwanda vya ndani katika hatua isiyotarajiwa mbunge wa pangani bwana mohamed abdallah aliomba mwongozo wa spika kuhusu kauli ya bwana selelii ya mungu UNK mawaziri kwa kujipendelea na kusahau vipaumbele hususan vya barabara akitoa mwongozo wake spika bwana samuel sitta alisema yeye kama kiongozi wa bunge hawezi kuwazuia wabunge kuonesha hisia zao na kwamba alichofanya bwana selelii ni kuonesha hisia zake na si UNK mtu kwa bahati nzuri dua la kuku halimpati mwewe alichofanya mheshimiwa selelii ni kuonesha hisia zake sioni kama ni tatizo siwezi kuzuia waheshimiwa wabunge kuonesha hisia zao alisema bwana sitta na kufunikwa na makofi ya wabunge wakionesha kumuunga mkono kwa upande wake kambi ya upinzani ilieleza kusikitishwa na hatua ya serikali kubadili kaulimbiu ya kilimo uti wa mgongo na kuja kilimo kwanza na kudai kwamba jambo hilo UNK kinachohitajika ni ukombozi wa kweli kwa mtanzania masikini akiwasilisha maoni ya kambi hiyo kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni bwana hamad rashid mohamed alisema kambi yake inasikitishwa na hatua nya kubadili kaulimbiu hiyo bila sababu huku fedha nyingi zinazoweza kuwakomboa watanzania UNK katika sekta ya madini kwa misamaha holela aliitaka serikali kufuta misamaha yote ya kodi katika sekta ya madini na kurejesha kwa taasisi za dini ili ziendelee kutoa huduma kwa wananchi masikini kwa upande wake kamati ya fedha na uchumi ya bunge iliitaka serikali kupunguza riba ya mkopo kwa mabenki ili kuwawezesha watanzania kukopa na UNK na umasikini akiwasilisha maoni ya kamati hiyo mwenyekiti wake daktari abdallah kigoda alisema ni muhimu kwa serikali kuongeza kasi ya utekelezaji na usimamizi katika huduma za jamii kama elimu afya maji na miundo mbinu ili kuharakisha maendeleo ya taifa na grace michael mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji imesema mpango wa uagizaji wa mafuta kwa pamoja hauna shinikizo lolote la kifisadi bali umelenga kuondoa matatizo yanayojitokeza kwa sasa ikiwemo gharama kubwa za usafirishaji na ununuzi mbali na hilo pia mamlaka hiyo imesisitiza matumizi ya bei elekezi katika vituo vyote vya mafuta na kuonya vituo vinavyokiuka kwa kupandisha bei za nishati hiyo mkurugenzi mkuu wa ewura bwana haruna masebu alisema jana kuwa ili kudhibiti upandishaji bei za mafuta ewura imetoa toleo jipya linaloonesha bei za mafuta ambalo limeanza kutumika juni kumi mwaka huu alisema bei za mafuta katika toleo la januari hadi mwishoni mwa mei mwaka huu lina tofauti na toleo jipya ambalo bei zake zimeanza kutumika juni kumi mwaka huu kwa kuwa bei katika aina zote za mafuta zimepanda aliongeza kuwa petroli imepanda kwa asilimia tano arobaini na saba dizeli kwa asilimia mbili sitini na nne huku dizeli ikiwa imepanda kwa asilimia mbili thebathini na nane na mafuta ya taa yamepanda kwa asilimia tatu sabini na tisa bwana masebu alisema mabadiliko hayo ya bei yametokana na kupanda kwa bei za mafuta katika soko la dunia na kushuka kwa thamani ya shilingi ya tanzania ikilinganishwa na dola ya marekani alisema bei za mafuta zitaendelea kupangwa na soko huku ewura ikiendelea kuhamasisha ushindani kwa kutoa taarifa za bei elekezi za mafuta ikiwa ni pamoja na bei za kikomo ewura imebaini kuwa bei za mafuta ghafi kwa sasa zinakaribia dola za marekani sabini kwa pipa lakini bei hizo zinaweza kufikia dola sabini na tano kwa pipa ikiwa ni bei ya kikomo lakini bei za hapa nchini haziwezi kufikia za julai mwaka jana akizungumzia suala la utaratibu wa uagizaji mafuta wa pamoja bwana masebu alisema kuwa mpango huo bado unasubiri mapendekezo ya mtaalamu kutoka kampuni ya petroleum development consultant ltd ya uingereza lakini pia maoni ya wadau mbalimbali kuhusiana na utekelezaji wa utaratibu huo alisema maoni yote ya wadau yatazingatiwa katika mchakato huo ili kufikia lengo lililokusudiwa la kuondoa gharama kubwa za usafiri msongamano wa meli bandarini na hivyo kusababisha ada za ucheleweshaji wa meli matatizo ambayo yanatokana na kila kampuni kuagiza mafuta nje alisema kuwa washauri wa suala hilo watazingatia mambo mbalimbali ikiwemo sheria na sera za nchi miundombinu ili kuweza kutoa mapendekezo ya namna gani mpango huo ufanyike wakati kesi ya vinara wa kampuni ya development entrepreneurship community initiative inatarajiwa kutajwa leo wanachama wa upatu huo wamepanga kuandamana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu kushinikiza kusikilizwa haraka shauri hilo ili kujua hatma ya mbegu zao akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana mmoja wa wanachama kampuni hiyo aliyeomba kutotajwa jina kwa sababu za kiusalama alisema wamefikia uamuzi huo baada ya kuhisi kwamba kesi hiyo itachukua muda mrefu na wao hawajui hatma ya pesa zao tumepanga kuandamana kwa wingi kisutu kesho ili kufikisha ujumbe wetu wa kila siku kutaka kufahamu hatma ya pesa zetu tunajua kuwa sheria UNK mkondo wake lakini bila kuongeza nguvu yetu na uwepo wetu mahakamani hakuna kitakachoendelea alisema mwanachama huyo vigogo hao wanafikishwa mahakamani wakisubiri kwa shauku hatma ya kupewa dhamana au la awali washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo hadi sasa UNK rumande kutokana na kuwepo pingamizi la dhamana lililowasilishwa kwa kuambatana na hati ya kiapo cha mpelelezi wa kesi hiyo kutajwa kwa kesi hiyo leo kutawafanya washitakiwa hao kufahamu hatma ya dhamana yao baada ya mahakama hiyo kupitia malumbano ya kisheria ya pande zote mbili na kutoa uamuzi wa kuwapa dhamana au la upande wa mashitaka ulipinga dhamana hiyo kwa sasa ukiwa na sababu kubwa ya usalama wa washitakiwa hao endapo watakuwa nje upande wa utetezi katika majibu yake ulisema hauna wasiwasi na wapandaji mbegu wa kampuni hiyo ya deci kwa kuwa wanawaamini wachungaji wao hivyo hawawezi kuwafanyia vurugu kutokana na sababu hizo upande wa utetezi UNK mahakama kuwapa dhamana washitakiwa hao kwa kuwa sababu za upande wa mashitaka hazina msingi washitakiwa hao ni bwana jackson mtares bwana dominick kigendi bwana timotheo ole loitnggye bwana swamel mtares na bwana arbogast kipilimba wote wakazi wa dar es salaam wote kwa pamoja wanadaiwa kuendesha na kusimamia mradi wa upatu kinyume na sheria za benki na taasisi za fedha walidaiwa kuwa kati ya mwaka ishirini sifuri saba na machi mwaka huu wakiwa makao makuu ya kampuni hiyo mabibo dar es salaam na maeneo mengine hapa nchini walikusanya fedha kutoka kwa umma kwa ahadi ya matumaini ya kuwapa fedha zaidi ambayo katika mazingira ya biashara ilikuwa ni kubwa tofauti na mradi uliokuwepo katika kosa la pili washitakiwa hao walidaiwa kupokea amana kutoka kwa umma kinyume cha sheria ambapo kosa hilo linadaiwa kufanyika katika kipindi cha mwaka ishirini sifuri saba hadi machi mwaka huu katika maeneo mbalimbali ya nchi walipokea amana hizo bila kuwa na leseni wakati huo huo ofisi za makao makuu ya deci zilizopo mabibo dar es salaam jana UNK kufungwa huku wanachama waliokuwa UNK kila siku wakionesha kukata tamaa na kuacha kufika eneo hilo maaskofu wa umoja wa makanisa ya kipentekoste tanzania wamedai kuwepo ajenda ya siri ndani ya bajeti ya serikali iliyosomwa bungeni mjini dodoma wiki iliyopita na waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo kauli ya maaskofu hao imekuja siku chache baada ya wenzao wakiwemo wa kanisa katoliki na jumuiya ya kikristo tanzania kuja juu kulaani kufutwa misamaha ya kodi kwa taasisi za dini kwa maelezo kuwa hatua hiyo itawaumiza watanzania masikini maaskofu hao wametishia kukutana na wenzao wa madhehebu mengine kuweka mikakati mizito kukabili jambo hilo endapo bunge UNK kipengele hicho akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana katibu mkuu wa pct askofu david mwasota alisema umoja huo UNK na pendekezo la kuondoa misamaha ya kodi kwa vitu visivyo vya kiroho kwa taasisi za dini na kudai kuwepo ajenda ya siri ndani ya bajeti hiyo sisi maaskofu wa pct tunaungana na wenzetu wa cct na tec kupinga kitendo cha kufutwa misamaha hiyo ya kodi alisema askofu mwasota alisema vitu UNK misamaha ni vile UNK jamii vikiwemo vifaa vya hospitali vyuo shule vituo vya watoto yatima na majengo ya kanisa na kamwe hawakuwahi kutumia misamaha hiyo kwa mambo binafsi alisema kitendo cha kufuta misamaha hiyo kutokana na tabia ya wachache kutumia vibaya ni sawa na UNK jamii nzima ya watu wa kipato cha chini na taasisi za kidini alisema taasisi hizo zimekuwa zikitoa huduma si kwa malengo ya biashara wala kutengeneza faida hivyo ni wajibu wa serikali kuwaadhibu wale wanaotumia vibaya misamaha hiyo hapa kuna kitu UNK tunashangaa kuona bwana mkulo anawajua watu wanaotumia vibaya misamaha ya kodi halafu UNK sasa nini wajibu wa serikali katika hili je itaendelea kuwakumbatia hadi lini watu hawa alihoji askofu mwasota alisema bwana mkulo kama waziri mwenye dhamana ya usimamizi wa fedha na mapato ya taifa ameonesha udhaifu mkubwa kuficha na kukumbatia wahalifu hao wakati anawafahamu na UNK taasisi zote za dini alimtaka bwana mkulo kufanya utafiti kabla ya kuchukua hatua na ikibainika kuwa misamaha hiyo imekuwa ikitumika vibaya ndipo wahusika wachukuliwe hatua alisema UNK kelele jambo hilo kutafuta umaarufu bali ni kwa ajili ya kutetea haki za wananchi wa kipato cha chini waishio vijijini ambao UNK kwa kiasi kikubwa na hatua hiyo ukienda vijijini huko ndiko kwenye matatizo kuna watu wengi pia hospitali zetu zinafanya kazi kubwa huko si mijini alisema askofu mwasota alisema taasisi za dini zina mchango mkubwa katika utoaji huduma za kijamii na kufutwa misamaha hiyo italeta athari kubwa alisema pct UNK kama bunge UNK bajeti hiyo kwani kufanya hivyo ni kutowatendea haki wananchi waliowatuma badala yake watakuwa UNK chama cha mapinduzi na serikali yake katika hotuba yake ya bajeti bwana mkulo alisema serikali imefikia uamuzi huo baada ya kubaini kuwepo baadhi ya viongozi wa dini wanaotumia vibaya misamaha ya kodi kwa UNK maslahi binafsi adai ndio UNK nchi wahusika richmond UNK UNK ombi maalum kwa pinda mawaziri wa serikali ya awamu ya nne inayoongozwa na rais jakaya kikwete wamedaiwa UNK nchi kutokana na mikataba mibovu wanayoingia ambayo UNK na UNK na watalaamu wao akichangia hotuba ya bajeti bungeni jana mbunge wa maswa bwana john shibuda alieleza kushangazwa na kukithiri mikataba mibovu inayoumiza taifa na wananchi hali inayozua shaka kuhusu uzalendo wa mawaziri hao alisema kutokana na udhaifu huo watanzania wameshindwa kutambua uzalendo mawaziri kwani ndicho chombo cha juu UNK mikataba yote baada ya kuandaliwa na wataalamu wao lakini imejaa utata trc lilikuwa na uongozi mzuri UNK tukawapa watu ambao hawana uwezo hivi sisi tutashika lini hatamu za nchi yetu naomba mawaziri UNK mnatupeleka wapi alihoji bwana shibuda na kuongeza mawaziri UNK ni lini UNK mahakama ya kimataifa wawekezaji UNK kila siku mikataba mibovu baraza la mawaziri ndio wanapitisha mikataba baraza la mawaziri UNK nini kipimo cha uzalendo UNK alihoji mbunge huyo alisema serikali inakosa mapato kutokana na nchi kuingia mikataba mibovu hivyo UNK maisha magumu watanzania huku dira ya maendeleo UNK wakulima na wafugaji bila kuwaandalia mazingira mazuri ya kuwainua kutokana na kile UNK nacho kuhusu vitambulisho vya taifa alisema ni jambo muhimu ambalo UNK serikali kukusanya mapato kwa urahisi zaidi lakini alisema mradi huo sasa umejaa ubinafsi na malumbano namwomba waziri mkuu aondoe kazi ya kutengeneza vitambulisho katika wizara ya mambo ya ndani kinachoendelea pale ni malumbano tu UNK uongozi wa kubebana umepitwa na wakati kama mtu anataka yeye ndiye aonekane UNK alisema bwana shibuda bila kufafanua kwa kina kwa upande wake mbunge wa kishapu bwana fredy mpendazoe aliitaka serikali kujibu maswali manne mazito ya watanzania ambayo ni muhimu kwa UNK wa maendeleo ya nchi mheshimiwa mwenyekiti watanzania wanataka majibu ya maswali yafuatayo waliosaini mikataba mibovu wamechukuliwa hatua gani wahusika wa mikataba ya trl mgodi wa kiwira na richmond wamechukuliwa hatua gani alihoji na kuongeza ukitaka kumfukuza UNK tupa UNK serikali kushindwa kuwachukulia hatua waovu ni kubariki uovu penye uhuru ni pale watu UNK kutoa maoni yao ila penye demokrasia ni pale serikali UNK maoni ya wananchi alisema bwana mpendazoe na kusisitiza kutaka serikali itoe majibu ya maswali hayo aliendelea serikali inayo wajibu wa kusikiliza maoni ya wananchi UNK serikali UNK na malaika wala miungu bali UNK na wananchi hivyo wana kila sababu ya kuikosoa alisisitiza mbunge huyo bwana mpendazoe alieleza kukerwa na tabia ya baadhi ya watu UNK tatizo la ufisadi na kuita ni ajenda moja tu UNK watu hao kwa msemo kwamba mawe UNK ya bahari hayawezi kusikia kilio cha mtende ulio jangwani kuhusu deci mbunge huyo alisema serikali inapaswa kubeba msalaba wa wananchi wake kujiunga na kampuni hiyo inayodaiwa kuwa haramu kwani hawakuwa na namna yoyote ya kujipatia mitaji kutokana na kukosekana taratibu nzuri za kuinua mapato yao na kuondokana na umasikini alisema deci ni dalili ya wananchi kukata tamaa na kwamba shilingi bilioni moja zilizotolewa kwa ajili ya UNK mali na rais kikwete UNK walengwa kwa madai kwamba hawakidhi vigezo vya kujiunga na vyama vya kuweka na UNK kuhusu ajira mbunge huyo alihoji serikali kuhusu wachina na wakorea kujazana soko la kuu la kariakoo dar es salaam kufanya biashara ambazo zingefanywa na watanzania alilalamikia pia kitendo cha wakenya kuajiriwa na hoteli kubwa hapa nchini wakati watanzania wanazo sifa na uwezo wa kufanya kazi hizo na kuhoji watu hao wanapoingia serikali UNK bwana mpendazoe aligoma kuunga mkono hoja ya bajeti hiyo na kuahidi kufanya hivyo baada ya kujibiwa hoja zake kwa upande wake mbunge wa mkanyageni bwana mohamed habib mnyaa aliitaka serikali kueleza sababu UNK shirika la madini kupewa kibali cha kukopa pesa benki ya nbc tangu mwaka ishirini sifuri saba ili kununua mashine za kuchambua madini alisema kitendo hicho ni ishara kwamba serikali haitaki kuwaendeleza wazawa katika sekta hiyo na kwamba inawapa nafasi kubwa wawekezaji wa nje kuendelea kuvuna jasho la watanzania na mwandishi wetu dodoma mjadala wa bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha ishirini sifuri tisa kumi jana ulichukua sura mpya baada ya hoja hiyo kuwagawa katika makundi mawili wabunge wa chama cha mapinduzi wabunge hao wamegawanyika kufutia kundi moja kusifu serikali kwamba imefanya mambo makubwa UNK kupongezwa na UNK wenzao wanaopinga jambo hilo akichangia mjadala huo mbunge wa kasulu magharibi bwana UNK mporogomyi alisema kazi ya bunge ni kuishauri na kuikosoa serikali pale inapokwenda mrama na kusisitiza kwamba hata katika nchi zilizoendelea kama marekani bunge UNK serikali kazi yetu UNK ndani ya bunge si UNK tu serikali mama yako masikini wapiga kura wako masikini UNK nini ninyi wabunge acheni utani hapa bwana hata kule marekani bunge UNK na kuikosoa serikali alisisitiza bwana mporogomyi akionesha kukasirika alisema matatizo mengi yanayowakabili watanzania sasa yanatokana na utendaji mbovu wa waliopewa madaraka serikalini na kuwasababishia maisha magumu watanzania huku akitolea mfano mkataba tete ya ticts UNK nchi mapato hivi sasa nchi zote zilizokuwa zinatumia bandari yetu UNK wanatumia nchi jirani ni UNK leo hii tunazungumzia bandari hata pale kwenye mafuta hakuna anayejua kiasi gani cha mafuta kinaingizwa nchini ile mashine ukifika unaweza kuambiwa ni feki hapana ni nzima imeharibiwa kwa makusudi kwa manufaa ya wachache alidai mbunge huyo katika mchango wake juzi mbunge wa singida kaskazini bwana lazaro nyalandu aligeuka kuwa waziri na kuwakejeli wabunge wenzake kwamba si vizuri kulalamika kwa kuwa kuna maendeleo makubwa yaliyopatikana nchini kuna progress kubwa sana serikali imefanya mambo mengi sana alisisitiza bwana nyalandu katika mchango wake bungeni juzi mbunge mwingine aliyemuunga mkono alikuwa wa morogoro mjini bwana omari nibuka aliyesema serikali imefanikiwa na kumwagia sifa waziri wa fedha na uchumi mustafa mkulo kwa kuandaa bajeti safi hivyo kauli ya bwana mporogomyi ilionesha wazi kuwajibu wabunge hao hususan bwana nyalandu kuhusu msamaha ya kodi kwenye mafuta ghafi UNK nje mbunge wa kishapu bwana fredy mpendazoe alisema huo ni mchezo mchafu na kuonya kwamba kuna rushwa ndani ya msahama huo kwa kuwa hakuna mafuta ghafi yanayotoka nchini malysia na badala yake lengo ni kuwamaliza wakulima wa alizeti wa tanzania naye mbunge wa masasi bwana raynald mrope alilia na serikali na kuhoji sababu hasa za kutokubali maendeleo ya mkoa wa mtwara kwa UNK kutoa fedha kwa kampuni ya UNK kuzalisha umeme kutokana na urasimu wa shirika la umeme tanzani wanachama wafurika kisutu na UNK wafuasi saba wakamatwa watiwa mbaroni viongozi wao wazidi kunyimwa dhamana na waandishi wetu polisi jijini dar es salaam jana walifanikiwa kuzima maandamano ya wanachama wa kampuni ya development entrepreneurship community initiative waliofurika mahakama ya hakimu mkazi kisutu kushinikiza kusikilizwa haraka kesi inayowakabili viongozi wao na kujua hatima ya mbegu zao katika sakata hilo lililotokea asubuhi watu saba walikamatwa na kutiwa mbaroni huku ulinzi ukiimarishwa eneo lote la mahakama hiyo sakata hilo liliibuka baada ya kuahirishwa kesi inayowakabili viongozi wa upatu huo na wanachama waliofika mahakamani hapo wakiwa na mabango kutaka UNK wakati wakijiandaa makachero wa polisi waliibuka na kuwakamata vinara wa maandamano hayo wakiwa na mabango yao na kuwaingiza kwenye UNK mbali ya kukamatwa watu hao polisi waliokota mabango mengine zaidi ya hamsini yaliyokuwa na ujumbe mbalimbali kwa serikali kuhusu sakata la deci waliokamatwa ni pamoja na mwenyekiti wa wanachama hao bwana isaack kalenga samwel mathias ambaye ni mjumbe bibi neema rajab na bwana michael saimon aliyetajwa kuwa UNK wa deci ulinzi uliimarishwa mahakamani hapo huku askari wa kikosi cha kutuliza vurugu wakiwa na silaha na gari la upupu wakivinjari eneo hilo baada ya kuzimwa maandamano hayo na kamanda wa kanda polisi kanda maalum ya dar es salaam bwana suleiman kova kutoa tamko la zuio la mikusanyiko isiyokuwa na kibali wanachama hao waliondoka mahakamani hapo huku bila kujua cha kufanya akizungumza mahakamani hapo kamanda kova alisema jeshi lake UNK wanachama wa deci ambao UNK mikusanyiko au maandamano yasiyokuwa na kibali wapo wanachama wakorofi ambao walitaka kufanya maandamano kwa ajili ya kuishinikiza mahakama kuwaachia huru viongozi wao kama baadhi ya mabango yao UNK hatutavumilia kuona mikusanyiko isiyo na kibali na kwa wanachama waliokuwa na mabango ambao wamekamatwa watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria alisema kamanda kova wakati huo huo katika kesi ya vinara wa deci iliyokuja kwa ajili ya kutajwa na kujua hatma ya dhamana ya washitakiwa hao mambo yalizidi kuwa magumu baada ya mkurugenzi wa mashitaka nchini bwana UNK UNK kuwasilisha hati ya kupinga dhamana ya washitakiwa hao hati hiyo iliwasilishwa na mwanasheria wa serikali bwana edgar luoga ambaye aliiambia mahakama kuwa dpp ametoa hati hiyo chini ya kifungu cha mia moja na arobaini na nane cha cpa ambacho kina sababu kuu za usalama wa washitakiwa hao lakini pia maslahi ya jamhuri kwa ujumla mawakili wa upande wa utetezi walipingana na hati hiyo kwa kudai kuwa dpp hakuwa na sababu za msingi za kupinga dhamana ya washitakiwa kwa kuwa hakuwa na ushahidi wowote katika sababu zake upande wa jamhuri ulisisitiza kuwa kwa mujibu wa kifungu hicho dpp UNK kutoa sababu zozote bali anapoona maslahi ya taifa UNK ndipo anaweza kuwasilisha hati hiyo mahakamani kutokana na hoja za pande zote mbili hakimu mkuu mfawidhi bibi addy lyamuya alisema kulingana na kifungu cha sheria UNK mahakama imefungwa mikono kwa kuwa UNK na wala hakina mapendekezo kwa mahakama kutokana na hali hiyo washitakiwa hao watalazimika kubaki rumande hadi dpp UNK hati hiyo hivyo washitakiwa hao walirudi rumande hadi juni thebathini mwaka huu kwa ajili ya kutajwa kesi yao huku upelelezi ukiendelea wakati kesi hiyo ikiendelea mahakamani baadhi ya wanachama waliokwama kuingia mahakamani kutokana na kufurika kwa chumba cha mahakama walifanya sala maalumu kuwaombea viongozi wao ili wapate dhamana washitakiwa katika kesi hiyo ni bwana jackson mtares bwana dominick kigendi bwana timotheo ole loitnggye bwana swamel mtares na bwana arbogast kipilimba wote wakazi wa dar es dar es salaam wote kwa pamoja wanadaiwa kuendesha na kusimamia mradi wa upatu kinyume na sheria za benki na taasisi za fedha taarifa hii imeandikwa na grace michael rabia bakari na godfrida jola serikali UNK amri na kubatilisha uamuzi wake wa kufuta msamaha wa kodi ya ongezeko la thamani kwa taasisi za dini na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali na kuunda timu maalum UNK mianya ya matumizi mabaya ya msamaha huo kutokana na uamuzi huo serikali italazimika kurekebisha vipengele kadhaa kwenye bajeti ya shilingi bilioni tisa tano iliyosomwa wiki iliyopita bungeni na waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo na kuweka vipya kwa baadhi ya maeneo ili kukidhi marekebisho hayo hatua hiyo imeelezwa kuwa itasaidia wabunge kupitisha bajeti hiyo kwa urahisi na kupunguza maswali magumu kwa serikali leo jioni wakati bwana mkulo atakapotoa majumuisho ya michango ya wabunge akizungumza jana na waandishi wa habari nyumbani kwake mjini hapa waziri mkuu bwana mizengo pinda alisema baada ya serikali kusikia kilio cha wabunge na taasisi za dini UNK na viongozi dini juzi na kukubaliana kwamba ni umuhimu wa kuendeleza msamaha huo kwa sasa huku UNK kushirikiana na serikali kudhibiti matumizi mabaya ya misamaha hiyo wabunge hasa wa ccm UNK kelele suala hili na kuishauri serikali kuangalia upya viongozi wa dini nao walisema hivyo ile rai ilikuwa ya msingi jana nilipata fursa ya kukutana na viongozi wa dini maaskofu alikuwepo askofu mokiwa malasusa UNK katibu mkuu wa kanisa anglikan tanzania shekhe wa mkoa na mashekhe wengine UNK sana serikali iangalie upya jambo hili walisisitiza katika kazi zao UNK na wahisani wa nje UNK na kwa kufanya hivyo inaweza kuwavunja moyo na kuwa na athari kubwa kwetu tanzania nilimtafuta mheshimiwa rais UNK na kumpa ushauri akakubali akaridhia kwamba msamaha huu uendelee kama ilivyokuwa alisema bwana pinda alipoulizwa ni kwa nini serikali UNK kukosa uamuzi sahihi na kukubali jambo kisha kubatilisha alisema ukiwa kiongozi wa UNK ni lazima UNK watu UNK serikali ingeweza kusimamia uamuzi wake lakini baada ya kusikiliza watu wake na rais jakaya kikwete UNK ndio maana tumeona haya katika hili tukubali kufuta kwanza hawa viongozi wa dini nao ni viongozi wana watu wanaowaongoza alisema alipoombwa kueleza ni kwa jinsi gani serikali itaziba mianya ya fedha ambazo UNK na kufutwa misamaha hiyo hasa kwa kuzingatia kuwa fedha hizo UNK katika bajeti ya trilioni tisa tano alisema tayari nimemwagiza waziri wa fedha kufanya kazi hiyo na leo UNK kwamba tayari ameshafanya kazi hiyo sasa mimi siwezi kumsemea UNK mwenyewe alisema alipotakiwa kueleza hatua zitakazochukuliwa dhidi ya watuhumiwa waliobainika kutumia mwanya wa msamaha vibaya kama UNK bwana mkulo alipozungumza na waandishi wa habari jumamosi iliyopita alisema bahati nzuri viongozi wenyewe wa dini waliniomba hayo majina ili wao kwanza waanze kuwashughulikia pia katika timu hiyo UNK UNK naamini hili litashughulikiwa vizuri tu na kuziba mwanya huo kuhusu muda na UNK kamili ya timu hiyo alisema kazi hiyo itakuwa ya kwanza kwa waziri wa fedha na uchumi bwana mkulo kwa kushirikina na kamishna mkuu wa tra na kwamba ana uhakika ndani ya miezi miwili hadi mitatu itakuwa imekamilika kazi kubwa ya timu hiyo itakuwa ni kuangalia njia bora zaidi ya kuziba mianya ya matumizi mbaya ya misamaha hiyo lakini bado tunaweza kuendelea na hoja hiyo lakini UNK kwamba kweli si wakati wake kwa sasa alisema bwana pinda alipotakiwa kujibu swali UNK ni lini serikali UNK kabisa tatizo UNK mabaya ya misamaha hiyo kuhusu swali la deci waziri mkuu alisema yeye alipitia ripoti hiyo na kumwagiza bwana mkulo kuitoa kwa wana habari kutokana na agizo hilo waziri mkulo aliahidi kutoa taarifa hiyo leo asubuhi kwa waandishi wa habari ofisini kwake baadhi ya wabunge waliozungumza na majira kwa njia ya simu UNK na kupongeza hatua hiyo ya serikali kukubali ushauri wao huku baadhi yao UNK kwamba iwe makini katika maamuzi mazito kwa kuwashirikisha wadau badala ya kujifungia na kutoa maamuzi hatari kwa taifa baadhi yao walisema bado wanasubiri kusikia kufutwa kwa misamaha ya kodi kwa kampuni zote za madini na kuongeza kwamba kipengele hicho pamoja na kile cha kuondoa kodi ya asilimia kumi kwenye mafuta yanayotoka nje bado UNK bwana mkulo leo iwapo hatakubali kufanyia marekebisho mapema mfuko wa kimataifa wa maendeleo ya kilimo umeahidi kuendelea kuiunga mkono zanzibar kutokana na juhudi zake katika kuimarisha sekta ya kilimo zikiwemo juhudi zinazochukuliwa na wakulima wadogo ahadi hiyo ilitolewa jana na mkurugenzi wa mfuko wa kimataifa wa maendeleo ya kilimo kanda ya afrika mashariki na kati bwana UNK de UNK UNK na rais amani abeid karume ikulu mjini zanzibar mkurugenzi huyo alimweleza rais karume kuwa UNK imeona juhudi zinazochukuliwa katika kuimarisha sekta ya kilimo nchini hivyo itaendelea kutoa msaada wake sambamba na kusaidia changamoto zilizopo katika sekta hiyo alisema kuwa zanzibar imepiga hatua katika mapinduzi ya kilimo hivyo ipo haja kwa wakulima kupewa msukumo ili waendelee kuzalisha zaidi mkurugenzi huyo pia alisema kuwa miongoni mwa hatua za kutilia mkazo zaidi ni upatikanaji wa maji na utaalamu katika kuimarisha kilimo cha umwagiliaji maji naye rais karume kwa upande wake aliushukuru mfuko huo kutokana na juhudi zake za kushirikiana na kusaidia kuimarisha sekta ya kilimo alisema kuwa serikali ya mapinduzi zanzibar imechukua juhudi kubwa kuimarisha sekta ya kilimo unguja na pemba kwa kutambua umuhimu wake katika maendeleo ya nchi na wananchi wake hususan katika suala zima la uzalishaji wa chakula alisema kilimo ni sekta muhimu katika maendeleo na serikali imekuwa ikifanya juhudi za maksudi UNK mkazo sekta hiyo kwa kutambua kuwa ina nafasi kubwa katika kupambana na umasikini nchini na rachel balama mahakama kuu kanda ya dar es salaam juzi ilianza kusikiliza kesi ya madai ya kulipwa fidia ya shilingi milioni thebathini sifuri mwandishi wa habari mkongwe bwana rhodes teri anayedai kupigwa na kudhalilishwa na polisi UNK jambazi sugu kesi hiyo ipo mbele ya jaji zainab UNK upande wa mashitaka unawakilishwa na wakili julius ndanzi na ule wa serikali unawakilishwa na wakili bwana rashid UNK jaji muruke aliwataka wadaiwa UNK kesi hiyo ambao ni mwanasheria wa serikali inspekta jenerali wa polisi sajini UNK na koplo lugalo kujibu kwa maandishi madai ya bwana teri ifikapo julai thebathini na moja mwaka huu ili mdai huyo naye ajibu kabla ya agosti kumi na saba mwaka huu jaji muruke alisema kesi hiyo itaanza kusikilizwa agosti ishirini na nane mwaka huu amemtaka wakili bwana ndanzi kuwajulisha uamuzi huo wa mahakama wadaiwa mia tatu na arobaini na tano na kuzingatia tarehe kwa njia ya hati ya kuitwa kwenye UNK katika hati ya madai bwana teri ambaye aliwahi kuwa mwandishi wa lililokuwa shirika la habari tanzania anadai kulipwa shilingi milioni thebathini sifuri baada ya kutoa notisi ya siku tisini kwa jeshi la polisi kisheria kutaka UNK shilingi milioni ishirini sifuri jambo ambalo UNK hivyo kufungua kesi hiyo ya madai namba sabini na moja ya mwaka ishirini sifuri tisa hati hiyo ya mashitaka yenye vifungu kumi na tano inaeleza kuwa januari kumi na tatu mwaka huu saa saba mchana barabara ya ali hassan mwinyi dar es salaam bwana teri alivamiwa na kupigwa na kundi la askari watato wakiwa na silaha akiwa chini ya ulinzi mwandishi huyo anadai hakupewa muda wa kujitetea huku mmoja wa askari hao UNK shingo na mwingine kumwelekezea bastola hati hiyo inaeleza kuwa askari hao UNK na kumuingiza kwenye gari hadi kituo cha polisi kati baada ya kumhoji walibaini kuwa hakuwa mtu aliyekuwa UNK na kumweleza kuwa UNK na jambazi sugu UNK na polisi muda mrefu ajulikanaye kwa jina la UNK UNK kisha kumwachia huru hati hiyo inadai kwamba kitendo UNK bwana teri na polisi hao ni cha kinyama ukandamizaji na uonevu wa hali ya juu pia ni kinyume cha katiba ya nchi mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam imeamuru chuo cha mabaharia kufanya tathmini ya meli ya wavuvi haramu UNK kujua thamani yake ili itumike kama dhamana ya washitakiwa hao agizo hilo lilitolewa jana mahakamani hapo na hakimu mkazi bibi warialwande lema wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya uamuzi wa dhamana kwa washitakiwa hao akitoa uamuzi huo bibi lema alisema masharti mengine ya dhamana kwa washitakiwa hao yatatolewa baada ya kupatikana ripoti ya thamani ya meli hiyo hatua ya kutoa uamuzi huo ilitokana na upande wa utetezi kuiomba mahakama hiyo kutoa dhamana kwa washitakiwa hao kwa kuwa makosa yanayowakabili UNK na ni haki yao kupewa dhamana upande wa mashitaka katika hilo ulidai kuwa washitakiwa hao hawana vibali vya kuwa hapa nchini lakini pia upande huo UNK endapo washitakiwa hao watapewa dhamana watakwenda wapi kutokana na hali hiyo mahakama imefikia uamuzi ambapo kitu cha kwanza ni kujua thamani ya meli yao ili iweze kuwa dhamana ya washitakiwa hao washitakiwa hao walirejeshwa rumande hadi julai mbili mwaka huu kwa ajili ya kutajwa na kufahamu hatua ya ripoti ya meli hiyo kesi hiyo ina jumla ya washitakiwa thebathini na saba ambao wote kwa pamoja wanakabiliwa na makosa ya kuvua samaki katika eneo la jamhuri ya tanzania bila kuwa na kibali au makubaliano yoyote ya kufanya hivyo washitakiwa hao walikamatwa machi nane mwaka huu kwenye msako maalum ulioendeshwa kwa ajili ya kunasa wavuvi haramu ambapo walinaswa wakiwa ndani ya meli huku wakiwa na samaki aina ya UNK wenye thamani ya mamilioni ya fedha mfanyabiashara bwana farijala hussein anayekabiliwa na kesi ya wizi wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje ameieleza mahakama namna UNK msikitini kwenda kusaini maelezo ambayo UNK na kukana maelezo UNK shahidi hayo aliyasema jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu wakati mtuhumiwa huyo akitoa ushahidi wake namna alivyochukuliwa maelezo yake ya onyo na tume ya kushughulikia tuhuma za epa kesi hiyo iko mbele ya jopo la mahakimu watatu ambao ni bwana samwel karua bwana elvin mugeta na bibi beatrice UNK mfanyabishara huyo alisisitiza kuwa UNK bali alipewa karatasi tupu na kutakiwa kusaini bila kufahamu ni kitu gani UNK akielezea siku ya tukio alisema alipigiwa simu na ssp salum kisai ambaye alimtaka kufika katika ofisi za tume hiyo na alifika hapo oktoba kumi mwaka jana kutekeleza agizo la mpelelezi huyo alidai kuwa baada ya kufika hapo aliambiwa na bwana kisai kuwa anahitaji kufanya marekebisho machache kwenye maelezo ya tuhuma zake hivyo alimpa karatasi tupu UNK na baadaye mpelelezi huyo UNK maelezo alidai kuwa kabla ya kutia saini aliruhusiwa kwenda msikitini kuswali hivyo aliondoka kuelekea maeneo ya mikocheni dar es salaam sitasahau katika maisha yangu ni tukio la ajabu ambalo UNK nikiwa msikitini alikuja ofisa mmoja wa tume na kunitaka niende ofisi zao huku mtoa hotuba akiwa amepanda eneo la kutolea hotuba hiyo kwa waislam ndicho kitu muhimu sana alidai bwana UNK alidai kuwa baada ya kufika katika tume hiyo alipewa karatasi zile zile na kuambiwa asaini ili aweze kuwahi UNK kutokana na maelezo hayo alikanusha kutoa maelezo hayo kwa mdomo wake na kudai kuwa ushahidi wote uliotolewa na ssp kisai hauna ukweli wowote bwana farijala alikuwa akitoa ushahidi kwa ajili ya kuthibitisha madai ya kuchukuliwa maelezo ya onyo bila kufuata taratibu za kisheria lakini pia kuhamishwa kwa maelezo hayo kutoka kesi nyingine kwenda kesi ya kampuni ya mibare farm baada ya kumaliza kutoa ushahidi huo mahakama hiyo itatoa uamuzi wa kupokea maelezo yake au la kutokana na ushahidi wa pande zote mbili uamuzi huo unatolewa leo mahakamani hapo washitakiwa hao ni bwana hussein bwana rajab maranda bwana ajay somani bwana imani mwakyosa bibi ester komu na bibi sophia UNK ambao wote kwa pamoja wanadaiwa kuiba jumla ya shilingi bilioni tatu nane kutoka bot baada ya kughushi mkataba wa makubaliano wa kuhamishiwa deni na kampuni ya lakshimi textile co ltd ya india kwenda kwenye kampuni ya washitakiwa hao ya mibare farm sitta UNK busara kumnusuru mkulo na john daniel dodoma spika wa bunge bwana samwel sitta jana aliokoa kuzama jahazi la waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo baada ya kutumia busara kulainisha wabunge kwa kunukuu ibara ya tisini kifungu cha pili sehemu b ya katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania na kufanikisha kupita kwa bajeti busara hizo za spika sitta UNK na wachambuzi wa masuala ya kisiasa kuwa UNK ili kumwokoa bwana mkulo baada ya kuwepo wasiwasi wa uwezekano wa wabunge kukwamisha bajeti yake kutokana na vifungu kadhaa UNK na maslahi ya taifa labda kwa kuwakumbusha tu waheshimiwa wabunge ni kwamba kinachoweza kumfanya mheshimiwa rais UNK bunge ni pamoja na hapa UNK ibara ya tisini kifungu cha pili sehemu b ya katiba UNK rais atalazimika kuvunja bunge iwapo UNK kupitisha bajeti iliyowasilishwa na serikali alisema spika sitta na kuongeza wala siyo hiari tena ni lazima bunge UNK bajeti UNK na serikali sasa kwa kutumia kanuni ya sabini na tisa UNK katibu UNK mmoja mmoja kwa majina alisema spika sitta kutokana na utaratibu huo jumla ya wabunge mia mbili na ishirini na moja kati ya mia mbili na hamsini na sita waliopiga kura waliunga mkono hoja hiyo na thebathini na tatu kutoka kambi ya upinzani walikataa huku mbunge wa mkanyageni bwana mohamed habib mnyaa na bibi UNK emmanuel wote chama cha wanachi UNK na wenzao na kuunga mkono bajeti hiyo awali akijibu hoja za wabunge bwana mkulo alionesha kutokuwa na ufumbuzi wa dukuduku lao hususan kwa hoja nzito UNK mjadala wakati wa kuchangia bajeti hiyo likiwemo suala la wapi serikali itapata pesa za kuziba pengo baada ya kurejesha msamaha wa kodi la ongezeko la thamani kwa taasisi na mashirika yasiyo ya kiserikali kuhusu kodi kwa kampuni za madini alisema msahama huo ulikwepo kwenye mikataba ya awali UNK kati ya serikali na wawekezaji na kwamba suala la kuifuta UNK kwa wataalamu wa sheria serikalini ili UNK upya kuhusu kuondolewa kwa kodi ya asilimi kumi katika mafuta ya kula yanayotoka nje alisema serikali haiwezi kurejesha kodi hiyo kwa kuwa ni matakwa ya jumuiya ya afrika mashariki na si tanzania pekee hata hivyo bwana mkulo alidai takwimu za serikali zinaonesha kwamba tanzania bado ina upungufu mkubwa wa mafuta ya kula jambo ambalo UNK ukweli wa mambo kuhusu bandari ya dar es slaam urasimu na utendaji usioridhisha ya kampuni ya ticts alisema serikali UNK kilio cha wabunge na kwamba UNK kazi kwa kufuata taratibu mbalimbali na kwamba haina taarifa kuhusu mashine za kupima kiasi cha mafuta yanayoingia nchini kushindwa kufanya kazi kama inavyotakiwa akijibu hoja ya trl bwana mkulo alisema serikali ililazimika kubeba deni lote la lililokuwa shirika la reli tanzania baada ya kuonekana haliwezi kuendelea kupatiwa huduma ya mafuta kutokana na deni hilo kubwa na kuahidi uboreshaji wa njia ya kati ya reli pamoja na njia ya isaka ambazo ni muhimu kwa maendeleo ya taifa akizungumza na gazeti hili kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni bwana hamad rashid mohamed alitaja sababu kuu sita UNK wakatae bajeti hiyo kuwa ni pamoja na serikali kutoonesha kiasi cha fedha za kulipa fidia kwa wakulima walioathirika na mtikisiko wa uchumi duniani huku UNK kwa wafanyabiashara kutengewa mabilioni kwa ajili hiyo sababu nyingine ni bunge kutopewa taarifa ya utekelezaji wa ahadi ya rais kikwete ya mwaka ishirini sifuri tano UNK kuwa serikali ingepitia mikataba yote ya madini kisha kuwasilisha taarifa hiyo bungeni lakini hadi sasa hakuna UNK alitaja sababu nyingine kuwa ni sekta ya kilimo kutengewa shilingi milioni sabini sifuri tu kwa ununuzi wa matrekta wakati bajeti ina kaulimbiu ya kilimo kwanza alipoulizwa hatua zitakazochukuliwa kwa wabunge wao UNK na kuunga mkono bajeti hiyo huku wakiwa UNK msimamo wa pamoja kuikataa alisema safari hii UNK tu shilingi bilioni ishirini na nne UNK inadaiwa zaidi ya bilioni thebathini na tisa zilizokutwa ni bilioni kumi na nne tu serikali UNK hata senti wakati viongozi wa kampuni ya development entrepreneurship community initiative wakizidi kusota rumande serikali imetoa tamko rasmi kuhusu upatu huo na kuonesha kutokuwepo matumaini washiriki kurejeshewa mbegu zao mapema mbali na hilo serikali imebainisha kwamba haitatoa hata senti moja ya walipa kodi kufidia majeruhi wa upatu huo na jukumu hilo UNK na viongozi wa kampuni hiyo tamko hilo la serikali limeonesha kwamba kampuni hiyo inadaiwa jumla ya shilingi bilioni thebathini na tisa mia mbili na sabini na mbili na washirika wake mia tatu na arobaini na tatu hamsini sifuri huku fedha halisi zilizokutwa kwenye akaunti yake ni shilingi bilioni mbili mia sita na ishirini na nne tu akitoa tamko hilo kwa waandishi wa habari ofisini kwake jana waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo alisema juhudi za serikali kupitia kamati maalum iliyoundwa aprili kumi na tisa mwaka huu kuchunguza kampuni hiyo zimefanikiwa kunasa shilingi bilioni kumi na moja mia nane na ishirini na nane nyumbani kwa viongozi wa deci na matawi kadhaa ya kampuni hiyo hapa natoa muhtasari tu wa taarifa hiyo lakini kuna mengi yasiyofaa kamati maalum imebaini shilingi bilioni mbili mia sita na ishirini na nne zilizokutwa kwenye akaunti mbalimbali zinazomilikiwa na deci wakurugenzi wake pamoja baadhi ya viongozi wengine jumla ya shilingi bilioni kumi na moja mia nane na ishirini na nane zilizokuwa nje ya mfumo wa kibenki zilipatikana na kuwekwa kwenye akaunti maalum fedha hizi zilipatikana majumbani na ofisini katika matawi mbalimbali ya kampuni jumla ya fedha za deci UNK katika benki mbalimbali ni shilingi bilioni kumi na nne mia nne na hamsini alisema bwana mkulo na kuongeza uchunguzi wa awali umebaini kuwa deci inadaiwa jumla ya shilingi bilioni thebathini na tisa mia mbili na sabini na mbili na washiriki wake wapatao mia tatu na arobaini na tatu hamsini sifuri hawa ni wale tu ambao hawajawahi kuvuna hata mara moja kiasi cha fedha kilichopo ni shilingi bilioni kumi na nne mia nne na hamsini hivyo pungufu ni shilingi bilioni ishirini na nne mia nane na ishirini na mbili uwezo wa kampuni hii kuwarudishia washiriki hawa mbengu zao ni asilimi arobaini tu ya fedha zinazodaiwa alisema bwana mkulo alisema kutokana na takwimu hizo za awali inakadiriwa kuwa wapo watu ambao tayari walivuna na bado wakaendelea kupanda na wanategemea kuvuna tena UNK katika orodha hiyo hivyo kuweka wazi kwamba deni halisi ya deci ni kubwa zaidi kuliko shilingi bilioni thebathini na tisa mia mbili na sabini na mbili linalojulikana kwa sasa jinsi na namna ya washiriki wa deci UNK fedha zao ni busara UNK kesi ya viongozi iliyoko mahakamani imalizike alisema bwana mkulo alisisitiza kwamba shughuli za deci zilikuwa haramu na kwamba viongozi wake wanawajibika kuwalipa fedha zao zote washirika wao kwa kuwa walikuwa wakiendesha biashara ambayo ni kinyume cha sheri za nchi alipoulizwa kama serikali itawasaidia wananchi hao kupata fedha zao wakati kesi UNK au baada ya kumalizika endapo viongozi wao watashindwa kufanya hivyo alisema serikali haiwezi kufanya hivyo hata siku moja hakuna fedha za walipa kodi zinazoweza kuchezewa mtu UNK hela za watu kisha UNK hapana alisema na kuongeza nawaomba mtambue kwamba tumelazimika kutoa taarifa hii kwa kuwa inatokana na na kamati maalum iliyoundwa na serikali lakini sitaki kuzungumzia suala hili kwa undani tusije UNK mahakama lakini ninachoweza kuwaambia ni kuwa msimamo wa serikali ni kwamba viongozi hao lazima walipe fedha za wananchi hata kama kwa kufilisi mali zao alisema wakati huo huo grace michael na shukrani kawogo wanaripoti kuwa wanachama wa deci waliokamatwa juzi mahakama ya hakimu mkazi kisutu wakijaribu kufanya maandamano ya kushinikiza UNK viongozi wao wamefikishwa mahakamani watuhumiwa hao walifikishwa jana mahakamani hapo wakikabiliwa na kosa moja la kufanya mkusanyiko isivyo halali ambapo walisomewa mashitaka mbele ya hakimu mkazi bwana michael mteite washitakiwa hao ni bwana isaack kilage ambaye ni mchungaji wa kanisa la pentekoste bwana swamwel mathias ambaye ni mwinjilisti wa kanisa hilo bibi neema rajab mkazi wa mabibo na bwana michael saimon ambaye ni mfanyabiashara wakisomewa mashitaka na inspekta wa polisi bibi UNK mkonyi walidaiwa kuwa siku ya jumatano wakiwa mahakamani hapo walifanya mikusanyiko isiyo halali na kufanya kuwepo kwa uvunjifu wa amani katika eneo hilo washitakiwa wote kwa pamoja walikana kutenda kosa ambapo upande wa mashitaka uliiambia mahakama kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na hauna pingamizi lolote la dhamana hata hivyo washitakiwa hao hawakuweza kuwa na wadhamini wa UNK kwa muda huo hivyo walirejeshwa rumande mpaka julai mbili mwaka huu kesi hiyo itakapokuja kwa ajili ya kutajwa aisha UNK na aziza masoud makamu wa rais daktari ali mohamed shein amewataka watumishi wa umma kufanya kazi kwa kujituma na kuzingatia maadili ili kuleta ufanisi akizungumza jana katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma barani afrika katika viwanja vya mnazi mmoja dar es salaam daktari shein alisema utumishi wa umma ni kazi ya wito hasa katika kutoa huduma kwa jamii aliongeza kuwa rasilimali watu ni muhimu katika utumishi wa umma kwani ni nyenzo ya msingi yenye thamani kubwa katika kuleta maendeleo endelevu ushindani katika kuvutia utoaji huduma upungufu wa bajeti na mwingiliano wa itikadi ni baadhi ya changamoto UNK alisema daktari shein awali akimkaribisha daktari shein waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma bibi hawa ghasia alisema madhumuni ya wiki hiyo ni kuimarisha na kuboresha utoaji huduma kwa wananchi wa afrika maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma barani afrika yalianza juni kumi na tano hadi kumi na tisa mwaka huu na kitaifa yanaendelea hadi juni ishirini na tatu mwaka huu kaulimbiu ya mwaka huu ni kuimarisha ushirikiano thabiti baina ya serikali na wadau katika kuleta huduma na maendeleo endelevu barani afrika grace michael na shukrani kawogo kesi inayowakabili mawaziri waandamizi wa serikali ya awamu ya tatu bwana basil mramba na bwana daniel yona ya kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba inaanza kuunguruma kwa usikilizwaji wa awali julai ishirini hadi ishirini na nne mwaka huu hatua ya kuanza kusikilizwa kesi hiyo ilijulikana jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya hakimu bwana saul kinemela wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa usikilizwaji wa awali umepangwa kwa muda wa siku tano mfululuzo mbele ya jopo la mahakimu watatu ambao ni bwana john utamwa bwana kinemela na bibi fatuma masengi ambapo upande wa mashitaka UNK kuanika ushahidi wote UNK kuutumia kuthibitisha makosa ya washitakiwa hao UNK kesi hiyo upande wa utetezi kupitia wakili wake bwana peter swai ulitaka kuwasilisha maombi mawili likiwemo la kusafiri kwa mshitakiwa bwana yona hata hivyo mahakama haikuwa tayari kupokea maombi hayo kwa kuwa jopo lilikuwa UNK kutokana na UNK jopo hilo wakili huyo alitakiwa kufanya maombi yake kwa barua ili jopo liweze kukutana na kutoa uamuzi wa maombi yake mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo ambaye ni bwana mramba alilazimika kuacha kikao cha bunge kwa ajili ya kuhudhuria kesi yake mshitakiwa mwingine ni bwana gray mgonja ambaye alikuwa katibu mkuu wizara ya fedha na uchumi ambapo wote kwa pamoja wanadaiwa kuwa mei ishirini na nane ishirini sifuri tano walisaini mkataba wa kuongeza muda wa uzalishaji wa madini na kampuni hiyo kinyume na sheria ya manunuzi na madini shitaka la mwisho linawakabili washitakiwa wote ambapo UNK kuwa kati ya kipindi cha mwaka ishirini sifuri tatu hadi ishirini sifuri tano kwa kutumia vibaya madaraka yao UNK hasara kwa serikali ya shilingi bilioni kumi na moja saba yapinga tamko la kamati edmund mihale na salum pazzy siku moja baada ya waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo kutoa tamko la serikali kuhusu kampuni ya development enterpreneurship for community initiative washiriki wa upatu huo UNK taarifa hiyo na kutishia UNK serikali mahakamani viongozi kamati ya muda ya washiriki wa deci waliokutana jana makao makuu ya kampuni hiyo mabibo dar es salaam kujadili taarifa hiyo walisema sasa wanajipanga upya kudai mbegu zao na kuwataka washiriki wote wa upatu huo kuendelea kukusanyika ofisini hapo kuweka mikakati akizungumza na gazeti hili mwenyekiti wa kamati hiyo bwana rafael UNK alisema taarifa hiyo haikuzingatia lengo kamili la kuundwa timu ya serikali kuchunguza sakata hilo tunashindwa kuelewa tamko lililotolewa jana na serikali timu iliundwa kujua uhalali wa uendeshaji wa shughuli za deci na hatima ya fedha si kueleza upungufu wa fedha katika akaunti za deci alisema bwana mgovano alisema UNK wao ni kusomewa madhara ambayo yangetokea kutokana na upatu huo na usalama UNK zao alisema UNK kuona bwana mkulo akieleza upungufu kwenye amana za deci kwani hakuna mwanachama yeyote aliyelalamika wala kuwa na shaka hilo sidhani kama lengo la washiriki lilikuwa kuunda tume ambayo ilitumia fedha za walipa kodi wa nchi hii kuelezea upungufu ambao ni nje ya lengo UNK kwani hakuna mshiriki aliyelalamika kuhusu kunyimwa mbegu hizo alisema bwana mgovano alisema kamati ya UNK UNK na serikali kwa uamuzi wake wa kuwakamata na kuwafungulia mashitaka viongozi wa kampuni hiyo kama walikiuka sheria katika uendeshaji wa kampuni yao alisema jambo la kushangaza ni hatua ya serikali kufunga akaunti za deci hadi hapo kesi hiyo itakapomalizika kwani hakuna uhusiano kati ya kesi inayowakabili viongozi na mbegu zao aliongeza kuwa kufanya hivyo ni sawa na kuhujumu uchumi wa wananchi walipanda mbegu katika kampuni hiyo kwani fedha hizo UNK kama ilivyopangwa na kamati ili ziendelee kutumika katika mzunguko alifafanua kuwa kama serikali imeamua kuweka kidhibiti cha kesi hiyo ingechukuwa fedha hizo na kurudisha kwa washiriki ili kupunguza makali ya maisha wanayopata alisema hakuna uhusiano kati ya kesi iliyopo mahakamani na madai ya washiriki wa kampuni hiyo kwani wenye jukumu la kufungua kesi ya madai ni washiriki dhidi ya viongozi wao alisema hata hivyo hawaoni sababu ya kufanya hivyo kwa kuwa viongozi hao hawajatoa kauli ya kushindwa kulipa fedha zao aliitaka serikali kufungua akaunti hiyo ili washiriki wapate hoja ya kudai fedha zao kutoka kwa viongozi hao ambao hadi sasa wako mahabusu alisema wanachama wa deci hawaamini kauli iliyotolewa na bwana mkulo kuweka fedha katika akaunti ya maalumu ya benki kuu ya tanzania kwa kuwa huko ndiko wizi fedha nyingi UNK mfano fedha za akaunti ya madeni ya nje tamko la serikali lililotolewa juzi na bwana mkulo lilieleza kuwa deci inadaiwa zaidi ya shilingi bilioni thebathini na tisa na washiriki na pesa zilizopatikana ni shilingi bilioni kumi na nne tu sawa na asilimia arobaini siku moja baada ya bunge kupitisha bajeti ya serikali waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo ameendelea kusakamwa kuhusu uamuzi wa kufuta kodi ya asilimia kumi kwa mafuta ya kula kutoka nje nchi huku akituhumiwa kula rushwa kupitisha uamuzi huo ambao ni mwiba kwa wakulima uamuzi wa serikali kufuta kodi hiyo unatokana na msimamo wa nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki lakini hata hivyo jambo hilo limezua mjadala mkali bungeni baada ya wabunge kutaka kurejeshwa kodi hiyo ili kulinda viwanda vya ndani hususan kuwanusuru wakulima wa zao la UNK akichangia mjadala wa muswada wa sheria ya fedha ya mwaka ishirini sifuri tisa mbunge wa kibaha mjini daktari zainab gama alieleza kusikitishwa na uamuzi wa bwana mkulo kukubali kufuta kodi hiyo bila kujali maslahi ya watanzania kwanza mheshimiwa mwenyekiti nimesikitika sana naongea kwa uchungu sana mawaziri wote wa fedha waliotangulia walikataa hili mfano dada yangu zakia meghji lakini yeye peke yake anakuja tu anakubali katika mazingira ya kawaida mtu anaweza kusema kala rushwa viwanda vyetu vya ndani UNK UNK haki wakulima wa alizeti kama wapo wakulima wa alizeti jimboni mwake wanamsikia wakulima wote wa tanzania wanamsikia waziri alisahau kwamba sisi ndio tunazalisha alizeti zaidi kuliko wenzetu alihoji daktari gama alisema mtu yeyote UNK tanzania katika jumuiya yoyote ikiwemo ya afrika mashariki lazima atambue kwamba hakuna jumuiya husika bila taifa la tanzania kikubwa cha kwanza ni kujali maslahi ya watanzania kabla ya uamuzi wowote alisema serikali ya ccm kupitia ilani yake ina nia nzuri na wananchi wake lakini wapo baadhi ya watendaji wanaotoa maamuzi yanayokwamisha azma ya kuboresha maisha ya wananchi na kuwataka wabunge wenzake kutokubali kupitisha jambo lolote hususani la kisheria bila kupata ushauri wa kitaalamu lakini UNK sisi wabunge UNK mtu mmoja power kutoa maamuzi hata kama yana athari kwa taifa tusikubali kutoa maamuzi bila ushauri wa wataalamu naomba UNK UNK sisi wabunge wote wazoefu ukiachilia wageni UNK sheria hii ya kumpa waziri power ya kuamua jambo alisema daktari gama mbunge huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa wabunge wanaopiga vita rushwa alimtaka waziri mkulo kulieleza bunge kama serikali imetenga fedha za kuwalipa fidia wakulima watakaoathirika na uamuzi huo iwapo bei ya mazao yao hususan alizeti UNK pia alimgeukia waziri mkuu bwana mizengo pinda na kuhoji sababu iliyofanya serikali kusikiliza kilio cha viongozi wa dini kuhusu msamaha wa kodi ya ongezeko la thamani kwa taasisi zao huku UNK kilio cha wakulima kuhusu kodi ya mafuta wabunge wamelalamika kuhusu kuondoa kodi ya asilimia kumi hadi sifuri kwenye mafuta ya kula na UNK lakini viongozi wa dini UNK au kwa kuwa waziri mkuu anaogopa laana zao viongozi UNK kwamba hata wakulima wana UNK alionya daktari gama akizungumza na majira nje ya ukumbi wa bunge mbunge huyo alisema bunge lilifanya makosa makubwa kwa kukubali kupitisha itifaki ya jumuiya ya afrika mashariki na sheria namba mia moja na arobaini kifungu cha kumi na mbili kumi na saba na kumi na tisa UNK mamlaka waziri wa fedha kutoa maamuzi mazito peke yake hivi sasa hizi kampuni UNK kuanza kuzalisha mafuta mengi katika nchi jirani kisha tanzania inakuwa soko kuu wamefanya hivyo baada ya kuona wakulima wa tanzania wanazalisha alizeti kwa wingi na watakosa soko maana UNK nchi yetu kuwa dampo la bidhaa zao sasa hili waziri UNK alihoji daktari gama na kuitaka serikali kufanya maamuzi mapya juu ya suala hilo kwa manufaa ya watanzania kwanza alisema uchunguzi unaonesha kwamba hakuna mafuta ghafi yanayotoka nchini indonesia wala malysia kama inavyodaiwa na serikali badala yake nchi jirani wanaingiza mafuta ya kula kupitia mwanya huo akizungumza na waandishi wa habari nje ya bunge bwana mkulo alikanusha tuhuma za kupokea rushwa na kueleza kwamba yeye kama waziri hawezi UNK mtu kutoa hisia zake na kuongeza kwamba UNK rushwa ndiye anatakiwa kuchunguzwa kwanza siwezi kuzua mtu kutoa hisia zake watu wakitaka kuzungumza waache wazungumze ila hao wanaozungumza sana rushwa ndio wanatakiwa UNK kwanza alisema bwana mkulo na kuongeza kwanza kufuta hiyo kodi ya asilimia kumi si maamuzi ya mkulo kila waziri anapokwenda katika kile kikao cha baraza la mawaziri wa afrika mashariki anawasilisha maazimio kwa baraza la mawaziri ya nchi yake yale ni maamuzi ya baraza la mawaziri la tanzania siwezi tu kutoa hoja zangu na nikasema kama UNK mimi hapana alisema bwana mkulo alifafanua kuwa hata UNK marekani kuzungumza na benki ya dunia hawezi kusema lolote ambalo UNK na baraza hilo na kusisitiza kwamba takwimu za serikali zinaonesha kwamba tanzania haina uwezo wa kuzalisha mafuta ya kutosha kwa kuwa inazalisha asilimia tano hadi kumi tu ya mbengu za mafuta ya kula alipoulizwa kama serikali itafanya utafiti upya juu ya suala hilo ili kuondoa utata alisema utafiti UNK na wizara ya viwanda na biashara kilimo chakula na ushirika cti na kuonesha hatuna mbegu za kutosha kuzalisha mafuta ya kula ndio maana nchi zote za afrika mashariki tukakubaliana kufuta kodi hiyo alisema alipoulizwa kuhusu taarifa kwamba watendaji kadhaa wa kampuni kubwa zinazozalisha mafuta ya kula nje ya nchi na kuingiza pamoja na mawakala wa viwanda vya nje UNK soko la tanzania UNK wawakilishi kumwona kuhusu suala hilo ili UNK uamuzi huo UNK na mawaziri wenzake alikanusha taarifa hizo kuwa si za kweli si kweli kwamba wenye viwanda hivyo vya bidco mohamed enterprises tanzania limited na zakaria walikuja kwangu hapana labda kama UNK na mtu mwingine si mimi alisisitiza bwana mkulo aliwashauri watanzania kuelewa kwamba mbali ya UNK ya afrika mashariki kuwa na faida nyingi pia watambue kwamba hakuna safari isiyokuwa na mawimbi na kutoa mfano kwamba hata mtu UNK ndege kuna mawimbi yanayosababisha ndege kuyumba angani awali akiwasilisha maoni ya kambi ya upinzani kuhusu muswada huo mbunge wa viti maalum bibi magdalena sakaya alisema bado kambi hiyo inasisitiza umuhimu waserikali kufuta misamaha ya kodi kwa kampuni zote za madini badala ya kueleza kwamba inaendelea kufanya mjadala na kampuni hizo ili kuona uwezekano wa kuondoa msamaha huo kikao UNK na israel mwaisaka mbeya jinamizi la kuchapana makonde katika vikao vya chama cha mapinduzi wilayani kyela bado UNK chama hicho kwa halmashauri kuu ya kata ya kyela mjini jana kushindwa kufikia muafaka baada ya wajumbe kutofautiana na kuanza kuchapana makonde na kusababisha kikao UNK kikao hicho kilikuwa na agenda moja ya kutoa taarifa ya maamuzi yaliyotolewa na halmashauri kuu ya ccm mkoa ya kuwarudisha kazini makatibu kata waliokuwa UNK kazi baada ya kumpiga katibu wa wilaya wa ccm ambapo mmoja ya makatibu kata hao ambaye ni katibu wa kata hiyo ya mjini bwana grayson mwaikambo UNK baada ya mwenyekiti wa ccm wa kata hiyo bwana shabani mwambambale kuwasomea maamuzi yaliyotolewa na halmashauri kuu ya mkoa ya kutaka katibu wao bwana mwaikambo kurejeshwa kazini rasmi na kukabidhiwa funguo za ofisi hiyo wajumbe walianza kupinga uamuzi huo malumbano yalizidi kuwa makali ambapo kila kundi UNK msimamo wake ambapo UNK na hoja mbili nzito za kukubaliana na maamuzi ya mkoa na lingine kukataa maamuzi hayo baada ya malumbano hayo kutoelewana walianza kuchapana makonde mazito ndani ya kikao hicho na kusababisha kikao hicho kuvunjika bila ya kufikia hitimisho ambapo kila mjumbe alikuwa akitafuta eneo la kutokea baada ya vurugu kuanza mmoja wa wajumbe hao bwana UNK mwambingu alipohojiwa kuhusiana na hali hiyo alisema kuwa UNK katika kikao hicho kilikua ni maamuzi ya wanachama kwenye matawi kufuatia ziara waliyoifanya hivi karibuni na si maamuzi yao alisema yeye binafsi hakuona sababu ya wajumbe kufikia hatua hiyo ya kuchapana makonde bali kilichotakiwa ni kushindana kwa hoja na UNK hitimisho zuri mwenyekiti wa kata hiyo bwana shabani mwambambale ambaye alikimbia na kwenda kujificha alisema yeye kama mwenyekiti na kwa kuwa kikao UNK tamati kwa sababu ya vurugu amemuamuru katibu mwenezi wa kata hiyo bwana richard UNK kuendelea kukaimu nafasi hiyo ya ukatibu kata hadi hapo suluhisho UNK ni UNK ajira za wazawa nchini wamo wachina wanaouza maua kariakoo na reuben kagaruki timu ya kikosi kazi inayoundwa na maofisa wa mamlaka ya mapato tanzania kituo cha uwekezaji tanzania idara ya kazi leseni na idara uhamiaji imeanza msako dhidi ya wawekezaji ambao uwekezaji wao unaenda kinyume na vibali UNK msako huo ambao pia unawahusu wageni wanaofanya kazi ambazo zingeweza kufanywa na wazawa UNK na ofisi ya mkuu wa mkoa wa dar es salaa bwana william lukuvi hatua hiyo ni utekelezaji wa maelekezo ya rais jakaya kikwete aliyotoa hivi karibuni ya kutaka vibali vya wageni wanaofanya kazi nchini UNK ili kubaini wanaofanya kazi ambazo zingefanywa na watanzania akizungumza na majira jumapili kwenye maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma yanayoendelea viwanja vya mnazi mmoja ofisa mwandamizi wa idara ya uhamiaji alisema kwa kuanzia kikosi kazi hicho UNK operesheni hiyo mkoani dar es salaam hivi UNK kikosi kazi kipo kazini na UNK kazi matokeo yatatangazwa alisema ofisa huyo msako huo unafuatia baadhi ya wawekezaji kuonekana katika maeneo mbalimbali wakifanya biashara ndogo ndogo kinyume na vibali walivyopewa na tic kwa ajili ya uwekezaji mmoja wa maofisa wa tic aliyezungumza na gazeti hili alisema wao hawajawahi kutoa vibali kwa mwekezaji kwa ajili ya kuuza maua maeneo ya kariakoo kila ukipata kariakoo unasikia raia wa china akitangaza biashara ya maua lakini sidhani kama uwekezaji wao ni wa kuuza maua UNK baada ya kikosi kazi kuleta majibu alisema ofisa huyo uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa katika maeneo ya kariakoo wamejaa raia wa chini na wengine kutoka bara ya asia wanaofanyabiashara ndogo ndogo kama kuuza maua ambazo zingeweza kufanywa na wamachinga wa tanzania uchunguzi zaidi UNK kuwa hata kwenye hoteli za kitalii za hapa nchini wapo raia wa kigeni ambao wanafanyakazi zikiwemo za UNK ambazo zingefanywa na wazawa kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya habari hatua hiyo ni kinyume na sheria za idara ya kazi ambazo zinaelekeza kuwa wageni wataajiriwa kufanyakazi hapa nchini katika maeneo ambayo ni ya kitaalam na wazawa hawawezi kufanya vyanzo hivyo UNK kuwa wageni hao wanaruhusiwa kufanyakazi hiyo kwa mkataba wa miaka miwili na wakati huo huo UNK wazawa ili wakiondoka kazi zao zifanywe na wazawa mmoja wa maofisa wa idara ya uhamiaji aliyezungumza na gazeti hili alisema watanzania wengi wanadhani idara yake inahusika na utoaji vibali kwa ajili ya wageni kufanyakazi nchini alisema wao kazi yao ni kutoa vibali vya ukazi baada ya wawekezaji hao na wageni wanaokuja kufanyakazi nchini kupata vibali vyao kutoka idara husika wajibu wetu ni kutoa vibali vya ukazi baada ya kupata maelekezo kutoka mamlaka husika alisema alitoa mfano akisema mamlaka zinazohusika na utoaji vibali ni tic idara ya ajira na nyingine zinazowahusu watafiti wanafunzi wamisionari na wengine alisema mamlaka hizo UNK vibali UNK ya uhamiaji huwa ni kuwapatia wahusika vibali vya UNK naye peter masangwa anaripoti kuwa mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi amethibitisha kuwa kikosi kazi hicho kinaendelea na msako dhidi ya wawekezaji na wafanyakazi wa kigeni ambao wanakiuka taratibu za vibali vyao hata hivyo bwana lukuvi alikataa kuzungumzia suala hilo kwa undani kwa kile alichoeleza kuwa endapo akifanya hivyo ndege wake wataweza kukimbia mfanyakazi wa bustani ya viwanja vya maonesho ya biashara ya kimataifa ya mwalimu j nyerere yaliyoko barabara ya kilwa dar UNK salaam bwana elvis joseph UNK bustani hiyo jana ikiwa ni maandalizi ya maonesho hayo yatakayoanza hivi karibuni jijini UNK kumfuata dodoma kesho wanapinga vat katika mali ghafi wasema dawa UNK watanzania hotuba ya bajeti ya serikali iliyosomwa bungeni wiki iliyopita na waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo inazidi UNK waziri huyo ambapo safari hii wenye viwanda vya kutengeneza madawa ya binadamu nchini UNK serikali iangalie upya utaratibu unaowataka wafanyabiashara hao kulipa kodi ya ongezeko la thamani kwa mali ghafi UNK kutengenezea dawa hizo tayari wafanyabiashara hao UNK bwana mkulo barua ya kutoridhika na utaratibu huo ambapo kesho wanatarajiwa kutinga bungeni dodoma kuelezea kilio chao kwake wanaamini kuwa kama ambavyo serikali imekuwa ikisisitiza kuwa UNK maoni ya wananchi UNK marekebisho mara moja kwa kuacha utaratibu wa zamani uendelee habari zilizopatikana jijini dar es salaam jana zinaeleza kuwa wafanyabiashara hao wanapinga utaratibu huo ambao wanadai kuwa unalenga kuua viwanda vya ndani kwa UNK na UNK wa dawa kutoka nje ya nchi ambao UNK kodi chini ya utaratibu huo wanatakiwa kulipia vat kwa mali ghafi zinazoingizwa kwa ajili ya kutengenezea dawa na baadaye kurejeshewa kodi baada ya kuzalishwa kwa bidhaa na kuuzwa wanalalamika kwamba utaratibu huo UNK wenye viwanda kukopa benki ili kulipia kodi hiyo wamesema kwa kuwa zoezi la uzalishaji na kusambaza bidhaa zao sokoni huchukua zaidi ya miezi sita huku wakilazimika kulipa riba kwenye mabenki jambo ambalo UNK viwanda hivyo kuongeza bei ya dawa kwa mujibu wa wafanyabiashara hao athari kubwa zaidi kwao inatokana na hatua ya serikali kufuta ushuru wa forodha kwa dawa zinazoingizwa kutoka nje na hivyo kuzifanya dawa hizo kuuzwa kwa bei rahisi kuliko zile UNK nchini chini ya utaratibu huu mpya hakuna tofauti na utaratibu unaolalamikiwa wa viwanda vya mafuta ila viwanda vyetu UNK na maisha ya watanzania wengi ambapo ilitakiwa serikali iendelee UNK ili wananchi wengi waweze kupata dawa kwa bei rahisi hivyo si wenye viwanda tu ndio watakaoathirika bali hata kwa wananchi wa kawaida ambao ni wengi alisema mwenye kiwanda UNK dawa hapa jijini malalamiko haya yanaifanya serikali kuendelea kusakamwa na wadau mbalimbali wanaochangia mapato ya ndani na UNK waziri mkulo ambaye alionesha amedhamiria kufanya mabadiliko makubwa katika UNK kodi na hivyo kujikuta kwenye wakati mgumu hivi karibuni rais jakaya kikwete alilazimika kuingilia kati kwa kutengua utaratibu ambao ulilenga kuondoa msamaha wa kodi kwa asasi za kidini baada ya viongozi wa dini UNK juu bwana mkulo wakitaka serikali UNK uamuzi wake ili waendelee kuchangia juhudi za serikali katika kuwaletea maendeleo wananchi juzi mbunge wa kibaha bibi zainab gama alimshambulia bwana mkulo bungeni akisema kwamba ni msaliti anayeweza kuuza nchi kutokana na kitendo chake cha kuondoa ushuru wa forodha wa asilimia kumi unaotozwa kwenye mafuta UNK ya kula ya UNK akisema kwamba hatua hiyo inalenga kuua wazalisha wa ndani wa bidhaa hiyo mwanariadha maarufu nchini fabian joseph ameibuka kinara katika mashindano ya riadha ya dar es salaam vodacom nusu marathon kwa kutumia muda wa saa moja tatu arobaini na sita yaliyofanyika jana kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam kwa ushindi huo joseph amekabidhiwa fedha taslimu shilingi milioni moja ambapo mgeni rasmi alikuwa ni naibu waziri wa habari utamaduni na UNK joel bendera ambaye alimpongeza mwanariadha huyo kwa ushindi UNK nafasi ya pili ilichukuliwa na martine sule ambaye alitumia muda wa saa moja nne kumi na nne na kupata zawadi ya shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri nafasi ya tatu ilichukuliwa na dickson marwa ambaye alitumia muda wa saa moja nne ishirini na nne na kukabidhiwa shilingi mia nne na hamsini sifuri sifuri sifuri nafasi ya nne ilichukuliwa na samwel UNK ambaye alitumia muda wa saa moja tano arobaini na nne na nafasi ya tano ilikwenda kwa mkenya richard UNK ambaye alitumia muda wa saa moja sita hamsini na nne wote ikiwa kwa upande wa wanaume kwa upande wa wanawake nafasi ya kwanza ilichukuliwa na sarah ramadhani ambaye alitumia muda wa saa moja kumi na tano arobaini na nane na kuondoka na shilingi milioni moja na nafasi ya pili ilikwenda kwa mkenya UNK UNK ambaye alitumia muda wa moja kumi na tisa arobaini na nane ambaye alipata shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri nafasi ya tatu ilikwenda kwa banuela brighton aliyetumia muda wa moja ishirini hamsini na saba na kujinyakulia shilingi mia nne na hamsini sifuri sifuri sifuri nafasi ya nne ilichukuliwa na UNK UNK ambaye alitumia muda wa moja ishirini na mbili arobaini na saba na nafasi ya tano ikienda kwa asha abdala ambaye alitumia muda wa saa moja ishirini na sita hamsini na tisa meneja matukio wa vodacom rukia mtingwa alisema kampuni yake UNK mashindano hayo pamoja na UNK ili kuleta changamoto kwa makampuni mengine kuweza kuiga mfano wa vodacom katika kuendeleza na kukuza michezo nchini moto mkubwa umezuka na kuteketeza mali katika nyumba mbili zenye vyumba kumi na nne kati ya hivyo vikiwemo vya kuishi maduka ya vyakula saluni vinywaji na sehemu ya UNK tukio hilo lilitokea jana saa tisa alfajiri kivule kitunda ilala dar es salaam baada ya moto huo kuzuka katika chumba kimoja kilichokuwa UNK UNK UNK za magari na kusambaa vyumba vingine kwa mujibu wa mlinzi wa eneo hilo bwana UNK siasa kabla ya moto huo kuenea moshi mzito ulionekana katika chumba hicho na kusambaa kwenye vyumba vingine bwana siasa alisema walipiga simu kuomba msaada wa gari la zima moto uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere na halmashauri ya jiji lakini yalifika kwa kuchelewa mmoja wa waathirika alisema baada ya kusubiri magari hayo bila mafanikio moto huo UNK kasi hata magari hayo yalipofika hayakuwa na maji ya kutosha hivyo kulazimika kuondoka kwenda kujaza maji mengine UNK simu lakini hawakuonekana mapema hata walipofika walizima kidogo wakasema maji yamekwisha alisema mwanamke mmoja aliyekataa kutaja jina lake akidai anaogopa ushahidi mmliki wa nyumba hizo bwana ferdnand UNK alisema zimeteketea kabisa zikiwemo mali za wapangaji wa maduka hadi sasa thamani ya mali hizo haijafahamika alisema katika nyumba hizo kulikuwa na wapangaji watatu waliokuwa wakiishi na familia zao na sasa hawana mahali pa kuishi kutokana na janga hilo kamanda wa polisi mkoa wa ilala bwana faustine shilogile hakupatikana jana kueleza tukio hilo na hasara hasara iliyopatikana kutokana na tukio hilo kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini kutoka mahenge morogoro inayomkabili aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana abdallah zombe na wenzake inatarajia kumalizika wiki hii kesi hiyo itasikilizwa alhamisi na ijumaa ijayo mahakama kuu ya tanzania mbele ya jaji salum massati ambapo upande wa mashitaka utakuwa na kazi nzito kufanya majumuisho na baada ya hatua hiyo jaji atatoa UNK katika hatua hiyo wazee wa baraza nao watalazimika kutoa maoni yao kuhusu kesi nzima kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa kwa lengo la kusaidia mahakama hiyo kufikia uamuzi wa haki usikilizwaji huo ambao umepangwa kwa siku mbili UNK kesi hiyo na kubakia hatua moja tu ya kutolewa hukumu ambayo siku yake UNK na mahakama hiyo hatma ya kesi hiyo inasubiriwa kwa hamu na wananchi wengi kutokana mlolongo mzima wa kesi hiyo tangu UNK tukio la mauaji ya wafanyabiashara hao ambapo rais jakaya kikwete aliunda tume iliyoongozwa na jaji kipenka mussa kuchunguza upande wa utetezi tayari ulifanya majumuisho yake ambapo kila mshitakiwa aliomba kuachiwa huru na mahakama kutokana na madai ya kutohusika na tukio hilo huku bwana zombe akidai kutolewa UNK upande wa mashitaka ulifanikiwa kuwa na jumla ya mashahidi thebathini na tisa waliofika mahakamani hapo na kutoa ushahidi wao huku wengine UNK mahakama mahali UNK mauaji yalifanyika kesi hiyo ilianza kuunguruma mwaka ishirini sifuri sita kwa hatua za awali katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu na baadaye kuhamishiwa mahakama kuu ya tanzania kwa ajili ya kusikilizwa katika hatua ya utetezi washitakiwa hao walitofautiana wakati baadhi yao UNK tukio hilo wengine UNK tuhuma hizo wenzao na kuieleza mahakama namna UNK mauaji hayo UNK washitakiwa katika kesi hiyo wanadaiwa kuwa januari kumi na nne mwaka ishirini sifuri sita wakiwa katika msitu wa pande ulioko mbezi luisi dar es salaam walimuua kwa makusudi bwana ephraim chigumbi bwana sabinusi chigumbi bwana juma ndugu na bwana mathias lukombe washitakiwa hao ni bwana zombe bwana christopher bageni bwana ahmad makele wp elfu nne na mia tano na kumi na tatu jane d mia moja na arobaini sita mabula d elfu nane na mia mbili na themanini na tisa michael d mia mbili na thebathini sifuri abeneth d elfu nne na mia sita na hamsini na sita rajab na d elfu moja na mia tatu na sitini na saba philipo chama cha nccr mageuzi kimesema UNK mgombea katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la biharamulo magharibi kwa kile ilichodai hujuma za chama cha demokrasia na maendeleo kurubuni wagombea wake akizungumza dar es salaam jana mkuu wa idara kampeni na uchaguzi wa nccr mageuzi bwana faustin sungura alisema chama chake kimeamua kutoshiriki uchaguzi huo kwa hofu ya kuhujumiwa na chadema na kudai ina lengo la kugawana kura na chama cha mapinduzi na kunufaisha chama hicho wapinzani UNK ili tuwe kitu kimoja lakini UNK sisi wenyewe sasa tutakuwa na uwezo upi wa UNK chama tawala madarakani umoja wetu UNK alisema bwana sungura alisema chama chake kilikuwa na wanachama wawili wenye uwezo wa kuchukua kiti hicho UNK wazi na marehemu phares kabuye ambao ni bwana mpeka UNK na bwana antony mbasa lakini baada ya chadema kubaini hilo UNK bwana mbasa na kuhama chama aidha alidai kuwa viongozi wa chadema wanafanya ufisadi kuwarubuni viongozi wa vyama vya upinzani kuwataka kukiunga mkono chama chao kitendo UNK chuki na UNK alisema kama chadema ingekuwa inataka kushirikiana na kambi ya upinzani ili kusimamisha mgombea mmoja ingefanya mazungumzo na viongozi wenzao badala ya kurubuni makada wa vyama vingine mazungumzo ya nani aachiwe jimbo yalitakiwa kufanywa na kutiwa saini na viongozi wa vyama makao makuu kwa sababu hiyo mazungumzo ya nani aachiwe jimbo la biharamulo hayawezi kuwa halali kama yatakosa baraka za viongozi wa makao makuu alisema bwana sungura majira lilipozungumza na ofisa habari wa chadema bwana david kafalila alikanusha shutuma hizo na kudai kuwa bwana mbasa aliamua kujiunga na chama chao baada ya operesheni sangara na si kurubuniwa na mtu yeyote aliongeza kuwa waliamua kumsimamisha kugombea ubunge katika jimbo hilo baada ya kupata kura zaidi ya kumi sifuri dhidi ya wapinzani wake tulikuwa na wagombea wanne yeye alipata nafasi ya kugombea baada ya kuwashinda wapinzani wake katika kura za maoni alisema bwana kafalila jimbo la biharamulo magharibi UNK uwakilishi tangu mwaka ishirini sifuri saba baada ya mahakama kuu kutengua matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi marehemu kabuye kupitia UNK na aziza masoud mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba amesema sababu kubwa iliyochangia kujiengua aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chama hicho bwana wilfred lwakatare ni UNK kushika kugombea nyadhifa mbalimbali ndani ya chama hicho bwana lwakatare ambaye alijiuzulu nyadhifa zake zote ndani ya cuf hivi karibuni wiki iliyopita akiwa bukoba alitangaza kujiunga na chama cha demokrasia na maendeleo akizungumza dar es salaam jana katika kongamano la vijana wa cuf lililofanyika makao makuu ya chama hicho profesa lipumba alisema kutokana na mwanasiasa huyo kunyimwa nafasi za uongozi UNK na jambo hilo na kuchukua uamuzi huo hiki ni chama sio taasisi lazima kuwe na mabadaliko ya uongozi pindi UNK kufanyika bwana lwakatare imeonesha dhahiri kuwa hakutaka mabadiliko ya uongozi yafanyike ndani ya chama alisema profesa lipumba naye naibu katibu mkuu wa cuf zanzibar bwana juma duni haji akiwasilisha mada kwenye kongamano hilo aliwataka vijana wa cuf kuwa makini na kusimamisha wagombea wanaokubalika katika jamii na si katika chama tu vijana wamekata tamaa na chama chao baada ya matokeo ya uchaguzi katika jimbo la busanda na magogoni lakini UNK na agenda zetu za kutaka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi tutafanikiwa alisema bwana duni pamoja na serikali kutengua uamuzi wake wa kufuta msamaha wa kodi ya ongezeko la thamani kwa taasisi za dini na mashirika yasiyo ya kiserikali imedaiwa kuwa hatua hiyo ilitolewa kama adhabu kutokana na misimamo ya viongozi hao chanzo chetu cha habari kimedai uamuzi huo ulichangiwa na kauli za viongozi wa dini kugusa masuala mbalimbali ya kisiasa hususan uchaguzi mkuu unatarajiwa kufanyika mwakani kauli zinazodaiwa UNK suala hilo ni pamoja na ile iliyotolewa hivi karibuni na kanisa katoliki kuanzisha programu maalumu kuelimisha waumini wake masuala mbalimbali ya demokrasia pamoja na namna ya kuchagua viongozi bora nyingine ni ile iliyotolewa na maaskofu wa jumuiya ya kikristo tanzania kwenye mkutano wao mjini dodoma kuwataka waumini kujitokeza kupiga kura na kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi mkuu ujao mwakani hatua ya kufutwa misamaha hiyo ya kodi ya kwa taasisi hizo ilitangazwa na waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo UNK bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha ishirini sifuri tisa kumi mapema mwezi huu mjini dodoma hatua hiyo iliibua malumbano makubwa ndani ya jamii na kusababisha viongozi wakuu wa kidini nchini kukutana na serikali na hatimaye uamuzi huo kutenguliwa siku moja kabla ya kufanyika majumuisho na kupitisha kwa bajeti hiyo hatuelewi jambo hili UNK wapi huduma zinazotolewa na mashirika ya dini kila mtu UNK hatujui serikali ililenga nini lakini tatizo hapa ni hizi kelele ambazo viongozi wa dini tumekuwa UNK kidole serikali kila siku alisema mchungaji mmoja wa wa makanisa ya pentekoste jijini dar es salaam alipotakiwa kufafanua kuhusu kauli hiyo alisema juzi cct walipokutana huko dodoma walizungumzia waumini wao kujitokeza kupiga kura mwakani baadaye kanisa katoliki UNK mkakati wa kuelimisha waumini wake kuchagua viongozi bora siku chache baadaye UNK bajeti imefuta misamaha ya kodi hapa tukaona huenda ni yale yale alisema mchungaji huyo na kuongeza unajua hawa wenzetu hawataki eti UNK dini na siasa haya mambo mwandishi huwezi kutenganisha ndio maana kuna wachungaji wabunge na viongozi wengine ma alhaj UNK sasa kwanini UNK masuala hayo wakati ni sehemu ya jamii alihoji baadhi ya wachunguzi wa mambo UNK mikakati ya viongozi hao wa UNK ni hasira dhidi ya viongozi walioshindwa kuwajibika hivyo kutaka waumini wao washiriki kuwawajibisha kidemokrasia kwenye uchaguzi mkuu mwakani uchunguzi wa majira ulibaini uamuzi huo wa maaskofu kutoa elimu kwa waumini wao unatokana na baadhi ya viongozi waliochaguliwa kuwa na moyo wa ubinafsi na kujihusisha na ufisadi mmoja wa vigogo waandamizi serikali na ndani ya ccm aliyeomba kuhifadhiwa jina alikiri kuwepo kasoro katika utekelezaji ilani ya ccm hata hivyo alikanusha taarifa za kuhusishwa kufutwa misamaha ya kodi na kauli za hivi karibuni za viongozi wa dini kuhusu uchaguzi wa mwakani chama ni kizuri bwana mdogo hasa katika sera zetu lakini tuna upungufu katika baadhi ya sehemu ya ilani yetu ya uchaguzi ona kule jimbo la busanda tumeshinda kwa shida kutokana na kutoa ahadi ambazo UNK kada mwingine wa ccm alipoulizwa kuhusu wasiwasi huo wa viongozi wa dini alisema siwezi kuwazuia maaskofu na mashekhe kuwaza hivyo na huenda wanawaza hivyo kutokana na suala la wakati lakini bajeti UNK kuwaonea ila ili kuwa na dhamira ya kweli katika hilo viongozi wao walipokaa UNK na waziri UNK sababu za msingi kubatilisha uamuzi huo alisema kada huyo kwa sharti la kuhifadhiwa jina kuwa si msemaji wa chama nyumba za serikali UNK jipya mikataba ya ticts trl UNK wabunge sasa UNK UNK wadai kuna mazingaombwe usanii wakati waziri mkuu bwana mizengo pinda anawasilisha bajeti ya ofisi yake leo wabunge wamesema hawana maswali kwa hilo bali UNK UNK utekelezaji wa serikali juu ya maazimio ya bunge kuhusu sakata la richmond sambamba na hilo wabunge hao wamesema pia UNK kusikia majibu yasiyo na utata kutoka kwa kiongozi huyo wa shughuli za serikali bungeni kuhusu hoja za uuzaji holela nyumba za serikali mkataba tete wa kampuni ya kupakua mizigo bandarini na ule wa kampuni ya reli tanzania wabunge hao ambao walizungumza na gazeti hili kwa nyakati tofauti wamesema hoja hizo UNK serikali na hata kukiweka chama tawala ccm kwenye wakati mgumu mmoja wa wabunge hao alisema wananchi wamekuwa wakihoji masuala hayo lakini majibu yanayotolewa na viongozi hayatoshelezi hivyo wanachohitaji sasa ni kusikia kutoka kwa bwana pinda muafaka wa kudumu wa hoja hizo taarifa ya richmond inatarajiwa kuwasilishwa bungeni mwezi ujao mimi hadi UNK wananchi wangu nikirudi jimboni UNK richmond UNK wapi nasema linafanyiwa kazi taarifa itatolewa UNK lini UNK maneno sasa waziri mkuu hili UNK ufafanuzi nisije nikapoteza jimbo wale watu wana akili sana wanafuatilia mambo na wanataka kujua matokeo alisema mbunge mmoja wa kanda ya ziwa na kuomba kuhifadhiwa jina mbunge huyo alizidi kueleza najiuliza haya ni mazingaombwe au UNK tuliambiwa richmond wanalipwa mamilioni kwa siku juzi waziri anasimama anasema hawajalipwa hata senti tano nini hii ukweli uko wapi alihoji mbunge huyo na kusisitiza kuwa waziri mkuu lazima aweke wazi suala hilo aliongeza kuwa uuzwaji holela wa nyumba za serikali ambao UNK na wananchi wengi nao ni shughuli nyingine nzito ambayo bwana pinda anapaswa UNK ufafanuzi mbunge huyo alidai kuwa hadi sasa serikali haijatoa majibu ya kuridhisha kwa watanzania kuhusu hatua hiyo na wengi wao wanaamini kuwa nyumba zao UNK kwa kutumia ujanja nakwambia watanzania wa leo ni tofauti na wa jana mimi nimekwenda jimboni kwangu UNK kitimoto UNK mheshimiwa hivi kweli walionunua nyumba za UNK walikuwa UNK au hawana uwezo wa kujenga au wanataka kupora tu sisi UNK hizo nyumba zirudi mkishindwa kurudisha UNK hapa UNK kura alisema mbunge mwingine kutoka kanda ya kaskazini ambaye amekuwa miongoni mwa vinara wa kupinga ufisadi alisema waziri mkuu lazima aweke wazi suala la mkataba wa ticts inayodaiwa kuwa moja ya sababu za kudorora kwa ufanisi wa bandari ya dar es salaam pia alisema bwana pinda anapaswa kuweka wazi suala la kusuasua kwa kampuni ya trl chini ya wawekezaji rites kutoka nchini india na ikibidi mkataba huo uvunjwe kwa maslahi ya watanzania akizungumzia hotuba ya leo ya bwana pinda mbunge wa viti maalum bibi stela manyanya alisema anaamini itakuwa nzuri lakini akaonya kwamba mkakati wa kilimo kwanza lazima uweke bayana kikubwa zaidi UNK katika hotuba ya waziri mkuu ni kutueleza ni jinsi gani kilimo kwanza UNK naamini yeye UNK kwa majina vijiji kata na wilaya UNK matrekta na jinsi mradi huo UNK hatutarajii kubaki na mpango bila dira kamili ya utekelezaji kisha ikifika mwakani tuje UNK mara fedha UNK mara kulikuwa na hili hapana naamini waziri mkuu kama kiongozi wa shughuli za serikali atatueleza na kutaja moja kwa moja vijiji vitakavyonufaika ili usimamizi uwe mzuri na ufuatiliaji uwe rahisi alisema bibi manyanya alipoulizwa UNK yake kuhusu masuala UNK kama vile ufisadi alisema unajua ufisadi unatakiwa UNK kwa eneo pana sana ukizingatia hayo ninayosema UNK kuwepo ufisadi yaani ukaweka wazi miradi nani atanufaika na trekta zitatolewa ngapi ni rahisi kufuatia na mkono wa fisadi hauwezi kuingia kwa kuwa kila kitu kipo wazi na wananchi watajua alisema kwa upande wake mbunge wa maswa bwana john shibuda alisema anaamini waziri mkuu atatoa dira kamili kuhusu utekelezaji wa kilimo kwanza kwa kuwa yeye ndiye mmliki wa wizara zote ndio maana anaitwa waziri mkuu najua atatoa dira kamili UNK UNK na mgando wa mawazo UNK maendeleo katika wizara zote lakini hasa kilimo yeye UNK msingi wake wa utawala wake ajenge juu ya kilimo kwanza safi kabisa sasa naamini atatueleza dira hiyo itatekelezwa vipi kwa vitendo na kuondoa misamiati mingi ya muda mrefu alisema bwana shibuda na rehema maigala kesi ya mauaji inayomkabili mwanafunzi wa chuo kikuu dar es salaam bwana masamba musiba imeahirishwa tena hadi julai sita mwaka huu itakapotajwa tena kesi hiyo ilitajwa kwa mara ya pili jana mbele ya hakimu wa mahakama ya hakimu mkazi kinondoni bibi hilda UNK ilidaiwa mahakamani hapo kuwa juni sita mwaka huu mshitakiwa alimuua betha mwarabu kwa kumchoma kwa kitu chenye ncha kali katika chumba namba mia mbili na hamsini block c katika hosteli ya mabibo jijini dar es salaam nayo kesi ya bibi UNK kimaro anayekabiliwa na shitaka la kumchoma na mkasi wa moto mtoto wa ndugu yake na kumsababishia maumivu makali imeahirishwa mpaka julai nane mwaka huu itakapotajwa tena mshitakiwa huyo ambaye upelelezi wa kesi yake haujakamilika ilidaiwa alimshambulia mtoto bibi UNK UNK na kumsababishia maumivu mwilini kesi hiyo ipo mbele ya hakimu bibi sundi fimbo na ilisomwa na mwendesha mashitaka inspekta wa polisi bwana benedict nyagabona ambaye alidai kuwa mei thebathini na moja mwaka huu mshitakiwa alimchoma kwa mkasi mtoto huyo UNK bado yupo mahabusu kwa kukosa dhamana na shukrani kawogo hatimaye washiriki watatu wa kampuni ya development entrepreneurship community initiative waliofikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu kwa kujaribu kufanya maandamano ya kuishinikiza mahakama kuwaachia huru vigogo wa kampuni hiyo wamefanikiwa kupata dhamana washitakiwa waliopata dhamana jana ni bwana isaack kilage ambaye ni mchungaji wa kanisa la pentekoste bwana swamwel mathias ambaye ni mwinjilisti wa kanisa hilo na bibi neema rajab mkazi wa mabibo hata hivyo mshitakiwa mmoja bwana michael simon ambaye ni mfanyabiashara ameendelea kusota rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya dhamana yaliyowekwa na hakimu mkazi bwana michael mteite wote kwa pamoja walifikishwa mahakamani hapo wiki iliyopita wakidaiwa kufanya mikusanyiko isivyo halali ambayo ilisababisha uvunjifu wa amani katika eneo hilo hata hivyo washitakiwa wote walikana mashitaka hayo na mahakama iliwataka kuwa na mdhamini mmoja ambaye ni mtumishi serikalini au mdhamini wa kawaida mwenye hati ya nyumba kesi itatajwa tena julai mbili mwaka huu kesi hiyo itakapokuja kwa ajili ya kutajwa washitakiwa hao walikamatwa baada ya viongozi wa deci kufikishwa mahakamani wakidaiwa kuendesha mradi wa mchezo wa upatu bila kuwa na leseni kufikishwa kwa vinara hao kuliwafanya wanachama hao kufanya maandamano wakitaka kuishinikiza mahakama kusikiliza kesi hiyo haraka na grace michael aliyekuwa balozi wa tanzania nchini italia profesa costa mahalu na mwenzake bibi grace alfred wamewasilisha kusudio la kukata rufani kupinga uamuzi uliotolewa na mahakama kuu ya tanzania juu ya maombi ya kurejewa kwa mwenendo wa kesi yake ya uhujumu uchumi hata hivyo wakati wakiwasilisha kusudio la kupingana na uamuzi huo mahakama ya hakimu mkazi kisutu tayari imepanga kuanza kusikiliza utetezi wa washitakiwa hao kesho kutwa hatua ya kisutu kupanga kuanza kusikiliza kesi hiyo inatokana na kutupwa kwa maombi ya washitakiwa hao katika mahakama kuu ya tanzania ambako jalada UNK kwa ajili ya usikilizwaji wa maombi hayo kesi hiyo iko mbele ya naibu msajili wa mahakama ya rufaa bwana sivangilwa mwangesi ambaye baada ya kusikiliza mashahidi wa upande wa mashitaka aliwakuta washitakiwa hao na kesi ya kujibu hivyo kuwataka kupanda kizimbani na kujibu tuhuma zao kutokana na usikilizwaji mzima wa kesi hiyo upande wa utetezi UNK na mwenendo mzima wa kesi hiyo hivyo UNK rufani ambayo ilisikilizwa na jaji juxon mlay ambaye naye alitupilia mbali maombi ya washitakiwa hao kutokana na kuwepo kusudio la kukata rufani ya kupinga uamuzi huo na mahakama ya kisutu nayo kupanga usikilizwaji wa kesi hiyo hatua bayana itajulikana siku ya kesi hiyo itakapokuwa mbele ya bwana UNK hoja na washitakiwa hao katika maombi yao zilidai kuwa kesi iliendeshwa bila kuwepo kwa kibali cha mkurugenzi wa mashitaka suala ambalo lilipingwa na mahakama kwa kusema kuwa kibali kipo ndani ya jalada la kesi hiyo aidha walilalamikia namna mahakama ilivyochukua ushahidi kwa njia ya video kutoka italia ambapo mahakama kuu ilisema kuwa uamuzi juu ya suala hilo UNK na mahakama ya kisutu washitakiwa hao wanakabiliwa na makosa ya uhujumu uchumi ambapo wanadaiwa kula njama na kuiba matumizi mabaya ya nyaraka kwa nia ya kumpotosha mwajiri wizi pamoja na kuisababishia serikali hasara na robinson UNK musoma diwani wa kata ya UNK wilayani tarime mkoani mara joseph moyo UNK mbaroni na UNK na taarifa aliyoitoa kwamba watu ishirini na moja wamekufa na ng ombe ishirini sifuri kwa kutumia maji ya mto UNK ambayo UNK na maji ya sumu kutoka bwawa la mgodi wa north mara kaimu kamanda wa polisi mkoani mara deus kato alisema jana kuwa diwani huyo UNK kwa kuwa ameshindwa kuthibitisha madai yake ikiwa ni pamoja na kushindwa kuonesha makaburi UNK watu hao na mizoga ya ng ombe waliokufa kwa kunywa maji kato alisema baada ya taarifa kutolewa katika vyombo vya habari UNK mkuu wa polisi wa wilaya ya tarime costantine masawe kufuatilia taarifa hizo katika vijiji vya UNK UNK na UNK ambapo ilibainika hakuna vifo vilivyotokana na maji ya sumu alisema hakuna taarifa ya mganga wa kituo cha afya UNK kuhusu vifo hivyo bali taarifa zilizowahi kutolea ni juu ya wizi wa mifugo na mapigano ya koo za kabila la UNK alitahadharisha juu ya watu kusema habari ambazo hawana uhakika nazo na kuongeza kuwa mwenye uwezo wa kuthibitisha chanzo cha kifo ni daktari na siyo mtu yeyote katika barua yake ya juni nane mwaka huu kwa waziri wa tamisemi diwani huyo alitoa tuhuma dhidi ya kampuni ya barrick tanzania akidai imeshindwa kudhibiti maji ya sumu kutoka kwenye bwawa la sumu ambalo hakusema liko eneo gani ambalo limesababisha vifo kwa binadamu na mifugo alitaka kampuni kugharimia matibabu kwa waathirika wa tukio hilo ili kunusuru maisha yao na kuitaka UNK visima na mabwawa sambamba na UNK waliokufa na maji hayo ya sumu alitaja majina ya aliodai walikufa wakiwamo wanawake watatu aliodai mimba zao zimeharibika kutokana na hali hiyo shilingi bilioni kumi sita kilimo kwanza tume ya uchaguzi kufanyiwa marekebisho takrima sasa kufutwa rasmi kabla ya ishirini moja sifuri wanaokwenda chuo kikuu kupita jkt kwanza na john daniel dodoma baada ya ukimya wa muda mrefu serikali imetangaza rasmi kuwasilisha bungeni muswada wa sheria UNK mabadiliko makubwa ya UNK tume ya taifa ya uchaguzi ikiwemo kufutwa kwa takrima katika chaguzi mbalimbali akiwasilisha bajeti ya shilingi trilioni mbili sitini na mbili bungeni jana waziri mkuu bwana mizengo pinda alisema marekebisho hayo kwenye nec pia UNK kufanyia marekebisho sheria namba moja ya uchaguzi ya mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tano sheria namba nne ya mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na tisa ambapo pia tume hiyo sasa itakuwa na mamlaka ya kuandikisha wapiga kura katika pande zote za muungano alisema pia nec itakuwa na kipindi maalum cha kuboresha daftari la kudumu la wapigakura kufanya uteuzi wa mgombea endapo mgombea urais au makamu wake UNK dunia kubadilisha vifungu vya muda wa kufungua kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi kuweka kikomo kwa mgombea kujitoa katika uchaguzi pamoja na tume kupewa mamlaka ya kufanya chaguzi za madiwani mara mbili kwa mwaka serikali inakusudia kuwasilisha bungeni mapendekezo ya marekebisho ya sheria kuondoa vifungu UNK takrima muda wa kufungua kesi za kupinga matokeo kuongezwa kuweka kikomo cha mgombea kujitoa katika uchaguzi na tume kupewa mamlaka ya kufanya chaguzi ndogo za madiwani walau mara mbili kwa mwaka badala ya sasa alisema waziri mkuu kuhusu sekta ya madini waziri mkuu alisema katika mwaka wa fedha ishirini sifuri tisa kumi serikali itapitia upya sheria na sera ya madini kwa kuzingatia mapendekezo yaliyotolewa na wadau ikiwemo tume ya jaji mark UNK serikali imetenga maeneo katika sehemu mbalimbali kuwaendeleza wachimbaji wadogowadogo ikiwemo eneo lenye hekta arobaini sifuri sifuri huko UNK wilayani mpwapwa serikali itapitia upya sera na sheria ya madini itatilia maanani mapendekezo yaliyotolewa na wadau mbalimbali ikiwemo kamati ya jaji mark bomani alisema kuhusu kilimo alisema jumla ya shilingi bilioni kumi sita zitatumika kununua matrekta madogo moja mia sita na ishirini na nane shilingi bilioni mbili mbili zitatumika kununua matrekta makubwa hamsini na tano huku shilingi bilioni ishirini na tisa mbili zikielekezwa kutekeleza mpango wa maendeleo ya kilimo wilayani kwa kuongeza ruzuku ya mbolea katika mikoa ya ruvuma mbeya iringa rukwa morogoro na kigoma akizungumzia rushwa alisema taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa tayari imefanya uchunguzi wa kesi kadhaa za rushwa UNK na kukabidhi taarifa kwa mkurugenzi wa mashitaka na kwamba itachukua hatua kwa kila mtu atakayebainika katika rushwa kubwa au ndogo na kwamba jumla ya taarifa moja mia tatu na thebathini na nane za rushwa ziliripotiwa huku kesi mia tatu na ishirini na moja zikiwa UNK alisema kuanzia mwaka wa fedha ishirini moja sifuri kumi na moja wahitimu wote wa kidato cha sita watachukuliwa na jeshi la kujenga taifa kwa mujibu wa sheria na kwamba kila mwaka jeshi hilo linatarajia kuchukua vijana kumi sifuri sifuri sifuri kwa lengo la kujenga taifa lenye maadili na kuwafundisha vijana njia mbalimbali za kujitegemea kuhusu ajira alisema ilani ya uchaguzi wa ccm ililenga kuwapatia vijana zaidi ya milioni moja katika kipindi cha miaka mitano tangu mwaka ishirini sifuri tano na kwamba hadi sasa zaidi ya ajira milioni moja tatu zimepatikana nchini alisema serikali imetoa maelekezo kwa ofisi za mikoa wilaya na kata kukuza ajira kwa UNK maofisa waratibu wa ajira katika ngazi hizo na kutoa wito kwa mikoa ambayo UNK kamati hizo za ajira kufanya hivyo haraka kwa upande wa siri za serikali bwana pinda alitoa wito kwa watendaji wakuu mbalimbali wa serikali kutumia ofisi ya mpiga chapa mkuu wa UNK kuchapisha UNK mbalimbali kwa lengo la kutunza siri na kuepusha tatizo la kuvuja kwa siri za serikali akihitimisha hotuba yake waziri mkuu alisema kati ya shilingi trilioni mbili sitini na mbili UNK shilingi bilioni mia moja na arobaini na tatu mbili ni kwa ajili ya ofisi yake shilingi bilioni mia moja na tisini na saba nane ni kwa ajili ya tamisemi shilingi bilioni mia moja na sitini na nane kumi na tatu ni ofisi za wakuu wa mikoa shilingi trilioni mbili sifuri nne nne ni ruzuku kwa halmashauri na shilingi bilioni sitini na nane ishirini na tano ni kwa ajili ya bunge ni kuhusu tuhuma za meremeta UNK waziri spika wasema ni suala la jeshi yeye asisitiza ni upotevu wa mabilioni na john daniel dodoma mbunge wa karatu daktari wilbroad slaa jana UNK bungeni baada ya swali lake la kuitaka serikali ieleze ni lini itafanya ukaguzi wa kina kwa kampuni za meremeta tangold mwananchi na deep green finance ili kuchunguza ubadhirifu wa shilingi bilioni mia mbili na kumi na tano kukataliwa kiaina licha yan serikali kumwambia atafute hoja nyingine pia spika wa bunge bwana samwel sitta naye UNK kifua serikali kwa kukataa UNK swali la nyongeza kuhusu meremeta kwa maelezo kwamba kampuni hiyo ina uhusiano na jeshi la wananchi wa tanzania akijibu swali la nyongeza la mbunge huyo naibu waziri wa fedha na uchumi bwana jeremiah sumari alisema serikali haiwezi kufanya ukaguzi wa kina kwa kampuni ya mwananchi kwa kuwa inaendelea na utaratibu wa UNK na kuongeza kuwa kwa kufanya hivyo UNK kazi ya UNK mheshimiwa spika hivi sasa kampuni hizi ziko katika hatua za UNK na moja ya kazi ya mfilisi ni kutafuta mali ziko wapi na kutoa taarifa kwa aliyemtuma nadhani tusubiri haraka ya nini halafu na wewe tafuta hoja nyingine alisema bwana sumari awali katika swali lake la nyonge daktari slaa alisema mheshimiwa spika kwanza nasikitika kwa majibu ya waziri ambaye hajajibu maswali yangu kwa kuwa hoja ya waziri mkuu kwamba meremeta ina mahusiano na jeshi haihusiani na swali langu mimi ninachozungumza hapa ni shilingi bilioni karibu mia moja na hamsini na tano hata hivyo kabla mbunge huyo UNK spika sitta alisimama na kusema mheshimiwa slaa serikali iliwasilisha taarifa katika kamati ya uongozi na nafikiri hata wewe UNK na tulikubaliana kwamba mambo yanayohusu jeshi letu hatuwezi kuweka hadharani siwezi kukuruhusu kuuliza kuhusu meremeta uliza kuhusu mwananchi akiendelea na swali lake la nyongeza daktari slaa aliitaka serikali kueleza bunge kama UNK taarifa ya kamati ya jaji bomani UNK kampuni hiyo ya mwananchi kufanyiwa ukaguzi katika swali lake la msingi namba sabini na nane ambalo UNK wiki iliyopita kutokana na muda kuisha mbunge huyo aliitaka serikali kueleza bunge muda ambao itakaotumia kukagua kwa kina za meremeta tangold mwananchi na deep green finance ili kubaini kile alichodai kuwa ni ubadhirifu wa shilingi bilioni mia mbili na kumi na tano na kueleza sababu UNK uchukue muda mrefu kufanya ukaguzi huku wananchi wakipiga kelele kuhusu suala hilo aliitaka serikali kufanya ukaguzi wa kina kama ilivyofanya katika akaunti ya malipo ya madeni ya nje ya benki ya tanzania ubadhirifu wa mabilioni ya shilingi na john daniel dodoma mbunge wa UNK daktari UNK mzindakaya amemtetea rais mstaafu benjamin mkapa akisema wanaomtuhumu kuwa hakuwa kiongozi mzuri hawana hoja kwa vile alifanya mambo mengi mazuri kwa manufaa ya taifa amewataka wabunge wenzake ambao alidai UNK vita bwana mkapa kutambua kuwa chuki na UNK mtu nao pia ni ufisadi akichangi bajeti ya waziri mkuu iliyowasilishwa bungeni juzi mbunge huyo alisema wabunge UNK wanapima ufisadi kwa fedha badala ya roho zao na kuongeza kwamba kufanya hivyo ni kosa kwa kuwa kinachotakiwa ni mtu kupima roho yake kwanza kama ni safi kabla ya kumjadili mwingine kwa kigezo cha fedha binadamu ana kasoro moja kubwa sana ya kutazama ubaya kuliko mazuri kumi hapa UNK biblia UNK tano kumi na tano na sura ya sita nne usiwe fisadi katika jambo kubwa wala dogo wala UNK kuwa adui badala ya rafiki roho ya ufisadi UNK yeye aliye na nayo hata kumfanya mzaha kwa adui zake alisema mbunge huyo UNK serikali ya rais jakaya kikwete kwa kutaja baadhi ya mafanikio katika nyanja za elimu miundo mbinu ya barabara na afya na kuwataka wabunge watambue kwamba serikali ya awamu ya nne ni nzuri na imetoka kwa mungu serikali hii nzuri imetoka wapi kama si kwa mungu hii serikali imetoka kwa mungu hata hizi lawama UNK rais mkapa ni za shetani tu hivi kweli kwa miaka kumi hakuna UNK alihoji daktari UNK kwa upande wake mbunge wa kilindi bibi beatrice shellukindo alilalamikia utendaji wa baadhi ya watendaji wakuu wa serikali kwa kuchelewesha maamuzi huku akitaka kampeni chafu zinazoendeshwa na baadhi ya mawaziri wanaowania majimbo ya uchaguzi mwaka ishirini moja sifuri UNK alisema mmoja wa mawaziri wa sasa alifika jimboni kwake na kufanya kampeni chafu na kuongeza kwamba yeye kama mbunge UNK mtu kufanya kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwakani lakini ni lazima anayetaka kufanya hivyo afuate taratibu zilizopo na kusisitiza kuwa hakuna mtu mwenye hati miliki ya jimbo na zuhura semkucha shinyanga shahidi wa tisa katika kesi ya mauaji ya albino inayosikilizwa mahakama kuu mjini shinyanga inspekta juma jumanne wa kituo cha polisi wilaya ya bariadi amedai kuwa mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo mboje mawe alikiri na kufukua viungo vya albino huyo katika nyumba yake mbele ya askari polisi akitoa ushahidi huo katika mahakama hiyo alidai kuwa mshitakiwa huyo UNK viungo hivyo ambavyo alikuwa UNK kwa kutumia jembe lake mara baaada ya kukiri kuhusika na mauaji hayo na kuwapeleka askari hao eneo hilo akiongozwa na wakili upande wa serikali edwin kakolaki shahidi huyo alidai kuwa baada ya kupokea taarifa kutoka kwa afisa mpelelezi wa wilaya juu ya kutokea kwa mauaji hayo katika kijiji cha UNK ndipo alipoanza upelelezi wa kumtafuta mtuhumiwa huyo ambapo mara baada ya kumtia nguvuni alikiri kutenda kosa hilo na kuwapeleka eneo walipokuwa UNK viungo hivyo alidai kuwa mshitakiwa huyo wakati UNK viungo hivyo aliwaomba askari polisi kuwaleta watuhumiwa wengine ambao tayari walikuwa mikononi mwa polisi ili kusaidiana katika zoezi hilo la UNK kwa kuwa kosa hilo walitenda wote kitendo ambacho polisi waliafikiana nacho aidha UNK kudai kuwa wakati wa safari kuelekea katika kituo cha polisi ndipo mshitakiwa huyo alimtaja mteja wa viungo hivyo kuwa ni yusuph ibrahimu mkazi wa lamadi ambapo pia alimpatia mpelelezi huyo namba za simu za mteja huyo aliendelea kuielezea mahakama hiyo kuwa baada ya kupata namba hizo aliwasiliana na mteja huyo kwa kutumia njia ya kujitambulisha kuwa yeye ni miongoni mwa watu waliowatuma awatafutie viungo hivyo huku askari huyo alimwambia mteja huyo kuwa yupo pamoja na mboje mawe ambapo mteja huyo alikiri kumfahamu mboje mawe alidai kuwa hatua iliyofuata walikwenda nyumbani kwa mteja huyo UNK na mshitakiwa huyo kwa lengo la kuwaonesha njia na hatimaye kufanikiwa kutia nguvuni mteja huyo yusuph UNK kufuatia hali hiyo jaji UNK aliamua kuahirisha kikao hicho na kufanya kikao cha ndani pamoja na mawakili hao na kusema kuwa taarifa juu ya mvutano huo itatolewa mara baada ya kikao hicho lakini hadi kikao UNK shahidi huyo aliendelea kutoa ushahidi wake ambapo hadi gazeti hili linaondoka mahakamani hapo hatma ya mvutano huo UNK kesi hiyo inayowakabili mboje mawe chenyenye maganyale sayi gamaya na sayi mafizi dhidi ya mauaji ya albino lyaku willy hadi sasa ni mashahidi tisa wameshatoa ushahidi mahakamani hapo kati ya mashahidi kumi na nne wanaotarajiwa kutoa ushahidi wao naye patrick mabula anaripoti kutoka kahama kuwa washitakiwa katika kesi ya mauaji ya albino inayosikilizwa na mahakama kuu wilayani kahama juzi walidaiwa kuwa UNK UNK kwa nguvu na mama mzazi wa albino ndani ya chumba alipokuwa amelala naye kwa muda wa nusu saa na kumpeleka nje kisha UNK akisoma hati mashitaka katika kesi inayowakabili watu watano katika mahakama hiyo wakili wa serikali bwana UNK rweyongeza alidai mbele ya jaji gabriel rwakibalila kuwa siku ya tukio baada ya kumvamia mama yake chumbani wakamchukua na kumkata miguu yote miwili bwana rweyongeza alidai kuwa oktoba kumi na tisa mwaka ishirini sifuri nane usiku wa manane washitakiwa walimvamia mama wa mtoto huyo mkazi wa kijiji cha shilela wilayani kahama bibi jenifa john akiwa amelala naye chumbani na kumkata kwanza mkono kabla UNK UNK na mama yake mzazi wakili huyo wa serikali aliendelea kueleza kuwa baada ya kukatwa mkono walimpiga mama huyo kwa UNK wa panga na kumchukua mtoto hadi nje ya nyumba UNK miguu na kumnyofoa kipande cha nyama ya chini ya UNK kesi hiyo ya pili inayowakabili watu watano dhidi ya mauaji ya esther charles aliyekuwa akisoma darasa la tatu katika shule ya msingi shilela ilisomwa kwa mara ya kwanza jana na kuahirishwa kutokana na baadhi ya washitakiwa kuhusika katika kesi ya kwanza na grace michael uamuzi wa serikali kuvunja mkataba wa ujenzi wa barabara ya kagoma hadi lusahunga mkoani kagera UNK shilingi bilioni ishirini na sita kwa kuilipa kampuni iliyokuwa UNK barabara hiyo hayo yamebainishwa kwenye mapendekezo ya mtaalam wa migogoro ya barabara baada ya kupitia mgogoro kati ya wakala wa barabara tanzania na kampuni hiyo ya china state UNK UNK corporation fedha hizo ambazo serikali inatakiwa kuilipa kampuni hiyo UNK fedha za fidia ambazo ni dola za marekani milioni kumi na tano sita gharama za uendeshaji mradi wa barabara dola arobaini na mbili mia mbili na kumi na tano pamoja na dola za marekani milioni mbili tano kama gharama ya kazi iliyokuwa UNK madai hayo yanatokana na tanroads kuvunja mkataba wa ujenzi wa barabara hiyo yenye urefu wa kilomita mia moja na hamsini na nne baada ya kuona kampuni hiyo ya ujenzi inashindwa kutimiza vigezo vilivyokuwa ndani ya mkataba huo ikiwemo kasi ndogo ya ujenzi mkataba huo uliingiwa na pande zote mbili machi kumi na tatu mwaka ishirini sifuri sita ambapo barabara hiyo ilitakiwa kujengwa kwa gharama za shilingi bilioni arobaini na nane tisa kwa muda wa miezi thebathini na tisa mradi huo ulitakiwa kuanza aprili ishirini na moja mwaka ishirini sifuri sita na kumalizika julai ishirini mwaka huu lakini ulikwama muda mfupi baada ya kazi kuanza katika ujenzi huo tanroads UNK mhandisi msimamizi wa kampuni ya international consultant UNK UNK ltd kutoka india ambaye juni saba mwaka jana aliandika taarifa kwa kampuni hiyo ya ujenzi ya kukatisha mkataba ilitakiwa pia kuondoka eneo la mradi hatua lakini UNK hatua hiyo aidha desemba kumi na mbili mwaka jana kampuni hiyo ilitoa taarifa kwa tanroads kupitia wakili wao bwana dilip kesaria kuwa wana nia ya kupeleka mgogoro huo kwa mtaalam wa migogoro chini ya kifungu sitini na saba cha masharti ya mkataba kutokana na hali hiyo pande zote mbili zilikubaliana na kumteua mtaalam profesa a UNK kwa ajili ya kutatua mgogoro huo baada ya kupitiwa kwa nyaraka za pande zote mbili mtaalam huyo juni kumi na tano mwaka huu alitoa mapendekezo yake kuwa tanroads inatakiwa kulipa jumla ya dola za marekani ishirini na moja mia nne na sitini na tisa mia nane na kumi na moja hadi sasa ujenzi wa barabara hiyo umekwama kutokana na kusitishwa kwa mkataba huo hivyo na kusababisha kero ya usafiri kwa wananchi watu saba wamefariki dunia na wengine arobaini na moja kujeruhiwa vibaya baada ya lori aina fuso lenye namba za usajili t mia nane na hamsini na tano UNK kugongwa kwa nyuma na lori aina ya scania lenye namba za usajili t mia nne na sitini na tatu kupinduka korongoni katika mlima wa UNK kuelekea mbalizi mkoani mbeya mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa lori aina ya fuso lilibeba watu waliokuwa wakitokea UNK ambalo lilikuwa mbele ya scania lililokuwa katika mwendo wa kasi hivyo dereva wa gari hilo alishindwa kulimudu ndipo tela la gari lake UNK lori na kusababisha kuanguka korongoni mmoja wa majeruhi aliyelazwa katika wodi namba moja ambaye ana UNK ya kifua na mkono aliyejitambulisha kwa jina la hassan ahmad alisema kuwa wao walikuwa wakitokea UNK ndipo lori lenye tela UNK kwa nyuma na wao kutupwa korongoni waliokufa katika ajali hiyo wametambuliwa kwa jina moja moja kuwa ni boni mkazi wa mbalizi UNK au mkazi wa mbali na mtoto mdogo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka mitatu aliyefahamika kwa jinala angel UNK kwa mujibu wa muuguzi wa zamu katika kitengo cha msaada wa haraka bibi anna UNK ni kwamba jumla ya majeruhi walioletwa hospitalini hapo ni arobaini na moja ambapo kati yao kumi na nne waliruhusiwa baada ya kupatiwa matibabu muuguzi mkuu wa hospitali ya rufaa daktari thomas UNK aliwataja baadhi ya majeruhi waliolazwa kuwa ni bwana UNK UNK bwana UNK UNK UNK UNK UNK moses UNK mwakipesile ilunga UNK UNK simbeye grace UNK na mmoja aliyefahamika kwa jina la UNK wengine ni UNK UNK godfrey UNK michael charles UNK ebby kissa josephat hassan hamad mariamu mwakipesile UNK UNK UNK UNK vumilia edward UNK bahati bertha UNK halima samson emmy omar UNK wilson na habiba UNK na nuru UNK alisema kuwa kati ya majeruhi hao kumi na nne wameruhusiwa baada ya kupatiwa matibabu na kwamba waliolazwa baadhi yao hali zao zinaendelea vizuri na wengine ambao wamelazwa katika wodi namba moja mbili na tatu wakati huo UNK waliokuwa wakisafiri katika basi la upendo linalofanya safari zake kati ya mbeya na dar es salaam lenye namba za usajili t mia moja na tisini na moja UNK wamenusurika kifo baada ya basi hilo kupinduka katika eneo la chimala wilayani UNK jana asubuhi mashuhuda wa ajali hiyo walisema dereva wa basi alikuwa UNK mwendesha baiskeli ndipo mbele yake akakutana na lori la kampuni ya UNK ambalo UNK kwa pembeni na kuangukia upande wa dereva majeruhi ambao ni abiria waliokuwa wakisafiri katika basi hilo wamelazwa katika hospitali ya UNK ya UNK huku vumbi la mchezo wa upatu wa kampuni ya development entrepreneurship community initiative likiwa UNK washiriki wa mchezo mwingine wa upatu jana UNK katika ofisi za taasisi hiyo iliyoko tabata relini dar es salaam wakishinikiza kurudishiwa mbegu zao washiriki hao wakiwa kwenye kundi kubwa walifurika nje ya ofisi hiyo wakishinikiza kurudishiwa mbegu zao huku UNK uongozi kwa kushindwa kuwalipa fedha zao kwa wakati UNK waandishi wa gazeti hili walishuhudia vurugu hizo ambapo washiriki hao walikuwa na jazba wakati wakidai mbegu zao huku baadhi ya viongozi wakijaribu kuwatuliza bila mafanikio lazima UNK fedha zetu la sivyo amani itavunjika hapa tumechoka kudanganywa kwa maneno kama watoto sisi UNK hapa kupoteza muda tunachotaka ni jasho letu alisema mmoja wa washiriki hao uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa taasisi inayoendesha upatu huo awali ilikuwa ikijulikana kama tumaini rf institute ikiwa na kauli mbiu UNK UNK ililazimika kubadili jina na kuitwa tumaini relief UNK ili UNK kama kampuni nyingine za deci na malingumu washiriki ambao hawakutaka kutaja majina yao walisema kuwa walipigwa na butwaa baada ya kufika ofisini hapo na kukuta jina la kampuni hiyo UNK washiriki hao ambao walipanda mbegu zao machi kumi na nane mwaka huu na kuahidiwa kuvuna juni ishirini na tatu walipofika ofisini hapo waliambiwa wavute subira kwa muda usiojulikana baadhi ya viongozi wa upatu huo walibainika kuwadanganya wanachama kuwa wao ni washiriki wenzao na kuwataka wanaodai fedha zao kutulia kwa kuwatisha kuwa iwapo siri hiyo UNK wote watapata hasara kama ilivyotokea kwa deci na malingumu sikilizeni jamani hata mimi ni UNK UNK mbegu zangu kwa hiyo UNK subira haina haja ya kukusanyika hapa nje waandishi UNK njuga wote tutakuwa tumepoteza fedha zetu na kupata hasara alisema kiongozi huyo hata hivyo baadhi ya viongozi wa deci walionekana maeneo hayo wakivinjari na kuwatuliza wanachama hao kwa kuwapa ahadi na mifano mbalimbali ili waondoke maeneo hayo mmoja wa viongozi hao aliwaita baadhi ya washiriki pembeni na kuwaambia kuwa waliopanda mbegu kuanzia shilingi milioni moja na zaidi UNK risiti zao ili awalipe fedha hizo kwa masharti kuwa yeye UNK kwa wakati wake badala yao naye mwanachama mmoja ambaye hakutaka kutaja jina lake alisema kuwa amepanda shilingi milioni mbili na hadi sasa hajajua hatima ya fedha zake huku akiwa analia na kulalamika kuwa anadaiwa na watu mbalimbali ambako UNK fedha hizo kwanini wanatufanyia hivi najuta kuwapa fedha zangu na fedha hizi ni za shetani UNK nitatoa fungu la kumi kanisani na UNK tena kutarajia fedha bila kufanya kazi alilalamika baadhi ya washiriki walionekana kuchanganyikiwa na kukata tamaa baada ya kuambiwa na viongozi waliokuwepo kuwa kiongozi mkuu yuko nje ya nchi na hatima yao itajulikana atakaporudi apigwa mapanga UNK bisibisi na suleiman abeid kagera dereva wa gari la mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi katika uchaguzi mdogo jimbo la biharamulo mkoani kagera amenusurika kufa baada ya kuvamiwa na kushambuliwa na watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo tukio hilo lilitokea juzi saa kumi na moja jioni katika kijiji cha nyambale kata ya lusahunga wilayani biharamulo ambapo dereva huyo bwana david modest alijeruhiwa vibaya kwa kuchomwa bisibisi na kupigwa bapa la panga sehemu mbalimbali mwilini na kunyang anywa funguo za gari lake namba t tisini tatu UNK toyota land cruiser akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufikishwa kituo cha polisi bwana modest alisema alifikwa na mkasa huo wakati akirejea mjini biharamulo akitokea kijiji cha nyakanazi kwenye mkutano wa kampeni za ccm akifafanua alisema wakati akiwa njiani alipofika kijiji cha nyambale alisimamishwa na kundi la wananchi ambao waliomba msaada wa kumpeleka mgonjwa wao hospitali ambapo UNK UNK ndani ya gari alisema wakati wananchi hao wakifanya taratibu za UNK mgonjwa huyo ghafla gari linalosadikiwa la wafuasi wa chadema aina ya toyota land cruiser namba t mia nne na thebathini na saba UNK UNK mbele ya gari lake wakatoka vijana wanne mmoja akiwa na panga na mwingine UNK bwana modest alisema vijana hao walianza kumshambulia kwa kumpiga bapa la panga mgongoni mbavuni na kwenye UNK huku mwingine UNK bisibisi mkono wa kulia na kumjeruhi vibaya alisema wakati wakiendelea na shambulio hilo wananchi waliokuwa jirani walilazimika kukimbia huku vijana wengine wawili wakijaribu kumtoa ndani ya gari na UNK amegoma UNK maji UNK ni aina fulani ya tindikali ambayo hata hivyo UNK aliendelea kueleza kuwa wakati vijana hao wakiendelea kumsulubu polisi wawili waliokuwa katika eneo la mkutano wa chadema walifika ambapo kijana aliyekuwa na panga alitupa chini na kudai kuwa UNK mtu wa ccm akiwa na panga hilo kisha walipanda katika gari lao na kukimbia hata hivyo alisema baada ya polisi kufika katika eneo hilo walifanikiwa kutuliza ghasia na kumshauri kuondoka ili awahi biharamulo mjini kupatiwa matibabu lakini alishangaa kuona gari lake likiwa halina UNK baada ya polisi kutuliza vurugu hizo UNK UNK hospitali lakini UNK kuwasha gari sikuona funguo nilishangaa ghafla UNK kijana mmoja akija mbio akitokea eneo ambalo chadema walikuwa wakifanya mkutano akanipa funguo pamoja na vifaa vya alama za barabarani UNK gari kwa tabu na kuelekea mjini alieleza bwana UNK kwa upande wake mkuu wa kitengo cha uchaguzi wa ccm taifa bwana UNK UNK UNK kitendo hicho na kueleza kuwa chama chake sasa UNK na vitendo UNK na chadema na huenda UNK kujibu mapigo kama hali ya ulinzi UNK kwa kweli sasa tunaanza kuchoshwa na vitendo hivi napenda UNK wazi kwenu ninyi waandishi wa habari kuwa iwapo hali hii itaendelea kuwa hivi na sisi tutaanza kujibu mapigo hawa watu wa chadema mara zote UNK ujinga tumekaa kimya kwa sababu hatupendi kufanya vurugu ingawa uwezo tunao lakini sasa tumechoka alieleza bwana UNK akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi wa mkoa wa kagera bwana henry salewi alisema jeshi lake UNK vijana waliohusika na tukio hilo na kwamba hadi sasa gari walilokuwa wakitumia vijana hao liko chini ya ulinzi na dereva wake hajulikani aliko ni kweli tukio hili limetokea na dereva huyo wa mgombea wa ccm alifika hapa UNK fomu namba tatu kwenda kutibiwa hospitali hata hivyo bado UNK vijana waliohusika na mashambulizi hayo ambao wameshindwa kujitokeza tumeamua kuliweka chini ya ulinzi gari lililohusika katika tukio hilo ambalo tumekuta limeegeshwa katika hotel moja mjini hapa na iwapo wahusika hawatajitokeza UNK milango chini ya usimamizi wa viongozi wa chadema na ccm ili UNK kuona kama ndani yake lina silaha zozote alieleza bwana UNK uchaguzi katika jimbo la biharamulo magharibi unatarajiwa kufanyika julai tano mwaka huu ambapo ccm kimemsimamisha bwana oscar mukasa chadema bwana mbasa gervas na tlp kimemsimamisha bwana mpeka buhangaza na grace michael karata ya mwisho kwa aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana abdallah zombe na wenzake wanaotuhumiwa kwa mauaji ya wafanyabiashara wa madini kutoka mahenge morogoro inaanza kuchezwa leo katika mahakama kuu ya tanzania katika ngwe hii siku ya hukumu kwa washitakiwa hao itafahamika baada ya kukamilika hatua za mwisho za kesi hiyo mbele ya jaji salum massati hatua za mwisho zinazotakiwa kufanywa mahakamani hapo ni pamoja na majumuisho ya upande wa mashitaka ambao utakuwa na kazi nzito kuchambua ushahidi na utetezi wa washitakiwa na kuieleza mahakama namna ushahidi huo UNK washitakiwa hao kingine kitakachofanyika ni wazee wa baraza ambao nao watatakiwa kusaidia mahakama hiyo kufikia uamuzi wa haki na kutoa maoni yao kuhusu ushahidi uliotolewa mahakamani hapo baada ya hatua hizo kukamilika itabaki kazi kwa jaji massati kutamka siku UNK kutoa hukumu dhidi ya washitakiwa hao ambao UNK rumande tangu mwaka ishirini sifuri sita UNK mbaroni hatma ya kesi hiyo inasubiriwa kwa shauku na wananchi kutokana na msisimko wa tukio hilo tangu kuuawa wafanyabiashara hadi hatua iliyomfanya rais jakaya kikwete kuunda tume chini ya jaji kipenka mussa UNK katika kesi hiyo upande wa mashitaka ulifanikiwa kuwa na jumla ya mashahidi thebathini na saba na vielelezo mbalimbali zikiwemo bunduki zinazodaiwa kuua ripoti ya mkemia mkuu wa serikali gari lililokuwa likitumiwa na marehemu kabla ya kufikwa mauti yao kwa upande wa utetezi ulikuwa na jumla ya mashahidi kumi na mbili wakiwemo UNK wenyewe kila mshitakiwa alijaribu kujinasua kwa kutoa utetezi wake washitakiwa katika kesi hiyo wanadaiwa kuwa januari kumi na nne mwaka ishirini sifuri sita wakiwa katika msitu wa pande ulioko mbezi luisi dar es salaam walimuua kwa makusudi bwana ephraim chigumbi bwana sabinusi chigumbi bwana juma ndugu na bwana mathias lukombe washitakiwa hao ni bwana zombe bwana christopher bageni bwana ahmad makele wp elfu nne na mia tano na kumi na tatu jane d mia moja na arobaini sita mabula d elfu nane na mia mbili na themanini na tisa michael d mia mbili na thebathini sifuri abeneth d elfu nne na mia sita na hamsini na sita rajab na d elfu moja na mia tatu na sitini na saba philipo na flora amon dodoma watu sita wamefikishwa mahakama ya wilaya dodoma jana UNK kwa kusababisha ajali ya treni UNK watu saba na kujeruhi wengine saba iliyotokea wilayani UNK mwendesha mashitaka inspekta msaidizi wa polisi bwana UNK UNK aliwataja washitakiwa hao kuwa ni bwana prosper nchimbi UNK ng anya john UNK seif UNK hassan musa na hamisi UNK mbele ya hakimu mkazi mfawidhi bwana thomas simba mwendesha mashitaka washitakiwa walitenda makosa mawili tofauti ambapo la kwanza ni kula njama ya kutenda kosa la jinai muda usiojulikana kosa la pili ilidaiwa kuwa machi ishirini na tisa mwaka huu UNK treni njiani bila taarifa na kuhatarisha usalama wa abiria hivyo kusababisha treni ya nyuma yake ambayo ni ya abiria kugonga ya mizigo na kusababisha vifo vya watu saba na wengine saba kujeruhiwa vibaya washitakiwa walikana mashitaka wamerudishwa rumande hadi aprili kumi na tano mwaka huu wakati huo huo maiti wanne waliokuwa wamehifadhiwa hospitali ya mkoa wa dodoma wametambuliwa na wakati wowote wanaweza kuchukuliwa na ndugu zao mganga mkuu wa hospitali hiyo daktari godfrey mtei aliwataja maiti hao kuwa ni bwana yohana ifakara mkazi wa kahama bwana juma UNK mkazi wa kondoa bwana jackson lucas mkazi wa kahama na bwana yusuf UNK ambaye hajafahamika ni mkazi wa wapi isipokuwa ndugu zake walipiga simu na kumtambua kwa upande wa majeruhi daktari mtei alisema UNK mmoja bwana fredrick UNK ambaye anaendelea na matibabu naye thomas dominick anaripoti kuwa naibu mkurugenzi mstaafu wa mamlaka ya reli ya tanzania na zambia bwana ayubu UNK ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa kamati ya uchunguzi wa ajali ya treni iliyotokea dodoma kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa dar es salaam jana na kusainiwa na katibu mkuu wa wizara ya maendeleo ya miundombinu bwana omar chambo uteuzi huo umefanywa na waziri wa wizara hiyo daktari shukuru kawambwa kamati hiyo imeundwa ili kuchunguza ajali hiyo iliyotokea machi ishirini na tisa mwaka huu kati ya stesheni ya UNK na UNK wajumbe wa kamati hiyo ni kaimu mkurugenzi mtendaji mstaafu wa rahco bwana UNK mboma mwanasheria mwandamizi wizara ya sheria na katiba m UNK kaimu mkurugenzi wa usalama na mazingira m kipande mhandisi wa karakana tazara a UNK na mhandisi wa reli d UNK UNK kufuta kauli dhidi ya mawaziri ni ile UNK wanajibu ovyo ovyo bunge UNK kumchukulia hatua jenista naye akerwa majibu ya waziri mbunge wa kigoma kaskazini bwana kabwe zitto jana UNK misuli na kukataa kata kata kufuta kauli yake bungeni baada ya kuwashambulia mawaziri kwamba wamekuwa wakitoa majibu ya ovyo ovyo UNK na kutakiwa kufuta kauli hiyo hali hiyo imelifanya baraza la mawaziri la rais jakaya kikwete kuendelea kuwa na wakati mgumu bungeni baada ya wabunge kadhaa kuzidi kulisakama na kuonesha wasiwasi juu ya utendaji wao huku wengine wakiweka bayana nia yao kuwasilisha hoja binafsi kama hawatabadilika kiutendaji akichangia jana hotuba ya bajeti ya ofisi ya waziri mkuu iliyowasilishwa bungeni jumatatu wiki hii bwana zitto alisema kulingana na takwimu za serikali alizonazo hali ya umasikini vifo vya wajawazito na watoto chini ya miaka mitano imeongezeka na kueleza kusikitishwa na majibu ya ovyo yaliyotolewa na naibu waziri wa fedha na uchumi bwana jeremiah sumari kuhusu kampuni ya meremeta tangold na mwananchi kamati ya jaji bomani ilisema kampuni hiyo ifanyiwe ukaguzi wa kina mwaka ishirini sifuri nane serikali tena waziri mkuu alitoa taarifa katika ukurasa wa mia mbili na thebathini na mbili hii ni taarifa ya serikali kwamba UNK kazi mapendekezo hayo juzi waziri sumari anajibu ovyo ovyo tu tena UNK katibu mkuu wa chama alisema bwana zitto wakati mbunge huyo akiendelea kutoa mchango wake mbunge wa nkasi bwana UNK UNK aliomba mwongozo wa mwenyekiti wa kikao hicho bwana zubeir ali maulid chini ya kifungu cha sitini na nane kwamba bwana zitto ametoa maneno ya kuudhi hivyo UNK kabla ya kuendelea akitoa mwongozo wake bwana maulid alimtaka bwana zitto kufuta maneno yake ndipo aendelee kutoa mchango wake jambo ambalo UNK na kuhoji uhalali wa yeye kutakiwa kufuta maneno yake wakati kuna wabunge wa ccm waliomtangulia kuwashambulia mawaziri bila kuchukuliwa hatua kama hiyo bwana maulid mheshimiwa zitto naomba UNK maneno yako kisha uendelee bwana zitto mheshimiwa mwenyekiti UNK nasimamia maneno yangu liwalo na liwe kwenye bunge hili hili mbunge wa ccm alisimama UNK mawaziri lakini UNK hatua hii baada ya kutoa majibu hayo bwana zitto aliamriwa kukaa chini na mwenyekiti bwana maulid kumtaka tena kufuta kwanza kauli yake ndipo aendelee kuchangia aliposimama kuendelea kuchangia kwa ujasiri mkubwa bwana kabwe alisisitiza kuwa mawaziri wanajibu ovyo ovyo na kuendelea kuchangia hoja yake endelea kuchangia lakini hatua zaidi UNK baadaye alionya mwenyekiti wa bunge hata hivyo wakati mgumu kwa bwana zitto UNK hapo kwani mbunge wa kibaha mjini daktari zainab gama naye alisimama na kuomba mwongozo wa mwenyekiti kwa maelezo kwamba spika wa bunge alishatangaza kwamba hakuna ruhusa kujadili tena suala la meremeta ndani ya ukumbi huo kwa kuwa ni suala la jeshi akitoa mwongozo wake bwana maulid alikubaliana na daktari gama na kumtaka bwana zitto kuendelea kuchangia bila kugusa suala la meremeta awali kuchangia bwana zitto alisema mchango wake utakuwa na uelekeo wa uchaguzi kwa kuwa ndio uelekeo ulioneshwa na wabunge wengi waliomtangulia huku akitumia muda mwingi kutoa takwimu mbalimbali za serikali na kuhoji utekelezaji wa ilani ya uchaguzi wa chama cha mapinduzi ya mwaka ishirini sifuri tano alisema takwimu hizo za serikali zinaonesha kwamba hali ya umasikini umeongezeka kutoka watu milioni kumi na moja na kufikia milioni kumi na mbili saba badala ya kupungua kama ilivyoahidiwa na ccm katika ilani yake ya mwaka ishirini sifuri tano na kuongeza kwamba asilimia sabini na nne ya watu masikini wako vijijini alisema takwimu hizo hizo zinaonesha kwamba kilimo UNK kwa asilimia nne hadi nne moja badala ya nane kumi kama ilivyoainishwa katika ilani ya ccm huku vifo vya wajawazito vikiongezeka UNK wanawake mia tano na sabini na nane kati ya kumi sifuri sifuri sifuri sifuri wanaojifungua na watoto chini ya umri wa miaka mitano ikifikia mia moja na thebathini na nne kwa kumi sifuri sifuri na kuongeza kwamba ukosefu wa lishe bora ni moja ya chanzo kikuu cha vifo vya watoto takwimu zinaonesha asilimia sabini na nane ya watanzania hawaaminiani watu wawili tu kati ya kumi ndio UNK ndio maana hata wabunge na mawaziri hawaaminiani hizi ndio nilitegemea katika hotuba ya waziri mkuu UNK na kueleza mkakati wa serikali alisema bwana zitto alisema kutokana na ugumu wa maisha wananchi waliamua kukimbilia deci kutokana kukosa uwezekano wa kupata UNK kwa upande wake mbunge wa peramiho bibi jenista mhagama UNK baraza la mawaziri na kumwomba waziri mkuu mizengo pinda kuwaagiza manaibu waziri kutafakari upya majibu yao kabla ya kuyatoa kwa wabunge wakati mwingine haya majibu ya manaibu waziri wawe UNK upya asubuhi naibu waziri UNK kuwa si kazi ya serikali kujenga viwanda hivi kama si kazi ya serikali ni ya nani alihoji bibi mhagama UNK naibu waziri wa kilimo chakula na ushirika daktari mathayo david mbunge huyo aliyekuwa akichangia hotuba ya bajeti ya ofisi ya waziri mkuu alisema serikali inashindwa kufikia malengo yake ya kuboresha maisha ya watu wake kutokana na baadhi ya watendaji kutowajibika ipasavyo huku akitoa mfano kwa waziri ofisi ya rais UNK ya utumishi wa umma kushindwa kumaliza tatizo la wafanyakazi wake kwa muda mrefu sasa mheshimiwa mwenyekiti kama hatuwezi kuangalia maslahi ya watumishi UNK malengo tangu mwaka ishirini sifuri saba UNK tatizo la wafanyakazi UNK kwenye payroll nimewasiliana na waziri wa utumishi haya makaratasi ni kielelezo cha mawasiliano kati yangu na waziri mpaka waziri mkuu UNK barua kwanza suala la hawa watumishi lishughulikiwe lakini hakuna kitu hili si jambo jema kwa serikali yetu alisema bibi mhagama huku akionesha nyaraka mbalimbali naye mbunge wa kahama bwana jemes lembeli katika UNK wake wa juzi usiku UNK kutumiwa vibaya kwa maliasili ya madini pamoja na nia nzuri ya serikali kuwepo kwa mgodi wa buzwagi lakini mgodi huo UNK wananchi UNK madini ni siasa madini ni kero ni UNK ni balaa ni mkosi kwa maeneo yangu serikali kama imeshindwa kuwasaidia wananchi hao inategemea nini mwaka ishirini moja sifuri alihoji bwana lembeli aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana abdallah zombe anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia ya wafanyabiashara wa madini kutoka mahenge morogoro ametakiwa kuacha kujifananisha na yesu kwa kuwa hana hadhi hiyo kauli hiyo imetolewa jana mahakama kuu ya tanzania na wakili wa upande wa mashitaka bwana mugaya mutaki mbele ya jaji salum massati wakati akitoa maoni ya upande huo kuhusiana na kesi dhidi ya washitakiwa hao bwana mutaki alifikia hatua ya kusema hivyo baada ya kunukuu kauli ya mshitakiwa huyo ambayo aliitoa wakati wa majumuisho ya kesi hiyo kwa upande wa utetezi ambapo UNK na yesu UNK UNK kwa manufaa ya wengine hivyo naye UNK kafara katika kesi hiyo zombe hakustahili kujilinganisha na yesu kwani yule jaji wa yesu alikuwa UNK na wale UNK hawakuwa na ushahidi dhidi ya yesu na badala yake walikuwa wakijibu kwa pamoja asulubiwe asulubiwe lakini kwa upande wetu tunao ushahidi wa kutosha kuhusiana na kesi inayomkabili hapa hivyo hana hadhi ya yesu na kauli yake hiyo UNK na mahakama alidai bwana mutaki alisema kuwa amefikia hatua ya kupingana na usemi huo kwa kuwa mazingira ya kesi hiyo na yesu ni tofauti na ukizingatia jaji anayesikiliza kesi hii ni mtu wa haki na UNK misingi ya sheria na ushahidi upo hivyo haki UNK mbali na hayo upande wa mashitaka pia uliiambia mahakama kuwa pamoja na bwana zombe kutofika eneo la tukio ambalo ni msitu wa pande ulioko mbezi luisi dar es salaam lakini ushiriki wake katika baadhi ya matukio ya mauaji hayo ni moja ya ushahidi tosha UNK na mashitaka hayo bwana mutaki alisema kuwa ushiriki wa mshitakiwa huyo katika ufuatiliaji wa fedha katika kituo cha urafiki ni moja ya kitendo ambacho UNK shaka au kinaonesha kuwa alikuwa anafahamu tukio zima la mauaji kwa kuwa UNK kuulizia UNK wenye kielelezo cha fedha mbali na kuwa UNK vitendo vingine ambavyo upande huo umeona UNK mshitakiwa huyo ni vya kuwapongeza askari ambao ni washitakiwa waliokuwa eneo la tukio au walioshiriki katika mauaji hayo aidha uwepo wake katika hospitali ya taifa ya muhimbili siku ya kuagwa miili ya marehemu nalo ni moja ya suala ambalo UNK na upande huo na kuonesha kuwa kwa kufanya hivyo alikuwa na taarifa ya tukio zima la mauaji hayo baada ya kusema hayo bwana mutaki aliiomba mahakama hiyo kumkuta na hatia bwana zombe kutokana na mazingira hayo hata kama hakwenda katika eneo la tukio hata hivyo upande huo ulikwenda mbali zaidi kwa kuiomba mahakama kuwa endapo mshitakiwa huyo UNK na hatia katika kosa la mauaji basi UNK na hatia katika kosa dogo la kusaidia kutenda kosa ambalo kwa mujibu wa sheria mshitakiwa anatakiwa kufungwa miaka saba tunaomba mahakama itumie kifungu cha mia tatu na themanini na saba mia tatu na themanini na nane na mia mbili na kumi na tatu vya kanuni ya adhabu ambacho kinaelekeza kama mshitakiwa UNK na kosa kubwa la mauaji basi akutwe na kosa dogo la kusaidia kutenda kosa aliomba bwana mutaki upande wa mashitaka kabla ya kuanza kuchambua mshitakiwa mmoja baada ya mwingine UNK mahakama kuwa kazi ya kuthibitisha makosa ya washitakiwa ni ya upande huo na katika kesi hiyo ulifanikiwa kuwa na mashahidi thebathini na saba pamoja na vielelezo ishirini na tatu alisema kuwa maeneo ambayo yalitakiwa UNK kama kweli marehemu walikufa aina ya vifo vyao au kuonesha kutokuwa vya kawaida kama washitakiwa ndio walihusika moja kwa moja na mauaji pamoja na nia ya washitakiwa katika mauaji hayo akichambua hoja hizo alisema kuwa vifo hivyo vimethibitishwa na ushahidi wa daktari ambaye alikuwa shahidi wa kumi na tisa ambaye alitoa taarifa za vifo vya marehemu hao na kuonesha kuwa vifo hivyo havikuwa vya kawaida kwa kuwa marehemu wote walipigwa risasi sehemu moja alisema kuwa kutokana na ushahidi huo dhamana ya washitakiwa hao kupambana na majambazi inaondoka kwa kuwa isingewezekana marehemu wote wakapigwa risasi eneo moja bali wanakubaliana na ushahidi wa kulazwa chini marehemu na kufyatuliwa risasi alisema kuwa hakuna ubishi kuwa marehemu walikamatwa wakiwa hai na kupekuliwa na washitakiwa hao na baadae kufungwa pingu na mashati mikononi mwao na hayo yalithibitishwa na mashahidi wa pili sita na saba wa kutoka sinza dar es salaam bwana mutaki alizidi kuieleza mahakama kuwa bwana zombe bwana christopher bageni na bwana ahmed makelle kwa nyakati tofauti walifika kituo cha polisi cha urafiki kwa ajili ya kufuatilia fedha walizokamatwa nazo marehemu lakini kitu cha kushangaza hakuna hata mmoja ambaye aliweza kuuliza hao marehemu waliko kutokana na kuwepo kwa ushahidi wa marehemu hao kukamatwa wakiwa wazima na kesho yake kukutwa katika chumba cha maiti wakiwa wamekufa kwa kupigwa risasi swali UNK ni nani aliyehusika na mauaji ya wafanyabiashara hao kwa mazingira hayo bwana mutaki aliiomba mahakama kuona kuwa ni jambo la kushangaza kuwa marehemu walikamatwa na polisi wakiwa wazima halafu polisi hao waseme hawakuhusika na mauaji hayo na wakati hawajatoa maelezo kama marehemu hao UNK na kwenda kuuawa huko mbali katika mazingira hayo aliiomba mahakama kujikita kwenye kanuni ambayo ilisema kuwa aliyeonekana na marehemu kwa mara ya mwisho ndio anatakiwa aeleze huyo marehemu UNK lakini pia ione kuwa washitakiwa hao walikuwa na nia moja ya kufanya mauaji hayo tangu UNK kwenda pande kutowapeleka polisi na kitendo cha kupongezwa kwa kazi nzuri akimzungumzia mshitakiwa wa pili bwana bageni bwana mutaki alisema kuwa ushahidi dhidi yake ni mwingi mno lakini yeye pia nakiri kuongoza askari wakiwa ukuta wa posta ambako ndiko walidai mauaji hayo kufanyika aliiomba mahakama kutupilia mbali utetezi wake kwa kuwa ilikuwa ni hadithi ya kutunga tofauti na tukio lilivyokuwa hivyo alieleza uongo mtupu kuhusiana na tukio hilo kwa upande wa mshitakiwa wa tatu bwana makelle ilielezwa kuwa upo ushahidi unaoonesha kwenda pande na yeye anakiri kuhusika katika ukamataji wa marehemu hao maeneo ya sinza aidha washitakiwa wengine nao walihusishwa na ushahidi mbalimbali na mahakama kuombwa kuwatia hatiani kwa kuwa hawakutoa taarifa yoyote baada ya kufanyika mauaji hayo mshitakiwa wa kumi na mbili bwana rajab bakari katika UNK yeye alikiri moja kwa moja kwenda eneo la tukio na ushahidi wake umeungwa mkono na vielelezo mbalimbali vilivyoko mahakamani hapo lakini katika ushahidi wake anaonesha kwenda kwenye tukio kwa amri ya wakubwa upande huo UNK hilo kwa kusema kuwa endapo UNK kwenda alistahili kutoa taarifa za tukio hilo mara baada ya kutoka huko na alipata fursa ya kushiriki tume mbalimbali lakini hakusema ukweli kutokana na mazingira hayo bwana mutaki aliiomba mahakama kuwatia wote hatiani kulingana na ushahidi huo akihitimisha majumuisho yake bwana mutaki alisema kuwa kila kesi ina mazingira yake na kwa upande wa kesi hiyo ina mazingira ya pekee kutokana na washitakiwa kuwa askari polisi wakiwemo wa ngazi za juu na waliobobea kwenye upelelezi hivyo akaomba ipewe mtazamo wa pekee na mahakama ifikie uamuzi wa haki aidha aliiomba mahakama pia kuzingatia ushahidi wa marehemu rashid lema kwa kuwa tayari ulikuwa UNK mahakamani na yeye UNK wakati wa UNK wa maelezo hayo kumalizika kwa majumuisho ya upande huo jaji massati naye alilazimika kutoa muhtasari wa kesi nzima ili kuwasaidia wazee wa baraza kutoa maoni yao mahakamani hapo jaji massati aliwataka wazee hao kujikita katika misingi ya sheria na UNK na kitu chochote katika utoaji wa maoni yao aidha aliwataka kuangalia ushahidi uliopo kwa makini zaidi na kutahadharisha kuwa wingi wa ushahidi sio kitu bali wanachotakiwa kuangalia ni ubora wa ushahidi huo kutokana na hayo wazee hao wanatarajiwa kutoa maoni yao leo mahakamani hapo na kubaki kazi moja tu ya jaji ya kutoa hukumu yake washitakiwa katika kesi hiyo wanadaiwa kuwa januari kumi na nne mwaka ishirini sifuri sita wakiwa katika msitu wa pande luisi ulioko mbezi dar es salaam walimuua kwa makusudi bwana ephraim chigumbi bwana sabinusi chigumbi bwana juma ndugu na bwana mathias lukombe washitakiwa hao ni bwana zombe bwana christopher bageni bwana ahmad makele wp elfu nne na mia tano na kumi na tatu jane d mia moja na arobaini sita mabula d elfu nane na mia mbili na themanini na tisa michael d mia mbili na thebathini sifuri abeneth d elfu nne na mia sita na hamsini na sita rajab na d elfu moja na mia tatu na sitini na saba philipo na ramadhan UNK morogoro mfanyakazi wa ndani bibi laynes UNK mkazi wa UNK manispaa ya morogoro UNK na mwili wake kufichwa stoo ya nyumba ya tajiri wake na mtu UNK mama mwenye nyumba hiyo aliyejitambulisha kwa jina la bibi UNK lugoyo maarufu kama mama UNK alisema tukio hilo lilitokea juzi saa nne asubuhi baada ya mfanyakazi huyo kuachwa nyumbani na wao kwenda kazini akisimulia mkasa huo bibi lugoyo alisema siku moja kabla ya tukio hilo mtu UNK alikwenda nyumbani hapo kuomba kazi ya kukata michongoma na kutakiwa kufika asubuhi ya siku iliyofuata kwa kazi hiyo kesho yake mtu huyo alifika na kuanza kazi na bibi lugoyo alimwachia pesa marehemu laynes ili akimaliza UNK hata hivyo imedaiwa mtu huyo baada ya kubaini kuwa nyumbani hapo hapakuwa na mtu mwingine aliingia ndani na kujaribu kumbaka mfanyakazi huyo kabla ya kumchinja kwa kisu chenye makali shingoni na kumficha katika moja ya stoo ndani ya nyumba hiyo na kutokomea kusikojulikana bibi lugoyo alisema waliporudi walikuta mfanyakazi wao hayupo na si kawaida yake walipokaa hadi saa moja jioni waliamua kwenda kutoa taarifa polisi katika hali ya kushangaza jana asubuhi walikuta mwili wa msichana huyo UNK na kufunikwa vitu UNK kamanda wa polisi mkoani morogoro bwana thobias andengenye amethibitisha kupokea taarifa za kifo hicho na kwamba jeshi lake linaendelea kuchunguza na kumsaka muuaji huyo mwili wa marehemu umehifadhiwa hospitali ya mkoa wa morogoro asema wabunge presha inapanda inashuka hata angekuwa yeye UNK UNK hatma ya zitto kujulikana wiki ijayo siku chache baada ya wabunge kuonesha kutoridhika na utendaji kazi wa baadhi ya mawaziri na kuwarushia makombora ya waziwazi waziri mkuu bwana mizengo pinda amewaagiza mawaziri hao kujipanga kujibu hoja hizo moja baada ya nyingine akijibu swali katika kipindi cha maswali ya papo kwa papo kutoka kwa mbunge wa kongwa bwana job ndugai jana bwana pinda alisema licha ya wabunge kuwarushia tuhuma baadhi ya mawaziri hakupata shida kwa kuwa walitumia haki yao ya kikatiba na utashi wa kisiasa hasa kwa kuzingatia kuwa uchaguzi mkuu unakaribia hivyo kila mmoja wao anataka aonekane anafanya kazi kwanza ni haki ya wabunge kufanya hivyo maana uchaguzi unapokaribia presha inapanda presha inashuka ili wananchi wako wakuone kwamba hapa umefanya kazi kweli kweli hata ingekuwa ni mimi niko back UNK ningefanya hivyo hivyo UNK shida sana lakini ni vizuri ukawa na uhakika na kile UNK kama madai hayo ni kweli ni changamoto kwetu kama ni ya kweli yatafanyiwa kazi mawaziri hawa ni wavumilivu sana ni wasikivu sana nimewaambia mawaziri haya yote UNK alisema waziri mkuu katika swali lake bwana ndugai aliitaka serikali kutoa kauli yake kuhusu tuhuma nzito zilizoelekezwa kwa mawaziri kwa kile alichokiita kutokuwa haki viongozi hao kupata lawama kama ilivyotokea katika mkutano wa bunge unaoendelea mjini hapa kwa upande wake mbunge tarime bwana charles mwera alimtaka waziri mkuu kutoa kauli ya serikali kuhusu hali mbaya ya wananchi wa jimbo lake hususan walio karibu na mgodi wa nyamongo unamilikiwa na kampuni ya barick kuathirika kutokana kemikali UNK katika maji UNK wananchi hao akijibu swali hilo bwana pinda alikiri kuona hali hiyo kupitia UNK vya habari na kwamba hata yeye mwenyewe amesikitishwa na tatizo hilo na kuahidi kutuma timu itakayoshughulikia tatizo hilo haraka UNK hata hivyo jibu hilo la waziri mkuu halikumtosheleza bwana mwera hivyo kuuliza swali la nyongeza ambapo alimwomba kiongozi huyo kumtuma yeye na mawaziri watatu wa nishati na madini afya na utawi wa jamii pamoja na yule wa mazingira ili UNK tatizo hilo leo kwa kuwa wananchi wanazidi kupata madhara akijibu swali hilo waziri mkuu alisema mheshimiwa spika nikisema ni kesho UNK UNK tu UNK kwa haraka aliahidi bwana pinda katika hatua nyingine mbunge wa kigoma kaskazini bwana kabwe zitto huenda UNK na wakati mgumu tena bungeni baada ya spika wa bunge bwana samuel sitta kutangaza kwamba kitendo alichofanya cha kukataa kutii amri ya kiti iliyotolewa na mwenyekiti wa bunge bwana zuber ali maulid ya kufuta kauli yake kwamba mawaziri wanajibu ovyo ovyo UNK hivyo uamuzi utatolewa wiki ijayo akitangaza nia ya kushughulikia suala hilo na kulitolea uamuzi bungeni jana spika sitta alisema kwa mujibu wa kanuni za bunge toleo la mwaka ishirini sifuri saba iwapo mbunge hakuridhika na maamuzi ya kiti chake anatakiwa kutii kwanza kisha kukata rufaa na si UNK alisema uhuru wa wabunge kuhoji au kuchangia jambo lolote haliwezi kumfanya mbunge kutotii amri ya meza yake na kwamba suala hilo sasa atalitolea uamuzi kwa kuzingatia kanuni za bunge katika mchango wake katika hotuba ya bajeti ya ofisi ya waziri mkuu mbunge huyo jana alisema majibu yaliyotolewa na naibu waziri wa fedha na uchumi bwana jeremiah sumari kuhusu kampuni ya meremeta yalikuwa yanakinzana na kauli iliyotolewa na serikali kuwa uchunguzi unaendelea hivyo kutafsiri jibu hilo kuwa ni la ovyo na kulwa mzee viongozi wa mkoa wa dar es salaam UNK na wakati mgumu hadi kuamua kuondoka katika mazingira ya kutatanisha kwenye jengo la machinga complex baada ya wadau UNK juu kioski cha mfano kilichowekwa kwa ajili ya wafanyabiashara ndogo ndogo kutumia hali hiyo ilitokea jana katika kikao cha madiwani na wabunge wa mkoa huo kilichofanyika kwa ajili ya kujadili UNK jengo hilo kukabidhiwa kwa halmashauri ya jiji akizungumzia UNK wa makabidhiano hayo mhandisi kutoka kampuni ya ushauri ya UNK ambao ni UNK wa ramani bwana ernest mhina alisema shirika la umeme tanzania ndilo linalokwamisha kufanyika kwa makabidhiano hayo alisema tangu mwaka jana waliomba kuwekewa umeme lakini majibu UNK mwaka huu ambapo tanesco wanataka walipwe shilingi milioni hamsini kwanza ndipo UNK umeme katika jengo hilo kwa sababu wakati wa UNK mita zao zenye thamani hiyo UNK bwana mhina alisema kiasi hicho cha fedha kinatakiwa kulipa na halmashauri ya jiji kwani wao ndio UNK majengo ya UNK yaliyokuwa katika eneo hilo mhandisi huyo alisema wanategemea jengo lote liwe na wafanyabiashara ndogo ndogo kumi sifuri sifuri sifuri vioski viwe moja hamsini sifuri ambapo kila kimoja wanatarajiwa kukaa wafanyabiashara sita mbunge wa temeke bwana abbas mtemvu na mbunge wa ilala bwana mussa zungu walikubali kubeba jukumu hilo la kufuatilia umeme tanesco kwani hiyo walisema ndiyo kazi yao hawataki maneno na wapiga kura wao baada ya kutoa maelezo hayo viongozi wote akiwemo bwana zungu mhandisi bwana mhina meneja mipango na uwekezaji wa nssf bwana UNK abdallah na wadau mbalimbali UNK juu ya jengo hilo kuona kioski cha mfano kwa ajili ya wafanyabiashara hao udogo wa kioski hicho UNK mtafaruku wadau wakiwemo wajumbe katika bodi ya jengo hilo walisema havifai kutumiwa na watu sita kwa shida wanaweza kutumia watu wawili mjumbe wa bodi bwana UNK saidi ambaye ni katibu wa vibindo alisema vioski hivyo vinafaa lakini si kwa idadi ya wafanyabiashara sita katika kila kimoja kutokana na udogo wake bwana saidi alisema vioski hivyo vinastahili kuwa na watu watatu kwani hata huko china walikokwenda kuiga mtindo huo kioski kimoja kinatumiwa na watu wawili bodi yetu ilituma watu kwenda china wakakuta vioski hivyo kila kimoja kinatumiwa na watu wawili tena kwa ajili ya kuchukulia oda alisema mjumbe huyo alisema vioski UNK kuletwa kwa ajili ya wafanyabiashara wa hapo duka na stoo ni hiyo hiyo kwa hali hiyo aliona ni bora wamachinga waendelee kuuza bidhaa mikononi eneo lililowekwa kioski cha mfano palikuwa hakuna amani kila mmoja alikuwa akilalamika kivyake bila maelewano wala majibu ya moja kwa moja kipi kitafanyika kuondoa tatizo hilo UNK mapema kuendelea kwa kelele na malalamiko juu ya ukubwa wa vioski hivyo kulifanya viongozi waliokuwa katika mkutano huo kuondoka kila mmoja kwa wakati wake bila kurudi meza kuu na kuacha vinywaji pamoja na vitafunwa vilivyowekwa mezani kwa ajili yao kula aliyebaki juu akiendelea kujibu hoja ni bwana abdallah ambaye alisema UNK mapendekezo yaliyotolewa na kwenda kuyafanyia kazi hivi vioski ni kwa ajili ya wafanyabiashara UNK mikanda kumi saa kumi na soksi kumi na si kwa ajili ya UNK UNK la nguo za mitumba alisema wadau walimbana wakitaka kujua wafanyabiashara hao watawezaje kumudu gharama za hapo kwa kufanya biashara hiyo akijibu alisema gharama ni ndogo kwani UNK kwa siku kila mfanyabiashara alipe si zaidi ya shilingi moja hamsini sifuri na salum pazzy wanachama wa deci mpya ya tumaini relief saccos wamepanga UNK jumatano ijayo kuidhinisha maamuzi yaliyofikiwa na kamati maalum inayoshughulikia kulipwa mbegu zao agizo hilo lilitolewa na kamati hiyo jana katika ofisi za taasisi hiyo zilizopo tabata relini dar es salaam ambapo viongozi hao wamewaomba wanachama kukusanyika siku hiyo ili kukamilisha mikakati yao akizungumza na gazeti hili katibu wa kamati hiyo bwana richard mbilinyi alisema kuwa hatua mbalimbali zimeshaanza kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kuonana na wahusika ili kuwabana walipe fedha hizo kabla hawajafikishwa mahakamani hata hivyo bwana mbilinyi alieleza kuwa viongozi wa taasisi hiyo waliokamatwa juzi waliachiwa mara baada ya kufikishwa kituo cha polisi buguruni kitendo ambacho kinapunguza ufanisi wa kazi ya kamati hiyo sisi tunaendelea na mikakati yetu kwa sasa hatuwezi kusema mengi lakini wale viongozi waliokamatwa waliachiwa siku ile ile walipofika kituoni alidai hata hivyo baadhi ya wanachama hao walionekana kukata tamaa na kujutia maamuzi yao ya kuweka fedha kwenye taasisi hiyo na kusema kuwa viongozi wao walitumia imani ya dini UNK mimi niliuza nyumba yangu na kuja kupanda mbegu hapa wakaniambia fedha UNK UNK kwenye mzunguko wao maalum utakao UNK faida ya ajabu na UNK UNK kwani mungu ana uwezo wa kufanya miujiza alilalamika mmoja wa wanachama hao wanachama hao waliofika ofisini hapo wakiwa na vielelezo mbalimbali vya mbegu walizopanda ikiwa ni pamoja na namba ya akaunti ya taasisi hiyo waliyokuwa wakiweka fedha na stakabadhi walizopewa baada ya malipo hayo baadhi ya wanachama hao walitupa lawama kwa serikali kwa kushindwa kusimamisha shughuli za upatu huo mapema na kudai kuwa ndiyo ilitoa vibali bila UNK shughuli zinazofanywa na taasisi hiyo na zuhura semkucha shinyanga mshitakiwa wa kwanza katika kesi ya mlemavu wa ngozi albino lyaku willy bwana mboje mawe ameiambia mahakama namna UNK kipigo na askari polisi wakati walipokuwa wakimshinikiza kufukua viungo vya mlemavu huyo mshtakiwa huyo alisema hayo jana mahakama kuu mjini hapa baada ya kubanwa na upande wa mashitaka UNK kueleza sababu zilizowafanya askari wampe UNK peke yake na sababu zilizomfanya akubali kufukua viungo UNK na kuwataja watuhumiwa wenzake kama kweli hakuhusika na mauaji hayo mshitakiwa huyo alidai kuwa sababu ya askari hao kumpa kipigo hicho ni kitendo chake cha kuwania nafasi za uongozi wa kisiasa wa ngazi ya kata hivyo aliamini kuwa ni mambo ya kisiasa alidai kuwa askari ndio walimpeleka kwenye nyumba iliyokuwa na viungo hivyo na kwa upande wake UNK mimi UNK na askari polisi na tulipofika askari ndio walivunja mlango na kutoa panga na UNK na kumtaka aoneshe vilipo viungo vya albino huyo lakini yeye hakufahamu hata vilipo alidai mshitakiwa huyo alidai UNK baada ya yeye kushindwa kuonesha mahali vilipo askari hao walimpeleka kwenye nyumba aliyokuwa akiishi yeye na kumwonesha maeneo mawili ambayo walimtaka UNK katika maeneo hayo hata hivyo UNK kupingana na wale askari lakini walinipiga mno hivyo nililazimika kufuata amri hiyo ya kufukua sehemu hizo na hatimaye sehemu ya kwanza tulikuta UNK mfuko ambao baada ya kuufungua ndani kulikuwa na miguu miwili ya binadamu huku sehemu nyingine tulikuta mfuko wa UNK wenye kichwa cha binadamu pia alidai mshitakiwa huyo alisisitiza kuwa alilazimika kufukua katika maeneo hayo kwa kuwa alilazimishwa na askari polisi kitendo cha mshitakiwa huyo kudai kuwa alikiri kosa kutokana na kupigwa na askari polisi kulizua malumbano makali ya kisheria katika pande zote mbili huku upande wa utetezi UNK kupokewa kwa maelezo ya onyo ya mshitakiwa huyo kama kielelezo mahakamani hapo sababu ya kupinga maelezo hayo upande huo ulidai kuwa yalichukuliwa kwa shinikizo na si kwa hiari ya mshitakiwa mwenyewe wakili wa serikali edwin kakolaki aliiambia mahakama hiyo kuwa washitakiwa bwana mboje mawe bwana chenyenye maganyale bwana sayi gamaya na bwana sayi mafizi walitenda mauaji hayo dhidi UNK wa ngozi lyaku willy desemba mwaka jana katika kijiji UNK UNK na yusuph mussa korogwe wazee wa chama cha mapinduzi wilayani korogwe mkoani tanga UNK mwenyekiti wa chama hicho rais jakaya kikwete kupunguza huruma kwa watu UNK kwani baadhi yao ni wasaliti na UNK chama rehani waliyasema hayo hivi UNK walipokutana na mwenyekiti wa umoja wa vijana wa ccm taifa bwana hamad yusuph masauni mjini hapa na kumweleza kuwa matatizo UNK chama hicho ni matokeo ya baadhi ya vigogo wa ccm kukumbatia ufisadi bwana juma dungumaro ambaye pia ni mjumbe wa kamati ya siasa ya wilaya alisema ccm imekuwa na maadui wengi kutokana na baadhi ya viongozi wa juu kuboronga jambo linalofanya baadhi ya wananchi kupoteza imani walisema watu hawa wakiachwa waendelee na nyadhifa zao ndani ya chama UNK chama hicho kwa kiasi kikubwa kwenye uchaguzi mkuu ujao mwakani bwana dungumaro alitoa mfano kuwa ccm inatumia nguvu nyingi kwenye chaguzi ndogo za ubunge na udiwani kwa sababu UNK na vigogo hao lazima tujiulize ni kwanini ccm inatumia nguvu nyingi kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge ama UNK tena wakati mwingine kiti hicho cha ubunge au udiwani kilikuwa cha ccm tukae tujiulize na UNK chanzo ni kwanini vijana UNK na kukimbilia vyama vya upinzani kwanini chama kinakamiwa na kila mtu hasa katika uchaguzi mkuu ujao UNK rais kikwete apunguze huruma kwa viongozi wake wa karibu UNK kwani hao UNK chama pamoja na rais mwenyewe utovu huu wa nidhamu UNK kuendelea kwenye chama mimi nashauri kaulimbiu yake ya ari mpya nguvu mpya na kasi mpya itumike UNK alisema bwana dungumaro aliongeza kuwa anashangazwa na baadhi ya wabunge wa ccm kutoa siri kwa wenzao wa vyama vya upinzani na kutumia nafasi hiyo kukidhoofisha chama kwani hoja zinazopelekwa hazina nia njema na ccm badala yake UNK chama kupoteza imani kwa wananchi maadili ya chama sasa hivi yako wapi inafikia baadhi ya wabunge wa ccm wanapeleka hoja kwa wabunge wa vyama vya upinzani ili kukimaliza chama wanapeleka hoja ili kutu fire hilo halikubaliki alisema bwana dungumaro alisema ufisadi haupo ngazi za juu tu bali hata kwenye halmashauri kuna mambo mengi yanafanyika na kuwakatisha tamaa wananchi hususan katika upatikanaji wa huduma muhimu watu wanaopiga kura wapo huku chini lakini vitendo UNK na halmashauri vinakatisha tamaa na kuchangia UNK ccm alisema bwana dungumaro naye bwana juma UNK wa kata ya old korogwe alisema wazee wamesahaulika UNK na kubaki kusifiwa kama waasisi wa chama hicho lakini bila kupewa huduma ikiwemo matibabu na hata wakiwa na njaa hawapewi msaada wa chakula wazee UNK wamebaki kusifiwa kwani hawapati matibabu na gharama ni kubwa lakini hata wawe na njaa UNK chakula cha misaada hata kuwe na vikao vya kujadili maendeleo ama kutoa kero zetu wazee UNK alisema bwana UNK akijibu hoja hizo bwana masauni alisema rais kikwete amejitahidi kupambana na mafisadi na amekuwa akifanya juhudi za makusudi kuhakikisha wananchi wanapata maisha bora alikiri baadhi ya chaguzi kuwa ngumu kwa ccm kwa mfano wa tarime na busanda matatizo ya vijana UNK na baadhi ya watu wanatumia vyombo vya habari hasa magazeti kuelezea shida zao hivyo UNK kukisaliti chama lakini hali haiko hivyo kwani rais kikwete anajitahidi kuboresha maisha ya wananchi wake wakiwemo vijana alisema bwana UNK mwenyekiti wa uvccm mkoa wa tanga bwana rodgers shemwelekwa alisema vijana mkoa wa tanga wanalaani vikali kauli za baadhi ya wabunge kulaani baraza la mawaziri naye mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa korogwe bwana hillary ngonyani aliwataka wananchi kuacha kulalamika wanapokuwa hawajatendewa haki na watendaji badala yake waende kwa madiwani na UNK wa halmashauri kwani wana mamlaka kudhibiti watendaji UNK na grace michael wazee wa baraza wameiomba mahakama kutomkuta na hatia yoyote aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana abdallah zombe kwa kuwa hakuna ushahidi UNK na mauaji ya wafanyabiashara wa madini kutoka mahenge mkoani morogoro ombi hilo UNK jana mahakama kuu ya tanzania mbele ya jaji salum massati wakati wakitoa maoni yao kuhusu kesi hiyo dhidi ya washitakiwa baada ya kusikiliza mashahidi wa pande zote mbili kwa upande wa mshitakiwa wa kwanza hakuna shahidi yeyote wa upande wa mashitaka ambaye amefika hapa na kueleza namna alivyoshiriki katika mauaji hayo wala katika ukamataji wa marehemu hao hivyo upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha makosa dhidi yake alisema bwana nicolaus kimolo mzee huyo alianza kuchambua hoja UNK nazo mshitakiwa huyo kama kwenda kituo cha urafiki kuwapongeza askari waliohusika na mauaji hayo pamoja na kutoa taarifa za mauaji alisema kitendo cha bwana zombe kwenda urafiki kilitokana na kuitwa na mkuu wa kituo hicho baada ya kuona kuna mgogoro katika kielelezo cha fedha walizokamatwa nazo marehemu hivyo hakwenda kwa nia mbaya kitendo cha kuwapongeza askari bwana kimolo alisema kuwa kutokana na taarifa za ukamataji wa majambazi zilizotolewa na askari wake wa chini ambao walidai kuwakuta na silaha marehemu ndizo zilimfanya UNK kwa kuwa aliona ni haki kufanya hivyo hakukosea kuwapongeza kwani askari wa chini anapofanya kitendo kizuri au cha kijasiri ni haki yake kupongezwa hivyo hakuwa na nia mbaya kufanya hivyo na hakufahamu lolote kuhusu mauaji hayo alisema bwana kimolo kuhusu utoaji wa taarifa alisema kuwa yeye aliongozwa na taarifa kutoka kwa askari waliokuwa kwenye tukio akichambua ushahidi wa upande wa mashitaka mzee huyo alisema mpelelezi mkuu wa kesi hiyo alikiri mahakamani kuwa bwana zombe hakuwahi kuandika maelezo kama mshitakiwa bali UNK katika kesi hiyo kutokana na maelezo ya washitakiwa ambayo waliandika wakiwa gerezani alisema hata mapendekezo ya tume zote mbili zilizokuwa zimeundwa kuchunguza mauaji hayo UNK yeye akamatwe na kushitakiwa hivyo kwa maoni hayo mahakama UNK kutomkuta na hatia yoyote naye bibi magreth UNK katika maoni yake alisema hoja iliyokuwa UNK na washitakiwa kuwa bwana zombe UNK namna ya kusema katika tume na kuwapa vikaratasi vyenye maelezo hayo hakuna mshitakiwa hata mmoja ambaye UNK mahakamani hapo kama kielelezo kutokana na hayo alisema kuwa ulikuwa ni uongo wa washitakiwa hao hivyo naye akaiomba mahakama kutomkuta na hatia yoyote katika mashitaka hayo kwa upande wa mshitakiwa wa pili bwana christopher bageni wazee hao waliungana na upande wa mashitaka kwa asilimia kumi sifuri na kuiomba mahakama kumtia hatiani kwa makosa ya kuua kwa makusudi kwa kuwa alishiriki tukio zima la mauaji bwana kimolo alisema kuwa mshitakiwa huyo hakuwepo eneo la ukamataji bali alikuwa barabara ya sam nujoma ambako alipelekewa washitakiwa wakiwa wamefungwa pingu na mashati yao mikononi na kwa mujibu wa ushahidi wa mshitakiwa wa kumi na mbili bwana rajab bakari alielezea namna mshitakiwa huyo alivyokuwa akiwasiliana kwa njia ya simu na baadaye kuongoza msafara kwenda msitu wa pande ambako mauaji yalifanyika alisema kutokana na utetezi wake ambao alikana kuhusika na mauaji hayo na kudai kuwa siku ya tukio alikuwa pugu dar es salaam kwenye ujenzi wa nyumba yake ukilinganishwa na wa upande wa mashitaka inaonesha kuwa kuna jambo alilokuwa analifahamu ndio maana UNK tume kwenye ukuta wa posta sinza ambako walidai kufanyika majibizano ya risasi alisema mshitakiwa huyo alivunja sheria ya kutowapeleka marehemu katika vituo vya polisi badala yake kwenda kuwaua kinyama naye bibi mosi kwa upande wa mshitakiwa huyo alisema kuwa hata kama marehemu walikuwa ni majambazi lakini hakuna sheria UNK wauawe tena wakiwa chini ya ulinzi wa polisi kwa mazingira hayo wazee kwa pamoja walikubaliana na ushahidi wa upande wa mashitaka na kusema kuwa UNK bila kuacha shaka yoyote hivyo atiwe hatiani kwa makosa hayo kwa upande wa mshitakiwa wa tatu bwana ahmad makelle wazee hao walisema kuwa upo ushahidi wa kutosha ambao unaonesha kuwa alikuwepo eneo la ukamataji na kuonekana kugombea fuko la fedha za marehemu ushahidi huo unaonesha kuwa baada ya marehemu hao kupekuliwa yeye akiwa na gari yake ndiye aliongoza msafara ambapo gari aina ya land rover defender ambalo lilibeba marehemu UNK hivyo kwa mtazamo huo anafahamu tukio hilo kitendo cha mshitakiwa huyo kuonekana na vielelezo hivyo ni ushahidi tosha kuwa alihusika vyema katika tukio hilo na pande alikwenda hivyo atiwe hatiani kwa makosa ya mauaji ya UNK wazee hao walikwenda mbali zaidi na kusema kuwa hata alipopata nafasi ya utetezi mshitakiwa huyo hakuweza kuieleza mahakama baada ya ukamataji alikwenda wapi hivyo huo ni udhaifu mkubwa ambao UNK nguvu ushahidi wa upande wa mashitaka ushahidi unaonesha mshitakiwa huyu alikwenda msitu wa pande hivyo atiwe hatiani alisisitiza bibi kimolo kitendo cha wazee wa baraza kusema hivyo mshitakiwa huyo alionekana akitabasamu kitendo ambacho UNK kama ni furaha au huzuni kwa upande wa mshitakiwa wp jane andrew wazee hao walisema ushahidi upo wa kutosha kuhusu kuhusika kwake kwenye mauaji hayo kwa kuwa alionekana akingganggania fuko la fedha za marehemu eneo la sinza walisema kuwa udhaifu wake wa kushindwa kuieleza mahakama muda UNK eneo lake la lindo kama alivyodai kwenye utetezi wake na kushindwa kuleta shahidi wa kumuunga mkono ni dalili ya kujua jambo hilo na kuhusika na mauaji hayo mshitakiwa emanuel mabula naye wazee hao waliomba akutwe na hatia ya mauaji ya kukusudia kwa kuwa alihusika na UNK wa UNK wa majambazi hivyo alihusika moja kwa moja na mauaji hayo aidha walisema kuwa upo ushahidi unaoonesha kuwa mshitakiwa huyo alikiri kuwa ukuta wa posta ambako walidai kuwepo kwa mashambulizi ya risasi na majambazi hao mshitakiwa koplo michael na koplo abeneth nao walitakiwa UNK na hatia katika makosa ya mauaji kwa kuwa ushahidi upo wa kutosha ushiriki wao alisema kuwa vitendo vya washitakiwa hao kushindwa kutoa taarifa za tukio hilo ni kielelezo tosha cha kufahamu tukio hilo kwa upande wa mshitakiwa wa kumi na mbili bwana rajab ambaye alikuwa tofauti na washitakiwa wengine kwa kukiri kuwepo msitu wa pande na kushuhudia mauaji wazee hao waliomba akutwe na hatia ya makosa hayo kwa kuwa alikiri mwenyewe walisema kuwa kitendo chake cha kutotoa taarifa kwenye mamlaka husika ya tukio hilo kwa madai ya kuwa na cheo kidogo haikuwa sababu ya kumfanya asitoe bali alifahamu tukio zima na alihusika na mauaji hayo ya kinyama UNK huyu mshitakiwa UNK mauaji hayo ya kinyama UNK na wakubwa zake halafu ashindwe kutoa taarifa hivyo mwenendo wake wa kukaa kimya ni kuhusika moja kwa moja wa tukio hilo wazee hao pia UNK mahakama hiyo kwa mshitakiwa mwisho bwana festus gwabisabi kwa kuiomba imwachie huru kwa kuwa yeye hakwenda pande na alikiri kuhusika na ukamataji tu na baada ya hapo kuamuliwa kwenda urafiki kupeleka gari la marehemu kutokana na maoni hayo wazee hao wameomba jumla ya washitakiwa saba watiwe hatiani kwa makosa ya mauaji ya kukusudia ambayo hukumu yake kisheria ni kunyongwa hadi kufa aidha washitakiwa wawili akiwemo bwana zombe wameomba waachiwe huru kwa kuwa hawakuhusika kabisa na mauaji baada ya kumalizika kwa maoni ya wazee hao jaji alisema kuwa usikilizwaji wa kesi hiyo umemalizika na kilichobaki ni hukumu ambayo tarehe yake ataitoa kwa UNK washitakiwa katika kesi hiyo wanadaiwa kuwa januari kumi na nne mwaka ishirini sifuri sita wakiwa katika msitu wa pande ulioko mbezi luisi dar es salaam walimuua kwa makusudi ephraim chigumbi sabinusi chigumbi juma ndugu na mathias lukombe serikali yasema ni mtu safi mcha mungu hamiliki akaunti nje ya nchi wala ndege hata kiwira anashindwa kulipa mishahara yasema shukrani ya punda daima ni mateke serikali imekata mzizi wa fitina kuhusu tuhuma za ufisadi zinazomwandama rais mstaafu wa awamu ya tatu bwana benjamini mkapa na kutamka kuwa kiongozi huyo ni safi mcha mungu na mtu wa kanisa msimamo huo uliwekwa bayana bungeni mjini dodoma jana na waziri mkuu bwana mizengo pinda wakati akitoa majumuisho ya hoja zilizotolewa na wabunge wakati wakichangia bajeti ya ofisi yake kwa mwaka wa fedha ishirini sifuri tisa kumi hadi leo mzee mkapa anapendwa na kutambulika kimataifa kama kiongozi mwadilifu alisema bwana pinda na kuongeza kama kweli ni fisadi basi tuoneshwe ufisadi wake kauwekeza wapi alisema bwana mkapa hana akaunti anayomiliki nje ya nchi wala hamiliki ndege hivyo hana kitu cha kumfanya aitwe fisadi naamini mzee huyo ni mtu safi sawa ipo kiwira hili tumesema tutalitolea maelezo alisema bwana pinda aliwataka watanzania waangalie nia ya bwana mkapa wakati ule kwa kuwa kiwira ilikuwa sawa na UNK hivyo lengo lake lilikuwa kutaka kufufua mgodi huo bwana pinda alifafanua kuwa yeye amefanyakazi na bwana mkapa akiwa msaidizi wake anamfahamu vizuri kuwa ni mtu safi mcha mungu na mtu wa kanisa naamini mzee huyo ni mtu safi sana alisema bwana pinda na kusisitiza tukitaka kuwasema viongozi hawa hasa waheshimiwa marais ni lazima tujitazame mara mbili alisema mwelekeo wa sasa wa kuwasema vibaya viongozi hasa marais wastaafu si mzuri na hauwapi moyo wa kufanyakazi alisema mfumo wa uongozi hapa nchini UNK fursa rais aliyeko madarakani kuwa fisadi kama ilivyokuwa kwa kiongozi mmoja wa drc ingawa bwana pinda hakutaja jina la kiongozi huyo wa drc kumbukumbu za historia ya watawala wa afrika inaonesha wazi kuwa UNK marehemu UNK UNK ndani ya nchi hii kwa mfumo wetu mtu hawezi kufikia hapo ni lazima mtu akitaka kuwa fisadi awe UNK ili mtu akitaka kumsema UNK kisu alisema waziri pinda alisema kama suala la kiwira ndiyo kitu kikubwa atahakikisha hisa zote zinarudi serikalini wenzetu UNK hata uwezo wa kulipa mishahara UNK leo hii wana miezi kumi UNK wafanyakazi wao mishahara alisema bwana pinda na kuongeza mzee yule ni msikivu sana kama tutachukua hisa tutawapa tanesco waziri pinda alitamka wazi kuwa anaungana na wabunge UNK na vitendo vya kumsakama bwana mkapa kauli ya waziri pinda inalenga kujibu madai ambayo yamekuwa yakitolewa na wanasiasa dhidi ya bwana mkapa kudaiwa kujimilikisha mgodi wa makaa ya mawe wa kiwira wanasiasa hao wanadai kuwa kila kukicha mgodi huo umekuwa ukimwingizia mamilioni ya fedha kashfa nyingine ambayo imekuwa UNK kiongozi huyo ni madai ya kufanyabiashara akiwa ikulu akizunguzia sekta ya elimu waziri pinda alionekana kukubaliana na hoja iliyotolewa na mbunge wa karatu daktari wilbroad slaa ambapo alisema serikali UNK posho zisizo za lazima ili fedha hizo zitumike kujenga nyumba za walimu daktari slaa alilalamikia kitendo cha serikali kutenga kiasi cha shilingi bilioni kumi na tisa katika bajeti ya mwaka huu kwa ajili ya vitafunwa na chai kwa wizara zote suala la miundombinu ni jambo la msingi sehemu zenye posho UNK UNK alisema na kuahidi kupitia posho zote kuona eneo wanaloweza kumega ili fedha hizo zisaidie kujenga miundombinu ya shule alisema tayari serikali imechukua hatua kwa kupiga marufuku semina na warsha zisizo za lazima na kusisitiza kuwa utaratibu huo utaendelea kusimamiwa kuhusu ujenzi wa barabara eneo ambalo UNK na baadhi ya wabunge wakidai maeneo mengine UNK bwana pinda alisema serikali inaendelea na ujenzi huo kwa kuangalia uwiano wa barabara za lami alisema kuna mikoa yenye barabara za lami zenye urefu usiozidi kilometa sita wakati huo huo hata wale wenye barabara za lami za kilometa hadi themanini sifuri nao wanataka kujengewa barabara inabidi tuangalie uwiano UNK alisema alisema ujenzi wa barabara unaendelea vizuri na kutoa mfano kuwa kati ya miradi ya barabara ishirini na saba iliyoanza kutekelezwa wakati wa utawala wa rais jakaya kikwete miradi tisa imekamilika na ifikapo uchaguzi mkuu mwakani sehemu kubwa itakuwa imekamilika alisema bwana mkapa alipoingia madarakani aliibua miradi kumi na saba na wakati anamaliza kipindi chake cha uongozi miradi tisa ilikuwa imekamilika alisema miradi mingine UNK katika kipindi cha uongozi wa rais kikwete na sehemu iliyobaki ni ndogo UNK sana wanaomsema mzee huyo lakini hiyo ndiyo shukurani ya punda alisema kwa upande wa sekta ya afya aliahidi kuwa serikali itaendelea kujenga vituo vya afya na zahanati ili kupunguza kiwango cha vifo vya wanawake na watoto bwana pinda alikiri kuwa hali ni mbaya katika eneo hilo lakini serikali inaendelea kuchukua hatua kwa kujenga vituo vya afya na zahanati polisi UNK UNK mwenzake UNK kwa risasi na mohammed mhina jeshi la polisi wananchi zaidi ya arobaini sifuri wa vijiji vya songambele na mwenge vilivyopo tarafa ya UNK wilayani shinyanga vijijini wamevamia kituo kidogo cha polisi cha kata ya salawe juzi mchana na kuwaua watuhumiwa wawili waliokimbilia hapo kwa lengo la kujisalimisha kamanda wa polisi wa mkoa wa shinyanga kamishna msaidizi shaibu ibrahimu alisema jana kuwa watuhumiwa hao waliokuwa wanashikiliwa na askari wa jadi sungusungu UNK na kukimbilia kituoni hapo ndipo kundi la watu hao UNK na kukishambulia kwa fimbo na mawe kuvunja milango na madirisha na kuwatoa watuhumiwa kabla ya kuwaua alisema kundi hilo lilivamia kituoni na kuwazidi nguvu askari waliokuwepo na kuwatoa nje watuhumiwa hao wasiofahamika na kuwaua kamanda shaibu alisema kabla ya tukio hilo watuhumiwa ambao majina yao bado hayajafahamika inadaiwa walimvamia mfanyabiashara bibi mary UNK nyumbani kwake UNK na kumshambulia kwa silaha za jadi na kabla ya kupora mama huyo alipiga kelele za kuomba msaada ambapo watuhumiwa UNK alisema hata hivyo watuhumiwa hao ambao mama huyo aliwatambua kwa sura walikamatwa na kundi la sungusungu na wakati UNK ndipo UNK na kukimbilia kwenye kituo hicho huku UNK na kundi la watu kamanda shaibu alisema watuhumiwa hao UNK kwa vile sio wakazi wa vijiji hivyo hata hivyo alisema polisi wanafanya uchunguzi wa kina ili kuwabaini wote waliohusika katika tukio hilo la mauaji hayo kuwakamata na kufikishwa kortini alitoa mwito kwa wananchi kuepuka kujichukulia sheria mkononi hata kama watakuwa UNK mhalifu na badala yake amewataka kumkamata na kumfikisha polisi kwa hatua zaidi naye benedict kaguo anaripoti kutoka tanga kuwa polisi mwenye namba d elfu tatu na mia saba na hamsini na tano sajini hussein amemuua kwa risasi mkazi wa kijiji cha michungwani wilayani muheza kwa tuhuma za kutaka kumchinja polisi mwenye namba f thebathini saba tano pc ismail tukio hilo la aina yake UNK machi ishirini na sita mwaka huu saa tatu asubuhi baada ya polisi wanne kwenda kijijini hapo kusuluhisha mgogoro huo kati ya mkazi huyo na wananchi wa UNK mgogoro kati ya wanakijiji hao na mkazi huyo bwana said malick ambaye kwa sasa ni marehemu ulizuka baada ya kuwazuia wanakijiji hao kuteka maji katika kisima kilichopo jirani na nyumba yake ambapo watu mbalimbali walijitokeza kumshauri kuacha tabia hiyo na kutakiwa UNK wateke maji mzee mmoja wa kijiji hicho bwana mohamed omari aliamua kulivalia njuga suala hilo kwa kumfuata kijana huyo na kumsihi asitishe uamuzi wake huo na kumtaka UNK wananchi hao wateke maji jambo ambalo UNK baada ya mzee omari kumweleza hayo bwana malick alitoka ndani akiwa na panga na UNK sehemu mbalimbali za mwili mzee huyo ambaye alikimbizwa hospitali teule wilayani muheza kwa ajili ya matibabu baada ya kuvuja damu nyingi kufuatia tukio hilo wananchi walitoa taarifa polisi na ndipo kikosi cha askari wanne wakiwa na silaha kilifika kijiji hapo kutafuta suluhu mara baada ya kufika eneo hilo bwana malick alitoka nje kwa nguvu na kufanikiwa kumdhibiti pc ismail ambapo UNK chini na kutaka kumchinja kwa panga kuona hivyo katika kile kinachoonekana kutaka UNK mwenzao d elfu tatu na mia saba na hamsini na tano sajini hussein alimpiga risasi bwana malick na kufariki dunia papo hapo kamanda wa polisi mkoa wa tanga bwana simon sirro alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa mara baada ya polisi kufika kijijini hapo walibaini kuwa marehemu alikuwa ametoka kutumikia kifungo jela siku chache zilizopita alisema mama wa marehemu alikiri kuwa mtoto wake alikuwa ameathirika na matumizi ya dawa za kulevya na siku chache zilizopita alitoka hospitali alipokuwa kwa matatizo hayo ya akili mbunge wa peramiho jenista mhagama jana alitoa vielelezo na majina bungeni kuthibitisha kwamba wafanyakazi waliotajwa na waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma bibi hawa ghasia kuwa hawakuwa na sifa ya kuingizwa kwenye orodha ya malipo walikuwa na sifa hizo alitoa uthibitisho huo siku moja baada ya waziri mkuu kuingilia tuhuma dhidi ya bibi ghasia akisisitiza kwamba wafanyakazi hao hawakuwa na sifa kama ilivyoelezwa na mbunge huyo kutokana na vielelezo hivyo kuna uwezekano kwamba waziri ghasia alimpa waziri mkuu majibu yenye UNK ambayo sasa itahitaji uchunguzi wa kina ili kujua kama yeye bibi ghasia alisababisha kiongozi huyo UNK bunge au la akiwasilisha vielelezo kwa spika wa bunge bwana samwel sitta bungeni jana wakati bunge UNK kama kamati ya matumizi kupitia vifungu ili kupitisha bajeti ya ofisi ya rais bibi mhagama alisema ameamua kuwasilisha nyaraka hizo kwa spika kama ushahidi wa hoja yake na UNK umma kwamba alihoji jambo ambalo ana uhakika nalo mheshimiwa mwenyekiti naomba kuwasilisha kwako nyaraka hizi za baadhi ya watumishi wale ambao waziri alidai hawana elimu ya kutosha na kueleza kwamba wana elimu ya darasa la saba mmoja ana elimu ya kidato cha nne na mwingine kidato cha sita sasa hivi UNK kwako alisema b UNK akijibu hoja hiyo waziri ghasia alisema licha ya nyaraka hizo kuonesha kwamba watumishi hao wana sifa za elimu zinazotakiwa kwa kada zao lakini nyaraka zilizopo utumishi zinaonesha kwamba ni darasa la saba lakini UNK lawama hizi UNK mimi wakati huo nilikuwa darasa la tano lawama zinapaswa kuelekezwa kwa mawaziri waliokuwepo wakati huo wakurugenzi na makatibu wakuu na siyo mimi alisema bibi ghasia sakata la kujaribu kuuza nyumba ya bwana ally libanguka iliyopo katika kitalu namba sabini na nane eneo la gerezani manispaa ya ilala katika mahakama ya hakimu mkazi ya ilala UNK kuwa ni zenye utata mkubwa nyumba hiyo iliyokuwa mali ya shirika la reli tanzania na kuuzwa kwa bwana ally libanguka iliingia katika mkasa huo baada ya mgogoro wa kifamilia dhidi ya bwana libanguka na bibi UNK heri ambao walikuwa ni mke na mume nyumba hiyo UNK kwa amri ya mahakama ya hakimu mkazi wa ya ilala katika hukumu iliyotolewa na hakimu wa mahakama hiyo bibi joyce minde bila ya mwenye nyumba kuwa na taarifa yeyote ya kimahakama hali ambayo inamfanya aishi katika maisha ya UNK yeye pamoja na wapangaji wake tayari bwana libanguka UNK UNK katika nyumba hiyo na kumuacha mpangaji wa nyumba hiyo bwana nuhu mringo anayeendesha biashara ya hoteli inayojulikana na kwa jina la city fast food katika nyumba hiyo akipata adha kubwa kutokana na vijana wanajiita madalali kutoka katika kampuni ya udalali ya nsombo UNK nyumba hiyo na kuharibu mali za shilingi milioni arobaini hata hivyo uchunguzi ulifanywa na gazeti hili UNK uonevu mkubwa kutokana na dalali aliyepewa kazi hiyo kughushi vibali vya mahakama ya hakimu mkazi wa wilaya ilala uchunguzi huo umebaini kuwa moja ya sharti la lililowekwa katika umilikishwaji wa nyumba hiyo ambayo ilikuwa ni mali ya iliyokuwa trc na baadaye kuuzwa kwa bwana UNK hairuhusiwi kuuzwa au kuweka rehani na kupisha uwekezaji wa aina yeyote ambao UNK kuhamisha umiliki wa mtu wa awali wa nyumba hiyo kwa kipindi cha miaka ishirini na tano tangu UNK utata mwingine ni kukinzana katika namba zinazoonyesha kitalu katika hati hiyo ambayo UNK na hakimu wa mahakama hiyo bibi joyce minde ambayo majira jumapili inayo nakala yake imeonekana kufutwa jina halisi la mdaiwa na kuandikwa jina la bwana ally libanguka na kuonesha nyumba UNK ni yenye kitalu namba thebathini na sita na siyo namba sabini na nane ambayo inamilikiwa na bwana ally UNK majira jumapili ilishuhudia mara kadha madalali waliojitambulisha kutoka katika kampuni ya udalali ya nsombo wakiwa na polisi wenye gari namba pt sifuri moja saba nne ambao wamekuwa na kuharibu mali katika hoteli hiyo licha ya pingamizi UNK na mahakama ya nyumba naibu msajili wa wilaya wa mahakama kuu tayari ameitisha faili hilo na ambalo limekabidhiwa juzi baada ya kusuasua kutoka katika mahakama ya ilala akizungumza kwa njia ya simu kutoka tabora mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya UNK nsombo ambaye alijitambulisha kwa jina la bwana selemani UNK alisema kampuni yake haifahamu shughuli yeyote inayoendeshwa na katika nyumba hiyo naye mmliki wa hoteli ya city food bwana nuhu mringo alisema kuwa sakata hilo limesababisha hasara ya shilingi milioni sabini na kuathiri kwa kiwango kikubwa UNK yake kutokana na kukimbiwa na wateja waliokuwa wakifika katika hoteli hiyo kaimu mufti mkuu sheikh UNK gorogosi amefariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea jana mchana mkoani lindi habari ambazo gazeti hili limezipata jana na kuthibitishwa na kamanda wa polisi mkoani lindi bwana sifuel shirima zilieleza kuwa sheikh gorogosi alikuwa akitokea mtwara kuelekea lindi akizungumza na gazeti hili kamanda shirima alisema ajali hiyo ilitokea katika kijiji cha UNK lindi vijijini baada ya gari UNK na watu wengine wawili kupasuka tairi la mbele na kisha kupinduka alimtaja mwingine aliyejeruhiwa ni bwana bakari UNK hadi gazeti hili linakwenda mitamboni jina la majeruhi mwingine lilikuwa UNK ajali hiyo ilitokea saa nane thebathini mchana kabla ya kuteuliwa kushika wadhifa huyo sheikh gorogosi alikuwa msemaji wa baraza kuu la waislamu tanzania sheikh gorogosi aliteuliwa kukaimu wadhifa huo na mufti mkuu sheikh issa shabaan simba baada ya yeye kuwa akisumbuliwa na ugonjwa UNK kwenda nchi india kwa matibabu habari zaidi za kifo cha sheikh gorogosi UNK kwa UNK na gazeti la majira kesho aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chama cha wananchi tanzania bara bwana wilfred lwakatare amefichua mambo mbalimbali ambayo anadai alikumbana nayo ndani ya chama hicho ikiwa ni pamoja na UNK kuwa sio mwaminifu katika masuala ya fedha bwana lwakatare ambaye amejiunga na chama cha demokrasia na maendeleo amefichua siri hiyo kupitia hotuba yake aliyoitoa ndani ya kikao cha baraza kuu kilichofanyika juni tisa mwaka huu katika agenda ya UNK muhtasari wa kikao cha baraza kuu kilichofanyika februari ishirini na nane mwaka huu kupitia hotuba ambayo nakala yake ameitoa kwa gazeti hili bwana lwakatare alisema baada ya mmoja wa viongozi wa chama hicho kuhoji sababu za jina lake kuenguliwa katika kinyangganyiro cha unaibu katibu mkuu alijibiwa kuwa ana matatizo mengi alisema kiongozi huyo aliambiwa kuwa bwana lwakatare ana matatizo na si mwaminifu katika masuala ya fedha ni UNK na anatumia madaraka yake vibaya kwa kulazimisha hati za malipo anazotaka zifanyiwe malipo ili UNK iwe UNK bwana lwakatare alisema kiongozi huyo UNK kuwabana viongozi wenzake na kuhoji ni kwa nini UNK kuhusu tabia hiyo kuliko kuacha jina lake kabisa alijibiwa kwamba kashindwa kujirekebisha kabisa kiongozi huyo alijibiwa kuwa mimi anaweza UNK na kujirekebisha lakini kwa masuala ya fedha ni sugu hawezi kusikia la mtu alisema bwana lwakatare katika hotuba yake hiyo akimnukuu kiongozi huyo bwana lwakatare alisema mkasa mwingine UNK nao ndani ya cuf kuwa ni UNK gari alilokuwa akitumia akiwa naibu katibu mkuu katika mazingira ya kutatanisha alisema katika hali ya kushangaza mara baada ya kumaliza mazungumzo yake na makamu mwenyekiti mzee hamis machano na kushuka chini alikuta gari dereva na mlinzi aliyekuwa UNK hawapo tena katika mamlaka yake wote walikuwa wamepewa maelekezo mengine na wala UNK tena alisema bwana lwakatare alisema UNK ni kuwa gari lake lilikuwa na wiki moja tangu litolewe gereji na alilokuwa UNK katika ofisi za cuf na funguo zikiwa kwa UNK hivyo aliondoka mwenyewe kwa kujiendesha alisema baada ya kuondolewa katika wadhifa wake wa naibu katibu mkuu aliitwa ofisini kwa mwenyekiti profesa ibrahim lipumba na katibu mkuu maalim seif sharrif hamad na kuzungumza mambo ya msingi hasa ya kutibu majereha na makovu aliyokuwa amepata baada ya mabadiliko ya ghafla waliomba msaada ikashindikana watu watano wa familia moja wamekufa kwa kuteketea kwa moto baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kuungua kwa moto usiku wa kuamkia jana tukio hilo la kusikitisha limetokea saa saba usiku maeneo ya UNK UNK wilayani kinondoni dar es salaam waliokufa katika tukio hilo kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni bwana mark UNK ni bwana greyson naftari na mke wake bibi modesta UNK wengine ni wajukuu wao lugano richard clementina UNK ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi UNK na msichana wa kazi aliyetambulika kwa jina moja la tabasamu UNK tukio hilo mmoja wa majirani wa marehemu hao bwana UNK hassan alidai kuwa wakati akiwa nyumbani kwake amelala ghafla alisikia akiitwa na watoto wake na kumtaarifu kuwa nyumba yao ilikuwa UNK kwa moto alisema baadaye aligundua kuwa nyumba UNK siyo yao bali ni ya jirani yake bwana naftari alidai alikimbia kwenye nyumba hiyo na kuanza kuwaamsha kwa lengo la kuwaokoa ambapo UNK na waliomba UNK UNK UNK nilienda kwenye dirisha la chumba chake na kuanza kuzungumza naye nilimuomba anipe UNK akakubali lakini alipoona moshi umezidi alirudi chumbani kwake alisimulia bwana hassan alieleza kuwa kuona hivyo familia yake yote UNK kwa imani kuwa wangeweza kupona matokeo yake wote UNK wakiwa UNK alidai kuwa juhudi za kuwaokoa zilishindikana kwani kila UNK kubomoa nyumba ilishindikana kutokana na uimara wake alisema magari ya kikosi cha zima moto yalifika na kuanza kusaidiana na wananchi kuzima moto huo na kufanikiwa kuuzima lakini wanafamilia hao tayari walikuwa tayari wamepoteza maisha UNK kubomoa nyumba tulikuta wote wamekufa wakiwa ndani ya chumba kimoja alisema jirani mwingine alidai kuwa baada ya kusikia kelele UNK kwenye nyumba hiyo na kuzungumza na mfanyakazi wa ndani kwa simu akitaka ampe UNK lakini UNK baada ya muda mfupi akawa hawezi kuzungumza nikajua kuwa atakuwa UNK na moto alisimulia shuhuda huyo kamanda kalunguyeye aliwaambia waandishi wa habari kuwa marehemu naftari alikuwa mstaafu wa shirika la reli alisema inasemekana chanzo cha moto huo ni hitilafu ya umeme alisema moto huo ulianzia sebuleni kwenye UNK ya kuwasha televisheni miili ya marehemu hao imehifadhiwa katika hospitali ya mwananyamala wataka afikishwe mbele ya sheria mwingine UNK UNK aambiwa alikiuka sheria ya maadili siku moja baada ya serikali kumsafisha rais mstaafu mzee benjamin mkapa kutokana na tuhuma za ufisadi ambazo zinaelekezwa kwake katibu mkuu wa chadema daktari wilbroad slaa amesema kamwe UNK kimya kwa kuwa rais huyo mstaafu hayupo juu ya sheria sheria inafanyakazi kama msumeno haina ubaguzi ukiona tunaanza kuwa na sheria za aina hiyo ujue nchi inaenda pabaya alisema daktari slaa daktari slaa ambaye pia ni mbunge wa karatu kwa tiketi ya chadema alitoa kauli hiyo alipozungumza na gazeti hili jana akiwa mjini bukoba kwa njia ya simu alisema hata wabunge wanaopiga kelele kumtetea mzee mkapa nao wanastahili UNK mimi nawaheshimu sana viongozi wetu na ninamheshimu waziri mkuu pinda ni mwanasheria anajua kuwa hata mtu UNK sheria inakata kama UNK hauwezi kumuacha aliyetenda kosa kwa sababu ya kupitiwa alisema alisisitiza kuwa kama ni hivyo basi magereza yote UNK ili watu wote wawe huru daktari slaa alisema hadi leo mzee mkapa hajawahi kujitokeza hadharani na kujibu tuhuma zinazoelekezwa kwake ili asamehewe daktari slaa alisema inashangaza kuona watu wanajitokeza kwa ajili ya kumsafisha wakati wakijua kuwa taratibu za tenda UNK kuhusu mgodi wa kiwira kushindwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara kwa miezi kumi alisema serikali ilipaswa UNK kama ambavyo imekuwa ikifanya kwa kampuni ya reli tanzania alisisitiza kuwa wataendelea kupiga kelele kwa upande wake mwanasheria wa chadema bwana tindu lisu alisema jaribio la pinda ni kutaka kubadilisha ufisadi kwa lengo la kumtetea alisema na kuongeza kama mzee mkapa sio fisadi kwa nini wanataka kumnyangganya mgodi wa kiwira alisema mzee mkapa akiwa rais alivunja sheria ya maadili ya viongozi wa umma kwa kujimilikisha mgodi huo wakati akijua fika kuwa kufanya hivyo ni makosa serikali inajua kuwa alivunja kiapo chake ndiyo maana inataka kurejesha mgodi huo mikononi mwake alisema na kusisitiza kuwa waziri pinda alitakiwa kuwaeleza wananchi ni kwa mazingira gani mzee mkapa UNK mgodi huo alisema fisadi anaweza akawa mtu anayetumia madaraka aliyopewa na umma kujimilikisha mali hivyo sio lazima awe UNK juzi waziri pinda alimtetea mzee mkapa akisema ni mwadilifu mcha mungu na mtu anayependa kanisa hadi leo mzee mkapa anapendwa na kutambulika kimataifa kama kiongozi mwadilifu alisema bwana pinda na kuongeza kama kweli ni fisadi basi tuoneshwe ufisadi wake kauwekeza wapi kauli ya waziri pinda inalenga kujibu madai ambayo yamekuwa yakitolewa na wanasiasa dhidi ya mzee mkapa ambapo anadaiwa kujimilikisha mgodi wa makaa ya mawe wa kiwira wanasiasa hao wanadai kuwa kila kukicha mgodi huo umekuwa ukimwingizia mamilioni ya fedha madai mengine ni kuwa mzee mkapa UNK akiwa ikulu naibu waziri wa ajira kazi na maendeleo ya vijana daktari makongoro mahanga amesema utekelezwaji ilani ya chama cha mapinduzi na wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kutamaliza tatizo la migomo ya wanafunzi vyuoni daktari mahanga aliyasema hayo dar es salaam jana wakati UNK tawi jipya la wanafunzi wanachama wa ccm wa chuo kikuu cha sayansi ya afya na tiba muhimbili katika viwanja vya karimjee alisema mpango mkakati wa ccm ni kushirikisha wanafunzi wa vyuo vikuu ili waweze kushiriki katika shughuli za chama na kusimamia ilani kwa lengo la kutatua matatizo mbalimbali yanayowakabili vijana ambao ndio nguvu kazi ya taifa ccm UNK kwa kuwa na wanachama wengi wa fani mbalimbali wakiwemo madaktari walimu UNK na wengineo ikiwa ndio sababu wananchi kutupa ridhaa ya kuongoza kutokana na imani waliyonayo kwetu na utekelezwaji mzuri wa ilani ya ccm kwa vitendo alifafanua daktari mahanga daktari mahanga aliongeza kuwa suala la migogoro katika vyuo mbalimbali nchini halipo katika ilani ya ccm ambapo jukumu la wanafunzi wanachama ccm ni kuhakikisha kuwa wanasimamia na kuitekeleza ilani hiyo ili kuepusha migomo inayotokea mara kwa mara familia ya marehemu amina chifupa inatarajia kuanika siri nzito alizokuwa nazo marehemu huyo pamoja na kutaja majina aliyokuwa UNK mara kwa mara wakati akiwa mahututi UNK akizungumza na majira jana baba wa marehemu amina bwana hamis chifupa alisema familia hiyo imeona ni vyema kutaja majina hayo baada ya kukaa na kutafakari ndani ya miezi mitatu inaweza ikawa kesho au wiki ijayo lakini ndani ya muda huo tutaweka wazi siri zote alizokuwa nazo amina alizotoa wakati anaumwa alisema bwana chifupa alisema marehemu amina alikuwa akitaja majina ya watu wanne mara kwa mara wakati anaumwa hivyo familia hiyo UNK majina hayo hadharani hata hivyo mzee UNK hakufafanua kuwa ni ya wabaya wake au watu wa namna gani sio kwamba hao watu ndio walishiriki kumuua hapana hatujui ni kwa nini hao watu kila muda alikuwa akiwataja hivyo tutaweka majina yao wazi alisisitiza bwana chifupa alisema familia hiyo iliamua kubaki kimya kwa kipindi kirefu kwa ajili ya kutafakari jambo hilo na kwa sasa uamuzi umeshafanyika na siri UNK marehemu zitawekwa wazi familia hiyo pia imeomba serikali kuweka bayana majina ya wauzaji na wasambazaji dawa za kulevya kwa kuwa hata marehemu amina alipiga vita jambo hilo na kusimama kidete kutetea vijana ambao wengi wao ndio waathirika wa dawa hizo alisema hadi sasa familia hiyo inaendelea kutafuta chanzo cha kifo cha marehemu amina na inaamini alikufa UNK marehemu amina alifariki dunia juni ishirini na sita mwaka jana katika hospitali ya lugalo dar es salaam rais jakaya kikwete amesema serikali yake haina nia ya kukandamiza madhehebu ya dini na kamwe UNK kuona inaleta msuguano wa dini nchini aliwataka watu wanaoeneza uvumi huo kuacha mara moja kwani alisema ni uchonganishi usio na msingi aliyasema hayo mwishoni mwa wiki juzi wakati akihutubia wananchi baada ya kufungua hospitali teule ya wilaya ya kilindi iliyopo kwenye mji wa UNK alisema baadhi ya watu walitaka kutumia malumbano ya kuondolewa msamaha wa kodi kwa madhehebu ya dini kwa lengo la UNK kashfa serikali yake naambiwa eti serikali yangu inataka kukandamiza dini nyingine UNK kupotosha waumini wetu mbona serikali yenyewe haina ubaguzi katika kuajiri hata UNK wenyewe tra kuna waumini mchanganyiko akiwemo kitilya ambaye ni mkristo anaweza kuwakandamiza wenzake alihoji rais kikwete rais kikwete alisema kwenye kikao kilichofanyika kati ya viongozi wa dini na serikali hata wao viongozi wa dini walikiri ukiukwaji mkubwa uliokuwa unafanywa na baadhi yao katika msamaha wa misaada hiyo ikiwemo magari matairi na vifaa vya ujenzi wenyewe viongozi wa dini wamekiri wapo wenzao wanaotumia misamaha hiyo vibaya mfano kiongozi mmoja ana gari moja lakini anaagiza matairi arobaini na tano kwa mwaka ina maana kila mwezi UNK matairi UNK mwingine ameagiza magari thebathini na tano lakini UNK na huku mwingine anaagiza UNK ujenzi kumbe ni kwa ajili ya nyumba yake alisema rais kikwete alisema umefika wakati viongozi wa dini na serikali kushirikiana ili kuwabaini wale wote UNK viongozi wa dini kwa kujivika UNK ya utume na kufanya maovu ndani alisema viongozi wa dini ni kimbilio la waumini lakini kama waumini UNK tamaa na viongozi wao watakosa mahali pa UNK tunaamini kiongozi wa dini ndiye wenye heshima na maadili kwa kuwa kilele cha uaminifu na waumini wanajifunza kupitia kwao lakini kama watapoteza imani kwa viongozi wao watakuwa hawana mahali pa kukimbilia hivyo maadili UNK alisema rais kikwete naye askofu wa UNK kiinjili la kilutheri tanzania dayosisi ya kaskazini mashariki daktari stephen munga alisema hatua ya kurejesha msamaha wa kodi kwa taasisi za dini itaharakisha maendeleo na kutaka watu wasitumie nguvu katika kujadili mambo bali wakae na kufikia muafaka katibu wa dayosisi hiyo mchungaji james mwinuka alisema hospitali hiyo ambayo inajengwa kwa ufadhili wa serikali ya finland kupitia shirika la UNK evangelical UNK mission itagharimu shilingi bilioni nne mbili hadi itakapokamilika apinga wabunge kuwa mawaziri mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya chama cha mapinduzi bwana nape nnauye ametaka kuwepo ukomo wa ubunge ili kuwapa nafasi zaidi vijana kwenye nafasi hiyo bwana nape aliyasema hayo jana katika kipindi cha mambo leo kinachorushwa na kituo cha redio cha kumi sifuri tano times fm wakati akichambua sera ya taifa maendeleo ya vijana ya mwaka ishirini sifuri saba bwana nape alisema unggangganizi wa madaraka unaofanywa na wazee unakwamisha juhudi za vijana kupata nafasi hizo ambazo wangeweza kuzitumikia kwa kasi mpya hatimaye kuleta mabadiliko makubwa ndani ya nchi unakuta mtu ana miaka nenda rudi bungeni hataki kuachia nafasi hiyo na kwa kuwa ana fedha ni lazima nafasi hiyo aipate tofauti na kijana anayetafuta nafasi hiyo kwa jasho lake bila kuwa na fedha ifike mahali kuwepo mabadiliko ambayo yatakuwa na ukomo katika nafasi hiyo kama ilivyo kwa rais alisema bwana nape aliiomba serikali kuwaangalia zaidi vijana katika uteuzi wa nafasi hususan wa bodi mbalimbali ambapo kwa sasa nafasi hizo UNK na wazee wengi wao wakiwa UNK alisema ili kuwepo changamoto katika utendaji mfumo wa sasa wa kuteua mawaziri kutokana na wabunge UNK ili mawaziri watoke nje ya bunge mawaziri watoke nje ya bunge wabaki na kazi moja tu ya uwaziri hii itasaidia kwa kiasi kikubwa katika uwajibikaji hata malalamiko ya upendeleo majimboni UNK alisema alisema mabadiliko hayo pia UNK fursa kwa vijana kupata nafasi za uongozi na kuonesha uwezo wao wa kuleta mabadiliko badala ya nafasi hizo kuendelea kushikiliwa na wazee alisema bwana nape akizungumzia sera ya vijana alisema UNK vizuri eneo la siasa kwa vijana hivyo akaiomba serikali kuangalia kwa makini eneo hilo na kulifanyia maboresho ili vijana waweze kupata nafasi zaidi kwa kuwa ni haki yao naye mwenyekiti wa umoja wa vijana mkoa wa arusha bwana james millya aliiomba serikali kuwa na mpango maalum wa kuwapandisha vijana na kuachana na wazee ambao utendaji kazi wao hauna kasi ya kutosha ujue tuko katika kipindi cha teknolojia ambapo vijana wako kasi katika hili hawa wazee unakuta hata komputa tu hawezi kutumia hivyo ifike mahali nao wakubali kuwa UNK na vijana katika mambo mengi akizungumzia ziara za nje za rais bwana millya alishauri pia UNK vijana wenye taaluma ili kuwapa uzoefu katika mambo mbalimbali kuhusu sera ya vijana bwana millya alisema bado ina upungufu katika baadhi ya maeneo hivyo akaomba kuwepo mabadiliko ambayo yatawawezesha vijana kuwa na fursa zaidi katika mambo mbalimbali hasa ya ajira chanzo cha kifo hakijafahamika kuzikwa leo zanzibar mhadhiri mwandamizi wa chuo kikuu cha dar es salaam profesa haroub miraji othman amefariki dunia usiku wa kuamkia jana mjini hapa msemaji wa familia bwana ali miraji alithibitisha kifo hicho na kusema ni cha ghafla na chanzo chake hakijafahamika bwana miraji alieleza kuwa profesa othman saa chache kabla ya kufikwa na mauti alionekana mwenye afya njema na kushiriki matukio kadhaa mjini hapa alisema mchana kabla ya kifo chake alihudhuria uzinduzi wa kitabu cha simulizi za maisha ya mwanasiasa mkongwe ali sultani issa ambacho UNK uhakiki wengine waliohudhuria hafla hiyo ni katibu mkuu wa chama cha wananchi maalim seif shariff hamad mbali na hilo usiku alihudhuria uzinduzi wa tamasha la UNK ambalo hufanyika kila mwaka kwa ajili ya kutangaza utamaduni wa zanzibar katika sekta ya utalii mgeni wa rasmi kwenye uzinduzi huo alikuwa waziri kiongozi wa serikali ya mapinduzi zanzibar bwana shamsi vuai nahodha hadi kifo chake profesa othman alikuwa mwenyekiti wa kituo cha huduma za sheria cha zanzibar kilichoanzishwa kwa ajili ya kutoa msaada wa kisheria kwa watu wenye kipato cha chini kwa mujibu wa bwana miraji marehemu anatarajiwa kuzikwa leo mjini zanzibar maisha na uzoefu baada ya kumaliza masomo yake ya juu nchini urusi profesa othman alirudi zanzibar lakini kwa kipindi hicho alishindwa kupata ajira na kufanyiwa mipango na serikali kwenda kufanya kazi tanzania bara alifanya kazi chuo kikuu cha dar es salaam kuanzia miaka ya elfu moja na mia tisa na sabini akiwa katika kitivo cha sheria na UNK vingine hadi mauti UNK profesa othman atakumbukwa kwa moyo wake wa kupenda maendeleo ya demokrasia na dhana ya utawala bora katika bara la afrika na dunia kwa ujumla uwezo wake ulimfanya kujumuishwa na kuwa mjumbe katika tume mbali mbali ikiwemo ile ya kufanya marekebisho ya katiba na tume ya UNK tume ya nyalali ilikuwa ikiangalia mfumo gani wa siasa nchini unaofaa kufuatwa kutokana na dunia kukumbwa na wimbi la mabadiliko ya kisiasa baada ya kumalizika vita baridi vya kambi ya magharibi na mashariki mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na mia tisa na tisini alipata pia kuwa mwenyekiti wa bodi ya lililokuwa shirika la habari la tanzania mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini profesa othman alikuwa mwenyekiti wa taasisi ya UNK wa ndani ambayo iliingia katika lawama baada ya kubainisha kuwa uchaguzi wa zanzibar haukuwa wa huru na haki UNK ilitoa taarifa kwamba uchaguzi huo haukuwa wa haki na kukinzana na taarifa iliyotolewa na tume ya uchaguzi zanzibar mei mwaka huu profesa othman alihudhuria semina UNK waandishi wa habari waandamizi visiwani hapa kwa lengo la kuwaelimisha masuala mbalimbali ya uchaguzi huru na haki katika chaguzi UNK nikiwa hai nataka kushuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini moja sifuri unafuata misingi yote ya demokrasia zaidi kwa vyombo vya habari ni moja ya kauli aliyotoa msomi huyo kwenye semina hiyo ambayo itazidi UNK akizungumzia kifo hicho katibu mkuu wa zamani wa uliokuwa umoja wa afrika daktari salim ahmed salim alieleza kushtushwa na tukio hilo kwani mchana wote walishinda na marehemu katika matukio mbalimbali nimesikitika sana na huo ndio ukweli kwamba kifo hakina huruma wala taarifa kwani kwa siku nzima nilikuwa naye katika shunguli mbali mbali alisema daktari salim ambaye alikuwa rafiki mkubwa wa profesa UNK mbunge wa kilindi bibi beatrice shelukindo na naibu waziri wa afya na ustawi wa jamii daktari aisha kigoda UNK misuli mbele ya rais jakaya kikwete baada ya kutofautiana maelezo wakati wa kuwasilisha matatizo ya waganga na wauguzi wilayani kilindi sakata hilo UNK baada ya daktari kigoda kutaka UNK mdomo bibi shelukindo UNK rais kikwete matatizo yanayoikabili wilaya hiyo kukimbiwa na watumishi wa idara ya afya na kuzua malumbano kati ya wanasiasa hao akiwasilisha taarifa ya mkoa kwa rais kikwete mwishoni mwa wiki kwenye ikulu ndogo mjini UNK wilayani kilindi ambapo alifika kwa ajili ya kufungua hospitali teule ya kilindi mkuu wa mkoa wa tanga meja jenerali said kalembo UNK kipengele cha idara ya afya rais kikwete alitaka ufafanuzi kuhusu kilindi kaimu mganga mkuu wa mkoa wa tanga na katibu wa afya hospitali ya bombo bwana pascal kanyinyi alisema wilaya ya kilindi ina upungufu mkubwa wa matabibu na wauguzi na kila UNK aidha UNK kabisa na wanaokwenda wanafanya kazi lakini baada ya muda UNK kwa kuwa mazingira ya kuishi ni magumu bwana kanyinyi alitolea mfano mwaka ishirini sifuri saba sifuri nane ambapo kilindi walipewa kibali cha kuajiri matabibu hamsini na mbili lakini UNK kufanya kazi wilayani humo ni wanne tu jambo linalofanya upungufu wa watumishi hao kuongezeka mwaka hadi mwaka katika kuchangia ili kuondoa tatizo bibi shelukindo alimwomba rais kikwete UNK kuondoa kero hiyo ambapo wao kama wilaya wanaweza kuanzisha mfuko wa motisha na rais kikwete UNK angalau shilingi milioni tano ili UNK na watumishi kutokana na kauli hiyo ndipo mvutano uliibuka baada ya daktari kigoda kueleza kuwa suala hilo lipo ndani ya uwezo wa halmashuri na bibi shelukindo hakupaswa kumwambia rais ama kumuomba msaada wa namna hiyo baada ya kauli hiyo bibi shelukindo naye alijibu mapigo na kusema ana haki ya kumwambia rais katika kuweka sawa suala hilo rais kikwete alitumia hekima na kuwataka wasiendelee kuitangaza wilaya ya kilindi kuwa ina mazingira magumu ya kufanya kazi badala yake waweke mikakati itakayowezesha watumishi hao kubaki na kuendelea na kazi rais kikwete alitolea mfano kuwa wanaweza kuamua UNK ekari tano za mazao mganga na kumwambia mazao yale ni yake na yeye UNK jambo ambalo linaweza kuwavutia zaidi akizungumza na mwandishi wa habari daktari kigoda alisema UNK bibi shelukindo ni sahihi kwani wao kama wilaya wanapaswa kutafuta watumishi na kuwapa motisha lakini sio suala la kumwambia rais kikwete mimi UNK ndiyo sahihi hawawezi kuomba rais awatafutie watumishi ama kuwachangia fedha wao kama halmashauri ni lazima wakatafute wenyewe watumishi vyuoni na kuwaeleza mikakati yao watakapofika kilindi lakini yeye alikuwa na kazi ya kunipinga tu alisema daktari kigoda alipoulizwa kama malumbano hayo yanatokana na yeye kuonekana mara kwa mara wilayani kilindi na kudaiwa yupo kwenye mbio za kutaka kugombea ubunge kwenye jimbo hilo daktari kigoda alisema wakati wa kuchukua fomu haujafika lakini yeye kama naibu waziri ana haki ya kuitembelea wilaya yoyote wakati wa kuchukua fomu haujafika na hapo ndipo unaweza kumjua mtu nia yake lakini mimi kama kiongozi wa serikali nina haki ya kufika kilindi wakati wowote kuangalia shughuli za maendeleo ni kama vile ninavyoweza kwenda lindi mtwara ama kigoma alisema daktari kigoda naye bibi shelukindo alisema yeye kama mwakilishi wa wananchi alikuwa na haki ya kumwomba msaada rais wake kwani shida wanazopata wananchi wa kilindi katika sekta ya afya UNK rais kikwete na ni tishio kwa ccm kwenye uchaguzi mkuu mwakani hana uwezo wa kunizuia UNK rais waganga na wauguzi kwa kuwa mimi ni mwakilishi wa wananchi na athari zake UNK zinaweza kujitokeza kwenye uchaguzi mkuu mwakani ndiyo maana nikamjibu kama watumishi hao sio tatizo kuwapata mbona yeye hakuja nao kilindi ambapo kila siku yupo wilayani humo alihoji bibi shelukindo bibi shelukindo alisema nia yao ni kufanya kama mkoa wa rukwa ambapo watumishi UNK na wenyeji wao kwa kupewa mpaka nyumba nzuri za kuishi usafiri chakula na mahitaji mengine hivyo kwa jambo kama hilo si dhambi rais kikwete kuwasaidia na makumba mwemezi mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam imeamuru kuuzwa kwa samaki wenye uzito wa tani mia mbili na tisini na sita thebathini na mbili waliopatikana kutokana na msako wa uvuvi haramu uamuzi huo ulifikiwa jana kortini hapo na hakimu mkuu mfawidhi bibi addy lyamuya wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya uamuzi wa mambo mbalimbali yaliyokuwa UNK na upande wa mashitaka bibi lyamuya alitoa uamuzi huo baada ya upande huo kuiomba kuruhusu kuuzwa kwa samaki hao kutokana na kuwepo uwezekano wa kuoza akiwasilisha ombi hilo wakili wa serikali bwana boniface stanslaus alidai licha ya samaki hao kuwa ni sehemu ya ushahidi lakini kutokana na kuwepo uwezekano wa kuoza ni vyema UNK wauzwe kwa njia ya mnada na fedha zitakazopatikana UNK katika mfuko maalum wa kijamii upande wa utetezi ulioongozwa na wakili ibrahim bendera haukuwa na pingamizi lolote kuhusiana na ombi hilo mbali na kutokuwa na pingamizi upande huo UNK mfumo wa uuzaji kwa njia ya mnada ukidai UNK thamani halisi ya maliasili hiyo hivyo kupendekeza samaki hao wauzwe kwa njia ya tenda kutokana na malumbano hayo mahakama ilikubaliana na matumizi ya njia zote mbili na kuutaka upande wa mashitaka kupanga tarehe na mfumo wa uuzaji wa samaki hao na UNK hadharani pia upande wa utetezi uliiomba korti kumruhusu mhandisi wa meli hiyo bwana UNK dong na bwana UNK UNK ambaye ni msaidizi wake kwenda UNK kwa ajili uangalizi wa meli hiyo ambao ambalo UNK polisi jijini tanga wamefanikiwa kuvunja jaribio la kuozeshwa mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya UNK baada ya kuvamia sherehe ya harusi eneo la UNK nyumbani kwa binti huyo tukio hilo kubwa na la pili kutokea katika kipindi kisichozidi wiki tatu jijini hapa lilitokea jumamosi iliyopita baada ya polisi kufika eneo hilo saa saba mchana na kukuta sherehe za harusi zikiendelea huku bibi harusi UNK bwana harusi tayari kwa kuozwa na shekhe wa UNK baadhi ya watu walilieleza gazeti hili kwamba polisi walipofika eneo hilo UNK mkusanyiko huo ikiwemo ngoma maarufu ya baikoko iliyokuwa UNK na kuingia ndani ambako waliwakamata bibi harusi mtarajiwa na mama wa bibi harusi huyo polisi walipofika kulikuwa na ngoma ya baikoko inapiga tulikuwa UNK pilau na kumsubiri bwana harusi ndoa ilikuwa ifungwe baada ya swala ya mchana lakini polisi UNK UNK wengine wakaondoka na sufuria za pilau alisema bwana ally bakari akithibitisha tukio hilo kamanda wa polisi mkoani tanga bwana simon sirro alisema wamefanikiwa kumkamata mama mzazi wa mwanafunzi huyo anayetajwa kwa jinala bibi mainda ally na kumchukua mwanafunzi huyo kwa ajili ya kutoa maelezo kabla UNK mahakamani kamanda sirro alisema tukio hilo limetokana na taarifa UNK na baba wa mwanafunzi huyo bwana salehe salum ambaye alipata taarifa kwamba bwana ahmed UNK anataka kumuoa binti yake huyo ambaye hakuwa ameenda shule tangu januari mwaka huu licha ya UNK karo hili ni tukio la pili sasa hapa tanga inasikitisha sana kuona wazazi UNK mabinti zao wanaosoma huku si kuwatendea haki mabinti zetu alisema bwana UNK jeshi la magereza mkoani shinyanga UNK kazi askari wake wa gereza la maswa koplo UNK masokolo kwa kitendo cha kumwoa mke wa mahabusu UNK gerezani hapo akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana mkuu wa jeshi hilo mkoani hapa bibi UNK pesha alisema mbali na kosa hilo askari huyo amefukuzwa kutokana na utoro kazini askari huyo anatuhumiwa kumuoa mke wa mahabusu wa gereza hilo aliyetajwa kwa jina la bwana jilala UNK alisema askari huyo mwenye namba a elfu tisa na mia nne na sabini na tatu amefukuzwa kazi kuanzia juni ishirini na saba mwaka huu baada ya kamishna mkuu wa magereza nchini bwana agustino nanyaro kuridhika kuwa alikiuka maadili ya jeshi hilo alisema kitendo alichokifanya koplo masokolo kumrubuni na kumuoa mwanamke huyo aliyetajwa kwa jina la bibi ngholo shija kwa kutumia nafasi aliyokuwa nayo hakiwezi UNK macho kwani UNK jeshi hilo na kufanya wananchi UNK kwamba mahabusu na wafungwa hawana haki wakiwa gerezani bibi pesha alionya askari wengine wa jeshi hilo UNK maadili ya kazi na kueleza kamwe UNK askari UNK jeshi hilo na UNK doa UNK jamii alisema jeshi la magereza lina kanuni taratibu na sheria ambazo ziko wazi na kila askari UNK na jeshi hilo UNK kufuatia kitendo cha askari huyo kumuoa bibi ngholo baadhi ya wabunge walilalamikia kitendo hicho bungeni wakati wakichangia hotuba ya ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma pamoja na ile ya utawala bora waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti na utumishi wa umma bibi hawa ghasia ambaye alikuwa akijibu hoja za wabunge alisema serikali haiwezi kukaa kimya kutokana na kitendo kilichofanywa na askari huyo kudhalilisha utumishi wa umma serikali yazindua sheria ya mikopo hati za kimila UNK kutumika UNK benki zote kuepuka urasimu serikali imezindua sheria mpya itakayowawezesha wananchi kuondokana na adha ya kuishi kwenye nyumba za kupanga kwa kuanzisha mfumo utakaowawezesha kumiliki nyumba zao wenyewe hayo yalibainishwa na waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi bwana john chiligati wakati wa uzinduzi wa kuanza kutumika kwa sheria ya miliki za sehemu za jengo na sheria ya mikopo ya nyumba uliofanyika dar es salaam jana alisema utafiti umeonesha kuwa nyumba mpya zipatazo ishirini sifuri sifuri sifuri sifuri zinatakiwa kujengwa kila mwaka ili kukidhi ongezeko la watu mijini na vijijini lakini UNK ni wastani wa nyumba kumi na tano sifuri sifuri sifuri hali inayosababisha wapangaji kupewa masharti magumu na kulazimishwa kulipa kodi kwa mkupuo bwana chiligati alisema kupitia sheria hizo tatizo la uhaba wa nyumba litapata jawabu kwani wawekezaji wa kujenga nyumba za kuuza wataongezeka kupitia sheria ya mikopo ya nyumba wanunuzi watakuwepo pia soko la kuuza nyumba hasa zile za UNK katika maghorofa UNK kupitia sheria ya umiliki wa sehemu ya nyumba alisema bwana chiligati alifafanua kuwa uzuri wa sheria hiyo ni kuwa nyumba UNK au vyumba katika maghorofa hayo ndiyo itakuwa dhamana ya kupatia mkopo benki bwana chiligati alisema sheria hiyo inaweka utaratibu usio wa kawaida ambapo mmiliki zaidi ya mmoja watakuwa wanamiliki sehemu ya jengo moja ndani ya jengo moja panaweza kukawa na wamiliki wengi au ndani ya kiwanja kimoja kunaweza kukawa na nyumba zaidi ya moja na kila mwenye nyumba akawa na hatimiliki yake alisema bwana chiligati alifafanua kuwa sheria hiyo imeweka mwongozo UNK wamiliki wa jengo au kiwanja kuunda umoja UNK kutatua matatizo UNK aliongeza kuwa serikali inaendelea na mpango wa kupima mashamba ya wakulima na wafugaji na kutoa hati miliki za kimila kwani zina nguvu ya kisheria UNK benki zote nchini kuanza kupokea hati hizo kama dhamana ya kuwapa mikopo ya nyumba wakulima na wafugaji UNK benki zote nchini ziingie kikamilifu kwenye biashara ya kutoa mikopo ya nyumba watanzania UNK sana kujaribu kujenga nyumba kwa fedha za mfukoni alisema alifafanua kuwa ili kuharakisha upatikanaji wa hati hizo na kwa gharama nafuu wizara yake imepeleka huduma ya kuandaa na kusaini hati hizo karibu na wananchi bwana chiligati alisema tayari wataalam wa wizarani yake wapo kwenye ofisi za kanda tano wakiendelea na kazi ya kutayarisha hati miliki za UNK alisema chini ya sheria ya usajili wa ardhi urasimu usiokuwa wa lazima UNK kwenye mchakato wa kutoa hati miliki za ardhi na ule wa kusajili hati za mikopo ya nyumba alisema utaratibu wa sasa wa kusajili hati UNK rehani kwa ajili ya mkopo UNK katika ofisi za kanda alisema serikali inatambua kuwa changamoto kubwa inayowakabili ni riba kubwa ya asilimia kumi na saba kwa mwaka inayotozwa kwa mikopo ya nyumba alisema changamoto hiyo inashughulikiwa na serikali kwa namna mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuanzisha chombo cha fedha UNK mabenki kupata fedha kwa ajili ya kutoa mikopo ya nyumba hata hivyo alionya wakopaji kama watashindwa kurejesha mikopo hiyo sheria mpya inampa UNK haki ya kuuza mali iliyowekwa rehani bila urasimu kama ilivyokuwa zamani kutokana na unyeti wa jambo hilo bwana chiligati alisema sheria hiyo imeweka sharti kuwa mwanandoa mmoja wapo UNK rehani mali ni lazima mwenzake UNK wadai pinda UNK hawana mamlaka kujadili kero wataka mkataba wake sasa ujadiliwe bungeni wahoji kufutwa serikali ya tanganyika serikali yasema wenye tanganyika walishakufa spika sitta UNK john cheyo bungeni katika hali isiyotarajiwa wabunge wote wa zanzibar jana waliungana UNK muungano huku wakidai kuwa waziri mkuu bwana mizengo pinda na waziri kiongozi wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar bwana shamsi vuia nahodha hawana mamlaka kujadili kero za muungano huo akichangia hotuba ya bajeti ya ofisi ya makamu wa rais iliyowasilishwa bungeni jana na waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais daktari batilda burian mbunge wa UNK bwana yahya kassim issa alisema tanzania bara UNK na kuwarudisha nyuma wazanzibar katika nyanja UNK ikiwemo elimu na biashara wenzetu UNK vikwazo bandari ya zanzibar imekufa watu walikuwa wanachukua vitu kwenda na kurudi lakini sasa hakuna vikwazo UNK ni matatizo UNK vitu vya kiuchumi vitakavyosaidia zanzibar hatutaki kusikia UNK mafuta ni haki ya zanzibar sisi UNK sisi tulikuwa nchi kamili kama ilivyokuwa tanzania bara mtu UNK UNK hatajua UNK sisi wazanzibari tunashindwa kujizuia kuhusu mambo ya muungano alisema bwana issa na kusisitiza kuwa mwaka ishirini moja moja watakaporudi bungeni UNK mambo yakienda mrama kwa upande wake msemaji wa kambi ya upinzani katika masuala ya muungano mbunge wa viti maalum bibi riziki omar juma alilitaka bunge kuiagiza serikali kuvunja haraka UNK kati ya waziri mkuu bwana pinda na waziri kiongozi bwana nahodha na kuwasilisha mkataba wa muungano bungeni ili ujadiliwe kwa lengo la kumaliza matatizo yaliyopo hatuoni kwamba vikao hivi vya pamoja vinakuja na suluhisho la tatizo la muungano vyenyewe ni sehemu ya tatizo ili kutimiza wajibu wetu kama bunge la watu lenye jukumu la kusimamia matumizi ya fedha za walipa kodi UNK serikali ya muungano isitishe mara moja vikao hivi badala yake mkataba wa muungano UNK hapa bungeni kama UNK kuu ya mjadala hapo ndipo UNK na UNK kero za muungano ofisi ya waziri mkuu na waziri kiongozi hazina uwezo wa kujadili muungano hapa ni UNK kinachofanyika katika mkataba wa muungano hakuna sehemu inayosema kufutwa kwa serikali ya tanganyika alisema bibi juma alisema kambi ya upinzania inaona kazi inayofanywa sasa na waziri mkuu na waziri kiongozi kujadili muungano ni kama sehemu ya kuongeza kero kwa kuwa ajenda kuu UNK ni ukiukwaji wa mkataba wa muungano hivyo kero UNK ni matokeo ya tatizo na si tatizo lenyewe UNK UNK radhi kusema kwamba wakubwa wetu UNK muungano huu UNK sana na kile kisa cha mfalme UNK UNK kwenye riwaya ya kusadikika akiwa amekaa katika eneo ambapo mto uliokuwa UNK kila kitu mawe magogo majengo UNK kinywani na kuishia tumboni lakini mara alisikika akilia njaa njaa kiu kiu alisema bibi juma alisema katika suala la muungano hakuna mkubwa wala mdogo na kusisitiza kuwa nchi zilizoungana zilikuwa nchi kamili na suala la udongo halipaswi kuwepo na kuongeza kwamba serikali ya muungano ndio inayopaswa kubeba lawama kuhusu muungano alidai kuwa mazungumzo yanayofanywa kati ya waziri mkuu na waziri kiongozi ni sawa na watu wanaokutana kunywa kahawa au chai na si kufanya jambo la maana naye mbunge wa mkanyageni bwana mohamed habib mnyaa alisema timu ya waziri mkuu na waziri kiongozi hazitoshi kujadili suala la muungano kwani linawagusa watanzania wengi hivyo lilipaswa kushirikisha nyanja mbalimbali bwana mnyaa alikwenda mbali zaidi na kutoa mfano wa swali la mwanawe kuhoji uhalali wa kiongozi mmoja kuonekana UNK udongo peke yake jambo linalotia dosari kwenye misingi ya muungano humo bwana mnyaa alisema tangu mwaka elfu moja na mia tisa na tisini hadi ishirini sifuri sifuri zimeundwa tume kumi na mbili kushughulikia matatizo ya muungano lakini hadi sasa hakuna muafaka UNK hivi karibuni serikali iliweka wazi mambo matatu yaliyopatikana kupitia mazungumo kati waziri mkuu na waziri kiongozi kuwa ni pamoja na tume ya haki za binadamu na utawala bora uvuvi katika bahari kuu na shughuli za biashara ya meli katika hotuba yake daktari burian alisema serikali imepiga hatua katika mazungumzo kati ya viongozi hao wawili na kueleza kwamba vikao hivyo vitaendelea kwa kasi zaidi ili kuboresha muungano akijibu hoja hizo waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais bwana muhammed seif khatib alisema suala la serikali ya tanganyika kwa sasa halina nafasi kwani wenye tanganyika walishakufa alisema wakati wa muungano tanzania ilikuwa na watu milioni kumi tu na sasa wapo zaidi ya milioni arobaini alisisitiza kuwa waziri mkuu na waziri kiongozi wana uhalali kujadili kero za muungano kwani mwenyekiti suala hilo ni makamu wa rais askari adaiwa kuua mfanyabiashara barabara tunduma UNK kwa saa tisa wananchi wavunja magari jwtz ofisi UNK mbio za mwenge wa uhuru UNK risasi UNK kituo UNK mji mdogo wa tunduma uliopo mpakani wa tanzania na zambia jana UNK uwanja wa vita baada ya mamia ya wananchi kuandamana kurusha mawe na kushambulia magari kushinikiza jeshi la polisi kuwajibika baada ya UNK wa askari kudaiwa kumuua kwa kumpiga risasi mfanyabiashara wa kitongoji cha sogea bwana frank UNK mfanyabiashara huyo aliuawa kwa kupigwa risasi ubavuni saa nne usiku wa kuamkia jana na askari aliyefahamika kwa jina la pc justin mita chache kutoka nyumbani kwake wananchi hao wakiwemo wafanyabiashara wa mji huo wa tunduma walikuwa wakiandamana kuelekea kituo cha polisi wakiwa na mawe kwa nia ya kumuua askari anayedaiwa kusababisha mauaji hayo huku wakisema jeshi hilo limekuwa likiacha majambazi na kuwaua raia wasio na hatia hata hivyo askari huyo baada ya tukio hilo alitoweka na hajulikani alipo hadi sasa hatua hiyo ilisababisha barabara kuu ya tunduma kufungwa kwa takribani saa tisa kutokana na vurugu hizo ambapo mbio za mwenge wa uhuru uliokuwa UNK eneo hilo UNK inadaiwa kuwa askari huyo alikuwa akifuatilia tukio la ujambazi ulitokea tunduma hivi karibuni na mara alipoona gari la mfanyabiashara huyo lenye namba za usajili t mia nane na themanini na nane aea toyota UNK ambalo alikuwa akiendesha mfanyabishara huyo alianza UNK kwa nia ya UNK taarifa zimeelezwa kuwa wakati askari huyo UNK gari hilo akiwa ndani ya gari suzuki UNK namba t mia tano na hamsini na tisa afa marehemu naye aliongeza mwendo UNK kuwa alikuwa akifukuzwa na majambazi ndipo alipoanza UNK risasi hali hiyo ilisababisha marehemu aongeze mwendo zaidi kwa kuhofia usalama wake na baadaye gari lake kukutwa na gari hilo ambalo lilikuwa ni la kiraia na askari huyo kumuua mfanyabishara huyo mita hamsini kutoka nyumbani kwake mara baada ya kufanya mauaji hayo inadaiwa kuwa askari huyo UNK gari lake kwa mwendo kasi na kuelekea tunduma na UNK bastola eneo ambalo marehemu UNK muda mfupi baada ya kufanya mauaji hayo baadaye lilikuja gari ya polisi landrover defender likiwa na machela ndani na kuuchukua mwili wa marehemu kwa nia ya kuupeleka katika kituo cha afya cha tunduma akizungumzia tukio hilo mwenyekiti wa serikali za mtaa wa sogea bwana ali mwafongo alisema kuwa yeye alipata taarifa za kutokea kwa tukio hilo saa nne za usiku aliposikia milio ya UNK bwana mwafongo alisema asubuhi UNK UNK taarifa kuwa kuna mtu ameuawa na baadaye walipofika eneo la tukio walielezwa kuwa jirani yao ameuawa na askari polisi na baadaye kufuatilia kituo cha afya ndipo UNK kuwa aliyefariki ni jirani yao bwana frank tukio hilo lilisababisha wananchi hao kufanya maandamano ambapo kikosi cha askari wa kutuliza ghasia walianza kurusha mabomu ya machozi pamoja na risasi za moto kwa nia ya kuwatawanya wananchi waliokuwa wakifanya maandamano hayo hali ambayo ilisababisha hasira kwa wananchi ambao walianza kurusha mawe na kuvunja vioo vya magari magari mawili moja la jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania na la ofisi ya mkuu wa mkoa lilivunjwa vioo vya mbele mmoja wa ndugu wa marehemu aliyejitambulisha kwa jina la bwana joseph UNK ametaka iundwe tume kuchunguza kifo hicho kamanda wa polisi wa mkoa wa mbeya bwana advocate nyombi alisema alikuwa kwenye mbio za mwenge wa uhuru na kuona mawe yamepangwa barabarani ndipo kusitisha mbio hizo na kwamba wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo iliomba kibali cha mikopo tu haina kibali cha kupokea fedha na reuben kagaruki benki kuu ya tanzania imesisitiza kuwa haijawahi kuipa kampuni ya upatu ya deci limited kibali cha kuiruhusu kupokea fedha kutoka kwa wananchi kama ambavyo imekuwa ikifanya hivyo biashara hiyo ni haramu akijibu maswali ya waandishi wa habari dar es salaam jana mkurugenzi wa kusimamia mabenki bwana joseph massawe alisema mwaka ishirini sifuri saba deci ilipeleka barua bot ikiomba UNK barua ya kwenda kuombea leseni wizara ya viwanda na biashara ili kupatiwa kibali cha kukopesha fedha alisema baada ya kupitia makabrasha ya deci yaliyopelekwa bot waliridhika kuwa malengo yao ni ya kukopesha fedha kwa wananchi na hakukuwa na kipengele chochote ambacho kilionesha itakuwa ikipokea fedha kutoka kwa wananchi baada ya kupitia maombi yao tuliona kazi wanayotaka kufanya UNK kupokea amana ndiyo maana tukawapa barua ya kwenda kuombea leseni kutoka ofisi za viwanda na biashara alisisitiza bwana massawe alifafanua kuwa badala ya deci kufanya biashara kama ilivyoomba ya kutoa mikopo kwa wananchi UNK na kuanza kujihusisha na biashara haramu kutokana na kujihusisha na biashara haramu bwana massawe alisema tayari suala hilo limefikishwa kwa mkurugenzi wa upelelezi na makosa ya jinai ambapo tangu desemba mwaka jana alifungua jalada la kuichunguza deci alipoulizwa kama bot iliwahi kupokea maombi kutoka deci ya kutaka kuanzisha benki bwana massawe alikiri hilo januari tulipata barua kutoka kwa promota wao wakiomba mkutano wa kwanza wa maombi ya benki UNK na UNK alisema na kusisitiza kuwa suala lao lilikuwa bado linashughulikiwa alipoulizwa ni kwa nini ofisi za deci UNK ulinzi wa polisi ambao wanaendelea kusimamia biashara haramu iendelee kufanyika bwana massawe alisema suala hilo kwa sasa lipo kwenye vyombo vya sheria tangu wiki iliyopita bot ilitoa matangazo kwenye vyombo vya habari UNK wananchi kuwa makini na biashara ya deci ijulikanayo kama vuna kutokana na mbegu uliyopanda kwa kuwa haijatoa leseni ya biashara hiyo tangazo hilo lilieleza kuwa wananchi UNK na shughuli za deci watakuwa wanahatarisha mitaji yao tangu tangazo hilo litolewe kwenye vyombo vya habari kumekuwa na hali ya mgawanyiko ambapo baadhi ya wanachama wanataka UNK fedha walizopanda huku wengine wakiendelea kupanda na kuvuna na john daniel dodoma kambi ya upinzani bungeni imeitaka serikali UNK taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa kwa kile ilichodai chombo hicho nyeti kinafanya kazi kwa upendeleo na kuogopa viongozi waandamizi wanaojihusisha na rushwa akisoma maoni bungeni jana msemaji wa kambi hiyo katika wizara ya katiba na sheria bibi fatma UNK alisema hawaridhishwi na utendaji wa takukuru katika kushughulikia rushwa nchini kwa kuwa hakuna sheria UNK viongozi UNK mali mtu akikutwa na fedha au mali inayozidi kipato chake halali achukuliwe kwamba ametenda kosa la kupokea rushwa inakuwa wajibu wake kuthibitisha kuwa mali hiyo alipata kihalali kifungu hiki ni muhimu sana katika kufanikisha mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi kambi ya upinzani UNK kumuomba mheshimiwa waziri UNK takukuru na kuwataka wafanye kazi kwa mujibu wa sheria bila uoga wala upendeleo na bila kujali wadhifa alionao au aliokuwa nao mhusika alisema bibi UNK na grace michael hatimaye upande wa utetezi katika kesi ya vinara wa kampuni ya development entrepreneurship community initiative UNK upande wa mashitaka kwa kuutaka kuondoa hati ya kupinga dhamana kwa kuwa hali ya usalama kwa sasa ni shwari anguko hilo lilifanyika jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya hakimu mkazi bwana michael UNK wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa akiwasilisha maombi ya kuuomba upande huo wakili wa utetezi bwana abduel UNK alisema kuwa sababu zilizotolewa ndani ya hati ya mkurugenzi wa mashitaka nchini ya kupinga dhamana ya washitakiwa kwa sasa hazipo hivyo upande huo uone haja ya kuiondoa ili washitakiwa hao wapate haki yao ya dhamana mheshimiwa sababu za dpp kupinga dhamana ya washitakiwa kwa sasa hazipo tena kwani kama ni usalama upo wa kutosha na hakuna vurugu tena kama wenzetu UNK na kufikia hatua ya kupinga dhamana ya washitakiwa hivyo tunaomba hati hiyo UNK na washitakiwa wapewe dhamana yao alisema bwana UNK akijibu hoja hizo wakili wa serikali bwana UNK mganga alisema kuwa kesi hiyo imekuja kwa ajili ya kutajwa tu na suala la dhamana tayari lilishatolewa uamuzi na hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo bibi addy lyamuya hivyo haiwezekani hakimu mwingine kutengua uamuzi huo kuhusiana na hoja ya sababu za dpp kutokuwepo kwa sasa alisema kuwa endapo dpp angeona sababu hizo hazifai kwa sasa angekuwa ameleta taarifa yoyote ya kutengua hati yake ya kuzuia UNK kwa kuwa yeye ndo anajua hali halisi ya jambo hilo upande wa utetezi pia kupitia wakili wao bwana hudson ndusyepo ulizidi kuuomba upande huo kupitia mawakili wa serikali UNK dpp kuona haja ya kutengua hati hiyo baada ya kuwasilishwa kwa hoja hizo za pande zote mbili mahakama ilisema kuwa haiko tayari kutengua uamuzi wa mwanzo wa bibi lyamuya kwa kuwa ulikuwa halali ninachoweza kusema ni kusisitiza upande wa mashitaka kuangalia kama hizo sababu hazipo tena UNK hati yake na washitakiwa wawe nje ya dhamana kama utaona kuna haja hiyo alisema bwana mteite washitakiwa katika kesi hiyo ni bwana jackson mtares bwana dominick kigendi bwana timotheo ole loitg nye bwana swamel mtares na bwana arbogast kipilimba wote wakazi wa dar es dar es salaam na grace michael wadau wa wizara ya maliasili na utalii UNK kupuuza simu UNK kuomba msaada wa fedha kwa kutumia jina la naibu waziri wa wizara hiyo bwana ezekiel maige kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na kaimu katibu mkuu wa wizara hiyo bwana UNK kwa muda wa miezi sita sasa yamekuwepo matukio ya watu kupiga simu kwa watumishi wa wizara idara na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kuomba fedha huku wakijifanya ni bwana maige watu hao wamekuwa wakipiga simu kuomba msaada wa fedha au kukopa kwa shida binafsi na wadau waliopigiwa ni chuo cha wanyamapori mweka pori la akiba selous pori la akiba UNK idara ya misitu na nyuki tanapa na wadau wengine wengi imeeleza taarifa hiyo ilifafanua kuwa matukio hayo yamekuwa UNK bwana maige kwa kuwa ni udhalilishaji hivyo UNK UNK kutokana na matukio hayo bwana maige ameliomba jeshi la polisi kuendelea na uchunguzi wake juu ya suala hilo ili wahalifu hao waweze kutiwa mbaroni na kukomesha vitendo hivyo na grace michael serikali imekata rufaa katika mahakama ya rufaa tanzania kupinga kuwepo kwa mgombea binafsi kama ilivyokuwa UNK na mahakama kuu ya tanzania rufaa hiyo imekatwa kupitia mwanasheria mkuu wa serikali ambaye anapinga uamuzi uliotolewa na jopo na majaji watatu ambao ni jaji amir UNK jaji salum massati na jaji thomas mihayo ambao UNK kuwepo kwa mgombea huyo katika rufaa yake mwanasheria mkuu wa serikali anapinga uamuzi wa mahakama kuu uliotolewa mei tano mwaka ishirini sifuri sita akidai kuwa mahakama hiyo ilikosea kujipa mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo kwa mujibu wa mwanasheria mkuu wa serikali sababu nyingine za kupinga mgombea binafsi katika rufaa hiyo jopo la majaji hao UNK kutengua vifungu vya katiba ya nchi kwa kupunguza matakwa ya lazima ya katiba hasa katika ibara ya thebathini na ibara ya kumi na tatu aidha anapingana na uamuzi huo kwa kusema kuwa mahakama ilikosea kujipa mamlaka ya bunge ya kutunga sheria ikiwa ni pamoja na kuhusisha katiba ya nchi na sheria nyingine za kimataifa sababu ya nyingine ya kupinga uamuzi huo inadai kuwa mahakama kuu ya tanzania haikustahili kutoa uamuzi huo katika kesi hiyo bila ya kuwepo mambo UNK rufaa hiyo iliyopewa namba arobaini na tano ya mwaka huu imekatwa dhidi ya mchungaji christopher mtikila ambaye awali alifungua kesi ya kikatiba akiomba mahakama kuamuru kuwepo kwa mgombea binafsi kuanzia uchaguzi mkuu wa mwakani katika uamuzi huo mahakama kuu ilisema kuwa vipengele UNK kwenye katika kupinga kuwepo kwa mgombea binafsi ni batili hivyo ikaagiza serikali kuandaa utaratibu wa kisheria kwa kuwaingiza wagombea binafsi katika mchakato wa uchaguzi mchungaji mtikila katika kesi hiyo aliiomba mahakama kuchambua marekebisho ya katiba yaliyofanywa na bunge kama UNK na baadhi ya vifungu vya katiba yenyewe pamoja na haki za binadamu na john daniel dodoma wakati waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa anawasilisha bajeti ya wizara yake bungeni leo huku kukiwa na kila dalili kuzuka mjadala mkali kutoka kwa wabunge spika wa bunge bwana samuel sitta ametoa mwongozo wake kuhusu hoja ya mbunge wa nzega bwana lucas selelii awali ndani ya bunge hilo bwana selelii aliitaka serikali kueleza sababu ya serikali kuanza kutumia fedha za bajeti kabla ya kuidhinishwa na bunge huku UNK kuepuka makosa hayo akitoa mwongozo wake bungeni jana bwana sitta alisema baada ya kupitia maelezo ya serikali na utafiti wake katika vitabu vya UNK ya miradi ya maendeleo kuanzia mwaka ishirini sifuri sita sifuri saba na taarifa rasmi za bunge ameridhika kuwa fedha zinazotumika katika ukarabati wa barabara hiyo ya chalinze segera tanga hazitokani na bajeti ya mwaka huu wa fedha mchakato wa matengenezo ya barabara hii ulianza mwaka ishirini sifuri sita fedha zake zimekuwa UNK na bunge kuanzia mwaka ishirini sifuri sita sifuri saba jumla ya shilingi bilioni kumi nne zilitengwa ishirini sifuri sita sifuri saba ukarabati wa barabara hii umeanza rasmi mwaka wa fedha ishirini sifuri nane sifuri tisa ambapo jumla ya shilingi bilioni kumi na saba sitini na tano kutoka UNK na shilingi milioni hamsini fedha za ndani zilitengwa na kuidhinishwa na bunge katika mkutano wa kumi na mbili alisema bwana sitta hata hivyo alikiri kwamba hoja ya bwana selelii ilikuwa ya msingi kwa kuwa katika vitabu vya makadirio ya miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha ishirini sifuri saba sifuri nane na ishirini sifuri nane sifuri tisa kwa wizara husika fedha hizo hazionekani kutengwa na badala yake shilingi bilioni ishirini na mbili nane zilizotengwa mwaka huu ndizo UNK alisema hali hiyo ilizua hofu kwamba fedha zilizoanza kutumika ni za mwaka huu wa fedha ambazo zilikuwa UNK na bunge wakati makamu wa rais daktari ali mohamed shein UNK jiwe la msingi ujenzi wa barabara hiyo kwa kuwa utata huu unatokana na mabadiliko ya miundo ni ushauri wangu kwamba ili kuondokana na matatizo kama haya kunapokuwa na mabadiliko ya miundo ndani ya wizara hasa mabadiliko yale yanayohusiana na miradi mikubwa ni vema fedha UNK katika miradi ya aina hii UNK kwa uwazi zaidi katika vitabu vya bajeti alishauri bwana sitta mheshimiwa selelii alikuwa na haki ya kutaka ufafanuzi wa matumizi ya fedha za mradi kama ilivyokuwa UNK katika vyombo vya habari alisema bwana sitta alisema kiini cha tatizo hilo ni mabadiliko yaliyofanywa ndani ya wizara ya miundombinu baada ya kubadili idara ya UNK division kuwa transport UNK division hivyo kufanya uhamishaji wa fedha kwenda idara hiyo mpya kuleta mkanganyiko hivyo kufikia hatua hiyo akizungumza na majira bwana selelii alisema hawezi kusema lolote kwani alikuwa UNK mwongozo huo wa spika na kumwomba mwandishi kuvuta subira hadi leo wakati bajeti ya wizara hiyo UNK mimi sijapata nakala ya mwongozo wa mheshimiwa spika sasa siwezi kuzungumza kwa kile UNK tu lakini subiri kesho utasikia tu vizuri UNK sana shughuli za bunge alisema bwana selelii kauli za wenyeviti UNK jambo na said mwishehe kundi la watu waliojitambulisha kuwa wana ccm wa mrengo wa kati au wana ccm mseto limedai UNK mwenyekiti wa chama hicho rais jakaya kikwete kwenye mchakato wa kutafuta mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho mwakani kama atashindwa kuwashughulikia mafisadi waliopo ndani ya chama hicho wanachama hao wamedai endapo chama hicho kitazidi kukumbatia mafisadi na kuwaonea haya kuwatosa kisiasa watakuwa tayari kuondoka ccm na kujiunga na kambi ya upinzani ili kuendeleza mapambano dhidi ya ufisadi kauli ya wanachama hao imekuja siku moja baada ya wenyeviti wa mikoa wastaafu wa ccm kutoa tamko la kupambana na wenye nia ya UNK kumpinga rais kikwete kwenye uchanguzi mkuu ujao mwakani hata hivyo walisema UNK mtu yeyote kugombea nafasi hiyo lakini hawaoni sababu ya kuwapo upinzani wakati rais kikwete anatarajia kumalizia kipindi chake cha pili wenyeviti hao UNK na aliyekuwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa dodoma ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa wenyeviti wa mikoa yote wa ccm bwana pancras ndejembi walionya dhidi ya viongozi wa chama hicho wanaotaka kuyatumia mapambano ya rushwa kama mtaji wa kisiasa na kujipatia umaarufu wakizungumza dar es salaam jana na majira kwa masharti ya kutotajwa majina makada hao walidai dhamira ya kweli ya rais kikwete kupambana na mafisadi itaonekana pale tu UNK haraka ndani ya chama watuhumiwa wote wa ufisadi uhakika wa kweli kama ameamua kufa na mafisadi ni pale tu tutakapoona wale waliohusika katika tuhuma za ufisadi wanashughulikiwa kikamilifu ndani ya ccm mbali ya kujiuzulu serikalini kilisema chanzo hicho wanachama hao walisema wanataka kuona mafisadi wote waliohusika na kashfa za kagoda richmond buzwagi deep green meremeta rada iptl na zingine UNK kortini au kuvuliwa uanachama kabla ya ishirini moja sifuri vinginevyo UNK chama hicho umefika wakati kusema ukweli wa mwenendo mzima wa chama chetu haiwezekani chama kishindwe kuwachukulia hatua mafisadi na kuendelea kuwalea katika mazingira hayo lazima tumpinge kwa misingi ya kidemokrasia mwaka ishirini moja sifuri kushindwa kuwashughulikia mafisadi ni kushindwa kusimamia utekelezaji wa ilani ya chama alisema kada huyo kada mwingine kutoka kundi hilo alisisitiza kuwa watakuwa tayari kumuunga mkono rais kikwete katika uchaguzi huo endapo atafanya kazi moja tu ya kuhakikisha mafisadi waliopo ndani ya chama wanachukulia hatua za kichama sasa ikiwa ni pamoja na kuvuliwa uanachama alisema endapo rais kikwete ambaye ni mwenyekiti wa chama hicho ataongoza mapambano kuwatimua wote wanaoandamwa na kashfa za ufisadi atapita bila kupingwa kada mwingine wa mrengo wa kati ambaye naye aliomba kutotajwa jina gazetini aliwalaumu wenyeviti hao na kudai wameshindwa kutofautisha ukweli wa mambo na vita ya ufisadi inayoendelea hawa wenyeviti wanadhani mkakati wa kumpinga rais kikwete ishirini moja sifuri unaendeshwa na mafisadi hili si kweli bali mafisadi ndio UNK rais mbele ya wanachama safi kwa kushindwa UNK UNK mafisadi na tunataka chama UNK hata wakiomba kura hatuwapi ndio maana tunataka rais kikwete aoneshe njia kwa kuwatosa nje ya chama vinginevyo na yeye tumpinge kidemokrasia kwenye mchakato mwakani alisema kada huyo na kufafanua hawa wenyeviti ni kama UNK sisi tunasema viongozi hususani mwenyekiti rais kikwete aoneshe dhamira ya kweli kupambana na mafisadi kama anashindwa kuwanggoa mafisadi ndani ya chama kwanini wanachama wengine watakaokuwa na ubavu wa kuwanggoa watu hao UNK tuwape nafasi kumtetea mtu aliyeshindwa kuwanggoa mafisadi ndani ya chama ni kama kushabikia ufisadi na kuwabeza UNK kwa nguvu zote kupambana na ufisadi kada huyo alisema baadhi ya viongozi wa ngazi za kati ndani ya chama hicho wakiwemo wabunge wamefanya kazi nzuri ya kupambana na mafisadi zaidi ya viongozi wakuu wa chama hicho hivyo madai kwamba walio mstari wa mbele katika mapambano hayo UNK umaarufu hayana msingi alitoa mfano kwa mbunge wa kyela daktari harrison mwakyembe na mbunge wa nzega bwana lucas selelii kuwa wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa kwa kazi nzuri waliyoifanya katika kupambana na mafisadi wanaopambana na ufisadi kama hao UNK lazima UNK mkono binafsi sioni kama rais kikwete UNK mafisadi waliopo ndani ya ccm mambo ya chama na serikali ni tofauti UNK serikalini mnaanza kutafuta haki mahakamani lakini chama ni kama dini UNK na doa ni kuondoka kama hutaki UNK alisema alimtaka rais kikwete kufuata nyayo za baba wa taifa mwalimu nyerere katika kukiongoza chama na kusema kwamba UNK nafasi vitu hivyo na wote waliobainika UNK bila kujali hali na nafasi zao alikwenda mbali zaidi na kudai ana wasiwasi wenyeviti hao wasije wakawa wanatumiwa bila kujijua na baadhi ya watu ili kuwahadaa wanachama wengine na kupotosha dhana na matokeo ya vita ya ufisadi hadi sasa wenyeviti walioambatana na bwana ndejembi ni aliyekuwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa dar es salaam bwana hemed mkali bwana UNK UNK na bwana jumanne UNK hadi sasa miongoni mwa wana ccm walioonesha nia ya kugombea urais kwa tiketi ya chama hicho ni pamoja na mbunge wa maswa bwana john shibuda ndugu wa marehemu wagoma mwili wake kuchunguzwa na esther macha tunduma watu themanini na nane wanashikiliwa kwa tuhuma za kushambulia kituo cha polisi baada ya kutokea mauaji ya mfanyabiashara mmoja wa mjini hapa bwana frank UNK anayedaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na polisi akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana kamanda wa polisi mkoa wa mbeya bwana advocate nyombi alisema ulinzi umeimarishwa katika eneo hilo kutokana na vurugu hizo aliwataka wananchi wa mji wa tunduma kuacha kufanya fujo na kujichukulia sheria mikononi yanapotokea matatizo kama hayo badala yake wasubiri vyombo husika alisema katika vurugu za jana kulikuwa na kundi la watu ambao waliokuwa wakirusha mawe eneo la benki ya nmb katika tukio hilo kijana mmoja aitwaye eliud UNK mkazi wa UNK mbozi alijeruhiwa kwa risasi mkononi na mkononi na polisi waliokuwa UNK alisema kuwa kijana huyo amelazwa hospitali ya rufaa mbeya kwa matibabu zaidi akizungumzia kuhusu askari aliyetuhumiwa kuua alisema jeshi lake bado linafanya uchunguzi zaidi wa tukio hilo kwani linahitaji muda wa kutosha UNK muda tukio hili bado linafanyiwa uchunguzi ukikamilika tu nitawapa taarifa kamili alisema kamanda UNK aidha kamanda nyombi alisema wakati akiondoka tunduma saa tano asubuhi mwili wa marehemu ulikuwa unafanyiwa uchunguzi katika hospitali ya UNK wilayani mbozi na kwamba baada ya uchunguzi UNK kwa ndugu zake kwa maziko hata hivyo habari ambazo gazeti hili limezipata zinasema ndugu wa marehemu wamegoma mwili huo kufanyiwa uchunguzi baada ya kutokuwa na imani na madaktari na polisi UNK kuufanyia uchunguzi hivyo kulazimika kuahirisha shughuli hiyo juzi wananchi hao waliandamana na kushambulia magari wakishinikiza jeshi la polisi kuwajibika baada ya mmoja wa askari pc justin kudaiwa kumpiga risasi mfanyabiashara huyo mita hamsini kutoka nyumbani kwake kwa tuhuma za ujambazi mmoja asema mafunzo yao UNK taifa pabaya ataka mahakama ya kadhi ianzishwe haraka shibuda UNK UNK mahakama hiyo mbunge wa kigoma kusini bwana manju UNK UNK maaskofu wa kanisa katoliki waliotoa waraka unaoelekeza waumini wake jinsi ya kuchagua kiongozi bora na kwamba kwa viongozi hao kujihusisha katika siasa ni kinyume na maadili ya dini mbunge huyo pia ameitaka serikali kuanzisha haraka mahakama ya kadhi na kudai kwamba katika suala hili hata rais jakaya kikwete hana hati miliki ya taifa hili bali ni mwananchi binafsi akichangia katika bajeti ya wizara ya katiba ya sheria iliyowasilishwa bungeni jana mbunge huyo alidai kwamba viongozi wa dini waliotoa waraka kuhusu elimu ya demokrasia kwa waumini wao UNK taifa pabaya na kusema viongozi hao wanaelekeza waumini wao kuwachagua viongozi wakristo hivi karibuni viongozi wa dhehebu moja la kikristo wametoa waraka unaoelekeza waumini wao jinsi ya kuchagua viongozi kama hao mashehe nao wataanza tukumbuke yaliyotokea biafra na kwa nini waraka huo unatolewa na dhehebu moja tu hili maana yake nini kama si kuwaambia watu hao UNK huyu huyu mkristo kwa bahati mbaya waziri mmoja wa serikali hii alisikika akisema si tatizo alisema bwana UNK kuhusu mahakama ya kadhi mbunge huyo aliitaka serikali kueleza tatizo la UNK kwa chombo hicho na kudai mtendaji mmoja serikalini hakumtaja alikwenda kuwasikiliza wakristo ambao walikataa kuanzishwa kwa mahakama hiyo tatizo gani kuanza mahakama ya kadhi alisema anakwenda kusikiliza watu wa upande wa pili mimi ninavyojua watu wa upande wa pili ni makanisa hakuna mtu mwenye hati miliki ya nchi hii hata rais hana hati miliki ya nchi hii mnatupeleka wapi alihoji hata hivyo kwa mujibu wa taratibu nchi huru na isiyokuwa na dini kama tanzania dini yoyote ikitaka kuwa na chombo ca kidini kama mahakama ni wazi kuwa inatakiwa ifanye kazi hiyo kwa gharama zake na si za serikali kwa kuwa fedha za umma haziwezi kutumika kwa ajili ya imani ya kundi fulani ndani ya jamii akichangia hoja hiyo mbunge wa maswa bwana john shibuda UNK kanisa katoliki kwa kuamua elimu hiyo itumike ili kuwaondoa viongozi wasiofaa aliwataka wanaopinga jambo hilo kuondoa hofu kwa kuwa ni jema alisema viongozi wenye hofu wanaogopa wananchi kupewa elimu ya uraia ili kuelewa vizuri haki na wajibu wao kuhusu mahakama ya kadhi bwana shibuda ambaye ametangaza kugombea urais mwakani alisema mfumo wa sasa ni mzuri na hakuna sababu ya kuwa na mahakama hiyo huku UNK kuwa nchi inaweza kuingia katika machafuko ikiwa serikali italeta sheria za kidini na raphael okello musoma waziri mkuu bwana mizengo pinda amempa miezi sita mkuu wa mkoa wa mara kanali enos mfuru kukomesha mapigano ya mara kwa mara UNK katika wilaya za tarime na rorya hadi sasa katika mapigano hayo watu zaidi ya thebathini na mbili wamepoteza maisha na nyumba arobaini sifuri zimeteketezwa kwa moto nakusababisha watu zaidi ya tatu sifuri sifuri sifuri kukosa makazi akihutubia jana katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya serikali za mitaa iliyofanyika kitaifa mjini hapa bwana pinda alisema serikali haitavumilia kuona amani inakosekana mkoani mara tumewapa miezi sita kuanzia leo julai mosi hadi desemba thebathini na moja mkuu wa mkoa uwe umetoa UNK kuhusu mikakati ambayo mkoa wako UNK kukomesha mapigano haya alisema bwana pinda aliendelea kazi ya vyombo vya serikali ni kuleta amani na utulivu kwa hiyo ni UNK la serikali kuanzia ngazi ya vitongoji vijiji halmashauri mkoa hadi taifa kuhakikisha kuwa amani inapatikana katika maeneo yao waziri mkuu alionesha kukerwa na kitendo cha viongozi wa chama na serikali katika halmashauri za wilaya ya tarime na rorya kushindwa kudhibiti mapigano hayo na ametishia kuzifuta endapo zitaendelea kuruhusu uvunjifu wa amani alisema mapigano hayo yanasababishwa na tabia mbaya UNK katika wilaya ya tarime ya wizi wa mifugo mila na desturi za kupenda mapigano migogoro ya ardhi na matumizi ya bangi mambo ambayo serikali za wilaya na mkoa zinaweza UNK alisema katika kudhibiti hali hiyo kuanzia sasa wilaya ya tarime na rorya zitafanywa mkoa wa kipolisi na kwamba kamanda wa polisi wa eneo hilo atapewa mamlaka kamili ya UNK pia kikosi maalum cha jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania kitawekwa eneo hilo ili kudhibiti hali hiyo mbali na hilo serikali itafungua kambi ya jeshi la kujenga taifa ambayo mbali ya majukumu yake ya kawaida itasimamia amani na usalama katika barabara za UNK katika mapigano mapya UNK hivi karibuni katika ya wananchi wa wilaya ya tarime na rorya tayari jumla ya maiti thebathini na mbili zimeokotwa nyumba zaidi ya arobaini sifuri zimechomwa na zaidi ya kaya thebathini sifuri sifuri hazina makazi kutokana na mapigano hayo ambayo chanzo chake ni wizi wa mifugo rabia bakari na godfrida jola baadhi ya viongozi wa dini ya kiislamu wamepinga hatua ya serikali kutangaza kusitisha kuanzishwa mahakama ya kadhi nchini hatua hiyo imekuja siku moja baada ya waziri wa sheria na katiba bwana mathias chikawe kutoa msimamo huo bungeni mjini dodoma juzi na kueleza kuwa badala yake utawekwa mfumo wa sheria kukidhi haja ya waislam na kuingizwa kwenye sheria za nchi mwaka huu waumini hao walisema hatua hiyo ya serikali inalenga kuwakandamiza kwa kuwa sheria hizo UNK hata na mahakimu wasiojua maana ya UNK shekhe mkuu wa tanzania mufti shaban bin simba alipotakiwa kutoa maoni yake kuhusu suala hilo alisema wanafanyia uchunguzi kauli ya waziri na muda ukifika watatoa tamko jambo hili si la mufti peke yake ni la waislam wote UNK tayari kusema chochote kwa sasa isipokuwa bado UNK uchunguzi kauli ya waziri UNK tamko bado tunajadili mimi pamoja na wenzangu alisema mufti simba akizungumza na gazeti hili shekhe hamis mataka kwa upande wake alisema haelewi serikali inakusudia kufanya nini UNK serikali kuahidi kukaa nasi tutakapokutana pamoja ndipo tutawaeleza yale tunayohitaji tutawaeleza faida na hasara kwa hicho wanachotaka UNK tunasisitiza kuwa umuhimu wa mahakama ya kadhi bado upo pale pale kwani kazi ya mahakama hii ni kusimamia sheria za kiislam kama mirathi na talaka na si jinai mambo ya jinai yataenda mahakama za kawaida kama ilivyo sasa UNK kwamba UNK sheria zetu katika mahakama ya kawaida huo ni ukiukwaji wa mambo kwani sheria hizo UNK na hakimu yeyote hata yule asiyejua uislam wakati mahakama ya kadhi itasimamiwa na waislam wenyewe alisema shekhe UNK naye shekhe aboubakary UNK wa dodoma alisema kwa hali iliyopo sasa ni kwamba sisi wenyewe waislam UNK sawa hatuna maelewano hivyo ni vigumu kuamua jambo kama hilo ndio maana UNK kwa upande wake aliyekuwa imamu wa msikiti wa mtoro jijini dar es salaam shekhe khalifa hamis alidai wamechoshwa na vitendo vya serikali kupendelea dini moja na kusahau nyingine ndugu mwandishi tamko letu tutatoa jumapili ni wazi kuwa hatutaki sheria za kiislam ziingie katika mahakama ya kawaida tunataka kitengo cha peke yake kama vile mahakama ya biashara ardhi na nyinginezo alidai shekhe khalifa aliongeza kuwa kauli ya serikali kudai kuwa haina dini si ya kweli kwani kuna bidhaa nyingi UNK na serikali kwa ajili ya shughuli za dini kama kweli haitambui dini ifute dini zote UNK sambamba na kufuta msamaha wa kodi kila mtu awe analipa kodi serikali yetu UNK ndio maana waziri alithubutu kusema kuwa kitu kinachohusu waislam mpaka UNK wakristo wanasema nini ndio maana viongozi wa dini ya kikristo UNK ccm kutoipigia kura kwa kufuta misamaha ya kodi nayo UNK hivi na sisi waislam tuseme kwamba UNK kupiga kura baada ya ccm kushindwa kutekeleza ilani yake ya uchaguzi ya kuweka mahakama ya kadhi si tayari tutakuwa tumeleta UNK alihoji shekhe khalifa alieleza kuwa waislam wanataka mtu anayejua sheria za kiislam ambaye UNK vizuri na si kupelekwa mahakama za kawaida ambapo kila hakimu UNK na sheria hizo kwa mujibu utaratibu uliotolewa na waziri chikawe bungeni viongozi wa dini wakikubaliana kuhusu misingi hiyo waziri wa sheria atatoa tamko UNK na makubaliano hayo baada ya tamko hilo sheria hiyo UNK na mahakama zote nchini na theonestina juma bukoba mtoto UNK omary mwanafunzi wa darasa la pili shule ya msingi mabuye kata ya UNK wilayani missenyi mkoa wa kagera ameuawa kikatili kwa kukatwa mapanga kisha kuchinjwa na kutenganishwa kichwa na kiwiliwili mithili ya kuku kwa mujibu wa mwenyekiti wa kijiji cha mabuye bwana charles mwenge mwili wa mtoto huyo UNK katika pori lililoko kijijini hapo baada ya kutafutwa takribani wiki tatu bila mafanikio bwana charles alisema mtoto huyo alitoweka tangu juni mbili mwaka huu baada ya kuondoka nyumbani kwao kuelekea shuleni hadi juni ishirini na tano mwaka huu saa tano asubuhi UNK huku mwili wake ukiwa na majeraha ya kukatwa na kichwa kikiwa UNK alisema mtoto huyo UNK wazazi wake walitoa taarifa kituo cha polisi cha kyaka na kwa uongozi wa kijiji hicho na juhudi zilifanywa za kutafutwa bila mafanikio yoyote hata hivyo chanzo cha mauaji hayo bado UNK ambapo inadaiwa kuwa huenda wauaji walimteka nyara mtoto huyo kabla ya kumfanyia unyama huo na haijajulikana kama walichukuwa kiungo chake chochote jeshi la polisi mkoani humo limethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo jumla ya watu wanne wanashikiliwa hadi sasa wilayani humo kwa mahojiano zaidi katika uchunguzi wa mauaji hayo trl nyumba za serikali vurugu tupu ripoti ya kawambwa hadharani leo wakati waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa anatarajiwa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa maazimio ya bunge kuhusu kampuni ya kupakua makontena katika bandari ya dar es salaam na ya reli leo kamati ya bunge ya miundombinu imeitaka serikali kuwachukulia hatua kali za kisheria watendaji wote UNK taifa katika mikataba hiyo tata ikiwemo kufungwa jela pia kamati hiyo imeitaka serikali kuvunja mkataba wake na kampuni ya rites ya india trl kwa kushindwa kutimiza wajibu wake wa kuboresha shirika hilo badala yake kufuja fedha huku wananchi wanaotegemea usafiri huo wakiteseka akiwasilisha maoni ya kamati hiyo bungeni jana mwenyekiti wa kamati hiyo bwana mohammed missanga alisema kamati yake inasikitishwa na hali ya bandari ya dar es salaam na trl ambayo alisema imechangiwa na mikataba mibovu tatizo la msongamano wa makontena katika bandari ya dar es salaam kamati UNK serikali kufanya maamuzi na kutekeleza maazimio ya bunge yaliyotolewa katika mkutano wa kumi na moja kuhusu marekebisho ya baadhi ya UNK vya mkataba wa ticts vyenye UNK kusitisha nyongeza ya miaka kumi na tano UNK bila kufuata sheria ya manunuzi ya umma ya mwaka ishirini sifuri nne kuondoa ukiritimba wa ticts na kufungua wigo wa huduma hiyo bandarini na kuwachukulia hatua za kinidhamu na kisheria wote UNK serikali kusaini mikataba yenye upungufu kama huu wa ticts alisema bwana missanga wakati kamati hiyo ikiitaka serikali kusitisha mkataba wake na ticts wadau wa bandari hiyo wakiwemo wamiliki wa bandari kavu UNK lawama uongozi wa ticts kwa kushindwa kuwajibika na kudharau hata agizo la rais jakaya kikwete la januari mwaka huu kuhusu kumaliza mrundikano wa makontena bandarini hapo wakizungumza na majira jana wadau hao walidai kinachosababisha mrundikano wa makontena bandarini na kuwafukuza wafanyabiashara wengi kwenda nchi jirani ni ukiritimba wa ticts kukataa kuhamisha makontena katika bandari kavu ili ticts wapate pesa waliamua kuweka ukiritimba wa kuchelewesha utoaji makontena na UNK katika bandari kavu ili waweze kuvuna hizo dola kwa siku hiki ndicho kiini hasa cha mrundikano wa makontena bandarini sasa baada ya mheshimiwa rais kuona hali ya mrundikano huo UNK ikulu januari mwaka huu na UNK kwamba kazi ya ticts ni kupokea na kutoa makontena na si UNK kwa mantiki hiyo tulikubaliana kwamba ticts itoe makontena kwenda bandari kavu ili ipate nafsi ya kupoke mengine na kupunguza mrundikano usio wa lazima mkurugenzi mkuu wa ticts bwana UNK bisset alikubali na yeye ndiye aliandika muhtasari wa kikao chetu ikulu ukumbi wa simba hall lakini cha ajabu ticts ilikubali kuhamisha makontena ishirini sifuri kwa siku kwenda UNK kwa mwezi mmoja na nusu baada ya hapo akawa UNK idadi ya makontena hadi thebathini au ishirini kwa siku na sasa ameacha kabisa na kurudisha hali ya mrundikano kama ilivyokuwa hapo awali alisema bwana UNK khan mdau wa bandari na kuongeza sisi kwetu kama watu UNK azma ya rais kuingilia kati tatizo la mrundikano wa bandari tunaona kitendo kama hiki hakifai hata kidogo na hakiwezi kuvumiliwa hata kidogo kwa kuwa ni hatari kwa nchi tunaishauri serikali kuangalia uwezekano wa kushughulikia hali hii kwani nchi inapoteza mapato kutokana na ukiritimba na kiburi cha mtu mmoja alisisitiza mdau mwingine aliyeomba jina lake lisitajwe kwa UNK kuwa ni mdau wa ticts kinachothibitisha ticts kudharau amri ya rais ni hii februari walitoa makontena nne mia tatu na sabini na tisa badala ya sita sifuri sifuri sifuri kama UNK machi makontena nne themanini sita aprili mbili mia tisa na thebathini na saba na mai mbili sifuri mbili sita badala ya sita sifuri sifuri sifuri na sasa hakuna wanapeleka kwa rafiki yao UNK pekee kwa manufaa yao binafsi hii ni dalili tosha kwamba UNK rais wa nchi alisema bwana UNK wadau hao wadai UNK bwana bisset sababu za kukiuka mkataba waliokubaliana ikulu alijibu kwamba mkataba wake UNK sehemu ya kuhamisha makontena katika bandari kavu kwa kuwa kufanya hivyo UNK mapato majira ilipomtafuta kwa njia ya simu meneja mkuu wa ticts bwana donald tawala ili kupata ufafanuzi wa madai hayo alisema hawezi kuzungumzia masuala hayo na kwamba kwa utaratibu UNK ofisa habari bwana ibrahim kyaruzi ndiye anayeweza kuzungumza masuala yote yanayotoka katika vyombo vya habari majira ilipomtafuta bwana kyaruzi kama ilivyoelekezwa na UNK huyo alisema leo mkurugenzi mkuu ana mkutano na waandishi wa habari jijini dar es salaam hivyo mwandishi wetu UNK UNK maswali yote kwanza UNK sana ndugu yangu kuwa mwandishi wa kwanza kupiga simu kutaka kujua upande wa pili siku zote wengi wenu UNK upande mmoja tu UNK sana kututambua kwamba na sisi tunaweza kusema lakini leo mkurugenzi atakuwa na press na waandishi wa habari naomba uje UNK maswali yote alisema bwana kyaruzi alipoombwa kutoa ufafanuzi kwa kuwa mwandishi wa habari hizi alikuwa dodoma hivyo ni vigumu kuhudhuria mkutano dar es salaam alisema kama upo mbali basi mtumie mwandishi wenu wa dar es salaam atakayekuja atapata majibu yote alisema bwana kyaruzi hata hivyo mwandishi wetu alipojaribu kuuliza maswali hayo bwana bisset alikataa kujibu kwa madai kwamba alikuwa na ajenda yake maalum hivyo hawezi kujibu swali lolote wakati huohuo wabunge wameapa kufa na serikali hususan wizara ya miundombinu iwapo hawatapata majibu ya kuridhisha kuhusu UNK wa azimio la bunge kuhusu kampuni hiyo kuhusu na kuitaka kurekebisha mkataba wake na ticts au UNK kabisa wakizungumza na majira baada ya mwenyekiti wa bunge bibi jenista mhagama kutangaza kwamba ripoti hizo zitatolewa leo badala ya jana wabunge hao walisema hivi sasa wanachohitaji ni utekelezaji na si UNK na ahadi zisizotekelezeka kuhusu trl bwana missanga alisema kamati imeelezwa hatua za serikali kutafuta UNK ajili ya ujenzi na kuimarisha reli pamoja na shughuli za UNK wa kampuni ya trl kamati UNK kuwa fedha UNK kamwe UNK kwa menejimenti iliyopo ya trl mpaka yafanywe marekebisho ya uongozi wa juu kwa kuhusisha watanzania menejimenti ya trl inafanya matumizi makubwa bila kushirikisha serikali ya tanzania ambayo ina hisa asilimia arobaini na tisa na kwamba manunuzi mengi yanafanyika india bila ya sababu za msingi na bila kufuata taratibu za zabuni alisema bwana missanga na kuongeza tunasisitiza trl hawako tayari kutoa ushirikiano kwa serikali juu ya marekebisho ya mkataba mbovu uliopo sasa serikali ichukue hatua ya kuvunja mkataba wa ukodishaji wa UNK kuanza mkakati mpya wa kumtafuta mwekezaji mwingine huduma ya usafiri wa reli ikabidhiwe kwa kampuni ya serikali ya rahco alisema bwana missanga kwa mujibu wa mhagama serikali itawasilisha taarifa ya utekelezaji wa UNK ya bunge kuhusu ticts trl na nyumba za serikali leo huku wabunge wakihoji uhalali wa taarifa hiyo kuwasilishwa leo badala ya jana kwani UNK wengi wao fursa ya UNK wakati UNK bajeti ya wizara hiyo UNK jana asubuhi na daktari kawambwa majira UNK spika wa bunge bwana samuel sitta kutoa sababu za ripoti hizo kuwasilishwa leo badala ya jana alisema hakukuwa na njama zozote za kuwaziba mdomo wabunge kuchangia taarifa hizo katika mjadala wa bajeti ya wizara hiyo na kuongeza kwamba bado wana muda kwa kuwa zitajadiliwa kwa pamoja julai thebathini mwaka huu mwili wa mfanyabiashara bwana frank mwachembe anayedaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na askari polisi pc justine umeendelea kusota chumba cha maiti tunduma kusubiri uchunguzi wa kina kubaini chanzo cha kifo hicho hatua hiyo imetokana na kuibuka utata kutoka kwa ndugu na kudai wana shaka kuhusu mazingira ya kifo cha ndugu yao kwani eneo la tukio hakukuwa na damu na kwamba huenda aliuawa kwa kunyongwa kisha kuchomwa kitu ubavuni kuhalalisha kuwa aliuawa kwa risasi akizungumza sababu za kuchelewa kwa mazishi ya marehemu frank mdogo wake UNK kwa jina la bwana UNK mwachembe alisema UNK baada ya kuona mwili wa marehemu na jeraha UNK kuwa limetokana na risasi amesema UNK mwili wa marehemu ukiwa na jeraha dogo lakini tundu la risasi UNK UNK upande wa pili na wao kama familia wanatilia shaka kifo hicho alisema wanapata shaka pia kwani baada ya ndugu yao kufa polisi walizuia watu kuingia chumba cha maiti hadi wananchi UNK mlango na dirisha na kuuona mwili ndipo walipoanza maandamano kushinikiza polisi aliyedaiwa kuua UNK ameeleza kuwa ili kujiridhisha kama familia UNK daktari wao ambapo upande wa polisi umesema UNK wataalamu kutoka dar es salaam kuchunguza mauaji hayo mke wa marehemu bibi lucia anthony alisema kwamba alisikia milio ya risasi na baadaye honi na UNK wa gari la mumewe hivyo aliposikia taarifa kuwa kuna mtu amepigwa risasi na kufa UNK huenda si mumewe bali ni mtu mwingine aliyekuwa akiendesha gari la mumewe tunataka haki itendeke na ukweli UNK na UNK bayana chanzo cha mauaji hayo kama kulikuwa na uadui kati ya huyo askari na mume wangu iwekwe wazi alisema mjane huyo aliyeachiwa watoto wanne chanzo kutoka jeshi la polisi kimeeleza kuwa shughuli za mazishi zimesitishwa kutoa nafasi kwa wataalam kutoka dar es salaam kufanyia uchunguzi wa kina mwili wa marehemu mkuu wa wilaya ya ruangwa mkoani lindi bibi hawa mchopa amelazwa katika hospitali ya mission ya UNK halmashauri ya lindi vijijini baada ya gari lake kugongana na lori la mafuta kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa lindi bwana sifuel shirima ajali hiyo ilitokea juzi saa moja thebathini usiku eneo la kata ya UNK barabara kuu ya UNK UNK bwana shirima alisema bibi mchopa alikumbwa na mkasa huo wakati akirejea ruangwa akitokea kwenye kikao cha kupanga mikakati ya kilimo kwanza kilichofanyika ukumbi wa andrew UNK mjini lindi alisema bibi mchopa alikuwa akisafiri na gari namba str elfu tatu na mia nane na ishirini na saba toyota land UNK iliyokuwa ikiendeshwa na bwana abdulrahaman UNK mkazi wa ruangwa gari hilo liligongana uso kwa uso na lori la mafuta mitsubishi t mia tano na kumi na tatu UNK iliyokuwa ikiendeshwa na bwana UNK raphael mkazi wa UNK mtwara mkuu huyo wa wilaya amepata majeraha kichwani na upande wa jicho la kushoto alisema ndani ya gari hilo walikuwepo abiria watatu alisema chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva wa lori la mafuta kutokana na kuendesha gari akiwa UNK kitendo kilichomfanya kuyumba barabarani na kuendesha upande usio kwa kwake huyu dereva tunamshikilia na tayari UNK damu kupelekwa kwa mkemia mkuu dar es salaam ili kudhibitishwa kilevi UNK alisema bwana shirima kamanda huyo wa polisi alisema hali za wengine akiwemo dereva na abiria mmoja aliyetajwa kwa jina la george zinaendelea vizuri dereva wa lori hilo anatarajiwa kufikishwa mahakamani mara baada ya kukamilika uchunguzi hii ni ajali ya tatu kutokea ndani ya wiki moja mkoani hapa juni ishirini na sita dereva wa hiace namba t mia nne na kumi na tatu UNK bwana UNK UNK alipoteza maisha baada ya kugongana na lori la mafuta scania t mia sita na sabini na tano UNK juni ishirini na saba kaimu mufti wa tanzania shekhe suleiman gorogosi naye alipata ajali mbaya na kupoteza maisha kiongozi huyo wa kidini alikuwa akisafiri kwenye gari namba t mia tisa na sitini na nane UNK toyota prado UNK eneo la kijiji cha mnolela lindi vijijini pikipiki UNK moto ikiwa zimesalia siku mbili kufanyika kwa uchaguzi mdogo katika jimbo la biharamulo magharibi mkoani kagera damu UNK baada ya mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo wilaya ya chato bwana stephen nyororo kujeruhiwa kwa kukatwa mapanga na pikipiki moja kuteketezwa kwa moto tukio hilo lilitokea juzi saa kumi jioni katika kijiji cha kagoma kata ya runazi wilayani biharamulo baada ya mwenyekiti huyo na wafuasi wengine wawili wa chadema kushambuliwa kwa kipigo na kukatwa mapanga na watu UNK kuwa ni wafuasi wa chama cha mapinduzi akizungumza na waandishi wa habari katika wodi namba tatu ya hospitali teule ya wilaya ya biharamulo bwana nyororo alisema alifikwa na mkasa huo baada ya vijana wapatao kumi na tano kuwavamia walipokuwa wamekaa chini ya mti wakiongea katika kijiji cha UNK kwa kweli sielewi kwa nini tulishambuliwa siku hiyo sisi tulikuwa tumekaa chini ya mti na wenzangu wawili UNK pale katika kijiji cha kagoma ghafla lilipita gari la watu wa ccm akiwemo mwenyekiti wa taifa wa uwt bibi sophia simba UNK kwa ishara yao ya kuweka UNK gumba na sisi UNK kumjibu lakini baada kama ya dakika kumi hivi lilikuja gari aina ya land cruiser lenye maandishi ya serengeti ubavuni UNK vijana watatu na kumwita kijana mmoja tuliyekuwa tumekaa naye kijana alikataa ndipo walipoamua kumfuata huku wakihoji kwa nini amekataa kwenda UNK ghafla walianza kumshambulia alieleza bwana nyororo alisema baadaye UNK vijana wengine kutoka ndani ya gari hilo huku wakiwa na mapanga UNK na kuanza kuwashambulia kwa fimbo huku UNK mapanga hali ambayo ilisababisha wenzake wawili aliowataja kwa jina moja moja la bwana juma na bwana UNK wakimbie bwana nyororo aliendelea kueleza kuwa baada ya wenzake kukimbia kundi la vijana hao walimfuata yeye alipokuwa amesimama na wakaanza kumshambulia kwa kumkata mapanga sehemu za kichwani na mikononi na kusababisha kujeruhiwa vibaya kiganja chake cha mkono wa kushoto hii mikono UNK wakati UNK ili panga UNK shingoni ndipo UNK kiganja cha mkono wa kushoto huku UNK fimbo hali iliyosababisha nianguke chini na mmoja wa wale vijana alichukua chupa aliyokuwa nayo na UNK dawa usoni ambayo ilikuwa kali na nikashindwa kuona alidai bwana nyororo alisema baada ya kuona hali hiyo alisimama kwa tabu na kuanza kukimbia ambapo alikimbilia katika ofisi ya mtendaji wa kijiji lakini hata hivyo ofisa mtendaji aliyekuwa nje ya ofisi yake alimfukuza akimueleza kuwa aondoke eneo hilo kwa vile anaweza kumsababishia vurugu bwana nyororo ambaye ni meneja kampeni wa mgombea ubunge katika jimbo la biharamulo magharibi kwa tiketi ya chadema katika kata ya UNK alisema baadae alikimbilia shuleni ambako aliokolewa na mwalimu wa shule hiyo aliyemtaja kwa jina la moja la mwalimu george alisema baadaye walipiga simu kuomba msaada wa polisi pamoja na UNK viongozi wa chadema waliokuwa katika mkutano wa kampeni eneo runazi ambapo walikwenda katika kituo cha polisi UNK fomu namba tatu na kupelekwa hospitali teule ya wilaya kwa ajili ya kupatiwa matibabu hata hivyo alisema mbali ya wao kushambuliwa pia vijana hao waliharibu pikipiki moja waliyokuwa wakiitumia kufanyia kampeni ambayo UNK moto na kuteketea kabisa kwa upande wake kamanda wa operesheni uchaguzi jimbo la biharamulo magharibi bwana UNK anaclet alikiri kutokea kwa tukio hilo na kwamba tayari polisi ilikuwa UNK watu UNK ni kweli tukio hilo limetokea ambapo watu watatu wamejeruhiwa tumepeleka vijana wetu UNK na wananchi kuwasaka wahusika pamoja na gari lao lenye namba t mia nane na tisini na tano anc ili tuweze kuwakamata alieleza kamanda UNK kamanda anaclet alisema gari linalodaiwa kutumiwa na watuhumiwa hao lilikuwa aina ya toyota land cruiser lenye rangi nyeupe na nembo ya wanyama na maandishi ya UNK ambalo linadaiwa kutoroka mara tu baada ya tukio hilo na kwamba pikipiki moja UNK kwa kuchomwa moto azimio la bunge UNK mbunge wa kahama bwana jemes lembeli ameitaka serikali UNK haraka kampuni ya kupakia na kupakia mizigo bandarini kwa madai kuwa imeshindwa kuboresha huduma sambamba na hilo mbunge huyo UNK kampuni ya rites kutoka india UNK kampuni ya reli na kuwaita wawekezaji hao kuwa wezi wanaopaswa kufukuzwa haraka akichangia mjadala wa bajeti ya wizara ya miundo mbinu bungeni jana bwana lembeli alisema anasikitishwa na hali ilivyo katika bandari ya dar es salaam na jinsi serikali UNK kuwachukulia hatua waliosaini mkataba wa ticts mheshimiwa spika hawa ticts waondoke kesho haiwezekani bandari yetu ndio inafanya vibaya wakati bandari zingine katika chini zote zinafanya vizuri tunataka hatua zichukuliwe kwa watu UNK taifa katika mkataba huu hii rushwa UNK alionya bwana lembeli bila kufafanua waliokula rushwa hiyo kuhusu kampuni ya rites mbunge huyo alisema hawa watu wanaoongoza hii reli ni wezi waondoke walikuja kuomba kazi mikono ikiwa mbele sasa wamepata kazi mikono nyuma UNK lakini mheshimiwa spika wakati UNK mkatab huu kabla ya kusainiwa ndugu yetu chenge alisema hawa ni watu wazuri alisema bwana lembeli kwa upande wake mbunge wa UNK bibi tatu UNK aliitaka serikali kuiondoa mara moja rites na watanzania walipo hivi sasa katika kampuni hiyo na kuibua tuhuma mpya kwamba ana taarifa za uhakika kwamba shilingi bilioni kumi UNK katika akaunti ya kampuni hiyo kupelekwa nchini UNK mbunge huyo ambaye pia UNK mkono bajeti hiyo aliitaka serikali kurejesha trc ya zamani na kukabidhiwa watanzania na kutaka hatua dhidi ya waliosaini mktaba huo kwa upande wake mbunge wa nzega bwana UNK selelii alisema viongozi wa rites kutoka india ni UNK uchumi na kuongeza kwamba walikuja wakiwa na ajenda ya siri kuhujumu uchumi wa tanzania na kuhoji ni mwekezaji yupi UNK wala kuwa na mtaji hivyo kuitaka serikali kuvunja mkataba wao mara moja kwa upande wake mbunge wa musoma vijijini UNK mkono alisema hawezi kuunga mkono hoja hiyo mpaka serikali ieleze ahadi ya miaka mingi ya kutengeneza barabara ya lami toka kyabakari butiama fort UNK hadi arusha na kuongeza kwamba mkoa wa mara UNK licha ya baba wa taifa mwalimu julius nyerere kutumikia taifa kwa uadilifu mkubwa bila upendeleo kwa upande wake mbunge wa iramba mashariki bwana mgana msindai aliwataka wabunge kuwa na msimamo na kuitaka serikali UNK kwa kile alichoita kuwa ni maneno ya ujanja na kutaka serikali UNK kwamba ujenzi wa barabara UNK badala ya kuibua ambazo UNK katika hatua nyingine serikali imewasilisha taarifa ya utekelezaji wa azimio la bunge kuhusu ticts trl na uuzaji nyumba za serikali kwa mujibu wa taarifa hiyo serikali imeshindwa kuchukua hatua dhidi ya ticts kama ilivyoagizwa na bunge badala yake sasa baraza la mawaziri linaendelea na mjadala na kampuni hiyo baada ya kampuni hiyo UNK timu ya majadiliano na serikali na ticts kuhusu trl taarifa hiyo ya serikali inaeleza kwamba rites na serikali wameunda vikundi viwili moja kazi yake ni kurekebisha mkataba wa ukodishwaji na nyingine kazi yake ni kutayarisha UNK a biashara kwa upande wa uuzwaji holela nyumba za serikali taarifa hiyo imebainisha majina lukuki wa watu walionunua nyumba hizo kwa bei UNK katika kinyume cha sheria UNK maeneo nyeti ambayo UNK huku yakiwemo majina UNK ya wakubwa taarifa hiyo imeeleza kwamba wizara ya miundo mbinu imetenga jumla ya shilingi bilioni moja tano kwa ajili UNK watumishi wa umma UNK mikataba na kwamba kazi ya kurejesha nyumba hizo itakamilika mara baada ya bunge kuidhinisha fedha hizo katika bajeti ya ishirini sifuri tisa kumi katika isiyokuwa ya kawaida bajeti ya wizara ya miundombinu UNK mwamba kupitishwa na bunge baada ya mbunge wa ilemela bwana anthony dialo kuwasilisha hoja ya kufuta baadhi ya barabara zilizowekwa kwenya bajeti hiyo kwa kile alichoeleza wizara hiyo kutozingatia vipaumbele vya taifa akitumia kanuni za bunge bwana dialo aliomba bunge kutumia kanuni ya kumi mbili kukubali UNK ili bajeti hiyo ifanyiwe marekebisho kwanza ndipo UNK kutokana na hali hiyo spika wa bunge bwana samuel sitta baada ya kuanza kikao cha jioni ambacho kilikuwa na lengo moja tu la kusikiliza majumuisho ya waziri wa wizara hiyo daktari shukuru kawambwa na kuomba bunge kupitisha bajeti hiyo alisema kuna hoja ya UNK hivyo kumpa nafasi waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera uratibu na bunge bwana philip marmo kutoa hoja hiyo akiwasilisha hoja hiyo bwana marmo alisema anatoa hoja bunge UNK hadi leo asubuhi ili kamati ya miundombinu ikutane kujadili hoja ya bwana dialo kisha kutolewa maamuzi kwa mujibu wa bwana dialo shilingi bilioni sitini na moja nne zilizotengwa kwa ajili ya barabara za dumila kilosa handeni mkata hadi same mkumba korogwe UNK na shilingi bilioni thebathini saba zipelekwe kwenye barabara za babati dodoma dodoma iringa kimara chalinze alisema fedha hizo zinaweza kusaidia kutengeneza barabara hizo ambazo ni muhimu kwa ajili ya maendeleo ya taifa akizungumza na majira nje ya ukumbi wa bunge wakati kamati ya miundombinu ikiwa imeanza kikao chake bwana kingunge ngombale mwiru alisema hali hiyo ni ya kawaida na kwamba bunge UNK kanuni zake bila kuingiliwa na mtu yeyote kwa upande wake mbunge wa maswa bwana john shibuda alisema hiyo ni dalili ya watendaji wa serikali hususani makatibu wakuu wasaidizi wa mawaziri kutotimiza wajibu wao kwa UNK vipaumbele UNK na bunge baada ya UNK siku chache baada ya waziri wa sheria na katiba bwana mathias chikawe kutangaza msimamo wa serikali UNK mahakama ya kadhi baraza kuu la waislam tanzania UNK tamko hilo na kumtaka waziri huyo kufuta kauli yake mara moja akitangaza uamuzi wa serikali juzi bwana chikawe alisema unatokana na mapendekezo yaliyowasilishwa na UNK mkuu wa serikali na tume ya watalaamu waliochambua mapendekezo ya utafiti na kamati ya kurekebisha sheria mapendekezo hayo UNK kutafsiri sheria za dini ya kiislam UNK katika sheria za kawaida za nchi akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya bakwata kinondoni dar es salaam jana shekhe mkuu wa tanzania mufti issa bin shaaban simba alimtaka bwana chikawe arudi kukusanya maoni kwa watalaamu wa dini hiyo wa nchi mbalimbali ndipo UNK maamuzi tumechoka UNK katika mambo yetu huwezi UNK joseph UNK sheria za kiislam kwani yeye hajui hata maana ya uislam alisema mufti simba huku akiungwa mkono na jopo la mashekhe kwa kuitikia UNK alisema tamko hilo la serikali UNK haki waislam na imeonesha wazi kuwa nchi hii ina wenyewe na waislam ni tabaka la pili mufti alisema serikali UNK na kauli ya vitisho ya makanisa kuwa UNK kura katika uchaguzi mkuu wa mwakani kwani nchi hii ni ya wakristo waislamu na wapagani alisema waislam UNK UNK kwa muda mrefu kwani mahakama hiyo ilikuwepo na serikali ndiyo UNK hivyo UNK uzito kuirudisha kwani ziko mahakama nyingi kama ya kazi bishara ardhi na nyumba aliendelea kusema rais jakaya kikwete UNK waislam kuwa bunge UNK suala hilo na kutoa maamuzi yatakayo UNK hivyo bwana chikawe UNK na rais rais anania njema na waislam lakini bwana chikawe na jopo UNK nalo kufanya maamuzi hayo ndiyo UNK na nia ya rais alisema mufti simba alifafanua kuwa mfano UNK bwana chikawe kufananisha uamuzi wake na utaratibu wa afrika ya kusini haufai kwani nchi hiyo ina waislam wachache ukilinganisha na tanzania alishangaa kusikia bwana chikawe UNK na wataalamu ambao bakwata UNK wala hawajui utaratibu na sheria za kiislam alimtaka waziri huyo na jopo lake kuiga mfano wa nchi za kenya uganda na zanzibar ambazo tayari UNK mahakama hiyo na kwamba tanzania ina waislam wengi kuliko nchi hizo alisema mambo ya UNK mafuta kwa mgogo wa chupa UNK waislam hivyo amewataka mashekhe wote wa mikoa na wilaya kuunga makono tamko lake baadhi ya mashekhe waliohudhuria mkutano huo UNK UNK baada ya mufti kumaliza kutoa tamko hilo mmoja wa shekhe alionesha kuguswa na tamko hilo ni shekhe issa ausi ambaye ni katibu wa baraza hilo wilaya ya ilala na kueleza kuwa baraza hilo sasa limeanza kurudi katika mstari na kuwataka waislam UNK nyuma kudai haki yao alisema waislam wakati wakidai uhuru wakristo walikuwa nyuma wakiwa wamevaa soksi ndefu hivyo anashangaa kuona sasa ndiyo UNK nchi na UNK wakiwa nyuma serikali UNK nchi hii inaongozwa na wakristo pekee ambao hawakuwepo wakati UNK uhuru mwaka ule UNK sana sisi leo hii wao ndiyo wasemaji wa serikali alisema kwa UNK shekhe UNK mashekhe hao wameunda tume ya watu watatu ambao ni shekhe issa ausi mohamed UNK na haji UNK itakayokwenda leo dodoma kuonana na waziri mkuu bwana mizengo pinda ili kufikisha tamko hilo UNK na kwa njia ya simu askofu mkuu wa kanisa anglikana tanzania daktari valentino mokiwa aliiomba bakwata UNK msamaha wa kodi uliotolewa na serikali na mahakama ya kadhi alisema tafsiri inayotolewa na bakwata si sahihi kwani serikali inaongozwa kwa misingi ya sheria si misingi ya dini kama UNK baraza hilo aonya UNK kifua bungeni amtaka aende mahakamani UNK hatma ya kisiasa ya rais mstaafu wa awamu ya tatu bwana benjamin mkapa imezidi kuwa tete baada ya mbunge wa kishapu kwa tiketi ya chama cha mapinduzi bwana fred mpendazoe kupinga hatua ya serikali kumkingia kifua na kutaka aburutwe mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili bwana mpendazoe alitoa kauli hiyo wakati akichangia hotuba ya bajeti ya wizara ya miundombinu bungeni jana na kumtaka waziri mkuu bwana mizengo pinda kuacha kumsemea bwana mkapa badala yake kiongozi huyo aburutwe mahakamani ambako UNK na kujitetea mwenyewe mbunge huyo alisema pamoja na UNK sana bwana pinda UNK naye kumtetea bwana mkapa kwani tuhuma zinazomkabili ufumbuzi wake utapatikana mahakamani na si kukingiwa UNK rais mstaafu wa awamu ya tatu UNK sana katika tuhuma nyingi serikali UNK ajitokeze mbele ya watanzania kujibu tuhuma hizo namheshimu sana waziri mkuu lakini katika hili UNK naye mkapa anatakiwa ajitokeze mahakamani majibu aliyotoa waziri mkuu UNK mahakamani alisema bwana mpendazoe bwana mpendazoe ambaye ni mmoja wa wabunge waliopanda chati kutokana na msimamo wao kupinga vitendo vya ufisadi bila woga alisema bwana mkapa hana tofauti na viongozi wengine wa serikali UNK ambao sasa UNK wanajitetea mahakamani wenyewe katika hali iliyoonesha kukerwa na hatua hiyo ya waziri mkuu pinda kumtetea bwana mkapa bungeni bwana mpendazoe alisema wajibu wa waziri mkuu kama kiongozi wa shughuli za serikali bungeni ni kusimamia utekelezaji wa maazimio ndani ya bunge na si kumtetea bwana mkapa aliongeza kuwa kama serikali imeamua kumtetea bwana mkapa bungeni ifanye hivyo kwa viongozi wote wanaokabiliwa na tuhuma za ufisadi serikali kazi yake ni kutekeleza maamizio ya bunge na kumwekea mazingira mazuri rais mkapa kujisafisha mbele ya sheria wapo viongozi wamefikishwa mahakamani kwa ufisadi kama serikali inataka kuwatetea mafisadi UNK wote alisema bwana mpendazoe alionya kuwa vurugu zinazotokea katika nchi nyingi duniani hazitokani na wananchi bali chimbuko lake ni viongozi kutumia vibaya madaraka yao na kuhoji sababu za serikali kushindwa kuwachukulia hatua walioshiriki katika utiaji saini mikataba mibovu ya ticts na trl kodi za watanzania zitaendelea kutumika kuwalipa mishahara wahindi waliokuja kama wawekezaji hadi lini naunga mkono ticts wafunge mizigo waondoke kesho lakini ni kwa nini waliosaini mikataba hiyo waendelee UNK UNK bwana mpendazoe na kufananisha kitendo cha viongozi hao kutochukuliwa hatua na kuzunguka mbuyu bila kuwa na uwezo wa kuukumbatia kwa nini serikali inaogopa kuwachukulia hatua mafisadi vurugu zinazotokea duniani kote zinatokana na viongozi kutumia vibaya madaraka ni kama mtu kuzunguka mbuyu inakuwa rahisi likija suala la kuukumbatia anashindwa alisema mbunge huyo kuhusu utekelezaji wa ahadi za serikali ya awamu ya nne alisema kuna viongozi UNK utekelezaji huo na kuingiza mambo yao kwa lengo la kutaka UNK rais jakaya kikwete na wananchi wake UNK na UNK kura nyingi kutokana na UNK katika hatua nyingine mbunge wa kigoma mjini bwana peter UNK alionesha kukerwa na bwana mpendazoe na kuomba mwongozo wa spika akitumia kanuni ya sitini na nane na kuwataka wabunge wanaomtuhumu rais mstaafu bwana mkapa kuwasilisha nyaraka za ushahidi bungeni au kuacha kumgusa kiongozi huyo akitoa mwongozo wake spika sitta alisema kwa bahati mbaya hana mamlaka ya kuwazuia wabunge kuzungumza mambo UNK yalitokea juu ya viongozi mbalimbali wiki iliyopita waziri mkuu bwana mizengo pinda alikemea kauli za watu UNK bwana mkapa kwa ufisadi huku akieleza kuwa kiongozi huyo ni msafi mcha mungu na mtu wa kanisa bwana mizengo alitoa kauli hiyo wakati akitoa majumuisho ya hoja zilizotolewa na wabunge wakati wakichangia bajeti ya ofisi yake kwa mwaka wa fedha ishirini sifuri tisa kumi hadi leo mzee mkapa anapendwa na kutambulika kimataifa kama kiongozi mwadilifu alisema bwana pinda na kuongeza kama kweli ni fisadi basi tuoneshwe ufisadi wake kauwekeza wapi alisema bwana mkapa hana akaunti anayomiliki nje ya nchi wala hamiliki ndege hivyo hana kitu cha kumfanya aitwe fisadi naamini mzee huyo ni mtu safi sawa ipo kiwira hili tumesema tutalitolea maelezo alisema bwana pinda bwana pinda alifafanua kuwa amefanyakazi na bwana mkapa akiwa msaidizi wake anamfahamu vizuri kuwa ni mtu safi mcha mungu na mtu wa kanisa alisema mwelekeo wa sasa wa kuwasema vibaya viongozi hasa marais wastaafu si mzuri na hauwapi moyo wa kufanyakazi kampuni za simu za mkononi nchini UNK kupandisha bei ya gharama za vocha zao UNK kuwa jambo hilo linafanywa kinyemela na wafanyabiashara wasio waaminifu bei hizo UNK kupanda juzi katika maeneo mbalimbali nchini hususani jijini dar es salaam kwa kisingizio cha kupanda kwa ushuru wa kodi za simu katika kama ilivyotangazwa katika bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha ishirini sifuri tisa kumi uchunguzi ulifanywa jana na majira katika maeneo mbalimbali ulibaini kuwa karibu vocha za mitandao yote ya simu zimepanda bei vocha hizo ni zile za mitandao ya tigo zain vodacom na zantel na ttcl gharama za vocha zilizopanda kinyemela na bei mpya katika mabano ni kama ifuatavyo za shilingi hamsini sifuri moja sifuri sifuri sifuri mbili sifuri sifuri sifuri hamsini sifuri sifuri na kumi sifuri sifuri sifuri hali hii UNK wateja wengi wa simu hizo mmoja wa wateja wa simu bwana aziz UNK mkazi wa kinondoni alisema bei hizo ni wizi na kutaka vyombo vya dola kuingilia kati dhuluma hiyo na kuwakamata wafanyabiashara hao vocha imeandikwa shilingi kumi sifuri sifuri sifuri na ndiyo bei halali kama sikosei sasa iweje UNK shilingi kumi na moja sifuri sifuri sifuri huu si wizi kampuni hizi UNK bei halisi kama kweli bei imepanda alisema bwana UNK akizungumza na gazeti hili jana meneja masoko wa kampuni ya simu za mkononi ya zain bwana kelvin twisa vocha UNK bei bali UNK kutokana na kupunguzwa kodi ya ongezeko la thamani kutoka asilimia ishirini hadi kumi na nane kampuni yetu haijapandisha gharama ya huduma za simu bali kiwango kimepungua kutokana na kupungua kwa UNK bei hizo alisema bwana UNK alisema pamoja na serikali kupandisha ushuru wa kodi katika huduma hiyo bado kampuni yake inaendelea kutoza viwango vya mawasiliano vya zamani ikiwa ni pamoja na bei ya vocha zake hali ambayo imelenga kutoa nafuu kwa wateja bwana twisa aliwataka wateja wa kampuni hiyo kutoa taarifa kwenye ofisi hizo dhidi ya wafanyabiashara wote waliopandisha bei ya vocha kinyemela naye meneja masoko wa kampuni ya tigo bwana jackson UNK alisema kampuni yake haijapandisha gharama za vocha zake kadhalika mkuu wa kitengo cha biashara cha kampuni ya simu tanzania bwana adam issa alipinga na kukemea watu wanaofanya jambo hilo watu watatu wanashikiliwa na jeshi la polisi kanda maalum ya dar es salaam wakituhumiwa kujihusisha na mtandao wa kughushi nyaraka mbalimbali za serikali na kujipatia fedha kinyume cha sheria akizungumza dar es salaam jana kamanda wa polisi bwana suleiman kova alisema watu hao walikutwa katika maeneo ya mtaa wa mkwepu wakiwa na vitu mbalimbali vinavyotumika kutengeneza nyaraka hizo alisema kampuni hiyo inatambulika kwa jina la pereira UNK UNK iliyopo mtaa wa mkwepu ambapo ndipo walikuwa wakiendesha shughuli zao za utapeli kamanda kova alisema vitu UNK navyo ni pamoja na mihuri ya wizara ya elimu mambo ya ndani mshauri wa mgambo wa mkoa chuo cha ardhi na ofisa taaluma mkuu chuo kikuu cha dar es salaam nyaraka nyingine zilizokutwa ni za ofisi ya wizara ya afya na ustawi wa jamii vyeti vya kuzaliwa fomu za benki ya barclays pamoja nyaraka za mamlaka ya mapato tanzania aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni price shaibu mkazi wa yombo vituka victoria UNK mkazi wa tabata na david UNK mkazi wa ubungo nhc kamanda alisema kuwa watu hao walikamatwa baada ya jeshi la polisi kupata taarifa kutoka kwa raia wema aidha watuhumiwa watafikishwa mahakamani kujibu mashitaka yanayowakabili baada ya upelelezi kukamilika wakati watanzania wakisubiri kujua kilichomo kwenye ripoti ya tume maalum iliyoundwa na serikali kufuatilia malalamiko ya wafugaji kudhulumiwa mifugo yao na baadhi ya watendaji wilayani kilosa mbunge wa kongwa bwana job ndugai ametaka aliyekuwa mkuu wa wilaya hiyo UNK kwa mujibu wa taratibu za nchi mwenye mamlaka ya UNK madaraka ua kumfukuza kazi mkuu wa wilaya ni rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania hivyo kauli ya mbunge huyo ni mtihani mwingine kwa rais jakaya kikwete akichangi katika mjadala wa bajeti ya wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi iliyowasilishwa bungeni jana na waziri wa wizara hiyo bwana john magufuli mbunge huyo bila kutaja jina la mkuu huyo wa wilaya alishangaa utaratibu wa serikali kuhamisha watendaji wake wanapofanya makosa na kuonya kuwa hali hiyo haiwezi kuvumiliwa kwa wafugaji UNK nashangaa dc aliyekuwa kilosa UNK sehemu nyingine ni kwa nini watu UNK halafu mhusika UNK tu hapana hapa serikali lazima tuwe wakali dhuluma iliyofanyika kilosa wamasai walilia machozi alisema bwana ndugai na kuongeza UNK wafugaji UNK watalipwa fidia mheshimiwa waziri mkuu tunaomba tupate taarifa ya ile tume iliyoundwa na serikali alisisitiza alisema aliwai kushuhudia aliyekuwa mkuu wa wilaya ya kiteto akiwashawishi wenzake wa wilaya jirani kuiga mfano wake wa jinsi alivyoshughulikia wafugaji kwa ubabe na UNK serikali kuwachukulia hatua kali baadhi ya viongozi wake wanaotumia ubabe dhidi ya wananchi kwa manufaa binafsi kijana frank mboma aliyedaiwa kufa katika mji wa mbalizi kwa kupigwa na wananchi wenye hasira na kuzikwa eneo hilo juzi alizua tafrani baada ya kuibuka msibani akitokea tunduma UNK hilo lilitokea jumatano wiki hii katika kijiji cha ddc mji mdogo wa mbalizi wilaya ya mbeya vijijini baada ya kijana huyo kufika nyumbani kwao na kukuta watu wameweka tanga kitendo hicho kilizua tafrani na waombolezaji hao kutimua mbio wakidhani UNK UNK majira baada ya kusikia taarifa hizo lilifuatilia hadi kijijini hapo umbali wa kilomita kumi na tano kutoka mbeya mjini kujionea kulikoni akithibitisha kutokea tukio hilo mwenyekiti wa kijiji hicho bwana UNK mwalusanya alisema kifo hicho kilitokea UNK ishirini na saba mwaka alisema UNK taarifa ofisi ya kijiji kuwa kuna kijana amepigwa na wananchi wenye hasira na amefia hospitali ya rufaa mbeya alisema waliambatana na ndugu wa kijana huyo kwenda kutambua maiti hospitali ya rufaa mbeya na kubaini kuwa marehemu huyo alikuwa ni frank hata hivyo alisema babu wa kijana huyo mzee UNK mboma alikataa kuwa kijana huyo si mjukuu wake frank kutokana na kuonesha tofauti za sehemu fulani mwilini japo alionekana kufanana naye kwa sehemu kubwa baadaye alisema bibi wa kijana huyo na UNK aliyekuwa UNK walithibitisha kuwa ndiye na kuamua kuchukua kibali polisi na kuzika juni ishirini na tisa jioni na kuendelea na matanga nyumbani kwa mzee mboma eneo hilo la ddc naye mzee mboma ambaye UNK kijana huyo akitoa maelezo yake kwa waandishi wa habari alisema mjukuu wake aliondoka wiki moja kwenda tunduma kutafuta maisha hadi aliposikia habari kwamba kuna maiti inayofanana naye na baada ya utata alikubali kuzika mwili huo alisema kuwa alishangaa jumatano kufuatwa na watu na kuambiwa mjukuu wake amefika eneo jirani na kwake na anaogopa kuingia ndani baada ya kuambiwa alikuwa amekufa na kuzikwa na watu wamekusanyika kwa ajili ya msiba wake nilikwenda ingawa ilikuwa usiku wa manane nilishangaa kumkuta frank akiwa hai UNK na kuingia naye ndani baada ya kumhoji UNK kuwa ni mjukuu wangu na UNK UNK alisema mzee UNK alisema kuwa kesho yake walikwenda polisi kutoa taarifa na kuambia waende na frank kwa ajili ya mahojiano zaidi ili kuondoa utata akiwa polisi frank alieleza kuwa baada ya kwenda tunduma kutafuta maisha alijisikia roho UNK na kuamua kurudi kwao mara moja ndipo UNK msiba wake bandia kamanda wa polisi mkoa wa mbeya bwana advocate nyombi hakupatikana kuzungumzia sakata hilo lakini ofisa mmoja katika ofisi yake ambaye hakutaka kutajwa jina lake kwa kuwa si msemaji alisema wamepata taarifa za tukio hilo na walikuwa wanasubiri maelezo kamili kutoka kwa maafisa wa jeshi hilo waliokuwa wakifuatilia tukio hilo jeshi la polisi mkoani arusha linamshikilia bwana simoni john mkazi wa UNK kata ya UNK kwa tuhuma za kumuua nduguye bwana george laizer katika ugomvi wa kifamilia usiku wa kuamkia juzi kamanda wa polisi mkoa wa arusha bwana basilio matei amethibitisha kutokea tukio hilo na kwamba mtuhumiwa alikamatwa akiwa na kisu UNK kwenye tukio hilo kamanda matei alisema marehemu UNK baada ya kuzuka ugomvi wa kifamilia kati yake nduguye ambapo alimchoma kisu kifuani na kumsababishia kifo akizungumza na gazeti hili mama wa mtuhumiwa bibi rita john alisema mke wa marehemu bibi zainabu hassan alimfuata saa sita usiku na kumjulisha kuhusu ugomvi uliokuwa ukiendelea kati ya ndugu hao alisema alipokwenda kusuluhisha alimkuta marehemu ameanguka chini na UNK alibaini kuwa amekufa mtuhumiwa atafikishwa mahakamani wakati wowote baada ya upelelezi wa tukio hilo kukamilika na adam hussein mtandao wa jinsia tanzania UNK mahakama kuu kwa kutengua kufungiwa kwa baraza la wanawake tanzania kwa mujibu wa taarifa ya mkurugenzi mtendaji wa mtandao huo bibi lilian liundi iliyotolewa dar es salaam jana kufuatia kutenguliwa kwa adhabu hiyo harakati za kupigania haki za wanawake zitaendelea kwa kasi alisema mtandao wa jinsia utaendelea kuipigania haki ya wanawake mahali popote ili kila mwanamke mtanzania awe na uhuru wa kutetea nafsi yake anapoona UNK alisema UNK mahakama kuu kwa kufanya kazi yake bila kutetereka hivyo kutoa uamuzi wa ukweli katika kesi hiyo ya UNK dhidi ya serikali mkurugenzi huyo alisema kupitia baraza hilo wanawake wengi watanufaika kwa kupatiwa ufumbuzi wa matatizo yao ikiwemo ushauri na mambo mengine alisema ni jambo la kushukuru kwa mahakama kuruhusu baraza hilo kuendelea na kazi zake kwa kuwa wanawake wanahitaji msukumo ili waweze kujikwamua katika matatizo mbalimbali ukiwemo umasikini bibi liundi alisema mahakama UNK haki na amewaomba wanawake wote wawe na imani wakati wa kufuatilia jambo bila kukata tamaa watu saba wamefariki dunia na wengine kumi na tano kujeruhiwa vibaya baada ya lori la mizigo walilokuwa wakisafiria kutoka chunya kwenda mbeya mjini kupinduka kamanda wa polisi mkoa wa mbeya bwana advocate nyombi alisema tukio hilo lilitokea juzi katika kijiji cha tete UNK wilayani chunya ambapo gari hilo lenye namba za usajili t mia nane na thebathini na nne UNK lililokuwa limebeba mahindi samaki na UNK UNK na kusababisha vifo hivyo kamanda nyombi aliwataja waliokufa kuwa ni pamoja na UNK UNK ambaye ni mwanafunzi wa shule ya sekondari southern highland iliyopo jijini mbeya UNK UNK mkazi wa mbeya na UNK UNK mkazi wa mkwajuni chunya wengine ni bwana pele UNK mtoto wa miezi saba rose simon bwana simon haule na mwanamke mmoja aliyetajwa kuwa mke wa UNK wote wakazi wa kijiji cha udinde wilayani chunya waliojeruhiwa ni bwana patson UNK mwanafunzi wa sekondari ya shitete UNK mbeya vijijini wengine ni patricia UNK patrick venance beatrice UNK celina UNK bibi juliana nestory wote wanafunzi wa shule ya sekondari ya southern highland iliyopo jijini mbeya wengine ni bwana ombeni UNK mkazi wa wa tunduma bwana UNK UNK bibi rehema UNK mkazi wa udinde chunya bwana petro kimaro mfanyabiashara wa kiwira rungwe elizabeth UNK mkazi wa udinde chunya na bwana eric yohana mkazi wa UNK majeruhi wengine ni bwana amon patson mkazi wa shitete UNK mbeya vijijini bwana UNK UNK mkazi wa udinde chunya wote wamelazwa hospitali ya wilaya ya chunya kamanda nyombi alisema dereva wa gari hilo alitoroka baada ya ajali hiyo polisi wanaendelea UNK UNK siku ya pili bungeni pinda UNK kamati ccm kuokoa wabunge waapa UNK nyuma mustakabali wa bajeti ya wizara ya miundombinu iliyowasilishwa bungeni jumatano wiki hii na waziri wa wizara hiyo daktari shukuru kawambwa umezidi kuwa mashakani baada ya kugonga mwamba kwa siku ya pili na kushindwa kupitishwa nuksi katika bajeti hiyo iliibuka kutoka na hoja ya sumu UNK na mbunge wa ilemela bwana anthony diallo akitaka kufanywa marekebisho makubwa kabla ya bajeti hiyo UNK utata wa suala hilo ulizidi UNK jana baada ya naibu spika bibi anne makinda kutangazia bunge kwamba hoja hiyo imeahirishwa tena kuhitimishwa jana kama ilivyotarajiwa hadi leo asubuhi kutokana na serikali kuomba muda wa kuikamilisha kutokana na uzito wake alisema baada ya serikali UNK na kamati ya miundombinu imeomba muda kulimaliza hivyo isingekuwa rahisi kuhitimishwa jana baada ya kipindi cha maswali na majibu kama ilivyopangwa na UNK bunge kwamba litakutana leo asubuhi kwa ajili ya hoja hiyo wakati naibu spika akitoa taarifa hiyo habari kutoka ndani ya kikao kati ya serikali na kamati ya miundombinu UNK juzi jioni hadi usiku zilieleza kushindwa kufikia muafaka kutokana na kamati hiyo kukubaliana na hoja ya bwana diallo kuwa ni ya msingi kwa kuwa inazingatia taratibu zilizowekwa ambazo UNK na serikali chanzo hicho kilieleza kwamba kutokana na hali kuwa tete kati ya serikali na kamati ya miundombinu iliyoonekana kuunga mkono hoja ya bwana diallo baada ya mbunge huyo kuitwa kwenye kamati hiyo kutoa maelezo ya kina yaliyoonekana kuwa na msingi wa taratibu zote zilizopo serikali UNK kutafuta njia ya kujinusuru kuhusu hoja hiyo moja ya njia ya kusaidia serikali hususan wizara ya miundombinu ni kuitisha kikao cha wabunge wote wa ccm kuwekana sawa na kupunguza ukali wa mambo fulani lakini hata tukienda kwenye kikao chetu hoja zipo palepale labda watu wabadilike lakini hali ilivyo sasa tunataka tanzania yenye neema na UNK kwa kukataa UNK kilisema chanzo chetu ndani ya ccm UNK shughuli za bunge mchana bibi makinda alitangaza kuwepo kwa kikao cha kamati ya uongozi wa wabunge wa ccm na kufuatiwa na kikao cha wabunge wote wa ccm jana usiku baada ya shughuli za bunge akizungumza na majira mara baada ya kusitisha shughuli za bunge bibi makinda alisema ni jambo la kawaida kuwepo vikao hivyo na kukanusha kuhusishwa na bajeti ya wizara ya miundombinu ni jambo la kawaida vyama kuwa na vikao na kabla ya kikao hicho UNK na kile cha kamati ya uongozi alisema bibi makinda akiwa anaelekea katika ukumbi wa pius msekwa tayari kuhudhuria kikao cha kamati ya uongozi wa wabunge wa ccm kwa kawaida kikao cha kamati ya uongozi wa ccm ndicho UNK ajenda za kikao cha wabunge wote wa ccm na maazimio ya UNK hicho ndicho huwa uelekeo wa wabunge wote wa ccm akizungumza na majira juzi jioni baada ya bajeti ya kawambwa kugonga mwamba na kumlazimu spika wa bunge samuel sitta kuahirisha bunge bwana kingunge ngombale mwiru alisema iwapo hali inakuwa ngumu katika masuala yoyote yenye maslahi ya chama na taifa kwa ujumla ccm UNK kikao cha wabunge wote wa chama hicho ili kuweka msimamo akizungumza na waandishi wa habari katika mahojiano maalum jana bwana dialo alisema alichofanya ni jambo la kawaida kwa bunge kwa kuwa UNK kufanyika hata mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba na kuongeza kwamba bunge ni sehemu ya kufuata kanuni na taratibu na si eneo ambalo mtu anaweza kuchezea alisema aliamua kuwasilisha hoja hiyo kama fundisho kwa mawaziri na baadhi ya watendaji wengine serikali UNK taifa pabaya kwa kujipendelea katika miradi ya maendeleo kwa kuwa jambo hilo linaweza kufikisha nchi pabaya alipoulizwa kama maoni yake UNK kazi kama UNK alisema mimi UNK hoja kwa nia ya kutaka kushinda UNK ni ujumbe ufike na kutoa elimu kuwa kuna taratibu zinazotakiwa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya taifa hili si mtu kujiamulia cha kufanya UNK alipoulizwa uvumi kwamba barabara hizo zinahusishwa na ukanda kutokana na kupitia katika majimbo ya waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo mwenyekiti wa kamati ya fedha na uchumi daktari abdallah kigoda na hata daktari shukuru kawambwa alisema hawezi kuzungumzia hilo kwa kuwa na yeye anasikia tu uvumi huo katika mapendelezo yake bwana dialo UNK shilingi bilioni thebathini saba UNK toka barabara za dumila kilosa handeni mkata hadi mkumba korogwe na kuelekezwa barabara za iringa dodoma kondoa hadi babati ambayo ni ya kimataifa awali daktari kawambwa alielekeza jumla ya shilingi bilioni sitini na moja nne katika utengenezaji wa barabara za barabara dumila kilosa handeni mkata hadi mkumba korogwe katika kiwango cha lami huku barabara hizo UNK kuibukia mezani kwake kwa kuwa hazikwepo kwenye bajeti ya miaka iliyopita makamu wa rais daktari ali mohamed shein amesema serikali haifurahii kuona bidhaa za tanzania zinaendelea kuuzwa nje ya nchi zikiwa ghafi hivyo kushindwa kuongezeka thamani daktari shein alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua maonesho ya thebathini na tatu ya biashara ya kimataifa dar es salaam yanayofanyika katika viwanja vya mwalimu julius nyerere barabara ya kilwa alisema hatua hiyo inafanya bidhaa za tanzania kuuzwa kwa bei ndogo ikilinganishwa na gharama za uzalishaji mbali na kukabiliwa na changamoto hiyo daktari shein alisema tanzania bado inategemea mazao ya asilia kama chanzo kikuu cha mapato yake hali ambayo imeendelea kuathiri mapato ya serikali pindi bei ya mazao hayo inapoporomoka katika soko la dunia daktari shein alisema maonesho kama ya sabasaba yanatoa fursa kubwa kwa wafanyabiashara wazalishaji na wawekezaji kujifunza kutoka kwa wenzao kwa kujifunza ndipo mnaweza kuongeza thamani ya mazao yetu tunayozalisha na hata kutengeneza bidhaa zenye ubora unaokubalika katika soko la kimataifa na hatimaye kukabiliana na bei ya ushindani alisema daktari shein alisema ili tanzania iweze kushiriki kikamilifu katika biashara ya kimataifa inahitaji kuimarisha masoko la ndani alielezea kufurahishwa na maonesho ya mwaka kutokana na kuongeza kwa idadi ya wajasiriamali hasa wanawake haya ni maendeleo yanayotia moyo hasa ikizingatia kuwa viwanda vidogo vina mchango mkubwa kwa sekta binafsi alisema daktari shein alisema asilimia sabini ya nguvu kazi inatumika katika sekta binafsi kwa kuzalisha asilimia hamsini na nane ya pato la taifa aliwataka wafanyabiashara wadogo kujiwekea mtandao wa masoko na kuimarisha ubora wa ufungashaji daktari shein aliwataka wafanyabiashara kuchangamkia kuchangamkia kuuza bidhaa kwenye nchi zisizotoza ushuru india na japan chadema tutashinda bila helkopta mrema kifo cha kabuye kimeniacha UNK makamba awataka wananchi wasirudie makosa leo wananchi wa jimbo la biharamulo magharibi mkoani kagera wanapiga kura kumchagua mbunge atakayeziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo marehemu phares kabuye kampeni za kuwania kiti hicho UNK jana kwa vyama vya ccm chadema na tlp kufanya mikutano ya kampeni katika maeneo mbalimbali huku kila kimoja UNK kuibuka na ushindi ushindani mkubwa unaonekana baina ya ccm na chadema huku chadema ikionekana kukubalika zaidi maeneo ya mijini na ccm maeno ya vijijini kama ilivyokuwa katika uchaguzi mdogo wa jimbo la busanda geita mkoani mwanza maeneo ambayo chadema inaonekana kukubalika zaidi ni mjini biharamulo na kata ya lusahunga huku mwenyekiti wa tlp bwana augustino mrema akihitimisha rasmi kampeni za kumnadi mgombea wa chama chake bwana mpeka buhangaza juzi na kuwataka wananchi kumuezi marehemu kabuye kwa kumchagua mgombea wa chama chake kuwa mbunge wa jimbo hilo kifo cha kabuye kimeniacha mgumba sasa ninyi UNK mzee huyo mtakuwa UNK hebu UNK mgombea wa tlp ili UNK kipindi hiki UNK cha mwaka mmoja na nusu si mlikuwa UNK aongoze kwa miaka mitano sasa mpeni buhangaza alisema bwana mrema bwana mrema UNK kile alichodai vyama vya chadema na ccm kuvamia jimbo hilo huku UNK kuwa lilikuwa mikononi mwa tlp UNK hatua hiyo na tamaa ya fisi kwa vile tlp UNK mgombea kwenye majimbo UNK uchaguzi mdogo kwa lengo la UNK nafasi vyama UNK na wabunge wao alisema tlp inajiandaa kusherehekea ushindi wakati kwa upande ccm ambayo imemsimamisha bwana oscar mukasa kuwania nafasi hiyo imetamba kuibuka na ushindi kama ilivyokuwa katika jimbo la busanda akihitimisha kampeni za chama hicho katika viwanja vya soko jipya mjini biharamulo katibu mkuu wa ccm bwana yusuf makamba aliwataka wakazi wa jimbo hilo kutorudia kosa kama walilofanya mwaka ishirini sifuri tano ambapo jimbo hilo UNK na mgombea wa tlp marehemu kabuye aliwaambia wakazi wa jimbo hilo kuwa wakichagua mgombea wa upinzani jimbo hilo litaendelea kusuasua kimaendeleo kwa kuwa mbunge huyo atakosa ushirikiano wa wabunge wengine wakiwemo viongozi wa serikali mgombea wa ccm bwana mukasa aliwataka wakazi wa biharamulo kumchagua ili waweze kushirikiana kuibua fursa mbalimbali zitakazowasaidia kupata maendeleo kwa upande wa chadema imewataka wakazi wa biharamulo kumchagua mgombea wake bwana mbasa gervas ili kuongeza nguvu bungeni za kupambana na vitendo vya ufisadi katibu mkuu wa chama hicho daktari wilbroad slaa aliwataka wakazi wa biharamulo kutomchagua mgombea wa ccm kwa vile chama chake kimeshindwa kuwaondolea kero zinazowakabili watanzania chama hicho UNK kampeni zake kwa kufanya mkutano mkubwa katika uwanja wa mpira wa biharamulo ambao ulihudhuriwa na mwenyekiti taifa bwana freeman mbowe na naibu katibu mkuu bwana zitto kabwe pia alikuwepo aliyekuwa naibu katibu mkuu wa cuf aliyejiunga na chama hicho bwana wilfred lwakatare huku bwana mbowe akikaririwa akisema kuwa chama chake kina uhakika wa kuibuka na ushindi katika jimbo hilo bila kutumia UNK wakati huo huo mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi jaji mstaafu lewis makame ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwa kuzingatia maelekezo yatakayotolewa na tume UNK vyama vya siasa kuheshimu sheria kanuni na maelekezo nec UNK vurugu siku ya uchaguzi kwa UNK wafuasi wao kwenda kinyume cha UNK alisema alisema vituo vyote vitakuwa wazi kuanzia saa moja asubuhi na vitafungwa saa kumi jioni ambapo kazi ya kuhesabu kura itaanza mara moja huku watu themanini na saba mia moja na themanini na nane wakitarajia kupiga kura katika uchaguzi huo leo yawaagiza makatibu wa mikoa wasipuuze maaskofu waunganana na serikali wasema italeta mgongano wa kimaslahi tamko lililotolewa na baraza kuu la waislamu tanzania kupinga uamuzi wa serikali wa kukataa kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi umewashutua viongozi wa chama cha mapinduzi na kulazimika kukesha wakijadili suala hilo habari za kuaminika ambazo gazeti hili limezipata zimeeleza kuwa tangu juzi baadhi ya viongozi wa ccm walikuwa wakikutana mara kwa mara kujadili tamko hilo kwa mujibu wa vyanzo vya gazeti hili viongozi hao wa ccm juzi walikuwa na mkutano wa kujadili msimamo wa bakwata uliotangazwa na mufti wa tanzania sheikh issa shabaan simba hadi usiku viongozi hao walifikia hatua hiyo kwa kile wanachodai kuwa tamko hilo ni sumu kali kwa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ili kukabiliana na madhara yanayoweza kusababishwa na tamko hilo la bakwata ccm imewaagiza makatibu wa mikoa na wilaya kutofanyia mzaha tamko hilo tamko hilo kwani linaweza kukikosesha ushindi chama hicho viongozi wetu wameshutushwa zaidi na jambo hili hasa kutokana uamuzi huo wa serikali kujadiliwa kwenye misikiti mbalimbali kilisema chanzo hicho na kuongeza tumeona kuwa kama hatutajihami tunaweza kukutana na kipindi kigumu wakati uchaguzi chanzo hicho kilisema ccm inahofia vyama vingine kutumia mwanya huo wa serikali wa kukataa kuanzisha mahakama ya kadhi kujinadi ili kujipatia kura kutoka kwa waislamu ambao hawakufurahishwa na hatua hiyo ya serikali kwa muda mrefu mwenyekiti wa tanzania labour party bwana augustino mrema amekuwa akiitaka serikali ianzishe mahakama ya kadhi ambapo amekuwa akiungwa mkono na masheikh wa dini hiyo bwana mrema aliwahi kuwasilisha hoja binafsi bungeni ya kutaka serikali ianzishwe mahakama ya kadhi lakini hoja yake hiyo ilikwaa kisiki chanzo chetu kimeeleza kuwa bwana mrema na viongozi wa vyama vingine wanaweza kutumia fursa hiyo kupindisha msimamo wa serikali kwa lengo la kujipatia kura ndiyo maana imeanza kujihami mapema iwezekanavyo akizungumza na waadishi wa habari sheikh simba aliweka mabaya jinsi ambavyo bakwata haikufurahishwa na uamuzi uliotolewa na serikali wa kukataa kuanzishwa kwa mahakama hiyo nchini wakati huo huo maaskofu nchini wameunga mkono uamuzi wa serikali wa kukataa kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi wakidai suala hilo likikubaliwa linaweza kuleta mgongano wa kimaslahi baina ya wakristo na waislamu ndani ya nchi wakati maaskofu wakiunga mkono uamuzi huo wa serikali tayari waislamu kupitia kamati kutetea haki za waislam wametangaza kuandamana siku ya ijumaa kupinga uamuzi huo maskofu hao walisema uamuzi wa serikali wa kukataa kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi utakuwa umezingatia maoni ya wananchi waliyotoa kwenye tume iliyoundwa baada ya kubaini mahakama hiyo haitakuwa na maslahi kwa taifa askofu mkuu msaidizi wa jimbo kuu katoliki dar es salaam methodius kilain alisema msimamo wa serikali wa kukataa kuanzishwa kwa mahakama hiyo ni mzuri kwa kuwa tanzania haina dini alisema katiba ya jamhuri ya mungano wa tanzania ya mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na saba inatoa uhuru wa kila mtu kuabudu dini apendayo pasipo kubuguziwa askofu kilaini alisema waislamu kama wanataka wanaweza kuanzisha mahakama ya kadhi bila ya kuihusisha serikali wana uhuru wa kuendesha mambo yao kwenye taasisi zao yanayoendana na masuala ya kiroho bila kuishirikisha serikali sisi wakatoliki tunazo mahakama zetu kuanzia ngazi ya parokia jimbo hadi roma tunafanya mambo yetu bila ya kuingiliwa na serikali alisema askofu kilaini alisema waislamu hawajakatazwa kuanzisha mahakama ya kadhi bali kinachokataliwa ni mahakama hiyo kuwa na mkono wa serikali alifafanua kuwa msimamo uliotolewa na waislam kuwa hawatachagua viongozi wa ccm ni sehemu ya uhuru wao wa kutoa mawazo kwa nchi isiyofungamana na misingi ya dini kila mtu ana haki ya kufanya hivyo alisisitiza askofu kilaini alisema hakuna sababu ya watu kuendelea kuhoji suala hilo kwa kuwa liliundiwa tume ya kukusanya maoni na uamuzi uliotangazwa ndiyo msimamo wa serikali akizungumza na mjira jumapili kuhusu suala hilo askofu wa kanisa la africa inland churc charles salala alisema waislam hawana sababu ya kuichukia serikali kwa kuwa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania inatamka wazi kuwa serikali haina dini katiba ya nchi yetu imeweka bayana kuwa serikali haina dini hili ndilo chimbuko la amani tunayojivunia alisema askofu salala alisema iwapo serikali ingekubali kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi nchi ingeelekea pabaya ingekubalika kama nchi hii ingekuwa na dini moja lakini kwa mfumo tulionao wa dini nyingi ni vigumu kuwa na mahakama ya kadhi alisisitiza askofu salala alisema hatua ya serikali kuikataa mahakama hiyo inalenga kutoonesha upendeleo kwa dini yoyote alifafanua kuwa kama ingeanzishwa ingeendeshwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wakristo na wapagani wakristo na wapangani wasingekubali kuona fedha zao zinaendesha chombo ambacho hawanufaiki nacho alisema alisema kama waislam wanahitaji kuwepo kwa mahakama ya kadhi wanaweza kuianzisha bila ya kuihusisha serikali kama inavyofanya kwenye masuala ya usuluhishi wa ndoa na mirathi askofu salala alisema kitendo cha waislam kuahidi kutoipigia kura ccm kwa sababu ya serikali kukataa kuanzishwa kwa mahakama hiyo siyo cha kiungwana naye askofu mkuu wa kanisa la anglikana tanzania daktari valentino mokiwa aliwataka mashekhe hao kutolinganisha msamaha wa kodi uliotolewa na serikali kwa taasisi za dini na mahakama ya kadhi kwani misamaha hiyo iko kwa pande za dini zote na hailengi kunufaisha upande mmoja alisema si vema kuchangganya mambo ya dini na sheria za nchi kwani huduma za serikali inahudumia watu wengi wa dini mbalimbali na si dini ya kiislam tu askofu mokiwa alisema kama kila dini itamua kuunda mahakama yake serikali itajikuta ikibeba mzigo mkubwa na kupunguza ufanisi katika idara ya nyingine hata hivyo askofu huyo alisema hapingani kwa uanzishwaji wa mahakama hiyo ndani ya dini hiyo kwani ndiyo utaratibu unaofanywa na madhehebu mengine ambayo yamekuwa na mabaraza yake ya usuluhishi na daud magesa mwanza siku chache baada ya mwili wa mlemavu wa ngozi jesca charles kukutwa umefichwa mlimani igoma jijini mwanza viungo vyake UNK UNK marehemu huyo alitoweka nyumbani kwao juni ishirini na moja mwaka huu saa kumi na moja jioni baada ya kuaga kuwa anakwenda kuhudhuria mkutano wa injili uliokuwa ukifanyika jirani na eneo la UNK kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa mwanza bwana jamal rwambow viungo hivyo ambavyo ni viganja na nyayo vilipatikana pamoja na nguo alizovaa marehemu huyo nyumbani kwa mmoja wa watuhumiwa wanaoshikiliwa na jeshi hilo bwana rwambow alisema kupatikana viungo kulitokana na mmoja wa watuhumiwa wa mauaji hayo ambaye hakumtaja jina kukiri kuhusika upelelezi wa polisi na mahojiano ya watuhumiwa UNK umewezesha mmoja wao kukiri kuhusika na mauaji hayo UNK viungo hivyo na nguo za marehemu alisema bwana rwambow aliwataja watuhumiwa wanaoshikiliwa na jeshi hilo kuwa ni bibi vumilia julius na bwana UNK manumbu wote wakazi wa igoma na bibi UNK UNK mkazi wa UNK bariadi mkoani shinyanga kamanda huyo alieleza kusikitishwa na mauaji ya albino yaliyotokea mfululizo jijini hapa alisema UNK wa jeshi lake ulibaini kuwa marehemu jesca aliuawa kikatili kwa kukatwa mapanga na kutenganishwa kiwiliwili na viungo hivyo alisema jeshi lake hivi sasa linaendesha msako mkali kubaini mtandao uliofanya mauaji hayo na yale ya albino mwingine bwana aron UNK aliyeuawa nyumbani kwake UNK relini mjini hapa na kukatwa mapanga na wauaji kutoweka na miguu yake bwana rwambow aliwashukuru wananchi kwa kuwezesha kukamatwa watuhumiwa hao na kupata viungo hivyo aliwaomba kuzidi kutoa taarifa za siri dhidi ya UNK na UNK aliwataka viongozi wa vitongoji vijiji mitaa na kata kuanzisha na kuimarisha ulinzi wa jadi katika maeneo yao na kutoa taarifa za wageni UNK shaka ili kusaidia kudhibiti vitendo vya uhalifu UNK wa tunduma marehemu frank mwachembe UNK kwa kupigwa risasi jumapili iliyopita UNK kwa taratibu za kimila huku mazishi hayo UNK na watu wasiozidi kumi pamoja na kuzikwa hali bado tete baada ya kiongozi wa kabila la UNK chifu UNK soja kulitaka jeshi la polisi kuwachukulia hatua kali askari wote wanaodaiwa kuhusika na mauaji hayo chifu soja alizungumza hayo wakati wa mazishi ya mfanyabiashara huyo katika kijiji cha UNK wilaya ya mbeya na kuweka bayana kuwa kuna orodha ya askari kumi ambao alidai kuwa ana vielelezo kutokana na kuhusika kwao kwa namna moja ama nyingine kushinikiza kufanyika mauaji hayo kwa maslahi binafsi nina takwimu ya idadi ya watu kumi waliohusika katika mauaji hayo UNK na hatia hakuna haja ya kuachishwa kazi au kuhamishwa adhabu ya watu hao ni kunyongwa kama UNK wauaji wengine alisema chifu soja huku akipigiwa vigelegele na umati wa waombolezaji waliohudhuria mazishi hayo alilitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa kina UNK ukweli wa mauaji hayo ikiwa ni pamoja na kuweka maslahi ya watu binafsi pembeni na UNK kwa kufanya hivyo UNK imani kwa wananchi ambao wamekuwa mstari wa mbele kushiriki katika falsafa ya ulinzi shirikishi na polisi jamii akizungumza kwenye msiba huo mwenyekiti wa kamati ya ulinzi shirikishi katika mji mdogo wa tunduma bwana herode jivava alisema kuwa wafanyabiashara wa mji mdogo wa tunduma walikuwa mstari wa mbele katika kulisaidia jeshi la polisi katika mapambano ya uhalifu na kwamba kitendo kilichofanywa na jeshi hilo UNK moyo wafanyabiashara hao mwili wa marehemu ulilazimika kuzikwa kwa desturi za kimila ambapo umati wa watu waliohudhuria maziko hayo UNK kwenda makaburini na kuwaacha baadhi ya wazee wa kimila na wanandugu wasiozidi kumi kuuzika mwili huo mmoja wa watu waliokuwepo katika maziko hayo ambaye hakupenda kutajwa jina lake alisema kuwa sababu za kutoruhusu watu kushiriki katika UNK mwili wa marehemu ni kutokana na mazingira ya kifo hicho ikiwa ni pamoja na matambiko ikiwemo UNK mhusika halisi wa mauaji hayo na kuchukua hatua za kimila dhidi ya wahusika wa mauaji hayo na edson kamukara kumbukumbu ya miaka kumi na tano ya mauaji ya kimbari ya rwanda imefanyika dar es salaam jana huku jumuiya za kimataifa UNK wanyarwanda kusamehe yaliyopita na kuhakikisha mauji mengine UNK akizungumza kwa niaba ya katibu mkuu wa umoja wa mataifa mwakilishi mkazi wa UNK r bwana UNK el UNK alisema umoja huo umechukua hadhari kubwa tangu mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne kuhakikisha rwanda inakuwa na amani ya kudumu naye balozi wa afrika kusini nchini tanzania bwana UNK UNK ambaye pia ni mwakilishi wa UNK wa afrika nchini alisema vyama makabila na mataifa UNK katika mauaji hayo hayana budi kufanya UNK ya kudumu alisema juhudi zilizofanywa na mahakama ya kimataifa ya mauaji ya rwanda iliyoko tanzania pamoja na zile mahakama za UNK za UNK UNK utengamano mkubwa na kurejesha amani ya rwanda baada ya watuhumiwa kuhukumiwa akishukuru kwa niaba ya nchi yake balozi wa rwanda nchini bwana UNK UNK ili kutafakari mauaji yale ni vyema jumuiya za kimataifa na wanyarwanda UNK maswali ya nani alisababisha mauaji na ni hatua gani zimefanyika kuyamaliza alisema rwanda kwa sasa imepiga hatua kubwa kiuchumi chini ya utawala wa chama cha UNK na kuongeza kuwa serikali imejikita katika kutekeleza dira yake ya maendeleo ya ishirini mbili sifuri ambayo inalenga kuweka mazingira safi ya kiuchumi kisiasa na kijamii mgeni rasmi kaimu katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa bwana francis UNK alisema tanzania iko tayari wakati wote kusaidia majirani zake na kutolea mfano hatua ya hivi karibu ya nchi kukubali ombi la jumuiya ya UNK kuweka mahakama ya kikanda ya haki za binadamu hapa nchini selelii UNK hoja binafsi siku chache baada ya bajeti ya wizara ya miundombinu kupita kwa mbinde bungeni waziri wa wizara hiyo daktari shukuru kawambwa anakabiliwa na mtihani mwingine mzito kujitetea kutokana na mbunge wa nzega bwana lucas selelii kuwasilisha hoja binafsi kwa spika akitaka serikali itoe maelezo ya kina kuhusu fedha za barabara kumi zilizosainiwa wiki iliyopita kabla ya kukwaa kisiki mara mbili mfululizo bungeni baada ya mbunge wa UNK bwana anthony diallo kutaka yafanyike marekebisho makubwa kabla ya bajeti hiyo kupitishwa tayari bwana selelii alionesha shaka juu ya matumizi ya pesa zilizotengwa kwa baadhi ya barabara katika hoja yake kwa spika sitta mbunge huyo machachari ameeleza kwamba katika mkataba UNK na wizara ya miundombinu wiki iliyopita siku moja tu kabla ya kuwasilisha bajeti yake bungeni zipo barabara ambazo hazikwepo kwenye mpango wa mwaka uliopita huku zingine zilizokuwepo UNK bila sababu jambo ambalo pia ni upendeleo na roho mbaya ya viongozi katika kikao cha bunge kilichokaa jumamosi spika sitta alikiri kupokea hoja hiyo na kuahidi kutolea uamuzi mchana kabla ya kuahirisha bunge lakini ilipofika saa sita mchana wakati akihitimisha shughuli za bunge kiongozi huyo alitangaza kwamba hajapokea taarifa kamili hivyo atalitolea uamuzi baada ya kupata taarifa wiki hii uchunguzi wa majira ulibaini kwamba barabara UNK na bwana selelii ni ile ya shinyanga lamadi manyoni itigi tabora pamoja na dodoma babati ambazo zilikuwepo kwenye bajeti ya mwaka jana lakini katika kundi ya barabara kumi zilizosainiwa wiki iliyopita miradi hiyo haipo tena unajua barabara UNK mheshimiwa ni shinyanga lamadi manyoni itigi tabora na dodoma babati ambazo zilikuwepo kwenye bajeti mwaka jana na katika kundi la barabara kumi UNK fedha za nyongeza shilingi bilioni kumi sifuri hizo zimo hata sisi tunashangaa kwenye ule mkataba sasa hazionekani huyu mbunge hana haki na hapa serikali UNK labda wakipika jibu kilisema chanzo chetu ndani ya serikali kwa mujibu wa barua yenye kumbukumbu namba ac hamsini na nne tisini na mbili sifuri mbili ya juni kumi na sita mwaka ishirini sifuri nane iliyotoka kwa daktari kawambwa kwenda kwa waziri wa fedha jumla ya shilingi bilioni kumi sifuri UNK na waziri huyo kama fedha za nyongeza katika bajeti ya mwaka wa fedha ishirini sifuri nane tisa ambapo barabara zinazolalamikiwa na bwana selelii ni moja kati ya barabara kumi UNK fedha hizo kwa mujibu wa barua hizo barabara ya shinyanga lamadi iliombewa shilingi bilioni saba dodoma babati shilingi bilioni kumi na manyoni itigi singida iliombewa bilioni kumi na tano uchunguzi zaidi wa majira ulibaini kwamba katika barua yenye kumbukumbu namba c ba hamsini na nne mia sita na sabini na moja sifuri moja sabini na nane ya septemba tatu mwaka ishirini sifuri nane yenye kichwa cha habari bajeti ya ziada ya shilingi bilioni kumi sifuri ishirini sifuri nane sifuri tisa aliyekuwa kaimu katibu mkuu wa wizara ya fedha bwana m UNK alijibu barua hiyo ya waziri kawambwa baada ya maelekezo ya waziri wa fedha kwamba fedha hizo zingetolewa kutokana na upatikanaji wa fedha na jinsi miradi hiyo itakavyokuwa UNK majira ilipomtafuta bwana selelii kujua undani wa madai yake mbunge huyo alisema yeye anachoamini kwamba tatizo la roho mbaya kwa baadhi ya viongozi wa serikali kwa kujipendelea na kuacha vipaumbele vya UNK ndio chanzo cha matatizo na kusisitiza kwamba anao ushaidi wa madai yake na kwamba kama hatapata maelezo ya kina ataendelea na hatu zaidi mpaka haki itendeke ninao vielelezo japo siwezi kukupa wala UNK kama UNK UNK UNK ni kwamba barabara za shinyanga lamadi manyoni itigi tabora na dodoma babati UNK fedha kama chambo kisha fedha hizo zimepelekwa kwenye barabara za watu wanaojiona kuwa ndio wenye nchi hii hii ni roho mbaya tu ya viongozi alisisitiza bwana selelii na kuongeza wewe kama juzi wiki iliyopita ulikwepo kwenye kusaini mkataba wa zile UNK kumi niambie kama hizi barabara zimo sasa kama UNK UNK vipi barabara mpya kabla ya kutekeleza vipaumbele vya taifa haya ni mambo ya roho mbaya tu lakini pia zile fedha zinatoka katika bajeti hii iliyopitishwa leo sasa walisaini vipi mkataba kabla fedha UNK ba bunge haya ndiyo majibu ninayotaka serikali UNK alisema mbunge huyo wiki iliyopita siku moja kabla ya daktari kawambwa kuwasilisha bajeti yake bungeni wizara yake ilisaini mkataba wa ujenzi wa barabara kumi katika kiwango cha lami zenye urefu wa kilomita mia tano na sitini na tatu tatu kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni mia tano na themanini na nne hatua ambayo UNK kuwa ni serikali kuchukua taadhari ya kumwokoa waziri huyo kubanwa na wabunge jambo ambalo hata hivyo UNK matunda baada ya kujikuta akibanwa na bajeti yake kukwama kwa siku mbili mfululizo mkataba huo wa ujenzi wa barabara ulisainiwa kwa niaba ya waziri kawambwa na mkurugenzi wa wakala wa barabara nchini bwana ephraem mrema huku UNK barabara za kagoma lusahunga UNK chunya sumbawanga UNK UNK kibaoni UNK turiani dumila ludewa mkata handeni korogwe handeni ubungo kigogo pamoja na makutano ya barabara ya kigogo twiga jangwani hadi kariakoo makamu wa rais daktari ali mohamed shein amesema serikali haifurahii kuona bidhaa za tanzania zinaendelea kuuzwa nje ya nchi zikiwa ghafi hivyo kushindwa kuongezeka thamani daktari shein alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua maonesho ya thebathini na tatu ya biashara ya kimataifa dar es salaam yanayofanyika katika viwanja vya mwalimu julius nyerere barabara ya kilwa alisema hatua hiyo inafanya bidhaa za tanzania kuuzwa kwa bei ndogo ikilinganishwa na gharama za uzalishaji mbali na kukabiliwa na changamoto hiyo daktari shein alisema tanzania bado inategemea mazao ya asilia kama chanzo kikuu cha mapato yake hali ambayo imeendelea kuathiri mapato ya serikali pindi bei ya mazao hayo inapoporomoka katika soko la dunia daktari shein alisema maonesho kama ya sabasaba yanatoa fursa kubwa kwa wafanyabiashara wazalishaji na wawekezaji kujifunza kutoka kwa wenzao kwa kujifunza ndipo mnaweza kuongeza thamani ya mazao yetu tunayozalisha na hata kutengeneza bidhaa zenye ubora unaokubalika katika soko la kimataifa na hatimaye kukabiliana na bei ya ushindani alisema daktari shein alisema ili tanzania iweze kushiriki kikamilifu katika biashara ya kimataifa inahitaji kuimarisha masoko la ndani alielezea kufurahishwa na maonesho ya mwaka kutokana na kuongeza kwa idadi ya wajasiriamali hasa wanawake haya ni maendeleo yanayotia moyo hasa ikizingatia kuwa viwanda vidogo vina mchango mkubwa kwa sekta binafsi alisema daktari shein alisema asilimia sabini ya nguvu kazi inatumika katika sekta binafsi kwa kuzalisha asilimia hamsini na nane ya pato la taifa aliwataka wafanyabiashara wadogo kujiwekea mtandao wa masoko na kuimarisha ubora wa ufungashaji daktari shein aliwataka wafanyabiashara kuchangamkia kuchangamkia kuuza bidhaa kwenye nchi zisizotoza ushuru india na japan UNK kufanyika nchi nzima jk UNK ahadi yake UNK waumini sasa kukesha kusoma dua taasisi mbalimbali za kiislam nchini zimetangaza kufanya maandamano makubwa nchi nzima kupinga hatua ya serikali kukataa hoja ya kuanzishwa mahakama ya kadhi sambamba na hilo waumini wa dini hiyo wamepanga kukesha misikitini kuendesha dua maalum kushinikiza kuanzishwa mahakama hiyo sakata la mahakama ya kadhi UNK wakati mgumu rais jakaya kikwete serikali yake na chama chake ccm kwani ni moja ya ahadi zilizoainishwa ndani ya ilani ya uchaguzi mwaka ishirini sifuri tano na sasa utekelezaji wake unaonesha kusuasua waumini hao wamepania kufanya maandamano makubwa ya aina yake ijumaa wiki hii kwa lengo la kushinikiza serikali kurejea upya mtazamo wake juu ya hoja ya kuanzishwa mahakama ya kadhi baada ya baraza kuu la waislamu tanzania kutoa msimamo wake kutaka mahakama ianzishwe haraka hatua hiyo imepata mwitikio mkubwa kutoka kwa taasisi mbalimbali za kiislam nchini ambazo UNK na kuzungumza lugha moja katika suala hilo taarifa yao iliyotolewa kwa vyombo vya habari dar es salaam jana ilisema katika maandamano hayo watatoa tamko lao na kuonesha azma UNK adhabu kali kwa wote walioshiriki katika kile walichoeleza kuangamiza haki UNK rais jakaya kikwete japo ni UNK ana hiyari ya kuamua kuomba kura na ridhaa ya waislamu au la na tumeazimia kutoa adhabu kwa walioshiriki UNK uislam alisema shekhe ponda issa ponda wakati akihojiwa na gazeti hili shekhe ponda ambaye ni katibu wa jumuiya na taasisi za kiislamu tanzania UNK lawama rais kikwete katika suala hilo na kudai kuwa anaonekana kusikiliza upande mmoja na kushauri UNK pande zote tumekuwa tukifuatilia sana hatua za rais kwa mfano novemba kumi na moja mwaka ishirini sifuri saba katika hafla ya kusimikwa askofu alex malasusa alitamka suala la kadhi UNK ufumbuzi ifikapo februari ishirini sifuri nane lakini hadi leo linaendelea kupigwa danadana alisema shekhe UNK naye UNK wa taasisi hizo shekhe UNK kilemile alisema wamesikitishwa na taarifa ya serikali ya ccm na kusisitiza kuwa hatua hiyo imekwenda kinyume na kauli ya rais kikwete ya novemba kumi na moja mwaka ishirini sifuri saba UNK kuwa hadi kufikia februari ishirini sifuri nane suala la mahakama ya kadhi lingekuwa limepata ufumbuzi wa kudumu waislamu kwa ujumla wetu tumepokea tamko la serikali kwa hasira na masikitiko makubwa kwamba serikali haiko tayari kurejesha mahakama ya kadhi bali UNK sheria za kiislamu katika mfumo wa sheria zilizoko ili mahakama zifanye kazi iliyokuwa ifanywe na mahakama ya kadhi ilisema taarifa hiyo naye katibu wa kamati maalum ya kuokoa mali za waislam tanzania shekhe khalifa khamis alisema wamesikitishwa pia na tamko la waziri mkuu bwana mizengo pinda alipokuwa akijibu maswali ya wabunge dodoma wiki iliyopita na kusema masuala yanayohusu imani lazima UNK taratibu uchunguzi wa kina na hekima kwani yanaweza kuleta taabu baadaye shekhe khalifa alitoa kauli hiyo jana mbele ya waumini zaidi ya hamsini sifuri katika msikiti wa mtoro dar es salaam na kulaani kitendo cha serikali kukataa kurejesha mahakama ya kadhi nchini alisema kuwa kauli hiyo inaonesha dhahiri ni jinsi gani serikali inapata ushawishi kutoka madhehebu mengine ili kuwanyima haki waislam huku wengine wakiendelea kunufaika ameiomba serikali itambue kuwa mahakama ya kadhi pia ni shughuli ya kijamii inayohusu dini na waislam ni sehemu ya walipa kodi katika kuchangia pato la nchi na wana haki sawa katika kutumia fedha hizo kwa tamko hilo tunaona kabisa UNK hivyo tumeazimia kuanza mchakato sisi wenyewe kuhusu uwepo wa mahakama hiyo nchini kwakuwa tunaona kila kukicha mambo yanazidi kwenda kombo kwa waislam alisema shekhe khalifa uchaguzi mdogo katika jimbo la biharamulo magharibi mkoani kagera umekamilika huku matokeo ya awali UNK chama cha mapinduzi na chama cha demokrasia na maendeleo UNK UNK koo huku ccm ikiongoza kwa kura chache matokeo ya awali yaliyopatikana ni vituo vya kata ya mjini biharamulo ambapo kwa kawaida vyama vya upinzani huwa na wapenzi wengi lakini mpaka jana jioni ccm ilikuwa ikiongoza katika vituo ishirini na moja vilivyokuwa UNK zoezi la uhesabuji wa kura kwa mujibu wa matokeo hayo ccm kilikuwa kimepata kura mbili mia nne na thebathini na tatu chadema kura mbili mia tatu na thebathini na tatu na tlp ilikuwa imeambulia kura kumi na moja hata hivyo habari kutoka katika vituo vilivyopo nje ya makao makuu ya wilaya UNK kuwa ccm ilikuwa ikiongoza ikifuatiwa na chadema ambapo tlp ilikuwa ikipata kura si chini ya moja matokeo yaliyotangazwa katika kituo cha biharamulo shule ya msingi penye vituo vinne yalionesha ccm na chadema UNK kura kuwa kupata kila kimoja kura thebathini tano huku tlp ikiambulia kura moja katika kituo cha UNK ambako asubuhi ya jana mgombea alipiga kura yake chadema ilipata ushindi kwa kura mia mbili na sitini na nne ccm mia moja na tisini na tano na tlp kura mbili ambapo katika shule ya msingi umoja chadema pia iliibuka na ushindi wa kura mia tatu na kumi na moja ccm mia mbili na sabini na tano na tlp kura mbili chadema pia iliweza kuibuka na ushindi katika kituo cha ofisi ya kata ambako ilipata kura hamsini mbili ccm mia tatu na arobaini na nne na tlp kura tano wakati katika kituo cha UNK kilichopo nje ya makao makuu ya wilaya ccm iliongoza kwa kupata kura mia tatu na sitini na saba chadema kura mia moja na sabini na saba na tlp sifuri kituo cha UNK ccm iliongoza kwa kupata kura mia tano na hamsini na tatu chadema mia mbili na arobaini tlp sifuri ambapo katika kituo cha UNK kata ya mjini chadema ilipata kura mia moja na arobaini na moja ccm arobaini na sita na tlp sifuri huko katika kituo cha UNK kata ya mjini pia chadema waliongoza kwa kupata kura mia moja na tisini na nane ccm kura hamsini na nne na tlp sifuri ambapo katika kituo cha UNK ccm ilipata kura mia mbili na tisini na nne chadema mia tatu na thebathini na sita na tlp sifuri msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo bwana UNK UNK alisema matokeo kamili yalitarajiwa kutangazwa leo hii asubuhi baada ya kazi ya UNK kura itakapokamilika uchaguzi huo ulifanyika kwa hali ya amani na utulivu japo hiyo jana asubuhi kulitokea kikundi cha vijana waliojaribu kufunga barabara na kuzuia watu kwenda kupiga kura hata hivyo jeshi la polisi UNK na kudhibiti hali hiyo yawaagiza makatibu wa mikoa wasipuuze maaskofu waunganana na serikali wasema italeta mgongano wa kimaslahi tamko lililotolewa na baraza kuu la waislamu tanzania kupinga uamuzi wa serikali wa kukataa kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi umewashutua viongozi wa chama cha mapinduzi na kulazimika kukesha wakijadili suala hilo habari za kuaminika ambazo gazeti hili limezipata zimeeleza kuwa tangu juzi baadhi ya viongozi wa ccm walikuwa wakikutana mara kwa mara kujadili tamko hilo kwa mujibu wa vyanzo vya gazeti hili viongozi hao wa ccm juzi walikuwa na mkutano wa kujadili msimamo wa bakwata uliotangazwa na mufti wa tanzania sheikh issa shabaan simba hadi usiku viongozi hao walifikia hatua hiyo kwa kile wanachodai kuwa tamko hilo ni sumu kali kwa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ili kukabiliana na madhara yanayoweza kusababishwa na tamko hilo la bakwata ccm imewaagiza makatibu wa mikoa na wilaya kutofanyia mzaha tamko hilo tamko hilo kwani linaweza kukikosesha ushindi chama hicho viongozi wetu wameshutushwa zaidi na jambo hili hasa kutokana uamuzi huo wa serikali kujadiliwa kwenye misikiti mbalimbali kilisema chanzo hicho na kuongeza tumeona kuwa kama hatutajihami tunaweza kukutana na kipindi kigumu wakati uchaguzi chanzo hicho kilisema ccm inahofia vyama vingine kutumia mwanya huo wa serikali wa kukataa kuanzisha mahakama ya kadhi kujinadi ili kujipatia kura kutoka kwa waislamu ambao hawakufurahishwa na hatua hiyo ya serikali kwa muda mrefu mwenyekiti wa tanzania labour party bwana augustino mrema amekuwa akiitaka serikali ianzishe mahakama ya kadhi ambapo amekuwa akiungwa mkono na masheikh wa dini hiyo bwana mrema aliwahi kuwasilisha hoja binafsi bungeni ya kutaka serikali ianzishwe mahakama ya kadhi lakini hoja yake hiyo ilikwaa kisiki chanzo chetu kimeeleza kuwa bwana mrema na viongozi wa vyama vingine wanaweza kutumia fursa hiyo kupindisha msimamo wa serikali kwa lengo la kujipatia kura ndiyo maana imeanza kujihami mapema iwezekanavyo akizungumza na waadishi wa habari sheikh simba aliweka mabaya jinsi ambavyo bakwata haikufurahishwa na uamuzi uliotolewa na serikali wa kukataa kuanzishwa kwa mahakama hiyo nchini wakati huo huo maaskofu nchini wameunga mkono uamuzi wa serikali wa kukataa kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi wakidai suala hilo likikubaliwa linaweza kuleta mgongano wa kimaslahi baina ya wakristo na waislamu ndani ya nchi wakati maaskofu wakiunga mkono uamuzi huo wa serikali tayari waislamu kupitia kamati kutetea haki za waislam wametangaza kuandamana siku ya ijumaa kupinga uamuzi huo maskofu hao walisema uamuzi wa serikali wa kukataa kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi utakuwa umezingatia maoni ya wananchi waliyotoa kwenye tume iliyoundwa baada ya kubaini mahakama hiyo haitakuwa na maslahi kwa taifa askofu mkuu msaidizi wa jimbo kuu katoliki dar es salaam methodius kilain alisema msimamo wa serikali wa kukataa kuanzishwa kwa mahakama hiyo ni mzuri kwa kuwa tanzania haina dini alisema katiba ya jamhuri ya mungano wa tanzania ya mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na saba inatoa uhuru wa kila mtu kuabudu dini apendayo pasipo kubuguziwa askofu kilaini alisema waislamu kama wanataka wanaweza kuanzisha mahakama ya kadhi bila ya kuihusisha serikali wana uhuru wa kuendesha mambo yao kwenye taasisi zao yanayoendana na masuala ya kiroho bila kuishirikisha serikali sisi wakatoliki tunazo mahakama zetu kuanzia ngazi ya parokia jimbo hadi roma tunafanya mambo yetu bila ya kuingiliwa na serikali alisema askofu kilaini alisema waislamu hawajakatazwa kuanzisha mahakama ya kadhi bali kinachokataliwa ni mahakama hiyo kuwa na mkono wa serikali alifafanua kuwa msimamo uliotolewa na waislam kuwa hawatachagua viongozi wa ccm ni sehemu ya uhuru wao wa kutoa mawazo kwa nchi isiyofungamana na misingi ya dini kila mtu ana haki ya kufanya hivyo alisisitiza askofu kilaini alisema hakuna sababu ya watu kuendelea kuhoji suala hilo kwa kuwa liliundiwa tume ya kukusanya maoni na uamuzi uliotangazwa ndiyo msimamo wa serikali akizungumza na mjira jumapili kuhusu suala hilo askofu wa kanisa la africa inland churc charles salala alisema waislam hawana sababu ya kuichukia serikali kwa kuwa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania inatamka wazi kuwa serikali haina dini katiba ya nchi yetu imeweka bayana kuwa serikali haina dini hili ndilo chimbuko la amani tunayojivunia alisema askofu salala alisema iwapo serikali ingekubali kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi nchi ingeelekea pabaya ingekubalika kama nchi hii ingekuwa na dini moja lakini kwa mfumo tulionao wa dini nyingi ni vigumu kuwa na mahakama ya kadhi alisisitiza askofu salala alisema hatua ya serikali kuikataa mahakama hiyo inalenga kutoonesha upendeleo kwa dini yoyote alifafanua kuwa kama ingeanzishwa ingeendeshwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wakristo na wapagani wakristo na wapangani wasingekubali kuona fedha zao zinaendesha chombo ambacho hawanufaiki nacho alisema alisema kama waislam wanahitaji kuwepo kwa mahakama ya kadhi wanaweza kuianzisha bila ya kuihusisha serikali kama inavyofanya kwenye masuala ya usuluhishi wa ndoa na mirathi askofu salala alisema kitendo cha waislam kuahidi kutoipigia kura ccm kwa sababu ya serikali kukataa kuanzishwa kwa mahakama hiyo siyo cha kiungwana naye askofu mkuu wa kanisa la anglikana tanzania daktari valentino mokiwa aliwataka mashekhe hao kutolinganisha msamaha wa kodi uliotolewa na serikali kwa taasisi za dini na mahakama ya kadhi kwani misamaha hiyo iko kwa pande za dini zote na hailengi kunufaisha upande mmoja alisema si vema kuchangganya mambo ya dini na sheria za nchi kwani huduma za serikali inahudumia watu wengi wa dini mbalimbali na si dini ya kiislam tu askofu mokiwa alisema kama kila dini itamua kuunda mahakama yake serikali itajikuta ikibeba mzigo mkubwa na kupunguza ufanisi katika idara ya nyingine hata hivyo askofu huyo alisema hapingani kwa uanzishwaji wa mahakama hiyo ndani ya dini hiyo kwani ndiyo utaratibu unaofanywa na madhehebu mengine ambayo yamekuwa na mabaraza yake ya usuluhishi makamu mwenyekiti mstaafu wa chama cha mapinduzi bwana john malecela kwa mara nyingine ndani ya miezi miwili UNK kifalme mjini dodoma baada ya kufanikisha mapambano ya kukomboa jimbo la biharamulo mkoani kagera na UNK kwa chama hicho mei mwaka huu mwanasiasa huyo mkongwe UNK kishujaa mjini hapa baada ya kufanikisha UNK ya ushindi wa kiti cha ubunge jimbo la busanda mkoni mwanza ambapo mgombea wa ccm bibi lolensia bukwimba aliibuka mshindi juzi ccm iliibuka kidedea baada ya mgombea wake bwana oscar mukasa kutangazwa mshindi kwa kupata asilimia hamsini tisa ya kura zote huku mgombea wa chama cha demokrasia na maendeleo bwana anthony mbasa akiibuka na asilimia arobaini na nane arobaini na sita mapokezi hayo yalipambwa na msafara wa magari na pikipiki huku wanachama hao UNK UNK kwa furaha katika mapokezi hayo bwana malecela UNK vyama vya upinzani kuepuka udini na ukabila kwani matokeo yake ni mabaya kwa mustakabali wa taifa ninachowaomba watanzania ni kuepuka mambo mawili kwanza ni ukabila pili udini UNK bwana malecela alisema binadamu wote ni sawa hivyo wanasiasa hawapaswi kuendekeza ubaguzi kwa kutumia nembo ya udini ama ukabila kauli hiyo aliitoa alipotakiwa kutoa maoni yake kutokana na hali ya vurugu zilizokuwa zikiripotiwa katika uchaguzi huo alipotakiwa kueleza changamoto alizopata kutokana na chama chake kushinda kwa asilimia chache alisema ushindi ni ushindi tu na wala UNK umeshinda kwa asilimia ngapi alisema kuwa hata timu ya taifa ya argentina ilishinda bao ikatwaa kombe la dunia hivyo hata ingekuwa kura moja bado ni washindi na edmund mihale mamlaka ya UNK wa nishati na maji imetangaza bei elekezi na kikomo ya petroli baada ya nishati hiyo kupanda bei katika soko la dunia bei hiyo itaanza kutumika julai nane mwaka huu taarifa iliyotolewa na mkurugenzi mkuu wa ewura bwana haruna masebu kwa vyombo vya habari jana imeeleza kuwa bei ya rejareja ya mafuta hayo imepanda kama ifuatavyo petroli itapanda kwa asilimia nne sifuri sifuri deseli nne sabini na nne deseli tatu hamsini na tano na mafuta ya taa kwa saba tisini na saba kwa mujibu wa sheria ya mafuta ya mwaka ishirini sifuri nane bei ya petroli itaendelea kupangwa na ewura ili kuhamasisha ushindani taarifa hiyo ilisema pia taarifa hiyo ilieleza kuwa kampuni za mafuta ziko huru kuuza bidhaa ya petroli kwa bei ya ushindani bila kukiuka bei ya kikomo iliyowekwa na mamlaka hiyo kwa sasa bei ya kikomo ni asilimia saba tano wamiliki wa vituo vya mafuta wametakiwa kuchapisha karatasi zitakazoonesha bei halisi ya bidhaa za mafuta katika mabango yanayoonekana vizuri imeeleza kuwa ni kosa kwa kituo cha mafuta kuuza bila ya kuwa na bango linaloonekana vizuri na kuonesha bei ya mafuta UNK katika kituo hicho taarifa hiyo UNK vituo UNK UNK yenye ubora tofauti na hamsini sifuri ppm na hamsini sifuri sifuri ppm kuuonyesha kuwa pampu za visima husika na UNK yake hata hivyo taarifa hiyo imesisitiza kuwa endapo mfanyabiashara yeyote atabainika kuuza dizeli tofauti na ile UNK katika pampu atachukuliwa hatua za kisheria taarifa hiyo UNK wateja kuchukua stakabadhi ya malipo inayoonesha jina la kituo tarehe aina ya mafuta UNK na bei kwa kila lita ili kudhibiti manunuzi ya mafuta kulingana na kiwango kilichowekwa na ewura bawa kiti cha abiria navyo UNK na grace michael maiti kumi wa ajali ya ndege ya shirika la yemeni iliyoanguka baharini kilomita chache kutoka pwani ya kisiwa cha comoro zimeopolewa eneo la mafia mkoani pwani mbali na miili hiyo vitu vingine UNK ni bawa la ndege hiyo lenye maneno UNK airbus mia tatu na kumi na chini yake liliandikwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na kipande cha kiti cha abiria tukio la kupatikana miili hiyo UNK jana na mkuu wa wilaya ya mafia bwana manzie magonchie wakati akizungumza na majira kwa njia ya simu bwana magonchie alisema miili hiyo imepatikana katika maeneo tofauti aliyataja kuwa ni kisiwa cha juani ambapo miili minne iliopolewa kisiwa cha UNK mwili mmoja pamoja na kijiji cha jimbo ambapo maiti watano UNK taarifa za kukutwa kwa hiyo miili ni za kweli kabisa tunaamini marehemu hao waliokufa kwenye ajali hiyo ya ndege watu hao ni wazungu hivyo tulichofanya ni kutoa taarifa ngazi za juu ili hatua zaidi zichukuliwe alisema mkuu huyo wa wilaya alisema walipeleka taarifa kwa mkuu wa polisi mkoa wa pwani jeshi la ulinzi la wananchi na ubalozi wa ufaransa nchini ajali ya ndege hiyo ilitokea juni thebathini mwaka huu ambapo jumla ya watu mia moja na hamsini na tatu wengi wao wakiwa wakazi wa comoro waliokuwa wakirejea kutoka paris ufaransa walipoteza maisha aliyenusurika ni msichana mmoja tu mwenye umri wa miaka kumi na nne na gladness mboma rais jakaya kikwete ameitaka benki ya nmb kurudisha fedha alizozitoa kwa ajili ya mikopo maarufu kama mabilioni ya jk kwa kuwa UNK kazi kama UNK rais kikwete aliyasema hayo jana dar es salaam wakati alipokuwa akitembelea maonesho ya thebathini na tatu ya biashara ya kimataifa ya dar es salaam yanayoendelea katika viwanja vya mwalimu julius nyerere alisema fedha hizo ni zake kama wameshindwa kuzizungusha UNK kwa sababu alizitoa kwa nia kuzizungusha na UNK wananchi kauli hiyo alitoa alipokuwa katika banda la benki hiyo ambapo alisisitiza kuzungushwa kwa fedha hizo ili ziweze kuleta tija kwa walengwa ambao ni watanzania pia amewataka wafanyakazi wa shirika la reli tazara kuongeza juhudi za UNK msaada mjomba yupo UNK fanyeni kazi na UNK ambapo alisisitiza kuwa shirika hilo UNK wakati huo huo rais aliwaagiza wauzaji wa zana za kilimo nchini kupunguza bei za bidhaa zao akizungumzia kuhusu maonesho ya mwaka huu alisema utaratibu ni mzuri na kwamba yamepiga hatua ukilinganisha na mwaka jana maonesho ni mazuri yamefikia katika hatua nzuri utaratibu ni mzuri yamepiga hatua alisema rais kikwete bajeti ya wizara ya mambo ya ndani UNK bungeni leo huku ikiwa UNK na wabunge kadhaa kutokana na masuala kadhaa yenye utata ndani ya wizara hiyo wabunge kuhoji mazingira ya rushwa ucheleweshaji kesi kitanzi kingine hoja zinazotarajiwa kutikisa bunge leo ni pamoja na utata katika mradi wa vitambulisho vya utaifa ucheleweshaji kesi mbalimbali mahakamani pamoja na tabia ya baadhi ya askari UNK kesi raia wasio na hatia kwa lengo la kupata kitu kidogo wakizungumza na majira mjini hapa jana baadhi ya wabunge wa ccm na wale wa kambi ya upinzani walisema wanahitaji kupata majibu ya uhakika kutoka kwa waziri wa wizara hiyo bwana lawrence masha walisema kupitia bajeti hiyo watataka kujua ukweli kuhusu uvumi kwamba zabuni ya mradi huo UNK na mazingira ya rushwa walisema mbali na utata wa mradi huo hawaridhishwi na kasi ya upelelezi wa kesi mbalimbali licha ya serikali kuliongezea jeshi la polisi bajeti vitendea kazi na kuboresha maslahi ya wafanyakazi wiki iliyopita serikali ililazimika kuingilia kati kuita wabunge wote wa chama tawala ccm kuweka mkakati wa pamoja UNK bajeti ya wizara ya miundombinu iliyokwama siku mbili mfululizo kutokana na mbunge wa ilemela anthony diallo kuwasilisha hoja binafsi kutaka UNK marekebisho kwa baadhi ya vifungu katika mradi wa barabara za lami wakati huo huo bunge bado linasubiri kwa hamu majibu ya serikali na uamuzi wa spika wa bunge bwana samuel sitta kuhusu hoja binafsi ya mbunge wa nzega bwana lucas selelii kuhusu upendeleo au kile alichokiita roho mbaya ya viongozi kujipendelea na kuacha kutekeleza miradi ya kitaifa na waandishi wetu wafanyakazi wa bandari ya dar es salaam na maeneo jirani jana walikumbwa kiwewe kutokana na tishio la maharamia kuvamia bandari hiyo wakiwa ndani ya boti iliyosheheni mabomu tukio hilo la aina yake lilitokea jana saa nne asubuhi ambapo gari la kikosi cha usalama wa bandari lilizunguka eneo hilo huku UNK UNK kuashiria hatari katika eneo hilo waandishi wa habari hizi walishuhudia polisi na askari kanzu wakiwa wamemwagwa eneo hilo kuimarisha ulinzi huku wafanyakazi wa bandari wakihaha huku na kule kutafuta mwanya wa kuokoa maisha yao ilichukua takribani saa moja ambapo watuhumiwa hao maharamia hao bandia walinaswa wakiwa ndani ya boti huku wakiwa na mabomu UNK kwa kutumia UNK maji matango na UNK baada ya kunaswa watuhumiwa hao kikosi cha usalama cha bandari UNK wafanyakazi hao kurejea ofisini kuendelea na kazi zao akizungumza na gazeti hili mkuu wa kikosi cha usalama bandarini bwana david mranda alisema umoja wa mataifa kupitia taasisi na mashirika yake ulianza kulipa mtazamo wa pekee suala la kukabiliana na vitendo vya uhalifu kupitia taasisi inayoshughulikia usafiri wa majini bwana mranda alisema maazimio hayo yalifanyika mwaka ishirini sifuri mbili kufuatia mlipuko wa mabomu uliotokea mwaka ishirini sifuri moja katika ubalozi marekani na kuonekana kuwepo haja ya kujipanga upya kwa kuweka msisitizo kuimarisha hali ya ulinzi na usalama dhidi ya vitendo vya ugaidi kufuatia mlipuko wa mabomu imo ilikaa na kutafakari kwa kina na kuamua kuweka sheria ya kila mamlaka kuweka utayari wa ulinzi ndani ya bandari ambapo hufanyika kila baada ya miezi kumi na nane alisema kaimu meneja mawasiliano wa tpa bibi janeth UNK alisema katika operesheni hiyo ilifanikiwa kwa kiasi kikubwa kwani baada ya kuwepo taarifa za boti hiyo kusimamishwa na kukataa kusimama huku ikiendeshwa kwa kasi ilitolewa taarifa katika vyombo vyote vya dola na kuzingira eneo hilo sio zoezi la UNK ndio maana UNK watu wengi hata hivyo tumefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuliendesha vizuri alisema meneja huyo na kuomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza na gladness mboma katibu wa uchumi na fedha wa chama cha mapinduzi bwana amos makalla amesema makundi mengi UNK ndani ya chama hicho ni ya tangu mwaka ishirini sifuri sifuri hadi ishirini sifuri tano ambayo kwa sasa UNK kuwa miradi bwana makalla alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza na wajumbe wa halmashauri kuu na kamati za utekelezaji za jumuiya hiyo mkoa wa pwani mara baada ya kukagua na kuzindua miradi mbalimbali ya chama hicho inashangaza sana mpaka sasa watu wanaendeleza makundi na visasi ya uchaguzi mkuu wa tangu mwaka ishirini sifuri sifuri hadi ishirini sifuri tano na hayo makundi ndiyo UNK nyuma chama na si kitu kingine ukitaka kuwa mwanasiasa mzuri unatakiwa kupunguza maadui na kuongeza marafiki ni lazima tuwe kitu kimoja makundi hayajengi bali UNK alisema alisema makundi hayo yamekuwa UNK ajenda ya kupambana na rushwa na ile ya ufisadi ambayo ni ya ccm huku wengine wakiwa wamesahau madhambi yao bwana makalla alisema alishangazwa na kauli ya waziri mstaafu bwana UNK kitine aliyoitoa hivi karibuni kwa vyombo vya habari kwamba serikali inaendeshwa kwa makundi na idara ya usalama wa taifa UNK bwana kitine akumbuke kuwa yeye ni miongoni mwa watu UNK huku akijua ana madhambi makubwa ambayo leo angekuwa UNK gerezani kwa kashfa ambayo iliwahi kumkumba ya matibabu ya mkewe je UNK kitine UNK watanzania UNK je anaweza kuwa miongozi mwa watu UNK ieleweke ajenda ya kupambana na rushwa na ufisadi ni ya ccm kama chama na si kikundi cha watu wachache alidai alisema wapo wana ccm ambao sasa wameamua kuibuka na kuikosoa serikali wakati wangekuwa vijijini au magerezani kwa kashfa ambazo ziliwahi kuwakumba enzi za uongozi wao wakati huo huo bwana makalla amedai rais jakaya kikwete ataendelea kuwa rais ishirini moja sifuri kwani wapinzani hawajawa tayari kwa urais bali wanataka kuokoteza mitaa vitongoji mwaka huu na mwakani wanajipanga kwa ubunge na udiwani na si urais aliwataka wana ccm kuhakikisha wanashinda kwa kishindo uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu ili uchaguzi mkuu mwakani wapinzani UNK patupu aliwataka viongozi kutofanya mikutano ya ndani na badala yake wafanye mikutano mikubwa ya hadhara na kuzungumza na umma kile ambacho serikali UNK grace michael na gladys UNK imebainika kuwa jina la biashara UNK katika uchotaji mabilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje kupitia kada wa ccm bwana rajab maranda na bwana farijala hussein halikuwa la kwao hayo yalibainika jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam wakati shahidi wa kwanza wa upande wa mashitaka bwana noel shani ambaye ni msajili msaidizi wa brela akitoa ushahidi wake kuhusiana na kesi hiyo ushahidi huo ulitolewa mbele ya jopo la mahakimu watatu ambao ni bibi catherine UNK bibi fatuma masengi na bwana benedict UNK akitoa ushahidi wake alikiri UNK jina la kampuni la biashara la money UNK consultant ambalo ndilo linadaiwa kuchota jumla ya shilingi bilioni mbili mbili kutoka benki kuu ya tanzania ni kweli UNK hilo jina la biashara kwani ni moja ya majina yaliyoko brela na nilishiriki katika kutia saini katika usajili wake alidai bwana UNK alieleza kuwa majina ya wamiliki wa jina hilo yaliyoko brela ni la bwana paul UNK na bwana fundi UNK ambao ndio UNK kama wamiliki wa jina hilo la biashara alidai kuwa jina hilo UNK likiwa na majukumu mawili ya kukusanya madeni na ushauri wa mambo ya fedha kutokana na maelezo hayo na kwa mujibu wa majina yaliko ndani ya jalada la usajili inaonesha kuwa washitakiwa hao walitumia jina la biashara ambalo hawakuwa UNK na peter masangwa rais jakaya kikwete amesema udhaifu wa mamlaka ya mapato tanzani na tume ya ushindani tanzania vinakwamisha maendeleo ya viwanda vya ndani UNK mwanya kwa waingizaji bidhaa kukwepa kulipa kodi ipasavyo na kuuza kwa bei ya chini rais kikwete alitoa kauli hiyo dar es salaam jana wakati wa uzinduzi wa mtambo mpya wa UNK saruji katika kiwanda cha tanzania UNK cement ambao ni wazalishaji wa twiga cement kilichopo wazo hill rais alisema kama tra haitakuwa makini katika kuhakikisha inakusanya kodi ipasavyo kwa waingizaji wa saruji nchini kamwe hakutakuwa na ushindani ulio sawa hivyo kutasababisha kuuwa viwanda vya ndani aliongeza kuwa tume ya ushindani nchi nayo UNK kubwa katika kuhakikisha inatengeneza mazingira mazuri ya ushindani bila kupendelea mtu yeyote ili kujenga tija ya kuwa na uwezo wa viwanda vya ndani kuzalisha kwa ziada na kuuza nje sikilizeni niwambie uzalendo una ukomo wake kwani mimi siwezi kuendelea kununua bidhaa isiyo na ubora huku fedha ninazo na hii inasababisha kuendelea kuwepo magendo kwani UNK kelele magendo hayo UNK bidhaa hiyo alisema rais kikwete alisema kuwa tanzania UNK nyingi ya kutengenezea saruji kuliko sehemu yoyote afrika hivyo viwanda vya ndani vinatakiwa kuitumia fursa hiyo kuzalisha kwa wingi ili kuchochea uchumi wa taifa aliitaka wizara ya viwanda biashara na masoko pamoja na wizara ya nishati na madini kushirikiana kuhakikisha viwanda vya kutengeneza gypsum vinapatikana nchini ili kuondokana na utegemezi wa kuagiza bidhaa hiyo nje kwani taifa lina malighafi ya UNK ni aibu kuagiza gypsum nje ya nchi huku tanzania imejaa malighafi hiyo kila kona hivyo UNK tena kuona UNK tutatengeneza viwanda vyetu hapa ili kuzalisha na kuuza nje alisema rais kikwete naye mkurugenzi mtendaji wa UNK kanda ya afrika mashariki bwana klaus hvassing alisema kuwa mtambo huo umegharimu zaidi ya dola milioni kumi nane za marekani na UNK wa kuzalisha zaidi ya tani milioni moja nne za saruji kwa mwaka bwana hvassing alisema kuwa wanategemea kupunguza bei kwa asilimia kumi na tano watakapo kuwa wamemaliza kulipa deni UNK kuwekeza katika mtambo huo wenye teknolojia ya juu ambapo uzalishaji wake UNK mazingira kwa asilimia tisini rais kikwete pia alipokea zawadi ya mifuko nne sifuri sifuri sifuri ya saruji kutoka na kumkabidhi mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi kwa ajili ujenzi wa vyumba vya madarasa na edmund mihale jeshi la polisi kitengo cha viwanja vya ndege linamshikilia mwanamke mmoja bibi UNK kasoro mkazi wa tabora kwa kukutwa na nyara za serikali katika uwanja wa kimataifa wa julius nyerere dar es salaam watu wengine wanaoshikiliwa na jeshi hilo ni wafanyakazi wa kitengo cha usalama ukaguzi wa kutumia mashine uwanjani hapo bwana edmund UNK bwana UNK jeremia na bwana bakari rashid wanaotuhumiwa kushirikiana na mwanamke huyo akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana kamanda wa polisi wa viwanja vya ndege nchini kamishna msaidizi bibi mwajuma UNK alisema mwanamke huyo alikamatwa jana baada ya polisi aliyekuwepo lango la kuingilia uwanjani kutilia shaka begi lake UNK jana UNK saa sita arobaini na tano katika sehemu ya UNK akiwa na mabegi mawili moja ndogo na lingine kubwa ndipo askari aliyekuwepo hapo UNK shaka katika begi lake na kuamuru ukaguzi ufanyike alisema bibi UNK alisema baada ya ukaguzi huo polisi walibaini kuwepo meno ya tembo matano vinyago hamsini na tano vyenye sura ya binadamu vijiti themanini na sita vinyago kumi na nne vikiwa na sura ya UNK UNK viwili vyote vikiwa vimetengenezwa kwa meno ya tembo vingine alivyokamatwa navyo ni bangili ishirini na nane vinyago vitano vinyago vitano vinyago vitano pete ishirini na nane vibanio vya nywele UNK sabini na tatu UNK ya kutundikia nguo moja stendi za meza mbili UNK arobaini na nne na pembe nne vyote vikiwa vimetengenezwa kwa meno ya tembo nyara zingine ni meno ya simba kumi na moja kucha za simba sitini bangili kasa themanini na mbili pete nane zilizotengenezwa kwa maganda ya kasa na UNK kilo tano alisema bibi kasoro aliingia katika uwanja huo bila kutumia tiketi baada ya kushirikiana na wafanyakazi wasio waaminifu ambao jeshi hilo linawashikilia kwa mahojiano zaidi siku chache baada ya waziri mkuu bwana pinda kutangaza hatua kadhaa za kurejesha amani wilayani tarime serikali jana imetangaza kuundwa rasmi mkoa wa kipolisi rorya na tarime chini ya kamanda costantine massawe uamuzi huo ulitangazwa bungeni jana na waziri wa mambo ya ndani bwana lawrence masha wakati akifanya akijibu hoja mbalimbali za wabunge baada ya kuwasilisha bajeti ya wizara hiyo akitoa majumuisho ya bajeti ya bajeti hiyo bwana masha alisema serikali imefanya juhudi za maksudi kuunda kanda hiyo ili kukomesha mapigano hayo tatizo la UNK hayo ni tangu ukoloni hivyo ni jambo la kihistoria na juhudi za serikali zitakuwa bure iwapo wananchi hao hawatabadilika alisema bwana masha alisema tatizo la mapigano jamii ya kikurya si la kwisha leo wala kesho hivyo jambo hilo linahitaji muda wa kutosha kulishughulikia kuhusu suala la vitambulisho vya taifa alisema mradi ulianza mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na nane wakati mama yake akiwa na umri wa miaka kumi na nane yeye alikuwa bado UNK alisema hivyo si kweli kuwa ucheleweshaji wa mradi unatokana na yeye kama baadhi ya wabunge wanavyodai mimi naomba bunge UNK nafasi nimalize maradi huo majalada ya kwenda katika kikao cha baraza la mawaziri yameandaliwa baada ya hapo UNK majibu kwa katibu mkuu na bunge UNK alisema UNK ya upinzani bungeni iliitaka serikali kulieleza bunge hatua iliyofikiwa katika mradi wa utengenezaji vitambulisho vya taifa huku UNK hadithi mpya katika maendeleo ya mradi huyo mkubwa na kudai kuwa shilingi bilioni nne tatu zilizotengwa kwa ajili ya mradi huo zinaendelea UNK watu wachache pia kambi hiyo ilitaka serikali kuchukua hatua ya haraka kulinda hali ya amani na utulivu nchini kwa kukomesha vitendo vya UNK wa kutumia silaha UNK kuibuka tena nchini kwa kasi akiwasilisha maoni ya kambi hiyo kwa wizara ya mambo ya ndani msemaji wa kambi hiyo bwana ibrahim mohammad UNK alisema ni wakati muafaka kwa serikali kuwaeleza UNK hatua iliyofikiwa katika mradi wa vitambulisho na kuhoji sababu zinazofanya serikali kushindwa kukabidhi kazi hiyo kwa rita tangu mwaka ishirini sifuri sita hadi sasa ishirini sifuri tisa bado mchakato unaendelea tu kila siku tunaambiwa hadithi mpya kuhusiana na vitambulisho hivyo pesa za walipa kodi zinazidi UNK baadhi ya watu katika kadhia nzima ya vitambulisho vya uraia je serikali UNK haki watanzania alihoji bwana UNK katika kile kinachoonekana kutokubaliana na msimamo wa benki kuu ya tanzania kupinga shughuli za kampuni ya upatu ya deci baraza la maaskofu wa makanisa ya pentekoste tanzania UNK leo dar es salaam kutoa mustakabali wa suala hilo akizungumza na majira kwa simu jana mwenyekiti wa maandalizi ya mkutano huo askofu UNK sheggah alisema wamesikitishwa na hatua hiyo kwani deci imesaidia wanyonge wengi nchini mwenyekiti huyo anayetoka kanisa la UNK community UNK church alisema mkutano huo UNK ukumbi wa UNK uliopo viwanja vya maonesho vya mwalimu nyerere maarufu kama sabasaba barabara ya kilwa kuanzia saa tatu asubuhi alisema UNK maaskofu wote wa makanisa ya pentekoste dar es salaam na mikoa jirani na kuhudhuriwa pia na katibu mkuu wa pct askofu david mwasota na wadau mbalimbali askofu sheggah alisema hawaoni sababu za kufungiwa deci kwani imesaidia wananchi wengi masikini kupata maisha bora katika mkutano huo UNK serikali kuhusu mambo mbalimbali ya deci na namna jamii UNK kupitia biashara hiyo ambayo sasa imekumbwa na utata UNK serikali juu ya deci chombo hiki kimesaidia watu wengi kupata maisha bora UNK uchumi wao UNK biashara zao wengine wamepata elimu na ajira alisema askofu UNK aliongeza wao wakiwa viongozi wa dini wana wajibu wa kuishauri serikali kwani wanakutana na kuishi na jamii mbalimbali mitaani hivyo wanaelewa matatizo yao tumeona wanawake wakiwemo wajane wakilia kupitia vyombo mbalimbali vya habari baada ya kusikia kufungwa shughuli za deci alisema hata hivyo askofu huyo alikataa kubainisha kwa undani kuhusu tamko lao kwa madai ni mapema mno na uamuzi wote mzito utajulikana kesho alipotakiwa kueleza watachukua hatua gani endapo deci itapigwa marufuku alisema hana jibu la moja kwa moja kwani uamuzi huo umejikita ndani ya nafsi za wadau hivyo hawezi kujua nafsi ya kila mmoja UNK kufanya nini tumejitahidi sana kuwatuliza watu sisi tutazungumza na serikali tunaamini UNK UNK kwani imekuwa ikienda vizuri bali mtiririko huo UNK na wachache alisema bila kuwataja watu hao juzi bot katika mkutano wake na waandishi wa habari dar es salaam ilisema biashara inayoendeshwa na deci ni batili kwa kuwa haina leseni mkurugenzi wa idara ya usimamizi wa bot bwana joseph massawe alikaririwa kuwa biashara hiyo ni batili kwa kuwa deci ilipewa leseni ya kukopesha fedha si kuchangisha na kuchezesha upatu maarufu kwa jina la vuna kutokana na mbegu UNK alisema bot ilipokea barua ya deci mwaka ishirini sifuri saba ikiomba idhini ya benki hiyo ili ofisi ya biashara na viwanda itoe leseni ya biashara ya kukopesha fedha bwana massawe alisema bot UNK kuona kampuni hiyo UNK wananchi fedha kwa njia ya upatu na UNK kitendo hicho kuwa ni kosa la jinai deci inasimamiwa na kuendeshwa chini ya madhehebu ya kipentekoste naye peter masangwa anaripoti kuwa mkurugenzi wa upelelezi na makosa ya jinai bwana robert manumba amesema kamati iliyoundwa kuichunguza deci bado inaendelea na uchunguzi na taarifa itatolewa baada ya kukamilika uchunguzi huo akizungumza kwa simu jana baada ya waandishi kufika ofisini kwake kwa lengo la kupata taarifa ya deci kama ilivyoripotiwa na baadhi ya magazeti kuwa UNK taarifa hiyo bwana manumba alisema bado kamati inaendelea na uchunguzi mimi UNK press UNK nashangaa kila mmoja anasema leo nitatoa taarifa ya deci suala hili linashughulikiwa na kamati maalumu iliyoundwa alisema bwana UNK mbali na deci kujihusisha na shughuli hiyo tangu novemba mwaka jana na jeshi la polisi kupewa jukumu la kuchunguza kampuni hiyo tangu januari mwaka huu taarifa hiyo bado haijakamilika hivyo kuwapa wakati mgumu wateja kuchukua uamuzi wa kuendelea kuwa wanachama au kujitoa naye said mwishehe anaripoti kuwa wakazi wa dar es salaam ambao walikuwa wamepanda fedha zao deci baadhi yao wameanza kupunguza kiwango cha kupanda kwa kuhofia huenda UNK kama inavyodaiwa na baadhi ya watu hatua hiyo inatokana taarifa iliyotolewa na bot kuwa deci haijasajiliwa na UNK kisheria ambapo maeneo mbalimbali kumekuwa na mijadala UNK juu ya kuwepo kwa taasisi hiyo ambayo tangu ilipoanza kutoa huduma hiyo ya kifedha baadhi ya watu wanadai wamefanikiwa uchunguzi uliofanywa na majira tangu UNK taarifa ya bot umebaini kuwa wakati baadhi ya wanachama UNK kiwango cha kupanda wapo wengine wameamua kusimama kabisa hadi watakapopata uhakika kuwa UNK kama inavyodaiwa pia lipo kundi lingine la wanachama ambao wao wameamua kupanda fedha kama kawaida na wapo tayari kwa lolote linaloweza kutokea bibi mariam juma mmoja wa wana deci alisema binafsi UNK na kuwepo kwa taasisi hiyo lakini kutokana hali ilivyo sasa ameamua kupanda kiasi kidogo tofauti na mwanzoni nimeamua kupanda kidogo tu naogopa kwani hata nilipoona tangazo la bot nilipata presha nikajua sasa fedha yangu UNK lakini wahusika wanatupa matumaini hivyo naendelea lakini nipo makini hata wakikimbia UNK hasara alisema bwana ramadhan UNK wa kimara alisema ataendelea kupanda lakini si kama alivyokuwa akifanya zamani kwa kuweka fedha nyingi zaidi ili kuepusha matatizo kama UNK mkazi wa mbagala bwana UNK salum alisema ingawa bot imetoa hadhari ataendelea kupanda kwani UNK kwa kiasi kikubwa na deci na anaona ni mkombozi wa maisha yake pamoja na serikali kutoa tamko kuzuia kupanda bei ya kadi za maongezi kwa simu za mkononi hali imeendelea kuwa tofauti ambapo imebainika kuwa kadi za kampuni nne kati ya tano zinazofanya biashara hiyo nchini zimeendelea kuuzwa kwa bei ya kuruka huku wauzaji wa reja reja wakilalamika kuwa wao hawahusiki na kuwatupia lawama UNK hali hiyo ya kupanda kwa bei za kadi imeendelea kwa takribani wiki moja sasa huku kila upande kuanzia kampuni mawakala na wauzaji wa reja reja ukidai kuwa UNK na upandaji wa bei huo uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika mitaa ya jiji la dar es salaam UNK bei zilipoanza kupanda umebaini kuwa kadi za kampuni ya vodacom tigo zain ttcl zimepandishwa bei kinyemela na wauzaji hao wa reja reja hali zile za zantel zimeendelea kuuzwa bei za zamani gazeti hili lilifanikiwa kuzungumza na wauzaji wa reja reja ambapo walidai kuwa wanaonewa katika suala hilo kweli UNK kwa sababu sisi ndio UNK mzigo ili tuonekane kuwa UNK watumiaji wa mwisho wa kadi hizi kuwa UNK bei kinyemela ili kupata faida kubwa huo sio ukweli kama wakala UNK nanunua vocha UNK bei unategemea mimi UNK kuuza kwa bei ya zamani kweli alisema wakala mmoja eneo la kariakoo jijini ambaye hakutaka kuandikwa jina gazetini aliendelea kwa mfano vocha nilizokuwa UNK kwa bei ya shilingi mia nne na sabini ili UNK shilingi hamsini sifuri zimepandishwa hadi shilingi mia nne na themanini na tano katika mazingira hayo lazima bei itapanda uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa kadi ambazo walikuwa UNK kwa shilingi kumi sifuri sifuri kwa wateja wa mwisho zimeongezeka kati ya shilingi tano thebathini kutofautiana na kampuni badala ya wao kuzinunua kwa mia tisa na thebathini na tano kama iliyokuwa awali sasa wanalazimika kuzinunua kuanzia mia tisa na arobaini mpaka mia tisa na sitini na tano kwa upande wa kadi za shilingi mbili sifuri sifuri sifuri kumekuwepo ongezeko la kati ya shilingi kumi sabini kutegemeana na kampuni pia ingawa kuna kadi za kampuni zingine UNK katika eneo hili tatizo hilo la kupanda kwa bei za kadi kinyemela huku kauli iliyotolewa na serikali kupitia waziri wa sayansi teknolojia na mawasiliano profesa peter UNK ikisisitiza kuwa kuwa wanaouza bei za kuruka wanapaswa kukamatwa imezidi kuonekana kuwa haina utekelezaji kampuni kubwa zinazofanya biashara hii mpaka sasa hapa nchini ni tigo vodacom zantel zain na ttcl wataka maslahi yao UNK wahoji kunyimwa pesa za uhamisho wataka kozi koplo sajini UNK mbunge wa jimbo la UNK bwana issa kassim issa UNK viongozi wa juu wa polisi visiwani zanzibar kwa madai kwamba UNK wenye vyeo vya chini na kumtaka mkuu wa jeshi la polisi nchini igp said mwema kusafisha jeshi hilo haraka ili kuondoa kero za askari hao pia mbunge huyo amemtaka igp mwema kufanya ziara tanzania visiwani na kuzungumza na askari wa chini kwa madai kwamba makamishna UNK wanampigia saluti bila kumweleza ukweli kuhusu madai ya askari wa chini ambao ndio watendaji wakuu katika ulinzi wa raia na mali zao akichangia bajeti ya wizara ya mambo ya ndani bungeni jana mbunge huyo alisema amewahi kufika ofisi za polisi visiwani kufuatilia madai ya askari mbalimbali mara kumi bila mafanikio jambo ambalo ni hatari igp mwema nenda zanzibar wewe mwenyewe UNK na askari wewe mwenyewe hawa makamishna hawasemi ukweli kuhusu walio chini yao wanakuja wanapiga saluti tu hawasemi ukweli UNK UNK pale makao makuu ya polisi zanzibar nimeenda kudai haki za polisi mara kumi kwani mie nimekuwa mfanyakazi wa polisi askari wanaopambana na UNK ni wale wa chini mheshimiwa ninayo orodha ya madai ya UNK tangu mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu ishirini sifuri moja ishirini sifuri nne wengine walifariki lakini hawajapata malipo yao mpaka leo hivi kweli mnajua dhiki ya malipo ya waliokufa ninyi alihoji mbunge huyo mbunge huyo ambaye alimsifu igp mwema kwa kazi kubwa ya kurejesha imani ya wananchi kwa jeshi hilo kutokana kuchapa kazi alisema anamini kwamba wanaosabisha matatizo kwa jeshi la polisi hususan malimbikizo ya madai ni waliopewa madaraka ya kupitisha madai hayo na si igp mimi nimekuwa mpole sana sijui UNK msamaha mtu lakini leo mheshimiwa waziri UNK jibu nitakuwa mkorofi wa kwanza humu askari mia mbili na hamsini walihamishiwa bara toka zanzibar sasa ni miezi sita hawajalipwa haki zao hawa askari sio kuku ni watu UNK haki zao alisisitiza kwa upande wake mbunge wa viti maalum ccm bibi UNK emmanuel aliitaka serikali kutoa tamko kuhusu hali mbaya ya uhalifu uliokithiri wilayani maswa mkoani shinyanga naye mbunge wa UNK bwana khalifa seleman khalifa aliitaka serikali kutoa kauli kuhusu hali mbaya ya kisiasa tanzania visiwani inayosababisha kuzuiwa watu wenye sifa za kuandikishwa katika daftari la kudumu la wapiga kura kufanya hivyo kwa kuwekewa mizengwe katika upatikanaji wa vitambulisho vya zanzibar ambacho ndicho kielelezo cha kwanza kabla ya UNK hata katika nchi zilizokuwa na hali mbaya ni kutokana na raia kuchoka na kuamua kufanya wanaloweza hata kama UNK lakini watakuwa UNK hasira zao msije UNK kwenye yale ya mwaka ishirini sifuri moja naomba sana rais wetu mpendwa makamu wa rais waziri mkuu UNK suala hili alisema bwana khalifa alisema kila mtanzania ana imani kubwa na utendaji wa igp mwema na kusifu makao makuu ya polisi kwa huduma nzuri huku ofisi za chini zikiwa na sura tofauti na kuvunja sheria kwa kunyanyasa raia jambo alilosema ni hatari kwa kuwa UNK sifa nzuri ya jeshi hilo naye mbunge wa mkwajuni bwana mzee ngwali zuber aliitaka serikali kujenga nyumba na ofisi ya mkuu wa polisi mkoa wa kaskazini unguja na kudai kwamba kamanda wa polisi wa mkoa huo UNK kama mtoto wa paka kutokana na tatizo la nyumba alisema imefika wakati kwa serikali kuboresha jeshi hilo kwa kujali maslahi ya polisi wa chini badala ya kuangalia wale wa juu pekee huku akidai kwamba ofisi za idara ya UNK za mipakani ni sawa na makontena ya kuuzia vipodozi jambo ambalo ni aibu kwa tanzania naye mbunge wa sumbawanga mjini bwana paul kimiti aliitaka serikali kuangalia upya suala la haki za askari polisi pamoja na kuwahamisha wale waliokaa muda mrefu katika eneo moja na kuhoji uhalali wa askari walioko mkoa wa rukwa UNK bila kupandishwa vyeo wala kulipwa mafao yao mapema pia wabunge waliitaka serikali kuangalia upya sera ya jeshi hilo hususan katika upandishwaji vyeo na kutaka cheo cha sajini na koplo kuwa sawa au kupandisha askari bila kumlazimu kurejea chuoni kwa kuwa masomo ya vyeo hivyo UNK walisema kumrejesha askari chuoni kusomea cheo cha sajini baada ya koplo ni matumizi mabaya ya fedha za umma peter masangwa na salum pazzy wabunge wameitaka serikali kuanzisha mahakama ya kadhi nchini mara moja kwani chombo hicho ni muhimu katika kutetea haki za wanawake wajane wa kiislam wakichangia bajeti ya wizara ya maendeleo ya wanawake jinsia na watoto iliyowasilishwa jana bungeni na waziri wa wizara hiyo bibi margaret sitta walisema tafiti zinaonesha kuwa wanawake wengi nchini wamepoteza haki zao na kuishi maisha hatarishi kutokana na kukosekana mahakama ya kadhi ambayo walisema ina uwezo mkubwa kusimamia haki zao akichangia bajeti hiyo mbunge wa viti maalum bibi mgeni UNK alisema mahakama hiyo inahitajika ili kutoa fursa kwa wanawake kuamuliwa mambo yao kutokana na imani yao mimi nashindwa kuelewa kwa nini serikali inapiga chenga kuanzishwa mahakama ya kadhi ikiwa jirani zetu kenya uganda na zanzibar wana mahakama hiyo huku zikiwa na watu wa imani tofauti iweje sisi UNK vikwazo alihoji bibi kadida alifafanua kuwa kukosekana mahakama ya kadhi inawanyima wanawake wa kiislam haki zao UNK na waume zao kwani baadhi ya wajane UNK na ndugu kabla ya kipindi cha eda UNK mwanamke wa kiislam anahaki ya kukaa ndani ya nyumba na kupata matunzo hadi eda iishe lakini hilo UNK kwa ajili ya kuogopa kudhulumiwa kwa sababu hakuna sheria UNK alisema bibi kadida naye mbunge wa viti maalum bibi anna komu alitaka ufafanuzi wa fedha za kuanzisha benki ya UNK na kuhoji zimetoka wapi na UNK na nani kwani wamekuwa wakipata taarifa tu kuwa uanzishwaji benki hiyo umekamilika bibi komu aliitaka wizara kuhakikisha kuwa asilimia sabini ya hisa katika benki hiyo zinaelekezwa vijijini kwenye idadi kubwa ya wanawake wenye maisha duni kiuchumi UNK haki akinamama walioko vijijini kwani benki imeanzishwa mjini na hisa zote ziuzwe kwao hivyo lazima kuwe na usawa na kutoa kipaumbele kwa watu wenye kipato duni alisema bibi UNK mbunge wa rombo bwana basil mramba alisema wizara hiyo imekuwa UNK bajeti ndogo kuliko hadhi yake kwani ndiyo wizara mama katika wizara zote bwana mramba alisema kuwa mwanamke ni chachu ya maendeleo dunia kote kuanzia ngazi ya familia hivyo lazima UNK na kupewa elimu wanawake wamechelewa kupata elimu ndiyo maana wamekuwa nyuma kwa miaka mingi hivyo kuna haja ya kuanzisha mkakati wa kuwapatia elimu dunia ili waweze kujikwamua kiuchumi waondokane na utegemezi alisema bwana mramba alisema hoja ya usawa katika kupata madaraka ni jambo la msingi na kuipongeza serikali kuanzisha sera ya uwakilishi sawa wa wanawake bungeni wa asilimia hamsini kwa hamsini maiti UNK dar kupimwa vinasaba na grace ndossa miili ya watu kumi na nne wanaosadikiwa kufa katika ajali ya ndege ya shirika la yemeni iliyoanguka eneo la baharini karibu na pwani ya comoro na kuopolewa mafia eneo la tanzania imewasili jijini dar es salaam maiti hao walipokelewa uwanja wa ndege wa kimataifa dar es salaam na viongozi mbalimbali wa serikali wakiongozwa na waziri wa mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa bwana bernard membe akiwemo pia makamu rais wa visiwa vya comoro bwana idi UNK baada ya kupokelewa uwanjani hapo jana jioni UNK moja kwa moja hospitali ya jeshi la lugalo kuhifadhiwa kabla ya taratibu zingine kufuata awali katika eneo la tukio jeshi la waokoaji wakitumia helikopta na meli za kivita kutoka ufaransa UNK shughuli za uopoaji miili hiyo helikopta hiyo pamoja na meli UNK nanga jana katika pwani ya kisiwa cha mafia tayari kwa shughuli hiyo akizungumza na majira kwa njia ya simu kaimu mkuu wa wilaya ya mafia bibi halima kihemba alisema maiti waliopatikana hadi jana wamefikia kumi na sita alisema jeshi la waokoaji kutoka ufaransa likishirikiana na jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania wanaendelea na shughuli nzito kutafuta miili hiyo tumekuwa tukipata mwili mmoja mmoja lakini bado tunaendelea na utafutaji hadi sasa jumla ya maiti waliopatikana wanafikia kumi na sita na kumi na nne UNK kwenda dar es salaam alisema bibi kihemba alasiri wakati miili hiyo ikiwa njiani kupelekwa dar es salaam alisema miili hiyo itafanyiwa vipimo jioni kutoka kisiwani hapo kuletwa dar es salaam ili kufanyiwa vipimo aliongeza kuwa hali za maiti hao si nzuri kwa kuwa UNK vibaya na kubadilika rangi huku wengine wakiwa hawana vichwa na miguu hali UNK kufanyika kipimo cha vinasaba kutambua ndugu zao bibi kihemba alisema utambuzi huo utahusisha raia wa nchi tatu yaani ufaransa yemen na comoro maeneo ambayo walitoka abiria hao naye kamanda wa polisi kanda maalum ya dar es saalam bwana suleman kova alisema polisi imeunda vikosi viwili mafia na dar es salaam kwa ajili ya kushughulikia ajali hiyo alisema taarifa muhimu kuhusu tukio hilo zitakuwa UNK siku katika viwanja vya karimjee ambapo wageni kutoka nje ya nchi UNK kwa ajili ya kutambua ndugu zao ndege hiyo ya shirika la yemeni ilianguka juni thebathini mwaka huu na kusababisha vifo vya abiria mia moja na hamsini na tatu binti wa miaka kumi na tatu pekee ndiye UNK kwenye ajali hiyo na sasa anapatiwa matibabu nchini ufaransa wabunge wadai ana majibu ya kitoto wajipanga kuwasilisha hoja binafsi yeye asema si kila mwenye akili ana busara na john daniel dodoma siku moja baada ya waziri wa mambo ya ndani bwana lawrence masha kujibu hoja za wabunge kuhusu mradi wa vitambulisho vya taifa mzimu wa mradi huo umezidi kumwandama baada ya baadhi ya wabunge kuapa UNK hoja binafsi bungeni kutaka ufafanuzi wa kina kuhusu mradi huo kwa maelezo kwamba kuna mchezo mchafu wakizungumza na majira kwa nyakati tofauti wabunge hao walisema hawaridhiki na majibu UNK na waziri masha juzi usiku wa wakati akihitimisha hoja yake ambapo waziri huyo aliwahoji wabunge kuwa kuna nini katika mradi huo mimi UNK kuwasilisha hoja binafsi na kumpa waziri mkuu mh pinda nyaraka zenye takwimu zinazoonesha hasara ambazo taifa linapata kutokana uzembe wa wizara ya mambo ya ndani chini ya waziri masha unajua UNK uongozi wa UNK unapaswa kuelewa muda wa kuwachezea walipa kodi ya watanzania sasa umekwisha yale majibu yaliyotolewa juzi unaweza kusema ni ya kitoto kama alivyosema mheshimiwa naibu spika kwamba watanzania hawahitaji yale majibu wanachohitaji ni vitambulisho hivi sasa kuna walipa kodi si zaidi ya hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri lakini tuko watu milioni arobaini watu milioni kumi na nane tu wakilipa kodi vizuri kwa mwaka tunaweza kukusanya bilioni mia tatu na ishirini na kuacha utegemezi kabisa hii ndio kiini cha hoja yangu alisema bwana shibuda alieleza kusikitishwa na majibu ya waziri masha kwa kuwa yeye na watanzania UNK kwa kukosa huduma muhimu kutokana na ukosefu wa fedha UNK UNK na jibu zuri zaidi kuhusu mradi huo badala ya maneno ya mchakato unaendelea ambalo limekuwa wimbo wa kawaida kama UNK wakati UNK hotuba ya waziri mkuu sasa majibu yale yasiyokidhi haja UNK UNK hoja yangu na tayari UNK takwimu zote na UNK UNK haraka alisisitiza bwana shibuda mbunge mwingine machachari wa ccm aliapa kuwasilisha hoja binafsi katika mkutano ujao wa kumi na saba wa bunge iwapo hataona UNK mzuri wa suala hilo na kuongeza kwamba ameamua kuipa serikali muda kwa kuwa anaamini kwamba ujumbe uliotolewa juzi wakati waziri masha akihitimisha hoja yake inaweza kuleta sura mpya katika mradi huo mradi wa vitambulisho umejaa mchezo mchafu waziri hataki kampuni UNK zabuni ya kutengeneza vitambulisho anataka nyingine kwa sababu zake unajua tayari kuna mtambo UNK upo dar es salaam ndio maana ile kampuni haitakiwi ili mwingine UNK agiza mitambo ndiye apate hii ndio maana unaona hili suala mara eti inarudishwa baraza la mawaziri sisi wenye uchungu na nchi hii hatuwezi kukubali mambo kama haya nakuhakikishia niliamua kuwasilisha hoja binafsi kuhusu mradi huo wiki hii lakini nimeshauriwa kuwa nisubiri kwanza tuone atafanya nini na baraza la mawaziri UNK nini UNK yale yale nakuapia nitawasilisha hoja bunge lijalo alisema mbunge huyo kwa sharti la kutotajwa jina kwa madai kwamba UNK hoja yake alisema kitendo ca waziri masha kutaka kuwasilisha waraka huo tena katika baraza la mawaziri ni udhalilishaji kwa baraza UNK waraka kama huo mara ya kwanza upole wa rais unaweza UNK anatakiwa aingilie kati suala hili kabla ya kumharibia zaidi siamini kama kweli kuna ukweli kuhusu maelezo ya waziri kuhusu mradi huo kuna kitu nyuma ya yale yote aliyoeleza lakini subiri nimeshauriwa tuvute kwanza subira tuone hatua zitakazochukuliwa alisisitiza mbunge huyo alisema yeye kama mbunge UNK vikao mbalimbali vya kimataifa wamekuwa wakipata aibu kila wakati wakihojiwa uwezekano wa tanzania kuwa soko la watu wa mataifa ya nje kufanya kila UNK kwa kuwa hakuna vitambulisho vya taifa majira ilipomtafuta waziri masha ili kujua ukweli wa madai hayo na hatua UNK iwapo wabunge hao UNK hoja binafsi hakupatikana ofisini wala bungeni kwa maelezo kwamba yupo safari nje ya dodoma kikazi akizungumza na majira kwa njia ya simu bwana masha alisema hawezi kuzungumzia waraka unaotarajiwa kuwasilisha katika baraza la mawaziri na kusisitiza kwamba mchakato wa mradi huo bado unaendelea na kwamba watanzania watapata majibu sahihi baada ya hatua hiyo na kila kitu kitakuwa wazi alipoulizwa kuhusu tuhuma zinazoelekezwa kwake na wabunge hao kwamba mchakato huo una mchezo mchafu jambo UNK yeye kuingilia mchakato huo na kuandaliwa upya kwa waraka huo wa mawaziri alisema anachoamini ni kwamba si kila mwenye akili ana busara UNK ni kwamba acha waseme mchakato unaendelea baada ya waraka wa baraza la mawaziri kila kitu kitakuwa wazi watanzania UNK kila kitu lakini nataka ujue kwamba si kila mtu mwenye akili ana busara acha waseme bado naamini majibu sahihi UNK jana bungeni bado nauliza hivi kuna nini kwenye mradi huo mpaka UNK hivyo alihoji waziri masha juzi wakati bwana masha akihitimisha hoja yake bungeni jana mbunge wa kilindi bibi beatrice shelukindo alimtaka waziri huyo kueleza bunge sababu zilizomfanya aingilie mchakato huo wakati kazi hiyo ilikuwa UNK na katibu mkuu wa wizara hiyo na kuweka wazi jinsi watu UNK mchakato huo UNK kinachoendelea wakati suala hilo lilikuwa siri akijibu hoja hiyo waziri masha alihoji kuna nini katika mradi huo mpaka wabunge UNK na kutaka taarifa hiyo wakati hata rais wa jamhuri ya muungano UNK kwa upande wao kambi ya upinzani ilimtaka bwana masha kulieleza bunge matumizi ya shilingi bilioni nne tatu zilizotengwa kwa ajili ya kazi hiyo na kueleza wasiwasi kwamba huenda wapo watu wachache wanafaidi kodi za watanzania kupitia mradi huo na said UNK lindi miili ya watu wawili wanasadikiwa kuwa kuwa ni miongoni mwa abiria wa ajali ya shirika la ndege la yemen iliyoanguka hivi karibuni kwenye bahari ya hindi jirani na kisiwa cha comoro zimeokotwa katika kisiwa cha songosongo wilaya ya kilwa mkoani lindi mkuu wa mkoa huo bwana said UNK sadiki amesema maiti hizo zimeokotwa kwenye bahari ya kisiwa hicho julai sifuri nane mwaka huu mchana bwana sadiki amesema maiti hizo mwanaume na mwanamke UNK kuwa ni miongoni mwa abiria wa ajali ya ndege aina ya airbus a mia tatu na kumi iliyokuwa na watu mia moja na hamsini na tatu wakiwemo wafanyakazi wake kumi na moja UNK na wakazi wa kisiwa hicho muda mfupi baada ya UNK kabla ya kutoa taarifa kwa uongozi wa serikali ngazi ya wilaya hiyo ya kilwa wamekwenda kutoa taarifa wilayani huku tayari UNK kwa maelezo miili hiyo ilikuwa imeshaanza kuharibika vibaya UNK maelezo aliyopewa kutokana na kitendo kilichofanywa na wakazi hao kuamua kuzika miili hiyo mkuu huyo wa mkoa wa lindi amewataka wananchi hususani wale waishio karibu na maeneo ya pwani kutochukua uwamuzi wa UNK maiti UNK badala yake watoe taarifa kwa uongozi wa serikali ninachowaomba wananchi wenzangu wa lindi wakiwemo wale waishio maeneo ya pwani wasichukue uwamuzi wa kuzika maiti UNK zikielea katika maeneo yao kabla ya kutoa taarifa serikalini kwanza UNK maiti zikielea au kando ya pwani watoe taarifa kwa uongozi wa serikali UNK kwa mujibu wa taratibu zilizopo ikiwa ni pamoja na kuziweka katika mazingira ambayo UNK kusafirishwa makwao kwa ajili ya kuzikwa na ndugu zao alisema sadiki hata hivyo sadiki alisema hakuna hatua iliyochukuliwa zidi ya wakazi wa kisiwa hicho sanjari na UNK maiti hizo kutokana na taarifa za wananchi hao kwamba hali za miili hiyo ilikuwa katika mazingira UNK ndege hiyo ya yemen aina ya airbus UNK hivi karibuni ikiwa na abiria wapatao mia moja na hamsini na tatu ambao inasadikiwa mia moja na hamsini na mbili kati yao wamepoteza maisha na kubaki UNK rabia bakari UNK na kulazwa moroni kisiwa cha comoro kwa matibabu na kurejeshwa nchini kwao ufaransa peter masangwa na salum pazzy mbunge wa same mashariki bibi anna kilango malecela jana alikataa kuunga mkono hoja ya bajeti ya wizara ya maliasili na utalii iliyowasilishwa bungeni na waziri wa wizara hiyo bibi shamsa mwangunga kwa kile alichoeleza ufisadi uliokithiri katika wizara hiyo akichangia hotuba hiyo bibi kilango alisema amefanya utafiti kuhusu kontena mbili zilizosheheni nyara za serikali zilizoibwa nchini na kukamatwa vietnam na kubaini mbinu za kifisadi zilizotumika UNK mzigo huo UNK moja kwa moja mamlaka ya bandari tanzania na wizara hiyo ndugu wabunge mimi UNK katika suala hili nimefanya utafiti wa kina UNK wa kutosha hadi majina ya watu waliohusika ninayo hawa ni mafisadi UNK ccm na serikali yetu alisema bibi kilango alisema kuwa wizara imeshindwa kusimamia utajiri wa taifa na kulisababishia hasara kubwa kutokana na ufisadi unaofanyika kwani haiwezekani kontena mbili zilizosheheni nyara za serikali kutoweka nchini bila mamlaka husika kubaini ningekuwa na muda mheshimiwa spika UNK walau dakika tano UNK kwanza ndipo niendelee na kueleza ufisadi huu kwani inauma sana kuona watu wachache UNK taifa kwa kiasi kikubwa kama hiki alisema bibi kilango alisema ana ushahidi wa kutosha jinsi ufisadi huo ulivyofanyika kwani kontena hizo zilipita na kukaguliwa na tpa na kutolewa taarifa kuwa UNK malighafi zilizotumika za plastiki alisema aliposoma nyaraka za kusafirisha kontena hizo zilionekana kuwa zilipitishwa na maofisa wote wa bandari kwa kukaguliwa na kuidhinishwa kama malighafi ya plastiki mzigo huo ulipofika vietnam ilibainika kuwa UNK uliofanyika kughushi na kupitisha kontena hizo kwani ndani yake UNK nyara za serikali tumshukuru mungu serikali ya vietnam ambayo ilitoa taarifa baada ya kukagua kontena hizo na kubaini kuwa kuna nyaraka za serikali kwenye shehena hiyo alisema alihoji jinsi kontena hizo UNK na kuitaka serikali UNK maelezo ya kina sambamba na kuwabaini waliofanya ufisadi huo kwani kuna ushahidi wa kutosha na amefanya utafiti kujiridhisha jinsi ulivyofanyika na kukuta majina ya watu mawili yaliyoandikwa katika nyaraka hizo bibi kilango ambaye pia ni mshindi wa tuzo ya mwanamke jasiri iliyotolewa na serikali ya marekani alisema watendaji wa kifisadi ndani ya ccm wanapaswa kunggolewa mara moja kwani UNK chama na viongozi wake UNK alisema kuna harufu kubwa ya ufisadi unaofanywa na baadhi ya watu ndani ya ccm na hao ndio wanakwamisha ilani ya uchaguzi ya chama hicho kusonga mbele kwani wamekuwa UNK ubinafsi badala ya kuweka mbele maslahi ya taifa rais wetu anajitahidi kusafiri kujaribu kutafuta wahisani UNK nchi ili kuinua uchumi wa nchi lakini kuna watu wenye roho za kifisadi hawaishi kusema na kuzidi UNK taifa kwa namna hii alisema naye mbunge wa viti maalum bibi magdalena sakaya alisema taifa linapoteza fedha nyingi katika wizara hiyo kwani kodi inayotolewa na wamiliki wa hoteli ni kidogo ukilinganisha na fedha wanazolipwa na watalii alisema kwa sasa UNK mmoja analipa dola kumi sifuri hadi mia mbili na hamsini kwa siku huku kodi ikiwa ni dola tano hadi kumi kwa mtu mmoja alisema kuwa serikali inapoteza fedha nyingi katika sekta ya misitu inayouzwa kwa bei nafuu mbali na ushauri wa kitaalam kutolewa kwa serikali haya yanatokana na serikali kuingiza siasa katika mambo ya kitaalamu kwa kutoa matamko ambayo yanakinzana na kanuni na sheria zilizopo alisema bibi sakaya yadaiwa kushika nafasi ya nane duniani yaelezwa ina jumla ya wagonjwa mbili sifuri saba sita mgonjwa aliyelazwa muhimbili UNK na waandishi wetu tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi kumi zinazoongoza duniani kwa kuwa na wagonjwa wengi UNK homa ya mafua ya nguruwe kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa jana na gazeti la the sun la uingereza tanzania inashika nafasi ya nane ikiwa na jumla ya wagonjwa mbili sifuri saba sita walioripotiwa kukumbwa na ugonjwa huo marekani imetajwa kuwa ya kwanza kwa kuwa na jumla ya wagonjwa thebathini na tatu tisini mbili ikifuatiwa na mexico yenye wagonjwa kumi mia mbili na sitini na mbili gazeti hilo limedai nchi ya tatu ni uingereza yenye wagonjwa kumi sifuri sifuri sifuri miongoni mwao arobaini wamepoteza maisha na wengine arobaini na tatu hali zao ni mbaya na wamelazwa vyumba vya wagonjwa mahututi katika UNK hizo canada inashika nafasi ya nne ikitajwa kuwa na jumla ya wagonjwa saba mia tisa na themanini na tatu ikifuatiwa na chile wagonjwa saba mia tatu na sabini na sita australia argentina tanzania china na japan wagonjwa moja mia saba na tisini majira lilipozungumza na naibu waziri wa afya na ustawi wa jamii daktari aisha kigoda kuhusu taarifa hizo alisema hajasikia na baada ya kupewa ufafanuzi wa kilichoandikwa na gazeti hilo alieleza kusikitishwa na jambo hilo na kuwaita waliotoa takwimu hizo kuwa ni watu wa ajabu alisema hadi kufikia juzi mtu mmoja tu aliripotiwa kuwa na ugonjwa huo nchini ambaye si mtanzania bali mwanafunzi mgeni kutoka uingereza ni watu wa ajabu sana waache kupotosha ukweli jana tulisema kuna mgonjwa mmoja tu naye si mtanzania bali mgeni alilazwa muhimbili na hali yake imeripotiwa kuendelea vizuri na huenda madaktari UNK baadae leo na akitoka hatutakuwa na mgonjwa mwingine mambo hayo ni ya uongo alisema daktari kigoda naye mganga mkuu wa serikali daktari deogratius mtasiwa alisema takwimu zilizotolewa na gazeti hilo ni za kutisha kwani hazipo katika shirika la afya duniani alisema hata UNK nchi zote UNK na ugonjwa huo idadi ya wagonjwa waliotajwa kuwepo tanzania haiwezi UNK daktari mtasiwa alisema gazeti hilo litakuwa na matatizo katika utendaji wake kutoka na takwimu za uongo UNK kwa kuwa ni gazeti la uingereza nadhani madai hayo UNK katika ngazi ya kimataifa kwani takwimu hizo hazipo hata ukichanganya nchi zote zilizoathirika na ugonjwa huo UNK idadi hiyo alisema daktari UNK aliwataka watanzania kutumia kuamini takwimu zilizotolewa juzi na naibu waziri wa afya na ustawi wa jamii daktari aisha kigoda na kuachana na uvumi huo wakati huo huo mgonjwa wa mafua ya nguruwe aliyelazwa hospitali ya taifa ya muhimbili ameruhusiwa kutoka hospitalini hapo akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana jioni profesa andrew swai wa hospitali ya muhimbili alisema dalili zote alizokuwa nazo mgonjwa huyo zimekwisha UNK mgonjwa wetu kutokana na hali yake kwa sasa inaendelea vizuri dalili zote alizokuwa nazo zimekwisha kabisa alisema profesa swai alisema uchunguzi waliofanyiwa wanafunzi wengine kwenye msafara huo pamoja na walimu wao UNK kuwa na ugonjwa huo mgonjwa huyo akiwa na wenzake waliwasili nchini kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere mwishoni mwa wiki iliyopita wakitokea uingereza kwa ndege ya shirika la ndege la kenya wanafunzi hao walikuja nchini kwa ziara ya mafunzo pamoja na kupanda UNK kabla ya kufika nchini ndege hiyo ilipitia nairobi kenya mgonjwa huyo aligundulika mara alipowasili uwanja hapo na kujaza fomu za uhamiaji ambazo hujazwa na abiria wote wanaotoka nje ya nchi wakati huo huo wizara ya afya na ustawi wa jamii imeanza kusambaza vipeperushi UNK jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo vipeperushi hivyo UNK jinsi ya kubaini ugonjwa huo ambao UNK kwa njia ya hewa na chafya pamoja na dalili zake wa mujibu wa taarifa iliyotolewa na naibu waziri wa wizara daktari kigoda wananchi wanapaswa kuwahi katika vituo vya afya pindi wanapopata mafua makali na homa za ghafla zaidi ya ekari mia moja na hamsini sifuri za ngano maharage na alizeti katika shamba la kafoi estate lililopo eneo la west kilimanjaro wilaya ya siha mkoani kilimanjaro zimeteketezwa na wanyama pori mazao hayo ambayo yalikuwa yamefikia kuvunwa UNK katika kipindi cha miezi miwili ambapo wamiliki wa eneo hilo walitoa taarifa kwa serikali na mamlaka husika bila mafanikio akizungumza na waandishi wa habari mtendaji mkuu wa shamba la kafoi estate bwana UNK mosha alisema wanyama hao aina ya nyumbu na pundamilia UNK mashamba hayo nyakati za usiku na kuanza mashambulizi ambapo wakulima wamejitahidi kulinda kwa usiku kucha lakini kutokana na kundi hilo la wanyama kuwa kubwa UNK kundi hili la wanyama sasa UNK kutokana na kwamba huwa kundi kubwa na pamoja na wakulima kukesha usiku kucha wakizunguka mashamba yao kwa taa bado hilo UNK msaada kwao na badala UNK wamejikuta wakiambulia patupu alisema bwana mosha wakizungumza baadhi ya wakulima wa shamba hilo walisema kuwa UNK UNK katika mashamba hayo hawawezi kuielezea kutokana na kwamba walitumia fedha nyingi katika mashamba hayo kulima na hadi kufikia mahali UNK wakulima hao wamedai kuwa walikopa UNK katika vikundi vya saccos ili kuweza kufanikisha UNK zao za kilimo lakini kwa sasa wameambulia vumbi na hasara huku wakiwa hawajui mahali pa kutoa fedha za kurudisha katika UNK kufuatia hali hiyo wakulima hao wameiomba serikali na idara ya maliasili kuingilia kati suala hilo na kuangalia uwezekano wa kuweza kuwasaidia kutokana na ukweli kwamba wametumia fedha nyingi katika shughuli zao za kilimo ambacho ndicho tegemeo lao na kujikuta wakilia njaa huku wakidaiwa na UNK wao tatizo hilo limekuja wakati maeneo UNK hapa nchini yakiwa yamekumbwa na janga la njaa kutokana na hali ya ukame iliyosababishwa na uhaba wa mvua kaimu mkuu wa mkoa wa tanga bibi sarah dumba amesema watendaji kwenye halmashauri ya wilaya ya kilindi wasitumie mazingira magumu ya kufanyia kazi katika wilaya hiyo kama kigezo cha kuharibu shughuli za maendeleo ya wananchi badala yake kila mmoja awajibike kwenye nafasi yake aliyasema hayo juzi kwenye baraza la madiwani kwa ajili ya kupokea ripoti ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali kwa halmashauri ya wilaya ya kilindi UNK juni thebathini ishirini sifuri nane ambapo halmashauri ya kilindi imepata hati ya masharti huu ni uzembe ambao hauna sababu ya kuwepo na umetokana na watu kushindwa kuwajibika ninachowaomba watendaji waache visingizio vya mazingira magumu na kila mtu atimize wajibu wake ambapo tukiweza hivyo UNK kero hizi ndogo ndogo alisema bibi dumba ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya kilindi makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya hiyo bwana mussa UNK alisema wataalamu wasije UNK kuwa kwa kuwa wao wamesoma ndiyo UNK wilaya yao na kusema wana uwezo wa kumtimua mtaalamu yeyote ambaye UNK kuwasaidia wananchi wa wilaya hiyo tunajua wenzetu UNK na mna UNK lakini tunasema hatutakuwa na msamaha wala UNK mtendaji yeyote ambaye ameshindwa kazi nasema sisi madiwani tukiamua UNK hapa hakuna mtu UNK hata awe waziri mkuu lazima UNK tu alisema bwana UNK naye mbunge wa kilindi bibi beatrice shelukindo alisema anasikitika wanapata hati ya mashaka kwa makosa ambayo yangeweza kupatiwa ufumbuzi kwa kupeleka taarifa mkoani na kuwaasa watendaji waondoe kasoro hizo ambazo ni ndogo kuliko wilaya nyingine kwenye mkoa wa tanga mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya kilindi bibi kudra UNK alikiri uzembe huo kutokea na kusema hizo ni changamoto ambazo watahakikisha UNK tena siku za usoni kwa kuhakikisha kila mtendaji anawajibika kwa uwezo wake wote mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali mkoa wa tanga bwana john sabuni alisema wilaya ya kilindi imeshindwa kujibu hoja nane jambo UNK waone kama wameshindwa na yeye kuamua kupeleka taarifa kwa cag bila majibu yao lakini kama UNK majibu kwa wakati huenda wangepata hati safi shaihidi wa kumi na moja wa kesi ya mauaji ya albino lyaku willy inayosikilizwa mahakama kuu tanzania mkoa wa shinyanga juzi aliiambia mahakama kuwa uchunguzi umebaini vinasaba vilivyokutwa kwenye vielelezo vya panga na jambia vina uhusiano na vinasaba vya washitakiwa katika kesi hiyo shahidi huyo bibi gloria machuvewa kutoka ofisi ya mkemia mkuu wa serikali akiongozwa na wakili wa serikali bwana edwin kakolaki mbele ya jaji anayesikiliza kesi hiyo bwana gad mmjemas alidai kuwa vinasaba vilivyopatikana kwenye silaha hizo vinafanana na vilivyochukuliwa kutoka katika mate ya washitakiwa mkemia huyo aliieleza mahakama kuwa katika kielelezo cha kwanza ambacho ni panga vilipatikana vinasaba vya washitakiwa mboje mawe sayi gamaya na sayi mafizi na katika kielelezo cha pili ambacho ni jambia vilipatikana vinasaba vya chenyenye kishiwa na alidai kuwa sehemu ya makali katika vielelezo vyote viwili vilipatikana vinasaba vya marehemu lyaku awali mahakama hiyo ililazimika kuhamia kwa muda katika hospitali ya mkoa wa shinyanga chumba cha kuhifadhia maiti ili kujiridhisha na ushahidi huo ambapo viungo vya marehemu vimehifadhiwa vikiwamo kichwa na miguu yote miwili katika ushahidi huo bibi machuvewa aliidhibitishia mahakama kuwa marehemu alikatwa viungo hivyo kwa kutumia panga na jambia kwa mujibu wa vipimo kesi hiyo inawakabiliwa washitakiwa wanne mboje mawe sayi gamaya sayi mafizi na chenyenye kishiwa ambao wanashitakiwa kwa kosa la mauaji ya lyaku yaliyotokea desemba mwaka jana katika mto kidamlida wilayani bariadi mkoani shinyanga kadiri siku UNK kwenda idadi ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu imekuwa UNK bila ufumbuzi tatizo hilo kupatikana ongezeko hilo limekuwa UNK na mambo mbalimbali yakiwemo matatizo ya kifamilia umasikini kuhama kwa watu kutoka eneo moja kwenda lingine na tatizo la ukame katika baadhi ya mikoa mpaka sasa jumla ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu wanafikia mia sita na arobaini na nane mia saba na hamsini na nane ambao wapo katika halmashauri themanini na moja ambazo zinatumia mfumo wa kisasa wa ukusanyaji na utoaji wa taarifa za watoto kati ya watoto hao UNK asilimia arobaini na mbili ndio wanaopata baadhi ya huduma za msingi na wengine wakikosa huduma hizo kutokana na hali hiyo bado jamii ina wajibu wa kuhakikisha kuwa inashirikiana na serikali kuwasaidia watoto hao mpango wa serikali sasa ni kuhakikisha kuwa ifikapo mwaka ishirini moja sifuri halmashauri zote nchini ziwe zimefikia kiwango cha kuwatambua watoto hao ili kuwa na idadi kamili na kutekeleza mpango mkakati ambao utawafanya watoto hao kupata huduma zote muhimu jambo UNK ni juu ya ongezeko la watoto hawa je jamii inashiriki vipi katika kupunguza ongezeko la watoto hao pamoja na ukweli kwamba ongezeko la watoto hao linatokana na mambo mengi zipo sababu za msingi ambazo zinaweza kuzuilika ili kupunguza idadi hiyo wapo watoto yatima ambao sababu zao UNK na jamii haina budi kuwajibika na watoto hao moja kwa moja matatizo ya kifamilia ambayo huchangia wazazi UNK ni moja ya sababu inayosababisha ongezeko la watoto wa mitaani asilimia kubwa ya wanaume ndio wanaoongoza kutelekeza familia na kuacha mzigo mkubwa kwa mama ambaye mwisho wa siku UNK kuingia mtaani kuomba msaada ili aweze kulea familia kwa kuipatia mahitaji muhimu tatizo hili linaweza kumalizwa endapo kila mzazi UNK wajibu wake katika familia na kuwapatia watoto wake huduma muhimu kama elimu na malezi bora nalazimika kusema hivyo kwa sababu hakuna mtoto anayezaliwa kwa bahati mbaya bali ni makubaliano ya pamoja baina ya mzazi wa kike na kiume hivyo kitendo cha kutelekeza familia ni dhambi kubwa kulingana na misingi ya imani tatizo la ukame katika baadhi ya mikoa na kusababisha baa la njaa nalo ni moja ya kishawishi cha mzazi kutelekeza familia na kuhama makazi ili kutafuta kibarua au kufanya kazi ya kuombaomba ili kujipatia kipato hali hiyo inaweza kudhibitiwa katika jamii kwani kitendo cha kuombaomba siyo suluhu ya kumaliza matatizo ya familia bali ni kuongeza matatizo katika familia na kuathiri watoto kwa kuwajengea mazingira na utamaduni wa kuombaomba mitaani pasipo kuwa na akili ya kutafuta UNK ongezeko la watoto hao mitaani ni moja ya sababu iliyosababisha kuanzishwa kwa asasi mbalimbali zisizo za kiserikali ambazo zimekuwa UNK fedha kutoka kwa wafadhiri ili kuwahudumia watoto hao lakini jambo la kushangaza watoto wamekuwa mitaji ya asasi hizo huku walengwa wakiambulia patupu asasi hizo zimekuwa zikipata kiasi kikubwa cha fedha kwa mgongo wa watoto hao lakini fedha hizo UNK kazi iliyokusudiwa na badala yake wamekuwa wakizitumia kujinufaisha pamoja na UNK inayofanywa na asasi hizo jamii imekuwa ikiangalia na kuwaacha watoto hao wakiendelea kutaabika ipo haja kwa serikali kuhakikisha kuwa UNK asasi hizo ambazo kila kukicha UNK bila kuwepo ufumbuzi wa ongezeko la watoto wa mitaani kubanwa kwa asasi hizo UNK UNK wajibu walionao kwa watoto hao na kutumia fedha wanazopewa na wafadhili kwa malengo yaliyokusudiwa idadi kubwa ya watoto ambao kama watapatiwa mahitaji muhimu kama elimu na malezi bora watachangia maendeleo ya taifa na kukuza uchumi wa nchi kwa upande serikali inatakiwa kuliangalia suala hili kwa makini ili ongezeko la watoto hao liweze kupatiwa ufumbuzi wa haraka kwa kufanya utaratibu wa kuwatambua watoto katika maeneo yao ili waweze kusaidiwa badala ya kuendelea kutoa takwimu za ongezeko la watoto hao hivi sasa serikali imeweka msukumo mkubwa katika sekta ya kilimo kwa kutenga fedha nyingi kama kilimo hicho UNK vizuri na kuwapatia wakulima pembejeo za kisasa ongezeko la watoto wao ambapo idadi kubwa wanatokea vijijini UNK umefika wakati wa kila mwanajamii kuwajibika na kushiriki UNK tatizo hilo ambalo UNK sifa ya nchi mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa nchi kavu na majini inatarajia kutangaza kuwafutia leseni wamiliki wa daladala zinazofanya safari zake kati ya mbagala na kariakoo iwapo ingefika saa kumi na mbili jana jioni wakiendelea na mgomo wao wamiliki wa wengi wa daladala hizo za mbagala kariakoo UNK mgomo wao tangu juzi wakipinga nauli ya shilingi mia mbili na hamsini kwa madai kuwa haiendani na gharama za uendeshaji akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana ofisa mfawidhi wa kanda maalum ya mashariki bwana UNK luhamba alisema baada ya saa kumi na mbili jioni wamiliki ambao watakuwa wanaendelea na mgomo UNK leseni alisema sumatra inasikitishwa na kitendo cha chama cha wamiliki wa daladala mkoa wa dar es salaam kuendelea kukaidi agizo la mamlaka hiyo ya kuwataka wenye daladala kutoza nauli ya shilingi mia mbili na hamsini na badala yake kugoma wakidai nauli mia tatu na hamsini alisema kuwa mamlaka yake imeazimia kuzipa masaa matano daladala zote ziwe zimerejea barabarani na endapo wamiliki wake UNK UNK usajili wa leseni zao na wataanza usajili upya jana tumekaa na UNK na kukubaliana mambo kadhaa wao UNK biashara bila kuangalia kuwa UNK ni wananchi wenye kipato cha chini alisema luhamba na kusisitiza kuwa watawachukulia hatua kali wale wote UNK kukaidi agizo la kutoza nauli shilingi mia mbili na hamsini alisema sheria ni msumeno na itaendelea kuwabana wamiliki wakorofi ambao wanatumia mwanya huo kupandisha nauli na kuwaumiza wananchi bwana luhamba aliongeza kuwa mamlaka yake ilifanya utafiti wa kina na kubaini kuwa umbali wa gongo la mboto kariakoo na mbagala kariakoo UNK hivyo kitendo cha wamiliki wa daladala kushinikiza nauli ya shilingi mia tatu na hamsini kwa safari moja ni kutaka kukandamiza wananchi kufuatia mgomo huo wakazi wa mbagala walilazimika kutumia usafiri wa magari madogo ya abiria kwa kulipa nauli ya shilingi moja sifuri sifuri sifuri waandishi wa gazeti hili walishuhudia wakazi hao wa mbagala ambao hawakuwa na uwezo wa kulipa nauli ya shilingi moja sifuri sifuri sifuri wakiwa wamejazana vituoni bila kujua cha kufanya mgomo huo leo umeingia siku ya tatu wakati huo huo bwana luhamba alisema mamlaka yake imeanzisha msako wa kusaka magari UNK aina hiace maarufu kama vipanya ambayo bado yanaendelea kutoa huduma zake maeneo ya mijini wadai UNK na wakristo wapania kuiadhibu ccm ishirini moja sifuri waunda kamati ya utekelezaji baada ya mzozo wa wiki kadhaa kuhusu kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi masheikh sasa UNK rais jakaya kikwete serikali na chama cha mapinduzi wakilalamika kuwa UNK na wakristo katika kila kitu ikiwemo kushindwa kuanzishwa kwa mahakama hiyo ya kiislam kutokana na hali hiyo waislamu hao wametaka mahakama ya kadhi mkuu ianzishwe kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini moja sifuri la sivyo UNK kura chama hicho na wako tayari kuvunja maeneo yote ya wakristo UNK na serikali masheikh hao walitoa maazimio hayo wakati wa kongamano la masheikh wa UNK wa dar es salaam lililofanyika baada ya sala ya ijumaa katika msikiti wa kichangani magomeni mapipa dar es salaam juzi katika kongamano hilo pia UNK waislamu kufanya maandamano nchi nzima wakati wa usiku kwa nia ya kushinikiza serikali kutoa nafasi sawa katika sekta mbalimbali za umma ambazo walidai zinaongozwa na wakristo shehe mohammed issa akitoa ufafanuzi wa maazimio ya mashehe mia nne na arobaini waliokutana julai sita mwaka huu katika msikiti wa mtoro dar es salaam alisema hawakubaliani na uonevu unaofanywa na wakristo katika idara mbalimbali za uongozi nchini hivyo wanaanza kurejesha heshima hiyo kwa nguvu alisema ili kuonesha kuwa serikali ya tanzania ni ya wakristo hospitali ya ccbrt ya mikocheni ambayo ni ya wakristo imeanza kupewa ufadhili na serikali na inabadilishwa kuwa ya mkoa wa dar es salaam jambo ambalo serikali inao uwezo wa kutafuta eneo jingine bila kuhusisha dini hiyo someni gazeti hili la jana alhamisi serikali imeanza kuwalipa mishahara madaktari wa hospitali ya ccbrt ambayo ni ya wakristo inatoa eneo la ekari saba kujenga hospitali ya mkoa kwa nini isitamke inawalipa mishahara madaktari wa hospitali ya kiislamu ya al UNK aliuliza sheikh issa alisema waislamu wamechoshwa na unyanyasaji wa serikali UNK na waislamu wachache UNK na wakristo kwa sababu hiyo wao wameamua kufuata maneno ya mungu katika UNK tukufu kuwa mwislamu UNK tamaa pale UNK haki yake UNK kwa sababu nyie mtakuwa washindi kama mtakuwa waumini wa kweli alisema shehe issa wakristo UNK katika vita baridi UNK watoto wetu matokeo yake wapiga debe wauza UNK mafundi UNK ukiuliza majina yao utakuta ni waislamu alisema shehe issa shehe huyo alidai kuwa chama UNK vuguvugu ya uhuru cha tanganyika african association kilikuwa cha waislamu ambao hawakuwa na UNK walimpa madaraka mwalimu julius nyerere ambaye UNK kuwa tanu mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na nne lakini aliwageuka waislamu na kuondoa madaraka ya kadhi mkuu mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na tatu alisema kuna mambo mengi yalionesha dhahiri kuwa waislamu hawapewi nafasi sawa na wakristo nchini kama vile kesi ya UNK ya nguruwe UNK upande wa waislamu baadhi ya mashehe walikamatwa kwa madai ya kuhusisha dini na siasa na mengine mengi mashehe hao waliounda jumuiya na taasisi za kiislamu tanzania waliendelea kudai kuwa baraza la waislamu tanzania ni chombo kilichowekwa na serikali kwa maslahi yake na si waislamu kwa sababu kinatumika UNK kifua serikali katika mambo ambayo waislamu wanataka yafanywe waziwazi mtoa mada mwingine sheikh juma bakari alisema mahakama ya kadhi nchini ni lazima UNK sambamba na ahadi zilizowahi kuwekwa na viongozi wa serikali waliopita nchini kama ilivyokuwa kwa wakristo kuutoa tamko lao la kutaka serikali UNK misamaha ya kodi kwa UNK na taasisi za kikristo na sisi tunasema hivi ccm na serikali yake ikishindwa kurejeshea waislamu mahakama ya kadhi iliyoahidiwa katika ilani ya uchaguzi ya mwaka ishirini sifuri tano bila kujali madhehebu wala vyama vya siasa UNK kura ccm alisema sheikh bakari alidai kuwa waziri mkuu bwana mizengo pinda alishindwa kusema ukweli kuhusu kauli aliyoitoa waziri wa katiba na sheria bwana mathias chikawe bungeni dodoma kuwa serikali haina mpango wa kuanzisha mahakama ya kadhi mkuu hiyo ndiyo kauli UNK UNK na si aliyoitoa waziri mkuu kupitia shehe mkuu mufti issa bin simba kuwa waislamu watulie kusubiri mchakato wa uanzishwaji wa mahakama ya kadhi mkuu katibu wa baraza hilo sheikh ponda issa ponda katika barua yake kwa vyombo vya habari kuhusu mkutano huo alisema ni yao ni kuandaa umma wa waislamu kudai waziwazi baada ya kudai serikali ianzishe mahakama ya kadhi mkuu kwa ajili ya waislamu kwa miaka arobaini sasa baraza hilo litakalokuwa na wajumbe kumi na mbili UNK na mwenyekiti sheikh husein UNK katibu sheikh ponda sheikh musa kundecha sheikh amrani kilemile sheikh muharami UNK sheikh ahmad twalib sheikh omari UNK shehe hussein UNK sheikh twaha UNK sheikh abdallah bawaziri sheikh khalid ally sheikh hashim UNK na sheikh juma UNK wakati huo huo mwandishi edmund mihale anaripoti kuwa imebainika kuwa endapo serikali UNK UNK wake wa kuzifutia msamaha wa kodi taasisi za dini baadhi ya makanisa UNK nchini UNK kifo cha asili uamuzi wa serikali wa UNK kodi taasisi hizo ulifikiwa mjini UNK kati ya viongozi wa dini na waziri mkuu bwana mizengo pinda baada ya serikali kutangaza kufuta msamaha huo katika bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha ishirini sifuri tisa kumi chanzo cha kuaminika kutoka makanisa hayo kilisema kuwa kutokana na misaada wanayoipata kujikita zaidi katika huduma za kiroho na kijamii uamuzi huo wa serikali ilikuwa sumu kali katika utendaji wao maaskofu walikuwa mbogo katika suala hilo kwani lilikuwa UNK makanisa mengi zaidi kwani UNK kujiendesha kutokana na kuwa yamekuwa UNK asilimia sabini ya misaada hiyo katika kujiendesha katika huduma za kiroho kilisema chanzo hicho alisema maaskofu walijipanga ipasavyo iwapo serikali ingeendelea kusimamia misimamo wake walipanga kutumia uwezo walionao kuhakikisha UNK bajeti ya serikali ya mwaka ishirini sifuri tisa kumi alisema waliamini bajeti hiyo ambayo waliamini kuwa ni UNK katika udini zaidi kwa kuwa upande wa dini moja ililenga kuua UNK na kuupa nguvu uislamu ndani ya serikali maaskofu walikuwa wakishangaa kuona kuwa serikali UNK masuala ya mahakama ya kadhi na oic kuwa UNK katika taratibu za sheria za serikali lakini la misamaha ya kodi inaonekana kuwa halina maana na kuamua kuifuta kilisema chanzo hicho UNK kutokana na uamuzi huo wa serikali wa kufuta misamaha hiyo umetoa fundisho kubwa kwa UNK ya dini za kikristo ambayo tayari yameanza kujiimarisha kiuchumi kuhakikisha UNK utegemezi wa kiuchumi kwa kujiingiza katika biashara uchunguzi uliofanywa gazeti hili umebaini kuwa tayari kanisa katoliki limeanza mikakati ya kujiimarisha kiuchumi tangu miaka ya themanini kwa kutoa maelekezo katika kwa mashirika ya UNK yaliyo chini himaya yake kujiimarisha kiuchumi kampuni ya upatu ya deci nayo UNK kuwa ni moja ya mkakati wa makanisa ya kipentekoste wa kujiimarisha kiuchumi na kujivua utegemezi wa kiuchumi kutoka katika mashirika ya kigeni tayari kampuni hiyo UNK kanisa lenye UNK ya shilingi milioni ishirini sifuri katika eneo la mabibo mwisho katika jiji la dar es salaam kutoka na faida iliyopatikana na upatu huo abainisha nyara UNK hoja ya kilango UNK mbawa moto UNK bungeni na mbunge wa same mashariki bibi anne kilango wakati akichangia mjadala wa bajeti ya makadirio na matumizi ya wizara ya maliasili na utalii umeibua mapya yanayoonesha jinsi taifa UNK mapato mengi kutokana na kukithiri kwa wizi wa nyara wizi huo wa nyara uliokithiri ambao UNK juzi na bibi kilango UNK bungeni mjini dodoma na waziri wa maliasili na utalii bibi shamsa mwangunga wakati akitoa majumuisho ya hoja zilizotolewa na wabunge kwenye mjadala wa bajeti ya wizara yake juzi akiwa mchangiaji wa kwanza katika mjadala wa bajeti ya makadirio na matumizi ya wizara ya maliasili na utalii bibi kilango UNK siri kuhusiana na jinsi tanzania UNK nyara huku akisisitiza amefanya utafiti na kubaini hilo bibi kilango ambaye alikataa kuunga mkono hoja alitoa kusudio la kutaka kuwasilisha hoja binafsi ya kuundwa kamati juu ya suala hilo alitaja nchi zinazoongoza kupokea nyara za serikali kutoka tanzania kuwa ni china singapore vietnam na hong kong jana wakati akitoa majumuisho ya hotuba ya bajeti ya wizara yake bibi mwangunga alianza kwa kukiri kuwepo kwa vitendo vya wizi wa nyara za serikali UNK na bibi kilango alisema kati machi na mei mwaka huu idara ya wanyama pori ilipokea taarifa kupitia interpol UNK dar es salaam kuwa kontena mbili zikiwa na meno ya tembo UNK kupitia bandari ya dar es salaam zilikamatwa nchini vietnam na UNK alisema taarifa hizo pia UNK pia lusaka UNK task force hivyo idara kwa kushirikiana na jeshi la polisi kitengo cha interpol dar es salaam walifanya upelelezi na kuwabaini watuhumiwa tisa ambao walihusika kwenye mpango huo alisema tayari watuhumiwa hao tayari UNK na kuhojiwa kati yao nane wanatarajiwa kuburutwa mahakamani aidha alitoa maelezo ya makontena yaliyokamatwa akisema machi moja mwaka huu maofisa wa forodha wa bandari ya manila kusini walikamata tani tatu za meno ya tembo yakiwa yamefichwa kwenye makasha kumi na nane yakiwa ndani ya kontena moja namba ecmu moja sita nne mbili mbili nne sifuri bibi mwangunga alisema alisema makontena hayo yalisafirishwa kati oktoba ishirini na tano mwaka jana kwa meli iitwayo delmas nacala kupitia bandari ya dar es salaam alifafanua kuwa makontena UNK kama yamebeba mzigo wa vifurushi themanini vya plastic UNK aliongeza kuwa machi nne huu maofisa hao forodha wa bandari ya manila kusini UNK walikamata tena meno ya tembo tani moja mia nne na themanini na tatu yakiwa yamefichwa kwenye makasha ndani ya kontena namba UNK sita mbili moja tisa tisa nne saba na men hayo yalisafirishwa oktoba ishirini na tano ishirini sifuri nane kupitia bandari ya dar es salaam na mzigo huo ukiwa UNK kama plastiki UNK alifafanua kuwa mapema machi tano mwaka huu maofisa forodha wa vietnam walikamata vipande moja mia mbili na ishirini na nne vya meno ya tembo yenye uzito wa tani sita mia mbili na thebathini na mbili yakiwa yamefichwa kwenye takataka za plastiki ndani ya makasha mia moja na kumi na nne kwenye kontena namba ecmu moja saba mbili moja nane nane nne alisema meno hayo yalisafirishwa desemba ishirini na nane UNK jana na meli ya delmas nacala kupitia bandari ya der es salaam kufuatia kukithiri kwa hali hiyo alisema wizara yake hiyo ilifanya jitihada mbalimbali kukabiliana na matukio hayo ya kusafirisha nyara za serikali kupitia bandari ya dar es salaam alisema tayari watuhumiwa watatu wamekamatwa na kuhojiwa bibi mwangunga alisema wizara hiyo imeamua kutenga shilingi milioni ishirini na tano kwa ajili ya kuiwezesha timu ya upelelezi kutoka idara ya wanyamapori polisi interpol UNK es salaam na lusaka force kwenda vietnam kufuatilia na kupata vielelezo zaidi vitakavyosaidia kuendesha mashtaka dhidi ya watuhumiwa aliongeza kuwa kumbukumbu nyingine pia zinaonesha kuwa julai nne mwaka ishirini sifuri sita maofisa forodha wa bandari ya UNK taiwan kusini walikamata meneo ya tembo tani tano mia mbili na kumi na saba yakiwa yamefichwa kwenye makasha kumi na nane yaliyokuwa ndani ya makontena UNK aprili ishirini na nne ishirini sifuri sita kwa meli ya UNK kupitia bandari ya tanga yakiwa UNK kubeba UNK ya UNK kwenda nchini UNK hata hivyo waziri huyo alisema kuwa kufuatia taarifa hizo wizara yake kwa kushirikiana na UNK iliendesha upelelezi na kwenda nchini taiwan kufanya uhakiki na matokeo ya upelelezi huo yaliweza kubaini watuhumiwa kumi ambao walikamatwa na kuhojiwa alisema kuwa kati ya hao watuhumiwa sita wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi tanga na kufunguliwa kesi namba mbili ya mwaka ishirini sifuri sita alisema kesi hiyo bado inaendelea kusikilizwa na mashahidi sita wa upande wa mashitaka wametoa ushahidi wao alisema kuwa mashahidi wengine watano bado hawajatoa ushahidi UNK na kuwasilishwa kwa ushahidi wa picha zilizopatikana katika uchunguzi uliofanyika huko nchini UNK waziri huyo alisema kuwa biashara hiyo ya usafirishaji haramu wa meno ya tembo UNK nje ya nchi unatokana na wizara hiyo ya maliasili kutohusishwa kikamilifu katika mchakato wa kukagua vifurushi UNK katika makontena wakati wa kufunga UNK hata hivyo hoja ya mbunge bibi kilango ilishindwa kuzuia bajeti hiyo UNK kutokana na mtoa hoja kuchelewa kuwasilisha taarifa yake iliyokuwa inalenga kuiomba serikali iunde kamati teule ya kuchunguza taarifa za kusafirishwa kwa nyara hizo za serikali nje ya nchi UNK wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania bwana samweli sitta alisema hoja ya bibi kilango ya kutaka kuunda kamati teule imechelewa kumfikia mezani hivyo hoja hiyo haiwezi UNK wauzaji wa vocha za simu wamesitisha utoaji huduma hiyo siku chache baada ya tamko la mamlaka ya mawasiliano tanzania kuwataka wateja kununua vocha kwa mujibu wa bei zilizoandikwa juu ya kadi hizo hatua hiyo imetokana na taarifa iliyotolewa na mkurugenzi tcra bwana john nkoma aliyeagiza kuchukuliwa hatua za kisheria kwa mawakala na wauzaji wa rejareja waliopandisha bei kinyume cha utaratibu wakizungumza na majira dar es salaam jana wafanyabiashara hao walisema wameamua kusitisha huduma hiyo kutokana na bei UNK wao kuwa juu huku wao UNK kupandisha bei vocha zimepanda kutoka shilingi mia nne na hamsini hadi shilingi mia nne na tisini katika maduka ya jumla tofauti na ilivyokuwa awali hivyo haiwezekani tukafanya biashara kwa faida ya shilingi kumi kinachotakiwa bei UNK kuanzia kwa mawakala alisema muuzaji wa reja reja bwana sadiki ndege alisema kuwa wao kama wauzaji wadogo wanashindwa kuelewa nani mkweli kuhusu bei halisi ya vocha hizo hivyo kuzitaka kampuni husika kubainisha bei halisi za vocha zake alisema bei za jumla UNK na mawakala ni vodacom shilingi mia nne na tisini tigo shilingi mia nne na themanini na tano zantel shilingi mia nne na themanini na zain shilingi mia nne na themanini na tatu ambapo faida ni kati ya shilingi kumi hadi ishirini naye mteja mwingine bwana godfrey emanuel alisema wamelazimika kuachana na biashara hiyo kutokana na kulazimishwa kuuza bei isiyokuwa na faida kwao sisi UNK kampuni za simu kwani UNK kabisa kiwango kilichopanda na hata risiti za mawakala zinaonesha lakini wao wameshindwa UNK badala yake UNK alisema bwana emanuel wakili wa maarufu wa kujitegemea profesa abdallah saffari amesema kuifananisha makahama ya kadhi na sheria za afrika ya kusini UNK uislam na waisalam wote nchini kauli ya kufananisha mahakama hiyo na ile ya afrika ya kusini ilitolewa na waziri wa katiba na sheria bwana mathias chikawe wakati akiwasilisha bajeti ya wizara yake katika mkutano wa bunge unaoendelea mjini dodoma hivi karibuni bwana chikawe alisema serikali itaingiza sheria za dini ya kiislam katika mfumo wa sheria za nchi uamuzi huo umefikiwa baada ya kumalizika utafiti wa tume ya kurekebisha sheria kuhusu uanzishwaji wa mahakama hiyo nchini akizungumza katika kipindi cha mambo leo kinachorushwa na kituo cha kumi sifuri tano times fm jana profesa saffari alisema kuanzishwa kwa mahakama hiyo ni haki ya waislam kwani ilikuwepo tangu enzi za ukoloni wakoloni walijua umuhimu wa mahakama ya kadhi UNK leo kuna watu wanapinga ieleweke kuwa haki ya waisalam haihitaji ridhaa ya wakristo na haki ya wakristo haihitaji ridhaa ya waislam alisema profesa saffari alisema ukristo uliletwa na wakoloni wa kiingereza ambao walikuwa wanaijua vizuri dini hiyo lakini wakaamua kuanzisha mahakama ya kadhi na UNK kwa kujua umuhimu wake hadi hapo ilipokuja kuondolewa katika mfumo wa serikali baada ya uhuru profesa safari alisema wanaopinga mahakama ya kadhi hawana hoja bali ni UNK UNK tangu enzi ya ukoloni ambayo imekuwa UNK hadi sasa alisema chuki imekuwa ikisababisha kuwepo upendeleo wa wazi kwa upande wa wakristo ambao wamekuwa UNK katika nyanja zote muhimu na kuwaacha waislam wakiwa kama watoto yatima ambao hawajui ni wapi watapeleka madai yao wakati shughuli ya uopoaji miili ya abiria wa ndege ya yemeni iliyoanguka jirani na kisiwa cha comoro na maiti kuonekana eneo la tanzania imekwama mabaki zaidi ya waliokufa yameonekana UNK eneo la mafia na rufiji miili hiyo ilionekana jana eneo la mafia chini bahari kuu kitongoji cha twana na kijiji cha UNK kata ya UNK wilayani rufiji taarifa iliyotolewa jana na mkuu wa wilaya ya mafia bwana manzie magonchie ilisema wameshindwa kuopoa miili hiyo baada ya kukosekana vitendea kazi alisema amewaagiza wananchi wa eneo la twana kuhakikisha UNK miti maiti hao ili wasiendelee UNK na dhoruba hadi hapo vifaa vya uopoaji UNK shughuli ya uopoaji ilikwama kuanzia juzi kutokana na helikopta ya kikosi cha uokoaji kutoka ufaransa kuharibika na ile tanzania kupelekwa matengenezo alisema bwana UNK alisema wanatarajia kupata helikopta nyingine kutoka ufaransa kuendelea na kazi hiyo bwana magonchie alisema hadi sasa kisiwani hapo kuna miili ya watu sita UNK na kufanya jumla yao hadi sasa kufikia ishirini na mbili tangu operesheni hiyo UNK alisema miili iliyopo kisiwani hapo UNK wakati wowote kupelekwa dar es salaam kuunganishwa na ya awali ndege ya shirika la yemeni ilianguka juni thebathini huu eneo la bahari ya hindi kilomita chache kutoka pwani ya comoro na kusababisha vifo vya watu mia moja na hamsini na tatu binti mmoja wa miaka kumi na nne ndiye abiria pekee UNK chama cha wananchi kimesema msuguano unaendelea hivi sasa kati ya serikali na waislam nchini kuhusu mahakama ya kadhi ni UNK ya ilani ya kisanii na kibabaishaji ya chama cha mapinduzi katika uchaguzi mkuu uliopita mwaka ishirini sifuri tano profesa lipumba aliyasema hayo wilayani ilemela mkoani mwanza alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara katika mfululizo wa operesheni zinduka UNK jijini hapa juzi profesa lipumba alimshambulia rais jakaya kikwete na ccm kwa maelezo kuwa waliandaa ilani ya kisanii na kibabaishaji ndio maana UNK dalili za mgogoro wa kidini alisema mwaka ishirini sifuri tano katika kampeni za uchaguzi ccm chini ya mwenyekiti wake wakati huo bwana benjamin mkapa akisaidiwa na rais kikwete waliandaa ilani iliyoainisha kuleta maisha bora kwa watanzania na yenye ahadi nyingi zisizotekelezeka walisema kuwa wataleta mahakama ya kadhi na ahadi kemkem kwa dini zote mpaka kufikia viongozi wa dini kudai kuwa rais kikwete ni chaguo la mungu na hii ni baada ya kuisoma ilani ya ccm lakini ajabu sasa walianza kufuta msamaha wa kodi kwa taasisi za dini na kutangaza bungeni kuwa hawawezi kuweka mahakama ya kadhi sasa kama walijua hawawezi kuweka mahakama ya kadhi kwa nini UNK katika UNK sasa badala yake imekuwa migongano viongozi wa dini wamegombana na serikali wanafunzi vyuoni wamegombana na serikali madaktari wamegombana na serikali walimu wamegombana na serikali wastaafu wamegombana na serikali alisema profesa lipumba wakati huo huo wakazi wa wilaya ya ilemela mkoani mwanza wamesema vitendo vya mauaji ya vikongwe na walemavu wa ngozi mkoani hapa UNK na umasikini uliokithiri wakazi hao walisema hayo jana wakati wakizungumza na mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahimu lipumba baada ya kumpokea kwa ajili ya uzinduzi wa operesheni zinduka mkoani humo walisema rasilimali za mkoa zingetumika vizuri wananchi wake wasingekuwa katika hali mbaya waliyonayo sasa lakini kutokana na kukosa uongozi makini rasilimali zote za UNK na wageni hatuna kipato cha kutosha ndio maana UNK vitendo vya ajabu ajabu kama mauaji ya vikongwe na albino lakini wananchi hawa UNK kupitia UNK zao na kupata mahitaji muhimu hususan ya afya na elimu hali isingekuwa hivi alisema mkazi mmoja wa hapa bwana richard shija mkoa wa mwanza ni miongoni mwa mikoa mikubwa hapa nchini tunajiuliza dhahabu zinakwenda wapi kuna pamba ziwa pamoja na samaki wengi lakini tunajiuliza rasilimali hizi UNK kina nani mbona wengi wetu tuko masikini sana kuna soko la kimataifa la kirumba UNK mapato makubwa kila siku mapato haya yanakwenda wapi mji wetu UNK na na mapato yanayopatikana alisema bwana richard akizungumza kwenye mapokezi hayo katibu mkuu wa cuf maalim seif shariff hamad alisema kuwa ni wakati wa kuzinduka kwa watanzania na kuachana na uongozi UNK na badala yake wajipange kuweka viongozi waadilifu madarakani wamarekani hawalali na njaa watanzania wanalala njaa wamarekani wanasoma vizuri watanzania hawapati elimu bora wamarekani wanakula na kuvaa vizuri watanzania mlo wa kubahatisha na UNK mitumba iliyokwisha UNK na wenzenu lakini pamoja na mazuri waliyonayo walichagua mabadiliko na wakafanya kweli basi na nyinyi UNK fanyeni mabadiliko alisema maalim seif alisema kuwa jiji la mwanza lina barabara maeneo ya katikati ya mji tu lakini UNK nje kidogo ya jiji unakutana na barabara mbovu hiyo yote ni kwa sababu ya rushwa na uongozi mbovu UNK UNK waliofanya vurugu uchaguzi icc serikali ya kenya UNK koffi annan na mke wa mandela siku chache baada ya baadhi ya wabunge kushika bango kutaka rais mstaafu bwana benjamini mkapa afikishwe mahakamani kujibu tuhuma mbalimbali za ufisadi UNK yanazidi kumwandama kiongozi huyo safari hii UNK UNK wakenya kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu kwa mujibu wa gazeti la the nation la mwishoni mwa wiki iliyopita wakenya UNK na hatua ya aliyekuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa bwana koffi annan na timu yake akiwemo bwana mkapa kukabidhi orodha ya siri majina ya watu wanaodaiwa kuhusika kwenye machafuko ya uchaguzi mkuu uliopita nchini humo imedaiwa kwamba bwana annan hakufanya maamuzi hayo peke yake bali kabla ya kufikia uamuzi huo mzito UNK timu iliyofanya kazi ya usuluhishi wa mgogoro huo akiwemo rais mkapa na mke wa rais wa zamani wa afrika kusini bibi UNK UNK na kwa pamoja UNK kukabidhi majina hayo icc uamuzi wa bwana annan kupeleka majina hayo icc UNK wakenya wengi na hata UNK serikali ya nchi hiyo vyama vikuu nchini humo vya orange democratic movement na kile cha national unity nia yao ilikuwa kumaliza tatizo hilo bila kutolewa adhabu kwa wahusika ilidaiwa kwamba kitendo cha serikali ya kenya kutotii kikomo cha muda uliowekwa na timu ya viongozi wa afrika waliokuwa wakiendesha mchakato wa usuluhishi mwaka jana ndicho kilimfanya bwana annan kuchukua hatua hiyo ambayo imeonekana UNK serikali ya kenya habari zaidi zimeeleza kuwa serikali ya kenya imechukua uamuzi wa kutuma ujumbe kwa bwana annan na kujaribu kufanya UNK ya moja kwa moja na mwendesha mashitaka wa icc bwana luis moreno ocampo kuangalia uwezekano wa kumaliza tatizo hilo kiungwana pamoja na serikali ya kenya kukasirishwa na UNK bwana annan baadhi ya vyama vya siasa nchini humo UNK hatua hiyo na kutaka jambo hilo UNK haraka katika kile kinachoonekana kuunga mkono hatua ya bwana annan vyama hivyo UNK mahakama hiyo kuanika haraka hadharani majina ya watu wote wanatuhumiwa kuhusika na vurugu za uchaguzi huo vyama hivyo UNK kuwa zaidi ya arobaini vimeweka msimamo wao wazi kwamba wakati huu ni muafaka kwa wote waliohusika na machafuko hayo kuwekwa hadharani wiki moja iliyopita mawaziri wa serikali ya kenya waliahidi kuanzisha mahakama ambayo UNK watuhumiwa wa kati na wadogo wanaohusishwa na vurugu hizo hatua hiyo imekuja katika kipindi cha mwezi mmoja baada ya bwana annan kuipa muda hadi kufikia agosti mwaka huu kuanzisha mahakama hiyo maalum na kuonya kwamba UNK hivyo UNK majina hayo mahakama ya kimataifa ya uhalifu adaiwa kuvamiwa hotelini uingereza taarifa kuomba msaada UNK tcra yachunguza kubaini wahusika wizi mpya wa kutumia mtandao wa UNK umeingia nchini na tayari ofisa mmoja wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi amehusishwa akidaiwa kuomba msaada mamilioni ya pesa kwa jamaa na marafiki baada ya kuvamiwa na kuporwa kila katika hoteli moja aliyofikia mjini london uingereza uchunguzi uliofanywa na majira umebaini kuwa matapeli hao wamekuwa wakitumia mbinu za kitaalam kufungua anwani za barua pepe za watu mbalimbali wakiwemo vigogo na kusambaza ujumbe kwa watu UNK nao kuomba msaada wa haraka wa pesa akizungumza na majira mmoja wa vigogo wa wizara ambaye jina lake UNK vibaya na matapeli hao hivi karibuni alieleza kusikitishwa kwake na mchezo huo mchafu na kuwataka ndugu marafiki na jamaa zake kujihadhari kutapeliwa na watu hao wasiojulikana nilishangaa kupigiwa simu na watu UNK kutoka nchi mbalimbali UNK pole na kutaka ufafanuzi namna ya UNK baada ya kupata ujumbe feki wa barua pepe kutoka kwangu kuomba msaada wa mamilioni ya pesa haraka alisema bibi grace kibaya ofisa habari mkuu wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi bibi kibaya alisema taarifa hizo UNK na kufuatilia kujua kulikoni mtu UNK ujumbe huo wa kumdhalilisha mbali ya malengo ya utapeli alisema baadaye alibaini mtandao wake kuvamia na matapeli wa kimataifa wanaoendesha wizi kwa kutumia mitandao ya kompyuta ambao walifungua anuani ya barua pepe yake na kusambaza taarifa hizo ujumbe UNK ulidai kuwa bibi kibaya yuko nchini uingereza na UNK na kunyangganywa kila kitu na majambazi hotelini hivyo anaomba msaada haraka wa pauni moja hamsini sifuri pole sana ndugu yangu mimi ni mzima wala siko uingereza nimepokea simu kutoka india algeria nao wakieleza kuwa wamepokea ujumbe wangu wa e mail nikiomba msaada si kweli hata kidogo gazeti hili lilimkariri bibi kibaya UNK mmoja wa watu UNK simu kumpa pole na kutaka ufafanuzi kwa upande wake meneja uhusiano wa mamlaka ya udhibiti mawasiliano tanzania bwana innocent UNK alipoombwa kutoa ufafanuzi kuhusu suala hilo alisema wanalifanyia utafiti ili kubaini matapeli hao aliongeza kuwa tcra inafuatilia kujua idadi ya watu UNK ujumbe huo na namna matapeli hao walivyofanikiwa kupata anwani zao za barua pepe hatuwezi kutoa taarifa zozote kwa sasa lakini tumepokea tatizo hilo na UNK kazi tutakapomaliza UNK ikiwa pamoja na kuwafikisha watuhumiwa katika vyombo husika alisema bwana UNK katika siku za karibuni UNK tabia ya matumizi mabaya ya mitandao ya kompyuta hali inayotishia usalama na kupunguza ustaarabu wa teknolojia hiyo hivi karibuni serikali ililazimika kutangaza msako mkali dhidi ya wamiliki wa mtandao wa ze utamu ambao umekuwa UNK watu mbalimbali wakiwemo viongozi mamlaka udhibiti wa usafiri wa majini na nchi kavu UNK kufuta leseni za mabasi yote ya daladala UNK jijini dar es salaam endapo yataendelea na mgomo huo leo sumatra kwa kushirikiana na jeshi la polisi wameweka doria katika maeneo ya UNK mtongani na mbagala ili kubaini daladala UNK mgomo huo ili hatua kali zichukuliwe dhidi yao kauli ya kukamatwa na kufutiwa leseni daladala hizo ilitolewa jana jijini dar es salaam na ofisa mfawidhi wa kanda ya mashariki UNK bwana walkan luhamba wakati akizungumza na majira kuhusu mgomo huo ambao ulianzishwa kwa lengo la kutoza shilingi mia tatu na hamsini kwa ruti ya mbagala kariakoo alisema daladala UNK kuendela kufanya mgomo wa kupinga nauli ya shilingi mia mbili na hamsini kwa ruti ya mbagala kariako UNK leseni kutokana na kukaidi amri ya serikali nauli ya mbagala kariakoo nasema itaendelea kuwa ni shilingi mia mbili na hamsini kama mtu hataki nauli hiyo basi UNK gari lake barabarani na atakuwa UNK leseni yake kwa kuwa kila jambo lina utaratibu wake unaotakiwa UNK alisema bwana UNK alisema doria hiyo inafanywa kwa makini na inaendeshwa na ofisa usalama wa jeshi la polisi kanda ya dar es salaam bwana mohamed mpinga kwa kushirikiana na sumatra ili kubaini daladala zote ziliendelea na mgomo bwana walkan alisema hadi jana hali ya mgomo ilikuwa imepungua kwani daladala nyingi zilikuwa zikiendelea kufanya kazi lakini baadhi zilikuwa zinaendelea na mgomo huo na ndizo UNK aidha alitoa UNK kwa vipanya ambavyo inavyoendelea kuingia katikati ya jiji pamoja na muda wake kuisha tarehe thebathini na moja juni mwaka huu alisema kuwa vikiendelea kuonekana katika maeneo hayo UNK na hatua kali kuchukuliwa alisema vipanya hivyo vinatakiwa kufanya shughuli hiyo katika maeneo ya pembezoni ya jiji la dar es salaam kwa kuwa serikali ipo katika mkakati wa kuboresha usafiri wa abiria na kuondoa msongamano wa magari jijini helikopta ya kikosi cha uokoaji cha ufaransa imerejea kuendelea na kazi ya uopoaji baada ya kufanyiwa matengenezo mkuu wa wilaya ya mafia bwana manzie mangochie alisema jana kuwa kurejea helikopta hiyo kutawezesha kuendelea shughuli za uopoaji katika maeneo yote ya rufiji mafia na kilwa hali inaendelea vizuri na juhudi za kutafuta miili iliyobakia zinaendelea katika eneo la UNK na tayari helikopta ya ufaransa imerejea na inaendelea kutafuta miili hiyo alisema bwana UNK alisema tayari kikosi cha uokoaji kutoka ufaransa pamoja na meli UNK eneo hilo kutafuta miili zaidi wakati huo huo watu waliokufa katika ajali ya ndege ya shirika la yemen na kuzikwa kilwa baada ya kuopolewa UNK na sasa inatarajiwa kupelekwa dar es salaam kwa UNK mkuu wa wilaya ya mafia bwana manzie mangochie alisema maiti wawili waliobaki UNK dar es salaam muda wowote kuunganishwa na waliotangulia kwa ajili ya kupimwa vinasaba na kutambuliwa ndugu zao ndege ya shirika la yemen ilianguka juni thebathini mwaka huu eneo la bahari ya hindi kilometa chache kutoka pwani ya comoro na kusababisha vifo vya watu mia moja na hamsini na tatu ambapo binti mmoja wa miaka kumi na nne aliyenusurika kifo katika ajali hiyo rais jakaya kikwete ameteua majaji wapya kumi wa mahakama ya kuu ya tanzania ambapo uteuzi huo umeanza juni ishirini na sita mwaka huu taarifa iliyotolewa na katibu mkuu kiongozi bwana philemon luhanjo dar es salaam jana UNK majaji hao kuwa ni bwana ferdinand wambali aliyekuwa msajili wa mahakama ya rufaa bibi UNK mbise aliyekuwa msajili wa mahakama kuu na bibi sekela moshi aliyekuwa mkurugenzi wa mahakama za wilaya hadi rufaa wengine ni bibi fatuma masengi aliyekuwa mkurugenzi wa mahakama za mwanzo bwana sivangilwa mwangesi aliyekuwa naibu msajili mwandamizi mahakama ya rufani bibi UNK khaday aliyekuwa naibu msajili wa mahakama ya rufani na bwana moses UNK aliyekuwa msajili wilaya mahakama kuu mkoa wa iringa taarifa hiyo UNK majaji wengine kuwa ni bibi hamisa UNK aliyekuwa msajili wilaya ya mahakama kuu mkoa wa mbeya bibi UNK mgaya aliyekuwa msajili wilaya mahakama kuu mkoa wa mwanza na profesa ibrahim juma aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya kurekebisha sheria jeshi la magereza nchini limetakiwa kusimamia na kufuata misingi ya haki za binadamu na utawala bora ili kuaminika katika jamii ili kuepuka lawama kwamba magereza ni kambi za UNK hayo yalisemwa jana na naibu waziri wa mambo ya ndani balozi khamis kagasheki wakati wa akifungua mkutano mkuu wa wakuu wa magereza na makamishna wote nchini ulioanza dar es salaam jana balozi kagasheki alikemea tabia ya unyanyasaji ya baadhi ya maofisa na wakuu wa magereza kwa askari wa ngazi za chini na wafungwa hali ambayo imejenga picha mbaya kwa jamii na kuonekana kuwa chombo hicho ni sehemu ya mateso na kuomba mabadiliko ya haraka yafanyike ikiwa ni pamoja na kuheshimu haki za wafungwa amelitaka jeshi hilo kujiendesha kwa weledi kwa kuwahifadhi wafungwa na kuwafunza wahalifu kwenye magereza ili wawe raia wema wenye ujuzi wa kuisaidia jamii na kuwatunza mahabusu kwa kuhakikisha wanabaki salama alisema baadhi ya watu wamekuwa na kejeli dhidi ya jeshi hilo kuhusu utendaji wake na kubainisha kuwa jamii imeendelea kupoteza imani kutokana na vipigo kwa wafungwa katika baadhi ya magereza na kuhoji ikiwa kuna maofisa wenye elimu ya kutosha kuendesha magereza hayo au ni wahitimu wa darasa la saba wenye elimu ndogo awali akimkaribisha mgeni rasmi kamishna wa magereza nchini bwana augustino nanyaro alisema jeshi hilo lipo katika mikakati ya kujiendesha kisasa zaidi huku misingi ya utawala bora ikipewa kipaumbele pamoja na kusimamia haki za wafungwa naye kamishna wa huduma za utekelezaji wa jeshi hilo kamishna aziza UNK alisema hivi sasa jeshi hilo litaendeshwa kisayansi kwa kuajiri wasomi ili UNK na hali ya sasa na kuwataka maofisa wa jeshi hilo kujiendeleza kielimu jeshi la polisi nchini linawashikilia watu thebathini kwa tuhuma za kusababisha mapigano ya koo katika wilaya za rorya na tarime mkoani mara kamanda wa polisi nchini igp said mwema aliwaambia waandishi wa habari jijini dar es salaam jana kuwa watu hao walikamatwa katika operesheni maalumu yenye lengo la kuimarisha hali ya usalama wilayani humo alisema uchunguzi uliofanywa na jeshi hilo ulibaini kuwa watuhumiwa waliokamatwa ndio walikuwa vinara wa vurugu hizo za UNK hawa ni watuhumiwa muhimu ambao tumebaini kuwa ni wahusika wakuu wa mapigano ya UNK yanayotokea mara kwa mara katika wilaya ya rorya na tarime alisema kamanda mwema na kusisitiza kuwa jeshi la polisi pekee halipaswi kuachiwa mzigo huo bali jamii ina wajibu wa kukomesha mapigano hayo alisisitiza kuwa kwa sasa jeshi hilo limejipanga kuzuia mapigano hayo ambayo kama UNK yatasababisha watu wengi wasio na hatia kupoteza maisha alisema uchunguzi wa awali uliofanywa na jeshi hilo umethibitisha kuwa mapigano hayo ya koo yalikuwepo tangu mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini hadi elfu moja na mia tisa na sabini bila kupatiwa ufumbuzi wa kudumu hali hiyo imesababisha kuendelea mara kwa mara kutokana na mazingira hayo jeshi la polisi nchini UNK kuigawa wilaya ili kutekeleza majukumu yetu kwa ufanisi mkubwa na kudhibiti mapigano haya kwa urahisi zaidi alisema alisema mgawanyo wa wilaya hiyo utahusisha mkoa wa kipolisi wa tarime na rorya ambapo kila wilaya itakuwa na mikoa mitatu ya kipolisi na sasa wapo katika hatua za mwisho kupeleka maofisa katika mikoa hiyo wakati huo huo mfanyabiashara maarufu wa simu za mkononi bwana zahoro hamis ametoa msaada wa simu za mkononi kumi sifuri kwa jeshi la polisi ili kusadia mawasiliano katika eneo lenye mgogoro la tarime na rorya simu hizo UNK jana kwa kamanda mwema zina thamani ya zaidi ya shilingi milioni nne UNK UNK milioni tisa meneja uhusiano wa mgodi wa dhahabu wa north mara uliopo nyamongo wilayani tarime juzi alivamiwa na watu wanaodaiwa kuwa majambazi na UNK vitu mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni tisa moja akizungumza na majira kwa njia ya simu jana kaimu kamanda wa polisi mkoani mara stephano buyuya alimtaja meneja huyo kuwa ni bwana jonathan janese raia wa marekani bwana buyuya lisema kuwa janese alikumbwa na mkasa huo asubuhi wakati akitaka kuingia ofisini kwake baada ya kuegesha gari yake alisema meneja huyo alivamiwa na watu wali waliokuwa na mapanga na marungu na kufanikiwa kumnyangganya kila kitu alichokuwa nacho ndani ya begi lake zikiwemo dola mia nne na sabini za marekani pia alisema baadhi ya vitu UNK ni pamoja na simu ya mkononi kamera moja ya video na kompyuta iliyokuwa na kumbukumbu za ofisi yake na baadhi ya mambo ya UNK alisema kuwa majambazi hayo UNK baada ya tukio na polisi inaendelea na msako huo baada ya tukio hilo meneja huyo alipelekwa hospitali ya tarime kwa matibabu tukio hilo limekuja siku moja baada ya watu wawili kuuawa katika mapigano ya wananchi na polisi baada ya kutaka kuvamia mgodi huo na kufanya uhalifu wa kuiba dhahabu spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania bwana samuel sitta UNK mbunge wa kigoma kaskazini bwana zitto kabwe kuadhibiwa mbali ya shinikizo kubwa kutoka kwa baadhi ya wabunge kutaka achukuliwe hatua kwa kukaidi kauli ya mwenyekiti wa bunge bwana zuberi ali maulidi hivi karibuni akizungumzia suala hilo bungeni jana spika sitta alisema bwana zitto UNK kanuni yoyote ya bunge UNK kufuta kauli yake ingawa kimsingi na taratibu mbunge alipaswa kufuata kanuni na sheria na si kubishana na kiti kama UNK bwana sitta alifafanua kuwa kwa kuzingatia msingi huo juni ishirini na nne mwaka huu bwana zitto hakuathiri kanuni yoyote kwa matamshi yake kwamba naibu waziri alijibu ovyo ovyo baada ya spika kutoa kauli hiyo mmoja wa wabunge alisimama na kuomba mwongozo wake akidai adhabu aliyopewa ni ndogo na kuwa hailingani na kosa alilofanya bwana zitto kutokana na kauli hiyo spika sitta aliendelea kusimamia kauli yake akisema zitto hakuathiri kanuni yoyote ya bunge tatizo ni kwamba aliendelea kukaidi maagizo ya kiti kwa hiyo atatakiwa aombe radhi na shauri litakuwa limekwisha alisema spika sitta hata hivyo alisema kuwa kwa mjibu wa kanuni ya sitini na saba spika anaposimama wakati mbunge anachangia mbunge huyo anapaswa kuketi mahali pake na bunge linatakiwa libaki kimya ili spika aweze kutoa maelekezo au taarifa UNK kuitoa aidha spika anawajibika kutilia nguvu kanuni za bunge na anaweza kumtaka mbunge yeyote UNK utaratibu UNK alisema kwamba kitendo cha bwana zitto kuendelea kusimama na kubishana na kiti si cha kukubalika aliongeza kuwa kitendo hicho kinatoa UNK mbaya kwa jamii alifafanua kuwa bwana zitto alikuwa anaelezea hisia zake na kwa mujibu wa kanuni za bunge spika hana mamlaka ya kumzuia mbunge UNK hisia zake aidha spika sitta aliwataka wabunge kujijengea uwezo wa kuhimili mijadala mizito ya kisiasa na UNK kunyanyaswa pindi wabunge wanapotoa hisia zao wabunge wanakazi ngumu ya kuwawakilisha wananchi wao na wakati mwingine hulazimika kuwa wakali pale utekelezaji UNK kutekelezwa kwa wakati hasa kwa uzembe wa baadhi ya watendaji alisema hata hivyo bwana sitta alisema kuwa kitendo cha kumwadhibu mbunge kutokana na kuonesha hisia zake kinapaswa kuangaliwa kwa undani kujua mbunge alikuwa katika hali na wakati gani kuna baadhi ya wabunge wamekuwa wakilalamikia mambo kadhaa kwa serikali bila kupata ufumbuzi wa aina yoyote kwa miaka mitatu hivyo mbunge kama huyo hana budi kuonesha hisia zake ili wapiga kura wake waridhike na uwakilishi wake bungeni alisema bwana sitta hata hivyo alisema kuwa kanuni za bunge zimewekwa wazi kuwa mbunge yeyote ambaye UNK na uamuzi wa spika anaweza kuwasilisha sababu za kutoridhika kwake kwa katibu wa bunge ambaye atawasilisha malalamiko kwa kamati ya kanuni kupitia kwa spika akifafanua zaidi kuhusu lugha ya kuudhi alisema katika mabunge mengi duniani kanuni za mijadala zinazuia matumizi ya lugha za kuudhi kwa maeneo mengine lugha isiyo kuwa ya UNK alisema kwamba katika kanuni za bunge la tanzania kanuni ya sitini na nne UNK mambo yasiyoruhusiwa bungeni katika UNK aliyataja mambo hayo kuwa ni pamoja na kutotumia lugha ya kuudhi au UNK watu wengine ambayo ipo katika kanuni ya sitini na nne alisema uamuzi wa maneno gani ni ya kuudhi na yapi siyo ya kuudhi upo ndani ya mamlaka ya kiti uamuzi huo huzingatia hali halisi ya mjadala hulka ya mbunge mchangiaji na utamaduni wa mbunge huyo hata hivyo bwana sitta alifafanua kuwa ni jambo la kawaida kuwa katika mazingira ya pekee pale ambapo mjadala UNK moto mzungumzaji anaweza kujibu kwa akitumia maneno makali katika hilo alisema kuwa wabunge pamoja na mawaziri ni binadamu na wanaweza kuwa na hisia kali katika mambo UNK kwa hiyo kutafsiri kanuni hiyo UNK maneno ya kuudhi kwa wigo UNK kunaweza kuathiri uhuru wa UNK uliopo katika ibara ya kumi sifuri ya katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania isitoshe bunge ni uwanja wa siasa za ushindani ambapo katika kutetea maslahi ya UNK migongano ya UNK na hata ya lugha haiwezi UNK UNK wabunge wazungumze bungeni mithili ya mashahidi mahakamani utakuwa umeondoa ladha ya mijadala bungeni alisema kuwa ipo mifano kadhaa katika mabunge UNK ambapo katika mazingira hayo wabunge wamenukuliwa wakitoa maneno makali kwa tafsiri finyu unaweza kuita ni ya kuudhi au hata ya matusi alisema kwamba mathalani katika bunge la new zealand baadhi ya wabunge katika nyakati tofauti wamenukuliwa katika hansard wakitamka maneno yafuatayo bila kuchukuliwa hatua alisema mwaka elfu moja na mia tisa na arobaini na tisa baadhi ya mawaziri walitajwa kuwa ni sungura UNK na wasio na maamuzi ya kujitegemea wakati mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na tatu waziri alimwita mbunge mwingine ni a UNK woman yaani mwanamke UNK mwaka huo huo mbunge mmoja alimweleza mbunge mwingine kuwa ni UNK UNK akirejea kutoka kwenye mazishi akiongeza mifano zaidi alisema mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na sita wakati mbunge mmoja akichangia hoja baadhi ya wabunge walimpigia kelele kuwa amalize na kukaa chini mbunge huyo aliwajibu UNK mdomo mwenyewe sokwe mkubwa alisema hata katika house of UNK mijadala UNK moto maneno makali hutumika alisema kwa mfano mwaka elfu moja na mia nane na arobaini na sita bwana benjamin UNK alimshambulia waziri mkuu sir robert UNK kwa kumwambia kuwa miaka thebathini na arobaini waziri huyo ameishi kwa kutumia mawazo na akili za wenzake na maisha yake yote yamekuwa ni ya ubinafsishaji wa maoni ya UNK habari hii imeandaliwa na pendo mtibuche na peter masangwa na shukrani UNK mkuu wa jeshi la ulinzi la afrika kusini jenerali godfrey ngwenya ameishukuru tanzania kwa mchango wake mkubwa katika ukombozi wa bara la afrika taarifa iliyotolewa jana na kurugenzi ya mwasiliano ikulu ilisema jenerali ngwenya alitoa shukrani hizo baada ya kukutana na rais jakaya kikwete ikulu dar es salaam tanzania ilitoa mchango mkubwa siyo tu katika ukombozi wa afrika kusini bali katika kulikomboa bara la afrika jenerali alimwambia rais kikwete alimwambia rais kikwete jinsi afrika kusini UNK mchango wa tanzania katika ukombozi wa afrika kusini na nchi nyingine hasa zile za kusini mwa afrika UNK tanzania kwa kweli tunarudi nyumbani UNK hapa UNK sote hapa iwe ni anc pac UNK UNK zanu kila mtu alikuwa hapa alisema jenerali ngwenya na kuongeza tunashukuru na kutathmini mchango wa tanzania katika kutuwezesha kufikia malengo yetu alisema jenerali ngwenya katika mazungumzo hayo UNK pia na mkuu wa majeshi wa tanzania jenerali davis UNK naye rais kikwete alimweleza jenerali ngwenya kuhusu hatua zinazochukuliwa na serikali kuhifadhi historia ya ukombozi na vyama vya ukombozi kama ilivyotokea katika tanzania shughuli zote za vyama vya ukombozi kusini mwa afrika UNK pale kongwa kabla ya kusambaa katika maeneo mengine ya nchi yetu hii ni historia ya heshima sana katika nchi na bara letu hivyo tutahakikisha kuwa UNK historia hiyo alisema rais kikwete aliongeza kuwa kama inawezekana vyama UNK uhuru kutokea tanzania na serikali ya tanzania vinaweza kwa pamoja kuanzisha aina ya taasisi ya elimu ambayo itaendeleza historia hiyo yenye heshima kubwa thomas dominick na benjamin masese wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania wamepinga kauli ya waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa juu ya utendaji kazi wa kampuni hiyo walisema hayo jana dar es salaam kupitia katibu mkuu wa trawu bwana sylvester rwegasira wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya kauli ya daktari kawambwa aliyoitoa hivi karibuni bungeni akisifu utendaji kazi wa trl akitoa msimamo wa wafanyakazi wa shirika hilo bwana rwegasira alisema taarifa ya daktari kawambwa bungeni ni ya kisiasa zaidi na UNK kuwasaidia wafanyakazi hao na wananchi kwa ujumla wanaotumia reli hiyo majibu ya kawambwa si sahihi hata kidogo kwani shirika hili linakabiliwa na madeni makubwa na uendeshaji wake bado ni mbovu kabisa lakini pia utendaji nao bado si mzuri wafanyakazi wanakata tamaa kabisa kwani walikuwa UNK wakijua kuwa serikali tayari imebaini tatizo la kampuni hiyo alisema bwana rwegasira na kuongeza UNK sisi ni serikali kupitia kwa waziri wa wizara husika kuonesha kuwa serikali UNK suala hili kirahisi kabisa na kuonesha kuwa linaweza UNK kirahisi wakati haiwezekani kama wanavyofikiria wao bwana rwegasira alisema kuwa majibu ya daktari kawambwa ni ya kushangaza kwa kuwa mambo mazito UNK kuwa mepesi kama kuishiwa mafuta katika injini ya gari moshi la abiria ambapo alidai kuwa lilikuwa ni tatizo la kiufundi waziri anashangaza kwani kampuni za mafuta UNK kukopesha tena mafuta katika kampuni hii lakini yeye anasema eti lilikuwa ni tatizo la kiufundi hatuelewi hii kampuni ni kwa nini UNK namna hii huku ikiwa haina uwezo wa kujiendesha na matokeo yake wafanyakazi wanaendelea kupata tabu alisema akizungumzia mapato na matumizi ya shirika hilo bwana rwegasira alisema kuwa wastani wa mapato yanayopatikana kwa mwezi ni shilingi bilioni tatu nne na matumizi ni zaidi ya shilingi bilioni nne tano hivyo kuwepo utofauti mkubwa kati ya mapato na matumizi alisema kuwa mbali na mapato hayo kuwa kidogo theluthi ya mapato hayo hupelekwa nchini india kwa ajili ya malipo ya injini mabehewa na menejimenti UNK kutoka huko kwa mtindo huu wa trl wa kutolipa madeni itafika mahali mzigo huu UNK na serikali ambayo imeonesha wazi kuikumbatia alisema bwana rwegasira bwana rwegasira alisema kuwa matatizo mengi yanayojitokeza katika uendeshaji wa shirika hilo UNK kuwa unatokana na mkataba mbovu ambao haukuzingatia maslahi ya taifa na kutoa mwanya mkubwa kwa mwekezaji kujifanyia anavyotaka UNK serikali mahakama kuu na gladness mboma walimu kumi na tano wilayani bukoba vijijini mkoani kagera UNK viboko na aliyekuwa mkuu wa wilaya ya bukoba bwana UNK mnali UNK serikali mahakamani wakitaka kulipwa fidia ya shilingi bilioni tatu akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu katibu wa chama cha walimu tanzania mkoa wa kagera bwana aron masalu alisema hatua hiyo imekuja baada ya serikali kushindwa kujibu notisi ya siku tisini ambayo ilitolewa na chama hicho tumefungua kesi tayari UNK kulipwa shilingi bilioni tatu na kinachosubiriwa sasa ni kupangiwa jaji wa kuisikiliza tunataka kupata haki yetu alisema bwana UNK alisema kuwa kesi hiyo imefunguliwa katika mahakama kuu ya tanzania kanda ya bukoba ambako tukio hilo lilitokea na kila mwalimu anadai fidia ya shilingi milioni ishirini sifuri naye naibu katibu mkuu wa cwt bwana ezekiah oluoch alisema caha hicho kimeamua kuchukua hatua ya kufungua kesi hiyo kutokana na serikali kushindwa kujibu notisi yao hawakutaka kujibu notisi wala kutuita kwa kufanya mazungumzo ya kuangalia namna gani wangeweza kuwalipa walimu hao fidia uamuzi UNK ni wa kwenda mahakamani alisema bwana oluoch alifafanua kuwa walimu hao wanastahili kulipwa fidia hiyo kutokana na udhalilishwaji uliofanywa na aliyekuwa mkuu wa wilaya hiyo bwana mnali ambaye alishirikiana na koplo wa jeshi la ulinzi la wananchi kuwacharaza viboko walimu bwana oluoch alisisitiza kuwa viongozi wanaotakiwa kubanwa katika fidia hiyo ni katibu mkuu wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa kwani ndiye mwajiri wa koplo UNK amri ya UNK viboko pamoja na waziri mkuu kutokana na wakuu wa wilaya kuwa chini yake hivi karibu walimu kumi na tano wa shule za msingi wa bukoba vijijini UNK viboko na aliyekuwa mkuu wa wilaya ya bukoba kwa madai ya kusababisha wilaya hiyo kufanya vibaya katika mitihani ya kumaliza elimu ya msingi mwaka jana hatua hiyo UNK serikali na rais jakaya kikwete UNK kazi mara moja bwana mnali baada ya tukio hilo na john daniel dodoma spika wa bunge bwana samuel sitta amepokea taarifa ya kamati ya bunge iliyokwenda wilayani tarime mkoani mara kuchunguza hali tete ya mazingira ya mgodi wa north mara unaomilikiwa na kampuni ya barick na kudaiwa kusababisha madhara kwa watu na mifugo vyanzo vyetu vilieleza kwamba spika sitta alipokea taarifa hiyo saa tano asubuhi katika ofisi yake ndogo ndani ya jengo la bunge kwa masikitiko kutokana na kile kinachodaiwa hali mbaya iliyoshuhudiwa na kamati hiyo ambayo ni tofauti na taarifa zilizokuwa zikitolewa awali na viongozi mbalimbali wa kampuni hiyo na wale wa serikali wiki iliyopita mwenyekiti wa kamati alikutana na mheshimiwa spika kumpa muhtasari wa ziara yao kwa ufupi si kumpa taarifa kama ilivyodaiwa na baadhi ya vyombo vya habari ilikuwa ni kumpa tu hali halisi wakati walipokuwa wanamalizia ripoti yao spika UNK ampe taarifa UNK baada ya wao UNK na leo hii kabla hajaondoka na tayari amekabidhiwa kilisema chanzo chetu ndani ya kamati hiyo akizungumza na majira kwa njia simu spika sitta alikiri kupokea taarifa hiyo na kueleza kwamba hawezi kuzungumzia lolote kwa kuwa hakupata nafasi ya kuipitia kutokana na muda kwa kuwa amekabidhiwa saa tano asubuhi muda mfupi kabla ya kuanza safari yake nje ya nchi ni kweli leo saa tano asubuhi kamati iliyotumwa na bunge kwenda tarime UNK taarifa yao si rahisi kuzungumzia lolote leo kwa kuwa ni ndefu na ina viambatanisho vingi lakini siku chache zijazo UNK na kujua kila kitu unajua bado kuna baadhi ya taarifa UNK kutoka ofisi ya mkemia mkuu wa serikali ambaye pia alikuwa katika ziara ya kamati ya bunge UNK taarifa ya vile vipimo na nyaraka zote kamati ya uongozi itaamua nini kifanyike alisema spika sitta alipoulizwa kama taarifa hiyo itajadiliwa na bunge kwa kuwa wananchi wana shauku kujua kilichopo ndani alisema yeye kama kiongozi muwazi haoni sababu taarifa hiyo UNK na bunge kamati ya uongozi itaamua nini cha kufanya lakini katika dunia ya utandawazi na utawala bora hakuna cha kuficha ni muhimu kwa bunge kulijadili na kama kuna tatizo lolote tutazungumza na serikali ili kulipatia ufumbuzi mzuri tu alisema bwana sitta kuhusu ziara yake alisema amealikwa nchini nigeria kama kiongozi mkuu wa mabunge ya jumuiya ya madola na baadaye atakwenda UNK UNK kwa shughuli za kikazi salum pazzy na aziza masoud katika hali isiyokuwa ya kawaida waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja jana alipokewa kwa mabango na wakazi wa ubungo kisiwani wakishinikiza kulipwa fidia zao mara moja kutokana athari za mitambo iliyopo eneo hilo kizaazaa hicho kiliibuka wakati waziri huyo alipofika eneo hilo kwa ajili ya uzinduzi wa mtambo wa kusindika gesi asilia unaoendeshwa kwa ushirikiano wa shirika la maendeleo ya petroli na kampuni ya nishati afrika akizungumza kwa niaba ya wakazi hao mbele ya bwana ngeleja mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa ubungo kisiwani bwana UNK manyotondimbo alisema kuwa kutoka na athari zitokanazo na uwepo wa mitambo ya umeme na gesi katika eneo hilo tangu desemba ishirini sifuri tatu serikali iliahidi kuwalipa fidia ili wahame katika eneo hilo aliongeza kuwa kutokana na uamuzi huo wakazi hao UNK na serikali kwani UNK katika mpango wa serikali wa leseni za makazi na hawawezi kuendesha shughuli za kiuchumi hali inayowafanya waishi kama wakimbizi katika eneo hilo tangu mwaka ishirini sifuri nne UNK katika eneo hili UNK suala letu hadi kwa waziri mkuu na tamisemi lakini UNK na sasa tunaambiwa wizara ya nishati na madini ndiyo inashughulikia suala letu kwa kuwa leo umekuja tumeamua kutumia nafasi hii kufikisha ujumbe wetu kwani tumechoka kusubiri alisema aidha bwana manyotondimbo alisema kuwa wakazi hao wanapata athari nyingi ikiwa ni pamoja na majengo yao kupata nyufa kelele joto hewa chafu na kushindwa kupangisha nyumba zao hivyo hawanufaiki kiuchumi kama wananchi wengine hali hiyo UNK bwana ngeleja kufanya kazi ya ziada kuwatuliza wakazi hao waliokuwa na jazba huku wakionesha mabango yenye ujumbe UNK serikali juu ya hatma yao ambapo walidai kuwa serikali imekuwa UNK UNK wakati tathmini ya nyumba zao UNK zaidi ya miaka minne iliyopita UNK wakazi wa eneo hili kwani UNK changamoto kwani hata sisi huwa UNK ni kweli tatizo lenu ni la muda mrefu tatizo ni uhaba wa bajeti kwa hiyo serikali inaangalia uwezekano wa kupata fedha kutoka vyanzo mbalimbali na tunashirikiana kwa ukaribu na mbunge wenu bwana charles keenja muwe na subira majibu UNK yeye alisema hata hivyo wakazi hao walionesha kutoridhika na majibu ya bwana ngeleja ambapo waliendelea kuzomea huku wakisema hawamtambui bwana keenja kwani tangu wamchague mwaka ishirini sifuri tano hawajawahi kumuona jimboni na kuongeza kuwa mwakani UNK kura zao wakati huo huo bwana ngeleja alisema kuwa uzinduzi wa mitambo hiyo ni hatua ya juu katika kuendeleza matumizi ya nishati nchini ambapo utasaidia kuokoa fedha nyingi za kigeni na kuepuka uharibifu wa mazingira aidha bwana ngeleja UNK UNK na pat kwa juhudi zao katika UNK maendeleo ya nishati nchini ambapo mradi huo utawezesha matumizi ya nishati ya gesi kwa matumizi ya magari na ya nyumbani aliongeza kuwa mtambo huo una uwezo wa kuzalisha megawati mia mbili na tisini na moja na UNK ya shilingi bilioni tatu na awamu ya pili ya mradi huo itagharimu shilingi bilioni thebathini ambapo utapunguza matumizi ya mkaa kutoka magunia thebathini sifuri sifuri sifuri zinazotumika sasa kwa siku hadi kufikia chini ya magunia kumi sifuri sifuri sifuri kwa siku na john daniel dodoma waziri mkuu mizengo pinda ametoa ufafanuzi kuhusu suala la uanzishwaji wa mahakama ya kadhi nchini na kuliambia bunge kuwa si busara kwa serikali kutumia fedha zake kuendesha chombo hicho tumeona si busara sana kwa suala hili kuanzishwa na serikali kwa kuwa ni la kidini ni vizuri wao wenyewe UNK serikali itafanya kila linalowezekana ili kusaidia UNK lakini si vizuri dola kutumika kuianzisha kwa kuwa ni ya kidini alisema bwana pinda akijibu maswali ya papo kwa papo bungeni jana waziri mkuu alisema kuwa vichwa vya habari vya magazeti mbalimbali nchini ndicho chanzo cha upotoshwaji wa mchakato huo hivyo kuzua hofu kubwa kwa UNK alisema kimsingi serikali ilikuwa inaendelea na mchakato si kuzika suala hilo kama ilivyoripotiwa na ilivyotafsiriwa hapo awali baada ya swali lile kuwasilishwa hapa bungeni zile UNK zilionesha pia tofauti kweli lakini UNK ni kwamba tumeunda kamati na UNK waislamu nao waunde kamati ili kamati hii UNK kazi ya kuangalia uanzishaji wake lakini si kweli kwamba tulisema hatuwezi kuanzisha mahakama hii wala UNK hivyo serikali UNK tatizo na jambo hili alisema alipokutana na viongozi wa dini hiyo chini mufti shaban bin simba walifikia muafaka mzuri na kumweleza mufti nia ya serikali kuhusu jambo hilo na kuwaomba waislam watulie wakati mchakato ukiendelea naye mbunge wa mkanyageni bwana mohamed habib mnyaa aliuliza swali la aina yake pale alimtaka waziri mkuu kueleza kama kuna amiri jeshi wakuu wawili nchini kwa madai kwamba katiba ya tanzania visiwani itambue kuwepo kwa vikosi vya smz huku rais amani abeid karume akipigiwa mizinga ishirini na moja na vikosi hivyo akijibu swali hilo waziri mkuu alisema jamhuri ya muungano wa tanzania ina jeshi moja tu la ulinzi na amiri jeshi mmoja tu ambaye ni rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kuhusu tamko la chama cha walimu tanzania kutishia kufanya tukio la kihistoria mbunge wa viti maalum bibi suzan lyimo aliitaka serikali kutoa kauli kuhusu tishio hilo linalohusu ucheleweshaji wa malipo ya madai mbalimbali ya walimu nchini akijibu swali hilo waziri pinda alisema serikali UNK walimu kuendelea kuwa wavumilivu wakati mchakato wa kuwalipa unaendelea na kuonya kuwa mgomo si suluhisho la matatizo nataka UNK walimu kuwa mgomo si suluhu ya matatizo yao ni kuwaumiza tu wanafunzi malipo ya madai yao yapo katika bajeti hii lakini pia serikali haijatulia wapo waliolipwa na wale ambao bado ndio wamo kwenye bajeti hii mimi UNK tu wavute subira alisema waziri mkuu UNK miguu mtoto aliyekuwa akioga na juddy ngonyani mpanda katika hali isiyokuwa ya kawaida askari wa kikosi cha usalama barabarani wilaya ya mpanda mkoani rukwa pc omary amenusurika kufa baada ya kupinduka mtoni wakati akiendesha gari UNK dereva mmoja akimtuhumu kufanya makosa mbali na kupinduka mtoni askari huyo mwenye namba f elfu moja na mia sita na thebathini na nne UNK na UNK miguu yote miwili mwanafunzi wa darasa la sita shule ya msingi mpanda juma UNK aliyekuwa UNK mtoni kabla ya tukio hilo askari huyo UNK gari hilo toyota mark ii namba t mia mbili na hamsini na tatu UNK linalotumika kama teksi baada ya kufanya makosa ya kawaida ya barabarani na kuamua kuliendesha mwenyewe ndipo alishindwa kulimudu na kutumbukia mto UNK kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo bibi matilda UNK baada ya gari hilo kutumbukia mtoni UNK vibaya kijana huyo ambaye alikimbizwa hospitali ya wilaya ya mpanda kwa matibabu akizungumza kwa njia ya simu na gazeti hili dereva wa gari hilo aliyejitambulisha kwa jinala bwana frank nicholaus alisema tukio hilo lilitokea julai kumi na mbili saa sita mchana wakati UNK mteja wake eneo la shule ya wasichana mpanda alisema alipofika maeneo ya mto UNK alikutana na trafiki huyo ambaye UNK na UNK kadi ya gari huku akimwamuru ampeleke mteja huyo halafu arudi eneo hilo niliporudi UNK kushuka kwenye gari mimi UNK bosi wangu kwa simu kuwa gari UNK askari huyo alininyangganya funguo na kujaribu kuliendesha kwa kuwa UNK pembeni mwa barabara UNK tu liliserereka kwa kasi na kutumbukia mto uliokuwa karibu na UNK mtoto aliyekuwa akioga baada ya kufua nguo zake hapo mtoni alisimulia dereva huyo kwa upande wake mmiliki wa gari hilo UNK kwa jina la bwana charles UNK mkazi wa kitongoji cha msasani mpanda alisema amepata hasara kubwa kutokana na uzembe na UNK wa trafiki huyo kwa kuwa gari hilo UNK injini yake kutokana na ajali hiyo mmoja wa wauguzi wa hospitali ya wilaya ya mpanda aliyeomba jina lake UNK kwa madai kuwa si msemaji wa hospitali hiyo alikiri kumpokea mtoto huyo na kwamba baada ya matibabu ya awali UNK kwenda hospitali ya rufaa ya mbeya kwa matibabu zaidi kutokana na kuvunjika miguu yote miwili na kupata majeraha mengine makubwa mwilini kamanda wa polisi mkoa wa rukwa bwana isunto mantage amekiri kupokea taarifa za tukio hilo na kuongeza kuwa jeshi hilo UNK trafiki huyo na UNK kizimbani wakati wowote baada ya upelelezi kukamilika wataka ijadiliwe sambamba na mahakama ya kadhi na waandishi wetu jopo la mashekhe na wanazuoni wa kiislam kutoka mikoa mbalimbali nchini limetoa tamko la kuiomba serikali kuharakisha mchakato wa tanzania kujiunga na jumuiya ya nchi za kiislam tamko hilo limetolewa kwa kuzingatia utafiti uliofanywa na serikali ambapo ulibaini kutokuwepo kwa madhara yoyote endapo tanzania UNK na jumuiya hiyo wakitoa ufafanuzi juu ya tamko hilo jopo hilo lilisema suala la tanzania kujiunga na oic limezungumzwa kwa muda mrefu na kuibua hisia nzito kwa watanzania hivyo sasa linahitaji kushughulikiwa bila jazba ili kulinda amani na utulivu uliopo ni dhahiri kwamba hatuwezi kupata ufumbuzi wa mtafaruku huu katika mazingira UNK na hasira jazba au kuhatarisha amani na utulivu wa taifa letu ilisomeka sehemu ya tamko hilo pia jopo hilo UNK serikali kuwa suala la mahakama ya kadhi ni suala muhimu na nyeti UNK kushughulikiwa kwa umakini mkubwa aidha katika utekelezaji wake jopo hilo limewataka waislam nchini kuwa wavumilivu na wenye subira wakati wakati mchakato wa mahakama hiyo ukiendelea pamoja na kauli hiyo pia limewataka waislam kutafakari mustakabali wa vijana wa kiislam UNK mwelekeo hata kuingia katika uhalifu kwa kukosa fursa za kiuchumi na kielimu hata hivyo katika taarifa hiyo jopo hilo UNK jamii isiyo ya kiislam kuona umuhimu wa jambo hili na kutoingilia serikali katika mchakato wa kuanzishwa mahakama ya kadhi ya oic ili kuepuka dhana kwamba ridhaa yao ni sehemu ya ridhaa ya serikali mashekhe na wanazuoni wa kiislam wanashauri kuliingiza suala la oic katika mchakato wa kutafuta mazungumzo ya pande zote na kujenga mazingira UNK mchakato huo kuendeshwa katika hali ya amani na utulivu ilisomeka sehemu ya tamko hilo hata hivyo jopo hilo limewaomba maimamu UNK na wahadhiri kumuunga mkono mufti wa tanzania shekhe shaaban bin simba ambaye ndiye mwenyekiti wa kamati maalum ya waislam ya kulipatia ufumbuzi suala la uanzishwaji wa mahakama ya kadhi jopo hilo UNK na mashekhe kumi ambao ni shekhe sharif hussein shekhe shaaban juma shekhe is UNK issa shekhe ahmad zuberi shekhe shaaban salum wengine ni shekhe abubakar zubeir shekhe nurdin UNK shekhe hamid UNK jongo shekhe hassan iddi UNK na shekhe shaaban rashid taarifa hii imeandaliwa na salum pazzy peter masangwa na grace ndossa kilaini UNK asiingilie uhuru wa kanisa asema kamwe hawawezi kuondoa waraka huo mokiwa naye UNK UNK kutoa mwongozo daktari slaa ataka kila dhehebu sasa litoe wake profesa shivji lipumba chaligha UNK kanisa katoliki nchini limemtaka mbunge wa kuteuliwa bwana kingunge ngombale mwiru asiingilie uhuru wa kanisa hilo kwa kuwa lina haki ya kuendesha mambo yake lenyewe bila kuvunja sheria za nchi kauli hiyo iliyotolewa dar es salaam jana na askofu mkuu msaidizi wa kanisa katoliki jimbo kuu la dar es salaam methodius kilaini na amemtaka bwana kingunge kusoma waraka huo vizuri si kulalamika msimamo huo wa kanisa katoliki UNK hoja iliyotolewa bungeni mjini dodoma juzi na bwana kingunge wakati akichangia mjadala wa bajeti wa wizara ya habari utamaduni na michezo ambapo alisema waraka huo unalenga kuhatarisha amani na mshikamano wa taifa askofu kilaini aliliambia gazeti hili kuwa namheshimu sana mzee kingunge kwa kuwa katika utumishi wake serikalini ametoa mchango mkubwa katika maendeleo ya nchi lakini kwa hili namuomba asome vizuri waraka huo alifafanua kuwa waraka huo UNK na maaskofu kama inavyodaiwa bali uliandaliwa na chama cha wanataaluma UNK baraza la maaskofu UNK neno kwa neno na kubaini kuwa hauna madhara yoyote kwa jamii kwani UNK ni UNK ambao ni wapiga kura hivyo maaskofu UNK ya UNK tu alisisitiza alifafanua kuwa bwana kingunge hana sababu ya kuogopa waraka huo kwa kuwa hauna madhara na UNK sheria za nchini alitoa mfano akisema tanzania ina vyama vingi ambapo kila chama kina katiba yake na sera ambazo zinatofautiana hivyo haoni sababu ya bwana kingunge UNK waraka huo kwa kufanya hivyo anaingilia uhuru wa kanisa kwa hili hana hoja alisisitiza naye askofu mkuu wa kanisa la anglikana tanzania daktari valentino mokiwa alisema ingawa UNK waraka huo wachungaji maaskofu na viongozi wengine wa dini wana haki ya kuikosoa serikali pale inapokwenda kinyume alisema viongozi na wananchi ni waumini wa dini mbalimbali hivyo ni wajibu wa viongozi wa dini UNK pale UNK alifafanua kuwa hata yeye yupo mbioni kukamilisha mwongozo wa jinsi ya UNK kiongozi bora ambaye UNK na vitendo vya rushwa daktari mokiwa alisema mwongozo huo UNK mwakani wakati wa harakati za uchaguzi aliitaka serikali kuacha kuingilia mambo ya dini kwa kuwa yanayozungumziwa kwenye waraka huo hata kama UNK ni mambo mema sisi kama viongozi wa dini tuna wajibu wa kukataza rushwa iwe kwa maneno au maadishi kwani UNK ni hao hao viongozi na wananchi alisema na kuongeza kilichopo hapa ni mgawanyiko wa UNK wao ni viongozi wa serikali na sisi ni wa dini wajibu wetu ni kukemea UNK alisema silaha yao kubwa ni kuhakikisha watu wote ambao si waadilifu UNK madarakani kwa upande wake katibu mkuu wa chadema daktari wilbroad slaa alisema anamshangaa bwana kingunge kwa kuhofia waraka huo wakati serikali imekuwa UNK taasisi za dini zisaidie kuimarisha maadili ndani ya jamii serikali inasema madhehebu ya dini UNK kuimarisha maadili ndani ya jamii sasa ni kwa nini kingunge UNK alihoji alisema alichokisema bwana kingunge ndiyo tabia yake kwani hata pale walipoanza kuibua masuala ya ufisadi alikuwa wa kwanza kusimama na kusema wapinzania UNK daktari slaa alisema mategemeo yake ni kuona madhehebu yote yanatoa sifa za mtu anayefaa kuwa kiongozi alisema inawezekana bwana kingunge hakusoma malengo yaliyopo kwenye waraka huo ndiyo maana UNK bwana kingunge ambaye ni mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya chama cha mapinduzi alisema UNK baada ya kupata taarifa za waraka huo na kulazimika UNK nataka niseme jambo moja nisije UNK vibaya kanisa katoliki limetoa waraka kwa ajili ya kuelezea namna ya kupata viongozi wa kisiasa ni maneno lakini huu ni kwa ajili ya wakatoliki sasa UNK huko kkkt nao watataka UNK bado UNK watataka na waislam nao bado alisema bwana kingunge na kuongeza viongozi wa katoliki nawaheshimu sana na wale wa juu nawafahamu nawaomba sana warejeshe huo waraka wao akitoa maoni yake kuhusu kauli ya bwana kingunge mbele ya waandishi wa habari dar es salaam jana profesa amon chaligha wa chuo kikuu cha dar es salaam alisema binafsi haoni tatizo la waraka huo kwani hauna nia ya UNK mtu achague chama au kiongozi fulani bali ni kuwafundisha watu jinsi ya kumpata kiongozi yeyote bora katika mchakato wa uchaguzi UNK kabla UNK kitu kama hicho ni bora UNK kile kitu kwa undani ili ujue UNK kisha UNK mawazo yako watu wana nia ya kuchonganisha serikali na watu wa dini kitu ambacho ni hatari kwa taifa na kwa jamii nzima alionya profesa UNK wakati huo huo mkurugenzi wa chama cha waandishi wa habari wanawake tanzania bibi ananilea nkya alisema watawala wanapinga waraka huo wa kanisa baada ya kubaini kwamba unafaida kubwa kwa wananchi na madhara kwao ukiona kitu UNK sana na watawala mara nyingi kinakuwa kina maslahi kwa wananchi na hivyo UNK kwani lazima kitakuwa kinahatarisha uwepo wao madarakani ama kikundi cha watu wachache alisema bibi nkya kwa upande wake profesa issa shivji alishangazwa na waraka huo na kusema kuwa utaleta hatari kwani itafikia wakati dini moja ikisema hivi nyingine UNK mwenyekiti wa cuf profesa lipumba alisema waraka huo UNK na unadhihirisha mgawanyiko uliopo katika jamii alienda mbali na kuufananisha na ilani ya chama cha siasa huku akihoji itakuwaje kila kikundi katika jamii kikifanya hivyo watuhumiwa arobaini na mbili wa ugaidi wamerejea mitaani baada ya kuachiwa huru katika magereza mbalimbali nchini uingereza uchunguzi wa gazeti la sun UNK mbali na watuhumiwa hao watuhumiwa wengine hamsini wakiwemo wa mtandao wa kigaidi wa al qaeda ambao walitoa mafunzo kwa bwana UNK qureshi wataachiwa huru hivi karibuni kwa mujibu wa uchunguzi wa gazeti hilo wataalamu wa masuala ya usalama wanasema kuwa utaratibu wa sheria za uingereza uko legelege tofauti na ilivyo kwa marekani ambako mtuhumiwa yoyote wa ugaidi hawezi kuruhusiwa kutoka gerezani the sun ilibainisha kuwa bwana UNK ambaye alikamatwa akijaribu kwenda nchini afghanistan kuwashambulia wanajeshi wa uingereza ni miongoni mwa watuhumiwa ishirini na tano UNK ndani ya miezi kumi na mbili lilieleza jana kuwa watuhumiwa wengine ishirini na tano huenda UNK ndani ya kipindi cha miaka mitatu na wengine zaidi ya arobaini tayari wako mitaani gazeti hilo lilieleza kuwa kati ya watuhumiwa hao watano bado UNK kuwa ni watu hatari na wanaendelea kufuatiliwa na mashirika ya usalama bwana qureshi thebathini na moja ambaye ndoto zake ni kiongozi wa ngazi ya juu jeshini alikamatwa oktoba ishirini sifuri sita akiwa na kiasia cha pauni tisa sifuri sifuri sifuri na silaha za kivita alihukumiwa kifungo cha miaka nne jela ila kwa mujibu wa sheria za uingereza ambapo adhabu ya kifungo upungua mtuhumiwa huyo anatarajia kuwa nje wiki chache zijazo hali hiyo imebainika kutokana na uchunguzi wa gazeti hilo la the sun UNK kuhusu watu mia moja na ishirini waliokuwa wakikabiliwa na makosa ya kigaidi tangu mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa askari wa misri wanaolinda mpaka UNK kwa kuwapiga risasi wahamiaji haramu kutoka nchi za jangwa la sahara waliokuwa wakijaribu kuingia kinyemela nchini israel maofisa wa usalama wamesema maofisa hao walisema jana kuwa wanaume wanne walikamatwa na wanajeshi hao wa mpakani wakati wakijaribu kupenya chini ya uzio wa waya UNK mpaka kati ya nchi hiyo na mji wa UNK uliopo kusini mwa israel walikuwa wakijaribu kutoroka wakapigwa risasi maofisa hao walisema na wakaongeza kuwa wahamiaji wawili raia wa ethiopia walijeruhiwa kwa risasi na mmoja kati yao amejeruhiwa vibaya maofisa hao ambao hawakutaka majina yao yatajwe kutokana na kutokuwa wasemaji wa suala hilo walisema kuwa UNK mwingine katika kundi hilo UNK walisema kuwa wahamiaji hao waliouawa hakuwa na utambulisho wowote hivyo utaifa wao haukuweza kufahamika mara moja mauaji hayo yanaongeza idadi ya mfululizo wa vifo vya kuuawa kwa kupigwa risasi wahamiaji karibu na mpaka wa israel mapema mwaka huu askari wanaolinda mpaka waliwaua kwa kuwapiga risasi wahamiaji wanane na mwaka jana UNK ishirini na nane wakati wakijaribu kuvuka mpaka eneo hilo ambalo liko umbali wa kilometa mia mbili na hamsini limekuwa ndio uchochoro mkubwa kwa wahamiaji watu wanaotafuta hifadhi na wasafirishaji wa dawa za kulevya na israel imekwisha UNK misri kuidhibiti hali hiyo hata hivyo UNK hivyo vya sera ya misri ya kuwapiga risasi wahamiaji kumezua shutuma kali kutoka kwa UNK za kutetea haki za binadamu mwisho viongozi wakuu wa mataifa ya kusini mwa afrika wanaokutana katika jamhuri ya kidemokrasi ya kongo wametaka kuondolewa kwa vikwazo vyote vya kimataifa UNK zimbabwe wito huo ulitolewa juzi katika siku ya mwisho ya mkutano wa siku mbili wa viongozi wa nchi za sadc mwandishi wa bbc bibi UNK allen aliripoti akiwa mjini kinshasa akisema kuwa hali hiyo inaonekana sawa na ushindi muhimu kwa rais wa zimbabwe bwana robert mugabe bwana mugabe kwa muda mrefu amekuwa akitaka kuondolewa vikwazo dhidi ya nchi yake huku akiwashutumu washirika wake katika serikali ya umoja kwa UNK suala hilo rais mugabe na kiongozi wa chama cha UNK morgan tsvangirai waliunda serikali ya umoja mwezi wa februari katika jaribio la kumaliza mzozo wa kisiasa kufuatia mtafaruku uliotokea baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini sifuri nane waziri mkuu tsvangirai amekuwa akisisitiza utekelezwaji kamili wa makubaliano unahitajika kwanza kabla ya UNK kwa vikwazo vya kimataifa akizungumza baada ya mkutano huo wa viongozi wa sadc rais wa afrika kusini jacob UNK amesema hakuna sababu ya kuweka masharti ili vikwazo UNK amesema kuondolewa kwa vikwazo UNK ili kusaidia mchakato wa utekelezaji wa makubaliano ya serikali ya kugawana madaraka shirika la kutetea haki za binadamu la human rights UNK UNK msimamo wa sadc UNK na kusema inaonekana kuwanufaisha wale UNK na vikwazo serikali ya kenya imefanya mabadiliko makubwa kwa maofisa wake waandamizi wa jeshi la polisi karibu nchi nzima katika kile kinachoonekana kuwa huenda ukawa mwanzo wa mageuzi makubwa vikundi vya kutetea haki za binadamu vimekuwa UNK jeshi la polisi kutokana na mauaji yaliyotokea wakati wa ghasia zilizozuka wakati wa uchaguzi mkuu wa ishirini sifuri saba habari zilieleza jana kuwa mabadiliko hayo UNK kwa mkuu wa jeshi la polisi meja jenerali hussein ali ambaye amepelekwa kuongoza shirika la UNK hata hivyo mabadiliko hayo UNK kwa wasiwasi na vikundi vya kutetea haki za binadamu wakati wa harakati za kutuliza ghasia baada ya uchaguzi mkuu polisi UNK mzigo wa lawama kwa kuhusika na mauaji ya mamia ya watu mara kwa mara vikundi vya kutetea haki za binadamu vimekuwa vikisema kuwa hakutakuwepo na haki nchini bila ya kufanyika mageuzi makubwa katika jeshi la polisi na huenda mabadiliko hayo ya jana yakawa UNK majibu kwa wito huo mabadiliko makubwa yanaonekana kuwa UNK meja jenerali ali ambaye wachunguzi wa masuala ya usalama wanasema kuwa ndiye aliyekuwa kikwazo kikubwa mbali na kuwa kikwazo wachunguzi hao wanasema kuwa meja jenerali ali alikuwa UNK katika masuala ya kisiasa nafasi yake imechukuliwa na bwana mathew UNK ambaye alikuwa akiongoza kikosi cha kutuliza ghasia ambacho UNK wakati UNK UNK majukumu ya kutuliza fujo hata hivyo bado haijafahamika iwapo uongozi mpya wa jeshi la polisi utakuwa na nguvu kutekeleza hayo yote au wamekuwa hasa ni sehemu ya utekelezaji wa mageuzi ndani ya polisi mvutano kati ya serikali za marekani na kenya umezidi kuchukua sura mpya baada ya rais wa kenya bwana mwai kibaki UNK barua rais barack obama akilalamika kuhusu onyo lililotolewa na serikali ya marekani la kutaka kuwapiga marufuku baadhi ya wanasiasa wa kenya kutosafiri kwenda marekani ikiwa wataendelea kuwa kikwazo katika kuleta mabadiliko ya kisiasa rais kibaki UNK rais obama barua hiyo juzi akielezea kutoridhishwa kwake na pia UNK barua hizo UNK mawaziri wafanyakazi wa serikali na wabunge barua hizo zilizotolewa na wizara ya mambo ya nje ya marekani UNK wahusika kwamba uhusiano wao na serikali ya marekani katika siku za usoni utategemea jinsi UNK kuunga mkono mabadiliko na kupinga ghasia alhamisi wiki iliyopita balozi wa marekani nchini kenya bwana michael ranneberger alitangaza kwamba serikali ya marekani UNK barua za kuwaonya watu kumi na tano nchini kenya na akasema kuwa miongoni mwao ni mawaziri wabunge na wafanyakazi wa serikali huku barua hizo zikiwa UNK na naibu waziri wa masuala ya afrika bwana UNK UNK katika barua hiyo rais kibaki alisema kuwa hatua hiyo ya marekani imekiuka taratibu za kimataifa na mahusiano baina ya nchi zenye urafiki hata hivyo kilichoelezwa zaidi ndani ya barua hiyo kimebaki kuwa siri huku balozi wa marekani nchini humo bwana michael ranneberger UNK gazeti la sunday nation kuwa UNK barua hiyo bali majibu UNK washington inaelezwa kuwa hatua hiyo isiyotarajiwa ya rais kibaki dhidi ya rais obama inaweza kufungua mgawanyiko zaidi katika serikali ya kitaifa kwa kile kinachodaiwa kuwa barua hiyo inaonekana italeta mgongano kuhusu uzito wa nafasi ya waziri mkuu bwana raila odinga kutokana na kauli yake ya kuunga mkono vitisho vya marekani dhidi ya maofisa hao mwishoni mwa wiki waziri mkuu bwana odinga akiwa katika chuo kikuu cha UNK alisema kuwa marekani ina haki ya kuwachukulia hatua maofisa wa serikali yake ambao itaona wanakuwa kikwazo katika kuleta mabadiliko serikali ya kugawana madaraka nchini kenya imekuwa ikisuasua katika kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa wakati wa kuundwa kwa serikali ya kugawana madaraka serikali hiyo ya kugawana madaraka iliundwa baina ya rais kibaki na waziri mkuu bwana raila odinga kama hatua ya kumaliza machafuko UNK baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini sifuri saba zaidi ya watu mia moja na hamsini sifuri waliuawa kwenye ghasia hizo ambazo UNK baada ya wapinzani kudai UNK mapatano kati ya pande mbili hizo UNK na katibu mkuu wa zamani wa umoja wa mataifa bwana koffi UNK washukiwa wanne wa ugaidi waliokuwa wakishikiliwa katika gereza la UNK UNK kwa siri kutoka gereza hilo la mateso lililopo nchini cuba na kupelekwa sehemu nyingine maofisa wa serikali ya marekani wamesema maofisa hao walisema jana kuwa washukiwa wawili ambao UNK majina yao UNK nchini ireland na mmoja waliyemtaja kwa jina la bwana UNK ali bin ali ahmed UNK nchini kwao yemen ingawa UNK ni lini washukiwa hao UNK kutoka katika gereza hilo mwezi julai mwaka huu vyombo vya habari vilidai kuwa watuhumiwa wawili UNK nchini ireland ni raia wa UNK hata hivyo wizara ya sheria ya marekani ilikataa kuthibitisha uraia wao huku ikikataa kueleza ni lini uhamisho huo UNK zaidi ya msemaji wa wizara hiyo kusema kuwa hatua za kiusalama UNK wakati UNK msemaji huyo alieleza kuwa wizara itaendelea kuwasiliana na serikali za ireland na yemen kama kutakuwa na uwezekano wa kuwaachia washukiwa hao watatu tangu mwaka ishirini sifuri mbili washukiwa zaidi ya mia tano na hamsini wamekwisha UNK kutoka gereza hilo la UNK rais wa marekani bwana barack obama alitangaza UNK gereza hilo ifikapo mwezi januari mwakani jambo ambalo ni miongoni mwa sera zake UNK wakati UNK mapema mwaka huu hata hivyo sera hiyo imekutana na upinzani mkali kutoka nchini humo unaopinga mipango hiyo ukiwemo wa UNK katika ardhi yake baadhi ya washukiwa ili wafikishwe kizimbani ama waendelee kushikiliwa nchini humo waziri wa nishati nchini afghanistan bwana ismail khan amenusurika kufa katika shambulizi la bomu la kutega kandokando ya barabara lililotokea magharibi mwa mji wa UNK polisi nchini humo walisema kuwa watu wanne walipoteza maisha na wengine kadhaa walijeruhiwa katika mlipuko huo uliotokea wakati waziri huyo akiwa njiani kwenda uwanja wa ndege msemaji wa kundi la wanamgambo wa taliban alidai kundi hilo kuhusika na shambulizi hilo wakati akizungumza na mashirika ya habari kwa njia ya simu tangu ijumaa iliyopita ghasia zimekuwa UNK kuongezeka nchini afghanistan hali ambayo imemfanya kamanda mkuu wa majeshi ya marekani kuomba wanajeshi wa ziada hivi karibuni jenerali stanley UNK alisema kuwa mpango wa marekani nchini afghanistan unaelekea kukwama endapo hatapewa wanajeshi wa ziada maofisa hao wa polisi walisema kuwa mlipuko huo wa mjini UNK ulitokea nje ya jengo la shule msemaji wa jeshi hilo bwana UNK ahmadi alisema kuwa watu wapatao kumi na saba walijeruhiwa wakiwemo walinzi wanne wa bwana ismail khan na akasema hata hivyo waziri huyo alifanikiwa kuwasili salama kwenye uwanja huo wa ndege bwana ahmadi aliongeza kuwa kati ya watu wanne waliokufa yumo mwanamke na mtoto bwana ismail khan ni mmoja kati ya viongozi muhimu katika eneo la kaskazini na mwaka ishirini sifuri moja vikosi vyake UNK marekani kuwanggoa wanamgambo wa UNK waziri wa nchi ofisi ya rais bibi sophia simba amesema UNK haya fisadi yeyote hata aende na shilingi bilioni moja pia waziri huyo amewataka wanawake wa tanzania na taifa kwa ujumla kumwombea kwa kuwa ni mwanamke pekee aliye katika nafasi ngumu ya kupambana na mafisadi nchini bibi simba aliyasema hayo mwishoni mwa wiki alipokuwa akifunga kongamano la wanawake UNK kitaifa lililofanyika katika kanisa la sinza UNK centre jijini dar es salaam alisema kuwa fisadi yeyote asitarajie kwenda kwake kwa dhana potofu UNK na wengi kwamba wanawake ni dhaifu na kumpa rushwa ya bilioni moja akitegemea kuwa kesi dhidi yake UNK UNK mahakamani kwani atakuwa UNK wanawake wenzangu nikiwa kama mwanamke na kulingana na wadhifa wangu wa kusimamia utawala bora nchini UNK haya fisadi yeyote hata aje na bilioni moja ili UNK hilo kwangu halitawezekana kwani UNK maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla alisema bibi simba aliwatoa hofu wanawake nchini kuwa serikali inafanya kazi kwa nguvu zake zote katika masuala mbalimbali hasa la kupambana na mafisadi baada ya sheria ya takukuru kufanyiwa marekebisho amewataka wanawake wote nchini kuiga mfano wake kwa kukataa kutoa rushwa sehemu ambazo wanatakiwa wapate haki zao kama hospitalini na mahakamani waziri huyo aliwaonya viongozi wa dini ambao wanaingilia mambo ya siasa kuachana na tabia hiyo ili kulinda amani ya nchi hasa katika kipindi hiki UNK katika uchaguzi mkuu nawaasa wanawake nchini na taifa kwa ujumla kuwapuuza viongozi wa dini ambao wanaingilia mambo ya siasa na dini bali nawaasa wafanye kazi ya kuongoza watu kiroho na masuala ya siasa waachie wanasiasa alisema bibi simba aidha amewataka wanawake nchini UNK kwa kutegemea maendeleo UNK mahali walipo bali pale wanapoona kuwa serikali inatoa fursa ya mikopo kwa wanawake wawe mstari wa mbele kufuatilia nafasi hizo naye mchungaji wa kanisa hilo godfrey emmanuel alisema akina mama na taifa kwa ujumla hawana budi kusimama imara katika maombi ili kuwaokoa vijana ambao UNK kutokana na utumiaji wa dawa za kulevya kongamano hilo UNK wanawake wapatao ishirini sifuri kutoka katika mikoa ishirini na sita ya tanzania bara na visiwani na wengine kutoka nchi jirani za kenya uganda na congo rais wa marekani bwana barack obama amekutana na waziri mkuu wa israeli bwana benjamin netanyahu katika ikulu yake iliyopo mjini washington ikiwa ni sehemu ya jitihada zake za kufufua mazungumzo ya amani mashariki ya kati mazungumzo hayo yaliyofanyika juzi white house UNK huku kukiwepo hali ya wasiwasi kuhusu mahusiano kati ya utawala wa rais obama israeli na viongozi wa mamlaka ya palestina kuhusu ujenzi wa makazi katika ukanda wa UNK kikao hicho kati ya waziri mkuu huyo wa israeli na rais obama UNK baada ya kiongozi huyo kuwasili nchini marekani kutokana na mara kadhaa white house kukataa kuthibitisha mkutano huo ingawa maofisa wa serikali ya israeli wamekuwa wakisema kuwa mwaliko pekee ndio unaweza kumshawishi bwana UNK ilielezwa baada ya kikao hicho bwana netanyahu aliwaambia viongozi wenzake ukanda wa UNK kwa leo naweza kumueleza kiongozi wa mamlaka ya palestina mahmoud abbas UNK kwanza tufikie makubaliano ya kihistoria na tuanze mazungumzo hayo kwa haraka alisema lengo ni kupatikana mkataba wa amani wa kudumu kati ya israeli na palestina hivi karibuni utawala wa serikali ya rais obama umelifanya suala la amani kati ya israeli na palestina kuwa jiwe la msingi katika sera zake za mashariki ya kati hata hivyo jitihada za hivi karibuni UNK kugonga mwamba mara mbili mahakama kuu ya hapa imetupilia mbali rufaa ya hukumu ya kifo iliyowasilishwa mahakamani hapo na mawakili wa UNK UNK watu mwaka ishirini sifuri mbili mjini washington dc waliotaka kucheleweshwa hukumu hiyo john allen muhammad anatazamiwa kunyongwa leo kwa kumuua dean harold meyers mmoja wa watu kumi waliouawa katika muda wa wiki tatu za UNK hata hivyo mahakama hiyo haikutoa sababu ya kukataa maombi hayo ya UNK ingawa muhammed bado anayo nafasi moja ya mwisho ya kupewa msamaha na gavana wa virginia timothy UNK mtoto wa muhammad wakati huo akiwa mvulana lee UNK UNK anatumikia adhabu ya kifungo cha maisha jela kutokana na kushiriki katika mauaji hayo watuhumiwa hao wawili waliwaua watu sita mjini UNK na UNK kabla ya kuhamia UNK washington na virginia kutokana na mfululizo wa UNK hayo ya mwaka ishirini sifuri mbili watu UNK kuingiwa na wasiwasi hususani baada ya tukio la kifo cha meyers ambaye UNK akiwa kwenye kituo cha kuuza mafuta katika kitongoji cha UNK virginia imeelezwa kuwa kwa kukataliwa rufaa hiyo muhammad atanyongwa kwa kuchomwa sindano katika gereza la virginia ingawa mawakili wake wanapinga maamuzi hayo ya mahakama virginia itakuwa UNK mtu mtu ambaye UNK ya akiri na ambaye ni UNK wa vita ya UNK shirika la habari la uingereza ap UNK wakili wa mtuhumiwa jonathan sheldon akisema sheldon vilevile ameshutumu muda uliopangwa kutekelezwa hukumu hiyo ambao utakuwa ni siku kabla ya maadhimisho ya maveterani ambayo ni siku ya mashujaa rais wa zambia bwana UNK banda amesema serikali ilitumia dola milioni kumi na tatu sawa na pauni milioni saba nane kwa ajili ya kuendesha kesi dhidi ya rais wa zamani wa nchi hiyo bwana frederick UNK kiongozi huyo wa zamani alikuwa akikabiliwa na mashitaka ya kutafuna dola hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri za misaada ya kijamii akizungumza mwishoni mwa wiki katika mkutano wa hadhara rais banda alisema kuwa ingekuwa vizuri zaidi kama fedha hizo zingetumika mashuleni kununuliwa dawa na kuboresha huduma mahospitalini rais UNK ambaye ni maarufu kwa matumizi UNK mashitaka hayo mwezi agosti mwaka huu licha ya mahakama kuu ya uingereza mwaka ishirini sifuri saba kuamua kuwa kiongozi huyo alikuwa ameficha zaidi ya dola milioni arobaini za walipa kodi nchini zambia kwenye akaunti za benki zilizopo nchini humo utafiti mpya umeonesha kuwa wanaume nchini kenya wanakuwa na vimada zaidi ya watatu katika kipindi cha maisha yao tofauti na inavyokuwa kwa wanawake kwa mujibu wa taarifa ya utafiti uliofanywa hivi karibuni na taasisi ya kenya UNK health survey wastani wa asilimia sita tatu ya wanaume UNK ikilinganishwa na asilimia mbili moja ya wanawake ripoti hiyo ilieleza kuwa wanaume kutoka mikoa ya kati ndio wanaoongoza kwa kuwa na asilimia nane tatu ya nyumba ndogo ikifuatiwa na mikoa ya magharibi mwa nchi ambayo ina asilimia nane moja wanaume kutoka mikoa ya pwani wameripotiwa kuwa na wastani wa asilimia saba nane ya vimada wakati mikoa ya rift valley imeonesha kuwa na asilimia sita ya wanaume wenye nyumba ndogo huku maeneo ya nairobi na nyanza UNK baada ya kubainika kuwa na asilimia tano sita utafiti huo ambao ulifanyika mwishoni mwa mwaka jana na mapema mwaka huu uliwahusisha wanaume mbili mia sita na thebathini na tatu na UNK kuwa idadi ndogo ya wanawake ndiyo inakuwa na mpenzi wa nje katika mikoa ya kati imeonekana kuwa idadi ya wanawake wanaokuwa na wapenzi zaidi ya mmoja katika maisha yao ni wastani wa asilimia mbili saba wakati wanawake katika mikoa ya magharibi na mashariki ina wastani wa asilimia mbili tatu ya wanawake ripoti hiyo ilisema kuwa wanawake na wanaume UNK na kuoa ndio wanakuwa na wapenzi wawili ama zaidi ikilinganishwa na wale ambao UNK ama kuoa au waliotengana katika ndoa katika ripoti hiyo imeelezwa kuwa wanandoa waliotengana ama wajane wanakuwa na wapenzi wawili imebainika pia katika utafiti huo watu wenye umri kati ya miaka arobaini ni wachache wanaojihusisha na masuala ya uzinzi polisi wa ugiriki wamesema kuwa wamefanikiwa kumtia mbaroni mtuhumiwa wa mauaji ambaye alitoroka gerezani mapema mwaka huu akitumia helkopta serikali ilisema raia huyo wa albania bwana UNK UNK alikamatwa mapema jana kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo athens baada ya kutoroka gerezani februari ishirini na mbili mwaka huu akiwa na mtuhumiwa wa wizi wa kupora kwenye mabenki bwana UNK UNK hata hivyo walisema kuwa bwana UNK bado UNK na jitihada za kumtafuta zinaendelea wanaume hao wawili waliotoroka katika gereza kubwa lililopo katika mji mkuu huo wa athens na kufanya historia ya mwaka ishirini sifuri sita UNK ya wafungwa kutoroka kwa helkopta katika gereza hilo serikali ya paraguay imesema kuwa watu zaidi ya moja ishirini sifuri wamenusurika kufa kwa ajali ya moto UNK ghafla na kuteketeza soko la bidhaa mbalimbali lililopo nje kidogo ya mji mkuu wa nchi hiyo UNK habari kutoka nchini humo zilieleza jana kuwa moto huo ulitokea juzi na katika tukio hilo watu wawili ndio waliopoteza maisha maofisa wa serikali walisema kuwa polisi na watu wa vikosi vya zimamoto ndio waliokota maiti hizo za watu wawili umbali mchache kutoka katika eneo la mabaki ya soko hilo walisema kuwa katika tukio hilo pia watu kumi na saba wakijeruhiwa na kukimbizwa UNK ajali hiyo ya moto inadaiwa kurejesha nyuma katika kumbukumbu ya ajali ya moto iliyotokea katika ndani ya duka moja la kuuza bidhaa mbalimbali katika mji huo wa UNK mika mitano iliyopita na kusababisha vifo vya watu mia nne na ishirini mahakama moja nchini misri imewahukumu adhabu ya kifo ndugu wawili waumini wa madhehebu ya kikristo baada ya kuwatia hatiani kwa mauaji ya mwanaume wa kiislamu ambaye alimuoa ndugu yao vyanzo vya habari za mahakama vilieleza kuwa ndugu hao bwana bwana rami atef khella na bwana UNK khella ambao ni kaka na mjomba wake bibi mariam atef khella walihukumiwa adhabu hiyo juzi baada ya UNK na hati ya kuvamia nyumbani kwa marehemu katika eneo la kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo cairo maofisa wa vyombo vya usalama walisema kuwa katika tukio hilo ambalo lilitokea mwaka mmoja uliopita baada ya kuvamia nyumbani kwa marehemu wakiwa na silaha bwana rami UNK risasi mume wa UNK yao bwana ahmed UNK na kufa hapo hapo wakati bibi mariam na mtoto wao nur walijeruhiwa hata hivyo mufti mkuu bwana ali gomaa ndiye aliyekuwa akisubiriwa UNK maamuzi hayo ya mahakama dhidi ya wanaume hao wawili kama UNK katika sheria za nchi hiyo katika kesi kama hiyo ambayo siyo ya kijeshi vyanzo vya habari UNK shirika la UNK la ufaransa afp kuwa maamuzi ya mufti yalitarajiwa kutolewa jana kabla ya mauaji hayo ilielezwa kuwa kutokana na na UNK aliyokuwa UNK kutoka kwa wanafamilia wengi bibi khella aliamua kukimbia kijiji na kwenda kuolewa na bwana UNK inaelezwa kuwa katika eneo la mashariki ya kati misri ndiyo ina waumini wengi wa madhehebu ya kikristo ambao ni kuanzia asilimia sita hadi katika idadi ya watu milioni themanini lakini wamekuwa wakilalamika kuhusu manyanyaso na UNK tovuti kadhaa nchini iran UNK kuwa naibu waziri wa zamani wa ulinzi ambaye alipotea karibia miaka mitatu iliyopita alitekwa na makachero wa israel na hadi sasa anashikiliwa nchini humo bwana ali UNK asgari ambaye ni jenerali mstaafu na ambaye aliwahi kutumika vikosi vya ulinzi vya iran alitoweka ghafla wakati akiwa katika safari binafsi nchini uturuki mwezi desemba mwaka ishirini sifuri sita mwezi machi mwaka huu maofisa wa wizara ya ulinzi ya ujerumani walisema kuwa bwana asgari alikuwa ameshikiliwa na serikali ya iran kwa kuwa alikuwa akitoa maelezo kwa nchi za magharibi kuhusu mpango wa iran wa kumiliki silaha za UNK hata hivyo taarifa hizo zilikanushwa na maofisa wa serikali na familia yake wakidai kuwa bwana asgari alitekwa nyara moja ya tovuti inayoitwa UNK juzi iliripoti kuwa makachero wa ujerumani na uingereza ndio UNK na makachero wa israeli kumkamata bwana asgari na kumpeleka UNK kwa kuzingatia uchunguzi uliofanyika kwa muda wa miaka miwili ili kutafuta mwili asgari alitekwa na UNK wa kigeni na anashikiliwa katika magereza ya israeli tovuti hiyo ilieleza ikirejea uchunguzi uliofanywa na vyombo vya usalama vya iran UNK jambo hilo asgari alitekwa kwa ushirikiano wa kundi la UNK pamoja na ujerumani na uingereza na baadaye UNK nchini israeli taarifa hizo UNK hata hivyo pamoja na shutuma hizo wizara ya mambo ya kigeni ya israeli ilikataa kutoa maelezo yoyote bwana hans ruehle ambaye ni mkuu wa zamani wa mipango katika jeshi la ujerumani mwezi machi mwaka huu aliandika barua katika vyombo vya habari nchini UNK akisema kuwa bwana asgari UNK mataifa ya magharibi kuwa iran inatoa msaada wa kifedha kwa korea kaskazini ili kuiingiza syria katika mpango wa kumiliki silaha za nyuklia jambo ambalo liliifanya israeli kufanya mashambulizi katika miji ya syria septemba sita ishirini sifuri saba mbali na ofisa huyo marekani pia ilidai kuwa ujenzi wa kiwanda cha kuzalisha silaha hizo cha syria ulikuwa karibia ukamilike lakini taarifa hizo UNK vikali na syria ikidai kuwa eneo hilo lilikuwa UNK kwa shughuli za kijeshi katika malumbano hayo bwana ruehle alisema kuwa baadaye bwana asgari ambaye alikuwa nguzo muhimu katika kuanzisha kundi la UNK nchini lebanon alibadili mwelekeo na kuanza kuvujisha taarifa hizo za iran kumiliki UNK vya nyuklia kwa mataifa ya magharibi hali ambayo alidai kuwa huenda ndiyo maana iran UNK kumtia UNK kwa siri rais jakaya kikwete ametaja baadhi ya athari za kutisha ambazo zimeanza kujitokeza duniani kutokana na mabadiliko makubwa ya tabianchi ikiwa ni pamoja na uwezekano mkubwa wa kiasi kikubwa cha ardhi UNK na maji kwa sababu ya kupanda kwa kiwango cha maji ya bahari rais kikwete alisema athari nyingine ni kwamba kutokana na mabadiliko ya tabianchi wastani wa maafa hamsini sifuri yanayohusiana na hali ya hewa yamekuwa yanatokea kila mwaka katika miaka ya karibuni kulinganisha na wastani wa maafa mia moja na ishirini yaliyokuwa yakitokea miaka ya elfu moja na mia tisa na themanini rais kikwete aliyasema hayo juzi katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na katibu mkuu wa umoja wa mataifa bwana ban ki moon kwa viongozi wa nchi waliohudhuria mkutano wa usalama wa chakula mjini hapa rais kikwete aliwaambia viongozi wenzake kuwa kutokana na mabadiliko hayo ya tabianchi UNK na ongezeko la ukali wa ukame ambao umesababisha uharibifu wa mazao na vifo vya mifugo mingi katika miaka ya karibuni idadi ya mafuriko yanayotokea kila mwaka imeongezeka mara sita tangu miaka ya elfu moja na mia tisa na themanini ushahidi unaonesha kuwa mafuriko hayo huharibu mazao huharibu ardhi na maeneo ya kilimo na UNK rutuba ya ardhi ambayo huko nyuma UNK mazao kwa wingi alisema rais kikwete aliongeza kusema kuwa ongezeko la kiwango cha maji ya bahari linalosababishwa na mabadiliko ya tabianchi UNK kiasi kikubwa cha ardhi kwa mfano katika tanzania ongezeko la kiwango cha maji ya bahari kwa sentimita hamsini inaweza kumeza kiasi cha kilomita za mraba mbili sifuri sifuri sifuri za ardhi alisema mabadiliko ya tabianchi husababisha uharibifu mkubwa katika miundombinu na njia nyingine za usafiri na hivyo kuharibu njia za uhakika zaidi za UNK chakula kwenye masoko na hivyo kusababisha ongezeko la bei ya chakula rais alisema kuwa athari za mabadiliko kwa nchi zinazoendelea zitakuwa kubwa ikiwa ni pamoja na kusababisha ukosefu mkubwa wa chakula mabadiliko ya tabianchi yanaongeza utegemezi wa nchi zinazoendelea kwa chakula cha kuagizwa kutoka nje na hivyo kuongeza changamoto za usalama wa chakula katika nchi hizo na yote haya UNK watu masikini zaidi katika nchi zetu mahakama maalumu ya umoja wa mataifa un inayosikiliza kesi za mauaji ya halaiki yaliyotokea mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne nchini rwanda imemwachia huru mtuhumiwa ambaye awali alikuwa amehukumiwa kifungo cha miaka ishirini na mbili jela bwana protais zigiranyirazo ambaye ni mpwa wa rais wa zamani wa rwanda bwana juvenal habyarimana aliachiwa huru juzi baada ya mwaka jana mahakama hiyo kumtia hatiani kwa kula njama za mauaji ya watu wapatao moja sifuri sifuri sifuri hata hivyo baada ya kukata rufaa majaji wa mahakama hiyo walisema kuwa kuna makosa makubwa yaliyofanyika katika uendeshaji wa kesi hiyo na ukiukwaji mkubwa wa sheria mwandishi wa shirika la utangazaji la uingereza bbc UNK kuwa baada ya kutolewa maamuzi hayo bwana zigiranyirazo alionekana kutoamini kilichotokea huku UNK kuhusu uamuzi huo mungu mkubwa na haki UNK nimefurahi sana aliiambia bbc ndege iliyokuwa UNK rais habyarimana UNK april sita mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne hali ambayo ilisababisha kulipuka mapigano ya siku kumi sifuri ambayo yalisababisha vifo vya watu wanaokadiliwa kufikia themanini sifuri sifuri sifuri sifuri kutoka makabila ya wahutu na UNK katika mapigano hayo bwana zigiranyirazo alikuwa akishutumiwa kuongoza kundi ambalo UNK watutsi ambao walikuwa wakitafuta hifadhi milimani siku chache baada ya mauaji hayo kuanza shirika la habari la uingereza ap limeripoti kuwa hata hivyo jana jaji UNK UNK alisema kuwa katika maamuzi hayo kulikuwa na makosa mengi katika uwasilishaji vielelezo baada ya hukumu hiyo bwana zigiranyirazo aliiambia bbc kuwa atahitaji kulipwa fidia katika kipindi cha miaka nane na nusu ambayo alikuwa UNK akiwa UNK kwa upande wa serikali ya rwanda waziri wa sheria aliiambia bbc kuwa serikali haikufurahishwa na uamuzi huo lakini akasema kuwa haina uwezo kutengua maamuzi hayo maofisa wa umoja wa mataifa UNK shirika la utangazaji la uingereza bbc tani zipatazo arobaini za dhahabu zimekuwa UNK nje ya jamhuri ya kidemokrasi ya kongo drc kwa njia UNK bwana UNK mahtani alisema kuwa machimbo mengi ya dhahabu yamekuwa yakimilikiwa na waasi ambao wamekuwa wakitumia raslimali hiyo kwa ajili ya kununua silaha bwana mahtani ambaye anatarajia baadaye wiki hii kuwasilisha ripoti yake katika baraza la usalama la umoja wa UNK alisema kuwa fedha hizo ndizo zimekuwa UNK makundi ya waasi vitani dhahabu nyingi imekuwa UNK dubai kupitia uganda aliongeza bwana mahtani ambaye anashirikiana na wataalamu wa kuzuia silaha za magendo katika un aliiambia bbc kuwa hivi karibuni kuna vigogo nchini drc ambao wamekuwa wakiuza dhahabu zenye thamani ya dola bilioni moja ishirini na nne ama bidhaa za dhahabu zenye uzani wa tani arobaini nje ya nchi UNK bila kulipa ushuru wowote alisema faida katika biashara hizo imekuwa UNK kwa mamilioni ya dola ambayo yamekuwa UNK nchini humo kwa kubadilishana silaha dhahabu nyingi katika biashara hiyo imekuwa ikiendeshwa na mtandao wa waasi kama wa kundi la UNK UNK linatokea nchini rwanda na ambalo UNK walihusika na mauaji ya halaiki ambalo linaendesha shughuli zake mashariki mwa drc alisema aliongeza kuwa biashara hiyo ya dhahabu ndiyo imekuwa UNK kipato cha moja kwa moja makundi hayo ya UNK waziri mkuu wa kenya bwana raila odinga amewataka wanasiasa kuacha UNK bali wasubiri hatua UNK kwa mwendesha mashitaka mkuu wa mahakama ya kimataifa inayoshughulikia makosa ya uhalifu wa kivita bwana luis moreno ocampo katika jitihada zake za kuwafungulia mashitaka watuhumiwa wa ghasia za uchaguzi mkuu uliopita waziri mkuu huyo aliwaeleza wanasiasa kuwa tayari kujitolea wakati icc itakapokuwa ikifanya uchunguzi kama huna UNK tulia alisema bwana odinga wakati akilielezea bunge kuhusu UNK kwenye kikao chao cha novemba tano kati ya bwana moreno ocampo na rais mwai kibaki unaweza kwenda the hague kwa kujitolea alisema bwana odinga na kuongeza kuwa hafahamu ni kwa nini watu UNK na ni kwa nini jambo hilo linasababisha hali ya wasiwasi na hofu kubwa katika taarifa hiyo waziri mkuu alisema kuwa atakuwa tayari kukabiliwa na mashitaka endapo icc UNK hatiani utafiti mpya umebainisha kuwa unywaji pombe kila siku kwa wanaume UNK kuwaondoa katika hatari ya kukumbwa na maradhi ya ugonjwa wa moyo utafiti huo ambao ulifanyika nchini hispania na kuwahusisha wanaume wapatao kumi na tano hamsini sifuri na wanawake zaidi ya ishirini na sita sifuri sifuri sifuri unaeleza kuwa kiwango kikubwa cha pombe kinaweza kuwa na manufaa zaidi kwa wanaume huku utafiti huo wa magonjwa ya moyo UNK kuwa kiasi hicho kikubwa hakiwezi kuwa na manufaa kwa wanawake hata hivyo wataalamu hao walionya kuwa unywaji pombe wa kupindukia unaweza kusababisha ongezeko la magonjwa mengine huku pombe ikiwa na uwezekano wa kusababisha vifo vya watu milioni moja nane kwa mwaka ulimwengu mzima utafiti huo ulifanyika nchini hispania ambayo ni nchi inayozalisha pombe kwa wingi huku ikiwa na kiwango kidogo cha magonjwa ya moyo uliwahusisha wanaume na wanawake wenye umri kati ya miaka ishirini na tisa na sitini na tisa ambao UNK kufahamu kuhusu maisha ya mtumiaji pombe timu hiyo ya watafiti waliobobea inadai kubaini madhara yanayoweza kumkumba mtu ambaye hajawahi kutumia pombe na ambao matatizo ya kiafya UNK kuacha kunywa walisema katika utafiti uliofanywa karibia nchi nzima ya hispania mnywaji anashauriwa kunywa sio zaidi ya UNK tisini kwa kila siku ambayo inaweza kuwa sawa na chupa kama nane za mvinyo ama lita ishirini na nane za bia kwa wiki watu UNK kunywa zaidi ya kiasi UNK kwenye utafiti alisema profesa martin mckee kutoka chuo cha utafiti wa magonjwa ya ukanda wa hali ya joto cha jijini london alisema kuwa mfano kwa watu UNK kiwango kidogo cha pombe aina ya UNK kwa siku hatari ya kukumbwa na magonjwa hayo inapungua kwa asilimia thebathini na tano na akasema kuwa kwa upande wa wanaotumia kiwango cha UNK tatu hadi kumi na moja kwa kila siku hatari hiyo UNK kwa wastani wa asilimia hamsini hata hivyo profesa mckee alisema kuwa manufaa kama hayo UNK upande wa wanawake ambao UNK na matatizo ya ugonjwa wa moyo kwa kiasi kidogo kuliko wanaume jeshi la polisi nchini uganda limesema kuwa limeshindwa kumpa dhamana binti wa miaka kumi na nne anayedaiwa kumuua kwa kumpiga jiwe kichwani mwanaume mwenye umri wa miaka arobaini katika eneo la UNK kwa kile UNK ni kuwa alitaka kumbaka baada ya familia yake kushindwa kujitokeza UNK binti huyo ambaye jina lake UNK kwa sababu maalumu ni yatima na alishindwa kufanya sehemu ya mitihani yake ya kufunga mwaka tangu UNK kamishina wa polisi wa wilaya bwana jimmy oyuku alisema wameshindwa kutoa dhamana kwa binti hiyo kutokana na kuwa hakuna ndugu hata mmoja aliyefika polisi kumsaidia ili aweze kuachiwa na akafanye mitihani yake kamanda huyo alisema licha ya familia pia mwalimu mkuu katika shule ambayo anasoma hajaenda kituoni hapo ili kumuokoa binti huyo ameripotiwa kuwa ni mwanafunzi wa darasa la nne na amekuwa akiishi nyumbani kwake na mdogo wake wa kiume mwenye umri wa miaka tisa ambaye hakuwepo nyumbani wakati binti huyo akitaka kufanyiwa unyama huo kwa kuwa alikuwa ameenda kutafuta kuni za kupikia baba mzazi wa yatima hao alifariki miaka kadhaa iliyopita wakati mama yao alifariki mwezi april mwaka huu na polisi walisema kuwa hata ndugu zake ambao wanapaswa kumsaidia wanaonekana UNK binti huyo ambaye anaonekana mwenye majonzi akiwa amevaa sketi nyeusi na jaketi juzi alipelekwa hospitalini kwa ajili ya kupatiwa matibabu jumanne wiki hii polisi waliwaambia waandishi wa habari kuwa binti huyo alimtwanga kichwani mwanaume waliyemtaja kwa jina la bwana josephat mpigika baada ya kujaribu kumbaka walisema kuwa bwana mpigika ambaye ni mkazi wa kijiji cha UNK alifariki muda mfupi baada ya kufikishwa katika hospitali ya UNK kamanda oyuku alisema kuwa ameiomba serikali ya wilaya ili kuangalia jinsi ya kumsadia binti huyo endapo mkuu wa wilaya atashindwa kulitatua tatizo hili tutamchukulia hatua katika sheria za watoto alisema bwana UNK alipohojiwa ni kwanini jalada la binti huyo UNK kwa mwanasheria mkuu kamanda oyuku alisema kuwa uchunguzi bado haujakamilika ingawa kwa pembeni alisema kuwa wanahofia usalama wa binti huyo atakaporejea nyumbani bila ulinzi rais hamid karzai ameapishwa kuwa kuwa rais wa afghanistan kwa muhula wa pili baada ya kushinda uchaguzi mkuu ambao ulitawaliwa na hujuma kiongozi huo aliapishwa jana ambapo katika hotuba yake ya kuapishwa bwana karzai alizungumzia swali muhimu kuhusiana na tatizo la rushwa ambalo alisema kuwa mawaziri wake wanapaswa kupambana kufa na kupona katika hotuba hiyo rais karzai alisema kuwa ana matumaini katika kipindi cha miaka mitano vikosi vya usalama vya nchi hiyo ndivyo UNK usukani na majukumu kwa majeshi ya kigeni UNK vilevile akawataka wapinzani wake UNK kuungana naye ili kufanya pamoja kazi ya kutafuta amani nchini humo habari kutoka mjini kabul zilieleza kuwa viunga mbalimbali vya mji huo vilikuwa UNK huku vikosi vya usalama vikiwa vimeweka vizuizi kadhaa katika barabara za mji huo wakati wa sherehe za kuapishwa kiongozi huyo ilielezwa kuwa pia uwanja wa ndege wa kimataifa ulikuwa umefungwa huku ikitangazwa kuwa ni siku ya mapumziko na watu UNK kubaki majumbani mwao kutokana na sababu za kiusalama sherehe hizo zimeripotiwa kuhudhuriwa na wageni kutoka mataifa UNK arobaini akiwemo waziri wa mambo ya nje wa marekani bibi hillary clinton na rais wa pakistani bwana UNK ali UNK akihutubia kuhusu matatizo ya rushwa bwana karzai alisema kuwa utawala bora UNK kwa mwenye mungu na jambo hilo litamfanya kuwa makini ili kuhakikisha mawaziri wake wanakuwa waadilifu na waaminifu alisema rushwa ni tatizo kubwa hivi karibuni UNK mkutano mjini kabul ili kutafuta njia nyingine mpya ya kukabiliana nalo aliongeza rais UNK alisena kinachotakiwa ni kujifunza kutokana na makosa katika kipindi kifupi cha miaka nane iliyopita na UNK mpinzani wake UNK bwana abdullah abdullah kujumuika naye kuijenga UNK maofisa wa serikali ya saudi arabia wamesema mahujaji wanne wamekufa kwa homa ya mafua ya nguruwe wakati wakihudhuria ibada ya hijja inayofanyika katika mji mtakatifu wa mecca walisema jana kuwa waliopoteza maisha baada ya kukumbwa na ugonjwa huo ni mwanamke raia wa morocco wanaume wawili kutoka sudan na india ambao umri wao UNK kuwa ni kati ya miaka sabini wakati mahujaji wanne ni binti wa miaka kumi na saba raia wa nigeria wizara ya afya ya nchi hiyo ilisema kuwa kati ya waathirika hao wanne wa kigeni hakuna hata mmoja aliyekuwa UNK dhidi ya virusi vya homa hiyo ya h moja n moja takwimu mpya za shirika la afya ulimwenguni zinaonesha kuwa hadi sasa homa hiyo UNK maisha ya watu sita mia saba na hamsini ulimwengu mzima shirika la habari la ufaransa afp liripoti kuwa kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na wizara hiyo marehemu wote walikuwa na matatizo kiafya ukiwemo ugonjwa saratani na UNK lilieleza mahujaji watatu walipoteza maisha katika mji wa UNK wakati mmoja wao alifia mjini mecca kwa mwaka huu zaidi ya waumini milioni tatu wa madhehebu ya dini ya kiislamu kutoka kila pembe ya dunia wanahudhuria ibada hiyo takatifu licha ya maofisa wa afya kuwa na wasiwasi wa kuwa mkusanyiko huo unaweza kusababisha kusambaa virusi UNK homa hiyo ya mafua ya nguruwe hata hivyo serikali ya saudia imekuwa UNK kukabiliana na hali hiyo kwa kuweka kamera kwenye viwanja vya ndege na bandari pamoja na wafanyakazi wa sekta ya afya wapatao kumi na tano sifuri sifuri sifuri huku UNK kunakuwepo na mamia ya vitanda vya ziada msemaji wa wizara ya afya daktari khaled UNK aliliambia shirika la habari la ufaransa afp kuwa mahujaji wengine kumi na sita walikumbwa na homa hiyo na wengine wanne bado wamelazwa hospitalini huku hali zao zikiwa mbaya alisema kuwa mahujaji wengine kumi na mbili walipata nafuu baada ya kupewa matibabu serikali ya saudia ilisema kuwa mahujaji wote wanatakiwa kuonesha vyeti vya chanjo kabla ya kupewa hati ya kuingia nchini humo mwezi septemba mwaka huu serikali ya misri ilipiga marufuku mamia ya mahujaji wa kiislamu kusafiri kwenda UNK kwa sababu ya kuhofia kuhusu ugonjwa huo watu wapatao themanini na saba hadi sasa ndio UNK kuwa wamepoteza maisha katika mlipuko ulitokea katika mgodi wa makaa ya mawe uliotokea juzi kaskazini mwa china shirika la habari linalomilikiwa na serikali UNK shirika hilo xinhua liripoti jana kuwa wachimbaji wengine ishirini na moja walikuwa bado hawajulikani walipo baada ya kutokea UNK huo ndani ya mgodi huo wa UNK uliopo katika mji wa hegang katika jimbo la UNK idadi hiyo UNK kuwa ni mara mbili ya idadi ya watu arobaini na mbili iliyokuwa imetangazwa awali xinhua iliripoti kabla ya mlipuko huo kulikuwa na watu mia tano na ishirini na nane ndani ya mgodi huo idadi hiyo ya vifo inafanya tukio hilo kuwa miongoni mwa matukio makubwa ambayo yamesababisha madhara makubwa nchini humo katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni mbali na xinhua ofisa ukoaji bwana zhang UNK alikaririwa na shirika la habari la uingereza UNK akisema kuwa kazi ya kuwafikia wachimbaji ambao wamekwama chini mgodi UNK na gesi na kuta UNK xinhua liripoti kuwa rais hu jintao na waziri mkuu bwana UNK UNK wanawasiliana na timu za waokoaji na makamu wa rais bwana zhang UNK UNK eneo la tukio mlipuko huo ulitokea jumamosi jioni kwenye mgodi huo uliopo mpakani na urusi ambapo watu zaidi ya arobaini sifuri walifanikiwa UNK majeruhi walionusurika walitibiwa katika hospitali ya hegang mining bureau ambapo inasemekana kuwa wafanyakazi wake wote wapatao themanini sifuri walijumuika katika oparesheni ya ukoaji iliripoti UNK mwandishi wa shirika la utangazaji la uingereza bwana michael UNK aliripoti kutoka mjini beijing akisema kuwa inavyoonekana chanzo cha mlipuko huo ikawa ni gesi kundi la watu walionusurika katika mauaji ya halaiki ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne nchini rwanda wamesema kuwa wataacha kutoa UNK katika mahakama maalumu ya umoja wa mataifa iliyopo nchini tanzania wakipinga maamuzi yaliyotolewa hivi karibuni na mahakama hiyo ya kuwaachia watuhumiwa wawili wa mauaji hayo kundi hilo ambalo UNK ushahidi mwingi mbele ya mahakama hiyo limesema kuwa UNK tena ushirikiano tena katika mahakama hiyo maalumu ya kimatifa inayoshughulikia kesi hizo za mauaji ya rwanda hadi itakapokuwa UNK uamuzi wa UNK huru bwana UNK nsengimana na bwana protais UNK ictr inapaswa kukaa chini na kutengua maamuzi endapo hakutakuwepo na maamuzi mengine UNK basi UNK mahusiano alisema bwana freddy UNK ambaye ni katibu mkuu wa chama cha UNK ambacho kipo chini ya kundi la walionusurika mjini kigali hadi sasa ictr UNK kesi thebathini na tisa kati ya kesi arobaini na saba ambazo UNK wiki iliyopita UNK huru bwana nsengimana ikisema kuwa hakuna ushahidi wa kutosha wa kumtia UNK padri huyo wa kanisa katoliki kwa tuhuma za uhalifu wa kivita na ukiukwaji wa haki za binadamu mahakama hiyo ambayo ipo nchini tanzania vilevile UNK bwana zigiranyirazo ikidai kuwepo kwa ukiukwaji wa sheria katika kesi hiyo bwana UNK UNK ambaye familia yake yote UNK katika vita hiyo ya siku kumi sifuri nchini rwanda mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne ni mmoja kati ya waandamanaji wapatao ishirini sifuri UNK mwishoni mwa wiki hadi kwenye tawi la ictr lililopo katika mji mkuu wa rwanda mimi binafsi nahisi uchungu sana kutokana matokeo haya hatukubaliani na maamuzi haya UNK uchungu kuona watu hawa wanaachiwa alisema bwana UNK waziri mkuu wa zamani wa ukoo wa kifalme wa UNK bwana john katuramu ambaye alihukumiwa adhabu ya kifo mwaka ishirini sifuri moja amenusurika adhabu hiyo baada ya mahakama kuu nchini humo kutengua hukumu hiyo bwana katuramu ambaye alikuwa akisubiri kutekelezwa kwa adhabu hiyo kwa muda wa miaka nane ni miongoni mwa wafungwa ambao adhabu zao za kunyongwa UNK na kuwa adhabu ya kifungo cha maisha jela ambacho kwa uganda UNK na kuwa kifungo cha miaka ishirini jela habari kutoka kampala zilieleza jana kuwa hatua hiyo imekuja kutokana na maamuzi yaliyotolewa mwezi januari mwaka huu na mahakama kuu kwamba watuhumiwa hao walipaswa kunyongwa ndani ya kipindi cha miaka mitatu ama adhabu hiyo inaweza kubadilika na kuwa kifungo cha maisha inaelezwa kuwa kwa maana hiyo bwana katuramu ambaye wakati UNK kwa mauaji ya prince charles kijjanangoma alikuwa na umri wa miaka arobaini na sita ataachiwa huru mwaka ishirini moja tisa baada ya kutumikia kifungo kwa muda wa miaka kumi bwana katuramu alihukumiwa sambamba na UNK bwana patrick UNK baada ya jaji john bosco UNK kuwatia hatiani kwa kula njama za mauaji hayo ya prince kijjanangoma prince kijjanangoma UNK machi ishirini na tano elfu moja na mia tisa na tisini na tisa katika eneo la palace view bar UNK fort UNK zikiwa ni siku mbili kabla ya kwenda mahakamani kuwasilisha kesi dhidi ya bwana katuramu ambayo ilikuwa UNK na masuala ya utawala wa kifalme wa kabila la UNK katika mauaji hayo bwana katuramu anadaiwa kuwalipa fedha wauaji waliotekeleza mpango huo akiwemo bwana alex UNK ambaye ni mwanajeshi wa zamani wa updf na ambaye anasemekana kuwa ndiye UNK risasi prince kijjanangoma vyanzo vya habari katika gereza la UNK UNK gazeti la sunday vision kuwa bwana katuramu UNK katika eneo ambalo UNK UNK wafungwa waliohukumiwa adhabu ya kifo na kupelekwa sehemu ya kawaida ambayo UNK kama UNK wafungwa wengine walinufaika na maamuzi hayo ya mhakama kuu ni pamoja na mfanyabiashara mashuhuri wa zamani katika jiji la kampala mwenye asili ya kiasia bwana UNK kooky na wafanyabiashara wengine wawili ndugu bwana johnson kamya wavamunno na bwana UNK UNK bwana kooky na kaka yake bwana UNK UNK walihukumiwa kifo mwaka ishirini sifuri sifuri baada ya kupatikana na hatia ya mauaji ya mkewe bwana kooky bibi UNK UNK wakati wa sherehe za UNK za mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba wakati kesi hiyo UNK ilibainika kuwa wanandugu hao walitumia umeme kufanya mauaji ya mwanamke huyo ambaye alikutwa na majeraha ya kuunguzwa mwilini mbali na majeraha hayo uchunguzi pia ulibaini UNK vya sumu katika viungo vya ndani vya marehemu kwa upande wake bwana kamya wavamunno alihukumiwa adhabu hiyo mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa baada ya kutiwa hatiani kwa mauaji ya polisi na kisha kuiba dola mia mbili na arobaini sifuri sifuri sifuri kutoka katika gari ya kusafirisha fedha mali ya kampuni ya benki ya barclays uporaji huo ulitokea mwezi februari elfu moja na mia tisa na tisini na sita katika eneo la UNK lililopo karibu na mji wa UNK town rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania bwana jakaya mrisho kikwete ameipongeza rwanda kwa kukubaliwa kuwa mwanachama wa hamsini na nne wa jumuiya ya madola akizungumza kwa niaba ya viongozi wa kundi la afrika katika mkutano wa wakuu wa serikali za jumuiya ya madola unaofanyika katika mjini wa port of spain trinidad na tobago rais kikwete alisema kuwa mkutano wa safari hii umepiga hatua nyingine ya mafanikio kwa UNK rwanda kuwa mwanafamilia wa jumuiya hiyo katika mkutano huu tumepiga hatua nyingine kwa kuiruhusu rwanda kuwa mwanafamilia wetu huu ni uamuzi wa busara rwanda UNK UNK rwanda na watu watu wake shughuli hiyo alisema rais kikwete rwanda ilikubaliwa kuwa mwanachama wa jumuiya hiyo mwishoni mwa wiki baada ya kukubaliwa maombi yake UNK katika mkutano wa mwisho uliofanyika mwaka juzi waziri wa mambo ya nje wa rwanda alisema kuwa hatua hiyo imetokana na jumuiya hiyo kuridhishwa na hatua zilizopigwa na nchi yake katika kipindi cha miaka kumi na tano iliyopita rwanda ambayo ni koloni la zamani la ujerumani na ubelgiji ni nchi ya pili kukubaliwa kuwa mwanachama kutoka nchi ambazo hazikuwa koloni la uingereza au kuwa na katiba yenye uhusiano na uingereza msumbiji ndiyo nchi nyengine mwanachama wa commonwealth ambayo haina historia ya uhusiano na uingereza katika hatua nyingine rwanda UNK na ufaransa kurejesha ushirikiano wa kidiplomasia ikiwa ni baada ya uhusiano huo kuvunjika tangu mwaka ishirini sifuri sita UNK mkuu wa ikulu ya ufaransa bwana claude UNK alisema kuwa makubaliano hayo yalifikiwa juzi baada ya kukutana na rais paul kagame mjini kigali mbali na ofisa huyo waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo bibi rosemary UNK aliwaambia waandishi wa habari kuwa hatua za kurejesha mahusiano hayo UNK serikali ya kigali ilikata mahusiano ya kidiplomasia na serikali ya paris mwaka ishirini sifuri sita baada ya majaji nchi ufaransa kumshutumu rais kagame na maofisa wake kwa kuhusika na mauaji ya rais wa zamani wa nchi hiyo bwana juvenal UNK shirika la habari linalomikiwa na serikali ya saudi arabia limesema kuwa idara ya maafa nchini imesema kuwa idadi ya vifo vya watu waliokufa kwa mafuriko katika mji wa UNK wiki iliyopita imeongezeka na kufikia watu kumi tatu huku waliokolewa wakiwa wamefikia watu moja arobaini sifuri vifo hivyo UNK na kujaa maji katika mji huo uliopo kandokando ya bahari ya UNK baada ya kushuhudiwa mvua kubwa ikinyesha nchini humo kwa mwaka huu wengi wa waathirika wa mvua hizo UNK kujeruhiwa ama kufa baada ya kuvunjika madaraja na katika ajali za magari katika taarifa iliyotolewa na serikali ya mji huo kupitia shirika hilo la habari la serikali ndege za vikosi vya ulinzi wa raia bado zinaendelea kupita angani ili kutafuta watu ambao UNK hata hivyo maofisa hao walisema kuwa hakuna mahujaji yoyote kati ya wanaohudhuria ibada ya hijja katika mji wa makka uliopo umbali wa kilometa themanini UNK mji huo wa UNK ndio kiungo muhimu kwa mahujaji wakati wanapokwenda hijja vyombo vya habari bado vinaendelea kudai kuwa ubovu wa miundo mbinu katika mji huo ambao wakazi wake wanaishi katika maeneo yasiyoruhusiwa ndicho chanzo cha maafa hayo waumini takribani milioni moja sita kutoka mataifa mbalimbali wapo nchini humo kwa ajili ya UNK serikali ya kisiwa cha UNK nchini hispania imeamua kuingilia kati ili kuokoa maisha ya mwanaharakati wa sahara magharibi bibi UNK haidar ambaye yupo wiki ya tatu ya mgomo wa kula akishinikiza serikali ya morocco imruhusu kurejea nyumbani hatua hiyo ni baada ya timu ya madaktari waliokuwa UNK na majaji na maofisa wa polisi juzi jioni kumtembelea bibi haidar kwenye uwanja wa ndege wa lanzarote ambapo mwanaharakati huyo ameweka kambi iliripotiwa jana kuwa baada ya kukutana na ujumbe huo majaji walisema kuwa UNK maamuzi usiku wa kuamkia jana lakini hakuna taarifa zaidi UNK pia mapema jana asubuhi polisi wa kikosi cha kutuliza ghasia ambao walikuwa wakionekana kuwa tayari UNK bibi haidar waliondoka katika eneo la tukio jambo ambalo UNK kuwa huenda majaji waliona kuwa hali ya afya ya mwanaharakati huyo UNK dharura ya kukimbizwa hospitali ujio huo UNK na polisi ambao unadaiwa kufufua matumaini miongoni mwa wanaomuunga mkono bibi haidar umekuja baada ya maofisa wa serikali ya kisiwa hiyo kutoa maombi mara kadhaa wakitaka hatua za haraka zichukuliwe ili kuokoa maisha ya mwanaharakati huyo ukiangalia muda jinsi ulivyo tangu UNK mgomo wa kula na tukio hili limetokea ndani ya jengo la uwanja wa ndege kuna hatari UNK maisha yake hivyo anahitaji uangalizi wa haraka wa madaktari mmoja wa washirika wake alisema awali washirika wake walisema kuwa hali ya UNK huyo ni mbaya anaelekea katika kipindi cha hatari alisema bwana fernando UNK mbali na washirika wake mmoja wa madaktari UNK bwana UNK de UNK UNK UNK aliliambia gazeti la el UNK kuwa kwa sasa hali ya mwanaharakati huyo inaelekea pabaya muda wake unakaribia ukingoni UNK naye siyo kwa muda wa wiki ila ni kwa masaa na siku alisema mwanaharakati huyo mwenye umri wa miaka arobaini na mbili alianza mgomo wa kula tangu novemba kumi na sita mwaka huu ikiwa ni siku tatu baada ya serikali ya morocco kukataa kumruhusu kurejea eneo alikozaliwa la sahara magharibi tangu kipindi hicho mwana mama huyo mwenye watoto wawili na ambaye ni mpigania uhuru wa eneo la sahara magharibi kutoka kwa morocco ameweka kambi kwenye uwanja wa ndege wa lanzarote ili kuonesha hisia zake ambazo zimewafanya pia watu mashuhuri akiwemo mshindi wa tuzo oscar ambaye ni muigizaji nchini hispania bwana javier UNK na UNK filamu bwana pedro UNK kuungana naye kwa sasa bibi haidar anasemekana UNK kiafya huku hadi juzi akiendelea kukaa katika chumba kidogo cha uwanja wa ndege na anachoweza kukifanya ni kwenda UNK kwa kutumia kiti cha kubeba wagonjwa kwa msaada wa washirika wake new york marekani UNK UNK wa mataifa un UNK mashirika ya misaada ya kibinadamu dola milioni mia tano na arobaini na tatu kwa ajili ya kuwasaidia watu zaidi ya milioni moja sita walioyakimbia mapigano kaskazini magharibi mwa nchi ya UNK un ilisema jana kwamba ukimbiaji wa mapigano hayo umesababisha madhara yasiyokuwa ya kawaida kufuatia mapigano hayo makumi ya maelfu ya watu UNK kwenye makambi yaliyoko kusini mwa bonde la swat ambalo ndilo ukanda mkuu wa mapambano majeshi ya pakistan yalianza mashambulizi dhidi ya wanamgambo hao wa taliban mei mbili mwaka huu baada ya mazungumzo ya amani UNK hali hiyo ndiyo iliifanya un iseme kwamba fedha hizo dola milioni mia tano na arobaini na tatu zinahitajika ili kuisaidia miradi mia moja na sitini na tano ambayo imeandaliwa ili kuwasaidia watu wanaokadiliwa kuwa ni kati ya kati ya milioni moja sita na milioni moja saba UNK UNK hatuwezi kukanusha kwamba mafanikio yetu nchini afghanistan ndiyo UNK wanamgambo hadi ndani ya pakistan alisema bwana michael UNK ambaye ni kiongozi wa muungano wa mashirika ya un kwa upande wake kaimu mratibu wa misaada bwana martin UNK alisema kasi ya ongezeko la ukimbiaji mapigano ndicho chanzo kilichosababisha madhara makubwa tunaomba usaidizi kutoka kwa jumuiya za kimataifa alisema mratibu huyo un ilisema kwamba inafanya kazi bega kwa bega na serikali ya nchi hiyo ili kuhakikisha inapata msaada kwa ajili ya watu hao haraka iwezekanavyo juzi alhamis waziri mkuu wa pakistani bwana yusuf raza gilani aliongoza mkutano wa wafadhili uliofanyika mjini UNK na na maofisa na mara baada ya mkutano huo maofisa wa serikali walisema kuwa jumuiya za kimataifa UNK kutoa dola milioni mia mbili na ishirini na nne ingawa haifahamiki wazi kama fedha hizo ni sehemu ya UNK na un bwana gilani alisema kwamba msaada wa haraka wa pamoja unahitajika ili kukabiliana na jambo hilo kwa kila mwenye nia ya kupambana na ugaidi majeshi ya serikali yalisema kuwa katika eneo la bonde la swat askari wapatao kumi na tano sifuri sifuri sifuri kutoka vyombo mbalimbali vya usalama wako kwenye pambano na na wanamgambo wapato kati ya nne sifuri sifuri sifuri na tano sifuri sifuri sifuri na lilisema kuwa wanamgambo zaidi ya moja sifuri sifuri sifuri na wanajeshi wake zaidi ya hamsini UNK mogadishu somalia majeshi ya somalia yanayoiunga mkono serikali ya mpito UNK vikali wanamgambo wa kiislamu baada ya kuzuka mapigano katika mji mkuu wa nchi hiyo UNK mashambulizi hayo yanadaiwa ni ya kujaribu UNK maeneo ambayo yalichukuliwa na wanamgambo hao wiki iliyopita mwandishi wa shirika la utangazaji la uingereza bbc aliripoti jana kutoka mjini mogadishu kuwa milio ya silaha nzito na risasi ndivyo vilikuwa UNK pande zote za mji huo wiki iliyopita majeshi ya serikali ya mpito ya UNK ilipoteza udhibiti wa robo tatu ya mji huo mkuu mapigano hayo ya siku kumi kati ya majeshi ya serikali na makundi ya UNK ya al UNK na UNK islam yamekwisha UNK vifo vya watu zaidi kumi sifuri na zaidi ya thebathini na nne sifuri sifuri sifuri UNK makazi yao mapigano hayo ya jana yanadaiwa kusababisha vifo vya watu watatu akiwemo mwandishi mmoja wa kituo cha redio UNK mwandishi wa bbc bwana mohamed UNK hassan aliripoti kutoka mogadishu kwamba majeshi yanayoiunga mkono serikali ndiyo yalikuwa UNK wapiganaji hao wa kiislamu alisema eneo ambalo UNK na mapigano makali ni la kuzunguka barabara kuu ya UNK mwandishi huyo alisema kwamba hata hivyo majeshi ya vikosi vya kulinda amani vya umoja wa afrika vinavyosaidia ulinzi kwa serikali UNK katika mapigano hayo ili ni shambulizi kali dhidi ya watu UNK vurugu msemaji wa jeshi la serikali bwana UNK UNK mohamed aliliambia shirika la habari la ufaransa afp serikali UNK nje ya mji mkuu na mapambano yataendelea hadi jambo hilo UNK aliongeza katika kukabiliana machafuko nchini somalia mwezi januari mwaka huu rais sharif sheikh ahmed ili kuinganisha serikali ikiwa ni sehemu ya mpango wa amani UNK na umoja wa mataifa lakini hatua hiyo hiyo imeshindwa kufanya kazi ya kuwatuliza wanamgambo hao wanaotaka kuanzishwa mahakama ya sharia katika taifa hilo lenye UNK wa hali ya juu zambia imeichapa rwanda bao moja sifuri katika mechi ya kundi c ya kuwania kucheza fainali za kombe la dunia ishirini moja sifuri iliyochezwa kwenye uwanja wa UNK zambia UNK UNK aliifungia zambia bao pekee dakika ya sabini na tisa na kuiwezesha kufikisha pointi nne washindi hao umeiwezesha zambia UNK kufikisha pointi nne baada ya kutoka sare ya bao moja moja na misri katika mechi ya kwanza ya kundi hilo rwanda imebaki na pointi moja katika mechi zake mbili ilizocheza algeria UNK na mabingwa mara sita wa afrika misri katika mechi ya kundi c kesho kundi e UNK burkina faso katika nafasi nzuri ya kufuzu fainali hizo baada ya kuichapa malawi bao moja sifuri katika mechi iliyochezwa nchini malawi UNK UNK anayecheza soka la kulipwa nchini qatar aliifungia timu hiyo bao pekee dakika ya sabini matokeo hayo yameiwezesha burkina faso kufikisha pointi sita wakati malawi haina pointi hata moja guinea itawakaribisha ivory coast katika mechi ya kundi e leo UNK de jeneiro brazil maofisa wa serikali ya brazil wanatarajia kuanza kazi ya kuitambua miili ya maiti za watu wawili ambazo zimepatikana baada ndege ya shirika la ndege la ufaransa kuanguka ndani ya bahari ya UNK maiti hizo UNK juzi na vikosi vya jeshi la wanamaji la nchi hiyo pamoja na mabaki kadhaa ambayo yanasadikika kuwa ni ya ndege hiyo ya ufaransa iliyokuwa na usajili namba UNK mia nne na arobaini na saba taarifa kutoka nchini humo zilieleza jana kwamba meli za kikosi cha wanamaji ndizo UNK maiti hizo mbili ambazo ni za wanaume pamoja na kiti cha rangi ya bluu ambacho kina namba zinazofanana na za namba za viti vya ndege hiyo maofisa hao walisema kwamba timu hiyo ya waokoaji pia ilifanikiwa kuokota begi ambalo ndani yake lilikutwa na kadi ya chanjo na mkoba ambao ulikuwa na tiketi ya shirika la ndege la ufaransa asubuhi hii ya leo saa mbili kumi na nne UNK kwamba waokoaji wamefanikiwa kupata vipande na maiti ambazo zilikuwa ndani ya ndege ya shirika la ndege la ufaransa alisema msemaji wa kikosi cha anga bwana jorge UNK kikosi cha jeshi la anga cha brazil pamoja na kikosi cha wanamaji vimekuwa UNK msako kwenye bahari hiyo ya atlantic umbali wa maili zipatazo mia sita na themanini na tatu kaskazini mashariki mwa pwani ya nchi hiyo tangu ndege hiyo aina ya airbus a mia tatu na thebathini ishirini sifuri UNK jumatatu wiki iliyopita na kusababisha vifo vya watu wote mia mbili na ishirini na nane waliokuwemo ndani ya ndege hiyo hata hivyo waokoaji hao ambao walisema kwamba UNK familia mara baada ya kuzifanyia utambuzi maiti hizo UNK kuwa huenda maiti nyingi zikawa UNK chini ya bahari ama UNK na samaki aina ya papa kabla ya kutangazwa taarifa hiyo awali yalipatikana mabaki mengine kadhaa katika bahari hiyo lakini yakawa hayafanani na ya ndege hiyo kampala uganda waasi wa kundi la UNK s resistance army UNK wanakijiji zaidi ya ishirini sifuri wakiwemo watoto hamsini katika kijiji cha dakwa kilichopo kaskazini mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasi ya kongo drc umbali wa kilometa ishirini sifuri kutoka mpakani mwa jamhuri ya afrika ya kati taarifa hizo zilitolewa juzi na kituo cha redio ya okapi ambacho UNK na umoja wa mataifa un katika jamhuri ya drc UNK maofisa wa makanisa na serikali za eneo hilo kituo hicho kilieleza kuwa waasi hao UNK kijiji hicho jumanne saa tano mchana na kuanza kubomoa na kuzichoma moto nyumba maduka vituo vya afya na miradi ya kanisa katoliki kwa mujibu wa wauguzi wakuu kwenye vituo vya afya waasi walifanikiwa kuondoka na watu zaidi ya ishirini sifuri baada ya jeshi la drc kujibu mashambulizi ingawa walirejea tena muda mfupi baadaye kituo hicho cha redi UNK UNK juzi wanakijiji ambao walifanikiwa kutoroka walikaririwa na kituo hicho wakisema kwamba walivamia hospitali na kuiba madawa yote pia maduka ya kuuza madawa yalivunjwa yote UNK kituo hicho kwamba baada ya kumaliza uhalifu huo waasi waliondoka ingawa walirudi baadaye na safari hii ilikuwa ni kwa ajili ya kufanya mauaji na kuiba mifugo UNK kijiji wakati watu wakiwa msibani na kisha kuwapeleka msituni alisema bwana marcel UNK ambaye ni kiongozi wa kanisa katoliki katika eneo la UNK walirudi tena wakafanya shambulio siku ya jumatano saa nane mchana na kwa wakati huo walimpiga risasi askari polisi na kumshambulia hadi kufa na baadaye UNK askari waliosalia aliongeza kiongozi huyo maofisa wa serikali ya eneo hilo waliiambia redio okapi kwamba licha ya kuthibitika kifo cha askari polisi mmoja huenda idadi ya watu waliouawa na waasi hao wa lra UNK idadi halisi ya waliouawa haifahamiki vyema tangu wananchi waanze kupotea huku wengine wakiamua kukimbilia eneo la dingila UNK redio UNK redio hiyo iliripoti kwamba kundi la kwanza la watu wapatao kumi sifuri liliwasili katika eneo la dingila siku ya alhamis na UNK kwamba wote UNK waliwaeleza kuwa kundi jingine la watu wengi bado liko njiani kuelekea katika eneo hilo wengi wao wakiwa ni wanawake na watoto shambulizi hilo katika kijiji cha dakwa lilikuja zikiwa ni siku mbili tangu waasi hao wa lra UNK vijiji vingine viwili vya UNK na UNK vilivyoko eneo hilo la kaskazini mashariki mwa drc kufuatia mashambulizi hayo mapya ya lra bunge la drc UNK serikali kupeleka vikosi vya jeshi na polisi ili kuwalinda wananchi nairobi kenya baada ya kukaa kimya wa muda mrefu tangu mgogoro wa kisiwa cha migingo kilichopo ndani ya ziwa viktoria UNK kati ya nchi yake na uganda uanze kuunguruma rais mwai kibaki ameamua kuvunja ukimya huo na kutaka mazungumzo yanayohusu kisiwa hicho kusitishwa mara moja rais kibaki alivunja ukimya huo mwishoni mwa wiki wakati akiwahutubia waombolezaji katika kijiji cha UNK kilichopo eneo la UNK kaskazini mwa nchi hiyo waliokuwa wamejitokeza kwa ajili ya mazishi ya mama mzazi wa makamu wa kwanza wa rais bwana michael kijana UNK bibi esther UNK aliyefariki wiki iliyopita akiwa na umri wa miaka themanini na tano rais kibaki alisema kwamba timu ya pamoja ya wachunguzi ndiyo UNK ukweli kuhusu mipaka kati ya kenya na uganda na akaonya kuwa ni bora waiache tume hiyo ifanye kazi yake bila kuingiliwa mbali na kutaka mazungumzo hayo yakome kiongozi huyo wa kenya UNK wabunge wa bunge la nchi hiyo kuacha kuelekeza mashambulizi dhidi ya raia wa uganda pamoja na kiongozi mwenzake rais yoweri museveni akisema kuwa mashambulizi hayo ni lazima yakome mara moja tumechoka kuona wabunge wakijiingiza kwenye malumbano kuhusu migingo utadhani hakuna mambo mengine muhimu UNK nchi hali hii imezidi na nitaka malumbano haya yakome mara moja alisema rais kibaki akizungumzia kuhusu msuada UNK hivi karibuni na wabunge wanaoipinga uganda ambao UNK rais kibaki kutumia nguvu za kijeshi UNK kisiwa hicho chenye mvutano endapo jitihada za kidiplomasia UNK alisema kwamba jambo hilo haliko katika mipango yake vita UNK UNK uganda na kenya ni majirani na wenye lengo moja la kuwa na siasa moja ya shirikisho na wala sio siasa ya pesa nane alisema rais kibaki alisema kitu ambacho mataifa yote mawili UNK kwa sasa ni kila mmoja kufanya mazungumzo na mwenzake na sio kupoteza wakati kuzungumzia kuhusu nani mmiliki halali wa kisiwa cha UNK rais kibaki alisema kwamba makubaliano UNK sahihi na rais museveni mjini arusha yanaonesha wazi jinsi gani walivyoamua kulitafutia ufumbuzi suala hilo la migingo na akaongeza kwamba hivi sasa fungu UNK ili kutengeneza njia ya kisasa ya reli UNK nchi hizo mbili UNK sana kuona wabunge UNK kiongozi wa UNK rais museveni ana ufahamu kuliko ninyi nahitaji UNK udhalilishaji kama huo alisema rais kibaki alisema njia nzuri ni kwa raia wa kenya kuzungumza na raia wenzao wa uganda ili kutafuta njia mbadala ya kuinua uchumi katika hotuba hiyo rais kibaki alisema kwamba nchi yake hivi sasa UNK ushirikiano na nchi nyingine jirani kama sudan na ethiopia rio de jeneiro brazil maiti za kwanza zilizopatikana kutoka ndani ya ndege ya shirika la ndege la ufaransa iliyoanguka wiki iliyopita katika bahari ya atlantic zimepelekwa nchini brazil maofisa wa serikali ya nchi hiyo wamesema maofisa hao walisema jana kwamba baadhi ya maiti zilizosalia UNK kwa UNK hadi katika kisiwa cha fernando de UNK kilichopo pwani ya brazil walisema hadi sasa maiti ishirini na nane zimeopolewa kutoka ndani ya bahari ya atlantic kutoka idadi ya maiti kumi na sita za awali watu wapatao mia mbili na ishirini na nane UNK ndani ya ndege hiyo kabla ya kuanguka juni mosi mwaka huu mapema juzi jeshi la brazil UNK picha za wapiga UNK UNK bawa la ndege hiyo lililokuwa na rangi ya shirika la ndege la ufaransa katika kuwatambua maiti wataalamu wanasema kwamba watatumia njia ya vipimo vya vina saba ambapo tayari sampuli UNK kutoka kwa ndugu wa marehemu ili kusaidia kazi hiyo rais wa brazil bwana luiz UNK UNK da silva alisema kwamba nchi yake itafanya kila liwezekanalo ili kuhakikisha maiti zaidi UNK maiti hizo pamoja na mabaki ya ndege zimepatikana umbali wa kilometa moja sifuri sifuri sifuri kaskazini mashariki mwa kisiwa cha fernando de UNK mwandishi wa shirika la utangazaji la uingereza bbc gary duffy aliyeko mjini sao paulo alisema kwamba timu ya uokoaji hivi sasa imepata moyo baada ya juzi kupata bawa la ndege hiyo alisema wiki iliyopita kulikuwepo na hali ya kukata tamaa baada ya kuwepo na wasiwasi kama mabaki yaliyokuwa yamepatikana ni ya ndege hiyo lakini mwandishi huyo alisema kwamba baada ya kupatikana mabaki hayo kunaifanya timu hiyo kuwa na moyo wa kuendelea na kazi kwa upande wa UNK wa kifaa cha kurekodia taarifa za mwenendo wa ndege UNK kama black box serikali ya marekani imetoa msaada wa vifaa maalumu ili kusaidia utafutaji wa chombo hicho taarifa kutoka nchini humo zilieleza kwamba kifaa hicho ambacho kina uwezo wa kunasa mawasiliano ya chombo hicho kikiwa kwenye kina cha umbali wa futi ishirini sifuri sifuri sifuri UNK kwa ufaransa na wao ndio UNK katika eneo la ajali mbali na chombo hicho pia UNK za ufaransa zinatarajiwa kuwasili kwenye eneo la ajali UNK wiki hii rome italia kiongozi wa libya bwana muammar gaddafi amewasili mjini rome kuanza ziara yake ya kwanza ya kuitembelea italia ambayo libya ni koloni lake la zamani ingawa hivi sasa nchi hizo ni washirika wakubwa kibiashara katika msafara huo rais gaddafi ameambatana na ujumbe wa wafanyabiashara kutoka nchini mwake ili kuongeza UNK wa kupata nafasi ya kuwekeza katika viwanda vya italia kanali gaddafi vilevile atakutana na rais wa italia na waziri mkuu wa nchi hiyo ambapo katika moja ya mazungumzo yao yanatarajia kulenga katika suala la wahamiaji haramu mwandishi wa shirika la utangazaji la uingereza bbc bwana david UNK aliyeko mjini rome alisema kwamba ulinzi ni wa hali ya juu katika mji huo katika kipindi chote cha muda wa siku tatu ambazo kiongozi huyo atakuwa nchini humo alisema kwamba UNK kwa ulinzi ni kutokana na kuwepo kwa mpango ya kufanyika maandamano ya wanafunzi UNK sera za waziri mkuu bwana UNK UNK za kutaka msaada kutoka libya ili kukabiliana na wahamiaji haramu wanaotaka kuingia nchini italia kupitia njia ya bahari mbali na viongozi hao kanali gaddafi atakutana na kundi la hakina mama wapatao sabini sifuri katika ukumbi wa matamasha mjini rome kama alivyoomba kukutana na wanawake kutoka sekta mbalimbali za kibiashara kisiasa na kilimo kiongozi huyo amewahi kufanya mkutano kama huo mwaka ishirini sifuri saba mjini paris ufaransa kwa kukutana na wanawake kumi sifuri sifuri na kisha UNK kuwa angependa kuwasaidia wanawake kutoka ulaya baada ya kumalizika ziara hiyo kanali gaddafi ambaye nchi yake hivi sasa ndiyo inayoshika wadhifa wa urais wa kupokezana wa umoja wa afrika au atarejea tena mjini rome mwezi ujao kama mwakilishi kwenye mkutano wa mataifa nane yenye nguvu duniani g nane libreville gabon spika wa baraza la UNK nchini gabon ameapishwa kuwa kiongozi wa serikali ya mpito kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa nchi hiyo bwana omar bongo bibi rose UNK rogombe ambaye alikuwa mshirika wa karibu wa rais bongo aliapishwa jana ambapo kwa mujibu wa katiba ya nchi hiyo UNK kuitisha chaguzi ndani ya siku arobaini na tano sherehe za kuapishwa bibi rogombe zilifanyika kwenye ukumbi wa kimataifa wa mikutano ulioko katika mji mkuu wa nchi hiyo libreville jana asubuhi siku moja baada ya kuidhinishwa na mahakama ya katiba ilielezwa kuwa huduma ya mtandao katika nchi hiyo yenye UNK wa mafuta bado imefungwa ingawa mipaka bado imeendelea kuwa wazi taarifa za kifo cha kiongozi huyo mwenye umri wa miaka sabini na tatu ambaye ni kiongozi wa muda mrefu barani afrika UNK jumatatu wiki hii na serikali ya gabon inaeleza kwamba rais bongo ambaye UNK nchi hiyo tangu mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba alifariki kwa ugonjwa wa moyo muda mfupi baada ya kusema kuwa bado yuko hai na anaendelea vizuri ilibainika mwezi mei mwaka huu kwamba rais huyo alikuwa akipatiwa matibabu kwenye hospitali moja iliyoko mjini barcelona hispania huku kukiwepo na taarifa ambazo UNK kuwa alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kansa katika hatua nyingine mwili wa rais bongo unatarajiwa kuwasili nchini humo leo na kupelekwa moja kwa moja ikulu ya nchi hiyo ilielezwa kwamba baada ya kuwasili nchini na kukamilika taratibu zote mwili huo utazikwa katika mkoa wa UNK ulioko kusini mashariki mwa mji wa UNK ambako ndiko alikozaliwa kiongozi huyo nairobi kenya serikali ya kenya imesema itasaidia kuwarejesha nyumbani wakimbizi wapatao moja themanini sifuri waliokimbilia uganda baada ya kuzuka kwa ghasia za baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka juzi waziri wa mambo ya nje bwana moses wetang ula alisema kwamba wakimbizi hao wamehifadhiwa kwenye kambi ya kiriandong wilaya ya masindi mashariki mwa uganda bwana wetang ula aliliambia gazeti la the standard serikali ipo tayari kushirikiana na serikali ya uganda na shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi ili kuwasaidia wakimbizi hao wasifikiri kama UNK UNK usaidizi wa kurejea nyumbani kama watakuwa wanahitaji alisema hata hivyo waziri huyo UNK ni kwa jinsi gani UNK msaada wa haraka kwa wakimbizi arobaini na tisa ambao wameomba msaada hivi sasa wakimbizi hao wamehifadhiwa katika kambi ya kiriandong baada ya mwishoni mwa mwaka jana kuhamishiwa katika kambi ya mulanda iliyoko karibu na mji wa UNK kilometa chache kutoka mpakani mwa kenya na uganda ambako walipelekwa awali baada ya kukimbia mashambulizi katika maeneo ya magharibi mwa nchi bwana peter karanja ambaye ni msemaji wa wakimbizi hao alisema kwamba wengi wao wanataka kurejea nyumbani tuko moja mia nane na hamsini na sita kwenye kambi ya kiriandong ila kuna wengine wapatao hamsini sifuri kwenye kituo cha muda cha mulanda alisema bwana karanja katika mahojiano kwa njia ya simu alisema kwamba hivi karibuni serikali ya uganda na unhcr walifanya UNK ili kuangalia kama kuna waliojiingiza kinyemela timu ya unhcr ambayo ilifanya mahesabu iliongozwa na bibi UNK UNK hatufahamu UNK alisema kabla ya taarifa hiyo ya serikali awali idadi kubwa ya wakimbizi walikuwa hawataki kurejea makwao kwa kile walichodai ni kuwa hakuna usalama walidai kwamba majirani zao ambao walipigana nao wakati wa ghasia za uchaguzi mkuu katika maeneo ya mumias UNK na UNK bado wako katika maeneo yao kwa mujibu wa jimbo la magharibi jimbo hilo pekee lina watu wapatao hamsini na tano sifuri sifuri sifuri walioyakimbia machafuko wakati mali zenye thamani ya milioni zaidi ya ishirini sifuri UNK kama serikali UNK usalama na fedha ya kuanzia maisha upya wengi wetu UNK kurejea nyumbani alisema bwana karanja alisema wanahisi serikali kama imewasahau wakati inapaswa kuwapa msaada walioyakimbia UNK tunakabiliwa na matatizo mengi kwa sababu hapa kuna uhaba wa chakula na madawa kwa ajili ya matibabu alisema bwana karanja kampala uganda mwandishi wa habari wa kujitegemea bwana patrick otim na wanaume wengine kumi wamefikishwa katika mahakama ya kampala wakikabiliwa na mashitaka ya UNK taarifa kutoka kampala zilieleza jana kwamba bwana otim ambaye ni mkazi wa eneo la pader kaskazini mwa uganda na wenzake walifikishwa mahakamani hapo juzi watuhumiwa wawili kati yao ni waasi wa zamani wa kikundi cha UNK resistance army ambao walipewa ajira katika jeshi la updf baada ya kupata msamaha serikali ilisema watuhumiwa hao wanakabiliwa na mashitaka ya kuunda kikundi cha waasi cha UNK patriotic front na kuwafundisha watu kuendesha mapigano dhidi ya serikali watuhumiwa hao kumi na moja walifikishwa mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya UNK bwana geoffrey sayekwo na hawakutakiwa kujibu lolote kutokana na mahakama hiyo kutokuwa na uwezo wa kusikiliza kesi hiyo baada ya kufikishwa kizimbani hakimu sayekwo aliwasomea mashitaka yanayowakabili kabla ya kuwarejesha katika gereza la UNK kwa mujibu wa hati ya mashitaka wanatuhumiwa kutenda makosa hayo kati ya mwaka ishirini sifuri sita na mei ishirini sifuri tisa katika wilaya nane zikiwemo wilaya za masindi na kampala wilaya nyingine UNK katika hati hiyo ni UNK pader UNK UNK UNK na amuru bwana otim alikamatwa juni nane mwaka huu akiwa na watu wengine wanne na miongoni mwao wamo makamanda wa lra luteni emmy UNK na luteni philip UNK okello au UNK kutoka wilaya ya amuru UNK nigeria imeripotiwa kuwa licha ya ongezeko kubwa la kiwango cha elimu nchini nigeria tatizo la mimba zisizokuwa za mpango limekuwa likiongezeka kwa kiasi cha hali ya juu miongoni mwa wasichana na wanawake nchini humu taarifa hiyo imo katika ripoti iliyotolewa na taasisi moja yenye makao yake makuu mjini new york marekani UNK huku ikisema kuwa suala la UNK ndilo la kulaumiwa utafiti huo ulibainisha kwamba mwaka ishirini sifuri tatu asilimia kumi na sita ya mimba miongoni mwa wasichana na wanawake wenye umri kati ya UNK kumi na tano hadi miaka ishirini na nne wamekuwa hawatumii kinga ikilinganishwa na asilimia kumi ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini katika ripoti hiyo taasisi hiyo ilisema kwamba hali hiyo UNK na serikali ya nigeria baada ya kushindwa kuhamasisha elimu ya afya kwa vijana wenye umri mdogo nchini humu ripoti hiyo ilibainisha kuwa idadi ya wanawake wenye elimu ya sekondari imeongezeka kwa asilimia kumi na sita kutoka asilimia thebathini na nne hadi asilimia hamsini kati ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na ishirini sifuri tatu hata hivyo pamoja na ongezeko la asilimia hiyo ripoti hiyo ilieleza kwamba matumizi ya njia za kisasa katika kujamiiana yamekuwa yakiongezeka kidogo sana kutoka asilimia nne hadi asilimia nane vilevile ripoti hiyo ilibainisha kwamba idadi ya wasichana ambao wana uelewa wa maeneo UNK huduma za mpango wa familia UNK kutoka asilimia thebathini na mbili hadi asilimia kumi na nane ripoti hiyo pia ilibainisha kwamba katika kipindi hicho kumekuwepo na ongezeko la idadi ya watu kwa asilimia mbili mbili katika taifa hili maarufu barani afrika lenye watu wapatao milioni mia moja na hamsini UNK mali majeshi ya usalama nchini mali UNK ngome UNK kuwa ni vituo vya kikundi cha kigaidi cha al qaida zilizoko katika jangwa la sahara karibu na mpaka wa nchi hiyo na UNK serikali hiyo ilisema jana katika shambulizi hilo wanamgambo takribani kumi na mbili waliuawa ingawa UNK vifo vya wanajeshi wake watano mapema mwezi huu wanamgambo wa al qaida walimuua raia wa uingereza ambaye walikuwa UNK kwa muda wa miezi mitano wiki iliyopita ofisa mwandamizi wa serikali ya mali ambaye alikuwa UNK mtandao huo wa kigaidi UNK kwa kupigwa risasi katika eneo la UNK ambapo mauaji hayo ya luteni kanali UNK UNK UNK yanasadikika ni kutokana na kitendo cha kukamatwa wanamgambo watatu wa kundi hilo shambulizi hilo la jana ni kutokana na kuaminika kwamba mtandao wa al qaida katika kundi la magharibi umekuwa UNK shughuli zake katika jangwa la sahara kati ya nchi za algeria mali na UNK mtandao huo unadaiwa kuwa ndio UNK makundi ya kiislamu nchini algeria hadi kufikia hatua ya kupigana na serikali karibia muda wa miongo miwili serikali ya mali inaamini kuwa kundi la wanamgambo wa algeria la UNK abou UNK ambalo umoja wa mataifa un UNK katika makundi wanachama wa al qaeda ndilo lililohusika na kifo cha mateka huyo raia wa uingereza bwana edwin UNK bwana UNK ambaye alitekwa nchini UNK mwezi januari mwaka huu alikuwa UNK nchini mali naypyidaw burma msuluhishi maalumu wa umoja wa mataifa un bwana ibrahim gambari amewasili nchini burma ili kuangalia uwezekano kama katibu mkuu wa umoja huo bwana ban ki moon UNK nchi hiyo bwana gambari aliwasili nchini humo jana ambapo alitarajiwa kukutana na maofisa wa serikali ya kijeshi ya burma ingawa haifahamiki wazi kama atakutana na kiongozi wa wanaharakati wa kupigania demokrasia bibi UNK san suu kyi ambaye yuko rumande bibi suu kyi anakabiliwa na mashitaka ya kuvunja masharti wakati akiwa katika kifungo nyumbani kwake baada ya kumruhusu mwanaume raia wa marekani kuingia nyumbani kwake hata hivyo bwana ki moon alisema kwamba ana matumaini ya kuwa UNK serikali ya burma UNK bibi suu kyi na wafungwa wengine ilielezwa jana kwamba bwana gambari alitarajiwa kuelekea katika mji mkuu wa burma naypyidaw baada ya kuwasili katika mji wa UNK na baada ya ziara hiyo ya siku mbili atarejea na kumpa taarifa bwana ki moon ambaye ndiye atakayeamua kwenda ama kutokwenda nchini UNK hii ni mara ya nane kwa msuluhishi maalumu kutoka un kuitembelea burma ili kujaribu kutafuta maafikiano kati serikali ya kijeshi na wanaharakati wa kupigania demokrasia wakiongozwa na bibi suu UNK kabla ya bwana gambari kuwasili nchini burma mkuu wa jeshi la polisi la nchi hiyo alisema kwamba mgeni aliyemtembelea bibi suu kyi bwana john yettaw ana uhusiano na kundi la raia wa nchi hiyo waishio uhamishoni nchini thailand bwana yettaw naye pia anashitakiwa kwa tuhuma za kumtembelea bibi suu kyi katika makazi yake yaliyoko kando ya mto katika mji wa UNK washington dc marekani marekani imethibitisha kwamba UNK msaada wa silaha serikali ya mpito ya somalia UNK mkono na umoja wa mataifa un kwa mujibu wa taarifa kutoka white house hatua hiyo ni kufuatia wito wa dharura uliotolewa na serikali ya somalia ambayo inapambana na wanamgambo wa kiislamu mbali na silaha maofisa wa serikali wamesema kuwa marekani pia itatoa msaada wa kimafunzo kwa wanajeshi wa UNK kwa maombi haya ya serikali ikulu imeamua kutoa msaada wa silaha na vifaru kwa haraka alisema msemaji wa ikulu ya marekani bwana ian UNK silaha hizo UNK vikosi vya serikali ya mpito ambayo inapambana ili kuleta amani na utulivu ndani ya somalia aliongeza wachunguzi wa masuala ya kisiasa wamesema kwamba marekani imefikia hatua hiyo kutokana na kuchukizwa na kitendo cha wanamgambo kushikilia eneo kubwa la nchi hiyo tangu mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na moja somalia imekuwa haina serikali ya inayoeleweka rais sheikh sharif sheikh ahmed alikabidhiwa jukumu la kuiongoza nchi hiyo mwezi januari mwaka huu lakini inaelezwa kuwa bila kuanzisha mahakama ya sharia mambo hayawezi kwenda harare zimbabwe rais robert mugabe wa zimbabwe UNK UNK mataifa ya magharibi kwa kukataa kuiondolea vikwazo vya misaada nchi yake kwa madai ya kwamba bado yuko madarakani akisema kuwa nchi yake itapata misaada kutoka nchi marafiki ambazo hazimuwekei masharti mapema mwezi februari mwaka huu rais mugabe na aliyekuwa mpinzani wake mkuu bwana morgan tsvangirai ambaye hivi sasa ni waziri mkuu waliamua kuunda serikali ya pamoja zikiwa ni jitihada za kumaliza mgogoro wa kisiasa na kiuchumi UNK nchi hiyo kwa muda mrefu wiki tatu zilizopita bwana tsvangirai alikuwa ziarani ulaya na marekani ili kujaribu kukusanya michango kutoka kwa wafadhili hata hivyo pamoja na jitihada zake hizo alijikuta akiambulia michango kiduchu huku akikumbana na shinikizo la kutakiwa UNK mshirika wake kuheshimu utawala wa kidemokrasi na misingi ya haki za binadamu taifa hilo la kusini mwa afrika linadai kwamba linahitaji dola bilioni kumi ili kujenga upya miundo mbinu yake na kutatua tatizo la ajira kila mahali wanasema hapa UNK vikwazo kwani nini ni kwa sababu wanataka zanu pf na robert mugabe washindwe rais mugabe alikaririwa na televisheni ya taifa akiwaambia wanachama wa chama cha zanu pf mjini harare jana jioni bwana tsvangirai umejionea mwenyewe hawa ndio UNK marafiki zako UNK kamwe hawezi kuwa rafiki wa mataifa yote na watu ambao wanataka kuwa huru aliongeza rais mugabe katika kikao hicho kiongozi huyo mwenye umri wa miaka themanini na tano alisema kwamba zimbabwe itapata misaada hiyo kutoka kwa nchi marafiki ambazo hazimuwekei masharti hata hivyo katika hotuba hiyo rais mugabe UNK nchi marafiki ambazo UNK misaada bila masharti lakini katika kipindi cha miaka mitano alikuwa akijaribu kuimarisha urafiki na nchi za asia hususani china na mataifa ya kiislamu kama iran ambapo mara nyingine amekuwa UNK kushirikiana nazo katika sekta ya madini tutapata marafiki ambao watatusaidia marafiki ambao UNK masharti tutakuwa na marafiki na UNK mataifa ya magharibi kwamba tuna marafiki alisema rais mugabe na nickson mkilanya mbunge wa morogoro mjini daktari omary mzeru na mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya majisafi na majitaka morogoro bwana john mtaita UNK kuhusu suala la upatikanaji maji kwa wananchi mbele ya mkuu wa mkoa wa morogoro bwana issa machibya tukio hilo lilitokea eneo la tungi tubuyu katika manispaa ya morogoro wakati wa ziara ya mkuu wa mkoa ya kukagua vyanzo mbalimbali vya maji na namna huduma hiyo UNK wananchi daktari mzeru alipinga kauli ya bwana mtaita UNK mkuu wa mkoa na msafara alioambatana nao kuwa wakazi wa morogoro wamefikiwa na mtandao wa maji safi kwa asilimia tisini na tatu mbunge huyo alisema anapingana na hoja hiyo kwa kuwa wananchi ambao ni wapiga kura wake wamekuwa wakikosa huduma hiyo muhimu nyakati zote au kupata maji kwa muda mdogo sana na kumlalamikia hivyo kupinga akieleza kuwa takwimu hizo si sahihi na hazina maana kwa kuwa maji hayo hayawafikii wananchi UNK takwimu hizo si sahihi mkurugenzi mimi hawa wananchi UNK kila mara karibu kila eneo UNK acha hapa tubuyu kilio chao ni maji sasa wewe UNK wanapata mtandao kwa asilimia tisini na tatu je mtandao ndio maji alihoji daktari mzeru hata hivyo mkurugenzi wa moruwasa alijitahidi kumweleza daktari mzeru viongozi waliokuwepo katika msafara huo na wananchi waliojitokeza katika eneo hilo kuwa takwimu zake UNK mtandao wa maji UNK wananchi na kwamba suala la upungufu wa maji ni suala lingine ambalo mara zote huwa ni tatizo hasa wakati wa UNK kweli jamani maji hayawafikii wananchi hawa na wa maeneo mengine kwa wakati wote wa saa arobaini na nane lakini tatizo ni kwamba tunakuwa na maji kidogo hasa wakati wa kiangazi hivyo hayatoshelezi lakini mtandao wa maji safi umeenea manispaa kwa asilimia tisini na tatu alifafanua bwana UNK wakati wa malumbano hayo mkuu wa mkoa alikuwa kimya na wakati mwingine aliwahoji wananchi kama wanapata maji au la ili kuweza kupata ukweli wa suala hilo kisha aliwataka moruwasa kuhakikisha wanakamilisha mikakati yao waliyojiwekea kuboresha huduma za maji na wilhelm mulinda serikali imeshauriwa kutoa zabuni kwa wakandarasi wenye sifa ili kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kiwango kinachotakiwa ili kuwaondolea kero wananchi ushauri huo ulitolewa juzi na na meneja wa kampuni ya uchimbaji wa visima UNK vya maji iitwayo UNK UNK iliyopo eneo la bwiru jijini mwanza bwana michael maungo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini humo akitoa mfano bwana maungo alisema kuwa kwa sasa kuna baadhi ya halmashauri za wilaya manispaa pamoja na majiji nchini ambazo zinatoa tenda za kuchimba visima kwa kampuni ambazo hazina vifaa vibali na wakati mwingine wataalamu wa kutekeleza kazi hizo alisema kuwa hali hiyo inachangia kushusha kiwango cha ubora wa kazi hizo kwa vile fedha zilizotengwa kwa ajili ya kutekeleza miradi hutumika tena katika kukodisha vifaa pamoja na kuazima wataalamu kutoka katika kampuni zingine na hivyo kubaki na fedha ambazo hazitoshi kutekeleza kazi kwa ubora bwana maungo alisema kuwa wakati umefika sasa kwa serikali kuhakikisha kwamba wakandarasi wenye sifa wanapewa tenda ili miradi hiyo iweze kutekelezwa kwa kiwango kinachotakiwa kulingana na thamani ya fedha zilitolewa kwa manufaa ya wananchi na taifa kwa ujumla na stella shoo mkazi wa kijiji cha UNK mokala wilayani rombo kilimanjaro anayefahamika kwa jina la mama kubwa anashikiliwa na jeshi la polisi wilayani rombo kwa tuhuma za kumuua UNK kwa kuwa na ujauzito akizungumza na gazeti hili jana asubuhi kwa njia ya simu diwani wa kata ya UNK mokala bwana festo kilawe alisema tukio hilo lilitokea jumamosi saa tatu sifuri sifuri usiku bwana kilawe alimtaja marehemu kuwa ni bibi lilian mrema ambapo UNK kuwa na ujauzito wa karibu miezi sita na kuwa mama mzazi wa bibi UNK alikuwa hataki ujauzito wa UNK huyo ndugu mwandishi huyu mama alikuwa na ugomvi wa mara kwa mara na marehemu huyu baada ya kuona kuwa ana ujauzito sasa ilipofika usiku huo wa jumamosi alimfuata marehemu chumbani kwake na kuanza kumshambulia kwa mwiko hapo marehemu alipiga kelele majirani walipofika alikuwa ameumia vibaya sasa wakati anapelekwa hospitali ndipo alipofariki alisema bwana UNK alisema baada ya kutokea kwa tukio hili ndio majirani walipotoa taarifa katika kituo cha polisi cha rombo na mtuhumiwa alikamatwa na kutiwa mbaroni kwa tuhuma za mauaji mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya wilaya ya huruma na mtuhumiwa amekamatwa na polisi na sasa yupo chini ya ulinzi na kuwa upelelezi unaendelea utakapokamilika mtuhumiwa atafikishwa mahakamani kujibu shitaka la mauaji alifafanua bwana kilawe mkuu wa wilaya ya mbozi bwana gabriel kimoro awataka watoa dawa muhimu za binadamu UNK macho uvunjwaji wa sheria za uendeshaji wa maduka ya dawa hizo aliwataka watoa dawa hizo kuhakikisha wanatoa taarifa katika vyombo husika wanapobaini uvunjwaji wa sheria katika uendeshaji wa maduka hayo ili hatua zaidi zichukuliwe rai hiyo aliitoa hivi karibuni kwa wahitimu wa mafunzo ya watoa dawa muhimu UNK na wizara ya afya na UNK wa jamii kwa kushirikiana na mamlaka ya chakula na dawa ikiwa ni hatua ya serikali kuboresha huduma ya uuzaji wa dawa muhimu za binadamu alisema kuwa watoa huduma wanatakiwa kuwajali wananchi kwa kuwa dhamana za afya zao zipo mikononi mwao hivyo akawataka kusimamia kanuni za huduma hiyo ili UNK wahitimu wa mafunzo hayo walikuwa ni mia moja na tisini na sita kutoka mkoani mbeya ambao waliitaka serikali pia kuhakikisha UNK kumbukumbu sahihi za watu waliopata elimu ya utoaji wa huduma ya afya katika vyuo mbalimbali kwa ajili ya wahitimu hao kupata ajira kupitia kumbukumbu hizo walisema kuwa changamoto kubwa inayoikabili sekta ya afya kwa upande wa utoaji huduma ni kushindwa au kufutwa kwa vyuo vingi ambavyo hushindwa kukidhi vigezo na kusababisha wahitimu wake kushindwa kutambuliwa hata kama UNK katika mitihani yao na kubaki na vyeti ambavyo UNK katika maisha yao bwana kimoro pia aliwataka wahitimu hao kutumia elimu waliyoipata kutoa elimu kwa wafanyabiashara na wananchi kuhusu umuhimu wa kufuata taratibu katika uendeshaji wa maduka ya dawa na matumizi sahihi ya dawa aliwataka wadau wote kushirikiana na mamlaka ya chakula na dawa ili kufanikisha malengo ya serikali ya kutekeleza mpango wa maduka muhimu ya dawa mbunge wa jimbo la biharamulo magharibi mkoani kagera bwana oscar mukasa ametoa simu sabini na nne za mezani zitakazotumiwa na wapiga kura wake katika kuwasiliana naye bwana mukasa alikabidhi simu hizo wiki iliyopita katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini biharamulo ambapo kila kijiji jimboni humo UNK simu moja alisema uamuzi wa kutoa simu hizo UNK baada ya kuona wapiga kura wake wakipata ugumu katika kuwasiliana naye hivyo akawataka kuzitumia kueleza matatizo na ushauri UNK kupatiwa ufumbuzi ndani ya jimbo hilo ndugu zangu simu hizi UNK katika mawasiliano ya mara kwa mara nanyi na zina uwezo wa kutumiwa na watu wapatao kumi na tano mpaka ishirini kwa wakati mmoja hivyo tunaweza kuendesha majadiliano kupitia simu hizi badala ya kulazimika kuonana ana kwa ana alisema bwana mukasa mbali na simu hizo mbunge huyo alisema anatarajia kuweka mwakilishi wake katika kila kata ili kurahisisha mawasiliano au utatuzi wa kero mbalimbali UNK aliwataka wananchi hao kutumia fursa mbalimbali UNK wilayani humo ikiwemo mikopo ya pembejeo za kilimo ili kutimiza kauli mbiu ya kilimo kwanza na theonestina juma bukoba ofisa mtendaji wa kijiji cha ilogelo kata ya UNK nje kidogo ya manispaa ya bukoba bibi clementina william ameuawa na kundi la watu wasiojulikana baada ya UNK nyara wakati akitoka kwa jirani yake usiku kwa mujibu wa habari kutoka eneo la tukio la hilo lilitokea aprili kumi mwaka huu saa mbili thebathini katika kijiji cha ilogelo kundi la watu wasiojulikana UNK ofisa huyo katika maeneo ya UNK kuanza kumbaka kwa zamu na kisha kumnyonga shingo na kutelekeza mwili wake kamanda wa polisi mkoa wa kagera bwana athur magoti amethibitisha na kuongeza kuwa inaonekana alibakwa kabla ya wauaji hao kumnyonga kwani alikutwa akiwa uchi wa mnyama huku nguo alizokuwa amevaa zikiwa pembeni mwake jeshi la polisi mkoani hapa linaendesha msako mkali ili kuwabaini waliohusika na mauaji hayo hata hivyo inadaiwa chanzo cha mauaji hayo ya kikatili ni kile kinachodaiwa kuwa alikuwa akiwashawishi wananchi kujitokeza kuwapigia kura wauaji wa albino na majambazi zilizofanyika mkoani hapa machi kumi mwaka huu inadaiwa wauaji hao ni miongoni mwa majambazi ambao wanadaiwa kupigiwa kura na wananchi ambapo kabla ya kuuawa bibi william alikuwa akitumiwa ujumbe kupitia simu yake ya mkononi kumtaka ajiandae kwani wakati wowote anaweza kuondoka duniani hilo ni tukio la aina yake kutokea katika kata hiyo ambapo katikati ya mwaka jana kundi la watu wasiojulikana UNK bunduki askari mmoja aliyekuwa akilinda mtihani wa kidato cha nne hata hivyo bunduki hiyo ilipatikana baada ya polisi kuendesha msako mkali kwa siku nne mfululizo na kuikuta ikiwa UNK pembezoni mwa barabara UNK dc kilosa kumpiga kibao dc asema ahofii wala kuogopa vitisho na nickson mkilanya mzee kutoka jamii ya wafugaji wa kimasai bwana UNK palkuris amesema siku yoyote UNK kukutana na aliyekuwa mkuu wa wilaya ya kilosa bwana athuman mdoe atafanya kila njia ili UNK kibao ikiwa ni njia mojawapo ya kupunguza hasira zake dhidi yake bwana palkuris anayeishi katika kijiji cha mkundi kata ya dumila wilayani kilosa alisema kuwa atafanya hivyo ili kupunguza machungu ya kuporwa nggombe wake mia tatu na arobaini na mbuzi mia moja na ishirini na uongozi wa wilaya ya kilosa kwa kivuli cha oparesheni maalumu ya kuwaondoa wafugaji wilayani humo iliyoongozwa na bwana mdoe wakati akiwa mkuu wa wilaya hiyo mzee huyo mwenye wanawake nane watoto thebathini na wajukuu kumi UNK alisema kuwa nafsi yake imejiandaa kufanya hivyo na kwamba tayari alienda UNK bwana mdoe pasipo mafanikio katika kikao cha kujadili migogoro ya wafugaji na wakulima kilichoitishwa na baraza la habari tanzania mct kwa kushirikiana na klabu ya waandishi wa habari mkoa wa morogoro kikao hicho kilichofanyika wiki mbili zilizopita bwana mdoe aliyehamishiwa wilayani mwanga mkoani kilimanjaro UNK sanjari na viongozi wenza wa serikali mkoani morogoro licha ya kupewa mialiko ya kutakiwa kufanya hivyo nimejipanga siku yoyote UNK mdoe ni lazima UNK UNK kibao ili UNK uchungu nilionao dhidi yake na kama kufungwa acha UNK kwa kuwa yeye ndiye UNK watendaji na polisi wake kuja katika eneo langu na UNK mifugo yangu hali UNK katika umaskini huu akizungumza kwa njia ya simu kuhusiana na madai ya bwana palkuris bwana mdoe alisema kuwa hawezi kumzuia mfugaji huyo kutimiza adhma yake na hawezi kumchukulia hatua zozote isipokuwa kwa kuwa yeye ni mtumishi wa serikali na mtu wa watu hatua za aina hiyo UNK kuchukuliwa kwa niaba yake alisema mzee huyo si mkweli kwa kuwa zoezi UNK kwa kufuata misingi iliyowekwa na kwamba yeye UNK vitisho vya mzee huyo kwa kuwa wakati wa oparesheni hiyo alikuwa UNK katika sehemu yake ya kazi nani alijua mzee mwinyi ambaye ni kipenzi cha watu UNK hayo aliyofanyiwa hivyo mimi sihofii kwa kuwa naamini nilikuwa UNK wajibu wangu kazini na zoezi zima UNK vema kwa asilimia tisini alisema bwana mdoe oparesheni hiyo iliyoendeshwa kwa awamu ya kwanza tangu januari hadi machi mwaka huu UNK kwa kiasi kikubwa na wafugaji wilayani kilosa wakidai kuwa ilikuwa ni ya kibabe na kwamba ilisababisha wafugaji wengi kuwa maskini kutokana na wengi wao kuporwa mifugo yao kupitia zoezi hilo utata UNK mwenyekiti wa baraza la ardhi na nyumba mkoa wa arusha hakimu bwana michael makombe juzi baada ya kubaini tofauti za uwakilishi wa viongozi wa baraza kuu la waislamu tanzania mkoa wa arusha katika kesi mbili tofauti zilizopo mbele yake hayo yalijitokeza juzi wakati kesi namba mia moja na hamsini inayosimamiwa na katibu wa baraza hilo mkoa wa arusha bwana abdulkarim jonjo ilipokuwa mbele yake huku kesi nyingine namba sabini ambayo awali UNK ilionekana kuwakilishwa na kiongozi mwingine wa baraza hilo shehe UNK salim bwana jonjo aliteuliwa na mufti wa tanzania shehe issa shaban bin simba kushika nafasi hiyo mapema mwaka huu baada ya kumtema aliyekuwa katibu wa mkoa huo bwana ally mzee kwa madai ya ubadhirifu wa mali za waislamu wakati UNK jalada hilo bwana makombe alishangazwa kuona taasisi moja ikiwakilishwa mahakamani na viongozi wawili tofauti na baada ya kuwasikiliza wote hakimu alisema mimi katika masuala ya dini nipo makini sana haiwezekani taasisi kubwa kama hii ikakosa mwakilishi maalumu mahakamani nimewasikia wote tupo hapa kutoa uamuzi sahihi na kwa utata huu nitakutana na wazee wa baraza kupata ushauri wao kabla ya kutoa uamuzi kesi hiyo namba mia moja na hamsini UNK waumini hao kumi na nne kutojishughulisha na masuala ya msikiti mkuu wa ijumaa ambayo pia UNK mdhamini wa bakwata taifa alhaji seif swai kama mshitakiwa wa kwanza na mwenyekiti wa halmashauri kuu ya baraza hilo mkoa alhaji iddi UNK itaanza kusikilizwa oktoba kumi na mbili mwaka huu serikali imewataka wananchi walioingia katika awamu ya kwanza ya mradi wa uhawilishaji fedha kwa kaya masikini unaosimamiwa na mfuko wa maendeleo ya jamii tanzania kutumia vyema mpango huo ili uweze kuwa endelevu katika wilaya na mikoa mingine hapa nchini hayo yalielezwa na waziri wa nchi ofisi ya rais bibi sophia simba mjini humo juzi wakati akizindua mpango huo katika viwanja vya UNK ambapo alisema serikali ya awamu ya nne imedhamiria kuboresha maisha kwa watu wenye kipato cha chini alisema rais jakaya kikwete alikutana na wabunge na kuelezea azma ya kuhakikisha UNK maisha kwa watu wenye kipato kidogo kwa lengo la kupunguza umasikini wa kipato serikali imedhamiria mambo mengi ya kuwafanyia wananchi wake na kuazimia kuweka mikakati imara UNK kuinua hali ya maisha kwa ustawi wa jamii na kuimarisha utawala bora na katika kufanikisha hilo imekuwa ikifanya mengi kwa kushirikiana na mashirikia mbalimbali ilisema simba alisema kwa kudhihirisha hilo tasaf ilianzishwa ambapo imekuwa ikitoa huduma mbalimbali muhimu kwa jamii kwa lengo la kuhakikisha inapunguza matatizo yanayowakabili wananchi alisema kama si kumaliza kabisa na kuelezea mpango mpya na kusema kuwa wakati ikiendelea na mchakato huo kwa sasa imekuja na mpango mpya wa uhawilishaji wa fedha kwa kaya masikini unaoendeshwa na tasaf mbunge wa jimbo la bunda bwana stephen wasira amewataka wakazi wa jimbo hilo kutokubali kurubuniwa na wagombea walioanza kujipitisha kuomba kura ambao amewaita kuwa ni wagombea wa UNK badala yake UNK ubora wao bwana wasira ameyasema hayo hivi karibuni wilayani humo ambapo ameeleza kuwa wapo watu ambao hawachangii maendeleo ya wananchi katika majimbo yao badala yake wanasubiri kuwarubuni wananchi nyakati za uchaguzi kwa maneno UNK kuwa ni UNK wapo baadhi ya watu wanaokaa dar es salaam na UNK kwa kufanya shughuli zao wenyewe huku ndugu zao UNK kwa miaka mitano kwa ujenzi wa shule zahanati maji na shughuli nyingine nyingi bila wao UNK chochote huku wakisubiri kubeba mikoba yao kwa maneno ya uongo alisema bwana wasira bwana wasira UNK kuwa katika wakati huu ambao watanzania wako katika umaskini ni wakati mwafaka kwa ndugu zao wenye uwezo walioko nje na ndani nchi kuwachangia katika upatikanaji wa huduma za jamii na si kukaa na kusubiri wakati wa kampeni ili watoe rushwa alisema kuwa kutokana na ushawishi wake akiwa mbunge na kushirikiana na serikali ya awamu ya nne kwa miaka mitano jimbo la bunda limepiga hatua ya maendeleo katika sekta ya kilimo elimu huduma ya maji waziri wa afya na ustawi wa jamii bwana sultan mohamed mugheiry amewataka askari wa jeshi la polisi kujitokeza kupatiwa elimu ya ushauri nasaha pamoja na kupima afya zao kwa hiyari ili kukabiliana na ukimwi waziri mugheiry alitoa wito huo katika uzinduzi wa jengo la ushauri nasaha upimaji wa hiyari na maabara katika zahanati ya polisi ziwani mjini zanzibar alisema kwa kuwa tatizo la ukimwi UNK watanzania wote na polisi kama sehemu ya jamii hawawezi kukwepa tatizo hilo hivyo ni jukumu lao kuhakikisha kuwa wanakuwa mstari wa mbele kukabiliana nalo alibainisha kuwa askari polisi wanafanya kazi katika mazingira magumu yenye vishawishi hatarishi vya ukimwi na ili kuwanusuru na janga hilo kuna ulazima kuwekewa huduma hizo katika kambi zao kwa lengo la kunusuru maisha yao familia zao na taifa kwa ujumla nao wawakilishi kutoka shirika la misaada la marekani la pharm access walisema lengo lao ni kujenga vituo vingi zaidi katika kambi za polisi na magereza nchini ili kunusuru taifa na janga la ukimwi na tayari UNK vituo kama hivyo mbeya kilimanjaro na dar es salaam mwenyekiti wa chama cha albino nchini bwana ernest kimaya amesema kuwa watu watatu waliohukumiwa kifo kwa kumuua albino mkoni shinyanga kabla ya kunyongwa hawana budi kuwataja washiriki wengine katika biashara hiyo akizungumza jijini tanga juzi mwenyekiti huyo alisema hatua ya kuwataja wenzao itaisaidia serikali kubaini mtandao wa biashara hiyo ambao wanaaminika kuwa ni watu wenye uwezo kifedha alisifu uamuzi huo wa mahakama na kumshuruku rais jakaya kikwete kwa juhudi na ushirikano anaouonesha kwa kuiwezesha jamii hiyo kwa kumteua mbunge wa viti maalumu al shymaa kwegyir kuwa mwakilishi wao bwana kimaya aliwataka watumishi wengine kwenye idara za serikali na mashirika binafsi kumuunga mkoni rais kikwete kwa kuthamini kundi hilo kwani lina wasomi wengi lakini bado halijaweza kuthaminiwa na kupewa nafasi kubwa za uamuzi zaidi ya kubaki kufanya kazi ya ualimu tu mwenyekiti wa chama cha albino nchini bwana ernest kimaya amesema kuwa watu watatu waliohukumiwa kifo kwa kumuua albino mkoni shinyanga kabla ya kunyongwa hawana budi kuwataja washiriki wengine katika biashara hiyo akizungumza jijini tanga juzi mwenyekiti huyo alisema hatua ya kuwataja wenzao itaisaidia serikali kubaini mtandao wa biashara hiyo ambao wanaaminika kuwa ni watu wenye uwezo kifedha alisifu uamuzi huo wa mahakama na kumshuruku rais jakaya kikwete kwa juhudi na ushirikano anaouonesha kwa kuiwezesha jamii hiyo kwa kumteua mbunge wa viti maalumu al shymaa kwegyir kuwa mwakilishi wao bwana kimaya aliwataka watumishi wengine kwenye idara za serikali na mashirika binafsi kumuunga mkoni rais kikwete kwa kuthamini kundi hilo kwani lina wasomi wengi lakini bado halijaweza kuthaminiwa na kupewa nafasi kubwa za uamuzi zaidi ya kubaki kufanya kazi ya ualimu tu aliyekuwa mkuu wa wilaya ya bukoba vijijini bwana albert mnari ambaye februari mwaka huu rais jakaya kikwete UNK kazi baada ya kuwacharaza bakora walimu wa shule moja ya msingi wilayani humo amesema ameamua kuzama katika siasa amesema sasa anapambana kuhakikisha chama chake cha chama cha mapinduzi wilaya ya nachingwea mkoani lindi kinashinda katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika oktoba ishirini na tano mwaka huu akizungumza na majira jana bwana mnari alisema baada ya rais kikwete kumtimua kazi ya ukuu wa wilaya ameamua kuwatumikia wananchi kupitia siasa ambapo alisema kwa sasa amejikita kwenye uchaguzi huo UNK debe ccm kuhakikisha inapata ushindi wa kishindo alisema ushindi wa ccm katika uchaguzi huo ni kusafisha njia na kuweka mazingira mazuri kwa chama hicho kuweza kushinda uchaguzi mkuu ishirini moja sifuri na ameponda upinzani wilayani humo akidai nguvu yao ni ndogo na kwamba vyama vingi vya upinzani UNK isipokuwa chama cha wananchi kidogo kina uhai maeneo ya mjini bwana mnari ambaye alisema amejiandaa kugombea na kutwaa ubunge wa jimbo hilo katika uchaguzi mkuu mwaka aliwahimiza wakazi wa wilaya hiyo kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kupiga kura na siku ya kura shirika lisilokuwa la kiserikali la force foundation lenye makao yake nchini uholanzi limetoa msaada wa vifaa vya elimu kwa watu UNK katika shule ya msingi ya furaha mjini tabora ambayo hutoa elimu kwa watu UNK shirika hilo lilitoa mashine ya kuchapa vitabu kwa ajili ya watu hao ambayo UNK kwa ajili ya kuchapisha vitabu na majarida maalum hivyo kurahisisha mawasiliano ya kimaandishi baina yao pia shirika hilo lilitoa msaada wa kompyuta printa karatasi za manila kwa ajili ya UNK maandiko kwa kutumia mashine hiyo na vitu vingine vyenye thamani ya shilingi milioni ishirini na tano akikabidhi msaada huo kwa mkurugenzi wa manispaa ya tabora bwana fabian UNK mkurugenzi wa shirika hilo bwana mathew UNK alisema kuwa shirika limekuwa likitoa misaada ya kijamii katika nchi kumi na mbili barani afrika ambapo misaada hiyo imelenga kuinua maisha ya watu UNK bora alisema shirika hilo UNK kuwasaidia watu wenye UNK hayo katika nchi zinazoendelea duniani ikiwemo tanzania ambayo alisema imeanza kupata msaada huo mwaka huu chama cha walimu mkoani tanga UNK kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu hususan maeneo ya vijiji ili kuwapunguzia adha ya makazi bora kwa walimu UNK katika shule hizo wakizungumza kwa nyakati tofauti na gazeti hili jijini tanga baadhi ya wanachama hao walisema cwt haina budi kuongeza vitega uchumi kwa kujenga nyumba hizo ambazo zitapangwa na walimu hao na kukiongezea mapato chama hicho walisema asilimia mbili ya mshahara inayokatwa kwa kila mwanachama wa cwt ikiwa itatumika vema inaweza kupunguza tatizo la nyumba za walimu hasa katika maeneo ya vijijini akizungumzia suala hilo katibu wa cwt mkoa wa tanga bwana UNK UNK alisema kuwa kwa sasa chama hicho hakina mpango wa kujenga nyumba hizo badala yake kiko kwenye mchakato wa kujenga ofisi za kudumu katika mikoa yote ya tanzania bara binti sara abdalah matewo mkazi wa kata ya UNK manispaa ya morogoro bado hali yake inaendelea kuwa tete kwa kuwa hadi sasa UNK msaada wowote wa tiba kutokana na hali duni inayoikabili familia yake aidha bibi sara mwenye umri wa miaka ishirini alisema sasa anaishi na maumivu makali ya miguu muda yake takribani miaka minane baada ya UNK na UNK mguu wa kushoto mwaka ishirini sifuri sifuri ambapo mguu huo ulisababisha na mguu wa kulia kuathirika vibaya alisema hivi sasa anaishi katika nyumba ya kupanga ya bibi hadija waziri akiwa na mdogo wake aitwaye anna baada ya baba yake na nduguze kuamua UNK chumba hicho kutokana na hali ya ugonjwa UNK kwa muda mrefu pia alisema kutokana na matatizo aliyonayo anaiomba jamii kwa ujumla kumpatia msaada wa matibabu zaidi ili aweze kushiriki shughuli mbalimbali kama walivyo UNK na yuko tayari kuchukuliwa kwenda popote baba yake mzazi bwana richard matewo ambaye anaishi eneo la mtawala manispaa ya morogoro alisema kuwa kutokana na matatizo ya mwanae ya miguu wamefukuzwa hata katika nyumba waliyokuwa wakiishi hapo mwanzo kutokana na unyanyapaa wa wenye nyumba naye mbunge wa morogoro daktari mzeru nibuka alisema kuwa alishawahi UNK binti huyo katika hospitali ya mkoa wa morogoro baada ya kupata taarifa na kumtembelea anakoishi na kusema kuwa anahitaji matibabu ya haraka na akaahidi kulishughulikia tatizo hilo ambalo bado UNK wakati danadana ya kumaliza mgogoro wa kiwanda cha kusindika chai cha lupembe wilayani njombe ikiendelea katika ofisi ya mkuu wa mkoa wa iringa imebainika kuwa hata kama kiwanda hicho UNK hakitaweza kuzalisha chai hadi hapo ukarabati mkubwa unaohitaji mabilioni ya fedha UNK majira UNK uharibifu huo UNK wakati mafundi wa shirika la umeme wilayani njombe UNK kuingia kiwandani humo na kuunganisha umeme kwenye kiwanda hicho baada ya sehemu ya deni walilokuwa UNK kiwanda hicho kulipwa na viongozi wa muungano wa vyama vya ushirika wa lupembe imeripotiwa kuwa UNK zinazoendesha mitambo ya kusindika chai UNK olewa na haijulikani mafundi UNK oa wameziweka wapi isitoshe magari UNK na mitambo mbalimbali imeingia kutu kutokana na UNK kwa mwaka mzima na kadri mgogoro huo UNK kupatiwa ufumbuzi vyombo hivyo UNK kuharibika kwa upande wa wafanyakazi waliliambia majira kuwa UNK kuwa wapo kazini kwani tangu mgogoro huo uanze zaidi ya mwaka mmoja sasa hawajapewa barua ya kusimamishwa kazi na kwamba wanapaswa kupewa malimbikizo ya mishahara yao kwa vile UNK wapo kazini sambamba na deni la mishahara UNK mamilioni ya shilingi pia kuna deni la michango ya wafanyakazi hao katika mfuko wa taifa wa hifadhi ya jamii na kodi za serikali kutokana na mishahara hiyo ambazo pia UNK kulipwa kwa wahusika licha ya kwamba hakukuwa na uzalishaji wowote katika kipindi cha mgogoro imedaiwa pia kuna upotevu mkubwa wa vito vya wafanyakazi samani za maofisini na majumbani mwa wafanyakazi hao akizungumzia hatua za maendeleo ya kumaliza mgogoro huo mkuu wa mkoa wa iringa mohamed UNK aliliambia majira kwa njia ya simu kuwa licha ya kuwepo kwa amri ya mahakama ya UNK kiwanda hicho katika mikono ya aliyekuwa UNK wakati kesi ya madai ikiendelea haamini njia hiyo kama italeta suluhu ya kudumu bwana abdulaziz aliendelea kusema kuwa amefanya mazungumzo na viongozi wa mvyullu mara mbili na sasa UNK kukutana na mwekezaji na baada ya hapo kutakuwepo na kikao cha pamoja zitakazo UNK pande zote mbili na akaahidi kuwa zoezi hilo huenda UNK siku moja kabla ya sikukuu ya idd el haji naye nawab mulla mwenyekiti wa lupembe tea UNK alipoulizwa kuhusiana na hasara hizo alidai kuwa hawezi kusema lolote kwa vile hajui ni hasara kiasi gani imefikiwa kutokana na mgogoro huo na kwamba UNK wala kupata mwaliko wowote kutoka kwa mkuu wa mkoa huyo wananchi wa makwalu na ndavindavi kijiji cha kunke kata ya mtibwa katika wilaya ya mvomero wanaogopa kwenda mashambani mwao kutokana na kutawaliwa na hofu ya kuzuka mapigano kufuatia kuwepo kwa kundi kubwa la wafugaji wa asili ya kimang ati baada ya mwenzao bwana duseni mejaragili kuuawa kwa kukatwa na jembe kichwani na mkulima bwana UNK UNK tukio la mauaji hayo lilitokea novemba kumi na sita ishirini sifuri tisa baada ya mfugaji huyo kuingiza mifugo kwenye shamba mkulima na kula mazao yake ambapo bwana UNK alipojaribu kumhoji marehemu alichampa fimbo mbili za UNK mbavuni zilizompa hasira naye kuamua kumkata na jembe kichwani na kufa akizungumza na majira juzi mwenyekiti wa kijiji cha kunke bwana joseph kihombo alikiri kuwepo kwa hofu kubwa miongoni mwa wananchi wake katika vitongoji vya makwalu ndavindavi pia kunke kutokana kundi la wafugaji waliovamia eneo hilo na kuingiza ovyo mifugo mashambani kiasi cha kuharibu na kuchafua kisima cha maji ya kunywa katika kikao nilichofanya nao nimewaambia kama walivyokuja walikuja kinyemela bila taarifa hata kuondoka waondoke kinyemela hivyo hivyo kabla sijachukua hatua za kisheria kuliko kuwatisha wananchi wasilime wakati mkoa umefanywa ghara la chakula alisema bwana kihombo UNK kuongeza kuwa nimewauliza kwa nini wamekuja kwa wingi baada ya taarifa za kuuawa mwenzao wamesema wanatafuta nggombe zao sitini zilizoibiwa na nilipowauliza sababu za kuvamia na mifugo mingi na kuharibu pia kuchafua kisima cha maji ya kunywa walinyamaza kimya alisema wakati huo huo wananchi wa mgongola wakiwemo wafugaji wenye asili ya kimasai wameweka pingamizi mahakamani kutokana na eneo lao lililotengwa kwa ajili ya mifugo kupewa vigogo na watu wenye uwezo toka nje ya mkoa ili watumie kwa kilimo cha mpunga kwa kisingizio cha kauli mbiu ya kilimo kwanza jeshi la polisi mkoani manyara UNK bwana UNK bura mkazi wa UNK katika wilaya ya babati kwa kosa la kumbaka mtoto wa miaka mitatu kamanda wa polisi wa mkoa huo parmena sumary alisema kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo novemba kumi na sita mwaka huu katika kijiji cha UNK wilayani humo kamanda UNK alieleza kuwa mtuhumiwa alimwita mtoto huyo na kumwingiza ndani ya jengo lililokuwa likijengwa na kumbaka hali UNK kupata maumivu makali sehemu za siri alisema kuwa wakati akiendelea kufanya tukio hilo mtoto huyo alipiga kelele ambapo mama na bibi wa mtoto huyo walifika eneo la tukio na kumkuta mtuhumiwa akiendelea kumbaka kamanda alisema kuwa wazazi hao walianza UNK kelele ambapo wananchi walifikia eneo hilo na kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa na kufikishwa kituo cha polisi mtuhumiwa anatarajia kufikishwa mahakamani kujibu shtaka hilo wakati huohuo bwana ally athumani mkazi wa bassoto wilayani humo katika mkoa wa manyara alikufa maji katika ziwa la bassoto baada ya kujitupa kwa kile UNK kuwa maisha magumu tukio hilo lilitokea novemba mwaka huu ambapo uchunguzi bado unaendelea serikali wilayani singida imepiga marufuku utengenezaji wa pombe za kienyeji UNK na uuzaji wa holela wa matunda ikiwa ni mikakati ya kupambana na ugonjwa wa kipindupindu uliozuka katika tarafa ya UNK halmashauri ya wilaya agizo hilo lilitolewa hivi karibuni na mkuu wa wilaya bwana pascal mabiti wakati akizungumza na kamati ya msingi ya afya ofisini kwake bwana mabiti alisema mtu yoyote atakayekiuka agizo hilo atachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kifungo cha miaka miwili jela alisema kwa mujibu wa kifungu namba mia moja na ishirini na nne cha kanuni ya adhabu mtu yoyote atakayekiuka agizo hilo hakuna mjadala wala hakuna adhabu mbadala ni mkosaji na atakwenda jela miaka miwili alisema alisema katika kudhibiti ugonjwa huo wa kipindupindu kikao cha kamati ya afya ya msingi kimeweka mikakati ikiwemo kuendelea kutoa elimu juu ya tahadhari dhidi ya ugonjwa huo kamati za afya za ngazi zote kukutana mara kwa mara na watoa huduma ya afya kuendelezwa kielimu aidha kaya UNK na kipindupindu zitawekwa chini ya UNK kwa muda wa siku saba na zile ambazo hazina vyoo bora na vya kudumu zitachukuliwa hatua za kisheria alifafanua bwana UNK mganga wa halmashauri hiyo daktari dismas UNK alisema toka kulipuka kwa ugonjwa huo jumla ya watu thebathini na tisa UNK na kati yao bwana saidi UNK mkazi wa kijiji cha UNK alifariki dunia kwa ugonjwa huo uamuzi wa waziri wa kazi profesa juma kapuya uliotolewa agosti sita mwaka huu dhidi ya UNK walinzi waliokuwa watumishi wa UNK UNK vikali na afisa wa kazi mkoani humo kuwa kipengele no mia tatu na sitini na sita UNK katika uamuzi huo UNK hayo yalisemwa hivi karibuni na afisa wa kazi mkoani humo bwana yusufu nzugile alipokuwa akizungumza na mwandishi kuhusu utekelezaji wa kipengele hicho cha sheria no mia tatu na sitini na sita kilichotolewa katika uamuzi wa waziri kwa kumbukumbu no UNK u kumi rf kumi tatu tisa nne kumi na moja ambapo alidai kutotumika kipengele hicho kwa sasa madai ya UNK ya mishahara na masaa ya ziada UNK kwa kutumia sheria ya ajira sura namba mia tatu na sitini na sita alinukuliwa bwana kapuya bwana nzugile alipohojiwa sababu ya kudai kifungu hicho UNK wakati waziri tayari UNK katika uamuzi wake alisema kwamba UNK kwa sababu UNK tangu mwaka ishirini sifuri saba wakati sheria mpya zilipoanza kufanya kazi hivyo hakupaswa kukitumia kifungu hicho walinzi hao walishangazwa na hali hiyo na kusema kwamba tangu mwaka ishirini sifuri nne UNK kazi UNK stahili za mafao ipasavyo kisheria kwa utumishi wao wa zaidi ya miaka sita badala yake waliambiwa na mwajiri wao kuwa wao ni vibarua na sio waajiriwa zaidi ya wanafunzi mia mbili na sabini wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari mangi UNK iliyopo katika kata ya mwika kusini wilayani moshi hawana madawati baada ya fedha zilizochangwa kwa ajili ya ununuzi wa madawati hayo UNK wakielezea kutokea kwa hali hiyo baadhi ya wanafunzi na wazazi shuleni hapo wamedai kuwa toka januari mwaka huu wanafunzi waliojiunga na kidato cha kwanza mwaka huu kila mmoja alilipa shilingi thebathini na tano sifuri sifuri sifuri kwa ajili ya ununuzi wa madawati lakini hadi sasa hakuna UNK tunasikitika toka mwezi wa kwanza hadi sasa watoto wetu hawana madawati na waliobahatika kukaa UNK sana alisema mmoja wa wazazi hao aliyejitambulisha kwa jina la bwana freedom UNK mkuu wa bodi ya shule hiyo bwana freddy UNK alikiri kuwepo kwa hali hiyo na kusema kuwa tayari imeundwa tume ya kuchunguza uhalali wa gari aina ya toyota hiace linalomilikiwa na mkuu wa shule hiyo wakati fedha zilizochangwa kwa ajili ya ununuzi wa madawati UNK tayari UNK tume ili iweze kubaini uhalali wa mkuu wa shule hiyo kumiliki gari kwa muda mfupi wakati fedha zilizochangwa kwa ajili ya madawati hazionekani alisema bwana UNK naye mkuu wa shule hiyo bwana ally mhando alipotakiwa kuzungumzia suala hilo alitoa vitisho kwa waandishi wa habari kuwa ole wake mtu yoyote UNK habari UNK na kuwa waandishi sio polisi hivyo hayupo tayari kujibu kitu chochote shule ya sekondari mangi UNK ni shule ya kwanza kujengwa kwa nguvu za wananchi wa kata ya mwika kusini ambapo UNK rasmi mwaka ishirini sifuri tano na imekuwa na matukio mbali mbali yakiwemo ubadhirifu uongozi mbaya sanjari na wanafunzi kuwa na nidhamu mbaya walimu nchini wametakiwa kukopa mikopo kwa malengo na kufanya tathmini kabla UNK ili fedha UNK ziweze kuwanufaisha badala ya kuwaletea matatizo ushauri huo huo ulitolewa hivi karibuni na katibu wa chama cha walimu tawi la songea vijijini na namtumbo bwana UNK UNK wakati akizungumza na walimu UNK mbinu za biashara kabla ya kuchukua mikopo na mtumie saccos kwa maendeleo yenu sio kukopa kwa ajili ya kufanyia starehe hivyo jitahidini kutathmini kabla ya kukopa alisema mbali na kuwahimiza kuwa na malengo katika mikopo yao lakini pia aliwataka walimu ambao UNK kwenye saccos kujiunga ili waweze kupata mikopo kwa urahisi mkuu wa mkoa wa ruvuma daktari christine ishengoma ameahidi kutoa baiskeli kwa wakulima kumi na nane wa halmashauri ya wilaya ya songea ili UNK katika shughuli za kilimo daktari ishengoma alitoa ahadi ya msaada huo wenye thamani shilingi moja nane baada ya kuridhishwa na mpango wa halmashauri hiyo wa kuwapa mafunzo wakulima UNK hamsini ya kanuni bora za kilimo na mifugo alitoa ahadi hiyo hivi karibuni wakati akifunga mafunzo hayo ambayo ni ya kwanza kutolewa mkoani humo kabla hajafunga mafunzo hayo daktari ishengoma alikwenda kushuhudia mafunzo ya vitendo kwenye shamba darasa la jkt mlale yaliyotolewa na wahitimu wa mafunzo hayo ambapo aliona UNK kwa kutumia trekta ndogo naye meneja wa kilimo wa jkt mlale luteni jackson UNK alisema kuwa kwa kushirikiana na halmashauri ya songea wanatekeleza mpango wa kilimo kwanza kwa kishindo ambapo aliahidi kupanua eneo la kilimo kutoka ekari kumi sifuri hadi ishirini sifuri katika taarifa yake kwa mkuu wa mkoa kaimu ofisa kilimo na mifugo wa halmashauri hiyo bibi UNK UNK alisema wakulima hao walipata mafunzo kwa muda wa mwezi mmoja ambapo walijifunza namna ya kuzalisha na kutunza mazao mbalimbali uendeshaji wa shamba darasa tatizo la maji katika kijiji cha UNK kata ya mwika kusini halitaweza kutekelezwa kutokana na suala hilo kuchukuliwa kisiasa zaidi huku wananchi wakiendelea UNK wasi wasi huo UNK na wananchi hao ambao walidai kuwa jumuiya iliyoundwa na kuitwa jumuiya ya watumia maji haikukidhi matakwa ya wananchi kutokana na itikadi za kisiasa kuingia katika jumuiya hiyo hii jumuiya ya watumia maji wameiweka katika misingi ya kisiasa bila kukumbuka wananchi wanateseka kwa kukosa huduma ya maji sambamba na wanafunzi kuacha masomo na kwenda kutafuta huduma hiyo ya maji alisema moja wa mwanakijiji alitambulika kwa jina la bibi rose UNK mbali na jumuiya hiyo kujikita katika misingi ya kisiasa ambapo wengi wao wanadaiwa kuwa ni wafuasi wa chama cha tanzania labour party lakini bado hawana sifa stahili katika kugawa na kushughulikia tatizo la maji katika kata hiyo bwana rodrick mlay ni mtaalam wa mabomba ambaye ni moja kati ya viongozi wa jumuiya hiyo ambaye amekiri tatizo hilo la maji linatokana na hali ya upungufu wa maji katika vyanzo mbali mbali hata hivyo bwana mlay ambaye ni mwanachama wa tlp amepinga kuwa chama chake UNK kazi hiyo na siasa kama inavyodaiwa rais wa zanzibar amani abeid karume amesema kuwa kufikiwa kwa muafaka visiwani humo UNK hofu na kumaliza tofauti za kisiasa hayo aliyasema wakati akihutubia mkutano wa UNK katika uwanja wa kibandamaiti uliohudhuriwa na wanachama wa ccm kutoka mikoa yote ya zanzibar alisema kwamba mazungumzo yaliyofikiwa kati yake na katibu mkuu wa cuf maalim seif sharif hamad yamefungua ukurasa mpya katika ujenzi wa misingi ya demokrasia na utawala bora na kuwataka wananchi wote waunge mkono suala hilo katibu mkuu wa cuf ndiye aliniomba tukutane jambo ambalo nililipokea bila ya kinyongo na UNK nae ikulu novemba tano mwaka huu ambapo tulizungumza na kumaliza itikadi zetu za kisiasa kwa lengo la kufungua ukurasa mpya wa kujenga mustakabali mzuri kwa wazanzibari alisema rais karume alisema katika mazungumzo yao hakukuwa na ajenda nyingine kwa vile mazungumzo hayo UNK katika kudumisha amani pamoja na mshikamano kwa wananchi wa zanzibar kutokana na mazungumzo hayo alisema kuwa ndiyo yaliyomfanya UNK seif kuwasilisha uamuzi katika baraza kuu la uongozi wa cuf ambalo liliamua kumtambua kama kiongozi halali jambo ambalo alisema sio baya kwa maslahi ya wananchi wote wa zanzibar alisema kuwa wajumbe wa baraza la wawakilishi wa cuf wamekuwa wakishirikiana na serikali kupitia baraza hilo tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini sifuri tano kupitia makubaliano haya ni dhahiri kwamba amani ya kudumu zanzibar sasa imefika alisema mbali na kupongeza hatua hiyo rais karume alisema kuwa alisikitishwa na baadhi ya wafuasi wa cuf waliotaka kupinga kufikiwa kwa hatua hiyo kiwango cha maambukizi ya virusi vya ukimwi katika jeshi la polisi kimepungua kutoka asilimia saba hadi kufikia asilimia nne kutokana na mafunzo mbalimbali yaliyokuwa yakitolewa kwa askari hao hayo yalisemwa juzi na mratibu wa shirika lisilo la kiserikali la pharm access UNK na utoaji wa elimu ya ukimwi katika majeshi bwana david UNK wakati wa mafunzo hayo kwa wakufunzi wa chuo cha polisi moshi alisema kuwa pamoja na kupungua kwa maambukizi mapya lakini bado jitihada zaidi zinahitajika ili kuweza kutokomeza kabisa maambukizi ya ukimwi katika jeshi hilo na kuondoa dhana iliyojengeka miongoni mwa wengi kuwa askari wanaongoza kwa maambukizi ya virusi hivyo endapo wakufunzi watapata mafunzo itakuwa ni njia rahisi kabisa ya kupunguza maambukizi ya ukimwi katika jeshi kwani kila mkufunzi akiingia darasani atakuwa anazungumzia ugonjwa huo hali itakayowafanya wanafunzi kuogopa na kuepuka maambukizi mapya alisema bwana UNK mapema akifungua mafunzo hayo mkuu wa chuo cha polisi moshi bwana matanga UNK alisema kuwa jeshi hilo linatambua mchango mkubwa wa shirika hilo ambapo amewataka wakufunzi hao kutumia vizuri elimu hiyo ili kuweza kuwasaidia vijana wanaojiunga na chuo hicho kuhitimu bila maambukizi kwa upande wa wakufunzi hao walisema kuwa kupitia mafunzo hayo wataweza kupata uelewa zaidi kuhusiana na UNK huo na kuhakikisha elimu wanayoipata UNK vema na kuifikisha katika jamii mbunge wa jimbo la kyela daktari harrison mwakyembe ameushauri wadau wa mfuko wa maendeleo wa wilaya hiyo kutokata tamaa kuchangia maendeleo katika sekta za elimu afya na miundombinu akizungumza katika mkutano wa kdf uliofanyika dar es salaam juzi daktari mwakyembe alisema pamoja na juhudi za serikali kufikisha huduma mbalimbali za jamii lakini kdf bado msaada wake UNK daktari mwakyembe akiwasilisha ujumbe kutoka kwa wananchi wa kyela katika mkutano huo alisema wazazi na wadau wengine wa shule ya sekondari ya matema ambayo itaanza kutoa elimu ya kidato cha tano na sita kutoka desemba mwaka huu wameomba wapatiwe umeme shule ya sekondari matema itakuwa high school kuanzia desemba mwaka huu UNK niwaombe kdf UNK umeme tumefanya tathmini itagharimu shilingi milioni nne hadi tano alisema daktari mwakyembe mbunge huyo alisema UNK kuona kdf inachangia maendeleo ya jimbo lake ambako mpaka sasa zaidi ya shilingi milioni kumi sifuri zimetumika kwa ajili ya kujenga shule za kata kununua vitanda vya shule ya bweni kununua vitabu vya kufundishia na kusaidia walioathirika na mafuriko mwenyekiti wa kdf bwana gray mwakalukwa alisema kuwa mfuko huo umeweka mikakati ya miaka mitano ijayo ambapo katika kata zote kumi na tano UNK kuona kila kata ina shule moja ya sekondari bwana mwakalukwa alisema mipango mingine ni kuchimba kisima kimoja katika kila kijiji kuzalisha na kuongeza thamani ya mazao makuu yanayolimwa wilaya hiyo ikiwa ni pamoja na mchele wa kyela kupewa nafasi katika soko la ndani na nje kuhimiza serikali kujenga chuo cha ufundi na kujenga viwanda vya kukoboa na kusindika kwenye UNK alisema kdf katika programu hiyo pia imeweka kipaumbele kwa watoto wa kike katika elimu kutumia wataalamu wa benki katika kutoa mafunzo ya mikopo kwa wananchi wa wilaya hiyo na kutoa ushirikiano kwa wanafunzi wa vyuo vikuu wanaojitolea kwenda kufundisha katika shule zilizoko kyela mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm bwana nape nnauye amesema kuwa ufisadi rushwa na wizi kwa viongozi wa juu wa serikali unatokana na wao kutokuwa na hofu ya mungu kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na mjumbe wa UNK kuu ya chama cha mapinduzi bwana nape nnauye katika uzinduzi wa albamu ya mwendo mchaka mchaka ya kwaya ya UNK mfalme parokia ya mtakatifu anthon wa UNK UNK kitendo cha kutokuwa na hofu ya mungu kunachangia sana mambo kama haya na ndio maana inafikia hatua hata ya kuuana kwa nia ya kujilimbikizia mali alisema bwana nnauye alisema kuwa haiwezekani kwa mtu mmoja kuiba fedha nyingi kwa maslahi yake binafsi huku maelfu ya wananchi wakiendelea kupata shida alisema kiongozi anayetakiwa kutoa huduma anatakiwa kutoa kwa haki na kwa faida ya leo na kesho ili kulinda rasilimali za nchi bwana nnauye alikwenda mbali zaidi na kunukuu biblia ambapo alisema yesu alipokuwa na wanafunzi wake walimuuliza tutapata faida gani akasema mtapata faida duniani na mbinguni kutokana na maneno hayo alisema kuwa hofu ya mungu UNK mkubwa wa kutokomeza ufisadi nchini kwa kuwa hata takukuru UNK lakini mungu UNK katika uzinduzi huo bwana nape alichangisha zaidi ya shilingi moja nne milioni kwa ajili ya kurekodi kanda ya picha ya kwaya hiyo naye mlezi wa kwaya hiyo paroko padre dominic martin alisema wanatarajia kuanzisha miradi mbalimbali ili kukiwezesha kikundi kujiendesha chenyewe pamoja na kusaidia kituo cha watoto yatima kilichopo mlandizi UNK benki ya nmb kanda ya kaskazini imetoa msaada wa dawa na vyakula mbalimbali kwa ajili ya watoto yatima wajane na wasiojiweza katika kituo cha msamaria UNK UNK kilichopo unga limited mjini arusha akikabidhi msaada huo meneja UNK wa nmb kanda ya kaskazini bibi hadija matimbwa kwa mwenyekiti wa kituo hicho bibi rose UNK alisema kuwa wamefanya hivyo baada ya kutambua shida wanayoipata watoto yatima na kwamba wataendelea kusaidia vituo vingine kwa kuvipatia misaada bibi matimbwa alisema kuwa mbali na kutambua matatizo yanayokabili vituo mbalimbali vya yatima lakini nmb itaendelea kutambua changamoto zinazoikabili jamii ambapo itatumia faida kidogo inayopatikana kwa ajili ya kusaidia au kutatua matatizo ndani ya jamii msaada huu ni sehemu tu ya misaada mingi UNK kuitoa kwenu hakikisheni inawafikia walengwa nina imani msaada huu utasaidia kwa kiasi fulani kuondoa adha wanayoipata watoto yatima ambao mara nyingi jamii UNK kwa kuwaona mzigo alisema bibi matimbwa naye bibi UNK alisema kuwa msaada huo utapunguza tatizo la ukosefu wa chakula kwa watoto hao ambao kwa kiasi kikubwa wanakabiliwa na hali ngumu kutokana na kituo kutokuwa na fedha za UNK msaada UNK ni mafuta ya kula mchele kilo mia moja na hamsini unga wa ngano sukari chumvi dawa ya binadamu na unga wa UNK jaji mkuu wa bwana augustino ramadhan amewataka wahitimu wanaohitimu katika fani mbalimbali kuzingatia sheria wakati wa kuwajibika katika shughuli za kiutendaji hayo aliyasema katika mahafali ya kumi na tatu ya chuo kikuu kishiriki cha tumaini mjini arusha ambapo alihimiza wahitimu hao wa fani mbalimbali ikiwemo sheria kuzingatia taratibu zilizowekwa ili kujiepusha na uvunjaji wa sheria akizungumzia suala la ucheleweshaji wa kesi jaji ramadhan alisema kuwa idadi ya mahakama na majaji ni ndogo ambapo mahakama moja kumi tano zina mahakimu moja hamsini sifuri na majaji sitini wa mahakama kuu wakati majaji kumi na sita ni wa mahakama ya rufaa hivyo idadi ya majaji wa mahakama ni ndogo alisema kuwa pamoja na matatizo ya uhaba wa watendaji hao lakini bado kuna tatizo la upelelezi wa kesi kuchukua muda mrefu hali inayozua mashaka kwa pande husika na kusababisha watuhumiwa kukaa mahabusu muda mrefu naye mkuu wa chuo kikuu kishiriki cha tumaini profesa joseph UNK amewataka wahitimu hao mia tatu na kumi na moja kujiendeleza zaidi kielimu na UNK serikali kupitia bodi ya mikopo UNK wanafunzi kufikia hatua ya kuhitimu masomo yao askari kumi na moja UNK na majambazi sita na kufanikiwa kuwaua katika kijiji cha UNK mkoani dododma UNK vyeti maalum pamoja na fedha taslimu shilingi milioni moja tano akitoa zawadi kwa askari hao mkuu wa mkoa wa dodoma daktari james msekela alisema kazi waliyofanya ni kielelezo cha utendaji bora wa kazi na moyo wa kujituma kulinda wananchi na mali zao mimi siku ile ya tukio UNK lakini nilipopata taarifa UNK kweli tuna askari walio tayari nawapongeza sana hasa kwa kazi ile kama wale jamaa wangeweza kufika pale UNK kwenda na smg kweli mtu UNK alisema daktari UNK alisema kuwa kutokana na hatua hiyo ya askari kujitoa kupambana aliwataka wenye nia ya kufanya ujambazi UNK mji huo au kuachana na tabia hiyo kwa kuwa nchi nzima ina ulinzi wa kutosha nampongeza sana kamanda ambaye UNK siku nyingi muda wote huwa yuko fiti na yuko tayari kupambana muda wowote alisema mbali na hilo aliwaagiza wakuu wote wa wilaya mkoani hapa kufanya vikao na wakuu wa polisi wa katika wilaya zao ili kujua matatizo UNK na kuyatafutia ufumbuzi ndani ya eneo husika badala ya kusubiri makao makuu ya jeshi hilo kutatua matatizo hayo naye kamanda stephen UNK alitoa mwito kwa majambazi kubadilika au kuhama mkoa huo kwa kuwa chini ya uongozi wake hakuna jiwe UNK bila UNK akimaanisha hakuna jambazi UNK bila kufikiwa na mkono wa dola idara ya elimu wilayani kyela mkoani mbeya ipo kwenye mchakato wa kuwachunguza walimu saba wa shule za msingi wanaodaiwa kuwa na matatizo ya akili kauli hiyo ilitolewa na ofisa elimu wa wilaya kyela bwana UNK mgina kwenye kikao cha ushauri cha wilaya wakati akitoa taarifa ya utekeleza wa kikao cha awali alisema kuwa endapo uchunguzi huo utabaini kuwa walimu hao wana matatizo ya akili serikali itachukua uamuzi wa UNK walimu hao alisema kuwa idara yake katika hatua za awali tayari UNK walimu hao kwa lengo la kuwapeleka hospitali kupimwa lakini UNK baada ya kutoroka wakiwa hospitali alisema katika utafiti uliofanywa na ofisi yake imeonesha kuwa walimu hao kwa sasa hawana uwezo wa kufundisha kutokana na matatizo waliyonayo ya akili katika kikao cha awali wajumbe wa kikao hicho waliitaka halmashauri kulifanyia kazi haraka suala hilo ili kubaini ukweli na kuweza kuepuka madhara wanayoweza kusababisha endapo kweli wana matatizo ya akili katibu mwenezi wa wilaya ya maswa bwana jeremiah shigala amesema kuwa kuna uwezekano wa wabunge wilayani humo kuwa kikwazo katika utekelezaji wa kilimo kwanza kutokana na hali hiyo alisema kuwa ni vyema uongozi wa serikali mkoani shinyanga UNK kikao kingine kati ya viongozi wa ccm na wabunge ili kujadili kwa pamoja utekelezaji wa mpango wa kilimo kwanza bwana shigala alionesha wasiwasi huo juzi wakati wa kikao cha viongozi wa ccm wa wilaya zote za mkoa wa shinyanga kilichoitishwa na mkuu wa mkoa kujadili uhamasishaji wa mpango wa kilimo kwanza vijijini kwa kuwaomba viongozi hao wa ccm kushiriki katika uhamasishaji pamoja na watendaji wa serikali alisema iwapo wabunge UNK kikamilifu katika vikao vya kujadili utekelezaji wa kilimo kwanza huenda wakawa ni kikwazo kutokana na tabia yao ya kuwazuia wapiga kura kushiriki baadhi ya shughuli za maendeleo mheshimiwa mwenyekiti kikao hiki ni kizuri sana lakini mimi bado nina wasiwasi kama utekelezaji wa kilimo kwanza utafanikiwa kwa maana humu ndani UNK wabunge wetu nafikiri ingekuwa vizuri tukawa nao kwa maana baadhi yao huenda UNK alieleza bwana shigala na kuongeza nasema hivyo kwa maana tukiwa nao pamoja watasikia yale UNK hivyo hawawezi kugeuka tena na kwenda kuwazuia wakulima nasema hivyo kwani nina uzoefu na eneo langu alisema hata hivyo kauli hiyo ilipingwa vikali na mwenyekiti wa ccm wa wilaya ya kishapu bwana shija UNK aliyesema hakuna haja ya kulumbana na wabunge wakati huu bali kila mmoja sasa aanze kuhimiza kilimo kwanza katika eneo lake sikubaliani na mjumbe aliyekaa hivi punde hakuna haja ya kuomba kikao cha pamoja na wabunge sisi tuanze utekelezaji UNK kipindi cha kilimo ni sasa hao wabunge watasikia tu kilimo kwanza kikiendelea alihoji bwana UNK awali mkuu wa mkoa wa shinyanga brigedia jenerali daktari yohana balele alisema lengo la kikao cha viongozi wa ccm kujadili utekelezaji wa mpango wa kilimo kwanza ni kutaka kuongeza nguvu ya viongozi hao ambao ndiyo wenye ilani ya uchaguzi inayotumika hivi sasa nchini na kwamba ushiriki wao ni wa muhimu katika kipindi hiki kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu wa ngozi cha UNK wilayani iramba ni moja ya vituo vitatu vitakavyonufaika na michango itakayotolewa na wafanyakazi wa mamlaka ya mapato tanzania mkoa wa singida wakati wa maadhimisho ya nne ya siku ya mlipakodi UNK nchini kote kauli hiyo ilitolewa juzi na meneja wa tra mkoa wa singida bwana jumbe samson kwenye uzinduzi wa maadhimisho ya nne ya siku ya mlipakodi bwana samson alivitaja vituo vingine vitakavyonufaika na fedha hizo ni pamoja na kituo cha watoto yatima cha kijiji cha UNK wilaya ya singida vijijini kituo cha watoto wenye ulemavu cha majengo manyoni na wodi ya watoto kwenye hospitali ya sokoine manispaa ya singida alisema katika kipindi hicho wafanyakazi wa mamlaka hiyo watashiriki katika shughuli mbali mbali za kijamii kwa kutoa michango yao ya hali na mali kwa makundi maalumu mambo mengine UNK na mamlaka hiyo ni kuendelea kutoa elimu kwa UNK kwa njia ya kliniki pamoja na semina kwa wafanyabiashara sambamba na kugawa vipeperushi na kutoa majibu ya maswali ya papo kwa papo waziri mkuu mizengo pinda amesema yuko tayari kurudi tena mtwara ili awe mwenyekiti wa kikao cha wadau wa korosho ambacho kimepangwa kufanyika hivi karibuni ili kubaini ni njia gani zitumike kutatua tatizo la kangomba kauli hiyo aliitoa jana wakati akizungumza na wakazi wa manispaa ya mtwara UNK katika siku ya tano ya ziara yake mkoani humo alisema kuwa UNK kila hatua ya mazungumzo UNK upya mfumo wa stakabadhi za mazao ghalani hadi ahakikishe anaondokana na kangomba kwa wakulima wa korosho kangomba ni kipimo cha UNK ambacho walanguzi hutumia kununua korosho kwa wakulima kwa kuwalipa kati ya shilingi ishirini sifuri na shilingi thebathini sifuri alisema kutokana na maswali ya wananchi aliyoulizwa katika ziara hiyo amebaini kuwa kuna mzigo mkubwa wa gharama za uendeshaji ambao UNK kwenye zao la korosho bila UNK UNK kuna chama kikuu kuna chama cha msingi kuna bodi ya korosho vyote hivi UNK ushuru kwenye korosho na vyote hivi UNK UNK kwa kutegemea korosho hii hii wakati mwingine najiuliza hivi vyama ni vyama vya ushirika ni vya watu au ni vyenu wenyewe lengo la mfumo huu ni zuri jana usiku nimekaa na watu wa UNK wameniambia kuwa wamepata shilingi bilioni moja mbili kutokana na korosho lakini zinaenda wapi wamejaribu UNK lakini UNK na maeleo yao sababu UNK kwenye maisha ya wananchi alihoji na kuongeza kuwa mbona zamani vyama vya ushirika na vya msingi vilikuwa UNK barabara au kusomesha watoto sasa hivi mbona UNK alionya vyama hivyo kwa kujali maslahi binafsi badala ya kujali maslahi ya wakulima hivyo akaahidi kurekebisha mifumo iliyojengeka ambayo ina lengo la ulaji badala ya kusaidia chini ya mfumo wa stakabadhi za mazao ghalani mwaka huu bei ya dira ni shilingi sabini sifuri kwa kilo na katika mkupuo wa kwanza wakulima hulipwa shilingi mia nne na tisini na mkupuo wa pili shilingi mia mbili na kumi lakini baada ya mnada kuna fedha ya majaliwa anayopaswa kulipwa mkulima ambayo hutegemea mauzo ya korosho katika mnada UNK shule ya msingi ya makwalu wilayani mvomero inakabiliwa na upungufu mkubwa wa walimu ambapo kwa sasa ina walimu watatu ambao wanalazimika kufundisha wanafunzi mia tatu na arobaini mbali na shule hiyo kuwa na walimu watatu tu lakini bado wanafunzi hao wanasoma katika mazingira magumu ambapo wanalazimika kukaa kwa UNK migongo hali UNK na upungufu wa vyumba vya madarasa akizungumza na majira mwenyekiti mpya wa serikali ya kijiji cha kunke bwana joseph kayombo alisema kuwa kwa sasa shule hiyo inafanya jitihada za kujenga vyumba viwili vya madarasa ili kunusuru hali mbaya inayowakabili wanafunzi hao ninaumia kuona wanafunzi mia tatu na arobaini wa darasa la kwanza mpaka la sita wanasoma kwenye madarasa mawili kwa kupokezana na sijui wanasoma namna gani wanafunzi wengine wanalazimika kusoma kwa UNK migongo ili waweze kutumia darasa moja wengine kusomea nje kama unavyoona alisema kutokana na hali hiyo uamuzi uliofikiwa ni kujenga haraka madarasa mawili ili kupunguza makali na usumbufu UNK walimu na wanafunzi wakurugenzi wa halmashauri za wilaya miji na manispaa katika eneo la ukanda wa ziwa victoria wametakiwa kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao ili kukamilisha ahadi zilizotolewa na rais jakaya kikwete wakati wa kampeni za uchaguzi za mwaka ishirini sifuri tano mbali na hilo pia wametakiwa kutoa huduma bora kwa wananchi ili wananchi UNK na matunda ya serikali yao rai hiyo ilitolewa mwenyekiti wa umoja wa serikali za mitaa katika eneo la maziwa makuu kanda ya tanzania bwana mathew lubongeja wakati akifunga kikao cha siku moja cha umoja huo kilichofanyika mjini bukoba bwana lubongeja alisema kuwa matumaini ya wananchi ni kupata huduma bora na za msingi kutoka kwa serikali hivyo kila kiongozi anao wajibu wa kusimamia vema na kwa umakini ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi kwa lengo la kuboresha maisha ya wananchi aidha aliwataka viongozi hao kuhimiza upandaji wa miti katika maeneo yao ya kiutawala ili kuhifadhi mazingira ikiwa ni sambamba na kutoa elimu kwa wananchi juu ya mabadiliko ya hali ya hewa duniani ambayo yamebadili tabia ya nchi na kusababisha hatari ya mafuriko bwana lubongeja pia alitumiwa mwanya huo kumpongeza rais kikwete kwa namna UNK ahadi nyingi kati ya zile UNK kwa wananchi alitoa mwito kwa halmashauri zote ambazo UNK na umoja huo UNK ili wananchi UNK matunda ya miradi ya wafadhili kwa upande wake meya wa manispaa ya bukoba mstahiki UNK UNK umoja huo kwa namna UNK miradi ya maendeleo ya wananchi naye mkurugenzi wa jiji la mwanza bwana UNK kabwe aliwataka wajumbe hao kutumia muda mwingi wa ziara zao nje na maeneo yao ya kazi ili kujifunza namna halmashauri nyingine UNK shughuli za maendeleo hali itakayowezesha kupata mbinu mpya benki ya nbc tawi la dodoma imetoa msaada wa madawati arobaini na sita kwa shule ya msingi UNK yenye thamani ya shilingi milioni mbili tano ikiwa ni njia mojawapo ya kusaidia jamii katika shughuli za maendeleo msaada huo UNK juzi na meneja wa benki hiyo tawi la dodoma bwana zakaria UNK akikabidhi madawati hayo alisema kuwa nbc imekuwa mstari wa mbele katika kusaidia jamii kwenye mambo mbalimbali ya kijamii hasa elimu naye mkuu wa wilaya ya dodoma bwana john tuppa akipokea msaada huo alisema kuwa nia ya taasisi na sekta mbalimbali kusaidia jamii ni jambo muhimu kwani bila hivyo serikali itaendelea kubeba mzigo mkubwa katika utekelezaji wa kazi zake bwana tuppa alisema kuwa hivi sasa serikali katika wilaya ya dodoma inakabiliwa na changamoto nyingi hasa kwa upande wa sekta ya elimu ambapo hadi sasa kuna madawati ishirini na tatu sifuri sifuri sifuri ukiwepo upungufu wa madawati kumi sifuri sifuri sifuri mbali na kuwepo upungufu wa madawati hayo katika wilaya hiyo lakini pia kuna upungufu wa matundu ya vyoo vyumba vya madarasa pamoja na nyumba za walimu alisema kuwa serikali pekee haiwezi kumaliza changamoto hizo hivyo wadau mbalimbali zikiwemo taasisi za kifedha mashirika mbalimbali ya dini yanatakiwa kusaidiana na serikali katika miradi hiyo ya maendeleo wananchi wa wilaya ya kilolo mkoani iringa wameiomba wizara ya afya na ustawi wa jamii kuongeza wahudumu katika kituo cha afya cha kilolo kutokana na kituo hicho kuelemewa na wagonjwa kituo hicho kwa sasa kina wahudumu wachache ambao wanashindwa kutoa huduma UNK kwa wagonjwa hali inayosababisha kero kubwa kwa wagonjwa wanaofika kituo hapo wakizungumza na majira kwa nyakati tofauti juzi baadhi ya wananchi wa kijiji cha kilolo walisema kuwa kituo cha afya cha kilolo UNK na wagonjwa kiasi cha kushindwa kutoa huduma kituo kina daktari mmoja na mhudumu mmoja na wagonjwa wanaofika hapo ni wengi hivyo kwa hali hii kuna hatari kubwa UNK wananchi wa hapa alisema bwana mashaka lukosi kituo hicho hupata wagonjwa arobaini hadi sabini wanaofika kupata huduma ambapo huduma zake huwa za kusua sua kutokana na upungufu wa UNK mbali na wagonjwa kuwa katika wakati mgumu lakini pia wahudumu nao wanafanya kazi katika mazingira magumu kituo hiki UNK sana wakazi wa maeneo haya hivyo tunaiomba serikali iangalie kwa makini suala hili ili kumaliza kero UNK nayo alisema bwana lukosi kituo hicho UNK wagonjwa kutoka katika vijiji zaidi ya vitano muungano wa madhehebu ya dini ya kikristo mkoani mbeya umeazimia kufanya maombi maalumu kutokana na kukithiri kwa vitendo vya UNK damu na uhalifu mkoa wa mbeya ambao UNK kuwa ni miogoni mwa mikoa yenye madhehebu mengi ya dini ya kikristo UNK UNK thebathini sifuri yatafanya maombi hayo kwa ajili ya kumwomba mungu kuepusha matendo hayo akizungumza na waandishi wa habari mwenyekiti wa umoja wa wakristo mkoani hapa bwana john mwela alisema kuwa wamedhamiria kufanya maombi maalumu ili kuufanya mkoa wa mbeya kuwa wa amani alisema kwa kipindi kirefu mkoa huo umekuwa UNK kwa sifa mbaya za umwagaji damu usio na hatia UNK wa ngozi za wanadamu upigaji wa nondo kukata viungo vya binadamu hususani walemavu wa ngozi utoaji mimba na kutupa watoto UNK alisema kuwa mbali na matukio hayo mkoa huo umekithiri kwa vitendo vya uasherati na ushoga ambapo pia kumekuwepo na chuki za kidini baina ya kanisa moja na jingine jambo ambalo linachangia kukuza UNK katika jamii alisema kuwa matatizo hayo UNK watu wasiofuata maadili katika sekta mbalimbali za serikali na ndani ya makanisa na kusababisha kuwepo kwa vitendo vya rushwa bwana mwela alisema kuwa kanisa linahitaji kusimama kidete na kushirikiana na serikali ambayo awali haikuwa na ushirikiano wa karibu na viongozi wa madhehebu ya kidini katika kutatua mambo ya kijamii hivyo ni fursa pekee kwa viongozi wa kidini na kiserikali kujuta na kutubu juu ya makosa ambayo UNK mbunge wa jimbo la isimani william lukuvi amewataka wavuvi katika bwawa la mtera kujinufaisha na soko la kimataifa UNK katika kijiji cha migori nje kidogo ya bwawa hilo lengo la kujengwa kwa soko hilo ni kutokomeza umasikini na kuinua uchumi kwa wavuvi na wananchi wa eneo hilo la mtera na vitongoji vyake bwana lukuvi aliyasema hayo juzi wakati akiweka jiwe la msingi katika ujenzi wa soko hilo ambao tayari umeanza na unatarajiwa kukamilika mwakani akizungumza na wavuvi bwana lukuvi alisema kuwa soko hilo litakuwa na sehemu ya kuwekwa majokofu ya kuhifadhia samaki ambapo ujenzi huo unagharimu shilingi milioni mia moja na kumi na sita akizungumzia ujenzi wa barabara ya lami kuanzia mkoa wa iringa kupitia mtera hadi dodoma alisema kazi hiyo inatarajiwa kuanza mwakani hivyo akawataka wananchi kuwa wavumilivu wakati serikali ikifanya jitihada hizo kujengwa kwa barabara hiyo UNK milango ya biashara katika mikoa ya dodoma iringa mbeya arusha singida na tabora na kero ya utamalizika mkuu wa mkoa wa morogoro bwana issa machibya amewataka viongozi wa vyama vya watu wenye ulemavu kuendelea kuihamasisha jamii ili itambue umuhimu wa walemavu katika kupata haki zao haki hizo ni pamoja na kupata fursa ya kutumia lugha za alama katika shule za msingi sekondari na hata vyuo vikuu rai hiyo aliitoa juzi wakati akifungua mafunzo ya uongozi utetezi na ushawishi kwa viongozi wa kitaifa wa vyama vya watu wenye ulemavu ambapo alisema kuwa bila viongozi wake kuhamasisha jamii juu ya haki hizo walemavu wataendelea kuishi katika mazingira magumu alisema kuwa walemavu wana haki ya kupata habari kulingana na ulemavu wao huduma za kiafya na kushirikishwa kikamilifu katika shughuli mbalimbali za kuliletea taifa maendeleo bwana machibya alisema kuwa serikali kwa upande wake ina jitihada za kuangalia uwezekano wa kuinua maisha ya watu wenye ulemavu kwa kuwa inatambua mchango wake hata hivyo alisema kuwa jamii ya walemavu UNK mafanikio UNK kama hakutakuwa na uongozi wenye kufuata misingi ya utawala bora na kwamba njia sahihi ya kufikia mustakabali huo ni kwa wanachama wa vyama vya walemavu kuchagua viongozi bora na wasioweza UNK vyama vyao wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi imezitaka shule na vyuo vyote binafsi nchini kuunda bodi za shule UNK wamiliki wake ili kuweza kusimamia utoaji elimu bora na haki za wanafunzi na wafanyakazi wake agizo hilo lilitolewa na naibu waziri wa wizara hiyo bibi mwantumu mahiza wakati akifungua mkutano mkuu wa mwaka wa chama cha walimu wakuu wamiliki na viongozi wa shule na vyuo binafsi bibi mahiza alisema kama bodi hizo UNK katika misingi ya sheria kanuni na miongozo ya elimu UNK basi ni dhahiri kuwa elimu itakayotolewa itakuwa bora zaidi na tabia ya kuwafukuza wanafunzi kila wakati UNK miongoni mwa shule zisizomilikiwa na serikali alisema utafiti unaonesha kuwa shule nyingi zisizomilikiwa na serikali hazina bodi za shule na zile zenye bodi UNK ndugu hali ambayo husababisha haki UNK kwa wanafunzi na wafanyakazi unakuta mama na mtoto ndio wajumbe wa bodi sasa hapo haki UNK wapi si UNK mama au baba ndio UNK sahihi na ndio maana wanafunzi UNK mara kwa mara alisema bibi UNK mbali na hayo aliwataka wamiliki wa shule hizo kusisitiza kwa walimu wao kupunguza adhabu kali kwa wanafunzi kwa kuwa utoaji wa adhabu za aina hiyo huwafanya baadhi ya wanafunzi kuchukia shule na hivyo kuwaharibia msingi mzima wa maisha yao awali mwenyekiti UNK taifa bwana ally mwanakatwe aliiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuuwezesha kiuchumi umoja huo ili uweze kufikia malengo iliyojiwekea ya kutoa elimu bora na kwa watanzania walio wengi mwenyekiti wa vijana wa chama cha udp wilayani sengerema bwana sijaona mapinduzi ametangaza rasmi kumvaa mbunge wa jimbo la sengerema kupitia ccm bwana william ngeleja katika uchaguzi mkuu ujao akizungumza na majira wilayani humo hivi karibuni bwana sijaona alisema kuwa nia yake ya kuwania nafasi hiyo ni kutaka kushirikiana na wananchi wa wilaya hiyo katika kuleta maendeleo alisema kuwa kutokana na matatizo makubwa ambayo UNK wananchi wa jimbo hilo ikiwemo upatikanaji wa maji safi na salama ambayo bado hayajafanyiwa kazi ni sababu UNK agombee ubunge ili UNK kumalizika kwa kero hiyo matatizo mengine aliyosema atapambana ili UNK ni pamoja na miondombinu kama ya barabara ambapo alisema kuwa atashirikiana na halmashauri ya wilaya ya sengerema katika kutatua hali hiyo baadhi ya wananchi jimboni sengerema walisema kuwa wanamtaka mbunge ambaye anafahamu vizuri jiografia ya jimbo hilo na anayeishi jimboni hapo wanachama wa ccm wapatao thebathini sifuri wa kata mbalimbali za jimbo la mlalo wilayani lushoto juzi waliandamana kwa umbali wa kilometa mbili kuanzia mji mdogo wa UNK hadi nyumbani kwa mbunge wa zamani wa jimbo hilo bwana carles kagonji kwa lengo la kumshinikiza agombee tena ubunge mwaka ishirini moja sifuri maandamano ya wafuasi hao wa ccm yalianza saa saba thebathini mchana hadi nyumbani kwa bwana kagonji ambaye alikuwa mbunge wa jimbo hilo tangu elfu moja na mia tisa na tisini hadi ishirini sifuri tano alipopoteza kiti hicho na kuchukuliwa brigedia UNK hassan UNK alisema walipofika nyumbani kwa mwanasiasa huyo mmoja wa UNK hao ambaye ni mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi kata ya malindi bwana ismail semkunde alisema wameamua kuandamana kuomba UNK na kutangaza nia yake ya kugombea ubunge mwaka ishirini moja sifuri wewe ulikuwa mbunge wetu kwa miaka kumi na tano ulifanya kazi nzuri tukasema UNK UNK lakini tangu UNK tunaona mambo UNK nyuma kwani hata UNK vyako UNK UNK alisema bwana UNK akizungumza baada ya wana ccm kufikisha kilio chao bwana kagonji alizungumzia mambo mengi ikiwemo kuwakumbuka wabunge wenzake aliowaacha bungeni akiwataja kuwa ni pamoja na bwana UNK UNK bwana UNK galinoma na walioshindwa katika uchaguzi wa mwaka ishirini sifuri tano hata hivyo hakueleza waziwazi kama atagombea ubunge katika uchaguzi wa ishirini moja sifuri kama UNK najua UNK ni mbunge wa mlalo na kwa taratibu zetu za chama kila mtu ana haki ya kugombea lakini wenzangu mpo sawasawa mmejipanga na hili UNK alihoji bwana kagonji na kupokewa na sauti za wana ccm hao UNK bwana mheshimiwa tumekuja hapa kuwasilisha ujumbe wa kukutaka UNK tena UNK mkono alisema bwana semkunde baada ya kuona bwana kagonji anachelewa kuitikia ombi lake baada ya kutolewa kwa kauli hiyo bwana kagonji alikubali na kuwataka UNK mazingira mazuri ili aweze kushinda kiti hicho ili UNK tena zaidi ya shilingi milioni sita tatu zitatumika kufanya utafiti wa kiwango cha kufaulu kwa wanafunzi wa shule sita za UNK wa kiswahili na kiingereza zinazomilikiwa na serikali na watu binafsi kwa kipindi cha mwaka ishirini sifuri nane hadi ishirini moja moja hapa nchini utafiti huo unajumuisha wanafunzi wa darasa la tano na la tatu wa shule hizo shule za serikali zinazotumia lugha ya UNK ambazo UNK kwenye mpango huo ni UNK ya morogoro na shekilango na UNK zote za dar es salaam shule za binafsi zinazotumia mtaala wa lugha ya kiingereza shule za msingi nguzo hekima primary na UNK zote za kinondoni jijini dar es salaam utafiti huo unaendeshwa na UNK ya UNK of UNK in tanzania and south african akizungumza na gazeti hili mratibu wa mradi chuo kikuu cha dar es salaam profesa martha qorro alisema utafiti huo wa miaka mitatu unalenga na kuona kama uwepo UNK na mafunzo kwa walimu kutasaidia kupandisha kiwango cha elimu kwa shule zinazotumia kiswahili na UNK UNK qorro alisema katika mradi huo wa utafiti unafanyika katika nchi tatu za tanzania afrika ya kusini na norway kwa kutoa vitabu vya kufundishia na kuwapa walimu mbinu mbalimbali za kufundisha masomo ya hisabati kiswahili na UNK jamii imetakiwa kuondokana na dhana potofu ya kuwa wanaume wanapofanya shughuli za kupika kufua kuosha vyombo na kulea watoto wanakuwa UNK na wake zao na badala yake ionekane kuwa ni wajibu wao pia kufanya kazi hizo hayo yalisemwa jana na meneja wa mradi wa champion UNK na kupinga UNK wa kijinsia daktari UNK mlawa ambaye alisema kuwa kuondokana na dhana hizo potofu itakuwa ni njia ya kusaidia kupunguza idadi ya wanawake wanaofanyiwa ukatili na wapenzi na waume wao daktari mlawa aliyekuwa hayo katika maadhimisho ya kupinga unyanyasaji wa kijinsia yaliyoandaliwa na shirika hilo alisema ukatili dhidi ya wanawake umekuwa pia ukisababisha ongezeko la maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa kuwa wahusika wanapokosana huamua kutoka nje ya ndoa alisema ili kupunguza tatizo hilo ambalo UNK ndani ya jamii ya kiafrika na tanzania kwa ujumla hakuna budi kwa wanaume kusaidiana na wake zao katika shughuli mbalimbali hata za ndani ya nyumba pasipo kuogopa kueleweka kuwa UNK UNK naye mwenyekiti wa mradi wa champion mkoani morogoro bwana anthon mhando alisema wanaume wanaweza kupunguza unyanyasaji wa kijinsia kwa kutotumia nguvu katika kutatua migogoro kutokunywa pombe kupita kiasi pamoja na kuwashawishi wanaume wengine UNK wanawake kwa upande wake katibu tawala wa wilaya ya morogoro bwana UNK njovu alisema wanaume wakiamua kubadilika na kuachana na mitazamo ya mifumo dume kutawezesha kujenga familia zenye ustawi wa kiafya na maendeleo na hivyo kuifanya nchi kutokuwa na maambukizi mapya ya ukimwi mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa bibi anne kilango amewataka wanawake wenye nia ya kugombea ubunge katika jimbo la vunjo kujitokeza kwani ni haki yao kufanya hivyo bibi kilango ambaye pia ni mbunge wa jimbo la same mashariki alitoa mwito huo juzi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya makuyuni jimboni humo ambako yuko UNK alisema kuwa kitendo cha mwanachama wa ccm kuonesha nia ya kugombea katika jimbo lolote hakina kosa ikiwa ni baada ya rais kuvunja bunge na mwanachama huyo kutafuta ridhaa ya chama chake wanawake tuna uwezo wa uongozi tumeona katika serikali za mitaa katika ngazi ya ubunge UNK kimaro unachotakiwa ni kuchukua fomu na kujipitisha kwa wanachama na wananchi ili haki yako UNK alisema bibi kimaro alisema kuwa kuna umuhimu mkubwa wa wanawake kujitokeza kugombea katika nafasi hiyo kwa kuwa mpaka sasa wabunge wanawake wa kuchaguliwa ni kumi na saba kati ya wabunge mia mbili na thebathini na mbili ukiachilia mbali suala la viti maalum wabunge wanawake kupitia majimbo ni wachache mno jitokezeni kugombea nafasi za ubunge ikiwa ni pamoja na urais alihimiza bibi kilango bibi kilango alikwenda mbali zaidi na kujigamba kuwa katika uchaguzi wa mwaka ishirini sifuri tano alipambana na wanaume saba ambao UNK na kunyakua kiti hicho naibu waziri wa afrika mashariki bwana mohamed aboud amewaomba wananchi kutokuwa na hofu kuhusiana na jumuiya ya umoja wa afrika mashariki na badala yake amewataka kuunga mkono juhudi UNK na serikali mh aboud aliyasema hayo wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani kilimanjaro ambapo alisema lengo la jumuiya ya afrika mashariki si kudhulumiwa wala kuvamiwa kwa nchi kama wengine wanavyodhania bali ni kuimarisha mahusiano baina ya nchi za afrika mashariki alisema kuwa wananchi wengi wana hofu na umoja huo huku wengine wakiwa na imani potofu kuwa kitendo cha kuungana kwa nchi hizo UNK wananchi katika masuala ya ardhi jambo ambalo ni kinyume na matarajio ya umoja huo napenda kuwahakikishia kuwa umoja huu una nia njema kabisa na hakuna mwananchi UNK UNK na tumeanza kufanya tathmini ili kujua maeneo ambayo tunaweza kuathirika na kuchukua hatua za haraka alisema bwana UNK kwa upande wa wananchi waliofika katika mkutano huo waliiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuandaa mkataba wa jumuiya hiyo kwa lugha ya kiswahili ili kila mwananchi aweze kuusoma na kuuelewa kuhusiana na ombi hilo naibu waziri huyo alisema aliahidi kutekeleza hilo na kuhakikisha kila mkoa na wilaya watapata mkataba huo na UNK novemba ishirini mwaka huu marais watano wa nchi za jumuiya ya afrika mashariki walikutana mjini arusha kuhitimisha maadhimisho ya miaka kumi tangu kuanzishwa kwa jumuiya hiyo wadau wa kilimo mkoani morogoro wametakiwa kushirikiana na chuo kikuu cha sokoine ili kupata elimu inayohusu kilimo na hatimaye elimu hiyo kuwafikia wakulima na UNK kauli hiyo ilitolewa juzi mkoani hapa na naibu waziri wa mifugo na uvuvi bwana james wanyancha wakati wa mahafali ya ishirini na tano ya chuo hicho alisema kuwa ni vyema wadau wa kilimo UNK kwa pamoja ili kupata ushauri dhabiti juu ya suala la kilimo kwa lengo la kushirikiana na serikali katika kutekeleza mpango mzima wa kilimo kwanza chuo hiki kinaongoza katika kutoa elimu bora ya kilimo hivyo wadau jitokezeni UNK ufahamu zaidi wa kuendeleza kilimo chenu ili kufanikisha mapinduzi ya kilimo alisema bwana wanyancha naye makamu mkuu wa chuo hicho bwana gerald UNK alisema kuwa chuo hicho UNK na wanachi mbali mbali katika kufanya tafiti zake ikiwa lengo ni kuwanufaisha wananchi hao tafiti zetu tumekuwa mstari wa mbele katika kuwashirikisha wananchi kwani ndio wadau wetu wakubwa alisema bwana UNK alisema kuwa nchi inakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa maofisa ugani jambo ambalo limekuwa UNK jitihada za kutoa elimu ya kilimo hapa nchini ofisa ushirika wa jiji la mbeya bwana musa mapunda amewaonya wanachama wa bonde la uyole kuacha tabia ya kufuja fedha za mikopo kwa kufanyia sherehe za harusi na badala yake UNK katika malengo yaliyokusudiwa onyo hilo alilitoa katika mkutano wa makisio ya bajeti ya mwaka ujao ambapo alisema kuwa fedha za mikopo zimekuwa zikitumika vibaya tofauti na kazi UNK na matokeo yake urejeshwaji unakuwa wa kusua UNK alisema kuwa wafanyabiashara wengi wanafanya biashara zao kwa kutegemea mikopo hivyo ni vyema kila mwanachama UNK urejeshaji ili kila mmoja aweze kunufaika na mikopo hiyo kwa kujiletea maendeleo wengi UNK na mikopo na kuondokana na umasikini hivyo UNK mkopo utumike kama ulivyokusudiwa na tuachane na kutumia fedha hizo katika mambo ya harusi na anasa zingine alisema bwana mapunda aliwataka wanachama hao kuwa makini na kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzake ili mikopo iweze kurejeshwa kwa wakati unaotakiwa naye mwenyekiti wa ushirika wa bonde la uyole bwana amos mahenge alisema kuwa tatizo UNK wanachama hao ni UNK matumizi ya fedha za mikopo sababu inayokwamisha UNK mbunge wa jimbo la isimani katika wilaya ya iringa vijijini bwana william lukuvi amemtaka mkurugenzi wa wilaya hiyo bibi tina UNK kukutana na uongozi wa tarafa ya migori na mtera kwa ajili ya kutatua mgogoro wa mipaka ambao umekuwa UNK mara kwa mara mipaka inayozua UNK ni ya kutenganisha tarafa ya migori na mtera hali inayosababisha kuingiliana kwa wakazi wa eneo hilo na kusababisha malumbano miongoni mwao ya kugombea ardhi ya kulima malisho na ujenzi wa nyumba zao agizo hilo alilitoa juzi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika eneo la migori baada ya wananchi hao kutoa malalamiko yao juu ya kero ya mipaka katika maeneo hayo hali inayozua misuguano kati ya wavuvi wakulima na wafugaji bwana lukuvi alimtaka mkurugenzi kuitisha mkutano na viongozi wa pande zote ambazo UNK ili kuweka mpaka ambao utakuwa unajulikana na wote akizungumzia tatizo la njaa bwana w lukuvi alisema kuwa serikali imetoa tani kumi na nne za mahindi ili kusaidia UNK na njaa katika eneo hilo ambalo asili yake ni ukame alisema kuwa chakula hicho UNK bure kwa wale wasio na uwezo kabisa na kuongeza kuwa wale ambao wataonekana wana uwezo watalazimika kulipia chakula hicho kwa bei ya shilingi hamsini kwa kila kilo moja wodi ya wazazi katika hospitali ya mkoa wa ruvuma imekumbwa na msongamano mkubwa wa wajawazito wanaofika hospitalini hapo kwa ajili ya kujifungua ambapo wanalazimika kulala wanne katika kitanda kimoja uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwepo kwa msongamano mkubwa ambao sasa umedumu kwa kipindi kirefu bila ya hatua zozote kuchukuliwa ili kunusuru hali hiyo ambayo inaweza kusababisha madhara mengine kwa akina mama hao baadhi ya wajawazito waliohojiwa na gazeti hili walisema kuwa kulala wanne kwenye kitanda kimoja ni hatari kwa usalama wao na watoto kwani wanaweza kuambukizana magonjwa na uwezekano wa UNK mmoja wa akina mama UNK hospitalini hapo bibi asha selemani mkazi wa matarawe katika manispaa ya songea alisema kuwa amelazimika kulala chini ili kuweza kumpisha mtoto wake licha ya kuwa na maumivu makali ya kidonda kilichotokana na upasuaji kama unavyoniona hapa hali yangu sio nzuri nimejifungua kwa njia ya upasuaji nimelazimika kulala chini ili mwanangu alale kitandani kwa kweli hali ni mbaya sana tunaomba serikali ichukue hatua haraka za kuboresha wodi ya wazazi ukizingatia hii ni hospitali ya mkoa alisema bibi selemani akizungumzia matatizo hayo kaimu mganga mkuu wa hospitali hiyo daktari mathayo UNK alikiri kuwepo kwa msongamano huo lakini akasema kuwa hali hiyo inatokana na manispaa kutokuwa na hospitali za kutosha za UNK alisema kuwa mji a songea na wilaya ya namtumbo una vituo vya afya ambavyo UNK na kufikia hatua ya kutoa huduma ya upasuaji na hali hiyo ndiyo inachangia kuwepo kwa msongamano huo wa wagonjwa katika hospitali ya mkoa hata hivyo aliiomba serikali UNK mkakati wa kuboresha vituo hivyo ili kupunguza tatizo hilo na ikiwezekana zijengwe hospitali zingine ambazo zitasaidia kupunguza msongamano wa wagonjwa kwenye hospitali ya mkoa viongozi wa kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani wametakiwa kujenga utamaduni wa kutekeleza ahadi zao kwa wananchi kwani wengi wao wamekuwa wakiishia kutoa ahadi hewa zinazosababisha kukwamisha shughuli za maendeleo na wananchi kukosa imani na viongozi hao pamoja na serikali hayo yalisemwa juzi na mwenyekiti wa umoja wa vijana mkoa wa tanga bwana rodgers shemwelekwa kwenye mkutano wa hadhara ulioambatana na hafla ya kukabidhi kompyuta kwa ofisi za uv ccm kwenye wilaya tano za mkoa huo ahadi iliyokuwa UNK na mjumbe wa baraza hilo bibi amina kingazi mkutano huo uliofanyika kwenye mji mdogo wa UNK wilayani muheza ambapo katibu mkuu wa uv ccm taifa bwana martin shigela alikuwa mgeni rasmi bwana shemwelekwa alisema wabunge na madiwani wanatakiwa kutekeleza ahadi zao ili kurudisha imani kwa wananchi ahadi ni deni kama hivi mjumbe wa baraza ameweza kutekeleza ahadi yake aliyoitoa wakati anachaguliwa kuwa mjumbe wa baraza kuu la uv ccm taifa kutokea mkoa wa tanga mwaka jana hivyo tunawaomba madiwani na wabunge wetu kutekeleza ahadi zao kwa wananchi ili waongeze imani na serikali yetu alisema bwana UNK naye bibi kingazi alitumia mwanya huo kusema kuwa ahadi iliyobaki kwa wilaya nne UNK ndani ya mwezi mmoja hivyo akawataka waliopata komputa hizo kuzitunza na kuzitumia katika kuhifadhi kumbukumbu za ofisi zao akikabidhi kompyuta hizo kwa wenyeviti wa uv ccm wilaya bwana shigela aliwaonya UNK komputa hizo katika mambo binafsi yakiwemo ya kuzifanya kuwa za mafunzo kwa watu bali zitumike kwa masuala ya ofisi jamii imetakiwa kutunza na kuendeleza miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao na inayoachwa na mashirika mbalimbali ili iweze kuwanufaisha kuwapunguzia kero kwa muda mrefu rai hiyo ilitolewa juzi na mkuu wa wilaya ya maswa mkoani shinyanga bwana james yamungu wakati akiwahutubia wananchi wakazi wa kijiji cha nguliguli wilayani maswa katika sherehe ya kuaga mradi wa shirika la world vision tanzania ipililo UNK na kuzindua shirika la maendeleo ya jamii UNK alisema kuwa kumekuwepo na tabia ya baadhi ya wananchi kuhujumu miradi mbalimbali ya maendeleo inayojengwa na serikali au kuachwa na wafadhili mbalimbali hivyo akawaonya kuacha tabia hiyo alisema kuwa wafadhili wengi wajitahidi kuondoa kero mbalimbali zinazoikabili jamii lakini wananchi wamekuwa hawatambui kazi kubwa inayofanywa hali inayosababisha kuendelea kuishi na kero nyingi alisema shirika la world UNK tanzania limekuwa na msaada mkubwa katika kuchangia juhudi za serikali za kupambana na umasikini na kuleta maendeleo hususani kwa watu waishio maeneo ya vijijini hivyo serikali inatambua na kuthamini mchango huo awali akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi huo bibi modester joseph alisema tangu kuanzishwa kwake mwaka mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne katika eneo hilo umekuwa UNK katika nyanja mbalimbali za elimu afya maji kilimo mazingira na ushuhuda wa kikristo naye mkurugenzi wa miradi wa world vision tanzania bwana UNK kamara alisema kuwa tangu mradi huo uanze hadi septemba thebathini mwaka huu jumla ya dola za kimarekani mbili mia tisa na themanini na tano mia tano na sitini na nne zimetumika katika kutekeleza miradi mbalimbali ya kijamii katika kata za nguliguli ipililo UNK na UNK kamati kudumu ya bunge ya hesabu za mashirikia ya umma pamoja na taasisi za serikali imeitaka menejimenti ya hifadhi ya taifa ya UNK kuwataja watendaji wa serikali ambao wanakwamisha mpango wa ukusanyaji wa kodi kutoka kwa wawekezaji UNK ndani ya hifadhi hiyo agizo hilo lilitolewa juzi baada ya kamati hiyo kupata taarifa kutoka za kukwama kwa ukusanyaji wa mapato hayo taarifa ambayo ilitolewa na mhifadhi mkuu bwana mtango mtahiko wakati akitoa taarifa ya mapato na matumizi ya mwaka ishirini sifuri mbili hadi oktoba ishirini sifuri tisa katika taarifa ya bwana mtahiko ilisema kuwa pamoja na hifadhi ya serengeti kuwa mstari wa mbele kuboresha huduma ya utalii lakini bado kuna changamoto kubwa ya wawekezaji ndani ya hifadhi hiyo kulipa fedha kidogo ndugu mwenyekiti ndani ya hifadhi ya serengeti tuna hoteli saba zenye uwezo wa kulaza wageni moja sifuri moja sifuri pamoja na kambi maalum sabini na mbili zenye uwezo wa kulaza wageni moja mia tatu na arobaini na sita lakini bado baadhi ya hoteli zimekuwa UNK kuhusu mapato wanayopata kutokana na fedha wanazopata kutoka kwa watalii kwenye malazi na chakula alisema alisema kuwa hoteli hizo pia zimekuwa zikitoa hesabu za uongo ikilinganishwa na malipo ambayo watalii UNK kwenye hoteli ama kambi hizo wakichangia taarifa hiyo wajumbe wa kamati hiyo waliiomba menejimenti ya serengeti kuwataja watendaji wa serikali ambao wanakwamisha kuongezwa kwa fedha wanazotoza kwenye hoteli hiyo sambamba na UNK kifua baadhi ya hoteli mhifadhi taarifa yako ni nzuri na UNK lakini sisi tumeshapata taarifa kuwa kuna baadhi ya watendaji ambao UNK sasa tunataka UNK walau kwa kuwataja ili UNK na tuweze kuwabana zaidi alisema bwana anthony UNK viongozi wa chama cha mapinduzi mkoani shinyanga wameomba kuwepo kwa utaratibu wa kuwabana wagombea wa nyadhifa mbalimbali za kisiasa hasa kupitia uhamasishaji wa kilimo kwanza ili kuweza kupata viongozi wanaotambua umuhimu wa kilimo mwito huo ulitolewa juzi na viongozi hao katika kikao UNK mkakati wa uhamasishaji wa mpango wa kilimo kwanza ambapo walisema bila ya viongozi kuwa na uelewa mzuri wa masuala ya kilimo na kuwa mifano kwa kilimo cha kisasa ni vigumu kutekeleza mpango huo bila ya viongozi kuwa mfano kwa wakulima wetu ni wazi mpango huu UNK maana wakulima wengi huangalia viongozi wao wanafanya nini hivyo ni vyema kukawepo utaratibu wa wagombea angalau kuwa na mashamba ya mfano ambao UNK na wakulima na hatimaye kuwa na mafanikio katika hili alieleza bwana UNK UNK mbali na hili viongozi hao UNK kuachwa kwa tabia ya baadhi ya viongozi kufanya au kutekeleza mambo kwa zima moto kwani kwa kufanya hivyo utekelezaji wake hukosa tija mheshimiwa mkuu wa mkoa ni vizuri tuhakikishe kuwa mpango wa kilimo kwanza unakuwa endelevu tuache mambo ya zima moto au nguvu ya soda UNK katika kuhamasisha na kuwafikia wananchi wetu kwani kwa kufanya hivyo tutakuwa UNK sana serikali yetu alieleza bwana sospeter UNK hatimaye mbunge wa jimbo la dodoma mjini bwana ephraim madeje ametangaza rasmi UNK wa kutogombea tena nafasi ya kiti cha ubunge katika uchaguzi ujao mwakani uamuzi huo UNK jana mjini hapa wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo alisema kuwa ameamua kufikia uamuzi wa kutogombea tena kutokana na sababu mbalimbali alizitaja sababu ambazo UNK kufikia uamuzi huo ni pamoja na kulinda heshima yake ya miaka thebathini na saba aliyoitumikia wakati akiwa katika sekta ya mawasiliano kama kiongozi wa ngazi ya juu na ile ya miaka mitano ya kuwatumikia wananchi akiwa mbunge uongozi mzuri ni wa kupokezana hadi hapa nilipofanya inatosha ni vyema UNK na wengine ili waangalie ni mahali gani pa kuboresha zaidi alisema bwana UNK alisema kuwa uamuzi wa kutogombea tena UNK kwa kuiga mfano wa bwana nelson mandela ambaye ni rais mstaafu wa afrika kusini hata UNK mwaka ishirini sifuri tano niliamua kufanya hivyo baada ya kuona aliyekuwa mbunge wa jimbo hili bwana hashimu UNK kulifanya jimbo hilo kama shamba lisilokuwa na mazao ya kudumu na UNK huyo alikuwa akionekana jimboni wakati wa kulima na baadaye wakati wa mavuno tu alisema bwana UNK alisema kuwa kitendo cha mwakilishi huyo ambaye UNK kuonekana mara chache jimboni ndicho kilichomfanya kugombea wakati ule na kushinda nafasi hiyo ambayo tayari UNK wananchi na sasa ameamua kuachana na nafasi hiyo ili wengine UNK wananchi wao akizungumzia mafanikio aliyoyapata jimboni humo alisema kuwa ni pamoja na sekta ya elimu ambapo kumekuwepo na ongezeko la asimilia sabini na mbili ya watoto walioandikishwa ongezeko la asilimia themanini na tano tano la wanafunzi waliofaulu darasa la saba kuingia kidato cha kwanza mbali na hayo pia kumejengwa shule za sekondari ambazo zimefikia ishirini na sita kutoka kumi na moja zilizokuwepo mwaka ishirini sifuri tano aliongeza kuwa huduma mbalimbali zimeboreshwa kama sekta ya afya maji na miundombinu waziri mkuu mizengo pinda amesema tatizo la mifugo kufa kutokana na ukame katika baadhi ya maeneo nchini ni changamoto kwa wafugaji kuhakikisha wanabaki na mifugo michache UNK kuihudumia kitaalam zaidi na hatimaye iwe na tija bwana pinda aliyasema hayo juzi wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha UNK wilayani longido katika ziara wilayani humo ambapo alisema kuwa endapo wafugaji hao watabaki na mifugo michache wataweza kuinenepesha na kuiuza kwa bei kubwa ambayo itaweza kuinua kipato chao hii ni changamoto yetu sote serikali kuu halmashauri za wilaya na wafugaji wenyewe tuondoke na fikra za ufugaji wa asili haina faida yoyote kuchunga mifugo mingi na matokeo yake inakufa na ukame kinachotakiwa ni kubaki na ng ombe wachache ambao wana ubora alisema bwana pinda ukame ambao kwa sasa upo kwa miaka mitatu katika baadhi ya maeneo umeathiri mifugo na kuleta njaa hasa katika wilaya za longido na monduli katika mkoa wa arusha na wilaya simanjiro mkoani manyara kwa mujibu wa utafiti wa awali uliofanywa kwa badhi ya wafugaji katika wilaya ya longido umeonesha kuwa zaidi ya nusu ya ng ombe mia tatu na hamsini sifuri sifuri sifuri wamekufa lakini pia mbuzi kondoo na punda nao UNK waziri mkuu alisema kuwa janga hilo la ukame ni changamoto kubwa kwa wafugaji hivi sasa ambalo pia UNK kuathiri huduma nyingi za kijamii kama elimu na afya lakini pia shughuli za kimaendeleo nazo UNK alisema kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi yanayosababishwa na uharibifu wa mazingira ukosefu wa mvua ni jambo ambalo litakuwa linatokea mara kwa mara na hivyo akasema kuwa ili kuweza kukabiliana nalo ni wananchi wabadilike UNK wafugaji wabadilike kutoka kuchunga mifugo mingi na kuingia katika mfumo wa kuwa na mifugo michache na kuinenepesha alisema mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari ya UNK mjini sumbawanga abasi UNK ameuawa na wananchi wenye hasira baada ya kumuua mtoto mwenzake kwa kumpiga na jiwe kichwani kamanda wa polisi mkoani rukwa mrakibu mwandamizi wa polisi jacobo UNK alisema kuwa kabla ya mwanafunzi huyo kuuawa na wananchi hao alimuua mtoto wa miaka mitano george mwembe kwa kumpiga na jiwe kichwani alisema kuwa mtoto huyo alifariki papo hapo baada ya jiwe UNK nalo kupasua fuvu la kichwa na ubongo kumwagika nje alieleza kuwa kijana huyo aliuawa kwa kupigwa na kunyongwa shingo hadi kufa na wananchi wenye hasira kali ilidaiwa kuwa kabla ya tukio hilo mwanafunzi huyo alianza kuwavamia watoto wengine wa shule ya msingi majengo akiwemo mdogo wake aitwaye neema UNK wa darasa la tano na kumvuta ulimi nje lakini aliokolewa na wapita njia hata baada ya kuamuliwa lakini kijana huyo alimvamia mtoto mwingine na kuanza kumpiga UNK naye aliokolewa na wasamalia wema na ghafla alichukua jiwe na kumpiga nalo marehemu alisema kamanda kamanda alisema kuwa kutokana na tukio hilo bado wanaendelea na uchunguzi ambapo inadaiwa kuwa kijana huyo UNK na akili wakati huo huo watoto watatu wa UNK moja wakiwemo mapacha wawili kwenye kijiji cha UNK wilayani sumbawanga wamefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye shimo la choo watoto hao ni UNK wasulwa UNK wasulwa na UNK UNK alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi asubuhi baada ya watoto hao kuamka na kuanza kuchezea maji yaliyokuwa yamejaa kwenye shimo la choo ambapo wazazi wao hawakuwepo nyumbani alisema kuwa shimo hilo UNK kwa ajili ya choo lakini kabla ya kumalizika ujenzi UNK na maji kutokana na mvua zilizokuwa UNK uchunguzi wa daktari umebainisha kuwa vifo hivyo UNK na kunywa maji mengi na kukosa hewa baada ya kuzama majini kaimu kamanda huyo ametoa rai kwa wananchi mbalimbali kutoacha wazi mashimo ya vyoo ama UNK kwa ajili ya udongo wa UNK ili kuepuka majanga kama hayo shirika la engender health linalofanya kazi chini ya mradi wa acquire tanzania UNK wasi wasi wakazi wa mkoa wa tanga kuhusiana na uvumi UNK na baadhi ya wananchi kuwa dawa za uzazi wa mpango zinazotolewa nchini zinasababisha saratani kwa watumiaji ofisa mipango na ufuatiliaji wa shirika hilo daktari UNK UNK alitoa ufafanuzi huo juzi mjini hapa wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na na mafanikio ya mradi huo hasa katika mpango wa kueneza na kuelimisha afya ya uzazi wa mpango alisema wapo baadhi ya watu wanajaribu kupotosha wananchi kuhusiana na huduma za uzazi wa mpango zinazotolewa katika zahanati vituo vya afya na hospitali mbalimbali nchini kwamba dawa hizo husababisha kansa jambo ambalo halina ukweli wowote kisayansi bali husaidia familia kupanga uzazi kwa ajili ya malezi bora hakuna utafiti wa kisayansi UNK kwamba dawa hizo zinasababisha saratani watu hao ni waongo na UNK na jamii kwa kuwa UNK na umasikini wa fikra tena mawazo mgando alisema na kuongeza kuwa moja ya faida ya uzazi ya uzazi wa mpango ni kuisadia familia kupanga shughuli za maendeleo ikiwemo kurudisha afya ya mama kabla ya kubeba mimba alisema dawa hizo ni salama na zimethibitishwa na wataalamu hivyo hazina madhara yeyote kwa binaadamu kama inavyodaiwa na baadhi ya watu ambao mara nyingi hawapendi kufika na kuwaona wataalamu wa afya ili kupata usahihi na ukweli wa mambo naye meneja wa shirika hilo bibi rehema UNK alisema taasisi yake inatoa elimu kuhusu afya ya uzazi wa mpango katika mikoa ya arusha tanga kilimanjaro manyara dodoma na singida kwa lengo la kuwasaidia wananchi kutambua umuhimu wa huduma hiyo hivyo akawataka wananchi kutumia dawa hizo kwa malengo yaliyokusudiwa waziri mkuu mizengo pinda ameiagiza kampuni ya china inayojenga barabara ya arusha hadi namanga kuhakikisha UNK ujenzi wa barabara hiyo ili kwenda sambamba uliopo mbali na kuitaka kuharakisha ujenzi huo pia alisema kuwa serikali haitasita kuchukua hatua kali endapo ujenzi huo utakwenda UNK bwana pinda alitoa agizo hilo leo juzi baada ya kukagua ujenzi wa barabara hiyo katika siku yake ya pili ya ziara ya siku tatu ya kikazi mkoani arusha ninyi wachina ni marafiki zetu lakini hatukubali uzembe wa kuchelewesha kukamilisha barabara hii kwa muda uliopangwa waziri mkuu alimwambia mwakilishi wa kampuni ya china UNK inayojenga barabara hiyo barabara hiyo inayojengwa kwa kiwango cha lami ni moja ya barabara UNK tanzania na kenya ambayo ina urefu wa kilomita kumi nne nne na inajengwa kisasa kwa upana wa mita kumi na moja badala ya saba kulingana na viwango vya kimataifa ujenzi ulianza julai mwaka huu na mradi UNK ukamilike kwa miaka mitatu lakini ilibainika kuwa mpaka sasa kampuni hiyo imekuwa ikisuasua kwa madai ya kuagiza vifaa vipya vya ujenzi lami na ukosefu wa baadhi ya wahandisi muhimu waziri mkuu alikagua eneo la mhandisi mkazi sehemu ya kuchanganyia udongo na saruji mtambo wa kuchanganyia lami na eneo fupi la majaribio lililowekwa lami kwenye barabara hiyo aliridhika na maelezo ya mwakilishi wa kampuni hiyo kuwa wataongeza kasi ili kwenda na muda uliopangwa katika mkataba na akaahidi kuitembelea tena barabara hiyo mwisho wa mwezi wa januari mwakani kuona maendeleo yake kamati ya bunge ya mahesabu kwa mashirika ya umma UNK hoja ya shirika la hifadhi la taifa ambayo UNK kusitishwa kwa mpango wa ujenzi wa barabara kuu kwa kiwango cha lami kutoka musoma kupitia loliondo hadi arusha kamati UNK hoja hiyo katika majumuisho ya ziara yake ya siku tano ya kutembelea hifadhi za serengeti manyara pamoja na tarangire kwa ajili ambapo ilikuwa UNK mapato na matumizi pamoja na miradi ya ujirani mwema kwa maeneo yanayozunguka hifadhi hiyo ambayo imejengwa kwa nguvu za wananchi kwa kushirikiana na tanapa hatua hiyo ilifikiwa baada ya baada ya kupata taarifa kutoka kwa mhifadhi mkuu wa hifadhi ya serengeti bwana mtango mtahiko pamoja na kaimu mkurugenzi wa tanapa bwana allan kijazi kuhusiana na madhara ya barabara hiyo katika ukanda wa hifadhi ya serengeti ambayo inatarajiwa kupitishwa bwana kijazi pamoja na bwana mtahiko waliiambia kamati hiyo kuwa barabara hiyo ambayo imependekezwa ipite musoma b UNK UNK UNK camp loliondo mto wa mbu hadi arusha kwa upande wa UNK ya serengeti imependekezwa kupitia mahali ambapo ndipo kwenye mazalio ya wanyama kama UNK alisema kuwa pia ndipo mahali ambapo vifaru hupendelea kukaa hivyo iwapo barabara hiyo UNK hapo inaweza kuhatarisha uwepo wa nyumbu na UNK serengeti kwa kuwa wanyama UNK ya kutopenda usumbufu na pindi wakisumbuliwa UNK kwenye eneo hilo kabisa wakichangia pendekezo la ujenzi wa barabara hiyo wajumbe wa kamati hiyo bwana anthony diallo pamoja na bwana raphael chegeni walisema kuwa barabara hiyo UNK kwenye hifadhi ya serengeti katika eneo la maji ambapo wanyama ndipo hukaa kwa kipindi kirefu kwa ajili ya majani na maji pamoja na mazalio hivyo hakuna haja ya serikali kujenga barabara hiyo kama UNK hata hivyo kaimu mwenyekiti wa kamati hiyo bibi UNK UNK alihoji endapo kaimu mkurugenzi wa tanapa bwana allan kijazi kama UNK kutoa taarifa wizarani ama serikalini kuhusiana na athari za kujengwa kwa barabara hiyo katika maeneo hayo hata hivyo bwana kijazi alisema kuwa tayari UNK taarifa ya kuzungumzia athari za ujenzi wa barabara hiyo katika eneo hilo lakini waliunga mkono hoja ya barabara hiyo kupitishwa lamadi mkula meatu halafu arusha kwa kuwa haina UNK madereva kumi na mbili wa mabasi yanayofanya safari zake kutoka dar es salaam kwenda katika mikoa ya kusini wametiwa mbaroni kwa tuhuma za kuendesha magari hayo kwa mwendo kasi na kuhatarisha maisha ya abiria mabasi yaliyokamatwa yanakwenda katika mikoa ya dar es salaam iringa mbeya sumbawanga na ruvuma kwa tuhuma za kupakia abiria kupita uwezo wa gari kwenda kwa mwendo wa kasi na uchakavu wa mabasi hayo hayo yalithibitishwa jana na mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoani iringa ssp UNK mnubi alipokuwa akizungumza na majira juu ya hatua zinazochukuliwa dhidi ya madereva wakorofi bwana mnubi alisema kuwa madereva hao wamekamatwa kutokana na msako mkali ambao kikosi chake kimejipanga na kuwafuatilia madereva jeuri ambao UNK abiria na kukimbiza mabasi yao kwa mwendo kazi na kuhatarisha maisha ya UNK aliongeza kuwa kikosi cha usalama barabarani UNK macho na kuendelea kushuhudia ajali ambazo zinatokea kwa uzembe wa madereva na kuwa sheria itachukua mkondo wake dhidi yao alisema polisi imejipanga ili kudhibiti tatizo la mwendo kasi ambalo limekuwa UNK ongezeko la ajali za barabarani ikiwa ni pamoja na kujaza abiria na uchakavu wa UNK aliyataja mabasi ambayo yamekamatwa ni pamoja na ya kampuni ya UNK line UNK nyagawa UNK pamoja na kampuni ya american messenger madereva wa magari hayo ni yohana UNK ezekiel adam na salum rajabu wote kutoka kampuni ya mabasi ya upendo zakaria UNK na ramadhani yasini kutoka kampuni ya UNK wengine ni julius said fransic UNK maji muhamed mashaka bilali wa kampuni ya UNK messenger aliwataka abiria kutoa ushirikiano endapo UNK madereva wanaendesha mabasi kwa mwendo wa kasi kujaza ili kupunguza ajali zisizo za lazima serikali mkoani morogoro imesema imeweka mitego maalumu ya kuwanasa maofisa tarafa na viongozi wa serikali wanaotuhumiwa kujihusisha na vitendo vya uwindaji haramu katika mbuga na hifadhi za serikali mkuu wa mkoa wa morogoro bwana issa machibya aliyasema hayo juzi ofisini kwake wakati akikabidhi pikipiki kwa maofisa tarafa wa wilaya za kilombero na ulanga kwa ajili ya kuwasaidia kutekeleza majukumu yao ipasavyo katika hafla hiyo ya makabidhiano ya pikipiki UNK pia wakuu wa wilaya za morogoro kilosa na ulanga bwana machibya alisema serikali imeamua kuchukua hatua hizo za siri baada ya taarifa za kukithiri kwa vitendo vya uharamia wa nyara za serikali unaodaiwa UNK na baadhi ya watendaji hao wa serikali hatutegemei UNK hizi UNK kazi ya kubeba abiria UNK misafara ya harusi na kufanyia magendo ya kubeba nyama pori kwa kuwa kumekuwepo na tuhuma kuwa baadhi ya maofisa tarafa wanajishughulisha na uwindaji haramu sasa UNK taarifa hizo UNK na kwa karibu alisema bwana machibya alisema kuwa pamoja na vyombo vingine vya usalama kupewa jukumu la kuendesha shughuli za kuwanasa wanaojihusisha na vitendo hivyo lakini pia wameweka mitego katika mbuga mapori na hifadhi za taifa kwa kuwahusisha pia wakuu wa hifadhi akizungumzia matumizi ya pikipiki hizo bwana machibya alisema serikali imeamua kutoa vyombo hivyo vya usafiri ili kurahishisha utekelezaji wa masuala mbalimbali ya serikali ikiwemo kuwatumikia wananchi na kuwaelimisha juu ya utekelezaji wa agizo la rais la kuufanya mkoa wa morogoro kuwa ghala la taifa la chakula na kilimo kwanza wafugaji ishirini sifuri wenye asili ya kimang ati wamekubali kuhama katika kitongoji cha ndavindavi kijiji cha kunke kata ya mtibwa wilayani mvomero ili kupisha wakulima wa eneo hilo kuendelea na na msimu wa kilimo ambao tayari umeanza wafugaji hao wenye mifugo zaidi ya thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri walitoa ahadi hiyo katika kikao cha pamoja kilichofanyika ndavindavi ambapo waliahidi kuwa ifikapo desemba kumi na tano mwaka huu watakuwa UNK eneo hilo kwa ajili ya kupisha shughuli za kilimo wakizungumza mbele ya mwenyekiti wa kijiji cha kunke bwana jacobo kayombo UNK kikao hicho kuwaomba waondoke kupisha wananchi kutumia vizuri mvua za msimu wa kilimo zilizoanza kiongozi wa wafugaji bwana hamisi ezekiel ambaye UNK majibu ya wazee wa kimang ati alisema wazee wanasema tunawashukuru kwa kutupokea na UNK pamoja na kuingia kijijini kwenu bila taarifa katika serikali ya kijiji kama UNK UNK kimya kimya kama UNK tunaahidi mara ifikapo desemba kumi na tano ishirini sifuri tisa wote tutakuwa UNK na mifugo yetu kupisha shughuli za kilimo awali ulizuka ubishi miongoni mwa wafugaji ambao walikuwa wakidai eneo UNK ni tanzania na kwamba kisheria wanaruhusiwa kuishi mahali popote ndani ya nchi ili mradi tu UNK sheria ubishi ambao UNK na bwana kayombo ambaye alisema kuwa ukiingia kwenye nyumba ya mtu lazima UNK hodi UNK huwezi kuingia hata hivyo mwenyekiti wa kitongoji bwana UNK UNK alisema wananchi na uongozi ulitaka wahame hata baada ya kikao lakini kwa kuwa wamekubali na kuonesha makubaliano basi UNK kuhama bila kusababisha mgogoro wowote ndani ya kitongoji baadhi ya wakazi wa mji wa shinyanga wameiomba serikali itoe elimu kwa watanzania ili waweze kufahamu namna ya kutumia fursa za kuanzishwa kwa soko UNK la nchi za jumuiya afrika mashariki wakizungumza na gazeti hili mjini hapa jana wakazi hao walisema licha ya kukamilika kwa mchakato wa kuanzishwa kwa soko la pamoja bado watanzania wengi hawaelewi ni taratibu UNK ili waweze kunufaika UNK rais jakaya kikwete akitoa mwito kwa watanzania tutumie fursa ya kuanzishwa kwa soko la pamoja lakini wengi wetu hatuelewi njia zipi UNK ili kutumia fursa hiyo bila kupatiwa elimu tutabaki UNK wakati majirani zetu wakinufaika alisema bwana UNK naye bwana said maulid mkazi wa barabara ya UNK alishauri kuwa ili watanzania wengi waweze kuitumia fursa hiyo ni vyema serikali UNK semina kwa ajili wajasiriamali watumia fursa hiyo baada ya kuelewa utaratibu mzima bwana maulid alisema watanzania wengi hawana utaalamu wa kibiashara za kimataifa hivyo iwapo watapata elimu ya kutosha watakaonufaika na fursa makubaliano kuhusu kuanzishwa kwa soko la pamoja yalisainiwa hivi karibuni mjini arusha na marais wa nchi za rwanda burundi kenya uganda na tanzania wanafunzi mia moja na kumi na nane wa shule za sekondari UNK UNK wamepima kwa hiari virusi vya ukimwi kupitia kampeni ya ishi inayoendeshwa manispaa ya iringa kwa kuratibiwa na chama cha uzazi na malezi bora tanzania chini ya ufadhili wa shirika la maendeleo la marekani kwa shilingi milioni kumi na nane tamasha la kampeni ya ishi lilifanyika juzi katika wanja vya UNK manispaa ya iringa mratibu wa kampeni ya ishi manispaa ya iringa bwana UNK kisese alisema kuwa kampeni hiyo inalenga kupunguza maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi kwa vijana wenye umri wa kati ya miaka kumi na tano ishirini na nne bwana kisese ambaye pia ni mratibu wa umati mkoa wa iringa alisema kati ya UNK ni wasichana sabini na tisa na wavulana thebathini na tisa alisema kupitia tamasha hilo wameweza kufikia wanafunzi moja mia mbili na hamsini kwa wakati mmoja wakiwemo na wa shule jirani ya UNK ambao wamepatiwa elimu ya ukimwi alitaja malengo ya kampeni hiyo kuwa ni kuongeza elimu ya kujikinga na vvu kwa vijana kuwawezesha kupunguza wapenzi kuhimiza uaminifu na matumizi ya kondomu mratibu huyo alitaja malengo mengine kuwa kuwa kuongeza mshikamano na ushirikiano kutoka kwenye jamii na viongozi mbalimbali kwa lengo la kupunguza maambukizi ya vvu kwa vijana alifafanua kuwa kampeni hiyo imelenga kuwafikia vijana sita mia moja na hamsini ambao ndio walikuwa UNK kwa kipindi cha miezi sita kupitia midahalo majadiliano ya vikundi michezo na UNK wakizungumza kwa niaba ya wanafunzi wenzake rajabu nassoro na grace john walisema ni vema wafadhili wa kampeni ya wakaongeza idadi ya matamasha ili kuweza kufikia vijana wengi kwa upande wake meya wa manispaa ya iringa bwana ally UNK alisema ni jukumu la watu wote kupima kwa hiari vvu ili kujua afya mpenzi naibu katibu mkuu wa jumuiya ya afrika mashariki anayeshughulikia shirikisho la kisiasa bibi beatrice UNK amezitaka nchi wananchama wa jumuiya hiyo kuimarisha mapambano dhidi ya rushwa alisema mkataba wa soko la pamoja UNK saini hivi karibuni hautaweza kufikia lengo la kuimarisha UNK wa kijamii na kiuchumi bila kuzingatia miiko na uaminifu katika utendaji kazi hatua hii tuliyofikia ndiyo uti wa mgongo wa ushirikiano wetu ambao utasaidia watu wetu kuwa huru kwenda UNK kurahisisha UNK wa bidhaa huduma mtaji na haki ya makazi na uanzishwaji biashara alisema wanachama wa eac ni pamoja na kenya uganda tanzania rwanda na burundi alisisitiza kuwa rushwa UNK hasi katika masuala yote yanayohusu ushirikiano kwa sababu inachangia vikwazo kwenye uwekezaji biashara mwingiliano wa watu na uhamishaji wa mitaji aliwataka maofisa wa taasisi za kupambana na rushwa kuunga mkono juhudi za kitaifa za vita hiyo katika nchi zao na kuhamasisha misingi ya utawala bora jengeni mazingira ya kuweza kuvutia wawekezaji wa nje na ndani ili kukuza faida za kuwa na ushirikiano alisema alifafanua tayari mashauriano UNK na wadau mbalimbali katika nchi wananchama ya kuandaa mswada wa utawala bora aliwataka maafisa hao ambao pia ni wadau katika mswada huo kuchangia mawazo yao ili kuuboresha kabla ya UNK katika kikao cha baraza la mawaziri wa eac serikali imeombwa kudhibiti mfumo wa utoaji wa leseni za biashara kwa wageni ili kuepuka tabia ya baadhi yao kutumia kigezo cha uwekezaji na badala yake kufanya biashara ndogo ndogo kama UNK kauli hiyo ilitolewa na ofisa tawala wa kiwanda cha sukari bwana UNK ally wakati akichangia mada katika mkutano wa kuelimisha wananchi juu ya jumuiya ya afrika mashariki katika mkutano huo ulioongozwa na naibu waziri wa eac bwana mohamed abood bwana ally alitoa mfano wa baadhi ya wafanyabiashara raia wa china wanaoendesha biashara ndogo ndogo katika soko la kariakoo biashara ambazo zilistahili kufanywa na wananchi wa kawaida alisema wananchi wa nchi zilizomo katika jumuya hiyo wanahitaji elimu ya kutosha kuhusu masuala ya forodha soko la pamoja ikiwa ni moja ya masuala ambayo yamepangwa kuwanufaisha wananchi wa nchi hizo kwa upande wake mkuu wa chuo kikuu cha ushirika na biashara cha moshi profesa suleiman chambo UNK nchini hizo kuandaa utaratibu wa kuandika katiba ya eac kwa lugha ya UNK ili wananchi UNK alisema katiba hiyo kuandikwa kwa kiingereza inawanyima wananchi nafasi ya kuzifahamu fursa zilizomo katika ushirikiano wa nchi hizo ambazo wanaweza kuzitumia kujinufaisha kiuchumi alisema bado elimu inahitajika kutolewa kwa wananchi hasa vijijini kuhusu faida ya jumuiya hiyo jambo ambalo UNK ushiriki wao katika kujiletea maendeleo kwa upande wake naibu waziri wa eac bwana abood alisema alisema atapeleka mapendekezo hayo kwa serikali na kwa viongozi wa jumuiya kukithiri kwa vitendo vya ubakaji na ulawiti mkoani hapa UNK kumchanganya mkuu wa mkoa wa morogoro bwana salehe machibya ambaye kwa sasa anatafuta njia mbadala za kusaidia kumaliza tatizo hilo akizungumza katika kikao na waelimishaji rika na kampeni za kupambana na ukimwi bwana machibya alionesha kuchukizwa na kukithiri kwa vitendo vya ubakaji na ulawiti vinavyoonekana kushika kasi katika pande mbalimbali za mkoa wa morogoro katika kikao hicho bwana machibya alisema UNK na taarifa za kukithiri kwa vitendo hivyo katika maeneo mbalimbali ya mkoa wake ambavyo vimekuwa pia vikichangia kukua kwa kasi ya maambukizi ya ukimwi katika mkoa huo alisema katika siku za karibuni vitendo vya ubakaji vimeongezeka kwa kasi ambapo jumla ya watu kumi na mbili walibakwa katika mwezi oktoba na watu kumi na tatu kubakwa katika kipindi cha mwezi novemba hivyo kuashiria uwepo wa wastani wa watu wawili kubakwa kila baada ya siku mbili jambo ambalo ni hatari kubwa hawa kumi na mbili wa mwezi oktoba na kumi na tatu wa mwezi novemba ni wale UNK matukio haya polisi je wale UNK ni wangapi na wale UNK ambao takwimu zao UNK kwa sasa ni wangapi alihoji machibya na kutoa mwito kwa jamii kuepuka vitendo vyote UNK kutendeka kwa ubakaji na UNK katika taarifa yake kwa mkuu wa mkoa kiongozi wa kampeni za ishi bwana victor UNK aliiomba serikali mkoani morogoro kuwasaidia ili waweze kufikisha taarifa za kampeni za ukimwi katika wilaya zingine za mkoa wa morogoro badala ya kuishia katika maeneo ya manispaa ya morogoro pekee kutokana na uwezo mdogo wa kifedha mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi mkoani kilimanjaro bwana thomas ngawaiya amesema hatarajii kutumia au kufanya ushindani wa kifedha katika kulikomboa jimbo la moshi mjini ambalo kwa sasa linaongozwa na mbunge wa chadema bwana philemon ndesamburo bwana ngawaiya aliyasema hayo jana mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa wa hadhara uliofanywa na mjumbe wa nec bibi anne kilango alisema kuwa pamoja na kuonesha nia yake kugombea ubunge katika jimbo la moshi mjini katika uchaguzi mkuu mwakani lakini hatarajii kutumia fedha katika kununua wapiga kura kwa vile anaamini kazi UNK ni ya kuwasaidia wananchi na si kwa maslahi yake uchaguzi wowote duniani unahitaji fedha lakini fedha hizo ni kwa ajili ya maandalizi ya mambo mbalimbali kama kuwafikia wananchi na kunadi sera zako gharama za mikutano lakini si kwa ajili ya kununua wapiga kura sitarajii kufanya ushindani wa fedha katika kuwanunua wapiga kura ninakubalika kutokana na historia yangu alisema alisema historia yake hailingani na baadhi ya wanachama wenzake walioonesha nia ya kugombea jimbo hilo na akaongeza kuwa wengine waliwahi kugombea jimbo hilo zaidi ya mara mbili na UNK alisema yeye ndiye kiongozi pekee anayeweza kukabiliana na ndesamburo katika jimbo hilo kutokana na kwamba alipokuwa mbunge wa moshi vijijini kwa tiketi ya chama cha tanzania labour party alifanikisha masuala kadhaa kwa maslahi ya wananchi maofisa watendaji arobaini na mbili wa vijiji na kata wilaya ya ukerewe mkoani mwanza wamepewa muda wa siku mbili kulipa fedha UNK mahindi ya msaada vinginevyo watachukuliwa hatua za kisheria mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya ukerewe daktari leonard masale alitoa agizo hilo juzi katika kikao cha kamati ya ushauri ya wilaya hiyo hatua hiyo ilikuja baada ya halmashauri ya wilaya ya ukerewe kutakiwa na ofisi ya waziri mkuu kulipa shilingi milioni hamsini na tatu saba baada ya kupokea na kuuza tani kumi sabini na nne za mahindi ya msaada yaliyotolewa mwaka huu daktari masale alisema halmashauri hiyo imetakiwa na ofisi ya waziri mkuu kulipa fedha hizo kabla ya mwisho wa mwezi huu ambapo fedha nyingi bado zipo mikononi mwa watendaji hao wa vijiji na kata kutokana na hali hiyo alitoa muda wa siku mbili kwa watendaji hao kulipa fedha hizo na kwa watakaoshindwa kufanya hivyo UNK kazi na kuburutwa mahakamani UNK suala hilo mbunge wa ukerewe bibi getruda UNK alisema hatua hiyo ni halali kuchukuliwa kwa watendaji hao na ikibidi mali zao UNK na kuuzwa ili kufidia deni hilo alisema wakati anaendelea kuiomba serikali itoe msaada zaidi wa chakula kwa wakazi wa wilaya hiyo ni vyema watendaji wakawa waaminifu katika suala hilo ili kuepuka kuwa kikwazo cha ombi lake jeshi la polisi mkoani iringa linawashikilia watu sita kutoka nchini somalia ambao wanadaiwa kuingia nchini kinyume cha sheria akizungumzia tukio hilo jana kaimu kamanda wa polisi wa mkoa wa iringa bwana claus mwasyeba alikiri kukamatwa kwa wasomali hao alisema kuwa walikamatwa katika kijiji cha UNK wakiwa ndani ya basi la UNK ambalo linafanya safari zake kati ya arusha na mbeya bwana mwasyeba aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni UNK jale ally hussein issa UNK UNK muhamed UNK jale na UNK UNK kutokana na hali hiyo ya watu kuingia nchini kinyemela alisema jeshi la polisi halitakubali kuwa daraja la UNK wasomali kwenda nchi zingine alitoa mwito kwa wananchi na hasa abiria ambao UNK katika mabasi mbalimbali kutoa taarifa endapo watakuwa na mashaka na mtu ambaye wamepanda naye mbali na kuwataka abiria kutoa taarifa za watu hao lakini alitoa onyo kwa wanaojihusisha na kuwasafirisha wakimbizi wa kisomali na wengine kuacha mara moja alieleza kuwa watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani kujibu tuhuma za kuingia nchini bila ya kuwa na kibali baraza la taifa la hifadhi na usimamizi wa mazingira limesema litachukua hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na UNK viwanda mbali mbali vya kanda ya ziwa ambavyo UNK kufanya shughuli zake bila kuzingatia sheria za hifadhi ya mazingira ya ziwa victoria hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki iliyopita na mkurugenzi wa baraza hilo daktari robert nkakamulegi katika semina ya wadau wa mazingira iliyofanyika jijini hapa alisema kuwa ofisi yake ina taarifa za baadhi ya viwanda vikiwemo UNK na ukataji wa UNK ya samaki na vile vinavyofanya shughuli zingine kuwa mifumo yake ya maji taka imeelekezwa moja kwa moja katika ziwa victoria kutokana na kukwepa gharama za upakuaji maji taka alisema kuwa baada ya kupata orodha ya viwanda hivyo tayari UNK maofisa katika ofisi za UNK zilizoko jijini mwanza kufuatilia suala hilo kwa makini na wahusika kuwachukulia hatua za kisheria kauli hiyo ya daktari nkakamulegi ilikuja baada ya washiriki katika semina hiyo kutoa taarifa katika majumuisho yake kuwa kuna baadhi ya viwanda mbali mbali vilivyojengwa kando kando ya ziwa kuwa na mifumo ya maji taka iliyoelekezwa moja kwa moja katika ziwa victoria jambo ambalo UNK viumbe vilivyopo katika ziwa hilo ikiwemo na uchaguzi wa mazingira mbali na hilo pia walisema kuwa uchafuzi wa mazingira katika ziwa hilo unatokana na shughuli za kilimo ufugaji uvuvi haramu usafirishaji wa maji machafu mabadiliko ya hali ya hewa pamoja na upungufu wa wataalamu wa nyanja mbali mbali kulingana na ekolojia ya ziwa na rasilimali UNK kanisa la furaha tanzania UNK vikali vitendo vya usagaji ushoga na ndoa za jinsia moja ambavyo vinaweza kusababisha uteketezaji jamii ya watanzania wasiokuwa na hatia hayo yalisemwa na askofu jones mola ambaye ndiye askofu mkuu wa kanisa hilo katika mkutano mkuu wa wachungaji na viongozi wa kanisa hilo uliofanyika mjini hapa uliokuwa na lengo la kutathimini mafanikio ya kanisa hilo kwa kipindi cha mwaka mmoja pamoja na kuweka mikakati mwakani alisema kuwa vitendo hivyo ni kinyume na taratibu za nchi na hata neno la mungu ambavyo vinaweza kuleta mtafaruku katika madhehebu na makanisa mbali mbali duniani moja ya tamko ambalo natoa ambalo UNK mkono na wachungaji wote wa kanisa la furaha tanzania ni kupinga vikali kuhusu vitendo vya ushoga usagaji na ndoa za jinsia moja kwani itatia aibu nchi yetu tusipokuwa makini na hili jambo alisema askofu UNK alisema kuwa kwa nchi changa kama tanzania UNK katika vitendo vichafu itaweza kuharibu mfumo mzima wa maisha ikiwa ni pamoja na maadili kwa vijana ambao ndio taifa UNK hapo baadaye kwa upande wake mwenyekiti wa kanisa hilo askofu UNK UNK aliwashauri watanzania kujituma na kufanya shughuli ambazo UNK kipato ili kuweza kuachana na maisha ya kuwa tegemezi hususan wafadhili kutoka nchi za nje tunatakiwa UNK na shughuli za uzalishaji kama kilimo ufugaji na hata biashara ndogo ndogo ili tuweze kuondokana na hali ya kuwa maskini na tegemezi kwa sababu rasilimali zote tayari tunazo hapa nchini alisema askofu UNK viongozi mbalimbali wakiwemo wachungaji kutoka katika mikoa ya tanzania bara walishiriki katika mkutano UNK ulitoa matamko mbali mbali yanayowahusu watanzania moja kwa moja muuguzi wa mama na mtoto bibi UNK kiria amesema kuwa tatizo la utoaji mimba linazidi kuongezeka ndani ya jamii kutokana na jamii yenyewe kuchukulia jambo hilo kuwa ni moja ya njia ya kupanga uzazi wa mpango akizungumzia suala hilo jana katika hospitali ya mkoa wa kilimanjaro bibi kiria alisema kuwa katika kipindi cha mwezi julai hadi septemba jumla ya mimba mia moja na arobaini na saba ziliripotiwa kutolewa bibi kiria alieleza kuwa katika kipindi cha nyuma wasichana wengi walikuwa wakitoa mimba kwa kuhofia kuzaa mapema hali ambayo ni tofauti na miaka ya sasa ambapo hata wanawake wanatoa mimba kwa ajili ya kupanga uzazi jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa maisha yao kwa kweli tatizo la utoaji mimba kwa sasa limekithiri sana katika jamii yetu jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa maisha ya watu kwani kutoa mimba kunaweza kusababisha kifo na hata wakati mwingine kuharibika kwa kizazi alisema bibi UNK alisema tatizo kubwa ni wanawake kutumia dawa za kienyeji katika kutoa mimba na wakati wanapoona hali ni mbaya ndipo UNK hospitali hali inayosababisha kupotea kwa maisha yao kutokana na hali hiyo bibi kiria alishauri kutolewa kwa elimu ya afya ya uzazi kuanzia shule za msingi sekondari na jamii kwa ujumla ili jamii iwe na uelewa wa madhara ya kutoa mimba kitendo cha wazazi kuendelea kuwaficha watoto wenye ulemavu ndiko kunachangia kwa kiasi kikubwa kunyanyasika ndani ya jamii wazazi wengi wamekuwa UNK walemavu ndani kutokana na imani za kishirikina lakini pia kuhofia kutengwa na jamii hayo yalisemwa na mratibu wa huduma ya ujenzi wa jamii kwa watoto wenye ulemavu wa akili bwana elirehema UNK wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na walemavu hao ambapo alisema tatizo la kuwafungia ndani limeendelea kuwa tatizo kubwa linalosababisha kupotea kwa baadhi ya haki zao bwana elirehema alisema wazazi wengi wamekuwa wakihisi kuwa ulemavu unatokana na UNK au mkosi ndani ya familia hali ambayo inawafanya kuwafungia ndani kwa muda wote wazazi wengi bado hawajaona umuhimu wa kuwatunza watoto hawa ambao wamezaliwa wakiwa na ulemavu wa akili kutokana na kuona kuwa ni mkosi katika familia na hivyo hana umuhimu wa kuwezeshwa kwa namna yoyote ile alisema alisema imani za kishirikina zimekuwa UNK wazazi kupoteza fedha nyingi kwa waganga wa kienyeji badala ya kuwapeleka walemavu hao hospitali ili kupata huduma ya matibabu na ushauri wa kitaalamu jambo kutokana na hali hiyo aliomba viongozi wa serikali kuanzia ngazi za vijiji kutoa elimu ndani ya jamii kuhusiana na walemavu wa akili na kuhakikisha wanapatiwa haki zote kama watoto wengine kutokana na ukweli kwamba wakiwezeshwa wanaweza waziri wa nchi ofisi ya rais tawala za mikoa na vikosi vya smz bwana suleiman othman nyanga amesema ushirikiano wa kiutendaji kati ya taasisi za tanzania bara na zanzibar ni chachu ya kusukuma maendeleo nchini bwana nyanga alitoa kauli jana wakati akifungua kikao cha ushirikiano kati ya wizara yake na wizara ya tawala za mikoa na serikali za mitaa ya tanzania bara alisema kuwa mbali na kuimarisha au kusukuma shughuli za maendeleo lakini pia ushirikiano wa kiutendaji UNK undugu wa muungano wa tanzania wakati huo waziri wa nchi ofisi ya rais anayeshughulikia fedha na uchumi daktari mwinyihaji makame amewataka wananchi kushirikiana na serikali katika kupambana na vitendo vya rushwa katika sehemu za ukusanyaji wa mapato daktari mwinyihaji aliyasema hayo katika kilele cha siku ya mlipa kodi iliyoadhimishwa na mamlaka ya mapato tanzania zanzibar alisema pamoja na kuendelea kwa ubadhilifu na UNK serikali inajitahidi kukabiliana nalo ili kuondokana na vitendo hivyo naye naibu kamishna wa tra zanzibar bwana mcha khamis alisema ukusanyaji wa kodi umefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutokana na kuimarika kwa huduma za wateja mageuzi ya mifumo ya kodi na kuimarisha uhusiano na sekta binafsi askari wa kikosi cha usalama barabarani nchini kenya wamebuni njia mpya ya kula rushwa hili kukwepa mkono wa sheria unaopambana dhidi ya vitendo hivyo uchunguzi uliofanywa na gazeti la daily nation umebaini kuwa askari hao wala rushwa baada ya kubanwa hivi sasa wamebuni njia nyingine ambapo upokea UNK huo siku inayofuata baada ya makonda na madereva wa mabasi ya abiria kukusanya kiasi kinachotakiwa na askari hao uchunguzi huo wa daily nation uliofanyika katika maeneo mbalimbali jijini nairobi na maeneo kadhaa ya kaskazini mwa mkoa wa rift valley umebaini kuwa madereva hao wa matatu wamekuwa UNK shilingi kumi sifuri kila siku na kisha kumkabidhi mmoja wao ili UNK askari hao hata hivyo juzi kamanda mkuu wa jeshi hilo bwana joseph UNK oletito alisema kuwa askari hao wameamua kubuni njia mpya kutokana na doria inayofanywa na askari ambao hawavai sare na maofisa wa kikosi cha askari wa tume ya kupambana na rushwa kamanda huyo alikiri kuwa mbinu hiyo mpya itakuwa ngumu kwao kuwabaini lakini akasema kuwa UNK tamaa hii ni mbinu mpya itakuwa ni vigumu kuwanasa lakini hatutasita kuendelea na kazi ili kuhakikisha watakaobainika wanachukuliwa hatua za kinidhamu alisema bwana UNK alisema kuwa pia UNK UNK kwa makamanda wote wa majimbo ili kuwaonya kuhusu tatizo hilo bwana oletito alisema pia ofisi yake UNK taarifa kama hiyo ya kuibuka mbinu mpya kutoka katika eneo la homa UNK mbali na kuchangishana fedha mbinu nyingine UNK na maofisa hao ni pamoja na kudondoshewa fedha chini katika vizuizi vya barabarani wakati wakijifanya wanakagua stika za bima kwenye kioo cha mbele ya gari imebainika kuwa baada ya kudondoshewa fedha hizo uliruhusu gari na kuokota kiasi hicho baada ya gari kuondoka njia nyingine ambayo imebainika katika uchunguzi huo wa daily nation ni pamoja na dereva kukabidhi leseni yake kwa trafiki huku ndani ikiwa UNK fedha ambazo UNK na kufichwa kwenye pochi zao baada ya kujificha katika maeneo ya biashara maofisa hao wanadaiwa pia kuwa njia nyingine ambayo wamekuwa wakiitumia ni kwa njia ya huduma za kusafirisha fedha zinazotolewa na kampuni za simu za UNK chama cha mapinduzi wilayani kiteto mkoani manyara UNK wananchi wa wilaya hiyo kuwa UNK kwa njaa kutokana na mkakati ulioandaliwa wa kuwapatia chakula wananchi wenye upungufu wa chakula kauli hiyo ilitolewa juzi na katibu wa chama hicho bwana othman dunga wakati akizungumza na majira kuhusiana na uhaba wa chakula ulioikumba wilaya hiyo bwana dunga alisema mkakati uliowekwa na wilaya hayo ni pamoja na kuwatambua waathirika wa njaa na kuwapatia msaada wa haraka zaidi ili waweze kuendelea kushiriki shughuli zingine za maendeleo hapo awali kabla ya kupatiwa msaada wa chakula kutoka ofisi ya waziri mkuu wananchi walilazimika kushinda na njaa na hata kutofanya kazi kwa kukosa chakula alisema katibu huyo alisema kuwa baadhi ya wananchi wa maeneo mbalimbali wilayani hapo walianza kuathirika na njaa wengine kulazimika UNK uji asali na hata kula baadhi ya vyakula vingine vya kiasili ili kuwawezesha kuishi sasa hivi tatizo limekwisha watu wanaendelea na huduma katika maeneo mbalimbali ambayo UNK kwa njaa serikali iko makini UNK watu wafe njaa hasa baada ya rais wetu jakaya kikwete UNK taifa kuwa chakula kipo UNK kwa wahanga wa njaa alisisitiza kutokana na hali hiyo aliwataka wananchi wananchi wilayani hapa kuacha matumizi mabaya ya chakula kwa kupikia pombe na badala yake wasaidiane ili UNK katika wakati huu mgumu mbali na hilo aliwataka kujenga utamaduni wa kuweka akiba ya chakula baada ya baada ya kuvuna ili kuweza kukabiliana na nyakati kama hizi wakazi wengi wa wilaya hiyo wanategemea shughuli za kilimo na ufugaji ambapo wameshauriwa kulima mazao mchanganyiko na kuzitumia vizuri mvua zinazonyesha kwa kupanda mazao ya muda mfupi na yanayostahimili ukame kama vile mihogo na mtama baadhi ya madiwani mkoani hapa wamelalamikia UNK mabaya ya ofisi ya meya na mkurugenzi wa manispaa ya arusha kutokana na malalamiko hayo serikali tayari imetuma wakaguzi wa mahesabu ambao wako katika ofisi mbalimbali wakiendelea na ukaguzi wa hesabu ili kubaini tuhuma hizo malalamiko hayo ya madiwani yalilenga katika ofisi ya mkurugenzi na meya hasa katika ulipwaji wa posho vifaa vya ofisi maji usafiri likizo na posho za safari kuwa zimezidi viwango na kuomba iundwe tume huru ya kuchunguza sakata hilo walisema kuwa posho za safari kwenye ofisi ya meya katika mwezi juni na julai jumla ya shilingi saba sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri zilitumika ambapo pamoja na matumizi mengine ilifikia asilimia sitini na tatu tisini na tisa huku wakidai kuwa gharama ya mazishi ya mwezi wa mei mwaka huu hazikuwa sahihi kutokana na kutokuwepo kwa mtu aliyefariki walidai kuwa gharama za viburudisho ambayo nayo ni kubwa haikuwa sahihi hivyo kuhitajika UNK wa matumizi hayo ya fedha hivi mmoja wa maofisa ndani ya manispaa hiyo UNK gazeti hili kuwa maofisa wa ukaguzi walifika na kuanza upekuzi katika baadhi ya ofisi na hata kuchukua baadhi ya funguo za ofisi alisema kuwa baada ya kuwepo kwa malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa baadhi ya madiwani serikali imeamua kulivalia njuga suala hilo na sasa watajua ukweli juu ya malalamiko hayo serikali imeona ni vyema ikaanza kuchunguza hizi tuhuma kwa kutuma wakaguzi ili kujua taarifa za matumizi mabaya ya fedha za umma na ndiyo maana unaona hali hii alisema ofisa huyo walimu katika wilaya za missenyi na bukoba mkoani kagera wametakiwa kuambatanisha vielelezo vyote vya msingi katika madai yao ili waweze kulipwa stahili zao na kuondokana na matatizo yanayoweza UNK kutokana na kuidanganya serikali rai hiyo ilitolewa juzi na mwenyekiti wa chama cha walimu wilaya ya missenyi na bukoba bwana UNK mashasi katika hafla fupi ya walimu wa kata ya kasharu ya kumaliza mwaka mwaka ishirini sifuri tisa salama alisema kuwa chama hicho kipo kwa ajili ya kutetea walimu UNK wajibu wao na hatimaye kudai haki na kuongeza kuwa watakaobainika kudanganya serikali watachukuliwa hatua za kisheria kama ilivyotangazwa na waziri wa elimu na mafunzo bwana mashasi aliwataka walimu hao kuhakikisha UNK vielelezo muhimu na vinavyokidhi mahitaji ya serikali ili UNK UNK na kuepuka matatizo yanayoweza UNK hata hivyo aliwataka walimu hao kushirikiana na akaahidi kuwa suala la kubadilisha mitaala mara kwa mara watalifikisha sehemu husika ili kuweza kufanyiwa kazi katika risala ya walimu iliyosomwa na katibu wa cwt kata ya kasharu kwa niaba ya walimu hao bwana jesse kyaruzi alisema wanakabiliwa na tatizo la kubadilika kwa mitaala mara kwa mara na ukosefu wa ushirikiano wakati wa madai yao shirikisho la vyama vya wafanyakazi nchini limesema sababu kubwa inayowafanya watumishi wa serikali kunga nggania kufanya kazi hata baada ya umri wa kustaafu ni sheria na sera mbovu za ajira nchini zinazosababisha kujikuta wakiwa na malipo kidogo ya UNK hayo yalisemwa hivi karibuni na rais wa shirikisho hilo bwana omari ayoub wakati akifunga mafunzo ya elimu ya sera ya taifa ya ajira ya mwaka ishirini sifuri nane yaliyofanyika mjini hapa bwana ayoub alisema kuwa tatizo hilo UNK kwa makusudi na serikali ili kuwalinda watumishi kwa hofu kuwa wakiwahi kuondoka katika utumishi wa umma wataanza kupata shida kwa kuwa pensheni huwa ni ndogo hali inayosababisha kushindwa kumudu maisha mapya ya UNK sera hizi ni mbovu UNK matumaini yoyote baada ya kustaafu nani asiyependa kuishi maisha mazuri baada ya kazi kwa wenzetu mtu akifikisha umri wa miaka arobaini na tano anatamani akapumzike ili UNK matunda ya utumishi wake wa umma na hiyo yote inatokana na malipo mazuri tofauti na hapa kwetu umri UNK miaka hamsini mtu unaanza kujenga hofu ya kwenda kupoteza maisha badala ya kupumzika alisema bwana UNK alisema vijana wanaomaliza elimu ya juu na kubahatika kupata ajira katika utumishi wa umma wanapaswa kujiunga na vyama vya wafanyakazi ili kuongeza mapambano ya kudai haki za wafanyakazi yanayoendelea kufanywa hapa nchini dhidi ya serikali ili kuwakomboa watumishi ambao wanachangia asilimia hamsini ya pato la taifa aliongeza kuwa serikali haipaswi UNK sera za ajira ndani ya kabati bali itumie gharama kuielimisha jamii kwa kupitia semina UNK na vyombo vya habari ili watumishi waweze kuzijua kama inavyofanya katika sera zingine hatimaye padre wa kanisa la anglikana kata ya linda wilayani mbinga bwana leonard UNK amefikishwa mahakamani akikabiliwa na tuhuma za kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha pili mtuhumiwa huyo alifikishwa jana katika mahakama ya wilaya ya mbinga na kusomewa mashitaka na mwendesha mashtaka inspekta wa polisi UNK mbele ya hakimu wa wilaya bwana UNK UNK mtuhumiwa huyo alikamatwa novemba ishirini na sita mwaka huu baada ya wazazi wa binti huyo kutoa taarifa polisi kuhusiana na sakata hilo alitajwa mwanafunzi huyo kuwa UNK UNK wa kidato cha pili katika shule ya sekondari linda iliyopo wilayani hapa ilidaiwa kuwa mwanafunzi huyo mpaka sasa ana ujauzito wa miezi mitano ambao anadaiwa kuwa ni wa mtuhumiwa huyo ambaye alikuwa na mahusiano naye ya kimapenzi kwa muda mrefu baada ya kusomewa mashtaka yake mtuhumiwa alikana kutenda na yuko nje kwa dhamana ya wadhamini wawili ambao walisaini bondi ya shilingi milioni mbili kila mmoja kesi itatajwa UNK kumi na tano mwaka huu wanafunzi wa shule ya sekondari ya UNK wilayani karagwe wameiomba serikali kuwasaidia kupata huduma ya maji shuleni hapo ili kuondokana na adha ya kwenda kuteka maji mbali na mazingira ya shule wanafunzi hao walitoa ombi hilo juzi wakati wakizungumza na majira wilayani hapa baada ya UNK na hali ya kuteka maji katika mto kwa ajili ya matumizi ya shuleni mmoja wa wanafunzi hao alisema UNK na ratiba ya kwenda kuteka maji kwa umbali wa kilometa moja kutoka shuleni hapa hali UNK ratiba yao ya kusoma alisema kila siku hupanga ratiba ya kufuata maji mtoni ambapo kama siku ya jumatatu kidato cha kwanza wakienda mtoni kuteka maji siku inayofuata inakuwa ni zamu ya kidato kingine alisema utaratibu huo wa kwenda kuteka maji mtoni si mzuri kwani unachangia wanafunzi kusitisha masomo na kwenda mtoni kuteka maji kwa miaka yote bila kuwepo mabadiliko kutokana na hali hiyo ipo hofu ya kushuka kwa kiwango cha elimu kwa wanafunzi hao kwa kuwa muda mwingi wanautumia katika kutafuta maji wanawake wajawazito wametakiwa kuacha tabia ya kutumia dawa za kienyeji kwa ajili ya kuongeza uchungu wakati wa kujifungua kwani dawa hizo zinachangia kwa asilimia kubwa ongezeko la vifo vya akina mama na watoto wakati wa kujifungua hapa nchini hayo yalibainishwa na wataalam wa afya wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya wasimamizi na wadadisi wa utafiti wa afya ya uzazi na mtoto tanzania yaliyofanyika wilayani same mkoani kilimanjaro walisema kuwa vifo vya akina mama na watoto vimekuwa vikiongezeka siku hadi siku hususani maeneo ya vijijini kutokana na akina mama wengi kutumia dawa za kienyeji ili kuharakisha uchungu akifungua mafunzo hayo kaimu mkurugenzi wa huduma za tiba wizara ya afya na ustawi wa jamii daktari edwin UNK alisema kuwa magonjwa mengi ya kawaida hapa nchini yanachangiwa na umaskini na kuwa vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi hapa nchini bado vipo juu pamoja na ubovu wa miundombinu na ukosefu wa wataalam wa afya vifo vingi vya akina mama na watoto wakati wa kujifungua UNK na hao wenyewe kutumia dawa za kienyeji hali inayofanya kusikia uchungu kwa haraka na kujikuta UNK damu nyingi hivyo kusababisha mtoto kufia tumboni na hata yeye mwenyewe kupoteza maisha alisema aidha walisema hali hiyo imechangiwa pia na akina mama wengi kutokuwa na elimu ya kutosha kuhusiana na uzazi salama hivyo kujikuta wakishindwa kukabiliana na UNK mbalimbali UNK nazo wakati wa ujauzito same kilimanjaro baadhi ya wananchi wa kijiji cha goha kata ya myamba wilayani same kilimanjaro wamekimbilia katika nyumba aliyofikia mbunge wa same mashariki bibi anne kilango malecela wakiamini watakuwa salama baada ya kunyesha mvua kubwa usiku wa kuamkia jana kitendo cha mvua hiyo kuwahamisha watu katika nyumba zao na kwenda alipofikia mbunge wao kijijini hapo aliyefika kwa nia ya kutoa msaada wa fedha na vitu mbalimbali UNK roho juu bibi kilango kwa kuhofia maisha yake huku akipiga simu kila mahali kuomba msaada wa kufanyiwa uchunguzi haraka kama milima hiyo ni salama ama la wakizungumza na mwandishi wa habari hizi jana baadhi ya wananchi walisema mvua hiyo ni mwendelezo wa nyingine iliyonyesha usiku wa kumkia desemba tano lakini hiyo haikuwa kubwa kama hiyo iliyonyesha usiku wa kuamkia jana na kusema sasa hivi hawana amani mvua UNK sasa hivi hatuna amani mvua inaponyesha kwa kweli tunaombea UNK kabisa kwani inaponyesha tupo tayari UNK sababu UNK nje kuona kutatokea nini lakini sasa hivi hakuna mtu anapata usingizi akisikia mvua inanyesha usiku alisema bibi UNK UNK bibi kilango alimtaka waziri mkuu bwana mizengo pinda kuharakisha wataalamu UNK kuchunguza kwa kina miamba kama ipo salama kwa watu kuishi kwani kati ya kata kumi na nne za jimbo lake kumi zipo milimani hivyo kutishia maisha ya watu mbunge wa viti maalum mkoa wa dodoma bibi UNK bura ametoa msaada wa shilingi milioni nne kwa akina mama wa wilaya nne za mkoa wa dodoma ili kuwawezesha kuanzisha miradi ya UNK mali na kutekeleza kauli mbiu ya kilimo kwanza kwa vitendo wakati mbunge huyo akitoa msaada huo makamu mwenyekiti mstaafu wa ccm bara bwana john malecela amewataka akina mama UNK mbunge huyo katika uchaguzi mkuu ishirini moja sifuri na kuweka wazi kwamba kiongozi hupimwa kwa vitendo kwa watu UNK na si muda aliyokaa madarakani akimkaribisha bwana malecela kufungua rasmi semina ya siku moja kwa akina mama wa wilaya ya chamwino jana bibi bura alisema licha ya UNK mafunzo hayo ya siku moja pia ameamua kutoa fedha hizo baada ya kubaini kwamba akina mama wameshindwa kupiga hatua kutokana na kukosa UNK akifungua rasmi semina hiyo bwana malecela alisema ameguswa na kitendo cha mbunge huyo kuona chanzo cha tatizo kwa jamii ya mkoa wa dodoma na kuweka wazi kwamba mbunge huyo anafaa kuendelea kushika nafasi hiyo na kwamba kama mtu UNK kuwa ni kampeni kamwe UNK radhi kwa kuwa ndio ukweli wenyewe mfuko wa barabara umetoa fedha zaidi ya milioni thebathini saba kwa ajili ya kukarabati UNK zaidi ya kumi na tisa za wilaya ya meru ikiwa ni mpango maalumu wa kuboresha miundombinu kwa wananchi hasa barabara ili UNK maendeleo katika wilaya hiyo hayo yalisemwa wilayani humo na mhandisi mkuu wa halamshauri ya wilaya ya meru bwana gibson kisanga wakati UNK na madiwani w halamshauri hiyo na wakuu wa idara UNK alibainisha kuwa mchango huo utasaidia sana katika maendeleo hasa kwa UNK kwa kupatikana miundombinu imara kutokana na barabara hizo kukarabatiwa katika kiwango cha changarawe kisanga alibainisha kuwa barabara ambazo UNK a ni zile ambazo zinazunguka maeneo mbalimbali ya halamshauri hiyo ya meru hususan maeneo yale ambayo ni korofi fedha hizo UNK maeneo yote yenye barabara korofi kwa kusafisha na kuweka katika kiwango UNK UNK a UNK kwa wananachi hasa katika kipindi cha mvua nyingi ambacho ndicho UNK alisema bwana kisanga serikali imewataka wahandisi wa fani mbalimbali kuzingatia UNK yao na kutambua umuhimu na wajibu wao kwa maendeleo ya taifa hatua ambayo itawawezesha kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa hayo yalielezwa jana na naibu waziri wa miundombinu bwana hezekiah chibulunje wakati alipokuwa akifungua mkutano wa ishirini na tano wa taasisi ya wahandisi nchini unaofanyika kwa siku mbili katika kituo cha mikutano ya kimataifa cha arusha bwana UNK alibainisha kuwa wahandisi ni watu muhimu kwa kuwa wanafanya kazi ya kuokoa maisha ya watu hivyo wanatakiwa kutambua wajibu wao sambamba na kufuata misingi ya uhandisi ili kuliwezesha taifa kusonga mbele kaitka nyanja za kimaendeleo wahandisi ni watu muhimu kwa mfano wao ndio wanaojenga barabara zetu iwapo mhandisi UNK miradi ya barabara bila ya kufuata kanuni UNK barabara hiyo kutokuwa na viwango hivyo ajali inaweza kutokea ambayo itasababisha watu kufariki hapo mhandisi atakuwa UNK kanuni za uhandisi wala maadili alisema bwana UNK alieleza kuwa serikali UNK na inatambua mchango wao katika kulipatia taifa maendeleo na ipo tayari kupata ushauri kutoka kwa wahandisi ili kuweza kuboresha harakati za kulipatia taifa maendeleo ya kiuchumi awali akizungumza katika mkutano huo rais wa taasisi ya wahandisi tanzania profesa julius UNK alisema kuwa tasisi yake kwa kushirikiana na bodi ya UNK imekuwa ikifanya mkutano kila mwaka ambapo UNK wanachama wa taasisi hiyo ambao ni tatu sifuri sifuri sifuri kwa ajili ya kubadilishana uzoefu bukombe shinyanga ofisi za waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa na tume ya utumishi wa umma zimetoa siku kumi na nne kwa mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya bukombe mkoani shinyanga bwana kelvin makonda kutoa maelezo ya kina na kumrejesha kazini mhandisi wa ujenzi wa wilaya hiyo bwana julius UNK bwana kahena aliondolewa kwenye nafasi yake kwa madai kuwa halmashauri imeazimia kuunganisha idara za maji na ujenzi na kumteua bwana steven UNK kuwa mkuu wa idara hizo kwa lengo la kuongeza ufanisi baada ya tamisemi kupata taarifa hiyo UNK barua mkurugenzi huyo kumtaka atoe maelezo ndani ya siku kumi na nne kwa barua yenye kumb UNK mia tatu na arobaini na nane mia tatu na hamsini na tano sifuri tatu a nane ishirini sifuri tisa UNK na bwana UNK l w kwa niaba ya katibu mkuu ikieleza ofisi ya waziri mkuu tamisemi haina taarifa ya kusimamishwa kazi kwa mhandisi julius kahena pia inafahamu kuwa bukombe haijafanya mabadiliko ya muundo wa kuunganisha idara zake barua ya utumishi wa umma kumb UNK UNK UNK mia mbili na arobaini moja sita kumi inasema tume imepokea malalamiko ya mhandisi kahena kunyangganywa ofisi kwa njia ya uonevu pamoja na mgogoro huo kuwepo wilayani bukombe mkuu wa wilaya hiyo bibi florence UNK na katibu tawala wa wilaya hiyo bwana michael UNK wamesema hawana taarifa ya kuwepo kwa mgogoro huo na UNK mwandishi kuwasiliana na mkurugenzi wa halmashauri bwana makonda ambaye alisema hawezi kuzungumza kwa vile yuko nje ya ofisi yake mkuu wa wilaya ya kibaha bibi halima kihemba na mbunge wa kibaha daktari zainabu gama UNK watendaji wa halmashauri ya kibaha kuwa ni chanzo cha UNK wa maendeleo wilayani humo wakizungumza na waandishi wa habari wakati wa ziara ya kutembelea maeneo yaliyotengwa na serikali kwa ajili ya miradi mbalimbali ambayo wananchi UNK na kujenga nyumba za kudumu daktari gama alisema kuwa hali hii ya wananchi kuvamia maeneo ya serikali inatokana na watendaji UNK mara kwa mara sehemu ambazo serikali imetenga kwa ajili ya miradi hatuwezi kuwalaumu wananchi moja kwa moja lawama kwa UNK ni lazima UNK watendaji wetu kwani wangekuwa na ratiba ya kutembelea kila wiki mashamba yaliyotengwa kwa ajili ya miradi wananchi UNK na kujenga nyumba zao alisema bibi UNK mkuu wa wilaya bibi kihemba aliongeza kuwa hivi sasa wameandaa mkakati maalumu wa kuhakikisha kuwa watendaji wanaojihusisha na uuzaji wa mali za serikali kuchukuliwa hatua za kisheria halmashauri nchini zimepewa changamoto na kushauriwa kutenga fedha katika bajeti zake za kila mwaka ili ziweze kutoa huduma za msingi kwa watu wanaoishi na virusi vya ukimwi changamoto hiyo ilitolewa jana na mkuu wa wilaya ya bahi mkoani dododma bibi UNK mkwasa wakati alipokuwa akifungua warsha ya siku moja kwa watu UNK na virusi wa wilaya hiyo bibi mkwasa alisema kuwa taarifa nyingi zimekuwa UNK jamii ya watu wanaoishi na virusi vya ukimwi ambapo wamekuwa UNK kuhudumia wagonjwa na hivyo kukata tamaa kutokana na ukosefu wa UNK alifafanua kuwa pia watu wanaoishi na virusi vya ukimwi wamekuwa wakikata tamaa ya kunywa dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo wa ukimwi kutokana na huduma hizo kutopatikana kwa urahisi kutokana na umbali UNK alibainisha kuwa watu hao wamekuwa wakitembea umbali mrefu kwa ajili ya kufuata huduma ya dawa hizo hali ambayo ilimpelekea kuitaka halmashauri yake kuangalia uwezekano wa UNK karibu huduma hiyo watu waishio na vvu mwalimu wa shule ya msingi UNK iliyopo katika kata ya malangali manispaa ya sumbawanga mkoani rukwa joseph UNK mkazi wa UNK cha UNK amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya sumbawanga kwa tuhuma za kumbaka na kumsababishia ujauzito mwanafunzi wa darasa la sita mwenye umri wa miaka kumi na nne ilidaiwa na mwendesha mashtaka mkaguzi wa polisi bwana boniface mbao mbele ya hakimu mkazi wa wilaya ya UNK bwana goroba manase kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo kuwa nyakati tofauti katika kipindi cha kuanzia mwaka septemba hadi desemba mwaka huu huko nyumbani wake UNK UNK huyo wa polisi aliendelea kuieleza mahakama hiyo kuwa mtuhumiwa huyo UNK mwanafunzi huyo kwa kumpatia fedha ndogo ndogo na UNK kumsaidia katika masomo yake na kwa lengo la kujenga uhusiano wa kimapenzi bwana mbao UNK mahakama hiyo kuwa kutokana na mazingira ya wazazi wa binti huyo kwua ni wafanyabiashara na wao UNK mara kwa mara mtuhumiwa huyo alipata mwanya wa kutenda kosa hilo kwa nyakati tofauti na kisha kumsababishia ujauzito ambao kwa sasa una umri wa miezi miwili hata hivyo mshtakiwa huyo amekana shtaka hilo na yupo nje kwa dhamana ya shilingi milioni moja kwa wadhamini wawili na hakimu goroba manase UNK kesi hiyo mpaka januari sita mwakani itakapotajwa tena na benedict kaguo shirika lisilo la kiserikali la engender health kupitia mradi wake wa acquire tanzania UNK mafunzo kwa waandishi wa habari kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kufahamu huduma ya uzazi wa mpango ili waweze kuripoti habari sahihi juu ya mpango huo akifungua mafunzo hayo juzi UNK waandishi wa habari kumi kutoka vyombo mbalimbali vya habari UNK chuo cha madaktari wasaidizi mkoani tanga mratibu wa afya ya uzazi na mtoto jiji la tanga bibi sarah fubusa alieleza kuwa waandishi wa habari wanayo nafasi kubwa ya UNK jamii kuhusu huduma ya uzazi wa mpango aliongeza kuwa iwapo wazazi hawatazingatia njia za uzazi wa mpango upo uwezekano mkubwa wa vifo vya wanawake wajawazito kuongezeka nchini kwani takwimu zinaonesha mwanamke mmoja hufariki dunia kila baada ya dakika ishirini na tano kutokana na matatizo ya uzazi awali ofisa mradi acquire UNK afya ya uzazi kanda ya kaskazini bibi lilian shoo alieleza kuwa mradi huo uko katika mikoa sita ya tanzania ili kuiwezesha kupata uelewa wa kutosha juu ya masuala ya uzazi wa mpango na kassian nyandindi songea serikali nchini imeombwa kuhakikisha kuwa inalipa madeni ya wafanyakazi wake kwa wakati na kupunguza kodi mbalimbali katika mishahara ya wafanyakazi hao rai hiyo ilitolewa na katibu wa chama cha walimu mkoani ruvuma bibi UNK ngonyani alipokuwa akisoma taarifa ya maendeleo ya chama hicho mbele ya mgeni rasmi mkuu wa mkoa huo daktari christine ishengoma kwenye maadhimisho ya sherehe za wafanyakazi UNK zilizofanyika katika uwanja wa majimaji mjini songea juzi kwa mujibu wa taarifa hiyo pia serikali ilitakiwa ilipe madeni ya wafanyakazi kwa wakati ikiwemo mafao yao pale UNK kazini na utunzaji wa kumbukumbu sahihi ili kuepusha malalamiko mbalimbali yasiweze kutokea vilevile bibi ngonyani aliipongeza ofisi ya waziri mkuu kwa kuweka utaratibu wa kukutana na viongozi wa vyama vya wafanyakazi mara kwa mara lengo likiwa kusikiliza kero UNK vyama hivyo ili zifanyiwe kazi kwa urahisi awali katibu huyo wa cwt mkoani ruvuma alieleza kuwa chimbuko la maadhimisho ya sherehe hiyo kila mwaka ni kuwakumbuka wafanyakazi wa kwanza duniani walioanza kufanya kazi na kupinga manyanyaso dhidi yao yaliyokuwa yakifanywa na UNK naye mgeni rasmi katika sherehe hizo mkuu wa mkoa w ruvuma daktari ishengoma aliwataka wakuu wa sekta zote mkoani humo kuhakikisha kuwa wafanyakazi wanapewa haki zao ikiwemo kuwaendeleza kwa kuwapa mafunzo mbalimbali pia mkuu huyo wa mkoa ameagiza kuwa ushirikishwaji wa wafanyakazi uwe mkubwa na hii itasaidia kuleta ufanisi wa juu katika utendaji wa kazi zao za kila siku hata hivyo kwa upande wa viongozi wa idara husika na wafanyakazi wao aliwataka wafanye kazi kwa kufuata maadili watu elfu moja na mia nane na thebathini na tisa mkoani ruvuma UNK wanaugua kifafa na magonjwa mengine ya akili baada ya kupimwa na wataalam katika kipindi kilichopita cha miezi sita kuanzia juni hadi desemba ishirini sifuri nane hayo yameelezwa na mratibu wa afya ya akili mkoani hapa bibi UNK gullam wakati UNK na majira jumapili ofisini kwake jana kuhusu ugonjwa huo ambao tayari umekuwa tishio kwa wakazi wa mkoa wa ruvuma alisema tatizo linalochangia kuwepo ongezeko la watu UNK magonjwa ya akili linatokana na uelewa mdogo hasa elimu kwa wakazi waishio maeneo ya vijijini wengi wao UNK wagonjwa majumbani kwa kuona aibu kuwapeleka hospitali na kupatiwa matibabu bibi gullam alisema kuwa matatizo hayo yamechangiwa na wananchi kuamini mila potofu hasa kwenda kwa waganga wa jadi kutafuta matibabu badala ya kuwapeleka kwa wataalam UNK na kupatiwa matibabu ya kitaalam na afya zao UNK katika hali ya kawaida alisema kuwa takwimu zinaonyesha wilaya ya mbinga ndiyo inaongoza kimkoa kwa kuwa na idadi kubwa ambapo imefikia wagonjwa mia tatu na thebathini na saba ikifuatiwa na manispaa yenye wagonjwa thebathini tisa tunduru wagonjwa mia moja na arobaini na saba songea vijijini mia mbili na kumi na saba na UNK ya namtumbo ya mwisho UNK ya wagonjwa sitini na mbili UNK magonjwa hayo mratibu huyo katika kuliona hilo wameanza kutoa elimu ya kupambana kifafa na magonjwa ya akili kwa jamii katika wilaya zote mkoani hapa ili waone umuhimu wa kuwapeleka wagonjwa wao pale wanapoona UNK za kuwepo kwa ugonjwa huo kwa wataalam wa tiba kamati ya wazee wa chama cha mapinduzi wilaya ya kahama UNK rais jakaya kikwete kwa kukamilika kwa mradi wa maji kutoka katika ziwa victoria akizungumza kwa njia ya simu jana mwenyekiti wa ccm wilaya ya kahama bwana andrew masanje alisema kukamilika kwa mradi huo UNK mji wa kahama kujiongezea kipato kutokana na gharama kubwa walizokuwa wakiingia kwa umbali mrefu wa kupata maji tumekuwa na shida ya maji katika mji huu kwa miaka mingi lakini leo hali hiyo sasa imekuwa historia hivyo lazima UNK mkono juhudi za serikali yetu kwa kutujali wakazi wa kahama alisema bwana UNK alisema wakazi hao wamejitokeza kwa wingi kuunganishiwa maji kutoka kwa mamlaka ya maji safi na maji taka kahama ili UNK na mradi huo bwana masanje alisema mchango wa rais kikwete wa kuwapunguzia gharama za UNK maji kwa asilimia hamsini ndiyo uliochangia kwa wingi watu kujitokeza kutokana na unafuu wa bei kwani wengi hutegemea kilimo wakati wa maadhimisho ya sherehe kuzaliwa ccm iliyofanyika kitaifa mkoani shinyanga rais kikwete alisema kuwa wakazi wote wa mkoa huo watapata fursa ya kuunganishiwa maji kwa punguzo la asilimia hamsini ili kuondokana na adha ya maji mikoa sita nchini iliyoingizwa UNK mpango maalumu wa kufufua kilimo ujulikanao kama mapinduzi ya kijani unatarajia kuvuna tani milioni tisa mia tatu na kumi na tano mia nane na themanini za mazao ya mbalimbali ya nafaka hayo yalibainishwa hivi karibuni na waziri mkuu bwana mizengo pinda wakati wa majumuisho ya ziara yake ya mikoa sita iliyofanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari ya st maurus chem chem wilayani sumbawanga mkoani rukwa ziara hiyo ya waziri mkuu katika mikoa hiyo UNK ya iringa mbeya ruvuma kigoma morogoro na rukwa ililenga kufuatilia maendeleo ya kilimo cha mapinduzi ya kijani yanayolenga kumwondoa mkulima katika hali duni ya kimaisha kwa kuzalisha chakula kingi nchini waziri pinda UNK kuwa mahitaji halisi ya chakula katika mikoa hiyo ni jumla ya tani milioni tatu mia moja na arobaini na nne mia nne na sabini huku kukiwa na ziada ya chakula tani milioni tano mia tano na themanini sifuri sifuri sifuri na ili wakulima wengi wa mkoa wa mikoa hiyo waweze kuondokana na umaskini ni lazima wakala wa serikali ya kuhifadhi chakula UNK pesa nyingi na mapema ili ununuzi wa mazao kutoka kwa wananchi UNK mapema na charles mwakipesile serikali wilaya ya mbeya imepiga marufuku tabia ya wakuu wa shule za sekondari na msingi kuwachangisha michango wananchi UNK kwenye utaratibu na hivyo kufanya wengine kushindwa kuwapeleka watoto wao shule agizo hilo lilitolewa na mkuu wa wilaya mbeya bwana UNK gama alipokuwa anafunga kikao cha kamati ya ushauri ya wilaya hiyo jijini humo hivi karibuni katka ukumbi wa jiji na kusema amekuwa UNK kila anaposikia wananchi wanasumbuliwa na UNK alisema utaratibu uliowekwa na serikali ni kuwachangisha wananchi michango inayofahamika kiserikali ambayo hata ofisi yake inafahamu ambapo inapotokea kuwapo kwa uhitaji wa michago mingine maofisa watendaji wanatakiwa kuitisha mikutano ya hadhara kwa ajili ya kuzungumza na wananchi wananchi wanapaswa kuelezwa uwazi wa mahitaji yanayotakiwa na kisha kufafanuliwa ili wao ndio wapange michango ili wawe na utayari wa kuitoa kwa kuwa ni uamuzi wao wenyewe lakini sasa nashangaa kusikia kila wakuu wa shule na kamati zao wanapoamua kuwachangisha wananchi sitaki kusikia habari hiyo alisisitiza bwana UNK alisema michago hiyo imekuwa ikisababisha usumbufu mkubwa kwa wananchi kutokana na ukweli kuwa wamekua kama UNK kufanya jambo ambalo si la kwao na UNK kutokana na kutoshirikishwa tangu mwanzo alitaka viongozi wote wa kata kuendeleza mpango wa serikali wa kuwa na mikutano na wananchi mara kwa UNK kwenye maeneo yao kwa ajili ya kuwafahamisha kila kinachoendelea katika serikali ikiwa ni pamoja na maendeleo makubwa ambayo kwa sasa yamekuwa yanafanywa na serikali ya awamu ya nne mkuu wa wilaya ya mbulu mkoani manyara bwana francis isack ameitaka halmashauri ya wilaya hiyo kuhakikisha inaelekeza miradi ya maji katika kata ya bonde la yaedachini ili kuweza kuwanusuru wananchi wa kata hiyo hususani wa kitongoji cha endagulda kwa kukosa maji na kulazimika kutembea umbali wa kilomita thebathini na nne UNK bwana isack aliyasema hayo kutokana na malalamiko ya wananchi wa makabila ya wahadzabe UNK UNK na UNK waishio katika kitongozi cha endagulda kilichopo katika kata ya yaedachini wilayani mbulu manyara mkuu wa wilaya huyo alitoa agizo hilo katika ziara yake katika tarafa ya UNK yenye ambapo wananchi hao walitoa malalamiko yao baada ya mkuu huyo kuanza kusikiliza kero za wananchi wananchi UNK kuwa tatizo la maji kwa eneo lao limekuwa ni tatizo sugu ukilinganisha na matatizo mengine yaliyopo katika kitongoji hicho cha endagulda na limekuwa UNK sana ni vema halmashauri wakati wa kuandaa bajeti yake ikajipanga katika kuhakikisha kuwa inaelekeza nguvu zake zote katika kuelekeza miradi ya maji katika kata hiyo ambayo imeonekana kukabiliwa zaidi ya tatizo la maji ukilinganisha na kata zingine za wilaya hii alisema mkuu huyo wa wilaya na benedict kaguo watumiaji wa chumvi zisizo na madini ya joto wanaweza kukumbwa na matatizo ya UNK hasa mifupa imeelezwa juzi mkoani tanga akizungumza katika ziara ya kutembelea wazalisha chumvi mkoani humo ofisa mratibu wa upungufu wa madini joto kutoka taasisi ya chakula na lishe bwana UNK assey alisema ukosefu wa madini hayo mwilini unaweza kusababisha maradhi kama UNK ulemavu wa mifupa kuvimba tezi ya shingo na kuharibika ubongo bwana assey alisema ni vema wananchi UNK zaidi kuhusu matumizi ya chumvi zenye madini joto ili kujiepusha na maradhi hayo na aliwataka wazalisha chumvi jijini tanga kutumia madini joto ili kuwakinga walaji na madhara hayo ambapo amesema watakaoshindwa kufuata sheria hiyo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao madhara hayo ni makubwa na hivyo wananchi UNK UNK mapema uko uwezekano wa taifa kuwa na watu UNK hivyo kurudisha nyuma ustawi wake alisema na kuongeza kuwa hadi sasa ni asilimia hamsini na sita tu ya wananchi jijini tanga wanatumia chumvi yenye madini joto na zuhura semkucha wakati serikali mkoani shinyanga ikiwa kwenye mikakati ya kuondoa umasikini na ujinga kwa kuinua kiwango cha elimu walimu wamekuwa wakichangia kushusha juhudi hizo kwa kujihusisha na uganga wa jadi badala ya kwenda kufundisha madarasani hayo yamebainishwa jana na ofisa elimu taaluma mkoa bibi UNK ngonyani kwenye kikao cha ushauri cha mkoa na kusema kuwa walimu wamekuwa na tabia ya kujihusisha na shughuli nyingine badala ya kukaa darasani UNK alisema kuwa katika wilaya ya meatu shule ya UNK sekondari kuna mwalimu anajihusisha na shughuli za uganga wa jadi badala ya kutumia muda mwingi kufundisha yeye anatumia kutibu wagonjwa mkuu wa mkoa hali ni mbaya sana kwa wakazi wanafunzi wa shinyanga tatizo wazazi hawatoi ushirikiano wa kutosha kwa viongozi kama huyu mwalimu jina UNK kumbe huwa anafanya shughuli za uganga wa jadi hii inauma kweli alisema mkuu wa mkoa wa shinyanga brigedia jenerali mstaafu yohana balele UNK juu viongozi wa wilaya na wakurugenzi kuwa ndio chanzo cha tatizo hadi kiwango cha elimu kina kuwa chini na kutoa miezi miwili kwa viongozi kwenda kushinda maeneo ya shule kubaini walimu wasiotekeleza wajibu wao na wachukuliwe hatua na werema UNK wafanyakazi zaidi ya kumi tisa ambao walikuwa watumishi katika mradi wa UNK shirika la kimataifa la misaada la chini ya sweden UNK shirika hilo katika idara ya kazi kwa kuwaachisha kazi bila kufuta taratibu za kisheria na kushindwa kuwalipa stahili zao kwa mujibu wa wafanyakazi hao ambao walizungumza na majira mwishoni mwa wiki nje ya ofisi ya idara ya kazi mkoani mara walidai kuwa tangu UNK kazi miezi minne sasa wamekuwa wakisumbuliwa kupewa haki zao hivyo kulazimika kwenda idara hiyo kudai haki zao za msingi walisema baada ya kufukuzwa kazi kwa maelezo kuwa shirika halina uwezo wa kujiendesha huku wakiwa ndani ya mkataba hawajalipwa kwa mujibu wa sheria huku wengine wakidai makato ya nssf malipo ya saa za ziada wa kazi na gharama za kuwasafirisha kurudi makwao UNK mkataba mpya mwisho wa mwaka jana kwa miaka miwili lakini mwanzoni mwaka huu UNK UNK kazi bila kuelezwa kwanini mkataba umevunjwa bila kulipwa kisheria alisema bwana UNK shaban aliyekuwa dereva na zuhura semkucha vijiji ishirini na kata sita za shinyanga vijijini vinatarajia kunufaika na mradi wa maji wa ziwa victoria unaotarajiwa kufunguliwa na rais jakaya kikwete mwishoni mwa mwezi huu hayo yalisemwa na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya shinyanga vijijini bwana john lubuva alipokuwa anazungumza na wananchi wa kata ya UNK kuhusu ulinzi shirikishi wa kulinda mabomba yaliyopita katika kufanikisha upatikanaji wa maji alisema kuwa pamoja na vijiji hivyo kupata maji safi kwa gharama nafuu ya shilingi ishirini kwa ndoo ya lita ishirini ni lazima wananchi walinde miundo mbinu hiyo ili huduma ya maji iwe endelevu ninyi ndio UNK na maji hayo hivyo kila mwananchi ana jukumu la kulinda mabomba ili watu waendelee kupata maji UNK ipo siku UNK maji na UNK na shida ile ile ya mara ya kwanza ya kukosa maji alisema mkurugenzi huyo aliwataka wananchi kuacha kulima karibu na matangi ya maji ili kunusuru uharibifu wa miundombinu iliyopo kwani wakulima wameanza UNK na eliasa ally mbunge wa jimbo la kilolo na waziri wa mawasiliano profesa peter msolla UNK ukarabati wa barabara yenye urefu wa kilomita zaidi ya sita tano iliyokuwa kero kubwa kwa wananchi wa jimbo hilo kwa muda wa miaka tano akizungumza na majira juzi profesa msolla alisema kuwa UNK UNK zaidi ya shilingi milioni ishirini na tano kukarabati barabara hiyo inayotoka kijiji cha ilole kwenda cha UNK hivyo na kumaliza ya muda mrefu wananchi walikuwa wanapata tabu sana kutokana na ubovu wa barabara hiyo walikuwa wanatembea umbali mrefu na kwa shida kuifuata huduma akina mama wajawazito wengi walikuwa UNK nyumbani kwa kukosekana usafiri wa uhakika alieleza profesa UNK alisema kabla barabara hiyo haijatengenezwa ilikuwa UNK kabisa kwa gari na wananchi wa eneo hilo walilazimika kutembea kwa miguu kwa umbali wa zaidi ya kilomita sita kufuta huduma na mambo mengine wananchi wakazi wa tarafa ya ilole UNK mbunge wao kwa juhudi zake za kuwezesha na kuhimiza maendeleo na rashid mkwinda ofisa mtendaji wa kata ya UNK wilayani mbozi mkoani mbeya bwana kassim UNK mwishoni mwa wiki iliyopita amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya mbozi kujibu shitaka la wizi wa vocha za mbolea ya ruzuku zenye thamani ya shilingi milioni arobaini na nane UNK shitaka hilo na mwendesha mashitaka mkaguzi wa polisi bwana UNK ndulo alidai kuwa mshitakiwa alitenda kosa kati ya julai ishirini sifuri nane na aprili mwaka ishirini sifuri tisa akiwa mtumishi wa halmashauri ya wilaya ya mbozi kinyume na sheria bwana ndulo aliendelea kudai kuwa mshitakiwa huyo alitumia madaraka kuficha vocha alizopewa na mwajiri wake kuwapelekea wakulima wa kata yake mshitakiwa huyo ambaye alikana shitaka lake UNK mbele ya hakimu wa wilaya bwana enock UNK amewekwa mahabusu baada ya kushindwa kukamilisha masharti ya dhamana hadi juni kumi na moja mwaka huu wakati kesi itakapoanza kusikilizwa katika mahakama hiyo na UNK UNK jeshi la polisi mkoani manyara linamshikilia agustino UNK mkulima na mkazi wa kitongoji cha UNK wilayani babati mkoa wa manyara kwa tuhuma za kumpiga kisu tumboni mwenzake na kumuua akizungumza na wanahabari ofisini kwake jana kaimu kamanda wa polisi mkoa wa manyara bwana josephat mwingira alisema kuwa tukio hilo lilitokea mei thebathini mwaka huu saa saba usiku katika maeneo ya maisaka b kamanda mwingira alisema kuwa agustino alimchoma kisu bwana lazaro zebadayo mkulima na mkazi wa maisaka b wilayani babati hali iliyosababisha afe kutokana na kutokwa na damu nyingi tumboni alisema kuwa bwana zebadayo alikimbizwa hospitali ya UNK ya UNK kuokoa maisha yake lakini akiwa anapatiwa matibabu saa kumi na moja sifuri sifuri alfajiri akafariki dunia UNK mwingira alisema chanzo cha mauaji hayo UNK kufahamika mara moja na mtuhumiwa amekamatwa na polisi na atafikishwa mahakamani mara baada ya uchunguzi kukamilika raisi jakaya kikwete juzi aliwapa wakati mgumu viongozi wa halmashauri ya kahama alipokuwa akizindua mradi wa maji na kuelezea kukerwa na ujenzi holela wa nyumba na viwanda katika mji wa UNK akiwa wilayani humo rais kikwete alielezea kukerwa kwake na ujenzi huo holela na kuwataka mkurugenzi wa halmashauri hiyo bibi UNK UNK na mwenyekiti wake bwana paul UNK UNK hali hiyo aliwataka wahakikishe UNK vizuri mji wa kahama na wachukue hatua za haraka kurekebisha kasoro zote katika mji huo unakua kwa asilimia tatu kila mwaka huku tatizo hilo la ujenzi holela UNK kusababishwa na idara ya ardhi akiwa mjini kahama rais alizindua mradi huo mkubwa wa maji toka ziwa victoria hadi miji ya kahama na shinyanga na kuwataka wananchi UNK na kuulinda mradi huo dhidi ya hujuma kwa faida yao na taifa kwa ujumla na UNK UNK mbunge wa jimbo la misungwi mkoani mwanza kupitia chama cha mapinduzi bwana dalali UNK ameiomba serikali kuipatia jukumu wakala wa barabara nchini tanroads la kukarabati barabara yenye urefu wa kilomita thebathini kutoka misasi ihelele ambapo kuna kisima kikubwa cha maji UNK mikoa ya mwanza na shinyanga akizungumza na majira baada ya rais jakaya kikwete kuzindua kisima hicho ambacho ni mradi mkubwa wa maji katika nchi za kusini mwa jangwa la sahara hivi karibuni mbunge huyo alisema kuwa imefika wakati serikali inapashwa kutengeneza barabara kupitia tanroads kuliko kutegemea halmashauri ya wilaya ya misungwi alisema kuwa kwa sasa barabara UNK kwa shida sana wakati ambapo hakuna mvua nyingi na endapo mvua za masika zitaanza kunyesha kisima hicho cha kusambaza maji kinaweza kukumbwa na matatizo ya kufikiwa na magari kwa ajili vifaa na watumishi pia aliiomba serikali kutoa ajira kwa wananchi wa kata ya misungwi ambapo mradi huo wa kusambaza maji kutoka katika ziwa victoria unaanzia ili wananchi hao waweze kunufaika na mradi huo mradi wa kusambaza maji kutoka ziwa victoria hadi shinyanga na kahama ulizinduliwa hivi karibuni na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania jakaya mrisho kikwete na umegharimu shilingi UNK mia mbili na arobaini na mbili za tanzania kutokana na mapato ya ndani kambi ya uopoaji wa mali na watu UNK katika meli ya mv fatih imevunjwa rasmi juzi baada ya kukamilika kwa shughuli ya kuiopoa meli hiyo baada ya kutopatikana maiti zaidi meli hiyo ilizama mei ishirini na tisa mwaka huu na kambi kuanza kazi ya kuiopoa meli hiyo pamoja na maiti juni mosi katika bandari ya malindi mjini zanzibar akizungumza na waandishi wa habari jana mkurugenzi wa ufundi wa shirika la bandari zanzibar bwana abdi omar alisema kuwa kamati imeamua kuivunja kambi hiyo baada ya wazamiaji kufanikiwa kuiopoa meli hiyo juzi ambapo UNK kupatikana maiti zaidi kambi ya uopoaji ya askari wanamaji iliyokuwa ikiongozwa na askari wa jeshi la wananchi tanzania UNK rasmi baada ya UNK hakuna maiti zaidi kazi iliyobakia ni UNK meli sehemu nyingine asubuhi ya saa mbili thebathini juzi wazamiaji waliingia ndani ya meli hiyo kwa kupita kila chumba mpaka katika sehemu ya chumba cha nahodha lakini hakuna mtu UNK alieleza mkurugenzi huyo na kuongeza kuwa kutokana na taarifa hiyo kambi UNK meli ya mv fatih iliopolewa juzi na kikosi cha askari wanamaji waliokuwa wakiongozwa na askari wa jwtz na vikosi vya serikali ya mapinduzi zanzibar kwa kutumia mtambo maalumu wa UNK vitu vizito wa mv ndovu kutoka mamlaka ya bandari tanzania adaiwa kukifanyia UNK chenye mtindio wa ubongo na lilian justice jeshi la polisi mkoani morogoro linamshikilia mchungaji benedict ndunguru mkazi wa UNK mkoani humo kwa uchunguzi zaidi kutokana na kutuhumiwa kumbaka binti mwenye matatizo ya mtindio wa ubongo kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa morogoro bwana thobias andengenye tukio hilo lilitokea juni saba mwaka huu saa saba mchana katika nyumba ya kulala wageni ya flamingo manzese iliyopo katika manispaa ya morogoro kamanda andengenye alisema kuwa ilidaiwa kuwa mchungaji huyo wa kanisa la UNK pentekoste lililoko UNK kwa chambo katika manispaa ya morogoro mchungaji ndunguru alimbaka binti mwenye umri wa miaka na kumsababishia maumivu makali pia UNK kuwa mtuhumiwa alidaiwa kutenda kitendo hicho katika nyumba hiyo ya kulala wageni ya flamingo mjini humo na ilibainika kuwa binti huyo alikuwa na mtindio wa ubongo mtuhumiwa yuko mikononi mwa jeshi la polisi morogoro linaloendelea kumhoji ili kuweza kubaini ukweli wa madai hayo na kassian nyandindi mkazi wa kijiji cha ukata katika kata ya ukata wilayani mbinga mkoa wa ruvuma bibi rehema ndunguru amejinyonga na kufa kwa kinachosadikiwa ni kutokana na mgogoro wa mapenzi akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana kamanda wa polisi wa mkoa wa ruvuma bwana michael kamuhanda amesema tukio hili lilitokea juni nane mwaka huu saa tatu asubuhi kijijini humo alisema bibi ndunguru alikutwa akiwa amejinyonga chumbani UNK kwa kutumia kanga na chanzo kimetokana na wivu wa kimapenzi ambapo imedaiwa mara nyingi alikuwa akimtuhumu mumewe kuwa si mwaminifu katika ndoa yao alifafanua kuwa wakati mama huyo UNK mume wake hakuwepo na kwamba watoto wake waliokuwa wakicheza nje walipoingia ndani walimwona mama yao akiwa UNK chumbani na kutoa taarifa kwa majirani waliotoa taarifa polisi bwana kamuhanda ameongeza kuwa jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi kuhusiana na tukio hilo serikali ya mapinduzi ya zanzibar imeunda tume ya watu nane kuchunguza chanzo cha ajali ya mv fatih ambayo ilisababisha vifo vya watu sita pamoja na hasara ya mali akitangaza kuundwa kwa tume hiyo waziri wa nchi wizara ya mawasiliano na uchukuzi bwana machano othman said alisema tume hiyo imepewa kazi ya kujua chanzo cha ajali ya mv fatih bwana machano alisema tume hiyo imepewa muda wa mwezi mmoja kukamilisha kazi yake na kuwasilisha ripoti kwa wizara husika ambapo mwenyekiti wa tume hiyo ni jaji omar makungu wa mahakama kuu ya zanzibar akisaidiwa na nahodha mkongwe ambaye meneja mkuu wa shirika la meli la zanzibar alhaji masoud UNK wajumbe wengine katika tume hiyo ni bwana abdalla kombo bwana mohamed mahmoud juma bwana nahodha UNK UNK kutoka katika kikosi cha jeshi la majini la kmkm meneja wa ufundi wa shirika la bandari zanzibar bwana abdi UNK meli ya mv fatih ilipata ajali wakati UNK eneo la bandari ya malindi mjini zanzibar ambapo watu thebathini na nne walifanikiwa kutoka katika chombo hicho na wengine kuokolewa baada ya kuzama baharini na ismail UNK halmashauri ya wilaya ya lushoto mkoani tanga imepokea tani hamsini na moja za mahindi kutoka katika kitengo cha maafa ofisi ya waziri mkuu kwa ajili ya kukabiliana na tatizo la njaa linalowakabili wananchi wa kata ya UNK hayo yalisemwa hivi karibuni mkoani tanga na diwani wa kata ya sunga bwana ernest mbondei wakati alipokuwa akizungumza na mwandishi wa habari hizi kuhusiana na tathmini ya zoezi la ugawaji wa chakula cha msaada kilichoanza kutolewa katika vijiji na vitongoji vya kata hiyo diwani mbondei alisema kuwa msaada huo wa chakula umekuja katika kipindi mwafaka kwani sekta ya kilimo ambayo ndiyo tegemeo kwa wananchi wa kata hiyo imeanza kusuasua kutokana na ukosefu wa mvua za kutosha katika vipindi vya majira ya mwaka mavuno ya wakulima wetu bado ni madogo na hii inatokana na ardhi yetu kuwa kame kwani kidogo UNK na wakulima ndicho UNK hatua hii inawafanya wakazi wetu kushindwa kuwa na akiba ya kutosha wakati wa njaa anasema aidha aliongeza kuwa katika kuhakikisha kuwa jamii ya wananchi wa sunga wananufaika na msaada wa chakula hicho ofisi ya mkuu wa wilaya kwa kushirikiana na ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya kwa pamoja walitoa agizo kwa viongozi wa vijiji na vitongoji kugawa chakula hicho katika mchanganuo wa makundi mawili aliyataja makundi hayo kuwa ni kundi la watu wasiojiweza ambalo UNK wazee wajane na yatima ambapo kwa mujibu wa maagizo kutoka katika ofisi ya mkurugenzi jamii hii inatakiwa kupata msaada huo bure pasipo na malipo yeyote aidha UNK kundi la pili kuwa ni la watu UNK kidogo ambapo kwa mujibu wa kanuni na sheria zilizowekwa na halmashauri ya wilaya watu hawa wanatakiwa kununua mahindi hayo kwa shilingi shilingi hamsini kwa kilo moja hii imefanyika makusudi katika kuhakikisha kuwa wananchi wote wanapata chakula hiki katika UNK ulio sawa ili angalau waweze kupunguza makali ya njaa yaliyopo kwa sasa alisema na patrick mabula shinyanga kutokana na matokeo mabaya ya mtihani wa darasa la saba mwaka jana mkoani shinyanga shule za msingi za wilaya ya kahama zimeanza mpango wa kuwapatia chakula wanafunzi kwa lengo la kuinua kiwango cha elimu akizindua mpango huo juzi katika shule ya msingi mwashimbayi iliyoko kata ya ngaya afisa elimu wa wilaya ya kahama bibi UNK ntullo alitoa wito kwa wazazi na walezi kusaidia mpango huo UNK watoto wasiwe watoro akizungumza na wananchi na viongozi wa kijiji cha mwashimbayi walimu na wanafuzi bibi ntullo alisema chakula kwa watoto shuleni kitaongeza ari ya kuwafanya wasome kwa bidii na kuwepo kwa mahudhurio mazuri bibi ntullo alisema wananchi lazima watambue kuwa shule ni mali yao na wanaosoma hapo ni watoto wao kwa hiyo wana jukumu la kushirikiana na serikali kwa michango yao mbali mbali kuhakikisha watoto hao wanasoma katika mazingira mazuri kwa upande wake walimu mkuu wa shule ya msingi mwashimbayi bwana emmanuel george alisema mpango huo ulianza kwa ushirikiano na wazazi kwa mavuno msimu huu na kupata magunia kumi na sita ya mpunga na mahindi huku wazazi wakiendelea kuchangia mpango huo aidha bibi ntullo alizindua nyumba mbili za walimu pamoja na kukabidhi madawati sabini na mbili katika shule hiyo ya msingi ambapo kazi hizo zote na gharama zake UNK kwa nguvu za wananchi wa kijiji cha mwashimbayi katika kata ya UNK na flora amon dodoma wajumbe wa bodi ya barabara mkoani dodoma wameitaka halmashauri ya wilaya ya dodoma mamlaka ya ustawishaji makao makuu na wakala wa barabara mkoa wa dodoma kusitisha mara moja ujenzi wa barabara za mji wa dodoma kwa lami ya kiwango cha chini kauli hiyo ilitolewa jana na wajumbe hao wakiongozwa na mbunge wa mtera bwana samwel malecela ambaye alisema ujenzi wa barabara za mji wa dodoma ikiwemo barabara ya arusha na ile itokayo dar es salaam hazina hadhi ya makao makuu ya serikali bwana malecela alieleza kuwa ni vyema halmashauri ya manispaa ya dodoma pamoja tanroads kutafuta njia mbadala za kujenga barabara za mji wa dodoma sambamba na kutafuta teknolojia mbadala ya ujenzi wa barabara kuliko inayotumika sasa naye mbunge wa UNK wilayani mpwapwa bwana geogre UNK alitaka thamani ya fedha inayotolewa na serikali kuzingatiwa kuliko ilivyo sasa kwa ujenzi wa barabara za mji wa dodoma ambazo alidai hazilingani na thamani ya fedha akizungumza katika kikao hicho mbunge wa mpwapwa bwana george UNK alisema kuwa UNK na ujenzi wa barabara hizo kwani zimekuwa UNK na kuharibika kila mwaka hali ambayo ni hasara kwa serikali bwana UNK alisema kuwa ni vyema barabara hizo UNK kwa kiwango cha juu cha lami kwa awamu kuliko kutumia tekinolojia duni ya ujenzi wa barabara na grace ndossa bagamoyo wizara ya afya na utawi wa jamii imeshauriwa kuwa na takwimu za walemavu ili waweze kujua idadi ya walemavu waliopo na kuwapatia huduma muhimu wanazohitaji hayo yalisemwa jana mjini bagamoyo na mwakilishi wa taasisi ya utawala bora bwana UNK rujwahula kwenye mkutano wa kujadili hali ya utawala bora tanzania sensa ya mwaka ishirini sifuri mbili hatuna takwimu sahihi za walemavu kutokana na nchi haina takwimu za walemavu tangu UNK mpaka sasa alisema bwana UNK alisema kuwa tanzania bado haijapata mwamko wa kusaidia walemavu kutokana na UNK kuwatenga na kuwaona hawawezi kufanya kazi mbalimbali katika jamii bwana rujwahula alisema kutokana na bajeti iliyosomwa bungeni juzi bado walemavu UNK bajeti yao ya kuwasaidia kama sekta nyingine kutokana na kutothaminiwa na jamii alisema katika nchi jirani ya kenya walemavu UNK kulipa kodi pamoja na kutengewa bajeti zaidi ya shilingi milioni ishirini sifuri za kuwasaidia bwana rujwahula ameomba serikali ijenge shule za walemavu pamoja na kuwapatia wataalamu wa afya na walimu ambao UNK namna ya kuwafundisha UNK na UNK UNK kigoma vurugu kubwa UNK mbele ya ofisi ya mkuu wa wilaya ya kigoma kati ya maafisa uhamiaji wa wilaya dhidi ya watu watatu wanaodaiwa kuwa wafanyabiashara wa jamhuri ya kidemokrasia ya congo ambao waligoma kwenda ofisi za uhamiaji kwa madai kuwa hawana kosa lolote gazeti hili lilishuhudia maafisa hao wakishikana mashati barabarani na kusukumana nusura kuzichapa na raia hao wa kigeni wakidai kuwa maafisa hao wanataka rushwa kwani nini UNK vitambulisho tumewaonyesha pamoja na viza zetu sasa mnataka twende ofisini kwenu kufanya nini wakati mnavyotaka vyote tumewaonyesha alisikika akilalamika mmoja wao watu hao ambao UNK majina yao mara moja walisikika UNK maafisa uhamiaji ambao majina yao tunayo kuwa walikuwa wakitafuta mianya ya kuwaomba rushwa kwa kuwa imekuwa ndio tabia yao hata hivo varangati hilo lilifanikiwa kuzimwa na moja ya afisa uhamiaji mkongwe ambaye gazeti hili UNK jina lake baada ya kuamua kuwaamuru maafisa hao wanne vijana UNK huru mara moja bila UNK sababu za kufanya hivyo hata hivo amri hiyo ilitolewa wakati ambao mama mmoja mfanyabiashara wa UNK katika soko kuu la kigoma aliyejulikana kwa jina moja tu la rosemary ambaye ndiye aliyekuwa akitambua uwepo wa watu hao wanaodaiwa kuwa ni wakongo kuingilia kati na kuwaamuru kutii amri ya maafisa hao hivyo kuongozana nao na reuben kagaruki serikali UNK kampuni ya grumeti reserves na mfuko wa grumeti kwa kuanzisha kituo cha kutoa elimu ya uhifadhi wa mazingira kwa wanafunzi na viongozi wa vijiji ambacho UNK shilingi milioni arobaini sifuri pongezi hizo za serikali zilitolewa na waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais mazingira bibi batilda burian wakati wa uzinduzi wa kutuo hicho kilichojengwa na kituo hicho cha kitalii bibi batilda alisema uanzishwaji wa kituo hicho ni mfano wa uwekezaji unaozingatia umuhimu wa kuoanisha shughuli za uwekezaji na utunzaji rasilimali zinazohusiana na uwekezaji huo kampuni ya grumeti reserves imeonesha dhahiri kuwa inaelewa fika uhusiano wa shughuli zake za uwekezaji umuhimu wa hifadhi ya maliasili na mazingira kwa jumla alisisitiza bibi UNK alisema kituo hicho kinatokana na ubunifu wa uongozi wa grumeti UNK mbali na kujenga kituo hicho alisema grumeti wamekuwa wakishirikiana vyema na serikali kupitia wataalamu wa elimu wa ngazi mbalimbali kuanzia taifa hadi halmashauri alifafanua kuwa mtaala utakaofundishwa kituoni hapo unatambuliwa na serikali kwa kuwa uliandaliwa na wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi kuhusu miradi ya maendeleo bibi batilda alielezea kufurahishwa kwake na jinsi kampuni ya grumeti reserves UNK miradi ya maendeleo ya wananchi wa maeneo yanayozunguka hifadhi yao na kwingineko serikali inathamini sana mchango wa grumeti kwenye maendeleo ya huduma za jamii kama elimu bora maji safi na salama na uwezeshaji wa wananchi kupitia vikundi vyao vya kijamii kwa kuvipatia mitaji elimu na mbinu za kibiashara na utunzaji wa mazingira alisema na kuongeza kuwa hatua hiyo inalenga UNK na sophia fundi polisi wilayani karatu mkoa wa arusha UNK john mkazi wa UNK na mohamed mkazi wa karatu baada ya kuwakuta UNK watu nyama ya mbwa aliyegongwa na gari juzi majira ya jioni katikati ya barabara iendayo arusha kwa mujibu wa taarifa iliyopatikana kutoka polisi wilayani humo watu hao walikutwa katika mtaa wa ccm wakiwa UNK watu wawili nyama ya mbwa kwa bei ya shilingi kumi na mbili sifuri sifuri sifuri na kuondoka eneo hilo baada ya kupokea fedha hizo taarifa hizo zilidai kuwa watuhumiwa hao walipofika eneo hilo walitoa taarifa kwa watu waliokuwa katika eneo hilo kuwa wana nyama ya mbuzi UNK hivyo kwa anayetaka anakaribishwa kununua kwa bei ya shilingi nne sifuri sifuri sifuri kwa mguu na walikuwa na miguu mitatu ya mbwa huyo aliyekuwa UNK tayari ndipo UNK watu na kununua nyama hiyo wakiwa kwenye harakati ya kuanza kuandaliwa kwa UNK ndipo alipojitokeza msamaria mwema na UNK kuwa nyama UNK si nyama ya mbuzi kama UNK bali ni nyama ya mbwa ambaye aligongwa na gari katika eneo la benki ya UNK na lilian justice wakazi waishio katika maeneo ya maguha kata ya magubike wilayani kilosa wako hatarini kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na ukosefu wa huduma ya maji UNK umbali wa kilometa saba hayo yalibainishwa na wanakijiji hao jana mkoani morogoro wakati wakizungumza na majira kuhusu tatizo hilo la ukosefu wa nishati ya maji akizungumza kwa niaba ya wanakijiji wenzake bwana maguha UNK mkazi wa maguha alisema ao wamekuwa wakitaabika kwa muda mrefu kutokana na mabomba yao ya zamani waliyokuwa wakitumia UNK alisema kuwa licha ya wanachi kufuta maji umbali mrefu wa kilomita saba pia wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la zahanati kutokuwepo eneo la karibu hivyo kulazimika wajawazito kubebwa kwenye baiskeli na hata vitanda jambo ambalo limekuwa UNK akina mama wakati wakiwa na uchungu kwa ajili ya kujifungua walisema kwa sasa wanalazimika kutumia maji ya madimbwi kwa matumizi ya nyumbani hivyo kuwa na wasiwasi wa kushikwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na maji hayo kutokuwa salama hivyo wanaiomba serikali UNK tatizo hilo mapema na neema john mkuu wa wilaya ya siha bibi UNK UNK ameonya baadhi ya wazazi UNK watoto wao katika biashara ya uuzaji wa pombe za kienyeji na ulimaji wa vibarua katika mashamba ya viazi ya UNK kuacha tabia hiyo mara moja akizungumza katika kilele cha maadhimisho ya siku ya mtoto wa afrika yaliyofanyika kiwilaya katika kijiji cha UNK kata siha magharibi juzi alisema wazazi wamekuwa UNK watoto wao katika biashara ya pombe haramu na kuwafanya waingie katika mambo UNK alisema kuwa baadhi wazazi wamechangia sana kuwapotosha watoto kwa UNK katika biashara na UNK kazi za vibarua hivyo kuwanyima haki zao za msingi hasa elimu UNK maisha bora baadaye aliwataka wazazi UNK kazi za vibarua katika mashamba ya viazi ya UNK watoto wao kuacha mara moja tabia hiyo na kuwataka kutumia kauli mbiu ya mwaka huu kuhakikisha kuwa kila mtoto anapatiwa haki zote anazostahili ikiwemo elimu malazi na malezi na suleiman abeid katibu mkuu wa chama cha mapinduzi bwana yusufu makamba amezindua rasmi kampeni za chama chake za kuwania ubunge wa jimbo la biharamulo magharibi mkoani kagera kwa kuwataka wapiga kura wa jimbo hilo kumchagua mgombea wake bwana oscar mukasa akizungumza katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni hizo uliofanyika katika kijiji cha nyakanazi kata ya lusahunga wilayani biharamulo bwana makamba aliwataka wakazi wa jimbo hilo kuhakikisha julai tano mwaka huu UNK kosa la mwaka ishirini sifuri tano UNK mbunge kutoka upinzani marehemu phares kabuye wa chama cha tanzania labour UNK ndugu zangu leo chama cha mapinduzi tunazindua rasmi kampeni za kumnadi mgombea wetu bwana oscar mukasa huyu ndiye chaguo letu tunataka kulikomboa jimbo hili ambalo lilikuwa ni jimbo letu huko nyuma kwa miaka kumi lakini mwaka ishirini sifuri tano mkakosea UNK mgombea kutoka tlp marehemu phares kabuye falsafa ya rais wetu jakaya kikwete ni mafiga matatu hapa kwenu mwaka ishirini sifuri tano rais kikwete UNK kura nyingi sana UNK sana diwani UNK wa ccm lakini kwa upande wa ubunge mkakosea hapo hawezi UNK sufuria jikoni maana mafiga ni mawili sasa ndugu zangu rais ni wa ccm diwani ni ccm haya ni mafiga mawili je sufuria itakaa UNK kwa hiyo uchaguzi huu UNK UNK la tatu alieleza bwana makamba aliwatahadharisha wapiga kura wa jimbo la biharamulo kuwa iwapo UNK kosa la mwaka ishirini sifuri tano kwa kumchagua mbunge kutoka upinzani basi waelewe wazi kuwa kasi ya maendeleo katika jimbo lao itakuwa ni ya kusuasua naye bwana mukasa aliwaeleza wananchi waliohudhuria katika uzinduzi wa kampeni hizo kuwa iwapo atachaguliwa atahakikisha anashirikiana na wananchi katika kuibua fursa zitakazosaidia kuondoa kero mbalimbali zinazolikabili jimbo hilo ikiwemo kufufua zao la biashara katika wilaya hiyo na eliasa alli makamu wa rais daktari ali mohamed shein amesema serikali iko katika hatua za mwisho za kukamilisha sera ya taifa ya udhibiti wa dawa za kulevya UNK vyombo vya dola kuongeza nguvu kubwa zaidi katika kushughulikia tatizo la dawa za kulevya nchini linalokua siku hadi siku aliyasema hayo jana kwenye maadhimisho ya kitaifa ya siku ya kupiga vita dawa za kulevya duniani yaliyofanyika katika bustani ya manispaa ya iringa mjini humo alisema uhalifu UNK na dawa za kulevya unapaswa kushughulikiwa kwa nguvu kubwa zaidi na kwa haraka ili kuiepusha jamii na madhara ya tatizo hilo kabla hali yake UNK mbaya zaidi awali kamishna wa tume ya kuratibu udhibiti wa dawa za kulevya tanzania bwana christopher UNK alisema katika kutekeleza kazi zake tume inashirikiana kwa karibu na vyombo mbalimbali UNK na udhibiti wa matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya ili kuleta ufanisi katika mapambano hayo alisema mwaka jana jitihada za vyombo vya udhibiti zimefanikiwa kuteketeza ekari za bangi sabini na nane katika mikoa mbalimbali kati ya hizo ishirini na tatu zilikuwa mkoani iringa katika kipindi hicho dawa za kulevya zilikamatwa kama ifutavyo bangi kilo sabini na sita sifuri sifuri sifuri mirungi kilo tano mia tatu na thebathini na mbili cocaine kilo tatu mia mbili na tisini na saba na heroin kilo tatu mia saba na ishirini na tano alisema na rashid mkwinda baada ya aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chama cha wananchi bwana wilfred lwakatare kutangaza kujiunga na chadema cuf wilaya ya mbeya imemwomba katibu mkuu wa chadema daktari wilbroad slaa kuinusuru kambi ya upinzani akizungumza mara baada ya kumaliza kikao cha kamati ya utendaji ya chama hicho katika mji mdogo wa mbalizi wilayani humo juzi mwenyekiti wa cuf wilaya ya mbeya bibi amina ahmed alisema kuwa kuna haja ya kambi ya upinzani kuketi pamoja na kuangalia mustakabali kuelekea uchaguzi mkuu ujao na wa serikali za mitaa alisema anaamini daktari slaa ndiye pekee anayeweza kuinusuru kambi ya upinzani ambayo awali ilikuwa na msimamo wa kuwa na ushirikiano wa kusimamisha mgombea mmoja anayekubalika kutoka katika kambi ya upinzani katika kila uchaguzi unaofanyika hapa nchini alibainisha kuwa anaamini daktari slaa ana uchungu na wananchi na UNK hoja kwa kutetea wananchi kwa uchungu mkubwa hivyo nafasi aliyonayo ya uchungu kwa wananchi UNK kuleta ushawishi wa vyama vya upinzani UNK chini kumaliza tofauti zinazosababisha vyama hivyo UNK ushindi kwa kila uchaguzi unaofanyika mzee huyu anaweza kuwaweka pamoja viongozi wenzie kwani hoja zake ni za msingi kwa kuwa yupo kwa ajili ya kutetea wananchi naamini akikaa pamoja na viongozi UNK mgongano huu ndani ya upinzani utamalizika alisema bibi ahmed bibi ahmed alisema kuwa kumekuwepo na mgongano usio na maslahi kwa kambi ya upinzani na kwa wananchi na hivyo kutoa fursa kwa chama cha mapinduzi kutwaa majimbo ya uchaguzi mdogo unaofanyika kutokana na vyama hivyo kukosa UNK na msimamo wa kumsimamisha mgombea watu wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha za moto wamemuua kwa kumpiga risasi askari polisi mmoja aliyekuwa UNK magari kisha kupora bunduki na risasi sitini katika tukio la utekaji nyara magari zaidi ya sita lililotokea wilayani chato mkoani kagera kamanda wa polisi wa mkoa wa kagera bwana henry salewi amemtaja askari aliyeuawa kuwa ni pc paschal wa kituo cha runzewe wilayani bukombe mkoani shinyanga na kwamba tukio hilo lilitokea juzi asubuhi katika kijiji cha UNK kilichopo katikati ya wilaya za chato na bukombe kamanda salewi alisema katika tukio hilo abiria zaidi ya sabini waliokuwa wakisafiri kati ya buseresere chato na runzewe bukombe UNK mali mbalimbali zikiwemo fedha na simu za mkononi ambapo thamani halisi ya mali hizo haijafahamika akifafanua kamanda salewi alisema siku ya tukio kundi hilo la majambazi wapatao kumi UNK mbinu ya kuteka nyara gari moja na kuliwekea vifaa vya UNK mwanga mbele na nyuma UNK kuwa gari hilo UNK alisema kutokana na hali hiyo magari yote yaliyokuwa yakitoka runzewe na upande wa buseresere yalilazimika kusimama ili kutafuta njia ya kupita na majambazi hayo yalitumia mwanya huo kuwateka na kuwaweka chini ya ulinzi abiria huku UNK kusalimisha fedha na mali zingine alisema baada ya kufanikiwa kuteka magari matano ndipo lilipofika gari moja aina ya scania lenye namba za usajili t mia tano na sabini na nne UNK ambalo alikuwa amepanda pc paschal na kuteremka ndani ya gari hilo ili aende kuangalia gari UNK alipopigwa risasi mbili kifuani UNK papo hapo kamanda salewi alisema muda mfupi baadaye alifika polisi mwingine aliyekuwa katika gari lingine la abiria likitokea kijiji cha buseresere na alipoelezwa na abiria UNK katika tukio hilo alitoa taarifa wilayani kisha alianza kukabiliana nao kwa kufyatua risasi hali iliyosababisha majambazi kukimbilia porini hata hivyo alisema mbali ya majambazi hayo kupora fedha simu na mali zingine za abiria waliokuwa UNK pia walipora bunduki ya askari aliyeuawa aina ya smg ikiwa na risasi sitini na kutoroka nayo kamanda salewi alisema polisi inawashikilia watu watano wanaotuhumiwa kuhusika na tukio hilo na kwamba wanaendelea na operesheni kali kwenye pori hilo na maeneo jirani kusaka watu hao na silaha UNK na george boniphace wananchi wapatao kumi sifuri mtaa wa kangae kata ya nyakato wilayani ilemela jijini mwanza wamelalamikia uongozi wa jiji la mwanza kubomoa nyumba zao na ardhi UNK mwekezaji wakizungumza na majira eneo la kangae jana msemaji wa wananchi hao aliyejitambulisha kwa jina la bwana greyson UNK alisema kuwa UNK viwanja hivyo na uongozi wa kilichokuwa kiwanda cha nguo cha UNK na baadaye kupimiwa na halmashauri ya jiji la mwanza mwaka ishirini sifuri nane kupitia upimaji shirikishi na kulipia upimaji huo shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri kwa kila UNK baadaye mapema mwaka huu uongozi wa halmashauri uliwataka kila mwenye kiwanja kulipia shilingi mia moja na hamsini sifuri sifuri sifuri ili kuweza kupatiwa umiliki wa kudumu wa viwanja hivyo na kuongeza kuwa wakati wakiwa katika harakati ya kulipia viwanja hivyo UNK mgambo wa jiji wakiwa na maofisa ardhi wa jiji hilo wakiwa na tingatinga na kuanza kubomoa nyumba zao ambazo zilikuwa tayari ujenzi wake umekamilika uchunguzi wa majira umeonyesha kuwa eneo hilo tayari UNK kwa mwekezaji wa kampuni ya ujenzi ya cf UNK inayomilikiwa na bwana chacha UNK alieleza majira kuwa eneo hilo ni mali yake mkurugenzi wa jiji la mwanza bwana UNK kabwe alipotakiwa kuelezea hali hiyo alisema kuwa hana taarifa ya kubomolewa nyumba kwa wananchi hao na kuongeza kuwa mgogoro huo kati ya wananchi hao na ofisi yake UNK hivi karibuni na kuona haki inatendeka kwa pande zote martha fataely na flora temba watu wawili wamekufa na wengine watano kujeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha vudee wilayani same mkoa wa kilimanjaro kamanda wa polisi mkoani humo bwana lucas ng hoboko alisema kuwa ajali hiyo ilitokea juzi saa kumi kumi na tano jioni katika barabara ya vudee same aliwataja watu waliokufa katika ajali hiyo kuwa ni bwana UNK UNK na mtoto said waziri wote wakazi wa vudee wilayani humo ambao walikuwa katika gari namba t mia moja na themanini na nane UNK mitsubish UNK UNK njia na UNK korongoni na kupinduka kamanda alisema gari hilo lililokuwa UNK na bwana ali mohamed maarufu kwa jina la UNK ambaye naye ni majeruhi katika ajali hiyo na yuko chini ya polisi aliwataja majeruhi wengine kuwa ni bwana lucas mzava aliyelazwa katika hospitali ya rufaa ya kcmc bwana mohamed daud bwana UNK amani na bibi UNK francis wote wakazi wa vudee na wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya same alisema kuwa uchunguzi wa awali umebainisha kwamba chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi na kusababisha dereva kushindwa kulimudu gari na kusababisha ajali hiyo na lilian justice wakati serikali imehakikisha kuwa hakuna raia wake UNK kwa njaa wananchi wa kata ya iyombwe wilayani kilosa mkoa wa morogoro wako hatarini hiyo kutokana na ukosefu wa chakula unaotokana na ukame na mashambani UNK sababu ya mabadiliko ya hali ya hewa hayo yalisemwa hivi karibuni wilayani humo mkoani humo na wananchi hao wakati UNK na mwandishi wa habari hizi kuhusu baa hilo la njaa UNK hivi sasa mmoja wa wananchi hao bibi joyce UNK mkazi wa kijiji cha iyombwe alisema kuwa licha ya maeneo yao kuzungukwa na mabonde yenye rutuba nyingi imeshindikana kuvuna mazao yao kama vile mahindi kutokana na kuathiriwa na hali ya hewa tunasikitika kuona tunapoteza nguvu kazi zetu UNK pesa UNK katika kununua pembejeo za kilimo alisema bibi UNK hata hivyo naye mbunge wa UNK bwana ahmed UNK alikiri kuwepo kwa UNK njaa katika eneo hilo na pia tayari UNK UNK watendaji na maoafisa ugani kuandaa ripoti kwa ajili ya kupatiwa msaada wa chakula na martha fataely hai familia ya aliyekuwa mshitakiwa wa kumi na moja katika kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa mahenge mkoani morogoro na dereva teksi marehemu koplo rashid lema wameilalamikia polisi kwa UNK kwa heshima za kijeshi baadhi ya wanafamilia hiyo katika kijiji cha lyamungo sinde kata ya machame mashariki wilayani hapa ambapo mwili wa marehemu lema ulipelekwa kwa ajili ya mazishi walisema wameshangazwa kutoona heshima za kijeshi katika mazishi hayo kwa kuwa waliambiwa wangepata ushirikiano kwa jeshi hilo mkoani kilimanjaro hata hivyo jeshi la polisi UNK radhi kwa UNK askari kwa ajili ya kuhudhuria mazishi kama ilivyopangwa akizungumzia hali hiyo kamanda wa polisi mkoa wa kilimanjaro bwana lucas UNK UNK alisema kumekuwa na mawasiliano duni kati yake na mkuu wa polisi wilaya ya hai ambaye alitakiwa kutuma askari wake kwenye kazi hiyo alisema ingawa marehemu alikuwa mshitakiwa aliwekewa bendera ya jeshi hilo kama heshima na mtumishi wa serikali lakini heshima nyingine za kijeshi UNK huyu bado alikuwa mtumishi wa serikali serikali ilikuwa UNK na ndio maana aliwekewa hiyo bendera na yeye na washitakiwa wenzake walikuwa wakilipwa nusu ya mshahara hivyo bado wanatambuliwa lakini hawakustahili hizo heshima nyingine za kijeshi alisema akielezea historia ya marehemu mjomba wake bwana haruna lema alisema alizaliwa agosti moja elfu moja na mia tisa na sitini na nane hospitali ya machame kisiki na alipata elimu ya msingi lyamungo sinde kati ya mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na nane na elfu moja na mia tisa na themanini na nne alijiunga na jeshi la polisi mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tisa hadi UNK na mauti aprili tatu mwaka huu katika taasisi ya saratani ya ocean road dar es salaam marehemu koplo lema alizikwa katika makaburi ya familia kijijini lyamungo sinde ambapo sala ya mazishi iliendeshwa na sheikh said UNK ameacha mjane na watoto watano katika kesi hiyo inayomkabili aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam kamishna msaidizi wa polisi abdallah zombe na wenzake tisa marehemu alikuwa akisubiriwa kutoa ushahidi wake ambao ni muhimu katika kesi hiyo serikali imetoa ufafanuzi juu ya fedha zilizotokana na akaunti ya fedha za madeni ya nje kuwa zimetumika katika maeneo mbalimbali ya kilimo mifugo na benki ya rasilimali hayo yalibainishwa jana bungeni na naibu waziri wa fedha na uchumi bwana jeremiah sumari wakati akijibu swali la nyongeza la mbunge wa busega bwana raphael chegeni aliyetaka serikali kueleza bungeni kuwa fedha za epa ambazo iliahidi kuzitoa katika benk hiyo ya rasilimali tib UNK na ni kiasi gani katika majibu yake naibu huyo alisema kuwa ni kweli serikali ilitoa taarifa kuwa fedha zilizotokana na epa zitatumika katika mambo mbalimbali na shilingi bilioni hamsini na tatu zilipangwa kutolewa kwa maeneo hayo matatu kilimo mifugo na benki ya rasilimali tib alisema serikali iliahidi kutoa fedha hizo shilingi bilioni arobaini kilimo mifugo shilingi bilioni kumi na tib shilingi bilioni tatu na hadi sasa serikali imeshatoa shilingi bilioni moja tib bado bilioni mbili kama serikali UNK UNK mahitaji ya benki hiyo ni makubwa yanayoweza kufikia shilingi bilioni mia moja na hamsini katika utekelezaji wa shughuli zake hivyo kiasi hicho cha bilioni tatu ambazo wabunge UNK ni kiasi kidogo katika kukuza mtaji wa benki hiyo na joseph bura mkuu wa mkoa wa manyara bwana henry shekifu amewaonya wachina wa kampuni ya UNK inayojenga barabara ya UNK babati hadi singida kuacha kuwaadhibu wafanyakazi UNK makosa badala yake UNK katika vyombo vya usalama alitoa onyo hilo hivi karibuni katika kikao na wachina hao kilichofanyika katika moja ya ofisi ya kampuni hiyo iliyopo katika kambi ya UNK julai tatu mwaka huu ambapo aliwaambia kujichukulia sheria mkononi ni kosa la jina na ukiukwaji wa haki za binadamu bwana shekifu aliwataka wachina hao UNK wafanyakazi wao na kuwalipa mshahara kwa muda muafaka na kwa viwango kinachojulikana kisheria na kusema kwa kufanya hivyo watakuwa UNK kero za wafanyakazi wao na wizi wa mafuta na bidhaa mbali mbali UNK baada ya kikao hicho mkuu wa mkoa huyo aliteua kamati maalumu ya kusimamia shughuli za ujenzi wa barabara hiyo na kudhibiti wizi inayoongozwa na mkuu wa wilaya ya babati daktari UNK UNK na ofisa usalama wa taifa wilaya ya babati bwana hamisi UNK na juddy ngonyani mkazi wa kitongoji UNK kijiji cha UNK wilayani sumbawanga mkoani wa rukwa bibi UNK UNK UNK moto hadi kufa tukio hilo limetoa juzi saa kumi jioni ambapo mjukuu wa bibi huyo aitwaye UNK UNK UNK moto kwenye majani yaliyokuwa ndani ya UNK cha jiko UNK kwa nyasi UNK moto kwa mujibu wa taarifa ya kamanda wa polisi mkoa wa rukwa bwana isunto mantage moto huo ulikuwa mkubwa na hivyo kushika hadi kwenye nyumba UNK bibi huyo hata hivyo UNK za waokoaji hazikuweza UNK bibi huyo na kifo kwani baada ya kuzima walimkuta UNK alisema mbali na kuungua tumboni na miguu bibi huyo alikosa hewa safi baada ya moshi mzito kutanda katika nyumba yake na hakuna mtu anayeshikiliwa kuhusiana na tukio hilo na mtoto huyo hakujua UNK serikali imeleeza kuwa hakuna yeyote anayeweza kubadili katiba ya nchi isipokuwa bunge pekee ndilo lenye madaraka hayo kauli hiyo ilitolewa jana bungeni na spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania bwana samweli sitta wakati akitoa ufafanuzi kuhusu kuhusu swali la nyongeza lililoulizwa na mbunge wa kigoma kaskazini bwana kabwe zitto mbunge huyo wa kigoma kaskazini aliuliza swali la nyongeza kuwa serikali inaeleza nini baada ya serikali ya mapinduzi zanzibar kutangaza kuondoa kipengele cha gesi na mafuta katika serikali ya muungano spika alilazimika kusimama na kutoa ufafanuzi wa suala hilo kuwa hakuna mtanzania anayeweza kubadili katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania kutoa au kupunguza kitu ispokuwa ni bunge pekee katika hatua nyingine naye naibu waziri wa nishati na madini bwana adamu malima akijibu swali la mbunge huyo alisema suala hilo alilisikia jana kwenye vyombo vya habari na kusema lina misingi yake katika kulishughulikia na kupaswa kuwasilishwa bungeni kama ilivyowahi kufanyika mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na nane alisema kuwa waziri aliyetangaza kuondoa kipengele cha gesi na mafuta katika serikali ya muungano ulikuwa ni uamuzi wake binafsi katika swali la msingi la mbunge wa magogoni bwana vuai abdallah khamis aliitaka serikali kueleza tangu kuanza kuchimbwa kwa mafuta na gesi asili ni kiasi gani cha faida kimepatikana tangu mwanzoni mwa miaka ya ishirini sifuri sifuri akijibu swali hilo bwana malima alisema kuwa mapato ya serikali yaliyopatikana kutokana na uzalishaji wa gesi asili nchini tangu mwaka ishirini sifuri tano sifuri sita mpaka mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa mwezi aprili ni kiasi cha shilingi bilioni hamsini nane na kusema kuwa huyo ni mbali na faida za kiuchumi na kijamii zilizopatikana kutokana na uzalishaji wa gesi hiyo na zuhura semkucha shinyanga shaihidi wa kumi na moja wa kesi ya mauaji ya albino lyaku willy inayosikilizwa mahakama kuu tanzania mkoa wa shinyanga juzi ameiambia mahakama hiyo kuwa uchunguzi umebaini vinasaba vilivyokutwa kwenye vielelezo vya panga na jambia vina uhusiano na vinasaba vya washitakiwa katika kesi hiyo shahidi huyo bibi gloria machuvewa kutoka ofisi ya mkemia mkuu wa serikali akiongozwa na wakili wa serikali bwana edwin kakolaki mbele ya jaji anayesikiliza kesi hiyo bwana gad mmjemas alidai kuwa vinasaba vilivyopatikana kwenye silaha hizo vinafanana na vilivyochukuliwa kutoka katika mate ya washitakiwa mkemia huyo aliifafanulia mahakama kuwa katika kielelezo cha kwanza ambacho ni panga vilipatikana vinasaba vya washitakiwa mboje mawe sayi gamaya na sayi mafizi na katika kielelezo cha pili vilipatikana vinasaba vya chenyenye kishiwa na alidai kuwa sehemu ya makali katika vielelezo vyote viwili vilipatikana vinasaba vya marehemu lyaku shahidi huyo upande wa jamhuri aliiambia mahakama hiyo kuwa katika uchunguzi huo umeonesha vinasaba vya vya salu itunda na mke wa mshitakiwa wa tatu katika kesi hiyo sayi gamaya ambapo inaelezwa hadi mauti yanamfika lyaku alikuwa akiishi naye awali mahakama hiyo ililazimika kuhamia kwa muda katika hospitali ya mkoa wa shinyanga chumba cha kuhifadhia maiti ili kujiridhisha na ushahidi huo ambapo viungo vya marehemu vimehifadhiwa vikiwamo kichwa na miguu yote miwili katika ushahidi huo bibi machuvewa aliidhibitishia mahakama kuwa marehemu alikatwa viungo hivyo kwa kutumia panga na jambia kwa mujibu wa vipimo kesi hiyo inawakabiliwa washitakiwa wanne mboje mawe sayi gamaya sayi mafizi na chenyenye kishiwa kwa kosa la mauaji dhidi ya albino lyaku yaliyotokea desemba mwaka jana katika mto kidamlida wilayani bariadi mkoani shinyanga na mwandishi wetu mkazi wa kata ya mikumbi halmashauri ya lindi bwana hamisi laini ambaye alikuwa fundi magari katika gereji ya auto service genline parts ya mjini lindi amekufa baada ya kujinyonga kwa kamba ya katani kwa madai ya kuwepo kwa mtafaruku kati yake na rafiki yake wa kike tukio hilo limetokea usiku wa julai saba mwaka huu na mwili wake kugundulika asubuhi ya julai nane maeneo ya mnara wa kuongozea meli akizungumza na majira juzi mlinzi wa gereji hiyo bwana ally issa alisema bwana laini amechukua uamuzi huo baada ya kutokea mtafaruku kati yake na rafiki yake wa kike aliyemtaja kwa jina la bibi laura kamanda wa polisi mkoani lindi bwana gustavus babile alithibitisha tukio hilo na kusema kutokana na mtafaruku huo fundi hamisi alichukua kamba ya katani na kuongezea suari yake aina ya jeans na kujitundika mtini na theonestina juma shilingi milioni ishirini na mbili zimetengwa na halmashauri ya wilaya ya bukoba mkoani kagera kwa ajili ya kupambana na popo waharibifu wa majengo ya serikali kwa mujibu wa mwekahazina wa halmashauri hiyo bwana alloys kimisha akizungumza jana katika kikao cha dharura cha baraza la madiwani kilichofanyika wilayani humo kiasi katika fedha hizo pia zitatumika katika upimaji wa maeneo ya shule na zahanati kikao hicho kilikuwa maalumu kujibu hoja za mdhibiti wa mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha ulioisha na pia utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na kamati ya bunge ya hesabu ya serikali za mitaa iliofanya ziara yake wilayani humo januari mwaka huu bwana kimisha alisema fedha hizo ni kutekeleza agizo la kamati hiyo iliyobaini tatizo kubwa la popo kuharibu majengo ya shule za msingi sekondari na zahanati huku kukiwa hakuna jitihada zozote za kuwatokomeza katika ziara ya kamati hiyo kanda ya ziwa ilibaini tatizo la popo kuenea katika mikoa yote ya kanda ya ziwa na ilitoa agizo kwa uongozi wa halmashauri za wilaya zote za kanda hiyo kutenga fedha katika bajeti ya mwaka huu kwa ajili ya kupambana na tatizo hilo na thomas kiani halmashauri ya wilaya ya singida imeshindwa kumchukulia hatua za kisheria aliyekuwa ofisa mtendaji wake katika moja ya kijiji wilayani humo aliyesababishia hasara halmashauri na usumbufu kamati ya ujenzi ya shule kata mtendaji huyo anadaiwa kusababisha upotevu wa rangi zilizonunuliwa na halmashauri kwa ajili ya bweni la wasichana katika shule ya sekondari moja ya kata wilayani humo akizungumzia suala hilo mratibu wa mfuko wa maendeleo ya jamii wilayani singida bibi monica ndelike alikiri kuwepo kwa upotevu wa rangi za shule hizo tangu mwezi mei mwaka huu baada ya kupata taarifa za upotevu huo tulikwenda hadi kijijini linapojengwa bweni la shule hiyo na baada ya mahojiano na mtendaji huyo tukabaini upungufu uliojitokeza na tukampa muda wa wiki mbili kuhakikisha anarejesha alisema bibi ndelike kwa mujibu wa mratibu huyo kupotea kwa rangi hizo kumekuwepo malalamiko kwa baadhi ya wananchi wa kijiji hicho wakihoji chanzo cha upotevu wa rangi hizo huku wakitaka kugoma kuendelea na michango ya ujenzi wa shule hiyo na neema john mkuu wa mkoa wa kilimanjaro bibi monica mbega ameutaka uongozi wa wilaya ya siha kuongeza juhudi na kutobweteka baada ya kupata tuzo ya hati safi iliyotolewa na ukaguzi wa hesabu za serikali za mitaa ya uhifadhi wa kumbukumbu kwa kuridhishwa na taarifa za mapato na matumizi ishirini sifuri saba sifuri nane wilayani humo bibi mbega alitoa rai hiyo katika kikao cha baraza la halmashauri ya wilaya hiyo ambacho kilikuwa cha mwisho kuthibitisha ukaguzi wa kamati ya hesabu za serikali za mitaa UNK na mkuu huyo katibu tawala wa mkoa mkaguzi mkazi wa mkoa na uongozi wa wilaya kupata hati safi yenye msisitizo haimaanishi kuwa mtapata tena kwa mwaka wa ishirini sifuri nane ishirini sifuri tisa pasipo kuongeza juhudi katika uhifadhi wa kumbukumbu hiyo ili kuwawezesha kupata hati tena mnahitaji kuongeza juhudi alisema bibi mbega alisema kuwa tatizo katika utendaji hujitokeza pale ambapo mfanyakazi akifanya vizuri na kupata sifa kujisahau na kubweteka na matokeo yake ni kufanya vibaya alisema huo ni mwanzo mzuri wa utendaji hivyo na kuwataka kuongeza juhudi katika kazi ili kupata hati safi nyingi zaidi katika ukaguzi mwingine na kassian nyandindi viongozi wa jumuiya ya umoja wa wanawake tanzania wa chama cha mapinduzi wilayani tunduru wameingia katika mgogoro mzito na viongozi wao wa jumuhiya hiyo ngazi ya mkoa ruvuma mgogoro huo umeibuka kutokana na kuwepo kwa taarifa za UNK kwa uhamisho wa katibu wa jumuiya hiyo wilayani tunduru bibi UNK UNK mwenyekiti wa uwt wa wilaya hiyo bibi fatuma kaisi wakati akiwa amepokea nakala ya barua ya uhamisho wa katibu wake julai mbili mwaka huu ambapo pia julai nne mwaka huu alipokea simu kutoka kwa katibu wa uwt mkoa bibi gladness UNK ikimtaka asitishe uhamisho huo huku naye akidai UNK agizo kwa njia ya simu kutoka kwa naibu katibu mkuu wa jumuiya hiyo taifa kwa mujibu wa barua ya uhamisho huo ya juni ishirini na tisa mwaka huu UNK na katibu wa uwt mkoani humo ambayo majira ina nakala yake ilimtaka katibu UNK kukabidhi ofisi hiyo julai nane mwaka huu na kwenda kuripoti mkoa kupangiwa kituo kipya waraka huo wenye kumbukumbu namba uwt UNK elfu moja na mia saba na kumi na tatu UNK kuwa uhamisho huo umezingatia kuleta ufanisi ndani ya jumuiya na chama na kutoa nafasi kwa watendaji wengine katika chama hicho hasa wakati huu wa uchaguzi wa serikali za mitaa vitongoji na vijiji na uchaguzi mkuu ujao UNK na hali hiyo kumekuwa na malumbano ya viongozi wa jumuiya hizo ngazi ya wilaya na wale wa mkoa nakusababisha mgawanyiko mkubwa ndani ya chama ambapo sasa baadhi ya wanachama wa ccm wamekuwa wakiunga mkono vyama vya upinzani na kupuuza maendeleo yanayofanywa na viongozi wa chama tawala walipo madarakani na pendo mtibuche dodoma serikali imesema kuwa kutokana na matokeo ya uchunguzi wa uvujaji wa mtihani wa msingi wa hisabati tayari maofisa UNK wa baraza la mitihani la taifa waliobainika kufanya uzembe katika kusimamia taratibu za mitihani UNK kazi na hatua zaidi zinaendelea kuchukuliwa kauli hiyo ilitolewa jana na naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi bibi UNK mahiza wakati akijibu swali la mbunge wa mtoni bwana UNK UNK UNK ambaye alitaka kujua kuwa ni hatua UNK UNK na serikali la kudhibiti uvujaji wa mitihani naibu huyo alisema kuwa serikali imekuwa UNK hatua wote wanaobainika kusababisha uvujaji wa mitihani na kuhusu mtihani wa basic UNK wa kidato cha nne mwa ishirini sifuri nane UNK serikali iliamua kuunda kamati ya uchunguzi ili kuweza kubaini chanzo cha UNK alisema kuwa pia kamati hiyo ilipendekeza namna ya kuziba mianya ya uvujaji wa mitihani ambapo matokeo ya uchunguzi huo yaliweza kubaini maofisa wanne wa baraza walifanya uzembe katika kusimamia taratibu za mitihani hivyo kuachishwa kazi na hatua zaidi zinaendelea kuchukuliwa alisema kuwa tatizo hilo linatokana na ukosefu wa maadili kwa UNK ya watu wanaohusika na uendeshaji wa mitihani katika hatua mbalimbali alisema kuwa hata hivyo serikali imekuwa ikichukua hatua mbalimbali za kuimarisha UNK wa mitihani na kupunguza mianya ya uvujaji kadri matukio ya aina hiyo UNK na glory mhiliwa jeshi la polisi mkoa wa arusha UNK magari thebathini na mbili aina ya fuso yaliyokuwa yamebeba mahindi ambayo yanadaiwa kupelekwa nchi jirani ya kenya kinyemela magari hayo yalikamatwa juzi usiku eneo la UNK ambapo yalikuwa yakitokea mkoani manyara baada ya jeshi la polisi kupata taarifa kutoka raia wema kuwa baadhi ya wafanyabiashara walikuwa na mpango wa kuyapeleka mahindi yao nje ya nchi mmoja wa wafanyabiashara hao ambayo magari yao yalikamatwa bwana abdalah sumaye mkazi wa babati manyara lisema gari lake UNK na kupelekwa kituo cha polisi likiwa na tani tisini ya mahindi ambayo alisema UNK kia kuuza arusha kama kweli tulikuwa na mpango wa kuyapeleka nje ya nchi kwa nini UNK kizuizi mpaka wa namanga UNK pale badala ya kutukamata huku alilalamika bwana hassan UNK mkazi wa kisese mkoa wa singida ambaye gari lake namba t mia nane na kumi na sita UNK lilikuwa na magunia arobaini na tano ya mahindi na karanga za maganda magunia ishirini na moja walisema kuwa kukamatwa kwa magari hayo UNK hasara kutokana na magari hayo kukodi kutoka kwa wamiliki ambapo kwa siku wanatakiwa kulipa kiasi cha shilingi arobaini sifuri sifuri sifuri sifuri mpaka hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri akizungumza kwa njia ya simu kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa arusha bwana basilio matei alisema kuwa magari ya wafanyabiashara hao yaliyokuwa na mahindi yamekamatwa ili kuchunguza kama wafanyabiashara hao wanapeleka nje ya nchi alisema kuwa wanafanya uchunguzi huo ili kuhakikisha kuwa katika kipindi hiki cha nchi ambapo hakuna cha kula cha kutosha wafanyabiashara wa mazao ya chakula UNK nje ya nchi hata hivyo alikiri kuwaagiza vijana wake UNK wafanyabiashara hao kuwa wapeleke magari hayo national UNK cooperation ili UNK huko na kuyauza kama kwali wana nia ya kuuza nchini na thomas kiani halmashauri ya wilaya ya singida imeshindwa kumchukulia hatua za kisheria aliyekuwa ofisa mtendaji wake katika moja ya kijiji wilayani humo aliyesababishia hasara halmashauri na usumbufu kamati ya ujenzi ya shule kata mtendaji huyo anadaiwa kusababisha upotevu wa rangi zilizonunuliwa na halmashauri kwa ajili ya bweni la wasichana katika shule ya sekondari moja ya kata wilayani humo akizungumzia suala hilo mratibu wa mfuko wa maendeleo ya jamii wilayani singida bibi monica ndelike alikiri kuwepo kwa upotevu wa rangi za shule hizo tangu mwezi mei mwaka huu baada ya kupata taarifa za upotevu huo tulikwenda hadi kijijini linapojengwa bweni la shule hiyo na baada ya mahojiano na mtendaji huyo tukabaini upungufu uliojitokeza na tukampa muda wa wiki mbili kuhakikisha anarejesha alisema bibi ndelike kwa mujibu wa mratibu huyo kupotea kwa rangi hizo kumekuwepo malalamiko kwa baadhi ya wananchi wa kijiji hicho wakihoji chanzo cha upotevu wa rangi hizo huku wakitaka kugoma kuendelea na michango ya ujenzi wa shule hiyo na charles mwakipesile UNK kimataifa mwalimu christopher mwakasege amewaonya watanzania kuacha mawazo ya tanzania kuongozwa kwa sheria za kidini mwalimu mwakasege alitoa rai hiyo juzi wakati akifundisha katika semina ya siku ya nane ya neno la mungu katika viwanja vya barafu mjini dodoma na kusema matatizo yanayoikabili nchi hayawezi kutatuliwa sheria pekee bali UNK mungu alisema wakati malumbano mbali mbali yakiwa yanaendelea ni vema watanzania wakafahamu kuwa suluhisho la matatizo mbalimbali yanayoikabili nchi yanaweza kumalizwa kwa maombi mwalimu mwakasege alisema tabia ya kufanya maombi ya zima moto kamwe hayawezi kuwa ukombozi wa matatizo maombi ya kuzama ndani zaidi mtumishi huyo wa mungu aliwataka watanzania kuanza utaratibu wa kufanya maombi makubwa kuanzia ngazi ya kitongozi hati taifa kuiombea tanzania na mambo mabaya UNK na martha fataely watu watano akiwemo mwanamke mmoja mwenye mtoto mchanga wamehukumiwa kifungo cha jumla ya miaka sita jela baada ya kupatikana na hatia ya uharibifu wa miundombinu ya barabara katika wilaya ya mwanga mkoani kilimanjaro hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya mwanga bwana salum msigiti alitoa adhabu hiyo baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa na mwakilishi wa wakala wa barabara mkoani kilimanjaro mhandisi bwana reginald massawe ilidaiwa na mwendesha mashtaka wa serikali bwana UNK membe kwamba februari kumi mwaka huu watu wanane walikutwa wakichimba mchanga kando ya barabara wilayani mwanga mchanga kwa ajili ya matofali za kuchoma eneo la UNK alidai kuwa watu watatu kati hao walitoroka na wadhamini wao wakati wakiwa nje kwa dhamana hakimu bwana msigiti alisema UNK UNK watafikishwa katika mahakama hiyo akisoma hukumu hiyo hakimu bwana msigiti alisema mahakama itaendelea kutoa adhabu kali kwa watu wanaojihusisha na vitendo vya uharibifu wa miundombinu ya barabara kwa kuwa serikali inatumia mamilioni ya fedha kwa ujenzi wa barabara hizo serikali imeleeza kuwa hakuna yeyote anayeweza kubadili katiba ya nchi isipokuwa bunge pekee ndilo lenye madaraka hayo kauli hiyo ilitolewa jana bungeni na spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania bwana samweli sitta wakati akitoa ufafanuzi kuhusu kuhusu swali la nyongeza lililoulizwa na mbunge wa kigoma kaskazini bwana kabwe zitto mbunge huyo wa kigoma kaskazini aliuliza swali la nyongeza kuwa serikali inaeleza nini baada ya serikali ya mapinduzi zanzibar kutangaza kuondoa kipengele cha gesi na mafuta katika serikali ya muungano spika alilazimika kusimama na kutoa ufafanuzi wa suala hilo kuwa hakuna mtanzania anayeweza kubadili katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania kutoa au kupunguza kitu ispokuwa ni bunge pekee katika hatua nyingine naye naibu waziri wa nishati na madini bwana adamu malima akijibu swali la mbunge huyo alisema suala hilo alilisikia jana kwenye vyombo vya habari na kusema lina misingi yake katika kulishughulikia na kupaswa kuwasilishwa bungeni kama ilivyowahi kufanyika mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na nane alisema kuwa waziri aliyetangaza kuondoa kipengele cha gesi na mafuta katika serikali ya muungano ulikuwa ni uamuzi wake binafsi katika swali la msingi la mbunge wa magogoni bwana vuai abdallah khamis aliitaka serikali kueleza tangu kuanza kuchimbwa kwa mafuta na gesi asili ni kiasi gani cha faida kimepatikana tangu mwanzoni mwa miaka ya ishirini sifuri sifuri akijibu swali hilo bwana malima alisema kuwa mapato ya serikali yaliyopatikana kutokana na uzalishaji wa gesi asili nchini tangu mwaka ishirini sifuri tano sifuri sita mpaka mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa mwezi aprili ni kiasi cha shilingi bilioni hamsini nane na kusema kuwa huyo ni mbali na faida za kiuchumi na kijamii zilizopatikana kutokana na uzalishaji wa gesi hiyo na glory mhiliwa askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheri tanzania askofu alex malasusa amewataka vijana kuwa makini na wanasiasa ambao huwatumia katika kufanikisha matakwa yao na baada ya kufanikisha huwaacha bila ya kuwasaidia kuondokana na umaskini askofu malasusa aliyasema hayo jana kwenye tamasha la vijana wa kkkt linalofanyika chuo cha ualimu morogoro wakati alipokuwa akiongoza ibada ya kufungua tamasha hilo lenye washiriki kumi sifuri sifuri kutoka dayosisi ishirini za kkkt pamoja na washiriki kutoka nchi za maziwa makuu uganda rwanda burundi na jamhuri ya watu wa kongo askofu malasusa alisema kuwa vijana ambao ni nguvu ya taifa wamekuwa wakitumiwa vibaya na baadhi ya wanasiasa hususani katika vipindi vya uchaguzi na huwaacha na umaskini badala ya kuangalia jinsi ya kuwaendeleza kiuchumi tunaelekea kwenye kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ni vyema UNK umuhimu wenu ndani ya jamii na taifa kwa ujumla msikubali kutumika kwenye siasa kwa maslahi ya mwanasiasa fulani ambaye baada ya kufanikisha mpango wake UNK na umaskini wako alisema askofu UNK hata hivyo amewahimiza vijana hao kushiriki kwenye siasa kwa kupiga kura ili waweze kuwachangia viongozi wenye sifa na mapenzi ya dhati na watanzania wenzao ambao wamedhamiria kushirikiana na serikali na wananchi kuondokana na umaskini aliwataka vijana hao kuipitia katiba ya nchi ili waweze kutambua wajibu na haki zao ndani ya nchi yao hatua itakayowawezesha kutokubali kutumiwa na baadhi ya wanasiasa na kujiepusha na vitendo vinavyoweza kuhatarisha amani nchini naye mratibu wa vijana wa kkkt mchungaji anza lema alisema kuwa lengo la kkkt kuanzisha tamasha hilo ni UNK vijana kujitambua wao ni nani ndani ya jamii na wajibu wao alisema kuwa kupitia tamasha la siku nne vijana wataweza kujifunza jinsi ya kujiimarisha kiroho sambamba na kupatiwa mbinu za kuondokana na umaskini kwa njia ya UNK na zuhura semkucha shinyanga shaihidi wa kumi na moja wa kesi ya mauaji ya albino lyaku willy inayosikilizwa mahakama kuu tanzania mkoa wa shinyanga juzi ameiambia mahakama hiyo kuwa uchunguzi umebaini vinasaba vilivyokutwa kwenye vielelezo vya panga na jambia vina uhusiano na vinasaba vya washitakiwa katika kesi hiyo shahidi huyo bibi gloria machuvewa kutoka ofisi ya mkemia mkuu wa serikali akiongozwa na wakili wa serikali bwana edwin kakolaki mbele ya jaji anayesikiliza kesi hiyo bwana gad mmjemas alidai kuwa vinasaba vilivyopatikana kwenye silaha hizo vinafanana na vilivyochukuliwa kutoka katika mate ya washitakiwa mkemia huyo aliifafanulia mahakama kuwa katika kielelezo cha kwanza ambacho ni panga vilipatikana vinasaba vya washitakiwa mboje mawe sayi gamaya na sayi mafizi na katika kielelezo cha pili vilipatikana vinasaba vya chenyenye kishiwa na alidai kuwa sehemu ya makali katika vielelezo vyote viwili vilipatikana vinasaba vya marehemu lyaku shahidi huyo upande wa jamhuri aliiambia mahakama hiyo kuwa katika uchunguzi huo umeonesha vinasaba vya vya salu itunda na mke wa mshitakiwa wa tatu katika kesi hiyo sayi gamaya ambapo inaelezwa hadi mauti yanamfika lyaku alikuwa akiishi naye awali mahakama hiyo ililazimika kuhamia kwa muda katika hospitali ya mkoa wa shinyanga chumba cha kuhifadhia maiti ili kujiridhisha na ushahidi huo ambapo viungo vya marehemu vimehifadhiwa vikiwamo kichwa na miguu yote miwili katika ushahidi huo bibi machuvewa aliidhibitishia mahakama kuwa marehemu alikatwa viungo hivyo kwa kutumia panga na jambia kwa mujibu wa vipimo kesi hiyo inawakabiliwa washitakiwa wanne mboje mawe sayi gamaya sayi mafizi na chenyenye kishiwa kwa kosa la mauaji dhidi ya albino lyaku yaliyotokea desemba mwaka jana katika mto kidamlida wilayani bariadi mkoani shinyanga na mwandishi wetu mkazi wa kata ya mikumbi halmashauri ya lindi bwana hamisi laini ambaye alikuwa fundi magari katika gereji ya auto service genline parts ya mjini lindi amekufa baada ya kujinyonga kwa kamba ya katani kwa madai ya kuwepo kwa mtafaruku kati yake na rafiki yake wa kike tukio hilo limetokea usiku wa julai saba mwaka huu na mwili wake kugundulika asubuhi ya julai nane maeneo ya mnara wa kuongozea meli akizungumza na majira juzi mlinzi wa gereji hiyo bwana ally issa alisema bwana laini amechukua uamuzi huo baada ya kutokea mtafaruku kati yake na rafiki yake wa kike aliyemtaja kwa jina la bibi laura kamanda wa polisi mkoani lindi bwana gustavus babile alithibitisha tukio hilo na kusema kutokana na mtafaruku huo fundi hamisi alichukua kamba ya katani na kuongezea suari yake aina ya jeans na kujitundika mtini na theonestina juma shilingi milioni ishirini na mbili zimetengwa na halmashauri ya wilaya ya bukoba mkoani kagera kwa ajili ya kupambana na popo waharibifu wa majengo ya serikali kwa mujibu wa mwekahazina wa halmashauri hiyo bwana alloys kimisha akizungumza jana katika kikao cha dharura cha baraza la madiwani kilichofanyika wilayani humo kiasi katika fedha hizo pia zitatumika katika upimaji wa maeneo ya shule na zahanati kikao hicho kilikuwa maalumu kujibu hoja za mdhibiti wa mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha ulioisha na pia utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na kamati ya bunge ya hesabu ya serikali za mitaa iliofanya ziara yake wilayani humo januari mwaka huu bwana kimisha alisema fedha hizo ni kutekeleza agizo la kamati hiyo iliyobaini tatizo kubwa la popo kuharibu majengo ya shule za msingi sekondari na zahanati huku kukiwa hakuna jitihada zozote za kuwatokomeza katika ziara ya kamati hiyo kanda ya ziwa ilibaini tatizo la popo kuenea katika mikoa yote ya kanda ya ziwa na ilitoa agizo kwa uongozi wa halmashauri za wilaya zote za kanda hiyo kutenga fedha katika bajeti ya mwaka huu kwa ajili ya kupambana na tatizo hilo na mwandishi wetu bendi ya muziki wa dansi ya african stars twanga pepeta international kesho itafanya onesho lake la kwanza katika ukumbi wa mamba club uliopo mjini korogwe tanga akizungumza jana jijini dar es salaam mmiliki wa ukumbi huo stephen ngonyani profesa maji marefu alisema kwamba onesho hilo UNK kwa lengo la kuitangaza albamu ya mwana dar es salaam UNK hivi karibuni jijini dar es salaam alisema mbali na kuitangaza albamu hiyo pia twanga pepeta wanataka kutoa shukrani kwa profesa maji marefu ambaye UNK walipokuwa nchini kenya kwenye ziara ya kimuziki UNK ndugu zangu katika mambo mbalimbali nao wao wameamua kulipa fadhila kwa kunipa bendi ili UNK mashabiki wa muziki korogwe na tanga mjini alisema maji marefu alisema kwamba mara baada ya onesho hilo bendi hiyo UNK katika ukumbi wa hoteli ya UNK iliyopo tanga mjini kabla ya kurejea jijini jumamosi na kuwapa raha mashabiki wao jijini dar es salaam twanga pepeta ilizindua albam ya mwana dar es salaam yenye nyimbo saba ukiwemo uliobeba jina la albamu hiyo wa mwana dar es salaam naye meneja wa bendi hiyo alimshukuru profesa maji marefu kwa msaada wake UNK walipokuwa katika ziara ya muziki jijini nairobi kenya maji marefu UNK sana kule nairobi tunamshukuru na tutahakikisha tunashirikiana naye wakati wowote alisema na mwajuma juma zanzibar ikiwa imebakia siku moja tu kabla ya UNK kwa kitendawili cha timu UNK bingwa wa ligi kuu ya zanzibar msimu huu kambi za mafunzo na miembeni zimeanza majigambo huku kila mmoja akivutia upande wake kuwa UNK miembeni ili itwae taji hilo italazimika kushinda mechi hiyo wakati sare yoyote itawapa ubingwa mafunzo kwa mara ya kwanza katika mechi itakayochezwa kesho kwenye uwanja wa mao UNK UNK mjini zanzibar mkurugenzi wa miembeni amani makungu alisema hakuna sababu ya kuwazuia kutetea ubingwa wao kwa mara ya tatu mfululizo makungu ambaye pia ni mkurugenzi wa hoteli ya zanzibar ocean view iliyoko migombani mjini hapa alisema anakiamini kikosi chake na kwamba kina uwezo mkubwa wa kufanya maajabu chini kocha ali bushiri katibu mkuu wa mafunzo makame UNK alisema wakuu wa kikosi hicho wanaandaa sherehe kubwa ya kuwapongeza wachezaji wao wakitwaa ubingwa mwaka huu alisema UNK zawadi ya fedha kwa kila mchezaji na wengine kupandishwa vyeo kwa wale UNK na UNK wataandaliwa utaratibu wa kupewa ajira na amina athumani wachezaji wa zamani wa soka tanzania bara na zanzibar leo watacheza mechi ya kirafiki kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam akizungumza dar es salaam jana ofisa utawala wa all sport foundation ambao ndio waandaaji wa mechi hiyo hassan mnyenye alisema mechi hiyo ina lengo la kudumisha uhusiano katika michezo alisema baada ya mechi hiyo watachagua wachezaji ishirini watakaounda timu moja ambayo itacheza na wabunge katika uwanja wa jamuhuri dodoma jumamosi mnyenye aliwataja wachezaji UNK bara ni yasin mapozi james kisaka iddi pazi mohamed mkweche lawrance mwalusako rashid iddi adolph UNK mtemi ramadhan UNK mtagwa kitwana manara na omari UNK wengine ni jamhuri kihwelu julio juma UNK ally UNK UNK UNK madaraka seleman john UNK abubakari kombo mohamed hussein chinga na sekilojo chambua zanzibar itawakilishwa na ridhaa hamisi salum bausi seif bausi nassor bwanga mbegu mohamed innocent haule zahoro salum UNK abdallah abdallah kibada mohamed UNK said UNK na omari UNK na john daniel dodoma mbunge wa wete mwadini abbas UNK amemshukia mbunge mwenzake wa tanzania visiwani jimbo la dimani hafidh ali tahir na kumtuhumu kuwa ndiye anayekwamisha mustakabali kati ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania na chama cha mpira wa miguu zanzibar akichangia katika makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya habari utamaduni na michezo bungeni jana mbunge huyo alisema kielelezo cha tahir kuchangia kuwepo kwa maelewano kati ya tff na zfa ni kukosekana kwa mwakilishi toka pemba katika timu ya taifa ya vijana walio chini ya umri wa miaka ishirini huku ile ya watu wazima ikiwa na UNK wawili tu toka pemba tatizo kati ya tff na zfa ni ya muda mrefu kamati imeundwa tangu mwaka ishirini sifuri sita lakini hakuna kitu ile kamati ndio ina matatizo hata katika timu ya taifa ya zanzibar ina wawakilishi wawili tu toka pemba lakini ile ya vijana chini ya miaka ishirini hakuna hata mwakilishi moja toka pemba UNK tu UNK UNK tuangalie na uchafu UNK kwenye shuka alisema mbunge huyo akimaanisha ubaguzi UNK visiwani humo kuhusu viwanja vya michezo mbunge huyo alisema chama cha mapinduzi UNK viwanja vingi vya michezo na kukitaka chama hicho kurejesha viwanja hivyo ili UNK kwa ajili ya umma wa watanania badala ya UNK na chama hicho wakati huohuo serikali imesema uwanja wa taifa umeingiza jumla ya shilingi milioni mia moja na ishirini sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri katika mwaka wa fedha ishirini sifuri nane tisa na kwamba katika mwaka huu wa fedha ishirini sifuri tisa kumi uwanja huo unatarajiwa kuiingizia serikali shilingi milioni mia moja na themanini sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake bungeni jana waziri wa habari utamaduni na michezo george mkuchika alisema licha ya uwanja huo kuingiza fedha hizo pia soka la tanzania UNK ambapo timu ya taifa imefanikiwa kushiriki tena katika mashindano ya fainali za afrika kwa wachezaji wanaoshiriki ligi za ndani na kushika na nafasi ya tano kati ya nchi UNK mashindano hayo kiwango cha soka la tanzania UNK kutoka kumi tano mwezi desemba ishirini sifuri nane hadi kufikia tisini na saba hivi sasa alisema mkuchika na erasto stanslaus kocha mkuu wa klabu ya yanga dusan kondic amepata nafuu baada ya shirikisho mpira wa miguu tanzania UNK kuongeza wachezaji ambao UNK nje ya nchi kondic alikuwa katika mtihani mgumu baada ya kuwa na wachezaji kumi na moja kutoka nje ya nchi huku akitakiwa kuwa na wachezaji kumi ambapo kati ya hao wachezaji watatu wapo nje kwa majaribio wachezaji hao kutoka nje waliosajiliwa na yanga ni michael barasa jama mba robert joseph shikokoti moses odhiambo kabongo UNK steven bengo wisdom ndhlovu wakati wachezaji waliopo katika majaribio ni boniface ambani john njoroge na george owino wapo ujerumani akizungumza dar es salaam jana kondic alisema kuwa atawakilisha majina ya wachezaji wote tff kutokana na kuomba kufanya hivyo na kwamba UNK alisema asingepata ruhusa hiyo ilikuwa ngumu kwake kukata jina moja ambalo angeweza kufanya hivyo huku akiwa hajui ni mchezaji gani kati ya hao watatu UNK majaribio nashukuru kwa tff kunielewa nini mpango wangu kwani kuuza wachezaji ni faida kwa klabu na taifa kwa ujumla katika maendeleo ya soka nchini alisema kondic alisema kutokana na uwezo wa wachezaji wake kuna uwezekano mkubwa wa kupata timu katika klabu hizo wanazofanya majaribio hivyo atakuwa na nafasi za kuongeza wachezaji ndio wengine wanaendelea kufanya majaribio katika kikosi hicho alipoulizwa katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela kuhusu kutoa ruksa hiyo alisema kwa kuwa UNK hilo ni la kanuni inawezekana UNK suala hilo kwa sasa siwezi kusema kuwa wamepitisha lakini kikao cha tff na klabu kimemalizika jana hivyo inawezekana wamepitisha suala hilo hivyo tusubiri kamati ya utendaji UNK mapendekezo ya klabu hizo alisema mwakalebela alisema kama kondic atakuwa alisema hivyo inawezekana amepata UNK kutoka kwa viongozi wake kwani walikuwa katika kikao hicho cha pamoja na tff kocha mkuu wa klabu ya simba mzambia patrick phiri amewasili nchini jana jioni na kupewa mapokezi makubwa na wanachama wa klabu hiyo huku akisindikizwa na vikundi vya ngoma vya klabu hiyo kocha huyo baada ya kuwasili alipanda basi dogo la klabu hiyo huku akiambatana na mwenyekiti wa klabu hiyo hassan dalali na meneja wa timu innocent njovu bila ya mchezaji yoyote kama ilivyodaiwa awali na uongozi wa klabu hiyo hiyo imekuwa ni faraja kubwa kwa simba ambao UNK na hofu ya kocha huyo kuingia mitini kama ilivyowahi kutokea siku za nyuma wakati timu hiyo ilipokuwa ikikabiliwa na michuano akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwasili nchini kwa ndege ya shirikika la ndege la zambia majira ya saa kumi jioni phiri alisema UNK mapokezi hayo kwa mshtuko mkubwa kwani hakutegemea kupokewa hivyo nimefurahi kupokelewa hivi na mashabiki wa simba ni jinsi gani wanathamini umuhimu wangu nami UNK kutowaangusha kwa lolote kweli UNK sana alisema phiri alisema kuchelewa kwake kufika nchini si kwamba alifanya makusudi bali ni matatizo yaliyokuwa UNK kwao na ilikuwa ukizingatia UNK programu zake phiri alisema tayari ametua nchini na kilichobaki ni kukutana na uongozi ili kutoa mapendekezo yake ya programu nzima ya mazoezi akizungumzia suala la usajili phiri alisema usajili wa wachezaji uliofanywa UNK lakini ana imani na kamati ya usajili ya klabu hiyo los angeles marekani fundi UNK alishikwa na butwaa wakati UNK sura ya mzimu wa michael jackson katika boneti la gari lake UNK UNK saa kumi na tatu tu baada ya kifo chake fundi huyo baba wa watoto wawili gary UNK mwenye umri wa miaka arobaini na tatu aliweza kuchukua kamera yake na kupiga picha katika gari lake aina ya rover ishirini sifuri kwa ajili ya jarida la kuuza magari juni ishirini na sita lakini wakati UNK akizitoa picha hizo kwenye kompyuta alishituka kukuta sura ya mfalme wa pop alikuwa amefariki saa kadhaa zilizopita akiwa UNK gary wa UNK alisema juzi si kitu cha kawaida wazi maelezo inaweza UNK na ni ya uzushi lakini ilitokea kw wakati huo nimeonyesha picha kwa watu wachache sana na bila ya kuwashawishi walisema huyo ni jacko alisema yeye hakuwa mshabiki mkubwa wa michael jackson lakini baada ya kuiona picha hiyo kwenye UNK yake ilianza kumfanya awe na mawazo sisemi kuwa UNK na kitu chochote kwa kuwepo sura yake lakini wazi si kitu cha kawaida kidogo UNK gary ambaye UNK UNK mwenye umri wa arobaini na moja ana watoto wawili UNK na thomas kumi na moja aliongeza wakati akizungumza na UNK UNK kuwa alizitoa picha hizo saa nne asubuhi ikiwa zimepita saa kumi na tatu tu tangu alipofariki michael jackson wakati UNK picha mara moja UNK mke wangu na kumwambia kitu gani michael jackson anafanya kwenye boneti langu la gari kama UNK vizuri UNK cha muda mrefu inaonekana kama vile alikuwa na UNK london uingereza kwa sasa inaonekana kama mchezaji john terry ameamua kubakia katika timu yake ya chelsea pia mpya UNK akiwa amevalia jezi mpya za klabu hiyo UNK hilo nahodha na mlinzi wa chelsea na england terry hatima yake katika klabu ya stamford bridge hiyo imekuwa ya mashaka kufuatia kutakiwa na timu yenye nazo manchester city ambayo imetoa ofa ya UNK milioni thebathini kwa ajili yake lakini jana terry jana alionekana kuwa katika UNK ya fuaraha akiwa na wachezaji wenzie michael ballack katika uzinduzi wa mkataba mpya wa udhamini wa klabu ya chelsea wa miaka mitatu chelsea jana ilipaa kwenda marekani kwa ajili ya kuweka kambi ya kujiandaa na msimu wa ligi UNK UNK ana UNK ya kuona kama UNK atakwenda uwanja wa ndege na kuondoka na timu hiyo terry alipoulizwa UNK kuzungumzia kuhusu jambo hilo huku ballack UNK kuwa mchezaji huyo hawezi kwenda city UNK huyo alisema nimezungumza naye UNK kuzungumza sana kuhusu mazungumzo yetu lakini UNK kuwa ataichezea chelsea UNK ujao ninafikiri UNK mtendaji wa chelsea peter kenyon UNK kauli kama hiyo kwa kusema john terry UNK bei yoyote sijui wanatoa kitu gani lakini ninaamini kuwa john UNK na sisi john ni UNK ni moyo wa chelsea chelsea alikuja kwenye shule yetu ya watoto UNK nahodha wetu pia ni nahodha wa england UNK kuwa UNK kama nahodha wa chelsea wakati huohuo didier drogba UNK adhabu yake ya kufungiwa mechi katika katika michuano ya uefa drogba alikwua UNK kutumikia adhabu ya ya kutocheza mechi nne baada ya kufanyia UNK refa baada ya kuisha mechi ya UNK UNK ya ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya barcelona stamford bridge ambapo walitolewa kwa bao la ugenini baada ya kutoka bao moja moja lakini baada ya kukata rufaa uefa imepunguza adhabu na sasa hatacheza mechi tatu mchezaji mwenzie jose bosingwa UNK pia mechi mbili badala ya tatu na erasto stanslaus serikali imesema ipo tayari kutoa mchango wake wa ufundi katika mashindano ya kombe la muungano kutokana na umuhimu wa mashindano hayo kitaifa kauli hiyo ilitolewa na naibu waziri wa habari utamaduni na michezo joel bendera juzi bungeni wakati akijibu swali la mbunge wa mufindi kusini benito UNK alipotaka kujua kama serikali UNK mashindano hayo mashindano hayo yaliyoanzishwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita yanafanyika kila mwaka huku UNK timu kutoka tanzania bara na zanzibar kwa udhamini wa kampuni ya simu ya vodacom akijibu swali hilo bungeni bendera alisema serikali inatambua mashindano hayo na kwa sasa ipo katika hatua za UNK ili UNK na kuongeza ufanisi zaidi alisema mashindano hayo ni kati ya mashindano makubwa nchini ambayo UNK muungano kwa kukutanisha timu za tanzania bara na zanzibar serikali kwa kuthamini mashindano hayo mara kwa mara viongozi wa juu wa serikali wanahudhuria kwa nyakati tofauti alisema bendera UNK baadhi ya viongozi wa ngazi ya juu ni rais wa UNK ya muungano jakaya kikwete alishiriki katika mshindano hayo mara mbili mwaka ishirini sifuri sifuri na ishirini sifuri tano rais wa zanzibar abeid karume ishirini sifuri mbili na ishirini sifuri tano na rais mstaafu ali hassan mwinyi mwaka ishirini sifuri moja viongozi wengine ni waziri kiongozi wa zanzibar shamsi vuai nahodha ali juma shamuhuna waziri wa habari utamaduni na michezo george mkuchika waziri wa kazi maendeleo ya vijana na ajira juma kapuya waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa hussein mwinyi na waziri wa ofisi ya rais mohamed seif khatibu na haroun selemani na zahoro mlanzi shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK wachezaji wapya wa timu ya simba emmanuel okwi na joseph owino kucheza nchini baada ya hati zao UNK wa kimataifa kuwasili nchini awali tff ilizitaka klabu zenye wachezaji wa kigeni ambao itc zao UNK kuhakikisha wanamalizana na klabu wanazotoka wachezaji hao ili shirikisho la nchi husika UNK itc kwa wakati lakini kabla ya muda wa kuwasilisha majina ya wachezaji kuwaombea usajili haujamalizika mchezaji jama robert mba wa yanga ndiye aliyekuwa na itc ikitokea nchini cameroon katika klabu ya canon sports akizungumza dar es salaam jana ofisa habari wa shirikisho hilo florian kaijage alisema wachezaji hao sasa wana haki ya kucheza ligi kuu ya tanzania bara baada ya vyama vya nchi zao kutuma itc tumepokea itc za okwi na owino hivyo idadi za wachezaji wapya kucheza ligi kuu inaongezeka lakini bado itc za wachezaji wengine UNK alisema kaijage katika hatua nyingine kaijage alisema wajumbe wa kamati ya utendaji wa shirikisho hilo leo wanatarajia kupewa semina maalum kutokana na mabadiliko ya kiutendaji katika kusimamia vyama vya michezo itakayokuwa ya siku tatu alisema semina hiyo itaongozwa na mkufunzi mkuu wa shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu UNK UNK afisa maendeleo wa fifa katika nchi zilizo kusini mwa afrika ashford mamelod na mkufunzi wa fifa nchini henry UNK ambayo itafanyika jijini dar es salaam na waandishi wetu mshambuliaji wa timu ya soka ya simba mussa hassan mgosi atasubiri usajili wa dirisha dogo ikiwa atashindwa majaribio nchini norway kwenye klabu ya UNK akizungumza na mwandishi wa habari hizi jana mweka hazina msaidizi wa klabu hiyo almas chano alisema UNK jina la mgosi kwenye orodha ya majina ya wachezaji waliyowasilisha shirikisho la mpira wa miguu tanzania kwa kwa ajili ya msimu ujao na badala yake UNK jina la zahoro pazi ni kweli jina la mgosi halimo kwenye orodha ya usajili na badala yake UNK jina la zahoro pazi mgosi anakwenda norway na kuna uwezekano mkubwa atapita alisema chano tayari mchezaji huyo aliwasilisha nakala ya barua shirikisho la mpira wa miguu tanzania ambayo klabu yake ya simba imemruhusu kwenda norway kwa majaribio ya soka la kulipwa ambayo pia imetumwa kwa klabu UNK mgosi anatarajiwa kuondoka nchini julai ishirini na tano kwenda norway kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa katika klabu ya kongsvinger huku mwenyekiti wa kamati ya usajili ya klabu hiyo kassim dewji akisema kwamba UNK kwenye usajili wao mgosi tunaye kwenye usajili na jina lake UNK shirikisho la mpira wa miguu tanzania akishindwa majaribio atajiunga na wenzake alisema wakala anayetambuliwa na shirikisho UNK wa miguu wa kimataifa medy remtullah UNK nafasi henry joseph ndiye aliyemfanyia mpango na mgosi timu ya vijana wenye umri chini ya miaka kumi na saba ya ya mkoa wa morogoro imefanikiwa kushika nafasi ya tatu katika mashindano ya vijana UNK ukingoni baada ya kuichapa kigoma mabao moja sifuri mechi hiyo iliyochezwa kwenye uwanja wa uhuru na kushuhudia na umati wa mashabiki wa mpira wa miguu walishuhudia kigoma wakikosa mabao mengi dakika za mwanzo morogoro ambao walitolewa na tabora katika mechi ya nusu fainali UNK bao pekee dakika ya ishirini lililofungwa na hamis salehe kwa mpira wa kona uliokwenda moja kwa moja wavuni baada ya kufungwa bao hilo kigoma walijaribu kufanya mashambulizi langoni mwa morogoro lakini washambuliaji wake UNK akilimali na matata seif walishindwa kukwamisha mpira wavuni dakika za sabini na sabini na nane kutokana na ushindi huo morogoro UNK fedha shilingi milioni mbili kutoka kwa waandaji wa mashindano hayo ya vijana leo mjini UNK ambao walionesha soka safi katika mechi zao za nyuma wataumana na tabora katika mchezo wa fainali utakaofanyika kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam na zahoro mlanzi timu ya azam fc imeibuka kidedea mbele ya baada kuifunga yanga mabao tatu mbili katika mfululizo wa mechi zaa ligi kuu iliyopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam kwa ushindi huo wa azam sasa inahitaji pointi moja ili kujihakikishia kubaki katika ligi hiyo kwani itafikisha pointi ishirini na sita ambazo hakuna timu zilizo chini yake UNK timu hiyo ambaye UNK kocha wake mbrazili neider dos santos kutokana na timu hiyo kufanya vibaya katika ligi hiyo na kumwacha itamar amour ambaye jana alianza kazi kwa mafanikio yanga ndiyo ilikuwa ya kwanza kupata bao ambapo katika dakika ya ishirini na saba boniface ambani alifunga bao hilo baada ya kuwalamba chenga mabeki na pia kuipatia timu hiyo bao la pili dakika ya arobaini na tatu likiwa la kumi na sita kwake kipindi cha pili azam waliingia uwanjani na kasi ya kupata mabao ambapo dakika ya hamsini na nne yahaya tumbo aliyeingia badala ya philip olando alifunga bao la kwanza kwa kichwa akiunganisha krosi ya wagaruka dakika sita baadaye azam walisawazisha bao lililofungwa na shaaban kisiga kwa kichwa akiunganisha mpira wa kona uliopigwa na wagaruka azam waliendelea kusaka mabao na dakika ya sitini na sita tumbo aliwainua mashabiki wa timu yake baada ya kufunga bao la tatu kwa shuti kali katika mchezo huo dakika ya thebathini na tisa kaseja alidaka penalti iliyopigwa na UNK monday na pia dakika themanini timu hiyo ilikosa penalti nyingine baada kaseja kudaka shuti la kisiga penalti hizo zilitolewa na mwamuzi oden UNK baada ya wisdom ndlovu kumchezea vibaya olando na baadaye UNK mumbala kuunawa mpira katika eneo la hatari ligi hiyo itaendelea tena leo kwenye uwanja huo kati ya jkt ruvu ya pwani na prisons kocha mkuu wa mabingwa wa soka tanzania bara ishirini sifuri tisa yanga dusan kondic UNK wachezaji wakongwe katika michezo ya kirafiki ya sasa ili kuwapa nafasi chipukizi yanga leo inatarajia kujipima nguvu na african lyon iliyopanda daraja msimu huu mchezo utakaofanyika katika uwanja wa uhuru dar es salaam akizungumza dar es salaam jana kondic alisema katika mchezo huo ataendelea kuwatumia wachezaji chipukizi ili kuwapa uzoefu wachezaji hao alisema katika kikosi chake cha msimu ujao kina wachezaji wengi chipukizi ambao wanahitaji uzoefu hivyo kabla ya ligi wanahitaji kupata uzoefu wa kucheza ligi hiyo maana ya michezo ya kirafiki ni kujaribu wachezaji wako lakini kwangu nitatumia michezo hii kuwapa uzoefu zaidi ili kuwa na uwezo UNK na wachezaji wakongwe ambao UNK michezo mingi ya ndani na nje ya nchi alisema kondic alisema hawezi kutumia michezo hiyo kama kipimo cha kikosi chake kitakachoshiriki ligi na michuano ya kimataifa wakati bado hajafanya mazoezi kamili na kikosi hicho alisema baada ya kuingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya kikosi hicho ndipo UNK michezo ya majaribio na timu ngumu kutoka nje ya nchi kwa lengo la kupika kikosi hicho nitatafuta michezo migumu ya kirafiki baada ya kufanya mazoezi ya nguvu kwa lengo la kupima kikosi changu kama kipo fiti kwa ligi hiyo iliyopangwa kuanza agosti ishirini na tatu alisema kondic yanga imepanga kuweka kambi ya mwezi mmoja jijini mwanza kwa ajili ya kujiandaa na ligi hiyo ambapo wakiwa huko watacheza michezo ya kirafiki na timu za uganda na rwanda janet jackson amesema yuko tayari kujitolea kuwalea watoto wa marehemu kaka yake michael kama watoto wake mwenyewe nyota wa pop janet mwenye umri wa miaka arobaini na tatu amekuwa karibu na watoto watatu wa jackson tangu alipofariki juni ishirini na tano kwa matatizo ya moyo kusimama watoto hao ni prince michael paris na blanket mwenye umri wa miaka saba inadaiwa kuwa watoto hao kwa sasa wamekuwa karibu naye kama mahusiano ya mama na watoto na mshauri wa kiroho wa jacko anasema nyota huyo alimtaka dada yake mdogo kuwatunza watoto wake kama mama yake katherine au rafiki yake diana ross UNK kiungo wa timu ya simba mohammed banka na mshambuliaji aliyemaliza mkataba wake yanga benard mwalala wanatakiwa na klabu ya fanja fc ya oman akizungumza kwa niaba ya uongozi wa fanja fc zahoro ali alisema kwamba viongozi wa fanja UNK kufanya nao mazungumzo wachezaji hao ya kwa lengo la kuwasajili UNK kuwatafuta na kuzungumza nao wanahitajika sana kwani wameona mambo yao uwanjani na wameridhika nao alisema alisema kwamba pamoja na banka kusajiliwa simba lakini wanamhitaji hivyo wako tayari kuzungumza na klabu yake ili akaichezee timu hiyo UNK katika ligi ya oman alisema kwa upande wa mwalala amesema ingawa amemaliza mkataba wake na klabu ya yanga imeshindwa UNK wao wana imani naye na wanamhitaji sana mwalala ni mshambuliaji mzuri mwenye kasi na uwezo wa kufunga mabao UNK ili UNK fanja msimu UNK wa ligi alisema alisema tayari walianza mazungumzo na wachezaji hao na mambo yanakwenda vizuri hivyo wakati wowote tutakaa meza moja na viongozi wa klabu zao hasa kwa upande wa banka ali alisema kwa mwalala suala hilo liko katika uwezo wake na wakala wake ikiwa watakubaliana na ofa yao wataingia nao mkataba wa kuitumikia klabu hiyo ambayo mara kwa mara inakuwa na wachezaji kutoka tanzania kifo cha michael jackson kimeleta uchunguzi wa mauaji gazeti la news of the world limesema uchunguzi wa kitaalamu umeonesha kuwa nyota huyo aliyefariki juni ishirini na tano mwaka huu alikufa kutokana na kuchomwa sindano ya dawa kali ya kupunguza maumivu aina ya diprivan ambapo dozi yake UNK polisi imesema kuwa inafungua mashitaka dhidi ya mtu yeyote au watu zaidi katika siku chache na kutakuwa na kesi ya jinai mashitaka hayo yanaweza UNK mtu UNK sindano na UNK kumletea nyota huyo kabla ya kifo chake wiki iliyopita dada wa jacko la toya jackson aliliambia gazeti la news of the world kwamba UNK ni nani aliyemuua kaka yake maendeleo ya uchunguzi UNK juzi baada ya rafiki wa familia ya jackson terry harvey kufanya mahojiano na gazeti hilo terry alisema uchunguzi umeonesha kuwa michael alikufa kutoka na kuzidishiwa dozi ya dawa ya diprivan na kuonekana tembe za dawa hizo tumboni mwake baada ya kufa alikuwa na alama za kudungwa sindano shingoni na sehemu mbalimbali za mwili wake polisi UNK familia kuwa mamlaka inayohusika na madawa iko katika mikakati ya kutaka kufungua kesi ya jinai inaonekana kuwa ni kesi ya mauaji kutokana kitendo cha kusababisha kifo chake UNK mtu mmoja au zaidi UNK mahakamani kujibu mashitaka familia imekuwa ikishirikiana na UNK na idara ya polisi ya los katika kufuatilia kujua ni daktari gani aliidhinisha kutumia dawa hizo na kwa jinsi gani alitumia dawa hizo nyuma terry pia alisema baada ya kufunguliwa kesi hiyo familia inataka kuishitaki kampuni ya aeg ambao ni waandaaji wa maonesho ambayo angeyafanya jacko katika uwanja wa london o mbili kwa pauni milioni thebathini kwa kusababishia kifo cha ghafla familia ikiongozwa na baba yake joe inasema kuwa mabosi wa kampuni hiyo walishindwa kati yao katika kumlinda jacko na wengeweza kuokoa maisha yake terry ni promota anayeheshimika wa muziki kwa sasa anafanya kazi na bendi ya wanawake ya UNK alisema familia inatafakari kama kuna ushahidi wa kutosha kuwaburuta kizimbani mapromota na daktari UNK jacko alipangiwa kufanya maonesho hamsini ambayo angeanza julai kumi na tatu katika uwanja wa o mbili london wawakilishi wa aeg wamesema kuwa katika mazoezi jacko alionekana kuwa fiti jacko anadaiwa alikuwa teja wa kutumia dawa kali za kuzuia maumivu kama diprivan na pia alikuwa akitumia UNK pamoja na kumeza mseto wa dawa ikiwemo za kuzuia wasiwasi za xanax za kuzuia msongo wa mawazo UNK na UNK na kusaidia usagaji wa chakula za UNK kumtia UNK ya michezo UNK sakata la mshambuliaji wa timu ya kcc ya uganda robert ssentongo kudaiwa kusajili timu mbili za african lyon na qatar sports ya uarabuni limechukua sura mpya ya kumchukulia hatua za kisheria katika mahakama ya michezo endapo ataingia mitini ssentongo aliyewahi kuitoroka simba miaka ya nyuma sasa lyon nayo inaonekana kutaka kuwatokea kama hilo lakini inadai kwamba UNK kisheria mchezaji huyo mkataba wa miaka miwili ndio maana alitua nchini bila UNK akizungumza dar es salaam jana msemaji wa timu hiyo hassan mvula alisema mchezaji huyo hawezi kuichezea timu hiyo mpaka kwanza afanye mazungumzo nao kwani UNK mkataba wa miaka miwili na wao alisema wao UNK mchezaji kichwa kichwa na ndio maana wana uhakika lazima ssentongo atue nchini kesho tayari kujiunga na timu hiyo kwani hawezi kuwatoroka kwa kuwa UNK mkataba nakuhakikishia lazima ssentongo atue nchini jumanne na kama UNK tutajua nini cha kufanya alisema UNK alisema hawezi kuichezea timu hiyo mpaka wao watoe ruhusa ukizingatia ndio UNK leseni ya uhamisho wa kimataifa kwa shirikisho la mpira wa miguu uganda aliongeza kila kitu UNK kisheria na wamekubaliana kisheria hivyo hawana wasiwasi nao ila akifanya kama UNK simba lazima UNK hatua za kisheria kwa kumshtaki katika vyombo husika vya michezo kwa mujibu wa vyombo vya habari vya nchini uganda vilieleza kwamba ssentongo amesaini mkataba wa miaka miwili na qatar kwa dau la dola ishirini sifuri sifuri sifuri na anatarajia kujiunga na timu hiyo wiki hii kwa ajili ya msimu wa ishirini sifuri tisa kumi UNK mwezi ujao na kulamba dola moja hamsini sifuri kwa wiki wakati watani wao wa jadi simba wameingia kambini juzi visiwani zanzibar yanga safari ya kwenda mwanza UNK mbawa badala yake wataendelea na mazoezi uwanja wa uhuru dar es salaam awali ilidaiwa kuwa yanga walitarajiwa kwenda mwanza mara baada ya mechi yao ya kirafiki ya juzi dhidi ya african lyon akizungumza na gazeti hili jana katibu wa kamati ya mashindano emmanuel mpangala alisema timu yao itaendelea na mazoezi uwanja wa uhuru mpaka hapo kambi UNK tena alisema wachezaji wao wa kimataifa waliosajiliwa kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu tanzania bara na michuano ya kimataifa wataanza kuwasili nchini wiki hii mpangala alisema timu itaingia kambini muda wowote lakini kwa sasa UNK kwa timu yao ni mazoezi wachezaji wa kimataifa wa yanga ambao hadi sasa hawajawasili nchini ni stephen bengo jama mba robert kabongo UNK joseph shikokoti john njoroge na george owino owino na njoroge wapo ujerumani kwenye majaribio ya soka la kulipwa kaka wa mwanamuziki michael jackson jarmaine ameeleza jinsi gani UNK wakati UNK kichwa chake hadi kwenye mikono ya mdogo wake shingo yake na kumbusu huku akiuliza kwanini UNK unataka mimi nifanye nini jarmaine mwenye umri wa miaka hamsini na nne akimzidi jacko kwa miaka mitano pia alikuwa mmoja wa wana familia waliokuwa UNK bendi ya jackson tano alitoa machozi wakati akielezea jinsi UNK ndugu yake wakati mwili wake ulipokuwa kitandani hospitali wiki mbili kabla ya kifo chake cha ghafla juni ishirini na tano michael alionekana kuwa na afya nzuri katika sherehe ya familia iliyoandaliwa na jermaine na dada yake janet kwa ajili ya wazazi wao mama katherine na baba yao UNK amesimulia kuwa baada ya kuisha kwa sherehe hiyo wakati akiondoka katika mgahawa wa hollywood maneno ya mwisho ya jackson yalikuwa UNK o mbili ambao ni uwanja uliopo mjini london uingereza UNK kufanya maonesho hamsini onesho la kwanza lingekuwa julai kumi na tatu mwaka huu lakini juni ishirini na tano jermaine alipigiwa simu UNK kuwa michael mwenye umri wa miaka hamsini amekimbizwa hospitali na kabla ya kupita saa moja baadaye mama yake katherine alimpigia simu kumweleza habari mbaya kuwa nyota huyo amefariki jermaine alikimbilia hospitali ya UNK medical centre na kuweza kumgusa kwa mara ya mwisho mpendwa mdogo wake na alisema siku UNK habari mke wangu na mimi tulikuwa sehemu nyingine ya mji tukifanya biashara na simu ya UNK iliita ambapo alihojiwa na waandishi kama anajua kuwa mdogo wake amekimbizwa hospitali naye alijibu hapana anasema kisha UNK simu mama yake kuulizia suala hilo na akamjibu anaelekea hospitali baada ya kupita dakika arobaini na tano dada yake janet alimpigia simu baada ya kupata habari kisha alipigiwa tena na mwanasheria kuhusu jambo hilo alipoamua kupigia tena simu mama yake alimjibu amefariki anasema kabla hakuwahi kusikia sauti kama hiyo ya mama yake alipatwa na uchungu mkubwa na kuanza kutokwa na machozi anasema alikwenda hospitali na mkewe alifika baada ya saa moja na kukuta kuna helikopta angani na barabara zilifungwa na mwili wake ulikuwa pale alisema baada ya kuruhusiwa kuingia alikwenda kwa mama yake ambapo alimfariji na alikuwa na shangazi yake na daktari ambapo baadaye aliomba kwenda kuona mwili wa michael ilikuwa ni wakati mgumu sana kwangu kumwona akiwa hana uhai akiwa kama amelala kwa hiyo niliingia ndani na kushika mkono wake na kumbusu sana na kuanza kulia katika uislamu tunaamini kuwa roho yake iko na sisi yuko hai ni mwili tu uliokuwa UNK imani hiyo ndiyo UNK sana anasema ni katika wakati huo UNK na kumbukumbu ya matukio ya wakati wa uhai wake na jinsi walivyokuwa pamoja katika jackson tano kwa miaka mingi UNK kumpoteza mdogo wake ambaye walikuwa wakipigania umoja shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu limezidi kuikandamiza chama cha mpira wa miguu zanzibar baada ya kutoa kauli kuwa wasahau kupata uanachama katika shirikisho hilo kauli hiyo imetolewa na afisa maendeleo wa fifa kanda ya kusini mwa afrika ashford mamelodi jana baada ya kumalizika semina ya fifa na UNK ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania iliyofanyika jijini dar es salaam kwa siku nne wakati fifa wanatoa kauli hiyo tayari rais wa tff leodegar tenga akiwa katika harakati za kumaliza tatizo hilo kwa kuomba mawazo kutoka kwa wanachama wake jinsi ya kutatua tatizo hilo mamelodi alisema fifa haiwezi kuwapa uanachama zfa kutokana na katiba ya shirikisho hilo kueleza wazi kuwa vyama vinavyotakiwa kuwa wanachama wake ni kutoka katika nchi inayotambuliwa kimataifa alisema zfa wasahau kupata uanachama kwa sasa labda kama katiba ya fifa UNK na kuamua kutoa uanachama kwa nchi ambazo UNK kimataifa ashford alisema zfa itaendelea kuwa sehemu ya tff kwani ndio shirikisho linalotambuliwa na fifa katika shughuli mbalimbali za shirikisho hilo la dunia tatizo hilo si la tff wala rais wa tff bali ni tatizo la kikatiba ambalo linatakiwa kutatuliwa kutokana na katiba inavyoeleza hivyo ni katiba pekee ndio itakayoamua suala hilo alisema alisema zfa watapata misaada ya fifa kupitia tff ikiwa ndio shirikisho linalotambuliwa na ndio maana mradi wa nyasi bandia unafanyika katika uwanja wa gombani zanzibar fifa haiwezi kutoa uanachama kwa vyama viwili ndani ya nchi moja kwani zanzibar inatambulika ipo ndani ya tanzania na shirikisho linalotambuliwa fifa ni tff alisema UNK mgongano kati ya tff na zfa ulichukua sura mpya baada ya suala hilo kuibukia bungeni ambapo baadhi ya wabunge walidai kuwa tff UNK haki zfa katika masuala mbalimbali kutoka fifa wakati huo huo tff limezidi kupata neema kutoka shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu baada ya jana kutiliana saini UNK kumi na moja hatua hiyo ilifikiwa baada ya ujumbe wa fifa kufanya mazungumzo ya siku mbili na katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela na kuendesha semina ya siku mbili na sekretarieti ya tff rais wa tff tenga alisema makubaliano hayo ni moja ya hatua muhimu katika maendeleo ya mchezo huo wa soka nchini na ana matumaini makubwa ya fifa kutekeleza makubaliano hayo kwa upande wao alisema makubaliano ambao wameingia ni mpango wa marekebisho ya uendeshaji utendaji na utoaji wa habari kwa kutumia tovuti kuboresha kanuni ambao hazipo katika tff na kuanzisha mpango wa muda mrefu wa biashara maazimio mengine ni maendeleo ya soka la vijana kufikia hadi vijijini mpango wa masoko ikiwa pamoja na kutengeneza bidhaa za tff soka la wanawake kuboresha waamuzi na kuanzisha soka la UNK mengine ni kutunza kumbukumbu kwa kupitia mtandao wa kompyuta kuomba mradi wa awamu ya nne wa goal pamoja na kudumisha ushirikiano wa vyama vya michezo UNK kama kamati ya UNK ya tanzania licha ya kuwepo habari kwamba michael jackson si baba wa damu wa watoto watatu aliowaacha baada ya kufariki juni ishirini na tano mwaka huu kaka yake tito anaamini kuwa jacko ndiye baba awali zilitolewa habari kuwa aliyekuwa daktari wa mwanamuziki huyo mtaalamu wa ngozi daktari arnold UNK anaweza kuwa ndiye UNK mbegu za kiume na kwenda kupandikizwa aliyekuwa mke wa jackson ambaye ni muuguzi debbie rowe wote ni watoto wake tito aliliambia gazeti la the daily mirror akimaanisha kuhusu watoto michael joseph jackson UNK paris michael katherine jackson na prince blanket michael jackson ii blanket ni wa michael siwezi UNK macho yake UNK macho yao ni ya michael ninaona vitu vingi vya michael kwake alisema na kukataa UNK la kupima vinasaba ili kuthibitisha kama kweli ni watoto wa michael paris na prince ni watoto wa michael alisema ndiyo ni watoto wake siyo kwa kuwa wanaonekana kuwa wazungu ndiyo kusema kuwa siyo wake wakati inajulikana debbie rowe ni mama watoto wawili wakubwa wa jackson mama wa blanket UNK hata familia ya jackson UNK wakati huohuo kuna taarifa kuwa kampuni ya sony UNK inakaribia kuanza kutengeneza filamu ambayo itaonesha vipande vya mazoezi aliyofanya michael jackson kwa saa themanini kujiandaa na maonesho yake hamsini ambayo angeanza kuyafanya juni kumi na saba mwaka huu kabla ya kufa ghafla juni ishirini na tano kwa tatizo la moyo kusimama sony inatarajiwa kulipa dola milioni hamsini kwa ajili ya kupata haki ya kutengeneza filamu hiyo kutoka kwa waliokuwa wakiandaa maonesho ya jackson kampuni ya aeg entertainment ambayo inazo picha hizo zinazoweza kuwemo kwenye kanda tatu za video timu ya taifa ya tanzania taifa stars inatarajia kujipima nguvu na moja kati ya timu zilizofanikiwa kutinga hatua ya pili ya kuwania kufuzu kucheza fainali za kombe la dunia ishirini moja sifuri na kombe la mataifa afrika mchezo huo ambao stars itakuwa ugenini umepangwa kufanyika katika tarehe inayotambuliwa na fifa ambayo ni agosti kumi na mbili akizungumza dar es salaam jana kocha mkuu wa timu hiyo mbrazil marcio maximo alisema wameomba kucheza na moja kati ya timu hizo ambazo ni ngumu ili kujipima uwezo wao alisema mchezo huo utakuwa ni kipimo kizuri kwao katika kujenga kikosi hicho ndio maana wameomba kucheza na timu yenye uwezo mkubwa afrika tumeomba kucheza kati ya timu hizo zilizofuzu hatua ya pili na mategemeo yetu tutapata timu mojawapo kwani tumeomba zaidi ya timu tano ambazo zipo juu kiuwezo alisema maximo alisema mategemeo makubwa kupata timu bora zaidi katika timu hizo ishirini ambazo zimefuzu bila kuangalia kama kuna baadhi tayari waliwahi kucheza nazo maximo alisema anatarajia kutangaza kikosi hicho julai thebathini huku kukiwa na wachezaji wa tanzania wanaocheza soka nje ya nchi pamoja na wachezaji wa ndani alisema kikosi hicho kinatarajia kuanza kambi agosti tatu kwa ajili ya maandalizi ya mchezo huo ambao utakuwa na manufaa makubwa kwa tanzania katika chati ya fifa nchi za afrika ambazo zimeingia hatua ya pili ya kutafuta tiketi ya kucheza kombe la dunia na michuano ya afrika ni gabon togo morocco cameroon tunisia nigeria kenya msumbiji algeria misri zambia rwanda ghana mali benin sudan ivory coast burkina faso guinea na malawi katika chati ya viwango vya fifa tanzania kwa sasa ipo nafasi ya tisini na saba baada ya kuwafunga mabingwa wa bara la oceanic new zealand bao mbili moja katika mchezo UNK juni tisa kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam UNK mmoja wa wajumbe wa kundi la fri of simba ambaye pia ni mjumbe wa kamati ya usajili wa klabu hiyo mulamu nggambi ameteuliwa kuwa katibu wa kuajiriwa wa klabu hiyo kikao cha kumpitisha kiongozi huyo UNK juzi kwenye mgahawa mmoja uliopo katikati ya jiji la dar es salaam ambapo kilihusisha wajumbe wa kamati ya utendaji kamati ya usaili iliyokuwa ikishughulikia mchakato huo na fri of simba kwa mujibu wa mmoja wa wajumbe aliyekuwepo katika kikao hicho alilithibitishia gazeti hili jana kwamba nggambi ndiye katibu wa kuajiriwa katika klabu hiyo na kumuangusha katibu mkuu wa sasa mwina kaduguda na juzi jina lake lilitakiwa UNK katika ofisi za shirikisho la mpira wa miguu tanzania chanzo hicho kilisema kulikuwa na mvutano mkubwa katika kikao hicho ambacho baadhi ya wajumbe walimpendekeza kaduguda kutokana na kuwa na vigezo vinavyokidhi sifa zinazotakiwa kwa katibu wa kuajiriwa huku wengine wakipinga jana tulikuwa na kikao kizito cha kamati ya utendaji na kamati nyingine za usajili na usaili UNK UNK kuwa katibu wa kuajiriwa licha ya UNK vigezo vyovyote kutokana na kutokuwa na muda wa kufanya mchakato huo kama ilivyokuwa mwanzo kilisema chanzo hicho majira lilimtafuta kaduguda ili kulizungumzia suala hilo ambapo lilifanikiwa kumpata kwa kuzungumza kwa simu kutoka visiwani zanzibar alisema hilo suala yeye UNK kwa ufafanuzi zaidi atafutwe mwenyekiti wa klabu hiyo hassan dalali lakini alipotafutwa dalali katika simu yake ya mkononi kwa kupigiwa zaidi ya mara mbili iliita bila kupokelewa kabla ya kuzungumza na viongozi hao majira juzi lilizungumza na katibu msaidizi wa klabu hiyo mohamed mjenga ambaye alisema kamati ya utendaji itakutana mwishoni mwa wiki hii kulijadili suala hilo huku UNK kaduguda kwa kuwa yupo na timu zanzibar kocha mkuu wa mabingwa wa soka tanzania bara yanga dusan kondic amesema kambi ya mwanza ndio UNK kikosi cha kwanza cha timu hiyo mabingwa hao wanatarajia kuondoka leo kuelekea mwanza kwa ajili ya kambi ya mwezi mmoja kujiandaa na msimu ujao wa ligi kuu tanzania bara inayotarajia kuanza agosti ishirini na tatu akizungumza dar es salaam jana kondic alisema anatarajia kutumia kambi ya mwanza kupata kikosi chake cha kwanza ambacho kitakuwa na jukumu la kutetea ubingwa wake msimu ujao alisema wachezaji wote wanatakiwa kuonesha uwezo katika kambi hiyo ili kujihakikishia namba katika kikosi chake ambacho kina ushindani mkubwa na kwamba wachezaji wa kigeni wataungana nao jijini mwanza baada ya mchezaji wa simba henry joseph kufaulu majaribio yake nchini norway na kuingia mkataba wa miaka minne ya kuichezea timu ya kongsvinger kiungo huyo ameacha kizaazaa nchini kwa baadhi ya viongozi wa klabu hiyo kutaka UNK fedha za mauzo ya mchezaji huyo akizungumza na gazeti hili jana jijini dar es salaam makamu mweyekiti wa klabu hiyo omar gumbo alisema kuwa kwa kauli moja walikubaliana kuwa mchezaji huyo auzwe lakini hawajawahi kuona nyaraka zozote za majadiliano ya mauzo hadi kuuzwa kwake hivyo mimi katika hilo nahitaji UNK taarifa zote hasa za mauzo ili uongozi UNK baraka zake na wanachama wajue mambo ya UNK UNK kabisa na wakala anayehusika si UNK wa klabu kama yupo aje rasmi kwa uongozi ili UNK na sisi UNK wanachama kinachoendelea alisema gumbo alisema ni wajibu wao kutoa maelezo kwa wanachama kwa kipindi cha miaka mitatu tangu wakae madarakani mbali na hilo gumbo amekanusha bonanza la agosti nane mwaka huu la UNK wachezaji wapya kwa madai kuwa kamati ya utendaji haijui lolote waliopanga kufanya tamasha ni jambo zuri lakini jiulize mipango yao ikoje je serikali inajua viongozi wa klabu wanajua taratibu zake hii inaonekana ni biashara ilitakiwa UNK klabu itapata nini na UNK UNK UNK sana wanaona sisi hatufai alisema pia gumbo alisema hata suala la usajili mpaka sasa hivi hawajui lolote linaloendelea kwani mwenyekiti wa usajili alitakiwa kuwasilisha kwa uongozi na waweze kuweka wazi kwa wanachama aliongeza kuwa anajua fika kuwa kuna watu ambao UNK klabu fedha za usajili hivyo ni vema UNK wazi ili uongozi ufahamu na baadae waweke utaratibu wa UNK katika hatua nyingine gumbo UNK kuwepo kwa katibu wa kuajiriwa kwa madai kuwa kamati ya utendaji bado haijakaa kupitisha jina hilo jana gazeti hili lilimkariri mmoja wa UNK wa simba akisema kuwa mlamu nggambi ndiye aliyeteuliwa kuwa katibu mtendaji wa kuajiriwa hata hivyo gumbo hajaweka wazi kama ni kweli kiongozi huyo aliteuliwa au la lakini anasisitiza kutohusishwa na na suala hilo hatimaye chama cha mpira wa miguu zanzibar na shirikisho la mpira wa miguu tanzania kimeeleweka baada ya kukubaliana masuala yote ya shirikisho la mpira wa miguu duniani UNK tff awali zfa walilalamika kuwa tff imekuwa UNK katika uwakilishi wao fifa na hivyo kujikuta wakikosa misaada inayotolewa na shirikisho hilo katika kikao cha pande hizo mbili kilichokaa juzi jijini dar es salaam kikiwa na ajenda ya uhusiano kati ya vyama hivyo walikubaliana kuwa ni wajibu wa tff na zfa kuhakikisha kwamba zanzibar inashiriki katika masuala ya fifa kupitia tff katika taarifa yao iliyosomwa na naibu katibu mkuu wa zfa na katibu wa kikao hicho masoud attai masoud alisema kwa vile suala hilo ni la kikatiba ilikubalika kuwa mchakato wa kuzifanyia marekebisho katiba za tff na zfa ili kukidhi mahitaji ya zanzibar kushiriki katika masuala ya fifa kupitia tff uanze mara moja alisema mchakato huo utajumuisha mambo mengine pamoja na kupata maoni ya wanachama wa tff na zfa na kutakiwa kumalizika kabla ya mwaka huu masoud alisema tff imekuwa ikiunga mkono azma ya zfa kushiriki katika masuala ya fifa kwa njia ya kupata uanachama na itaendelea kufanya hivyo kwani kufanikiwa kwa azma hiyo kutaleta manufaa makubwa kwa maendeleo ya mpira wa miguu zanzibar na tanzania ili kufanikisha mchakato huo kikao hicho UNK kamati ya watu kumi watano kutoka tff na watano zfa ambayo itakutana katika kikao chake cha kwanza agosti mosi mwaka huu jijini dar es salaam wajumbe kutoka zfa ni UNK ali tahir haji UNK haji mzee zam ali masoud attai masoud na kassim haji salum tff ni athuman nyamlani ramadhani nassib fredrick mwakalebela amir UNK shivji na alex mgongolwa kamati hiyo itakuwa chini ya mwenyekiti hafidh ali tahir na katibu wake fredrick mwakalebela kikao hicho cha tff na zfa UNK na mwenyekiti wa baraza la michezo taifa kanali mstaafu idd kipingu katibu wa baraza la michezo zanzibar maalim hamis ali na mkurugenzi wa michezo juliana yasoda mjumbe wa kamati ya usajili simba mulamu nggambi amewataka wanachama wa klabu ya simba kutulia wakati huu ambao baadhi yao wanatumia kuchafua majina ya wenzao anaripoti mwandishi wetu nggambi katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari alisema kwamba baadhi ya watu wenye nia mbaya na klabu hiyo wameanza kuleta vurugu taarifa yake ilisema kwamba yeye ataendelea kuwa mjumbe wa kamati ya usajili wa klabu hiyo na wala siyo katibu kama walivyoanza kumchafua baadhi ya wanachama wa klabu hiyo nggambi ni mmoja wa wajumbe wa fri of simba wenye mchango mkubwa kwa klabu hiyo ambaye msimu huu amekuwa bega kwa bega katika usajili wa wachezaji kama mjumbe wa kamati hiyo iliyo chini ya kassim dewji UNK bado anaendelea kulia ndani ya klabu ya simba baada ya jana mwenyekiti wa klabu hiyo hassan dalali kupinga kauli ya makamu wake mwenyekiti omary gumbo na kudai kuwa ana mpango wa kuanzisha migogoro ndani ya klabu hiyo juzi gumbo aliibuka na kupinga bonanza lililoandaliwa na kundi la fri of simba litakalofanyika agosti nane mwaka huu kuwa UNK na kamati ya utendaji ya klabu hiyo pia akizungumza dar es salaam jana dalali alisema bonanza hilo ni halali kwani ni moja kati ya maombi ya kocha mkuu wa timu hiyo patrick phiri na kutaka michezo miwili baada ya kambi ya zanzibar alisema phiri pindi aliporejea alikutana na benchi la ufundi na kamati ya usajili inayoongozwa na mwenyekiti kassim dewji na kuomba mechi za kimataifa ambazo zitachezwa agosti nane na kumi na tano alisema bonanza hilo litakuwepo na amewataka wapenzi na wanachama wa klabu hiyo kujitokeza kwa wingi kwani gumbo UNK na anataka UNK wanachama gumbo UNK baada ya UNK basi dogo la simba hivyo ameshindwa UNK tena nadhani atakuwa ametumwa na atakuwa hakosi kuwa na chembechembe za ndani yake alisema dalali alisema mbali na kupima kikosi cha simba lakini pia bonanza hilo lina umuhimu mkubwa kwani litatumia kuwatambulisha wachezaji wapya na wale wa zamani ikiwa pamoja na timu ya vijana bonanza hilo litakuwa na vitu vingi sana ambavyo vina manufaa na klabu kiujumla siku hiyo UNK jezi ambazo pia zitauzwa kwa mashabiki na UNK bendera za klabu na vitambaa alisema dalali alisema kupitia bonanza hilo UNK viongozi wa zamani wachezaji na wadau wote wa simba ambao waliwahi kuisaidia klabu hiyo katika nyakati mbalimbali hatma ya kambi ya mabingwa wa soka tanzania bara yanga bado UNK kutokana na mipango waliyonayo kutokamilika wanatarajia kutoa tamko la kambi hiyo kesho yanga imepanga kuweka kambi jijini mwanza kujiandaa na ligi kuu tanzania bara inayotarajia kuanza agosti ishirini na tatu lakini timu hiyo imeshindwa kusafiri katika siku UNK awali yanga UNK inatarajia kusafiri juzi kuelekea mwanza lakini uongozi ilibadilisha tarehe kutokana na kurekebisha baadhi ya mambo yanayohusu klabu hiyo akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo imani madega alisema kambi ya mwanza ipo katika ratiba yao baada ya kumaliza mambo muhimu ya kambi hiyo alisema kesho watakuwa katika nafasi nzuri ya kutoa tamko sahihi ya lini timu hiyo itaondoka nchini kuelekea jijini mwanza kwa ajili ya kambi hiyo alisema si kweli kuwa yanga imekwama kutokana na matatizo ya pesa lakini kuna baadhi ya mambo ambayo ni muhimu kwa ajili ya kambi hiyo kuna mambo ambayo hatuwezi kuyaweka hadharani lakini kambi ipo na timu itakuwa mwanza hivi karibuni na kesho UNK hilo kwa kina lini tunaondoka alisema madega alisema wanatarajia hadi kufikia siku hiyo tayari wachezaji wa kigeni ambao bado hawajawasili watakuwa wametua nchini na kujiunga na wenzao katika safari ya mwanza wachezaji wa kigeni ambao hawajawasili ni kabongo UNK jama robert mba steven bengo joseph shikokoti na jonh njoroge wakati moses odhiambo ameshajiunga na timu hiyo kwa upande wake kocha mkuu wa timu hiyo dusan kondic alisema yupo tayari kuweka kambi ukizingatia tayari UNK programu yake ya mazoezi lakini taratibu nyingine ni za uongozi na zahoro mlanzi timu za villa squad na polisi dodoma tayari zimeshuka daraja baada ya juzi azam UNK yanga mabao tatu mbili katika mechi ya ligi kuu iliyopigwa uwanja wa uhuru hatua hiyo ya kushuka daraja kwa timu hizo imetokana na kutoweza kufikia pointi ambazo tayari UNK na timu zinazoshiriki ligi hiyo ikiwemo azam kwa ushindi huo kwa yanga azam sasa imefikisha pointi ishirini na tano kutokana na michezo kumi na tisa iliyocheza ambapo imeshinda saba na sasa imebakiwa na michezo mitatu mkononi azam sasa inahitaji pointi moja tu ili kuiachia kizazaa moro united ambayo nayo ipo katika jitihada za kujiokoa na kushuka daraja villa ambayo ina pointi kumi na tano kutokana na michezo kumi na tisa waliyocheza imebakiwa na michezo mitatu mkononi ambapo hata ikishinda itafikisha pointi ishirini na nne ambazo tayari UNK na azam yenye pointi ishirini na tano mbali na villa polisi dodoma nayo haiwezi kufikisha pointi ishirini na tano kutokana na kuwa ipo sawa na vila kwa pointi ila zinatofautiana kwa idadi ya mabao endapo azam itashinda au kutoka sare katika mechi yake dhidi ya kagera sugar moro united itakuwa imeshuka daraja kwa kuwa haina uwezo wa kufikisha pointi ishirini na sita licha ya kuwa imebakiwa na mechi tatu mkononi kwani itafikisha pointi ishirini na tano timu ya taifa ya tanzania taifa stars agosti kumi na mbili itacheza mechi ya kirafiki na timu ya taifa ya rwanda UNK itakayofanyika nchini rwanda mechi hiyo maalum iko katika kalenda ya shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu itapigwa mjini kigari ikiwa mechi ya kwanza UNK awali tff ilitangaza kutafuta timu ya kucheza na stars katika UNK hiyo ikiwa ni mwendelezo wa kuiwezesha timu hiyo kuwa katika kiwango bora cha uchezaji kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na afisa habari wa tff florian kaijage ilisema kwamba timu hiyo itaingia kambini agosti tatu ishirini sifuri tisa kujiandaa na mechi hiyo taarifa hiyo imesema kwamba kocha wa stars marcio maximo UNK kikosi hicho julai thebathini julai mwaka huu kaijage katika taarifa yake alisema kwamba tff UNK na mwaliko huo utakaosaidia kuendelea kuijenga timu ya taifa ambayo imezidi kuimarika hivi sasa baada danadana za muda mrefu juu ya safari ya yanga kuweka kambi mjini mwanza jana ilifikia tamati kufuatia kutangaza kuweka kambi katika jengo lake lililopo makutano ya mitaa ya twiga na UNK dar es salaam yanga ilikuwa iweke kambi mwanza kwa ajili ya maandalizi ya ligi kuu tanzania bara inayotarajiwa kuanza agosti ishirini na tatu lakini ilibadilishwa kutokana na kutokamilika kwa baadhi ya mambo akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo imani madega alisema baada kutafakari kwa kina wameamua kubadili maamuzi ya kuweka kambi jijini mwanza alisema kutokana na kukamilika kwa asilimia kubwa kwa jengo lao hawakuona sababu za kuweka kambi nje ya dar es salaam na kutumia gharama kubwa kuiweka timu kambini ni gharama kubwa sana hivyo baada ya UNK hilo kwa kina tumeamua kuweka kambi katika jengo letu ambao tukiwa hapa tutaingia gharama ya chakula pekee na pesa nyingine zitafanya mambo mengine ya klabu hiyo alisema madega alisema kambi hiyo imeanza rasmi jana katika jengo hilo na wachezaji wote wamekabidhiwa vyumba vyao ambapo kila chumba watakaa wachezaji wawili alisema kutokana na uwanja wa timu hiyo kutokamilika uongozi utaendelea kutafuta uwanja wa kufanyia mazoezi baada ya uwanja wa uhuru kusimamishwa kupisha ukarabati kwa muda wa mwezi mmoja alisema wachezaji wote waliosajiliwa na klabu hiyo wameripoti kambini katika jengo hilo isipokuwa wachezaji watano wa kigeni ambao bado hawajawasili nchini jengo la yanga ambalo UNK ukarabati na mfadhili wa klabu hiyo yusuph manji kwa thamani inayofikia kati ya shilingi bilioni moja mbili hadi moja tano jengo hilo lina vyumba UNK ishirini na tisa vikiwa na choo umeme na viyoyozi kwa kila chumba huku bwawa la kuogelea likiwa katika hatua ya mwisho kukamilika pia ukumbi wa kufanyia mazoezi ya viungo unatarajiwa kuanza kutumika baada ya wiki moja ambapo vifaa vya mazoezi tayari UNK nchini bado kufungwa jengo hilo litakuwa na ofisi za viongozi wote wa klabu hiyo kama rais katibu mhasibu afisa habari kocha na ofisi ya biashara ambayo itakuwa inashughulikia mambo ya uchumi wa klabu hiyo timu ya taifa ya netiboli ya wanaume imetwaa ubingwa wa vijana wenye umri chini ya miaka ishirini na moja baada ya kuifunga kenya bao thebathini na sita ishirini na sita katika mechi iliyofanyika kwenye uwanja wa gymkhana mjini hapa juzi tanzania ilitawazwa ubingwa baada ya kushinda mechi hiyo mechi hiyo moja kutokana na kuwa timu mbili katika mashindano hayo za wanaume hivyo zilishindwa UNK mbali na wanaume kutwaa ubingwa dada zao jana walikuwa wakicheza mechi ya fainali na uganda baada ya kuilaza ghana bao hamsini na tano ishirini na sita katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja huo huo wa UNK wafungaji wa bao zote hizo walioleta furaha na kutabiriwa kufuata nyayo za kaka zao ni UNK UNK na fatma yasoda wafungaji wa bao wa ghana ni UNK UNK na vida UNK ambao walionesha kujituma uwanjani lakini UNK na wepesi wa wachezaji wa tanzania timu ya uganda imepata nafasi hiyo baada ya kuifunga kenya bao sabini na tatu ishirini na tatu mabao yaliyofungwa na irene UNK na esther kisaka wakati mabao ya kenya yalifungwa na peace UNK na hadija UNK katika mechi ya awali tanzania wanawake walipokutana na uganda walifungwa bao thebathini na sita ishirini na sita na kuufanya mchezo huo kuwa mgumu shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK vilio vya siku nyingi vya klabu kwa kuwaongezea asilimia tano ya mapato ya milangoni ambapo sasa zitapata asilimia thebathini badala ya ishirini na tano kabla ya marekebisho hayo kila klabu iliyokuwa ikicheza ilipata asilimia ishirini na tano na tff kupata asilimia kumi na tano na pia kulikuwa na mgawo wa asilimia kumi kwa ajili ya mfuko wa maendeleo ya mpira wa miguu hivyo fungu la fedha UNK kwa klabu linatokana na kanuni mpya iliyoundwa julai ishirini katika kikao cha kamati ya utendaji ya shirikisho hilo iliyokutana na klabu kujadili mambo mbalimbali akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa shirikisho hilo fredrick mwakalebela alisema tff imeamua kupunguza asilimia kumi katika fungu lake asilimia tano kutoka fungu la kawaida na tano kutoka katika fungu la fdf na kuongeza katika mgawo wa klabu fungu hilo la asilimia kumi kutoka tff ndilo UNK kwa klabu hivyo sasa kila klabu inayocheza itapata asilimia thebathini badala ya asilimia ishirini na tano za awali alisema mwakalebela alisema katika kufikia uamuzi huo tff imezingatia kuwa klabu zina mahitaji makubwa hivyo ni bora UNK nia na utashi wao wa kuziwezesha klabu kuongeza uwezo wao wa kifedha katika hatua nyingine mwakalebela alisema mpaka sasa ni klabu za azam fc manyema rangers jkt ruvu majimaji ya songea na african lyon ndizo zilizowasilisha majina ya watendaji wao wa kuajiriwa kwa upande wa majina ya benchi la ufundi timu zilizowasilisha ni azam fc manyema rangers majimaji ya songea african lyon kagera sugar na yanga pua ya michael jackson inadaiwa UNK wakati akitaka kufanyiwa tena upasuaji wa UNK picha inayodaiwa kupigwa wiki mbili kabla ya kifo chake UNK amevalia kofia pamoja na UNK uso pua hiyo UNK mhimili wake aprili na kuifanya UNK na kwamba alikuwa UNK pua bandia angalau UNK ya kawaida juzi usiku ilidaiwa kuwa pua bandia ya jackson UNK mochari baada ya kifo chake na kwamba kulikuwa na shimo katikati ya sura yake adrian UNK ambaye mmoja wa wafanyakazi katika ranchi ya neverland iliyokuwa UNK na nyota huyo aliyefariki juni ishirini na tano kwa moyo kusimama alisema pua yake kila wakati ilikuwa tatizo alisema mwanamuziki huyo alikuwa na pua bandia na kwamba aliwahi kumweleza kuwa alikuwa UNK pale walipokuwa UNK picha sura yake kwa kuvaa kama UNK shirikisho la mpira wa miguu tanzania litatoa vibali vya muda kwa wachezaji wa kigeni toka kenya na mataifa mengine kucheza soka nchini endapo vyama vyao vya soka UNK leseni ya kimataifa kwa muda unaotakiwa kwa mantiki hiyo wachezaji wa kigeni wa klabu ya yanga raia wa kenya moses odhiambo kabongo kanoge john njoroge na joseph shikokoti ambao mpaka sasa itc zao UNK wanaweza kucheza ligi kuu ya tanzania bara lakini jama robert wa canon sports ya cameroun yeye hatakuwa na tatizo kwani tayari UNK simba mchezaji wao mkenya hilary echesa ambaye mpaka sasa itc yake UNK anaweza kucheza ligi kuu huku itc yake UNK itc ya mganda emmanuel okwi wa sc villa na mkenya owino joseph kutoka ura ya uganda tayari UNK na vyama vyao vya soka akizungumza na gazeti hili dar es salaam jana katibu mkuu wa shirikisho hilo fredrick mwakalebela alisema wachezaji wanaotoka nchini uganda UNK vibari vya muda kutokana na shirikisho la mpira wa miguu uganda kutaka klabu husika zimalizane kwanza ndipo watoa itc mpaka sasa itc ambazo UNK ni zile UNK awali lakini kwa wachezaji wanaotoka kenya na nchi nyingine jirani endapo itc zao hazitatumwa kwa wakati tutatoa itc za muda ambazo zitatumika ndani ya siku sitini na hii ni kwa mujibu wa kanuni za shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu ambazo zinaeleza hivyo alisema mwakalebela alisema mwisho wa mwezi huu ndio mwisho wa kuwaombea itc wachezaji mbalimbali nchini hivyo ikionekana kuna baadhi yao hawajatumiwa watatoa vibari vya muda kwa wachezaji wengine isipokuwa wa uganda ambao fufa UNK tff hawatatoa kibali mpaka klabu husika zimalizane kwanza hivyo yanga UNK mapema na sc villa ya uganda juu ya mchezaji steven bengo na kagera sugar kwa diplomate mustafa wa victor club ya uganda ndani ya wiki hii kuna uwezekano mkubwa wachezaji hao wakabaki njia panda wasijue la kufanya kwani muda utakuwa umekwisha mbali na wachezaji wa simba na yanga pia azam fc waliomsajili ndayiminye christophe kutoka flamengo fc ya burundi mtibwa sugar imemsajili steven mazanda kutoka lupopo ya drc watafaidika na mpango huo wa tff ikiwa hazitatumwa mapema hata hivyo mwenyekiti wa yanga imani madega alisema kwamba suala la bengo limekwisha atawasili wakati wowote baada ya kumaliza mechi yao ya kirafiki mjini kampala UNK na sc villa kuna vitu vidogo ambavyo tulizungumza nao na kuwataka wasubiri UNK fufa muda tulio nao unatosha atawasili mapema wiki hii alisema kamati ya mashindano ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania inatarajia kukutana mwanzoni mwa agosti kujadili masuala mbalimbali ya ligi kuu ya soka tanzania bara likiwemo suala la mshambuliaji wa timu ya taifa taifa stars uhuru suleiman uhuru kabla ya usajili wa msimu ujao alikuwa ni mchezaji wa mtibwa sugar lakini simba wakadai kuwa wamemalizana naye baada ya kuanza kwa usajili na kwamba atavaa jezi nyekundu msimu ujao wa ligi hata hivyo baada ya klabu kuwasilisha majina ya wachezaji waliowasajili kwa ajili ya UNK ujao wa ligi jina la seleman lilionekana katika timu mbili simba na mtibwa sugar ya morogoro akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa shirikisho hilo fredrick mwakalebela alisema baada ya klabu kuwasilisha pingamizi mbalimbali kwao kamati ya mashindano itakutana kujadili pingamizi na suala la seleman kamati ya mashindano inatarajia kukutana mwanzoni mwa agosti kama unavyojua tumetoa wiki mbili kwa ajili ya kipindi cha pingamizi hivyo UNK lazima kamati ikutane kuangalia pingamizi hizo alisema mwakalebela alisema mbali na pingamizi pia kamati itajadili suala la uhuru suleiman kusajili timu mbili za simba na mtibwa sugar na kuhakikisha suala hilo linapatiwa ufumbuzi na kama ikishindikana UNK katika chombo kingine alisema kwa kawaida kamati hiyo ikishindwa kutoa uamuzi wapi mchezaji huyo UNK suala hilo UNK mbele ya kamati ya sheria na hadhi ya tff kutoa ufafanuzi zaidi hivi karibuni kuna baadhi ya vyombo vya habari viliripoti kwamba uhuru alimaliza mkataba na mtibwa sugar na ndio maana alisaini simba timu anayotaka kuicheza msimu wa ishirini sifuri tisa kumi na siyo mtibwa mabingwa wa soka tanzania bara yanga UNK milango prisons ya mbeya kufanya mazungumzo nao juu ya winga wake mrisho ngassa endapo akishindwa katika majaribio yake ya kucheza soka la kulipwa nchini urusi akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa prisons salum chambuso alisema wameshafanya mazungumzo na yanga juu ya ngassa lakini wameambiwa mazungumzo hayo yatafikia pazuri endapo winga huyo akishindwa kufuzu majaribio yake ya kucheza ulaya alisema mchezaji huyo walikuwa UNK tangu zamani na wanaishukuru yanga kwa kuwaruhusu kuanza mazungumzo nayo ambapo UNK mabaya mchezaji huyo bali UNK huko ndipo wataendelea na mazungumzo yao unajua hakuna ambalo linashindikana ila tumeshafanya mazungumzo na yanga juu ya ngassa na wameonesha nia ila wametuambia tusubiri hadi waangalie matokeo yake huko urusi ndipo watakapokuwa katika nafasi nzuri ya UNK hilo alisema chambuso alisema licha ya yanga kukubali kumwachia mchezaji huyo lakini kikwazo kikubwa kinaweza kikawa mchezaji mwenyewe kama atakubali kujiunga na prisons akizungumzia maandalizi ya ligi kuu chambuso alisema timu yake inaendelea na mazoezi mbeya na mwanzoni mwa agosti timu hiyo inatarajia kuwasili dar es salaam kwa ajili ya kucheza michezo mitatu ya kirafiki alisema mchezo wa kwanza wanatarajia kukipiga na african lyon na pia wanafanya mazungumzo na simba huku yanga ikidai ina mialiko ya timu nyingi hivyo itaangalia ratiba yake itakavyokuwa hapo baadaye katika hatua nyingine UNK alisema suala la kipa wao aliyejiunga na UNK nelson UNK wameshamalizana nao ambapo UNK taratibu husika hivyo mchezaji huyo kwa sasa ni mali ya yanga alisema kikubwa kilichokuwa kinahitajika ni kufuata taratibu husika za uhamisho wa kipa huyo ambazo tayari UNK hivyo hakuna sababu za kuendelea kumwekea mazingira magumu kipa huyo katika kutimiza majukumu yake na wanamuombea kila la kheri na gladness mboma morogoro chama cha mapinduzi kimesema UNK meza moja kukaa na shirikisho la mpira miguu tanzania UNK mapato yanayopatikana mechi zinazofanyika katika viwanja vinavyomilikiwa na chama hicho katibu wa uchumi na fedha wa ccm amos makalla UNK hiyo jana wakati akizungumza na kamati ya halmashauri kuu ya mkoa wa morogoro katika mazungumzo hayo pia zikiwemo kamati za utekelezaji za jumuiya mara baada ya kukagua uwanja wa jamhuri uliopo mjini hapa tff waelewe ccm inaendelea kutoa ushirikiano katika viwanja vyake kwa sababu ilani yake inawataka kukuza michezo kama wao wanafanikiwa kimapato kutokana UNK vya ccm na ccm nayo inataka UNK kimapato ni lazima tukae katika meza moja ya mazungumzo na mimi nipo tayari kukutana na viongozi wote wa mikoa ccm na tff ili tuzungumzie jambo hili kwani ccm UNK kwa lolote chochote alisema UNK alisema ccm ina uchumi mkubwa wa viwanja vya mpira vya mbeya morogoro mwanza arusha na kwingineko hivyo ni lazima ccm waangalie upya suala hilo ili wote waweze UNK makalla alisema wapo viongozi wa zamani waliondoka ndani ya chama wanapiga kelele wakitaka viwanja vya ccm UNK serikalini kwa madai kuwa vimeshindwa kukarabatiwa au kuhudumiwa kwa kile alichodai kuwa walitaka kupanga bure katika viwanja hivyo kambi ya timu ya soka ya simba iliyowekwa hapa kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya ligi kuu ya soka tanzania bara imezidi kuimarika zaidi baada ya kuwasili kwa mshambuliaji mussa hassan mgosi mgosi aliyekuwa na mipango ya kwenda norway kucheza soka la kulipwa aliwasili hapa jumatano na kujiunga na wenzake na hivyo kufanya kambi hiyo kuzidi kuleta msisimko kwa mashabiki wa simba waliopo hapa mgosi baada ya kuwasili hapa UNK katika mazoezi ya jioni na katika mazoezi yake alionekana kuwa yupo fiti na kuonekana kama vile alikuwepo hapa tangu simba ilipokuja julai kumi na tisa mwaka huu kocha mkuu wa simba UNK phiri alisema mgosi aliwasili hapa kufanya mazoezi na wenzake huku akiwa anasubiri kupatiwa viza yake ya kuingilia norway alisema kuwasili kwa mchezaji huyo kumezidi kumchanganya katika uteuzi wake wa wachezaji wa awali katika kikosi UNK kwenye mechi zao za kirafiki walizopangiwa kucheza kwa mujibu wa phiri timu yake itacheza mechi tatu za kujipima nguvu kabla ya kuumana na majimaji ya songea katika ligi kuu mjini songea katika mechi ya ufunguzi agosti ishirini na tatu kocha huyo alisema mechi hizo ni dhidi ya timu ya taifa ya vijana ya hapa agosti tano ura agosti nane na ile dhidi ya african lyon agosti kumi na mbili mwaka huu kuhusu wachezaji wengine kocha huyo alisema wachezaji wawili UNK wakisumbuliwa na UNK adam kingwande na ulimboka mwakingwe sasa wamepona na tayari wameanza mazoezi alisema jabir aziz i bado hajapata UNK na david naftar naye anasumbuliwa na maumivu aliyoyasema kuwa si makubwa fufa yadai mpaka kieleweke shirikisho la mpira wa miguu uganda na la burundi yamezidi kuziwekea ngumu timu za yanga kagera sugar na azam fc kwa kutotoa uhamisho wa kimataifa kwa wachezaji steven bengo diplomate mustafa na ndayiminye christopher mpaka zimalizane na klabu husika akizungumza dar es salaam jana ofisa habari wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania florian kaijage alisema mpaka sasa ni itc za wachezaji watatu ndizo UNK kutoka katika nchi za uganda ambao wametuma mbili na moja kutoka cameroon alisema mbali na wachezaji hao watatu walioombewa itc watatoa vibali vya muda kwa wachezaji ambao vyama vyao UNK maelezo yoyote juu ya wachezaji hao kucheza katika ligi kuu ya tanzania bara tff ilituma maombi ya kuomba itc kwa ajili ya wachezaji kumi na sita wapya wa kigeni lakini mpaka sasa ni wachezaji watatu tu ambao UNK itc na muda UNK wa kuwaombea tutafanya hivyo kwa nchi ambazo UNK maelekezo yoyote alisema kaijage alisema kwa upande mwingine uganda ilitoa maelezo juu ya sababu za kutotoa hati za wachezaji wengine wawili ambao ni steven bengo aliyesajiliwa na yanga na diplomate mustafa wa victor club ya uganda aliyesajiliwa na kagera sugar hivyo hao hawatapewa vibali vya muda aliongeza mbali na wachezaji hao pia mchezaji kutoka burundi ndayiminye christopher kutoka timu ya flamengo fc ya nchini humo aliyesajiliwa na azam fc pia hatapewa kibali mpaka timu yake UNK na timu ya humo katika hatua nyingine kaijage alisema maziko ya aliyekuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya tff na katibu mkuu wa chama cha mpira wa miguu mkoani rukwa UNK UNK aliyefariki jumatatu UNK anatarajiwa kuzikwa leo mjini sumbawanga alisema raisi wa tff UNK tenga na makamu wa pili wa rais wa tff ramadhan nassib wataiwakilisha tff katika maziko hayo ambapo sikazwe alikuwa mjumbe wa kamati hiyo kwa miaka mitano na elizabeth mayemba kocha mkuu wa klabu ya simba mzambia patrick phiri ametamba kuwa ameridhika na safu yake ya beki ambayo ilikuwa UNK usingizi tangu aanze kuinoa timu hiyo katika ligi kuu akizungumza dar es salaam juzi phiri alisema ushindi unaoendelea kupatikana katika mechi zake zilizosalia UNK na uimara wa safu hiyo upande wa mabeki ulikuwa UNK sana kwani wapinzani wetu ilikuwa ni rahisi kuipenya ngome hiyo ndiyo maana UNK dakika tano za mwisho tulikuwa UNK alisema phiri alisema kwa sasa kila mechi anaipa umuhimu ili timu yake iweze ishinde na kufanikiwa kucheza michuano ya shirikisho la mpira wa miguu afrika phiri alisema kuwa mechi ya jumapili dhidi ya toto african anaipa umuhimu mkubwa ili aweze kuondoka na pointi tatu akizungumzia mpambano dhidi ya yanga wiki ijayo phiri alisema anaifahamu vizuri yanga na kamwe haiwezi kumsumbua kwani anaichukulia kama nyingine shirikisho la mpira wa miguu tanzania limewaomba wadau wa soka nchini wajitokeze kuisaidia timu ya taifa ya wanawake inayojiandaa kushiriki michuano ya umoja wa vyama vya soka afrika magharibi UNK nchini nigeria michuano hiyo inatarajiwa kuanza kuchezwa agosti kumi na tano hadi ishirini na tisa na kushirikisha mataifa nane tanzania ni nchi mwalikwa na ni mara yake ya kwanza kushiriki michuano hiyo katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela amewaomba wadau wa soka nchini kuisaidia timu hiyo katika maandalizi ya michuano hiyo kwa kuwa tff pekee haitaweza kwani UNK mengi sisi kama tff UNK gharama zote za kambi kwa kipindi chote itakapokuwa kambini kwa sasa tuna UNK mengi hivyo tulikuwa tunaomba wadau wajitokeze kutusaidia alisema mwakalebela alisema timu hiyo inatarajiwa kuondoka agosti kumi lakini kabla ya hapo UNK angalau mechi mbili za kirafiki za kimataifa ili kupima uwezo wao timu hiyo inatarajia kuingia kambini leo katika hoteli ya lamada jijini dar es salaam na ili kufanikisha maandalizi ya safari hiyo jumla ya shilingi milioni arobaini na tano zinahitajika wazee wa klabu ya simba jijini dar es salaam wameandaa kikao cha kuwakutanisha viongozi wote wa kuchaguliwa wa klabu hiyo ili kuzika tofauti zilizopo na kujenga mshikamano wa kudumu kikao hicho kinatarajiwa kufanyika leo saa nane mchana katika makao makuu ya klabu hiyo mtaa wa msimbazi kariakoo jijini dar es salaam hivi karibuni kuliibuka mzozo mkubwa kati ya mwenyekiti wa klabu hiyo hassan dalali na makamu wake omary gumbo ambao walitofautiana baadhi ya mambo akizungumza na gazeti hili mratibu wa kikao hicho ambaye pia ni katibu mkuu wa baraza la wazee abdallah mkopi alisema wanataka amani ndani ya klabu hiyo na ndio maana watakutana ili kuzika tofauti zote zilizopo hatutaki klabu yetu UNK na migogoro sisi wazee wa klabu tumewaita viongozi wote saba wa kuchaguliwa na wazee kumi na mbili ili tuzungumze na kufikia muafaka alisema mkopi alisema kikao hicho kitakuwa na ajenda tatu ambazo ni kuzika tofauti za viongozi kuzungumzia ligi kuu tanzania bara inayoanza agosti ishirini na tatu na kuweka mikakati mizuri ya kufanikisha bonanza la simba litakalofanyika UNK nane mwaka huu kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam mkopi alisema katika kikao hicho UNK wazee kumi na mbili kila wilaya itawakilishwa na wazee wanne akiwemo mwenyekiti wa matawi ya simba mkoa wa dar es salaam ramadhan UNK wakati shirikisho la mpira wa miguu uganda UNK ngumu klabu ya yanga kutoa uhamisho wa kimataifa kwa mchezaji wao stephen bengo uongozi wa klabu ya yanga UNK hofu mashabiki wake kwa kusema kuwa mchezaji huyo atatua nchini wiki ijayo bengo ni miongoni mwa wachezaji wengine UNK ngumu ambao ni diplomate mustapha wa kagera sugar na ndayiminye christopher wa azam fc ambao nao itc zao UNK akizungumza na gazeti hili jana mwenyekiti wa klabu ya yanga imani madega alisema kuwa wana yanga wasiwe na hofu juu ya ujio wa mchezaji huyo kwani mipango ya kukamilisha taratibu za kupata itc yake UNK na wamefikia katika hatua nzuri bengo atatua nchini wiki ijayo kuungana na wenzake na kuhusu itc yake hilo UNK tatizo kwani ni vitu vichache sana ambavyo UNK alisema madega alisema kuwa wachezaji wao wote wa kimataifa waliosajiliwa kwa ajili ya msimu ujao watacheza kwa kuwa bado kuna wiki tatu kabla ya ligi kuu tanzania bara ligi hiyo inatarajia kuanza agosti ishirini na tatu mwaka huu katika viwanja mbalimbali nchini madega alisema kuwa mlinzi joseph UNK anatarajiwa kutua nchini leo baada ya juzi UNK ndege aliongeza kuwa hali ndani ya klabu hiyo ni shwari isipokuwa kuna baadhi ya watu wanataka kuidhoofisha klabu yao kwa migogoro kwa UNK viongozi na wachezaji yanga inatarajiwa kufungua dimba na african lyon iliyopanda daraja msimu huu kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam wakati huo huo madega alisema mchezaji wao athuman idd chuji ameshindwa kuonekana mazoezini kutokana na kuumwa mnyange sia UNK juzi aliibuka malkia mpya wa kanda ya temeke baada ya kuwashinda wenzake kumi na moja katika mashindano ya kanda hiyo yaliyofanyika viwanja vya sigara changgombe jijini dar es salaam mrembo huyo aliwazidi warembo wenzake kwa kujibu swali UNK kwa kujiamini na uhakika jambo ambalo UNK majaji waliokuwa wakiongozwa na mkurugenzi wa miss tanzania hashimu lundenga kumpa umalkia huo kutokana na ushindi huo sia alizawadiwa fedha taslimu shilingi milioni moja tano na kupata nafasi ya kuwakilisha kanda ya temeke katika mashindano ya taifa ya urembo yatakayofanyika oktoba mwaka huu nafasi ya pili ilikwenda kwa fatma yassin UNK kitita cha shilingi milioni moja wakati mshindi wa tatu shani anthony alijinyakulia shilingi themanini sifuri sifuri sifuri sifuri huku stella solomon aliyekuwa wa nne na celina UNK aliyekuwa wa tano kila mmoja aliondoka na shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri washiriki wengine waliobaki kila mmoja alijipatia shilingi mia moja na hamsini sifuri sifuri sifuri ambao ni grace shayo UNK UNK irene christopher sara stephen christine thomas UNK anthony samira UNK wadhamini katika UNK hayo ni UNK s vodacom tanzania UNK security gazeti la jambo leo sofia UNK themanini na nane nne clouds fm na UNK UNK wengine ni kituo cha redio cha kumi sifuri tano times fm UNK masters valley UNK UNK UNK UNK UNK i view UNK na mwanamitindo ally UNK timu ya etoile du sahel ya tunisia juzi UNK vyema uwanja wake wa nyumbani baada ya kuilaza timu ya tp mazembe ya jamhuri ya kidemokrasi kwa mabao mbili moja katika michuano ya kundi b ya klabu bingwa afrika katika mchezo huo ambao ulipigwa mjini tunis tp mazembe ndiyo walikuwa wa kwanza kuzifumania nyavu za wapinzani wao lakini mchezaji ammar UNK UNK mabingwa hao wa afrika mwaka ishirini sifuri saba muda mfupi UNK na madhambi aliyofanyiwa mchezaji UNK UNK beki UNK UNK ndiye UNK timu yake kuondoka na pointi zote tatu baada ya kuiandikia bao la pili timu yake timu za etoile na mazembe zina pointi tatu zikiwa sawa na na timu ya monomotapa ya zimbabwe ambayo iliilaza timu hiyo ya tunisia katika mechi ya ufunguzi mechi nyingine ya kundi b ilitarajia kupigwa jana ambapo timu ya heartland ya nigeria ilikuwa ikiikaribisha timu ya monomotapa ya zimbabwe siku moja baada ya katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania fredrick mwakalebela kufafanua suala la kiungo wa kimataifa wa kenya na yanga george owino timu hiyo UNK na mwakalebela kwa kulizungumzia suala hilo kinyume na taratibu za shirikisho hilo mwakalebela alikaririwa na baadhi ya vyombo vya habari nchini akisema yanga haiwezi kumtumia mchezaji huyo kwa msimu ujao licha ya kuwa na mkataba na timu hiyo kutokana na jina lake kutokuwemo kwenye orodha ya majina ya wachezaji walioombewa usajili tff akizungumza gazeti hili dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo iman madega alisema mwakalebela hawezi UNK kabla ya kamati ya mashindano tff UNK kulijadili suala hilo alisema mwakalebela kwa nafasi yake alitakiwa baada ya kupokea pingamizi kutoka kwa wapinzani wao wa jadi simba ilibidi tff UNK barua wao kuwajulisha kinachoendelea na si kuzungumza na vyombo vya habari bila ya wao UNK ndiyo maana suala hilo sisi hatukutaka kulizungumzia kwa kuwa UNK mikononi mwa tff lakini chakushangaza kwanini mwakalebela UNK pasipo kutushirikisha sisi wenyewe juu ya suala hilo alilalamika madega alisema kwa ufafanuzi alioutoa mwakalebela juu ya suala hilo wakati kamati itakapokutana itajadili nini wakati katibu wa tff alishatoa muongozo wa suala hilo alihoji madega madega alisema mwakalebela hakufuata taratibu na sheria za kazi inawezekana vipi aanze kuizungumzia yanga wakati anajua ipo kamati husika UNK suala hilo yanga si klabu ndogo wanajua wanachofanya hivyo ni vyema wakafanya kazi kwa kushirikiana na klabu klabu ya simba imetangaza viingilio vya mashindano ya UNK lake la simba day ambapo viti maalum ni shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri na viti vya mzunguko itakuwa ni shilingi tatu sifuri sifuri sifuri mashindano yatakayofanyika agosti nane mwaka huu uwanja wa uhuru dar es salaam akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo hassan dalali alisema mashindano hayo yataanza asubuhi kwa kuchezwa mchezo mmoja kati ya timu za vijana chini ya umri wa miaka ishirini za simba na african lyon na baadaye simba na sc villa ya uganda alisema mgeni rasmi katika mashindano hayo atakuwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano samuel sitta ambaye ataambatana na wabunge wengine pamoja na viongozi wa taasisi mbalimbali nchini sc villa UNK nchini agosti sita mwaka huu tayari kwa mchezo huo ambapo siku moja kabla ya kufanyika kwa mashindano hayo wachezaji pamoja na viongozi wa simba watatembelea hospitali ya muhimbili katika hodi ya watoto na wazazi kutoa misaada mbalimbali alisema dalali alisema katika mashindano hayo viingilio kwa jukwaa maalum kitakuwa ni shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri viti vya rangi ya kijani na nyekundu ni shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri jukwaa la kawaida shilingi nane sifuri sifuri sifuri na mzunguko ni shilingi tatu sifuri sifuri sifuri alisema tiketi zitaanza kuuzwa kuanzia agosti sita kwenye vituo mbalimbali UNK baadaye ambapo pia siku hiyo ya mashindano watatoa tuzo mbalimbali kwa watu UNK simba kwa mambo mbalimbali mbali na hayo dalali alisema rais wa timu ya daraja la kwanza ya kongsvinger ya nchini swideni UNK UNK pamoja na baadhi ya mawakala wa timu hiyo UNK UNK na UNK UNK wanatarajia UNK mashindano hayo katika hatua nyingine dalali alisema juzi walikuwa na kikao na wazee wa baraza kujadili matatizo UNK klabu yao na kufikia muafaka ambapo kwa sasa wamemaliza tofauti zao ila mwenyekiti wa baraza hilo ndiyo mwenye nafasi ya kulizungumza kwa undani zaidi wachezaji ishirini na moja wa timu ya taifa ya tanzania taifa stars wameripoti kambini jana tayari kwa ajili kujiandaa na mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya rwanda amavubi unaotarajiwa kupigwa agosti kumi na mbili mwaka huu nchini rwanda akizungumza dar es UNK jana daktari wa timu hiyo juma sufiani alisema wachezaji hao walitarajiwa kuanza kujifua kuanzia jana jioni kwenye uwanja wa karume wakitokea hotelini f j iliyoko msasani dar es salaam baadhi ya wachezaji wameshaanza kuingia kambini kule f j na mazoezi wanaanza rasmi leo jioni kwenye uwanja wa karume wakijiandaa na mchezo huo wa kirafiki alisema sufiani wachezaji ambao UNK jana ni kigi makasi razack khalfan shadrack nsajigwa UNK adamu john bocco tumba swedi himid mao furaha yahya shaaban dihile erasto nyoni zahoro pazzy na stephen mwasika wengine ni rashid gumbo aman UNK yusuph soka haji nuhu salum UNK jerson tegete nurdin bakari mrisho ngassa na mwinyi kazimoto ambapo wachezaji wa simba wataanza kuripoti kambini kuanzia agosti tisa mwaka huu mbali na wachezaji wa simba wachezaji watatu wanaocheza soka la kulipwa ulaya ni nadir haroub canavaro na nizar khalfan wanaocheza nchini canada na henry joseph anayecheza norway wao UNK katika kikosi hicho shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK mkwara simba na kuwataka wachezaji timu hiyo kuripoti katika kambi ya timu ya taifa taifa stars haraka iwezekanavyo ili kuendana na mpangilio wa mazoezi ya kocha mkuu wa timu hiyo marcio maximo akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam jana katibu mkuu wa shirikisho hilo fredrick mwakalebela alisema tff UNK kulumbana na simba katika masuala ya kitaifa hivyo iwaruhusu wachezaji wake kwenda kwenye kambi taifa stars haraka tff imepokea barua ya klabu ya simba juu ya maombi yao ya kuwaruhusu wachezaji wa klabu hiyo walioitwa timu ya taifa kuendelea kuwa na timu yao na wataripoti kwenye timu ya taifa agosti tisa lakini pia waangalie na uzalendo alisema mwakalebela alisema ni vyema ikaeleweka kuwa timu ya simba ipo katika mazoezi na haina mshindano yoyote tofauti na stars ambayo inajukumu la kitaifa katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya rwanda amavubi hapo agosti kumi na mbili mwaka huu mjini kigali mwakalebela alisema kutokana na jukumu hilo la kitaifa uzalendo hauna budi kuwekwa mbele hasa ikizingatiwa kuwa tff imekuwa ikipata wachezaji kutoka katika timu za klabu ikiwemo ya simba alisema kuwa pale panapokuwa na mashindano tff imekuwa UNK na klabu kujadiliana namna ya kuwatumia wachezaji mfano ni wakati taifa stars ilipokuwa na kambi huko brazil februari ishirini sifuri saba wachezaji wa simba UNK timu yao dhidi ya timu ya textile de UNK ya msumbiji na baadae kujiunga na kambi ya timu ya taifa kadhalika wachezaji wa yanga ambao nao waliwahi kurejea nchini ili kushiriki kikamilifu wakati timu yao ikijiandaa na mchezo dhidi ya petro de luanda ya angola alisema mwakalebela alisema pale panapokuwa hakuna mashindano tff imekuwa UNK wachezaji kwa muda mrefu wakati mwingine unakaribia hata mwezi kulingana na mahitaji ya kocha gazeti hili lilipowasiliana na katibu mkuu wa simba mwina kaduguda alisema kuwa bado hawajapata barua ya tff na hata wakiipata itabidi kamati ya utendaji ikae na kujadili wachezaji wa simba walioitwa stars ni juma jabu mussa hassan mgosi juma nyosso ally mustapha UNK danny mrwanda david naftari na kelvin UNK na mwandishi weu timu ya simba leo itakuwa na mtihani mwingine katika harakati zake za kusaka tiketi ya kucheza michuano ya kimataifa mwakani kwa kushika nafasi ya pili itakapokutana na toto afrika ya mwanza mchezo huo ambao utakuwa na upinzani mkali kutokana na toto pia kuwania nafasi hiyo utachezwa katika uwanja wa uhuru dar es salaam pamoja na simba kuwa katika nafasi ya pili ikiwa na pointi thebathini na tatu lakini inahitaji pointi nyingi zaidi ili kujihakikishia kumaliza ligi hiyo ikiwa katika nafasi hiyo mbali na kuwania pointi tatu pia simba itashuka uwanjani ikiwa na lengo la kulipa kisasi dhidi ya wapinzani wao ambao katika mechi ya mzunguko wa kwanza iliyopigwa mwanza iliwafunga mabao nne moja toto yenye pointi ishirini na tano nayo UNK ya kumaliza ligi ikiwa na nafasi ya pili kama ikifanikiwa kushinda michezo yake yote mitatu iliyosalia ambapo itafikisha pointi thebathini na nne huku ikiomba timu zilizokuwa juu yake zipoteze michezo yake iliyobaki kocha mkuu wa simba mzambia UNK phiri amesema hana shaka juu ya mchezo huo kwani mechi ambao ilikuwa UNK kichwa ilikuwa ya kagera ambayo waliibuka na ushindi wa mabao mbili sifuri alisema baada ya kumaliza mchezo na kagera sasa hana wasi wasi na nafasi ya pili kwani UNK wa kuchukua pointi zote tisa zilizobaki kwa akianzia leo ukiacha mchezo dhidi ya toto simba imebakisha michezo mingine dhidi ya watani wao wa jadi yanga utakaopigwa aprili kumi na tisa na mchezo wa mwisho ni dhidi ya polisi dodoma UNK mjini dodoma kondic UNK kichwa kupata kikosi wachezaji wa timu ya yanga jana walilipwa mishahara yao ya miezi miwili ambayo ni ya juni na julai mwaka huu UNK UNK akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo iman madega alisema mambo katika klabu yake ni shwari na kwamba hakuna hata mchezaji mmoja anayedai tena mshahara ni kweli wachezaji wetu wamelipwa mishahara yao japo si jambo jema kutangaza haki ya mtu hivyo sasa hivi yanga ni shwari hakuna tatizo lolote alisema madega wakati huo huo kocha mkuu wa timu hiyo mserbia dusan kondic amesema wiki mbili zilizosalia kabla ya kuanza kwa ligi kuu tanzania bara UNK kwa ajili ya kutengeneza kikosi cha kwanza ligi hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi agosti ishirini na tatu mwaka huu na yanga inatarajia kufungua dimba na timu ya african lyon kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam akizungumza jana kondic alisema baada ya wachezaji wake wote wa kigeni kuwasili nchini wiki hii sasa anaanza rasmi kutengeneza kikosi chake mwanzo ilikuwa UNK vigumu sana kutengeneza kikosi kwa kuwa wachezaji karibu wote wa kigeni ambao UNK kwa ajili ya kuongeza nguvu hawakuwepo lakini kwa kuwa wameripoti sasa naanza kazi hiyo haraka kabla ya ligi alisema kondic alisema sasa changamoto UNK kwa wachezaji wenyewe kufanya mazoezi kwa kujituma ili ya kupata namba katika kikosi cha kwanza kwani karibu wachezaji wote ni wazuri kondic alisema mchezaji atakayekuwa mvivu mazoezini anaweza kujikuta msimu mzima anasota benchi hivyo ni wakati wao sasa wa kuonesha uwezo mazoezini wachezaji wa kigeni wa yanga UNK wiki hii ni stephen bengo jama mba joseph shikokoti kabongo UNK na john njoroge na erasto stanslaus shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK wachezaji mussa hassan mgosi wa simba na kipa wa mtibwa sugar shabani kado kucheza mechi hadi kamati ya mashindano ya tff itakapokutana kutoa hatma yao mgosi na kado wanatarajiwa kujadiliwa na kamati hiyo kutokana na kitendo cha kupigana uwanjani wakati timu zao zilipokutana katika mchezo wa ligi kuu uliofanyika machi ishirini na tatu mjini morogoro ambapo simba ililala bao moja sifuri akizungumza dar es salaam jana katibu wa tff fredrick mwakalebela alisema simba na mtibwa haziwezi kuwatumia wachezaji hao hadi kamati hiyo itakapotoa uamuzi juu ya tukio hilo alisema baada ya kamati hiyo kushindwa kukutana jana na kutoa uamuzi wa tukio hilo tff UNK barua klabu UNK kutowatumia wachezaji hao mwakalebela alisema kamati hiyo awali ilipanga kukutana wiki iliyopita lakini ilishindikana na badala yake walitakiwa kukutana jana ambapo pia UNK baada ya wajumbe wa kamati hiyo UNK kimsingi wachezaji hao hawawezi kutumika hadi kamati hiyo itakapotoa uamuzi kutokana na tukio lao la kugombana uwanjani hivyo timu hizo zote UNK wachezaji hao katika michezo ya hivi karibuni alisema mwakalebela alisema kamati hiyo itakutana haraka iwezekanavyo ili kuzipa fursa timu hizo kuwatumia wachezaji hao kama watakuwa huru au UNK kwa mujibu wa kanuni za ligi kuu wachezaji hao wanaweza kufungiwa kucheza soka si chini ya miezi mitatu hadi sita pamoja na faini isiyozidi shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri kama watagundulika kufanya kosa hilo kwa makusudi simba itamkosa mgosi katika mchezo wake wa leo dhidi ya toto african yanga na polisi dodoma wakati mtibwa itamkosa kado katika michezo yake dhidi ya jkt ruvu toto na polisi morogoro kocha mkuu wa timu ya taifa ya tanzania taifa stars marcio maximo ametangaza kikosi cha wachezaji ishirini watakaokwenda nchini rwanda kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya timu hiyo awali maximo alitangaza majina ya wachezaji thebathini na moja lakini ishirini ndio watakaosafiri kwa ajili ya mchezo huo wa kimataifa wa kirafiki uliopangwa kufanyika agosti kumi na mbili mjini kigali akitangaza majina hayo maximo alisema katika wachezaji hao ishirini UNK kulingana na vigezo kama vya awali na kulingana na ugumu wa mchezo huo alisema katika wachezaji kumi na moja aliowaacha kuna baadhi yao ni majeruhi na wengine kutokana na uzoefu waliokuwa nao aliwataja wachezaji watakaosafiri ni shabani dihile ali mustapha juma jabu erasto nyoni david naftar stephano mwasika shabani nditi kelvin yondani juma nyoso na mwinyi kazimoto wengine ni nurdin bakari razack khalfan mrisho ngassa jerry tegete danny mrwanda rashid gumbo kigi makasi john bocco zahoro pazi na salum sued alisema UNK shadrack nsajigwa kutokana na kuwa majeruhi wakati musa hassan mgosi UNK katika kikosi hicho baada ya kwenda norway kufanya majaribio alisema katika mchezo huo tegete ataanzia benchi baada ya kuwa majeruhi lakini sasa ameanza kufanya mazoezi ya mepesi alisema kipa shabani kado anaweza kuchukua nafasi ya dihile ambaye hali yake bado sio nzuri lakini UNK katika msafara huo huku UNK maendeleo ya afya yake kikosi hicho kinatarajia kuondoka kesho jioni kwa ndege ya shirika la ndege la kenya huku kukiwa na msafara wa watu thebathini na mkuu wa msafara huo atakuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya tff UNK UNK chelsea jana ilitwaa ubingwa wa ngao ya jamii baada ya kuifunga manchester united kwa mikwaju ya penalti nne moja katika mechi iliyochezwa uwanja wa wembley england katika dakika tisini za kawaida timu hiyo UNK na mabao mbili mbili mechi ya ngao ya hisani UNK timu bingwa wa ligi kuu england na bingwa wa kombe la fa hufanyika kabl ya kuanza msimu mpya wa ligi katika mechi hiyo united ikicheza england kwa mara kwanza bila ya kuwa na UNK ronaldo ilianza kupata goli kupitia kwa nani kwa shuti kali dakika ya kumi akitumia vizuri pasi kutoka darren UNK washambuliaji wa chelsea inayonolewa na kocha carlo UNK didier drogba florent malouda nicolas anelka walijitahidi kusawazisha UNK goli hadi kipindi cha kwanza UNK chelsea ilianza kipindi cha pili kwa kutawala mchezo ilisawazisha goli dakika ya hamsini na mbili kupitia kwa beki ricardo carvalho hamsini na mbili kwa kichwa baada ya kuwabana wapinzani wao chelsea iliongeza UNK na kupata bao la pili dakika sabini liliwekwa kimiani na frank lampard kwa shuti kali ambalo kipa wa united ben foster alijaribu UNK lakini mpira iliingia kimiani goli hilo lilianzia kwa didier drogba ambaye UNK UNK kichwa lampard wachezaji UNK walilalamika kufuatia ballack kumchezea faulo evra kabla ya kufungwa kwa goli hilo baada ya ya kufungwa goli hilo kocha ferguson alifanya mabadiliko kwa kuwatoa dimitar berbatov john o shea darren fletcher na ji sung park UNK paul paul scholes ryan giggs michael owen na fabio da silva mabadiliko hayo UNK united kusawazisha goli katika muda wa nyongeza kupitia wayne rooney katika mikwaju ya penalti kipa wa chelsea petr cech alikuwa shujaa kwa kuokoa mikwaju miwili ya ryan giggs na patrice evra huku wachezaji chelsea goal salomon kalou didier drogba michael ballack na lampard UNK united ilipata goli yake mawili kupitia michael UNK wakati huo huo lazio jana iliibuka na ushindi wa mabao mbili moja dhidi ya inter milan na kutwaa ubingwa wa kombe la copa UNK pamoja na klabu ya sc villa ya uganda kumruhusu mchezaji wake stephen bengo kuichezea timu ya yanga klabu hiyo imeipa yanga masharti akizungumza jijini dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu ya yanga iman madega alisema tayari wamemalizana na villa ikiwa ni pamoja na kukamilisha malipo yote pamoja na kukamilisha malipo hayo bado klabu ya villa imetupa masharti kwamba endapo UNK bengo klabu nyingine tunatakiwa UNK na wao asilimia thebathini ya mauzo yake alisema madega alisema uongozi wa klabu ya villa ulidai kuwa bengo ni mchezaji ambaye UNK tangu akiwa mdogo hivyo wangependa kuona nao wananufaika kupitia kwa mchezaji huyo madega alisema mbali ya kutakiwa kufanya hivyo nao pia watatakiwa kukaa pamoja na kuona kama wataweza kulipa kiasi hicho UNK UNK mchezaji huyo au kupunguziwa kiasi hicho na sisi UNK tutakaa chini na kuona kama kutakuwa na uwezekano wa kutoa kiasi hicho cha asilimia thebathini au kuomba kupunguziwa alisema madega alisema wana yanga waliokuwa na hofu ya kumkosa mchezaji huyo waondoe hofu hiyo kwa kuwa tayari hati yake ya uhamisho wa kimataifa UNK yatakiwa kupunguza mmoja wa kimataifa shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK pingamizi lililotolewa na uongozi wa klabu ya simba la kuitaka klabu ya yanga UNK mchezaji wake george owino kwa kuwa bado ana mkataba wa kuichezea timu hiyo awali simba UNK yanga pingamizi tff baada ya UNK jina la mchezaji huyo katika usajili wao mpya na kuitaka tff UNK haki akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema kuwa kamati ya mashindano ya tff UNK mchezaji huyo kuichezea yanga katika msimu huu mpya kamati ya mashindano UNK owino kuwa mchezaji halali wa yanga hivyo ataendelea kuitumikia klabu hiyo alisema mwakalebela alisema klabu ya yanga inapaswa ipange muda wa siku tano kupunguza idadi ya wachezaji wake wa kigeni UNK usajili msimu ya ishirini sifuri tisa kumi ili kubakiwa na wachezaji kumi kwa mujibu wa kanuni ya hamsini na tatu ya ligi kuu ya vodacom yanga wanatakiwa kufanya hivyo kwa kuwa ina wachezaji kumi na moja wa kigeni hivyo wanatakiwa kubakia kumi alisema mwenyekiti wa klabu ya yanga imani madega alipoulizwa alisema alisema watajitahidi ndani ya siku hizo tano kupunguza jina la mchezaji mmoja wa kimataifa kama UNK na tff timu ya soka ya tanzania taifa stars jana imeifunga timu ya taifa ya rwanda amavubi mabao mbili moja katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliochezwa kwenye uwanja wa UNK mjini kigali kwa matokeo hayo tanzania imezidi kujiweka katika nafasi nzuri ya kupanda kwenye chati ya shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu ambapo mara ya mwisho ilipanda hadi nafasi ya tisini na tatu hadi kipindi cha kwanza UNK timu zote zilitoka suluhu kutokana na timu zote kupania kutoka uwanjani kifua mbele stars ndiyo iliyokuwa ya kwanza UNK nyavu za wapinzani wao ambapo katika dakika ya hamsini na mbili rashid gumbo aliifungia stars bao la kwanza baada ya kupata pasi kutoka kwa jerry tegete dakika ya hamsini na tano amavubi walisawazisha bao hilo kupitia kwa mchezaji wake UNK UNK lakini stars UNK mashabiki wa rwanda baada ya kuongeza bao la pili dakika ya sitini na moja kupitia kwa jerry tegete mechi hiyo imepigwa kwa mujibu wa kalenda ya fifa ambapo nchi mbalimbali duniani zilikuwa na mechi za kirafiki za kimataifa kampuni ya simu za mkononi vodacom imetenga kiasi cha shilingi bilioni moja moja kwa ajili ya mashindano ya ligi kuu ya mpira wa miguu ishirini sifuri tisa ishirini moja sifuri inayotarajia kuanza agosti ishirini na tatu mwaka huu akizungumza dar es salaam jana wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa timu zinazoshiriki ligi hiyo kwa msimu huu mkuu wa udhamini na mawasiliano wa vodacom george UNK alisema udhamini wa kampuni yake umekuwa UNK mwaka hadi mwaka ambapo kwa mwaka jana ulikuwa udhamini wa shilingi milioni mia nane na hamsini alisema kwa mwaka huu udhamini kwa shirikisho la mpira wa miguu tanzania ni shilingi milioni mia sita na kumi na tatu ambapo vifaa ni shilingi milioni mia mbili na sitini pamoja na matangazo shilingi milioni ishirini sifuri ambapo jumla ya udhamini huo umefikia shilingi bilioni moja moja na kwamba tayari kiasi cha shilingi milioni kumi nane kimeingizwa katika akaunti ya tff kwa ajili ya hatua za awali bado UNK kuboresha udhamini wetu mwaka hadi mwaka na endapo kutakuwa na kampuni yoyote inayotaka kujiunga na sisi katika kudhamini ligi hii UNK alisema UNK alisema mbali na uendeshaji wa soka kuwa na gharama kubwa lakini kampuni yake imejipanga kuhakikisha UNK vipaji vya soka nchini kwa kuwa soka ni moja ya ajira kwa vijana naye naibu waziri wa habari utamaduni na michezo joel bendera amewapongeza vodacom kwa jitihada za kukuza na kuendeleza soka nchini ambapo pia amewataka viongozi wa klabu kushirikiana vema na tff ili ligi hiyo isiwe na migogoro itakayoweza kuwasababisha wadhamini kugoma kuendelea kudhamini ligi hiyo siku zote migogoro ni adui wa maendelea katika UNK yoyote hivyo UNK kama viongozi wa klabu mnatakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuonesha nidhamu ya hali ya juu ili kukuza soka letu alisema bendera bendera amesifu jitihada zinazofanywa na UNK hao wa klabu katika kuwafundisha soka vijana soka la kisasa ambalo UNK kazi kocha wa timu ya taifa kuweza kufundisha vijana hao katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema anaimani na ligi ya mwaka huu kuwa na msisimko wa juu kutokana na kanuni walizozitoa kuwa na ubora na changamoto kubwa ikilinganishwa na miaka iliyopita alisema ligi hiyo itaanza rasmi agosti ishirini na tatu ambapo ngao ya hisani itazinduliwa jumapili kati ya mabingwa watetezi wa ligi hiyo timu ya yanga na washindi wa tatu wa ligi hiyo mtibwa UNK viongozi waliofika kwa ajili ya kupokea vifaa hivyo ni kutoka timu ya simba yanga mtibwa suger toto afrika manyema azam majimaji jkt ruvu prison kagera suger afrika UNK na moro united ambazo zinashiriki ligi hiyo msimu huu timu ya yanga leo inatarajia kuwapima wachezaji wake UNK kwa ajili ya msimu huu wa ishirini sifuri tisa kumi katika mchezo dhidi ya timu ya mamlaka ya mapato ya uganda mchezo huo ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapima timu za simba na yanga umepangwa kufanyika katika uwanja wa uhuru dar es salaam yanga haijawahi kucheza mchezo wa kirafiki na timu ngumu kama hiyo tangu UNK hivyo mchezo utakuwa kipimo tosha kwa kikosi hicho kinachonolewa na dusan kondic ura wanatarajia kuwa kipimo tosha kwa yanga kutokana na ubora wake mara ya mwisho timu hiyo iliifunga simba bao moja sifuri katika mchezo wa nusu fainali ya kagame lakini walimaliza ikiwa katika nafasi ya pili baada ya kufungwa na tusker ya kenya katika fainali kondic anatarajiwa kutumia mchezo huo kupata kikosi chake cha kwanza ambacho aliwahi kusema kuwa bado UNK kutokana na kuwa ni kazi ngumu kupata kikosi hicho mbali na kondic lakini pia mchezo huo unaweza kutumiwa na wachezaji wapya wa kikosi hicho kwa kujihakikishia kupata namba katika kikosi hicho yanga watatumia mchezo huo moja ya maandalizi ya mchezo wao wa ngao ya hisani dhidi ya mtibwa sugar utakaofanyika katika uwanja huo keshokutwa waandaaji wa mchezo huo wametangaza kiingilio kitakuwa shilingi kumi na tano sifuri sifuri sifuri kwa viti maalumu kumi sifuri sifuri sifuri jukwaa kuu shilingi saba sifuri sifuri sifuri jukwaa la kijani na mzunguko watalipa shilingi tatu sifuri sifuri sifuri ura kesho watakuwa na mchezo dhidi ya simba utakaofanyika katika uwanja huo huo kwa UNK hilohilo la kuwapa maandalizi kwa timu hizo katika ligi manchaster united jana ilianza vyema kutetea ubingwa wake ligi kuu uingereza kwa kuibuka na ushindi wa bao moja sifuri dhidi ya birmingham kwenye uwanja wa old trafford bao pekee la united lilifungwa na mshambuliaji wake wayne rooney ambaye alitimiza bao la tisini na tisa akiwa na manchester united rooney alifunga goli hilo kwa UNK mpira wa nani aliopiga na kugonga mlingoti wa goli na UNK dakika ya ishirini na nne juzi usiku arsenal ilifanya kufuru ugenini kwa kuifunga everton mabao sita moja na kuongoza ligi kutokana na kuwa na mabao mengi mabao ya ya arsenal yalifungwa na UNK dakika ishirini na sita vermaelen dakika ya thebathini na saba gallas dakika ya arobaini na moja fabregas dakika ya arobaini na nane daktari sitini na tisa na eduardo dakika ya themanini na nane huku bao la kufutia machozi la everton likifungwa na luis saha dakika ya tisini timu ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka kumi na saba serengeti boys imeondoka nchini jana kwenda nchini sudan kwenye michuano ya kombe la challenge ya vijana ikiwa na matumaini makubwa ya kurudi na kombe hilo serengeti boys iliondoka jana saa nne asubuhi huku wakiongozwa na mkuu wa msafara huo mjumbe wa kamati ya utendaji ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania msafiri UNK michuano hiyo itaanza kutimua vumbi keshokutwa akizungumza kabla ya kuondoka dar es salaam jana nahodha wa timu hiyo hamis UNK alisema wanakwenda sudan kwa ajili ya kushindana na si kushiriki hivyo watanzania wategemee mambo mazuri kutoka kwao sisi kama wachezaji tumejiandaa vizuri hivyo kazi iliyobaki ni kwa watanzania kutuombea dua ili tuweze kutimiza ndoto zetu alisema UNK alisema timu zote zinazoshiriki michuano hiyo ni timu zenye uzoefu mkubwa hivyo pamoja na kukumbana na upinzani mkali watacheza kufa au kupona ili waweze UNK vyema bendera ya taifa naye kocha mkuu wa timu hiyo mbrazil rodrigo stockler alisema wamejiandaa vizuri ila kazi iliyopo ni wachezaji wenyewe kutekeleza yale UNK katika hatua nyingine timu ya taifa ya vijana ya nigeria imejitoa katika mashindano hayo baada ya wachezaji wao kufanyiwa uchunguzi wa afya zao katibu mkuu wa baraza la vyama vya michezo vya mpira wa miguu afrika mashariki na kati UNK musonye alisema jana kuwa baada ya uchunguzi huo timu hiyo iliamua kujiondoa kwa kuwa ipo katika maandalizi ya kombe la dunia na badala yake timu ya taifa ya malawi imechukua nafasi hiyo timu ya mtibwa sugar jana ilitwaa ngao ya hisani baada ya kuwabamiza mabingwa soka tanzania bara yanga mabao mbili moja katika mechi iliyopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam kwa matokeo hao mtibwa UNK rasmi kutwaa ngao hiyo ambayo mapato yaliyopatikana mlangoni yatapelekwa kwa watu UNK mtibwa ndiyo iliyoanza kuliona lango la yanga ambapo katika dakika ya arobaini na mbili obadia mungusa UNK mpira wavuni baada ya mabeki wa yanga kujichanganya kipindi cha pili kilianza kwa kasi huku yanga ikionekana kulisakama lango la mtibwa na kufanikiwa kusawazisha bao hilo dakika ya hamsini na mbili lililowekwa kimiani na mike barasa kwa mpira wa krosi uliopigwa na moses odhiambo hata hivyo sherehe za yanga zilizimwa na mshambuliaji wa mtibwa sugar pius kisambale ambaye alipigilia msumari kwenye lango la timu hiyo kwa kufunga bao la pili na la ushindi katika dakika ya tisini kutokana na uzembe wa mabeki wa yanga ambao walizubaa baada ya mechi hiyo kumalizika wachezaji wa yanga UNK kutoa mikono kwa wachezaji wa mtibwa na kwa vingozi wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania ambapo shirikisho hilo lenye dhamana ya soka UNK kukaa kujadili kitendo hicho kutokana na hatua hiyo makamu wa pili tff nassib ramadhani alisema kuwa yanga ilikiuka kanuni za mpira wa miguu kwa kuchezesha wachezaji wanane wa kigeni badala ya watano kama inavyotakiwa kitu ambacho tff imepanga kuijadili timu hiyo yanga curkovic obren joseph shikokoti wisdom ndlovu athuman idd odhiambo jama mba jerison tegete barasa amir maftah boniface godfrey na fred mbuna mtibwa shaban kado mungusa idrissa rajabu david mwantobe soud abdallah chacha marwa kisambale abdulkarim amour shaaban nditi said mkopi zahoro pazzi na said rashid kipigo cha mabao mbili moja walichopata yanga kutoka kwa mtibwa sugar kimeleta mtafaruku kati kocha mkuu wa timu hiyo dusan kondic na uongozi wa klabu hiyo ambao UNK na matokeo hayo yanga juzi ilikubali kipigo hicho mbele ya mtibwa katika mchezo wa ngao ya hisani hali iliyosababisha baadhi ya wachezaji kutaka kupigwa na mashabiki wachezaji ambao UNK na kipigo hicho ni razack UNK na joseph shikokoti ambao inadaiwa walisababisha bao la ushindi la mtibwa lililofungwa dakika za mwisho za mchezo huo na pius UNK akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa klabu hiyo lucas kisasa alisema uongozi UNK na matokeo hayo ambayo UNK na wachezaji pamoja na kocha wao alisema uongozi umepokea matokeo hayo kwa masikitiko na kutokana na hali halisi ya kupoteza mchezo huo lazima uongozi UNK suala hilo kwa undani zaidi ule mchezo ulikuwa ni mchezo wa mashindano hivyo mwalimu hakupaswa kumwingiza razack ambaye hata baada ya kuingia hakufanya vizuri na ndiye aliyesababisha goli hilo hii UNK sana viongozi alisema kisasa alisema pia tatizo lingine katika kikosi hicho ambacho uongozi umejipanga kulipatia ufumbuzi ili kuziba pengo la beki wake wa kati nadir haroub cannavaro UNK canada kwenye timu ya vancouver UNK kisasa alisema wachezaji wanaocheza nafasi hiyo wameonekana bado wanashindwa kuzipa pengo hilo hivyo lazima wafanye jambo la kuziba nafasi hiyo kabla ya ligi kuanza kondic ambaye amebakisha miezi mitatu kabla ya kumalizika kwa mkataba wake wa kuinoa timu hiyo hivi karibuni amekuwa akikumbwa na misukosuko ndani ya klabu hiyo ikiwa ni pamoja na kuhamishwa kutoka hoteli ya new africa na kupangiwa kwenye hoteli ya valley view iliyopo mtaa wa kongo kariakoo wakati yanga ikisubiri rufani yake UNK shirikisho la mpira wa miguu tanzania kupinga hatua ya kupunguza mchezaji mmoja wa kimataifa klabu hiyo imepanga kumpiga panga moses odhiambo endapo rufani UNK yanga imetakiwa kupunguza mchezaji mmoja wa kimataifa kutokana na kukiuka kanuni za tff kwa kuwasajili kumi na moja na kuvuka idadi ya wageni ambao wanatakiwa kusajiliwa kumi habari za uhakika zilizopatikana dar es salaam jana zilieleza kuwa baadhi ya viongozi wametoa mapendekezo yao endapo rufani hiyo itatupwa odhiambo ndiyo aondolewe kwa kudaiwa kuwa ni mtovu wa nidhamu ujue yanga inapenda wachezaji wenye nidhamu na odhiambo kusajiliwa kwake ni pendekezo la kocha dusan kondic lakini tumegundua mchezaji huyo ni mtovu wa nidhamu hivyo kuna uwezekano mkubwa UNK yeye kilidai chanzo hicho chanzo hicho kilieleza kuwa pamoja na odhiambo kuwa mchezaji mzuri lakini tatizo lake kubwa ni nidhamu na ndiyo maana katika timu yake ya apr ya rwanda alifukuzwa kutokana na tabia hiyo ilidaiwa kondic anaonekana kumkingia kifua mchezaji huyo na kutaka UNK lakini baadhi ya viongozi UNK tena baada ya kuchoshwa na mambo yake mabingwa wa soka tanzania bara yanga wapo hatarini kuvuliwa ubingwa endapo watashindwa kuajiri watendaji wa klabu hiyo kama UNK na shirikisho la mpira wa miguu tanzania azimio hilo la tff lilipitishwa katika semina ya klabu hizo iliyofanyika mwaka juzi ambapo klabu hizo za ligi kuu zilitakiwa kuwa na katibu mtendaji ofisa habari pamoja na mhazini wa kuajiriwa kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na tff dar es salaam jana ilieleza kuwa mwisho wa kufanya hivyo ni jumamosi na timu ambayo UNK agizo hilo haitashiriki ligi hiyo yanga ni moja kati ya timu ambazo hazijakamilisha taratibu hizo hivyo endapo kama hadi wakishindwa kufanya hivyo hadi jumamosi watakuwa UNK ubingwa huo taarifa hiyo iliyosainiwa na katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela ilieleza kuwa klabu yoyote itakayoshindwa kuwasilisha majina hayo haitashiriki ligi hiyo itakayoanza jumapili hadi jana tayari klabu kumi zilikuwa UNK majina ya watendaji wao ambazo ni african lyon azam fc kagera sugar majimaji manyema rangers ruvu stars jkt simba tanzania prisons na toto UNK mbali na yanga klabu nyingine ambazo bado hazijakamilisha taratibu za kuajiri watendaji hao ni mtibwa sugar na moro united taarifa hiyo ilieleza kuwa msimamo wa tff ni kuwa klabu ambayo UNK taratibu hizo haitashiriki katika ligi msimu wa ishirini sifuri tisa kumi bila ya kuangalia ni klabu gani haijafanya hivyo kadhalika tff haitaishia kupokea majina ya watendaji hao lakini baada ya mchakato wa ajira kukamilika UNK utaratibu wa kupata mikataba ya ajira za watendaji wa klabu ili UNK wakati tff ikitoa taarifa hiyo katibu mkuu wa klabu ya yanga lucas kisasa alisema wanatarajia kuwa leo UNK barua za maombi ya nafasi hizo ili baada ya hapo waanze mchakato wa kupitisha majina ya watendaji hao wachezaji wa timu ya simba haruna moshi boban ramadhan chombo redondo na jabir aziz wataikosa mechi ya ufunguzi ya ligi kuu ya vodacom dhidi ya majimaji itakayopigwa uwanja wa majimaji mjini songea simba iliondoka jijini dar es salaam jana ikiwa na msafara wa wachezaji ishirini na tatu pamoja na viongozi wanne huku mkuu wa msafara akiwa makamu mwenyekiti wa klabu hiyo omar gumbo akizungumza dar es salaam jana ofisa wa habari wa klabu hiyo UNK ndimbo alisema wachezaji wote walioondoka wapo katika hali nzuri wachezaji wetu redondo boban na jabir hawakuwemo kwenye msafara huo kwa kuwa boban ametoka kuoa hivi karibuni jabir na redondo wao ni majeruhi alisema ndimbo alisema wachezaji wao waliosimamishwa ulimboka mwakingwe na george nyanda wao hawakuwemo katika msafara wa timu hiyo hivyo baada ya timu kurudi dar es salaam UNK ndimbo alisema viongozi wengine wa simba wanatarajia kuondoka ijumaa wakati mashabiki nao wataondoka jumamosi kwenda kuipa nguvu timu za taifa za vijana wenye umri chini ya miaka kumi na saba za tanzania bara na zanzibar zitashuka uwanjani leo kuwania kombe la chalenji UNK nchi za afrika mashariki na kati katika viwanja tofauti nchini sudan serengeti boys itakuwa na kibarua kizito dhidi ya wenyeji wa michuano hiyo sudan mchezo utakaochezwa kwenye uwanja wa bashir mjini UNK wakati karume boys UNK na timu ya vijana ya kenya mchezo utakaochezwa mjini UNK wawakilishi wa tanzania bara wao watakuwa na kazi kubwa kwani UNK na wenyeji wa michuano hiyo nyumbani kwao lakini kwa zanzibar wao watacheza na kenya mechi ambayo kila mmoja hana uhakika nayo mchezo huo ni wa kundi b serengeti boys waliondoka nchini wakiwa na matumaini makubwa ya kufanya vizuri huku wakiahidi kuipeperusha vyema bendera ya taifa nchini sudan mechi hiyo ni ya kundi a mbali na mchezo huo mwingine utakuwa kati ya somalia na malawi ambao ni waalikwa katika mashindano hayo malawi imechukua nafasi ya nigeria ambayo imejiondoa baada ya kwenda UNK UNK kwa ajili ya kuchunguza afya za wachezaji wake kabla ya fainali za kombe la dunia la vijana zitakazofanyika nchini kwao UNK hiyo ya chalenji kwa vijana ilifunguliwa rasmi na makamu wa kwanza wa rais wa sudan silva UNK na itamalizika agosti thebathini na moja mwaka huu kiongozi mmoja wa klabu ya simba anadaiwa kuzichapa na mchezaji wake danny mrwanda wakati wakiwa safarini juzi walipokuwa wakienda songea kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu tanzania bara dhidi ya majimaji utakaochezwa jumapili uwanja wa majimaji tukio hilo lilitokea juzi wakati timu hiyo ikiwa mkoani morogoro ambapo kiongozi huyo na mrwanda walianza mzozo muda mrefu na kuishia UNK wakati mrwanda akiwa UNK na kiongozi huyo wachezaji wa timu hiyo walikuwa wakishangilia hali iliyomfanya kiongozi kupandwa na jazba kutokana na hali hiyo wachezaji walipofika songea UNK uongozi wa klabu hiyo ulioambatana na timu kumrudisha kiongozi huyo dar es salaam habari za uhakika zilizopatikana zilidai baada ya hapo viongozi walifanya jitihada za UNK kiongozi huyo jana ambapo mwenyekiti wa simba hassan dalali jana alikwenda songea kwa kile kinachodaiwa kuziba pengo la huyo kiongozi meneja wa timu hiyo innocent njovu alipoulizwa suala hilo kwa simu ili kuthibitisha tukio hilo alikana kutokea kwa UNK huo na kudai kiongozi huyo anarudi dar es salaam kwa ajili ya kwenda kusikiliza rufani ya uhuru seleman hakuna kitu kama hicho isipokuwa UNK tiketi ili aweze kuwahi dar es salaam kwa ajili ya kusikiliza rufani ya uhuru alisema njovu hata hivyo mmoja wa viongozi wa simba ambaye hakutaka kuandikwa jina lake gazetini alikiri kutokea kwa tukio hilo ikiwa imebaki siku moja kabla ya kufikia tamati kwa klabu zitakazoshiriki ligi kuu tanzania bara msimu wa mwaka ishirini sifuri tisa kumi kuwasilisha majina ya watendaji wao wa kuajiriwa yanga leo inatarajia kutangaza hadharani majina ya watendaji wake itakayowaajiri kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirikisho la mpira wa miguu tanzania hivi karibuni ilieleza kwamba kesho ndiyo siku ya mwisho kwa klabu ambazo hazijatekeleza azimio lililopitishwa katika semina iliyofanyika mwaka juzi mjini bagamoyo pwani akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo iman madega alisema kila kitu kimekamilika na leo watatangaza majina ya watendaji wao wa kuajiriwa kama tff ilivyoagiza mchakato wetu wa kupata watendaji wa kuajiriwa tayari umeshakamilika na kesho tutatangaza kwa vyombo vya habari baada ya zile kampuni tulizozipendekeza kukamilisha suala hilo kwa wakati muafaka alisema madega katika hatua nyingine timu ya moro united nayo inadaiwa kukamilisha suala hilo la kuajiri watendaji ambapo tayari juzi waliwasilisha majina hayo tff alipotafutwa mwenyekiti wa timu hiyo abdul sauko kuzungumzia suala hilo alikiri kukamilika kwa suala hilo na tayari wamewasilisha majina ya watendaji wao tff hivyo kwa kuwa suala hilo sasa lipo mikononi mwa tff ambao ndiyo watakaokuwa na jukumu la kuwataja viongozi hao hata hivyo ofisa habari wa tff florian kaijage alipoulizwa kuhusu suala hilo alisema hana taarifa yoyote juu ya timu hiyo kuwasilisha majina ya watendaji wake ila na yeye alisikia kupitia chombo kimoja cha habari ikiwa imebaki siku moja kabla ya kufikia tamati kwa klabu zitakazoshiriki ligi kuu tanzania bara msimu wa mwaka ishirini sifuri tisa kumi kuwasilisha majina ya watendaji wao wa kuajiriwa yanga leo inatarajia kutangaza hadharani majina ya watendaji wake itakayowaajiri kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirikisho la mpira wa miguu tanzania hivi karibuni ilieleza kwamba kesho ndiyo siku ya mwisho kwa klabu ambazo hazijatekeleza azimio lililopitishwa katika semina iliyofanyika mwaka juzi mjini bagamoyo pwani akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo iman madega alisema kila kitu kimekamilika na leo watatangaza majina ya watendaji wao wa kuajiriwa kama tff ilivyoagiza mchakato wetu wa kupata watendaji wa kuajiriwa tayari umeshakamilika na kesho tutatangaza kwa vyombo vya habari baada ya zile kampuni tulizozipendekeza kukamilisha suala hilo kwa wakati muafaka alisema madega katika hatua nyingine timu ya moro united nayo inadaiwa kukamilisha suala hilo la kuajiri watendaji ambapo tayari juzi waliwasilisha majina hayo tff alipotafutwa mwenyekiti wa timu hiyo abdul sauko kuzungumzia suala hilo alikiri kukamilika kwa suala hilo na tayari wamewasilisha majina ya watendaji wao tff hivyo kwa kuwa suala hilo sasa lipo mikononi mwa tff ambao ndiyo watakaokuwa na jukumu la kuwataja viongozi hao hata hivyo ofisa habari wa tff florian kaijage alipoulizwa kuhusu suala hilo alisema hana taarifa yoyote juu ya timu hiyo kuwasilisha majina ya watendaji wake ila na yeye alisikia kupitia chombo kimoja cha habari fainali za mchezo wa pool ngazi ya taifa zinatarajia kufanyika leo katika ukumbi wa royal zambezi jijini mbeya katika fainali hizo ambapo mikoa kumi na mbili UNK kuanzia agosti ishirini mwaka huu na kilele chake kitakuwa leo katika ukumbi huo ambapo bingwa ndiyo UNK mashindano hayo ambao yalianzia kwenye ngazi ya mikoa hadi sasa taifa UNK na kampuni ya bia tanzania kupitia bia yake ya safari lager hivyo mashindano hayo kupewa jina la safari lager pool UNK timu hizo za mikoa zimeundwa kutokana na mashindano ngazi ya mikoa UNK na vyama vya mikoa husika vya mchezo huo mikoa ambayo imetinga katika fainali hizo ni ilala temeke kinondoni morogoro tanga kilimanjaro arusha manyara dodoma mwanza iringa na wenyeji mbeya ngazi ya mikoa ya michuano hiyo ilianza rasmi julai nne hadi agosti tisa mwaka huu ambapo iliendeshwa kwa mtindo wa kushirikisha timu ambazo zimesajiliwa katika vyama vya mikoa husika pamoja na kupata mabingwa wa mikoa lakini michuano hiyo ndiyo UNK kupata wachezaji waliounda timu za mikoa zinazoshiriki katika fainali hizo fainali hizi zinafanyika kwa mara ya tatu lakini hii ni fainali ya kwanza kufanyika nje ya jiji la dar es salaam kwa lengo la kuleta hamasa za mchezo huo mikoani akizungumza na mwandishi wa makala haya meneja wa bia ya safari fimbo butallah alisema fainali hizo zimefanikiwa sana kutokana na kupata mwitikio wa hali ya juu kutoka kwa wapenzi wa mchezo huo wa mkoa wa mbeya na mikoa ya jirani alisema ushindani mkubwa ulioneshwa katika fainali hizi umetokana na ushindani uliokuwepo katika ngazi ya mikoa na kufanikiwa kuunda timu imara ushindani katika fainali hizi ni mkubwa kuliko mashindano yaliyopita kiasi cha kushindwa kutabiri bingwa wa michuano hiyo na hii imetokana na maandalizi ya muda mrefu yaliyofanywa na timu hizo alisema butallah alisema kikubwa kwao UNK wakazi wa mbeya kuwaunga mkono kwa kuhudhuria kwa wingi katika fainali hizo na iwe changamoto kwao katika kuleta hamasa ya mchezo huo hii ni nafasi ya pekee kwa wakazi wa mbeya kujionea fainali hizo na kupata fursa kwa wakazi ya jiji hilo kuzishangilia timu za mikoa yao zitakapokuwa katika michuano hiyo alisema butallah butallah alisema katika kuhamasisha mchezo huo timu zote UNK na tbl kuanzia nauli ya kwenda na kurudi mbeya malazi chakula na usafiri wa ndani wakati timu zitakapokuwa jijini humo michuano ya mchezo wa pool imepata umaarufu na kuongeza mashabiki kutokana na udhamini mnono unaotolewa na tbl kupitia bia yake ya safari lager zawadi katika fainali za mwaka huu zimeboreshwa kwa lengo la kutoa hamasa kwa wachezaji wa mchezo huo na mikoa husika mshindi wa kwanza wa michuano hiyo mwaka huu atajinyakulia shilingi milioni tatu na kombe mshindi wa pili atapata shilingi milioni mbili na medali wakati mshindi wa tatu UNK shilingi milioni moja mbili na UNK katika kuboresha mashindano hayo mwaka huu kutakuwa na mashindano ya mchezaji mmoja mmoja kwa wanaume na wanawake ambapo mshindi upande wa wanaume atapata kitita cha shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri na wanawake atapata shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri sifuri kondic UNK viongozi wake timu ya simba jana ilivunja mwiko kwenye uwanja wa majimaji baada ya kuifunga majimaji mabao mbili sifuri katika mchezo wa fungua dimba ligi kuu tanzania bara simba iliandika bao lake kwa kwanza dakika ya tatu lililowekwa kimiani kwa shuti kali na mohamed banka ambaye alipokea pande safi kutoka kwa emmanuel okwi baada ya simba kupata bao hilo wachezaji wake walipunguza kasi na hivyo kuwapa mwanya wachezaji wa majimaji waliokuwa na kiu ya kusawazisha bao hilo dakika ishirini na saba nusura mussa hassan mgosi UNK simba bao la pili baada ya kupiga mpira kichwa uliotoka nje kidogo ya lango la majimaji kipindi cha pili majimaji ilifanya mabadiliko kwa kuwatoa athuman majani suleiman kibuta na UNK UNK na kuwaingiza juma mpola idd UNK na salum chimae dakika ya hamsini na nne simba iliongeza bao la pili lililofungwa na mrwanda kwa shuti kali baada ya kuwalamba chenga mabeki wa majimaji pamoja na kipa wao said mohamed simba nayo iliwatoa okwi mrwanda aliyeumia na wakaingia adam kingwande na david naftari naye zahoro mlanzi anaripoti kutoka dar es salaam kuwa katika mfululizo wa mechi hizo za ligi mabingwa watetezi wa kombe hilo yanga jana ilibanwa mbavu na timu ngeni ya african lyon baada ya kulazimishwa sare ya bao moja moja katika mchezo uliochezwa uwanja wa uhuru dar es salaam katika mechi hiyo iliyokuwa na msisimko mkubwa yanga ndiyo iliyoanza kupata bao dakika ya hamsini na jerison tegete kwa shuti kali baada ya kuunganisha krosi ya amir maftah baada ya lyon kufungwa bao hilo ilikuja juu na katika dakika ya sabini ilipata penalti baada ya yusuf hamis kumwangusha mbwana samatta katika eneo la hatari lakini hata hivyo rashid gumbo alikosa penalti hiyo baada ya UNK wake kupanguliwa na kipa UNK curkovic zikiwa zimebaki dakika mbili kabla mchezo kumaliza gumbo alipiga shuti kali nje ya kumi na nane lililotinga moja kwa moja wavuni na kumwacha curkovic akishangaa na kufanya timu hizo kutoka sare ya bao moja moja baada ya kumalizika kwa mchezo huo kocha mkuu wa timu ya yanga mserbia dusan kondic UNK juu uongozi wa yanga kwa kudai kuwa UNK upangaji wake wa kikosi cha kwanza katika mchezo huo kutoka manungu morogoro khalfan diyu anaripoti kuwa mtibwa sugar ilitoka kifua mbele baada ya kuifunga manyema mabao mbili moja bao la kwanza la timu hiyo lilifungwa dakika ya kumi na moja kupitia kwa said UNK baada ya kupokea pasi ya said mkopi UNK walinzi wa manyema na kumpasia mfungaji dakika ya sitini na tano manyema ilisawazisha bao hilo ambalo lilifungwa na julius mrope kwa shuti kali lililokwenda moja kwa moja wavuni mtibwa iliongeza bao la pili dakika ya themanini na mbili lilifungwa na zuberi UNK naye rashid mkwinda anaripoti kutoka mbeya kuwa prisons iliifunga jkt ruvu ilianza kupata bao lake la kwanza katika dakika ya tatu lililopachikwa kimiani na hussein bunu kwa kichwa baada ya kuunganisha krosi ya bakari kondo prisons ilisawazisha bao hilo dakika ya hamsini na saba lililofungwa na seleman UNK kwa mkwaju wa penalti baada ya mlinzi mmoja wa jkt kuvuta jezi mchezaji wa prisons dakika ya tisini jkt ilipata bao la pili na la ushindi lililofungwa kwa mkwaju wa penalti na kesi UNK theonista juma anaripoti kutoka uwanja wa kaitaba bukoba kuwa kagera sugar iliichapa azam fc mabao tatu mbili azam fc katika mchezo uliokuwa wa vuta nikuvute azam ndiyo iliyoanza kupata bao lililofungwa na john boko katika dakika ya nane lakini kagera ilisawazisha bao hilo dakika ya thebathini na sita lililofungwa na paul kabange na kuongeza bao la pili dakika ya hamsini na saba kupitia kwa michael katende dakika ya themanini na tano kagera ilipata bao la tatu kupitia kwa themi felix baada ya kutokea piga nikupige hata hivyo azam ilipata bao la pili kupitia UNK naye daud magesa anaripoti kutoka mwanza kuwa toto african na moro united sare ya mabao mbili mbili katika mechi iliyochezwa uwanja wa ccm kirumba moro ndiyo iliyoanza kupata bao katika dakika ya thebathini na tano lililowekwa kimiani na yona ndabila kwa mpira wa adhabu toto african baada ya kufungwa bao hilo ilikuja juu na dakika ya arobaini na tisa ilisawazisha kupitia kwa juma abdul kwa mpira wa adhabu dakika ya sitini na nne toto iliongeza bao la pili lililofungwa na jacob masawe lakini dakika ya themanini na nane moro united ilisawazisha bao hilo kupitia kwa said ahmed timu ya taifa ya kenya ya vijana wenye miaka chini kumi na saba jana UNK mashindano hayo baada ya kuchapwa bao moja sifuri na ethiopia katika mechi iliyofanyika mjini juba sudan kenya katika mechi yake ya kwanza UNK mabao tatu moja dhidi ya zanzibar na mechi ya pili ilichapwa mabao nne moja na uganda katika mechi zake zilizotangulia elias UNK aliifungia ethiopia bao la ushindi dakika ya themanini na tisa aliwazidi maarifa mabeki wa kenya kabla ya UNK shuti kali lililompita kipa wa kenya ian UNK kenya ilikuwa na matumaini ya kusonga mbele katika mechi hiyo kama wangeshinda lakini kama ethiopia au zanzibar ambazo UNK kucheza jioni UNK ushindi wa bao moja sifuri UNK kenya kutinga hatua ya robo fainali UNK kwenye tofauti ya mabao na ethiopia pamoja na kupoteza mechi za mwanzo kwa zanzibar mabao tatu moja na uganda mabao nne moja ethiopia walichapwa mabao nne sifuri dhidi ya uganda na kuifunga zanzibar bao moja sifuri mechi hiyo ilichezwa na mwamuzi wa tanzania israel UNK nusu fainali ya michuano hiyo itachezwa mjini khartoum ijumaa na jumamosi na fainali itafanyika agosti thebathini na moja mwaka huu siku moja baada ya kupokea kipigo kutoka kwa maafande wenzao wa jkt ruvu cha mabao mbili moja timu ya prisons ya mbeya imeingiwa na mchecheto juu ya mchezo wao wa kesho dhidi ya simba kwa kudai UNK kutokana na simba kuonesha kiwango kizuri katika mchezo wao wa kwanza dhidi ya majimaji simba katika mchezo wao huo wa kwanza uliopigwa juzi uwanja wa majimaji mjini songea waliibuka na ushindi wa mabao mbili sifuri na kuvunja mwiko wa kushindwa kuibuka na ushindi katika uwanja huo akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa timu hiyo salum chambuso alisema mwaka huu ligi imekuwa tofauti na miaka mingine kwani kila timu inaonekana kuwa imefanya maandalizi mazuri kusema ukweli ligi ya mwaka huu ni tofauti na miaka mingine tumepoteza mchezo wa kwanza dhidi ya jkt ruvu nyumbani sasa macho na masikio yetu katika mchezo wetu ujao dhidi ya simba sijui itakuwaje maana naona mambo ni magumu mno alisema chambuso alisema licha ya kuwa wanapokutana na simba katika uwanja wa sokoine huibuka na ushindi lakini kwa mwaka huu hali ni tofauti kwani hajui itakuwaje katika mchezo huo alisema prisons hawatakubali simba kuvunja mwiko katika uwanja wao kwani ni muda mrefu sasa timu hiyo haijawahi kuibuka na ushindi katika uwanja huo hivyo watajitahidi licha ya ligi kuwa ngumu kulinda heshima yao katika uwanja huo akizungumzia kupoteza mchezo wao dhidi ya jkt chambuso alisema amezungumza na benchi la ufundi ambalo limekubali matokeo kwa maana wamefungwa kimchezo na penalti waliyopata jkt dakika ya tisini ilikuwa halali alisema kufungwa katika mchezo huo lazima kutakuwa UNK molari kwa wachezaji kwani kushinda katika mchezo wa kwanza UNK moyo wazidi kufanya vizuri zaidi lakini aliahidi timu yake itakuwa imara kuivaa simba mechi ya ufunguzi wa ligi kuu kati ya simba na majimaji ya songea iliyochezwa juzi mjini hapa katika uwanja wa majimaji imevunja rekodi kwa kuingiza mapato mengi kwa mechi za mikoani kwa kuingiza shilingi ishirini na sita mia moja na themanini na moja themanini sifuri akizungumza mjini hapa jana ofisa habari wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania florian kaijage alisema mapato hayo yamepatikana kutokana na mashabiki kumi na mbili hamsini sifuri walioingia uwanjani kutazama mechi hiyo kaijage alisema mapato hayo ni kutokana na viingilio vilivyowekwa ambapo viti maalumu kilikuwa shilingi tano sifuri sifuri sifuri na mzunguko shilingi mbili sifuri sifuri sifuri na kama UNK vikubwa zaidi ya hapo mapato hayo yangekuwa zaidi mapato kama haya hayajawahi kutokea mkoani hapa na pia imeweka rekodi kwa timu za UNK mapato mengi kiasi hiki idadi ya watu waliongia uwanjani ilikuwa ni kubwa kuliko matarajio kwani kuna watu wengi waliokosa kushuhudia mechi hiyo kwa kukosa tiketi alisema kaijage kaijage alisema kutokana na mapato hayo kila timu ilipata mgao wa shilingi sita mia tisa na thebathini na moja themanini sifuri ofisa huyo aliwapongeza wakazi wa songea kwa utulivu waliouonesha kabla ya mechi na hata mechi ilipomalizika katika mechi hiyo simba iliibuka na ushindi wa mabao mbili sifuri dhidi ya majimaji na hivyo kuvunja mwiko wa kutotoka na ushindi katika uwanja wa majimaji kila ilipokutana na timu hiyo katika mechi mbalimbali hivi UNK ya simba inajiandaa kucheza mechi ya pili katika mfululizo wa ligi hiyo dhidi ya prisons itakayopigwa kesho katika uwanja wa sokoine mbeya anaogopa kufungwa mwenyekiti wa klabu ya yanga iman madega amesema lawama ambazo kocha mkuu wa timu hiyo dusan kondic UNK vongozi si za kweli kwamba timu hiyo ilifungwa kutokana na yeye kuingiliwa katika upangaji wa wachezaji kocha huyo juzi alijikuta UNK lawama viongozi wake kwa madai kuwa UNK hujuma ili timu hiyo UNK baada ya kupangiwa kikosi ujue hapo inaonekana fika kuwa kocha ni muoga wa kufungwa na ndiyo maana UNK lawama sisi ifike mahali UNK na ukweli halisi kwani timu kushinda kutoa sare na kufungwa yote ni matokeo alisema madega alisema kilichotokea siku ya mechi ni kwamba kila timu inatakiwa iwe na wachezaji kumi na nane kumi na tatu wachezaji wa ndani na watano wa kimataifa lakini kocha UNK wachezaji wa kimataifa ambao walifikia saba madega alisema katibu wa kamati ya mashindano emmanuel mpangala baada ya kuona hali hiyo aliwasiliana na uongozi ambao UNK kuwapunguza wachezaji wawili wa kimataifa lakini alikuwa UNK UNK kwa kusema baada ya kutokea mabishano hayo mpangala alilazimika kuwasiliana na mkurugenzi wa ufundi wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania sunday kayuni ambaye naye alimtaka kocha huyo afanye hivyo kitu ambacho hakukubaliana nacho madega alisema kwa kanuni za soka nchini timu inatakiwa UNK wachezaji wa kimataifa watato tu na ikitokea UNK zaidi ya hapo timu husika UNK pointi pamoja na maelezo hayo bado kocha huyo alikuwa mgumu kuelewa akaona kama UNK timu kitu ambacho si kweli kwani hata kama sisi UNK hata hiyo pointi moja UNK alisema madega alisema UNK kocha huyo UNK kuwatupia lawama viongozi na badala yake aangalie wapi UNK ili timu hiyo isifanye vibaya katika mechi zinazofuata timu ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka kumi na saba ya tanzania na ethiopia leo UNK katika mechi ya robo fainali ya kuwania kombe la chalenji itakayochezwa kwenye uwanja wa khartoum nchini hapa serengeti boys ilipata nafasi hiyo baada ya kuongoza kundi a kwa kufikisha pointi tisa wakati malawi na wenyeji sudan UNK pointi nne ethiopia ambao watacheza na serengeti boys wao walishika nafasi ya tatu katika kundi b lililokuwa UNK uwanja wa juba wakati uganda inayoongoza kundi hilo na zanzibar karume boys kila moja ikiwa na pointi sita lakini zikitofautiana kwa mabao tanzania itakuwa na nafasi nzuri ya kuhakikisha UNK timu zote mbili hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo kwa mwaka huu kutokana na kiwango kizuri walichokionesha katika mechi zao mechi ya pili katika kundi a UNK uganda na malawi kuanzia saa moja usiku karume boys itashuka uwanjani kesho kuumana na eritrea mechi itakayoanza kuchezwa saa kumi na moja jioni kwenye uwanja wa UNK baada ya burundi UNK na sudan saa tisa thebathini mchana katika mechi zilizochezwa juzi usiku rwanda na burundi zilitoshana nguvu kwa kufungana bao moja moja na kuwaruhusu burundi kucheza robo fainali waalikwa katika mashindano hayo malawi UNK bao moja moja na sudan mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa khartoum lakini timu zote UNK mbele robo fainali shirikisho la mpira wa miguu tanzania limetangaza mapato yaliyopatikana katika michezo ya ufunguzi ya ligi kuu iliyopigwa katika viwanja sita tofauti ambayo ni shilingi milioni themanini na tisa huku mchezo wa yanga na african lyon ukivunja rekodi kwa kuingiza shilingi milioni hamsini na tano akitangaza mapato hayo dar es salaam jana katibu mkuu wa tff UNK mwakalebela alisema ligi ya msimu huu imekuwa na changamoto kubwa kwani ukiangalia kila timu imecheza katika kiwango cha juu alisema katika michezo hiyo ya ufunguzi tff imekusanya milioni themanini na tisa mia sita na sitini na tano sifuri sifuri sifuri kutoka katika viwanja vyote sita vilivyotumika huku mchezo wa yanga dhidi ya lyon ukivunja rekodi ya mapato kwa kuingiza fedha nyingi zaidi ligi ya mwaka huu imeanza kwa mafanikio makubwa kwani kila timu ambayo ilistahili kushinda ilishinda kutokana na kujiandaa kwake michezo sita ilipigwa katika viwanja tofauti lakini kwenye uwanja wa manungu mjini morogoro ndiyo kiwanja UNK fedha kidogo katika vyote alisema mwakalebela alisema kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam yanga na lyon ziliingiza milioni hamsini na tano mia tisa na sitini na nane sifuri sifuri sifuri ambapo watu kumi mia tano na sabini na tisa waliingia uwanjani huku kila timu ikitarajia kuvuna milioni kumi na saba na kwenye uwanja wa manungu mtibwa sugar na manyema UNK shilingi mia saba na kumi na saba sifuri sifuri sifuri UNK na watu mia saba na kumi na saba mwakalebela alisema kwenye uwanja wa ccm kirumba mjini mwanza toto african na moro united ziliingiza shilingi mbili mia tisa na tisini na nne sifuri sifuri sifuri kutokana na watu moja mia nne na ishirini na tatu walioingia uwanja wa sokoine mjini mbeya prisons na jkt ruvu ziliingiza shilingi moja mia moja na sabini na tano sifuri sifuri sifuri baada ya watu mia saba na hamsini na nane kuingia na mjini bukoba kwenye uwanja wa kaitaba kagera sugar na azam ziliingiza milioni mbili mia tano na themanini sifuri sifuri sifuri kwa watu moja mia mbili na tisini kufika uwanjani mbali na hayo mwakalebela aliongeza kuwa katika michezo hiyo iliyopigwa kwa wastani wa mabao matatu yalifungwa kwa kila mchezo ambapo alidai huo si mwanzo mbaya kwa kufunga jumla ya mabao kumi na tisa wakati huohuo ligi kuu inatarajiwa kuendelea leo kwenye viwanja vitatu tofauti ambapo kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam african lyon itaikaribisha mtibwa sugar kwenye uwanja wa kaitaba mjini bukoba kagera sugar itaikaribisha moro united na ccm kirumba mjini mwanza toto itaumana na azam fc na zahoro mlanzi baada ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania kuwasimamisha wachezaji mussa hassan mgosi na shaaban kado kucheza mechi hadi kamati ya mashindano itakapokutana uongozi wa simba umekuja juu na kuitaka tff ifikirie upya uamuzi huo shirikisho hilo lilifikia hatua hiyo baada ya kamati ya mashindano kushindwa kukutana kujadili hatima ya wachezaji hao ambao walipigana uwanjani wachezaji hao walipigana uwanjani wakati simba na mtibwa zilipokutana katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa mchi ishirini na tatu mjini morogoro ambapo simba ililala kwa bao moja sifuri akizungumza dar es salaam jana katibu msaidizi wa klabu hiyo mohamed mjenga alisema hawapingi adhabu iliyotolewa ila wanachotaka kuona haki ikitendeka na si kutoa uamuzi kwa ajili ya kuwakomoa wachezaji hao tunafahamu tff ndio baba wa soka hapa nchini na UNK adhabu UNK ila kwa nini kamati ya mashindano ishindwe kukutana mapema na kutoa adhabu kwa wakati ili kila timu ijue la kufanya alisema mjenga alisema tff haikuwatendea haki wachezaji hao kwani ni zaidi ya siku ishirini tangu tukio hilo litokee kamati husika imeshindwa kukutana kujadili suala hilo na wala haijulikani watakutana lini aliongeza si kwamba bila ya mgosi simba haiwezi kucheza kwa kuwa wameshinda mechi mbili bila ya kuwepo kwa mchezaji huyo ila wao wanachotaka ni kuona haki UNK simba UNK mchezaji huyo katika mchezo wa jana dhidi ya toto african na itamkosa tena katika mechi za yanga na polisi dodoma wakati mtibwa itamkosa kado katika michezo dhidi ya jkt ruvu toto na polisi morogoro wakati huohuo mwenyekiti wa kamati ya mashindano wa klabu hiyo hassan othman hassanol alisema wanatarajia kuiandikia barua tff ya kuomba kusitishwa kwa adhabu hiyo na kuiomba kamati husika kukutana haraka mshambuliaji wa simba na timu ya taifa taifa stars mussa hassan mgosi amekwama kwenda nchini UNK kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa kutokana na timu yake kukabiliwa na mechi ya ligi kuu dhidi ya prisons itakayopigwa jumamosi jijini mbeya awali mgosi alitakiwa aondoke nchini jumatatu hii mara baada ya kumalizika kwa mechi hiyo lakini imeshindikana kutokana na umuhimu wa mchezo huo wa prisons ambayo watacheza nayo kwenye uwanja wa sokoine akizungumza dar es salaam jana wakala wa kimataifa anayetambulika na shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu mehd remtullah alisema taratibu zote UNK za mgosi kuondoka ila UNK mechi dhidi ya prisons unajua hizi timu huwa zina utaratibu wake awali tulikubaliana na uongozi wa simba mara baada ya mchezo wa majimaji atakwenda norway lakini inaonekana mchezo wa prisons nao ni mgumu kwao hivyo wameniomba atakapomaliza mchezo huo ndiyo UNK aondoke alisema remtullah alisema mgosi atakwenda nchini norway kwenye klabu ya daraja la kwanza nchini humo ya kongsvinger ambapo atafanya majaribio kwa wiki mbili na kisha kurudi nchini kusubiri majibu yake naye mgosi alipoulizwa kuhusu hatma ya safari yake kwa njia ya simu akiwa mjini makambako alisema yeye anachosubiri ni taarifa kutoka kwa wakala wake kwani alitakiwa kuondoka jumatatu wiki hii lakini ikashindikana hivyo anachosubiri ni taarifa tu alisema yeye yupo fiti kwenda kufanya majaribio huko wakati wowote na ameahidi kujituma ili atimize ndoto zake za siku nyingi za kucheza soka la kulipwa kagera moro united hakuna mbabe ligi kuu ya tanzania bara iliendelea tena jana katika viwanja vitatu tofauti ambapo kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam mtibwa sugar UNK african lyon mabao mbili sifuri lyon ambayo ndiyo msimu wake wa kwanza kucheza ligi kuu katika mechi yake ya kwanza iliyochezwa jumapili kwenye uwanja huo UNK yanga kwa kuilazimisha kutoka nayo sare ya bao moja moja ilishindwa kabisa kuonesha cheche zake bao la kwanza kwa mtibwa ambayo katika mechi iliyopita iliifunga manyema fc lilifungwa na pius kisambale katika dakika ya ishirini na saba baada ya kumnyangganya mpira rashid gumbo na UNK mpira kimiani mtibwa iliendelea kuliandama lango la wapinzani wao na kufanikiwa kupata bao la pili dakika ya thebathini na nane lililofungwa na obadia mungusa kwa kichwa baada ya kuunganisha krosi iliyochongwa na said mkopi katika kipindi cha pili kila timu ilifanya mabadiliko ambapo mtibwa iliwatoa chacha marwa david mwantobe na kuwaingiza zuberi katwila na yahya akilimali lyon nayo iliwatoa aziz UNK victor isack na mohamed samatta na kuwaingiza karume songoro castory mumbala na robert UNK baada ya mechi kumalizika kocha wa lyon alisema timu yake ilicheza vizuri isipokuwa mabeki walikuwa wazembe ndiyo maana UNK mabao hayo mbili sifuri naye theonista juma anaripoti kutoka bukoba kuwa katika mfululizo wa ligi hiyo timu za moro united na kagera sugar zilishindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya bao moja moja katika mechi hiyo iliyokuwa ya vuta nikuvute moro united ndiyo UNK kupata bao katika dakika arobaini lililofungwa na hussein swed ambaye alitumia makosa ya mabeki wa kagera UNK kuondoa hatari iliyoelekezwa langoni mwao kipindi cha pili kilianza kwa kagera kuliandama lango la moro united na kufanikiwa kusawazisha bao hilo dakika ya arobaini na nane UNK wavuni na michael katende na pendo mtibuche dodoma timu ya yanga jana UNK msumari wa mwisho kwa timu ya polisi dodoma na kuifuta katika mashindano ya ligi kuu kwa kuwatandika maafande hao bao mbili sifuri katika mechi ya marudiano iliyofanyika mjini hapa mechi hiyo UNK tena jana katika uwanja wa jamhuri baada ya juzi kuvunjika dakika ya sabini na tatu kutokana na mvua kubwa iliyoanza kunyesha katika kipindi cha pili cha mechi hiyo huku yanga ikiwa inaongoza kwa bao moja sifuri katika mechi hiyo kipa wa yanga steven marash alilazimika kutoka nje na nafasi yake kuchukuliwa na juma kaseja baada ya kuumia kutokana na kugongana na mchezaji wa polisi UNK mhina mhina naye alilazimika kutoka nje kutokana na kuumia wakati alipogongana na kipa huyo na nafasi yake kuchukuliwa na kuingia juma UNK bao la yanga ambalo UNK daraja polisi dodoma lilipatikana katika dakika ya arobaini na moja lililofungwa na mike baraza yanga iliongeza bao la pili katika dakika ya themanini lililofungwa na UNK sunguti naye azizi msuya anaripoti kutoka morogoro kuwa timu ya polisi morogoro jana iliifunga prisons mabao tatu moja katika mechi iliyopigwa uwanja wa jamhuri polisi ilipata bao la kwanza dakika ya kumi na nne lililofungwa na ally moshi kwa kichwa akiunganisha krosi ya john UNK huku prisons UNK bao hilo dakika ya arobaini na tatu lililofungwa na suma UNK mabao mengine ya polisi yalifungwa na imani mapunda dakika ya arobaini na sita baada ya kutokea piga nikupige katika goli la prisons wakati bao la tatu lilifungwa na UNK UNK kwa matokeo UNK polisi morogoro imefikisha pointi ishirini na sita huku ikiwa imebakiwa na mechi mbili huku UNK moro united mtihani wa kujinasua katika janga la kushuka daraja huku prisons ikipoteza matumaini ya kushika nafasi ya pili timu ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka kumi na saba ya tanzania juzi usiku ilifanikiwa kuingia hatua ya nusu fainali ya michuano ya chalenji ya afrika mashariki na kati baada ya kuifunga ethiopia bao moja sifuri bao la ushindi la serengeti boys lilifungwa na hamisi thabit dakika ya thebathini na tano kiufundi kwa mpira uliompita kipa wa ethiopia UNK UNK kutokana na ushindi huo tanzania itaumana na uganda katika mechi ya nusu fainali leo kwenye uwanja wa khartoum stadium kuanzia saa kumi na moja jioni uganda walipata nafasi hiyo baada ya kuwabwaga wageni waalikwa katika mashindano hayo timu ya taifa ya vijana ya malawi mabao mbili sifuri malawi itacheza kombe la dunia la vijana litakalofanyika nchini nigeria hivi karibuni mechi hiyo ilianza usiku baada ya uwanja wa khartoum kujaa maji kutokana na mvua kubwa iliyonyesha na baadaye timu ya taifa ya sudan ya wakubwa iliingia kufanya mazoezi kabla ya mechi hiyo kuchezwa wakati ligi ya soka tanzania bara ikizidi kupamba moto chama cha makocha tanzania kinatarajia kuchunguza na UNK makocha wote wanaofundisha ligi kuu kujua kama wana sifa za kufundisha ligi hiyo akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa chama hicho UNK UNK alisema ni lazima makocha hao wakaguliwe ili kujua kama wana sifa za kufundisha ligi hiyo au la alisema suala hilo kwanza watafanya mazungumzo na idara ya ufundi ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania ambapo idara hiyo ndiyo yenye taarifa za kina juu ya makocha wote wa ligi kuu na baada ya hapo ndipo UNK pa UNK idara ya ufundi ya tff ndiyo yenye ripoti zote juu ya makocha hao hivyo tutafanya nao mazungumzo ili kujua ni aina gani ya makocha wanaofundisha ligi kuu ambapo mbali na hilo pia tutaangalia kama ni wanachama wa tafca na kupitia mikataba yao waliyoingia na klabu alisema mwasamaki alisema kila kocha lazima awe na mkataba ambao UNK ili linapotokea tatizo chama UNK UNK wapi na ndiyo maana kila wakati UNK wale makocha ambao si wanachama wa tafca wajiunge ili kulinda maslahi yao hilo jambo si la kukurupuka licha ya kujua labda manyema inafundishwa na kocha fulani lakini siwezi kulifanyia kazi bila maandishi na ndiyo maana idara husika tutazungumza nao na tutayafanyia kazi kujua hao makocha kama wanastahili kufundisha ligi kuu alisema mwasamaki alisema wao tafca hawana uwezo wa kuzuia kocha UNK ligi hiyo ila UNK ni kuwasiliana na idara ya ufundi ya tff kwa kuishauri na kuwapa taarifa juu ya aina ya makocha waliopo na zahoro mlanzi timu ya simba jana iliendeleza wimbi la ushindi na kuzidi UNK katika nafasi ya pili baada ya kuifunga toto african bao moja sifuri katika mechi iliyopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam katika ligi hiyo yanga tayari imenyakua ubingwa wa tanzania bara ambapo mwakani itacheza michuano ya ligi ya mabingwa ma timu UNK nafasi ya pili itacheza michuano ya shirikisho la mpira wa miguu afrika kwa ushindi huo simba imefikisha pointi thebathini na sita huku wapinzani wao katika kinyangganyiro hicho cha kuwania nafasi ya pili mtibwa sugar wakiwa na pointi thebathini na moja katika mechi hiyo ambayo ilianza kwa toto kuliandama lango la wapinzani wao ambapo dakika nne hussein swed alikosa bao la wazi baada ya kupaisha mpira kutokana na faulo iliyopigwa na oscar UNK toto ambayo iliingia uwanjani kusaka ushindi ililishambulia lango la simba kama nyuki ambapo kwa dakika tano ilipata kona tatu huku juma seif akikosa bao dakika kumi na tano baada ya kupiga kichwa mpira wa kona UNK na anthony matangalu katika mstari wa goli kipindi cha pili simba iliingia uwanjani kwa kuliandama lango la toto ambapo katika dakika ya arobaini na sita mnigeria emeh izechukwu aliachia kombora kali lililotemwa na kipa msafiri abdallah lakini david naftar aliyekuwa karibu alichelewa kufunga na mabeki kuokoa katika dakika ya sitini na nane seif wa toto alipewa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya salum kanoni wa simba mchezaji huyo awali alikuwa alipewa kadi ya njano kabla ya kutolewa mchezaji huyo dakika ya hamsini na tisa seif alikosa bao baada ya kupata nafasi nzuri lakini badala ya kufunga UNK akiwa katika eneo la hatari simba ambayo katika kipindi hicho ilicharuka ilipata bao lake katika dakika themanini na tisa lililofungwa na jabir aziz kwa shuti kali UNK mwamba wa juu na kutinga wavuni baada ya kuunganisha krosi ya mohamed kijuso kabla ya kufunga bao hilo simba ililishambulia lango la toto kwa nguvu ambapo katika dakika themanini na mbili george nyanda alishindwa kufunga baada ya kuunganisha pasi ya nico nyagawa mabingwa watetezi wa ligi kuu ya vodacom yanga jana ilishindwa kufuata nyayo za simba za kuibuka na ushindi mjini songea baada ya kuchapwa bao moja sifuri dhidi ya majimaji ya mjini hapa mechi hiyo iliyojaa tambo kwa timu zote mbili huku kocha wa majimaji ahmed UNK akiweka wazi kwamba kama yanga wataibuka na ushindi kwenye uwanja huo UNK huku yanga wakidai kwamba wamekwenda UNK kibarua kocha huyo hata hivyo maneno ya kocha huyo ya kusema kwamba atahakikisha vijana wake wanaibuka na ushindi UNK baada ya kuibuka na ushindi wa bao moja sifuri yanga walianza mchezo kwa kulisakama lango la wenyeji majimaji dakika ya kumi jerrson tegete alipata nafasi nzuri ya kufunga lakini miguu yake UNK na kigugumizi na kushindwa kuutumbukiza mpira wavuni majimaji UNK na mashabiki wao walipata bao la pekee la ushindi dakika ya sitini lililofungwa na thomas maurice ambaye aliwahi kuichezea timu hiyo ya jangwani miaka ya nyuma yanga UNK na dakika ya tisini jama mba alifunga bao lakini mwamuzi msaidizi michael UNK alikuwa tayari UNK kibendera cha kuzidi na kuwafanya mashabiki wa timu hiyo kumvamia na kuanza kumfanyia fujo hata hivyo polisi waliokuwa wakilinda uwanjani hapo waliingilia kati kuwazuia mashabiki hao wa yanga waliokuwa wameanza kumfanya fujo UNK mwamuzi msaidizi huyo kutokana na matokeo hayo yanga imebaki na pointi nne baada ya kucheza mechi tatu imeshinda moja sare moja na kufungwa moja huku majimaji ikiwa na pointi tatu baada ya kufungwa mechi mbili na kushinda moja kutoka mbeya timu ya prisons ya mjini hapa UNK machozi mashabiki wake baada ya kuwafunga african lyon bao moja sifuri katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa kumbukumbu wa sokoine mjini hapa bao la prisons lilifungwa na benjamin asukile dakika ya ishirini na moja kwa shuti kali la umbali wa meta thebathini lililomshinda kudakia kipa noel lucas prisons walifungwa mechi mbili dhidi ya simba na jkt ruvu majimaji said mohamed abdallah UNK said UNK everist maganga gabriel zakaria UNK almas omary mnubi patrick betwel thomas maurice sixmund UNK seleman kibuta yanga obren UNK shadrack nsajigwa nurdin bakari joseph shikokoti hamis yusuph geofrey bonny athuman idd chuji abdi kassim jerrson tegete mike barasa kabongo UNK wachezaji nyota sita wa timu ya simba bado wanaendelea kukabiliwa na majeruhi na hivyo wataikosa mechi ya kesho dhidi ya kagera sugar wachezaji hao ni mussa hassan mgosi anthony matangalu danny mrwanda jabir aziz joseph owino na majeruhi wa muda mrefu meshack UNK akizungumza dar es salaam jana meneja wa timu hiyo innocent njovu alisema wachezaji hao bado wanaendelea na matibabu hadi hapo hali zao zitakapokuwa nzuri mgosi alijitonesha maumivu yake ya nyonga tulipocheza na toto african hivyo anatibiwa pamoja na wenzake na endapo hali zao zitakuwa nzuri mechi UNK wataweza kucheza alisema njovu alisema ukiondoa wachezaji hao wengine wote waliobakia wapo katika hali nzuri na wanaendelea na mazoezi ya nguvu kwenye uwanja wa kinesi ubungo dar es salaam njovu alisema kocha mkuu wa timu hiyo mzambia patrick phiri anaendelea kufanyia marekebisho kikosi chake kabla ya mechi ya kesho ambayo inatarajiwa kuwa na upinzani mkali simba kesho itaingia uwanjani huku ikiwa na kumbukumbu nzuri ya kuwafunga toto african ya mwanza mabao tatu moja katika mechi iliyopita tofauti na wapinzani wao kagera sugar ambao UNK mchezo huo baada ya kupoteza mchezo wao uliopita kwa kufungwa na manyema bao moja sifuri katibu mkuu wa yanga lawrence mwalusako amekiri kuwa ni kweli mchezaji wake athuman idd chuji alifanya kosa kumdai mwamuzi khamis changgwalu siku ya mechi yao na african lyon kwa kuwa pale hapakuwa mahali UNK UNK na waandishi wa habari jijini dar es salaam jana mwalusako alisema chuji alifanya kosa kumdai changgwalu siku hiyo kwa kuwa si mahali pake lakini pia adhabu aliyopewa na kamati ya mashindano ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania ni kubwa mno mimi mwenyewe sipendi mchezaji mwenye nidhamu mbaya na kweli nilimwita chuji na kumkanya kuwa pale hapakuwa mahali pa kumdai mwamuzi huyo UNK kufanya ni kumdai siku nyingine lakini pia tff ilitakiwa iangalie na adhabu ya kumpa alisema mwalusako akizungumzia adhabu ya kocha mkuu wa timu hiyo mwalusako alisema si kweli kama alimtolea lugha chafu mwamuzi huyo ila alikuwa akilalamika baada ya mchezaji wake honore kabongo kuchezewa rafu na mchezaji wa african lyon lakini mwamuzi UNK macho alisema baada ya kupata barua kutoka tff ya kuwasimamisha kocha mkuu wa timu hiyo dusan kondic na chuji kamati ya utendaji ya klabu hiyo itakutana kwa ajili ya kupitia kanuni ili waweze kukata rufani kwenye kamati ya nidhamu ya tff mwalusako alisema wamegundua kuwa kuna njama za chini kwa chini ambazo zinaendeshwa na baadhi ya watu ili kuidhoofisha timu yao chuji amefungiwa na kamati hiyo kwa miezi mitatu kutokana na kudaiwa kumfanyia fujo changgwalu wakati kondic amefungiwa mechi tatu za ligi kuu shirikisho la mpira wa miguu tanzania limesema ya shilingi milioni mia mbili na ishirini na nne tisini nane themanini sifuri zimepatikana katika mapato ya michezo kumi na saba ya ligi kuu tanzania bara iliyochezwa katika vituo mbalimbali nchini tangu kuanza kwa ligi hiyo akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam jana ofisa habari wa tff florian kaijage alisema mapato hayo yamepatikana kutokana na mashabiki sitini na nane mia moja na kumi na tano waliojitokeza UNK mechi katika vituo mbalimbali nchini ligi kuu ya vodacom inaendelea vyema katika vituo mbalimbali nchini ambapo hadi sasa tayari michezo kumi na saba UNK alisema kaijage alisema katika mapato hayo kituo ambacho kinaongoza kwa kuingiza kiwango kikubwa cha mapato ni dar es salaam ambapo tayari shilingi milioni mia moja na thebathini na tatu ishirini sifuri sifuri sifuri sifuri zimekusanywa UNK na kituo cha songea ambako zimekusanywa shilingi milioni hamsini na nane mia moja na sabini na saba themanini sifuri kaijage alisema mchezo ulioingiza fedha nyingi zaidi hadi sasa ni wa yanga dhidi ya african lyon ulioingiza shilingi milioni hamsini na tano mia tisa na sitini na nane sifuri sifuri sifuri UNK na mchezo kati ya simba na toto african ulioingiza shilingi milioni arobaini na tano arobaini nne sifuri sifuri sifuri na mchezo ulioingiza mapato madogo zaidi ni kati ya mtibwa sugar na manyema ambao UNK shilingi mia saba na kumi na saba sifuri sifuri sifuri alisema tff UNK wadau wote ambao wamekuwa wakijitokeza kwa wingi viwanjani na kulipa fedha za kuangalia michezo ya ligi hiyo UNK na jkt UNK mbili mbili bao lililofungwa dakika tatu za ziada kwa mkwaju wa penalti na kigi makasi liliifanya yanga kupata sare ya mabao mbili mbili dhidi ya jkt ruvu katika mfululizo wa mechi za ligi kuu UNK jana uwanja wa uhuru dar es salaam kutokana na matokeo hayo yanga imebaki katika nafasi yake ya nne baada ya kufikisha pointi tano kutokana na michezo minne iliyocheza na jkt nayo pia imebaki nafasi ya tatu kwa kujikusanyia pointi saba katika michezo minne katika mchezo huo timu zote zilianza kwa kasi lakini jkt ndiyo iliyoonekana kutawala zaidi mchezo huo katika dakika thebathini za kipindi cha kwanza kwa kufanya mashambulizi kadhaa langoni mwa yanga lakini umaliziaji ulikuwa butu dakika ya ishirini UNK UNK nusura afunge bao akiwa katika nafasi nzuri lakini alifanya mzaha kwa kurudisha pasi kwa bakari kondo huku akiwa amebaki yeye na kipa obrien curkovic na mpira huo kunaswa na joseph shikokoti UNK hatari hiyo jkt ilipata tena nafasi dakika ya ishirini na nane ambapo hussein bunu akiwa katika nafasi ya kufunga alishikwa na kigugumizi cha miguu na kumpasia pasi haruna addolf aliyepiga shuti UNK juu ya goli yanga baada ya UNK hizo ilijipanga vizuri na kufanya shambulizi la nguvu dakika arobaini na moja ambalo lilizaa bao lililofungwa na makasi kwa shuti lililotinga wavuni kutokana na kazi nzuri iliyofanya na mosses odhiambo kipindi cha pili kilianza kwa kasi huku jkt ikionekana kuwa na uchu wa kusawazisha bao ambapo dakika ya sitini na sita bunu alifunga bao kwa kuunganisha krosi iliyopigwa na amos mgisa aliyeingia badala ya kondo jkt ilizidi kuifundisha soka yanga kwa kufanya mashambulizi ya nguvu langoni mwao na kucheza wanavyotaka lakini ubutu wa safu ya ushambuliaji ya jkt ilishindwa kukwamisha mpira wavuni na kusubiri mpaka dakika ya themanini ambapo ilifunga bao la pili lililofungwa na bunu tena kwa kichwa akiunganisha krosi ya damas makwaya baada ya kufungwa bao hilo yanga ilizidi kuchanganyikiwa na kuwaweka mashabiki wake roho juu ambapo jkt walizidi kujipanga na kucheza soka la uhakika lakini hata hivyo mashabiki wa jkt wakiwa na nyuso za furaha dakika tatu za ziada mrisho ngassa aliyeingia badala ya boniface ambani aliangushwa na george minja ndani ya eneo la hatari na mwamuzi kuamuru ipigwe penalti penalti hiyo UNK wavuni na makasi na kuitoa yanga UNK dakika ya themanini na mbili mashabiki wa yanga walionesha kukerwa na matokeo hayo na kurusha mawe kwa mashabiki waliodaiwa kuwa ni wa simba azam yainyuka moro tatu mbili kasi ya mtibwa sugar katika ligi kuu tanzania bara jana ilisitishwa na majimaji ya songea baada ya kunyukwa bao moja sifuri katika mechi iliyopigwa uwanja wa majimaji mjini hapa bao la majimaji katika mchezo huo lilipatikana katika dakika ya sitini na nane lililofungwa na patrick betwel kwa mpira wa adhabu uliokwenda moja kwa moja wavuni na kumwacha kipa shaban kado akishindwa kuukoa kwa ushindi huo majimaji sasa imefikisha pointi sita baada ya kushinda mechi mbili na hivyo kuifanya kusogea hadi nafasi ya nne na kuicha yanga katika nafasi ya tano yenye pointi tano hadi sasa kuingia kwa bao hilo kuliiamsha mtibwa ambayo ilianza kupeleka mashambulizi ya nguvu langoni mwa majimaji lakini hata hivyo mabeki wa timu hiyo walikaa imara kuondoa hatari zote naye zahoro mlanzi anaripoti kutoka dar es salaam kuwa katika mechi nyingine ya ligi hiyo azam fc iichapa moro united mabao tatu mbili katika mchezo liopigwa jana uwanja wa uhuru dar es salaam kwa ushindi huo azam imepanda kutoka nafasi ya kumi na moja hadi ya sita kwa kufikisha pointi nne ikiwiana na kagera sugar kwa pointi ila zinatofautina katika mabao ya kufunga katika mchezo huo timu zote zilianza kwa kasi kwa kufanya mashambuli lakini ni moro katika kipindi cha kwanza ndiyo iliyoonekana kutengeneza nafasi nyingi za kushinda lakini umaliziaji ulikuwa butu moro walizidisha mashambulizi langoni mwa azam ambapo dakika ya thebathini na tatu hussein swed alishindwa kutumbukiza mpira wavuni akibaki na kipa vladimir baada ya ndabila na kurachi kugongeana pasi vizuri azam walijibu shambulizi dakika ya arobaini na tatu kwa kufunga bao lililofungwa na yahya tumbo akiunganisha krosi ya salum abubakari na kufanya dakika arobaini na tano za kwanza azam kuongoza kwa bao moja sifuri dakika ya kwanza baada ya kipindi cha pili kuanza azam walifunga bao la pili kupitia kwa tumbo kwa kichwa akiunganisha krosi iliyopigwa na abubakari na dakika ya hamsini na sita walifunga bao la tatu lililofungwa na john bocco baada ya kipa mohamed abdallah kuokolea ndani mpira wa adhabu ndogo uliopigwa na ibrahim mwaipopo na kumkuta mfungaji baada ya kufungwa bao hilo moro ikajipanga na kufunga bao la kwanza dakika ya sitini na tisa lililofungwa na hussein swed baada ya kumpiga chenga kipa vladimir na kukwamisha mpira wavuni na dakika nane baadaye waligunga la pili kupitia kwa nahodha wao said kokoo kwa mpira wa adhabu ndogo uliotinga moja kwa moja wavuni wakati timu ya simba ikishuka uwanjani leo kusaka pointi tatu dhidi ya kagera sugar katika mchezo wa ligi kuu utakaopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam uongozi wa klabu hiyo umewatosa makomandoo wazee na watu wengine waliokuwa wakipata tiketi za bure na kuwataka sasa wazilipie simba itashuka uwanjani ikiwa na kumbukumbu nzuri ya mchezo wao wa mwisho dhidi ya toto african ya mwanza walipoibuka na ushindi wa mabao tatu moja na kuwafanya waongoze katika msimamo wa ligi kuu tanzania bara kwa kufikisha pointi tisa kagera wao wapo nafasi ya tano wakiwa na pointi nne nyuma ya yanga wataingia uwanjani wakiwa na shauku ya kushinda baada ya kuchapwa katika mchezo uliopita na manyema rangers bao moja sifuri hivyo endapo wakishinda kwa idadi kubwa ya mabao wanaweza kupanda hadi nafasi ya tatu ikitofautina na jkt ruvu kwa mabao ya kufunga kwa mujibu wa ofisa habari wa klabu hiyo clifford ndimbo akiuzungumzia mchezo huo dar es salaam jana alisema kutokana na taarifa za daktari wa timu yake wachezaji saba wa timu hiyo hawatacheza kutokana na matatizo mbalimbali aliwataja wachezaji hao kuwa ni mussa hassan mgosi anayesumbuliwa na mgongo nicco nyagawa anayeumwa malaria davis naftari na dan mrwanda wote kwa nyakati tofauti walishonwa nyuzi joseph owino jabir aziz na anthony matangalu wote wanasumbuliwa na matatizo tofauti alisema kwa sasa simba imejidhatiti kushinda michezo yote ya mzunguko wa kwanza ambapo kutokana na kikosi walichonacho wana imani watashinda katika michezo hiyo mbali na hayo ndimbo alisema pia simba imejipanga iondokane na ukata ambapo watahakikisha zile tiketi zilizokuwa zikitolewa bure kwa watu mbalimbali za kuingilia uwanjani hawatatoa tena badala yake kila shabiki na mwanachama atalazimika kununua tiketi ili kuongeza pato la klabu wanachama na wapenzi wetu wasitufikiriew vibaya ila tumeamua kufanya hivyo ili timu yetu iweze kujikwamua katika hali ya ukata ambayo wakati mwingine hutukwamisha kufanya mambo tunayoyahitaji kila mmoja sasa atatakiwa kulipia tiketi alisema ndimbo wakati huohuo alisema wachezaji waliosimamishwa george nyanda na ulimboka mwakingwe suala lao bado linaendelea kushughulikiwa kwani kamati ya nidhamu ya timu hiyo iliyopewa jukumu la kusikiliza kesi hiyo bado haijawasilisha taarifa yoyote hadi sasa wakati timu ya simba ikishuka uwanjani leo kusaka pointi tatu dhidi ya kagera sugar katika mchezo wa ligi kuu utakaopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam uongozi wa klabu hiyo umewatosa makomandoo wazee na watu wengine waliokuwa wakipata tiketi za bure na kuwataka sasa wazilipie simba itashuka uwanjani ikiwa na kumbukumbu nzuri ya mchezo wao wa mwisho dhidi ya toto african ya mwanza walipoibuka na ushindi wa mabao tatu moja na kuwafanya waongoze katika msimamo wa ligi kuu tanzania bara kwa kufikisha pointi tisa kagera wao wapo nafasi ya tano wakiwa na pointi nne nyuma ya yanga wataingia uwanjani wakiwa na shauku ya kushinda baada ya kuchapwa katika mchezo uliopita na manyema rangers bao moja sifuri hivyo endapo wakishinda kwa idadi kubwa ya mabao wanaweza kupanda hadi nafasi ya tatu ikitofautina na jkt ruvu kwa mabao ya kufunga kwa mujibu wa ofisa habari wa klabu hiyo clifford ndimbo akiuzungumzia mchezo huo dar es salaam jana alisema kutokana na taarifa za daktari wa timu yake wachezaji saba wa timu hiyo hawatacheza kutokana na matatizo mbalimbali aliwataja wachezaji hao kuwa ni mussa hassan mgosi anayesumbuliwa na mgongo nicco nyagawa anayeumwa malaria davis naftari na dan mrwanda wote kwa nyakati tofauti walishonwa nyuzi joseph owino jabir aziz na anthony matangalu wote wanasumbuliwa na matatizo tofauti alisema kwa sasa simba imejidhatiti kushinda michezo yote ya mzunguko wa kwanza ambapo kutokana na kikosi walichonacho wana imani watashinda katika michezo hiyo mbali na hayo ndimbo alisema pia simba imejipanga iondokane na ukata ambapo watahakikisha zile tiketi zilizokuwa zikitolewa bure kwa watu mbalimbali za kuingilia uwanjani hawatatoa tena badala yake kila shabiki na mwanachama atalazimika kununua tiketi ili kuongeza pato la klabu wanachama na wapenzi wetu wasitufikiriew vibaya ila tumeamua kufanya hivyo ili timu yetu iweze kujikwamua katika hali ya ukata ambayo wakati mwingine hutukwamisha kufanya mambo tunayoyahitaji kila mmoja sasa atatakiwa kulipia tiketi alisema ndimbo wakati huohuo alisema wachezaji waliosimamishwa george nyanda na ulimboka mwakingwe suala lao bado linaendelea kushughulikiwa kwani kamati ya nidhamu ya timu hiyo iliyopewa jukumu la kusikiliza kesi hiyo bado haijawasilisha taarifa yoyote hadi sasa azam yainyuka moro tatu mbili kasi ya mtibwa sugar katika ligi kuu tanzania bara jana ilisitishwa na majimaji ya songea baada ya kunyukwa bao moja sifuri katika mechi iliyopigwa uwanja wa majimaji mjini hapa bao la majimaji katika mchezo huo lilipatikana katika dakika ya sitini na nane lililofungwa na patrick betwel kwa mpira wa adhabu uliokwenda moja kwa moja wavuni na kumwacha kipa shaban kado akishindwa kuukoa kwa ushindi huo majimaji sasa imefikisha pointi sita baada ya kushinda mechi mbili na hivyo kuifanya kusogea hadi nafasi ya nne na kuicha yanga katika nafasi ya tano yenye pointi tano hadi sasa kuingia kwa bao hilo kuliiamsha mtibwa ambayo ilianza kupeleka mashambulizi ya nguvu langoni mwa majimaji lakini hata hivyo mabeki wa timu hiyo walikaa imara kuondoa hatari zote naye zahoro mlanzi anaripoti kutoka dar es salaam kuwa katika mechi nyingine ya ligi hiyo azam fc iichapa moro united mabao tatu mbili katika mchezo liopigwa jana uwanja wa uhuru dar es salaam kwa ushindi huo azam imepanda kutoka nafasi ya kumi na moja hadi ya sita kwa kufikisha pointi nne ikiwiana na kagera sugar kwa pointi ila zinatofautina katika mabao ya kufunga katika mchezo huo timu zote zilianza kwa kasi kwa kufanya mashambuli lakini ni moro katika kipindi cha kwanza ndiyo iliyoonekana kutengeneza nafasi nyingi za kushinda lakini umaliziaji ulikuwa butu moro walizidisha mashambulizi langoni mwa azam ambapo dakika ya thebathini na tatu hussein swed alishindwa kutumbukiza mpira wavuni akibaki na kipa vladimir baada ya ndabila na kurachi kugongeana pasi vizuri azam walijibu shambulizi dakika ya arobaini na tatu kwa kufunga bao lililofungwa na yahya tumbo akiunganisha krosi ya salum abubakari na kufanya dakika arobaini na tano za kwanza azam kuongoza kwa bao moja sifuri dakika ya kwanza baada ya kipindi cha pili kuanza azam walifunga bao la pili kupitia kwa tumbo kwa kichwa akiunganisha krosi iliyopigwa na abubakari na dakika ya hamsini na sita walifunga bao la tatu lililofungwa na john bocco baada ya kipa mohamed abdallah kuokolea ndani mpira wa adhabu ndogo uliopigwa na ibrahim mwaipopo na kumkuta mfungaji baada ya kufungwa bao hilo moro ikajipanga na kufunga bao la kwanza dakika ya sitini na tisa lililofungwa na hussein swed baada ya kumpiga chenga kipa vladimir na kukwamisha mpira wavuni na dakika nane baadaye waligunga la pili kupitia kwa nahodha wao said kokoo kwa mpira wa adhabu ndogo uliotinga moja kwa moja wavuni kocha mkuu wa timu ya jkt ruvu charles kilinda amesema mshambuliaji wa yanga mrisho ngassa UNK mwamuzi na kumsababishia atoe penalti kwa kuwa alijiangusha mwenyewe ndani ya eneo la hatari jkt UNK yanga katika mazingira magumu katika mchezo wao wa ligi kuu uliopigwa juzi kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam ambapo timu hizo zilitoka sare ya mabao mbili mbili akizungumza mara baada ya kumalizika kwa mchezo huo kilinda alisema alishangazwa na maamuzi yaliyotolewa na mwamuzi kennedy mapunda ya kuamuru ipigwe penalti wakati ngassa alijiangusha mwenyewe lazima mwamuzi uwe makini katika kutoa uamuzi hakukuwa na sababu ya msingi ya kutoa ile penalti wakati ngassa UNK mwenyewe beki wangu alicheza mpira lakini cha kushangaza ilipigwa penalti alisema kilinda alisema wakati mwingine maamuzi kama yale yanaweza kusababisha mchezo ukavurugika kwani muda wa ziada ulishapita hivyo hakukuwa na sababu ya msingi mpira kuendelea kuchezwa wakati huohuo kocha msaidizi wa timu ya yanga spaso UNK alisema kufanya vibaya kwa timu yake kunasababishwa na upangaji mbaya wa UNK ambao wachezaji wake walikosa muda wa mapumziko sikubaliani na ratiba hii kwani UNK lazima wachezaji wapumzike ndani ya masaa arobaini na nane lakini wachezaji wetu hawakupata muda huo huku baadhi ya timu zikipewa muda mrefu wa mapumziko kwanini sisi alihoji UNK mwimbaji wa r b chris brown amesema anahisi UNK na mtangazaji wa televisheni oprah UNK kwa uamuzi wake wa kurusha kipindi ambacho kinaelezea matatizo ya ugomvi unaotokea majumbani UNK jina la all the UNK of the world mwimbaji huyo mwenye umri wa miaka ishirini alisema kipindi hicho ilikuwa ni sawa na kumpiga kofi usoni mwake alisema kipindi cha nyuma aliwahi kufanya mambo mengi kwa ajili ya kumsaidia oprah lakini UNK nimefanya mambo mengi kwa ajili yake kama kwenda afrika na kufanya maonesho kwenye shule yake angeweza kuwa msaada kama angesema sawa ninakwenda kuwasaidia watu wa aina hiyo katika kujibu hoja hiyo oprah alisema oprah anakubali na kushukuru kwamba chris brown alitumbuiza katika shule yake lakini anachukulia UNK ya majumbani kwa umakini sana anafikiri anatoa ushauri ambao UNK wakati huohuo brown alisema UNK kuanza kutekeleza adhabu yake ya kupata ushauri nasaha na UNK kujifunza jinsi ya kudhibiti hasira zake badala ya kufanya vitu vingine vizuri kama kucheza muziki katika msimu uliopita marco di vaio UNK timu ya bologna kushuka daraja kwa kufunga magoli ishirini na nne na alikuwa ni mmoja kati ya wachezaji waliofunga magoli mengi katika serie a akiwa nyuma ya zlatan ibrahimovic wa inter milan licha ya mshambuliaji huyo kutoka sweden kuhamia barcelona di vaio mwenye umri wa miaka thebathini na tatu anaamini kuwa taji la mfungaji bora litabaki kwa wachezaji wa inter na kuwataja samuel eto o au diego milito mmoja wao atakuwa mfungaji bora inter na juventus wako juu ya wengine di vaio alikaririwa akisema katika chati ya ufungaji bora UNK milito na eto o kama ndiyo wanaweza kuchukua nafasi hiyo aliongeza wote milito na eto o wako katika klabu mpya wanafanya vizuri ingawa UNK wa udinese antonio di natale kwa sasa anaongoza kwa kufunga magoli matatu kocha mkuu wa timu ya taifa ya urusi guus hiddink anaamini kuwa timu ya chelsea inaweza kuendelea kufanya vizuri licha ya kufungiwa kusajili wachezaji wapya blues imewekwa kifungoni kutosajili wachezaji wapya hadi januari mwaka ishirini moja moja baada ya kuvunja kanuni za usajili kwa kumsajili kinda wa ufaransa gael UNK hata hivyo pamoja na adhabu hiyo hiddink ambaye amewahi kuinoa timu hiyo ya stamford bridge kwa muda wa miezi minne msimu uliopita alisema nilipokuwa chelsea nilikuwa UNK na timu hiyo bado nina hamu na chelsea ninaipenda aliongeza hiddink bingwa mtetezi wa michuano ya wazi ya tenisi marekani serena williams ametinga nusu fainali ya michuano hiyo baada ya kuibuka na ushindi dhidi ya mpinzani wake UNK pennetta wa italia ushindi huo unamfanya serena kujiweka katika nafasi ya kukutana na kim UNK ambaye UNK nje ya michuano hiyo ndugu yake venus hivyo kuwa ni nafasi nzuri UNK kisasi katika mchezo huo serena UNK nafasi ya pili kwa ubora alimshinda pennetta kwa seti sita nne sita tatu hivyo kuongeza ushindi wake wa ishirini na tatu moja katika mashindano hayo ya grand slam katika msimu huu serena UNK mataji mara tatu katika mashindano manne yaliyopita na hivi sasa UNK kutwaa ubingwa wa nne katika michuano ya wazi ya marekani na ubingwa wa kumi na mbili katika michuano yote ya grand slam akiwa UNK na ndugu ya venus jukwaani muda mwingi serena alikuwa akiongoza kwa pointi ishirini na moja tisa dhidi ya pennetta ambaye alikuwa akitafuta kuwa muitaliano wa kwanza kutinga hatua ya nusu fainali kwenye mashindano ya grand slam mmiliki wa klabu ya chelsea inayoshiriki ligi kuu ya uingereza bilionea abramovich UNK roman alishuka jana kutoka mlima kilimanjaro huku akiwa na UNK kurudi tena kuupanda mlima huo kwa kuwa hakuweza kufika kileleni abramovich alishuka jana saa tano thebathini asubuhi kupitia njia ya mweka na timu yake aliyokuwa nayo akiwa na furaha tele licha ya kushindwa kufika kilele cha mlima huo mrefu barani afrika mmiliki huyo wa klabu hiyo ya uingereza alifika kituo cha barafu kilichoko meta mia nne na sitini sifuri kutoka usawa wa bahari baada ya kupatwa na tatizo la kifua UNK amefurahi sana licha ya kutofika kileleni kitendo cha wenzake kufika kileleni UNK faraja na huenda UNK kuupanda mlima huu tena alisema mratibu wa safari yake ambaye pia ni msemaji wake sasha UNK huenda siku moja timu ya chelsea ikaja tanzania aliongeza sasha huku UNK UNK wake mkuu alex UNK alisema amejifunza mambo mengi ikiwa ni pamoja na UNK wa mchezo wa soka ambao yeye hakuwa mpenzi wa timu yoyote zaidi ya kushangilia timu UNK akitoa shukrani za shirika la hifadhi za taifa kwa niaba ya kaimu mkurugenzi wa shirika hilo mkuu wa hifadhi ya arusha UNK UNK alimweleza mmiliki huyo wa chelsea kuwa wamefurahishwa na ujio wake naye ofisa uhusiano wa tanapa catherine UNK alisema ugeni huo ni faraja kubwa kwa shirika hilo na tanzania kwa ujumla licha ya kuwa safari yake ilikuwa ya binafsi zaidi shirika hilo UNK zawadi mbalimbali za vivutio vya utalii kama kumbukumbu ya ujio wa bilionea huyo abramovich UNK nchini wiki iliyopita safari ya kurudi kwao bado haijajulikana kutokana na usiri uliogubika safari hiyo licha ya kuwa na madai kwamba UNK hifadhi ya UNK yaiparua kagera sugar mbili sifuri timu ya simba jana ilionesha dhamira yake ya kutaka kunyakua taji la ubingwa wa tanzania bara msimu huu baada ya kuukosa kwa miaka miwili mfufulizo kwa kuibanjua kagera sugar mabao mbili sifuri mchezo uliopigwa katika uwanja wa uhuru dar es salaam kwa matokeo hayo simba imezidi kujikita kileleni katika msimamo wa ligi kuu kwa kufikisha pointi kumi na mbili baada ya kushinda michezo yote minne na kuongeza umbali kati yao na watani wao wa jadi yanga ambao hadi sasa wana pointi tano wakiwa tofauti ya pointi saba pamoja na simba kuwa na majeruhi saba katika kikosi chake lakini walicheza kwa UNK kubwa na kuibuka na ushindi katika mchezo huo ambao hata hivyo hawakuonesha kiwango kizuri kama walivyocheza katika mchezo dhidi ya toto african haruna moshi boban ndiye aliyekuwa wa kwanza kuwainua mashabiki wa timu hiyo baada ya kupachika bao la kwanza dakika ya kumi na saba kwa shuti kali lililomshinda kipa UNK asukile wa kagera huku mabeki wake wakidhani mfungaji alikuwa ameotea hata hivyo katika kipindi cha kwanza kagera ndiyo walionekana kutawala zaidi lakini walishindwa UNK nyavu kutokana na washambuliaji wake kushindwa kupasua ngome ya simba dakika ya sitini na sita ya kipindi cha pili nusura emmanuel okwi UNK simba bao la pili baada ya kuwatoka mabeki na kumpiga chenga kipa lakini shuti lake UNK langoni mwa kagera na kuokolewa na UNK mohamed kijuso akitokea katika benchi kuchukua nafasi ya uhuru selemani ndiye UNK ndoto za kagera kusawazisha bao hilo baada ya kukandamiza msumari wa mwisho dakika ya sabini na saba kwa shuti kali ambalo UNK asukile na UNK UNK na kujaa wavuni simba juma kaseja salumu kanoni juma jabu kelvin yondani juma nyoso mohamed banka selemani kijuso amri kiemba adam kingwande moshi salim aziz na okwi kagera sugar asukile godfrey UNK msafiri juma shaaban UNK salvatory ntebe malegesi mwangwa said dilunga daud jumanne george UNK abdallah juma shija UNK mike katende na UNK ndege paul UNK mnyange wa vodacom miss tanzania mwaka huu anatarajia kujinyakulia zawadi ya gari aina ya suzuki vitara lenye thamani ya shilingi milioni hamsini na tatu mbili na fedha taslim shilingi milioni tisa katika fainali zitakazofanyika oktoba tatu kwenye ukumbi wa mlimani city dar es salaam akizungumza wakati wa kutangaza zawadi mbalimbali kwa washiriki wa kinyangganyiro hicho kwenye hoteli ya giraffe ocean view nje ya jiji la dar es salaam jana mkuu wa udhamini na mawasiliano wa kampuni ya simu za mkononi ya vodacom george rwehumbiza alisema mwaka huu UNK udhamini wao katika mashindano hayo alisema kampuni yao imetenga zawadi zenye thamani ya shilingi milioni tisini na nane ambazo kila mshiriki atanufaika nazo kulingana na nafasi UNK katika fainali za mashindano hayo kila mwaka vodacom UNK zawadi za washindi mwaka huu malkia wetu ataondoka na gari aina ya suzuki vitara lenye thamani ya shilingi milioni hamsini na tatu mbili na fedha taslimu shilingi milioni tisa alisema rwehumbiza alisema mshindi wa pili atajinyakulia shilingi milioni sita mbili wa tatu shilingi milioni nne wa nne ataondoka na shilingi milioni tatu wa tano atapata shilingi milioni mbili nne na mshindi wa sita mpaka wa kumi watazawadiwa shilingi milioni moja nne kila mmoja huku mshindi wa kumi na moja hadi wa thebathini kila mmoja atapata shilingi laki saba mbali na kutangaza zawadi hizo rwehumbiza aliwaomba washiriki wa mashindano hayo wazingatie nidhamu na kujituma katika mazoezi ili zawadi UNK ziwe changamoto kwa mafanikio yao naye mkurugenzi wa kamati ya miss tanzania hashim lundenga aliishukuru kampuni hiyo ya vodacom na kampuni nyingine UNK kufikisha sanaa ya urembo hapo ilipo ambayo kwa sasa ipo juu katika ukanda wa afrika mashariki na kati alisema kila mwaka thamani ya mashindano hayo inaongezeka na kwamba kwa kiasi kikubwa mafanikio hayo yanatokana na mashindano kufanywa kwa uwazi tofauti na nchi nyingine za afrika aliwataka warembo hao kuwa na nidhamu na ushirikiano katika zawadi UNK kwani ni changamoto kwao hivyo wawe kioo cha jamii vinginevyo kamati yake itachukua hatua za kinidhamu mabingwa watetezi wa ligi kuu tanzania bara yanga jumatatu wanatarajia kuifuata mtibwa sugar mjini morogoro kujiandaa na mchezo wao utakaopigwa wiki ijayo yanga ambao wameanza vibaya msimu huu kwa kupoteza mchezo mmoja wameshinda mmoja na kutoka sare miwili wanatarajia kuvaana na mtibwa septemba kumi na tisa katika uwanja wa jamhuri mjini humo akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo imani madega alisema baada ya kuanza vibaya ligi hiyo wamejipanga kufanya vizuri kuanzia mchezo dhidi ya mtibwa sugar alisema moja kati ya mikakati waliyojiwekea katika kikao cha pamoja kati ya uongozi benchi la ufundi na wadau wa timu hiyo wamefikia uamuzi wa kuweka kambi kwa ajili ya maandalizi ya mchezo huo moja kati ya sababu zilizotolewa na kocha ni kukosa kambi ya maandalizi ya ligi hivyo tumejipanga kuweka kambi morogoro kwa ajili ya kujiandaa na mchezo huo ambao ni muhimu kwetu alisema madega alisema wamepanga kambi hiyo kuanza mapema sana mara tu baada ya kukamilisha mambo muhimu kwa ajili ya kambi hiyo na timu kwa ujumla alisema wanaamini kuwa timu yao itafanya vizuri katika michezo ijayo na kufanikiwa kuutetea ubingwa wao huku UNK vikali wanachama ambao UNK migogoro kwa manufaa yao binafsi matokeo ya michezo hii minne sio sababu ya kuanzisha migogoro kwani kuna mtu ambaye UNK mgogoro huo kwa manufaa yake binafsi na UNK na UNK kazi mara moja alisema madega madega aliongeza katika msimu wa mwaka ishirini sifuri saba nane tulianza vibaya kwa kupoteza michezo mitatu mfululizo na katika michezo minne UNK pointi moja lakini mwisho wa msimu tulitwaa ubingwa na hakukuwa na vurugu wakati mwenyekiti nikiwa mimi alisema mwenyekiti huyo UNK klabu hiyo kwa miaka miwili aliwataka wapenzi wa kweli wa timu hiyo na wanachama UNK ushirikiano wa kutoka katika wakati huu ili kuipa ushindi timu yao klabu ya soka ya sc villa ya uganda imezidi kuipa hali ngumu mabingwa watetezi wa ligi kuu ya tanzania bara yanga kwa kuwataka kumpeleka mwanasheria wao ili waupitie mkataba upya ndipo wamwachie kiungo wao steven bengo usajili wa kiungo huyo umekuwa na utata baada ya timu hizo awali kushindwa kukubaliana baadhi ya vitu vilivyokuwa UNK katika mkataba wa mchezaji huyo ambapo villa walitaka asilimia thebathini ya fedha za mauzo ya bengo endapo akiuzwa timu nyingine kutokana na hali hiyo yanga haikuwa tayari kufanya hivyo lakini baadaye zikatolewa taarifa na klabu hiyo kwamba wameshamalizana na villa bila kuweka wazi asilimia thebathini ya mauzo itakavyokuwa hivyo kilichobaki ni mchezaji huyo kuruhusiwa kukipiga jangwani akizungumza dar es salaam jana ofisa habari wa klabu hiyo louis sendeu alisema villa inaonekana ina mpango wa kuihujumu yanga kwa mambo wanayoyafanya alisema alizungumza nao hivi karibuni baada ya kukamilisha fedha walizokuwa UNK lakini villa UNK jipya ambapo sasa wanaitaka yanga kupeleka mwanasheria ili waupitie tena mkataba huo ndipo waangalie uwezekano wa kumruhusu bengo hawa jamaa sijui wana mpango gani na sisi maana kila kukicha hawaishi mizengwe mara wanataka asilimia thebathini ya mauzo ya bengo UNK nao sasa wameibuka na jipya eti wanamtaka mwanasheria wetu kitu ambacho UNK UNK sisi alisema sendeu alisema leo au kesho watakwenda kuliona shirikisho la mpira wa miguu tanzania kuomba wasaidiwe katika hilo kwa kuzungumza na shirikisho la mpira wa miguu uganda au ikiwezekana wampe kibali cha muda bengo ili aanze kucheza wakati kamati ya nidhamu ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania ikitarajiwa kukutana kesho jijini dar es salaam wachezaji wa yanga jerry tegete steven marashi na kipa obrien curkovic huenda UNK na adhabu baada ya kudaiwa kufanya vurugu katika mchezo wao dhidi ya majimaji yanga katika mchezo dhidi ya majimaji UNK pua baada ya kupokea kichapo cha bao moja sifuri katika mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa majimaji mjini songea kwa mujibu wa kiongozi mmoja ambaye alikuwa katika msafara wa tff kwenda kusimamia mchezo huo alidokeza dar es salaam jana kwamba wachezaji hao mara baada ya kumalizika kwa mchezo huo walifanya vurugu zilizosababisha uwanja kukosa amani unajua siku zote kufungwa UNK ila wale wachezaji hawakupaswa kufanya fujo kama hawakuridhishwa na maamuzi ya mwamuzi UNK taratibu husika lakini si kufanya fujo kilisema chanzo hicho alisema wachezaji hao hata kabla mpira haujamalizika kwa nyakati tofauti walionekana kufanya fujo za wazi hali inayomfanya kuingiwa na wasiwasi endapo UNK itazidi kuidhoofisha yanga kama ilivyokuwa kwa athuman idd chuji katika hatua nyingine katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alithibitisha kufanyika kwa kikao hicho cha kamati ya nidhamu kesho ambacho kitakuwa kikijadili mambo mbalimbali alisema kati ya mambo yatakayojadiliwa ni pamoja na malalamiko yanayotolewa na wadau wa soka kuhusu uwanja wa majimaji kutokuwa katika hali nzuri inayopaswa kuchezewa mashindano kamati ya nidhamu itakutana kesho kujadili mambo mbalimbali lakini pia UNK kwamba kumekuwa UNK malalamiko mengi juu ya waamuzi wanaochezesha ligi kuu hivyo kama tff tunapenda kuona timu zikicheza soka kuliko kulalamika zaidi alisema mwakalebela timu za azam fc na prisons ya mbeya leo zinatarajiwa kushuka uwanjani kutafuta pointi tatu muhimu zitakapoumana katika mfululizo wa michezo ya ligi kuu ya soka tanzania bara mchezo utakaopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam timu hizo katika michezo yao ya mwisho zilitoka uwanjani kifua mbele ambapo azam wakiwa nyumbani uwanja wa uhuru waliichapa moro united mabao tatu mbili na prisons waliibuka na ushindi wa bao moja sifuri dhidi ya african lyon kwenye uwanja wao wa nyumbani sokoine jijini mbeya mchezo huo unatarajiwa kuwa na upinzani mkali kutokana na kila timu kuhitaji ushindi ili izidi kuchanja mbuga na kujikita kileleni katika msimamo wa ligi kama azam ikiichapa prisons itapanda kutoka nafasi ya sita hadi ya tatu ambapo itakuwa pointi sawa na jkt ruvu kwani zote zitakuwa na pointi saba ila zitatofautina kwa idadi mabao ya kufunga nayo prisons kama itaibuka na ushindi itaweza kupanda kutoka nafasi ya nane hadi ya nne kwani itakuwa imefikisha pointi sita sawa na majimaji isipokuwa UNK kwa mabao ya kufunga katika mchezo huo azam UNK kiwango kilichooneshwa na washambuliaji wake wanaochezea timu ya taifa taifa stars john bocco adebayor ambaye anaongoza kuzifumania nyavu hadi sasa kwa kufunga mabao manne na yahya tumbo aliyefunga mabao matatu simba ndiyo inayoongoza ligi hiyo kwa kujikusanyia pointi kumi na mbili ikifuatiwa na mtibwa sugar yenye pointi tisa jkt ruvu ina pointi saba na majimaji ya songea ina pointi sita huku mabingwa watetezi yanga UNK pointi tano zote zikiwa zimecheza michezo minne kila moja mfadhili mkuu wa klabu ya yanga yusuf manji amewataka wachezaji wa timu hiyo UNK mahitaji yao muhimu ili UNK na waweze kujituma kwenye michuano ya ligi kuu tanzania bara manji alikutana na wachezaji hao juzi wakati alipokutana nao usiku alipokuwa UNK futari katika hoteli ya UNK ambapo pia aliwataka waeleze sababu za kuboronga katika ligi hiyo mfadhili huyo alitaka kujua ni kwanini yanga imekuwa UNK kwenye ligi hiyo iliyoanza kutimua vumbi agosti ishirini na tatu mwaka huu ambapo timu hiyo ilianza kwa kusuasua baadhi ya wachezaji wa timu hiyo waliozungumza na mwandishi wa habari hizi walisema manji amesikitishwa na mwenendo mbovu wa timu hiyo katika ligi na kuwataka wachezaji wabadilike kwakweli manji ameongea mengi na sisi na UNK UNK kwenye karatasi mahitaji yote muhimu tunayohitaji ili ayafanyie kazi kabla ya mechi ya jumamosi dhidi ya mtibwa na sababu UNK UNK alisema mmoja wa wachezaji hao mchezaji huyo alisema manji hataki kuona wanapoteza tena mechi nyingine na kwamba mechi zilizobakia washinde zote ili waweze kutetea ubingwa wa tanzania bara kwa mara ya tatu mfululizo licha ya juzi kula pamoja na wachezaji hao mfadhili huyo pia UNK wazee wa klabu hiyo futari UNK makao makuu ya yanga ambayo iliwakutanisha wanachama mbalimbali akiwemo mwenyekiti imani madega yusuf mzimba na makatibu wa matawi ya yanga mkoa wa dar es salaam yanga katika ligi hiyo tayari imecheza mechi nne imeshinda moja sare mbili na kufungwa moja ambapo hadi sasa inashika nafasi ya tano katika msimamo wa ligi ikiwa na pointi tano na zahoro mlanzi baada ya kuibuka na ushindi wa bao moja sifuri dhidi ya toto african ya mwanza timu ya simba imesema sasa ni zamu ya yanga ambayo ina tiketi yake ya michuano ya shirikisho timu hizo zinatarajiwa kuumana jumapili katika mchezo utakaopigwa dar es salaam ambapo katika mchezo wa kwanza simba ililala kwa bao moja sifuri akizungumza baada ya kumalizika kwa mchezo na toto uliopigwa kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam juzi kocha mkuu wa timu hiyo mzambia patrick phiri alisema kutokana na ushindi walioupata sasa wapo kamili UNK yanga alisema ushindi huo ni changamoto kwao kwani watalazimika kushinda katika mchezo wao na yanga ili UNK nafasi ya kucheza kombe la shirikisho mwakani huku UNK mabaya mtibwa sugar wapoteze mchezo mmoja kila mchezo UNK sasa hivi ni mgumu kwetu hivyo kutokana na ushindi wa leo naamini sasa tupo tayari kucheza na yanga muda wowote kwani wachezaji wangu wameonesha uwezo mzuri licha ya kufanya vibaya kipindi cha kwanza alisema phiri simba hadi sasa imebakiwa na michezo miwili ikiwemo yanga na kisha watamalizia na polisi dodoma tayari UNK pointi thebathini na sita wakiwa katika nafasi ya pili wakifuatiwa na mtibwa sugar yenye pointi thebathini na moja na kubakiwa na michezo mitatu mkononi ligi ya mabingwa ulaya inaendelea tena leo saa tatu arobaini na tano usiku ambapo timu kumi na sita UNK huku mechi yenye mvuto zaidi ikiwa kati ya inter milan na mabingwa watetezi barcelona kundi f inter milan itakuwa uwanja wake wa san siro italia ikiwa na mshambuliaji samuel eto o aliyehamia timu hiyo akitokea barca huku mabingwa watetezi nao wakiwa na mshambuliaji zlatan UNK aliyekuwa inter kundi e liverpool ya uingereza itakuwa nyumbani kuvaana na debrecen ya hungary huku arsenal ikianza mechi ya kwanza ya makundi ikiwa ugenini kuvaana na standard liege ya UNK mechi nyingine zitakuwa kama ifuatavyo dynamo kiev v rubin kazan lyon v fiorentina olympiakos v az sevilla v unirea urziceni na vfb stuttgart v rangers kivumbi cha ligi kuu tanzania bara kiliendelea tena jana katika uwanja wa uhuru dar es salaam ambapo azam fc UNK maafande wa prisons mabao mbili sifuri bao la azam lilipatika katika dakika ya arobaini na nne lililowekwa kimiani na john boko adebayor likiwa bao lake la tano katika ligi hiyo baada ya kupokea pasi ya salum UNK awali kabla ya azam kupachika bao hilo dakika ya thebathini na tatu mshambuliaji wake hatari yahya tumbo alikosa bao la wazi baada ya kubaki na kipa wa prisons abdulrazak jackson ambaye alidaka shuti lake kipindi cha pili kilianza kwa azam kupeleka mashambulizi ya nguvu langoni mwa prisons na kufanikiwa kupachika bao la pili katika dakika ya sitini na tatu lililowekwa kimiani na wagaruka kutokana na pasi ya UNK azam ingeweza kupata mabao mengi lakini hata hivyo washambuliaji wake waliokuwa wakiongozwa na tumbo hawakuwa makini katika kupachika mabao kutokana na ushindi huo azam sasa itakuwa imefikisha pointi saba na kupanda hadi nafasi ya nne nyuma ya jkt wakati prisons imebaki katika nafasi yake ya nane ligi hiyo inatarajiwa kuendelea tena katika uwanja huo ambapo timu za manyema fc na toto african UNK kazi UNK vladimir niyonkuru UNK ndauka mau ally agrey ambrose salum swed ibrahim mwaipopo danny wagaruka salum UNK boko tumbo na hamid mkami prisons jackson dickson oswald henry UNK david mwantobe mbega dafa sud ahadi hashim kaongo ismail suleiman benjamin asukile jacob UNK na ramadhan UNK wachezaji wa yanga wamesema kuvurunda kwao katika mechi zake za ligi kuu tanzania bara kunachangiwa na timu hiyo kutocheza kitimu wakizungumza dar es salaam jana kwa nyakati tofauti wachezaji hao walisema siri ya kuvurunda katika ligi hiyo ni kutokana na kutocheza kitimu hapa tatizo letu kubwa ni kwamba UNK kitimu kila mchezaji anatumia uwezo wake binafsi na ndio maana tumekuwa tukipoteza UNK katika mechi zetu alisema mmoja wa wachezaji hao wakongwe wa yanga alisema kikubwa kinachotakiwa ni kwa mwalimu wa dusan kondic kuiunganisha timu ili kuondokana na aibu hiyo wanayoipata kwani kama wangekuwa wanacheza kitimu UNK hata mchezo mmoja mchezaji huyo alisema uongozi wa klabu hiyo pia unatakiwa UNK kocha mkuu kondic kocha msaidizi ili UNK kushirikiana kuinusuru timu katika harakati za kuutetea ubingwa alisema wanamshukuru mfadhili yusuf manji kwa kuwapa motisha kwani hilo nalo linaweza kuchangia timu hiyo ikaongeza bidii kwenye mechi zake inasikitisha sana sisi wenyewe matokeo haya UNK hata kidogo na pale inapotokea kufungwa au kutoka sare huwa UNK sana alisema kamati ya mashindano ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK adhabu nyingine athuman idd chuji wa yanga kwa UNK miezi mitatu mingine na faini ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kwa utovu wa nidhamu wiki iliyopita mchezaji huyo alihukumiwa kifungo cha UNK mitatu kucheza mpira wa miguu kwa kosa la kumtolea lugha chafu mwamuzi wa pembeni khamis changgwalu wakati timu yake ilipocheza na african lyon akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema kuwa adhabu ya mchezaji huyo imeanza jana hivyo UNK adhabu zote mbili kwa wakati mmoja mchezaji athuman idd aliwaongoza wachezaji wenzake kumzonga mwamuzi baada ya kumaliza mchezo kati ya yanga na majimaji uliochezwa mjini songea vilevile alienda kwenye jukwaa la mashabiki wa majimaji na kuwatukana alisema mwakalebela mbali ya mchezaji huyo kamati hiyo pia UNK barua ya onyo kipa msaidizi wa timu hiyo steven marashi ambaye UNK kwenye benchi akiwa na kipa UNK obren na kuonesha utovu wa nidhamu kwa kukataa kuheshimu maamuzi ya mwamuzi hivyo kwenda kumzonga obren alipewa kadi ya njano katika vurugu hizo mwakalebela alisema wachezaji wa yanga walivunja viti saba katika chumba cha wachezaji hivyo kwa mujibu wa kanuni za ligi vitendo vya kuharibu mali muhusika anatakiwa kulipa gharama za uharibifu ambapo yanga ilifanya uharibifu huo na UNK barua ya UNK pia kamati ya mashindano UNK faini ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri klabu ya majimaji baada mashabiki wake kuingia uwanjani baada ya mchezo kumalizika hivyo kuhatarisha usalama wa waamuzi na timu ngeni mchezaji wa toto juma UNK naye ametozwa faini ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kwa kumpiga kichwa mchezaji wa simba uhuru selemani mchezaji wa timu ya toto african juma abdul aliyepewa kadi nyekundu wakati timu yake ilipocheza na simba baada ya kumpiga kichwa mchezaji uhuru seleman amefungiwa kucheza mechi tatu kwa kosa hilo na kulipa faini ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri timu za manchester united real madrid na chelsea zimeanza vyema michuano ya kuwania ubingwa wa michuano ya klabu bingwa ulaya baada ya kuibuka na ushindi dhidi ya wapinzani wao katika mechi hizo zilizopigwa usiku wa kuamkia jana manchester iliibuka na ushindi wa bao moja sifuri dhidi ya besiktas ya uturuki real madrid wakaibuka na ushindi mnono wa mabao tano mbili wakiwa ugenini dhidi fc zurich ya uswizi nayo chelsea katika mchezo wa kundi d iliibuka na ushindi mwembamba kwenye uwanja wake wa nyumbani wa stamford bridge wa bao moja sifuri dhidi ya fc porto ya ureno kwa bao lililofungwa na nicolas UNK mchezaji bora wa dunia wa fifa cristiano ronaldo aliifungia madrid mabao mawili kwa mipira ya adhabu dakika za ishirini na saba na themanini na tisa za mchezo huo wa kundi c baada ya mikwaju hiyo kumshinda mlinda mlango UNK UNK ambaye alikuwa akijaribu UNK bila mafanikio real madrid ambayo ni bingwa wa michuano hiyo ya ulaya mara tisa pia ilipata mabao mengine kupitia kwa wachezaji raul UNK aliyefunga dakika thebathini na nne gonzalo higuain jose maria guti UNK aliyefunga bao dakika za majeruhi mabao ya zurich yalifungwa na wachezaji UNK UNK dakika ya sitini na nne kwa njia ya penalti na bao la pili UNK UNK UNK dakika moja baadaye katika mechi ya UNK b iliyofanyika mjini UNK paul scholes aliipachikia bao manchester united dakika ya kumi na tatu na kuifanya timu hiyo kujiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele matokeo ya mechi nyingine timu za juventus na girondins bordeaux zilitoka sare ya bao moja moja katika mchezo wa kundi a uliofanyika kwenye uwanja wa stadio UNK UNK bayern munich UNK maccabi haifa mabao tatu sifuri katika mechi za kundi b timu ya vfl wolfsburg iliichapa cska moscow tatu moja wakati mechi ya kundi c iliyopigwa kwenye uwanja wa stade velodrome olympique marseille ilifungwa bao mbili moja na ac milan ikiwa nyumbani timu za atletico madrid na UNK nicosia zilitoka suluhu katika mchezo wa kundi hilo uliofanyika uwanja wa vicente UNK hati ya uhamisho wa kimataifa ya mchezaji mpya wa yanga steven bengo imewasili jana baada ya msuguano wa muda mrefu na klabu yake ya zamani ya sc villa ya uganda akizungumza kwa njia ya simu jana msemaji wa klabu ya yanga louis sendeu alisema wamepata hati ya mshambuliaji huyo kutoka nchini uganda baada ya kumaliza UNK zilizotokea na sc villa ya uganda mambo yamekuwa shwari kilio chetu kuhusu bengo kimemalizika itc imewasili hivyo tuko huru kumtumia alisema awali klabu ya yanga ilishindwa kumtumia mchezaji huyo katika mechi za ligi kuu baada ya kushindwa kupata hati ya uhamisho wa kimataifa kutoka nchini uganda yanga ilikuwa UNK sc villa ya uganda kwa kushindwa kutoa hati hiyo baada ya kukamilisha malipo waliyokuwa UNK hivi karibuni sendeu aliwalaumu viongozi wa shirikisho la mpira wa miguu uganda kwa kushindwa kutuma hati hiyo baada ya kumalizana na villa sendeu alisema UNK shirikisho la mpira wa miguu UNK kuhusu kukamilisha malipo yote ya uhamisho hivyo waliwataka kuwaombea hati hiyo fufa hata hivyo sc villa waliwataka yanga kufuata mkataba huo uganda ama UNK ambapo mwenyekiti wa klabu hiyo imani madega alitekeleza suala hilo michuano ya ligi ya mabingwa ulaya iliendelea tena jana na kushuhudiwa timu za uingereza zikiendelea na ushindi katika mechi za ufunguzi wa michuano hiyo huku mabingwa watetezi barcelona wakibanwa mbavu kwa kulazimishwa suluhu na timu ya inter milan timu za uingereza zilizokuwa kibaruani usiku wa kuamkia jana ni liverpool na arsenal ambapo liverpool ikiwa kwenye uwanja wake wa nyumbani anfield iliibuka na ushindi mwembamba wa bao moja sifuri huku arsenal wakitoka nyuma na kuibuka na ushindi wa mabao tatu mbili ikiwa ugenini kwenye uwanja wa maurice dufrasne UNK katika mchezo wa kundi e ambao ulikuwa kati ya liverpool na timu ya debrecen mchezaji dirk kuyt ndiye aliyeibuka shujaa wa mchezo huo baada ya kuifungia timu yake bao lililoifanya UNK na ushindi huo mwembamba wa bao hilo moja sifuri kuyt alifunga bao hilo dakika ya arobaini na tano ya mchezo jambo moja la msingi ni kupata pointi tatu kocha wa UNK rafael benitez alisema baada ya kuishuhudia timu yake ikiondoka na ushindi dhidi ya mabingwa hao wa UNK lililowekwa kimiani na mshambuliaji huyo raia UNK katika muda wa nyongeza katika kipindi cha kwanza watu hawakufahamu UNK kwa sababu walikuwa UNK timu nyingine lakini imeonekana sio mbaya aliongeza UNK huyo ambaye UNK kufikisha mechi ya thebathini sifuri akiwa kocha mkuu wa liverpool debrecen ambayo ilikuwa ikicheza mechi yake ya kwanza katika kinyangganyiro hicho cha hatua ya makundi iliweza kuwabana vizuri wachezaji wa steven gerrard fernando torres na UNK katika mchezo mwingine wa kundi hilo timu ya lyon ya ufaransa iliichapa timu ya fiorentina ya italia kwa bao moja sifuri kwenye uwanja wake wa nyumbani wakti UNK UNK mchakamchaka na timu ya debrecen arsenal wao walikuwa na kibarua kigumu kwenye uwanja wa maurice dufrasne ingawa walifanikiwa kuondoka na ushindi huo wa mabao tatu mbili katika mchezo huo timu ya standard liege ndio walikuwa wa kwanza kuzifumania nyavu za arsenal baada ya kupata bao dakika ya pili ya kipindi cha kwanza kupitia kwa mchezaji UNK UNK kabla ya kupachikwa la pili dakika ya tano ambalo liliwekwa kimiani kwa mkwaju wa penalti kupitia kwa mchezaji milan UNK arsenal walisawazisha mabao hayo kupitia kwa wachezaji nicklas bendtner dakika ya arobaini na tano thomas vermaelen dakika sabini na nane na eduardo da silva aliyeifungia timu yake bao dakika themanini na moja timu nyingine za uingereza ambazo zimeshinda mechi zake za kwanza ni manchester united na chelsea mabingwa watetezi wa michuano hiyo barcelona ya hispania wao walijikuta wakishindwa kufurukuta ugenini baada ya kulazimishwa kwenda suluhu na inter milan UNK huo ulikuwa ni wa kundi f na ulifanyika katika uwanja wa san siro mjini milan matokeo mengi ya mfululizo wa michuano hiyo UNK UNK kama ifutavyo timu ya dynamo kiev iliibuka na ushindi wa mabao tatu moja ikiwa kwenye uwanja wake wa nyumbani dhidi ya timu ya rubin kazan vfb stuttgart UNK nguvu na timu ya rangers sevilla ikaichapa mabao mbili sifuri unirea urziceni olympiakos UNK ikaibuka na ushindi wa bao moja sifuri dhidi ya az alkmaar kocha mkuu wa timu ya yanga mserbia dusan kondic amesema kukosekana kwa mchezaji wake shadrack nsajigwa ni pengo kubwa lakini wachezaji george owino na steven bengo wataliziba pengo lake nsajigwa alishindwa kusafiri na wenzake kwenda mkoani morogoro ambako timu yake inacheza na mtibwa sugar leo katika uwanja wa uhuru kutokana na kuwa majeruhi akizungumza kwa njia ya simu akiwa morogoro jana kondic alisema kukosekana kwa mchezaji huyo mwenye nguvu katika kikosi chake ni pengo kubwa lakini amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwa kuwa bengo na owino UNK pengo hilo kwa kweli nsajigwa ni mchezaji mwenye nguvu sana hivyo kukosekana kwake ni pengo lakini sihofii tena kwa kuwa nina wachezaji wengine bengo ambaye kibali chake UNK nchini na owino ambao wataliziba pengo hilo alisema kondic alisema pamoja na timu hiyo kufanya vibaya katika mechi zake zilizotangulia anashukuru kuona mashabiki wa morogoro kuilaki vizuri timu yao kondic alisema kitendo cha mashabiki hao kuipokea timu yake kwa shangwe UNK molari wachezaji wake na hivyo kuibuka na ushindi katika mechi ya leo siku chache baada ya waamuzi sita waliochezesha ligi kuu ya tanzania bara kutuhuma kupokea rushwa shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa nchini UNK jicho ligi hiyo pamoja na waamuzi wake tuhuma hizo zilikutwa katika kikao cha kamati ya mashindano ya tff iliyokutana jumatatu jijini dar es salaam kujadili mambo mbalimbali yanayohusu michezo ya ligi ambapo waamuzi peter UNK othman kazi omar UNK omar mfaume UNK mapunda na athuman lazi walikutwa na tuhuma hizo akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa shirikisho hilo fredrick mwakalebela alisema licha ya waamuzi wanaotuhumiwa kula rushwa kuondolewa katika ratiba ya kuchezesha ligi kuu lakini kamati ya mashindano ya tff inaendelea kufanya uchunguzi wa kina alisema kutokana na hali hiyo kujitokeza mara kwa mara huku wadau mbalimbali nao wakitoa malalamiko juu ya vitendo hivyo vya waamuzi si vibaya kama takukuru nao UNK suala hilo kwa mtazamo wao takukuru ni chombo cha umma hivyo hawafundishwi kazi kama itaona inafaa UNK watafanya hivyo na pia itatusaidia kupunguza tuhuma kama hizo kwani tumeshafanya nao kazi mara nyingi alisema mwakalebela akitolea mfano wa mchezo wa yanga dhidi ya majimaji uliopigwa mjini songea mwakalebela alisema bado kuna vitu vingi vya UNK na si mchezo huo pekee bali na michezo mingine hivyo bado kuna vitu vingi vinaendelea kuchunguzwa na kamati ya mashindano katika michezo mbalimbali alisema taasisi kama hiyo UNK kuchunguza ligi hiyo pamoja na waamuzi wake itasaidia kupunguza kupanga matokeo uwanjani na kila timu kuvuna kile kilichopanda na kufanya ligi kuwa na msisimko zaidi ligi kuu tanzania bara iliendelea tena jana kwa mechi moja iliyochezwa katika uwanja uhuru dar es salaam ambapo moro united UNK maini timu ngeni katika ligi hiyo ya african lyon baada ya kuifunga bao moja sifuri kutokana na lyon kufungwa kumezidi kuiweka timu hiyo katika mazingira magumu kwenye ligi hiyo baada ya kupoteza mechi nne mfululizo na kutoka sare mechi moja hivyo kuifanya kuendelea kuwa ya mwisho katika msimamo wa ligi kwa kuwa na pointi moja mechi hiyo ilianza kwa lyon kuliandama lango la wapinzani wao lakini ubutu wa washambuliaji wa timu hiyo inayofundishwa na kocha mreno eduardo almeida walishindwa kupenya ukuta wa moro UNK dakika ya thebathini mshambuliaji robert ssentongo alikosa bao la wazi akiwa peke yake baada ya UNK pasi UNK na rashid gumbo lakini shuti lake UNK na kuokolewa na mabeki wa moro bao pekee katika mechi hiyo lililoipa pointi tatu moro united lilipatikana katika dakika ya hamsini ambalo lilifungwa na yona ndabila baada ya kutokea piga nikupige langoni mwa lyon baada ya moro kupata bao hilo waliongeza kasi lakini mshambuliaji wake yusuph UNK alishindwa kuzitumia nafasi nyingi alizopata hasa dakika ya themanini na mbili baada ya shuti lake kupaa akiwa ndani ya sita mtihani mzito UNK yanga UNK na timu ngumu ya mtibwa sugar katika ligi kuu ya soka tanzania bara leo yanga itaingia uwanja wa jamhuri mjini morogoro ikiwa wageni wa mtibwa huku mashabiki wake wakiwa roho juu kutokana na mwenendo wa timu yao kwenye ligi hiyo wakati yanga watakuwa wanatafuta salama yao katika mji kasoro bahari watani wao wa jadi simba watakuwa wanajaribu UNK mkuki wa sumu UNK na manyema uwanja wa uhuru dar es salaam manyema ambayo jumatano iliilaza toto african ya mwanza bao moja sifuri kwenye uwanja huo imepania kuvunja rekodi ya simba ya kushinda mechi zake zote nne za ligi kuu manyema ambayo jina lake la utani ni mkuki wa sumu ikiwa chini ya kocha mzoefu abdallah king kibadeni imeapa kuharibu shangwe inayoendelea msimbazi ya timu yao kufanya vizuri ligi kuu kibadeni ambaye anaijua vizuri simba kwa vile aliichezea kwa miaka kadhaa na kuifundisha kwa vipindi tofauti UNK manyema kufanya kile ambacho kiliwashinda majimaji prisons toto african na kagera sugar lakini anakabiliwa na ngoma nzito kutokana na ukweli kuwa kocha wa simba patrick phiri amepania kushinda mechi zote huku UNK manyema akiwa karibu na jeshi lake UNK wachezaji kadhaa wa simba UNK majeruhi sasa wako fiti wakiwemo danny mrwanda mussa hassan mgosi na jabir azizi huku kiungo hodari hilary echesa akiwa amerejea kutoka kuichezea timu yake ya taifa ya kenya ni mazingira hayo ambayo UNK pambano hilo UNK kuwa gumu na lenye kila aina ya UNK lakini yote hayo ni tisa kumi itakuwa uwanja wa jamhuri ambapo yanga UNK kulipa kisasi huku pia ikitaka kuwapa raha mashabiki wake kuwa sasa inaanza ligi yanga ikiwa na pointi tano kwa mechi nne matokeo ambayo mashabiki wa yanga UNK meno ina kazi nzito UNK ya mtibwa yenye pointi tisa huku ikiwa UNK na majimaji katika mechi yake ya mwisho mtibwa inajivunia ushindi wa mabao mbili moja dhidi ya yanga katika ngao ya hisani ikiwa ni mechi ya ufunguzi wa msimu huu wa ligi kuu bara kocha wa yanga dusan kondic ambaye atakaa na mashabiki kutokana na kufungiwa mechi tatu atakuwa na kazi ya ziada ya kupambana na kocha chipukizi mecky mexime ambaye ameachiwa jukumu la kuiongoza mtibwa yanga inaingia uwanjani ikiwa katika mazingira mapya baada ya mfadhili mkuu wa timu hiyo yusuf manji kuzungumza na wachezaji ikiwa ni jitihada za kuweka mambo sawa ili iweze kutetea ubingwa wake ni mazingira hayo UNK nguvu mashabiki wa yanga kufurika kwa wingi uwanjani ili kushuhudia iwapo manji ameleta dawa ya kweli kwa timu yao je ni nani atatoa mkono wa idd kwa mashabiki wake jibu la swali hilo litapatikana baada ya kipute cha dakika tisini katika kila uwanja klabu ya simba imeingiwa na wasiwasi juu ya uamuzi utakaotolewa na kamati ya nidhamu ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania kuhusu hatma ya mchezaji wake uhuru selemani UNK rufani na yanga na kuiomba kamati hiyo itende haki kamati hiyo ilitarajiwa kukutana jana jioni katika ofisi za shirikisho hilo zilizopo dar es salaam kujadili rufani ya klabu ya yanga ambayo ilikata kwenye kamati hiyo ikipinga uamuzi wa kamati ya sheria na hadhi kwa wachezaji UNK simba na mtibwa zimalizane zenyewe juu ya mchezaji huyo akizungumza makao mkuu ya klabu hiyo mtaa wa msimbazi dar es salaam jana UNK habari wa klabu hiyo cliford ndimbo aliiomba kamati ya UNK UNK suala hilo katika misingi ya haki na uwazi kwa kufuata kanuni za ligi kuu ya soka tanzania bara alisema ni vizuri kutoa hadhari mapema maana mara nyingi hutolewa uamuzi tofauti na jinsi hali halisi ilivyokuwa na ndiyo maana wameamua kulizungumza hilo mapema wakiomba haki itendeke katika suala hilo na si vinginevyo si kama nina wasiwasi na uamuzi utakaotolewa na kamati ya nidhamu najua inakutana leo kulijadili suala hili ila UNK UNK hapa ni kuikumbusha kamati kutimiza wajibu wake kwa mujibu wa kanuni za mashindano kwa kutoa uamuzi UNK haki alisisitiza ndimbo mbali na suala hilo la uhuru pia kamati hiyo ilitarajiwa kuijadili rufani nyingine ya yanga UNK adhabu aliyopewa kiungo wake athuman idd chuji UNK kwa muda wa miezi mitatu na siku kutokana na utomvu wa nidhamu aliouonesha katika mechi za african lyon na majimaji ya songea katika hatua nyingine ndimbo alisema kwamba timu yao leo itaanza mazoezi rasmi katika uwanja wa kinesi ubungo baada ya kufanya mazoezi ya ufukweni kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wao UNK dhidi ya moro united UNK oktoba tatu mwaka huu uwanja wa uhuru dar es salaam aliongeza kuwa kamati ya nidhamu ya klabu hiyo iliyokutana wiki iliyopita kuwajadili wachezaji ulimboka mwakingwe na george nyanda imetoa onyo kali kwa wachezaji hao kutokana na utomvu wa nidhamu kwa kushindwa kuhudhuria mazoezi ya timu hiyo wakati wakijiandaa na ligi kuu na kutakiwa waanze mazoezi rasmi leo shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK baada ya kamati zake za mashindano na nidhamu kukinzana juu ya adhabu waliyompa kiungo wa yanga athuman idd chuji kutokana na kutumia kanuni moja kutoa uamuzi tofauti kamati ya mashindano iliyokutana kwa mara ya kwanza tangu ligi kuu ya tanzania bara ianze agosti ishirini na tatu mwaka huu UNK chuji kutojihusisha na masuala ya michezo kwa muda wa miezi mitatu kuanzia septemba sita mpaka desemba tano mwaka huu kutokana na utovu wa nidhamu aliouonesha katika mchezo kati ya yanga na african lyon pia kamati hiyo UNK tena chuji kwa adhabu kama hiyo baada ya kubainika kumfanyia fujo mwamuzi wa mchezo wao dhidi ya majimaji ya songea ambapo adhabu hiyo ilianza septemba kumi na sita na kumalizika desemba kumi na tano mwaka huu ikiwa UNK kwa siku kumi na adhabu ya awali kutokana na hali hiyo yanga haikuridhika na uamuzi huo ambapo ilikata rufani kwa kamati ya nidhamu ambayo ilikutana juzi jijini dar es salaam ambapo baada ya kusikiliza maelezo ya tff viongozi wa yanga na mchezaji husika ikaamua kumpunguzia adhabu akizungumza na dar es salaam jana ofisa habari wa shirikisho hilo florian kaijage alisema baada ya kamati ya nidhamu kutafakari suala zima iliona kosa lililofanywa na chuji ni kubwa na alistahili adhabu hiyo lakini kamati UNK chuji na kuamua UNK adhabu kamati imeamua kumfungia athuman idd michezo mitatu kama ilivyoelekezwa katika kanuni ya ishirini na tano ambayo ni mchezo wa kumi na tisa ishirini na tano na thebathini na tano ambayo UNK timu yake ya yanga dhidi ya jkt ruvu mtibwa sugar na kagera sugar hivyo ukiangalia utakuwa umebaki mchezo mmoja katika adhabu hiyo alisema kaijage aliendelea kufafanua kwamba adhabu yake ya kufungiwa miezi mitatu ile iliyotokana na mchezo kati ya yanga na majimaji ipo palepale kwani kamati ya nidhamu UNK adhabu hiyo kutokana na kutohusika katika rufani UNK wakati huo huo kaijage alisema rufaa iliyokatwa na yanga kupinga simba kumtumia uhuru selemani imetupwa baada ya kamati ya nidhamu kuridhia hoja ya tff kuwa yanga ilikata rufani nje ya muda UNK kwa mujibu wa kanuni za ligi kuu pia alisema imeridhia kwamba kamati ya sheria madili na hadhi kwa wachezaji ya tff UNK ya kuingilia makubaliano ya klabu mbili kama ilivyoainishwa kwenye katiba ya tff ibara ya arobaini na kuamua uhuru ni mchezaji halali wa simba UNK kumkatia rufani cas klabu ya yanga imeendelea UNK mchezaji wa simba uhuru selemani ambapo imesema pamoja na kamati ya nidhamu ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania kumwachia UNK timu hiyo sasa wameamua kukata rufani nyingine kwenye kamati ya rufani kupinga maamuzi hayo akizungumza dar es salaam jana msemaji wa yanga louis sendeu alisema klabu yake haitasita kuendelea kumkatia rufani mchezaji huyo hadi haki itendeke uongozi wa yanga unapenda UNK juu ya maamuzi yoyote yatakayotolewa kinyume na kanuni za ligi kuu ya vodacom na haitasita kukata rufani kamati ya rufaa ya tff alisema sendeu alisema kanuni ya hamsini na sita ya michuano ya ligi kuu tanzania bara ipo wazi ikionesha haitaruhusiwa kwa mchezaji yeyote kutia saini mkataba wa klabu zaidi ya moja kwa wakati mmoja mchezaji UNK mikataba ya timu mbili tofauti kwa wakati mmoja UNK kwa mujibu wa kanuni ya thebathini na nne kifungu namba tano sendeu alisema kanuni ya hamsini na tisa kifungu cha tatu klabu UNK kumchezesha mchezaji ambaye UNK na klabu hiyo itapoteza michezo yote ambayo mchezaji huyo amecheza bila kujali kukatwa au UNK rufani msemaji huyo alisema endapo haki UNK katika kamati zote wapo tayari kwenda hata katika mahakama ya kimataifa ya soka ilimradi haki ipatikane pia klabu hiyo imekata rufani kupinga adhabu ya mchezaji wao athuman idd chuji ya kifungo cha miezi mitatu sendeu alisema barua ya kufungiwa mchezaji huyo wameipata juzi hivyo uongozi umeamua kumkatia rufani mchezaji huyo klabu ya yanga juzi ilipokea barua ya kufungiwa kwa mchezaji wetu chuji kwa kipindi cha miezi mitatu kwa tuhuma za kumzonga mwamuzi baada ya pambano la mchezo namba kumi na nne kati ya yanga na majimaji ya songea alisema alisema yanga UNK vikali taarifa hiyo ambapo ukweli ni kwamba fujo zilitokea baada ya mwamuzi kukataa goli la kusawazisha lililofungwa na robert jama mba ambapo anadai mara baada ya goli hilo kufungwa mashabiki waliingia uwanjani wakipinga maamuzi hayo sendeu alisema wachezaji wa pande zote mbili walimfuata mwamuzi huku wakimlalamikia na kwamba wachezaji wao hawakufanya fujo yoyote hivyo taarifa ya kamisaa na mwamuzi UNK ukweli wakati huohuo timu ya yanga inatarajia kuondoka dar es salaam jumatatu kwenda kagera kucheza mechi ya ligi kuu ya vodacom dhidi ya kagera sugar utakaopigwa oktoba tatu mwaka huu kwenye uwanja wa kaitaba mjini bukoba shirikisho la michezo ya wizara na idara za serikali UNK michezo yake ya shimiwi itakayofanyika mkoani morogoro kuanzia octoba kumi na saba hadi novemba nne mwaka huu akizungumza dar es salaam juzi katibu mkuu wa shimiwi ramadhan sululu alisema katika UNK huo mgeni rasmi atakuwa naibu waziri wa habari utamaduni na michezo joel bendera alisema uzinduzi huo utatanguliwa na tamasha la wanamichezo wa wizara zote na idara zinazojitegemea litakalofanyika kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam sululu alisema tamasha hilo litaanza asubuhi kwa kufanya mazoezi ya UNK kuanzia uwanja wa taifa viwanja wa sigara na kurudi kwa pamoja ili kunyoosha viungo na kucheza mpira wa miguu kati ya makatibu wakuu na wakurugenzi wa utumishi watakaochuana na viongozi wa shimiwi alisema baada ya mchezo huo waziri bendera atazungumza na wanamichezo waliohudhuria uzinduzi huo na kutoa zawadi kwa wizara UNK wanamichezo wengi kuhudhuria uzinduzi huo msanii mrisho mpoto mjomba anatarajia UNK vibao vitatu vipya wiki ya usalama barabarani UNK septemba ishirini na nane mwaka huu katika viwanja vya mnazi mmoja jijini dar es salaam akizungumza dar es salaam juzi mjomba alisema katika maadhimisho hayo atatoa burudani kwa wakazi wa jiji la dar es salaam akiwa na bendi yake ya mpoto kutokana na ubora wa tungo zangu ambazo zimekuwa UNK jamii moja kwa moja UNK kutoa burudani siku hiyo pamoja na kupewa jukumu la kutunga nyimbo mpya ambazo UNK siku hiyo kwa mara ya kwanza alisema alizitaja nyimbo hizo kuwa ni UNK tuzungumze pamoja na inawezekana ambazo zote UNK mahususi kwa ajili ya siku hiyo ambapo pia UNK nyimbo zote zilizopo katika UNK yake mwaka juzi katika maadhimisho hayo kulikuwa na bendi ya akudo impact wakati mwaka jana msondo music bendi UNK na mwaka huu ni zamu ya mjomba miamba minne katika ligi kuu ya uingereza liverpool chelsea manchester united na arsenal inashuka tena dimbani leo kusaka pointi tatu muhimu ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo mechi hizo za leo mabingwa watetezi manchester united watakuwa ugenini wakiumana na stoke city wakati liverpool wao watakuwa kwenye uwanja wao wa nyumbani wakikwaruzana na hull city chelsea nao watakuwa wageni wa wigan athletic huku arsenal ikiwa ugenini UNK fulham timu hizo zinarejea katika michuano hiyo ya ligi kuu huku zikiwa na kumbukumbu ya kusonga mbele katika michuano ya kuwania kombe la ligi baada ya kuibuka na ushindi dhidi ya wapinzani wao kwenye mechi zilizofanyika katikati ya wiki hii katika mechi hizo chelsea iliibuka na ushindi wa bao moja sifuri dhidi ya UNK r manchester united UNK UNK bao moja sifuri liverpool ikaichapa leeds moja sifuri huku arsenal ikiondoka na ushindi wa mabao mbili sifuri dhidi ya west UNK UNK chelsea ndiyo inayoongoza ligi hiyo ikiwa imejikusanyia pointi kumi na nane baada ya kucheza mechi sita huku ikiwa haijapoteza mchezo hata mmoja wala kutoka sare manchester wao wako nafasi ya pili wakiwa na pointi kumi na tano UNK kutoka mechi sita liverpool wao wako nafasi ya tatu baada ya kujikusanyia pointi kumi na mbili kutoka mechi sita wakati arsenal wao wana pointi tisa baada ya kucheza mechi tano endapo kila timu itaibuka na ushindi itakuwa UNK katika nafasi ya nzuri katika mbio hizo za kuwania ubingwa wa ligi hiyo mechi nyingine zitakuwa ni kati ya portsmouth na everton birmingham city itaikaribisha bolton wanderers blackburn rovers UNK aston villa na burnley watakuwa ugenini wakiumana na tottenham hotspur ligi hiyo itaendelea tena kesho na jumatatu kwa kuzikutanisha timu za sunderland na UNK wanderers huku jumatatu manchester city ikiikaribisha west ham united vibonde vya ligi kuu tanzania bara toto african ya mwanza na african lyon leo UNK kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam katika mwendelezo wa ligi kuu tanzania bara toto inashuka uwanjani ikiwa na kumbukumbu mbaya ya kufanya vibaya katika michezo yake miwili mfululizo ya hivi karibuni ambapo ilipokea kipigo cha mabao tatu moja kutoka kwa simba na bao moja sifuri kwa UNK katika msimamo wa ligi hiyo toto inashika nafasi ya pili kutoka mkiani ikiwa na pointi mbili ilizozipata kutoka kwa moro united na azam fc wakati toto ikishika nafasi ya pili kutoka mwisho wapinzani wao african lyon ndiyo inayoshika mkia kwa kuwa na pointi moja baada ya kutoka sare na yanga katika mechi yao ya ufunguzi waliyocheza agosti ishirini na tatu mwaka huu mechi nyingine walizocheza african lyon na kufungwa ni mtibwa sugar iliyoifunga mabao mbili sifuri prisons moja sifuri na moro united bao moja sifuri kocha mkuu wa timu ya toto mbwana makata alisema kuwa mechi ya leo watacheza kufa kupona ili waweze kuondoka na pointi tatu na kujiondoa katika nafasi hiyo tumejipanga vizuri na kuhakikisha safari hii hatupotezi tena mchezo wetu katika uwanja wa ugenini na wachezaji wangu wana ari ya ushindi alisema UNK wachezaji wa simba ulimboka mwakingwe na george nyanda UNK muda usiojulikana na uongozi wa klabu hiyo wameanza mazoezi juzi na wenzao awali ilidaiwa kuwa wachezaji hao walishindwa kuanza mazoezi kwa muda waliotakiwa na uongozi kwa madai kuwa UNK barua akizungumza na gazeti hili jana kocha msaidizi wa timu hiyo amri said alisema wachezaji hao walianza mazoezi juzi kikosi sasa kimekamilika ulimboka na nyanda nao wameanza mazoezi na wameonekana kujituma sana utafikiri muda wote walikuwa na kikosi cha timu hiyo alisema amri alisema inafurahisha kwa sasa kuona nidhamu ipo ndani ya timu kwani kila mchezaji anajua nini anapaswa kufanya hali UNK ushindani katika kikosi cha timu hiyo said alisema majeruhi wote wameanza UNK isipokuwa mmoja tu anthony matangalu na wanaweza kupangwa katika mechi zijazo tangu kuanza kwa ligi kuu tanzania bara zikiwa UNK mechi tano sasa wachezaji ulimboka na nyanda hawakucheza mechi hata moja baada ya kusimamishwa na uongozi huo kabla ya kusamehewa wachezaji hao walisimamishwa kwa muda usiojulikana kwa madai ya utovu wa nidhamu ambapo kikosi hicho kinatarajia kushuka uwanjani oktoba tatu mwaka huu kucheza na moro united kocha mkuu wa mabingwa wa bara yanga dusan kondic amesema kamwe hataangalia majina makubwa katika upangaji wake wa timu kocha huyo alisema kila mchezaji atakuwa akipangwa kucheza kutokana na bidii yake mazoezini na wala hataangalia umaarufu wa mchezaji yanga ina vikosi karibu vitatu hivyo ni lazima kila mchezaji acheze na ikitokea mchezaji akaona UNK UNK kwani huo ni utaratibu wa kawaida alisema alisema usajili alioufanya msimu huu ni mzuri na kila namba ina wachezaji zaidi ya mmoja alifanya hivyo kwa makusudi ili kuongeza changamoto kwa wachezaji kujituma ili apate namba kondic alisema hata mchezo ujao dhidi ya kagera sugar ataendelea kukifanyia marekebisho kikosi chake ili waweze kuibuka na ushindi mnono hivi karibuni mchezaji wa kimataifa wa yanga boniface ambani UNK kocha wake huyo kwa kumuondoa dakika za mwisho katika kikosi UNK mtibwa sugar wiki iliyopita ambapo walishinda mabao mbili moja timu ya azam fc jana iliendeleza wimbi la ushindi baada ya UNK majimaji ya songea mabao tatu sifuri katika mechi iliyopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam na kupaa hadi nafasi ya pili nyuma ya simba kwa kufikisha pointi kumi mechi hiyo ilianza kwa nguvu kwa timu zote kushambuliana kwa zamu lakini hata hivyo wachezaji wa azam walionekana kuwa na uchu zaidi ambapo walifanikiwa kutumbukiza bao la kwanza katika dakika ya ishirini na moja lililowekwa kimiani na yahya tumbo aliyepokea pasi ya salum UNK azam walikosa bao la wazi dakika ya ishirini na nane baada ya mshambuliaji mrefu wa timu hiyo john bocco adebayor kukosa bao la wazi akiwa ana kwa ana na kipa wa majimaji said mohamed majimaji nayo baada ya kushambuliwa mfululizo ilizinduka na kufanya shambulizi la nguvu langoni mwa azam ambapo katika dakika ya arobaini na tatu seleman kibuta alikosa bao baada ya kupiga mpira wa kichwa uliotoka nje ya lango kipindi cha pili kilianza kwa azam kuliandama lango la majimaji ambapo katika dakika sitini adebayor aliwainua mashabiki wake vitini baada ya kufunga bao la pili kutokana na uzembe wa mabeki wa wapinzani wao azam UNK msumari wa mwisho katika dakika ya themanini na saba baada ya said swed kupachika bao la tatu baada ya UNK mpira UNK na kipa wa majimaji kutokana na kutokana kuzidiwa na shuti lililopigwa na nsa UNK mabingwa wa soka tanzania bara yanga inatarajiwa kwenda bukoba kesho ambako jumanne itaumana na kagera sugar huku ikitamba kuendeleza wimbi la ushindi ili kurudisha heshima UNK yanga ilianza ligi kuu kwa kusuasua baada ya kucheza michezo minne UNK ikijikusanyia pointi tano kutokana na kushinda mchezo mmoja kutoka sare miwili na kufungwa mmoja kabla ya wiki iliyopita kuichapa mtibwa sugar maba sifuri mbili moja na kujikuta UNK mpaka nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi hiyo akizungumza dar es salaam jana kocha mkuu wa timu hiyo mserbia dusan kondic alisema timu yake kwa sasa imejiandaa vizuri katika kuhakikisha inaibuka na ushindi katika kila mchezo watakaocheza yao tunatarajia kwenda kagera keshokutwa ambapo nina uhakika tunakwenda kuchukua pointi tatu kwa kagera sugar uwezo wa kufanya hivyo kwa sasa tunao kutokana na timu yetu kuanza kuimarika alisema kondic alisema kwa sasa hawatakubali kufungwa au kutoka sare na timu yoyote ile katika ligi hiyo wao wanachotaka ni kurudisha heshima kwani wameachwa pointi tisa na watani wao wa jadi simba aliongeza kuwa kutokana na mapumziko waliyoyapata tangu wacheze mchezo wao dhidi ya mtibwa ni marefu hivyo UNK vya kutosha katika kuibuka na ushindi katika ligi hiyo simba ndiyo inayoongoza wakiwa UNK mchezo hata mmoja kati ya michezo mitano waliyocheza ambapo UNK pointi kumi na tano ikifuatiwa na mtibwa ikiwa na pointi tisa na yanga ya tatu na nickson mkilanya manungu timu ya mtibwa jana imezidi UNK njia simba katika kuwania nafasi ya pili baada ya kulazimishwa sare ya bao moja moja na jkt ruvu katika mchezo uliofanyika uwanja wa manungu morogoro kutokana na matokeo hayo mtibwa sasa imefikisha pointi thebathini na mbili huku ikiwa imebakisha michezo miwili ambayo ikishinda itafikisha pointi thebathini na saba wakati simba ina pointi thebathini na sita hadi sasa na mechi mbili mkononi simba sasa inahitaji pointi mbili tu ili iweze kufikisha pointi thebathini na nane ambazo hakuna timu itakayoweza kuzifikia simba imebakisha michezo kati ya yanga na polisi dodoma katika mchezo wa jana jkt ruvu UNK walikuwa wa kwanza kuanza kupata bao dakika ya sabini na tano mfungaji akiwa husein bunu baada ya kutumia vizuri makosa ya mabeki wa mtibwa said mkopi aliisawazishia mtibwa bao la dakika ya themanini na tatu akiunganisha mpira wa kona uliopigwa na nahodha wa timu hiyo mecky UNK wakati huo huo theonista juma anaripoti kutoka bukoba kuwa jana timu ya kagera sugar ilishindwa kutamba katika uwanja wa nyumbani baada ya kulazimishwa sare ya bao moja moja na azam fc kagera ambao nayo ilikuwa katika vita ya kuwania nafasi ya pili lakini kutokana na sare hiyo kunaifanya timu hiyo kupoteza matumaini ya kushika nafasi ya pili azam ndiyo ilianza kupata bao katika mchezo huo kupitia kwa tumba sued dakika ya ishirini na moja baada ya kufanikiwa kuwazidi mbio mabeki wa kagera na kukwamisha mpira wavuni kagera UNK UNK hadi kipindi cha pili kusawazisha bao hilo lililofungwa na micheal katende kwa penalti baada ya john bocco kunawa mpira katika eneo la hatari kwa matokeo hayo kagera sasa imefikisha pointi ishirini na tisa wakati azam imefikisha pointi ishirini na sita na kujinasua katika janga la kushuka daraja timu ya taifa ya tanzania ya netiboli taifa quens jana ilianza vyema michuano ya kimataifa ya mchezo huo baada ya kuifunga timu ya taifa ya lesotho mabao thebathini na tatu kumi na saba katika mechi ya ufunguzi iliyofanyika uwanja wa taifa dar es salaam tanzania ilianza kwa kasi mchezo huo kwa kupachika mabao ya haraka katika kipindi cha kwanza kupitia kwa mfungaji wake mahiri monica kassy ambapo hadi mapunziko taifa queens ilikuwa ikiongoza kwa mabao kumi na tisa nane wafungaji UNK mabao hayo kwa upande wa lesotho ni UNK UNK na UNK UNK ambapo taifa queens UNK na monica pamoja na neema emanuel michuano hiyo ilifunguliwa rasmi na mke wa rais wa tanzania mama salma kikwete ambaye amezitaka nchi washiriki kufanya vizuri ili kutimiza ndoto za afrika kuwa na nchi nyingi zitakazoshiriki michuano ya kombe la dunia naye mwakilishi kutoka shirikisho la netiboli duniani joan smit alisema michuano hiyo ni maalumu kwa nchi zinazoshiriki ili kupata viwango vya kimataifa vinavyotambulika na shirikisho alisema hadi sasa afrika ina nchi tatu UNK katika viwango vya shirikisho hilo ambazo ni malawi botswana na afrika kusini na kwamba kwa mashindano hayo ni fursa pekee kwa nchi UNK tiketi ya kuwa katika viwango hivyo smit aliipongeza malawi kwa kuwa nchi ya tano bora katika viwango vya mchezo huo duniani na kuwa nchi ya kwanza afrika nchi zilizowasili kwenye mashindano hayo ni zambia namibia lesotho afrika kusini uganda malawi na tanzania ambapo timu kutoka swaziland na zimbabwe zinatarajiwa kuwasili leo hatua ya kampuni ya simu ya push mobile kutangaza kuipa mgao wa fedha klabu ya simba imeleta UNK zaa ndani ya klabu hiyo kutokana na baadhi ya viongozi kutojua fedha hizo zilipo habari kutoka kwa mmoja wa viongozi wa klabu hiyo ambaye hakutaka kutajwa jina gazetini alisema UNK habari za kampuni hiyo ambayo hutoa habari za klabu hiyo ikiwa ni pamoja na yanga kupitia simu za mkononi kwamba kuna mgao uliotoka na kukabidhiwa simba hizi habari ni mpya kabisa kwa sababu sisi wengine hatujui kama kuna fedha zimetolewa na push mobile hii inaweza kuleta UNK mkubwa UNK timu isifanye vyema katika ligi alisema kiongozi huyo kwa sharti la kutotaka kuandikwa gazetini alisema hatua hiyo inaweza kuwakatisha tamaa hata wadau UNK simba kwa kuona kuwa hakuna uaminifu ndani ya klabu hiyo kwa kuwa wanatoa fedha kwa mapenzi yao ili timu ifanye vizuri lakini UNK ipasavyo chanzo hicho cha habari kilieleza kuwa italazimika kufanyika kikao cha dharura ili kujua fedha hizo UNK zimekwenda wapi kwa kuwa hata wanachama wa simba nao wana haki ya kujua mwenendo wa klabu yao UNK kilieleza kuwa kila mmoja aliposoma habari zilizochapishwa katika vyombo vya habari vya mwishoni mwa wiki alipigwa na butwaa baada kuona kuwa kuna mgao umetolewa kwa simba baada ya kujiunga na mtandao huo ambao wanachama UNK ili kupata habari zinazoihusu simba kwa gharama ya shilingi mia mbili na hamsini alipoulizwa ofisa habari wa klabu hiyo cliford ndimbo kuhusiana na mgao huo alisema hana uwezo wa kulizungumzia na kutaka aulizwe katibu mkuu wa simba mwina kaduguda ambaye naye alikataa kusema lolote kumtupia mpira ndimbo hili swala kwa kweli naomba aulizwe katibu mkuu ndiye ambaye anaweza kutoa ufafanuzi mzuri kuhusiana na jambo hili alisema ndimbo na mwandishi wetu zikiwa zimebaki siku nne kabla ya mchezo wa watani wa jadi wa timu za simba na yanga kuumana homa ya mchezo huo imezidi kupanda kwa timu hizo ambapo UNK kila moja UNK kuibuka na ushindi siku hiyo timu hizo zinatarajiwa kuumana jumapili katika mchezo unaotarajiwa kupigwa uwanja wa taifa dar es salaam ikiwa ni moja kati ya michezo ya lala salama katika ligi kuu ya tanzania bara wakizungumza kwa nyakati tofauti dar es salaam jana viongozi wa timu hizo mwenyekiti wa yanga imani madega na katibu mkuu wa simba mwina kaduguda kila mmoja alitamba kuibuka kifua mbele jumapili viongozi hao ambao UNK mbele ya waandishi wa habari dar es salaam jana wadhamini wa ligi kuu kampuni vodacom madega alikataa kutoa neno na kutaka kaduguda ndiye aanze kujieleza kwa kuwa yanga tayari UNK katika tambo zake kaduguda aliionya yanga UNK uwanjani kama ilivyofanya katika michuano ya kombe la kagame kwani hivi sasa simba ipo katika kiwango kizuri kiuchezaji yanga walibahatisha kutufunga bao moja sifuri na sisi tutahakikisha UNK uwanjani kwa ajili ya kuifunga bali ni kutafuta pointi tatu UNK tushiriki mashindano ya kimataifa mwakani alisema kaduguda alisema walianza vibaya mzunguko wa kwanza kutokana na matatizo mbalimbali lakini UNK matatizo hayo UNK hivyo wana mshikamano kuanzia kwa viongozi hadi wanachama naye madega alisema mpira si maneno bali ni vitendo hivyo wao watakachofanya ni UNK ulimwengu kuwa kutwaa ubingwa mara mbili mfululizo hawakubahatisha hivyo wao watakachofanya ni kujiongezea pointi zaidi alisema mwaka huu wameandika historia mpya katika ligi hiyo kwani kutwaa ubingwa huku timu UNK wakitofautiana kwa pointi kumi na nne hadi sasa ni jambo la kujivunia madega alisema anashangazwa na wapinzani wao kuwania nafasi ya pili badala ya kuwania kutwaa ubingwa kitu ambacho alidai kinamfanya kuona wapinzania wao UNK kisoka kwa sasa katika mchezo huo simba inahitaji kushinda ili iweze kujipatia tiketi ya kucheza kombe la shirikisho mwakani huku yanga nao wakitaka kuwaonesha kwamba wao ni timu bora kwa mwaka huu na zahoro mlanzi shirikisho la UNK wa miguu tanzania limetangaza viingilio vya mchezo wa timu za simba na yanga ambapo kiingilio cha juu kitakuwa shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri na cha chini ni shilingi tano sifuri sifuri sifuri katika mchezo utakaopigwa uwanja wa taifa dar es salaam akitangaza viingilio hivyo dar es salaam jana katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema baada ya kukutana na viongozi wa timu hizo pamoja na serikali walikubaliana kiingilio cha juu shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri kwa jukwaa maalumu a na cha chini ni kiwe shilingi tano sifuri sifuri sifuri kwa viti vya kijani na UNK alisema jukwaa maalumu b kitakuwa shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri jukwaa c shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri na kiingilio katika viti vya machungwa ni shilingi nane sifuri sifuri sifuri ambapo tiketi zitauzwa katika vituo UNK leo jioni UNK kikao na serikali hivyo kama kutakuwa na jipya UNK mchezo huo utapigwa uwanja wa taifa hivyo maandalizi yote kwa ujumla yamekamilika ulinzi tutaimarisha kabla na baada ya mchezo alisema mwakalebela alisema tiketi zitauzwa kuanzia kesho hadi jumamosi wana imani mpaka kufikia siku hiyo tiketi zote zitakuwa zimemalizika hivyo siku ya mchezo hakutakuwa na uuzaji wa tiketi wakati huohuo meneja mkuu wa kitengo cha udhamini na mawasiliano wa kampuni vodacom george UNK alisema katika mchezo huo UNK kamati ya ufundi ya tff jukumu la kuchagua mchezaji bora wa mchezo huo ambaye UNK thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri na pia watatoa zawadi kwa mchezaji bora wa mwezi januari timu ya african lyon jana imeendeleza wimbi la ushindi katika ligi kuu ya vodacom tanzania bara baada ya kuichapa manyema rangers mabao mbili moja katika mchezo uliopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam ushindi huo wa lyon ni wa pili mfululizo baada ya kuichapa toto african ya mwanza kwa mabao sita moja ambapo sasa imepanda mpaka nafasi ya tano kwa kufikisha pointi saba sawa na timu za jkt ruvu na kagera sugar lakini zinatofautiana kwa mabao ya kufunga katika mchezo huo timu zote zilishambuliana kwa zamu na kutengeneza nafasi za kushinda lakini washambuliaji wa timu zote mbili walishikwa na kigugumizi cha miguu kwa kushindwa kukamishwa mpira wavuni ambapo mpaka mapumziko milango ilikuwa UNK kipindi cha pili kilianza kwa kasi ambapo dakika tano baada ya mpira kuanza lyon walifunga bao la kwanza lililofungwa na yusuph soka akimalizia mpira uliogonga mwamba baada ya mbwana samatta kupiga shuti baada ya kufungwa kwa bao hilo manyema ilijipanga na kusawazisha bao dakika ya sitini na tatu lililofungwa na UNK mohamed kwa shuti akiunganisha krosi ya mussa UNK na dakika ya sabini na saba lyon walifunga la pili kupitia kwa samatta baada ya kuwatoka mabeki wa manyema na kuachia shuti timu ya taifa ya tanzania ya mchezo wa netiboli taifa quens jana ilishindwa kutamba mbele ya timu ya taifa ya namibia na kujikuta ikipoteza mchezo huo kwa kufungwa magoli arobaini na tano arobaini katika muendelezo wa mashindano ya kimataifa yaliyofanyika uwanja wa taifa dar es salaam taifa quens ilianza vema katika robo ya kwanza na kufanikiwa kuongoza kwa mabao kumi na tatu tisa robo ya pili iliongoza kwa mabao ishirini na tatu kumi na nane na kwenda mapunziko ikiwa kifua mbele kwa magoli hayo kipindi cha pili cha mchezo huo timu ya namibia ilianza mashambulizi kwa taifa quens ambapo hadi muda wa robo ya tatu UNK namibia iliongoza kwa mabao thebathini na tatu thebathini na moja na hadi mwisho wa mchezo namibia ilifanikiwa kupachika mabao arobaini na tano arobaini namibia iliweza kuwatumia vema wachezaji wake UNK UNK UNK UNK na UNK UNK kwa kupachika magoli kwa kutumia urefu wao ambao UNK kupachika magoli mfululizo huku taifa quens UNK magoli yake na monica kassy agnes simkonda na neema emanuel kocha wa taifa quens UNK UNK alisema ingawa wamefungwa mchezo huo wachezaji wake wameweza kuonesha kiwango cha juu na kwamba matokeo hayo ni hali ya kimchezo na watajitahidi katika mechi zijazo taifa quens imebakiza michezo michezo miwili kabla ya kuingia hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo itakayochezwa kesho ambapo mshindi wa kwanza atacheza na mshindi wa nne mshindi wa pili atacheza na mshindi wa tatu na mshindi wa sita UNK na mshindi wa tano ili kupatikana washindi watakaochuana katika fainali hizo UNK mchezo UNK timu ya afrika kusini ilitolewa jasho na timu ya zambia baada ya kufungwa magoli arobaini na mbili arobaini katika mchezo uliofanyika viwanjani hapo afrika kusini UNK katika robo zote za mchezo huo ambapo robo ya UNK a ilifungwa mabao kumi na moja saba robo ya pili mabao ishirini na tano kumi na saba robo ya tatu mabao thebathini na tatu thebathini na moja na hadi mwisho kuibuka kidedea kwa mabao arobaini na mbili arobaini huku mchezo wa tatu uganda ikiifunga lesotho kwa magoli sitini ishirini na tatu lesotho hadi ssa ndiyo inayoshika mkia katika UNK hiyo baada ya kufungwa mechi zote tatu ilizocheza huku malawi ikiongoza michuano hiyo baada ya kushinda mechi zote tatu ilizocheza michuano hiyo itaendelea tena leo kwa mchezo kati ya afrika kusini na malawi tanzania na uganda na namibia na lesotho huku mechi za jioni UNK malawi na zambia uganda na namibia huku afrika kusini na UNK mwisho kocha mkuu wa yanga dusan kondic amewaomba waamuzi watakaochezesha mechi ya timu yake na kagera sugar kuwalinda wachezaji wake na kukemea mbinu chafu dhidi ya wapinzani wao yanga inatarajia kushuka uwanja wa kaitaba mjini bukoba jumamosi ijayo kuvaana na kagera sugar katika mwendelezo wa ligi kuu tanzania bara msimu uliopita UNK rafu sana na kagera zikiwemo mbinu chafu ndani na nje ya uwanja hivyo tunawaomba waamuzi UNK na hilo ili lisijitokeze tena jumamosi alisema kondic kwa njia ya simu akiwa njiani kwenda bukoba alisema msimu uliopita walifanyiwa vitendo vya ajabu na kagera hivyo ameomba kupatiwa ulinzi mkubwa ili tukio kama hilo lisijitokeze tena hasa katika kipindi hiki ambacho timu yake inasaka ushindi kwa udi na uvumba kondic alisema vurugu zozote UNK bukoba zinaweza kuwaathiri wachezaji wake kwa kupewa kadi au kufungiwa kitendo ambacho anataka UNK na kusisitiza waamuzi kuwa macho pamoja na kuomba ulinzi huo kocha huyo alisema msimu huu hawatakubali kufungwa na kagera kwani wachezaji wake wana ari ya ushindi katika mchezo huo na kuondoka na pointi tatu muhimu alisema endapo maamuzi yatakuwa mazuri bila shaka timu yake itaondoka uwanjani kifua mbele licha ya kuwa ugenini na kupata ushindani mkubwa kutoka kwa kagera shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu linatarajia kuzindua rasmi mashindano ya mpira wa miguu ya ufukweni nchini hivi karibuni baada ya kuridhishwa na kukamilika kwa maandalizi ya mchezo huo fifa imefikia hatua hiyo baada ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania kufanya jitihada katika kuhakikisha UNK mchezo kwa kuwaeleza kila hatua UNK katika kufanikisha mchezo huo akizungumza dar es salaam juzi katibu mkuu wa shirikisho hilo fredrick mwakalebela alisema kila kitu kimeshakamilika juu ya UNK kwa mashindano hayo ila fifa UNK UNK mpaka wao UNK tarehe ya kufanya hivyo kila kitu kipo tayari ila fifa UNK UNK kwanza mpaka UNK wao ndio UNK nao rasmi mchezo huo hapa nchini hivyo tutaendelea kufanya nao mawasiliano na kujua watakuja lini kuzindua alisema mwakalebela alisema pia fifa wamewaomba waendelee kuhamasisha UNK UNK mchezo huo kwani ana imani unaweza kuitangaza vizuri nchi katika mashindano ya kimataifa akizungumzia suala la usajili wa klabu zitakazoshiriki mashindano hayo mwakalebela alisema fifa pia UNK kusubili kwanza kwa kina kitu kitafanyika kwa wakati wake kwani kuna vitu vingi vinatakiwa kufanyika kabla ya mambo hayo yote aliongeza kwamba fifa wameahidi kufanya semina mbalimbali kwa makocha na waamuzi wa mchezo huo kabla ya mashindano hayo ambapo kwa kuanza tayari wameshaanza kutuma kanuni zinazotumika katika mashindano hayo na mambo mengine ya msingi UNK mabingwa mara tano wa klabu bingwa ulaya liverpool usiku wa kuamkia leo UNK mabao mbili sifuri dhidi ya fiorentina katika mechi ya klabu bingwa ulaya wakati mabingwa watetezi barcelona wakiibuka na ushindi huku inter milan wakitoka suluhu mshambuliaji chipukizi wa fiorentina UNK jovetic alipachika mabao yote mawili na kuipandisha hadi nafasi ya pili katika msimamo wa kundi e nyuma ya lyon UNK debrecen mabao nne sifuri lionel messi na pedro UNK waliifungia barcelona bao kila mmoja na kuiwezesha kuifunga dynamo kiev mabao mbili sifuri katika kundi f inter UNK nguvu na rubin kazan kwa kufungana bao moja moja arsenal waliichapa UNK mabao mawili ambayo yaliwekwa kimiani na robin van persie na andrei arshavin na kuendelea kukaa juu katika kundi h standard liege ilitoka sare ya bao moja moja na az alkmaar sevilla imepanda juu katika kundi g baada ya kuizima rangers mabao nne moja wakati UNK ilibanwa na unirea na kutoka sare ya bao moja moja katika uwanja wa camp nou messi alifunga bao dakika ya ishirini na sita na pedro aliongeza bao la pili dakika ya sabini na sita kinda lingine UNK shujaa usiku wa kuamkia leo ni jovetic wa fiorentina mwenye miaka kumi na tisa aliyetikisa nyavu za liverpool mara mbili mabao yote kipindi cha kwanza mechi ya kundi e lyon inayoongoza kwa kujikusanyia pointi zote sita ilifunga bao la kwanza dakika ya tatu na kim UNK dhidi ya debrecen UNK UNK aliipatia bao la pili kwa mpira wa adhabu dakika ya kumi na tatu sidney govou alifunga bao la tatu dakika ya ishirini na nne na UNK UNK alimalizia bao la nne dakika ya hamsini na moja mjini UNK UNK konko aliipachikia sevilla bao la kwanza dakika ya hamsini katika mechi ya kundi g mabao mengine UNK kimiani na adriano luis fabiano na UNK UNK nacho UNK aliifungia rangers bao dakika za mwisho na kuwaacha wakikaa mkiani katika kundi lao wakiwa na pointi moja kundi g stuttgart UNK bao lake dakika ya tano lililofungwa na beki UNK UNK lakini unirea ilisawazisha dakika ya arobaini na nane kupitia kwa UNK UNK ghana imefuzu katika raundi ya pili ya mashindano ya kombe la dunia ya vijana chini ya miaka ishirini baada ya UNK england UNK nne sifuri imeifanya timu hiyo kuwa na nafasi finyu ya kusonga mbele katika kundi dominic adiyiah UNK ghana goli la kuongoza dakika thebathini na nane katika mechi hiyo ilichezwa katika mji UNK na andre ayew aliongeza bao la pili zikiwa zimesalia dakika tatu kabla ya mapumziko bao la UNK UNK la dakika ya themanini na mbili UNK matumaini ya waingereza na adiyiah mwenye umri wa miaka kumi na tisa alipigilia msumari wa nne kwenye jeneza dakika sita baadaye ghana na uruguay huenda UNK UNK katika mzunguko UNK na UNK kuwa katika nafasi ya kwanza wakati watakapokutana ijumaa UNK na england zitakutana kugombea nafasi ya tatu katika kundi d beki kutoka brazil daniel alves ameitaka barcelona kujiimarisha katika sehemu ya ulinzi licha ya kuibuka na ushindi wa mabao mbili sifuri dhidi ya dynamo kiev katika mechi ya mashindano ya ligi ya mabingwa ulaya iliyochezwa juzi mabao yaliwekwa kimiani na lionel messi na mchezaji aliyetokea benchi pedro yalitosha kuwafanya mabingwa hao watetezi kuibuka na ushindi lakini timu pinzani ilionekana kuwa nzuri zaidi katika dakika ishirini za mwanzo tulipata zawadi kwa kutumia nafasi chache UNK kuwa hivyo katika ligi ya mabingwa siku moja mpinzani anaweza kufanikiwa zaidi na hilo linaweza UNK shaka alisema alves na kukaririwa na as ni muhimu kwamba sehemu ya ulinzi inatakiwa kuwa katika daraja kama la washambuliaji tunatakiwa kutunza kiwango tunafurahia uchezaji wetu lakini kwa malengo yetu UNK kuwa bora zaidi alves pia alikiri kwamba kocha wa barcelona pep guardiola aliwaambia kucheza kwa nafasi tulicheza taratibu lakini wakati UNK magoli tulitawala mchezo kocha alituambia kukimbia na mpira haraka na UNK nafasi na tulifanya alisema UNK klabu ya toulouse imetakiwa kupewa adhabu kali baada ya mmoja wa mashabiki wao wao kufa wiki moja baada ya kuumia katika vurugu UNK dhidi ya mashabiki wa timu ya UNK UNK brice taton alikuwa mahututi UNK amelazwa sambamba na shabiki mwingine wa ufaransa na mserbia kabla ya mechi ya ligi ya mabingwa ulaya iliyochezwa septemba kumi na saba UNK UNK inasomeka UNK UNK kufuatia taarifa ya kifo cha brice taton akiwa ni mwathirika wa vurugu rambirambi zetu zinakwenda kwanza kwa wazazi wake belgrade familia yake mkewe UNK UNK na familia na mashabiki wote wa klabu ya toulouse football ni wakati wa kutafakari lakini muda utakuja wakati vurugu hizi zinazotokea katika sehemu za UNK kusimama UNK kutolewa adhabu kali sana klabu ya toulouse itahakikisha kwa kuona kwamba haki inatolewa na itakuwa UNK mkono familia ya UNK waziri wa michezo UNK UNK naye aliihakikishia familia kuwa serikali ya ufaransa itafanya kila kitu kilichopo kwenye nguvu yake kuhakikisha UNK UNK tutapambana uhalifu katika michezo alisema UNK taarifa UNK kuwepo kwa mshikamano dhidi ya waliohusika na mauaji haya na kuitaka serikali ya UNK wahalifu UNK kufuatia kadhia hiyo karibu mashabiki kumi walikamatwa na wanaweza kukutwa adhabu ya kifungo hadi miaka kati ya thebathini arobaini jela timu ya taifa ya netiboli taifa quens imeendelea kunyanyaswa katika michuano ya kimataifa ya mchezo huo ambapo jana tena ilishindwa kuhimili vishindo vya uganda baada ya UNK mabao arobaini na mbili thebathini katika mechi iliyopigwa uwanja wa taifa dar es salaam taifa queens juzi ilipoteza UNK miwili ambapo UNK na namibia na baadaye kukutana na kipigo kingine kutoka kwa zambia katika mfululizo wa michuano hiyo timu hiyo ambayo ni mwenyeji wa michuano hiyo ipo katika nafasi ya pili kutoka mwisho baada ya kujikusanyia pointi tatu baada ya kuifunga lesotho katika mechi ya ufunguzi na baadaye kugawana pointi na afrika kusini baada ya kutoka sare katika mchezo wa jana taifa quens ilionekana kuzidiwa UNK kila idara huku wafungaji wake wa kutumainiwa neema emmanuel na agnes simkonda wakipoteza nafasi za kufunga na kuifanya uganda kuongeza idadi ya magoli robo ya kwanza uganda iliongoza kwa magoli kumi na nne saba robo ya pili iliongoza kwa magoli ishirini na nne kumi na tisa na hadi timu hizo zinakwenda mapunziko uganda ilitoka kifua mbele kipindi cha pili timu hiyo ya tanzania ilianza kupeleka mashambulizi langoni mwa uganda na kufanikiwa kufunga magoli mfululizo lakini hadi filimbi ya mwisho uganda iliibuka kidedea kwa mabao arobaini na mbili thebathini katika mchezo mwingine timu ya taifa ya malawi iliendeleza ubabe kwa afrika kusini kwa kuichapa magoli hamsini thebathini na mbili katika mchezo uliofanyika katika uwanja huo siku moja baada ya kocha mkuu wa yanga mserbia dusan kondic kutoa hadhari kwa waamuzi watakaochezesha mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya kagera sugar kocha msaidizi wa kagera sugar UNK kabange amesema yanga wasianze kutoa visingizio kwani kufungwa kupo pale pale kondic juzi aliwaomba waamuzi watakaochezesha mchezo huo utakaopigwa kesho kwenye uwanja wa kaitaba mjini bukoba kuwalinda wachezaji wake na kukemea mbinu chafu dhidi yao kwani kila wanapocheza kwenye uwanja huo lazima vitu hivyo UNK akizungumza kwa simu akiwa bukoba jana kabange alisema timu yake ipo kamili kuumana na yanga kwani hawana wachezaji wowote majeruhi hivyo amemtaka kondic asianze kutoa visingizio hakuna jambo baya UNK zaidi ya kufungwa timu yetu ipo nje ya mji kwa sasa inaendelea na mazoezi na kikubwa katika mchezo wetu wa jumamosi tuna uhakika tutaibuka na ushindi kwani tuna kila sababu ya kufanya hivyo ila nimesikitishwa na kauli ya kondic ya kuonesha kutojiamini alisema kabange alisema licha ya kondic kutapatapa kwa kutoa hadhari kwa waamuzi lakini wao UNK nyuma kwani azma yao ya ushindi ipo pale pale ambapo alidai kuwa ni kawaida kwa timu kubwa UNK mambo UNK vibaya huanza kutoa UNK akizungumzia kwa ujumla mchezo huo kabange alisema utakuwa mchezo mgumu kwao na hiyo ni kutokana na ushindani wa ligi kwa sasa ulivyo lakini watapigana kufa kupona kuhakikisha wanachukua pointi tatu katika uwanja wao wa nyumbani unajua hizi timu kubwa UNK mambo UNK kombo UNK kutoa sababu mbalimbali lakini ukiangalia katika michezo yote UNK na yanga katika uwanja wetu hakuna baya linalotokea ila nafikiri kondic UNK na hofu alisema kabange hadi sasa katika msimamo wa ligi simba ndiyo inayoongoza kwa kuwa pointi kumi na tano ikifuatiwa na azam fc yenye pointi kumi mtibwa sugar pointi tisa yanga imefikisha pointi nane huku kagera ikiwa katika nafasi ya saba kwa kuwa na pointi saba timu ya taifa ya malawi jana ilitwaa ubingwa wa mashindano ya kimataifa ya netiboli baada ya kufikisha pointi kumi na mbili ikiwa hakuna timu itakayoweza kuzifikia pointi hizo mashindano hayo yanafanyika kwenye uwanja wa taifa dar es salaam ambapo yalianza septemba ishirini na nane mwaka huu na yanatarajia kumalizika leo ambapo nchi saba UNK huku zambia ikishika nafasi ya pili kwa kufikisha pointi tisa kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na mwakilishi wa shirikisho la kimataifa la netiboli joan smit alisema kutokana na malawi kushinda michezo yake yote hakuna timu itakayoweza kuzifikia pointi zake hivyo UNK rasmi kuwa bingwa wa mashindano hayo alisema timu hiyo leo inatarajiwa kuondoka nchini kwenda kwao kujiandaa na safari ya kuliwakilisha bara la afrika katika mashindano ya sita ya dunia kwa mchezo huo ambapo kesho inatarajiwa kwenda jijini manchester uingereza ambapo mashindano hayo UNK mwakilishi huyo alisema mashindano hayo yatashirikisha mabara sita na kila bara UNK na timu moja ambapo yanatarajiwa kuanza oktoba sita mwaka huu katika mchezo uliopigwa jana asubuhi timu ya taifa ya tanzania ilichapwa na malawi kwa magoli sitini na moja arobaini na tatu katika mchezo ambao vipindi vyote malawi walitawala kwa kiwango cha juu taifa queens katika mashindano hayo imeambulia pointi tatu timu za simba na yanga leo zinatarajiwa kushuka katika viwanja tofauti kusaka pointi tatu kila moja ili kujiweka kwenye mazingira mazuri ambapo simba itakuwa mikononi mwa moro united wakati yanga mdomoni mwa kagera sugar katika mfululizo wa mechi za ligi kuu tanzania simba itakuwa katika wa uwanja wake wa nyumbani wa uhuru dar es salaam kuikaribisha moro katika mchezo ambao unatarajiwa kuwa na upinzani mkali kutokana na tambo za makocha wa pande zote mbili na hata wachezaji wenyewe timu hiyo ambayo ndiyo vinara wa ligi hiyo kwa kujikusanyia pointi kumi na tano baada ya kucheza michezo mitano itaongozwa na kocha wake mkuu mzambia patrick phiri ambaye ametamba kuendeleza wimbi la ushindi kwa kila timu UNK nayo phiri wiki iliyopita alikwenda nyumbani kwao kuiangalia familia yake lakini aliporudi alitamba kuja na dawa ya kuendeleza wimbi la ushindi katika ligi hiyo hivyo mashabiki watakuwa na kiu kubwa ya kutaka kuona hiyo dawa UNK nayo kama itafanya kazi wakati simba ikitamba kutoka kifua mbele naye kocha mkuu wa moro united juma mwambusi amesema ana imani kubwa na kikosi chake ambacho kimekuwa katika maandalizi mazito ya kuivaa simba na timu nyingine katika ligi hiyo lengo likiwa ni kudhihirisha sasa timu iko katika ushindani wa kweli sina shaka na vijana wangu UNK na wanazidi kujiandaa si kwa ajili ya simba tu bali hata mechi nyingine za ligi zilizo mbele yetu simba ni timu ya kawaida na UNK kwa kifupi ni kwamba UNK ni miujiza tu ndiyo UNK kumaliza ubabe wa simba msimu huu alisema UNK naye nahodha wa moro united saidi kokoo alisema jambo la kwanza ni kwamba wanamshukuru mungu kwa kuwa kambi haina tatizo na akili zao ziko katika kuzikabili kiukweli timu zinazokuja mbele yao ikiwemo simba wakati simba UNK katika uwanja wa uhuru wapinzani wao wa jadi yanga watakuwa mikononi mwa kagera kwenye uwanja wa kaitaba mjini bukoba nayo ikitafuta pointi tatu muhimu za kujiweka sawa katika ligi hiyo kocha mkuu wa yanga mserbia dusan kondic alitoa hadhari hivi karibuni katika mchezo huo UNK waamuzi kuchezesha kwa haki kwa kufuata kanuni zinazotakiwa kwa kufanya hivyo wana imani wataibuka na ushindi kwa upande wa kocha msaidizi wa kagera UNK kabange alitamba kuibuka na ushindi kwa kuwa wapo nyumbani na kumshangaa kondic kwa kuanza kutoa visingizio na kuiomba yanga icheze mpira michezo mingine itakayopigwa leo ni mtibwa sugar itaikaribisha prisons kwenye uwanja wa manungu mjini morogoro na katika uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza toto african itaumana na majimaji ya songea mshambuliaji wa timu ya taifa taifa stars na yanga mrisho ngassa huenda akakaa nje ya uwanja kwa muda mrefu kufuatia kuumia kifundo cha mguu katika mchezo uliopigwa juzi mjini bukoba katika mchezo huo ngassa aliifungia timu yake bao la kwanza kwenye uwanja wa kaitaba mjini bukoba na kuifanya timu yake itoke kifua mbele kwa kuichapa kagera sugar mabao mbili sifuri kwa ushindi huo yanga sasa imepanda toka nafasi ya tano mpaka nafasi ya tatu kwa kufikisha pointi kumi na moja lakini matokeo hayo ni kabla ya mechi za jana jioni kati ya azam fc na jkt ruvu akizungumza kwa njia ya simu toka bukoba jana msemaji wa timu hiyo louis sendeu alisema licha ya kuibuka na ushindi katika mchezo huo lakini bado hawaridhishwi na maamuzi yanayotolewa na mwamuzi wa mchezo huo alisema mshambuliaji wao ameumizwa vibaya katika kifundo cha mguu ambapo mpaka sasa hali yake si nzuri kwani wanaweza kumkosa uwanjani kwa kipindi kirefu huku mwamuzi akishindwa kutoa hata kadi kwa mchezaji aliyemfanyia faulo ngassa kama ungeona rafu aliyofanyiwa ngassa hakukuwa na sababu ya mwamuzi UNK mate kwa kushindwa kutoa hata kadi ya njano sisi tutaendelea kutoa malalamiko yetu kwa waamuzi mpaka pale tutakapoona wamejirekebisha alisema sendeu alisema baada ya kutolewa nje alikimbizwa moja kwa moja hospitalini ambapo bado UNK majibu kutokana na vipimo vya x ray alivyochukuliwa na ndipo watakuwa na jibu sahihi mchezaji huyo atakaa nje ya uwanja kwa muda gani alisema waamuzi wengi wanaochezesha michezo ya mikoani mara nyingi alidai huwa wanatumia uzalendo kwa kutaka timu ya mkoa husika iibuke na ushindi huku timu yenyewe unakuta haina uwezo wa kufanya hivyo aliongeza walitarajia kuondoka mjini bukoba jana asubuhi baada ya kupata majibu ya ngassa ndipo watakapoanza safari ya kwenda jijini mwanza kumalizia mchezo wao katika timu za kanda ya ziwa ambapo keshokutwa wataumana na toto african kwenye uwanja wa ccm kirumba jijini humo kocha mkuu wa timu ya simba mzambia patrick phiri amepania kuweka rekodi katika timu hiyo kwa kushinda michezo yote iliyobaki katika mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya tanzania bara ujio wa phiri simba unaonekana kuleta uelekeo mzuri kwani tangu aanze kuinoa timu hiyo mapema mwezi agosti mwaka huu haijapoteza mchezo wowote katika ligi hiyo ambapo mpaka sasa imecheza michezo sita na kushinda yote akizungumza mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa timu yake dhidi ya moro united juzi uwanja wa uhuru dar es salaam ambapo simba ilishinda mbili moja phiri alisema atazidi kuhakikisha timu yake inashinda kila mechi ili aweke rekodi katika timu hiyo namshukuru mungu mpaka sasa UNK mchezo hata mmoja na hiyo ni dhamira yangu ambayo niliiweka tangu zamani hivyo nitahakikisha UNK rekodi nchini tanzania na simba kwa kushinda michezo yote ya mzunguko wa kwanza alisema phiri akiuzungumzia mchezo huo phiri alisema hakutarajia kama UNK na ushindi kwani moro ilicheza vizuri mpaka dakika za mwisho lakini baadaye wakajikuta wanaibuka na ushindi alisema anashukuru kuibuka na ushindi huo kwani moro ni timu ngumu ambapo sasa wamezidi kujikita kileleni na hawatokubali kupoteza mchezo wowote katika ligi hiyo naye kocha mkuu wa moro united juma mwambusi alisema wamekubali kipigo kwao kilikuwa halali kwa mabeki na washambuliaji kutokuwa makini mchezoni ndio sababu iliyopelekea kupoteza mchezo huo alisema UNK mchezo huo UNK kwa timu hizo UNK nguvu lakini alishangazwa na mabeki wake kutokuwa makini kwa kuruhusu kufungwa bao la pili dakika za mwisho uongozi wa klabu ya yanga ya dar s salaam umemtaka kocha mkuu wa timu hiyo dusan kondic kuacha presha ili aendelee UNK timu hiyo hadi mkataba wake utakapomalizika novemba mwaka huu jana baadhi ya vyombo vya habari vilimkariri kocha huyo akidai mwisho wa kuifundisha timu hyo ni kesho wakati timu yake itakapocheza na toto african ya mwanza katika mfululizo wa mechi za ligi kuu ya vodacom akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa klabu hiyo lawrence mwalusako alisema bado UNK kondic kuwa kocha wao hadi hapo atakapomaliza mkataba wake kocha anatakiwa avute subira mpaka muda wake utakapomalizika japo hatuwezi kumlazimisha sana lakini inaonekana habari UNK kwenye magazeti kuwa kuna kocha anakuja ndiyo UNK na kujikuta UNK tamaa alisema mwalusako alisema hawajawahi kuzungumza na kocha huyo kama uongozi unatafuta mrithi wake kwani hawawezi kufanya hivyo kwa kuwa bado anamkataba ambao unamalizika novemba mwaka huu mwalusako alisema kondic anatakiwa kuelekeza nguvu zake kwa timu ili iendelee kufanya vizuri katika mechi zilizosalia na kama kutakuwa na mabadiliko yoyote UNK mapema alisema hata kama uongozi upo kwenye mazungumzo na makocha wengine si kama wataanza kufanya kazi wakati yeye akiwepo kwa kuwa bado wanaheshimu mkataba wake kocha huyo raia wa serbia alisema baada ya mechi kati ya yanga na toto african itakapomalizika atarejea jijini dar es salaam na kukutana na uongozi ili uweze kumlipa mshahara wake wa miezi mitatu ili aende kwao kocha mkuu wa timu ya simba mzambia patrick phiri amesema kwa sasa hawana muda wa kupumzika kutokana na kikosi chake kukamiwa zaidi ya wapinzani wao katika mechi za ligi kuu ya vodacom simba ndiyo vinara wa ligi kuu tanzania bara ikiwa na pointi kumi na nane baada ya kushinda michezo sita mfufulizo ikiwa moja ya kutimiza malengo yake kushinda michezo yote ya mzunguko wa kwanza akizungumza dar es salaam jana phiri alisema kutokana na ugumu wa ligi inavyoendelea kwa sasa hatakuwa na muda wa kuwapumzisha wachezaji wake kikosi changu kimekuwa kinakamiwa sana na wapinzani wetu hivyo sioni sababu ya kupumzika badala yake natumia muda mwingi kuwaweka wachezaji katika hali nzuri alisema phiri phiri ambaye UNK la kutwaa ubingwa msimu huu mapema alisema kutokana na ushindi wa mfufulizo walioupata hali hiyo imewafanya wachezaji wake kuwa na hofu ya kufungwa sasa UNK kubwa ya kuwajenga kisaikolojia wachezaji wangu ili wachukulie kawaida michezo inayofuata ambayo itakuwa migumu kuliko iliyopita alisema phiri akizungumzia mchezo wao wa jumapili dhidi ya african lyon phiri alisema utakuwa mgumu kuliko michezo iliyopita na ndiyo maana anahitaji muda wa kujiandaa zaidi azam wanaonesha uwezo mkubwa katika michezo yote hivyo kutokana na hali waliyokuwa nayo wachezaji wangu ninahitaji muda mrefu wa kuwarudisha katika hali ya kawaida ili kuweza kushinda mchezo huo alisema phiri kikosi cha simba kinatarajia kuingia kambini kwa ajili ya kujiandaa na mchezo huo kesho lakini kwa sasa wachezaji wanafanya mazoezi wakitokea nyumbani na elizabeth mayemba mshambuliaji wa simba mussa UNK mgosi UNK ushindi timu yake katika mchezo wake wa jumapili dhidi ya yanga kuwa hata kama hatakuwepo uwanjani wapinzani wao wataumia akizungumza kwa simu jana akiwa kigamboni ambako timu yake imeweka kambi ya muda kabla ya kwenda zanzibar mgosi alisema pamoja na shirikisho la UNK miguu tanzania kumzuia kucheza mechi hiyo lakini bado ana imani timu yake itatoka kifua mbele kuikosa mechi ya jumapili UNK ushindi kwa timu ya simba timu yetu ni nzuri na wameweza kushinda mechi karibu tatu bila mimi hivyo yanga ni kama timu nyingine tulizocheza nazo na UNK alisema mgosi alisema timu yake kwa sasa imeiva na ina uchungu wa kutafuta pointi tatu muhimu katika mechi zote mbili zilizosalia hivyo ni matumaini yake hata kwa yanga UNK mgosi alisema UNK kila la UNK timu yake ili iweze kuondoka na pointi tatu muhimu na kujiweka katika mazingira mazuri ya kushiriki michuano ya shirikisho mwakani wakati huo huo mgosi alisema safari yake ya kwenda india kufanya majaribio ya kucheza soka UNK imekaribia ila kinachosubiriwa ni tiketi tu mgosi alisema tiketi hiyo ndiyo UNK siku UNK lakini mipango yote imekamilika kocha mkuu wa timu ya taifa taifa stars mbrazil marcio maximo anatarajia kutangaza kikosi chake mwanzoni mwa novemba kwa ajili ya michuano ya kombe la chalenji inayotarajiwa kutimua vumbi baadae mwezi huo mjini nairobi akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam jana maximo alisema mara baada ya kutangaza kikosi hicho kitaingia kambini kujiandaa michuano hiyo natarajia kutangaza kikosi cha timu ya taifa mwanzoni mwa novemba kwa ajili ya chalenji na timu itaingia kambini kujiandaa na michuano hiyo alisema maximo alisema katika kikosi chake UNK wachezaji wake waliopo nje ya nchi wanaocheza soka la kulipwa wachezaji waliopo nje ya nchi ni henry joseph anayecheza soka norway nizar khalfan na nadir haroub cannavaro waliopo canada maximo alisema katika kikosi chake anatarajia kuongeza chipukizi wengine kutoka kwenye timu zinazoshiriki ligi kuu tanzania bara inayoendelea nchini kiungo athuman idd chuji leo anatarajia kuichezea timu yake dhidi ya toto african ya mwanza ambapo ataziba pengo la mchezaji wa timu hiyo wisdom ndlovu ambaye amekwenda kujiunga na timu ya taifa ya malawi katika mchezo huo utakaochezwa uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza chuji anatarajia kucheza beki wa kati kuziba pengo la ndlovu UNK kuikabili ivory coast katika mechi za kuwania kufuzu kucheza fainali za kombe la dunia na mataifa ya afrika ishirini moja sifuri chuji UNK vema nafasi hiyo pamoja na kucheza sana nafasi ya kiungo alisema msemaji wa yanga louis sendeu alipozungumza na gazeti hili kwa njia ya simu kutoka mwanza alisema mbali ya kukosekana kwa ndlovu pia yanga itamkosa kiungo wao mrisho ngassa ambaye aliumia katika mechi dhidi ya kagera sugar na steven marashi UNK na malaria mwishoni mwa wiki kamati ya nidhamu ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK kifungo cha miezi mitatu athuman idd na kumtaka asicheze mechi tatu na kulipa faini ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri tayari ametumikia kifungo cha mechi hizo za jkt ruvu mtibwa sugar na kagera sugar naye katibu mkuu wa yanga lawrence mwalusako alisema tayari klabu yake imelipa faini ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kwenye kamati ya mashindano hivyo mchezaji huyo yupo huru kuichezea yanga UNK faini ya chuji kwani asingeweza kucheza leo endapo UNK faini hiyo alisema mwalusako yadaiwa kugawa viongozi baadhi ya viongozi wa klabu ya simba UNK juu kampuni ya simu ya mkononi ya push mobile media kwa kuingia mkabata wa kiujanja ujanja na klabu hiyo na kushindwa kuweka wazi mambo ya msingi yanayohusu mkataba huo uliosababisha baadhi yao kutoelewana simba na yanga hivi karibuni ziliingia mkataba na kampuni hiyo ambapo kila baada ya miezi mitatu watakuwa wakipewa fedha kutokana na wanachama na mashabiki wa timu hizo kutuma ujumbe mfupi wa maneno ili kupata taarifa za timu hizo lakini simba wao ndio waliokuwa wa kwanza kupata mgao huo kitu ambacho kiliibua maswali mengi miongoni mwa wanachama na baadhi ya viongozi wa timu hiyo kwa kutaka kujua ni kiasi gani na zimeingizwa katika akaunti ipi huku yanga mgao wao mwezi ujao kwa mujibu wa kiongozi mmoja wa simba ambaye hakupenda jina lake litajwe gazetini alilithibitishia majira dar es salaam jana kwamba push mobile imetoa kianzio cha shilingi milioni kumi na mbili kwa timu hiyo zikiwa UNK fedha nyingine kitu ambacho mpaka sasa kila kiongozi alidai hajui zipo kwenye akaunti gani alisema kutokana na uchunguzi wake aliofanya na baadhi ya viongozi wenzake wamebaini kwamba fedha hizo UNK katika akaunti ya simba kama inavyodaiwa zitakuwa zimefikia mikononi mwa viongozi kwanza jiulize kwanini push na hao simba wenyewe hawataki kuweka wazi hili jambo kama walivyofanya kwa m pesa huo mkataba ni wa kiujanja ujanja na ndio maana UNK mpira kama ungekuwa ni wa maslahi ya klabu UNK hadharani UNK chanzo hicho alisema inawezekana push wakawa na nia nzuri ya kutaka kuisaidia simba lakini baadhi ya viongozi wanaangalia maslahi yao binafsi na kwa mtindo huo wataendelea kuilaumu kampuni hiyo kwa kushindwa kutoa ufafanuzi wa mambo yanavyokwenda ovyo alipotafutwa meneja masoko wa kampuni hiyo brian waluchio kwa mujibu wa taarifa ya ofisini kwake yupo jijini maputo msumbiji kikazi na hata alipotafutwa kwenye simu yake ya UNK iliita bila kupokelewa hivi karibuni ofisa habari wa timu hiyo cliford ndimbo alisema kampuni ya push haitakubali kutoa fedha zao kiholela kwa akaunti binafsi za viongozi fedha hizo zimeingizwa moja kwa moja katika akaunti ya klabu na zahoro mlanzi homa ya mchezo wa watani wa jadi wa simba na yanga inazidi kupanda ambapo wazee wa matawi ya klabu ya yanga wametamba kulipa deni la kufungwa mabao sita sifuri mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na saba timu hizo zinatarajiwa kuumana jumapili katika mechi ya ligi kuu UNK kwenye uwanja wa taifa dar es salaam ambapo simba katika mchezo huo itataka kulipa kisasi cha kufungwa bao moja sifuri katika mzunguko wa kwanza akizungumza kwenye tawi la mzimba dar es salaam jana katibu msaidizi wa matawi hayo mohamed omari alisema kutokana na kikosi chao kuwa bora mwaka huu watahakikisha timu yao inalinda heshima katika mchezo huo alisema katika kikao UNK juzi dar es salaam ambacho UNK zaidi ya matawi arobaini na sita UNK mchezo huo kwa kina na kufikia maazimio mbalimbali jana tulikuwa na kikao cha matawi yote ambapo UNK kwa kina juu ya mchezo huo kwani ni mchezo wa kihistoria hivyo kwa kuanza UNK wachezaji wetu na kuwaondoa hofu alisema omari alisema wana imani kutokana na maandalizi UNK wana UNK wa kulipa deni la kufungwa mabao sita sifuri hivyo hata ikishindikana kufikia idadi hiyo wataifunga nusu yake katibu huyo alisema ushindi walioupata katika mzunguko wa kwanza wa bao moja sifuri hautoshi kwani wanataka kuendeleza wimbi la ushindi kama ilivyofanya simba miaka saba iliyopita ambapo timu yao ilikuwa UNK kamati ya mshindano ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK katika orodha ya waamuzi wanaochezesha ligi kuu tanzania bara mwamuzi wa kati erick UNK kutoka arusha kamati hiyo iliyokutana juzi jijini dar es salaam ilijadili mambo mbalimbali ikiwa pamoja na michezo ya ligi hiyo na ligi daraja la kwanza akizungumza dar es salaam jana ofisa habari wa tff florian kaijage alisema mwamuzi huyo aliondolewa katika orodha hiyo kutokana na kushindwa kutafsiri sheria za mchezo wa soka katika mechi kati ya moro united na prisons iliyochezwa UNK wa uhuru jijini dar es salaam kaijage alisema kamati hiyo imemfungia michezo mitatu mshambuliaji UNK kessy wa toto african kwa kosa la kumtukana mwamuzi baada ya mchezo kati yao na manyema michezo UNK ni kati yao na african lyon majimaji na yanga alisema katika kikao hicho kamisaa wa mchezo wa azam fc na prisons UNK UNK wa pwani UNK barua ya onyo kwa kushindwa kutekeleza wajibu wake aliwataja wengine UNK na rungu la kamati hiyo ni salehe hassan ambaye ni mtunza vifaa wa timu ya african lyon kutojihusisha katika benchi la timu hiyo kwa miezi mitatu kutokana na kitendo cha kumtukana mwamuzi wa akiba pia kamati hiyo ilijadili baadhi ya michezo ya ligi daraja la kwanza na kuwafungia wachezaji ambao walivunja kanuni za mpira wa miguu nchini na timu zao kwenye mabano ni marie salehe UNK UNK UNK na UNK mussa kila mmoja atakosa mechi tatu na kulipa faini ya shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri sifuri pia kocha wa UNK amri ibrahim ametozwa faini ya shilingi kumi sifuri sifuri sifuri kwa kosa la kumtolea lugha chafu mwamuzi msaidizi namba moja mabingwa watetezi wa ligi kuu ya vodacom yanga jana waliendeleza wimbi la ushindi kanda ya ziwa baada ya kuwalaza watoto wao toto african bao moja sifuri katika mechi iliyochezwa uwanja wa ccm kirumba mwanza yanga ambao walianza ligi kwa kusuasua kwa kufungwa na majimaji ya songea kutoka sare na african lyon na jkt ruvu ilizima ubabe wa kagera sugar kwenye uwanja wa kaitaba kwa kuwafunga mabao mbili sifuri baada ya mechi hiyo vijana hao wa mitaa ya UNK na jangwani waliweka wazi malengo yao ya kushinda mechi zote za kanda ya ziwa yanga walipata bao pekee katika mchezo huo lililofungwa na mrisho ngassa dakika ya ishirini na sita kwa kichwa kufuatia mpira wa kona uliopigwa na abdi kassim dakika ya hamsini na nne jerson tegete aliyeingia badala ya boniface ambani aliunganisha mpira wa krosi uliopigwa na ngassa lakini kipa wa toto african hussein UNK UNK kwa matokeo hayo yanga imefikisha pointi kumi na tatu na kushika nafasi pili nyuma ya simba yenye pointi kumi na nane na kuwaacha toto african UNK mkia katika ligi hiyo ikiwa na pointi tatu kutoka dar es salaam mwandishi UNK mlanzi anaripoti kuwa timu ya moro united jana ilizinduka na kuibamiza jkt ruvu mabao mbili moja katika mechi ya ligi kuu bara iliyochezwa kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam bao la kwanza la moro united lilifungwa na UNK ndabila dakika ya kumi kwa kichwa kufuatia mpira uliopigwa na hussein swed na kujaa wavuni wakiwa bado UNK jkt ruvu walijikuta UNK bao la pili dakika ya ishirini na sita lililofungwa na said salim kwa shuti la mpira wa adhabu baada ya kufungwa bao hilo jkt ruvu walitulia na kujibu mashambulizi ambapo dakika ya arobaini na nne hussein bunu alifanikiwa kuifungia timu yake bao kwa kuunganisha mpira wa krosi uliopigwa na damas makwaya katika uwanja wa kaitaba mkoani kagera mwandishi wetu anaripoti kuwa wenyeji kagera sugar UNK kuutumia vizuri uwanja wao wa nyumbani baada ya kutoka suluhu na majimaji ya songea timu zote zilianza mchezo kwa kushambuliana lakini washambuliaji wao UNK kuukwamisha mpira wavuni shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK na vitendo vya baadhi ya timu zinazoshiriki ligi kuu tanzania bara kutimua makocha wake wakati ligi ikiwa bado mbichi ambapo UNK vitendo hivyo hatua hiyo ya tff imekuja baada ya timu tatu za toto african ya mwanza african lyon na majimaji ya songea kwa nyakati tofauti kudaiwa kuwatimua makocha wao kutokana na matokeo mabaya wanayoyapata katika ligi hiyo akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa shirikisho hilo fredrick mwakalebela alisema wanasikitishwa na kitendo hicho kwani UNK haki kutokana na kutowapa muda zaidi wa kurekebisha makosa yao alisema maamuzi kama hayo UNK baada ya mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo kumalizika na kuangalia UNK nini ndipo wangekuwa katika nafasi nzuri ya kufanya hivyo lakini si vinginevyo mbali na hayo mwakalebela alisema kwamba waamuzi sita kutoka mikoa mbalimbali wameongezwa katika ratiba ya waamuzi watakaochezesha michezo ya ligi kuu baada ya kamati ya mashindano ya tff kuwaondoa waamuzi saba katika ratiba hiyo kutokana na kukutwa na tuhuma mbalimbali aliwataja waamuzi UNK kuwa ni UNK shirikisho idd maganga UNK kabala e UNK e UNK na oden mbaga ambaye sasa atakuwa mwamuzi msaidizi na wakati mwingine kuwa mwamuzi wa kati kamati hiyo ilifikia uamuzi huo baada ya waamuzi hao kukutwa na tuhuma mbalimbali zikiwemo kuhusishwa na kula rushwa huku wengine wakishindwa kumudu kasi ya mchezo wakati UNK mechi mbalimbali mabingwa watetezi wa ligi kuu tanzania bara yanga wameamua kujichimbia kanda ya ziwa kwa ajili ya kujifua UNK mahesabu mchezo wake na azam fc utakaopigwa katika uwanja wa uhuru dar es salaam yanga ilikuwa na michezo miwili katika kanda hiyo dhidi ya kagera mjini bukoba ambako walishinda mbili sifuri na juzi UNK na toto african jijini mwanza na kushinda bao moja sifuri akizungumza kwa simu akiwa njiani kwenda shinyanga ofisa habari wa timu hiyo louis sendeu alisema UNK kuweka kambi ya muda kanda ya ziwa kwa ajili ya kujiweka fiti kabla ya mchezo huo alisema kutokana na umuhimu wa mchezo huo ambao ni lazima kwao kushinda ili kujiweka vizuri katika msimamo wa ligi hiyo na katika mbio za kutetea ubingwa wao hatuna mchezo mwishoni mwa wiki hii hivyo UNK kuimalizia wiki hii kwa kujiandaa kucheza michezo ya kirafiki ambayo UNK UNK vizuri kuikabili azam alisema sendeu sendeu alisema wakiwa shinyanga wanatarajia kucheza michezo mitatu ya kirafiki dhidi ya trans camp ambao walicheza jana jioni na leo watacheza na kahama united wakati kesho wanatarajia kucheza na singida united alisema wanatarajia kuanza safari ya kurudi dar es salaam kumalizia UNK dhidi ya azam oktoba kumi na mbili mwaka huu ambapo wataingia moja kwa moja kambini UNK kasi mechi hiyo itakayopigwa oktoba kumi na saba uwanja wa uhuru kumtaja aliyepokea mgao baada ya mvutano kati viongozi wa klabu ya simba na kampuni ya simu za mkononi push mobile media kuhusu sakata la aliyechukua sehemu ya fedha UNK simba kutokana na mgao wake push mobile imeonekana kuchoshwa na suala hilo ambapo leo imepania kuweka mambo hadharani simba na yanga hivi karibuni ziliingia mkataba na kampuni hiyo ambapo kila baada ya miezi mitatu zitakuwa zikipewa fedha kutokana na wanachama pamoja na mashabiki wa timu hizo kutuma ujumbe mfupi wa maneno ili kupata taarifa UNK timu hizo lakini simba ndiyo imekuwa ya kwanza kupata mgao huo kitu ambacho kiliibua maswali mengi miongoni mwa wanachama na baadhi ya viongozi wa timu hiyo kwa kutaka kujua ni kiasi gani cha fedha kimeingizwa na ni kiongozi gani alihusika huku yanga ikitakiwa kusubiri hadi mwezi ujao kupata mgao wake akizungumza akiwa afrika kusini jana meneja masoko wa kampuni hiyo brian waluchio alisema atakuwa na nafasi nzuri ya kulizungumzia suala hilo atakapokuwa amerudi nchini leo kwa sasa nipo uwanja wa ndege hapa afrika kusini ambapo kesho ninatarajia kuripoti ofisini hivyo kama utaweza kuja nadhani nitakuwa na lolote la kuzungumza juu ya suala hilo alisema UNK alisema suala hilo UNK kampuni kwa ujumla hivyo hataweza kuzungumza lolote mpaka UNK kinachoendelea ofisini kwake ambapo leo anatarajia kulizungumzia kwa kina baada ya kujua kinachoendelea baadhi ya viongozi wa klabu hiyo hivi karibuni waliijia juu kampuni hiyo kwa kudai imeingia mkabata wa kiujanja ujanja na klabu hiyo ambapo imeshindwa kuweka wazi mambo ya msingi yanayohusu mkataba huo na kusababisha baadhi yao kutoelewana alipotafutwa katibu mtendaji wa klabu hiyo mwina kaduguda kuzungumzia suala hilo ambaye inadaiwa ndiye UNK mkataba na kampuni hiyo alikataa kuzungumza lolote na badala yake alishauri atafutwe msemaji wa klabu cliford ndimbo UNK hilo baada ya ukimya wa muda mrefu juu ya sakata la aliyechukua fedha za kampuni ya simu za mkononi ya push mobile media uongozi wa klabu ya simba UNK kimanga kampuni hiyo kwa kudai UNK fedha zozote na kuitaka UNK waliyemkabidhi kampuni hiyo wiki iliyopita ilitoa taarifa kwa vyombo vya habari kwamba imeshatoa mgao wa awali kwa timu hiyo ikiwa ni fedha zilizokusanywa kuanzia aprili mei na juni mwaka huu baada ya wanachama na wapenzi wa klabu hiyo kutuma ujumbe mfupi wa maneno na kupata UNK za klabu hiyo lakini suala hilo UNK sura mpya ambapo wanachama na baadhi ya viongozi wa klabu hiyo kuhoji fedha hizo UNK na kiasi gani walichopata kitu ambacho viongozi wa simba hawakuwa tayari kulizungumzia sakata hilo kutokana na sababu mbalimbali akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya klabu hiyo mtaa wa msimbazi dar es salaam jana ofisa habari wa klabu hiyo clifford ndimbo alisema kwa mujibu wa taarifa aliyopewa fedha za push wanatarajia kuzipata mwezi huu na si kwamba tayari UNK alisema wanasikitishwa na taarifa UNK hapa nchini kwamba tayari UNK fedha za mgao wa awali kutoka push mobile kitu ambacho ni tofauti hivyo kama kampuni hiyo ina uhakika UNK fedha iseme ni kiongozi yupi waliyemkabidhi sisi UNK hizi taarifa sijui zinatoka wapi najua ni kikundi cha watu wachache wanaotaka kuiharibu timu yetu baada ya kuona inafanya vizuri hizo fedha za push bado UNK ila mwezi huu tunatarajia kupewa mgao wetu wa kwanza alisema ndimbo kama wao wanasema UNK wathibitishe wamempa kiongozi gani au wameweka katika akaunti ya nani na pia lawama UNK katibu wangu kwamba ameingia mkataba na push si kweli kwa kawaida mkataba UNK na viongozi wa juu katika klabu aliongeza ndimbo mbali na hayo ndimbo alizungumzia hujuma zinazoendelea kufanywa kwa wachezaji wao kuumizwa ovyo alisema hali hiyo ikiendelea UNK UNK barua shirikisho la mpira wa miguu tanzania kuwaomba UNK wachezaji wao akizungumzia maandalizi ya mchezo wao wa kesho dhidi ya african lyon utakaopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam alisema timu yake imeingia kambini tangu juzi kwenye hoteli ya lamada jijini dar es salaam ila hilal echesa na haruna moshi UNK katika mchezo huo kutokana na matatizo mbalimbali bondia mtanzania anayefanya shughuli zake nchini marekani rogers mtagwa leo atapanda ulingoni kuwania ubingwa wa dunia wa wbo dhidi ya juan manuel lopez wa puerto UNK pambano hilo la raundi kumi na mbili litafanyika katika ukumbi wa new york madison square garden marekani na linatarajiwa kuwa gumu zaidi kwa mtagwa pia kwa mpinzani wake ugumu wa pambano hilo la uzani wa super bantam unatokana na rekodi ya mpinzani wake anayetetea taji hilo kutopoteza pambano hata moja katika michezo ishirini na sita aliyocheza lakini akiwa ameshinda yote mtagwa ana rekodi ya kushinda mechi ishirini na sita amepoteza kumi na mbili na kutoka sare mbili huku akishinda kwa ko michezo kumi na nane alipokuwa nchini mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba alikosa mpinzani katika uzito wake akizungumzia pambano hilo juzi mtagwa alisema watu wengi wanafikiri kuwa nitakwenda kupoteza watu wengi UNK mimi mimi ni mpiganaji mzuri pia haitakuwa pambano rahisi kwake mtagwa alikwenda marekani kutoka tanzania miaka tisa iliyopita na kufikia jimbo la UNK akiwa katika ardhi ya marekani amepigana mechi kumi na moja na kupata rekodi ya nne tano mbili akishinda na kupoteza baadhi ya mechi promota wa mtagwa UNK UNK alimwelezea bondia huyo mtanzania kwa UNK wa habari juzi kuwa yuko fiti na UNK kama ni mpiganaji wa UNK kama wapiganaji wengine mtagwa ambaye ni mzaliwa wa dodoma akiwa marekani baadhi ya mapambano alishinda ni dhidi ya fernando UNK joe UNK na aldo UNK lakini novemba saba ishirini sifuri nane alipigwa raundi ya tisa katika mechi ya raundi kumi dhidi ya tomas villa kambi yake ilisema wana matumaini makubwa kuwa mtanzania huyo UNK katika mechi ya leo kama ilivyokuwa mechi ya villa mtagwa alisema katika mechi ya leo ataweka presha kwa UNK wake kwa kushambulia muda wote katika kutimiza ndoto yake ya kutaka kupiga kwa mara ya kwanza bondia ambaye UNK mechi zikiwa zimebaki siku kumi na tisa kabla ya mchezo wa watani wa jadi timu za simba na yanga kupigwa homa ya mchezo huo imezidi kupanda ambapo uongozi wa yanga huenda UNK timu yao mjini bagamoyo au pemba kuanzia oktoba ishirini mwaka huu kwa ajili ya kuwaangamiza wapinzani wao mchezo huo unatarajiwa kupigwa uwanja wa uhuru dar es salaam oktoba thebathini na moja mwaka na hiyo ni kwa mujibu wa ratiba ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania iliyotolewa kabla ya ligi haijaanza agosti ishirini na tatu mwaka huu kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya uongozi wa klabu hiyo UNK majira dar es salaam jana kwamba timu hiyo itaweka kambi mjini bagamoyo au pemba baada ya uongozi wa klabu hiyo kukutana baada ya mchezo wao dhidi ya moro united tutakapomaliza kucheza na moro united hapa mjini kutakuwa UNK si unajua homa ya watani wa jadi inavyokuwa hivyo sisi UNK kambi kuanzia oktoba ishirini ila bado haijawekwa wazi itakuwa wapi kati ya bagamoyo au pemba kilisema chanzo hicho alipotafutwa msemaji wa timu hiyo louis sendeu kuzungumzia suala hilo alikiri kwamba ni lazima timu yao itatoka nje ya jiji ila bado hawajajua watakwenda wapi kati ya pemba au bagamoyo kwa ajili ya michezo yao iliyobaki hasa wa simba UNK juzi alfajiri kutoka shinyanga na tunatarajia kesho timu itaanza mazoezi kwa ajili ya mchezo wetu wa jumamosi dhidi ya azam na kisha tutacheza na moro united alisema sendeu bondia mtanzania rogers mtagwa juzi alimtoa jasho na damu mpinzani wake juan manuel wa puerto UNK licha ya kupoteza pambano la kuwania ubingwa wa dunia wa wbo uzani wa super bantam kwa pointi pambano hilo lililofanyika kwenye ukumbi wa madison square garden mjini new york marekani lilikuwa la kwanza kuwa gumu kwa lopez ambaye ana rekodi ya kutopoteza pambano kutokana na kupata upinzani mkali kutoka mtagwa lopez alilazimika kufanya kazi ya ziada kutetea ubingwa wake wa wbo katika raundi zote kumi na mbili ingawa UNK kuwa mshindi kwa pointi kutoka kwa majaji wote watatu UNK mpinzani wake kwa pointi nyingi na mwisho wa mchezo sura yake ilikuwa UNK damu kutokana ngumi za mtagwa lopez alitangazwa kuwa mshindi kwa majaji kwa kupatia alama mia moja na kumi na sita mia moja na kumi na moja mia moja na kumi na tano mia moja na kumi na moja na mia moja na kumi na nne mia moja na kumi na tatu hivyo ameendeleza rekodi yake ya UNK katika mapambano ishirini na saba UNK katika pambano hilo mabondia wote walikuwa wakirushiana ngumi kali na kuwa kama vita lopez alitawala raundi ya tano katika raundi ya mwisho mtagwa alikuwa juu kwa alama kumi nane bila ya UNK mtagwa alicheza vizuri zaidi katika raundi tatu za mwisho kwenye mapambano yaliyopita lopez alikuwa akiwapiga wapinzani wake kwa alama nyingi au ko lakini juzi mtagwa alionekana UNK lopez ambaye UNK na uzoefu na usugu wake na kuweza kuendelea kusimama katika raundi zote kumi na mbili baada ya mechi lopez alisema watu wengine wanafikiria mimi siwezi kupigwa ninaumia kama mtu mwingine yeyote lopez anajikuta akisaidiwa na kamba UNK ulingoni katika raundi ya kumi na moja ambapo mtagwa UNK kwa kumtwanga ngumi lakini aliokolewa na UNK alimsifu mtagwa kwa kuonesha ushindani wa kweli kwake na kumpa wakati mgumu kujilinda na kushambulia UNK kabisa lakini UNK kama UNK niliona miguu yangu ina nguvu muda wote alisema lopez mwenye umri wa miaka ishirini na nne na kuongeza UNK kwa UNK baadhi ya ngumi nzuri baada ya mechi mtagwa alisema UNK kama UNK pambano katika raundi ya mwisho alikuwa amechoka alichoka kweli kwa kupoteza pambano hilo mtagwa mzaliwa wa dodoma amekuwa na rekodi ya kucheza mechi ishirini na sita kupigwa kumi na tatu sare mbili ko kumi na nane na lopez UNK rekodi yake kwa kushinda mechi zake zote ishirini na saba huku ishirini na nne ikiwa kwa ko yaiparua lyon moja sifuri bao pekee lililofungwa dakika ya arobaini na moja na mshambuliaji wa simba mussa hassan mgosi katika mechi ya ligi kuu dhidi ya african lyon iliyofanyika uwanja uhuru dar es salaam jana liliifanya timu hiyo kuteleza na kuendelea kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo kwa kufikisha pointi ishirini na moja hadi sasa mchezo huo ulioanza kwa kasi huku kila timu ikifanya mashambulizi na lakini simba ndiyo ambayo ilitawala kipindi cha kwanza ambapo ambapo katika dakika ya ishirini ilifanya shambulizi la nguvu lakini shuti la nico nyagawa lilipanguliwa vyema na kipa john mbuga wa john UNK dakika nne baadaye lyon ilijibu shambulizi hilo baada ya castory mumbala kuunganisha kwa kichwa krosi iliyopigwa na karume songoro lakini mpira ulipaa juu ya goli wakati mashabiki wakidhani timu hizo zitakwenda mapumziko zikiwa suluhu dakika ya arobaini na moja mgosi aliwainua mashabiki wa simba kwa kufunga bao la kichwa ambalo kabla ya kujaa wavuni mpira UNK mwamba wa pembeni UNK kutinga kimiani akiunganisha krosi ya joseph owino kipindi cha pili kilianza kwa kasi huku lyon ikitawala sehemu ya kiungo lakini washambuliaji wake walishindwa kukwamisha mpira wavuni kutokana na kushikwa na kigugumizi cha miguu kutokana na kutokuwa na uzoefu dakika ya sabini na moja nusura mgosi afunge bao la pili baada ya kichwa UNK kugonga mwamba wa juu na kurudi uwanjani akiunganisha kona iliyopigwa na kanoni lakini mabeki walikaa imara na kuondosha hatari lyon walizidi UNK lango la simba ambapo kwa nyakati tofauti dakika za themanini na moja na themanini na nne mbwana UNK na mohamed samatta walipata nafasi nzuri za kukwamisha mpira wavuni lakini walishindwa kutumbukiza mpira kimiani kutokana na mashuti yao kudakwa na kipa juma kaseja na mengine kutoka nje simba kaseja kanoni haruna shamte juma jabu kelvin yondani owino juma nyoso nyagawa mohamed banka mgosi emmanuel okwi mohamed kijuso na dan mrwanda ramadhan chombo lyon john UNK abdul UNK abuu ubwa zuberi makame bakari omari victor UNK samatta mumbala sultan ally karume songoro yusuph soka mbwana samatta na robert ssentongo ligi kuu ya tanzania bara iliendelea tena jana katika uwanja wa uhuru dar es salaam ambapo kagera sugar ilifanikiwa kutoka kifua mbele baada ya UNK african lyon mabao mbili moja kwa matokeo hayo kagera sasa itakuwa imeshika nafasi ya tano baada ya kujikusanyia pointi kumi na moja na kuishusha moro united iliyokuwa katika nafasi hiyo mechi hiyo ilianza kwa kasi kwa timu zote kushambuliana kwa zamu lakini hata hivyo hadi timu hizo zinakwenda mapumziko zilikuwa UNK kipindi cha pili kilianza kwa kagera kupeleka mashambulizi ya nguvu langoni mwa lyon ambapo katika dakika ya sabini na tano themi felix aliifungia kagera bao la UNK kwa shuti kali akiwa nje ya meta kumi na nane baada ya kupokea pasi ya shija UNK hata hivyo lyon ilikatisha furaha ya kagera dakika sabini na sita baada ya yusuf soka aliyeingia badala ya sultan UNK kuifungia timu yake bao la kusawazisha kwa shuti kali baada ya kupokea pasi ya UNK ssentongo dakika ya themanini na moja kagera ilipata bao la ushindi lililofungwa na mike katende kwa kombora kali kutokana na pasi ya george UNK asema ni kwa maslahi ya yanga mwenyekiti wa yanga imani madega ameitisha kikao cha UNK cha kamati ya utendaji ya klabu hiyo kupendekeza uchaguzi mkuu wa viongozi ufanyike desemba mwaka huu badala ya mei thebathini mwakani kama katiba UNK habari za uhakika kutoka ndani ya klabu hiyo zilieleza dar es salaam jana kuwa madega amefikia hatua hiyo ya uchaguzi kutokana na kuitakia mafanikio timu hiyo katika michuano ya ligi kuu pamoja na kutoa nafasi kwa viongozi wapya kufanya kazi zao kwa uhuru uongozi huu uliingia madarakani mei thebathini na moja mwaka ishirini sifuri saba kwa katiba ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na mbili kama UNK katiba hiyo ina maana kuwa walitakiwa kukaa madarakani kwa miaka mitatu hata hivyo katiba hiyo ilifanyiwa marekebisho agosti nane mwaka jana ambayo inaeleza uongozi unatakiwa kukaa madarakani kwa miaka minne badala ya mitatu wakisema watumie katiba ya zamani itakuwa ni makosa kwa kuwa kipengele hicho kwa sasa hakipo pia wakisema watumie katiba mpya itakuwa ni makosa kwa kuwa walichaguliwa kwa katiba ya zamani ambayo muda wao wa kukaa madarakani ni miaka mitatu kilieleza chanzo hicho mtoa habari huyo alisema ikiangaliwa kwa undani zaidi madega atakuwa na hoja za msingi kwa kuwa ameona mbali kutokana na taaluma yake ya sheria hivyo kama mmoja wa viongozi wa yanga anaungana naye mia kwa mia chanzo hicho kilieleza kuwa madega katika hoja yake hiyo ameeleza kuwa amefikia hiyo baada ya kuona kuwa desemba itakuwa mwafaka kwa uchaguzi kwa kuwa ligi itakuwa imesimama hivyo itakuwa ni nafasi nzuri kwa wanachama na viongozi kuandaa uchaguzi vizuri kilieleza sababu nyingine za madega kutaka uchaguzi huo ni kutoa nafasi kwa uongozi mpya kuiandaa timu vizuri kwa ajili ya mashindano ya kimataifa pamoja na ligi mzunguko wa pili hata hivyo kwa mujibu wa kalenda ya tff mwezi wa tano si mwezi muafaka wa kufanya uchaguzi kwa kuwa ndiyo uongozi unapotakiwa kuwa makini katika kuhakikisha unafanya usajili wa ligi msimu ujao ni wazi uchaguzi ukifanyika desemba utakuwa unazingatia maslahi ya yanga kiufundi na pia mwakani kutakuwa na uchaguzi mkuu wa kuchagua rais wabunge na madiwani nchini kote bila shaka tukio hilo ni kubwa na linahitaji utulivu wa hali ya juu kilieleza chanzo hicho kukubali kuinoa yanga kwa kocha mpya UNK kosta papic kumetokana na kazi nzuri ambayo imefanywa na kocha anayemaliza muda wake katika timu hiyo dusan kondic kondic amekuwa na mafanikio kadhaa katika miaka yake miwili aliyokuwa katika klabu hiyo ikiwa ni pamoja na kuzungumza na mfadhili mkuu wa klabu hiyo yusph manji juu ya kutengeneza mazingira mazuri ya klabu hiyo akizungumza na mwandishi wa gazeti hili mapema jana kondic alisema ana imani kubwa kuwa kazi aliyoifanya kuibadilisha UNK kwenda katika hali ya kisasa imekuwa moja ya sababu za kumpata papic alisema kwa sasa klabu hiyo imekuwa tofauti baada ya kushauriana na manji juu ya kujitegemea katika suala la kambi pamoja na mazoezi ambapo klabu yao iliyopo mitaa ya twiga na jangwani UNK na kuboreshwa zaidi ni kweli kwamba kuna sababu nyingi ambazo zilimfanya papic kutua jangwani lakini UNK kusema UNK kutokana na mazingira ambayo UNK kufanyia kazi awali alipewa taarifa juu ya mazingira ya tanzania lakini hali UNK tofauti alisema kondic aliongeza kuwa kwa sasa angalau mafanikio kiasi katika malazi yanaonekana kutokana na kuipigia kifua hali ya kambi ambapo mpaka sasa yanga imebaki kuwa klabu pekee yenye makazi mazuri zaidi hapa nchini ni jambo ambalo huwezi kuliangalia kirahisi UNK lakini uongozi na wanachama unajua ni jinsi gani hali imekuwa toka miaka miwili iliyopita na hata UNK kutembelea jengo na kuliona aliridhika mno hii ilikuwa tofauti na matarajio yake naamini aliongeza kondic pamoja na kuletwa kwa kocha mwingine katika klabu hiyo kondic atakumbukwa vizuri na wana yanga tangu kuingia kwake klabuni hapo ambapo katika msimu wa kwanza alipoteza mchezo mmoja tu dhidi ya kagera sugar na kutwaa mara mbili ligi kuu ya vodacom tanzania bara kivumbi cha ligi kuu ya soka tanzania bara kinatarajiwa kuendelea leo kwenye viwanja vitatu tofauti nchini ila macho na masikio ya mashabiki wa mchezo huo yataelekezwa kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam ambapo azam fc UNK na yanga mchezo unaotarajiwa kuwa wa vute nikuvute pia kazi si kwenye uwanja huo pekee kule mbeya kwenye uwanja wa sokoine prisons itakuwa na kazi ngumu UNK toto african ya mwanza na kwenye uwanja wa majimaji mjini songea wenyeji majimaji watachuana na manyema rangers ugumu wa mchezo kati ya azam na yanga unakuja pale ambapo kila timu inapotaka UNK mashabiki na wanachama wao kwamba wanastahili kukamata nafasi ya pili katika msimamo wa ligi na hatimaye kutwaa ubingwa timu hizo UNK kwa pointi kumi na nne kila moja kutokana na kucheza michezo saba ila zinatofautiana katika mabao ya kushinda na kuifanya azam ishike nafasi ya tatu na yanga nafasi ya nne ambapo mojawapo ikishinda UNK mpaka nafasi ya pili na kuishusha mtibwa sugar yenye pointi kumi na tano katika mchezo huo yanga itaingia na ari kasi na nguvu mpya baada ya benchi lake la ufundi kuimarishwa kwa kuingia mkataba na kocha mpya mserbia kostadic UNK papic ambaye amechukua mikoba iliyoachwa na dusan kondic kocha huyo hicho kitakuwa kibarua chake cha kwanza ambapo itabidi UNK mashabiki na wanachama wa yanga kwamba amekuja UNK timu za hapa nchini kwa kuanza na ushindi mbali na hali hiyo pia yanga itaingia uwanjani ikiwa na kumbukumbu nzuri ya mchezo wao wa mwisho dhidi ya toto kwa kuibuka na ushindi wa bao moja sifuri huku wapinzani wao azam wakibanwa na jkt ruvu kwa kutoka sare ya bao moja moja UNK nyingine itaendelea kwenye uwanja wa sokoine mjini mbeya ambapo prisons italazimika kurudisha matumaini yake kwa wakazi wa mbeya kwa kuichapa toto kibarua ambacho kinaonekana kigumu kwao kwani toto nao hawatokubali kuendelea kuwa kichwa cha UNK na mchezo wa mwisho utapigwa mjini songea ambapo majimaji wataikaribisha manyema mchezo ambao pia unatarajiwa kuwa na msisimko wa aina yake kwani manyema kwa sasa inaonekana kufanya vizuri zaidi katika michezo yake ya hivi karibuni na majimaji kuonekana kama ilikuwa na nguvu ya UNK na elizabeth mayemba kocha mkuu wa timu ya taifa ya tanzania marcio maximo amesema UNK mechi ya jumapili kati ya watani wa jadi simba na yanga kutafuta wachezaji kwa ajili ya kuimarisha kikosi chake maximo ambaye alikwenda brazil kwa mapumziko alirejea nchini juzi na amepanga kutumia nafasi hiyo kuchukua wachezaji wa timu hizo kuongeza nguvu kikosi chake katika mechi hiyo itakayopigwa uwanja wa taifa dar es salaam akizungumza dar es salaam jana maximo alisema amefurahi kurudi nchini na UNK mechi hiyo ya kihistoria kwani ni mechi ambayo UNK mkali mechi kama hii ndio ambayo mchezaji hawezi kuficha kipaji chake na mimi nitatumia nafasi hiyo kwa ajili ya kupata wachezaji wa UNK kwenye kikosi changu cha timu ya taifa alisema maximo alisema kikosi UNK UNK na kucheza mechi ya kirafiki na vancouver whitecaps ya canada hakikuwa na mchezaji hata mmoja wa yanga kwa kuwa walikuwa wana mechi ya ligi ya mabingwa afrika dhidi ya al ahly kocha huyo alisema kikubwa anachoangalia katika kikosi chake ni uwezo wa mchezaji nidhamu na umri hivyo siku ya jumapili UNK umuhimu mkubwa kocha mkuu wa klabu ya simba patrick phiri amesema michezo yao miwili kati ya jkt ruvu na azam fc ni zaidi ya mchezo unaosubiriwa na wengi dhidi ya yanga utakaofanyika oktoba thebathini na moja kutokana na UNK historia maalumu simba inashuka dimbani hii leo kukipiga na maafande hao ambapo itacheza tena na azam fc kabla ya mchezo wao unaosubiriwa na wana msimbazi wengi dhidi ya yanga kutokana na UNK timu hiyo kwa misimu miwili mfululizo mpaka sasa akizungumza na mwandishi wa gazeti hili juzi jijini dar es salaam phiri alisema kikosi chake kinatumia muda mwingi kuwaza michezo mwili muhimu mbele yao ili UNK idadi ya michezo kumi bila kufungwa alisema pamoja na timu nzima kufikiria hilo yeye anawania rekodi hiyo ambayo itakuwa muhimu kwake tangu kuanza kuingia katika taaluma ya ukocha tofauti na watu UNK zaidi mchezo dhidi ya yanga UNK akilini mwangu ni kucheza michezo kumi bila kupoteza lakini pia natakiwa kufikiria furaha ya mashabiki juu ya mchezo wa yanga ikiwa tutashinda pia katika michezo hii miwili itakuwa ni hamasa kubwa ya kushinda mchezo dhidi ya yanga na naamini tuko vizuri zaidi msimu huu na ushindi utakuwepo pia alisema kocha huyo mzambia aliongeza kuwa anafahamu nini UNK kwa sasa wana msimbazi wengi katika vichwa vyao na UNK kuwa timu yao iko katika hali ya kuridhisha na UNK na kauli za wapinzani phiri alisisitiza mshikamano baina ya uongozi na wanachama na matokeo mazuri yatawapa raha wanachama na wapenzi wote baada ya mchezo wao wa leo dhidi ya jkt ruvu simba itashuka tena katika uwanja wa uhuru kukipiga na azam fc mchezo unaotarajiwa kuwa mkali kutokana na timu hiyo ngeni katika ligi kuu UNK kamati ya utendaji ya klabu ya yanga UNK mapendekezo ya mwenyekiti wa klabu hiyo imani madega ya kurudisha nyuma mkutano mkuu wa uchaguzi ambao sasa utafanyika januari tatu mwakani badala ya mei thebathini mwakani madega alipeleka mapendekezo hayo mbele ya kamati ya utendaji kwa lengo la kurudisha nyuma uchaguzi huo kutokana na sababu mbalimbali za msingi ambazo kamati hiyo UNK akizungumza makao makuu ya klabu hiyo jijini dar es salaam jana madega alisema kutokana na sababu hizo wamekubaliana kurudisha nyuma uchaguzi mkuu kwa manufaa ya klabu yao na mpira wa tanzania madega alisema ni sababu tatu kubwa zilizowafanya UNK nyuma uchaguzi huo ambapo katiba ya klabu hiyo inawaruhusu lakini UNK kupeleka mbele madega alisema sababu hizo ni kuwapa nafasi viongozi wapya UNK kuiandaa timu kwa michuano ya kimataifa na ligi kuu msimu ujao na sababu ya pili ni kuhakikisha utendaji wa kazi UNK kufuatia kutumia katiba mpya ambayo ina viongozi wa kuajiliwa huku viongozi waliochaguliwa wakiwa madarakani mpaka sasa alisema kitendo hicho UNK utendaji kazi vizuri hivyo uchaguzi ukifanyika watendaji watakuwa na majukumu yote bila ya kuingiliwa madega alisema sababu ya UNK ni kutoa nafasi kwa wanachama wa klabu hiyo kushiriki vizuri uchaguzi wa madiwani wabunge na rais utakaofanyika mwakani mwenyekiti huyo amewataka wanachama wa klabu hiyo kulipa za uanachama ili waweze kupata nafasi ya kuchagua viongozi wao wapya kiongozi huyo alisema kamati ya utendaji imepewa jukumu la kuteua kamati ya uchaguzi ambayo itatangazwa wiki ijayo ambayo itashirikiana na kamati ya uchaguzi ya tff mwenyekiti huyo alisema nafasi UNK katika uchaguzi huo ni mwenyekiti makamu mwenyekiti na wajumbe wa kamati ya utendaji UNK madega na wenzake walitwaa madaraka ya uongozi wa klabu hiyo mei thebathini na moja ishirini sifuri saba na ulitarajiwa kumaliza muda wake mei thebathini mwakani lakini sasa umepangwa kufanyika januari tatu mwakani na erasto stanslaus wakati homa ya mchezo wa watani wa jadi simba na yanga ikizidi kupamba kampuni ya bia tanzania ambayo ndiyo wadhamini wa timu hizo kupitia bia ya kilimanjaro UNK pambano la jumapili kwa kutoa jezi kwa mashabiki wa timu hizo kampuni hiyo pia imetoa jezi kwa timu hizo ambazo jumapili zitacheza uwanja wa taifa dar es salaam katika UNK la ligi kuu akizungumza dar es salaam jana mkurugenzi wa masoko wa tbl UNK minja alisema vifaa UNK kwa ajili ya mchezo ni moja katika majukumu ya kampuni hiyo kutimiza udhamini wake kwa timu hizo alisema wameamua kuongozea hamasa katika mchezo huo kutokana na umuhimu wa mchezo wenyewe ili UNK mashabiki wa timu pia hizo ambao watakuwa UNK kila siku tumekuwa UNK jezi wachezaji lakini sasa vikundi vya washangiliaji nao watakuwa katika sare UNK kama wapenzi wa timu fulani alisema minja alisema kwa upande wa jezi za wachezaji wametoa jezi kwa wachezaji pamoja na UNK na soksi wakati kwa mashabiki wametoa jezi hamsini bendera pamoja na UNK UNK kwa kushangilia vifaa vyote UNK shilingi milioni kumi pia minja UNK simba kuongeza juhudi na kufanikiwa kumaliza ligi hiyo ikiwa katika nafasi ya pili ili kufanikiwa kujinyakulia shilingi milioni kumi na tano UNK katika mkataba wao alisema kwa upande wa yanga ambao tayari wametwaa ubingwa huo UNK kupata kiasi hicho cha pesa lakini kwa simba mambo bado magumu kwa upande wake katibu mkuu wa yanga lucas kisasa alisema wanampango wa kugawa fedha hizo kwa wachezaji kama pongezi kwa kutwaa ubingwa huo mapema mechi hiyo inatarajiwa kuwa na upinzani mkali kutokana na kuwa simba itataka kushinda ili kupata uhakika wa kushika nafasi ya pili ambayo itaipa nafasi ya kushiriki mashindano ya shirikisho na pia itataka kulipa kisasi cha kufungwa bao moja sifuri katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wakati simba ikisaka nafasi ya pili yanga ambayo tayari imetwaa taji la ligi hiyo haitakubali UNK ngazi na wapinzani hao kwani tayari UNK vita kuwa lazima iibuke na ushindi yanga ilitangaza vita na mpinzani wake kutokana na kitendo cha mashabiki wa simba kuhesabu pasi za al ahly pamoja na kuishangilia kwa nguvu katika mechi ya ligi ya mabingwa ambayo waarabu hao waliibuka na ushindi wa bao moja sifuri timu ya taifa ya ghana ya vijana wenye miaka chini ya ishirini juzi iliweka historia kwa kuwa timu ya kwanza ya afrika kutwaa ubingwa wa dunia kwa vijana chini ya umri wa miaka ishirini kwa kuilaza brazili kwa mikwaju ya penalti nne tatu ikiwa na wachezaji kumi mechi ya fainali kati ya timu hizo ilifanyika kwenye uwanja wa cairo misri ambapo dakika tisini UNK timu hizo zilikuwa UNK na kuongezwa dakika thebathini lakini pia hakuna timu UNK kutikisa nyavu za mwenzake mchezaji maicon angeweza kuibeba timu yake kutetea ubingwa lakini penalti yake ilipaa wakati matokeo yakiwa brazil ikiongoza kwa mikwaju tatu mbili mchezaji aliyeongoza kwa kufunga mabao katika michuano hiyo na aliyetajwa kuwa mchezaji bora wa mashindano dominic adiyiah aliifungia timu yake na matokeo kuwa mabao tatu tatu kabla ya shuti la alex UNK kuokolewa na kipa wa ghana emmanuel UNK alifunga mkwaju UNK na kuifanya ghana kushinda mikwaju nne tatu na kutwaa kombe la dunia la vijana wenye miaka chini ya miaka ishirini baada ya kukosa ubingwa huyo UNK fainali mbili za mashindano hayo elfu moja na mia tisa na tisini na tatu na ishirini sifuri moja hatimaye juzi ilikuwa ni siku ya bahati kwa ghana fainali hiyo UNK na mashabiki sitini na saba sifuri sifuri sifuri brazili ilionekana kutawala mchezo kuanzia mwanzo hadi mwisho lakini ghana UNK presha kutoka kwa miamba hao kwa kulinda goli lao vizuri dakika ishirini za mwanzo brazili ilifanya mashambulizi manne langoni mwa ghana lakini hawakuweza kupata bao black UNK ya ghana ilianza kuzoea mchezo na kuhimili presha ya wapinzani wao baada ya dakika thebathini na kuhimili presha dakika zote mia moja na ishirini licha ya kucheza wachezaji kumi baada ya mchezaji wao mmoja kulimwa kadi nyekundu vinara wa ligi kuu tanzania bara simba leo watakutana na mtihani mwingine mgumu UNK na maafande wa jkt ruvu katika mchezo wa ligi hiyo utakaochezwa katika uwanja wa uhuru dar es salaam simba ipo kileleni ikiwa na pointi ishirini na moja baada ya kushinda michezo yote saba iliyocheza huku jkt wakiwa katika nafasi ya nane ikiwa na pointi nane baada ya kushinda michezo miwili na kutoka sare miwili na kupoteza mitatu mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na timu hizo kuwania pointi tatu muhimu ili kujiweka katika nafasi nzuri katika msimamo wa ligi hiyo simba inahitaji ushindi katika mchezo huo ili kutimiza malengo yake ya kushinda michezo yote katika mzunguko wa kwanza ili kutwaa taji la msimu huu mapema zaidi kocha mkuu wa klabu ya simba mzambia patrick phiri alisema mchezo huo utakuwa mgumu sana kwao kutokana na kila timu kuwakamia na kutaka kupata ushindi kutoka kwao lakini amejiandaa vizuri kuhakikisha wanashinda michezo yote ya mzunguko wa kwanza nilisema tangu mwanzo kuwa kila mechi kwetu ni ngumu kwa sasa lakini hilo litakuwa ndoto kwani tayari tulijipanga tangu awali kushinda michezo hiyo alisema phiri kwa upande wake kocha wa jkt charles kilinda alisema mchezo huo ni moja kati ya michezo migumu kwao lakini atajitahidi kuibuka na ushindi ili kujiweka vizuri baada ya kupoteza michezo iliyopita simba ni wazuri lakini hatutakubali kupoteza mchezo mwingine katika ligi hiyo tumepoteza mwelekeo katika msimamo wa ligi hiyo alisema kilinda jkt walipoteza mchezo wao wa mwisho kwa kukubali kipigo cha mabao mbili moja dhidi ya moro united lakini walitoka sare ya bao moja moja na azam fc timu ya aston villa imeichapa chelsea mabao mbili moja katika mechi ya ligi kuu england UNK uwanja wa villa park england jana chelsea ilikuwa ya kwanza kupata bao lililofungwa na didier drogba dakika ya kumi na tano lakini richard dunne aliisawazishia dakika ya thebathini na mbili kabla ya james UNK UNK chelsea kwa kufunga bao la pili dakika ya hamsini na mbili arsenal wakiwa nyumbani kwao emirates waliibuka na ushindi wa mabao tatu moja dhidi ya UNK mabao ya arsenal yalifungwa na robin van persie abou diaby na andrey arshavin birmingham bao lao lilifungwa na lee UNK manchester united inaongoza ligi baada ya kuifunga bolton mabao mbili moja mabao ya man utd yalifungwa na UNK UNK aliyejifunga na antonio valencia wakati la bolton lilifungwa na matt taylor timu za yanga na azam fc jana zilishindwa kutambiana katika mchezo wa ligi kuu ya tanzania bara baada ya kutoka sare ya bao moja moja katika mchezo uliopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam kwa matokeo hayo azam imekwea mpaka nafasi ya pili kwa kufikisha pointi kumi na tano sawa na timu za mtibwa sugar na yanga lakini UNK kwa mabao ya kufunga yanga sasa ipo nafasi ya tatu na mtibwa ya nne katika mchezo huo timu zote zilianza kwa kasi ambapo dakika ya tano john bocco adebayor wa azam fc nusura aifungie bao timu yake kwa kichwa kufuatia kuunganisha mpira wa adhabu uliopigwa na said sued lakini ulipaa juu ya goli azam waliendelea kuliandama lango la yanga na dakika ya ishirini na sita bocco alipiga kichwa mpira wa kona uliopigwa na sued lakini kipa obrien curkovic wa yanga UNK baada ya kushambuliwa sana yanga ilitulia na kufanya shambulizi la nguvu dakika ya ishirini na nane kupitia kwa mike baraza akiwa nje ya meta kumi na nane lakini mpira ulipaa juu na kutoka nje dakika ya thebathini na tisa idd mbaga wa yanga nusura UNK mashabiki baada ya kubaki na kipa vladimir niyonkuru lakini shuti lake lilipanguliwa na mabeki wakaondosha hatari langoni kwao ikiwa imebaki dakika moja kabla ya mapumziko winga mosses odhiambo aliifungia yanga bao la kuongoza baada ya kuutokea mpira uliopigwa na athuman idd chuji huku mabeki wa azam wakidhani ameotea na kukwamisha mpira wavuni kipindi cha pili kilianza kwa kasi huku azam walionekana kupania na kufanikiwa kusawazisha bao dakika ya sitini na moja kupitia kwa bocco baada ya kutokea piga nikupige langoni mwa yanga kufuatia mpira wa kona uliopigwa na mau ally azam baada ya kusawazisha bao hilo ilitawala zaidi mchezo kwa kufanya mashambulizi ya nguvu langoni mwa yanga lakini washambuliaji wake walishindwa kuikwamisha mipira wavuni baada ya yanga kuzidiwa mashabiki wake wa jukwaa la kijana walianza kurusha chupa za maji uwanjani na kusababisha mpira kusimama kwa muda na baadaye kuendelea kutoka mbeya esther macha anaripoti kuwa wenyeji timu ya prisons ya mjini hapa jana ilishindwa kuutumia vizuri uwanja wake wa nyumbani wa kumbukumbu ya sokoine baada ya kutoka sare ya bao moja moja na toto african ya mwanza toto african ilikuwa ya kwanza kupata bao dakika ya ishirini na saba lililofungwa na joseph UNK kufuatia kosa la mbega UNK aliyeshindwa kuokoa mpira langoni kwao dakika ya sitini na nne prisons walifanya shambulizi la nguvu UNK bao la kusawazisha kupitia kwa john matei aliyepokea pasi kutoka kwa ismail suleiman na kuukwamisha mpira wavuni kutoka songea mhaiki andrew anaripoti kuwa majimaji ya songea jana ilibanwa mbavu na manyema rangers ya dar es salaam na kutoka suluhu katika mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa majimaji mjini songea timu zote zilionesha mchezo mzuri huku kila timu ikikosa mabao hata hivyo kazi kubwa ilikuwa kwa mabeki wa timu zote kuhakikisha nyavu zao UNK baada ya kulazimishwa sare ya bao moja moja na timu ya azam fc kocha mpya wa yanga mserbia kostadic papic hakuridhishwa na matokeo hayo na kwamba anahitaji muda zaidi kuijenga timu hiyo mbali na hilo pia amesema timu hiyo ilicheza chini ya kiwango katika kipindi cha pili tofauti na ilivyoanza kipindi cha kwanza na kupelekea UNK kwa bao hilo akizungumza mara baada ya kumalizika kwa mchezo huo juzi kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam ambapo yeye na kocha wenzake dusan kondic walikaa jukwaani UNK timu yao papic alisema licha wameambulia pointi moja katika mchezo huo lakini matokeo hayo hakuridhishwa nayo najua pointi moja katika kila mechi ina umuhimu wake kuliko kupoteza kabisa lakini ingekuwa vizuri kama UNK pointi zote tatu hivyo nimeona mapungufu mengi na sina budi kupewa muda wa kuyafanyia kazi alisema papic alisema kukitengeneza kikosi na UNK kama anavyotaka si kitu rahisi hivyo wachezaji UNK na yeye wanatakiwa UNK muda wa kujipanga kwa kutengeneza timu yenye mafanikio lakini katika mchezo huo baadhi ya wachezaji wa kikosi cha kwanza kama nurdin bakari mrisho ngassa jerson tegete boniface ambani na joseph owino hawakuonekana uwanjani bila ya kutolewa taarifa zozote alipoulizwa msemaji wa timu hiyo louis sendeu juu ya wachezaji hao alisema wanaumwa ambapo baadhi yao wanasumbuliwa na homa na wengine ni majeruhi lakini wote wanaendelea vizuri akiizungumzia mchezo huo sendeu naye alikiri kwamba wachezaji wao walicheza chini ya kiwango kipindi cha pili na kuwapa nafasi wapinzani wao kusawazisha hivyo kwa mujibu wa kocha watalifanyia kazi yanga kwa sare hiyo ipo katika nafasi ya tatu sawa na timu za azam na mtibwa sugar ila zinatofautina kwa mabao ya kufunga ambapo azam inaongoza kwa mabao kumi na tano yanga mabao kumi na mbili na mtibwa mabao kumi na moja UNK jkt ruvu mabao nne moja UNK yanga z bar kesho bado yanga bado yanga ndivyo mashabiki wa simba walivyokuwa wakiimba jana baada ya kuirarua jkt ruvu kwa mabao nne moja katika mfululizo wa mechi za ligi kuu tanzania bara mchezo uliopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam kwa ushindi huo simba imezidi kuchanja mbuga katika msimamo wa ligi hiyo kwa kufikisha pointi ishirini na nne pointi tisa zaidi ya timu za azam fc yanga na mtibwa sugar zenye pointi kumi na tano kila moja katika mchezo wa jana timu zote zilianza kwa kasi lakini simba ndio iliyokuwa ya kwanza kufanya shambulizi la nguvu dakika ya kumi na tano baada ya mussa hassan mgosi kushindwa kukwamisha mpira wavuni kutokana na krosi ya uhuru seleman dakika saba baadaye jkt ilijibu shambulizi hilo kupitia kwa hussein bunu baada ya kushindwa UNK krosi ya amosi mgisa akiwa katika nafasi ya kufunga dakika ya ishirini na saba seleman wa simba iliifungia timu yake bao la kuongoza kutokana na uzembe uliofanywa na kipa shaaban dihile na beki wake david minja kushindwa kuondosha mpira haraka na kumkuta mfungaji aliyeukwamisha wavuni kirahisi jkt ikiwa bado inatafakari dakika moja baadaye ikajikuta ikifungwa bao la pili lililofungwa na emmanuel okwi baada ya joseph owino na mgosi kuonana vizuri na kumpasia mfungaji zikiwa zimebaki dakika mbili kabla ya mapumziko damas makwaya aliifungia bao pekee jkt kwa shuti nje ya kumi na nane na kutinga moja kwa moja wavuni akimwacha kipa juma kaseja asijue la kufanya kipindi cha pili kilianza kwa kasi kwa kila timu kufanya mashambulizi lakini ramadhani chombo redondo wa simba aliifungia timu yake bao la tatu kwa kichwa akiunganisha krosi ya seleman na dakika ya sabini na nane mgosi alipigilia msumari wa mwisho kwa jkt akiunganisha pasi ya okwi baada ya kuachia shuti la kushoto lililomshinda dihile katika hatua nyingine simba inatarajia kuondoka kesho kwenda zanzibar kujiandaa na mchezo wa watani wao wa jadi yanga mchezo utakaopigwa oktoba thebathini na moja uwanja wa uhuru dar es salaam kwa mujibu wa taarifa zilizolifikia majira wakati linakwenda mitamboni timu hiyo inatarajiwa kurudi dar es salaam ijumaa tayari kwa mchezo wao wa jumamosi dhidi ya azam na kisha kurudi zanzibar simba juma kaseja salum kanoni juma jabu kelvin yondani joseph owino UNK echesa uhuru seleman dan mrwanda mohamed banka mussa hassan mgosi emmanuel okwi na ramadhan chombo davis naftari jkt shaaban dihile damas makwaya kessy mapande shaibu UNK george minja boniface mwakamele hassan UNK haruna addolf bakari kondo UNK UNK amos mgisa oscar UNK hussein bunu na UNK manyasi kocha mkuu wa timu ya simba mzambia patrick phiri ametamba kwamba hakuna timu itakayoweza kuifunga timu yake baada ya kuirarua jkt ruvu mabao nne moja na kwamba wapo tayari kuivaa yanga wakati wowote kuanzia sasa kwa ushindi huo wa juzi simba imezidi kuweka rekodi kwa kushinda michezo minane mfululizo bila kufungwa ambapo sasa imefikisha pointi ishirini na nne pointi tisa nyuma ya timu za azam fc yanga na mtibwa sugar zenye pointi kumi na tano kila moja akizungumza kwa furaha mara baada ya kumalizika kwa mchezo huo juzi kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam phiri alisema anajisikia furaha baada ya kuibuka na ushindi mnono kwa timu ngumu kama jkt hakutarajia kama atashinda idadi kubwa ya mabao hayo alisema kutokana na ugumu wa timu hiyo hasa ilipotoka sare ya mabao mbili mbili na yanga ilikuwa UNK usingizi lakini baada ya kuichapa sasa anadhani timu yake ipo kamili kuumana na timu yoyote katika ligi hiyo siamini kama UNK mabao mengi kiasi kile jkt ruvu ni timu ngumu sana katika ligi hii hivyo ushindi mnono tulioupata kutoka kwao UNK ari na kasi wachezaji wangu kufanya vizuri zaidi katika michezo ijayo alisema phiri aliyekuwa meneja wa uwanja wa taifa na uhuru charles massanja amefariki dunia usiku wa kuamkia jana nyumbani kwake kimara dar es salaam baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba yake akizungumza dar es salaam jana kaimu katibu mkuu wa wizara ya habari utamaduni na michezo gasper UNK kwa niaba ya serikali alisema wamesikitishwa na kifo hicho cha gafla cha mfanyakazi mwenzao UNK alisema kwa mujibu wa taarifa ambazo wamezipata massanja UNK na ukuta hali iliyosababisha kuvunjika kwa mguu ambapo ndugu na jamaa walijitahidi kuokoa maisha yake kwa kumkimbiza hospitali lakini baadaye UNK mwili wa marehemu massanja kwa sasa umehifadhiwa katika hospitali ya taifa ya muhimbili na taratibu nyingine tutazidi kuwajulisha ila kwa taarifa za awali ndizo hizo alisema UNK alisema wizara imeunda timu maalumu UNK shughuli nzima ya mazishi kwa kushirikiana na ndugu na jamaa za marehemu ili kufanikisha msiba ambao leo mwili wa marehemu unatarajiwa kuagwa na kesho UNK nyumbani kwao urambo tabora kwa maziko jua lini atazikwa na wapi massanja alizaliwa miaka hamsini na mbili iliyopita urambo tabora na kupata elimu ya sekondari katika shule za itaga mjini tabora na minaki jijini dar es salaam kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na mbili mpaka elfu moja na mia tisa na sabini na saba na baadaye kuendelea na elimu ya juu kwa kupata shahada ya uzamili wa physical education nchini cuba mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nane enzi za uhai wake massanja aliwahi kufanya kazi na miaka yake katika mabano za ofisa michezo daraja la kwanza meneja wa uwanja wa taifa na uhuru katibu mkuu msaidizi wa chama cha mpira wa miguu tanzania enzi hizo kikijulikana fat ofisa michezo idara ya mendeleo na michezo na kocha mkuu wa timu ya african sports ya tanga naye gladness mboma anaripoti kuwa mhazini wa chama cha mapinduzi amos makalla ambaye ndiye mtu wa mwisho kushikana mkono na meneja wa uwanja wa uhuru UNK masanja uwanjani juzi akimtaka kukaa jukwaa kuu amesema shirikisho la mpira wa miguu tanzania limepoteza mtu muhimu sana akizungumza dar es salaam jana bwana makalla alisema alishtuka alipoelezwa kuwa masanja amefariki dunia wakati UNK naye mikono juzi uwanjani akimlazimisha kukaa kwenye jukwaa la wageni rasmi siamini macho yangu kama masanja amefariki juzi nilipoingia uwanjani alinishika mkono akaniambia kuwa siku zote UNK kukaa kwa UNK leo ni lazima nikae maeneo ya waheshimiwa mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema UNK amina kocha mkuu wa timu ya jkt ruvu ya pwani charles kilinda amesikitishwa na kichapo kikubwa walichopata toka kwa simba cha mabao nne moja sasa anatarajia kuwajenga wachezaji wake kisaikolojia ili UNK michezo zaidi kichapo hicho kutoka kwa simba kimewafanya wachezaji wa jkt kutoka uwanjani vichwa chini wakiwa hawana furaha kitendo ambacho kilinda alidai UNK na kichapo hicho akizungumza kwa huzuni mara baada ya kumalizika kwa mchezo huo uliopigwa juzi uwanja wa uhuru dar es salaam kilinda alisema hakutarajia kama wangefungwa mabao mengi kiasi kile wao kama kufungwa hufungwa si zaidi ya mabao mawili alisema kutokana na kichapo hicho atalazimika kuwajenga kisaikolojia wachezaji wake kwani UNK kama wangefungwa mabao mengi hivyo kama akishindwa kuwajenga wakati huu watazidi kupoteza mwelekeo katika ligi hiyo UNK kufungwa mabao mengi kama yale na ndio maana hata wachezaji wangu mpira ulipomalizika walionekana kuwa na huzuni kitu ambacho kama kocha UNK hivyo sina budi kukifanyia kazi alisema kilinda alisema lazima UNK kisaikolojia wachezaji hao kabla ya kukutana na manyema rangers jumatano mchezo ambao pia unatarajiwa kuwa mgumu kwao jkt hadi sasa ipo katika nafasi ya nane kwa kufikisha pointi nane kutokana na kucheza michezo minane jambo ambalo ni tofauti na kasi iliyoanza nayo shirikisho la mpira wa miguu tanzania kupitia kamati yake ya mashindano UNK maisha waamuzi waliochezesha mchezo namba ishirini kati ya majimaji na mtibwa sugar kwa tuhuma za rushwa bila kuweka wazi adhabu ya waliotoa rushwa hiyo waamuzi hao ni othman kazi omary UNK na omari mfaume wa dar es salaam na UNK tambwe wa songea ambao kabla ya adhabu hiyo tayari waliondolewa katika UNK ya waamuzi wanaochezesha ligi kuu tanzania bara akizungumza dar es salaam jana ofisa habari wa tff florian kaijage alisema maamuzi hayo yamefikiwa katika kikao cha kamati hiyo kilichokutana juzi jumatatu alisema baada ya kamati maalumu iliyoundwa kujadili kwa kina tuhuma za rushwa dhidi ya waamuzi hao kamati hiyo UNK baadhi ya watu wakiwemo waamuzi hao ambao walikiri kupokea rushwa ya shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri sifuri kaijage alisema kutokana na waamuzi hao kukiri kupokea pesa hizo kamati hiyo imefikia maamuzi ya kuwafungia maisha kutojihusisha na mpira wa miguu adhabu hiyo imeanza rasmi jana kaijage alisema pia kamati hiyo baada ya UNK katibu wa chama cha waamuzi mkoa wa ruvuma rashid UNK na katibu wa kamati ya waamuzi wa mkoa huo juma daud pia wamefungiwa kujihusisha na mpira wa miguu kwa muda wa miaka mitano kuanzia jana alisema pia kutokana na kamati hiyo kushindwa kuihusisha klabu ya majimaji moja kwa moja katika sakata hilo wamepewa onyo kali pamoja na faini ya shilingi milioni kumi ambayo wanatakiwa kulipa kabla ya kuanza mzunguko wa pili kamati hiyo imeshindwa kubainisha wazi wahusika wakuu waliotoa rushwa hiyo kwani kwa mujibu wa maelezo ya kaijage timu ya majimaji UNK moja kwa moja kwani taarifa ya maandishi ya katibu wake haikukubali wala kukanusha madai hayo nao katibu wa chama cha waamuzi na kamati ya waamuzi wamepewa adhabu kutokana na kuonekana kuwa karibu sana na waamuzi hao walipokuwa mjini songea lakini kimsingi kamati hiyo imeshindwa kuwataja wahusika waliotoa rushwa hiyo kaijage alisema adhabu hizo zimetolewa kwa mujibu wa kanuni ishirini na sita ya tff na kanuni ya nidhamu ya fifa kifungu cha sitini na mbili toleo la mwaka huu na pesa zilizotolewa na waamuzi hao kama ushahidi UNK risiti na kuingizwa katika mapato ya tff timu ya manchester united leo itashuka katika uwanja wa ugenini kwenye mechi ya ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya cska moscow huku ikiwa haina wachezaji wake watano wakongwe mshambuliaji wa england wayne rooney winga ryan giggs mchezaji kutoka korea kusini park ji sung darren fletcher na patrice evra wote wamebakia manchester wakati timu UNK kwenda russia jumatatu mtandao wa united UNK rooney UNK kisigino wakati akichezea timu ya taifa ya england katika mechi ya michuano ya kuwania kufuzu fainali za kombe la dunia afrika kusini ishirini moja sifuri dhidi ya ukraine na bado hajawa fiti giggs alicheza katika mechi dhidi ya bolton jumamosi lakini aliumia katika mechi hiyo ambayo united ilishinda mabao mbili moja evra naye aliumia katika mechi dhidi ya bolton huku fletcher na park nao walikosa mechi ya old trafford united iko juu katika UNK kwenye kundi b ikiwa imepata pointi zote kwenye mechi mbili za awali huku cska ikiwa imepata pointi moja na kupoteza moja mamia ya wadau wa michezo nchini jana walijitokeza kuuaga mwili wa marehemu meneja wa uwanja wa taifa na uhuru charles massanja aliyefariki dunia usiku wa kuamkia juzi nyumbani kwake kimara dar es salaam baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba yake marehemu massanja UNK na viongozi mbalimbali wa serikali vyama vya michezo viongozi wa klabu na wadau wengine michezo ambapo mwili wake unatarajiwa kusafirishwa leo kwenda nyumbani kwao urambo tabora kwa maziko akiongoza mamia ya waombolezaji yaliyofanyika uwanja wa uhuru dar es salaam naibu waziri wa habari utamaduni na michezo joel bendera alisema massanja alikuwa kiongozi mwenye nidhamu asiyependa makuu alisema kifo chake cha gafla kimewashtua wadau wengi wa michezo na pengo UNK ni kubwa kwani alikuwa ni miongoni mwa wataalamu wachache katika sekta ya michezo hapa nchini UNK uwezo wa massanja tangu zamani ila UNK mungu UNK zaidi ndiyo maana amemchukua hivyo hatuna budi kumwombea kwa mungu ili ailaze roho yake mahali pema peponi alisema bendera naye mwenyekiti wa baraza la michezo la taifa idd kipingu akimzungumzia massanja alisema marehemu alikuwa akifanya kazi katika eneo nyeti na aliweza kulimudu bila matatizo yoyote kwa kushirikiana na watu vizuri bila malalamiko ya hapa na pale aliwaomba viongozi wa vyama vya michezo UNK massanja kwa kuiga yale mazuri ambayo alikuwa akiyafanya likiwemo la nidhamu ambalo ndilo UNK UNK miongoni mwa wadau wa michezo kwa upande wake rais wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania leodgar tenga alisema wao ndiyo wadau wakubwa wa soka hapa nchini ambao wamesikitishwa na kifo hicho cha gafla kwani alijitolea maisha yake katika soka na mtu hawezi kuzungumzia maendeleo ya soka bila UNK jina lake massanja alizaliwa miaka hamsini na mbili iliyopita urambo tabora na kupata elimu ya sekondari katika shule za itaga mjini tabora na minaki jijini dar es salaam kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na mbili mpaka elfu moja na mia tisa na sabini na saba na baadaye kuendelea na elimu ya juu kwa kupata shahada ya uzamili wa physical education nchini cuba mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nane enzi za uhai wake massanja aliwahi kufanya kazi na miaka yake katika mabano za ofisa michezo daraja la kwanza meneja wa uwanja wa taifa na uhuru katibu mkuu msaidizi wa chama cha mpira wa miguu tanzania enzi hizo kikijulikana fat ofisa michezo idara ya mendeleo na michezo na kocha mkuu wa timu ya african sports ya tanga kivumbi cha ligi kuu ya tanzania bara kinatarajiwa kuendelea tena leo kwenye viwanja vitatu tofauti ambapo macho na masikio yataelekezwa kwenye uwanja wa turiani mjini morogoro ambapo wenyeji mtibwa sugar wataikaribisha toto african ya mwanza na uhuru jijini dar es salaam manyema rangers wataumana na jkt ruvu ya pwani mashabiki na wapenzi wa soka hasa wa timu za yanga na azam fc watakuwa na kiu kubwa ya kujua matokeo ya mchezo kati ya mtibwa na toto kutokana na timu hizo pamoja na mtibwa kuwiana kwa pointi kumi na tano ila zinatofautiana kwa mabao ya kushinda mtibwa itashuka uwanjani ikiwa na ari nzuri kutokana na mchezo wake wa mwisho dhidi ya moro united kuibuka na ushindi wa mabao mbili moja na kufufua matumaini ya kuendeleza wimbi la ushindi kama ilivyoanza katika michezo yake ya awali timu hiyo kwa sasa inanolewa na kocha msaidizi mecky mexime baada ya kocha mkuu salum mayanga kwenda kusoma nje ya nchi ambayo itataka kuendeleza wimbi la ushindi ili izidi kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo na UNK vumbi yanga na azam kwa kukwea nafasi ya pili kwani itakuwa imefikisha pointi kumi na nane toka nafasi ya nne nayo toto haitakubali kufungwa kirahisi kwani imeonekana kupoteza mwelekeo hasa baada ya kuwa kichwa cha mwendawazimu ambapo mpaka sasa haijashinda mchezo wowote katika ligi hiyo zaidi ya kutoka sare mara nne na kusababisha kushika mkia shughuli nyingine UNK uwanja wa uhuru pale manyema mkuki wa moyo UNK msuli na jkt katika mchezo utakaokuwa na ushindani mkubwa kutokana na matokeo mabaya ya timu zote mbili katika michezo yao ya mwisho manyema wao walilazimisha suluhu kwa majimaji ya songea katika mchezo uliopigwa uwanja wa majimaji mjini songea na jkt wao walipokea kipigo cha mabao nne moja kutoka kwa vinara wa ligi hiyo simba kipigo hicho cha jkt UNK timu hiyo na kusababisha kocha mkuu wake charles kilinda kuahidi kuwajenga kisaikolojia wachezaji wake kabla ya mchezo huo ili wasizidi kupoteza mechi zaidi mchezo wa mwisho utapigwa kwenye uwanja wa kumbukumbu wa sokoine jijini mbeya ambapo wenyeji prisons itawakaribisha kagera sugar katika mchezo ambao timu zote zinahitaji kushinda ili UNK mazingira mazuri kutokana na nafasi UNK prisons ipo nafasi ya kumi na moja na kagera ya tano timu ya real madrid usiku wa kuamkia jana UNK machungu ya kufungwa ikiwa nyumbani baada ya kukubali kipigo cha mabao tatu mbili kutoka kwa ac milan katika mechi ya klabu bingwa ulaya huku chelsea UNK kipigo kikali cha mabao nne sifuri dhidi ya atletico madrid na manchester united wakiibuka na ushindi mwembamba ugenini wa bao moja sifuri dhidi ya cska kwa upande wa manchester united UNK UNK hadi dakika ya themanini na sita wakati antonio valencia UNK mashabiki wao kwa kufunga bao pekee dhidi ya cska moscow nchini urusi katika mechi hiyo ya kundi b wakati manchester united wakiibuka na ushindi huo mwembamba wapinzani wao katika michuano ya ligi kuu chelsea wao walikuwa UNK karamu ya magoli kwenye uwanja wao wa stamford bridge jijini london baada ya UNK atletico madrid kwa mabao nne sifuri katika uwanja wa stamford bridge chelsea UNK raha mashabiki wao kutokana na kipigo walichopata katika ligi kuu england salomon kalou aliifungia chelsea bao la kwanza kabla ya mapumziko kwa kuunganisha mpira wa krosi uliopigwa na ashley cole ikiwa bila mshambuliaji wake raia wa ivory coast didier drogba chelsea iliandika bao lake la kwanza kupitia kwa mshambuliaji wake solomon UNK ligi kuu tanzania ya vodacom iliendelea tena jana katika uwanja wa uhuru dar es salaam ambapo timu za manyema fc mkuki wa sumu na maafande wa jkt ruvu UNK pointi baada ya kutoka sare ya mabao mbili mbili kwa matokeo hayo manyema sasa pointi kumi na moja huku jkt nayo ikijikusanyia pointi tisa na kushika nafasi ya nane na kuishusha majimaji nafasi ya nane lakini manyema inabaki katika nafasi ya sita katika msimamo wa ligi hiyo ambayo inaongozwa na simba yenye pointi ishirini na nne mechi ya jana ilianza kwa timu zote kushambuliana kwa zamu ambapo jkt ilishindwa kufunga bao dakika ya kumi na moja baada ya UNK maganga kushindwa krosi iliyochongwa na bakari kondo hata hivyo manyema ilijibu shambulizi hilo kwa nguvu na kufanikiwa kufunga bao la kuongoza dakika ya ishirini na sita baada ya benedict ngassa kupokea pasi ya ally mohamed ambapo mfungaji UNK mbio george minja na kupachika bao hilo kimiani jkt ruvu ilisawazisha bao hilo dakika ya arobaini na nne lililowekwa kimiani na oscar UNK baada ya kuunganisha krosi ya sosthenes manyasi kipindi cha pili kilianza kwa nguvu ambapo manyema ilipata bao la pili dakika ya hamsini kwa mkwaju wa penalti ambayo iliyotolewa na mwamuzi livingstone UNK baada ya kipa shaibu ally wa jkt kumzuia ngassa kwa mikono wakati akienda kufunga jkt baada ya kufungwa bao hilo ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha bao hilo dakika ya themanini na mbili lililofungwa na kessy mapande kwa mkwaju wa penalti baada ya UNK rajabu aliyeingia badala ya maganga kuangushwa ndani ya eneo la hatari na daud paul yapinga adhabu ya akina odhiambo rufani za mara kwa mara UNK uongozi wa klabu ya yanga unadai kuhujumiwa na watu wenye malengo ya kuidhoofisha timu yao kwa kuwafungia wachezaji wake ambao UNK la timu hiyo katika michezo iliyobaki juzi kamati ya mashindano ya tff iliwafungia wachezaji moses odhiambo na amiri maftar kucheza michezo mitatu lakini yanga wamekata rufani kupinga adhabu hiyo huku UNK kukerwa na rufani hizo za mara kwa mara akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa klabu hiyo lawrance mwalusako alisema kufungiwa kwa wachezaji hao ni njama ya baadhi ya watu ambao hakuweka wazi ni kina nani ila alidai ni watu ambao hawaitakii mema yanga katika michezo hiyo iliyobaki mwalusako alisema rufani yao ni kupinga adhabu hiyo kwani wanadai kuwa wachezaji hao UNK na mwamuzi yeyote katika mchezo huo ndani wala nje ya uwanja kuwafungia wachezaji kama hawa ambao kwa sasa ndiyo tegemeo la timu hiyo ni sawa na kuitakia mabaya yanga kwani kuna baadhi ya watu wana nia ya kutaka yanga ifanye vibaya katika michezo yake iliyobaki kuwakosa odhiambo na maftar katika timu ni pengo kubwa alisema mwalusako alisema pamoja na wachezaji hao kupinga kufanya kitendo hicho lakini pia kamati hiyo UNK haki katika kutoa hukumu kwa wachezaji hao kwani kitendo hicho UNK mbele za watu bali ni kitu ambacho UNK watu wachache hivyo wachezaji hao walitakiwa kuitwa na kuhojiwa kitu ambacho UNK mashaka ni jinsi ripoti ya mwamuzi UNK na ya kamisaa kwa kitendo ambacho kilitokea nje ya uwanja kwani inaonesha kamisaa hakuwepo maeneo ya tukio lakini inakuaje ripoti zao UNK hapa tuna mashaka kuna mipango ilipangwa katika adhabu hiyo alisema mwalusako mwalusako alisema kutokana na matukio hayo wamekuwa wakizungumza na wachezaji wao kila siku ili kuzingatia nidhamu ndani na nje ya uwanja kwani mchezo huo unahitaji nidhamu ya hali ya juu sana imefikia mahali UNK sana na kukata rufani mara kwa mara hivyo kuanzia sasa tumeweka kanuni ambayo endapo kama mchezaji atafanya kosa la makusudi na kusababisha kufungiwa na kupigwa faini ambayo UNK hasara klabu UNK katika mshahara wake alisema mwalusako alisema suala hilo UNK kwa lengo la kuwafanya wachezaji kuwa makini zaidi na nidhamu ili kujiepusha na watu ambao wamekuwa UNK muda mrefu kwa lengo la kuivuruga yanga timu ya moro united leo itaweza UNK tena mabingwa wa soka tanzania bara yanga katika mbio zake za kuutetea ubingwa wake waliochukua kwa misimu miwili UNK moro itakutana na mabingwa hao katika mfufulizo wa mechi za ligi itakayochezwa katika uwanja wa uhuru dar es salaam huku yanga wakiwa na kumbukumbu ya kulazimishwa sare ya bao moja moja na azam katika mchezo wake wa mwisho yanga wanaoshikilia nafasi ya nne katika msimamo wa ligi hiyo wakiwa na pointi kumi na tano sawa na azam UNK mabao ya kufunga wana tofauti ya pointi tisa na vinara wa ligi hiyo simba kabla ya mchezo wao wa jana mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na timu hizo kujiwinda kwa muda mrefu kuhakikisha wanaibuka na ushindi ili kujiweka katika nafasi nzuri ya msimamo wa ligi hiyo moro united wataingia uwanjani wakitokea mafichoni kwa ajili ya mchezo huo huku wakiwa na lengo la kutopoteza mchezo huo baada ya kupoteza mchezo uliopita dhidi ya mtibwa kwa kufungwa bao moja sifuri nyumbani kwa upande wa yanga ambao watakuwa na pigo baada ya kufungiwa wachezaji wake wa kutumainiwa wawili amir maftar na moses odhiambo kutokana na utovu wa nidhamu lakini wameapa kuibuka na ushindi katika mchezo huo akizungumzia mchezo huo kocha mkuu wa timu hiyo kostadin papic ambaye mchezo huo utakuwa ni wa pili kwake alisema kutokana na marekebisho aliyoyafanya wiki moja ana matumaini ya kuibuka na ushindi katika mchezo huo katika kipindi hiki kifupi UNK kurekebisha matatizo madogo madogo ambayo naamini kuwa yatakuwa chachu ya ushindi katika mchezo wa leo na inayofuata kwani uwezo wa wachezaji kufanya hivyo wanao walikosa vitu kidogo sana alisema papic kocha huyo aliyechukua mikoa kutoka kwa mserbia mwenzake dusan kondic alidai katika mchezo wa leo wapenzi wa yanga wataanza kuona matunda yake kwani wachezaji wameanza kuelewa mafundisho yake kesho ndio watu wataanza kuiona yanga mpya sio ile UNK siku zilizopita nashukuru kile UNK kimeanza kuonekana mazoezini leo wataona uwanjani alisema ligi hiyo inatarajia kuendelea tena kesho kwa mchezo mmoja kati ya maafande wa jkt ruvu na toto african ya mwanza katika uwanja wa uhuru dar es salaam bao pekee la kujifunga dakika ya ishirini na nne beki aggrey morris wa azam fc UNK simba kujiimarisha kileleni mwa ligi kuu ya vodacom iliyochezwa kwenye uwanja wa taifa dar es salaam jana katika mchezo huo timu zote zilionesha kandanda safi huku zikishambuliana kwa zamu na sehemu ya kiungo ikionekana kutumika zaidi kwa pande zote mbili hali iliyosababisha mchezo huo kuwa mgumu zaidi UNK okwi wa simba alikuwa wa kwanza kubisha hodi langoni mwa azam dakika ya ishirini na tatu kwa kupiga shuti lililotemwa na kipa vladimir niyonkuru na mpira kuwa kona iliyopigwa na hilary echessa na kusababisha beki morris kujifunga akiwa katika harakati za kuokoa mpira huo azam ilitulia na kufanya shambulizi la nguvu dakika ya thebathini na tisa kupitia kwa dan wagaruka aliyepiga krosi safi iliyoshindwa UNK na john bocco adebayor na nsa job wakiwa katika nafasi nzuri ya kufunga kipindi cha pili kilianza kwa kasi huku kila timu ikifanya mashambulizi ya nguvu lakini dakika ya sabini na mbili yahaya tumbo aliyeingia badala ya said sued aliunganisha kwa kichwa mpira wa krosi uliopigwa na wagaruka na kugonga mwamba wa juu na kutoka nje zikiwa zimesalia dakika saba kabla ya mchezo kumalizika bocco nusura UNK azam bao kwa kichwa kufuatia kuunganisha krosi ya wagaruka lakini kipa juma kaseja UNK mpira huo simba iliamka dakika ya themanini na tano na kufanya shambulizi la nguvu kupitia kwa ramadhani chombo redondo UNK shuti nje ya eneo la hatari lakini kipa niyonkuru UNK shuti hilo na mabeki kuondosha hatari langoni mwao simba juma kaseja salum kanoni juma juma joseph owino juma said mohamed banka haruna moshi hilary echessa musa hassan uhuru seleman emmanuel okwi mohamed kijuso na dan mrwanda ramadhan chombo azam vladimir niyonkuru ibrahim UNK shaaban kisiga mau ally erasto nyoni aggrey morris salum sued ibrahim mwaipopo dan wagaruka salum abubakari john bocco nsa job na said sued yahaya tumbo simba kwa ushindi huo UNK pointi ishirini na saba baada ya kushinda mechi tisa na kuendelea kukalia kiti cha uongozi wa ligi hiyo wakati azam fc kabla ya matokeo ya leo imeendelea kuwa ya tatu katika msimamo huo kwa kuwa na pointi kumi na tano katika mechi tisa UNK kutoka songea mwandishi mhaiki andrew anaripoti kuwa wenyeji majimaji jana UNK vizuri uwanja wao wa majimaji baada ya kuichapa african lyon ya jijini dar es salaam mabao mbili moja na katika mechi ya ligi kuu ya vodacom majimaji walikuwa wa kwanza kupata bao lililofungwa na sixmund mwasekanga dakika ya tisa baada ya mabeki wa african lyon kushindwa kuondoa hatari langoni kwao hata hivyo bao hilo halikudumu sana kwani dakika ya ishirini na tisa yusuf soka alitumia makosa ya mabeki wa majimaji kuisawazishia bao timu yake bao ya african lyon majimaji walifanya shambulizi la nguvu dakika ya sabini na moja ambalo lilizaa matunda kufuatia bao lililofungwa na athuman majani kwa mkwaju wa penalti baada ya kufuatia mwasekanga kuchezewa vibaya ndani ya eneo la hatari kwa matokeo hayo majimaji imefikisha pointi kumi na mbili na kuwa ya tano katika msimamo wa ligi kuu ya vodacom wakati african lyon ikiwa ya kumi na moja katika msimamo wa ligi hiyo kwa kujikusanyia pointi saba kesho kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam jkt ruvu itaumana na toto african ya mwanza katika mfululizo wa ligi kuu ya vodacom na erasto stanslaus ile siku ya kukata ngebe za wapenzi wa simba na yanga imewadia wakati wababe hao wa soka nchini UNK uwanjani kesho katika uwanja wa taifa dar es salaam mchezo huo unaotarajiwa kuwa na kila aina ya vivutio na ufundi ni katika mfululizo wa ligi kuu tanzania bara msimu wa ishirini sifuri nane tisa yanga ambao tayari wameshatwaa ubingwa wa ligi hiyo wataingia uwanjani wakiwa na lengo la kusaka heshima ya kutofungwa na watani wao wa jadi simba timu hiyo UNK na uteja uliodumu kwa miaka saba kwa simba oktoba ishirini na sita mwaka jana katika UNK ya mzunguko wa kwanza ambapo iliibuka na ushindi wa bao moja sifuri katika mchezo uliopigwa uwanja wa taifa dar es salaam hivyo ushindi UNK na yanga kesho ni mwendelezo wa kutaka kulinda heshima ya ushindi wa mwaka jana mbali na utani wa jadi wa timu hizo lakini mchezo huo ni muhimu zaidi kwa simba ambao wanasaka kwa udi na uvumba nafasi ya pili ili ishiriki michuano ya shirikisho na pia kulipa kisasi cha kufungwa mwaka jana kabla ya mchezo huo wa kesho simba ipo katika nafasi ya pili kwa kuwa na pointi thebathini na sita ikiwa UNK na mtibwa sugar yenye pointi thebathini na mbili ambayo nayo inawania nafasi ya pili endapo simba UNK simba kama wakipoteza mchezo huo watakuwa katika hatihati ya kucheza michuano hiyo ya kimataifa kwani UNK matokeo ya mtibwa sugar ambao wanamichezo miwili nyumbani kama ilivyo ada pindi timu hizi zinapokutana kunakuwa na vituko vya hapa na pale zikiwemo tambo za wachezaji na viongozi wa timu hizo yanga ambao wametangaza vita na simba kutokana na timu hiyo kuhesabu pasi za al ahly na kuishangilia kwa nguvu katika mechi ya ligi ya mabingwa ambapo waarabu hao waliibuka na ushindi wa bao moja sifuri mwenyekiti wa yanga imani madega alitamka wazi kutangaza vita na simba kutokana na kuishangilia ahly na kudai atahakikisha UNK UNK nafasi ya pili kwa kuwafunga katika mechi ya kesho madega alisema pamoja na kutwaa ubingwa huo lakini wanachotaka ni UNK ulimwengu kuwa kutwaa ubingwa huo mara mbili mfufulizo hawakubahatisha wakati madega akitangaza vita hiyo simba nayo imejipanga kuhakikisha mchezo huo wanapata tiketi ya kucheza michuano hiyo ya kimataifa kupitia kwa kuifanya yanga daraja akizungumza hivi karibuni katibu mkuu wa simba mwina kaduguda aliwataka yanga wasiingie mitini mwina kaduguda alisema kesho yanga haina ujanja wa kuingia mitini kama walivyofanya mwaka jana katika mashindano ya kombe la kagame kaduguda alisema yanga walibahatisha kuibuka na ushindi katika mzunguko wa kwanza ila kesho ndiyo mwisho wa majigambo yao kwa kuwa katika mechi hiyo hawana ujanja tena wakati viongozi hao UNK hali imekuwa tofauti kwa upande wa makocha wa timu hizo ambao wameonekana kuwa na hofu juu ya mchezo huo kocha mkuu wa simba mzambia patrick phiri alisema mchezo huo ni mgumu na si UNK kama watu wanavyofikiria phiri alisema mchezo huo ni mchezo wa ushindani ambao kwao ni muhimu zaidi ya wenzao kwani wanataka kujihakikishia nafasi ya kushiriki michuano ya kombe la caf mwakani najua timu hizi zinapokutana hali inakuaje hasa baada ya kupoteza mchezo wa mzunguko wa kwanza lakini pia ugumu utazidi kutokana na ubora wa wapinzani wetu na nafasi UNK sisi katika msimamo wa ligi hiyo alisema phiri alisema yanga ni timu nzuri lakini tayari UNK kupitia baadhi ya michezo yake na kugundua mbinu zake hivyo UNK kuhakikisha wanaibuka na ushindi katika mchezo huo nafahamu yanga ina kikosi kizuri katika msimu huu lakini nitatumia muda uliobaki kuwanoa wachezaji wangu na kuwapa mbinu za kuwaua wapinzani wetu jumapili alisema phiri alisema katika mchezo huo lolote linaweza kutokea ila kwa upande wao wanatarajia kuibuka na ushindi katika mchezo huo na kujiweka pazuri wakati phiri akisema mchezo huo kuwa mgumu kocha mwenzake mserbia dusan kondic naye alisema kuibuka na ushindi katika mchezo huo ni kazi ngumu kondic alisema yanga UNK ushindi katika mchezo huo ili kutwaa ubingwa wa tanzania bara ishirini sifuri nane tisa kwa heshima kubwa bila kuifunga simba ubingwa utakuwa hauna nguvu kabisa hivyo wachezaji watalazimika kuibuka na ushindi ili kujenga heshima zaidi katika msimu huu alisema kondic timu hizo tayari UNK jiji la dar es salaam kwa lengo la kufanya maandalizi ya kina zaidi ambapo simba ipo visiwani zanzibar na yanga wao wapo bagamoyo zinatarajia kurudi jijini siku ya mchezo huo oktoba ishirini na sita mwaka jana yanga ilifanikiwa kuvunja uteja kwa simba baada ya kushindwa kuifunga timu hiyo kwa miaka saba iliyopita ambapo ushindi kwao ulikuwa ni sare liverpool jana iliibuka na ushindi wa mabao mbili sifuri dhidi ya manchaster united matokeo ambayo UNK presha kwa kocha rafa benitez ambaye alikuwa na wakati mgumu baada ya timu yake kufungwa mechi nne kati ya tisa za ligi kuu england ikicheza nyumbani katika uwanja wa anfield liverpool haikuwa na UNK wake steven gerrard kwa kuwa ni majeruhi lakini iliongeza nguvu kwa UNK kwa UNK fernando torres ambaye alifunga goli la kwanza dakika sitini na tano pamoja na beki glenn UNK ambao walikuwa majeruhi ushindi wa liverpool ni wa tatu mfululizo baada ya msimu uliopita kuifunga united katika mechi zote mbili za ligi kuu liverpool imeongeza pointi zake na kufika kumi na nane baada ya kucheza mechi kumi huku united ikiwa imebaki na pointi ishirini na mbili katika nafasi ya pili huku chelsea ikiongoza ligi hiyo kwa kuwa na pointi ishirini na nne liverpool ilionekana kuwa katika kiwango kizuri zaidi ikilinganishwa na wapinzani wake kipa wa united edwin van der sar alifanya kazi ya ziada kwa kuokoa magoli ya wazi kwa mashuti UNK na fabio aurelio na dirk kuyt kabla torres kufunga goli la kwanza baada ya kumtoka rio ferdinand united nayo ilikosa goli wakati antonio valencia alipopiga shuti ambalo UNK mwamba timu zote UNK mechi huku zikiwa na wachezaji kumi uwanjani baada ya nemanja vidic wa united na javier mascherano kuoneshwa kadi nyekundu kila mmoja kutokana na mchezo mbaya liverpool ilipata goli lake la pili katika dakika tisini kupitia kwa mchezaji aliyetokea benchi david ngog ambaye alichukua nafasi ya torres ngog alifunga goli hilo baada ya kupasiwa na kiungo UNK lucas na kisha kupiga shuti ambalo kipa van der sar alishindwa kuokoa UNK nafasi ya pili bao pekee lililofungwa dakika ya thebathini na tatu na beki nurdin bakari liliifanya yanga kutoka kifua mbele dhidi ya moro united kwa bao moja sifuri katika mfululizo wa mechi za ligi kuu ya tanzania bara mchezo uliopigwa jana uwanja wa uhuru dar es salaam kwa ushindi huo yanga imekwea mpaka nafasi ya pili katika msimamo wa ligi hiyo kwa kufikisha pointi kumi na nane sawa na mtibwa sugar ila zinatofautina kwa mabao ya kufunga huku azam fc ikifuatia kwa kuwa na pointi kumi na tano katika mchezo huo wa jana yanga ndiyo iliyokuwa ya kwanza kubisha hodi langoni mwa moro dakika ya ishirini na nne kupitia kwa boniface ambani aliyeshindwa kukwamisha mpira wavuni baada ya kuunganisha krosi ya athuman idd chuji moro ilijibu shambulizi hilo dakika saba baadaye baada ya stephano mwasika kupiga shuti dhaifu lililokwenda moja kwa moja mikononi mwa kipa obrien curkovic baada ya kupokea pasi ya yona UNK baada ya timu hizo kuoneshana kandanda safi kwa kushambuliana kwa zamu dakika ya thebathini na tatu bakari aliifungia yanga bao pekee baada ya kukimbilia pasi ndefu ya chuji na kupiga shuti lililojaa moja kwa moja wavuni huku kipa rajab masoud akishindwa la kufanya yanga iliendelea kuliandama lango la moro ambapo dakika ya thebathini na sita jerson tegete nusura aifungie yanga bao la pili baada ya kuunganisha krosi ya kigi makassy na mpira kugonga mwamba na kurudi uwanjani ambapo mabeki UNK hatari hiyo kipindi cha pili kilianza kwa kasi ambapo dakika ya hamsini na sita mrisho ngassa alipiga shuti nje ya eneo la hatari lakini lilitoka nje sentimeta chache kutoka golini baada ya kupokea pasi ya abdi kassim timu hizo ziliendelea kushambuliana kwa zamu ambapo washambuliaji wa pande zote mbili walishindwa kukamishwa mpira wavuni kwa kushikwa na kigugumizi cha miguu lakini zikiwa zimebaki dakika nane kabla ya mchezo kwisha idd mbaga aliyeingia badala ya ambani nusura afunge bao baada ya shuti lake kudakwa na kipa masoud yanga obrien curkovic shadrack nsajigwa bakari wisdom ndlovu george owino idd mrisho ngassa kassim jerson tegete ambani mbaga na kigi makassy mike barasa moro masoud juma UNK salum UNK oscar joshua soud amour abdallah rashidy ahmad mohamed yusuph mayai said ahmed waziri mahadhi mwasika ndabila na michael raphael hajji UNK timu ya soka ya ruvu shooting juzi iliibuka na ushindi mnono wa mabao tatu sifuri dhidi ya trans camp katika mechi ya ligi daraja la kwanza iliyopigwa uwanja wa chalinze kwa matokeo hayo ruvu shooting itakuwa imetinga hatua ya tisa bora baada ya kufikisha pointi kumi na nane huku ikiwa na mechi mbili mkononi ruvu shooting ilianza UNK bao lake la kwanza katika dakika ya thebathini na sita lililowekwa kimiani na UNK beno baada ya kupokea pande kutoka kwa UNK UNK bao la pili la maafande hao wa ruvu lilipatikana katika dakika ya sabini na mbili na jumanne juma kwa penalti baada ya mshambuliaji huyo kuangushwa eneo la hatari wakati akienda kufunga ruvu shooting ambayo katika mechi ya juzi ilikuwa ikihaha kutaka kutoka uwanjani na ushindi mnono UNK bao lake la tatu dakika za majeruhi lililofungwa na ndauka paul kwa kichwa hata hivyo mchezaji huyo alioneshwa kadi ya njano na mwamuzi wa mchezo huo thomas mkombozi wa kilimanjaro kutokana na kushangilia bao UNK akiwa UNK jezi kocha mkuu wa timu ya taifa ya tanzania taifa stars mbrazil marcio maximo leo anatarajia kutangaza kikosi cha timu hiyo kitakachoivaa mabingwa wa afrika misri mchezo utakaochezwa novemba tano mwaka huu mjini cairo misri mchezo huo ambao ni wa kirafiki wa kimataifa utakuwa maalumu kwa misri kujipima nguvu kabla ya mchezo wao wa mwisho wa kuwania kufuzu kucheza fainali za kombe la dunia ishirini moja sifuri afrika kusini akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania fredrick mwakalebela alisema maximo alitarajia kurejea nchini jana au leo asubuhi akitokea kwao brazil ambapo alikuwa na matatizo ya kifamilia lakini tayari kikosi hicho UNK mapema mwakalebela alisema maandalizi ya kikosi UNK UNK hao yamekamilika na kinachosubiriwa ni kutangaza ili kila mchezaji ajue wajibu wake kabla ya kuingia kambini tunatarajia kikosi UNK kesho kitaingia kambini novemba tatu mwaka huu tayari kwa maandalizi ya mchezo huo ambao pia utakuwa kipimo kwa kikosi chetu kabla ya michuano ya chalenji itakayofanyika mapema mwezi ujao alisema mwakalebela alisema mchezo huo ni mwaliko wa chama cha mpira wa miguu cha misri hivyo gharama zote za mchezo huo zitalipwa na chama hicho kuanzia usafiri malazi usafiri wa ndani pamoja na viwanja vya kufanyia mazoezi tff UNK sana kupata mwaliko huo ambao walikuwa UNK kipindi kirefu cha nyuma zaidi ya miaka miwili kutokana na ubora wa timu hiyo na wanaamini kuwa UNK haki mwaliko huo kwa kuibuka na ushindi alisema mwakalebela mwakalebela alisema kupata mwaliko huo kumetokana na kufanya vizuri kwa kikosi hicho katika michezo ya hivi karibuni ya timu hiyo ikiwemo michuano ya chan na kuifunga sudan kwao pamoja na mchezo wa kirafiki dhidi ya rwanda shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK na viongozi wa klabu za simba na yanga kwa lengo la kujadiliana kuhusu mchezo kati ya miamba hiyo ya soka nchini watani hao wa jadi wanatarajiwa kukutana oktoba thebathini na moja mwaka huu katika uwanja wa taifa kama watafanikiwa maombi yao na wizara ya habari utamaduni na michezo akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema walikuwa na kikao na viongozi hao ikiwa ni pamoja na wizara ili kujadili mchezo huo mwakalebela alisema mchezo huo ni moja kati ya michezo mikubwa katika medani ya soka hapa nchini hivyo kabla ya mchezo kuna mambo mengi ya msingi ya kujadili mchezo huo mchana tuna kikao na viongozi wa klabu ambacho tutajadili mambo mengi ikiwa ni pamoja na uwanja ambao utaenda sambamba na mapato ya uwanja huo kwa kuwa ni tofauti na uwanja wa uhuru alisema mwakalebela alisema mara baada ya kumalizana na klabu hizo wangekuwa na kikao na wizara ambapo pia walitarajia kujadili mambo mbalimbali ya mchezo ikiwa na UNK ya kutumia uwanja wa taifa kesho au keshokutwa tutakuwa na taarifa yenye uhakika baada ya kumaliza vikao na pande hizo mbili juu ya uwanja ambalo ndiyo suala kubwa na mengine yote yatakuwa UNK nyuma alisema alisema jana UNK kuzungumza lolote kutokana na mazungumo ya pande hizo mbili ambazo nao pia wanatakiwa kukubaliana na mazingira ya kutumia uwanja huo ambao unakuwa na mambo tofauti ya uwanja wa uhuru hasa katika UNK wakati huo huo mwakalebela alisema jana kamati ya nidhamu ya tff ilikutana kwa lengo la kujadili rufani ya klabu ya yanga kupinga adhabu ya kufungiwa michezo mitatu wachezaji wake amir maftar na moses odhiambo alisema kamati hiyo inayoongozwa na mwenyekiti wake alfred tibaigana ilitarajiwa kukutana jana jioni na leo wanatarajia kutoa maamuzi ya kikao hicho juu ya rufani hiyo mabingwa wa soka tanzania bara timu ya yanga imetamba kwamba ushindi walioupata dhidi ya moro united wa bao moja sifuri ni salamu tosha kwa wapinzani wao wa jadi simba ambapo UNK kwa kichapo UNK UNK timu hizo nguli nchini zinatarajiwa kukutana jumamosi katika mfululizo wa mechi za ligi kuu ya tanzania mchezo unaotarajiwa kupigwa uwanja wa taifa dar es salaam ambapo kila timu kwa sasa UNK mafichoni yanga wao wanatarajia kuwafuata mahasimu wao simba visiwani zanzibar ambapo watapiga kambi pemba huku simba wakiwa zanzibar ambako wapo kwa mbili sasa akizungumza mara baada ya kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya moro juzi uwanja wa uhuru dar es salaam msemaji wa timu hiyo louis sendeu alisema ushindi walioupata ni salamu tosha kwa simba kwani walikuwa UNK alisema licha ya timu yake kucheza chini ya kiwango katika mchezo huo lakini hizo zilikuwa ni mbinu za kocha mkuu mserbia kosta papic kutotumia nguvu nyingi katika mchezo huo ili hali wana kibarua kigumu katika mchezo unaofuata ndiyo mashabiki wetu walikuwa wakiwazomea baadhi ya wachezaji ambao walionekana kama wamechoka ni sawa kufanya hivyo lakini kubwa sisi UNK UNK ni pointi tatu tu haijalishi ni ushindi wa mabao mangapi UNK alisema sendeu alisema ushindi walioupata utaongeza ari nguvu na kasi kwa wachezaji ambapo wataingia uwanjani wakiwa na kumbukumbu nzuri ya kushinda katika mchezo uliopita na kama wangefungwa UNK ari kwa wachezaji naye papic akizungumzia mchezo huo alisema wachezaji wake wamecheza vizuri kwani wametimiza wajibu wao kwa kuondoka na pointi tatu muhimu hivyo kazi iliyoko UNK yake ni kuhakikisha inaibuka na ushindi dhidi ya simba yanga hadi sasa ipo nafasi ya pili ikiwa imejikusanyia pointi kumi na nane nyuma ya vinara wa ligi hiyo simba yenye pointi ishirini na saba zote zikiwa zimecheza michezo tisa mtibwa sugar nayo ina pointi kumi na nane na azam fc pointi kumi na tano chama cha waandishi wa habari za michezo tanzania UNK mchezaji wa azam fc john boko adebayor kuwa mchezaji bora wa septemba mwaka huu mchezaji huyo UNK wapinzani wenzake wawili waliopendekezwa na jopo la waandishi wa habari kuwania nafasi hiyo akiwemo kocha mkuu wa simba mzambia patric phiri na mwanariadha mary UNK akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa chama hicho mgaya kingoba alisema boko amekuwa mfungaji bora wa magoli katika ligi kuu ya vodacom ambapo aliibuka na ushindi wa kura ishirini sita alisema hadi sasa mchezaji huyo anaongoza kwa kuwa na magoli nane aliyoifungia timu yake mwezi huu akifuatiwa na mchezaji wa jkt ruvu hussein bunu ambaye ana magoli sita kingoba alisema nafasi ya pili ilichukuliwa na phiri ambaye aliteuliwa kuwa kocha bora wa mwezi baada timu yake kufanya vyema katika ligi mwezi huu kwa kupata kura mia moja na tisini na tisa wakati nafasi ya tatu ilichukuliwa na mary naali ambaye alipigiwa kura mia moja na tisini na nne wachezaji wengine waliochaguliwa wachezaji bora wa mwezi mwaka huu ni juma kaseja mwanaidi hassan mbwana samatta adamu abbas UNK UNK hawa UNK mohamed abrahaman na ibrahim shaaban kingoba alisema mchezaji huyo ataungana na wachezaji wenzake walioshinda tuzo za mwezi kwa kuchaguliwa mchezaji bora wa mwaka itakayofanyika mwakani kocha mkuu wa timu ya taifa ya tanzania taifa stars marcio maximo UNK kipa mkongwe aliyewahi kutamba katika miaka ya ishirini sifuri sifuri na timu za coastal union simba na kariakoo lindi mohamed mwalami shilton katika kikosi chake kitakachoivaa misri novemba tano mwaka huu mwalami ambaye kwa sasa anacheza soka la kulipwa katika timu ya UNK ya maputo msumbiji ameitwa kwa lengo la kuongeza nguvu katika kikosi hicho mbali na mwalami pia maximo amewaita wachezaji chipukizi ambao wameonekana kunggara katika ligi kuu tanzania bara ambao ni UNK morris na ibrahim mwaipopo wa azam na said ahmed wa moro united akitangaza majina hayo kocha wa timu ya vijana ya tanzania rodrigo stockler kwa niaba ya maximo ambaye yupo nchini kwao na anatarajia kurudi nchini kesho alisema kuwa katika uteuzi huo wamezingatia nidhamu uwezo wa mchezaji na uwajibikaji aliwataja wachezaji wengine walioteuliwa katika kikosi hicho na timu zao katika mabano ni ali mustapha shabani dihile shabani kado shadrack nsajigwa erasto nyoni na salumu sued nadir haroub david naftar kelvin yondani na juma jabu na stephano mwasika wengine ni nurdin bakari na kigi makasi juma nyoso shabani nditi na UNK amour henry joseph rashid gumbo mwinyi kazimoto na nizar khalfan aliwataja wengine ni mrisho ngassa na jerry tegete mbwana samatta mussa hassan mgosi na danny mrwanda john bocco na zahor pazi kwa upande wa timu ya vijana chini ya miaka kumi na saba na ishirini walioteuliwa ni amani kiata thabiti himid mao thomas emmanuel na yusuph soka alisema kikosi hicho kinatarajia kuingia kambini novemba mosi mwaka huu tayari kwa maandalizi ya mchezo huo na kikosi hicho kinatarajiwa kuondoka nchini novemba nne ligi ya kuu ya tanzania bara inatarajiwa kuendelea tena leo kwa kupigwa mchezo kati ya african lyon itakayoikaribisha azam fc kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam katika mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani timu zote zinamilikiwa na wafanyabiashara wa nafaka na maji ya kunywa ambapo azam fc wanauza maji ya uhai wakati african lyon wana maji ya masafi hivyo upinzani wao wa leo uwanjani utakuwepo hadi katika biashara zao timu zote katika michezo yao ya mwisho UNK pua ambapo lyon walipokea kichapo cha mabao mbili moja kutoka kwa majimaji ya songea huku azam UNK kwa bao moja sifuri kutoka kwa vinara wa ligi hiyo simba ugumu wa mchezo huo unakuja kutokana nafasi zilizopo timu hizo ambapo wenyeji lyon wapo katika nafasi ya pili kutoka mkiani baada ya kujikusanyia pointi saba kutokana na michezo tisa iliyocheza ikiwa imeshinda miwili UNK sita na kutoa sare mmoja azam wapo katika nafasi ya nne kwa kujikusanyia pointi kumi na tano kutokana na kucheza michezo tisa ikashinda minne sare tatu na kupoteza mmoja dhidi ya simba endapo lyon itaibuka na ushindi katika mchezo huo itapanda hadi nafasi ya saba kwa kufikisha pointi kumi na moja sawa na timu za kagera sugar na manyema rangers ila zitatofautina kwa idadi ya mabao ya kushinda ili hali azam kama watashinda watazidi kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo kwa kufikisha pointi kumi na nane na kukwea mpaka nafasi ya pili ila itakuwa inawiana kwa pointi na timu za yanga na mtibwa sugar UNK kwa mabao ya kushinda makocha wa timu hizo kwa nyakati tofauti wakizungumzia mchezo huo kocha wa azam mbrazili itamar amorin alisema mchezo huo kwao ni muhimu kushinda ili UNK kileleni huku kocha msaidizi wa lyon jumanne cherles alitamba kuibuka na ushindi katika mchezo huo kamati ya nidhamu na usuluhishi ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK kifungoni wachezaji wa timu ya yanga amir UNK na mosses odhiambo baada ya kubaini hakukuwa na ushahidi wa kutosha kuendelea kuwafunga kutokana tuhuma walizokuwa nazo hivyo sasa ni ruhusa kucheza mchezo wa jumamosi dhidi ya simba wachezaji hao walituhumiwa kumtukana mwamuzi msaidizi namba moja aliyechezesha mchezo kati ya ya yanga na azam fc ambapo kutokana na taarifa za makamisaa na waamuzi waliwatuhumu kuwatukana na kamati ya mashindano ya tff ikaamua UNK maftah na odhiambo walifungiwa michezo mitatu ya ligi kuu ya tanzania bara na kutozwa faini ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kila mmoja kutokana na tuhuma hizo baada ya kutolewa kwa taarifa hizo yanga ilikata rufani kwa kamati ya hiyo ikipinga uamuzi wa kamati ya mashindano kwani tuhuma UNK hazikuwa na ukweli wowote bali UNK ili kuihujumu timu hiyo akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa kamati hiyo UNK tibaigana alisema kutokana na kikao UNK jumapili walibaini kwamba maelezo yaliyowasilishwa kwa kamati ya mashindano hayakuwa na ushahidi wa kujitosheleza tumewaita wachezaji viongozi wa yanga na wa kamati ila kwa bahati mbaya waamuzi waliochezesha mchezo huo hawakufika wachezaji UNK ambapo walishangazwa na taarifa hiyo na kwakuwa waamuzi ambao walihusika hawakufika kamati iliamua yafuatayo alisema wachezaji hao tangu jana wapo huru na faini UNK UNK kutokana na kutokuwa na ushahidi wa kutosha kwani taarifa ya awali iliyotolewa na waamuzi UNK kwa maana ya kutajwa kwa matusi hayo UNK aliongeza tibaigana alisema bora waamuzi waliodai UNK UNK hayo matusi basi UNK na kazi ya kufanya hivyo kamati kutokana na taarifa hizo UNK na mashaka juu ya hilo na kwa mujibu wa sheria ukiwa na mashaka juu ya taarifa fulani katika kutoa maamuzi ni lazima UNK kwa mtuhumiwa aliongeza kamati yake inafanya kazi kisheria kwa kutilia maanani kanuni na sheria za shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu na tff hivyo kama kuna mtu hakuridhika na uamuzi huo anaweza kukata rufani kwa chombo husika shirikisho la mpira wa miguu tanzania limetangaza kiingilio katika mchezo wa watani wa jadi simba na yanga utakaochezwa oktoba thebathini na moja mwaka huu ambapo kiingilio cha juu ni shilingi sitini sifuri sifuri sifuri na cha chini shilingi tano sifuri sifuri sifuri mchezo huo ambao awali ulipangwa kufanyika katika uwanja wa uhuru lakini sasa utafanyika katika uwanja wa taifa dar es salaam akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema matayarisho ya mchezo huo tayari yameanza na yanakwenda vizuri katika kuelekea katika mchezo huo alisema katika maandalizi ya mchezo huo tff wamekuwa na vikao mbalimbali kati ya viongozi wa klabu wizara ya habari utamaduni na michezo ikiwa pamoja na wasimamizi wa uwanja wa taifa katibu huyo alisema viingilio katika mchezo huo vitakuwa vya aina saba ambapo kile cha juu mashabiki watakaokaa katika viti maalumu a watalipa shilingi sitini sifuri sifuri sifuri alivitaja viingilio vingine kuwa ni shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri kwa viti maalumu b shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri kwa viti maalumu c wakati watakaokaa viti rangi ya machungwa mkabala na viti maalumu watalipa shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri viti vya rangi ya machungwa nyuma ya magoli ni shilingi kumi sifuri sifuri sifuri viti vya bluu mzunguko shilingi saba sifuri sifuri sifuri na watakaokaa katika viti vya kijani mzunguko watalipa shilingi tano sifuri sifuri sifuri mwakalebela alisema katika harakati za kuondoa UNK kwenye suala la tiketi wamepanga kuanza kuuza kuanzia leo hadi keshokutwa katika vituo mbalimbali ambavyo UNK na zahoro mlanzi kampuni ya bia tanzania kupitia bia ya kilimanjaro imetangaza udhamini wa shilingi milioni mia sita na hamsini kwa ajili ya mashindano ya soka ya kombe la taifa mashindano hayo yatajulikana kwa jina la kili taifa cup ambapo bingwa wa mashindano hayo UNK shilingi milioni thebathini michuano hiyo inatarajiwa kuanza mei kumi hadi mei thebathini mwaka huu kwenye kanda sita za arusha dodoma mbeya mwanza ruvuma na tanga ambapo timu ishirini na tatu UNK akizungumza katika hafla ya kuzindua mashindano hayo dar es salaam juzi usiku meneja masoko wa tbl david minja alisema kampuni yake ina nia thabiti ya kuendeleza na kuinua soka nchini alisema mashindano ya mwaka huu yanatarajiwa kuwa na msisimko mkubwa kutokana na kufanyika katika kanda sita ambapo kila kanda itakuwa na timu nne isipokuwa kanda ya tanga ambayo itakuwa na timu tatu mashindano ya mwaka huu kwa kushirikiana na kamati ya ufundi ya shirikisho la mpira wa miguu nchini tumeona ni bora yakafanyika katika kanda sita ambapo yatasaidia kuona vipaji chipukizi alisema minja alisema kila timu itakayoshiriki mashindano hayo itapewa shilingi milioni moja sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri kwa ajili ya maandalizi na shilingi mia mbili na hamsini sifuri sifuri sifuri kwa ajili ya dharura benki ya stanbic tanzania jana imemtangaza mereso UNK wa arusha kuwa mshindi wa septemba wa kampeni yao ya fungua UNK na ushinde na kupata nafasi ya kushuhudia fainali za kombe la mataifa ya zinazotarajiwa kuanza januari tisa mwakani nchini angola akizungumza wakati wa kumtangaza mshindi huyo dar es salaam jana mkuu wa masoko na uhusiano wa benki hiyo abdallah singano alisema kampeni hiyo ilizinduliwa rasmi mwezi uliopita na kila mwezi watakuwa na mshindi mmoja ambaye UNK katika droo kubwa na kupata washindi wawili watakaokwenda nchini angola alisema mereso ni mfanyakazi wa shirika la wanawake wa kimasai lililopo jijini arusha amejishindia seti ya simu ya mkononi ya UNK atapata fursa ya kushuhudia fainali ya mashindano hayo katika mkoa mmoja nchini tanzania ambao UNK na kumuweka katika hoteli ya kifahali ili kushuhudia mashindano hayo na rafiki zake wanne alisema baada ya kuwapata washindi hao wa kila mwezi kampeni hiyo itafikia kikomo desemba tano mwaka huu watafanya droo kubwa na wanatarajia kupata washindi wawili UNK mpaka nchini angola kushuhudia fainali hizo alisema wameridhishwa na jinsi wateja wao UNK kwa wingi kuwania ushindi huo na kuwaomba wazidi UNK kwa wingi kwani wateja wao ni wapenda maendeleo ya UNK alisema washindi hao wawili watagharamiwa gharama kwenda na kurudi ambapo kampeni hiyo itaendeshwa kwenye matawi yao yote nchini huku zawadi nyingine za ziada zikiendelea kutolewa kila mwezi uongozi wa klabu ya yanga umesema kuwa UNK timu yao pemba haimaanishi kuwa hawana fedha kama inavyodaiwa na baadhi ya watu vigogo vya soka nchini simba na yanga vipo katika maandalizi ya mechi ya ligi kuu ya vodacom UNK jumamosi kwenye uwanja wa taifa dar es salaam akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa yanga lawrence mwalusako alisema walikuwa UNK timu kisiwani pemba lakini kutokana na uwanja wa gombani kuwa kwenye matengenezo wameamua kuahirisha kuipeleka huko hatuwezi kwenda kambini na kukaa hotelini tu kikubwa UNK ni kupata uwanja mzuri wa mazoezi kwa timu yetu na si kulala hotelini na taarifa za kuwa klabu yetu ina ukata huo ni uzushi UNK na watu UNK mema alisema alisema kocha mkuu kostadin papic amezoea viwanja vyenye ubora na ndio maana wameona ni vema wakabaki katika kambi yao makao makuu ya klabu hiyo mitaa ya twiga na jangwani ambako hakutakuwa na tatizo la viwanja mwalusako alisema hawawezi kuweka kambi sehemu yoyote nje ya dar es salaam baada ya kufanya uchunguzi wa viwanja na kugundua vingi haviko katika ubora unaotakiwa akizungumzia suala la kocha huyo kutokaa kwenye benchi mwalusako alisema wapo katika hatua za mwisho za kupata barua kutoka shirikisho la mpira wa miguu tanzania na hadi kufikia jumamosi watakuwa UNK suala hilo alisema kwa muda mfupi ambao kocha huyo amejiunga na timu yao amefanikiwa kuwapa mbinu mpya wachezaji wao zitakazowasaidia katika mechi za ligi kuu bara awali mwalusako alisema timu yao ilishindwa kufanya vizuri katika mechi za mwanzo za ligi kutokana na klabu hiyo kusajili wachezaji wengi wapya na hivyo UNK lakini hivi sasa UNK na kuanza kucheza kitimu mwalusako alisema simba isitegemee kuwafunga jumamosi kwa kujiridhisha na ushindi mfululizo walioupata mechi zilizotangulia kwani wao wamejipanga vizuri kuhakikisha wanalinda heshima na kulitetea kombe UNK msimu uliopita zikiwa zimebaki siku mbili watani wa jadi simba na yanga kucheza timu ya simba imepata pigo baada ya nahodha wake nico nyagawa kutimka kambini kutokana na matatizo ya kifamilia nyagawa anakuwa mchezaji wa pili kwa simba kuikosa yanga baada ya haruna moshi kwenda nje ya nchi kufanya majaribio ya mpira wa kulipwa meneja wa timu hiyo innocent njovu alithibitisha kuondoka kwa wachezaji hao jumapili na kuwafanya wabaki wachezaji ishirini na sita chini ya kocha wao patrick phiri hata hivyo hakutaka kueleza matatizo ya kifamilia yanayomkabili nyagawa lakini alisema kambi yao imepata mafanikio makubwa kwani tangu waingie hawajapata matatizo yoyote alisema wamelazimika kukaa katika nyumba maalumu badala ya hoteli kufuatia mfanyabiashara mmoja maarufu zanzibar UNK kuipatia timu hiyo nyumba ya kwa muda wote watakaokaa kambini kisiwani humo hata hivyo alisema kambi hiyo UNK ili UNK hakuna hujuma yoyote itakayoweza kufanyika mchecheto umezidi kupanda kwa vigogo wa soka nchini simba na yanga ikiwa imesalia siku moja kuvaana ambapo uongozi wa klabu ya simba umeshindwa kuweka bayana siku ya timu yao UNK jijini dar es salaam simba imeweka kambi visiwani zanzibar kujiandaa na mchezo dhidi ya mahasimu wao yanga kuna taarifa kuwa timu hiyo imepanga kurudi kimya kimya bila kutoa taarifa akizungumza kwa njia ya simu kutoka zanzibar meneja wa simba innocent njovu alisema kuwa hadi sasa bado uongozi UNK ratiba ya timu hiyo kurudi licha ya kwamba kesho ni siku ya mechi kwa kweli bado tunaendelea na mazoezi chini ya kocha wetu patrick phiri na sijajua lini tunatakiwa kurudi dar es salaam mpaka uongozi UNK alisema njovu alisema zanzibar sio mbali na dar es salaam na ndio maana uongozi UNK sababu ya kuharakisha kurudi na kwamba siku UNK watatua jijini njovu alisema timu yao inaendelea na mazoezi vizuri na wachezaji wana ari kubwa ya kuibuka na ushindi katika mechi hiyo na kwamba yanga ni timu ya kawaida sana na UNK kama timu zilizopita ambazo zote UNK wakati meneja huyo akidai hivyo kuna taarifa kuwa timu hiyo imepanga kurudi jijini kimyakimya na hawatakuwa tayari kutangaza siku UNK zanzibar na elizabeth mayemba wachezaji wa simba wamesema kesho wataingia uwanjani kutafuta pointi tatu na kushika nafasi ya pili ili mwakani washiriki michuano ya shirikisho la mpira wa miguu afrika na si kuifunga yanga tu watani hao wa jadi nchini wanatarajia kucheza kesho kwenye uwanja wa taifa dar es salaam katika mechi ya ligi kuu tanzania bara ambayo tayari yanga imetwaa ubingwa wake wakizungumza kwa simu jana wakiwa kwenye kambi yao bamba beach kigamboni nje wachezaji hao walisema mechi ya kesho si kama wamepania kuifunga yanga tu ila ni kampeni zao za kuendelea kutafuta pointi tatu yanga ni kama timu ambazo tayari tumecheza nazo na programu ya kocha ni kuhakikisha tuna shinda michezo iliyobaki ili tuweze kushiriki michuano ya kombe la caf mwakani alisema david naftari alisema UNK mechi UNK kwenye mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo kitu ambacho UNK na sasa UNK kushinda mechi mbili zilizobaki moja ikiwa ya kesho na yanga na baadae polisi dodoma naye juma nyosso alisema hawana presha na mechi ya kesho kwani kazi UNK yao ni kutafuta pointi tatu na kwamba mechi hiyo kwao si ya kuwaumiza kichwa yanga ni timu ya kawaida tu ni kama azam au kagera hivyo hakuna sababu ya kuwakamia sisi tunachotaka ni pointi tatu tu ambazo ndiyo muhimu kwetu alisema shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu dunia limeingia mkataba wa miaka minne na serikali ya tanzania kwa kushirikiana na shirikisho la mpira wa miguu tanzania na wadau wao kuinua na kuendeleza vipaji vya watoto wenye umri kuanzia miaka sita na kuendelea mradi huo unajulikana kama UNK football unatarajiwa kuzinduliwa rasmi machi mwakani ambapo katika kuhakikisha mradi huo unafanikiwa serikali na tff UNK kamati ndogo maalum itakayoshughulikia suala hilo akizungumza dar es salaam jana mwakilishi wa fifa ambaye pia ni ofisa maendeleo wa michezo kwa nchi zilizo kusini mwa afrika ashford mamelod alisema wanatarajia kuzindua mradi huo wa kutafuta vipaji vya watoto kuanzia umri wa miaka sita machi mwakani alisema mradi huo UNK kutokana na makubaliano waliyoingia kati ya serikali ya tanzania tff na wadau ambao ni wadhamini wa mradi huo na kwamba ni lazima watoto hao UNK katika misingi ya kinidhamu afya kutokuwa UNK na kuwa na moyo wa kujitolea mbali na kujengwa katika misingi hiyo pia tutatoa kozi kwa makocha UNK watoto hao vifaa vya michezo na kabla ya kuzindua watakuwa na matamasha mbalimbali alisema mamelod alisema kutokana na tff kuwa makini katika mambo yao wana imani baada ya miaka minne mradi huo UNK wenyewe kwa kuwa na wadhamini na pia tayari watakuwa UNK kama mradi huo umefanikiwa au la nchini china tayari mradi huo UNK karibu nchi nzima na zaidi ya watoto kumi sifuri sifuri sifuri sifuri wamepata mafunzo hayo mauritius mradi huo ulianza hivyo tuna imani kama tanzania wakijitokeza watoto moja sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri baada ya muda tutakuwa na watoto bora moja sifuri sifuri sifuri alisema mamelod naye rais wa tff leodegar tenga aliishukuru fifa kwa kuzidi kuwapa mwanga katika kuhakikisha soka la tanzania linapiga hatua zaidi na kuahidi watahakikisha UNK mradi huo kwa umakini ili baada ya muda kuwepo na wachezaji wengi bora alisema mradi huo kwa kiasi kikubwa utahusisha watoto wa shule za msingi na zingine hivyo watakuwa makini katika kuhakikisha wanapata masomo na wanaendelea kukuza vipaji vyao mwenyekiti wa klabu ya yanga ya jijini dar es salaam imani madega amewatoa hofu wapinzani wao simba kuwa wasihofu kuonekana kwake zanzibar na kuona kama amevamia kambi yao akizungumza na mwandishi wa habari hizi madega alisema amekwenda visiwani zanzibar kama ambavyo watu wengine wanakwenda kwani yupo katika shughuli zake hivyo simba wasiwe na hofu ujio wangu huku zanzibar umewatia hofu sana wana simba lakini UNK hofu mimi nipo zanzibar kwa ajili ya shughuli zangu na wanachama wa huku hivyo UNK alisema madega alisema akiwa huko zanzibar pia yupo huru hata kuangalia mazoezi ya simba kwani hakuna lolote UNK madega alisema akimaliza kilichompeleka huko atarejea jijini dar es salaam kuendelea na maandalizi ya timu yake kabla ya kuvaana na watani wao simba kesho meneja wa simba alipozungumza na gazeti hili innocent njovu alisema ujio wa mwenyekiti huyo wa yanga UNK hofu yoyote ingawa watakuwa makini kufuatilia nyendo zake lazima tuwe makini hatuwezi kujisahau sana pamoja na mwenyewe kudai amekuja kuteta na wanachama wao wa zanzibar lakini sisi UNK hofu sana alisema njovu na erasto stanslaus kocha mkuu wa yanga mserbia dusan kondic amejitoa katika mchezo wao na watani wao wa jadi simba na kudai kuwa mchezo huo ni heshima kwa wachezaji kesho magwiji hao wa soka nchini watakutana katika mchezo wa marudiano wa ligi kuu tanzania bara utakaofanyika katika uwanja wa taifa dar es salaam akizungumza kwa simu akiwa kambini mjini bagamoyo kondic alisema mchezo wa kesho hautakuwa na athari zozote kwa yanga bali ni heshima kwa wachezaji wake alisema yanga tayari wametwaa ubingwa huo hivyo ushindi katika mchezo huo ni kujenga heshima kwa wachezaji wake kuwafunga watani wao wa jadi kwa mara ya pili mfululizo ushindi wa mchezo wetu wa kesho ni kusaka heshima kwa wachezaji tu kwani wao ndiyo UNK ushindi huo ambao UNK wala kuongeza chochote kwa klabu nzima alisema kondic alisema pamoja na mchezo huo kuwa mgumu lakini kwao ni kama mchezo wa kirafiki na amewataka wachezaji wake kusaka heshima kwa kushinda kwa kuwa uwezo UNK kondic alisema kikosi cha yanga cha sasa kina tofauti kubwa na kikosi cha simba na anaamini wana kila sababu ya kuibuka na ushindi presha inapanda presha inashuka leo ndiyo leo UNK kesho mwongo timu mbili zenye upinzani wa jadi katika soka nchini simba na yanga UNK saa kumi jioni pambano hilo la watani wa jadi la ligi kuu soka bara linafanyika uwanja wa taifa dar es salaam huku hadhi na heshima vikiwa ndiyo viko mbele zaidi pointi tatu UNK katika mchezo huo zina umuhimu zaidi na thamani kubwa ambayo si rahisi UNK kwa maneno kutokana na ushindani wa asili uliopo baina ya simba na yanga simba ni mwenyeji katika pambano hilo ambalo litakuwa la tatu kwa timu hizo kuchuana katika uwanja mpya na wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua mashabiki sitini sifuri sifuri sifuri waliokaa kwenye viti pambano moja la kutafuta mshindi wa tatu katika michuano ya kombe la kagame UNK kwa vile yanga waliingia mitini simba inaingia uwanja huo ikitafuta kwa mara ya kwanza ushindi wa uwanjani baada ya mechi mbili zilizopita kufungwa moja sifuri na kutoka sare mbili mbili yanga ambayo iko chini ya kocha mpya kostadin papic clinton aliyechukua mikoba ya dusan kondic wote kutoka serbia atataka kuendeleza rekodi hiyo nzuri ya kutofungwa uwanja mpya lakini simba safari hii inaingia tena uwanja mpya kwa mara ya pili ikiwa chini ya kocha patrick phiri kutoka zambia ambaye mara zote UNK simba hajawahi kutoka uwanjani kichwa chini simba huwa inashinda au kutoka sare ukiweka pembeni upande wa kihistoria wa pambano hilo ambapo timu hizo zikipambana si rahisi kutabiri leo zinaingia uwanjani kila moja ikiwa na kiu ya aina yake simba ambayo imeshinda mechi zake zote tisa za ligi kuu msimu huu inataka UNK rekodi yake hiyo huku yanga ikiwania kuwa timu ya kwanza UNK simba vijana wa msimbazi wana pointi ishirini na saba magoli ya kufunga kumi na nane na kufungwa tatu huku vijana wa jangwani wakiwa na pointi kumi na nane magoli ya kufunga kumi na tatu na kufungwa sita yanga imeshinda mechi tano sare tatu na kufungwa moja simba ina wastani wa pointi tatu magoli mawili ya kufunga na thuluthi moja ya magoli ya kufungwa huku yanga ikiwa na wastani wa pointi mbili moja nne ya magoli ya kufunga na thuluthi mbili ya magoli ya kufungwa kwa mechi kwa kuzingatia tathmini hiyo simba iko juu katika kila eneo lakini mechi ya watani wa jadi haina vipimo kutoka nje ya mechi hiyo kwani matokeo yake yanategemea timu UNK siku yenyewe ni hali hiyo inayowafanya makocha phiri na papic kuwa na kazi ya ziada ya kuwajenga vyema wachezaji wao kisaikolojia ili kuhakikisha wanazingatia maelekezo yao wanapoingia uwanjani mchezo huu unatarajiwa kuwa mzuri na mgumu kwani yanga ina wachezaji kutoka nje kumi ambapo itatakiwa kuchuja watano kama itaona inawahitaji wote huku simba ikiwa UNK na kanuni ya kuruhusu wa nje watano kwa vile inao watatu tu iwapo yanga itatumia wageni watano katika kikosi kitakachoanza itakuwa na wazawa sita huku simba ikiwa na wazawa wengi zaidi wanane hata kama itawatumia wageni wake wote starehe ya aina yake inatarajiwa kuwa katika sehemu ya kiungo ambapo hilary echessa na mohamed banka wa simba UNK ufundi na nurdin bakari na athuman idd wa yanga ni hadi filimbi ya mwisho ya mwamuzi wa kimataifa oden mbaga ndiyo UNK kama kuna yeyote UNK au UNK viingilio katika mchezo huo ni shilingi sitini sifuri sifuri sifuri kwa viti maalum a hamsini sifuri sifuri sifuri kwa viti maalum b shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri kwa viti maalum c viti vya rangi ya chungwa mkabala na viti maalum watalipa shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri viti rangi ya chungwa nyuma ya magoli shilingi kumi sifuri sifuri sifuri viti vya bluu mzunguko shilingi saba sifuri sifuri sifuri na viti vya kijani na UNK mzunguko kiingilio kitakuwa shilingi tano sifuri sifuri sifuri simba inaweza kupangwa hivi juma kaseja salum kanoni juma jabu kelvin yondani joseph owino juma nyoso mohamed banka hilary echessa emmanuel okwi mussa hassan mgosi na ramadhan chombo redondo danny mrwanda yanga obren curkovic nsajigwa shadrack amir maftah wisdom ndhlovu george owino nurdin bakari mrisho ngassa athuman idd boniface ambani jerry tegete na mosses odhiambo chama cha waandishi wa habari za michezo tanzania UNK vikali kitendo cha askari UNK kuwapiga waandishi wa habari za michezo juzi katika pambano la watani wa jadi simba na yanga lililopigwa uwanja wa taifa dar es salaam waandishi waliopigwa na polisi hao wakati wakitaka kuwahoji makocha wa timu za simba na yanga wakati mchezo ulipomalizika na hope dagaa wa kituo cha televisheni cha star tv na UNK mayemba wa kituo cha redio cha UNK akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa taswa michael wambura alisema chama chake UNK shirikisho la mpira wa miguu tanzania kuhakikisha UNK vitendo vya kihuni kama hivyo vilivyofanywa na polisi hao kazi inatakiwa kulinda usalama na si kupiga waandishi ambao nao wanatakiwa kufanya kazi zao jukumu la polisi uwanjani ni ulinzi na si kuzuia waandishi kutekeleza majukumu yao tumeshuhudia mashabiki UNK chupa za maji uwanjani lakini polisi hawakuchukua hatua zozote na badala yake UNK waandishi tunaishauri tff na jeshi la polisi kupeleka uwanjani askari wanaojua majukumu yao na si kupeleka mashabiki wa mpira wa miguu kwani ni askari gani anashindwa kumtambua mwandishi hata baada ya kuoneshwa kitambulisho alihoji UNK timu ya manyema fc mkuki wa sumu jana UNK moro united bao mbili moja katika mechi ya ligi kuu iliyopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam jana kwa matokeo hao manyema imefikisha pointi kumi na nne na UNK hadi nafasi ya sita katika msimamo wa ligi hiyo inayoongozwa na simba yenye pointi thebathini huku timu za jkt ruvu na kagera sugar UNK kutokana na pointi zao kumi na mbili kila moja mechi hiyo ilianza kwa kasi ambapo katika ya dakika ya kwanza yusuf mayai wa moro alikosa bao baada ya kupiga shuti UNK nje huku benedict ngassa wa manyema naye dakika ya ishirini na moja akishindwa kukwamisha mpira wavuni baada ya UNK krosi ya ally mohamed dakika ya arobaini na tatu mshambuliaji wa moro salum telela aliachia kombora kali langoni mwa manyema akiwa umbali wa mita kumi na nane lakini kipa alifanikiwa UNK na mabeki kuondoa hatari hiyo bao la kwanza la manyema fc lilifungwa katika dakika ya sitini na sita lililowekwa kimiani na ngassa kwa shuti kali lililogonga mwamba na kujaa wavuni baada ya kupokea pasi ya adam UNK manyema baada ya kupata bao hilo ilizidi kuliandama lango la moro na kufanikiwa kuandika bao la pili dakika ya themanini na nne lililofungwa na ngassa ambaye UNK mpira kimiani baada kuunganisha krosi ya patrick mrope aliyechukua nafasi ya julius mrope baada ya kufungwa bao hilo moro nayo UNK na kuanza kusukuma mashambulizi ya nguvu langoni mwa manyema ambapo dakika themanini na tisa ilifanikiwa kupata bao lililofungwa na michael UNK aliyeingia badala ya UNK mahadhi kwa shuti kali lililotinga moja kwa moja wavuni kocha mpya wa yanga mserbia kostadic papic amesema kipigo walichokipata kutoka kwa watani wao wa jadi simba cha bao moja sifuri UNK usingizini na kwamba UNK matatizo ya wachezaji wake yanga juzi kwenye uwanja wa taifa dar es salaam ilipokea kipigo cha pili katika ligi kuu ya tanzania bara ambapo awali ilipigwa na majimaji ya songea bao moja sifuri na sasa imetupwa hadi nafasi ya nne katika msimamo wa ligi hiyo kwa kuwa na pointi kumi na nane sawa na azam fc akizungumza mara baada ya kumalizika kwa mchezo huo papic alisema kipigo hicho kutoka kwa simba kimemfanya UNK matatizo ya timu yake ambapo sasa anajipanga kuyafanyia kazi ili ishinde mchezo mmoja uliobaki katika mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo alisema wachezaji wake walionesha soka safi kwa kutengeneza nafasi nyingi za kufunga lakini washambuliaji wake hawakuwa makini kukwamisha mpira wavuni hata hivyo mabeki wa simba walikuwa imara katika kulilinda goli lao tumecheza soka zuri kama UNK lakini bahati haikuwa yetu kwani UNK nafasi nyingi za kufunga lakini hatukuwa makini kumalizia mipira ya mwisho hilo UNK na UNK kazi alisema papic naye mwenyekiti wa timu hiyo iman madega alisema licha ya kufungwa katika mchezo huo lakini vijana wake walicheza vizuri hivyo UNK matokeo hayana ubishi wowote akizungumzia suala la mwamuzi kama alitenda haki kwao alikataa kutoa maoni yoyote juu ya hilo na badala yake wanachosubiri ni taarifa kutoka kwa kocha wao papic juu ya mchezo huo na kisha watajua la kufanya malkia wa tanzania vodacom miss tanzania ishirini sifuri tisa miriam gerald anatarajiwa kukabidhiwa bendera ya taifa keshokutwa kwa ajili ya kuanza safari ya mashindano ya kumsaka mrembo wa dunia miss world ishirini sifuri tisa yatakayofanyika desemba kumi na mbili mwaka huu afrika kusini akizungumza dar es salaam jana mkurugenzi wa kampuni ya lino internation agency ltd ambayo ndiyo waandaaji wa mashindano ya miss tanzania hashim lundenga alisema mrembo huyo UNK na kukabidhiwa bendera ya taifa katika kituo cha uwekezaji tanzania lundenga alisema safari ya miriam kwenda miss world itaanzia nchini uingereza novemba tisa mwaka huu UNK kuhudhuria maonesho ya biashara duniani ambapo atakutana na warembo wote duniani wanaowania taji hilo alisema novemba kumi mwaka huu mrembo huyo atakwenda nchini afrika kusini ambapo atakuwa kambini na warembo wenzake kwa kipindi cha mwezi mmoja kwa ajili ya kujiandaa na kinyangganyiro hicho cha miss world ishirini sifuri tisa lundenga alisema miriam akiwa afrika kusini atajumuika katika sherehe ya kamati inayoandaa ratiba ya mashindano ya mpira wa miguu ya kombe la dunia la mwaka ishirini moja sifuri litakalofanyika nchini humo michuano ya klabu bingwa ulaya inaendelea tena leo kwa kuzikutanisha timu za ac milan na real madrid huku timu za inter milan na atletico madrid zikiwa miongoni mwa timu kumi ambazo UNK kusaka ushindi wa kwanza katika mechi hizo za hatua ya makundi mbali na mechi hizo pia barcelona ambayo iliambulia kipigo cha mabao mbili moja ikiwa nyumbani kutoka kwa timu ya rubin kazan yenyewe itakuwa ugenini kesho kuitembelea timu hiyo huku ikifahamu fika endapo itapoteza mechi hiyo UNK katika hali ngumu ya kuwa miongoni mwa timu mbili kutoka kundi hilo f mechi hizo za duru ya nne hatua makundi pia zitakuwa mtihani mkubwa kwa mabingwa zamani wa michuano hiyo bayern munich na liverpool a UNK hadi sasa bado zipo katika kinyangganyiro cha kuwania nafasi mbili za kila kundi katika mechi hizo bayern watakuwa wakiwakaribisha mabingwa wa ufaransa girondins bordeaux katika mechi za kundi a na liverpool ambao wamepoteza mechi sita kati ya saba watakuwa ugenini kuikabili olympique lyon katika mechi za kundi e nyota wa real madrid ricardo kaka amerejea katika kikosi hicho cha san siro ikiwa ni mara ya kwanza akiwa na vinara hao wa hispania kukutana na klabu yake ya zamani huku akiwa na matumaini ya kulipiza kisasi cha kufungwa mabao tatu mbili wakiwa UNK kocha wa ac milan mbrazil UNK ambaye amekuwa akiingia UNK mara kadhaa akiwa na shinikizo lakini kwa sasa anaonekana kupumua baada ya kucheza mechi saba bila kufungwa ikilinganishwa na mpinzani wake manuel pellegrini ambaye mawazo yake UNK sawa mechi dhidi ya real ni mechi ambayo unapaswa kujiandaa tunatarajia kulinda kiwango chetu UNK mechi ya kwanza alisema UNK kibarua cha pellegrini kilizidi kuingia shakani baada ya real madrid kuambulia kipigo kisichotarajiwa cha mabao nne sifuri kutoka kwa timu inayoshiriki ligi daraja la tatu UNK katika mechi za kombe la mfalme ambacho kiliifanya ifikishe mechi tatu bila kushinda ushindi wa jumamosi wa mabao mbili sifuri katika michuano ya la liga dhidi ya getafe ambao ulitokana na mabao yaliyowekwa kimiani na mshambuliaji UNK gonzalo higuain yanaonekana walau UNK mapigo ya moyo kocha huyo ingawa inaelezwa kuwa kipigo katika mechi ya leo UNK kuwa pigo jingine kwa pellegrini ambaye hatakuwa na nyota wake majeruhi cristiano ronaldo milan na real ndizo zipo kileleni mwa kundi c zikiwa na pointi sita kila moja ambazo ni pointi tatu mbele dhidi ya timu za olympique marseille na fc zurich ambazo zinakutana mjini paris ufaransa kwa upande wa barcelona wao watasafiri hadi nchini russia wakiwa mbele ya real madrid kwa pointi moja baada ya kutoka sare ya kufungana bao moja moja na timu ya UNK timu za rubin kazan barcelona na dynamo kiev kila moja ina pointi nne katika kundi f wakati UNK milan wao wana pointi tatu timu nyingine ambazo zitakuwa UNK ushindi wa kwanza ni maccabi haifa debrecen vfb stuttgart rangers besiktas apoel az alkmaar standard liege na atletico madrid balaa UNK atletico ambayo ina pointi moja katika msimamo wa kundi d inaonekana UNK rekodi yake wakati itakapokuwa ikiumana na chelsea leo katika mechi ya kwanza iliyofanyika wiki mbili zilizopita chelsea iliichapa timu hiyo ya hispania kwa mabao nne sifuri na imefungwa mabao kumi na tatu bila majibu katika mechi tatu za ligi ya ndani chelsea ambayo inanolewa na kocha carlo ancelotti ina pointi tisa na ni moja ya timu zenye uhakika wa asilimia kumi sifuri kati ya timu nne sambamba na manchester united lyon na UNK lyon wao watakuwa wakiumana na liverpool katika michuano ya kundi e watashuka dimbani kesho kuumana na kikosi cha rafael benitez ambacho UNK kwa mabao mbili moja kwenye uwanja wa anfield hadi sasa liverpool inashika nafasi ya tatu ikiwa na pointi tatu na endapo itaambulia kipigo kingine itakuwa haina uwezo wa UNK mbele hususani endapo fiorentina itaichapa debrecen kocha wa bayern munich louis van gaal huenda akamwacha tena mchezaji mario gomez ambaye ni mchezaji wa gharama kubwa kusainiwa katika ligi ya bundesliga wakati timu yake itakapokuwa UNK na vinara wa kundi a girondins bordeaux bayern ina pointi mbili nyuma ya timu inayoshika nafasi ya pili juventus ambayo inaweza kulamba pointi nyingine tatu ikiwa ugenini itakapokuwa ikiumana na timu isiyokuwa na matumaini maccabi wanariadha nyota kumi na nne kati ya sabini wa tanzania wakiongozwa na samwel mwera jana UNK kwa kishindo safari ya kukimbiza bendera ya taifa kutoka dar es salaam hadi kwenye kilele cha mlima wa kilimanjaro uliopo mkoani kilimanjaro mbio hizo maalumu UNK na kampuni ya bia tanzania kupitia bia yake ya kilimanjaro lager zimepewa jina la kampeni ya fikisha tanzania katika hatua za juu mwera bingwa wa zamani wa afrika akiwa amejifunga bendera ya taifa alikimbia kutoka viwanja vya mnazi mmoja hadi ubungo eneo la kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi hii ni njia pekee ya UNK mafanikio yetu ya kiwango cha juu ndiyo maana kampeni hii inaitwa fikisha tanzania katika hatua ya juu zaidi alisema george kavishe meneja wa bia ya kilimanjaro mara baada ya kufika ubungo huku akisindikizwa na magari UNK msafara wa wachezaji na viongozi wa riadha nchini mwera alikabidhi bendera kwa mathias UNK ambaye ni mlemavu wa mikono wengine UNK bendera hadi kufika chalinze mkoani pwani majira ya saa nane sifuri tano mchana ni simon marwa makoye UNK godfrey charles isaac omar raymond petro ng UNK jilala mark james lyimo hassan said na simon marwa UNK safari ya siku ya kwanza timu ya soka ya taifa taifa stars inatarajia kuondoka kesho nchini kwenda cairo misri kwa ajili ya mechi ya kirafiki ya kimataifa na timu ya taifa ya nchi hiyo itakayochezwa novemba tano mwaka huu kwenye uwanja wa UNK akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania fredrick mwakalebela alisema timu hiyo iliingia kambini juzi katika hoteli ya f j iliopo msasani jijini dar es salaam maandalizi yanakwenda vizuri na timu imeanza kufanya mazoezi ambapo asubuhi wanafanyia uwanja wa karume na jioni uwanja wa taifa alisema mwakalebela alisema wachezaji wanaocheza soka la kulipwa walioitwa na kocha mkuu wa timu ya stars marcio maximo wameshindwa kuripoti kwa sababu mbalimbali isipokuwa nadir haroub cannavaro ambaye ameungana na wenzake wachezaji walioshindwa kuripoti ni henry joseph nizar khalfan na mohammed mwalami ambao mwishoni mwa wiki wanakabiliwa na mechi katika timu zao pia juma nyosso alishindwa kuripoti juzi kutokana na kuumwa alisema timu hiyo itaondoka kesho ikiwa na msafara wa wachezaji ishirini viongozi wa benchi la ufundi sita na viongozi watatu ambapo mkuu wa msafara atakuwa makamu wa pili wa rais wa tff nassib ramadhan mwakalebela alisema baada ya stars kucheza na timu ya taifa ya misri moja kwa moja wataondoka kwenda yemen na novemba nane mwaka huu watacheza na timu ya taifa ya huko na novemba kumi na moja watacheza na timu nyingine ambayo hakuitaja jina ya nchini yemen michezo ya mwisho ya mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya soka tanzania bara inatarajiwa kuanza leo kwa kupigwa mchezo mmoja kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam ambapo wenyeji jkt ruvu itaikaribisha african lyon katika mchezo utakaokuwa na ushindani ushindani au ugumu wa mchezo huo unakuja baada ya timu hizo kutotaka kupoteza mchezo huo ambapo jkt italazimika kushinda ili kujihakikishia inamaliza ligi ikiwa katika nafasi ya tano kwa kufikisha pointi kumi na tano huku ikiomba majimaji ya songea UNK mchezo wao wa mwisho majimaji mpaka sasa ina pointi kumi na tano hivyo kama itapoteza mchezo wa mwisho dhidi ya moro united jkt itakuwa UNK nafasi ya tano kwani UNK kwa pointi ila zitakuwa zimetofautiana kwa mabao ya kufunga lyon yenyewe inaonekana kama imekata tamaa baada ya kushinda michezo miwili kati ya kumi iliyocheza hivyo leo haitakubali kufungwa kirahisi katika mchezo huo kwani endapo itaibuka na ushindi UNK hadi nafasi ya tisa kutoka ya kumi na moja kwa kufikisha pointi kumi endapo lyon itaibuka na ushindi katika mchezo huo hakuna shaka sasa macho na masikio yao UNK kwa timu za prisons ya mbeya yenye pointi nane na moro united yenye pointi tisa zipoteze katika michezo yao ya mwisho akizungumzia mchezo huo kocha wa jkt charles kilinda alisema baada ya kuichapa toto african ya mwanza mabao mbili moja hawatakubali kupoteza mchezo huo wa mwisho na ana uhakika wataibuka na ushindi kwa upande wa lyon msemaji wa timu hiyo hassan mvula alisema mchezo huo ni muhimu kwao kushinda kwani watakuwa wamejiondoa katika mstari wa hatari kwa timu zinazokabiliwa kushuka daraja na kukwea mpaka nafasi ya tisa simba yataka waamuzi watoke ulaya mechi ya ligi kuu ya tanzania bara ya watani wa jadi simba na yanga iliyopigwa jumamosi uwanja wa taifa umeingiza shilingi milioni mia nne nane kutokana na viingilio vya mechi hiyo viingilio vya mechi hiyo vilikuwa shilingi sitini sifuri sifuri sifuri jukwaa kuu maalumu a shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri jukwaa kuu b shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri jukwaa kuu c shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri jukwaa rangi ya chungwa mkabala na jukwaa kuu shilingi kumi sifuri sifuri sifuri nyuma ya magoli shilingi saba sifuri sifuri sifuri bluu mzunguko na shilingi tano sifuri sifuri sifuri kijani mzunguko habari za uchunguzi zilizopatikana dar es salaam jana zilieleza kuwa fedha UNK kwa timu husika pamoja gharama nyingine za mchezo katika hatua nyingine uongozi wa klabu ya simba jijini dar es salaam UNK shirikisho la mpira wa miguu tanzania kuleta waamuzi wa kigeni kwa ajili ya kuchezesha mchezo wa marudiano ligi kuu mzunguko wa pili dhidi ya yanga utakaopigwa mwakani akizungumza dar es salaam jana mhazini mkuu wa klabu hiyo almas chano alisema kutokana na waamuzi nchini kushindwa kumudu kila zinapocheza simba na yanga ni vyema waamuzi wakatoka nje ya nchi ili kuondoa lawama sisi tupo tayari kukatwa mapato yetu kwa ajili ya kuwalipa hao waamuzi UNK na tff ili tuweze kujiridhisha kwani kitendo cha waamuzi wa tanzania kushindwa kumudu mchezo UNK tamaa alisema chano alisema waamuzi hao UNK kutoka nje ya nchi UNK bara la afrika bali watoke ulaya na mabara mengine kabisa ili haki iweze kutendeka chano alisema waamuzi wa tanzania ndiyo sababu kubwa ya kurudisha nyuma maendeleo ya soka hivyo ni vyema tff ikaliangalia hilo kwa umakini zaidi wakati huo huo chano alisema kipindi cha usajili wa dirisha dogo wamepanga kuongeza wachezaji wawili wa kimataifa katika nafasi ya ushambuliaji na kiungo ligi kuu ya tanzania bara iliendelea tena jana kwa mchezo mmoja iliyofanyika uwanja wa uhuru dar es salaam ambapo jkt ruvu iliichapa african lyon mabao nne mbili kwa matokeo hayo jkt imepanda hadi katika nafasi ya tano kwa kufikisha pointi kumi na tano katika msimamo wa ligi hiyo inayoongozwa na simba yenye pointi thebathini huku UNK majimaji katika nafasi ya sita ambayo nayo ina pointi kumi na tano lakini zimetofautiana kwa idadi ya magoli mchezo huo ulianza kwa nguvu kwa timu zote ambapo jkt ruvu iliandika bao lake la kwanza dakika ya pili kupitia kwa oscar UNK baada ya kufungwa bao hilo african lyon ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha bao hilo dakika ya nane lililopachikwa kimiani na mshambuliaji mkongwe karume songoro kwa kichwa baaada ya kupokea pasi ya idrissa abdallah dakika ya themanini jkt iliongeza bao la tatu kupitia kwa bakary kondo nayo ilipata bao la pili dakika ya themanini na tano lililofungwa kwa mkwaju wa penalti na benedict jacob baada ya mchezaji wa jkt kuunawa mpira katika eneo la hatari hata hivyo maafande hao UNK msumari wa mwisho langoni mwa lyon na kondo na kuifanya timu yake kuondoka kifua mbele kwa mabao nne mbili jkt ruvu iliandika bao la pili dakika ya arobaini na mbili lililofungwa na george minja kwa kichwa baada ya kuunganisha mpira wa adhabu ndogo iliyopigwa na stanley UNK kocha mkuu wa simba patrick phiri amesema UNK matokeo ya juzi dhidi ya yanga kwa sababu ya kuifunga klabu hiyo pekee bali kwa kufikisha rekodi ya kwanza katika kazi yake kwa tanzania tangu kuanza UNK soka simba ilikutana na yanga jumamosi iliyopita katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam na kufanikiwa kushinda bao moja sifuri ukiwa ni mchezo wa kumi wa ligi kuu ya tanzania bara kwa timu hizo huku simba ikishinda mfululizo akizungumza jijini dar es salaam jana phiri alisema ni rekodi nzuri ambayo alikuwa UNK kabla ya UNK chake UNK uwanjani na kuomba matokeo mazuri kama aliyokuwa akipata hapo awali na timu nyingine katika ligi hiyo alisema kabla UNK kikosi chake aliwaomba wachezaji wake kucheza katika hali ya kuhitaji kutimiza rekodi hiyo muhimu kwake na kwa kikosi kwa ujumla ambapo kwa hapa nchini ni tanzania prisons pekee iliyowahi kushinda michezo tisa pekee bila kupoteza kwa matokeo ya juzi simba imevunja rekodi iliyowekwa na prisons mwaka ishirini sifuri saba nane kwa kushinda michezo tisa rekodi kama hiyo iliwahi kuwekwa pia na juventus katika ligi ya italia UNK a ambapo iliweza kucheza michezo kumi na moja bila kupoteza na kuvunja rekodi katika ligi hiyo michuano ya kombe la tusker inatarajia kuanza kutimua vumbi desemba kumi na tisa mwaka huu katika uwanja wa taifa dar es salaam ambapo timu sita zitashiriki kutoka ndani na nje ya tanzania akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania fredrick mwakalebela alisema maandalizi ya michuano hiyo tayari UNK mwakalebela alisema mashindano hayo ambayo hufanyika kila mwaka kwa udhamini wa kampuni ya bia tanzania kupitia bia yake ya tusker tanzania itawakilishwa na timu nne wakati timu mbili zinatarajia kutoka nje ya nchi kama ilivyo kawaida ya mashindano hayo kwa upande wake meneja masoko wa bia hiyo gasper lyatuu alisema kwa upande wao tayari wamekamilisha kila kitu na wanachosubiri ni tarehe ya kuanza kwa mashindano hayo ambapo ameahidi kuwa mwaka huu yatakuwa na ubora zaidi lyatuu alizitaja zawadi kwa washindi wa michuano hiyo kuwa ni kombe pamoja na shilingi milioni arobaini kwa mshindi wa kwanza wakati mshindi wa pili atajinyakulia shilingi milioni ishirini na mshindi wa tatu atapata shilingi milioni kumi alisema mbali ya zawadi hizo kwa washindi pia kutakuwa na zawadi kwa timu ambayo itakuwa yenye nidhamu kuliko zote katika mashindano hayo ambapo itapata shilingi milioni mbili na mfungaji bora atajinyakulia shilingi milioni mbili pia klabu ya yanga imesema UNK barua shirikisho la mpira wa miguu tanzania juu ya wachezaji wa simba danny mrwanda na emmanuel okwi kwa kitendo chao cha utovu wa nidhamu cha kushangilia kwa kuonesha kidole cha kati kwa mashabiki wao wachezaji hao walidaiwa kushangilia huku wakionesha kidole hicho ambacho kinadaiwa ni ishara ya matusi baada ya timu yao kufunga bao pekee katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa jumamosi uwanja wa taifa dar es salaam na simba kuibuka na ushindi wa bao moja sifuri akizungumza dar es salaam jana msemaji wa timu hiyo louis sendeu alisema kitendo kilichofanywa na mrwanda pamoja na okwi si cha kiungwana kwani kidole UNK kushangilia mara nyingi UNK matusi kama yanga hatutakubali kuona mashabiki wetu UNK na wachezaji wa simba kwa kutukanwa hadharani hivyo UNK barua tff kuiomba UNK hatua za kinidhamu ili iwe UNK kwa wachezaji wengine tunashangaa kusikia tff inasubiri ripoti ya makamisaa wakati mchezaji wetu athuman idd chuji alipofanya kosa kama hilo mara moja walichukua hatua bila kusubiri ripoti ya kamisaa sasa tunashangaa kwa hili sijui wanataka UNK kutoa adhabu alisema sendeu mbali na hayo sendeu pia alizungumzia suala la mchezaji nadir haroub canavaro kwamba sasa wamefungua milango kwa timu yoyote UNK waende kufanya nao mazungumzo alisema canavaro bado ni mchezaji halali wa yanga kwani bado ana mkataba wa miaka miwili na walimpeleka kwa mkopo kwenye timu ya vancouver whitecaps ya nchini canada kwa muda wa miezi mitatu ambapo kwa sasa amesharudi nchini baada ya timu hiyo kuonekana UNK kampuni ya simu selula ya vodacom jana UNK vodacom miss tanzania ishirini sifuri tisa miriam gerald zawadi yake UNK vitara lenye thamani ya shilingi milioni hamsini ambalo aliahidiwa kabla ya kunyakua taji hilo akizungumza dar es salaam jana katika hafla ya kukabidhi gari hilo mkuu wa kitengo cha udhamini vodacom george rwehumbiza alisema gari hilo ni moja ya zawadi iliyoahidiwa na vodacom ambayo UNK ili kutoa changamoto kwa mnyange huyo kufanya vizuri zaidi katika kinyangganyiro cha kumtafuta miss world ishirini sifuri tisa hii ni moja ya zawadi UNK kumpatia mshindi wa mashindano ya kumsaka malkia wa tanzania vodacom miss tanzania ishirini sifuri tisa na leo hii UNK rasmi miriam gari hili ili aweze kufanya shuguli zake kwa urahisi zaidi kwa kutumia usafiri huu alisema rwehumbiza naye miriam baada ya kukabidhiwa gari hilo aliishukuru vodacom kwa kutimiza ahadi yao ambapo naye aliahidi kulitumia gari hilo kwa uangalifu mkubwa ikiwa ni pamoja na kulitunza mkurugenzi wa kampuni ya lino internation agency ltd inayoandaa mashindano ya miss tanzania hashim lundenga alisema miriam UNK vyema kwa ajili ya kukabiliana na mikikimikiki ya UNK UNK cha miss UNK kitakachofanyika afrika kusini alisema anaimani na mrembo huyo kufanya vizuri katika mashindano hayo yanayoshirikisha warembo kutoka nchi mia moja na ishirini duniani lakini kwanza ijumaa atakwenda uingereza kwenye maonesho ya biashara akiambatana waziri wa maliasili na utalii shamsi mwangunga miriam anatarajiwa kukabidhiwa bendera ya taifa kesho kwa ajili ya kwenda miss world ambapo mashindano hayo yatafanyika desemba kumi na mbili mwaka huu nchini afrika kusini klabu za simba na yanga kila moja imepata mgao wa shilingi milioni tisini mia moja na thebathini na mbili mia saba na tisini na tano kutokana na mapato yaliyotokana na mechi yao ya ligi kuu tanzania bara iliyochezwa jumamosi iliyopita na simba kushinda bao moja sifuri hivyo klabu hizo kwa pamoja zimevuna shilingi milioni mia moja na themanini akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania fredrick mwakalebela alisema mgao huo umetokana na jumla ya shilingi mia nne na ishirini mia mbili na thebathini na tano sifuri sifuri sifuri zilizopatikana katika mechi hiyo alisema mapato hayo ni kutokana na watazamaji arobaini na nane mia sita na themanini na saba walioingia uwanjani ambapo tiketi za madaraja matatu ziliuzwa zote kijani mzunguko zilikuwa zikiuzwa shilingi tano sifuri sifuri sifuri bluu mzunguko shilingi saba sifuri sifuri sifuri na rangi ya chungwa nyuma ya magoli ni shilingi kumi sifuri sifuri sifuri mwakalebela alisema tiketi za vip a ambazo zilikuwa zikiuzwa shilingi sitini sifuri sifuri sifuri vip b shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri vip UNK thebathini sifuri sifuri sifuri na rangi ya chungwa mkabala na jukwaa kuu shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri ziliuzwa chache alisema katika mgawanyo huo wa mapato gharama za mchezo ni shilingi milioni themanini mia moja na kumi na nane sifuri nne sifuri tff shilingi thebathini sifuri nne nne mia mbili na sitini na tano fdf shilingi kumi na tano sifuri mbili mbili mia moja na thebathini na mbili uwanja shilingi themanini mia moja na kumi na nane sifuri nne sifuri bmt shilingi tatu sifuri sifuri nne mia nne na ishirini na sita na chama cha soka mkoa wa dar es salaam wamepata shilingi kumi na mbili sifuri moja saba sabini sita tunapenda kuwapongeza wadau wote wa mpira ambao kwa namna moja au nyingine walichangia kufanikisha mchezo huo pongezi ziende kwa kamati ya kusimamia uwanja wa taifa vyombo mbalimbali vya dola wafanyakazi wa tff UNK mashabiki waandishi wa habari pamoja na timu zilizoshiriki alisema mwakalebela alisema hata hivyo kulikuwepo na upungufu kiasi katika kudhibiti mashabiki wasiokuwa na tiketi kwani baadhi yao walifanikiwa kuingia uwanjani japo hawakuwa na tiketi ambao baadhi ya watu UNK kudhibiti walikuwa dhaifu ligi ya vodacom tanzania bara inatarajiwa kuendelea tena leo kwa kupigwa mchezo mmoja kati ya wenyeji moro united itakayoikaribisha majimaji ya songea katika mchezo utakaopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam mchezo huo utakuwa wa mwisho kwa timu hizo katika mzunguko wa kwanza ambao ni muhimu zaidi kwa majimaji kuibuka na ushindi kwani endapo itashinda UNK timu za yanga na azam fc kwa kuwiana kwa pointi kumi na nane kila moja majimaji katika msimamo wa ligi hiyo ipo nafasi ya sita ikiwiana na jkt ruvu kwa pointi kumi na tano ila zinatofautiana kwa mabao ya kufunga ambapo kama watashinda katika mchezo wa leo huenda wakawa katika nafasi nzuri zaidi kwa kushika nafasi ya tano moro ipo nafasi ya tisa kwa kujikusanyia pointi tisa na kama UNK na kuibuka na ushindi katika mchezo huo itafikisha pointi kumi na mbili na UNK timu za manyema rangers na kagera sugar na kukwea nafasi ya saba mpaka sasa ligi hiyo inaongozwa na simba yenye pointi thebathini ikifuatiwa na mtibwa sugar yenye pointi kumi na tisa na timu za azam na yanga UNK katika nafasi ya tatu na ya nne kwa kuwiana kwa pointi kumi na nane kila moja london england timu za manchester united na chelsea za uingereza zimetinga hatua ya mtoano ya michuano ya klabu bingwa ulaya baada ya kutoka sare na wapinzani wao katika mechi zilizofanyika usiku wa kuamkia jana katika mfululizo wa mechi hizo ambazo zilipigwa viwanja tofauti UNK united walikuwa nyuma kwa mabao tatu moja lakini zikiwa zimesalia dakika sita mchezo kumalizika wachezaji paul scholes na antonio valencia UNK timu yao na kuondoka na pointi moja muhimu waliyokuwa UNK ili kusonga mbele hatua nyingine ya michuano hiyo didier drogba alifunga mabao dakika za themanini na mbili na themanini na nane na kuiwezesha chelsea kuongoza kwa mabao mbili moja dhidi ya atletico madrid lakini UNK aguero aliisawazishia timu yake bao dakika za mwisho na kuufanya mchezo kumalizika kwa sare ya mabao mbili mbili timu zingine zilizoungana na vigogo hao wa ligi kuu ya england ni bordeaux na fc porto bordeaux wakiwa ugenini waliichapa bayern munich mabao mbili sifuri wakati fc porto ikiibuka na ushindi wa bao moja sifuri dhidi ya apoel nicosia ushindi huo umeiwezesha timu hiyo kuungana na chelsea kusonga mbele kundi d ac milan na real madrid bado UNK hatua nyingine baada ya sare ya bao moja moja iliyopatikana kwenye uwanja wa san siro milan italia wolfsburg imefikisha pointi saba ikiwa imezidiwa pointi tatu na united tatu dhidi ya cska baada ya kuichapa besiktas mabao tatu sifuri katika kundi b chelsea ilionekana kama wangefungwa mechi hiyo baada ya aguero kuipatia bao la kwanza dakika ya sitini na sita chelsea haijapoteza mechi katika kundi d UNK UNK na marouane chamakh kila mmoja aliifungia timu yake bao na kuiwezesha bordeaux kufikisha pointi kumi katika kundi a ikiwa pointi mbili mbele ya juventus na sita dhidi ya mabingwa mara nne wa kombe hilo UNK akiwa amechanganyikiwa kocha wa bayern louis van gaal alimwingiza arjen robben mwanzoni mwa kipindi cha kwanza na mario gomez lakini hakuna UNK juventus iliipiga maccabi haifa bao moja sifuri nchini israel mechi hiyo ilikuwa ya kundi a milan na real madrid zimebaki katika mvutano mkubwa wa kundi c zikiwa sawa pointi huku UNK marseille nyuma kwa pointi moja baada ya kuikandamiza fc zurich mabao sita moja wanachama wataka UNK mfadhili baada ya yanga kufungwa bao moja sifuri na watani wao wa jadi simba katika mchezo wa ligi kuu ya tanzania bara uliopigwa jumamosi kwenye uwanja wa taifa dar es salaam wanachama wa klabu hiyo wameibuka na kutaka washirikishwe kwani wamechoka kuwa wanyonge mbele ya simba katika mchezo huo bao hilo pekee la simba lilifungwa na mussa hassan mgosi katika kipindi cha kwanza baada ya kuunganisha mpira wa krosi uliopigwa na danny mrwanda akizungumza dar es salaam jana mmoja wa wanachama wa klabu hiyo kongwe nchini davis mosha akiwa na uchungu alisema anaona timu UNK mfadhili peke yake kwa sababu katika mpira kuna mambo mengi ambayo mfadhili hawezi kuyajua lakini kama kutakuwa na kamati maalumu ana uhakika dawa itakuwa UNK mosha alisema wapo wanachama wengi wenye uchungu na yanga ambao wanapenda kushirikishwa lakini wamekuwa kimya baada ya kuona hawashirikishwi wakati wa maandalizi ya mechi dhidi ya watano wao na nyingine klabu hiyo kwa sasa UNK na yusuf manji ambaye UNK jengo linalotumika kwa ajili ya kambi ya wachezaji na pia ndiye UNK na kuwalipa mishahara makocha wa kigeni alisema hata kama mfadhili anapewa timu lakini ni lazima wanachama washirikishwe yeye amejitolea kuwa mmoja wa wanachama UNK kamati ya ushindi na pia atakuwa mstari wa mbele katika kuuomba uongozi ili UNK kamati hiyo wenzetu wa simba wana umoja na hawa fri of simba kila siku wanakutana wanafanya mikakati ya ushindi lakini wana yanga wote UNK mtu mmoja kitu ambacho si kizuri tumechoka kuwa wanyonge kila siku UNK uwanjani tunatakiwa UNK sasa huko nyuma kulikuwa na yanga family lakini baada ya kutokea mfadhili hakuna tena kitu kama hicho UNK na kuwataka wana yanga wenzangu kuliona hilo tuwe tunakutana kupanga mikakati alisema mosha alisema licha ya mfadhili kuwepo lakini anatakiwa asaidiwe katika mambo mengine ambayo UNK huku tukiendelea kuumia kwa kufungwa UNK ufike wakati waungane na kusaidia kufanikisha ushindi arsenal imeweka matumaini ya kutinga hatua ya mtoano ya michuano ya klabu bingwa ulaya huku liverpool na rangers zikiendelea kuweka rehani matumaini ya kutinga hatua hiyo katika mfululizo wa michuano hiyo iliyofanyika usiku wa kuamkia jana arsenal waliweka matumaini hai baada ya UNK kipigo timu ya az alkmaar cha mabao nne moja huku liverpool UNK sare ya kufungana bao moja moja na timu ya lyon ambayo imeshafuzu hatua hiyo ya timu kumi na sita bora liverpool ndiyo ilikuwa ya kwanza kuliona lango la wapinzani wake baada ya ryan babel kuifungia bao dakika ya themanini na tatu kabla ya mchezaji lisandro kutumia makosa ya mabeki wa liverpool kuisawazishia bao hilo timu ya sevilla nayo ilifuzu hatua hiyo ya mtoano huku inter milan na barcelona zikiendelea kujiweka katika mazingira magumu ya kutinga hatua hiyo sevilla imesonga mbele hatua ya mtoano baada ya kutoka sare ya bao moja moja na stuttgart na inter milan iliwapeleka wavuni mara mbili dynamo kiev ndani ya dakika nne na kuufanya mchezo huo kumalizika kwa ushindi wa mabao mbili moja liverpool imefikisha pointi nne katika mechi nne ikiwa nyuma kwa pointi sita dhidi ya lyon na tano dhidi ya fiorentina ambayo iliichapa debrecen mabao tano mbili UNK yaliyofungwa na adrian mutu UNK UNK UNK UNK marco marchionni na UNK UNK arsenal inahitaji pointi moja UNK manchester united na chelsea ambazo UNK hatua ya kumi na sita bora jumanne pamoja na fc porto na bordeaux standard liege imeweka hai matumaini yake ya kusonga mbele wakiwa nyuma ya arsenal katika kundi h baada ya kushinda mabao mbili sifuri dhidi ya UNK arsenal imefikisha pointi kumi pointi nne zaidi ya olympiakos na sita dhidi ya standard hata az bado ina nafasi ya UNK mbele inter milan imechupa nafasi ya kwanza kundi f baada ya kuibuka na ushindi wa mabao mbili moja mabao ya inter milan yalifungwa na diego milito dakika ya themanini na sita na wesley sneijder dakika ya themanini na tisa wakati UNK UNK aliifungia dynamo kiev dakika ya arobaini na tano wachezaji wa simba george nyanda na anthony matangalu UNK kuti kavu katika timu hiyo kutokana na kudaiwa kuwa ni miongoni mwa wachezaji watakaopunguzwa kwenye usajili wa dirisha dogo tayari shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK milango kwa ajili ya usajili wa dirisha dogo kwa ajili ya mzunguko wa pili wa ligi kuu tanzania bara habari zilizopatikana dar es salaam jana kutoka kwa mmoja wa viongozi wa klabu hiyo ambaye hakupenda kuandikwa gazetini zilieleza kuwa wachezaji hao UNK na uongozi akiwemo na kocha mkuu wa timu hiyo mzambia patrick phiri kwa kuwa wachezaji hao bado wana mkataba na simba tumependekeza UNK kwa mkopo kwa klabu yoyote UNK hivyo matangalu na nyanda ni wachezaji ambao wamependekezwa hatua ya awali kilidai chanzo hicho simba inatarajia kushuka uwanjani kesho kucheza na azam fc mechi ya kirafiki kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam phiri katika mechi hiyo UNK wachezaji wa kikosi cha pili kwa lengo la kuangalia mapungufu na kuyafanyia kazi katika usajili wa dirisha dogo chanzo hicho kilidai kuwa phiri ameona kuna wachezaji ambao hawana msaada katika timu ndiyo maana kocha huyo alipendekeza mechi hiyo ya kirafiki ili aweze kupima uwezo wa wachezaji wote na baada ya mechi ya kesho ameomba kutafutiwa mechi nyingine majimaji ya songea jana ilifanikiwa kuifunga moro united mabao tatu mbili katika mechi ya ligi kuu iliyopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam na kufikisha pointi kumi na nane na kupanda nafasi tano katika msimamo wa ligi hiyo sawa na timu za yanga na azam fc isipokuwa UNK kwa mabao ya kufunga mechi hiyo ilianza kwa nguvu kwa timu zote kushambuliana kwa zamu ambapo dakika ya kumi na moja moro ilipiga hodi langoni mwa majimaji lakini oscar joshua akashindwa kuukwamisha mpira wavuni baada ya kupata mpira uliopigwa kona lakini UNK mpira juu ya lango majimaji ilijibu shambulizi hilo na kufanikiwa kufunga bao la kwanza dakika ya kumi na nane lililofungwa na juma mpola kwa shuti kali baada ya kuunganisha krosi ya salum chimae dakika ya ishirini na nane selemani kibuta aliifungia majimaji bao la pili kwa kichwa akiunganisha krosi ya mpola baada ya kufungwa bao hilo moro ilizinduka na kufanikiwa kupata bao la kwanza dakika ya thebathini na mbili kupitia kwa thomas ulimwengu baada ya kuutokea mpira uliopigwa na UNK baada ya kupata bao hilo moro ilicharuka na kufanikiwa kusawazisha dakika ya hamsini kupitia kwa ulimwengu aliachia kombora kali baada ya kupata pasi ya everist maganga majimaji UNK ushindi katika mechi hiyo dakika ya tisini baada ya UNK kufunga bao la tatu akitumia uzembe wa beki juma UNK na kipa salum telela waliokuwa UNK kuondoa hatari hiyo ni nani UNK mbabe katika pambano la ngumi la uzito wa juu duniani kuwania mkanda wa wba kati ya UNK valuev wa russia na david haye jibu la swali hilo litapatikana na usiku wa leo mjini nuremberg ujerumani bingwa mtetezi wa mkanda wa wba valuev leo UNK kazi kwa raundi kumi na mbili na haye ambaye anawania ubingwa wa dunia wa uzito wa juu duniani kwa mara ya kwanza baada ya kupanda kutoka uzani wa cruiser valuev atapanda UNK huku akiwa na faida ya urefu na uzito mkubwa dhidi ya mpinzani wake ambaye alisema hatishiki na umbo urefu pamoja na sura mbaya ya mpinzani wake mwenye mwili wenye UNK vingi juzi mabondia hao walikutana uso kwa uso mjini nuremberg katika mkutano wa kuhamasisha pambano hilo ambapo kila mmoja alitamba huku valuev akisema hana maneno mengi ni ngumi UNK haye alisema mpinzani wake anazidi kuongezeka siku hadi siku ikiwemo kichwa chake na kusema anakusudia kumtwanga leo pambano la leo kitu ambacho UNK UNK kupigana naye tena katika mkutano huo valuev hakusema maneno mengi mapromota wake ndiyo walionekana kuguswa na maneno hayo kuliko mwenyewe ninaamini nitamtwanga kwa ko haye alitamba katika mkutano uliofanyika arena UNK UNK nitakwenda na ubingwa nyumbani alisema haye huku akisema kuwa maandalizi yake UNK magumu sana kwa ajili ya pambano hilo muhimu zaidi katika maisha yake alisema ilikuwa ngumu kuwapata wakufunzi warefu kama mpinzani wake wakati wa maandalizi alisema kuwa pambano hilo litakuwa kama la daudi na UNK na kutamba kuwa yeye ana kazi zaidi kuliko mpinzani wake hivyo anaamini kuwa atashinda mpinzani wake valuev alisema ingawa UNK kwa muda UNK tu na kubweteka nilianza UNK kuanzia mwishoni mwa juni katika wiki chache zilizopita nilikuwa UNK rasmi kwa ajili ya david haye ni mpinzani imara lakini UNK mimi valuev ana rekodi ya kucheza mapambano hamsini kupoteza moja ameshinda thebathini na nne kwa ko ana uzito wa kilo mia moja na arobaini na saba urefu wa futi saba na nchi mbili haye amecheza mechi ishirini na mbili amepoteza moja na kushinda ishirini na moja kwa ko ana urefu wa futi sita na inchi tatu huku akiwa na uzito wa kilo tisini na tano mia tano na hamsini na tano kombe la ligi kuu uingereza UNK nchini baada ya kulileta nchini kombe la ligi kuu ya uingereza benki ya barclays tanzania inafanya taratibu za kudhamini ligi kuu ya soka tanzania bara baada ya baraza la michezo la taifa na shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK milango benki hiyo kufanya nayo mazungumzo kombe hilo la ligi ya uingereza liliwasili nchini jana asubuhi na kupelekwa moja kwa moja kwenye hoteli ya new afrika jijini dar es salaam kwa ajili ya UNK katika mitaa mbalimbali ya jiji hilo akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana mkurugenzi mtendaji wa benki hiyo UNK UNK juu ya ujio wa kombe hilo alisema hiyo ni mara ya kwanza kwa kombe hilo kutua hapa nchini kitendo ambacho kitazidi kuongeza mashabiki wa ligi hiyo hapa nchini alisema kombe hilo UNK nchini kwa siku mbili kuanzia jana na leo ambapo UNK katika mitaa mbalimbali ya jiji la dar es salaam ambapo wamefanya hivyo ili kutoa nafasi kwa wadau wa soka kuliona kombe hilo benki ya barclays imeongeza mkataba wa kuendelea kudhamini ligi ya uingereza mpaka mwisho wa msimu wa ligi wa mwaka ishirini moja mbili kumi na tatu ambapo kwa kipindi hicho barclays itadhamini kwa paundi za uingereza milioni themanini na mbili ishirini na tano alisema UNK akijibu baadhi ya maswali juu ya kombe hilo kutua nchini na watanzania watafaidika nalo vipi alijibu kwa kusema kuliona tu itakuwa faraja kubwa pia kwa sasa wapo katika mazungumzo na bmt na tff juu ya kudhamini ligi kuu ya tanzania bara alisema mazungumzo hayo yanaendelea na wana imani yatafikia pazuri kwani dalili za mvua ni mawingu hivyo wadau wa soka wanatakiwa wawe wavumilivu juu ya suala hilo aliongeza kuwa watashirikiana na mwenyekiti wa bmt idd kipingu katika kuhakikisha kuanzia mwakani wanaandaa programu ya kupeleka vijana wadogo katika vituo vya michezo huko uingereza ili tanzania nayo iwe na wachezaji wengi wa kulipwa naye kipingu alisema wamejisikia faraja kuona mwaka huu makombe yote makubwa duniani na maarufu UNK hapa nchini hivyo ni fursa pekee kwa wachezaji wa tanzania kuzidisha juhudi ili UNK wageni wa makombe hayo alisema UNK barclays kwa kulileta kombe hilo nchini kwani katika ya watazamaji milioni hamsini sifuri duniani watanzania nao wapo wengi hivyo sasa UNK wenyewe pia hata UNK baadhi ya timu za huko waweze UNK pia aliongeza wanaiomba barclays UNK nguvu katika kudhamini mashindano ya vijana na yale ya wanawake ili waondokane na kila siku kuwa wasindikizaji katika mashindano ya kimataifa sana a yemen timu ya taifa taifa stars leo inajitupa tena uwanjani mjini hapa kupambana na timu ya taifa ya yemen katika mchezo wa pili wa kimataifa wa kirafiki kuanzia saa kumi za jioni taifa stars itakuwa ikitafuta ushindi dhidi ya timu hiyo baada ya kutoka sare ya moja moja UNK wa kwanza uliofanyika jumapili iliyopita mwalimu marcio maximo tayari amesema mchezo wa leo ni muhimu katika kuendelea kuijenga timu hiyo na kwamba malengo ni kupata ushindi tulicheza vema katika mchezo wa kwanza japo tulikuwa UNK na hali ya hewa ambayo ni nzito na UNK UNK kwa wachezaji bila shaka siku tatu hizi ambazo tumekuwa hapa zitatusaidia kuzoea kwa kadri hali hii na hivyo kuwa na mchezo bora zaidi UNK maximo kocha huyo UNK kufanya marekebisho makubwa kwenye kikosi chake kama yale aliyoyafanya UNK ya mchezo wa misri ambapo katika kikosi cha wachezaji kumi na moja maximo aliingiza wachezaji sita wapya na hivyo UNK UNK kwa zaidi ya asilimia hamsini changamoto inayoikabili taifa stars ni kuinua mchezo na kujipatia ushindi tena ikiwezekana ushindi mkubwa ili kuonesha kuwa matokeo yaliyotangulia yalikuwa ni ya bahati mbaya tu kwa upande mwingine kocha maximo atakuwa UNK na kurejea kwa mchezaji tegemeo kiungo wa pembeni mrisho ngasa baada ya kukabiliwa na homa na kushindwa kushiriki kabisa katika mchezo wa kwanza na yemen uliomalizika kwa sare ngasa ndiye mchezaji anayeongoza kwa kutoa migongeo ya mwisho UNK magoli akiwa ametoa migongeo safi kumi na nne katika michezo ishirini na saba UNK timu ya taifa hadi sasa na yeye mwenyewe kutikisa nyavu mara nne kwa ujumla kikosi kipo katika hali nzuri na wachezaji wote wana ari ya kupata UNK mazuri meneja wa timu UNK mukebezi amesema UNK yote ya UNK yako katika hali ya kuridhisha na kinachosubiriwa ni mchezo hapo kesho kwa upande wake kiongozi wa msafara makamu wa pili wa rais wa tff nassib ramadhan amesema UNK ameridhishwa na jinsi mazingira na huduma inayopewa taifa stars na kuwataka wachezaji kuwapa raha watanzania kwa kupata ushindi katika mchezo wa leo na asha kigundula shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK wachezaji mussa hassan mgosi wa timu ya simba na shaban kado wa mtibwa sugar ambao walipigana uwanjani katika mechi yao iliyochezwa morogoro hata hivyo kuna taarifa kuwa mchezaji huo ameondoka nchini juzi kwenda india kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema uamuzi wa kuwaachia wachezaji hao yametolewa na kamati ya mashindano ambayo ilikutana juzi UNK mwakalebela alisema kamati hiyo imezitaka timu za simba na mtibwa kulipa faini ya shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri kwa kila timu ili wachezaji hao waweze kucheza alisema endapo timu hizo zitatoa faini hiyo wachezaji hao UNK ambapo mgosi anaweza kuichezea timu yake dhidi ya yanga timu ya simba jana iliweka rekodi ya kumaliza mzunguko wa kwanza wa ligi kuu tanzania bara bila kufungwa baada ya kuitandika mtibwa sugar mabao tatu moja katika mechi iliyopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam kwa ushindi huo simba sasa imeendelea kujikita kileleni katika msimamo wa ligi hiyo kwa kufikisha pointi thebathini na tatu pointi kumi na mbili zaidi ya azam fc ambayo ipo nafasi ya pili ikifuatiwa na mtibwa yenye pointi kumi na tisa katika nafasi ya tatu katika mchezo huo mtibwa ilikuwa ya kwanza kubisha hodi langoni mwa simba kupitia kwa said mkopi aliyeunganisha kwa kichwa mpira wa adhabu ndogo uliopigwa na zuberi katwila na kugonga mwamba wa juu na kutoka nje simba ilijibu shambulizi hilo kwa dakika ya ishirini kwa kufunga bao la kwanza lililowekwa kimiani na mussa hassan mgosi baada ya kuuwahi mpira uliopigwa na kipa juma kaseja na kumkuta mfungaji UNK na kumshinda kipa wa mtibwa shaaban kado na kutinga wavuni baada ya kufungwa bao hilo mtibwa walitulia na kuanza kupanga mashambulizi yaliyoongozwa na kiungo mkongwe wa timu hiyo zuberi katwila lakini hata hivyo walishindwa kusawazisha hadi kipindi cha pili UNK hata hivyo katika kipindi hicho mtibwa UNK nafasi waliyoipata dakika ya arobaini na tatu kupitia kwa mkopi aliyeunganisha kwa kichwa mpira wa adhabu ndogo uliopigwa na katwila na kugongwa mwamba wa juu na kurudi katikati uwanja na mabeki wa simba wakaondosha hatari hiyo kipindi cha pili kilianza kwa kasi kwa simba kufanya shambulizi la nguvu dakika ya arobaini na tisa lililosababisha kufunga bao la pili lililofungwa na uhuru seleman kwa shuti kutokana na kazi nzuri iliyofanywa na emmanuel okwi UNK mgosi UNK mfungaji aliyekwamisha mpira wavuni dakika nane baadaye mtibwa ilijibu shambulizi hilo kwa kufunga bao la kufutia machozi lililofungwa na yusuph UNK aliyeingia badala ya soud abdallah kwa kichwa baada ya kuuwahi mpira wa adhabu ndogo uliopigwa na nahodha shaaban nditi kugonga mwamba na kumkuta mfungaji timu hizo ziliendelea kushambuliana kwa zamu lakini ni simba UNK mashabiki wake kwenye viti zikiwa zimebaki dakika nne kabla ya filimbi ya mwisho kupulizwa kwa kufunga bao la tatu lililofungwa na david naftari aliyeingia badala ya ramadhani chombo kwa shuti wakati cameroon imeweza kufuzu fainali za kombe la dunia kwa mara ya sita misri italazimika kucheza tena na UNK ili kupata timu ya sita itakayowakilisha afrika katika mashindano hayo mwakani nchini afrika kusini cameroon UNK lions ilipata nafasi hiyo juzi baada ya kuifunga morocco bao mbili sifuri mjini UNK misri ilicheza na algeria mjini cairo na kuibuka na ushindi wa mabao mbili sifuri lakini UNK UNK kwa kuwa UNK pointi na magoli hivyo sasa UNK tena katika uwanja huru nchini sudan jumatano ili kupata timu ya kuwakilisha kombe la dunia cameroon iliyokuwa kundi namba moja imemaliza mechi zake kwa kufikisha pointi kumi na tatu ilipata goli la kwanza kupitia kwa UNK UNK dakika ya kumi na nane kisha bao la pili lilifungwa na samweli eto o kwa kichwa akiunganisha kona ilipigwa na UNK UNK katika mechi hiyo jumla ya mashabiki ishirini na tano sifuri sifuri sifuri waliingia bure cameroon ilianza mashindano hayo kwa matatizo kwa kufungwa bao moja sifuri dhidi ya togo na kutoka suluhu na morocco timu UNK mashindano ya kombe la mataifa ya afrika nchini angola kutoka kundi hilo ni cameroon gabon na togo ambayo iliifunga gabon juzi bao moja sifuri na kufikisha pointi nane bao la gabon katika mechi iliyochezwa mjini UNK lilifungwa na UNK UNK katika dakika za majeruhi mechi ya kundi namba tatu kati ya misri na algeria mjini cairo ilikuwa ya upinzani mkali misri ilitakiwa kushinda mabao tatu sifuri ili kufuzu fainali za afrika kusini kwa tofauti ya magoli mchezaji wa aliyeingia uwanjani akitokea benchi UNK moteab alifunga goli la pili katika dakika za majeruhi na kuleta matumini ya kufuzu baada ya awali amr zaki kufunga goli la kwanza dakika ya pili baada ya mpira wa mohamed aboutrika kugonga mwamba wa goli na kurudi uwanjani algeria ilikosa nafasi nyingi ambazo zingeweza kuisaidia kusawazisha zaki alitolewa na kuingia moteab katikati ya kipindi cha pili huku mashabiki wakiwa wamekata tamaa kuhusu kufuzu kwenda afrika kusini alibadili matokeo kwa kufunga goli zikiwa zimesalia sekunde mpira kumalizika zambia ilifuzu fainali za kombe la mataifa ya afrika baada ya kutoka suluhu dhidi ya rwanda mjini kigali matokeo ya mechi nyingine zilizofanyika jumamosi ni burkina faso moja sifuri malawi msumbiji moja sifuri tunisia ivory cost tatu sifuri guinea na sudan moja mbili UNK timu za afrika zilizofuzu fainali za kombe la dunia ishirini moja sifuri cameroun ivory coast ghana nigeria na wenyeji afrika kusini africa nafasi nyingine itachukuliwa na algeria au misri ambazo zitachuana sudan keshokutwa nchi zilizofuzu kombe la mataifa ya afrika angola ishirini moja sifuri ni algeria angola benin burkina faso cameroon ivory coast misri gabon ghana msumbiji nigeria mali malawi togo tunisia na zambia na asha kigundula majigambo ya watani wa jadi simba na yanga leo yatamalizika katika mechi ya ligi kuu itakayopigwa uwanja wa taifa dar es salaam simba itaingia uwanjani ikitaka kuua ndege wawili kwa jiwe moja kwanza itataka kupata pointi tatu ili UNK mazingira mazuri ya kucheza kombe la shirikisho mwakani na pia itataka kulipa UNK cha kufungwa bao moja sifuri mzunguko wa kwanza yanga tayari UNK kombe la ligi hiyo hivyo itaingia uwanjani kutafuta heshima kwa kuifunga simba ili UNK furaha ya ubingwa huo simba hadi sasa ina pointi thebathini na sita hivyo ushindi wa leo UNK kucheza kombe la shirikisho ambalo nafasi inawaniwa pia na mtibwa sugar ambayo UNK kwa karibu hata hivyo simba itabidi ifanye kazi ya ziada kutoka na pointi hizo kwa yanga kwani nayo haitakubali kufungwa kirahisi kwa kuwa itataka kuendeleza rekodi yake ya kufanya vizuri katika ligi hiyo mwenyekiti wa yanga imani madega alisema dar es salaam jana timu yake ipo vizuri kwa ajili ya mechi ya leo hivyo wapenzi na wanachama wa klabu hiyo wasubiri kuona mnyama UNK yanga jana ilirudi jijini kutoka bagamoyo UNK kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya leo ambapo ilifikia UNK hoteli iliyopo osterbay dar es salaam naye mwenyekiti wa timu ya simba hassan dalali alisema kuwafunga yanga katika mechi hii ni kama mtoto kupigwa kibao na mzazi wake alisema leo wataifunga yanga zaidi ya bao moja ili kurudisha heshima msimbazi kwa kuwa wana kila sababu ya kushinda mabingwa watetezi wa tanzania bara yanga jana ilimaliza mzunguko wa kwanza wa ligi kuu kwa kuwabamiza maafande wa UNK mabao nne mbili katika mechi ya ligi hiyo iliyopigwa dar es salaam jana katika uwanja wa uhuru dar es salaam kutokana na ushindi huo yanga itakuwa imechupa hadi nafasi ya tatu kwa kujikusanyia pointi ishirini na moja sawa na azam fc isipokuwa UNK kwa mabao ya kufunga mchezo wa jana ulikuwa mgumu kutokana na timu zote kucheza kwa nguvu kwa kutaka kutoka uwanjani kifua mbele ambapo yanga iliandika bao la kwanza dakika ya tisa lililofungwa na mrisho ngassa baada ya kuunganisha kona ilichongwa na kigi makasy yanga ilicharuka na kufanikiwa kupata bao la pili dakika ya thebathini na nne lililofungwa na makasy baada ya kupokea pasi ya abdi kassim hata hivyo dakika tatu baadaye prisons walifanikiwa kupata bao la kwanza lililofungwa na john baada ya kuunganisha mpira wa adhabu ndogo uliopigwa na patson UNK kipindi cha pili kilianza kwa yanga kuingia nguvu ya kutaka kuongeza mabao ambapo katika dakika ya arobaini na saba ngassa alifunga bao la pili baada ya kupokea pasi ya athuman idd chuji ikiwa na UNK na mechi hiyo prisons ilifanikiwa kupata bao la pili katika dakika ya sitini lililofungwa na mbega dafa baada ya kupiga shuti lililokwenda moja kwa moja wavuni hata hivyo chuji UNK tamaa prisons baada ya kufunga bao la nne katika dakika ya themanini na mbili kwa shuti kali akiunganisha pasi ya ngassa yanga steven marashi fred mbuna amir maftah bakary mohamed joseph shikokoti chuji UNK bakary kassim moses odhiambo jerry tegete idd mbaga na ngassa prisons abdulrazak jackson lugano UNK dickson oswald davis john dafa soud ahadi UNK hashim kaongo benjamin asukile shaaban UNK jacob ephraem na matei mzunguko wa pili wa ligi hiyo ambayo inaongozwa na simba baada ya kushinda mechi zote za mzunguko wa kwanza na kujikusanyia pointi thebathini na tatu unatarajiwa kuanza januari mwakani baada ya wadau wa soka nchini kutoa maoni mbalimbali juu ya kiwango cha timu ya taifa ya tanzania taifa stars kocha mkuu wa timu hiyo marcio maximo amevunja ukimya kwa kuendelea na msimamo wake wa kuchagua wachezaji wazalendo wasio UNK na wenye nidhamu mbali na hayo maximo alionekana dhahiri UNK kipa mahiri wa timu ya simba juma kaseja kwa kile alichosema kwamba katika kikosi chake UNK wachezaji wasio na machungu na timu zao pindi UNK pia UNK kifua kipa namba mbili wa simba ally mustapha barthez kwa kusema kuwa kufungwa kwake mabao mengi na timu ya taifa ya misri UNK si kama hajui ila kutokana na uwezo wa timu waliyocheza nayo kuwa juu kisoka hivyo yeye binafsi UNK akizungumza dar es salaam jana maximo alisema hataweza kwenda kinyume na mipango yake aliyopanga katika kuhakikisha tanzania inapiga hatua katika soka la kimataifa alisema anawafahamu watanzania vizuri kwa kupenda mambo mazuri kwa muda mfupi hivyo yeye UNK kuendelea na programu zake UNK ingawa wadau wengi wa soka hawaoni anachokifanya katika timu hiyo na kusisitiza hawezi kujiuzulu kwa sababu hizo UNK wachezaji katika timu ya taifa kwa matakwa ya kikundi cha watu fulani au mtu fulani hii si klabu bali ni timu ya taifa hivyo ni wajibu wangu kufanya vitu vya msingi kwa manufaa ya taifa na si ya mtu mmoja alisema maximo alisema UNK mengi kutaka baadhi ya wachezaji UNK katika timu ya taifa lakini kwake hilo hajali na UNK mfano wa kuigwa wachezaji mussa hassan mgosi shadrack nsajigwa na salum sued kutokana na nidhamu na mchango wao UNK katika kuinua soka la vijana akizungumzia ziara ya michezo waliyofanya katika nchi za misri na yemen maximo alisema amegundua wachezaji wenye machungu na timu hiyo na wale wasio na machungu lakini kikubwa atakachofanya ni kuzidi kuijenga timu hiyo alisema baada ya kuchapwa mabao tano moja na misri walitakiwa kupumzika si chini ya wiki moja kabla ya kucheza mchezo mwingine lakini hali ilikuwa tofauti na ndiyo maana hawakufanya vizuri katika michezo yao dhidi ya yemen katika hatua nyingine maximo alizungumzia mashindano ya chalenji yanayotarajiwa kuanza novemba ishirini na nane mpaka desemba kumi na nne mwaka huu nchini kenya ambapo alisema timu hiyo itaanza kujifua kuanzia kesho kwenye uwanja wa karume jijini dar es salaam baada ya kuiwezesha timu yake ya simba kuweka rekodi katika ligi kuu ya tanzania bara kocha mkuu wa timu hiyo mzambia patrick phiri ametamba kwenda kufuata vifaa vingine nchini kwao vitakavyosaidia kufanya vizuri zaidi katika mashindano mbalimbali simba imeweka rekodi kwa kushinda michezo kumi na moja ya mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo na kuvunja ile iliyowekwa na prisons mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba ambayo ilishinda michezo tisa na kufanya simba imalize ikiwa na pointi thebathini na tatu akizungumza mara baada ya kumalizika kwa mchezo kati ya simba dhidi ya mtibwa sugar ya morogoro ambapo timu yake iliibuka na ushindi wa mabao tatu moja uliopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam juzi kocha huyo alisema wachezaji wake kwa sasa wanacheza kama UNK alisema kutokana na uwezo ulioneshwa na wachezaji wake katika mzunguko huo anatarajia kwenda kuongeza wachezaji wengine kadhaa nchini zambia ili kuzidi UNK kikosi hicho katika mzunguko wa pili na mashindano ya kimataifa wachezaji wangu UNK kwani wanafanya kile UNK na hii UNK hamasa zaidi ya kuzidi kukiimarisha kikosi hicho ambapo hivi karibuni nitakwenda nyumbani kwa mapumziko mafupi na nikirudi nitakuja na wachezaji wawili wapya alisema phiri alisema atarudi nchini kabla ya michuano ya kombe la tusker ambapo wachezaji hao UNK katika michuano hiyo na endapo kama UNK nao UNK katika kikosi chake UNK pia na michuano ya kombe la shirikisho mwakani akizungumzia mchezo dhidi ya mtibwa phiri alisema wachezaji wote wamecheza katika kiwango cha juu hasa winga uhuru seleman na emmanuel okwi licha ya mtibwa kucheza soka la kuvutia na wakati mwingine UNK UNK kupoteza mchezo huo katika hatua nyingine phiri alisema mshambuliaji wake aliyekwenda kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa nchini swiden haruna moshi boban hajaacha pengo kwani wachezaji waliopo katika kikosi chake kila kukicha UNK siku chache baada ya kocha msaidizi wa timu ya yanga mserbia spaso scolovisk kumaliza mkataba wake uongozi wa klabu hiyo umempa mkono wa kwaheri kwa kutoingia mkataba naye mpya UNK mkataba wake umemalizika novemba kumi na tano mwaka huu ambapo ataungana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo dusan kondic ambaye pia UNK virago baada ya kuonekana uwezo wake umeshuka mbali na hilo pia uongozi wa yanga umewatosa wachezaji castory mumbala na abubakari mtiro UNK katika timu hiyo kutoka katika timu za african lyon na moro united ambazo UNK kwa mkopo kwa madai kuwa UNK UNK timu hizo kwa mwaka mmoja akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa klabu ya yanga lawrance mwalusako alisema hawana mpango wa kuongeza mkataba mwingine na spaso baada ya ule wa awali kumalizika kwani kwa sasa UNK hilo mkataba wa spaso umemalizika na hatuna mpango wa kuingia naye mkataba mwingine hivyo kwa sasa UNK zaidi ni suala la usajili na tunasubiri tff kutupa utaratibu ndipo tutakapojua nini cha kufanya alisema mwalusako pia alizungumzia suala la wachezaji mumbala na mtiro kudaiwa kurudishwa katika timu hiyo kutokana na viwango vyao kushuka alisema wachezaji hao bado UNK muda waliokubaliana na timu hizo kwani walikubaliana UNK timu hizo kwa mkopo wa mwaka mmoja alisema wao UNK kufanya mambo kienyeji kama ingekuwa makubaliano yao yangekuwa kama UNK wasingekuwa na sababu ya kuwakataa wachezaji hao kwani kwa mujibu wa makubaliano yao wachezaji hao bado wataendelea kuzitumikia timu hizo kama unataka ufafanuzi mzuri zaidi juu ya hilo kwa nini UNK tff kwani wao ndiyo UNK kila kitu na taratibu za mchezaji akitolewa kwa mkopo inakuwaje lakini mimi sitaweza kuzungumza mengine zaidi ya hayo alilalamika mwalusako wakati huo huo spaso UNK uongozi wa yanga umlipe fedha zake kwa wakati kwani kwa sasa anaishi katika mazingira magumu na kwamba UNK fedha hizo haraka ili UNK familia yake kutoka afrika kusini ije kuishi tanzania alisema kutokana na yanga kutoonesha nia ya kumuongezea mkataba mwingine anataka UNK hizo fedha kwani maisha ya afrika kusini hayana amani anahofia kuipoteza familia yake mchezaji wa kimataifa wa yanga raia wa kenya boniface ambani amesema endapo kocha mkuu wa timu hiyo kostadin papic atakuwa amemtema katika kikosi chake anamwachia mungu na UNK milango kwa timu nyingine UNK mchezaji huyo ameondoka nchini jana kwenda kenya kwa ajili ya mapumziko ya siku kumi akizungumza kwa simu akiwa safarini kwenda kenya jana ambani alisema taarifa za kutemwa kwake UNK UNK kwasababu hakupewa taarifa rasmi na kwamba kama imetokea hivyo anamwachia mungu kwa kweli nilipopata taarifa hizo kutoka kwa rafiki zangu wa karibu ambao nao walidai kutemwa UNK vibaya sana hivyo nimeamua niende kwetu nikapumzike siku kumi halafu UNK tena tanzania kuja kupata uhakika zaidi ili UNK milango kwa timu nyingine UNK alisema ambani alisema hawezi kulazimisha kuendelea kuichezea timu hiyo kama UNK ila UNK viongozi wake kwanza ili nao UNK hilo kwa kuwa mkataba wake bado UNK wachezaji wanaodaiwa kutemwa mbali ya ambani ni beki wa kati khamis yusuph george owino joseph shikokoti na mike barasa ambaye mkataba wake na yanga umemalizika na ameonekana kutotaka kuongeza akizungumzia suala hilo ofisa habari wa yanga louis sendeu alisema ni mapema kulizungumzia hilo kwa sasa kuwa wachezaji hao wana mikataba na klabu hiyo kwa kweli suala hili si la kulitangaza muda huu kwasababu wachezaji hao bado tuna mkataba nao kinachofanyika kwa sasa ni kukaa nao na kufanya nao mazungumzo ili tukubaliane na ikibidi tuwatafutie timu nyingine waende kucheza kwa mikopo alisema sendeu alisema busara inatakiwa itumike katika suala hilo kwa kuwa hao bado ni wachezaji halali wa yanga hivyo wakikubaliana utakuwa ni uamuzi sahihi kwani mapendekezo ya kocha ni kutaka kupunguza wachezaji wa kigeni mwanamuziki nguli kutoka nchini marekani UNK UNK anatarajia kuwasili nchini keshokutwa kwa ajili kutoa burudani katika tamasha la fiesta ishirini sifuri tisa litakalofanyika jumamosi uwanja wa chuo cha posta dar es salaam akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa kamati ya fiesta UNK mutahaba alisema maandalizi kwa ajili ya tamasha hilo yamekamilika na msanii huyo atawasili nchini akiwa na kundi lake zima la wanamuziki tisa fiesta ishirini sifuri tisa itakuwa na mabadiliko zaidi ya fiesta ya mwaka jana kutokana na maandalizi na burudani kabambe UNK kutoka kwa wasanii wakongwe wa ndani na nje ya nchi alisema UNK alisema wasanii wa nyumbani watakaotoa burudani siku hiyo ni watakuwa mchanganyiko wa wasanii wakongwe na wachanga pamoja na bendi ya muziki wa dansi ya akudo impact ambayo ndiyo itakayoanza kutoa burudani kwa mashabiki kuanzia saa tisa alasiri mutahaba alisema licha ya UNK burudani katika tamasha hilo pia UNK bahati UNK kwa wale walionunua tiketi za kuingilia ambapo mshindi atajinyakulia gari aina ya toyota pajero UNK lenye thamani ya shilingi milioni kumi na mbili mshambuliaji wa klabu ya vfl wolfsburg edin dzeko anatarajia kuja kuchezea ac milan UNK ujao mchezaji huyo kutoka bosnia UNK tayari UNK klabu yake ya ujerumani tayari nimezungumza na watendaji wa wolfsburg kuhusu jambo hilo na wanajua kwua ninataka uhamisho katika UNK ya joto yajayo dzeko aliliambia la UNK UNK sport stori na ac UNK mchezaji huyo mwenye umri wa miaka ishirini na tatu ambaye kwa sasa yuko na timu yake ya taifa bosnia alikwua UNK na klabu ya milan katika majira ya joto yaliyopita lakini wolfsburg walikataa wakisema kwua hawana shida ya fedha milan baada ya kumkosa mshambuliaji huyo UNK UNK UNK UNK hata hivyo UNK huyo UNK san siro na kuifanya UNK kutoa ofa nyingine kwa UNK dzeko ana mkataba na wolfsburg hadi juni juni ishirini moja tatu lakini UNK timu ya milan ya italia kwamba hana mashaka na kuhamia serie a katika siku za baadaye nimekuwa mshabiki wa milan tangu nikiwa mtoto wakati nilipokuwa nikiangalia michezo yao kwenye tv ni sababu nina imani kubwa kuwa ninaweza kucheza pale msimu ujao wanamuziki wa pop wanasiasa na rais ni miongoni mwa watu UNK kuhudhuria sherehe kesho za upangaji ratiba ya mashindano ya kombe la mataifa ya afrika nchini angola yatakayofanyika januari mwakani miongoni mwa wanamuziki watakaohudhuria ni papa UNK na waimbaji wengine wa angola UNK katika sherehe hizo zitakazofanyika katika jengo jipya UNK kwa vioo na vyuma katika mji wa UNK rais wa UNK la UNK la afrika issa hayatou na wajumbe wa kamati ya utendaji na rais wa nchi ya angola yenye utajiri wa mafuta jose eduardo dos santos wanatarajiwa kuwepo pamoja wawakilishi wa nchi kumi na sita UNK katika UNK hayo yatakayoanza januari kumi hadi thebathini na moja watakuwepo wakati ratiba ya makundi manne ambapo mshindi wa kwanza na wa pili kwa kila UNK UNK hatua ya mtoano ya robo fainali kocha wa kireno manuel jose alisema kuwa hafikirii ni timu gani zitapangwa na angoala UNK UNK katika mzunguko wa kwanza sina timu ambazo UNK aliwaambia waandishi wa habari baada ya mazoezi kabl ya mechi yao dhidi ya ghana leo nitakuwa mwongo kama nitasema UNK sitaki timu nyepesi lakini ni hatari kufikiri hivyo kocha huyo wa zamani wa al ahly ya misri UNK mafanikio makubwa alianza kuinoa timu ya taifa ya angola juni kwa ajili ya michuano ya kombe la mataifa ya afrika baada ya nchi hiyo kushindwa kufuzu dunia afrika kusini ishirini moja sifuri pia ilipata vipigo kadhaa katika mechi za kirafiki wakati tutakapojua wapinzani wetu kwenye timu tutakuwa UNK kadiri inavyowezekana alisema UNK alisema UNK wapinzani wataanza mikakati ya kufahamu mbinu za wapinzani wao kama kwa kupata video na dvd kama ilivyo tanzania ambapo mashabiki wamekuwa wakilalamikia kocha UNK kuwaacha baadhi ya wachezaji ambao wanahisi wangekuwa na msaada kwenye timu ya taifa angola pia mashabiki wamekuwa wakilalamika kwa kitendo cha kocha huyo kumwacha mshambuliaji manucho UNK mshambuliaji wa real valladolid manucho aliachwa kwenye kikosi cha angoala ambacho UNK UNK za kirafiki dhidi ya congo na ghana kutokana na kuchelewa kwenye UNK UNK ureno jose alimshambulia mshambuliaji huyo wa zamani wa manchester united kwa kusema kwua UNK kuwa na heshima manucho aliomba radhi kupitia vyombo vya habari akieleza kuwa alichelewa kutokana na kushughulikia suala kupata visa mpya lakini kocha jose alisema maelezo yake hayakuwa na maana sana pia waziri wa michezo naye aliingilia suala hilo akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari goncalves UNK alisema kuwa angola inamtaka manucho awemo kwenye timu na kwamba mchezaji huyo anatakiwa kuomba radhi kwa kocha jose si kupitia kwa vyombo vya habari timu kumi na tano zimefuzu fainali hizo zitakazochezwa angola nchi hizo ni algeria benin burkina faso cameroon mabingwa watetezi misri gabon ghana ivory coast malawi mali msumbiji nigeria togo tunisia UNK mechi thebathini na mbili zitachezwa katika viwanja vipya vilivyojengwa na wachina katika miji ya luanda UNK UNK na lubango mchezaji nyota cristiano ronaldo huenda akaanza mazoezi rasmi kesho katika kikosi chake cha timu ya real madrid baada ya kupata nafuu katika majeraha yake ya enka yaliyokuwa UNK winga huyo wa zamani wa manchester united alikumbwa na majeraha hayo katika mechi dhidi ya marseille iliyopigwa septemba thebathini mwaka huu na UNK mechi tisa za kigogo hicho cha hispania mchezaji huyo alitangaza kurejea mazoezini tena baada ya juzi vipimo kuonesha kuwa na maendeleo lakini klabu yake haikueleza ni lini UNK dimbani tena ofisa wa madrid emilio UNK alisema tunahitaji kulifuatilia jambo hili siku hadi siku na madaktari ndio watakaotoa maamuzi majeraha hayo vilevile yalimfanya ronaldo kukosa mechi zote mbili za ureno za kutafuta tiketi ya kufuzu kucheza fainali za kombe la dunia dhidi ya bosnia UNK kwa sasa mchezaji huyo anatibiwa na profesa UNK van UNK ambaye mwaka jana alimfanyia upasuaji wa enka mshambuliaji huyo wakati akiwa katika klabu hiyo ya old trafford jumamosi wiki hii real itakuwa ikiumana na timu ya racing santander ikifuatia na mechi ya jumatano ya klabu bingwa ulaya UNK na timu ya fc zurich na mtanange mwingine wa kwanza msimu huu UNK na barcelona jumapili wiki ijayo rais jakaya kikwete jana amezindua rasmi ziara ya kombe halisi la dunia hapa nchini na kulitaka shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK timu kubwa hapa nchini katika maendeleo ya soka kwa kigezo zinaingiza mapato mengi pia amelitaka shirikisho hilo UNK na kuongoza mpira kiushabiki kwa kuzipa kipaumbele timu kubwa katika suala zima la kuliingizia mapato shirikisho hilo kwani hata bila ya timu hizo maendeleo ya soka yatapatikana mbali na hayo kikwete UNK kifua kocha mkuu wa timu ya taifa ya tanzania taifa stars marcio maximo kwa kusema kufanya vizuri kwa stars UNK msingi mzuri kwa klabu hivyo klabu kwanza UNK vizuri ndipo mafanikio yatapatikana akizungumza kabla ya kufungua rasmi ziara ya kombe hilo uwanja wa taifa dar es salaam jana ambalo UNK na kampuni ya vinywaji baridi ya cocacola rais kikwete alisema tff inatakiwa UNK zaidi zaidi katika mpango wa kuendeleza na kukuza soka mashuleni vijijini na mitaani alisema kwa tff hali haipo hivyo kwani muda mwingi wanautumia katika kusimamia timu kubwa wakati UNK kwa kuhakikisha zinaingiza mapato mengi na na pia kujikita zaidi katika kutoa adhabu kubwa zisizo za msingi nashangazwa na adhabu kubwa zinazotolewa na tff sijawahi kusikia sehemu yoyote duniani mchezaji anafungiwa miezi sita lakini hilo kwa tff ndilo UNK badala ya kumfungia mchezaji kutocheza michezo mitatu alisema raisi kikwete aliendelea si hayo tu pia hata katika utendaji wao pia kuna UNK wa tatizo la ushabiki na kutafuta mapato mengi na ndicho kitu kikubwa kinachokwamisha maendeleo ya soka ya nchi hii alisema adhabu zinazotolewa na tff ni za UNK na si za UNK mchezaji katika misingi ya soka kwa UNK kutorudia kufanya tendo kama hilo kwa mara nyingine alisema maendeleo ya soka hapa nchini yatapatikana endapo klabu UNK utendaji wa viongozi wao kwani wengi UNK kocha maximo hajui kufundisha wakati klabu zenyewe hazina mipango mizuri katika kuwatunza wachezaji wao timu ya taifa UNK na maximo bali ni klabu zenyewe ndizo zinazotakiwa kuwa na misingi imara UNK maximo kumalizia kazi yake na kama klabu UNK hivyo kila siku tutakuwa UNK maximo hajui kufundisha kumbe tatizo lipo kwa klabu alisema raisi kikwete mbali na hayo raisi kikwete alielezea mambo ya msingi yanayotakiwa kufanywa ili soka la tanzania UNK hatua ni kuimarisha uongozi wa klabu kuwa na walimu wenye uzoefu na ujuzi sio hodari wa uchambuzi kuwekeza katika kuinua vipaji vya vijana na kuitaka tff UNK jicho katika kuinua soka la vijijini mashuleni na mitaani licha ya kocha mkuu wa timu ya taifa ya tanzania taifa stars marcio maximo kuchukizwa na ukosefu wa nidhamu wa kipa wa simba juma kaseja timu hiyo UNK kocha huyo kwa kusema kaseja ana nidhamu na pia ndiye kipa bora nchini kutokana na kutofungwa mabao mengi mpaka sasa kaseja amekuwa katika wakati mgumu tangu aoneshe kutojali kufungwa kwa kipa mwenzake ivo mapunda katika michuano ya kuwania kufuzu kucheza fainali za kombe la mataifa ya afrika na dunia mabao nne sifuri wakati stars UNK na senegal akizungumza dar es salaam jana msemaji wa timu hiyo clifford ndimbo alisema uamuzi wa mchezaji kuitwa katika timu ya UNK upo mikononi mwa kocha kwani yenye ndiye mwenye mwenye kujua vigezo vya wachezaji anaowataka alisema wao kama simba UNK kipa wao kaseja aitwe katika kikosi cha timu hiyo licha ya maximo kumuacha kwa kigezo cha kutokuwa na nidhamu lakini kwao simba kaseja ana nidhamu ya hali ya juu unajua kuitwa katika timu ya taifa ni utashi wa kocha lakini kwa suala la kaseja sisi kipa wetu tunaamini ana nidhamu ya hali ya juu na pia ndiye kipa bora kwa sasa hapa nchini kwani ukiangalia amefungwa mabao machache katika ligi kuu alisema ndimbo alisema suala hilo hata mwenyewe kaseja UNK ambapo alisema hajafanya jambo baya kiasi hicho kwa maximo UNK mpaka sasa ashindwe kuitwa katika timu ya taifa wakati huohuo ndimbo alisema kikao cha kamati ya utendaji cha timu hiyo kinatarajiwa kufanyika novemba ishirini na nane mwaka huu kwenye hoteli ya regency dar es salaam ambacho kitajadili mambo mbalimbali likiwemo suala la mkutano mkuu wa wanachama pamoja na uchaguzi mkuu katika hatua nyingine klabu ya simba imeingia mkataba wa mwaka mmoja na kampuni ya UNK power UNK agency kwa ajili ya kuanzisha simba fans club ambapo kadi zitatolewa kwa mashabiki wa timu hiyo zikiwa na lengo la kutafuta fedha UNK timu hiyo ndimbo UNK ufafanuzi suala hilo kwa kusema lendo la kuanzisha simba fans club ni kupata mashabiki wa kweli ambao wenye moyo wa kuona simba UNK mbele zaidi ambapo baada ya kupata mashabiki hai ndipo baadaye UNK na kuwa wanachama wao upande wa mashitaka katika kesi inayomkabili aliyekuwa rais wa shirikisho la ngumi za ridhaa tanzania shabaan mintanga umetakiwa kukamilisha upelelezi wa kesi hiyo haraka amri hiyo ilitolewa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu na hakimu aloyce shamsham wakati kesi hiyo ilipokuwa ikitajwa na upande wa mashitaka kudai upelelezi haujakamilika na jalada liko kwa mkurugenzi wa mashitaka nchini baada ya kusikiliza hoja hiyo ya kutokamilika kwa upelelezi ndipo hakimu UNK ukamilike haraka na kesi imepangwa kutajwa desemba nne mwaka huu mshitakiwa mintanga UNK kuhusu kuchelewa kukamilika kwa upelelezi wa kesi hiyo mahakamani na kudai kwamba anaendelea kuumia mahabusu pia alidai hali yake kiafya si nzuri kwani anasumbuliwa na maradhi ya kisukari moyo na kuongeza kuwa amepata majibu kutoka hospitali ya taifa ya muhimbili kuwa moyo wake UNK hivyo kukaa rumande kwa kipindi kirefu anazidi kuathirika kiafya awali mintanga alifikishwa mahakamani akidaiwa kuwa juni tatu mwaka jana mahali na muda usiofahamika UNK njama ya kutenda kosa pamoja na kusafirisha dawa za kulevya alidaiwa kuwa juni kumi mwaka jana UNK dawa za kulevya kutoka tanzania kwenda mauritius ambazo ni kilo nne nane aina ya heroine zenye thamani ya shilingi milioni mia moja na ishirini rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi amani abeid karume amesema mafanikio UNK katika michezo zanzibar yanatokana na ushirikiano na pia alisisitiza kuwekeza zaidi katika miundombinu ya michezo aliyasema hayo jana ikulu mjini zanzibar wakati alipokuwa akizungumza na wanamichezo wa zanzibar walioshiriki michezo mbali mbali na kuibuka washindi katika UNK ya ndani na nje ya nchi pamoja na kuwakabidhi zawadi UNK alisema ni jambo la faraja kwa vijana kuendeleza utamaduni wa michezo zanzibar kwani kuna historia ndefu ya michezo kitu ambacho UNK uhusiano maelewano na ushirikiano mzuri hivyo alitoa wito kwa vijana kufuata kanuni taratibu na nidhamu katika michezo ili wapate mafanikio zaidi rais karume alisema michezo ni kiungo kikubwa cha kujenga umoja na mshikamano katika jamii hivyo juhudi zilizochukuliwa na vijana hao za kuendeleza michezo mbali mbali na hatimaye kushinda na kupata medali za aina zote ni za kujivunia alisema kuwa mafanikio katika sekta za maendeleo ikiwemo michezo hapa zanzibar yameweza kupatikana kutokana na kushirikiana kwa pamoja katika kutatua changamoto mbali mbali UNK naye naibu waziri kiongozi na waziri wa habari utamaduni na michezo ali juma shamuhuna UNK mafanikio makubwa katika sekta ya michezo na sekta nyengine yamepatikana kwa lengo kubwa na kuacha kumbukumbu UNK daima ikiwa ni pamoja na serikali ya mapinduzi zanzibar kuufanyia ukarabati mkubwa uwanja wa amani mjini unguja baada ya kocha msaidizi wa timu ya yanga spaso scolovisk kumaliza mkataba wake wa miaka miwili na timu hiyo uongozi wa klabu hiyo UNK kocha mkuu kostadic papic kupendekeza jina la kocha UNK ili UNK naye katika benchi la ufundi mzigo huo UNK papic umekuja baada ya baadhi ya makocha wazawa akiwemo kocha wa sasa wa toto african ya mwanza UNK marsh kupigiwa debe na mashabiki na wapenzi wa yanga kujiunga na timu hiyo akizungumza dar es salaam jana msemaji wa timu hiyo louis sendeu alisema UNK wa kumpata mrithi wa spaso upo mikononi mwa papic kwani yeye ndiye atakayetoa mapendekezo ni kocha yupi UNK kumsaidia unajua suala hilo sisi kama viongozi hatutaweza kuliingilia au kumtafutia papic mtu wa kufanya naye kazi yeye kwa sasa yupo likizo nchini kwao ila kesho anatarajiwa kutua nchini na baada ya hapo tutajua nini cha kufanya alisema sendeu alisema mara baada ya kuwasili kwa kocha huyo ndipo atakapotoa mapendekezo ya kocha atakayemsaidia sambamba na wachezaji anaowahitaji kuwasajili katika dirisha dogo la usajili sendeu alisema wachezaji wa timu hiyo wanatarajiwa kuingia kambini leo makao makuu ya klabu hiyo yaliyoko mtaa wa jangwani na twiga dar es salaam kwa ajili ya kujiandaa na mashindano mbalimbali mbali na hilo sendeu alizungumzia suala la mshambuliaji wa timu ya moro united yona ndabila kujiunga na yanga alisema suala la kusajili mchezaji UNK papic na mpaka sasa hajawasilisha jina lolote la mchezaji anayetaka UNK manchester united imezidi kuweka hai matumaini ya kutwaa tena ubingwa wa michuano ya ligi kuu baada ya kuilaza bila huruma timu ya everton kwa mabao tatu sifuri matokeo hayo UNK kikosi hicho cha kocha alex ferguson UNK UNK ya tahadhari vinara wa ligi hiyo chelsea ya kuwa wakati wowote mashetani hao UNK wanaweza kuiengua kileleni katika mechi hiyo ya juzi mchezaji darren fletcher ndiye alikuwa wa kwanza kuipatia bao manchester united baada ya UNK bao katika dakika thebathini na tano kutokana na juhudi zilizofanywa na wachezaji michael carrick na antonio UNK kwa ushindi huo mabingwa hao watetezi wamebakisha pointi tano nyuma ya chelsea ambayo UNK wiki mbili zilizopita kwenye uwanja wa stamford bridge na pia imefanikiwa kuiengua arsenal katika nafasi ya pili katika mechi hiyo manchester united UNK nguvu kurejea kwa mchezaji nemanja vidic huku michael owen akimaliza kilio chake cha kutaka kuanza na wayne rooney lakini akashindwa kuonesha makeke yake mabingwa hao watetezi walikuwa wapate bao la kuongoza mapema lakini wakashindwa kufanya hivyo na everton UNK shambulizi kupitia kwa louis saha lakini shuti lake UNK na mlinda mlango wa manchester united edwin van der sar baada ya kosakosa hizo fletcher aliipatia bao la kuongoza manchester united zikiwa zimesalia dakika kumi kabla ya kwenda mapumziko bao hilo lilipatikana kutokana na mpira wa krosi ilichongwa na patrice evra kutoka wingi ya kulia na mpira kumkuta valencia ambaye UNK pande fletcher naye hakufanya ajizi na kuukwamisha mpira kimiani akiwa umbali wa yadi kumi na nane rooney alishindwa kuyafanya matokeo kuwa mbili sifuri baada ya kuachia mkwaju mkali akiwa mbali na goli lakini shuti lake UNK mlingoti wa juu ya goli owen UNK tena vizuri na howard katika dakika ya sitini na saba lakini akashindwa kuukwamisha mpira kimiani na kuwafanya everton kuzinduka na kufanya shambulizi la mwisho hali ya UNK iliyojitokeza hivi karibuni kati ya misri na algeria imechukua sura mpya baada ya mshambuliaji wa kimataifa wa misri amr zaki kutangaza hana tena nia ya kujiunga na klabu ya ligi kuu ya uingereza portsmouth kwa sababu atakuwa akicheza pamoja na beki wa timu hiyo ambaye ni raia wa algeria nadir UNK mfanyabiashara wa kiarabu sulaiman al fahim ambaye ana hisa katika klabu ya portsmouth alikuwa akimtamani mshambuliaji huyo wa zamani wa wigan athletic huku akiwa na nia ya kuhakikisha anatua katika klabu hiyo ya UNK park majira baridi UNK hata hivyo jana zaki kupitia tovuti yake binafsi alisema uwezekano wa UNK klabu yake ya zamalek kwenda pompey haupo tena kwa kile alichodai klabu hiyo ina mchezaji raia wa algeria na pia ina mkurugenzi UNK ambayo inapingwa na mataifa mengi ya kiislamu UNK kuikataa ofa hiyo awali ila kwa sasa kujiunga na portsmouth kwangu hakuna uwezekano tena alisema UNK baada ya portsmouth UNK UNK na kuajiri mkurugenzi UNK UNK UNK siwezi kujiunga nao aliongeza mahusiano kati ya misri na algeria yalianza kuzorota kutokana na kipigo cha bao moja sifuri walichopata UNK katika mechi ya UNK ya kuwania kufuzu fainali za kombe la UNK iliyopigwa jumatano wiki iliyopita baada ya mechi hiyo mashabiki wa mataifa yote mawili waliingia katika mapigano ya umwagaji damu kutokana hatua ya algeria kufuzu fainali za kombe la dunia zijazo maofisa wa ngazi ya juu akiwemo rais wa misri hosni UNK nao UNK katika UNK hilo london england everton juzi iliipiga kumbo manchester united katika mechi ya nusu fainali ya kombe la fa baada ya kuibuka na ushindi wa penalti nne mbili katika uwanja wa wembley london kutokana na ushindi huo everton itakutana na chelsea ambao waliwafunga arsenal mabao mbili moja katika fainali ya itakayochezwa kwenye uwanja wa wembley london everton ilitinga hatua hiyo kwa mara ya kwanza baada ya miaka kumi na nne lakini kocha wa manchester united sir alex ferguson UNK lawama mwamuzi wa mchezo huo mike UNK riley alikataa penalti wakati mlinzi wa everton phil UNK kumwangusha ndani ya eneo la penalti danny welbeck katika kipindi cha pili united UNK zaidi baada ya kuondoshwa kwa mikwaju ya penalti tim UNK alikosa penalti ya kwanza kwa upande wa everton lakini kipa tim howard alipangua penalti zilizopigwa na dimitar berbatov na rio ferdinand UNK UNK phil neville na james UNK waliifungia everton mabao ya penalti wakati nemanja vidic na anderson waliifungia machester united mwenyekiti wa everton bill UNK alionekana akibubujikwa na machozi kwenye uwanja wa wembley ambapo kocha wa timu hiyo david moyes UNK wachezaji wake uwanjani na kushangilia nao mara baada ya mchezo UNK kipa wa manchester united foster alikuwa shujaa katika mechi ya carling cup dhidi ya spurs lakini vijana hao wa UNK waliibuka na ushindi na kukata tiketi ya kurejea tena wembley mei thebathini katika fainali dhidi ya chelsea na elizabeth mayemba kocha mkuu wa timu ya taifa taifa stars mbrazil marcio maximo amekabidhi majina ya makocha wa timu ya vijana na wa viungo baada ya kurejea nchini wiki iliyopita akitokea kwao brazil kwenye likizo ya mwezi mmoja shirikisho hilo UNK kazi kocha huyo ili aweze kuwatafuta makocha hao kutoka brazil kwa kuziba nafasi ya aliyekuwa kocha wa viungo wa timu hiyo itamar amourin na wa viungo marcus tinocco ambao walimaliza mikataba yao katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema jana jijini dar es salaam kuwa ofisi yake imepokea majina na wasifu wa makocha wanne wawili wa timu ya vijana na wawili wa UNK baada ya kukabidhiwa wasifu huo wa makocha jumamosi kamati ya ufundi ya tff itakutana ili kuchagua makocha wawili kocha mkuu wa timu ya vijana na kocha wa viungo wa timu ya taifa ili waanze kazi mara moja alisema alisema hadi kufikia mwezi ujao makocha hao wawe wameanza kazi rasmi na ndio maana mchakato huo UNK haraka ili wachezaji waanze kunolewa kabla ya mechi ya kirafiki na mabingwa wa mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani jamhuri kidemokrasi ya congo wakati huo huo kocha mkuu wa stars marcio maximo amesema ijumaa anatarajia kutangaza majina ya wachezaji wa taifa stars watakaocheza mechi ya kirafiki dhidi ya drc mei tisa mwaka huu akizungumza jana na waandishi wa habari maximo alisema baada ya kutangaza kikosi hicho jumatatu timu hiyo itaingia kambini na jumanne wataanza mazoezi mchezaji wa kimataifa wa kenya joseph shikokoti aliyeachwa na timu yake ya yanga amesema anakusudia kuishtaki klabu hiyo kwa madai kuwa haijamtendea haki shikokoti ni kati ya wachezaji wanne walioachwa na klabu hiyo akiwemo boniface ambani mike barasa na vicent UNK akizungumza na mwandishi wa habari hizi jana kwa njia ya simu akiwa kwao nairobi shikokoti alisema kuwa klabu hiyo UNK kihuni na wakati bado anamkataba hivyo atawasiliana na mwanasheria wake ili aweze kwenda mbele zaidi kisheria kwangu binafsi naona ni uhuni uongozi UNK haki hivyo nitakaa na mwanasheria wangu na ikibidi UNK klabu hiyo kwa kukatisha mkataba wangu bila ya makubaliano yoyote alisema shikokoti alisema klabu hiyo kwa kiasi kikubwa ndio UNK kushusha kiwango chake kwa kuwa mara nyingi alikuwa hachezeshwi hata pale anapopata nafasi na kama angepewa nafasi ya kucheza kiwango chake kingekuwa juu shikokoti alisema ni vema klabu hiyo UNK wamalize mikataba yao kuliko UNK katikati ya msimu kitu ambacho anadai ni udhalilishwaji mkubwa alisema anatarajia kurejea nchini wakati wowote ili kushughulikia suala hilo na anategemea haki itapatikana endapo taratibu za kisheria zitafuatwa uongozi wa klabu ya yanga unatarajia kupitisha panga la wachezaji wake watakaoachwa katika dirisha dogo keshokutwa akizungumza jijini dar es salaam jana ofisa habari wa yanga louis sendeu alisema tayari kocha mkuu wa timu hiyo kostadin papic UNK wachezaji wa kuachwa ijumaa ni siku ya kutangaza wachezaji ambao wataachwa na klabu yetu hivyo ni vema suala hilo likawa wazi mapema ili kuwapa nafasi wachezaji kutafuta timu nyingine alisema sendeu alisema majina ya wachezaji hao yapo tayari UNK ni kutangaza majina yao ili wapate nafasi ya kusajili wachezaji wengine wa kuziba nafasi zao wakati sendeu akisema hivyo tayari kuna wachezaji watano wa timu hiyo wanaodaiwa kuachwa na klabu hiyo ambao ni hamis yusuph boniface ambani joseph shikokoti george owino na mike barasa kocha mkuu wa timu hiyo papic UNK majina ya wachezaji watakaoachwa ili uongozi UNK wakati yeye akiwa UNK fupi nchini serbia sendeu alisema wanataka kuwa na kikosi imara na cha ushindi na ndio maana kocha ameamua kukifanyia marekebisho kikosi chake kabla ya kuanza kwa michuano na asha kigundula serikali imeshangazwa na idadi ya wapenzi wa mpira wanaoingia katika uwanja wa taifa na mapato yanayopatikana katika mechi mmbalimbali zinazochezwa kwenye uwanja wa taifa dar es salaam akizungumza na gazeti hili ofisini kwake jana katibu mkuu wa wizara ya habari na utamaduni florence turuka ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya kusimamia uwanja huo alisema serikali inashangazwa idadi ya watu na mapato yanayopatikana katika uwanja huo mkubwa turuka alisema kufuatia hali hiyo kuna uwezekano mkubwa serikali ikaufunga uwanja huo mpaka atakapopatikana msimamizi kufuatia serikali kutangaza tenda alisema serikali iliwapa jukumu la ukatishaji tiketi shirikisho la mpira wa miguu tanzania na vijana wa skauti kusaidia lakini imeonekana kuna tofauti kubwa ya mapato turuka alisema katika mchezo kati ya taifa stars na msumbiji mapato yalikuwa ni shilingi milioni sitini sifuri lakini kadri mechi zinavyochezwa kwenye uwanja hupo mapato yanazidi kupungua nadhani kuna kitu mapato ya mechi ya kwanza yalikuwa na viingilio vidogo na kuingiza pesa nyingi mechi nyingine ziingize shilingi milioni kumi sifuri au mlioni mia moja na themanini na mbili kuna umuhimu wa kuangali kwa makini zaidi au kutafuta wakaguzi ili tujue kianchoendele alisema alisema kutokana na matunzo ya uwanja huo wameshtushwa na hali hiyo baada ya kuona gharama zake kuwa tofauti na inapatikana katibu mkuu huyo alisema kamati yake inayosimamia uwanja huo leo itatembelea katika uwanja huo kukagua vitu mbalimbali kwa kufuata taratibu zao kila baada ya mechi kuchezwa uwanja hapo turuka alisema kazi ya kupokea maombi ya udhabuni ya kuendesha uwanja huo yanaendelea na asha kigundula serikali imeshangazwa na idadi ya wapenzi wa mpira wanaoingia katika uwanja wa taifa na mapato yanayopatikana katika mechi mmbalimbali zinazochezwa kwenye uwanja wa taifa dar es salaam akizungumza na gazeti hili ofisini kwake jana katibu mkuu wa wizara ya habari na utamaduni florence turuka ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya kusimamia uwanja huo alisema serikali inashangazwa idadi ya watu na mapato yanayopatikana katika uwanja huo mkubwa turuka alisema kufuatia hali hiyo kuna uwezekano mkubwa serikali ikaufunga uwanja huo mpaka atakapopatikana msimamizi kufuatia serikali kutangaza tenda alisema serikali iliwapa jukumu la ukatishaji tiketi shirikisho la mpira wa miguu tanzania na vijana wa skauti kusaidia lakini imeonekana kuna tofauti kubwa ya mapato turuka alisema katika mchezo kati ya taifa stars na msumbiji mapato yalikuwa ni shilingi milioni sitini sifuri lakini kadri mechi zinavyochezwa kwenye uwanja hupo mapato yanazidi kupungua nadhani kuna kitu mapato ya mechi ya kwanza yalikuwa na viingilio vidogo na kuingiza pesa nyingi mechi nyingine ziingize shilingi milioni kumi sifuri au mlioni mia moja na themanini na mbili kuna umuhimu wa kuangali kwa makini zaidi au kutafuta wakaguzi ili tujue kianchoendele alisema alisema kutokana na matunzo ya uwanja huo wameshtushwa na hali hiyo baada ya kuona gharama zake kuwa tofauti na inapatikana katibu mkuu huyo alisema kamati yake inayosimamia uwanja huo leo itatembelea katika uwanja huo kukagua vitu mbalimbali kwa kufuata taratibu zao kila baada ya mechi kuchezwa uwanja hapo turuka alisema kazi ya kupokea maombi ya udhabuni ya kuendesha uwanja huo yanaendelea klabu ya simba iko mbioni kujipatia mamilioni ya fedha kutokana na mapato yatakayopatikana baada ya kumuuza kiungo mshambuliaji wake haruna moshi boban ambaye amefaulu kuichezea klabu ya gefle ff ya sweden kiungo huyo alikwenda sweden kwa ajili ya kufanya majaribio katika klabu ya gefle ambayo yamekuwa na mafanikio hivyo tayari tayari simba imeanza mazungumzo na klabu hiyo akizungumza dar es salaam jana wakala wa mchezaji huyo damas ndumbaro alisema simba imeanza mazungumzo ya kumuuza mchezaji huyo kupitia kwake tayari kwa ajili ya kumruhusu kuichezea klabu hiyo ya sweden alisema mazungumzo hayo yanaonekana kuwa na mafanikio tangu awali kutokana na simba kumruhusu mchezaji huyo kwenda kufanya majaribio huku akiwa katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo inayoongoza katika msimamo wa ligi kuu ya tanzania bara kwenye mzunguko wa kwanza boban amefanya vizuri na tunategemea kuwa atakuwa na wakati mzuri katika klabu yake hiyo mpya ya sweden mazungumzo kwa ajili ya kumuuza mchezaji huyo yanaendelea ambapo kupitia mimi simba inaweza kukubaliana na klabu yake ya sasa gefle ff imeonesha nia ya dhati juu ya mchezaji huyu na UNK yote ya amani juu ya boban kukipiga sweden yameanza katika hali ya kuridhisha tunashukuru kwa hilo na kwa ajili ya maisha yake kwa ujumla alisema UNK wakala huyo wa kimataifa anayetambulika na shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu alisema pamoja na kuuzwa kwa boban pia kuna nafasi kwa ajili ya wachezaji wengi kutokana na kukua kwa soka la tanzania huku akiwasihi wachezaji kutokuwa wavivu na kuongeza bidii boban anakuwa mchezaji wa pili wa simba kupata timu nje ya nchi UNK henry joseph UNK sweden lakini pia kiungo aliyetokea moro united nizar khalfan pia UNK katika klabu ya vancouver ya canada pia alisema joseph kaniki UNK aliyekuwa akicheza soka la kulipwa nchini rwanda kwenye klabu ya rayon UNK katika klabu ya gefle ff inayoshiriki ligi kuu nchini sweden baada ya kuingia nayo UNK wa miaka miwili akizungumza dar es salaam jana ndumbaro alisema mchezaji huyo amefuzu majaribio katika klabu hiyo hivyo ameingia mkataba na klabu hiyo alisema kinachosubiriwa kwa kaniki ni hati ya uhamisho wa kimataifa kutoka rwanda ili iweze kutumwa sweden kwa kuwa januari mwakani wanahitajika katika klabu hiyo ambayo itakuwa ikijiandaa na ligi kuu ya huko ndumbaro alisema wachezaji hao walionesha kiwango cha juu na hivyo kocha wa UNK alivutiwa nao na kutaka kuwasajili katika klabu hiyo siku moja baada ya mchezaji wa kimataifa wa kenya joseph shikokoti kutishia kuishtaki yanga kwa kutangaza kumtema uongozi wa timu hiyo umemtaka UNK mzuka kwani ameachwa kutokana na kushuka kwa kiwango na si vinginevyo shikokoti pamoja na wachezaji wengine boniface ambani hamisi yusuph mike barasa na vicent barnabas UNK mikataba yao katika usajili wa dirisha dogo kutokana na madai ya kushuka kwa viwango vyao akizungumza dar es salaam jana msemaji wa timu hiyo UNK sendeu alisema anashangaa kusikia mchezaji huyo akilalamika wakati taratibu za malipo yao zinaendelea UNK alisema wanasikitika kusikia mchezaji akilalamika kuachwa kwani wao UNK kukaa na wachezaji UNK timu huku wakiendelea kulipa mamilioni ya fedha kwa ajili yao licha ya mikataba ya wachezaji hao kuwa UNK lakini kama klabu tumeona hawana msaada katika timu yetu ndiyo maana UNK mikataba yao lakini taratibu za zote za malipo yanashughulikiwa ila wanachotakiwa ni kutuliza mzuka tu watapata chao alisema sendeu akifafanua zaidi sendeu alisema suala la kuachwa kwa wachezaji hao UNK na uongozi bali ni kocha mwenyewe kostadin papic ambaye alitoa mazoezi kwa wiki tatu mfululizo ikiwa ni pamoja na michezo ya ligi kuu baada ya kutoridhika nao ndiyo maana UNK hebu jiulize watu wengi walikuwa wanamuombea jamal mba ndiye UNK lakini sasa papic ameona atakuwa na msaada katika timu ndiyo maana mpaka sasa bado yupo nasi hivyo hizo sababu wanazotoa UNK msingi alisema sendeu wakati kocha mkuu wa timu ya taifa ya tanzania bara kilimanjaro stars marcio maximo akitarajiwa kutangaza kikosi cha wachezaji ishirini leo wachezaji kumi na moja wa timu hiyo wameachwa kutokana na sababu mbalimbali wakiwemo juma nyosso stephano mwasika na david naftari mbali na wachezaji hao pia wamo kipa ally mustapha barthez rashidy gumbo said ahmad mbwana samatta pamoja na vijana chini ya umri wa miaka ishirini ambao ni amani kiata himid mao thabit na thomas UNK kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana dar es salaam jana zilieleza kuwa maximo ameteua kikosi hicho kutokana na uwezo wa wachezaji hao wanapokuwa uwanjani nidhamu na uwajibikaji chanzo hicho kilieleza kuachwa kwa nyosso mwasika na naftari si kutokana na kutokuwa na kiwango kizuri ila ni kutokana na namba UNK kuwa na wachezaji wazuri zaidi yao na pia kutokana na idadi ya wachezaji wanaotakiwa kwenda huko alisema wachezaji wanaotarajiwa kuondoka na timu ni makipa mwarami mohamed shaaban dihile na shaaban kado mabeki ni juma jabu shadrack nsajigwa kelvin yondani erasto nyoni na salum sued viungo ni henry joseph nizar khalfan na nurdin bakari viungo wengine ni ibrahim mwaipopo shaaban nditi mwinyi kazimoto na washambuliaji ni mrisho ngassa jerson tegete mussa hassan mgosi dan mrwanda na john bocco adebayor katika hatua nyingine kocha maximo alizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana na kutoa shukrani zake za dhati kwa rais jakaya kikwete kwa kutambua mchango wake katika taifa hili kwa UNK watanzania umuhimu wake alisema UNK nyuma juu ya msimamo wake katika kuchagua wachezaji kwenda kushiriki mashindano fulani kwani kikubwa UNK ni nidhamu uzalendo na uwajibikaji uwanjani akizungumzia wachezaji wanaocheza soka la kulipwa nje ya nchi henry mwarami na nizar alisema anatarajia leo watawasili nchini kujiunga na wachezaji wenzao kwani UNK la mpira wa miguu tanzania UNK nao mawasiliano na asha kigundula serikali imeshangazwa na idadi ya wapenzi wa mpira wanaoingia katika uwanja wa taifa na mapato yanayopatikana katika mechi mmbalimbali zinazochezwa kwenye uwanja wa taifa dar es salaam akizungumza na gazeti hili ofisini kwake jana katibu mkuu wa wizara ya habari na utamaduni florence turuka ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya kusimamia uwanja huo alisema serikali inashangazwa idadi ya watu na mapato yanayopatikana katika uwanja huo mkubwa turuka alisema kufuatia hali hiyo kuna uwezekano mkubwa serikali ikaufunga uwanja huo mpaka atakapopatikana msimamizi kufuatia serikali kutangaza tenda alisema serikali iliwapa jukumu la ukatishaji tiketi shirikisho la mpira wa miguu tanzania na vijana wa skauti kusaidia lakini imeonekana kuna tofauti kubwa ya mapato turuka alisema katika mchezo kati ya taifa stars na msumbiji mapato yalikuwa ni shilingi milioni sitini sifuri lakini kadri mechi zinavyochezwa kwenye uwanja hupo mapato yanazidi kupungua nadhani kuna kitu mapato ya mechi ya kwanza yalikuwa na viingilio vidogo na kuingiza pesa nyingi mechi nyingine ziingize shilingi milioni kumi sifuri au mlioni mia moja na themanini na mbili kuna umuhimu wa kuangali kwa makini zaidi au kutafuta wakaguzi ili tujue kianchoendele alisema alisema kutokana na matunzo ya uwanja huo wameshtushwa na hali hiyo baada ya kuona gharama zake kuwa tofauti na inapatikana katibu mkuu huyo alisema kamati yake inayosimamia uwanja huo leo itatembelea katika uwanja huo kukagua vitu mbalimbali kwa kufuata taratibu zao kila baada ya mechi kuchezwa uwanja hapo turuka alisema kazi ya kupokea maombi ya udhabuni ya kuendesha uwanja huo yanaendelea naibu waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa emmanuel nchimbi jana alikabidhi bendera ya taifa kwa timu ya taifa kilimanjaro stars inayokwenda nairobi kenya kwenye michuano ya kombe la chalenji timu hiyo inakwenda bila ya kipa wake namba moja shaban dihile ambaye ameachwa na kocha mkuu wa timu hiyo marcio maximo ambaye hivi sasa UNK shaban kado na mohamed mwarami shilton kili stars inatarajiwa kuondoka leo ikiwa na kikosi cha wachezaji ishirini ambapo itaanza harakati zake za kusaka taji hilo dhidi ya mabingwa watetezi wa michuano hiyo timu ya taifa ya uganda the cranes tanzania imepangwa kundi c pamoja na timu za UNK ya burundi zanzibar heroes ya zanzibar na uganda the cranes akikabidhi bendera hiyo nchimbi aliwataka wachezaji waende kenya kuipeperusha vyema bendera ya taifa ili kulinyakua kombe hilo na kuiletea sifa tanzania naye nahodha wa timu ya kilimanjaro stars salum swed aliwaomba watanzania UNK dua ili wakafanye vizuri michuano hiyo ikiwa ni pamoja na UNK katika kipindi chote cha michuano hiyo tunaomba sapoti kutoka kwa watanzania wote tunakwenda nairobi kwa ajili ya kushindana na si kushiriki tu na UNK kubwa ya kufanya vizuri kwa jinsi UNK alisema swed alisema wachezaji wote wapo katika hali nzuri na wanatarajia kuipeperusha vyema bendera ya taifa ili kuiletea sifa tanzania swed alisema kipindi hiki watanzania wote wanatakiwa kuungana na kutoa sapoti kubwa kwa timu yao ili waweze kufanya vizuri na kurudi na kombe kocha mkuu wa hiyo marcio maximo alitangaza majina ya wachezaji wanaoondoka leo kuwa ni kado mwarami shilton erasto nyoni kelvin yondan swed ibrahim mwaipopo juma jabu shadrack nsajigwa shaban nditi nurdin bakari david naftari na mwinyi kazimoto wengine ni kigi makasi juma nyosso henry joseph mussa hassan mgosi mrisho ngassa jerson tegete danny mrwanda na john bocco maximo alisema UNK kikosi hicho kwa kuzingatia uwezo wa mchezaji pamoja na nidhamu hivyo anaimani ni kikosi bora cha ushindi licha ya kuibuka na ushindi wa bao moja sifuri dhidi ya timu ya debrecen mabingwa mara tano wa michuano ya klabu bingwa ulaya liverpool UNK nje ya michuano hiyo huku timu za fiorentina na arsenal UNK hatua ya kumi na sita bora mbali na timu hizo mabingwa watetezi barcelona nao UNK matumaini ya kampeni zao baada ya kupata ushindi mzuri wa mabao mbili sifuri dhidi ya inter milan ambayo yaliwekwa kimiani dakika ishirini na sita za kipindi cha kwanza na wachezaji gerard pique na UNK mechi hizo ambazo zilipigwa usiku wa kuamkia jana arsenal ilitinga hatua hiyo ya kumi na sita ikiwa ni mara ya kumi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao mbili sifuri dhidi ya timu ya standard UNK fiorentina wao walitinga hatua hiyo kwa kuichapa timu ambayo UNK olympique lyon kwa bao moja sifuri UNK kwa njia ya penalti kupitia kwa mchezaji raia wa peru juan UNK kwa ushindi huo timu hizo UNK na timu za girondins bordeaux manchester united chelsea porto na sevilla katika duru hiyo ijayo ushindi huo wa timu hiyo ya italia pia ndiyo UNK liverpool kupata nafasi katika kundi e mshambuliaji wa zamani wa barcelona samuel eto o alipokea mapokezi makubwa baada ya kurejea tena katika uwanja wa nou camp akiwa na klabu yake mpya inter milan hali ambayo walau ilimfanya apate UNK ushindi huo umeifanya barcelona kukwea UNK mwa kundi f ikiwa na pointi nane ambazo ni pointi mbili zaidi ya kikosi hicho cha jose mourinho inter milan huku mabingwa wa russia rubin kazan ambayo ilitoka sare ikiwa nyumbani na timu ya dynamo kiev kutupwa nafasi ya tatu timu ya UNK unirea urziceni ya romania iliongeza matumaini yake ya kufuzu kutoka kundi g baada ya kuichapa timu ambayo imeshafuzu hatua hiyo sevilla kwa bao moja sifuri mshambuliaji wa yanga boniface ambani amesema hajawahi kuona klabu yenye maamuzi magumu katika soka kama yanga ambayo imetangaza kuvunja mkataba naye ambani ambaye atawasili nchini jumatatu kufuatilia malipo yake alikuwa mfungaji bora wa msimu uliopita katika ligi kuu ya tanzania bara akitokea nchini india akizungumza kwa njia ya UNK akiwa nchini kenya jana ambani alisema ameshangazwa na sababu ambazo amepewa juu ya kuvunjika kwa mkataba wake akidai kuwa si za kisoka alisema kama mchezaji hakuwahi kuona mchezaji UNK mkataba kwa UNK akiwa majeruhi wakati mchezaji huyo alikuwa na mafanikio katika ligi nzima ya msimu uliopita nimepata taarifa rasmi juzi kuwa mkataba wangu umesitishwa na kiukweli nimesikitishwa na kushangazwa pia na sababu nilizopewa yaani inaonekana kabisa UNK wala kujua kile UNK muda wote nikiwa hapo alisema ambani ambani ni miongoni mwa wachezaji ambao UNK kutemwa na yanga wiki iliyopita wakiwemo mike barasa na hamisi yusuph huku vincent barnabas akiuzwa kwa mkopo katika klabu ya afrikan lyon timu ya soka ya taifa ya wanawake twiga stars inayojiandaa na michuano ya kimataifa ya ukanda wa afrika magharibi itakayofanyika nigeria desemba tisa mwaka huu imepewa msaada wa vifaa vya michezo na kampuni ya bia ya serengeti vyenye thamani ya shilingi milioni kumi na nne tano akikabidhi msaada huo ofisa uhusiano wa sbl teddy mapunda alisema wakiwa kama wadau walioguswa na michuano hiyo ya wanawake hivyo wameamua kutoa msaada wa vifaa mbalimbali zikiwemo jezi viatu UNK ugoko jezi za kusafiria na UNK pamoja na mipira ishirini na tano tunajua fika wanawake wakiwezeshwa wanaweza hivyo wadau wa soka UNK soka la wanaume tu bali UNK na soka la wanawake alisema UNK naye mweyekiti wa chama cha soka cha wanawake lina mhando aliwataka wadau wa soka wajitokeze kuisaidia timu ya wanawake ili iweze kushiriki vyema michuano hiyo alisema kwa kuwa timu ya kilimanjaro stars inaondoka leo kwenda nairobi kwenye michuano ya kombe la UNK sasa ni wakati wa wadau wa soka kuigeukia timu ya twiga stars akizungumzia maandalizi ya timu hiyo katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania fredrick mwakalebela alisema maandalizi ya timu hiyo yanakwenda vizuri na wiki ijayo timu inaanza mazoezi asubuhi na jioni na baadaye itaingia kambini alisema timu hiyo UNK mechi kadhaa za kirafiki kutoka kwa timu za hapa nchini na mechi moja ya kimataifa kwa ajili ya kujipima nguvu kikosi cha wachezaji ishirini wa timu ya taifa ya tanzania bara kilimanjaro stars UNK nchini jana kwenda kenya kushiriki mashindano ya kombe la chalenji kikiwa na matumaini makubwa ya kufanya vizuri huku kiungo wa kutumainiwa wa timu hiyo henry joseph akiambatana nayo michuano hiyo imepangwa kuanza kutimua vumbi kesho hadi desemba kumi na tatu mwaka huu katika viwanja vya nyayo na mumias jijini nairobi ambapo kilimanjaro stars ipo kundi c pamoja na timu za zanzibar heroes burundi na mabingwa watetezi uganda the cranes makundi mengine kuna timu za wenyeji kenya harambee stars zambia ethiopia na djibout zote zipo kundi a wakati timu za zimbabwe rwanda eritrea na somalia zitakuwa kundi b akizungumza baada ya kikosi hicho kuondoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere dar es salaam jana katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania fredrick mwakalebela alisema wachezaji wote walioteuliwa na kocha marcio maximo waliondoka huku wakiongozwa na makamu pili wa rais wa tff athuman nyamlani timu imeondoka muda si mrefu na kati ya wachezaji waliokuwa UNK kwa hamu kubwa kiungo wa kongsvinger ya swiden henry joseph aliwasili jumatano usiku na leo amejiunga na wenzake kwenda kenya alisema aliwataja wachezaji waliondoka ni makipa mwarami mohamed shilton na shaaban kado mabeki ni shadrack nsajigwa juma jabu erasto nyoni kelvin yondani na juma nyoso viungo ni ibrahim mwaipopo na nurdin bakari viungo wengine ni joseph kigi makasi shaaban nditi mwinyi kazimoto na david naftari na washambuliaji ni mussa hassan mgosi jerson tegete mrisho ngassa danny mrwanda na john bocco alisema wachezaji wote wameondoka wakiwa na ari ya kwenda kufanya vizuri na hatimaye kutwaa ubingwa na wakaomba watanzania kuwaombea ili warudi na kombe timu ya chelsea imeendeleza ubabe katika michuano ya klabu bingwa ulaya baada ya kuibuka na ushindi dhidi ya wapinzani wao huku timu real madrid ac milan na marseille zikiwa bado zina mtihani wa kusonga mbele katika hatua ya kumi na sita bora ya michuano hiyo katika mechi hizo zilizopigwa usiku wa kuamkia jana madrid inayoongoza kundi c ikiwa na pointi kumi ilijikuta ikiibuka na ushindi wa bao moja sifuri dhidi ya fc zurich kutokana na bao lililowekwa kimiani na mchezaji gonzalo higuain huku ikionekana kupata mchango mkubwa kutoka kwa mchezaji cristiano ronaldo aliyerejea uwanjani baada ya kuwa majeruhi wakati real madrid ikiondoka na ushindi huo mwembamba milan ilitoka sare ya bao moja moja na marseille na kuwa na pointi nane moja zaidi ya UNK bao la milan liliwekwa kimiani dakika ya kumi ya mchezo na mchezaji marco UNK ingawa UNK dakika sita baadaye na UNK UNK kama marseille itaifunga madrid mabao mawili desemba nane mwaka huu timu hiyo itafuzu hata kama milan itaichapa zurich inayoshika nafasi ya mwisho katika kundi lao juventus ina nafasi finyu ya kusonga mbele baada ya kuchapwa mabao mbili sifuri na bordeaux ambayo ilikaa kileleni mwa kundi a fernando UNK aliifungia bordeaux bao kwa kichwa baada ya mapumziko na marouane chamakh alimalizia bao la pili dakika ya tisini bordeaux tayari imefuzu chelsea imekwea kileleni mwa kundi d baada ya kuichapa fc porto bao moja sifuri nyumbani kwao bao lililofungwa na nicolas anelka kwa kichwa dakika ya sitini na tisa atletico madrid na apoel nicosia ambazo zinawania kucheza ligi ya ulaya zilitoshana nguvu kwa kufungana bao moja moja nchini UNK mechi nyingine besitkas iliichapa manchester united bao moja sifuri ushindi huo wa besitkas umevunja rekodi ya man united ya kutofungwa nyumbani katika michuano hiyo mechi ishirini na tatu hata man united UNK hatua ya kumi na sita bora kundi b united itakaa juu ikiwa itapata pointi moja katika mechi yao ya mwisho desemba nane dhidi ya wolfsburg inayoongoza kundi hilo kwa kuwa na pointi kumi wolfsburg na cska moscow kila moja ina pointi saba baada ya cska kuichapa wolfsburg mabao mbili moja mjini UNK besiktas imefikisha pointi nne uongozi wa klabu ya yanga umesema shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK haki klabu ambazo zimetangaza kufanya uchaguzi mkuu wa viongozi mwakani baada ya kuzitaka kusimamisha shughuli za uchaguzi huo akizungumza dar es salaam jana rais wa yanga iman madega alisema tff ilipaswa UNK mapema kabla ya kuanza mchakato wa uchaguzi kwa kuwa tayari zimeanza maandalizi ikiwa ni pamoja na kuteua kamati za uchaguzi huo tff imechelewa kutoa UNK hilo kwa kuwa UNK hadi tumeshafanya baadhi ya taratibu alafu ndiyo wanakuja kuibuka na kututaka UNK kama kulikuwa na UNK walitakiwa kutuita na UNK sawa kwa sababu katiba zetu wanazo na wao ndiyo watakuwa wasimamizi wakuu alisema madega alisema tayari UNK hasara na watu UNK kwa uchaguzi alafu tff UNK kati dakika za mwisho kusimamisha shughuli za uchaguzi kwani huko ni kuwavunja nguvu wanachama UNK kugombea nafasi za uongozi hata hivyo madega alisema wanasubiri barua kutoka tff za kuwasimamisha kufanya uchaguzi huo ili wajue UNK wapi kwa kuwa wao lengo ni kupata viongozi wapya wa UNK yanga ili ipate mafanikio zaidi UNK kwenye vyombo vya habari kuhusu tff kusimamisha uchaguzi tuliokuwa tumepanga kuufanya mwezi ujao hivyo tunasubiri watuletee barua ili tujue tunafanya nini alisema madega yanga ilipanga kuufanya uchaguzi huo januari mwakani na tayari baadhi wanachama maarufu wa klabu hiyo wamekuwa UNK kutaka kuwania nafasi ya rais ambayo kwa sasa inashikiliwa na madega ambaye UNK wazi kwamba UNK nafasi yoyote katika uchaguzi huo katika hatua nyingine klabu ya simba imesema suala hilo litajadiliwa kwenye kikao cha kamati ya utendaji cha timu hiyo ambacho UNK jana kwenye hoteli ya regency jijini dar es salaam akizungumzia hilo msemaji wa timu hiyo cliford ndimbo alisema wamesikia hizo taarifa na kwamba UNK katika agenda UNK katika kikao cha kamati ya utendaji na kisha UNK ufafanuzi zaidi baada ya kupoteza mechi ya kwanza dhidi ya mabingwa watetezi wa michuano ya afrika mashariki na kati kocha mkuu wa kilimanjaro stars marcio maximo amesema watahakikisha wanaingia hatua ya UNK fainali ya michuano hiyo akizungumza baada ya mechi dhidi ya uganda the cranes maximo alisema mechi hiyo itakuwa ngumu kwani wanakutana na timu ambayo wachezaji UNK mechi itakuwa ngumu sana kwanza wachezaji wanajuana na huwa UNK sana lakini lazima tutashinda tu alisema maximo alisema zanzabar heroes ni wazuri na walicheza vizuri mechi yao dhidi ya burundi waliyoibuka na ushindi wa mabao nne sifuri lakini watahakikisha wanaifunga ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kucheza robo fainali maximo ambaye hivi karibuni alipoteza umaarufu wake kwa mashabiki wa soka nchini baada ya UNK mabao tano moja na misri katika mechi ya kirafiki iliyofanyika nchini misri alisema mechi zilizobaki watahakikisha wanashinda zote kilimanjaro leo itaumana na zanzibar heroes kwenye uwanja wa mumias ambapo nairobi kutakuwa na mechi kati ya eritrea na zimbabwe kwenye uwanja wa nyayo jijini nairobi tutaingia uwanjani kama mechi ya fainali tukipoteza tutakuwa katika nafasi ngumu kwani tutakuwa tukisubiri timu yenye matokeo mazuri kiasi best UNK katika makundi yote matatu kila kundi litatoa timu mbili na kuwa sita ambapo mbili zenye matokeo mazuri katika makundi yote matatu na kufanya kuwa timu nane maximo alisema makosa waliyofanya dhidi ya uganda UNK kazi na kwamba wachezaji wake wameahidi kujituma katika mechi hiyo na kuhakikisha wanaibuka na ushindi hata hivyo kocha wa zanzibar heroes hemed morocco alisema kila mechi iliyo mbele yao watahakikisha wanafanya vizuri bila ya kuangalia jina lake kilimanjaro iko katika kundi c ikiwa na timu za uganda ambao ni mabingwa watetezi zanzibar heroes na burundi iliyojaza vijana zaidi katika kikosi chake zanzibar heroes wanaongoza kundi hilo kwa kuwa na pointi tatu mabao manne wakifuatiwa na uganda yenye pointi tatu na mabao mawili kilimanjaro stars ya tatu ikiwa haina ponti wala bao huku burundi ikifungwa mabao manne na haina pointi siku chache baada ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania kusimamisha chaguzi mbalimbali za klabu za ligi kuu tanzania bara kamati ya uchaguzi ya simba imepanga kuliomba shirikisho hilo ifanye uchaguzi januari kumi na saba mwakani tff ilifikia uamuzi huo baada ya klabu hizo kutotimiza masharti ya kurekebisha katiba zao ili ziendane na ile ya shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu hususani katika kuunda kamati za uchaguzi na kutambua vyombo vya sheria vya fifa kwa mujibu wa habari zilizopatikana dar es salaam jana kutoka kwa mmoja wa wajumbe waliohudhuria katika kikao cha kamati ya utendaji kilichofanyika juzi kwenye hoteli ya regency alisema kamati hiyo UNK wajumbe wanne watakaounda kamati ya uchaguzi aliwataja wajumbe hao ni makamu mwenyekiti wa klabu hiyo omari gumbo katibu msaidizi mohamed mjenga mjumbe wa kamati ya usajili hassan othman hassanol na ayoub UNK alisema wajumbe hao watakuwa na jukumu la kuhakikisha shughuli nzima ya kupata viongozi wapya inafanyika bila matatizo yoyote ambapo viongozi waliopo madarakani chini ya mwenyekiti hassan dalali watamaliza muda wao desemba tatu mwaka huu habari hizo zilieleza mbali na shughuli hizo pia watakwenda kufanya mazungumzo na tff juu ya kuomba uchaguzi wao ufanyike januari kumi na saba mwaka huu licha ya baadhi ya vitu vinavyotakiwa kufanywa kuwa UNK kwa mujibu wa barua ya tff kwenda kwa klabu za ligi kuu na vyama vya mpira wa miguu vya mikoa ilieleza kwamba klabu hizo zinatakiwa kurekebisha katiba zao kabla ya januari kumi na tano mwakani simba yanga UNK milioni mia mbili na arobaini na zahoro mlanzi shirikisho la mpira wa miguu tanzania limesema litachukua hatua kali kwa mfanyakazi wa shirikisho hilo ambaye amekuwa na tabia ya kutoa habari za mapato ya mechi mbalimbali zinazochezwa uwanja wa taifa dar UNK salaam hatua ya shirikisho hilo imekuja baada ya baadhi ya UNK vya habari jana kuandika mapato yaliyopatikana katika mechi ya watani wa jadi simba na yanga UNK jumapili na kutoka sare ya mabao mbili mbili akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema wanasikitishwa na kitendo cha mfanyakazi huyo kuvujisha habari kinyume na taratibu kitu ambacho UNK katika wakati mgumu viongozi wa shirikisho hilo siku zote utoaji wa habari ndani ya tff hutolewa kwa utaratibu maalumu lakini kwa hili la mapato hatuwezi kuvumilia lazima tutamchukulia hatua mfanyakazi wetu ambaye UNK taratibu za kazi alisema mwakalebela alisema wamechukizwa na tabia hiyo na wanatoa onyo kwa wafanyakazi UNK kutoa taarifa bila ya kupata kibali maalumu kutoka kwa viongozi husika akizungumzia suala la upatikanaji wa mapato wa michezo mbalimbali inayofanyika uwanja wa taifa ambapo serikali UNK mapato hayo kuwa ni tofauti mwakalebela alisema suala hilo si lao pekee kwani kuna kamati nyingine nne zinazosimamia sula hilo alisema serikali iliunda kamati ambazo ziko chini ya jeshi la polisi usalama wa taifa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa na wizara ya habari utamaduni na michezo katibu huyo alisema mchakato wa UNK uuzaji na uhesabuji wa tiketi kamati hizo UNK hivyo wanashangaa kwanini UNK wao wakati huohuo mwakalebela alisema mapato yaliyopatikana katika mchezo wa simba na yanga ni shilingi milioni mia mbili na arobaini mia tatu na thebathini na saba sifuri sifuri sifuri kutokana na kuingia watazamaji thebathini na saba mia sita na kumi na sita huku tiketi kumi na tisa mia tisa na arobaini na mbili UNK shirikisho la mpira wa miguu tanzania limezidi UNK msumali klabu za simba na yanga kutofanya uchaguzi hadi watakapomaliza kupitia katiba za wanachama wake tff UNK chaguzi za wanachama wake wiki iliyopita kutokana na mapungufu yaliyokuwemo katika katiba za vyama hivyo kutokana na hatua hiyo klabu za simba na yanga ambao ndio waathirika wakuu baada ya kutangaza nia yao ya kufanya uchaguzi mwezi desemba na januari walikuwa na lengo la UNK tff kuwapa nafasi ya kuendelea na uchaguzi akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema UNK UNK maombi yoyote kutoka kwa klabu hizo lakini UNK ruhusa ya kufanya uchaguzi kabla ya kupitia katiba zao tamko hili UNK klabu moja badala yake ni kwa wanachama wote wa tff hivyo hawawezi kutoa nafasi kwa klabu moja au mbili kufanya uchaguzi wao alisema mwakalebela mwakalebela alisema klabu hizo zinaweza kufanya uchaguzi wake baada ya januari kumi na tano kama wakifanya marekebisho UNK haraka alisema kutokana na mapungufu hayo ambayo mengine yanagusa moja kwa moja masuala ya uchaguzi hawawezi kuwaruhusu kufanya hivyo hadi UNK mapungufu hayo hawawezi kufanya uchaguzi wakati katiba ambayo ndio mhimili wa klabu hiyo zikiwa na mapungufu ambayo yanaweza kusababisha matatizo katika chaguzi hizo wanatakiwa kusubili kurekebisha ndipo UNK alisema mwakalebela alisema katika katiba kuna mapungufu ambayo yametokea siku za hivi karibuni kama kutokuwa na kamati za uchaguzi kampuni za kupitia mapato kutoitambua tff na baadhi kutokuwa na watendaji wa kuajiliwa katika katiba zao kocha mkuu wa timu ya taifa ya tanzania bara kilimanjaro stars marcio maximo amesema mechi dhidi ya burundi itakayopigwa kwenye uwanja wa mumias complex mjini hapa kesho ni UNK akizungumza katika kambi ya timu hiyo iliyopo UNK maximo alisema mechi hiyo wataibuka na ushindi ambao utawawezesha kushika nafasi mojawapo ya juu katika kundi c na kuvuka hatua hiyo alisema burundi ni wazuri na UNK lakini wanakosa baadhi ya mbinu za kimchezo hivyo wataifunga kutokana na udhaifu walionao burundi ni wazuri tena wepesi lakini hilo UNK tutahakikisha tunawafunga zaidi ya bao moja hapo kesho ili twende hatua ya robo fainali kwa uhakika alisema maximo alisema kwa upande wake hataki kupata nafasi ya timu iliyofanya vizuri lakini haipo katika nafasi mbili za juu best UNK kwenye kundi lao lenye timu za zanzibar inayoongoza ikifuatiwa na uganda na kilimanjaro zote zikiwa na pointi tatu zikitofautiana kwa mabao kocha huyo alisema katika kikosi chake kiraka nurdin bakari aliumia kwenye mechi dhidi ya zanzibar na kutoka nje lakini anaweza kucheza ikiwa daktari UNK na kumruhusu alisema umuhimu wa mechi dhidi ya burundi ni mkubwa sana kwani hivi sasa kila timu imeshinda mechi moja hivyo kila moja itakuwa ikisaka pointi ili iweze kwenda moja kwa moja robo fainali maximo alisema amefurahishwa na wachezaji wake kuelewa maelekezo UNK baada ya kufungwa na uganda mabao mbili sifuri na kufanikiwa kufanya vizuri dhidi ya zanzibar ambayo ilianza michuano hiyo kwa kishindo kwa UNK burundi mabao nne sifuri alisema kiwango kilichooneshwa na kipa mwarami mohamed ni kizuri ambapo tayari amezoeana na wachezaji wenzake hata anaweza UNK wanapofanya makosa mwarami ni mfano wa makipa wanaotakiwa kwanza UNK mabeki na hata kuwapigia kelele kila wanapofanya makosa hivyo ndivyo inavyotakiwa alisema na erasto stanslaus timu ya simba ya dar es salaam inatarajia kuondoka kesho kufuata pointi tatu muhimu kwa polisi dodoma katika mchezo wa mwisho wa ligi utakaofanyika aprili ishirini na sita mwaka huu mjini dodoma mchezo huo ambao utapigwa uwanja wa jamhuri kwa simba ni muhimu kutoka na ushindi kwani itakuwa imepata tiketi ya kushiriki michuano ya kombe la shirikisho la mpira wa miguu tanzania mwakani akizungumza dar es salaam jana katibu msaidizi wa klabu hiyo mohamed mjenga alisema kikosi cha timu hiyo pamoja na viongozi wanatarajia kuondoka kesho tayari kwa mchezo huo alisema baada ya kumaliza mchezo dhidi ya yanga ambao ulimalizika kwa sare ya mabao mbili mbili waliendelea na kambi kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa jumapili alisema mchezo huo ni muhimu sana kwao ndiyo maana wamepanga kuondoka mapema kwa ajili ya kumaliza maandalizi mengine wakiwa dodoma tumepanga kuondoka kesho kwenda dodoma kwa basi ambapo UNK kwa wanachama wetu wa mjini huko kusubiri mchezo huo ambao ushindi ni kitu muhimu kwetu alisema mjenga alisema wamejiandaa vizuri kumaliza mchezo huo kwa ushindi ili kushiriki michuano ya caf kwa kumaliza ligi wakiwa katika nafasi ya pili tunamatumaini makubwa ya kumaliza ligi tukiwa katika nafasi ya pili kwa kushinda mchezo wetu wa jumapili kutokana na uwezo tuliokuwa nao ukilinganisha na uwezo wa wapinzani wetu alisema mjenga simba yenye pointi thebathini na saba inahitaji ushindi katika mchezo huo ili ishiriki michuano hiyo ambayo kama ikipoteza na mtibwa sugar yenye pointi thebathini na tano ikashinda mchezo wake dhidi ya polisi morogoro basi nafasi hiyo itakuwa yao wadau wa soka nchini UNK uvivu shirikisho la mpira wa miguu tanzania kwa kutaka kuacha UNK macho kocha mkuu wa timu ya taifa taifa stars marcio maximo pale timu hiyo UNK wadau hao wamedai kuwa viongozi wa tff wanashindwa kumkemea kocha huyo kwasababu wao hawamlipi mshahara na ndiyo maana wanaona anayoyafanya yote ni sawa wakizungumza jana asubuhi kwenye kipindi cha UNK kinachorushwa kila jumatano na kituo cha redio one wadau hao UNK tff ni shirikisho kubwa lenye sauti ya kukemea maovu yote yanayofanyika katika mpira lakini kwa maximo wamekuwa kimya tff inashindwa kumkemea maximo kwasababu mshahara hawamlipi wao na matokeo yake timu yetu ya taifa inapoteza mwelekeo alisema mdau wa soka aliyejitambulisha kwa jina la rajabu UNK alisema kwa kifupi maximo hafai kuendelea kuifundisha timu hiyo hivyo anatakiwa kuwapisha wengine ili nao UNK soka la tanzania kuliko UNK mtu mmoja naye kiongozi wa moro united juma simba UNK alisema kosa kubwa ambalo kocha huyo UNK ni kubadilisha kikosi kila kukicha ambapo matokeo yake timu inakuwa si ya kudumu kama wadau wengi walivyotarajia akizungumzia suala la juma kaseja ambaye maximo amekuwa UNK kwenye kikosi chake simba alisema wadau wa soka kila kukicha wamekuwa wakipiga kelele kuhusiana na suala hilo lakini tff imeweka pamba masikioni bila hata kumshauri kocha huyo alisema ni wachezaji wengi wa kutumainiwa ambao wamekuwa wakiachwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ambao wangeweza kuifikisha mbali timu hiyo lakini kwasababu zake kocha huyo amekuwa hataki UNK naye abeid mziba alisema ufike wakati tff ambao ndiyo kama baba wa soka tanzania wawe na kauli za mwisho kwa makocha pale UNK na zahoro mlanzi kampuni ya bussness times limited inayochapisha magezeti ya majira bussness times spoti starehe na dar leo imeibuka mshindi wa jumla na kutwaa vikombe vinne katika bonanza la chama cha waandishi wa habari za michezo lililofanyika juzi kwenye ufukwe wa msasani beach jijini dar es salaam bonanza hilo hufanyika kila mwaka ambapo hushirikisha vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini likiwa na lengo la UNK kwa pamoja UNK kwa wale waandishi chipukizi na wakongwe na kubadilishana mawazo katika ufanyaji kazi katika bonanza hilo btl iliibuka kidedea na kukabidhiwa vikombe vinne katika michezo ya riadha kwa wanaume mpira wa wavu netiboli na pia ilitangazwa mshindi wa jumla baada ya kutwaa vikombe vitatu hivyo UNK cha nne kwa upande wa riadha mwandishi wa gazeti hili UNK UNK aliibuka mshindi baada ya kuwazidi mbio wanariadha wengine kutoka vyombo vingine vya habari na kukabidhiwa kikombe kidogo na kwenye netiboli btl ilitwaa ubingwa baada ya kuwachapa wapinzani wao wa jadi uhuru publishers kwa mabao tano mbili kwenye mpira wa wavu btl iliichapa changamoto katika fainali na kutwaa ubingwa ambapo kwa ushindi huo wa michezo mitatu btl ilitawazwa kuwa UNK wapya katika ushindi wa jumla ubingwa ambao uliokuwa UNK na uhuru mbali na michezo hiyo pia bonanza hilo lilipambwa na burudani kutoka kwa bendi ya msongo ngoma ambayo ilitoa burudani ya nguvu na kukonga nyoyo za waandishi waliojitokeza siku hiyo ambapo kila nyimbo waliyopiga waandishi walishindwa kujizuia kwenye viti vyao na kucheza timu ya uhuru kwa upande wa mpira wa miguu ilitwaa ubingwa na katika riadha kwa wanawake mwandishi wa uhuru samira UNK aliibuka kinara wa kukimbia baada ya kuwazidi mbio wenzake na kuzawadiwa UNK wakati huohuo katibu mkuu wa taswa mgaya kingoba aliwataka waandishi wa michezo kuongeza juhudi kwa kuandika habari zitakazokuwa na ubora wa hali ya juu na pia UNK tamaa na changamoto UNK nazo kipa namba mbili wa zanzibar heroes mohammed khamis jana aliibuka shujaa baada ya kupangua penalti mbili katika mechi ya robo fainali ya kuwania kombe la chalenji dhidi ya zambia iliyofanyika kwenye uwnaja wa nyayo mjini nairobi khamis alipangua UNK zilizopigwa na cherles siyingwa na dennis banda na kuwawezesha zanzibar kuibuka na ushindi wa penalti nne tatu na kusonga mbele hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo inayoshirikisha nchi za afrika mashariki na kati kabla ya kupigiana penalti timu hizo zilishambuliana kwa zamu ambapo zambia ilipata nafasi zaidi ya nne za kufunga lakini uhodari wa kipa mwadin ali UNK mabao dakika ya kumi na saba kennedy chola alipata nafasi nzuri ya kufunga lakini shuti lake kali lilipanguliwa na kipa mwadin na mabeki wa zanzibar heroes waliondoa hatari langoni kwao hata hivyo zanzibar heroes walijibu mashambulizi dakika ya ishirini na tisa sadik rajab alipata nafasi nzuri ya kufunga baada ya kupokea pasi safi ya abdi kassim lakini shuti lake hafifu UNK mikononi mwa kipa jacob banda wa zambia zambia walipata nafasi nzuri dakika ya sabini na tatu wakati thomas nyirenda UNK na kipa ali na kupiga shuti kali UNK na mpira kuwa kona ambayo UNK matunda mashambulizi ya kushtukiza na UNK wa wachezaji wa zanzibar ulimfanya kocha wa zambia UNK renard kufanya mabadiliko ya wachezaji hata hivyo walikutana na ukuta imara uliokuwa ukiongozwa na cannavaro na aggrey moris mabao ya penalti ya zanzabar yalifungwa na moris nassor said cholo abdulhalim amour na othman UNK na aliyekosa ni hassan salum wakati zambia ya yalifungwa na chola nyirenda na UNK UNK wakati waliokosa ni charles siyingwa na dennis UNK kocha wa zanzibar UNK abdel UNK abbas alisema vijana wake walicheza vizuri na kufanikiwa kuwabana zambia waliokuwa na wachezaji wengi UNK soka la kulipwa nje ya nchi yao nimefurahi kwa ushindi huu zambia ni timu nzuri lakini tumefanikiwa kuitoa katika mashindano haya tunaelekeza nguvu nusu fainali nayo timu ya taifa ya uganda the cranes ilifanikiwa kupenya katika hatua ya nusu fainali baada ya kuifunga wenyeji kenya bao moja sifuri katika mechi iliyopigwa jioni katika uwanja huo goli la uganda liliwekwa kimiani na robert ssentongo dakika ya sitini na tatu kwa shuti kali baada ya kupokea pasi ya danny wagaluka UNK chenga mabeki wa kenya timu ya taifa ya tanzania taifa stars inatarajia kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa na ivory coast tembo UNK mchezo utakaopigwa januari nne na sita mwakani kwenye uwanja wa taifa dar es salaam huo ni mchezo maalumu kwa ivory coast ambayo imefuzu kucheza fainali za mataifa ya afrika mwakani zitakazofanyika angola pamoja na za kombe la dunia afrika kusini kujiandaa na mashindano hayo akizungumza dar es salaam jana rais wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania leodegar tenga alisema shirikisho lake UNK mchezo huo ili UNK uwanja mpya pamoja na vivutio vilivyopo nchini ambapo chama cha mpira wa miguu nchini ivory coast wamekubali ombi hilo alisema kabla hawajakubali umetumwa ujumbe wa watu watatu kutoka ivory coast ambao ni makamu mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu nchini humo UNK diallo katibu wake UNK UNK na kocha mkuu wa timu hiyo UNK halilodzic ambao walitumwa kuja kukagua uwanja pamoja na sehemu UNK UNK kwamba ujumbe UNK na fa ya ivory coast UNK na mazingira ya hapa nchini hivyo UNK kabla UNK angola watatua nchini kucheza michezo miwili ya kirafiki januari nne na sita mwakani alisema tenga naye diallo alisema wanajisikia furaha kufanya maandalizi yao ya kwenda afcon nchini tanzania na wanaishukuru serikali ya tanzania na tff kwa kuwapa fursa hiyo ya kutua hapa nchini alisema wameridhishwa na mazingira UNK kuanzia uwanja wa kuchezea hoteli na hali ya hewa ambayo kwa wachezaji wake UNK kwani vitu vyote vina hadhi ya kimataifa kwa kuwa wana wachezaji wengi wanaocheza soka la kulipwa nje ya nchi kocha mkuu wa timu hiyo ya ivory coast halilodzic alisema watakuja na kikosi chao chote wakiwemo nyota wa chelsea didier drogba na solomon kalou na wa manchester city kolo toure na si watakuja kutalii tanzania bali kufanya maandalizi ya kutwaa kombe la afcon huko angola timu ya taifa ya tanzania bara kilimanjaro stars leo itashuka uwanjani kuumana na eritrea katika mechi ya robo fainali itakayopigwa kwenye uwanja wa nyayo mjini nairobi kilimanjaro stars ilipata nafasi hiyo baada ya kushika nafasi ya pili katika kundi c lililokuwa mjini mumias wakati eritrea ilishika nafasi ya pili katika kundi b lililokuwa mjini nairobi kwenye uwanja wa UNK bara katika mechi yake ya kwanza ilifungwa mabao mbili sifuri dhidi ya uganda ambao ni mabingwa watetezi na kuifunga zanzibar na burundi bao moja kila timu eritrea ilipata nafasi hiyo baada ya kutoka suluhu dhidi ya zimbabwe waliichapa somalia mabao tatu sifuri na kufungwa na rwanda bao moja sifuri akizungumza wakati wa UNK ya kilimanjaro stars kwenye uwanja wa nyayo kocha mkuu wa timu hiyo marcio maximo alisema anatarajia kushinda mechi hiyo baada ya kufanya maandalizi ya mwisho tumejiandaa vizuri kwa ajili ya mechi ya robo fainali na tunatarajia kucheza kufa au kupona ili tuweze kuibuka na ushindi na kucheza nusu fainali alisema michuano iliyopita kilimanjaro stars ilishika nafasi ya tatu nyuma ya kenya na uganda ambayo ilifanyika nchini uganda hata hivyo maximo alisema eritrea si timu ya kubeza kwani ilitoka suluhu na mabingwa wa nchi za kusini mwa afrika zimbabwe tutaingia uwanjani kwa nguvu zetu zote kuhakikisha UNK na kuibuka na ushindi eritrea ni wazuri lakini tutajitahidi kucheza kwa uwezo wote alisema alisema mechi za makundi zilikuwa ngumu kutokana na kila timu kusaka tiketi ya kucheza robo fainali lakini robo fainali kwa upande wao watacheza vizuri naye nahodha wa kilimanjaro stars salum swedi alisema wamejiandaa vizuri na watahakikisha UNK vyema bendera ya taifa katika mchezo wa robo fainali tumekuja kushindana na kulitwaa kombe na si kutembea tutahakikisha tunashinda mechi ya leo lakini jibu kamili dakika tisini za mchezo alisema na erasto stanslaus waziri wa nchi ofisi ya makamo wa rais muungano mohamed seif khatibu leo anatarajia kuwa mgeni rasmi katika utoaji wa tuzo za mwanamichezo bora wa mwaka ishirini sifuri nane tuzo hizo zilizoandaliwa na chama cha waandishi wa habari za michezo tanzania kwa kushirikiana na kampuni ya bia tanzania zitafanyika katika hoteli ya kempinski dar es salaam akizungumza dar es salaam jana katibu msaidizi wa taswa amir mhando alisema maandalizi yote ya tuzo hizo yamekamilika na khatibu ndiye atakayetoa tuzo hiyo kwa mwanamichezo atakayechaguliwa leo alisema jana waandishi wa habari za michezo walikutana na kuchagua wanamichezo watatu kutoka katika wanamichezo kumi na mbili walioshinda tuzo hizo za kila mwezi kwa mwaka jana mhando alisema wanamichezo watatu walioingia fainali hiyo ni athumani idd chuji na mary naaly ambao wote walipata kura kumi na nane wakati musa hassan mgosi alipta kura kumi na saba alisema wanamichezo hao tayari UNK kura lakini mshindi UNK leo katika hafla hiyo fupi na kukabidhiwa zawadi katibu huyo alisema mbali na wanamichezo hao watatu pia wanamichezo wote kumi na mbili watakuwepo na kukabidhiwa tuzo na zawadi za kwa kuwa wanamichezo bora wa kila mwezi kwa mwaka jana alitaja zawadi za wanamichezo bora wa kila mwezi kuwa ni shilingi mia mbili na hamsini sifuri sifuri sifuri pamoja na cheti wakati mwanamichezo bora wa mwaka atajinyakulia shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri pamoja na cheti na waandishi wetu uongozi wa klabu ya yanga UNK katibu wa wizara ya habari utamaduni na michezo florence turuka kuhoji mapato yanayopatikana wakati yeye ndiyo mwenyekiti wa kamati ya uwanja wa taifa kamati hiyo ambayo inashughulikia mapato yote yanayopatikana inaundwa na jeshi la polisi taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa usalama wa taifa na shirikisho la mpira wa miguu tanzania madega alisema kutokana na UNK mapato hayo inaonekana kama UNK mwenyewe hivyo yanga imeingiwa na wasiwasi na hilo mwenyekiti huyo alisema sasa wanataka kikao cha haraka UNK UNK wizara wachapishaji wa tiketi pamoja na klabu za simba na yanga alisema kikao hicho UNK kujua idadi ya tiketi zilizouzwa na kutengenezwa ikiwa ni pamoja na kupitia UNK vya tiketi kwa hatua hiyo ana amini haki UNK madega pia ameshangazwa na kitendo cha polisi kulipwa mapato hayo wakati kazi ya ulinzi ni ya kwao kuhakikisha usalama wa raia na mali zao hivyo malipo ya posho zao zinatakiwa zitoke kwenye kodi zao mwenyekiti huyo alisema tayari yanga imeandika barua kwenda tff na jana alitarajia UNK wizarani sisi kama yanga UNK na mapato yaliyopatikana ikiwa ni pamoja na mgawanyo wa mapato hayo ambao hauna haki ndani yake kulingana na kanuni za ligi kuu tanzania bara alisema madega katika mchezo huo ambao timu hizo zilitoka ya sare ya mabao mbili mbili uliingiza shilingi milioni mia mbili na arobaini ambazo UNK utata kutokana na pande zote kupinga mapato hayo kwa madai UNK kulingana na watu walioingia uwanjani alisema kwa mujibu wa kanuni klabu zinatakiwa kuchukua asimilia ishirini na tano lakini katika michezo ya uwanja huo wanapewa asilimia ishirini huku pesa nyingine UNK bila ya kuwa na mpangilio alisema serikali kupitia kamati hiyo ilipaswa kujua kwanini mapato yaliyopatikana ni kidogo lakini badala yake wanahoji kuwa mapato ni kidogo na erasto stanslaus tanzania tulikuwa katika kilio cha kupata uwanja wa michezo wenye hadhi ya kimataifa kwa kipindi kirefu lakini kwa msaada wa serikali ya china tulifanikiwa kupata uwanja huo UNK jina la uwanja wa taifa uwanja huo UNK rasmi februari mwaka huu na rais wa china hu jintao akiwa na mwenyeji wake rais wa tanzania jakaya kikwete pamoja na uwanja huo kufunguliwa mwaka huu lakini ulianza kutumika tangu mwaka juzi kwa ajili ya michezo maalumu hasa ya timu ya taifa ya tanzania ilipocheza michuano mbalimbali ya kimataifa mchezo wa kwanza uliochezwa katika uwanja huo ni mchezo wa taifa stars dhidi ya msumbiji katika michuano ya kusaka tiketi ya kucheza fainali za kombe la dunia ishirini moja sifuri kutokana na ugeni wa uwanja huo awali tatizo lilikuwa ni uharibufu wa vifaa vya uwanja huo ambao ulikuwa bado haujakamilika lakini sasa tatizo hilo limekwisha kwani michezo hiyo inamalizika salama bila ya uharibifu wowote uwanja huo sasa unaendeshwa chini ya kamati maalumu iliyoundwa kwa ushirikiano wa wizara ya habari utamaduni na michezo shirikisho la mpira wa miguu tanzania usalama wa taifa na taasisi ya UNK na kupambana na rushwa wakati wakisubiri UNK UNK uwanja huo kamati hiyo hufanya kazi yake wakati uwanja huo ukiwa unatumika kwa michezo mbalimbali kusimamia mambo yote yanayohusu mchezo huo UNK na kamati ndogo ndogo ambazo pia zinaundwa wajumbe kutoka kamati kuu pamoja na kamati hiyo kuwa na wajumbe kutoka sehemu nyeti za serikali ikiwa ni pamoja na wajumbe kutoka tff lakini kumekuwa na malalamiko juu ya mapato yanayopatikana katika michezo inayochezwa katika uwanja huo mchezo ambao umezua UNK kubwa kutoka katika pande zote mbili ni mchezo wa watani wa jadi wa simba na yanga ambao uliingiza shilingi milioni mia mbili na arobaini baada ya kuingia watu thebathini na saba mia sita na kumi na sita zogo la mapato ya mchezo huo yamezidi kuwachanganya wadau wa mchezo huo baada ya wenyewe kwa wenyewe kuonesha kutoaminiana na kutoleana lawama kuwa UNK mwanzo wa malumbano hayo yalianza kwa katibu mkuu wa wizara ya habari utamaduni na michezo florence turuka ambaye UNK lawama tff kuwa wameshindwa kudhibiti mapato ya mchezo huo ikiwa pamoja na kushangaa mapato UNK wakati turuka ambaye ni mwenyekiti wa kamati hiyo kuishutumu tff lakini katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela naye alisema wao hawapaswi kulaumiwa kwa kuwa wizara ndiyo watendaji wa kuu na wao wanapewa dhamana ya kutangaza mapato hayo wakati tff na wizara wakilumbana klabu nazo ziliibuka na kudai mapato hayo ni madogo pamoja na mgawanyo ni wa UNK huku yanga wakitaka kikao na kamati husika kutaka ufafanuzi wa mgawanyo huo kutokana na mkanganyiko uliojitokeza kati ya tff na wizara ambao wote kwa pamoja wanaunda kamati hiyo yenye majukumu ya kusimamia michezo ya uwanja huo nadhani ndani ya hili kutakuwa na kitu kilichokuwa nyuma ya pazia ambacho wadau wa soka wanahitaji UNK ili kutoa majibu mengi yaliyo vichwani mwa wadau wa soka inakuwa ngumu kuingia akilini kwa katibu wa wizara ambaye ndiye mwenyekiti wa kamati hiyo lakini amekuwa wa kwanza kuibuka na kushangazwa na ufinyu wa mapato inamaana hausiki katika usimamizi wa mapato hayo swali jingine ambalo linakosa jibu kwa wadau wa soka ni kwa tff kuwatupia serikali kuwa wao wajibu ni kutangaza mapato hayo wakati nao wapo ndani ya kamati hiyo pia watu wangependa kujua ndani ya kamati pia wameshirikishwa takukuru ambao kazi yao kubwa ni kuzuia rushwa sasa kama katika mapato hayo kuna mianya ya rushwa taasisi hiyo itakuwa inafanya kazi gani ndani ya kamati hiyo nadhani kwa pamoja wahusika wa kamati hiyo wanatakiwa kutoa usahihi wa suala hilo kwani kutupiana lawama wakati wote ni wahusika ndani ya kamati ni udanganyifu ulio wazi kabisa napenda kuipongeza yanga kwa kutaka kufanya kikao na kamati hiyo ambayo kwa pamoja wanaweza kutoa majibu yaliyo sahihi huku wote wakiwa katika meza moja kuliko kutupiana madongo wakiwa mbali wadau wa soka wanahoji inakuwaje mapato ya mchezo wa stars na msumbiji kuingiza shilingi milioni sitini sifuri lakini sasa iweje michezo iliyofuata iwe na mapato kidogo huku ikiwa na ubabaishaji mkubwa ina maana mchezo ule wa UNK mianya hiyo haikuwepo au wahusika hawakujua njia za UNK fedha zinazopatikana kupitia uwanja huo kamati husika tunaomba kututoa UNK UNK machoni mwetu kwa kutupa jibu sahihi kwani ni dhahiri hapa kuna UNK UNK na wanakamati UNK UNK kamati UNK mkijua watanzania wa sasa si wale mwaka elfu moja na mia tisa na arobaini na saba kila kitu UNK hivyo wanataka kupata majibu sahihi na si kutupiana mpira huku fedha za walalahoi UNK anne kilango amtaka maximo wao na amina athumani mashindano ya kumi na nane ya taifa ya netiboli taifa cup yalimalizika mwishoni mwa wiki na pwani kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa michuano hiyo pwani iliibuka bingwa baada ya kuifunga dodoma magoli thebathini na sita thebathini na nne katika mchezo wa fainali ambao ulikuwa wa vuta ni UNK na timu zote zilionekana kuwa bora tangu mwanzo wa mashindano hayo yaliyofanyika katika viwanja vya shule ya sekondari ya filbert bayi kibaha mchakato mzima wa pwani kuibuka mabingwa wa michuano hiyo ulionekana tangu mwanzo ambapo UNK mchezo hata mmoja kati ya michezo yote iliyocheza huku dodoma ikipoteza mechi moja ya fainali katika hatua ya kumsaka mshindi wa tatu timu ya morogoro iliibuka kidedea kwa kuifunga mwanza magoli arobaini na mbili thebathini na nane hata hivyo timu zote zilionekana kuwa bora kulingana na viwango UNK wachezaji wa timu hizo mashindano hayo yalishirikisha mikoa kumi na saba ya tanzania bara ambayo ni pwani temeke kinondoni manyara kigoma lindi mbeya arusha dodoma mwanza rukwa kagera morogoro tanga tabora iringa na ruvuma kutokana na wingi wa mikoa iliyoshiriki mashindano hayo yalikuwa na upinzani mkubwa kwani kila mkoa ulikuwa na nafasi ya kutangaza vipaji vya wachezaji wake hilo lilifanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa kushuhudia vipaji halisi walivyonavyo wachezaji wa mikoani na hata kusababisha wachezaji wa mkoa wa dar es salaam kushindwa kunggara kabisa katika michuano hiyo matarajio ya wengi UNK kama ilivyokuwa kwani wengi wao walitegemea kuona timu za dar es salaam UNK kama ilivyokuwa miaka ya nyuma lakini hali ilikuwa mbaya kwao na matokeo yake tano bora kukamatwa na timu zote za mikoa UNK tano bora za michuano hiyo UNK na pwani dodoma morogoro mwanza na lindi ambazo ndizo UNK uwezo mkubwa kwa matokeo hayo chama cha netiboli tanzania UNK na mwenyekiti wake anna bayi UNK pwani kombe la ubingwa na fedha taslimu shilingi milioni mbili mbili dodoma ambayo ilishika nafasi ya pili iliondoka na kombe na fedha shilingi milioni moja tatu na mshindi wa tatu morogoro aliondoka na kitita cha shilingi milioni moja zawadi hizo UNK hapo zilitolewa pia kwa mfungaji bora ambaye alikuwa agnes simkonda wa pwani mchezaji bora UNK ali wa lindi na UNK UNK idd wa temeke ambao wote walikabidhiwa shilingi kumi sifuri sifuri sifuri sifuri kila mmoja manyara ilitangazwa kuwa mkoa uliofanya vibaya kwa kufungwa michezo yote iliyocheza huku arusha ikitangazwa timu yenye nidhamu na kupewa fedha taslimu shilingi kumi sifuri sifuri sifuri sifuri ikiangaliwa tathmini ya mashindano ya mwaka huu inaonekana wazi mikoa imekuwa na mwamko ingawa si sana kutokana na matatizo ya ukata wa pesa kama baadhi ya viongozi wa timu kutoka mikoani UNK walisema kilio kikubwa ni serikali kutokuwa na ushirikiano mzuri na mchezo wa netiboli ambao unahitaji kupiga hatua na kuitangaza nchi kama ilivyo kwa soka ambalo linapata msaada mkubwa kutoka serikalini hii ni kauli iliyotolewa kwa dhati na viongozi mbalimbali wa mikoa wa mchezo huo walipofanya mahojiano juu ya maendeleo ya mchezo wa netiboli ambao kwa kipindi kirefu UNK muelekeo kutokana na kunyimwa kupewa kipaumbele wakizungumza kwa nyakati tofauti hali halisi ya mchezo huo iliyopo mikoani wamesema ni mbaya kutokana na vyama hivyo kushindwa kujiendesha kutokana na ukata UNK anna UNK kocha wa timu ya kigoma ambaye kwa wakati wake amesema mkoa wake ndiyo unaanza kuchipukia katika mchezo huo kwani mara ya mwisho UNK mashindano ya netiboli mwaka ishirini sifuri mbili amesema hali hiyo imetokana na kukosa pesa za kuiandaa timu na hata mashindano madogo madogo ya ndani ya mkoa wake kocha huyo amesema serikali ni msaada mkubwa wa kilio chao lakini bado UNK ombi lao ambalo wanataka kuona mchezo huo unasimamiwa kikamilifu ili nao uwe dira nzuri katika mikoa yote ya tanzania peter kamwita katibu msaidizi wa pwani amesema katika mkoa wake maendeleo si mabaya kama ilivyo kwa mikoa mingine ila wamefanya vizuri michuano hii kutokana na maandalizi waliyoyafanya wao kama chama amesema serikali ifikie wakati wa UNK mchezo huo hususani mikoani ambako ndiyo UNK mambo mengi ikilinganishwa na mkoa kama dar es salaam ambao hauna tatizo sana ya wafadhili kocha huyo amesema mfano mzuri UNK kuwa mikao ndiyo chimbuko la wachezaji chipukizi na mfano mzuri ni matokeo ya mashindano hayo ya taifa ambayo kwa kiasi kikubwa UNK na timu za mikoani ambazo ndizo UNK mahitaji ya kujiendesha kama chama au timu amesema kwa mfano huo inahitajika nguvu nyingi zipelekwe mikoani hasa katika ujenzi wa viwanja vya michezo ambako mingi hali zao ni ngumu ya viwanja na hata vifaa mbalimbali vinavyotumika katika mchezo huo naye katibu mkuu wa mchezo huo mkoa wa arusha grace UNK amesema tatizo la mikoa kushindwa kufanya uchaguzi wa viongozi kunachangia sana UNK mchezo huu ambao mbali na kukosa pesa za kuendesha mashindano pia tatizo la kutokuwa na viongozi halali wa kuchaguliwa linachangia kuangusha mchezo huo amesema kukosa viongozi halali kunachangia hata viongozi hao wa muda kukosa mwamko wa kujituma kusaka wafadhili pia kushindwa kutoa mchango kwa timu zao ikiwa ni pamoja na kushindwa kufanya mashindano licha ya matatizo yaliyopo katika mchezo huo lakini viongozi hawa wameipongeza chaneta kwa kufanikisha kuendesha vyema mashindano ya taifa ya mwaka huu kwa kiwango cha kuridhisha ikilinganishwa na miaka iliyopita nguvu ya ziada inahitajika kwa chaneta na vyama vya mikoani ili viweze kujiendesha kama kwa shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK lina uwezo mkubwa kutokana na kupata wafadhili wa kudumu ni fursa sasa ya kampuni kama tigo vodacom tbl zain nyingine kujitokeza kuwekeza katika netiboli kwani uwezo wa kutangaza bidhaa zao ni mkubwa kama wanavyofanya katika kudhamini mashindano mpira wa miguu gofu tenis kuogelea na UNK kwa kuwa michezo ni ajira kwa sasa serikali pia haina budi kuangalia na michezo kama hii ili nayo iweze kuwakwamua vijana kiuchumi michuano hii ilifungwa na mwenyekiti wa kampuni za ipp regnald mengi ambaye naye alionesha kuguswa na kilio cha UNK na kuahidi kudhamini mashindano mbalimbali ya kimataifa UNK nayo chaneta mbali na mengi kutoa baraka hiyo kwa chaneta mbunge wa same anne kilango naye ameahidi kupeleka kilio hicho cha akinamama bungeni pia kwa rais jakaya kikwete ili aweze kuwapatia kocha wa kimataifa atakayeweza kuifundisha timu ya taifa ya vijana kama UNK marcio maximo kutoka brazili kufundisha soka na erasto stanslaus michuano ya kombe la taifa hatua ya makundi inatarajia kuanza kutimua vumbi mei kumi mwaka huu katika vituo sita ambapo mikoa ishirini na tatu UNK akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania fredrick mwakalebela alisema mikoa hiyo itakuwa imegawanyika katika makundi sita ambapo kila kundi litakuwa na timu nne alisema hatua ya makundi inatarajia kumalizika mei ishirini na hatua ya robo fainali itaanza mei ishirini na nne na kufikia kilele chake mei thebathini mwaka huu zitafanyika jijini dar es salaam mwakalebela alisema makundi matano yatakuwa na timu nne kila kundi isipokuwa kundi moja litakuwa na mikoa mitatu alitaja makundi hayo kuwa ni kundi a litakalokuwa kituo cha mbeya ikiwa na mikoa ya ilala iringa rukwa na wenyeji mbeya kundi b kituo cha tanga kutakuwa na pwani kinondoni na tanga wakati kundi c litakuwa mwanza na mikoa ya kagera kigoma shinyanga na mwanza yenyewe vituo vingine ni arusha kutakuwa na kundi c lenye mikoa ya kilimanjaro mara manyara na arusha kundi e litachezwa ruvuma likiwa na mikoa ya mtwara lindi temeke na ruvuma wakati kundi f litakuwa dodoma likiwa na mikoa ya tabora singida morogoro na dodoma ambao ni wenyeji wakati huo huo mwakalebela alisema wametuma wajumbe wa kamati ya utendaji ya tff katika michezo ya mwisho wa ligi hiyo itakayomalizika jumapili aprili ishirini na sita alisema nia ya kutuma wajumbe hao katika michezo hiyo ni kudhibiti uvunjaji wa sheria za ili kupanga matokeo katika baadhi ya michezo hiyo katibu huyo alisema katika michezo hiyo kuna mechi ambazo ni muhimu kwa baadhi ya timu ambazo zinaweza kutumia mwanya wa kuvuruga michezo hiyo ili kupanga matokeo na elizabeth mayemba mchezaji wa yanga mrisho ngassa ambaye yupo nchini uingereza kwenye majaribio ya soka katika klabu ya west ham anatarajiwa kuwasili nchini jumatatu akizungumza kwa simu jana akiwa uingereza wakala wa mchezaji huyo yusph bakhressa alisema leo ndiyo itakuwa hatma ya mchezaji huyo kujua kama atakuwa amefuzu au la natarajia kuwasiliana na mkurugenzi wa timu ili aweze kunipa ripoti kamili kama ngassa atakuwa amefuzu kukipiga kwenye klabu hiyo alisema wakala huyo alisema akiwasiliana na mkurugenzi wa west ham na kumpa majibu UNK lolote na waandishi wa habari hadi watakapotua keshokutwa na jumanne UNK mkutano wa waandishi wa habari kuwaeleza kilichotokea bakhressa alisema jumanne ataweka hadharani matokeo ya mchezaji huyo baada ya kupewa taarifa zake na mkurugenzi wa klabu hiyo alisema hapendi kutoa taarifa kwa mtu mmoja mmoja ili habari UNK kwa namna yoyote ile ngassa aliondoka nchini kwenda kufanya majaribio kwenye klabu ya west ham lakini alishindwa kuchaguliwa katika klabu hiyo na wakala wake akasema ataendelea kumtafutia sehemu nyingine na mwandishi wetu kiungo wa yanga godfrey boniface UNK katika kikosi cha timu ya taifa ya tanzania taifa stars kitakachocheza michezo miwili ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya kongo na new UNK stars itakutana na kongo ambao ni mabingwa wa chan mei tisa na juni tatu mwaka huu itakutana na new zeland ambapo michezo hiyo itakuwa katika tarehe za shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu bonny UNK katika kikosi hicho kutokana na kuwa na umri mkubwa ambapo mchezaji mwingine aliyeachwa katika kikosi hicho ni kipa wa miembeni farouk UNK akitangaza majina hayo kocha mkuu wa stars marcio maximo alisema katika kikosi UNK jana alizingatia vitu muhimu vinne ambavyo ni nidhamu umri uwajibikaji na kiwango cha mchezaji alisema kati ya wachezaji ishirini na nane UNK wote wana uwiano wa miaka ishirini na moja ambao anawaandaa kwa ajili ya michuano ya afrika mwaka ishirini moja sifuri ikiwa ni pamoja na michuano ya chalenji aliwataja wachezaji watakaounda kikosi hicho na timu zao katika mabano ni makipa shaban dihile na ali mustapha wakati mabeki wa kati ni david naftar na kelvin yondani nadir haroub na salumu swed mabeki wa pembeni ni erasto nyoni shadrack nsajigwa juma jabu stephano mwasika na abu ubwa viungo ni henry joseph na jabir aziz nurdin bakari kigi makasi na razack khalfan shaban nditi mwinyi kazimoto na nizar khalfan kwa upande wa washambuliaji ni mrisho ngassa na UNK tegete danny mrwanda musa hassan mgosi zahor pazzi na jonh bocco na wachezaji watatu kutoka timu ya vijana ambao ni hassan peter furaha yahaya na himid UNK alisema kikosi hicho kitaingia kambini keshokutwa tayari kwa kuanza mazoezi ya kujiandaa na michezo hiyo ya kirafiki ambayo itakuwa ni kipimo tosha kwa kikosi hicho na erasto stanslaus shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK uongozi wa yanga kupeleka malalamiko yao wizara ya habari utamaduni na michezo ambao ndiyo wamiliki wa uwanja wa taifa yanga juzi walipeleka malalamiko yao tff kudai kupunjwa mgao wa mchezo wao dhidi ya simba uliofanyika aprili kumi na tisa mwaka huu uliochezwa katika uwanja huo mchezo huo uliingiza shilingi milioni mia mbili na arobaini ambapo yanga na simba UNK shilingi milioni arobaini na sita kila moja ambazo ni sawa na asilimia ishirini za mgao huo ambazo yanga inadai ni kinyume cha kanuni za tff na badala yake walitakiwa kupata asilimia ishirini na tano akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema yanga hawakupaswa kupeleka malalamiko tff kwani wao si wamiliki wa uwanja huo alisema uongozi wa yanga UNK umma kwani wao walikaa pamoja na kamati inayosimamia uwanja huo na kukubali kupata asilimia hizo walizopata nashangaa kusikia mwenyekiti wa yanga iman madega akisimama mbele ya umma na kuanza kulalamika kupunjwa mgao wakati wao walikuwa katika kikao cha kupanga makato ya kutumia uwanja huo alisema mwakalebela katibu huyo alisema yanga na simba walitoa wawakilishi ishirini kila timu waliokuwa miongoni mwa wauza tiketi na kutoa wasimamizi ishirini na tano kila timu UNK kuhakiki tiketi hizo hivyo hajui kwanini klabu hiyo inatoa UNK alisema yanga ambao leo wanalalamika juu ya makato ya mapato ya mchezo huo lakini wao ndiyo walikuwa wa kwanza kuchukua pesa za mgao wa mapato hayo ambayo ni asilimia ishirini malalamiko ya madega UNK wasiwasi na aina ya uongozi wake kwani leo anasimama kulalamikia mgao huo wakati wao ndiyo walikuwa mstari wa mbele kuchukua mapato hayo huu ni upotoshaji alisema mwakalebela na erasto stanslaus wanariadha wamezidi kutesa katika tuzo za mwanamichezo bora zinazotolewa kila mwaka na chama cha waandishi wa habari za michezo tanzania baada ya juzi mwanariadha mary naaly kuibuka mshindi wa tuzo za mwanamichezo bora wa mwaka ishirini sifuri nane ushindi wa naaly juzi unafanya tuzo hizo kuchukuliwa na wanariadha kwa miaka mitatu mfufulizo huku ikiwaacha wanasoka na wanamichezo wengine katika mataa wanariadha waliomtangulia naaly kunggara katika tuzo hizo ni samson ramadhan ambaye alishinda mwaka ishirini sifuri sita wakati martine UNK UNK mwaka jana naaly aliibuka kidedea katika tuzo hizo baada ya kuwabwaga wanasoka mahiri mussa hassan mgosi na athumani idd chuji ambao kwa pamoja walipata kura kumi na tatu wakati mary alipata kura kumi na sita mwanariadha huyo aliingia katika hatua ya tatu bora baada ya kupigiwa kura na waandishi kuwa mwanamichezo bora wa oktoba wakati athumani idd aliingia baada ya kuwa bora desemba huku mgosi akiwa bora julai mwaka jana mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka kumi na saba alikabidhiwa zawadi za kikombe cheti na fedha shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri kwa kuwa mwanamichezo bora wa mwaka na pia alizawadiwa shilingi mia mbili na hamsini sifuri sifuri sifuri ya mwanamichezo bora wa mwezi wanamichezo wengine walionggara mwaka jana na kukabidhiwa tuzo hizo ni francis UNK masoud amour jumanne UNK wengine ni michael katende mwinyi kazimoto amani saidi mussa hassan mgosi marehemu grace daudi boniface ambani mary naaly UNK idd na athumani idd chuji mgeni rasmi katika tuzo hizo alikuwa waziri wa nchi ofisi ya makamo wa rais muungano mohamed seif khatibu ambaye alikabidhi tuzo kwa mwanamichezo bora wa mwaka ishirini sifuri nane na mwandishi wetu hatma ya ushiriki wa timu ya simba katika kombe la shirikisho la mpira wa miguu afrika itajulikana leo katika mchezo wa mwisho wa ligi kuu dhidi ya polisi dodoma utakaofanyika uwanja wa jamhuri dodoma simba itapata nafasi hiyo kama ikimaliza ligi hiyo ikiwa katika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi ambayo hadi sasa ipo katika nafasi hiyo ikiwa na pointi thebathini na saba huku yanga ikiwa UNK wakongwe hao wa soka nchini wanahitaji pointi tatu katika mchezo huo ili kujihakikishia kumaliza ikiwa katika nafasi hiyo mwakani icheze michuano ya kimataifa baada ya kuikosa mwaka jana mchezo huo unatarajiwa kuwa mgumu kwa simba licha ya kuwa polisi tayari imeshuka daraja kwani haitakubali kuwa ngazi ya timu hiyo ya msimbazi ambayo matokeo mazuri kwao ni ushindi pekee timu UNK presha simba ni mtibwa sugar ambayo UNK kwa karibu ikiwa na pointi thebathini na tano ambayo ikishinda mechi dhidi ya polisi UNK leo itafikisha UNK thebathini na nane na simba ikifungwa itabaki na pointi zake thebathini na saba hivyo kuipa mwanya mtibwa kuchukua nafasi hiyo mtibwa nayo leo inacheza na polisi morogoro ambayo inahitaji pointi angalau moja ili UNK kubaki katika ligi hiyo ambayo hadi sasa ina pointi ishirini na tano na endapo itafungwa na moro united kushinda yenyewe ndiyo UNK simba itaingia uwanjani ikiwa na kumbukumbu ya kutoka sare na yanga mabao mbili mbili katika mchezo uliopita phiri alikiri kuwa mchezo huo utakuwa mgumu kutokana na umuhimu wa mchezo huo kwao lakini aliahidi kuibuka na ushindi kutokana na uwezo wa kikosi chake na wapinzani wao london uingereza miamba minne ya ulaya barcelona chelsea arsenal na manchester united leo na kesho itapambana katika mechi za kwanza za kuwania kufuzu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya barcelona ambao ni mabingwa wa ulaya ishirini sifuri sita leo itaikaribisha chelsea ambayo mwaka jana ilicheza fainali ya mashindano hayo na kutolewa na manchester united mjini moscow urusi mechi ya leo inatarajiwa kuwa ya upinzani mkali barca inayonolewa na pep UNK iko katika kiwango kizuri ikiongoza la liga kwa kuwa na pointi themanini na mbili huku UNK magoli tisini na nne inaonesha ina washambuliaji wakali pia imefungwa mabao ishirini na sita tu safu ya ushambuliaji ya barca leo inatarajiwa kuongozwa na samuel eto o lionel messi na thierry henry katika robo fainali barca iliitoa bayern munich ya ujerumani kwa mabao tano moja chelsea inayonolewa na kocha wa kiholanzi guus hiddink iliyo katika nafasi ya tatu england ambayo katika robo fainali iliitoa liverpool kwa mabao saba tano itakuwa ikitaka kurudia mafanikio ya msimu uliopita kwa kufika tena fainali timu hiyo inatarajiwa kuwa na wachezaji wake mahiri kama viungo michael essien michael ballack na frank lampard huku katika ushambuliaji ikiwa na bunduki zake za didier drogba nicolas anelka na frank UNK kesho mabingwa watetezi manchester united wanaoongoza ligi ya england kwa kuwa na pointi sabini na nane kwa tofauti ya pointi tatu itaikaribisha arsenal katika mechi nyingine ya mashindano hayo mechi hizo zitaanza saa tatu arobaini na tano kwa saa za nyumbani marudiano zitafanyika mei tano na mei sita mwaka huu na asha kigundula dodoma mechi ya ligi kuu kati ya simba na polisi dodoma iliyofanyika juzi katika uwanja wa jamhuri mjini dodoma umevunja rekodi ya mapato baada ya kupatikana shilingi milioni tisa nne mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu dodoma nassor kipenzi alisema mapato hayo ni kutokana na watu mia nne na sabini sifuri waliongia uwanjani hapo kwa kiingilio cha shilingi mbili sifuri sifuri sifuri na mapato hayo ni mengi kulinganisha na mechi nyingine za ligi UNK mkoani hapa alisema katika mechi UNK kubwa iliyozikutanisha yanga na polisi dodoma UNK katika uwanja huo UNK shilingi milioni nne na UNK timu hizo zilipatikana shilingi milioni tatu kipenzi alisema kutokana na mapato hayo kila timu ilipata shilingi milioni mbili nane na nyingine zilitumika kutokana na gharama za mchezo katika mechi hiyo simba ilishinda mabao mbili sifuri wakati huo huo uongozi wa simba umesema kushinda kwao na kuingia katika mashindano ya shirikisho kumetokana na juhudi na umoja ndani ya klabu hiyo licha ya fitna zilizofanywa na wapinzani wao ambazo ziligonga mwamba akizungumza juzi mwenyekiti wa simba hassan dalali alisema kuwa umoja na ushirikiano ndiyo vitu vya kujivunia katika timu yao na erasto stanslaus timu ya villa squad ambayo tayari imeshuka daraja jana UNK UNK ubingwa wa yanga baada ya kuifunga mabao tano nne na kuharibu UNK ya kunyakua ubingwa huo katika mechi ya mwisho ya ligi kuu iliyopigwa uwanja wa taifa yanga ndiyo iliyoanza kupata bao katika dakika ya pili baada ya mkenya boniface ambani kuipatia kuifungia timu yake baada ya kumalizia pasi ya nurdin UNK ambani aliwainua vitini wapenzi wa timu hiyo tena dakika ya kumi na moja baada ya kufunga kwa mkwaju wa penalti kutokana na maurice sunguti kuangushwa eneo la hatari na omary UNK baada ya kufungwa mabao hayo ya haraka villa ilitoka usingizini na kufanikiwa kupata bao dakika ya thebathini na tano lililofungwa na mkongwe idd moshi baada ya kumalizia krosi ya godfrey UNK villa ilisawazisha bao la pili dakika ya arobaini na tatu lililofungwa na jackson UNK baada ya kumpiga chenga kipa steven marash wa yanga kipindi cha pili yanga ilicharuka na kuliandama lango la villa kwa kupeleka mashambulizi ya nguvu ambapo ilipata bao la tatu dakika ya sitini na mbili lililofungwa na benard mwalala baada ya kuunganisha krosi ya mike baraza yanga iliongeza bao la nne katika dakika ya sabini lililopachikwa na ally msigwa aliyepiga faulo iliyokwenda moja kwa moja wavuni lakini katika dakika ya sabini na moja chesido methew aliipatia villa bao la tatu villa baada ya kupata bao hilo ilicharuka na kusawazisha bao nne dakika ya sabini na nane lililofungwa na mau UNK na kabla yanga haijakaa haijatulia methew UNK bao la tano baada ya mabeki wa yanga kujichanganya baada ya mechi kumalizika mkurugenzi wa utamaduni UNK UNK aliikabidhi yanga kombe la ubingwa ambaye alisema hundi ya zawadi UNK baadaye huku ambani wa timu hiyo UNK kuwa mfungaji bora wa ligi hiyo kwa kupachika mabao kumi na nane na erasto stanslaus timu ya taifa ya tanzania taifa stars jana ilianza mazoezi rasmi kwa ajili ya kujiandaa na michezo miwili ya kirafiki dhidi ya timu ya kongo na new zeland inayotarajiwa kufanyika mei na juni mwaka huu kikosi cha stars kinatarajia kushuka dimbani mei tisa kuwakabili mabingwa wa afrika kwa wachezaji wa ndani kongo wakati juni tisa UNK nguvu na new zeland ambapo michezo yote itachezwa katika uwanja wa taifa dar es salaam akizungumza baada ya kumaliza mazoezi hayo jana kocha mkuu wa stars marcio maximo alisema wameanza mazoezi jana baada ya idadi ya wachezaji kuongezeka alisema ilikuwa waanze mazoezi juzi lakini ilishindikana kutokana na idadi ndogo ya wachezaji ambao wengi walikuwa hawajaripoti kutokana na kuwa na timu zao katika mechi za mwisho za ligi kuu maximo alisema jana walianza mazoezi mepesi ambapo kadri siku UNK ndipo watakapofanya mazoezi ya kuijenga timu hiyo kwa ajili ya kukabiliana na timu hizo hadi jana asubuhi wachezaji ambao walikuwa hawajaripoti kambini walikuwa ni timu ya simba na jkt ruvu ambao wote walitarajiwa kuingia kambini jana mchana na jioni na erasto stanslaus kampuni ya bia tanzania kupitia bia ya kilimanjaro jumapili inatarajia kukabidhi mabasi kwa timu za yanga na simba ikiwa ni moja ya kutekeleza mkataba walioingia na timu hizo tbl iliingia mkataba na timu hizo kwa kubeba jukumu la kulipa mishahara wachezaji viongozi wa kuajiriwa na kuwapa mabasi ya usafiri wa wachezaji akizungumza dar es salaam jana meneja wa bia ya kilimanjaro oscar shelukindo alisema makabidhiano ya mabasi hayo yatafanyika katika viwanja vya leaders club siku hiyo ambayo itakuwa mei mosi alisema utoaji wa mabasi hayo ni kutekeleza mkataba wao na timu hizo uliokuwa na lengo la kuziendeleza katika medani ya soka nchini mabasi kwa ajili ya timu hizo tayari yapo nchini na UNK kwa ajili ya kukabidhiwa tayari UNK kulingana na matakwa ya klabu hizo na siku hiyo yatawekwa bayana alisema shelukindo alisema katika makabidhiano hayo kutakuwa na tamasha litakalokuwa na michezo mbalimbali ukiwemo mchezo kati ya wahariri wa UNK vya habari dhidi ya waandishi wao shelukindo alisema mbali na makabidhiano ya mabasi hayo pia kutakuwa na mambo mbalimbali ambayo watayafanya kwa UNK klabu hizo nao viongozi wa klabu hizo ambazo kwa upande wa yanga uliwakilishwa na mwenyekiti wake iman madega wakati simba iliwakilishwa na makamu mwenyekiti wake omary gumbo ambao kwa pamoja UNK tbl kwa mabasi hayo na elizabeth mayemba kocha mkuu wa simba mzambia patrick phiri amesema UNK marekebisho makubwa kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao na michuano ya kombe la shirikisho akizungumza mjini dodoma mwishoni mwa wiki ambapo timu yake ilikuwa ikicheza na polisi dodoma na kushinda mabao mbili sifuri phiri alisema msimu ujao simba itakuwa tishio kutokana na marekebisho UNK kwanza nimefurahi kuona usajili UNK mimi mwenyewe tofauti na ligi iliyopita ambapo UNK katikati hivyo katika usajili utakaoanza julai nataka kukitengeneza kikosi cha ushindi alisema phiri alisema pamoja na kufanikiwa kukibadilisha kikosi hicho kwa muda mfupi bado ana kazi ya ziada hasa katika ulinzi na umaliziaji kwani hilo ameliona ni tatizo kwake hivyo msimu ujao UNK zaidi phiri alisema kikosi chake ambacho UNK michuano ya shirikisho kitakuwa tishio afrika kutokana na mabadiliko hayo hata hivyo phiri alisema usajili wake UNK wachezaji wengi wa kigeni kwa kuwa anaamini tanzania ni kubwa na ina wachezaji wengi wazuri ambao UNK watafanya vyema na kuwa tishio london uingereza miamba ya soka ya england manchester united na arsenal leo itapambana katika uwanja wa old trafford katika mechi ya kwanza ya nusu fainali ligi ya mabingwa ulaya timu zote zinaingia uwanjani huku UNK katika kiwango kizuri united ambao ni mabingwa watetezi wa ulaya wanaongoza katika ligi kuu england kwa tofauti ya pointi tatu kwa kuwa na pointi sabini na saba na mechi moja mkononi arsenal haijapoteza mechi katika michezo ishirini iko katika nafasi ya nne kwenye msimamo ikiwa na pointi sitini na tano united katika mechi iliyopita ya ligi kuu ilipata ushindi mnono wa mabao tano mbili dhidi ya portsmouth kitu ambacho kinaonesha timu hiyo kwa sasa UNK katika kiwango chake kizuri kutetea ubingwa wa england na ulaya arsenal katika mechi iliyopita iliifunga middlesbrough mabao mbili sifuri baada ya kutoka sare ya mabao nne nne na liverpool katika uwanja wa anfield united inayonolewa na sir alex ferguson UNK wachezaji cristiano ronaldo wayne rooney UNK berbatov carlos tevez huku katika safu ya ulinzi na kiungo ikiwa na UNK vidic rio ferdinand john UNK na kipa van de sar arsenal inayonolewa na kocha wa kifaransa arsene wenger iliitoa villarreal ya hispania katika robo fainali kwa mabao tatu sifuri itataka kupata ushindi au magoli ya ugenini ambayo yatawasaidia katika dhamira yao ya kufika fainali ya mashindano kama ilivyofanya mwaka ishirini sifuri sita ambapo walifungwa na barcelona timu hiyo itakuwa na wachezaji wake vijana wakiongozwa na nahodha cesc fabregas UNK UNK theo UNK na emmanuel adebayor mechi ya UNK kati ya miamba hiyo inatarajiwa kufanyika mei tano mwaka huu katika uwanja wa emirates kocha UNK alisema hataki kueleza udhaifu wa united anatambua anakwenda kupambana na timu bora lakini pia timu yake ni bora mechi hiyo itakayoanza saa tatu arobaini na tano kwa saa za nyumbani UNK na UNK claus bo UNK ambaye alichezesha mechi ya united dhidi ya UNK st petersburg ambayo united ilifungwa mabao mbili moja na zahoro mlanzi wachezaji wanaocheza soka la kulipwa nchini wakiwemo sita kutoka yanga jumamosi watacheza mechi ya kirafiki na simba uwanja wa uhuru dar es salaam akizungumza dar es salaam jana katibu msaidizi wa chama cha waandishi wa habari za michezo tanzania amir mhando ambayo ndio UNK mchezo huo alisema mechi hiyo ni ya kupinga mauaji ya maalbino yanayotokea kila wakati hapa nchini alisema chama chake kimeamua kufanya hivyo ili kuwapa hamasa albino kuelewa jamii bado inaendelea kuwa pamoja kwa kushirikiana nao kwa hali na mali kutokomeza mauaji hayo tumeandaa huu mchezo na tumeshapata baraka kutoka kwa shirikisho la mpira wa miguu nchini mei mbili mwaka huu kutakuwa na mchezo kati ya ma UNK na simba lengo kubwa ni kupiga vita mauaji ya albino alisema mhando naye mshambuliaji wa kulipwa wa yanga kutoka kenya boniface ambani ambaye alizungumza kwa niaba ya wenzake wa kulipwa alisema wamekubali kucheza mchezo huo ambao hata wao wanaungana na taswa kupiga vita mauaji ya albino alisema licha ya kuwa UNK na safari ya kurudi makwao lakini mchezo huo UNK na ndio maana UNK kuondoka hadi watakapomaliza mchezo huo kwani kufanya hivyo watakuwa wameacha ujumbe tanzania na nje ya nchi pia katibu mkuu wa klabu ya simba mwina kaduguda alisema licha ya kupata taarifa hizo kwa UNK lakini wameshindwa kukataa kutokana na lengo la mchezo wenyewe pamoja na kuheshimu mchango wa waandishi wa habari hizo alisema wachezaji wao UNK likizo ya mwezi mmoja iliyotolewa na kocha mkuu wa timu hiyo mzambia patrick phiri baada ya wachezaji kutaka kupumzika lakini ana imani siku hiyo watakuwepo uwanjani na mchezo UNK katika kikao hicho na waandishi ambani aliongozana na wachezaji wengine wanaocheza soka la kulipwa ambao ni mike katende wa kagera sugar mike barasa maurice sunguti na bernard mwalala wote wa yanga wachezaji wengine wa yanga watakaounda kikosi hicho cha wachezaji wa kulipwa ni wisdom ndlovu wa malawi na george owino kutoka kenya na zahoro mlanzi kampuni ya bia tanzania kupitia bia ya kilimanjaro UNK shirikisho la mpira wa miguu tanzania shilingi milioni hamsini na nane tatu za matayarisho ya michuano ya kombe la taifa mwaka huu michuano hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi mei kumi hadi mei thebathini ambapo itaanzia katika kanda sita za mwanza tanga mbeya dodoma arusha na ruvuma ambapo mei ishirini na nne mwaka huu itachezwa dar es salaam katika hatua ya robo fainali akizungumza dar es salaam jana wakati wa kukabidhi fedha hizo meneja wa bia hiyo oscar shelukindo alisema fedha hizo zitatumika katika shughuli mbalimbali wakati wa mashindano hayo bila matatizo alisema lengo lao ni kukuza mchezo huo hapa nchini na wamefanya hivyo ili kuwarahisishia tff kufanya kazi zao katika mazingira mazuri zaidi kwa mwaka huu tumedhamiria kufanya mashindano haya kuwa na msisimko zaidi na ndio maana hata gharama za uendeshaji wa UNK haya yameongezeka ambapo kwa mwaka huu tutatumia zaidi ya shilingi milioni mia sita na hamsini alisema shelukindo naye katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela aliishukuru kampuni hiyo na kusema UNK ya mwaka huu yatakuwa bora zaidi kutokana na fedha za maandalizi kutolewa mapema alisema fedha hizo zitatumika katika malengo yaliyokusudiwa ikiwa ni pamoja na kulipa posho za waamuzi na watu wengine watakaohusika katika kusimamia mashindano hayo katika hatua nyingine kampuni hiyo imetoa jezi kwa kwa chama cha waandishi wa habari za michezo tanzania pamoja na fedha taslimu shilingi milioni moja kwa ajili ya mchezo wa kesho kati ya wahariri na waandishi wa habari hizo shelukindo ambaye alimkabidhi fedha hizo mjumbe wa kamati ya utendaji ya taswa zena chande alisema fedha hizo zitatumika kwa ajili ya mshindi wa kwanza na wa pili pamoja na utawala wataka UNK radhi manji na elizabeth mayemba wazee wa yanga wamechukizwa na kauli za mwenyekiti wa kampuni za ipp reginald mengi za kumtuhumu mfadhili wa klabu hiyo yusuf manji kuwa ni mmoja wa mafisadi papa UNK nchi kutokana na matamshi hayo wazee hao walisema wanamtaka mengi kumwomba radhi manji pamoja na wanachama wote wa yanga ambao UNK na kauli hiyo pia walitaka serikali kumchukulia hatu za kisheria mwenyekiti huyo kutokana na kauli zake hizo wakizungumza dar es salaam jana na waandishi wa habari wazee hao walisema baada ya UNK kwa kina tuhuma hizo wamegundua ni za kupika zenye dhamira ya kumchafua manji akizungumza kwa niaba ya wenzake yahya akilimali alisema watu wengi wanafahamu mengi UNK yanga vizuri kwani aliondoka kutokana na wanachama kumkataa kuwa pamoja naye katika usuluhishi wa mgogoro uliokuwa umejitokeza wakati huo manji alikuja yanga akiwa na busara za hali ya juu na hekima za kutosha aliwakutanisha na UNK kitu ambacho alifanikiwa na sasa yanga ipo shwari na UNK mambo makubwa klabu yetu alisema akilimali akilimali alisema wana yanga wana amini chimbuko la wivu na chuki za mengi ni pamoja na kuona manji ameweza kufanikiwa pale UNK yeye kwani kuanzia wakati huo amekuwa UNK mfadhili huyo alisema tuhuma hizo zinalenga ubaguzi wa rangi kitu ambacho duniani kote kinapigwa vita na hata hayati mwalimu julius nyerere alikuwa UNK vitendo vya ubaguzi wa rangi na pia aliwahi kuonya kwa kusema dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu UNK baadhi ya maneno ya nyerere naye mwenyekiti wa zamani wa yanga yusuph mzimba alisema mengi alitakiwa kufuata taratibu za kisheria kama kweli ana ushahidi na UNK na si UNK watu wengine na boniface wambura milan shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu UNK mafunzo kwa waandishi wa habari za michezo wa afrika yatakayofanyika baadaye mwaka huu akizungumza jana kwenye chakula cha jioni kilichoandaliwa na fifa kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa shirikisho la vyama vya waandishi wa habari za michezo duniani rais wa shirikisho hilo sepp blatter alisema lengo la mafunzo hayo ni kuwaongezea ujuzi waandishi hao fifa inatambua mchango wa waandishi wa habari katika maendeleo ya mpira wa miguu hivyo kama washirika wetu tumeamua kuandaa mafunzo hayo kwa afrika ili kuimarisha uwezo wenu katika eneo hilo alisema UNK rais huyo aliuambia mkutano huo wa sabini na mbili unaofanyika kwenye hoteli ya marriott jijini hapa kuwa mafunzo hayo yatakuwa kwa ajili ya watangazaji na waandishi wa habari wa magazeti alisema fifa ina kamati ya habari ambayo imetoa mchango mkubwa katika kuhakikisha shughuli za shirikisho hilo UNK vizuri na wadau kupata taarifa katika muda unaotakiwa katika mkutano huo UNK na wajumbe zaidi ya kumi sifuri blatter pia alizungumzia maandalizi ya fainali za kombe la dunia zitakazofanyika mwakani nchini afrika kusini na kusema yanakwenda vizuri na zitafanyika kama ilivyopangwa blatter ambaye aliongozana na mkurugenzi wa mawasiliano wa fifa hans klaus alisema shirikisho lake litaendelea kushirikiana kwa karibu na UNK kwa vile linatambua umuhimu wa vyombo vya habari katika maendeleo ya mpira wa miguu na erasto stanslaus mshambuliaji wa timu ya simba na timu ya taifa mussa hassan mgosi amefuzu majaribio yake katika timu ya mahindra united ya india na anatarajia kujiunga na timu hiyo agosti mwaka huu tayari kuichezea timu hiyo mgosi aliwasili dar es salaam jana asubuhi akitokea nchini india katika majaribio hayo ya wiki mbili katika timu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya india akizungumza dar es salaam jana mara baada ya kuwasili mgosi alisema majaribio yake nchini india yalikuwa mazuri kwa asilimia kubwa na anatarajia kujiunga na timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa ligi unaotarajia kuanza mwezi UNK alisema timu hiyo imekubali uwezo wake na imeahidi kumwita tena kwa lengo la kujiunga na timu hiyo agosti baada ya kumalizana na simba jamaa wamekubali kiwango na wapo tayari kumalizana na klabu yangu kwa ajili ya kuichezea timu hiyo katika msimu ujao utakaoanza septemba alisema mgosi alisema akiwa na wakala wake wa kodivaa tayari wamefanya mazungumzo ya awali juu ya malipo yake kama mchezaji wakisubiri kumalizana na klabu husika tumejadiliana tayari jinsi gani watanilipa mshahara ambao siwezi kuutaja kwa sasa lakini unaweza kukidhi mahitaji kwa kuwa si mbaya sana hivyo UNK na simba nitakuwa huko msimu ujao alisema mgosi alisema kwa sasa ataendelea kuitumikia simba kwa kuwa ni mchezaji wa timu hiyo hadi hapo klabu hiyo itakapokuja kufanya mazungumzo UNK ataondoka naye zahoro mlanzi anaripoti kuwa baada ya kupata tiketi ya kucheza kombe la shirikisho mwakani timu ya simba imetamba kucheza nane bora ya michuano hiyo kama ilivyofanya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa klabu hiyo mwina kaduguda alisema kutokana na umoja na mshikamano walionao kwa sasa ndani ya klabu yao watahakikisha UNK rekodi ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu kwa kufika robo fainali ya kombe hilo alisema uwezo wa kufika hatua hiyo wanao kwani watahakikisha wanafanya usajili wa nguvu msimu huu na kufanya maandalizi mapema ili waweze kufikia dhamira hiyo na zahoro mlanzi beki mahiri wa timu ya taifa taifa stars na yanga nadir haroub canavaro ataondoka nchini wakati wowote kuanzia leo kwenda canada kujiunga na timu ya vancouver whitecaps baada ya mambo yake kukamilika vancouver iliyofanya ziara nchini machi mwaka huu na kucheza mechi tatu za kirafiki dhidi ya yanga simba na taifa stars UNK na kiwango cha canavaro ambapo ilianza kufanya naye mazungumzo UNK dar es salaam jana canavaro alisema mipango ya kujiunga na timu hiyo imefikia hatua nzuri na huenda wakati wowote kuanzia sasa akajiunga na timu hiyo alisema UNK kwa ajili ya majaribio ila atajiunga moja kwa moja katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo kwani ndiyo makubaliano waliyokubaliana timu hiyo ilipokuwa nchini wameonesha nia ya UNK maana kila wakati nafanya nao mazungumzo na baadhi ya vitu vyangu muhimu nimeanza UNK hivyo siku yoyote kuanzia leo nitaondoka alisema canavaro alisema kwa mujibu wa mtu UNK mipango ya kucheza soka huko alimwambia beki wa kutumainiwa wa kati wa timu hiyo UNK ndio maana wanafanya mazungumzo na yeye mchezaji huyo alisema mtu huyo bila kumtaja jina lake mipango UNK atafanya mawasiliano na uongozi wa yanga ambao una taarifa zote kuhusu mpango huo ili aweze kujiunga rasmi na timu hiyo canavaro alisema anaamini kuwa anaweza kucheza kwa mafanikio ligi ya nchi hiyo na hatimaye kucheza moja kati ya ligi kubwa barani ulaya kwani ligi ya canada ni ya kawaida kampuni ya bia tanzania kupitia bia ya kilimanjaro UNK viongozi wa klabu za yanga na simba kwa kuwapa mabasi madogo ya hiace ambapo kila timu imepewa moja tbl iliingia mkataba wa miaka UNK timu hizo ikiwa ni pamoja na kuwapa mabasi klabu hizo kwa ajili ya matumizi ya wachezaji lakini jana uliwashangaza viongozi wa klabu hiyo baada ya tbl UNK kwa kuwa mabasi hayo awali katika hafla hiyo ziliingia hiace mbili zenye rangi nyekundu na kijani ambazo kila mmoja alijua ndiyo mabasi UNK viongozi wa timu hizo mashabiki wa timu hizo waliokuwa wamejazana katika viwanja vya leaders walianza UNK magari hayo kuwa na kudai si saizi ya timu hizo lakini ghafla coaster mbili ziliingia kwa kuongozana zikiwa na rangi zinazotumiwa na timu hizo na watu kuanza UNK akizungumza dar es salaama jana wakati wa makabidhiano ya mabasi hayo meneja udhamini wa tbl david minja alisema wameamua kuwaongezea mabasi mengine madogo lengo la kutumia viongozi wa klabu hiyo mkataba unasema kila klabu watapata basi moja lakini kama uongozi tumeona inakuwa vigumu kwa shughuli za viongozi za kila siku kutumia mabasi makubwa hivyo tumeamua kuwapa mabasi yao alisema minja alisema mabasi yaliyopo ndani ya mkataba ni toyota coaster wakati mabasi ya viongozi ni toyota hiace ambazo zimewekwa rangi ya kila klabu husika baada ya mwenyekiti wa simba hassan dalali UNK funguo za magari hayo alisema kutokana na udhamini wa tbl anaomba katika michuano ya kimataifa simba ipangiwe timu za waarabu kwao wao UNK na timu hizo alisema wanaishukuru tbl kwa kuwapa mabasi hayo na hiyo itakuwa chachu ya kufanya vizuri katika mashindano ya kimataifa na mabasi hayo wana uwezo wa kuyatunza vizuri simba ndio timu yenye uwezo wa kuziondoa timu za UNK UNK ambao mara nyingi huwa UNK watani zetu yanga wanapokutana katika michuano ya kimataifa alitamba dalali naye mwenyekiti wa yanga iman madega alisema wanaishukuru tbl na kuahidi kuchukua tahadhari kubwa ya kuhakikisha UNK vizuri mabasi hayo kwa matumizi ya klabu hiyo ikiwa ni pamoja na kuajiri watu wanaoweza kutunza vizuri mabasi hayo mshambuliaji wa timu ya simba musa hassan mgosi amesema hana mpango ya kuichezea timu nyingine zaidi ya simba katika msimu ujao wa ligi kuu tanzania bara akizungumza dar es salaam jana mgosi alisema alisema kwa sasa hafikirii kuingia mkataba na timu nyingine ya nchini zaidi ya timu za nje alisema ataendelea kuitumikia klabu yake ya simba hadi hapo mipango yake ya kucheza soka la kulipwa itakapokamilika alisema katika kipindi hichi cha kusubili majibu yake kutoka katika klabu ya mahindra ya india atafanya mazungumzo na simba ili kuendelea kuitumikia klabu hiyo pia mgosi aliutaka uongozi wa klabu yake kujipanga vizuri kwa ajili ya michuano ya kimataifa kwani maandalizi ndio siri ya mafanikio katika michuano hiyo mgosi alirudi nchini wiki iliyopita akitokea nchini india alipokuwa kwa muda wa wiki mbili UNK majaribio katika timu ya mahindra united inayoshiriki ligi kuu nchini humo wachezaji wa kulipwa wa kenya wanaochezea klabu ya yanga wamezidi UNK uongozi wa klabu hiyo baada kuanzisha migongano ndani ya klabu yanga msimu uliopita ilisajili nyota saba kutoka kenya huku watano wakipata nafasi ya kucheza na wawili wakishindwa kutokana na kutotimiza masharti ya usajili lakini wakenya hao wamekuwa na vulugu ndani ya klabu hiyo wakenya hao ni pamoja na maurice sunguti boniface ambani george owino bernard mwalala na mike barasa wakati john njoroge na joseph shikokoti walishindwa kutumika wakenya UNK vulugu katika kipindi cha hivi karibuni ni beki george owino na mshambuliaji boniface ambani na kuuweka katika mazingira magumu uongozi owino wakati wa michezo ya mwisho ya ligi hiyo alianzisha mgomo kwa kuwashawishi wachezaji wenzake kutokana na kutopata posho ya mchezo wao dhidi ya simba pamoja na ubingwa hali UNK kocha dusan kondic na kutishia kumwacha katika kikosi cha msimu ujao wakati sakata la owino na kondic halijapatiwa ufumbuzi na uongozi ambani naye alizua tatizo jipya baada ya kudai kuwa uongozi wa klabu hiyo hauna mbinu za kuisadia klabu hiyo katika maendeleo ya soka ambani alikaririwa na gazeti moja la wiki alipotembelea ofisi za gazeti hilo kuwa yanga kama ingekuwa na uongozi imara ingekuwa moja kati ya timu tajiri afrika na yenye maendeleo makubwa kisoka akizungumzia matatizo hayo ya wachezaji wa kenya mwenyekiti wa klabu hiyo iman madega alisema wachezaji hao wanatakiwa kuachana na siasa za mpira na badala yake kufanya kazi UNK ndani ya klabu hiyo alisema jukumu la wachezaji hao ndani ya yanga ni kucheza soka lakini kitendo chao kuzungumzia mambo ya uongozi wa klabu hiyo ni sawa kuingilia kazi za uongozi ambazo UNK kitendo cha ambani kuzungumza katika vyombo vya habari kuhusu majukumu ya uongozi ni kinyume cha taratibu za mchezaji kwani kazi yake ni kucheza mpira na si kuwa mshauri wa mipango ya klabu alisema madega alisema kama mchezaji huyo angekuwa anania njema na klabu hiyo angezungumza na uongozi na si kwenda kutoa ushauri huo kwa vyombo vya habari ambao UNK kwa lolote alisema uongozi UNK suala hilo na kutoa uamuzi wake dhidi ya wachezaji hao kutokana na vitendo vyao timu ya timu ya taifa ya zanzibar zanzibar heroes jana ilianza UNK safari yake baada ya UNK mabao mbili moja na simba katika mchezo wa kirafiki uliofanyika uwanja wa uhuru dar es salaam zanzibar heroes ipo safarini kuelekea nchini ujerumani katika ziara ya kimichezo ambapo inatarajia kuondoka nchini jumatano mchezo huo umeandaliwa na chama cha waandishi wa habari za michezo tanzania kwa lengo la kupinga mauaji ya UNK simba ndio walikuwa wa kwanza kupata bao la dakika ya thebathini na tano mfungaji akiwa george nyanda akimalizia pasi ya haruna moshi boban ahmed mkweche alizima furaha za simba dakika ya arobaini na tatu baada ya kuisawazishia zanzibar heroes akimalizia kazi nzuri ya abdi UNK babi na kufanya timu ziende mapumziko zikiwa sare kipindi cha pili simba ilianza kwa kasi kwa kulishambulia lango la zanzibar mashambulizi yao UNK matunda dakika ya sitini na sita baada ya mchezaji mgeni katika kikosi hicho eric UNK kuifungia bao la pili akimalizia pasi ya mohamed banka baada ya bao hilo zanzibar waliongeza nguvu kutaka kusawazisha bao hilo lakini safu ya ulinzi ya simba ilikatisha tamaa kwa kuondosha hatari zote UNK golini kwao na kufanya matokeo kubaki mbili moja katika mchezo wa utangulizi UNK timu ya waandishi wa habari za michezo tanzania dhidi ya timu ya walemavu wa ngozi albino fc taswa ilifanikiwa UNK albino kwa mabao tano tatu katika mchezo huo wachezaji wa kulipwa wa yanga boniface ambani bernard mwalala na mike barasa UNK timu ya albino baada ya mchezo kati yao na simba kushindikana kutokana na wachezaji wengi wa kigeni kutokuwepo nchini na boniface wambura milan UNK merlo wa italia amechaguliwa tena kuwa rais wa chama cha waandishi wa habari za michezo duniani kwa kipindi kingine cha miaka minne ijayo uchaguzi huo uliofanyika juzi kwenye hoteli ya marriott jijini hapa ambapo merlo ambaye hiki ni kipindi chake cha pili hakuwa na UNK nchi kumi tisa UNK kura viongozi wengine waliochaguliwa ambao pia hawakuwa na wapinzani ni makamu wa kwanza wa rais UNK UNK kutoka uturuki na jorge ribeiro wa ureno aliyechaguliwa kuwa mhazini nafasi tano za makamu wa rais na kura zao kwenye mabano zilikwenda kwa UNK UNK wa lithuania UNK UNK wa ugiriki faisal al UNK wa kuwait UNK UNK wa russia na UNK UNK wa iran walioshindwa ni UNK UNK wa jamhuri ya kidemokrasi ya congo UNK UNK park wa korea mitchell obi wa nigeria petz lahure wa luxembourg raul salguero wa mexico sandeep nakai wa india na ernesto gomez wa UNK wajumbe wanane wa kamati ya utendaji waliochaguliwa ni mohammad al UNK wa qatar emmanuel UNK wa romania UNK zhang wa china UNK UNK wa kenya UNK UNK wa iceland mitchell obi wa nigeria na UNK UNK wa hungary na raul salguero wa UNK walioshindwa ni petz lahure wa luxembourg sandeep nakai wa india ernesto gomez wa uruguay mohamed el UNK wa mauritania barry UNK wa uingereza UNK UNK wa slovenia UNK UNK wa zimbabwe hans UNK UNK wa ujerumani youssef UNK wa lebanon UNK UNK wa denmark na mohamed UNK wa libya umri UNK mkono na zahoro mlanzi wachezaji UNK mwaikimba maurice sunguti abubakari mtiro na UNK mumbala wa yanga wapo katika hati hati ya kuachwa kwenye usajili wa msimu ujao kutokana na vigezo vya kocha mkuu mserbia dusan kondic ukiwepo umri kondic alikaririwa na gazeti hili akisema katika usajili wa msimu huu UNK wachezaji kama anavyofanya kocha mkuu wa timu ya taifa taifa stars mbrazili marcio maximo kwa kuzingatia umri uwezo na nidhamu kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya benchi la ufundi la timu hiyo kilidai mwaikimba sunguti mumbala na mtiro wataachwa kutokana na sababu mbalimbali lakini kubwa zaidi ni umri msimu huu kondic hataki mchezo wachezaji kama sunguti mwaikimba na mtiro wamo katika orodha ya wachezaji watakaoachwa kwani kwa kiasi kikubwa wachezaji hao wamekuwa kama mzigo lakini naomba UNK jina langu gazetini itakuwa kesi kilidai chanzo hicho chanzo hicho kiliendelea kusema kuwa mumbala tangu asajiliwe hakuna alichokifanya hivyo naye atakuwa katika wakati mgumu kwani hivi sasa yanga itafanyiwa marekebisho ya nguvu kiliongeza kuwa katika ripoti UNK kondic kuiwasilisha kwa uongozi wa klabu hiyo amependekeza baadhi ya wachezaji waliopo katika timu yao ya vijana chini ya umri wa miaka ishirini waongezwe katika kikosi cha wakubwa hatma ya wachezaji hao kama kuachwa au la itajulikana kuanzia juni mosi hadi juni kumi na tano mwaka huu ikiwa ndiyo siku za klabu kuwasilisha majina ya wachezaji UNK kwa shirikisho la mpira wa miguu tanzania baada ya malumbano kati ya uongozi wa yanga na mshambuliaji wake wa kulipwa mkenya boniface ambani amesema hana mpango ya kurudi tena katika klabu hiyo ambani alizua malumbano kati yake na uongozi baada ya kudai kuwa viongozi wake hawana mipango endelevu ya kuisaidia timu hiyo ambapo uongozi wa yanga ulimtaka kuacha siasa katika soka akizungumza dar es salaam hivi karibuni kabla ya kuondoka kwenda kujiunga na timu ya taifa ya kenya ambani alisema hana mpango wa kurudi nchini kujiunga na timu hiyo alisema ameitwa kujiunga na harambee stars kwa muda wa wiki mbili ambapo baada ya muda huo tayari atakuwa katika mipango ya mwisho UNK na timu ya greentown UNK ya china ambani alisema pamoja na malumbano yake na klabu yake ya yanga lakini tayari mipango ya kujiunga na timu hiyo ya china ilikuwa imekamilika kwa kiasi kikubwa mambo yakiwa mazuri sitaweza kuwahi kurudi yanga kwa msimu ujao kwani nasubiri makubaliano kati ya yanga na greentown ambayo yanaweza kufanyika wakati wowote kuanzia sasa alisema ambani alisema malumbano hayo ni moja kati ya mambo ambayo yanaweza kutokea mahali popote lakini yeye alikuwa na nia njema na klabu hiyo katika kuhakikisha inakuwa katika mafanikio makubwa kisoka nchini na nje ya nchi ambani hivi karibuni alikwenda nchini china kufanya majaribio mwanzoni mwa machi mwaka huu na kufanikiwa majaribio hayo hivyo anatarajia kujiunga na timu hiyo kabla ya msimu ujao wa ligi hiyo na mwandishi wetu mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu mkoa wa tabora aden rage amemtaka mwenyekiti wa simba hassan dalali kutowazuia wachezaji wa timu hiyo kucheza michuano ya kombe la taifa katika mikoa UNK akizungumza dar es salaam jana rage ambaye pia aliwahi kuwa katibu mkuu wa kilichokuwa chama soka tanzania alisema dalali alitakiwa kutafakari kwa kina suala hilo kabla ya kutoa uamuzi wa kuwazuia wachezaji hao dalali jana alikaririwa kwenye vyombo vya habari akisema ni marufuku wachezaji wa simba kucheza mashindano hayo kwa kuwa wamepewa likizo ya mwezi mmoja kupumzika taifa cup ni michuano mikubwa hapa nchini kwa kuwa inashirikisha mikoa yote ya tanzania bara na huwezi UNK na ligi kuu kwani ligi hiyo UNK mikoa yote hata liberia ilipokuja nchini kucheza na taifa stars george weah alikuja na viatu kutoka navyo UNK kuwaletea wachezaji wenzake na hiyo yote alikuwa anaonesha mapenzi kwa nchi yake alisema rage alisema anadhani hatua ya kuwazuia wachezaji wa simba si ya dalali kwa kuwa anamfahamu mwenyekiti huyo jinsi alivyo na busara hivyo ameutaka uongozi wa klabu hiyo kutumia hekima katika hili tayari kuna wachezaji wa simba wameitwa katika baadhi ya mikoa kuichezea michuano ya taifa cup ambayo inatarajia kurindima kuanzia mei kumi mwaka huu ambapo timu ishirini na tatu zitashiriki katika kanda sita wachezaji walioitwa kucheza katika michuano hiyo ni mohamed banka na haruna moshi na kipa deo mushi dida aliyeitwa temeke na zahoro mlanzi baraza la vyama vya mpira wa miguu afrika mashariki na kati linatarajia kukutana hivi karibuni kujadili tena suala la ushiriki wa yanga katika mashindano ya kombe la kagame mashindano hayo yamepangwa kuanza kufanyika kati ya juni au julai mwaka huu nchini uganda ambayo hushirikisha nchi zaidi ya nane za ukanda huo cecafa iliifungia yanga kushiriki mashindano hayo kwa muda wa miaka mitatu pamoja na kupigwa faini ya kulipa dola thebathini sifuri sifuri sifuri baada ya kushindwa kuingiza timu uwanjani katika hatua ya robo fainali dhidi ya simba akizungumza kwa simu akiwa uganda juzi katibu mkuu wa baraza hilo UNK musonye alisema kwa sasa hawawezi kuzungumza lolote juu la suala hilo hadi kamati ya utendaji itakapokutana suala la yanga kwa sasa UNK ila kamati yetu itakutana muda wowote kuanzia sasa kulijadili na tutakapomaliza ndipo tutakapojua kama UNK au adhabu kubaki pale pale alisema musonye alisema licha ya yanga kuomba kuundwa chombo cha kusuluhisha mgogoro huo lakini kwanza watakutana na kisha kujua kama kuna umuhimu wa kufanya hivyo au la gazeti hili lilimkariri katibu mkuu wa yanga lucas kisasa akisema wanachojua tayari UNK yale UNK kufanya baada ya kuona haki UNK kwa kukata rufani kwa mahakama ya kimataifa ya michezo cas UNK yanga kuwa haiwezi kulishughulikia suala hilo hivyo ni bora wazungumze na cecafa UNK chombo cha usuluhishi ili kutatua mgogoro huo london uingereza ni chelsea au barcelona ambayo itatinga fainali ya ligi ya mabingwa ulaya itakayofanyika mei ishirini na saba mwaka huu nchini italia jibu litapatikana leo katika uwanja wa stamford bridge chelsea inaikaribisha nyumbani barcelona baada ya jumanne ya wiki iliyopita kupambana nayo katika uwanja wa camp nou na kutoka suluhu wakati chelsea UNK na kocha guus hiddink inataka mafanikio kama iliyoyapata mwaka jana kwa kutinga fainali na kisha kutolewa kwa mikwaju ya penalti na manchester united mjini moscow urusi barcelona inataka kuweka historia kwa kutoruhusu timu za uingereza kucheza fainali katika ligi ya mabingwa msimu huu barcelona imeshinda mechi sita na kutoka sare nne imefunga magoli ishirini na tisa na kufungwa kumi na mbili barca haitakuwa na mlinzi na nahodha wake carlos puyol ambaye anatumikia adhabu ya kuoneshwa kadi pia haitakuwa na mlinzi rafael marquez ambaye aliumia katika mechi yao awali itakuwa na UNK wake lionel messi thierry henry na samuel eto o ambao katika ligi ya hispania walisaidia kuifunga real mabao sita mbili jumamosi chelsea nayo ilifanya vyema katika ligi kuu ya uingereza kwa kuibuka na ushindi wa mabao tatu moja dhidi ya fulham katika uwanja stamford bridge kocha hiddink UNK washambuliaji didier drogba na nicolas anelka pamoja na huenda leo UNK bunduki hizo chelsea itajitahidi kushinda mechi hiyo kutokana na kujua sare ya magoli au kufungwa itafanya timu hiyo itolewe na erasto stanslaus shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK mkwara uongozi wa klabu ya simba endapo UNK wachezaji wake UNK michuano ya kombe la taifa taifa cup katika mikoa walioitwa UNK tff imetoa kauli hiyo baada ya mwenyekiti wa simba hassan kutowaruhusu wachezaji wake kushiriki michuano hiyo inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi mei kumi mwaka huu katika kanda sita tofauti akizungumza dar es salaam jana mkurugenzi wa ufundi wa tff sunday kayuni alisema wachezaji wote waliochaguliwa kuchezea timu za mikoa yeyote wanatakiwa kufanya hivyo bila UNK alisema tff ndio wasimamizi wa mpira nchini na michuano ya taifa ipo ndani ya ratiba ya mwaka ya shirikisho hilo hivyo ni mashindano yanayotambulika kwa mujibu wa kalenda ya tff mwisho wa msimu wa mashindano unamalizika mei thebathini na moja hivyo ndani ya mei wachezaji bado wapo katika mashindano kama kupumzika wanatakiwa kuanzia juni mosi alisema UNK alisema kwa mujibu wa kanuni za michuano hiyo kama kuna mchezaji UNK kujiunga na timu UNK kutakuwa na adhabu kali ambayo inaweza kuwakuta pamoja na viongozi wa klabu ambao watagundulika kuwazuia wachezaji wao wakati huo huo kayuni alisema wachezaji waliopo katika kikosi cha timu ya taifa ya tanzania taifa stars hawataruhusiwa kutumiwa katika michuano hiyo alisema tff imeamua kutowatumia wachezaji hao kwa ajili ya UNK mazoezi ya timu hiyo na michuano hiyo hivyo amezitaka timu UNK wachezaji hao kujaza nafasi hizo kwa kuteua wachezaji wengine na erasto stanslaus mshambuliaji wa kulipwa wa timu ya taifa ya tanzania taifa stars danny mrwanda UNK mechi dhidi ya kongo huku kukiwa na uwezekano mkubwa wa UNK nchini kwa ajili ya mchezo dhidi ya new zealand mrwanda anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya al UNK ya kuwait ameshindwa kujiunga na wenzake kutokana kukosa ruhusa kutoka kwa timu yake kutokana na mchezaji huyo kushindwa kujiunga na wenzake ni vigumu kwa kocha mkuu wa timu hiyo marcio maximo kumtumia katika mchezo huo akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania fredrick mwakalebela alisema mrwanda hadi jana alikuwa hajapata ruhusa ya kujiunga na kikosi hicho alisema kutokana na mchezaji huyo kushindwa kujiunga na wenzake kutakuwa na uwezekano mdogo wa kutumiwa katika mchezo huo katibu huyo alisema kutokana na programu ya maximo kuna uwezekano wa kutomtumia kabisa mchezaji huyo katika mchezo dhidi ya new zealand utakaofanyika juni tatu mwaka huu kutokana na kuwa na mawasiliano mabovu kati ya klabu yake na tff kama mrwanda akishindwa kujiunga na stars katika mchezo huo mwalimu alikuwa UNK kutomtumia kabisa katika mchezo wa juni dhidi ya new zealand lakini kama akipata nafasi mapema anaweza kufanya mazoezi kwa ajili ya mchezo huo wa juni alisema mwakalebela alisema stars ikimaliza mchezo dhidi ya kongo itaendelea kukaa kambini kwa matayarisho ya mchezo huo ambapo si rahisi timu hiyo kumruhusu mchezaji huyo kwa kipindi kirefu kwa mujibu wa kanuni za shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu mchezaji wa kulipwa anaruhusiwa kujiunga na timu yake ya taifa kwa masaa arobaini na nane kabla ya mchezo na kurudi kwa muda huo baada ya mchezo yaitaka kuacha kutumia ubabe na zahoro mlanzi uongozi wa simba UNK msimamo wake wa kuwazuia wachezaji wa timu hiyo kucheza michuano ya kombe la taifa kili taifa cup licha ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania kuipiga mkwara wa kuwapa adhabu ambapo UNK shirikisho hilo kuacha UNK akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo hassan dalali alisema wanaendelea na msimamo wao licha ya tff kuwatisha kwani wao wanaheshimu maamuzi ya benchi la ufundi ambalo ndilo lililotoa mapumziko ya mwezi mmoja kwa wachezaji hao hatutakubali kuwaruhusu licha ya tff UNK wachezaji wetu wataendelea na mapumziko kama kawaida kwa mwezi mmoja kwani huo ndio ushauri UNK na benchi la ufundi lazima UNK uamuzi huo alisema dalali alisema wameamua kufanya hivyo ili wachezaji hao wapate muda mzuri wa kujiandaa na mashindano mbalimbali yaliyoko mbele yao kwani kwa kufanya hivyo ana imani wachezaji wa timu hiyo watakuwa katika hali nzuri dalali alisema mchezaji yeyote atakayekiuka agizo hilo la uongozi atachukuliwa adhabu kali na uongozi pamoja na benchi la ufundi ambalo ndio lililotoa mapumziko hayo wachezaji hao ni mali ya simba hivyo sisi ndio tutaweza kuwaruhusu au kutowaruhusu na chochote UNK kitakuwa chini yao hivyo kwa mujibu wa ratiba yao wachezaji hao hawawezi kucheza michuano hiyo alisema dalali alisema tff huwatumia wachezaji wa klabu bila kujali ratiba za klabu pamoja na kuwa na kalenda yao lakini klabu pia huwa na taratibu zake katika kuwatumia wachezaji na si kutumia ubabe kwani kitendo hicho UNK nacho mbali na wachezaji wa simba walioko katika timu ya taifa ambao hawatacheza michuano hiyo lakini wengine waliochaguliwa kucheza katika mashindano hayo ni haruna moshi boban mohamed banka na deo mushi mabingwa wa soka tanzania bara yanga wamejipanga kufanya kufuru katika usajili wa msimu ujao wa ligi kuu tanzania bara ishirini sifuri tisa kumi unaotarajia kuanza juni mwaka huu yanga msimu uliopita kwa msaada wa mfadhili wao yusuph UNK ulitumia shilingi milioni hamsini sifuri katika usajili wa wachezaji kutoka ndani na nje ya nchi akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo iman madega alisema usajili wa msimu huu utakuwa mkubwa kuliko msimu uliopita alisema kutokana na umuhimu katika ushiriki wao katika michuano ya kimataifa wamejipanga kufanya usajili mzuri UNK rekodi ya mwaka jana madega alisema mchakato wa usajili wanatarajia kuanza mwishoni mwa mwezi huu ambapo kocha mkuu dusan kondic atakuwa amekabidhi majina ya wachezaji UNK na kusajili wapya usajili wa msimu huu unatarajia kuwa wa kufa mtu zaidi ya msimu uliopita ili kuimarisha kikosi chetu kitakachoshiriki michuano ya kimataifa ili kuweza kufika mbali zaidi ya mwaka huu alisema madega alisema kutokana na mafanikio waliyoyapata msimu huu kutokana na usajili wa mwaka jana mfadhili wao yupo tayari kuongeza fedha za usajili ili kupata kikosi bora kuliko msimu huu madega alisema kwa sasa wapo katika hatua za mwisho za mazungumzo na manji na huku wakisubiri taarifa ya kondic juu ya wachezaji UNK kusajili na UNK alisema katika mapendekezo ya awali katika usajili huo wa kocha kuna majina ya wachezaji kutoka nje ya nchi pamoja na wachezaji wachache kutoka katika timu za ligi kuu timu ya taifa ya tanzania taifa stars leo inatarajia kushuka dimbani kuvaana na mabingwa wa afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani jamhuri ya kidemokrasia ya congo katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaofanyika katika taifa dar es salaam mchezo huo ni maalumu kwa ajili ya UNK nguvu kwa kikosi cha stars chenye wachezaji chipukizi waliochaguliwa na kocha mkuu wa timu hiyo marcio maximo katika mchezo huo stars inatarajia kuonesha kandanda safi ikiwa ni mchezo wake wa kwanza baada ya kutoka katika mashindano ya fainali za kombe la mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani ambapo wapinzani wao walitwaa ubingwa wa michuano hiyo akizungumzia mchezo huo maximo alisema kikosi chake kipo katika hali nzuri na kinatarajia kuonesha kandanda safi kutoka kwa wachezaji wake chipukizi aliowaita kuunda timu hiyo maximo alisema mchezo huo utampa nafasi ya kujenga kikosi imara ambacho kitakuwa kikosi tegemezi kwa tanzania katika siku za usoni kwenye mashindano makubwa ya kimataifa naye kocha mkuu wa timu ya congo santos mutubile alisema ameleta kikosi imara ambacho UNK stars na kusema wamekuja nchini UNK watanzania kuwa timu yake ilistahili kutwaa ubingwa wa chan UNK alisema anajua timu yake inacheza na timu ambayo ina upinzani mkubwa na kusema hatakubali kuona kikosi chake UNK mchezo huo muhimu alisema anatarajia baada ya mchezo huo stars itakuwa katika nafasi nzuri kwani anaamini timu yake itaipa mazoezi ya kutosha mabingwa wa afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani jamhuri ya kidemokrasia ya kongo jana waliifunga timu ya taifa stars mabao mbili sifuri katika mechi iliyopigwa katika uwanja wa taifa dar es salaam bao la kwanza lilifungwa katika dakika ya tano kupitia kwa UNK dioko baada ya kuunganisha mpira wa kona katika dakika ya arobaini na mbili mrisho ngassa aliikosesha stars bao la wazi baada kushindwa kuunganisha krosi ya jerison tegete kipindi cha pili kilianza kwa kongo kupata bao dakika ya arobaini na tisa lililowekwa kimiani na dioko tena kwa shuti kali la karibu katika kipindi cha pili timu zote zilifanya mabadiliko ambapo stars iliwatoa nizar khalfan mwinyi kazimoto na nurdin bakari na kuingia mussa hassan mgosi kigi makassy na UNK aziz kongo nayo iliwatoa bokanga erick kiamuaki joel na kuwaingiza UNK UNK na UNK UNK stars shaban dihile shadrack nsajigwa juma jabu salum swed nadir haroub canavaro henry joseph ngassa bakary tegete na kazimoto kongo UNK UNK UNK UNK UNK kiamuaki joel bokese UNK mihayo kazembe dioko bedi UNK UNK ilunga lofo bongeli na bokanga UNK licha ya kufungwa mabao mbili sifuri na mabingwa wa afrika kwa wachezaji wa ndani timu ya jamhuri ya kidemokrasi ya kongo kocha mkuu wa timu ya taifa taifa stars mbrazil marcio maximo UNK sifa kikosi chake na kuwataka watanzania wasiwe na haraka ya mafanikio stars juzi ilishindwa kutamba mbele ya mabingwa hao wa afrika kwa kukubali kipigo hicho katika mchezo wa kirafiki wa UNK uliochezwa kwenye uwanja wa taifa dar es salaam akizungumza baada ya mchezo huo maximo alisema kikosi chake UNK na wachezaji chipukizi wenye wastani wa umri wa miaka ishirini na moja kilionesha kandanda safi katika vipindi vyote licha ya kufungwa mabao mawili najua watanzania hawapendi timu yao kufungwa lakini kikosi changu UNK pongezi kwa uwezo waliouonesha nawaomba wasiwe na haraka baada ya muda fulani timu yetu itakuwa bora zaidi alisema alisema kipigo walichokipata kimetoa mwanga kwa wachezaji wake na kugundua baadhi ya makosa na kuahidi kuyafanyia kazi kabla ya kuumana na new zealand juni tatu mwaka huu alisema walicheza vizuri lakini walikosa mbinu za kufunga amesikitishwa na UNK kwa kuwazomea wachezaji wake pamoja na yeye wakati aliposimama kutoa maelekezo kwa wachezaji wakati huohuo kocha mkuu wa timu ya kongo muntubile santos UNK kikosi cha stars kwa kuonesha kandanda safi licha ya timu yake kuibuka na ushindi alisema kama timu hiyo itajengwa vizuri kwa kukaa pamoja kwa muda mrefu kikosi hicho kitakuwa tishio hapo baadaye kwani wachezaji wake wengi wana umri mdogo uongozi wa klabu ya simba umesema UNK mchezaji hata mmoja kutoka kwa watani wao wa jadi yanga akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa simba hassan dalali alisema hawatafanya makosa ya kusajili mchezaji wa yanga kama ilivyoandikwa katika vyombo vya habari wachezaji wanaodaiwa kutaka kwenda simba ni wakenya benny mwalala na boniface ambani dalali alisema hakuna kiongozi yeyote wa simba aliyewahi kufanya mazungumzo na mchezaji yeyote ila hiyo ni janja ya wachezaji kutaka kuvuna pesa katika kipindi hiki alisema anachojua ni kuwa kamati ya usajili ya simba pamoja na kocha mkuu patrick phiri watatoa mapendekezo ya usajili ambao utakuwa wa UNK hiki ni kipindi cha wachezaji kuvuna na wachezaji wanaodai kutaka kuja simba wapo kibiashara zaidi nia yao ni kutaka kuwasumbua viongozi wao alisema dalali alisema simba haitaki malumbano ya UNK wachezaji kwa kuwa kamati ya usajili imelenga kusajili wachezaji chipukizi UNK kwa miaka kumi ijayo timu ya mkoa wa tanga jana ilitinga robo fainali ya mashindano ya kombe la taifa kili taifa cup baada ya kuifunga kinondoni mabao mbili sifuri katika mechi iliyopigwa uwanja wa mkwakwani mabao ya tanga yalifungwa na uhuru selemani dakika ya kumi na hamadi UNK dakika ya themanini na tisa naye erasto stanslaus anaripoti kutoka mbeya kuwa timu ya iringa na UNK jana zilishindwa kutambiana kwenye uwanja wa sokoine baada ya kutoka sare ya bao moja moja katika mashindano hayo kwa matokeo hayo timu hizo zimefikisha pointi nne kila moja katika kundi b baada ya kushinda michezo yao ya kwanza ambapo ilala iliichapa mbeya bao moja sifuri na iringa iliifunga rukwa mabao mbili moja katika mchezo huo iringa ndio waliokuwa wa kwanza kufunga bao dakika hamsini na nne lililofungwa na sayuni UNK kwa kichwa akiunganisha krosi ya ally msigwa baada ya kipa wa ilala juma kaseja kupishana na na mpira ilala ilisawazisha bao hilo dakika ya sitini na sita lililofungwa na athuman idd chuji kwa mkwaju wa penalti baada ya khalid UNK kuunawa mpira uliokuwa ukienda wavuni katika mchezo mwingine wa kundi hilo rukwa iliibuka na ushindi wa bao moja sifuri dhidi ya mbeya bao pekee lilifungwa dakika ya kwanza na mohamed UNK naye pendo mtibuche anaripoti kutoka dodoma kuwa tabora na morogoro zilitoka sare ya bao moja moja katika mchezo mwingine wa kundi hilo wenyeji dodoma walilazimishwa sare ya bao moja moja na singida katika michezo mingine iliyopigwa jijini mwanza wenyeji waliichapa shinyanga mabao mbili sifuri na kigoma ikaifunga kagera mabao tano mbili mjini arusha wenyeji waliifunga mara bao moja sifuri na kilimanjaro UNK manyara mabao tatu moja nako songea wenyeji ruvuma waliibuka na ushindi wa mabao tatu moja dhidi ya mtwara na timu ya temeke ikaichapa lindi mabao tatu moja aliyekuwa mkuu wa jeshi la polisi nchini bwana omari mahita UNK amri ya mahakama kwa kukosa kwenda kupima dna ili kubaini kama mtoto juma omari mahita ni wake au la taarifa ya kukaidi amri hiyo iliwasilishwa katika mahakama ya wilaya ya kinondoni dar es salaam ikitokea kwa mkemia mkuu wa serikali bwana mahita alitakiwa kufanya hivyo na mahakama hiyo ili kuondoa utata uliopo kati yake na mama wa mtoto huyo bibi rehema shabani anayedai kuzaa na bwana mahita wakati bwana mahita mwenyewe akikanusha madai hayo kwa mujibu wa barua kutoka ofisi ya mkemia mkuu wa serikali bibi rehema na mwanae juma walifika katika ofisi hizo aprili ishirini na nne ishirini na saba na thebathini mwaka huu kwa ajili ya kutekeleza amri ya mahakama lakini bwana mahita hakufanya hivyo mbali na tarehe hizo pia mlalamikaji katika kesi hiyo bibi rehema alifika ofisi za mkemia huyo mei nne na tano mwaka huu na mdaiwa bado UNK amri ya mahakama ilitolewa aprili ishirini na nne mwaka huu ikiwataka wahusika kwenda kufanya kipimo hicho pamoja na mtoto UNK katika kesi ya msingi bibi rehema anaiomba mahakama kutamka kuwa bwana mahita ndiye baba wa mtoto juma kesi hiyo ilitajwa mei saba mwaka huu na kupangwa kutajwa tena juni kumi na sita mwaka huu ikiwa ni pamoja na kuangalia kwa nini mdaiwa UNK amri ya mahakama michuano ya kombe la taifa kili taifa cup ishirini sifuri tisa sasa yamefikia UNK ambapo leo kutakuwa na michezo kumi itakayoamua timu saba UNK robo fainali ya michuano hiyo timu nane zinatakiwa kutinga katika hatua ya robo fainali ambapo hadi michezo ya juzi timu ya tanga ilikuwa imetinga hatua hiyo baada ya kushinda michezo miwili dhidi ya pwani na kinondoni mbali na tanga vituo vingine vitano bado havijatoa timu ya kutinga katika hatua hiyo hadi michezo ya leo itakapochezwa ndiyo itakayotoa picha halisi vituo vingine UNK moto ni arusha mwanza mbeya ruvuma na dodoma katika kituo cha mbeya ambacho bingwa mtetezi ilala itakuwa na kibarua cha kupambana na rukwa ili kuhakikisha UNK robo fainali tayari timu ya rukwa UNK nje ya michuano hiyo hivyo mechi yake ya leo itakuwa ya kukamilisha ratiba ilala ipo katika nafasi ya pili kwenye kituo hicho cha kundi b kwa kujikusanyia pointi nne ikiwa nyuma ya iringa ambayo pia ina pointi nne ila idadi kubwa ya mabao michezo ya leo inatarajia kukamilisha hatua ya awali ambapo timu nane zitacheza robo fainali itakayopigwa dar es salaam shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK kamati maalumu ya watu saba ya udhibiti na uboreshaji wa mapato ya michezo mbalimbali akiwemo kamanda wa kanda maalumu ya dar es salaam suleiman kova akizungumza dar es salaam jana raisi wa shirikisho hilo leodegar tenga alisema kamati hiyo inatakiwa kuwasilisha ripoti ya mapato na matumizi ya michezo mbalimbali kabla ya julai thebathini na moja mwaka huu alisema kamati hiyo itakuwa na jukumu la kupokea taarifa na maoni kutoka kwa wadau wa soka juu ya nini kifanyike kupambana na hujuma ya mapato milangoni na kisha kutoa mapendekezo juu ya utaratibu wa kuboresha hali hiyo tumekuwa UNK malalamiko mengi baada ya kutangaza mapato kila mtu anasema lake hivyo kwa kuwa tff si chombo cha mtu mmoja au kikundi cha watu wachache ndio maana kinawajibika kiroho kuweka wazi mapato yake alisema tenga alisema UNK kisheria endapo kama UNK mapato kwani wajibu wao kisheria ni kuhakikisha hesabu za mapato zinafanyiwa ukaguzi kila mwaka na kupitishwa na mkutano mkuu aliwataja wajumbe wanaounda kamati hiyo ni mwenyekiti wa UNK la michezo la taifa idd kipingu kamanda mohamed UNK kamanda wa kanda maalumu dar es salaam suleiman kova ofisa ikulu yusuph nzowa wengine ni ofisa mwandamizi kutoka taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa deo lyatto ambaye ndiyo katibu na makamu wa pili wa raisi wa tff ramadhani nassib alisema kamati hiyo iliundwa tangu machi mwaka huu ila alishindwa kuitangaza mapema kutokana UNK nao mawasiliano wahusika mapema rais huyo alisema tff itaendelea kupambana na tatizo la udhibiti wa mapato na kujenga imani kwa wapenzi wa soka juu ya uwezo wao katika udhibiti na utunzaji wa fedha za tff tenga alisema baada ya serikali kutangaza kutaka UNK uwanja wa taifa alieleza kamati hiyo itakutana nayo kuzungumza kwa kina ili kushirikiana katika udhibiti wa mapato hayo timu ya soka ya ilala jana ilitinga hatua ya robo fainali ya michuano ya UNK taifa cup baada ya kuichapa rukwa mabao mbili sifuri katika mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa sokoine jijini mbeya ilala ilipata bao lake la kwanza dakika ya arobaini na saba na lililofungwa na julius mrope baada ya kumalizia pasi iliyotoka kwa juma UNK swedi tumba aliihakikishia ilala kupenya nusu fainali baada ya kuifungia bao katika dakika ya hamsini na tisa kwa kichwa akiunganisha kona iliyochongwa na athuman idd chuji katika mchezo mwingine uliopigwa uwanja wa sokoine mbeya kati ya wenyeji wa mbeya na iringa ambayo imemalizika kwa kufungana bao moja moja naye pendo mtibuche kutoka dodoma anaripoti kuwa timu ya tabora iliichapa singida mabao mbili moja mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa jamhuri katika mechi ya pili iliyozikutanisha morogoro na dodoma kwenye uwanja huo ulimalizika kwa sare ya mabao mbili mbili katika kituo cha ruvuma temeke nayo ilitinga hatua hiyo baada ya kuifunga lindi mabao mbili sifuri katika mechi iliyopigwa uwanja wa majimaji mjini songea huku mechi ya ruvuma na mtwara UNK sare ya bao moja moja kituo cha mwanza kagera iliichapa shinyanga mabao tatu mbili huku mwanza ikisonga mbele kwa ushindi wa bao moja sifuri dhidi ya kigoma kwenye uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza timu ya mkoa wa kilimanjaro na mara zilitoka sare ya mabao mbili mbili katika mechi iliyofanyika katika kituo cha arusha nao wenyeji arusha ilisonga iliingia robo fainali kwa kuibamiza manyara mabao nne sifuri kwa mujibu wa matokeo ya vituo vyote timu UNK mbele hatua ya robo fainali ni ilala temeke arusha tanga tabora mwanza kilimanjaro na ruvuma kocha mkuu wa timu ya taifa ya tanzania taifa stars mbrazili marcio maximo amewataka makocha wa klabu za ligi kuu kuyatumia mashindano ya kombe la taifa kili cup kusajili wachezaji chipukizi wenye vipaji ili kuimarisha vikosi vyao michuano hiyo ilianza kutimua vumbi mei kumi katika kanda za mikoa sita ya mwanza mbeya arusha tanga ruvuma na dodoma ambapo fainali zake zinatarajia kufanyika mei thebathini mwaka huu dar es salaam hatua hiyo inaweza kuwa somo kwa makocha wa timu za yanga mserbia dusan kondic wa simba mzambia patrick phiri na wa azam fc itamar UNK ambao vikosi vyao vina wachezaji wa kulipwa tofauti na timu nyingine hapa nchini akizungumza dar es salaam jana maximo alisema kwa kuwa mashindano hayo ni makubwa hapa nchini na UNK wachezaji kutoka katika ligi mbalimbali hapa nchini ni vizuri makocha UNK kwa makini ili UNK vipaji alisema kupitia makocha hao yeye UNK na kazi kubwa katika kuchagua timu ya taifa kwani anaamini wachezaji watakaosajiliwa na timu za ligi kuu watakuwa na vigezo anavyohitaji maximo aliongeza kuwa stars itaingia kambini jumatano ijayo kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya mabingwa wa ukanda wa oceanic new zealand mchezo unaotarajiwa kupigwa uwanja wa taifa dar es salaam alisema UNK na kiwango kilichooneshwa na wachezaji wake chipukizi katika mchezo dhidi ya kongo ambao walifungwa mabao mbili sifuri na anaamini wachezaji wake wamepata uzoefu wa kutosha kucheza na timu ngumu kama hiyo akiuzungumzia mchezo huo wa new zealand alisema utakuwa mchezo mgumu kwao kutokana na timu hiyo baada ya kucheza watacheza mchezo mwingine wiki moja baadae na timu ya italia hivyo hawatakubali kupoteza UNK maximo alisema mafanikio hayaji kwa urahisi kama watanzania wanavyofikiri hivyo amewataka watoe sapoti kwa wachezaji kwani lengo la kuita timu hiyo ni kuiandaa kwa ajili ya michuano ya ishirini moja sifuri kiungo wa liverpool xabi alonso UNK hivi sasa anahusishwa kutaka kuhamia klabu ya manchester city ambao UNK kitita cha pauni milioni kumi na nane taarifa za vyombo vya habari zinasema kocha wa manchester city mark hughes atahakikisha UNK kiungo huyo wa UNK wa hispania kwa bei nzuri UNK kocha rafa benitez kupeleka mawazo yake kwa gareth barry wa aston villa barry UNK benitez pauni milioni kumi na mbili ambapo kiwango kikubwa UNK na city kumsainisha alonso UNK pia kumnyakua mchezaji huyo wa villa mtoa habari aliye karibu na uongozi wa man city aliweka wazi kwamba alonso msimu huu ameonesha uwezo wake na ni miongoni mwa wachezaji ambao kocha mark hughes UNK ni mchezaji UNK mpira wa uingereza ana uwezo mkubwa na yupo fiti sana city UNK mchezaji kama huyu wako chini ya mchezaji kuna klabu nyingine UNK lakini liverpool na alonso wanaangalia kama itawezekana mpango huo alonso ataweza kuhamia city endapo mpango wa liverpool wa kumsainisha barry utafanikiwa alonso hatakuwa mchezaji pekee UNK liverpool msimu huu benitez mpango wake ni kutafuta fedha za kuimarisha kikosi chake msimu ujao ryan babel andrea dossena andrei UNK charles UNK UNK UNK na sebastian UNK ni miongoni mwa wachezaji UNK alonso alizaliwa desemba ishirini na tano elfu moja na mia tisa na themanini na moja katika mji wa UNK hispania lakini hivi sasa anaichezea timu ya liverpool ya uingereza inayoshiriki ligi kuu ya nchini humo akiwa kiungo UNK kiungo huyo alianza kutamba akiwa na timu ya real sociedad baada ya kutangaza ofa ya mkopo katika UNK ya sd eibar alirejea katika ligi kuu ya hispani la liga john toshack UNK alonso kuwa nahodha wa real UNK ambapo aliiongoza vizuri na kufanikiwa kushika nafasi ya pili katika msimu wa mwaka ishirini sifuri mbili sifuri tatu UNK huyo alihamia liverpool agosti ishirini sifuri nne kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni kumi tano na kuisaidia kutwaa kombe la klabu bingwa ulaya katika msimu wake wa kwanza msimu uliofuata walitwaa ubingwa wa ngao ya hisani na fa katika soka la kimataifa alonso UNK hispania katika fainali za euro ishirini sifuri nne euro ishirini sifuri nane na kombe la dunia mwaka ishirini sifuri sita aliiwakilisha nchi yake katika mechi dhidi ya ecuador ambayo waliibuka na ushindi wa mabao nne sifuri na kufanikiwa kutwaa kombe la euro ishirini sifuri nane akiwa na hispania alonso alizaliwa katika familia UNK mpira wa miguu na yenye kuujua baba yake UNK alonso aliiwezesha real sociedad kutwaa ubingwa wa hispania mara mbili na mara ya tatu akiwa na fc barcelona pia UNK hispania mara ishirini alonso alikaa kwa muda wa miaka sita barcelona na kuhamia san UNK katika utoto wake aliichezea UNK de la UNK akiwa na marafiki zake mikel arteta ambao walikuwa wakichuana katika ufundi alikuwa UNK zaidi katika mpira wa miguu ambapo baba yake aliwapeleka katika kituo maalumu cha kujifunza mpira cha UNK UNK fc akiwa na rafiki yake UNK alonso alikuwa UNK uchezaji wa baba yake wa kuchukua mipira na kumiliki kuliko kupiga mashuti kadri umri ulivyokuwa ukizidi kusonga mbele ndivyo UNK zaidi kucheza sehemu ya kiungo UNK alonso na arteta wote walikuwa na ndoto ya kuicheza UNK ya real sociedad ingawa walikwenda shule tofauti za mpira ambao wote UNK timu ya nyumbani kwao ya UNK katika mechi hiyo wachezaji hao walionesha kiwango kizuri cha uchezaji na kuwavutia waliokwenda kuwaangalia ambapo alonso alijiunga na real sociedad wakati arteta UNK na barcelona ingawa alonso alijiunga real sociedad aliungana na rafiki yake mikel alonso alonso aliendelea kuwa katika kikosi cha pili cha real sociedad na kuwavutia na kuingizwa katika kikosi cha kwanza akiwa na miaka kumi na nane alianza kuonekana katika kikosi cha kwanza kwenye mechi dhidi ya UNK cf desemba elfu moja na mia tisa na tisini na tisa katika mechi ya kuwania kombe la copa del UNK alonso baada ya mechi hiyo alishindwa kuonekana tena katika kikosi hicho msimu mzima lakini msimu uliofuata aliongeza bidii na kurejea tena katika kikosi cha kwanza mwanzoni mwa msimu wa ishirini sifuri sifuri sifuri moja javier UNK alimpeleka alonso katika timu ya sd eibar ili UNK uzoefu zaidi baba yake UNK na mtoto wake kupelekwa katika klabu ndogo ingawa alirejea katika kiwango cha juu na kuwavutia makocha katika miezi miwili aliyoitumikia timu hiyo kocha wake toshack UNK chipukizi huyo akiwa na miaka kumi na tisa kuwa nahodha wa timu hiyo nafasi ambayo kwa kawaida ilikuwa UNK na wakongwe tu mwishoni mwa msimu sociedad ilipanda juu na kutoka katika hatari ya kushuka daraja na kumaliza ligi ikiwa ya kumi na nne msimu wa mwaka ishirini sifuri moja sifuri mbili timu hiyo ilimaliza ligi ikiwa ya kumi na tatu katika msimu wa ligi hiyo alonso alionekana mara thebathini katika ligi hiyo maarufu la liga ambapo alifunga bao lake la kwanza katika msimu huo UNK katika nafasi ya tatu uongozi wa real sociedad msimu wa ishirini sifuri mbili UNK raynald UNK lakini alonso aliendelea kumiliki nafasi yake msimu wa mwaka ishirini sifuri mbili sifuri tatu klabu hiyo ilikuwa bora zaidi kuliko msimu wa mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na moja elfu moja na mia tisa na themanini na mbili ambayo ilifanya vizuri katika ligi hiyo timu yake ilimaliza ikiwa ya pili nyuma ya real madrid na kuweka historia ya kucheza hatua ya kwanza ya klabu bingwa ulaya kwa mara ya kwanza alonso kutokana na kiwango UNK alichaguliwa kuwa mwanasoka bora wa mwaka wa hispania tuzo inayotolewa na magazeti ya hispania pia kiungo huyo mkabaji aliisaidia timu yake ambapo iliibuka na mabao kumi na mbili katika michuano hiyo ambapo kocha wa timu ya taifa ya hispania alimwita katika kikosi chake alonso alichaguliwa kuiwakilisha nchi yake katika mechi ya kirafiki dhidi ya ecuador iliyochezwa aprili ishirini sifuri tatu ambapo waliibuka na ushindi wa mabao nne sifuri msimu wa mwaka ishirini sifuri tatu sifuri nne alonso aliisaidia klabu yake kutinga hatua ya mtoano ya klabu bingwa ulaya lakini walitolewa katika michuano hiyo baada ya kuchapwa na lyon na pia ilimaliza ligi ikiwa ya kumi na tano kutokana timu yake kufanya vibaya katika ligi ya hispania kiungo huyo aliwekwa sokoni ambapo rais wa real sociedad jose luis UNK alitangaza dau la puani milioni kumi na tatu mwaka ishirini sifuri nne alonso aliiwakilisha nchi yake katika fainali za euro ishirini sifuri nne ambapo alitokea katika benchi kwenye mechi ambayo hispania ilishinda bao moja sifuri dhidi ya urusi na kucheza dakika zote tisini katika mechi dhidi yan ureno katika uhamisho wa majira ya kiangazi real sociedad UNK fomu rafiki yake wa utotoni mikel arteta alikuwa UNK vizuri na alonso lakini UNK sana katika timu moja alonso UNK katika ziara ya mechi za kirafiki za kujiandaa na ligi kutokana na kusubiri ofa ya kumwaga wino wa kuitumikia liverpool f real sociedad walitangaza kumuuza agosti ishirini ishirini sifuri nne kwa ada ya pauni milioni kumi tano ambapo alonso alikubali kujiunga na vijana hao wa UNK na kuvunja uvumi uliokuwa umeenea wa kwenda real madrid alonso alianza kuonekana uwanjani akiichezea liverpool katika mechi dhidi ya bolton wanderers kwenye uwanja wa UNK agosti ishirini na tisa ishirini sifuri nne liverpool ilifungwa moja sifuri lakini alonso tayari alionekana mwenye kuelewa soka katika mechi dhidi ya fulham walionesha kiwango cha chini na timu hiyo ikawa nyuma kwa mabao mbili sifuri na kocha UNK alimwingiza alonso baada ya mapumziko na kurudisha uhai wa timu ambapo UNK na ushindi wa mabao nne mbili alonso aliifungia moja ya mabao ya timu hiyo kwa shuti la mpira wa adhabu ambalo lilikuwa bao la kwanza kwa upande wa timu yake na kuendelea kuifungia mabao muhimu timu yake alifunga bao la kwanza uwanja wa anfield dhidi ya arsenal ambapo waliibuka na ushindi wa mabao mbili moja mchezaji huyo alikaa nje ya uwanja kwa muda wa miezi mitatu baada ya kugongana na kiungo wa chelsea frank lampard mechi iliyochezwa mwaka mpya ambapo walifungwa bao moja sifuri alirejea uwanjani katika mzunguko wa pili wa klabu bingwa ulaya katika mechi dhidi ya juventus alonso hakuwa fiti lakini kutokana na steven gerrard kuwa majeruhi UNK dakika zote tisini na kufanikiwa kutoka suluhu nchini italia na kusonga mbele katika michuano hiyo katika hatua nyingine dhidi ya chelsea alonso alizawadiwa kadi ya njano katika mechi ambayo ilimalizika kwa suluhu kwenye uwanja wa stamford bridge alikosa mechi UNK alonso hakucheza katika kikosi cha kwanza msimu wa ishirini sifuri tano sifuri sita kwa kuhofia majeruhi ambayo UNK pembeni karibu msimu wa kwanza katika usajili wa kiangazi liverpool UNK peter UNK mshambuliaji mrefu ambapo timu hiyo ilianza kutumia mipira ya juu alonso alionekana katika mechi zote za klabu bingwa ulaya lakini timu yake ilifungwa na benfica katika hatua ya UNK januari saba ishirini sifuri sita katika mzunguko wa tatu wa kombe la fa dhidi ya UNK town alonso UNK liverpool kushinda mabao tano tatu baada ya kuwa nyuma kwa mabao tatu moja alonso alifunga mabao mawili ya mbali moja likiwa umbali wa meta thebathini na tano na lingine meta sitini na tano nyuma ya mstari wa katikati alonso aliumia kifundo cha mguu UNK katika ushindi wa mabao tatu moja dhidi ya portsmouth na kucheza fainali ya fa ingawa alipata nafuu na kuanza katika mechi dhidi ya west ham united na gerrard aliifungia liverpool bao la tatu kwa kuunganisha mpira wa adhabu aliopiga alonso na kuipandisha juu katika msimamo timu hiyo alonso bado UNK sawasawa hivyo hakucheza dakika zote tisini ambapo UNK kipindi cha pili liverpool ilishinda kwa penalti bila ya mchango wake lakini alitwaa medali ya michuano ya fa aliitwa katika kikosi cha taifa cha hispania kilichoshiriki fainali za kombe la dunia ishirini sifuri sita na kufunga bao moja katika michuano hiyo ya kimataifa dhidi ya ukraine juni kumi na nne ishirini sifuri sita septemba ishirini ishirini sifuri sita alonso alifunga bao zuri ambalo UNK na bbc mshambuliaji mwenye uwezo mkubwa katika mechi waliyoibuka na ushindi wa mabao mbili sifuri dhidi ya newcastle ya ligi kuu uingereza juni nane ishirini sifuri saba alonso aliongeza mkataba wa kuichezea klabu hiyo kwa muda wa miaka mitano na kufuta fununu za UNK UNK liverpool baada ya kuingia mkataba mpya alisema ninafahamu kuna klabu nyingi UNK lakini mawazo yangu kila mara ni kubaki hapa nipo hapa misimu mitatu na nina furaha pamoja na mashabiki kuniunga mkono nafahamu liverpool wana maana gani kwa watu wote aliongeza ni klabu maalumu na sina mpango wa kuondoka msimu wa ishirini sifuri saba sifuri nane ulianza vizuri kwa mchezaji huyo kutoka hispania kutokuwepo kwa gerrard alonso alikuwa akianza sehemu ya kiungo ya ushambuliaji ambapo alifanikiwa kufunga mabao mawili katika ushindi wa mabao sita sifuri dhidi ya derby county katika ligi alonso baada ya kutoka katika majeruhi mwishoni mwa ishirini sifuri saba lakini miezi michache alianza kukumbana na ushindani kutoka kwa javier mascherano na lucas UNK liverpool ina viungo watano wazuri ingawa kocha rafael benitez aliweka wazi kwamba ni mchezaji wa kiwango cha juu alisema alonso ana uwezo wa kubadilisha mchezo na kuvunja mbinu za walinzi wa upinzani alonso alifikisha mechi ya kumi sifuri kuitumikia liverpool katika ligi januari kumi na mbili ishirini sifuri nane katika mchezo dhidi ya middlesbrough msimu wa ishirini sifuri saba sifuri nane liverpool ilimaliza ikiwa haina kombe lolote lakini UNK subira mpaka kiungo wao alonso alipochaguliwa mchezaji bora wa mechi ya euro ishirini sifuri nane dhidi ya ugiriki pamoja na kiwango chake kuwa juu hakuweza kuanza katika mechi zote hispania UNK kujiamini zaidi katika michuano hiyo hispania ilitwaa ubingwa ambapo kiungo huyo alicheza mechi nne kati ya sita alonso aliendelea kujiimarisha katika mechi za kimataifa baada ya kuifungia hispania mabao mawili kati ya matatu waliyoshinda dhidi ya denmark agosti msimu wa uhamisho wa kiangazi mwaka ishirini sifuri nane walipendekeza UNK na nafasi yake ichukuliwe na mchezaji wa kimataifa wa uingereza gareth UNK mwanzoni mwa msimu wa ishirini sifuri nane sifuri tisa hakuna mchezaji aliyehama UNK namba katika kikosi cha liverpool alonso na mchezaji wa everton mikel arteta ni marafiki waliokuwa wakiishi sehemu moja na makuzi yao yalikuwa pamoja san sebastian na hivi sasa wanaishi karibu katika jiji la liverpool imeandikwa na frank balile kwa msaada wa mtandao wa kimataifa ashauri UNK vyuo vya tenis duniani na amina athumani malengo yangu ni kupata mafanikio makubwa katika mchezo wa tenis na ikiwezekana kiweze kumfikia rafael UNK wa hispania ambaye kwa sasa ni bora duniani hiyo ni kauli ya mchezaji mwenye umri wa miaka kumi na nne shaban ibrahim ambaye kwa sasa anatamba katika tenis hapa nchini na afrika mashariki ibrahim alianza kutamba na kujulikana katika tenis bara la afrika na kuipandisha chati tanzania mwaka huu alipofuzu michuano ya afrika kwa vijana yaliyofanyika nchini morocco mchezaji huyo alizaliwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita mjini arusha akiwa wa mtoto wa kwanza katika familia ya watoto wawili ibrahim kwa sasa yupo kidato cha kwanza katika shule ya sekondari UNK iliyopo arusha wakati elimu ya msingi alisoma shule ya UNK jijini humo alijiunga na mafunzo ya tenis mwaka ishirini sifuri tano kwenye klabu ya gymkhana arusha akiwa chini ya kocha martine dzuwa ambaye hadi sasa ni ndiyo mwalimu wake anasema mara baada ya kuanza mafunzo ya mchezo huo kwenye klabu hiyo alichaguliwa katika kikosi cha watoto chini ya miaka tisa ambapo alidumu kwa kipindi cha miaka ibrahim anasema mashindano yake ya kwanza kushiriki yalikuwa ni ya vijana chini ya miaka kumi na tatu yaliyoandaliwa na shirikisho la kimataifa la tenis mwaka ishirini sifuri sita yaliyofanyika viwanja vya klabu ya gymkhana dar es salaam anasema mashindano hayo yalishirikisha wachezaji wa nchi za afrika mashariki na kati na ilikuwa mara yake ya kwanza kucheza mashindano makubwa hivyo alicheza akiwa na wasiwasi kitu kilichomfanya asifanye vizuri baada ya kufanya vibaya katika mashindano hayo anasema aliendelea kucheza mashindano ya ndani ili kupata uzoefu zaidi mwaka ishirini sifuri saba alishiriki mashindano ya vijana chini ya miaka kumi na tatu yaliyofanyika kenya na kushika nafasi ya kumi na mbili ibrahim anasema mwaka ishirini sifuri nane kulifanyika michuano iliyoandaliwa na itf nchini burundi kwa ajili ya kufuzu kwenda kucheza mashindano ya afrika UNK kufanyika botswana siwezi kuisahau siku hiyo kwani UNK sana na wachezaji wa sudan ambao wengi wao ndio waliofuzu lakini hata hivyo UNK kwenda botswana baada ya nchi yangu kuingia kwenye ishirini bora anasema ibrahim anasema msudan UNK adam UNK vilivyo katika michuano hiyo na hadi sasa hajapata UNK kumfunga kwani mara nyingi huwa UNK naye kwenye fainali ibrahim ambaye alipata nafasi ya kuipeperusha vyema bendera ya tanzania katika michuano ya afrika ya morocco mwaka huu hivi sasa anashika nafasi ya pili kwa ubora afrika huku namba moja akiwa mpinzani wake adam wa sudan anasema mchango mkubwa wa kuifanya nchi yake kuingia katika kumi bora afrika umetokana na mafunzo aliyoyapata chuo cha tenis cha itf kilichopo afrika kusini ambako alikaa mwezi mmoja kabla ya kwenda morocco kushiriki michuano hiyo ingawa nimefanikiwa kuiingiza kumi bora nchi yangu katika michuano ya afrika sapoti kubwa UNK katika chuo cha mafunzo afrika kusini ambako UNK mbinu mbalimbali za ushindi anasema hivi karibuni itf ilitangaza msimamo wa mchezo huo kwa nchi za afrika na viwango vyake ambapo tanzania kuwa na kiwango cha kimataifa mwaka huu kutokana na uhodari wa ibrahim itf pia ilimtangaza mchezaji huyo kuwa namba moja kwa ubora kwa nchi za afrika mashariki na kati kwa kuifikisha tanzania katika kumi bora afrika kutokana na mashindano ya morocco ambako ibrahim aliingia fainali na kutolewa tena na UNK mei tisa mwaka huu viwanja vya klabu ya gymkhana kulifanyika michuano ya afrika awamu ya pili ambapo ibrahim aliapa kumtoa adam baada ya kutolewa na msudan huyo katika michuano ya awamu ya kwanza iliyofanyika kenya lakini kiapo chake UNK UNK bado sijakata UNK ipo siku UNK katika fainali au hata hatua za UNK nashauri tu chama cha tenis tanzania UNK mipango madhubuti ya kufungua vituo vya mafuzo ya tenis kama ilivyo nchi za sudan na afrika kusini anasema ibrahim anasema iwapo kutakuwa na chuo cha mafunzo ana imani tanzania itakuwa na wachezaji wazuri kuliko hata sudan na afrika kusini ambazo zinaongoza kuwa na wachezaji wenye viwango vya juu naibu waziri wa habari UNK na michezo joel bendera ameitaka timu ya yanga kutobweteka na kulewa UNK ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu tanzania bara mara mbili mfululizo na badala yake wajipange vizuri mabingwa hao walitangaza ubingwa mapema huku wakiwa na michezo mitano mkononi ambapo mpaka ligi inamalizika walifikisha pointi hamsini na moja na wapinzani wao wa jadi wa simba walishika nafasi ya pili kwa kufikisha pointi arobaini akizungumza dar es salaam juzi katika hafla iliyoandaliwa na kampuni ya simu za mkononi ya vodacom ya kukabidhi zawadi kwa timu zilizofanya vizuri katika ligi kuu bendera alisema timu hiyo inastahili pongezi kwa kutwaa kwa mara ya pili ubingwa huo alisema licha ya kutwaa UNK huo lakini wasibweteke na kulewa sifa wahakikishe UNK msuli na kujipanga vizuri katika msimu ujao wa ligi ili izidi kufanya vizuri zaidi ya hapo serikali inatoa pongezi za dhati kwa yanga kwa kutwaa ubingwa mara mbili mfululizo lakini UNK sifa kwani siku zote mgema akisifiwa tembo UNK maji lakini sitarajii timu hiyo itafanya hivyo alisema bendera bendera alisema si yanga pekee bali klabu zote kwa ujumla zinatakiwa kubadilika ziwe na mikakati ya kutafuta makocha wenye viwango UNK soka kisayansi kama zinavyofanya nchi za ulaya timu inakuwa bora kama itakuwa na makocha wazuri wenye kubuni mbinu mpya kila kukicha za ufundishaji kwani kwa kufanya hivyo itakuwa kazi rahisi kwa maximo kuchagua wachezaji anaowahitaji katika kikosi chake alisema bendera alisema mara nyingi watanzania ni wazuri wa kulaumu kwa kukosa uvumilivu wanafikiri kufanya vibaya kwa timu ya taifa ni makosa ya kocha kumbe si hivyo ni kukosa utaratibu mzuri kwa makocha wa klabu ambao wao ndio hukaa nao muda mwingi aliipongeza vodacom pamoja na shirikisho la mpira wa miguu tanzania kwa umakini wao kwani bila ya wao mchezo huo UNK UNK wenyewe kwa kupata wadhamini wengi na serikali itaendelea kuunga mkono jitihada za sekta binafsi katika kuinua soka hapa nchini kampuni ya simu za mkononi ya vodacom imekabidhi zawadi zenye thamani ya shilingi milioni sabini na tano saba kwa timu wachezaji na makocha bora waliofanya vizuri katika msimu wa ishirini sifuri nane sifuri tisa wa ligi kuu tanzania bara katika fedha hizo zilizotolewa timu ya mtibwa licha ya kushika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi hiyo iliambulia shilingi milioni kumi na sita na UNK timu ya simba ambayo ilikuwa wa pili kwa kupata shilingi milioni kumi na nne kitu ambacho kiliwashangaza UNK wengi waliokuwepo katika hafla hiyo ya kukabidhiwa zawadi akizungumza dar es salaam juzi wakati wa kukabidhi zawadi hizo mkuu wa udhamini na mawasiliano wa vodacom george rwehumbiza alisema kampuni yake itaendelea kuwekeza katika soka alisema UNK timu za simba yanga na mtibwa kwa kushika nafasi za juu lakini pongezi zaidi UNK kwa yanga kwa kutwaa ubingwa kwa mara ya pili mfululizo vodacom kwa kushirikiana na serikali tutaendelea kupiga vita umasikini kwa kuhakikisha UNK vipaji vya wachezaji chipukizi ili baadaye tuwatafutie timu huko nje ya nchi kitu ambacho kitakuwa ni ajira yao alisema rwehumbiza katika hafla hiyo kampuni hiyo ilikabidhi hundi kwa yanga ambayo ndiyo bingwa ilikabidhiwa hundi ya shilingi milioni thebathini na saba simba hundi ya shilingi milioni kumi na nne na mtibwa ilikabidhiwa hundi ya shilingi milioni tisa lakini mtibwa mbali na kupata fedha hizo pia ilipata shilingi milioni tano kwa kuibuka timu yenye nidhamu shilingi milioni mbili kupitia kipa wake shaaban shaaban kado aliyeibuka kipa bora hivyo kufanya jumla ya fedha walizopata kufikia shilingi milioni kumi na sita pia timu ya toto african UNK katika mgao huo baada ya mchezaji wake oscar joshua kuibuka mchezaji bora na kuambulia shilingi milioni moja saba na kocha mkuu wa yanga mserbia dusan kondic aliibuka kocha bora na kupata shilingi milioni mbili tano ibrahim UNK aliibuka UNK bora baada ya kupata pointi nyingi na pia kuchezesha idadi kubwa ya mechi za ligi hiyo aliambulia shilingi milioni mbili tano mshambuliaji wa yanga raia wa kenya boniface ambani alipata shilingi milioni mbili kwa kuibuka mfungaji bora akipachika mabao kumi na nane klabu ya simba imeendelea kuwatema wachezaji wake ambapo sasa imewapiga UNK george nyanda adam kingwande emeh izuchukwu na orji obina ambaye anadaiwa kwenda afrika kusini kucheza soka la kulipwa klabu hiyo tayari imedaiwa kuwaacha mohamed banka ramadhan waso na amani simba ambao UNK na kamati ya usajili habari kutoka mmoja wa wajumbe wa kamati ya usajili zilieleza kuwa wachezaji hao wameachwa kutokana na mapendekezo ya kocha mkuu patrick phiri chanzo hicho kilieleza kabla ya phiri kuondoka kwenda kwao aliacha mapendekezo ya wachezaji watakaoachwa na UNK kilieleza kuwa phiri aliacha aliacha majina wa wachezaji ambao UNK kwa ajili ya kuimarisha kikosi hicho katika msimu ujao akiwemo nurdin bakary ambaye awali alikuwa simba lakini mwaka jana akatimkia yanga chanzo hicho kilieleza kuwa wachezaji wengine waliopendekezwa ni yahya akili wa mtibwa ambaye pia msimu uliopita aliichezea simba UNK na abdallah juma wa kagera sugar chanzo hicho kilieleza UNK wengine wanaotakiwa na phiri ni mwinyi kazi moto wa jkt ruvu na amri kiemba wa moro united katibu mkuu msaidizi wa klabu hiyo mohamed UNK alipoulizwa kuhusiana na suala hilo alisema kamati ya usajili ndiyo yenye jukumu la kuzungumzia usajili licha ya kubanwa mbavu na kulazimishwa suluhu jana na arsenal manchester united bado imenyakua ubingwa wa uingereza kwa mara ya tatu mfululizo manchester united ilitawazwa kuwa bingwa baada ya kupata pointi moja ambayo ilikuwa ikihitaji ili iweze kutwaa kombe hilo ubingwa huo unaifanya manchester kufikisha mataji kumi na moja ya ligi kuu na huku ikiwa imeifikia rekodi ya liverpool ya kutwaa mataji kumi na nane ya ligi hiyo huku ikiwa na mechi moja mkononi pia manchester inakuwa timu ya kwanza kutwaa ubingwa huo mara nyingi mfululizo baada ya kufanya hivyo kwenye misimu ya kati ya mwaka ishirini sifuri sifuri sifuri moja na ishirini sifuri mbili sifuri tatu matokeo hayo yanaifanya timu hiyo kufikisha pointi themanini na saba wakati liverpool ambayo leo inacheza na west bromwich albion ina pointi themanini ikiwa tayari imenyakua ubingwa dunia kwa klabu na kombe la ligi timu hiyo hivi sasa itakuwa ikisubiri kutetea tena taji lake la ligi ya mabingwa ulaya itakapokutana na barcelona mjini rome mei ishirini na saba mwaka huu mtanange huo ambao ulipigwa kwenye uwanja wa old traford katika kipindi cha kwanza wachezaji robin van persie na wayne rooney UNK timu zao mabao ya wazi katika mechi hiyo kocha ferguson aliamua kumtumia mchezaji carlos tevez tangu mwanzo huku UNK benchi dimitar berbatov na UNK darren fletcher na ryan giggs ambao walichukua nafasi za wachezaji anderson na paul scholes kutoka kutoka kwenye kikosi UNK wigan gunners walishuka uwanjani wakiwa hawana wachezaji wao wa kutumainiwa emmanuel almunia na emmanuel adebayor UNK andrey arshavin alikuwemo baada ya kupona mafua hata hivyo arsenal ambayo itamaliza ligi hiyo ikiwa katika nafasi ya nne ilicheza mchezo wake wa kawaida bila kutengeneza nafasi nyingi za kupachika mabao mchezaji fletcher ndiye alikuwa wa kwanza kubisha hodi kwenye lango la arsenal katika dakika za kwanza na kummegea pande cristiano ronaldo ambaye alishindwa kuukwamisha mpira kimiani nafasi nzuri UNK arsenal ni ile aliyoipata mchezaji robin van persie dakika za kwanza za mchezo baada ya kupasiwa pande zuri na arshavin lakini mkwaju wake UNK mwamba baada ya kosakosa hiyo muda mfupi baadaye van persie pia alidhani atapewa penalti baada ya kuangushwa na mchezaji nemanja vidic lakini mwamuzi mike dean akaamua UNK wachezaji shadrack nsajigwa wa yanga na amri kiemba wa moro united wapo mbioni kujiunga na african lyon kwa ajili ya msimu ujao wa ligi habari za kuaminika kutoka ndani ya timu hiyo UNK dar es salaam jana kuwa wachezaji hao wameshamalizana na timu hiyo ila kilichobaki ni kuingia nao mkataba tu chanzo hicho kilisema wachezaji hao mwishoni wa wiki iliyopita walikuwa na mazungumzo ya muda mrefu na uongozi wa timu hiyo ambao hadi hatua ya mwisho wakakubali kuingia mikataba ila UNK ni mfadhili wao UNK unajua masuala ya usajili si ya kuzungumza hovyo hovyo ila nakuhakikishia kiemba tulitaka kumsainisha tangu jumamosi lakini mzee mwenyewe hakuwepo hivyo UNK yeye akija mambo yatakuwa safi kilisema chanzo hicho bila kutaka jina lake litajwe kilisema na nsajigwa tayari wameshakubaliana naye kila kitu hivyo wachezaji hao kesho wanatarajia kuingia mikataba ya muda mrefu na timu hiyo kilisema dewji anatarajiwa kuwepo dar es salaam kesho na ndipo wachezaji hao watakapoingia mkataba nao kitu ambacho chanzo hicho kilidai ligi ya msimu ujao itakuwa ngumu na yenye UNK mkubwa timu hiyo imepanda daraja mwaka huu pamoja na timu za manyema rangers na majimaji ya songea kitu ambacho wadau wengi wanaipa nafasi lyon kubaki ligi kuu tofauti na timu nyingine UNK tatizo ni fedha za kumlipa uongozi wa yanga umesema kuajiri watendaji wa kuajiriwa akiwemo katibu si jambo kubwa ila tatizo ni ukata wa fedha kwa timu nyingi nchini akizungumza mwishoni mwa wiki katibu mkuu wa klabu hiyo lucas kisasa alisema kuajiri watendaji hiyo inaweza kuwa ngumu kutokana na tatizo la fedha kwa klabu nyingi kuajiri si ishu kikubwa kinachotakiwa ni kupata mtaalamu mwenye elimu ya kutosha ambaye atatakiwa kulipwa mshahara mkubwa sasa je klabu zetu hizi zina uwezo huo si kungganggania tu kuajiri na wakati uwezo hakuna alisema kisasa alisema yanga ni klabu ya kwanza kuajiri watendaji wake ambapo UNK kwa ofisa utawala mhasibu na wengine kutokana na katiba yao inavyoelekeza na ndiyo maana hawapendi kuzungumzia sana suala hilo kisasa alisema pia anashangaa kuona watu wote UNK simba na yanga tu katika katika suala la kuajiri wakati kuna klabu karibu kumi na sita ambazo zinatakiwa kufanya hivyo lakini vyombo vya habari UNK kwao kisasa alisema ni vigumu kuajiri watendaji kwa kutegemea mapato ya milangoni kwani klabu nyingi zinategemea mapato hayo hivyo si suala la kukurupuka tu alisema yanga haina tatizo kama ikitaka kuajiri kwa kuwa wana mfadhili mwelewa na kudai kuwa kwa klabu nyingine itakuwaje wakati hakuna mtu wa UNK chama cha riadha tanzania kimeamua kuhamishia mashindano ya taifa ya mchezo huo kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam baada kushindwa kulipia gharama zinazotakiwa na serikali kwenye uwanja wa taifa mashindano hayo yamepangwa kuanza kufanyika kuanzia juni ishirini na nane hadi juni thebathini mwaka huu ambayo yatashirikisha mikoa yote ya tanzania bara akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa chama hicho suleiman nyambui alisema baada ya kutafakari kwa kina gharama wanazotakiwa kulipia kwenye uwanja wa taifa na kuona hawana uwezo nazo wameona ni bora UNK kwenye uwanja wa uhuru alisema licha ya chama chake kushindwa kulipia gharama hizo lakini bado hawajakata tamaa wanaendelea kufanya mazungumzo na UNK mbalimbali ili waone kama UNK fedha za kulipia gharama hizo unajua ule uwanja ni wa kisasa sasa kama wanariadha wetu watapata fursa ya kushindana katika uwanja ule itawasaidia kupata uzoefu na hatimaye wanaweza kufanya vizuri katika mashindano yaliyopo mbele yao alisema nyambui wakati huo huo alipoulizwa mkurugenzi msaidizi wa maendeleo ya michezo tanzania juliana UNK alisema gharama UNK ni zile za kawaida ambazo hutumika kuendeshea uwanja huo alisema kikubwa kinachotakiwa kufanywa na chama hicho ni kuzungumza vizuri na wadau wao ili kuweza kuwasaidia kulipa gharama hizo na hatimaye kuutumia uwanja huo ni kuhusu UNK vodacom timu ya prisons imeshangazwa na uongozi wa simba kulalamikia mgao waliopata kutoka kwa wadhamini wa ligi kuu kampuni ya simu za mkononi ya vodacom na badala yake watoe ushauri nini kifanyike ili kuboresha na si kulaumu timu hiyo mwishoni mwa wiki ilikaririwa na gazeti hili ikidai kutishia kugomea zawadi zitakazotolewa wa vodacom msimu ujao endapo UNK wazi zawadi za washindi mapema simba walipata shilingi milioni kumi na nne kwa kushika nafasi ya pili akizungumza dar es salaam jana ofisa michezo wa jeshi la magereza elisha kitojo alisema anashangazwa na kauli zinazotolewa na simba kuhusu mgao waliopata wakati vikao vyote UNK alisema endapo timu hiyo ingekuwa UNK vikao UNK pamoja na wadhamini hao hapo wangekuwa na haki ya kutoa malalamiko yao akizungumzia ushiriki wao kwenye mashindano ya kombe la kagame mwaka huu kitojo alisema hadi sasa hawajapata taarifa ya maandishi kutoka shirikisho la mpira wa miguu tanzania kuwataarifu ushiriki wa katika kombe hilo alisema ukimya huo wa tff inawezekana kuna jambo linaloendelea kati yao na baraza la vyama vya mpira wa miguu kwa nchi za afrika mashariki na kati na ndio maana wanashindwa kuzitaarifu klabu mapema naye katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela akizungumzia suala hilo la prisons alisema hawajapata taarifa rasmi kutoka cecafa juu ya mashindano hayo na ndio maana wanakuwa wazito kuzitaarifu klabu naye asha kigundula anaripoti kuwa kamati ya usajili ya simba inatarajia kukutana leo kujadili majina ya wachezaji watakaoachwa na watakaosajiliwa kwa UNK mpya na kesho UNK hadharani mwenyekiti wa kamati hiyo kassim dewji alisema dar es salaam jana kuwa kamati hiyo itakaa leo ili kutoa maamuzi ya mwisho kwa wachezaji waliopendekezwa kocha patrick phiri wachezaji wa yanga raia wa kenya boniface ambani na maurice sunguti UNK uongozi wa klabu hiyo kuwapa mgao uliopatikana baada ya kutwaa ubingwa wa tanzania bara kutoka kwa wadhamini wa ligi kuu kampuni ya simu selula ya vodacom na si UNK yanga hivi karibuni ilikaririwa ikisema UNK mgao huo kwao wachezaji wake waliopewa na vodacom na pia kudai fedha hizo ni za viongozi wa klabu na si wachezaji kwa kuwa wao wanapata mishahara fedha za milangoni na posho UNK wakizungumza kwa nyakati tofauti kwa simu jana wakiwa kenya wachezaji hao walisema ni haki yao kupata fedha hizo kwa kuwa UNK jasho uwanjani walisema ni haki yao licha ya kupata mishahara na fedha za getini lakini fedha hizo za zawadi kutoka vodacom lazima UNK kwani kwa kushindwa kufanya hivyo watakuwa UNK haki akizungumza kabla ya ambani sunguti alisema UNK viongozi kuchukua fedha hizo lakini kitendo cha uongozi kutamka kwamba hawapati kabisa fedha si kizuri kwa nini UNK timu wakati wote kupanda wakati wa kuvuna UNK alihoji sunguti sunguti alisema kama wao UNK hiyo fedha iliyoipata UNK hivyo kauli ya viongozi hao UNK kwa mchango wao kuonekana UNK ndani ya yanga alisema baada ya UNK kauli hiyo kwa kina wamegundua kuwa huo ni unyanyasaji kwa kuwa mchango wao ndiyo ulioifanya yanga ifike hapo UNK naye ambani alisema si busara kama kweli viongozi hao UNK fedha walizopata kama zawadi kutoka vodacom kwani wana haki ya kupewa kwa kuwa wao ndio UNK hadi fedha hizo UNK nilisikia hivyo lakini UNK kudhulumiwa haki yetu kwani kazi kubwa tulifanya sisi hivyo tutahakikisha huo mgao tunagawana nao ikiwezekana wao wapate asilimia fulani na UNK tutachukua sisi alisema ambani aliongeza huu si muda wa kuanza kugombania fedha kitu cha msingi wahakikishe kila mwenye haki anapata haki yake na pia wahakikishe wanajipanga vizuri katika msimu ujao wa ligi kuu UNK elfu arobaini makabwela tatu sifuri sifuri sifuri shirikisho la mpira wa miguu tanzania limetangaza viingilio vya mchezo wa kimataifa wa kirafiki wa timu ya taifa ya tanzania taifa stars na mabingwa wa bara la UNK new zealand uliopangwa kufanyika juni tatu katika uwanja wa taifa dar es salaam viingilio katika mchezo huo vitakuwa vya aina saba ambapo kiingilio cha juu katika mchezo huo ni shilingi arobaini sifuri sifuri sifuri wakati kiingilio cha chini kitakuwa shilingi tatu sifuri sifuri sifuri akitangaza viingilio hivyo jana katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema viingilio hivyo UNK kuwawezesha wapenzi wa mchezo huo kupata fursa ya kuona mchezo huo kulingana na uwezo wao alisema mashabiki watakaokaa viti vya vip a UNK shilingi arobaini sifuri sifuri sifuri vip b watalipa shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri wakati wale wa vip c watalipa shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri mwakalebela alisema wapenzi watakaokaa katika viti vya rangi ya chungwa UNK na jukwaa kuu watalipa shilingi kumi na tano sifuri sifuri sifuri wakati viti vya rangi ya chungwa nyuma ya magoli watalipa shilingi kumi sifuri sifuri sifuri na viti vya rangi ya bluu watalipa shilingi tano sifuri sifuri sifuri na mzunguko wa viti vya kijani watalipa shilingi tatu sifuri sifuri sifuri alisema maandalizi ya mchezo huo tayari yamekamilika na kikosi kamili cha mabingwa hao kinatarajia kuwasili nchini juni mosi mwaka huu kikiwa na wachezaji ishirini na tatu na viongozi kumi na moja katibu huyo alisema mchezo huo unatarajiwa kufanyika saa moja usiku ili kutoa nafasi kwa wapenzi wa mchezo huo kushuhudia kutokana na siku ya mchezo kuwa siku ya kazi mwakalebela alisema kikosi cha timu ya taifa chini ya kocha marcio maximo kinatarajia kuingia kambini leo kwa ajili ya kujiandaa na mchezo huo ambao unatarajia kuwa kipimo tosha kwa kikosi hicho kutokana na ubora wa wapinzani wao alisema tff ikishirikiana na kamati mbalimbali za uwanja huo imefanya maandalizi ya kina ya mchezo huo ikiwa pamoja ni kuandaa burudani kabla ya mchezo huo ili kuhamasisha wapenzi kujitokeza kwa wingi kamati ya usajili ya klabu ya simba imesema imeamua kuwaacha katika usajili wachezaji wake nyota henry joseph na emeh UNK ili wapate nafasi ya kwenda kucheza soka la kulipwa nchini norway kwenye timu ya molde fc baada ya kufuzu majaribio yao alisema wachezaji hao wanatarajiwa kuondoka wiki ijayo kwenda norway kucheza katika timu hiyo ambayo inacheza ligi daraja la kwanza nchini humo akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa kamati ya usajili ya timu hiyo kassim dewji alisema tayari kamati hiyo imeshafanya tathmini ya usajili kwa wachezaji watakaosajiliwa msimu ujao alisema kamati hiyo imepanga kusajili wachezaji wapya saba ambao watajaza nafasi za wachezaji UNK katika timu hiyo kwa kuwa kuna wengine wana mpango wa kwenda kucheza mpira wa kulipwa nje ya nchi dewji alisema kamati hiyo ilikutana juzi usiku kupanga mikakati mbali mbali kwa ajili ya usajili huo ambapo imepanga kutumia zaidi ya shilingi milioni ishirini sifuri kwa ajili ya kukamilisha kazi ya usajili wa wachezaji wote watakaoingia mikataba ya kuichezea simba alisema tayari kamati hiyo imefungua akaunti maalumu kwa ajili ya kuweka fedha hizo na kwa kuanzia wameingiza shilingi milioni kumi na tano walizopewa na mdhamini wao kampuni ya bia tanzania baada ya kutwaa nafasi ya pili dewji alisema baada ya kumaliza mchakato wa usajili wachezaji UNK simba UNK na pia watakaoachwa majina yao yatawekwa bayana wakazi wa mkoa wa tabora wamekwenda mahakamani kusimamisha michuano ya kombe la taifa kili taifa cup ishirini sifuri tisa baada ya kupokwa ushindi na kutolewa katika robo fainali ya michuano hiyo tabora ambayo ilikuwa vinara wa kundi c na kuingia katika robo fainali lakini UNK nafasi hiyo baada ya morogoro kumkatia rufani haruna moshi ambaye alikuwa na kadi nyekundu kwa hatua hiyo UNK sasa ndiyo inatakiwa kuingia katika hatua hiyo ambayo inaanza keshokutwa jijini dar es salaam timu hiyo ya mashujaa wa UNK UNK ushindi huo na kamati ya mashindano ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania iliyokutana juzi na kuamua kutengua matokeo ya tabora akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu mkoa wa tabora ismail rage alisema wakazi wa mkoa huo walipanga kwenda mahakami kusimamisha michuano hiyo hadi mahakama UNK barua iliyoandikwa na katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela ya kuruhusu moshi acheze katika mechi UNK rufani alisema wakazi hao wanataka mahakama UNK tafsiri ya kisheria kama kuna UNK kwa kamati ya mashindano kutoitambua barua hiyo akizungumzia maamuzi ya rufani hiyo rage alisema kitendo cha kamati ya mashindano kuipoka ushindi ni kumdhalilisha katibu mkuu wa tff ambaye tayari alitoa uamuzi wa kumtumia mchezaji huyo katika mchezo huo alisema kitendo cha kudai kuwa maamuzi ya kamati hiyo kuwa ndiyo ya mwisho ni kwenda kinyume na katiba ya tff pamoja na katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania maamuzi ya kamati hiyo ni batili kwani hayakuzingatia kanuni za mashindano za tff ambazo zinasema kuwa mchezaji akipewa kadi nyekundu anatakiwa kukosa UNK mmoja wakati nyingine inasema ni kufungiwa miezi mitatu hadi kumi na mbili lakini badala yake UNK michezo mitatu alisema rage rage alitamka hadharani kuwa majungu yote yaliyosababisha kupoteza sifa ya kucheza robo fainali zilifanywa na kiongozi mmoja wa tff ambaye alikwenda katika kituo hicho tangu mwanzo wa michuano hiyo hadi mwisho bila kujua alikuwa na kazi gani akitoa taarifa ya kupokwa ushindi kwa mkoa wa tabora ofisa habari wa tff florian kaijage alisema kamati UNK ushindi timu hiyo kutokana na kikao cha kabla ya mchezo kutoa msimamo wa tabora UNK mchezaji huyo na kutoitambua barua ya mwakalebela kutokana na UNK haja na kutofika kwa mkuu wa kituo muda muafaka kiungo wa timu ya taifa taifa stars na simba henry joseph amekwama kwenda nchini norway kucheza mpira wa kulipwa kwenye timu ya molde fc hadi atakapomaliza kuichezea stars katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya new zealand juni tatu mwaka huu wakati henry UNK mchezo huo mshambuliaji wa timu hiyo raia wa nijeria emeh izechukwu yeye anatarajiwa kuondoka wakati wowote kuanzia sasa kwenda nchini norway kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa akizungumza dar es salaam jana wakala wa wachezaji hao ambaye anatambulika na shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu medy remtula alisema izechukwu wakati wowote ataondoka baada ya viza kupatikana alisema mchezaji huyo atakwenda kufanya majaribio katika timu za kongsvinger inayoshiriki ligi daraja la kwanza nchini humo pamoja na timu za UNK na molde fc ambayo alishafanya nayo majaribio kama UNK katika timu hizo mbili ambazo atafanya nazo majaribio kwa mara ya kwanza basi nimeshakubaliana na molde kuhusu kumlea izechukwu hadi atakapofikisha miaka kumi na nane ndipo UNK kwani ni umri tu ndio UNK hapo awali alisema UNK kwa upande wake henry alisema pia atakwenda kufanya majaribio katika klabu hizo lakini UNK pamoja kutokana na henry kuwa na majukumu ya kuichezea stars alisema wachezaji hao watafanya majaribio kwa wiki moja katika kila klabu na baadaye watakwenda kufanya majaribio mengine nchini swiden katika klabu za vasalon djurgarden na hammarby zote zinashiriki ligi kuu nchini humo isipokuwa vasalon ndio ipo daraja la kwanza mbali na hayo remtula alisema akiwa nchini norway alikutana na klabu sita nyingine tofauti UNK alifanya nazo mazungumzo na UNK kuja nchini desemba mwaka huu kuangalia vipaji na kisha kuondoka na wachezaji sita wa timu ya african lyon na erasto stanslaus mchezaji wa gofu adam abbas ametangazwa kuwa mwanamichezo bora wa mwezi aprili wa tuzo za chama cha waandishi wa habari za michezo tanzania adam alitwaa tuzo hiyo baada ya kufanya UNK katika mashindano ya gofu ya african junior championship yaliyofanyika mwezi aprili nchini morocco na kufanikiwa kuingia kuwa mmoja kati ya wachezaji kumi na tano bora wa afrika mwenyekiti wa taswa michael wambura alisema adam mwenye umri wa chini ya miaka kumi na saba alishinda tuzo hizo baada ya kupata kura mia moja na kumi na tatu na kuwashinda shabani ibrahimu aliyepata kura mia moja na kumi na mbili na karama nyalawila aliyepata kura mia moja na kumi na moja alisema adam alifanikiwa kushinda tuzo hizo kutokana na kufanya vizuri katika mashindano hayo ambapo pia aliiwezesha timu ya taifa ya vijana ya mchezo huo kushika nafasi ya tisa ambayo haikuwahi kushika katika miaka ya nyuma wanamichezo UNK kura katika kinyangganyiro hicho UNK na waandishi wa habari za michezo na kutolewa mapendekezo kutoka kwa waandishi hao wanamichezo wengine UNK tuzo hizo UNK iliyopita na miezi yao katika mabano ni mbwana samatta mwanaidi shabani na juma kaseja na zahoro mlanzi mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya tanzania taifa stars na simba athumani machupa amezidi UNK na neema baada ya kusaini mkataba wa kuichezea timu ya vasalond ya UNK akizungumza na gazeti hili jana wakala wa wachezaji anayetambulika na shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu mehdy remtullah alisema wakati akiwa nchini humo alipata nafasi ya kuzungumza na machupa ambapo UNK maendeleo anayoyapata nchini humo alisema licha ya kutokuwa wakala wa machupa lakini mchezaji huyo UNK afikishe ujumbe kwa watanzania kwamba mambo yake yanazidi UNK ambapo kwa sasa amesaini mkataba wa kuichezea UNK nilikutana na machupa nilipokuwa swiden lakini sikupata muda mwingi wa kuzungumza naye ila kikubwa aliniambia amesaini mkataba na vasalond klabu ya daraja la kwanza nchini humo ila hakusema ni mkataba wa muda gani kwakuwa alikuwa na haraka zake amesema remtullah amesema klabu hiyo pia ndiyo UNK kufanya majaribio wachezaji wa simba henry joseph pamoja na UNK emeh izechukwu ambapo izechukwu wakati wowote kuanzia sasa ataondoka nchini amesema kwa jinsi wachezaji wa tanzania walivyo na uchu wa kucheza soka la kulipwa baada ya miaka miwili ijayo tanzania itakuwa na wachezaji wengi wanaocheza soka la kulipwa mbali na hayo remtullah alisema yupo katika mipango ya kumtafutia timu ya kufanya majaribio katika nchi za swiden norway na mauritius kiungo wa timu ya moro united amri UNK na erasto stanslaus michuano ya emima kwa vijana chini ya miaka kumi na tatu na kumi na sita kwa mwaka huu inatarajia kuanza kutimua vumbi juni ishirini na tatu hadi juni ishirini na sita mjini moshi akizungumza dar es salaam jana mratibu wa mashindano hayo nicholaus mihayo alisema kuwa mashindano ya mwaka huu yatashirikisha timu arobaini na tisa kutoka katika nchi za uganda kenya na tanzania ambayo ni wenyeji wa mashindano hayo amesema rwanda itashiriki mashindano hayo mwaka huu wakiwa ni UNK mihayo alisema tanzania itatoa timu ishirini na tano za wanawake na wanaume ambapo ndani ya timu hizo emima itatoa timu tisa ikiwa za wavulana tano na nne za wasichana alisema michuano hiyo itafanyika katika viwanja vya moshi UNK shule ya sekondari mawenzi memorial na viwanja vya magereza alisema mbali ya michezo hiyo UNK wa michuano hiyo UNK semina kwa vijana wanaoshiriki michuano hiyo kwa lengo la kutoa elimu kwa UNK alisema semina UNK katika michuano hiyo ni za michezo huduma ya kwanza mtandao na semina ya elimu ya ukimwi na mwali ibrahim bendi ya muziki wa dansi ya mlimani park UNK inatarajia kuzindua jina jipya la bendi hiyo mei thebathini mwaka huu baada ya wamiliki wao kujiondoa kuiendesha bendi hiyo uzinduzi huo utakwenda sambamba na utambulisho wa albamu yao mpya ya supu imetiwa nazi utakaofanyika jijini dar es salaam akizungumza dar es salaam jana mratibu wa bendi hiyo juma mbizo alisema albamu yao imebeba nyimbo sita ambazo ni njiwa heshima king fish mamba na supu imetiwa nazi ambazo UNK kwa ushirikiano wa wanamuziki wote wa bendi hiyo alisema bendi hiyo ipo katika hatua za mwisho za maandalizi ya kuwasomea UNK UNK wanamuziki waasisi wa jina hilo la mlimani park itakayofanyika mei ishirini na tisa mwaka huu jijini na mwali ibrahim kundi la sanaa za maonesho la limpopo UNK UNK na mwigizaji wa sauti za viongoni UNK nyerere UNK pambano la ngumu za kulipwa kati ya bondia francis cheka wa tanzania na UNK nadirou wa urusi litakalofanyika mei thebathini mwaka huu mkoani tanga mabondia hao watakuwa wakiwania UNK wa ubo unaoshikiliwa na cheka UNK katika uwanja wa mkwakwani uliopo tanga kundi la limpopo UNK sarakasi na ngoma za asili UNK burudani mashabiki watakaohudhuria pambano hilo la dunia akizungumza dar es salaam jana mkurugenzi wa kampuni ya UNK promotion ambao ni wadhamini wa pambano hilo UNK makame alisema nadirou atawasili nchini mei ishirini na saba na ndege ya shirika la ndege ya qatar alisema mabondia hao UNK uzito mei ishirini na tisa kabla ya kupanda ulingoni kuusaka mkanda huo unaoshikiliwa na cheka makame alisema pambano hilo UNK na mapambano mengine UNK rajabu UNK wa tanga fred sayuni wa dar es salaam UNK rajabu wa tanga na ramadhani UNK na rashid matumla atazipiga na maneno UNK na asha kigundula licha ya michuano ya kuwania kombe la taifa kili taifa cup kusimamishwa shirikisho la mpira wa miguu tanzania limetoa ratiba ya michuano hiyo UNK kuanza leo katika uwanja wa uhuru jijini dar es salaam akizungumza jana ofisa wa mashindano wa tff idd mshangama alisema kamati ya mashindano imeamua kutoa ratiba ambayo haitaingilia kikao cha kamati ya utendaji kilichokutana jana ratiba hiyo iliendeshwa kwa mtindo wa droo ambapo timu ya mkoa wa temeke UNK dimba na mkoa wa kilimanjaro katika mechi za robo fainali kuanzia saa nane sifuri sifuri mchana wakati saa kumi jioni ruvuma wataumana na mwanza mshangama alizitaka mechi zitakazochezwa kesho ni kati ya mkoa wa ilala na arusha wakati timu x itakuwa UNK na tanga timu x ni mshindi wa kituo cha dodoma ambako kumetokea matatizo yaliyosababisha mkoa wa tabora kwenda mahakamani kuzuia mashindano na erasto stanslaus mfadhiri mkuu wa klabu ya yanga yusuph manji ndiye atakayeamua hatma ya beki wa timu hiyo nurdin bakari kubaki katika kikosi hicho katika msimu ujao wa ligi kuu tanzania bara bakari aliyejiunga na timu hiyo msimu uliopita akitokea simba na kufanikiwa kuwa mmoja kati ya wachezaji wa kutegemewa katika kikosi hicho kiasi cha UNK na kocha wa timu hiyo dusan kondic beki huyo ambaye msimu uliopita amekuwa kiraka katika timu hiyo na UNK kichwa cha kondic baada ya kunga nggania kuondoka katika kikosi hicho na kujiunga na azam kutokana na maslahi akizungumza dar es salaam jana kondic alisema atafanya kila njia ya kumbakiza mchezaji huyo katika kikosi chake msimu ujao kutokana na umuhimu wake katika kikosi hicho kondic alisema jana alikuwa na mpango wa kukutana na mfadhiri wao manji kwa lengo la kujadili usajili wa msimu ujao ikiwemo suala la UNK alisema nurdin ameshawishika kuondoka yanga kutokana na maslahi UNK na azam hivyo wamepanga kuzungumza na manji kuona ni jinsi gani watahakikisha UNK yanga sipo tayari kumkosa nurdin katika kikosi changu cha msimu ujao nitatafuta njia ya kumbakiza ambayo itakuwa na maslahi UNK kubaki alisema kondic alisema mbali na suala la nurdin pia UNK usajili wa msimu ujao ambao wanatarajia kufanya usajili bora kuliko wa msimu uliopita ili kuiwezesha yanga kufanya vizuri katika michuano ya klabu bingwa afrika mwakani wakati kondic UNK dawa ya kumbakiza beki huyo kundini lakini mwenyewe amesisitiza kuwa mpango wake wa kuondoka utabaki pale pale kutokana na maslahi UNK azam azam UNK kitita cha shilingi milioni ishirini na mshahara mnono zaidi ya mara tatu UNK yanga bakari ana mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia yanga ambao utamalizika mwaka ishirini moja moja lakini azam wapo tayari kuzungumza na yanga ili kuuvunja mkataba huo na asha kigundula kamati ya utendaji ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK timu ya mkoa wa tabora katika michuano ya kombe la taifa kili taifa cup baada ya kuridhika na maelezo yake habari kutoka ndani ya kikao hicho zinasema kuwa kamati hiyo iliyokutana jana imeirudisha tabora katika hatua ya robo fainali baada ya kuridhika na maelezo yao kamati hiyo imepitia kwa kina maelezo ya tabora ambayo ilipata barua kutoka tff ikiitaka kutumia mchezaji haruna moshi katika mechi yao dhidi singida haruna alioneshwa kadi nyekundu katika mechi mojawapo ya michuano hiyo waliyoibuka na ushindi wa mabao mbili moja na kuongoza kundi hilo lakini morogoro UNK UNK kupinga kuchezeshwa kwa mchezaji huyo na kupewa nafasi ya kwanza kamati hiyo ilikutana jana baada ya timu mkoa wa tabora kupinga kuenguliwa kwao mahakamani michuano hiyo ilitarajia kuanza kutimua vumbi leo lakini lakini itashindikana kutokana na suala hilo kuwa mahakamani mpaka hapo litakapotolewa uamuzi watakaobainika kufungiwa kujihusisha soka na mwandishi wetu shirikisho la mpira wa miguu tanzania limesema litawachukulia hatua za kisheria watu watakaobainika kwenda mahakamani kusimamisha mashindano ya kili taifa cup ambayo jana yalipangwa kuanza kwa hatua ya robo fainali wiki iliyopita wakazi wa tabora walikwenda mahakamani kusimamisha mashindano hayo baada ya kupokwa ushindi na kuikosa nafasi ya kushiriki hatua hiyo ya robo fainali wakidai kuwa kamati ya mashindano ya tff UNK mbali na hatua hiyo tff pia itafanya uchunguzi wa kina kuona kama kuna mwanachama au viongozi wa vyama vya michezo na klabu kuhusika na suala hilo na kisha kuwachukulia hatua kali kwa mujibu wa katiba ya tff ili iwe fundisho kwa wengine akizungumza dar es salaam jana makamu wa kwanza wa rais wa tff athuman nyamlani alisema wanalaani kwa nguvu zote vitendo vilivyofanywa na waliojitambulisha wana tabora kuwasilisha maombi mahakamani kusimamisha hadi UNK haki yao kutokana na katiba kanuni na taratibu za soka nchini na kimataifa kwa ujumla zinazuia masuala ya soka kupelekwa mahakamani hivyo kwanza tunalaani kitendo hicho na pia tutachukua hatua kali kwa UNK kuwa walifanya hivyo alisema nyamlani alisema tff ilipokea barua kutoka serikali ya mkoa wa tabora kupitia kwa katibu tawala wa mkoa huo ikipinga kwa nguvu zote kuhusishwa na suala la kutafuta haki kupitia mahakamani na kwamba mkoa huo UNK katiba kanuni na taratibu zilizowekwa na tff nyamlani alisema mbali na serikali pia chama cha mpira wa miguu mkoa huo iliwasilisha barua mbili moja iliandikwa na mwenyekiti wake aden rage na katibu wake zote zikieleza kutohusika na suala la kupeleka mahakamani kwa kuwa wanaheshimu katiba ya tff nyamlani alisema kutokana na hali hiyo tff kupitia wanasheria wake imeanza kufanya uchunguzi juu ya suala la kupelekwa mahakamani na iwapo itabainika kuna mwanachama au viongozi walihusika katika hilo watawachukulia hatua kali au kufutwa kabisa kujihusisha na mchezo huo kwa mujibu wa kanuni na katiba ya tff picha watoto wakicheza kwenye tufe katika ukumbi wa shule ya sekondari ya tambaza wakati wa maonesho ya keki dar es salaam juzi na elizabeth mayemba uongozi wa klabu ya simba jijini dar es salaam UNK pingamizi mwamuzi john kanyeye ambaye amepangwa kuchezesha pambano lao na yanga utakao aprili ishirini na tatu mwaka huu simba tayari imeandika barua shirikisho la mpira wa miguu tanzania kubadilishiwa kanyeye ambaye atakuwa msaidizi katika mechi hiyo ya wapinzani wa jadi akizungumza dar es salaam jana mhazini msaidizi wa klabu hiyo almas chano alidai kuwa wamefikia uamuzi huo baada ya kuangalia rekodi za nyuma ya mwamuzi huyo ambaye amekuwa UNK simba kila UNK kanyeye ana unazi sana na mara nyingi amekuwa UNK haki timu yetu hivyo tumeandika barua tff ili kuomba kubadilishiwa kwa mwamuzi huyo alisema chano alisema kuwa uongozi wa simba umeona ni vyema kuandika barua hiyo mapema ili tff ipate muda wa UNK mwamuzi huyo kwa kuwa imeonekana hawafai na anaweza kuvuruga mechi hiyo na kusababisha vurugu kwa mashabiki wao wenye hasira chano alisema simba kwa sasa inatafuta nafasi ya pili hivyo hawapendi kuona UNK haki katika michezo yao iliyosalia wakati huo huo simba inatarajia kuondoka kesho kwenda kagera kucheza mechi ya ligi kuu tanzania bara dhidi ya kagera sugar itakayochezwa kwenye uwanja wa kaitaba timu ya mkoa wa kimashindano ya temeke imetinga nusu fainali kwa kishindo baada ya kuifunga kilimanjaro mabao saba mbili katika mchezo wa robo fainali wa kili taifa cup uliopigwa uwanja wa uhuru dar es salaam mchezo huo ulianza kwa kasi huku temeke ikionekana kusaka ushindi iliwachukua dakika nne kufunga bao la kwanza lililofungwa na shamte ally baada ya kukimbia na mpira ndani ya eneo la hatari na kupiga shuti lililojaa moja kwa moja wavuni dakika nne baadaye temeke walifunga bao la pili lililofungwa na michael UNK kwa shuti la mbali na said seif wa temeke akafunga tena bao la tatu dakika ya kumi na tano akimalizia krosi ya shamte baada ya kufungwa mabao hayo kilimanjaro ilijipanga vizuri na kupata bao dakika ya thebathini lililofungwa na mussa salehe kwa shuti akimalizia krosi ya lameck yesse lakini dakika ya kumi na nne baadaye shamte alifunga bao la nne baada ya kumzidi kipa yusuph UNK kipindi cha pili kilianza kwa kasi huku kilimanjaro ikionesha kandanda safi lakini washambuliaji wao walishikwa na kigugumizi kila UNK lango la temeke na kujikuta wakifungwa bao la tano dakika ya sabini na mbili lililofungwa na yahaya tumbo akimalizia mpira uliogonga mwamba kutokana na shuti la shamte dakika nne baadaye kilimanjaro walifunga bao la pili lililofungwa na yesse kwa shuti lililomshinda kudaka kipa deogratius munishi na mpira kujaa wavuni na zikiwa zimebaki dakika tisa kabla ya mchezo kumalizika temeke walifunga mabao mawili la sita na saba yaliyofungwa na stephano UNK na shamte UNK kassim wa kilimanjaro aliibuka kuwa mchezaji bora wa mechi katika mchezo wa mwingine timu ya mwanza nayo ilitinga nusu fainali ya michuano hiyo baada ya kuifunga ruvuma mabao mbili sifuri mabao ya mwanza yalifungwa na castory mumbala dakika ya hamsini na moja na la pili lilifungwa na UNK yassin dakika ya hamsini na sita UNK michuano ya kili cup kamati ya nidhamu na usuluhishi ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania imeirudisha timu ya mkoa wa tabora katika michuano ya kombe la taifa kili taifa cup baada ya kushinda rufani ya kupinga kupokwa pointi na kamati ya mashindano ya tff tabora ilikata rufani kwa kamati hiyo baada ya kupokwa pointi tatu katika mchezo dhidi ya singida kutokana na kumchezesha haruna moshi aliyekuwa na kadi nyekundu kutokana na maamuzi hayo ya kamati ya nidhamu leo tabora itashuka uwanjani kuvaana na timu ya mkoa wa tanga katika mchezo wa nne wa robo fainali ya michuano hiyo itakayofanyika katika uwanja wa uhuru dar es salaam akitangaza maamuzi hayo kaimu mwenyekiti wa kamati hiyo UNK nchunga alisema UNK tabora pointi zake ikiwa ni pamoja na kurudi katika ratiba ya michuano ya robo fainali baada ya kusikiliza maelezo ya pande zote mbili alisema baada ya kusikiliza maeleo hayo kamati imeridhika kuwa moshi alitenda kosa lakini taratibu za adhabu hazikufuatwa na vikao vya tathimini ya mchezo UNK na mkurugenzi wa ufundi sunday kayuni havikuwa na haki ya kutoa maamuzi nchunga alisema pia katika suala hilo hakukuwa na taarifa ya maandishi waliyopewa tabora kuzuiwa kumtumia mchezaji huyo badala yake tabora ndio walipewa kibali na katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela kumtumia moshi alisema adhabu iliyotolewa na kamati ya mashindano ya moshi kukosa michezo mitatu na kulipa faini ya shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri itaanza kutumika sasa ambapo UNK faini pamoja na kutocheza michezo miwili baada ya kukosa mchezo mmoja dhidi ya morogoro kwa upande wake mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu mkoa wa tabora aden rage ameishukuru kamati ya utendaji ya tff kutoa ruksa ya rufani yake kusikilizwa na kamati ya nidhamu na kukiri kupokea barua ya adhabu ya moshi serikali UNK chini kampuni sita UNK tenda ya kuendesha uwanja wa taifa kutokana na kutokuwa na sifa zinazotakiwa katika UNK kutokana na hatua hiyo serikali imeamua kutoa tena tenda kwa mara ya tatu mfululizo ili iweze kupata kampuni itakayokuwa na sifa na kiwango UNK akizungumza dar es salaam jana ofisa habari wa wizara ya habari utamaduni na michezo jacob tesha alisema baada ya kutangazwa tenda hiyo mara ya kwanza ni kampuni nne kutoka ndani na nje nchi zilijitokeza lakini hazikufikia kiwango UNK alisema kutokana na hali hiyo UNK tena tenda kwa mara ya pili ambapo kampuni mbili za ndani na nje ya nchi zilijitokeza lakini pia zilishindwa kufikia viwango kamati husika inajitahidi kufanya kazi yake lakini tatizo lipo kwa kampuni ambazo UNK hadi sasa ni kampuni sita tu ndizo zilizojitokeza katika tenda mbili UNK lakini zote hazikufikia kiwango tunachotaka alisema tesha ofisa huyo alisema serikali imeamua kutoa tena tenda kwa mara ya tatu ili wapate kampuni itakayokuwa na ubora unaotakiwa kwani mradi wa UNK uwanja huo ni mkubwa hivyo ni wajibu wao kuwa makini kuhakikisha wanaipa tenda kampuni itakayokuwa na yenye sifa alisema anashindwa kuziweka wazi kampuni zilizoshindwa tenda hiyo kutokana na sheria ya manunuzi kutoruhusu kutajwa kampuni zilizopo kwenye mchakato hadi utakapokamilika katika hatua nyingine alipoulizwa mkurugenzi wa maendeleo ya michezo nchini leonard UNK kuhusiana na suala hilo alikiri mchakato huo upo ila hakuwa na maelezo ya kina kuelezea ulipofikia na hata kuzitaja kampuni hizo mashaka wa mwanza UNK mchezaji bora timu ya mkoa wa temeke jana ilitinga fainali ya mashindano ya kombe la kili taifa cup baada ya kuifunga timu ya mwanza bao moja sifuri katika mechi ya nusu fainali ya kwanza iliyopigwa kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam mchezo huo ambao ulikuwa na upinzani mkali ulianza kwa kila timu kutaka kutoka na ushindi ambapo dakika ya ishirini na tatu mashaka athuman aliikosesha mwanza bao la wazi baada ya kupaisha mpira juu akiwa ana kwa ana na kipa wa temeke deo mushi dida temeke nayo ilijibu shambulizi hilo kwa nguvu dakika ya ishirini na tatu baada ya yahya tumbo kuachia kombora kali lililookolewa katikati ya mstari wa goli na mabeki wa mwanza bao pekee la temeke UNK fainali ya michuano hiyo kwa mara ya kwanza lilifungwa na yahya tumbo katika dakika ya hamsini na nne kwa shuti kali baada ya kutumia vizuri makosa ya beki wa mwanza UNK leonard UNK mpira kiduchu wa kichwa kwa kipa wake ambao mfungaji UNK mwanza UNK nafasi iliyoipata katika dakika ya themanini na tatu baada ya kufanya shambulizi la nguvu kwenye lango la temeke lakini mohamed said alishindwa kusawazisha baada ya kupaisha mpira juu wakati kipa dida akiwa ameanguka chini na goli likiwa wazi kwa matokeo hayo temeke sasa inasubiri kucheza fainali na mshindi kati ya mabingwa watetezi wa kombe hilo UNK leo na tanga katika nusu fainali ya pili itakayochezwa uwanja wa uhuru dar es salaam mchezaji bora wa mechi hiyo alikuwa mashaka athuman wa mwanza ambaye aliondoka na shilingi arobaini sifuri sifuri sifuri sifuri fainali hiyo inatarajiwa kupigwa keshokutwa kwenye uwanja huohuo ambapo mshindi wa kwanza atajinyakulia shilingi milioni thebathini kutoka kwa wadhamini wa michuano hiyo kampuni ya bia tanzania kupitia bia ya kilimanjaro pia UNK zawadi nyingine kwa washindi wa pili shilingi milioni kumi na tano wa tatu shilingi milioni saba na wanne shilingi milioni nne zawadi nyingine zitakwenda kwa mchezaji bora shilingi milioni moja tano kocha bora na mwamuzi bora kila mmoja shilingi milioni mbili mfungaji bora shilingi milioni mbili barcelona jana UNK ubingwa wa soka wa ulaya manchester united na kujivika taji hilo kwa kuifunga magoli mbili sifuri katika mechi ya fainali iliyofanyika katika uwanja wa olimpiki mjini rome italia kwa kufungwa katika mechi hiyo united imeshinda UNK ndoto yake ya kutwaa makombe matatu katika msimu huu baada ya kutwaa kombe ligi kuu mechi hiyo ilianza kwa kasi ambapo united ilikuwa ya kwanza kulifikia langu la barcelona dakika ya kwanza baada ya wayne rooney na anderson UNK kusababisha faulo UNK ilipigwa na cristiano ronaldo lakini kipa wa barca victor UNK alipangua mpira na ji sung park alishindwa UNK dakika ya sita united ilifanya UNK UNK wakati wayne rooney UNK ryan giggs lakini wakashindwa kutumia UNK kufunga barcelona inayonolewa na kocha pep ilifanya shambulio la kwanza dakika ya kumi na kupata goli lililofungwa na mchezaji kutoka cameroon samuel eto o ambaye alitumia vyama pasi ya andres iniesta kabla ya kufunga goli hilo UNK mlinzi nemanja vidic na kupiga shuti ambalo kipa edwin van der sar alishindwa kuokoa bao hili liliwafanya mashabiki wa barcelona kulipuka kwa furaha united ilijipanga kutaka kusawazisha goli hilo na dakika ya kumi na nane winga ryan giggs UNK mpira na kummegea cristiano ronaldo ambaye alitaka kupita gerard pique ambaye UNK barca na kupewa kadi ya njano na refa kabla ya kupigwa faulo ronaldo alipiga faulo hiyo umbali wa yadi ishirini na tano lakini mpira ulitoka nje barca ili kisha ilitawala sehemu ya kiungo huku messi thierry UNK wakiwasumbua mabeki wa united na kumkanya kipa der sar kuwa na kazi ya ziada kuokoa hatari nahodha wa carles puyol alionekana kuwa mahiri kuzuia mashambulizi ya united kutoka rooney ronaldo na giggs hadi mapumziko barcelona ilikuwa mbele kwa ushindi bao moja sifuri kipindi cha pili united UNK kiungo anderson na kumwingiza carlos tevez dakika ya hamsini na moja barcelona ilikosa goli baada ya thierry kugongewa mpira na xavi UNK rio UNK ka kupiga shuti ambalo UNK na kipa wa united edwin van der sar pia dakika ya hamsini na mbili de sar alifanya kazi ya ziada kuokoa shuti la samuel eto o jahazi la manchester united united UNK kwenda mrama katika dakika ya sabini ambapo lionel mechi alifunga kwa kichwa goli la pili UNK mpira kutoka kwa UNK goli hilo ni la tisa kwa mchezaji huyo katika UNK ya kwamba huu na kuwa mfungaji bora wa michuano hiyo barcelona ilifanya mabadiliko kwa kumtoa thierry na kumwingiza saydou UNK dakika sabini na moja tevez ronaldo na nahodha ryan giggs UNK lakini walionekana kushindwa kupita ngome ya UNK ronaldo alioneshwa kadi ya njano na refa kutoka uswisi massimo UNK kipindi cha pili kwa kumchezea rafu pamoja na kujitahidi kutaka kusawazisha magoli hayo united UNK dafu na kujikuta ikilala kwa mabao mbili sifuri hadi mwisho mchezo kuisha kwa mpira ilikuwa ni kipindi cha furaha kwa wachezaji wa UNK na mashabiki wao huku wale wa united wakiwa na huzuni lakini walionekana UNK wapinzani wao kwa kuwapa mikono barcelona ambao ni mabingwa wa la liga hispania na kombe la mfalme walikuwa UNK ushindi ili kuwe historia ya kutwaa kumbe hilo mara tatu ili kuifikia united na kupunguza tofauti kubwa UNK na mahasimu wao wa hispania real madrid ambao wametwaa kombe hilo mara tisa kocha wa guardiola ameweka UNK ya mafanikio baada ya kuchukuliwa kutoka timu ya vijana ya barcelona na kutwaa makombe matatu katika msimu mmoja baada ya kuchukua mikoba ya kocha wa kiholanzi frank rijkaard na mwandishi maalum kundi la wacheza sinema maarufu wa marekani UNK mapendekezo yake kwa serikali ya tanzania kufungua shughuli zao za kutengeneza filamu nchini kundi hilo chini ya kampuni ya the bridge UNK maombi hayo wakati mchezaji na mtengenezaji sinema maarufu bill zane alipokutana na kufanya mazungumzo na rais jakaya kikwete alipokuwa marekani hivi karibuni bill zane ni kiongozi mshirika wa the bridge rais kikwete alikutana na mcheza sinema huyo mjini los angeles wakati rais kikwete alipokwenda mjini UNK tuzo maalum kutoka kundi la us UNK for africa tuzo hilo linatambua mchango wa rais kikwete na serikali yake katika kuendeleza shughuli za afya nchini na barani afrika rais alirejea nchini mwanzoni mwa wiki jiji la los angeles ndilo maarufu zaidi kwa uchezaji na utengenezaji filamu nchini marekani na duniani kwa ujumla katika eneo maarufu la UNK akiwasilisha ombi lake kwa rais kikwete zane alisema tanzania ina mazingira ya kuvutia ya kuchezea na kutengenezea filamu ikiwa ni pamoja na visiwa vya zanzibar na pemba fukwe za bahari misitu mikubwa theluji juu ya mlima kilimanjaro UNK za wanyama na maziwa makubwa ya victoria tanganyika na UNK miongoni mwa sinema ambazo zane ameshiriki kama mtengenezaji na mchezaji ni pamoja na back to the future UNK dead UNK UNK na the UNK chini ya mapendekezo hayo nyota hao wa filamu wa marekani wanakusudia kuanzisha tanzania UNK na wanapenda serikali ya rais kikwete kuwaunga mkono kufanikisha jambo hilo ikiwa ni pamoja na kutoka eneo kwa ajili ya kuanzisha studio hizo uchezaji na utengenezaji filamu ni moja ya shughuli kubwa zenye fedha nyingi nchini marekani inakadiriwa utengenezaji wa filamu moja unagharimu kiasi cha dola za marekani milioni ishirini sifuri na kuchukua wastani wa miezi kumi na sita kukamilika kwa mujibu wa wacheza sinema hao kiasi cha watanzania kati ya thebathini sifuri na arobaini sifuri watanufaika moja kwa moja kwa kushiriki kwa namna moja ama nyingine katika utengenezaji filamu moja katika afrika ni afrika kusini pekee yenye studio za kisasa kwa ajili ya uchezaji na utengenezaji wa sinema mbali na kupokea mapendekezo hayo ya kundi hilo rais kikwete pia aliahidiwa mambo mbali ya kuisaidia tanzania kijamii na wachezaji sinema nyota wengine ambao wameonesha nia ya kusaidia maendeleo ya tanzania ahadi hizo zilitolewa wakati kundi la wachezaji sinema maarufu na matajiri wengine UNK chakula cha usiku rais kikwete mjini los angeles na erasto stanslaus mabingwa watetezi wa kombe la taifa kili cup timu ya ilala imetinga fainali ya mashindano hayo baada ya kuifunga tanga bao moja sifuri katika mchezo uliopigwa jana kwenye uwanja wa taifa dar es salaam kwa matokeo hayo ilala wataumana na ndugu zao temeke kwenye fainali itakayopigwa kesho kwenye uwanja huo ambapo bingwa atajinyakulia shilingi milioni thebathini katika mchezo huo ulioanza kwa kasi huku kila timu UNK lango la mwenzake dakika ya ishirini na saba nusura salim aziz wa tanga afunge bao baada ya kipa juma kaseja kuokoa shuti lake kwa miguu na mabeki kuondosha hatari tanga waliendelea kulishambulia lango la ilala ambapo nusura dakika ya thebathini na saba denis UNK afunge bao baada ya shuti UNK kugonga mwamba akiunganisha mpira wa kona na mabeki kuokoa na kufanya dakika arobaini na tano za kwanza timu hizo kutoka suluhu kipindi cha pili kilianza kwa kasi huku ilala wakijipanga vizuri na kufunga bao dakika ya sitini na tano lililofungwa na salum mpakala kwa shuti akimalizia pasi ya ramadhani chombo redondo na kumuacha kipa odo nombo UNK bila mafanikio baada ya kufungwa bao hilo tanga UNK usingizini na kufanya mashambulizi ya nguvu ambapo dakika ya sabini na nane julias mrope alikosa bao la wazi yeye na goli baada ya kumpiga chenga kaseja na kushindwa kuutumbukiza mpira wavuni kutokana na mabeki kuondosha hatari hiyo zikiwa zimebaki dakika tisa kabla ya mpira kumalizika tanga walikosa bao la wazi baada ya kichwa UNK na mpakala kugonga mwamba na kisha mrope kupiga shuti lililogonga mwamba tena na mabeki kuondosha hatari hadi dakika tisini zikimalizika ilala waliibuka na ushindi wa bao moja sifuri UNK kucheza fainali mchezaji salim aziz wa tanga aliibuka mchezaji bora wa mchezo huo na kuzawadiwa shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri michuano ya italia ni changamoto kwake mchezo wa kuogelea hivi sasa umeanza kukua kwa kasi kubwa nchini ikilinganishwa na miaka ya nyuma ambapo ulionekana ni mchezo wa wageni zaidi ila kuanzia mwaka mwaka jana ndiyo ulianza kuonesha mafanikio ya baada ya tanzania kupeleka wawakilishi wake beijing china katika michuano ya UNK ingawa wawakilishi wa tanzania walifikia viwango mwaka huo na kushiriki mashindano hayo lakini hawakufanikiwa kufanya vizuri baada ya waogeleaji hao UNK UNK na magdalena moshi kutokota katika hatua za awali za mashindano hayo UNK waogeleaji nyota duniani hata hivyo bado kuna juhudi zinaonekana kufanyika kutokana na wahusika wanaoendesha mchezo huo kutilia mkazo na kuhamasisha waogeleaji mbalimbali kushiriki hazina na vipaji vya waogeleaji kwa tanzania UNK na chama cha kuogelea ambacho UNK katika kuhakikisha mchezo huo unakuwa siku hadi siku tsa imekuwa ikiendesha mashindano hayo ikiwa na lengo la kupata wachezaji chipukizi watakaoweza kuendelezwa na baadaye kuwa hazina ya taifa hivi karibuni tsa iliendesha mashindano ya wazi ya mchezo huo UNK kama southern sun ambayo yalishirikisha wachezaji kutoka mikoa mbalimbali ya tanzania nzima michuano hiyo ilishirikisha waogeleaji mia mbili na ishirini na mbili wenye miaka tofauti tofauti huku wengi wao wakiwa wenye umri kati ya miaka saba hadi kumi na tatu mwamko mkubwa ulionekana kwa waogeleaji wadogo ambao walionesha ari na nguvu ya kujikita katika mchezo huo kwa kile kilichoonekana kujitokeza kwa wingi katika mashindano hayo UNK UNK mchezaji mwenye umri wa miaka kumi ambaye ndiye aliyeweza kuwakimbiza wachezaji wote walioshiriki michuano hiyo na kufanikiwa kuibuka bingwa wa jumla kwa kukusanya pointi mia moja na kumi na saba kwa upande wa wasichana kwa upande wa wavulana waogeleaji wadogo ammar UNK UNK UNK na christian don wao walifungana katika nafasi ya kwanza ambapo wote walimaliza mita ishirini na tano kwa pointi mia moja na kumi na saba mbali na hao pia kulikuwa na vipaji vingine kwa waogeleaji vijana ambapo UNK linder na UNK walter nao UNK vizuri huku UNK akijikusanyia UNK ishirini na mbili na walter akijikusanyia pointi ishirini na nne wachezaji hawa UNK umbali wa mita hamsini kwa mtindo wa kinyumenyume huku linder akimaliza mita hizo kwa muda wa sekunde thebathini na nne themanini na tatu kwa mtindo wa kipepeo akimaliza mita hizo kwa muda wa sekunde thebathini na mbili arobaini na nne walter naye alimaliza mita hizo kwa kutumia muda wa sekunde mbili hamsini na nane sitini na sita ambao ulikuwa ni muda bora kwake kutokana na rekodi yake ya awali ya muda wa tatu sifuri tano sitini na mbili nafasi UNK zilichukuliwa na UNK UNK na UNK UNK ambao wakishika nafasi ya pili na tatu kwa vijana wenye umri kati ya mika kumi na tatu na kumi na sita kwa mtiririko wa matokeo hayo ya wachezaji wadogo inaonesha wazi kuwa mchezo huu kwa sasa umekuwa ni wa mafanikio ingawa si makubwa sana kwa kuwa ndio UNK na UNK zaidi pia angalau inaleta matumaini ya kuwa na wachezaji nyota hapo baadae ambapo kuna imani kabisa UNK vipaji vyao wataweza kuiwakilisha nchi vyema katika michuano ya olimpiki ya mwaka ishirini moja mbili wadhamini wa michuano hiyo hoteli ya southern sun imeahidi kuendelea kudhamini mashindano hayo kwani kwa upande wao ni faraja kuona vijana chipukizi wanajitokeza kushiriki mkurugenzi wa southern sun adam fulla ambaye alikuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha mashindano hayo UNK kwa kiasi kukubwa anasema ni changamoto kubwa UNK kwa mwaka huu ikilinganishwa na mashindano kama hayo UNK mwaka jana anasema mwaka jana idadi kubwa ya waogeleaji walioshiriki zaidi ya thebathini sifuri lakini idadi kubwa ilikuwa ya wachezaji wakubwa na vijana UNK na mabadiliko UNK mwaka huu ambao wengi wao walikuwa wenye umri mdogo nimeweza kuona umuhimu mkubwa wa kuendeshwa kwa mashindano ya mara kwa mara kama haya yanaleta faida ndani ya taifa letu kwani UNK vingi ambavyo tumeweza kuviona katika mashindano haya anasema anasema kila mchezo unaweza kuliletea sifa taifa endapo tu UNK mkazo na UNK kwa vipaji kutoka katika mikoa mbalimbali na kwamba bila hivyo vipaji vingi UNK bila UNK si kweli kwamba tanzania haina vipaji vya kuweza kuiwakilisha nchi katika mashindano ya kimataifa wachezaji waliojitokeza leo hii ni mfano tosha wa kuweza UNK wachezaji wazuri anasema fulla anasema ni hivi sasa ni jukumu la kampuni nyingine kujitokeza na kuendesha mashindano ya wazi kama hayo ili kuwakusanya wanamichezo kutoka sehemu mbalimbali UNK vipaji vyao mkurugenzi huyo anasema hoteli yake kwa kushirikiana na tsa watahakikisha vipaji vilivyopatikana UNK ili viwe hazina ya taifa kwa siku za baadae kutokana na kuwa na vipaji vingi vilivyopatikana ni vya waogeleaji wadogo na chipukizi wadhamini hao southern sun pia wametoa medali za dhahabu kwa washindi wa mashindano hayo na fedha taslimu kama changamoto kwa waogeleaji hao ili kuweka ushindani katika medani ya mchezo huo mratibu wa mashindano hayo ramadhani UNK anasema tayari tsa imeweka mikakati ya kuwachagua waogeleaji walioonesha uwezo mkubwa na kuanza kuwaingiza katika kikosi cha timu ya taifa anasema watahakikisha wanaunda timu mbili za taifa moja ya watoto wadogo na nyingine ya wakubwa kwa kuwa tayari wameshapata waogeleaji wadogo wengi watakaounda timu yao kwa sasa timu ya taifa tuliyonayo ni UNK kumi na moja ambao wanajiandaa na mashindano ya dunia UNK kufanyika julai mwaka huu nchini italia anasema UNK anasema timu hiyo kwa sasa ipo imara kutokana na kiwango UNK katika mashindano ya southern sun kwani imekuwa tofauti na wakati UNK katika mashindano ya mchujo yaliyofanyika machi mwaka huu katika mabwawa ya chuo kikuu cha dar es salaam hata hivyo fulla anasema timu hiyo inahitaji mchango mkubwa kutoka kwa kampuni na watu binafsi ili kuiwezesha ifanye vizuri zaidi katika michuano ya dunia bado tunakabiliwa na changamoto kubwa kwa upande wa wafadhili hatujapata mfadhili wa kudumu atakayeweza kuisaidia timu yetu katika kuiwezesha safari nzima ya kwenda italia anasema anasema zaidi ya milioni kumi sifuri UNK ili kukamilisha mpango mzima wa UNK timu hiyo kushiriki mashindano hayo bila tatizo ikiwa ni pamoja na kuisaidia katika usafiri na mahitaji kwa kipindi chote watakachokuwa nchini humo ni kupitia vodacom dar marathon zikiwa zimebaki wiki tatu ili mashindano ya mbio za nyika za vodacom nusu marathon kufanyika tayari baadhi ya wanariadha maarufu nchini wameanza kujiandikisha kwa ajili ya kushiriki mbio hizo mbio hizo ambazo ndiyo mara yake ya kwanza kufanyika zinatarajiwa kufanyika jijini dar es salaam zitashirikisha wanariadha mbalimbali wakongwe na chipukizi kutoka mikoa yote ya tanzania mmoja wanariadha UNK umaarufu katika riadha nchini ni mart naali ambaye pia ni mwanariadha bora wa mwaka wa chama cha waandishi wa habari za michezo tanzania mwanariadha huyo atashiriki michuano hii ikiwa ni moja ya mazoezi kwa ajili ya kujiandaa kwenda kushiriki mbio za nyika nchini uholanzi hivyo itakuwa changamoto kubwa kwake kwa mbio hiza za vodacom nusu UNK mbali na mwanariadha huyo ambaye pia aliitoa kimasomaso tanzania katika michuano ya jumuiya ya madola zilizofanyika nchini india mwaka jana na kutwaa medali ya shaba pia kutakuwepo wanariadha chipukizi lukuki watakaoshiriki mbio hizi baadhi ya wanariadha wengine waliothibitisha kushiriki mbio hizo ambazo zimedhaminiwa na kampuni ya simu selula ya vodacom ni naftal UNK UNK laizer UNK molel na jackline UNK wanariadha wengine waliothibitisha ni david UNK UNK mussa UNK kibet martin sule marko joseph andrea UNK paul goti pascal UNK na UNK UNK akizungumzia mbio hizo mkuu wa udhamini na mawasiliano wa vodacom george rwehumbiza anasema mbio hizi si za wakimbiaji pekee bali kwa mtu yeyote mwenye uwezo wa kutimua mbio kwani licha ya kupata zawadi pia UNK mtu afya na kiakili zawadi si kitu cha muhimu sana katika mbio kama hizi kwa kuwa michezo kama hii UNK mtu afya na kumfanya kuwa makini na kila anachokifanya hivyo tunawaomba watu wengi wajitokeze kuchukua fomu UNK anasema UNK anasema fomu za ushiriki zinapatikana katika maduka ya vodacom yaliyopo dar es salaam arusha kilimanjaro ofisi za riadha tanzania na zinauzwa kwa shilingi moja sifuri sifuri sifuri kwa watanzania na shilingi kumi sifuri sifuri sifuri kwa rai wa kigeni rwehumbiza anasema mbio hizo zitakuwa za aina mbili nusu marathon ambazo ni kilomita ishirini na moja na mbio za kujifurahisha ambazo zitakuwa za kilomita tano anasema kwa upande wa mbio za nusu marathon washindi wa kwanza kwa wanaume na UNK watazawadiwa fedha taslimu shilingi milioni moja wa pili shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri wa tatu shilingi mia nne na hamsini sifuri sifuri sifuri wa nne shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri na wa tano shilingi mia moja na hamsini sifuri sifuri sifuri anasema lengo kuu la mashindano hayo yatakayokuwa yakifanyika kila mwaka ni kuibua na kuendeleza vipaji vya mchezo huo nchini ambavyo awali UNK sifa na kulitangaza taifa kutokana na wakimbiaji wa enzi hizo walivyokuwa wakichukua medali na kuvunja rekodi za dunia rwehumbiza anasema kampuni yake imepania kuurudisha kwenye chati mchezo huu kwa kuhakikisha kila mwaka UNK vipaji ambavyo UNK na UNK mafanikio makubwa lengo letu katika michezo ni katika jitihada za kuhakikisha UNK vipaji na baada ya hapo vijana wengi wataweza UNK kupitia michezo kwani kwa sasa duniani wanamichezo wengi ni watu matajiri hivyo nasi kupitia michezo tunataka kuhakikisha vijana wengi wana UNK anasema rwehumbiza michezo mingine ambayo vodacom ambayo ipo nayo karibu ni mpira wa miguu gofu tenis mbio za baiskeli mashindano ya mitumbwi na mashindano ya urembo anasema baada ya kupata mafanikio katika michezo hiyo kampuni yake sasa imeamua kuingia kwa nguvu katika riadha na baadae UNK katika michezo iliyobaki ili kuhakikisha vodacom UNK vipaji katika kila aina mchezo ili kuwapa akina filbert bayi suleiman nyambui wapya tanzania ina vipaji vingi sana vya michezo mbalimbali na riadha ni zaidi lakini vipaji hivyo UNK nafasi ya UNK sisi kama vodacom UNK hilo na ndiyo maana tumeamua kujitosa katika mchezo huu ili tupate wanariadha bora ni imani yetu kuwa kupitia mbio za vodacom dar marathon tanzania inaweza kupata wanariadha wazuri wengi zaidi watakaoshiriki katika mashindano mbalimbali ndani na nje ya nchi na kufanya vizuri kama si kutwaa ushindi anasema anasema zawadi zitakazotolewa kwa washindi wa mbio za marathoni zitakuwa ni changamoto kwao UNK katika mazoezi na kuwaongezea ari ya kufanya vizuri katika kila mashindano watakayoshiriki rwehumbiza anasema katika mbio za kilomita tano UNK kushiriki ni kuanzia miaka kumi na kuendelea wakati za nusu marathon nia kuanzia miaka kumi na nane anasema njia zitakazotumiwa katika mbio hizo kwanza UNK kwenye uwanja wa taifa kupitia ikulu na kumalizika katika uwanja wa uhuru naye katibu mkuu wa rt suleiman nyambui anasema maandalizi ya mbio hizo za nyika yameshakamilika na ana amini kuwa zitafanyika katika usalama na mafanikio makubwa kwa kuwa wamejipanga vizuri anasema ulinzi UNK katika maeneo yote UNK wanariadha ili kubaini wale UNK njia na kutakuwa rekodi za namba zao mwanzo wa mbio katikati na mwisho kabisa nyambui anasema mwanariadha UNK UNK njia UNK ushiriki wake na akawataka washiriki kuwa makini zaidi wiki mbili zilizopita hatua ya makundi ya mashindano ya kombe la taifa kili cup ilifikia tamati katika vituo sita kwa kupatikana timu nane ambazo zimetinga hatua ya robo fainali ya mashindano hayo mashindano hayo yalifanyika katika kanda za mikoa ya tanga ruvuma arusha dodoma mwanza na mbeya ambapo timu za tanga tabora temeke ilala mwanza na arusha UNK hatua hiyo kwa kuongoza katika kanda zao timu za ruvuma na kilimanjaro UNK hatua hiyo kwa kushika nafasi ya pili zikiwa nyuma ya temeke na arusha ambazo ndizo timu zilizokuwa na matokeo mazuri zaidi kuliko timu nyingine UNK nafasi hiyo baada ya kumalizika kwa hatua hiyo kilichokuwa UNK ni kuanza kwa robo fainali ambayo ilipangwa kufanyika mei ishirini na nne lakini kuna timu UNK rufani zikipinga baadhi ya matokeo ya hatua hiyo ya awali mikoa ambayo ilikata rufani ni arusha dhidi ya kilimanjaro kigoma dhidi ya shinyanga lindi dhidi ya mtwara na morogoro dhidi ya tabora zikipinga baadhi ya wachezaji kucheza kinyume na taratibu za mashindano kamati ya mashindano ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania ilikutana kujadili rufani hizo ambapo baada ya UNK kwa umakini rufani zote zilitupwa kutokana na timu karibu zote zilizoshiriki mashindano ya mwaka huu UNK UNK majina ya wachezaji kwa wakati lakini rufani ya morogoro dhidi ya tabora ilichukua sura tofauti baada ya kamati kuipoka pointi tatu timu ya tabora kwa kuikuta na hatia ya kumchezesha haruna moshi boban wakati alikuwa na adhabu ya kutumikia kwa kuwa alioneshwa kadi nyekundu kutokana na hali hiyo tabora haikukubali ikaamua kukata rufani tena kwa kamati ya nidhamu kupinga adhabu waliyopewa wakidai kutopewa taarifa kwa wakati juu ya adhabu ya mchezaji wao UNK kwa muda gani lakini baadaye katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alitoa agizo kwa msimamizi wa kituo cha dodoma kumruhusu boban aendelee kuitumikia timu yake hadi watakapopewa taarifa rasmi juu ya adhabu yake lakini kudaiwa kuchelewa kwa agizo hilo ndipo ikatokea mkanganyiko kati ya tabora morogoro na tff kutokana na mkanganyiko huo rais wa tff leodegar tenga ilibidi aingilie kati na kuamuliwa kufanyike kikao cha dharura cha kamati ya utendaji ya tff kujadili suala hilo kamti hiyo ilikutana jumamosi iliyopita chini ya tenga ilipitia kwa undani masuala yote yaliyojitokeza katika mashindano hayo hususani kituo cha dodoma kikao hicho UNK uamuzi wa rufani zote zilizokuwa zimekatwa ulitolewa kwa kuzingatia kanuni za mashindano hayo na kwamba kanuni hizo UNK kutoa uamuzi huo hivyo kamati hiyo iliamua suala hilo UNK tena kwenye kamati ya nidhamu na usuluhishi ya tff ili kupata ufafanuzi zaidi ambapo kamati hiyo iliamua kuirudishia pointi tabora kwa kukubali kweli kulikuwa na ukosefu wa mawasiliano kati ya vyombo husika mbali na uamuzi huo kamati pia iliamua boban kuendelea na dhabu ya kutocheza michezo mitatu lakini huku akiwa tayari UNK mchezo mmoja pamoja na kulipa faini ya shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri baada ya UNK kwa undani suala lenyewe UNK mpaka hapo lilipofikia kwa upeo wangu mdogo ambao huwa nao kila siku nadhani kuna haja ya kuunda tume itakayoshughulikia huyo aliyekwamisha baadhi ya barua kunasa katikati haiwezekani kila siku tukawa tunakaa chini na kuumiza vichwa vyetu kuwaangalia watu ambao kwa namna moja au nyingine wanakuwa na mambo yao binafsi UNK katika masuala ya kijamii nashindwa kuelewa UNK katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela UNK boban acheze alafu anatokea mtu UNK UNK zaidi kwa kukataa kutekeleza agizo la mkuu wako wa kazi kwanza inaonekana ni mtu UNK la pili ulitaka kupoteza haki ya maelfu ya wana tabora kwa manufaa yako binafsi licha ya tabora kuondolewa katika robo fainali lakini UNK haki kwa maana mpaka siku moja kabla ya mchezo walikuwa hawajajua hatma yao kutokana na uzembe wako ufike wakati wale ambao tff mnaona hawana sababu au wanachangia kwa kiasi kikubwa kurudisha maendelea ya soka hapa nchini UNK na tunasuburi tuone UNK hatua gani kwani kila kitu wadau wa UNK wanadai kipo wazi ni jukumu lenu kuchukua hatua tunajua hamuwezi kufanya kazi kupitia vyombo vya habari mpaka kwa maandishi lakini kuna haja gani ya kusubiri ripoti kwa maandishi wakati UNK wenyewe kwa macho yenu kwamba fulani ndiye chanzo cha mambo yote na mnajua hilo mmiliki wa klabu ya african lyon mohammed dewji mo amesema UNK timu hiyo ili kuleta upinzani na changamoto kwa timu kongwe nchini akizungumza dar es salaam jana alisema wachezaji wa timu hiyo kazi yao itakuwa ni ya kucheza mpira pekee kwani tayari hosteli za klabu hiyo zimeanza kujengwa mbagala ambako kutakuwa na kituo cha michezo kwa ajili ya kuendeleza wachezaji chipukizi alisema katika kituo hicho UNK viwanja viwili kimoja kitakuwa cha majani ya bandia na kingine kitakuwa cha kawaida kwa ajili ya mazoezi ya timu za klabu hiyo moja ya vijana na nyingine ya wakubwa ukitaka kuendeleza soka ni lazima uwe na vitu vitatu miundombinu ambayo sisi tayari tunayo mbagala timu za vijana na taaluma mchezaji pia anatakiwa kuwa na bima kwa ajili ya kumlinda endapo UNK awe na nidhamu na kujituma kwa bidii si mchezaji aende kucheza mashindano ya mchangani alisema dewji alisema hivi sasa amefungua milango kwa wachezaji wa tanzania kwenda kucheza soka la kulipwa ulaya kwani tayari ameingia mkataba na kongsvinger UNK club ya norway ambayo imeahidi kusaidia kukuza soka la tanzania dewji alisema timu hiyo imeahidi kila mwaka kwa miezi mitatu wataleta kocha wa makipa pamoja na kocha wa vijana na pia imekubali kuwachukua makocha wa tanzania kuwapeleka norway kwa ajili ya mafunzo alisema timu hiyo si tu itatoa msaada bali na yenyewe itakuwa ikiangalia vipaji kama UNK na wachezaji wa tanzania UNK kwa ajili ya kwenda kucheza mpira wa kulipwa akizungumzia kuhusu usajili wa kipa juma kaseja alisema wameshindwa kumsajili kipa huyo wa yanga kwa kuwa ametaka dau kubwa na akaweka masharti ya kuingia mkataba wa mwaka mmoja kitu ambacho bodi ya african lyon inataka kipa UNK timu kwa miaka miwili au mitatu sisi timu yetu bado changa hatuwezi kusajili mchezaji kiasi UNK kaseja lakini pia kwa ushauri wa bodi ya african lyon imelenga kusajili wachezaji chipukizi zaidi na wakongwe wachache alisema dewji naye kocha mkuu wa timu hiyo eduardo UNK almeida alisema licha ya umri wake mdogo lakini ana amini atafanya kazi kwa mafanikio kutokana na uzoefu aliokuwa nao alisema tayari ameshafanya kazi mbalimbali ikiwemo timu za vijana chini ya umri wa miaka kumi na sita za sport UNK na benfica zote za ureno pia UNK timu ya vijana chini ya umri wa miaka kumi na sita ya UNK UNK na kufundisha timu ya atletico UNK UNK mwaka ishirini sifuri tano kwa miaka miwili yenye mafanikio uso kwa uso fainali kili taifa cup leo ni kivumbi katika uwanja wa uhuru wakati timu za mikoa ya kimashindano za ilala na temeke UNK katika mchezo wa fainali ya michuano ya kombe la taifa kili taifa cup ishirini sifuri tisa ilala ambao ndio mabingwa watetezi wa michuano hiyo waliingia hatua hiyo baada ya UNK nje timu ya tanga kwa bao moja sifuri wakati temeke wametinga fainali baada ya kuichapa mwanza bao moja sifuri mbali na timu hizo kuwania ubingwa lakini pia mchezo huo utakuwa ni wa kivutio kutokana na kuongozwa na makocha wenye historia katika michuano hiyo ilala inaongozwa na jamhuri kihwelu julio aliyeipa ubingwa mwaka jana wakati temeke ipo chini ya fred minziro ambaye katika michuano ya mwaka jana alikuwa na timu ya pwani walikutana katika hatua ya nusu fainali na kuonesha upinzani mkubwa mchezo huo utakuwa ni wa kulipa kisasi kwa minziro baada ya mwaka jana akiwa na pwani alitolewa na julio katika hatua ya nusu fainali ambayo ilichezwa siku mbili baada ya siku ya kwanza kuchezwa kwa dakika mia moja na ishirini na kumalizika kwa sare ya bao moja moja lakini siku ya pili minziro alikubali kipigo cha mabao mbili moja makocha hao tayari wameanza tambo ambapo minziro ametamba kuwa mchezo wake na mwanza ndio ulikuwa fainali hivyo kushinda mchezo huo ni sawa na kutawazwa kuwa bingwa wa michuano hiyo mwaka huu ilala ya mwaka jana UNK si ya mwaka huu UNK kazi kwa mwanza tayari nimekuwa bingwa julio mwaka huu aliye tu alitamba minziro kwa upande wake julio alisema anaamini mchezo huo utakuwa mgumu lakini watatwaa ubingwa huo kwa mara ya pili mbele ya minziro tena minziro UNK pamoja na kupunguziwa nyota wangu lakini moto UNK na kilio kwake ni kawaida hivyo ajiandae kulia tena leo alisema julio timu hizo ambapo zote UNK katika vituo vyao hatua ya makundi ambapo ilala UNK kituo cha mbeya na temeke walikuwa vinara na kituo cha ruvuma bingwa wa michuano hiyo ataondoka na kitita cha shilingi milioni thebathini mshindi wa pili shilingi milioni kumi na tano watatu shilingi milioni saba wakati mshindi wa nne shilingi milioni nne zawadi nyingine ni mchezaji bora shilingi milioni moja tano mfungaji bora shilingi milioni mbili na kocha bora na mwamuzi bora watapata shilingi milioni mbili kila mmoja kabla ya mchezo huo kutakuwa na mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu kati ya mwanza na tanga utakaoanza mchana baada ya kutangazwa kuwa kocha bora wa mashindano ya kombe la taifa kili cup kocha timu ya mkoa wa kimashindano ya ilala jamhuri kiwhelo julio amesema alistahili kutwaa tuzo hiyo tangu mwaka jana ila UNK julio alitangazwa kuwa kocha bora na kulamba shilingi milioni mbili baada ya kutoa mchango mkubwa kwa timu yake kwa kutetea ubingwa wa mashindano hayo kwa mara ya pili mfululizo akizungumza baada ya kumaliza kwa mchezo wa fainali kati ya ilala na temeke uliopigwa juzi kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam na kutwaa ubingwa kwa kuibuka na ushindi wa bao moja sifuri julio alisema yeye ni kocha bora nchini na ataendelea kuwa bora nashukuru mwaka huu wameweza kunipa haki yangu kwa UNK kuwa kocha bora kwani nilistahili tangu mwaka jana lakini mwaka huu naona wamejirekebisha kwani mimi ndiye bora na hili halina ubishi alisema julio akizungumzia mchezo huo julio alisema ulikuwa mgumu kwao kwani kila timu ilicheza vizuri na kutengeneza nafasi za kufunga lakini bahati ilikuwa kwao na ndio maana wametwaa ubingwa alisema licha ya kutokuwa na wachezaji wengi wenye uzoefu kwa timu zote zilizoshiriki katika mashindanbo hayo lakini kwa kiasi kikubwa vijana wengi wameonesha kiwango cha juu hivyo ana imani baadhi yao watapata nafasi ya kucheza ligi kuu ya tanzania bara mbali na hayo julio aliushukuru uongozi wa timu yake pamoja na uongozi wa chama cha mpira wa miguu wilaya ya ilala kwa kumpa nafasi nyingine ya kuiongoza timu hiyo na kutwaa ubingwa kwa mara ya pili mfululizo na mwandishi wetu washiriki wa mashindano ya bongo star search wameingia kambini rasmi kwa ajili ya mafunzo zaidi katika hoteli ya giraffe iliyopo UNK akizungumza dar es salaam jana meneja mawasiliano wa vodacom necta UNK alisema washiriki wamewekewa kambi ili kila mmoja aweze kuonesha kipaji chake kwa upana zaidi alisema wao kama wadhamini wanafurahia kuona kambi hiyo ipo vyema na ina walimu wa kutosha wa kuwafundisha jinsi ya kuimba washiriki hao wa bss vodacom kama unavyojua imekuwa UNK na michezo mbalimbali kama soka gofu kuogelea na michezo mingine na mbalimbali kwa hiyo tumeona UNK na mashindano haya ya bss alisema alisema kupitia udhamini huo wamefanya hayo yote ikiwa ni mikakati ya kuiunga mkono serikali kutoa ajira kwa vijana ambao wengi wao wamekuwa UNK mitaani lakini kupitia mashindano hayo wameweza kuwavuta vijana na hatimaye kuonesha vipaji vyao naye mwalimu kutoka ufilipino ambaye amekuwa akifundisha kuimba UNK UNK alisema waimbaji wengi wa tanzania wanaweza hivyo anaamini ushindani utakuwa mkubwa ikilinganishwa na miaka iliyopita ni wazuri wanaelewa jinsi UNK UNK kutumika hivyo naamini watafanya vyema katika UNK haya alisema na mwandishi wetu uongozi wa klabu ya simba umesema juni saba mwaka huu utakuwa UNK taratibu za kuajiri katibu mkuu wa kuajiriwa baada ya kamati iliyopewa jukumu hilo kupitia wasifu wa watu UNK akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu msaidizi wa simba mohamed mjenga alisema kila kitu kimekamilika na jana kamati ya utendaji ilitarajiwa kukutana na kwa mara ya mwisho kupitia majina hayo alisema mambo yamekwenda vizuri kama walivyopanga hivyo wanachama wategemee kumpata katibu ambaye atakuwa mchapa kazi na UNK klabu hiyo kisasa kila kitu kimekwenda vizuri leo tunatarajia kukutana kwa ajili ya kupitia majina hayo na baadaye katika jumatano au jumapili tutaweza bayana lakini nadhani siku nzuri itakuwa jumapili alisema mjenga hadi sasa watu UNK kujitokeza kuomba nafasi hiyo ni katibu mkuu wa wa hiyo mwina kaduguda na aliyewahi kuwa ofisa utawala klabu hiyo hamis UNK simba UNK katibu huyo kutokana na kanuni za shirikisho la mpira wa miguu tanzania ambazo zinaelekeza kila mwanachama wa shirikisho hilo anatakiwa kuajiri katibu mtendaji na mhazini pia mdhamini mkuu wa klabu hiyo pamoja na yanga kampuni ya bia tanzania katika mkataba walioingia UNK kuajiri katibu na mhazini na zahoro mlanzi wakati mabingwa wa bara la oceanic timu ya new zealand ikitarajiwa kuwasili nchini leo usiku serikali imewaonya mashabiki na wadau wa soka nchini kuepuka kufanya fujo na kuzomea ili kulinda heshima ya nchi mabingwa hao watakuja nchini kwa mafungu ambapo fungu la pili linatarajiwa kuwasili kesho asubuhi tayari kwa mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya timu ya taifa ya tanzania taifa stars mchezo utakaopigwa keshokutwa kwenye uwanja wa taifa dar es salaam akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa wizara ya habari utamaduni na michezo florence turuka alisema wanatoa rai kwa watanzania wote watakaojitokeza siku hiyo uwanjani UNK nidhamu ili waweze kufikia azma yao ya kuvutia wageni alisema kadri watakavyoweza kutoa huduma nzuri na ya kuridhisha kwa timu hiyo itakuwa ni kielelezo kizuri cha kuwavutia watalii wengi kupitia tanzania wakati wa kwenda au kutoka afrika kusini katika mashindano ya kombe la dunia mwaka ishirini moja sifuri kwetu sisi watanzania mchezo huo ni kipimo kizuri kwa timu yetu na pia katika kuweka nchi mazingira mazuri kwa namna nchi UNK na kunufaika na kombe la dunia tunahitaji utulivu siku hiyo alisema UNK alisema new zeland kwa sasa ipo katika nafasi ya sabini na nane katika viwango vya ubora wa kimataifa vinavyotolewa na shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu ambapo hiyo pia ni fursa nzuri kwa stars kushinda mchezo huo ili isogee juu zaidi kwani mchezo huo UNK katika viwango hivyo turuka alisema mbali na kudumisha nidhamu pia alitoa wito kwa mashabiki kujitokeza kwa wingi ili kuishangilia timu yao na kupata burudani ambapo tiketi za mchezo huo zitaanza kuuzwa leo katika vituo mbalimbali jijini dar es salaam wakati huohuo ofisa habari wa shirikisho la mpira wa miguu nchini florian kaijage alisema timu hiyo itafikia kwenye hoteli ya UNK city ikiwa na kikosi kamili ambapo wachache watawasili kesho asubuhi pia alijibu swali UNK kuhusu viingilio vya mchezo huo kuwa ni vya juu ambapo cha juu ni shilingi arobaini sifuri sifuri sifuri na cha chini tano sifuri sifuri sifuri alisema viingilio hivyo UNK kulingana na mchezo husika na zahoro mlanzi wakati timu ya taifa ya tanzania taifa stars ikitarajiwa kushuka uwanjani kesho kuumana na new zealand katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa wachezaji shadrack nsajigwa na jabir aziz hawatacheza mchezo huo mchezo huo utapigwa kuanzia saa moja usiku kwenye uwanja wa taifa dar es salaam ambapo new zealand watautumia mchezo huo kama sehemu ya mazoezi wakielekea kushiriki mashindano ya kombe la mabara nchini afrika kusini akizungumza dar es salaam jana meneja wa timu hiyo UNK tasso alisema wachezaji hao UNK kucheza mchezo huo kutokana na sababu mbalimbali ambazo zipo nje ya uwezo wao alisema nsajigwa aliondoka nchini jumamosi iliyopita kwenda ufaransa kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa katika timu moja ya daraja la pili nchini humo tasso alisema kutokana na uwezo aliokuwa nao nsajigwa pamoja na nguvu alizonazo ana imani atafuzu majaribio hayo na hatimaye kuanza maisha mapya nchini humo akizungumzia kwa upande wa aziz alisema mchezaji huyo anasumbuliwa na matatizo ya nyonga ambapo kucheza katika mchezo huo ni vigumu kutokana na maumivu UNK alisema wachezaji henry joseph na nurdin bakari ambao nao mwishoni mwa wiki walianza mazoezi mepesi wanaendelea vizuri na kama wataendelea hivyo wanaweza kucheza katika mchezo huo wakati huohuo kocha mkuu wa timu hiyo mbrazil marcio maximo alisema wameanza kutumia mtindo mpya ambao ni maalumu kwa ajili ya mchezo huo na tayari wachezaji wake wameanza UNK akiizungumzia new zealand alisema ni timu ngumu ambayo haitakubali kufungwa kiurahisi hivyo watajitahidi kupigana kufa kupona kuhakikisha wanaibuka na ushindi na magreth UNK jeshi la polisi kanda maalumu ya dar es salaam limejipanga kuimarisha ulinzi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa kati ya timu ya taifa ya tanzania taifa stars dhidi ya new zealand kwa kuweka kamera maalumu za video UNK kumbukumbu za matukio yote yatakayotokea siku hiyo mchezo huo unatarajiwa kupigwa kesho kwenye uwanja wa taifa dar es salaam kuanzia saa moja usiku ambapo mbali na jeshi hilo pia kutakuwepo na vyombo vingine vya dola katika kuhakikisha usalama unakuwepo muda wote wa mchezo huo akizungumza dar es salaam jana kamanda wa kanda hiyo suleiman kova alisema mashabiki wa soka hawataruhusiwa kuingia na silaha ya aina yoyote wala kilevi na endapo UNK watawachukulia hatua za kisheria katika kuhakikisha UNK usalama uwanjani tunawaomba mashabiki wakae sehemu UNK tiketi na si vinginevyo na pia hatutaki kuona utupaji wa chupa zenye UNK ovyo alisema kova alisema mbali na usalama UNK wao lakini pia wametoa namba maalumu sifuri saba nane tatu sifuri tatu nne mbili mbili nne ambayo itatumika kwa ajili ya kupokea ujumbe mfupi wa maneno ambao utaingia kwenye komputa wakati mchezo ukiendelea kwa wale UNK wanaleta fujo kova aliongeza kwa wale watakaokamatwa kwa kufanya vitendo vya uhalifu majina yao yatatangazwa pamoja na picha zao kuoneshwa moja kwa moja kwenye vyombo vya habari mbali na hayo alitoa wito kwa wadau pamoja na mashabiki kujitokeza kwa wingi siku hiyo kuishangilia stars ambapo kwa kufanya hivyo UNK hamasa wachezaji wa timu hiyo kucheza kwa bidii kocha mkuu wa mabingwa wa bara la oceanic new zealand UNK herbert amesema UNK kikosi kamili katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya timu ya taifa ya tanzania taifa stars utakaochezwa leo katika uwanja wa taifa dar es salaam new zealand watacheza mchezo huo wakiwa njiani kwenda nchini afrika kusini kushiriki michuano ya kombe la mabara lililopangwa kufanyika mapema mwezi huu akizungumza dar es salaam jana herbert alisema mchezo huo kwao utakuwa wa kujipima nguvu kabla ya kuanza kwa michuano hiyo alisema mchezo huo utakuwa mgumu kwao kutokana na UNK tanzania lakini anaamini utakuwa kipimo tosha kwa kikosi chake ambacho amekiandaa vizuri kukabiliana na stars kwa kuwa hii ni mara yangu ya kwanza kuja tanzania hivyo UNK kabisa kikosi na mtindo na mtindo UNK stars lakini naamini utakuwa mchezo wa ushindani na mzuri kwa pande zote alisema UNK kwa upande wake kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo alisema mchezo huo unafaida kubwa kwa kikosi chake kutokana na ubora wa wapinzani wao pamoja na mtindo wao UNK alisema hii ni mara ya kwanza kwa tanzania kucheza na timu ya ulaya hasa katika bara la oceanic hivyo watakutana na mtindo tofauti kabisa na timu UNK nazo mchezo huu utakuwa mzuri na faida kubwa kwa stars ambapo itapata fursa ya kupata uzoefu zaidi kutokana na kukutana na mabingwa wa bara wanaokwenda kucheza kombe la mabara ikiwa ni pamoja na kupata mbinu na mtindo wanaotumia nchi za oceanic alisema maximo alisema katika mchezo huo UNK nyota wake wawili nurdin bakari pamoja na jabir azizi UNK wote ni majeruhi lakini nafasi zao zitachukuliwa na kiungo shaban UNK mchezo huo unatarajiwa kuanza saa moja usiku na UNK na mwamuzi oden mbaga wa dar es salaam akisaidiwa na haji makame na ali kombo wa zanzibar wakati mwamuzi wa akiba atakuwa israel UNK beki wa timu ya taifa ya kenya harambee stars na yanga george owino anatarajia kwenda kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa uarabuni na ulaya hivi karibuni akizungumza kwa simu akiwa nchini kenya jana owino alisema tayari baadhi ya taratibu zimeanza kukamilika ila kikubwa kinachokwamisha ni mchezo wa kuwania kufuzu kucheza kombe la dunia na mataifa huru ya afrika kati ya harambee stars dhidi ya msumbiji alisema mchezo huo unatarajiwa kupigwa kati ya juni ishirini na ishirini na moja mwaka huu nchini humo ambapo wakala wake anaendelea kufanya mazungumzo ya mwisho na klabu UNK ni kweli nina mpango wa kuondoka yanga na ninatarajia kwenda kufanya majaribio katika nchi za uarabuni na ulaya kwenye klabu za daraja la pili lakini kwa sasa sitakuwa tayari kuzitaja kwa kuwa wakala wangu kuna vitu hajakamilisha alisema owino akizungumzia mkataba wake na timu ya yanga alisema bado ana mkataba wa mwaka mmoja lakini utakapomalizika hana mpango wa kuongeza mkataba mwingine kwa kuwa lengo lake ni kusonga mbele zaidi alisema kikubwa anachoangalia kwa sasa ni maslahi zaidi hivyo endapo kama atapata timu nyingine ambayo UNK na yale UNK hana budi kujiunga nayo kwani mpira wa sasa ni kama biashara mbali na hayo owino alisema tangu awasili nchini humo amekuwa akipata usumbufu kutoka kwa viongozi mbalimbali wa klabu za tanzania UNK ajiunge nazo lakini bado hajawa tayari kutokana na UNK maslahi kipa wa simba ali mustafa bathez amesema ahofii wala hakosi usingizi kurudi kwa juma kaseja katika timu hiyo kwa kuwa UNK uamuzi ni uwezo uwanjani kaseja aliyesajiliwa na yanga msimu uliopita akitokea simba mkataba wake unamalizika wiki hii lakini hatarajii kuingia mkataba mpya baada kocha mkuu wa yanga dusan kondic kuweka bayana kuwa UNK tena kaseja kwa sasa yupo mbioni kurudi simba ujio wa kipa huyo katika kikosi cha simba UNK kwa hisia tofauti huku wapenzi wa klabu hiyo wakidai ujio wake UNK nafasi bathez ambaye ameonekana kurudi katika kiwango chake akizungumza dar es salaam jana bathez alisema hana wasiwasi na ujio wa kaseja katika kikosi hicho kwa kuwa alishawahi kukaa naye kwenye klabu hiyo kwa muda mrefu lakini sasa ni wakati wake alisema yeye bado ni mchezaji wa simba kwani bado ana mkataba wa mwaka mmoja na klabu hiyo hivyo hawezi kuondoka kwa UNK kaseja naamini kaseja ni kipa mzuri na kipindi alichokuwa simba alinipa baadhi ya vitu ambavyo UNK kuwa mzuri zaidi lakini sasa uwezo ndiyo UNK nani UNK langoni na si UNK alisema bathez alisema anamkaribisha kaseja kwa mikono miwili lakini anaamini kipindi hichi yupo vizuri na kipa huyo ajue anakuja kukutana na kipa mwenye uwezo kama wake kaseja asitarajie kumkuta bathez UNK kipindi kile kwani uwezo umezidi kutokana na kucheza michezo mingi ambayo UNK uzoefu mkubwa wa kukaa langoni alisema bathez katibu mkuu wa klabu ya simba mwina kaduguda leo jioni anatarajiwa kupewa baraka za mwisho na kamati ya utendaji ya klabu hiyo kuchukua nafasi ya katibu mtendaji kama mwajiriwa kaduguda ameshika nafasi hiyo baada ya kuchaguliwa na wanachama katika uchaguzi wa mwaka ishirini sifuri sita lakini pamoja na kukutwa na matatizo kadhaa katika nafasi hiyo baadhi ya wajumbe wamekubali kumpa tena nafasi hiyo kama mwajiriwa nafasi hiyo inawaniwa na watu watatu waliopitishwa na kamati ya usaili inayoongozwa na ayoub semvua ni kaduguda hamisi kisiwa na michael maurus kwa mujibu wa habari za uhakika kutoka ndani ya simba zimedai kuwa kaduguda ndiye mwenye uhakika wa kuchukua nafasi hiyo baada ya wajumbe wengi wa kamati ya utendaji kumuunga mkono chanzo hicho kilisema baada ya majina hayo kupita katika kamati ya usaili sasa kamati ya utendaji inakutana na kumpitisha tu kwani tayari wameshakubaliana kufanya hivyo ingawa kulikuwa na mabishano ya hapa na pale lakini yamekwisha hofu ya kupita kwa jina la kaduguda ilikuwa katika kamati ya usaili lakini baada ya jina lake kuja katika kamati ya utendaji hapa hakuna tatizo atachukua kiti chake kama mwajiriwa kilisema chanzo hicho kiliendelea kupasha chanzo hicho kuwa UNK nafasi kubwa kaduguda ni elimu pamoja na uzoefu aliokuwa nao katika nafasi hiyo kwa muda mrefu ambapo ni tofauti na wajumbe wengine wanaowania nafasi hiyo elimu ndio UNK kaduguda UNK na uzoefu aliokuwa nao katika soka kwa kipindi kirefu ikiwa pamoja na kuzijua kwa undani fitna za soka kitu UNK sana wapinzani wake kilidai chanzo hicho alipoulizwa mwenyekiti wa klabu hiyo hassan dalali alisema wamepokea majina matatu kutoka katika kamati ya usaili na leo jioni UNK na kutaja jina moja kati ya hao ambaye atakuwa katibu mkuu wa kuajiriwa na klabu hiyo pia kwa upande wake mwenyekiti wa kamati ya usaili semvua alisema kazi yao ilikuwa kupitia majina ya wajumbe walioomba nafasi hiyo na kuwakabidhi kamati utendaji ambao wao UNK jina moja alisema jukumu la kumpa nani kati ya hao watatu linakuwa juu yao lakini wao wamechagua majina matatu ambayo ni bora kati ya waliomba hivyo yeyote UNK atakuwa bora simba ya jijini dar es salaam UNK african lyon iliyopanda daraja msimu huu kwa kuifunga mabao mbili moja katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam jana mechi hiyo ilikuwa maalum kwa ajili ya kuwachangia waathirika wa mabomu yaliyotokea eneo la mbagala jijini dar es salaam hivi karibuni na kuuwa watu kadhaa kujeruhiwa na kubomoa baadhi ya nyumba african lyon walianza mchezo kwa kasi na kulifikia lango la simba dakika ya saba lakini mbwana samatta alikosa bao baada ya kupiga shuti kali UNK na kipa deogratius mushi juhudi za african lyon UNK matunda dakika ya kumi na tano baada ya abdallah UNK kuwainua wapenzi wao kwa kufunga bao la kwanza kufuatia kazi nzuri iliyofanywa na mohammed abdallah hata hivyo bao hilo halikudumu kwani nassor said cholo aliisawazishia bao hilo dakika ya ishirini na mbili baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa mussa hassan mgosi na kuutumbukiza mpira wavuni simba walifanya shambulio lingine dakika ya sitini na nne ambapo cholo alifanikiwa kumwona kipa hamadi waziri lakini shuti lake UNK na kugonga mwamba wa goli lakini walinzi wa african lyon waliokoa mpira huo katika hatari dakika moja baadaye abdallah alipiga mkwaju mkali uliogonga nguzo ya goli na mpira kurudi uwanjani lakini walinzi wa simba waliokoa katika hatari simba walizidisha UNK dakika ya sabini na moja haruna moshi boban alifanikiwa kulifikia lango la wapinzani wao baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa uhuru seleman lakini akiwa amebaki na nyavu alishindwa UNK mpira wavuni boban UNK makosa yake baada ya kuifungia simba bao la pili dakika ya themanini na tatu kwa shuti kali lililompita kipa wa african lyon na mpira kutikisa nyavu bao hilo lilitokana na kazi nzuri iliyofanywa na mohammed banka mapato yatakayopatikana katika mechi hiyo yatapelekwa kwa waathirika wa mabomu hayo ambao ikiwa kama pole kwa majanga yaliyowapata ikiwemo kupoteza ndugu mali na hata viungo vyao vya mwilini aliyekuwa kipa mahiri wa timu ya taifa ya tanzania taifa stars na timu za ndovu ya arusha majimaji sigara simba na yanga joseph katuba amefariki juzi jioni na kuzikwa jana kwenye makaburi ya UNK kwa UNK dar es salaam katuba UNK kwa muda mrefu kabla ya UNK na mauti hayo ambapo alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifua na ikafikia wakati akili zikaanza UNK akizungumza dar es salaam jana nyumbani kwao wakati wa kuaga mwili wa marehemu UNK UNK ambaye ni kaka wa UNK alisema katuba alianza kuugua muda mrefu lakini hali ilibadilika tangu aprili mwaka huu na kumpeleka katika hospitali ya mwananyamala kwa matibabu wakati huohuo wachezaji wenzake waliohudhuria katika mazishi hayo mohamed hussein mmachinga mwanamtwa kihwelu na UNK kigi kwa nyakati tofauti walizungumzia msiba huo na walisema wamepata pigo kubwa pretoria afrika kusini timu ya taifa ya vijana ya tanzania wenye umri chini ya miaka kumi na saba serengeti boys inayoshiriki michuano copa coca cola nchini afrika kusini jana ilianza vyema michuano hiyo baada ya kuifunga ethiopia mabao tano sifuri katika mechi ya ufunguzi iliyochezwa katika uwanja wa UNK mjini pretoria serengeti boys ambayo ndiyo mabingwa watetezi wa michuano hiyo ilianza kusherehekea bao la kwanza katika dakika tisa lililofungwa na joseph UNK na ikaongeza bao la pili dakika ya thebathini na tatu lililowekwa kimiani na himid mkami timu ya tanzania ambayo iliingia uwanjani kusaka ushindi kwa hali na mali iliongeza bao la tatu dakika ya thebathini na nane baada ya kugongeana vizuri ambapo na issa rashid kukwamisha mpira kimiani kipindi cha pili serengeti boys iliingia kwa nguvu zaidi na kufanikiwa kuandika bao la nne katika dakika ya hamsini na moja lililofungwa na UNK rashid timu baada ya kupata bao la nne ilianza kujiamini zaidi na kucheza pasi fupi fupi za uhakika na kufanikiwa kumalizia msumari wa mwisho kwa wapinzani wao baada ya mohamed UNK kupachika bao la tano katika dakika ya sitini na tatu baada ya mechi kumalizika kocha mkuu wa timu hiyo mbrazili rodrigo stockler wachezaji wake wamecheza vizuri kwa kufuata maelekezo yake na anaamini itacheza vizuri zaidi katika mechi zijazo michuano hiyo imepangwa katika makundi mawili kundi a kenya namibia timu ya afrika kombaini ambayo ni mwalikwa malawi tanzania na ethiopia afrika kombaini UNK wachezaji kutoka msumbiji congo drc africa kusini na rwanda kundi b uganda zimbabwe nigeria zambia africa kusini na botswana na mwandishi wetu baada ya mchakato wa karibu miezi sita ya kumtafuta katibu mtendaji wa kuajiriwa katika klabu ya simba hatimaye jana kamati ya utendaji ya klabu hiyo ilimpa ajira hiyo mwina kaduguda ambaye kwa sasa bado ni katibu mkuu wa kuchaguliwa kaduguda alimpiga UNK mpinzani wake wa karibu ambaye awali aliwahi kufanya kazi ya ofisa mtendaji katika klabu hiyo hamis kisiwa pamoja na micheal maurus habari za uhakika kutoka kwenye kamati hiyo ambayo ilikutana jana jioni zilieleza jana kuwa kaduguda amepata ajira hiyo baada ya kuwashinda wapinzani wake kutokana na sifa alizokuwa nazo ambazo zilikuwa UNK na klabu hiyo ambaye UNK kuiongoza simba hapa kati ya walioomba nafasi hiyo ni watu wawili tu ndiyo walikuwa wana sifa zinazotakiwa ambao ni kaduguda na kisiwa lakini hata hivyo kati ya wawili hao kaduguda ndiye ambaye ameonekana kuwa na sifa za ziada katika kuongoza soka kilieleza chanzo hicho chanzo hicho kilieleza kuwa maurus ambaye UNK sana katika simba na wengine wakidhani ni mwandishi wa habari ameshindwa vibaya katika kinyangganyiro hicho kutokana na kuonekana hakuwa na sifa UNK kuiongoza simba kama kaduguda naye kaduguda juzi alitamba kuwa ameomba ajira hiyo kwa kuwa nafasi hiyo ilikuwa ipo wazi na bado ana ndoto ya kutaka kuifanyia mambo makubwa klabu hiyo akiwa kama mwajiriwa mimi UNK nafasi hii kwa kuwa ilikuwa ipo wazi na pia mimi nina sifa za ziada za kuwa kiongozi wa mpira ukijaribu kuangalia historia yangu mimi ndiyo mwanzilishi wa chama cha wanasoka wa tanzania nimewahi kuwa katibu wa chama wa waandishi wa michezo nimewahi kuwa katibu mkuu wa chama cha makocha na pia nimewahi katibu wa iliyokuwa fat zamani alitamba UNK pretoria afrika kusini timu ya tanzania kombaini ya vijana ya copa coca cola wenye umri chini ya miaka kumi na saba jana iliendeleza wimbi lake la ushindi katika michuano michuano hiyo inayofanyika pretoria afrika kusini baada ya kuifunga malawi bao moja sifuri katika pambano hilo UNK jana asubuhi vijana hao wa tanzania waliandika bao hilo la ushindi la ushindi katika dakika ishirini na nane lililowekwa kimiani na john UNK na kujiweka katika mazingira mazuri ya kuingia katika hatua ya robo fainali ya UNK hiyo timu hiyo pia juzi ilizifunga timu za ethiopia mabao tano sifuri na baadaye UNK timu ya kombaini ya afrika UNK katika michuano hiyo kwa kuifunga mabao nne mbili mechi nyingine za michuano hiyo zilizochezwa jana nchini humo zimbabwe iliifunga botswana mabao nane sifuri afrika kusini ikatoka sare na malawi mabao mbili mbili wakati ethiopia nayo iliifunga namibia mbili moja na kufanya idadi ya mechi kumi na sita kupigwa hadi jana katika michuano hiyo inayofanyika UNK viwanja vya michezo vya chuo kikuu cha pretoria katika michuano hiyo timu mbili katika kila kituo zitaingia kucheza nusu fainali itakayoanza kunguruma kesho katika viwanja hivyo katika mechi nyingine iliyochezwa jana jioni wakati tukienda mitamboni tanzania UNK namibia mabao tatu moja na hivyo kuzidi kujijengea mazingira mazuri zaidi katika kundi a kwa kufikisha pointi nane ikiwa UNK fainali ya michuano hiyo inatarajia kupigwa ijumaa katika uwanja wa royal bafokeng ambayo itakuwa ni siku mbili kabla ya michuano ya mabara ya UNK pretoria afrika kusini timu ya tanzania ya ya vijana ya kombaini ya copa coca cola jana ilipata nafasi ya kucheza nusu fainali ya michuano ya copa coca cola inayofanyika nchini afrika kusini katika viwanja vya chuo kikuu cha pretoria baada ya kutoka sare ya bao moja moja na kenya tanzania imefikisha pointi kumi na tatu kutokana na mechi tano ilizocheza baada ya UNK timu za ethiopia mabao tano sifuri katika mechi ya ufunguzi na baadaye ikaifunga timu ya mwalikwa ambayo ina wachezaji mchanganyiko mabao nne mbili na juzi UNK timu za malawi bao moja sifuri na baadaye ikaifunga namibia mabao tatu moja kutokana na sare hiyo ya jana tanzania leo itakumbana ana timu ngumu ya nigeria katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza na UNK nyingine itazikutanisha timu za afrika kusini na malawi katika mechi ya jana ambayo ilikuwa ngumu kwa timu zote ambazo kila moja iliingia kutafuta ushindi bao la tanzania lilifungwa katika dakika ya kumi na moja na UNK UNK mechi nyingine za michuano hiyo zilizopigwa jana katika viwanja hivyo nigeria iliifunga UNK mabao nne sifuri afrika kusini UNK uganda mabao mbili sifuri na malawi ikaifunga ethiopia mabao nne sifuri zambia nayo ikaifunga botswana mabao tano moja mechi za fainali hizo zinatarajiwa kupigwa keshokutwa kati ya washindi watakaopatikana leo ambao watacheza katika uwanja wa royal bafokeng ambao ndiyo utakaotumika katika ufunguzi wa michuano ya mabara itakayoanza juni kumi na nne mwaka huu nchini hapa new zealand UNK mzigo mwingine na erasto stanslaus shirikisho la mpira wa miguu tanzania limesema limepata hasara nyingine katika mchezo wake wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya new zealand hata hivyo limedai pamoja na hasara hiyo lakini imeweza kutimiza malengo ya mchezo huo ambao stars iliibuka na ushindi wa mabao mbili moja katika mechi iliyopigwa uwanja wa taifa dar es salaam wiki iliyopita tff pia ilipata hasara nyingine katika mechi dhidi ya daktari congo akitangaza mapato ya mchezo huo dar es salaam jana ofisa habari wa tff florian kaijage alisema mchezo huo umeingiza shilingi mia moja na kumi na nane mia tatu na sitini na tatu sifuri sifuri sifuri ambazo hazifikii gharama za mchezo huo ambazo UNK alisema pamoja na kiasi hicho kutofikia kiwango cha gharama halisi lakini malengo ya tff kuandaa mchezo huo yametimia kwa asilimia kubwa kaijage alisema malengo makuu ya mchezo huo ilikuwa ni kupata kipimo halisi cha kiwango cha stars kucheza na timu kubwa kama new zealand ikiwa na uwezo wa tanzania kualika timu kubwa kama hiyo alisema lengo lingine la mchezo huo ni pamoja na kuitangaza tanzania kwa nchi za nje ikiwa ni pamoja na miundombinu kama uwanja wa taifa ambao ni bora katika ukanda wa kusini mwa afrika pamoja na kuihudumia timu hiyo hasa katika suala la usalama tff haikuwa na lengo la kupata kipato kupitia mchezo huo lakini kubwa lilikuwa ni kuutangaza uwanja pamoja na nchi kwa ujumla ili kupata timu mojawapo itakayoshiriki michuano ya kombe la dunia ishirini moja sifuri litakalofanyika afrika kusini alisema kaijage akitoa mchanganuo wa mapato hayo kaijage alisema kwa upande wa viti vya vip a waliingia mashabiki ishirini saba na kupatikana shilingi nane mia mbili na themanini sifuri sifuri sifuri vip b waliingia mashabiki mia mbili na hamsini na tatu na kupata shilingi saba mia tano na tisini sifuri sifuri sifuri na vip c waliingia mashabiki mia nne na sabini na nane na kupata shilingi tisa mia tano na sitini sifuri sifuri sifuri mashabiki walioingia viti vya rangi ya chungwa sambamba na jukwaa kuu walikuwa arobaini nne na kupata shilingi sita sifuri sita sifuri sifuri sifuri sifuri viti rangi ya machungwa nyuma ya magoli waliingia mashabiki moja sifuri nne nane na kupata shilingi kumi na moja mia nne na themanini sifuri sifuri sifuri viti vya bluu mzunguko waliingia mashabiki nne mia tano na arobaini na nane na kupata shilingi ishirini na mbili mia saba na arobaini sifuri sifuri sifuri na viti vya kijani waliingia mashabiki kumi na saba mia tano na hamsini na moja na kupata shilingi hamsini na mbili mia sita na hamsini na tatu sifuri sifuri sifuri kaijage alisema kupitia mchezo huo wamegundua kuwa wapenzi na mashabiki wa soka nchini wamekuwa wakijitokeza kwa wiki pindi michezo UNK muda wa usiku hivyo watazingatia hilo kwa kucheza michezo mingine katika muda kama huyo pale inapobidi na erasto stanslaus aliyekuwa kocha mkuu wa timu ya azam fc mbrazil neider dos santos amesema timu hiyo UNK na itaona umuhimu wake baada ya kuondoka santos aliyeingia mkataba wa mwaka mmoja kuifundisha azam UNK virago vyake juzi kutokana na matokeo mabaya ya timu hiyo iliyopanda daraja msimu uliopita akizungumza dar es salaam jana santos alisema uongozi wa azam ndiyo UNK kuvunja mkataba wake wa mwaka mmoja hivyo yeye hana tatizo na ameamua kurudi kwao alisema aliingia mkataba wa kuifundisha timu hiyo agosti mwaka jana na mkataba wake ulitakiwa kumalizika mwaka huu agosti lakini uongozi umefikia uamuzi huo kutokana na sababu binafsi kocha huyo alisema pamoja na kutupiwa virago na timu hiyo anaamini uongozi wa klabu hiyo UNK baada ya yeye kutokuwepo katika timu hiyo alisema azam ilikamilika katika mzunguko wa pili ambao hakuwa na muda wa kutosha kujenga kikosi hicho ambapo katika michezo hiyo alikuwa ndiyo kwanza anajaribu wachezaji santos alisema tayari UNK na uongozi wa azam kuhusu malipo yake yote na anatarajia kuondoka leo UNK kuondoka kwa kocha huyo timu hiyo itakuwa imebakiwa makocha wasaidizi itamar amourin ambaye sasa atakuwa kocha mkuu na sylivester marsh atakayekuwa UNK pretoria afrika kusini timu ya tanzania ya vijana ya kombaini ya copa coca cola inayoshiriki michuano hiyo ya vijana wa afrika chini ya miaka kumi na saba jana ilifungwa mabao mbili moja na nigeria katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa katika viwanja chuo kikuu cha pretoria nchini hapa kwa hatua hiyo fainali ya michuano hiyo itakayopigwa kesho itazikutanisha timu za nigeria na afrika kusini wakati nafasi ya mshindi wa tatu timu za tanzania ambayo ilikuwa UNK ubingwa huo na malawi UNK nafasi hiyo fainali hizo zinatarajiwa kupigwa kwenye uwanja wa royal bafokeng ambao ndiyo utakaotumika kwa michezo ya ufunguzi ya kombe la mabara itakayofanyika keshokutwa awali tanzania katika michuano hiyo ilizifunga timu za ethiopia mabao tano sifuri timu mwalikwa na malawi kila moja ilizifunga mabao nne mbili namibia tatu moja na mechi ya mwisho katika hatua hiyo ikatoka sare ya moja moja na kenya timu zote zilizoshiriki michuano hiyo itapata nafasi ya kushuhudia michuano ya ufunguzi ya kombe la mabara itakayoanza keshokutwa mjini hapa na erasto stanslaus kipa wa yanga juma kaseja amesema kauli ya uongozi wa klabu hiyo kuwa bado ana mkataba nao ni ya kutapatapa kwani tayari mktaba huo umemalizika tangu juni tano mwaka huu uongozi wa yanga jana UNK na gazeti moja la wiki ukidai kuwa bado ina mkataba na mchezaji huyo ambao utamalizika agosti mwaka huu hivyo timu UNK inatakiwa kuvunja mkataba huo akizungumza kwa njia ya simu jana kaseja alisema kauli hiyo ya yanga haina msingi wowote kwani mkataba wake umekwisha juni tano mwaka huu kama UNK katika vipengele vya mkataba huo alisema kimsingi mkataba wake na yanga ulikuwa unakwisha kipindi ambacho ligi ilikuwa UNK lakini alifanya ustaarabu wa kusubiri hadi juni tano kaseja alisema UNK uongozi wa yanga kudai kuwa bado wana mkataba naye huku kocha wao akitangaza kumwacha katika kikosi chake na kuhoji ni nani zaidi kati yao mi sipo dar es salaam lakini kama UNK UNK mkataba wangu unavyosema kwani unasema mwisho ni baada ya kumalizika kwa msimu lakini nikaona ngoja nisubiri tarehe ya mwisho alisema kaseja alisema anajua katika kipindi hiki UNK mengi lakini mwisho ya maneno hayo ni pale UNK wazi timu UNK msimu ujao na zahoro mlanzi katibu mkuu wa klabu ya simba mwina kaduguda amesema hatishwi na viongozi wenye fedha ndani ya klabu hiyo ataendelea kufanya kazi kwa mujibu wa kanuni ya katiba ya klabu hiyo hatua hiyo ya kaduguda imekuja baada ya klabu hiyo kushindwa kupata katibu mtendaji wa kuajiriwa kama ilivyotangazwa awali ambapo hadi kufikia juni saba mwaka huu alitakiwa aanze kazi rasmi kutokana na hali hiyo kaduguda aliamua kujitoa katika kinyangganyiro hicho baada ya mwenyekiti wa klabu hiyo hassan dalali kuahirisha kikao cha kamati ya utendaji kutokana na kutawaliwa na vurugu kwenye mkutano huo akizungumza dar es salaam jana kaduguda alisema licha ya kujitoa katika kinyangganyiro cha kuwania ukatibu wa kuajiriwa bado ataendelea kuwa katibu mkuu wa klabu hiyo na wala hatishwi na yanayofanywa na viongozi wa timu hiyo wenye fedha kuna baadhi ya viongozi wa simba wanataka kutumia fedha zao kuigawa simba lakini mimi nitaendelea na msimamo wangu UNK mtu yeyote mimi UNK simba kwa katiba na si kwa fedha alisema kaduguda alisema hakuna katibu simba atakayejitokeza kuwania uongozi kama yeye na ndiyo maana UNK ila kutokana na baadhi ya watu kutopenda maendeleo yake kikao UNK kutokana na mkanganyiko huo kamati ya utendaji ya simba inatarajiwa kukutana ili kuweka mambo sawa katika klabu hiyo na ndipo UNK upya nafasi hizo au wachukue hatua nyingine zaidi na zahoro mlanzi uongozi wa simba UNK mchakato wa kutafuta katibu mtendaji wa kuajiriwa ambapo sasa imeelekeza nguvu kwenye kuwania nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo hassan dalali alisema kutokana na timu yake kuwa katika ushindani mkubwa wa kuwania nafasi hiyo wameona ni bora wakafanya kazi kusaka nafasi ya pili kwanza awali katibu mtendaji alitakiwa aanze kazi leo kama UNK na kamati husika lakini lazi hiyo inakwenda taratibu sana hivyo tumeona UNK nafasi ya pili ndipo baadaye tuendelee na mchakato huo alisema dalali wakati huo huo mwenyekiti wa kamati ya mashindano wa timu hiyo hassan othman hassanol alisema timu hiyo imeondoka jana asubuhi kwa gari kwenda mjini kagera kucheza na kagera sugar katika mfululizo wa mechi za ligi kuu akizungumzia mchezo huo hassanol alisema utakuwa mgumu kwani kila timu inawania nafasi ya pili lakini kikubwa watakachofanya ni kuhakikisha wanaibuka na ushindi katika mchezo huo mashindano ya pili ya dunia ya netiboli yanatarajia kufanyika septemba ishirini na nane hadi oktoba tatu mwaka huu katika uwanja wa taifa dar es salaam akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa chama cha netiboli tanzania anna bayi alisema kwa mara ya kwanza tanzania inaandaa mashindano makubwa kama hayo ambayo yatashirikisha zaidi ya nchi ishirini na nane duniani alisema tayari shirikisho la kimataifa la netiboli limetoa kibali kwa tanzania kuendesha mashindano hayo ambayo UNK tanzania kuwa na viwango vya dunia vinavyotambulika na ifna tanzania hatukuwa na viwango vya ifna kupitia mashindano haya tutaweza kupata viwango vya kimataifa ikiwa ni pamoja na kuingizwa katika ramani ya dunia ya mchezo huu alisema bayi alisema mashindano hayo UNK kama tanzania international UNK tournament ambayo yatakuwa ni ya pili kufanyika duniani na ni ya kwanza kufanyika afrika anna alisema hadi sasa nchi sita tayari zimethibitisha kushiriki mashindano hayo ambazo ni wenyeji tanzania island wales scotland malawi na zambia ambazo UNK barua ya kuthibitisha kushiriki bayi alizitaja nchi ambazo tayari zimepata barua kutoka ifna juu ya kushiriki mashindano hayo kuwa ni singapore sri lanka canada malaysia u a uholanzi scotland UNK barbados botswana afrika kusini lesotho swaziland zambia zimbabwe uganda kenya malawi na UNK alisema mashindano hayo UNK nchi katika soko la utalii kupitia uwanja mpya wa tanzania ambapo chaneta UNK nchi zote zinazoshiriki kuja na wafanyabiashara pamoja na vikundi vya utamaduni bayi alisema bajeti ya mashindano hayo itagharimu shilingi milioni mia mbili na themanini ambazo zitapatikana kutokana na juhudi UNK na kamati ya utendaji ya chama hicho ya kusaka wafadhili alisema tayari serikali imeamuru mashindano hayo kufanyika katika uwanja huo ambapo kutakuwa na eneo maalumu kwa ajili ya kuwekwa UNK litakaloashiria kuwepo kwa kiwanja cha michezo hiyo ndani ya uwanja huo manchester united UNK ofa ya rekodi ya dunia ya pauni milioni themanini ya real madrid ya kumtaka winga hodari cristiano ronaldo ambaye ni mwanasoka bora wa dunia united imekubali kuipa ruhusa real madrid kuzungumza na ronaldo ilisema taarifa kutoka klabu hiyo yenye makao yake old trafford hapa ilisema kuwa uamuzi huo kuhusu mwanasoka huyo mwenye umri wa miaka ishirini na nne umekuja baada ya mwenyewe kuomba kuwa anataka kuhama united ilisema kuwa ofa hiyo haina masharti yoyote na inataka UNK kabla ya juni thebathini mwaka huu huku madrid UNK kumaliza masharti binafsi na mchezaji katika siku chache zijazo lakini steve kingstone wa bbc aliyeko madrid alieleza kuwa real UNK ada ya uhamisho ya pauni milioni themanini iliyotajwa na united msemaji kutoka wamiliki wa united familia ya UNK ameiambia bbc uamuzi wa kumuuza ronaldo umechukuliwa na kocha mkuu wa timu hiyo sir alex ferguson uamuzi huo UNK ferguson kuwa na nguvu ya kifedha katika kipindi hiki cha usajili united inawasaka mshambuliaji wa lyon karim benzema mawinga wa bayern munich franck ribery na antonio valencia wa wigan madrid UNK wiki hii kaka wa brazil aliyekuwa ac milan ya italia kwa pauni milioni hamsini na sita na kuweka rekodi ya dunia ambayo ilivunja ile iliyowekwa na klabu hiyo UNK kwa pauni milioni arobaini na tano sita zinedine zidane mwaka ishirini sifuri moja ronaldo alikuwa mfungaji bora wa united msimu uliomalizika kwa kufunga magoli ishirini na sita na kufanya jumla ya magoli aliyoifungia klabu hiyo kuwa mia moja na kumi na nane kwa mechi mia mbili na tisini na mbili na asha kigundula kocha mkuu wa al ahly ya misri manuel josse ametua nchini na kutamba kuwa timu yake imekuja nchini kwa kazi moja ya kuifunga yanga jumamosi na kusonga mbele katika michuano ya klabu bingwa afrika timu hiyo iliwasili nchini jana asubuhi ikiwa na wachezaji kumi na tisa na viongozi ishirini tayari kwa mechi hiyo inayosubiriwa kwa hamu kubwa wakiwemo washambuliaji hatari mohamed aboutrika mohamed barakat na flavio katika mechi ya awali iliyofanyika wiki tatu zilizopita nchini misri al ahly ilishinda mabao tatu sifuri hivyo UNK isonge mbele itahitaji ushindi wa mabao nne sifuri katika mechi hiyo itakayopigwa uwanja wa taifa hata hivyo baada ya kutua dar es salaam ahly walikataa kufikia hoteli ya UNK waliyopangiwa na wenyeji wao yanga na badala yake wakaamua kukaa hoteli ya kitalii ya movenpick kwa gharama zao akizungumzia mechi hiyo kocha timu hiyo josse alisema wamekuja nchini kwa lengo moja tu kuifunga yanga na kuendelea na michuano yanga UNK sana katika mchezo wa kwanza lakini sasa UNK kipigo UNK tena wakiwa nyumbani kwao alitamba UNK naye amina athuman anaripoti kuwa shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK barua chama mpira wa miguu misri juu ya mabadiliko ya uwanja kuhusu mechi kati ya yanga na al ahly itakayochezwa keshokutwa dar es salaam tff kimelazimika kuandika kuwasiliana na wenzao wa misri kutokana na uongozi wa yanga kutaka mechi hiyo ichezwe uwanja wa taifa badala ya uwanja wa uhuru kama UNK awali akizungumza dar es salaam jana ofisa habari wa tff florian kaijage alisema wanasubiri majibu ya maandishi kutoka UNK juu ya mabadiliko hayo kaijage alivitaja viingilio vya mechi hiyo ni shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri shilingi kumi sifuri sifuri sifuri shilingi tano sifuri sifuri sifuri na shilingi tatu sifuri sifuri sifuri tofauti na vile UNK na yanga ambapo cha juu kilikuwa shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri na zahoro mlanzi klabu ya kongsvinger ya daraja la kwanza nchini norway UNK muda zaidi wa kufanya majaribio wachezaji wa simba henry joseph na emeh izechukwu baada ya kuridhishwa na viwango vyao akizungumza dar es salaam jana wakala wa kimataifa anayetambuliwa na shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu mehd remtullah alisema alipata ujumbe tangu juzi kutoka kwa kongsvinger UNK maendeleo ya wachezaji hao pamoja na kuongezewa muda alisema izechukwu baada ya kumaliza wiki ya kwanza klabu hiyo ilimpa wiki moja zaidi kwa ajili ya UNK uwezo wake ambapo sasa inaonekana wameridhika na kiwango chake na ndio maana UNK tena muda wa wiki mbili zaidi izechukwu inaonekana UNK viongozi wa kongsvinger kila anapomaliza muda wake UNK aendelee kuwa nao na hizo ni dalili njema kwa mchezaji huyo huenda baadaye akapata mkataba mnono alisema remtullah akizungumzia kwa upande wa henry alisema licha ya mchezaji huyo kuanza mazoezi ijumaa ya wiki iliyopita lakini klabu hiyo imeamua kukaa naye kwa muda wa mwezi mmoja zaidi badala ya wiki moja ili afanye majaribio kwa muda mrefu zaidi aliongeza klabu hiyo imeamua kuwapa muda mrefu wachezaji hao wa kufanya majaribio kwakuwa wanataka kufanya kitu ambacho ni sahihi na si cha kubahatisha na ndio maana baada ya kuridhishwa na viwango vyao wameamua kukaa nao zaidi kabla ya kuingia nao mkataba wachezaji baada ya kumaliza muda wao katika klabu hiyo wataendelea na majaribio kwenye klabu ya UNK na molde fk zote za ligi kuu nchini humo na baadaye kuelekea nchini swiden katika klabu za hammarby djurgarden zote za ligi kuu ya nchini na UNK ya daraja la kwanza na erasto stanslaus timu ya kagera sugar UNK wachezaji wake tisa katika usajili wake wa msimu ujao wa ligi kuu tanzania bara huku wakiwa na mipango ya UNK kikosi hicho katika hadhi yake akizungumza dar es salaam jana meneja wa timu hiyo mohamed hussein alisema wameacha wachezaji hao kutokana na umri kiwango na UNK kwa baadhi ya wachezaji alisema katika msimu uliopita hawakufanya vizuri kutokana na kuwa na idadi kubwa ya wachezaji ambao hawakuwa na msaada mkubwa katika timu hivyo wamefikia uamuzi wa kuwaacha ili kujenga kikosi imara kwa msimu ujao aliwataja wachezaji UNK virago ni pamoja na kipa odo nombo jumanne ramadhani UNK issa ahmed UNK mussa UNK nassib malima bakari omari aliyesajiliwa na african lyon ahmed shariff na abdulrazak jackson alisema katika UNK kikosi hicho tayari UNK wachezaji wake maregesi mwangwa na salvatory ntebe pia wamemalizana na mshambuliaji wa yanga gaudence mwaikimba kwa ajili ya msimu ujao hussein alisema wachezaji hao wamesajiliwa kutokana na mapendekezo ya kocha wao wa zamani ambaye atakiongoza kikosi hicho msimu ujao george UNK wa uganda na elizabeth mayemba uongozi wa klabu ya yanga jijini dar es salaam umesema hauwezi kuwasilisha majina ya wachezaji wake watakaoachwa kwa muda ambao shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK jana ndiyo ilikuwa siku ya mwisho kwa klabu zinazoshiriki ligi kuu tanzania bara kuwasilisha majina ya wachezaji UNK na baadhi ya klabu jana mchana zilikuwa zimewasilisha majina hayo akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo iman madega alisema kwamba hawana barua kutoka tff ambayo inayotoa maelekezo hayo sisi hatuwezi kuwasilisha majina ya wachezaji wetu UNK kwa tarehe ambayo tff ilipanga kwa kuwa hatuna barua ambayo inatupa maelekezo hayo alisema madega alisema mbali ya kupewa barua pia tff UNK kanuni kama ilivyokuwa msimu uliopita na walichofanya msimu huu wa usajili ni kutumia kanuni ya msimu uliopita madega alisema kimsingi tff walitakiwa kutoa kanuni mpya ya mwaka huu na si kutumia ile ya msimu uliopita hivyo wanashangaa kusikia jana ndio mwisho wa kufanya hivyo alipoulizwa ofisa habari wa tff frolian kaijage alisema kama yanga wana malalamiko yoyote ingekuwa busara UNK tff na si kuongelea pembeni na erasto stanslaus baada ya kushindwa majaribio katika timu ya west ham ya uingereza winga machachari wa klabu ya yanga na timu ya taifa ya tanzania taifa stars mrisho ngassa sasa anatarajia kwenda kujaribu bahati nyingine nchini urusi akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo iman madega alisema wamepokea barua kutoka kwa timu ya daraja la kwanza nchini urusi ambayo imemwomba ngassa kwa ajili ya majaribio alisema wametoa ruhusa kwa mchezaji huyo kwa majaribio hayo na kinachosubiriwa ni timu hiyo kutuma barua ya kumtaka ikiwa pamoja na tiketi ya mchezaji huyo jina la klabu hiyo UNK lakini UNK na tunawasubiri wao kutuma tiketi ya ngassa na mategemeo ya kuondoka ni mwishoni mwa mwezi huu au mwanzoni mwa julai alisema madega alisema mbali ya ngassa pia wachezaji john njoroge na george owino nao pia wanatakiwa kwa majaribio nchini ujerumani wanatarajiwa kuondoka mwisho wa mwezi huu wakitokea kwao kenya huku safari ya beki wake nadir haroub nayo ikiwa inakaribia UNK madega alisema maombi ya wachezaji hao katika majaribio UNK kwa kiasi fulani taratibu za usajili kwani wanashindwa kusajili bila ya kujua kama wachezaji hao wataondoka au watabaki katika kikosi hicho alisema kutokana na hali hiyo wamekubaliana na klabu hizo kutoa majibu wiki moja baada ya wachezaji hao kufika katika timu hizo ili kuwahi tarehe ya mwisho ya usajili ili waache majina ya wachezaji hao kwani wote bado wana mikataba na yanga mabingwa wa soka wa marekani ya kusini brazil licha ya kushinda mabao nne tatu jana walipata upinzani mkali kutoka kwa mabingwa wa afrika misri katika mechi ya michuano ya mabara iliyofanyika katika uwanja wa free state uliochezwa mjini bloemfontein afrika kusini katika mechi hiyo ya kundi b brazili ilikuwa ya kwanza kupata goli lilifungwa na ricardo kaka katika dakika ya sita kaka ndiye alikuja kufunga goli la ushindi la ushindi kwa njia ya penalti katika dakika ya tisini baada ya mlinzi wa misri ahmed el UNK kuunawa mpira akiwa katika harakati za kuokoa pia alitolewa kwa kadi nyekundu kutokana na kushika mpira makusudi misri baada ya kufungwa bao la kwanza waliondoa uoga na kusawazisha kupitika kwa mohamed zidan katika dakika ya tisa baada ya kuunganisha kwa kichwa mpira wa krosi brazili ilikuja juu na kufunga magoli mengine katika dakika kumi na mbili kupitia kwa luis fabiano na juan dakika ya thebathini na saba na kuifanya timu hiyo kuwa mbele kwa mabao tatu moja hadi mapumziko kipindi cha pili misri iliingia uwanjani kwa nguvu na kuweza kupata magoli mawili ya haraka yaliyowekwa kimiani na zidan dakika ya hamsini na sita na kisha kiungo mohamed UNK alifunga goli la tatu na kufanya matokeo kuwa tatu tatu baada ya hapo misri ndiyo ilionekana kutawala mchezo kwa kucheza pasi fupi na ndefu za haraka na kuwaweka kwenye presha wapinzani wao lakini UNK ambayo ilipigwa na kaka ndiyo ilileta fuaraha kwa brazil na uchungu kwa misri iliamua brazil kuwa mshindi wa mechi hiyo leo ni mapumziko kesho saa kumi na moja jioni katika kundi a hispania ambayo iliifunga new zealand mabao tano sifuri katika mechi ya awali itachuana na iraq ambayo ilitoka suluhu na wenyeji afrika kusini mechi nyingine ya kundi hilo afrika kusini UNK karata yake nyingine kwa kucheza na new zealand saa tatu usiku shirikisho la mpira wa miguu tanzania leo linatarajia kuijadili timu ya yanga kutokana kukaidi taratibu za usajili kwa kushindwa kutangaza majina ya wachezaji UNK kwa mujibu wa ratiba ya usajili iliyotolewa na shirikisho hilo kwa mujibu wa ratiba hiyo mwisho wa kuwasilisha majina ya wachezaji ambao UNK na klabu zinazoshiriki ligi kuu tanzania bara msimu ujao tff ni juni kumi na tano mwaka huu akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema leo kamati ya mashindano ya tff inatarajiwa kukutana kujadili mambo mbalimbali ya usajili ikiwemo la yanga kutowasilisha majina hayo alisema tff ilipokea barua kutoka kwa yanga ikiomba kupewa ratiba ya usajili kwa maandishi kwa kuwa hawajui ratiba hiyo kitu ambacho si kweli kwani tff ilitoa barua kwa timu zote zinazoshiriki ligi hiyo kufikia jana ambayo ulikuwa mwisho wa kuwasilisha majina hayo timu kumi na moja zimewasilisha majina hayo isipokuwa yanga ambayo inadai haijui ratiba hiyo huku tayari uongozi wake ukitoa barua ya kuidhinisha uhamisho wa wachezaji hao ikiwa pamoja na kutangaza katika vyombo vya habari kuwa wanaendelea na usajili hii UNK akilini alisema mwakalebela alisema kutokana na hali hiyo kamati ya mashindano itatoa uamuzi wake kuhusu hatua ya yanga na watatoa ufafanuzi ikiwa ni pamoja na kupitia mikataba iliyovunjwa na klabu zilizowasilisha majina kama taratibu UNK mwakalebela alisema kwa mujibu wa kanuni za ligi kuu kitendo cha yanga kinaashiria kuwa wachezaji ambao bado wana mkataba na klabu hiyo wataendelea kuwa wachezaji wao halali isipokuwa wale ambao wamemaliza mikataba yao tuliweka muda wa kuacha wachezaji ili kutoa nafasi ya wachezaji hao kupata timu nyingine sasa kama klabu imeshindwa kuwaacha wachezaji hao katika muda mwafaka ina maana kuwa UNK kwa msimu ujao lakini hizo ni kanuni uamuzi utatolewa na kamati ya mashindano alisema mwakalebela kipindi cha usajili kinatarajia kumalizika julai kumi na tano wakati juni mosi hadi thebathini mwaka huu ni kipindi cha kuhamisha wachezaji kutoka timu moja hadi nyingine wakati julai mosi hadi kumi na tano ni kipindi cha kusajili wachezaji bloemfontein afrika kusini mabingwa wa ulaya hispania jana UNK kufuzu nusu fainali ya michuano ya mabara baada ya kuibuka na ushindi wa bao moja sifuri dhidi ya mabingwa wa bara la asia katika uwanja wa free state UNK kwa ushindi huyo hispania sasa imefikisha pointi sita baada ya kushinda mechi zake zote mbili awali iliifunga new zealand mabao tano sifuri hivyo kuongoza katika kundi a bao pekee la ushindi kwa hispania lilifungwa katika dakika ya hamsini na tano na mshambuliaji wa timu ya valencia david villa kwa kichwa akimalizia mpira wa krosi kutoka wingi ya kulia ushindi huo ni wa kumi na nne mfulilizo kwa UNK katika mechi za kimataifa hawajafungwa katika mechi thebathini na nne kati ya thebathini na tano katika mfululizo wa mashindano hayo leo katika kundi b marekani itapambana na mahasimu wao kutoka marekani ya kusini brazil ambao ni mabingwa watetezi wa michuano hiyo katika mechi ya awali marekani ilifungwa na italia mabao tatu moja huku brazil ikipata ushindi wa mbinde kwa misri wa mabao nne tatu mechi nyingine itazikutanisha timu za misri na italia ambayo ilipata ushindi wa mabao tatu moja dhidi ya marekani katika mechi itakayopigwa saa tatu usiku na erasto stanslaus uongozi wa klabu ya yanga umezidi kuliwekea nguvu shirikisho la mpira wa miguu tanzania kwa kutosajili hadi shirikisho hilo UNK kanuni za msimu ujao wa ligi yanga pamoja na kugoma kusajili lakini pia limemtaka katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela kuiomba radhi yanga kutokana na kauli yake aliyoitoa juzi dhidi ya klabu hiyo akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo iman madega alisema kufanya usajili bila ya kutengenezwa kwa kanuni za ligi ni kufanya vitu kinyume na taratibu za usajili alisema yanga waligundua kasoro nyingi katika utaratibu wa usajili na juni kumi na tano mwaka huu waliomba barua ya maandishi ya ratiba ya usajili UNK na kanuni za ligi na kujibiwa na tff siku hiyo jioni madega alisema barua ya tff UNK iliandikwa juni kumi na tatu mwaka huu huku UNK na mkurugenzi wa ufundi sunday kayuni kwa niaba ya mwakalebela hivyo inaonesha katibu huyo UNK na ndiyo maana alipata nguvu ya UNK maneno yasiyofaa kwa yanga nashangaa kamati ya mashindano inakaa kuijadili yanga sijui UNK kwa kutumia kanuni ipi wakati kanuni za usajili wa msimu huu bado haijatengenezwa nadhani kikao hicho kitakuwa batili alisema madega alisema wao yanga hawawezi kusajili bila ya kujua kanuni za ligi msimu ujao kwa kuwa kanuni ndiyo mwongozo wa kila kitu katika usajili juu ya idadi ya wachezaji wa kusajili ikiwa ni pamoja na idadi ya wachezaji wa kigeni sasa UNK kutoka katika mwongozo gani mwenyekiti huyo alisema kwa sasa yanga imetoa ruksa kwa wachezaji wake waliomaliza mikataba yake kwani hadi sasa si mali yao na kama UNK watafanya nao mazungumzo upya alisema wachezaji ambao wamemaliza mikataba yao ni pamoja na juma kaseja steven marashi shadrack nsajigwa wisdom ndhlovu bernard mwalala gaudence mwaikimba na maurice sunguti yaitaka kulirudisha na elizabeth mayemba kampuni ya bia tanzania ambayo UNK timu kongwe nchini za simba na yanga UNK uongozi wa simba kulirudisha basi dogo lilitolewa na kampuni hiyo kwa ajili ya matumizi ya viongozi baada ya kudaiwa kutumiwa vibaya na baadhi ya viongozi wa klabu hiyo hivi karibuni baadhi ya vyombo vya habari viliripoti kuwa basi hilo la simba limekuwa likifanya ruti barabara ya yombo vituka jijini dar es salaam nyakati za jioni akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa simba hassan dalali alisema juzi jioni alipigiwa simu na kiongozi mmoja wa tbl na kumtaka apeleke gari hilo kwenye yadi kampuni hiyo kwa kuwa UNK wao wameshindwa kulitunza tumeambiwa UNK gari tbl UNK wao kwa kuwa sisi tumeshindwa kulitumia kwa kazi za ofisi badala yake UNK UNK na wakati UNK kwa kazi hiyo alisema dalali alisema kuwa hadi sasa bado hajajua kama basi hilo UNK na wenyewe au la kwa kuwa bado UNK hadi jana wakati akizungumzia habari hizi kutokana na hali hiyo dalali amemtaka makamu wake omary gumbo kulirudisha gari hilo haraka makao makuu ya klabu hiyo mtaa wa msimbazi kariakoo dalali alisema tayari ameshamtafuta dereva wa kudumu kwa ajili ya kuliendesha ambaye ni mwanachama wa klabu hiyo atakayekuwa akifanya shughuli maalumu mwenyekiti huyo dereva aliyepatikana anajulikana kwa jina la UNK UNK mkazi wa kawe jijini dar es salaam hii ni aibu kubwa tena fedheha ambayo UNK gumbo kwa kushindwa UNK basi hilo na kukutwa UNK alisema dalali hata hivyo gumbo alipoulizwa kuhusiana na suala la basi hilo alisema mimi sijui lolote labda muulize mwenyekiti na amina athumani tamasha la kumi na mbili la filamu za nchi za majahazi linalofanyika kila mwaka linatarajia kufanyika juni ishirini na saba hadi julai nne mwaka huu mjini zanzibar tamasha hilo litashirikisha wasanii mbalimbali kutoka nchi za zimbabwe uholanzi na vikundi vya ngoma za asili kutoka india na wasanii mbalimbali wa tanzania akizungumza dar es salaam jana mratibu wa tamasha hilo martine mhando aliwataja wasanii wa tanzania watakaotoa burudani kuwa ni mwasiti keisha kassim wao band mangwea na UNK alisema tamasha hilo litakuwa na maonesho mbalimbali ya vitu vya asili ambavyo UNK uhalisia wa mwafrika na pia kutakua na UNK zitakazoonesha utamaduni wa mtanzania mbali na watu mbalimbali watakaoshiriki tamasha hili pia tunategemea kuwa na watoto mbili sifuri sifuri sifuri kutoka katika visiwa vya pemba na unguja ambao UNK filamu za watoto ili kujijengea uelewa UNK baadaye juu ya kuutambua utamaduni wao alisema mhando alisema tamasha hilo litasaidia kuitangaza nchi hasa katika nyanja ya utalii kutokana na kuwa na wageni wengi kutoka nje ya tanzania ambao watafika kuhudhuria na erasto stanslaus fainali za michuano ya vijana chini ya miaka kumi na saba copa cocacola zinatarajiwa kuanza kutimua vumbi juni ishirini na nane na kufikia kilele julai kumi na nane mwaka huu jijini dar es salaam akizungumza dar er salaam jana ofisa habari wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania florian kaijage alisema michuano hiyo ilianzia ngazi ya wilaya mikoa na taifa itashirikisha mikoa ishirini na nane ya tanzania bara na zanzibar alisema timu zote zitakazoshiriki michuano hiyo UNK kibaha pwani na kuweka kambi katika shule ya sekondari ya filbert bayi badala ya kufikia dar es salaam kama ilivyozoeleka kaijage alisema ratiba na makundi za timu hizo zinatarajiwa kupangwa juni ishirini na tatu wakati timu hizo zinatakiwa UNK kibaha juni ishirini na nne ishirini na tano na juni ishirini na sita mwaka huu kutakuwa na uhakiki wa umri kwa wachezaji waliosajiliwa na timu hizo wakati juni ishirini na saba kutakuwa na semina elekezi ya viongozi wa timu hizo wakati huo huo kaijage alisema ligi ya taifa ngazi ya taifa inatarajia kuanza julai kumi na nane mwaka huu huku timu ambazo ni mabingwa wa mikoa zinatakiwa kukamilisha usajili wake ifikapo juni ishirini na saba mwaka huu alisema ligi hiyo itachezwa katika mtindo wa ligi huku UNK katika makundi matatu ambayo ni kigoma morogoro na tanga ofisa huyo alisema ligi hiyo itashirikisha timu ishirini na tatu ambapo katika kituo cha morogoro na tanga kitakuwa na timu nane kila kituo na kituo cha kigoma kitakuwa na timu saba na bingwa wa kila kituo atapanda daraja msimu ujao na erasto stanslaus shirikisho la mpira wa miguu tanzania kupitia kamati yake ya mashindano UNK timu ya yanga ambayo UNK kuwasilisha majina ya wachezaji wake UNK kwa msimu ujao katika kikao chake UNK juzi kamati hiyo iliamua UNK suala la yanga kutokana na kuwa kila kitu kipo wazi kuhusu usajili wa msimu ujao wa ligi kuu akizungumza dar es salaam jana ofisa habari wa tff florian kaijage alisema katika kikao hicho kamati hiyo UNK suala la yanga kutokana na kutoona hakuna hoja ya kuijadili klabu hiyo alisema kutokana na klabu hiyo UNK majina ya wachezaji ambao UNK katika msimu ujao ina maana kuwa klabu hiyo haina wachezaji wa kuwaacha hivyo hakuna sababu ya kujadili kitendo hicho baada ya kamati kupelekewa hoja hiyo ambayo ilieleza kuwa yanga walikaidi agizo la tff kwa madai kuwa hawana taarifa kamati hiyo ilitupilia mbali shauri hilo kwa kuwa hakuna hoja ya kujadili alisema kaijage alisema kutokana na hatua hiyo tff kupitia kamati hiyo inaamini kuwa wachezaji wote waliokuwa na mkataba na yanga UNK klabu hiyo msimu ujao hivyo hawatakiwi kutangaza tena wachezaji wa kuacha kaijage alisema kuwa madai ya yanga ya kutaka kanuni hayana msingi kwa kuwa walitakiwa kutekeleza agizo la tff wakati kanuni hizo zikiwa UNK na UNK hivi karibuni sidhani kama yanga ndiyo timu ambayo inajua kuliko wote kiasi cha kusimamisha shughuli zote kutokana na kanuni kitu ambacho kinaweza kurekebishwa kwani wao hawawezi kubadilisha kanuni zote za ligi alisema kaijage yanga walidai hawawezi kufanya usajili bila ya kanuni za ligi kuu kwa msimu wa ishirini sifuri tisa kumi kwani huo ndiyo mwongozo wa kila kitu katika ligi johanesburg afrika pamoja na misri kupata furaha ya kuibuka na ushindi wa kihistoria kwa kuwafunga mabingwa wa dunia italia bao moja sifuri miamba hao walijikuta wakipata huzuni kwa kuibiwa vitu vyao katika hoteli waliyofikia afrika kusini kwa mujibu wa tovuti ya UNK UNK wachezaji wa misri UNK fedha kwenye vyumba vya hoteli waliyofikia UNK kuwa mohamed zidan na wachezaji wengi waligundua kuibwa kwa fedha zao waliporudi hotelini baada ya kuisha kwa mechi yao dhidi ya italia hadi jana mchana hakuna taarifa rasmi iliyokuwa imetolewa kuhusu tukio hilo lakini viongozi wa klabu hiyo walikuwa wameripoti polisi pamoja na kwamba idadi kamili ya fedha zilizoibwa UNK lakini inadaiwa kuwa ni kiasi kikubwa cha fedha inadaiwa kuwa tukio hilo lilitokea wakati timu ikiwa katika uwanja wa UNK park wakati ikicheza mechi ya kundi b ya michuano ya mabara dhidi ya UNK katika mechi hiyo misri ilipata bao pekee kupitia kwa mohamed UNK na kumfanya kocha hassan shehata kutoka kifua mbele matokeo hayo yamefanya miamba ya afrika misri kuwa na nafasi kubwa ya kufuzu nusu fainali kesho watapambana na marekani katika mchezo wao wa mwisho wa kundi b misri jana asubuhi ilihamia UNK kwa ajili ya mchezo huo na elizabeth mayemba kamati ya utendaji ya simba inatarajia kukutana kesho kwa ajili ya kuzungumzia mtafaruku uliojitokeza baina yao ili kuumaliza na kuzika tofauti zao ili washughulikie mambo ya maendeleo katika klabu hiyo viongozi wanne wa klabu hiyo ambao ni katibu msaidizi wa klabu hiyo mohammed mjenga mwenyekiti hassan dalali makamu wake omar gumbo na katibu mkuu mwina kaduguda walijikuta wakiingia katika mzozo mkubwa baada ya kamati ya utendaji kushindwa kuafikiana suala la kuajiri katibu mtendaji akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana katibu mkuu wa simba mwina kaduguda alisema kwa muda mrefu sasa wamekuwa katika mzozo ambao unaonekana kukua siku hadi siku hivyo wameona ni vyema kukutana ili kumaliza tofauti hizo tunatarajia kukutana kesho viongozi wote saba wa kuchaguliwa kuzungumzia mtafaruku na kuweka mikakati thabiti ya jinsi ya gani ya kushiriki katika mashindano ya kitaifa na kimataifa UNK huko mbele alisema kaduguda alisema kuwa mambo yote UNK katika malumbano yao ni kuficha kiini cha ukweli kuhusu chanzo cha mtafaruku huo miongoni mwa viongozi wa simba kaduguda alisema chanzo ugomvi huo ni dhuluma aliyofanyiwa yeye ambaye aliomba kuajiriwa kuwa katibu ambapo juni saba mwaka huu kamati ya utendaji ya simba ilikaa na baadhi ya wajumbe wakataka apigiwe kura na wajumbe kwa maslahi yao binafsi alisema kwa sasa hawana nafasi ya kuendeleza malumbano ndani ya klabu hiyo bali akili zao na nguvu zao UNK kwenye usajili ili kupata timu imara itakayofanya vizuri katika ligi kuu ya vodacom na kombe la shirikisho kuhusiana na basi la viongozi kugeuka daladala kaduguda alipinga kuwa si kweli kuwa gari hilo UNK la kubebea abiria bali UNK yombo vituka hawakujua UNK walikuwa akina nani juni kumi na nne mwaka huu baadhi ya wanachama wa simba wakiwa ndani ya basi la viongozi lililokuwa likiendeshwa na makamu wetu omary gumbo walikwenda nyumbani kwa katibu msaidizi mohammed mjenga yombo vituka karibu na zahanati ya malawi hivyo upo uwezekano kwamba wapenzi wa simba wa maeneo yale au waandishi wa habari kwa kutojua walidhani basi hilo lilibeba abiria jambo ambalo si kweli alisema grace michael na shukrani UNK mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam imetupilia mbali pingamizi la kupokewa maelezo ya onyo ya mfanyabiashara bwana farijala hussein na badala yake imepokea maelezo hayo kama sehemu ya ushahidi mahakama hiyo ilifikia uamuzi wa kupokea maelezo hayo baada ya kuridhika na ushahidi wa mashahidi wawili wa upande wa mashitaka ambao waliwasilisha vielelezo viwili vikiwa ni maelezo tofauti ya mshitakiwa huyo uamuzi huo ulitolewa jana mahakamani hapo na jopo la mahakimu watatu ambao ni bwana samwel karua bibi beatrice mutungi na bwana elvin UNK akisoma uamuzi huo bwana mugeta alisema kuwa pingamizi la upande wa utetezi kuhusu maelezo ya onyo ya mshitakiwa huyo UNK katika maeneo makubwa mawili yakiwa ni maelezo hayo kuhamishwa kutoka kwenye tuhuma nyingine na maelezo hayo UNK na mshitakiwa huyo mbali na sababu hizo pia upande huo ulidai kuwa baadhi ya sehemu katika maelezo hayo zilikuwa UNK hivyo kuwa kinyume cha sheria katika sababu hizo mahakama ilisema kuwa baada ya kuangalia maelezo yalidaiwa kuhamishwa iliona kuna tofauti kubwa ya maelezo hayo hivyo UNK mbali sababu hiyo maelezo ya kampuni ya kiloloma na mibare farm yana tofauti mkubwa kwanza mengine yana kurasa nyingi tofauti na mengine hivyo isingekuwa rahisi kwa mwandishi wa maelezo haya kukadiria UNK ili mshitakiwa aweke saini yake ilisema mahakama kutokana na sababu hizo mahakama ilitupilia mbali pingamizi hilo na kuyapokea maelezo ya onyo ya mshitakiwa huyo awali upande wa mashitaka kupitia shahidi wa kwanza wa kesi hiyo ssp salum kisai uliomba kuwasilisha maelezo ya mshitakiwa huyo mahakamani ili yawe moja ya vielelezo suala hilo lilipingwa vikali na wakili wa washitakiwa hao bwana majura magafu ambaye alidai kuwa maelezo hayo ni ya UNK kwa kuwa yalichukuliwa kwenye kesi nyingine kulingana na malumbano hayo mahakama iliamua kusikiliza kesi ndani ya kesi ili kila upande ulete mashahidi wake kuthibitisha hayo baada ya kupokelewa kwa maelezo hayo mahakama itaendelea kusikiliza ushahidi wa shahidi wa kwanza na mashahidi wengine wa kesi hiyo washitakiwa hao ni bwana hussein bwana rajab maranda bwana ajay somani bwana imani mwakyosa bibi ester komu na bibi sophia UNK watuhumiwa hao kwa pamoja wanadaiwa kuiba jumla ya shilingi bilioni tatu nane kutoka bot baada ya kughushi mkataba wa makubaliano wa kuhamishiwa deni na kampuni ya lakshimi textile co ltd ya india kwenda kwenye kampuni ya washitakiwa hao ya mibare farm hispania imeendelea kuweka rekodi ya kushinda mechi kumi na tano mfululizo baada ya juzi kuwachapa wenyeji wa michuano ya kombe la mabara afrika kusini mabao mbili sifuri na kufuzu nusu fainali afrika kusini pamoja na kufungwa mechi hiyo nao wamefuzu hatua hiyo walipata nafasi kadhaa za kufunga mabao lakini washambuliaji wake UNK UNK na bernard parker hawakuweza kukwamisha mpira wavuni kipa wa afrika kusini itumeleng khune alifanya kazi kubwa kuokoa mashambulizi langoni mwake ikiwemo penalti iliyopigwa na david villa dakika ya hamsini na moja lakini dakika moja baadaye mchezaji huyo alifunga bao villa alipiga mpira wa chini ambao UNK na khune na kisha fernando UNK dakika ya sabini na mbili aliongeza bao lingine kwa hispania kwa ushindi huyo hispania imeifikia rekodi ya brazil ya kucheza mechi thebathini na tano bila ya kufungwa mechi hiyo iliyochezwa bloemfontein ilikuwa ya upinzani huku hispania wakitumia pasi fupi na kutawala mchezo afrika kusini wakionekana kama wangeshinda kwa kucheza kwa kasi na kufanya mashambulizi ya UNK katika kipindi cha kwanza albert riera wa hispania alimjaribu kipa khune kwa mpira wa adhabu khune pia aliokoa shuti la fernando torres kwa mkono mmoja huku akiokoa mara mbili mpira wa kichwa wa villa kipa wa hispania pepe reina anayeichezea liverpool ya uingereza alitumia uzoefu wake kwa kuokoa mashambulizi kutoka kwa parker na steven UNK anayechezea timu ya everton hispania itacheza na mshindi wa pili wa kundi b ambaye ni kati ya misri na italia waliocheza usiku wa kuamkia leo cecafa UNK kichwa yanga upya na zahoro mlanzi ikiwa imebaki wiki moja kabla ya mashindano ya kombe la kagame kuanza baraza la vyama vya mpira wa miguu afrika mashariki na kati limeanza kutuma tiketi kwa timu shiriki mashindano hayo yataanza kutimua vumbi juni thebathini mpaka julai kumi na mbili mwaka huu mjini khartoum sudan ambapo cecafa tayari imetuma wakaguzi kwa ajili ya kuangalia miundombinu ili kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa akizungumza kwa simu kutoka kenya jana katibu mkuu wa cecafa nicholas musonye alisema wamewasili juzi kutoka khartoum ambako walikwenda kuweka mambo sawa ya mashindano hayo alisema cecafa imeanza kutuma tiketi kwa timu shiriki ambapo wanatarajia mpaka kufikia juni ishirini na saba timu zote ziwe zimewasili nchini humo tumerudi jana kutoka sudan na kila kitu kipo tayari tumeanza kutuma tiketi kwa timu shiriki na waamuzi hivyo mpaka kufikia jumanne au alhamisi mambo yote huko sudan yatakuwa shwari alisema musonye alisema mabingwa wa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo tp mazembe wamewasili juzi na ndio timu ya kwanza kufika huko huku timu nyingine zitaanza kuwasili kuanzia juni ishirini na saba katika hatua nyingine musonye alizungumzia suala la yanga kushiriki mashindano hayo ambapo alisema UNK baada ya kumalizika kwa mashindano hayo hatuwezi kuizungumzia yanga kwa sasa kwani huu si wakati wake ila baada ya kumalizika kwa mashindano hayo tutakuwa katika nafasi nzuri ya kulizungumzia suala hilo kwa kina alisema musonye wawakilishi wa tanzania katika mashindano hayo ni timu ya prisons ya mbeya ambayo inatarajia kuondoka nchini juni ishirini na sita kuelekea sudan ambako wataanza kutupa karata yao dhidi ya tp UNK na mwandishi wetu warembo wanaowania umalkia wa kitongoji cha dar city center juzi walitembelea mitambo ya kusukuma maji ya kampuni ya maji safi na majitaka ya ruvu chini iliyopo wilayani bagamoyo mkoani pwani wakiwa na waratibu wa shindano hilo katika ziara hiyo warembo hao walijifunza jinsi mitambo hiyo inavyofanya kazi mpaka kufikisha maji katika mkoa wa dar es salaam na wilaya ya bagamoyo mkoani pwani akizungumza katika eneo la mitambo hiyo ofisa habari wa shirika la maji safi na maji taka mary lyimo alisema ziara hiyo ilikuwa ya mafanikio baada ya warembo hao kuuliza maswali mengi yanayohusu maji ni mambo mengi yanayohusu maji wameuliza maswali na kujibiwa kwa ufsaha kabisa na mkuu wa kitengo cha uzalishaji cha shirika la maji safi na maji taka tamimu rashidi alisema warembo hao walitembelea mtambo huo kuanzia sehemu maji hayo yanapopatikana kusafishwa kuchujwa mpaka yanaposafirishwa kwenye sehemu mbalimbali za jijini na bagamoyo akizungumza kambi ya mazoezi mkurugenzi wa kampuni ya sisi entertainment john dotto alisema mbali na dawasco wadhamini wengine wamejitokeza wakiwemo vodacom ambao ni wadhamini wakuu wa miss tanzania na amina athumani hatimaye wachezaji wenye ulemavu wamepata shirikisho la paralimpiki afrika mashariki na kati litakalosimamia kikamilifu michezo kwa walemavu kwa ukanda wa nchi hizo shirikisho hilo ambalo linaundwa na viongozi nane lilipitishwa rasmi juzi katika uchaguzi uliowakutanisha viongozi mbalimbali wa vyama vya walemavu vya nchi za kenya uganda rwanda na tanzania ambao ndio waliokuwa ni wenyeji wa uchaguzi huo akizungumza dar es salaam jana ofisa tawala wa kamati ya paralimpiki tanzania rafael matola alisema uongozi huo kwa sasa upo katika maandalizi ya kuandaa rasimu ya katiba kwa ajili ya kuanza kazi mara moja alisema katika uchaguzi huo uliosimamiwa na mbunge wa bunge la rwanda kupitia jimbo la watu wenye ulemavu tierre lwaka uliofanyika hoteli ya travetine magomeni dar es salaam ulimpitisha dominick biziman kuwa rais atakayeongoza shirikisho hilo ambaye kwa sasa ni rais wa paralimpiki rwanda alisema nafasi ya makamu wa rais amepewa jairus mogalo ambaye pia ni makamu wa rais wa paralimpiki kenya nafasi ya katibu mkuu imekwenda kwa iddi kibwana ambaye pia ni katibu wa kamati ya paralimpiki tanzania na nafasi ya mweka hazina itakuwa chini ya john kiaga ambaye ni rais wa paralimpiki uganda alisemna nafasi za wajumbe ni william mayanja ambaye ni katibu paralimpiki uganda selestine zayeman katibu wa paralimpiki rwanda jackson janson ambaye ni rais wa paralimpiki tanzania na doglas ditialo rais paralimpiki kenya alisema uamuzi wa kuundwa kwa shirikisho hilo umetokana na viongozi hao kukutana katika michezo ya paralimpiki ya dunia liliyofanyika ugiriki mwaka ishirini sifuri nne ambapo ombi la kuundwa kwa shirikisho hilo likapitishwa alisema lengo hasa ni kuona michezo ya walemavu inapewa kipaumbele na kupiga hatua kama ilivyo kwa nchi za ulaya ambapo asilimia kubwa ya wachezaji mahiri ni wenye ulemavu wa viungo jambo ambalo kwa nchi za afrika wachezaji hao wanakosa kupewa kipaumbele na erasto stanslaus uongozi wa klabu ya yanga umesema hauna taarifa ya kuwepo kwa wachezaji kutoka kameruni hivyo hawahusiki na huduma yoyote kwa wachezaji hao wachezaji hao wapo nchini kwa zaidi ya mwezi wakifanya mazoezi kwa lengo la kutafuta nafasi ya kusajiliwa katika klabu hiyo kama wakifuzu majaribio hayo wachezaji hao watatu ambao ni kipa frankline teme na washambuliaji wawili moto kaisi na woloko john ambao wiki iliyopita walilalamika kutelekezwa na klabu hiyo kiasi cha kushindwa hata hela ya kula akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo imani madega alisema hadi sasa hana taarifa ya kuwepo kwa wachezaji hao na wala hajui ni nani aliyewaita nchini kwa majaribio alisena kuna uwezekano mkubwa wachezaji hao walikuja bila ya mwaliko kwa lengo la kutafuta nafasi hivyo klabu haitakuwa na jukumu la kutoa huduma kwa wachezaji hao mpaka watakapopewa majina na kocha endapo watasajiliwa na klabu hiyo yanga ni klabu kubwa inawezekana wachezaji hao wakawa wamekuja wenyewe kusaka maisha na kama ni hivyo sisi hatutahusika kwa lolote hadi hapo kocha atakapotueleza kuwa hao ni wachezaji wa yanga alisema alisema kocha mkuu dusan kondic alitarajia kuanza majaribio ya wachezaji wa nje jana jioni hivyo kama wachezaji hao wapo katika mpango wa kocha wanaweza kuwa kati yao nadhani tusubili taarifa ya mwalimu kama ni wachezaji gani wamepita katika mchujo wache lakini hivi hivi hatuwezi kukurukupa na kuanza kuhudumia wachezaji ambao hata mwalimu hana mpango nao alisema kutokana na ukali wa maisha unaowakabili wachezaji hao walisema kuwa kwa sasa wapo tayari kujiunga na timu yoyote japokuwa mpango wao ulikuwa kuichezea yanga pamoja na madega kutokuwa na taarifa ya wachezaji hao lakini kondic aliwahi kukaririwa na vyombo vya habari kuwa amevutiwa na kipa teme na yupo tayari kumsajili katika kikosi chake cha msimu ujao na waandishi wetu jijini msanii maarufu wa muziki wa taarab aliyewahi kutamba katika kundi la muungano cultural troupe na kujipatia umaarufu kwa albamu yake ya mambo iko huku nasma khamis kidogo amefariki kwa mujibu wa baba wa marehemu hamis kaniki amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kusema kuwa marehemu alilazwa katika hospitali ya wilaya ya temeke wodi namba nne tangu juni kumi na nane akisumbuliwa na maradhi ya malaria amesema marehemu kabla ya kupelekwa hospitalini alikuwa akisumbuliwa na homa ambapo alilazwa na kuruhusiwa kurudi nyumbani kaniki amesema juni kumi na nane mwaka huu nasma alizidiwa na na kukimbizwa hospitali kwa matibabu zaidi ambapo alfajiri ya leo saa saba usiku alifariki dunia naye kaka wa marehemu UNK mabrouk amesema wamepokea kwa masikitiko makubwa msiba huo mzito ambapo marehemu ameacha watoto sita wa kike watatu na wa kiume watatu enzi za uhai wake nasma aliwahi kutamba nyimbo za sanamu la UNK mambo iko huku akiwa na muungano cultural troupe pia aliwahi kushirikishwa na UNK UNK ikiwa inaongozwa na inspekta haroun katika kibao cha UNK vidonge hadi umauti UNK nasma alitamba katika kundi la super UNK modern taarab na kutamba na kibao cha UNK taratibu za mazishi zinafanywa nyumbani kwa baba yake mtaa wa hananasif karibu na shule ya msingi juhudi johannesburg afrika kusini kitendawili cha timu gani UNK nusu fainali ya michuano ya soka ya kuwania kombe la mabara UNK juzi baada ya hispania walioongoza kundi a kuumana na washindi wa pili wa kundi b ambao ni marekani na brazil itachuana na wenyeji afrika kusini mabingwa watetezi wa kombe la mabara brazil juzi UNK mabingwa wa soka wa dunia italia kwa kuwafunga mabao tatu sifuri na kuwatoa katika mashindano hayo hispania na brazil wamepata mafanikio kwa asilimia kumi sifuri katika hatua ya makundi kwa kushinda mechi zao zote hispania iliifunga new zealand mabao tano sifuri iraq bao moja sifuri na afrika kusini mabao mbili sifuri wakati brazil UNK misri mabao nne tatu marekani tatu sifuri na italia mabao tatu sifuri brazil juzi iliitoa UNK italia kwa kuifunga mabao tatu sifuri katika mechi ambayo italia ilikuwa ikisaka ushindi ili kutinga nusu fainali ikicheza kwa kwa kujiamini na kumiliki mpira brazil ilipata mabao yake yote katika kipindi cha kwanza kupitia kwa luis fabiano ambaye alifunga magoli mawili dakika ya thebathini na saba na dakika arobaini na tatu huku bao la tatu lilikuwa zawadi kutoka kwa beki wa italia dossena aliyejifunga akiwa katika harakati za kuokoa mpira wa robinho katika dakika ya arobaini na tano marekani ambayo ilikuwa haipewi nafasi ya kutinga nusu fainali katika kundi b ilizima ndoto za misri kucheza hatua hiyo kwa kuifunga magoli tatu sifuri mabao yake yakifungwa na davies dakika ishirini na mbili UNK dakika ya sitini na tatu na dempsey dakika ya sabini na moja marekani imefuzu hatua hiyo ikiwa ilianza kwa kupoteza mechi zake mbili za mwanzo kwa kufungwa na italia mabao tatu moja kisha UNK na brazil mabao tatu sifuri italia na misri UNK zote kila moja ina pointi tatu lakini zimebakia kutoka na tofauti ya magoli ya kufungwa hispania itachuana na marekani jumatano juni ishirini na nne huku alhamisi juni ishirini na tano brazil itapambana na mwenyeji afrika kusini mechi ya kusaka mshindi wa tatu na fainali ya mashindano hayo itapigwa jumapili juni ishirini na nane mwaka huu na elizabeth mayemba kamati ya utendaji ya klabu ya simba UNK katibu mkuu wa klabu hiyo mwina kaduguda asitishe uamuzi wake wa kujitoa kwenye kinyangganyiro cha ukatibu mtendaji wa kuajiriwa kaduguda aliamua kujiondoa katika kinyangganyiro hicho kufuatia kikao cha juni saba mwaka huu cha kamati ya utendaji ambacho UNK mahsusi kwa ajili ya kuteua jina la katibu mtendaji wa kuajiriwa na kuahirishwa baada ya kutokea mzozo miongoni mwa wajumbe kuhusu muda wa mkataba UNK kupewa katibu huyo akizungumza na waandishi wa habari jana kwenye makao makuu ya klabu hiyo mtaa wa msimbazi katibu mkuu wa klabu hiyo mwina kaduguda alisema viongozi kwa kauli moja wametoa tamko la kutoikubali na kutupilia mbali kauli ya katibu huyo ya kujitoa katika kinyangganyiro hicho tumeamua kutoikubali kauli ya kaduguda ya kujiondoa katika kinyangganyiro cha katibu mtendaji wa kuajiriwa kwa kuwa mchango wake ni muhimu na bado unahitajika kwa maendeleo ya klabu kaduguda alinukuu taarifa ya wenzake mbele ya waandishi wa habari alisema kikao cha kamati ya utendaji cha juni saba UNK UNK tena katika tarehe UNK baadaye na UNK pale UNK kwa mujibu wa muhtasari wa kikao hicho kaduguda alisema kikao UNK wakati kikiwa katika hatua ambayo wajumbe walikuwa wanajadili muda wa mkataba ambao alikuwa anastahili kupewa yeye kwa kuwa alikuwa UNK sifa na vigezo dhidi ya waombaji wengine wawili kaduguda alipoulizwa endapo kama UNK maamuzi ya kamati ya utendaji ya kumrudisha katika kinyangganyiro hicho alisema anaomba muda wa kufikiria kama UNK kamati hiyo au la pia katika kikao hicho viongozi UNK na kuendeleza umoja na mshikamano ili kudumisha amani na upendo ndani ya klabu yao kwa manufaa ya UNK ya simba sc viongozi hao walikubaliana kuwa hakuna mgogoro kati yao na kundi la fri of simba bali wasioitakia mema ndio kwa kiasi kikubwa wamekuwa UNK na kutengeneza mgogoro kwa makusudi baina ya pande hizo mbili ili kuivuruga klabu wakati huohuo kikao kiliamua kuajiri dereva wa basi dogo la viongozi wa simba haraka iwezekanavyo na atafanya kazi chini ya utaratibu UNK na katibu mkuu hata hivyo wakati mchakato wa kuajiri dereva ukiendelea gari hilo litaendeshwa na makamu mwenyekiti omar gumbo na erasto stanslaus wawakilishi wa tanzania katika michuano ya kombe la kagame timu ya prisons ipo kamili kwa michuano ya hiyo na wameahidi kufanya vizuri kwa kuonesha ushindani mkubwa akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo salum chambuso alisema maandalizi yote ya timu hiyo yamekamilika na wanatarajia kufanya maajabu katika michuano hiyo alisema pamoja na kupoteza mchezo wao dhidi ya african lyon hivi karibuni lakini wamejiandaa vizuri chini ya kocha wao hassan UNK na wana matumaini ya kuleta ushindani katika michuano hiyo kupoteza mchezo na lyon UNK changamoto kubwa na kurekebisha makosa yaliyojitokeza lakini kiuwezo bado kikosi chetu kilionesha uwezo mkubwa ambao UNK matumaini ya kufanya vizuri alisema alisema taratibu za safari zimekamilika na kwa sasa wanasubiri kutumiwa tiketi kutoka baraza la vyama vya michezo afrika mashariki na kati na kuanza safari mara moja alisema mpango wao ni kusafiri kabla ya juni ishirini na nane ili kupata muda wa kuzoea mazingira ikiwa pamoja na hali ya hewa ya sudan UNK michuano hiyo prisons ilipata nafasi hiyo baada ya yanga kufungiwa kutokana na kugomea mchezo wa kusaka mshindi wa tatu wa michuano hiyo mwaka jana dhidi ya simba michuano hiyo inatarajia kuanza juni thebathini jijini UNK sudan na elizabeth mayemba mwenyekiti wa kamati ya usajili ya simba kassim dewji amesema UNK usajili wa wachezaji wao kwa sasa mpaka kocha mkuu wa timu hiyo mzambia patrick phiri UNK nchini na kutoa mapendekezo yake akizungumza na mwandishi wa habari hizi jana jijini dar es salaam dewji alisema kuwa wapo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wao lakini hawawezi kutangaza majina yao mpaka kuwasili kwa kocha wao tupo katika hatua za mwisho kabisa za kukamilisha usajili wetu lakini hatuwezi kutangaza kwa sasa mpaka kocha wetu aje UNK majina ya wachezaji na kuyatolea mapendekezo yake alisema alisema kuwa kocha wao anatarajiwa kuwasili nchini juni ishirini na nane mwaka huu na siku inayofuata UNK majina ya wachezaji na kutoa mapendekezo yake dewji alisema wamekuwa wakifanya kazi ya usajili kwa umakini mkubwa ili UNK kukajitokeza matatizo yoyote alisema wamefikia mahali pazuri katika kazi hiyo hivyo kocha wao UNK majina hayo itakuwa vizuri zaidi tunajua kila mwana simba anataka kujua ni wachezaji gani UNK hivyo tunaomba wavute subira kidogo alisema na erasto stanslaus uongozi wa klabu ya yanga umesema utaanza kufanya usajili kwa wachezaji wa kigeni huku UNK kiporo wachezaji waliomaliza mikataba yao katika klabu hiyo yanga ambayo UNK kuacha mchezaji hata mmoja huku ikiwa na wachezaji saba ambao wamemaliza mikataba yao ambao ni juma kaseja steven marashi maurice sunguti bernard mwalala wisdom ndhlovu na shadrack nsajigwa akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo imani madega alisema leo kocha mkuu wa timu hiyo dusan kondic ataanza programu yake ya kuchuja wachezaji hao wa kigeni kwa ajili ya kuwasajili alisema suala la wachezaji waliomaliza mikataba yao UNK baadae kwa mwalimu kuangalia ni mchezaji gani wanaweza kuendelea nao alisema kondic anaangalia kwanza umuhimu wa kuongeza nguvu katika kikosi hicho kutokana na kuwa katika harakati za kuuza wachezaji wake wengi nje ya nchi suala la wachezaji waliomaliza mikataba yao si la msingi sana kwani tayari katika kundi hilo kuna wachezaji ambao mwalimu hataendelea nao hivyo wale anaowahitaji anazungumza nao baadae sasa UNK wa kuongeza katika kikosi alisema madega alisema wachezaji hao wa kigeni wataanza majaribio leo kusaka nafasi ya kuichezea klabu hiyo katika msimu ujao wa ligi ikiwa pamoja na michuano ya kimataifa kutokana na mafanikio ya yanga kuna wachezaji wamekuja wenyewe kusaka timu ya kuichezea wakati wengine wamependekezwa na mwalimu lakini UNK anafaa ndio UNK na yanga alisema alisema wachezaji hao wa kigeni wanatarajiwa kutoka nchi za kameruni kongo kodivaa nijeria uganda na rwanda wachezaji ambao tayari wameripotiwa kutakiwa na mabingwa hao ni moses odhiambo steven bengo wa uganda ikiwa na UNK ambao wapo nchini kwa muda sasa na mwandishi wetu warembo wanaowania umalkia wa kitongoji cha dar city center juzi walitembelea mitambo ya kusukuma maji ya kampuni ya maji safi na majitaka ya ruvu chini iliyopo wilayani bagamoyo mkoani pwani wakiwa na waratibu wa shindano hilo katika ziara hiyo warembo hao walijifunza jinsi mitambo hiyo inavyofanya kazi mpaka kufikisha maji katika mkoa wa dar es salaam na wilaya ya bagamoyo mkoani pwani akizungumza katika eneo la mitambo hiyo ofisa habari wa shirika la maji safi na maji taka mary lyimo alisema ziara hiyo ilikuwa ya mafanikio baada ya warembo hao kuuliza maswali mengi yanayohusu maji ni mambo mengi yanayohusu maji wameuliza maswali na kujibiwa kwa ufsaha kabisa na mkuu wa kitengo cha uzalishaji cha shirika la maji safi na maji taka tamimu rashidi alisema warembo hao walitembelea mtambo huo kuanzia sehemu maji hayo yanapopatikana kusafishwa kuchujwa mpaka yanaposafirishwa kwenye sehemu mbalimbali za jijini na bagamoyo akizungumza kambi ya mazoezi mkurugenzi wa kampuni ya sisi entertainment john dotto alisema mbali na dawasco wadhamini wengine wamejitokeza wakiwemo vodacom ambao ni wadhamini wakuu wa miss tanzania na amina athumani hatimaye wachezaji wenye ulemavu wamepata shirikisho la paralimpiki afrika mashariki na kati litakalosimamia kikamilifu michezo kwa walemavu kwa ukanda wa nchi hizo shirikisho hilo ambalo linaundwa na viongozi nane lilipitishwa rasmi juzi katika uchaguzi uliowakutanisha viongozi mbalimbali wa vyama vya walemavu vya nchi za kenya uganda rwanda na tanzania ambao ndio waliokuwa ni wenyeji wa uchaguzi huo akizungumza dar es salaam jana ofisa tawala wa kamati ya paralimpiki tanzania rafael matola alisema uongozi huo kwa sasa upo katika maandalizi ya kuandaa rasimu ya katiba kwa ajili ya kuanza kazi mara moja alisema katika uchaguzi huo uliosimamiwa na mbunge wa bunge la rwanda kupitia jimbo la watu wenye ulemavu tierre lwaka uliofanyika hoteli ya travetine magomeni dar es salaam ulimpitisha dominick biziman kuwa rais atakayeongoza shirikisho hilo ambaye kwa sasa ni rais wa paralimpiki rwanda alisema nafasi ya makamu wa rais amepewa jairus mogalo ambaye pia ni makamu wa rais wa paralimpiki kenya nafasi ya katibu mkuu imekwenda kwa iddi kibwana ambaye pia ni katibu wa kamati ya paralimpiki tanzania na nafasi ya mweka hazina itakuwa chini ya john kiaga ambaye ni rais wa paralimpiki uganda alisemna nafasi za wajumbe ni william mayanja ambaye ni katibu paralimpiki uganda selestine zayeman katibu wa paralimpiki rwanda jackson janson ambaye ni rais wa paralimpiki tanzania na doglas ditialo rais paralimpiki kenya alisema uamuzi wa kuundwa kwa shirikisho hilo umetokana na viongozi hao kukutana katika michezo ya paralimpiki ya dunia liliyofanyika ugiriki mwaka ishirini sifuri nne ambapo ombi la kuundwa kwa shirikisho hilo likapitishwa alisema lengo hasa ni kuona michezo ya walemavu inapewa kipaumbele na kupiga hatua kama ilivyo kwa nchi za ulaya ambapo asilimia kubwa ya wachezaji mahiri ni wenye ulemavu wa viungo jambo ambalo kwa nchi za afrika wachezaji hao wanakosa kupewa kipaumbele na erasto stanslaus uongozi wa klabu ya yanga umesema hauna taarifa ya kuwepo kwa wachezaji kutoka kameruni hivyo hawahusiki na huduma yoyote kwa wachezaji hao wachezaji hao wapo nchini kwa zaidi ya mwezi wakifanya mazoezi kwa lengo la kutafuta nafasi ya kusajiliwa katika klabu hiyo kama wakifuzu majaribio hayo wachezaji hao watatu ambao ni kipa frankline teme na washambuliaji wawili moto kaisi na woloko john ambao wiki iliyopita walilalamika kutelekezwa na klabu hiyo kiasi cha kushindwa hata hela ya kula akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo imani madega alisema hadi sasa hana taarifa ya kuwepo kwa wachezaji hao na wala hajui ni nani aliyewaita nchini kwa majaribio alisema kuna uwezekano mkubwa wachezaji hao walikuja bila ya mwaliko kwa lengo la kutafuta nafasi hivyo klabu haitakuwa na jukumu la kutoa huduma kwa wachezaji hao mpaka watakapopewa majina na kocha endapo watasajiliwa na klabu hiyo yanga ni klabu kubwa inawezekana wachezaji hao wakawa wamekuja wenyewe kusaka maisha na kama ni hivyo sisi hatutahusika kwa lolote hadi hapo kocha atakapotueleza kuwa hao ni wachezaji wa yanga alisema alisema kocha mkuu dusan kondic alitarajia kuanza majaribio ya wachezaji wa nje jana jioni hivyo kama wachezaji hao wapo katika mpango wa kocha wanaweza kuwa kati yao nadhani tusubili taarifa ya mwalimu kama ni wachezaji gani wamepita katika mchujo wache lakini hivi hivi hatuwezi kukurukupa na kuanza kuhudumia wachezaji ambao hata mwalimu hana mpango nao alisema kutokana na ukali wa maisha unaowakabili wachezaji hao walisema kuwa kwa sasa wapo tayari kujiunga na timu yoyote japokuwa mpango wao ulikuwa kuichezea yanga pamoja na madega kutokuwa na taarifa ya wachezaji hao lakini kondic aliwahi kukaririwa na vyombo vya habari kuwa amevutiwa na kipa teme na yupo tayari kumsajili katika kikosi chake cha msimu ujao wachezaji wa UNK nchini jana wakitokea uganda kwa kuingia mkataba wa kuichezea simba katika msimu ujao kushoto ni robert sentongo na kulia ni emmanuel okwi katika ni mmoja wa wajumbe wa kamati ya usajili ya simba godfrey nyange kaburu na elizabeth mayemba kamati ya usajili ya simba jana UNK mshambuliaji wa kcc robert sentongo kwa nia ya kumsajili mchezaji huyo aliwahi kuitoroka timu hiyo kwenye basi akiwa na simba wakitokea mwanza katika michuano ya kombe la tusker mchezaji huyo alitua nchini jana akitokea uganda akiwa na mchezaji mwingine wa sc villa emmanuel okwi ambaye pia anachezea timu ya taifa ya uganda the cranes wachezaji hao ambao waliambatana na mwenyekiti wa villa mahmoud UNK walitua kwa ndege ya shirika la ndege la uganda na kupokelewa na wajumbe wa kamati ya usajili godfrey nyange kaburu hassan othman hassanoo na mlamu UNK mara baada ya kuwasili wachezaji hao hawakupenda kuzungumzia ujio wao kwa waandishi wa habari na badala yake wakataka wajumbe wa kamati ya usajili ya simba ndiyo UNK akizungumza na waandishi wa habari mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo hassanoo alisema karibu mazungumzo na wachezaji hao yamekamilika na kilichobaki ni wao wenyewe kuweka wazi kama UNK timu ya simba kwa msimu ujao tulikwenda uganda mara tatu na mara zote tulikuwa tukifanya mazungumzo na viongozi wa timu zao pamoja na wachezaji wenyewe na mazungumzo yalikwenda vizuri alisema UNK hata hivyo hassanoo alisema mambo hayatakuwa mabaya kwa kuwa wachezaji hao wamepewa ruhusa na viongozi wao kwa ajili ya kuja simba kumalizia baadhi ya mambo alisema kamati ya usajili ya simba inatarajia kukutana wiki hii ili kutoa tamko juu ya usajili wa wachezaji hao hassanoo alisema leo atakuja kipa wa timu ya express ya uganda UNK godfrey kwa ajili ya kuungana na wenzake katika kukamilisha utaratibu wa kucheza simba msimu ujao na zahoro mlanzi kocha mkuu wa timu ya yanga mserbia dusan kondic ameliomba shirikisho la mpira wa miguu nchini kuangalia upya muda wa usajili waliopanga kwa kuwa wao wana wachezaji wengi watakaokwenda kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa nje ya nchi wachezaji wa yanga ambao wapo mbioni kutimkia ughaibuni ni pamoja na wa kimataifa boniface ambani george owino na john njoroge na kipa kutoka serbia obrien curkovic pamoja na mrisho ngassa akizungumza wakati wa mazoezi ya timu hiyo jana asubuhi kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam kondic alisema wameanza rasmi kujaribu wachezaji waliopo katika majaribio kutoka nchi mbalimbali za afrika ambapo watafanya kwa siku nne na UNK na viwango vyao UNK tuna wachezaji wengi sana kutoka katika nchi za nijeria ivory coast rwanda na cameroon ambapo tumeanza nao mazoezi leo asubuhi na UNK kwa muda wa siku nne na kisha tutafanya usajili kulingana na nafasi UNK nazo alisema kondic alisema lakini suala hilo la kusajili UNK kichwa kutokana na wachezaji wake wengi kutakiwa kuondoka kwenda nje ya nchi kufanya majaribio na muda ukipita wa usajili mapengo yao UNK naomba tff iangalie upya suala la usajili kwani timu kama yangu ina wachezaji wengi watakaokwenda kufanya majaribio nje ya nchi sasa wakifuzu itakuwaje lazima tff iangalie namna ya kuzisaidia klabu kwa hili alisema kondic baadhi ya wachezaji ambao jana walianza kujaribiwa na yanga na nchi wanazotoka kwenye mabano ni washambuliaji frank UNK UNK keneth UNK UNK issac UNK cosmas na UNK UNK kamanzi abdulkarim kiungo steven bengo na kipa frankline teme wa cameroon katika hatua nyingine ambani alisema muda wowote kuanzia jana anatarajia kuondoka nchini kwenda china baada ya kufikia mwafaka na klabu moja ya huko alisema mchezaji kuhama timu moja kwenda nyingine ni jambo la kawaida ila kikubwa UNK ni maslahi hivyo ameridhishwa na maslahi ya huko ndiyo maana yuko mbioni kujiunga na timu hiyo nimekuja jana kutoka kenya ila nimekuja kufuatilia viza yangu UNK hata leo au kesho nitakwenda china ni maslahi ndiyo UNK huko hata ronaldo wa manchester UNK real madrid kikubwa ni fedha alisema ambani bloemfontein afrika kusini marekani juzi UNK ulimwengu wa soka kwa kuwatoa mabingwa wa soka wa ulaya hispania katika mashindano ya mabara katika mechi ya nusu fainali iliyochezwa uwanja wa UNK state mjini bloemfontein afrika kusini mshambuliaji UNK UNK wa marekani ndiye alianza kuzima ndoto za hispania kutinga fainali na kutwaa ubingwa wa mashindano ya mwaka huu kwa kufunga goli la kwanza dakika ya ishirini na saba wakati UNK joan UNK na kupiga shuti katika umbali wa yadi kumi na tano na kumfunga kipa UNK UNK hispania ilijaribu kupanga mashambulizi kutaka kusawazisha goli hilo lakini ilishuhudia jahazi lake likizidi kuzama wakati mchezaji wa marekani anayechezea klabu ya fulham ya england UNK dempsey dakika sabini na nne akitumia pasi aliyopata kutoka kwa UNK UNK kipigo hicho kilimaliza rekodi ya hispania ya kushinda mechi kumi na tano mfulilizo bila ya kufungwa katika mechi thebathini na tano kocha wa marekani UNK ushindi huo kwa kusema kuwa ulipatikana kutokana na juhudi ya timu UNK kuifunga timu kubwa kama hispania na kutinga fainali ni kitu kikubwa alisema kocha wa marekani bob UNK hispania ilianza mashindano hayo kwa kushinda mechi zake zote katika hatua ya makundi huku marekani ikianza kwa kupoteza mechi dhidi ya mabingwa wa dunia italia kwa mabao tatu moja kabla ya kufungwa mabao tatu sifuri na brazil lakini ilitinga nusu fainali kwa kuilaza misri kwa mabao tatu sifuri ikiwa na wachezaji wake mahiri kama nahodha wao UNK fabregas alonso torres na villa hispania walijitahidi kutaka kusawazisha magoli hayo lakini UNK kipa wa marekani tim howard alikuwa kikwazo kwa hispania kwa kuokoa michomo mingi iliyoelekezwa golini kwake kwa ushindi huo ina maana imefuzu kwa mara ya kwanza fainali za mashindano hayo na itacheza fainali jumapili na mshindi wa mechi kati ya afrika kusini na brazil iliyochezwa usiku wa kuamkia leo na elizabeth mayemba shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK mbali ombi la kocha mkuu wa klabu ya yanga profesa dusan kondic la kutaka aongezewe muda wa usajili juzi kocha huyo aliwaambia waandishi wa habari kuwa UNK shirikisho hilo ili liweze kusogeza mbele muda wa usajili kwa kuwa wachezaji wake wengi wanakwenda nje ya nchi kufanya majaribio ya soka la kulipwa akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema kuwa suala hilo UNK tff kwa kuwa kanuni zipo wazi sisi hilo UNK kwa kuwa kanuni zipo wazi kama muda wote angekuwepo nchini UNK kazi hiyo sasa juzi juzi tu ametoka afrika kusini na kabla ya hapo alikaa huko karibu mwezi mzima sijui UNK alisema mwakalebela alisema kila klabu inajua wajibu wake na muda wa kufunga usajili ukifika kila moja inatakiwa kusitisha kazi hiyo wachezaji wa yanga ambao wanatarajia kwenda kufanya majaribio ni mrisho ngassa nadir haroub cannavaro george owino boniface ambani na john njoroge kocha huyo wa yanga kwa sasa yupo katika majaribio ya wachezaji wake wa kigeni ili aweze kuwasajili katika kikosi chake na erasto stanslaus msanii nguli wa miondoko ya UNK kutoka nchini jamaika bennie man amewasili nchini jana tayari kwa kufanya onesha moja nchini UNK katika viwanja vya posta kijitonyama dar es salaam msanii huyo aliwasili jana majira ya saa tisa thebathini katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu nyerere kwa ndege ya emirates akizungumza mara baada ya kushuka mratibu wa onesho hilo emmanuel UNK alisema onesho hilo la bennie man litakuwa la kukata na shoka kutokana na kuwa mwanamuziki huyo amepania kufanya makubwa alisema mara baada ya kumaliza onesho hilo ambalo linatarajia kumalizika saa nane usiku kutakuwa na hafla ndogo after party UNK katika ukumbi wa maisha UNK wasanii wa tanzania UNK msanii huyo ni pamoja na tmk wanaume family mangwea tid tht husein machozi na wengine wengi na mwajuma juma zanzibar kikosi cha wachezaji kumi na tisa na viongozi wanne wa timu ya miembeni kinatarajiwa kuondoka leo kwenda nchini sudan kwa ajili ya kushiriki mashindano ya kombe la kagame yatayofanyika nchini humo kuanzia juni thebathini mwaka huu kikosi cha msafara huo kinaongozwa na katibu mkuu wa chama cha mpira wa miguu zanzibar mzee zam ali kitaondoka zanzibar kupitia nairobi hadi sudan akizungumza jana katibu wa timu hiyo adam UNK alisema timu hiyo inaondoka ikiwa na matumaini makubwa ya kufanya vizuri katika michuano hiyo kutokana na kujiandaa vya kutosha naye zahoro mlanzi anaripoti kuwa wawakilishi wa tanzania katika mashindano ya kombe la kagame timu ya prisons ya mbeya inatarajia kuondoka nchini kesho ikiwa na kikosi cha wachezaji ishirini na viongozi watano akizungumza dar es salaama jana msemaji msaidizi wa jeshi la magereza matilda mlawa alisema tayari baraza la vyama vya mpira wa miguu kwa nchi za afrika mashariki na kati wametuma tiketi hivyo kilichobaki ni wao kwenda tu alisema timu yao itaongozwa na mkuu wa msafara hussein mwamba ambaye ni mjumbe wa kamati ya utendaji ya shirikisho la mpira wa miguu nchini ambapo mpaka sasa kila kitu kinakwenda vizuri ikiwa pamoja na maandalizi waliyofanya katika hatua nyingine ofisa habari wa shirikisho la mpira wa miguu nchini florian kaijage alisema waamuzi oden mbaga na hamis changgwalu ambao waliteuliwa na cecafa kuchezesha mashindano hayo wanatarajia kuondoka nchini leo kwenda sudan na amina athumani mwanamichezo bora wa chama cha waandishi wa habari za michezo tanzania ishirini sifuri nane marry naali jana ameibuka mshindi wa mbio za mashindano ya taifa ya riadha za mita tano sifuri sifuri sifuri na kutwaa medali ya dhahabu kwa kutumia muda wa saa nne thebathini na moja hamsini na sita katika mashindano yaliyofanyika katika uwanja wa taifa dar es salaam nafasi ya pili katika mashindano hayo UNK na ticts ilikwenda kwa zaituni jumanne wa manyara aliyepata medali ya fedha baada ya kutumia muda wa saa arobaini na tatu thebathini na nne themanini na saba nafasi ya tatu UNK na fatuma mohamed aliyepata medali ya shaba ambaye alitumia muda wasaa nne thebathini na nne tisini na sita katika mbio za mita tano sifuri sifuri sifuri mwanariadha dickson marwa anayeuwakilisha mkoa wa dar es salaam alifanikiwa kutwaa medali ya dhahabu baada ya kumaliza mbio hizo kwa muda wa saa kumi na tatu thebathini na tisa hamsini na nne huku marco joseph wa arusha akipata medali ya fedha kwa kushika nafasi ya pili ambaye alimaliza mbio hizo kwa muda wa saa kumi na tatu arobaini na tatu ishirini na tatu na mshindi wa tatu ni martine sule aliyepata medali ya shaba aliyetumia muda wa saa kumi na tatu arobaini na nane sitini na mbili kwa upande wa mchezo wa kurusha mishale mshindi wa kwanza alikuwa said thomas ambaye alipata medali ya dhahabu kwa kutumia umbali wa mita hamsini na tano arobaini nafasi ya pili ilienda kwa charles ibrahim ambaye alipata medali ya fedha kwa kutumia umbali wa mita hamsini hamsini huku nafasi ya tatu ikienda kwa ali juma aliyepata medali ya shaba kwa kutumia umbali wa mita arobaini na tisa sitini na mbili wote wa mjini magharibi zanzibar mkurugenzi mkuu wa ticts neville UNK aliwapongeza wanariadha hao kwa kuonesha kiwango cha juu na kwamba kampuni yake itaendelea kudhamini mashindano mbalimbali ya mchezo huo ikiwa ni pamoja na kuidhamini timu ya taifa itakayoshiriki mashindano ya dunia nchini ujerumani UNK mwaka huu mabingwa watetezi wa kombe la mabara brazil leo watakuwa na kazi ya kutetea kombe hilo katika mechi ya fainali dhidi ya marekani brazil katika mechi zake za kwanza waliifunga marekani mabao tatu sifuri katika mechi za makundi na kuwa na matumaini ya kurudia tena furaha yao hiyo hata hivyo marekani ambao waliwatoa mabingwa ulaya hispania kwa kuwafunga mabao mbili sifuri katika UNK ya nusu fainali wanaonekana watatoa upinzani mkubwa kwa brazil kutokana na kujituma kwao uwanjani kikosi hicho cha wamarekani UNK kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na mechi ya awali waliyocheza na brazil ambayo UNK bingwa wa mbio za vodacom nusu marathon fabian joseph jana alivunja rekodi yake na kutwaa medali ya dhahabu katika mbio za meta kumi sifuri sifuri sifuri baada ya kutumia muda wa dakika ishirini na nane ishirini na tano arobaini na tisa katika michuano ya taifa ya mchezo huo iliyomalizika jana uwanja wa taifa dar es salaam kwa ushindi huo fabian ametetea ubingwa wake wa taifa baada ya mwaka jana kuwa mshindi wa kwanza wa mbio hizo zilizofanyika mkoani singida nafasi ya pili ilichukuliwa na marco joseph aliyetumia muda wa dakika ishirini na nane arobaini ishirini na tano na kujinyakulia medali ya fedha na nafasi ya tatu ilikwenda kwa samwel UNK aliyetumia muda wa dakika ishirini na nane hamsini na tano sitini na tano na kujinyakulia medali ya fedha wanawake mshindi wa kwanza wa meta kumi sifuri sifuri sifuri ni banuela brighton na kutwaa medali ya dhahabu kwa kutumia muda wa dakika thebathini na tatu arobaini na moja hamsini na nne nafasi ya pili ilichukuliwa na UNK UNK aliyetumia muda wa dakika thebathini na sita sifuri tano sitini na tatu na kujinyakulia medali ya fedha na wa UNK ni UNK UNK aliyetumia muda wa dakika arobaini na mbili kumi kumi na tisa na kujinyakulia medali ya fedha kwa upande wa mbio fupi za meta arobaini sifuri frank martin alishinda kwa kutumia sekunde arobaini na nane thebathini na tisa kushika nafasi ya kwanza nafasi ya pili ilikwenda kwa UNK hussein aliyetumia muda wa sekunde arobaini na tisa hamsini na tano na nafasi ya tatu ikichukuliwa na god enock aliyetumia muda wa sekunde hamsini sabini na sita mashindano hayo yameandaliwa na chama cha riadha tanzania na kudhaminiwa na kampuni ya kuhudumia makontena bandarini ya ticts kipa nguli nchini juma kaseja amesema anatarajia kupokewa kwa kishindo na mashabiki wa timu yake ya simba katika msimu ujao wa ligi kuu bara baada ya kuwa katika hali ngumu msimu uliopita kaseja juzi alitangaza kurudi katika klabu yake ya simba UNK kwa miaka mitano kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kuichezea yanga kwa msimu mmoja akizungumza dar es salaam jana kaseja alisema simba ni kama nyumbani na anatarajia kupata sapoti kubwa tofauti na ilivyo katika klabu ya yanga alisema msimu uliopita akiwa na yanga ulikuwa mgumu kwake kutokana na mazingira ya klabu hiyo ambayo ni tofauti na alivyokuwa ndani ya simba nimecheza simba kwa miaka mitano nilikuwa UNK sana lakini kwa yanga ilikuwa tofauti kwani ilikuwa ngumu sana kwangu lakini sasa nipo nyumbani mambo yatakuwa mazuri alisema kaseja alisema kikwazo kikubwa UNK nacho msimu uliopita ni kuzomewa na mashabiki wa simba ambao walikuwa wakipinga kuhama kwake hali ambayo anaamini itakuwa tofauti katika msimu huu sidhani kama UNK na mashabiki wa yanga kwani nilipokuwa kwao walinipa ushirikiano mzuri pamoja na viongozi wao hasa meneja keneth mkapa alisema kaseja alisema anaomba ushirikiano ndani ya simba kama ilivyokuwa awali kwani mafanikio ya simba ni juma kaseja bali ni timu nzima na mashabiki kwa ujumla alisema wanatarajia kazi nzuri kama UNK kaseja kwani kumekuwa na maneno mengi baada ya kutoka kwa watani wao wa jadi yanga kutokana na ubora wake ndani ya klabu hiyo mimi ni sawa na mfanyakazi mwingine kwani nilipokuwa moro united nilifanya kazi UNK nikiwa simba na yanga na sasa nimerudi nitafanya kazi kama nilivyofanya timu nyingine na ubora wangu utaonekana alisema kaseja kocha mkuu wa yanga dusan kondic alipotangaza kumwacha kipa huyo alisema hana kiwango cha kutisha kiasi cha kutaka kupewa mkataba wa pesa nyingi hivyo hawana shida naye kwa msimu ujao wachezaji wa kigeni wa klabu ya yanga wamezidi kumpa wakati mgumu kocha mkuu wa timu hiyo dusan kondic kutokana na uwezo wao mkubwa lakini nafasi ya kusajili ikiwa ndogo kondic juzi aliingia siku ya pili ya kufanya majaribio kwa wachezaji wa kimataifa ambapo kila mmoja amekuwa akionesha uwezo wake ili kupata namba katika kikosi hicho wachezaji hao ambao wanafanya majaribio katika klabu hiyo ni kutoka katika nchi za rwanda uganda kameruni ivory coast na nigeria lakini kivutio kikubwa kimekuwa kwa wachezaji steven bengo wa uganda abdulkarim kamanzi kabongo UNK wa rwanda kipa UNK teme wa kameruni na mkenya moses odhiambo akizungumza juzi katika uwanja wa uhuru baada ya kumaliza mazoezi kondic alisema kwa sasa UNK kichwa kuhusu idadi ya wachezaji hao ambao wanatakiwa kuwasajili kwa msimu ujao alisema kulingana na idadi ya wachezaji alionao na mwisho wa kipindi cha usajili inakuwa vigumu kuamua kusajili wachezaji kutokana na kuwa na wachezaji wengi ambao wanatakiwa nje ya nchi kutokana na muda wa usajili kuelekea ukingoni kuna uwezekano mkubwa wa kuacha wachezaji ambao wana uwezo lakini wakati kuhitajika wakati muda wa usajili tayari umekwisha hili ni tatizo alisema kondic alisema kutokana na idadi kubwa ya wachezaji waliokuwa katika majaribio alikuwa na uwezo kujenga kikosi imara zaidi cha msimu ulipita lakini usajili UNK yanga UNK mchezaji hata mmoja lakini ina wachezaji saba ambao wamemaliza mikataba yao huku wakiwa na wachezaji watano wanaotakiwa kucheza soka nje ya nchi wachezaji waliomaliza mikataba yao ni shadrack nsajigwa juma kaseja aliyesajiliwa simba wisdom ndhlovu steven marashi maurice sunguti bernard mwalala na gaudence mwaikimba wanaotakiwa nje kujaribu bahati yao katika soka la kulipwa ni nadir haroub cannavaro boniface ambani george owino mrisho ngassa na john njoroge polisi wa los angeles wanaochunguza kifo cha mwanamuziki michael jackson wamesema wamefanya mahojiano ya kina na daktari wake conrad murray UNK murray ambaye alikuwa na mwimbaji huyo wakati alipopoteza fahamu alhamisi usiku alitoa maelezo ambayo yatawasaidia katika uchunguzi polisi UNK msemaji wa daktari murray alisisitiza kuwa hakuna mtu UNK familia ya michael jackson ilisema kuwa wanataka mwili wa marehemu kuchunguzwa tena ili kujiridhisha kujua sababu za kifo chake polisi ya los angeles ilisema ijumaa kuwa katika kifo hicho hakuna dalili za kuwepo mkono wa mtu lakini haikutoa sababu za kifo hicho ilielezwa kuwa uchunguzi wa madawa aliyotumia mwanamuziki huyo utatolewa baada ya wiki kadhaa kumekuwa na taarifa ambazo UNK kuwa mwanamuziki huyo alikuwa akimeza dawa za demerol ambazo ni za kuondoa maumivu kila siku mwanamke aliyekuwa akifanya kazi za ndani kwa mwanamuziki huyo kwa miaka kumi na saba grace rwaramba ambaye UNK watoto wake alisema kuwa mwanamuziki huyo alikuwa na kawaida ya kumeza dawa nyingi UNK mabingwa wa soka ulaya hispania jana walitwaa nafasi ya tatu katika mashindano ya kuwania kombe la mabara baada ya kuwafunga wenyeji afrika kusini mabao tatu mbili katika uwanja wa royal bafokeng mjini UNK mabingwa hao wa ulaya walitumia mtindo wa nne nne mbili huku mbele kukiwa na david villa na fernando torres wakati wenyeji wa michuano ya kombe la dunia ishirini moja sifuri afrika kusini wakitumia mtindo wa nne tano moja mbele akiwekwa bernard UNK katika mechi hiyo iliyochezwa kwa dakika mia moja na ishirini hispania ilianza mashambulizi mapema na katika dakika ya nne david villa alikosa goli baada ya shuti lake kudakwa na kipa wa bafana bafana itumeleng UNK afrika kusini walionekana kucheza kwa nguvu zaidi kuliko hispania dakika ya kumi na tatu UNK UNK alikosa goli baada ya kuunganisha mpira wa faulo kwa kichwa ambao ulitoka nje dakika kumi na tisa hispania ilikosa goli wakati villa alipowatoka mabeki lakini beki UNK UNK UNK na kuokoa dakika mbili baadaye torres naye alipiga shuti ambalo UNK na walinzi afrika kusini walianza kupata goli la kuongoza kupitia kwa UNK mphela katika dakika ta sabini na mbili akiunganisha krosi ya UNK hispania ilikuja juu na kusawazisha goli katika dakika ya themanini na saba lililofungwa na guiza baada ya kugongewa mpira mzuri na david silva dakika moja baadaye guiza aliifunga goli lingine hispania na kuifanya timu yake kuwa mbele kwa mabao mbili moja huku baadhi ya mashabiki wa afrika kusini wakionekana kutoka nje ya uwanja kwa kukata tamaa mphela UNK mashabiki kwa kufunga goli la kusawazisha dakika ya tisini kwa mpira wa adhabu nje ya eneo la hatari na kufanya muda UNK dakika thebathini hispania ilipata goli lake la ushindi dakika ya kumi sita kupitia kwa xabi alonso ambaye UNK khune kwa mpira wa adhabu kwa matokeo hayo afrika kusini inayonolewa na kocha UNK imeshika nafasi ya nne mechi ya fainali ya michuano hiyo UNK brazil na marekani katika mechi iliyopigwa saa tatu thebathini usiku lengo kuziondoa UNK za kanuni sekretarieti ya shirikisho la mpira wa miguu nchini inatarajia kukutana na klabu za ligi kuu wiki hii kujadili mapendekezo UNK kwa kamati ya utendaji juu ya kanuni mpya za mashindano kwa msimu wa ishirini sifuri tisa kumi hivi karibuni klabu mbalimbali za ligi kuu zimeonekana UNK kuhusu suala la uhamisho wa wanasoka kwa msimu ujao ambapo simba waliiandikia barua tff kuomba ufafanuzi juu ya taratibu za hati za uhamisho wa kimataifa huku yanga nao wakilia na kanuni za mashindano akizungumza kwa simu akiwa kilimanjaro jana katibu mkuu wa shirikisho hilo fredrick mwakalebela alisema kamati ya utendaji inatarajia kukutana julai mwaka huu kujadili mambo mbalimbali ikiwemo kupitisha mapendekezo yatakayotolewa na sekretarieti juu ya kanuni za mashindano hilo suala naona limekuwa ishu kwa sasa lakini baada ya wiki mbili sekretarieti itawasilisha kwa kamati ya utendaji mapendekezo yake juu ya kanuni UNK ligi ya msimu ujao na kisha wao ndiyo watakaokuwa na jukumu la kuamua ipi ipite na ipi UNK alisema mwakalebela alisema kwa sasa klabu zinafanya usajili kwa mujibu wa kanuni za mashindano ya msimu uliopita lakini kwa kuliona hilo ndiyo maana wanatarajia kukutana nao kuzungumzia kanuni ambazo wanatarajia kuzipeleka kamati ya utendaji wiki iliyopita tff ilitoa agizo kwa klabu zote zinazoshiriki ligi kuu ya tanzania bara zenye mpango wa kusajili wachezaji kutoka nje ya nchi zihakikishe zimewasilisha barua ya kuomba hati za uhamisho wa kimataifa kabla ya juni thebathini mwaka huu pia tff UNK klabu za ligi kuu kutosajili wachezaji wa kigeni ambao hawachezi ligi kuu ya nchi UNK au kutokuwemo kwenye timu za taifa na kwamba msimu huu watakuwa makini kuepuka makosa yaliyojitokeza msimu uliopita kocha mkuu wa timu ya yanga mserbia dusan kondic leo anatarajia kuanika hadharani majina ya wachezaji atakaowatumia katika msimu wa ishirini sifuri tisa kumi wa ligi kuu ya tanzania bara kwa kuwakabidhi viongozi wa timu hiyo kwa mujibu wa shirikisho la mpira wa miguu nchini leo ndiyo siku ya mwisho kwa klabu zinazoshiriki ligi kuu kuwasilisha majina ya wachezaji UNK katika msimu ujao na pia ni mwisho kwa klabu hizo kuomba hati za uhamisho wa kimataifa akizungumza dar es salaam jana mmoja wa viongozi wa timu hiyo ambaye hakutaka jina lake litajwe alisema kondic UNK kila kitu na atawasilisha ripoti yake kwa uongozi leo ambapo wao ndiyo watakaokuwa na jukumu la kutangaza majina ya wachezaji hao alisema katika orodha ya wachezaji ambao UNK katika msimu ujao yupo beki shadrack nsajigwa ambaye mkabata wake ulimalizika lakini aliamua kusaini mkataba mwingine pamoja na wachezaji wageni kipa frankline teme kutoka cameroon ambaye UNK nafasi ya juma kaseja aliyetimkia simba yanga kwa sasa haitaki makuu ndiyo maana wameamua kuweka mambo yao hadharani kesho kondic atawasilisha majina ya wachezaji wapya atakaowatumia wakiwemo kiungo steven bengo wa uganda mosses odhiambo wa apr ya rwanda na kamanzi abdulkarim kutoka rwanda alisema kiongozi huyo wakati huohuo alipoulizwa mwenyekiti wa klabu hiyo iman madega juu ya suala hilo alisema bado suala hilo lipo kwa kocha hivyo wakati wowote UNK tayari atawasilisha kwa uongozi kabla ya muda uliopangwa kumalizika aliongeza beki wao wa kutumainiwa nadir haroub canavaro kesho anatarajia kuondoka nchini kwenda nchini canada kwenye klabu moja ya daraja la kwanza ya nchini humo kujaribu kucheza soka la kulipwa bushiri asema wamejipanga vizuri timu ya tusker fc ya kenya imetamba kutetea ubingwa wake wa klabu bingwa afrika mashariki na kati UNK mwaka jana jijini dar es salaam tanzania katika mashindano UNK kuanza leo nchini sudan lakini wakenya hao walisema kuwa wamejiandaa kwa mashindano hayo ingawa walifungwa wiki mbili UNK na port sudan mjini khartoum timu nyingi zina malengo yake katika michuano hii kwetu sisi kitu kikubwa UNK ni kuhakikisha UNK ubingwa kinyume na hapo itakuwa ni maajabu alisema kocha james UNK wakati UNK usiku wa juzi jijini khartoum tusker ilitwaa kombe la mwaka jana dakika za majeruhi baada ya kuifunga uganda revenue UNK jijini dar es salaam na mfungaji UNK kilio kwa waganda hao alikuwa oscar kadenge ambaye amerejea tena kuitumikia timu hiyo timu hiyo inaonekana kuwa tishio hivi sasa baada ya kumsajili mshambuliaji kutoka nigeria joseph UNK ambaye hivi sasa anaongoza kwa ufungaji mabao katika ligi ya kenya akiwa amepachika mabao kumi na tano wavuni tusker iko kundi c itaanza kucheza mechi yake mjini port sudan ambapo ilitarajiwa kuondoka juzi itaumana na hey el arab inter stars ya burundi na miembeni ya zanzibar miembeni wana matumaini makubwa ya kufanya vizuri kama UNK kocha ali bushiri kwa wapinzani wake miembeni ina kikosi cha UNK si zanzibar tu lakini hata tanzania na ubingwa wa hapa ndiyo UNK hilo alisema bushiri lakini timu zote zilizowasili zina malengo yake ikiwa ni kufanya vizuri katika mashindano hayo timu hizo UNK nchi zao zimegawanywa katika makundi ambapo mwenyeji el merreikh amepangwa kundi a litakalokuwa na timu za mathare ambao ni mabingwa wa kenya atraco na kartile ya UNK zitacheza katika uwanja UNK wachezaji sitini sifuri sifuri sifuri wa UNK kundi b litakuwa na timu za tp mazembe kampala city council kutoka uganda tanzania prisons na benadir UNK uwanja wa khartoum zawadi kwa washindi wa michuano hiyo kwa mwaka huu UNK ambapo mshindi ataibuka na dola hamsini sifuri sifuri sifuri wa pili UNK dola thebathini sifuri sifuri sifuri wakati mshindi wa tatu ataondoka na kitita cha dola ishirini sifuri sifuri sifuri na zahoro mlanzi klabu ya simba imetamba kumnasa kiungo wa timu ya power UNK ya zambia UNK mutapa ambaye atawasili nchini kesho na kocha mkuu mzambia patrick phiri kwa ajili ya ligi kuu na mashindano ya kimataifa akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa kamati ya usajili wa timu hiyo kassim dewji alisema kiungo huyo ndiye atakayeziba pengo la henry joseph ambaye inaonekana mambo yake yanakwenda vizuri nchini norway alisema tayari jina la mchezaji huyo UNK tff hivyo wana imani kubwa mutapa ataichezea timu yake katika msimu ujao baada ya kukamilisha taratibu zote zinazohitajika dewji alisema mara baada ya kuwasili phiri na mutapa timu hiyo inatarajia kuingia kambini jumamosi wiki hii tayari kwa kujiandaa na mashindano mbalimbali lakini kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana dar es salaam na ofisa habari wa shirikisho la mpira wa miguu nchini florian kaijage ilisema klabu tisa kati ya kumi na mbili zimewasilisha majina ya wachezaji wao ambapo kwa upande wa simba wamewasilisha majina ya wachezaji watatu UNK aliwataja wachezaji hao ni emanuel okwi kutoka timu ya villa sc ya uganda hilary echesa kutoka kenya na owino joseph kutoka timu ya mamlaka ya mapato ya uganda kutokana na orodha hiyo iliyowasilishwa tff jina la mutapa halipo hivyo kama mchezaji huyo atatua nchini UNK kuichezea timu hiyo kwa kuwa muda wa usajili UNK khartoum sudan mabingwa wa ligi kuu kenya mathare united imeanza kampeni za kuwania kombe la kagame vizuri baada ya kuifunga UNK ya djibouti mabao tatu sifuri katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa merreikh khartoum sudan juzi mabingwa hao wa kenya walianza mchezo taratibu na kumiliki mpira ambapo mara kadhaa kocha wa timu hiyo francis kimanzi alikuwa UNK kelele said UNK kiongozi wa ufundi wa kartile alikuwa na furaha kwa kipigo hicho ni mara ya kwanza kuwa nje ya nchi yake pamoja na kufungwa mabao mengi tutacheza vizuri katika mechi nyingine zijazo alisema mathare ilikosa mabao mengi kabla ya UNK ochieng kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya arobaini na mbili kutokana na kazi nzuri iliyofanywa na titus UNK UNK UNK aliifungia bao la pili kwa shuti kali lililopita katika miguu ya kipa abdulrahim UNK dakika ya hamsini na saba bao la tatu la mathare united inayonolewa na kocha wa zamani wa timu ya taifa ya kenya harambee stars kimanzi walijipatia bao la tatu dakika ya sabini na tano lililowekwa kimiani kwa kichwa na anthony UNK katika mechi nyingine el merreikh ya sudan ambao ni wenyeji wa michuano hiyo walianza vyema baada ya kulinda heshima ya nyumbani kwa UNK atraco ya rwanda mabao sita moja na erasto stanslaus wachezaji wengine kumi na tatu wa kigeni wanatarajia kuvuna pesa katika ligi tanzania bara msimu wa ishirini sifuri tisa kumi unaotarajia kuanza kutimua vumbi agosti ishirini na tatu mwaka huu wachezaji hao ni miongoni mwa wachezaji wapya wa kimataifa waliosajiliwa na timu tisa zinazoshiriki ligi hiyo ambapo jumla ya wachezaji wapya arobaini na tisa wamesajiliwa na klabu za ligi hiyo katika wachezaji hao kumi na tatu klabu kongwe ya yanga imesajili wachezaji wa sita wakati watani wao wa jadi simba wameongeza wachezaji wa nje watatu katika usajili huo kwa upande wa yanga wachezaji wa kimataifa ni moses odhiambo kutoka apr ya rwanda steven bengo wa sc villa ya uganda kabongo kanoge wa UNK UNK ya thailand jama robert wa canon UNK ya cameroun na wachezaji ambao walikosa nafasi katika dirisha dogo john njoroge na joseph shikokoti wa tusker ya kenya simba wao UNK emmanuel okwi wa sc villa ya uganda hilary echesa kutoka kenya na owino joseph kutoka ura ya uganda timu nyingine UNK wachezaji hao wa kigeni kuvuna pesa nchini ni azam fc waliomsajili ndayiminye christophe kutoka flamengo fc ya burundi kagera sugar imemsajili diplomate mustafa kutoka victor club ya uganda wakati mtibwa sugar imesajili steven mazanda kutoka lupopo ya drc akitangaza majina hayo ofisa habari wa tff florian kaijage alisema klabu tisa zimepeleka majina ya wachezaji UNK isipokuwa timu tatu ambazo ni manyema prisons na majimaji alisema timu ambazo UNK majina kwa sasa zinaonekana kuwa UNK wachezaji wanaohitaji uhamisho kutoka klabu moja kwenda nyingine na UNK kusajili wachezaji ambao wana mikataba na timu yoyote mwili wa mfalme muziki wa pop michael jackson leo UNK kwenye ranchi yake aliyoipenda zaidi ya neverland ambapo utawekwa na kutoa nafasi kwa mashabiki kutoa heshima za mwisho kuanzia kesho jeneza lake UNK los angeles kabla ya kufanya safasi ya maili mia moja na thebathini kwenda neverland nyumbani kwa nyota huyo mwili wake utawekwa hadharani kesho ikiwezekana katika jeneza la kioo anatarajiwa kuzikwa kwenye shamba lake mwishoni mwa wiki UNK kutakuwa utaratibu maalumu wa UNK mwili wake kwenda kwenye ardhi yake aliyoipenda zaidi mwili wake ukiwa kwenye jeneza utawekwa kwenye UNK cha kukokotwa kwa farasi mweupe ambaye amefundishwa kisha UNK chanzo kutoka katika familia ya jackson kilisema juzi usiku kuwa wanataka mwanamuziki huyo UNK kama mtoto wa mfalme wakati mashabiki watakapokuwa UNK mpendwa wao kigari hicho cha farasi UNK katika safari yake ya mwisho kwenda UNK umati mkubwa wa watu unatarajiwa kushuhudia jeneza la mfalme wa muziki wa pop wakati UNK katika mitaa ya jiji la los angeles kuanzia saa nne asubuhi kwa saa za huko kisha kutakuwa na msafara wa magari thebathini kwenda nje ya mji katika ranchi ya neverland yenye ekari mbili themanini sifuri ya mwanamuziki huyo ambayo iko eneo la santa barbara county jacko ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka hamsini alhamisi wiki iliyopita mwili wake utawekwa nyumbani kwake hadharani ili kuagwa na mashabiki ijumaa inaaminika kuwa atazikwa katika shamba lake neverland UNK kilicho karibu kilisema taarifa kamili ya familia bado UNK familia itatoa tangazo rasmi karibuni chanzo hicho kiliongeza kuwa familia inataka kumfanyia send off ya kipekee wanataka kila msafara UNK kila mtu kigari cha kukokotwa na farasi jana kilikuwa karibu na nyumba ya familia mjini los angeles polisi wa los angeles walisema wakati wa shughuli nzima kutakuwa na ulinzi wa kutosha ikiwa ni pamoja na usimamizi wa msafara wa magari chanzo kutoka katika familia kimesema kuwa alhamisi itakuwa ni siku yake ya mwisho ya safasi kutoka los angeles hadi neverland ijumaa kutakuwa tukio kubwa la kumwaga ambapo UNK watatoa heshima zao za mwisho michael kila wakati alikuwa akisema kuwa neverland inamfanya yeye aendelee kuwa kijana ilionekana kuwa kweli jumapili kutakuwa na shughuli ya kumkumbuka kwa ajili ya familia yake na marafiki wa karibu kuomboleza binafsi jacko UNK eneo la neverland mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nane na kulipa jina lililotokana na kitabu cha hadithi cha peter pan UNK ambalo watoto walikuwa UNK alijaribu UNK eneo hilo na kuwa kama UNK kwa kuweka vitu vingi humo ikiwemo bustani ya wanyama nyumba yake ya neverland iliwahi kuungua moto mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na moja lakini ilikuja kukarabatiwa jana mageti ya jumba hilo yalianza kupambwa kwa maua meupe ya UNK mashabiki wengi tayari walishaanza kufika wakiwa na UNK kadi zenye ujumbe wa kufariji huku UNK muziki wa mwanamuziki huyo na zahoro mlanzi baada ya yanga kutupwa nje ya katika michuano ya ligi ya mabingwa afrika na al ahly ya misri leo itarejea katika ligi kuu tanzania bara UNK na azam fc katika uwanja wa uhuru dar er salaam yanga ambao tayari wametwaa taji hilo watashuka uwanjani kusaka heshima huku wakiwa na lengo la kumaliza ligi hiyo kwa kushinda michezo yote iliyobaki yanga itatinga uwanjani ikiwa na kumbukumbu mbaya ya kuondoshwa katika michuano ya kimataifa kwa jumla ya mabao nne sifuri lakini watakuwa na kumbukumbu nzuri ya kuifunga timu hiyo katika mchezo wa awali kwa upande wa azam ambayo itaingia uwanjani ikiwa na mabadiliko makubwa katika benchi lake la ufundi baada ya kumtimua kocha wake neider dos santos na mikoba yake kuchukuliwa na itamar UNK UNK aliyeanza kukinoa kikosi hicho wiki iliyopita aliahidi kuanza kwa ushindi katika mchezo huo huku akiwa UNK wachezaji wake wa kutumainiwa shaban kisiga na said sued mchezo huo unatarajia kuwa na upinzani mkubwa kutokana na timu ya azam kuwania pointi tatu ili kujiweka katika nafasi nzuri katika msimamo wa ligi hiyo azam itakuwa makini zaidi katika mchezo huo ili kujinusuru katika janga la kushuka daraja kwani hadi sasa ipo katika nafasi ya tisa ikiwa na pointi ishirini na mbili ligi hiyo itaendelea tena kesho katika katika uwanja huo kwa mchezo kati ya jkt ruvu na prisons mchezo ambao UNK kuwa na ushindani mkali kutokana na timu zote kuwania nafasi ya pili ambapo jkt ina pointi ishirini na tano wakati prisons imefikisha pointi ishirini na nane mabingwa wa somalia timu ya soka ya benadir telecom na wawakilishi wa tanzania bara prisons zimetoka kwa kufungana mabao mbili mbili katika mechi ya michuano ya kuwania kombe la kagame iliyochezwa juzi uwanja wa khartoum mjini hapa prisons iliyo kundi b UNK mabao yake kupitia kwa john matei dakika ya kumi na nane na said mtupa dakika ya arobaini na tisa wakati nur hussein aliifungia benadir bao la kusawazisha dakika ya thebathini na nane na kevin UNK aliongeza bao la pili dakika ya arobaini na tatu katika mechi zilizochezwa uwanja wa port sudan za kundi c mabingwa watetezi tusker ya kenya pia ilitoka sare ya bao moja moja na wenyeji hay el arab ya sudan wakati miembeni ya zanzibar iliichapa inter stars ya burundi mabao mbili moja tusker ilianza mchezo kwa nguvu na oscar kadenge aliifungia bao dakika ya ishirini na moja lakini wenyeji walisawazisha bao hilo dakika ya arobaini na saba lililofungwa na UNK UNK mabingwa wa jamhuri ya kidemokrasia ya congo tp mazembe ilipata kipigo kwa kukaribishwa kwenye michuano hiyo ya afrika mashariki kwa UNK mabao tatu mbili na kcc ya uganda kwenye uwanja wa khartoum lakini mabingwa wa uganda kcc ilifanya kazi kubwa na kujipatia bao la kwanza dakika ya ishirini na sita lililofungwa na tonny okello na dakika kumi na tatu kabla ya filimbi ya mwisho antony UNK aliifungia bao la pili tp mazembe UNK bao la kwanza kupitia kwa UNK UNK UNK UNK aliisawazishia tp mazembe dakika ya sitini lakini dakika chache baadaye kipa robert UNK alitolewa nje kwa kumwangusha robert UNK tp mazembe wakiwa kumi uwanjani hawakuweza kuwazuia kcc kwani dakika ya sabini na saba jeremiah UNK aliifungia bao la tatu dawa hatari UNK kwake mke mwingine UNK sokwe UNK kukosa mazishi mipango ya kuruhusu umma wa mashabiki kuuona mwili wa aliyekuwa mfalme wa muziki wa pop duniani michael jackson nyumbani kwake neverland imeingia dosari huku ikihofiwa kuwa hawezi kuzikwa katika ranchi yake kwa kuwa sheria UNK awali ilielezwa kuwa leo mashabiki wengeweza kutoa UNK za mwisho katika jumba lake na mazishi kufanyika katika ranchi yake sheria za jimbo na wizara ya afya na usalama ndizo zinazosimamia kuwa si halali kisheria kuzika katika eneo hilo ikifanyika hivyo inaweza kuwa kinyume na taratibu wakati huo huo familia ya jackson imetoa taarifa inayosema kuwa kinyume na taarifa za awali hakutakuwa na kuagwa hadharani au kwa siri nyumbani kwake neverland jana wafanyakazi wa ranchi ya michael jackson walikuwa wakifanya usafi neverland mipango bado inafanywa kwa kuzingatia kumbukumbu ya umma kwa michael jackson na tutatangaza haraka sana mipango yote UNK taarifa hizo saa chache kabla polisi ilisema kuwa kibali maalumu kitatakiwa kuombwa kwa matukio maalumu kama familia inataka umma kwenda kutoa heshima za mwisho kwa kwa mwili wa michael jackson ambaye alifariki dunia alhamisi wiki iliyopita kwa matatizo ya ugonjwa wa moyo imekuwa ikihofiwa kuwa sheria inaweza kuzuia nafasi kwa nguli huyo wa muziki wa pop kuzikwa katika eneo la neverland na UNK katika eneo la UNK kwa dini ya imani yake serikali ya santa barbara imekuwa ikifanya utaratibu wa kuwezesha watu makumi elfu kuhudhuria katika mazishi kwenye eneo la neverland alilokuwa UNK UNK UNK wa eka mbili themanini sifuri kulikuwa na matarajio kuwa mwili wake ungeweza UNK kuanzia kesho neverland kama familia UNK kuzika mwili wa michael kwenye ranchi hiyo UNK binafsi wa UNK unaweza kufanyika hapo baada ya mazishi mwili wake UNK unaweza kuhifadhiwa mjini los angeles forest lawn memorial park mjini hollywood hills ambako bibi yake martha bridges alizikwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini eneo hilo hadi jana lilikuwa likifikiriwa kuwa linaweza kuwa sehemu mbadala kwa ajili ya mazishi eneo hilo la hollywood hills ndilo linatumika kwa UNK nyota wengi kuna makaburi ya nyota kama UNK davis na UNK UNK mwigizaji UNK vya kimya kimya UNK UNK na nguli wa kupiga UNK UNK na mwimbaji ricky nelson na UNK na UNK UNK UNK karibuni ni UNK na mtaalamu wa sanaa ya mapigano ya kung fu david UNK na mwigizaji sandra UNK na erasto stanslaus mabingwa wa soka tanzania bara yanga wamefanikiwa kuingiza zaidi ya shilingi milioni kumi sifuri kutokana na mchezo wake wa marudiano wa ligi ya mabingwa afrika dhidi ya al ahly uliofanyika jumamosi uwanja taifa dar es salaam katika mchezo huo yanga iliondoshwa katika michuano hiyo kwa jumla ya mabao nne sifuri baada ya kufungwa bao moja sifuri katika mchezo huo na awali UNK mabao tatu sifuri nchini misri akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa klabu hiyo lucas kisasa alisema katika mchezo huo ambao uliingiza shilingi milioni mia moja na themanini na mbili saba kutokana na kuuzwa kwa tiketi arobaini na tatu mia nne na themanini na moja alisema kutokana na mgawanyo wa mapato hayo klabu ya yanga ilipata asilimia hamsini na tano ya mapato yote ambayo ni shilingi milioni kumi sifuri tano alisema pamoja na pesa hizo zilizotokana na mapato ya mlangoni lakini pia wameingiza pesa nyingine kutokana na kuuza haki ya kurushwa kwa mchezo huo na kituo cha televisheni cha misri mbali na pesa za UNK UNK pesa nyingine kutokana na kuuza haki ya matangazo lakini kiwango hicho siwezi UNK ila si pesa nyingi alisema kisasa alisema tiketi zilizochapishwa kwa ajili ya mchezo huo zilikuwa hamsini na tano mia saba na arobaini na nane ambapo kama UNK zote UNK shilingi milioni thebathini tano nne lakini zilinunuliwa tiketi arobaini na tatu mia nne na themanini na moja na kupatikana kiwango hicho cha fedha kisasa alisema pesa hizo UNK katika sehemu mbalimbali ambapo gharama za uwanja ni shilingi milioni thebathini na sita tano wakati gharama za mchezo ni shilingi milioni kumi na nane mbili na mgao wa tff ni shilingi milioni kumi na nane mbili na caf waliambulia shilingi milioni tisa moja kutokana na mchezo huo naye mwandishi wetu anaripoti kuwa kipa raia wa serbia wa timu hiyo obren curkovic jana aliondoka kwenda nchini austria kwa ajili ya kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa habari za uhakika kutoka katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu nyerere zilieleza kuwa mchezaji huo aliondoka nchini jana mchana mwenyekiti wa klabu hiyo imani madega alipoulizwa jana kwa simu kuhusiana na suala hilo alikiri kuondoka kwa mchezaji huyo ambapo alisema leo atakuwa katika nafasi nzuri ya kuzungumzia kuondoka kwa kipa huyo ni habari za kweli na tuna taarifa za kuondoka kwake kwa sasa nipo chalinze lakini kesho nitakuwa katika wakati mzuri wa UNK alisema madega baada ya ukarabati wa jengo la yanga kufikia hatua za mwisho uongozi wa klabu hiyo UNK UNK kambi katika jengo klabu hiyo ambalo lipo katika hatua za mwisho wa kukarabatiwa UNK mitaa ya twiga na jangwani jijini dar es salaam jengo hilo la yanga UNK kwa msaada wa mfadhili mkuu wa klabu hiyo yusuph manji ambapo ukarabati huo ni moja ya ahadi zake kwa yanga akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo iman madega alisema safari hii wamepanga timu hiyo iweke kambi katika jengo lao ili kuokoa gharama zisizokuwa na msingi matarajio yetu kwa sasa ni kuiweka timu yetu katika kambi yetu iliyopo makao makuu yetu mitaa wa twiga na UNK kwa kuwa jengo letu UNK kwa kiasi kikubwa alisema madega alisema timu hiyo itaingia kambini siku ambayo kocha mkuu dusan kondic UNK kwa ajili ya kujiandaa na ligi kuu tanzania bara na michuano ya kimataifa msimu ujao ligi kuu tanzania bara inatarajiwa kuanza kutimua vumbi agosti ishirini na tatu mwaka huu katika viwanja mbalimbali nchini UNK UNK obama UNK mwaliko ibada maalumu kwa ajili ya mwanamuziki michael jackson aliyefariki dunia alhamisi wiki iliyopita kwa matatizo ya moyo itafanyika jumanne ambapo UNK na watu wengi duniani kama mwenyewe alivyowahi UNK watu mamilioni wanatarajiwa kufanya hija kwenye viwanja vya kituo cha staples center mjini los angeles jumanne ambapo watu zaidi ya milioni mia saba na hamsini watakuwa wakifuatilia tukio hilo kupitia televisheni familia ya jacko jana UNK UNK kuwepo kwa sherehe ya kuagwa kwake ambapo kutakuwa na wanamuziki wengi nyota katika viwanja vya kituo hicho kutakuwa na skrini kubwa nyingi nje ya uwanja ambao unachukua watu ishirini sifuri sifuri sifuri ambao unamilikiwa na timu ya mpira wa kikapu ya los angeles UNK tv hizo zitakuwa ni kwa ajili ya waombolezaji ambao hawataingia ndani ya uwanja rais wa marekani barack obama inaaminika kuwa jana alialikwa kwa ajili ya tukio hilo kesho kutakuwa na mkutano wa waandishi wa habari kuelezwa kuhusu mpangilio wa shughuli hiyo ambapo tiketi kumi na moja sifuri sifuri sifuri zitatolewa bure ili watu waweze kuingia kwa mpangilio miongoni mwa wanamuziki watakaohudhuria ni marafiki zake mwimbaji diana ross na UNK taylor lakini mtayarishaji muziki ambaye alifanya naye kazi katika kutengeneza albamu za UNK off the UNK na bad UNK jones alisema kuwa UNK kwa kuwa atajisikia vibaya kwa uchungu binafsi UNK waombolezaji wengine alisisitiza si kitu ambacho nia ninataka UNK sitakwenda kwenye mazishi muda wote UNK hai siwezi UNK jacko atazikwa akiwa katika jeneza lenye thamani ya pauni milioni kumi na tano sifuri sifuri sifuri sawa na fedha za kitanzania zaidi ya shilingi milioni thebathini na moja tano likiwa UNK dhahabu kwa mujibu wa jarida la us jeneza hilo UNK na kampuni ya kutengeneza UNK ya UNK UNK ni kama UNK mwimbaji nyota james brown desemba ishirini sifuri sita jacko alihudhuria mazishi na UNK mwanamuziki brown ambaye ni mlezi wa muziki wa soul wakati akiwa kwenye jeneza lake jana kulikuwa na habari za uvumi kuwa aeg live wanaweza UNK mashabiki wanaotaka kuhudhuria ibada kwa pauni kumi na tano kitu ambacho kilifanya mashabiki kulalamika kiasi kikubwa cha waombolezaji waliohudhuria mazishi ni wakati alipofariki princess diana miaka kumi na mbili iliyopita ambapo jumla ya mashabiki mia mbili na hamsini sifuri sifuri sifuri walihudhuria hyde park jana zilitolewa sehemu za picha za televisheni za michael UNK wakati akifanya mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na maonesho yake hamsini ambayo UNK katika uwanja wa o mbili arena mjini london uingereza yaliyokuwa UNK na aeg live timu ya mtibwa sugar ya manungu jana iliendelea kupokea dozi baada ya jana kushindiliwa mabao tatu moja na simba katika mechi ya kirafiki iliyopigwa uwanja wa uhuru jijini dar es salaam timu hiyo juzi ilifungwa na yanga maba sifuri tatu moja katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja huo simba ilianza kusherehekea bao la kwanza katika dakika ya thebathini na tano lililowekwa kimiani na mohamed kijuso baada ya kuunganisha krosi ya uhuru seleman mechi hiyo ya jana UNK na waamuzi wazungu ambao wametokea norway mtibwa ilijikuta ikifungwa bao la pili dakika ya thebathini na saba na mshambuliaji hatari wa simba mussa hassan mgosi baada ya kupokea pande kutoka kwa kijuso mtibwa ilipata bao lake dakika ya hamsini na tano kwa mkwaju wa penalti lililowekwa wavuni na maina ernest penalti hiyo ilitolewa baada ya david naftari UNK abdulkarim anold katika eneo la hatari hata hivyo kabla ya mtibwa haijatulia ilijikuta ikifungwa bao la tatu na kijuso baada ya kupata pasi ya uhuru seleman baraza la michezo la taifa UNK shirikisho la mpira wa miguu nchini na chama cha mpira wa miguu zanzibar wakutane kuondoa tofauti zao na pia UNK ligi ya muungano hivi karibuni tff na zfa UNK kwa kile kilichodaiwa na zfa kwamba hawashirikishwi katika baadhi ya masuala hasa ushiriki wa mikutano ya kimataifa likiwemo la kukosa uwakilishi kwenye mkutano mkuu wa shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu la ambao ulifanyika mwezi uliopita na zfa kukosa akizungumza dar es salaam jana kaimu katibu mkuu wa baraza hilo mohamed kiganja alisema katika kikao kilichofanyika wiki mbili zilizopita mjini zanzibar walikubaliana na tff na zfa kuirudisha ligi ya muungano kwa kuwa ligi hiyo ilikuwa ikitoa timu ya taifa pamoja na kupima uwezo wa wachezaji wa pande zote mbili tulikutana wiki mbili zilizopita katika kikao kilichohusisha mabaraza ya michezo kurugenzi za michezo bara zanzibar na tff pamoja na zfa ambapo kwa pamoja UNK kuirudisha ligi hiyo lakini kwanza ni lazima vyama husika vikae chini kujadiliana alisema UNK alisema ikiangaliwa ligi ya bara na UNK zinatofautiana hivyo amewahimiza kwanza wakae chini na wapange namna watakavyoweza kucheza ligi kuanza na kumaliza kwa pamoja ili kutoa nafasi kwa mashindano hayo kufanyika kiganja alisema kukosekana kwa mashindano hayo kunasababisha hata utendaji kazi wa vyama hivyo viwili kuwa mdogo na hatimaye suala hilo kuchukua sura mpya kwa kuyumbisha muungano hivyo UNK zfa na tff wakae pamoja kujadili aliongeza kuwa anajua kuendesha mashindano kama hayo ni gharama kubwa lakini ana uhakika UNK tofauti zao na UNK wadhamini wa kuyaendesha watapatikana bila matatizo yoyote gwiji la muziki wa pop michael michael jackson atazikwa kesho lakini huenda ikawa bila ya ubongo wake ambao ulitolewa ili kufanyiwa uchunguzi kesho familia itajaribu kuweka taratibu za mazishi sawa kwa ajili ya mfalme huyo wa pop familia UNK kuwa ubongo huo UNK uchunguzi familia ilikutwa na mtihani wa kusubiri wiki tatu wakati utakapokuwa ukifanyiwa uchunguzi kabla ya kurudishiwa au inabidi UNK kuzika bila ya kuwepo kwa ubongo huo familia haijaamua cha kufanya msemaji wa mochari ya los angeles UNK craig harvey amethibitisha kuchukuliwa kwa ubongo huo ili kufanyiwa uchunguzi wa kitaalamu kuweza kubaini kama kuna kitu UNK kifo kwake jackson alikufa kwa matatizo ya kusimama kwa moyo akiwa nyumbani kwake beverly hills juni ishirini na tano mwaka huu UNK kuwa ni kutokana na kuzidisha dawa za kupunguza maumivu chanzo kutoka ofisi ya mochari UNK kuwa ubongo huo UNK kabla ya mwili wake UNK kwa ndugu zake siku UNK wataalamu wa ubongo wataufanyia uchunguzi ubongo wa michael jackson ikiwa ni hatua ya kujua kama alitumia dawa za kulevya na kama alikuwa UNK dawa katika siku zilizotangulia kipimo cha ubongo pia kinaweza kuonesha kama aliwahi kutumia pombe au kama UNK kupata moka kati ya magonjwa UNK ubongo chanzo kilisema kuwa kuutoa ubongo ilikuwa ni njia UNK kwa ajili ya kuufanyia uchunguzi mishipa inatakiwa kupimwa kilisema chanzo hicho siwezi UNK itachukua muda gani UNK mtaalamu mmoja alieleza kuwa familia ya jackson italazimika kuamua kusubiri na kumzika pamoja na ubongo lakini ni kitu cha kawaida kwa maabara kuchuma moto mabaki baada ya kumaliza uchunguzi au kwenda kuuzika ubongo huo katika kaburi siku nyingine ni juu ya familia wanaweza kumzika na kisha kuuzika ubongo baadaye alisema daktari UNK wecht ambaye ni mtaalamu gwiji mstaafu wa uchunguzi wa vifo lakini aliongeza ni nadra mwili UNK kwa wiki mbili zaidi aliendelea kusema watu hawajui ni jinsi gani ubongo ulivyo UNK ili kufanya uchunguzi vizuri unatakiwa kuwa na ubongo UNK na ili hali hiyo iwepo unatakiwa kusubiri angalau kwa siku kumi au wiki mbili daktari wecht ambaye UNK katika uchunguzi wa kifo cha jackson ana UNK ya kufanya uchunguzi baada ya kutokea kwa vifo vya watu maarufu akiwemo rais wa zamani wa marekani john f kennedy elvis UNK na anna nicole UNK ubongo baada ya kutolewa huangaliwa kwanza kwa macho kisha kupimwa kwa kutumia darubini hilo hufanyika baada ya kupita siku kama kumi na saba hadi kumi na nane UNK aliongeza daktari wecht katika mahojiano daktari wecht ambaye UNK uchunguzi miili zaidi ya kumi na sita sifuri sifuri sifuri wakati akifanya kazi hiyo alisema amefanya kazi hiyo kwa miaka arobaini na saba kwa uzoefu wake ni asilimia moja ya familia UNK kuwa UNK ubongo UNK ili kuuzika pamoja na mwili akini wengi UNK kuzika bila ya kuwa nao mara nyingi inaelezwa kuwa jackson alikuwa akitumia dawa aina ya demerol na UNK kwa ajili ya kutuliza maumivu ya mgongo na majeraha ya mguuni na alitumia dawa aina ya diprivan ambayo hutumika wakati wa upasuaji kwa jili ya kumsaidia kupata UNK na zahoro mlanzi timu za mikoa ya mtwara na kagera UNK ushindi kwa mara ya kwanza kwenye mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka kumi na saba katika michezo iliyopigwa jana asubuhi kwenye viwanja vya tanganyika packers kawe na kibaha pwani timu hizo tangu mashindano hayo yaanze hazijawahi kushinda lakini jana zilishinda ambapo kwenye uwanja wa kawe kagera waliichapa mwanza mabao tatu moja hivyo UNK kutoka mkiani hadi nafasi ya tano katika msimamo wa kundi c kwa kufikisha pointi tatu kwenye uwanja wa kibaha mtwara UNK iringa bao moja sifuri na kupanda hadi nafasi ya tano kutoka mkiani kwa kufikisha pointi tatu huku timu za iringa na arusha UNK vikumbo katika nafasi mbili za mwisho mchezo wa mwisho ulipigwa uwanja wa karume ambapo kigoma iliishushia kipondo rukwa cha mabao tano mbili na kufanya UNK na mjini magharibi katika kuwania nafasi ya kucheza robo fainali zote zimefikisha pointi saba katika mchezo huo rukwa ndiyo walianza kuliona lango la kigoma dakika ya tano baada ya filbert UNK kukwamisha mpira nyavuni na dakika ya thebathini burian akilimali aliisawazishia kigoma na kufanya hadi mapumziko timu hizo kutoka sare dakika ya arobaini na nane akilimali alifunga bao la pili kwa kigoma na kuongeza mengine dakika za sabini na mbili sabini na nne na sabini na nane na bao la ushindi kwa kigoma lilifungwa dakika ya themanini na aman UNK na goli la pili la rukwa lilifungwa dakika ya sitini na mbili na UNK mashindanbo hayo yataendelea tena leo kwenye viwanja hivyo na uhuru asubuhi kilimanjaro wataikaribisha pemba kusini mjini magharibi dhidi ya lindi mara wataumana na mbeya na tanga watachuana na ilala los angeles marekani watoto watatu wa mwanamuziki michael jackson UNK maswali kutoka kwa wafanyakazi wa idara ya jamii kuhusu maisha yao na baba yao ambaye anadaiwa alikuwa akitumia dawa za kupunguza maumivu kabla ya kufa kwake idara ya watoto na jamii ya los angeles ilifanya mahojiano hayo katika kuchunguza madai kuwa mwanamuziki huyo alikuwa teja wa kutumia dawa za kupunguza maumivu pia UNK kutakuwa na vita ya kugombea kuwatunza watoto wawili walioachwa na jackson kati ya mama yake katherine na mtalaka wake debbie rowe ambaye anadaiwa angeanza kufungua malalamiko jana mtu mmoja wa karibu alisema kuwa wafanyakazi wa jamii wanaweza kuchukua hatua kwa ajili ya kuwalinda watoto katika saa ishirini na nne za kifo cha wachunguzi UNK watoto prince michael paris na mtoto mwenye umri wa miaka saba prince michael ii ambaye pia anajulikana kwa jina la blanket kama walikuwa UNK dawa za kupunguza maumivu au ya kulevya dawa kama heroine hutumiwa kwenye dawa aina ishirini tofauti za kupunguza maumivu na nusu kaputi ya kufanyia upasuaji ambayo baadaye zilikutwa kwenye nyumba ya michael jackson mjini los angeles maofisa hao pia walikuwa wakitaka kujua tabia yake ilikuwaje kwa watoto hao wakati alipokuwa akiwatembelea na bibi yao katherine ambaye ni mama wa jacko akiwa nyumbani kwake UNK california mwanamuziki huyo alikuwa na historia ya kupenda kutumia dawa za kupunguza maumivu wasiwasi na msongo ambapo inaelezwa kuwa wakati alipokuwa na kesi ya udhalilishaji dhidi ya mtoto wa kiume alikuwa akimeza dawa hadi vidonge arobaini kwa siku chanzo kimesema kuwa maafisa hao watafanya uchunguzi kwa siku ishirini na saba kama UNK kuwa watoto hao walikuwa UNK katika mazingira hatarishi wanaweza kuchukua hatua ikiwemo kwenda mahakamani lakini debbie mwenye umri wa miaka hamsini anataka kuwatunza watoto prince michael na paris licha ya kuwepo habari kuwa aliwahi kupewa pauni milioni tano mbili na jacko kuachana na watoto hao baada ya UNK wanasheria wamedaiwa kuwa ana nafasi ya kuwapata watoto hao ili UNK mwanasheria wa los angeles na mtaalamu wa sheria wa familia michael UNK alisema wataalamu hao wanafanya uchunguzi kuona kama katherine anazo sifa za kukaa na watoto hao kama mlezi wao moja kwa moja baada ya awali kupewa kibali cha muda ya kuwa UNK los angeles marekani mpiga picha wa michael jackson ian barkley anasema grace rwaramba ambaye alikuwa mfanyakazi wa ndani wa michael jackson alikuwa akimpenda mwanamuziki huyo ambapo naye alikuwa akimpenda na wafanyakazi wengine walikuwa UNK michael jackson alikuwa na urafiki wa siri na rafiki yake wa kike ambaye watoto wake walikuwa wakimwita mom marafiki wa karibu wa mwanamuziki huyo waliliambia gazeti la sunday UNK tunaweza kukiri kuwa nyota huyo alikuwa na mahusiano ya muda mrefu na mwanamke mzaliwa wa uganda grace rwaramba hadi wakati UNK ian barkley ambaye alikuwa UNK na jacko katika ziara zake kwa miaka mitatu akiwa mpigapicha wake binafsi alisema wawili hao walikuwa wakionekana kupendana kwa siri na ilikuwa ikijulikana miongoni mwa wafanyakazi ian alieleza jinsi ndani ya milango iliyofungwa grace mwenye umri wa miaka arobaini na mbili alivyokuwa kama mama wa kazi kwa watoto wa jackson prince michael paris katherine na mtoto mwenye umri wa miaka saba prince michael ii grace alimpenda michael na michael pia alipenda yeye alisema watoto UNK mom wiki iliyopita mkuu wa ulinzi wa jackson matt UNK alisema kuwa mfalme huyo wa pop alikuwa na mpenzi wa siri lakini aliweka wazi jina lake mtu UNK ambaye hakutaka kutajwa jina lake aliongeza grace alikuwa mtu wa karibu kwa michael na watoto atakuwa UNK na uchungu sana watoto ni kitu ambacho kilikuwa UNK na kama watu wengine walikuwa UNK grace UNK kwa jacko na msemaji wake wa zamani daktari tohme r tohme mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na moja alianza kazi kama katibu muhtasi kabla ya kuwa mtu muhimu kwa maisha ya jackson mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa alitakiwa kuwalea watoto wakubwa wa jackson baada ya mwanamuziki huyo kumtaliki mkewe wa pili debbie rowe miaka sita baadaye jackson akamwomba kuwachukua watoto na kuwakutanisha na mama yao debbie rowe debbie UNK alikuwa akijisikia vibaya kuona watoto wake wakimwita grace mom mahusiano kati yao yalikuwa imara kwamba kiasi kwamba watoto hao baada ya kusikia kuwa baba yake UNK walikuwa wakilia na kumtaja UNK khartoum sudan mabingwa watetezi wa kombe la kagame tusker fc ya kenya itaumana na mathare united katika mechi ya robo fainali ya michuano hiyo itakayochezwa kwenye uwanja wa khartoum sudan kesho huku wawakilishi wa tanzania UNK nje ya michuano hiyo wenyeji wa michuano hiyo el merreikh watakutana na mabingwa wa burundi inter stars kesho ambayo itakuwa ya pili baada ya wenyeji wengine wa michuano hiyo hey el arab watakapocheza na tp mazembe ya jamhuri ya kidemokrasi ya congo mechi ya kwanza itakayochezwa jumatano itakuwa kati ya kampala city council ya uganda dhidi ya atraco ya rwanda ratiba hiyo inajumuisha matokeo ya mechi za mwisho zilizochezwa jana za kundi b baada ya kcc UNK benadir ya somalia mabao tano moja na tp mazembe kuizima prisons ya tanzania mabao tatu sifuri mechi zilizochezwa kwenye uwanja wa khartoum tusker ilipata kipigo cha mabao mbili moja dhidi ya inter stars wakati hey el arab ilisonga mbele baada ya wachezaji wa miembeni ya UNK kuumia na kutoka nje ambapo idadi ya waliobaki UNK kuendelea na mechi katikati ya kipindi cha pili lakini miembeni wanaweza kuingia katika matatizo ikiwa baraza la vyama vya mpira wa miguu afrika mashariki na kati kufanya uchunguzi na kugundua kama UNK tutatoa maelezo rasmi leo baada ya kupata ripoti maalumu kutoka kamati ya ufundi ya port sudan alisema katibu mkuu wa cecafa nicholas musonye jana usiku miembeni walifungwa bao dakika ya tano lililowekwa kimiani na ahmed saad kabla ya penalti dakika ya hamsini na saba walitoka uwanjani wakitaka kugoma lakini walirejea dakika mbili baadaye na kumruhusu saad kufunga bao la pili baada ya kufungwa bao hilo wachezaji walianza kuanguka kwa madai ya kuumia na kumlazimisha mwamuzi UNK UNK wa rwanda kumaliza mechi baada ya kusubiri dakika kumi na tano mabingwa wa soka tanzania bara young africans walifungiwa kushiriki michuano hiyo kwa muda wa miaka mitatu baada ya kugomea mchezo wao dhidi ya simba wa kutafuta bingwa wa tatu wa michuano hiyo mwaka jana mjini dar es salaam washindi wa mechi za robo fainali za kesho watakutana na washindi wa mechi za jumatano katika hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo ya kagame inayosimamiwa na cecafa los angeles marekani familia ya mwanamuziki michael jackson ambaye alifariki dunia juni ishirini na tano mwaka huu inadaiwa kuwa UNK kuhusu ni wapi ndugu yao azikwe taarifa UNK meneja wa mwanamuziki huyo aliyefariki akiwa na umri wa miaka hamsini tohme tohme amekiri kuwa wanandugu walikuwa wakitofautiana kuhusu ni wapi wamzike ndugu yao baba wa mwanamuziki huyo joe jackson na watoto wake walikuwa wakitaka UNK yafanyike kwenye ranchi ya michael neverland lakini wazo hilo lilipingwa na mama wa marehemu katherine na dada zake alisema tohme aliongeza kuwa wanafamilia wa jackson five UNK wakitaka azikwe kwa uwazi kama ilivyokuwa kwa kwa mwimbaji gwiji wa soul james brown na jackson naye UNK kwenye mitaa los angeles ili watu kutoa UNK zao za mwisho jumamosi mwanamuziki madonna alitoa heshima zake kwa jackson wakati alipofanya onesho mjini london madonna ana umri wa miaka hamsini kama iliyokuwa jackson wazo la mwili wake kupitishwa mitaani lilipingwa na katherine akisema kuwa jeneza lake UNK wa itakuwa si kitu kizuri na haifai kwa watoto watu wa michael ambao yeye amepewa jukumu la kuwalea kaka zake walitaka mazishi yake ya mwisho kufanyika neverland lakini wengi hawakutaka hilo kufanyika pale tohme alisema hajui ni sababu gani zilifanya baadhi ya ndugu kukataa azikwe neverland alisema yeye na baadhi ya wanafamilia walijaribu kushawishi azikwe neverland akiamini kuwa michael jackson alikuwa UNK mahali hapo inaaminika kuwa mama wa marehemu katherine alimwambia meneja wa muda mrefu wa michael frank dileo kwamba ni yeye pekee atakayeamua mahali pa kuzikwa na kesho dileo alimwambia rafiki yake kaka zake walitaka mwili wa michael kupitishwa mitaani ili mashabiki watoe heshima za mwisho kwa kujipanga pembeni na kurusha maua kama walivyofanya kwa princess diana lakini katherine UNK ngumu mwili wa michael unatarajiwa kuwekwa ndani ya jeneza wakati wa ibada yake itakayoanza saa nne asubuhi leo katika kituo cha staples centre mjini los angeles na kisha familia itafanya mazishi yake ka faragha katherine anaweza kuamua ni yupi kati ya watoto wa michael prince michael paris na prince michael ii UNK mazishi kama itakuwa hivyo UNK UNK sura ili UNK juzi UNK ya mashabiki wa uingereza walikuwa wakigombea tiketi za bure kwenye mtandao wa kompyuta ili kuhudhuria mazishi washindi wametangaza usiku wa kumkia jana na gladness mboma makamu wa rais daktari ali mohamed shein amesema serikali haifurahii kuona bidhaa za tanzania zinaendelea kuuzwa nje ya nchi zikiwa ghafi hivyo kushindwa kuongezeka thamani daktari shein alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua maonesho ya thebathini na tatu ya biashara ya kimataifa dar es salaam yanayofanyika katika viwanja vya mwalimu julius nyerere barabara ya kilwa alisema hatua hiyo inafanya bidhaa za tanzania kuuzwa kwa bei ndogo ikilinganishwa na gharama za uzalishaji mbali na kukabiliwa na changamoto hiyo daktari shein alisema tanzania bado inategemea mazao ya asilia kama chanzo kikuu cha mapato yake hali ambayo imeendelea kuathiri mapato ya serikali pindi bei ya mazao hayo inapoporomoka katika soko la dunia daktari shein alisema maonesho kama ya sabasaba yanatoa fursa kubwa kwa wafanyabiashara wazalishaji na wawekezaji kujifunza kutoka kwa wenzao kwa kujifunza ndipo mnaweza kuongeza thamani ya mazao yetu tunayozalisha na hata kutengeneza bidhaa zenye ubora unaokubalika katika soko la kimataifa na hatimaye kukabiliana na bei ya ushindani alisema daktari shein alisema ili tanzania iweze kushiriki kikamilifu katika biashara ya kimataifa inahitaji kuimarisha masoko la ndani alielezea kufurahishwa na maonesho ya mwaka kutokana na kuongeza kwa idadi ya wajasiriamali hasa wanawake haya ni maendeleo yanayotia moyo hasa ikizingatia kuwa viwanda vidogo vina mchango mkubwa kwa sekta binafsi alisema daktari shein alisema asilimia sabini ya nguvu kazi inatumika katika sekta binafsi kwa kuzalisha asilimia hamsini na nane ya pato la taifa aliwataka wafanyabiashara wadogo kujiwekea mtandao wa masoko na kuimarisha ubora wa ufungashaji daktari shein aliwataka wafanyabiashara kuchangamkia kuchangamkia kuuza bidhaa kwenye nchi zisizotoza ushuru india na japan mtalaka wa michael jackson debbie rowe juzi alijitoa katika sherehe za kumwaga mwanamuziki huyo aliyefariki akiwa na miaka hamsini iliyofanyika jana mjini hapa rowe mwenye umri wa miaka arobaini na tisa mama wa watoto wake wawili alikataa kuhudhuria mazishi hayo licha ya kupewa kadi ya watu maarufu na familia ya jackson alisema kuhudhuria kwake UNK kumbukumbu yake katika maisha na kwamba UNK peke yake kwa faragha rowe aliomba talaka kwa UNK huyo baada ya kuishi naye kwa miaka mitatu harusi yao ilifungwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita mwanamke huyo hivi sasa anajipanga kupambana na mama yeke jackson mahakamani ili apewe haki ya kuwalea watoto wake prince michael na paris mwanamuziki mwingine wa pop justin timberlake pia alialikwa kutumbuiza na kaka wa michael jermaine lakini alikataa kufanya hivyo chanzo kilisema rowe alialikwa lakini alikataa na kuamua kutoa heshima na kuomboleza kwa faragha mfalme wa muziki wa pop duniani michael jackson alizikwa jana katika makaburi ambayo ilikuwa ni siri ya familia yake kisha mwili wa mwanamuziki huyo ulichukuliwa na kupelekwa katika kituo cha staples center mjini los angeles ambako UNK na mashabiki UNK kwa mujibu wa mchungaji jesse jackson alipozungumza na shirikika la utangazaji la uingereza wanandugu walifanya ibada fupi kwa imani ya dini ya jehovah baada ya kufika katika kituo cha staples center UNK wake uliwekwa na maelfu ya mashabiki kumuaga kwa mara ya mwisho miongoni mwa wasanii walikuwepo kutumbuiza katika tukio hilo alikuwa mwimbaji stevie wonder na mariah UNK awali asubuhi wakati mashabiki wa wakianza kuwasili katika kituo hicho kulikuwa na kizuizi katika barabara ya kwenda kwenye kituo staples centre ambacho jackson alikuwa akifanya mazoezi ya kujiandaa na maonesho ambayo angeyafanya uingereza kabla ya kufa juni mwaka huu watu wengine walikuwa wamepangwa kuwepo katika shughuli hiyo ni pamoja na mkuu wa motown berry gordy lionel richie jennifer hudson na mtoto ambaye alifika fainali ya mashindano UNK UNK ya uingereza shaheen jafargholi ambaye alipangiwa kucheza wimbo wa michael jackson wa UNK hata hivyo sehemu ya kuzikwa UNK mwanamuziki huyo maarufu duniani ilikuwa ni siri ya familia awali kulikuwa na taarifa kuwa angezikwa katika ranchi yake ya neverland lakini mpango huo ulikwama kutokana na sheria za jimbo la california hata hivyo kulikuwa na habari za uwezekano wa kuzikwa makaburi forest lawn ambako walizikwa watu maarufu kama UNK UNK mary UNK george UNK na clara UNK zaidi ya watu milioni moja sita waliomba kuhudhuria sherehe ya kumwaga mwanamuziki huyo lakini ni watu nane mia saba na hamsini walichaguliwa kutoka sehemu mbalimbali duniani kwa njia ya mtandao wa UNK mashabiki waliopata bahati ya kupata tiketi kufika katika tukio la kumwaga walianza kufika katika kituo hicho usiku pia wakiwemo wengine ambao hawakuwa na tiketi jackson alifariki juni ishirini na tano mwaka huu kutokana na UNK ya kusimama moyo ambapo alikuwa katika maandalizi yake ya kurudi tena jukwaani katika maonesho hamsini na la kwanza angeanza katika uwanja wa o mbili arena mjini london julai kumi na tatu mwaka huu ulinzi uliimarishwa ambapo polisi wa los angeles walitoa onyo kwa mashabiki wasiokuwa na tiketi UNK katika viwanja vya kituo cha UNK mwili wa nguli huyo wa muziki wa UNK mamilioni ya mashabiki duniani walikuwa wakifuatilia shughuli ya kuagwa kwa michael kwa njia ya televisheni bila ya malipo yoyote nchini marekani kulikuwa na kumbi zaidi ya hamsini zilizokuwa na skrini kubwa kwa ajili ya kurusha moja kwa moja tukio hilo na elizabeth mayemba mshambuliaji wa yanga shamte ally aliyeumia mguu wakati wa pambano la kirafiki kati ya timu yake na mtibwa sugar wiki iliyopita anatarajiwa kusota benchi katika mzunguko wa kwanza wa ligi kuu tanzania bara kutokana na majereha UNK ligi hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi agosti ishirini na tatu mwaka huu katika viwanja mbalimbali nchini akizungumza na gazeti hili jana shamte alisema kuwa amefungiwa bandeji ngumu na daktari amemtaka akae kwa kipindi cha wiki nne ili aweze kuondolewa bandeji hiyo jana nilikwenda hospitali ya temeke ili UNK bandeji lakini UNK nikae tena wiki tatu ndio nikatoe alisema shamte alisema kuwa baada ya kuondolewa bandeji hiyo ameambiwa ataanza mazoezi UNK mpaka hali yake itakapotengemaa shamte alisema kuwa anashukuru mungu anaendelea vizuri na kuna uwezekano mkubwa hali yake ikarudi kama mwanzo na kuendelea kucheza mpira kama kawaida alisema kuwa UNK wale wote ambao wamekuwa UNK hali tangu kuumia kwake na kwamba anapata faraja kubwa na erasto stanslaus shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK klabu za ligi kuu kuwa timu ambayo UNK masharti ya kuajiri katibu mtendaji mhazini na msemaji wa klabu UNK daraja tamko hilo la tff limetolewa katika kikao cha pamoja na klabu hizo kilichofanyika julai sita mwaka huu ambacho kinatarajiwa kuendelea tena leo akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema katika kikao hicho wamekubaliana na klabu baadhi ya mambo ambayo kama wakishindwa kuyatekeleza timu hizo zao UNK daraja alisema muafaka uliofikiwa katika kikao hicho na klabu hizo ni kufanya utaratibu wa kuajiriwa kwa watendaji kabla ya kuanza kwa ligi hiyo agosti ishirini na tatu mwaka huu na endapo timu ikishindwa kufanya hivyo itashushwa daraja mwakalebela alisema azimio UNK UNK katika kikao hicho ni timu itakayoshindwa kuingia uwanjani kucheza mechi nayo itashushwa daraja ikiwa ni pamoja na kutimiza usajili wa timu za vijana ifikapo julai thebathini mwaka huu ambapo inatakiwa wasiopungua kumi na sita na wasizidi ishirini na mbili huku UNK kutumia wachezaji watano kila mchezo wakati huo huo mwakalebela alisema semina ya waamuzi watakaochezesha ligi hiyo inatarajia kufanyika julai kumi na tatu hadi kumi na sita mwaka huu katika vituo tofauti alisema semina hiyo itakayohusisha waamuzi wa daraja a na b ambao watachezesha ligi hiyo itafanyika katika vituo vya dar es salaam na mwanza ambavyo UNK UNK wa mikoa ya jirani na zahoro mlanzi timu za mikoa ya pwani na dodoma zimetinga hatua ya robo fainali ya mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka kumi na saba licha ya dodoma kuichapa pwani mabao mbili moja katika mchezo uliopigwa jana asubuhi kwenye uwanja wa kibaha pwani kwa ushindi huo dodoma imeibuka kinara wa kundi a baada ya kufikisha pointi kumi na tano na pwani wakishika nafasi ya pili kwa kufikisha pointi kumi na mbili katika kundi hilo hakuna timu UNK pointi hizo katika michezo mingine iliyopigwa jana asubuhi uwanja wa uhuru dar es salaam kinondoni UNK rukwa kwa mabao sita tatu katika mchezo uliokuwa wa kusisimua kutokana na kila timu kuonesha kiwango kizuri kinondoni ndiyo iliyokuwa ya kwanza kufunga bao dakika ya kumi na sita lililofungwa na simon msuya na kuongeza mengine matatu UNK za thebathini na tatu thebathini na nane na themanini na nne hivyo kuondoka na mpira mabao mengine ya UNK yalifungwa na miraji athuman dakika ya ishirini na tisa na UNK david dakika ya arobaini na mbili mabao ya rukwa yalifungwa na simon UNK dakika ya arobaini na nne amos UNK dakika ya themanini na UNK samuel dakika ya sitini na moja uwanja wa karume timu ya manyara ilitoka sare ya bao moja moja na kagera ambapo bao la manyara lilifungwa na isack UNK na lile la kusawazisha la kagera lilifungwa na ramadhan yusuph dakika ya sabini na saba na arusha walifungana bao moja moja na mtwara katika mchezo UNK kwenye uwanja wa tanganyika packers UNK na UNK wetu zanzibar baadhi ya wachezaji wa miembeni wametishia kuikimbia timu hiyo kwa madai ya kutopewa posho zao walipokuwa nchini sudan katika michuano ya kombe la kagame ambako UNK na kutupwa nje ya mashindano hayo timu hiyo inakabiliwa na adhabu ya kufungiwa miaka mitano na baraza la vyama vya mpira wa miguu afrika mashariki na kati kutokana na kugomea kucheza kipindi cha pili katika mechi dhidi ya hey el arab ya sudan wachezaji waliozungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutua kwenye uwanja wa ndege wa zanzibar juzi walithibitisha hatua hiyo ambapo walisema UNK uongozi wao barua wakiwa sudan kuwajulisha azma yao walisema tangu walipokuwa wakiondoka zanzibar kwenda khartoum kwenye michuano hiyo walijua kuwa mkurugenzi wao amani ibrahim makungu aliwakabidhi viongozi walioambatana na timu fedha za posho kwa ajili ya safari hiyo lakini UNK kwa ahadi ya kuwapa jijini nairobi walidai kuwa baada ya kufika nairobi UNK danadana wakidai watawalipa sudan lakini hawakupewa posho hizo hadi wanarudi nchini wakati sisi UNK posho zetu bila mafanikio wachezaji wa timu nyingine walikuwa wakifurahia kwa kufanya manunuzi madukani na hata viongozi wetu nao UNK zawadi bila kutujali hili UNK sana UNK walisema kwa kiasi kikubwa suala hilo UNK wao kufanya vibaya kwenye mashindano hayo na kufikia kufungwa mabao sita sifuri na nyingine mbili sifuri walipoulizwa ni kiasi gani cha fedha walizoahidiwa na uongozi wakati wakisafiri UNK hao walisema kila mchezaji alistahili kupewa dola za kimarekani kwa thamani ya shilingi sitini sifuri sifuri sifuri za tanzania naye meneja wa timu hiyo hashim salum akizungumzia suala hilo alisema uongozi wa miembeni unatarajia kukutana leo kuzungumzia tatizo hilo timu ilirejea juzi mchana baada ya UNK UNK princess diana mazishi ya mfalme wa muziki wa pop duniani michael jackson yameingia utata baada ya vyombo vya habari vya marekani kuripoti kuwa mwanamuziki huyo hakuzikwa na wala maiti yake UNK makaburini kutokana na familia yake kuamua kumzika kwa siri familia hiyo awali ilitarajia kurudi na mwili wa mwanamuziki huyo hollywood katika makaburi ya forest lawn ambako UNK mwili lakini hilo UNK habari zilizopatikana katika mtandano wa UNK zilieleza kuwa familia hiyo ilishindwa kuurudisha mwili wa michael jackson kwa kuwa kibali kilionesha mwili wake UNK kwa muda sehemu hiyo juzi mamilioni ya watu walikuwa wakifuatilia mazishi ya mfalme huyo wa pop ambayo UNK UNK yale ya aliyekuwa mke wa mrithi wa ufalme wa uingereza princess diana kwa kuhudhuriwa na kutazamwa na watu wengi katika televisheni duniani kote princess diana wa wales alifariki kwa ajali ya gari nchini ufaransa na kuzikwa elfu moja na mia tisa na tisini na saba kabla ya michael jackson kuzikwa kiasi cha mashabiki milioni moja sita waliomba kwa njia ya kompyuta kuhudhuria sherehe hiyo lakini waliochaguliwa walikuwa nane sabini sifuri kutoka sehemu mbalimbali duniani hivyo kufanya idadi ya waliongia ndani kufika kumi na saba hamsini sifuri mashabiki waliokuwa nje ya eneo walikuwa zaidi ya milioni tatu ambao walikuwa wakifuatilia kwa njia ya televisheni baadhi ya watu maarufu waliohudhuria sherehe za kuagwa jackson ni elizabeth UNK brooke shields lionel ritchie steve wonder diana ross UNK spears justin timberlake madonna na mkewe wa kwanza lisa marie UNK katika mazishi ya diana jumla ya waombolezaji mia mbili na hamsini sifuri sifuri sifuri walihudhuria katika viwanja vya hyde park na UNK kuwa jumla ya watazamaji milioni mbili tano walifuatilia katika televisheni mamia ya watu walijipanga barabarani kutoka kensington palace hadi UNK UNK kutoa heshima za mwisho baadhi watu maarufu waliohudhuria mazishi ya malkia huyo ni pamoja na bill na hillary clinton rais wa ufaransa jacques chirac na mwimbaji george michael diana alizikwa sehemu ya faragha katika kisiwa kilichoko UNK park ambako ni nyumbani kwa familia ya UNK siku tano baada ya mazishi urefu wa maua yaliyowekwa na waombolezaji nje ya ikulu ya kensington ilikuwa ni futi tano mazishi ya michael jackson inakadiriwa UNK na waombolezaji thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri UNK televisheni ya UNK na cnn huku zaidi ya milioni moja wakiangalia kwenye televisheni khartoum sudan mathare united na tusker zote kutoka nchini kenya jana UNK katika mechi ya robo fainali iliyofanyika kwenye uwanja wa merreikh uliopo khartoum nchini sudan na kushuhudia mabingwa watetezi tusker UNK taji hilo katika mechi hiyo iliyozikutanisha timu zote za kenya ilishuhudia dakika tisini zikimalizika kwa sare ya bao moja moja na kusababisha kupigiana penalti ili mshindi UNK mikwaju ya penalti mathare united ilifanikiwa kuwavua ubingwa tusker kwa kushindiliwa wavuni mikwaju ya penalti tatu mbili na kuwarudisha ndugu zao nyumbani kwao katika muda wa kawaida bao la tusker lilifungwa na jeff UNK dakika ya kumi na tano na mathare walisawazisha bao hilo dakika ya sabini na nne kupitia kwa anthony UNK kwa upande wa mikwaju ya penalti mathare UNK kipa aliyeibuka mchezaji bora wa mechi hiyo duncan ochieng kwa kudaka mikwaju iliyopigwa na oscar kadenge UNK UNK UNK augustine na UNK UNK mabao ya penalti ni UNK UNK na UNK UNK wafungaji wa penalti za mathare ni UNK UNK edgar ochieng na UNK wakati kevin UNK kevin ochieng na anthony UNK UNK mathare itakutana na atraco ya rwanda katika mechi ya nusu fainali itakayochezwa kesho kwenye uwanja wa merreikh mjini khartoum tp mazembe yenye wachezaji wengi waliofanikisha kutwaa ubingwa wa afrika kwa wachezaji wa ndani itakuwa ikisaka ushindi kuhakikisha wanalinda heshima yao hata hivyo mechi hiyo inatarajiwa kuwa ngumu kwani merreikh ambao ni mabingwa wa sudan wao watakuwa wakilinda heshima ya nchi yao baada ya wenzao hey el arab kutolewa katika hatua ya robo fainali na zahoro mlanzi kipa nelson kimathi UNK za yanga na prisons ambayo aliichezea msimu uliopita baada ya maafande hao wa magereza kudai UNK kwa kuweka pingamizi shirikisho la mpira wa miguu tanzania ili mchezaji huyo asicheze endapo yanga UNK taratibu za usajili yanga iliwasilisha jina la kipa huyo tff kabla ya muda uliopangwa wa kuwasilisha majina ya wachezaji waliowasajili kumalizika na kimathi kuwemo kati ya wachezaji tisa wapya waliosajiliwa na mabingwa hao wa tanzania kwa ajili ya msimu ujao akizungumza dar es UNK jana mwenyekiti wa klabu hiyo salum chambuso alisema alifanya mazungumzo na mwenyekiti wa yanga imani madega lakini si rasmi na kumweleza kuwa UNK kipa huyo akaichezee timu yake alisema lakini cha kushangaza timu hiyo UNK majina ya wachezaji wao wapya jina la kimathi lilikuwepo wakati taratibu husika hazikufuatwa zikiwemo suala la uhamisho wake kwani bado walikuwa UNK tunajua yanga wamewasilisha jina la kimathi tff lakini lazima wajue kwamba ni lazima taratibu za kuhama kwake UNK na kulifanya juu juu hivyo hatutakubali kuwaachia kirahisi ila wakifuata taratibu tuko radhi kumuachia alisema chambuso aliongeza kuwa timu yao leo inaondoka dar es salaam kwenda mbeya kujiandaa na ligi kuu pamoja na kukamilisha suala la usajili ambapo wataongeza wachezaji wapya watano katika kikosi chake pia alizungumzia suala la kocha ambapo alisema ni kitendawili kwani suala hilo UNK katika kikao cha mkutano mkuu kitakachokuwa chini ya kamishna mkuu wa magereza na ndipo hatma ya kocha itajulikana katika kikao hicho akizungumzia kufanya vibaya katika mashindano yaliyoandaliwa na baraza la vyama mpira wa miguu afrika mashariki na kati alisema UNK ni uzoefu lakini ana imani baada ya muda fulani timu yake itakuwa tishio na erasto stanslaus rais wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania leodegar tenga UNK mapigo ya mbunge wa jimbo la dimani zanzibar kwa tiketi ya ccm hafidh ali na kumtaka kuwa makini na kauli zake kwa umma tenga ametoa kauli hiyo kutokana na kauli zilizotolewa na mbunge huyo bungeni kuwa tff haitoi ushirikiano kwa chama cha mpira wa miguu zanzibar haswa katika kushiriki mikutano ya shirikisho la kimataifa la mpira wa miguu na mgao wa fedha zinazotolewa na shirikisho hilo hafidh alidai bungeni kuwa tatizo la ushirikiano baina ya vyama hivyo zinatokana na jeuri na mikogo UNK tenga madai ambayo UNK na baadhi ya wabunge pamoja na viongozi wa zfa akizungumza dar es salaam jana tenga alisema amesikitishwa sana na kauli za kiongozi huyo ambayo haina ukweli ndani yake wala hazina faida katika maendeleo ya soka kauli alizotoa mheshimiwa hafidh UNK hata kidogo kwani hakuna ukweli ndani yake na zilikuwa na lengo la kupotosha umma wa wapenda soka lakini mimi sina matatizo na kiongozi huyo ambaye kwa upande mwingine mimi ni kiongozi wake alisema tenga tenga alisema ushirikiano wa tff za zfa ni wa hali ya juu kwani wana mpango wa kukutana kila mwaka ambapo katika uongozi wake tayari wamekutana mara tano na wanatarajia UNK julai ishirini na moja mwaka huu huku wakiwa na kamati ndogo UNK mambo mbalimbali ya vyama hivyo alisema mbali na kamati hiyo lakini tff ipo mstari wa mbele kuhakikisha zfa inakuwa mwanachama wa fifa ambapo mwaka ishirini sifuri tano walikwenda kuomba nafasi hiyo wakiwa na ujumbe wa watu wanne wakiongozwa na yeye pamoja na said el UNK hafidh pamoja wa mjumbe mwingine kutoka zfa tatizo la zfa kukosa uanachama ni tatizo la katiba ya fifa ambayo inataka mwanachama wa fifa lazima iwe nchi inayotambulika kimataifa kitu ambacho zanzibar haina sifa hiyo sasa inakuaje tatizo liwe kwa tenga na kusahau kuwa majibu walipewa tangu mwaka ishirini sifuri tano alisema tenga tenga alisema kuhusu zfa kuhudhuria vikao vya fifa pamoja na kupata mgao wa fedha hilo litakuwa gumu kutokana na katiba ya shirikisho hilo ambayo inatoa mgao kulingana na maelekezo ya mradi husika wakati wawakilishi wa vikao vya fifa wanatakiwa kuwa wanachama wa chama hicho tu los angeles marekani sasa UNK wiki mbili tangu kutokea kifo cha mfalme wa pop michael jackson lakini mwili wake bado UNK ila inadaiwa atazikwa baada ya kurudishwa ubongo wake ambao bado unafanyiwa uchunguzi ili kubaini sababu ya UNK chake ingawa awali kulikuwa na habari kwua UNK na kutumia dawa za maumivu ilikuwa ikidaiwa kuwa mazishi ya mwanamuziki huyo aliyekuwa na umri wa miaka hamsini ambaye alikufa kutokana na moyo kusimama juni ishirini na tano mwaka huu angezikwa baada ya kuagwa kwake jumanne michael jackson hakuzikwa katika eneo ambalo lilikuwa likifikiriwa la makaburi ya forest lawn mjini hollywood hills lakini hata baada ya kuagwa katika kituo cha staples center los angeles haijulikani mwili wake UNK na ndugu zake familia jackson inadaiwa inataka kumzika ndugu yao pamoja na ubongo wake ofisi ya mochari ya ed UNK ilisema kuwa UNK ubongo huo mara baada ya kumaliza uchunguzi wao baba wa jackson joe awali aliwahi kukaririwa akisema kuwa mwanaye atazikwa baada ya kujua chanzo cha kifo chake aliongeza kuwa UNK muda na siku ya kufanya mazishi hayo awali pia kulikuwa na habari kwamba familia ya jackson bado inataka kumzika michael nyumbani kwake neverland ingawa inahitajika kupata kibali maalumu ili UNK itachukua muda ili kukamilika kwa kipimo cha ubongo kwa hiyo ni wapi mwili wa michael jackson UNK hakuna anayejua na ni bado UNK sherehe za kuagwa kwake zilifanyika juni saba mwaka huu pamoja na mashabiki na watu maarufu mbalimbali walihudhuria akiwemo UNK UNK UNK wa lebo ya motown berry gordy mchungaji UNK UNK mwigizaji brooke shields UNK king martin UNK king iii sheila jackson lee mwimbaji UNK robinson mkurugenzi wa ziara za michael kenny UNK na wachezaji wa mpira wa kikapu kobe UNK na UNK johnson wengine waliohudhuria ni waimbaji kama mariah carey lionel ritchie stevie wonder jennifer hudson john UNK usher na shaheen jafargholi ambao UNK michael jackson na elizabeth mayemba shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK klabu ambazo UNK uhamisho wa wachezaji wake wa kimataifa zimalizane haraka na klabu ambazo wachezaji wao walikuwa wakichezea ili waweze kupata hati za uhamisho akizungumza na gazeti jijini dar es salaam jana katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema hadi sasa hakuna hati ya uhamisho wa kimataifa hata moja iliyotumwa kufuatia klabu hizo UNK na klabu ambazo wachezaji wao UNK hadi jana hakuna itc yoyote ya mchezaji ambayo imetumwa shirikisho la mpira wa miguu uganda UNK UNK klabu kuwa UNK taratibu ili hati hizo zitolewe vinginevyo hawatafanya hivyo alisema alisema shirikisho la mpira wa miguu la rwanda wao bado hawajasema chochote tangu UNK itc na tff UNK kama na kuna tatizo mwakalebela alisema tayari shirikisho lake UNK klabu hizo ziweze kuwasiliana wa klabu za uganda ili itc zitolewe haraka kwa kuwa muda wa maandalizi ya ligi kuu tanzania bara na michuano ya kimataifa UNK wachezaji wa yanga ambao UNK uhamisho ni steven bengo UNK honore juma mba robert na moses odhiambo simba ni hilary echesa joseph owino na emmanuel okwi na mwajuma juma zanzibar timu ya taifa ya tanzania ya netiboli imeanza kambi kisiwani zanzibar kujiandaa na mashindano ya kimataifa ya vijana chini ya miaka ishirini na moja yanayotarajiwa kuanza kuchezwa julai kumi na nane mwaka huu mjini hapa timu hiyo ambayo inaundwa na wachezaji kumi na nne kumi na moja kutoka tanzania bara na watatu kutoka zanzibar inafundishwa na kocha UNK UNK akizungumza na gazeti hili meneja wa timu hiyo hidaya abdulrahim alisema hadi juzi wachezaji sita kutoka tanzania bara waliwasili na watano watawasili wakati wowote hidaya alisema kuwa kwa upande wa kambi hiyo wachezaji waliopo hivi sasa ni tisa wachezaji kutoka zanzibar wote wameripoti na wanaendelea vizuri na mazoezi alisema mara baada ya wachezaji wote kukamilika wataanza mazoezi ya kutwa mara tatu ambapo itakuwa UNK sana saa nne asubuhi na saa nane mchana aliwataja wachezaji walioripoti kambini na timu zao kwenye mabano ni diana UNK UNK nassor na jenifa UNK UNK mustafa UNK mussa UNK iddi na jackline UNK na UNK UNK mashindano hayo ambayo ni ya kwanza kufanyika hapa zanzibar yameandaliwa na chama cha netiboli zanzibar kwa usimamizi wa shirikisho la mchezo huo afrika UNK nchi mbalimbali ikiwemo uganda kenya na tanzania los angeles marekani latoya jackson UNK jinsi UNK mwili wa kaka yake michael katika mochwari ya forest lawn memorial park na los angeles jumatatu siku moja kabla ya kufanyika sherehe ya kuagwa jumanne ya wiki iliyopita katika ukumbi wa staples center gazeti la uingereza la daily mirror limesema aliweka UNK yake aliyoipenda kwenye jeneza huku mtoto wa marehemu michael paris akiweka kitambaa chenye umbo la moyo ikiwa ni alama ya upendo kwenye eneo la kiuno ili abaki na amani alikuwa kama mwenyewe alikuwa kama vile amepumzika gazeti la people lilimkariri david fossett ambaye ni mpwa wa jackson walikuwa pamoja nyumbani kwa jackson gary UNK alionekana kuwa na amani fossett alisema watoto wake walikuwa wakizunguka jeneza walikuwa wakizungumza wenyewe na kulia wazazi wa jackson katherine na joe jackson hawakuwepo kati ya waliokuwa UNK mwili lakini baada ya kumaliza waombolezaji walikwenda nyumbani kwa jackson UNK ilikuwa ni hali ya kutia simanzi fossett alisema ingawa alikuwa ni UNK mkubwa bado ni sehemu ya familia yetu fossett na ndugu wengine walikaa huko usiku mzima jumanne familia hiyo ilipata chai mapema na kisha kuingia kwenye magari ya UNK kwenda mochwari ya forest lawn ambapo ni mwendo wa dakika thebathini hadi arobaini kulikuwa na ndugu kama sabini kisha jeneza la jackson UNK na juu yake UNK maua ambayo yalionekana wakati wa kuagwa kwake staples center shangazi wa jackson wendell hawkins ndiye aliyeomba huduma ya kiroho ya imani ya jehovah kwa mujibu wa fossett na shangazi mwingine UNK UNK fossett ambaye si muumini wa jehovah alielezea kuwa ibada ya kumwombea michael iliendeshwa kwa imani yao kana kwamba yeye atarudi duniani wendell hawkins akizungumza na wageni alisema UNK kwamba maisha ya michael UNK na jehovah katika ibada hiyo iliyosomwa injili kutoka kitabu cha injili ya yohana tatu kumi na sita kuna ujumbe UNK mungu UNK dunia UNK mwanaye pekee na kisha UNK paris na nduguze prince michael i na prince michael ii walikuwa wakilia wakati wa ibada UNK baba yao fossett alisema walikuwa na huzuni lakini watoto walikuwa UNK kwa kushikana mikono na kukumbatiana walikuwa UNK mkono na familia alisema sote tulikuwa UNK waombolezaji walikuwa wakiimba wimbo unaosema maisha bila mwisho mwishoni uliokuwa ukipigwa kwa makofi na erasto stanslaus mabingwa watetezi wa tanzania bara yanga UNK hofu wanachama na wapenzi wa klabu hiyo kwa kuwahakikishia kwamba hakuna mchezaji UNK katika usajili wao msimu yanga imesajili wachezaji nane huku UNK wachezaji sita kutoka nje lakini waliwekewa ngumu na klabu ya sc villa ambayo ilitaka kupewa pesa zote ili kumwachia mshambuliaji wake steven bengo mabingwa hao wanatakiwa kulipa shilingi milioni arobaini ili kumnasa mshambuliaji huyo lakini klabu hiyo ilitoa nusu ya pesa hizo ambazo zilipingwa na uongozi wa villa akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa klabu hiyo imani madega alisema wachezaji wote wanaotakiwa na klabu hiyo watapatikana bila wasiwasi alisema klabu kubwa kama yanga haiwezi kumkosa mchezaji kwa sababu ya kukosa pesa ya usajili hilo haliwezekani kwani wapo katika mipango ya mwisho kumalizana na villa alisema walijipanga kwa usajili na walimtaka mchezaji huyo wakijua kuwa lazima kutakuwa na pesa za uhamisho UNK na klabu hiyo hivyo kulipa nusu ilikuwa ni mipango tu yanga inafanya usajili kwa mipango ikiwa pamoja na kuweka pesa ambazo zinatumika kwa usajili na kupeleka nusu ilikuwa katika mikakati ya kumalizana kwanza na mchezaji huyo lakini ndani ya siku hizi mbili watamalizia pesa hizo alisema madega wakati huo huo madega alisema kwa sasa wameweka kiporo suala ya katibu wa kuajiliwa hadi watakapokamilisha usajili wa timu hiyo alisema wana mambo mengi ya kufanya usajili na kuiweka timu kambini kujiandaa na ligi na michuano ya kimataifa lakini UNK suala hilo kabla ya ligi kuanza na zahoro mlanzi timu ya simba imesema UNK kambini hivi sasa mpaka UNK kocha mkuu mzambia patrick phiri amewasili nchini kocha huyo anatarajiwa kuwasili nchini leo au kesho baada ya kushindwa kutua mwishoni mwa mwezi uliopita kutokana na sababu mbalimbali akizungumza dar es salaam jana meneja wa timu hiyo innocent njovu alisema hawataweza kuingia kambini bila ya kocha hivyo wataendelea kufanya mazoezi madogo madogo yatakayokuwa chini ya kocha msaidizi amr said haiwezi timu kuingia kambini wakati kocha hayupo UNK ndipo maandalizi ya kuingia kambini yataanza lakini kwa sasa hivi tutaendelea kufanya mazoezi madogo madogo mpaka UNK alisema njovu katika hatua nyingine mwenyekiti wa klabu hiyo hassan dalali ametamba kuwa kikosi UNK msimu huu ni moto wa kuotea mbali kwani uwezo wa kufanya vizuri katika mashindano ya kimataifa ni mkubwa sana alisema licha ya kocha wao phiri kuchelewa kufika lakini UNK timu hiyo katika kampeni yake ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu baada ya kuukosa kwa miaka miwili mfululizo pamoja na kutoshiriki mashindano ya caf kwanza naipongeza kamati yangu ya usajili kwa kazi nzuri iliyofanya msimu huu na ninaamini timu itakuwa tishio msimu ujao kwani usajili umefanyika kwa umakini zaidi tofauti na miaka mingine alisema dalali los angeles marekani baba na dada wa mwanamuziki michael jackson aliyefariki dunia juni ishirini na tano mwaka huu kwa tatizo la kusimama moyo wamesema kuwa UNK kifo hicho kimetokana na mkono wa mtu mkuu wa familia joe jackson aliiambia abc news mwishoni mwa wiki kuwa UNK kuna faulo iliyofanyika na kusababisha kifo cha mwanaye na kwamba UNK baada ya kusikia mwanae alipoteza fahamu na kukimbizwa hospitali sikuweza kuamini kitu kilichotokea kwa michael ninaamini kuna faulo ilichezwa alisema bila ya kuelezea zaidi tangu kitokee kifo cha jackson vyombo mbalimbali vimekuwa UNK kuwa mwanamuziki huyo alikuwa akipenda kumeza dawa za kupunguza maumivu pamoja na kukutwa na dawa kali nyumbani kwake ikiwemo nusu kaputi ambayo hupewa wagonjwa ili wapate usingizi wakati wa kufanyiwa upasuaji sikujua kitu chochote kuhusu dawa joe jackson alisema sijui hata majina yake lakini ninajua kuwa kama alikuwa akimeza ni kwa ajili ya kutaka kupumzika kwa kuwa alikuwa akifanya kazi sana lakini potelea mbali hakuweza UNK michael alikufa akiwa usingizini habari za chanzo cha kifo chake bado UNK wakati huohuo latoya jackson amekaririwa magazeti mawili ya uingereza akisema kuwa anaamini kaka yake aliuawa kwa kuwa angepata pesa nyingi baadaye ninaamini kuwa michael aliuawa nilihisi hivyo kutoka mwanzo alisema dada huyo mwenye umri wa miaka hamsini na tatu hakuhusika mtu mmoja ni kundi la watu alikuwa amezungukwa na watu wabaya michael alikuwa mtu mwenye aibu UNK na mwenye upendo watu wakaitumia nafasi hiyo aliongeza kuwa zaidi ya mwezi uliopita aliwahi kusema kuwa kaka yake anaweza kufa kabla ya kuanza kufanya shoo za london kwa kuwa amezungukwa na watu ambao UNK mema pia alieleza kuwa kaka yake alikuwa na thamani ya mabilioni ya fedha UNK ni kwanini nyumbani kwake havikuonekana vito wala fedha nyingi ambapo kabla alikuwa UNK kiasi kikubwa cha fedha mamilioni ya dola latoya pia alisema kaka yake hakutaka kufanya maonesho hamsini katika uwanja wa sifuri mbili mjini london lakini alilazimishwa kufanya hivyo amesema shinikizo hilo UNK na kundi la watu ambalo limechangia kifo chake walimwona kama nggombe wa fedha na UNK kwa kumlisha madawa ninafikiri zilisababisha mshituko katika mfumo wake na kumuua alisema UNK kimya hadi nijue ni nani UNK kwa nini UNK familia yake mbali si suala la fedha ninataka haki kwa michael UNK hadi nijue ni nani aliwajibika kwa kifo cha kaka yangu la toya amesema jackson alikuwa katika kitanda cha daktari wake daktari conrad murray michael alitembea kutoka chumbani kwake hadi chumba cha dokta murray kitu gani kilitokea hatujui alisema na kuongeza kuwa UNK habari za kifo hicho na mama yao na kueleza kuwa alipata mshituko nusura UNK ajali wakati akiendesha gari na mwali ibrahim warembo nchini wametakiwa kufuata kanuni na taratibu za mashindano ya urembo nchini wakati kamati inayohusika UNK taarifa zake akizungumza jijini dar es salaam jana mratibu wa kamati ya miss tanzania hashim lundenga warembo UNK taarifa zinazotolewa na kamati yake itawasaidia kujua na kuzielewa kanuni za mashindano hayo lundenga alitoa somo hilo wakati wa semina ya warembo wa ilala iliyofanyika katika ukumbi wa hoteli ya lamada ambako wameweka kambi mratibu huyo alisema warembo hao UNK kanuni za mashindano hayo zitawasaidia kulinda na kutetea maslahi yao wakati wa kuingia UNK na waandaaji alisema warembo hao wana haki ya kushtaki ikiwa waandaaji watashindwa kutekeleza mambo yaliyomo kwenye kanuni za mashindano hayo ikiwa pamoja na kudhulumiwa haki yao kwa kupeleka malalamiko yao baraza la sanaa la taifa lundenga alisema UNK hao wanatakiwa kuweka nguvu zao katika mashindano hayo na wala siyo kukata tamaa hata hivyo lundenga amewataka warembo hao kuilinda na UNK fani hiyo ya urembo kwani ni muhimu kwa maisha yao na UNK kitaifa na kimataifa warembo wanaowania umalkia wa ilala ni kumi na nane ambapo mshindi atawakilisha kanda ya ilala katika mashindano ya taifa baadaye mwaka huu na amina athumani timu ya UNK ya gofu inatarajia kushiriki michuano ya ya wazi arusha arusha open inayotarajiwa kufanyika mkoani arusha mwishoni mwa mwezi huu akizungumza na majira dar es salaam jana kocha wa timu ya gymkhana ya dar es salaam stanley sanga alisema mashindano hayo yatashirikisha wachezaji mbalimbali kutoka tanzania na hata nje ya nchi kwa kuwa ni ya wazi alisema kwa upande wa timu yake itakuwa ni moja ya maandalizi ya kuchagua wachezaji wenye pointi nyingi watakaopata nafasi ya kushiriki michuano ya kenya airways itakayofanyika nchini kenya baadaye mwaka huu wachezaji wangu wanaendelea na mazoezi katika viwanja vya klabu ya gymkhana na tunategemea kucheza mashindano ya wazi ya arusha na mashindano maalumu yatakayofanyika hapa gymkhana ili kuchagua wachezaji wenye pointi nyingi watakaoshiriki michuano ya kenya airways alisema UNK alisema timu hiyo itagharamiwa na mwenyekiti wa chama cha gofu tanzania dioniz malinzi katika safari ya arusha kushiriki michuano hiyo na amina athumani shirikisho la ngumi za ridhaa tanzania UNK kocha mpya wa mchezo huo kutoka nchini UNK UNK UNK UNK kuchagua timu ya taifa ya tanzania ya mchezo huo kwa kushirikiana na makocha wengine wa mchezo huo timu hiyo UNK katika mashindano ya klabu bingwa taifa yatakayofanyika julai ishirini na saba mwaka huu mjini singida akizungumza dar es salaam jana katibu mkuu wa bft UNK mashaga alisema kocha huyo ameletwa na serikali katika kipindi muafaka na kwamba atasaidia kuchagua mabondia watakaounda timu ya taifa katika mashindano hayo alisema kutokana na kocha huyo kuwa na uzoefu wa kuwatambua mabondia wenye uwezo na kipaji hadi kuchaguliwa na serikali katika kukuza vipaji vya mabondia wa tanzania wao kama bft wana imani watapata mabondia bora UNK vema bendera ya tanzania alisema maandalizi ya mashindano hayo yanaendelea vema na kwamba hadi sasa mikoa ambayo haijathibitisha kushiriki ni tisa kati ya ishirini na tatu ya tanzania bara aliitaja mikoa hiyo ni lindi mtwara shinyanga kagera manyara kilimanjaro tabora kigoma na rukwa na kwamba mikoa mengine imethibitisha kushiriki mashindano hayo alisema mashindano hayo UNK na mkutano mkuu wa kila mwaka UNK masuala mbalimbali ya maendeleo ya shirikisho hilo ikiwa ni pamoja na kupitishwa rasimu ya katiba mpya ya shirikisho hilo mashaga ameipongeza serikali kwa kujali michezo nchini na kuvitaka vyama vingine kuwa na subira kwa kuwa serikali ina malengo ya kuokoa michezo nchini marehemu michael jackson michael jackson alikuwa ni teja wa kutumia dawa za diprivan zenye nguvu za nusu kaputi zinazotumiwa kwa wagonjwa kabla ya kufanyiwa upasuaji imedaiwa baada ya kutumia dawa hizo alikuwa akikaa kwa saa hadi sabini na mbili akiwa kama maiti inayoishi kwa mujibu wa UNK wa zamani wa upasuaji wa kurekebisha sura kathryn UNK kathryn mwenye umri wa miaka arobaini na moja alikuwa ni mmoja wa wataalamu waliokuwa UNK operesheni alizokuwa akifanyiwa jacko kurekebisha sura na pua yake wakati wa uhai wake alisema kuwa nyota huyo alikuwa kama teja baada ya kuanza kupewa dawa aina ya diprivan kwa lengo la kutuliza maumivu makali aliyokuwa akikabiliwa nayo kutokana na kubadili ngozi yake alisema michael alikuwa na mawazo mengi kutokana na kutaka kwake kubadili mwonekano wake wa ngozi na uteja wake kutumia diprivan UNK zaidi UNK ni tatizo baya la kisaikolojia alikuwa UNK ngozi ambayo ilikuwa ikitoka na kisha kuwa kama UNK ilionekana kama msuada wa sinema ya kutisha kuelekea miaka ya tisini alikuwa kama mtu aliyekufa UNK mbali na dawa za diprivan wachunguzi wa vifo wa mochari ya los angeles walikuta chembechembe za dawa mchanganyiko za demerol UNK UNK UNK UNK UNK xanax na UNK katika mwili wa jacko baada ya kuufanyia uchunguzi kufuatia kifo chake kilichotokea juni ishirini na tano akiwa na umri wa miaka hamsini kathryn alisema kuwa mwimbaji huyo ambaye angefanya shoo yake ya kwanza UNK juzi katika uwanja wa o mbili alikuwa akitumia dawa alizokuwa akitumia wakati wa operesheni ya ngozi wakati hakukuwa na sababu ya kufanya hivyo alisema alikuwa akienda UNK kutaka dawa hizo na baada ya kutumia alikuwa akikaa hadi saa sabini na mbili akiwa hana hisia tena kama maiti UNK jacko aliendelea kutumia diprivan hata baada ya kunusurika kifo mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa ambapo alikuwa akishindwa kusimama vizuri alisema UNK alisema ngozi yake ilianza kupungua na kuwa nyepesi hivyo kusababisha maumivu baada ya kufanyiwa operesheni ya pua baada ya kuanguka wakati akicheza muziki mwanamuziki huyo alikuwa akipenda kuwa na ngozi kama ya mzungu tiba aliyofanyiwa ilikuja kugeuka mateso kwake kwa kupata maumivu kwa hiyo alikuwa akitaka dawa za kupunguza maumivu au kupata usingizi ili UNK vizuri wakati huohuo baba wa jackson joe juzi alisema kuwa mwanamuziki huyo asingeweza kufanya maonesho ya muziki ya this is it katika uwanja wa o mbili joe alisema kurudi jukwaani ilikuwa ni wazo zuri lakini ilikuwa makosa kufanya shoo nyingi lakini waandaaji wa maonesho yake walikuwa wakisisitiza kuwa alikuwa katika hali nzuri UNK UNK ambaye ni mkuu wa kampuni iliyokuwa UNK maonesho yake aeg live alisema jacko alitaka kufanya maonesho hamsini ili aweze kuingizwa katika kitabu za matukio ya kumbukumbu ya dunia UNK UNK of records akiwa ni mwanamuziki aliyepiga muziki muda mrefu katika uwanja mmoja na erasto stanslaus rais wa shirikisho la mpira wa miguu tanzania leodegar tenga ameomba msaada wa kutoka kwa wanachama wa shirikisho hilo ili kumaliza tatizo la chama cha mpira wa miguu zanzibar wiki iliyopita tenga alitoa ufafanuzi juu ya uhusiano wa tff na zfa kutokana na malalamiko ya chama hicho kutohusishwa katika baadhi ya mambo na tff akizungumza dar es salaam jana ofisa habari wa tff florian kaijage alisema tenga amewaandikia barua wenyeviti wa vyama vya mikoa vyama shiriki vya tff na klabu za ligi kuu kwa lengo la kutaka maoni kutoka kwao juu ya suala hilo alisema kutokana na suala hilo la ushirikiano baina ya pande hizo mbili kuwa la kikatiba ndio sababu iliyomfanya rais kuomba maoni ya wanachama hao tatizo lililopo kati ya tff na zfa haliwezi kumalizika kwa makubaliano ya viongozi wa vyama hivyo pekee kwani linahitaji mabadiliko ya kikatiba ambalo moja kwa moja linawagusa wanachama hivyo lazima wanatakiwa kupata maoni yao alisema kaijage alisema rais anaamini kuwa viongozi wa vyama hivyo watatumia muda wao mwingi kutafakari jambo hilo na baadae watoe maoni ambayo UNK tatizo hilo kwa pande hizo mbili alisema katika jitihada za kumaliza tatizo hilo tff na zfa wanatarajia kukutana julai ishirini na moja ambapo kati ya mambo UNK ni ushirikishwaji wa zfa katika masuala ya fifa katika taarifa ya tenga ya wiki iliyopita aliutaka uongozi wa zfa UNK kwa makini kujiunga na tff kikatiba kwani wanatakiwa kufuta ndoto za kujiunga na fifa ndipo waingie katika katiba ya tff kitu ambacho kinaweza kusababisha wakapoteza UNK wa caf pamoja na tenga kutaka msaada wa maoni ya ushirikishwaji wa zfa kikatiba lakini chama hicho kinatakiwa kukubaliana na mazingira hayo ya kuacha kuomba uanachama fifa zaidi ya watu kumi sifuri wenyeji wa visiwa vya zanzibar UNK kuwa walitaka kwenda shimoni mombasa wamekamatwa na vikosi vya ulinzi na usalama mjini hapa juzi wilayani pangani watu hao UNK wao walitokea kisiwa cha pemba waliwasili UNK pangani juzi kwa majahazi mawili ambayo UNK nanga katika eneo la ufukwe wa UNK wilayani humo habari zilizopatikana hapa jana zilisema kuwa baada ya wazanzibar hao kuwasili UNK ufukweni hapo kila mmoja kuelekea eneo lake na wengine wakielekea mjini pangani baada ya kutawanyika walifanikiwa kukamatwa na wanajeshi wanaoendesha operesheni ya uvuvi baharini ambapo walifanikiwa watu themanini na nane ilikuwa mshikemshike ya nani hapo baharini ilibidi wanajeshi watumie mbinu za ziada baada ya UNK hao kurusha mawe UNK kukamatwa alisema mwananchi mmoja ambaye alikataa jina lake UNK gazetini vigogo serikalini hawalipi madeni mamba dar es salaam februari nne ishirini sifuri moja waziri wa fedha bwana UNK mramba amesema vigogo wa serikali ndiyo wanaoongoza kwa tabia mbaya ya kupenda kukopa katika mabenki bila kulipa alitoa kauli hiyo juzi wakati wa hafla ya uzinduzi wa ofisi mpya wa benki ya crdb tawi la UNK house lililopo jijini dar es salaam waziri mramba alikuwa UNK mkono malalamiko ya mkurugenzi mtendaji wa crdb daktari charles kimei kuwa asilimia tisini ya waliokopa crdb katika kipindi cha miaka mitano iliyopita wamegoma kurudisha mikopo hiyo katika hafla hiyo iliyofanyika UNK hapo bwana mramba alisema mikopo mingi serikalini UNK bila kurudishwa wakati waliokopa ni viongozi wa juu wa serikali bila kutaja majina ya vigogo waziri mramba alisema wengine walikopa kwa ajili ya kununua pembejeo kwa ajili ya wakulima badala yake wamefungua vituo vya mafuta au kununua daladala na kugoma kurudisha mikopo hiyo tukijenga tabia ya UNK mikopo UNK turudishe tena kwa wakati UNK kwa rafiki yako serikalini au benki rudisha kwani dawa ya deni ni kulipa alisema waziri mramba akitolea mfano benki ya nyumba tanzania iliyokufa miaka michache iliyopita waziri mramba alisema ilitokana na baadhi ya wateja kuchukua mikopo ya kujenga nyumba na kugoma kurudisha mikopo hiyo alisema na kuongeza kuwa hali hiyo ilitokana na viongozi wa benki hiyo kuwa laini katika utoaji wa mikopo na kuitaka crdb na benki nyingine kuwa wagumu katika utoaji wa mikopo hiyo na kuhakikisha inarudishwa kwa wakati mke wa kawawa UNK dar es salaam machi moja ishirini sifuri moja mke wa makamu mwenyekiti mstaafu wa ccm bwana rashid kawawa bibi asia kawawa amefariki dunia UNK kawawa alifariki dunia saa tano usiku juzi katika hospitali ya muhimbili alikokuwa UNK taarifa kutoka nyumbani kwa mzee kawawa UNK zilisema jana kuwa marehemu alizikwa jana jioni UNK rais benjamin mkapa aliongozwa mazishi ya mama kawawa ambayo pia yalihudhuriwa na rais wa serikali ya mapinduzi zanzibar bwana abeid karume rais mstaafu mzee alli hassan mwinyi na rais mstaafu wa zanzibar na makamu mwenyekiti wa ccm daktari UNK UNK hii ni mara ya pili kwa mzee kawawa UNK na mke ambapo katikati ya miaka ya elfu moja na mia tisa na tisini UNK na mkewe wa kwanza bibi sofia kawawa ambaye katika uhai wake aliwahi kuwa mwenyekiti wa jumuiya ya wanawake tanzania uwt katika hotuba yake kwa taifa usiku wa jumatano iliyopita rais jakaya kikwete alikiri kuwa kuna uhasama miongoni mwa wabunge wa ccm ambao umefikia katika hali ya kutoaminiana tena lakini hali hii haipo tu kwa wabunge wa ccm ipo pia katika ngazi mbalimbali za chama hicho toka matawi kata majimbo wilaya mikoa na hata taifa lakini mara kwa mara viongozi UNK kupitia vyombo vya habari kuwa yapo makundi ndani ya ccm wote kwa pamoja na kwa nyakati tofauti UNK kwa kudai chama hicho hakina makundi bali kuna mshikamano wa viongozi na wanachama wake na kwamba ni mfano wa kuigwa na vyama vingine ndani tanzania na bara letu la afrika swali la kujiuliza ni kwamba makundi UNK kuisambaratisha je UNK kama uyoga au yalikuwepo muda mrefu je kama yamekithiri hivi sasa ccm kwa kupitia vitengo vyake kikiwemo cha upepelezi na kamati za maadili toka ngazi za chini hadi juu UNK kuyadhibiti UNK hayo hadi chama kishindwe na kuunda kamati maalum upo ukweli UNK usemao kuwa ufa wa nyumba UNK chini huweza kudhibiti kwa urahisi kuliko ule unaoanzia juu ufa unaoanzia juu huweza kuangusha nyumba kirahisi makundi ndani ya ccm chimbuko lake ni viongozi wa ngazi za juu wao ni waasisi wa makundi hayo ni UNK UNK ukweli kwenye vikao vyao huwezi ukawa jasiri wa kuonya jambo iwapo wewe mwenyewe ni muumini wa kutupwa wa jambo UNK UNK UNK viongozi wanaozungumzia makundi ndani ya ccm wanapaswa UNK mara mbili na kujiuliza wanawezaje kuwa jasiri wa kuwaonya wanaccm wenzao huku wao wakiwa vinara wa kushabikia makundi UNK kuzungumzia kwenye vikao vya juu na kuwabaini wale UNK makundi ambayo hatari yake UNK kuwa ni ya UNK chama wanawezaje kuwa na watu wanaosafiri katika mtumbwi mmoja ilihali wenzao wachache wamechukua UNK na UNK UNK UNK na wao wanaishia kulalama kama nilivyowahi kusema huko nyuma kuwa ccm ni chama cha mapinduzi lakini kimekuwa na woga mkubwa kufanya mapinduzi ya kifikra na kiitikadi ndio maana hadi leo licha ya UNK uchwara kuwa kinara wa uchumi na siasa hapa nchini chama hicho bado UNK kusema kuwa UNK ujamaa kwa misingi ya kujitegemea ccm hawawezi kukwepa makundi chama chenye wanachama milioni tano hakiwezi kuendelea kuendeshwa kwa mtindo wa kupokea amri kutoka kwa viongozi wa juu na kuzitekeleza tu kwa kufanya hivyo kuifanya demokrasia ndani ya chama chama cha umma hakiwezi kuongozwa kwa kutegemea wateule wachache wanaoogopa makundi ni wahanga wa siasa UNK ndani ya chama wana mawazo mgando kuwa halmashauri kuu ya taifa nec na kamati kuu ndizo zenye sauti ya mwisho ya kuamua kila kitu na wanachama inawapasa kufuata maamuzi hayo pasi na hiyari tabia hii ndio chimbuko la kusambaratika pia vyama vya upinzani hapa nchini hivyo cha kama ccm lazima UNK ushindani wa wanachama wake kwa kufuata utamaduni wa sehemu husika ni makosa kwa halmashauri kuu ya taifa au kamati kuu kuamua ni mwanachama yupi agombee nafasi za uenyekiti wa wilaya au mkoa au nafasi nyingine na kuwarudishia majina wanachama wachague mtu anayetakiwa huko juu ipo mifano ambayo ni makubaliano yasiyo ya kimaandishi lakini UNK ndani ya ccm UNK mkoa wa dodoma mwenyekiti wa ccm akiwa kutoka kabila la UNK mjumbe wa nec mkoa hutoka kabila la UNK vivyo hivyo mkoa wa kilimanjaro mwenyekiti akitoka UNK mjumbe wa nec hutoka kwenye kabila la UNK kwa utamaduni huu wahusika wa maeneo hayo huwa na mchakato wa kushindana wao kwenye nafasi moja UNK wanachama wote bila ushindani wa kidemokrasia ndani ya chama unazaa mazoea ya UNK mathalani UNK mazoea kuwa UNK wa urais wa zanzibar kwa tiketi ya cuf ni lazima awe katibu mkuu wa chama hicho na hakuna UNK kujitokeza UNK vyama vyenye mwelekeo wa kupokea amri moja toka juu vina yamkini kubwa ya UNK ccm ina mengi ya UNK yapo majaribio mengi ya kutaka kujisahihisha lakini UNK na viongozi waliostaafu UNK endapo rais jakaya kikwete ataendelea kuwa na wasaidizi kwenye chama ambao wengi wao UNK kwenye bahari za siasa za chama kimoja za kupokea amri tu basi ccm itakosa uwezo wa kujisahihisha kabisa chama UNK hatua ya kushindwa kujisahihisha UNK kufanya hujuma dhidi ya demokrasia iwe ndani ya chama chenyewe na hata kwenye chaguzi kuu ndio maana unaweza kuona watu wengi wamejiandikisha kupiga kura lakini siku ya kupiga kura watu UNK majina yao au mgombea UNK wapiga kura wake na UNK wakati ccm ipo katika uhasama wa makundi ni bora UNK onyo la rais mstaafu wa awamu ya tatu benjamin mkapa aliyesema siasa za chuki huenda UNK uchaguzi mkuu ujao kuwa mgumu rais jakaya kikwete anakiri pia kuwa uhasama huo na dawa yake kubwa ni kuwa na wasaidizi wapya ndani ya chama wasio na makundi kauli rais wa marekani UNK obama ni fundisho kwa wanasiasa wetu sio wa ccm na hata wale wa upinzani alisema tumeamua kuchagua utulivu kuliko utengamano na pia tumeamua kuchagua upendo kuliko UNK viongozi wengi ndani ya ccm wamekuwa na tabia ya kuwatisha wenzao na kuwawekea mikakati ya siri ya UNK oa rais kikwete mwenyewe kwenye mkutano mkuu wa uchaguzi wa mwisho wa chama alikasirishwa na baadhi ya wanachama na wapambe UNK fedha ili baadhi ya wagombea UNK demokrasia hii ni ya kihuni ndio iliyojaa ufisadi wa kisiasa lakini pia wapo viongozi pia wanaogawa fedha ili wenzao UNK madarakani kushindwa kuwa na umoja wa wabunge wa ccm ndani ya chama hicho kunatokana na utendaji wa katibu mkuu wa chama hicho na wasaidizi wake kamati ya mzee mwinyi UNK makundi ndani ya ccm hali bado pia mbaya kwenye ngazi za chini ambapo makundi UNK chama hicho na uhasama miongoni mwao ni mkubwa mno habari za serengeti za mgombea wa ccm kuuawa na wenzake ni moja ya ishara kuwa uhasama huu imeshamiri ngazi za chini kilichotokea kwa sitta UNK na zitto katika kipindi cha miezi miwili iliyopita wadau wa demokrasia nchini walikuwa na wakati mgumu baada ya kushuhudia jinsi nchi yao UNK kufikia ustawi wa maendeleo ya kweli miezi hiyo imetosha kutuonesha ishara ya kile kinachoweza kutokea kwa siku za usoni ambapo profesa mwesiga baregu UNK kwa lugha ya kingereza UNK UNK UNK kwa hakika kile kilichojiri ndani ya muda huo mfupi kinatosha UNK kuwa bado tuna kazi nzito ya kupiga hatua kuelekea maendeleo ya demokrasia ya kweli nchini kwa maana ya hatua tuliyofikia imeonekana kuturudisha nyuma ni ishara ambazo zinazidi kutuonesha kuwa bado tuna kazi ngumu ya kuwaondoa watu wenye fikra mgando ambao kwa bahati mbaya kundi la watu hao ndilo linaloonekana kushika UNK wa kisu nasi UNK makali wanapoamua kuvuta wakati wowote ni jukumu letu kuchagua la kufanya kama kuna watu UNK kuwa tumepiga walau hatua kumi mbele matukio mawili makubwa yaliyotokea ndani ya mwezi mmoja ingawa katika miezi miwili tofauti hakika UNK hatua nane nyuma mwishoni mwa agosti mwaka huu wajumbe halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi walikutana mjini dodoma katika mkutano wa kawaida kwa lengo la kustawisha uhai wa chama hicho pamoja na kuwepo kwa ajenda nyingi moja ambayo ilionekana kupasua vichwa vya wapenda maendeleo ya nchi ni jinsi hoja ya kumjadili spika wa bunge bwana samuel sitta ilivyochukua nafasi kubwa ya mkutano huo kuliko jambo lingine mjadala huo mpaka sasa umeonekana wazi ulikuwa na nia ya kumsulubu bwana sitta kwa sababu UNK na namna UNK bunge kwa siku za hivi karibuni msimamo wa bwana sitta ndani ya bunge wa kuruhusu na kusimamia mijadala motomoto yenye maslahi kwa wananchi na taifa UNK baadhi ya watu na viongozi waandamizi ndani ya ccm pamoja na serikali kujadiliwa kwa mada zenye maslahi ya wananchi na taifa lao UNK watendaji viongozi na wasimamizi wa sera serikalini ni serikali chache duniani zinazoweza kukiri makosa kurekebisha kasoro zilizopo kuchukua hatua na kusonga mbele kutokana na mijadala ya aina hiyo kujadiliwa kwa bwana sitta katika mkutano huo UNK wananchi waamini kuwa ccm haitaki kuona mijadala mizito inayohusu mikataba mibovu na kuifanya nchi kuwa maskini UNK bungeni na wabunge wa chama UNK serikali baadhi ya wajumbe wa nec hawapendi kuona vikao vya bunge UNK mambo yanayohusu maslahi ya taifa lao kama mikataba ya richmond ticts trl kiwira UNK mining na north mara meremeta tangold kashfa za epa na mingine mengi wajumbe hao huku wakitumia kikao hicho kumtaka bwana sitta UNK kadi ya uanachama na kuondoka ccm walionesha dhahiri mtazamo wao kuwa ilikuwa ni dhambi kubwa kwa bwana sitta kuruhusu na kusimamia mijadala kwa uwazi ndani ya bunge hilo na kushuhudiwa na watanzania wote kwa namna moja ama nyingine mijadala hiyo imeweza kuwasaidia wananchi kuona umuhimu wa kuchagua viongozi wenye ujasiri wa kutetea maslahi ya taifa lao na kupambana na viongozi UNK ufisadi ukiangalia kwa makini kilichojiri katika kikao cha nec ni ushawishi wa viongozi wanaotumia nguvu na ushawishi wa pesa huku UNK kuwa wanaweza kumwondoa mtu yoyoye UNK maslahi yao ni dhambi ipi kubwa aliyoifanya bwana sitta kiasi cha kutishiwa kunyangganywa kadi ya uanachama je kosa lake ni kusimamia mijadala UNK katika hatua ya UNK kosa UNK vipi nani alihusika kwa namna ipi kwa kiwango gani na adhabu gani itolewe swali la muhimu ambalo hakika wapinzani wa bwana sitta wanapaswa UNK mapema ni kwamba kwa nini walipiga kelele za tuachie UNK kadi yetu bila kelele za namna hiyo kutolewa kwa baadhi ya makada ambao wamekuwa wakiandamwa na kashfa moja baada ya nyingine kila kukicha kwa hakika hatuwezi UNK hata kuwazuia ccm wanapotaka UNK kwa makosa yanayokwenda kinyume na mwenendo wao lakini kwa hili la nec dhidi ya bwana sitta hapana ulikuwa ni uvunjifu mkubwa wa demokrasia na UNK kwa uhuru wa fikra yakinifu wakati wadau wa UNK wakiwa UNK maumivu ya dodoma chadema nao wakaibuka na kali nyingine katika mkutano mkuu uliofanyika dar es salaam kwa kuongeza kamba katika shingo ya demokrasia mstari mwembamba UNK maamuzi ya ccm na chadema ni kwamba ccm walitumia kikao cha nec ambapo chadema wakatumia baraza la wazee kwa makusudi kabisa bila sababu za msingi na kwa kutumia hoja dhaifu ambazo ni sawa na UNK UNK kijiko wakati wa kula chadema wakaamua kuturudisha enzi za kura ya ndiyo na hapana katika kipindi cha enzi hizo mgombea binadamu alikuwa UNK na mgombea kivuli na baada ya hapo UNK ushindi kwa nguvu zote na majigambo UNK unaweza kufikiri mwanzo mpaka mwisho wa bahari na jibu UNK kuwa ilikuwaje haki ya msingi ya kikatiba UNK mtu kuchagua au kuchaguliwa kuwa kiongozi ilivunjwa kwa kisingizio cha kuvuruga amani umoja mshikamano na ushirikiano ndani ya chadema kwa nini mambo hayo yatokee kipindi hiki ambacho bwana zitto kabwe aliamua kugombea nafasi ya mwenyekiti swali hili nilimuuliza bwana zitto hivi karibuni na kujibu kwa mshangao kuwa haelewi kwa nini demokrasia ya kuruhusu mtu mmoja kugombea ndiyo UNK chama badala ya kuwaacha watu UNK na wapiga kura kuamua wenyewe baadhi ya wapambe mashabiki na wanachama wa chadema wamejitahidi kutupatia taarifa kuwa kugombea kwa bwana zitto na mwenyekiti wake bwana freeman mbowe kulikuwa kunatishia anguko la chama hicho lakini wote wameshindwa kutuonesha ni kitu gani UNK wameshindwa kujibu hoja pinzani na hiyo iliyokuwa ikisema kuwa kugombea kwa bwana zitto kulikuwa kunatishia zaidi maslahi ya mgombea wa upande wa pili bwana mbowe na kundi lake wakiwemo wazee ambao UNK bwana zitto kuondoa jina lake swali la msingi ambalo wananchi makini waliokuwa wakifurahia demokrasia ndani ya chadema UNK majibu ni kwamba kugombea kwa bwana zitto nafasi ya mwenyekiti na kashfa za ubaguzi wa ukabila uliomo ndani ya chama hicho na kile kinachosemwa kuwa ni UNK wa bwana mbowe kipi kinaweza kutishia mstakabali wa chama hicho mambo hayo ambayo wapenda demokrasia wamekuwa UNK kwa muda mrefu hayajawahi kupatiwa majibu fasaha kutoka ndani ya chadema kwa hakika hilo ndiyo tishio kubwa kwa anguko la chama kuliko bwana zitto kumshinda bwana mbowe kwa kuwa chadema wamekuwa wakitaka kuonekana kuwa ni chama mbadala kinachoweza kuaminiwa na kupewa nafasi ya kuongoza nchi na watanzania kupitia sanduku la kura basi tulitegemea kuwa kingeweza UNK mstari mkubwa unaoweza kutofautisha matendo yake na yale ya ccm kwa hili walilofanya ni moja ya hatua ya kujenga makazi jirani na ilipo nyumba ya ccm ambapo kwa siku za usoni wanaweza UNK UNK UNK zaidi katika hili la chadema ni pale neno busara za wazee UNK mantiki yake katika hili la UNK demokrasia kwa visingizio visivyokuwa na mantiki yoyote nec ya ccm na hao UNK wazee wa chadema wameamua kuwa watoto mapacha mama tofauti katika mfululizo wa makala haya wiki iliyopita UNK jinsi nchi nyingi za afrika zilivyokuwa UNK kujenga demokrasia kama njia moja wapo ya kujiletea maendeleo UNK kwa muda mrefu tangu nchi hizo UNK uhuru wake mwake elfu moja na mia tisa na sitini sehemu kubwa ya nchi hizo UNK hamsini zina sifa michakato changamoto na machafuko UNK wakati serikali nyingi za uhuru wa afrika UNK mfumo wa vyama vingi katiba ya gambia ya mwaka elfu moja na mia tisa na sabini iliruhusu kuendelea kwa mfumo huo na kuipa serikali ya bwana UNK UNK jawara madaraka makubwa ya kikatiba ikilinganishwa na mihimili mingine ya utawala katiba hiyo ilifutwa na kupitishwa katiba mpya ya uchaguzi mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita ambapo kiongozi wa nchi hiyo luteni yahya jammeh ambaye alipewa jukumu la kuandaa na kuratibu uchaguzi mpya serikali ya bwana jammeh iliendelea na shughuli zake za kisiasa UNK wote waliokuwa kwenye serikali UNK ya bwana jawara waliwekewa pingamizi la kutoshiriki katika uchaguzi na kujihusisha na mambo ya siasa kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne hadi ishirini sifuri moja hali hiyo iliwafanya wanasiasa wengi wa zamani kushindwa kupata muda wa kugombea nafasi yoyote ya uongozi katika uchaguzi wa mwaka ishirini sifuri moja ishirini sifuri mbili pamoja na vikwazo vyote bado uchaguzi wa kwanza baada ya mapinduzi mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita UNK ushindi mdogo bwana jammeh wa asilimia sitini na tano ya kura zote zilizopigwa baada ya kuondoa zuio la UNK wa enzi ya bwana jawara kura za bwana jammeh zilishuka hadi asilimia hamsini na tatu mwaka ishirini sifuri moja katika ngazi ya bunge chama tawala UNK kilipata viti thebathini kati ya arobaini na tano hapa nchini bwana mkapa alipata asilimia sitini na moja tu katika uchaguzi wa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano pamoja na kupigiwa debe na hayati mwalimu julius nyerere kwa hasira ya UNK na nusu ya wananchi wa gambia bwana jammeh amekuwa akitamka waziwazi kuwa atapeleka maendeleo katika maeneo UNK kura zaidi huku akidai kama watu ambao UNK kura hawataki maendeleo na wasitegemee chochote kumekuwepo udhalimu na vitendo vya unyanyasaji kutegemeana na makabila yao kabila la UNK ndio lenye watu wengi likifuatiwa na UNK halafu UNK jola na UNK kumekuwepo na malalamiko ya ubaguzi kwa misingi ya udini huku wakristo ambao ni asilimia nane tu ya UNK wote wakilalamikia upendeleo kwa waislamu wa UNK ya UNK ambao ni zaidi ya asilimia tisini nikiwa nchini humo UNK mafunzo ya mwalimu nyerere ya kukataa ubaguzi kwa misingi ya ukabila au udini kwa kuwauliza raia wa gambia kama tatizo ni ubaguzi kwa misingi ya udini ikiwa bwana jammeh ni muislamu ambaye anashindwa kupata asilimia tisini ya kura zote UNK swali hilo limekuwa gumu katika mitaa ya UNK UNK UNK UNK UNK na hata UNK konko ambako idadi ya waislamu ni kubwa UNK na wakristo UNK ni kwamba dhambi ya ubaguzi imeingia gambia na inaendelea UNK watu walio na fikra tofauti na serikali ya bwana jammeh wamekuwa wakiandamwa na kutishiwa kuuawa wapo baadhi ya waandishi ambao wamelazimika kukimbia nchi hiyo kwa sababu ya vitisho na manyanyaso yanayotokana na kuandika makala na uchambuzi UNK baadhi ya sera na utekelezaji wa serikali moja ya mambo ambayo UNK sana na vyombo vya habari ni pamoja na rekodi mbovu ya haki za binadamu madai ya bwana jammeh kusema UNK ugonjwa wa ukimwi na mkakati wa hivi karibuni wa kusaka wachawi wote wenye majini nchini humo waandishi wengi UNK mambo hayo wamejikuta UNK na kutishiwa na vyombo vya usalama nchini humo hali inayoleta kero na wengine kuamua kuondoka na kuishi nchi za nje katika hali inayoonekana kuwatishia baadhi ya wapinzani serikali ya nchi hiyo imekuwa ikitangaza kuwa kuna majaribio ya kufanya mapinduzi ya UNK serikali ya bwana jammeh wachunguzi wa mambo ya siasa wanaamini kuwa hizo ni mbinu za serikali kuwanyamazisha wanaopinga utendaji mbovu usioridhisha wa serikali uhuru wa habari nchini gambia ni kama UNK huku watawala UNK miungu watu ambapo bwana jammeh akitaka aitwe mheshimiwa sheikh profesa alhaji daktari yahaya jammeh julai mwaka huu bwana jammeh UNK barua kiongozi wa libya bwana muammar al gaddafi kama sehemu ya kuadhimisha kumbukumbu ya miaka kumi na tano ya mapinduzi UNK ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne pamoja na matatizo yaliyopo nchini humo gambia ni mfano wa kuigwa kwa mambo kadhaa kwanza nchi hiyo ndogo ni baba wa siasa ya vyama vingi afrika wakati nchi nyingi kama tanzania zambia malawi kenya na nyinginezo UNK upinzani UNK marufuku vyama vingi bwana jawara aliruhusu vyama vya siasa viendelee kuwepo kwa miaka yote pamoja na kuwa havikuwa na nguvu ya kutosha kushinda uchaguzi na kuunda serikali ingawa suala la kufanya mapinduzi si la kidemokrasia kurejesha utawala katika mikono ya raia na kuomba ridhaa yao kupitia uchaguzi imetoa sifa kubwa kwa gambia mfumo wa siasa wa gambia baada ya mapinduzi umekuwa ukijaribu kurekebisha mapungufu ya awali kama ufisadi na ubadhilifu serikalini ukiondoa rais na makamu wake gambia ina wizara kumi na nne tu zenye waziri mmoja mmoja bila naibu waziri hali ambayo ni changamoto kubwa kwa tanzania yenye idadi kubwa ya mawaziri manaibu waziri zaidi ya mmoja katika baadhi ya wizara safu ya utawala katika nchi ya UNK ni fundisho kwa tanzania idadi ya vijana waliomo katika uongozi ni kubwa watu wa makamo na wanawake suala la viongozi kukaa madarakani katika muda usio na ukomo ni jambo tunapaswa kujifunza kutoka gambia ingawa bwana jawara aliendelea kuchaguliwa kwa miaka thebathini wananchi walionesha kuchoshwa mpaka wakaanza majaribio ya kurejesha mamlaka kwa wananchi kwa kutumia njia mbadala mwisho uzoefu wa gambia UNK juu ya haja ya kutafuta vipaumbele vya maendeleo kutoka kwa wananchi bwana jawara ambaye alikaa mpaka UNK ikulu aliona hakuna umuhimu tena wa kuwasikiliza wananchi mpaka UNK kwa nguvu jaribio la shirikisho lilitokana na hofu ya viongozi UNK bila UNK wananchi kikamilifu na hata uvunjaji wa mahusiano na senegal UNK mkulima wa kijijini haya ndiyo yanayotokea katika nchi zetu ambapo watu wengi wanahoji mambo lukuki kuhusu muungano tabia inayozidi kujengeka tanzania ya uchaguzi kutawaliwa na takrima na ahadi lukuki badala ya masuala ya vipaumbele inaweza UNK yaliyotokea kwa bwana UNK ikifika hapo zoezi la uchaguzi linapoteza maana yake na watu wanaweza kufikiri wafanye nini mwandishi wa makala haya ni mtaalam wa masuala ya demokrasia ya uchaguzi mchambuzi wa masuala ya siasa za afrika na mratibu wa mradi wa kuboresha utawala bora barani afrika alilia mafanikio ya koffi UNK bendi nyingi kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na moja hadi sasa lakini sijaona bendi bora kama msondo ngoma nina imani kuwa kujiunga kwangu na bendi hii ni sawa na kuingia darasani anasema rashidy mwezingo mwezingo mwimbaji mpya wa bendi ya UNK mwezingo alitoa kauli hiyo katika mahojiano maalum na gazeti la majira jumapili ambalo lilitaka kujua maendeleo yake katika medani ya muziki wa dansi hapa nchini na mikakati yake ya baadaye katika fani hiyo anasema alianza kujihusisha na muziki mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na moja akiwa na bendi ya jambo stars bendi hiyo ndiyo iliyomfanya UNK katika medani ya muziki wa dansi anaeleza kuwa hakudumu na bendi hiyo kwa muda mrefu baadaye alijiunga na bendi ya kimbunga UNK iliyokuwa na makao yake mgulani jijini dar es salaam na baadaye kujiunga na kurugenzi jazz ya mjini arusha mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu hadi mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba anabainisha kuwa akiwa na bendi hiyo hakuwahi kutunga nyimbo yoyote bali alishiriki kuimba nyimbo ambazo wanamuziki wenzake UNK baada ya kuitumikia bendi hiyo kwa kipindi hicho alihama na kujiunga na simba wa nyika ya nchini kenya ambayo ilikuwa ikiongozwa na UNK kinyonga ambapo UNK kwa miaka miwili hata hivyo UNK wimbo wowote mwaka mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa ndipo alijiunga na UNK bendi hiyo iliundwa na marehemu shaaban UNK juma UNK na UNK UNK ambapo kundi hilo UNK sana jijini nairobi lakini baadaye UNK baada ya wanamuziki wake wingi kutimkia dubai wale waliobaki mjini nairobi walianzisha bendi ya golden sound mwaka ishirini sifuri sifuri bendi hiyo iliwakutanisha muumin UNK na rashidy sumuni na wengineo ambapo walifanikiwa kutoa albamu moja iliyokuwa na nyimbo sita zikiwemo UNK na UNK lakini baadaye yeye muumin na sumuni waliondoka na kwenda mombasa kufanya kazi zao binafsi za muziki wakiwa huko waliunda bendi iliyoitwa sky sound hiyo ilikuwa ni juni ishirini sifuri moja na walitengeneza albamu moja iliyokuwa na nyimbo kama mjomba njaa chande tunda special na baadaye walimtuma muumin kuja nchini kuzifanyia promosheni nyimbo hizo anaeleza kuwa muumin alipotua nchini alijikuta mikononi mwa mmiliki wa bendi ya african stars twanga pepeta asha baraka na alimtaka waunde bendi ya african revolution UNK baadaye mwezingo na sumuni walirudi nchini na wakajiunga naye pamoja na amina UNK kuanzia mwaka ishirini sifuri mbili hadi ishirini sifuri tatu UNK na bendi hiyo na kufanikiwa kutengeneza albamu mbili za maisha kitendawili na mgumba ambazo zilikuwa na nyimbo kama tunda special mjomba njaa na UNK nyimbo hizo UNK tena paulina UNK zena UNK pembe na UNK anasema mwaka ishirini sifuri nne alijiengua kwenye bendi hiyo na kujiunga na mchinga UNK iliyoongozwa na mbunge wa jimbo la mchinga mudhihir mudhihir ambapo baada ya kuombwa rogat hega kujiunga na bendi hiyo naye hega UNK yeye ili wajiunge pamoja alipokuwa na mchinga walifanikiwa kutengeneza albamu mbili za mama UNK na maneno maneno ambapo kupitia bendi hiyo aliweza kujitangaza zaidi kupitia nyimbo UNK baada ya kuwa kivutio kwa wapenzi miaka miwili baadaye alijiunga na bendi ya tanzania one UNK wana UNK ambapo pia alikutana tena na muumin na UNK na kutengeneza albamu ya ugumu wa maisha iliyokuwa na nyimbo sita zikiwemo UNK ugumu wa maisha na mjomba tangu mwaka huo hadi mwanzoni mwa mwezi huu alikuwa UNK bendi hiyo kabla ya kujiunga na msondo ngoma baba wa muziki amejiunga na bendi hiyo akiwa UNK nyimbo tatu ambazo ni penzi la dhati urithi na UNK anasema kujiunga msondo ni ndoto alizokuwa nazo tangu siku nyingi hivyo ndoto hiyo UNK kwani ana imani kutokana na uwezo wa wanamuziki wanaounda bendi atapata changamoto nyingi ambazo UNK afanye vizuri zaidi anasema kwa sasa anajiona yupo darasani kwani kutokana na uongozi na usimamizi wa bendi hiyo umefanya wanamuziki wake kuwa na nidhamu akiwa na bendi hiyo anasema anaamini atazidi kujifunza mambo mengi hivyo ataweza kutimiza malengo yake sikuamini UNK rasmi kama mmoja wa waimbaji wa msondo kwani ndoto nilizokuwa nazo siku nyingi ni kuimba na kamanda UNK UNK na said UNK jambo ambalo sasa limetimia kwa sasa akili yangu itakuwa ni ya watu wazima anasema akizungumzia UNK yake ya baadaye katika medani hiyo anasema atahakikisha UNK mafanikio aliyoyapata mwanamuzi wa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo koffi UNK na UNK UNK anasema mbali na hayo pia anatamani siku moja aje kumiliki studio yake mwenyewe jambo ambalo litampa nafasi kubwa ya kutimiza malengo yake anatoa ushauri kwa UNK wenzake kushirikiana a UNK muziki UNK hatua kwa kushirikiana na chama cha kutetea haki za wasanii ni msomi UNK elimu yake hakutetereka kwenye vikao vya bunge watanzania wengi bado wanakumbuka uwezo wa kuongoza vikao vya bunge uliooneshwa na bwana pius msekwa wakati alipokuwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania uwezo wa bwana msekwa katika bunge la chama kimoja na baadaye vyama vingi ulianza kuonekana tangu akiwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha makelele nchini uganda akiwa na umri wa miaka ishirini na mbili katika vikao vya bunge la vyama vingi kambi ya upinzani ilikuwa na wabunge machachari hasa kutoka chama cha nccr mageuzi akiwemo daktari masumbuko UNK daktari mabere marando bwana augustino mrema bwana james mbatia na wengine wabunge hao kila UNK na kutoa hoja bunge UNK pamoja na misukosuko mingi kutokana kwa wabunge wa upinzania zao bwana msekwa hakutetereka UNK kumudu kuongoza vikao hivyo bwana msekwa alikuwa akielezea historia ya maisha yake katika kipindi cha medani za siasa kilichorushwa wiki iliyopita na kituo cha televisheni cha star tv kuandaliwa kuwa kiongozi bwana msekwa anasema alianza kuandaliwa kuwa kiongozi wakati akiwa mwanafunzi UNK akiwa chuoni hapo katibu wa bunge la tanganyika ambaye wakati huo alikuwa mzungu alipiga simu kwa mkuu wa chuo hicho na kumwambia kuwa uhuru wa tanganyika umeanza UNK baada ya kuanza kwa mchakato wa kukabidhi madaraka kwa wazalendo bwana msekwa anasema katibu huyo alimuomba mkuu wa chuo hicho UNK mwanafunzi kutoka tanganyika ili awe msaidizi wa katibu wa bunge nafasi ambayo ni nyeti bungeni baada ya mkuu wa chuo kupewa taarifa hiyo niliitwa na kupewa maelezo yote yaliyotolewa na mzungu huyo anasema bwana msekwa na kuongeza kuwa wakati huo alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu anasema kuwa hakusita kuitikia wito huo ambapo alitumiwa tiketi ya ndege kutoka uganda hadi jijini mwanza na baadaye kupanda treni kwa ajili ya safari ya kwenda kuonana na katibu wa bunge baada ya kukutana na katibu huyo alifanyiwa usaili na kufaulu vizuri ndipo aliporuhusiwa kurudi chuoni makelele ili kufanya mitihani yake ya mwisho kwa ahadi kuwa endapo UNK mitihani hiyo atakuwa msaidizi wa katibu huyo nilipofanya mitihani yangu UNK kufaulu na baadhi ya wanafunzi ambao nilikuwa nikisoma nao japo kwa madarasa tofauti ni pamoja na bwana benedict mulokozi bwana ernest mulokozi na rais mstaafu wa awamu ya tatu bwana benjamin mkapa anasema bwana msekwa na kuongeza kuwa baadhi ya walimu chuoni hapo alikuwa rais wa kenya bwana mwai kibaki lakini hakuwahi UNK ukaribu na mwalimu nyerere baada ya kufanyakazi kazi ya naibu katibu wa bunge na badae kuchaguliwa kuwa katibu wa bunge alijikuta akiwa karibu na hayati mwalimu julius nyerere ambaye wakati huo alikuwa mbunge wa jimbo la dar es salaam niliendelea kuifanya kazi hiyo hadi tanganyika ilipopata uhuru na mwalimu nyerere kuchaguliwa kuwa rais wa kwanza mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na moja ukaribu wetu uliendelea na kushauriana mambo mengi na miswada mbalimbali iliyopitishwa UNK mwenyewe ili aweze kuisaini anafafanua bwana msekwa bwana msekwa anasema mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba azimio la arusha lilianzishwa ambapo wakati huo aliyekuwa katibu mkuu mtendaji wa tanu alikuwa marehemu oscar UNK anasema baada ya kuanzishwa kwa azimio hilo marehemu kambona hakufurahishwa na kuamua kujiuzulu wadhifa wake anasema marehemu kambona aliamua kujiuzulu kukimbilia nchini uingereza kwa hofu kuwa UNK bwana msekwa anasema mwalimu nyerere alimuita na kumueleza nia yake ya kumhamishia makao makuu ili mtendaji wa mkuu wa tanu na kusimamia utekelezaji wa azimio la arusha anaeleza kuwa wabunge wengi hawakufurahishwa na mabadiliko hayo mbunge mmoja alimfuata mwalimu nyerere na kumuuliza kwa nini UNK bunge kwa kuwaondolea mtu wao anasema bwana msekwa na kusema kuwa mwalimu aliwajibu kuwa anaweza kufanyakazi zote mbili za tanu wakati huo akishikilia nafasi yake ya katibu wa bunge bwana msekwa anaeleza kuwa aliweza kufanyakazi hizo kwa UNK bwana msekwa baadae aliteuliwa kuwa makamu mkuu wa chuo kikuu cha dar es salaam alilazimika kuachia nafasi ya katibu wa bunge daktari UNK ndiye aliyekuwa mkuu wa kwanza wa chuo hicho baada ya kupewa hadhi ya kuwa chuo kikuu na yeye akiwa msaidizi wake uendeshaji wa bunge akizungumzia uzoefu wake katika uendeshaji wa shughuli za bunge bwana msekwa anasema mfumo wa vyama vingi hauna tofauti na majukumu ya mfumo wa chama kimoja wakati wa uendeshaji wa shughuli za bunge bungeni majukumu ya bunge ni yale yale kutunga sheria kupitisha bajeti na kusimamia utekelezaji anasema bwana msekwa na kuongeza kuwa katika mfumo wa chama kimoja hakuna UNK zinazowabana wabunge kwa sababu UNK kuishinda kwa hoja serikali lakini utakuwa ni ujinga ndani ya bunge kama wabunge wa chama kimoja watasimamia mambo yasiyokuwa na maslahi kwa wananchi kwa sababu ya kukosekana kwa watu wa UNK hoja anasema uamuzi mzito akiwa madarakani bwana msekwa anasema alipokuwa spika hakuwahi kutoa maamuzi mazito kwa sababu uamuzi wowote ambao ulitolewa ulitokana na uamuzi wa wabunge wenyewe hata mwalimu nyerere aliniambia kuwa uamuzi ambao UNK na UNK kwenye faili lazima UNK ufafanuzi pindi UNK kufanya hivyo anasema na kuongeza alipokuwa makamu mkuu wa chuo cha dar es salaam alimfukuza mwanafunzi mmoja chuoni hapo ambaye alikuwa raia wa kenya anasema uamuzi wa kumfukuza mwanafunzi huyo UNK baada ya kwenda msasani nyumbani kwa mwalimu nyerere na kushauriana naye baada ya kufukuzwa kwa mwanafunzi huyo wanafunzi wengine waliandamana kupinga hatua hiyo ambapo mwalimu nyerere alipiga simu akiwa ziarani mkoani iringa na kusema kuwa hataki mwanafunzi huyo arudi UNK mapambano ya ufisadi akizungumzia ufisadi bwana msekwa anaunga mkono kazi inayofanywa na kikundi cha wabunge wapambanaji wa ufisadi na kusisitiza kuwa kinafuata nyayo za wabunge waliotangulia kuwa na kikundi cha wabunge wachache wapambanaji wa maovu mbalimbali siyo jambo baya anasisitiza bwana msekwa na kuongeza kuwa wakati akiwa spika wa bunge kulikuwa na kikundi cha wabunge wachache wa kupambana na ukimwi na kundi jingine UNK na rushwa sasa kuna uovu unaoitwa ufisadi kazi inayofanywa na kikundi cha wabunge ya kupambana na uovu huo ni sahihi kikundi hicho kinafuata nyayo za vikindi vilivyotangulia anasema bwana msekwa kuingia kwenye siasa anasema alijiunga na siasa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini UNK umri wa miaka hamsini na tano baada ya kustaafu kazi serikalini na mwaka huo huo alikwenda kugombea ubunge wa jimbo la ukerewe mkoani mwanza na kushinda alipoingia bungeni alichaguliwa kuwa naibu spika akimsaidia chifu adam sapi UNK bwana msekwa anasema amefanya kazi serikalini kwa muda mrefu ikilinganishwa na muda UNK kwenye siasa nimekuwa makamu mkuu wa chuo kikuu cha dar es salaam ofisa katika ofisa ya waziri mkuu katibu wa bunge na mkuu wa mkoa anasema akizungumzia historia yake bwana msekwa anasema amezaliwa wilayani ukerewe mkoani mwanza katika familia ya kawaida na kupata elimu yake katika mazingira magumu hasa kwa kuzingatia kuwa kipindi hicho shule zilikuwa chache ustawi sekta ya elimu waanza kuonekana wakulima mbioni kukopeshwa matrekta julai sita ishirini sifuri tisa ni siku ya UNK na furaha kubwa kwa chama cha mapinduzi katika jimbo la biharamulo magharibi mkoani kagera kufuatia mgombea wa kiti cha ubunge katika jimbo hilo bwana oscar mukasa kutangazwa mshindi wa kiti hicho baada ya kuwashinda wapinzani wake wawili kutoka vyama vya tlp na chadema hali hiyo inatokana na ccm kuangushwa vibaya katika uchaguzi wa mwaka ishirini sifuri tano na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo marehemu phares kabuye aliyegombea kiti hicho kwa tiketi ya chama UNK mbali ya ushindi huo aliyekuwa mgombea na nafasi hiyo bwana anatory choya alikwenda UNK kupinga ushindi wa marehemu kabuye na baada ya madai yake kusikilizwa mahakama kuu UNK matokeo ya uchaguzi huo kutenguliwa kwa matokeo hayo tume ya taifa ya uchaguzi ililazimika kutangaza kufanyika kwa uchaguzi mdogo ambao ulifanyika julai tano mwaka huu ambapo vyama vitatu vya siasa UNK wagombea wake wagombea hao ni bwana oscar mukasa bwana mbasa gervas na bwana mpeka buhangaza kampeni katika uchaguzi huo mdogo zilifanyika kwa siku ishirini na tano kuanzia juni kumi hadi julai nne mwaka huu ambapo uchaguzi huo ulifanyika septemba tano mwaka huu kampeni za wagombea hao UNK na upinzani mkali wa mgombea wa ccm na chadema kiasi cha kuwepo kwa madai ya UNK faulo katika kipindi hicho UNK matukio kadhaa makubwa tukio la kwanza lilihusisha wafuasi wa chadema kumshambulia dereva wa mgombea wa ccm bwana david modest ambaye alichomwa bisibisi na kupigwa bapa za upanga sehemu mbalimbali za mwili wake wakati akitokea kwenye mikutano ya kampeni katika kijiji cha UNK katika tukio la pili baadhi ya wafuasi wa ccm nao walidaiwa kumshambulia mmoja wa viongozi wakuu wa chadema waliokuwa wilayani biharamulo kwa ajili ya kusaidia kampeni za kumnadi mgombea wao katika tukio hilo mwenyekiti wa chadema wilaya ya chato bwana stephen nyororo UNK kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake na watu waliodaiwa kuwa ni wafuasi wa ccm ambao walikuwa wakitoka kwenye mkutano wa kampeni katika kata ya UNK tukio jingine UNK ambalo lilitokea katika kampeni hizo ni kitendo cha kushambuliwa katibu wa kanisa lililopo katika kijiji cha UNK na wafuasi wa ccm UNK na kitendo chake cha kuhoji kwa nini waliamua kufanyia mikutano ya kampeni ndani ya kanisa hilo wafuasi hao wa ccm walidai kuwa katibu huyo hakuwatendea haki kwani waliingia katika kanisa hilo baada ya kupata idhini kutoka kwa viongozi wengine na fanya mkutano UNK wanawake wa chama hicho katika kijiji cha UNK hayo ni baadhi ya matukio yaliyotokea wakati wa kampeni hizo wakati vyama vitatu UNK katika uchanguzi huo UNK kujinadi kwa wapiga kura wa jimbo hilo kila chama UNK kidete kumtetea mgombea wake kuwa ndiye mwenye sifa na uwezo wa kuleta mabadiliko kwa wakazi wa biharamulo magharibi na kuhakikisha kuwa maendeleo ya haraka yanapatikana katika kipindi kifupi kwa upande wake mgombea wa ccm bwana mukasa mbali ya kupata misukosuko mingi katika kipindi chote cha kampeni alikuwa na wakati mgumu ndani ya chama chake katika kipindi cha kura za maoni hali hiyo ilitokana na baadhi ya wapinzani wake kudai kuwa hakustahili kusimamishwa kuwa mgombea kwa tiketi ya ccm kwa kuwa hakuwa mzaliwa wa biharamulo hoja ambayo hata ilipingwa na viongozi wakuu wa ccm kutokana na hali hiyo mara baada ya kumalizika kwa mchakato wa kupiga kura za maoni ndani ya ccm bwana mukasa alijikuta akiibuka na ushindi mkubwa na kuwashinda wapinzani wake wengine sita na hivyo halmashauri kuu ya ccm taifa kumteua rasmi kuwa mgombea wa chama hicho katika jimbo hilo pamoja na kuteuliwa huko chadema ilimwekea pingamizi kuwa bwana mukasa siyo raia na tanzania bali ni raia kutoka nchini uganda hivyo hakuwa na sifa za kugombea ubunge katika jimbo la biharamulo magharibi pingamizi hilo liliwasilishwa kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo bwana zubeir UNK msimamizi wa uchaguzi huo alipitia vielelezo mbalimbali vilivyowasilishwa na bwana mukasa kupinga pingamizi hilo na kubaini kuwa ni raia halali wa tanzania na kwamba alikuwa na sifa za kugombea ubunge kwa tiketi ya chama chake UNK uongozi wa chadema UNK na maamuzi hayo na kulazimika kukata rufaa kwa mara nyingine kupinga maamuzi yaliyotolewa na msimamizi wa uchaguzi lakini bado rufaa hiyo UNK mwamba baada ya tume ya uchaguzi kuthibitisha uhalali wa bwana UNK kuwania nafasi hiyo katika kipindi chote cha kampeni bwana mukasa alijitahidi kuwaeleza wapiga kura wa jimbo hilo kuwa iwapo watamchagua kuwa mbunge wa jimbo hilo atahakikisha UNK kasi ya maendeleo ambayo ilikuwa imepotea jimboni humo kwa kipindi kirefu baada ya kukosekana kwa mwakilishi mwenye uwezo mkubwa bwana mukasa alitoa mfano ya kuanguka kwa mazao ya biashara katika wilaya ya biharamulo ikiwemo zao la kahawa pamba na tumbaku kitu ambacho anasema kilisababisha kushuka kwa uchumi wa wananchi na kutegemea kilimo cha zao moja la muhogo ambalo si rasmi kama zao la kibiashara aliwaeleza wapiga kura kwamba kama watamchagua kuwa mwakilishi wao atajitahidi kutafuta fursa mbalimbali ambazo UNK wananchi kufufua kilimo cha mazao ya biashara sambamba na kutafuta masoko ya uhakika ya kuuzia mazao yao bwana mukasa kwa kutumia ilani ya uchaguzi ya ccm ya mwaka ishirini sifuri tano aliwahakikishia wapiga kura wa jimbo hilo kuwa atakapochaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo ataendeleza ujenzi wa barabara kutoka kagoma hadi lusahunga kwa kushirikiana na serikali ujenzi wa barabara hiyo UNK na rais jakaya kikwete alipofanya ziara wilayani biharamulo mwaka ishirini sifuri saba na kuagiza kukatishwa kwa mkataba wa mkandarasi baada ya kubaini kuwa ujenzi huo ulikuwa ukifanyika chini ya kiwango mbali ya barabara hiyo yenye urefu wa kilomita mia moja na hamsini na nne barabara nyingine inayohitaji kujengwa kwa kiwango cha lami ili kurahisisha mawasiliano katika jimbo hilo ni ile ya kutoka bwanga hadi UNK yenye urefu wa kilomita sabini kukamilika kwa ujenzi wake UNK uchumi wa wilaya hiyo na kuharakisha maendeleo mara baada ya kuapishwa bungeni kama mbunge wa jimbo hilo bwana mukasa alifungua ukurasa wa pili ambao ni wa kutekeleza kile UNK katika majukwaa wakati wa kampeni na kupewa ridhaa ya uwakilishi na wananchi kama UNK katika kipindi cha miezi miwili tangu UNK kuwa mbunge bwana mukasa amefanikiwa kuwezesha wahisani mbalimbali kutembelea jimbo hilo na kuangalia fursa ambazo UNK kusaidia ili kusukuma maendeleo ya sekta ya afya mawasiliano kilimo na elimu tayari ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami uliokuwa umekwama umeanza rasmi baada ya kupatikana mkandarasi mwingine mwenye uwezo kazi kubwa ya mbunge ni kuwatafutia wananchi wake fursa mbalimbali ambazo zitasaidia ili kuweza kujiletea maendeleo kwa mfano sasa hivi nimekuja na wataalamu kutoka nchini canada UNK hospitali yetu teule na kuona watatusaidia vipi UNK ili iweze kutoa huduma kwa kiwango cha juu na ubora zaidi anasema bwana mukasa anaongeza kuwa mbali ya wahisani hao ili kuondoa tatizo la mawasiliano kati yake na wananchi UNK simu sabini na nne za mezani katika vijiji vyote vilivyopo katika jimbo lake simu hizo zinaweza kutumiwa na watu kumi na tano hadi ishirini kwa wakati mmoja na kufanya mazungumzo na mbunge wao wakiwa kijijini bila ya wao kulazimika kumfuata makao makuu ya wilaya katika kipindi kifupi bwana mukasa ameweza kutoa msaada wa miwani na kuwezesha wananchi wanaosumbuliwa na tatizo la ugonjwa wa macho kupatiwa matibabu kutoka kwa madaktari bingwa wa macho huduma hiyo imetolewa kwa zaidi ya wananchi tatu sifuri sifuri sifuri katika sekta ya elimu nimepata ufadhili wa baadhi ya wahisani ambao wamekubali kusaidia ujenzi wa sekondari ya kiislamu biharamulo mjini ambayo ujenzi wake ulikwama kwa kipindi kirefu waziri wa kilimo chakula na ushirika ameahidi kutuletea watu ambao watawakopesha wakulima zana za kilimo kama UNK UNK na power UNK anasema bwana mukasa anasema UNK na uongozi wa chuo kikuu huria ambao umekwenda jimboni humo na kupewa jengo ambalo hivi karibuni watafungua tawi la chuo hicho bwana mukasa UNK fursa hizo ndizo UNK kuzipata katika kipindi kifupi tangu wananchi wampe ridhaa ya kuwa mwakilishi wao bungeni ni fursa nzuri kwa wakazi wa biharamulo kuzitumia baada ya kutimiza ahadi alizotoa kabla ya kutekeleza ahadi nyingine sambamba na kuwataka wananchi hao kutegemea mambo makubwa zaidi ni mgombea wa nafasi ya mwenyekiti mtaa wa UNK asema uwezo wa viongozi cuf ni mwiba kwa ccm wakati uchaguzi mkuu UNK vyama mbalimbali vya siasa nchini vipo katika mchakato wa kujipanga ili viweze kuteua wagombea wenye sifa na uwezo wa kuongoza wapiga kura na kuharakisha maendeleo uchaguzi huo utatanguliwa na ule wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika oktoba ishirini na tano mwaka huu ambapo wagombea wa nafasi mbalimbali wameanza kutangaza sera zao ili kuomba ridhaa ya uongozi kwa wananchi na kuahidi kutatua kero mbalimbali zilizopo katika mitaa husika kati ya wagombea hao wapo viongozi waliomaliza muda wao na kuomba kupumzika kwa sababu ya kubanwa na majukumu mengine pamoja na viongozi wapya waliopitishwa na vyama vyao kwa imani ya kwamba kiongozi husika ana sifa na uwezo wa kuongoza kuharakisha maendeleo katika mtaa na kuwakomboa wananchi kiuchumi katika uchaguzi wa serikiali za mitaa uliofanyika mwaka ishirini sifuri nne kati ya mitaa minne ya kata ya changombe wilaya ya temeke mkoani dar es salaam mtaa mmoja wa toroli ulichukuliwa na mgombea wa chama cha cuf bwana kitanga mtebwa bwana mtebwa ambaye alikuwa chachu ya maendeleo katika mtaa huo ameamua kutogombea tena nafasi hiyo kwa ridhaa yake kwa sababu ya kubanwa na majukumu UNK lakini pamoja na uamuzi huo cuf imeamua kusimamisha mgombea mwingine anayekubalika na wananchi wa mtaa huo bwana yakubu hanzuruni mgombea huyo ambaye ndiye aliyekuwa mshauri wa karibu na bwana mtebwa jana alizindua rasmi kampeni za chama hicho katika mtaa huo kuomba ridhaa ya wananchi ili aweze kushirikiana nao katika kuharakisha maendeleo ya mtaa wao na kumaliza kero mbalimbali zilizopo bwana hanzuruni mwenye vigezo na sifa ya kuongoza ameamua kugombea nafasi hiyo kutokana na sababu mbalimbali akiamini kuwa kazi kubwa iliyopo mbele yake baada ya wananchi kumpa madaraka ya uongozi ni kuendeleza harakati za maendeleo zilizoachwa na mwenyekiti aliyemaliza muda wake bwana mtebwa anasema mtaa wa toroli unakabiliwa na changamoto ya matatizo mbalimbali ambapo kero kubwa iliyopo kwa wananchi ni tatizo la maji miundombinu mibovu ya barabara uvamizi wa viwanja vya wazi ukosefu wa zahanati anafafanua kuwa mara baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka ishirini sifuri nne uongozi UNK chini ya mwenyekiti wake bwana mtebwa na wajumbe wake UNK kuwa katibu wa mtaa huo na kuifanya kazi hiyo mpaka mwaka ishirini sifuri saba alipoondoka baada ya serikali kuu kupitia halmashauri zake kuamua kuajili watendaji wa mitaa yote nchini akiwa katika nafasi ya katibu wa mtaa huo alifanya jitihada kubwa za kutatua kero mbalimbali kwa kushirikiana na wananchi lakini alishindwa kufikia malengo yake baada ya kuondolewa katika nafasi hiyo kutokana na mfumo mpya wa serikali kuu baada ya kuwa nje ya uongozi alilazimika kuunda kamati ya wazee wa mtaa huo ili iweze kufuatilia kero mbalimbali lengo la kuunda kamati ya wazee ni kutokana na mfumo wa serikali wa kuajili watendaji wa mitaa na kuwapa mamlaka makubwa ya kiutendaji zaidi ya mwenyekiti wa mtaa ambaye ndiye chaguo la wannchi pamoja na wajumbe wake jambo ambalo limechangia kuzorotesha maendeleo ya mtaa wetu anasema bwana hanzuruni bwana hanzuruni anaongeza kuwa kitendo cha mtaa huo kuchukuliwa na wapinzani ni sumu kubwa kwa chama tawala ccm na kuweka vikwazo mbalimbali ambavyo vinakwamisha ustawi wa mendeleo ya wananchi wa mtaa huo anasema pamoja na vikwazo hivyo wananchi wenyewe bado wanaimani na viongozi wa cuf katika kuboresha ustawi wa maendeleo yao na kumaliza kero mbalimbali zilizodumu kwa muda mrefu tangu uhuru imani hiyo inatokana na mafanikio UNK kwa uongozi uliopita jinsi UNK UNK na kero hizo katika kutetea maslahi ya wananchi anaongeza kuwa iwapo atachaguliwa katika nafasi hiyo atashirikiana na diwani ambaye ndiye mwenyekiti wa kamati ya maendeleo ya kata katika kuhakikisha kuwa sera ya ajira inawanufaisha vijana wa mtaa huo kwani ndani kata hiyo ina idadi viwanda vingi lakini vijana wengi hawapati ajira anasema baadhi ya vijana katika mtaa huo wanajihusisha na ajira zisizo rasmi hivyo mpango mkakati alionao ni kuhakikisha kuwa vijana hao UNK kielimu katika shughuli wanazofanya ili waweze kujikomboa kiuchumi bwana hanzuruni anasema msingi wa maendeleo kwa vijana hao mbali ya kuwawezesha kielimu ni kuwashawishi kuanzisha vikundi vya ujasiriamali na kuunda umoja ambao utawezesha kuanzishwa kwa chama cha akiba na mikopo ili iweze kuwasaidia kupata mikopo ambayo itaongeza mitaji yao na kujiletea maendeleo anasema cuf ndio chama kikuu cha upinzani nchini kutokana na ukweli kwamba sera zake UNK wananchi mbalimbali na viongozi wake ni mwiba mkali kwa serikali ya ccm inayojivunia umaskini wa mtanzania tangu uhuru ikishindwa kumaliza kero zinazowakabili wananchi wake anafafanua kuwa mwenyekiti wa chama hicho profesa ibrahim lipumba ambaye kitaaluma ni mchumi amekuwa UNK serikali ya ccm katika maamuzi mbalimbali wanayofanya kwa lengo la kutetea maslahi ya wananchi na taifa kutokana na maamuzi huyo kutaka kuwanufaisha watu wachache ndani ya chama hicho anasema serikali ya ccm UNK kuamini kuwa profesa lipumba ni hazina ya watanzania katika kuharakisha maendeleo na kukuza uchumi wa nchi na badala yake inashindwa kumtumia wakiamini kuwa udhaifu wa chama hicho utajulikana kwa wananchi na ndio sababu cuf UNK vikwazo mbalimbali ili chama hicho kisiweze kushika dola anaongeza kuwa pamoja na vikwanzo hivyo bado wananchi wanaimani na cuf na muda ukifika chama hicho kitaweza kushika dola na kuongoza serikali kwani wananchi wamechoshwa na ahadi hewa zinazotolewa na ccm lakini UNK ni viongozi wenyewe huku wananchi wakiendelea kutaabika anasema suala la ufisadi ambalo ndilo linalokwamisha ustawi wa maendeleo nchini bado limeendelea kulelewa na viongozi wa ccm ambapo idadi ya viongozi wanaotuhumiwa kwa vitendo hivyo bado wameendelea kutesa bila kuchukuliwa hatua bwana hanzuruni anasema pamoja na ccm kuiwekea vikwazo cuf na kuwanyima haki wananchi wenye nia ya kukiweka chama hicho UNK imani ya wananchi kwa chama hicho UNK mwaka ishirini moja sifuri katika uchaguzi mkuu wa urais wabunge na UNK uongozi ni dhamana na sio jambo la kufanyia mchezo kama UNK katika mtaa wangu nitatoa kipaumbele kikubwa katika kuboresha huduma za kijamii hususan katika suala zima la maji safi na salama ya bomba kwa kushirikiana na kamati za maji ujenzi wa kituo cha afya na ajira kwa vijana anafafanua bwana hanzuruni anasema mpango mkakati alionao baada ya kuingia madarakani ni kuunda kamati ya wenyeviti wa serikali ya mtaa huo ili waweze kuangalia UNK wa kushirikiana katika kutatua kero mbalimbali za wananchi wao na ujenzi wa zahanati ya kata katika eneo la wazi maduka mawili ambalo lipo nje ya mtaa wake na kutafuta wafadhiri wa kufanikisha miradi ya maendeleo katika mitaa yao katika sekta ya elimu bwana hanzuruni anasema katika mtaa wake kuna tatizo kubwa la watoto kukataa masomo hasa wa shule za msingi hivyo mkakati alionao ni kukaa na wazazi au walezi wa watoto na kuwapa elimu juu ya umuhimu wa elimu kwa watoto na kama tatizo linaonekana ni uwezo mdogo wa wazazi katika kuwasomesha ofisi yake UNK jukumu hilo ili kustawisha elimu ya watoto hao kwa kushirikiana na diwani wao anasema matatizo mengine ambayo UNK na kuonekana kero kwa wananchi UNK kamati ambazo zitashirikisha wananchi wenyewe ili kuunganisha nguvu ya pamoja katika kutatua kero hizo mwenyekiti anayemaliza muda wake bwana kitanga aliwashukuru wananchi wa mtaa huo kwa kumpa ushirikiano wa hali na mali katika kufanikisha majukumu yake na kuahidi kuendelea kuwasaidia pale UNK msaada wake pamoja na kuondoka kwangu katika nafasi hii ni imani yangu kuwa wananchi wa toroli watapata kiongozi makini mwenye sifa na uwezo wa kutatua kero zao na ndio sababu kamati yangu UNK kuwa katibu wa mtaa kabla ya mfumo mpya wa serikali anasema UNK bwana kitanga aliwataka wananchi wa mtaa huo kumpa kura zote bwana hanzuruni ili aweze kuwatumikia kwa mafanikio makubwa kwa kushirikisha wananchi katika mambo mbalimbali ya maendeleo mbatia ufahamu wa viongozi kuijua nchi yao bado mdogo katika nchi mbalimbali duniani suala la uzalendo wa nchi ni jambo la msingi zaidi kwa kuwa lina nafasi kubwa ya kuweka mbele maslahi ya taifa kustawisha maendeleo ya wananchi kiuchumi nchini tanzania jambo hilo limekuwa ni tatizo hasa kwa baadhi ya watumishi wa serikali na wanasiasa waliopata nafasi za kuwa viongozi kupuuza jambo hilo kwa maslahi binafsi kukosekana kwa uzalendo kumesababisha baadhi ya watumishi wa serikali na wanasiasa kufikishwa katika vyombo vya sheria na kujibu mashitaka ya kutumia madaraka yao vibaya au uhujumu uchumi kwa kujilimbikizia mali huku wananchi wakitaabika kwa kukosa huduma muhimu kwa ustawi wa maisha yao hata hivyo serikali imekuwa ikishindwa kutekeleza majukumu mbalimbali kama ujenzi wa miundombinu ya barabara kutokana na kukosa fedha za kufanikisha malengo waliyonayo kwani nusu ya bajeti yake hutegemea misaada kutoka nchi wafadhili njia pekee katika kupambana na changamoto hiyo ni watumishi wa umma katika nafasi mbalimbali kuona umuhimu wa kubadili tabia na kuwa wazalendo waadilifu na kuipenda nchi kwa kuhakikisha kuwa madaraka waliyonayo wanayatumia kwa maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla uzalendo katika nchi ni jambo linalohitaji kuzingatiwa na kila mwananchi ambapo kutokana na mazingira ya ulimwengu wa sasa uzalendo katika taifa unahitaji utashi wa kisiasa kuwajenga watanzania katika mazingira hayo kuanzia shuleni ili kupata raia na viongozi wazuri katika mazingira ya sasa ambapo mfumo wa vyama vingi ndiyo UNK dunia tanzania inazidi kukosa watanzania wenye sifa ya kuwa na haiba kubwa wasiofungamana na ilani ya vyama nchi mbalimbali duniani UNK wa namna hiyo ambapo wakisema jambo viongozi wote wa siasa kutoka vyama mbalimbali wanakuwa wanaheshimu na wanatumia fursa ya kuwepo kwa watu hao kuchukua ushauri mwenyekiti wa chama cha nccr mageuzi aliwahi kusema kuwa kukosekana na watanzania wenye haiba wasiofungamana na ilani ya chama chochote na UNK nchi na kuheshimika kwa mazuri yao na wazalendo wa dhati ni hatari katika nchi anasema kukosekana kwa watu wa namna hiyo katika mazingira ya sasa kunatishia mstakabali wa nchi kuwa na watu wanaoingia katika siasa wakiwa hawana ufahamu wa kutosha juu ya nchi yao hivyo kuna hitaji la kuwa na watu wa kutoa ushauri anaongeza kuwa ni fursa nzuri kwa wazee kutumia nafasi hiyo kuwaita wanasiasa kutoka vyama mbalimbali na kuwashauri pale UNK ili warudi katika mstari wa siasa za mahitaji ya watanzania bwana mbatia anasema kuna baadhi ya wazee katika nchi ambao walistahili kuwa na sifa hiyo kutokana na kulitumikia taifa kwa muda mrefu lakini wanakosa sifa hiyo kutokana na UNK na ilani ya chama fulani hivyo hawezi kuthaminiwa na vyama vingine anafafanua kuwa tanzania inahitaji kuwa na chuo ambacho kitakuwa kinatoa elimu kwa wanasiasa kutoka vyama vyote ili waweze kufundishwa siasa za tanzania ili kuwasaidia wasiende nje ya maadili na tamaduni za taifa ili kulinda amani na utulivu wa nchi ni wazi kuwa wakati ulimwengu wa utandawazi kwa vijana wa kitanzania wakipata elimu kutoka nchi mbalimbali na kuiga tamaduni za mataifa hayo UNK nchini na kupata madaraka ya juu inaweza kuleta tabu pasipo kuwa na vyuo vya aina hiyo katika utawala wa serikali ya awamu ya kwanza chini ya hayati mwalimu julius nyerere alikuwa UNK viongozi katika chuo cha siasa kigamboni wakati huo ambapo kwa sasa ni chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere cha ustawi wa jamii viongozi katika kipindi hicho ambao wengi wao bado UNK kushika madaraka ni makada wazuri katika kipindi cha mfumo wa chama kimoja katika mazingira ya sasa chuo hicho kinahitajika ili kila chama kiweze kupeleka viongozi wake bila kujali elimu zao UNK katika vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi mahitaji ya uzalendo wa nchi kwa jamii nzima ni jambo ambalo linahitajika kufanyiwa kazi ili kuweza kukidhi mahitaji ya uongozi katika mfumo wa vyama vingi ambapo kila mtu anakuwa UNK na chama fulani kutokana na kasoro hizo hakuna jambo zuri linalotoka chama tawala UNK kwa mikono miwili na vyama vya upinzania na hakuna jambo zuri UNK na vyama vya upinzani kwa mikono miwili kwa sababu ya itikadi tofauti vijembe katika siasa ni jambo la kawaida kutokana na kila chama kutaka kushika dola lakini jambo la msingi ni kuweka maslahi ya nchi mbele badala ya siasa ambazo hazilengi kusaidia nchi kwa UNK watanzania na viongozi wana wajibu wa kulijenga taifa lenye siha nzuri kiuchumi na siasa safi ili liweze kustawi UNK na edson kamukara alianza kazi ya utetezi wa watu na wengi UNK kama mkombozi na kumuunga mkono mara zote hakuchoka kuibua maovu UNK japokuwa alifanya akifahamu dhahiri kuwa UNK walafi na UNK wa madaraka na mali amejitahidi kutembelea maeneo mengi ili UNK macho maskini na kuwapa ukweli wapi zilipo mali zao na jambo zuri katika kazi hii kuna wenzake UNK kuungana naye kwa maneno kuwa nao ni watetezi wa wanyonge kumbe UNK tu mahala pa kutokea kisiasa ili wapate umaarufu kama yeye UNK daktari peter wilbroad slaa mbunge wa karatu na katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo kiongozi ambaye UNK umaarufu ndani na nje ya bunge kutokana na msimamo wake wa kupambana na rushwa bila woga ili kuhakikisha viongozi wabovu UNK tangu ameingia bungeni mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano daktari slaa amekuwa mwanasiasa UNK na hii inatokana na mwenyewe kujiridhisha kwanza kwa kufanya utafiti wa kile UNK UNK UNK kwenye bunge ama nje katika majukwaa ya kisiasa kwa kifupi kabisa kama ni umaarufu sifa ama kuaminika kwa watu basi daktari slaa UNK tangu zamani siyo kwamba sasa hivi anatafuta umaarufu kama wanasiasa majitaka wanavyodhania na bahati mbaya sana kuna wanasiasa wengi na hasa wabunge wa ccm walikuwa wakitumia mgongo wa hoja za mbunge huyu kuwarubuni wananchi waamini nao ni wapambanaji kumbe siyo kweli katika biblia takatifu tunaambiwa kuwa bwana yesu baada ya kuwa amefanya miujiza ya kubariki mikate mitano na samaki wawili UNK na watu wakala na UNK kuna ambao walitaka kwendelea kufuatana naye kila mahali kwa sababu tu ya kwendelea kunufaika na miujiza ya chakula lakini UNK baada ya kujua nia yao hiyo hata daktari slaa baada ya umaarufu wake kwa watanzania kuwa mkubwa kuna watu wenye roho nyepesi UNK kufikiri kuwa mbunge huyu anataka kugombea urais na wengine wanahofia hata UNK majimboni kwao kufanya mikutano ya kuimarisha chama chake UNK kuwa njia rahisi ni UNK mabegani mwake ili nao waonekane ni wapambanaji kama yeye lakini UNK na kujitenga nao jumanne ya aprili ishirini na mbili mwaka huu siku ambayo kikao bunge kilianza mjini dodoma daktari slaa alijikuta UNK na kushambuliwa kwa maneno makali yenye vitisho na kebehi toka kwa wabunge wenzake wakidai kuwa aliwaudhi kwa kutaja mishahara yao na marupurupu UNK mbele ya wapiga kura wao mimi siyo hakimu wa UNK UNK bwana yesu lakini kama daktari slaa UNK mbele yangu kwa mashtaka hayo basi kwanza UNK kwa ukweli wake pili UNK kwa kuweza kutusaidia kutambua kwamba kumbe hatuna watetezi bungeni bali wataka mishahara minono na mwisho UNK kuwa sioni hatia yoyote kwake zaidi ya kumshauri UNK na mengine kwa wale wapenda kutazama UNK watakubaliana nami kuwa hata mabomu ya daktari slaa mwanzoni huonekana kama sinema na viongozi wengi wa serikali na ccm hujaribu UNK wananchi kuwa mbunge huyo ni mzushi UNK lakini mwishowe ukweli hujitokeza na watu kuamini kuwa tuhuma za daktari slaa siyo sinema bila kuwapeleka mbali ebu UNK tuhuma za wizi wa fedha katika akaunti ya malipo ya nje kwenye benki kuu ya tanzania daktari slaa alipoanza kuhoji bungeni akitaka kufahamu kama waziri wa fedha ameona habari kwenye mtandao UNK bot kuna ubadhilifu waziri spika na wabunge wote wa ccm walimwona kama mzushi na mwongo lakini kwa ujasiri wake daktari slaa aliendelea na hoja ile na hatimaye akaomba kuwasilisha hoja binafsi bungeni juu ya hilo na hapo ndipo muziki UNK kwani spika wa bunge bwana samwel sitta alifanya kila UNK hadi UNK hoja hiyo UNK huku akidai vielelezo vya mbunge ni vya kughushi spika sitta bila aibu akiwa amealikwa katika mdahalo kwenye televisheni ya taifa UNK wakati huo alisema wazi mbele ya daktari slaa kuwa vielelezo vyake ni vya kughushi vyenye ushahidi dhaifu wa kwenye UNK na kudai kuwa amewaagiza vyombo vya dola UNK na kumchukulia hatua ili kukomesha tabia hiyo ya kuzua mambo oktoba kumi na tano mwaka ishirini sifuri saba daktari slaa bila kujali chochote aliamua kuihamishia hoja yake hiyo jukwaani katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya mwembeyanga wilayani temeke dar es salaam na kutaja orodha ya vigogo kumi na moja aliodai ndiyo UNK fedha katika epa kilichofuata UNK kuwa baada ya rais kuunda tume pale bot ilibainika kuwa kiasi cha shilingi bilioni mia moja na thebathini na tatu zilikuwa zimeporwa na makampuni hewa kama ushahidi wa daktari ulivyokuwa UNK gavana alifukuzwa kazi na kinachoendelea watuhumiwa wengine wamekamatwa na kufikishwa mahakamani huku wengine wakiambiwa warejeshe fedha na kusamehewa haya ndiyo matunda ya daktari slaa ambaye awali UNK kuwa ni mwongo mwenye ushahidi wa kughushi lakini mungu ametenda miujiza leo ukweli wake umebainika na tangu hapo wako wabunge ndani ya ccm wameanza kuimba kuwa nao wanapambana na ufisadi ndani ya serikali na chama chao japokuwa tukio la karibuni UNK daktari slaa na baadhi ya wabunge wenzake limebainisha kuwa wapambanaji wa ukweli ni wachache mno kitendo cha baadhi ya wabunge wa ccm na upinzani tena wale ambao awali UNK ni UNK wanyonge kama bwana lucas selelii bwana john cheyo bibi anna komu bwana lazaro nyalandu na wengine kuhoji eti kwanini daktari slaa ametaja hadharani mishahara na marupurupu yao kwa wapiga kura UNK hawa walitaka kujua ni hatua gani zimechukuliwa na bunge kutokana na kitendo hicho walichodai ni cha kukiuka maadili wako waliofikia hata hatua ya kwenda mbali zaidi UNK mbunge huyo kuwa aache mara moja tabia hiyo wakidai kuwa anajitafutia umaarufu wa kugombea urais ziko taarifa za chini chini kuwa baadhi ya wabunge wameanza kuandaa makakati wa kumuondoa daktari slaa katika uenyekiti wa kamati ya hesabu za serikali za mitaa ili liwe fundisho na kupunguza makali yake mimi nawapongeza wabunge hawa na wengine kwa mawazo yao hayo na misimamo hiyo UNK kufanya kama kweli ndiyo nia zao maana yawezekana ni kweli walikuwa hawataki kabisa wapiga kura wao wafahamu wanalipwa mshahara na marupurupu kiasi gani ili wasije kuwasumbua kuwaomba misaada pengine tujiulize ni kwanini waheshimiwa hawa hawataki wajulikane wanalipwa kiasi gani mpaka wafikie UNK daktari slaa kiasi hicho na je ni kweli mbunge huyu alikosea ama alikuwa sahihi kwa vile UNK ni fedha hiyo UNK UNK kuwasaidia wanyonge katika hoja yake bwana nyalandu alisema kuwa daktari slaa anajitafutia umaarufu majukwaani ili kujijenga kisiasa kwani hata kama wabunge UNK mishahara na marupurupu yao bado fedha hiyo haiwezi kuwasaidia watanzania wote isipokuwa cha kufanya ni kutafuta utaratibu mzuri wa kuinua maisha ya masikini katika hili mimi nadhani inabidi wabunge waache kuogopa vivuli vyao kwa hofu kuwa kila anayefanya jambo zuri na kupendwa na jamii basi anakuwa anatafuta umaarufu wa kugombea uongozi kama udiwani ubunge au urais wabunge lazima wakubali kuwa wanalipwa mishahara na marupurupu makubwa na pengine tofauti na kazi UNK katika kuwawakilisha wananchi ama ikilinganishwa na elimu zao na kumbe hii ndiyo sababu UNK wasomi na wadau mbalimbali kukimbilia kwenye siasa na kufanyiana kila hila kwenye majimbo ilimradi UNK ubunge kwa vile kuna UNK wako watumishi wasomi wenye elimu kubwa kuliko za baadhi ya wabunge na UNK serikali hii kwa muda mrefu kwa kufanya kazi nzito sana lakini UNK mishahara na marupurupu yao kama una roho nyepesi unaweza kuzimia sasa kwanini UNK mkono daktari slaa kuwa wapo wabunge ambao elimu zao ni ndogo sana na hata majimboni kwao hawajafanya jambo lolote la maana ikilinganishwa na mchango wa watumishi wengine sina maana kwamba wabunge wote UNK la hasha wapo na wamefanya kazi nzuri za kuwatetea wananchi kwa nguvu kubwa sana kama daktari slaa na wengine isipokuwa wanalipwa mishahara na marupurupu ni makubwa hali ambayo inaongeza pengo baina yao na masikini kwanini UNK daktari slaa UNK maana kumbe hatuna wabunge wa kutetea matatizo yetu badala yake wako UNK mishahara yao iwe mikubwa lakini wapiga kura hatutakiwi kufahamu wanalipwa kiasi gani hoja ya daktari slaa ni kwamba kama gari moja la waziri UNK shilingi milioni mia moja na ishirini wakati UNK moja ya pale urambo inagharimu shilingi milioni themanini kwanini mishahara ya wabunge ukiwemo wa kwake UNK kodi au UNK ili kupunguza matumizi na kutatua kero za wapiga kura wabunge hawa walitaka daktari slaa UNK hoja yake wapi kama si kwa mabosi wao ambao ndio UNK na kuwawezesha kupata mishahara na marupurupu hayo wanayotaka kumtoa nayo roho mbunge mwenzao mbona ni wabunge hawa hawa tunaowaona kila bajeti wakijifanya kutaja mishahara na marupurupu ya walimu na polisi bungeni na majukwani wakidai watumishi hawa pamoja na kufanya kazi kubwa lakini serikali imewasahau sasa iweje hawako tayari kupunguzwa mishahara wao ili wanufaike na wenzao ndiyo wakati huu ni mgumu sana kwa daktari slaa kwa vile kila mmoja UNK kidole kwa vile UNK maslahi yao huu ndiyo mfano wa mlevi kwani UNK naye pombe muda wote mkiwa pamoja ila ukitaka UNK na kuwa adui basi UNK pombe yake uone nini UNK spika wa bunge bwana sitta UNK daktari slaa tusi la UNK japokuwa ilikuwa katika mithili ya utani kwa kusema kuwa mbunge huyo pamoja na kwamba hoja zake zimejaa upotoshaji bado ataendelea kuwa mwenyekiti wa kudumu wa bunge wa kamati ya UNK lakini hivi ni vikwazo na kauli za kukatisha tamaa ambazo zimeandaliwa kumdhoofisha mbunge huyo hivyo hana budi kuwaona wahusika kama UNK maji nasema tena kuwa wale wanaofikiria daktari slaa anatafuta umaarufu wakati huu wajue kabisa UNK kwa UNK umaarufu UNK na anachokifanya ni kuwashawishi watanzania wafungue macho ili katika uchaguzi ujao wachague wawakilishi wenye kuwajali na UNK badala ya hawa wenye kuangalia kwenda bungeni UNK laiti kama wabunge wote UNK kidedea kama daktari slaa na kuisimamia serikali basi hizi kero za epa richmond wizi wa fedha ya wafadhili wa norway katika wizara ya maliasili na utalii rada ndege mbovu ya rais mikataba mibovu ya madini UNK nchini tena maana wahusika wangekuwa gerezani zamani sifuri saba tano tano mbili saba mbili tatu tano sifuri sifuri sifuri saba moja nne saba moja saba moja moja sifuri sifuri waanza kujinadi kwa sera za ccm mwingi UNK hodi kwa waziri kamala daktari UNK mbega UNK nao UNK ikiwa umebaki takribani mwaka mmoja na nusu kufanyika kwa uchaguzi mkuu mwaka ishirini moja sifuri kuna kila dalili ya kuongezeka joto la uchaguzi ambapo baadhi ya watu wameanza kuonesha nia yao ya kugombea nyadhifa mbalimbali baadhi ya wananchi wenye nia ya kugombea nyadhifa mbalimbali tayari wameanza kupitapita katika majimbo mbalimbali wakidai UNK na wananchi kugombea tayari wafanyabiashara wenye nia ya kugombea wameanza kupita majimboni na kutoa misaada ya kijamii kwa lengo la kujiwekea mazingira mazuri ya kukubalika kwa wananchi pia hata wasomi ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakiishi mbali na nyumbani tayari wameanza UNK na sasa wanaenda kusalimia tofauti na ilivyokuwa kipindi cha nyuma pia hali sio shwari hata kwa watumishi wa serikali na taasisi za umma kwani baadhi yao wameonesha nia ya kwenda kugombea uchunguzi unaonesha kuwepo kwa viongozi mbalimbali wa ngazi za juu serikalini ambao wameanza kampeni za chini kwa chini baadhi ya viongozi tayari wameanza kutangaza hadharani nia yao ya kugombea ubunge hali UNK kupanda kwa joto la uchaguzi kutokana na hali hiyo baadhi ya maeneo yaliyokuwa na kero mbalimbali yameweza kutatuliwa ikiwa ni pamoja na ukarabati wa miundombinu uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa wapo watumishi wa serikali ambao wameanza kulitolea macho jimbo la tanga mjini linaloongozwa na bwana bakari UNK kwa sasa jimbo hilo linanyemelewa na mmoja wa maofisa katika wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi ofisa huyo amekuwa mzoefu katika nyadhifa mbalimbali za uongozi hapa nchini hivyo kujizolea sifa mbali ya kiongozi huyo pia kumekuwepo na tetesi kwamba mmoja wa vigogo katika wizara ya miundombinu ana mpango wa kugombea ubunge jimbo jipya la mkata baada ya kumegwa kutoka lile la UNK pia gazeti hili lilibaini kuwepo minonggono ya chini chini kuwa kuna kigogo na mfanyabiashara mwingine mkoani morogoro UNK jimbo la morogoro mjini ambalo linaongozwa na daktari ali mzeru jimbo la morogoro mjini limekuwa likinyemelewa na vyama vya upinzani kwa nia ya kulinyakua kutoka mikononi mwa ccm mbali ya kuwepo kwa tetesi hizo pia kumekuwa na habari kuwa jimbo la nkenge linaloongozwa na waziri wa afrika mashariki daktari UNK kamala kwa sasa linanyemelewa na kamishna mmoja wa bima jina tunalo tayari wapambe wa kamishna huyo wameanza kuleta kizaazaa kwa wapiga debe wanaomuunga mkono bwana kamala habari kutoka iringa zinaeleza kuwa jimbo la kalenga ambalo kwa sasa linashikiliwa na bwana steven galinoma ambaye UNK utumishi wa umma miaka ishirini iliyopita linanyemelewa na mmoja wa maofisa kutoka chuo cha benki kuu kilichopo mkoani mwanza jimbo la iringa mjini nalo linanyemelewa na mfanyabiashara mmoja na ambaye kwa nyakati tofauti amekuwa akiwapiga jeki vijana wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi jina tunalo wengine wanaotajwa UNK jimbo hilo ofisa katika ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kimeeleza kuwa huenda ofisa UNK kwenye kinyangganyiro hicho jimbo hilo kwa sasa linaongozwa na bibi monica mbega taarifa zingine UNK mkuu mmoja wa wilaya ya mkoa wa tarime kuwa naye atajitosa kwenye kinyangganyiro hicho kwenye jimbo la kibaha mjini ambalo kwa sasa linashikiliwa na daktari zainab gama pia mmoja wa vijana machachari wa ccm ambaye hivi karibu alikumbwa na msukosuko wa kisiasa naye ameonesha nia ya kuwania ubunge katika jimbo la ubungo linaloongozwa na bwana charles keenja pia jimbo hilo linanyemelewa na mmoja wa madiwani wa kata ya wilaya ya kinondoni kijana huyo wa ccm ndiye anatarajiwa kuhimili mikikimikiki ya bwana john mnyika endapo atajitokeza kuwania nafasi hiyo katika uchaguzi wa mwaka ishirini sifuri tano bwana mnyika alikuwa mpinzani mkubwa wa bwana keenja kutokana na vuguvugu hilo kuna kila sababu ya wabunge wa sasa kuendelea kujipanga ili kujihakikishia ushindi kutokana na jinsi watumishi hao wa serikali walivyojipanga ni lazima wabunge wa sasa wafanye kila njia kuhakikisha majimbo UNK yanaendelea kubaki kwenye himaya yao wakati vuguvugu hilo likiendelea tayari rais jakaya kikwete UNK wabunge UNK majimbo yao na kusikiliza kero za wapiga kura kuwa pindi uchaguzi UNK wasianze kutafuta UNK alitoa kauli hiyo wakati UNK sherehe za chama cha mapinduzi kutimiza miaka thebathini na mbili zilizofanyika mkoani shinyanga mwaka huu pengine kuanza kupitapita kwenye majimbo kwa watumishi hao wa umma UNK wabunge ambao baada ya kumalizika uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini sifuri tano walikuwa kama UNK uchunguzi zaidi umebaini kuwa baadhi ya wabunge UNK na kuhamia majimboni kwao na kuwa karibu na wapiga kura tofauti na ilivyokuwa siku za nyuma kwa mujibu wa vyanzo vyetu kwa sasa wabunge wengi hawataki kukaa jijini dar es salaam vyanzo hivyo vimeeleza kuwa wabunge wengine wameweka wapambe wa kuchunguza nyendo za watu UNK kuwa watakuwa wapinzania wao UNK hofu zaidi wabunge wa sasa ni kutokana watumishi wengi wasomi ambao UNK kwenye taaluma mbalimbali walivyoanza kujipenyeza UNK mmoja wa viongozi wa ccm aliyezungumza kwa sharti la jina lake kutochapishwa gazetini amesema wabunge wa sasa hawana sababu ya UNK kwa kuwa ubunge ni sawa na mbio za kupokezana viti wanaogopa nini hakuna mbunge mwenye hatimiliki na jimbo kila mmoja ana haki ya kugombea wanachotakiwa wao ni kujipanga ili waweze kutetea majimbo yao kilisema chanzo chetu ndani ya ccm kutokana na kasi ilivyo kuna kila dalili kuwa watumishi wengi wa serikali UNK kwenye kinyangganyiro hicho pengine kuliko kipindi chochote kile utawala wa bush mashakani un yatoa mwongozo umoja wa mataifa umeagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina ili kujiridhisha na taarifa za kuwepo kwa magereza ya mateso katika baadhi ya nchi za afrika ambako wamehifadhiwa UNK wa matukio ya ugaidi agizo hilo UNK rais mstaafu wa marekani bwana george bush ambaye anadaiwa kuwa enzi ya utawala wake aliweka magereza ya siri kwa ajili ya watuhumiwa wa matukio ya ugaidi katika nchi za afrika inadaiwa kuwa miongoni mwa magereza hayo yako katika nchi jirani ya tanzania ambayo rais bush katika kipindi cha utawala wake UNK baadhi ya nchi za afrika kwa kuzihusisha na vitendo vya UNK wanaharakati wa masuala ya haki za binadamu wamebaini ukatili huo na kulifikisha jambo hilo katika ofisi za umoja wa mataifa ili liweze kufanyiwa uchunguzi wa kina kwa kuwa ni ukiukwaji wa sheria na haki za binadamu habari kwa kujibu wa mtandao zinasema nchi ya ethiopia imekuwa gereza la kutesa watuhumiwa wa ugaidi UNK wapiganaji wa mgambo wa kisomali ambako ni jirani na nchi hiyo ethiopia UNK kuwa na magereza ya aina hiyo habari za kufanyika kwa uchunguzi huo zimeanza UNK chama cha UNK wakimlaumu rais barack obama wa marekani kwa kuruhusu vitendo vya uchunguzi hali ambayo UNK maofisa wengi wa serikali ya bwana bush na shirika la ujasusi la nchi hiyo cia imedaiwa kuwa nchi za mauritania na zambia zimo katika mkumbo huo lakini serikali ya zambia imekanusha vikali tuhuma za kuwepo kwa magereza hayo vyombo vingi vya habari vya kimataifa UNK rais obama UNK kufanyika kwa uchunguzi juu ya madai ya kufanyika kwa vitendo vya kinyama kwa watuhumiwa UNK katika maji na vitendo vingine vya kikatili bwana karl UNK ambaye alikuwa msaidizi mkuu UNK bwana bush ameonesha kukerwa na uwamuzi wa rais obama wa kuridhia uchunguzi huo ambao utakuwa pigo kwa viongozi wa serikali iliyoongozwa na bwana bush katika kile kinachoonekana kuungwa mkono na mwanasheria mkuu wa serikali rais obama anasema hakuna mtu aliye juu ya sheria akasisitiza kuwa wenye wasiwasi ni viongozi wa cia ambapo UNK kinyume cha sheria UNK na waliofanya kazi yao kwa nia njema mashaka hayo pia UNK utawala wa bwana bush ambapo katika nchi mbalimbali duniani wameonesha kuunga mkono juhudi za rais obama kuchunguza vitendo vya udhalimu vilivyofanywa wakati wa utawala wa bwana bush kubwa UNK ni kunyongwa kwa aliyekuwa mtawala wa iraq bwana sadaam hussein maika mitatu iliyopita kwa kisingizio kuwa alikuwa UNK za maangamizi na kudaiwa utawala wake UNK vitendo vya ukatili na ukiukwaji wa haki ya binadamu vyombo kadhaa vya kimataifa pamoja na umoja wa mataifa walipinga kitendo cha bwana bush kupeleka majeshi yake nchini iraq na kuteuliwa kwa serikali iliyokubalika na bwana bush na kulazimishwa UNK dunia yote mbali ya serikali ya uingereza UNK hatua ya bwana bush UNK UNK ukatili huo wa bwana bush na vyombo vyake vya ujasusi ulitokana na kipigo cha majengo ya kituo kikubwa cha biashara duniani na jengo la makao makuu ya ulinzi na usalama la UNK septemba kumi na moja ishirini sifuri moja umoja wa mataifa unafanya uchunguzi huo ili kubaini ubabe UNK na bwana bush uchunguzi huo umeungwa mkono na wananchi wengi ambao wanasisitiza kuwa hakuna binadamu alifanya mambo yake juu ya sheria na hata ikibainika kuwa bwana bush alihusika moja kwa moja ni vyema UNK na rais omar al bashir wa sudan anayekabiliwa na mashitaka ya mauaji UNK huko darfur uchunguzi wa awali umebaini kuwa mauaji UNK na utawala wa bwana bush ni makubwa duniani kuliko yale ya sadaam hussein wa iraq na yale ya al bashir wa sudan wadadisi hao wanahoji kuwa kwa nini mahakama ya kimataifa ya the hague uholanzi UNK kuwa bwana bush anastahili kuhojiwa na mahakama hiyo maswali haya UNK yanatoa mashaka na uhalali wa mahakama hiyo kuhukumu viongozi wanyonge seneta wa UNK ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya kisheria juu ya vitendo hatarishi vya mateso bwana patrick UNK anadaiwa kusisitiza kufanyika kwa uchunguzi huo anasema endapo kura za kuanzisha jopo hilo UNK atachukua jukumu la kusikiliza madai hayo akiamini kuwa wadau wengine watafanya hivyo ili isije kutokea tena kuchaguliwa kwa rais obama mwishoni mwa ishirini sifuri nane na kuapishwa januari ishirini mwaka huu kumetoa matumaini ya kuanza kwa utawala wa haki na wenye heshima miongoni mwa nchi tajiri na masikini duniani dalili hizo zinaonekana ikiwa ni UNK miezi mitatu katika ikulu ya marekani makala haya yameandaliwa na mohamed kazingumbe kwa msaada wa mashirika mbalimbali ya habari kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la busanda zinaendelea katika jimbo la busanda wilaya ya geita mkoani mwanza ambapo chama tawala ccm UNK UNK na vyama vingine vya upinzani ambavyo ni chadema cuf udp pamoja na demokrasia kulazimisha kuwepo kwa uchaguzi kila mbunge anapofariki au kujiuzulu kwa sababu yoyote hata kama umebaki mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mwingine wakati umefika sasa kwa serikali na bunge kuangalia mantiki yake kwa maslahi ya pande zote wananchi serikali na vyama husika vya siasa ili haki itendeke demokrasia UNK na gharama halisi nakiri kuwa ni haki ya wananchi kuwakilishwa katika bunge ambapo kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizopo mbunge anapofariki au kujiuzulu lazima uchaguzi ufanyike hata kama umebaki muda mfupi kabla ya uchaguzi hali hiyo ndiyo iliyosababisha kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa jimbo la busanda na mwezi ujao kampeni za kujaza kiti cha jimbo la biharamulo magharibi mkoani kagera zitaanza baada ya kufariki kwa aliyekuwa mbunge jimbo hilo kwa tiketi ya tlp marehemu phares kabuye katika uchaguzi mdogo wa jimbo la tarime ccm walishindwa na chadema na ule wa mbeya vijijini kiti hicho UNK kwa ccm hali hiyo ni rejea tosha ya kuangaliwa upya kwa sheria na kutafuta njia muafaka wa kuziba pengo la wabunge UNK au kujiuzulu ili wananchi waendelee kuwakilishwa bila kufanya uchaguzi mdogo ambao UNK serikali vyama na wananchi makamu mwenyekiti wa ccm bwana pius msekwa alikaririwa akisema baada ya uchaguzi wa tarime mkoani mara hakukuwa na sababu ya vyama kutumia fedha nyingi wapiga debe na helikopta kwa vyama vyote mbunge UNK wa viti maalum apewe mikoba naungana naye kuwa wakati umefika wa kuangaliwa kwa utaratibu mpya kama kuna mbunge aliyejiuzulu au kufariki UNK zao zinaweza UNK na wabunge wa viti maalumu wanaotoka katika mikoa husika ili waweze kuwasemea wapiga kura wa jimbo UNK mbunge kama muda wa kufikia uchaguzi utakuwa umebaki mdogo kama sasa jambo hilo linawezekana ikiwa leo hii kuna wabunge ambao UNK maswali ndani ya bunge kufanyika kwa jambo hilo kutasaidia kubana matumizi makubwa yasiyo ya lazima kama ilivyotokea tarime ambako inaelezwa kuwa zaidi ya shilingi bilioni moja UNK na vyama fedha hizo zingeweza kubadili maisha ya wananchi na kuongeza kasi ya maendeleo utaratibu huo pia utapunguza UNK za uchaguzi na kuleta usawa kwani katika chaguzi ndogo za mara kwa mara vyama vingine vinashindwa kushiriki kwa kukosa rasilimali hii ni UNK demokrasia na kuifanya iwe ya vyama vyenye nguvu pekee ikumbukwe kwamba hoja kubwa inayotolewa ya kutaka kufanyika kwa uchaguzi mdogo ni wananchi kukosa uwakilishi mtu wa kuwasemea matatizo yao ingawa inapotokea matokeo UNK na mahakama na kesi yake kuchukua miaka miwili kusikilizwa rufaa yake kama ilivyotokea kwa marehemu kabuye aliyekuwa anasubiri hatma yake kwenye mahakama ya rufaa kwa zaidi ya mwaka UNK kwa wakati na wananchi walikosa uwakilishi bungeni ni vyema utekelezaji wa demokrasia UNK gharama halisi na si mradi demokrasia kwani demokrasia inayoumiza pia haina tija kama mahakama kuu ya tanzania iliwahi kumkatalia mgombea mmoja wa urais kusimamisha uchaguzi mkuu kwa sababu tume ya taifa ya uchaguzi ilisema ilishatumia mabilioni ya fedha na isingeweza kuusimamisha vipi leo iwe lazima uchaguzi mdogo ufanyike hata pasipo na ulazima kama sasa kwa kuwa sheria bado iko na chaguzi zinaendelea kufanyika naungana na wadau wengine kuwataka wananchi wa busanda watumie haki yao ya kidemokrasia vizuri kuchagua mgombea wanayemtaka kati ya wengi UNK kwa mujibu wa taarifa kutoka busanda upinzani mkali uko zaidi kwa mgombea wa ccm bibi lolensia bukwimba na mhandisi bwana finias magesa wa chadema ambao wote ni vijana na wasomi kutoka wilayani geita ukubwa wa geita umechangia tatizo ukubwa wa eneo la wilaya ya geita na tarafa zake iliifanya serikali ya tanu chini ya mwalimu nyerere wakati ule aone umuhimu wa UNK na kuanzisha wilaya ya sengerema na baadae mwalimu nyerere na ccm UNK sehemu yake na kuipeleka kwimba mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na tisa pamoja na kumegwa huko mara mbili bado geita iliendelea kuwa kubwa na ngumu kuwafikia wananchi wake jambo hilo ndilo lililoifanya ccm na serikali yake itafute njia ya kuwakomboa wananchi wa geita na kutenga majimbo ya uchaguzi ya busanda nyanggwale geita na msalala iliyomegwa kutoka msalala ya geita UNK pamoja na hayo bado geita imeendelea kubaki kubwa huku watu wake wakizidi kuongezeka na hivyo kufanya serikali ifikirie mpango wa haraka wa kuifanya geita kuwa mkoa kanisa katoliki ambalo UNK na tatizo kama la tanu na ccm katika kuhudumia waumini wake wilayani geita UNK katika hili kwa kuifanya geita kuwa jimbo la kanisa katoliki UNK askofu wa kwanza alikuwa mhashamu UNK UNK ambaye hivi sasa UNK jimbo la shinyanga kabla ya hapo waumini wake japo kiserikali himaya yao ilikuwa mkoa wa mwanza kiroho wengine walikuwa UNK na jimbo katoliki la shinyanga ndio maana baadhi ya wananchi waliosomea shule za msingi wilayani kwimba na mwanza walipoenda seminari UNK kuwa wametokea jimbo la katoliki la shinyanga UNK busanda haina maendeleo rejea historia yake busanda haiwezi kulinganishwa na hai ambako ni nyumbani kwa mwenyekiti wa chadema bwana freeman mbowe ni kweli kuwa hai iko mbele lakini historia UNK kilimanjaro tangu awali kwa nini kilimanjaro hailingani na busanda kilimanjaro imeendelea kwa haraka zaidi kwa sababu ina eneo dogo mno zaidi ya yote sera za wakati ule UNK wazungu wa jumuiya ya ulaya waliokuwa wanataka kahawa ya kilimanjaro walitoa ruzuku kwa wakulima wa zao hilo na wakatoa fedha za kujenga miundombinu ya kurahishisha zao hilo kupelekwa kiwandani na sokoni ulaya UNK ili UNK kahawa hiyo kwa urahisi ndio maana kilimanjaro UNK barabara ya lami ya kutoka dar es salaam uwanja wa ndege wa kia viwanda vya kukoboa na kusindika kahawa umeme UNK na matokeo yake wakazi wake UNK na pato kubwa UNK shule nyingi UNK hivi sasa yote hayo yalikuwa ni matokeo ya sera nzuri ya tanu na ccm hasa mahusiano na nchi na taasisi za nje katika vipindi tofauti na kushirikiana vyema na wawekezaji wa eu katika kilimo na hivyo kufanikisha kilimanjaro kupiga hatua wapinzani walipokuja walikuta tanu na ccm UNK msingi nyumba na UNK jitihada zinazofanywa na wapinzani kwa sasa ni kuweka madirisha ili nyumba UNK hewa safi kwa nini dhahabu UNK geita historia ya wilaya ya geita kabla UNK kutoa wilaya ya sengerema maeneo ya ya kupitia UNK UNK sima UNK UNK UNK UNK UNK UNK UNK nyanggwale UNK UNK UNK UNK msalala kalangalala UNK na mtakuja kwenye machimbo mapya ya dhahabu siku hizi si kama enzi ya miaka sitini sabini themanini au tisini maeneo hayo yamebadilika na barabara UNK hivi sasa kuna barabara ya lami kutoka geita kwenda mwanza kuna shule za sekondari butundwe geita sekondari na kalangalala sekondari kanisa katoliki limejenga hospitali kubwa na nzuri hiyo ni mbali na hospitali ya wilaya ya geita na ile ya sengerema kuna shule za msingi na sekondari katika majimbo yote ambayo enzi hizo UNK maji ya ziwa victoria UNK geita umeme uko njiani kwenda busanda mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na tano wananchi UNK kwa mguu kwa zaidi ya saa nane UNK mwalimu nyerere mtakuja akitumia usafiri wa landrover kumi tisa kwa sababu hakukuwa na usafiri wa ndege leo hii uwanja UNK maendeleo hayo hayawezi kulingana na yale ya hai kwa sababu wao UNK ukubwa wa geita ndio tatizo awali wazungu hawakuwa na maslahi makubwa na geita kwa sababu kama ni dhahabu za nyarugusu zilikuwa UNK na wananchi kwa sululu hadi UNK sera na kuruhusu wawekezaji kutokana na kukosa vifaa na teknolojia ya kisasa sera ya uwiano wa maendeleo kikwazo awali sera ya rasilimali ya taifa ilikuwa vitu kama madini lazima UNK kwenye mfuko mkuu wa hazina ndio mapato UNK kwa nchi nzima hali hiyo UNK maeneo yenye rasilimali hizo kama geita UNK moja kwa moja na kwa haraka na hivyo maendeleo yake kutoonekana kwa haraka zaidi pamoja na dhahabu kuwepo geita na maeneo mengine kwa miaka mingi sera haikuwa kuchimba kwa kiwango kikubwa kama sasa wachimbaji walikuwa ni wale wadogo wadogo ambao walinufaika kama mtu mmoja mmoja na kutokana na geita wakati huo kukosa miundombinu UNK katika maendeleo si ya geita tu hata busanda sera ya madini ilibadilika na kuruhusu wawekezaji wa nje wenye uwezo mkubwa wa mitambo na teknolojia nzuri ya kuchimba kwa wingi miaka michache tu iliyopita hivyo sio rahisi kuona mabadiliko ya haraka ambayo kila mwananchi UNK kwa sababu kimsingi bado sera ni pato la taifa kukusanywa kwenye kapu moja la mayai ndio baadaye UNK kwa kila mkoa hata usio na dhahabu ili kuwe na uwiano wa maendeleo sehemu zote hata zisizo na rasilimali mwalimu nyerere UNK sera ya kugawana mapato ya hazina kwa uwiano aliona mbali alijua kuna maeneo yenye ukame kama singida na mengine haya madini mito wala maziwa haya UNK hakutaka yabaki nyuma kimaendeleo itikadi kuu ya mwalimu nyerere ilikuwa ni kutaka usawa kwa sababu alijua hakuna UNK ndio maana leo hata wakazi wa dar es salaam wanavaa nguo kutokana na pamba ya mwanza na geita busanda wanakula chumvi ya watu wa UNK kigoma wao UNK ingekuwaje kama kigoma UNK UNK ni jukumu la wananchi wa busanda kupambanua tofauti ya maendeleo ya siku nyingi ya kilimanjaro na sababu za wao kuwa nyuma wanawake UNK na mfumo dume kwa kuwa kina mama ndio wamekuwa wahanga wakubwa wa mifumo dume ya uongozi wa kisiasa nitashangaa kama kina mama wa busanda watoto wao watashindwa kutumia nguvu yao kuwashawishi hata waume zao kumchagua mwanamke mwenzao na hivyo kuondoa dhana kuwa wanawake hawawezi wananchi wa busanda wanapaswa kuchagua kiongozi UNK mtatizo yao na kwamba kiongozi huyo atawasaidia kutokana na uwezo wake na stephano mango vyama vya upinzani vina umuhimu mkubwa kwa taifa lolote duniani lenye dhamira ya kweli ya kujenga demokrasia na kuleta maendeleo kwa wananchi wake ni dhahiri kuwa kutokana na umuhimu huo ndio UNK serikali kuandaa muswada na hatimaye kupitisha sheria ya kuundwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na mbili tangu kuanzishwa kwa mfumo huo mafanikio makubwa yenye manufaa yameonekana katika jamii ni wazi kuwa wabunge UNK na vyama vya upinzani wametoa changamoto mbalimbali na UNK serikali pale UNK au kulegalega katika kutekeleza ahadi walizozitoa kwa wananchi na kuibua hoja zenye kukosoa kurekebisha na kukemea maovu yenye mwelekeo mbaya kwa taifa letu changamoto ya wabunge hao mbali ya uchache wao bungeni UNK kwa mikono miwili na watanzania wengi wakiwemo makada wa ccm watanzania wenye mapenzi mema na taifa lao wanajivunia mafanikio yaliyopatikana bila kuathiri mfumo wa amani na utulivu wa nchi yetu yawezekana viongozi wa vyama vya upinzani UNK jambo hilo ndio maana wanaendelea kutoa kauli tata na zinazokinzana katika UNK tatizo hilo UNK tamaa watanzania ambao UNK viongozi hao kuwa ni wapiga porojo bila ya kuwa na mbinu bora za utekelezaji wa kile UNK na UNK katika hilo viongozi hao wanaonekana kupigania maslahi binafsi wakitafuta njia ya kuingia ikulu kwa imani ya kwamba ndiko watamaliza matatizo ya watanzania mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahimu lipumba amekuwa UNK vyama vingi vya upinzani na kuviona havina dira ya kuleta maendeleo kutokana na dhana hiyo ni wazi kuwa imani aliyonayo profesa lipumba ni juu ya chama UNK kuwa bora zaidi ya vingine lakini pamoja na imani hiyo anapaswa kuhakikisha kuwa kile UNK na UNK UNK mwisho na matunda yake kuonekana dhamiri kwa watanzania wote profesa lipumba amekuwa mwepesi wa kuilaumu na UNK serikali ya ccm katika nyanja mbalimbali na kuilazimisha ichukue hatua katika baadhi ya mambo hakuna ubishi kwamba cuf ndio chama pekee kilichokuwa UNK usingizi viongozi wa ccm katika uchaguzi mkuu wa ishirini sifuri tano cuf ilikubalika katika maeneo mbalimbali ya nchi kwa upande wa bara na zanzibar katika mikutano yao viongozi wa cuf UNK kutoa ahadi nyingi kwa wanachama na wafuasi wao lakini mpaka sasa ahadi hizo hazijatekelezwa kwa mfano baada ya uchaguzi mkuu mwaka ishirini sifuri sifuri viongozi wa cuf walidai kufanyiwa hujuma kwa kuibiwa kura na kutoa hadi ya UNK vijana maalum wa chama hicho ili walinde kura zao katika vituo vyote vya kupigia kura katika uchaguzi uliofanyika mwaka ishirini sifuri tano ahadi hiyo haikuweza kutekelezwa bila kutoa maelezo yoyote baada ya mgombea wa ccm zanzibar rais amani abeid karume kushinda katika uchaguzi huo cuf walisikika wakisema UNK kura hivyo hawamtambui rais karume na serikali yake viongozi wa cuf walipaswa kuwa wakweli mbele ya wanachama wao na kuonesha nidhamu ya kuwaomba msamaha kwa sababu waliahidi kuandaa vijana wa kulinga kura zao UNK na ccm busara za rais mstaafu wa awamu ya tatu bwana benjamin mkapa ambaye ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa ccm toka mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano mpaka ishirini sifuri tano zilifanikisha mazungumzo ya baina ya cuf na ccm mwaka ishirini sifuri tatu na kupewa jina la vikao vya mwafaka katibu mkuu wa cuf maalim seif sharif hamad aliongoza jopo la viongozi wa cuf kuanzia mwaka ishirini sifuri tatu mpaka ishirini sifuri nane baadhi ya mambo UNK katika vikao vya mwafaka ni kulipwa fidia kwa watu UNK nyumba zao katika machafuko ya ishirini sifuri moja na kuhakikisha kuwa wnanchi waliopata ulemavu waliofukuzwa kazi na wajane waliopoteza waume zao UNK kwa mshangao wa wananchi wengi wakiwemo wafuasi na cuf mpaka chama hicho UNK kujitoa katika vikao vya mwafaka ahadi zilizotolewa na viongozi wao hazijatekelezwa yatekelezwe chini ya muafaka huo maslahi ya wananchi UNK je ni kwa nini viongozi hao hawataki kurudi kwenye vikao ili wafikie muafaka kwa ustawi wa wananchi katika hilo zipo wapi busara za viongozi wa cuf kwa sababu wananchi walioathirika na machafuko hayo hawajajua hatma ya maisha yao je ni nani anayeweza kuamini kauli ya profesa lipumba anaposema hakuna chama bora kuliko cuf ni kiasi gani cha fedha kimetumika kugharamia vikao hivyo vya muafaka toka kuanza kwake mwaka ishirini sifuri tatu je fedha hizo zimetoka wapi watanzania wamekosa huduma ngapi kupitia fedha hizo licha ya ukweli kuwa katiba iliyopo haikidhi matakwa ya watanzania kimsingi mdai ya cuf kuhusu muafaka tume ya uchaguzi na mabadiliko ya katiba yalikuwa ya msingi na kuungwa mkono na wadau mbalimbali wapenda maendeleo bila kujali itikadi zao inavyoonekana kwa sasa cuf haina mpango wa kuendelea kupigania mambo ambayo mwaka ishirini sifuri moja yalisababisha vurugu na machafuko umwagaji wa damu na vifo vya watu huku wengine UNK makazi yao kwa lengo la UNK maisha yao cuf ya sasa ni tofauti na ile ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano ambayo UNK UNK ccm baada ya viongozi wake kuwa UNK muda mrefu viongozi wa cuf hawapaswi kubweteka na kutoa kauli UNK dhidi ya vyama vingine sifuri saba tano tano thebathini na tatu hamsini hamsini na moja aonya mikataba mibovu ataka kuvunjwa kwa makundi chama cha mapinduzi kina vyanzo mbalimbali vya mapato ambavyo hata hivyo vimekuwa UNK ipasavyo kutokana na baadhi ya viongozi kutoa mikataba ya muda mrefu huku chama hicho UNK mapato kiduchu katibu wa uchumi na fedha wa ccm bwana amos makalla anasema ubadhirifu huo umebainika hivi karibuni wakati wa ziara yake katika mikoa ya dar es salaam pwani moshi na arusha katika ziara hiyo bwana makalla alikagua miradi mbalimbali ya kiuchumi ya ccm na kuhamasisha viongozi kuhakikisha kuwa wanajipanga vizuri ili chama hicho kiweze kuibuka na ushindi wa mkubwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu mbali ya kutoa agizo hilo aliwataka viongozi hao kuvunja makundi na kuondoa chuki miongoni mwao kuna watu ambao UNK chuki ya adui wa rafiki yake jambo ambalo ni lazima tuondokane nalo na badala yake tuwe kitu kimoja anasema bwana makalla anasema katika baadhi ya mikoa viongozi wengi waliochaguliwa wanatoka vyama vya upinzani kutokana na chuki UNK katika uchaguzi mkuu wa ishirini sifuri tano bwana makalla anasema uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani ccm ina nafasi kubwa ya kuchukua majimbo mengi kama wanachama ndani ya chama hicho UNK tofauti zao kwa kuvunja makundi na kuungana ili kutetea maslahi ya chama hicho anasema ccm ina miradi mingi lakini mapato yatokanayo na miradi hiyo ni kiduchu kutokana na ubovu wa mikataba UNK viongozi wamekuwa UNK mikataba mibovu kwa maslahi yao na sio ya chama alitoa wito kwa viongozi hao kukaa na kuipitia upya mikataba hiyo tatizo la viongozi wengi wanapitisha mikataba hii kwa siri bila kujua madhara yake kwa siku za badae ni makubwa UNK fomu katika mikoa yote ili viongozi husika waweze kuangalia mfumo wa mikataba inayotumika katika vitega uchumi vya chama badala ya kujifanyia kiholela anasema bwana makalla anasema katika hali ya kushangaza wadaiwa sugu waliopanga katika miradi ya kiuchumi ya ccm ni viongozi wa chama ambao hawalipi kodi kwa madai kuwa wao ni viongozi wa siku nyingi nimewaagiza wasimamizi wa miradi husika kuhakikisha kuwa viongozi wote wanaodaiwa kodi ya pango wanalipa mara moja kwani hakuna pango UNK bure kwa sababu ya uanachama wa mtu au kwa kuwa ni kiongozi wa chama muda mrefu hilo haliwezekani anasema bwana makalla anasema mbali ya kutoa agizo hilo amewataka wasimamizi wa miradi hiyo kumpa majina ya wapangaji hao ili UNK katika kikao cha halamshauri kuu ya ccm ili UNK na hatua kali zitachukuliwa dhidi yao anafafanua kuwa ziara aliyoifanya katika mikoa mbalimbali amebaini kuwa viwanja vingi vinavyomilikiwa na ccm UNK hatimiliki hali ambayo imekuwa ikisababisha viwanja hivyo kuchukuliwa na watu wengine anasema jambo la msingi ni viongozi katika mikoa husika kuhakikisha kuwa viwanja vyote vinavyomilikiwa na ccm vinakuwa na hati idadi kubwa ya viwanja hivyo UNK kuwa na idadi kubwa kwa kuwa na vitega uchumi anaongeza kuwa chama chochote cha siasa hakiwezi kujiendesha bila ya vitega uchumi hivyo aliwataka viongozi hao kusimia miradi hiyo ili iweze kuimarisha shughuli za chama ili kuthibiti mapato ya chama bwana makalla anasema chama hicho kimeandaa utaratibu wa kuweka wasimamizi ambao watasimamia miradi hiyo na kuwachukulia hatua wapangaji watakaoshindwa kulipa kodi ya pango alifafanua kuwa viongozi wa chama wataendelea kufanya kazi za chama ambapo kazi za usimamizi wa miradi na ubunifu wa miradi mipya itasimamiwa na watu wengine watakaopewa jukumu hilo wasimamizi wa miradi hiyo watatakiwa kuwa wabunifu na wenye mapenzi mema na chama umefika wakati wa kuondokana na miradi midogo na badala yake tuwe wabunifu wa miradi mikubwa ya ujenzi na ujenzi wa majengo ili kuongeza pato la chama anasema anasema uongozi wa mkoa wa arusha umekuwa ukifanya jitihada mbalimbali za kubuni miradi mikubwa ya kiuchumi kwa kujenga majengo ya kisasa na kusimamia vizuri miradi hiyo anawataka viongozi wa mikoa mingine kuiga UNK ukifika katika mikoa mingine unaanza kusomewa matatizo na kuomba fedha mkoa wa arusha umeonesha matokeo mazuri katika mapato ya chama kutokana na jinsi walivyojipanga anasema kutokana na mazingira hayo bwana makalla anasema atahakikisha kuwa vitega uchumi vya ccm UNK na mikataba yote mibovu inayotumika hivi sasa UNK na kuandaliwa upya anasema suala zima la ukarabati utakiwezesha chama hicho kupandisha kodi UNK kwa wapangaji badala ya kuyaacha majengo hayo yakiwa UNK anawataka makatibu wote wa ccm katika kuakikisha kuwa fedha zinazopelekwa katika mikoa yao kwa ajili ya kuimarisha ofisi za matawi zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa bwana makalla ametoa agizo hilo baada ya kubaini kuwa kuna baadhi ya viongozi ambao wamekuwa wakichukua fedha hizo na kuzitumia bila kuzifikisha kwa walengwa kwa madai kuwa UNK makao makuu nimesikitishwa na taarifa hizi kiongozi wa chama kuwa na tamaa ni fedheha kubwa nimeambiwa kuna makatibu UNK fedha za matawi ombi langu kwao watafute fedha hizo na kuzipeleka UNK husika kabla UNK hatua anasema na grace ndossa mwanaharakati wa shirika lisilo la kiserikali la utu mwanamke bibi festa andrew UNK wanasiasa wanaoshindwa kutekeleza ahadi UNK wakati wakiomba kura UNK nafasi za uongozi katika majimbo yao bibi andrew alikemea tabia hiyo juzi mjini kibaha mkoni pwani katika semina ya waandishi wa habari iliyolenga kujadili masuala ya afya kwa jamii UNK mjini humo na kusema kuwa tabia hiyo inarudisha nyumba maendeleo alisema siasa za namna hiyo zimekuwa ni kikwazo kikubwa cha maendeleo katika majimbo yao siasa hizi UNK maendeleo ya wananchi kutokana na ahadi hewa na matokeo yake wananchi UNK tamaa wanashindwa kujengewa vituo vya afya hospitali shule na barabara alisema bibi andrew alisema wakati wa uchaguzi mkuu wagombea uongozi UNK kwa wananchi kuwafanyia mambo mbalimbali lakini wakishapata inakuwa tofauti na ahadi zao na kutaka jamii kushiriki kikamilifu kuchagua viongozi bora aliwataka wananchi waamke usingizini na kuacha kudanganywa na vitu vidogo kila wakati ambavyo vimekuwa ni kikwazo cha maendeleo yao asema hakuingia kwenye siasa kutafuta umaarufu harakati za kambi ya upinzani kupata kura za kutosha ili kuwa na idadi kubwa ya uwakilishi bungeni sio jambo lahisi bali linahitaji mpango kabambe tutaendelea kuomba UNK na misikitini lakini hatuwezi kupata mafanikio kauli hiyo nzito ilitolewa hivi karibuni na aliyekuwa mbunge wa jimbo la bukoba mjini kupitia chama cha wananchi kuanzia mwaka ishirini sifuri sifuri mpaka ishirini sifuri tano bwana wilfred lwakatare alipokuwa akizungumza na wananchi kwenye uwanja wa mashujaa mjini bukoba mkoani kagera haikuwa rahisi kwa wafuasi wake kuamini uamuzi UNK bwana lwakatare ambaye mwaka ishirini sifuri tano alishindwa kutetea kiti hicho kwenye uchaguzi mkuu mpaka anatangaza kujivua rasmi uanachama wa cuf bwana lwakatare alikuwa naibu katibu mkuu wa chama hicho bwana lwakatare aliwaeleza wananchi hao kuwa hakuingia kwenye siasa kwa lengo la kutafuta umaarufu kwenye vyama visivyokuwa na mwelekeo wa kuwasaidia wananchi nilipokuwa mbunge wa jimbo la bukoba mjini nilijaribu kuwa karibu kuwa na watu wa rika zote kwa UNK ya tabia yangu ya kusema ukweli lakini inapofikia hatua ya kuwepo kwa majungu na fitina ambazo hazijengi kazi ya ziada inahitajika kuondokana na tatizo hili alifafanua bwana lwakatare bwana lwakatare ambaye ametangaza rasmi kuondoka cuf aliwataka wananchi hao UNK kwa maneno UNK pembeni bali UNK kwa yale UNK mwenyewe akisisitiza kuwa utamaduni alionao ni kuweka mambo mezani ili UNK na UNK kwa UNK anasema kwa mujibu wa utaratibu na kanuni za nchi katika uchaguzi wa mwaka ishirini moja sifuri atagombea ubunge katika jimbo la bukoba mjini alifafanua kuwa uvumi uliopo kwamba yupo mbioni kuhamia kwenye chama cha demokrasia na maendeleo ni hoja UNK na viongozi wa cuf kwa makusudi anafafanua kuwa pamoja na vyombo vya habari nchini UNK awaeleze sababu za kuchukua uamuzi huo hakuwa tayari kuwaeleza UNK kusudio lake ni kutaka kuelezea sababu hiyo kwa wananchi ambao ndio mtaji wake kisiasa na kufanya UNK aliongeza kuwa pamoja na kuondoka cuf kamwe hawezi kuhamia ccm kama inavyodhaniwa na wananchi wengi sera ya ccm sio kutengeneza maisha bora kwa wananchi bali ni inatengeneza maisha magumu kwa ari nguvu na kasi mpya hivyo hana sababu ya kujiunga na chama hicho anasema mfumo wa vyama vingi vya siasa ni msukumo mzuri kimsingi unaofanya kazi ya kuwasaidia watanzania ili chama UNK madaraka UNK kutimiza malengo ya kuwasaidia wananchi naomba niwaambie ndugu zangu katika vyama vya siasa wamo baadhi ya viongozi ambao wameanza UNK kama vichaka vya kufanyia ubinafsi ufisadi na kuendeleza mambo mengine UNK ikifikia hatua ya chama kupata ruzuku viongozi wengine wanaona wamefika mwisho wa reli kigoma bila kujua kwamba bado tunaendelea kutafuta maisha bora lakini UNK hapo vyama vya siasa UNK kwa hilo anasema anasema kwa hali ilivyo sasa ndani ya cuf hali si shwari baada ya kupoteza mwelekeo na kushika kisiasa na matokeo juu ya hilo ni kushindwa katika chaguzi ndogo zilizofanyika katika majimbo mbalimbali aliongeza kuwa UNK cuf kwa sababu ya uwazi na ukweli uliokuwepo awali tofauti na sasa ambapo matatizo mengi UNK hadharani na kutafutiwa ufumbuzi wa haraka anasema licha ya badhi ya wananchi kumtaka aende chadema atakaa na familia yake na kujadili suala hilo kwa makini na kutoa jibu badae katika moja ya vitabu UNK bwana lwakatare ameelezea jinsi UNK na mafao yake ndani ya cuf licha ya wajumbe kumwona nadhifu akiendesha vx ambalo anadai kuwa UNK kutokana na kura za wana bukoba mwaka ishirini sifuri sifuri sula lingine UNK kwenye kitabu hicho ni jinsi cuf ilivyo na utaratibu mbovu wa kutowatambua waasisi wa chama hicho anasema kwa upande wa tanzania bara maendeleo ya chama hicho ni hafifu na UNK matumaini hali inayoonesha UNK kuwa cuf ipo kwa ajili ya kusindikiza vyama vingine kutokana na chama hicho kutokuwa na mwakilishi hata mmoja bungeni kama ilivyo kwa vyama vingine pia kitabu hicho kinaelezea mpango ulioandaliwa kumuondoa katika nafasi ya naibu katibu mkuu taifa na kuonesha namna ambavyo aliweza UNK na makamu mwenyekiti wa cuf taifa bwana yusuph machano ya kumtaka UNK kutokana na mabadiliko UNK na chama ni kweli nilipata mshtuko wa UNK hayo baada ya UNK mara mbili zaidi juu ya uwezo wangu kiutendaji kwa kuzingatia kuwa wenzangu kwa upande wa zanzibar bwana juma duni haji jina lake UNK na kufanikiwa kutetea kiti chake na jina langu UNK anasema bwana lwakatare ni miongoni mwa waasisi wa cuf kama kiongozi mwandamizi na mwenye uwezo mkubwa wa kupanga mikakati na mipango mbalimbali ya kukijenga chama pamoja na kuhakikisha kinapata ushindi katika chaguzi zake mbalimbali UNK na kasi ya wafanyabiashara kuingia kwenye siasa asema vitendo vya ufisadi ni kirusi hatari kwa mendeleo ya nchi tafsili ya siasa si lelemama ni kauli nzito inayotumiwa na wanasiasa mbalimbali mara nyingi kauli hiyo haipewi uzito na wapiga kura zaidi ya kuwaona viongozi husika wa kisiasa wakinufaika kwa kutembelea magari ya thamani na kushiriki katika vikao vya chama na vile vya bunge pamoja na sifa wanazopewa viongozi hao mbali ya kutumia muda wao mwingi kutekeleza ahadi walizotoa kwa wapiga kura ukweli utaendelea kubaki kuwa siasa si lelemama ikiwa ndio sababu ya viongozi wengi katika siasa kuachia madaraka na kufanya shughuli nyingine za maendeleo kwa kipindi kirefu imani iliyojengeka katika siasa ni juu ya vijana kutokuwa na uwezo wa kufanya shughuli za kisiasa jambo ambalo katika miaka ya hivi karibuni mapungufu ya imani hiyo yameanza kuonekana baada ya vijana wenye sifa na uwezo mkubwa katika siasa kujitokeza hadharani na kuonesha uwezo wao vipo vikwazo mbalimbali vilivyojitokeza kwa lengo la kudhoofisha nguvu ya vijana katika siasa ili wakubaliane na msemo unaosema siasa si lelemama na kuvunjika moyo ili kuwaachia wazee msimamo wa vijana katika siasa umechangia kuharakisha maendeleo katika jamii kustawisha chama na kupambana na vitendo vya ufisadi ambavyo ni adui wa maendeleo katika taifa lolote duniani hamasa ya wananchi kusikiliza vikao vya bunge imeongezeka katika jamii kutokana na imani kwamba hoja za wabunge vijana zinakwenda na wakati ili kuharakisha maendeleo katika jamii na kupigania maslahi ya taifa bila kujali itikadi ya vyama vyao kati ya viongozi UNK na vikwazo mbalimbali vya kisiasa ni pamoja na mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya chama cha mapinduzi bwana nape nnauye ambaye amekuwa mstari wa mbele kupambana na vitendo vya ufisadi vinavyofanywa na viongozi wachache kwa maslahi binafsi bwana nnauye ambaye pia ni mjumbe wa baraza kuu la umoja wa vijana wa ccm na katibu msaidizi wa ccm makao makuu idara ya mambo ya siasa na uhusiano wa kimataifa anasema vitendo vya ufisadi katika taifa lolote duniani hususan tanzania vinakwamisha maendeleo ya nchi na kuongeza umasikini katika jamii anasema pamoja na jitihada zake za kupambana na vitendo vya ufisadi yapo makundi UNK na ufisadi huo ambayo yamekuwa UNK kwa lengo la kudhoofisha nguvu ya vijana ndani ya chama UNK maslahi ya taifa na kusimamia utekelezwaji wa ilani ya uchaguzi ya ccm hivi karibuni bwana nnauye alifanya mahojiano na kipindi cha mambo leo kinachorushwa na kituo cha kumi sifuri tano times fm katika mahojiano hayo bwana nnauye alisisitiza kuwa viongozi wote wa ccm ambao UNK na tuhuma za ufisadi na kutajwa katika ripoti ya daktari harrison mwakyembe waone umuhimu wa kuachia nyadhifa walizonazo ili kukinusuru chama hicho anasema kitendo cha viongozi hao kushindwa kutekeleza ilani waliyopewa na kusaini mikataba mibovu iliyosababisha hasara kwa taifa ni wazi kuwa viongozi hao UNK ilani ya uchaguzi pamoja na chama UNK kwa kuwa viongozi hawa waliona umuhimu wa kuwajibika serikalini kutokana na tuhuma zinazowakabili ni vyema UNK na kwenye chama ili wananchi waendelee kuwa na imani na chama chao alifafanua bwana nnauye aliongeza kuwa viongozi UNK katika nafasi mbalimbali serikalini wanapewa muongozo wa ilani ya ccm lakini baadhi yao wanashindwa kutekeleza ilani hiyo na kushawishika kukisaliti chama kwa kutekeleza ilani binafsi ambayo ni kirusi hatari kwa maendeleo ya nchi anasema katika miaka ya hivi karibuni kasi ya wafanyabiashara kuingia kwenye siasa imezidi kuongezeka wakitumia pesa zao kwa lengo la kuteka chama ili kutimiza malengo yao binafsi jambo hili ni hatari kwa maendeleo ya chama na taifa kwa ujumla ikiwa ndio sababu ya rais jakaya kikwete kutoa ahadi ya kutengeneza utaratibu ambao UNK shughuli za chama na siasa ni UNK mchakato huu UNK mapema ili kukinusuru chama ambacho imani yake kwa wananchi ni kubwa anasema bwana nnauye alifafanua kuwa yapo madai mbalimbali yanayotolewa na viongozi wa vyama vya upinzani juu ya ccm kutumia vibaya vyombo vya dola madai haya hayana ukweli wowote zaidi ya viongozi hao kupotosha wapiga kura anasema kwa kawaida polisi haina utaratibu wa kumbeba mtu wala chama fulani cha siasa mikutano mingi ya siasa inayoandaliwa na ccm inazingatia sheria na taratibu wanazopewa na jeshi la polisi ikiwa ndio sababu moja wapo inayowafanya wananchi kuwa na imani na chama chao alifafanua kuwa vyama vingi vya upinzani UNK maagizo wanayopewa na polisi UNK sheria za nchi katika mazingira hayo jeshi la polisi ambalo ndio msimamizi wa sheria hizo haliwezi kukaa kimya zaidi ya kuchukua hatua kwa viongozi wa vyama husika vya upinzani na wanachama wake bwana nnauye anasema hivi karibuni vijana wengi ambao ni wapiga UNK wameanza kupoteza thamani ya utu wao kwa kupokea rushwa na kuchagua viongozi wasiofaa rushwa katika uchaguzi sio biashara halali ambapo anayepokea rushwa UNK utu wake zaidi ya utumwa anasema mkataba wa ccm na wananchi ni utekelezwaji wa ilani ya uchaguzi ambapo kwa kuzingatia hilo ccm imekuwa ikitekeleza ilani hiyo kwa mafanikio makubwa ingawa sio asilimia kumi sifuri kutokana na changamoto za matatizo mbalimbali yanayolikabili taifa na kuporomoka kwa uchumi wa dunia anafafanua kuwa pamoja na matatizo hayo jitihada mbalimbali zimeendelea kufanya na serikali katika kuboresha maisha ya wananchi sambamba na ujenzi wa miundombinu ya barabara shule za msingi na sekondari hospitali na vituo vya afya anasema safari za rais kikwete nje ya nchi zimekuwa na manufaa makubwa kwa taifa ni jambo la kushangaza kwa baadhi ya viongozi wa upinzani kubeza safari hizo kwa lengo la kuwahadaa wananchi ili waweze kuichukia ccm anaongeza kuwa ccm katika afrika ni chama kikubwa kinachokubalika ndani na nje ya nchi ikiwa ndio sababu ya wananchi wengi UNK na kauli za viongozi wa upinzani na badala yake imani ya wananchi juu ya ccm inazidi kuongezeka anasema ipo haja ya viongozi wa vyama vya upinzani kukaa chini na kufanya tathimini ya sababu zipi zinazowafanya UNK kwa wananchi ccm inatambua mahitaji ya wananchi wake katika makundi tofauti ikiwa ndio sababu ya kuwa na jumuiya mbalimbali zikiwemo za vijana na wazazi ili mahitaji ya makundi hayo yaweze kutekelezwa kwa wakati bwana nnauye aliongeza kuwa maana halisi ya siasa ni huduma kwa jamii na kuwepo kwa vyama vingi ni kipimo cha kupasuka kwa siasa ambapo maendeleo ya siasa nchini UNK kutokana na demokrasia iliyopo kwa sasa na israel mwaisaka toka kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano jitihada kubwa zimekuwa zikifanywa na vyama hivyo kutangaza sera zao ili kuongeza idadi ya wanachama chama cha mapinduzi bado UNK kuwa na idadi kubwa ya wanachama pamoja na kuongoza serikali ambapo baadhi ya vyama vya upinzani vimefanikiwa kunyakua baadhi ya viti vya ubunge udiwani na wenye viti wa serikali za mitaa elimu ya mfumo wa vyama vingi nchini imeendelea kutolewa katika jamii tofauti na ilivyokuwa awali ambapo wananchi wengi hawakuwa na elimu hiyo jambo ambalo lilisababisha kuwepo kwa tafsili mbalimbali zisizokuwa rasmi kueleweka kwa elimu hiyo kumetoa fursa kwa wananchi mbalimbali kuchagua chama UNK na kukiunga mkono kulingana na mvuto wa sera zake ikiwa ndio sababu ya viongozi wa upinzani kupata nafasi za uongozi kupitia vyama vyao hamasa ya vyama vya upinzani kushiriki kwenye chaguzi mbalimbali imezidi kuongezeka kwa imani ya kushika dola na kuongoza serikali kutokana na ubora wa sera zao zenye lengo la kupunguza umasikini katika jamii kuongeza kasi ya UNK na kukuza uchumi wa nchi pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa na vyama vya upinzani katika kutangaza sera zao nalazimika kusema kuwa chaguzi zinazofanyika katika maeneo mbalimbali nchini zina kasoro kubwa UNK na katiba ambayo UNK mabadiliko ya mfumo wa vyama vingi vya siasa katiba iliyopo UNK katika mfumo wa chama kimoja cha siasa badala ya mahitaji ya sasa ya mfumo wa vyama vingi jambo ambalo linakwamisha jitihada za vyama vya upinzani kufikia malengo waliyojiwekea ccm iliingia katika mfumo wa vyama vingi ikifahamu kuwa mbio za wapinzani kushika dola haziwezi kufanikiwa zaidi ya kushiriki katika chaguzi mbalimbali na kupata idadi ndogo ya uwakilishi binafsi UNK vyama vya upinzani kwa kushiriki katika chaguzi hizo mbali ya kufahamu kasoro zilizopo kwenye katiba lakini wameweza kunyakua baadhi ya nafasi za ubunge na udiwani kwa kupewa ridhaa na wapiga kura waliochoshwa na ahadi zilizoshindwa kutekelezwa na viongozi wa ccm vyama vya upinzani vimeendelea kupiga kelele ili katiba iliyopo iweze kufanyiwa marekebisho na kuondoa kasoro zilizopo ili iweze kukidhi mahitaji ya sasa ya mfumo wa vyama vingi vya siasa mpaka hivi sasa hakuna jitihada zozote zinazofanywa na serikali kwa lengo la kuifanyia marekebisho kiongozi mmoja wa chama cha demokrasia na maendeleo aliwahi kuzungumzia jambo hilo katika kampeni ya operesheni sangara wilayani UNK mkoani mbeya na kusema kuwa suala la mabadiliko ya katiba linapaswa kuungwa mkono na wananchi alisisitiza kuwa msukumo wa vyama vya upinzani pekee hauwezi kuishawishi serikali kutekeleza maombi yao bila nguvu ya wananchi jukumu la wananchi ni UNK mkono vyama vya upinzani ili kilio cha mabadiliko ya katiba kiweze kusikika na kufanyiwa kazi na serikali kama vyama vya upinzani UNK umuhimu wa kuunganisha nguvu zao na kupigia kelele suala hilo wataendelea kupoteza wanachama walionao na hakuna mafanikio UNK na kufikia malengo waliyojiwekea ufike wakati kwa serikali kuona umuhimu wa kuifanyia marekebisho katika hiyo kwa njia ya demokrasia ili kuondoa dhana iliyojengeka kwa vyama pinzani vya siasa kushindwa kutimiza malengo yao kutokana na kasoro mbalimbali zilizopo kwenye katiba vyama vya upinzani vimekuwa na mchango mkubwa wa UNK serikali ili iweze kutekeleza ahadi walizotoa kwa wapiga kura na kuharakisha maendeleo katika jamii kukuza uchumi wa nchi na kufichua maovu mbalimbali yanayofanywa na baadhi ya watendaji serikalini wasiokuwa UNK dhana iliyojengeka awali kwa wananchi juu ya mfumo wa vyama vingi kuwa kichocheo cha vita na kuvunjika kwa amani imeanza kutoweka kwa wananchi wengi ikiwa baadhi ya viongozi wa ccm ambao walikuwa UNK uvumi huo wameanza kujiunga na vyama vya upinzani katika siku za hivi karibuni vyama vya upinzani vilikuwa na wazo la kuunda umoja wao wakiamini kuwa muungano huo ni jambo rahisi lakini mpaka sasa jambo hilo limeonekana kuwa gumu miongoni mwa vyama husika vya upinzani muungano wa vyama pinzani vya siasa utaendelea kulegalega bila ya kufikia malengo hali hiyo inachangiwa na kasoro zilizopo kwenye katiba ambayo haijitoshelezi kwa mazingira halisi ya mfumo wa vyama vingi vya siasa viongozi wa vyama pinzani vya siasa bado wana muda wa kudai marekebisho ya katiba ili kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu wa mwakani unafanyika wakati serikali ikiwa UNK maombi yao ili sera zao ziweze kueleweka zaidi kwa wananchi na kutimiza malengo yao kwa wakati kikwete sekta ya viwanda kilimo utalii kunufaika wanawake kupewa fursa katika elimu ya uchumi utalii na habib UNK hivi karibuni rais jakaya kikwete alifanya ziara ya kihistoria nchini saudi arabia iliyokuwa na mafanikio makubwa kwa tanzania mapokezi ya rais kikwete nchini humo yaliongozwa na mwenyeji wake UNK abdullah bin UNK al UNK licha ya ushirikiano wa muda mrefu kati ya tanzania na saudi arabia rais kikwete amekuwa rais wa kwanza wa tanzania toka ipate uhuru wake kufanya ziara ya kiserikali nchini humo kwa kutambua kuwa nchi hizo zina ajenda moja ya kuendeleza amani mshikamano ushirikiano na upendo miongoni mwa watu wa mataifa mbalimbali duniani mfalme abdullah alimpokea mgeni wake rais kikwete kwenye uwanja wa ndege mahsusi kwa UNK viongozi wa juu wa nchi mbalimbali tukio hilo UNK na lile la mfalme abdullah UNK rais kikwete UNK ya heshima ya juu ya nchi hiyo saudi arabia imekuwa rafiki mkubwa wa tanzania kutokana na mchango wa serikali zote za awamu tatu zilizotangulia kabla ya utawala wa rais kikwete msimamo wa serikali zote pamoja na ile ya rais kikwete umelenga kusimamia usawa amani usalama duniani na kupambana na umasikini kwa kushirikiana na nchi hiyo tanzania na saidi arabia zinaamini kuwa suluhu ya migogoro mbalimbali duniani ni majadiliano ya amani kwa njia ya demokrasia saudi arabia yenye ukubwa wa kilometa za mraba million moja mia tisa na sitini mia tano na themanini na mbili na idadi ya watu wapatao zaidi ya UNK ishirini imekuwa na ushirikiano na tanzania kwa miaka mingi katika nyanja mbalimbali za kisiasa kiuchumi kiutamaduni kijamii na ulinzi na usalama kabla ya uhuru na hivyo kuwa miongoni mwa nchi rafiki zenye msimamo wa pamoja ziara hiyo ya kikazi kwa rais kikwete imeimarisha ushirikiano uliojengwa na viongozi waasisi wa nchi hizo katika ziara hiyo rais kikwete alikutana na wafanyabiashara wa nchi hiyo na kufungua milango kwa wafanyabiashara hao kuangalia uwezekano wa kuwekeza tanzania wafanyabiashara hao UNK rais kikwete na kuahidi kupitia balozi za nchi hizo mbili na vyama vya wafanyibiashara UNK mikakati ya namna ya kuwekeza kwa manufaa ya wananchi wa tanzania na saudi UNK uwekezaji huo utakwenda sambamba na matumizi ya teknolojia za kisasa suala la uwekezaji limepata msukumo mpya baada ya ziara ya rais kikwete nchini humo ambapo aliwataka wafanyibiashara hao kuwekeza katika sekta ya kilimo na viwanda na kusisitiza kuwa tanzania ina ardhi kubwa ya kutosha kwa uwekezaji wa aina yeyote sekta nyingine ni zile za utalii ujenzi wa miundombinu na majengo ya kisasa msimamo UNK kati ya tanzania na saudi arabia unaohusu UNK na hasa katika ajenda ya kuleta amani kwa njia ya mazungumzo UNK heshima kubwa nchi hizo na kuaminiwa na mataifa makubwa na madogo hususan katika mzozo wa mashariki ya kati na migogoro mingine ambayo nchi hizo husisitiza migogoro hiyo kumalizika kwa njia ya amani bila kutumia nguvu nchi ya saudi arabia ambayo ni chimbuko la dini ya kiislamu imekuwa kielelezo kizuri duniani kwa kujenga misingi imara ya kuwakutanisha waumini wa dini hiyo kila mwaka wakati wa ibada ya hija huku UNK na UNK licha ya tofauti za UNK yao kisiasa bila ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine saudi arabia na tanzania UNK kibiashara kwa muda mrefu ambapo tanzania ni wanunuzi wa bidhaa za petroli vinywaji baridi nguo na mapambo ambapo saudi arabia imekuwa UNK viungo nyama na nafaka mbalimbali toka tanzania kupitia mpango wa nane wa maendeleo wa saudi arabia mkazo UNK zaidi kuwaelimisha wanawake vyuo vikuu vipya na vyuo vya ufundi stadi UNK na kutoa elimu ya uchumi na utalii ziara ya rais kikwete itafungua milango ya wanawake wa kitanzania kupata elimu ya juu nchini humo ziara hiyo imeimarisha na kuhamasisha ushirikiano wa muda mrefu wa elimu kwa vijana kwa muda mrefu saudi arabia imekuwa inatoa misaada ya nyezo za kufundishia na vitabu vya UNK mbalimbali kwa ya tanzania utawala wa mfalme abdullah UNK kuongeza misaada zaidi katika sekta hiyo ufalme wa saudi arabia UNK ubinadamu umekuwa UNK misaada mbalimbali katika nyanja za elimu afya kupambana na umaskini na upatikanaji wa maji safi kwa wakazi wa vijijini ubalozi wa nchi hiyo nchini UNK kwa kuratibu vyema misaada hiyo UNK ustawi wa wananchi wakati wa ziara hiyo saudi arabia ilisisitiza kuendelea kutoa msaada katika nyanja ya elimu na utamaduni ili kuunga mkono jitihada za serikali ya rais kikwete katika kujenga fikra kwa vijana kuwa wazalendo wa nchi yao na kuwa raia bora katika dunia kuhusu ulinzi na usalama nchi hizo zina ushirikiano wa pamoja kwani UNK kupambana na ugaidi usafirishaji wa dawa za kulevya magendo ya silaha uhalifu na UNK ushirikiano huo na nchi zinazoendelea utaifanya dunia iwe mahali pa amani eneo jingine ambalo saudi arabia imekuwa likishirikiana na tanzania ni kujenga ajira serikali ya saudi arabia imewekeza kwa kutumia nguvu kazi ya watanzania katika sekta ya utoaji huduma kwa wananchi wa nchi hiyo kuna watanzania wengi nchini humo wanaofanya shughuli za kuongoza watalii benki na huduma katika sekta ya umma mazungumzo ya rais kikwete na balozi wa saudi arabia nchini tanzania bwana alli al UNK hivi karibuni ikulu jijini dar es salaam yameonesha kuwa rais kikwete amekuwa akifanya UNK mara baada ya safari zake za nje ili kusukuma juhudi za ushirikiano na makubaliano yaliyofikiwa wakati alipokuwa nchini saudi arabia changamoto UNK balozi za saudi arabia na tanzania ni kuandaa vipaumbele ili kuharakisha utekelezwaji wa yale yaliyofikiwa na viongozi wa nchi hizo kwa nia ya kuharakisha maendeleo yaliyokubaliwa na viongozi wa nchi hizo pamoja na wataalamu wa pande zote mbili kufikiria namna ya kuweza kuisaidia tanzania kupunguza makali ya mdondoko wa uchumi wa duniani furaha ya wananchi wa saudi arabia kutokana na ziara ya rais kikwete UNK kuzifanya serikali za nchi hizo kusimama imara kwa kuwatumikia wananchi wake iwapo wananchi wa UNK kutumia fursa mbalimbali ili kujenga mahusiano mema tanzania inaweza kupiga hatua kubwa ya maendeleo katika nyanja zote dhana sheria ya habari UNK watu na sio mtu mmoja na tumaini makene dhana ya uhuru wa habari ni moja ya dhana katika taaluma ya uandishi ambazo ni chanzo cha mvutano wa makundi mawili katika nchi mbalimbali duniani mvutano huo ni mkubwa mathalani uhuru wa habari una mipaka au hauna mipaka uhuru kutoka kwa nani wakati kupata na kutoa habari ni haki ya msingi ya binadamu yeyote je uandishi wahabari ni taaluma au hayo ni masuala yanayohitaji tafakuri na kupata uamuzi ulio katika UNK sawa ingawa imekuwa vigumu sana katika sehemu nyingi nchini na huenda hata kwa wenzetu pia zipo pande mbili zinazopingana juu ya hili upande mmoja ni ule wa serikali na upande wa pili ni ule wa wadau wa habari ingawa tunaweza kusema hayo ni malumbano baina ya pande hizo kwa upande wa tanzania serikali ndiyo mmiliki wa vyombo vya habari kwa maana ya kwamba serikali imekuwa ikifanya biashara na mshindani au watu wengine binafsi katika biashara ya vyombo vya habari vyombo vya habari UNK kuwa ni vya umma UNK serikali moja kwa moja katika umiliki na sio umma wa watanzania ambapo UNK wa serikali hauishii katika sekta ya habari pekee imejipatia mamlaka makubwa ya kusajili pamoja na kutunga sera na sheria UNK ukusanyaji na utoaji wa habari kwa ujumla wake bila kusahau kuwa jukumu walilonalo ni kusimamia sera na sheria pindi zikivunjwa na wadau wa habari vikiwemo vyombo vya habari binafsi wapinzani na washindani wa serikali katika biashara ili iweze kueleweka vizuri ni UNK na kusema kuwa kuna mechi inaendelea na mwamuzi wa mchezo huo sio kwamba ana mapenzi na moja ya timu husika bali kwa uhakika zaidi ni mmoja wa wachezaji katika timu UNK kupata ushindi na kwamba yuko uwanjani akicheza huku akiwa na filimbi UNK ni viumbe mithili ya malaika pekee UNK katika simulizi ndio hawawezi kuonesha upendeleo takribani miaka mitatu iliyopita pande hizo mbili za wadau wa sekta ya habari nchini walikuwa katika malumbano juu ya dhana nzima ya uhuru wa habari na vyombo vya habari wakati ule ilikuwa juu ya mswada wa habari ambao serikali iliibuka na kujiandaa kuupeleka bungeni ili iweze kutunga sheria ambayo itasimamia masuala ya habari kusudio la serikali ilikuwa ni kutaka kuleta sheria ambayo ingechukua nafasi ya sheria za kikoloni ambazo serikali iliamua kuzirudisha baada ya uhuru na zingine UNK anga nia kwa lengo la kujilinda na mawazo UNK yanayoweza kuleta maendeleo ukweli ni kwamba kwa muda mrefu mswada huo umekuwa ukipigwa danadana bila sababu za msingi lakini inatosha kusema kuwa wakati ule moja ya hoja zilizosababisha malumbano makubwa ni kuwepo kwa bodi ambayo UNK nani ni mwandishi na yupi siyo mwana taaluma kama ilivyo katika fani ya UNK au sheria mpaka hivi sasa fani ya uandishi wa habari nchini haijulikani kama ni taaluma ama la kwa mara nyingine tena wadau hao wako katika vitani UNK UNK kwa sasa ni sera ya habari na utangazaji ya mwaka ishirini sifuri tatu ambayo serikali inataka kuifanyia marekebisho moja ya kipengele UNK mgogoro huo na hasa kwa wadau wa upande wa pili usiokuwa wa serikali ni kipengele namba mbili tatu mbili ambacho UNK kuwa mtu mmoja UNK kumiliki vyombo vya aina tatu kwa wakati mmoja kwa maana ya magazeti radio na televisheni kipengele hicho kinaendelea kusisitiza kuwa mwenye kumiliki vyombo hivyo kwa sasa atapewa miaka mitano ili UNK kwa kigezo cha kwamba mtu mmoja anaweza kutumia vibaya umiliki huo na kuathiri jamii hili ndilo limeonekana kufunika hata mapendekezo mengine ambapo suala la umiliki UNK kwenye hoja moja ya ajabu katika UNK ya kawaida pendekezo hilo limewekwa kwa kuwalenga baadhi ya wamiliki wanaomiliki vyombo hivyo kwa wakati mmoja pendekezo hilo UNK na vitu viwili kwanza limekuja katika wakati ambao kuna wamiliki wa vyombo vya habari ambao vyombo vyao UNK vya mafisadi na kuna vingine vya wapinga ufisadi pili kwa bahati mbaya au nzuri mazingira ya pendekezo la kipengele hicho yataonekana kuzidi hoja za msingi kama hali hiyo itaonekana kuwa ndio nguzo ya kujenga hoja inaweza kutufanya tuonekane watu wa ajabu labda tuulizane sera sheria utaratibu mipango na mikakati yote ya namna hiyo UNK na kuhitaji utekelezwaji bila kujali idadi ya walengwa au jina sasa tuulizane pendekezo la kipengele hicho linamlenga nani au suala la kulengwa mtu mmoja linatoka wapi zipo sera na sheria zinazowabana UNK UNK au UNK watoto zipo sheria za magaidi ambao wengine UNK takwimu za haraka zinazonesha kuwa tanzania watatu wa vyombo binafsi vya habari je ni mmiliki yupi kati ya hawa UNK na sera hiyo je tuna uhakika kiasi gani kuwa wamiliki hao hawatumii vibaya vyombo vyao na hao watakaokuja hawataweza kuvitumia kwa jinsi watakavyo kuliko tunavyoona sasa maswali haya tunaweza kujiuliza huku kukiwa na tetesi kuwa kuna mfanyabiashara mmoja ambaye amekuwa katika tuhuma za ufisadi kwa muda mrefu ana mpango wa kuanzisha vyombo vya habari hatujui kuwa atakuwa na malengo UNK nani anayejua kuwa jukumu la chombo hicho ni kupashana habari katika staili UNK inavyoonekana kwa sasa vyombo vya habari imekuwa biashara ya hovyo kiasi cha watu kuingia gharama kubwa kuanzisha na kufufua vyombo vya habari kwa nia ya kupiga muziki wa mipasho na kutupiana maneno zipo hoja za ajabu ambazo UNK katika kutetea kile UNK UNK wa mtu mmoja na sheria au sera ya nchi nzima wengine wanauliza sera ya kumtaka mtu UNK vyombo vya habari zaidi ya kimoja utendaji unaofanywa wapi wanauliza huo ni uzoefu wa nchi gani wao wanaamini kuwa kitu kizuri lazima UNK kazi au kuanzishwa mahala fulani na watu wengine hasa wa nje ya nchi yetu alafu kazi yetu iwe ni kuiga na UNK UNK vichwa huu ni utegemezi wa mawazo hatuwezi kuwa wabunifu wa sera zetu sheria zetu au taratibu zetu wenyewe mpaka UNK au UNK hatuwezi kuanzisha kitu chetu UNK na wengine UNK kuiga mbona tumeweza kuwa moja ya watu wa mwanzo kuwa na baraza la habari tanzania lenye tija kiasi mpaka nchi zingine UNK na zimekuja kuiga hiyo best UNK yetu pindi wanasiasa hawa tunaowaona na pesa UNK kuingilia biashara hii ya vyombo vya habari na wakafanya vile watakavyo bado tutatoa hoja hizi hizi UNK leo je UNK msaada wa serikali tunapoamua kuongelea suala la umiliki ni bora tukawa makini na has UNK umma wa watanzania wengi wasioweza kupambanua mambo tungekuwa katika nchi ambazo wananchi wameelimika na UNK walau katika kiwango kizuri na kutumia fikra katika kupambanua mambo UNK vyombo vya habari kuwa sehemu za kupashana na kutambiana UNK wao UNK wenyewe labda tujiulize ni kwa nini kwa wadau hadhira kwa maana ya wasomaji wasikilizaji na watazamaji wangejua na UNK UNK na kuwaona watu wa ajabu wasiofaa kwa mambo yao lazima tuangalie dhana ya umiliki kwa kutafuta nafasi bora na sio kulinda nafasi tulizonazo bali tunapaswa kuliangalia pendekezo lenyewe na UNK kwa kuangalia ubaya wake na uzuri kama upo tusifikirie kupendelewa au kulengwa mtu au watu hili UNK na kutoka nje ya mstari kila kitu UNK kutunga au UNK hatuwezi kuepuka UNK mtu mmoja hata yule ambaye UNK kufanya hicho UNK wengine wanasema kuendesha vyombo vya habari ni biashara sasa masharti ya nini hivi ni kweli kuna biashara ambayo haina masharti hata katika soko huria ambalo UNK na kukubali kumeza biashara ya vyombo vya habari inaweza kufananishwa na biashara nyingine yoyote kwa nini UNK kulijadili swala hili kwa undani na kusukumia kuwa linamlenga mtu inawezekana kabisa kuwa njia nzuri ya kudhibiti umiliki wa vyombo vya habari pasipo kuingilia uhuru wa UNK habari ni kuweka utaratibu wa kuuza hisa katika soko la hisa wengine wanashauri serikali UNK zaidi wahariri na sio wamiliki kwa sababu wamiliki hawana athari kubwa kwa kile UNK au kutangazwa hii ni UNK ya mchana wadau wa habari hasa wana taaluma wanatambua fika jinsi baadhi ya wamiliki UNK uhuru wa wahariri wetu na wao wamekubali kufa UNK mpaka sasa mct hawajatoa karipio kwa wamiliki wa vyombo husika kama wameanza kutuonesha hilo kwa nini tusifikirie namna nzuri ya kuhakikisha kuwa UNK UNK uhuru wa habari umiliki tulionao sasa unaweza kuwa sababu inayochangia kwa namna moja au nyingine kubana uhuru wa vyombo vya habari na hatimaye habari kwa ujumla kama UNK kuonesha fili karashani mdau wa siku nyingi katika taaluma ya habari tanzania zipo hoja zinazopaswa kuungwa mkono na wadau wa upande usiokuwa wa serikali ambazo serikali inapaswa UNK iweze kutoa maelezo ya kina juu ya pendekezo hilo kwa mfano hoja serikali kuwa inalazimika kuonesha ushahidi wa kitafiti pasipo na shaka kuwa ni kwa namna gani mtu mmoja anaweza kutumia vyombo vya habari kujinufaisha na kuleta madhara kwa jamii hapa tunaongelea sera wanapaswa kuthibitisha hoja kwa vigezo au ushahidi wanao wajibu huo kupitia sera hiyo na kipengele cha umiliki serikali UNK na ikibidi iwe mwathirika wa kwanza katika hilo na kamwe haiwezi kujiweka pembeni katika hilo umiliki wa chombo kimoja UNK zaidi watu binafsi wakati serikiali bado inamiliki na kuratibu kwa mgongo wa nyuma watueleze wamejiandaa vipi UNK vyombo hivyo kuwa vya umma na sio kwa kiini macho angalizo ambalo sote tunapaswa kulifanyia kazi ni kuangalia kama umuhimu wake au kuionesha mapungufu yake katika mstakabali mzima wa uhuru wa habari na vyombo vya habari mwandishi wa makala haya ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo cha uandishi wa habari na mawasiliano ya umma chuo kikuu cha dar es salaam taasisi ya sekta binafsi nchini imepiga hatua kubwa ya kuwashirikisha wajasiriamali wadogo na wa kati kujiajiri ili waweze kujikwamua kiuchumi mkurugenzi mtendaji wa tpsf daktari evans rweikiza anasema sekta binafsi imekuwa na msaada mkubwa kwa taifa na kuongeza soko la ajira daktari rweikiza anasema changamoto zinazoikabili sekta binafsi UNK na utandawazi pamoja na biashara huria kutokana na benki mbalimbali kufilisika kwa sababu ya tatizo la kuanguka kwa uchumi wa dunia anasema kutokana wa sababu hizo serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi imelazimika kuanzisha mradi wa maendeleo unaoitwa fanikiwa kibiashara wenye lengo la UNK wajasiriamali nchini mradi huo ulizinduliwa na makamu wa rais daktari ali mohamed shein katika kilele cha maadhimisho ya siku ya UNK tanzania ambayo hufanyika agosti kumi na nne kila mwaka katika maadhimisho hayo mikoa ishirini na sita ya tanzania bara na mitano ya zanzibar ilipewa ruzuku ambazo zitatumika kupanua biashara za wajasiriamali ruzuku hiyo inafikia shilingi bilioni tatu tatu daktari rweikiza anasema tpsf isingeweza kutekeleza mradi wa UNK bila kuwashirikisha wadau wengine ambao ni benki ya nmb kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi zain benki ya watu wa zanzibar shirika la viwanda vidogo vidogo chama cha wafanyabiashara wa viwanda na kilimo tanzania na chama cha wafanyabiashara viwanda na kilimo zanzibar anasema taasisi ya sekta binafsi tanzania mbali ya kutekeleza mradi wa kukuza ushindani wa biashara nchini na kuboresha mazingira ya kibiashara pia inasimamia miradi minne ambayo inatekelezwa na tpsf miradi hiyo ambayo inafanya kazi chini ya ofisi ya waziri mkuu ni fanikiwa kibiashara kuchangia kibiashara mitaala ya vyuo vya biashara ushindani UNK na mnyororo wa thamani anasema dhumuni la mradi wa fanikiwa kibiashara ni kuimarisha utamaduni wa ujasiriamali na kutoa mafunzo kwa wafanyabiashara wadogo wadogo na wale wa kati anafafanua kuwa mradi wa fanikiwa kibiashara ni wa kiushindani ambapo wajasiriamali kutoka mikoa mbalimbali nchini walishirikishwa katika mafunzo ya kukuza biashara zao wajasiriamali hao walipata mafunzo ya kuendeleza biashara zao zinazo UNK na UNK kuandika UNK jumla ya washiriki moja mia tatu na sabini na nne walituma maombi ya kushiriki ambapo mia tano na thebathini na tano walipata mafunzo ya awamu ya kwanza baada ya mafunzo ya awali walibaki washiriki mia mbili na hamsini ambao walipewa mafunzo ya awamu ya pili na kuzawadiwa shilingi milioni tatu baada ya kufuzu mafunzo hayo anasema wajasiriamali hamsini walipatiwa mafunzo ya awamu ya tatu na kupewa kiasi cha shilingi milioni tisa ambapo wale waliopewa mafunzo ya juu walipata shilingi milioni kumi na mbili hadi kumi na nane daktari rweikiza anasema miongoni mwa watanzania milioni ishirini na moja UNK na harakati za kiuchumi ni asilimia tisa tu ndio wanaopata huduma za UNK asilimia mbili wanapata huduma za vyama vya akiba na mikopo na asilimia thebathini na tano wanapata huduma za kifedha zisizo rasmi anasema wajasiriamali wadogo wadogo UNK ya kupata mikopo na hata kukosa kabisa hivyo nafasi ya sekta isiyo rasmi bado ni ndogo katika kujikomboa kiuchumi mchango wa watanzania kwenye ukuaji wa uchumi wa taifa bado ni mdogo hivyo tunaiomba serikali iendelee kuongeza benki na vyombo vya kifedha ili kuweka sera UNK ukiritimba na kurahisisha mifumo ya mikopo ili iweze kuwafikia wananchi wengi anasema daktari UNK anaongeza kuwa sekta binafsi UNK juhudi za serikali za kuweka chombo cha UNK UNK wananchi kurasimisha biashara zao ili waweze kupata mikopo kwa kutumia rasilimali walizonazo kama ardhi za vijijini zisizo na hati makamu wa rais daktari shein anafafanua kuwa sekta binafsi nchini ni uti wa mgongo wa kufufua uchumi na kuongeza pato la taifa kutokana na wajasiriamali kutumia rasilimali za nchini kuzalisha bidhaa zenye ubora kushindana katika soka la dunia daktari shein anasema serikali inafahamu mazingira magumu yanayoikabili sekta binafsi hiyo na kudhoofisha ujasiriamali ikiwemo miundombinu duni ya barabara umeme kukatika mara kwa mara ukosefu wa maji matatizo ya reli matatizo kwenye bandari ya dar es salaam na wafanyakazi wasiokuwa na ujuzi alifafanua kuwa sekta binafsi inakabiliwa na changamoto ya kuwa na wafanyakazi wasio waaminifu kuwepo kwa vitendo vya rushwa ukosefu na upatikanaji wa mitaji urasimu wa watumishi wa umma na matatizo katika kodi kutokana na matatizo hayo serikali ilibuni programu ya kuimarisha ushindani wa biashara nchini kwenye ulimwengu wa utandawazi inayotekelezwa kwa mkopo wa benki ya dunia ikiwa na lengo la kuweka mazingira mazuri na endelevu ya sekta binafsi daktari shein ametoa wito kwa taasisi na kampuni mbalimbali kuunga mkono juhudi zinazofanywa na kampuni nyingine kama zain nmb na benki ya watu wa zanzibar kwa kushiriki kuwezesha sekta ya biashara ndogondogo ili iweze kukua tpc UNK uzalishaji umeme wa UNK ya miwa nishati ya umeme ni nguzo muhimu katika kukuza uchumi na kuharakisha maendeleo ya wananchi wa vijijini mijini na taifa kwa ujumla uzalishaji wa nishati hiyo kwa kiasi kikubwa hutegemea maji ya mvua ambayo UNK maji katika mabwawa mbalimbali kama kihansi mtera ruvu na UNK maji hayo pia hutumika kwa matumizi ya nyumbani na viwandani kwa muda mrefu tanzania imekuwa ikikabiliwa na tatizo la mgawo wa umeme ambao umekuwa ukitokea mara kwa mara kutokana na kupungua kwa maji katika mabwawa hayo hali ambayo husababisha kudorora kwa shughuli za uzalishaji tatizo hilo limekuwa likisababisha umeme huo kuzalishwa katika kiwango kidogo UNK mahitaji halisi ya shughuli mbalimbali za uzalishaji viwandani majumbani na UNK pamoja na ukosefu wa mvua za kutosha tatizo hilo pia linachangiwa na uharibifu mkubwa wa mazingira unaotokana na shughuli za binadamu ambao hufanya makazi na shughuli za kilimo katika kingo za mito na vyanzo vya maji kutokana na changamoto hizo viongozi wa ngazi mbalimbali yakiwamo mashirika na asasi zinazolinda na kuhifadhi mazingira wamekuwa wakifanya jitihada kubwa za kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo moja ya jitihada zinazofanywa na wadau hao ni pamoja na uzalishaji wa nishati mbadala ya umeme kwa kutumia mabaki ya miwa teknolojia hiyo hufanywa na kiwanda cha uzalishaji sukari cha tpc ltd kilichopo wilaya ya moshi vijijini mkoani kilimanjaro ofisa mtendaji mkuu wa kiwanda hicho bwana robert baisac anasema kwa kutambua umuhimu wa teknolojia hiyo kiwanda hicho kimelazimika kufunga mitambo ya kisasa inayozalisha umeme kwa kutumia mabaki ya miwa kiwango cha umeme UNK kwa saa ni megawati ishirini uwezo wa kuzalishwa kwa kiwango hicho cha umeme unatokana na nguvu ya mtambo huo wenye uwezo wa kutengeneza tani tisini za UNK kwa saa ambazo hutumika kuzalisha umeme huo anasema bwana UNK anasema kwa hivi sasa wapo katika hatua za mwisho za majadiliano kati ya uongozi wa kiwanda hicho na wizara ya nishati na madini ili kufanikisha kuingiza umeme huo katika gridi ya taifa anafafanua kuwa kwa siku kiwanda hicho kinazalisha umeme wa megawati nane kwa ajili ya uzalishaji kila siku kukamilika kwa mazungumzo hayo na watendaji wa wizara kiwanda hicho kitaweza kuzalisha megawati kumi za umeme ambao utaingia katika gridi ya taifa mpango huo UNK shirika la umeme tanzania kuongeza wigo wa huduma wanazotoa kwa wateja wake anaongeza kuwa juhudi kubwa zilizofanywa na tpc katika kuzalisha nishati hiyo mbadala zitasaidia kuharakisha shughuli mbalimbali za kiuchumi ambazo zimekuwa UNK na changamoto ya kupata umeme wa uhakika anasema mazungumzo baina ya tpc na wizara ya nishati na madini pamoja na menejimenti ya tanesco yalianza mwaka ishirini sifuri tano ili kuelezea kusudio la kiwanda hicho kuwauzia umeme huo ni wazi kuwa teknolojia ya uzalishaji umeme kwa kutumia mabaki ya miwa baada ya UNK na kutengeneza sukari ni rafiki wa mazingira na mradi endelevu kwani badala ya kuchoma au kusambaza mabaki hayo hutumiwa tena kwa ajili ya kuzalisha umeme huo mkuu wa mkoa wa kilimanjaro bibi monica mbega ambaye alitembelea kiwanda hicho alijionea shughuli za UNK wa umeme huo na kupongeza mpango huo ambao utasaidia kuharakisha shughuli za maendeleo kwa taifa bibi mbega aliwataka wadau mbalimbali wa sekta hiyo kuunga mkono jitihada zilizofanywa na tpc ambapo alisisitiza kuwa kuunganishwa kwa umeme huo katika gridi ya taifa kutaharakisha maendeleo na kuongeza uzalishaji mafanikio yaliyofikiwa na tpc baada ya kumpata mwekezaji mwaka ishirini sifuri sifuri ni kuongeza uzalishaji wa sukari licha ya changamoto mbalimbali zilizojitokeza la kuuza sukari hiyo katika soko la ndani kutokana na UNK wengi kuagiza sukari nje ya nchi kiwanda hicho UNK kwa ubia kati ya serikali yenye hisa asilimia ishirini na tano na mwekezaji asilimia sabini na tano baada ya UNK machi ishirini na nne ishirini sifuri sifuri lengo la kiwanda hicho lilikuwa ni kuzalisha sukari tani sabini na mbili sifuri sifuri sifuri kwa mwaka ifikapo mwaka ishirini sifuri tano bwana baisac anasema kuwa tangu kiwanda hicho UNK ubia mwaka ishirini sifuri sifuri sifuri moja UNK uzalishaji wa sukari kutoka tani thebathini na nne mia nane na tisini na mbili hadi sitini hamsini tatu mwaka ishirini sifuri sita sifuri saba lengo la kuzalisha tani sabini na mbili sifuri sifuri sifuri za sukari kwa mwaka UNK kama ilivyoainishwa kwenye mpango wa biashara kama uongozi wa kiwanda hicho UNK mpango wa ukarabati tu badala ya kupanua kiwanda hicho upanuzi huo ulilenga kuondoa mitambo chakavu kwa gharama kubwa kuliko UNK awali ambapo ukarabati huo UNK uwezo wa kukamua miwa kutoka tani mia moja na ishirini na tano hadi mia moja na sitini kwa saa na kuongeza shamba la miwa kutoka hekta sita sifuri sifuri sifuri hadi saba hamsini sifuri mpango huo wa upanuzi wa kiwanda pia ulilenga kuzalisha tani themanini sifuri sifuri sifuri hadi themanini na tano sifuri sifuri sifuri za sukari kwa mwaka ifikapo ishirini moja sifuri kiasi hicho ni kikubwa ukilinganisha na makisio ya awali ya mpango wa biashara ambao uliweka makadirio ya tani thebathini na nne mia nane na tisini na mbili ili kufanikisha mipango hiyo faida yote iliyopatikana UNK katika kampuni na madeni makubwa yalipatikana kutokana na mikopo ya benki mpaka sasa kiwanda hicho UNK shilingi bilioni themanini na tatu bwana baisac anasema tpc ina ukubwa wa hekta kumi na sita sifuri sifuri sifuri ambazo kati ya hizo hekta saba themanini sifuri ndizo UNK UNK baada ya upanuzi wa kiwanda mwaka ishirini sifuri tano sifuri sita ambapo ardhi yote UNK UNK kwa njia ya mifereji mabomba na njia ya UNK katika msimu wa mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa kiwanda hicho UNK rekodi ya uzalishaji kwa kuweza kuzalisha tani mia saba na themanini na saba sifuri sifuri sifuri za miwa ambazo zilifanikisha kutengeneza tani sabini na nane arobaini sifuri za sukari kuongeza uzalishaji na kutoa ajira viwanda vingine vinavyozalisha sukari nchini ni kilombero mtibwa na kagera kwa ujumla uzalishaji wa sukari nchini ni tani mia moja na kumi na tano sifuri sifuri sifuri kwa mwaka wakati mahitaji UNK kuwa tani thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri tanzania UNK tani ishirini sifuri sifuri sifuri sifuri za sukari nje ya nchi kila mwaka ruvuma UNK kutekeleza mpango huo wakulima kuuza mazao kwa bei nzuri mpango mkakati wa serikali ya awamu ya nne ni kuharakisha maendeleo na kustawisha maisha ya wananchi kwa kuboresha miundombinu kuanzisha miradi ya kijamii na kukuza uchumi kwa lengo la kutelekeza ilani ya uchaguzi kwa vitendo katika uchaguzi mkuu wa ishirini sifuri tano chama cha mapinduzi kilitangaza sera na ilani ya chama hicho kwa wapiga kura ilani hiyo ilitoa ahadi ya kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja ili yaweze kupitika kirahisi wakati wote wa mvua na UNK ujenzi huo wa miundombinu umelenga kutekelezwa katika maeneo yote ya mijini na vijijini ili kuwawezesha wananchi kusafirisha mazao yao na bidhaa nyingine kwa urahisi zaidi mpango huo utawasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi na kujiletea maendeleo halmashauri za wilaya nchini kupitia wizara ya nchi ofisi ya waziri mkuu zimekuwa zikitekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa miundombinu hiyo watendaji katika halmashauri husika kwa kushirikiana na wabunge na madiwani wamekuwa wakifanya jitihada kubwa za kufuatilia na kusimamia utekelezwaji wa miradi hiyo wilaya ya mbinga mkoani ruvuma ni moja kati ya wilaya UNK hatua kubwa ya ujenzi wa barabara na madaraja vijijini na mijini ili kuharakisha maendeleo ya wananchi na taifa kwa ujumla ni muda mrefu wananchi wa kata ya mpepai wilayani mbinga wamekuwa wakikosa mawasiliano na kata ya kizuka iliyopo wilaya ya songea vijijini yaliyochangiwa na ukosefu wa daraja la mto ruvuma kutokana na kero hiyo halmashauri ya wilaya hiyo iliamua kuchukua hatua za kujenga daraja hilo hilo ili kumaliza kero iliyokuwa ikiwakabili wananchi hao kukamilika kwa daraja hilo UNK kata za mpepai na kizuka ni kielelezo cha ukombozi kwa wananchi wa kata hizo kwa muda mrefu wakulima wa maeneo hayo walishindwa kusafirisha mazao yao na kuyapeleka wilayani songea kwa lengo la UNK wakulima hao walikuwa wakilalamikia kitendo cha wafanyabiashara walanguzi kutumia mwanya wa tatizo la ukosefu wa UNK kama kigezo cha kununua mazao yao kwa bei ya chini tunaishukuru halmashauri ya mbinga kwa kukamilisha ujenzi wa daraja hili ambalo limekuwa mkombozi wetu kiuchumi anasema bwana UNK machepe mkazi wa kijiji cha kihungu kata ya mpepai wilayani UNK bwana machepe anasema kata ya mpepai ambayo inajumuisha vijiji vya kihungu lipembe mpepai UNK na UNK ni maarufu kwa uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara mazao hayo ya chakula ni UNK na mahindi maharage na ulezi ambapo mazao ya biashara ni ufuta soya na UNK bibi UNK komba mkazi wa kijiji cha kihungu anasema ujenzi wa daraja huo UNK wakulima kuuza mazao yao kwa bei nzuri tofauti na ilivyokuwa awali ambapo walikuwa UNK kwa bei ya chini na hivyo kupata hasara kubwa bibi komba anafafanua kuwa kabla ya kujengwa kwa daraja hilo gunia moja la mahindi liliuzwa kwa kati ya shilingi nne hamsini sifuri hadi sita sifuri sifuri sifuri tangu kukamilika kwa ujenzi wa daraja hilo gunia moja huuzwa kwa shilingi ishirini na nne sifuri sifuri sifuri hadi thebathini sifuri sifuri sifuri sio zao la mahindi pekee ambalo linauzwa kwa gharama kubwa hata mazao ya ulezi soya na ufuta bei yake kwa sasa ni nzuri na hivyo kumfanya mkulima kujipatia kipato kizuri anasema anaongeza kuwa wakulima wamekuwa wakiungana pamoja na kwenda kuuza mazao yao songea mjini badala ya kuwauzia wafanyabiashara ambao UNK vijijini kununua mazao yao kwa bei ya chini anafafanua kuwa kabla ya kukamilika kwa ujenzi wa daraja hilo ilikuwa vigumu kwa wakulima kusafirisha mazao hayo hadi songea mjini hali ambayo ilichangia kwa kiasi kikubwa kuzorotesha maendeleo yao anasema utaratibu wanaotumia hivi sasa wa kupeleka mazao yao sokoni na kuyauza umesaidia kuongeza kipato chao asilimia kubwa ya wakulima hao wamefanikiwa kujenga nyumba za kisasa UNK kwa bati pamoja na kununua vyombo vya usafiri kama pikipiki mwenyekiti wa kijiji cha kihungu bwana UNK ndunguru anasema kukamilika kwa daraja hilo UNK mawasiliano ya wananchi wa vijijini na wale wa songea ambapo hivi sasa kuna mabasi yanayokwenda kijijini hapo anasema awali wananchi wa kijiji hicho walilazimika kuvuka mto ruvuma kwa kutumia mitumbwi na kwamba baadaye walikuwa wamejenga daraja la miti hali ambayo ilikuwa ni hatari kwa maisha yao halmashauri ya wilaya ya mbinga imefanya jambo zuri la kumaliza kero ya wananchi jukumu tulilonalo kwa sasa UNK daraja hili na kuzuia magari yanye uzito mkubwa yasipite kwani UNK kuharibu hazina hii muhimu anasema anatoa mwito kwa wananchi wa kijiji hicho na kata ya mpepai kwa ujumla wilayani hapa kulitumia daraja hilo kwa kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara ili UNK kiuchumi kaimu mhandisi wa ujenzi wilayani humo bwana emmanuel saanane anasema ujenzi wa daraja hilo umegharimu shilingi milioni mia moja na arobaini na nne sifuri saba saba fedha hizo zilitolewa na serikali kupitia mpango wa usafirishaji vijijini bwana saanane anasema ujenzi huo umekwenda sambamba na ukarabati wa barabara ya lipembe kihungu na kizuka wilayani mbinga zenye urefu wa kilometa thebathini na mbili hali ambayo UNK wananchi wa kata ya mpepai kusafirisha mazao yao kwa urahisi anasema daraja hilo ambalo UNK wilaya za songea vijijini na mbinga UNK mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na mia tisa na tisini ambapo tangu wakati huo halikufanyiwa matengenezo jambo ambalo lilisababisha wananchi wakose mawasiliano anafafanua kuwa mtandao wa barabara za wilayani mbinga zina urefu wa kilometa mbili mia nne na hamsini na nne anasema barabara zenye urefu wa kilometa thebathini sifuri zimetengenezwa kwa kiwango cha udongo na changarawe kwa kipindi cha mwaka ishirini sifuri nane hadi mwaka ishirini sifuri tisa na kwamba jumla ya madaraja kumi na saba yamekamilika katika kipindi hicho akizungumzia barabara za mbinga mjini bwana saanane anaeleza kuwa halmashauri imetengewa fedha kutoka katika mfuko wa barabara wa maendeleo shilingi milioni mia moja na hamsini kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya lami yenye urefu wa kilometa moja kwa kuona umuhimu wa kuboresha barabara hizo kilometa tisa zilizobaki zitawekwa lami ambapo fedha za ujenzi huo UNK na vyanzo vya mapato ruzuku na mfuko wa halmashauri anasema hadi kufikia desemba ishirini moja sifuri barabara zenye urefu wa kilometa katika mji wa mbinga zitakuwa zimetengenezwa kwa kiwango cha lami anafafanua kuwa halmashauri ya wilaya hiyo imetenga shilingi milioni hamsini na tisa kwa ajili ya miundombinu ya taa za barabarani katika mji wa songea ambapo uwekaji wa taa hizo utaanza septemba na kukamilika oktoba mwaka huu bwana saanane anasema taa hizo zitawekwa katika mitaa yote ya barabara za mji huo ambapo kwa kiasi kikubwa zitasaidia kupunguza vitendo vya uharifu vinavyofanywa na baadhi ya vijana hasa nyakati za usiku juhudi UNK na uongozi wa halmashauri hiyo ni vyema zikawa endelevu ili miundombinu na miradi mingine iweze kutekelezwa kwa viwango vinavyotakiwa kwa lengo la kuharakisha maendeleo na kukuza uchumi kwa upande wa wananchi ni vyema wakashiriki kuilinda miundombinu hiyo ambayo itarahisisha utekelezwaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo watendaji wa halmashauri zote nchini wanapaswa kuwa na utamaduni wa kuwasomea wananchi mapato na matumizi ya fedha za miradi husika inayotekelezwa kwani kwa kufanya hivyo UNK malalamiko yasiyo ya lazima miongoni mwa jamii UNK kamati za maji wananchi kulinda miundombinu hiyo asisitiza msimamo wa serikali kumaliza kero ya maji mijini vijijini sekta ya maji nchini ina umuhimu wa pekee katika kuharakisha maendeleo kiuchumi na kijamii ni wazi kuwa uhai wa viumbe vyote duniani hutegemea sekta hiyo ambayo ambayo kuimarishwa kwake UNK msukumo na kuharakisha maendeleo ya wananchi na taifa kwa ujumla kwa kutambua umuhimu huo serikali imekuwa ikifanya jitihada mbalimbali za kutafuta wafadhili ambao UNK miradi mbalimbali ya maji ili jamii kubwa iweze kunufaika na huduma ya maji safi na salama katika maeneo yao mpango mkakati wa wizara ya maji na umwagiliaji ni kuhakikisha kuwa huduma ya maji safi na salama inawafikia wananchi kwa lengo la kustawisha ubora wa huduma mbalimbali ambazo ustawi wake unatokana na huduma bora ya maji dira ya taifa ya mwaka ishirini sifuri tano inalenga kuinua hali ya maisha ya wananchi kwa kuwa na utawala bora unaozingatia sheria na uchumi imara ambapo malengo ya dira hiyo ni kupunguza umaskini kuwa na chakula cha kutosha afya bora na kuwa na UNK endelevu maji ni moja ya nyenzo muhimu katika kufikia malengo hayo wiki iliyopita waziri wa maji na umwagiliaji profesa mark mwandosya alizindua awamu ya kwanza ya mradi mkubwa wa maji UNK na serikali ya UNK uzinduzi huo ulifanyika kwenye kijiji cha kitomondo wilaya ya kibaha mkoani pwani jumla ya shilingi bilioni saba sabini na moja zimetumika katika kufanikisha mradi huo ambazo ni gharama za ujenzi na UNK awamu ya kwanza ya mradi huo UNK wilaya ya kibaha bagamoyo temeke UNK na UNK akizungumza na wananchi wa kijiji cha kitomondo profesa mwandosya anasema katika awamu ya kwanza ya mradi huo visima kumi na mbili UNK na kufungwa pampu za mkono katika vijiji vinne ambavyo ni UNK minazi mikinda UNK na UNK anasema visima vingine saba UNK pampu zinazoendeshwa kwa umeme kwenye miradi ya maji ya bomba katika vijiji saba ambavyo ni kibindu minazi mikinda kitomondo mjimwema UNK kibugumo yaleyale UNK na UNK UNK anafafanua kuwa lengo la mradi huo ni kuboresha hali ya upatikanaji wa maji safi na salama kurahisisha upatikanaji wake na kuhakikisha kuwa miradi hiyo inasimamiwa na wananchi wenyewe kupitia kamati zao za maji baada ya kupewa mafunzo yanayohusu uendeshaji na UNK profesa mwandosya ambaye pia aliweka jiwe la msingi ili kuzindua awamu ya pili ya mradi huo UNK kukamilika machi kumi na tano ishirini moja sifuri anasema mradi huo utahusisha uchimbaji visima ambavyo vitafungwa pampu za umeme kwenye miradi ya ya maji ya bomba katika vijiji saba UNK vijiji hivyo kuwa ni UNK mwandege UNK UNK morogoro mfuru mwambao UNK kitunda kivule na msongola katika wilaya ya mkuranga na ilala anasema awamu ya pili ya mradi pia itahusisha uchimbaji wa visima ambavyo vitafungwa pampu za mkono katika vijiji vitatu vya kitunda kivule kitunda mzinga na pugu UNK wilayani ilala mradi huu utagharimu kiasi cha shilingi bilioni kumi sabini na sita ambazo ni pamoja na gharama za ujenzi na usimamizi ambapo zaidi ya watu thebathini na nane sifuri sifuri sifuri watanufaika na mradi huu mkandarasi wa mradi ni kampuni ya UNK na mhandisi mshauri ni earth system UNK co ltd zote za nchini japani anasema profesa mwandosya anaongeza kuwa ushiriki wa wanachi katika usimamizi wa miradi hiyo ni jambo la msingi ili kuboresha ustawi wa huduma ya maji katika maeneo yote yaliyohusishwa na mradi huo njia pekee ya kuilinda na kusimamia miradi hiyo ni kutumia mbinu UNK mbinu hizo zitasaidia kufanikisha malengo ya dira ya taifa ya kuondoa umaskini ambapo asilimia tisini ya wananchi waishio vijijini watakuwa wamepata huduma ya maji safi na salama ifikapo mwaka ishirini mbili tano mafanikio hayo UNK endapo miradi iliyojengwa itasimamiwa kikamilifu na wananchi wenyewe anaongeza kuwa sheria mpya ya huduma za maji ya mwaka ishirini sifuri tisa UNK majukumu mengi ya usimamizi wa miradi ya maji kwenye ngazi ya halmashauri majukumu hayo ni pamoja na usajili wa vyombo vya watumiaji maji UNK kisheria na utunzaji wa miundombinu ya maji anafafanua kuwa ushiriki mkubwa wa wanawake katika uongozi wa kamati husika za maji ni jambo la msingi na muhimu wananchi wenye tabia ya kuharibu miundombinu ya huduma ya maji UNK ustawi wa miradi ya maji anasema biashara ya vyuma chakavu ni kikwazo cha maendeleo ya sekta hiyo kufikia malengo yanayokusudiwa kufuatia baadhi ya wananchi kunggoa mabomba ya maji na kwenda kuyauza kama vyuma chakavu ni wajibu wa kila mwananchi kulinda na kusimamia miundombinu ya maji viongozi katika ngazi zote wahakikishe kila kijiji kinakuwa na kamati za maji ambazo zitafanya kazi ya uhamasishaji na uandaaji wa mikakati juu ya msimamizi wa miradi hii anasema anasema wananchi wa maeneo ya pembezoni mwa mkoa wa dar es salaam nao UNK na mradi huo balozi wa japani nchini bwana hiroshi nakagawa anasema mpango mkakati wa serikali yake ni kuharakisha maendeleo ya sekta mbalimbali nchini ili kuboresha ustawi wa maisha ya wananchi katika maeneo mbalimbali anasema kukamilika kwa awamu ya kwanza ya mradi huo kutapunguza kero iliyokuwa ikiwakabili wananchi katika vijiji UNK na mradi ambao maisha yao yalikuwa hatarini kutokana na usalama mdogo wa maji waliyokuwa UNK na maeneo waliyokuwa UNK anasema nchi yake bado itaendelea kuisaidia tanzania ambayo imeonesha kupiga hatua kubwa ya maendeleo ya sekta mbalimbali hususan ya maji ili kustawisha ubora wa huduma mbalimbali za kijamii mkuu wa wilaya ya kibaha bibi halima kihemba aliishukuru serikali ya japani kwa msaada wao mkubwa katika kustawisha huduma mbalimbali wilayani humo ili kuharakisha maendeleo ya wananchi na kukuza uchumi wa taifa kwa upande wake mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya kibaha bwana festo UNK anasema suala zima la uendeshaji na matengenezo katika awamu zote za mradi zitafanywa na wananchi wenyewe kupitia kamati zao za maji mwenyekiti wa kamati ya maji katika kijiji cha kitomondo bwana juma UNK anasema kabla ya ujenzi wa mradi huo wananchi mbalimbali kijijini hapo na vijiji jirani walikuwa wakikabiliwa na changamoto ya matatizo mbalimbali yaliyochangiwa na ukosefu wa huduma ya maji safi na salama changamoto hizo ni pamoja na ugonjwa wa kuhara na kipindupindu kutokana na kutumia maji ya mto ruvu ambayo si salama hivyo kuzinduliwa kwa mradi huo ni kielelezo cha ukombozi wa huduma nyingi za kijamii kuzipata katika ubora unaotakiwa ni asasi ya kiraia UNK vijana bagamoyo na edgar UNK kuanzishwa kwa asasi mbalimbali za kijamii kumesaidia kupunguza matatizo mbalimbali yanayoikabili jamii kubwa ambayo ilipoteza mwelekeo kutokana na ugumu wa maisha nyingi kati ya asasi hizo ni zile za kiraia ambazo zimekuwa zikitekeleza majukumu yake katika ngazi ya mtaa na kata kwa kusomesha watoto wanaoishi katika mazingira magumu na kusaidia UNK miongoni mwa asasi zilizoanzishwa kwa lengo la kukabilina na matatizo mbalimbali yaliyopo katika jamii ni ile ya mkombozi nggo yenye makao yake makuu mjini bagamoyo katika kata ya magomeni asasi hiyo imekuwa ikijiendesha kwa ushirikiano wa pamoja na serikali jamii na wadau wa mashirika mbalimbali yaliyopo ndani na nje ya nchi katibu wa asasi hiyo bwana jumanne salum anasema asasi hiyo ilianzishwa kwa lengo la kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu au hatarishi na kutoa elimu ya haki za watoto kwa kuhakikisha kuwa elimu hiyo inawafikia mahali walipo mengine ni kuwawezesha vijana walio mashuleni na nje ya shule katika masomo ya stadi za maisha ili kupunguza mimba za utotoni kwa watoto wa kike kutoa elimu itakayosaidia kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi na kuwajenga UNK anasema katika kutekeleza majukumu yake asasi hiyo imejiwekea mpango kazi wake ambao ni kutoa vifaa vya shule na kulipia ada watoto UNK katika mazingira magumu mpaka hivi sasa jumla ya vijana ishirini wanaendelea kunufaika na mpango huo bwana salum anasema mikakati mingine ya asasi hiyo ni kuwawezesha na UNK vikundi vitano vya wajasiriamali mafanikio yaliyofikiwa mpaka sasa ni pamoja na kushawishi na kuhamasisha kuundwa kwa vikundi vitatu vya vijana UNK ambavyo ni nyota njema group nguvu kazi na wakulima wa UNK zaidi ya vijana kumi sifuri wamefikiwa na asasi hii kwa kupatiwa elimu ya stadi za maisha ambapo vijana sabini wapo mashuleni na vijana thebathini ni wale wasiokuwa mashuleni anasema bwana salum anasema asasi hiyo UNK kutoa elimu ya haki za watoto kwa wawazi na walezi wapatao tisini katika kaya thebathini ambapo kwa idadi hiyo wamefanikiwa kufikia malengo waliyojiwekea kati ya vijana ishirini UNK na asasi hiyo wanapatiwa mahitaji mbalimbali ambayo ni pamoja na sale za shule viatu madaftari soksi mabegi kalamu za UNK na ada shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri pamoja na gharama za uji zinazofanana na kiasi hicho kwa kila mtoto mmoja bwana salum anasema pamoja na gharama hizo asasi hiyo UNK madawati kwa watato watatu yenye thamani ya shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri changamoto zinazowakabili ni wazazi au UNK UNK haki za watoto wao wazazi hao wanathamini ngoma kuliko elimu ambapo UNK za masomo zipo juu kuliko uwezo wa mzazi au UNK mikakati ya asasi kwa siku za badae ni kutafuta wafadhiri ili waweze kuzifikia kata nyingine zilizopo mjini bagamoyo ambazo ni UNK na UNK pamoja na kuwafikia vijana thebathini sifuri na kuwapa elimu ya stadi za maisha ili kupunguza athari za mimba za utotoni na maambukizi ya virusi vya ukimwi mingine ni kuanzisha na kufungua klabu katika kijiji cha UNK na magomeni kwenye shule ya UNK na kuziwezesha kaya mia moja na ishirini kwa kuwapa elimu ya haki za watoto bwana salum anafafanua kuwa asasi hiyo UNK michango ya wafadhili mbalimbali ili iweze kutumika kwa ajili ya kuisaidia jamii inayoishi katika mazingira magumu na kutoa elimu kwa vijana kama njia moja wapo ya kupambana na umasikini uliopo katika jamii anasema kwa kushirikina na serikali wahisani na wadau wengine watafanikiwa kuijenga jamii inayoheshimu maadili ya kitanzania mwaka ishirini sifuri nane waziri mkuu bwana mizengo pinda alifanya ziara katika mikoa sita nchini inayozalisha mazao ya chakula kwa wingi ambapo katika ziara hiyo alitembelea mkoa wa mbeya ambao pia unazalisha mazao hayo kwa wingi katika ziara hiyo bwana pinda UNK suala zima la kilimo bora chenye tija na kutembelea mashamba mbalimbali ya mfano kwa kilimo na uzalishaji bora mashamba hayo ni pamoja na lile linalomilikiwa na shirika kilimo uyole na baadhi ya mashamba ya wakulima binafsi katika bonde la uyole ambako alishuhudia jitihada za wakulima katika uzalishaji zao la UNK bwana pinda alisisitiza utekelezaji wa azimio la serikali lenye kauli mbiu ya kilimo kwanza na kuwahamasisha wananchi kuwekeza kwenye kilimo ili kujipatia kipato na kujikwamua kiuchumi wakulima katika maeneo mengi nchini walihamasika kwa kujihusisha na kilimo bora cha kisasa na kuzalisha mazao bora yaliyotokana na uwepo wa ardhi yenye rutuba na uwezo wa kupokea mbegu bora UNK kitaalamu matunda ya mbiu hiyo huonekana kutokana na uzalishaji wenye tija kwa mazao ya chakula na biashara ambayo mkulima anahitaji kunufaika na kujiongezea kipato na hivyo kumudu kuendesha maisha yake asilimia themanini ya watanzania wanaishi vijijini kwa kutegemea kilimo ili kuendesha maisha yao ambapo uzalishaji wa mazao ya kilimo wenye tija ndio njia pekee itakayosaidia wakulima hao kuthamini kilimo na hivyo kwenda sanjari na mbiu hizo za serikali awali serikali kupitia wizara ya kilimo ilianzisha kampuni ya kuzalisha mbegu bora za kilimo tanseed ambayo UNK baada ya kusimama kuzalisha mbegu hizo mwaka ishirini sifuri sifuri na hivyo kutoa fursa kwa kampuni nyingine binafsi kuanza kuzalisha mbegu hizo kufa kwa kampuni ya tanseed UNK serikali kutoa kibali cha kuanzishwa kwa kampuni binafsi ya UNK ya highland seed growers ili kuziba pengo lililoachwa na kampuni ya tanseed mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na mia tisa na sabini baadhi ya mikoa ya kusini hususan lindi na mtwara ilikumbwa na janga la njaa ambapo uzalishaji katika baadhi ya mikoa maarufu inayozalisha mazao ya chakula kwa wingi UNK na kuifanya serikali kutafuta mbinu mbadala ya kuongeza uzalishaji wa mbegu bora kwa kutumia kilimo cha kisasa kampuni pekee UNK na serikali katika uzalishaji UNK kuzalisha mbegu hizo na hivyo kuwaacha wakulima njia panda kwa kukosa mbegu ambazo waliamini kuwa ndio ufumbuzi wa tatizo linalochangia upatikanaji wa mazao machache shambani mikoa ya iringa mbeya rukwa na ruvuma ndiyo ilikuwa mikoa pekee iliyokuwa tegemeo la uzalishaji wa mazao ya chakula nchini hivyo fursa ya uzalishaji wa mbegu bora ilikuwa njia pekee kwa wakulima wa mikoa hiyo kuzalisha chakula kwa wingi katika ziara yake bwana pinda alipata fursa ya kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa mbegu bora za kilimo cha kampuni ya highland seed growers kilichopo eneo la sido jijini mbeya kiwanda hicho ni moja ya kampuni chache zilizojitokeza kuziba pengo la kampuni ya tanseed bwana pinda alijionea namna ambavyo kampuni hiyo UNK mbegu bora kwa kutumia mitambo ya kisasa ambapo alivutiwa na utaalamu unaotumiwa katika uzalishaji na kuhamasisha kampuni nyingine kuiga mfano wa kampuni hiyo ili kuisaidia serikali katika harakati zake za kuboresha kilimo nchini kiwanda hicho kinazalisha mbegu tani ishirini hadi thebathini na tano kwa siku ambapo mbegu inayozalishwa kwa msimu huu hupandwa katika msimu ujao wa kilimo katika kipindi cha miaka sita ya uwepo wa kampuni hiyo katika uzalishaji wa mbegu bora za kilimo imefanikiwa kuzalisha tani moja mia saba na ishirini na saba kwa uwiano wa uzalishaji wa kiwango cha kuanzia tani kumi na tano katika msimu wa kilimo mwaka ishirini sifuri nne sifuri tano hadi tani themanini sifuri kwa msimu wa kilimo mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa ambapo matarajio ni kufikia uzalishaji wa tani tano sifuri sifuri sifuri kiwango hicho cha uzalishaji ni nyongeza ya tani moja hamsini sifuri zinazotarajiwa kuzalishwa kwa msimu wa kilimo mwaka ishirini sifuri tisa kumi ambapo makusudio ni kuzalisha zaidi ya tani saba sifuri sifuri sifuri kwa miaka mitano ijayo mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo bwana justin mwiga anasema wakulima katika mikoa ya nyanda za juu kusini bado UNK mkubwa ya mbegu bora za kilimo na pembejeo anasema tangu kuanzishwa kwa kampuni hiyo mahitaji ya uzalishaji mbegu yamekuwa yakiongezeka kila msimu hasa kwa kuzingatia kuwa nusu ya mbegu za mazao zinazozalishwa zinatoka katika mikoa ya nyanda za juu kusini ambayo ni iringa mbeya rukwa na ruvuma bwana mwiga anasema kuwa kampuni hiyo inazalisha mbegu zinazotoka mashamba yaliyopo nchini ambapo ardhi yake inawiana na mbegu zinazozalishwa badala ya kuagiza mbegu kutoka nje ya nchi kwa kutumia jitihada binafsi kampuni hiyo imeweza kuwafikia wakulima wa mikoa ya nyanda za juu kwa uwezo wake anaongeza kuwa pamoja na jitihada hizo bado wakulima katika maeneo hayo wameonesha uhitaji mkubwa wa mbegu bora kutokana na kiwango UNK katika mikoa hiyo na wilaya husika kutokidhi mahitaji hali hiyo inaonesha kuwa kuna mwamko kwa wakulima wa mikoa hiyo baada ya kuona manufaa ya matumizi ya mbegu bora zinazozalishwa na kampuni hiyo tumeona kuwa kiwango cha uzalishaji kwa sasa UNK kutokana na mwamko wa wakulima kwani kila UNK katika msimu kiwango cha uzalishaji UNK kabisa mahitaji ya wakulima anasema bwana UNK anafafanua kuwa pamoja na kuwepo kwa tatizo la mbegu bora kushindwa kuwatosheleza wakulima wote UNK kuwafikia wakulima wa mikoa sita ukiwemo mkoa wa morogoro na kigoma ambayo UNK na mikoa minne ya nyanda za juu kusini anasema uwezo binafsi wa kampuni hiyo ndiyo uliofanikisha kuwafikia wakulima wachache katika mikoa husika kulingana na mahitaji ni imani yangu kuwa iwapo serikali UNK kuipatia ruzuku kampuni yetu tatizo la mbegu kwa wakulima UNK na hivyo kupunguza tatizo la chakula kwa baadhi ya mikoa yenye ardhi UNK tumefanya juhudi mbalimbali za kuhakikisha UNK mahitaji ya mbegu kwa wakulima UNK orodha yao kutoka halmashauri za wilaya na miji hivyo kama tukiwezeshwa tunaweza kuwafikia wakulima wengi zaidi ya wale UNK anasema bwana mwiga anasema kwa msimu wa kilimo mwaka ishirini sifuri tisa kampuni hiyo imefanikiwa kusambaza mbegu za mahindi zaidi ya tani mia moja na ishirini na nane aina ya UNK kwa uwiano wa tani arobaini na mbili sifuri mbili katika mkoa wa iringa ruvuma tani thebathini ishirini sifuri mbeya kumi na tano elfu nne na mia saba na hamsini na rukwa arobaini na moja mia moja na ishirini jumla ya tani zote ni mia moja na ishirini na nane mia nane na kumi na tano anasema kampuni hiyo ina uwezo wa kuzalisha kiasi chochote cha mbegu ambacho UNK isipokuwa haina uwezo wa ziada zaidi ya uwezo binafsi ambao UNK kuwafikia wakulima wa mikoa sita ili kufikia malengo ya uzalishaji ambayo ni tani hamsini sifuri sifuri kwa mwaka zinahitajika nguvu za ziada kutokana na ruzuku ya serikali anaongeza kuwa kwa sasa kampuni hiyo inazalisha mbegu za nafaka aina ya mahindi chotara na zile za kawaida kulingana na jiografia na uhitaji wa ardhi ya eneo husika pia huzalisha huzalisha mbegu za mazao ya alizeti mtama na ufuta ambapo kwa siku za badae wana mpango wa kuzalisha mbegu za mpunga maharage na UNK kampuni hiyo inapata mbegu kupitia mashamba ya taasisi za kiserikali kama jeshi la magereza na jkt mbegu nyingine wanazipata kwa watu binafsi na mashirika dini anasema iwapo serikali serikali itatia mkono wake kwa kuipa ruzuku kampuni hiyo UNK taasisi hizo ambazo ziko nchi nzima upatikanaji wa mbegu bora za kilimo nchini UNK iwapo serikali itaona umuhimu wa kushirikiana na kampuni binafsi ili kuongeza ustawi wa mazao ya chakula na biashara pamoja na kuimarisha sekta ya kilimo ili kuzalisha mazao bora kuinua maisha ya wakulima na kukuza uchumi anasema serikali kwa kuthamini mchango wa kampuni hiyo kwa wakulima wa mikoa ya nyanda za juu kusini septemba nne kumi na nane mwaka huu wataalamu wa kampuni hiyo waliambatana na bwana pinda katika ziara ya mafunzo kwenye nchi za mashariki ya mbali nchi hizo ni korea indonesia na india ambapo ziara hiyo pia ilihusisha maofisa wa serikali kutoka wizara ya kilimo ili kupata mbinu mpya za kitaalamu hususan kuhusu uzalishaji wa mbegu bora na ushirikiano wa karibu baina ya serikali na sekta binafsi bwana mwiga anasema kampuni hiyo inategemea pia ushirikiano mkubwa UNK kwa wafanyakazi wake ambapo uwepo wa kampuni hiyo umesaidia kupunguza kupunguza tatizo la ajira katika sekta ya kilimo anasema kama mkulima atafuata taratibu za kitaalamu kwa kutumia mbegu bora ataongeza uzalishaji wa mazao ziara nyingine za kimafunzo zilizofanywa na kampuni hiyo ni ile ya nchini uganda mwaka ishirini sifuri tano na afrika kusini mwaka ishirini sifuri sita ambako wataalamu wake waliweza kujifunza mbinu mbalimbali za kilimo bora na uzalishaji wa mbegu kitaalamu kama umwagiliaji utafiti na zana za kilimo bwana mwiga anasema matarajio yao ya badae ni kuwa na kiwanda kikubwa chenye uwezo unaokidhi mahitaji ya uzalishaji kwa wakulima nchi nzima hivi sasa wana eneo lenye ukubwa wa hekari tatu na nusu ambalo lipo UNK UNK kugharimu shilingi bilioni tatu kampuni hiyo ilipata tuzo ya uzalishaji bora wa mbegu za kilimo kwa mikoa ya nyanda za juu kusini na kuwa washindi wa kwanza kwa miaka mitatu mfululizo katika maonesho ya kilimo yanayofanyika kila mwaka mkoani mbeya kilio cha wananchi ni uporaji wa rasirimali unyanyasaji na stephano mango katika hotuba iliyosomwa na rais jakaya kikwete kwa wananchi UNK mwa mwaka huu UNK mambo mengi likiwemo suala la uwekezaji na maendeleo ya sekta mbalimbali nchini rais kikwete aliwaeleza wnanchi kuwa mwaka huu wa ishirini sifuri tisa serikali itaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji ili kuvutia wawekezaji wengi zaidi wa ndani na nje alifafanua kuwa UNK na taarifa UNK kuwa mazingira ya uwekezaji nchini bado UNK vya kutosha aliongeza kuwa jambo linalomsumbua ni kuanza kujengeka kwa dhana ya kwamba tanzania inaanza kupoteza sifa kwa wawekezaji ambao wangependa kuwekeza nchini rais kikwete aliendelea kusisitiza kuwa UNK kuanzisha kitengo maalum cha kusikiliza malalamiko ya wawekezaji na kuyatafutia ufumbuzi alimalizia na kusema kuwa kitengo hicho UNK chini ya ofisi ya katibu mkuu kiongozi kazi kubwa ya kitengo hicho ni kutatua kwa haraka malalamiko ya wawekezaji ni wazi kuwa tanzania kama zilivyo nchi nyingine zinazoendelea duniani kwa miaka mingi imekuwa UNK wawekezaji kutoka nje ya nchi kwa kuthibitisha hilo serikali imetumia rasilimali nyingi zikiwemo fedha na watu katika kuhakikisha kuwa wawekezaji kutoka nje ya wanahamasishwa na kuja kuwekeza UNK sekta mbalimbali nchini mazingira hayo ndiyo yaliyosababishwa kutungwa kwa sera na sheria nyingi kufanyiwa marekebisho ili wawekezaji wasipate vikwazo vyovyote katika shughuli zao ni wazi kuwa aina ya uchumi UNK kuujenga kimsingi ni uchumi wa kibepari UNK na soko UNK uwekezaji sio jambo baya kwa faida ya nchi na wananchi wake jambo la msingi kuwepo na usimamizi usimamizi mzuri wa rasilimali kwa kuzingatia uzalendo na maslahi ya nchi ili kuendana na matakwa ya soko huria serikali imekuwa ikitangaza rasirimali na vivutio vilivyopo nchini kwa wawekezaji ili waweze kuja kuwekeza katika katika sekta mbalimbali kama misitu uvuvi miundombinu madini na utalii tangu nchi yetu UNK na sera ya ujamaa na kujitegemea na kukumbatia sera za kibepari zinazozingatia soko huria uporaji wa rasilimali za nchi umekuwa ukiongezeka kwa kasi kubwa hali hiyo imetokana na ukosefu wa uzalendo wa kweli katika maslahi ya nchi ndio maana nchi tajiri duniani zimekuwa zikitumia vishawishi na fursa mbalimbali UNK nchi masikini kwa visingizio mbalimbali na kivuli cha utandawazi viongozi wetu wamekuwa mstari wa mbele kuwakaribisha wawekezaji wasio na tija kwa kujua au kutokujua wawekezaji hao wanakuja kuigawa nchi yetu kimsingi uwekezaji una maana ya kuingiza mtaji katika nchi husika kutoka nchi nyingine ambapo UNK hiyo UNK katika sekta mbalimbali miongoni mwa sekta hizo ni pamoja na viwanda mitambo na zana zingine ambazo ni muhimu katika kuendesha biashara kama utoaji wa huduma za kibiashara au uzalishaji bidhaa ni dhahiri kuwa kampuni nyingi za kimataifa UNK katika nchi mbalimbali duniani kwa namna moja au nyingine nakubaliana na rais kikwete kwa kauli yake kuwa uwekezaji ndiyo chachu ya ukuaji wa uchumi bado nina mashaka makubwa kutokana na aina ya uwekezaji uliopo nchini kwa kuwa tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa wawekezaji wanaokuja kuwekeza tanzania ni wababaishaji na ambao kimsingi wanakuja UNK kwa kutumia mbwembwe katika sekta mbalimbali huku wakionesha upungufu katika kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa mfano mzuri juu ya hili kampuni ya rites kutoka nchini india ambayo imewekeza katika shirika la reli tanzani ambalo hivi sasa UNK kama kampuni ya reli tanzania kampuni hiyo imeonesha ubabaishaji mkubwa hali inayosababisha watu wenye fikra za UNK na uzalendo wa nchi yao kuhoji uhalali wa kampuni hiyo kuendelea kuwepo pasipo mkataba wake UNK ni mara kadhaa menejimenti ya trl imeshindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wake na kusababisha mgogoro mkubwa kati ya wafanyakazi na menejimenti kitendo cha menejimenti ya trl kushindwa kulipa mishahara ya wafanya kazi wake serikali ilibeba jukumu la kuwalipa wafanyakazi hao mara tatu kwa nyakati tofauti kitendo cha serikali kutumia zaidi ya shilingi bilioni nne kuwalipa wafanyakazi kampuni hiyo UNK wananachi wengi kwa sababu sio wajibu wa serikali wawekezaji hao wamekuja kuwekeza kitu gani watu makini lazima wahoji uhalali wa serikali kuukumbatia uwekezaji wa aina hiyo badala ya mkataba na kuwafukuza wawekezaji hao ni wazi kuwa mwekezaji huyo ameshindwa kuwekeza maana ya uwekezaji ni kuingiza mitaji au kuwa na mitaji na kuwekeza katika eneo husika kitendo cha mwekezaji kushindwa kuwalipa wafanyakazi wake kimepoteza sifa na kimedhihirisha uwezo wake mdogo wa kuendelea kuwekeza serikali haipaswi kukumbatia uwekezaji wa aina hiyo kwa kuwa sio wajibu wake kumsaidia mwekezaji ili aweze kuendesha shughuli zake kimsingi mwekezaji anapaswa kuzingatia matakwa stahiki yaliyopo kwenye mkataba pamoja na kuleta mabehewa mapya ya treni na vichwa vyake badala ya kupaka rangi tufike mahali wawekezaji wa ndani waanze kupewa kipaumbele badala ya kuabudu na UNK wawekezaji kutoka nje inashangaza kuona mwekezaji UNK kodi au kupunguziwa kodi kwa muda fulani bila sababu za msingi na hasa kwa nchi masikini kama tanzania kimsingi ubepari ni mfumo uliojikita kakika kutafuta faida mahali popote duniani ikiwa ndio sababu ya uwekezaji kutoka nje ubepari ni mfumo wa kiuchumi UNK nchini na asilia yake ni ulaya malengo ya wawekezaji wengi ni kufanya biashara ambapo siku faida hizo zikiisha UNK tena wakiendelea kuwekeza nchini ni muhimu wawekezaji UNK kodi stahiki na sio kuwasamehe fedha hizo UNK zingeweza kulisaidia taifa husika kuboresha maisha ya wananchi na miundombinu imara watanzania wanahitaji matumizi bora ya rasilimali zao ambazo UNK maisha yao kiwango cha uwekezaji kinapaswa kuendana na ukuaji wa uchumi uzalishaji biashara ya ndani biashara ya kimataifa na kuleta maendeleo katika eneo husika ni muhimu kwa rais kikwete kutambua kuwa matakwa yake ya kuboresha mazingira ya uwekezaji na kuwavutia wawekezaji UNK sambamba na kukua kwa uchumi na maendeleo ya wananchi mkakati wa rais kikwete wa kutaka kuanzisha kitengo maalumu cha kusikiliza malalamiko ya wawekezaji na kuyatafutia ufumbuzi hakina umuhimu mkubwa kwani ipo taasisi maalumu inayoshughulika na masuala ya uwekezaji ambayo ni kituo cha uwekezaji tanzania kama kuna upungufu wa kiutendaji ndani ya kituo UNK ni vyema UNK ili UNK na mahitaji UNK UNK wamechoka kuvumilia vitendo vya kudhulumiwa rasilimali zao na unyanyasaji wanaofanyiwa na wawekezaji kitendo cha wananchi wa tarime mkoani mara kuthubutu kuvamia mgodi wa north mara na kuchoma moto mali za kampuni ya barrick zenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni kumi na sita na kutaka kupora mchanga wa dhahabu ili UNK sio kitendo kizuri pamoja na wananchi hao kufanya kosa la jinai ni wazi kuwa kitendo hicho kimetoa ujumbe kwa UNK wakati umefika kwa serikali kufuatilia ahadi na makubaliano ya wawekezaji katika kutoa huduma za jamii kama ujenzi wa barabara hospitali shule visima na huduma nyingine serikali UNK utu wa wananchi waliopo katika maeneo ya UNK na uwekezaji uzoefu unaonesha kuwa haki za raia wengi UNK kwa sababu ya wawekezaji ambao kimsingi hawana msaada wowote katika maisha ya wananchi malalamiko mengi ya wananchi UNK na viongozi wa serikali matokeo yake ni kusambaa kwa chuki kwa wenyeji na wawekezaji hali imesababisha wenyeji kuishi kwa mashaka na kujengeka kwa dhana ya kulipiza kisasi kutokana na mateso wanayopata katika nchi yao na kujifananisha na wakimbizi ni muhimu serikali UNK wawekezaji wababaishaji walioshindwa kutekeleza makubaliano ya mikataba yao na hivyo kuongeza umasikini badala ya kuboresha UNK ya wananchi mikakati UNK kulifanya UNK kwa wingi katika miaka ya hivi karibuni kilimo cha zao la uyoga kimeanza kujipatia umarufu mkubwa pamoja na kukuza kwa soko lake awali watanzania walio wengi UNK umuhimu wa zao hilo ambalo wanasayansi na watafiti mbalimbali UNK ubora wake matumizi ya zao hilo ni muhimu katika kutibu maradhi mbalimbali wananchi mbalimbali UNK kama mboga ambapo katika kipindi cha mvua uyoga huota kwa wingi katika maeneo ya porini au kwenye UNK uyoga ni mmea aina ya UNK UNK na mimea mingine kwa kukosa UNK ambazo ni chembechembe UNK mmea huo kujitengenezea chakula kwa kutumia hewa ya carbon dioxide na mwanga zao hilo hutumia chakula UNK na mimea au wanyama mfano mzuri ni uyoga wa kienyeji ambao huota wenyewe mashambani na kwenye misitu na hasa katika kipindi cha mvua kukiwa na masalia ya mazao ya msimu UNK ni dhahiri kuwa tanzania ina urithi mkubwa wa uyoga wa asili ambao UNK wenyewe porini au mashambani bila UNK uyoga huo UNK katika makundi mawili kuna ule UNK na ule wenye wenye sumu UNK UNK ulaji wa uyoga wenye sumu ni hatari kwa maisha ya binadamu ambapo kwa mara nyingi umekuwa UNK watu mbalimbali waliokula uyoga usiofaa kwa matumizi kutokana na uharibifu wa mazingira unaoendelea kukithiri nchini kama uchomaji wa misitu matumizi mbaya ya viuatilifu na mambo mengine kama hayo UNK uyoga wa asili kuendelea kuadimika siku hata siku kutokana na umuhimu wa zao hilo wadau mbalimbali wamejitokeza na kutoa elimu stahiki ili kuhakikisha kuwa kilimo cha uyoga kina sambazwa katika maeneo mengi nchini ili kulifanya zao hilo kuwa na thamani mbunge wa viti maalumu mkoa wa ruvuma mhandisi stella manyanya ni mkurugenzi mkuu wa asasi isiyo ya kiserikali inayojulikana kwa jina la better life tanzania iliyopo mjini songea ambayo inajishughulisha na kilimo cha uyoga na shughuli nyingine za UNK bibi manyanya anaeleza kuwa asasi hiyo kwa sasa inatekeleza mkakati wa kusambaza elimu ya kilimo cha uyoga katika maeneo mbalimbali nchini na kufafanua kuwa zao hilo linafaa kwa matumizi ya chakula bila kusubili msimu wa mvua na hivyo kupunguza tatizo la vifo vinavyotokana na ulaji wa uyoga wenye sumu UNK kienyeji porini kilimo cha zao la uyoga kinahitaji mtaji mdogo huongeza soko la ajira na unaweza UNK kwa ajili ya matumizi ya badae zao hili ni salama kiafya na kimazingira kwani hutumia takataka ambazo ni masalia ya uzalishaji na UNK viuatilifu na hivyo kupunguza uchafuzi wa mazingira anasema bibi manyanya mabaki hayo ya takataka ambayo hutumika kuzalishia uyoga ni chakula bora kwa mifugo na pia ni mbolea nzuri kwa mazao mengine mashambani kilimo cha uyoga kinaweza kulimwa na wakulima wadogo waishio mijini na vijijini ambao kipato chao ni kidogo anasema kilimo zao hilo ni tofauti na kilimo cha mazao mengine kama maharage na mtama kilimo hicho kinaweza kulimwa katika kipindi cha mwaka mzima na UNK wake ukawa mkubwa kutokana na maandalizi ya shamba na upandaji mzuri wa mbegu maandalizi mazuri ya kilimo cha uyoga yanahitaji zana za bora kilimo na kuandaa banda la UNK uyoga kuwa na mbegu ya zao husika mifuko ya plastiki na mahitaji mengine kwa kawaida uyoga UNK ndani ya banda ambalo linaweza kuwa la matofali udongo au UNK wataalamu wanashauri kwamba paa la mabanda hayo ni vyema UNK kwa nyasi kwa sababu bati husababisha mabadiliko ya hali ya joto mchana na usiku banda hilo linatakiwa UNK katika vyumba viwili chumba kimoja kinapaswa kuwa na madirisha madogo na mlango wa kuingilia uwe wa mita mbili x tatu chumba hiko kinatakiwa kuwa na giza UNK uyoga huo ukue na kuanza kutoa matunda uyoga hupenda kukua kwenye giza na joto chumba cha pili kinatakiwa kuwa na madirisha makubwa UNK kwa wavu wa mbu ili kuzuia wadudu UNK milango ya banda inatakiwa kufungwa wakati wote na hasa ile ya chumba cha giza endapo mkulima ameshindwa kuandaa chumba chenye giza anaweza UNK mifuko yenye mbegu za uyoga kwa kitambaa UNK uyoga kama mimea mingine una mbegu ndogo zisizoonekana kwa macho hadi UNK chombo maalumu kwa ajili ya kuziona na wakati mwingine mbegu za uyoga husambazwa kwa upepo endapo UNK vizuri mbegu za uyoga hutengenezwa katika maabara na taasisi za utafiti wa kilimo kama taasisi ya uyole mbeya na UNK UNK pamoja na shirika la utafiti na maendeleo ya viwanda tanzania ambalo linafanya utafiti wa kilimo cha uyoga kutengeneza mbegu na kutunza UNK UNK mbegu za uyoga husambazwa zikiwa ndani ya chupa ya kioo ikiwa imeandikwa aina ya mbegu na tarehe UNK endapo mkulima hayuko tayari kupanda mbegu hizo kwa muda huo inabidi UNK kwenye jokofu lenye baridi kati ya nyuzi joto nne mpaka nane na mbegu hizo zinaweza kukaa katika muda wa miezi miwili na baada ya hapo inaweza kupoteza ubora wake uyoga hupandwa kwenye mifuko ya plastiki kwa sababu wakati UNK unahitaji hewa ya oxygen na carbon dioxide nyingi ukubwa wa mifuko inayofaa ni ile inayoweza kuchukua kiasi cha kilo tatu mpaka nne au zaidi kwa upande wa mikoa yenye baridi kama arusha iringa mbeya na kilimanjaro ni muhimu kwa mkulima kujua aina ya mbegu anayotakiwa UNK kutokana na hali ya hewa iliyopo na namna ya kupata mbegu husika kuna njia kuu mbili za ulimaji wa zao hilo kwanza uyoga UNK kabla ya kujaza kwenye mifuko na ile ya pili ni kujaza kwenye mifuko na UNK mazalia ya mgomba mahindi na UNK mingine marufu kama vimeng enywa vinapaswa kuhifadhiwa sehemu kavu na safi wakati wote na viwe UNK na kupoteza UNK vimeng enywa vinapaswa kukatwa vipande vidogo vidogo ili viweze kuingia kwenye mfuko kwa urahisi na viweze kunyonya maji ya kutosha pia vinapaswa kujazwa kwenye kapu la waya au kiroba na UNK kwenye pipa la maji UNK kwa masaa UNK mpaka manne vimeng enywa UNK vina faida kuu mbili ambazo ni kuua vijidudu vyote ambavyo UNK ushindani wakati uyoga UNK kuwepo kwa vijidudu hivyo hufanya sehemu ya uyoga kuota kwenye mfuko na mavuno kuwa duni faida ya pili ni vimeng enywa vinatakiwa UNK ili uyoga uweze kupata chakula kwa urahisi mkulima anatakiwa awe makini katika kuhakikisha uwiano wa mbegu na vimeng enywa UNK madhara kwa mmea wa uyoga kwani UNK au kuweka mbegu kidogo au vimeng enywa kunaweza kusababisha mavuno kuwa kidogo ili uyoga uweze kuzaa UNK ubaridi unyevu na hewa UNK kuliko wakati wa UNK uvunaji wa uyoga unashika shina lake kwa vidole na kuzungusha pole pole huku UNK uvunaji wa uyoga UNK UNK mavuno UNK na uyoga hutegemeana aina ya vimeng enywa UNK aina ya mbegu kiwango cha usafi na mazingira UNK na UNK uyoga UNK ni vyema ukatumika kabla UNK ubora wake na endapo UNK mbali na eneo la uzalishaji mifuko laini ya plastiki inaweza ikatumika UNK iwapo UNK kwenye maduka ya kisasa au UNK wanunuzi wanapaswa kushauriwa UNK ya UNK bidhaa hiyo ili UNK ni wazi kuwa uyoga unaweza UNK kwa muda mrefu endapo UNK juani au kwenye UNK maalumu cha jua au UNK kwenye makopo kwa njia ya barafu katika sehemu nyingi uyoga UNK kama mboga na mapishi yake hutofautiana kutokana na matakwa ya UNK licha ya wengine kutumia uyoga kama UNK zao la uyoga hutumika kama chakula na dawa kwani una protini nyingi madini ya chuma UNK na UNK na hivyo kuwasaidia watu wenye matatizo ya moyo na wenye upungufu wa kinga mwilini hivi sasa kilo moja ya uyoga wenye kiwango bora huuzwa kati ya shilingi nne sifuri sifuri sifuri na shilingi saba sifuri sifuri sifuri kulingana na ubora wa zao na soko husika pamoja na faida wazipatazo UNK a bado zao hilo UNK ipasavyo nchini kama ilivyo katika nchi zingine kama afrika kusini na china bibi manyanya anafafanua kuwa wanawake wengi wamefurahia kilimo cha uyoga kutokana na kilimo UNK kuwa katika hali ya usafi na wanajitahidi kukuza zao hilo ili kuondokana na dimbwi la umasikini tunaishukuru kampuni ya bia tanzania na shirika la hifadhi ya jamii kwa UNK fedha katika ujenzi wa maabara ya kutengenezea mbegu ambazo zitatusaidia katika kuzalisha kwa wingi zao la uyoga na kuongeza idadi ya wakulima anasema pamoja na asasi hiyo kuwa na mikakati ya kukuza na kufanya zao la uyoga UNK pia wanajishughulisha na UNK pamoja na utengenezaji wa batiki ili kuwaongezea kipato wanawake bibi UNK haule ambaye ni msimamizi asasi hiyo anasema mpaka sasa kuna UNK themanini sifuri ambao ni katika kata zote za manispaa ya songea pamoja na wilaya za namtumbo mbinga na songea vijijini anasema umefika wakati wa serikali kuhamasisha kilimo cha uyoga ili kiweze kuwafikia wanawake wengi kutokana na UNK hiyo kutokuwa na uwezo wa kuwafikia wanawake wengi na mohamed kazingumbe kilimo cha pamba ni zao la kibiashara lenye umuhimu mkubwa kiuchumi katika nchi mbalimbali duniani kilimo hicho ni chimbuko la aina mbalimbali ya mavazi ambayo hupenda kutumiwa na wabunifu wa mitindo kutengeneza mavazi yenye UNK tofauti katika jamii zao la pamba hustawi katika maeneo yenye jua kali na mvua za wastani historia ya zao hilo inaonesha kuwa zipo faida nyingi zitokanazo na kilimo hicho katika jamii ikiwa ni pamoja na kutoa ajira mashambani faida nyingine ni upatikanaji wa nyuzi za kufumia nguo mbalimbali zitokanazo na zao hilo ambapo mbegu zake hutumika kuzalishia mafuta ya kula ambayo hutumika kwa kupikia na UNK yake ni malisho ya mifugo kama nggombe mbuzi kondoo punda farasi na mifugo mingine UNK na mwanamitindo bibi UNK ngonella anasema zao hilo UNK kuleta mapinduzi ya mavazi duniani anasema harakati za wana mitindo zimekuja kutokana na ukweli kwamba zao hilo linafaa kwa mavazi tofauti bibi UNK anasema wakulima wa zao hilo katika mikoa ya mwanza shinyanga dodoma manyara arusha na morogoro wanahitaji kuwezeshwa na serikali kwa kupelekewa pembejeo zitakazowasaidia katika kilimo cha zao hilo anasema ubora wa nyuzi za pamba ni pambo kubwa kwa wanawake na wanaume hususan katika mavazi ya kanga na UNK bibi ngonella anasema kwa kutumia vazi la batiki na kanga mteja wake bibi UNK UNK aliweza kushinda taji la miss sinza mwaka ishirini sifuri tano pamoja na zao hilo kuwa na umuhimu katika katika matumizi tofauti ustawi wake unategemea ardhi inayofaa kwa kilimo cha zao hilo wingi wa ulimaji unatofautiana kulingana na historia katika mkoa au eneo husika hivi sasa zao hilo UNK katika mikoa ambayo kihistoria haikuwa UNK na kilimo cha zao hilo lakini ardhi yake inafaa kwa kilimo hicho kama mikoa ya kusini ambayo ni mtwara lindi na ruvuma utafiti unaonesha kuwa zao hilo linaweza UNK katika mikoa mbalimbali nchini zao hilo hustawi katika maeneo yenye joto na mvua za wastani ambapo karibu mikoa yote ya tanzania ina sifa zinazokidhi mahitaji ya zao hilo tatizo lililopo ni mazoea ya wakulima wenyewe kujihusisha na kilimo hicho utamaduni ambao UNK katika sekta ya kilimo nchini unaonesha kuwa zao la pamba lilikuwa UNK katika mikoa ya kanda ya ziwa pekee kahawa mikoa ya kaskazini minazi mikoa ya pwani ya bahari ya hindi korosho mikoa ya kusini na mpunga mikoa ya morogoro UNK na mbeya dhana hiyo kwa sasa imepungua baada ya utafiti huo kuonesha mazao mengi yanaweza kustawi katika mikoa mbalimbali imani iliyojengeka kwa jamii kuwa ni juu ya kilimo cha pamba kuanzia nchini india ikiwa ndio sababu nguo nyingi zilizokuwa zikiingia barani afrika zilikuwa zikitokea india kama kanga kaniki na vitambaa vigumu vya UNK kutokana na imani hiyo pamba ya india ilionekana kuwa na ubora kuliko za nchi nyingine duniani ambazo zilikuwa UNK na kilimo cha zao hilo tafiti mbalimbali zilibaini kuwa zao la pamba linafaa kufumia nguo tofauti ambapo nyuzi zake ni rahisi UNK na pia ni imara na rahisi kupokea rangi za aina tofauti bila UNK na madawa makali nguo zilizotengenezwa kwa malighafi ya pamba UNK na UNK mwili ikiwa ndio sababu ya zao hilo kutengeneza mavazi yanayofaa katika nchi za baridi tafiti hizo pia zilibaini kasoro ya nguo za pamba kwa UNK joto la mwili na UNK mara baada ya UNK historia inaonesha kuwa wahindi walikuwa na utamaduni wa kusifia zao la pamba katika nyimbo zao kutokana na ubora wake katika nchi za misri na ugiriki pamba hiyo ilikuwa UNK kwa bei kubwa kwa kupewa jina la dhahabu nyepesi nchini uingereza zao la pamba lilikuwa na umaarufu mkubwa na kupewa jina la mfalme pamba wakati tanzania waliipa jina la theluji ya tanzania zao la pamba lina faida kubwa kiuchumi ambapo thamani ya zao hilo kwa sasa imetoweka kutokana na tatizo la kuporomoka kwa uchumi wa dunia idadi kubwa ya pamba haina soko kwa sasa jambo ambalo linawafanya wakulima wengi kukabiliwa na umasikini mkubwa wa kipato na glory mhiliwa kuyumba kwa uchumi wa dunia UNK nchi mbalimbali UNK hususan tanzania mfumuko wa bei ya vyakula na UNK nyingine ni matokeo ya kuanguka kwa uchumi mataifa makubwa UNK na nchi nyingi masikini kwa kuyapatia misaada mbalimbali pamoja na mikopo UNK misaada yao na hivyo kukwamisha miradi mbalimbali ya maendeleo katika nchi husika na kuongeza ukali wa maisha kwenye jamii wachambuzi wa masuala ya kiuchumi wanaeleza kuwa mdondoko wa hali ya uchumi duniani haujawahi kutokea kwa zaidi ya miongo minne iliyopita sababu kubwa iliyochangia hali hiyo ni kufilisika kwa taasisi za fedha baada ya kutoa mikopo kwa wateja ambao wengi wao wameshindwa kurudisha mikopo hiyo kwa riba UNK kuyumba kwa masoko makubwa ya biashara duniani nako kumechangia kuyumba kwa uchumi wa dunia tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine duniani nayo imeathirika kwa kuwa na utamaduni wa kutegemea nchi wafadhili benki kuu ya tanzania imeanza kuchukua tahadhari lakini bado kuna mashaka kuwa tanzania UNK na kuyumba kwa uchumi kutokana na desturi au mazoea UNK kwa kawaida imani iliyojengeka kwa watanzania walio wengi taasisi na mashirika ni juu ya bidhaa zinazozalishwa nje ya nchi ndizo zenye ubora zaidi kuliko zinazotengenezwa nchini hali hiyo inachangia viwanda vyetu kushindwa kunufaika ongezeko kubwa la uagizaji wa bidhaa kutoka nje pasipo kuziuza kwa wakati na mahitaji makubwa ya fedha za kigeni ni dalili zinazoonesha kuwa tanzania imeathirika na kuyumba kwa uchumi tanzania UNK kuwa na rasilimali nyingi kama pamba mbao mazao ya biashara chakula wanyama na madini lakini bado imeendelea kutegemea soko la nje badala ya kubeba jukumu la kujiimarisha licha ya wakulima wa pamba kuzalisha pamba nzuri na yenye ubora kimataifa soko la zao hilo bado limeendelea kutegemea masoko ya nje katika nchi nyingine duniani soko la nje hulifanya la ziada na hatua UNK ni kuimarisha soko la ndani kwa mtindo huu wa kutegemea soko la nje ni dhahiri kuwa tanzania hatuwezi kukwepa athari za kuyumba kwa uchumi kutokana na viwanda vingi vya nje UNK pamba hiyo kupunguza uzalishaji wa bidhaa hiyo hivyo mfumuko wa bei nchini hauwezi kuepukika hivi karibuni waziri wa viwanda biashara na masoko daktari mary nagu alisema zaidi ya robota mia mbili na arobaini sifuri sifuri sifuri za pamba UNK wateja kutokana athari za mgogoro wa kiuchumi duniani wateja zao hilo wamesitisha ununuzi kwa asilimia thebathini robota hizo zilikuwa tayari kusafirishwa katika nchi mbalimbali UNK serikali ililazimika kuunda kamati ya kuangalia mfumo wa sera ya kodi za nguo zinazotengenezwa nchini ili kuangalia namna ya kuweza UNK viwanda vilivyopo nchini ni jambo la kushangaza kwa tanzania kuwa miongoni mwa nchi zinazozalisha pamba duniani lakini bado majeshi yake yamekuwa sare zake kutoka nje ya nchi wakati rasilimali pamba tunayo na viwanda UNK hali hiyo inaonesha jinsi tusivyokuwa na mikakati endelevu ya kuwa na viwanda vya kuzalisha bidhaa zetu iwapo viwanda vyetu UNK kwa kupatiwa soko la uhakika ni dhahiri kuwa utamaduni wa kuagiza bidhaa nje ya nchi utapungua na kwisha kabisa mifumo yetu ya sera na kodi ina kasoro kubwa ikiwa ndio sababu ya wawekezaji hasa katika sekta ya viwanda UNK nao ili kuongeza uzalishaji hali hiyo inasababisha kupotea kwa mapato yatokanayo na mauzo ya zao la pamba tufike wakati wa kuimarisha viwanda vyetu ili viweze kuuza nguo badala ya pamba ambayo hununuliwa kwa bei ndogo katika maelezo yake daktari nagu alisema serikali pamoja na kamati UNK kushughulikia tatizo hilo wamekubaliana kwa pamoja kuhakikisha kuwa viwanda vya nguo UNK kwa kutoa motisha kwa wawekezaji UNK nguo alisema wizara yake imeanza kuchukua tahadhari kwa kuboresha sera za kuwavutia wawekezaji mpango huo huenda ukawa umechelewa kutokana na wawekezaji wakubwa kuacha uwekezaji katika nchi masikini ambazo uchumi wake UNK sawasawa kituo cha uwekezaji tanzania kimechukua tahadhari kwa kushusha gharama za uwekezaji kwa zaidi ya asilimia kumi japokuwa wadadisi wa wa mambo ya uchumi wanasema suala la miondombinu UNK zaidi miundombinu imara UNK wawekezaji kuwekeza katika sekta mbalimbali kuchangia ukuaji wa pato la taifa na kuongeza soko la ajira na victor mkumbo changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya usafiri nchini ni pamoja na uhaba wa vituo vya mabasi na ubovu wa miundombinu katika vituo hivyo asilimia kubwa ya mabasi yanayofanya safari za ndani na mikoani hulazimika kushusha abiria katika maeneo UNK rasmi na hivyo kusababisha ajali za mara kwa mara abiria wengi wanaohusishwa na ajali hizo hupoteza maisha kujeruhiwa au kupata ulemavu ajali hizo zinaweza UNK kama serikali itatilia mkazo ujenzi wa vituo hivyo na kuboresha miundombinu katika vituo vinavyotoa huduma hiyo kwa sasa uhamasishaji wa jamii kuwekeza katika ujenzi wa vituo vya mabasi utasaidia kupunguza tatizo hilo linaloikabili jamii kubwa katika baadhi ya maeneo ikiwa ni pamoja na kuongeza soko la ajira na kuchangia pato la taifa meneja wa kampuni ya UNK safari ya dar es salaam bwana said amir anasema matatizo yanayoikabili sekta hiyo UNK kwa muda mrefu mpaka sasa anasema kwa kutambua mahitaji ya jamii kubwa inayotumia usafiri wa mabasi ya abiria kampuni hiyo ililazimika kuwekeza katika ujenzi wa kituo cha mabasi kilichopo mbagala rangi tatu dar es salaam kwa lengo la kuongeza soko la ajira kwa vijana na wanawake kupunguza ajali zinazotokea katika vituo visivyo rasmi na kuwaondolea abiria usumbufu mara wanapohitaji huduma ya usafiri bwana amir anasema kituo hicho UNK mwaka ishirini sifuri tano ambapo magari mengi ya UNK UNK kupandisha na kushusha mizigo yao kwa usalama zaidi kituo hicho kimekuwa na msaada mkubwa kwa wanafunzi ambao wameandaliwa utaratibu mzuri wa kupanda mabasi yanayoingia kituoni hapo ili waweze kuwahi shuleni utaratibu UNK kituoni hapa umesaidia kupunguza kero mbalimbali waliyokuwa wakiipata abiria pamoja na wanafunzi wanapokwenda shuleni ambapo gari nyingi zilikuwa UNK vituoni na hivyo kuchelewa kufika shuleni kwa wakati alifafanua bwana amir anasema kwa kipindi kirefu abiria wanaosafiri katika mikoa ya lindi na mtwara walikuwa na tatizo la ukosefu wa kituo cha UNK mabasi hayo ambapo kuanzishwa kwa kituo hicho UNK kumaliza kero hiyo bwana amir anasema pamoja uwekezaji walioufanya kituoni hapo zipo changamoto mbalimbali zinazowakabili ambazo ni pamoja na ukosefu wa miundombinu ya kupitishia maji pamoja na hali hiyo uongozi wa kituo hicho UNK vibanda mbalimbali vya biashara na UNK kwa wananchi mbalimbali ambao UNK biashara zao na kujipatia kipato vibanda hivyo vimekuwa UNK huduma mbalimbali kwa abiria wanaofika kituoni hapo anasema hivi karibuni waziri mkuu bwana mizengo pinda alifanya ziara maalumu ya kutembelea jiji la dar es salaam ambapo katika ziara hiyo alifika kituoni hapo na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na uongozi wa UNK katika ziara hiyo bwana pinda alifurahishwa na uwekezaji huo ambao umesaidia kupunguza kero ya abiria na kutoa agizo kwa wamiliki wa mabasi yanayofanya safari za ndani na mikoani kukitumia kituo hicho ili kurahisisha huduma ya usafiri kwa abiria ushuru unaotozwa kituoni hapo kwa mabasi madogo ya abiria ni shilingi kumi sifuri sifuri na magari makubwa ni shilingi mia moja na hamsini sifuri kwa siku ambapo wastani wa mabasi yanayoingia na kutoka kituoni hapo ni magari kumi sifuri mbali ya kutoa huduma ya usafiri pia wamekuwa wakitoa huduma ya kuhifadhi mizigo mizigo ya abiria kwa ushuru mdogo shughuli za UNK na upakuaji wa mizigo hufanywa na vijana ambao wengi wao walikuwa wakijihusisha na vitendo viovu katika jamii ujenzi wa kituo hicho umesaidia kubadilisha tabia na maisha ya vijana hao bwana amir anasema asilimia sitini ya wananchi wa mbagala pamoja na maeneo ya jirani wamejiajiri kwa kufanya biashara zao kituoni hapo baada ya uongozi wa kituo hicho kuwapa eneo maalumu la kufanyia biashara hizo ili waweze kujikwamua kiuchumi tatizo la ajira kwa vijana wengi na wakinamama katika eneo la mbagala UNK kwa asilimia sitini ambapo vijana wengi wamejiajiri kwa kufanya biashara ndogondogo ambazo UNK kipato na wakinamama wamekuwa wakijishughulisha na biashara ya mama lishe anasema anasema tatizo linalowakabili kwa sasa ni ubovu wa miundombinu ya kupitishia maji ambayo husababisha usumbufu mkubwa kwa abiria kipindi cha mvua eneo kubwa la kituo hicho hujaa maji na kukwamisha biashara mbalimbali zinazofanyika kila siku pamoja na kusababisha msongamano wa magari ndani ya kituo hicho alifafanua kuwa mpaka sasa hawajapata mfadhili ambaye atawasaidia kujaza kifusi au kuwajengea mifereji ambayo itamaliza kero ya abiria wengi UNK kituo hicho kutokana na uwezo mdogo walionao hivi sasa tupo katika mkakati wa kutafuta mwekezaji ili aweze UNK kituo hiki na kutoa huduma zake kwa ubora unaotakiwa anasema bwana amir ametoa wito kwa serikali na wadau wengine kuwapa misaada ambayo itawawezesha kuendeleza kituo hicho ili kiweze kutoa huduma itakayokidhi mahitaji ya abiria wengi misaada hiyo UNK kwa wakati itaharakisha ujenzi wa kituo hicho ili UNK na vituo vingine vinavyotoa huduma ya usafiri wa ndani na mikoani mabasi yanayotumia kituo hicho hufanya safari zake katika maeneo ya UNK UNK mwandege mkuranga UNK UNK bigwa lindi mtwara na maeneo mengine umegharimu shilingi bilioni ishirini sifuri vijiji zaidi kunufaika na zuhura semkucha hivi karibuni rais jakaya kikwete alizindua mradi wa maji ya ziwa viktoria kwenye kijiji cha ihelele mkoani mwanza ambapo uzinduzi huo UNK na uwekaji wa matanki ya maji katika wilaya ya shinyanga vijijini mradi huo wenye lengo la kuboresha huduma ya maji safi kwa wananchi wa mikoa ya mwanza na shinyanga umegharimu zaidi ya shilingi bilioni ishirini sifuri kukamilika kwa mradi huo kutamaliza kero ya wakinamama waliokuwa wakitembea umbali mrefu kutafuta maji kabla ya kukamilika kwa mradi huo idadi kubwa ya wakinamama katika mikoa husika walipata shida ya kuhudumia familia zao na kushindwa kufanya shughuli za maendeleo rais kikwete ambaye alionesha kufurahishwa na mradi huo anasema wananchi mbalimbali katika maeneo yaliyohusishwa na mradi huo waliikosa huduma hiyo muhimu kwa maisha ya UNK ndani ya nyumba hakukuwa na maelewano kati ya mke na mume kwa sababu ya maji wanaume walikuwa na wivu baada ya wake zao kuchukua muda mrefu wa kutafuta maji alifafanua rais kikwete na kuongeza kuwa ili maisha ya ndoa yaweze kuwa na amani katika nyumba ni jukumu la wananchi wenyewe kulinda miundombinu ya maji ili adha waliyokuwa wakiipata UNK tena anasema kwa muda mrefu wananchi wa mkoa wa shinyanga walikua kwenye wakati mgumu baada ya kukosa huduma ya maji na hivyo kusababisha wananchi hao kunywa maji UNK kwenye madimbwi ambayo si salama aliongeza kuwa kukamilika kwa mradi huo kutatoa fursa kwa wafugaji kutunza mifugo yao badala ya kuhamahama jambo ambalo linaweza kuleta mgogoro mkubwa na hata kusababisha mapigano baina yao na wakulima anasema matatizo makubwa yaliyokuwa UNK mji wa kahama shinyanga na vijiji mbalimbali vilivyopo mkoani humo ni ukosefu wa maji safi rais kikwete alifafanua kuwa mkakati wa serikali kwa sasa ni kufikisha huduma hiyo katika vijiji hamsini na nne vilivyopo mkoani shinyanga ambapo upatikanaji wa maji safi utafikia asilimia kumi sifuri kwa saa ishirini na nne wananchi waliokuwa wakipata maji safi na salama katika mji wa kahawa walikuwa asilimia tano tunahitaji jumla ya shilingi bilioni sita kila mwaka kwa ajili ya kulipia ankara za mradi huu ili uweze kuwa endelevu hivyo jukumu la kila mwananchi ni kulipia kiasi kidogo cha fedha UNK huduma hiyo anasema alifafanua kuwa kila mwananchi atawajibika kuchangia shilingi ishirini wa ndoo ambayo ni sawa na shilingi moja kwa lita moja ya maji safi mradi huo UNK na wakoloni wa kijerumani mwaka elfu moja na mia tisa na kumi na mbili ambapo utekelezwaji wake ulianza kipindi cha utawala wa serikali ya awamu ya tatu wajerumani ndio waliotoa wazo la kutumia maji ya ziwa viktoria kwa ajili ya matumizi ya kilimo katika mikoa yenye ukame ikiwemo shinyanga tabora singida na dodoma ambapo wazo hilo halikufanyiwa kazi mapema baada ya nchi yetu kuwa chini ya utawala wa mkoloni UNK alifafanua rais kikwete waingereza walibaini mradi huo kuwa na manufaa makubwa kwa taifa lakini gharama za mradi zilionekana ni kubwa mkoa wa shinyanga unajumuisha wilaya za kahama meatu bukombe maswa shinyanga mjini kishapu na bariadi wakazi wa mkoa huo hutegemea kilimo na ufugaji ambapo asilimia sifuri themanini na tisa ya wakazi wote hujishughulisha na biashara ndogondogo katika maeneo mbalimbali asilimia kumi tatu ya wakazi hao hujishughulisha na kazi za ofisini mazao ya misitu uvuvi mdogo uvunjaji wa mawe na kokoto na uchimbaji mdogo wa madini na mchanga wilaya ya shinyanga vijijini ni moja ya wilaya zilizonufaika na mradi huo ambao kabla ya kukamilika wakazi hao hawakupata huduma ya maji safi na walipata huduma hiyo kwenye visima UNK kata zilizonufaika na mradi huo ni salawe solwa lyabukande UNK UNK na UNK ambapo wakazi kumi na tatu mia tatu na thebathini na saba UNK mabomba ya maji na wakazi hamsini na tano mia tisa na themanini na tano wamesaini mkataba na mamlaka ya maji safi mkoani humo kabla ya uzinduzi wa mradi huo viongozi wa halmashauri ya shinyanga vijijini walitoa elimu kwa viongozi wa mitaa sungusungu wazee wa mitaa na wanakijiji ili kuwakumbusha umuhimu wa kutunza miuondombinu ya maji mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo bwana john lubuva aliwataka wakazi hao kuonesha ushirikiano kwa kulinda miundombinu na kuepuka kulima katika maeneo yaliyopitishwa mabomba hayo anasema ni jukumu la kila mwananchi kutunza vyanzo hivyo ili kuufanya mradi huo kuwa endelevu ni njia rahisi ya wananchi kupata mikopo kuharakisha maendeleo na reuben kagaruki mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na sita bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania lilipitisha sheria ya utambuzi wa watu sheria hiyo UNK mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita na kuanza kwa mchakato wa vitambulisho vya taifa mfumo huo wa kuwa na vitambulisho vya taifa unatekelezwa katika nchi nyingi barani afrika na duniani kwa ujumla barani afrika baadhi ya nchi zenye utaratibu wa vitambulisho hivyo ni afrika kusini botswana kenya na angola UNK hivyo hutengenezwa kutokana na taarifa zilizohifadhiwa katika daftari maalumu UNK kumbukumbu za mtu tangu kuzaliwa kwake mpaka mwisho wa uhai wake taarifa hizo UNK mara kwa mara kulingana na matukio yanayomhusu muhusika ambaye hukabidhiwa kadi inayotumika kama alama ya UNK taasisi nyingine katika nchi nyingine zinazotumia mfumo wa vitambulisho vya taifa zinaweza kutumia taarifa zilizohifadhiwa katika daftari kwa makubaliano maalumu tofauti na tanzania ambayo mfumo huo ni dhana ngeni miongoni mwa watu wengi watanzania wengi bado UNK umuhimu wa vitambulisho hivyo ikiwa ndio sababu ya kuwepo kwa kauli zinazokinzana juu ya mpango wa kuanzisha vitambulisho vya kitaifa wapo wanaodhani kuwa kitambulisho cha uraia havina tofauti na vile vya kazi na wengine wanaamini kuwa ni kipande cha karatasi chenye jina picha ya mhusika na UNK kutokana na dhana hiyo mwanasheria wa mamlaka ya vitambulisho vya taifa bibi UNK nyoni anafafanua kuwa tayari serikali imeanzisha chombo cha kusimamia na kutoa vitambulisho vya taifa kinachojulikana kama mamlaka ya vitambulisho vya taifa bibi nyoni anasema lengo la UNK kuwa na vitambulisho vya kitaifa ni kuiwezesha serikali kuwa na daftari la utambuzi na utunzaji wa taarifa za watanzania na wageni wakaazi ili kutumia taarifa hizo kuimarisha usalama amani na ustawi wa maendeleo kijamii na kiuchumi anafafanua kuwa lengo la serikali ni kuhakikisha kuwa chombo kunakuwa wa wajibu wa kutoa huduma za utambuzi UNK kitaifa na kimataifa anasema walengwa kwenye mpango huo ni watu wenye umri wa miaka kumi na nane na kuendelea ambao ni raia wa tanzania na wageni waishio nchini kihalali bibi nyoni anasema watu wanaostahili kuandikishwa watasajiliwa na taarifa za uraia wao UNK kabla ya mhusika kupewa kitambulisho chake ambapo mchkato huo wa usajili utakwenda sambamba na ufunguaji wa vituo maalumu kwa kuhakiki watu wenye sifa anafafanua kuwa taarifa hizo UNK na wadau mbalimbali kama jeshi la polisi rita usalama wa taifa na taasisi za fedha kwa ajili ya kuleta ufanisi katika mifumo yao bibi nyoni anasema chimbuko la vitambulisho hivyo lilianza mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na nane lakini utekelezwaji wake ulikwama kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo zile za kiuchumi mchakato huu ulianza mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita ambapo utekelezwaji wake ulikwama kwa kuwa haukufanyika uchunguzi wa yakinifu na baada ya hapo kampuni mbalimbali UNK kwa lengo la kufanya kazi hiyo nasema bibi nyoni anasema kuna umuhimu mkubwa wa kuelimisha wananchi ili wafahamu umuhimu wa vitambulisho hivyo wananchi wanapaswa kujua kuwa vitambulisho hivyo UNK kwa mfumo maalumu wa teknolojia ya smart card kwa lengo la kuhifadhi taarifa mbalimbali muhimu akielezea faida zitokanazo na vitambulisho hivyo bibi nyoni anasema kwa hivi sasa wananchi wengi wanakumbana na vikwazo vingi katika nyanja mbalimbali akitolea mfano kuwa kuna baadhi ya watanzania wanaokosa haki ya kuwapa dhamana ndugu zao kwa kukosa utambulisho ikiwa ni moja ya sababu ya mahakama kutaka wadhamini UNK na wale wenye ajira ili kuepuka udanganyifu wananchi wakiwa na vitambulisho vya kitaifa UNK na usumbufu huo kwa kuwa taarifa zao zitakuwa zinajulikana anasema bibi nyoni na kuongeza kuwa usumbufu UNK kwa sasa unatokana na kukosekana kwa taarifa UNK bibi nyoni anasema kwa sasa watanzania wengi hawapati mikopo kutoka taasisi za fedha anasema moja ya sababu za kunyimwa mikopo hiyo ni UNK ili benki iweze kutoa mkopo inahitaji kuwa na taarifa sahihi za UNK kama hakuna taarifa sahihi ni rahisi benki kujikuta ikipoteza fedha zake anafafanua bibi nyoni anaongeza kuwa pindi watanzania wote wakiwa na vitambulisho vya taifa itakuwa rahisi kuwatambua na kuwapatia mikopo pindi UNK kama anayeomba mkopo ni mkulima au mfanyakazi itajulikana hivyo mfumo huo utaondoa vurugu wakati wa uombaji mikopo hata wanachama wa vyama vya akiba na mikopo nao watanufaika na vitambulisho hivyo kwa kuwa itakuwa rahisi kuomba na kupatiwa mikopo taarifa zao zitakuwa UNK na kazi UNK manufaa kwa tra kwa hivi sasa mamlaka ya mapato tanzania inaweza kukosa taarifa sahihi za walipa kodi hali hiyo inachangiwa na kutokuwepo kwa taarifa zinazowahusu wananchi tanzania ina watu wengi hasa wanaojihusisha na biashara lakini kutokana na kukosekana kwa taarifa zao imekuwa vigumu kujua wapo wapi na wanajishughulisha na nini bajeti yetu bado ni tegemezi kama watanzania wote wanaofanyabiashara watalipa kodi ni wazi kwamba UNK na utegemezi anasema na kuongeza kuwa vitambulisho vya taifa vitasaidia kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi bibi nyoni anasema mfumo wa vitambulisho hivyo pia utasaidia kutunza kumbukumbu za madereva ambapo hivi sasa wapo madereva wengi waliowahi kusababisha ajali lakini taarifa zao UNK tukiwa na kumbukumbu zao itakuwa rahisi kuwadhibiti tofauti na ilivyo sasa anasema kimsingi mfumo huo utasaidia kupatikana kwa maendeleo anasema kumekuwepo na udanganyifu mkubwa unaofanywa na baadhi ya watu kwa kutumia vyeti feki kuomba kazi kwa sababu ya kutokuwa na udhibiti wa kutosha tatizo hilo limeendelea kuwa sugu miongoni mwa watanzania bibi nyoni anasema endapo vitambulisho vya taifa UNK kutumika taarifa za kila mtanzania tangu kuzaliwa kwake elimu yake na kazi anayofanya UNK kutokana na utaratibu huo haitakuwa rahisi kwa baadhi ya watu kutoa taarifa za uongo pia vitambulisho hivyo vitaweza kudhibiti vitendo vya uhalifu kwa sababu ya rekodi za wahusika zitafanyiwa marekebisho mara kwa mara hivyo itakuwa rahisi kujua mtu fulani aliwahi kufanya makosa gani na yupo wapi anasema majaribio ya vitambulisho hivyo yataanza kufanyika kwa baadhi ya wilaya nchini ambapo kwa hivi sasa mchakato huo upo katika hatua nzuri ya kumpata mzabuni na matangazo yameanza kutolewa kwenye vyombo vya habari na awamu ya pili itakuwa ya kumtafuta mkandarasi wa kufanya kazi hiyo bibi nyoni anasema zipo changamoto mbalimbali zinazoikabili taasisi yake ambazo ni pamoja na uelewa mdogo wa wananchi kuhusu umuhimu wa vitambulisho vya taifa dhana nzima ya vitambulisho vya taifa haijajulikana kwa wengi anasema anasema mchakato wa kutengeneza vitambulisho hivyo unahusisha vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na mamlaka ya UNK wa manunuzi ya umma ili kuhakikisha kuwa sheria ya manunuzi UNK ni baada ya ugunduzi wa UNK za binadamu wa kale bandari za watumwa na benedict kaguo hivi karibuni mkoa wa tanga umeendelea kuwa na vivutio ya kihistoria baada ya kugundulika kwa alama ya nyayo za binadamu wa kale wilayani lushoto na bandari muhimu zilizotumika kusafirisha watumwa enzi ya utawala wa UNK katika karne ya nane kazi hiyo ya ugunduzi wa nyayo za binadamu wa kale imefanywa na watanzania wenyewe tofauti na ilivyozoeleka kuwa kazi nyingi za ugunduzi wa mambo ya kale zimekuwa zikifanywa na wageni kutoka nje kimsingi ugunduzi huo utasaidia kukuza sekta ya utalii mkoani humo kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea vivutio mbalimbali na kuutangaza kimataifa mtaalamu wa upigaji picha na utengenezaji wa filamu za kihistoria nchini profesa edward mgema ambaye ndiye UNK wa alama hizo chini ya usimamizi wa ofisi ya mkuu wa mkoa tanga anasema alama hiyo imeonekana katika miamba ya UNK katika eneo la UNK kijiji cha mambo mkoani humo anasema mafanikio ya ugunduzi huo pia yametokana na wananchi wa kata ya sanga na sunga iliyopo katika tarafa ya UNK wilayani lushoto mafanikio hayo yametokana na utafiti uliofanyika katika maeneo mbalimbali mkoani humo wenye lengo la kuangalia vivutio vya kihistoria na UNK ili viweze kupunguza umasikini kwa wakazi wa mkoa huo profesa mgema anasema alama hizo za nyayo wa binadamu na wanyama wa kale UNK kuwa ni viumbe walioishi zaidi ya miaka milioni moja na nusu iliyopita katika maeneo ya milima ya UNK magharibi taarifa ya mkuu wa mkoa wa tanga meja jenerali mstaafu bwana saidi kalembo anasema hatua ya ugunduzi huo UNK mkoa huo UNK kimataifa na kuongeza idadi ya vivutio muhimu vya utalii anasema ugunduzi huo umetokana na juhudi za serikali ya awamu ya nne chini ya utawala wa rais jakaya kikwete katika kuanisha maeneo mapya yenye vivutio kwa wawekezaji na utalii wa mkoa wa tanga kwa ujumla hatua hii ni muhimu kwa taifa na hasa kwa kuzingatia kuwa ugunduzi huu umefanywa na watanzania wenyewe ambapo mkurugenzi wa mambo ya kale katika wizara ya maliasili na utalii ameanza kazi ya kushughulikia suala hili muhimu anasema bwana kalembo alifafanua kuwa mradi wa upigaji na utengenezaji wa filamu za kihistoria za taifa ujulikanao kama the UNK UNK UNK fukwe za dhahabu ulianza oktoba mwaka ishirini sifuri sita kwa idhini ya wizara ya maliasili na utalii na unasimamiwa kwa karibu na wizara ya habari utamaduni na michezo anasema mbali ya ugunduzi huo wataalamu wa mradi kwa usimamizi wa ofisi yake pia wameweza kugundua bandari muhimu zilizotumiwa na maharamia wa kiarabu kusafirisha UNK kwa mujibu wa tathmini ya wataalamu hao inasadikiwa kuwa bandari hizo UNK wastani wa watumwa nane sifuri sifuri sifuri kila mwaka kuanzia karne ya kumi na nane hadi ya ishirini anazitaja bandari hizo kwa wilaya ya mkinga kuwa ni UNK UNK kwale UNK UNK UNK UNK asili UNK UNK UNK UNK UNK kuu UNK na UNK katika wilaya ya pangani zipo katika vijiji vya bweni ndogo UNK UNK UNK UNK UNK na buyuni kuu ambapo katika jiji la tanga ziko katika vijiji vya UNK UNK UNK UNK UNK na kisiwa cha UNK taarifa za wataalamu hao zinafafanua kuwa utambuzi wa maeneo hayo ya kihistoria unatokana na ufuatiliaji wa njia ya watumwa kaskazini mwa tanzania UNK kijiji cha UNK katika wilaya ya moshi vijijini mkoani kilimanjaro kazi ya ufuatiliaji wa njia hiyo ilianza septemba ishirini sifuri nane wataalamu hao wanasema matukio pamoja na kazi waliyofanya UNK kuoneshwa katika mfululizo wa filamu za kihistoria za taifa kupitia kituo cha televisheni ambacho UNK na wizara ya habari utamaduni na michezo maandalizi yanaendelea ili kuikamilisha filamu hii ya kipekee ambayo ina matukio mbalimbali yaliyoambatana na ugunduzi wa alama za nyayo za binadamu wanyama wa kale na kuonesha UNK ya ngome na majengo ya zama za UNK wa kiarabu na majengo UNK na wakoloni wa kijerumani mkoani hapa UNK filamu hiyo itaonesha watu wa makabila mbalimbali mkoani humo ambayo ni UNK wasambaa UNK na UNK pamoja na watu wa UNK mengine kutoka bara ambao ni waathirika wakubwa wa biashara ya utumwa iliyofanyika kwa zaidi ya karne kumi na tisa maeneo mbalimbali ya utalii UNK fursa ya kuangalia filamu hiyo na makala zinazohusu UNK ya UNK ambayo UNK na ulipuaji wa miamba mawe iliyopo jirani na eneo hilo la kihistoria licha ya mkoa wa tanga kuwa rasilimali muhimu kasi ya ukuaji wa uchumi sio ya kuridhisha kutokana na wananchi wengi UNK kufanya kazi kwa bidii na kutumia fursa zilizopo kuharakisha maendeleo wananchi wengi bado wameathirika na kasumba ya ubwana na UNK bado tuna mamwinyi na hasa katika ukanda wa pwani na bahari ya hindi kuanzia kaskazini hadi kusini hali hii UNK itarudisha kasi ya ukuaji wa uchumi anasema bwana kalembo ugunduzi huo utaongeza idadi ya wawekezaji katika sekta ya utalii elimu uboreshaji wa huduma za kijamii na kuinua uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla itawasaidia kuboresha huduma kujenga uchumi imara maadhimisho ya siku ya utumishi wa umma barani afrika mwaka huu yamefanyika jijini dar es salaam kuanzia juni kumi na sita kumi na tisa maadhimisho hayo yalikwenda sambamba na yale ya kitaifa yaliyofanyika katika viwanja mnazi mmoja kuanzia juni kumi na sita ishirini na tatu tofauti na miaka ya nyuma maadhimisho hayo yalikuwa na mvuto kwa washiriki wa ndani na nje ya nchi utofauti huo unatokana na ushiriki wa nchi kumi na mbili kwenye mkutano wa siku mbili wa mawaziri wa utumishi wa umma barani afrika nchi hizo ni kenya zimbabwe msumbiji nigeria burundi rwanda algeria namibia afrika kusini gambia misri na wenyeji tanzania ambayo katika maonesho hayo imewasilishwa na taasisi UNK ishirini sifuri zikiwemo wizara idara zinazojitegemea na wakala mbalimbali mmoja ya taasisi zilizoshiriki maonesho hayo ni tume ya utumishi nchini tanzania ambapo ofisa habari mwandamizi wa tume hiyo bwana william budoya anasema maonesho hayo yalikuwa na msisimko mkubwa kufuatia nchi zote shiriki kuitikia wito na kuleta bidhaa mbalimbali lengo la maonesho haya ni kutafuta fursa ya kuelezea uzoefu wa washiriki na sisi kuweza kutumia fursa hiyo kujifunza kutoka kwa wenzetu ili kuleta ufanisi katika utumishi wa umma anasema bwana UNK anasema wananchi mbalimbali waliotembelea maonesho hayo UNK bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na washiriki wa ndani na nje sambamba na kupata fursa ya kuuliza maswali na kujifunza bwana budoya anasema wananchi wengi waliotembelea banda lao walikuwa UNK suala zima la mishahara ambalo kimsingi lipo chini ya wizara ya UNK aliongeza kuwa changamoto wanazokabiliana nazo ni baadhi ya mamlaka nyingi nchini kukiuka sheria kwa kukosa ufahamu wa sheria za ajira licha ya changamoto hizo tunajitahidi sana UNK waajiri kwa njia mbalimbali na hata kukutana nao ana kwa ana ili kusikiliza matatizo yao na kuwapa ufahamu juu ya masuala ya ajira na nidhamu ili waweze kuzitumia katika shughuli zao za kazi anasema alifafanua kuwa kuna sheria mbalimbali kanuni na taratibu za kuajiriwa ambazo watu wenye jukumu la kuajiri wanapewa fursa ya kisheria kuchukua hatua za kinidhamu kwa waajiriwa mara baada ya mwajiri kutekeleza hilo tume ya utumishi inafanya ukaguzi ili kuona kama taasisi hizo UNK na kutekeleza taratibu zinazotakiwa iwapo taasisi hizo UNK taratibu hizo kulingana na sheria tume ya utumishi itatoa ushauri kwa mwajiri kurekebisha kasoro hizo na iwapo kasoro hizo zitaendelea suala hilo huwasilishwa katika mamlaka ya ridhaa yenye jukumu la kuzungumza na mwajiri lengo la tume hiyo ni kuhakikisha kuwa utumishi nchini unakuwa bora na wenye kutoa matokeo UNK anasema utumishi wa umma ni msingi mzuri kwa uchumi wa nchi mbalimbali duniani ambapo jamii inapaswa kuelewa umuhimu wa wajibu wa utumishi ili kutoa huduma bora kwa jamii kwa lengo la kujenga uchumi imara kwa taifa tume ya utumishi imeundwa kwa mujibu wa kifungu na tisa cha sheria ya mwaka ishirini sifuri mbili kama ilivyorekebishwa na sheria na kumi na nane ya mwaka ishirini sifuri saba ilianza kufanya kazi rasmi januari saba ishirini sifuri nne anaongeza kuwa dira ya tume hiyo ni kuwa mfano wa kuigwa ulimwenguni katika kusimamia utawala bora ambapo dhamira yao ni kuhakikisha kwamba waajiri mamlaka za ajira na nidhamu zinazingatia sheria kanuni na taratibu katika kusimamia masuala yanayohusu rasilimali watu pamoja na kushughulikia kwa wakati rufaa na malalamiko UNK katika tume anasema tume hiyo ina ofisi katika mikoa na wilaya zote tanzania bara ambapo ofisi hizo UNK masuala ya utumishi wa walimu tume hiyo iliundwa ili kuhakikisha kuwa watumishi wote wanakuwa na taratibu za usimamizi hadhi haki na maslahi UNK jukumu la tume ni kuratibu utumishi wa umma nchini ili kuimarisha utawala bora na uwajibikaji kwa viongozi na watumishi wa ngazi zote katika utumishi wa umma aidha tume inafuatilia na kutathimini UNK wa sheria kanuni na taratibu zinazosimamia utumishi wa umma nchini sheria ya utumishi wa umma namba nane ya mwaka ishirini sifuri mbili kifungu kumi kama ilivyorekebishwa na sheria namba kumi na nane ya mwaka ishirini sifuri saba tume hiyo ina jukumu la kumshauri rais kupitia ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma katika kutekeleza majukumu yake aliyopewa UNK chini ya ibara ya thebathini na sita kuhusu ujazaji wa nafasi UNK katika utumishi wa umma kadri rais UNK majukumu mengine ni kumshauri rais kuhusu masuala ya utumishi kulingna na mahitaji yake kutoa miongozo kufuatilia na kuhoji taratibu zilizotumiwa na mamlaka za ajira katika kutekeleza kazi za ajira na UNK kazini ili kuhakikisha kuwa misingi ya uwazi na sifa UNK kikamilifu kupokea na kushughulikia rufaa za mashauri yaliyotolewa maamuzi na mamlaka za nidhamu mengine ni kutekeleza majukumu kwa mujibu wa UNK sehemu ya sita ya utumishi wa umma namba nane ya mwaka ishirini sifuri mbili juu ya utumishi wa walimu kuwezesha kufuatilia na kutathimini utendaji kazi wa watumishi wa umma wa ngazi mbalimbali ili uwe na ufanisi wenye kuzingatia matokeo kuwaita watendaji wakuu kutoa maelezo ya utendaji usioridhisha pale tume inapokuwa na ushahidi au malalamiko yanayohusu ukiukwaji wa sheria kanuni na taratibu bwana budoya anasema kuwa tume hiyo itaendelea kutoa ushirikiano wa karibu kwa wadau wake ili kuhakikisha kuwa utumishi wa umma unakuwa kitu kimoja na watumishi wote wanapata haki na maslahi yanayofaa kwa kuzingatia taratibu kazi hii ni kubwa na inahitaji ushirikiano wa wadau tume inatoa wito kwa wadau wote hasa mamlaka za ajira nidhamu waajiri na watumishi wote wa umma kutoa ushirikiano hasa katika kuzingatia sheria kanuni taratibu na nyaraka mbalimbali za serikali ili kufikia lengo la kuboresha utumishi wa umma nchini na hatimaye kujenga tija anasema mkurugenzi katika wizara ya utumishi wa umma wa zimbabwe bibi UNK UNK ameelezea kufurahishwa na maandalizi ya maonesho ya UNK ya utumishi wa umma ambayo yamekuwa na mvuto wa aina yake kwa wananchi waliokuwa UNK anasema ushiriki wa mataifa mengine kwenye maonesho hayo ni kielelezo tosha cha jinsi nchi za bara la afrika UNK katika masuala mbalimbali ya kimaendeleo ofisa mwandamizi wa mipango na maendeleo katika wizara ya utalii ya kenya bwana jack UNK maonesho hayo UNK jinsi nchi za afrika zinavyoweza kujitangaza na kujifunza kutokana na kasoro zilizopo na kuboreshwa kupitia umoja wa nchi hizo wadau UNK juu ya faida na hasara zake kiafya zipo tofauti kubwa zinazojitokeza kwa wakulima wa zao la tumbaku ambapo kundi moja la wakulima hao linataka zao hilo liendelee kulimwa na kundi lingine likipinga hatua hiyo sababu za mgongano huo UNK masuala ya afya na uchumi kila upande ukitoa sababu za UNK au kulikataa zao hilo kwa UNK madhara na manufaa yake kijamii na kiuchumi imefahamika kuwa sababu kubwa za wataalamu wa afya kulikataa zao hilo ni juu ya madhara yake kiafya kwa binadamu upande wa pili ambao ni serikali umekua UNK wakulima kuendelea na uzalishaji wa tumbaku mbali ya kujua madhara UNK watumiaji wa zao hilo wilaya ya chunya ipo upande wa kaskazini mwa mkoa wa mbeya ambako zao la tumbaku linalimwa katika UNK vilivyopo katika kata ya UNK zao hilo linalimwa kwa wingi na wakazi wa vitongoji hivyo meneja wa chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa tumbaku wilaya ya chunya bwana bakari kassia anasema zao la tumbako ni kongwe nchini ambalo linalimwa katika mikoa saba ya tanzania mikoa hiyo ni shinyanga katika wilaya ya kahama tabora katika wilaya zote singida katika wilaya ya manyoni ruvuma wilaya za songea vijijini na namtumbo mbeya wilaya ya chunya rukwa katika wilaya ya mpanda na iringa katika wilaya ya iringa vijijini anasema mikoa hiyo ndiyo inayozalisha tumbaku kwa wingi ambapo wilaya ya chunya inachangia asilimia tano ya pato lake kwa uzalishaji wa zao hilo katika msimu mmoja wa kilimo ambapo zao hilo linalimwa katika vijiji vya UNK UNK UNK UNK na UNK vijiji vingine ni UNK mapinduzi UNK ngwala UNK lupa mamba UNK muungano UNK UNK kagera na UNK UNK wakulima na watumiaji wa tumbaku wamekuwa na mitazamo tofauti kutokana na madhara yake na ushawishi UNK kulingana na tija inayotokana na zao hilo kiafya zao hilo limekuwa UNK kuwa linasababisha madhara kwa watumiaji hususani wavutaji wa sigara kutokana na sumu aina ya UNK ambayo humpa UNK mvutaji na hivyo kusababisha madhara kiafya yapo matumizi mengine ya tumbaku ambayo ni pamoja na UNK bila kupitia katika vyombo vya kitaalamu na kuifanya kuwa sigara ambapo baadhi ya wazee katika maeneo ya vijijini wamekuwa wakitumia tumbaku kama kiburudisho baada ya kazi na wakati wa kazi UNK wa matumizi ya tumbaku unatofautiana baina ya wadau wa tumbaku katika maeneo mbalimbali duniani huku baadhi yao wakidai kuwa zao hilo lina madhara makubwa kwa watumiaji na wengine wakidai madhara yake si makubwa kama inavyoelezwa na wanaopinga kuwepo kwa zao hilo wanaopinga kuwepo kwa zao hilo wanadai kuwa mbali na kusababisha madhara kwa watumiaji hususani wavutaji wa tumbaku kilimo chake kinasababisha uharibifu mkubwa wa mazingira na kwamba wakulima wa zao hilo wanaweza kutafuta mazao mbadala ambayo yatawasaidia kuinua kipato chao badala ya zao hilo linalodaiwa kuharibu mazingira na afya ya mtumiaji bwana UNK UNK mkulima wa zao hilo na mkazi wa kijiji cha UNK kata ya UNK wilayani chunya anafafanua kuwa mwaka ishirini sifuri nane alifanikiwa kulima hekari nane za UNK anasema kwa muda wote UNK na kilimo hicho amefanikiwa kuwasomesha watoto wake shule za sekondari kujenga nyumba nzuri na kuishi maisha bora kutokana na kilimo hicho anasema dhana ya kwamba zao la tumbaku huaribu mazingira inategemea na aina ya kilimo na namna ambavyo wakulima wanashindwa kulima kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa kilimo UNK hilo meneja wa kampuni ya ununuzi wa tumbaku ya premium active tanzania bwana nico roullos anasema tofauti na inavyoelezwa juu ya zao la tumbaku kuharibu mazingira wakulima kabla ya kuandaa mashamba yao hushauriwa UNK miti ili kutunza mazingira bwana roullos anasema matumizi ya kuni kwa wakulima wa tumbaku ni sawa na asilimia kumi tofauti na matumizi mengine ya miti kama uchomaji mkaa kuni na ukataji wa mbao ambapo hivi sasa kuna matumizi mbadala kwa kuwa na mashamba ya miti kwa nia ya kuepuka kukata miti ya asili anasema zipo kampuni zilizoshiriki kwa kiwango kikubwa katika harakati za UNK miti na kuisambaza kwa wakulima na kusaidia kuondokana na tatizo la uharibifu wa mazingira ambalo linadaiwa kufanywa na wakulima wa tumbaku katika maeneo mbalimbali nchini akizungumzia changamoto hizo na mikakati ya chutcu bwana kassia anafafanua kuwa tangu kuandikishwa katika daftari la serikali na kupata usajili rasmi mwaka ishirini sifuri sifuri chama hicho UNK kuwa na vyama vikuu vya ushirika vipatavyo ishirini ambavyo UNK tumbaku yake kwa kampuni mbili ambazo ni UNK na pat kabla ya kuanzishwa kwa chama hicho vyama vya msingi vilikuwa UNK vyenyewe bila kuwa na uwakilishi katika vyombo vya juu na hivyo kutoa mwanya kwa baadhi ya kampuni UNK haki zinazostahili kupewa vyama vya msingi kwa kuwa havikuwa na uwakilishi bwana kassia anasema kabla ya kuanzishwa kwa ushirika huo uzalishaji wa tumbaku ulikuwa kilo mbili sifuri tano sita sabini nane kwa mwaka na baada ya kuundwa kwa ushirika huo mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa uzalishaji UNK mpaka kufikia kilo mbili mia sita na themanini na moja sifuri nane tisa mwaka ishirini sifuri sifuri hivi sasa ongezeko la uzalishaji limekuwa dogo kuanzishwa kwa chutcu na kujiunga na tanzania tobacco UNK kulitufanya tupate uwakilishi wa vyombo vya juu na kuweza kushiriki katika vikao vya halmashauri ya tumbaku tanzania kwa majadiliano ya maendeleo ya zao la tumbaku pamoja na majadiliano ya kupanga bei za msingi na bei za pembejeo anasema bwana UNK anaeleza kuwa ili kuimarisha UNK wao na taasisi za serikali na binafsi chutcu imeanza kuboresha mahusiano na utendaji wa kazi wa kila siku na shirikisho la vyama vya ushirika tanzania taasisi ya utafiti wa tumbaku tanzania kampuni za ununuzi wa tumbaku tanzania UNK tobacco company premium active tanzania bodi ya tumbaku tanzania na tanzania tobacco co UNK UNK anasema hatua hiyo UNK chama hicho kujenga uwezo na kuboresha shughuli za wanachama kwa kusaidiana katika kutoa huduma za ugani kwa wanachama na wakulima wa vyama vya msingi kupitia mabwana shamba pamoja na kutoa vitendea kazi kwa mabwana shamba bwana kassia anafafanua kuwa chutcu imefanikiwa kushawishi wakulima kulipa madeni wakati wa mauzo ya tumbako ili kusiwepo na mwanya wa UNK mazao pia UNK kampuni zaidi UNK zao hilo kwa kutoa motisha ya shilingi sitini kwa kila kilo moja ya tumbaku UNK bei ya kununulia tumbaku imeongezeka kwa asilimia arobaini na tano kutoka kwenye bei ya msimu uliopita ambayo ilikuwa ni dola za marekani moja nane sawa na fedha ya tanzania shilingi moja sifuri sifuri sifuri hadi kufikia dola za marekani mbili sifuri sifuri ambayo ni sawa na shilingi tatu sifuri sifuri sifuri ili kuongeza uzalishaji wa zao hilo bwana kassia anaeleza kuwa kipindi cha msimu wa mwaka ishirini sifuri nane tisa matarajio ni kuzalisha kilo milioni sita vyama vya msingi vinatarajia kuongeza wanachama nane mia tatu na sabini na tisa hadi kumi sifuri sifuri sifuri kufikia mwaka ishirini moja moja ni nguzo muhimu ya malezi uzalendo kiuchumi na ulinzi wa nchi na juma UNK jeshi la kujenga taifa leo linatimiza miaka arobaini na sita tangu kuanzishwa kwake jijini dar es salaam kwenye uwanja wa taifa wa michezo wa ndani na aliyekuwa naibu waziri wa utamaduni hayati joseph nyerere sherehe za uzinduzi wa jeshi hilo zilifanyika julai kumi elfu moja na mia tisa na sitini na tatu ambapo hayati nyerere alifafanua malengo ya kuanzishwa kwa chombo hicho muhimu na masharti ya kujiunga na jkt wazo la kuanzishwa kwa jkt lilitolewa mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na nane kwenye mkutano wa umoja wa vijana wa mkoani tabora wazo hilo lilitolewa na mzee rashid mfaume kawawa baada ya kurejea kutoka nchini ghana alikokwenda kuhudhuria sherehe za uhuru wa nchi hiyo akiwa nchini humo mzee kawawa alikutana na aliyekuwa waziri wa mambo ya nchi za nje wa israel bwana UNK meir ambapo walifanya mazungumzo yaliyohusu maendeleo ya nchi zao bwana meir ambaye aliwahi kuwa waziri mkuu wa israel alimweleza mzee kawawa jinsi nchi yake ilivyokuwa UNK vijana kijeshi na kushiriki katika shughuli za ujenzi wa taifa kwa njia ya kujitolea alimfahamisha jinsi vijana hao walivyokuwa UNK kuitumikia nchi yao kwa moyo wa uzalendo upendo kujituma ujasiri uvumilivu kuinua uchumi ulinzi na usalama wa nchi yao mara baada ya mzee kawawa kurejea hotelini kwake alikwenda kuonana na hayati mwalimu julius nyerere aliyekuwa pamoja naye nchini humo alimweleza kiini cha mazungumzo kati yake na bwana meir ambapo mwalimu nyerere alifurahishwa na maelezo hayo na kumtaka ayafanyie kazi baada ya kurudi nyumbani tanganyika baada ya mzee kawawa kurejea nyumbani aliwasilisha wazo hilo kwa viongozi wa umoja wa vijana wa tanu wazo hilo UNK upembuzi yakinifu na kufikishwa kwenye mkutano mkuu wa umoja huo uliofanyika mkoani tabora mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na nane mkutano huo kwa kauli moja UNK wazo la kuanzishwa kwa jkt ili kuwatayarisha vijana kujikomboa kutoka kwenye makucha ya UNK wakati maandalizi hayo UNK kasi nchi ilikuwa chini ya utawala wa UNK malengo mengine ya jkt yalikuwa ni kufuta makosa na makovu yaliyotokana na wakoloni kuwagawa wananchi katika matabaka mbalimbali ili kurahisisha utawala wao kudharau kazi za mikono tofauti za makabila dini kipato jinsia na rangi tanganyika ilipopata madaraka mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na uhuru wake mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na moja vuguvugu la utekelezaji wa maamuzi yaliyofikiwa kwenye mkutano wa tabora yalipamba moto mwaka mmoja kabla ya tanganyika kupata uhuru mzee kawawa alialikwa nchini israel elfu moja na mia tisa na sitini akiwa nchini humo UNK sehemu mbalimbali kujionea shughuli zilizokuwa zikifanywa na vijana baada ya uhuru mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na moja serikali iliomba msaada wa mafunzo nchini israel UNK kuanzishwa kwa jkt israel iliridhia ombi hilo na kutoa nafasi mbalimbali za mafunzo ya uongozi kwa vijana nchini miongoni mwa vijana wa kwanza kupelekwa katika ya uongozi nchini humo ni meja jenerali makame rashid nalihinga ambaye alikuwa mkuu wa jkt wa tano wengine ni brigedia jenerali dismas UNK na marehemu brigedia jenerali UNK athumani UNK israel iliendelea kutoa nafasi zaidi za masomo kwa vijana wa tanganyika na ilileta wataalam wake nchini kusimamia uanzishwaji wa jkt serikali iliwapeleka vijana wengine nchini bulgaria na yugoslavia kujifunza mbinu mbalimbali za malezi ya vijana baada ya kukamilika kwa maandalizi muhimu na kuwapata viongozi UNK julai kumi elfu moja na mia tisa na sitini na tatu jkt ilianzishwa kwa kuanza UNK vijana wa kujitolea kutoka mijini na vijijini baada ya kuimarishwa kwa jkt serikali ilitangaza utaratibu mwingine wa kuwachukua vijana wasomi kutoka sekondari vyuo na chuo UNK kwa mujibu wa sheria kwa lengo la kuwajenga uwezo kisaikolojia kuanzishwa kwa jkt bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania lilipitisha sheria nambari kumi na sita ya elfu moja na mia tisa na sitini na nne ambayo ilianzisha chombo hicho na kutoa uwezo wa kuandikisha vijana kujiunga na jkt hata hivyo sheria nambari sitini na nne ya mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na sita ilifanyiwa marekebisho ili iweze kukidhi matakwa ya kuwachukua vijana wasomi vijana mbalimbali wasomi wa kitanzania waliomaliza elimu ya sekondari kidato cha nne na kupata kozi zaidi ya miezi sita vyuoni pamoja na wahitimu wa kidato cha sita na kuendelea walitakiwa kujiunga na jkt kwa mafunzo ya kijeshi na stadi za kazi jkt UNK na jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na tano kutokana na marekebisho ya sheria namba ishirini na mbili ya mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na tano lengo la kuanzishwa kwa jkt ni kutoa malezi kwa vijana wa taifa huru kwa kuwafundisha moyo wa upendo kuondoa dhana ya ubaguzi kupenda kazi za mikono kuwa raia wema wenye kujituma kujiamini uzalendo uchungu kwa nchi yao na kuthamini mila desturi na kudumisha utamaduni wa taifa dhima ya jkt ni kuwapatia vijana mbinu za kijeshi ili kuwa na jeshi la akiba kuwaandaa vijana kujiunga kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na kuwatayarisha kushiriki katika maafa yanayoweza kujitokeza katika kuokoa mali na maisha ya jamii vijana UNK kisaikolojia kwa kupatiwa mafunzo ya nadharia na vitendo yenye kukidhi haja ya kulitumikia taifa katika nyanja mbalimbali za kijamii kiuchumi na ulinzi wa taifa kikamilifu jukumu kubwa la jkt ni kuwafunza vijana mafunzo ya kijeshi na ufundi ili kuwajengea uwezo wa kujiamini nidhamu uzalendo ushirikiano maadili ubunifu uwajibikaji na kujituma katika utekelezaji wa majukumu yao mbalimbali yatakayotolewa kitaifa na UNK mafunzo ya kwanza ya jkt yalifanyika katika ya mafunzo ya jkt mgulani dar es salaam UNK kama operesheni moja UNK mafunzo hayo yalianza julai kumi hadi septemba ishirini na nane elfu moja na mia tisa na sitini na tatu na kushirikisha vijana mbalimbali wa watanzania mgomo wa wasomi kujiunga jkt kutokana na uelewa mdogo baadhi ya vijana wasomi wa vyuo vya elimu ya juu na chuo kikuu UNK kujiunga na mafunzo ya jkt kwa mujibu wa sheria baada ya kupitishwa kwa sheria hiyo mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba vijana hao walifanya maandamano kupinga mpango huo wa serikali hata hivyo hayati mwalimu nyerere kwa kushirikiana na viongozi wengine wa kitaifa walisimama imara kutetea uamuzi wao serikali UNK majumbani vijana waliokaidi kujiunga na jkt ili waungane na wazazi wao waweze kutafakari kwa kina kitendo hicho baada ya kuona ukweli huo waliomba radhi yapo mafanikio mengi yaliyofikiwa na jkt ikiwa ni pamoja na kuimarisha umoja wa kitaifa maadili kwa vijana kupanua ajira katika sekta binafsi kujituma katika majukumu kupenda kazi za mikono na kuboreka kwa nidhamu sehemu UNK kazi vijana wengi waliopitia mafunzo hayo UNK serikalini sekta binafsi na wengine UNK wenyewe kwa kuanzisha miradi ya uzalishaji mali kulingana na ubunifu walioupata jkt UNK kupika viongozi wazuri wa kitaifa na kimataifa ambao wanafanya kazi kwa uadilifu ubunifu uhodari kujituma wavumilivu na wenye nidhamu ya hali juu vijana wa jkt walikuwa chachu ya kuthamini na kuhifadhi utamaduni wa taifa kwa kuibua vipaji vingi vya wasanii na wachezaji wa fani mbalimbali katika medani ya michezo kitaifa na kimatifa kwa kuiletea sifa taifa walishiriki kikamilifu kuitetea nchi yao wakati wa vita vya kagera dhidi ya uvamizi wa majeshi ya uganda mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na nane sabini na tisa kuhamisha waathirika wa majanga yaliyotokea nchini kwa nyakati tofauti hasa ilipotokea ajali ya treni mkoani dodoma kuporomoka kwa jengo la ghorofa kumi jijini dar es salaam na maeneo mengine mkuu wa majeshi jenerali david msuguli alisema wakati wa vita vya kagera vijana wa jkt walionesha moyo wa uzalendo kujituma na nidhamu ya hali ya juu UNK nchi yao dhidi ya uvamizi wa majeshi ya uganda yaliyoongozwa na marehemu nduli idd UNK alitoa mwito kwa serikali kutilia mkazo mafunzo ya jkt kwa vijana na wale wanaohitimu UNK ajira katika sekta za umma na binafsi kutokana na uadilifu na nidhamu yao jenerali msuguli aliitaka serikali kuisaidia jkt ili iweze kufungua shule zaidi za ufundi kuwawezesha vijana wengi kujifunza mbinu mbadala ili kupata wataalamu wengi wa nyanja mbalimbali za ufundi jkt UNK mafunzo kwa vijana wa kujitolea kwa mujibu wa sheria mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne kwa sababu za kiuchumi mpaka ishirini sifuri moja yalipoanza kutolewa kwa vijana wa kujitolea pamoja hayo katika kipindi hicho cha mpito taifa UNK kimaadili kutokana na vijana wengi kujihusisha katika vitendo vyenye kuhatarisha uvunjifu wa amani na usalama katika jamii urejeshwaji mafunzo hayo kwa mujibu wa sheria ulitokana na serikali kutafakari kwa kina na kufanya uamuzi wa busara kurejesha mafunzo hayo kwa vijana wasomi ili kuwajengea dhana ya uzalendo kujitegemea na kuitumikia nchi yao kwa uadilifu mbunge wa kuteuliwa bwana kingunge UNK mwiru aliitaka serikali ijiandae kwa hilo kwani idadi ya vijana wanaomaliza shule na vyuo kila mwaka ni kubwa akichangia hotuba ya makadirio ya matumizi bajeti ya wizara ya ulinzi na jkt iliyowasilishwa bungeni na waziri wake daktari hussein mwinyi juni sita mwaka huu anasema takribani vijana themanini sifuri sifuri sifuri UNK elimu ya juu katika vyuo mbalimbali nchini alifafanua kuwa maandalizi hayo ni pamoja na upatikanaji wa wakufunzi bora wenye uwezo wa kuwapatia mafunzo yenye maadili mazuri UNK na utamaduni wa nchi akiwasilisha hotuba ya UNK ya matumizi ya bajeti ya wizara yake daktari mwinyi anasema vijana waliopo kwenye makambi ni saba mia moja na kumi ambapo kati ya hao mbili mia nane na kumi na tisa ni wa operesheni maisha bora na nne mia mbili na kumi na tisa operesheni uadilifu anaeleza kuwa hatua mbalimbali za kuboresha malezi na mafunzo ya vijana zimechukuliwa ili kuimarisha kada ya ukufunzi kwa kuwapeleka kozi za ukufunzi zinazoendeshwa na mamlaka ya ufundi stadi nchini malengo mengine ni kuendesha semina za kilimo ufugaji na ufundi kwa wakufunzi na kuwahimiza kujiendeleza kitaaluma ili waweze kumudu malezi ya vijana na kushiriki kozi za ujasiriamali ambazo UNK uwezo wa kuwafundisha vijana kubuni na kuendesha miradi mbalimbali baada ya kumaliza mkataba wao aliyataja makambi saba ambayo yatatumika kwa ajili ya mafunzo ya stadi za kazi kwa vijana wa kujitolea kuwa ni UNK mara mgulani dar es salaam UNK morogoro maramba tanga itende mbeya nachingwea lindi na mbweni dar es salaam akitoa salamu za jkt mkuu wa jeshi hilo meja jenerali samuel kitundu anasema jkt inatarajia kuanza kupokea vijana wasomi wa kidato cha nne na sita ifikapo ishirini moja sifuri ikiwa ni utekelezaji wa agizo la serikali vijana hawa ni wengi na hatuwezi kumudu kuwachukua wote tumependekeza kuchukua vijana wa kidato cha sita wanaotegemea kujiunga na vyuo kikuu tunaendelea na maandalizi ya wakufunzi miundombinu upanuzi wa makambi na kufungua mengine ili kuwapokea hapo mwakani anafafanua meja jenerali UNK anafafanua kuwa changamoto nyingine ni utekelezaji wa agizo la rais jakaya kikwete la kuitaka jkt kuzalisha mbegu bora jukumu hilo ni kubwa na muhimu sana inabidi tujipange vizuri sana kwa kuwa jkt haina nyenzo za kutosha msimu wa mvua jkt UNK kilimo cha umwagiliaji ili kukabiliana na changamoto ya ukame jkt imefungua kambi mpya ya UNK mkoani kigoma na kufufua kambi ya zamani ya UNK iliyoko kilomita kumi na tano kutoka tabora mjini hivi sasa wanaendelea na mikakati endelevu na utaratibu wa UNK maeneo katika mikoa ambayo haina kambi za jkt mapinduzi ya kilimo alifafanua kuwa jkt inaendelea kufufua shughuli za kilimo ambazo mara baada ya kusitisha shughuli za jkt mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne uzalishaji UNK kwa kiwango kikubwa nyenzo nyingi kama matrekta ya kulimia na yale ya kuvuna UNK na kuchakaa UNK baada ya idadi ya watendaji kupungua anasema kwa mujibu wa sheria UNK ishirini moja sifuri watasaidia kuinua hali hiyo juhudi za ununuzi wa matrekta kwa mfumo wa vikosi wa kujinunulia kupitia faida ya miradi yao zimeanza kutekelezwa changamoto daktari mwinyi anasema changamoto iliyopo ni UNK wa mafunzo ya jkt na kujenga uwezo wa makambi yake kuweza kuwachukua vijana kumi sifuri sifuri sifuri kwa wakati mmoja changamoto nyingine ni jinsi ya kuwatumia vijana watakaohitimu mafunzo hayo kuleta mageuzi ya kilimo kuimarisha ulinzi na uzalendo wa taifa dhidi ya athari hasi zinazotokana na utandawazi maendeleo ya teknolojia na mwingiliano wa watu duniani sekta ya ujenzi jkt inamiliki shirika la uzalishaji mali UNK na ujenzi wa majengo marefu nyumba za kawaida barabara kilimo uvuvi ufugaji kufanya biashara viwanda na kufanya shughuli zingine ili kufikia UNK UNK inaendelea na ujenzi wa barabara ya bagamoyo msata kwa ushirikiano na kampuni ya korea ujenzi wa nyumba za chama cha walimu tanzania unaotekelezwa katika mikoa ishirini na moja ya tanzania bara nyumba za watumishi wa umma na machinjio ya kisasa mkoani pwani katika salamu zake kwa jkt kutimiza miaka arobaini na sita meja jenerali kitundu anasema umuhimu UNK katika sekta ya kilimo mifugo uvuvi na viwanda ili viweze kuongeza tija na mapato tangu kuanzishwa kwake jkt UNK na wakuu mbalimbali kwa nyakati tofauti viongozi hao ni UNK UNK of police david UNK kuanzia julai elfu moja na mia tisa na sitini na tatu desemba elfu moja na mia tisa na sitini na saba wengine ni robert kaswende januari elfu moja na mia tisa na sitini na nane mei elfu moja na mia tisa na sabini UNK gama mei elfu moja na mia tisa na sabini januari elfu moja na mia tisa na sabini na tatu meja jenerali nelson UNK januari elfu moja na mia tisa na sabini na tatu januari elfu moja na mia tisa na themanini na tisa meja jenerali makame rashid nalihinga januari elfu moja na mia tisa na themanini na tisa oktoba ishirini sifuri moja UNK ni meja jenerali davis mwamunyange novemba ishirini sifuri moja juni ishirini sifuri sita meja jenerali abdulrahman shimbo januari ishirini sifuri sita septemba ishirini sifuri saba meja jenerali martine madata septemba ishirini sifuri saba septemba sita ishirini sifuri nane na meja jenerali samuel kitundu februari tisa ishirini sifuri tisa ambaye ni mkuu wa jkt kwa sasa wakulima wadogo ludewa walalamikia uhaba wa pembejeo UNK serikali kuwawezesha kielimu kuandaa ziara ya mafunzo na kassian nyandindi sekta ya kilimo imekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi wa nchi ambapo wananchi mbalimbali hususan waishio vijijini hutegemea kilimo ili kujiletea maendeleo kuimarishwa kwa sekta hiyo UNK kuongeza soko la ajira ikiwa ndio sababu ya serikali kuona umuhimu wa kuwekeza katika sekta hiyo ili kuharakisha maendeleo katika miaka iliyopita wakulima katika maeneo mbalimbali nchini walikuwa wakikabiliwa na matatizo makubwa ya ukosefu wa pembejeo elimu ya kilimo cha kisasa na zana bora za kilimo matatizo mengine ni ulanguzi wa mazao ya wakulima ambao ulichangiwa na ubovu wa miundombinu ya barabara na kuwafanya washindwe kusafirisha mazao yao kwa urahisi mpaka kwenye masoko serikali ina kila sababu ya kupongezwa kutokana na msimamo wake wa kuwekeza katika sekta hiyo ili kuongeza uzalishaji katika mazao ya chakula na biashara kilimo cha mazao ya chakula UNK tatizo kubwa la njaa linalotokea mara kwa mara na kuepuka aibu ya kuomba chakula kutoka kwa wahisani wakati nchi ina maeneo mengi yanayofaa kwa kilimo cha kawaida na kile cha umwagiliaji hivi karibuni waziri mkuu bwana mizengo pinda alifanya ziara katika mikoa sita inayozalisha mazao ya chakula kwa wingi ambayo ni morogoro iringa rukwa kigoma ruvuma na mbeya akiwa mkoani iringa bwana pinda alitembelea wilayani ludewa na kuangalia kilimo kinachofanywa na wakulima wadogo katika mashamba ya chai kilimo cha chai ni zao la biashara ambalo limekuwa msaada mkubwa kwa wakulima wadogo wilayani humo wakulima hao wamedhamiria kuendeleza kilimo cha zao ili ili waweze kujikwamua kujikwamua kiuchumi wilaya hiyo ina ardhi nzuri na hali ya hewa inayofaa kwa kilimo hicho pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa na wakulima wadogo katika kilimo cha zao hilo bado wanahitaji elimu ya kilimo cha kisasa ili waweze kuzalisha chai bora na kuiuza kwa bei nzuri mwenyekiti wa umoja wa wazalishaji wa chai wilayani humo bwana mathayo mgaya anasema wakulima wadogo wa chai katika wilayani humo wana mikakati UNK ya kuhakikisha kuwa UNK mashamba na kufuata kanuni bora za kilimo ili kuongeza uzalishaji wa zao hilo anasema kwa kipindi kirefu kilimo cha zao hilo kimekuwa kikiendeshwa na wakulima wakubwa ambapo mwaka ishirini sifuri sita wakulima wadogo waliamua kuungana na kuanzisha umoja wao kwa lengo la kuzalisha chai anafafanua kuwa ndani ya umoja huo kuna vikundi kumi na tisa vinavyozalisha chai na vitalu kumi vya chai katika kata ya UNK na UNK wakulima hao wanakabiliwa na tatizo la ukosefu wa elimu ya kutosha juu ya uzalishaji wa zao la chai tangu kuanzishwa kwa umoja huo UNK na wataalamu hao ili kuwapa elimu uzalishaji bwana mgaya anasema tatizo lingine ni gharama za pembejeo za kilimo kuwa kubwa na UNK kwa wakati jambo ambalo linakwamisha malengo yao katika kilimo cha zao hilo ombi letu kwa uongozi wa wilaya UNK wataalamu wa kilimo ili waweze UNK mbinu bora zinazohitajika katika uzalishaji wa kilimo hiki pamoja na UNK mafunzo katika maeneo UNK zao hili kwa wingi ili UNK fursa ya kujifunza anasema anasema mpaka hivi sasa wamepanda miche ya chai mia moja na sitini na moja themanini sifuri ambayo ipo tayari kupelekwa mashambani lakini tatizo linalokwamisha zoezi hilo ni ukosefu wa fedha za kununulia pembejeo za kilimo kama UNK anafafanua kuwa mbunge wa jimbo hilo profesa raphael mwalyosi amekuwa akiwapa msaada mkubwa wa fedha za kununulia pembejeo za kilimo amewaomba wahisani wengine wajitokeze kuwasaidia ili waweze kufanikisha malengo yao kwa wakati kwa upande wake profesa mwalyosi ambaye pia ni makamu mwenyekiti wa bodi ya chai tanzania anasema amefarijika na mwitikio wa wananchi wa kata hizo kujihusisha na katika kilimo hicho kiasi cha kutambuliwa na bodi hiyo na kuwataka waongeze jitihada za kilimo hicho anasema kilimo hicho UNK wananchi kuondokana na umasikini na kwamba cha msingi ni kuzingatia kanuni bora za kilimo kama UNK na wataalamu anaongeza kuwa wakati umefika kwa wakulima wadogo wa chai kuwezeshwa ikiwemo kupewa mikopo itakayowafanya waweze kujiendeleza na kufanya kazi zao bila vikwazo ni vyema wakulima wadogo wakajiunga katika vikundi na kuanisha vyama vya akiba na mikopo hali ambayo itawafanya UNK kwa masharti nafuu badala ya kutegemea mikopo inayotolewa na taasisi za fedha ambayo riba yake ni kubwa aliwataka UNK UNK hao kuunga mkono mpango huo ili kuleta tija kwa upande wao na halmashauri kwa lengo la kuongeza uzalishaji endapo UNK na msaada wowote wa kitaalamu ni rahisi kwa wakulima hao kukata tamaa ya kuendelea na uzalishaji wa zao hilo mapinduzi halisi ya kijani kwenye kilimo UNK wakulima wadogo kuachana na kilimo cha jembe la mkono na kutumia matrekta au majembe ya kukokotwa na nggombe mapinduzi hayo UNK katika uzalishaji wa mazao ya chakula pekee bali UNK pia katika uzalishaji wa mazao ya biashara ili taifa liweze kupata fedha nyingi za kigeni professional approach mtoto apewe uhuru wa kuchagua taaluma UNK uwezo wa vijana wengi nchini ni mdogo katika kukabiliana na changamoto za maisha na ushindani kutoka kwa vijana wa mataifa mengine duniani ambapo akili zao UNK na malezi pamoja na makuzi wanayopewa katika familia ongezeko la vijana wasiokuwa na ajira matukio ya uhalifu umasikini wa kipato na maendeleo duni katika taifa lenye rasilimali na hazina kubwa ya madini linachangiwa na malezi UNK UNK vya vijana husika mkurugenzi mtendaji wa kampuni inayojihusisha na maendeleo ya rasilimali watu katika kujenga taifa kiuchumi professional approach ltd bibi modesta mahinga anasema wazazi wengi nchini wamekuwa na utamaduni wa kuwazuia watoto wao UNK vipaji walivyonavyo na kuwataka wawe warithi wa shughuli zao bibi mahinga anafafanua kuwa inashangaza kuwaona maisha ya vijana wengi nchini yalivyo duni wakati wanaishi katika nchi yenye utajiri wa kila aina kwa maana ya rasilimali watu na rasilimali vitu kama madini maziwa mito mbuga za wanyama milima na ardhi yenye rutuba kazi kubwa inayofanywa na kampuni yetu ni kutoa mafunzo kwa vijana walio katika mashirika na shule mbalimbali nchini kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kujiajili na kuwasaidia kupata ajira alifafanua bibi UNK wananchi mbalimbali wamekuwa wakijiuliza maswali mengi juu ya ufukara mkubwa uliopo nchini wakati taifa lina rasilimali ambazo hazipatikani katika nchi nyingine duniani tofauti ya maisha imezidi kuwa kubwa ambapo kundi la masikini na vijana wasiokuwa na ajira likiongezeka kwa kasi vifo vya watoto na wanawake ongezeko la magonjwa na huduma duni za kijamii zimeendelea kuwa sifa za kudumu katika nchi katika mazingira hayo wimbi la wageni kutoka mataifa mengine kwa kivuli cha uwekezaji wamezidi kuongezeka na kuchuma matunda ya nchi kwa kutumia mianya iliyopo kwa manufaa ya nchi zao wakati wazawa wakiangalia bila kujua wafanye nini zaidi ya kumuomba mungu ili aweze UNK ni wazi kuwa UNK wa akili kwa vijana wengi unachangiwa na uzembe pamoja na malezi mabovu ambayo mtoto wa kitanzania UNK tangu udogo wake hadi anapokuwa na kuruhusiwa kushiriki katika shughuli za kijamii mfumo wa malezi katika ngazi ya familia mfumo wa elimu kuazia shule za msingi hadi sekondari na mfumo wa siasa za nchi ni chanzo cha UNK wa vijana wasio na ufanisi upeo mzuri wa kufikiri na wasioweza kujituma bibi mahinga anasema wazazi wengi wamekuwa kikwazo cha kuwaruhusu watoto wao kuishi kutokana na uwezo walionao imani ya wazazi hao ni juu ya mafanikio na heshima ya watoto wao itapatikana katika baadhi ya taaluma kama udaktari sheria na uhandisi wakishiriki kuwalazimisha watoto wao kuamini jambo hilo tangu udogo wao tumefanya utafiti mwingi mashuleni UNK na wanafunzi vyuoni na kuwasikiliza vijana wengine mitaani mawazo yao yanafanana wengi wao hawana malengo maalumu na hawajui vipaji vyao hawafahamu kwa nini wameamua kusomea taaluma walizonazo maisha yao hutegemea mazingira na matukio ya siku anasema bibi mahinga anaongeza kuwa malezi wanayopata vijana wa kitanzania UNK kuwajengea uwezo wa kupanga na kuamua maisha yao vijana UNK mazingira ya kujiajili zaidi ya kuajiliwa ambapo malezi hayo yanachangia kuongeza tatizo la ukosefu wa ajira anasema vijana wengi hulazimika kuchagua taaluma UNK kutokana na shinikizo la wazazi walezi au mazingira huku wakiongozwa na kiwango cha mishahara bila kujali kama wana uwezo wa kumudu taaluma husika ufanisi wa kazi katika idara mbalimbali ni mdogo sana kutokana na wananchi wengi kufanya kazi hizo kwa sababu ya wajibu na shida za maisha bila kuwa na mapenzi nazo jambo ambalo linakwamisha maendeleo muhimu kama ya UNK wa teknolojia anafafanua kuwa kumekuwa na fikra potofu kuwa baadhi ya kazi ni bora kuliko nyingine kazi za sanaa kama muziki michezo na uchoraji UNK kama kada dhaifu kwa ajili ya watu waliokosa kazi ama wasio na elimu taaluma hizo UNK nchini na kuwa nguzo muhimu ya maisha bora katika nchi za ulaya na amerika huku zikitoa mchango mkubwa katika pato la taifa bibi mahinga anasema umefika wakati kwa wazazi na walezi kutambua na kuheshimu vipaji vya watoto wao pamoja na kukubali kuwa hakuna kazi bora kuliko nyingine zaidi ya UNK vijana UNK kazi UNK zitokanazo na vipaji vyao kutekelezwa kwa mpango huo taifa linaweza kunufaika na rasilimali watu tulizonazo si kwa kupunguza tatizo la ajira kwa vijana ili waweze kujiajili kutokana na vipaji vyao bali UNK ukuaji wa maendeleo ya taifa kwa ujumla katika dunia ya sasa kipaji ndicho pekee kinachoweza UNK mtu mmoja na mwingine wahitimu katika taaluma moja ni wengi kuliko mahitaji kila mmoja ni mwalimu daktari au mwanasheria ni yupi UNK na nani UNK your child your UNK ikiwa ndio kauli mbiu ya UNK approach katika juhudi za kuhamasisha umuhimu wa kuthamini vipaji vya watoto mlezi anayetambua jambo hili hata UNK kuharibu ndoto ya mtoto kwa UNK ndoto zake binafsi miongoni mwa changamoto kubwa zinazolikabili taifa changa kama tanzania katika ulimwengu wa utandawazi ni pamoja na matumizi sahihi ya rasilimali watu na rasilimali vitu tanzania imebahatika kuwa UNK za aina zote mbili kwa kiwango cha juu swali la kujiuliza ni kwamba inakuwaje nchi UNK kama tanzania lakini wananchi wake ni masikini wakiishi maisha duni na kukabiliwa na hali ngumu ya maisha tunaweza kutoa sababu nyingi katika hili UNK uongozi uliopo wakoloni wawekezaji au ufisadi sababu zote zinazotolewa bado zitahusisha suala zima la malezi mabovu tunayowapa watoto ambao wanakuja UNK katika hali hii aliongeza kuwa huu si wakati wa kulaumu na UNK vidole bali ni wakati wa kuchukua hatua kwani bado UNK kila mmoja kwa nafasi yake anaweza kuchangia maendeleo ya taifa kwa kutumia kipaji alichonacho jambo ambalo ni changamoto kwa wazazi na waalimu ambao ndio wadau wakubwa wa sekta ya malezi bibi mahinga UNK kuwa miaka michache kabla ya kuanzishwa kwa kampuni hii nilikuwa mmoja kati ya watu wanaolaumu kila wakati hata baada ya kuhitimu sheria bado sikuwa UNK hasa wito wangu kampuni hii ni jitihada za kukataa kuwa mtu wa lawama bali ni mtu wa suluhisho anasema anasema kuna mambo mengi katika vipaji vya watoto uzuri wa kipekee viburudisho na ndoto kubwa za miaka ijayo inahitaji UNK mazingira ya UNK na kujivunia vipaji vyao pamoja na kuwaunga mkono katika juhudi zao tabia ya wazazi kuwalazimisha watoto kurithi taaluma zao au za watu UNK waliofanikiwa bila kuzingatia matakwa yao si tu kuingilia haki ya uhuru wa maamuzi waliyonayo kikatiba bali UNK maendeleo yao kwa UNK ufanisi elimu ni uwezo na utendaji elimu sio cheti wala nadharia elimu na malezi tunayowapa vijana wetu haitasaidia kuwafanya UNK na waweze kujikwamua katika ufukara na UNK taifa lao bali elimu hiyo ni batili tabia za baadhi ya wazazi ambao wameshindwa kutimiza ndoto zao katika maisha na kuwataka watoto wao UNK inapaswa kila mtoto ana ndoto zake na hapaswi kulazimishwa kuishi kwa ndoto za wazazi wake urafiki mitumba saccos UNK kuwakomboa wafanyabishara wadogo mitaji katika biashara ndiyo injini ya mafanikio kwa watu mbalimbali katika kupiga vita umasikini ambao UNK jamii kubwa ya watanzania uongozi wa jiji la dar es salaam UNK masoko mbalimbali na na kuwataka wafanyabiashara wadogo wadogo machinga kuondoka katika maeneo yasiyo rasmi na kwenda kufanyia biashara zao katika masoko hayo masoko hayo yamesaidia kuwaondolea usumbufu wafanyabiashara wadogo kwa kuwa maeneo hayo ni rasmi baadhi ya masoko hayo ni kibasila kigogo UNK ilala mchikichini makumbusho tazara na urafiki mitumba tangu kuanzishwa kwake masoko hayo yamekuwa ni sehemu muhimu kwa wafanyabiashara hao ambao hivi sasa wanatambuliwa rasmi na kufikiwa kirahisi na serikali ili kuwapa misaada mbalimbali ya ujuzi na mikopo wafanyabiashara wa soko la urafiki mbali ya kujiimarisha kibiashara wameamua kuanzisha chama cha kuweka na kukopa cha urafiki mitumba saccos kwa lengo la kukuza mitaji yao mwenyekiti saccos hiyo bwana iddi bilali wanachama wao ni wafanyabiashara wa mitumba katika soko wakiwa na lengo la kushirikiana ili kukuza mitaji yao saccos hii ilianzishwa mwaka ishirini sifuri saba kwa mtaji wa shilingi milioni moja nane iliyotokana na kiingilio cha wanachama wanachama UNK shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri na baada ya kurudisha wanachama wengine walipata fursa ya kukopa anasema anasema baada ya kupata mafanikio makubwa walipata mkopo wa shilingi milioni sabini katika benki ya crdb juni mwaka huu mikopo hiyo UNK kwa wanachama thebathini ili waweze kukuza mitaji yao na kujikomboa kiuchumi awali kabla ya kupewa mkopo huo waliomba mkopo wa fedha zilizotolewa na rais jakaya kikwete katika benki hiyo ambayo ilikuwa miongoni mwa benki zilizopewa jukumu la kukopesha fedha hizo lakini hawakuweza kuzipata baada ya kuambiwa zimekwisha uongozi wa benki hiyo uliwataka waweke amana ya asilimi ishirini na tano ili waweze kukopeshwa na benki UNK hiyo iliamua kutimiza sharti hilo na kufanikiwa kupata mkopo ambapo hivi sasa tayari wanachama wake wamepewa mikopo ya viwango tofauti UNK shilingi mia moja na hamsini sifuri sifuri sifuri hadi milioni tano bwana bilali anasema mafanikio yaliyofikiwa na saccos hiyo UNK wafanyabiashara wengi wa mitumba katika soko hilo na kuamua kujiunga ili waweze kupata mikopo ya kukuza mitaji yao mikopo iliyotolewa mpaka kufikia julai mwaka huu ni milioni mia mbili na ishirini ambapo taratibu za UNK zinaendelea vizuri UNK ya mafanikio yaliyofikiwa na saccos hiyo ni pamoja na ujenzi wa ofisi iliyopo sokoni hapo malengo waliyonayo ni kupambana na umasikini na kuboresha maisha ya wanachama wake kwa kutoa mikopo mikubwa ambayo itawawezesha kukuza soko la biashara yao na kwenda kununua bidhaa hiyo nje ya nchi badala ya kununua kwa wafanyabiashara wa kihindi ili waweze kupata faida zaidi mpaka sasa saccos yetu ina wanachama mia mbili na arobaini ambao wanahitaji kuona siku moja UNK benki ya wafanyabiashara wa mitumba urafiki ambayo itawasaidia wauza mitumba na jamii nchini anasema bwana bilali anasema soko hilo linakabiliwa na hali ngumu ya wateja UNK na baadhi ya wauza mitumba kuhama na kuanzisha masoko katika maeneo mengine kama ubungo mataa na manzese ambako hupanga bidhaa chini na kusabisha jiji la dar es salaam kuonekana chafu kutokana na biashara holela anasema halmashauri ya manispaa ya kinondoni haipaswi UNK macho suala hilo kwa sababu mpango wa kuanzisha masoko rasmi ulitokana na jitihada zao hivyo kinachohitajika ni utekelezwaji wa kutumia mwongozo wa sheria ili kuwabana wafanyabiashara wanaokiuka agizo hilo anafafanua kuwa mpango wa serikali wa kuwaweka wafanyabiashara wadogo katika maeneo rasmi UNK kubwa kwa kuwa unasaidia kuyaweka mazingira katika hali ya usafi kwa kuwa kuzagaa kwa biashara hiyo kila kona ya jiji kunasababisha uchafu na kuondoa mvuto kwa watalii anaongeza kuwa halmashauri UNK wafanyabiashara hao kufanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi bali UNK katika maeneo UNK ili waweze kulipia ushuru na kuchangia pato la nchi anasema jambo la msingi ni wafanyabiashara wadogo kuzingatia sheria za nchi kwa kuwa serikali inahitaji kuwafikia kwa urahisi na kuwapatia ujuzi pamoja na mikopo kwa lengo la kukuza mitaji yao UNK UNK mauaji ya vikongwe ni mwalimu UNK ukatili wa kijinsia asema hatarudi nyuma hadi kieleweke mwanamke ni nguzo muhimu ndani ya familia na jamii kwa ujumla ni ukweli UNK kuwa popote penye maendeleo kuanzia ndani ya familia nyuma yake kuna mchango wa mwanamke wanawake ni kiungo kikubwa katika familia na chachu imara ya maendeleo mchango wao katika maendeleo ndani ya jamii UNK huku nyuma yao wakiwa UNK na kila aina ya ukatili ukatili UNK wanawake ni pamoja na vipigo kunyangganywa mali za urithi kuuawa kwa imani za kishirikina na matukio mengine ya kikatili serikali kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali zimekuwa mstari wa mbele kutokomeza mauaji hayo na kuzuia ukatili ya aina nyingine lakini bado hali siyo shwari hata hivyo bado kuna watu hawajakata tamaa badala yake wamekuwa mstari wa mbele kuelimika jamii ili iweze kuondokana na ukatili dhidi ya mwanamke bibi UNK magoke mkazi wa shinyanga ni kati ya wanawake ambao wamebeba jukumu la kuhakikisha mwanamke anaondokana na minyororo ya UNK mwanamke ambaye ni mratibu wa kituo cha wasaidizi wa sheria mkoani shinyanga kilichoanzishwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita kwa lengo la kutokomeza unyanyasaji wa kijinsia mauaji ya vikongwe na dhuluma kwa wajane anasema vitendo vya kikatili kwa wanawake vimekuwa UNK maisha ya wanawake mkoani humo bibi magoke ambaye anaonekana wazi kukerwa na vitendo vya kikatili UNK mwanamke anabainisha kwamba kitaaluma siyo mwanasheria lakini aliamua kuchukua mafunzo ya siku tano ya sheria ili aweze kutoa msaada kwa wanawake wanaoandamwa na ukatili anaeleza kuwa alipatiwa mafunzo ya sheria yaligusa katika nyanja za sheria ya ndoa mirathi haki za binadamu sheria ya UNK ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nane na sheria ya UNK aliamua kujikita kwenye sheria hizo baada ya kubaini kuwa wanawake wengi wanaandamwa na ukatili baada ya kuhitimu mafunzo hayo kwa kushirikiana na wanawake wenzake ishirini na tano waliohudhuria mafunzo hayo walichagua viongozi kwa ajili ya kuanza kazi ya kukabiliana na unyanyasaji dhidi ya mwanamke anasema katika maisha yake yote amejikita kukabiliana na vitendo vya mauaji ya vikongwe ambavyo vimeshamiri mkoani shinyanga kwa kuwa vinakatisha maisha ya watu wengi alisema utafiti unaonesha kuwa baadhi ya sababu zinazochangia mauaji ya vikongwe ni tatizo la mirathi katika mkoa huo wanaume wamekuwa na utamaduni wa kuoa wanawake wengi hivyo ikitokea akafariki wajane huanza kuvutana kwa kugombania mali tatizo hili ni sugu na limekuwa likisababisha wajane kutuhumiana uchawi hadi kufikia hatua ya kuuawa anasema bibi magoke na kuongeza kuwa tatizo hilo ni kubwa anafafanua chimbuko la mauaji ya vikongwe ni waganga wa UNK anasema kupitia paceshi amekuwa mstari wa mbele kuelimisha jamii kuondokana na mauaji ya vikongwe anabainisha kuwa asilimia kubwa ya vikongwe UNK kwa kutuhumiwa uchawi ni wale wenye macho mekundu hata hivyo bibi magoke anasema chimbuko la vikongwe wengi kuwa na macho mekundu ni kutokana na kutumia kinyesi cha nggombe kupikia kutokana na mkoa huo kuwa na uhaba wa kuni ili kukabiliana na vitendo hivyo anasema amekuwa kiongozi wa kutoa elimu kwa njia mbalimbali tunakaa na waganga wa kienyeji na kuwaelimisha ili waache kuchochea uhasama ndani ya jamii kwa lengo la kutaka kujipatia fedha anasema anafafanua kuwa tayari UNK waganga wa kienyeji wa wilaya za bukombe shinyanga vijijini na UNK mbali na kutoa elimu hiyo kwa waganga bibi magoke anabainisha kuwa walengwa wengine kwenye mpango huo ni sungusungu na wazee maarufu tatizo hili linakuzwa na UNK mapanga ambao hulipwa fedha kwa ajili ya kufanikisha mauaji ya vikongwe anasema na kuongeza kuwa mara nyingi hulipwa fedha au kupewa nggombe ili wafanikishe mpango wa mauaji analalamika kuwa hata UNK baadhi yao wamekuwa wakiachiwa na jeshi la polisi elimu inahitajika zaidi ili tuweze kutokomeza vitendo vya mauaji ya vikongwe anasisitiza bibi makoge na kuongeza kuwa iwapo watu watapata elimu watakuwa wanaenda hospitali kutibiwa badala ya kukimbilia kwa waganga UNK mauaji ya vikongwe migogoro ya mirathi mwanamke ambaye amezaliwa katika familia ya wanaharakati anaeleza wazi kuwa migogoro mingi ndani ya mkoa wa shinyanga inachochewa na watu kutoandika wosia hata hivyo anasema juhudi za kuwafikia watu wengi zaidi zimeshindwa kuzaa matunda kutokana na matatizo ya ukosefu wa fedha UNK sheria ya ndoa ya kimila ifanyiwe marekebisho ili iweze kuwalinda wanawake kwa sasa sheria ya ndoa ya kimila inatoa mwanya wa vitendo vya kikatili dhidi ya mwanamke wanaume UNK bila ya kuwaandalia maisha ya baadaye pindi UNK wanawake wanaanza kugombana wao kwa wao anasema na kubainisha wazi kuwa matatizo ya mirathi yamekuwa mengi kwenye kituo chao cha paceshi pamoja na matatizo hayo kuwa mengi bibi makoge anasema wamekuwa UNK kuyapatia ufumbuzi mfano anasema ile migogoro ambayo wamekuwa wakishindwa kuipatia ufumbuzi wamekuwa UNK walalamikaji namna ya kufungua kesi mahakamani mashauri mengine UNK ofisini lakini yale UNK UNK mahakamani na tunafuatilia na kuhakikisha haki inatendeka anasema tatizo la ardhi mwanaharakati huyo anaeleza wazi kuwa ardhi ni eneo jingine linalosababisha migogoro mkoani shinyanga hata hivyo anasema sheria mpya ya ardhi imesaidia kutatua mlolongo wa migogoro iliyokuwa UNK siku za nyuma wanawake walikuwa hajui kama wana haki ya kumiliki ardhi UNK na kupitia mafunzo hayo kwa sasa wanafahamu kuwa kumiliki ardhi ni haki ya kila mtu anasema anafafanua wazi kuwa mafunzo kuhusu sheria ya ardhi yametolewa katika kata nyingi za wilaya ya shinyanga mjini mafunzo hayo yanaonesha wazi kuwa yanaweza kupunguza vitendo vya kikatili ndani ya jamii anasema migogoro ya kifamilia akizungumzia chimbuko la kuongezeka kwa migogoro ya kifamilia bibi makoge anasema tatizo hilo linachangiwa na wanaume wengi kukwepa majukumu yao anasema wanaume wanapenda kuoa wanawake wengi na kuacha matokeo yake wanaopata shida ni watoto watoto wamekuwa wakiandamwa na matatizo mengi pindi wazazi UNK hii imekuwa changamoto kubwa kwetu anasema mbali na kutelekeza familia anasema wanaume wengi ni wababe na wanaongoza kwa kutembeza vipigo kwa wanawake wao mbali na wanawake wengi kufikisha malalamiko yao ya ukatili wa kijinsia polisi kesi nyingi zimekuwa UNK kabla ya kufikishwa mahakamani wakifika polisi wanaomba msamaha na kurudi nyumbani anasema na kuongeza kuwa tatizo hilo linakuzwa na wanawake wenyewe hata hivyo anasema wamekuwa mstari wa mbele kuwaelimisha ili waweze kujua haki zao na kutokubali kufuta kesi bila malalamiko yao kupatiwa ufumbuzi mafanikio pamoja na UNK ambayo yamekuwa UNK kituo cha paceshi bibi magoke anasema wameweza kupata mafanikio mengi kwa kuweza kutatua migogoro mingi ya kifamilia mafanikio mengine ni pamoja na kuwawezesha wanawake kujua haki zao kujua sheria ya ardhi namna ya kukabiliana na udhalilishaji wa kijinsia na namna ya kudai haki yao kutokana na elimu wanayoitoa baadhi ya waganga wa kienyeji wameanza kukosa wateja kwani watu UNK wanakimbilia hospitali kupata matibabu anasema pindi mpango wa ujenzi wa zahanati za kata utakapokamilika ana imani kuwa waganga wa kienyeji mkoani humo watakosa wateja kwani magonjwa mengi yatakuwa UNK hospitali changamoto kwa upande wa changamoto bibi magoke anasema kituo chake kinakabiliwa na tatizo la rasilimali watu anasema kazi wanazofanya ni za kujitolea hivyo baadhi ya watu hawapo tayari kutenga muda wao kwa ajili ya kukabiliana na vitendo vya kikatili hata hivyo anasema kamwe hatarudi nyuma hadi ahakikishe ukombozi wa kweli unapatikana kwa mwanamke anataja changamoto nyingine kuwa ni ya kuweka mkakati wa namna ya kukabiliana na tatizo la mimba kwa wanafunzi alipata elimu yake ya msingi katika shule ya UNK wilayani sengerema mkoani mwanza kwenye miaka ya elfu moja na mia tisa na sitini na baadaye kujiunga na shule ya kati ya nassa wasichana na UNK mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na nne baadaye alijiunga na sekondari ya bwiru hadi alipohitimu mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na nane baada ya hapo alijiunga na chuo cha ualimu changgombe hadi alipohitimu mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na mwaka huo huo alianza kufundisha shule ya msingi kuanzia mwaka huo amefanya kazi ya ualimu na kubahatika kushika nyadhifa mbalimbali amewahi kuwa mwalimu mkuu na mratibu UNK wa kata wadhifa ambao UNK nao baada ya kustaafu aliamua kujikita zaidi kwenye harakati za kupambana na unyanyasaji wa kijinsia UNK ya kujitolea kazi hiyo UNK umaarufu sana kutokana na jinsi alivyoweza kusaidia wanawake wengi kujua haki zao mbali na kufanyakazi kwa karibu na kituo cha msaada wa sheria kwa wanawake pia aliwahi kushirikiana na chama cha waandishi wa habari wanawake chini ya aliyekuwa mkurugenzi wa chama hicho bibi leila sheikh kutoa elimu ya kutokomeza mauaji ya vikongwe inadaiwa kuwa ongezeko la maambukizi ya virusi vya ukimwi nchini linatokana na jamii kubwa kutokuwa na elimu ya kutosha juu ya njia mbalimbali zinazosababisha maambukizi ya ugonjwa huo ongezeko hilo ni kielelezo cha kila mwananchi kuona umuhimu wa kushiriki katika vita dhidi ya maambukizi ya ugonjwa huo iliyodumu kwa muda mrefu vita hiyo inahitaji ushiriki wa kila mwananchi kuzungumzia ukimwi kwa uwazi kuanzia ngazi ya familia tangu kuingia kwa ugonjwa huo nchini mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tatu serikali na wadau mbalimbali wa mapambano dhidi ya ugonjwa huo wamefanya jitihada kubwa za kutoa elimu ya ugonjwa huo kuishawishi jamii kupima afya zao kwa hiari na kuhamasisha matumizi ya kondomu pamoja na juhudi hizo mafanikio ya mpango huo bado hayajapatikana kwa kiwango kinachotarajiwa kutokana na hali ya mazingira UNK jamii kubwa kujihusisha na vitendo vinavyochangia maambukizi ya ugonjwa huo katika maeneo mengi yenye mikusanyiko mikubwa ya watu kama shuleni kanisani na msikitini suala la mambukizi ya ugonjwa huo UNK kwa uwazi ili jamii kubwa iweze kuelimika na kuchukua hatua za kujikinga ili kupunguza kasi ya maambukizi hali ya maambukizi ya ugonjwa huo ni mbaya zaidi katika taasisi za elimu ya juu ambapo wanafunzi wengi hujikuta wakiingia katika vishawishi mbalimbali vinavyochangia kasi ya maambukizi kilele cha maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani kinafanyika leo ambapo kitaifa yatafanyika mkoani tanga katika viwanja vya mkwakwani inaelezwa kuwa kati ya vijana kumi mmoja wao ana virusi vya ukimwi hali hiyo UNK ustawi wa maendeleo katika jamii na taifa kwa ujumla akizungumzia hali ya maambukizi nchini mratibu wa ukimwi katika taasisi ya ustawi wa jamii bwana daud chanila anasema pamoja na jitihada kubwa za kupambana na ugonjwa huo hali ya unyanyapaa kwa waathirika bado ni tatizo katika jamii bwana chanila anasema kuwa kuna haja ya jamii kubadilika na kuondoa dhana potofu kuwa mgonjwa wa ukimwi hana thamani katika jamii hali inayochangia kuongeza unyanyapaa dhana hiyo haina ukweli wowote zaidi ya kukwamisha jitihada za UNK katika kupunguza kasi ya maambukizi ya ugonjwa huo anasema serikali imekuwa ikifanya jitihada kubwa za kutoa elimu ya ugonjwa huo kwa jamii ikishirikiana na asasi mbalimbali zisizo za UNK lakini mwitikio wa elimu hiyo katika jamii bado ni mdogo ukimwi ni ugonjwa UNK kufanyiwa utafiti kama ilivyo kwa magonjwa mengine bali kinga ya ugonjwa huu ni kuepuka maambukizi na wale ambayo tayari wameathirika wanahitaji kupatiwa ushauri nasaha ili waweze kuishi kwa matumaini anasema UNK anasema jamii kubwa bado haijaona umuhimu wa kutumia kinga ili kuepuka maambukizi hali UNK maambukizi kwa makundi ya watu mbalimbali wakiwemo wazee vijana pamoja na watoto hali ya maambukizi katika taasisi za elimu ya juu kwa UNK wa utafiti uliofanywa na UNK julai mwaka huu inachangiwa na hali ya mazingira UNK wanafunzi na hivyo kujiingiza katika biashara haramu ya ngono anasema anasema kuwa utafiti uliofanywa na taasisi hiyo kwa wanafunzi ulibaini kuwepo kwa ongezeko kubwa la maambukizi ya virusi vya UNK anafafanua kuwa asilimia ishirini ya wanafunzi katika chuo hicho hawana uelewa mkubwa juu ya ugonjwa huo anaongeza kuwa taarifa UNK kuwa wanafunzi wa taasisi hiyo wanajihusisha na biashara ya ngono ni jambo linaloweza kuongeza maambukizi ya ugonjwa huo lakini pamoja na kuwepo kwa taarifa hizo hakuna ukweli wowote UNK madai hayo kulingana na tafiti zilizofanywa kwa muda mrefu mimi mwenyewe nimeshafanya uchunguzi wangu katika maeneo yanayodaiwa kufanywa biashara hiyo lakini sijaona mwanafunzi wa taasisi yetu bali taarifa hizo zimekuwa zikitolewa kwa lengo la kuharibu sifa ya taasisi yetu anasema katika maeneo mashuhuri UNK kwa biashara ya ngono ni kinondoni makaburini maeneo ya katikati ya jiji kumbi maarufu za starehe na kwenye UNK wahusika wa biashara hiyo wamekuwa mgongo wa taasisi hiyo kwa sababu ipo karibu na maeneo yenye starehe pamoja na kuvutia ustawi wa biashara yao kwa kujifanya wasomi bwana chanila anasema katika kuhakikisha wanapambana na maambukizi hayo taasisi hiyo kwa kushirikiana na kituo cha ushauri nasaha cha UNK centre wameunda kamati iliyopewa jukumu la kupiga vita maambukizi hayo tuna kituo cha ushauri nasaha na ubao wa matangazo ya ukimwi lakini kubwa zaidi ni kuwafundisha vijana na waajiriwa juu ya uelimishaji rika anasema bwana chanila na kuongeza kuwa wameandaa mkakati kamambe wa kupiga vita maambukizi ya ugonjwa huo vyama vya wafanyakazi vimesaidia kuimarisha utawala bora na mohamed kazingumbe kuadhimisha kwa siku ya wafanyakazi duniani kunatokana na mchango wa makabwela wa nchi za ulaya UNK katika kudai haki na maslahi yao katika sehemu za kazi kufunguliwa kwa viwanda vingi katika nchi za ulaya kumetoa fursa kwa waajiri kuwa na ubaguzi kwa wafanyakazi wao kutokana na matabaka ya ukoo jinsia na umaarufu japo wote walikuwa wakifanya kazi UNK katika vuguvugu hilo la uanzishaji wa viwanda na namna ya ubaguzi wa ulipaji maslahi wafanyakazi hao waliungana na kuanzisha vyama vya wafanyakazi ambavyo UNK kutoa maslahi na heshima katika sehemu za kazi katika harakati hizo UNK UNK ya kutangaza siku ya wafanyakazi mei mosi ambayo leo UNK UNK kote ni siku maalumu ya wafanyakazi ambapo viongozi wa vyama vya wafanyakazi walikuwa wanatumia muda huo kuelezea mafanikio au mapungufu yaliyotokea katika kipindi cha mwaka mmoja nyuma viwanda UNK UNK kwa kuajiri wafanyakazi wengi huko ulaya ni vile vya kufuma nguo baadae viwanda vya kutengeneza vitu vyuma UNK hata hivyo kila nchi hivi sasa hutumia siku kama ya leo katika kuelezea mafanikio kwa upande wa tanzania siku ya leo huadhimishwa kwa kufanya shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na maandamano na kutangaziwa ongezeko ya mishahara katika sehemu za kazi kawa hali hiyo tegemeo la wafanyakazi ni kutangaziwa UNK mipya kutoka kwa rais jakaya kikwete mishahara hiyo isiwe kichocheo cha kupandishwa kwa bei za bidhaa muhimu UNK kama ongezeko hilo la mishahara litakuwepo ni wajibu wa serikali kwa wafanyabiashara na kuzuia mfumuko wa bei usiozingatia uhalisia wa ongezeko la kipato cha wafanyakazi wapo wafanyakazi ambao UNK ambapo wafanyabiashara hawapaswi kuwaongezea makali ya maisha kundi hilo ni lile UNK kipato cha wachache UNK mara nyingi wafanyabiashara wamekuwa wajanja kwa UNK kuficha bidhaa muhimu inapokaribia kutangazwa kwa mishahara mipya wakiamini serikali UNK bei mpya ili wauze bidhaa zao kwa bei ya juu na UNK faida kubwa serikali inapaswa kuwaonya wafanyabiashara wakubwa ili UNK bidhaa bidhaa zao UNK kutangazwa kwa bei mpya watumishi wa serikali wenye dhamana ya kudhibiti bidhaa wanaweza kuhakiki mali UNK katika maduka yao kabla ya kutangazwa kwa bei mpya kupandishwa kwa bei ya bidhaa mbalimbali ni kuwaumiza walaji amabao hununua bidhaa hizo mara mbili ya ile aliyokuwa UNK awali taratibu za kutangazwa kwa mishahara mipya huwa ni siri kubwa kutoka katika ngazi ya juu katika miaka ya hivi karibuni siku ya leo vyama vya wafanyakazi hutangaza wafanyakazi bora ambao hupewa zawadi mbalimbali zinazolenga kuwapa motisha wafanyakazi katika sekta mbalimbali hali ya utoaji wa zawadi mbele ya wananchi wanaohudhuria sherehe hizo iwe ni zawadi yenye kueleweka ili kuepusha mtafaruku na unyonge kwa wafanyakazi hao ingawa kila shirika linatoa zawadi kulingana na uwezo wake tofauti ya zawadi kati ya shirika na shirika UNK sana ili kuleta maana hasa katika ngazi ya UNK mashirika mengine yalikuwa UNK wafanyakazi bora kiwango kikubwa cha pesa na mengine yanatoa kidogo UNK UNK wafanyakazi hao UNK na kudharauliwa kwa mashirika yanayotoa zawadi ndogo pamoja na zawadi UNK kutolewa kwa hiari shirikisho la vyama vya wafanyakazi linapaswa kutoa mwongozo kwa mashirika ili wafuate vigezo UNK UNK kuona mgeni rasmi anamkabidhi mfanyakazi mmoja zawadi ya milioni ishirini au zaidi na wakati huo UNK mwingine kwa hadhi hiyo kutoka shirika lingine na kukabidhiwa shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri ni vyema wafanyakazi UNK umoja wao katika kudai haki sehemu ya kazi wafanyakazi wa hali ya chini wanapaswa kuitumia siku kuelezea changamoto zinazowakabili katika maeneo yao ya kazi ili ziweze kufanyika kazi kwa haraka wanawake wenye elimu ujuzi wapewe fursa ya kuajiriwa na eckland mwaffisi leo ni maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani mei mosi ambapo katika siku hiyo wafanyakazi huadhimisha kumbukumbu ya UNK uliofanywa na tabaka la waajiri kumbukumbu hiyo huambatana na shughuli mbalimbali zinazofanywa na wafanyakazi ikiwa ni pamoja na kushiriki katika UNK na kutafakari changamoto zinazowakabili zilizopo katika maeneo yao ya kazi maadhimisho ya mei mosi ni siku muhimu kwa wafanyakazi wote kutokana na ukombozi walioupata kutokana na manyanyaso yaliyokuwa yakifanywa na matajiri ambao walikuwa wakiwatumia wafanyakazi wao kama chombo cha kuzalisha mali kwa faida yao bila kujali wafanyakazi hao ni binadamu kama wao wafanyakazi walikuwa wakifanya kazi ngumu na zenye usalama mdogo wa maisha yao wakati mwingine UNK kazi hizo katika mazingira yenye kuathiri afya zao pamoja na changamoto hizo wafanyakazi bado wana kazi ngumu inayowakabili mbele yao na hasa kwa kuzingatia mazingira mapya ya utandawazi uliopo silaha pekee itakayowawezesha kukabiliana na hali hiyo ni umoja wao na kujituma katika kazi ni vyema wafanyakazi wakafanya kazi zao kwa ushirikiano na kusimama kidete katika masuala yote yanayohusiana na maslahi ya mfanyakazi katika hilo hakuna wa kumtegemea ni jukumu la wafanyakazi wote jukumu moja wapo la vyama vya wafanyakazi ni kuwaelimisha wanachama wao ili waweze kufahamu masuala mbalimbali yanayowahusu kwa lendo la kuwaelimisha wafanyakazi waajiri wanao wajibu wa kuhakikisha kuwa wafanyakazi wao wanapatiwa elimu kwa kutambua kuwa kuna mabadiliko mengi yanayotokea mara kwa mara kutokana na utandawazi uliopo na sheria mpya za kazi serikali kupitia wizara ya kazi ajira na maendeleo ya vijana inapaswa kuhakikisha kuwa haki za wafanyakazi sehemu za kazi zinafuatwa ikiwa ni pamoja na waajiri kuwalipa wafanyakazi wao maslahi mazuri kulingana na tamko la serikali tatizo la migomo ya mara kwa mara halipaswi kuendelezwa hasara anayoipata mwajiri kutokana na migomo hiyo ni kubwa kuliko ile anayoipata mfanyakazi kusudio la mwajiri sio kuendeleza migomo sehemu za kazi bali ni wajibu wa mfanyakazi kutekeleza majukumu ya kazi yake kwa ufanisi mkubwa ili kuongeza tija katika uzalishaji kilio cha wafanyakazi ambacho UNK kwa muda mrefu ni mikataba ya hali bora katika sehemu za kazi mikataba hiyo ni matokeo ya majadiliano ya pamoja kati ya chama cha wafanyakazi UNK mfanyakazi na menejimenti ambayo inawakilisha mwajiri kwa kawaida mkataba wa hali bora unaandaliwa katika maandishi baada ya makubaliano ya chama husika cha wafanyakazi chenye usajili na mwajiri au jumuiya ya waajiri vyama mbalimbali vya wafanyakazi vina mchango mkubwa katika kutetea maslahi ya wafanyakazi na kuimarisha msingi wa utawala bora katika maeneo ya kazi sheria ya uhusiano kazini inatoa fursa ya UNK vyama vya wafanyakazi kama mwakilishi pekee katika UNK ya kazi chenye haki ya kufanya majadiliano ya pamoja na mwajiri mkataba wa hali bora unaanza kutumika mara baada ya pande husika kuweka sahihi zao haki ya kujiunga na kuunda vyama vya wafanyakazi sheria ya ajira na uhusiano kazini namba sita ya mwaka ishirini sifuri nne inatoa fursa ya mfanyakazi katika sehemu ya kazi kujiunga na kuunda vyama vya wafanyakazi mara baada ya vita kuu ya pili ya dunia baraza kuu la umoja wa mataifa lilipitisha na kutoa tamko la kimataifa la haki za binadamu tamko hilo lilitolewa desemba kumi elfu moja na mia tisa na arobaini na nane ambapo moja ya haki zilizoainishwa ni haki zinazowahusu wafanyakazi haki hizo ni pamoja na ile ya kufanya kazi uhuru wa kuchagua kazi mazingira ya kufanyia kazi pamoja na kulipwa sawa bila ubaguzi kulingana na kazi inayofanywa na mfanyakazi katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ya mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na saba kama ilivyorekebishwa mara kwa mara inasema haki ya kujiunga na kuanzisha vyama vya wafanyakazi imetolewa na kulindwa katika ibara ya ishirini ibara hiyo inasema kila mtu anastahili kuwa huru bila kuathiri sheria za nchi kukutana na watu wengine kwa hiari yake na kutoa mawazo hadharani tanzania ni mwanachama wa shirika la kazi duniani ambayo inapaswa kuzingatia haki za msingi za kazi kama UNK katika mwongozo wa mapatano ya shirika hilo moja ya haki hizo za msingi ni uhuru wa kujumuika na utambuzi wa haki ya majadiliano ya pamoja kwa mujibu wa shirika hilo wafanyakazi na waajiri wote wana haki kwa hiari yao ya kuunda au kujiunga na vyama au mashirika kwa ajili ya kuendeleza na kulinda maslahi yao ya kazi haki hiyo ya msingi inakwenda sambamba na uhuru wa UNK haki za wafanyakazi wanawake haki ni kitu chochote UNK kupewa mtu anayestahili mahali alipo na kwa wakati mwafaka zipo haki za msingi za binadamu na zile ambazo hupatikana kutokana na mazingira shughuli na nafasi ya mtu aliyonayo katika jamii UNK haki za msingi za binadamu ni stahili ya kila mtu aliye na uhai mwanamke yeyote kutokana na uwezo elimu na ujuzi alionao ana fursa ya kuajiriwa baada UNK kupata ajira hiyo kuna haki na stahili anazotakiwa kuzipata kutokana na kazi au huduma UNK haki katika ajira hupatikana kutokana na mkataba na makubaliano kati mwajiri na mfanyakazi na si vinginevyo hata sheria na kanuni za ajira zimeeleza wazi kutokana na majukumu mengi yanayowakabili wanawake wafanyakazi wanakosa muda wa kujifunza na kuzifahamu haki zao kama wafanyakazi hali hiyo imechangia kurudisha nyuma maendeleo yao wanawake wafanyakazi kama walivyo wanaume wanastahili kupata haki mbalimbali ikiwemo ile ya kuteuliwa katika nafasi yoyote mradi awe na elimu na ujuzi uteuzi huo ni pamoja na nafasi za juu mahali pa kazi UNK na kutoa maamuzi uyui UNK na uhaba wa nyumba za walimu zaidi ya nyumba moja mia saba na sitini na nane zinahitajika zilizopo ni mia moja na kumi na saba pamoja na serikali kufanya jitihada mbalimbali za kuboresha sekta ya elimu nchini idadi kubwa ya walimu hususan wanaofundisha katika shule za vijijini wanakabiliwa na changamoto za matatizo mbalimbali miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na makazi wanayoishi kutokuwa katika mazingira mazuri yenye UNK mwalimu husika mbali ya umuhimu wake kulingana na UNK hiyo uboreshaji wa nyumba za walimu katika maeneo ya vijijini na baadhi ya maeneo ya mijini bado ni kitendawili kisicho na UNK binadamu anahitaji mambo makuu matatu muhimu ili aweze kuishi maisha UNK kwa kuzingatia haki na UNK yapo makundi ya watu UNK mahitaji ya haki hizo na makundi mengine hulazimika kuwajibika ili UNK mahitaji hayo baadhi ya mahitaji hayo ni pamoja na chakula mavazi na maradhi mazuri yanayoendana na mazingira anayopaswa kuishi binadamu ili kulinda UNK yake yapo mahitaji mengine yanayomkabili binadamu lakini mahitaji hayo matatu ndiyo yanayotambulika kila binadamu anastahili kupata mahitaji hayo bila kujali rika jinsia kabila wala imani ya dini katika sekta ya elimu kumekuwa na kilio cha muda mrefu kutoka kwa walimu kwa kutopewa nyumba bora za UNK maeneo UNK kufundisha hususan vijijini kilio cha walimu hao bado UNK umuhimu na serikali UNK ndio yenye jukumu la kumaliza kero hiyo hivi karibuni nilifanya tafiti mbalimbali za maendeleo ya elimu nchini katika wilaya ya uyui mkoani tabora na kuzungumza na wadau wa sekta hiyo pamoja na kujionea mazingira wanayoishi walimu wanaofundisha katika shule mbalimbali wilayani humo katika vijiji UNK UNK UNK ni pamoja na iskizya ilalwa simba imalampaka na UNK vijiji vyote vipo katika mfumo UNK nyumba wanazoishi walimu wanaofundisha katika shule zilizopo katika vijiji hivyo ni zile anazostahili kuishi mnyama tofauti na binadamu ambaye leo hii mchango wake wa hali na mali unahitajika ili kupambana na maadui watatu ambao ni ujinga umasikini na maradhi kijiji cha ilalwa simba baadhi ya walimu wake wanaishi katika nyumba zenye muonekano mzuri kulingana na taaluma yao ambapo nyumba hizo zimejengwa kwa matofali ingawa hazijafikia kiwango cha kuwavutia walimu hao usalama wa nyumba hizo bado ni mdogo na hazikidhi haja ya mahitaji ya walimu hao kijiji hicho kina jumla ya nyumba tatu na walimu tisa UNK wanafunzi wa kijiji hicho hali inayochangia baadhi ya walimu hao UNK gharama ya kupanga katika kijiji cha iskizya hali ni mbaya zaidi UNK na vijiji vyote vinne ambapo mwalimu mmoja tu ndiye anayeishi katika nyumba za walimu kutokana na nyumba zilizopo kutoweza kuishi binadamu mwenye elimu yake na anayefanya kazi ya kuelimisha watu ili waondokane na umasikini ujinga na maradhi mwalimu anayeishi katika nyumba hiyo ni bibi modesta UNK kati ya walimu watano wanaofundisha katika kijiji hicho ingawa kwa kauli yake anasema kazi kubwa iliyopo mbele yake ni kufanya ukarabati wa nyumba anayoishi ambayo alikabidhiwa ikiwa haina choo bati na ambayo UNK na kuvuja katika kipindi cha mvua kazi iliyopo mbele yangu ni kubwa baada ya kukabidhiwa nyumba hii UNK choo kwa gharama zangu mwenyewe nyumba hii imejengwa kwa udongo na bado inahitaji ukarabati wa mara kwa mara na kuziba bati ambazo UNK ili kipindi cha mvua UNK nikiwa UNK anasema bibi UNK anasema ingawa nyumba hiyo ni miongoni mwa zile zilizotengwa kwa ajili ya kuishi walimu alilazimika kuichukua na hakuwa na jinsi kwa upande wake mwalimu wa taaluma katika shule ya msingi iskizya bwana john UNK anasema alipokabidhiwa nyumba na UNK aliona kuwa haina hadhi ya kuishi na kulazimika kwenda kutafuta nyumba ya kupanga nyumba hizo zenye vyumba vitatu vya kulala na sebule hazina hadhi ya kuishi binadamu kwani katika kipindi cha mvua watumiaji wa nyumba hizo hulazimika kuziba matundu ya kuta ambazo UNK kutokana na bati UNK na hivyo kuvuja na kuharibu kuta hizo mwalimu mwingine bibi UNK ambaye ni miongoni mwa walimu waliochukua uamuzi wa kuingia mtaani kutafuta nyumba za kupanga na kukwepa kutumia nyumba hizo anasema hakuna kigezo kingine kilichomfanya aingie gharama ya kupanga nyumba isipokuwa ubovu wa nyumba UNK kuishi kati ya walimu UNK kuishi katika nyumba hizi ni mwalimu mmoja tu ambaye amekubali kuishi kwenye nyumba hiyo na yeye UNK kukubwa cha kuifanyia ukarabati nyumba hiyo mimi na wenzangu tuliona badala ya kuingia gharama za kufanya ukarabati ni bora UNK nje kwani tusingeweza kuishi kwa amani anasema anasema kutokana na jukumu walilonalo kitaaluma hawastahili kuishi katika nyumba hizo zenye usalama mdogo wa maisha yao na ambazo haziendani na taaluma yao katika kijiji cha imalampaka hali ni tofauti kidogo ambapo walimu wote waliopangiwa kufundisha kwenye kijiji hicho wanaishi katika nyumba walizopangiwa zilizojengwa kwa udongo na kuezekwa mabati UNK tofauti iliyopo kati ya kijiji hicho na vijiji vingine ni wakazi wa kijiji hicho kuwa na mwamko wa kukarabati nyumba za walimu hao pindi UNK UNK kijiji hicho kina jumla ya walimu saba na nyumba tano nyumba hizo hazina tofauti na zile za kijiji cha iskizya ambazo walimu waligoma kuishi walimu waliopangiwa nyumba hizo wanasema kuwa wamekubaliana na hali hiyo baada ya kukosa nyumba za kupanga kutokana na nyumba nyingi kijijini hapo kuishi UNK kaimu ofisa elimu wa wilaya ya uyui bwana said faya anakiri kuwa sekta ya elimu wilayani humo inakabiliwa na changamoto ya matatizo mbalimbali hususan ya nyumba za walimu anasema wilaya hiyo inakabiliwa na uhaba wa nyumba za walimu na zile zilizopo hazina hadhi ya kutumika lakini kutokana na fedha ndogo wanazopata kutoka serikalini hawawezi kufanya mabadiliko makubwa ambayo UNK kuzifanya nyumba hizo kuwa katika mazingira mazuri kiasi cha kukidhi mahitaji ya walimu hao bwana faya anasema mwaka wa fedha wa ishirini sifuri nane sifuri tisa wilaya hiyo ilipewa kiasi cha shilingi milioni ishirini na mbili za ujenzi wa nyumba za walimu wilaya hiyo ina jumla ya shule za msingi mia moja na kumi na tano ambazo zote zinapaswa kuwa na nyumba za walimu tatizo la nyumba za walimu ni kubwa katika wilaya yetu pesa UNK na serikali ni ndogo sana kulingana na mahitaji yaliyopo nyumba moja yenye hadhi inagharimu shilingi milioni kumi na moja mpaka milioni kumi na tano kikubwa tunachokifanya kutokana na udogo wa fedha hizo ni kuangalia sehemu ambayo UNK makubwa ya nyumba hizo na kufanya ujenzi anasema bwana UNK anafafanua kuwa wilaya hiyo ina jumla ya nyumba za walimu mia moja na sabini na saba ambazo hazilingani na mahitaji yaliyopo wilaya hiyo inahitaji nyumba zaidi ya moja mia saba na sitini na nane bwana faya anasema ili kujikwamua na tatizo hilo wanakijiji wanahamasishwa kujitolea kwa kujenga nyumba za walimu mpango huo umefanikiwa kwa upande wa ujenzi wa nyumba za muda mfupi ambazo hujengwa kwa udongo na kuezekwa kwa bati chakavu kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya uyui bwana UNK mainda anasema halmashauri kwa kushirikiana na wananchi wanajitahidi kuhakikisha kuwa walimu wao wanaishi katika mazingira mazuri kwa kujenga nyumba zinazoendana na uwezo wa serikali na nguvu kazi zao anasema katika mwaka wa fedha wa ishirini sifuri nane sifuri tisa halmashauri hiyo ilichangia maendeleo ya elimu kiasi cha shilingi milioni thebathini na saba mia nne na arobaini na mbili mia tano na ishirini na saba ambazo kati ya fedha hizo shilingi milioni kumi na saba zilitolewa kuchangia elimu zilizoanzishwa na wananchi kwa ngazi ya kijiji bwana mainda anafafanua kuwa milioni ishirini UNK miradi UNK na serikali za mitaa ambapo mwaka huu zimepelekwa kujenga madarasa nyumba za walimu samani za shule na ujenzi wa hosteli kwa shule za sekondari yapo mambo ambayo serikali imekuwa UNK kipaumbele ambayo ni pamoja na suala la michezo na UNK kujisahau katika maendeleo ya sekta zenye umuhimu mkubwa taifa lolote bila elimu haliwezi kuwa na uongozi bora wala wataalamu katika sekta mbalimbali ni wajibu wa serikali kufanya jitihada za haraka ili kuongeza kasi ya maendeleo ya elimu nchini pamoja na kujenga nyumba za walimu katika kiwango chenye ubora UNK mahitaji yao sekta ya elimu ikipewa kipaumbele kasi ya maendeleo itaongezeka na kupata wataalamu wenye uwezo wa kusimamia sekta mbalimbali kwa ufanisi mkubwa na kuongeza soko la ajira waitaka serikali kuwawezesha wasanii kimaisha UNK na mapambano ya rushwa ufisadi na eckland mwaffisi aliyekuwa gaborone botswana aprili ishirini na tatu mwaka huu rais jakaya kikwete alianza ziara ya siku tatu nchini botswana na kufanya mazungumzo na makundi ya watu mbalimbali nchini humo katika ziara hiyo iliyokuwa na mafanikio makubwa kwa serikali ya tanzania rais kikwete alipata fursa ya kuelezea kasi ya maendeleo na ukuaji wa uchumi nchini tanzania pia rais kikwete alizungumzia UNK yaliyofikiwa na serikali yake katika kutekeleza ilani ya ccm na mikakati iliyopo katika kuongeza soko la ajira ujenzi wa miundombinu uboreshaji wa huduma za afya kilimo uvuvi na kupunguza umasikini uliopo katika jamii mara baada ya kuwasili katika uwanja wa sir seretse khama jijini gaborone rais kikwete alipokewa na mwenyeji wake rais wa botswana luteni jenerali ian seretse khama viongozi wa serikali watanzania wanaoishi nchini humo makundi ya watu mbalimbali baada ya kukagua gwaride lililoandaliwa kwa ajili yake rais kikwete UNK na viongozi hao na baadhi ya watanzania waliofika uwanjani hapo watanzania hao walitumia fursa hiyo kumuomba rais kikwete kufanya nae mazungumzo majira ya saa moja usiku rais kikwete alikutana na watanzania hao katika nyumba aliyofikia mazungumzo hayo UNK mwanga na kufahamu mikakati mbalimbali inayofanywa na serikali ya awamu ya nne kwa kupunguza umasikini na kuongeza kasi ya maendeleo ya sekta mbalimbali pasipo kujizuia na furaha waliyonayo baada ya rais kikwete kuwaeleza hali halisi ya maendeleo nchini watanzania hao hawakusita UNK UNK wakiwa na maana ya asante rais kikwete kwa jitihada zako la kuwakomboa wananchi wa tanzania mwenyekiti wa chama cha watanzania waishio nchini humo bwana UNK kissasi amepongeza ushirikiano uliopo kati ya serikali ya tanzania na ile ya botswana anafafanua kuwa mbali ya kutekeleza majukumu yao ya kazi nje ya nchi yao wamekuwa UNK mambo mbalimbali yanayoendelea nchini tanzania anasema kati ya mambo ambayo serikali ya rais kikwete imekuwa ikipambana nayo ni pamoja na rushwa na ufisadi ambao ni maadui wakubwa wa maendeleo ya nchi akizungumzia suala la ubadhirifu wa mali ya umma bwana kissasi anasema watanzania wamekuwa UNK mali ya umma kama ni mali yao pamoja na UNK fedha serikalini pia wamekuwa wakijihusisha na wizi wa mafuta ya transfoma nyaya za umeme UNK ya madaraja na mabomba ya maji hapa nchini botswana wananchi hawafanyi hujuma kama hizo ndio maana kuna taa za barabarani mijini na vijijini kama tunataka kuendelea lazima wananchi tupambane na ubadhirifu na wizi wa mali za umma aliongeza bwana kissasi akizungumzia maendeleo ya sanaa nchini bwana kissasi aliwapongeza wasanii wa tanzania kwa jinsi UNK kuandaa filamu mbalimbali UNK utamaduni wa mtanzania na wasanii wa muziki ambao nyimbo zao UNK ujumbe kwa jamii wasanii katika makundi hayo wamekuwa wakifanya kazi zao kwa juhudi bidii umakini na uangalifu mkubwa anasema ni vyema wasanii hao wakaongeza juhudi katika sanaa UNK na kuifanya kwa viwango vinavyokubalika ili waweze kufikia malengo waliyojiwekea pamoja na juhudi hizo za wasanii bwana kissasi alitumia fursa hiyo kumuomba rais kikwete na serikali yake kuwasaidia wasanii hao kwa kuwawezesha kimaisha elimu na ujuzi maendeleo ya kilimo na mifugo bwana kissasi alimueleza rais kikwete kuwa umefika wakati wa tanzania kuweka mkazo katika sekta ya ufugaji na kilimo cha mashamba makubwa kwa vitendo anaweza wakulima wanapaswa kuwezeshwa na kujiunga kwenye UNK serikali UNK wakulima kuanzisha mashamba makubwa na kuwawezesha watu wenye uwezo kuanzisha mashamba hayo kwa kuzingatia viwango vinavyokubalika kimataifa anasema bwana kissasi anasema haiwezekani kila mtanzania kuwa mkulima au kupewa trekta na serikali wala pembejeo za kilimo njia pekee ya kuongeza tija na uzalishaji ni katika sekta ya kilimo ni kuiwezesha sekta binafsi anafafanua kuwa kama tanzania itajipanga vizuri ina uwezo wa kulisha wananchi wake na nchi zote jirani kwani ina rasilimali ya maji ya maziwa mito ya kutosha na ardhi yenye rutuba nzuri anasema ni vyema serikali ikaona umuhimu wa kuanzisha vituo mipakani ili viweze kuratibu na kurahisisha uuzaji halali wa UNK nje ya nchi ili mkulima aweze kuwa na uhakika wa soko kwa bei UNK ili kuwahamasisha wakulima wengine tume ya kudumu kati ya tanzania na botswana bwana kissasi UNK kuwa pamoja na kuwepo kwa tume ya UNK kati ya tanzania na botswana tume hiyo imeshindwa kukutana kwa muda mrefu wanaamini kuwa yapo mambo mengi UNK kufanywa kwa ushirikiano na UNK uzoefu miongoni mwa mambo hayo ni pamoja na uchumi madini mifugo huduma za jamii demokrasia vita dhidi ya rushwa usalama wa raia na mapambano dhidi ya ugonjwa wa ukimwi UNK rais kikwete UNK vyombo UNK ili UNK kuwa tume hiyo inakutana mara kwa mara na kutekeleza majukumu kama UNK kwenye mkataba wa kuundwa kwa tume hiyo bwana kissasi alizungumzia unyama wanaofanyiwa albino nchini na kusema kuwa uhalifu huo UNK taifa na kuonekana watanzania ni UNK na wasiokuwa na UNK anasema umefika wakati wa serikali kutumia nguvu ya ziada ili kukomesha mauaji hayo ili kurudisha heshima ya nchi kama ilivyokuwa awali akijibu mapendekezo yaliyotolewa na watanzania hao rais kikwete UNK kwa kuwa mstari wa mbele kufuatilia mambo mbalimbali yanayoendelea nchini mwao anasema serikali itaendelea kupambana na vita dhidi ya rushwa alifafanua kuwa hivi sasa serikali imeimarisha ofisi ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali ambayo imekuwa UNK ripoti za ukaguzi wake na kuipeleka serikalini kwa ajili ya kuchukua hatua hatua nyingine UNK na serikali ni kuajili wahasibu wenye taaluma ili kuongeza udhibiti wa matumizi ya fedha za serikali akizunguzia suala la mauaji ya albino rais kikwete alisema kuwa ongezeko la mauaji hayo linatokana na imani za kishirikina serikali UNK na mauaji haya na kuamua UNK kampeni maalum ya upigaji kula katika mikoa mbalimbali ili UNK wahalifu wa mauaji haya alifafanua rais kikwete anasema serikali yake ipo katika mchkato wa kuandaa mazingira mazuri UNK wasanii wa muziki na filamu ili waweze kunufaika na kazi zao kwa kufanya utaratibu wa kufungua studio itakayofanya shughuli zote za muziki wasanii hao UNK kazi zao kwa gharama nafuu na kutengenezwa katika kiwango cha kimataifa anasema katika nchi nyingi duniani wasanii wengi ndio UNK wakubwa katika nchi zao anasema serikali UNK na nguvu kubwa inayotumiwa na wasanii katika kuandaa kazi zao lakini kipato UNK UNK na ukubwa wa gharama hizo kazi kubwa inayofanywa na taasisi ya tanzania house of UNK imesaidia kuvumbua na kuendeleza vipaji vya wanamuziki wengi ambao hivi sasa wameanza kufahamika kutokana na kazi zao anasema anasema changamoto kubwa inayowakabili wasanii wengi nchini ni jinsi ya kuingiza sokoni kazi zao jambo ambalo ndio kishawishi kikubwa cha kulipwa fedha ndogo UNK na kazi waliyofanya rais kikwete aliwapongeza watanzania hao kwa kutumia muda wao mwingi kufuatilia mambo mbalimbali yanayoendelea katika nchi yao ziara ya rais kikwete ilimalizika aprili ishirini na tano mwaka huu umasikini wa kipato UNK malengo yake ni yatima mwenye mzigo wa kuhudumia familia katika maisha ya binadamu zipo hatua mbalimbali UNK mpaka kuitwa mzee mara nyingi makundi ya wazee mbalimbali hupenda kuelezea historia ya maisha yao tangu kuzaliwa kwao mpaka kufikia hatua hiyo historia za maisha ya wazee wengi ni tiba kamili ya matatizo yanayowakabili vijana wengi ambao UNK ugumu wa maisha umasikini wa kipato na kukosa mtaji wa kufanya biashara au kuhudumia familia changamoto kubwa inayotolewa na wazee ni kuwaasa vijana kuwa wavumilivu na mazingira wanayoishi pamoja na kuelezea hatua mbalimbali UNK katika maisha mpaka kufikia umri UNK vijana wengi UNK na historia za maisha ya wazee hao na kuamini kuwa matatizo waliyonayo ni moja ya changamoto UNK UNK katika maisha jambo la msingi ni kutafuta vibarua na kufanya kazi ili waweze kufanikiwa katika maisha wapo baadhi ya vijana katika maeneo mbalimbali nchini ambao wamekuwa wakijishughulisha na biashara za kuuza mitumba maji juisi na hata magazeti huku baadhi yao wakijihusisha na biashara ya vyakula UNK ili mradi kipato UNK kwa bahati nzuri tanzania haina sifa mbaya ya kuwa na vijana wazembe kama ilivyo katika nchi nyingine jambo katika baadhi ya maeneo wapo lakini si kwa kiasi kikubwa kuhangaika kwa makundi ya vijana mbalimbali ni tofauti na makundi mengine hususan walemavu wa viungo ambao wengi wao UNK na kujutia ulemavu wao kuna msemo UNK kabla UNK UNK waweza kuzaliwa mzima badae ukapata ulemavu wa maisha waweza kuzaliwa mlemavu lakini UNK na kufanikiwa katika maisha na UNK ulemavu UNK kwa hakika yote yanawezekana ni kazi ya mungu bwana mawazo ramadhan mkazi wa tanga mjini ni mlemavu wa kuzaliwa akiwa hawezi kuongea vizuri ambapo miguu na mikono yake UNK pamoja na ulemavu alionao bwana ramadhan ni kijana mwenye uwezo mkubwa wa maarifa lakini ni masikini wa kipato na maisha anayoishi ni yale ya kusikitisha na UNK mateso aliyonayo bwana ramadhan ni zaidi ya matatizo waliyonayo jamii nyingine inayokabiliwa na matatizo mbalimbali muda mwingi UNK kwa UNK kutoka eneo moja hadi lingine kutafuta misaada mbalimbali UNK kuendesha maisha yake katika mahojiano na gazeti hili bwana ramadhani anasema pamoja na matatizo aliyonayo hana makazi ya kuishi na hivyo hulazimika kulala nje baada ya wazazi wake wote wawili kufariki dunia anasema nyumba aliyoachiwa imebomoka na UNK katika kipindi cha mvua akizungumzi historia ya maisha yake anasema alizaliwa na ulemavu alionao ambapo wazazi wake walimpeleka katika hospitali mbalimbali lakini matibabu aliyopewa UNK hivyo aliendelea kukua katika hali hiyo anasema katika kipindi chote cha ulemavu alionao anatamani kujiendeleza kielimu katika shule za walemavu kama UNK lakini jitihada zake za kutafuta wafadhili zimeshindikana mpaka sasa maarifa niliyonayo ni makubwa sana na mpaka UNK umri huu sijawahi kwenda shule nafahamu vitu vingi mbali ya ulemavu nilionao katika viungo vyangu vyote UNK zaidi ni kukosa nyumba ya kuishi chakula mavazi na baiskeli ya matairi matatu ili iweze kunisaidia katika mihangaiko yangu alifafanua bwana ramadhan huku akitokwa na machozi anasema aliyoachiwa na wazazi wake inahitaji ukarabati ili iweze kurudi katika hali ya kawaida awali nyumba hiyo ilikuwa vyumba sita ambapo hivi sasa ina vyumba viwili ambavyo pia vinaweza kuanguka muda muda wowote kwa hakika sifurahii kabisa maisha ya duniani mara nyingi nimekuwa UNK na msongo wa mawazo kulingna na mtatizo niliyonayo anafafanua bwana ramadhan anasema iwapo watajitokeza wasamalia wema na UNK matatizo yake kwa kuifanyia ukarabati nyumba aliyoachiwa na wazazi wake kupewa baiskeli na UNK watakuwa UNK kimaisha na kutimiza ndoto yake ya kujiendeleza kielimu bwana ramadhani anasema UNK alionao wa kuomba misaada kwa wafadhili mbalimbali unatokana na uchungu alionao kwa wadogo zake wawili ambao anaishi nao katika nyumba moja anasema kwa kipindi kirefu vijana hao wameshindwa kuendelea na masomo yao kwa kukosa ada ya shule anasema vijana UNK bwana ally ramadhan na rajabu ramadhani wote ni wanafunzi wa kidato cha tatu ambao wamekuwa UNK shuleni mara kwa mara kwa sababu ya kukosa ada na mahitaji mengine ya shule matatizo mengine yanayowakabili wadogo zangu ni madaftari na sale za shule ambapo muda mwingi wamekuwa wakilala na njaa pale UNK nyumbani nikiwa sina msaada wowote UNK kutoka kwa wasamalia wema anasema anasema jambo UNK zaidi ni kitendo cha kuwaona wadogo zake wanashindwa kwenda shule au kukosa chakula mimi ndio mkubwa katika familia na hawana mtu mwingine UNK zaidi yangu hakika inasikitisha na kuhuzunisha aliongea kwa uchungu huku UNK machozi bwana ramadhan anasema pamoja na kulala katika nyumba inayovuja msongo wake wa mawazo UNK kama wadogo zake wangepata mfadhili wa kuwasomesha ili wapate elimu itakayowasaidia kuondokana na umasikini walionao nawaomba wafadhili mbalimbali UNK taasisi mashirika na hata makampuni kwani hali yangu kimaisha inazidi kuwa mbaya na sina msaada wowote mkubwa UNK ambao UNK kuondokana na umasikini nilionao anaongeza bwana ramadhan anasema marehemu baba yake mzee ramadhan mohamed hakuwa na kazi UNK kipato zaidi ya kujishughulisha na kazi za nyumbani na alifariki mwaka ishirini sifuri moja ambapo mama yao mwajuma bakari alifariki mwaka ishirini sifuri tano kipindi walichokuwa wakiishi na wazazi wao hawakupata shida kama wanayoipata hivi sasa anasema msaada UNK hivi sasa unatoka katika kituo cha kulelea watoto na vijana wenye ulemavu kituo hicho kimekuwa UNK kwa chakula na mahitaji madogo madogo ya nyumbani UNK sana uongozi wa kituo hiki kwa kunipa chakula na mahitaji mengine UNK sio mara kwa mara ila ni msaada mkubwa kwangu kwa kuwa na wao wana mzigo mkubwa wa kulea watoto na vijana walemavu kama mimi kwani waliwahi kunipa godoro lakini kutokana na hali ya ulemavu wangu najikuta hata godoro haliwezi kukaa kwa muda mrefu UNK kuchakaa anasema bwana ramadhan ndipo hayati mwalimu nyerere alipopewa kifimbo na wazee UNK tawi lake UNK nggombe kufungwa jela au kuchapwa viboko komonggwe ni mti wenye historia kubwa kwa watu wa kabila la waikizu mti huo ulikuwepo kabla ya utawala wa chifu makongoro wa ikizu mahali ambapo hayati mwalimu julius nyerere alipewa kifimbo alikuwa UNK mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na mbili katika makala haya mwandishi nyakasagani masenza anaelezea historia ya mti huo waikizu ni miongoni mwa makabila yenye historia mkoani mara watu wa kabila hilo UNK na UNK utamaduni wao kwa vitendo ili vizazi vijavyo viweze UNK kama ilivyo desturi ya makabila ya waafrika kutoka na hali hiyo waikizu wameweka sheria inayotumika katika maeneo yenye kumbukumbu za kihistoria ili UNK na watu wasiozingatia maana halisi ya utamaduni ambao kwa kiasi fulani umeanza kwenda mrama mti mkubwa uitwao komonggwe ndio uliobeba jina halisi la UNK mti huo una historia kubwa kwa UNK wa mkoa wa mara hususan watu wa kabila la waikizu waishio katika wilaya ya bunda mti huo UNK kwa sheria kali za kimila ili uendelee kudumu na kuwepo kama kielelezo cha kabila hilo kwa vizazi vijavyo historia ya mti huo ni kubwa kutokana na matumizi yake kuanzia enzi ya utawala wa chifu mohamed makongoro wa UNK miaka kadhaa iliyopita mti huo UNK kwa mambo ya kitamaduni na waikizu kama makabila mengine UNK utamaduni wao hupenda kuutumia mti huo katika kipindi cha sherehe wakati wa mavuno na kufanya tambo zao UNK kutoka vitani baada ya kuwashinda maadui zao asili ya kabila hilo ni wakulima na wafugaji ambao hawako nyuma katika mapambano na adui hususan wezi wa mifugo maadui hao kulingana na historia wanadaiwa kutokea mkoa jirani wa arusha ili kuiba mifugo yao sheria kali zilizoainishwa taasisi ya haki za binadamu zilifanya kabila hilo UNK kuwa watu wa kabila la masai waishio mkoani arusha ni binadamu kama wengine tofauti na mika ya nyuma ambapo waikizu walipambana nao kama wanyama wa porini utamaduni wa kabila hilo ni ule wa kukutana siku UNK chini ya mti wa komonggwe ambapo wazee wa kabila hilo huweka fuvu la simba na vijana kila mmoja kwa wakati wake hupita mbele fuvu hilo na kutamba jinsi alivyoweza kuua masai simba ama kufanya kitendo cha UNK waikizu ni wawindaji hodari ambao miaka kadhaa iliyopita UNK na serikali juu ya uwindaji haramu ambao hivi sasa umepungua kwa kiasi kikubwa mtu UNK simba huingizwa kwenye kundi la mashujaa ambaye pia UNK mbele ya wazee na kutoa majigambo yake jinsi alivyoweza kuua simba hayati baba wa taifa mwalimu julius nyerere alikuwa kiongozi wa kwanza wa kitaifa kupewa zawadi ya kifimbo mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na mbili tukio hilo lilifanyika chini ya mti huo akiwa rais wa kwanza wa tanzania na kufuatiwa na rais wa pili wa zanzibar sheikh abdul jumbe ambaye pia alipewa zawadi ya fimbo chini ya mti huo shina la mti huo mkubwa limebeba matawi mengi makubwa mazito na yaliyosambaa kila upande kuzunguka mti huo UNK kuwa na urefu mita zaidi ya hamsini sifuri kwenda juu mti huo upo katika upo katika mji mdogo wa UNK ulioko kilomita ishirini kutoka makao makuu ya wilaya ya bunda mkoani wa mara viongozi kadhaa wa serikali na vyama vya siasa wanatambua historia ya mti huo ambao UNK na kabila hilo kwa ajili ya kufanyia mikutano mbalimbali zaidi ya maika thebathini iliyopita mti huo UNK na vibanda vya biashara na hoteli UNK wasafiri waliopita eneo hilo ambalo awali ilikuwa njia kuu ya usafirishaji wa abiria kabla barabara hiyo UNK kyabakari musoma vijijini inadaiwa kuwa vibanda hivyo UNK na serikali ya kijiji ili kuulinda mti huo ambapo mzee maarufu wa kabila la waikizu wakati huo hayati UNK UNK UNK hifadhi ya kudumu kwa kuweka viti vya mbao na kuwa sehemu UNK ya kuvutia kwa mapumziko awali mti huo ulikuwa ukitoa mbegu UNK UNK ambazo kwa sasa UNK kutokana na ukweli kuwa mti huo umefikia kikomo cha uzazi kama ilivyo kwa binadamu hayati mzee UNK zenge ambaye alikuwa akiishi karibu na mti huo enzi ya uhai wake alikiri kuwa mti huo ina historia kubwa wa watu wa kabila la waikizu hayati mzee zenge aliwahi kubainisha kuwa chifu wa ikizu hayati makongoro ndiye mwanzilishi wa historia ya mti huo baada ya kufanya vikao na wananchi wake chini ya mti huo ambao hivi sasa unatumika kama kituo maalumu cha UNK viongozi kadhaa wa kitaifa hupendelea kuutumia mti huo kuongea na wananchi akiwemo rais mstaafu wa awamu ya pili bwana ali UNK mwinyi rais mstaafu wa awamu ya tatu bwana benjamin mkapa rais jakaya kikwete mawaziri wakuu na viongozi wa vyama vya siasa na serikali hayati mzee zenge ambaye alifariki hivi karibu kutoka na UNK ya uzee aliwahi kusema kuwa kama si jitihada za chifu makongoro kuweka sheria kali za kuulinda mti huo pengine UNK hadi sasa mzee huyo ambaye pia alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha watu wa kabila la waikizu UNK mti huo kwa kuandika vitabu vya historia kwa ajili ya vizazi vijavyo alifariki kabla ya ndoto yake UNK na kuacha changamoto kubwa kwa watu wa kabila hilo na waandishi wa vitabu mpaka sasa mtu aliyepanda mti huo UNK ambapo historia inaonesha kuwa ulikuwepo kabla ya utawala wa chifu makongoro wa ikizu ambaye baadaye aliutumia kwa ajili ya kukutana na wananchi baada ya kuuendeleza na UNK sheria kali za kuulinda UNK akieleza kwa undani historia ya mti huo mzee selemani makongoro ambaye ni mmoja wa watoto wa chifu makongoro anasema wakati wa utawala wa baba yake kulikuwa na sheria kali kwa ajili ya kuulinda mti huo ambao sasa ni hazina kwa kizazi kilichopo na kijacho chifu makongoro alikuwa mkali mtu yeyote UNK kukata tawi la mti huo UNK kama mhalifu aliyevunja sheria na kufikishwa mbele ya wazee wa mila na kuadhibiwa kwa kulipa nggombe na kama alishindwa kulipa alifungwa jela miezi sita na adhabu ya viboko anasema mzee selemani anasema chifu makongoro hakupenda uvivu alikuwa mstari wa mbele kuimalisha miundombinu ya eneo la utawala wake mbali na kuweka hifadhi katika mti huo aliweza kusimamia uchimbaji wa mabwawa ya maji kwa ajili ya mifugo visima vya maji ya kunywa na huduma zingine za jamii bwana selemani anasema katika kipindi hicho chifu makongoro aliweza kujenga shule kadhaa za msingi zilizotoa elimu kwa watoto UNK ujenzi wa vituo vya afya na mahakama ambavyo bado UNK kutokana na majengo yake kujengwa kwa UNK kama ilivyo desturi ya utawala wa UNK utawala wa chifu makongoro bado unatambuliwa na watu wa kabila la waikizu ambapo hivi karibuni mrithi wa kiti hicho hayati adamu UNK alipofariki mwanae wa kiume UNK rasmi kuwa chifu wa ikizu akiwa na umri wa miaka kumi na nne ni mrithi wa choki twanga pepeta na mwali ibrahim tangu ajiunge na bendi ya african stars twanga pepeta UNK charles gabriel charls baba amekuwa nguzo muhimu katika safu ya uimbaji na UNK wa UNK ni vigumu UNK kama anaweza kuwa mtunzi mahiri lakini vitendo vyake na maneno yake ya busara yanadhihirisha kama ni lulu katika bendi ya twanga pepeta inayomilikiwa na kampuni ya african stars entertainment tanzania kampuni ya UNK inamiliki bendi mbili ambazo zote ziko juu kimuziki twanga pepeta na UNK sound inayoongozwa na UNK UNK mtaalamu wa UNK la UNK juhudi ya mtu ndiyo UNK mafanikio katika fani yake au kazi yake lakini kwa wasanii ni jinsi UNK na kuipenda kazi yake ndipo mafanikio yake UNK miongoni mwa wasanii wanaokubalika katika muziki wa dansi ni mwimbaji na mtunzi mahiri charls baba mwenyeji wa korogwe mkoa wa tanga akiwa ni mtoto wa kumi kuzaliwa katika familia ya gabriel yenye jumla ya watoto kumi na moja anasema nyimbo alizotunga ambazo zitaingia katika albamu mpya zina mashairi mazuri ambayo shabiki yeyote wa muziki UNK atakubali ukomavu wake katika fani hiyo mwana dar es salaam kwanza sikujua kama ungeweza kupata sifa kubwa na hata kubeba jina la albamu lakini baada ya wanamuziki wenzake kuusikia wakaamua kuupa hadhi ya kubeba albamu huu wimbo unazungumzia msichana aliyezaliwa kukulia na kusoma katika shule za dar es salaam UNK alikuwa akiwasiliana na watu wengi pia alimweleza mumewe kwamba yeye ni mtoto wa dar hivyo anajulikana na watu wengi anasema anasema kisa hicho UNK wengi jijini na nje ya jiji la dar es salaam na ndiyo UNK UNK ili uwe fundisho kwa wengine ni kisa cha kuvutia ambacho kila mtu akisikiliza UNK UNK wale wote UNK wimbo huo ambao utawekwa hadharani juni tano mwaka huu diamond jubilee dar es salaam anasema mbali na mwana dar es salaam UNK baba UNK wimbo wa shida ni darasa ambao UNK kwamba UNK na shida lazima UNK njia ya UNK hapo utakuwa umepata somo zuri yaani tayari utakuwa umeingia darasani shida mara nyingi UNK mtu jinsi ya kuikwepa ni wimbo UNK jinsi ya kuzikwepa shida UNK anasema mwimbaji huyo alipata elimu yake ya msingi katika shule ya msasani dar es salaam mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano na baadae kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya lutengano mkoani mbeya akiwa mwanafunzi aliyeonesha uwezo mkubwa darasani charles baba alilazimika kuishia kidato cha tatu baada ya kupata safari ya kwenda nchini UNK lakini kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wake UNK kutokana na hali hiyo charles baba alilazimika kujiunga na chuo cha ufundi stadi veta changgombe akichukua fani ya ufundi wa umeme wa majumbani kwa kipindi cha mwaka mmoja na kufanikiwa kuhitimu masomo yake elfu moja na mia tisa na tisini na saba akiwa chuoni hapo alionesha uwezo mkubwa wa UNK fani hiyo na mara baada ya kumaliza masomo yake alifungua ofisi nyumbani kwao msasani nikiwa naendelea na kazi ya ufundi umeme nilianza kujihusisha na muziki na soka ambavyo ni vitu nilivyokuwa UNK tangu nikiwa mtoto ambapo kwa upande wa soka nilikuwa UNK timu ya msasani anasema baada ya kuonesha umahiri mkubwa katika fani ya muziki shemeji yake aliyemtaja kwa jina moja la abdallah UNK katika bendi ya gendaheka ya msasani ambayo ilikuwa ikipiga nyimbo za bendi nyingine na kufanya nayo mazoezi anasema baada ya kujiona UNK katika sanaa ya muziki alilazimika kutunga nyimbo zake ambazo UNK na wadau mbalimbali wa muziki huo kutoka ndani na nje ya nchi akiwa na bendi hiyo alifuatwa na mdau wa muziki aliyemtaja kwa jina la mzee mwendapole wa msasani ambaye alikuwa akimiliki vyombo vya muziki na kulazimika kutoka gendaheka na kufanya kazi ya kupiga UNK wakati akijihusisha na kazi hiyo aliendelea kupata umaarufu zaidi hadi alipokutana na mzee singano mwenyeji wa mkoa wa tanga ambaye alikuja jijini dar es salaam kununua vyombo vya muziki kwa mwendapole ili UNK bendi yake mkoani tanga charls baba anasema alikubaliana na mzee singano na kwenda kuanzisha bendi mkoani tanga ambayo ilipewa jina la fax jazz na kudumu nayo kwa kipindi cha miaka miwili tulitengeneza nyimbo nyingi ambazo tulikuwa UNK nazo mkoani tanga kwa kipindi cha mwaka mmoja na mwaka uliofuata tuliingia mkataba wa kupiga muziki katika hoteli ya habari beach ya dar es salaam na kulazimika kuhamishia kambi jijini anasema anasema mwaka uliofuata UNK UNK sound ambayo ilikuwa chini ya waziri UNK baada ya uongozi wa bendi hiyo kuridhishwa na kiwango chake katika sanaa ya muziki bendi hiyo iliingia kambini handeni mkoani tanga akiwa na wanamuziki wenzake jua kali chinese zena mwarami na fujo UNK kwa kipindi cha miezi mitatu na kuhamia jijini baada ya mkurugenzi wa bendi hiyo kutafuta nyumba mwananyamala ambako pia walikuwa wakifanyia mazoezi charls baba aliendelea kukubalika zaidi baada ya bendi hiyo kurekodi kwenye video wimbo wao wa ndio kwanza naanza ambao UNK katika albamu iliyokuwa na nyimbo sita ambazo baadhi yake ni mshahara tonge na nyoka UNK UNK ukimwi anasema UNK na bendi hiyo lakini alipata bahati ya kupanda kwenye jukwaa la twanga pepeta baada kwenda katika ukumbi wa dar west tabata ambapo UNK na wimbo wa UNK na kujikuta yupo jukwaani akiimba na kuwapa mashabiki UNK wa nguvu wapenzi ambao wanaijua twanga vizuri UNK uongozi na kuueleza juu ya kipaji changu na kwa bahati nzuri mkurugenzi asha baraka alikuwepo nilifanya mazungumzo naye ili nihamie twanga kuziba pengo la ally choki ambaye alianzisha bendi yake ya extra bongo anasema UNK baba charls baba alijiunga rasmi na bendi hiyo mwaka ishirini sifuri tano hadi hivi sasa anatamba na nyimbo zake tatu za mkiwa UNK UNK na nguvu za giza na kushiriki katika maandalizi ya albamu tatu za bendi hiyo ambazo ni UNK safari ishirini sifuri tano na mtaa wa kwanza anasema kitu ambacho UNK maishani mwake ni juu ya bendi hiyo kuwa na idadi kubwa ya wapenzi na mashabiki kuliko bendi yoyote hapa nchini ikiwa UNK katika kila idara kwa kuwa na wanamuziki wanaoufahamu muziki anasema tangu ajiunge na bendi hiyo amepata mafanikio mengi ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba kuendesha maisha yake mwenyewe kutambulika na jamii na kuwa mchango mkubwa katika familia yao charls baba anavutiwa zaidi na jose mara wa fm academia ambaye ni mdogo wake aliyeanza nae muziki tangu wakiwa wote katika kwaya ya kanisa la anglikana magomeni matatizo UNK nayo kupitia kazi hiyo ni kufanyiwa fujo na mashabiki ama kumsema vibaya tofauti jina la UNK baba limebaki UNK nzuri kwa wapenzi wa muziki jijini london uingereza wakati wa ziara yao mwaka jana anasema twanga pepeta haina mpinzani na haitakuwa na mpinzani zaidi ya kuendelea kuwa juu kwani haina UNK na wala UNK na bendi nyingine ameitaka jamii kuwa makini na janga la ugonjwa hatari wa ukimwi ambalo UNK pabaya na kuwa waangalifu sambamba na kufafanua kuwa wimbo ambao UNK zaidi ni zungu la roho ambao UNK na bendi yake UNK na UNK chuma chokoraa wanafunzi st denis UNK na somo hilo imani za kishirikina zinazoelezwa ndio chanzo cha mauaji ya albino UNK wanafunzi wa shule ya sekondari st denis ya morogoro baada ya kufundishwa somo la kitabu cha takadini kinachoelezea athali za mauaji hayo katika makala haya mwandishi nyakasagani masenza anaelezea jinsi wanafunzi hao UNK na mauaji hayo uchambuzi wa riwaya kutoka katika kitabu cha takadini ambacho UNK na mwandishi ben UNK UNK wanafunzi wa shule ya sekondari st denis ya morogoro kitabu hicho kinaelezea mila potofu na nafasi ya mwanamke katika jamii ya kiafrika ndani ya kitabu hicho UNK vita imani potofu na mauaji ya albino mwanamke jasiri na mwenye msimamo mkali bibi sekayi ambaye ni mke wa mzee makwati anakataa kumuua mwanae wa kiume kwa sababu ni albino mzee makwati ambaye ni mume wa wake wanne bibi sekayi ni mke mkubwa UNK mtoto albino wake wengine wa mzee makwati ni bibi UNK bibi UNK na bibi UNK akifundisha somo hilo kwa wanafunzi wa shule hiyo mwalimu UNK mwinuka anawataka wanafunzi hao kuelewa kuwa albino ni binadamu kama wao hivyo kuwaua kwa shinikizo la imani za kishirikina ni kutowatendea haki wakati somo hilo likiendelea yaliibuka maswali kutoka kwa wanafunzi wakitaka kufahamu haki za binadamu katika suala zima la mauaji ya albino sikilizeni wanafunzi hii ni nafasi nzuri kwenu kujifunza somo hili muhimu albino ni binadamu kama wengine wana haki zote za msingi kuoa ama kuolewa kupata elimu bora na huduma zingine za jamii si kuwaua kama UNK sasa anasema bwana mwinuka kupitia kitabu hicho bwana mwinuka anasema mzee makwati alitumia muda wake mwingi kumshawishi mkewe bibi sekayi ili UNK mtoto wao wa kiume anayeitwa takadini ambaye ni albino anasema wkati mzee makwati akiendelea na msimamo huo UNK mvutano kati yake na mkewe bibi sekayi ambaye alilazimika kutoroka usiku akiwa na mwanae takadini mgongoni ni alama ya ujasiri kwa mwanamke huyu kitabu kinaonesha kuwa baada ya mzee makwati kushauri takadini auawe kwa kuwa ni albino bibi sekayi alionesha ujasiri wake kwa kutoroka na mwanae akiwa amebeba silaha za jadi kwa ajili ya kujilinda na mwanae anaeleza bwana mwinuka alifafanua kuwa tafsili ya neno takadini ni sisi UNK nini ambapo bwana mwinuka aliwauliza wanafunzi hao kuwa wamejifunza nini juu ya ujasiri wa bibi sekayi UNK usiku ili UNK mwanae UNK wanafunzi hao walikiri kuwa kitendo cha bibi sekayi kutoroka na mwanae albino UNK kuwa mwanamke huyo ni jasiri na mwenye msimamo aliyekusudia kumlinda mwanae takadini baada ya bibi sekayi kukimbia na mwanae muda mrefu alifika sehemu ambayo alilazimika kuomba msaada kwa UNK bibi sekayi alikutana na mzee UNK ambaye baada ya kumuelezea matatizo ya mwanae mzee huyo alimpeleka kwa mfalme masasi ambaye alimpokea baada ya kuelezwa kuwa mzee makwati alitaka kumuua mwanae takadini bwana mwinuka aliwaeleza wanafunzi hao kuwa baada ya takadini UNK kwa kimo na akili alikuwa hodari wa kupiga UNK filimbi ya asili iliyotengenezwa kwa UNK pia alikuwa mganga wa tiba asilia baada ya kufundishwa na mzee UNK pamoja na uhodari aliokuwa nao takadini alikuwa na kipaji cha kuimba UNK UNK sana kiasi cha kutokea mvutano wa kugombea mke UNK yake na mwenzake UNK na ulemavu bwana mwinuka anasema takadini ambaye pia alikuwa na uhodari wa kuimba na kucheza alifanikiwa kumuoa binti aliyeitwa UNK pamoja na wazazi wa binti huyo kukataa UNK shingayi alionesha dhamila ya kumpenda takadini na kuwataka wazazi UNK mume maana halisi ya kitabu hicho ni utu wa binadamu hususan mama wa takadini UNK mwanae albino ili UNK na jinsi UNK na shingayi jambo ambalo linaonesha hakuna ubaguzi katika suala zima la mahusiano ya watu wawili pamoja na shingayi kuolewa na albino alifanikiwa kuzaa mtoto asiyekuwa na ulemavu takadini UNK kijijini alipokuwa akiishi baba yake mzee makwati alipta aibu baada ya kumuona mwanae akiwa na mkewe na mtoto ambaye hakuwa na ulemavu wowote mwalimu mkuu wa shule hiyo bwana edward shigali anasema somo hilo UNK wanafunzi wa shule hiyo kuelewa maana halisi ya utu wa binadamu ambapo alisisitiza kuwa ni vyema somo hilo UNK katika shule mbalimbali ili liweze kuwawezesha wanafunzi kuwa na upendo dhidi ya watu wenye ulemavu badala ya kuwatenga anasema shule hiyo imedhamilia kufundisha somo hilo kwa lengo la kuwajenga wanafunzi wa shule hiyo juu ya athari za mauaji ya albino na nafasi ya mwanamke katika jamii bwana shigali anasema mikakati ya shule hiyo ni kuzalisha wanafunzi wenye vipaji vya kuelewa mambo mbalimbali katika nyanja tofauti ikiwa ni pamoja na michezo ili kuenzi jitihada za rais jakaya kikwete katika suala zima la michezo mkurugenzi mkuu wa shule hiyo bwana julius UNK anasema shule hiyo ipo kilometa tano kutoka kituo kikuu cha mabasi UNK ikiwa imeanzishwa mwaka ishirini sifuri sita ambapo hivi sasa ina wanafunzi zaidi ya thebathini sifuri wa bweni na kutwa utamaduni wa kigeni unachangia kupotosha maadili katika jamii na stephano mango mei ishirini na moja kila mwaka ni siku ya UNK ya utamaduni duniani ambapo kilele cha maadhimisho hayo kitaifa yalifanyika mkoani ruvuma kwenye uwanja wa majimaji chimbuko la siku ya utamaduni duniani limetokana na shirika la elimu sayansi na utamaduni la umoja wa mataifa kutangaza muongo wa utamaduni na maendeleo mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nane elfu moja na mia tisa na tisini na nane kwa kutoa wito kwa nchi wanachama wa umoja huo kuenzi tamaduni zao desemba ishirini sifuri mbili umoja wa mataifa UNK azimio ambalo lilitoa maelekezo kwa nchi zote wanachama kuadhimisha siku ya utamaduni duniani ambayo ni mei ishirini na moja kila mwaka tanzania kupitia wizara yenye dhamana na utamaduni ilianza kuadhimisha siku hiyo ya mwaka ishirini sifuri tano ikishirikisha wadau mbalimbali kuta sekta mbalimbali zikiwemo binafsi na asasi zisizo za kiraia mwaka ishirini sifuri sita maadhimisho hayo hayakuweza kufanyika kwa uzito stahiki kutokana na sababu ambazo wizara husika UNK pamoja na kutoa tamko kwenye vyombo vya habari juu ya maadhimisho hayo mwaka ishirini sifuri saba na ishirini sifuri nane maadhimisho hayo yalifanyika jijini dar es salaam chini ya kauli mbiu za utamaduni ni kioo cha jamii na utamaduni ni utu mwaka ishirini sifuri tisa siku hiyo ya utamaduni UNK kitaifa mjini songea na kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni utamaduni ni bidhaa nunua UNK tanzania kimsingi siku ya utamaduni duniani huadhimishwa na mataifa yote duniani na kutoa fursa kwa nchi husika kuutangaza utamaduni wake ili uweze kutoa mchango katika maendeleo ya nchi husika kila nchi inapaswa kujivunia utamaduni wake kwa maendeleo yaliyokusudiwa ni wajibu wa nchi husika kuutangaza utamaduni wake kupitia bidhaa lugha ngoma michezo na ubunifu mwingine ili kuleta manufaa kwa watu wake pamoja na kuimarisha utambulisho wa nchi ili UNK na tamaduni nyingine kutokana na nguvu na athari za utandawazi nchi mbalimbali zinatambuliwa kwa utamaduni wake kama desturi lugha mavazi sanaa na kazi ambazo zina ubunifu mkubwa na ubora wa kujitambulisha zenyewe na mahali UNK pamoja na kuhamasisha na kushiriki katika kukuza na kuendeleza utamaduni kuhimiza uzalendo umoja na amani miongoni mwa wananchi ingawa tanzania inayo makabila zaidi ya mia moja na hamsini kumekuwepo na mshikamano na amani miongoni mwa wananchi hali hiyo imechangiwa na mambo mengi yakiwemo lugha ya kiswahili UNK kwa asilimia tisini na sita na watanzania wote kulingana na kauli mbiu ya maadhimisho hayo mwaka huu wadau wa sekta ya utamaduni na wazalishaji wa bidhaa za utamaduni walipata fursa ya kutangaza na kuuza bidhaa zao na UNK kipato wafanyabiashara wa bidhaa hizo na watumiaji walijitokeza kwa wingi katika vibanda UNK uwanjani hapo miongoni mwa watu walioshiriki katika maadhimisho hayo na kujitokeza kununua vitu mbalimbali ni wananchi kutoka wilaya za mbinga na UNK pia wananchi hao UNK bidhaa zilizotengenezwa kwa UNK UNK UNK ambazo UNK vizuri na malighafi nyingi za asili kama miti nyasi ngozi chuma mifupa na mimea mbalimbali pamoja na baadhi ya bidhaa hizo kununuliwa kwa wingi maadhimisho hayo yalipambwa na kazi za wasanii mbalimbali zikiwemo ngoma mashairi sarakasi na maigizo yenye asili ya utamaduni wa mtanzania ni dhahiri kuwa maonesho ya siku ya utamaduni yalitoa fursa kwa watazamaji kuona kujifunza na kutambua thamani ya bidhaa mbalimbali za utamaduni zinazozalishwa nchini na kutoa nafasi kwa wazalishaji kutambua mahitaji muhimu ya sasa katika soko la ndani na nje kwa maslahi ya nchi kiuchumi na UNK wakati nchi ikiadhimisha siku hiyo muhimu bado kuna watanzania walio wengi mpaka sasa hawajui nini maana ya utamaduni na faida zake katika maisha ya jamii idadi kuwa ya wananchi wanatambua kuwa utamaduni UNK kwenye ngoma za makabila mbalimbali jando unyago na nguo UNK na UNK ya miti na kuamini kuwa vitu hivyo ni jukumu UNK watu wachache hususan wazee utamaduni una maana pana kwani unahusisha utaratibu wa maisha ya mtu ya kila siku na unakwenda pamoja na mfumo wa maisha ya watu katika kila taifa bila kujali lipo katika bara la afrika au ulaya pamoja na kuhusisha kazi zote za sanaa zinazofanyika kwa kutumia rasilimali zinazopatikana nchini pamoja na ubunifu unaotumia vitu vya asili ya tanzania thamani ya utamaduni katika nchi za nigeria china india na ghana maisha yao yanajieleza wazi katika mfumo wa kimaisha kwa kuwa wannchi wake ni watu wanaopenda kuenzi utamaduni wao kutokana na kupenda kutambulisha tamaduni zao utambulisho huo unalenga katika mavazi chakula na hata lugha tofauti na tanzania ambayo kwa bahati mbaya imejikuta ikipoteza utamaduni wake wa asili na kuukumbatia utamaduni wa mataifa mengine kwa kisingizio cha muingiliano mkubwa wa kijamii na kiuchumi na mataifa mengine kwa kigezo cha utandawazi UNK dunia kuwa kijiji ni aibu kuona nchi yenye watu zaidi ya milioni arobaini inajiendesha kwa kufuata utamaduni wa mataifa mengine katika lugha mavazi na chakula jambo ambalo UNK UNK wa maadili ya kitanzania unapozungumzia utamaduni unazungumzia maisha ya mtu tangu UNK UNK kuwa kazini na hata anapokuwa nyumbani ambapo anapaswa kuenzi utamaduni wake kwa chakula mavazi misemo na matendo yake ili kufikia hali hali hiyo ni muhimu kuongeza juhudi katika kukuza na kuthamini utamaduni wetu katika nyanja mbalimbali ili UNK utamaduni huo kwa viwango kikubwa tunapaswa kuwatumia ipasavyo watu walio katika kazi za utamaduni ambao ndio chachu katika kazi za sanaa hususan UNK wa UNK UNK wa UNK na vitu vinavyotokana na udongo wa UNK wapo wabunifu wa michoro mingi inayoelezea tamaduni za makabila mbalimbali ambao UNK ipasavyo katika kujiongezea kipato chao wenyewe na kutangaza vyema utamaduni uliopo katika maeneo yao serikali inapaswa kuthamini na kutafuta soko la bidhaa za sanaa zikiwemo nyimbo michezo ya kuigiza vitabu vya riwaya tamthilia sinema mashairi yenye maudhui au ladha ya utamaduni wetu ni wazi kuwa utamaduni ndio kiini na roho ya taifa lolote duniani taifa lisilo na utamaduni wake ni taifa mfu kwani halina uhai kwa sababu utamaduni ndicho kitambulisho kikuu cha taifa na pia ni kielelezo cha utashi na uhai wa watu wake ni muhimu kuthamini na kutunza utamaduni wetu katika maadili heshima adabu umoja na mshikamano uzalendo kazi na ubunifu lugha zetu za asili na kiswahili mila na desturi zetu zinapaswa kupewa kipaumbele sambamba na uvaaji wa UNK yenye sura ya kitaifa burudani ya ngoma za asili na vyakula vya asili ya kitanzania bidhaa za kiutamaduni zinapaswa kutoa fursa ya kuhusisha wananchi wengi katika ukuaji wa uchumi hata kwa makundi ambayo tunadhani hayawezi kuchangia chochote katika maendeleo ya uchumi tanzania imekuwa ikikabiliwa na changamoto nyingi zilizopo ndani na nje ikiwa ni pamoja na uwezo mdogo wa kuzalisha bidhaa hizi ili kukidhi mahitaji ya masoko ukosefu wa mitaji na mikakati ya UNK miundo mbinu mifumo mizuri ya kitaasisi kuwepo kwa masharti na mifumo UNK ya masoko ambayo UNK mwananchi haki na fursa ya kunufaika na bidhaa za utamaduni sasa ni wakati muafaka kwa serikali kuzifahamu changamoto hizo na kuziwekea mikakati ya kutafuta ufumbuzi wake hii ni pamoja na kutunga sera na sheria ambazo zitaongeza manufaa kwa wadau wote wa biashara ya bidhaa za utamaduni na kulinda haki na ustawi wa wasanii na bidhaa hizo wadau wa bidhaa za utamaduni wanapaswa UNK kwa dhati bidhaa hizo UNK kuzinunua na kutumia bidhaa hizo kwa manufaa yetu kwa kufanya hivyo uchumi wetu utakua na kuinua viwanda vyetu ambavyo vimekuwa UNK ushindani mkubwa kwenye soko ni muhimu vijana kushiriki katika kazi za usanii na ujasiliamali kwa kutumia fursa zilizopo katika tasnia za utamaduni ili kuboresha maisha na suleiman mbuguni nilikuwa ni mwenye furaha kubwa baada ya kusikia bondia francis cheka UNK smg kutoka morogoro ameweza kutetea mkanda wake wa ubingwa wa dunia wa shirikisho la kimataifa la ngumi za kulipwa UNK boxing organization dhidi ya bondia mrusi ramil UNK katika pambano hilo lililofanyika UNK tanga cheka UNK mdosi huyo kwa UNK UNK ya raundi ya kwanza ubingwa wa dunia bila shaka si jambo dogo cheka ni bondia mzuri hilo halina ubishi lakini sina kumbukumbu nzuri kwa yeye kushinda kwa ko raundi ya kwanza katika mapambano yake ya kitaifa na kimataifa ya kuwania ubingwa kwa hiyo kwa yeye kushinda mapema pambano hilo ilikuwa ni rekodi nzuri lakini kuna jambo moja UNK nitafute rekodi ya nadirov kwanza kutaka kujua ubora wa bondia huyo lakini pia ni kwa namna pambano lenyewe UNK na kuendeshwa hadi dakika ya mwisho bondia huyo mdosi alikuja na msafara wa watu wawili tu yeye na bila shaka meneja wake UNK kujiuliza hapo ubingwa wa dunia japo wa chama UNK saaana katika ulimwengu wa masumbwi waje watu wawili tu halafu suala la maandalizi ya ubingwa huo wa dunia UNK shaka zaidi hakukuwa na mandalizi yoyote kuonesha kuwa pambano hilo lilikuwa la ubingwa wa dunia hata siku ya pambano lenyewe hakukuwa na bendera yoyote ya taifa nyimbo za taifa za tanzania na urusi wimbo wa taifa la tanzania UNK na promota mwenyewe emanuel UNK ndipo katika uchunguzi wangu wa rekodi za bondia nadirov UNK kuwa ni bondia mchovu nasema mchovu UNK na bondia UNK naye na kwa hakika ko ilikuwa ni halali yake bondia huyo kutoka azerbaijan urusi mwenye uzito wa kati kabla ya kupigana na cheka alikuwa amepigana mapambano mawili tu ambayo moja alishinda kwa pointi na lingine alipigwa kwa pointi hivyo pambano la tatu ni hilo alilopigana na bingwa wa dunia wa ubo cheka jijini tanga angewezaje kumudu kusimama hata dakika tatu mbele ya cheka mwenye rekodi ya mapambano ishirini na nne akishinda kumi na saba akipigwa sita na kutoka sare moja tena kumi na moja akishinda kwa ko hivi kweli cheka na promota wake mlundwa wanaweza kujivunia ushindi huo kama si matusi kwa watanzania wapenda ngumi kuna msemo usemao kwamba unaweza kuwadanganya watu kadhaa kwa kipindi fulani na si siku zote kwani hata wao si wajinga kiasi hicho watanzania wapenda ngumi na mabondia wenyewe sidhani kama UNK UNK na kufanywa UNK kimsingi cheka hakupaswa kabisa si kupigana tu na bondia huyo bali hata kufikiria kupigana na bondia huyo kwa bondia kama yeye haimsaidii chochote na zaidi ni kumpotosha tu kama kweli mlundwa anayeheshimika sana katika taaluma ya ngumi nchini na shirikisho lake la ngumi za kulipwa ana nia ya kumfikisha cheka kwenye ngumi za kimataifa anatakiwa UNK mapambano ya maana na si mabondia wanafunzi kama nadirov ambaye angeweza kupigwa hata na mtoto wa rashid UNK ni vyema sana mapromota na waandaji wa mapambano ya ngumi nchini wakaangalia mambo matatu na si moja waangalie maslahi ya mchezo wenyewe maslahi ya bondia na UNK yake na kwa bahati mbaya sana wengi huandaa kwa maslahi yao zaidi kuliko mambo hayo mengine mawili kwa mtindo huu ngumi UNK katika hadhi yake hivi ni mpenzi gani wa ngumi aliyekosa mapambano yaliyokuwa yakifanyika ukumbi wa relwe gerezani enzi hizo akina mlundwa wenyewe UNK msisimko huo UNK wapi kama si ubabaishaji kama huu wa bingwa wa dunia kupigana na bondia mwenye mapambano mawili huku akishinda moja kwa pointi ukweli huuma lakini kwa hakika mtoto wa UNK angeweza UNK huyo UNK hivi matumla ana nia gani na ngumi hizi cheka si wa kulaumiwa bila shaka naye aliingia mkenge sina uhakika kama alikuwa hafahamu rekodi ya mpinzani wake au naye aliamua kuganga njaa na kama ndivyo basi naye anashiriki UNK wengine UNK mlundwa mwenyewe UNK wapinzani wake vikali enzi zake nani aliyeweza kusimama kwa mlundwa UNK mlundwa kupoteza pambano zaidi ya lile alilopigana na mkenya kama sikosei na kumsababishia upasuaji wa jicho na kumfanya UNK na ngumi akiwa na uwezo wa hali ya juu mlundwa akiwa katika ngumi za ridhaa na akina bakari seleman match UNK lucas msomba UNK mkandala rajabu hussein juma UNK issac UNK walikuwa wakichukua mikoba ya akina habib UNK na marehemu titus simba waliokuwa wanamalizia muda wao alikuwa hodari na kila shabiki alipenda kumwona hata alipoamua kuanzisha ngumi za kulipwa akiwa na akina lucas msomba bado alifanikisha ngumi hizo kuwa za msisimko mashabiki wa ngumi hawakutaka kuona wakikosa mapambano ya akina gerald isack marehemu abdallah mgeni omar UNK charles UNK UNK emmanuel kimaro stanley UNK marehemu paul UNK ernest UNK na baadaye kizazi cha akina rashid matumla ngumi zilikuwa ziko juu kiasi kwamba mabondia wengi kutoka nje walikuwa wakija kupambana na kweli yalikuwa mapambano walikuja na wengine UNK kabisa tanzania walikuwepo akina marehemu charles UNK mawe david UNK UNK hawa walitoka zambia joe john kutoka nigeria UNK UNK okapi kutoka kongo UNK UNK wa kenya na wengine wengi ni jambo la kujiuliza je mapromota wa mchezo huo kama mlundwa hapendi kuona akina cheka na kizazi kijacho UNK kwa umahiri kama wake je hapendi kuona ngumi hizo UNK heshima yake kama ilivyokuwa enzi hizo relwe UNK kama ndiyo kwa UNK cheka na UNK kwa kuwadanganya umma wa watanania kwa kuwa tu anatoka urusi ndiko UNK ngumi hizo ni kupotea njia haya ni masula ya kuangalia sana na mabondia wenyewe na sasa wanatakiwa waamke na kujua thamani yao gazeti hili UNK makala kuhusu mtindo wa sasa wa mabondia kupigana vichochoroni kienyeji pia mabondia kwenda UNK uingereza urusi ufilipino na kwingineko na kuishia kupigwa kwa ko ni cheka pekee hadi sasa ambaye UNK kwa ko katika mapambano yake ya huko nje wengine wanaishia kulala bila shaka hao ndio mabondia UNK kuletwa na si huyo mdosi wa urusi ambaye hata mimi UNK kwa wiki moja na kitambi changu bila shaka UNK tu japo kwa pointi tangu mlundwa aanze kupeleka mabondia nje hakuna hata mmoja ambaye amewahi kushinda ila wamekuwa wakipigwa hatua za awali na matokeo yake UNK wa nchi hizo wanapanda chati kilaini kupitia mabondia wa tanzania ambao wanaonekana ni sehemu ya UNK cheka pia ni bingwa wa international circuit UNK katika pambano hilo mashabiki wa ngumi walishuhudia cheka akitetea ubingwa huo kwa kumchapa mpinzani wake katika raundi ya kwanza hata hivyo baadhi ya mashabiki waliohudhuria pambano hilo UNK na mashaka juu ya uwezo wa mpinzani wa cheka pamoja na mazingira ya mchezo UNK mmoja wa mashabiki UNK pambano hilo salim bawaziri ambaye kiongozi wa timu ya coastal union alisema mimi nina mashaka sana na pambano la cheka na ramil hivi kweli bondia toka urusi aje kupambana ngumi za ubingwa wa dunia waje watu wawili tu kutoka urusi hakuna bendera za taifa nyimbo ya taifa la tanzania pia UNK mlundwa kama kweli ingekuwa ni bingwa wa dunia walitakiwa kuja na ujumbe mzito na mpiganaji ramil hakuonesha kabisa kama mtu wa ngumi tena wa kimataifa aliongeza UNK ikiwa kama mashabiki wa ngumi wamefikia kuhoji hatua hii ya pst ni lazima sasa mabondia wa tanzania nao waamke kama kweli wanataka ushindani wa kweli hapa inaonesha mabondia hawa wanaburuzwa bila ya kujijua halafu siku ya mwisho UNK ni wengine chelsea ambayo mwaka huu imetwaa kombe la fa na kuyakosa makombe la ligi kuu uingereza na klabu bingwa ulaya imeanza kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao wa michuano hiyo katika harakati hizo tayari imeanza kutupa ndoano zake kwa baadhi ya wachezaji walionggara wakiwa na timu zao katika michuano mbalimbali barani ulaya na kwingine lakini siyo chelsea pekee ndiyo walioanza kampeni ya kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao bali hata timu nyingine za ulaya ambazo zina malengo ya kufanya vizuri msimu ujao wakati ikiwa imemaliza ligi ikiwa ya tatu nyuma ya liverpool na manchester united iliyotwaa ubingwa uingereza chelsea ambayo hivi karibuni UNK kocha carlo ancelotti aliyekuwa UNK ac milan ya italia badala ya guus hiddink aliyerejea katika timu yake ya taifa ya urusi tayari UNK mate mshambuliaji wa pembeni adam johnson johnson aliyezaliwa julai kumi na nne elfu moja na mia tisa na themanini na saba mjini UNK ni mzaliwa wa uingereza anayeichezea klabu ya middlesbrough ni mshambuliaji wa kushoto lakini pia ana uwezo wa kucheza upande wa kulia johnson ni miongoni mwa wachezaji wengi waliopitia katika kituo cha middlesbrough na kuingia katika kikosi cha kwanza msimu uliopita alikuwa ni mmoja wa wachezaji waliochangia kutwaa ubingwa wa fa kwa vijana mwaka ishirini sifuri tatu sifuri nne pia aliiwakilisha timu ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka kumi na tisa ya england na kutajwa na kocha lewis UNK kuwa mchezaji bora wa mechi johnson alianza kuitumikia timu ya wakubwa akiwa na miaka kumi na saba katika mechi ya uefa iliyopigwa machi kumi na saba ishirini sifuri tano dhidi ya sporting lisbon ambapo walifungwa ugenini bao moja sifuri miezi sita baadaye alianza kuonekana katika ligi kuu na kikosi cha kwanza cha wakubwa alicheza baada ya stewart downing kuumia katika mechi dhidi ya arsenal waliyoibuka na ushindi wa mabao mbili moja johnson alifunga bao la kwanza katika ligi kuu england mei tatu ishirini sifuri sita dhidi ya bolton UNK ambapo alicheza badala ya steve mcclaren aliyepumzishwa kwa ajili ya kucheza mechi ya uefa wiki moja baadaye oktoba kumi na sita ishirini sifuri sita alihamia klabu ya leeds united kwa mkopo aliichezea mechi tano baadaye katika msimu huo aliingia akitokea kwenye benchi katika mechi ya kuwania kombe la fa dhidi ya bristol city ambapo mchango wake UNK middlesbrough kusonga mbele hatua nyingine septemba ishirini sifuri saba johnson alijiunga na klabu iliyokuwa ikishiriki ligi ya championship ya watford kwa mkopo wa miezi mitatu ambapo UNK kutokana na kiwango chake kuwa cha juu johnson alicheza mechi kumi na mbili na kufunga mabao matano kabla ya kuitwa tena katika klabu yake ya middlesbrough mshambuliaji huyo alianza kucheza katika mechi ya kuwania kombe la uefa dhidi ya sporting lisbon mwaka ishirini sifuri tano ugenini ambapo UNK kinda huyo alionekana zaidi kwenye televisheni ya taifa na mashabiki wengi wa mpira wa miguu jinsi UNK akili uwanjani alionekana tena katika mechi ya ligi kuu england dhidi ya arsenal ambayo ilichezwa kwenye uwanja wa riverside na kuibuka na ushindi katika mechi hiyo stewart downing alikuwa nje kwa kuwa majeruhi johnson alionesha kiwango kizuri katika kombe la fa kwa vijana mwaka ishirini sifuri nne na kusaidia kutwaa ubingwa lakini maendeleo yake katika timu yalizidi kupanda kila mwaka aliwashangaza wengi kwa kufunga bao katika mechi ambayo waliibuka na ushindi wa mabao tatu sifuri dhidi ya timu ya nyumbani kwao sunderland kwenye uwanja wa riverside mwaka ishirini sifuri tano alifanya kazi nzuri mara mbili ya kuwatoka walinzi wa timu pinzani alifunga bao zuri kwa kupiga mkwaju mzuri UNK nyavuni upande wa juu wa goli ambapo kocha steve mcclaren alikuwa jukwaani UNK aliisaidia timu ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka kumi na tisa kuichapa ubelgiji mabao tatu mbili kwenye uwanja wa UNK kwa kutengeneza mabao mawili na kuibuka kuwa mchezaji bora wa mechi msimu wa ishirini sifuri tano sifuri sita UNK jonson UNK zaidi kikosi cha kwanza na kufunga bao lake la kwanza katika mechi dhidi ya bolton iliyomalizika kwa sare ya bao moja moja maendeleo yake yalimfanya UNK mkataba wa miaka minne mwaka ishirini sifuri sita lakini alionekana mara chache katika kikosi cha kwanza alianza mara tatu katika ligi kuu alikwenda kwa mkopo leeds ambapo pia alifanikiwa kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa mechi katika kombe la fa mzunguko wa nne dhidi ya bristol city mchezaji huyo wa taifa wa vijana mwenye umri chini ya miaka ishirini na moja alifunga bao na kuisaidia watford kuongoza katika ligi ya coca cola wakati akiichezea kwa mkopo msimu wa mwaka ishirini sifuri saba sifuri nane alirejeshwa kwenye kikosi cha riverside ambapo alitoa mchango wake kidogo lakini mara nyingi alikuwa akitokea katika benchi makala haya yameandikwa na frank balile kwa msaada wa mtandao wa kimataifa ni chanzo cha madhara makubwa ya kiafya mabadiliko ya tabia na rabia bakari juni ishirini na sita kila mwaka ni siku ya maadhimisho ya kupinga matumizi ya dawa za kulevya ambapo kila nchi huadhimisha siku hiyo kwa namna yake kwa hapa nchini maadhimisho hayo kitaifa yanafanyika mkoani iringa ambapo lengo la serikali kufanya maadhimisho mkoani humo ni kutokana na uzalishaji mkubwa wa mmea wa bangi mwaka ishirini sifuri saba nchi mbalimbali duniani zimeripotiwa kuwa na ongezeko kubwa la matumizi ya dawa za kulevya kwa wananchi wake ripoti hiyo imeonesha utofauti wa matumizi ya dawa hizo tatizo la matumizi ya dawa hizo limeonekana kupungua na kuongezeka kwa baadhi ya nchi japo udhibiti wa dawa hizo umeonesha UNK UNK kuwa tatizo la matumizi ya dawa za kulevya duniani linaweza kuongezeka kutokana na nchi nyingi kujihusisha na uzalishaji wa mimea ya dawa za kulevya baadhi ya nchi duniani zimeonesha kujihusisha na uzalishaji wa dawa hizo ambazo awali hawakuwa UNK au zilikuwa zikizalishwa kwa kiwango kidogo nchi ya afghanistan ambayo ni UNK kwa uzalishaji wa dawa hizo aina ya heroin imeibuka na kuwa moja ya zinazozalisha bangi iliyosindikwa tofauti na hapo awali kamishna wa tume ya kuratibu udhibiti wa dawa za kulevya nchini bwana christopher shekiondo anasema kauli mbiu ya mwaka huu ni acha biashara ya dawa za kulevya anasema wananchi wengi mkoani iringa bado hawaamini kama matumizi ya bangi yana madhara makubwa anafafanua kuwa wananchi wengi mkoani humo wamekuwa wakitumia mmea wa bangi kwa matumizi mbalimbali kama kiungo katika mboga chakula cha ngombe kwa imani ya kutoa maziwa mengi matumizi ya dawa ya magonjwa mbalimbali kilevi na UNK mwaka ishirini sifuri nane serikali UNK hekta kadhaa za mashamba ya bangi hali inayoonesha kuwa mkoa huo ni miongoni mwa mikoa inayoongoza kwa kilimo cha bangi bwana shekiondo anaongeza kuwa bangi ni dawa ya kulevya ambayo UNK kwa wingi katika nchi mbalimbali duniani kutokana na taarifa ya hali ya dawa za kulevya duniani mwaka ishirini sifuri nane bangi imeonekana kutumika zaidi ikilinganishwa na aina nyingine ya dawa za kulevya inakadiriwa kuwa watu wapatao milioni mia moja na sitini na sita duniani kote wanatumia dawa za kulevya nchi ya morocco ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikiongoza kwa uzalishaji wa bangi iliyosindikwa katika miaka ya hivi karibuni uzalishaji huo umeonekana kupungua bangi ni mmea wenye rangi ya kijani ambao hutoa majani maua na mbegu ambazo hutumika kama kilevi bangi hustawi karibu maeneo yote nchini na matumizi yake ni makubwa kuliko dawa nyingine za kulevya anasema kwa hapa nchini bangi hupatikana kwa wingi katika mikoa ya iringa mara arusha kilimanjaro shinyanga tabora tanga kagera mbeya morogoro ambapo katika mitaa mbalimbali bangi hujulikana kwa majina tofauti kama UNK UNK UNK UNK UNK UNK kaya UNK kijiti na UNK bwana shekiondo anasema matumizi ya bangi husababisha madhara mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuchanganyikiwa ukatili ukorofi uhalifu utegemezi na usugu kupoteza kumbukumbu sambamba na kuona au kusikia na kuhisi vitu UNK anasema moshi wa bangi unapoingia kwenye mapafu hutengeneza kitu kama lami ambayo UNK na kuathiri utendaji kazi wa mapafu kutokana na kemikali za mmea huo sambamba na kusababisha saratani zaidi ya ile UNK na tumbaku na kupunguza kinga ya mwili uvutaji wa bangi ni moja ya sababu ya mtumiaji kuridhika na hali duni aliyonayo na hivyo kukosa mwamko wa maendeleo huku UNK ni mwenye mafanikio makubwa asilimia kuwa ya wavutaji UNK kuu kupata kikohozi na saratani ya mapafu madhara mengine ni kuathirika kwa mfumo wa uzazi ikiwa ni pamoja na kuzaa watoto wenye mtindio wa ubongo na mabadiliko ya hedhi kwa wanawake kuharibika kwa mimba na kuzaa mtoto UNK pamoja na matumizi ya bangi bado kuna watu wanaotumia aina nyingine ya dawa za kulevya kama mirungi na UNK madhara yatokanayo na matumizi ya mirungi ni pamoja na kukosa choo kukosa hamu ya kula shinikizo la damu kukosa hamu ya kufanya mapenzi kupungua kwa nguvu za kiume mwili kuwasha maumivu makali ya kichwa kuharibika kwa ini na kupata vidonda vya tumbo watumiaji wa mirungi UNK mmea huo hali ni tofauti kwa watumiaji wa dawa za heroin ambapo watumiaji UNK kwa UNK au UNK kwa sindano jambo ambalo ni hatari kwa afya zao uzalishaji wa heroin UNK sukari kahawa UNK pamoja na UNK na kufanya mchanganyiko huo kuwa sumu zaidi kwa mtumiaji matumizi ya heroin huaribu mfumo wa fahamu ambapo dozi kubwa husababisha kifo kukosa umakini kuzubaa na kupungua kwa uwezo wa kufanya kazi tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa kati ya watu wawili waliojaribu kutumia mmoja wapo alifikia hali ya UNK utumiaji wa heroin kwa njia ya UNK husababisha maambukizi ya virusi vya ukimwi na magonjwa mengine ya damu kutokana na kushirikiana katika sindano na vifaa vingine mchanganyiko wa heroin na pombe huleta madhara makubwa zaidi ikiwa ni pamoja kichefuchefu kutapika kufunga choo kukosa nguvu na kifo cha ghafla bwana shekiondo anasema njia nzuri ya kujiepusha na matumizi ya dawa za kulevya ni kujiepusha na makundi ya watumiaji wa dawa za kulevya kushiriki katika michezo na kujifunza stadi za maisha matumizi ya dawa za kulevya ni kosa la jinai ambapo mtu UNK sheria inamtaka UNK maisha kwa wale waliokamatwa kwa kujihusisha na na dawa kulevya kwa kuuza au kununua wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kufikishwa mahakamani ambapo kiwango cha dawa walizokutwa nazo kama ni kikubwa hukosa dhamana na UNK jela tumejiandaa vilivyo kuwabana wafanyabiashara wa dawa za kulevya tupo kwenye mchakato wa kuendelea kutengeneza sheria kali ili iweze kuwabana watu wanaojihusisha na dawa za kulevya anasema bwana UNK taarifa ya ofisi ya waziri wa nchi mwaka ishirini sifuri nane ilielezwa kuwa sheria hiyo mpya ikianza kutumika miongoni mwa adhabu zitakazotolewa ni kwa watu ambao UNK hatiani ni kutaifishwa mali zao bwana shekiondo anasema sheria namba tisa ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano iliyopo ina kasoro kutokana na kutoa mwanya kwa wanaobainika na dawa za kulevya kutoa faini UNK faini mfanyabiashara wa dawa hizo ni sawa na UNK na grace michael malalamiko ni njia moja wapo ya kufikisha ujumbe katika idara husika ili iweze kushughulikia jambo UNK kama linahusiana na huduma zinazotolewa na idara husika ili jambo hilo liweze kufanyiwa kazi ipasavyo lazima kuwepo na taarifa au ushahidi UNK juu ya idara UNK ushahidi huo UNK mwanga kwa viongozi wa idara husika kumaliza malalamiko hayo mfuko wa taifa wa bima ya afya ni kati ya idara zinazolalamikiwa kutokana na huduma zinazotolewa na mfuko huo kwa wanachama wake ambao UNK sehemu ya UNK yao ili waweze kupatiwa matibabu katika kufanikisha malengo yao mfuko huo umelazimika kusajili vituo vya afya katika maeneo mbalimbali ili kutoa huduma kwa wanachama wake mbali na kusajili vituo hivyo mfuko huo pia UNK maduka dawa kwa ajili ya kutoa huduma kwa wanachama UNK au UNK dawa hizo katika vituo husika vya afya mwanachama hulazimika kwenda na kadi kwa ajili ya kupata huduma ya matibabu lakini utaratibu huo umeibua malalamiko mengi ambayo kwa namna moja au nyingine yanaleta picha mbaya kwa mfuko huo kitendo cha wanachama hao kutumia kadi katika matibabu yao imeonekana kuwa ni kero kubwa kwa watoa huduma jambo ambalo ni kishawishi kikubwa cha wagonjwa wasiokuwa wanachama kupewa kipaumbele cha kwanza wagonjwa wenye vitambulisho vya mfuko hu wamekua wakitumia muda mrefu kusubili huduma mbali ya vitendo hivyo vinavyofanywa na watoa huduma kero nyingine ni lugha chafu inayotolewa kwa wanachama wa mfuko huo lawama nyingi zimekuwa zikielekezwa kwenye mfuko huo hatua inayowafanya baadhi ya wanachama kujutia fedha UNK na kutokuwa na imani na mfuko ili wanachama hao waweze kupata huduma bora ya matibabu UNK ni kuwataja kwa majina watoa huduma ambao wanakwenda kinyume na taratibu za kazi zao badala ya kuelekeza lawama hizo kwa mfuko ni dhahiri kuwa kila mwanachama anayekwenda kwenye kituo kupata huduma kituo hicho atakuwa UNK kwa jina pia yawezekana hata UNK wa kituo husika UNK ingekuwa ni vyema kwa wanachama UNK wajibu wao wa kuwataja watoa huduma kwa majina au vituo husika ili mfuko huo uweze kufuatilia kero wanazozipata wanachama au kuwafutia usajili tupo katika kipindi cha uwazi na ukweli tuseme ukweli pale UNK kuna dalili za upotoshaji kwa lengo la UNK mfuko ili uweze kuboresha huduma zake kwa wanachama katika malengo yaliyokusudiwa watoa huduma wakorofi UNK kwa majina yao ili UNK kwani vitendo vya unyanyapaa UNK havifai na vipo kinyume na sera ya afya ambayo ni muhimu kwa maisha ya kila mwananchi kutoa malalamiko ya jumla kwa mfuko huo ni UNK mzigo UNK jukumu tulilonalo ni kuwatajia vituo korofi vinavyokiuka taratibu UNK katika kutoa huduma za matibabu kwa wanachama pamoja na jukumu hilo la wanachama mfuko unatakiwa kuongeza kasi ya uboreshaji wa huduma zake ili wanachama waridhike na huduma wanayoipata kulingana na fedha UNK zipo changamoto mbalimbali zinazoukabili mfuko huo ili UNK kuwa huduma wanazotoa zinafika vijijini ambako kuna idadi kubwa ya wanachama hasa walimu wa shule za msingi na sekondari pamoja na wafanyakazi wa idara zingine kuweka au UNK vituo vingi katika maeneo ya mijini haiwezi kumaliza malalamiko ya wanachama bali yataongezeka kwa kuwa wanachama wa vijijini watalazimika kutumia gharama kubwa ili kuzifikia huduma hizo jambo la msingi ni mfuko huo kusajili maduka ya dawa muhimu katika kila kata ili kuwezesha upatikanaji wa dawa kwa wanachama wake wakati zinapokuwa zimekwisha katika vituo ili kuboresha huduma ya afya kwa ujumla serikali ina jukumu la kuangalia namna ya kudhibiti wizi wa dawa katika hospitali za serikali ili dawa zinazopelekwa katika vituo husika ziweze kutumika kwa matumizi UNK jambo lingine linalotakiwa kuangaliwa kwa jicho la pekee ni namna ya kudhibiti bei za dawa kwani utofauti wake unachangia jamii kushindwa kupata tiba sahihi kutokana na baadhi ya dawa hizo kuwa na bei kubwa tofauti na hali ya kipato cha wananchi kukamilika mradi wa maji kupenguza kero ya wananchi na hilary komba nchi mbalimbali duniani zimekuwa zikifanya jitihada kubwa ili kuhakikisha kuwa huduma ya maji safi na salama inawafikia wananchi katika maeneo mbalimbali kwa kuboresha miundombinu iliyopo na kuchimba visima ili kuchochea maendeleo kwa kutambua umuhimu wa huduma hiyo katika jamii mpango mkakati wa serikali ya tanzania ni kushirikisha wadau na wahisani mbalimbali ili kuhakikisha kuwa sekta hiyo inapata mafanikio makubwa kwa malengo yaliyokusudiwa ila kila mwananchi aweze kupata huduma ya maji safi na salama bila kutembea umbali mrefu hivi karibuni serikali ilizindua mradi mkubwa wa maji ambao ni wa pili kwa ukubwa katika nchi zilizopo kusini mwa jagwa la sahara mradi huo uliopo katika wilaya ya misungwi mkoani mwanza ulizinduliwa na rais jakaya teknolojia iliyotumika katika kufanikisha mradi huo ni ile ya kutoa maji katika ziwa viktoria na kusambwa mkoani shinyanga na wilaya ya kahama mkoani humo katika uzinduzi huo waziri wa maji na umwagiliaji profesa mark mwandosya anasema mradi huo ni mkubwa barani afrika na kudai kuwa historia ya kuanzisha kwake inatokana na historia ya uhuru anasema kuanzishwa kwa mradi huo kumetokana na tamko la hayati mwalimu julius nyerere julai nne elfu moja na mia tisa na sitini na nne wakati akielezea msimamo wa serikali ya tanganyika juu ya matumizi ya bonde la mto nile ambapo ziwa viktoria ni sehemu muhimu ya bonde hilo kwa muda mrefu miji ya shinyanga na kahama imekuwa na tatizo kubwa la upatikanaji wa maji safi na salama kutokana na kukosekana kwa vyanzo vya maji vya uhakika jambo ambalo ni kishawishi kikubwa kwa serikali kuandaa mpango mkakati wa ziwa viktoria kutumika kama chanzo cha maji katika miji hiyo na vijiji hamsini na nne vilivyopo kandokando ya bomba kuu anasema profesa mwandosya anafafanua kuwa januari ishirini sifuri moja rais mstafu wa awamu ya tatu bwana benjamini mkapa alitoa agizo kwa wizara ya maji na maendeleo ya mifugo wakati huo kufanya uchunguzi wa uwezekano wa kutumia fedha za ndani kufanikisha mradi huo kampuni ya gibbs ltd ya kenya kwa kushirikiana na kampuni za netwas ltd na don consult ltd za tanzania ziliteuliwa kufanya upembuzi yakinifu usanifu na uandaaji wa zabuni kazi iliyokamilika novemba ishirini sifuri nne kazi hiyo iligharimu kiasi cha shilingi milioni mia sita na sabini na sita anaongeza kuwa ili kurahisisha usimamizi na kuharakisha ujenzi mradi uligawanywa katika sehemu tano na kujengwa kwa wakati mmoja badala ya kusubili kukamilika kwa eneo moja jiwe la msingi la uzinduzi wa ujenzi wa mradi huo liliwekwa na bwana mkapa oktoba ishirini na tano ishirini sifuri tano kandarasi ya kwanza ilihusisha ujenzi wa kituo cha kuchukulia maji ziwani na mtambo wa kuchuja maji katika kijiji cha ihelele ufungaji wa pampu za kusukuma maji ulazaji bomba lenye urefu wa kilomita sita linalopeleka maji kwenye tanki na ujenzi wa tanki la hifadhi ya maji safi mabale lenye mita za ujazo thebathini na tano sifuri sifuri sifuri kazi nyingine ya kandarasi hiyo ilihusisha ujenzi wa kilomita ishirini na tano za njia ya umeme wa kilovoti thebathini na tatu kutoka misasi hadi ihelele uamuzi uliofikiwa badae ni kuchukua umeme kutoka bulyanhulu wilayani kahama badala ya misasi wilayani misungwi profesa mwandosya anasema baada ya kukamilika kwa kazi hizo mitambo ya kusukuma maji ilianza kufanyiwa majaribio julai ishirini sifuri nane lakini ilibainika kuwa umeme unaofika kwenye mitambo unatosha kuwasha mashine moja tu ya kusukuma maji badala ya mbili kama ilivyosanifiwa anasema kasoro hiyo ilirekebishwa na kuwezesha pampu moja kuwa na uwezo wa kusukuma maji kiasi cha mita za ujazo arobaini sifuri sifuri sifuri kwa siku ambapo hivi sasa mahitaji ya maji kwenye mfumo wote ni kiasi cha mita za ujazo kumi na nane sifuri sifuri sifuri kwa siku anaongeza kuwa mabomba ya kupandisha maji yenye urefu wa kilomita sita kwenda kwenye tanki kubwa la mita za ujazo thebathini na tano sifuri sifuri sifuri mabale yamesafishwa na kuwekwa dawa aina ya kuua vijidudu kandarasi ya pili ilihusika ulazaji mabomba ya vipenyo mbalimbali yenye urefu wa kilomita sitini na nane kutoka tanki la mabale hadi solwa na mengine yalianzia kijiji cha mwawile hadi tarafa ya mwamashimba wilayani kwimba kandarasi ya tatu ilihusisha zoezi la ulazaji wa bomba kuu kutoka solwa hadi kahama lenye umbali wa kilomita sitini na mbili ujenzi wa tanki la maji lenye mita za ujazo kumi na nane sifuri sifuri sifuri ulazaji mabomba ya usambazaji wa maji kwenda tarafa za lyabukande kizungu ngaya na ujenzi wa mtambo wa maji kahama mjini wenye jumla ya kitomita mia mbili na ishirini na nane kandarasi ya nne ilihusisha ulazaji wa bomba kuu kutoka solwa hadi shinyanga umbali wa kilomita sitini na nne ujenzi wa tanki kuu la maji la mita za ujazo kumi na nane sifuri sifuri sifuri eneo la old shinyanga ujenzi wa matanki manne yenye minara pamoaja na ujenzi wa mtambo wa maji katika manispaa ya shinyanga wenye urefu wa kilomita mia tatu na sitini na nane anasema kandarasi ya tano ilihusisha ufungaji wa transfoma kumi mva ujenzi wa njia ya umeme wa kilovoti thebathini na tatu ya urefu wa kilomita ishirini na nane kutoka kijiji cha ikangala hadi nyamtukuza na ulazaji wa njia ya umeme chini ya ziwa yenye urefu wa kilomita moja mbili kutoka nyamtukuza hadi ihelele kwenye kituo cha kuchujia maji profesa mwandosya anafafanua kuwa mafanikio ya mradi huo ni kufika kwa maji safi na salama katika mji wa shinyanga kahamaya na kwenye magati ya kuchotea maji kutoka kwenye matanki ya vijiji sita vilivyopo wilayani misungwi tanki la mholo litahudumia vijiji kumi na sita kutika tarafa ya mwamashimba wilayani kwimba vijiji kumi na mbili katika wilaya ya kahama na vijiji vingine ishirini katika wilaya ya shinyanga mradi huo una uwezo wa kuhudumia watu mia nne na hamsini sifuri sifuri sifuri kwa sasa na ifikapo mwaka ishirini mbili tano unakadiriwa kuwa na uwezo wa kuhudumia watu milioni moja awali gharama za mradi huo zilikisiwa kuwa shilingi bilioni mia mbili na ishirini na mbili ambapo mpaka sasa umegharimu kiasi cha shilingi mia mbili na arobaini na nane ongezeko la gharama hizi zimetokana na kupanda kwa gharama ya malighafi kama simenti chuma mafuta na ongezeko la kazi anasema profesa mwandosya uendeshwaji wa mradi huo utakuwa chini ya mamlaka ya maji safi kahama na shinyanga ambayo iliundwa na wizara husika kwa sheria namba nane ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba kwa mamlaka niliyonayo kama waziri na umuhimu wa mradi huu nimemteua mhandisi christopher sayi naibu katibu mkuu wazira ya maji na umwagiliaji kuwa mwenyekiti wa bodi ya kashiwasa alifafanua anasema kiasi cha shilingi bilioni sita zinahitajika kwa mwaka ili kulipia umeme madawa na gharama nyingine za uendeshaji ambapo kwa kuanzia serikali itagharamia mahitaji hayo mpaka itakapoweza kujiendesha yenyewe changoamoto zinazoukabili mradi huo ni tatizo la wizi wa vifaa katika maeneo mbalimbali na kuchomwa moto kwa nguzo za umeme zinazoendesha mitambo ya kusukuma maji hasa katika vijiji vya msalala wilayani geita ili kukabiliana na tatizo la wizi wa vifaa udhibiti wa mfumo wa maji na njia za umeme umechwa kwa uongozi wa wilaya na vijiji husika viongozi na watendaji wa wilaya madiwani na wenyeviti wa vijiji vinavyonufaika na mradi huo wana jukumu la kuelimisha wananchi kulinda miundombinu ya maji pamoja na umuhimu wa kuchangia gharama za huduma ya maji kazi ya usambazaji maji vijijini itaendelea kuwa chini ya halmashauri za wialaya kama sera ya taiafa ya maji ya mwaka ishirini sifuri mbili inavyotamka kwa kushirikiana na wizara husika anasema mamlaka hiyo bado inahitaji fedha ili iweze kujiendesha na kuweza kujitegemea yenyewe fedha hizo pia zitasaidia kufanya usanifu na ujenzi wa mitambo ya maji ya bomba kwenye vijiji hamsini na nne ambapo mchakato wa kumpata mhandisi mwelekezi unaendelea kukamilika mradi wa maji kupenguza kero ya wananchi na hilary komba nchi mbalimbali duniani zimekuwa zikifanya jitihada kubwa ili kuhakikisha kuwa huduma ya maji safi na salama inawafikia wananchi katika maeneo mbalimbali kwa kuboresha miundombinu iliyopo na kuchimba visima ili kuchochea maendeleo kwa kutambua umuhimu wa huduma hiyo katika jamii mpango mkakati wa serikali ya tanzania ni kushirikisha wadau na wahisani mbalimbali ili kuhakikisha kuwa sekta hiyo inapata mafanikio makubwa kwa malengo yaliyokusudiwa ila kila mwananchi aweze kupata huduma ya maji safi na salama bila kutembea umbali mrefu hivi karibuni serikali ilizindua mradi mkubwa wa maji ambao ni wa pili kwa ukubwa katika nchi zilizopo kusini mwa jagwa la sahara mradi huo uliopo katika wilaya ya misungwi mkoani mwanza ulizinduliwa na rais jakaya teknolojia iliyotumika katika kufanikisha mradi huo ni ile ya kutoa maji katika ziwa viktoria na kusambwa mkoani shinyanga na wilaya ya kahama mkoani humo katika uzinduzi huo waziri wa maji na umwagiliaji profesa mark mwandosya anasema mradi huo ni mkubwa barani afrika na kudai kuwa historia ya kuanzisha kwake inatokana na historia ya uhuru anasema kuanzishwa kwa mradi huo kumetokana na tamko la hayati mwalimu julius nyerere julai nne elfu moja na mia tisa na sitini na nne wakati akielezea msimamo wa serikali ya tanganyika juu ya matumizi ya bonde la mto nile ambapo ziwa viktoria ni sehemu muhimu ya bonde hilo kwa muda mrefu miji ya shinyanga na kahama imekuwa na tatizo kubwa la upatikanaji wa maji safi na salama kutokana na kukosekana kwa vyanzo vya maji vya uhakika jambo ambalo ni kishawishi kikubwa kwa serikali kuandaa mpango mkakati wa ziwa viktoria kutumika kama chanzo cha maji katika miji hiyo na vijiji hamsini na nne vilivyopo kandokando ya bomba kuu anasema profesa mwandosya anafafanua kuwa januari ishirini sifuri moja rais mstafu wa awamu ya tatu bwana benjamini mkapa alitoa agizo kwa wizara ya maji na maendeleo ya mifugo wakati huo kufanya uchunguzi wa uwezekano wa kutumia fedha za ndani kufanikisha mradi huo kampuni ya gibbs ltd ya kenya kwa kushirikiana na kampuni za netwas ltd na don consult ltd za tanzania ziliteuliwa kufanya upembuzi yakinifu usanifu na uandaaji wa zabuni kazi iliyokamilika novemba ishirini sifuri nne kazi hiyo iligharimu kiasi cha shilingi milioni mia sita na sabini na sita anaongeza kuwa ili kurahisisha usimamizi na kuharakisha ujenzi mradi uligawanywa katika sehemu tano na kujengwa kwa wakati mmoja badala ya kusubili kukamilika kwa eneo moja jiwe la msingi la uzinduzi wa ujenzi wa mradi huo liliwekwa na bwana mkapa oktoba ishirini na tano ishirini sifuri tano kandarasi ya kwanza ilihusisha ujenzi wa kituo cha kuchukulia maji ziwani na mtambo wa kuchuja maji katika kijiji cha ihelele ufungaji wa pampu za kusukuma maji ulazaji bomba lenye urefu wa kilomita sita linalopeleka maji kwenye tanki na ujenzi wa tanki la hifadhi ya maji safi mabale lenye mita za ujazo thebathini na tano sifuri sifuri sifuri kazi nyingine ya kandarasi hiyo ilihusisha ujenzi wa kilomita ishirini na tano za njia ya umeme wa kilovoti thebathini na tatu kutoka misasi hadi ihelele uamuzi uliofikiwa badae ni kuchukua umeme kutoka bulyanhulu wilayani kahama badala ya misasi wilayani misungwi profesa mwandosya anasema baada ya kukamilika kwa kazi hizo mitambo ya kusukuma maji ilianza kufanyiwa majaribio julai ishirini sifuri nane lakini ilibainika kuwa umeme unaofika kwenye mitambo unatosha kuwasha mashine moja tu ya kusukuma maji badala ya mbili kama ilivyosanifiwa anasema kasoro hiyo ilirekebishwa na kuwezesha pampu moja kuwa na uwezo wa kusukuma maji kiasi cha mita za ujazo arobaini sifuri sifuri sifuri kwa siku ambapo hivi sasa mahitaji ya maji kwenye mfumo wote ni kiasi cha mita za ujazo kumi na nane sifuri sifuri sifuri kwa siku anaongeza kuwa mabomba ya kupandisha maji yenye urefu wa kilomita sita kwenda kwenye tanki kubwa la mita za ujazo thebathini na tano sifuri sifuri sifuri mabale yamesafishwa na kuwekwa dawa aina ya kuua vijidudu kandarasi ya pili ilihusika ulazaji mabomba ya vipenyo mbalimbali yenye urefu wa kilomita sitini na nane kutoka tanki la mabale hadi solwa na mengine yalianzia kijiji cha mwawile hadi tarafa ya mwamashimba wilayani kwimba kandarasi ya tatu ilihusisha zoezi la ulazaji wa bomba kuu kutoka solwa hadi kahama lenye umbali wa kilomita sitini na mbili ujenzi wa tanki la maji lenye mita za ujazo kumi na nane sifuri sifuri sifuri ulazaji mabomba ya usambazaji wa maji kwenda tarafa za lyabukande kizungu ngaya na ujenzi wa mtambo wa maji kahama mjini wenye jumla ya kitomita mia mbili na ishirini na nane kandarasi ya nne ilihusisha ulazaji wa bomba kuu kutoka solwa hadi shinyanga umbali wa kilomita sitini na nne ujenzi wa tanki kuu la maji la mita za ujazo kumi na nane sifuri sifuri sifuri eneo la old shinyanga ujenzi wa matanki manne yenye minara pamoaja na ujenzi wa mtambo wa maji katika manispaa ya shinyanga wenye urefu wa kilomita mia tatu na sitini na nane anasema kandarasi ya tano ilihusisha ufungaji wa transfoma kumi mva ujenzi wa njia ya umeme wa kilovoti thebathini na tatu ya urefu wa kilomita ishirini na nane kutoka kijiji cha ikangala hadi nyamtukuza na ulazaji wa njia ya umeme chini ya ziwa yenye urefu wa kilomita moja mbili kutoka nyamtukuza hadi ihelele kwenye kituo cha kuchujia maji profesa mwandosya anafafanua kuwa mafanikio ya mradi huo ni kufika kwa maji safi na salama katika mji wa shinyanga kahamaya na kwenye magati ya kuchotea maji kutoka kwenye matanki ya vijiji sita vilivyopo wilayani misungwi tanki la mholo litahudumia vijiji kumi na sita kutika tarafa ya mwamashimba wilayani kwimba vijiji kumi na mbili katika wilaya ya kahama na vijiji vingine ishirini katika wilaya ya shinyanga mradi huo una uwezo wa kuhudumia watu mia nne na hamsini sifuri sifuri sifuri kwa sasa na ifikapo mwaka ishirini mbili tano unakadiriwa kuwa na uwezo wa kuhudumia watu milioni moja awali gharama za mradi huo zilikisiwa kuwa shilingi bilioni mia mbili na ishirini na mbili ambapo mpaka sasa umegharimu kiasi cha shilingi mia mbili na arobaini na nane ongezeko la gharama hizi zimetokana na kupanda kwa gharama ya malighafi kama simenti chuma mafuta na ongezeko la kazi anasema profesa mwandosya uendeshwaji wa mradi huo utakuwa chini ya mamlaka ya maji safi kahama na shinyanga ambayo iliundwa na wizara husika kwa sheria namba nane ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba kwa mamlaka niliyonayo kama waziri na umuhimu wa mradi huu nimemteua mhandisi christopher sayi naibu katibu mkuu wazira ya maji na umwagiliaji kuwa mwenyekiti wa bodi ya kashiwasa alifafanua anasema kiasi cha shilingi bilioni sita zinahitajika kwa mwaka ili kulipia umeme madawa na gharama nyingine za uendeshaji ambapo kwa kuanzia serikali itagharamia mahitaji hayo mpaka itakapoweza kujiendesha yenyewe changoamoto zinazoukabili mradi huo ni tatizo la wizi wa vifaa katika maeneo mbalimbali na kuchomwa moto kwa nguzo za umeme zinazoendesha mitambo ya kusukuma maji hasa katika vijiji vya msalala wilayani geita ili kukabiliana na tatizo la wizi wa vifaa udhibiti wa mfumo wa maji na njia za umeme umechwa kwa uongozi wa wilaya na vijiji husika viongozi na watendaji wa wilaya madiwani na wenyeviti wa vijiji vinavyonufaika na mradi huo wana jukumu la kuelimisha wananchi kulinda miundombinu ya maji pamoja na umuhimu wa kuchangia gharama za huduma ya maji kazi ya usambazaji maji vijijini itaendelea kuwa chini ya halmashauri za wialaya kama sera ya taiafa ya maji ya mwaka ishirini sifuri mbili inavyotamka kwa kushirikiana na wizara husika anasema mamlaka hiyo bado inahitaji fedha ili iweze kujiendesha na kuweza kujitegemea yenyewe fedha hizo pia zitasaidia kufanya usanifu na ujenzi wa mitambo ya maji ya bomba kwenye vijiji hamsini na nne ambapo mchakato wa kumpata mhandisi mwelekezi unaendelea pinda UNK na ubunifu wao lengo ni kuwapa mitaji kupunguza umasikini na UNK kagaruki watu wenye kipato kidogo na cha kati ni wadau muhimu katika mapambano dhidi ya umasikini pamoja na umuhimu wao wamekuwa wakikumbana na vikwazo vingi kutoka taasisi za fedha vikwazo hivyo ni pamoja na kunyimwa mkopo pale wanapohitaji kwa ajili ya kuendeleza mitaji yao benki nyingi zimekuwa zikitoa mikopo kwa kampuni mashirika na wafanyabiashara wakubwa tayari baadhi ya benki hizo nchini UNK tatizo hilo na kuona umuhimu kutoa mikopo kwa UNK wadogo na wakati crdb ni kati ya benki ambazo UNK umuhimu huo kiasi cha kumfurahisha waziri mkuu bwana mizengo pinda akifungua kongamano la huduma za kifedha kwa wenye shughuli ndogo ndogo lililoandaliwa na benki hiyo bwana pinda anasema huduma za microfinance UNK watu wenye kipato kidogo na shughuli ndogo ndogo za uzalishaji na biashara nina kila sababu ya kuamini kwamba kongamano hili UNK jitihada zinazoendelea za kuboresha mazingira ya sekta ya fedha ili sekta hii iweze kusaidia juhudi za serikali za kuondoa umasikini anasema bwana pinda anaeleza kuwa katika mazingira ya sasa changamoto kubwa kuliko zote ni serikali kuangalia mikakati ya kumfikia mwananchi wa kawaida aliyetengwa na vyombo vya fedha ili aweze kupambana na umaskini tunapaswa kuangalia mikakati gani itumike ili kumfikishia UNK huduma ya fedha kuweka akiba na kupata mikopo anasisitiza anasema historia ya nchi nyingi duniani inaonesha kuwa benki na taasisi nyingine za fedha UNK wateja wa tabaka la watu wa kipato cha juu na walio kwenye sekta rasmi tu bwana pinda anasema vyombo vya asili vya fedha vimekuwa vikilenga kukidhi mahitaji ya wakubwa kampuni au watu binafsi sambamba na kuweka vigezo vya kupata huduma UNK mfano kuwa dhamana kwa mikopo UNK ni zile ambazo UNK rasmi pamoja na hati anasema baadhi ya benki zimeweka viwango vikubwa vya UNK UNK nasikia kuna benki hapa nchini ambayo salio lake la chini kwenye akaunti ni shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri anasema bwana pinda anafafanua kuwa benki zingine zinatoa mahitaji ya vitambulisho ambavyo havipatikani kwa urahisi kwa mwananchi wa kawaida ambapo moja ya kikwazo hicho ni UNK masharti hayo yanatolewa licha ya kujua kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la watu UNK kusoma na kuandika tunazo benki ambazo ili uwe mteja ni lazima ujue kiswahili na kingereza pia kwa kweli kuna masharti mengine ambayo mwananchi wa kawaida na wa kipato cha chini hawezi UNK anasema anaongeza kuwa kwa ujumla huo taasisi za fedha UNK kutoka kwa nchi zilizoendelea hazina uwezo wala nia ya kujikita kwenye suala zima la kufikisha huduma kwa wateja hiyo ni moja ya sababu ya kuongezeka kwa miongoni mwa wananchi anasema ni vigumu kushinda umasikini kama wajasiriamali wadogo wataendelea kukosa nyenzo na mitaji ya kukuza miradi yao ambapo utegemezi kwenye akiba zao wenyewe hauwezi kuwawezesha kukuza uzalishaji wao kwa kasi UNK motisha na faida ili kupanua biashara zao na kuajiri wengine matokeo ya hali hiyo ni kubakia kwenye mzunguko wa dira ya umasikini wakati biashara zao zikiendelea kuwa ndogo kwa vile mitaji faida na akiba yao ni midogo miaka ya hivi karibuni baadhi ya mashirika UNK mikakati mingine ya kifedha ambayo ni mizuri kama ilivyo kwa benki ya UNK bank ya UNK ambayo ina uzoefu na ubunifu mkubwa wa kuwasaidia wafanyabiashara wadogo katika nchi ya UNK benki nyingine ni UNK ya kenya ambayo imepiga hatua kubwa ya kuwa na ubinifu wa aina hiyo nina imani kuwa kuwa hata benki ya crdb inastahili kutajwa miongoni mwa taasisi UNK na kuwezesha wateja wa chini anasema bwana pinda na kuongeza kuwa jambo hilo linawezekana kwa kupitia mtandao wa asasi endelevu za kifedha za kati UNK na benki ya crdb kwa UNK anakiri kuwa nchini tanzania kuna taasisi ambazo UNK zaidi kwa kuwafikia wananchi wa kawaida zikiwa ndani ya mfumo mzima wa ushirika wengi UNK historia UNK kuwa katika miaka ya elfu moja na mia tisa na sitini na mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na mia tisa na sabini mfumo huo wa ushirika UNK anafafanua kuwa kasi ya kuondoa umasikini nchini ilikuwa kubwa kutokana na uwezo wa serikali kuwafikia wananchi wengi hasa wa vijijini na kuongeza huduma mbalimbali zikiwemo mikopo ya mbolea na pembejeo za kilimo ambazo zilipatikana kwa bei nafuu hali hiyo UNK kufuatia mabadiliko ya sera UNK kuvunjwa kwa mfumo mzima wa ushirika na kuanzishwa kwa mfumo mbadala wa mamlaka za mazao mbalimbali madhara ya mfumo huo UNK mapema na hivyo kuanzishwa tena kwa mfumo wa ushirika mwanzoni kwa miaka ya themanini bwana pinda anasema jambo la kufurahisha ni jinsi benki ya crdb ambayo chimbuko lake ni benki ya ushirika na maendeleo vijijini UNK kutokana na historia inaelewa nguvu iliyopo kwenye mfumo mzima wa ushirika na kuamua kwa usahihi kabisa kutumia nyenzo hii kama mkakati wa kuwafikishia watanzania wa kawaida huduma za kibenki anasema bwana pinda na kuipongeza benki hiyo kwa hatua hiyo anafafanua kuwa anachotaka kwa sasa ni kuona benki ya crdb UNK mbinu na mfumo mzuri wa kuwafikia wananchi na kufafanua kuwa hakuna sababu ya kuelekeza jitihada na gharama za kubuni mifumo mingine wakati ule wa crdb unaonesha mafanikio hivyo benki nyingine hazina budi kuiga mfano huo bwana pinda anasema anafahamu kuwa benki ambazo UNK kuwa zinaweza kuendeleza biashara zao nchini kwa kutoa huduma kwa wateja wakubwa na wa kati tu mtizamo huo ni hisia potofu kwani UNK zaidi ya kudumaa kwa kuacha kundi lenye tija UNK bwana pinda na kuongeza kuwa crdb ambayo inaongoza kwa ukubwa nchini imepata mafanikio endelevu kwa vile UNK wadogo na wakubwa hivi karibuni yametokea mapinduzi makubwa kwenye mfumo wa kusambaza huduma za kibenki kwa gharama nafuu ambazo wateja wadogo wanaweza UNK mapinduzi hayo UNK zaidi na maendeleo ya UNK UNK mabenki zingine UNK kuwafikia wateja kwa njia ya internet atm na mashine ndogo zinazotumiwa kwenye maduka na kulipia kwa kadi za benki anasema na kuongeza anasema kuna baadhi ya benki ambazo UNK wateja wao kupata huduma za kuangalia salio kwenye akaunti taarifa fupi ya mwenendo wa akaunti na kuhamisha fedha toka akaunti moja kwenda nyingine kwa kutumia simu za mikononi hayo ni mapinduzi makubwa katika sekta hiyo ambayo UNK mteja gharama za kusafiri kwenda matawi ya kawaida kupata huduma bwana pinda anasema ni imani yake kuwa benki hizo UNK kuwa kuwa wateja wao UNK wenyewe badala ya kuhudumiwa na wafanyakazi ambapo alishauri kuwa ongezeko hilo la tija kwenye benki UNK kwa lengo la kupunguza gharama za huduma wanazotoa anasema changamoto kubwa inayotokana na mapinduzi ya teknolojia UNK kampuni ya simu za mkononi uwezo wa kusambaza huduma za kifedha ikiwa ni fursa nzuri kwa vyombo hivyo kutumia nafasi hiyo kutoa huduma kwa wateja wadogo ambao wanahitaji huduma ya kifedha kwa gharama nafuu aliongeza kuwa gharama za kujenga atm na mifumo ya internet yenye uwezo wa kutumika kwa simu za mikononi ni ndogo kuliko kujenga matawi asilia anasema mpango wa serikali wa kuanzisha UNK ya kilimo bado una utata wa mtandao ambao UNK na benki hiyo ili kuwafikishia wakulima ambapo nia ya serikali ni kuona benki hiyo inajiendesha kibiashara ni lazima UNK mikakati ya kusimamia gharama za uendeshaji na zile za kusambaza huduma uwezo wake wa kutoa riba ndogo utatokana na unafuu wa UNK vya mtaji na fedha nyingine za kukopesha anasema alifafanua kuwa ni lazima benki itoe mikopo kwa kuzingatia misingi ya biashara ili mikopo hiyo iweze kurejeshwa na kuzungushwa kwa wahitaji wengine ambapo bila kufanya hivyo beki haitakuwa endelevu mkurugenzi mtendaji wa crdb daktari charles kimei anasema kutokana na mazingira mazuri ya biashara yaliyowekwa na serikali idadi ya benki za biashara imezidi kuongezeka anasema benki hizo zimekuwa na ushindani mkubwa hasa katika utoaji wa mikopo UNK zaidi wateja wakubwa pamoja na ushindani huu siyo wananchi wote waliopata huduma za kibenki UNK ikiwa ni pamoja na uwezo wa kuweka akiba zao na kupata mikopo wakati wanapohitaji kwa gharama nafuu anasema benki yake imekuwa ikijitahidi kuanzisha bidhaa UNK zinazokidhi mahitaji ya wateja sifa kubwa ya benki hiyo ni kusikiliza wateja wa tabaka zote na kuwapatia bidhaa na huduma zenye kuendana na mahitaji yao kwa zaidi ya miaka minne benki hiyo kwa kushirikiana na asasi za UNK pamoja na vyama vya akiba na mikopo zaidi ya wananchi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri wanaofanya shughuli ndogondogo UNK na kupata huduma ya kifedha inayokidhi mahitaji yao anasema benki hiyo imepiga hatua kubwa zaidi baada ya kuanzisha kampuni maalumu inayotoa huduma za kifedha kwa wateja wenye shughuli ndogo ndogo za kiuchumi dhamira yetu ni kuwajengea watanzania uwezo wa kukabiliana na umasikini kwa kutumia rasilimali zao kwa maendeleo yao wenyewe anasema daktari kimei anafafanua kuwa serikali imefanya kazi kubwa na nzuri ya kuandaa mazingira mazuri ya kuwezesha sekta ya huduma za fedha kwa wenye shughuli ndogo ndogo kustawi kupanuka na kuwa endelevu na aziz msuya juni kumi ishirini sifuri sita rais jakaya kikwete alitangaza dhamira ya serikali kuufanya mkoa wa morogoro kuwa ghala la chakula la taifa kwenye uwanja wa jamhuri mkoani humo wakati UNK wananchi wa mkoa huo kwa kumpa kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini sifuri tano mpango huu wa serikali UNK jina la famogata ukiwa na maana ya fanya morogoro ghala la taifa ukiwa na lengo la kulima na kuhifadhi mazao yanayolimwa katika wilaya zote za mkoa huo kama mahindi mpunga mihogo ndizi viazi vitamu na UNK jamii ya UNK maeneo yaliyoanishwa kwa kilimo katika mpango huo ni pamoja na UNK dakawa UNK UNK UNK mkula UNK UNK na maeneo mengine ambayo yanaendelea UNK kwa ajili ya utekelezwaji wa mpango huo katika utekelezaji wake uongozi wa mkoa huo UNK kazi agizo hilo ambapo tayari mpango huo umeanza kutekelezwa kwa awamu ya kwanza japo si kwa mafanikio makubwa kutokana na kukabiliwa na changamoto mbalimbali katika kipindi cha kwanza cha utekelezwaji wa mpango huo aprili ishirini sifuri saba hadi april ishirini sifuri nane tathimini iliyofanywa na ofisi ya mkuu wa mkoa wa morogoro uzalishaji wa mazao ya chakula ulikuwa ni tani moja mia mbili na kumi na nane ishirini moja nane sawa na asilimia sabini na mbili wakati lengo lilikuwa tani moja mia sita na tisini sifuri sifuri sifuri hapo ndipo changamoto zinapojitokeza katika kuhakikisha kuwa famogata UNK kwa asilimia kumi sifuri changamoto hizo ni pamoja na kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji katika mito na mabonde yanayofaa kwa kilimo hicho na ujenzi wa barabara zinazoelekea katika maeneo ya uzalishaji changamoto nyingine ni kuhakikisha kuwa wakulima wanapata pembejeo ya ruzuku na zana bora za kilimo kwa wakati ili kuongeza uzalishaji upatikanaji wa taarifa za masoko ni suala lingine muhimu ili kumfanya mkulima kujua bei nzuri ambayo itamwezesha kuongeza kipato kupitia kilimo ili kuwa na maisha bora ili famogata iweze kufanikiwa ni lazima watumishi ugani wapatiwe vitendea kazi kama usafiri kupatiwa vifaa maalumu vya kupimia ukubwa wa maeneo ya mashamba pamoja na kuachana na utaratibu wa sasa wa kupima kwa macho na miguu serikali inapaswa kuhakikisha kuwa vijiji vyote mkoani humo ambavyo havina mipango ya matumizi bora ya ardhi UNK mpango huo kwa awamu ili kuondoa migogoro sugu ya ardhi mapigano ya wakulima na wafugaji pamoja na kufanya tathmini ya ukuaji wa mazao ya shambani na usalama wa chakula kwenye wilaya ili kuwa na akiba ya chakula jitihada zinahitajika ili kuwashawishi wakulima kuanzisha au kujiunga na saccos ili waweze kupata fursa ya mikopo na kukuza mitaji yao midogo mpango huo utawawezesha wakulima wadogo na wale wa kati UNK na kuongeza uwezo wa kukodisha matrekta ili kuepuka matumizi ya jembe la mkono na kununua pembejeo za ruzuku ulimaji wa pamoja kwa maana ya mashamba ya bega kwa bega ni lazima uimarishwe zaidi na halmashauri ziendelee kuweka mazingira mazuri kwa wakulima utaratibu huo utawawezesha wataalamu wachache wa kilimo kuwahudumia wakulima wengi kwa wakati mmoja famogata ni lazima UNK msukumo maalumu UNK mtawanyiko wa kutosha wa mashamba darasa ili kuwafikia wakulima wengi zaidi sifa na miiko ya uendeshaji wa mashamba darasa hazina budi kuzingatiwa wakati wote katika utekelezaji wa mpango huo miradi yote UNK mchakato mrefu UNK kwa nguvu na kasi ili kuhakikisha kuwa eneo la kilimo cha umwagiliaji mkoani linafikia hekta hamsini na tatu sifuri sifuri sifuri ifikapo mwaka ishirini moja sifuri kwa kuwa mazao ya viazi vitamu muhogo na ndizi yameonesha mafanikio katika kuongeza ufanisi wa utekelezaji wa famogata hasa katika halmashauri za kilombero ulanga na morogoro vijijini ni vyema UNK mabadiliko ya haraka katika uzalishaji tija na kipato kwa mkulima ambapo nguvu na kasi zielekezwe katika kuhamasisha wakulima UNK mazao hayo uzalishaji mkubwa unahitaji kwa kuwa kuna mashamba makubwa yenye hatimiliki za muda mrefu kuna haja ya kutengua hatimiliki za mashamba UNK kwa muda mrefu kwa sababu katika maeneo mengine mashamba hayo yanasababisha baadhi ya vijiji kutokuwa na ardhi ya kutosha mashamba hayo ambayo hayajaendelezwa huwa maficho ya wanyama wakali na hivyo kufanya maeneo hayo yasiwe salama kwa maisha na shughuli za wananchi kutenguliwa kwa hatimiliki zake kutatoa fursa za kuyafanya UNK na kuongeza uzalishaji halmashauri zote za mkoa wa morogoro UNK umuhimu wa kuimarisha mfumo na taarifa za masoko kwa kuainisha na kupanga utaratibu wa kutoa taarifa za bei kwa wakulima kupitia redio televisheni ujumbe mfupi wa simu za mkononi uimarishaji wa benki mazao na ujenzi wa masoko serikali na mamlaka zinazohusika zinapaswa kutoa uzito unaostahili katika kutekeleza hili agizo la rais ambapo bajeti ya kilimo kwa mkoa wa morogoro na halmashauri zake haina tofauti na mikoa mingine ambayo haijapewa jukumu kubwa la kitaifa kama hili mpango huu wa famogata unahitaji misukumo mingi kutoka maeneo tofauti lakini ni ukweli usiofichika kwamba kama hakutakuwa na dhamira ya dhati na UNK kisiasa ni jambo linalowezekana kabisa kwa mkoa huo kuwa na UNK zote za kuuwezesha kuzalisha idadi kubwa ya tani za chakula ili kufanikisha utekelezaji wa famogata hakuna budi kwa serikali kutoa upendeleo maalum wa bajeti na msaada wa kitaalamu kwa wakulima mkoani humo wapendwa wasomaji wa safu hii nyeti inayozungumzia na kuelimisha mambo mbalimbali ya kijamii na kifamilia leo kama kawaida tunaendelea na utaratibu wetu wa kuelimisha kwa lengo la kudumisha uhusiano na wenzi wetu pamoja na marafiki mbalimbali wiki iliyopita nilizungumzia mada kuhusu UNK na kero zitokanazo na mapenzi na jinsi ya kuepukana nayo nina imani wasomaji wangu UNK mengi kupitia mada hiyo na leo ninawaletea mada nyingine inayozungumzia matatizo yanayotokana na kulazimisha mapenzi na jinsi ya kuepukana nayo leo UNK mada hii mpya baada ya kupata maswali mengi kutoka kwa wasomaji wangu mbalimbali wa safu hii tofauti UNK UNK mmoja wasomaji wangu alitaka kujua upendo wa mpenzi kwake swali hilo limetokana na kuwa na mpenzi ambaye ameonekana anajijali yeye zaidi kwa kutaka matakwa yake UNK na kutokuwa tayari kutimiza matakwa yake mpenzi wake huyo amekuwa akimuomba fedha na kupewa lakini kila wakipanga wakutane siku hiyo simu UNK na wakikutana anaomba pesa na UNK anakuwa mkali na kutishia kuvunja mapenzi swali ni kwamba anashindwa kumuelewa mpenzi wake kwa UNK yeye na kutoonesha mapenzi zaidi ya vitu UNK hivyo kutokana na hali hiyo tabia zake UNK ambapo ameomba ushauri kwani anampenda sana mpenzi wake nina imani wasomaji wangu wote swali UNK najua UNK majibu japo wapo wenye majibu wangeweza kumjibu kama angeweka namba za simu kwa upeo wangu ningependa nilijibu swali lake kama ifuatavyo ninapenda muwe wafuatiliaji wazuri wa mada zangu ili kuelewa penzi la kweli na penzi lililopo kwa ajili ya kitu fulani isingekuwa kazi kulitambua penzi la mpenzi wake UNK wapi nina imani hata wewe ndugu msomaji swali lake UNK vizuri lakini nataka nieleze kitu kimoja ambacho UNK si kwa wanaume tu hata kwa dada zetu pale unapolazimisha penzi wakati ukijua pale hakuna mapenzi lakini kwa vile umependa unakuwa kinggangganizi kulazimisha mapenzi wakati umeona hakuna dalili zote za kuwepo na penzi la kweli UNK muda bila ulazima wowote kwa mfano mpenzi wako anakujali kwa ngono tu zaidi ya ngono hakuna kinachoendelea na UNK mapenzi hupungua hata ukiwa UNK au mpenzi wako anakupenda ukiwa na kitu unapokuwa huna kitu mapenzi yanakosekana pia mpenzi wako anakuwa si mkweli UNK na zaidi ya wapenzi watano tofauti na dalili zote za kuwa wapenzi UNK anakuwa mkali eti UNK sana maisha yake au unakuwa na mpenzi kila kukicha UNK makosa na kukuomba samahani na wewe kumsamehe kwa kuwa UNK nauliza ni nani aliyepanda mbegu kwenye jiwe UNK siku zote mbegu hustawi kwenye udongo wenye rutuba na rutuba ya mapenzi na upendo wa dhati hapa huwa hakuna mapenzi zaidi ya wewe kulazimisha mapenzi wakati ukijua pale hakuna mapenzi unapolazimisha mapenzi kwa kuvumilia vitendo UNK upendo vya UNK hii ni kujiingiza kwenye mateso ya kujitakia pia inaonesha jinsi gani UNK na kuona kuwa UNK mwingine ni kosa kubwa kulazimisha mapenzi hata kama UNK mtu kiasi gani na UNK mapenzi kwake kwa kiasi kikubwa lakini UNK UNK bado unakuwa kinggangganizi wapenzi wamekwisha au unaambiwa huyo ndiye wa mwisho zaidi ya huyo hakuna mwingine huu ni ulimbukeni wa mapenzi kwa kutoelewa nini maana ya mapenzi ni kumpenda UNK na UNK mapenzi yako yote si kwa yule asiye kupenda unakuwa kila siku mtu wa kuumia narudia tena na tena na nitarudia kama UNK au kuna siku UNK UNK thamani ya mtu ni kubwa tofauti na UNK fikiria tatizo ni UNK ya maisha kwa kulazimisha mambo UNK kila kitu kina wakati ni utulivu na kuchagua kwa makini nina imani UNK mpenzi wa kweli siku zote tamaa mbele mauti nyuma kwa leo inatosha tukutane wiki ijayo kwa maoni maswali au ushauri nitwangie kupitia e mail likitokea jambo watu UNK sana na ukawa mjadala basi UNK atasema UNK mijadala mingi UNK na mwisho wa siku inaonekana UNK watu kwa maslahi wa watu fulani kwa maslahi ya kitu fulani au siyo jamani wananchi tena kipindi si kirefu walilalamikia UNK hawa UNK kutoka UNK kiasi cha kuuza maua sahani vijiko vikombe na hata UNK na chu p za mitumba UNK sana tukaelezwa sheria ya UNK UNK yetu UNK tena kumbuka hawa wacheza kungu fuu UNK duniani kwa mambo feki zamani UNK kwa tiba zao lakini kwa sasa nazo ni shaka tupu unaweza kunywa UNK mtoto ana pua ya UNK macho ya kireno masikio ya UNK miguu ya UNK kiuno cha UNK na UNK kama la babu yenu mvuja jasho na mgongo wangu wa UNK kwa kuvuja jasho kusaka hayo UNK maisha bora UNK wacha UNK pumzi mwana wa mwanamke UNK kwanza UNK mtoto wa baba wa mama ni nani hasa mwenye uhakika wa mtoto baba au mama UNK UNK UNK kwa hiyo hawa UNK kungu fuu UNK kama UNK biashara yao ni chu p za mitumba na maua pale mzungu UNK koo kariako basi wana biashara kubwa zaidi hiyo naambiwa wengine ni mashoga wanakuja kusaka wanaume huku bongo wengine wanapanga foleni nyakati za usiku kuuza miili yao UNK hawa UNK anga soko dada zetu UNK kwa UNK la dada poa UNK kiungo kile muhimu na UNK kama UNK nyama sokoni hiyo ni laana gani UNK binadamu ninyi UNK unaambiwa una bei gani mwingine anakwambia UNK moja ni buku pungufu UNK hiyo dhambi mbana hata shetani UNK haya sasa hayo mambo ya UNK UNK matokeo yake ndiyo haya UNK maji ya mer v ndiyo maji ya mer v kama UNK na kutengeneza maji yao kisha kuweka nembo za biashara za wenzao na kuingiza sokoni bidhaa zao tutaamini vipi UNK UNK yule mcheza kungu fuu wa kike aliyetaka kufanya kungu fuu zake mbele ya kamera ya UNK UNK kuwa UNK maji feki hayo ni ya UNK wanatengeneza hadi maji feki ndani ya inji yetu tupo tu UNK labda UNK UNK mimi mvuja jasho mgongo UNK kuna UNK yaliyo makuu inji hii kuliko hilo da si salama UNK na uhaba wa maji hata wakiona ya UNK wa mer v wanini UNK na UNK kw UNK zao feki na UNK UNK wao wana hasara gani wakati wao UNK maji UNK kutoka kwao UNK wanataka UNK hadi utumbo kwa kunywa maji yao feki na kisha UNK katika hospitali zao feki na kupatiwa matibabu feki kwa UNK wetu wa kushindwa kuweka sheria za kuwabana wawekezaji feki hivi wadanganyika UNK UNK wa UNK hicho UNK ni kiwanda kimoja tu lakini hatujui vingapi viko huko UNK hapa ndipo hofu yangu nyingine UNK hofu ya kulishwa nyma zisizo nyama kwenye makopo huku sasa mbona ni UNK biashara wajameni kama wameweza kuuza maji taka kwenye chupa kwa kutumia nembo halisi ya maji yanayofahamika yenye ubora wa UNK kwanini wasifanye hivyo hata kwenye nyama na samaki hivi UNK UNK mbwa pale kwa UNK na uwanja wa fisi UNK na UNK kisha UNK kwenye makopo kwenye hivyo viwanda vyao feki UNK nembo za UNK UNK hapo UNK kama hako ni kanyama ka mbwa jamani na utagundua kuwa hako ni kanyama ka mbwa utakapokuwa UNK na UNK wako wa UNK kutoka hukohuko UNK kutambua ladha labda uwe umezaliwa iringa UNK ninyi wadanganyika UNK nyama ya samaki na UNK mbona naambiwa zote ni nyeupe kwa kuuziwa maji taka kwa nini mvuja jasho mimi UNK kuwa naweza siku moja UNK nyoka nikiambiwa ni samaki wa kwenye makopo kujua ladha ya huyu ni nyoka na yule ni samaki ni ni ngumu labda uwe umezaliwa morogoro mbona naambiwa huyo UNK samaki UNK ni nyoka kasoro kichwa UNK UNK yule UNK aliyekuwa UNK nyama za mbwa na paka kule kibaha akiwaambia ni nyama za swala sungura na UNK hadi alipokuja UNK katika UNK tena sikukuu ya idd UNK kichwa cha mbwa baada ya kuwa UNK nyma ya mbwa yote jamaa aliona ametengeneza sana siku hiyo na kuamua kurudi UNK kichwa cha mbwa ndipo UNK naambiwa wengine UNK hadi utumbo mwana UNK kwa mtaji huo UNK na UNK vichafu sana hao UNK kunywa konyagi kwanini nao UNK gongo la mer v wakiambiwa ni konyagi namba wani mbona tuna viwanda vingi tu vya UNK nyumbani kwanini UNK kwenye mifuko ya konyagi UNK kweli duniani kuna mambo na mambo yenyewe ndio hayo watu UNK mjini na UNK UNK kama mimba za UNK kumbe vyakula vyenyewe ni uchafu mtupu fikiria maji ya kupikia UNK UNK kisha UNK ubwabwa na nyama UNK ni za mbawala na kumbe za UNK UNK unakandamiza na maji machafu ya UNK UNK utasema ni afya wajameni inawezekana ikawa afya lakini si UNK nadhani hao wa mamlaka ya vyakula sasa vinapaswa kufanya kazi mara dufu kuhakikisha wadanganyika UNK ila kumbukeni tu kwa sasa watu UNK wanafanya kweli tujadiliane kwa kunywa maji taka kwa namba sifuri saba moja tatu nane tisa nane tisa tano saba wapendwa wasomaji wa safu hii nyeti inayozungumzia na kuelimisha mambo mbalimbali ya kijamii na kifamilia leo kama kawaida tunaendelea na utaratibu wetu wa kuelimisha kwa lengo la kudumisha uhusiano na wenzi wetu pamoja na marafiki mbalimbali wiki iliyopita nilizungumzia mada kuhusu sababu UNK mwanaume au mwanamke kuachwa mara kwa mara na jinsi ya kuepukana na hali hiyo nina imani wapenzi wasomaji wa mada hii mlifurahia mada hiyo na leo ninawaletea mada nyingine inayozungumzia jinsi ya kuimarisha penzi kwa mtu usiyempenda kumekuwa na maswali mengi ambayo UNK kupitia katika kona hizi maswali mengi yamekuja eti kuna uwezekano wa kumpenda mtu usiyempenda naelewa swali hili limekuja kutokana na ndoa za UNK jibu ni UNK unaweza kuishi na mtu usiyempenda na kuwa kipenzi chako japo wapo watu wanaoona vigumu kuishi na mtu usiyempenda japo yeye UNK mapenzi hali ya kuona ugumu wa kuishi na mtu UNK kuolewa naye au kumwoa inatokana na kuendeleza chuki moyoni mwako hata kama UNK kuishi pamoja na kushirikiana kimwili siku zote chuki zisizo kikomo hukufanya kumwona mwenzako kama adui na si mpenzi wako hali hii hukufanya ufanye mambo ya ajabu kama kutembea nje ya ndoa na mpenzi wako wa zamani kuonyesha huna mapenzi na mwenzako kwa kumfanyia visa yote kwa sababu UNK kuoa au UNK jambo hili lazima tuliangalie kwa upande wa pili je mwenzako ana mapenzi ya kweli na wewe kama ndio lazima ujue visa vyako UNK kwa kiasi kikubwa na kumnyima raha ifike hatua tubadilike pale UNK au kuoa mtu usiye UNK lazima uelewa kuoa au kuolewa ni mwanzo wa maisha mapya nini cha kufanya ili UNK usiyempenda japo ni vigumu hebu fanya haya ili kumpenda usiyempenda naelewa mwanzo ulipokuwa ukimwona ulikuwa UNK na kufanya chuki ziendelee kila siku hebu badilika kwa kumwonea huruma kila UNK mwenzako kila siku chuki zako UNK kuwa huruma huruma yako ya kila siku huzaa upendo na kujikuta UNK moyoni mwako kama rafiki na si adui ondoa wazo la kulipa kisasi moyoni UNK kwa kuwa wazazi wako UNK UNK kwa kutoka nje ya ndoa UNK mtu bali UNK wewe mwenyewe na UNK utu wako mbele ya jamii kwa mada hii UNK wote wenye chuki na wapenzi wao wabadilike ili kufungua ukurasa mpya wa upendo UNK kusema penzi tamu na la kweli UNK ndani ya ndoa au uhusiano wenye malengo maisha bila malengo ni sawa na kuendesha gari usiku wa giza bila taa mwisho wake siku zote huwa mbaya UNK mwili mmoja kwa kulazimishwa hakuna jinsi ya kushindana na wazazi wako au kumkomoa mpenzi wako rudisha mapenzi ndani kwa kumwonea huruma mpenzi wako na UNK yote UNK kwa ajili ya kumkomoa au kuwakomoa wazazi wako kwa UNK ifike wakati UNK ndoa zetu au uhusiano wetu wenye malengo ili kujenga familia iliyo bora yenye maadili mema na mwisho kutoa aibu ya mpenzi wako nje ni kujivua nguo mwenyewe kwa leo haya machache UNK UNK kazi tukutane wiki ijayo kwa mada mpya kwa maoni zaidi nitwangie kupitia email na edson kamukara mgogoro wa ardhi kati ya wakazi wa kata ya kijitonyama dar es salaam na idara ya UNK UNK na gazeti hili kwa zaidi ya mara mbili wakazi hao wanaitaka idara hiyo kubomoa uzio uliojengwa katika kiwanja namba mia nane na thebathini na mbili kitalu arobaini na saba kwa madai kuwa eneo hilo ni sehemu ya wazi kwa ajili ya michezo tayari malalamiko yao wakazi hao UNK katika wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi kwa niaba ya waziri wa wizara hiyo kamishna wa ardhi bwana joseph UNK aliandika barua kwenda wizara ya mambo ya ndani ya nchi nakala ya barua hiyo zilikwenda kwa mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni na wakazi wa kijitonyama barua hiyo yenye kumb na ld laki mbili na elfu themanini na nne na mia sita na thebathini kumi na tano UNK iliandikwa januari ishirini na nane mwaka huu katika barua hiyo wizara hiyo UNK kupokea malalamiko ya wakazi wa kijitonyama kuhusiana na uzio uliojengwa kuzunguka kiwanja kinachodaiwa kumilikiwa na UNK ya uhamiaji na kuagiza kuwa uzio huo uvunjwe kwa kuwa eneo hilo limetengwa kwa ajili ya michezo kwa umma sote tunafahamu kuwa idara hiyo ipo chini ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi ambapo jukumu la wizara hiyo ni kusimamia haki za raia na mali UNK katika mazingira hayo inashangaza kuona jukumu lao UNK na kuonesha dalili za kuwapora wananchi mali yao wakati agizo la wizara ya ardhi likisisitiza kubomolewa kwa uzio huo msemaji wa idara hiyo naibu kamishna bwana abdi ijimbo aliibuka na kusema kuwa hawako tayari kutekeleza agizo hilo kwa kuwa eneo hilo UNK na kihalali tangu mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa kutoka iliyokuwa kampuni ya bora UNK co ltd pamoja na bwana ijimbo kusisitiza kuwa eneo hilo UNK kihalali imefahamika kuwa nyaraka za umiliki wa kiwanja hicho tangu awali zinaeleza kuwa kiwanja namba mia nane na thebathini na mbili hakimo kwenye orodha ya umiliki wa viwanja UNK kiwanja namba mia nane na thebathini na sita ambacho ndicho UNK kuwa ni mali ya kampuni ya bora barua ya februari kumi na nne elfu moja na mia tisa na tisini na tano yenye kumb na UNK UNK UNK themanini na moja tisini na tano iliyoandikwa na ofisa mtendaji wa kata ya tandale kwenda kwa mkurugenzi wa jiji UNK kuwa wakazi hao waliomba kumilikishwa eneo hilo la wazi katika vitalu arobaini na nne na arobaini na saba ili wajenge ofisi ya kata karibu na kiwanja hicho katika kuafiki ombi la wakazi hao juni kumi na tatu elfu moja na mia tisa na tisini na tano mkurugenzi wa jiji kupitia barua kumb na dcc ld elfu arobaini na moja na mia sita na kumi na tisa kumi na tisa UNK aliandika barua kwenda kwa kamishna wa ardhi kumtaarifu juu ya ombi hilo la wakazi wa kijitonyama awali kata hiyo UNK UNK waziri wa ardhi wakati huu bwana gideon cheyo kupitia kwa katibu wake bwana saidi nguba UNK wananchi wa kata ya tandale barua yenye kumb na tp sifuri moja mia mbili na sabini na moja kumi nane ya novemba ishirini na tisa elfu moja na mia tisa na tisini na sita akitoa maelekezo ya kufuata bwana nguba katika barua yake alisema kutokana na UNK yenu na waziri kuhusu eneo UNK ambalo awali lilikuwa UNK na kiwanda cha bora kabla ya kufutwa kwa hati baada ya maelezo ya waziri imeamuliwa kuwa kata ya tandale UNK viwanja viwili na mia nane na thebathini na mia nane na thebathini na moja ambavyo UNK na uwanja wa mpira wakati wakazi wa kijitonyama wakiendelea kutumia eneo hilo kwa shughuli za ofisi idara ya uhamiaji iliibuka na kujenga uzio kuzunguka kiwanja hicho jambo ambalo wakazi hao walilazimika kupeleka malalamiko yao kwa mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni mwaka ishirini sifuri nane na kutaka ufafanuzi wa nani aliyehusika kuuza kiwanja hicho cha wazi mkurugenzi wa manispaa hiyo aliandika barua yenye kumb na kmc ld elfu nne na mia saba na ishirini tisa kumi na tatu UNK ya machi machi tatu ishirini sifuri nane kwenda kwa kamishna wa ardhi na jiji akitaka kujiridhisha kwa kujua historia ya kiwanja namba mia nane na thebathini na mbili kitalu arobaini na saba pamoja na UNK nyaraka zote UNK ardhi ili iwe rahisi kwa ofisi yake kufanya UNK machi nane ishirini sifuri nane mkurugenzi wa jiji katika barua yake kumb na dcc l kumi na mbili ishirini na mbili vol UNK themanini na nane kwenda ofisi ya mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni UNK kuwa hawana kumbukumbu zozote zinazohusu kiwanja namba mia nane na thebathini na mbili kitalu arobaini na saba ili kuhalalisha kuwa sehemu hiyo ni ya wazi kwa umma kamishna wa ardhi kupitia barua yake yenye kumb na rs UNK r kumi vol l ishirini nne ya aprili mbili ishirini sifuri nane alimfahamisha mkurugenzi huyo kwamba kumbukumbu zilizopo kwa upande wa kodi zinaonesha hakuna malipo yaliyowahi kufanyika juu ya kiwanja hicho kufuatia utata huo mkurugenzi wa manispaa hiyo aliandika barua yenye kumb na kmc ld elfu nne na mia saba na ishirini tisa kumi na nane UNK kwenda kwa mkurugenzi wa uhamiaji akitaka ufafanuzi juu ya umiliki wa kiwanja hicho barua hiyo UNK kuwa tumefanya ukaguzi na kukuta UNK eneo hilo pia UNK nyumba za kampuni ya bora jirani na eneo hilo iwapo mna nyaraka za kiwanja hicho tunaomba UNK pamoja na kibali cha ujenzi UNK kujengwa eneo hilo mpaka hivi sasa uhamiaji UNK barua hiyo wala kuonesha vielelezo vya kumiliki kiwanja hicho yawezekana uhamiaji UNK eneo hilo kwa makosa lakini baada ya kufahamu ukweli ni vyema UNK taratibu na kuwaachia wakazi wa kata ya kijitonyama kiwanja chao cha michezo na rose UNK kwa wasomaji wapya suzy UNK saa tisa usiku akiwa nyumbani kwa romji huku wazazi wake UNK romji alilazimika kumfundisha uwongo ili UNK na ukweli kwa madai ya kwamba alitekwa na majambazi je nini kilitokea UNK nilihisi pengine mama ameanguka kutokana na shinikizo linalomsumbua romji alikuwa na kazi kubwa ya kunibembeleza nilitulia na kupiga tena ile simu ya mama kwa kuwa alikuwa hajakata ilikuwa UNK ila baada ya dakika kumi hivi iliweza kupatikana tena hallow mama mbona UNK simu mimi siyo mama ni dada yako stela mama analia hawezi kupokea simu upo wapi kwani sisi UNK chumba cha maiti muhimbili UNK umepata ajali UNK hospitali zote kuanzia saa tano usiku UNK vituo vya polisi na hata UNK bosi wako alidai ulitoka kazini saa saba dada stela nashukuru mungu mimi ni mzima nipo njiani nakuja nyumbani UNK yote UNK romji UNK na UNK kwa furaha kubwa unaona suzy UNK sasa utakapofika nyumbani UNK hoja nzuri mpenzi wangu lazima uwe UNK alisisitiza romji UNK huu ulikuwa mtihani mkubwa kwangu niliwaza namna ya kurudi nyumbani kwani ilikuwa ni mra yangu ya kwanza kulala nje ya nyumbani uso wangu UNK na aibu UNK na hofu roho iliniuma sana ni namna gani UNK kutumbukia kwenye uwongo na kumwacha mungu wangu lakini tatizo ni mapenzi nilijibu maswali yangu mwenyewe saa moja asubuhi romji alipiga simu na kumwita dereva teksi mmoja ambaye ni rafiki yake aliongea naye na kumpa pesa nyingi na kumwambia kuwa UNK nyumbani UNK suzy usiwe na wasiwasi acha mkoba wako huku pamoja na simu yako kesho UNK kazini UNK mkoba mwingine dukani na simu nyingine mpya leo vumilia na pia chukua hizi pesa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani alisema romji romji alinipa laki moja na kisha kuagana naye niliingia nyumbani saa na kuwakuta ndugu zangu UNK kwa hamu walishangilia UNK nikiwa hai mama alikimbia na kunikumbatia kwa furaha alinishika mkono mpaka sebuleni na kisha kunikalisha kwenye UNK yule dereva teksi naye alinifuata na kukaa karibu yangu he suzy nini UNK mwanangu kwani toka UNK hatujawahi kupatwa na hofu kama hii tuliyoipata usiku wa leo alisema mama nilianza kulia kwa kwikwi nyingi kilichokuwa UNK ni namna gani UNK mama yangu mjini kwa kusema uwongo mama sikiliza UNK UNK yule dereva mama mimi ni dereva UNK kituo changu kipo pale mwenge majira ya saa kumi na mbili asubuhi nilipata mteja aliyekuwa anaelekea tegeta kibaoni baada ya kumfikisha mteja wangu nikiwa narudi gari yangu ikapata UNK niliiweka pembeni na kuanza kufungua mpira UNK nilisogea kwenye kichaka kilichopo karibu na njiani kutafuta jiwe la kuzuia gari yangu ndipo UNK huyu binti chini ya mti akiwa analia sana nilimwuliza kulikoni ndipo UNK kuwa wakati akitoka kazini saa saba mchana kuna gari ya rafiki yake mmoja aliyesoma naye morogoro ilisimama na kumpa lifti kumbe haikuwa lifti halali bali walikuwa majambazi ambao walimteka na kumlazimisha kushiriki nae kwenye wizi ambao ulifanyika eneo la bunju jana usiku baada ya kusaidiana na majambazi hao ndipo UNK kitambaa na kumtupa kwenye kichaka hicho ambapo hakujua yupo wapi mpaka UNK alisema dereva yule mama yake suzy UNK na kumkumbatia mtoto wake na kutoa asante nyingi watu wote waliofika pale nyumbani walifurahi na kumpongeza dereva yule kwa ujasiri na huruma kubwa aliyokuwa nayo kila mmoja aliangalia mfuko wake na kutoa pesa na kumpa kama zawadi kwa ujasiri wake UNK suzy hebu tueleze UNK UNK mama na UNK niliangalia chini huku UNK kujieleza kwa aibu roho yangu UNK lakini nilikumbuka maneno ya romji kuwa ni lazima niwe jasiri ili nipate raha mama kama UNK dereva mungu UNK baada ya majambazi UNK wao walidai UNK kitu chochote kibaya ila shida yao kubwa ni kuwasaidia katika ujambazi tulikwenda katika ghala moja UNK vipuri vya magari eneo la boko tulipofika karibu na ghala hilo UNK na kuniambia niache kila kitu kwenye gari na kisha niende kwenye ghala hilo nianze kulia nikiomba msaada kwa walinzi walinzi watakapofika UNK kuwa UNK eneo hilo na majambazi wakati huo UNK walinzi hao nje wao UNK eneo lote kweli nilikwenda na kuwakuta walinzi wakiwa UNK UNK UNK kisha UNK wote nami nikaanza UNK shida yangu UNK huku nikilia walipokuwa UNK kwa UNK majambazi hao walivamia na kuanza kuwatandika risasi walinzi wote watatu waliokuwa kwenye ghala hilo waliiba mali zote na kwa UNK huruma UNK kwenye gari yao na UNK kitambaa UNK kisha UNK eneo UNK dereva huyu toka saa mbili usiku mpaka saa tisa nilikuwa nimekaa UNK hapo kwa hofu UNK UNK mama habari hii iliwasikitisha watu wote waliokuwa pale nyumbani walianza kulia kwa furaha na kuniona kuwa nimetoka kwenye mdomo wa mamba niliwasihi kutoizungumzia habari hii kwani askari wangeweza kunikamata na kutaka niisaidie polisi kwa kushiriki kwenye wizi wa mali pamoja na kuua watu wote walifurahi soda zilinunuliwa na tulikunywa wote kwa furaha dereva aliaga na kuondoka huku akipata asante nyingi mama alimwomba arudi nyumbani tena ili aweze kumchinjia mbuzi kwa msaada alioutoa siku iliyofuata nilikwenda kazini kama kawaida niliendelea kukuza uwongo wangu na kupewa pole nyingi sana haloow suzy hongera mpenzi si unaona ulifanikiwa alinipigia simu romji asante dear lakini roho inanisuta kishenzi nilimjibu romji achana na woga wako suzy kwanza tupange dili la kwenda zanzibar alisema romji romji naomba tufanye mwezi ujao kwa sasa sintaweza kuomba ruhusa kwani ofisini kuna kazi nyingi sana sawa mpenzi wangu nakuheshimu alisema romji siku zilikatika mapenzi yangu na romji yalipamba moto sikusikia la mtu kila siku tuliongozana na romji baada ya kazi nyumbani nilianza kuchelewa kurudi na kusingizia wingi wa kazi mama alilalamika sana mwishowe akakaa kimya na kuniacha miezi ilikatika nilihisi kuwa na ujauzito afya yangu ilianza kuzorota nilimweleza romji kuhusu jambo hilo na kuniambia nihamie nyumbani kwake kwani iwapo mama alinikataza asinioe hicho ndicho kitakuwa kitambulisho changu kukubaliwa romji mpenzi naomba nikatoe mimba hii kwani sikupangilia kuzaa wakati huu na pia bado mama yangu yajanikubalia hivyo nitamweka kwenye wakati mgumu sana sikiliza suzy iwapo unataka mapenzi yangu na wewe yaishie hapa ni hapo utakapoitoa mimba hii katika ukoo wetu mtu akitoa mimba ya damu yetu ni lazima afe hivyo kama umechoka kuishi mpenzi wangu katoe mimba hii romji aliongea kwa msisitizo mkubwa kilikuwa kivumbi nilianza kuwaza miezi miwili ilikatika mitatu na hatimaye minne nikiwa kwenye hali ngumu nilijenga mazingira ya kumwambia mama ila niliogopa sana nilihisi mama atanigundua kwani kila nilipokuwa nikirudi jioni nilishindwa kula chakula kilichokuwa kimeandaliwa nyumbani siku moja niliwahi kurudi nyumbani majira ya jioni na kumkuta mama akiwa nje ya nyumba yetu nilipita kwa haraka huku nikificha tumbo langu na mkoba mkubwa niliokuwa nao nikihisi mama ataniangalia tumboni niliingia moja kwa moja chumbani na kuanza kulia suzy suzy aliniita mama bee mama niliitika njoo huku nje nakuhitaji mara moja sawa mama nakuja nilitetemeka nikahisi siri yangu imeshafichuka nilichukua kitambaa haraka na kujifuta nilitoka nje kumsikiliza mama suzy kaa hapa kwenye mkeka nina mazungumzo na wewe alisema mama vipi mbona nakuona huna raha kabisa siku hizi tofauti na ulivyokuwa awali unaporudi nyumbani kutoka kazini hutaki kula humu ndani una matatizo gani kama umepata sehemu ya kula utuambie ili tuache kumwaga chakula kila siku sasa ni wiki mbili toka uache kula naomba mwanangu uniambie unakula wapi siku hizi mama aliniuliza kwa kufoka mama samahani sana kwani haitanisaidia hata nikisema uwongo mama mimi sijisikii vizuri ndiyo maana ninashindwa kula nina malaria nilitaka kumtamkia mama nikahisi ameshtuka na kudakia ugonjwa mwingine malaria ndio uwe hivyo hapana hebu acha kuniongopea hivi unaniona mimi ni mtoto mdogo siku hizi mpaka unidanganye naomba uniambie ukweli urafiki wako na yule mzee niliyekukataza bado unaendelea alinihoji mama machozi yalianza kunitoka pale mama alipomwita mpenzi wangu romji mzee nilifuta machozi haraka na kujitahidi kupasua jipu itaendelea kesho kwa wasomaji wapya suzy alitumia simu yenye namba nyingine kumpigia mama yake na kumueleza uwongo UNK na ukweli alifika nyumbani na kuwakuta ndugu zake wakimsubiri ili awaeleze kilichomtokea fuatilia UNK mafanikio ya uwongo huo habari hii iliwasikitisha watu wote waliokuwa pale nyumbani walianza kulia kwa furaha na kuniona kuwa nimetoka kwenye mdomo wa mamba niliwasihi kutoizungumzia habari hii kwani askari wangeweza kunikamata na kutaka niisaidie polisi kwa kushiriki kwenye wizi wa mali pamoja na kuua watu wote walifurahi soda zilinunuliwa na tulikunywa wote kwa furaha dereva aliaga na kuondoka huku akipata asante nyingi mama alimwomba arudi nyumbani tena ili aweze kumchinjia mbuzi kwa msaada alioutoa siku iliyofuata nilikwenda kazini kama kawaida niliendelea kukuza uwongo wangu na kupewa pole nyingi sana haloow suzy hongera mpenzi si unaona ulifanikiwa alinipigia simu romji asante dear lakini roho inanisuta kishenzi nilimjibu romji achana na woga wako suzy kwanza tupange dili la kwenda zanzibar alisema romji romji naomba tufanye mwezi ujao kwa sasa sintaweza kuomba ruhusa kwani ofisini kuna kazi nyingi sana sawa mpenzi wangu nakuheshimu alisema romji siku zilikatika mapenzi yangu na romji yalipamba moto sikusikia la mtu kila siku tuliongozana na romji baada ya kazi nyumbani nilianza kuchelewa kurudi na kusingizia wingi wa kazi mama alilalamika sana mwishowe akakaa kimya na kuniacha miezi ilikatika nilihisi kuwa na ujauzito afya yangu ilianza kuzorota nilimweleza romji kuhusu jambo hilo na kuniambia nihamie nyumbani kwake kwani iwapo mama alinikataza asinioe hicho ndicho kitakuwa kitambulisho changu kukubaliwa romji mpenzi naomba nikatoe mimba hii kwani sikupangilia kuzaa wakati huu na pia bado mama yangu yajanikubalia hivyo nitamweka kwenye wakati mgumu sana sikiliza suzy iwapo unataka mapenzi yangu na wewe yaishie hapa ni hapo utakapoitoa mimba hii katika ukoo wetu mtu akitoa mimba ya damu yetu ni lazima afe hivyo kama umechoka kuishi mpenzi wangu katoe mimba hii romji aliongea kwa msisitizo mkubwa kilikuwa kivumbi nilianza kuwaza miezi miwili ilikatika mitatu na hatimaye minne nikiwa kwenye hali ngumu nilijenga mazingira ya kumwambia mama ila niliogopa sana nilihisi mama atanigundua kwani kila nilipokuwa nikirudi jioni nilishindwa kula chakula kilichokuwa kimeandaliwa nyumbani siku moja niliwahi kurudi nyumbani majira ya jioni na kumkuta mama akiwa nje ya nyumba yetu nilipita kwa haraka huku nikificha tumbo langu na mkoba mkubwa niliokuwa nao nikihisi mama ataniangalia tumboni niliingia moja kwa moja chumbani na kuanza kulia suzy suzy aliniita mama bee mama niliitika njoo huku nje nakuhitaji mara moja sawa mama nakuja nilitetemeka nikahisi siri yangu imeshafichuka nilichukua kitambaa haraka na kujifuta nilitoka nje kumsikiliza mama suzy kaa hapa kwenye mkeka nina mazungumzo na wewe alisema mama vipi mbona nakuona huna raha kabisa siku hizi tofauti na ulivyokuwa awali unaporudi nyumbani kutoka kazini hutaki kula humu ndani una matatizo gani kama umepata sehemu ya kula utuambie ili tuache kumwaga chakula kila siku sasa ni wiki mbili toka uache kula naomba mwanangu uniambie unakula wapi siku hizi mama aliniuliza kwa kufoka mama samahani sana kwani haitanisaidia hata nikisema uwongo mama mimi sijisikii vizuri ndiyo maana ninashindwa kula nina malaria nilitaka kumtamkia mama nikahisi ameshtuka na kudakia ugonjwa mwingine malaria ndio uwe hivyo hapana hebu acha kuniongopea hivi unaniona mimi ni mtoto mdogo siku hizi mpaka unidanganye naomba uniambie ukweli urafiki wako na yule mzee niliyekukataza bado unaendelea alinihoji mama machozi yalianza kunitoka pale mama alipomwita mpenzi wangu romji mzee nilifuta machozi haraka na kujitahidi kupasua jipu mama samahani sana naomba UNK kuwa bado urafiki wetu unaendelea kwani sikuona mwingine zaidi ya romji maji UNK hayawezi UNK tena wewe mtoto una maana gani na methali hiyo siku hizi UNK UNK hapana mama ndiyo maana UNK kukuomba samahani nina maana kuwa mimi tayari nimeshakuwa UNK mjamzito hivyo naomba ruhusa yako UNK na romji nilimwambia mama huku UNK UNK suzy ni kweli UNK ya romji UNK ukimwi aliuliza mama huku UNK kwenye mkeka na kuweka mikono kichwani ndiyo mama UNK lakini romji alikuwa na vyeti ndani ambavyo UNK miezi tisa iliyopita nilimjibu huku machozi UNK mama alilia kwa uchungu mkubwa na kulaani kitendo UNK suzy ni kweli umeamua UNK mimi mama yako kumbuka mwanangu mbio za sakafuni huishia ukingoni kumbuka hii ni dunia na mwisho wake UNK kwani UNK la mkuu UNK guu na UNK na UNK UNK na ulimwengu UNK kuwa mimi mama yako UNK ila UNK kunielewa na huna ruhusa ya kuondoka hapa nyumbani UNK hapa hapa sitaki UNK na huyo mwanaume na kama ni huyo mtoto UNK UNK mimi alisema mama mama siwezi kuishi hapa nyumbani marafiki zangu wengine UNK kuwa nimepata mimba nikiwa nyumbani kwetu lazima niende kwa romji na wewe utabaki kuwa mama yangu kwani sina mama mwingine nilimwambia mama huku UNK chumbani kwangu mama alibaki nje akiwa UNK huku akilia nilipofika chumbani UNK simu yangu na kumpigia romji na kumwomba UNK nyumbani ila gari UNK mbali kidogo nilichukua nguo zangu za kazini haraka haraka na kuziweka kwenye mkoba wangu mkubwa UNK vitu vichache vilivyokuwa muhimu na UNK kwenye mkoba UNK mkoba kupitia mlango wa uwani na UNK ili mama UNK nilijiandaa haraka na kubeba mkoba wangu mdogo na kumuaga mama kuwa natoka kidogo nitarudi baadaye suzy unakwenda wapi jioni hii wakati UNK kazini mama UNK mama kuna rafiki yangu UNK hapa karibu narudi sasa hivi UNK suzy mwanangu suzy wewe UNK alilalamika mama nilitoka nje haraka na kubeba mkoba wangu niliokuwa UNK nilikimbia haraka ili mama asije UNK UNK nilipofika barabarani kama dakika kumi kutoka nyumbani kwetu UNK gari la romji likija taratibu nilikimbia haraka asije UNK willy au dada yangu stela maana walikuwa UNK nyumbani hay my UNK suzy romji alishuka kwenye gari na UNK kisha kunikumbatia na kunibeba kisha UNK mlango na kunikalisha kwenye gari kwa vile nilikuwa na mwili mzuri wa UNK haikuwa shida kwa romji kwani kila alipotaka kunibeba haikuwa tabu romji mpenzi wangu tazama UNK mama yangu kwa ajili yako UNK romji huku UNK na machozi suzy usihofu wewe ni wangu tu hakuna shida hayo UNK na raha UNK sasa itakuwaje mama UNK kuwa UNK kwako maana alikataa na kudai kama nina ujauzito mtoto UNK pale nyumbani hivyo sina ruhusa ya kwenda popote nilimwuliza romji suzy achana na mawazo yako kwani mara nyingi wazazi hupenda kufoka sana ili UNK lakini mambo UNK mazuri na kumpelekea zawadi husahau na kupokea wewe UNK simu usiku na UNK UNK kwako ili ajue uko wapi wasije UNK tena kama wakati ule kwani niliomba kufunga ndoa na wewe UNK mpaka umekuja kupata ujauzito sawa suzy UNK romji sawa dear sasa romji ndoa yangu na wewe itakuwaje kama UNK kabisa suzy kwa hali yako ya sasa UNK kuifurahia ndoa yetu pindi UNK kwani hata hamu ya kula huna huoni utapata shida mpenzi subiri UNK mtoto UNK ndipo UNK ndoa yetu tukiwa UNK unasemaje UNK aliuliza romji sawa mpenzi saa nne usiku baada ya kufika nyumbani kwa romji na kunywa mvinyo wa kutosha UNK simu yangu ya mkononi UNK mama hallow shikamoo mama mimi suzy marahaba vipi suzy uko wapi mpaka saa hizi mtoto wa kike aliniuliza mama mama nitazidi kukuomba samahani mama yangu kipenzi mimi nimeamua kuhamia kwa romji kwani bila yeye siwezi kuishi niliamua kumaliza kabisa UNK UNK we mtoto umekuwa UNK hivi wewe ni akili zako au UNK UNK samahani mama usiku mwema nilikata simu kwani nilihisi mama angeanza kulia na UNK na mimi baada ya dakika chache baada ya kuongea na mama simu yangu iliita UNK ilikuwa ni simu ya stela nilitamani kuiacha lakini niliamua UNK hallow dada stela vipi salama tu mdogo wangu suzy mbona UNK mama yetu kiasi hiki suzy mbona hutaki ushauri wa mama pia ukumbuke hii ni dunia mdogo wangu sasa upo wapi UNK aliniuliza dada stela dada stela usiwe na wasiwasi ni mapema mno UNK nilipo ila nipo kwa shemeji yako romji naomba unipe nafasi kwanza UNK mazingira ndipo UNK kwanza kumbuka dada yangu wewe una mchumba wako UNK mwenyewe nami UNK huyu baba hivyo mwambie mama nampenda sana lakini mama ana sehemu yake kama mama kwa heri dada stela UNK UNK UNK nyumbani UNK nilikata simu romji aliona kuwa simu ilikuwa UNK raha alininyangganya UNK kisha UNK na deus UNK siku moja usiku nilipokuwa nimelala UNK na ndoto ambayo UNK lakini pia sikuweza kuijua tafsiri yake kwa mara moja UNK nikiwa UNK sana mwili wote ulikuwa umebaki mifupa isipokuwa kichwa pembeni yangu kulikuwa na watu zaidi ya watano waliokuwa UNK kwa jinsi nilivyokuwa UNK nilikuwa natoa kikohozi cha ajabu na hata mdomoni mwangu kulikuwa na vidonda vingi koo langu lilikuwa limejaa kila aina ya maumivu kila UNK chakula au UNK kila mara nilikuwa najisikia kichefuchefu na pale UNK UNK tumbo langu lilikuwa linauma kila mara lakini UNK UNK mfano wa nggombe UNK nyasi UNK kati ya watu watano ambao UNK UNK mama wala baba yangu sikuweza kupata picha kamili ya watu hao mmoja kati yao alikuwa mwanamke aliyevaa gauni UNK mwingine alikuwa mwanaume aliyevaa UNK refu lililokuwa na rangi nyeupe pia watatu UNK jinsia zao wala mavazi yao mara kwa mbali nilisikia sauti iliyosema wewe si UNK unafikiri UNK kurubuniwa na j yote haya UNK majuto ni mjukuu lakini elewa kuwa UNK sikuweza kumtambua aliyetoa sauti hiyo maana UNK kwa sauti ya mbali sana eti nini UNK UNK maneno hayo mara nilizinduka na kuwasha simu yangu ambayo ilikuwa mpya kabisa na kubaini kuwa ilikuwa saa saba usiku niliwaza na UNK lakini hatimaye usingizi UNK mfano wa UNK UNK vifaranga vya kuku nilikuja kujitambua ikiwa UNK saa moja kamili ya asubuhi nilijiandaa kwenda kazini licha ya kuwa nilikuwa UNK sana na chinga sikuweza kumweleza juu ya ndoto hiyo mwezi mmoja na hata mwaka ulipita na kujikuta UNK kumbukumbu juu ya ndoto hiyo wakati huo nilikuwa UNK kiasi kadhaa cha pesa nikiwa katika mchakato wa kuhakikisha kuwa napata chumba ili niweze UNK asubuhi moja UNK mwili wangu ukiwa mchovu mfano wa mtu UNK malaria nilikimbia katika duka la madawa lililokuwa karibu na chumba chetu na kununua metakeflini na UNK nilirudi ndani na kulala maana sikuwa na mpango wa kwenda kazini kwa siku hiyo UNK hadi saa saba mchana UNK kufungua televisheni ili niweze kusikiliza taarifa ya habari kwenye televisheni ya taifa nilishtuka baada ya kusikia kuwa serikali ilikuwa imeamua kuifungia dawa ya metakeflini ambayo nilitoka UNK saa sita zilizopita UNK ina maana hii dawa siyo kabisa kwa kweli serikali inatakiwa kuwa makini zaidi la sivyo UNK UNK sumu UNK dawa ona sasa badala ya kutibu ugonjwa kumbe ndiyo UNK UNK baada ya kuropoka maneno hayo siku hiyo ilipita nikiwa nimepanga kufanya mgomo wa kutokunywa dawa zilizotengenezwa viwandani asubuhi ya siku iliyofuata nilienda kuchuma UNK na UNK mpaka UNK UNK UNK kama kikombe kimoja cha chai mwili UNK mithili ya mtu UNK coca cola nilikwenda kitandani na UNK UNK mfano wa mama UNK mwanawe kitanda hicho UNK taabu kunibembeleza mpaka UNK kuwa usingizi UNK mfano wa askari UNK UNK siku hiyo usingizi UNK UNK sana mfano wa konda UNK mlango wa daladala kila inapokuwa UNK abiria UNK mfano wa mfungwa aliyemaliza muda wa kutumikia kifungo chake gerezani mwili wangu ulikuwa UNK jasho UNK na kulifanya shuka lililokuwa UNK kitandani kulowa mithili ya UNK la deki UNK mvua UNK mikono yangu juu kama mtu UNK ushindi mikono yangu ndiyo UNK kuwa hali yangu ilikuwa afadhali sana na siku iliyofuata nilianza kwenda kazini kwangu kama kawaida baada ya siku tatu homa UNK tena mfano wa hesabu za darasa la tatu sikupata shida tena maana dawa nilikuwa UNK homa za mara kwa mara UNK UNK mfano wa mvulana UNK msichana anayempenda sana lakini pia aliyeonesha dalili ya UNK UNK na homa hii mpaka lini kila siku nilikuwa UNK wazo hili mwili wangu nao taratibu ulikuwa ukizidi UNK mithili ya nggombe aliyekosa malisho bora UNK kujiunga na shule ya sekondari ya pugu ilikuwa sifa na furaha kubwa mno kwangu wazazi wangu pamoja na walimu wangu wa shule ya msingi kwa sababu haijawahi kutokea mwanafunzi wa shule ya msingi chamugasa kuchaguliwa kujiunga na shule maarufu kama pugu wazazi wangu UNK maandalizi kwa ajili ya kuanza masomo katika shule hiyo mwalimu mkuu wa shule yangu ya msingi alijitolea UNK mpaka jijiji mwanza UNK tiketi katika basi la UNK lilikuwa UNK dar es salaam bwana malasa ukae ukijua kuwa sasa hivi unaelekea mjini licha ya kwamba shule yako iko nje kidogo ya jiji kwanza utakapofika stendi kuu ya mabasi ya ubungo unatakiwa UNK maana hapo kuna wezi UNK kuona wao hawatumii nguvu bali wanatumia maneno yao ambayo ni matamu kama asali ili kurubuni watu na mwisho wa siku hujikuta kweli UNK hayo yalikuwa maneno ya mwalimu muhoja UNK kabla ya kuagana naye UNK kurubuniwa na mtu yeyote UNK na hata kuongea naye siwezi nami UNK baada ya kauli hiyo ya mwalimu nakumbuka siku hiyo ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kusafiri kwa gari UNK kwa kuwa na uwezo mkubwa darasani mwangu kiasi cha kuweza kufaulu kabla ya kuchaguliwa kujiunga na shule sekondari ya pugu niliweza kufahamu na kuona vitu vingi ambavyo nilikuwa sijawahi kuviona licha ya kusimuliwa na watu waliokuwa wanakuja mjini mara kwa mara hata baada ya kufika shuleni pugu niliendelea kujionea tofauti na kukuta wanafunzi wengi wakiwa katika sare zao za shule wakiwa UNK karibu kila eneo la shule hali hiyo UNK kuwa muda huo ulikuwa ni UNK mazingira ya shule ya pugu yaliyokuwa yamepandwa miti iliyokuwa imekua vizuri kiasi cha kutoa vivuli walivyokuwa wamepumzika wanafunzi hao UNK mno maua yaliyokuwa yamepandwa na UNK karibu kila sehemu ya shule hiyo UNK na kunifanya UNK uchovu wa safari ndefu harufu nzuri ya maua hayo UNK nipate hamu ya chakula iliyokuwa imepotea kutokana na moshi mchafu wa basi ambao nilikuwa UNK UNK ndani ya taxi iliyokuwa UNK stendi kuu ya mabasi ya ubungo UNK na sauti nzuri za ndege waliokuwa katika miti iliyokuwa shuleni hapo UNK nyimbo nzuri za UNK na kunipongeza kwa kuchaguliwa kujiunga na shule ya pugu UNK macho yangu upande mwingine nilikutana ana kwa ana na madarasa yaliyokuwa UNK kwa hamu kubwa ili UNK katika kujifunza kwangu madarasa hayo yalikuwa UNK rangi nzuri UNK kila UNK kila darasa lilikuwa na rangi ya tofauti na jingine yamkini UNK hivyo UNK nilipokuwa bado UNK tofauti ghafla mwalimu mmoja UNK how are you iam UNK sir UNK vyema kiingereza tangu nilipokuwa darasa la nne hivyo swali kama hilo halikuwa na utata wowote kwangu where are you come UNK i come from mwanza UNK you know mwanza is too large there is magu sengerema geita misungwi which is your UNK UNK my UNK is magu niliendelea kumjibu kila swali UNK tena bila wasiwasi you UNK UNK aka dogo magu is also too large there is busega and UNK what is your UNK my UNK is busega nilimjibu na kumwachia nafasi mwalimu huyo kuuliza swali jingine ah UNK UNK it is large as well as there is kalemera UNK UNK which is your UNK nilimjibu tena na sasa nilianza kufikiria jinsi ambavyo mwalimu huyo aliweza kuyajua maeneo niliyokuwa UNK kalemera is not a small UNK has got many UNK such as chamugasa UNK UNK tell me your village s UNK sasa nilimjibu kwa UNK when you are UNK about chamugasa you have to UNK that it is also large and has many UNK including UNK s family UNK s UNK s masalu UNK what is your family among these UNK UNK s family has four UNK such as mabula mageni manumbu malasa are you mabula or malasa if is not mageni or you are UNK tell me iam malasa UNK malasa UNK keep it UNK kama UNK utakuja kuwa msomi mzuri sana kuliko wasomi wengi hapa nchini amini usiamini mwalimu huyo alisema maneno hayo na kuondoka itaendelea wiki ijayo kwa wasomaji wapya edward aliendelea kuwa na UNK uliotokana na kitendo alichokifanya alipigiwa simu na bosi wake akimtaka afike ofisini haraka alipokwenda ofisini alikuta taarifa za mauaji yaliyohusisha watu wawili pascal na mwanamke mmoja edward alipewa jukumu la kuchunguza tukio la mauaji ya pascal endelea kusoma na ackley ludovic sawa bosi edward akaitikia wakati anaamka UNK tayari kwa kuondoka hakutaka hata kuonana na watu UNK nao kwenye kazi hiyo alihitaji kupumzika zaidi akaenda zake nyumbani moja kwa moja akiwa njiani kuelekea nyumbani akapigiwa simu na mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai kumsihi UNK kazi UNK ilionekana ni kazi ngumu ambayo ni lazima ifanywe na watu wenye uzoefu na kazi ya upelelezi kama vile edward ili UNK kero hizo edward UNK simu yake hakuitaji mawasiliano na mtu yeyote UNK pombe mchana huo akanywa jioni hakuweka UNK kile mdomoni zaidi ya pombe asubuhi UNK benard UNK edward tayari kuanza kazi yao akakuta bado edward amelala akagonga mlango pasipo mtu yeyote kutoka akajaribu UNK edward bado simu yake UNK benard alikata tamaa na UNK kuondoka lakini aliona ni bora akagonga tena mh nani mwenzangu nakuja edward akashtuka toka usingizini haikuwa kawaida ya edward kulala hadi muda huo alipofungua mlango salamu UNK benard UNK kumuambia usiku alikuwa kwenye hali gani UNK pombe sana edward UNK kiasi hicho hadi UNK kuamka benard akahoji UNK UNK tu sawa bwana jiandae twende UNK wapi edward akauliza baada ya benard kuingia ndani kwa mkuu kwanza halafu tutaendelea kumuhoji mlinzi wa kanisa hofu ilianza kumtoka edward UNK hata dakika ishirini akawa tayari amemaliza kuoga na kuvaa UNK yake rangi ya kijani rangi ambayo benard alikuwa amevaa kama hiyo benard nahitaji kunywa supu kabla UNK UNK edward akamsihi benard UNK mahali aweze kunywa supu ndio waendelee na safari yao baada ya UNK supu safi ya UNK edward UNK UNK katika hali ya kawaida UNK gari la kukodi ili wapate kuwahi walikuwa wamechelewa tayari japo si sana baada ya dakika kumi na tano walikuwa mbele ya jengo refu la ghorofa saba hapo ndipo zilipo ofisi za shirika lao UNK wote wanne na wakapewa magari mawili ya kisasa maalumu kwa ajili ya kazi waliyopewa edward UNK gari moja na imelda msichana mrembo ambaye kila mara hutokea kupangwa pamoja nae katika kazi mbalimbali mara nyingine edward hakupenda kushirikiana askari polisi wa serikali kwani UNK sana alihisi ni wenye UNK unaweza kufanya nao kazi kumbe na wao wanahusika baada ya kujifunza tangu udogo wake walipofika kituo cha polisi kati ambapo ndipo alipokuwepo mlinzi wa kanisa aliyejitambulisha kwa jina la UNK UNK na kutoa vitambulisho vyao vya kazi ndipo UNK kwenda kumuona simoni ambaye alikuwa kwenye chumba cha mahojiano edward kama ilivyo kawaida yake akawaambia wenzake UNK chochote simoni pale polisi bali UNK ofisini kwao UNK hicho huwa UNK mno askari polisi wa serikali lakini hawakuwa na uwezo wa kuwazuia UNK simoni walikuwa na kibali cha kufanya hivyo edward akaweka sahihi ya kuthibitisha amemchukua simoni na kuondoka nae ili kama atapata tatizo lolote la kutoroka UNK yeye na timu yake UNK na magari ya polisi wakaenda moja kwa moja hadi kwenye ofisi zao ambapo kulikuwepo na chumba maalumu cha kwa kazi hiyo simoni hakujua anapelekwa sehemu gani baada ya kufungwa kitambaa kwenye macho UNK edward akamwambia UNK habari gani simoni edward UNK alikumbuka japo alimuona katika mwanga hafifu sana alikumbuka vizuri msuli wake UNK katika chumba hicho simoni hakuona chochote zaidi ya kuta nne za nyumba UNK na UNK alikaa kwenye kiti ambacho hakuweza kugeuka zaidi mbele na pembeni kushoto na kulia hakuona hata mahali ulipo mlango UNK ilikuwa ni ajabu kubwa kwake nyuma yake alikuwepo askari aliyekuwa na silaha mkononi lakini simon UNK askari huyo UNK kuongea chochote alifuata maagizo aliyopewa na edward na timu yake edward pamoja na timu yake walikaa kwenye chumba jirani na kile UNK simoni chumba hicho kilikuwa giza na simoni alisikia sauti za watu lakini hakujua alikuwa akiongea na watu gani simon upo sehemu salama zaidi UNK chochote juu ya usalama wako unachotakiwa ni kuelezea ukweli halisi wa tukio namna UNK sawa simoni edward aliongea kwa sauti ya utulivu mno simoni alimsikia vizuri lakini sauti UNK simoni haikuwa ile edward ilikuwa UNK na vyombo simon akasimulia namna alivyoshuhudia tukio hilo usiku ule kwa imelda benard na rachel ndio walisikia kwa mara ya kwanza kwao kilikuwa kitu kigeni hata asubuhi ya jumanne hawakumwona simon akisimulia kupitia luninga edward alikuwa kama akikumbushwa kitu alichokifanya kwa usiku ule itaendelea kesho kwa wasomaji wapya edward alipokea maagizo ya mkubwa wake na kuanza kazi aliyopewa kwa kushirikiana na polisi wa upelelezi walikwenda kituo cha polisi kati na kumkuta simon ambaye alikuwa mlinzi wa kanisa UNK simoni na kumpeleka katika ofisi za shirika lao kwa lengo la kumfanyia mahojiano je simoni alijitetea vipi fuatilia kwa makini na ackley ludovic simon akasimulia namna alivyoshuhudia tukio hilo usiku ule kwa imelda benard na rachel ndio walisikia kwa mara ya kwanza kwao kilikuwa kitu kigeni hata asubuhi ya jumanne hawakumwona simon akisimulia kupitia luninga edward alikuwa kama akikumbushwa kitu alichokifanya kwa usiku ule maelezo ya simon UNK vizuri hakuitaji maswali mengi lakini kwa utaratibu wa kazi aliulizwa maswali yenye UNK na UNK kwa uzuri zaidi edward alijaribu kumchanganya simon kwa maswali magumu lakini simon UNK UNK mlinzi huyo hakuwa silaha anapokuwa kazini hilo lilikuwa ni kosa la mwajiri wake kutompa kifaa kwa ajili ya kazi yake edward UNK kwa hilo kwa sababu pengine UNK duniani kwani angeweza kumpiga risasi au UNK unaweza kulikumbuka hilo gari UNK nilikumbuka halikuwa na namba za tanzania UNK si namba za UNK zimeanza na f halafu katikati kuna herufi badala ya namba edward alianza UNK kwa kuwa katika orodha ya msajili mkuu wa magari ipo orodha ya magari ambayo bado UNK rasmi mahojiano yao yalitumia zaidi ya saa moja na UNK simon alishangazwa na mahali alipokuwepo tofauti na kitu cha polisi alipokuwa awali ambapo UNK na kupigwa akiwa ndani ya ofisi ya upelelezi simoni alipewa hata maji ya kunywa wakati UNK UNK ingawa hakufahamu yuko wapi baada ya mazungumzo yao simoni UNK na kurudishwa kituo cha polisi kati edward na imelda wakaenda ofisini kwa msajili mkuu wa magari bernard na rachel wakaenda hospitalini muhimbili ambapo mwili wa pascal UNK edward akapewa karatasi yenye orodha ya majina ya watu ambao hadi muda huo magari yao UNK rasmi yalikuwepo majina arobaini na tano gari hizo zilikuwa na anuani za wamiliki wa magari hayo jina la richard edward lilikuwepo katika orodha hiyo edward alichukua karatasi hiyo na kuondoka nayo bila imelda kujua walipofika kwenye ofisi zao edward UNK imelda kazi ya kuwapigia simu wote kwenye ile orodha badala ya kumpa majina arobaini na tano jina la richard lilitolewa na kubaki majina arobaini na nne baada ya imelda kwenda chumba cha mawasiliano edward akaanza kupitia orodha ile upya magari yenye kuanza na herufi f UNK alifahamu hata simon UNK gari UNK ndilo lililokwenda kumtupa pascal kanisani usiku ule baada ya muda bernad na rachel wakarudi walipata habari ambazo UNK kazi yao walipata taarifa za mahali wanapoishi ndugu za marehemu hapo ndipo edward UNK usiku ule UNK na pascal na kumueleza juu ya kufukuzwa kwake na kaka yake bernad kesho UNK simon akaangalie magari yote pengine UNK na kulikumbuka nitaenda na imelda kumtafuta huyo ndugu yake labda UNK mtu ambaye pengine alikuwa na kisasi na marehemu maelekezo waliyopewa yaliwasaidia edward na imelda kufika nyumbani kwa jerome asubuhi ya siku UNK aliishi kwenye nyumba nzuri na kubwa walipofika UNK honi akatoka kijana mmoja akiwa hana shati kifua wazi habari yako jerome UNK edward akauliza yupo kijana huyo UNK geti kisha edward UNK gari mandhari ya nyumba hiyo UNK ya kuvutia miti ya kivuli pamoja na maua yenye rangi mbalimbali UNK mazingira hayo kuvutia zaidi karibuni alikuwa ni mzee wa makamo ambaye alikaa kwenye kiti cha matairi ambacho watu wasioweza kutembea kwa kutumia miguu hutumia vitu hivyo ahsante shikamoo wote UNK marahaba karibuni tunashukuru tumefika edward akajibu mzee huyo UNK kiti chake na kuelekea ndani ilikuwa ni sebule kubwa yenye vitu vya thamani edward na imelda UNK kwenye viti karibuni sana nadhani wewe ndio jerome edward akahoji ndio mimi hasa sijui unamfahamu pascal pascal UNK jerome akahoji ndio mdogo wangu wa damu baba mmoja mama mmoja una habari gani nae jerome hakufahamu chochote UNK pascal japokuwa taarifa za kifo chake UNK mno jerome alikiri kutofahamu chochote na kuelezea namna UNK na UNK hadi kumkuta akiwa na mke wake chumbani kwake jambo ambalo UNK sana hadi kuamua kumfukuza tunaomba UNK bwana wewe ni mwanaume pascal amekufa mwili wake UNK UNK ndani ya kanisa usiku wa siku ya jumatatu jerome hakuonekana kushtuka kabisa UNK na taarifa za kifo chake kwa sababu nilitegemea hilo kauli hiyo ilionekana UNK mno edward kuliko imelda ambaye muda wote alikuwa yupo kimya pascal ni mdogo wangu nilimpenda sana UNK ndugu zangu pascal alikuwa UNK mzuri tu tangu yuko shuleni isitoshe UNK kutembea na mke wangu pascal UNK hadi na wake za watu tena wenye pesa UNK kwa hilo ni kweli edward alimfahamu vizuri pascal shuleni aliwahi kusimamishwa masomo baada ya kugundulika alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwalimu wake hata siku ile UNK kukutwa kwake na jerome chumbani kwake edward alihisi alikuwa UNK sawa lakini unamfahamu hata mtu au watu ambao pascal alikuwa ana visa nao pascal alikuwa ni msiri mno kutokana na maovu yake si rahisi kufahamu ila yupo msichana mmoja anaitwa UNK anaishi upanga ndiye mpenzi wake aliyekuwa nae karibu hivi karibuni anaweza kuwasaidia sasa na wewe UNK miguu edward akahoji jerome akaelezea historia ya UNK yake kwa kifupi alipata ajali mwaka jana ajali ilimpelekea kuvunjika miguu yote miwili hadi muda huo hakuweza kutembea kwa hiyo gari lako liko wapi UNK kwa fundi juzi ni UNK kabisa mbona umesema hauwezi UNK imelda akauliza kwa kuhoji ni mke wangu UNK kwa sasa yuko wapi mkeo kaenda kazini yeye UNK hapana wakati imelda na edward wakiingia ndani ya nyumba hiyo waliona gari dogo rangi ya UNK akauliza ni la nani jerome akasema ni la kwake tunaweza kuliona UNK tu UNK imelda akabaki sebuleni na jerome edward akaenda kulitazama lile gari hakuamini macho yake ilikuwa gari ndogo aina ya UNK mpya na ya kisasa UNK kila kitu na gari la richard hadi namba za kuanzia UNK baada ya herufi o iliyokuwa katikati baada ya kuingia ndani edward alimuuliza jerome kuwa mbona gari lako halina namba za tanzania halafu UNK ofisi za usajili UNK taarifa kabla hajajibu kitu chochote imelda akatoa pingu na kumfunga mikononi haraka haraka UNK kiti chake bila kujali angeumia kwenye ngazi wakaondoka na jerome mpaka kwenye gari mlinzi hakuona mwajiri wake UNK ndani ya gari angeona asingekubali kufungua lango kirahisi hadi gari linatoka nje ndipo alipoona kiti cha mwajiri wake kikiwa chini na si kawaida yake moja kwa moja wakaenda hadi katika ofisi zao edward alihitaji kumuhoji vizuri jerome pengine alimfahamu aliyemuua ndugu yake UNK na moyo aliokuwa nao jerome tena kwa ndugu yake wa damu si ajabu alihusika akakumbuka maneno yake UNK pascal siku moja kabla ya mauti yake n kufa tu mbwa mkubwa usiye na shukrani kauli hiyo ilimfanya edward UNK kitu fulani akilini mwake edward UNK jerome ili UNK vizuri kuhusu hilo wakati imelda alikuwa na UNK wa kufanya vile kwa sababu ya gari la jerome ambalo halikuwa UNK jerome wewe ndiye uliyemuua mdogo wako kama si wewe basi UNK imelda akaongea kwa sauti ya UNK jerome akafahamu si wale UNK kutoka nyumbani kwake sauti zao zilikuwa UNK kabisa na akahisi alikuwa akiongea na mtu mmoja jerome alipelekwa katika chumba UNK UNK hapana ndugu yangu japo mdogo wangu aliniudhi sana nisingeweza kumfanyia ukatili wa namna hiyo kama uliweza kumfukuza nyumbani kwanini usiweze kumuua siwezi kama ni kumuua ningefanya jambo hilo pale nyumbani baada ya kumkuta chumbani kwangu na mke wangu jerome akajaribu kujieleza sana hadi usiku wa jumatatu ambapo kuna mtu alimpigia simu na kumwambia endapo pascal atapata matatizo yeye UNK UNK huyo alifanya hivyo kw nia ya UNK wakati wakiendelea na mazungumzo na mahojiano yao walitumwa vijana kwenda kulichukua gari la jerome na kulipeleka ofisi za hizo za upelelezi simoni alichukuliwa na kwenda kuangalia gari lake ha ha ha simon alishangazwa sana mara baada ya kuliona gari lake itaendelea kesho kwa wasomaji wapya baada ya polisi kupata maelezo ya mlinzi wa jerome UNK pia aliwaelekeza kwa tony bila kuchelewa walikwenda kumtafuta nyumbani kwake lakini hawakufanikiwa UNK walimtafuta katika maeneo UNK kukaa bila mafanikio UNK nyumbani kwa tony walifanikiwa UNK na kwenda nae ofisini kufanya mahojiano tony hakuwa mbishi katika mahojiano ila maelezo yake yalikuwa ya uongo utaratibu za kufungua kesi ya mauaji UNK familia nzima UNK nini kilifuata endelea kusoma na ackley ludovic asubuhi ya siku inayofuata wakamchukuwa jerome pamoja na askari wenye uwezo mkubwa na kazi ya upekuzi na kwenda nao nyumbani kwa jerome wakapita kila mahali ndani ya nyumba ya jerome lakini hawakupata chochote ambacho kingeweza kuhusiana na kesi iliyopo mbele ya jerome na familia yake wakati UNK sero UNK edward waongee wao wawili kabla UNK mahakamani ambapo edward UNK wakamchukuwa tony na kwenda nae nyumbani kwake majirani ambao hawakufahamu tony alichukuliwa na UNK wakafahamu kumbe ni askari polisi upekuzi nyumbani kwa tony ulitumia muda mrefu kidogo bila kukuta chochote cha kuwasaidia waliporidhika kwa hilo wakataka kuondoka edward akaona kwenye UNK vya kuingizia hewa vilivyopo juu ya dirisha vilikuwa UNK tofauti na vingine akachukua stuli na kupanda UNK vidole akatoa funguo za gari hizi funguo za nini ni za gari edward akamuuliza tony hapana ni za nani tony akashindwa kujibu hadi wakati huo hakufahamu kama baba yake mama yake na UNK walikamatwa kama yeye alipofikishwa kwenye sero za akina edward ndipo UNK sababu za kukamatwa kwake na tayari anahusishwa na tukio la mauaji na UNK wa maiti ya pascal UNK tony akashtuka mno hakufahamu kuhusu hilo alihisi kuwa pengine baba yake alikuwa UNK kwa kosa la kuchukua gari lake pasipo ruhusa yake akaanza kujutia mdomo wake ambao umemponza kwa UNK alijaribu kufikiria angefanya nini ili UNK lakini UNK ilikuwa siku ya jumatano asubuhi mahakama ya hakimu mkazi kisutu UNK watu ili kusikiliza kesi iliyohusisha familia nzima ambapo ilikuwa ikisikilizwa kwa mara ya kwanza kesi hiyo ya aina yake UNK watu wengi ambao waliona ni kama mchezo wa kuigiza vyombo vya habari UNK kurusha matangazo ya kesi hiyo washtakiwa wote watatu baba mama na mtoto muda wote wa kesi UNK vichwa vyao chini kutokana na aibu walitakiwa kusikiliza tu na kukabidhiwa rasmi kwa askari wa serikali edward alianza kusahau namna UNK pascal mauti yake hadi alipokwenda kuutupa mwili wa marehemu rafiki yake wakati amepumzika nyumbani UNK tv akakumbuka jerome na tony UNK lakini UNK alivaa shati haraka na kutoka mbio baada ya kufunga mlango wa nyumba akaingia ndani ya gari na kuanza safari kuelekea gereza la ukonga ambapo ndipo walipokuwa tony na baba yake jerome hakuwa na haja ya kuonesha kitambulisho alifahamika vizuri UNK kuingia na kuonana na tony tony unasemaje edward akaongea kwa sauti ya upole iliyompa tony faraja na tumaini la kusikilizwa walikuwa wawili peke yao kwenye chumba cha mazungumzo tony akaanza kumuelezea edward nakiri UNK naomba UNK bwana kasema tony endelea tu edward UNK jumatatu niliondoka kwangu jioni nikaenda kawe kutembea jioni hiyo nikaenda hadi mtoni kupata kidogo acha tu niseme ukweli nikapigiwa simu na demu wangu lakini ni mke wa mtu akaniambia mume wake hakuwepo hivyo niende nyumbani kwake nilichukua funguo za gari ambazo UNK edward UNK na kumwambia kuwa zile funguo ni za gari la baba yako sio ndiyo alijibu tony UNK za nini alafu baba yako alisema funguo zake anazo na pia hizi za kwako inaonekana ni za UNK ni kweli UNK kwa sababu UNK mate na kuendelea nilitaka kumuibia baba lile gari niliuze ndiyo sababu nikachonga zile funguo nilikwenda nyumbani kwake na kumkuta amelala nikampa mlinzi hela ya soda buku tano nikachukua gari la baba nikaenda kwa huyo demu na kulala huko kuja kushtuka ni saa kumi usiku nikaondoka na kurudisha gari la mzee na mimi kurudi zangu nyumbani sijui chochote kuhusu kifo cha baba mdogo edward akafirikia kidogo halafu akaulizia jina la huyo msichana aliyekuwa nae na mahali anapoishi tony alimuelekeza edrwad na kumtajia jina la huyo msichana ambaye aliitwa salome edward alifunga safari mpaka nyumbani kwa huyo msichana hodi edward akawa anagonga mlango karibu akatoka msichana mrembo akiwa amefunga khanga moja tu kifuani hapa ndio kwa karini edward akauliza ndio hapo karibu mgeni asante mama nimemkuta yeye mwenyewe hapana ila mimi ndio mke wake karibu edward akaingia ndani mpaka sebureni edward aliamini kuwa baba mwenye nyumba karim ni mtu mwenye uwezo mkubwa na nafasi nzuri ya maisha iweje mke wake atembee nje ya ndoa unamfahamu tony salome akashtuka usishtuke salome akazidi kushangaa kumbe alifahamika pia wewe nani yake naitwa edward ni ofisa polisi wa kujitegemea nakuuliza unamfahamu tony kwani imekuwaje unamfahamu hapana salome alikataa na kudai hamfahamu usiogope salome tony kaniagiza kwako anasemaje unamfahamu hapana edward akatamani kucheka akajikaza na kumwambia salome msaidie tony ambaye ulikesha nae usiku wa jumatatu edward akamsihi sana salome ambaye mwanzoni alikataa lakini baadae akakubali alionekana kumpenda tony kuliko mumewe wa ndoa jambo ambalo lilimshangaza mno hakutegemea kama mtu mwenye ndoa yake angefanya hivyo hakuweza kurudi ukonga kwa tony kwa sababu giza lilianza kuingia akapanga kuonana nae kesho pamoja na kuongea na jerome asubuhi ya siku iliyofuata edward hakutaka kwenda ofisini alikwenda kuonana na jerome pamoja na tony katika gereza la ukonga alipanga kuanza maongezi na tony ambaye hakuwa na maongezi marefu alitaka ampe taarifa juu ya salome baada ya kuongea nae akaletwa jerome ambaye edward alihisi angekuwa na maongezi marefu sikupenda nikudanganye mwanangu lakini umasikini ndio unasababisha matatizo kila kukicha napenda unielewe mimi sijahusika kwa chochote kile juu ya kifo cha pascal mdogo wangu sawa unaweza kuendelea pia gari langu mimi halijaendeshwa kwa zaidi ya wiki mbili nashangaa mno kuambiwa gari langu limeendeshwa usiku wa siku ya tukio lakini mzee kwa nini ukatudanganya hadi ukajifanya wewe ni kilema ndio maana nakwambia ni huu umasikini tu mwanangu kweli mimi si kilema lakini nilipopata ajali niliahidiwa shilingi milioni tatu au zaidi endapo nitapata kilema cha maisha hivyo mimi kujifanyisha kilema ni kwa ajli ya kuzidai hizo pesa wala mimi siwezi kuua tena ndugu yangu hapana siwezi kufanya hivyo edward akashusha pumzi ndefu hakufahamu aanzie wapi tena sawa mzee maneno yako yamekuponza na ndiyo yatakayo kuhukumu nisaidie mwanangu nitakusaidiaje wakati kesi iko mahakamani jerome akafuta machozi kwa mikono yake akamkumbusha edward marehemu baba ake akafikiriwa endapo ni baba yake ndiye angekuwa ni jerome angejisikiaje pascal hakuwahi kukukwambia kama alikuwa na mtu mwenye kisa au kisasi nae hapana labda mgempata glory msichana wa pascal anaishi upanga pengine anawafahamu edward akaondoka kuelekea upanga kweli hakuangaika sana kuipata nyumba anayoishi glory kwa bahati nzuri akamkuta akijiandaa kutoka akajitambulisha kwa glory glory alikwishapata habari za kufa kwa mpenzi wake lakini hakupafahamu kwa ndugu wa pascal zaidi ya jerome alipofika kwa jerome hakukuwa na mtu hata mlinzi akafahamu wamekwenda kijijini kwa maziko alipojaribu kupiga simu hakupatikana si ya jerome wala mke wake edward akamwelezea hali halisina kumuogopesha glory marehemu pascal naamini alikuwa na maadui je wewe unamfahamu mtu yeyote aliyekuwa na kisa nae glory hakusita kusema ukweli yupo kijana mmoja aitwaye hassan ambaye nilikuwa na uhusiano nae kabla ya pascal baada ya kuachana nae ghafla hassan akagundua sababu ni pascal na akaahidi kumfanyia kitu kibaya edward akapiga simu kwa benard akamtaka aende upaga kuna kazi ya kufanya baada ya muda mfupi wakafika benard imelda na rachel pamoja na maaskari wengine hassan aliishi na familia yake yaani baba mama na ndygu zake wengine benard na edward walishuka na kwenda nyumbani kwa hassan na wengine kubaki kwenye gari aligonha hodi na kuuliza hassan yupo aliulizwa msichana mdogo aliyetoka nje kufungua mlango kaka hassan yupo karibu tuitie yule msichana alikwenda ndani na kumuita kaka unaitwa wakati wanasubiri atoke hassan alishtuka na kuanza kukimbia na wote wakaanza kumkimbiza alitokea mlango wa uwani ambapo kwa bahati mbaya hakukuwa na kitu kilichomzuia asionekane japo alijitahidi kukimbia sana hakufua dafu kwa askari wale wa kiume akapigwa ngwala na kuanguka chini kwa nini unatukimbia benard akahoji baada ya kumpiga makofi siku zote binadamu ni wambea dakika za kuhesabu tayari walikwishafika eneo la tukio UNK aliyefahamu chochote hata ndugu zake hawakujibiwa chochote akapakizwa garini na gari kuondolewa kwa kasi hassan aliumia gotini kutokana na gwala aliyopigwa alikuwa akivuja damu kidogo kesi ya mauji ya pascal ilizidi kupata sura mpya na tofauti kabisa hassan kijana ambaye hakuhusiana kiundugu na familia ya jerome nae alihusishwa na kesi hiyo ambayo hapa mwanzo iliwahusisha wanafamilia wa familia ya jerome hapo ndipo palipozidi kuleta utata juu ya anani hasa ndiye muhusika halisi wa mauaji ya pascal ilionekana wazi kutofahamiana kwa jerome na hassan itaendelea kesho kwa wasomaji wapya askari walimchukua jerome na kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwake lakini kwa bahati nzuri UNK kitu walichokuwa UNK familia hiyo ilifikishwa mahakamani na kesi yao ilisikilizwa kwa mara ya kwanza baada ya kurudishwa gerezani edward alikwenda kuonana na tony ambaye UNK kitendo cha kutoa maelezo ya uongo baada ya kukamatwa endelea kusoma na ackley ludovic nilitaka kumuibia baba lile gari niliuze ndiyo sababu nikachonga zile funguo nilikwenda nyumbani kwake na kumkuta amelala nikampa mlinzi hela ya soda buku tano nikachukua gari la baba nikaenda kwa huyo demu na kulala huko kuja kushtuka ni saa kumi usiku nikaondoka na kurudisha gari la mzee na mimi kurudi zangu nyumbani sijui chochote kuhusu kifo cha baba mdogo edward akafirikia kidogo halafu akaulizia jina la huyo msichana aliyekuwa nae na mahali anapoishi tony alimuelekeza edrwad na kumtajia jina la huyo msichana ambaye aliitwa salome edward alifunga safari mpaka nyumbani kwa huyo msichana hodi edward akawa anagonga mlango karibu akatoka msichana mrembo akiwa amefunga khanga moja tu kifuani hapa ndio kwa karini edward akauliza ndio hapo karibu mgeni asante mama nimemkuta yeye mwenyewe hapana ila mimi ndio mke wake karibu edward akaingia ndani mpaka sebureni edward aliamini kuwa baba mwenye nyumba karim ni mtu mwenye uwezo mkubwa na nafasi nzuri ya maisha iweje mke wake atembee nje ya ndoa unamfahamu tony salome akashtuka usishtuke salome akazidi kushangaa kumbe alifahamika pia wewe nani yake naitwa edward ni ofisa polisi wa kujitegemea nakuuliza unamfahamu tony kwani imekuwaje unamfahamu hapana salome alikataa na kudai hamfahamu usiogope salome tony kaniagiza kwako anasemaje unamfahamu hapana edward akatamani kucheka akajikaza na kumwambia salome msaidie tony ambaye ulikesha nae usiku wa jumatatu edward akamsihi sana salome ambaye mwanzoni alikataa lakini baadae akakubali alionekana kumpenda tony kuliko mumewe wa ndoa jambo ambalo lilimshangaza mno hakutegemea kama mtu mwenye ndoa yake angefanya hivyo hakuweza kurudi ukonga kwa tony kwa sababu giza lilianza kuingia akapanga kuonana nae kesho pamoja na kuongea na jerome asubuhi ya siku iliyofuata edward hakutaka kwenda ofisini alikwenda kuonana na jerome pamoja na tony katika gereza la ukonga alipanga kuanza maongezi na tony ambaye hakuwa na maongezi marefu alitaka ampe taarifa juu ya salome baada ya kuongea nae akaletwa jerome ambaye edward alihisi angekuwa na maongezi marefu sikupenda nikudanganye mwanangu lakini umasikini ndio unasababisha matatizo kila kukicha napenda unielewe mimi sijahusika kwa chochote kile juu ya kifo cha pascal mdogo wangu sawa unaweza kuendelea pia gari langu mimi halijaendeshwa kwa zaidi ya wiki mbili nashangaa mno kuambiwa gari langu limeendeshwa usiku wa siku ya tukio lakini mzee kwa nini ukatudanganya hadi ukajifanya wewe ni kilema ndio maana nakwambia ni huu umasikini tu mwanangu kweli mimi si kilema lakini nilipopata ajali niliahidiwa shilingi milioni tatu au zaidi endapo nitapata kilema cha maisha hivyo mimi kujifanyisha kilema ni kwa ajli ya kuzidai hizo pesa wala mimi siwezi kuua tena ndugu yangu hapana siwezi kufanya hivyo edward akashusha pumzi ndefu hakufahamu aanzie wapi tena sawa mzee maneno yako yamekuponza na ndiyo yatakayo kuhukumu nisaidie mwanangu nitakusaidiaje wakati kesi iko mahakamani jerome akafuta machozi kwa mikono yake akamkumbusha edward marehemu baba ake akafikiriwa endapo ni baba yake ndiye angekuwa ni jerome angejisikiaje pascal hakuwahi kukukwambia kama alikuwa na mtu mwenye kisa au kisasi nae hapana labda mgempata glory msichana wa pascal anaishi upanga pengine anawafahamu edward akaondoka kuelekea upanga kweli hakuangaika sana kuipata nyumba anayoishi glory kwa bahati nzuri akamkuta akijiandaa kutoka akajitambulisha kwa glory glory alikwishapata habari za kufa kwa mpenzi wake lakini hakupafahamu kwa ndugu wa pascal zaidi ya jerome alipofika kwa jerome hakukuwa na mtu hata mlinzi akafahamu wamekwenda kijijini kwa maziko alipojaribu kupiga simu hakupatikana si ya jerome wala mke wake edward akamwelezea hali halisina kumuogopesha glory marehemu pascal naamini alikuwa na maadui je wewe unamfahamu mtu yeyote aliyekuwa na kisa nae glory hakusita kusema ukweli yupo kijana mmoja aitwaye hassan ambaye nilikuwa na uhusiano nae kabla ya pascal baada ya kuachana nae ghafla hassan akagundua sababu ni pascal na akaahidi kumfanyia kitu kibaya edward akapiga simu kwa benard akamtaka aende upaga kuna kazi ya kufanya baada ya muda mfupi wakafika benard imelda na rachel pamoja na maaskari wengine hassan aliishi na familia yake yaani baba mama na ndygu zake wengine benard na edward walishuka na kwenda nyumbani kwa hassan na wengine kubaki kwenye gari aligonha hodi na kuuliza hassan yupo aliulizwa msichana mdogo aliyetoka nje kufungua mlango kaka hassan yupo karibu tuitie yule msichana alikwenda ndani na kumuita kaka unaitwa wakati wanasubiri atoke hassan alishtuka na kuanza kukimbia na wote wakaanza kumkimbiza alitokea mlango wa uwani ambapo kwa bahati mbaya hakukuwa na kitu kilichomzuia asionekane japo alijitahidi kukimbia sana hakufua dafu kwa askari wale wa kiume akapigwa ngwala na kuanguka chini kwa nini unatukimbia benard akahoji baada ya kumpiga makofi siku zote binadamu ni wambea dakika za kuhesabu tayari walikwishafika eneo la tukio hakuna aliyefahamu chochote hata ndugu zake hawakujibiwa chochote akapakizwa garini na gari kuondolewa kwa kasi hassan aliumia gotini kutokana na gwala aliyopigwa alikuwa akivuja damu kidogo kesi ya mauji ya pascal ilizidi kupata sura mpya na tofauti kabisa hassan kijana ambaye hakuhusiana kiundugu na familia ya jerome nae alihusishwa na kesi hiyo ambayo hapa mwanzo iliwahusisha wanafamilia wa familia ya jerome hapo ndipo palipozidi kuleta utata juu ya anani hasa ndiye muhusika halisi wa mauaji ya pascal ilionekana wazi kutofahamiana kwa jerome na hassan itaendelea wiki ijayo kwa wasomaji wapya tony alimpa maelekezo edward juu ya mahali UNK glory aliyekuwa mchumba wa pascal edward alikwenda mpaka upanga na kumkuta glory ambaye UNK habari za kufa kwa mpenzi wake pascal edward alitaka kufahamu kama glory anawafahamu watu waliohusika na kifo cha pascal ushahidi wa kesi hiyo UNK zaidi familia ya jerome endelea kusoma na ackley ludovic kwa upande wa hassan maelezo aliyotoa UNK kwa kiasi kikubwa na yale waliyoyatoa ndugu zake hivyo kumfanya hassan aonekane amehusika au ana kesi ya kujibu hassan alisema kuwa siku ya jumatatu hakuwepo jijini dar es salaam alikwenda mjini bagamoyo kusalimia ndugu zake na kurudi jumanne saa kumi na mbili jioni ndugu zake walisema kuwa hassan hakuwa amekwenda mahali popote kutokana na hali ya ugonjwa iliyokuwa ikimsumbua kuanzia jumatatu asubuhi hadi jumanne hassan wewe ndiye uliyemuua pascal hassan akashtuka sana mwanzo alipoanza kuhojiwa hakufahamu sababu za kukamatwa kwake alikuwa UNK lakini kutokana na swali hilo alipata uhakika wa kile kilichosababisha yeye kukamatwa pascal hassan akahoji ndio pascal akasisitiza edward pascal ndio nani tena hassan UNK hamfahamu pascal hata alipoulizwa kuhusu glory alisema hamfahamu na glory alipopelekwa mbele yake ili amuone pia alisema hamfahamu na ndio mara ya kwanza kumuona hakuwahi kumuona kabla kitu UNK askari hao hassan na huyu msichana pia humfahamu edward akahoji baada hassan kumkataa glory simfahamu jibu hilo UNK hata rachel ambaye hakutegemea akahisi pengine glory alitaka UNK hassan na kumtafutia shida tu lakini endapo glory alifanya vile kumkomoa hassan isingekuwa UNK kwa hassan UNK glory ambaye ni mpenzi wake hassan edward UNK UNK UNK hakika humfahamu glory edward aliendelea kuuliza kwa UNK simfahamu kabisa hassan alijibu je umewahi kutumia madawa ya kulevya akahoji edward sijawahi bangi pia UNK hapana UNK kabisa wewe ni mwongo mkubwa akajibu glory na kusisitiza kuwa hassan ni mvutaji mzuri wa bangi baada ya edward UNK hivyo alimwomba glory UNK na UNK kabisa edward akaona ni vyema pia ndugu za hassan waulizwe kuhusu glory wao walikiri kumfahamu kama mpenzi wa hassan je pascal unamfahamu edward akamuuliza kaka wa hassan aliyeonekana kutofahamu chochote kinachoendelea akilini kwake akafahamu pascal alikwenda kumshtaki ndugu yao kwa kuwa hakuwa na taarifa za kifo chake endapo angekuwa msomaji wa UNK au msikilizaji wa taarifa ya habari akifahamu juu ya kifo cha pascal UNK tu akajibu kaka yake na hassan unamsikia UNK edward akaendelea kuuliza hassan aliwahi kuniambia kuna mtu anaitwa pascal UNK anya demu wake hata mama yake na hassan alikiri kumfahamu glory kama mpenzi wa mwanae maelezo hayo yalitosha kuthibitisha kuwa hassan alikuwa akitoa maelezo ya uwongo toka mwanzo alipelekwa hospitali kupimwa akili na kubainika kuwa ni mtumiaji wa dawa ya kulevya ubongo wake UNK kutokana na dawa hizo hassan UNK vya kutosha na sasa tumechoka nataka utueleze ukweli la sivyo UNK kuzaliwa benard alimtisha hassan alikuwa na haiba ya upole na utaratibu lakini asiyependa masihara katika kazi yake alichoka kumbembeleza hassan aliyeonekana kutokuwa na wasiwasi wowote hassan UNK kipigo pamoja na adhabu nyingine alizopewa UNK maneno yake alikuwa tayari kuuawa lakini asingekubali kusema neno tofauti na lile alilolisema mwanzo hakufahamu kama tayari ndugu zake walisaidia UNK alitegemea ndugu zake UNK katika kesi hiyo naomba UNK tony naamini UNK pascal salome alimsihi edward sawa lakini endapo tony atanyongwa kutokana na kesi ilivyo UNK edward akahoji sifurahii hata kidogo nampenda sana alisisitiza salome na je kama UNK huru nitafurahi zaidi UNK nae au utaendelea kuishi na mumeo kabla salome hajajibu mlango wa ofisi UNK edward akaenda kufungua alikuwa ni mama wa makamo UNK mlango UNK vizuri ni mama yake hassan naomba usubiri kidogo mama edward alimsihi mama huyo na kurudi kuendelea na mazungumzo kati yake na salome salome endapo mume wako UNK UNK nje ya ndoa unadhani UNK atajisikia vibaya sasa kwa nini unafanya hivi salome aliona ni sawa kabisa kutembea nje ya ndoa hakuona chochote kilichomzuia yeye asifanye hivyo edward akamwomba salome aondoke na kumwambia kuwa atajitahidi kufanya upelelezi ili kama tony alihusika na mauaji hayo sheria ichukue mkondo wake hakuwa na njia ya kuwasaidia wahalifu UNK nguvuni edward alianza kujenga picha mbaya juu ya udhaifu wa wanawake na kuwaona ni watu wabaya ambapo mwanamuziki maarufu kwa jina la mwana fa alistahili kusema bado yupo yupo kwanza hata edward hakuwa tayari kuumizwa kama ilivyo kwa mume wa salome edward alirudi nje kumsikiliza mama wa hassan ambaye alimtka asubiri ndiyo mama karibu edward alimkaribisha na kuanza kumuhoji mama yake hassan ambaye macho yake yalikuwa mekundu sana nisaidie mwanangu mama hassan alimlilia edward nitakusaidia vipi edward alimuuliza naamini kabisa kuwa hassan hausiki kabisa na kifo cha pascal ni vigumu sana mama kesi ndiyo iko mahakamani na tayari isitoshe umechelewa sana mpaka kuchukua uamuzi wa kunitafuta leo ili niwasaidie edward alimonea huruma mama hassan lakini hakuwa na jinsi edward hakutaka kabisa kesi hiyo iendelee kusogezwa mbele alitaka ushahidi ukamilike na mwenye makosa apate adhabu inayostahili alimpa moyo mama hassan na kuahidi kumsaidia lengo la edward ni kutaka aondoke lakini ukweli asingeweza kumsaidia tena mbele ya watu watatu waliofanya uchunguzi wa kesi hiyo kwa makini hassan baada ya kuelewa ndugu zake wamechangia kumuangamiza aliona amweleze ukweli edward alihisi pengine angeweza kumsaidia hakufahamu kama alikuwa akijitia kitanzi ni kweli glory alikuwa mpenzi wangu hassan alianza kumweleza ukweli edward baada ya mama yake kumtaka aseme ukweli ili aweze kujinasua na kesi inayomkabili nilimpenda sana glory pia nilikuwa tayari kumuoa nyumbani wanamfahamu pia nilijitahidi kumpa chochote tena kwa muda unaofaa ili tu kulitunze penzi letu itaendelea kesho kwa wasomaji wapya glory alimtaja hassan kuwa ndie aliyekuwa na ugomvi wa karibu na pascal ugomvi wa hassan na pascal ulitokana na wivu wa kimapenzi na glory baada ya kukamatwa kwa hassan UNK glory kuwa UNK salome alimuomba edward UNK tony kwa madai ya kutohusika na kifo cha pascal endelea kusoma na ackley ludovic edward alirudi nje kumsikiliza mama wa hassan ambaye alimtka asubiri ndiyo mama karibu edward alimkaribisha na kuanza kumuhoji mama yake hassan ambaye macho yake yalikuwa mekundu sana nisaidie mwanangu mama hassan alimlilia edward nitakusaidia vipi edward alimuuliza naamini kabisa kuwa hassan hausiki kabisa na kifo cha pascal ni vigumu sana mama kesi ndiyo iko mahakamani na tayari isitoshe umechelewa sana mpaka kuchukua uamuzi wa kunitafuta leo ili niwasaidie edward alimonea huruma mama hassan lakini hakuwa na jinsi edward hakutaka kabisa kesi hiyo iendelee kusogezwa mbele alitaka ushahidi ukamilike na mwenye makosa apate adhabu inayostahili alimpa moyo mama hassan na kuahidi kumsaidia lengo la edward ni kutaka aondoke lakini ukweli asingeweza kumsaidia tena mbele ya watu watatu waliofanya uchunguzi wa kesi hiyo kwa makini hassan baada ya kuelewa ndugu zake wamechangia kumuangamiza aliona amweleze ukweli edward alihisi pengine angeweza kumsaidia hakufahamu kama alikuwa akijitia kitanzi ni kweli glory alikuwa mpenzi wangu hassan alianza kumweleza ukweli edward baada ya mama yake kumtaka aseme ukweli ili aweze kujinasua na kesi inayomkabili nilimpenda sana glory pia nilikuwa tayari kumuoa nyumbani wanamfahamu pia nilijitahidi kumpa chochote tena kwa muda unaofaa ili tu kulitunze penzi letu siku moja nikiwa nyumbani glory alinipigia simu na UNK uhusiano wangu na yeye basi lakini hakutaka kuniambia sababu UNK UNK sababu lakini UNK nikahisi ni utani kila UNK simu UNK hata ujumbe mfupi hakujibu UNK muda mrefu kutafakari ni sababu ipi iliyomfanya glory UNK nikagundua ni pascal UNK uhusiano wangu na glory roho UNK lakini sikuwa na lolote la kufanya edward na benard walionesha kumuonea huruma lakini walitaka amalize kuongea ili wamalize mchezo ambao mpinzani amejifunga mwenyewe UNK UNK UNK pascal atafute msichana mwingine lakini pascal UNK kwa dharau na kunitukana roho iliniuma sana na chuki UNK UNK kumuua hassan UNK kwa sababu aliamini UNK hakuwa na wasiwasi hata kidogo na chochote UNK nilimtafuta kwa zaidi ya wiki lakini UNK hata kumwona hassan akaelezea namna UNK pascal usiku wa siku ya jumatatu namna UNK kwenye UNK cha UNK UNK na kutokana na kijana mwingine alielezea tukio zima hadi UNK kumuua pascal kwa kumpiga kichwani kwa UNK je ni nani aliyekwenda kuutupa mwili wa marehemu kanisani benard akahoji sifahamu kweli kabisa UNK sifahamu mimi niliondoka na kwenda nyumbani sijui ni nani UNK UNK huyo UNK hii kesi benard alimfariji kwa kumdanganya asingeweza kukiuka miiko na maadili ya kazi yake UNK nyumba yenyewe hassan akasema anaifahamu japo ilikuwa usiku lakini UNK na nyumba UNK pascal na mazingira yake aliwahakikishia kuwa endapo atapelekwa na kuiona angeweza UNK edward mbona kama ni mtaa wenu benard akahoji mara baada ya kuachana na hassan mh sijawahi kuona mtu mwenye gari kama la jerome kwani unashinda hata nyumbani benard UNK huo muda UNK sijawahi kuliona akajibu edward sasa ni nani UNK ile maiti UNK taratibu lakini tuanze na hassan sio kumsaidia kumbe mhalifu asaidiwe na kina jerome itakuwaje ujue nao wanahusika edward UNK na kusisitiza kuwa pengine amehusika katika utupaji wa maiti ya pascal edward UNK kuwa UNK kama hassan ataamua kuwapeleka askari mpaka mtaani kwake UNK maiti ya pascal alijua ni lazima afanye kitu fulani UNK akaanza kazi ya kuwashawishi wenzake ili UNK kufuatilia mahali ambapo hassan aliiacha maiti ya pascal siku ya kusomwa kwa kesi ya hassan alikataa shitaka la mauaji UNK aliamini kuwa edward UNK ndugu zake nao walikuwa na tumaini hilo hilo tofauti na tegemeo lao UNK rekodi ya maneno ya hassan namna alivyokuwa akisimulia baadhi ya UNK edward UNK hasa maelezo ya mwisho ya hassan hassan UNK hii ni sauti yako aliulizwa hassan ambaye hakuweza kukataa watalamu wa mambo ya sauti UNK sauti ya hassan walithibitisha mambo mawili kwanza ni sauti ya hassan na pili hakuwa na tatizo lolote kama vile kupigwa na kulazimishwa kusema maneno yale siku ya hukumu UNK ndugu wa hassan hawakuamini kama kweli edward aliamua kuwaondoa machoni kwa kuwadanganya kuwa atawasaidia kumbe alikuwa UNK kweli umeamua UNK hivi mungu UNK edward alilalamikiwa na mama wa hassan baada ya mtoto wake kupewa adhabu ya kunyongwa hadi kufa edward aliamini amepona na kuficha aibu ambayo UNK salam anti lisa pole na majukumu ya kila siku mimi naitwa savio ni mwanafunzi wa kidato cha sita nimekuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti mmoja tangu nikiwa mdogo hata hivyo sijawahi kufanya naye tendo la ndoa ambapo leo ni mwaka wa tano kila nikimwambia anakataa na sasa UNK niachane naye naomba ushauri UNK kwa kuuliza swali zuri mdogo wangu binafsi nimefurahishwa na msimamo wa mpenzi wako huyo wa UNK kufanya naye tendo la ndoa anafanya hivyo kwa sababu anajua kuwa tendo hilo ni kwa ajili ya wanandoa tu na siyo kwa wanafunzi au watu ambao wapo nje ya muungano huo wewe bado ni kijana mdogo unategemea matunzo kutoka kwa wazazi wako hivyo unapoanza kujihusisha na masuala ya mapenzi UNK hatari ya kupoteza mwelekeo maana waswahili walisema UNK mbili moja UNK mbali na hiyo hata sheria ya elimu zinazuia wanafunzi kujihusisha na vitendo vya mapenzi ndiyo maana serikali imekuwa ikiwachukulia hatua kali watu wanaokuwa na uhusiano wa kimapenzi na watoto wa shule hivyo usione tabu kuachana na binti huyo na UNK zaidi kwenye masomo mambo hayo yapo wakati ukifika UNK mdogo wangu mtu UNK siyo lazima UNK ondoka kitendo cha huyo binti UNK UNK ni salamu tosha kwako hivyo unatakiwa kusoma alama za UNK katika kipindi hiki cha ukimwi siyo vizuri ukaanza kurukaruka vinginevyo utajikuta UNK virusi vya ugonjwa huo mambo yangu UNK anti lisa nimekuwa nikifuatilia mada zako katika gazeti hili nami nauliza mtu mwenye UNK mfupi UNK anakuwa na matatizo gani na atumie njia gani ili kujirudia katika hali yake ya kawaida mimi d wa tabora kwanza nakupongeza kwa kuwa mmoja wa wapenzi wa safu hii ambayo inapenda na watu wengi kuhusu swali lako kimsingi tatizo lako linaweza likawa limesababishwa na mambo mengi hata hivyo mambo hayo siwezi UNK kwa kuogopa kuingilia taaluma za watu kwa maana ya UNK kwa hiyo nakushauri kama tatizo hilo unalo wewe mwenye nenda hospitali utapata tiba ya uhakika au kwa msaada zaidi wasiliana na daktari wa majira jumapili anayepatikana kwenye gazeti hili UNK UNK ushauri wa kitaalamu zaidi nitaka kuoa mke mwema anti lisa pole na kazi mimi ni kijana umri wangu ni miaka ishirini na nne nataka kuoa mke mwema je nitafute msichana mwenye sifa zipi kwani kuna msichana tuna urafiki wa kawaida ambaye UNK miezi mitatu iliyopita msichana huyo ni mcha mungu mpole wastani UNK nguo za heshima muda wote isitoshe nampenda sana je UNK wako jonas wa arusha kwa sifa UNK hapo juu siyo mbaya na ndizo anazotakiwa kuwa nazo msichana mwema hata hivyo kwa muda wa miezi mitatu UNK naye bado ni mfupi unahitaji kumchunguza zaidi ni vema ukapata historia yake na familia yake kwa ujumla hapo ndipo unaweza kujiridhisha zaidi mwisho nakushauri UNK mungu ili aweze kukusaidia kumpata mchumba mwema maana yeye ndiye anaweza yote wasichana UNK nifanyeje anti pole na kazi naitwa a h k naishi mbezi beach tatizo langu ni kutongozwa na wasichana wengi sijui wanavutiwa na nini kwangu UNK hawasikii wanadai UNK je nifanyeje kaka yangu inavyoonekana una mvuto wa aina yake ndiyo maana wasichana wengi UNK wewe kutongozwa na wasichana wengi UNK kwa sababu nao wana haki ya kufikisha hisia zao kama UNK nakushauri uwe ni mtu mwenye msimamo kama unaona hautaki kujihusisha na masuala ya mapenzi waambie ukweli UNK kwa kuwa wasichana siyo UNK kama ilivyo kwa kaka zetu kama hautaki hata UNK kamwe hawawezi UNK ni vema ukawa UNK msimamo wako nina imani UNK mume wangu anahaha nje ya ndoa kwako anti lisa habari za kazi mimi nimeolewa lakini sijapata mtoto huu ni mwaka wa kumi na tatu sasa mume wangu ameanza kutembea nje UNK UNK naomba ushauri wako pole sana dada yangu kwa tatizo lako hilo inavyoonekana mume wake ameathirika kisaikolojia ndiyo maana ameamua UNK nje ya ndoa bila shaka dhamira yake ni kutaka kupata mtoto kwa kwali ingekuwa vema wewe na mume wako UNK pamoja na kuzungumzia suala hilo mara nyingi matatizo kama hayo huwa UNK baadhi ya wanandoa kwa kukosa mtoto lakini huwa wanakubaliana namna ya kufanya na ndiyo zao kuendelea kudumu kama kawaida ninyi UNK kwenda hospitali kwanza ili kujua tatizo hilo limetokana na nini kama UNK tatizo lenu ni kubwa na siyo rahisi kupata mtoto binafsi UNK UNK ni nini cha kufanya kwa kuwa hataki kubadilika basi mshauri huyo mume wako awe makini ili asije kuambulia magonjwa badala ya mtoto UNK miaka michache iliyopita rais mstaafu wa awamu ya tatu bwana benjamin mkapa akiungwa mkono na mbunge wa zamani wa ilala bwana idd simba wakidai kuwa watanzania wanabaki nyuma kwa tabia ya kuendekeza UNK katiba ya nchi na hata ya ccm inasisitiza na kutoa tafsiri juu ya neno kazi kazi huweza kuangaliwa kwa vigezo vingi lakini mimi UNK na vigezo vitatu ambavyo huenda UNK vyema basi nchi yetu itakuwa na UNK kazi kuliko UNK katika awamu ya kwanza ya utawala wa nchi yetu wale ambao ni wanafunzi wazuri wa hayati mwalimu julius nyerere ndani ya chama cha tanu kila mara walikuja na kauli mbiu ya zilizo kuwa UNK watanzania kupenda na kufanya kazi kwa bidii baadhi ya kauli mbiu hizo UNK na watanzania wa enzi hizo ni uhuru na kazi uhuru ni kazi kazi ni uhuru siasa ni kilimo kilimo cha kufa na kupona nguvu kazi UNK kauli hizo zilizotolewa kila baada ya kipindi kisichozidi miaka miwili tanu na baadaye ccm UNK watanzania kila mara umuhimu wa kufanya kazi nao UNK wito huo uanzishwaji wa vijiji kando ya dar es salaam vya UNK kibugumo UNK UNK na kinyerezi ni matokeo ya uhamasishaji huo ccm ya sasa UNK tena umma kufanya kazi licha ya kila baada ya vikao kamati kuu ya halmashauri kuu ya ccm au halmashauri kuu ya taifa hutolewa taarifa kuwa chama UNK mambo mbalimbali ikiwemo uchapaji kazi wa wao kuridhishwa kwa ccm juu ya uchapaji kazi wa watanzania kamwe UNK na hali halisi ilivyo wananchi wengi hakika kila kukicha utawakuta kwenye vijiwe mbalimbali hata maofisini UNK kama sio mpira basi matukio ya kijamii mitaani hawezekani tanzania kupunguza mfumuko wa bei unaoendelea kupanda kila kukicha au kupambana na umaskini bila watu wake kubadili tabia ya kuacha uvivu na kupenda kuchapa kazi viongozi wanaoona haya UNK suala hili hawaitakii mema nchi yetu wafadhili na wahisani UNK kufikia viwango vinavyoweza kuifanya tanzania kupata sifa ya kufutiwa madeni na kuanza kufikiriwa kupewa misaada na mikopo mipya yenye masharti nafuu tija yake itategemea mchango halisi ya uchapaji kazi wetu sifa nyingi sana zinapaswa kwenda kwenye sekta binafsi kwani licha ya uchanga wake waliopo kwenye sekta hiyo wengi wao UNK kazi licha ya kutopata mishahara inayokidhi mahitaji yao sekta ya umma bado inaendeshwa kwa mazoea tu kila mwaka siku kama hiyo serikali UNK kutangaza nyongeza za mishahara ya watumishi wake iwapo serikali na chama havifanyi bidii ya kutumia kila liwezekanalo kuwahimiza na kuwalazimisha watu kufanya kazi maendeleo yatakuwa UNK ndio maana mkoloni enzi zake alitumia hadi viboko kuwataka watu wafanye kazi tena kazi yenyewe ya uzalishaji leo kiongozi anayesimamia kwa dhati na kuhimiza kwa bidii ufanyaji kazi kwenye sehemu yake huitwa mkoloni au UNK na wakati na yule UNK mambo yaende UNK basi huyo UNK na kila mtu na huitwa kiongozi poa asiye na UNK wala UNK viongozi hao UNK sana mambo na kuukumbatia uvivu ni kutaka kwenda peponi kabla ya kukumbwa na umauti kwanza morali wa kazi umepungua mijini na mashambani serikali hii ya awamu ya nne lazima iwe na mikakati ya kuwajengea mazingira wananchi wapende kufanya kazi kuliko kuhamasisha taifa la UNK hakuna duniani nchi UNK kwa kupiga UNK uchapaji kazi wa wakulima unapaswa kuangaliwa na serikali katika uchumi huu wa soko huria lazima UNK mbinu UNK wakulima kupata malipo yanayotokana na jasho lao sio kama ilivyo sasa walanguzi UNK na mazao yao UNK kilimo hakiwezi UNK kwa maneno na mipango kwenye makaratasi lazima serikali ifanye jitihada kubwa na kujenga mazingira yatakayowavutia vijana kuipenda sekta hii kuu ya shughuli za kiuchumi na hivyo wengi kuchapa kazi huko asilimia kubwa ya watanzania waliopo kwenye kilimo ufugaji na uvuvi pamoja na kuahidiwa na ccm kuwa lengo ni kumtoa kwenye kilimo cha UNK katika muda mfupi ujao na kuhakikisha wanatumia zana za kisasa hadi sasa wameachwa na hali hiyo hiyo hakuna mkakati wowote wenye matumaini wa kukifanya kilimo chetu kiwe kivutio na kukifanya kiwe uti wa mgongo wa uchumi wa nchi yetu licha ya kuzungukwa na kila aina ya raslimali na kilimo kuendelea kuwa matumaini endelevu ya maendeleo yetu kama serikali haitoi msaada katika hilo wakulima na familia zao wafanye nini zaidi ya kukimbilia mijini kuepukana na UNK je kwa nini hapa hapatoshi kuonesha uzembe fulani uliopo nyuma ya viongozi ambao wanaoona haya kuhimiza kazi wanaogopa nini kundi hili la wafanyakazi wanaosubiri mafao kwenye baadhi ya miji mikubwa ya nchi yetu ndio chimbuko la uzururaji wa aina mbalimbali UNK nchini hata hao waliolipwa mafao bado fedha hizo UNK kuingia katika shughuli za uzalishaji soko la mikopo katika mabenki bado ni la UNK wananchi wazawa wa tanzania kutokana na UNK ya siasa za huko nyuma hakuweza kujijengea uwezo wa kumiliki dhamana hivyo serikali ina deni la kujenga mazingira ya kundi hili UNK shughuli mbalimbali za wafanyibiashara wadogowadogo na wale wa kati zinaendeshwa bila motisha ya ulezi wa kibiashara kutoka kwenye asasi za fedha je hili nalo halijulikani serikalini na huenda likawa ndio chimbuko la wananchi kukata tamaa na kuwa UNK serikali ina wajibu mkubwa wa kuboresha mazingira ya uchapaji kazi wa wanachi wake bila kufanya kazi ya ziada wananchi watakuwa kila siku wapo vijiweni kuilamu serikali UNK hiki au kile na hivyo tukaendelea kuzama kwenye lindi la umaskini ccm lazima UNK kwa undani namna ya kupambana na kupunguza uzururaji kwa UNK serikali kuwa na mikakati imara ya watu kuwajibika kufanya kazi sio UNK mikutano ya kampeni na kutoa ahadi nyingi UNK ili UNK ikibidi hata nguvu itumike ili kuwalazimisha watanzania wapende na wafanye kazi inawapasa UNK kuwa ufumbuzi wa kudumu utategemea maendeleo ya ujenzi wa uchumi katika vijiji sambamba na kuwashirikisha wananchi wa mijini katika viwanda vidogo biashara ndogo na za kati na wala hakuna njia ya mkato marehemu shaaban robert mwanafalsafa wa kitanzania katika moja ya maandiko yake alisema mvumilivu hushinda mwenye nguvu afadhali mnyonge mvumilivu kuliko mwenye nguvu mkata tamaa na heri mjinga mvumilivu kuliko mwenye akili mchache wa UNK wapendwa wasomaji wa safu hii nyeti inayozungumzia na kuelimisha mambo mbalimbali ya kijamii na kifamilia leo kama kawaida ninaendelea kuelimisha kwa lengo la kudumisha uhusiano na wenzi wetu pamoja na marafiki mbalimbali wiki iliyopita nilizungumzia mada kuhusu umuhimu wa staili katika mapenzi nina imani wapenzi wangu mlifurahia mada hiyo na niliweza kujibu maswali ya wasomaji wangu kuhusu kona hiyo na leo ninawaletea mada nyingine inayozungumzia kuacha siyo suluhisho leo hii nataka tuzungumzie hili suala la kuachana kila kukicha jambo si jambo watu UNK hebu kwanza tuangalie kuachana ni nini kuachana ni tendo la mwisho kabisa katika uhusiano baada ya kushindwa kupata suluhu na kutenganisha ndoa ya wawili au uhusiano wa muda mrefu nina imani si makosa makubwa UNK wawili UNK kuishi pamoja hadi kifo yapo makosa mengine ya kushindwa kuelewana na kila mmoja kujiona anajua na kushindwa kukubaliana kuwa mmoja ndiye kichwa cha familia yapo makosa makubwa kwa kweli hata mkienda wapi ni vigumu kupata suluhu pia yapo makosa ambayo kama kila mmoja atachukua muda wa UNK kabla ya kutoa uamuzi huweza kupata suluhu na watu UNK nataka kuzungumzia mada yangu ya leo kuacha si suluhisho katika dunia hii kila mwanadamu UNK na hulka yake nina imani mnapoanza kukaa pamoja kila mtu anakuwa na tabia yake ya kuzaliwa au ya kujifunza mwanzo wa uhusiano ni wakati mzuri wa kuchunguzana tabia na UNK udhaifu wa mwenzako ndio wakati mzuri wa UNK lile lisilo la muhimu ambalo unajua kwa upande wako UNK raha UNK kusema mbwa UNK na kuweza UNK bwana wake UNK nini kwa sisi binadamu siku zote ili kujenga familia iliyo bora ni kujenga kwanza msingi imara ili baadaye hata mmoja UNK iwe rahisi UNK usikubali kuburutwa kwa ajili ya uzuri wa mkeo eti UNK UNK na wewe mwanamke uzuri wa umbile na sura yako UNK nyumba bali tabia njema na kwa wewe mwanamke usikubali kuburutwa na mwanaume kwa vile ana pesa nawe mwanaume usifikiri pesa zako ndizo UNK nyumba bali tabia njema UNK haya mapema UNK mmoja akitoka nje ya msitari ni rahisi UNK lakini UNK matatizo kwenye ndoa au uhusiano kwenye ndoa yako ni vigumu kumrudisha kwa vile kwake aliona ndio maisha ndio siku UNK unakuwa hauna UNK mtume UNK kudai talaka yako hata mahakamani au mwanaume kuamua kumwacha mkewe na kutokuwa tayari kumsamehe kila mmoja akielezea uozo wa mwenzake UNK lakini kama tabia hizi mbaya UNK mapema yote UNK kama uliweza kuvumilia muda wote huo kwa nini UNK sasa mna watoto zaidi ya watano hata mmoja au UNK kupata mtoto lakini lazima nanyi UNK muda wenu UNK UNK kuachana tu kumbuka tabia za watu asilimia kubwa UNK na ndio maana nimesema kuwa la muhimu ni kurekebisha tabia za mtu tokea mapema hii husaidia sana kujenga familia bora hebu UNK upande wa pili hivi UNK unapokuwa na kiburi ndani ya nyumba au uhusiano wako ni baada ya kujitambua we mzuri unapendwa na wanaume wengi au kujitambua sasa una pesa unaweza kupata mwanamke yoyote kwa nini unakosa uaminifu ndani ya nyumba yako hakuna penzi tamu kama la ndani ni penzi ambalo UNK kwa urefu na UNK halina gharama UNK kodi hebu turudishe mioyo yetu ndani ya nyumba zetu tujaribu kuoneana huruma tuwe na mapenzi ya kweli hivi kweli kuachana ni suluhisho la matatizo hebu sasa UNK UNK mwenzako ambalo halifai liache mara UNK radhi mwenzako si aibu kumwomba mumeo au mkeo pale UNK makosa yako kwa nini UNK wewe tu ni wakati wa kukaa chini na kujifikiria wapi UNK hata uwe na pesa kama mchanga au mzuri kama malaika bado bila tabia nzuri wewe si kitu narudia tena wewe si kitu jengeni mapenzi ya kweli ili kujenga familia bora kwa haya machache tukutane wiki ijayo kwa mada mpya isemayo kwa nini utafutiwe msaidizi kwa maoni maswali au ushauri nitwangie kupitia email na joyce magoti hivi karibuni chama cha demokrasia na maendeleo kilifanya ziara maalum ya UNK mkoani kilimanjaro ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya operesheni sangara inayoendelea katika mikoa mbalimbali nchini kwa lengo la kupiga vita vitendo vya ufisadi ziara hiyo iliongozwa na viongozi waandamizi wa chama hicho akiwemo mwenyekiti wake bwana freeman mbowe wabunge wote wa chama hicho na maofisa wengine uzinduzi wa kampeni hiyo ulifanyika mjini moshi machi thebathini na moja mwaka huu na kuhudhuriwa na maelfu ya wakazi wa mji pamoja na wanachama katibu mkuu wa chama UNK daktari wilbroad slaa ni miongoni mwa viongozi walioshiriki katika kampeni hiyo ambayo UNK hivi sasa imefanyika katika mikoa ya mwanza mara mbeya na dar es salaam katika kufanikisha malengo ya kampeni hiyo daktari slaa alitumia nafasi aliyopewa kuwaeleza wananchi uchafu unaofanywa na baadhi ya viongozi UNK serikalini ambao wamelazimika kuachia madaraka waliyopewa kutokana na kashifa ya ufisadi daktari slaa alionesha kuchukizwa na ubadhirifu wa fedha za umma zinazotumiwa na viongozi wa ccm bila kujali maisha ya wananchi huku viongozi hao wakiendelea kuishi maisha ya kifahali na familia zao septemba kumi na tano ishirini sifuri saba katika viwanja vya mwembe yanga temeke viongozi mbalimbali wa chadema akiwemo daktari slaa UNK orodha ya majina ya viongozi waliowaita mafisadi wakiwemo mawaziri na makatibu wakuu jitihada za daktari slaa katika kuelezea ufisadi wa viongozi hao ziligonga mwamba na hata UNK kwa kuonekana UNK asiyekuwa na hoja ya msingi ukweli wa madai ya daktari slaa ulionekana katika kipindi kifupi ambapo hivi sasa kila mtu anaelewa nini kilichotokea baada ya rais jakaya kikwete kukunjua makucha yake pamoja na kazi nzuri iliyofanywa na rais kikwete wananchi mbalimbali bado hawajaridhika na hatua hiyo kufuatia baadhi ya watu waliotajwa kwa kujihusisha na vitendo vya ufisadi kutochukuliwa hatua yoyote mpaka sasa kwa mtazamo wangu daktari slaa ni kiongozi wa mfano UNK kuigwa na viongozi wengine kutokana na ujasiri wake na kukubali kuhatarisha maisha yake kwa ajili ya kutetea wanyonge na kupambana na vitendo vya ufisadi ambavyo UNK nyuma maendeleo ya wananchi na taifa kwa ujumla daktari slaa amekuwa mstari wa mbele katika kutetea maslahi ya wananchi bungeni wakato hoja zake zikionekana kuwa mwiba kwa baadhi ya mawaziri na viongozi wengine ni wazi kuwa mambo mbalimbali UNK na daktari slaa UNK baadhi ya viongozi ambao hawapendi kuona UNK hadharani kutokana na uchafu wao na hatimaye kupoteza nafasi za uongozi serikalini katika kikao cha bunge UNK hivi karibuni daktari slaa alikumbwa na mkasa baada ya kuwekewa kinasa sauti chini ya kitanda katika nyumba moja ya kulala wageni mjini dodoma huu ni ushahidi wa kutosha juu ya kauli UNK na daktari slaa kiasi cha kuwaumiza viongozi wengi ambao wanatafuta mbinu mbalimbali za kutaka kummaliza kisiasa binafsi namuunga mkono daktari slaa kwa kuwa mstari wa mbele katika kutetea maslahi ya wanachi kwa kuzingatia hali halisi ya maisha ya wanachi wengi kwa sasa daktari slaa amekuwa mtetezi wa wananchi kuanzia ngazi ya mtaa pamoja na kuwahamasisha wananchi kutunza rasirimali na miradi ya maendeleo na hasa katika halmashauri akiongea na wananchi katika mkutano wa hadhara mkoani kilimanjaro daktari slaa alisema fedha zilizoibwa na baadhi ya viongozi serikalini zingeweza kuongeza kasi ya maendeleo kwa wananchi na kupunguza gharama za maisha kwa ujasiri alionao pia aliweza kuelezea posho za wabunge zinazolipwa kila siku pamoja na mishahara yao kwa mwezi alisema mbunge mmoja UNK zaidi ya shilingi mia moja na thebathini na tano sifuri sifuri sifuri siku ambapo mshahara wake kwa mwezi ni shilingi milioni saba kwa nchi masikini kama tanzania ni UNK kuamini kuwa wabunge hao wanalipwa fedha nyingi kiasi hicho ambazo UNK na UNK wa mwalimu polisi na baadhi ya watumishi serikalini walimu ndio chimbuko la kila kitu nchini kwani bila ya wao hatuwezi kuwa na wataalamu waliobobea katika fani mbalimbali hali hiyo inaonesha kuwa serikali haijaweka kipaumbele UNK kwa ajili ya maendeleo ya taifa ikiwa ndio chanzo cha wabunge wengi kutumia fedha nyingi za kutaka madaraka tunahitaji kuwa na wakina daktari slaa wengine ili waweze kuongeza nguvu ya kudai haki za wananchi kwani kelele UNK hazina mafanikio kwa kuwa ni kiongozi anayetoka katika chama cha upinzani sio lazima kuwapata viongozi wa aina hiyo kutoka vyama vya upinzani la hasha anaweza kutoka chama chochote cha siasa pamoja na ccm ili waweze kufichua ufisadi mwingine tukiwa na viongozi wa aina hiyo miradi mbalimbali UNK katika halmashauri zetu pamoja na kodi zingeweza kuwa na wasimamizi na hivyo wananchi kuondokana na shida ya maji huduma za afya shule na miradi mingine mimi ni katika wale wanaoamini kuwa wakati umefika wa kizazi kipya kupewa nafasi kamili ya uongozi ili kusimamia maendeleo katika nchi yetu lakini UNK wanasiasa wengi wahafidhina na makada wakongwe wanaopinga sana dhana hii iwe bayana au kwa siri hoja ya kizazi kipya kushika hatamu za uongozi wa nchi zetu inaungwa mkono hata na wasomi wanaoheshimika sana duniani akiwemo profesa ali UNK ambaye hivi karibuni alikaririwa akisema kuwa wakati umefika wa kizazi kilichoshiriki kupigania uhuru wa nchi zao kutoa nafasi kwa kizazi kipya kuzijenga nchi zao na afrika chini ya jumuia ya afrika mwalimu nyerere naye aliwashauri wenzake wote miaka ya elfu moja na mia tisa na themanini kung UNK ili kupisha kizazi kingine nacho kuchangia katika maendeleo lakini ushauri wake UNK kwani wapo viongozi kutoka awamu ya kwanza hadi awamu ya nne ya uongozi bado wapo madarakani nchi za ulaya ambazo ndizo nchi fadhili na hisani kwetu na ndizo tumekuwa UNK kiutawala na kiuongozi viongozi wake wengi wazee wamekuwa UNK vijana na wale wanaong ang ania madarakani husababishwa kupigiwa kura za chuki na kushindwa vibaya sana uingereza ni mfano wa nchi ambayo wahafidhina wa UNK walitwaa madaraka kwa muda mrefu na kwamba chama cha labour UNK upya kwa kuweka watu wa kizazi kipya cha akina tonny UNK UNK madaraka UNK na kuendelea kushinda kwa kishindo kwenye kila chaguzi hadi leo nchi za zambia malawi uganda kenya na zimbabwe ambazo ni UNK ang UNK cha baadhi ya viongozi wakongwe waliopigania uhuru wa nchi zao wamekuwa chanzo cha wananchi kuwapigia kura za chuki hata kama waliendesha na kusimamia mambo vizuri ndani ya nchi zao wakati wa rais mstaafu wa awamu ya tatu benjamin mkapa akiwa mwenyekiti wa moja ya mkutano mkuu wa ccm chama cha siasa UNK uhuru wa zambia UNK katika salaam zake UNK kuwa vyama UNK UNK madarakani ni vigumu kurudi nchi za ulaya mashariki UNK kundi moja na tanzania wakati wa ujenzi wa ujamaa na waliokuwa waalimu wa kuwaandaa viongozi waliotarajiwa kuongoza siasa na uchumi ili wawe viongozi wa nchi zao UNK olewa ili kupisha kizazi kipya kusimamia mabadiliko mapya duniani nchi ya hungary mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nane chama cha vijana kiliwashinda wahafidhina wa UNK wa nchi hiyo na kuongozwa ya waziri mkuu mwenye umri wa miaka arobaini na baraza lake la mawaziri lote lilikuwa na umri sawa naye enzi za utawala wake walifanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na kisiasa china nayo baada ya kifo cha mao UNK sung wahafidhina wengi waliendelea kukwamisha mageuzi na mabadiliko ya sera za maendeleo miaka michache baadaye chama cha UNK kilifanya mageuzi ya uongozi kwa kuwaingiza vijana ambao hivi sasa UNK nchi yao kuingia kwenye ubepari UNK licha ya rai hizo na mifano UNK inayotokea pembe zote za dunia viongozi wahafidhina hapa nchini wamekuwa UNK na kuwa UNK wa mstari wa mbele kupambana na upepo wa mabadiliko wa kizazi kipya kwa kisingizio UNK fikra za viongozi waasisi wa taifa yanayotokea kwenye vyama vya siasa nchini kwa wazee kuingilia demokrasia ndani ya vyama hivyo kwa visingizio vya kujenga mshikamano na umoja ni ithibati kuwa wanasiasa hao wahafidhina wanataka UNK mageuzi ya kushindana kwa hoja na badala yake kuendeleza ukiritimba UNK kizazi UNK kukabidhiwa madaraka ya uongozi kimekuwa UNK mikakati ya kutofanya mageuzi ya kweli yanayoendana na mazingira halisi ya dunia na hivyo UNK mbele ya umma kuwa hakifai na kwamba kina uchu na tamaa ya kutawala tu kwa kuhofia kutofautiana na viongozi waandamizi ndani ya vyama vya siasa na serikalini kada ya kizazi hiki kipya huogopa kuelezea matarajio na upeo wao endapo watatwaa uongozi wa nchi na ndani ya vyama vyao kwa kuchelea kuwa wanaweza kuwekewa mikakati ya UNK kisiasa kana kwamba haitoshi wahafidhina hao huonekana hodari sana kufuatilia nyendo za viongozi wa kizazi hicho UNK na hasa kwa kutafuta dosari ndogondogo kwa nia ya UNK matope na kuwamaliza kabisa ili UNK tena kufikiriwa kupewa dhamana ya uongozi wahafidhina wamekuwa mabingwa wa mikakati na hata UNK vijana wenye mawazo ambayo si tegemezi kwa hofu ya kufunikwa na hivyo huweza kuteua viongozi vijana ambapo mara nyingi ni wale UNK kufanya maamuzi ya kulishwa kwa vijiko ili kuendeleza fikra UNK kizazi kipya kushika madaraka ni pamoja na ujasiri wa kufanya maamuzi ya kuiingiza tanzania yenye raslimali za kutosha kwenye siasa za ubepari uchwara UNK viongozi wanaoogopa kufanya mageuzi kulingana na hali halisi ili kuleta mahusiano mema ya kijamii UNK UNK tanzania ina hazina kubwa ya viongozi wa kizazi kipya kwani tangu tupate uhuru kundi kubwa la vijana wamekuwa UNK masomo katika shule vyuo na vyuo vikuu mbalimbali nchini na duniani kote jeshi hili katika nyanja mbalimbali linaweza kabisa UNK taifa kwenye falsafa yenye UNK wa kitanzania bila ya kuingiliwa na wazee tanzania tunaelekea huko huko sikio la mbuzi halisikii hadi kwenye chungu wahafidhina wanaong ang ania mambo UNK kama yalivyokuwa enzi zao na kushindwa kutambua kusoma alama za nyakati za wananchi wapiga kura wengi sasa zaidi ya asilimia sitini ni vijana chini ya miaka arobaini wahafidhina wengi duniani walishindwa kwa vile licha ya vyama UNK kuwa vya umma lakini maamuzi yao ni mawazo ya wateule wachache yanayotokea chadema na ccm ya kuogopa demokrasia halisi ya ushindani ndani ya vyama ni kukaribisha vurugu jitihada kubwa zinazofanywa na wadau wa mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi ni kutoa elimu ya ugonjwa huo kwa makundi ya watu wa rika tofauti ili kushawishi mabadiliko ya tabia na mwenendo usiofaa katika jamii kukosekana kwa huduma thabiti ya malezi na ushauri nasaha kwa vijana hususani mashule na vyuo kumewafanya vijana wengi kushindwa kuyakabili mabadiliko ya haraka yanayotokea katika jamii hali hiyo imesababisha mmomonyoko mkubwa wa maadili kwa vijana ambao wengi wao hujikuta wakipata maambukizi ya virusi vya ukimwi kutokana na kukosa elimu ya kutosha ya kujikinga na maambukizi kasoro nyingi zinazojitokeza katika shule na vyuo vingi nchini ni pamoja na wanafunzi kuvunja sheri na kujihusisha na matumizi ya madawa ya kulevya pombe na uasherati hali ambayo husababishwa na uelewa mdogo wa wanafunzi vitendo kama hivyo UNK maisha ya vijana hao kwa kuambukizwa magonjwa ya zinaa na virusi vya ukimwi katika umri mdogo tafiti mbalimbali zilizowahi kufanyika UNK kuwa vijana wengi wamekuwa wakishiriki vitendo vya ngono katika umri mdogo jambo ambalo linaweza kuwafanya wapate maambukizi ya ukimwi na magonjwa mengine yatokanayo na zinaa tatizo la vijana kujiingiza katika vitendo vya ngono katika umri mdogo linachangiwa na uelewa wa kutosha juu ya elimu ya ukimwi ni dhahiri kuwa elimu ya ugonjwa huo inahitajika ili kuhakikisha kuwa kundi la vijana UNK na vishawishi ambavyo vinaweza kusababisha kupata maambukizi kundi la wanafunzi ambalo ndilo linajumuisha vijana wengi chipukizi linahitaji kuelimishwa zaidi na kupunguza kasi ya maambukizi mapya kwa vijana hao ambao ni nguvu kazi ya taifa hivi karibuni mratibu wa mradi wa kudhibiti ukimwi mashuleni kitaifa bibi UNK musaroche alisema wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi kwa kushirikiana na wizara ya afya na ustawi wa jamii na wizara ya fedha UNK mpango wa kutoa elimu mashuleni kwa lengo la kupunguza kasi ya maambukizi ya ukimwi kwa wanafunzi na jamii kwa ujumla mkakati wa kutoa elimu ya ugonjwa huo kwa vijana mashuleni na wafanyakazi wa wizara itasaidia kupunguza kasi ya mambukizi lengo la mpango huo ni kumwezesha mwanafunzi na wafanyakazi kufanya uamuzi wa busara UNK na mwenendo katika UNK mpango huo utawawezesha wanafunzi na wafanyakazi kukuza tabia zao na mwenendo ambao utasaidia kuzuia maambukizi ya ugonjwa huo mpango wa elimu ya kujikinga na ukimwi unawahusu wanafunzi wa shule za msingi sekondari vyuo vya ualimu na wafanyakazi wa wizara ya UNK na mafunzo ya ufundi elimu ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa huo UNK katika mitaala ya masomo UNK sayansi kwa shule za msingi biolojia kwa shule za sekondari kidato cha kwanza uraia kwa mafunzo ya elimu ya cheti cha ualimu na somo la kawaida kwa UNK wa kidato cha tano sita na stashahada ya UNK bibi musaroche alisema umefika wakati wa kila mwanajamii kuamka na kuanza mapambano dhidi ya ugonjwa wa ukimwi ili kuhakikisha maambukizi yanapungua kama si kuisha kabisa ni jukumu la kila mtanzania kutafuta njia mbadala ya kuweza kuzuia maambukizi mapya ili kuweza kulinusuru taifa na ugonjwa huo ambao mpaka sasa tiba yake UNK pamoja na kuanzishwa kwa mpango wa kudhibiti ukimwi mashuleni wazazi wanapaswa kutumia nafasi zao katika familia pasipo uoga ili kuweza kuongeza nguvu ya mapambano kwa vijana wazazi wengi wamekuwa wakiogopa kuwaeleza watoto wao ukweli kuhusu janga hili jambo ambalo kwa sasa limepitwa na wakati na pasipo kuwapa ukweli na kuwa nao karibu taifa UNK ili kuweza kulinusuru taifa na janga hili ni lazima jamii ikubali kubadili tabia hasa kwa vijana ambao kwa sasa wamekuwa wakijiingiza katika vitendo vya ngono wakiwa na umri mdogo jambo ambalo ni hatari wapendwa wasomaji wa safu hii nyeti inayozungumzia na kuelimisha mambo mbalimbali ya kijamii na kifamilia leo kama kawaida tunaendelea na utaratibu wetu wa kuelimisha kwa lengo la kudumisha uhusiano na wenzi wetu pamoja na marafiki mbalimbali wiki iliyopita nilizungumzia mada kuhusu kauli za mahaba zinatakiwa UNK sehemu gani nina imani wapendwa wasomaji wangu mlifurahia mada hiyo katika mada yetu ya leo nitazungumzia elimu ina nafasi gani UNK mapenzi na hatua mbalimbali ambazo unatakiwa kupitia kwani watu wengi wamekuwa wakidhani kuwa mapenzi ni kufanyia tu ni lazima uchukue ujuzi wa elimu ili uweze UNK kumekuwa na mtazamo tofauti wa mapenzi kati ya mtu ambaye UNK akiwa na elimu ya chini na aliye na elimu ya juu je kuna tofauti gani hebu tuangalie elimu ya juu ina nafasi gani katika mapenzi sehemu hii ina mitazamo miwili moja faida na mwingine hasara faida zake ni zipi mwenye elimu siku zote huwa mwelewa wa mambo kwa kila jambo kulichukulia kiundani na sio kulipua mambo hasara zake ni zipi siku zote mwenye elimu UNK mawazo yake yapo sahihi na UNK UNK hujenga dharau kwa yule anayetambua UNK kielimu mara nyingi mtu mwenye elimu uhitaji kuishi maisha yaliyo katika ndoto yake tofauti na mtu mwenye elimu duni yeye huwa bora liende pia mwenye elimu hupenda kila siku awe yeye juu ya UNK kile UNK na hadhi yake kama kupata rafiki mwenye hadhi kama yake wenye elimu kama yake ambaye anaamini UNK kimawazo lakini tatizo linakuja pale kila mmoja anaposimama kwenye elimu yake kama kinga UNK kidogo na kusahau mapenzi yana nafasi yake UNK kuchanganywa na kitu kingine hata wanapokosana utasikia UNK nina elimu yangu naweza kutafuta kazi na UNK maisha vile vile bila wewe siku zote maisha ya mtu mwenye elimu yanategemea kupata sana kuliko kukosa hasa kwa mwanamke UNK kitu kilicho kuwa katika mawazo yake UNK hakuna mapenzi bali ni utumwa sisemi kwa wote lakini asilimia kubwa wengi wenye elimu kudumu kwenye penzi hata la kusuasua huwa hawawezi kwani wengi si wavumilivu kwa kujiamini elimu yake UNK lakini asiye na elimu japo mara nyingi huamini ipo siku atapata si mtu wa kukata tamaa mapema ila faida kubwa ya mtu mwenye elimu UNK kwa malengo na watu wenye uwezo mkubwa wa kupanga mikakati ya kujikwamua na maisha anapokuwa ameolewa vilevile wana wivu wa kimaendeleo si watu wa kubweteka muda mwingi hufikiria mafanikio tofauti na mtu mwenye elimu duni UNK sana mumewe kuliko UNK lakini katika mapenzi elimu huchukua nafasi ndogo ambayo UNK kuutambua upendo wa kweli kipi pumba na kipi mchele lakini ili upate raha ya mapenzi lazima UNK uweze UNK penzi halisi ambalo UNK UNK zaidi ya upendo wa dhati UNK na mpenzi wako mwenye elimu ya chini kwamba hawezi mapenzi au hata kumwona kama si hadhi yako mapenzi hayana chuo na kusema kila mmoja anahitaji kupata cheti weka elimu yako kando ili UNK penzi la kweli UNK na dharau ambayo ipo siku UNK uishi nchi ya peke yako kama mchawi aliyetengwa kwa sababu hakuna ajuaye hatma ya maisha yake hata UNK mwenye elimu duni basi huyo ndiye mpenzi wako UNK na kumpa upendo wa kweli kwa kutumia elimu yako na yeye UNK na kufikia yale malengo UNK kwa maoni na ushauri nitwangie kupitia email yangu anti lisa pole na majukumu ya kila siku mimi naitwa UNK naishi mbeya nimeolewa miaka saba iliyopita na kwa muda wote huo sikuweza kupata mimba kwa bahati nzuri hivi sasa nina ujauzito wa miezi miwili nilisikia kuwa jogoo la mwanaume likiwa tayari kufanya kazi likiwa UNK kulia hizo ni dalili kuwa bunduki zake haziwezi kumpa mwanamke ujauzito naomba UNK usahihi wa madai hayo kwanza UNK hongera kwa kuweza kupata ujauzito maana kipindi cha miaka saba UNK si UNK pia nampongeza mume wako kwa uvumilivu maana wengi wanakata tamaa na kuanza UNK kuhusu swali la msingi kusema ukweli mtu UNK UNK huo alikuwa UNK jogoo kama UNK basi UNK tu na bunduki zake UNK kama kawaida bila kujali UNK upande gani suala la jogoo kulalia upande gani inategemea na uamuzi wa mtu mwenyewe UNK kumhifadhi katika kabati yake akiamua UNK kulia sawa kushoto poa tu hata katikati hiyo hawezi kumfanya ashindwe kutimiza wajibu wake kwa hiyo dada yangu hilo UNK hofu ni uzushi tu ambao watu UNK na UNK UNK UNK kwako anti lisa mimi ni msichana kwa bahati nzuri au mbaya ametokea mwanaume mmoja ambaye ameoa ana familia ametokea UNK lakini UNK sasa UNK kwa rafiki yangu UNK wasiwasi ni vitisho vyake UNK hadi nakosa amani je huyu baba ana nia gani na mimi naomba ushauri wako wako dada s wa tabora pole sana dada yangu na vitisho UNK kutoka kwa huyo UNK pia nakupongeza kwa msimamo wako na UNK uendelee hivyo hivyo kuhusu vitisho UNK dhidi yako nakushauri uchukue hatua za kisheria kwa kuripoti suala hilo kituo chochote cha polisi kilichopo karibu na wewe nakusihi UNK vitisho hivyo kwani UNK UNK ikibidi pia mwambie hata mke wake jinsi mume wake UNK naamini UNK mwanaume huyo siyo wa UNK kwani inaonekana siyo mwaminifu ndiyo maana ameshindwa kutulia na familia yake vitisho vyake UNK UNK matakwa yake ambayo naamini matokeo yake yatakuwa siyo mazuri nikiachana na mwanamke anaugua anti lisa habari za leo naitwa UNK nipo kilwa masoko swali langu ni kuwa UNK na msichana na baadaye nikaamua kuachana naye basi nikimwambia anakuwa mgonjwa na wakati mwingine kulazwa hospitali hiyo imetokea kwa wasichana wengi ambao nimekuwa nao na uhusiano wa kimapenzi naomba ushauri nifanyeje kaka yangu inavyoonekana wewe ni mwanaume wa ajabu inashangaza kuona katika kipindi hiki cha ukimwi bado unaendelea kurukaruka kwa kubadilisha wanawake kuma nguo inabidi ufahamu kuwa mapenzi ya dhati yanatoka moyoni wale wasichana wamekuwa UNK kwa dhati na dhamira yao inakuwa na matumaini na wewe bila kujua kuwa wewe ni UNK wa mapenzi wanapokuwa UNK matumaini kuwa wamepata mwanaume wewe UNK tabia hiyo siyo nzuri nakushauri utafute mpenzi mmoja ambaye UNK naye kadiri UNK wapenzi unakuwa UNK mapito ya kupata maambukizi ya virusi vya ukimwi naogopa kumweleza bosi shikamoo anti lisa mimi UNK kwa mtu sasa nimepata UNK tuna zaidi ya miaka miwili bosi wangu hafahamu na UNK kumwambia kwani nahisi UNK kijana huyo anataka awe mchumba wangu na ana mipango ya kuja kujitambulisha kwake na baadaye aende kwa wazazi wangu kulipa UNK je nifanyeje wako upendo wa dar es salaam mdogo wangu hiyo bahati siyo ya kuchezea nakushauri utafute mtu yeyote ambaye yupo karibu na bosi wako UNK hali halisi ili aweze kumfikishia ujumbe iwapo utaona njia hiyo ni ngumu kwako basi nakushauri UNK mchumba wako huyo UNK UNK kwa bosi wako wako waende UNK UNK akifika kwa bosi wako na kueleza kilichompeleka utaitwa na kuulizwa kama ni kwali na UNK naamini mambo yataenda vizuri usiogope hilo ni jambo la kheri nina imani kuwa bosi wako hawezi UNK hata hivyo nakusihi uwe makini maana siku hizi kuna wanaume wengi UNK wasichana kwa gia ya kuoa wakishapata wanachokihitaji wanaingia mitini hataki tutumie kondomu UNK habari yako anti lisa mimi nina rafiki yangu wa kiume ambaye ni polisi nimekuwa nikifanya naye mapenzi kwa kutumia kondomu lakini anadai UNK raha anataka tuache kuzitumia mimi naogopa naomba ushauri ni mimi UNK mdogo wangu UNK nakushauri usimkubalie mwanaume huyo hana nia nzuri na wewe kama atakupenda ni lazima UNK kwa kufanya mapenzi na wewe kwa kutumia kondomu usikubali kufanya naye mapenzi bila kondomu kabla UNK afya zenu ili kujua kama mna maambukizi ya vvu au la UNK kama hataki basi atafute mwanamke mwingine ambaye atakuwa tayari kwa hilo ukiona mwanaume ana tabia hiyo basi ujue anafanya hivyo hata kwa wanawake wengine chonde chonde usimkubalie kama UNK raha atafute kwingine wataka maelezo ziliko fedha zao walimu mkoani dar es salaam jana UNK huku UNK vidole mwenyekiti wa chama cha walimu tanzania bwana peter mashanga wakimtaka awaeleze fedha shilingi milioni mia nne na ishirini na nane walizopewa walimu hao na wafadhili UNK walimu hao ambao walimpa wakati mgumu bwana mashanga na kuonekana dhahiri kwamba alikuwa UNK katika kuwajibu walidai fedha hizo UNK na wafadhili mbalimbali zikiwa ni malimbikizo ya fedha za nauli kwa walimu hao mkutano huo UNK jana ulikuwa na lengo la kuzungumzia mishahara ya mwezi uliopita na kueleza kwa kina suala la mishahara ambalo UNK UNK walimu wengi katika mkutano wao uliofanyika ukumbi wa UNK walimu hao wakiwa na hasira UNK mwenyekiti wao kwamba UNK na kumtaja kwamba hivi sasa ni mtu UNK mdomo wafanyakazi moja sabini sifuri kupunguzwa bandari dar es salaam julai ishirini na nne elfu moja na mia tisa na tisini na tano wafanyakazi wapatao moja sabini sifuri wa mamlaka ya bandari nchini UNK kazini wakati wowote kuanzia wiki hii habari za uhakika zilizopatikana kutoka ndani ya mamlaka hiyo UNK kwa mujibu wa habari hizo kupunguzwa kwa wafanyakazi hao kumetokana na marekebisho ya muundo wa utumishi wa tha ambapo baadhi ya nafasi zilizokuwepo zimefutwa na nyingine kuunganishwa uchunguzi wa gazeti hili umeonyesha kuwa wafanyakazi watakaopunguzwa watalipwa haki zao na marupurupu mengine kwa kati ya shilingi milioni mbili na shilingi milioni tisa kutegemea ngazi na na miaka ya mfanyakazi kazini katika UNK huo ambapo wafanyakazi watakaohusika wanatazamiwa UNK barua zao wakati wowote kuanzia kesho kutwa wafanyakazi hamsini watatoka makao makuu ya tha wakati moja sifuri sifuri sifuri watatoka bandari ya dar es salaam na waliobaki watatoka bandari za tanga na mtwara uchunguzi huo ambao ulithibitishwa na ofisa mmoja wa ngazi ya juu ya tha ambaye hakutaka jina lake litajwe alisema wafanyakazi watakaopunguzwa katika mkumbo huo ambao ni wa pili watatoka idara za utawala uhasibu uhandisi sheria operesheni na masoko katika awamu ya kwanza ya upunguzaji wafanyakazi katika mamlaka hiyo wafanyakazi mia nne na hamsini na sita walipunguzwa mapema mwaka huu wiki hii katika gazeti la majira toleo la jumatano iliandikwa habari kuhusu shule ya msingi mtakuja iliyopo vingunguti kudaiwa kuongoza kwa kuwa na madawati machache na majengo UNK jijini dar es salaam kutokana na uhaba huo ni wanafunzi wa darasa la saba peke yao UNK madawati darasani na waliobaki wanakaa chini gazeti hili UNK shule hiyo UNK wanafunzi wa darasa la nne wakiwa wamekaa sakafuni wakifanya mtihani wa UNK shule hiyo yenye wanafunzi nne sifuri saba nne ina madawati mia moja na themanini tu ambayo kama UNK kwa wote kila moja UNK na wanafunzi ishirini na mbili kutokana na uhaba wa madawati wanafunzi wa darasa la kwanza hadi la sita wanalazimika kwenda shule na magunia ili kulinda nguo zao UNK wanapokaa kwenye vumbi hata ofisa elimu manispaa ya ilala bibi wema UNK alibainisha wazi kuwa tatizo hilo ni la muda mrefu kiasi kwamba katika kipindi cha mwaka jana wakati wa mitihani ya taifa ya darasa la saba walilazimika kuazima madawati katika shule ya msingi buguruni ili kukidhi mahitaji ya watahiniwa sitini sifuri waliokuwa wakifanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi alisema fedha wanazozipata kutoka mpango wa maendeleo ya elimu ya msingi UNK kuboresha miundombinu ya shule kimsingi habari hiyo ni kati ya habari za kusikitisha kiasi kwamba mtu UNK mema tanzania hawezi kukubali kunyamaza kimya ni uchungu huo huo ambao UNK kuchambua suala hilo kwa kina hasa kwa kuzingatia kuwa shule hiyo ipo karibu na makao makuu ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi ambako ndipo wamejichimbia viongozi wengi wenye dhamana ya kusimamia ubora wa elimu habari ya shule hiyo kukosa madawati inashangaza kwa sababu hakuna aliyetarajia kuwa dar es salaam kuna UNK yenye upungufu wa madawati kiasi hicho hivi katika mazingira ya kawaida hali hiyo inatupa picha gani kwa shule zetu zilizopo vijijini swali hili kila mmoja wetu anapaswa kujiuliza na kutafakari kwa kina ili kupata jibu ambalo linaweza kupatia ufumbuzi tatizo hilo tunajenga taifa la namna gani kama katika shule zetu kuna upungufu mkubwa wa madawati kiasi cha UNK kuwa dawati moja kwa wanafunzi ishirini na mbili tutawezaje kuhimili mabadiliko yanayotokea katika karne hii ya sayansi na teknolojia kama wanafunzi wanakaa chini kwa kukosa madawati kutokana na hali hiyo tuna kila sababu ya kuhoji uwajibikaji wa viongozi wetu waliopewa dhamana ya kusimia elimu hatuwezi kusema tuna viongozi madhubuti wanaosimamia elimu kama wameshindwa kutatua tatizo la upungufu wa madawati linaloikabili shule iliyopo karibu na ofisi zao tutaamini vipi utendaji kazi wao kama suala la kushirikisha wananchi na kulipatia ufumbuzi bila kutumia nguvu kubwa UNK viongozi hao hawawezi kusema hawafahamu kuwepo kwa tatizo hilo inabidi watueleze ni kitu gani kimesababisha shule hiyo UNK madawati na kusababisha wanafunzi ishirini na mbili kukalia dawati moja tujiulize ni maendeleo gani ya sayansi na teknolojia UNK kama tumeshindwa kusaidia watoto wetu tena wanaosoma kwenye mji yalipo makazi ya rais kibaya zaidi viongozi wetu hasa wenye dhamana ya kusimamia elimu wanakimbilia kufanya ziara mikoani huku wakishindwa kutatua kero zilizopo katika maeneo wanayoishi ni wepesi kulaumu walimu wanaofundisha katika shule zinazofanya vibaya kwenye mitihani ya kitaifa na wakati mwingine kuwachukulia hatua bila kugeuka nyuma na kuondoa UNK kilichopo kwenye macho yao mbona wanaposhindwa wao hawataki kuwajibika kwa kawaida UNK huwa anakubali makosa kwa hili ni vema viongozi wenye dhamana ya kusimamia elimu nao wakawa wanakubali makosa pale mambo UNK vibaya hivi kama viongozi hao wameshindwa kusimamia shule moja watawezaje kuhakikisha mpango wa serikali wa kila shule kuwa na kompyuta unafanikiwa ni wazi kuwa kamwe mpango huo hauwezi kufanikiwa ingawa wana mawazo ya kila shule kuwa na kompyuta na maabara za kisasa tutawezaje kufikia malengo kama tumeshindwa kumudu kununua madawati tatizo kubwa linalowakabili viongozi wetu ni kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi yawezekana wao UNK kwa kiwango kikubwa na tatizo hilo kama mimi UNK kwa sababu watoto hao UNK katika shule hizo naamini kuwa kama kungekuwa na mtoto wa vigogo wa au hata ofisa elimu anayesoma katika shule hiyo madawati UNK lakini kwa kuwa wanaosoma katika shule hiyo ni watoto wa watanzania masikini ambao hawana hata uhakika wa kula mlo miwili kwa siku ndiyo maana tatizo hilo UNK macho watoto hao hao wanaosoma katika mazingira magumu bado UNK mipaka ya kupata elimu ya juu pindi UNK kwa shida mikopo inatolewa kwa madaraja ya ufaulu wanaopewa kipaumbele ni wale wanaopata madaraja ya juu ambao ndiyo UNK katika shule nzuri kimsingi tatizo la uhaba wa madawati UNK shule hiyo UNK UNK macho ni lazima tujue kuwa nyuma ya shule hiyo zipo nyingi zinazokabiliwa na matatizo lukuki lakini UNK kutokana na walimu kunyimwa huru wa kutoa habari hata pale wanapotembelewa na waandishi wa habari rushwa na ufisadi ni mambo UNK na kila mtanzania mwenye nia nzuri na nchi yake kwani ni moja ya vikwazo UNK hatua za kimaendeleo hasa watu wa kipato cha chini rushwa inasababisha matabaka kwa wananchi walio nacho na wasiokuwa nacho na tabaka jingine UNK na shida katika kutimiza malengo yake ya kimaendeleo watu mbalimbali wamekuwa wakijitokeza majukwaani na kwenye vyombo vya habari kukemea rushwa na ufisadi mambo ambayo UNK nchi yetu kwa muda mrefu kabla ya hivi karibuni UNK na sasa kuibua mijadala mikubwa UNK nchi serikali kwa upande wake na hasa chama cha mapinduzi ambacho ni chama tawala UNK mapema na kuliweka suala hilo katika ilani yake ya uchaguzi ambayo rais jakaya kikwete UNK nchi nzima na kuahidi kuitekeleza ambapo kwa sasa tumeona juhudi zake za kutekeleza ahadi hiyo rais wetu ambaye alitoa uhuru katika ilani yake kwa wananchi wote kujadili suala hilo na kutoa ushirikiano katika kuhakikisha rushwa na ufisadi unakoma katika nchi hii uhuru huo kwa sasa umeanza kutumika vibaya ambapo tunaona kila kukicha watu wanaibuka na kutangaza mambo mbalimbali wakitoa tuhuma nzito dhidi ya watu wengine wakiwaita mafisadi wiki iliyopita mwenyekiti wa kampuni za ipp bwana regnald mengi aliita waandishi wa habari na kutoa tuhuma nzito dhidi ya wafanyabiashara maarufu wenye asili ya kiasia ambao kwa maneno yake aliwaita mafisadi papa bwana mengi alielezea hatua ya kuwaita mafisadi papa kuwa ni kutokana na wao kuiba mabilioni ya fedha za wananchi wa tanzania na UNK nje ya nchi hata hivyo alikwenda mbali zaidi kwa kusema kuwa watu hao ni hatari ambao wanaweza hata kutoa roho za watu na hasa kwa UNK kupambana nao katika vita hiyo ya ufisadi nilipata fursa ya kuangalia kipindi hicho maalum ambacho UNK na kituo cha itv na baada ya kuangalia nilijiuliza maswali mengi kwani tuhuma zilizotolewa na bwana mengi zilikuwa nzito ambazo kwa hali ya kawaida zilitakiwa kutangazwa na mamlaka husika baada ya kukamilisha hatua zote za upelelezi na kuwatia nguvuni watuhumiwa hao hata jeshi la polisi UNK kwenye mchakato wa kuwasaka majambazi na watuhumiwa wengine mbalimbali UNK majina mpaka UNK wote wamekamatwa na upelelezi umefikia hatua nzuri kama si kukamilika maswali UNK hapa ni je huyu mengi UNK mamlaka zilizopewa jukumu la kushughulikia rushwa pamoja na huo ufisadi aliokuwa UNK yeye bwana mengi alikuwa akizungumza kwa niaba ya nani serikalini na kwa hatua hiyo alikuwa amesaidia kitu gani cha kuhakikisha watu hao wanashughulikiwa ipasavyo UNK na bwana mengi kwa kupambana na ufisadi UNK naye katika hili ni namna UNK suala hilo kwani staili hiyo haiwezi kusaidia sana kutatua tatizo hilo ingekuwa vyema akachukua vielelezo UNK na UNK katika mamlaka husika na kutoa ushirikiano wa kutosha kuhakikisha watuhumiwa wanashughulikiwa ipasavyo katika kufikia lengo la kumaliza rushwa nchini nasema hivyo kwani imekuwa ni kawaida kila mtu kuibuka na kusema fulani ni fisadi lakini akibanwa kuhusiana na vielelezo anabaki mdomo wazi hivyo ni vyema watanzania sasa UNK maneno ya kuzungumza na UNK uhuru wetu wa kutoa maoni ipasavyo lakini si kwa kutoa tuhuma nzito kama hizo ambazo UNK kuleta athari kubwa baadaye naungana na baadhi ya viongozi ambao wanasema kuwa wenye nia thabiti ya kupambana na janga hili wawasilishe vielelezo katika mamlaka husika na si kubaki UNK maneno majukwaani na kuwachanganya wananchi lakini pia kuwajaza chuki na watu wanaotuhumiwa kwa ufisadi ifike mahali UNK watu hawa na watanzania bali zitumike njia ambazo zitamaliza tatizo hilo bila UNK mtu yeyote mahakama zetu zipo na zinafanya kazi zake kwa uhuru kabisa UNK ili ziweze kutupa majibu ya nani ni watoa rushwa au UNK rushwa na akina nani ni mafisadi papa na hii itabainika katika hukumu zake baada ya kesi zilizoko mahakamani kumalizika uhuru wa kuzungumza na kutoa maoni UNK vibaya UNK mipaka na kukiuka taratibu na sheria kiasi cha kuingilia mamlaka nyingine kutaja mtu ni fisadi wakati anakabiliwa na kesi ya tuhuma hizo ni kuhukumu na huko ni kuingilia uhuru wa mahakama baadhi ya mafisadi papa waliotajwa wana kesi lukuki katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu ambazo ziko katika hatua nzuri tu ya kusikilizwa hivyo tutoe muda kwa mahakama ili UNK majibu kwa wale ambao hawana kesi bado ni vyema tulio na ushahidi wa kutosha UNK huko na UNK kazi naamini kabisa mamlaka UNK majukumu hayo na yanafanya kazi mchana na usiku huku UNK ushahidi wa watu kuchunguza kwa ujumla bwana mengi hakuwatendea haki watanzania hao wenye asili ya kiasia japo tunajua kuwa hakuna mwananchi UNK na rushwa na ufisadi wa baadhi ya watu ambao mwisho ao unasababisha maisha magumu kwa watanzania ifike wakati tuache kutumia vyombo vya habari au UNK majukumu ambayo si yake kwa mujibu wa sheria nchi najua kabisa kazi ya vyombo vya habari ni pamoja na kukosoa kuelimisha na kuburudisha lakini pia havina mamlaka ya kumhukumu mtu yeyote UNK kwa kufikisha ujumbe ambao UNK nchi yetu na si UNK jumatano wiki hii shirikisho la mpira wa miguu tanzania UNK kamati maalumu ya watu nane ya kudhibiti na kuboresha mapato ya michezo mbalimbali UNK kwenye uwanja wa taifa na uhuru dar es salaam kwa mujibu wa rais wa shirikisho hilo leodegar tenga alisema kamati hiyo UNK tangu machi mwaka huu ila alishindwa kuitangaza mapema kutokana na kutofanya mawasiliano na wahusika kamati hiyo itafanya kazi chini ya rais tenga ikiongozwa na katibu wa kamati deo lyatto ambaye ni afisa mwandamizi kutoka taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa akisaidiana na kamanda wa kanda maalumu ya dar es salaam suleiman kova na ofisa ikulu yusuph nzowa wengine ni makamu wa pili wa rais wa shirikisho hilo ramadhani nassib mwenyekiti wa baraza la michezo la taifa idd kipingu na kamanda mohamed UNK kamati hiyo itakusanya maoni kutoka kwa wadau wa michezo kupitia ujumbe mfupi wa maneno UNK la posta na barua pepe ambapo ujumbe huo UNK moja kwa moja katibu UNK na kisha kuiwasilisha kwa kamati yake mbali na jukumu hilo pia kamati hiyo UNK mfumo wa udhibiti wa mapato uliopo hivi sasa miundombinu ya viwanja hapa nchini mchakato wa upatikanaji UNK uuzaji na uhakiki wa mapato pia UNK na kuandaa utaratibu wa ukusanyaji na uhakiki wa mapato UNK utaratibu wa mgawanyo wa mapato kwa michezo ya ndani na ya kimataifa na upangaji wa UNK kamati hiyo imeundwa baada ya wadau kutoa malalamiko juu ya mapato yanayopatikana katika baadhi ya michezo kutokana na fedha UNK huku tiketi zikiuzwa kiholela katika vituo mbalimbali na hata sehemu UNK kwa hilo UNK uongozi wa tff kwa kuonesha dhamira yao ya kutaka kudhibiti hali hiyo ambapo kwa kufanya hivyo UNK imani kwa wapenzi na wadau wa soka hapa nchini sina tatizo na hilo lakini je hiyo mnadhani ndio tiba mbadala ya kuweza kutatua tatizo hilo kwa kumbukumbu yangu fupi mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu UNK dewji aliweza kudhibiti mapato kwa kuuza tiketi kwa siku moja ambapo alitumia utaratibu kama huu wa sasa wa kuuzia katika magari lakini shabiki hakutakiwa kuvuka barabara na UNK uwanja bila ya kuwa na tiketi mkononi dewji alifanya hivyo katika fainali za mashindano ya kombe la shirikisho kati simba na stella abdijan ya ivory coast kwa kufanya hivyo walanguzi wa tiketi walizuiwa bila matatizo yoyote kwani hawakupata muda wa kulangua na hata wale watengenezaji wa tiketi bandia walikosa muda wa kufanya hivyo lakini kitendo cha kuuza tiketi siku mbili kabla ya mchezo kuchezwa nadhani ndicho kitu kinachosababisha walanguzi kupata muda wa kulangua na wale watengenezaji wa tiketi bandia kupata muda zaidi ya kufanya hivyo nadhani hiyo kamati hata ikipokea maoni milioni moja kutoka kwa wadau lakini ukatumika mtindo ule ule wa kuuza tiketi siku mbili kabla ya mchezo lazima wajanja wa kula kupitia mgongo wa tff watapatikana tu UNK kusema hivyo kutokana hali halisi ilivyo kwani wajumbe wanaounda kamati hiyo hawana tofauti kubwa sana na wale waliokuwa wakisimamia suala hilo hapo awali kwani vyombo vyote vya usalama UNK katika kamati hiyo ndivyo vilivyokuwa UNK katika kuhakiki na kuhesabu mapato UNK katika mechi mbalimbali zilizochezwa chini ya kamati maalumu ya usimamizi wa uwanja mbali na hilo pia hakikisheni UNK watu wa milangoni wapunguze kama si kuacha kabisa ubwana huruma maana kwa kiasi kikubwa wadau UNK wanapoona watu fulani wanaingia bure huku wao wakitozwa fedha tunajua yapo makundi maalumu ya watu kama walemavu inaeleweka wazi huingia bila matatizo lakini kuna wale wanaojiita viongozi na wachezaji wa zamani nao kutaka kuingia bure hilo nalo litakuwa tatizo nadhani kama sote tukiwa waelewa na tuna lengo la kutaka mpira wetu ukue na kuboresha mazingira ya kisoka hatuna budi UNK timu zetu kwa kuhakikisha UNK kwa wingi viwanjani na fedha zetu mkononi kwa ajili ya kulipia mlangoni nina imani kamati UNK wajibu wake kwa kuyafanyia kazi maoni ya yatakayotolewa na wadau lakini kumbukeni UNK makini kila baada ya mechi mtakuwa UNK nyimbo zile zile za kila siku kwa kusema kuna watu wanatufanyia hujuma katika mapato UNK matukio ya hapa na pale katika kampeni zinazoendelea jimboni busanda ambako vyama mbalimbali UNK bendera zake kwa ajili ya kunadi sera huku vyote vikiwa na lengo ya kuchukua kiti hicho uchaguzi huo unatokana na kuachwa wazi kwa nafasi ya kiti cha ubunge kilichokuwa UNK na marehemu faustine rwilomba hali iliyosababisha kuwepo uchaguzi mdogo kampeni hizo kwa namna UNK na vyombo vya habari zinaonesha kuwa mwisho wa siku zinaweza kusababisha vurugu kubwa kwa wananchi kutokana na namna vyama hivyo UNK kampeni zake matukio yaliyoanza kutokea katika jimbo hilo hayana tofauti kubwa na yale ya uchaguzi uliofanyika katika jimbo la tarime kwa kiti kilichokuwa UNK na bwana chacha wangwe tarime kulitokea mambo ya ajabu na kusababisha jeshi la polisi kutumia nguvu nyingi kuzima vurugu zilizokuwa za wafuasi vya vyama vilivyokuwa kwenye kampeni hizo vyama ambavyo vimekuwa UNK kwa nguvu na kwa kutumia njia ya kuwajaza chuki wananchi ni chama cha demokrasia na maendeleo pamoja na chama cha mapinduzi katika kampeni zinazoendelea busanda tayari naibu katibu mkuu wa chadema bwana zitto kabwe amehusishwa na kushiriki kuchoma moto bendera ya ccm hali inayoonesha kujenga chuki na kupandikiza mbegu mbaya kwa wananchi wa jimbo hilo kwa upande wa ccm nayo inatuhumiwa katika matukio kadhaa yakiwemo ya kujihusisha na ununuzi wa shahada za kupigia kura hatua ambayo sio nzuri katika kipindi hiki cha demokrasia matukio haya yote kwa ujumla sio mazuri kwani vyama vyote UNK bendera jimboni huko vinatakiwa kunadi sera zake na sio kutumia njia za mkato ambazo haziwezi kuwasaidia wananchi katika siku za usoni kumbukeni wote UNK vurugu jimboni huko UNK katika utekelezaji wa shughuli za mbunge atakayepatikana hivyo UNK wananchi wenyewe waamue ni nani wanampa kiti hicho kwa ajili ya kuwawakilisha katika mambo mbalimbali bungeni tumieni muda huo kuwaeleza wananchi mambo ya maendeleo na sio kueleza ccm ina mapungufu gani au chadema ina tuhuma zipi kwa upande wangu naona hayo hayawezi kuwasaidia wananchi kwa kipindi hiki kwa upande wa wananchi msikubali kurubuniwa kwa maneno mengi wabaneni hao wanaopiga kampeni wawaeleze ni mambo gani watayafanya jimboni humo baada ya UNK wananchi mnatakiwa kukumbuka kuwa wote UNK chuki jimboni huko na kuvichukia baadhi ya vyama hawatakuwepo wakati UNK na kero mbalimbali ambazo UNK kazi na huyo UNK hivyo tambueni hilo na mchague kiongozi ambaye UNK naye katika kuleta maendeleo yenu kitu kingine mnachotakiwa kufanya ni kuepukana na ushawishi wa namna yoyote hasa kujihusisha na vurugu wakati wa kampeni na hata siku ya kuchagua mbunge wenu kwani vurugu hizo hazina tija yoyote katika maisha yenu nasema hivyo kwani wapo wananchi walioshiriki vurugu katika uchaguzi wa tarime lakini UNK ni majeraha na kuifanya jamii yao kuishi bila amani kwa kipindi hicho chote cha kampeni hivyo kwa upande wenu wananchi wa busanda UNK hayo matukio haya yanayojitokeza kwenye kampeni yanaonesha dhahiri kuwa wabunge wetu wanabweteka baada ya kuchaguliwa hivyo inapotokea UNK pengo wengine wanatumia nafasi hiyo UNK ushindi au kutumia fedha nyingi kwa ajili ya kuwarubuni wananchi ili UNK nadhani hili liwe fundisho kwa wabunge wote kuwa mnatakiwa kutekeleza ilani zenu na kama mtafanya hivyo hakuna mwananchi ambaye atakubali kurubuniwa kwa maneno kwani atakuwa anafahamu fika utendaji wa mbunge wake tatizo UNK kwa wabunge wetu wakishapewa madaraka hayo wanabweteka na kusubiria vikao vya bunge kwa ajili ya kujipatia posho na hii inaonesha wazi kuwa nafasi hizo UNK kwa malengo binafsi na sio uongozi au kuwawakilisha wananchi wenu UNK tambueni kuwa wananchi wa sasa UNK hawakubali tena kudanganywa kwa kanga kama UNK na zahoro mlanzi jumapili ya wiki iliyopita mashindano ya ligi ya soka mkoa wa dar es salaam kwa wanawake yalianza kutimua vumbi kwenye uwanja wa karume dar es salaam mashindano hayo kwa mwaka huu yamefunguliwa na mwenyekiti wa jumuiya ya wanawake mkoa wa dar es salaam UNK madabida ambapo alizitaka timu zinazoshiriki ligi hiyo kuonesha kiwango cha juu ili kupata wadhamini pia aliwataka wachezaji watakaoshiriki mashindano hayo kuwa na nidhamu kwa kufuata sheria za mchezo huo ili baadaye wawe wachezaji wenye kuaminika watakaocheza soka katika nchi yoyote mashindano hayo kwa mwaka huu UNK timu tisa huku moja ikishindwa kushiriki kutokana na kushindwa kusajili wachezaji wanaotakiwa kushiriki katika mashindano hayo timu zinazoshiriki katika mashindano hayo ni mabingwa watetezi timu ya mburahati queens sayari mndela queens ever green jkt emima mchangani kilimanjaro queens na real tanzanite huku timu ya amani queens ikishindwa kushiriki mabingwa watetezi mburahati walifungua pazia la ligi hiyo kwa kuumana na wapinzani wao wa jadi sayari kama ilivyo simba na yanga ambapo walitoka sare ya bao moja moja siku iliyofuata mndela walitoa kipigo cha mbwa mwizi kwa kuifunga ever green mabao kumi na nne moja na baadaye jkt wakaibuka na ushindi wa mabao mbili sifuri dhidi ya emima katika michezo ambayo haikuwa na watazamaji wengi kama ilivyokuwa katika mchezo wa ufunguzi ligi hiyo ilizidi kupamba moto ambapo timu za mchangani na kilimanjaro nazo zilishuka uwanjani kuumana lakini hadi dakika tisini zikimalizika timu hizo zilitoka sare ya mabao mbili mbili huku nao mburahati wakipata kipigo cha bao moja sifuri kutoka kwa UNK katika hali isiyo ya kawaida timu ya amani UNK ilishindwa kushiriki mashindano hayo kutokana na kushindwa kutimiza idadi ya wachezaji wanaotakiwa katika ligi hiyo ya kusajili wachezaji kumi na tano wao UNK saba tu kubwa ambalo UNK kuchambua hayo yote kwanza ni kutoa pongezi zangu kwa chama cha soka mkoa wa dar es salaam kwa kuandaa mashindano hayo kitu ambacho kwa vyama vingine vya mikoa vimeshindwa kufanya lakini siamini kama dar es salaam hakuna wapenzi wa soka la wanawake ila kikubwa nahisi UNK UNK na ndio maana hata watazamaji au wadau wa mchezo huo wanashindwa kujitokeza kwa wingi katika pita pita zangu katika baadhi ya mitaa ya jiji la dar es salaam nilijaribu kuangalia ni kwa kiasi gani mashindano hayo UNK wakazi wa jiji hilo lakini UNK na butwaa kuona asilimia kubwa ya wakazi hao kutoelewa kinachoendelea kwenye uwanja wa karume kwa hiyo ili kufanya mashindano hayo yawe na msisimko wa hali juu chama husika kinatakiwa kuwa na mipango endelevu ambayo UNK mashindano hayo kuvuta hisia za wadau wengi ndani na nje ya mkoa licha ya kuwa ni mashindano ya mkoa lakini si jambo la kawaida kwa wanawake kushindana katika mfumo huo kitu ambacho kwa namna moja au nyingine UNK kutoa hamasa kwa jamii kujitokeza kwa wingi kuangalia vipaji vya akina dada zetu sasa ni jukumu lenu kama chama cha mkoa UNK mashindano hayo hata muweze kuwavuta wadhamini ambao wana nia ya kutaka kudhamini mashindano hayo lakini wapo mguu mmoja nje mwingine ndani kutokana na kukosa mvuto hakuna kitu UNK katika karne hii kwa nini UNK ligi hiyo kuwa bora zaidi kwa kuleta ushindani miongoni mwa klabu husika ili muwe kioo kwa vyama vingine kuiga mfano huo tupate timu bora ya taifa ni matumaini yangu UNK mashindano yenu yaendelee kimya kimya huku kukiwa na wadhamini wanaotaka kudhamini lakini wanakosa ujasiri wa kufanya hivyo kutokana na mazingira UNK na hilary komba maendeleo katika jamii yanachangiwa na mshikamano uliopo baina ya viongozi wa serikali na wananchi katika kusimamia na kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo jukumu la wananchi katika jimbo la mbiga magharibi mkoani ruvuma ni kuhakikisha kuwa miradi ya maendeleo inawafikia kwa kuonesha ushirikiano kwa viongozi waliodhamiria kuanzisha miradi ya maendeleo katika maeneo yao kwa muda mrefu jimbo la mbinga maghalibi limekuwa nyuma kiuchumi kwa sababu ya wananchi wake kukosa uhamasishaji na mshikamano wa kutosha miongoni mwa wananchi katika kufanikisha miradi mbalimbali ya maendeleo hivi karibuni jimbo hilo limeanza kupiga hatua kubwa ya maendeleo ya sekta mbalimbali ikiwemo afya miundombinu na elimu kutokana na wananchi hao kuanza kutoa ushirikiano kwa viongozi wao jimbo hilo lina jumla ya kata kumi na tatu ambazo ni lituhi ngumbo liuli kihagara lipingo mbamba bay kilosa mtipwili chiwanda kingilikiti tingi liparamba na lundo ambazo zimeanza kupiga hatua kubwa ya maendeleo mbunge wa jimbo hilo kepteni mstaafu bwana john komba alisema ahadi alizotoa kwa wananchi wake wakati wa uchaguzi mkuu wa ishirini sifuri tano amezitekeleza kwa asilimia themanini alisema kwa kipindi kirefu wananchi wa jimbo hilo walichoka na ahadi walizopewa na viongozi waliowachagua lakini wakashindwa kutekeleza ahadi hizo kama walivyoahidi bwana komba alisema kero kubwa iliyokuwa inawakabili wananchi wa jimbo hilo ni ubovu wa miundombinu ya barabara ambazo zilikwamisha jitihada kubwa za wananchi hao kiuchumi barabara hizo kwa sasa zinapitika kirahisi na kuwa kivutio kikubwa cha shughuli zinazofanywa na wananchi hao ambazo ni uvuvi na kilimo wananchi hao walilazimika kutembea umbali mrefu kufuata huduma mbalimbali ushirikiano wa serikali na halmashauri ya wilaya ya mbinga ndio uliofanikisha kujengwa kwa barabara hizo ujenzi wa shule sekondari na ongezeko la madarasa katika shule mbalimbali umelifanya jimbo hilo kupiga hatua katika maendeleo ya sekta ya elimu kutokana na ushirikiano uliooneshwa na wananchi madiwani na viongozi wa serikali wananchi wa jimbo hilo wamejitolea kujenga shule za sekondari katika kata mbalimbali baada ya kutambua umuhimu wa elimu na hivyo kutoa fursa kwa vijana wao na wananchi kwa ujumla kupata elimu bora itakayokidhi mahitaji yao na taifa kwa ujumla kutokana na mazingira hayo ni vyema wananchi wa jimbo hilo wakatumia fursa hiyo kujikwamua kiuchumi kwa kuongeza uzalishaji katika sekta ya kilimo na uvuvi ili kujipatia mapato ya kutosha wananachi wajitume kufanya kazi kwa kuwa wamepata kiongozi mpenda maendeleo na asiyefurahishwa na hali ya umasikini uliopo kwa wananchi wake na hivyo kulazimika kutafuta wafadhili na kuishinikiza serikali kumaliza kero mbalimbali zinazowakabili wananchi ili wapate maendeleo umefika wakati wa viongozi wa halmashauri kuwa wabunifu na kutoa maelekezo kwa wananchi juu ya mbinu mbalimbali zitakazowasaidia kuondokana na umasikini na kuhamasisha wananchi kufanya kazi kwa bidii jimbo la mbinga magharibi linazungukwa na ziwa nyasa lakini ziwa hilo limekuwa na mchango mdogo kwa wananchi ambao wengi wao wanaishi maisha duni wananchi wanaojihusisha na uvuvi katika ziwa hilo wanapaswa kuwezeshwa kwa kupewa vifaa vya uvuvi na kupewa mafunzo ya upandaji wa samaki ambao wataweza kuzaliana kwa wingi ni vyema wavuvi hao wakajiepusha na uvuvi haramu na kuhakikisha kuwa nyavu wanazotumia kuvulia samaki hao zinaendana na mazingira ya uvuvi ili kuruhusu samaki hao kuzaliana fukwe za ziwa hilo ni muhimu kwa utalii kutokana na mazingira yake mazuri ni vyema viongozi halmashauri wakaangalia njia mbadala ya kufikia azma hiyo waweze kukusanya mapato kupitia utalii utakaofanywa katika fukwe hizo ni wajibu wa viongozi wa halmashauri kuimarisha ushirikiano na wananchi ili kuhakikisha kuwa jimbo hilo linapiga hatua kubwa ya maendeleo maendeleo katika jamii yatatokana na jamii husika kuunganisha nguvu zao na kujiwekea malengo hivyo wana mbinga wanaweza kupata maendeleo makubwa zaidi kama watashikamana na kuweka mikakati endelevu ya kupambana na umasikini na hilary komba maendeleo katika jamii yanachangiwa na mshikamano uliopo baina ya viongozi wa serikali na wananchi katika kusimamia na kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo jukumu la wananchi katika jimbo la mbiga magharibi mkoani ruvuma ni kuhakikisha kuwa miradi ya maendeleo inawafikia kwa kuonesha ushirikiano kwa viongozi waliodhamiria kuanzisha miradi ya maendeleo katika maeneo yao kwa muda mrefu jimbo la mbinga maghalibi limekuwa nyuma kiuchumi kwa sababu ya wananchi wake kukosa uhamasishaji na mshikamano wa kutosha miongoni mwa wananchi katika kufanikisha miradi mbalimbali ya maendeleo hivi karibuni jimbo hilo limeanza kupiga hatua kubwa ya maendeleo ya sekta mbalimbali ikiwemo afya miundombinu na elimu kutokana na wananchi hao kuanza kutoa ushirikiano kwa viongozi wao jimbo hilo lina jumla ya kata kumi na tatu ambazo ni lituhi ngumbo liuli kihagara lipingo mbamba bay kilosa mtipwili chiwanda kingilikiti tingi liparamba na lundo ambazo zimeanza kupiga hatua kubwa ya maendeleo mbunge wa jimbo hilo kepteni mstaafu bwana john komba alisema ahadi alizotoa kwa wananchi wake wakati wa uchaguzi mkuu wa ishirini sifuri tano amezitekeleza kwa asilimia themanini alisema kwa kipindi kirefu wananchi wa jimbo hilo walichoka na ahadi walizopewa na viongozi waliowachagua lakini wakashindwa kutekeleza ahadi hizo kama walivyoahidi bwana komba alisema kero kubwa iliyokuwa inawakabili wananchi wa jimbo hilo ni ubovu wa miundombinu ya barabara ambazo zilikwamisha jitihada kubwa za wananchi hao kiuchumi barabara hizo kwa sasa zinapitika kirahisi na kuwa kivutio kikubwa cha shughuli zinazofanywa na wananchi hao ambazo ni uvuvi na kilimo wananchi hao walilazimika kutembea umbali mrefu kufuata huduma mbalimbali ushirikiano wa serikali na halmashauri ya wilaya ya mbinga ndio uliofanikisha kujengwa kwa barabara hizo ujenzi wa shule sekondari na ongezeko la madarasa katika shule mbalimbali umelifanya jimbo hilo kupiga hatua katika maendeleo ya sekta ya elimu kutokana na ushirikiano uliooneshwa na wananchi madiwani na viongozi wa serikali wananchi wa jimbo hilo wamejitolea kujenga shule za sekondari katika kata mbalimbali baada ya kutambua umuhimu wa elimu na hivyo kutoa fursa kwa vijana wao na wananchi kwa ujumla kupata elimu bora itakayokidhi mahitaji yao na taifa kwa ujumla kutokana na mazingira hayo ni vyema wananchi wa jimbo hilo wakatumia fursa hiyo kujikwamua kiuchumi kwa kuongeza uzalishaji katika sekta ya kilimo na uvuvi ili kujipatia mapato ya kutosha wananachi wajitume kufanya kazi kwa kuwa wamepata kiongozi mpenda maendeleo na asiyefurahishwa na hali ya umasikini uliopo kwa wananchi wake na hivyo kulazimika kutafuta wafadhili na kuishinikiza serikali kumaliza kero mbalimbali zinazowakabili wananchi ili wapate maendeleo umefika wakati wa viongozi wa halmashauri kuwa wabunifu na kutoa maelekezo kwa wananchi juu ya mbinu mbalimbali zitakazowasaidia kuondokana na umasikini na kuhamasisha wananchi kufanya kazi kwa bidii jimbo la mbinga magharibi linazungukwa na ziwa nyasa lakini ziwa hilo limekuwa na mchango mdogo kwa wananchi ambao wengi wao wanaishi maisha duni wananchi wanaojihusisha na uvuvi katika ziwa hilo wanapaswa kuwezeshwa kwa kupewa vifaa vya uvuvi na kupewa mafunzo ya upandaji wa samaki ambao wataweza kuzaliana kwa wingi ni vyema wavuvi hao wakajiepusha na uvuvi haramu na kuhakikisha kuwa nyavu wanazotumia kuvulia samaki hao zinaendana na mazingira ya uvuvi ili kuruhusu samaki hao kuzaliana fukwe za ziwa hilo ni muhimu kwa utalii kutokana na mazingira yake mazuri ni vyema viongozi halmashauri wakaangalia njia mbadala ya kufikia azma hiyo waweze kukusanya mapato kupitia utalii utakaofanywa katika fukwe hizo ni wajibu wa viongozi wa halmashauri kuimarisha ushirikiano na wananchi ili kuhakikisha kuwa jimbo hilo linapiga hatua kubwa ya maendeleo maendeleo katika jamii yatatokana na jamii husika kuunganisha nguvu zao na kujiwekea malengo hivyo wana mbinga wanaweza kupata maendeleo makubwa zaidi kama watashikamana na kuweka mikakati endelevu ya kupambana na umasikini na erasto stanslaus juni mosi hadi julai kumi na tano kwa mujibu wa kalenda na shirikisho la mpira wa miguu tanzania ni kipindi cha usajili wa wachezaji kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu tanzania bara ishirini sifuri tisa kumi katika muda huo wa mwezi mmoja na nusu usajili UNK katika hatua mbalimbali ambapo kuanzia juni mosi hadi kumi na tano ni kipindi cha kutangaza wachezaji ambao wanaachwa na klabu zao katika msimu ujao wa usajili na juni mosi hadi juni thebathini ni kipindi cha kuhamisha wachezaji julai mosi hadi kumi na tano ni kipindi cha kusajili wachezaji ambao UNK katika msimu ujao wa ligi pamoja na michuano ya kimataifa ambapo hadi kufikia tarehe hiyo kila klabu inatakiwa iwe imewasilisha majina ya vikosi vyake kwa tff kipindi hiki ndicho huwa na mshikemshike wa wachezaji sambamba na klabu katika kuingia mikataba kwa ajili ya kuzitumikia klabu hizo kwa msimu mwingine kutokana na mfumo wa soka nchini kila mchezaji anatakiwa kuwa na mkataba na klabu ambao ndiyo UNK kuwa ni wachezaji halali wa klabu husika mfumo huo unawapa nafasi wachezaji kuwa keki kwa kipindi hichi kwa UNK mikataba yao hadi pale watakapokamilisha baadhi ya mambo hasa katika masuala ya maslahi katika kipindi hiki tunaona ni jinsi gani wachezaji wa klabu moja UNK mikataba yao huku wengine wakiwa ghali zaidi na wengine wakiingia mikataba kwa pesa ndogo lakini hiyo inatokana na umakini wa mchezaji pamoja na uwezo na umuhimu wake ndani ya klabu husika kimsingi hiki ndiyo kipindi cha wachezaji kuwa makini katika kuingia mikataba na klabu zao kwani baada ya hapo hawana tena nafasi ya kuingiza kipato cha maana kama hicho hadi msimu ujao wa usajili wa mwaka ishirini moja sifuri kumi na moja mbali na mikataba lakini pia kipindi hiki ndiyo wachezaji UNK na UNK jinsi ya kulipwa mishahara yao ya kila mwezi kwani baada ya hapo suala ya mishahara linaweza likajadiliwa msimu ujao kwa upande wa klabu huwa wanatoa pesa nyingi ili kufanikisha kumnasa mchezaji huku wakiwa na malengo wanayotaka kupata kutoka kwa mchezaji husika ili kutimiza malengo ya klabu kwa ujumla lengo kuwa la klabu wanalotaka kutoka kwa mchezaji ni kuitumikia klabu hiyo kwa mafanikio ili kushinda michezo yake itakayofanya timu hiyo kutwaa ubingwa wa michuano UNK kwenda kinyume na matarajio hayo ni mchezaji kashindwa kuitumikia klabu hiyo na ni ngumu kuendelea na mkataba mnono kama walioingia katika msimu uliopita lakini kama klabu ikitwaa ubingwa au kushinda michezo yake kwa jitihada za binafsi za mchezaji ni dhahiri atakuwa ametekeleza majukumu yake na ana haki ya kutaka kuongezewa dau katika usajili ujao na si vinginevyo kwa kuwa atakuwa UNK ubora wake UNK kutaka kuandika uchambuzi huu ni tabia ya baadhi wachezaji wa timu za yanga na simba ambao kila fedha inayoingia katika klabu nao wanataka wamesahau kuwa wao ni waajiriwa ambao wanalipwa kila mwezi na posho nyingine UNK wachezaji hawa wanasahau kabisa kuwa wanapoingia mikataba wanajua kabisa wameajiriwa na klabu na kazi yao ni kucheza mpira lakini ajabu hata pato la klabu UNK kwa kupata zawadi kutoka kwa wadhamini na wao UNK hivi wachezaji wa timu hizi hamjui kuwa klabu zenu zinaendeshwa kwa michango ya wapenzi iweje sasa UNK kila kitu kinachopatikana mnadhani hawa viongozi UNK vipi ikiwa kama hamtaki kubadilika lakini pia UNK sana wachezaji hawa kwani tabia hii nadhani UNK na viongozi wenyewe ambao inaonekana UNK kwa kuhofia labda wanaweza kutimka na kwenda kusajili kwenye timu nyingine napenda kuwahakikishia kitu kama hicho UNK katika ulimwengu huu ndiyo maana kuna UNK mwezi uliopita wote tulisikia mgogoro ulioibuka kwa wachezaji wa yanga na uongozi wao ambapo baadhi wachezaji wanadaiwa kutaka mgao kutokana na shilingi milioni arobaini za ubingwa wa tanzania bara kutoka kwa wadhamini wa ligi hiyo ya vodacom lakini mwisho wa mgogoro huo uongozi UNK msimamo wao kuwa mgao huo kwa wachezaji ni huruma yao kuwapa kama motisha na si lazima kwani katika mikataba yao hakuna kipengele UNK watapata mgao UNK na pesa za ubingwa au getini katika hili naomba wachezaji nao wawe wanafikiria masuala hayo kwa kina kwani katika kipindi cha usajili klabu hizo zinatumia pesa nyingi na muda mwingine wanalazimika kukopa pesa hizo ili kusajili kikosi imara na UNK zinazopatikana kutokana na mapato ya michezo na ubingwa zinatumika kupunguza machungu ya usajili huo pia natumaini wachezaji kwa kuwa wapo ndani ya klabu hizo wanatakiwa kujua kuendesha mpira ni gharama kubwa hivyo basi wanapaswa kuwasaidia katika kuwasaidia kwa namna moja ama nyingine na si UNK kwa kutaka UNK wao kwa maoni yangu mafupi naona katika hili wachezaji wapunguze tamaa kwa kujifedhehesha kusimama mbele ya vyombo vya habari na kulalamikia mapato ambayo si makubwa kama wanavyofikiria na badala yake wafanye kazi UNK posho za milangoni nyinyi haziwahusu UNK mpira mdai mishahara yenu au UNK hisani ya viongozi kama wataamua kutoa motisha kwani fedha UNK za ufungaji bora mchezaji bora huwa UNK na klabu na kassian nyandindi kuimarishwa kwa sekta ya kilimo nchini kutaongeza soko la ajira na kupunguza tatizo la vijana UNK mijini kwa lengo la kutafuta ajira ili waweze kujikwamua kiuchumi sekta hiyo ambayo ndio uti wa mgongo wa taifa ina umuhimu mkubwa katika jamii na taifa kwa ujumla serikali imekuwa ikifanya UNK mbalimbali kuboresha miundombinu hususan katika kilimo cha umwagiliaji hivi karibuni nilitembelea miradi mbalimbali ya kilimo cha mpunga inayotekelezwa kwa njia ya umwagiliaji katika wilaya ya mbinga mkoani ruvuma miradi hiyo ni ile ya vikundi vya lundo lituhi UNK na liuli ambayo yote ipo wilayani humo katika hali ya kusikitisha pamoja na serikali kufanya jitihada za kupeleka fedha za ujenzi wa UNK ya kilimo cha umwagiliaji hali ya utekelezwaji wa miradi hiyo sio ya kuridhisha UNK inayotumika kupeleka maji mashambani vibanio vyake vimejengwa katika kiwango kisichokuwa na ubora pamoja na mambo mengine hali hiyo inadhihirisha wazi kuwa maofisa ugani katika sekta ya umwagiliaji wilayani mbinga UNK ipasavyo ujenzi wa miundombinu hiyo baadhi ya wakulima ambao ni walengwa wa mradi huo walisema chanzo cha utekelezaji mbovu wa miradi hiyo umechangiwa na maofisa ugani UNK wakati wakandarasi wanapokuwa wakiendelea na shughuli za ujenzi walisema pamoja na kutoridhishwa na utekelezwaji huo wizara ya kilimo na chakula ni vyema UNK kupanga utaratibu wa kufuatilia matumizi ya fedha zinazotolewa na serikali au wahisani kwa ajili ya utekelezwaji wa miradi hiyo na kujiridhisha kama zimetumika kwa malengo yaliyokusudiwa wakulima hao wanasema licha ya serikali kufanya jitihada za kuleta mapinduzi ya kijani katika kilimo jitihada hizo zinaonekana kugonga mwamba katika halmashauri ya wilaya ya mbinga baada ya miradi mingi ya kilimo cha umwagiliaji kulalamikiwa kutokana na ujenzi wake kutokuwa wa kuridhisha halmashauri ya wilya ya mbinga ina jumla ya miradi kumi na tisa ya umwagiliaji ambayo mingi kati ya hiyo imekuwa ikilalamikiwa na wakulima kufuatia hali hiyo naunga mkono juhudi za serikali ambayo imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa sekta hiyo inapewa kipaumbele na UNK ya mikakati waliyoweka ni kuhamasisha wakulima kutumia mbinu bora za kilimo kwa lengo la kuongeza uzalishaji hivi karibuni waziri mkuu bwana mizengo pinda alifanya ziara katika mikoa sita inayozalisha mazao ya chakula kwa wingi ikiwemo mbeya iringa morogoro ruvuma kigoma na rukwa katika hilo naipongeza serikali kwa kuipa umuhimu sekta hiyo ambayo ilikuwa UNK kwa muda mrefu mbali ya umuhimu wake kwa jamii na taifa kwa ujumla jukumu la serikali kwa sasa ni kuhakikisha kuwa pembejeo za kutosha UNK kwa wakulima na kuwafikia kwa wakati bei ya pembejeo hizo izingatie kipato cha mkulima wa kawaida ili aweze kumudu gharama hizo wakulima katika maeneo mbalimbali ni vyema UNK ili waweze kuondokana na kilimo cha zamani kwa kutumia jembe la mkono na badala yake UNK na kilimo cha kisasa kwa kuhamasisha matumizi ya trekta au UNK la kukokotwa na nggombe udhaifu wa baadhi ya maofisa ugani wilayani mbinga unachangiwa na watendaji hao kufanya kazi katika eneo moja kwa zaidi ya miaka ishirini bila kuhamishwa maeneo mengine kwa lengo la kuongeza ufanisi wa watendaji hao nalazimika kusema kuwa wizara husika ni vyema ikaliangalia suala hili mapema na kuchukua hatua za makusudi kuwahamisha watendaji waliokaa muda mrefu katika kituo kimoja cha kazi ili kuepusha matatizo kama hayo wilaya ya mbinga ni moja kati wilaya yenye maeneo yanayofaa kwa kilimo cha umwagiliaji lakini kutokana na uzembe unaofanywa na watu wachache imekuwa ndio chanzo kikuu kinachosababisha zoezi zima la utekelezwaji wa kilimo hicho kurudi nyuma wapo maofisa kilimo ambao muda mrefu wamekuwa wakionekana ofisini na maofisa ugani badala ya kwenda vijijini kutekeleza majukumu yao kwa wakulima ambao wanahitaji msaada wao kwa muda mrefu serikali imekua ikikemea tabia hiyo kwani jukumu walilopewa ni kwenda kwa wakulima kuwapa utaalamu juu ya mbinu bora za kilimo ili waweze kuzalisha mazao bora umefika wakati wa serikali kuchukua hatua kwa watendaji kama hao na kuzungumza na wakulima ili kufahamu mchango wa maofisa ugani katika maeneo yao na zamzam abdul takwimu za wanawake wajane wanaofanyiwa unyanyasaji nchini zimekuwa UNK siku hadi siku jambo ambalo ni kishawishi kikubwa cha wadau wanaharakati kujitokeza na kuzisaidia familia UNK na matatizo hayo manyanyaso hayo husababisha baadhi ya wajane kujiingiza kwenye biashara ya ukahaba ili waweze kujipatia kipato cha kuhudumia familia zao licha ya wanaharakati kutetea haki za wajane na kuwataka UNK bila kukata tamaa ya maisha kwa kuondokewa na waume zao zipo changamoto wanazopata katika familia hususan kwa ndugu wa marehemu ambao huchangia kuwakatisha tamaa ya maisha na UNK misaada inayotolewa kwa ajili yao historia inaonesha kuwa wajane UNK tamaa ya maisha na kushindwa kutetea haki zao kamwe hawaweze kujikomboa kimaisha na kufanya shughuli za maendeleo katika UNK wa serikali ya awamu ya nne mwanamke mjane anapaswa kujiamini katika kutoa maamuzi kuanzia ngazi ya familia hadi taifa kati ya mambo anayotakiwa UNK ni kuziba mianya ya UNK wa misaada inayotolewa kwa ajili yao kutoka kwa wafadhili ama wahisani mbalimbali tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa baadhi ya wanawake UNK na waume zao hukata tamaa ya maisha na kuwa tegemezi kwa ndugu zao na hata kushindwa kujiunga kwenye vikundi vya kijamii katika mazingira hayo mwanamke mjane anapaswa kujiamini kujituma katika kazi kushiriki katika kutoa maamuzi na kuwania nafasi mbalimbali za uongozi serikalini changamoto hiyo itamsaidia mjane kutobweteka kimaisha na kufanya shughuli za maendeleo badala ya kutegemea misaada asilimia kubwa ya wanawake hawana maamuzi katika masuala mbalimbali ya familia kutokana imani iliyojengeka kwa wanaume kuwa mwanamke ni mtu wa kutekeleza amri badala ya kutoa maamuzi tabia za aina hiyo kwa baadhi ya wanaume zimekuwa UNK kaya mbalimbali na kuwafanya wanawake wengi kuwa mama wa nyumbani na kukaa UNK kupiga UNK kutokana na hali hiyo wanawake wanatakiwa kuamka na kushiriki katika shughuli za maendeleo na kuanzisha biashara zitakazowasaidia kujiunga katika vyama vya ushirika ili waweze kujipatia mikopo binafsi nawapongeza wanawake wajane ambao wameona umuhimu wa kujiunga na vikundi vya uzalishaji mali kwa lengo la kujikomboa kiuchumi kutokomeza umaskini katika familia na jamii kwa ujumla baadhi ya taasisi nchini zimekuwa UNK na kutoa msaada wa kisheria kwa wajane wenye migogoro ya mali UNK na waume zao moja ya taasisi hiyo ni klabu ya UNK inayotoa huduma za mazishi klabu hiyo imeanzisha kitengo maalumu kinachotoa msaada wa kisheria kwa makundi watu UNK haki ya kuzika mwili ndugu yao kitengo hicho UNK kufuatia matukio ya mara kwa mara yanayotokea katika jamii kufuatia baadhi ya UNK kugombania UNK baada ya kupita kwa shughuli za mazishi hali hiyo huchangia wajane na familia za UNK kukosa haki zao za msingi kwa kuwa baadhi ya makabila nchini UNK mila na desturi za kumiliki mali za marehemu badala ya mjane utaratibu huo umeendelea UNK familia nyingi ambazo zimejikuta UNK mali na ndugu wa marehemu kimsingi klabu hiyo imelenga kutoa msaada wa kisheria kwa familia UNK UNK haki ya kuuzika mwili ya marehemu ili kusaidia kukomesha vitendo vya unyanyasaji kwa wajane na familia kwa ujumla mpaka hivi sasa bado wanawake wajane wameendelea kunyanyasika na kudhulumiwa haki zao za msingi ambazo UNK na waume zao ili kukomesha hali hiyo ipo haja kwa wajane kuamka na kuhamasika katika kudai haki zao kuendelea UNK taasisi wahisani na serikali bila mchango wao binafsi ni ndoto kupata suluhisho la UNK yao na ndugu wa marehemu na aziz msuya mwaka ujao wa fedha sekta ya kilimo imepewa kipaumbele kutokana na umuhimu wake katika kuinua uchumi wa nchi na kupunguza umasikini katika jamii zaidi ya asilimia themanini ya watanzania wanajishughulisha na kilimo na hasa katika maeneo ya vijijini ambapo kauli mbiu ya kilimo kwanza ni kielelezo cha sekta hiyo kupewa kipaumbele na serikali sekta hiyo ina umuhimu wa pekee katika kuchangia ukuaji wa pato la taifa kuongeza soko la ajira na kuinua maisha ya wananchi katika jamii miaka iliyopita baadhi ya mikoa nchini ilipewa jina la the big four kutokana na mikoa hiyo kuongoza katika uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara mikoa hiyo ni ruvuma rukwa mbeya na iringa ambapo hivi karibuni umeongezeka mkoa wa morogoro ambao UNK kuwa ghala la taifa kufuatia uteuzi huo ulianzishwa mpango unaoitwa UNK wenye maana ya fanya morogoro ghala la taifa kauli mbiu ya kilimo kwanza inadhihirisha kuwa kila mkoa unapaswa kuingia vitani na kuzalisha mazao kwa wingi uzalishaji huo UNK na ubora wa kilimo cha mazao husika kuzingatiwa kwa mbiu hiyo UNK mzigo mikoa UNK kuzalisha mazao ya chakula na biashara kwa wingi ambapo jukumu la vyuo vya kilimo nchini ni kutoa wataalamu bora wa kilimo vyuo vikuu vya utafiti wa mbegu bora navyo viendelee na tafiti zake ili kubaini mbegu bora ambazo zitawasaidia wakulima kuleta mapinduzi katika kilimo nalazimika kusema kuwa kauli mbiu ya kilimo kwanza ilipaswa kutekelezwa muda mrefu lakini hatuna budi kuipokea na kuangalia ni jinsi gani tunaweza kuitekeleza kwa vitendo ni wazi kuwa taifa lisilo na chakula ni taifa lenye njaa na mara nyingi UNK na amani UNK kwa kuwa hakuna mpango wowote wa maendeleo ambao UNK na kutekelezwa kwa wakati kama wananchi wake wana njaa naunga mkono jitihada za serikali kuwekeza katika sekta ya kilimo lakini kuanzishwa kwa benki ya maendeleo ya kilimo UNK maisha ya wakulima na kuwasaidia kupata mikopo pamoja na kuanzisha miradi ya kilimo uwezeshaji wa maofisa ugani utawezesha jitihada hizo za serikali kufanikiwa kwa asilimia kumi sifuri kama watashirikishwa katika usimamizi wa mpango huo kwa muda mrefu maofisa ugani wamesahaulika kwa kutopewa kipaumbele sambamba na mchango wao UNK hali hiyo huwafanya waende ofisini kwa lengo la kutimiza wajibu wa mwajiri na kutoka kuendelea na shughuli zao baadhi yao hutumia muda mwingi kusimamia miradi binafsi ya kilimo mipango kazi ya maofisa ugani mara nyingi UNK na mwajiri kiasi cha kuwafanya wakose kazi ya kufanya wanapofika kazini kama kweli UNK kutekeleza kauli mbiu ya kilimo kwanza kwa vitendo ni lazima UNK maofisa ugani ili waweze kutumia elimu waliyonayo kuendeleza sekta hiyo nchini ili tuweze kuwa na kilimo chenye tija ni lazima UNK na kilimo cha kisasa ambapo wanaotakiwa kusimamia utekelezwaji huo kikamilifu ni maofisa ugani ambao leo hii hatuna sababu ya kuwalaumu kama tumeshindwa kutumia ujuzi na elimu waliyonayo katika sekta hiyo ofisa ugani ni lazima UNK ili aweze kuwafikia wakulima katika maeneo mbalimbali kwa wakati na kuwapa wakulima elimu ya kilimo bora kwa vitendo kwa kutumia mfumo wa shamba darasa ambalo litakuwa mfano tatizo la usafiri wa magari au pikipiki za kuwafikisha kwa wakulima ni moja ya changamoto kubwa inayowakabili maofisa UNK ni lazima serikali ione umuhimu wa kuandaa nyenzo kwa maofisa ugani pamoja na mazingira mazuri ya kazi kwa kuwa muda mwingi hushinda kijijini ambako ndiko asilimia themanini ya wazalishaji na wachangiaji wa pato la taifa walipo sote tunafahamu kuwa miundombinu ya barabara katika maeneo mengi ya vijijini ni mibovu hivyo hakuna sababu ya magari mengi yanayokuja kwa ajili ya miradi ya kilimo kujazana mijini badala ya kwenda kufanya kazi vijijini kwa wahusika wa miradi hiyo tunashuhudia magari hayo UNK kwa shughuli nyingine katika ofisi za mikoa na wilaya wakati maofisa ugani wakitembea kwa miguu katika mazingira hayo maofisa ugani hawawezi kufanya kazi kwa ufanisi serikali iangalie uwezekano wa kuwapandisha madaraja kwa wakati na kuwapa mafunzo ya mara kwa mara ili waweze kuitumia elimu hiyo kwa wakulima juu ya kilimo cha kisasa kuongezwa kwa ajira za maofisa ugani UNK mahitaji ya elimu ya kilimo kwa wakulima ni wajibu wa halmashauri kuonesha kwa vitendo jinsi UNK kutekeleza kauli mbiu hiyo na kuwawezesha maofisa ugani UNK ni imani yangu kuwa maofisa ugani katika wilaya mbalimbali nchini wana dhamira ya dhati ya kuwasaidia wakulima lakini UNK kikamilifu ili kutimiza majukumu yao ya kila siku tumeshuhudia kwenye ziara ya waziri mkuu bwana mizengo pinda aliyoifanya mkoani dodoma ambapo ofisa ugani katika moja ya halmashauri za mkoa huo alikuwa akijibu maswali ya bwana pinda kwa kujiamini akionesha kwa vitendo takwimu za utekelezwaji wa majukumu yake bwana pinda ambaye alifurahishwa na maelezo hayo UNK ofisa ugani huyo pesa taslimu na UNK uongozi wa halmashauri kumpatia pikipiki ofisa ugani huyo ni mmoja kati ya wengi ambao wakiwezeshwa wanaweza kuleta mapinduzi makubwa kwenye kilimo sekta ya kilimo nchini inahitaji mapinduzi makubwa ambayo ufanisi wake unawategemea wakulima wa kawaida vijijini ambao ni lazima wasaidiwe na maofisa ugani ili waweze kutekeleza mapinduzi hayo jukumu la serikali kwa sasa ni kujipanga na kuwasaidia maofisa ugani na kuwapa motisha UNK na umuhimu nafasi zao na siku ya mwisho watakuwa katika nafasi nzuri ya kutoa majibu kwamba kauli mbiu ya kilimo kwanza UNK au imeshindwa kuleta tija na stella shoo halmashauri zote nchini zimekuwa zikifanya jitihada kubwa za kuboresha usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali sambamba na UNK jamii kuona umuhimu wa kufanya usafi katika maeneo wanayoishi mahitaji ya usafi endelevu ni njia pekee itakayosaidia kukabiliana na magonjwa ya mlipuko historia ya miji inayoongoza kwa usafi nchini ni kivutio kikubwa cha watalii wa ndani kutoka mikoa mbalimbali na wale wa nje mji wa moshi umekuwa na historia ya muda mrefu katika kuboresha usafi wa mazingira na kuufanya uwe kivutio kikubwa tofauti na miji mingine hapa nchini suala la usafi limekuwa UNK kipaumbele pamoja na kutekeleza mikakati mbalimbali ya kuhakikisha kuwa manispaa hiyo na vitongoji vyake vinakuwa katika hali ya usafi muda wote halmashauri hiyo imekuwa ikishirikisha wadau wengine wa mazingira na kusimamia kwa vitendo sheria ndogondogo UNK wakazi wa mji huo na wageni kuzingatia sheria hizo ili kuufanya mji huo kuwa katika hali ya usafi hivi karibuni manispaa ya moshi UNK mapipa ya kuhifadhia uchafu katika maeneo mbalimbali ya mji huo na kuwakumbusha wananchi kuona umuhimu wa kuyatumia mapipa hayo ipasavyo na kuepuka kutupa taka katika maeneo UNK kisheria juhudi hivo za manispaa UNK wananchi wengi ambao baadhi yao waliamua kuunga mkono ikiwemo kampuni ya utalii christal zoo ambayo imeongeza idadi ya pipa za taka baada ya kufurahishwa na mpango mzuri UNK wa manispaa hiyo mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo bwana raymond mboya alisema kampuni yake itaendelea kuunga mkono jitihada mbalimbali zinazofanywa na manispaa katika koboresha mazingira ya mji wa moshi na kuwa kivutio zaidi pamoja na mchango mkubwa wa kampuni hiyo baadhi ya wananchi ambao UNK umuhimu wa kutunza mazingira wameamua kuyaiba mapipa hayo na kwenda kuviuza kwa watu wanaofanya biashara ya UNK chakavu hii ni aibu kubwa ambayo inarudisha nyuma maendeleo ya mji wa moshi nalazimika kusema kuwa umuhimu wa visanduku hivyo ni mkubwa katika kuhifadhi mazingira hivyo jambo la msingi kwa kila mwananchi ni kuwa mlinzi dhidi ya watu wasiopenda maendeleo na kuchukua jukumu la kuiba mapipa hayo kwa makusudi ili kujipatia pesa ni vyema ikaeleweka kuwa manispaa pamoja na kampuni ya christal zoo wametumia gharama kubwa ya kutengeneza mapipa hayo na kuyafanyia marekebisho pinda UNK kuchakaa au kuharibika wakazi wa mji wa moshi wanapaswa kuelewa kuwa jukumu la utunzaji wa mazingira ni la kila mwananchi na sio la manispaa au kampuni UNK umuhimu wa kuunga mkono mpango huo ambapo uharibufu na wizi wa mapipa hayo utawafanya wadau hao wakate tamaa na kushindwa kutoa mchango wao katika sekta hiyo ni lazima tubadilike na kuunga mkono jitihada kubwa zinazofanywa na serikali pamoja na wadau wengine wa mazingira ili kuufanya mji wetu uendelee kuwa wa kihistoria kuharibiwa kwa mapipa hayo UNK ni jinsi gani tusivyokuwa makini katika kuboresha mazingira na kushindwa kufikia malengo yaliyowekwa na manispaa ikiwa uharibifu huo unafanywa na watu wenye akili zao timamu wanaojua baya na zuri kampuni ya christal zoo inastahili UNK zote pamoja na mkurugenzi wake bwana mboya ambapo uharibifu wa mapipa hayo UNK tamaa ya kuendelea kuwekeza katika sekta hiyo jukumu la mkurugenzi wa manispaa ya moshi bibi UNK UNK ni kuhakikisha kuwa ulinzi UNK na sheria zilizopo zinatekelezwa kwa mtu yoyote ambaye atabainika kukamatwa na mapipa hayo ili iwe fundisho kwa wengine kwa kufanya hivyo UNK bwana mboya hamasa ya kuongeza mapipa mengine mpaka katika maeneo ya vijijini kutokana na ulinzi ambao utawekwa ili kudhibiti wizi na uharibifu wa mapipa hayo ni imani yangu kuwa uwezekano wa kuwadhibiti watu walioshindwa kuunga mkono jitihada za manispaa na wadau wa mazingira bado ni mkubwa ikiwa ni pamoja na kuratibu kura za siri ili kuwabaini UNK wa vitendo hivyo kama wananchi watatambua wajibu wao katika ulinzi wa mapipa hayo mazingira ya mji wa moshi yataendelea kuboreka na kuwa kivutio kikubwa na hatimaye kushika nafasi ya kwanza kati ya manispaa zote nchini jambo hilo linawezekana kama jamii husika itaamua kubadilika ni fursa nzuri kwa kampuni zingine kuiga mfano wa kampuni ya christal zoo kwa kutoa elimu ya mazingira na kuongeza mapipa mengine jambo ambalo UNK manispaa hiyo kuwa bora zaidi na kuongeza idadi ya watalii wa ndani na nje wanaotembelea mji huo na hilary komba vyama mbalimbali vya siasa nchini vipo katika maandalizi ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani uchaguzi huo utatanguliwa na ule wa serikali za mitaa utakaofanyika badae mwaka huu ili kuwapata viongozi wa mitaa ambao ndio wasimamizi wa shughuli mbalimbali za maendeleo chaguzi hizi zinahitaji utashi mkubwa wa kisiasa hasa kwa viongozi walioko madarakani kuhakikisha kuwa wanaweka maandalizi yanayotoa na safi sawa kwa watanzania kupitia vyama vyao kugombea bila vikwazo demokrasi ndiyo jicho la dunia ya leo ambayo inahitajika kuona kuwa vyama vya siasa UNK uchanguzi huo katika mazingira yaliyo sawa na kuwa mfano wa kuigwa dhidi ya mataifa mengine hususan barani afrika uchaguzi wa tanzania unategemea sana ufadhili kutoka kwa nchi wahisani na hasa kwa nchi za umoja wa ulaya kutokana na uwezo mdogo wa kifedha ambao pia ni kikwazo kwa bajeti ya nchi ambapo nusu ya bajeti hiyo hutegemea wafadhili nchi ya sweden ni mwanachama wa eu ambayo inasisitiza kuwa jambo la msingi kwa tanzania ni kuwa na tume huru ya uchaguzi balozi wa sweden nchini bwana UNK harrstrom alisema nchi yake ambayo imechukua kiti cha urais wa eu inaamini kuwa tume huru ya uchaguzi itaondoa malalamiko katika chaguzi mbalimbali zinazofanyika nchini alisema kuwa wakati tanzania UNK katika uchaguzi mkuu hapo mwakani kati ya mambo UNK na umoja huo ni kuwepo kwa tume huru ya uchaguzi kauli ya bwana harrstrom ina umuhimu mkubwa kwa taifa ambapo kilio cha kuwepo kwa tume hiyo kimekuwa UNK na viongozi wa vyama vya upinzani na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali umoja wa ulaya UNK na nchi tajiri duniani ambao ndio wafadhili wakubwa wa chaguzi mbalimbali pendekezo hilo UNK chaguzi hizo kufanyika kwa njia ya demokrasia jambo la msingi ni serikali ya chama tawala kushiriki kikamilifu katika mabadaliko hayo badala ya kusubili UNK kidole na mataifa yanayounda umoja huo umefika wakati wa kuanzishwa kwa tume hiyo ambayo itashirikisha vyama vyote vya siasa mashirika yasiyokuwa ya kiserikali na wadau wengine kwa lengo la kudumisha demokrasia kuanzishwa kwa tume hiyo hakuwezi kuathiri malengo ya chama tawala kutofanya vizuri katika chaguzi mbalimbali bali mpango huo utaondoa malalamiko ya baadhi ya vyama pinzani vya siasa katika chaguzi hizo mpango huo pia UNK vyama vya siasa kusimamisha mgombea makini ili wasiweze poteza nafasi hizo mfumo unaotumika kwa sasa unaonesha kuwa vyama vya siasa UNK viongozi hata wale UNK na wananchi kwa kuwa wanapendwa na vyama vyao mazingira hayo yanatokana na tume ya uchaguzi kutokuwa huru ambapo kuwepo kwa tume huru kutatoa fursa ya kupata wagombea UNK na wananchi jambo ambalo ni kishawishi kikubwa kwa chama husika cha siasa kumsimamisha mgombea anayekubalika na wananchi tanzania inapaswa kujifunza kwa nchi zilizopiga hatua kubwa ya demokrasia ikiwemo ghana ambayo kwa hivi sasa imeweka historia katika kuimarisha demokrasia barani afrika na kufanya chaguzi zake katika mazingira bora na ya haki uongozi UNK kwa njia za ujanja umepitwa na wakati kwa kuwa jamii kubwa ya watanzania UNK na kutambua haki za msingi zinazopaswa kufuatwa ili kuimarisha msingi wa demokrasia makini mfumo wa vyama vingi vya siasa ni kichocheo cha kuwepo kwa serikali makini na UNK kwa matatizo ya wananchi na kuwajibika ipasavyo ili kuharakisha maendeleo na kukuza uchumi wa nchi tanzania imebahatika kuwa na rasirimali nyingi zikiwemo madini misitu maziwa ardhi nzuri yenye rutuba na UNK rasirimali hiyo ikitumiwa vizuri nchi itapiga hatua kubwa na kustawisha uchumi imara chini ya usimamizi wa viongozi makini na wazalendo kwa mara nyingine taifa lipo kwenye maombolezo makubwa baada ya kupoteza watu ishirini na nane katika ajali ya basi la mohamed trans iliyotokea juzi korogwe mkoani tanga tunaungana na watanzania wengine kutoa salamu za rambirambi kwa familia za wafiwa waliopoteza ndugu zao kwenye ajali hiyo mbaya na kuwaombea majeruhi wapate nafuu haraka ili warudi kuendelea na shughuli zao inasikitisha kwani ajali limekuwa jambo la kawaida karibu kila baada ya mwezi mmoja jambo hili limekuwa likitokea na kuchukua maisha ya watu wengi tunauliza ipo mikakati iliyofanywa miaka ya hivi karibuni kujaribu kupunguza ajali hizi ikiwemo kufunga kifaa maalum cha kudhibiti mwendo kasi mikakati hiyo ilifikia wapi suala hilo pamoja na kulalamikiwa na baadhi ya watu kwa kiasi fulani UNK dhamira ya serikali kupambana na ajali za barabarani lakini tunashangaa kama nia ilikuwa njema jambo hilo UNK wapi tunaamini kwamba pamoja na teknolojia hiyo kupingwa na baadhi ya wenye magari wakati huo lakini kama serikali ingekuwa na nia ya dhati kupambana na ajali za jambo hilo UNK taratibu na kufanyiwa marekebisho hadi kufika mahali tiba UNK tunasema hivyo kutokana na ukweli chanzo cha ajali nyingi UNK kuwa ni mwendo kasi wa madereva na inapotokea dharura wanashindwa kuhimili vyombo hivyo tumelazimika UNK vidhibiti mwendo na kuomba watanzania waelezwe teknolojia hiyo UNK wapi hatuelewi sababu za jambo hilo kuja kama wingu la mvua na kutoweka kimya kimya hali inayofanya baadhi ya watu wadai kuwa huo ulikuwa mradi wa vigogo UNK kwa lengo binafsi na baada ya kukidhi UNK bila taarifa inasikitisha kuona maisha ya watu UNK kila siku kwa ajali za barabarani ni wakati muafaka kwa wadau kukaa na kuumiza vichwa kupata suluhisho la kudumu sambamba na kujiuliza UNK UNK wapi wiki iliyopita tukio la kushangaza na la kutia aibu lilitokea mkoani shinyanga meneja wa fedha na utawala wa mamlaka ya majisafi na majitaka shinyanga alifukuzwa kazi UNK alimpa siri mbunge wa karatu daktari wilbroad slaa kuhusu tuhuma za ufisadi wa shilingi bilioni mbili moja katika makala haya UNK vizuri nikukumbushe ndugu msomaji kuhusu mazingira ya kufukuzwa kazi kwa meneja huyo bwana charles mwibura ili uelewe kwa nini ninasema tukio hilo ni la kushangaza na kuitia aibu muwasa na wizara ya maji na umwagiliaji kwa ujumla suala lenyewe lilikuwa hivi mbunge wa karatu daktari wilbroad slaa wakati akichangia wizara ya maji na umwagiliaji inayoongozwa na profesa mark mwandosya wiki mbili zilizopita alilieleza bunge jinsi ambayo muwasa ilivunja sheria kwa kukiuka utaratibu wa zabuni ya ununuzi wa mita na viungio vya mabomba ya maji katika mradi wa kusambaza maji katika miji ya shinyanga na kahama kutoka ziwa victoria mbunge huyo machachari ambaye alimtuhumu moja kwa moja mkurugenzi wa muwasa aliwaeleza wabunge wenzake kwamba kutokana na zabuni hiyo UNK bei ya vifaa hivyo vya maji UNK kutoka bei halisi ya shilingi milioni sabini sifuri sifuri sifuri sifuri hadi kufikia shilingi bilioni mbili moja alidai kwamba mazingira ya kuipa kazi kampuni ya trans ocean UNK limited bila kutumia zabuni yaliashiria kwamba upendeleo UNK alidai kwamba mmiliki wa kampuni hiyo alikutana na mkurugenzi mtendaji wa muwasa na kisha UNK kwenye uwanja wa ndege kwenda dar es salaam tena kwa gari la serikali kabla ya kupata kazi hiyo alidai kwamba wakurugenzi wa bodi ya muwasa walitakiwa kusaini kuidhinishwa kwa malipo hayo ya shilingi bilioni mbili saba lakini meneja wa fedha na utawala alikataa kwa hoja kwamba aliyepewa kazi UNK utaratibu wa zabuni na kwamba fedha hiyo ilikuwa nyingi mno kwa kazi hiyo kilichofuatia kwa mujibu wa daktari slaa ni kwamba meneja huyo alihojiwa na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa baadaye UNK kazi na takukuru kwa tuhuma za ufisadi ingawa inadaiwa hakuna ushahidi uliotolewa kuhusiana na tuhuma hizo waziri wa maji na umwagiliaji profesa mark mwandosya wakati akijibu hoja za daktari slaa bungeni alikiri kwamba taratibu za kumsimamisha kazi bwana mwibura zilikiukwa na UNK arejeshwe kazini baada ya tuhuma hizo kuwashwa na daktari slaa na kutinga kwenye vyombo vya habari wafanyakazi wa shuwasa walikutana kwa dharura na kumshutumu bwana mwibura kwamba ndiye aliyempa daktari slaa habari ambazo UNK za uongo wakidai kwamba meneja huyo ndiye alikuwa fisadi nambari moja sasa wiki iliyopita bodi ya wakurugenzi wa mamlaka hiyo ilimfukuza kazi meneja huyo kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo ubadhirifu wa fedha na mali za mamlaka hiyo katika mkutano UNK kumfukuza kazi kiongozi wa tawi la wafanyakazi wa serikali na afya bakari rwanda alisema kuwa katika kipindi UNK kazi bwana mwibura kiwango cha makusanyo ya fedha ndani ya mamlaka kimeongezeka na kufikia shilingi milioni kumi nne kwa mwezi ikilinganishwa na kipindi cha nyuma ambapo makusanyo yalikuwa kati ya shilingi milioni sabini na sabini na tano kwa mwezi kutokana na mazingira ya suala hilo UNK hapo juu ninapata nguvu kusema tukio hilo UNK aibu shuwasa na wizara nzima ya maji na umwagiliaji kwa sababu nyingi ninazo sababu kwanza baada ya tuhuma hizo kutolewa wiki takribani mbili sasa hatujasikia tamko la ama waziri au kiongozi wa muwasa kufafanua kuhusu tuhuma hizo watanzania wanabaki kuelewa kuwa ni kweli shilingi bilioni mbili moja UNK na watu wachache kwa manufaa yao binafsi pili kitendo cha chama cha wafanyakazi tawi la muwasa kutumika kumsakama bwana mwibura tena kwa kutumia mkutano wa dharura kwa waandishi wa habari kinaonesha ni kwa jinsi gani kimetumika UNK halali katika masuala ambayo yanahusu maslahi ya wafanyakazi tulitarajia uongozi wa muwasa ama wizara kujibu tuhuma hizo badala ya kutumia tawi la wafanyakazi tatu hadi leo UNK profesa mwandosya amechukua msimamo gani baada ya agizo UNK la kumrejesha kazini meneja huyo UNK nne hatujasikia pia tamko la takukuru ambao UNK kwa kumsimamisha kazi meneja huyo kinyume na taratibu tano wakati kaimu mkurugenzi wa shuwasa bwana musa UNK akitangaza uamuzi wa bodi wa kumfukuza kazi bwana mwibura kwa nini hakufafanua kwa undani tuhuma hizo za ubadhirifu UNK nini na zilifanyika lini kuna maswali mengi ambayo yanatia aibu serikali na mamlaka hayo ya maji tulitarajia kwamba tuhuma nzito kama hizo katika mradi mkubwa wa maji ambao ulizinduliwa na rais jakaya kikwete hivi karibuni UNK mapema ili kutekeleza ile dhana ya uwajibikaji ukweli na uwazi lakini badala yake UNK ni kumfukuza kazi mmoja wa wahusika katika sakata hilo bila maelezo ya UNK waziri wa nishati na madini william ngeleja wiki hii ametangaza kuunda kamati ya kuchunguza tuhuma zilizotolewa bungeni na mbunge wa sumve richard UNK kwamba wa shirika la umeme tanesco UNK fedha kwa kukarabati UNK ya kigogo kwa shilingi milioni sitini sifuri waziri ngeleja baada ya tuhuma hizo kupelekwa bungeni alichukua hatua mapema kwa sababu UNK wazi kwamba pale kulikuwepo na tatizo hata kama tuhuma hizo siyo za kweli inashangaza kwamba katika serikali hiyo hiyo moja waziri mmoja anaweza kushtuka na kujibu tuhuma halafu nzito mwingine tena ambaye wizara yake UNK na tuhuma nzito zaidi akakaa kimya UNK meneja aliyesimamishwa isivyo halali akifukuzwa kazi bila kuueleza umma kitu chochote si lazima kwamba tuhuma zote zinazotolewa bungeni ziwe za kweli na ndio maana bwana ngeleja amechukua hatua ya kuunda kamati ili kujiridhisha na tunasubiri ripoti ya kamati hiyo kabla ya hatua UNK uzoefu unaonyesha kwamba tuhuma ambazo zimekuwa zikitolewa bungeni UNK matunda daktari slaa ambaye amekuwa UNK kuvujisha siri za serikali bungeni ndiye aliyewasha moto ambao umezaa UNK mkubwa uliokutwa kwenye akaunti ya madeni ya nje mbunge wa kigoma kaskazini zitto kabwe ndiye aliyewasha moto wa kuhusu mkataba tata wa madini ya dhahabu wa buzwagi akimtuhumu aliyekuwa waziri wa madini na nishati wakati ule UNK karamagi kwamba alitembea na mihuri ya serikali mfukoni na kusaini mkatab huo kinyemela UNK kabwe alisimamishwa kwa muda bungeni lakini baadaye rais kikwete UNK kwenye kamati ya kuchunguza sekta ya madini nchini tuhuma zinazotolewa bungeni zinapaswa kuchunguzwa kwa sababu nyingi ya tuhuma hizo zinakuwa na harufu ya rushwa tunaendelea kufuatilia ili UNK kuwa nani mkosaji huyu UNK au UNK UNK kwa sababu ya tuhuma ambazo ufumbuzi wake bado umejaa utata jana chama cha demokrasia na maendeleo kilipata viongozi wapya wa kitaifa katika uchaguzi wa vuta nikuvute mkoani dar es salaam na mikoani pia uchaguzi huo ulikuwa nusura uchukue sura mpya wiki iliyopita baada ya kabwe zitto kuchukua fomu za kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho freeman mbowe ambaye juzi alichaguliwa bila mpinzani kwa kura nyingi za ndiyo kama zitto UNK kuchuana na mwenyekiti wake hakika hatua hiyo UNK ukurasa mpya wa jinsi demokrasia katika vyama vya siasa nchini inavyoweza kutekelezwa kwa vitendo lakini katika hatua ya kushangaza mwanasiasa huyo kijana ambaye amekuwa moto wa kuotea mbali bungeni kwa hoja nzito alishauriwa na wazee wa chama hicho akiwamo mzee edwin mtei UNK kwenye kinyangganyiro hicho wakati zitto alipochukua fomu waasisi wa chama hicho akiwamo mzee edwin mtei na bob UNK walisikika UNK mwanasiasa huyo na kwamba hatua hiyo UNK jinsi chama hicho kilivyo cha demokrasia kwa vitendo gazeti hili liliandika maoni UNK viongozi hao na chama kwa ujumla kwa ukomavu wao katika demokrasia uliokuwa UNK na kauli za viongozi hao wa juu katika chama hicho kikubwa cha upinzani lakini wazee wa chama walipokaa jumamosi iliyopita UNK zitto aondoe jina lake kwa hoja kwamba kugombea kwake UNK makundi ndani ya chama na kisha UNK tunadhani katika kukuza demokrasia ya vyama haikuwa sahihi kwa wazee kumshauri kijana huyo UNK kisiasa kuachia UNK vyama hivi vinahitaji viongozi kuchaguliwa kwa kura badala ya kuendeleza utaratibu wa kuchaguliwa kwa kulazimisha yaliyotokea chadema UNK tunabaki tunajiuliza kwamba demokrasia UNK viongozi kwenye chama hicho iko wapi mgogoro kati ya menejimenti na wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania umezidi kuwa tata mbali ya juhudi mbalimbali zinazofanyika kumaliza tatizo hilo tunashindwa kuelewa tatizo hasa katika suala hili liko wapi serikali imejipanga vipi kuhakikisha mgogoro huo UNK suluhu ya kudumu nani hasa mwenye tatizo katika suala hili kinachoonekana hapa serikali imekosa umakini na dhamira ya kweli kumaliza tatizo hili ambalo sasa linaelekea kutishia maisha ya abiria wasio na hatia inasikitisha kwamba baadhi ya vyombo vya habari UNK kuwepo matukio kadhaa ya hujuma za wazi katika njia za reli ambapo matokeo yake ni mabaya yanayolenga moja kwa moja kuhujumu uhai wa maisha ya watu jambo hili si jema UNK na linapaswa kuchukuliwa hatua za haraka kubaini wahusika ili wafikishwe mbele ya vyombo vya sheria lakini wakati haya yakiendelea ni muhimu sasa kwa serikali kukaa kitako na kuchunguza mchakato mzima wa uendeshaji wa kampuni hiyo kwa kuanzia na mwekezaji kampuni ya rites kutoka nchini india ambayo imekuwa kiini cha malalamiko na mvutano uliopo kinachoendelea ndani ya trl sasa ni kero ambayo UNK UNK kila upande mara trl UNK barua rahco ambayo ni kampuni ya serikali ya kusimamia hisa zake katika trl kutaka kufuta safari zote za treni ya abiria hatuna haja kuchimba ndani zaidi ya mgogoro huu lakini UNK na hali ya hatari UNK kuwakumba wananchi wasio na hatia na kushauri kwamba kama viongozi wa kati wameshindwa kumaliza tatizo hilo basi viongozi wakuu UNK macho sakata hili hali iliyofikia trl ni mbaya na viongozi wakuu wa serikali hawana sababu kuendelea kutazama tatizo hili kwa miwani ya jua bali wanapaswa kuingilia kati kupata suluhisho la kudumu na kama UNK wachukue uamuzi mzito kubatilisha uwekezaji wa kampuni hiyo na kutangaza mchakato mpya wa zabuni wahenga walisema mdharau mwiba guu huota UNK mgogoro huu umekuwa kero UNK rais jakaya kikwete amebuni mpya kabisa ya kuwasiliana na wananchi jumatano wiki amepigiwa simu kwa njia ya redio na televisheni na watu mbalimbali kutoka maeneo tofauti ya nchi wakitaka kufafanuliwa masuala makubwa yenye umuhimu wa kitaifa taarifa ya ikulu UNK kwenye vyombo vya habari kwamba mkuu wa nchi angewasiliana na wananchi kwa njia hiyo watu wengi wakiwamo sisi UNK kwenye vyombo vya habari hakika UNK kushuhudia rais akiwekwa kitimoto na wapiga kura wake siku UNK rais akawekwa kitimoto kwa zaidi dakika sitini huku mamilioni ya watazamaji nchi nzima wakishuhudia au kusikiliza kwa njia ya redio wengine wakijaribu kupiga simu bila mafanikio rafiki yangu mmoja anayeishi sinza jijini dar es salaam anasema alihangaika sana kupiga simu lakini kila alipojaribu alipokelewa na ujumbe kwamba namba aliyokuwa akipiga ilikuwa UNK yeye alitaka kumuuliza rais swali moja tu fupi kwamba ikulu inafanya nini kuhakikisha kampuni ambazo serikali ina hisa zake zinayumba kiasi cha UNK nchi nilitaka aeleze akiwa mkuu wa nchi kwa nini kampuni za ndege ttcl na sasa trl zinaingia kwenye migogoro inahusisha ulaji wa mamilioni ya fedha bila hatua kuchukuliwa kwa wahusika UNK kusema kweli watanzania wengi walikuwa wamejiandaa kumuuliza rais maswali ambayo yalikuwa UNK majibu kwa muda mrefu sasa maswali ambayo yaligusa masuala nyeti ya kitaifa kabla rais hajatoa nafasi kwa watanzania kumuuliza maswali ya papo kwa papo watu wengine walikuwa wameanza kuhoji kimya cha rais hata mimi kwenye makala yangu katika ukurasa huu wiki mbili zilizopita UNK kimya chake kwa masuala ya msingi nilisema kwamba watanzania wanataka kusikia kauli ya rais kuhusu matatizo ya msingi kuhusu mahakama ya kadhi wakala wa wakatoliki na mwongozo wa waislam hali ya kisiasa zanzibar kasi ya vita dhidi ya ufisadi migongano ndani ya ccm na maslahi ya watumishi wa umma masuala mengi ambayo rais alikuwa UNK masikio UNK likiwamo UNK na upendeleo kwa baadhi ya rafiki zake wanaotuhumiwa kwa ufisadi mengine ni kuhusu mishahara ya walimu barabara za kigoma muafaka wa ccm na cuf migogoro kwenye kampuni ya reli safari zake nje ya nchi ambazo imekuwa ikidaiwa kwamba hazina tija na ugomvi miongoni mwa wabunge wa ccm vigogo wa ccm ilikuwa nusura UNK vidole machoni kwenye mkutano wa bunge uliopita na kwenye vikao vyao vya chama msomi na mwanasiasa profesa mwesiga baregu baada ya maswali ya papo kwa papo alitoa maoni yake akidai kwamba huenda waulizaji maswali walikuwa wamepangwa na usalama wa taifa ili kumpa nafasi kuelezea masuala ambayo wananchi walitaka UNK msimamo hisia za profesa baregu hatuwezi UNK hata kidogo kwa sababu kumuweka rais mbele ya watanzania bila kujali tabia ya waulizaji ni jambo ambalo linapaswa kuwekewa alama ya kuuliza ukweli ni kwamba baadhi ya majibu ya maswali UNK hayakukidhi matarajio ya wananchi ingawa baadhi yake yanaleta matumaini kwamba UNK viongozi wa dini na kwamba tofauti za kidini zinaweza kusambaratisha taifa ni kauli inayoonesha kwamba rais kumbe analiona tatizo hilo UNK ni utatuzi wake kwamba kesi mbili kubwa zinazohusiana na ufisadi UNK kortini karibuni ni jambo jingine ambalo linaonesha kwamba vita dhidi ya ufisadi UNK tunasubiri kuona kama UNK kortini ni wale UNK ambao wananchi UNK vidole au ni UNK tunasubiri kuona pia kama ahadi kwamba madai ya walimu ya malipo mbalimbali yatatekelezwa au ni porojo za kisiasa alieleza kwamba madai mengi ya walimu UNK na timu iliyoteuliwa kufanya kazi hiyo na kwamba ikimaliza kazi yake watapewa haki zao zote hatujui endapo rais ataendeleza mbinu hii mpya ya kuulizwa maswali kwa njia ya simu kupitia redio na televisheni lakini ukweli ni kwamba inaweza kumsaidia yeye na wananchi pia mbinu hii inamfanya awajibike na pia inakata kiu ya wananchi wanaotaka majibu ya rais kwa maswali nyeti ya kitaifa na kimataifa pia kama UNK mbinu hii na kama kweli ni ya uwazi na ukweli atakuwa rais wa kwanza tanzania kuwapa mwanya watu wake fursa nadra ambayo marais wengi hawakuwahi kuwapa wapiga kura wao marais waliomtangulia walikuwa na staili zao rais mstaafu ali hassan mwinyi alikuwa na staili yake ya kuwasiliana na wananchi kila ijumaa waandishi wa habari walikuwa wakikutana ikulu katika mkutano na mwandishi wa habari wake patrick UNK ambaye UNK akifafanua masuala mbalimbali ya kitaifa watu mbalimbali UNK utaratibu wa mzee mwinyi kuwakaribisha waandishi ikulu kila wiki kuwa ni UNK mno makazi ya mkuu wa nchi lakini wachunguzi wa mambo wanasema UNK mzee mwinyi angalau kupunguza presha ya wananchi waliokuwa wakitaka kusikia ikulu inasema nini kuhusu masuala nyeti rais mkapa alipoingia madarakani akaanzisha utaratibu wake wa kuzungumza na wananchi kwa hotuba zake za kila mwezi hili UNK wengi kutokana dharau ya wazi ya mkapa UNK kwa waandishi wa tanzania na kuwathamini waandishi wa nchi za magharibi tofauti na mkapa rais kikwete amekuwa karibu na waandishi amekuwa UNK mchango wao japo kwa hulka na kauli zake pia alipoingia madarakani naye akaanzisha utaratibu wa kuzungumza na wananchi kila mwisho wa mwezi kwa njia ya UNK sasa amebuni maswali ya papo kwa papo kila UNK rais wetu hofu kubwa iliyosababishwa na kulipuka kwa mabomu yaliyokuwa UNK katika ghala la kutunzia silaha za kivita kambi ya mbagala kizuiani sasa imepungua hasa baada ya rais jakaya kikwete kutembelea eneo la tukio juzi ingawa rais UNK hofu kuna kazi mbili kubwa UNK moja ni kwa jeshi la wananchi wa tanzania kutunza silaha kwa kuzingatia usalama wa raia na pili ni kuwaelimisha raia mbinu za kujikinga wakati wa hatari za dharura na hata wakati wa vita nilikuwa mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo la kutisha na kuwajengea hofu kubwa wakazi wa mbagala mbagala kuu hadi mtoni kijichi ambako nyumba UNK kupata nyufa na nyingine kubomoka kabisa hali hiyo ilisababisha watu kupata kiwewe cha woga wakikimbia ovyo kuona kama UNK maisha yao woga UNK baada ya habari kuzagaa zikiwamo za uvumi kwamba watu UNK walikuwa wamekufa kwa kupigwa mabomu katika maeneo yaliyo karibu na kambi hiyo habari hizo ndizo zilisababisha watu waishio mbagala kutoka ofisi za mjini na kukimbilia nyumbani kuhamisha familia zao wapo ambao walipoteana na ndugu zao watoto wao na jirani zao mwanafunzi wa shule ya sekondari ya st anthony emmanuel kato anasema baada ya mlipuko wa tatu yeye na wenzake waliokuwa wakifanya jaribio la somo la kiingereza waliacha kila kitu darasani kila mtu UNK UNK UNK sina hamu ya kurudi shuleni hata nyumbani ngoja UNK kwanza alisema UNK maeneo ya mtoni mtongani kilometa nne kutoka nyumbani kwao kijana mmoja anakumbuka jinsi wateja katika benki ya nbc zakhem mbagala UNK mapesa yao wakiwemo UNK fedha wa benki baada ya mlipuko kuitikisa benki hiyo yenye wateja wengi eneo hilo katika shule kadhaa wanafunzi walijeruhiwa kutokana na msongamano wa kutaka kutoka nje ya mageti ya shule hizo wakisukumana na walimu kila mtu akijaribu kuona kama angeweza kupona kwingineko maeneo ya katikati ya jiji waliokuwa maghorofani walikumbwa na woga pia bwana sadik mushi alihisi kama kiti UNK sehemu alipokuwa amekaa ofisini katika ghorofa la life house katika ya jiji kwa hiyo kazi kubwa iliyobaki sasa ni kwa wananchi kuelimishwa jinsi ya kupokea matukio kama hayo ili kupunguza athari zake na hata kuepuka vifo niliwahi kuwa mjini bukoba wakati wa uvamizi wa ndege za kivita uliofanywa na aliyekuwa rais wa uganda marehemu idd amin dada nilipata kufundishwa mbinu za kufuata wakati wa mashambulizi ya kivita unapaswa kufanya mambo mawili wakati wa mlipuko ama UNK chini mahali ulipo au unaingia kwenye UNK kama uko karibu nalo watu hawatakiwi kukusanyika pamoja kwa sababu adui anaweza kuwaona na UNK rahisi UNK wengi huogopa kuingia kwenye UNK kwa hofu kwamba wanaweza kufukiwa na kufia humo humo shimo kirahisi lakini kinyume chake ni kwamba mbinu hii imependekezwa kijeshi kwa sababu imeweza kuokoa maisha ya watu wengi katika maeneo mengi ya kivita hasa wanapokuwa UNK kwa mabomu mabomu UNK ardhini yana tabia ya kusambaa lakini UNK watu wamejichimbia shimoni sana sana UNK mimea wananchi UNK pia kuwa karibu na maeneo yenye vichaka au miti ili adui asiweze kuwatambua UNK na majani au UNK ndio maana wakati fulani magari ya kijeshi mkoani kagera yalikuwa UNK majani ili UNK UNK wakati wa vita ya kagera mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na nane lakini inasikitisha kwamba baada ya kusikia milipuko UNK na mtikisiko usio wa kawaida wakazi wengi walianza kukimbia badala ya kulala chini wengine UNK vyumbani badala ya kutoka nje na hata kutafuta mahali penye mashimo UNK kwa nchi kama yetu ambayo wananchi wake UNK kusikia milipuko kwa sababu ya kutozoea vita si ajabu kwamba walifanya kama UNK lakini ni wakati muafaka sasa kwa serikali kuanza kuandaa mafunzo ya jinsi ya kujihami nani UNK hii ni afrika lolote linaweza kutokea leo hii pale migingo waganda na wakenya wanagombea kisiwa kidogo kiasi kwamba watu wameanza kubashiri kwamba nguvu za kijeshi zinaweza kutumia ikiwa busara UNK kati ya rais wa uganda yoweri UNK na UNK mwai kibaki wa kenya mbali na kuwafundisha watu jinsi ya kujihami kazi nyingine kubwa ni kwa wanajeshi wenyewe eneo la mbagala si muafaka kwa kutunzia silaha kubwa za kivita huko zamani wakati dar es salaam ilipokuwa na watu wachache mbagala lilikuwa pori tupu lakini sasa ni makazi ya watu kilichotakiwa kufanywa na jeshi ni kuhamisha ghala hilo na kulipeleka mbele zaidi ambako watu UNK jambo hili ni muhimu kwa sababu hata kwa majaribio ya kijeshi au wakati wa zoezi la kusafisha silaha si vizuri kwa raia kusikia milio ya silaha na kwa kweli kuna maeneo mengi porini ambako wanajeshi wanaweza kuweka kambi wakafanya mambo yao na hata ikitokea bahati mbaya hitilafu za kiufundi UNK maafa jeshini hakuna raia anayeweza kujua hiyo inakuwa mambo yao ya kijeshi kwanza ni kinyume na maadili ya kijeshi kwa raia kuishi jirani na kambi ya jeshi wakikaa mbali UNK UNK kati yao na raia za kugombania mabibi kwenye vilabu vya pombe kama ilivyowahi kutokea kigamboni na kwingineko email wiki iliyopita mmoja wa vigogo wa chama cha mapinduzi UNK pia alipata kuwa makamu mwenyekiti wa chama hicho tawala bwana john samwel malecela alizomewa na wananchi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za kuwania ubunge jimbo la busanda mkoani mwanza kigogo huyo mkongwe wa siasa za majukwaani alizomewa na wakazi wa UNK hilo kwenye moja ya mikutano ya kampeni za uchaguzi huo unaoonesha dhahiri kwamba utakuwa wa upinzani mkali lakini bwana malecela siyo wa kwanza kuzomewa na inawezekana pia siyo mara yake ya kwanza kuzomewa wanasiasa wengi wamekutana na dhahama hiyo daktari slaa mwenyewe amewahi kuzomewa tena bungeni mbunge huyo wa jimbo la karatu UNK na kauli yake ya ujasiri na uzalendo ya kutaka mishahara minono UNK wabunge UNK upya ili isaidie kuchangia kuinua maisha ya watanzania UNK kwenye dimbwi la umaskini mtindo wa kuzomea umekuwa ukitumiwa na wengi kwa nia mbaya na wengine kwa nia nzuri pia wapo wanasiasa ambao wamekuwa UNK watu wao wa kuzomea ilimradi tu kuwakatisha tamaa wapinzani wao hata kama UNK kina manufaa kwa umma hata hivyo wapo wanaostahili kuzomewa kwa sababu kauli na tabia zao UNK walio wengi hazikidhi matakwa yao halali kwa baadhi ya wazazi kuzomea ni dawa wazazi wasiopenda kuwachapa viboko watoto wao wadogo au wasiopenda kutumia muda mwingi kuwaongoza UNK kitandani UNK watoto wa rika lao wawazomee ikiwa ni njia ya kuwafanya waone aibu na kudhibiti UNK vyao wawapo usingizini na hivi UNK tu wanafunzi sita wa shule ya sekondari ya butundwe wilayani geita walichapwa viboko sita kila mmoja na kupewa adhabu ya kufyeka kwa kuuzomea msafara wa mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi jimbo la busanda bibi lolensia bukwimba kada wa ccm oscar magoli ambaye pia ni mwalimu wa shule ya msingi UNK anadaiwa ndiye alimshawishi mkuu wa sekondari ya butundwe monica UNK ambaye aliamuru wanafunzi hao UNK UNK shule hiyo iko kwenye kijiji alichozaliwa mgombea wa chadema finias mapesa ambaye aliwahi kujitolea kujenga mabweni kwa ajili ya shule hiyo lililo dhahiri ni kwamba hakuna UNK kuzomewa nakumbuka mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na saba nikiwa kidato cha tano katika shule ya sekondari ya mzumbe pamoja na wenzangu kumi UNK adhabu ya kufyeka pori na UNK visiki kwa sababu UNK mwalimu mkuu wa nidhamu alipokuwa akitangaza majina ya watoro huku akiwa UNK kwa ulevi rais UNK kikwete pia hataki kuhusishwa na UNK mwaka jana kwenye mkutano wa hadhara alitaka uthibitisho kama wananchi walikuwa wakimzomea yeye au mtendaji aliyekuwa akimhoji wakati akizungumza na wanakijiji wa bukene wilayani nzega katika siku yake ya mwisho ya ziara ya siku sita mkoani hapa mnanizomea mimi au huyu aliuliza rais kikwete katika mkutano wa hadhara rais kikwete alilazimika kuuliza swali hilo katika matukio mawili tofauti katika ziara yake ya siku sita mkoani tabora iliyomfikisha katika wilaya takriban zote za mkoa huo sauti za kuzomea ziliibuka wakati injinia wa maji wa nzega waziri juma alipokuwa akisoma taarifa ya maendeleo ya miradi ya maji ya wilaya hiyo na kudai kuwa miradi ya maji haijakamilika kwa kuwa mkandarasi UNK fedha tangu miezi minne iliyopita hajakamilisha kazi hapo ndipo wananchi waliokuwepo katika mkutano huo walipoanza kuzomea mfululizo haikuishia hapo kwani hata alipofika bukene wananchi walizomea baada ya injinia huyo kutoa maelezo kama hayo hayo kuhusu miradi ya maji ndipo rais alipolazimika kuuliza hivi mnanizomea mimi au huyu mmoja wa wananchi akamjibu kwa kelele akisema UNK huyo tena ondoka naye UNK anajenga majumba kule nzega UNK tu sisi UNK maskini UNK naye rais aliwahi kuzomewa buzwagi mwaka ishirini sifuri saba wakati wa habari za mkataba wenye utata zilipokuwa zimevuna nchini kwingineko nje ya tanzania na hata ulaya kuzomea UNK nafasi ya pekee katika maisha ya kila siku ya binadamu oktoba mwaka jana rais wa ufaransa nicholas sarkozy alitishia kuvunja mechi yoyote ambayo mashabiki wa soka UNK pale wimbo wa taifa wa nchi yake UNK uamuzi huo ulitangazwa na waziri wa michezo wa ufaransa UNK UNK baada ya mashabiki wa tunisia kuzomea uwanjani pale wimbo wa taifa wa ufaransa UNK kabla ufaransa UNK na tunisia katika mchezo wa kirafiki uliopigwa katika uwanja wa stade de france mjini UNK rais sarkozy aliueleza mkasa huo kuwa ni aibu na UNK ikulu elysee palace rais wa shirikisho la soka la ufaransa kwa kikao maalumu uamuzi ulipitishwa wa kuvunja mechi zozote endapo UNK uwanjani mkasa wa kuzomewa wimbo wa taifa si wa kwanza nchini ufaransa mei ishirini sifuri mbili rais wa zamani wa ufaransa jacques chirac aliondoka uwanja huo huo wa stade de france kabla ya UNK ya kombe la taifa la ufaransa pale wimbo wa taifa UNK na mashabiki wa klabu ya UNK ya kisiwa UNK uhuru cha UNK vyombo vya habari vya ufaransa UNK kuridhika na uamuzi huo wa kuvunja mechi endapo wimbo wa taifa UNK lakini pia UNK na mtindo wa kuzomea wimbo wa taifa UNK na gazeti la paris UNK UNK katika UNK yake filimbi ngapi au mara ngapi mtu UNK UNK kuvunja mechi na kuwaondoa uwanjani mashabiki ambacho UNK rais huyo wa ufaransa ni kwamba kwenye ushabiki wa mpira wa miguu kuzomea ni sehemu ya UNK kwenye siasa ni ujanja fulani ya kuwazidi nguvu washindani nguvu hii inaweza kupandikizwa ili kuwakatisha tamaa washindani wengine wamekuwa wakienda mbali na kuwapanga watu wao ili wawazomee wanasiasa wawapo jukwaani ikiwa ni njia ya kuwakatisha tamaa na kuwapiga bao la kisiasa ubaya wa kuzomewa ni kwamba huwezi kuwaadhibu wanaozomea kwa sababu kama ilivyo kwenye ushabiki wa mpira wa miguu kuzomea ni sehemu ya kushangilia pia ama unashangiliwa au UNK anayefanya vizuri anapewa haki yake ya kushangiliwa na UNK UNK UNK anaweza kupitisha matusi na isiwe rahisi kumkamata na kumchukulia hatua kwa sababu ya ugumu wa kumtambua ni sawa na ilivyo ngumu kwa kuwakamata watu wenye hasira UNK na kumuua UNK hata kama UNK wizi matukio ya hivi karibuni ya kuzomea UNK bwana malecela na wale wanafunzi UNK fimbo katika sekondari ya butundwe ni mfano mzuri kwetu watanzania kujifunza kwamba siasa kwenye majukwaa kamwe UNK tija yoyote kama kuma wananchi UNK pasipo ulazima wa kufanya hivyo kuzomeana UNK kuachwa kwenye viwanja vya mipira ambako tabia hiyo ni sehemu ya burudani wakati umefika sasa kwa wanasiasa kulumbana kwa hoja badala ya kupanga mbinu za UNK wananchi wanatarajia kuelezwa mikakati inayolenga kuwaletea maendeleo itakayowapa ajira na huduma za jamii ili UNK na umaskini badala ya kupoteza sauti zao na nguvu zao kwa kuzomea wananchi wanaweza kutumia nafasi hiyo kimya kwenye masanduku ya kupigia kura UNK aliyeonesha nia ya dhati ya kuwaletea UNK lakini moja ya njia za kuepukana na kuzomewa ni kuja na mawazo mapya pengine mwenyekiti wa united UNK party john cheyo mapesa hakuwa na mawazo mapya UNK na wananchi wa eneo la katoro jimboni busanda jumatano wiki hii kwa kuzungumzia zao la pamba badala ya ufisadi alishindwa kuhimili akashuka jukwaani ghafla na kuondoka zake ukweli ni kwamba tabia ya kuzomea haina tija hasa katika masuala muhimu ya kijamii lakini ni vyema pia UNK UNK msemo wa kiswahili UNK UNK sana ujue na kuzomewa UNK wiki iliyopita bondia wa tanzania francis cheka wa morogoro ambaye ni bingwa wa mabara katika uzito middle unaotambuliwa na shirikisho la kimataifa la ngumi za kulipwa alipanda ulingoni mkoani tanga kutetea ubingwa huo dhidi ya mpinzani wake ramil nadirov wa urusi cheka ambaye pia anashikilia ubingwa wa dunia katika uzito huo unaotambuliwa na shirikisho la kimataifa la ngumi za kulipwa alifanikiwa kumpiga mpinzani wake katika raundi ya kwanza kwa ushindi wa ko pambano hilo UNK na shirikisho la ngumi za kulipwa tanzania sisi kama wadau wa mchezo huo tunapenda kumpongeza cheka kwa kuweza kuutetea mkanda huo vizuri lakini mashabiki wengi wana mashaka na uwezo mdogo uliooneshwa na mpinzani wake tumejaribu kufuatilia rekodi za mrusi huyo tukagundua kuwa katika pambano alilopigana na cheka lilikuwa la tatu tangu aanze kupigana ngumi za kulipwa akiwa ameshinda pambano moja na kupigwa moja yote kwa pointi kabla ya kukutana na cheka ambaye alimtwanga kwa ko kutokana na rekodi hiyo ni wazi kuwa pst UNK cheka mwenye rekodi ya kupigana mapambano ishirini na nne kushinda kumi na saba kati ya hayo kumi na moja ameshinda kwa ko amepigwa mara sita na sare pambano moja baada ya kutathimini rekodi hizi inatutia mashaka kwamba mpinzani wa cheka hakuwa na uwezo wa kupigana naye bali UNK ili UNK rekodi kwa lengo la kumpandisha chati jambo ambalo UNK bondia wetu pambano hilo UNK mashaka kutokana na mazingira yaliyokuwepo siku ya pambano hakukuwa na bendera za mataifa yote mawili huku nyimbo ya taifa la tanzania UNK na rais wa pst emmanuel mlundwa hali hiyo iliibua maswali mengi ya kujiuliza pambano la kimataifa kama hilo UNK kukosa bendera za mataifa husika na kwa nini UNK cd pamoja na kibali cha pambano hilo kutolewa na ubo pst bado UNK kuhakikisha kuwa mpinzani wa cheka anakuwa na sifa zinazohitajika kwa hatua hii tunaiomba pst UNK vipaji vya mabondia wa kulipwa nchini na si kutumia ujanja wa UNK mabondia dhaifu kwa lengo la kutaka kujinufaisha na zamzam abdul mpango wa damu salama nchini UNK mwaka elfu moja na mia tisa na arobaini na sita kwa mfumo wa kujitolea ambapo utekelezwaji wa mpango huo umekuwa na UNK makubwa pamoja na mafanikio hayo baadhi ya wanajamii wamekuwa na dhana potofu juu ya watu wanaojitolea damu kupoteza maisha baada ya kutoa damu awali upatikanaji wa damu kwa mahitaji ya binadamu ulitokana na wanyama hali hiyo ilionekana kuleta matatizo na hivyo umuhimu wa kupatikana kwa damu kutoka kwa binadamu ulianza ingawa kuna matatizo yaliyojitokeza kwa mtu UNK damu mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na nane chembechembe nyekundu za damu UNK lakini ilichukua miaka mia mbili na hamsini mpaka kugundulika kwa makundi ya damu makundi hayo UNK kama a b ab na o mwaka elfu moja na mia tisa na kumi karl UNK aligundua mfumo wa kundi la damu ujulikanao kama abo mfumo huu UNK na ule wa kundi la vizazi chanya na hasi hivi sasa wataalam wameweza kugundua mifumo ya makundi ya damu kumi na tano na kwamba ile ya abo na vizazi ndiyo muhimu ofisa operesheni wa mpango wa taifa wa huduma ya damu salama daktari ahmad makuwani anasema hivi sasa mpango huo unakabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo UNK juhudi za ukusanyaji damu daktari makuwani anasema ingawa lengo la kuanzishwa kwa mpango huo nchini mwaka ishirini sifuri nne lilikuwa ni kuongeza na kuwezesha nchi kuwa na benki ya damu zipo sababu nyingine UNK kuwepo mfumo huu anazitaja sababu hizo kuwa ni kuwepo kwa utaratibu wa upatikanaji damu wenye upungufu na hivyo kuhatarisha afya ya mtoaji na mpokeaji damu na mlipuko wa ugonjwa wa ukimwi ambao umesababisha watu mbalimbali kutojitokeza kuchangia damu sababu nyingine ni kuongezeka kwa maradhi ambayo yatasababisha mgonjwa kuhitaji damu kama maralia lishe duni UNK uzito ajali na maradhi mengine licha ya mahitaji hayo bado kuna matatizo yanayojitokeza mara kwa mara kutokana na utaratibu wa upatikanaji damu kutokana na mtindo wa kufidia kutoka kwa ndugu au kuwanunua watoa damu utaratibu huo umefanya damu kuwa bidhaa adimu hasa linapotokea tatizo la dharula kwani watu wanaotoa damu kwa mtindo huo hupata shinikizo la ndugu au jamaa bila kuzingatia afya zao wale wanaotoa damu kwa malipo hufanya hivyo bila kuzingatia sifa na taratibu za wanaojitolea damu na hivyo kuhatarisha maisha yao na yule UNK damu mahitaji ya damu kwa taifa bado ni makubwa kutokana na ongezeko la ajali na matukio mengine ya dharula ambayo UNK mpango huo kuzidiwa nguvu hadi kusababisha kuomba msaada kwenye ofisi za kanda daktari makuwani anasema wanawake na watoto walio chini ya UNK mitano ndio waathirika wakubwa wa ugonjwa wa maralia na wahitaji wa damu upungufu wa damu husababisha vifo vya watoto wadogo walio chini ya umri huo kwa asilimia thebathini hadi arobaini kundi jingine ambalo UNK sana na ukosefu wa damu ni lile la wanawake wajawazito ambao hupoteza damu nyingi wakati wa kujifungua watu wanaopata ajali ndio UNK mpango huo kwenye wakati mgumu siku hadi siku ajali huwa UNK kuwa UNK lini na wapi pale zinapotokea damu nyingi hutumika kuwaongezea majeruhi mara zote kundi hili huitaji damu iliyo tayari wakati wote anasema daktari UNK ili kukabiliana na upungufu tatizo hilo wizara ya afya na ustawi wa jamii kwa kushirikiana na wadau wengine kama chama cha UNK mwekundu na jeshi la wananchi wa tanzania kwa msaada wa serikali ya marekani wameamua kuboresha huduma ya damu salama kitaifa lengo la mpango huo ni kutoa huduma za damu salama kwa kutosheleza mahitaji ya taifa kutoka kwa watoa damu wa kujitolea kwa hiari mara kwa mara daktari UNK anasema serikali UNK mkazo mpango huo kutokana na umuhimu wake kwa wananchi na taifa kwa ujumla takwimu za benki hiyo kwa mujibu wa daktari makuwani zinaonesha kuwa wanaojitolea damu kwa hiari baadhi yao wana maambukizi ya vvu kwa asilimia moja ukilinganisha na makundi ya wachangiaji kwa UNK kundi la watu hao linakuwa na utayari wa kutoa damu kwa hiari mpango huu unakabiliwa na vikwanzo na kushindwa kufanikiwa kwa asilimia kubwa kutokana na baadhi ya watu UNK vyema mpango huu ambao lengo lake ni kuboresha upatikanaji wa damu kwa wagonjwa anasema inaonesha wazi kuwa mpango huu UNK vizuri miongoni mwa jamii kubwa licha ya kuwepo kwa vituo kwenye mikoa mingi nchini ili kuachana na dhana wahusika wa mpango huo ni UNK kutokana na hali hiyo ipo haja ya jamii kuelimishwa ili waweze kushiriki katika mpango huo kama UNK mkufunzi wa afya wa mpango huo daktari UNK UNK ambaye anafafanua kuwa wabunge wana nafasi kubwa ya kuelimisha wananchi ili waweze kushiriki mpango huo na kuchangia damu kwa hiari ili kuwa na akiba ya damu anasema kutokana na jamii kubwa kutokuwa na ufahamu au kuwa na mapokeo tofauti juu ya mpango huo wamekuwa wakipata tabu katika maeneo mbalimbali UNK kukusanya damu utafiti unaonesha kwamba watashiriki katika kuutangaza mpango huo na kuhamasisha wananchi juu ya faida zake wataweza kufikia lengo la kukusanya kiasi kikubwa cha damu anaongeza kuwa matukio ya ajali kwa ssa yameongezeka na kusababisha upungufu mkubwa wa damu ambapo wachangiaji katika maeneo mbalimbali hawatoi ushirikiano kwa kuwa UNK katika maeneo mengi hasa vijijini baadhi ya wananchi UNK kabisa mpango huu kwa kuwa wabunge wana nafasi kubwa ya kuwafikia wananchi hawa ni vyema wakatumia nafasi hiyo UNK mpango huu ili wananchi waweze kuuelewa na kujitokeza kuchangia damu kwa hiari anasema daktari UNK anafafanua kuwa mahitaji ya damu kwa mkoa wa dar es salaam ni chupa mia moja na hamsini kwa siku kiwango ambacho anasema hata UNK kutoka kwa wachangiaji hazifikii kiwango hicho hospitali ya muhimbili pekee kwa siku inahitaji chupa hamsini lakini hata siku moja huwezi kupata idadi hiyo kwa kuwa serikali inatoa huduma hii bure ombi letu kwa wananchi UNK kwa wingi na kuchangia damu ili kuendana na mahitaji halisi ya wagonjwa anasema wachangiaji wakubwa wa damu ni wanafunzi ambapo wanapokuwa likizo mpango huo UNK kutokana na mahitaji ya hospitali mbalimbali za binafsi na serikali wizara ya afya na ustawi wa jamii inapaswa kusimamia mwongozo wa mpango huo ili UNK kufanikiwa zaidi kwa kutoa maelekezo na viwango vya utekelezaji wa huduma za damu ambazo zitakuwa endelevu na kuratibiwa kutokana na mahitaji ya wagonjwa jamii nayo UNK kikamilifu katika kupanga kutekeleza na kutathmini huduma zote za upatikanaji wa damu salama nchini wiki hii wabunge UNK hotuba ya bajeti ambayo mimi ni mmoja wa wadau bajeti ya wizara ya habari utamaduni na michezo iliyowasilishwa na waziri wake george mkuchika mimi ni mwanahabari na kwa maana hiyo nimeona haiwezi kupita bila kuchangia kwa njia hii ya magazeti kwa bahati mbaya leo UNK masuala ya uandishi wa habari kwa kuwa UNK mkuchika atueleze UNK kwenye fuko la sheria mpya ya vyombo vya habari kwa kuwa ameahidi UNK mbali sheria UNK lakini kuna mambo mengine UNK ambayo pia ni sehemu ya muhimu ya UNK wa maendeleo ya jamii yetu naomba UNK pamoja katika makala haya mwanasiasa mkongwe kingunge ngombale mwiru pamoja na wabunge wengine wawili faida bakari wa viti maalum na mercy emmanuel pia wa viti maalum waligusia suala hilo pia walipokuwa wakichangia hotuba ya bajeti ya wizara hiyo jumatano wiki hii suala hilo UNK mmomonyoko wa maadili ya vijana katika jamii faida bakari na mercy emmanuel UNK na jinsi vijana wa siku hizi UNK kuvuruga utamaduni wetu kwa mambo mengi ya kisasa likiwamo la kuvaa nguo fupi wenyewe UNK UNK kutumia lugha chafu mitaani na kutazama picha chafu kwenye kupitia vyombo vya mawasiliano lakini kingunge ambaye ni mbunge wa kuteuliwa alikuwa tofauti na wenzake yeye alisema sasa hivi kuna malalamiko kwamba kuna mmomonyoko wa maadili kwa vijana wa leo katika jamii watu wa zamani wanafikiri wao walikuwa safi sana lakini kama kuna tatizo tujitazame sisi kwanza kabla ya kuwalaumu vijana alisema alisema yeye kama mtu aliyekuwa makini na uongozi wa hayati mwalimu nyerere anasikitika kuona hali ilivyo sasa ambapo maadili UNK huku vijana UNK lawama kwa kutokuwa na maadili mema alisema katika sayansi ya jamii UNK kwamba kisaikolojia kila mwanadamu angependa wenzake waamini enzi zake ndio maisha yalikuwa ya uadilifu zaidi ya wengine sambamba na methali ya kiswahili isemayo mwamba ngoma ngozi huvutia kwake pengine hata mimi huenda UNK na kasumba hiyo ya kuwatupia lawama vijana ambayo mzee kingunge UNK wakati mmoja UNK rafiki yangu kwamba kwa umri wa miaka arobaini na nne niliyonayo sasa UNK siko mbali sana na rika la wanaojiita vijana lakini mienendo ya vijana wengi wenye chini ya umri wa miaka thebathini UNK niwe na hofu kwamba UNK UNK nina hisia hizo kwa sababu UNK na vijana kwa mambo mengi ambayo ninaona dhahiri kwamba yanalipeleka taifa letu UNK vijana wengi UNK mambo ambayo yanalenga kuua mambo ambayo kwa miaka mingi UNK ili kulinda utamaduni wa mtanzania kuna yale ambayo yanaonekana madogo ambayo UNK kama misingi ya kuenzi utamaduni wetu lakini UNK kwa kasi ya ajabu kwa kipindi cha miaka kumi na tano iliyopita ambayo mimi nilikuwa kijana kwa mfano tulikuwa tunawaheshimu zaidi walimu wetu enzi zile ilikuwa mwiko kwa mwalimu na mwanafunzi kukaa na kuongea masuala ya nje ya masomo lakini siku hizi walimu na wanafunzi wamekuwa karibu kiasi kwamba wanaweza kutumia muda mwingi kuongea mengi hata jinsi ya kuiba mitihani inashauriwa walimu wawe karibu na wanafunzi wasije kuwajengea nidhamu ya woga wanafunzi lakini kinyume chake ukaribu wa wanafunzi na walimu uliopo UNK nidhamu ya UNK shuleni na kuchangia kuvuruga mila na desturi UNK vijana katika malezi mazuri ujio wa televisheni katika nchi yetu katika mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne majarida yasiyofaa kutoka nje ya nchi na matumizi mabaya ya mtandao wa intaneti UNK kuharibu vijana kimaadili lakini kama mzee kingunge alivyosema watu wazima nao wanapaswa kulaumiwa badala ya kuendelea kulaumu tu kwamba vijana wa siku hizi siyo UNK hata mimi pamoja na kwamba ninaona vijana UNK kimaadili naungana na mzee kingunge kwamba baadhi ya watu wazima wanachangia hali hiyo zamani kila mzazi aliwajibika kumkanya mtoto wa mwenzie au hata kumchapa kiboko endapo UNK kuonesha tabia mbaya ama kwa kutukana wakubwa zake kwa kushindwa kusalimia UNK umri au kucheza kwenye maeneo yanayohatarisha maisha yao kama vile kandokando ya barabara mashimo ya mchanga au madimbwi ya maji lakini leo hii watoto wamekuwa wa baba na mama pekee UNK mtoto wa mwenzie kutumia lugha chafu au hata kumzuia kucheza kandokando ya barabara UNK magari mengi UNK balaa kwa wazazi wa mtoto huyo anaweza kwenda mbali na UNK kwa mjumbe wa nyumba kumi kwa kumuonea mwanae siku hizi wazazi UNK mno watoto wamewapa uhuru UNK mipaka kiasi cha kuhatarisha maisha yao wenyewe na kwa maana hiyo imekuwa vigumu UNK hili pia limechangiwa kwa kiasi kikubwa na wazazi ambao wanalalamika kuwa watoto wao wanaokiuka maadili ya jamii katika moja ya hotuba zake wakati wa uhai wake hayati mwalimu nyerere aliwahi kusema kwamba zamani wazazi UNK kiasi kwamba endapo mzazi UNK fimbo mtoto wa jirani kwa utovu wa nidhamu mzazi wa mtoto huyo angekwenda kwa mzazi huyo na kumshukuru kwa kumsaidia katika malezi badala ya kumshutumu lakini leo hali ni tofauti kabisa kwa hiyo enzi zile wazazi walishirikiana kudumisha utamaduni na mila zetu nzuri lakini siku hizi UNK kwa upande mwingine watu wazima ndio wanafanya biashara ya UNK ngono kwenye mitandao na vyombo vya habari bila kujali kwamba kuna watoto wanaohitaji kinga dhidi ya uchafu huo kwa maendeleo haya ya sayansi na tekinolojia UNK utandawazi ni kazi ngumu sana kuwanusuru vijana wetu na habari chafu na picha za ngono zinazotishia maadili na utamaduni wetu hasa kwa vijana na watoto lakini jambo moja linaweza kufanyika angalau kudhibiti hali hii mamlaka ya mawasiliano iko kwenye nafasi nzuri zaidi ya kurekebisha hali hii kwa kiwango cha kuridhisha kwa sababu ndio yenye mamlaka ya kudhibiti habari na picha mbaya zinazoenezwa kupitia kwenye vyombo vya mawasiliano hii ni kazi ngumu lakini inaweza kufanyika na kuna mifano halisi hivi karibuni kwa mfano wakati mtandao wa kihuni wa ze utamu UNK picha za kuchonga na kumdhalilisha rais jakaya kikwete siku mbili baadaye mtandao huo ulizimwa kwa juhudi zilizofanywa na tcra kwa kushirikiana na vyombo vingine nje ya nchi kwa sababu UNK mkuu wa nchi kuna habari kwamba kabla rais kikwete UNK tcra ilikuwa imepokea jumla ya malalamiko sita mia nane na hamsini ya watu ambao baadhi yao majina na picha zao zilikuwa zikirudi rudiwa kwenye mtandao huo mchafu uliokuwa ukiratibiwa nje ya nchi ni dhahiri kwamba tangu februari mwaka huu mtandao huo UNK kwa maombi ya serikali ya tanzania makachero wa tanzania wamekuwa wakifanya kazi ya ziada ili kumpata mtu aliyekuwa ametoa picha za UNK mkuu wa nchi katika mtandao uliokuwa UNK kila siku na maelfu ya watanzania nje na ndani ya nchi mtandao huo ulikuwa ukiwakashifu viongozi wanasiasa wafanyabiashara na watu wengine wenye majina makubwa katika namna ambayo ilikuwa UNK hadhi yao katika jamii ni wazi pia kwamba hata watu wenye umri mdogo wakiwamo watoto wa shule waliathirika kwa kutazama picha hizo kwa hiyo kuwekwa kwa rais kikwete kwenye mtandao huo ni habari njema kwa watu hao sita mia nane na hamsini ambao baadhi yao majina na picha zao zilikuwa zikirudi rudiwa kwenye mtandao huo ambao ilikuja kudaiwa kwamba UNK nchini marekani kasi iliyotumika kuwasaka na kisha kuuzima mtandao huo itumike sasa kudhibiti vipindi vibovu kwenye televisheni na redio makala na picha chafu kwenye vyombo vingine vya habari ili kuwakinga watoto na vijana dhidi ya uozo huo idara ya habari nayo ina mamlaka ambayo UNK ya UNK hatua vyombo vya habari UNK na kuchapisha habari chafu hii likifanyika litasaidia kudhibiti mmomonyoko wa maadili UNK katika tanzania ya leo hata hivyo changamoto nyingine kubwa UNK taifa letu kwa sasa ni jinsi ya kuwakinga watoto dhidi ya matangazo kwenye vyombo vya habari UNK jinsi ya kutumia kondom ili kuzuia ukimwi katika makala iliyopita kama UNK na wasomaji wetu UNK kwa kina yaliyomo kwenye mkataba wa umoja wa mataifa kuhusu haki za watoto hata hivyo kutokana na ufinyu wa nafasi hatukuweza kuainisha yote yaliyo kwenye mkataba huo ingawa siyo rahisi kuchambua kila kipengele katika sehemu hii ya mwisho ya makala haya UNK vipengele vilivyosalia kwa ufupi ili viweze kuwasaidia wazazi walezi na jamii kwa ujumla wakati wa kusimamia malezi ya watoto haki ya watoto wenye ulemavu mkataba huo pia UNK matatizo ya kimwili na kiakili UNK kuwa walemavu wana haki ya kushiriki na kufurahia maisha UNK unaeleza wazi kuwa watoto wenye ulemavu hawatakiwi kubaguliwa wala kuchekwa badala yake wasaidiwe ili waweze kuwa na maisha ya kujitegemea na kushiriki katika shughuli za kijamii kwa mujibu wa mkataba huo watoto wana haki ya kupata huduma maalum nchi UNK mkataba huo tanzania ikiwemo zinatakiwa kuhakikisha watoto wenye ulemavu wanapata huduma hizo ili waweze kufikia viwango vyao na kushiriki katika shughuli za kijamii tayari serikali imeliona na kuandaa mazingira ya kuwawezesha watoto hao kupata elimu japo siyo kwa kiwango cha kuridhisha serikali UNK hatua hiyo inakuwa inatekeleza vipengele vya mkataba wa un ni jukumu la wazazi wenye watoto wenye ulemavu na walezi kwa ujumla kuhakikisha UNK badala yake wahakikishe wanapatiwa haki zao za msingi kama UNK haki ya kulindwa wazazi na walezi UNK kutokuwa wakatili kwa watoto katika mkataba wa un tanzania imeahidi kulinda watoto dhidi ya ukatili hivyo inapaswa kuwalinda ndiyo maana serikali imekuwa mstari wa mbele kuzuia ukatili dhidi ya watoto kwa hapa tanzania idara ya ustawi wa jamii inahusika na masuala ya kulinda haki za watoto kwa hiyo hata wazazi kama mmoja wapo ameshindwa kutimiza majukumu yake ya kutunza watoto ni lazima suala hilo lifikishwe ustawi wa jamii haki ya kulindwa na unyanyasaji mkataba wa un umeweka bayana haki ya watoto kulindwa dhidi ya unyanyasaji wa UNK unyanyasaji wa UNK UNK hapa ni pamoja na vitendo vya kubakwa UNK na kuwalazimisha watoto kufanya mapenzi ndiyo maana serikali imekuwa ikiwachukulia hatua kali watu wanaoendesha vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya watoto pia serikali inapiga marufuku watoto kutumiwa kwenye filamu na magazeti yanayoonesha watu UNK ndiyo maana mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nane serikali ilipitisha sheria maalum ambayo inalinda haki za watoto dhidi ya vitendo vya UNK sheria hiyo inapiga mtu yeyote kugusa mwili wako kimapenzi au kukutana na wewe bila ridhaa yako pia sheria hiyo inaeleza umri wa watoto UNK mtu yeyote kukutana naye kimwili haki ya UNK nyara serikali lazima izuie hali ya mtoto yeyote kukamatwa kutekwa nyara UNK au kuuzwa kwa sababu yoyote kwa kufanya hivyo inakuwa inatekeleza mkataba wa un haki ya UNK kazi mkataba huo UNK wazi kuwa mtoto UNK UNK kazi ambazo ni za hatari zinazoweza kuathiri makuzi yake na kumzuia kupata elimu ndiyo maana tanzania ipo mbioni kupitisha sheria ya mtoto ambayo itakuwa ikieleza umri wa chini wa mtoto kuanza kufanyakazi malipo muda na mahali ambapo mtoto anaweza kufanyakazi kila siku kwa mfano tanzania kuna maelfu ya wasichana chini ya umri wa miaka kumi na nane ambao wanafanyakazi za majumbani wengi wao wanafanyakazi kwa saa nyingi wanakosa nafasi ya kwenda shuleni na wanakosa nafasi ya kuhudhuria shuleni ili kuhakikisha watoto hao walau wanapata haki hivi karibuni serikali ilipitisha kanuni zinazolenga kuhakikisha watoto hao wanatendewa haki haki ya kulindwa na vita mkataba wa un umebainisha wazi kuwa mtoto wa miaka kumi na tano hatakiwi kulazimishwa kujiunga na jeshi kama nchi yoyote inahitaji vijana kwa ajili ya kujiunga na jeshi mkataba wa un umebainisha kuwa wanaotakiwa ni wale wenye umri kuanzia miaka kumi na nane watoto wakimbizi mkataba huo UNK kuwepo kwa watoto wakimbizi mtoto UNK ana haki ya kulindwa na kupewa UNK kutoka nchi UNK akiwa katika nchi UNK mtoto huyo anatakiwa kupewa haki zake zote kama zilivyoainishwa katika mkataba wa un kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne tanzania iliweza kupokea wakimbizi wengi kutoka nchi za rwanda burundi na jamhuri ya kidemokrasia ya kongo idadi kubwa ya wakimbizi hao walikuwa watoto serikali kwa kushirikiana na shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi imejitaidi kuhakikisha watoto hao wanapata elimu hatua hiyo imekuwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkataba wa un UNK matumizi ya dawa za kulevya tanzania imeahidi kuwalinda watoto dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya pia serikali imedhamiria kudhibiti watu wengine dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya hiyo ni kwa sababu inatambua madhara yanayosababishwa na dawa hizo inafanya hivyo kwa kutambua kuwa watumiaji wa dawa hizo mara nyingi ni wakatili na wanaoendeleza vitendo vya aina hiyo dhidi ya watoto kimsingi utumiaji wa dawa za kulevya unaambatana na matokeo mabaya UNK kinyume na sheria za nchi haki ya kuchagua mzazi hapa tanzania kuna wazazi UNK watoto wao wakiwa na umri wa chini ya miaka mtoto ana haki ya kuchagua mzazi anayetaka kuishi naye hiyo kwa sababu sheria inalinda haki hiyo haki ya kujieleza mkataba wa un UNK watoto haki ya kutoa maoni yao na kusikilizwa wakati wa kutoa uamuzi kadri UNK kukua pia ni haki ya kimsingi kwa watoto UNK wana haki ya kulindwa dhidi ya kuingiliwa katika maisha yao binafsi haki ya UNK UNK nafasi ya mwanamke katika mirathi takribani wiki tatu zilizopita msomaji mwenzetu kutoka makambako iringa aliomba ufafanuzi juu ya nafasi ya mjane katika kurithi mali iliyoachwa na mumewe leo tutatoa ufafanuzi huo wakati wa uhai wake jaji wa mahakama kuu na mwanaharakati wa haki za binadamu jaji james mwalusanya aliwahi kusema katika moja ya maandiko yake kuwa matatizo mengi yatokanayo na masuala ya mirathi usimamizi na ugawaji wa mali zilizoachwa na UNK UNK kama kila mwanajamii UNK na kutekeleza wajibu wake wajibu UNK jaji mwalusanya ni ule wa kuandika na kuacha wosia mapema kabla ya kupatwa na mauti ikiwa ni pamoja na kuainisha ni sheria zipi ambazo mwenye mali angependa zitumike katika kugawa mali zake kama ambavyo UNK wakati tunajadili nafasi ya mwanamke kwa ujumla zipo sheria za aina tatu ambazo zinaweza kutumika katika kuamua nafasi ya mjane katika mirathi ambazo ni sheria za kimila sheria za kiislam na sheria za bunge haki na nafasi ya mjane katika mirathi hutegemea ni sheria ipi iliyotumiwa katika kugawa mali za marehemu hivyo hutofautiana kutoka sheria moja hadi nyingine lakini mara nyingi suala la sheria ipi itatumika huibuka endapo marehemu alikufa bila kuacha wosia kwa mujibu wa sheria wosia ni kauli inayotolewa na mtu wakati wa uhai wake kwa hiari yake jinsi gani angependa mali yake igawanywe baada ya kufa kwake kwa hivyo wosia ni lazima uheshimiwe bila kujali kama aliyetajwa kama mrithi ni mke watoto rafiki ama UNK mali ya marehemu itagawanywa kwa mujibu wa matakwa ya wosia ule endapo utakuwa wosia halali ibara ya ishirini na nne ya katiba ya jamhuri ya UNK wa tanzania inatoa haki kwa kila mtu kumiliki mali kila mtu anayo haki ya kumiliki mali na haki ya kuhifadhiwa kwa mali aliyonayo kwa mujibu wa sheria sheria ya ndoa ya mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na moja iliyofanyiwa marekebisho mwaka ishirini sifuri mbili inaruhusu wanandoa kumiliki mali binafsi tofauti na mali ya pamoja katika ndoa kwa mujibu wa kifungu cha hamsini na nane hii inamaana kuwa mjane UNK ya kumiliki mali UNK UNK hivyo endapo mume aliacha wosia ambao UNK mjane kama miongoni mwa warithi basi hakuna sheria UNK hilo bila sababu za msingi kwa kuwa mjane kama mwanamke yeyote a ma UNK anayo haki ya kumiliki mali kwa mujibu wa katiba suala la sheria ipi itumike kuamua nafasi ya mjane katika mirathi huibuka pale tu ambapo marehemu hakuacha wosia maombi ya maamuzi ya sheria UNK mahakamani na mahakama inayo mamlaka ya UNK haki ya mjane husika kwa mujibu wa sheria UNK mahakama zimepewa mamlaka kisheria kutumia sheria zote kuanzia za bunge kimila na zile za kidini kupitia kifungu cha tisa cha sheria namba mia tatu na hamsini na nane UNK and UNK of UNK UNK katika kufikia maamuzi ya sheria ipi itumike mahakama huangalia mambo makuu mawili nayo ni mfumo wa maisha ambao wanandoa hao walikuwa wakiishi kabla ya mume kufariki na nia ya marehemu kabla UNK ziko njia za kugundua haya sheria za kimila sheria za kimila UNK mjane nafasi ya kurithi mali iliyoachwa na mumewe kanuni ya ya sheria hizo inasema urithi hufuata upande wa ukoo wa kiume na kwa kawaida mke huwa si sehemu ya ukoo wa kiume hivyo hana haki ya UNK kanuni ya ishirini na saba ya sheria hizo inatamka wazi kuwa mjane hana fungu lake katika urithi wa mumewe ikiwa marehemu ameacha jamaa wa ukoo wake kanuni hii inasema kuwa fungu la mjane ni kutunzwa na wanawe kwa jinsi UNK pia kwa mujibu wa sheria za kimila mjane hana haki wala nafasi ya kurithi kwa kuwa sheria hiyo UNK mwanamke kama kiumbe kinachopaswa kuwa chini ya usimamizi muda wote kanuni ya hamsini na moja ya sheria hizo inatoa wajibu kwa ndugu wa mume kumtunza mjane inasema warithi au mrithi wa mume watakuwa na wajibu wa kumtunza mjane kanuni ya hamsini na mbili inasema iwapo mjane hakuwa na watoto na hakuna mrithi kwa upande wa mume basi mali ya marehemu itachukuliwa na serikali ya mtaa sheria za kidini mara nyingi UNK sheria za kidini tunaongelea sheria za kiislamu kwa kuwa ndio dini yenye mfumo na mamlaka rasmi kwa ajili ya kushugulikia masuala ya ndoa na familia mifumo yake huitaji utaalamu wa dini hiyo ili UNK ziko kanuni za aina tatu kwa waislamu ziko za ki UNK ki UNK na UNK hataivyo maamuzi katika kesi ya adamu UNK dhidi ya UNK omari UNK namba mia mbili na themanini na tisa mitazamo hiyo imefanywa kuwa sawa na mahakama katika kugawa mali za marehemu kwa tanzania katika sheria hizi za dini ya kiislam mjane ametajwa kama mtu anayeweza kurithi lakini si zaidi ya moja nane ya mali za marehemu iwapo ameacha watoto na kama hakuacha watoto zipo taratibu za kukadiria stahili ya mjane ama wajane walioachwa kwa mujibu wa sheria zao kitu cha msingi kufahamu katika sheria hizi za kiislamu ni kuwa mjane ana nafasi ya kurithi inayotambuliwa UNK sana juu ya sheria hizo na jinsi ya kugawa kwakuwa zina utaratibu maalumu UNK na mahakama za kawaida sheria za bunge sheria ya india ya mwaka elfu moja na mia nane na sitini na tano ambayo ilikubaliwa na bunge kutumika katika masuala ya urithi imetoa mwongozo wa haki ya kila mrithi akiwemo mjane halali aliyeachwa na marehemu kanuni ya ishirini na saba ya sheria hiyo inatamka wazi kuwa iwapo marehemu amekufa bila kuacha wosia lakini ameacha mjane na warithi wengine moja tatu ya mali yake UNK na mjane na mbili tatu itagawanywa kwa warithi wengine waliobaki kwa mujibu wa sheria hiyo na iwapo hakuna warithi wengine kama watoto kanuni ya ishirini na saba ya sheria hiyo inasema moja mbili ya mali ya marehemu itakwenda kwa mjane ama kama hakuna mrithi kabisa mali yote itakuwa ya mjane zaidi ni kuwa ibara ya kumi na tatu ya katiba ya nchi UNK pamoja na ibara ya ishirini na nne kwa pamoja zinatoa haki sawa kwa watu wote juu ya kumiliki na kuhifadhiwa mali bila kujali jinsia na ibara ya sitini na nne UNK sheria zote zitakazo UNK yeyote katika hilo sheria za kimataifa ibara ya ishirini na moja ya itifaki ya maputo juu masuala ya wanawake na watoto UNK kuwa mjane atakuwa na haki sawa katika urithi wa mali za mumewe na ataendelea kuishi katika nyumba walioishi wakati wa ndoa yao iwapo ni ya kwao tatizo la sheria za kimataifa ni kuwa UNK maamuzi ya mahakama zetu hataivyo upo mpango ambao unaandaliwa na kutuo cha haki za binadamu tanzania wa UNK itifaki ya maputo ili iwe sheria rasimi itakayo UNK na mahakama za kawaida hivyo kwa UNK huu ifahamike kuwa mjane anahaki ya kurithi mali na kuwa UNK wa familia UNK lakini kama alivyosema jaji mwalusanya na ambavyo huwa nasisitiza siku zote kuwa ni vema kuepusha migogoro kwa kuandika wosia mwandishi wa safu hii ni mwanasheria na mwandishi wa habari wa gazeti hili anapatikana kwa simu namba sifuri saba nane nne sita nne mbili mbili tisa sifuri karibu mpendwa msomaji leo katika safu yako hii maalum kwa ajili ya afya nitakwenda kujibu baadhi ya maswali kutoka kwa wapendwa UNK jumapili ijayo tutaendelea na utaratibu wetu wa kutazama magonjwa mbalimbali karibu swali naitwa UNK kutoka kimara kwa muda wa kama wiki tatu zilizopita nimekuwa nikiona majimaji meupe kama maziwa ya mgando yakitoka ukeni na wakati mwingine umekua UNK na UNK hili ni tatizo gani na je kuna matibabu yoyote ninayoweza kupata jibu pole kwa tatizo UNK nalo UNK kutokana na maelezo yako machache bila shaka una tatizo la fangasi sehemu za siri kitaalamu hujulikana kama UNK UNK tatizo hili si geni sana kwa wanawake walio katika umri wa kuzaa na karibu kila mwanamke kwa nyakati fulani amewahi kupata dalili hizo UNK fangasi sehemu za siri husababishwa na fangasi aitwaye UNK UNK ambaye katika hali ya kawaida hupatikana kwa kiasi kidogo kinywani ukeni mfumo wa chakula na kwenye ngozi fangasi hawa huzuiwa kuzaliana kwa wingi na baadhi ya bakteria wasio na madhara wanaopatikana katika sehemu mbalimbali za miili yetu kinga ya mwili pia husaidia katika kudhibiti ongezeko la bakteria hawa lakini punde inapotokea ama kinga ya mwili au bakteria hawa kupungua kutokana na sababu yeyote fangasi UNK na kuathiri sehemu husika baadhi ya sababu zinazoweza kusababisha ongezeko la fangasi hasa sehemu za siri ni ujauzito matumizi ya vidonge vya uzazi wa majira kushuka kwa kinga ya mwili matumizi ya muda mrefu ya dawa za aina ya UNK uvaaji wa nguo zinazobana utumiaji wa dawa sabuni au vimiminika zenye kudhuru sehemu za siri utumiaji wa UNK hasa kwa wagonjwa wenye saratani UNK k njia mbalimbali za matibabu zinapatikana ikiwemo vidonge vya kumeza dawa za kutia ukeni na UNK za kupaka kama clotrimazole fluconazole na UNK baadhi ya dawa hasa za jamii ya UNK kama vile clotrimazole fluconazole UNK huwa na athari UNK wakati wa ujauzito hivyo ni vyema kuonana na daktari kwa ushauri kabla ya matumizi ya dawa yoyote baadhi ya hatua za kuchukua kujikinga na fangasi sehemu za siri ni kuepuka kutumia sabuni vimiminika vyenye kemikali UNK kusafisha ukeni au marashi UNK UNK kuvaa nguo zinazobana au za mipira vaa nguo za ndani zenye kiwango kikubwa cha pamba UNK au safisha sehemu za siri kwa kuanzia mbele kwenda nyuma ili kuepuka kupeleka uchafu ukeni toka njia ya haja kubwa swali mimi ni mama mwenye umri wa miaka thebathini na nane mwenye watoto wanne nina tatizo la kuvuja damu wakati wa kujamiiana na UNK kutoka iwapo UNK UNK pia damu yangu ya hedhi huwa nyepesi sana je tatizo laweza kuwa nini jibu mama g pole sana mama g kwa tatizo UNK hiyo ni dalili ya mwanzo kabisa ya saratani ya shingo ya kizazi ambayo hujulikana kitaalamu kama UNK UNK dalili nyingine hutokana na kusambaa kwa saratani nazo ni kukosa choo UNK damu kuziba kwa UNK ya mkojo kuvimba miguu na maumivu baadhi ya vigezo hatarishi ni pamoja na kufanya ngono katika umri mdogo kuwa na wapenzi wengi kuwahi kuugua magonjwa ya zinaa uvutaji sigara na kuwa na mpenzi ambaye UNK kuugua saratani ya tezi kibofu au UNK virusi vya human UNK UNK kwa karibu na aina hii ya saratani hata hivyo yawezekana kuwepo kwa saratani ya mji wa mimba UNK kwenye shingo ya kizazi UNK kwenye njia ya uzazi au shingo ya UNK ni muhimu kumuona daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake ili UNK kujua damu UNK na vipimo vingine mbalimbali kikiwemo cha UNK ili kugundua virusi vya human UNK swali ni baada ya muda gani mama aliyetoka kujifungua anaweza kuanza kushiriki tendo la ndoa msomaji jibu mpendwa msomaji kwa kawaida wanawake wanaweza kuanza kushiriki tendo la ndoa mara UNK wako tayari yaani wiki nne hadi sita baada ya kujifungua na iwapo hakuna dalili yoyote ya kuvuja damu kwa kawaida huu ni wakati ambapo shingo ya kizazi UNK ambapo hutokea takribani wiki ya nne baada ya kujifungua kunyonyesha kunaweza kusababisha UNK ukeni kutokana na upungufu kiasi wa homoni ya UNK wanawake ambao UNK njia ya kizazi wakati wa kujifungua wanaweza kuhitaji angalau wiki mbili kwa jeraha kupona kabla ya kufanya tendo la ndoa hata hivyo hali yaweza kuwa tofauti kwa baadhi ya wanawake kwani wengi hupoteza hamu ya kufanya tendo la ndoa baada ya kujifungua kutokana na uchovu msongo wa mawazo hofu ya kupata maumivu na kukosa nafasi hali hii huwa ya kitambo tu yatachangia kuharakisha maendeleo ya sekta mbalimbali tanzania ni miongoni mwa nchi chache duniani UNK kuwa na nishati ya madini ya urani UNK na wingi wa chumvi chini ya ardhi kutokana na utafiti uliofanywa na wakala wa jiolojia tanzania utafiti huo ulibaini kuwa wingi wa nishati hiyo ni hazina kubwa kwa taifa katika kuleta mendeleo ya haraka kwa wananchi kuwepo kwa madini hayo katika maeneo mbalimbali nchini ni kielelezo cha ukombozi wa taifa kujikwamua kiuchumi na kupunguza umaskini uliopo katika jamii nishati hito ambayo inaongoza kwa uzalishaji umeme wa uhakika duniani kote takwimu zinaonesha kuwa katika kipindi cha mwaka ishirini sifuri saba asilimia mbili moja ya nishati yote duniani ilitokana na madini ya urani mwaka ishirini sifuri tano nishati ya umeme ilitokana na nguvu za nyuklia ambayo madini ya urani yalitumika kuzalisha umeme kwa asilimia kumi na tano ya uzalishaji wa umeme duniani kwa upande wa bara la amerika takwimu zinaonesha kuwa katika kipindi cha mwaka ishirini sifuri saba asilimia kumi na tisa ya umeme uliotumika ulitokana na nishati ya nyuklia ambayo chanzo chake cha UNK ni madini ya urani mwaka ishirini sifuri sita asilimia sabini na nane ya umeme wote uliotumika nchini ufaransa ulitokana na nishati ya nyuklia na asilimia thebathini ya umeme UNK barani ulaya ulitokana na nishati ya nguvu ambazo UNK na madini ya urani kuwepo kwa takwimu hizo ni ishara ya ukombozi kwa nchi zinazoendelea kama tanzania hasa kutokana na kilio cha muda mrefu juu ya matatizo ya nishati ya umeme ukombozi huo unaambatana na taarifa za kitafiti juu ya UNK wa madini UNK katika kona mbalimbali za nchi kwa tafsili ya kisayansi urani ni madini ambayo ndani yake kuna metali aina ya urani ambayo UNK kwa UNK wakati miamba joto inapoumbwa mara ya kwanza kemikali za metali aina ya urani zinatakiwa kuwepo kwa wingi katika kiasi ambacho UNK UNK na ukusanyaji wa metali hiyo kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya kimaendeleo kwa mujibu wa taarifa za kitafiti madini yenye metali ya urani ni madini ya awali UNK wakati miamba joto inapoumbwa kwa mara ya kwanza katika hali ya kawaida madini hayo hutofautiana katika umbile na rangi kwa mfano madini ya urani aina ya UNK yana umbo la mraba na rangi UNK aina nyingine ni UNK ambayo hayana umbo maalumu yenye rangi ya UNK ambapo uzito wake ni mdogo ukilinganisha na ule wa UNK kwa kuzingatia taarifa hizo za kitafiti juu ya chanzo cha madini ya urani serikali kupitia wizara ya nishati na madini imeunda kamati maalumu UNK wizara UNK na taasisi zake ikiwemo wakala wa jiolojia tanzania ambao wana nafasi kubwa ya kufanya utafiti wa madini hayo katika maeneo mbalimbali wizara ya viwanda na UNK kamisheni ya mionzi arusha baraza la taifa la usimamizi wa mazingira ofisi ya makamu wa rais mazingira ofisi ya mwanasheria mkuu na wawakilishi wa kampuni ya UNK uchimbaji wa madini wameshirikishwa katika utafiti wa utafutaji wa madini hayo kutokana na sheria ya madini cap mia moja na ishirini na tatu r e ishirini sifuri sita na kanuni zote husika za madini za mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa kamati husika imeandaa kanuni maalumu za kusimamia uchimbaji wa madini ya urani kwa lengo la kuondokana na migogoro inayojitokeza kati ya wawekezaji na wananchi ni vyema jamii husika ikafahamu taarifa hiyo kwani kuna taarifa potofu zilizojitokeza juu ya uhamishwaji wa watu katika makazi yao na wasiwasi wa madhara yatokanayo na madini ya urani hasa katika sehemu UNK kuwepo mashapo ya kutosha kwa UNK jambo hilo halina ukweli wowote ambapo katika ulimwengu wa sasa madini ya urani UNK mengi ambayo UNK katika sekta ya maendeleo kama UNK katika nchi zilizoendelea kwa mfano nchi zilizoendelea kama ufaransa uingereza marekani na baadhi ya nchi barani asia ikiwemo korea kaskazini hutumia madini hayo kuzalisha umeme kwa zaidi ya asilimia themanini kiutaalamu matumizi ya nishati hiyo ni njia rahisi ya kufua nishati ya umeme kwa gharama nafuu lakini kwa upande mwingine ni njia yenye gharama kubwa ya teknolojia hasa katika kutunza mabaki ya urani mara baada ya kutumika kwa upande wa matumizi ya kitabibu mionzi itokanayo na urani hutumika kuchoma seli zenye kansa kwa UNK ambapo matibabu hayo hujulikana kama UNK au UNK UNK malighafi nyingi pia hutokana na madini ya urani kwa mfano urani hutengeneza UNK na vioo vyenye rangi ya chungwa na UNK ambavyo hutumika kama malighafi ya ujenzi kwa namna nyingine maabara nyingi hutumia madini hayo kwa shughuli za kitafiti mfano katika maabara za chuo kikuu kwa tafiti za kisayansi kubainika kwa mashapo ya uchimbaji wa madini hayo nchini kutaleta changamoto nyingi za maendeleo hasa katika sekta ya UNK sehemu nyingine ya matumizi ni utengenezaji wa silaha za nyuklia ambazo hutoa mionzi UNK eneo kubwa silaha hizo ni hatari kwa usalama wa dunia na UNK vita na baadhi ya nchi tanzania ikiwa mojawapo sambamba na faida kubwa itokanayo na madini ya urani kwa upande mwingine urani husababisha madhara ya kiafya kwa viumbe hai madhara hayo yanaweza kutambuliwa mara UNK ambapo kwa kawaida UNK katika makundi mawili ambayo hutokea mara moja kutokana na utambuzi yakinifu wa kisayansi juu ya madhara yatokanayo na madini ya urani tayari serikali imeweka utaratibu madhubuti wa kuwalinda wananchi wake dhidi ya mali zote wanazomiliki kwa wale wanaoishi sehemu za mashapo ya madini hayo kupitia sheria ya mazingira ya mwaka ishirini sifuri nne sheria ya nguvu ya atomiki ya mwaka ishirini sifuri nne sheria ya afya na usalama mahali pa kazi na sheria ya madini ambayo inatarajiwa kuwasilishwa bungeni pindi taratibu za utafiti utakapo kamilika ni vyema jamii ikafahamu kuwa hakuna mtu yoyote au kampuni ambayo UNK sampuli za madini ya urani nje ya nchi kwa uchunguzi bila ya kibali cha wizara ya nishati na madini ambapo utafutaji wa madini hayo umegawanywa katika maeneo makuu manne ambayo ni kusini tanzania katika wilaya ya songea tunduru UNK ulanga mbinga ludewa na ruangwa eneo lingine ni katikati ya tanzania katika wilaya ya bahi dodoma vijijini manyoni na kondoa kaskazini mwa tanzania ni wilaya ya arusha mbulu babati na UNK viashiria vya uwepo wa madini katika sehemu hizo UNK kutolewa kwa leseni za utafiti kwa kampuni mbalimbali mfano kampuni hizo ni pamoja na urenex limited ambayo ni kampuni UNK ya urenex UNK ya australia na UNK tanzania limited ambazo zimeanza kufanya upembuzi yakinifu ili kujua kama kuna mashapo ya kutosha kwa uchimbaji wa madini ya urani mbali ya kampuni hizo gst taasisi inayofanya tafiti za madini nchini ambayo ipo chini wizara ya nishati na madini itashirikiana kikamilifu katika kutambua ubora na wingi wa madini hayo lengo kubwa ni kupunguza gharama na taarifa za utata kutoka kwa watalaamu wa nje na kuweka mikakati ya kutosha juu ya kuzuia madhara UNK na urani kama UNK kutoa elimu juu ya uchimbaji bora wa madini ya chumvi kwa wachimbaji katika kanda ya kati inayounganisha mkoa wa dodoma singida manyara shinyanga na vijiji vyote UNK mikoa hiyo lengo la kuoa elimu hiyo ni kuzuia matumizi ya chumvi ambayo itaonekana UNK na madini ya urani elimu hiyo itatolewa kwa kutumia watalaamu wake na maabara ya kisasa ya utambuzi wa madini na madhara yake inayopatikana gst ikumbukwe kuwa madini ya urani yameanza kuchimbwa tangu miaka kumi sifuri iliyopita huku faida za maendeleo zikiwa nyingi kuliko upande wa madhara katika bara la afrika ni nchi chache sana zinazotoa madini aina ya urani mfano ni nchi ya msumbiji na malawi ambazo tayari madini hayo UNK na kufanyiwa uchimbaji kwa matumizi ya shughuli za ndani ya nchi kwa kujenga maendeleo vitanda mashuka tatizo kwa wagonjwa ppf yatoa msaada wa milioni sita moja sekta ya afya nchini ina umuhimu mkubwa katika kuchangia ustawi wa maisha ya binadamu kwa lengo la kuboresha afya zao kuchangia maendeleo kwenye jamii na kukuza uchumi wa nchi katika hospitali nyingi nchini wananchi mbalimbali wamekuwa wakilalamikia ubora wa huduma za afya jambo linalokwamisha ustawi wa afya zao kwa madai ya kukosa huduma bora za matibabu malalamiko ya aina hiyo yametolewa hivi karibuni na na wagonjwa waliokuwa wakihitaji huduma hiyo katika hospitali tumbi iliyopo kibaha mkoani pwani hospitali hiyo inakabiliwa na changamoto ya matatizo mbalimbali ikiwemo upungufu wa mashuka kwa wagonjwa pamoja na wodi ya wazazi kutokuwa na vitanda vya kutosha kaimu mganga mkuu wa hospitali hiyo daktari william mwebeya anasema hospitali hiyo ina uwezo wa kulaza wagonjwa mia mbili na hamsini kwa siku lakini wagonjwa wanaolazwa kwa siku ni zaidi ya mia tatu na hamsini hadi arobaini sifuri kitendo hicho kinasababisha wagonjwa kujifunika khanga na kulala kitanda kimoja watu wawili hadi watatu ni kweli idadi ya wagonjwa wanaolazwa katika hospitali hii ni kubwa ikilinganishwa na uwezo tulionao wengi wao wanalazimika kujifunika khanga kwa sababu hatuna shuka za kutosha napenda kusema kuwa hatuna mashuka kabisa yanayoweza kutosheleza kwa wagonjwa wote tunaowapokea ndio maana wagonjwa wengi hulazimika kutumia khanga zao kujifunika ambapo vitanda vya kujifungulia ni vichache sana vitanda vilivyopo ni sita UNK ya vitanda sitini vinavyohitajika anasema daktari mwebeya anasema kuwa wodi za wazazi zipo mbili ambapo kila moja ina vitanda vitatu na hivyo kusababisha idadi kubwa ya wanawake wajawazito kulala watatu katika kitanda kimoja jambo ambalo linaweza kusababisha maambukizi ya maradhi mbalimbali daktari mwebeya anasema kuwa mbali na ukosefu wa vitanda na mashuka hospitali hiyo inakabiliwa na uhaba wa vifaa tiba kwani vifaa vilivyopo UNK ukilinganisha na idadi kubwa ya wagonjwa anaongeza kuwa hospitali hiyo inapokea wagonjwa wengi wanaopata ajali za barabarani lakini vifaa tiba vilivyopo bado ni UNK kutokana na hali hiyo madaktari wa hospitali hiyo wanafanya kazi zao katika mazingira magumu kwa siku tunapokea majeruhi kumi na tano hadi ishirini wa ajali za pikipiki wakiwa katika hali mbaya na UNK kuwahudumia katika mazingira magumu kutokana na upungufu wa vifaa tiba anasema anasema kuwa idadi hiyo ya majeruhi inaongezeka siku hadi siku kutokana na wananchi wa wilaya hiyo kutumia usafiri wa pikipiki na baiskeli mbali na ajali za pikipiki ajali nyingine zinasababishwa na magari makubwa hasa kwa kuzingatia kuwa hospitali hiyo ipo barabara kuu iendayo mikoani daktari mwebeya anafafanua kuwa changamoto zinazowakabili ni upungufu wa madaktari na wauguzi kwani waliopo hawakidhi mahitaji ya huduma zinazotolewa na hospitali hiyo tunaiomba serikali UNK madaktari zaidi ya kumi kwani hawa waliopo UNK kabisa hasa kwa kuzingatia kuwa idadi ya wagonjwa tunaowapokea kwa siku ni kubwa ukilinganisha na wataalamu waliopo anasema daktari mwebeya kutokana uhaba wa mashuka unaoikabili hospitali hiyo mfuko wa pensheni wa utumishi wa umma ambao hivi karibuni UNK miaka kumi toka kuanzishwa kwake walitoa msaada UNK wenye thamani ya shilingi milioni nne tano kwa lengo la kupunguza tatizo hilo akikabidhi msaada huo na kompyuta mbili zenye thamani ya shilingi milioni moja sita mkurugenzi wa fedha na utawala wa ppf bwana masha mshombe anasema kuwa lengo la mfumo huo ni kuiwezesha hospitali hiyo ili iweze kukabiliana na matatizo waliyonayo kutokana na umuhimu wa hospitali hiyo hususan katika kupokea majeruhi wengi wa ajali bwana mshombe anasema kuwa msaada huo UNK mashuka mia nne na hamsini ambayo yatasaidia kupunguza tatizo UNK anasema ppf imedhamilia kuwasaidia wanachama wake ambao wanakabiliwa na matatizo mbalimbali yanayochangia washindwe kufanya kazi za maendeleo maadhimisho ya mfuko huo kutimiza miaka kumi toka kuanzishwa kwake UNK na misaada mbalimbali ya kijamii iliyotolewa nchi nzima kwa lengo la kusaidia wanachama wao uhaba wa UNK maslahi madogo UNK malengo mabadiliko ya sera za kiuchumi na kijamii ni moja ya changamoto mpya zinazoikabili sekta ya mifugo nchini pamoja na mafanikio mengi ambayo taasisi ya utafiti wa mifugo mpwapwa imeyapata zipo changamoto kadhaa zinazoikabili taasisi hiyo ambazo ni pamoja na mabadiliko ya hali ya hewa na kuibuka kwa milipuko ya magonjwa mbalimbali hali hiyo imesababisha kuwepo kwa changamoto mpya katika mahitaji ya mazao yatokanayo na mifugo hali ambayo imekuwa ikisababisha kukwama kwa juhudi mbalimbali zinazofanywa na taasisi hiyo katika kufikia malengo yaliyokusudiwa mkurugenzi wa taasisi hiyo daktari david sendalo anaelezea kuwa taasisi hiyo itaendelea kuzingatia dhana ya ushirikishwaji wa wadau mbalimbali kwa ajili ya kupata rasilimali zinazohitajika katika kuboresha huduma hiyo daktari sendalo anaeleza kuwa pamoja na mambo mengine taasisi hiyo itaendeleza jitihada zake katika kubuni kutathimini na kusambaza UNK bora za mifugo ili kukidhi malengo ya kuboresha tija ya mifugo maisha ya wafugaji pamoja na wananchi anasema taasisi hiyo imeundwa upya ikiwa ni idara kamili ya wizara kufuatia mabadiliko ya muundo wa wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi ambapo taasisi hiyo imepitia kwenye historia ndefu na hivyo kubadilishwa jina mara kwa mara taasisi hii ilianzishwa na wajerumani mwaka mia moja na tisini tano wakati huo ikitumika kama kitovu cha UNK na uendelezaji wa mifugo nchini na lengo kuu likiwa ni kuchangia katika kujitosheleza kwa chakula na kukidhi maendeleo ya kiuchumi kwa kufanya tafiti sahihi na endelevu ambazo zitaongeza tija katika uzalishaji wa mifugo anasema daktari sendalo anasema moja ya tafiti zinazofanywa na taasisi hiyo kwa sasa ni pamoja na utafiti wa nggombe aina ya mpwapwa utafiti wa mbuzi aina ya malya utafiti wa majani na mikunde mbalimbali kwa ajili ya chakula cha mifugo na utafiti wa kuku na nguruwe UNK wa kazi za utafiti katika kituo hicho cha mifugo upo chini ya muundo wa utafiti unaohusisha utafiti wa nggombe wa maziwa na nggombe wa nyama malisho wanyama wadogo UNK UNK hasa na utafiti wa uchumi jamii hata hivyo taasisi hiyo imefanikiwa katika mambo mengi yanayohusu utekelezaji wa majukumu yake lakini shughuli za utafiti katika taaasisi hiyo UNK sana na mabadiliko mbalimbali mabadiliko hayo ni pamoja na yale ya miundombinu kwa wizara inayosimamia sekta ya mifugo na uhaba wa rasilimali watu anaongeza kuwa kwa sasa taasisi hiyo inasimamia vituo saba vya utafiti wa mifugo kikiwemo kituo cha utafiti UNK kilichopo nyanda za juu kusini kituo cha utafiti wa mifugo uyole kilichopo nyanda za juu kusini na kituo cha utafiti wa malisho kongwa kanda ya kati vituo vingine ni kituo cha utafiti wa mifugo cha UNK kilichopo kanda ya kusini kituo cha tanga kanda ya mashariki kituo cha utafiti wa mifugo west kilimanjaro kanda ya kaskazini na kituo cha utafiti wa mifugo mpwapwa katika kanda ya kati ambako ndipo makao makuu ya taasisi pamoja na taasisi hiyo kuendelea kufanya kazi katika mazingira magumu ya upungufu wa fedha na vifaa mbalimbali yakiwemo madawa bado wameendelea kufanya tafiti kwa lengo la kuongeza tija katika uzalishaji wa mifugo kulingana na dira na sera ya maendeleo ya mifugo mwelekeo wa tafiti mbalimbali zinazofanywa na taasisi hiyo ni kuimarisha muundo wa kitaasisi na utafiti ambapo wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi ipo katika mchakato wa kuandaa sheria mbalimbali ikiwemo sheria ya UNK taaasisi ya taifa ya utafiti wa mifugo daktari sendalo anasema ili utafiti huo uweze kuleta mabadiliko katika nyanja za UNK kiuchumi na kijamii ni lazima uimarishwe kwa kuzingatia programu sita za utafiti wa mifugo unaohusisha utafiti wa nggombe wa nyama maziwa wanyama wadogo UNK malisho kuku nguruwe utafiti wa rasilimali za wanyama UNK na UNK kufanikiwa kwa mambo hayo UNK na uwepo wa nyenzo ya rasilimali fedha pamoja na uhaba wa fedha uliopo idara hiyo imeendelea na shughuli ya kuzalisha nggombe aina ya mpwapwa kwa ajili ya nyama na maziwa ushirikiano mkubwa umekuwa UNK kwa wafugaji wa nggombe wa aina hiyo na kuweka mkazo katika kuboresha ustawi wa ngo mbe wa asili kwa kutumia madume aina ya mpwapwa kwa ajili ya nyama vijijini utafiti wa kuzalisha nggombe aina ya mpwapwa ulianza miaka ya elfu moja na mia tisa na thebathini ambapo baada ya kukamilika uzalishaji huo ulianza mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na nane na kufanya ngombe hao kuwa chotara wenye uwezo wa kutoa lita sita mpaka tisa za maziwa kwa siku na kilo mia mbili na thebathini za nyama kwa UNK mwenye umri chini ya miaka minne kasi ya uendelezaji na uzalishaji wa nggombe hao ilianza kuimarika mwaka ishirini sifuri sifuri baada ya mahitaji ya nggombe wa aina hiyo kuwa kubwa ambapo serikali iliona umuhimu wa kuongeza idadi ya nggombe wa aina hiyo kutokana na mahitaji mpaka sasa juhudi hizo zimefanikiwa kugundua koo nyingine za mifugo ya asili ili kuendeleza na kuhifadhi sifa bora zilizopo katika mifugo hiyo kutokana na mwitikio wa wafugaji kuhitaji nggombe hao wa mpwapwa usambazaji wake umekuwa ukiongezeka mwaka hadi mwaka takwimu za kituo cha utafiti mpwapwa zinaonesha kuwa idadi ya madume waliosambazwa vijijini imeongezeka kutoka madume mia moja na hamsini na mbili mwaka ishirini sifuri sita hadi kufikia madume mia tatu na sabini na tano mwaka huu ngombe hao UNK katika vijiji mbalimbali vya mikoa ya arusha dodoma singida shinyanga na tabora jambo lolote ili UNK mafanikio kipaumbele kinahitajika katika lishe na hali ya hewa kwa maana ya ustawi wa mazingira ambapo kwa kuzingatia mambo hayo kituo hicho kimeona umuhimu wa kuwa na UNK bora na tayari hatua mbalimbali za kufanikisha jambo hilo zimeanza kuchukuliwa kituo hicho kwa kushirikiana na taasisi na vituo vingine vya utafiti ndani na nje ya nchi vinaendelea kufanya utafiti wa malisho bora ya nyasi mikunde na miti malisho na nyasi aina ya UNK na nyasi za UNK ambazo zote UNK kuwa UNK ukame na pia ni chakula bora cha mifugo katika maeneo mengi yenye ukame haya yote niliyoyaeleza hayawezi kuwa na mafanikio makubwa kama sekta hii itaendelea kuwa na tatizo la watumishi kitu ambacho ndiyo kiungo na mhimili mkubwa katika kuleta mapinduzi ndani ya sekta ya mifugo nchini anasema daktari sendalo anasema hali hiyo imekuwa ikisababisha taasisi hiyo ishindwe kufikia malengo waliyonayo kiuchumi kutokana na idadi ya watafiti kupungua mwaka hadi mwaka kutokana na watumishi waliopo kustaafu kufariki na wengine huondoka kwa kuacha kazi na kwenda sehemu nyingine zenye maslahi bora kutokana na ukweli huo katika kipindi cha miaka kumi iliyopita zaidi ya watumishi kumi na tisa wenye elimu ya phd watumishi kumi na nane wenye shahada ya uzamili na mmoja mwenye shahada ya kwanza ya sayansi waliacha kazi pamoja na watumishi wengine ishirini kwa hali hii taifa linaingia gharama kubwa na kupoteza fedha nyingi kwa watu ambao UNK na serikali kwa lengo la kuitumikia nchi yao lakini inapotokea wasomi hao UNK kazi na kwenda nje ya nchi kwenye maslahi zaidi taifa linaingia hasara anasema serikali UNK mtu mmoja katika ngazi ya phd gharama yake inakadiliwa kufikia shilingi milioni arobaini na sita ambapo kumfundisha mtaalamu mmoja wa kiwango cha elimu ya UNK inagharimu shilingi milioni ishirini na sita katika chuo cha sua daktari sendalo anaongeza kuwa serikali inapaswa kuangalia suala hili na kuchukua hatua kwa kuongeza mishahara kwa watumishi kama hao wenye umuhimu mkubwa ili wasiweze kushawishika na kukimbilia nchi za nje hali hiyo imesababisha watumishi wengi kuikimbia taasisi hiyo na kwenda kufanya kazi katika taasisi nyingine za serikali kama UNK UNK au UNK ambao hutoa kiwango kizuri cha mshahara mara mbili ya ule aliokuwa UNK kwenye taasisi hiyo ili kuondokana na tatizo hilo serikali inapaswa kuhakikisha kuwa maslahi ya watafiti hao UNK ili yaweze kulingana na mishahara ya watumishi wa taasisi nyingine za serikali mchakato wa kuunda taasisi ya taifa ya utafiti wa mifugo unapaswa UNK ili uweze kuleta mabadiliko kutambulika kwa taasisi hiyo kisheria kutasaidia ufanisi wa kazi sawa na taasisi nyingine za serikali kama ilivyo mkwa taasisi ya utafiti wa uvuvi nchini ambayo ipo chini ya wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi ikifanya kazi ya utafiti kama zilivyo taasisi nyingine za mifugo manyanya inachangia kuua vipaji vyao kubadilisha fani maendeleo katika nchi yoyote duniani hayawezi kupatikana kama taifa husika UNK taaluma ya uhandisi na kushindwa kuwapatia wadau wa taaluma hiyo mahitaji muhimu ambayo yatawawezesha kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi mkubwa matunda ya kazi za wahandisi bado UNK tanzania ikiwa ndio sababu ya kampuni nyingi UNK zabuni zikiwemo zile za ujenzi ni wageni kutoka nje ugawaji wa zabuni hizo UNK na mazingira ya rushwa jambo ambalo haliwezi kuisaidia tanzania kufikia ustawi wa sayansi na teknolojia mbunge wa viti maalum mkoa wa ruvuma mhandisi bibi stella manyanya anasema rushwa ni tatizo kubwa katika fani ya UNK hali hiyo inakwamisha malengo yaliyowekwa na UNK pamoja na kuua vipaji vya UNK anasema zabuni nyingi zinatolewa kwa kuangaliana usoni kiasi cha kukatisha tamaa kwa waombaji wazalendo ambao hupewa ahadi na kusababisha baadhi ya wahandisi kutofikia malengo waliyojiwekea katika muda husika bibi manyanya anasema wahandisi wa ndani ni lazima wapewe kipaumbele katika utoaji wa zabuni husika badala ya UNK kampuni za kigeni ambapo kwa kufanya hivyo UNK kuwaendeleza na kuwainua wahandisi wa ndani na kampuni zao ili ziendane na mabadiliko ya sayansi na teknolojia anaongeza kuwa tenda zinazotolewa kwa upendeleo UNK wahandisi wengi kukimbia fani na kudumaza ujasiliamali wao hivyo kuna kila sababu ya kuangalia sheria ili kusaidia wahandisi wa ndani kuweza kupiga hatua katika shughuli za UNK anasema mpango mkakati wa kilimo kwanza unatakiwa kuwahusisha wahandisi katika kuhakikisha kuwa wanatumia taaluma hiyo kubuni zana ambazo zitasaidia kumaliza matatizo yanayokwamisha mpango huo kutopata maendeleo endelevu anafafanua kuwa tanzania itapiga hatua kubwa kama itaona umuhimu wa wahandisi ambao watatumia taaluma yao zana za kisasa ambazo UNK mpango huo badala ya kuwatumia wahandisi wa nje mwenyekiti mstafu wa bodi ya wahandisi daktari malima bundara anasema kuwa kampuni za kigeni zinazofanya kazi za kihandisi nchini haziwezi kuisaidia tanzania kuendelea katika ustawi wa sayansi na teknolojia anasema kuwa serikali inapaswa kuweka utaratibu wa kuandaa mazingira mazuri kwa wahandisi wa ndani ambayo yatawasaidia kukuza kampuni zao sawa na kampuni za kigeni daktari bundara anasema kampuni za kigeni zinakuja nchini kufanya biashara na kurudisha faida katika mataifa yao kwa kukuza uchumi wao dhana ya kampuni hizo kusaidia ustawi wa sayansi an teknolojia na kuboresha ustawi wa wananchi haina ukweli wowote anaongeza kuwa hali hiyo inachangia wafadhili kutoka mataifa ya ulaya na amerika kutoa misaada yao katika maeneo ya demokrasia utawala bora miradi ya ukimwi na mambo ya jinsia lakini katika eneo la sayansi na teknolojia hawataki kusaidia serikali yetu haipaswi kuendekeza mtizamo huu kwani wahandisi wageni hawapo tayari kuziendeleza nchi zetu za afrika ili tufikie katika elimu ya sayansi na teknolojia kwa kuwa wanataka tuendelee UNK wao anafafanua daktari bundara anasema kama serikali itashindwa kujiwekea mazingira ya kujitegemea na kujiendeleza katika eneo hilo muhimu kwa maendeleo ya nchi itazidi kuwa masikini miaka yote kwani nchi zilizoendelea haziwezi kukusaidia pasipo nchi husika kujiletea maendeleo daktari bundara anasema umefika wakati wa serikali kubadilika na kuacha UNK wafanyabiashara na wanasiasa bali iweke mkazo na kutoa misaada katika eneo la sayansi ambalo ndilo linaloweza kuifikisha nchi katika maendeleo ya sayansi na teknolojia maendeleo ya nchi siyo siasa na upendeleo wa kutoa zabuni kwa kampuni za kigeni jambo la msingi ni kuwawekea wahandisi wazalendo UNK bora ya kazi ili tuweze kuzalisha magari yetu vyakula simu na zana zote muhimu katika uzalishaji na usafirishaji anasema anasema idadi ya wahandisi nchini ni ndogo lakini pamoja na uchache wao hawajatumiwa ipasavyo kutokana na viongozi UNK mbali ya UNK wa taaluma hiyo na badala yake watu UNK ni wanasiasa na wafanyabiashara ambao ndio UNK mazingira bora katika kazi zao anaongeza kuwa mtizamo wa kusema wahandisi wa ndani wanafanya kazi kwa viwango vya chini ni kasumba ambayo UNK na haipaswi kuendelezwa na baadhi ya watumishi wa umma ambao wanahusika na utoaji wa zabuni za ujenzi na maeneo mengine wakitumia mwanya huo kuwanyima zabuni wahandisi wazalendo kasumba hiyo haiwezi kulijenga taifa zaidi ya kubomoa hivyo kinachohitajika ni UNK kampuni za wazalendo ambazo baadhi yake zinafanya kazi katika viwango vya kimataifa lakini kinachotokea katika mchakato wa zabuni ni kampuni zisizokuwa na uwezo kupewa tena hizo kutokana na mazingira ya rushwa hali hiyo inasababisha kampuni UNK kufanya vibaya na kujengeka dhana ya kuwa kampuni za ndani haziwezi kazi wakisahau kuwa walitoa tenda hiyo katika mazingira ya rushwa anasema katika nchi nyingine kampuni za ndani hazina vifaa vya kisasa kama ilivyo kampuni za nje lakini kinachofanyika wanakopeshwa na nchi zao ili ziweze kukua ambapo fedha zinazolipwa zinazunguka katika nchi husika na kuchangia ukuaji wa uchumi ni vyema serikali ikaona umuhimu wa kujali watu wake kwani UNK wengi hawana mitaji na wanahitaji kusaidiwa na kupewa upendeleo kwa kuondoa masharti makubwa UNK ili waweze kushinda zabuni UNK anasema daktari bundara anasema kuwa kampuni za kigeni UNK zabuni kwa upendeleo na huduma nyingi kwa kuwa baadhi ya watumishi wa serikali wanashirikiana na kampuni hizo na kupewa kiasi cha pesa za malipo ya zabuni kwa njia isiyo halali kaimu katibu mkuu wizara ya miundombinu bwana musa iyomba anasema maadhimisho ya siku ya wahandisi UNK wakati serikali ikitambua umuhimu wa wahandisi katika kufikia mkakati wa kukuza uchumi na kupunguza umasikini anasema serikali imeamua kuweka mazingira ya wanafunzi kusoma masomo ya sayansi na kuongeza vyuo vya sayansi kwa kuweka vitendea kazi vya kutosha na motisha kwa wanafunzi wa taaluma hiyo inasikitisha kuona kwamba kuna baadhi ya wahandisi ambao wana uwezo mdogo wa kufanya kazi kama UNK waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bibi celina kombani ambaye aliosema kuwa katika jimbo lake kuna wahandisi wasiokuwa na uwezo na kuitaka bodi ya uhandisi iwafute usajili akiwa tayari kuwapa majina ya wahandisi hao bwana iyomba anasema katika utendaji wa kazi za kihandisi miiko ya taaluma hiyo inatakiwa kuzingatiwa ili kazi zao ziweze kuwa bora katika maendeleo ya nchi na edson kamukara kila jambo zuri lina faida na hasara zake wakati kundi moja UNK kupanuka kwa sayansi na teknolojia duniani kundi la pili UNK maumivu ya UNK kwa soko la bidhaa zao ambalo UNK kutokana na maendeleo ya teknolojia katika ulimwengu wa sasa utandawazi UNK siku hadi siku umeongeza kasi ya ubunifu kwa wataalam ambao wanapigana vikumbo katika kuhakikisha kuwa kila mmoja UNK teknolojia mpya na kuitafutia soko la uhakika kuingia kwa teknolojia ya matumizi ya kompyuta nchini UNK na wananchi wengi wenye ufahamu na teknolojia hiyo teknolojia hiuyo ililenga kurahisisha kazi mbalimbali na hasa kwa watumishi maofisini kama makatibu muhtasi ambao walikuwa wamechoshwa na matumizi ya mashine walizokuwa wakizitumia kufanyia kazi zao ni wazi kuwa kundi la watu hao UNK ujio wa teknolojia hiyo kwa upande wa waajiriwa hali ilikuwa tofauti kwa maana ya kwamba walihofia kupoteza kazi kwani mtu mtumishi mmoja aliyetumia kompyuta hiyo alifanya kazi za watumishi zaidi ya kumi ni katika hatua hiyo watumishi wengi walipoteza ajira kutokana na ujio huo wa teknolojia ya kompyuta ingawa UNK mambo mengi katika utendaji teknolojia ya simu za mkononi ambayo imeshamiri katika nchi mbalimbali duniani huku mataifa yaliyopo kusini mwa jangwa la sahara tanzania ikiwa moja wapo yakitajwa kwa kuwa na idadi kubwa ya wananchi wanaomiliki simu za mkononi zaidi ya moja matumizi ya simu za mkononi yameibua mdahalo mkubwa kiasi cha kusababisha shirika la utangazaji la uingereza kuendesha kipindi maalum juu ya matumizi ya simu za mkononi kipindi hicho UNK kuwa simu za mkononi zinauwezo wa kufanya mambo mbalimbali ambayo UNK kufanywa katika mfumo tofauti na ule wa mawasiliano kwa bahati mbaya nchi za kusini mwa jangwa ka sahara UNK kama UNK wa matumizi ya simu katika mambo mengi mbali ya wananchi wengi kutumia simu hizo kupiga simu na kutuma ujumbe mfupi ni nadra sana kuwakuta watumiaji wa simu hizo wakisoma vitabu na majarida kwa njia ya mtandao au barua pepe utafiti uliowahi kufanyika umebaini kuwa kukua kwa matumizi ya teknolojia ya simu za mkononi kumewafanya watumiaji wa simu hizo kupiga picha kupitia simu zao kuangalia televisheni kusikiliza radio kufanya hesabu na kusoma vitabu na UNK hizi ndizo sifa za teknolojia ya simu za mkononi leo hii watumiaji wa simu hizo UNK kununua bidhaa nyingine kwa ajili ya matumizi yao teknolojia hiyo inamaliza mahitaji yao kwa wakati mmoja ikiwa ni pamoja na kusikiliza muziki kuangalia taarifa za habari na kutazama muda ambao wangeweza kutumia saa ya mkononi au ya UNK kwa wale waliozaliwa miaka ya nyuma bado wanakumbuka foleni za mistari mirefu walizokuwa wakijipanga wakati wa kampuni UNK ya posta iliyokuwa ikitoa huduma ya mawasiliano na kupokea au kutuma barua kwa ndugu zao leo hii biashara ya posta imepungua sana kama si kufa kabisa wananchi wengi UNK na adha ya kukaa mezani kuandika barua na UNK kwa siku tano wakati kwa sekunde chache kupitia simu za mkononi unaweza UNK na ndugu yako aliyeko ulaya biashara za radio televisheni saa kalukuleta magazeti vitabu UNK kadi za UNK heri na UNK kwa sasa UNK kwani yote UNK kwenye simu watengenezaji wa simu hizo katika nchi za ulaya marekani asia arabuni na kwingineko hawana matumizi makubwa ya simu kutokana na hali hiyo simu nyingi hupelekwa afrika ambako watumiaji wengi huzitumia kama UNK simu wanazotumia ni zile za kawaida ambazo matumizi yake ni kupiga na kutuma ujumbe mfupi ili soko la bidhaa zao nyingine kama kamera televisheni radio kalukuleta na saa vipate wateja wa UNK huu ndio ulimwengu wa utandawazi UNK sayansi na teknolojia imeshika kasi ya ajabu wajanja wanazidi kunufaika kwa UNK cha dunia imekuwa kijiji wajanja ndiyo UNK mpaka sasa haijafahamika watanzania wataacha lini kasumba hii ya kupokea kila kitu UNK ulaya bila kuhoji hatima ya uchumi wetu au ndio dunia ya watu imara na wenye kasi sayansi na teknolojia ni ya lazima hatuwezi kuikwepa na kujitenga kama kisiwa tahadhari ni lazima ichukuliwe na kuhoji maendeleo ya teknolojia husika shika simu yako na kisha angalia imetengenezwa lini na nchi gani jiulize mbali ya kuitumia kwa kupiga au kupokea simu na ujumbe mfupi UNK kwa kazi gani nyingine ya msingi ni vyema UNK kuwa mara ya mwisho kununua simu ya mkononi au ukutani radio tochi kalukuleta ama kwenda posta kutuma barua ilikuwa siku gani rehma na amani ziwe juu yenu wapenzi wasomaji wa safu hii namuomba UNK UNK afya njema awape ufahamu na maarifa mapya katika shughuli za kulitumikia taifa letu la tanzania baada ya kuona mambo katika bodi ya filamu leo nitazungumzia changamoto kubwa ya kitaaluma katika fani za sanaa hapa tanzania ambapo UNK hasa changamoto ambazo zinazoikabili moja kati ya asasi kubwa za utoaji wa mafunzo ya fani za sanaa hapa nchini ni dhahiri kwamba ukuaji wa fani za sanaa hapa tanzania hauna uwiano na ukuaji wa upatikanaji wa taaluma ya fani hizo hapa nchini ingawa vijana wengi wamejiajiri katika fani za sanaa asilimia tisini ya watu wanaofanya shughuli hizo hawana elimu UNK ya fani husika mbali na uchache wa vyuo vinavyotoa elimu ya sanaa miundombinu na vitendea kazi katika ufundishaji kwenye vyuo hivyo ni changamoto nyingine kubwa katika upatikanaji wa wataalamu wa kweli katika fani husika nilipata kutembelea chuo cha ualimu UNK ambacho kinatoa mafunzo ya sanaa lakini pia nilikuwa pale bagamoyo ambapo nilisoma kwa miaka mitatu na pia ni mdau mzuri tu wa kufika pale idara ya sanaa za maonesho ya chuo kikuu cha dar es salaam kila sehemu ina changamoto zake lakini uchakavu wa vifaa na miondombinu UNK nakiri kwamba vyuo hivi vimefanya kazi kubwa ya UNK wataalamu wa fani za sanaa ufinyu wa nafasi hauruhusu kuchukua wanafunzi wengi ingawa hivi sasa kila chuo kati ya hivyo UNK UNK wigo kuongeza idadi ya wanafunzi kutokana na msukumo na mahitaji yaliyopo bila shaka kumekuwa na mwamko mkubwa miongoni mwa watu hasa vijana kutaka kupata elimu ya sanaa hasa kutokana na ukweli kwani ni fani ambazo zinaweza kutoa ajira kwa urahisi kwa upande wa bagamoyo mambo UNK kuwa mazuri miondombinu inaendelea kujengwa hivyo UNK kwamba hata vifaa UNK ili UNK na miundombinu hiyo tofauti na wakati ule UNK akina sisi baada ya jengo kuu la maonesho UNK mtaala pia UNK ili kwenda na wakati na hili ni jambo la msingi sana lakini pia jambo la kufurahisha ni kuongeza idadi ya wanafunzi UNK chuoni hapo nafurahi pia kusikia kwamba chuo kikuu cha dodoma nacho kimeanza UNK wanafunzi kwa ajili ya masomo ya sanaa bila shaka hii ni habari njema sana kwa wadau na itasaidia sana kuongeza idadi ya wasomi katika fani hizo lakini pamoja hayo leo UNK kuizungumzia idara ya sanaa ya chuo kikuu cha dar es salaam ambayo ndiyo pekee hadi sasa inayotoa elimu ya juu zaidi katika masuala ya sanaa hapa tanzania ni katika idara ya chuo kikuu ndipo UNK shahada ya uzamili na uzamivu ya fani za sanaa hapa tanzania sanaa za maonesho muziki utengenezaji wa filamu sanaa za ufundi na uongozi katika sanaa ni maeneo makuu ya kozi zinazotolewa pale idara ya sanaa ya chuo kikuu lakini kila ninapofika kwenye idara ya ile pale mlimani mazingira UNK picha hasa kuwa wasomi wangu UNK UNK za sanaa wanapata elimu katika mazingira yale UNK yale wanayoyapata kichwani katika nadharia kwani hili sina shaka nalo kabisa maana UNK na uwezo wa wahadhiri waliopo pale suala UNK ni kuendelea kuchakaa kwa miundombinu ya kufundishia kwa matendo kiasi cha kunipa mashaka juu ya utaalamu wa kimatendo wa wasomi wanaotoka katika idara ile hasa katika masomo ya sanaa za maonesho na muziki nafahamu kwamba utaalamu katika fani yoyote unahusisha kuwa na uelewa wa kimatendo na kinadharia katika fani husika kwa hali iliyo kwenye idara ya sanaa pale chuo kikuu ni dhahiri kwamba wataalamu wetu watakuwa wanakosa UNK katika matendo jambo ambalo UNK katika utendaji wao huko mitaani kwa mtazamo wangu mapungufu yanayoonekana ya uchakavu wa vifaa na hata miundombinu katika idara hiyo UNK na kupatiwa ufumbuzi wa haraka yanaweza kuathiri na kushusha hadhi na thamani ya shahada zinazotolewa chuoni hapo kila mara ninapofika pale idarani kutazama maonesho ya wanachuo au yale yaliyoandaliwa na wahadhiri naona mambo yanabadilika kwa maana kwamba yanakuwa magumu zaidi hasa katika utendaji vifaa na UNK UNK na wala UNK picha UNK kwamba kitu kinachofanyika kimeandaliwa na wasomi wa chuo kikuu UNK wakati wa mchana kutembelea wadau wangu mara nyingi ofisi chache tu huwa zinakuwa na wahadhiri tofauti na mwanzoni mwa miaka ya ishirini sifuri sifuri nilipokuwa UNK pale karibu kila ofisi ilikuwa na mtu ndani yake hii inanipa picha kwamba idara pia UNK na UNK nawafahamu baadhi ya wahadhiri ambao UNK kuwa wako masomoni nje ya nchi lakini pengo la upungufu wa wahadhiri UNK wazi hasa katika kipindi hiki ambacho wanafunzi UNK wapo wahadhiri vijana wenzangu ambao ni mahiri sana katika nadharia lakini nadhani ni vyema uongozi wa chuo kikuu UNK idara hii kwa jicho zuri na kuiwezesha kwa kuipatia UNK kazi katika ufundishaji hasa kimatendo ili kukidhi haja na kuleta tija kwa wasomi wetu wanaohitimu shahada zao kutoka idarani hapo nafahamu kwamba kuna utofauti mkubwa wa kiutendaji kati ya wahitimu walioingia chuo kikuu moja kwa moja wakitokea kidato cha sita na wale ambao wameingia wakitokea katika vyuo vya UNK na bagamoyo hii ni kutokana na ukweli kwamba waliotoka vyuoni wanakuwa na uwezo zaidi kimatendo na UNK kiduchu wanachokipata hapo mlimani si haba wanakuwa mbali kuna wakati UNK katika idara ya sanaa naona kama vile naingia gereji ya magari kutokana na hali ya majengo na jinsi mambo yalivyo na kwa kuwa ipo karibu na gereji ndiyo UNK UNK sura kwamba shahada za sanaa zina thamani hasa kutokana na hali ya vile UNK na UNK ambavyo UNK kila siku bila ukarabati ni vyema basi uongozi wa chuo kikuu UNK hili japo yawezekana kukawa na mpango wa kujenga jengo zuri kama yale ambayo nimekuwa UNK UNK lakini basi UNK wa majengo na ununuzi wa vifaa vipya vya kufundishia kwa matendo ufanyike ili wasomi wetu wanaotoka pale UNK wawe wasomi wa kweli UNK kwa nadharia na vitendo wanafunzi UNK kuitembelea bila malipo ina vivutio vya wanyama ndege nyoka na mimea na kassian nyandindi tanzania ni moja ya nchi za afrika inayojivunia rasirimali zake ambazo nyingi kati ya hizo hazipatikani mahali pengine duniani sekta ya utalii nchini imekuwa na mchango mkubwa kutokana idadi kubwa ya watalii kutembelea hifadhi mbalimbali ili kujionea maajabu na vivutio vilivyopo vya utalii kutokana na utalii huo taifa UNK kwa fedha nyingi UNK kupunguza umasikini katika jamii mbuga za wanyama katika hifadhi mbalimbali zimekuwa kivutio kwa watalii kutoka ndani na nje ya tanzania hifadhi zinazoongoza kwa kutembelewa na watalii wengi ni zile zilizoko kaskazini mwa nchi yetu hali hiyo imetokana na miundombinu mizuri ya barabara na hoteli nyingi za kisasa ambazo ni kivutio UNK kwa watalii ambao hupenda kufikia katika hoteli hizo pamoja na serikali kuweka mazingira mazuri ya utalii katika mikoa ya kaskazini ni vyema UNK nguvu zake katika mikoa ya kusini mikoa hiyo ina vivutio vingi vya utalii ambavyo kama UNK mazingira mazuri hakika UNK idadi ya watalii na kuliongezea taifa kipato mkoa wa ruvuma ni moja kati ya mikoa iliyopo katika nyanda za juu kusini mkoa huo UNK vingi vya utalii lakini UNK mazingira mazuri yatakayowavutia watalii kuboreshwa kwa mazingira hayo ni faida kwa wananchi wa mkoa huo na taifa kwa ujumla hifadhi ya ruhila ipo katika umbali wa kilometa nane kutoka mjini songea mkoani ruvuma hifadhi hiyo yenye ukubwa wa UNK thebathini sifuri ilianzishwa mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na nne ambapo tangu kuanzishwa kwake haijawanufaisha wananchi wa mkoa huo bado haijawanufaisha wananchi wa mkoa huo kamanda wa kikosi cha kuzuia ujangili kanda ya kusini bwana UNK mwakanyamale anasema hifadhi hiyo UNK na vijiji vya UNK chandarua na UNK awali hifadhi hiyo ilikuwa na wanyma pamoja na ndege wa aina mbalimbali bwana mwakanyamale anasema kutokana na hifadhi hiyo kutowekewa mazingira mazuri kwa muda mrefu ikiwa ni pamoja na ulinzi hali hiyo imesababisha baadhi ya wanyama na ndege hao kutoweka anasema changamoto hiyo ndiyo iliyochangia kwa kiasi kikubwa kutoweka kwa wanyama ambapo watu wamekuwa wakiingia ndani ya hifadhi na kuwinda wanyama bila ruhusa na wengine kuchoma moto baadhi ya maeneo katika kuhakikisha kuwa tatizo hilo UNK na kuifanya hifadhi kuwa endelevu bwana mwakanyamale anasema wamelazimika kuweka ulinzi mkali na kutoa elimu kwa wananchi wanaozunguka hifadhi hiyo kulinda uoto wa asili wanyama pamoja na kuhamasisha utalii katika mikoa ya kusini anafafanua kuwa wanyama wanaopatikana katika hifadhi hiyo kwa sasa ni UNK pundamilia nyumbu UNK UNK na ndege wa aina mbalimbali kama kanga pamoja na nyoka wakubwa anasema mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na tano idadi ya wanyma hao ilikuwa kubwa zaidi ambapo hivi sasa wamepungua kutokana na uharibifu wa mazingira uliosababishwa na shughuli zilizokuwa zikifanywa na wnanchi ndani ya hifadhi hiyo bwana mwakanyamale anafafanua kuwa serikali kupitia idara ya wanyama pori imeweka mikakati madhubuti ya kuboresha mazingira ya utalii mkoani ruvuma ambapo hifadhi ndogo ya ruhila UNK wanyama wapya ambao hawajawahi kuwepo katika hifadhi hiyo na kuwaendeleza wanyama waliopo anasema utalii sio kuona wanyama pori pekee bali ni pamoja na shughuli za kiasili zinazofanywa katika eneo husika kwa mazingira ya utalii endelevu utalii UNK jambo moja tu la kuona wanyama ni pamoja na kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuona shughuli zinazofanywa na watu katika eneo husika anasema anafafanua kuwa katika kuifanya sekta hiyo inakuwa endelevu mkoani ruvuma mikakati mbalimbali imewekwa ambapo wanafunzi wa wa shule za msingi na sekondari watapata fursa ya kutalii bure katika hifadhi hiyo pamoja na mambo mengine bwana mwakanyamale anasema utalii huo wa bure kwa wanafunzi katika utaishia mwishoni mwa desemba mwaka huu anasema maofisa elimu wa wilaya mkoani humo wameagizwa kuhakikisha kuwa UNK wanafunzi hao ili waweze kuwaona wanyama bila malipo na kujifunza mambo mbalimbali ya utalii ofa hii ya wanafunzi kutembelea hifadhi hii itatoa fursa ya kujifunza elimu ya biolojia na ekolojia kuhusu suala zima la utalii anafafanua bwana UNK anasisitiza kuwa dhumuni la kubwa la serikali hivi sasa katika sekta hiyo ni kujaribu kupanua wigo wa utalii kusini mwa tanzania kwa kutambua vivutio vilivyopo na kuviuza nje ya nchi ili wananchi waweze kunufaika UNK ni wajibu wa serikali kuhakikisha kuwa UNK waliyojiwekea inatekelezwa ipasavyo ili iweze kuleta tija kwa taifa katika siku za badae burian elimu ya mazingira ipewe kipaumbele katika jamii uharibifu wa mazingira unasababishwa na shughuli mbalimbali zinazofanywa na binadamu ambazo ni pamoja na ukataji miti na kuacha ardhi ikiwa tupu na kusababisha udongo wa juu wenye rutuba kusafirishwa kutoka sehemu moja hadi nyingine uendeshaji wa shughuli za kilimo katika vyanzo vya maji ufugaji holela na upandaji miti usiozingatia mahitaji ya eneo husika ni moja ya sababu kubwa zinazosababisha jangwa kutozingatia kanuni bora za uhifadhi wa mazingira endelevu athari zake UNK wazi athari hizo ni pamoja na ukosefu wa mvua za kutosha kwa wakati unaohitajika UNK kwa vyanzo vya maji ukosefu wa nishati ya kupikia yaani kuni kupungua kwa UNK na kuongezeka kwa umaskini ili kuzikabili athari hizo tayari wadau mbalimbali wa mazingira wameanza kuchukua hatua madhubuti ambazo ni pamoja na kuanzisha vituo vya kutoa elimu ya utunzaji wa mazingira kampuni ya kitalii ya singita grumeti reserves ya serengeti mkoani mara tayari imeona umuhimu huo na kuamua kuanzisha kituo cha kutoa elimu ya mazingira waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais daktari batilda burian anasisitiza kuwa suala zima la uhifadhi wa mazingira ni lazima liwe endelevu daktari buriani ambaye ndiye UNK kituo hicho anasema elimu ya mazingira ndiyo msingi wa mafanikio ya mipango yote ya kuhifadhi na kudhibiti utunzaji wa mazingira anasema serikali imekuwa UNK umuhimu suala la elimu kwa umma ili kufanikisha programu za kuhifadhi na kutunza mazingira serikali imekuwa ikitekeleza programu nyingi za elimu ya mazingira kuanzia ngazi ya taifa hadi vijiji anasema daktari burian na kuongeza kuwa lengo la programu hizo ni kuielimisha jamii ili iweze kuelewa mazingira wanayoishi uhusiano wa shughuli zake za kila siku na ustawi wa mazingira husika anaongeza kuwa kuanzishwa kwa kituo hicho ni uamuzi wa busara ambao ni kielelezo cha kampuni hiyo jinsi UNK umuhimu suala zima la utunzaji wa mazingira anasema elimu ya mafunzo UNK katika kituo hicho yatasaidia kuleta mafanikio kwa kipindi hiki na karne zijazo anafafanua kuwa jitihada za aina hiyo ndizo zinazotakiwa katika kipindi hiki ambacho dunia inakabiliwa na changamoto kubwa ya mabadiliko ya UNK daktari buriani anasema kuanzishwa kwa kituo hicho ni mfano mzuri wa uwekezaji unaozingatia umuhimu wa kuoanisha shughuli za uwekezaji na utunzaji rasilimali zinazohusiana na uwekezaji husika serikali imeshiriki kikamilifu katika kufanikisha uanzishwaji wa kituo hiki kupitia wataalamu wake wa elimu katika ngazi mbalimbali kuanzia taifa hadi halmashauri anasema daktari burian anasema kwa msingi huo mtaala ambao UNK kituoni hapo ni ule unaotambuliwa na serikali kwa kuwa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi ilishiriki UNK anaongeza kuwa kwa sasa suala la mabadiliko ya tabianchi ndilo UNK UNK kubwa katika miaka ya hivi karibuni ndani ya ajenda ya mazingira ulimwenguni anasema athari za mabadiliko ya tabianchi zimeanza kuonekana ambazo ni pamoja na kuongezeka kwa kina cha bahari kinachosababisha maji kufunika baadhi ya maeneo ya nchi kavu athari nyingine ni kubadilika kwa mfumo wa hali ya hewa ambapo kipindi cha joto kimeongezeka katika maeneo mengi mimea kupungua na maeneo mengine kupata mvua kwa wingi na kusababisha mafuriko wananchi ni UNK wa hali ya ukame iliyopo nchini mvua siyo za kuridhisha upungufu wa chakula cha wanyama na mifugo UNK mara kwa mara anasema daktari burian na kuongeza kuwa mafunzo ya mabadiliko ya tabianchi ni muhimu anasema kwa muda mrefu serikali imekuwa UNK nguvu zake katika kuzuia matumizi ya rasirimali na maliasili ambazo wananchi huzitumia kuendeshea maisha yao ya kila siku imebainika kuwa rasirimali na maliasili zinazotuzunguka haziwezi kutunzwa bila kutumiwa kwa mpangilio hivyo elimu ambayo itatolewa katika kituo hicho itasaidia mipango ya utunzaji wa mazingira pamoja na kuitaja jamii kuzingatia matumizi endelevu ya rasirimali UNK elimu ya mazingira kwa vijana wetu ni uthibitisho wa kwamba tunajali kwani mara nyingi nimekuwa nikisema kuwa UNK kutoa elimu nchi yetu itakuwa jangwa na watoto wetu watakuja UNK siyo kwa majengo mazuri na miundombinu ya kifahari UNK bali kwa kuwa tumeshindwa kulinda maliasili UNK zetu na mazingira yetu kwa jumla anasema daktari burian anasema serikali ya awamu ya nne imekuwa UNK wawekezaji jinsi UNK kuwajibika kwa jamii na taifa kwa ujumla kama wanavyofanya kampuni ya singita grumeti reserves ambayo inachangia miradi ya maendeleo ya wananchi katika maeneo yanayozunguka hifadhi hiyo anazitaja huduma hizo kuwa ni pamoja na elimu maji safi na salama na uwezeshaji wa wananchi kupitia vikundi vyao vya kijamii kwa kuvipatia mitaji elimu mbinu za kibiashara na utunzaji wa mazingira ili kupunguza umaskini anasisitiza kuwa hii ndiyo dhana ya maendeleo endelevu ambapo wananchi wanatakiwa kufaidika na uwepo wa rasirimali zao kwa utaratibu maalumu wakitambua kuwa wana wajibu wa kuzienzi na kuzitunza rasirimali hizo anasema tangu kampuni hiyo ianze kufanya shughuli zake nchini mwaka ishirini sifuri mbili hadi sasa imetumia shilingi bilioni nne nane kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kuchangia miradi hiyo kampuni hiyo imeweza kutoa ajira za kudumu kwa watu zaidi ya hamsini sifuri ambao wengi wao ni watanzania anafafanua kuwa uwezeshaji wa wananchi kupitia vikundi vyao vya kijamii umelenga kupunguza umaskini na kusisitiza kuwa ni wajibu wa kila mwekezaji nchini kuwajibika kwa jamii ambapo kwa kufanya hivyo kutasaidia kujenga uhusiano mwema na jamii husika UNK eneo la uwekezaji daktari burian anasema serikali wakati wote imekuwa UNK wawekezaji kuwa karibu na wananchi wanaozunguka maeneo yao ya ili kupunguza msuguano kati yao na jamii hili ni jambo la msingi sana kwa ustawi wa wawekezaji panapokuwa na uhusiano mzuri kati ya mwekezaji na wenyeji malalamiko kutoka pande zote hupungua na inakuwa rahisi kuzungumzia matatizo na kuyamaliza kabla UNK katika hatua ya mgogoro anasema daktari burian anasema kuwa serikali itaendelea kutoa wataalamu toka wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi na ofisi ya makamu wa rais kuchangia mawazo na taaluma katika uboreshaji wa mitaala ya kituo hicho na kushirikiana nae katika kuhifadhi mazingira UNK usafi wa mazingira mbioni kutunga sheria kuwabana wenye viwanda septemba ishirini na nne kila mwaka ni siku ya kimataifa ya maadhimisho ya bahari duniani ambapo wafanyakazi wa sekta hiyo UNK katika kufanya usafi wa mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa tanzania ni miongoni mwa nchi nyingi duniani UNK siku hiyo muhimu ambayo kitaifa ilifanyika katika bandari ya dar es salaam ambapo mgeni rasmi alikuwa mkuu wa wilaya ya ilala bwana evance balama maadhimisho hayo yalikwenda sambamba na elimu iliyotolewa kwa wafanyakazi juu ya njia za kupambana na athari za uchafuzi wa mazingira ya bandari na mafuta baharini ambapo wafanyakazi hao walikubaliana kufanya usafi wa mazingira kila mwezi kauli mbiu ya maadhimisho hayo mwaka huu inasema mabadiliko ya hali ya hewa ni changamoto kwa shirika la kimataifa la mambo ya bahari elimu ya vitendo katika kustawisha usafi wa mazingira ya bandari ilitolewa na naibu mkurugenzi wa mamlaka ya usimamizi wa bandari nchini bwana UNK mfuko katika moja ya vituo vinavyohudumia shehena ya mafuta bandarini hapo bwana mfuko anasema tpa ilianzishwa kwa sheria ya UNK kumi na saba ya mwaka ishirini sifuri nne ambapo jukumu la mamlaka hiyo ni kumiliki kusimamia na kuendeleza bandari zote nchini anasema suala zima la usafi wa mazingira katika bandari ya dar es salaam linatakiwa kupewa kipaumbele na kuwa endelevu hasa kwa kuzingatia kuwa bandari hiyo ni kubwa na inahusika kupitisha mizigo ya aina mbalimbali inayoingia nchini na kwenda nje ya nchi UNK mizigo hiyo kuwa ni pamoja na mafuta nafaka na mizigo hatari ambayo endapo UNK kwa uangalifu mkubwa inaweza kuhatarisha maisha ya watu na viumbe vinavyoishi majini anafafanua kuwa kutokana na mazingira hayo tpa imelazimika kutenga sehemu maalumu ya kuhifadhi mizigo katika usalama ili kuepuka madhara na uchafuzi wa mazingira ya bandari moja ya vigezo vinavyotakiwa kufuatwa na tpa ni kuhakikisha kuwa bahari inakuwa ya kijani kwa kuchukua hatua za kupanda miti na bustani za maua ambazo UNK taswira nzima ya bandari zote zilizopo chini ya mamlaka hiyo nchini bwana mfuko anasema wachafuzi wakubwa wa mazingira katika bahari ni wenye viwanda ambao wamekuwa UNK maji machafu yaliyochanganyika na mafuta na rangi mbalimbali ambayo ni hatari kwa viumbe vinavyoishi majini anasema kutokana na hali hiyo tpa ilianza kuchukua hatua maalumu za kudhibiti hali hiyo na kuwaelimisha wamiliki wa viwanda hivyo juu ya umuhimu wa kuchimba mashimo ya kuhifadhia maji machafu yenye kemikali za mafuta anaongeza kuwa mifereji ya maji machafu kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la dar es salaam UNK baharini pamoja na taka ngumu ambazo ni pamoja na makopo yenye kemikali za mafuta na kusababisha uchafuzi wa bahari na kuathiri viumbe kama samaki anasema tpa imeandaa mikakati ya kudhibiti hali hiyo ili UNK kabisa na kutunga sheria kali ambayo itawabana wenye viwanda pamoja na watu wengine UNK baharini vitu vyenye kuleta athari kwa viumbe na uchafuzi wa mazingira anafafanua kuwa kuna baadhi ya mafuta ambayo huingizwa nchini kupitia bandari hiyo ambapo mafuta hayo yana madhara makubwa kwa viumbe waishio baharini iwapo mafuta hayo UNK kwa muda muafaka bwana mfuko anasema mafuta hayo UNK tabia ya UNK hivyo tpa hulazimika kukopesha wafanyabiashara ili kuepusha athari kwani UNK bandarini mapema UNK chini ya bahari na kuua viumbe hai pamoja na kuchafua mazingira anasema kuwa tpa ipo mbioni kutunga sheria dhidi ya wachafuzi wa mazingira pembezoni mwa bandari sheria hiyo UNK na kikundi maalum cha kigamboni youth vision ambapo kwa mtu ambaye atakamatwa kwa uharibifu wa mazingira UNK faini ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri papo hapo kuna haja ya kutafuta wawekezaji wa maeneo ya pembezoni mwa bahari ili maeneo hayo yaweze kufanyiwa usafi na kuvutia anasema anasema tpa inatekeleza kikamilifu masuala mbalimbali ya ulinzi kama UNK katika sheria mpya ya kimataifa ya ulinzi wa bandari na meli ya mwaka ishirini sifuri nne kwa takribani muda wa mwezi mmoja kumekuwepo na shughuli mbili tofauti lakini kwa hakika ukiangalia kwa makini zote kwa namna moja ama nyingine zinaweza kuhusishwa na maendeleo ya makazi ya binadamu katika UNK tofauti kidogo shughuli ya kwanza ilikuwa ni siku ya makazi duniani na ya pili ilikuwa ni uzinduzi wa ripoti ya shirika la umoja wa mataifa linahusika na maendeleo juu ya uhamaji wa binadamu duniani pamoja na maadhimisho hayo kufanyika kwa siku tofauti maudhui yake hayatofautiani kwa kiasi kikubwa makazi holela UNK na yasiyo bora katika maeneo kwa pande zote za vijijini na mijini kwa kiasi kikubwa yamesababisha uhamaji wa watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine wanaotafuta hali bora ya maisha kwa kutambua kuwa uhamaji husababisha makazi holela ndiyo maana hata kauli mbiu ya mwaka huu ya siku ya makazi duniani UNK kupanga miji ili kujiandaa na uhamaji mkubwa unaoikabili dunia wa wananchi kutoka vijijini kwenda mijini inawezekana kukawepo na watu wengi UNK kuelewa UNK makazi holela UNK hali hii iko hasa maeneo ya miji mikubwa kama vile dar es salaam arusha mwanza na kwingineko ambako wananchi ama kwa kujua au kwa kutokujua wanaamua kujipangia maeneo na kujenga makazi ya kudumu kwa jinsi wanavyojua wao bila kufuata utaalamu wa mipango miji ni utaalamu wa mipango miji ndiyo UNK kuiweka miji katika hali iliyo bora sehemu ya viwanja vya michezo maeneo ya baa nyumba za kulala wageni hoteli kumbi za starehe barabara pana zenye alama na vituo vya magari mahali sahihi ni kati ya mambo ambayo kuwepo kwake ni lazima serikali iwe imepanga na kupima maeneo ya makazi ya wananchi na wao wakawa wanajua umuhimu wa UNK kwa sasa hali siyo hivyo ni kinyume chake zaidi ya asilimia sabini ya wakazi wa mijini wanakaa katika maeneo ambayo UNK wala kupangwa mfano dar es salaam ambapo wakazi wengi wanaishi katika makazi holela kila mwenye uwezo wa kujenga anajenga popote penye uwazi bila kujali hapo UNK bomba la maji uwanja wa wazi kwa ajili ya michezo ama UNK kuwa eneo la kumbi za starehe ni matokeo ya miji UNK na kupimwa kwa wakati mwafaka huku wananachi nao wakitumia mwanya huo wa serikali kwenda likizo katika suala la muhimu kama hilo kwa maendeleo ya binadamu kujenga holela tunapata makazi kama yanayoonekana katika baadhi ya maeneo ya dar es salaam mathalani uwepo wa makazi holela katika maeneo kama vile manzese tandale mabibo mwananyamala magomeni kigogo UNK jamii nzima huku watoto wakiwa katika kundi UNK kwa namna tofauti maeneo hayo yaliyotajwa hapo ambayo yako katika wilaya ya kinondoni ni UNK kinachoonesha jinsi jiji la dar es salaam UNK na ujenzi holela ukiamua kufanya utafiti wa kina utakuta zaidi ya nusu ya jiji la dar es salaam linakabiliwa na tatizo hilo ambalo kwa hakika UNK haki za msingi za watoto watoto wamejikuta katika wakati mgumu mno wa kuishi mazingira hatarishi UNK mfano wa mtoto anayeishi manzese au sinza uzuri hususani katika maeneo ya kitintale kwa bibi chau au UNK mtoto anayeishi kwa bibi nyau kwa tumbo popo bawa kwa UNK huna haja ya kuwa na shahada katika masuala ya haki za binadamu hususani watoto kugundua kuwa UNK katika hali ya hatari watoto wetu na hivyo moja kwa moja tujiandae kuja kukubaliana na matokeo yake pale watakapokuwa wanajamii wakubwa hapo baadaye ni maficho ya wahuni na uhuni ulio hatari kwa watoto ukipita maeneo hayo si lazima uwe na uwezo wa mithili ya wale panya waliohitimu UNK ya kugundua mabomu kujua kuwa maeneo hayo wanakaa wahuni walevi wa kila aina kuanzia pombe za UNK za kizungu bangi mpaka dawa za kulevya pita kitintale pita kwa bibi chau uone jinsi bangi au dawa UNK nyuma tu ya nyumba ya mtu yeyote uone vijana UNK pesa kwa njia yoyote ili UNK unga wanavyohatarisha maisha ya wapita njia kwa kuwapora vitu vyao naambiwa maeneo hayo mzazi kumtuma mtoto dukani huku akiwa UNK fedha mkononi ni sawa na kuitoa UNK kwa vibaka UNK kila kona maeneo hayo muda wa jioni hali inakuwa mbaya zaidi hasa kwa watoto wa kike wanaotoka shule wakati huo nimekutana na msichana aitwaye husna ambaye ni mgeni katika jiji hili akiwa ametokea tanga hana zaidi ya mwezi tangu aje kwa mama UNK mdogo manzese uzuri karibu na kwa bibi UNK anasema UNK UNK kukutana na hali hiyo ya kutishiwa na walevi au UNK unga wanaokaa raha UNK na kufanya watakavyo nyuma tu ya nyumba yao makazi holela yaliyoko pembezoni mwa barabara ya tandale sinza uzuri yamekuwa ni hatari kwa watoto wanaotumia barabara hiyo nyumba ziko karibu mno kiasi ambacho mtu anajiuliza kama waliokuwa UNK walikuwa wanajua ni kitu gani walikuwa wakifanya makazi holela ndiyo yamesababisha wananchi kuishi jirani na baa kumbi za disko au hata kamari ambapo makelele huwa ni kitu cha kawaida kabisa lakini yenye madhara makubwa kwa watoto mtoto anapaswa kupata usingizi kwa wakati na katika hali inayotakiwa kinyume chake ni kumdhuru kwa hali ya juu na ilihali hawezi kujilinda na hali hiyo kuwepo kwa majengo katika viwanja UNK kuwa vya wazi na vya michezo kumesababisha watoto kufanya baadhi ya michezo yao barabarani na hivyo kuhatarisha maisha yao kwa kiwango kikubwa kwa upande wa sinza kuanzia mwanzo wa barabara ya shekilango hadi mwisho kumejaa baa wenyewe wanasema kila baada ya nyumba moja kuna baa ambazo UNK hadi kwenye makazi ya watu ndivyo UNK UNK watoto katika maeno ya namna hiyo karibu msomaji katika mfululizo wa makala haya ya uchambuzi juu ya sheria ambayo lengo lake ni kukupa mwanga kutambua kuwa ni wajibu wako kama raia kufuata na kutii sheria za nchi lakini pia kutambua kuwa una haki ambazo unastahili kupewa kama raia pasipo ubaguzi wa aina yoyote leo tutaangalia mfumo mzima wa usimamizi wa kesi za jinai mwenendo mzima wa mashitaka juu ya makosa ya hayo haki na wajibu wa wahusika kuanzia taarifa za tukio zinapotolewa mpaka maamuzi UNK na mahakama pengine swali la msingi ni kuwa ni nani hasa mwenye haki na wajibu wa kuanzisha shitaka la jinai kortini katika nadharia mtu yeyote anaweza kufungua shitaka katika mahakama yoyote yenye mamlaka ya kuamua shitaka lake lakini katika hali ya utekelezaji mashitaka ya jinai husimamiwa na serikali kupitia idara zake mbalimbali ikiwamo polisi hata hivyo kwa mujibu wa sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai usimamizi wa mashitaka ya jinai uko chini ya ofisi ya mkurugenzi wa mashitaka ya jinai nchini mamlaka hayo UNK katika kifungu cha themanini na tisa cha sheria hiyo dpp anayo mamlaka kwa mujibu wa sheria hii kuanzisha na kusimamia mashitaka juu ya makosa ya jinai dhidi ya mtu yeyote anayetuhumiwa katika mahakama yoyote nchini lakini pia anayo mamlaka ya kusimamia UNK yaliyoanzishwa na maofisa wengine wenye mamlaka dpp pia ana mamlaka pia ya kuamua kutoendelea na shitaka lolote UNK UNK ama UNK na ofisa mwingine mwenye mamlaka atakapoona haja ya kufanya hivyo katika wakati wowote kabla mahakama haijatoa hukumu mamlaka haya UNK katika sehemu kuu mbili mamlaka yanayoweza kutekelezwa na dpp mwenyewe na mamlaka yanayoweza kutekelezwa na maofisa waendesha mashitaka wengine kwa ridhaa ama ya dpp mwenyewe ama ya mahakama mamlaka yote yanatoa amri ya kutoendelea na shitaka UNK UNK tofauti kati ya amri hizo mbili ni ndogo na mara nyingi UNK katika athari zake wakati athari za UNK UNK ni mshitakiwa kufutiwa shitaka husika na athari za withdrawal ni ama mshitakiwa kufutiwa shitaka ama kufutiwa kesi kabisa kisheria amri zote mbili UNK mshitakiwa kushitakiwa upya kwa makosa ama mengine au yaleyale yatokanayo na tukio la awali kwa ushahidi mwingine jambo la kuzingatia hapa ni kuwa amri hizo zitakuwa na athari hizo iwapo tu mshitakiwa atakuwa hajawasilisha utetezi wake ama mahakama haijatoa maamuzi juu ya shitaka UNK lakini iko kanuni inayoeleza kuwa kama amri ya withdrawal ikitolewa baada ya kuwa mshitakiwa amewasilisha utetezi wake basi ataachiwa kama vile shitaka lile limetolewa maamuzi na mahakama na ana haki ya UNK tena juu ya shitaka lile na kwa ushahidi UNK madaraka aliyonayo dpp hayawezi kutekelezwa na mtu mmoja hivyo UNK kwa maafisa sheria wa serikali na waendesha mashitaka wengine na dpp anayo mamlaka ya kuteua wakili ama afisa wa sheria yoyote kufanya moja ya majukumu hayo waendesha mashtaka binafsi kama UNK katika utangulizi kuwa katika nadharia mtu yeyote anaweza kuanzisha shitaka la jinai mahakamani japo mashitaka haya UNK na ofisi ya mkurugenzi hakuna athari kama mtu binafsi UNK na kusimamia shitaka la jinai isipokuwa afuate masharti yaliyotolewa na sheria sheria inasema ili mtu binafsi aweze kuanzisha na kusimamia shitaka la jinai mwenyewe ni lazima kwanza shitaka hilo liwe linaloweza kuamuliwa na mahakama za chini na kuwa awe amepata ridhaa ya hakimu husika kusimamia shitaka hilo ikumbukwe kuwa iwapo mtu binafsi atapata ridhaa ya dpp ama ya mahakama kuanzisha na kusimamia shitaka lake atakuwa na mamlaka ya kuzuia kutoendelea kwa shitaka hilo kwa kanuni ya withdrawal na UNK kama vile agizo hilo limetolewa na dpp mwenyewe hatua ya uchunguzi nilazima kwa kesi yoyote UNK mahakamani iwe UNK uchunguzi wa kina na kupata ushahidi wa kutosha juu ya shitaka hilo kabla ya kuendeshwa mahakamani hivyo hatua ya muhimu baada ya kutendeka kwa kosa ni uchunguzi ili kubaini ukweli na kupata ushahidi wa tuhuma UNK shughuli nyingi za uchunguzi juu ya makosa ya jinai nchini hufanywa chini ya idara ya polisi kwa mujibu wa mamlaka iliyopewa na sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai na sheria ya jeshi la polisi hatahivyo sheria hizi UNK mtu binafsi maofisa wengine kutoka idara na taasisi binafsi na za serikali wenye wajibu wa kufanya uchunguzi juu ya suala lake na ushahidi wake utapokelewa mahakamani bila pingamizi ilimradi tu amefuata taratibu za ushahidi kwa mujibu wa sheria ya ushahidi mamlaka ya polisi kwa mujibu wa sheria ya jeshi la polisi UNK shughuli za jeshi hilo zimetajwa kuwa ni kutunza amani kusimamia utekelezwaji wa sheria na amri kuchunguza na kuzuia uharifu kuwashughulikia wahalifu kwa mujibu wa sheria na kulinda mali za raia polisi wana mamlaka ya kupokea taarifa juu ya makosa na kuzifanyia kazi wanawajibu wa kumuhoji mtoa taarifa ama mtu yeyote ambaye wanaamini atasaidia katika kupatikana kwa taarifa muhimu katika kesi wanawajibu pia wa kutunza kumbukumbu ya mahojiano hayo kwa matumizi ya mahakamani haki na wajibu wa mtoaji taarifa kimsingi sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai inatoa wajibu kwa kila mtu UNK taarifa ya kutendeka uharifu ama tetesi za kuwa uharifu UNK kutoa taarifa hiyo kwa jeshi la polisi haraka iwezekanavyo itaendelea wiki ijayo mwanasheria mwandishi kama wewe ni kijana mdogo na ndio kwanza UNK kwa vyovyote vile utapata ugumu unapotaka kujenga jina lako kazini kwako na kutambuliwa kwa mchango wako pengine changamoto kubwa ni kujitambulisha bila kuonekana kama vile UNK au una UNK iwapo mara kwa mara UNK UNK jinsi ulivyo maridadi jinsi UNK kazi yako na jinsi shirika au kampuni yako ilivyo na bahati kwa kuwa na wewe UNK kuwa mtu wa majigambo na UNK namna hii UNK lakini pia ukikaa kimya kabisa unaweza UNK fursa ya kupewa majukumu fulani ya UNK jina UNK kujipigia debe kwa maneno na kwa kujipendekeza kwa mabosi lakini angalau uchukue jitihada za kuwaonesha watu UNK kuwa unao mchango muhimu katika eneo lako la kazi zipo mbinu ambazo UNK vema UNK fahamu lengo lako kabla ya kuanza kujipigia tarumbeta na kuimba sifa zako mwenyewe kazini jiulize lengo lako la kufanya kazi kwa bidii ni nini hasa je kuna mtu unataka kuchukua nafasi yake je unataka mtu fulani akuone UNK je unataka UNK wakubwa wa kampuni kama hujui hatimaye unataka jitihada zako UNK wapi haitakuwa rahisi kufahamu kama uko katika njia sahihi au kama umefika lakini ili ufanikiwe hakikisha kuwa lengo lako la UNK linakwenda sanjari na malengo ya shirika lako pamoja na malengo maalumu ya idara au kitengo chako hakikisha una mafanikio UNK ili uweze kuwa na ujasiri wa kujisifia kama ni lazima kufanya hivyo hakikisha kwanza unalo jambo la kujisifia UNK maana huwezi kujisifu bila sababu hakikisha UNK kitu maalumu UNK kukifanya na kiwe UNK katika kazi kama kitu UNK mafanikio huwezi UNK basi UNK uhalali wa UNK kitu hicho mafanikio kadiri UNK hakikisha UNK uwe na jambo maalumu ambalo mtu UNK UNK kwa lipi uweze kumwonesha na liwe UNK UNK zaidi mambo makubwa unapokuwa na mawazo mafupi UNK zaidi katika mambo madogo madogo kama utakuwa mtu wa UNK kwa mambo madogo madogo utakuwa kichekesho na kila mmoja atajua UNK ni hayo madogo zaidi ya hapo hakuna mtu UNK jipya kwako mafanikio madogo UNK moyoni mwako watu UNK tu hata UNK badala yake weka msisitizo katika mambo makubwa mathalani mambo ambayo kila mtu UNK na UNK hofu kuna jambo ambalo UNK kila mtu UNK shujaa jitahidi kulifanya hilo sifa zako zifanye za kampuni UNK jambo lazima tu utajisikia vema na unaweza hata UNK hata hivyo iwapo utajaribu kuonesha kuwa mafanikio ya kampuni shirika UNK wewe UNK tembo maji maana watu wengine wote UNK mkono kwani yamkini nao UNK wanafanya kazi si kucheza kwa hiyo badala ya kutembea UNK kuwa wewe ndiwe kinara wa kampuni shirika UNK tu kwamba mafanikio yaliyopatikana ni ya shirika zima na UNK kwa ushirikiano wa wadau wote kwa kufanya hivi mbali na kwamba watu watatambua kuwa ni wewe UNK jambo husika lakini pia UNK jinsi ulivyo UNK kwa kutopenda UNK usikubali kukatishwa tamaa kuna wakati ambapo UNK kana kwamba huna maana mathalani bosi wako UNK au kukataa pendekezo lako lakini wakati mwingine bosi wako anaweza kuwa tu UNK na UNK UNK kumbuka hata kama bosi wako ni mkubwa kiasi gani na yeye anao watu UNK kwao huku pia akiwa na kazi zake halafu pia akitakiwa UNK wewe na wengine walio chini yake siku moja ukifika ngazi ya menejimenti UNK kwa hiyo UNK vibaya iwapo bosi ataonekana UNK vizuri badala ya kuvunjika moyo endelea kushirikiana na bosi wako na hakika mchango wako UNK siku muafaka UNK watu UNK raha mtu UNK mwenyewe kazini kwako wewe ndiwe mtu wa kwanza kujitakia heri na mafanikio na kwa hiyo lazima ufanye jitihada za kulitangaza jina lako kwa mustakabali mwema wa maisha yako isipokuwa tu UNK kuwa makini maana UNK mwenyewe UNK isipokuwa tu kwa kuendelea kuwa mwaminifu kwa wakubwa zako huku UNK mafanikio yako kuwa mafanikio ya kampuni utaonekana na kutambuliwa zaidi tumeshuhudia nchi nyingi barani afrika hasa UNK katika zama za siasa za vyama vingi kutokana na shinikizo la nchi na taasisi UNK maendeleo barani afrika chaguzi kuu na ndogo zimesababisha vurugu na matokeo yake nguvu kubwa za dola zimetumika kukabiliana na vurugu hizo UNK maisha na kujeruhi wengine wengi chanzo cha vurugu katika chaguzi nyingi ni dosari katika sheria na usimamizi wa chaguzi chini ya tume za uchaguzi ambazo mara nyingi zimekuwa ni sehemu ya kutekeleza mikakati ya kulinda maslahi ya viongozi wa vyama tawala hali hii imetia doa demokrasia ya vyama vingi katika bara letu kuonekana kama ni mchezo wa kuigiza itakumbukwa hapa tanzania kabla ya kuingia katika siasa za ushindani serikali ya awamu ya pili chini ya rais mstaafu mzee ali hassan mwinyi iliandaa utaratibu wa kukusanya maoni ya wananchi juu kadhia hiyo wananchi asilimia themanini walitaka kuendelea kwa mfumo wa chama kimoja na asilimia ishirini ndio waliotaka mfumo wa vyama vingi zilikuwa ni busara za baba wa taifa marehemu mwalimu julius nyerere UNK kuwa licha ya maoni ya wengi kuheshimiwa lakini katika hilo tukubali maoni ya asilimia ishirini ccm UNK na kuanza mchakato wa utekelezaji serikali haraka haraka UNK sheria mbalimbali za uchaguzi ndani ya mfumo huo mpya mswada wa sheria ulipitishwa na sheria kuanza kutumika wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano dosari kubwa zilitokea jijini dar es salaam na uchaguzi ukavurugika na kurudiwa siku nyingine hali kadhalika visiwani unguja hali ilikuwa tete na matokeo ya urais wa visiwa hivyo UNK utata uliosababisha jumuia ya madola kuleta suluhu dosari za uchaguzi huo UNK hatimaye tulipofika mwaka ishirini sifuri sifuri nchi yetu ikaingia katika rekodi ya vurugu zitokanazo na uchaguzi ambapo baadhi ya watanzania wenzetu walipoteza maisha yao huko visiwani pemba kutokana na usimamzi mbovu wa uchaguzi hatimaye viongozi wa vyama vya siasa walianza majadiliano na kufikiwa kwa mwafaka moja ya mambo muhimu katika mwafaka baina ya ccm na chama cha wananchi ni mabadiliko ya sheria na usimamizi katika sheria lakini UNK kwa viongozi wa vyama siasa hawaoni kuwa wadau wakubwa wa chaguzi hizi ni wanachama wao hivyo sheria na taratibu za uchaguzi UNK kujadiliwa na wanachama wao mojawapo ya UNK ya sheria za uchaguzi UNK na kupelekwa bungeni ni ile ya UNK baadaye sheria hii ilikuja UNK kuwa inasababisha vurugu na kuimarisha rushwa katika demokrasia wadau wengi walipiga kelele na hatimaye kutinga kwenye vyombo vya sheria kwa tafsiri ilikuja kuonekana kuwa UNK demokrasia uamuzi wa mahakama wa kuifuta sheria ya takrima UNK kwa furaha na wananchi wengi hii ilizidi kuonesha watunga sheria wetu jinsi gani UNK kupata maoni ya wananchi wadau wa demokrasia na hata uzoefu wa nchi nyingi ambazo UNK katika masuala ya demokrasia ya ushindani wa vyama vingi utata mwingine uliotinga mahakamani ni kutaka wagombea binafsi waruhusiwe kugombea katika chaguzi mbalimbali licha ya mahakama kuamua kuwazuia wagombea binafsi ni kinyume na katiba ya nchi bado watawala na wenye dhamana ya kufanyia marekebisho sheria za uchaguzi hawaoni umuhimu wa kurekebisha suala hili UNK chaguzi kuu mara tatu sasa na mwakani tunaingia mara ya nne lakini uzoefu unaonesha katika kila chaguzi hakuna mikakati sahihi zaidi wa kutunga sheria kanuni na taratibu UNK matatizo katika ujenzi wa demokrasi katika chaguzi hali kadhalika taratibu za zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa UNK kilele chake leo wananchi wengi UNK kupiga kura kutokana na ujanja unaofanywa na wasimamizi wa uchaguzi endapo takwimu UNK ni watanzania wangapi nchini waliojiandikisha kupiga kura katika ngazi hiyo idadi yake inaweza kushangaza mno watu wanakwenda vituoni kujiandikisha lakini siku ya kupiga kura wananchi wanakuta majina yao UNK mahali pengine watu wengi UNK lakini siku ya kupiga kura UNK utasikia masanduku ya kura UNK kwa wajumbe wa nyumba kumi kumi na taratibu nyingi kukiukwa lakini wahusika hawachukuliwi hatua za kisheria sheria ya marekebisho ya uchaguzi iliyopitishwa na bunge hivi karibuni UNK vyama vya siasa na wagombea wao kuhusiana na matumizi ya fedha wakati wa uchaguzi na mabadiliko mengi yaliyoko kwenye sheria hiyo ni lazima UNK kwa wananchi na viongozi wa vyama vyao mapema lakini tunasubiri hadi wakati wa uchaguzi wenyewe ustawi wa demokrasia ndio ni ajenda kuu katika kila uchaguzi hapa nchini uzoefu mfupi tulionao ni ule wakati wa uchaguzi unapofika taratibu na kanuni huwekwa kando na maslahi ya vyama huwa mbele na kuwa chanzo cha vurugu kila inapotokea vurugu serikali kubeba lawama serikali lazima iwe mkakati wa kuelimisha umma ili kuepusha gharama za matumizi ya nguvu ya ziada ya vyombo vya dola katika chaguzi tumeshuhudia vurugu za uchaguzi zilizozuka nchini kenya sababu ni wasimamizi wa chaguzi kuchezea demokrasia tanzania tunaweza kuepuka vurugu kama hizi iwapo sheria za uchaguzi kabla ya kupelekwa kwa wabunge kupitishwa kuwa sheria kwanza UNK na makundi mbalimbali ya wananchi kupitia vyama vyao vya siasa au asasi za kiraia mlolongo ya mabadiliko ya sheria ya uchaguzi yaliyopitishwa na bunge na baadaye kupata tafsiri inayotaka kurekebishwa kutoka kwenye vyombo vya sheria ni ithibati kuwa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi hufanywa kijanja janja kulinda baadhi ya wanasiasa kutimiza malengo yao nje ya misingi ya demokrasia ya kweli ni hatari kwa taifa letu kuna mambo mengi UNK kuzingatiwa wakati wa kufanya mabadiliko ya sheria ya uchaguzi mojawapo ni kubadili mwendo wetu wa kujifungia vyumbani na kubadilisha sheria taratibu na kanuni za uchaguzi bila kuzingatia uzoefu wa wapiga kura wenyewe tukumbuke kuwa wadau wakubwa wa utulivu katika chaguzi ni wananchi wenyewe inapaswa tuanze kuwashirikisha toka ngazi za chini kwa kutoa muda wa kutosha lakini kufanya mabadiliko ya sheria ya uchaguzi wakati umebaki muda mfupi tuingie kwenye uchaguzi mwingine unaweza UNK vurugu kwa vile mabadiliko ya sheria lazima UNK muda wa kutosha ili wadau wafahamu na hivyo kutokuwa waathirika wa makosa sio kwamba UNK wabunge wetu kutunga sheria kwa niaba ya wananchi lakini ushirikishwaji wa wananchi kupitia makundi maslahi yao ni jambo jema UNK wadau wa habari UNK wakati serikali ikiandaa UNK wa mabadiliko ya sheria za vyombo vya habari na kutoa nafasi kwa wadau hao kujadili na kutoa maoni yao sembuse suala hili ya sheria za uchaguzi ambalo ni suala muhimu linaloweza si kujenga na kuimarisha umoja wetu kitaifa bali pia linaweza kusaidia jinsi gani tunaweza kuboresha katiba yetu ili tusije kuingia kwenye vurugu za UNK kila mara baada ya uchaguzi kumekuwa na kelele kuwa kuna mchezo mchafu au wizi wa kura hii ni hatari lengo ni kudhibiti matumizi fedha za serikali kukuza uchumi watumishi ofisi ya cag UNK kielimu kufanikisha mpango huo jitihada kubwa zinazofanywa na serikali katika kuharakisha maendeleo na kukuza uchumi zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo upungufu wa wataalamu wa usimamizi na ukaguzi wa mapato na matumizi ya serikali na wananchi pamoja na changamoto hiyo jitihada kadhaa zimekuwa zikichukuliwa na serikali kwa lengo la kukuza uchumi na kuboresha mazingira ya usimamizi mzuri wa mapato watu wenye taaluma ya masomo ya uhasibu na ukaguzi wa mahesabu wana nafasi kubwa ya kuweka msingi mzuri wa matumizi ya fedha za wananchi na kudhibiti wizi wa fedha ambao umekuwa UNK ofisi nyingi za serikali wataalamu hao wamekuwa UNK mara kwa mara kuifanya kazi hiyo kwa umakini wa hali ya juu kutokana na umuhimu wa kazi hiyo katika UNK maendeleo ya taifa na kustawisha uchumi wa nchi kaimu mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kutoka ofisi ya bwana UNK george hivi karibuni alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya wahitimu wa shahada ya juu ya uhasibu waliofanya mtihani wa bodi ya taifa ya ukaguzi jijini dar es salaam bwana george anasema nia ya serikali ni kuchochea maendeleo kupitia ofisi ya kwa kuhakikisha kuwa yanakuwepo matumizi mazuri ya fedha zitokanazo na mapato ya wananchi ikiwa ni pamoja na ruzuku inayotolewa na serikali kufanikisha miradi mbalimbali ya maendeleo anasema malengo hayo yameonekana kuchelewa kwa kipindi kirefu kutokana na ukosefu wa wataalamu wa kutosha katika fani ya ukaguzi wa hesabu za serikali jitihada za kuwapata wataalamu wa fani hii bado zinaendelea kutokana na umuhimu wao katika kufanikisha majukumu ya ofisi yetu ambayo inahitaji wataalamu wa kutosha wenye taaluma ya ukaguzi anasema anasema uhaba wa wataalamu wa fani hiyo unachelewesha maendeleo ya nchi ambapo kupitia idadi ndogo wa wataalamu waliopo ni changamoto kwa ofisi hiyo ili kuongeza wataalamu bwana george anasema mpaka sasa taaluma ya ukaguzi nchini ina jumla ya wataalamu sabini na mbili wenye sifa ya shahada ya juu ya uhasibu na kuongeza kuwa idadi hiyo bado haitoshi katika kuharakisha maendeleo jumla ya wahitimu kumi na moja kutoka ofisi ya cag katika fani ya shahada ya juu ya uhasibu walifanya mtihani wa bodi ya taifa ya ukaguzi katika kipindi cha mwaka huu anaongeza kuwa wataalamu ambao wameongezeka katika kipindi cha mwaka huu ni chachu katika kuleta maendeleo kama watatambua na kuzingatia majukumu ya kazi yao anasema licha ya kazi hiyo kuonekana ngumu watu mbalimbali wamekuwa na dhana tofauti juu ya fani hiyo wakishindwa kufahamu kuwa fani hiyo haina tofauti na nyingine ila jambo la msingi ni umakini wa mtumishi utaratibu tulionao katika ofisi ya cag kila mhitimu ambaye ni mtumishi wetu ambaye UNK masomo ya cpa tuna utaratibu wa UNK shilingi milioni moja kila mhitimu anasema kutokana na malalamiko kadhaa ya wananchi katika halmashauri mbalimbali nchini juu ya usimamizi mbovu wa fedha za umma serikali imejikuta katika wakati mgumu hata kupata kashfa za ufujaji wa fedha za wananchi kwa upande wake bwana edwin rweyemamu ambaye ni mkuu wa kitengo cha mafunzo ukaguzi na usimamizi wa fedha za umma katika ofisi ya cag anasema serikali kwa sasa inahitaji wataalamu wa kutosha ili kuhakikisha kuwa kunakuwa na ukaguzi wa uhakika wa hesabu serikali ili tuweze kupata mafanikio zaidi ya haya tuliyonayo ipo haja ya kuongeza idadi ya watendaji wenye sifa na hata wenye elimu zaidi ambapo jitihada zinaendelea ili kuongeza wataalamu na wale wenye nia ya kusomea masomo haya tunasisitiza waendelee kujitokeza anasema mpango huo wa serikali utasaidia kuokoa fedha nyingi za umma ambazo zinazotumika katika mazingira yasiyoeleweka na hivyo serikali kuingia hasara matumizi mabaya ya fedha za serikali yamekuwa UNK kwa muda mrefu hivyo idadi ya watalamu waliopo nchini haiwezi kumaliza tatizo lililopo hivyo jitihada zinahitajika ili kuongeza wataalamu zaidi anasema mkakati walionao ni kuhakikisha kuwa usimamizi na ukaguzi wa fedha za serikali unafanyika kwa mafanikio makubwa hivyo lakini bado kuna upungufu wa wataalamu wa kutosha ili waweze kuifanya kazi hiyo katika ofisi mbalimbali za serikali kwa urahisi zaidi ujenzi wa visima waanza kuimarika duwasa yalalamikia wizi wa miundombinu mgawo wa umeme mkoa wa dodoma umekuwa ukifanya jitihada kubwa za kuharakisha maendeleo ya mji huo ambapo jitihada hizo UNK kuanzishwa kwa vyuo vikuu taaasisi za elimu ya juu na vyuo vya elimu ya ufundi ili kufanikisha malengo ya kuufanya mji huo kuwa wa kisasa mamlaka ya maji safi na maji taka mjini dodoma haina budi kuboresha huduma wanazotoa ili ziendane na kasi ya ukuaji wa mji huo mamlaka hiyo inakabiliwa na changamoto nyingi UNK na ongezeko la watu wanaokwenda mjini dodoma kwa shughuli za kibiashara au kutafuta makazi kutokana na uhakika wa soko na urahisi wa huduma pamoja na changamoto hizo mamlaka hiyo imekuwa na ongezeko kubwa la wateja katika muda mfupi mbali ya changamoto zinazowakabili jambo la msingi kwa mamlaka hiyo ni kuainisha maeneo yenye mahitaji makubwa ya maji safi na maji taka kwani huduma hiyo bado UNK wananchi wengi ambao wataweza kuboresha maisha yao kutokana na ustawi wa huduma wanazotoa upo usemi unaosema maji ni uhai ambao unatakiwa kuzingatiwa na mamlaka hiyo kutokana na umuhimu wa maji katika kufanikisha shughuli mbalimbali za kila siku duwasa haina budi kuwajali wateja wake japo kwa hatua za awali za kukamilisha miundombinu katika maeneo mbalimbali ya mji huo ili kufanikisha malengo ya serikali ya mkoa kuufanya mji huo kuwa wa kisasa kwa kutambua umuhimu wa maji katika mji wa dodoma ambao hivi sasa unakuwa kwa kasi kutokana na ongezeko la watu tayari duwasa imeanza kuchukua hatua za makusudi kuboresha huduma kwa kuchimba visima vya maji safi katika eneo la UNK katika mwaka wa fedha ishirini sifuri nane ishirini sifuri tisa duwasa UNK shilingi bilioni moja tano za kutoka wizara ya maji na umwagiliaji ambazo pamoja na mambo mengine zitatumika kwa kuchimba visima viwili vyenye uwezo wa kuzalisha lita milioni tano kwa siku ambapo kazi ya uchimbaji wa visima hivyo ipo katika hatua ya kukamilika na kuzinduliwa kwa miradi husika mwaka wa fedha wa ishirini sifuri tisa ishirini moja sifuri mamlaka hiyo ina mpango wa kuchimba visima vingine vitatu ambavyo vitakuwa na uwezo wa kuzalisha wastani wa lita milioni saba mbili kwa siku ambapo maombi ya fedha shilingi bilioni moja tisa tayari yamewasilishwa wizarani ili kuanza kwa mradi huo katika hatua za awali mbali ya mamlaka hiyo kuwa na malengo mazuri ya kustawisha huduma ya maji safi na maji taka kwa wakazi wa mkoa huo zipo changamoto mbalimbali UNK malengo hayo ambazo nyingi kati ya hizo UNK mamlaka hiyo kufanya upanuzi wa mitandao ya maji kwa kutumia vyanzo vyake vya ndani serikali ya china ambayo ina uhusiano mzuri na duwasa tayari UNK kusaidia baadhi ya vifaa muhimu kama mabomba ambapo hivi sasa mamlaka imeweza kutekeleza miradi midogo thebathini na tano kwa kutumia mabomba UNK kuundwa kwa mamlaka hiyo kulikuwa na malengo sawa na mamlaka nyingine za maji safi na maji taka chini ya kifungu cha sheria ya maji namba nane ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba sehemu ya tatu kama ilivyofanyiwa marekebisho na sheria namba kumi na mbili ya mwaka ishirini sifuri tisa sehemu ya sitini duwasa ilianza kutekeleza majukumu yake julai mosi elfu moja na mia tisa na tisini na nane kama taasisi ya umma yenye mamlaka kisheria ya kutoa huduma ya UNK wa maji safi na usafi wa mazingira mjini dodoma mkurugenzi mtendaji wa mamlaka hiyo mhandisi peter mokiwa anasema mkoa wa dodoma unakabiliwa na ongezeko kubwa la watu ambao kwa umoja wao wanahitaji huduma bora ya maji safi na maji taka mhandisi mokiwa anasema mamlaka hiyo ina jumla ya visima ishirini vilivyopo katika bonde la makutupora vyenye uwezo wa kuzalisha maji wastani wa lita milioni thebathini na saba kwa siku uzalishaji huo ni tofauti kwa sasa kwani visima vinavyofanya kazi ya kuzalisha maji ni kumi na mbili na wastani wa maji yanayozalishwa ni lita milioni ishirini na tisa sifuri sifuri sifuri kwa siku hali hii imesababisha kuwepo kwa upungufu wa visima nane ambavyo havifanyi kazi kutokana na pampu zake kushuka uwezo wa kufanya kazi anasema anafafanua kuwa mahitaji halisi ya maji safi kwa wakazi wa mji wa dodoma baada ya kufanikiwa kwa mpango wa kuboresha mazingira ya mji huo ni wastani wa lita milioni arobaini na tano kwa siku anasema shilingi bilioni mbili zinahitajika ili kufanya ukarabati wa mitambo ya maji katikati ya mji inayofikia urefu wa kilomita arobaini na tano ukarabati huo unatokana na kuchakaa kwa mitambo na ukarabati wa mitaro ya maji taka mhandisi mokiwa anasema maeneo yaliyoathirika zaidi na uchakavu huo ni UNK c na d ambayo UNK urefu wa kilomita kumi na tisa ambapo shilingi bilioni tatu zinahitajika ili kufanya ukarabati tatizo la umeme kukatika mara mbili kwa wiki limekuwa likisababisha athari kubwa katika uzalishaji na UNK wa maji kwa wakazi wa mji huu kwani bila umeme ni vigumu kusambaza maji katika mji wa dodoma anasema uzalishaji na usambazaji wa maji katika mji huo unahitaji nguvu ya umeme kwa asilimia kumi sifuri hivyo kutokana na mgawo huo usambazaji wa huduma ya maji katika maeneo mbalimbali ya mji huo imepungua na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wananchi anaongeza kuwa mgawo wa umeme unakwamisha majukumu ya mamlaka hiyo kwani kuna baadhi ya maeneo ya mji huo bila kuwepo umeme hawaweze kupata maji ustawi wa sekta ya maji katika mji wa dodoma UNK maendeleo ya wananchi na kukuza uchumi aliyataja maeneo hayo kuwa ni UNK iringa road UNK UNK changgombe chamwino kisasa mashariki na kisasa kusini ambapo hali hiyo inachangia usumbufu mkubwa kwa wakazi wa maeneo hayo anasema eneo la uzalishaji maji la mzakwe halimo katika ratiba ya mgao wa umeme ambapo maji yanayozalishwa katika eneo hilo mashine zake zinahitaji kusukumwa na nguvu ya umeme ili yaweze kufika katika maeneo mbalimbali ya mji huo kuwepo kwa huduma ya umeme katika eneo la mzakwe na kukosekana kwa umeme katika eneo la maili mbili UNK duwasa kuboresha huduma zake na kusisitiza kuwa tayari UNK uongozi wa tanesco kanda ya dodoma juu ya athari hiyo ambapo shirika hilo limekubali kufanyia kazi suala hilo mahindi mokiwa alifafanua kuwa mbali ya changamoto hiyo ya umeme duwasa inakabiliwa na tatizo kubwa la wizi wa UNK ya UNK ya maji safi na maji taka ambapo tayari mamlaka hiyo imepata hasara ya karibu shilingi milioni sitini na moja mbili kutokana na wizi huo maeneo yote ya duwasa UNK kujumuishwa katika mgawo wa umeme kuanzia katika uzalishaji maji hadi vituo vyake vya kusukumia maji vilivyopo mjini na kuelekea chuo kikuu cha dodoma anasema mpango mkakati wa kuboresha huduma ya maji katika mji huo unatekelezwa na mamlaka hiyo kwa kushirikiana na serikali pamoja na wafadhili ambapo hivi sasa kuna mradi wa maji katika eneo la hazina ambao umeanza kutekelezwa kwa gharama za shilingi bilioni moja ishirini na tatu anasema upanuzi wa mitambo ya mabomba ya maji safi katika mji huo umeanza kwenye hatua ya usanifu na mhandisi mshauri anaendelea na upimaji katika maeneo ya UNK UNK kisasa na UNK utekelezwaji wa mradi huo unategemea mchango wa duwasa ambao ni dola za marekani milioni sitini na tisa na kuongeza kuwa mamlaka hiyo imeomba kibali cha udhamini wa serikali kuu ili iweze kuchukua mkopo kutoka taasisi ya fedha kuna mradi mwingine ambao unatekelezwa chini ya sekta ya maji tanzania ambao hivi sasa mhandisi mshauri yupo katika hatua ya usanifu anasema anasema mambo mengine UNK na mamlaka hiyo ni pamoja na kununua gari la maji taka ambalo limeanza kufanya kazi pamoja na kununua vifaa vya kisasa vya UNK na UNK mitaro ya maji taka mhandisi mokiwa anasema nchi ya korea imeonesha nia ya kuwasaidia ili kuboresha huduma ya maji safi katika nyanja mbalimbali ili kuongeza uwezo wa uzalishaji maji katika bonde la makutupora kwa kusafisha visima vilivyopo na kununua pampu mpya kulaza bomba kuu la ichi ishirini na nne kwa ajili ya kusafirisha maji kutoka mzakwe hadi kilimani pamoja na kulaza mabomba katika maeneo mbalimbali ambayo huduma hiyo ilikuwa bado UNK mamlaka hiyo mpaka sasa ina jumla ya wateja wa maji safi wapatao kumi na tisa sifuri sita moja ambapo wateja wa maji taka ni tatu mia sita na hamsini na sita makusanyo ya mwezi ni shilingi milioni mia mbili na hamsini kutoka mwaka jana hadi shilingi milioni mia tatu na ishirini hadi kufikia septemba mwaka huu UNK malengo katika elimu na huduma nyingine za kijamii UNK miaka kumi tanzania UNK mkurugenzi mpya na glory mhiliwa yapo mashirika mbalimbali yaliyoanzishwa nchini kwa lengo la kutoa huduma kwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi yatima na wajane ambao wanakabiliwa na changamoto kubwa ya maisha shirikia la kimataifa la compassion ni shirika pekee linalotoa huduma kwa watoto zaidi ya hamsini sifuri sifuri sifuri wanaoishi katika familia masikini mafanikio yaliyofikiwa na shirika hilo ni mfano wa kuigwa dhidi ya mashirika mengine ambalo leo hii linatimiza miaka kumi ya kuanzishwa kwake awali shirika hilo lilikuwa chini ya usimamizi wa mkurugenzi mtendaji daktari emmanuel mbennah ambaye UNK madaraka hayo na kumpisha daktari joseph UNK wakati daktari mayala akisimikwa rasmi kuwa mkurugenzi mpya mafanikio yaliyofikiwa na shirika hilo ni mengi ambapo watoto wanaotoka katika familia masikini wameweza kunufaika na misaada mbalimbali waliyopewa baadhi ya misaada hiyo ni elimu chakula na mahitaji mengine muhimu akielezea historia ya shirika hilo daktari mbennah anayemaliza muda wake anasema shirika hilo lilianzishwa aprili thebathini elfu moja na mia tisa na tisini na tisa kwa upande wa tanzania shirika hilo lina UNK katika nchi mbalimbali barani afrika na makao makuu yake yako nchini marekani anasema kwa upande wa tanzania shirika hilo linatoa huduma zake katika mikoa kumi na mbili ambayo ni arusha dodoma mwanza shinyanga pwani iringa morogoro tabora mara kilimanjaro manyara na singida wakati shirika hili UNK nchini tulianza kuhudumia watoto saba sifuri sifuri sifuri ambapo hivi sasa UNK watoto zaidi ya hamsini sifuri sifuri sifuri watoto hawa tumekuwa UNK katika vituo mia mbili na ishirini na tisa vilivyopo katika makanisa mbalimbali ya kikristo ambayo UNK kwa ajili ya kusimamia vituo hivyo ambapo makao makuu kwa shirika kwa hapa nchini yako mkoani arusha anasema daktari mbennah anasema jumla ya watendaji mia tisa na ishirini wapo katika vituo mbalimbali vinavyohudumia watoto hao idadi ya watendaji waliopo makao makuu ni sitini na kufanya idadi ya watendaji hao kufikia kumi sifuri kati ya hao watanzania wameweza kupata ajira za kudumu daktari mbennah anasema shirika hilo UNK wanafunzi katika vituo vyao ambao hivi sasa wanatarajiwa kujiunga na elimu ya juu wanafunzi wengine wapo katika shule mbalimbali za awali msingi sekondari na vyuo vya ufundi anasema taratibu zilizotumika kuwapata watoto hao mara baada ya kufungua vituo hivyo ni kutoa matangazo katika makanisa kuhusiana na ufadhili wa watoto wanaoishi katika familia masikini watoto wengi walijitokeza na kufuatiliwa ili kuwabaini kama ni kweli wanastahili msaada huo baadhi ya wazazi na walezi UNK watoto wao ambao walibainika kuwa hawana shida sana na hivyo kulazimika kuondolewa na nafasi zao kuchukuliwa na watoto wenye matatizo makubwa hiyo ndiyo sababu pekee iliyopelekea shirika letu la compassion kuwasaidia watoto wenye kuhitaji misaada alifafanua daktari mbennah akizungumzia hatua ya kuwawezesha watoto hao anasema huduma wanazopewa ni elimu tiba na lishe pindi yanapotokea matatizo ya njaa kaitka maeneo mbalimbali ya nchi daktari mbennah anasema kuwa shirika hilo limekuwa likifanya kazi zake kupitia programu zake nne programu ya kwanza ni kuwawezesha watoto kujitegemea kimapato na kiuchumi kwa siku za baadae na kuwapa elimu ambayo itawawezesha kuondokana na umaskini kwa kuajiriwa ama kujiajiri wenyewe ili waweze kujitegemea na kuzisaidia familia zao anasema programu ya pili ni kuwawezesha watoto hao kujitambua kwa kubaini vipaji vyao na kuviendeleza timu ya taifa ya vijana ina wachezaji wenye umri chini ya mika kumi na saba ambao wanatokea katika shirika hilo tuna vijana ambao ni UNK kutoka mkoani dodoma vijana hawa wamekamilisha na kutoa albam mbalimbali ambao tumekuwa UNK pia kuna baadhi ya wanariadha ambao mwaka jana walishinda katika ngazi ya taifa ambao UNK na shirika hili kulingana na vipaji vyao anasema programu ya tatu ni ile ya kuwawezesha kuboresha afya za watoto hao ambapo vituo vinavyotoa huduma kwa watoto hao UNK mikataba na zahanati mbalimbali vituo vya afya na hospital kwa ajili ya kutoa matibabu kwa watoto anasema baadhi ya watoto wanaohudumiwa na shirika hilo ni waathirika wa ugonjwa wa ukimwi watoto hao wamekuwa UNK vyakula vyenye virutubisho vya mwili pamoja na dawa za kupunguza makali ya virusi vya ugonjwa huo na kuongeza cd nne programu ya nne ni nne ni kuwawezesha watoto hao kukua kiroho kwa kuwafundisha mafundisho ya neno la mungu kwa njia ya biblia na hivyo kuwafanya wawe na maadili mema na UNK mungu na UNK katika mwaka wa fedha ulioanza oktoba ishirini sifuri nane shirika hilo limeongeza programu mbili ambazo UNK na bwana mayala ambaye leo hii UNK rasmi kuwa mkurugenzi mpwa wa shirika hilo kwa upande wa tanzania anasema programu hizo ni pamoja na ile ya kumsaidia mtoto tangu akiwa tumboni kwa mama yake kwa kupatiwa matibabu na lishe bora wakati wa ujauzito UNK huyo UNK atasaidiwa mpaka atakapofikisha umri wa miaka ishirini na mbili programu ya pili ambayo ni ya sita katika programu za shirika ni kuwajengea uwezo wazazi ili wajue jinsi ya kuwalea watoto wao katika maadili mazuri mpaka hivi sasa tumeweza kuwapatia elimu hiyo wazazi ishirini na tano sifuri sifuri sifuri wa jinsia zote anasema daktari mbennah anasema shirika hilo bado lina mpango wa kuzindua matawi katika mikoa mingine ili baadae waweze kuwa na vituo vingi nchi nzima daktari mbennah anasema kuwa hivi karibuni wanatarajia kuzindua vituo katika mikoa ya dar es salaam na mbeya UNK changamoto za shirika hilo daktari mbennah anasema baadhi ya makanisa yenye vituo vyao havina miundombinu ya maji ofisi vyoo na madarasa hivyo kuwalazimu kujenga miundombinu yao changamoto nyingine ni baadhi ya jamii wazazi au walezi kuwa na dhana tofauti juu ya utendaji kazi wa shirika hilo kwa kudhani kuwa watapewa fedha kwa ajili ya ujenzi wa nyumba zao au zawadi UNK watoto ni kwa ajili ya familia nzima baadhi ya watoto hao hununuliwa magodoro ambayo huchukuliwa na wazazi au walezi na kuyatumia kwa ajili ya UNK daktari mbennah anasema shirika hilo hutumia fedha nyingi za kuwasomesha watoto wanaohudumiwa na shirika hilo katika shule za sekondari na vyuo shirika hilo hulazimika kutafuta mbinu mbalimbali za kupata fedha ambazo UNK watoto hao kuendelea na masomo yao maadhimisho ya miaka kumi ya kuanzishwa kwa shirika hilo nchini yatakwenda sambamba na sherehe za kumuaga mkurugenzi mtendaji anayemaliza muda wake daktari mbennah na kusimikwa kwa mkurugenzi mpya bwana mayala ambaye awali alikuwa ofisa wa UNK za shirika hilo kwa upande wake bwana mayala anasema atahakikisha shirika hilo linaendelea kutoa huduma zake kwa ufanisi mkubwa na kufungua matawi zaidi katika mikoa mbalimbali ambayo UNK na shirika hilo kupitia uteuzi huu nitahakikisha UNK za shirika zinatekelezwa kwa wakati ili tuweze kutimiza malengo tuliyojiwekea kwa watoto UNK na shirika hili na kuboresha maisha yao kwa kuwapa elimu tafiti UNK ongezeko la vifo hivyo kila baada ya dakika ishirini na tano jamii yashauriwa kutumia njia sahihi kufunga uzazi na benedict kaguo sekta ya afya katika nchi yoyote duniani ina umuhimu mkubwa katika jamii ambayo inahitaji kuwa na afya bora ili iweze kushiriki katika shughuli za uzalishaji na kukuza uchumi wa nchi tanzania inakadiriwa kuwa na watu zaidi ya milioni thebathini na nne ambapo kwa mujibu wa wataalam wa masuala ya uzazi wa mpango takwimu zinazonesha kuwa kiwango cha uzazi nchini kila mwanamke UNK watoto watano wataalam hao wanafafanua kuwa kikomo cha umri wa uzazi kwa wanawake wengi ni miaka thebathini na tano kulingana na ushauri wanaopewa na wataalam wa afya na uzazi hali halisi ya tatizo la vifo vitokanavyo na uzazi nchini ni kubwa kwa wakinamama wajawazito tafiti mbalimbali zinazonesha kuwa vifo vya wakinamama wajawazito hutokea kila baada ya dakika ishirini na tano wanawake wajawazito mia tano na sabini na nane kati ya kumi sifuri sifuri sifuri sifuri hufariki dunia kila mwaka kutokana na matatizo ya uzazi kabla au baada ya kujifungua asilimia themanini ya wakinamama wajawazito hufariki dunia kabla au baada ya kujifungua mwamko wa wazazi kutumia vituo vya afya bado ni mdogo hali inayochangia kuwepo kwa idadi kubwa ya vifo wajawazito takwimu zinazonesha kuwa asilimia tisini na nne ya wajawazito UNK kwenye vituo vya afya mara moja wkati asilimia sitini na nne hufika mara nne na asilimia arobaini na saba ya wajawazito wote UNK kwenye vituo vya afya ni asilimia ishirini tu ya wajawazito hao ndio wanaotumia njia sahihi ya uzazi wa mpango idadi hiyo ni ndogo ikilinganishwa na jitihada zinazofanywa kutafuta ufumbuzi wa tatizo la vifo vya wakinamama wajawazito kati ya mambo yanayopaswa kufanywa na wazazi ili kupunguza vifo vya wajawazito na watoto ni kufuata njia mbalimbali za uzazi wa mpango miongoni mwa njia hizo ni matumizi ya mipira kondom vidonge sindano uzazi wa tarehe UNK kitanzi na kufunga kizazi kwa upande wa baba na mama wataalamu wa afya wanashauri njia hizo zitumike ili zisaidie kupunguza vifo hivyo hivi karibuni shirika lisilo la kiserikali la engender UNK kupitia mradi wake wa UNK lilitoa mafunzo kwa waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali mkoani tanga mafunzo hayo yalilenga kuhamasisha huduma za uzazi wa mpango na yalifanyika katika chuo cha madaktari UNK kati ya mambo UNK katika mafunzo hayo ni pamoja na kutajwa kwa mambo yanayoonekana kukwamisha harakati za serikali na mashirika yaliyopo katika mapambano ya kupunguza vifo vya wajawazito na watoto nchini mratibu wa afya ya uzazi na mtoto mkoani tanga bibi sarah fubusa anasema zipo changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii katika kupunguza vifo vya wakinamama wajawazito changamoto hizo ni pamoja na elimu duni ya njia sahihi za uzazi wa mpango ambapo baadhi ya wazazi wamekuwa wakidhani kuwa matumizi ya njia za uzazi wa mpango yanaweza kuwaletea madhara ya mwili ambayo ni pamoja na kupata ugonjwa wa kansa ya uzazi anasema jambo lingine ni kitendo cha wajawazito wengi kuchelewa kufika kwenye vituo vya afya ambapo wengi wao hufika kwenye vituo hivyo wakiwa kwenye hatua za mwisho hali inayofanya wengi wao kufariki dunia kutokana na hali hiyo washiriki wa mafunzo hayo wameshauri mambo kadhaa yafanyike ili kupunguza tatizo hilo mambo hayo ni kuimarisha kuimarisha huduma za afya ili ziweze kuwafikia wananchi wengi walioko mijini na vijiji watumishi wa idara ya afya wasiozingatia maadili ya taaluma yao pamoja na kutoa lugha chafu kwa wajawazito na wenye tabia ya kuomba rushwa ili waweze kutoa huduma wachukuliwe hatua kali za kisheria pia washiriki hao wametaka kuandaliwe mafunzo ya mara kwa mara kwa watumishi wa sekta ya afya ili kuwakumbusha wajibu wao wanapokuwa katika maeneo yao ya kazi na nje ya maeneo hayo katika kutoa huduma ya uzazi washiriki hao waliongeza kuwa usimamizi mzuri wa viongozi wa juu serikalini unahitajika ikiwa ni pamoja na kufanya ziara za mara kwa mara kwenye vituo vya afya na hospitali ili kubaini udhaifu wa wafanyakazi wa sekta hiyo na mapungufu UNK ili kupunguza idadi ya vifo vya wajawazito ushirikiano mzuri baina ya wizara ya afya na idara zake mbalimbali unahitajika kwa waandishi wa habari ili waweze kuandika taarifa sahihi za uzazi wa mpango serikali inashauriwa kuongeza UNK kazi na dawa katika vituo mbalimbali vya afya ili wajawazito waweze kuzipata muda wote na kupunguza idadi ya vifo ushauri mwingine uliotolewa na washiriki hao ni watumishi wa sekta hiyo kupewa mishahara yenye maslahi kwao ili waweze kujiepusha na vitendo vya rushwa mapendekezo mengine yaliyotolewa katika mafunzo hayo ni vitengo vilivyopo chini ya wizara hiyo UNK utaratibu wa kushirikisha kikamilifu vyombo vya habari ili viweze kufikisha taarifa sahihi katika jamii afisa mradi acquire UNK afya ya mtoto kanda ya kaskazini bibi lilian shoo anasema mradi huo ambao UNK na watu wa marekani umejikita kwenye mikoa sita ya tanzania bara ambayo UNK dodoma kilimanjaro manyara singida na tanga kwa kuendesha ufadhili wa shughuli za afya ya uzazi bibi lilian anasema ikiwa jamii kubwa UNK mitazamo wake katika uzazi wa mpango ni dhahiri kuwa tatizo la vifo vya wajawazito UNK kwa kiasi kikubwa nchini jamii yashauriwa kufanya vipimo kabla ya kutumia wadau waitaka serikali kuongeza bajeti ya msd bohari kuu ya dawa nchini ndicho chombo cha serikali chenye jukumu kubwa la kuagiza dawa na kuzisambaza katika vituo mbalimbali vya afya nchini kutokana na umuhimu wa dawa kwa maisha ya wananchi chombo hicho UNK kuangaliwa kwa jicho la pekee hasa katika utendaji kazi wake ili kuona kama UNK mahitaji UNK pamoja na kuwepo kwa chombo hicho bado kuna changamoto ya matatizo ya upatikanaji wa dawa katika vituo vya afya hali inayosababisha wananchi kuteseka na baadhi yao kupoteza maisha tatizo kubwa la ukosefu wa dawa liko katika maeneo ya vijijini ambapo kwa kuliona hilo mfuko wa taifa wa bima ya afya UNK kuelekeza nguvu zake katika maeneo hayo ili UNK tatizo hilo UNK na hata kuisha kabisa hivi karibuni mfuko huo UNK semina ya siku kwa kuhusisha wadau mbalimbali wa sekta ya afya mbali na wadau hao pia semina hiyo iliwahusisha wahariri na waandishi waandamizi kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini ili kujadili changamoto zinazoikabili sekta ya afya na kuona ni jinsi gani serikali inaweza kumaliza tatizo hilo majadiliano ya ukosefu wa dawa katika vituo mbalimbali vya afya yaliongozwa na mada ya mkurugenzi wa huduma za wateja na mauzo kutoka msd bwana cosmas mwaifwani ambaye aliwasilisha mada ya usambazaji wa dawa na vifaa tiba kwenye vituo vya afya vya umma wadau wa mkutano huo walihoji mambo mbalimbali yanayodaiwa kusababishwa na msd hasa katika suala la ukosefu au ucheleweshaji wa dawa katika vituo husika mbali na hilo wadau hao hawakusita kuelezea masikitiko yao juu ya msd kusambaza dawa ambazo matumizi yake UNK kuisha na UNK katika vituo husika zikiwa zimekwisha muda wake katika maelezo yake bwana mwaifwani anasema msd inakabiliwa na changamoto mbalimbali katika utendaji wake ambazo ni pamoja na ukosefu wa mtaji wa kutosha uhaba wa viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini hali inayosababisha chombo hicho kulazimika kuagiza dawa nje ya nchi kwa kiasi kikubwa anasema ubovu wa miundombinu katika halmashauri mbalimbali nchini unakwamisha zoezi la usambazaji wa dawa au kutumia muda mrefu kuzifikisha katika vituo husika tatizo lingine ni kuchelewa kwa oda za dawa kutoka kwenye vituo bwana mwaifwani anasema kutokana na kuwepo viwanda vichache hapa nchini msd inalazimika kuagiza asilimia themanini ya dawa kutoka nje uagizaji wa dawa hizo nao una matatizo yake ambayo hutumia zaidi ya tisa mchakato wa kuagiza dawa ni mrefu kwani kwa kufuata taratibu za manunuzi inachukua siku mia mbili na themanini na mbili ambayo ni sawa na miezi tisa na kuna hatua kama kumi na tisa za kufuata ili uweze kuagiza dawa na kuletewa kutoka nje anasema bwana UNK anazitaja hatua hizo kuwa ni kuchagua aina ya bidhaa kuthibitishwa na idara ya ugavi kutathimini viwango kutengeneza jalada la zabuni kutangaza zabuni magazetini kufungua na kutathimini kuchagua mzabuni kutoa taarifa na kutayarisha mkataba hatua zingine ni mzabuni kuthibitisha kupitia dhamana na ukaguzi wa ubora hatua hizo hufanya mchakato wa kuagiza dawa hizo kuwa mrefu akizungumzia suala la kusambaza dawa UNK kumalizika muda wake bwana mwaifwani anasema msd haiwezi kusambaza dawa ambazo zinakaribia kumaliza muda wake kama inavyodaiwa hali hiyo inatokana na mfuko wa msd kutoruhusu kutoa dawa za aina hiyo na badala yake wanaruhusu kutoa dawa zenye uwezo wa kufanya kazi kuanzia muda wa siku tisini na moja na kuendelea anaeleza kuwa sababu inayosababisha dawa hizo kufika katika vituo vya afya zikiwa zinakaribia kumaliza muda wake ni uzembe UNK na waganga wakuu kwa UNK dawa hizo katika vituo husika kwa wakati tatizo jingine ni ubovu wa miundombinu ambao unachelewesha UNK wa dawa hizo hivyo kulazimika kutumia siku nyingi njiani anasema serikali kupitia wizara ya miundombinu inatakiwa kusimamia ujenzi wa barabara ili kuondokana na tatizo hilo bwana mwaifwani anasema ili kazi za idara hiyo zifanywe vizuri wadau wote wanatakiwa kuwasilisha oda za dawa mapema kutoka katika wilaya zao kuimarisha usimamizi wa usambazaji wa dawa kwenye vituo kuwasiliana na ofisi za msd za zile za kanda wakati kunapotokea matatizo tatizo la uvujaji wa dawa na kusababisha dawa hizo kutotumika kwa matumizi yaliyokusudiwa bwana mwaifwani anasema dawa hizo UNK baada ya kukabidhiwa kwa waganga wakuu na UNK mikononi mwa msd wadau hao UNK mapendekezo kwa serikali kuimarisha usimamizi wa dawa hizo kutoka mkoani hadi kwa walaji kutokuwepo na usiri wowote dawa hizo UNK msd kwenda katika mikoa husika lakini pia kuwekwa matangazo katika wilaya tarafa kata hadi kijiji ili wananchi waelewe ni dawa kiasi gani UNK katika zahanati zao na hii itawafanya wawe na uwezo wa kuhoji wakati UNK kabla ya muda pia wameishauri serikali kuendelea kutoa elimu ya afya kwa wananchi ili watambue haki zao katika upatikanaji wa huduma za matibabu akizungumzia maboresho ya UNK bwana mwaifwani anasema kuwa idara imeimarisha shughuli za udhibiti ubora kutoka idara inayohusika na manunuzi ambapo hivi sasa kitengo hicho kimepata mtaalamu ambaye anawajibika kwa mkurugenzi mkuu hatua hiyo imelenga kuhakikisha kuwa udhibiti wa dawa na vifaa vibovu unafanyika sambamba na udhibiti wa mifumo ya utendaji katika sekta zote za utendaji ndani ya idara kuhusiana na suala UNK na wananchi wengi la serikali kutafuta chombo kingine cha kuagiza dawa ili kuleta ushindani kwa msd wadau hao wanasema kuwa ni vyema serikali ikaongeza bajeti yake kwa chombo hiko ili kiweze kufanya kazi kwa ubora zaidi wanasema wananchi au wanasiasa wamekuwa wakitoa pendekezo hilo kwa malengo yao binafsi au ya UNK zaidi hivyo mawazo kama hayo walitaka UNK kwa makini na sio UNK kabla ya kutathimini madhara yake naye mfamasia nhif bibi rose marwa ambaye aliwasilisha mada ya huduma za dawa chini ya mfuko huo UNK wananchi kuwa na matumizi sahihi ya dawa na kufuata kanuni bora za afya ili kuepukana na matumizi yasiyo sahihi ambayo yana madhara katika afya anasema matumizi ya dawa bila kupata vipimo sahihi vya ugonjwa husika yanaweza kusababisha madhara makubwa yakiwemo magonjwa sugu lengo kubwa la kutumia dawa ni kupona kupata nafuu au kuepusha madhara ya muda mrefu ya ugonjwa husika lakini kama dawa UNK bila kufuata kanuni sahihi zinaweza kuleta madhara makubwa kwani zitakuwa zimetumika isivyo sahihi anasema bibi UNK akizungumzia mafanikio ya mfuko huo bibi marwa anasema ni pamoja na kulipia dawa za magonjwa yote nchini isipokuwa baadhi ya dawa zilizopo kwenye mpango wa taifa kama chanjo dawa za kifua kikuu UNK na zile za kupunguza makali ya virusi vya ukimwi mafanikio mengine ni kuisaidia serikali kusimamia utoaji huduma kwa kufuata miongozo ya tiba na ukaguzi wa vituo kusaidia katika kulipia tiba ya wanachama wake kwa dawa za saratani na figo ambazo gharama zake ni kubwa na upatikanaji wake ni wa shida changamoto za huduma za dawa ni pamoja na uchache wa vituo vya kutolea huduma fedha wanazolipwa watoa huduma kutotumika katika ununuzi wa dawa kukosekana kwa maduka ya dawa katika maeneo ya vijijini uhaba wa wataalam pamoja na waganga kutofuata miongozo ya tiba anasema katika kushughulikia UNK bibi marwa anasema ipo mikakati ambayo imewekwa ambayo ni pamoja na kutoa elimu kwa wanachama juu ya matumizi sahihi ya dawa kusajili maduka ya dawa yanapopatikana pia kuendelea na ushawishi kwa wawekezaji kuwekeza kwenye maduka ya dawa ni rafiki wa mazingira na mkombozi wa akina mama vicoba songea kunufaisha wananchi wengi kielimu mafanikio ya nchi mbalimbali zilizopiga hatua katika maendeleo ya kiuchumi duniani yametokana na uwekezaji katika elimu ya sayansi na teknolojia uwekezaji huo umetoa fursa kwa vizazi vya sasa kubuni mbinu UNK waweze kujikomboa kiuchumi elimu ya sayansi kinadharia ni chachu katika kuleta maendeleo ambapo wananchi wengi wamepata mafanikio kutokana na teknolojia ya sayansi tafsili ya sayansi ni pana kulingana na mahitaji yake katika jamii wataalam mbalimbali wamekuwa na tafsili tofauti juu ya neno hilo ambapo wengi wao wamekuwa wakisema kuwa ni uchunguzi au majaribio yenye vipimo maalumu ambavyo hutoa matokeo kwa muda uliopo kumekuwa na mafanikio mengi ya teknolojia ya sayansi ambayo husaidia kufanikisha malengo ya tafiti mbalimbali ambazo nyingi kati ya hizo zinatokana na uzalishaji katika sekta ya viwanda vikubwa na vidogo uzalishaji wa gesi inayotokana na maozo ya viumbe hai yaani wanyama na UNK inafahamika kwa jina la bio gas vijidudu vidogo UNK kwa jina la UNK husaidia katika uzalishaji wa gesi hiyo taasisi isiyo ya kiserikali ya UNK community bank imekuwa ikitoa mafunzo mbalimbali ya uzalishaji wa gesi hiyo kwa wanachama wa taasisi hiyo ikiwa ni njia moja wapo ya kumsaidia mwanamke kuondokana na kuondokana na matumizi ya nishati ya kuni bwana UNK bukuku ni mtaalam wa kuzalisha gesi hiyo kutoka chuo cha mafunzo ya ufundi veta kilichopo changgombe dar es salaam ambaye amekuwa akiendesha mafunzo hayo kwa vikundi mbalimbali wanachama wa taasisi hiyo mafunzo hayo yalitolewa katika makao makuu ya taasisi hiyo yaliyopo songea mjini mkoani ruvuma bwana bukuku anaeleza kuwa wanachama waliojiunga na taasisi hiyo hivi sasa wamepata faida kubwa kwa kupewa elimu na ujuzi wa kutengeneza gesi hiyo anasema uzalishaji wa gesi hiyo unatokana na vijidudu pamoja na UNK inayovuja na kushambulia seli UNK ya mnyama au mmea na hatimaye kuzalisha gesi bwana bukuku anasema UNK au kimaabara gesi hiyo huitwa UNK na ina tabia ya kuwaka au kutoa mwanga wa bluu pamoja na kujiongezea msukumo zaidi inapopata joto anafafanua kuwa bio gas hupatikana kutokana na samadi zinazotokana na wanyama wote na maozo ya mimea yenye UNK au protini nyingi ambayo husaidia katika uzalishaji wa gesi hiyo kuna aina mbili za uundaji wa mtambo wa gesi kuna mtambo ambao hutengenezwa chini ya ardhi kwa kutumia matofari au mawe wakati huo yakiwa UNK vizuri kuta zake kwa kutumia simenti kali aina nyingine ni mtambo unaojengwa juu ya uso wa ardhi kwa kutumia UNK makubwa ya chuma au plastiki mitambo hiyo yote ina faida na hasara zake ambapo mtumiaji anatakiwa kuwa makini wakati UNK akielezea faida zake bwana bukuku anasema mtambo UNK chini ya ardhi ni mkubwa kimaumbile kuanzia futi nane kwenda chini na upana wake mtambo huo UNK matumizi mengine ya ardhi katika eneo UNK anasema mtambo huo una uwezo wa kuzalisha gesi nyingi na UNK joto kwa urahisi na hutumia samadi za wanyama moja kwa moja kutoka katika UNK UNK hasara zake ni ukubwa wa gharama katika uundaji huchukua eneo kubwa la ardhi na muda mwingi mpaka kukamilika kwa ujenzi wake anasema mtambo huo una sehemu kuu nne ambazo UNK samadi na maji na kuifanya samadi hiyo kuwa UNK na kuweza UNK vizuri kuingia na kuingia katika mtambo wa kuzalishia gesi sehemu hiyo hutengenezwa UNK lenye ukubwa wa mita moja na nusu mraba au UNK hutegemeana na wingi wa samadi UNK pia kuna mlango wa mtambo ambao ni eneo UNK kwa UNK na wavu kisha UNK vizuri UNK au mchanganyiko wa samadi kuingia ndani ya mtambo huo mtambo huu ambao hujengwa chini ya ardhi hutengenezwa katika eneo lenye umbile la chungu kikubwa ambalo hujengwa kwa matofari na simenti kali ujenzi wa namna hiyo unasaidia kuongeza msukumo wa gesi UNK ndani yake kuwa nyepesi zaidi na hukaa juu kabisa katika eneo la ndani ya mtambo anafafanua bwana UNK mabomba ya UNK gesi hiyo hufungwa juu na kutokea ndani ya mtambo ambapo huwa UNK au kuwa jirani na kimiminika kilichopo ndani ya mtambo mtambo huo huwa na mlango UNK mabaki ya samadi iliyotumika kwa kutengenezea gesi katika mtambo akizungumzia faida za mtambo unaojengwa juu ya uso wa ardhi bwana bukuku UNK kuwa mtambo huo ni mkubwa wenye ujazo wa lita hamsini sifuri na kuendelea mtambo huo huweza kuhamishwa kirahisi na huzalisha gesi hiyo kwa kutumia masalia ya vyakula au mazao ya aina mbalimbali anasema mtambo huo hujengwa katika maeneo yenye jua kali ili kuzalisha gesi kwa wingi na gharama yake huwa ya chini tofauti na mtambo unajengwa chini ya ardhi anaongeza kuwa mtambo huo huchukua eneo la jua la ardhi ambapo uwezo wake katika uzalishaji wa gesi ni ule wa wastani pia ni rahisi kufanyiwa hujuma kwa kuwa unaonekana kirahisi na mabaki yanayotokana na uzalishaji wa gesi hiyo UNK tena na huwa na hatari kiafya na mazingira wanayoishi wananchi anasema mtambo huo kama ilivyo kwa mtambo unaojengwa chini ya ardhi una sehemu kuu tatu ambazo ni sehemu ya kuingizia na kuchuja mabaki yanayoingia katika mtambo bomba hutumika kuingiza samadi masalia ya vyakula au mimea ndani ya mtambo mtambo huo huwa na tanki kubwa la gesi ambalo huifadhi mabaki ya chakula yaliyochanganyika na maji hali hiyo husaidia mabaki hayo kutengeneza gesi mchanganyiko huo UNK kujaa mpaka juu ya tanki kwani ni rahisi kuchukua nafasi ya gesi inayozalishwa ambayo inapaswa ikae juu na kusafirishwa kwa mabomba mpaka kwa mtumiaji pia mtambo huo una bomba la kutolea mabaki ambalo UNK chini ya mtambo kwa kizuizi maalumu ambacho hutumika kutolea mabaki yanayozalishwa na gesi ndani yake bwana bukuku anasema matumizi ya bio gas mara baada ya kuzalishwa husafirishwa kwa bomba lenye ukubwa wa nchi robo tatu au nusu nchi hadi kufika sehemu UNK anaongeza kuwa gesi hiyo hutumika katika matumizi ya kawaida ndani ya nyumba kama kupikia na kuwashia taa kwa kutumia balbu maalum anasema kwa upande wa matumizi ya kupikia kuna majiko UNK kwa koki ambayo juu yake kuna sahani yenye matundu madogo yenye ukubwa wa UNK mbili gesi hiyo ni nzuri kwa matumizi ya taa maalumu ambayo hutoa mwanga mzuri ambazo hufungwa kwenye nyumba kwa kutumia bomba lenye koki ambayo hutumika kuwashia na UNK pia gesi hiyo hutumika kwa kupikia kwa kutumia jiko maalum la gas UNK bwana bukuku anasema kizuizi kinachoweza kusababisha gesi hiyo kushindwa kupatikana kwa wingi katika mtambo wa kuzalishia ni kutokana na uchache wa maozo ya wanyama vyakula au mimea ambayo hutumika kuzalishia gesi hiyo anasema kumekuwa na idadi ndogo ya watu ambao hujitokeza kujifunza namna ya kutengeneza gesi hiyo ambayo ina faida nyingi katika maisha ya binadamu kufuatia hali hiyo anatoa mwito kwa wananchi wa mkoa huo na maeneo mengine kujitokeza kwa wingi kujifunza tekinolojia hiyo hususani akina mama anafafanua kuwa teknolojia hiyo husaidia kupunguza matumizi ya kuni UNK kwenye misitu UNK zipo sababu nyingi za kujiuliza juu ya nchi mbalimbali duniani kufanya jitihada za kukuza taaluma ya sayansi na teknolojia kwa wananchi wake ili taifa hilo liweze kupiga hatua katika maendeleo mkurugenzi wa vicoba bibi UNK likokola anasema teknolojia ya utengenezaji wa gesi hiyo itakuwa na msaada mkubwa kwa akina mama na kwamba itasaidia kwa kiasi kikubwa kulinda mazingira akina mama wengi wanategemea nishati ya kuni kwa ajili ya kupikia jambo ambalo linachangia uharibifu wa mazingira kwa kuwa kuni hizo huwezi kuzipata bila kukata miti anasema bibi likokola UNK UNK UNK mafunzo hayo kuzingatia maelekezo ya mtaalamu na kwamba mara UNK mafunzo yao wataweza kutoa elimu waliyoipata kwa jamii nyingine ili teknolojia hiyo iweze kusambaa kwa haraka hali UNK kuwapunguzia mzigo wanawake maendeleo ya sayansi na teknolojia katika nchi nyingi duniani ni nguzo muhimu ya maendeleo na hali hiyo inatokana na umuhimu wake katika kuvumbua maarifa mapya ambayo hutumika kuzalisha bidhaa mbalimbali elimu ya sayansi ndiyo UNK matumizi ya mitambo ya aina mbalimbali ndege zana za kivita meli magari matrekta ujenzi wa majengo na barabara ambavyo vyote hutokana na dhana ya sayansi jambo la kujiuliza ni njia zipi UNK teknolojia hiyo kufanikiwa katika nchi husika ni wajibu wa serikali au taasisi binafsi kujipanga katika elimu elekezi na thabiti ambayo UNK teknolojia hiyo kupatikana mashuleni nchi zilizoendelea zimekuwa zikitumia muda mwingi kutoa kipaumbele cha elimu kwa wananchi wake katika nyanja hiyo pamoja na ugumu wake na ukubwa wa gharama za UNK kuliko masomo mengine kutolewa kwa elimu ya sayansi kunahitaji vifaa ambavyo UNK mwanafunzi kufanya majaribio ya vitendo na kubaini majibu ya nadharia aliyojifunza darasani umefika wkati wa serikali na taasisi binafsi kuelekeza nguvu zake katika maendeleo ya sayansi kwa kuongeza ukubwa wa bajeti katika elimu na kutoa kipaumbele katika mitaala ya sayansi na teknolojia kuwepo na mkakati ambao UNK watu kupenda masomo ya sayansi ili kuongeza idadi ya wasomi katika sekta hiyo ambayo ni hazina kubwa kwa taifa hayati baba wa taifa mwalimu julius nyerere alikuwa na usemi unaosema inawezekana kama kila mmoja wetu UNK kufanya kazi kwa dhati kama tutaweka mkazo katika maendeleo ya sayansi tanzania UNK wataalam wengi waliobobea katika taaluma ya sayansi na teknolojia wajawazito walalamikia ukosefu wa visanduku vya kujifungua utu mwanamke kupigania haki zao kushawishi utungaji wa sera mkakati wa serikali kwa sasa ni kutoa huduma ya afya bure kwa akina mama wajawazito na watoto chini ya umri wa miaka mitano sera hiyo imesaidia kupunguza idadi kubwa ya vifo vya wajawazito katika makala haya mwandishi george mbwana anafafanua harakati za asasi ya utu mwanamke katika maendeleo ya sekta ya afya nchini hivi karibuni rais jakaya mrisho kikwete aliungana na mawaziri wakuu wa uingereza na norway kwa kutoa kipaumbele cha msaada wa fedha zitakazosaidia kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi mpaka hivi sasa imeripotiwa kuwa akina mama wajawazito mia tano na sabini na nane wamekuwa wakipoteza maisha yao kati ya vizazi hai kumi sifuri sifuri sifuri sifuri kwa mujibu wa utafiti wa idadi ya watu na afya tanzania huduma zinazotolewa kwa akina mama wanaojifungua moja ya nyenzo muhimu UNK ni kisanduku cha vifaa vya kujifungua vinavyotumiwa na wakunga na watumishi wengine wa afya ili kutoa huduma bora kwa akina mama wakati wa kujifungua kisanduku hicho hakina gharama kubwa ikiwa ni moja ya vifaa muhimu vinavyopaswa kununuliwa na serikali kuu na serikali za mitaa njia hiyo yenye garama nafuu na rahisi katika kuboresha huduma za afya nchini mara nyingi imekuwa UNK na kutowekewa bajeti pia huduma hiyo haipatikani kwa kwa akina mama wajawazito au watumishi wa afya wanaopaswa kutoa msaada wakati wa kujifungua serikali kupitia wizara ya afya na ustawi wa jamii inasema kuwa vifaa hivyo hutolewa kwa akina mama wajawazito bila malipo lakini wajawazito na watumishi wa afya nchini kote bado wanatoa taarifa za ukosefu wa vifaa hivyo ambavyo havipatikani mara kwa mara au bila malipo kwa wajawazito hatua maalum zinapaswa kuchukuliwa ili kuhakikisha kuwa visanduku vya vifaa hivyo vinapatikana katika vituo vyote vya huduma bila malipo kwa wanawake kama ilivyoahidiwa na serikali kwa mujibu wa asasi isiyo ya kiserikali ya utu mwanamke kisanduku cha vifaa vya kujifungua kina vifaa muhimu vinavyohitajika na mtumishi wa afya ili kumsaidia mjamzito anapokuwa kwenye uchungu na wakati wa kujifungua vifaa hivyo ni pamoja na sabuni mpira wa UNK kitandani wembe uzi wa kufunga kitovu na kitambaa cha UNK mtoto UNK huu ni mradi wa milenia wa umoja wa mataifa kisanduku hicho ni muhimu na salama ambacho UNK wastani wa shilingi mbili sifuri sifuri sifuri au dola za marekani moja sabini na nane kwa mujibu wa mradi wa milenia wa umoja wa mataifa kama visanduku hivyo UNK kwa wanawake zaidi ya milioni moja waliotakiwa kujifungua mwaka ishirini sifuri saba serikali UNK kiasi cha shilingi bilioni tatu sita hiyo ni asilimia sifuri hamsini na tano tu ya bajeti ya afya nchini kwa mwaka ishirini sifuri saba sifuri nane umoja wa mataifa UNK kuwa ipo haja ya kuongezwa kwa mipira ya kuvaa mikononi dawa za UNK dawa za kupunguza maumivu na vifaa vingine UNK kwenye kisanduku cha nyongeza ili kumwezesha muuguzi kusaidia uzazi wenye matatizo kisanduku hicho kinaitwa kisanduku salama cha vifaa vya kujifungua vya nyongeza na inakadiriwa kugharimu karibu shilingi sita sifuri sifuri sifuri au dola za marekani tano ishirini na nne kwa mujibu wa asasi ya utu mwanamke kutoa kisanduku hicho cha nyongeza kwa wanawake wote wa kitanzania wanaojifungua kwa mwaka mmoja UNK kiasi cha shilingi bilioni kumi saba kwa mwaka au asilimia moja saba ya bajeti yote ya afya kwa mwaka ishirini sifuri saba sifuri nane ingawa visanduku vya vifaa hivyo UNK fedha kidogo mahojiano yasiyo rasmi na watumishi wa afya waganga wakuu wa wilaya na maofisa wa wizara ya afya na ustawi wa jamii nchini mwaka ishirini sifuri saba yalionesha kuwa hakuna tafsiri maalum ya kisanduku cha vifaa vya kujifungua nchini zaidi ya hayo ni vigumu kuona fedha za visanduku vya vifaa vya kujifungua kwenye bajeti za wizara ya afya au wilaya baadhi ya watumishi na waganga wakuu wa wilaya wanapata vifaa mbalimbali vinavyoweza kutumika wakati wa kujifungua vifaa hivyo si vya mara kwa mara na UNK kama visanduku maalumu vya vifaa vya kujifungua wanawake wajawazito mara nyingi wamekuwa wakitoa taarifa kuwa wanahitajika kwenda na vifaa vya kujifungua kwenye vituo vya huduma na kwamba mara nyingi madawa UNK katika vituo vya huduma na vifaa UNK katika muda mfupi sana hali hiyo UNK tamaa wanawake ambao hulazimika kutafuta huduma za kujifungua hospitalini na hivyo kusababisha wanawake wengi kujifungulia katika maeneo yasiyo salama na bila ya usaidizi maalumu unaotakiwa katika ngazi ya serikali kuu fungu kubwa la fedha kwa ajili ya madawa na vifaa UNK chini ya mafungu ya serikali kuu kwa wizara ya afya na ustawi wa jamii kiwango cha maelezo yakinifu juu ya mafungu hayo ni kidogo sana hivyo ni vigumu kutoa utafiti yakinifu ukijumuisha mafungu ya fedha ya serikali kuu na serikali za mitaa fungu kubwa lipo kwa ajili ya vifaa na madawa kwa kuhusisha huduma zote za mama na mtoto uwazi mkubwa katika mchakato wa bajeti utasaidia kuhakikisha kuwa fedha zinatumika katika vipaumbele halisi na kuwafikia walengwa mtiririko wa fedha kwa ajili ya afya ya mama na mtoto ni suala gumu kidogo katika kuiwajibisha serikali wateja wa huduma za afya watumishi wa afya na watunga sera wote wanahitaji taarifa sahihi ili kupanga vizuri kwa ajili ya afya ya mama na mtoto pamoja na visanduku vya vifaa vya kujifungua ili kuweza kufuatilia mtiririko halisi wa fedha hizo kwa ajili ya lengo husika na kuiwajibisha serikali katika ngazi zote kuhakikisha kuwa fedha hizo zinatumika vizuri ili kufikia malengo yaliyokusudiwa serikali inapaswa kuhakikisha madawa na vifaa muhimu UNK katika hospitali zote za serikali UNK utaratibu wa UNK utekelezaji wa maendeleo ya serikali na kuwekwa kwa taratibu ambazo zitatumika kuwasaidia wateja wa huduma za afya kuwapatia taarifa maofisa wa afya juu ya sera za serikali kamati za afya vituoni na bodi za afya za wilaya zifanye kazi ya kupanua huduma UNK za dharura za uzazi kwenye vituo vya afya UNK vijijini fedha kwa ajili ya afya ya uzazi ikiwemo visanduku vya vifaa vya kujifungua lazima UNK ambapo fedha za huduma za kuokoa maisha zionekane katika bajeti za serikali kuu na serikali za mitaa na ugawaji wake uwe rahisi kusimamiwa serikali izingatie utaratibu wa kuagiza na kugawa madawa ambapo vituo vya huduma ya afya UNK maombi yao kwa ajili ya vifaa madawa na nyenzo badala ya kuchagua vitu vya UNK jamii na asasi za kiraia zinapaswa kusaidia kampeni ya upatikanaji wa taarifa juu ya haki za wanawake katika uzazi salama ikiwemo sera ya serikali ya utoaji wa vifaa vya kujifungua bila malipo na huduma za afya kwa wajawazito na watoto UNK wajawazito wanahitaji haki za za afya UNK kutoa taarifa za kushindwa kwa utekelezaji wa sera hiyo kwa mamlaka za serikali za mitaa na serikali kuu na wadau wengine kwenye kundi la asasi za kiraia ili kufuatilia matatizo hayo na kujaribu kuyatatua kusaidia kuandaa mikutano katika vijiji au kata UNK watumiaji wa huduma za afya watumishi wa afya na mamlaka za serikali za mitaa ili kujadili wajibu wa kila mtu katika kuboresha huduma za afya ya mama na mtoto na haki zao kiafya pia UNK katika kufuatilia matumizi ya fedha za afya ya mama na mtoto na kutoa taarifa jinsi fedha hizo zinavyotumika na kama zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa utu mwanamke ni asasi isiyo ya kiserikali nchini ambayo inajishughulisha katika kuwawezesha wananchi hususani wasichana na wanawake UNK ili waweze kutambua haki zao za msingi katika afya asasi hiyo inawasaidia wananchi kupata na kutumia taarifa ili kuhamasisha haki zao na kushawishi utungaji wa sera zinazozingatia usawa na mgawanyo wa rasilimali pia UNK uwajibikaji wa sera mipango na huduma kwa makundi yaliyo hatarini yazindua teknolojia ya kuuza kondomu kwa UNK jamii kunufaika na huduma hiyo kwa saa ishirini na nne na reuben kagaruki karibu kila kukicha ndani na nje ya tanzania yanatokea mabadiliko makubwa yanayogusa nyanja ya sayansi na teknolojia mabadiliko hayo kwa kiwango kikubwa yamekuwa chachu ya maendeleo baadhi ya wataalam na UNK mbalimbali UNK vichwa kubuni teknolojia ambayo itarahisisha utendaji kazi ni wazi kuwa mabadiliko ya teknolojia UNK mkubwa kwa nchi zisizokuwa na maendeleo ya haraka na hivyo kuzifanya nchi hizo kuondokana na mifumo UNK na wakati mwanzoni mwa wiki hii tanzania imepiga hatua kubwa katika matumizi ya teknolojia baada ya kuzinduliwa kwa mashine ijulikanayo kama UNK UNK UNK ambayo itakuwa ikitumika kuuza kondomu kuzinduliwa kwa teknolojia hiyo ni habari njema kwa watanzania hasa katika kipindi hiki ambapo changamoto kubwa inayoikabili serikali na jamii kwa ujumla ni kuzuia kasi ya maambukizi ya ukimwi akizindua mashine hiyo mkurugenzi mtendaji wa shirika la huduma ya jamii bwana daniel crapper anasema teknolojia hiyo ni mpya na rahisi kutumiwa na kuwawezesha wananchi kupata huduma ya kondomu pindi UNK kondomu zinazopatikana ndani ya mashine hiyo ni salama tatu bomba salama tatu bomba na salama UNK mashine hii UNK mtu kununua kondomu mahali popote na wakati wowote sifa za mashine hizi ni kuwaepusha wapendanao na mambukizi ya ukimwi ambapo huduma hii itakuwa ikitolewa kwa saa ishirini na nne katika kipindi chote cha siku saba za wiki anasema bwana UNK anaeleza kuwa kabla ya kuzinduliwa kwa mashine hizo na kuanza kutumika baadhi ya watu walikuwa wakipata shida ya kwenda kununua kondomu madukani huduma hiyo itaongeza wigo wa upatikanaji wake katika maeneo mbalimbali baadhi ya watu walikuwa wakipata shinda na wakati mwingine kuona aibu kuingia dukani kununua kondomu hali iliyowalazimu kukosa huduma hii muhimu alisema na kuongeza kuwa watu wengine wanaona aibu kwenda kununua kondomu kutokana na baadhi ya maduka kuwa na wafanyakazi wenye umri mdogo anasema wkati mwingine watu UNK kununua kondomu walishindwa kuzipata baada ya kukuta maduka UNK ambapo maduka mengi UNK huduma kwa saa ishirini na nne kuanzishwa kwa teknolojia hiyo UNK wananchi kupata kondomu kwa urahisi na kujikinga na maradhi mbalimbali pamoja na mimba UNK bwana crapper anasema ili kukabiliana na kasi ya maambukizi ya ukimwi mashine hizo zitawekwa baa mbalimbali maarufu nyumba za kulala wageni hotelini na kwenye klabu za usiku maeneo mengine ni kwenye makutano ya barabara kuu UNK mikoani hasa zenye mikusanyiko ya watu kama chalinze mkoani pwani bwana crapper anafafanua kuwa barabara ya morogoro inayoelekea pwani morogoro iringa na chalinze ndiyo itapewa UNK kutokana na mikoa hiyo kuwa na kiwango kikubwa cha maambukizi anasema ili kuhakikisha huduma hiyo inawafikia walengwa wanakusudia kuweka mabango UNK upatikanaji wa huduma hiyo na maeneo UNK mashine hizo lengo ni kumwezesha mtumiaji kupata huduma ya kondomu pale UNK mtaalamu UNK mashine hiyo ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya UNK UNK co limited bwana UNK mselle anasema UNK hiyo imetengenezwa kwa UNK ambayo haiwezi kumfanya mtu ashindwe kukosa huduma anasema ili mteja aweze kupata huduma kutoka kwenye mashine hiyo kinachotakiwa ni mtu kuwa na UNK ya shilingi kumi sifuri ambayo UNK kwenye tundu maalumu na kisha UNK UNK cha kuchagua aina ya kondomu anayotaka miongoni mwa aina tatu zinazopatikana kwenye mashine hiyo bwana mselle anasema mashine hiyo ina uwezo wa kuuza kondomu kumi sifuri kabla ya kumalizika na kuongezwa zingine kwa ajili ya kuendelea kutoa huduma labda niwatoe hofu watumiaji wa kondomu kuwa haitakuwa rahisi kwa mashine hizi kuishiwa bidhaa kwa sababu kila itakapokuwa imewekwa patakuwa na mhudumu ambaye kazi yake ni kuingiza kondomu zingine pale zitakapoisha anasema bwana UNK anaongeza kuwa mashine hizo zinawapa watumiaji nidhamu ya matumizi ya kondomu tofauti na ilivyokuwa siku za nyuma ambapo mtu anaweza kununua kondomu nyingi na asiweze kuzitumia zote akieleza sababu ya mashine hizo kuwekwa kwenye klabu za usiku baa na maeneo mengine yenye msongamano wa watu bwana mselle anasema maeneo hayo ndiyo rahisi watu kupata wenza wao kwenye klabu za usiku na baa ndipo watu UNK kwenye starehe na kupamba mambo ambayo tunahitaji mtu anapotaka kuwa na mwenzi wake awe na sehemu maalumu ya kupata kondomu anasisitiza mwenyekiti wa tume ya taifa ya kudhibiti ukimwi tanzania daktari fatma mrisho anakiri kuwa kuzinduliwa kwa mashine hiyo ni hatua moja kubwa ya kukabilina na maambukizi ya ugonjwa huo kwa kuzingatia matumizi ya kondomu endapo mashine hizo zitatumika ipasavyo zitasaidia kupungua kasi ya maambukizi ya ukimwi naibu waziri wizara ya afya na ustawi wa jamii daktari aisha kigoda anasema kuzinduliwa kwa mashine hizo kutaongeza kasi ya mapambano ya ugonjwa huo anasema tangu kuripotiwa kwa matukio matatu ya maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tatu kasi ya kuenea kwa virusi vya ugonjwa huo imeendelea kuwa kubwa tangu wakati huo maelfu ya watanzania wamepoteza maisha kwa kuugua magonjwa yanayohusishwa na ukimwi anasema daktari kigoda na kuongeza kuwa takwimu za sasa bado zinaonesha kuwa maambukizi ya ugonjwa huo bado yapo juu hivyo kuzinduliwa kwa mashine hizo kutasaidia kupunguza kasi ya kuenea kwa virusi vya ukimwi kwa sasa nchini tanzania wastani wa maambukizi ya virusi vya ukimwi ni asilimia tano saba daktari kigoda anasema kiwango hiko ni kikubwa sana hivyo kunahitajika jitihada zaidi za mapambano dhidi ya ugonjwa huo vita hii ni ngumu lakini tunaamini ni rahisi kuishinda iwapo kila mmoja wetu ataweka dhamira ya dhati ya kupambana kikamilifu hadi ushindi UNK anasema akizungumzia matumizi ya kondomu daktari kigoda anasema zilianza kutumika nchini kabla ya kugundulika kwa maambukizi ya vvu awali zilikuwa zikitumika kama njia ya uzazi wa mpango na baada ya kugundulika kwa maambukizi hayo UNK mbalimbali zilifanyika kitaifa na kimataifa na kubaini kuwa zina uwezo wa kuzuia maambukizi ya virusi vya ukimwi anasema kutokana na ukweli huo serikali imelazimika kusambaza kondomu za kike na kiume kwa wananchi wake bila malipo kwa yule UNK anaongeza shirika la psi UNK na UNK wa kondomu na kuhakikisha kuwa zinapatikana kwa bei rahisi lengo ni kuhakikisha kila mwananchi UNK bei ya kondomu anasema na kuongeza kuwa uamuzi huo umefikiwa ili kuhakikisha kila mwananchi anapata kondomu pale UNK daktari kigoda anakiri kuwa ingawa bei ya UNK ni ndogo wenye uwezo wa kumudu gharama zake ni wananchi wa maeneo ya mijini na wale wanaoishi makao makuu ya wilaya kata na jirani na maduka UNK bidhaa hizo serikali kwa kushirikiana na mashirika mengine kama psi imejitaidi kuhakikisha kuwa huduma hiyo muhimu UNK nchi nzima na inawanufaisha watanzania wengi anasema ingawa serikali na taasisi mbalimbali zinaendelea kuelimisha jamii kujikinga na mambukizi hayo bado hali si shwari kuzinduliwa kwa mashine hiyo ambayo UNK na mashine ya kutolea fedha kutaongeza matumizi ya kondomu hivyo kuwaweka wananchi katika mazingira mazuri ya kuzuia maambukizi jitihada za psi tanzania kuanzisha huduma hii sio kwamba wanakusudia kuhamasisha watu kujihusisha na vitendo vya ngono bali nia yao ni kupambana na maambukizi ya ukimwi kwa UNK wananchi kutumia kondomu anasema anasema tafiti mbalimbali zilizofanywa zinaonesha kuwa bado wapo wananchi wanaojisikia aibu kununua kondomu madukani kwa kuanzisha huduma hiyo ya kuuza kondomu kwa mashine kutaongeza UNK ya kondomu kupunguza maambukizi na kunusuru taifa na maambukizi mpya anasema ni matumaini yake kuwa psi tanzania itahakikisha kuwa mashine hizo UNK kondomu na kujipanga zaidi iwapo itatokea UNK tunaamini kuwa psi wamejipanga vizuri kutoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi ya kondomu anasema wananchi mbalimbali wamekiri kuwa huduma hiyo itasaidia kupunguza maambukizi ya ukimwi kwa kuwa wauzaji wa kondomu UNK muda wote baa zilizowekwa mashine hiyo kwa upande wa dar es salaam ni pamoja na kings palace iliyopo keko ambapo wananchi hao wameshauri mashine hizo ziwekwe kwenye klabu za usiku ambazo zina uhaba mkubwa wa kondomu baadhi ya wateja wanaeleza kuwa hatua hiyo ni nzuri na itaongeza kasi ya UNK dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi matumizi ya mtandao na simu za mkononi yamekuwa yakiongezeka siku hadi siku katika nchi mbalimbali duniani ongezeko la matumizi hayo limechangiwa na kukua kwa elimu ya sayansi na teknolojia changamoto kubwa inayowakabili watoto na vijana katika maeneo mbalimbali nchini ni ile ya kushinda katika ofisi zinazotoa huduma ya mtandao wa intaneti ili kufahamu matumizi yake na kutafuta programu mbalimbali kama maktaba za video na salamu za papo kwa papo ili kujenga mahusiano ya karibu na jamii nyingine tafiti zilizowahi kufanyika zilibaini kuwa kati ya watoto nne watatu kati yao ni wadau wa matumizi ya mtandao wakiwa na uwezo wa kuangalia mambo mbalimbali yaliyopo katika mtandao ikiwa ni pamoja na picha za UNK katibu mkuu wa chama cha kimataifa cha mawasiliano ya simu daktari UNK toure anasema ni lazima kuandaliwe mkakati utakaosaidia matumizi ya mtandao kufanyika katika maeneo salama yenye kuleta mazingira mazuri kwa makuzi ya watoto anasema kwa kutambua umuhimu wa matumizi ya mtandao chama hicho kimeweka siku UNK ya UNK ya siku ya kimataifa ya mawasiliano ya simu na habari ambayo huadhimishwa nchini mei kumi na saba kila mwaka maadhimisho hayo yanakwenda sambamba na kumbukumbu ya kutiwa saini kwa azimio la kimataifa la mawasiliano ya simu yaliyofanyika mwaka elfu moja na mia nane na sitini na tano ambayo ndiyo UNK kuundwa kwa chama hicho lazima tuhakikishe kwamba matumizi ya mtandao yanafanyika katika mazingira yenye usalama kwa makuzi ya watoto wetu UNK kuwa na ushirikiano wa kimataifa utakaosaidia kuwalinda watoto wetu na matumizi mabaya ya mtandao kuongeza ufahamu na kuboresha mwitikio wa jamii katika matumizi yake anafafanua daktari toure anafafanua kuwa wajibu wa jamii katika maendeleo ya teknolojia hiyo ni kuwalinda watoto na matumizi mabaya ya mtandano ikiwa ndio sababu ya itu kuazisha mpango maalumu wa kuwalinda watoto na matumizi mabaya ya mtandao mpango huo ni sehemu ya agenda ya itu katika kusimamia usalama wa matumizi ya mtandao duniani anasema mamlaka waliyonayo ni kuimarisha usalama wa matumizi ya mtandao na kuweka misingi imara ya matumizi yake kwa ajili ya vizazi vijavyo itu kama wasimamizi wa mpango huo UNK suala hilo kwa umakini mkubwa ambapo kauli mbiu ya mwaka huu katika kilele cha maadhimisho ya siku ya mawasiliano ni kuwalinda watoto dhidi matumizi ya mtandao daktari toure anasema jambo hilo linawapa msukumo katika kutekeleza majukumu yao mwaka ishirini sifuri tisa dunia UNK siku hiyo kwa kutambua kuwa itu wameanzisha msukumo imara wa kufanya matumizi ya intaneti ni salama kwa watoto ambao kila mmoja wao ataweza kufaidika na matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya mawasiliano na tanzania profesa john nkoma anasema wakati dunia UNK ukuaji wa haraka katika matumizi ya teknolojia za habari na mawasiliano matumizi ya mtandao duniani kote UNK jamii kubwa ni wajibu wa itu kuiunganisha dunia na kutimiza haki ya msingi ya kila mtu kufanya mawasiliano kaulimbiu ya kilele cha maadhimisho hayo mwaka huu imefikiwa katika mkutano wa kimataifa wa jamii ya habari inayosema itu UNK kujenga imani na usalama katika matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano anasema profesa nkoma anasema ni miongoni mwa nchi mashuhuda UNK ukuaji wa teknolojia ya bahari na mawasiliano UNK katika matumizi ya kompyuta redio televisheni na hivi karibuni simu za mkononi kwa zaidi ya asilimia thebathini na tatu ya watu wanaotumia simu hizo anasema matumizi ya mtandao yameongezeka kwa asilimia tano na kufafanua kuwa tanzania bado ina changamoto ya kuhakikisha kuwa maeneo yote ya nchi yanapata habari na mawasiliano kwa urahisi zaidi serikali ipo katika hatua za mwisho za kutekeleza ilani ya mfuko wa kimataifa wa mawasiliano shabaha ya mfuko huo ni kutoa huduma kwa wote baada ya kubaini kuwa kuna watu ambao bado hawajapata mitandao ya habari na mawasiliano kutokana na gharama kuwa kubwa katika kupata huduma tunajaribu kufanya kila linalowezekana ili kushusha gharama kwa watumiaji ili watu wengi waweze kupata huduma hii profesa UNK anasema kuibuka kwa matumizi ya teknolojia hiyo nchini UNK matokeo chanya kiuchumi na kuonya kuwa teknolojia ya habari na mawasiliano UNK watumiaji wake katika hatari kutokana na baadhi ya watu wasio waaminifu kuitumia vibaya waziri wa mawasiliano sayansi na UNK profesa peter msolla anasema teknolojia ya habari na mawasiliano imeifanya dunia kuonekana kama kijiji kwa watu kufanya mawasiliano ya haraka anasema tangu karne ya kumi na tisa mawasiliano ya simu UNK watu kuwasiliana bila kujali umbali UNK toka kipindi cha mawasiliano ya kawaida mpaka sasa mawasiliano kwa njia ya mtandao UNK kwa kasi katika jamii kubwa kwa kutambua umuhimu wa maadhimisho haya kufuatia mkutano wa kimataifa ya jamii ya mawasiliano umoja wa mataifa ilipitisha maamuzi ya kuitambua siku hii rasmi kwa kuiita siku ya kimataifa ya jamii ya mwasiliano alifafanua profesa msolla na kuongeza kuwa katika siku hiyo watu wa mataifa mbalimbali UNK ni jinsi gani wataweza kuifanya teknolojia ya habari na mawasiliano kama sehemu yao ya maendeleo kauli mbiu ya mwaka huu imelenga suala la matumizi teknolojia ya UNK ambayo kwa hivi sasa UNK watu wenye ulemavu duniani kote watu wenye ulemavu wanapopewa nafasi UNK mkubwa wa kuweza kukamata kile UNK katika dunia ya sasa ya mtandao ni wajibu wetu kwa sasa kutoa nafasi za teknolojia za habari na mawasiliano kwa watu UNK pamoja na watoto ambao UNK kama nguvu kazi ya miaka ijayo tunapaswa kufikiria kuwawezesha kama UNK na mkutano wa kimataifa wa jamii ya habari anasema ili kufikia malengo haya mwaka ishirini sifuri tatu serikali ilipitisha sheria ya kitaifa ya teknolojia ya habari na UNK ambayo inatumika kwa sasa utekelezaji wa mafanikio wa sheria hiyo sekta binafsi inapaswa kuungana na juhudi za serikali katika kufikia malengo yake teknolojia ya habari na mawasiliano ni nyenzo muhimu ya kuwawezesha watoto na makundi mengine kuwa kichocheo katika kuhakikisha haki zao katika jamii wanayoishi profesa msolla anafafanua kuwa hivi karibuni serikali itaanza kulishughulikia suala la matumizi mabaya ya mtandao kwa ajili ya kuwalinda watoto UNK matumizi ya kondomu linaongeza kwa UNK anayekuwa kwa ukimwi huzikwa na vitu vyote UNK na mary margwe tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine duniani ina makabila mbalimbali ambayo baadhi yake yanazingatia mila na utamaduni wao miongoni mwa makabila hayo ni kabila la wabarbaig ambalo lipo mkoani manyara jamii ya kabila hilo inapatikana katika wilaya za hanang mbulu na babati wakiendesha maisha yao katika maeneo ya porini na kujishughulisha na shughuli za ufugaji sababu kubwa iliyoifanya jamii hiyo kuishi maeneo hayo ni kuepuka kero mbalimbali ambazo wataweza kuzipata baina yao na wakulima chakula maarufu kinachotumiwa na jamii ya kabila hilo ni maziwa nyama ugali na damu ya nggombe ambaye hufungwa shingoni na kupigwa UNK katika mishipa mikubwa ya damu na kukinga damu yake na kisha UNK na UNK kama chakula kiburudisho kinachotumiwa na kabila hilo ni pombe ambayo UNK kwa jina la UNK ambayo hutengenezwa kutokana na UNK wa asali na baadhi ya miti aina UNK idadi kubwa ya jamii ya kabila hilo haifahamu lugha ya kiswahili na badala yake hutumia mkalimani kuwasiliana na watu mbalimbali bibi veronica samuheda ni mkalimani wa kabila hilo na mwanaharakati wa mapambano dhidi ya ukimwi ambaye amekuwa kiungo muhimu kwa jamii ya kabila hilo wanapotembelewa na watu mbalimbali katika maeneo wanayoishi akielezea shughuli zinazofanywa na wakina mama wa kabila hilo bibi samuheda anasema wakina mama hao hujishughulisha na utengenezaji wa mavazi yao ya asili kwa kutumia ngozi za wanyama kama ngombe mbuzi na kondoo UNK nyingine ni kutafuta kuni kusaga kwa kutumia mawe ya asili kuchota maji kwa kutembea umbali mrefu na kuchunga mifugo kwa kipindi chote ambacho waume zao wanapokuwa safarini na kutunza familia mara nyingi wanaume wa kabila hilo hushinda UNK na kunywa pombe ambapo shughuli nyingi katika jamii hiyo hufanywa na wakina mama jamii hiyo inazingatia mila na desturi ikiwa ni pamoja na wanaume kurithi wake wa ndugu zao waliofariki kama mdogo wake wa kiume au kaka yake utamaduni huo una lengo la kuendeleza jina la familia ya marehemu na watoto UNK wataendelea kutumia jina la mzazi aliyefariki mila na utamaduni wa kabila hilo bado UNK vitendo vya ukeketaji mbali ya serikali kupiga vita vitendo vya ukeketaji ambavyo ni hatarishi kwa maisha ya binadamu kabila hilo halina mpango wa kuachana mila hiyo kwa madai ya kulinda na kuendeleza utamaduni wao suala la ukeketaji kwa jamii hiyo limeonekana kupewa kipaumbele ambapo mtoto wa kike UNK anaonekana sawa na jambazi wa kupora wanaume na kushindwa kuishi katika ndoa yake kwa hofu ya kutoridhishwa na mwanaume mmoja imani waliyonayo kitendo cha ukeketaji kinamfanya mwanamke kuheshimu ndoa yake mila na UNK nyingine zinazotumiwa na kabila hilo ni kuoza binti zao bila idhini msichana husika na badala yake UNK UNK msichana hana uwezo wa kuchagua mchumba anayempenda na baba ndiye anayepaswa UNK mwanaume bila mtoto wa kike kupinga uamuzi wa baba ni mara chache sana ambapo msichana wa kabila hili UNK mwanaume na kumpeleka kwa baba yake wakati mwingine UNK huchukuliwa na kuolewa kinguvu na hasa kwenye mikutano ya kimila inayojulikana kama bun UNK ambayo watu mbalimbali hukutana na kucheza ngoma hivyo unaweza UNK kuolewa kinguvu badala ya hiari anasema bibi UNK kitendo cha kabila kuwa na utamaduni wa kuhama eneo moja hadi lingine ili kuepuka kero za wakulima wanalazimika kuishi maeneo kame yasiyokuwa na maji ili UNK na wakulima na hivyo kuwawia vigumu kufanya shughuli za maendeleo kabila hilo hutumia muda mwingi kutafuta maji na hivyo kushindwa kuwasomesha watoto wao huduma za afya bado ni kikwazo kwa jamii ya kabila hilo kwa sababu ya kuishi porini serikali inashindwa kupeleka huduma ya afya kutokana na uchache wa jamii hiyo na maeneo wanayoishi hivyo kuna uwezekano mkubwa wa jamii hiyo kupata magonjwa ya mbalimbali yakiwemo ya mlipuko kama kipindupindu kwa sababu ya kutumia maji yasiyokuwa salama kwenye mifereji ambayo mara nyingi yanakuwa na vinyesi UNK na maji ya mvua kabila la wabarbaig linaonekana kuwa nyuma katika suala zima la elimu ya ugonjwa wa ukimwi tangu ulipoingia nchini mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tatu wanaharakati UNK vigumu kuweza kuwafikia na kuwapatia elimu juu ya ugonjwa huo kutokana na utamaduni wao wa kuishi kwa kuhamahama ili kutafuta maeneo yanye malisho ya mifugo yao kabila hilo UNK matumizi ya kondomu hivyo miongoni mwao anapokuwa na ugonjwa huo na akafariki huzikwa na vitu vyake vyote kama nguo vyombo vyote vya matumizi ya nyumbani vitanda magodoro UNK na UNK ili kuhakikisha kuwa UNK ugonjwa huo kikamilifu akielezea jinsi jamii hiyo inavyoweza kupambana na ugonjwa wa ukimwi bibi UNK gidawadin anayetokea katika jamii ya kabila hilo anasema alishawahi kumzika shemeji yake bwana UNK gidawida ambaye UNK ugonjwa huo na kumzika kwenye shimo kubwa ambalo liliandaliwa na vitu vyote alivyowahi akitumia marehemu wakati wa uhai wake ili ugonjwa huo usiweze kuambukiza wengine jamii hiyo UNK kuna mtu ndani ya kabila hilo anayeumwa ugonjwa huo kitu cha kwanza walichofanya ni kumtenga katika maongezi chakula na kulala kwa kumjengea nyumba yake ili asiweze kuwaambukiza wengine kutokana na hali hiyo bibi gidawadin anasema miaka mitatu iliyopita wakiwa nyumbani kwao gehandu wilaya ya hanang mkoani manyara wakasikia milio wa gari ukienda nyumbani kwao UNK nje ya nyumba wakakuta ni shemeji yake aliyekuwa akiishi arusha UNK kwenye siri ya mbele huku akiwa na marafiki zake UNK UNK akiwa UNK kama kuni na nywele zake zikiwa zinakwenda na upepo marafiki zake UNK anaumwa ugonjwa wa ukimwi jamii iliamua kumtenga na muda wote alikaa peke yake na hakuna UNK hata kumgusa mkono wake anasema bibi UNK anasema UNK mgonjwa huyo kamba ndefu katika kidole gumba cha mguu wake kamba hiyo ilifika katika nyumba waliyokuwa wakiishi na wanapotaka kumpa mgonjwa chakula hutumia kamba hiyo kama kipimo cha uhai wa mgonjwa wakiona UNK wanajua UNK bibi gidiwadin ndugu yake baada ya kufariki UNK mwili wake UNK pamoja na vitu vyake vyote kama kitanda kabati godoro mabegi ya nguo vyombo vyote vya ndani sufuria sahani UNK vijiko na viatu vyake mimi nipo tayari kuzikwa kama UNK marehemu shemeji yangu bwana gidawida kama UNK nimekufa kwa ugonjwa huo ili ugonjwa huu usiweze kuenea kwa watu wengine bibi gidiwadin anasema matumizi ya kondomu kwa kabila hilo UNK kabisa na wala hawajawahi kuziona na kama UNK hawatatumia kwani ni kinyume cha mila na utamaduni wao na kusisitiza kuwa serikali UNK fedha nyingi kwa UNK dhidi ya ugonjwa huo kwa kabila hilo labda kwa UNK mengine kondomu ni jina gani mbona mimi UNK kama zinavaliwa ili kuzuia maambukizi ya ukimwi mimi na mume wangu UNK na ugonjwa huo UNK sisi tuko vijijini kama ni mjini sawa nyie UNK lakini sisi UNK anasema mkazi mwingine wa kijiji cha gehandu bibi UNK hode anasema hawezi kutumia kondomu na hata kama UNK UNK kwa sababu itachangia kumfanya apate maambukizi na kusisitiza kuwa kondomu sio kinga ya ukimwi bibi hode ambaye pia aliyeshuhudia maziko ya mtu aliyekuwa kwa ukimwi katika jamii hiyo anasema taratibu za maziko hayo ni nzuri kabisa kwani kwa kufanya hivyo kutazuia maambukizi ya ugonjwa huo pamoja na kutembelea mkoani singida nimewahi kumuona mtu anayeumwa ugonjwa wa ukimwi lakini sijawahi kuiona kondomu anasema bwana UNK hilluku mkazi wa kijiji cha UNK UNK kata ya UNK wilayani hanang na kuongeza kuwa ni vyema kondomu hizo zikatumika mijini na sio kwa kabila hilo anasema mpaka hivi sasa hakuna elimu yoyote UNK kuipata kuhusiana na ugonjwa huo na matumizi ya kondomu bwana hilluku anasema walipata kusikia kuwa kondomu hizo ziliwahi kumuua mwanamke mmoja wa jamii hiyo wakati wakifanya mapenzi baada ya kondomu hiyo kuzama na kushindwa kutoka licha ya kuwa ana umri mkubwa bibi UNK gidabajo mkazi wa kijiji cha UNK mbugani anasema aliwahi kuusikia ukimwi zamani sana baada ya kuambiwa kuwa UNK na unaua tuliambiwa kuwa maambukizi ya ugonjwa huo UNK na kukaa pamoja na kulala nae kwa kuwa UNK kwa njia ya hewa anasisitiza bibi UNK anasema leo hii akisikia kuna mtu anaumwa ugonjwa huo anaondoka na kwenda kukaa mbali ili mgonjwa huyo aishi peke yake kwa kuogopa maambukizi kwa imani kuwa UNK miaka mingi kwa mapenzi ya mungu mtoto wa kwanza wa bibi gidabajo bwana UNK UNK anayeishi na wake wawili ambapo mke mdogo ana umri wa mika anasema hajawahi kuona kondomu wala kuisikia bibi UNK UNK gidiyabwa anayetokea katika jamii ya kabila hilo mkazi wa kijiji cha gehandu kata ya gehandu wilayani hanang mkoani manyara anasema alipoamua kujitangaza kuwa ana virusi vya ukimwi alipata wakati baada ya jamii ya kabila hilo kumtenga na kutakiwa UNK nyumba yake UNK bibi gidiyabwa anasema kwa hivi sasa ameamua UNK na ana imani kuwa amepona akiwa anaishi nyumbani kwa mtumishi wa kanisa la pentekoste bwana faustin benedict akiwa anajishughulisha na kazi za mapishi kwenye mgahawa wa wa bwana benedict anasema mazingira hayo yamewafanya wateja wakimbie katika mgahawa huo wakitaka bibi gidiyabwa aondolewe kwenye mgahawa huo bwana benedict anasema kamwe UNK bibi gidiyabwa isipokuwa atajitahidi kuielimisha jamii hiyo ili iweze kumkubali na kuishi nae kama wanavyoishi na wagonjwa wengine wa malaria na sio kumfukuza kuna siku ambazo nakosa wateja siku nzima kwa madai kuwa UNK mtu anayeishi na virusi vya ukimwi na kuniambia kuwa UNK mtumishi wa mungu huku UNK kuua watu kwa makusudi alilalamika bwana benedict bibi gidiyabwa anasema jamii ya kabila UNK imekuwa UNK zaidi ya kupata faraja kubwa kutoka kwenye familia ya bwana benedict na kusisitiza kuwa ni vyema jamii hiyo ikapata elimu zaidi ili iweze kuuelewa ugonjwa huo kikamilifu UNK kuwa na watoto watano ambao wanne wanaishi kwa shemeji yao bwana juma UNK ambaye ndiye UNK naye kwa lengo la kuliendeleza jila la kaka yake ambaye hivi sasa ni marehemu bwana UNK UNK mila ya kabila hilo inaruhusu kurithi mke ama mume wa familia hiyo mtoto wa tano anaishi na mama yake mzazi anasema alichukuliwa na shemeji yake bwana juma ambaye alimwambia kuwa baada ya kufariki kwa kaka UNK ndie mume wake na kuzaa nae watoto watano kwa lengo la kuendeleza jina la marehemu kaka yake marehemu anasema ugonjwa huo aliupata baada ya kuzaa watoto ambapo UNK na shemeji yake na kwenda kufanya mapenzi na mwanaume mwingine ambaye UNK ugonjwa huo bibi gidiyabwa anasema kwa hivi sasa anajisikia kupona kabisa ugonjwa huo baada ya kufanya maombi na UNK dawa za kurefusha maisha kwa hivi sasa nimepona kabisa siwezi tena kutumia dawa kwani mungu UNK UNK toka novemba ishirini sifuri nane sijawahi kutumia dawa na sitakwenda hospitali kwa tatizo hili na iwapo nitakwenda basi kwa tatizo lingine najuta kujitangaza kwani jamii UNK anasisitiza bibi UNK mtendaji wa kijiji cha gehandu bwana michael wami anasema alihamia kijijini hapo mwaka ishirini sifuri saba akitokea kijiji cha UNK na kusikia taarifa za tukio la mtu aliyekufa na kuzikwa na vitu vyake anasema mara nyingi amekuwa anasikia jamii hiyo UNK mgonjwa huyo na kumtaka UNK na jamii hiyo jamii hiyo bado iko nyuma kabisa na ugonjwa huo huku wakifanya mapenzi bila kutumia kondomu kwa UNK ya kuendeleza mila na desturi ya utamaduni wao jamii ya kabila hilo UNK zaidi na ugonjwa huo pamoja na magonjwa mengine ya zinaa kama UNK kaswende ambayo UNK pasipo kutumia tiba wenye sifa kutumikia adhabu nje ya gereza moja sifuri sifuri sifuri waanza kunufaika na reuben kagaruki kwa kipindi kirefu wanaharakati wa haki za binadamu wamekuwa wakilalamikia msongamano wa wafungwa na mahabusu katika magereza mbalimbali nchini moja ya sababu zinazochangia msongamano huo ni kutokana na ujenzi wa magereza hayo kujengwa katika kipindi cha mkoloni pamoja na ongezeko la mahabusu wanaokabiliwa na mashitaka mbalimbali pamoja na kuwepo kwa malalamiko hayo dhidi ya wanaharakati na wananchi wa kawaida sio rahisi kufahamu hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali katika kuhakikisha kuwa tatizo hilo linapatiwa ufumbuzi wa kudumu juhudi hizo za serikali zimeanza kuonekana wazi kupitia utekelezaji wa programu ya sheria ya huduma kwa jamii na sita ya mwaka ishirini sifuri sita lengo la sheria hiyo ni UNK UNK aliyetiwa hatiani na mahakama kwa kumpa adhabu mbadala ambayo haitakuwa ya kifungo cha gerezani chini ya mpango huo mhalifu UNK adhabu aliyopewa akiwa ndani ya jamii UNK kwa kufanyakazi bila malipo kwenye taasisi UNK akieleza utekelezwaji wa programu hiyo kwenye maonesho ya wiki ya utumishi wa umma yanaendelea kwenye viwanja vya mnazi mmoja dar es salaam ofisa huduma kwa jamii makao makuu idara ya uangalizi wa huduma za jamii bwana charles nsanze anasema adhabu hiyo ni mbadala wa kifungo adhabu mbadala ni adhabu yoyote inayoweza kutolewa kwa mhalifu aliyetenda kosa la jinai mbali ya kufungwa gerezani adhabu hiyo ilianza zilianza kutekelezwa katika nchi nyingi za kiafrika na zimeonesha mafanikio kwa UNK msongamano wa wafungwa magerezani anafafanua bwana nsanze anasema adhabu ambazo mfungwa anaweza kutumikia bila kufungwa gerezani ni mhalifu kuwa chini ya uangalizi wa ofisa majaribio kuachiwa huru kwa masharti au kulipa UNK anafafanua kuwa kwa muda mrefu adhabu UNK ni ile ya kifungo cha gerezani kwa watu wanaotiwa hatiani lakini kutokana na ongezeko la vitendo vya uhalifu magereza mengi yamekuwa UNK kuliko uwezo wake kimsingi programu hii ni jitihada za kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo anasema bwana nsanze na kuongeza kuwa serikali ilibuni programu hiyo ambayo UNK na bunge na kuwa sheria mwaka ishirini sifuri mbili huduma kwa jamii ni nini akifafanua maana ya programu hiyo bwana nsanze anasema inawahusu washitakiwa wanaotiwa hatiani na mahakama kwa makosa madogo madogo washitakiwa hao wanaweza kupewa amri ya kufanya kazi za jamii badala ya kutumikia kifungo cha gerezani zipo kazi za jamii ambazo zinafanywa na UNK kama kutunza misitu mazingira kukarabati majengo ya shule na hospitali za umma anaeleza kazi nyingine ni kufanya matengenezo katika maeneo yanayotumiwa na umma kama viwanja vya michezo barabara makazi ya watoto yatima na kupewa kazi zingine kwa faida ya jamii bwana nsanze anaeleza kuwa mtu anayeamua ni adhabu gani UNK kupewa mshitakiwa ni hakimu anayesikiliza kesi iwapo UNK na adhabu hiyo kabla ya kutoa hukumu hiyo hakimu hufanya mashauriano na kamati ya huduma za jamii ya eneo UNK mshitakiwa anasema kamati hiyo hufanya kazi ya kuzungumza na wanajamii katika eneo UNK mshitakiwa aliyetiwa hatiani pamoja na mtu UNK mashitaka ili kujua kama yupo tayari kumuona mshitakiwa na jinsi UNK uhuru wa mfungwa kabla ya adhabu hiyo kutolewa bwana nsanze anaeleza kuwa mfungwa anapewa fursa ya UNK vema kuhusiana na adhabu atakayopewa anakuwa na uhuru wa kukubali au kukataa adhabu ya kutumikia kifungo gerezani pale UNK anakuwa na wasimamizi katika maeneo mbalimbali ya kazi wakishirikiana na maofisa huduma kwa jamii chini ya usimamizi wa kamati za huduma kwa jamii za wilaya kata na vijiji anasema kwa mujibu wa bwana nsanze wahusika wa kamati hiyo ni wajumbe wa kamati za ulinzi na usalama za mikoa kata na vijiji anasema jeshi la magereza UNK kikamilifu kutekeleza programu ya huduma kwa jamii kwa kutoa wajumbe katika kamati mbalimbali kuanzia ngazi ya taifa mikoa hadi wilaya bwana nsanze anaeleza kuwa programu hiyo inawahusu wafungwa ambao tayari wapo magerezani mkuu wa gereza UNK mfungwa ana wajibu wa kupendekeza maombi ya mfungwa kutaka kuingizwa katika programu hiyo anachotakiwa kufanya ni kuwasilisha mapendekezo yake mahakamani endapo mfungwa huyo ana sifa mahakama itatoa amri ya kumtoa gerezani na kwenda kutumikia sehemu iliyobaki ya adhabu yake akiwa ndani ya jamii anasema bwana nsanze hata hivyo anasema jeshi la magereza lina jukumu la kupokea wahalifu UNK masharti ya programu hiyo ili waendelee kutumikia vifungo vyao gerezani sababu nyingine ambazo zinaweza kusababisha warejeshwe gerezani ni zile za kiafya na kufafanua kuwa jeshi hilo lina wajibu wa kupokea na kuwahifadhi wafungwa wakati wakisubiri kupelekwa katika maeneo ya kazi bwana nsanze anasema kanuni za programu hiyo UNK watumishi husika kuwa na uhusiano wa karibu na idara ya mahakama jeshi la magereza polisi na taasisi nyingine zinazoshughulikia programu hiyo ni wajibu wa jeshi hilo kudumisha mawasiliano na ushirikiano wa karibu na watendaji wa programu ya huduma kwa jamii wafungwa kutembelewa bwana nsanze anasema maofisa huduma za jamii wana wajibu wa kufuatilia taarifa za wafungwa hao pale wanapokuwa UNK wakitekeleza jukumu hilo kama maofisa wa mahakama anasema kwa kawaida mfungwa hulazimika kufanya kazi kulingana na muda UNK na mamlaka UNK kipindi cha kufanya kazi hiyo UNK na mahakama ila hakiwezi kuzidi muda ambao utatolewa kama kifungo katika kipindi ambacho mfungwa UNK kifungo hicho anatakiwa kutii amri za mahakama miongozo na maelekezo UNK na wasimamizi wake utaratibu huo unatokana na programu hiyo kujikita katika dhana ya ujenzi wa tabia ya mfungwa na UNK na jamii UNK mikoa UNK bwana nsanze anasema tayari mpango huo umeonesha mafanikio UNK katika mikoa sita ambayo ni dar es salaam mwanza mtwara mbeya kilimanjaro na dodoma ambapo utekelezwaji wake unafanyika kwa majaribio katika mikoa hiyo tayari wafungwa moja sifuri sifuri sifuri wananufaika na programu hiyo mikoa UNK ni iringa tanga arusha shinyanga na mara baada ya kupatikana kwa uzoefu programu hiyo itaanza kutekelezwa nchi nzima bwana nsanze anaeleza kuwa faida zitokanazo na progamu hiyo ni pamoja na kupunguza kupunguza msongamano wa wafungwa katika magereza na itasaidia kuimarisha huduma za wafungwa ndani ya magereza anasema watu watakaopewa adhabu hiyo ni fursa nzuri kwao kuendelea kuishi uraiani na kuhudumia familia zao inakuwa nafasi nzuri zaidi kwao kuweza kujirekebisha na kuelewana na UNK anasema anafafanua kuwa utafiti unaonesha kuwa wafungwa wengi sio wahalifu sugu na pale wanapopewa nafasi huweza kujirekebisha na kuwa raia wema hata hivyo kwa wale watakaofanya uhalifu makusudi kwa kutegemea adhabu nyepesi mahakama inakuwa na uwezo wa kumpa mtu adhabu ya kwenda gerezani wazawa walalamikia kuporwa rasilimali ya maji mwekezaji UNK na uharibifu wa mabomba na edson kamukara sera ya utandawazi imetoa fursa kubwa ya uwekezaji kwa wageni mbalimbali ambao UNK nafasi hiyo kuwekeza katika makampuni mashirika ya umma na mashamba makubwa ambayo uzalishaji wake UNK baada ya serikali kukosa uwezo na mtaji wa kuyaendesha wawekezaji tumewaona na tunaendelea kuwaona kwa bahati nzuri wengi wao ni kutoka nje ya nchi hii ni kutokana na wazawa kutopewa maeneo ya uwekezaji kwa vigezo vya ukosefu wa teknolojia ya kisasa au mitaji ya kutosha tumeshuhudia migogoro mbalimbali inayowahusisha wawekezaji na wazawa katika maeneo ya uwekezaji faida wanazopata wazawa katika maeneo ya uwekezaji ni ndogo ikilinganishwa na rasilimali UNK wiki chache zilizopita nilikuwa mkoani kilimanjaro wilaya ya moshi vijijini katika eneo la kibosho kitongoji cha maembe kijiji cha UNK kata ya UNK ambapo nilishuhudia kero mbalimbali ya maji UNK wakazi hao kwa zaidi ya miezi miwili mpaka sasa chanzo cha ukosefu wa maji hayo ni mgogoro wa mfereji wa mure ambao maji yake hutumiwa na wakazi hao pamoja na mwekezaji anayemiliki shamba kubwa la maua shamba hilo linajulikana kwa jina la UNK UNK ltd ambalo mmiliki wake ni bwana UNK nijenhuis raia wa ujerumani wakazi wa eneo hilo wanalalamikia kitendo cha mmiliki wa shamba hilo kuwafungia maji ya mfereji wa mure ambao wamekuwa wakiutumia muda mrefu kwa ajili ya UNK mashamba yao na matumizi ya kawaida bwana bwana nijenhuis alifafanua ukweli wa madai hayo na kusema kuwa wananchi hao wameharibu miundombinu ya mabomba yake na kumsababishia hasara kubwa kiasi cha mashamba yake kukosa maji na kunyauka nimelazimika kupunguza wafanyakazi zaidi ya kumi sifuri kwa kuwa UNK kwa kiwango kikubwa tena wakazi hawa wameharibu miundombinu ya mabomba yangu huu ni uharibifu mkubwa alisisitiza bwana UNK anasema shamba hilo UNK na chama cha ushirika cha kibosho kati na kuongeza kuwa mfereji huo namba sitini na moja wenye hati namba elfu tatu na mia tatu na hamsini siyo mali ya wakazi wa kitongoji cha maembe kama walivyokuwa wakifahamu tangu zamani chama cha ushirika UNK shamba hilo mwaka ishirini sifuri tatu pamoja na mfereji UNK hivi sasa katika barua iliyoandikwa na mamlaka ya bonde la pangani oktoba kumi na saba ishirini sifuri tano kwenda kwa meneja wa ushirika kibosho kati ilisisitiza kuwa mwekezaji huyo UNK UNK mfereji huo katika kuendesha shughuli zake diwani wa kata hiyo bwana martin mallya ambaye pia ni mwenyekiti wa chama cha ushirika kibosho kati anasema shamba hilo lenye ukubwa wa ekari mia mbili na hamsini pamoja na mfereji wa mure ni mali ya ushirika ambapo mwekezaji huyo UNK katika kipindi cha miaka thebathini tangu mwaka ishirini sifuri tatu awali mkataba huo ulimtaka mwekezaji kufanya kilimo cha kahawa kwa asilimia sitini maua asilimia thebathini na asilimia kumi UNK na kilimo cha mazao mengine badae mwekezaji huyo aliomba kufanya UNK ya mkataba wake na kuruhusiwa UNK maua kwa asilimia kubwa kufuatia ukubwa wa soko la bidhaa hiyo bwana mallya anasema mgogoro wa mfereji wa mure umeleta hasara kubwa kwa mwekezaji ambaye UNK mabomba yake na kuelezea wasiwasi wake juu ya mwekezaji huyo kuwataka UNK gharama zake kulingana na mkataba wao mfereji huu ni wa chama cha ushirika tangu mwaka elfu moja na mia tisa na ishirini na tatu na UNK shamba hili kwa mwekezaji ni pamoja na maji haya sasa kitendo cha wananchi kuchukua sheria mikononi wakati wakifahamu ukweli si cha kufumbia macho anasema bwana UNK anasema kulingana na dhamana aliyonayo yupo tayari kupoteza nafasi ya uwakilishi wake kwa wananchi lakini hawezi kukubaliana na kitendo kilichofanywa na wananchi cha kuvamia miundombinu ya mwekezaji na UNK anasema baada ya mwekezaji huyo kuona mgawanyo wa matumizi ya maji kati yake na wakazi hao UNK UNK ajenge njia mbili za mabomba ili kila mmoja aweze kuwa na mfumo mzuri wa kupata maji hayo wananchi hao walidai kuwa hatua ya kuwekwa kwa mabomba hayo na mwekezaji huyo UNK lakini bwana mallya anasema kutekelezwa kwa mpango huo kulitokana na makubaliano ya pamoja baina ya mwekezaji na wananchi ambapo serikali ya ujerumani ilichangia kiasi cha shilingi milioni sabini ili kufanikisha zoezi la uwekaji wa mabomba hayo leo hii wananchi wanahoji kuwa kama zoezi hilo UNK na serikali ya ujerumani iweje mwekezaji adai kuwa alifanya ujenzi huo kwa gharama zake mwenyewe bwana nijenhuis anasema amelazimika kupunguza wafanyakazi wasiopungua kumi sifuri kwa sababu ya ukosefu wa maji na kusababisha mashamba yake kunyauka mwenyekiti wa kitongoji hicho bwana faustine kimaro anasema kuwa teknolojia ya mwekezaji kutaka kujenga njia mbili katika mfereji wa mure UNK na wananchi wote ikiwa ndio sababu ya wao kukosa maji na kuibuka kwa mgogoro anasema kuwa mabomba hayo yalivunjwa februari kumi na kumi na mbili mwaka huu ambapo mkuu wa wilaya ya moshi bwana mussa samis alifika kijijini hapo februari kumi na tano mwaka huu siku chache kabla ya kuanza kwa ziara ya waziri mkuu bwana mizengo pinda iliyomalizika hivi karibuni bwana samis alimsihi mwekezaji huyo pamoja na wananchi hao kuwa watulivu wakati serikali ikiendelea kushughulikia mgogoro huo na prosper mosha wananchi wanaopata huduma ya umeme unaotokana na gredi ya taifa ni asilimia kumi na moja pekee ambapo asilimia moja ya wananchi waishio vijijini ndio wanaonufaika na umeme huo hali hiyo inachangia kukwamisha huduma mbalimbali za kijamii hususani katika maeneo ya vijijini ambayo yanahitaji nishati hiyo ili kuboresha mahitaji mbalimbali yakiwemo huduma bora ya afya kwa watoto na wakinamama wajawazito wakati wa kujifungua mtaalamu wa nishati ya umeme UNK na mionzi ya jua mhandisi bwana hamis mikate ambaye pia ni mkurugenzi wa kampuni ya UNK tanzania limited anasema ukosefu wa huduma muhimu kama umeme barabara na maji ni moja ya vigezo vikubwa vinavyochangia baadhi ya watumishi wa umma hasa walimu kushindwa kufanya kazi katika maeneo ya vijijini anasema ukosefu wa huduma ya umeme vijijini ni moja ya sababu inayokwamisha maendeleo ya sekta mbalimbali katika sekta ya afya wauguzi katika vituo mbalimbali hulazimika kutumia mwanga wa UNK wanapotoa huduma za matibabu kwa makundi ya watu mbalimbali matumizi ya nishati mbadala itokanayo na mionzi ya jua ni nyenzo muhimu UNK kumaliza tatizo hilo katika maeneo yote yenye matatizo ya upatikanaji wa nishati ya unaotokana na gredi ya taifa anasema kufuatia tatizo hilo kampuni hiyo iliamua kuunga mkono juhudi za serikali za kupambana na tatizo la upungufu wa nishati ya umeme ambayo ni rafiki wa mazingira bwana mikate anafafanua kuwa matumizi ya umeme jua katika jamii yanazidi kuongezeka siku hadi siku kutokana na jamii husika kutambua umuhimu wa nishati hiyo na mahitaji yake katika kuharakisha maendeleo watanzania hivi sasa wameelimika wakiwa na ufahamu mkubwa wa kufahamu jambo baya na zuri hawako tayari kupoteza muda wao au kupata hasara kwa sababu ya UNK umeme wa uhakika na kushindwa kuendeleza miradi yao ya kiuchumi anasema anasema nishati ya umeme jua imekuwa na msaada mkubwa katika jamii katika kuharakisha maendeleo umeme huo hauna kawaida ya kukatika mara kwa mara na unaweza kutumika kwenye nyumba viwanda na maeneo mengine yenye mahitaji ya umeme jamii kubwa imeanza kutambua faida za umeme huo ambao hivi sasa umepata soko kubwa ikiwa matumizi ya umeme huo hayana madhara kwa binadamu kutokana na mahitaji ya nishati hiyo katika jamii kampuni hiyo iliendesha mafunzo ya siku moja kwa wadau mbalimbali wanaotumia umeme huo bwana mikate aliwataka washiriki wa mafunzo hayo kuona umuhimu wa kununua vyombo imara vyenye uwezo mkubwa wa kuzalisha nishati hiyo ili wasiingie hasara na kuwatumia wataalamu wenye uwezo wanapohitaji nishati hiyo umeme jua unaweza kutumia vifaa vyote vinavyotumia umeme ambapo ukubwa wa matumizi sio tatizo bali jambo la msingi ni kujua mahitaji ya mtumiaji miongoni mwa changamoto zinazowakabili wauzaji na wasambazaji wa bidhaa hiyo nchini ni pamoja na ukosefu wa wataalamu ongezeko la vifaa bandia na uelewa mdogo wa watumiaji na halfan diyu tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoendelea barani afrika ikiwa na mikakati endelevu ya kuboresha sekta ya afya kwa wananchi wake kutunga sera na kuweka mipango mbalimbali ya uanzishwaji wa mfuko wa bima ya afya ya jamii kwa lengo la kuwapatia watanzania huduma bora ya afya kwa wakati kuanzishwa kwa mifuko ya afya nchini ni utekelezwaji wa dhana ya maendeleo ya milenia na kupunguza idadi ya vifo mpaka kufikia mwaka ishirini moja tano pamoja na jitihada hizo za serikali maendeleo ya mfuko wa afya ya jamii si nzuri ikilinganishwa mfuko wa taifa wa bima ya afya hali hiyo UNK na mambo mengi yakiwemo hali duni ya uchumi wa wananchi uelewa mdogo na uhamasishaji hafifu jambo linalosababisha wananchi wengi kujiunga na mfuko huo tangu kuanzishwa kwa mfuko wa mch kwa sheria namba sitini na sita ya mwaka ishirini sifuri sita mpaka sasa tuna wanachama arobaini sifuri kati ya kaya nane sifuri sifuri sifuri zilizopo kwenye kata yetu ya mlandizi mkoani pwani hali hiyo inasikitisha sana anasema muuguzi mkuu wa kituo cha afya mlandizi bibi UNK UNK takwimu za shirika la kuhudumia watoto duniani zinaonesha kuwa wanawake nane kumi sifuri nchini hufariki kila mwaka kwenye vyumba vya kujifungulia na vifo vya watoto watatu kati ya kumi sifuri ambao hufariki kabla ya kufikisha umri wa mwezi moja tafiti zilizofanywa na shirika hilo zinaonesha kuwa sababu zinazochangia vifo vya mama na mtoto ni huduma duni za afya miundombinu mibovu katika sekta hiyo hususan katika maeneo ya vijijini huduma duni za afya ya uzazi na jamii kutokuwa na elimu ya uzazi wa mpango hasa katika maeneo ya vijijini sababu nyingine ni uhaba wa wafanyakazi na wataalamu wa afya ushirikishwaji mdogo wa jamii katika masula ya afya sambamba na wanawake kutokuwa na maamuzi kwenye suala zima la afya ya uzazi wa mpango shirikia lisilo la kiserikali la utu mwanamke halikuwa nyuma katika kufanya utafiti huo ambapo matokeo ya tafiti zake yanaonesha kuwa mwanamke wa kitanzania hufa kila baada ya saa moja kutokana na matatizo yanayosababishwa na ujauzito au uzazi kata ya mlandizi mkoani pwani ina wakazi wapatao hamsini mia tano na themanini na mbili vijiji vinne na UNK kumi na tano vijiji hivyo ni mlandizi a na b UNK na UNK kituo cha afya mlandizi UNK kwa majengo ya kisasa zikiwemo wodi mbili za wagonjwa jengo la huduma kwa waathirika wa ukimwi chumba cha kujifungulia na huduma ya UNK bibi mwadebe anasema mwanachama wa mfuko wa mch anatakiwa kutoa ada ya shilingi tano sifuri sifuri sifuri kwa mwaka ambayo itamwezesha kupatiwa matibabu pamoja na familia yake isiyopungua watu kumi walio chini ya umri wa miaka kumi na nane kwa wale wasio wanachama UNK kuchangia kiasi cha shilingi moja sifuri sifuri sifuri kila wanapokwenda kupata huduma kituoni hapo kituo chetu hutoa huduma ya bure kwa watu wa madaraja mawili ambayo ni wazee UNK umri wa miaka sitini watoto walio chini ya miaka mitano na akinamama wajawazito anafafanua bibi mwadebe na kuongeza kuwa wengine wanaonufaika na mpango huo ni majeruhi wa ajali za barabarani moto na nyinginezo anasema lengo la kituo hicho ni kutoa huduma bora ya afya lakini changamoto iliyopo ni uhaba wa watumishi kuna upungufu wa wauguzi na wakunga ikiwa mpango wa maendeleo wa afya ya msingi unataka kila zahanati kuwa na waganga wawili wakunga wauguzi wawili na mfanyakazi mmoja wa maabara anasema kauli ya bibi mwadebe inapingana na ile ya kaimu mganga mkuu wa kituo hicho daktari ernest munisi ambaye anasema hali ya wanachama wa mfuko wa mch katika kata ya mlandizi sio nzuri anasema sababu zinazochangia hali hiyo ni wanachama kutokuwa na mwamko wa kujiunga na mfuko na kufafanua kuwa serikali inachangia hali hiyo kwa kutoa ruzuku kidogo hali UNK moyo wananchi ofisa mtendaji kata ya mlandizi bwana UNK UNK anasema zoezi la wananchi kujiunga na mfuko mch UNK na wizara husika kwa kutochangia fedha katika kipindi cha miaka mitatu mpaka sasa watumishi wa umma wanakatwa mshahara wao kila mwezi lakini makusanyo ya pesa hizo hayatoshelezi ambapo mkapa sasa wizara haijachangia kiasi chochote cha fedha katika kipindi cha miaka mitatu anasema bwana UNK aliongeza kuwa vyombo vya habari navyo UNK kikamilifu kuutangaza mfuko huo kama UNK kuutangaza mfuko wa nhif bibi mariam mussa mama lishe katika kata ya mlandizi anasema haoni sababu ya msingi ya kujiunga na mfuko wa mch kwa sababu hata waliojiunga huambiwa UNK dawa kutokana na uhaba wa dawa UNK wakati mwingine hata dawa za kupunguza maumivu UNK ambapo wanachama hulazimika kwenda kununua katika ya nje ya kituo akinamama wajawazito hulazimika kununua kila kitu kwa gharama zao anafafanua bibi UNK bibi fatuma salum mkazi wa kata hiyo anasema alishindwa kujiunga na mfuko huo kwa sababu ya uwezo wake mdogo kiuchumi wa kumudu gharama za mfuko kauli ya bibi salum ilipingwa vikali na UNK wa mfuko huo aliyefahamika kwa jina moja la bwana UNK aliyedai kuwa faida za mfuko huo ni nyingi kwa wanachama tofauti na dhana iliyojengeka kwa baadhi ya wananchi wa kata hiyo daktari munisi anafafanua kuwa mwaka ishirini sifuri saba wanawake kumi walifariki katika kituo cha afya mlandizi kutokana na ugonjwa wa malaria na watoto watatu ambao walifariki kutokana na ugonjwa wa kuhara UNK na kuungua moto fdc kibaha UNK ubunifu mashine ya kuangulia mayai na kulwa mzee kwa muda mrefu serikali imekuwa ikiunga mkono na kuhamasisha wananchi kuwa wabunifu wa vitu mbalimbali ili waweze kujiajiri kupitia ubunifu huo badala ya kutegemea kazi za kuajiriwa kutokana na hamasa hiyo vijana wengi UNK wito huo na kujiunga na vyuo mbalimbali vya ufundi kwa lengo la kujifunza na kuendeleza vipaji walivyonavyo ili kufanikisha kazi za ubunifu wao mafanikio yaliyotokana na ubinifu huo ni hazina ya pekee kwa mbunifu husika na taifa kwa ujumla miongoni mwa kazi za ubunifu UNK mafanikio makubwa ni pamoja na ubunifu wa mashine zinazofaa kwa mahitaji mbalimbali chuo cha ufundi stadi na kile cha mandeleo ya wananchi kibaha kilichopo mkoani pwani vimekuwa msaada mkubwa kwa vijana wanaojiunga na vyuo hivyo kusomea kozi mbalimbali mbunifu wa mashine ya kuangua mayai ya kuku na mkufunzi wa chuo cha fdc bwana josiah kulwa anasema kazi ya ubunifu wa mashine hiyo ulianza mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu mbunifu wa mashine ya kuangulia mayai ya kuku bwana josiah kulwa na mkufunzi wa chuo cha mandeleo ya wananchi kibaha akiwa kwenye mashine UNK fani hii ya ufundi nilijifunza katika chuo cha ufundi ifunda mkoani iringa kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nne elfu moja na mia tisa na themanini na saba na baadae UNK na chuo cha ufundi UNK alifafanua bwana UNK anasema baada ya kumaliza masomo yake UNK na kampuni ya UNK mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu elfu moja na mia tisa na tisini na tisa akifanya kazi ya kuunda mashine mbalimbali ambapo mwaka ishirini sifuri tano UNK na shirika la elimu kibaha kama mkufunzi katika chuo cha fdc akiwa chuoni hapo amefanikiwa kubuni mashine mbalimbali na kufundisha vijana chuoni hapo miongoni mwa mashine UNK ni ile ya UNK kusindika matunda kufyatua UNK majiko ya kupikia mashine za UNK kuni kwa kutumia taka pumba za mpunga na UNK za mbao bwana kulwa anasema ubunifu wake wa mashine ya kuangua mayai imezingatia maumbile ya yai ikiwa na uwezo mkubwa wa kuhifadhi joto linaloendana na mwili wa kifaranga nyuzi joto thebathini na saba thebathini na nane mashine hii ina uwezo wa kugeuza mayai kila baada ya saa moja ili yasiweze kupata joto la upande mmoja hali ambayo ni hatari kwa kifaranga kwani kinaweza kuanguliwa kikiwa na ulemavu anasema anafafanua kuwa mashine hizo ziko kwa ukubwa tofauti tofauti mashine kubwa ina uwezo wa kuangua mayai tisa mia tisa na themanini na nne ya kuku mayai ya bata saba sifuri tano sita mayai ya bata maji mia tatu na arobaini na tano mayai ya njiwa kumi na mbili sifuri moja mbili na yale ya mbuni mia mbili na themanini na nane bwana kulwa anasema mayai ya kuku UNK katika UNK na kuwekwa ndani ya mashine hukaa kwa siku ishirini na moja kisha yanakuwa UNK na vifaranga kuwa tayari mayai ya bata UNK baada ya siku ishirini na nane bata maji siku ishirini na nane njia siku kumi na saba na mbuni siku thebathini na nane anasema zoezi la kuangua mayai hayo linaweza kufanyika kila siku ambapo baadhi ya mayai hayo hayawezi kuanguliwa kutokana na umri wa kuku UNK kama ana miaka miwili yai lenye ufa UNK muda mrefu kwa zaidi ya siku kumi tangu UNK na uwiano wa majogoo na majike UNK anaongeza kuwa katika ufugaji jogoo mmoja anatakiwa kuwa na majike kumi ili kuweka uwiano ambao kama UNK mayai UNK yanaweza kuanguliwa na kupata UNK kutokana na ubunifu huo ameweza kushirikia katika maonesho mbalimbali yakiwemo ya sabasaba na mwaka ishirini sifuri sita alipata ushindi wa kwanza uliotokana na kazi ya ubunifu wake wa mashine ya kukata mbao katika maumbo mbalimbali ubunifu wa mashine hiyo imeongeza soko la ajira kwa vijana na kujiingizia kipato anasema wanawake waliojiunga katika vikundi wamekuwa UNK mashine kutokana na mahitaji yao na kuzitumia kwa kuzalisha na kuinua hali zao kimaisha changamoto inayomkabili kwa sasa ni uwezo mdogo wa kifedha na kukosa mikopo benki ili kuendeleza kazi za ubunifu wake bwana kulwa ameeleza kusikitishwa kwake na baadhi ya vijana wanaomaliza mafunzo chuoni hapo kushindwa kuendeleza ujuzi wao kwa kukosa mitaji na kuchukua jukumu la kuuza maji barabarani anasema vijana wanaosoma chuoni hapo wana uwezo mkubwa kielimu pamoja na baadhi yao kuwa na elimu ya darasa la saba ni mafundi wazuri wenye uwezo wa kujitegemea kama UNK mafanikio ya vijana hao yametokana na mafunzo waliyopewa chuoni hapo anasema umefika wakati wa serikali kuwasaidia wabunifu ili kuendeleza kazi za ubunifu wao na wajasiriamali wadogo ili UNK bidhaa na kutafuta masoko ya bidhaa hizo baadhi ya wafugaji wa kuku wanasema ni wafugaji wachache wenye uwezo wa kununua mashine hizo bwana alex mwita ni mfugaji wa kuku katika eneo ya kitunda ambaye anafafanua kuwa elimu ya kutosha inahitajika kwa wafugaji ili waweze kuungana katika vikundi na kununua mashine hizo ili waweze kuzalisha vifaranga wenyewe kila mfugaji anayetaka kuongeza kuku ni lazima UNK vifaranga jambo ambalo UNK kama wana kikundi wangekuwa na mashine ya kuangua UNK wengi wao UNK UNK na UNK katika ndoa ni ugonjwa unaotibika kirahisi nguvu zaidi UNK vijijini na grace ndossa hivi karibuni shirika lisilo la kiserikali la utu mwanamke UNK semina ya mafunzo kwa waandishi wa habari ili kufahamu namna ya kuripoti habari za afya ya uzazi kwa wanawake mada mbalimbali zilizotolewa na wakufunzi ikiwemo ile ya kushindwa UNK wanawake wenye ugonjwa wa fistula kwa haraka kutokana na baadhi ya wanawake wanaosumbuliwa na ugonjwa huo kuwa na uwoga wa kwenda hospitali ili waweze kupatiwa matibabu utafiti uliofanywa na shirika hilo umebaini kuwa wanawake wengi hawana uelewa wa kutosha juu ya ugonjwa huo na hivyo hulazimika kukaa nyumbani na kuendelea kuteseka bila kuchukua hatua ya UNK fistula ni ugonjwa ambao UNK mwanamke wakati wa kujifungua katika misuli ya uke na kibofu cha mkojo au katika njia ya haja kubwa mtoto anayezaliwa na mwanamke mwenye ugonjwa huo huwa mfu ambapo dalili za ugonjwa huo huanza kumtokea mwanamke baada ya kujifungua kwa kutokwa na mkojo mara kwa mara katika nchi zinazoendelea ugonjwa wa fistula unatokana na uzazi pingamizi ambayo UNK na nyonga ya mwanamke kuwa ndogo na hivyo kushindwa kuruhusu kichwa cha mtoto kupita kwa shirika la afya duniani UNK chanzo cha ugonjwa huo ni udogo wa njia ya uzazi wakati wa kujifungua taarifa za madaktari zinafafanua kuwa matatizo ya ugonjwa huo yamekuwa yakiongezeka ugonjwa huo UNK wanawake wenye umri mdogo pekee bali hata wanawake wenye umri zaidi ya miaka arobaini mara nyingi ugonjwa huo UNK wanawake wanaotoka katika familia masikini kwa kukosa lishe bora huduma za afya na taarifa muhimu za afya watoaji huduma za upasuaji kwa wakinamama wajawazito wakati wa kujifungua wanaweza kudhibiti matukio mengi ya uzazi UNK huduma ya upasuaji kwa wajawazito UNK kwa wakati unaofaa msukumo wa kichwa cha mtoto unaweza kusababisha misuli ya uke ishindwe kufanya kazi na UNK matokeo ya hali hiyo ni mzazi kupata fistula au tundu kwenye misuli katika matukio mengi yanayohusishwa na ugonjwa huo uzazi pingamizi ni moja ya sababu inayoweza kusababisha kifo cha mtoto aliyeko tumboni takwimu za who zinafafanua kuwa wanawake UNK kufikia milioni nne wanakabiliwa na ugonjwa huo na wengine hamsini sifuri sifuri sifuri hadi kumi sifuri sifuri sifuri sifuri hupata matatizo hayo kila mwaka katika hali ya kushangaza na kusikitisha ni juu kubaguliwa kwa wanawake wenye fistula katika jamii kutokana na harufu inayotokana kwenye mkojo na UNK mwanamke mwenye fistula hawezi kumudu kuzuia mkojo au kinyesi kutokana na mwingiliano usio wa kawaida na anaweza kuugua magonjwa mengine ikiwa ni pamoja na kutokwa vidonda kwenye UNK tafiti mbalimbali zinabainisha kuwa kati ya wanawake watano mmoja anaugua ulemavu wa UNK unaosababisha kuharibika kwa mishipa katika mguu mmoja au yote na kusababisha ulemavu wa kutembea ugonjwa huo unaweza UNK kwa upasuaji hata kama mwanamke UNK kwa miezi au miaka na kurudi katika hali yake ya kawaida huduma za matibabu ya fistula hazitoshi ikilinganishwa na idadi ya wataalamu ni wachache hospitali nyingi zilizopo katika maeneo ya vijijini hazina uwezo wa kuwatibia wanawake wenye ugonjwa huo wengi hulazimika kwenda hospitali ya mkoa kwa tanzania hospitali zinazotibu ugonjwa huo ni thebathini na sita ambazo ni chache ikilinganishwa na wanawake wanaokabiliwa na ugonjwa huo wanawake wengi ni masikini jambo ambalo linakwamisha jitihada zao za kupatiwa matibabu hali hiyo UNK jamii anayoishi nayo kumtenga na UNK asilimia kubwa ya wanawake wanaosumbuliwa na ugonjwa huo hushindwa kujitokeza kwa kuona aibu kwa sababu ya mazingira ya ugonjwa huo kutokea katika maeneo ya siri hali hiyo inachangiwa na elimu duni ya kukabiliana na tatizo hilo kwa kutambua umuhimu wa matibabu ya ugonjwa huo shirika la utu mwanamke lilitembelea vijiji ishirini na nne vilivyopo katika baadhi ya mikoa ya ruvuma singida na mwanza ili kutoa elimu ya kutosha kuhusiana na ugonjwa huo na jinsi ya kuweza kukabiliana nao kwa manufaa ya wanawake wote mwanaharakati wa shirika hilo bibi festa endrew anasema elimu hiyo ililenga kuwashawishi wanawake kutoona aibu wanapobaini dalili za ugonjwa huo elimu hiyo pia ilitolewa kwa wanaume ili waweze kukaa na wake zao wenye matatizo kama hayo bila UNK bibi endrew anasema wanawake wengi wanajificha na hawapendi kujulikana jambo ambalo ni vigumu kuwatambua shirika letu lina mpango wa kutembelea zanzibar ili kuwaelimisha wananchi wa maeneo hayo jinsi ya kuweza kukabiliana na tatizo la ugonjwa huu na kuchukua hatua madhubuti UNK wataalam mbalimbali wa afya wanaeleza kuwa ili kuzuia ugonjwa huo upatikanaji wa huduma ya afya ni muhimu kuwepo pamoja na mchanganyiko wa huduma kabla ya kujifungua na kutolewa kwa kwa matibabu ya haraka inapotokea dharura baada ya kujifungua mahitaji hayo yanaweza kuokoa maisha ya wanawake na kuzuia ulemavu wa aina nyingi serikali na wadau wengine katika sekta ya afya hawakuwa nyuma katika kuhakikisha kuwa wanachangia fedha za matibabu ili ziweze kumsaidia mwanamke mwenye matatizo hayo utafiti uliofanywa unaeleza kuwa wanawake kumi sifuri sifuri kila mwaka hupata ugonjwa wa UNK jambo la msingi ni kuwa pamoja na serikali kwa kuiunga mkono ili kuhakikisha kuwa zahanati zote zilizopo katika maeneo ya vijijini zinakuwa na wataalam wa kutosha watakaoweza kuokoa maisha ya wanawake wenye matatizo hayo baadhi ya vijiji katika maeneo mbalimbali nchini vinahitaji msaada na ushauri bila kuelewa huduma hiyo wataipata vipi jambo ambalo huwafanya waendelee kuumwa kuteseka na UNK ipo haja ya serikali kuboresha mahitaji ya sekta ya afya vijijini ambako ndiko wanawake wengi masikini UNK na matatizo makubwa kama hayo wabunge wa majimbo bado wako nyuma katika UNK ujenzi wa zahanati na badala yake hutumia muda mwingi kuzungumzia siasa jambo ambalo UNK nyuma maendeleo ya wananchi wajibu wa mpiga kura katika jamii ni kuwabana wabunge wao ili waweze UNK mazingira mazuri hasa ya ujenzi wa zahanati na hospitali zenye kiwango kizuri na ambayo itaweza kutoa huduma zote za upasuaji kwa lengo la kuokoa maisha ya wanawake na watoto wananchi songea UNK kulinda vyanzo vya maji na stephano mango maendeleo ya sekta mbalimbali nchini yanategemea mahitaji ya maji ili kuziwezesha sekta hizo kuchangia pato la taifa na kukuza uchumi wa nchi miongoni mwa sekta hizo ni pamoja na kilimo viwanda biashara na matumizi ya kawaida kwa binadamu wanyama na mimea zipo sababu nyingi UNK serikali kufanya jitihada mbalimbali za kuhakikisha kuwa jamii katika maeneo mbalimbali nchini inapata huduma ya maji safi na salama kwa wakati ukosefu wa huduma hiyo katika jamii ni chanzo cha mlipuko wa magonjwa mbalimbali kama kipindupindu kuhara na homa ya matumbo hasa katika kipindi ambacho jamii husika hulazimika kutumia maji yasiyo salama kwa matumizi ya kunywa kupikia na shughuli nyingine ni wazi kuwa binadamu ili aweze kuwa na afya njema anapaswa kutumia maji safi na salama hata hivyo ni vyema ikaeleweka kuwa rasilimali ya maji inaweza kutoweka kama hakutakuwa na usimamizi wa pamoja kwa kushirikisha wadau wote wa sekta hiyo kushuka kwa kiwango cha huduma ya maji mwaka hadi mwaka ni kishawishi kikubwa kwa serikali kuunda mamlaka za maji kwa kila mji ili ziweze kusimamia na kuhakikisha kuwa huduma endelevu ya maji inapatikana kwa wananchi mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya maji safi na maji taka songea bwana mohamed gayo UNK mamlaka hiyo ilianzishwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba bwana gayo anasema mamlaka hiyo imetekeleza jukumu walilopewa kwa kutoa huduma ya maji kwa wakazi sitini na tisa mia nne na themanini kati ya kumi moja mia nne na sabini na tatu waliopo katika manispaa hiyo sawa na asilimia sitini na tisa ya wakazi wote anasema lengo lingine la kuanzishwa kwa mamlaka hiyo ni kutoa huduma maji taka kutoka kwa watumiaji wa maji safi na UNK kabla ya UNK au UNK mtoni anafafanua kuwa tangu kuanzishwa kwa mamlaka hiyo vyanzo vya maji vya chemchem katika milima ya matogoro ambavyo UNK mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini vilikuwa UNK matengenezo na hivyo kupoteza kiasi kikubwa cha maji hali hiyo ilisababisha uhaba mkubwa wa maji kwa wananchi wakati mamlaka hii UNK mtandao wa mabomba ya usambazaji wa maji ulikuwa na urefu wa kilometa themanini na moja nane ambapo pia haukuwa katika hali nzuri kutokana na uvujaji wa maji ambao ulichangia kwa kiasi kikubwa kupotea kwa maji hayo anasema bwana gayo anaongeza kuwa kwa kipindi hicho mamlaka haikuwa na mtandao wa maji taka hivyo kazi zote za uondoaji maji hayo ziliendelea kufanywa na iliyokuwa halmashauri ya mji wa songea mwaka ishirini sifuri tatu souwasa ilifanikiwa kumpata mfadhili serikali ya ujerumani kupitia shirika la kfw ambalo lilitoa kiasi cha shilingi bilioni kumi na tisa kwa ajili ya mradi wa maji mjini songea awamu ya kwanza ya mradi huo ulianza kwa ukarabati na ujenzi wa mtandao wa maji safi ambapo vyanzo vya maji vya ruvuma UNK na UNK UNK ukarabati huo ulikwenda sambamba na ubadilishaji wa mabomba makubwa yaliyokuwa yakitoka katika vyanzo vya maji hadi kwenye mtambo mpya wa kuchuja na kutibu maji ambao umejengwa katika eneo la matogoro kwa urefu wa kilometa sita mbili anasema kukamilika kwa awamu ya kwanza ya mradi huo chini ya ufadhiri wa shirika la kfw mafanikio yaliyopatikana ni pamoja na ubora wa maji yanayosambazwa na souwasa kuwa katika kiwango bora kinachokubalika na mtumiaji mtandao wa mabomba katika manispaa ya songea umeongezeka kutoka asilimia arobaini na tisa tatu mwaka ishirini sifuri tatu hadi asilimia hamsini na sita kwa sasa ambapo idadi ya wakazi wanaopata maji safi na salama imeongezeka kutoka asilimia hamsini na sita mwaka ishirini sifuri tatu hadi asilimia sitini na tisa kwa sasa anasema mafanikio mengine ni idadi ndogo ya kiasi cha maji UNK ambayo imepungua kutoka asilimia arobaini na mbili mwaka ishirini sifuri tatu hadi asilimia ishirini na nane kwa sasa anasema ufadhili wa shirika hilo UNK mamlaka hiyo kuongeza ukusanyaji wa mapato kutoka shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kwa mwezi mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita tisini na saba na kufikia shilingi milioni thebathini na tatu hadi hamsini kwa mwezi kuanzia mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa bwana gayo anaeleza kuwa pamoja na mafanikio hayo zipo changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta hiyo ambazo ni pamoja na wateja wapatao asilimia thebathini na nne hawana mtandao wa maji safi ambapo baadhi yao hawaoni umuhimu wa kulipia maji jambo ambalo linachangia mamlaka hiyo kutopata mapato UNK kutokana na taasisi za serikali kutengewa kiasi kidogo cha fedha za kulipia huduma ya maji tofauti na matumizi halisi ya maji imechangia kuifanya mamlaka yetu kuwa na deni la zaidi ya shilingi kumi sifuri ambazo UNK taasisi hizo anasema bwana gayo anafafanua kuwa matatizo hayo UNK baada ya kukamilika kwa ujenzi wa mtandao wa maji katika maeneo yasiyokuwa na mtandao huo maeneo hayo ni UNK UNK mjimwema UNK matarawe mateka ruvuma na UNK kukamilika kwa ujenzi wa mtandao katika maeneo hayo kutaongeza huduma katika jamii kutoka asilimia hamsini na sita ya sasa hadi kufikia asilimia sabini anasema msaada uliotolewa na serikali ya ujerumani umesaidia kuboresha miundombinu ya maji na kurahisisha upatikanaji wa huduma katika manispaa hiyo tofauti na awali ambapo huduma hiyo ilikuwa ya kusuasua bwana gayo amewataka wakazi wa mji wa songea kulipia ankara za maji kwa wakati mradi huo umejengwa kwa gharama kubwa hivyo jukumu la wananchi ni kulinda miundombinu ya mradi ili UNK kuharibika au UNK jukumu la wananchi ni kutunza vyanzo vya maji na kupanda miti ambayo ni rafiki wa maji na mazingira ni mdau maambukizi magonjwa ya mlipuko na kulwa mzee milipuko ya magonjwa mbalimbali katika jamii inachangiwa na uchafu wa mazingira matumizi ya maji yasiyokuwa salama na ubovu wa miundombinu inayochangia UNK kwa maji miongoni mwa magonjwa ya mlipuko ni pamoja na kipindupindu ambacho UNK na uchafu wa mazingira mara nyingi wananchi wamekuwa wakipewa tahadhari juu ya hatua zinazofaa kujikinga na ugonjwa huo katika msimu wa matunda na mvua za masika watu mbalimbali UNK na ugonjwa huo ambapo serikali kupitia wizara ya afya na utawi wa jamii imekuwa ikitoa tahadhari kwa wananchi kuosha matunda kabla ya kula katika msimu huo watu mbalimbali hushauriwa kujilinda na inzi ambao huchangia kusababisha ugonjwa huo na madhara mengine kiafya madhara mengine yanayosababishwa na mdudu huyo ni uharibifu wa mazao ya chakula na biashara ofisa kilimo kutoka wizara ya kilimo chakula na ushirika bibi valentine nyange anasema mwaka elfu moja na mia tisa na sabini tisini na sita wizara iliandaa mpango mkakati wa kufanya utafiti wa zao la minazi anasema baada ya kumalizika kwa utafiti huo waliendelea na tafiti nyingine za mazao kama machungwa migomba mihogo na UNK bibi nyange ambaye pia ni mtafiti anasema miaka iliyopita kulikuwa na wadudu wa asili mwaka ishirini sifuri tatu aliingia mdudu inzi ambaye alianza kuharibu zao la embe ambalo hupenda kulimwa na wakulima wengi kutokana na umuhimu wake wakati wa njaa kujipatia kipato na kuimarisha afya madhara yaliyosababishwa na mdudu huyo kwa wakulima ni kushindwa kuuza embe zao nje ya nchi kutokana na uharibifu mkubwa uliosababishwa na inzi katika bidhaa hiyo bibi nyange anasema mdudu huyo huingia katika embe tangu likiwa changa UNK na UNK mayai ambayo baada ya kuenguliwa ndani ya embe huzalisha UNK ambao huaribu bidhaa hiyo anasema inzi UNK katika embe UNK kwa wingi na kudondoka ardhini ambapo kujifukia kwenye mchanga na kukaa kwa siku kumi kumi na moja baada ya siku hizo inzi hutoka kwenye mchanga na kuendelea kuharibu zao la UNK kufuatia hali hiyo wafanyabiashara wengi nchini UNK kusafirisha bidhaa hiyo nje ya nchi kutokana na uharibifu wa zao hilo unaofanywa na UNK jitihada kubwa zinazofanywa na watafiti katika kipindi cha miaka mitatu mpaka sasa ni kutafuta mbinu za kumtokomeza mdudu huyo anafafanua kuwa mbinu wanazotumia ni pamoja na kuwashauri wakulima wa zao hilo kusafisha mashamba yao kwa kuokota maembe yote yaliyodondoka shambani na UNK katika shimo njia nyingine ni kukusanya maembe yaliyodondoka na UNK katika mfuko mweusi wa UNK ambapo kutokana na joto inzi hao hufa na kushinda kuzaliana kwa kufanya hivyo wadudu UNK na kujifukia kwenye mchanga watashindwa kutoka wakiwa wazima na kuendelea kufanya UNK bibi nyange anataja mbinu UNK kuwa ni kuweka mtego wenye uwezo wa kuvuta inzi umbali wa mita hamsini sifuri ambao baada ya kuingia UNK hufa kutokana na sumu iliyowekwa kwenye pamba ofisa kilimo mkuu bwana oscar mfugale anasema wanatarajia kumtumia mdudu mwingine aina ya nyigu kwa lengo la kutokomeza inzi UNK anasema nyigu huyo ambaye wamemtoa nairobi kenya atafanyiwa utafiti katika muda wa mwaka mmoja kabla ya kuanza kumtumia kwa kazi hiyo bwana mfugale anasema zao lingine kama nazi limekuwa msaada mkubwa kwa wananchi kwa kuwaingizia kipato mbali ya kipato cha mauzo kifuu cha nazi hutumika kutengeneza urembo kama hereni UNK pete mikufu vibanio vya nywele na bidhaa nyingine nazi ina manufaa makubwa katika jamii hutumika kupata mafuta ya kupaka kwa watoto wachanga na wanawake kwa ajili ya kusikia nywele anasema bwana UNK ofisa kilimo katika wizara hiyo bibi UNK kiwiya anasema matumizi ya nazi ni pamoja na kutengeneza mafuta yanayotumika kwa matumizi mbalimbali pamoja na dawa anasema hatua za kufuata mpaka kupata mafuta hayo ni kuchukua nazi UNK UNK na kuiweka katika chombo safi unachukua UNK safi na kuanika nazi UNK katika jua kali kwa saa nne tano ambapo baada ya muda huo unachukua machicha na kuanza UNK kwa mkono ili kupata mafuta kwa wale wenye mashine ya UNK unachukua machicha ya nazi na kuyaweka kwenye mashine kisha unakandamiza ili kupata mafuta ambayo ni tayari kwa matumizi ya binadamu bila kuchanganya na kitu chochote mafuta hayo yanaweza kutumika kwa kupaka ili kulainisha ngozi na kuiweka katika hali nzuri kutibu magonjwa ya ngozi ambapo kwa upande wa wanawake kupenda kutumia mafuta hayo kwenye nywele ili ziwe na mvuto zaidi bibi kiwiya anasema watu wenye matatizo ya presha na upungufu wa kinga mwilini hutumia mafuta ya nazi kama dawa kwa kunywa kijiko kimoja mara tatu kwa siku kwa watoto hutumia kijiko kimoja cha chai mara tatu kwa siku ili kuongeza kinga mwilini watu wenye matatizo ya kukosa choo nao hutumia mafuta hayo kurudisha choo utapunguza matukio ya uharifu kuharakisha maendeleo na mwandishi wetu mawasiliano ni moja ya nyenzo UNK na kichocheo kikubwa cha maendeleo hasa katika karne ishirini na moja ya sayansi na teknolojia ambapo ustawi wa maisha ya binadamu na mazingira yanayomzunguka UNK upatikanaji wa mawasiliano ya uhakika ili kutimiza dhana hiyo kampuni ya simu za mkononi inayoongoza kutoa huduma ya mawasiliano barani afrika zain hivi karibuni ilizindua minara kumi mipya katika visiwa vilivyomo ndani ya ziwa victoria na maeneo kando kando ya ziwa hilo kampeni ua uzinduzi wa minara ilifahamika kama lake UNK UNK ikiwa na maana ya kanda ya ziwa kuwa na mawasiliano ya zain ofisa biashara wa zain bwana UNK walingo anaeleza kuwa kampuni hiyo inaendelea kusambaza huduma zake katika maeneo ya vijijini ili kuwawezesha watu mbalimbali kufurahia huduma anasema katika kanda ya ziwa viktoria zain UNK katika visiwa mbalimbali pamoja na kufunga minara katika kisiwa cha bumbile kilichopo katika wilaya ya bukoba mkoani kagera mnara huo unatoa huduma katika maeneo ya bumbile UNK UNK UNK UNK na UNK mnara mwingine umefungwa katika katika kisiwa cha mzinga wilaya ya muleba mkoani kagera anafafanua kuwa mnara huo unatoa kutoa huduma ya mawasiliano katika maeneo ya UNK ikuza UNK iramba UNK UNK UNK UNK UNK na UNK maeneo mengine yaliyofungwa minara hii ni ruhu ambao linatoa huduma ruhu UNK UNK kinesi UNK UNK UNK UNK na UNK katika wilaya ya rorya mkoani mara anasema anaongeza kuwa katika wilaya ya ukerewe zain imeimarisha mtandao wake kwa kufunga mnara mwingine katika kisiwa cha irugwa mnara huo unatoa huduma katika maeneo ya UNK UNK UNK UNK UNK UNK UNK UNK UNK UNK UNK na irugwa bwana walingo anasema maeneo mengine yaliyofungwa minara ili kupanua huduma zao ni visiwa vya maisome na kome luagata vilivyopo katika wilaya ya sengerema mkoani mwanza katika kisiwa cha maisome mnara UNK unatoa huduma katika maeneo ya maisome rubaragazi kubwa rubaragazi ndogo UNK nyamongo bukombe UNK UNK UNK ikuza na UNK mnara UNK katika kisiwa cha kome luagata UNK maeneo ya luagata nyonga UNK UNK UNK ntama UNK na chanika katika wilaya ya sengerema na kuwafanya wavuvi na wakazi wa visiwa hivyo kuwa na mawasiliano ya uhakika kwa muda wote minara yote iliyofungwa ndani ya visiwa vilivyopo ziwa victoria na kando kando ya ziwa imeimarisha upatikanaji wa mawasiliano katika UNK huo kwa kiwango kikubwa na pia ni faraja kwa wakazi na wavuvi wa samaki katika ziwa hilo kubwa barani afrika kupanuka kwa mawasiliano ya zain kutaleta changamoto kubwa katika jamii lengo letu ni kutoa huduma nchi nzima ili kuwezesha mawasiliano kwa urahisi zaidi anafafanua wakati akitoa maelezo ya kuimarisha mawasiliano ya mtandao huo kanda ya ziwa anasema wakazi na wavuvi wa kanda ya ziwa wamefurahishwa na mpango huo ambao UNK chachu ya maendeleo katika UNK hilo hususani katika sekta ya uvuvi na biashara wakazi wa kata ya luagata iliyopo katika kisiwa cha kome wilayani sengerema ambao pia ni wavuvi katika ziwa viktoria wanasema kupatikana kwa mawasiliano ya uhakika ni faraja kubwa kwao kutokana na simu za mkononi kuwa nyenzo muhimu kwao katika suala zima la usalama wanapokuwa majini na kuongeza ufanisi wa kazi yao kupanuka kwa UNK ya zain UNK tuondokane na hofu UNK ziwani kwa sababu ya urahisi wa kupeana taarifa pindi hali ya ziwa inapokuwa mbaya na kupata msaada wa haraka wa kuokoa maisha yetu pindi UNK na UNK hivi sasa tuna uhakika wa kuvua samaki wengi na kuwasiliana na UNK kama tutapata matatizo au wakati mwingine inakuwa rahisi kupeana taarifa za maeneo gani samaki wanapatikana anasema bwana UNK UNK mvuvi anayetumia mtumbwi wenye injini na mkazi wa kijiji cha ntama kisiwa cha kome wilaya ya sengerema mkoani mwanza mvuvi mwingine bwana UNK UNK mkazi wa kijiji cha UNK wilaya ya bukoba vijijini anasema mtandao huo UNK kwa wakati katika ziwa viktoria anasema katika kipindi cha miezi sita kuanzia februari hadi agosti ziwa hilo hukabiliwa na upepo mkali hivyo hulazimika kuvaa jaketi UNK life UNK pamoja na kuvaa jaketi hili ni muhimu kwa mvuvi kuwa na simu ya mkononi kwani mtumbwi au boti inaweza kupinduka na kutoa taarifa za kuomba msaada anasema bwana UNK wakiongea kwa nyakati tofauti diwani wa kata ya UNK bwana UNK UNK na diwani wa kata ya UNK wilaya ya bukoba vijijini bwana jonathan makwaru wanasema jitihada kubwa zilizofanywa na zain UNK huduma ya mawasiliano kupatikana mpaka ndani ya ziwa na maeneo yanayozunguka ziwa hilo wanasema minara mipya iliyofungwa na zain itasaidia kuboresha huduma ya mawasiliano kupambana na uvuvi haramu katika ziwa na kusukuma mbele maendeleo ya wananchi kuzinduliwa kwa minara hii hatuna budi UNK zain kwa kutambua mahitaji yetu yetu kwani mara nyingi vijana wetu ambao uvuvi ndio shughuli kuu UNK kipato wamekuwa UNK na matatizo ya kupotea ziwani pasipo taarifa na wakati mwingine taarifa zinafika wakati mtu tayari UNK maisha kwa kuwa zain wameamua kusambaza huduma zake mpaka ndani ya ziwa ni imani yetu sote kuwa sasa vijana wetu watakuwa salama na endapo kutakuwa na tatizo basi taarifa UNK mara moja na kwenda kuwaokoa anaeleza bwana makwaru diwani wa kata ya UNK anasema jukumu la wananchi na wavuvi kwa sasa ni kushirikiana na zain ili kuilinda miundombinu hiyo ya mawasiliano diwani wa kata ya luagata wilayani sengerema bibi asteria UNK anasema wakazi wa kisiwa hicho hawakuwa na mawasiliano ya kuwaunganisha na ndugu zao kwa muda mrefu tumekuwa hatuna mawasiliano lakini sasa tunaona mwanga wa maendeleo UNK ambapo zain imetufanya UNK popote bila kufunga safari hii itasaidia kuimarisha shughuli za uvuvi na bishara kati ya kisiwa hiki na maeneo mengine ya mkoa wa mwanza alisisitiza bibi UNK msimamizi wa mradi wa kusambaza mawasiliano kanda ya ziwa bwana daud UNK anasema mbali ya kuhakikisha wananchi wa kanda ya ziwa wanakuwa na mawasiliano ya zain mradi huo pia umelenga kuokoa maisha ya wavuvi na watu UNK na matatizo wakiwa UNK anasema hivi sasa zaidi ya asilimia tisini ya ziwa viktoria UNK na mtandao wa zain hivyo kuwafanya wavuvi wasafiri watalii na vikosi UNK na uvuvi haramu kupata mawasiliano muda wote ni zain pekee ambayo inapatikana kanda ya ziwa yote iwe majini au nchi kavu wakati tunazindua minara mipya kanda ya ziwa upande wa tanzania wenzetu zain uganda nao walikuwa wanazindua minara yao mipya katika maeneo ya ya ziwa viktoria hii inaonesha ni jinsi gani kampuni ya zain imeimarisha mawasiliano yake katika ukanda huu anaeleza bwana daud mratibu wa mradi wa simu za bei nafuu wa zain kanda ya ziwa bwana peter kimaro anasema kampuni hiyo inatekeleza kaulimbiu ya ulimwengu maridhawa zain iliona hili ni eneo muhimu kwa mawasiliano ndiyo maana tukaamua kufunga minara zaidi maeneo ya vijijini ya kanda ya ziwa ili wananchi waweze kuwasiliana wakiwa eneo lolote na muda wote anasema katika uzinduzi wa minara hiyo mipya kampuni ya zain imewapatia simu za mkononi madiwani na wenyeviti wa kata zilizofungwa minara hiyo ili wavuvi na wananchi wengine waweze kutoa taarifa mapema endapo kuna jambo la hatari kama kuzama kwa wavuvi taarifa za uvuvi haramu na nyingine zinazohitaji ufumbuzi wa haraka na mohamed kazingumbe hakuna suluhu itakayoweza kukidhi mahitaji ya taifa lolote duniani kwa kuongeza kasi ya maendeleo na kukuza uchumi wa nchi kama serikali ya nchi hizo itashindwa kuwekeza katika elimu ya sayansi na teknolojia kwa wananchi wake mengi UNK juu ya tofauti ya elimu ya sayansi na teknolojia katika kamusi ya kiswahili UNK toleo la ishirini sifuri nne inafafanua kuwa sayansi ni elimu inayotokana na uchunguzi majaribio vipimo na kuthibitishwa kwa muda uliopo utafiti huo UNK jawabu sahihi la matumizi yake kwa wakati uliopo kamusi hiyo inaendelea kufafanua kuwa teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu mbalimbali kama zana au mitambo katika viwanda mawasiliano ufundi na kilimo kulingana na tafsili hiyo ni wazi kuwa sayansi ndio baba wa teknolojia UNK kwa binadamu ili kumwezesha kutumia maarifa hayo katika kuleta mapinduzi ya maendeleo katika jamii na taifa kwa ujumla ni wajibu wa serikali kuwa na mipango madhubuti ya muda mrefu na mfupi ili kutoa nafasi kwa wasomi katika sekta hiyo kufanyia kazi maarifa yao umuhimu wa bajeti na mipango ya makusudi unahitajika ili kuachana na utegemezi wa msingi wa maendeleo ya nchi kutegemea wataalam wasomi kutoka nje ipo mifano kadhaa inayotolewa kwa baadhi ya nchi zilizokuwa masikini wakati tanzania ikiwa katika harakati za kudai uhuru wake kama korea na india ambazo hivi sasa zimepiga hatua kiuchumi kwa sababu ya kutumia vizuri misaada waliyopewa kutoka kwa wahisani kilio chetu katika hili ni ubunifu na utendaji wa kisayansi katika sehemu ya kazi na viwandani ambako teknolojia mbalimbali UNK teknolojia husaidia kupunguza gharama za uzalishaji na kuzalisha kwa wingi teknolojia ni nguzo muhimu ya kuanzisha viwanda vya mitambo ya juu kati na midogo mitambo mikubwa ni pamoja na ile ya kutengeneza magari matrekta mashine za kufuma nguo au zinazotumika katika uchimbaji wa madini UNK elimu hiyo ya sayansi UNK wataalam kubuni mambo mbalimbali ya vyombo vya mawasiliano utengenezaji wa silaha na ufundi watafiti mbalimbali wa kisayansi wanafafanua kuwa ukosefu wa teknolojia UNK umasikini katika jamii na taifa kwa ujumla uwekezaji katika elimu hiyo UNK kufanya tafiti mbalimbali za mafuta makaa ya mawe na maliasili nyingine zilizopo nchini ukosefu wa elimu ya sayansi ndio chanzo cha ukodishaji wa maliasili za nchi kwa makampuni ya kigeni kwa kuwa taifa husika halina uwezo wa kufanya tafiti hizo kwa upande wa viwandani utafiti wa dawa za binadamu na mifugo unahitajika ili kuboresha huduma zinazotolewa na sekta ya afya wataalam wachache waliopo katika wizara hospitali kuu za rufaa kama muhimbili bugando kcmc na mbeya bado UNK kupinga matumizi ya dawa feki ambazo matumizi yake UNK madhara makubwa ni sisi wenyewe ndio UNK kupigia debe madawa feki na kuzitetea kuwa zilianza kutumika katika nchi nyingi zilizoendelea na hivyo kuhalalisha matumizi ya dawa hizo hivi sasa nchi zinazoendelea ikiwemo tanzania imekumbwa na balaa la UNK bidhaa mbovu au zenye ubora hafifu kama kompyuta simu za mkononi saa majiko hata vitu vya usafiri kama pikipiki baiskeli na magari kwa sababu hatuna viwanda vyetu wenyewe kutokana na hali hiyo tumeshindwa kubuni chombo UNK jukumu la kuchunguza na kubaini bidhaa feki zinazoingizwa nchini kwa kukosa maarifa ya ubunifu wa vitendea kazi ni makusudio ya serikali tangu uhuru miaka arobaini na nane iliyopita kujitosheleza katika nyanja mbalimbali lakini dhana hiyo inazidi kuwa ndoto siku hadi siku kuanzishwa kwa viwanda mbalimbali chini ya usimamizi wa wananchi wenyewe UNK mwelekeo wa ukombozi wa kweli ambapo ubepari UNK nuru ya mafanikio hayo na kuamua kujitoa katika siasa za ujamaa na kujitegemea mikopo na misaada iliyopatikana kutoka kwa wahisani UNK mikononi mwa watu wachache ambapo baadhi ya viongozi na watendaji serikalini UNK utamaduni wa kupora mitaji iliyolenga kukuza uchumi wa nchi baadhi ya maneno yanayotumiwa na wasanii yamekuwa na ujumbe mzito katika jamii enzi za mwalimu hiki na kile UNK maajabu mengi hujitokeza hivi sasa pale UNK kiongozi wa serikali anamiliki migodi na majumba ya kifahari ndani na nje ya nchi bila woga wowote mafanikio katika teknolojia yatakidhi haja ya wizara ya viwanda biashara na masoko katika kukuza uchumi wa nchi na kuondokana na utegemezi wa wahisani katika maendeleo ya nchi waziri wa viwanda biashara na masoko daktari mary nagu anasema UNK kwa elimu ya teknolojia ni kikwazo cha maendeleo ya sekta ya viwanda nchini viwanda UNK mkazo ni vile vya usindikaji wa mazao na UNK wa nguo ambapo alifafanua kuwa zao la pamba linakosa soko nje kwa sababu bidhaa inayouzwa ni malighafi badala ya nguo au UNK serikali bado UNK kuwa kuna siku ambayo tanzania UNK kufikia malengo hayo ili kuokoa soko la mazao ya kahawa katani korosho na matunda UNK mashambani na UNK kwa kukosa viwanda vya kusindika ambayo UNK kubwa katika nchi za ulaya arabuni na mashariki ya mbali ni kipindi cha nusu karne mpaka sasa tangu tanzania ipate uhuru wake je kwa nini tuendelee kubweteka na sayansi na teknolojia ya kukodi kutoka cuba china uingereza japan na korea kama tuna siasa safi uongozi safi rasilimali nyingi na ardhi yenye rutuba ukosefu wa mitaji wadaiwa kikwazo cha uzalishaji bet kutoa mafunzo na kutangaza soko la bidhaa zao na rehema mohamed ushirikiano wa pamoja kati ya serikali taasisi binafsi na wananchi unahitajika ili kukuza soko la bidhaa zinazozalishwa nchini na kukidhi mahitaji ya UNK jitihada hizo UNK ukuaji wa uchumi na kupunguza umasikini katika jamii ni wazi kuwa asilimia kubwa ya watanzania ni masikini na wengi wao wakitegemea kilimo kwa ajili ya kuendesha maisha yao hali hiyo inaonesha taswira ya kwamba kuna umuhimu wa kuliwezesha kundi hilo ili kufikia malengo ya kiuchumi UNK inaelezwa kuwa asilimia themanini ya watanzania ni wajasiriamali wadogowadogo ambao huzalisha malighafi nyingi zenye kiwango duni na hivyo kushindwa kuziuza katika masoko makubwa changamoto inayowakabili wajasiriamali hao ni ubora mdogo wa bidhaa wanazozalisha usalama wa chakula na mchakato mzima wa usindikaji wa bidhaa ufungaji na usambazaji katika masoko bwana samuel mvingira ni mkurugenzi wa UNK na mipango wa halmashauri ya biashara ya nje ambaye anafafanua kuwa asilimia kubwa ya bidhaa zinazozalishwa nchini hazina viwango vya kimataifa kutokana na wazalishaji hao kutokuwa na mtaji utakaowawezesha kufuata hatua zinazohitajika ili kuzalisha bidhaa zenye ubora unaotakiwa miongoni mwa hatua hizo ni pamoja na ufungashaji unaoweza kumshawishi mteja kununua bidhaa ambapo asilimia kubwa ya wazalishaji nchini UNK bidhaa zao kwa kufanana na wakati mwingine hazina maelekezo ya jinsi ya kutumia bidhaa husika hali inayosababisha bidhaa zao kukosa soko hii ni changamoto kubwa kwa wazalishaji wetu wa ndani ambao wengi wao bidhaa zao hazina maelekezo kama tarehe ya kuzalishwa na kuharibika kutokana na kukosa fedha za kupeleka bidhaa husika katika shirika la viwango tanzania ili ziweze kupimwa na kuthibitishwa anasema bwana UNK anasema kutokana na hali hiyo bet imekuwa ikiandaa mafunzo mbalimbali kwa wajasiliamali nchini kwa lengo la kuwaelimisha na kuwapa mbinu za kukabiliana na hali hiyo mbali ya mafunzo hayo pia wamekuwa wakiandaa maonesho mbalimbali ya bidhaa ili kuwapa wajasiriamali hao fursa ya kuonesha bidhaa zao na kuleta ushindani wa ubora wa bidhaa baadhi ya maonesho hayo ni pamoja na yale ya sanaa na mapambo ya nyumbani chakula na uzalishaji elimu na maonesho ya bidhaa za nguo na ngozi anasema washiriki hao wanapata fursa ya kubadilishana uzoefu wa kutengeneza bidhaa hizo kupitia kwa wajasiriamali wengine bwana mvingira anasema kupitia maonesho hayo kumekuwa na mafanikio makubwa kutokana baadhi ya wajasiriamali UNK bidhaa wanazozalisha na kuongezeka kwa washiriki katika baadhi ya UNK na viwanda vidogo mwenyekiti wa kikundi cha wajasirimali wadogo cha UNK UNK kutoka mkoani dodoma bibi UNK tarimo anasema kikundi hicho UNK na usindikaji wa vyakula mbalimbali na lishe kwa wagonjwa wa ukimwi akizungumzia bidhaa zinazozalishwa na kikundi hicho bibi tarimo anasema bidhaa zao zina soko kubwa nchini na kuongeza kuwa upo UNK wa wajasiriamali nchini kuongeza uboreshaji wa bidhaa zao ili ziweze kuuzwa nje ya nchi na hata katika masoko makubwa hapa nchini kama tunakuwa tunazalisha bidhaa bora tunaweza UNK katika maduka makubwa na kupata soko la uhakika la bidhaa zetu UNK na mahitaji ya bidhaa hizo nje ya nchi UNK makubwa anasema bibi UNK anasema mtaji na UNK mdogo ni sababu mojawapo inayofanya UNK ya wazalishaji kuzalisha bidhaa zisizo na viwango vinavyohitajika ofisa wa shirika la viwango tanzania bwana sam samson anasema ukubwa wa gharama za upimaji wa viwango vya ubora wa vyakula ni moja ya sababu kubwa inayowafanya wajasiriamali wadogo kushindwa kupeleka bidhaa zao ili ziweze UNK anasema gharama ya upimaji huo ni shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri kwa bidhaa hizo kuzifanyia uchunguzi kama UNK UNK shirika la kuhudumia viwanda vidogo UNK bidhaa yake na kuthibitishwa bure na gharama UNK na shirika hilo wajasiliamali wengi wanashindwa kuleta bidhaa zao tbs kutokana na ukata wa fedha hii ni changamoto kubwa inayowakabili wajasirimali wengi katika kuzalisha bidhaa zenye ubora anasema bwana UNK anasema UNK faida kubwa kwa wajasiriamali kupima UNK zao ni kuziweka nembo ya tbs kwani UNK mteja kuamini kuwa bidhaa husika UNK kwa ajili ya matumizi wakazi wa eneo la kigamboni wilayani temeke jijini dar es salaam wanakabiliwa na maisha mashaka yenye wanaishi kwa wasiwasi bila kujua hatima ya uhakika wa makazi yao kutokana na miradi kadhaa ya serikali kuanzishwa kinyemela bila kuwashirikisha gazeti hili kwa kutambua dhiki na mateso ya wananchi hao limejipanga kufuatilia kwa kina kujua nini hasa kiini cha tatizo la wananchi hao chanzo chake na UNK yao kutokana na ukweli huo safu hii itafuatilia hatua kwa hatua suala hilo lenye utata sambamba na kero zingine nyingi zenye utata zinazowakabili watanzania katika maeneo mbalimbali nchini mgogoro wa ardhi kati ya wakazi wa kigamboni na manispaa ya temeke wizara ya ardhi na wafanyabiashara matajiri wanaolinyemelea eneo lenye haiba kubwa ya maumbile ya asilia kutokana na vivutio vingi vya UNK zikiwemo fukwe nzuri kwa nia ya kuwekeza bila kujali maslahi ya wananchi wanyonge ambao wameishi eneo hilo tangu vizazi na UNK hatua ya serikali kupima viwanja vya makazi na kutaka kuchukua eneo hilo kwa ajili ya kuendeleza jiji la kisasa la dar es salaam imezua migongano mingi ya kijamii hatua UNK serikali kuhamaki na kuwaweka rumande na hata UNK mashitaka baadhi wananchi wa maeneo hayo kwa madai ya kunggoa mawe ya mipaka miongoni mwa miradi ambayo viongozi mbalimbali wa serikali na wanasiasa wamekuwa wakiwasumbua wananchi hao na UNK amani ni pamoja na ule wa mji mpya wa kigamboni unaoendeshwa na serikali kuu kupitia wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi mradi mwingine ambao umezua utata na kuwaweka roho juu baadhi wa wakazi wa kigamboni ni ule wa kuendeleza manispaa ya temeke mradi wa manispaa ya temeke unadaiwa kugeuka kero kubwa kwa wakazi wa kata ya sombechini hususan kijiji cha gezaulole katika mitaa ya kizani na mwela wakati ule wa serikali kuu UNK wakaazi wa kata za mji mwema vijibweni visiwani tungi kibada na kigamboni yenyewe kilio cha wakazi wa gezaulole baada ya kudai haki itendeke katika shughuli ya mradi wa upimaji viwanja na kuendeshwa kwa uwazi baadhi ya wakazi hao waliwekwa mahabusu wakidaiwa kukwamisha mradi wa upimaji eneo hilo wanadai kuwa mbali ya uendelezaji wa manispaa kufanywa kwa usiri bila kuweka wazi baadhi ya masuala ya msingi juu ya haki zao wanadai kulazimishwa wakubali UNK yao kupimwa kisha kufanyiwa tathmini kwa kulipwa kiasi kidogo cha pesa halafu watume upya maombi ya kumilikishwa viwanja wakazi hao wanadai kuwa watendaji wa manispaa wamekuwa UNK kusaini fomu namba sitini na tisa kutoka wizara ya ardhi chini ya sheria ya ardhi ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa ambayo ni sawa na ile UNK wakaazi wa eneo la dungu gezaulole kisha kuambulia malipo madogo ambayo hayakuzingatia ardhi bali nyumba na mazao wakazi wa dungu nao wanalalamika kuwa UNK katika makazi ambayo baadhi yao wameishi zaidi ya miaka sabini lakini chakushangaza walipewa malipo yasiyolingana na uhalisia wa ardhi tena bila kuwepo makubaliano kati serikali na wahusika kilichofanyika ni kukuta malipo hayo madogo kwenye hundi za malipo siku UNK kulipwa mgogoro UNK katika kuhakikisha kuwa UNK kutokuelewana walidai kuwa meya wa manispaa hiyo bwana jerome bwanausi aliwaambia waunde kamati itakayokuwa ikifuatilia masuala yote kwa niaba ya wananchi wa kizani na UNK lakini baadaye katika hali ya kushangaza kamati hiyo ilivunjwa na mkuu wa wilaya bwana said mkumbo huku UNK kamati nyingine ambayo walidai kuwa iko pale kwa ajili ya kulinda maslahi ya manispaa na si ya wananchi mwenyekiti wa kamati hiyo iliyovunjwa bwana donatus ngyamukama alisema mradi huo ulifanywa kwa usiri usiokuwa na manufaa kwa wananchi kutoka mapema katika vikao kadhaa UNK pamoja na viongozi wa manispaa akiwemo meya wa manispaa ya temeke bwana bwanausi tulikuwa tunapinga kutoshirikishwa kwa uwazi na viwango vilivyokuwa UNK kwa ajili ya kutulipa kama fidia alisema bwana UNK watendaji wa manispaa walipokuja kuonesha ramani tulikubaliana kuwa wasifanye jambo lolote mpaka tutakapokuwa tumefikia muafaka wa pamoja lakini jambo la kushangaza siku chache UNK wakaanza kupima alisema bwana ngyamukama aliongeza kusema mwanzo wa kutokuelewana kati ya wananchi na manispaa ya temeke ni baada ya masuala yao UNK kuwa yapewe kipaumbele kukataliwa bila kuelezwa sababu za msingi alisema kuwa wananchi hawapingi mradi huo isipokuwa UNK watendaji wa manispaa kuwa baada ya maeneo kupimwa na UNK wapewe kipaumbele katika umiliki wa viwanja UNK mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo bwana felix UNK alisema vuguvugu la kuhamishwa eneo hilo lilianza machi mwaka huu lakini wakazi wa eneo hilo UNK kwa kuamini kuwa serikali yao haiwezi kufanya mambo mabaya dhidi ya wananchi wake alisema juni mbili ishirini sifuri tisa walipata barua ya ofisa mtendaji wa kata ya UNK aliyoandika kwenda kwa mwenyekiti wa upimaji wa viwanja kizani na mwera UNK UNK wajumbe kukutana juni nne mwaka huu ili kuweka mikakati ya kuendeleza UNK kamati hiyo iliyokuwa na wajumbe kumi na nne ilikuwa ikiongozwa na mwenyekiti bwana donatus john na katibu wake akiwa bwana aloyce warioba UNK wananchi na kuhudhuria mkutano huo katika mkutano huo kamati hiyo ilipewa kazi ya kuwakilisha mahitaji ya wananchi wa eneo husika na kuainisha maeneo ambayo UNK na kufanyiwa tathmini kamati ilikataa kushirikiana na kikosi kazi cha manispaa kwa sababu kabla ya kuanza kazi hiyo ilirudi kwa wananchi na kuwaeleza mambo ambayo UNK mfamo mnazi UNK shilingi ishirini na nane sitini sifuri bei ambayo wanadai kuwa UNK kuwalipa kutokana na hali ya maisha ya sasa ukiwa na mnazi mmoja UNK nazi thebathini kwa mwezi kila nazi moja bei yake shilingi ishirini sifuri hivyo unapata shilingi sitini sifuri sifuri sifuri kwa mwezi inakuwaje UNK fedha kidogo hivyo UNK kukubaliana nao alisema bwana UNK alisema kasoro nyingine UNK shaka ni bei ya ardhi UNK katika UNK hilo bali UNK kwa mdomo kuwa mwananchi anayemiliki ekari moja moja atalipwa shilingi milioni moja tano alisema baada ya wananchi kugoma waliongeza malipo ya ardhi kufikia shilingi UNK mbili na UNK maneno hayo ni meya wa manispaa ya temeke bwana bwanausi na meneja wa mradi wa viwanja wa manispaa ya temeke bibi mwakalinga katika mkutano wa hadhara katika kijiji hicho alisema sheria ya ardhi namba nne ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa iliyoainisha viwango vya fidia ya mazao kwa maeneo ya dar es salaam na pwani UNK kwa wananchi wa kigamboni ilikataliwa kwa UNK bei ya ardhi bali ilionesha ya mazao pekee ambayo nayo yalikuwa bei ya chini wakiwa na kumbukumbu za usumbufu ambao wananchi wamekuwa wakipata matatizo katika kulipwa haki zao baada ya kuhamishwa katika maeneo yao ya awali ili kupisha miradi mbalimbali ya serikali wakazi wa gezaulole UNK na fomu hiyo kesho katika safu hii wananchi mbalimbali kigamboni wataendelea kueleza kilichojiri katika sakata la mradi wa upimaji viwanja huku UNK mfanyabiashara mwenye asili kiasia UNK UNK na manispaa ya temeke pia UNK jinsi UNK hadi kushitakiwa na namna viongozi wao UNK kuwasadia katika sakata hilo utata wa ardhi kigamboni UNK na timu ya waandishi wetu akiwemo peter mwenda edmund mihale peter masangwa tumaini makene na mpigapicha charles lucas hofu na mashaka ya wakazi wa kigamboni ni mfululizo wa makala UNK na gazeti hili ambapo katika toleo la jana UNK jinsi miradi ya serikali ya upimaji ardhi UNK njia panda wakazi jimbo hilo kiasi cha kushindwa kufahamu ukweli wa ardhi yao kuuzwa na hatima ya makazi yao katika toleo letu la jana tuliwasikia wakazi wa kigamboni wilaya ya temeke jijini dar es salaam wanavyolalamikia utekelezwaji wa miradi ya serikali ambayo imeanzishwa kinyemela pasipo kuwashirikisha mambo mawili yaliyozungumzwa na wakazi hao ni juu ya utekelezwaji wa miradi miwili ya upimaji ardhi miradi hiyo ni ule unaotekelezwa na halmashauri ya manispaa ya temeke na kuhusisha kata za mji mwema vijibweni kisiwani na UNK mradi wa pili unafahamika kwa jina maarufu new kigamboni city kwa maana ya jiji jipya la kigamboni miradi yote miwili mpaka sasa UNK simanzi wakazi wa kigamboni juu ya hatima ya makazi wanayoishi na mashamba yao ambayo UNK kwa shughuli za kilimo kwa lengo la kujiingizia kipato na kujikomboa kiuchumi wakazi wa mwela kizani na gezaulole katika kata ya sombechini UNK kuguswa la mradi huo lakini uongozi wa manispaa umekuwa ukifanya shughuli za upimaji katika maeneo yao bila kuwaeleza taratibu za fidia ya viwanja na mazao yao wakazi kigamboni hawana matatizo na mradi katika mazungumzo yao na na gazeti hili wananchi hao wanafafanua kuwa hawana tatizo na mradi huo kupelekwa katika maeneo yao bali UNK na kuwakosesha usingizi ndani ya nchi yao ni jinsi viongozi wa serikali UNK UNK hatima yao pamoja na wakazi hao kupelekewa fomu zilizokuwa na orodha ya mazao na kiasi cha malipo ambacho UNK kama fidia baada ya upimaji na uthamini wa viwanja vyao jambo la kushangaza kati ya mambo yaliyoanishwa katika UNK hayo fidia ya ardhi yao haipo jambo hilo UNK kwa kiwango kikubwa bila kufahamu watalipwa kiasi gani cha fidia baada ya mradi huo kuanza na baada ya maeneo yao kuchukuliwa watapewa maeneo mengine au serikali itawapa msaada gani kwa ajili ya kuendeleza makazi yao majibu ya maswali yao kutaka kujua watalipwa kiasi gani cha pesa kama fidia kwa ardhi ndiyo UNK zaidi wahusika wa mradi kutoka manispaa ya temeke waliwaeleza kuwa kila mkazi wa eneo hilo atalipwa shilingi milioni mbili na baada ya kulalamikia kiwango hicho kutokana na ukubwa wa eneo lao kiasi hicho UNK na kufikia shilingi milioni mbili tano pamoja na ongezeko hilo wakazi hao hawakukubali ndipo UNK tena na kufikia shilingi milioni tatu lakini jitihada zao za kudai kuwepo na ushahidi wa maandishi hata kwa kiwango hicho kidogo hazikufanikiwa jambo ambalo limezua utata mkubwa juu ya utekelezwaji wa mradi huo kuanzia hapo ndipo waliposhindwa kuelewa mantiki ya mradi huo kuendeshwa kwa ubabaishaji hasa katika eneo muhimu la fidia hisia juu ya ushawishi wa mfanyabiashara jambo lingine UNK wakazi hao ni kuona kwamba eneo dogo tu la mitaa viwili ya mwela na kizani ndilo UNK msukumo mkubwa na viongozi wa manispaa ya temeke na wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi katika kuhakikisha mradi huo unafanikiwa wanafafanua kuwa katika mitaa hiyo kuna maeneo makubwa mawili ambayo hayajaendelezwa kwa muda mrefu hivyo katika mazingira ya kawaida maeneo hayo UNK kuwemo katika mradi huo lakini kitu cha kushangaza maeneo hayo UNK na mradi husika UNK mashamba hayo kuwa ni nafco lenye ekari mia saba na hamsini ambalo walidai kuwa mmiliki kuwa ni mfanyabiashara maarufu nchini na eneo jingine linaitwa nuta lenye ekari mia saba na ishirini maeneo hayo yote UNK nafco UNK kabisa na mradi umeanzia katika eneo UNK ambalo ni la wananchi tunashindwa kuelewa kwa nini maeneo UNK na raia UNK lakini ya wafanyabishara wakubwa ambayo UNK UNK alihoji bwana aloyce UNK sisi UNK kuna ushawishi wa kitu kingine katika eneo hili kwa nini mitaa ya mwela na kizani ndio itolewe macho tu na maeneo mengine kuachwa ambayo mengi kati ya hayo hayajaendelezwa kitu gani kinaendelea au kwa sababu mhindi anataka eneo letu kwa ajili ya kuweka UNK za kuchezea watoto alisema mkazi mwingine wa eneo hilo ambaye hakutaka jina lake liandikwe gazetini wakazi hao walidai kuwa kuna mfanyabishara mmoja mwenye asili ya kiasia aliwahi kwenda kwa wakazi wa eneo hilo na kuonesha nia ya UNK kwa pesa nyingi lakini kabla UNK alikwenda wilayani kuangalia ramani ya eneo hilo kwa habari tulizonazo ni kwamba alipofika wizarani watendaji wa wizara na manispaa UNK na kumwambia kuwa badala ya kutulipa kiasi hicho cha fedha watumie pesa hizo kupimia ardhi na kufanya tathimini ya eneo ili UNK eneo analotaka walifafanua wakazi hao wanasema usumbufu uliopo hivi sasa upo katika eneo linalotakiwa raia mwenye asili ya kihindi baada ya UNK wa wizara na manispaa ya temeke kutaka kuwalaghai ili waende kinyume na makubaliano ya wananchi yaliyokuwa UNK na kisha kuwasilishwa na kamati UNK bwana felix UNK anasema kutokana na mazingira hayo walilazimika kuhoji kwa nini wahusika wa mradi huo wanatembea na mhindi na kukagua maeneo yao kwa nini iwe eneo hilo tu ndio UNK vichwa watendaji hao badala ya eneo lote la mradi kwa nini hakuna uwazi katika mradi huu katika mkutano wa dharura na waandishi wa makala haya uliofanyika gezaulole mfanyabiashara huyo alipopigiwa simu ya mkononi na mmoja wa wakazi hao alimtaja kigogo mmoja kutoka wizarani ambaye UNK kwamba asiwe na wasiwasi eneo hilo UNK kukamatwa na kutishwa kwa wakazi katika harakati za kudai kuwepo na uwazi unaozingatia maslahi na hatima yao ya makazi wananchi hao walidai kuwa wamekuwa UNK maisha yao na hata baadhi yao kukamatwa na kufunguliwa kesi katika mahakama ya wilaya ya temeke baada ya kupinga malipo kidogo yaliyotolewa katika fomu yao na kukosekana kwa maelezo ya malipo ya ardhi tulianza kutishiwa kukamatwa na kufunguliwa kesi alisema bwana UNK UNK bwana UNK ambaye ni mmoja wa wanakamati aliyepita kwa wakazi hao kukusanya saini watu walioomba kuwepo na utaratibu mzuri UNK kati ya uongozi wa manispaa na wananchi aliitwa katika ofisi ya ofisa mtendaji kata na kuambiwa UNK jambo na mpango huo ulikuwa umeandaliwa na kunitaka tuachane na harakati hizo ili utekelezwaji wa mradi huo usiwe na utata kutokana na hali hiyo baadhi walikamatwa na kuhojiwa mmoja mmoja katika kituo cha polisi kigamboni na kisha kushikiliwa kwa kosa la jinai agosti kumi na nane mwaka huu walifikishwa mahakama ya wilaya ya temeke kwa makosa mawili kuwasumbua wataalamu wa upimaji na ramani wasifanye kazi yao na kuwazuia wananchi washindwe kuchukua fomu za UNK mmoja kati ya wakazi walioathirika na upimaji huo ni mzee wa miaka themanini na tano bwana salehe rashid ambaye aliwekwa rumande katika kituo cha polisi kigamboni na kuhamishiwa katika gereza la segerea ambapo alikaa kwa siku nne na kufikishwa mahakamani bwana rashid anasema kuwa toka utoto hadi ushiriki wake katika harakati za kudai uhuru kutoka kwa mkoloni hajawahi kupata misukosuko ya kukamatwa kushikiliwa polisi na kufikishwa mahakamani anasema siku ya kwanza UNK hakuamini UNK nyumbani kwake mei mwaka huu baada ya kundi la askari polisi waliofikia kumi wakiwa na gari aina ya difenda walipofika nyumbani kwake na kugonga mlango wakimtaka atoke nje kwa usalama wake niliamini kuwa kazi ya askari polisi ni kulinda usalama wa raia na mali zetu hivyo sikuwa na wasiwasi UNK nilijua kuna kitu wana kijitaji kutoka kwangu hivyo nililazimika kutoka nje lakini jambo la kushangaza niliwekwa chini ya ulinzi na kuambiwa niingie kwenye gari na familia yangu mke watoto na mjukuu anasema bwana rashid anafafanua kuwa kabla ya uanzishwaji wa vijiji vya ujamaa mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na moja na hayati mwalimu julius nyerere alikuwa akiishi eneo hilo na hajawahi kukamatwa kama alivyofanyiwa hivi karibuni kufikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya kunggoa jiwe la msingi ambalo limewekwa na wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi ili kuonesha mpaka wa mradi wa viwanja awali eneo hilo lilizungukwa na wanyama wakali kama simba chui na wanyama wengine na hakuna kiongozi wa serikali aliyejitokeza na kusema eneo hilo ni lake au wanataka kuliendeleza lakini mwaka huu wamejitokeza kwa mabavu kuwakamata raia na kuwafungulia mashitaka anasema uvumi ulionea ni kuwa kuna mfanyabiashara mwenye asili ya kiasia ambaye analitaka eneo hilo mtu mwingine aliyedai kumuona mfanyabiashara huyo akitembelea eneo hilo ni bwana ahmad sultani ambaye anasema kuwa eneo lao halipo katika maeneo yaliyoorodheshwa na serikali kwa ajili ya zoezi la upimaji viwanja isipokuwa kuna mfanyabiashara aliyetoa pesa kwa lengo la kupewa eneo hilo viongozi serikali ya mitaa kuwakacha wakazi wananchi hao wanaongeza kuwa viongozi wao wa serikali za mitaa kuanzia wale wa kuchaguliwa mpaka watendaji wengine wanajua matatizo yaliyowakuta lakini wamekuwa hawana msaada wowote kwao viongozi wetu ndio wahusika wakubwa katika mradi huu wanajua kinachoendelea lakini hawatusaidii lolote mkuu wa wilaya aliyekuwepo mwanzo ndiye alituletea fomu iliyokuwa ikionesha kiasi kidogo cha fidia na haikuweka wazi juu yafidia ya ardhi yetu mkuu wa wilaya wa sasa aliamua kututukana kwa kusema kuwa hatuna akili na ndiyo maana tunakaa ndani ya nyumba za tembe kama hiyo haitoshi akaamua kuvunja kamati yetu akaunda ya watu wake ili kusimamia maslahi ya manispaa anasema bwana lubango anasema mbali ya kiongozi huyo ofisa mmoja wa manispaa hiyo alidiriki kuwaambia kuwa wakazi hao hawapaswi kujua bei wnayotakiwa kulipwa kwa sababu hiyo ni siri kutokana na hali hiyo wakazi hao wanahoji kuwa kama mradi huo ni wa serikali kwa nini kuwepo na utata na usiri usiokuwa na maana yoyote wanasema kuwa kila eneo wanalotaka kujenga kwa sasa wanaambiwa wasiguse waende kujenga wapi anahoji bwana benedicto mpema wakazi hao wanasema kuwa mpaka hivi sasa hawana msaada wowote kutoka kwa viongozi wao kuanzia ngazi ya serikalini ambao wamekuwa wakishiriki kuwatisha na kuwakamata ili waogope kwa jinsi mambo yanavyokwenda hakika hakuna mtu atakayekubali kuondoka hapa na kama watalazimisha moto utawaka na tutasimama mpaka tone la damu ili tupate stahili yetu kwa sababu tumegundua tuko peke yetu na viongozi wote wametutema walizizitiza wakazi hao mzee salehe rashid ambaye katika toleo la majira jana alianza kuelezea jinsi alivyokamatwa na polisi na kufunguliwa mashitaka leo anaendelea na malalamiko yake kuwa tukio hilo UNK na hakutendewa haki katika nchi yake UNK kwa miaka themanini na tano niliamini kuwa kazi ya askari polisi ni kulinda usalama wa raia na mali zetu hivyo sikuwa na wasiwasi wowote nilijua kuna kitu wana kijitaji kutoka kwangu hivyo nililazimika kutoka nje lakini jambo la kushangaza niliwekwa chini ya ulinzi na kusukumwa nikiambiwa niingie kwenye gari na familia yangu mke watoto na mjukuu anasema bwana rashid anafafanua kuwa kabla ya kuanzishwa vijiji vya ujamaa mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na moja na hayati mwalimu julius nyerere alikuwa akiishi eneo hilo hajawahi kukamatwa kama alivyofanyiwa hivi karibuni kufikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya kunggoa jiwe la msingi katika eneo lake ambalo limewekwa na wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi awali eneo hilo lilizungukwa na wanyama wakali kama simba chui na wanyama wengine na hakuna kiongozi wa serikali aliyejitokeza na kusema eneo hilo ni lake au wanataka kuliendeleza lakini mwaka huu wamejitokeza kwa mabavu kuwakamata raia na kuwafungulia mashitaka anasema uvumi ulionea ni kuwa kuna mfanyabiashara mwenye asili ya kiasia ambaye analitaka eneo hilo lakini kamwe hawakubali kuona ardhi yao inachukuliwa kwa mabavu bila kupewa ufafanuzi wa kutosha badala yake UNK kwa mitutu ya bunduki waondoke eneo hilo kama wanaendelea UNK kuchukua ardhi yetu kwa mitutu ya bunduki niko tayari kufa lakini wajue nyuma yangu kuna watoto na UNK zangu watakuja kudai haki yao alisema mzee rashid mtu mwingine aliyedai kumuona mfanyabiashara huyo wa kiasia akitembelea eneo hilo ni bwana ahmad sultani ambaye anasema kuwa eneo lao halipo katika maeneo yaliyoorodheshwa na serikali kwa ajili ya upimaji viwanja isipokuwa kuna mfanyabiashara aliyetoa pesa kwa lengo la kupewa eneo hilo bibi halima musa ambaye ni mke wa bwana salehe anasema UNK katika eneo hilo hata kama serikali inatumia mtutu wa bunduki na kumuua kwani anachojua kuwa iwapo atakufa kuna kundi kubwa liko nyuma yake hivyo serikali ifanye kazi kuwamaliza kwanza ndiyo itwae eneo hilo anasema utaratibu wa mabavu unaotumika sasa dhidi yao ni wa udhalilishaji hivyo hayuko tayari kudhalilishwa katika ardhi aliyokaa kwa zaidi ya miaka sitini anasema amekuwa hapo tangu mwaka elfu moja na mia tisa na thebathini na tano akiwa jirani ambaye alitambulika kwa jina asili la UNK mate UNK eneo kubwa ambalo likuwa UNK wanyama na mimea ya kila UNK anasema mzungu huyo alikuwa akitumia eneo ambalo UNK pori kubwa kwa kuishi na kuwinda wanyama kama chui na nguruwe pori na kuwakusanya kuwapeleka nje kwa ajili ya kuwauza katika nchi mbalimbali ilipofika mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na tatu ndipo baba wa taifa mwalimu julius nyerere UNK watu kutoka katika mkoa wa musoma UNK kama wasimbiti walianza kulima na kupanua eneo walipata mazao mengi kama pamba na kufuga kuku wengine wapo hadi sasa na wanamiliki maeneo mkubwa anasema mzee sadiki kimsingi mzee huyo anasema UNK na mradi huo wa serikali bali anapingana na utaratibu UNK na baadhi wa watumishi wasio waaminifu ndani ya serikali wanaotumia nguvu UNK ardhi yao anasema yuko tayari kuacha baadhi ya eneo lake iwapo watashirikishwa katika maamuzi yeye pamoja na familia yake kutokana na kuwa hana njia nyingine ya kujilinda kiuchumi zaidi ya kutegemea ardhi hiyo serikali ya mitaa kuwakacha wakazi wananchi hao wanaongeza kuwa viongozi wao wa serikali za mitaa kuanzia wale wa kuchaguliwa mpaka watendaji wengine wanajua matatizo yaliyowakuta lakini wamekuwa hawana msaada wowote kwao viongozi wetu ndio wahusika wakubwa katika mradi huu wanajua kinachoendelea lakini hawatusaidii lolote mkuu wa wilaya aliyekuwepo mwanzo ndiye alituletea fomu iliyokuwa ikionesha kiasi kidogo cha fidia na haikuweka wazi juu yafidia ya ardhi yetu mkuu wa wilaya wa sasa aliamua kututukana kwa kusema kuwa hatuna akili na ndiyo maana tunakaa ndani ya nyumba za tembe kama hiyo haitoshi akaamua kuvunja kamati yetu akaunda ya watu wake ili kusimamia maslahi ya manispaa anasema bwana lubango anasema mbali ya kiongozi huyo ofisa mmoja wa manispaa hiyo alidiriki kuwaambia kuwa wakazi hao hawapaswi kujua bei wnayotakiwa kulipwa kwa sababu hiyo ni siri kutokana na hali hiyo wakazi hao wanahoji kuwa kama mradi huo ni wa serikali kwa nini kuwepo na utata na usiri usiokuwa na maana yoyote wanasema kuwa kila eneo wanalotaka kujenga kwa sasa wanaambiwa wasiguse waende kujenga wapi anahoji bwana benedicto mpema wakazi hao wanasema kuwa mpaka hivi sasa hawana msaada wowote kutoka kwa viongozi wao kuanzia ngazi ya serikalini ambao wamekuwa wakishiriki kuwatisha na kuwakamata ili waogope kwa jinsi mambo yanavyokwenda hakika hakuna mtu atakayekubali kuondoka hapa na kama watalazimisha moto utawaka na tutasimama mpaka tone la damu ili tupate stahili yetu kwa sababu tumegundua tuko peke yetu na viongozi wote wametutema walizizitiza wakazi hao utata wa ardhi kigamboni unafuatiliwa na timu ya waandishi wetu akiwemo peter mwenda edmund mihale peter masangwa tumaini makene na mpigapicha charles lucas itaendelea kesho katika mfululizo wa makala haya toleo la jana tuliwasikia wakazi wa kijiji cha gezaulole kigamboni UNK hisia zao juu ya utata wa eneo lao kutaka kupewa mfanyabiashara wa kiasia mbali ya kijiji hicho kutohusishwa na mradi je kwa nini viongozi wa manispaa waendelee kuwanyanyasa wananchi mkazi mwingine wa kijiji cha gezaulole bwana andrew rwakarehe ambaye ni jirani wa mzee rashid anasema ameishi katika eneo la kizani tangu mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na moja baada ya kuacha kazi katika shamba la nuta anasema kuwa kwa kutambua umuhimu wa ardhi UNK shamba lake kwa kulima mazao ya kila aina ikiwemo minazi UNK na kufuga mifugo mbalimbali kwa kipindi chote alichokuwa akijihusisha na UNK pamoja na ufugaji UNK kupata shida ya chakula na pesa ya matumizi ilipofika mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na sita UNK sehemu tu ya shamba langu na kupata hekari tano mbili hivyo nikawa na hati ya umiliki wa eneo hili lakini kitu cha ajabu pamoja na hati kuonesha kuwa mwenye uwezo wa kuibadilisha ni rais wa nchi pekee waliokuja kupima na kuweka mawe yao wanasema hawaitambui anasema mzee rwakarehe anasema wakazi wa maeneo hayo pamoja na kuwa na vigezo vya kuweza kupata mkopo ni muda mrefu wameshindwa mikopo ya benki kwa sababu eneo hilo lipo katika mradi anafafanua kuwa wathamini walipokwenda katika katika maeneo yao UNK maswali ili waweze kujiridhisha na utaratibu mzima wa mradi ambapo wathamini wao waliwaeleza kuwa hawapaswi kuwauliza kwa sababu wao ni serikali hata maelezo yao kuyaweka kwenye maandishi wamekataa zaidi ya kutueleza kwa mdomo sasa hawa ni wathamini wahuni au UNK wa ardhi anahoji mzee rwakarehe anasema kwa nini wananchi UNK kuliendeleza eneo hilo ili wale watakaoshindwa wayauze maeneo yao kwa hiari baada ya kupimwa na kuthaminiwa kwa ardhi majengo mifugo na mazao familia ya nyerere UNK na mradi upimaji huo unaodaiwa kutowashirikisha wakazi wa eneo hilo UNK familia ya hayati mwalimu julius nyerere ambayo imekuwa UNK eneo hilo toka mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na tatu eneo hili UNK eneo hili kwa shida kubwa kwa nini UNK haki ya kumiliki na watakaoshindwa kujenga kwa viwango vinavyotakiwa wauze maeneo yao kwa hiari na bei inayoeleweka anasema mzee warioba chacha mzee chacha ambaye katika ukoo ni shemeji wa mama maria nyerere anasema kuwa mpaka sasa UNK na shinikizo la damu kila UNK ardhi UNK UNK kwa miaka mingi inachukuliwa huku UNK na wahusika tunaambiwa sisi masikini UNK ardhi yetu itachukuliwa tu na lazima UNK sisi tunauliza kwa nini UNK mji wa kigamboni ufanyike kwa kelele kama hizo tunajua taratibu ni kupimiwa halafu UNK mbona inakuwa kinyume watu wanakuja kupima na kuweka mawe kwa kuvizia bila kujua ni kina nani ukiuliza UNK na kuwekwa ndani huo sio utaratibu alisema mzee warioba ambaye pamoja na kuwa na umri wa miaka themanini na tisa bado anaonekana kuwa imara anasema anashangazwa na maneno aliyoambiwa kuwa katika ekari zake sabini atapewa kiwanja kimoja baada ya kupimwa na kuthaminiwa bila kujali familia yake yenye watoto ishirini mpaka hivi sasa UNK na shinikizo la moyo kila ninapofikiria ardhi ambayo UNK na kuiendeleza kwa miaka mingi ikichukuliwa huku UNK mgogoro mwingine upo katika mradi wa dungu farm UNK viwanja vya wakazi wa mwongozo kigamboni dar es salaam ambao toka mwaka ishirini sifuri nne bado wanalalamikia kupunjwa mafao yao wakazi wa maeneo yaliyohusishwa na mradi huo UNK suala zima la uthamini ambao umeonekana mdogo ukilinganisha na fedha walizolipa wizara ya ardhi na kukamilishwa bwana francis godwin mwenyekiti wa tawi la ccm anasema walipata taarifa za wizara ardhi nyumba na maendeleo ya makazi juu ya upimaji wa viwanja ishirini sifuri sifuri sifuri katika jiji la dar es salaam eneo la mwongozo likiwa mojawapo bwana godwin anasema alihamia katika kijiji hicho mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na mbili baada ya kustaafu kazi ambapo alikuwa UNK jeshi la kujenga taifa kambi ya UNK katika mfululizo wa UNK haya leo tunaendelea na utata uliojitokeza kwa wakazi wa kigamboni eneo la gezaulole ambao wanalalamikia taratibu za mradi UNK viwanja katika eneo lao kutowashirikisha wananchi mzee andrew rwakarehe jana alielezea masikitiko yake juu ya hati yake ya nyumba aliyoipata februari ishirini na nane elfu moja na mia tisa na themanini na tatu UNK na wathamini waliofika eneo hilo kufanya kazi hiyo hati hiyo yenye namba elfu ishirini na nane na mia saba na arobaini na nne UNK mzee wa rwakarehe haki ya kumiliki ardhi yenye ekari mbili mia moja na thebathini na tatu na kuitumia kwa makazi na shughuli nyingine za kilimo na ufugaji UNK ardhi hiyo kulima mazao mbalimbali kufuga mifugo na kujenga nyumba tatu za kuishi leo hii inashangaza kusikia hawaitambui hati yangu pamoja na kila kitu kilichopo ndani ya eneo langu alihoji mzee rwakarehe anasema kinachoendelea katika eneo hilo kinaweza kutafsiriwa kuwa ni watendaji na viongozi wa serikali kutumia uwezo wao wa UNK kuwanyanyasa na kuwapora ardhi wananchi wasiokuwa na elimu ya kutosha na uwezo mdogo wa kifedha hususani katika mambo ya upimaji na tathimini ili wasiweze kuipata haki yao wakati mwingine wananchi wanalazimika kupata msaada binafsi wa kisheria kwa sababu UNK jambo ambalo linahitaji pesa za kuwalipa UNK hata suala la nauli ya kwenda na kurudi kufuatilia kesi zao UNK vigumu UNK madai yaliyotolewa na wananchi wa eneo hilo UNK uzito na matukio mawili katika tukio la kwanza baada ya wananchi hao kufuatilia kwa kina kwa baadhi ya watendaji waliowaita kuwa ni waaminifu katika wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi waligundua kuwa mawe yaliyowekwa katika baadhi ya maeneo yao kama alama ya kupimwa na kuthaminiwa kwa ardhi yao UNK tumeambiwa na yule bwana kuwa yale mawe yaliyowekwa katika eneo letu na kusababisha wenzetu kukamatwa ni feki UNK katika orodha inayotambuliwa na kompyuta na UNK kuwa hakuna kitu kama hicho ni wazi kuwa watendaji hawa wanatumia ujinga wetu kutupora ardhi UNK kihalali anasema mzee mkata ambaye pia ni mkazi wa eneo hilo wakazi hao UNK kampuni mbili maarufu na asasi ambazo zinahusishwa UNK wananchi ardhi yao katika tukio la pili kampuni mbili za dar es salaam na asasi moja inayojihusisha na utetezi wa haki na masuala ya sheria UNK katika njama za kuwapora ardhi wananchi wa gezaulole unajua kinachoendelea hapa wakati mwingine unashindwa kuelewa kama kweli tuna viongozi UNK maslahi ya wananchi wao au wapiga kura waliowachagua wakati fulani viongozi wetu walikuja UNK kuwa kampuni moja imepewa eneo letu na serikali kwa ajili ya kujenga viwanja vya gofu kumbe ulikuwa UNK isipokuwa ile kampuni inataka eneo ili walimiliki kwa shughuli nyingine anasema bwana julius mpema ambaye amekuwa mkazi wa eneo hilo toka mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na moja bwana mpema anasema kutofahamu shughuli za upimaji na uthamini wa ardhi ni chanzo cha wao kudhulumiwa haki zao na kampuni hiyo kwa kushirikiana na viongozi wao hivyo kujikuta UNK na kuambulia malipo kiduchu anasema kuwa viongozi wa manispaa ya temeke waliwaeleza kuwa eneo hilo lilikuwa la serikali hivyo kampuni hiyo imekamilisha taratibu za umiliki katika ngazi zote husika na kupewa eneo hilo kwa lengo la kuanzisha uwanja wa gofu na michezo mingine waliambiwa kuwa wanapaswa kuhama eneo hilo kumpisha mmiliki halali mwekezaji pamoja na kuwa tayari walifanyiwa tathimini ya maeneo yao mwaka ishirini sifuri moja upimaji na tathimini UNK sikufahamu jambo lolote katika masuala haya mpaka wanamaliza kazi yao sikujua UNK kwani hata wao UNK lakini baadhi yetu UNK mapema na kukataa wakitaka kuelezwa ukweli anasema bwana mpema anasema mwaka ishirini sifuri nne viongozi wao waliwafuata na kuwaambia wanatakiwa kulipwa shilingi moja sifuri sifuri sifuri kwa ajili ya nauli kufuata malipo ya tathimini ya mwaka ishirini sifuri moja katika ofisi za kampuni hiyo bwana mpema anasema alikuwa na maeneo mawili tofauti UNK kulipwa la kwanza lilikuwa ekari moja tano ambalo lilikuwa na mazao mbalimbali ya kudumu na yale ya muda lakini aliambulia shilingi hamsini na tano sifuri sifuri sifuri tu na mpaka leo hafahamu pesa hizo alilipwa kwa ajili ya vitu gani kwa sababu hailingani na mali zilizopo katika eneo lake baada ya kufanyiwa utapeli huo hatukutaka tena majadiliano katika zaidi ya kwenda kupata msaada wa kisheria katika moja ya asasi za masuala ya haki na sheria nchini anasema baada ya kufika huko walikutana na mambo mengine ambayo UNK baada ya kuambiwa kuwa suala lao litashughulikiwa na haki yao itapatikana kwa madai kuwa wahusika wa upimaji huo walikiuka vipengele kumi na moja vya kisheria juu ya suala hilo na kutakiwa warudi baada ya siku thebathini kitu cha kushangaza waliporudi UNK mwanasheria UNK aliwageuka na kusema kuwa walikuwa wanataka kujipatia fedha baada ya kuwa tayari wamekubaliana na kampuni husika ambayo ilikwisha walipa malipo yao katika eneo hilo la gezaulole kuna mradi mwingine wa barabara ambao unaendelea katika eneo moja ambako kumejengwa nyumba kadhaa za UNK ni vigumu kwa mtu kuamini kama eneo hilo lipo gezaulole lakini utata wa upatikanaji wa barabara inayoelekea huko unaharibu sifa yake nzuri wananchi kadhaa walioathirika na mradi wa barabara hiyo toka mwaka ishirini sifuri tano waliamua kufungua kesi namba mia moja na arobaini na nne ya mwaka ishirini sifuri tano katika mahakama ya wilaya ya temeke kulalamika wakazi hao wanasema utata wa eneo la gezaulole unatokana na serikali kutaka kulichukua eneo hilo kwa wananchi ambao wanauwezo wa UNK mradi kuhusishwa na siasa mzee sultan makata anapinga madai yao ya msingi kuhusishwa na mbinu za kutaka kuikwamisha ccm anasema haki inapaswa kutendeka kwa binadamu wote bila kujali itikadi za kisiasa kwani suala hilo UNK wanachama wa vyama vyote vya siasa na UNK mimi hapa ni ccm damu lakini katika kudai haki yangu mambo ya vyama UNK kando wale wanaoonekana kusimama m katika haki wanaitwa wafuasi wa UNK au cuf hakuna kitu kama hicho alisisitiza sakata la ardhi kigamboni UNK na waandishi edmund mihale tumaini makene peter masangwa peter mwenda na mpiga picha charles lucas ni kuhusu mradi wa new kigamboni city UNK kuelezea watalipwa kiasi gani fidia ya mwongozo UNK mwamba waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi bwana john chiligati amewahakikishia wakazi wa kigamboni kuwa hawatahamishwa katika eneo la mradi wa mji mpya wa kigamboni lakini ameshindwa kujibu hoja kadhaa za msingi ambazo wananchi wamekuwa wakitaka kujua juu ya miradi ya kuendeleza eneo hilo waziri chiligati alielezea mambo mengine kuhusu ardhi katika eneo hilo baada ya kufanya ziara hiyo juzi kuwajulisha wakazi wa gezaulole kuwa nao UNK katika mradi huo unaosimamiwa na serikali kuu kupitia wizara yake lakini alishindwa kuwafafanulia fidia itakayolipwa na serikali akizungumza na wakazi hao waziri chiligati alisema mradi wa mji mpya wa kigamboni utakuwa tofauti na miradi mingine ambayo wananchi wamelazimika kuondolewa kabisa katika maeneo yao ya awali na kutafutiwa sehemu nyingine katika mradi huu wananchi hawatahamishwa bali kitakachofanyika kama eneo UNK UNK kuendelezwa kwa kujenga kitu kingine utalazimika kuhama na kupewa eneo jingine lakini humu humu ndani ya mradi alisema waziri chiligati aliwaambia wakazi hao kuwa kutokana na maoni ya kampuni iliyoteuliwa kufanya kazi ya mshauri mwelekezi katika mradi huo serikali imeamua kuingiza eneo la gezaulole katika mradi huo ambao tayari UNK katika maeneo ya vijibweni mjimwema kigamboni feri na UNK alisema kuwa kutokana na jiji la dar es salaam kuzidi kukua kwa kasi bila mpangilio wa makazi na ujenzi holela serikali imeona ni vyema kuufanya mji wa kigamboni uwe na mandhari nzuri mithili ya inavyoonekana katika nchi zilizoendelea ninajua kuwa tayari huku gezaulole kuna mradi mwingine kama huu ambao uko chini ya manispaa ya temeke lakini leo nimekuja kuwahabarisha juu ya mradi wa pili wa new kigamboni city ambao hapo awali ulikuwa UNK kibugumo lakini mshauri mwelekezi kampuni ya korea UNK tuongeze eneo hili la gezaulole kupeana habari mapema ni vizuri maana magazeti UNK kuwa hatuwapi taarifa UNK hivyo nimekuja mwenyewe sikutaka kumtuma mtu kuwaambia kuwa wakazi wa gezaulole walioko upande wa kushoto mwa barabara ndio watakaohusika katika mradi huo alisema bwana chiligati hivyo eneo lote la mitaa ya kizani na mbwa maji mpaka kisiwa cha UNK ambalo tumeambiwa ni eneo zuri kiuchumi UNK rasmi katika mradi tunataka kuuendeleza mji huu katika namna ya kisasa miundo mbinu mizuri kama vile umeme maji usafiri na barabara alisema chiligati huku akionekana kuchukizwa na habari ambazo zimekuwa zikiripotiwa katika vyombo vya habari jinsi wananchi wanavyolalamikia ubabaishaji uliopo katika utekelezaji wa miradi ya uendelezaji mji katika maeneo kadhaa ya kigamboni waziri chiligati aliwahakikishia wananchi hao kuwa watakuwa wa kwanza kunufaika hoja ambazo hazikupata majibu bwana chiligati ambaye alionekana dhahiri kutumia mkutano huo UNK vyombo vya habari kwa kuripoti malalamiko ya wananchi UNK na watendaji wachache wabovu wa wizara na manispaa ya temeke alishindwa kutoa ufafanuzi katika hali ambayo huenda UNK wananchi waliohudhuria kikao hicho UNK hoja zao zile zile ambazo zimekuwa UNK kwenye vyombo vya habari ambavyo chiligati hakutaka kutambua mchango wao wananchi hao hawakusita kusema bayana kuwa UNK vyombo hivyo vya habari kuwa UNK hali halisi UNK na siyo kukuza migogoro kama UNK taarifa kutoka kwa watendaji wake baada ya waziri chiligati kutaka kuwaonesha kuwa UNK malalamiko yao wananchi hao walimwambia suala kubwa UNK ni namna UNK katika suala la fidia vitu UNK na jinsi ya kuipata huku fidia ya ardhi UNK kwa mdomo na siyo kimaandishi ingawa aliwaeleza wananchi hao jinsi UNK kwa kila kitu kuanzia ardhi nyumba na vitu vingine UNK kufuata bei ya soko alishindwa kutoa ufafanuzi huo bwana chiligati pia alishindwa kusema ilikuwaje watendaji wa manispaa wakatumia bei ndogo ambazo UNK wananchi huku fomu hizo zikiwa hazina kipengele cha kulipa ardhi na nyumba aidha suala la mradi wa viwanja wa shamba la ndugu ambalo liko mwongozo eneo UNK na gezaulole liliibuka katika mkutano huo wananchi wa mwongozo wamekuwa wahanga wa mradi unaoendeshwa na wizara ya chiligati katika eneo hilo wengi wao walifanyiwa tathmini bila kujua watalipwa kiasi gani na lini gazeti hili limekuwa UNK mradi wa huo na jinsi wananchi walivyopata adha katika mradi wa shamba la UNK majira jumapili lina nyaraka kuhusu wakazi hao baadhi yao UNK katika malipo yao wengine wakalazimika kununua upya maeneo yao kwa bei kubwa kuliko fedha walizolipwa wakati wa UNK huku wengine UNK fidia zao kwa zaidi ya miaka minne sasa na wengine walipotaka kwenda kununua maeneo yao kama UNK walikuta tayari UNK kwa watu bila wao kujua bibi UNK mabuga UNK waziri alipomwambia kuwa alikuwa mtu wa kwanza kukubali mradi wa dungu lakini matokeo yake amepoteza ekari ishirini na UNK chochote mpaka leo hivyo aliuliza lini watu walioathirika katika mradi wa mwongozo watalipwa haki zao hoja hiyo UNK na waziri chiligati bibi mabuga UNK waziri chiligati kwa kumwambia kuwa ninyi UNK sasa hamjui UNK gezaulole wakati ule watu UNK kwa hiari na nguvu na kumwagwa hapa tulipambana na simba hapa ninyi UNK azimio la arusha UNK mjini kugawana UNK alisema mbona UNK hotuba za mwalimu nyerere ambaye alisisitiza UNK wananchi wanasemaje kwa nini hamna huruma ninyi alihoji mwananchi huyo huku UNK waziri na ujumbe wake jinsi UNK bibi mabuga UNK watu wengine ambao wametiwa umaskini kutokana na watendaji wabovu wa serikali wanaoendesha miradi bila kuwajali wananchi na kuwarudisha katika lindi la umaskini katika hili waziri chiligati badala ya kumjibu mama huyo alibadili hoja hiyo na kumwonesha mama huyo kuwa anataka nchi ibaki hapo hapo ilipo bila kusonga mbele kimaendeleo wananchi hasa wa maeneo ya kizani na mwela katika eneo la gezaulole wamekuwa wakilalamika watendaji wa manispaa kuweka mawe bila kuwataarifu kiasi kwamba wanakuta maeneo yao UNK mawe bila wao kujua wale wanaohoji wanaishia kutishwa kutukanwa na hata kutiwa ndani na kufunguliwa mashtaka na alipotakiwa kutoa ufafanuzi juu ya hilo bwana chiligati aliwaambia wakazi hao kuacha mara moja kunggoa mawe hayo kwani ni mali ya serikali na ni kosa la jinai lakini baada ya mkutano baadhi ya wananchi walihoji nani mwenye makosa kati ya yule aliyeanza kuweka mawe bila kumshirikisha mwenye ardhi au yule aliyekuja kunggoa mawe UNK UNK kwa hiyo UNK ardhi yangu bila hata kuniambia na kuanza kuweka mawe tena akiwa na maaskari wenye bunduki yeye hana kosa alihoji mwananchi mmoja aliyekuwa ametoa hoja hiyo mbele ya waziri wakati wa maswali na majibu hoja nyingine ambayo wananchi walitegemea waziri angekwenda akiwa UNK UNK ni kuhusu wakati rasmi wa kuanza mradi wananchi waliozungumza na gazeti hili walisema kuwa wanayo mifano katika maeneo mengine nchini ambako serikali imekuwa UNK miradi ya upimaji viwanja na kuendeleza maeneo lakini baada ya kufanyiwa tathmini huchukua miaka mingi kulipwa fidia hivyo kusababisha usumbufu mkubwa walidai pia kuwa serikali inapotaka kuleta miradi ya namna hiyo na wananchi kulazimika kusimamisha shughuli zao za kujiendeleza kama vile kulima mazao ya muda mrefu na ujenzi inabidi iwe na uhakika wa muda wa mradi wake kuanza la sivyo lengo zuri huishia kuwa baya na kuwaathiri wananchi hata kuwatia umasikini unaoweza kuzuilika waziri chiligati hakuweza kujibu kuwa mradi huo utaanza lini ila UNK ni kuwa UNK muda ukifika lakini wakati huo huo akasema shughuli ya upimaji itaanza kesho jumatatu hivyo wananchi hao wamebaki na sintofahamu hasa wataondoka lini kipato wanachokipata UNK kwa muda gani ili waje kutimiza malengo yao UNK kufikia maendeleo yao na kuukimbia umaskini lakini pia katika hali nyingine ya kushangaza ni pale waziri alipokuwa akijibu hoja hata zile ambazo watendaji wa manispaa na wizara alioambatana nao walipaswa UNK ufafanuzi kwani wao ndio wamekuwa wakionekana zaidi inapofika wakati wa utekelezaji hata pale wananchi hao walipotoa hoja ambayo ilikuwa UNK mbunge wa jimbo hilo bwana mwinchumu msomi ambaye alinukuliwa na gazeti hili akisema wananchi wenye maeneo yasiyokuwa na ukubwa wa zaidi ya eka moja maeneo yao UNK lakini UNK kitu zaidi ya fidia ya maeneo yao kumbe ukweli siyo hivyo waziri chiligati UNK kumsemea tena kwa kuhitimisha kuwa waandishi wa habari UNK mbunge wananchi hao walimwambia waziri chiligati kile ambacho gazeti hili limepata kuandika kuwa wao hawapingi mradi wa wowote unaoletwa na serikali kwa nia njema isipokuwa UNK ni ubabaishaji unaotaka kufanywa na watendaji wachache wanaofika wakiwa na mbinu za kutaka UNK fidia na UNK ardhi UNK taarifa hii imeandaliwa na tumaini makene peter mwenda na peter UNK mfululizo wa makala inayoelezea utata wa mradi wa upimaji viwanja katika jimbo la kigamboni ili kuufanya mji huo kuwa wa kisasa leo UNK na mthamini mkuu wa halmashauri ya temeke bwana victor UNK bwana ndonne anaanza kwa kusema kuwa thamani ya ardhi kwa eneo husika UNK kulingana na bei ya soko moja a ardhi katika eneo hilo anasema takwimu za bei ya soko moja a ardhi moja a mahali zinaweza kupatikana kwa kuwauliza watu waliowahi kununua ardhi katika eneo husika kwa kuangalia kumbukumbu za UNK yaliyofanyika katika eneo maeneo la UNK kwa mwaka ishirini sifuri nane zinaonesha kuwa bei ya ardhi kwa soko katika eneo hilo kwa ekari moja iliuzwa kwa shilingi milioni moja na shilingi milioni moja mbili anasema bei ya ardhi ni tofauti katika eneo la mradi wa kata ya UNK kwani kumekuwa na makubaliano ya kulipa fidia ya shilingi tatu kwa ekari moja na hiyo inatokana na hali ya soko ilivyo sasa katika eneo hilo anasema thamani ya mali isiyohamishika hupatikana baada ya mthamini kufanya ukaguzi wa mali husika uthamini huo unazingatia bei halisi ya soko moja a mali katika eneo husika hivyo itategemea ubora wa UNK mali yenyewe na UNK anasema endapo kutakuwepo na ukosefu wa kumbukumbu za mauzo kwa eneo hilo ukadiriaji unafanywa kwa kuzingatia gharama halisi za ujenzi itatumika na hivyo mthamini atalazimika kukagua jengo lote kwa ujumla fidia ya mazao anasema fidia ya kila zao katika soko hutofautiana hivyo orodha ya mazao hutengenezwa na wataalamu wa kilimo na misitu kwa kulinganisha na bei ya husika katika soko kwa kuzingatia aina ya zao na kuangalia umri wa zao asilimia ya ukuaji wa zao fidia hutolewa kila aina zao kwa mfano asilimia kumi kwa zao ambalo lipo katika hali ya mche asilimia ishirini na tano kwa zao ambalo UNK hamsini kwa zao ambalo UNK kutoa mazao ya kwanza na kumi sifuri kwa zao ambalo limeanza kutoa mazao ya kwanza posho ya usumbufu posho ya usumbufu inakadiriwa kwa kuzidisha thamani ya ardhi na mali isiyohamishika iliyopo mara wastani wa asilimia ishirini na tano ya riba inayotolewa na benki za kibiashara kwa akiba ya muda maalum kwa mwaka hivyo posho ya usumbufu anasema posho ya usafiri hulipwa kwa kubaini gharama halisi ya kusafirisha tani kumi na mbili za mizigo kwa njia ya reli au barabara hadi umbali usiozidi kilometa ishirini kutoka mahali pa UNK anasema pia kwa kuwa baada ya kulipwa fidia UNK atatakiwa kuondoka na kwa kuwa atakuwa bado UNK makazi mapya posho ya upangaji UNK ili kumwezesha kupanga nyumba katika maeneo yaliyo karibu na eneo husika kwa kuwa inatarajiwa kuwa UNK atakuwa mpangaji kwa muda usiozidi miaka tatu kwa hiyo posho ya upangaji UNK kama ifuatavyo anasema kodi ya pango kwa mwezi katika soko kwa majengo ya maeneo jirani hukadiriwa na kuzidishwa mara miezi thelathini na sita posho ya kupoteza faida halisi kwa mwezi kwa biashara hukadiriwa na kuzidishwa mara miezi thelathini na sita ili kufikia kiwango cha malipo ya faida UNK UNK kuwa ardhi isiyo na makazi posho ya usafiri posho ya upangaji na posho ya kupoteza faida UNK anasema endapo fidia UNK kwa wakati UNK kisheria sheria ya ardhi ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa inaelekeza kulipwa kwa riba itakayohusisha kipindi chote ambacho fidia hii UNK anasema kimsingi fidia ya ardhi inapaswa kulipwa katika kipindi kisichozidi miezi sita baada ya ardhi kutwaliwa au hakimiliki kubadilishwa iwapo baada ya kutwaliwa fidia imechelewa kulipwa riba inayoendana na viwango vya kibenki vya akaunti maalumu kwa UNK anasema shughuli ya fidia hiyo hufanywa na mthamini akishirikiana na mwenye mali mjumbe wa kitongoji wa eneo anaweza kuwa mwenyekiti au mtendaji wa kijiji au mtaa anasema mali kama mazao UNK kisha hujazwa kwenye fomu maalum jengo hukaguliwa na kupimwa chini ya ushuhuda wa mhusika na kiongozi wake ukubwa wa ardhi hupimwa na baadaye mwenye mali kupigwa picha huku akiwa ameshikilia bango UNK jina lake kamili na nambari ya rejea atakayopewa baada ya hapo UNK husaini fomu namba moja ambayo ni maalumu kwa ajili ya ukaguzi hiyo kuthibitisha kuwa ameshiriki kikamilifu na ameridhika na jinsi ukaguzi wa mali UNK bwana ndonne anasema fomu hiyo UNK kwa uthibitisho wa kiongozi wa eneo husika ambaye atakuwa ameambatana na mthamini ambaye pia husaini fomu hiyo ili kuthibitisha ndiye aliyefanya ukaguzi anasema lengo kuu la upimaji wa ardhi ni kuweka alama za mipaka ya ardhi ili kuwezesha uendelezaji kwa kulingana na taratibu za mipango miji upimaji wa ardhi utawezesha kuwepo na umilikishwaji halali wa kisheria ambao utakuwa ni chachu katika kuboresha maswala mbalimbali ya kimaendeleo kijamii na maendeleo anasema katika kupima ardhi hatua zifuatazo huchukuliwa ukaguzi wa eneo la mradi kusambaza alama za msingi kuandaa mkakati wa upimaji mandalizi ya alama za upimaji uwekaji wa alama za upimaji upimaji wa hesabu ukamilishaji wa hesabu uchoraji wa ramani na ufungashaji bwana ndonne anasema kabla ya kuwasilisha michoro upimaji na ufungashaji hukaguliwa kwa makini na UNK ardhi anasema upimaji wa ardhi una manufaa mengi kwa mmiliki ardhi yeyote kwani humpa mwananchi uwezo wa kumiliki ardhi kisheria mmiliki wa ardhi ataweza kujua ukubwa wa eneo lake mipaka ya ardhi kisheria itawezesha kila mmiliki wa ardhi katika eneo husika kupata huduma muhimu za kijamii kama vile barabara au umeme anaendelea kusema upimaji wa radhi utaongeza pato la taifa UNK na kodi ya ardhi pia ujenzi wa nyumba bora migogoro ya ardhi UNK kwa kiasi kikubwa umaskini utapungua hasa pale ardhi UNK kama dhamana katika taasisi za fedha anasema baada ya upimaji wa viwanja kukamilika na michoro kuwasilishwa taarifa itatolewa katika vyombo vya habari pamoja na tangazo katika gazeti la serikali utaratibu wa ugawaji wa viwanja utatolewa wananchi ambao walikutwa na nyumba katika eneo la mradi na ambao UNK katika maeneo ya matumizi ya jamii na barabara UNK viwanja kisheria mfululizo wa makala haya unafuatiliwa na timu ya waandishi edmund mihale peter mwenda tumaini makene peter masangwa na mpiga picha charles lucas timu ya UNK international ya tabata dar es salaam inatafuta wafadhili ambao UNK ili ifanye maandalizi ya uhakika kwa ajili ya michuano ya ligi ya taifa ngazi wilaya ya ilala katibu wake mkuu hamisi kinonda amesema kuwa timu hiyo inakabiliwa na UNK mbalimbali ikiwemo ukosefu wa vifaa kama mipira na jezi UNK michuano hiyo kwa kubahatisha tu kwani hatuna mipira ya mazoezi pia wakati wa mechi UNK kukodi jezi lakini tunamshukuru mungu katika hatua ya kwanza ya ligi hiyo mbali na kuwa na shida hizo tumeweza kutoka sare mechi moja na kufungwa moja alisema mbunge wa jimbo la kinondoni idd azzan ameutaka uongozi wa chama cha soka wilaya ya kinondoni kubuni miradi mbalimbali ili kukabilina na baadhi ya matatizo ya kiuchumi ndani ya chama hicho azzan aliyewahi kuwa kiongozi wa chama hicho aliyasema hayo wakati akitoa msaada wa shilingi mia mbili na sitini sifuri sifuri sifuri ambazo zitatumika kulipa deni la waamuzi waliokuwa UNK ligi ya wanawake wilayani humo ambayo UNK novemba mwaka jana michuano hiyo ililazimika UNK kwa muda baada ya waamuzi kugoma ili kushinikiza kulipwa posho zao walizokuwa UNK chama hicho philip arlando ambaye ni miongoni mwa vifaa vipya vya azam fc amesema kwamba mchecheto wa kushuka daraja umeongeza ugumu kwenye mzunguko wa pili wa ligi kuu timu anayochezea mchezaji huyo ambayo inaaminika kuwa ndio klabu binafsi tajiri zaidi kwa sasa ina pointi kumi na saba ikishikilia nafasi ya nane lakini bado ipo kwenye uwezekano wa kushuka daraja mchezaji huyo alisema kuwa uwezekano wa timu nyingi kushuka bado ni mkubwa na yanga ndio timu pekee ambayo ipo salama ligi imebadilika sana sikutegemea kama ingekuwa na ushindani mkubwa kama ilivyo sasa kila timu inaogopa kushuka daraja alisema arlando mwenye mabao matatu UNK nayo kagera sugar ukiangalia uwezekano wa kila timu kushuka ni mkubwa sana timu ambayo ipo salama ni yanga na hiyo inatokana na ukweli kwamba UNK pointi nyingi katika mzunguko wa kwanza ushindani uliopo kuanzia timu ya pili mpaka ya mwisho ni mkubwa sana ndio maana kila mahali ni presha tupu ila sisi azam UNK sawasawa uwezekano wa kufanya vizuri ni mkubwa kwa kuwa wenzangu wana morali kubwa alisema na wakati timu za polisi morogoro villa squad moro united na polisi dodoma zina wakati mgumu wa kupigania kuepuka kuteremka daraja yanga inaongoza kwa pointi thebathini na tisa huku simba ikishikilia nafasi ya pili kwa pointi ishirini na tatu ambazo ni sawa na za kagera sugar kipa wa mtibwa sugar amesema hajawahi kukutana na mateso kama aliyoyapata baada ya kuvamiwa na mashabiki wa yanga jumanne iliyopita na kujeruhiwa UNK shabaan kado ambaye ni mkazi wa mabibo jijini dar es salaam alijeruhiwa UNK baada ya mashabiki kushambulia basi lao kwa mawe katika mchezo huo yanga UNK kifua mbele kwa bao moja sifuri imeelezwa kuwa mashabiki hao walivamia basi la timu hiyo aina ya UNK UNK na kuwashambulia kwa madai kwamba mmoja wa wachezaji hao alimpiga shabiki mwenzao jicho linauma sana siwezi kuangalia sehemu yenye jua ndani ya jicho kuna rangi nyekundu kabisa halafu linauma sana alisema kipa huyo huku akisisitiza anaamini mungu UNK na kwamba jambo hilo haliwezi kushusha kiwango chake bado naendelea kupatiwa matibabu UNK kuanza mazoezi lakini sidhani kama inaweza kuathiri kiwango UNK UNK kama changamoto ya mpira lakini siwezi kusahau kitendo UNK kama UNK kidogo UNK chini ningekuwa UNK kabisa yaani wale mashabiki wanafanya mpira kama vita hii ni mbaya sana tanzania hatupaswi kufika huko mpira ni furaha alisema kipa huyo mtibwa ambao ni mabingwa wa kombe la tusker inashikilia nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi kuu ikiwa na pointi ishirini na moja katika michezo kumi na nne iliyocheza na imeonyesha kiwango cha juu katika ligi ya msimu huu kocha wa zambia herve renald raia wa ufaransa hakusafiri na timu yake ilipokwenda afrika kusini jumatatu iliyopita kwa mchezo wa kirafiki kwa kile kilichoelezwa kuwa UNK zambia ilifungwa bao moja sifuri na kucheza chini ya kiwango zambia ambayo ipo kundi a na taifa stars katika fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani iliyopangwa kutimua vumbi kuanzia februari ishirini na mbili ivory coast UNK na wachezaji wake watano muhimu baada ya kwenda kufanya majaribio na watatu kupata timu afrika kusini sweden na denmark kocha huyo ambaye hadi sasa hajaeleza sababu ya msingi ya UNK timu amekaririwa akilalamikia suala la kuruhusiwa kwa wachezaji wake tegemeo kutimkia ulaya ofisa wa shirikisho la soka la zambia erick mwanza alibaki kutokana na sababu zake binafsi ingawa hakuwa tayari kuziweka bayana taarifa hiyo huku akisisitiza kuwa kocha huyo UNK UNK timu yake lusaka timu hiyo imekuwa chini ya bosi msaidizi patrice UNK na george UNK herve wiki iliyopita alitishia UNK na kikosi hicho kutokana na kukimbiwa na nyota wake ambao alitaka UNK mpaka timu ishiriki chan ni kama naenda likizo ivory coast kama nitakuwa sina hao wachezaji watano waliokimbilia ulaya alisisitiza herve ambaye amekuwa ni kocha mwenye UNK kocha wa kenya francis kimanzi ambaye waziri mkuu raila odinga UNK UNK kikosi baada ya kutimuliwa amesisitiza hatarudi kuinoa UNK hiyo hadi viongozi wakubali matakwa yake kocha huyo ametaka kuwepo kwa umakini pia wachezaji wake kupumzika huku akipinga baadhi ya mechi za kirafiki kitu ambacho kinaonyesha kuwaudhi viongozi wa shirikisho la soka la kenya francis kimanzi alisema kwa njia ya simu toka nairobi kwamba amesikia maoni ya wachezaji wake pamoja na maoni ya serikali lakini hayuko tayari kufanya kazi na viongozi UNK nitakuwa tayari kurudi kwenye timu ya taifa kama kutakuwa na viongozi wanaopenda kusikiliza ninachosema alisema UNK siwezi kufanya kazi na viongozi ambao UNK vitu mimi kama kocha wa timu ya taifa nina nafasi yangu ya maamuzi na ninapaswa kuwa na uhuru wa kufanya kazi nikiona kuna viongozi wenye mwelekeo mzuri nitarudi alisisitiza kocha huyo UNK kenya kwenye fainali za chalenji mwezi uliopita jijini kampala uganda kimanzi alitimuliwa siku chache baada ya kutoka uganda kufuatia kukataa kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya misri jijini cairo kwa madai kuwa haina UNK kocha huyo wa mathare united licha ya kukataa hilo pia aligoma kuachia wachezaji wake ambao ni tegemeo wajiunge na stars ndipo nafasi yake UNK na bobby ogolla ambaye wadau wengi UNK kocha wa taifa stars marcio maximo amesema winga mrisho ngassa anastahili kwenda kucheza soka ya kulipwa ulaya na kusisitiza kwamba yanga na mchezaji huyo wana kila sababu ya kulimaliza suala hilo akizungumza na mwanaspoti jijini dar es salaam maximo alisema kamwe hawezi kuingilia suala hilo la ngassa zaidi ya kukaa pembeni na kujivunia huku akimwachia kijana huyo UNK na uongozi wake na kupata nafasi hiyo mimi nataka aende ikiwezekana wachezaji wote walio kwenye kikosi cha stars leo halafu tutapata nafasi ya kuanza kutengeneza wengine kupitia klabu lakini tutakuwa tunajivunia siku UNK timu yetu ya taifa kutokana na kuwa na wachezaji wanaotoka nje hiyo ni hatua ya maendeleo UNK ila nasisitiza na nieleweke vizuri yanga na ngassa wajitahidi walimalize suala hili kwa kuwa haliwezi kuwa la maximo wala tff alisisitiza ngassa ambaye amekuwa kwenye kikosi cha kwanza cha stars anahitajika na klabu ya lov ham ya norway na endapo akifuzu majaribio atapewa dola hamsini sifuri sifuri sifuri na huenda akaondoka hivi karibuni baada ya uongozi wa yanga uliokuwa UNK awali kutangaza kwamba UNK kushughulikia suala hilo na ikiwezekana kumpa ruhusa ngassa ni mchezaji mzuri sana na huu ndio wakati wake wa kufanya mambo najivunia sana kusikia mambo yanayoendelea alisema maximo ambaye amekuwa akisisitiza wachezaji wajitahidi ili wapate soko na kucheza nje ya tanzania hasa ulaya au asia najivunia kuona kwamba kijana wangu anakubalika na kila mtu anahitaji mchango wake alisema maximo ambaye amesisitiza busara ndio muhimu zaidi katika suala hilo maximo kesho anatarajia kutangaza kikosi kikosi cha wachezaji ishirini na nane ambao baada ya wiki moja na nusu watachujwa na kubakiza wachezaji ishirini na tatu UNK safari na kikosi hicho kwenda ivory coast kwa ajili ya michuano ya chan inayoanza UNK ishirini na mbili kishindo cha simba ambayo imetangaza nafasi ya pili katika ligi kuu ni yake UNK kagera sugar ambayo imekiri kwamba mambo ni magumu na presha ni kubwa kwao simba chini ya kocha mpya patrick phiri aliyezaliwa mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na sita nchini zambia imeanza mzunguko wa pili kwa kishindo na imejikita kwenye nafasi ya pili kwa pointi zake ishirini na tatu sawa na kagera sugar kagera sugar yenye maskani yake bukoba imesema presha imekuwa kubwa zaidi kwao tangu kuanza kwa mzunguko wa pili lakini UNK tamaa mshambuliaji raia wa uganda mike katende aliiambia mwanaspoti jana ijumaa kuwa mzunguko wa pili umekuwa na baadhi ya waamuzi wenye uwezo mdogo tunacheza vizuri sana lakini ukiangalia mechi zetu kwa mfano tulizocheza dhidi ya mtibwa na polisi morogoro kule morogoro ni mambo ya ajabu waamuzi wanafanya mambo ambayo UNK tamaa kabisa alisema mfungaji huyo bora wa msimu uliopita katende alidai kwamba anahisi kuna njama za baadhi ya timu kuhakikisha makali yao yanapungua na wanakosa nafasi ya pili kocha msaidizi wa kagera mlage kabange alisema jana kuwa simba imeanza vizuri mzunguko wa pili na kuwapa wakati mgumu kwenye nafasi waliopo lakini hadhani kama hali itakuwa hivyo mpaka mwisho simba wamekuja vizuri kama sisi tulivyokuwa mzunguko wa kwanza ndio maana UNK kwa pointi wameongeza ushindani kwenye nafasi ya pili lakini sidhani kama UNK alisema kocha huyo wanajipa matumaini bila ya kujua kwamba wamecheza mechi zao nyingi hapo dar es salaam lakini mimi naamini kwamba kuanzia kesho jumapili tutakuwa vizuri sana na tutaanza kushinda dhidi villa squad simba wanajipa matumaini kwa vile wao ni timu kubwa na wamezoea kushinda tu lakini hawajui kwamba mambo kwenye mpira ni tofauti sisi kagera nafasi ya pili ni yetu na naamini UNK tutashinda mechi zote nane zilizobaki ingawa presha ni kubwa sana timu hiyo ilikuwa inamiliki nafasi ya pili kabla ya UNK nafasi moja na simba jumatano iliyopita ilipoifunga prisons mabao tatu moja kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam wachezaji wa simba pamoja makocha wamesisitiza kwamba ubingwa ni wa yanga lakini wao nafasi ya pili ni mali yao na watapigana mpaka dakika ya mwisho wanasema UNK kushindwa si mshindani kila sehemu yenye ushindani lazima UNK mshindi na kama inatokea hivyo maana yake lazima atakuwapo yule UNK kukubali kushindwa ni sehemu ya kuonyesha UNK pia inasaidia kukupa nafasi ya kujiandaa tena kwa ajili ya mechi nyingine zinazofuata kama UNK kushindwa maana yake unaonyesha kutokuwa na tabia za kiuanamichezo na badala yake ni malumbano mabingwa watetezi wa tanzania bara yanga leo wanashuka dimbani kucheza mechi yao ya ligi ya mabingwa afrika dhidi ya timu ya etoile dor ya comoro na kesho itakuwa ni zamu ya prisons itakayokuwa na kibarua dhidi ya UNK sert ya libya udhaifu unaonekana kwa wacomoro lakini katika soka si sahihi kuwabeza wapinzani kwa kuwa ndani ya dakika tisini lolote linaweza kutokea kikubwa UNK kufanya ni kuhakikisha wanacheza kwa nguvu zote na kujihakikishia ushindi kama ikiwezekana basi uwe mnono hakuna haja ya kudharau kwa kuwa UNK kuna nafasi makosa na mara nyingi inaelezwa kiutaalamu kucheza na timu dhaifu ndio kitu kigumu zaidi kuliko timu bora inawezekana kabisa leo wacomoro hao wakapoteza muda mwingi huku wakicheza kwa kujihami lakini kama yanga watapata mabao ya mapema basi hakuna kitakachowazuia kushinda zaidi ya bao tatu prisons kesho pia watakuwa na kazi ngumu ambayo inahitaji umakini mkubwa kwa kuwa hakuna mwenye rekodi ya khalij sert ingawa ni timu inayotokea kwenye nchi yenye utajiri mkubwa wa mafuta hivyo inawezekana kuwa na wachezaji wenye uwezo wa juu kwa kuwa wana uhakika wa malipo kikubwa kwa prisons ni kufanya kila wanaloweza ili kucheza mechi hiyo kwa umakini mkubwa suala la kusahau UNK katika ligi ni zuri ingawa wanaweza kama kulitumia kama njia moja nzuri ya kupambana na wenyeji hao hawana sababu yoyote ya kukubali kufungwa ingawa kweli kuna kushinda na kushindwa prisons ni timu yenye uwezo na vijana wengi wenye vipaji wanaweza kucheza kwa ushindani na ikiwezekana kushinda ingawa kocha james nestory analazimika kufanya kazi ya ziada miembeni na mundu ambazo zitakuwa ugenini zambia na zimbabwe pia zina kazi kubwa ambayo kama watatumia ujuzi zaidi angalau waibuke na sare basi watanzania watakuwa na nafasi ya kuwaunga mkono wiki mbili zijazo kwenye uwanja wa taifa dar es salaam kila la heri huko ugenini kwa hapa nyumbani watanzania wajitokeze kwa wingi kuzishangilia timu hizo mbili ambazo leo na kesho UNK bendera ya taifa ambayo UNK mtanzania yeyote bila ya kujali anatokea katika mkoa au wilaya gani twendeni uwanjani na UNK kwa nguvu tuondoe angalau kwa muda ushabiki wetu wa usimba na uyanga na baada ya hapo UNK mkono timu hizo ambazo zina kibarua kigumu na kipimo kwa wachezaji wetu hakuna haja ya kuwaunga mkono wacomoro au walibya wakati UNK yanga ni ndugu rafiki na wadogo wetu tuna kila sababu ya kuungana nao katika vita ya leo na kesho na kuwashangilia kwa nguvu zote ili waibuke washindi kwa leo na kesho yanga na prisons unaweza kusema ni mali ya watanzania wote kwa kuwa ni wawakilishi wetu yaani UNK sisi hivyo tunapaswa kuonyesha upendo kwao na kuwaunga mkono waarabu wa libya na waarabu wa comoro wote ni wapita njia na hawapaswi kutufanya tuwe limbukeni na UNK ndugu zetu ambao tunashirikiana kwa mambo mengi ya maisha ya kila siku mapema kabisa sisi tunazitakia kila la heri yanga na prisons katika mechi hizo bila ya UNK ndugu zetu vile vile wa miembeni na mundu ambao wako vitani ugenini wakati mabingwa watetezi wa ligi kuu tanzania bara wakiwa na matumaini makubwa kushinda mechi ya leo dhidi ya etoile dor ya comoro wapinzani wao wametamba ngoma itakuwa nzito kocha mkuu wa yanga dusan kondic raia wa serbia ameonyesha kupunguza kasi ya mazoezi ya nguvu hali inayoonyesha ameridhika na UNK ya kikosi chake na badala yake UNK zaidi katika masuala ya kiufundi lakini kocha mkuu wa etoile dor UNK maanrouf alianza na mazoezi makali baada ya kutua nchini na jana alipanga wachezaji wake wafanye mazoezi ya UNK kabla ya kupumzika leo asubuhi wakisubiri mtanange huo kwenye uwanja wa taifa dar es salaam kondic amesema kwa ufupi siwezi kudharau mechi kama wengi wanavyosema nataka kushinda tukipata ushindi mzuri UNK kusonga mbele mapema maana yake tutaanza kuangalia zaidi raundi inayofuata alisema lakini maanrouf amesema naijua yanga ingawa kwa kuisikia umaarufu wake kwa comoro pale ulikuja baada ya kuitoa ajsm ambayo ni moja ya timu bora kule kwetu tumekuja tukiwa na tahadhari zote baadhi ya wachezaji wa timu hiyo jana walikuwa UNK katika mitaa ya kariakoo huku wakishangaa mitaa na majengo marefu na baadhi ya mashabiki wakiwakejeli na UNK vidole vya mabao matano wakati huo wapinzani wao yanga wakiwa wamepumzika kwenye kambi yao katika hoteli ya lamada naye mshambuliaji nyota wa yanga boniface ambani alisema yuko katika hali nzuri zaidi nilikuwa UNK kupiga mashuti lakini mechi ya ligi iliyopita UNK shuti na kuona UNK mechi ya wacomoro nitacheza kwa raha na kujiamini zaidi wakati ambani anasisitiza kutaka kupachika mabao mabeki shadrack nsajigwa nadir haroub canavaro na kiungo athuman idd chuji wamesisitiza kutaka kupata ushindi mnono uchunguzi wa mwanaspoti unaonyesha yanga ina kila sababu ya kuibuka na ushindi mnono ingawa wacomoro hao watacheza kwa kujihami muda mwingi ili kuzuia kurejea kwao na mvua ya mabao kwa kuwa wameonyesha uoga wa wazi wazi wa kukutana na jangwani timu hiyo ni changa katika michuano ya kimataifa kwani mara nyingi zimekuwa UNK timu za ajsm UNK mabao tano moja na yanga nyingine ni etoile de sud na UNK UNK katika mazoezi yao wameonyesha zaidi kucheza mchezo wa kujihami zaidi huku UNK kushambulia kwa kushitukiza na kufunga kwa mipira ya krosi iwapo yanga UNK katika hatua hiyo itakutana na mabingwa watetezi wa afrika al ahly inayoongozwa na kiungo mahiri na mchezaji bora wa mwaka ishirini sifuri nane wa bbc mohammed aboutrika timu arobaini na mbili zinashiriki katika hatua hiyo ya ligi ya mabingwa wakiwamo mabingwa wa zanzibar miembeni ambao wamefunga safari kwenda kuivaa UNK ya zimbabwe huenda kondic akapanga kikosi chake kama ifuatavyo kaseja au obren shadrack nsajigwa nurdin bakari george owino haroub cannavaro geofrey bonny mrisho ngassa athuman idd boniface ambani ben mwalala na shamte ally wakati yanga ni leo kesho jumapili kwenye uwanja huo huo ni zamu ya prisons ya mbeya ambayo inaikaribisha khalij sert ya libya katika mechi ya shirikisho wachezaji UNK mwandishi wetu michael momburi kwamba wanachotaka ni kuibuka na ushindi kesho na kuliwakilisha vema taifa hakuna kukata tamaa hili ni soka na ndio maana tunajiandaa kila kitu kipo sawa kufanya vibaya kwenye mechi za ligi haimaanishi kwamba hata kimataifa itakuwa hivyo alisema mshambuliaji oswald morris mpira ndivyo ulivyo tutajitahidi kurekebisha makosa hao walibya hatuwajui lakini tutapambana nao uwanjani na tunaamini matokeo yatakuwa mazuri UNK kocha wa timu hiyo james nestory alisema kwamba kikosi chake kimejipanga vizuri na hawana mchecheto wowote na wageni prisons imekuwa na mwenendo usioridhisha tangu kuanza kwa mzunguko wa pili wa ligi kuu ya bara lakini wachezaji wake wamesema hiyo haijalishi katika mchezo wa kesho wala haina nafasi imepoteza mechi tatu kwa timu za dar es salaam yaani yanga simba na villa squad ambayo mzunguko wa kwanza ilionekana wagawa pointi kikosi cha mundu ndio wawakilishi wa zanzibar katika michuano hiyo na inakutana na wenyeji wake red arrows ya zambia UNK kutambua kwamba sukari ni kitu kizuri katika kuondoa harufu mbaya ya jasho mwilini pia kulainisha ngozi kama hujawahi kufahamu hilo fuatilia makala hii ili ujue sukari inasaidia vipi kukufanya uwe na mvuto wa asili kwa kawaida sukari hutumika katika chakula lakini pia inaweza kutumika katika urembo kama mtu ukitumia sukari katika kutengeneza ngozi yake inakuwa ni rahisi kupambana na hali zote iwe ni jua kali UNK mvua au baridi mahitaji sukari ya chenga chenga sabuni ya UNK ya maji bafu bakuli moja na taulo njia chukua sukari kiasi na uweke katika bakuli kisha uende na vitu hivyo UNK lowanisha mwili wako kwa maji na kisha chukua kijiko kimoja cha sabuni ya maji ambayo ni maalum kwa UNK kama sabuni haitoshi unaweza kuongeza kijiko kingine lakini kumbuka kwamba UNK sabuni nyingi ili sukari UNK kwani inatakiwa kubaki na hali ya chenga chenga ongeza maji kijiko kimoja na kama ukiona mchanganyiko wako unataka UNK ongeza sukari zaidi baada ya hatua hiyo chukua mchanganyiko wako kwa mkono na uanze kupaka mwili mzima na kuanza kujisugua kila kona ya mwili wako muhusika akimaliza shughuli ya kujisugua ni vema UNK kwa maji safi ikumbukwe kwamba zoezi hili litamfanya muhusika asiwe na harufu yoyote ya jasho kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikipokea maombi toka kwa wasomaji mbalimbali wakiomba UNK mada kuzungumzia maana halisi ya neno mapenzi au kauli ya mtu kusema UNK kitaalam kupenda ni zaidi kuhusiana na vitendo sio kauli tu kama ambavyo watu wengi wamekuwa wakiwafanyia wale wanaosema UNK ni ile hali ya kumuweka fulani kuwa na amani kufurahia nafsi yake ni makosa kusema mke wangu mume wangu nakupenda huku kila kukicha UNK matusi maneno ya dharau kashfa na kauli zingine mbovu huwezi kusema mke wangu au mume wangu nakupenda wakati UNK kidogo tu makelele hadi nyumba ya sita UNK leo kwa fulani kuna UNK huwezi kusema mke wangu nakupenda wakati humuheshimu UNK nyumba ndogo UNK unyumba kumficha miradi yako na fedha UNK upendo wa dhati ni ule wa vitendo wa UNK mwenzi wako kutoka moyoni mapenzi ya dhati hayawezi kupatikana ikiwa wahusika wenyewe wanashindwa kukaa na kuzungumza ili kuondoa tofauti zao kuna wengine wana visasi UNK mwaka jana lakini hadi mwaka huu ndani hakuna amani UNK kaka dismas UNK UNK naomba ushauri wako mume hataki tena kunipa unyumba huu ni mwaka wa pili sasa kisa siku moja nilimuomba UNK ukimwi UNK wala kunitukana lakini UNK kwa kunyimwa unyumba analalamika mwanamke mmoja mkazi wa zambia aliyetuma ujumbe kwa mwandishi wa safu hii kuomba ushauri mwanamke mwingine mkazi wa mbeya anasema huu ni mwaka wa saba hajui raha katika ndoa mumewe amekuwa UNK katika tendo la ndoa mume anajijali yeye tu hali hii imewahi kumfanya siku moja UNK tendo hilo na mfanyakazi wa ndani haya ni baadhi ya matatizo yaliyoko katika ndoa lakini sababu kubwa ya yote haya ni dharau baina ya wanandoa visasi na kutokuwa na muda wa kuzungumza kuhusu ndoa kuna watu UNK lakini hawana UNK je wewe ndoa yako UNK kaa na mkeo kaa na mumeo UNK tofauti zenu maana halisi ya mapenzi ni kila mmoja kujiona ana deni la kumfanya mwingine aishi kwa amani ni ujinga kwa mume kumtesa mkewe ni ujinga kwa mke kumtesa mkewe badala yake kinachohitajika ni kukaa chini na kuondoa tofauti zenu ndio inawezekana UNK mtu kwa sababu labda una mwingine lakini kitendo hicho si kizuri usipende kumfanyia mwingine jambo ambalo wewe hupendi kufanyiwa ndugu zangu duniani tunapita ya nini kufanyiana roho mbaya kuwa na fedha au kazi ya maana sio tiketi ya kumtesa mpenzi wako watu akina baba wengine ukiwaangalia usoni wanaonekana wenye heshima lakini matendo yako kwa wake zao wanatia UNK kwanini unamdharau mkeo na kukataa japo kutoka nae katika matembezi wakati wewe mwenyewe ndie UNK kuoana UNK fumba macho waza kwa makini matendo unayomfanyia mumeo mkeo je ni ya haki je ni kweli ukifanyiwa hayo unayomfanyia mwenzi wako UNK jitahidi uwe na hekima acha maisha UNK fanya UNK kuhakikisha UNK na mume mke UNK kwa kawaida kuna aina nne ya mapenzi ambazo zinajulikana kitaalam kama agape phileo storge na UNK mtu anaposema nakupenda yakupasa kujua anakupenda katika upendo upi agape ni hali ya kumpenda mtu bila kuwa na masharti bila kuwa na UNK ni kama ambavyo waumini wa madhehebu mbalimbali wamekuwa wakiamini kuwa wanapendwa na mungu kwa UNK vile UNK ni kama vile UNK kumsaidia mgonjwa mahututi au mtu katika ajali pasipo kutegemea kitu toka kwake mapenzi ya phileo ni ile hali ya kumpenda fulani kutokana na kazi au jambo UNK unaomba urafiki naye hasa wakati mwingine kwa kutegemea upate manufaa kutokana na kazi UNK storge ni kitendo cha kuonekana waziwazi kumpenda fulani mfano kwa kumbusu kumkumbatia nk hali ambayo huonyesha jinsi UNK mtu huyo UNK ni shauku ya wanandoa kutaka kushiriki tendo la ndoa kwa kifupi ni kule kupendana ambako lengo lake ni kutaka kufanyike tendo la ndoa mambo ya kuzingatia mtu anaposema nakupenda ni muhimu kuangalia kama kile UNK UNK na matendo lakini ni vema katika maisha yako ukawa makini sana kwa kujiepusha na mapenzi na watu UNK vizuri iwe ni mapenzi ya agape au ya aina zozote UNK hapo juu acha kuwa na marafiki wengi wasio na ulazima wengine UNK aidha unapohisi kumpenda fulani awe mpenzi wako fikiria kwa makini athari zake ni rahisi kuanzisha mapenzi na mtu lakini kazi kubwa iko katika kuufanya uhusiano huo uwe mzuri na wenye kukupa amani moyoni onyo kama unatafuta penzi la dhati ni lazima uwe makini mno ni wachache wenye kujua kupenda wengi wanapenda kwa sababu mfano matajiri wana marafiki wengi kwa sababu ya fedha zao lakini wengi wana marafiki wasio na upendo wa dhati toka moyoni ndio maana utaona wengine UNK marafiki nao UNK ni vizuri kujali zaidi mambo yako achana na watu wala usiwe mwepesi kutoa siri zako kwao kama hakuna ulazima aidha unapokuwa na urafiki na mtu au watu unapoona au kuhisi kuna kasoro katika uhusiano wenu ni vizuri kutafuta njia za kuondoa hali hiyo haraka iwe ni kwa kuzungumza au kuacha kufanya kile ambacho kinaonekana kuwa ni kero pia ni muhimu kumpa nafasi mpenzi wako kueleza hisia zake kuhusu wewe kwa namna UNK na UNK UNK awe wazi kueleza kasoro zako kama zipo acha kuwa na kinyongo au hasira UNK ukweli badala yake UNK dismas lyassa ni mtaalam wa mahusiano anapatikana kwa simu sifuri saba tano nne nne tisa nane tisa saba mbili mb doggy UNK singo ya natamani mwaka jana UNK wiki kadhaa wafuatiliaji wa muziki huo walipata imani kwamba ndio mwanzo wa staa huyo kurejea kwenye chati yake UNK ghafla singo hiyo ikapotea na yeye UNK tena jambo ambalo UNK mjadala huku wengine wakidai ndio staili mpya maisha ya muziki huo maarufu afrika mashariki lakini mb doggy ameibuka na UNK mwanaspoti kwamba amesikia maneno na kazi nyingi lakini mwaka huu wa ishirini sifuri tisa hakuna na lazima kieleweke msanii huyo amesisitiza kwamba amechoka kusubiri na kwamba UNK silaha zake kwa ajili ya mashambulizi mapya ya kurejea kwenye chati ambayo UNK mwaka jana nilitulia sana nikasikia mambo mengi ya watu huku UNK jinsi ya kujipanga na kuweka mambo sawa ndio maana sikusikika katika kiwango changu UNK anasema msanii huyo UNK nyimbo za kutosha ambazo haziwezi kupatikana popote pale ile nguvu yangu inayofahamika ndio inarudi mwaka huu yaani kishindo UNK popote pale alipo shabiki wa muziki huu ni mwaka wangu wa kufanya mambo ya uhakika na kurejea UNK nimeona mambo mengi sana na nimewasikia wasanii wengi sana huu ni wakati wa mb doggy kutengeneza sasa nina uhakika na hilo kuna mambo mengi ambayo yamekuwa na utata kwenye huu muziki wetu lakini nitapambana nayo kikamilifu safari hii wala sina wasiwasi wowote na msanii yoyote yule anasema msanii huyo ambae UNK na naona raha ni miongoni mwa singo zake UNK kumekuwa na wadau hapa na pale ambao wamekuwa kikwazo kwa mfano inafika sehemu unakuta msanii anatumia fedha kusukuma kazi yake redio wimbo unakaa kwenye chati muda mrefu sana lakini ukiangalia ndani yake unakuta kuna mazingira ya ajabu inakuwa inatamba kwenye nafasi yake kwa vile haziwezi kukaa nyimbo mbili katika namba moja hayo mambo UNK na wengi lakini ni kati ya vitu ambavyo UNK sana wasanii na muziki UNK lakini nguvu ya nyimbo zangu ndio UNK UNK albamu tayari na imeingia sokoni UNK hata wiki kinachofuata sasa ni kutambulisha kazi nyingine mpya ili safari iendelee huu ni mwaka wangu wa mafanikio kikazi anasema mb UNK msanii huyo anadai kwamba hakuna msanii UNK kichwa kwa sasa kwani wote UNK na anaelewa mapungufu yao ambayo UNK ipasavyo ndio maana anaamini kwamba bado yupo juu UNK hakuna mtu wa UNK mimi mambo yao ni yaleyale ya kawaida ndio maana unaona muziki unakuwa hauna jipya sana ingawa wanajitahidi kwenda sambamba na soko kati kutokana na staili ya nyimbo zake ambazo nyingi ni UNK ambayo ndiyo staili inayotumiwa na wasanii wengi wa UNK kwa sasa msanii kama alivyo matonya ni wasanii ambao katika miaka ya hivikaribuni wamekuwa wakikumbana na ushindani mkubwa toka kwa utitiri wa wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini kwa muda wa takribani wiki mbili sasa jina la mrisho ngassa limekuwa UNK vichwa mbalimbali vya vyombo vya habari nchini hususani magazeti na vituo vya redio na kugonga huko kwa jina la ngassa katika vyombo vya habari katika kipindi hiki UNK hasa na kazi aliyofanya uwanjani na kuwafanya mashabiki washindwe kukaa vitini bali ni kwa sababu ya harakati za kubadili mwajiri kwa nia ya kupata masilahi bora zaidi katika kazi yake ya kusakata UNK yote hayo yalianza na hatimaye kushika kasi na gumzo kutapakaa kila kona baada ya kufahamika kwa taarifa kuwa kijana huyo anahitajika UNK na klabu moja ya lov ham ya norway iliyopo daraja la kwanza nchini humo siyo daraja la pili kama ilivyokuwa ikitangazwa au kuripotiwa katika vyombo mbalimbali vya habari huku ikielezwa kuwa klabu hiyo ilikuwa tayari kulipa ada ya uhamisho ya dola za marekani hamsini sifuri sifuri sifuri kwa klabu ya yanga na kwamba mshahara wa mchezaji huyo kwa mwezi UNK dola za marekani kumi sifuri sifuri sifuri kwa mwezi bila kuzingatia maoni yaliyotolewa kuhusu suala la ngasa kuelekea norway UNK au UNK kushughulikiwa maana bado UNK kwa kipimo chochote kile hizi ni habari njema kwa mpira wa tanzania na habari ambazo hata wale ambao si UNK wa mpira wa miguu wangependa kuzisikia na hivyo kuufanya mpira kuzidi kuleta maana halisi ya taasisi yenye fursa za kuwatoa wanaojihusisha nayo hasa wachezaji kutoka hatua moja ya mendeleo hadi nyingine na kufanya maisha yao kuwa bora hasa kwa wale wa hapa nchini ndiyo wale wa hapa nchini kwani kwa wengine hili si habari tena kwani UNK hapo juu UNK lakini kwa hapa nchini bado UNK mchezaji anayepokea mshahara ambao hata mkurugenzi mtendaji wa taasisi UNK hawezi kuthubutu kufikiria UNK pamoja na vyeti vya shahada na wasifu vinavyoweza kujaza sanduku ikiwa UNK pamoja tena hiyo mishahara mingine ni ya wiki tu ni vema vijana wetu wakafika huko na hiki ndicho kigezo UNK kitakachoendelea kuufanya mchezo wa mpira wa miguu kuwa wenye hadhi ya hali ya juu kiasi cha kuendelea kuwa na wapenzi wengi kuliko mchezo mwingine wowote je maswali hayo yana majibu UNK yanayomfanya ngassa kuwa bora au ni UNK na pengine upendeleo tu kiasi cha kuteka vichwa vya habari hili ndilo hasa msingi ya yale yaliyomo ndani ya safu hii ili watanzania wafuatiliaji na hasa wale UNK kwa karibu masuala ya soka waweze kufahamu hazina ambayo tanzania inayo ndani ya ngasa kumbukumbu rasmi zinaonesha kuwa mrisho khalfan ngasa alizaliwa aprili kumi na mbili elfu moja na mia tisa na themanini na tisa mjini mwanza ni mtoto wa khalfa ngasa kiungo wa zamani wa pamba ya mwanza timu UNK kutamba ndani na nje ya tanzania simba ya dar es salaam na taifa stars miongoni mwa vijana UNK nao mpira tangu umri mdogo huko mwanza ni pamoja na jerson tegete kiungo wa simba henry joseph na mlinzi wa simba kelvin yondani mrisho ngassa kwa sasa ni moja ya wachezaji tegemeo katika kikosi cha kocha wa taifa stars mbrazili marcio maximo kutokana na mchango mkubwa UNK katika timu hiyo hadi sasa licha ya kutumikia timu hiyo kwa kipindi ambacho ni pungufu ya miezi kumi na mbili ni sahihi kipindi UNK timu za taifa za wakubwa taifa stars na kilimanjaro stars timu ya taifa ya tanzania bara ni chini ya mwaka mmoja ni rahisi mno kuhisi kuwa muda UNK hapa UNK na UNK mtu yeyote akiona hivyo na hapa ndio UNK umuhimu wa ngassa kwani mambo UNK katika kipindi hicho ni makubwa ikilinganishwa na muda wa utumishi wake ilimchukua maximo muda mrefu kiasi UNK mchezaji huyo mwenye kasi katika kikosi chake licha ya kumuona mara kadhaa katika michezo ya ligi kuu bara na michezo ya kimataifa akiwa yanga mara zote alipokuwa akiulizwa sababu ya UNK ngassa kikosini maximo alikuwa akijibu kuwa alikuwa akimpa muda zaidi ngassa ili aone kama usumbufu aliokuwa nao dhidi ya walinzi akiwa yanga UNK akiwa na stars na kwamba asingependa kumwita mapema na kisha kumkatisha tamaa iwapo angeshindwa kuendana na mbinu za mbrazili huyo hiyo kwa mujibu wa maximo ingekuwa sawa na kuua kipaji cha ngassa ngassa alivaa jezi ya taifa stars kwa mara ya kwanza machi ishirini na tisa ishirini sifuri nane mjini nairobi wakati wa mchezo wa raundi ya kwanza wa harakati za kuelekea katika fainali za afrika kwa wachezaji wa ndani zitakazofanyika ivory cost ambazo mwishowe taifa stars ilifanikiwa kufuzu katika mchezo huo ngasa aliingia katika dimba la nyayo katika dakika sitini na tano na tangu wakati huo amecheza michezo kumi na tisa ya kimataifa akifunga magoli matatu kwa ustadi mkubwa magoli hayo ni dhidi ya cape verde kwenye mchezo wa oktoba kumi na moja ishirini sifuri nane jijini dar es salaam magoli mengine mawili UNK katika kombe la chalenji dhidi ya rwanda na dhidi ya burundi kana kwamba hiyo haitoshi ngasa UNK migongeo ya mwisho kumi iliyozaa magoli mbali mbali ya taifa stars huku akiwa amefanya kazi kubwa na ya kupigiwa mfano kabla ya UNK UNK migongeo maridhawa miwili aliyompatia jerson tegete katika mchezo dhidi ya mauritius na hatimaye stars kushinda nne moja ugenini ule aliompatia pia tegete na kuzaa goli la pili dhidi ya cape verde pasi mbili UNK henry joseph na nurdin bakari UNK sudan mjini khartoum desemba kumi na tatu ishirini sifuri nane UNK ni ile kazi iliyozaa goli la kwanza katika ushindi wa tatu moja jijini dar es salaam novemba ishirini na tisa na krosi UNK kichwani mwa emmanuel gabriel na kuzaa goli la pili dhidi ya waganda jijini mwanza mei tatu ishirini sifuri nane ni miongoni mwa kazi safi ambazo ngassa UNK taifa lake akishirikiana vema na wachezaji wengine ambao pia UNK na itakuwa si sawa kusahau UNK wa hatari aliompatia kigi makasi na kuzaa goli pekee la mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya msumbiji novemba ishirini jijini dar es salaam na mipira miwili UNK aliyompatia danny mrwanda akifunga dhidi ya kenya katika nusu fainali na pia dhidi ya burundi katika mchezo wa kusaka mshindi wa tatu katika kombe la chalenji mjini kampala januari kumi na moja na kumi na tatu ishirini sifuri tisa alikuwemo pia katika kikosi cha timu ya taifa ya vijana wa umri wa chini ya miaka kumi na saba serengeti boys ambacho UNK mashindano ya kuwania kufuzu kwa fainali za afrika za mwaka ishirini sifuri tano na kufanikiwa kufuzu kabla ya caf kuiondoa timu hiyo kwa makosa ya kiutawala juu ya utata wa umri wa baadhi ya wachezaji lakini pia UNK katika kikosi cha bara kilichoshiriki michuano ya chalenji mwaka ishirini sifuri sita nchini ethiopia akiwa amejiunga na timu ya yanga mwishoni mwa mwaka ishirini sifuri sita akitokea klabu ya kagera sugar ya mkoani kagera mrisho ngasa amekuwa na msaada mkubwa kwa timu yake UNK yanga chini ya makocha wanne tofauti alipotoka kagera alimkuta jack UNK chamangwana ambaye sasa ni mkurugenzi wa ufundi wa chama cha soka cha malawi kabla ya kuwasili kwa kocha UNK makeke sredojevic milutin micho aliyeiongoza yanga hadi kufika fainali ya ligi ndogo bara na katika michezo ya klabu bingwa afrika na hatimaye kombe la shirikisho mkenya razak siwa aliyepewa jukumu la kuiongoza timu katika kombe la tusker na sasa dusan kondic raia wa serbia katika kile kinachothibitisha kuwa ngassa ana uwezo mkubwa hakuna kocha yeyote kati ya hao wanne aliyewahi kumwacha nje ngassa kwa kipindi kirefu kwani hata walioamua UNK kama mchezaji wa akiba walifanya hivyo kwa kipindi kifupi tu micho kwa mfano alikuwa UNK benchi lakini kadiri siku zilivyokuwa UNK mbele ndivyo UNK katika kikosi cha kwanza sababu kubwa ya kuazia benchi wakati huo ilitokana na kuwepo kwa mchezaji mzoefu said maulid aliyekuwa anacheza nafasi ya pembeni kulia kama ngassa lakini micho alikuja kuona kuwa kijana huyo ni hatari pale UNK dimbani zikiwa zimesalia dakika ishirini na tano mpira kumalizika wakati wa mechi ya ligi ya mabingwa afrika dhidi ya petro atletico ya angola jijini dar es salaam huku magoli yakiwa sifuri sifuri na mashabiki wa yanga wakiwa hawaelewi UNK kijana huyo baada tu ya kuchukua nafasi ya UNK james UNK alibadilisha kabisa kasi ya mchezo na waangola wakashindwa UNK vishindo kiasi cha kukubali kipigo cha tatu sifuri magoli yote UNK ndani ya dakika kumi na tano za mwisho na ngassa akipachika moja nyavuni mengine mawili yalifungwa na abdi kassim na shadrack nsajigwa hivyo hivyo siwa na chamangwana walikuwa UNK kama mchezaji wa akiba na mara chache aliweza kucheza dakika tisini wakati wa raundi ya kwanza ya ligi kuu ya vodacom msimu wa ishirini sifuri saba sifuri nane hata hivyo kondic alipokabidhiwa mikoba kamili ya kuiongoza timu kuanzia raundi ya pili ya msimu huo UNK kikamilifu huku akicheza michezo kumi na moja kwa dakika tisini kati ya kumi na tatu ya raundi hiyo ya pili michezo UNK miwili hakucheza kabisa katika msimu huu wa ligi kuu ishirini sifuri nane sifuri tisa ngassa UNK vizuri sana kwani katika michezo mitatu ya kwanza hakuna hata mmoja ambao alianza huku akicheza dakika thebathini na sita katika mchezo dhidi ya jkt ruvu na dakika thebathini na tisa dhidi ya mtibwa sugar baada ya hapo alicheza kwa dakika zote tisini katika mchezo dhidi ya moro united villa squad azam fc polisi dodoma na polisi morogoro mchezo dhidi ya UNK UNK kwa dakika themanini na nne huku akicheza dakika thebathini na tano na thebathini na saba kweye michezo dhidi ya toto africa na kagera sugar hata hivyo mzunguko wa pili ambao yanga imecheza michezo mitatu tayari dhidi ya tanzania prisons jkt na mtibwa ngasa amecheza michezo yote kwa dakika tisini na kufanikiwa kufuga goli moja huku magoli mengine mawili UNK ya prisons na jkt akiwa ametoa pasi za mwisho kuwawezesha shamte ally na athuman idd kuziona nyavu alianza kucheza ligi kuu ya vodacom msimu wa ishirini sifuri sita akiwa na kagera sugar UNK na sylvestre marsh mwishoni mwa ishirini sifuri tano UNK timu ya channel africa ya mwanza alikuwa mmoja wa wachezaji waliofanikiwa kunyakua ubingwa wa kombe la tusker baada ya kuwafunga waliokuwa mabingwa watetezi simba kwa magoli mbili moja aliwahi pia UNK toto africa huyo ndio mrisho khalfan ngassa ambaye mwishoni mwa wiki alifanya kazi kubwa walipocheza dhidi ya etoile dor UNK ya comoro katika mchezo wa raundi ya awali ya ligi ya mabingwa afrika na kushinda kwa mabao nane moja mashindano ya mieleka ya muungano yanatarajiwa kufanyika aprili ishirini mwaka huu jijini dar es salaam katibu wa chama cha mieleka tanzania paul mallya amesema tayari wameanza maandalizi kwa ajili ya michuano hiyo UNK kujiandaa lakini tatizo kubwa lililopo ni fedha bado hatuna fedha hivyo tunawaomba wadhamini kujitokeza ili UNK mashindano hayo bondia francis cheka amemtaka rashid matumla UNK maneno yake baada ya kumalizika kwa pambano lao litakalofanyika februari kumi na tatu mkoani morogoro matumla amekaririwa na vyombo vya habari akisema atastaafu ngumi iwapo UNK na cheka hii itakuwa ni mara ya pili kwani aliwahi kutamka hivyo halafu akapigwa na cheka lakini UNK hata kipindi kile alisema hivyo UNK na safari hii UNK maneno aliyosema baada ya pambano UNK vizuri timu ya netiboli ya jkt mbweni ipo katika maandalizi makali kujiandaa na mashindano ya klabu bingwa afrika mashariki yatakayoanza februari tisa hadi kumi na mbili visiwani zanzibar kocha mkuu wa timu hiyo anna shayo amesema watahakikisha wananyakua ubingwa huo ambao UNK na timu ya shirika la bima la uganda tunajiandaa vilivyo katika kuhakikisha UNK ubingwa UNK tena ubingwa uende uganda kirahisi nahodha wa timu ya mpira wa kikapu ya hooplife UNK charles ametamba timu hiyo kutoshuka daraja kwenye ligi ya mpira wa kikapu mkoa wa dar es salaam ya kili rba hooplife ni moja ya timu sita zilizoshindwa kutinga robo fainali ya kili rba na inasubiri mashindano maalum ili kujua kama itashuka au itabaki kwenye ligi hiyo tunatambua kuwa UNK kwenye ligi msimu huu hivyo hatutakubali tena UNK daraja UNK mashindano hayo na tutahakikisha UNK mashindano ya UNK misuli ya afrika mashariki yatafanyika mwezi ujao jijini dar es salaam mratibu wa mashindano hayo abdallah ally amesema bingwa wa michuano hiyo ataondoka na gari lenye thamani ya shilingi milioni saba nipo katika maandalizi makali kujiandaa na michuano hiyo ili niweze kuibuka na ushindi kipigo cha aibu cha mabao mbili sifuri dhidi ya khalij sert ya libya katika kombe la shirikisho UNK mdomo mshambuliaji mkongwe wa maafande hao wa mbeya oswald morris prisons ambayo ilikuwa dar es salaam na kupewa nafasi kubwa ya kusonga mbele ilijikuta kwenye dhahama na wakati mgumu huku mashabiki wakimlaumu kocha james nestory na mabeki morris ambaye ana upeo mkubwa wa kuchanganua mchezo UNK na vyombo vya habari amegoma kabisa kuzungumzia lolote kitu ambacho si kawaida yake UNK chochote kwa sasa haya ni matatizo bwana na UNK mtu yoyote si tu kwenye mpira alisema morris kwa kifupi prisons ambao iliondoka dar es salaam jana alfajiri kwa basi kurejea mbeya inahitaji mabadiliko makubwa kabla ya mechi ya marudiano jijini tripoli baadaye mwezi huu licha ya kwamba mashabiki wamekata nayo tamaa wadau wamekuwa wakilaumu morali ya chini ya wachezaji hao tangu kuanza kwa mzunguko wa pili wa ligi kuu bara na udhaifu wa safu ya ulinzi ambayo inaonekana kuvurunda sana kuliko misimu iliyopita huku ikiwa na sura nyingi mpya naibu waziri wa habari utamaduni na michezo joel bendera alikuwa mtu wa kwanza kuwaamsha wachezaji wa yanga ingawa maneno yake UNK kuamsha ari ya wachezaji wa prisons bendera alichukua nafasi za makocha dusan kondic na james nestory wa prisons baada ya kuona timu zimecheza kiwango cha chini katika kipindi cha kwanza cha mechi zao yanga iliyokuwa inacheza mechi ya ligi ya mabingwa afrika dhidi ya timu dhaifu ya etoile d or ya comoro kwenye uwanja wa taifa dar es salaam ilimalizika dakika arobaini na tano za kwanza kwa sare ya bao moja moja kitu UNK bendera aliyewahi kuwa kocha mkuu wa taifa stars baada ya mwamuzi kupuliza UNK cha kuashiria mapumziko bendera aliingia moja kwa moja kwenye vyumba vya wachezaji huku akionyesha kuchukizwa na uchezaji wa yanga dhidi ya timu hiyo dhaifu katika kipindi cha kwanza bendera UNK maneno makali ikiwamo hata matusi akiwataka wachezaji kujituma mheshimiwa UNK sana alisema kwa hasira huku akilaumu kwamba haikuwa kazi ya kocha na tulipaswa kujituma kwa kuwa timu ilikuwa ni dhaifu sana dhidi yetu na tulipaswa kuweka rekodi alisema mmoja wa wachezaji wa yanga yanga ilirejea katika kipindi cha pili kama mbogo na kufanikiwa kufunga mabao saba yaliyofanya matokeo kuwa nane moja na kuvunja rekodi ya yanga katika michuano ya kimataifa baada ya kuwa imeifunga UNK ya ethiopia kwa mabao sita moja katika miaka ya tisini bendera alifanya kazi hiyo tena katika mechi ya kombe la shirikisho kati ya prisons na khalij sert ya libya wakati prisons ikiwa nyuma kwa bao moja sifuri kipindi cha pili pamoja na maafande hao kurejea na kushambulia kwa nguvu lakini haikusaidia kitu baada ya kufungwa bao la pili huku wakiendelea kupoteza nafasi za wazi mwanaspoti UNK bendera kuhusu uamuzi wake huo naye alisema hivi kweli nilifanya kazi lakini unaona kabisa kwamba timu zetu zina kila sababu ya kushinda mechi hizi na hasa kwa kuwa tuko nyumbani lakini vijana wanataka UNK bila sababu niliamua kuwaamsha alisema wakati akitoka kuzungumza na wachezaji wa prisons ushindi wa mabao nane moja UNK yanga kuvuka ingawa inalazimika kusubiri mechi ijayo wiki mbili zijazo huku prisons ikiwa katika wakati mgumu kwa kuwa inalazimika kuzuia UNK na UNK zaidi ya mabao matatu baraza la vyama vya soka afrika mashariki na kati bado UNK hatma yake baada ya kufilisika kwa kampuni ya matangazo ya televisheni ya kulipia ya UNK gtv ambayo makao yake makuu yapo london uingereza imesaini dili la udhamini la dola UNK nne na cecafa tangu novemba ishirini sifuri saba na mkataba huo ulipangwa kumalizika ishirini moja moja baada ya michuano ya chalenji katibu mkuu wa cecafa nicholas musonye alisema kwamba wamesikia habari hizo za kufungwa kwa kampuni hiyo lakini bado wanasubiri taarifa kamili kutoka kwa mabosi wa juu tumeambiwa lakini tunasubiri kusikia kutoka kwao UNK nini UNK ndio UNK mdhamini mwingine musonye gtv ilitangaza kufunga shughuli zake tangu ijumaa iliyopita baada ya kukumbwa na matatizo ya kifedha na kushindwa kujiendesha kwa faida kuingia kwa gtv kumesaidia kutangaza vipaji vya ukanda wa cecafa huku wachezaji kama mrisho ngassa na danny mrwanda wa tanzania pamoja haruna UNK wa rwanda UNK UNK na bryan umony wa uganda wakiwa ni chipukizi UNK zaidi kwa UNK gtv pia iliingia mkataba wa miaka mitano na shirikisho la soka tanzania kudhamini ligi kuu bara ubaya wa kufilisika kwa kampuni hiyo umewafanya mashabiki wa soka kukosa mechi za ligi kuu england na mwishoni mwa wiki mashabiki wengi walikosa mechi ya chelsea dhidi ya liverpool yanga iliifunga etoile d or mirontsy mabao nane moja mwishoni mwa wiki kwenye mechi ya awali ya ligi ya mabingwa afrika kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam lakini mashabiki wa simba waliona bao moja tu la mrisho ngassa ngassa mwenye mtoto wa kiume wa miaka minne alifunga bao la nane katika mchezo uliokuwa wa upande mmoja hususani kipindi cha pili mchezaji huyo ambaye kwa mujibu wa kocha wa taifa stars marcio maximo atatimiza miaka ishirini miezi michache ijayo alifanya vitu adimu na kuwainua mashabiki wa simba bila UNK ngassa alipokea pasi ya beki mahiri mwenye miaka ishirini na nane shadrack nsajigwa na UNK kwa UNK kwa nguvu na kasi mabeki zaidi ya wanne wa etoile na kubaki yeye na kipa na kupiga shuti lililojaa wavuni na kumfanya kipa huyo kukaa chini kipa huyo hakuamini kilichotokea lakini mashabiki wa simba waliokuwa wamekaa na wale wa comoro jukwaa kuu upande kushoto walishindwa kujizuia na kujikuta wakimpigia makofi ngassa ambaye huenda UNK norway mashabiki hao walishangazwa na alichofanya ngassa huku UNK etoile kama kituko kutokana na jinsi ilivyokuwa UNK na kumpa wakati mgumu kipa wao ngassa alisema alifunga bao hilo kiufundi na UNK kwa vile alitengeneza pasi nyingi na timu yake UNK mchezaji huyo alisema kwamba UNK bao hilo kwa familia yake ambao alidai inapenda soka na UNK kamati ya utendaji ya shirikisho la soka tanzania imekutana mwishoni mwa wiki na kuteua kamati mbalimbali ambazo zitafanya kazi kwa miaka mitatu ya awamu ya pili ya rais wa shirikisho hilo leodegar tenga wakati tukiwapongeza kwa dhati wajumbe wote walioteuliwa katika kamati hizo tulitaka kuwaonya kuwa UNK kuteuliwa katika kamati hizo ni ulaji ila wajue kuwa wana majukumu mazito ya kuendeleza soka la tanzania wajumbe wengi wamekuwa wakidhani kuteuliwa katika kamati hizo ni ulaji kwa sababu wamepata nafasi ya kuhudhuria vikao na kulipwa posho na wengine hudhani ni muda muafaka kwenda kutetea klabu zao kwa kupindisha sheria za soka na UNK ushabiki UNK kuona soka letu la tanzania likiendeshwa kwa misingi ya ushabiki wa kipuuzi au kwa misingi ya kuangalia unamjua nani utapata nini au kuangalia masilahi binafsi katika baadhi ya kamati zilizopita tulishuhudia madudu mengi sana hasa katika kamati ya uchaguzi na kamati ya nidhamu ambazo mara kwa mara UNK zikifanya uamuzi ambao unapingana na kanuni za soka hatutaki kuona soka letu UNK enzi za kubebana au kupendeleana tunataka kuona haki ikichukua mkondo wake huku kila mjumbe akifanya kazi kwa kutumia kanuni na sheria za soka kama kuna mtu anadhani ameteuliwa kwenda kutetea masilahi yake binafsi au kwenda kuitetea klabu anayoipenda tunataka kumwambia kuwa amepotea na anapaswa kuachia ngazi mara moja kwani sisi tutakuwa wa kwanza UNK wakati tukiwa kwanza ndio UNK mwaka mpya wa ishirini sifuri tisa tunataka kuona mabadiliko katika soka kuanzia kanuni za usajili haki za wachezaji haki za klabu na wadau wote kwa ujumla wajumbe walioingia madarakani wanatakiwa kuwa makini na kufanya kazi zao kwa umakini mkubwa na hasa katika kipindi hiki ambapo rushwa UNK katika sekta nyingi nchini tunataka wajumbe wenye upeo mkubwa ambao wanaweza kusimama mbele ya watu na kueleza kuanguka kwa uchumi duniani kunaweza kuathiri vipi soka la tanzania kama kiongozi wa soka au mjumbe wa kamati za tff hawezi kueleza hata hilo tunadhani naye hafai na bora UNK wengine ili yeye aendelee na kazi nyingine tunazitakia kila la kheri kamati zote za tff huku tukiamini kuwa UNK kazi kwa uadilifu mkubwa lengo ikiwa ni maendeleo ya soka nchini kufilisika kwa kampuni ya gateway broadcast service ya london uingereza kumezua tafrani kubwa miongoni mashabiki wa soka wa afrika zikiwamo nchi za tanzania uganda kenya na ghana wakati kampuni hiyo iliyokuwa inamiliki televisheni ya kulipia ya gtv ikitangazwa mufilisi wapinzani wao dstv wanaomiliki televisheni maarufu zaidi ya michezo afrika ya supersport wameanza mazungumzo nao ili kununua haki za kuonyesha ligi kuu england iliyokuwa inashikiliwa na kampuni hiyo UNK mufilisi kufilisika kwa gtv ambayo ndani yake kulikuwa na televisheni za g sports moja na g sports mbili zilizokuwa zinaonyesha ligi kuu ya england kumezua tafrani kubwa katika nchi mbalimbali za afrika na hasa tanzania uganda na kenya ambako pia walikuwa ni moja ya wadhamini wa wakuu wa ligi kuu za soka za nchi hizo kwa upande wa mashabiki wa ligi kuu ya england wao ndio wameonyesha kuchanganyikiwa zaidi huku baadhi wakifanya vurugu sehemu mbalimbali yakiwamo makao makuu ya gtv eneo la oysterbay jijini dar es salaam wateja walitaka kuwapiga walinzi wa makao makuu hayo jumamosi na juzi jumapili wakidai kurudishiwa fedha zao lakini walinzi UNK na kuwaeleza hata wao hawakuwa wakijua lolote mmoja wa wafanyakazi wa UNK aliyewahi kufanya kazi dstv yenye ofisi zake kubwa nchini afrika kusini aliiambia mwanaspoti kwamba lilikuwa ni tukio la kushtukiza sana hakuna UNK lilikuwa ni tukio kama ajali vile na UNK ila hakuna ujanja ingawa ulaya wanaona kufilisika ni kitu cha kawaida hapa nyumbani kweli UNK UNK sana si wateja tu hata sisi na tunapata usumbufu mkubwa kwa kuwa watu hawaelewi alisema maeneo mbalimbali ya jiji la dar es salaam UNK tafrani kubwa baada ya wateja waliokuwa UNK kushindwa kupatiwa huduma ya kuona ligi kuu ya england hivyo kusababisha UNK mashabiki wengi walishindwa kuona mechi ya kukata na shoka ya chelsea na liverpool jambo ambalo UNK kero kubwa hata hivyo supersport imekuwa ikionyesha mechi zote za UNK nchini kwao afrika kusini na nigeria lakini haina haki ya kuonyesha mechi zote afrika mashariki ambako gtv ilikuwa na mkataba wa miaka mitatu wakati viongozi wa gtv nchini wakiwa wamezima simu zao na baadhi zikiita bila ya majibu mwanaspoti ilifanya juhudi ya kumpata mmiliki wa gateway broadcast service UNK UNK lakini mara nyingi simu yake kwa takribani siku tatu imekuwa UNK na kuingia kwenye sehemu ya kuacha ujumbe ambayo UNK lakini meneja uhusiano wa dstv furaha samalu alisema jana jumatatu kwamba lilikuwa ni suala la haraka sana ingawa tayari wameanza kulifanyia kazi na ikiwezekana haki za kuonyeshwa ligi hiyo zirejee super sport ni kitu cha haraka sana utadhani ni ajali lakini watu wa super sport wameanza kulifanyia kazi na baada ya muda naamini tutakuwa na majibu mazuri kabisa waambie wananchi wavute subira kwa kuwa hata sisi tumekuwa tukipata usumbufu alisema ligi kuu tanzania bara imeathirika pia kwani ilikuwa UNK na gtv kwa kitita cha dola sitini sifuri sifuri sifuri sifuri kila mwaka kwa miaka mitano na UNK miaka miwili iliyopita gateway iliwekeza kiasi cha dola milioni ishirini sifuri kwa ajili ya kuendesha biashara ya televisheni ya kulipia huku ikiwa imenunua haki za kuonyesha ligi kuu ya england kwa miaka mitatu katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa mwishoni mwa wiki gtv walisema walifanya kila wanaloweza kuhakikisha UNK kampuni hiyo lakini imeshindikana kutokana na kuyumba kwa uchumi duniani pia walikuwa wadhamini wa ligi za ghana ambako waliingia mkataba wa dola milioni tatu lakini wakatoa dola mia saba na hamsini sifuri sifuri sifuri tu huku uganda wakiingia mkataba wa dola hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri ambako pia UNK kama ilivyokuwa kwa ghana na tanzania kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo amewaita katika kikosi chake kiungo mwinyi kazimoto wa jkt ruvu zahoro pazi wa mtibwa huku UNK erasto nyoni na salvatory ntebe katika timu hiyo stars inajiandaa na fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani zitakazofanyika februari ishirini na mbili mpaka machi nane nchini ivory coast maximo alisema amewaita wachezaji hao kutokana na uwezo mkubwa UNK kwenye ligi na ana imani UNK stars katika michuano hiyo UNK wapya baada ya kuona uwezo wao katika mechi za ligi na hawa wengine ambao walikuwepo UNK kutokana na kuridhishwa na uwezo wao alisema mimi ni kocha nawajua wachezaji wangu na UNK huwa UNK maendeleo yao ili nijue viwango vyao na kama jabiri aziz amerudi katika fomu sasa pia mwinyi zahoro erasto na salvatory bado ni wachezaji vijana wanaostahili kuwemo katika kikosi hiki ili wazidi kuendelea kuwa juu kwa manufaa ya tanzania hapo baadaye alisema kikosi kamili cha walioitwa ni makipa shaaban dihile deogratius UNK dida na UNK ramadhan mabeki ni shadrack nsajigwa nadir haroub amir maftah kelvin yondan juma jabu erasto nyoni salvatory ntebe salum sued shaban nditi zahoro pazi uhuru seleman mwinyi kazimoto jkt ruvu UNK ni mussa hassan mgosi jerry tegete mrisho ngassa kigi makasy akiizungumzia michuano ya chan maximo alisema ni michuano migumu lakini wanatarajia kufanya vizuri ingawa muda wa maandalizi ni mdogo ingawa inahusisha wachezaji wanaocheza ligi ya ndani lakini ni michuano migumu kwa sababu ya historia ya timu UNK nazo na kila timu ina uwezo maana kuna wachezaji ambao walishawahi kucheza kombe la dunia na timu zao hivyo itakuwa na ushindani sana lakini tutapambana kwa sababu tunakwenda kushindana na tunahitaji sapoti ya watanzania maximo alisema mechi yao ya kirafiki dhidi ya zimbabwe itakayofanyika februari kumi na moja kwenye uwanja wa taifa itawasaidia sana kwani timu hiyo ni moja ya timu kali afrika ni timu yenye uwezo mkubwa na mechi hiyo itakuwa ni moja ya mazoezi yetu na kuona tulipofikia kabla ya kwenda ivory coast taifa stars imepangwa kundi lenye timu za ivory coast senegal na zambia kocha wa simba patrick phiri UNK mechi ya yanga dhidi ya etoile d or UNK ya comoro na kusema mrisho ngassa na boniface ambani ni UNK kubwa akizungumza na mwanaspoti jijini dar es salaam phiri ambaye amerudi nchini kuifundisha simba kwa mara ya tatu alisema katika mechi hiyo ambayo yanga ilishinda mabao nane moja ambani na ngassa UNK soka ambalo kila mchezaji anatakiwa kuiga comoro kwa mchezo wa marudiano licha ya phiri kusifu yanga kwamba ilicheza vizuri hasa kipindi cha pili hakusita kuwasifu ambani na ngassa napenda jinsi UNK uwanjani ngassa akishika mpira unaona jinsi ambani anavyojipanga kwa sababu anajua kuwa lazima atapewa pasi lakini pia angalia kasi yao uwanjani wanaelewana sana alisema kocha huyo wa zamani wa timu ya taifa ya zambia phiri ambaye mashabiki wa simba UNK jina la dawa ya piriton kutokana na kuibadili simba kwa muda mfupi alisema licha ya wachezaji hao kuonana vizuri simba haina hofu kwa sababu wanajiandaa vizuri siwezi kusema simba tunaogopa kwa sababu mechi yetu na yanga ipo mbali sana wachezaji wangu wengi ni majeruhi na watakuwa wamepona na pia nimewaangalia yanga kama mechi tatu hivi tuna muda mrefu wa kujiandaa kabla ya mechi hiyo alisema phiri ambaye inaaminika kuwa ni miongoni mwa makocha bora kusini mwa jangwa la sahara tangu arejee tena simba kabla ya mechi ya jana jumatatu dhidi ya jkt ruvu phiri alikuwa ameiwezesha simba kupata pointi tisa kwa UNK polisi morogoro villa squad na prisons ya mbeya phiri kabla ya kutua simba katika mzunguko wa pili wa ligi kuu bara msimu huu alikuwa UNK UNK fc ya zambia aliwahi kuikochi simba mwaka ishirini sifuri nne na kuipa ubingwa wa tanzania bara na akarejea tena mwaka ishirini sifuri tano na kuipa ubingwa simba kabla ya kuingia mitini hata hivyo rekodi yake nzuri phiri ni kwamba tangu aanze kufundisha simba hajawahi kufungwa au kutoka sare na yanga ila mara zote alishinda maofisa wawili wa al ahly ya misri walikuwapo uwanjani kushuhudia yanga ilipokuwa inatoa kipigo kwa etoile ya comoro mwishoni mwa wiki maofisa hao ambao wanatoka benchi la ufundi la timu hiyo tajiri ya afrika walikuwa makini wakifuatilia mchezo huo mwanzo mpaka mwisho wakiwa wanaongozwa na raia mmoja wa misri maofisa hao walikuwa wakiandika kila tukio katika mechi hiyo huku wakiwa wamekusanya magazeti yote ya tanzania yaliyokuwa yameandika kuhusu mechi hiyo jumamosi licha ya kuulizwa na mwanaspoti nchi UNK UNK kitu kwa madai hawajui kiingereza lakini mtu mmoja aliyekuwa nao alisema wamekuja rasmi kuona mchezo huo na kwamba wanatoka al ahly ya misri wamekuja si kuona yanga ila kuona timu zote mbili kwani hawajui watacheza na nani kati ya timu hizi alisema mtu huyo aliyekuwa nao wakati wa mapumziko timu hizo zikiwa moja moja hata hivyo watu hao hawakutaka kuzungumza tena baada ya mchezo na badala yake waliondoka kwa gari maalum na kuelekea kusikojulikana tunajua kwamba wapo tumewaona lakini hatuna jinsi na tusingeweza kuwazuia alisema kiongozi mmoja wa yanga yanga ni kama imefuzu kwenda raundi ya kwanza kwani ushindi wake wa mabao nane moja unawapa uhakika wa asilimia kubwa kusonga mbele katika hatua nyingine yanga imeweka rekodi ya kuwa timu pekee iliyopata ushindi mkubwa katika mechi zinazoandaliwa na shirikisho la soka afrika katika raundi ya awali msimu huu katika mechi iliyopigwa jumamosi yanga iliwafunga etoile d or mirontsy ya comoro kwa mabao nane moja na kuwa ushindi mkubwa katika mechi za awali za ligi ya mabingwa na ili kuonyesha msisitizo wachezaji wa yanga wamesisitiza kwamba kazi ndio imeanza kwenye ligi ya mabingwa afrika na kwamba si kwa vile etoile d or mirontsy ilionyesha udhaifu kiufundi yanga iliishushia etoile ya comoro mabao nane moja ambacho ndio kipigo kikubwa na cha kushtua kwenye msimu mpya wa michuano ya kimataifa ngazi ya klabu ulioanza wikiendi iliyopita barani afrika prisons ya mbeya ilifungwa mbili sifuri na khalij sert ya libya katika kombe la shirikisho mshambuliaji matata wa yanga UNK kwenye chati ya ufungaji bora wa klabu bingwa afrika kwa kupachika mabao manne kati ya nane boniface ambani alisema sasa kazi ndio UNK mimi UNK kwamba etoile ni timu dhaifu ndio maana UNK timu dhaifu isingekuwa bingwa wa nchi wale wamefikia walipo kwa vile ni wazuri kwa hiyo ushindi wetu UNK kwa kuangalia idadi ya magoli alisema ambani sisi tumejipanga sawasawa na ndio tulivyotaka kuanza haya mashindano huu ushindi UNK kwa vile tulijipanga sana na ni faida kubwa kwetu kwa vile tutakuwa vizuri sana kabla ya kuivaa al ahly ya misri al ahly si ya mchezo ni timu ngumu sana afrika nimecheza nayo mechi kadhaa naijua uwezo wa kuwafunga upo kabisa lakini tunahitaji kuandaliwa vizuri sana kisaikolojia uwanjani na kila kitu ingawa bado tuna mechi ya marudiano comoro lakini nguvu yetu kubwa sasa ni kumnggoa al ahly na kusonga na naamini tunaweza wao ni wanaume kama sisi idadi yao ni sawa na yetu UNK alisisitiza ambani na kusema anataka ufungaji bora mchezaji huyo makini na mkongwe ambaye ni raia wa kenya alisema kwamba timu hiyo inapaswa kuandaliwa kwa umakini wa aina yake na wakitulia mchezo dhidi ya al ahly utakuwa rahisi sana kwao ah ahly ni timu ngumu na mechi itakuwa ngumu lakini tutafanya vizuri tushirikiane tu alisema mchezaji huyo ambaye katika mchezo wa jumamosi iliyopita alionyesha kiwango cha juu na mabadiliko ya kiuchezaji kocha wa yanga kondic dusan alisema kwamba matokeo hayo ni mazuri kwake kiufundi na yatawapa morali vijana wake kuikabili timu ngumu ya al alhly mwezi machi katika matokeo mengine ya ligi ya mabingwa wikiendi iliyopita ahly tripoli sita moja as police far rabat sita moja cap verde sc UNK primeiro de agosto tano mbili c a r a ndio dozi kubwa UNK baada ya ile ya yanga dozi kubwa kwenye kombe la shirikisho ni ile ya red arrows sita sifuri mundu football gor mahia sifuri tano UNK uganda kcc fc ikiwa ugenini na mchezaji wake hatari bryan umony ilifungwa mbili moja na UNK ya msumbiji katika ligi ya mabingwa victors ya jinja ikiwa jijini kampala ilitia aibu baada ya kufungwa mabao mbili sifuri na caps united ya zimbabwe kwenye kombe la shirikisho kenya gor mahia fc ya kocha james UNK ilitia aibu ya mwaka baada ya kuchapwa mabao tano sifuri nyumbani dhidi ya apr ya kocha UNK UNK wa uholanzi mathare united UNK mabao mbili sifuri ugenini dhidi ya zesco united ya zambia zanzibar timu zake zikiwa ugenini miembeni imekubali kipigo cha mabao mbili sifuri katika ligi ya mabingwa dhidi monomotapa ya zimbabwe mundu UNK na red arrows UNK kabisa kombe la shirikisho baada ya kufungwa mabao sita sifuri nchini zambia burundi inter stars ikiwa cameroon ilitoa sare ya bao moja moja dhidi ya UNK UNK kwenye ligi ya mabingwa huku vital o fc ikifungwa nne sifuri UNK nchini UNK rwanda apr ilianza vyema kombe la shirikisho kwa kuifunga gor mahia ya kenya tano sifuri huku atraco ya kocha mganda sam UNK ikifungwa mabao mbili moja na el merreikh ya sudan jijini khartoum simba imeanza kujiweka pabaya kwenye mchakato wa kuwania nafasi ya pili ya ligi kuu ya bara baada ya kulazimishwa sare ya bao moja moja na jkt ruvu jana jumatatu jioni kwenye uwanja wa taifa kwa matokeo hayo wekundu hao wa msimbazi walioko chini ya mzambia patrick phiri imefikisha pointi ishirini na nne ambazo zimeiweka kwenye nafasi ya tatu pili katika msimamo wa ligi kuu UNK na mabingwa watetezi yanga wenye pointi thebathini na tisa wanaohitaji mechi nne tu kutwaa kombe huku UNK na michezo kadhaa kagera sugar yenye pointi ishirini na sita iko nafasi ya pili jkt ruvu yenye pointi ishirini na moja na ambayo katika mzunguko wa kwanza iliichapa simba bao moja sifuri ndio ilikuwa ya kwanza kupata bao dakika ya arobaini na moja kwa shuti la haruna adolph lililomshinda kipa UNK simba maafande hao ambao kiungo wake mwinyi kazimoto alionyesha kiwango walikwenda mapumziko wakiwa wanaongoza kwa bao hilo lakini simba ilianza kipindi cha pili kwa kasi huku wakipanda mashambulizi yake ingawa umaliziaji haukuwa mzuri makosa yaliyofanywa na beki UNK seleman wa jkt ruvu ya kuunawa mpira kwenye eneo la hatari UNK timu hiyo kwani mwamuzi othman kazi aliamuru penati ambao UNK simba bao la kusawazisha dakika ya sitini na tano kupitia kwa mussa mgosi licha ya imani za kishirikina kutawala kabla ya mchezo na wakati wa mapumziko timu hizo zilionyesha soka ya hali ya juu ambayo UNK kila shabiki aliyekuwa uwanjani hapo ingawa simba hawakuridhika na sare kwani walishindwa kulipa kisasi simba kupitia kwa washambuliaji wake mgosi na ulimboka mwakingwe ilikosa nafasi za wazi zaidi ya saba katika mchezo ambao mashuti yao yalikuwa yakigonga mwamba au kuokolewa na kipa tegemeo wa taifa stars shabaan dihile kocha phiri ambae amezaliwa mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na sita alisema kwamba wachezaji wake walionyesha kiwango kizuri lakini wakashindwa kutumia nafasi za wazi kwenye UNK ingawa joto na harufu za UNK zimezidi UNK kwenye daladala za bongo darisalama lakini wikiendi ya zee la kutibua angalau imeanza freshi pengine na mwezi febu wote huenda ukawa wa neema kimtindo lakini bongo UNK UNK uswahili hatukai mwanangu maji hakuna umeme wanakata kila saa vitu ghali mtindo mmoja basi tafrani tupu kila kona hakuna kinachoeleweka kwa walioanza mwaka kwa staili kukwea daladala kama zee la kutibua basi taabu tupu UNK mtindo mmoja UNK UNK UNK karibu yako au konda apite akikusanya chake haya bwana ngoja tucheki ishu nyeti kwanza mpaka mida mida lakini jamaa wa jangwani UNK kimtindo lasti wiki UNK mtu nane si masihara hata jamaa wasiopenda boli ilibidi waweke utaifa mbele na kuuliza kulikoni huko taifa hiyo ni timu ya UNK au changgombe boys UNK soka ndio mambo ya msimu mpya wa ligi ya mabingwa afrika UNK vibaya etoile d or mirontsy ya comoro wenyewe hawaamini mpaka kipa UNK zake chini akaamua kuota jua akiwa haamini UNK aibu ilikuwa kwa prisons na swahiba zetu wa hapo zenji miembeni na mundu yanga ambayo ilikuwa nyumbani inakwenda ugenini kukamilisha ratiba wikiendi ijayo huku timu nyingine ya tanzania prisons inayoshiriki kombe la shirikisho ikiwa hoi bin UNK na inasubiri miujiza ya mungu tu ambayo pengine ya februari UNK kipigo UNK yanga ni kikubwa na kwa waliobahatika kuona aina ya wachezaji uchezaji na kiwango cha mpinzani wake kwenye uwanja wa taifa ni kama wawakilishi hao wa tanzania wameshamaliza kazi kucheza mechi zote za nyumbani na ugenini kilichoitokea etoile ni kitu cha kawaida kwenye soka lakini kama yanga ina viongozi makini na wanaojua umuhimu wa mashindano hayo wataacha siasa na kukaa chini kuiandaa timu kisaikolojia na kuchukulia mechi ijayo ya UNK kama ya kirafiki kuzoea mazingira ya ugenini yanga kwenye mzunguko wa pili UNK na timu ngumu ya al ahly ya misri ambao ndio mabingwa watetezi wa michuano hiyo na dakika mia moja na themanini za UNK ya timu hizo haitahitaji masihara hata sekunde mshambuliaji boniface ambani ambaye ni raia wa kenya anayeichezea yanga muulizeni UNK jinsi wamisri hao walivyo hatari tangu aanze kukabiliana nao kwenye klabu alizokuwa awali huko kwao kenya yanga inapaswa kuandaliwa kikamilifu kwa vile UNK kwa lolote lile na al ahly labda ile tu ya kuwa na idadi sawa ya wachezaji ndani ya uwanjani al ahly ambayo maana yake ni taifa imetwaa ubingwa huo mara sita kombe la washindi mara nne ubingwa wa mataifa ya kiarabu mara nne na ubingwa wa misri mara thebathini na tatu rekodi hizo si za kuitisha yanga bali UNK kwamba wanakumbana na timu ngumu na yenye wachezaji wazoefu wenye maumbo makubwa na matunzo mazuri sambamba na maslahi mazuri ambayo hayawezi kufananishwa na klabu yoyote ya afrika mashariki na kati hiyo ina maana kwamba benchi la ufundi la yanga linapaswa kukuna kichwa mara mbili na kuongeza mbinu zaidi kwa wachezaji wake ili wawe fiti kuikabili al alhly ambayo wikiendi iliyopita UNK wake walikuwa kwenye uwanja wa taifa dar es salaam kuona yanga ikitoa kipigo kwa wacomoro yanga ambayo dusan kondic UNK mwenyewe kwa mamilioni ya fedha za mdhamini inapaswa kucheza soka la hali ya juu na kuvutia zaidi kuliko mambo UNK wikiendi iliyopita dhidi ya wacomoro katika kipindi cha kwanza safu za ushambuliaji na ulinzi UNK kiwango UNK na mashabiki na ndio sababu kubwa ya kwenda mapumziko ikiwa na sare ya bao moja moja wachezaji hawakuonyesha umakini UNK na matunzo yao nasikitika kwamba makosa kama yale yakitokea kwenye mechi na al ahly huenda ikatokea hatari ambayo haijawahi kusikika tanzania na kila shabiki UNK UNK hiyo si ligi kuu ya bara au kombe la mapinduzi haya si mashindano ya mchezaji kupewa pasi na kuanza kufanya madoido na kupiga chenga za ajabu ajabu ili tu kutafuta sifa kwa mashabiki ni UNK na ishara tosha za upeo mdogo kwa mchezaji husika na ni kati ya mambo UNK katika mchezo uliopita kocha anapaswa kuwa mkali na kuonyesha uwepo wake haiwezekani mchezaji UNK mpira anabaki na kipa halafu anataka kufunga goli la video matokeo yake UNK mpira wachezaji wa yanga wanapaswa kuelewa kwamba mashindano hayo ni muhimu si kwao tu bali kwa taifa wacheze mpira uwanjani na muda wote UNK katika mazingira ya mchezo na kuweka mbele masilahi ya timu kama wawakilishi pekee wa tanzania wenye nafasi ya kusonga mbele hadi sasa viongozi nao huu si wakati wa siasa na UNK na matokeo ya mabao nane moja UNK mazingira mazuri ya timu kufanya vizuri kwenye mechi ya raundi ya pili nyumbani na ugenini huu ndio wakati wa kupata maelezo muhimu dhidi ya al alhly inapokuwa nyumbani na ugenini angalieni wenyewe walipokuja kuwachunguza UNK na etoile wamechukua kila kitu kuanzia mfumo aina ya uchezaji kwa kila mchezaji sasa wanajua nani ni hatari na nani UNK na video wanazo wameondoka nazo kwao kujiandaa na mechi yao ya machi lakini yanga mpaka sasa haijaona dalili yoyote ya kutaka kujua undani wa al ahly na UNK ni kwamba hizo ni salamu kwa al ahly bado al ahly al ahly UNK ni kauli za kujidanganya ambazo UNK wiki iliyopita al ahly UNK wakati vibonde UNK jasho taifa wamisri hao si wa mchezo kama UNK jiandae kwa mpira wa pasi nyingi nguvu ufundi na UNK ambayo UNK kukimbiza kuanzia mwanzo mpaka mwisho UNK wamesikia wanacheza na yanga kwa kujiamini UNK kwamba wanakwaana na timu yenye uzito mwepesi UNK sasa kinachotakiwa ni makocha wa yanga kupandisha morali zaidi ya wachezaji kujituma ili kukabiliana nao na kupata matokeo mazuri ambayo yanawezekana na dunia UNK kwa prisons ambao ni wawakilishi wa tanzania kwenye kombe la shirikisho hawapaswi kukata tamaa kwa kipigo cha mabao mbili sifuri UNK na khalij sert jijini dar es salaam wanapaswa kupambana ugenini linaweza kutokea lolote la ajabu zenji ambako mundu fc ilifungwa mabao sita moja na red arrows ya zambia ugenini ni kama UNK kwenye mashindano ya shirikisho lakini UNK anaweza kuangusha kabati UNK UNK miembeni ambao walikubali kipigo cha mabao mbili sifuri kutoka kwa monomotapa ya zimbabwe ina nafasi ya kusonga mbele jijini dar es salaam wiki ijayo endapo itatuliza akili na kucheza soka ikijua kwamba ina msalaba mzito wa kutetea roho yake na kuondoa aibu ya kufanywa daraja kila mwaka kwenye mashindano hayo sina budi kuwaomba radhi wapenzi wasomaji wangu katika safu hii baada ya kutoonekana wiki iliyopita kwa sababu ambazo UNK bayana kwenu nilikuwa nimekwenda huko nyeri nchini kenya kwa ajili ya kupanda mlima wa pili kwa urefu barani afrika yaani mlima kenya safari yangu na waandishi wenzangu ishirini na tano ilitokana na uamuzi wa kampuni yetu ya nation media group kuamua kusaidia wakenya wapatao kumi sifuri sifuri sifuri ambao wanakabiliwa na jaa la njaa kwa kupanda mlima mkenya tulifanikiwa kukusanya zaidi ya shilingi sita milioni za kenya kati ya shilingi nane milioni UNK kuwa zinaweza kukusanywa na hapo ni kabla ya kuweka mahesabu ya fedha zilizokusanywa na benki ya standard fedha hizo zilitokana na makampuni kadhaa kudhamini safari yetu ngumu kwa kuweka kiasi fulani cha fedha katika kila urefu tuliokwenda juu hadi kufika kilele cha UNK ambacho ni cha tatu kwa urefu katika mlima huo kwa hiyo mchango wa waandishi wa habari kwa jamii hauishii katika kuandika habari tu bali katika kushiriki kuokoa jamii ambayo ni wateja wetu kuathirika katika majanga kama hayo wakati UNK nyeri kutoka nairobi UNK biashara ambayo kwa kweli ni ya hatari ingawa ina faida kubwa biashara ya miraa maarufu kama mirungi kwa tanzania yale magari yanayotoka eneo linaloitwa meru yakiwa yamebeba miraa huenda kwa kasi UNK ya ndege za ardhini kuwahi ndege inayotoka nairobi kuelekea mogadishu ambako ni soko kubwa la bidhaa hiyo iwapo magari hayo yanapata ajali basi mwenye mali huwa ajali dereva UNK bali UNK hiyo miraa na UNK kwenye gari jingine na kuhakikisha UNK ndipo aanze kumjulia hali dereva na hata kwenye michezo ikapigwa marufuku kwa kuwa hutumika kama dawa za kuongeza nguvu mtumiaji huwa hajisikii kuchoka hadi anapomaliza shughuli kama ambavyo madereva wa kisomali huzitumia ili UNK wanaposafiri safari ndefu lakini nchini kenya mirungi bado ni halali na ni moja ya zao UNK fedha kubwa wakulima wa eneo la meru mwaka ishirini sifuri nne bondia wa kenya david UNK UNK mirungi usiku kucha akisubiri pambano lake la michezo la olimpiki ya athens lakini UNK asubuhi alionekana kuwa alitumia dawa za kuongeza nguvu na hivyo kuondolewa mashindanoni alijitetea kuwa mirungi si dawa za kuongeza nguvu lakini UNK kwa kuwa kamati ya kimataifa ya olimpiki UNK zao hilo miongoni mwa dawa hizo ilikuwa makosa ya kizembe ya bondia na hasara kwa nchi yake juzi kocha marcio maximo alitumia siku yake ya kwanza ya kambi ya taifa stars kwa ajili ya fainali za kwanza wa ubingwa wa mataifa ya afrika zitakazofanyika ivory coast kuanzia mwishoni mwa mwezi huu kuwaeleza wachezaji wake hatari ya kutumia dawa za kuongeza nguvu na hasa UNK bhangi imepigwa marufuku nchini lakini inatumika kana kwamba hiyo marufuku haipo kibaya zaidi ni kwa wachezaji wa mpira wa miguu ambayo huipuliza kujipa UNK ya kucheza vizuri na hata baada ya mechi huipuliza ili waendelee kuwa na UNK siku moja kaa nje ya uwanja wa taifa uone jinsi wachezaji UNK mbio kwenda kupuliza japo kidogo baada ya mechi najua maximo hufanya hivyo mara kwa mara lakini kitendo chake cha kuamua kuwapa elimu hiyo siku ya kwanza ya mazoezi kujiandaa kwa mashindano ambayo yanaweza kubadili maisha ya wachezaji wetu na soka la tanzania kwa ujumla kinaashiria ni jinsi gani tatizo hilo lilivyo kubwa na kuonyesha busara ya kocha huyo mbrazili katika kipindi ambacho ni muafaka kwa kawaida kazi hiyo haikupaswa kufanywa na kocha wa taifa bali makocha wa klabu zetu ambao ndio wanaokaa na wachezaji kwa kipindi kirefu zaidi ya kocha wa taifa lakini cha msingi hapa ni kwamba wachezaji wetu hawana budi kuelezwa leo na kesho kuhusu athari za kutumia mmea huo kwa kuwa bado hawajaona athari zake na hivyo maneno kama hayo ya maximo yanaweza kuwa yanaingia sikio la kushoto na kutokea la kulia kama UNK mfano wa bondia huyo wa kenya moja ya athari za moja kwa moja za matumizi ya dawa hizo ni kuondolewa bila kusita kwenye timu na kufungiwa kucheza soka kwa kipindi kirefu karibu miaka miwili lakini athari nyingine ni hizo za mchezaji kushindwa kucheza kwa kiwango kile kile na kushindwa kulinda kiwango chake kwa kuwa UNK UNK bado tafiti UNK kutoa hasa athari za matumizi ya dawa hizo lakini pia UNK uwezo wa akili kuona kuwa mchezaji anaweza kufanya kitu fulani kama akitumia dawa hizo tu kwa wale wanaotumia dawa nyingine za homoni wao hutumia kwa wingi kuliko kiwango ambacho hushauriwa na wataalamu wakati wa kutibu magonjwa yanayohitaji dawa hizo lakini wakati somo la dawa za kulevya UNK vizuri kwa wachezaji wetu hatuna budi kwanza kuwaeleza athari zake za haraka ambazo ni kuzuiwa kuendelea kucheza kwenye mashindano na baadaye kufungiwa kwa karibu miaka miwili kucheza soka wachezaji wetu hawana budi kuelewa kuwa hii ni nafasi yao ya kubadili maisha lakini pia nafasi ya tanzania kubadili soka lake hivyo kufikiria ujinga kuwa wakitumia bhangi wataweza kucheza vizuri kunaweza kulipotezea taifa nafasi hii muhimu ambayo UNK tangu mwaka elfu moja na mia tisa na themanini bila ya sababu za msingi viongozi wa timu ya taifa hawana budi UNK hilo wakati wote wa fainali hizo ili ziwe za kutokea kwa soka la tanzania moja kwa moja naanza na kuwapongeza wasomaji wangu kutokana na michango yenu UNK navutiwa na UNK na kunipa mambo mapya pia kunipongeza lakini navutiwa sana na wale ambao wanalaumu wakidhani kwamba kazi yangu inafanyika UNK kwanza niwatoe hofu wale wanaotaka niendelee kushikilia msimamo wa kukosoa bila ya hofu nawahakikishia hii ni jadi yangu na malengo ni kujenga ushabiki hasa ule usiokuwa na maendeleo kwangu hauna nafasi na wale wenye tabia za kutaka kuhofiwa ili wapewe nafasi ya kufanya maovu UNK mbali kamwe nakaribisha maoni zaidi pongezi kubwa kwa yanga kwa ushindi wa kihistoria kwa kuwachabanga wacomoro nane moja lakini hofu kuu ni kwa prisons ambayo kweli naweza kusisitiza imetia aibu achana na suala la kufungwa mabao mbili sifuri na khalij sert ya libya lakini namna wachezaji wake walivyocheza mechi hiyo nilikuwa uwanjani ni aibu tupu kwa kuwa walicheza kama vile miguuni wamefungwa mawe au walielezwa baada ya hapo kulikuwa na UNK nilijiuliza maswali kadhaa kwamba kumbe uwezo wa wale kina UNK ni hadi wakutane na simba na yanga tu ndio UNK ingawa nawapongeza sana yona ndabila na mkongwe oswald morris kwa kweli walipambana kiume kuliko hata hao chipukizi muda wa kujipanga UNK basi fanyeni UNK hakuna haja ya kukata tamaa hoja ya leo moja kwa moja UNK jangwani na msimbazi ambako kuna viongozi ambao wanajulikana kama wakongwe na karibu kila kukicha nimekuwa UNK na hilo ingawa wako UNK naona sawa kwa kuwa kila mmoja ana uhuru huo wa kutoa mawazo yake kama ni mwanachama au shabiki wa simba au yanga huu ni mguu wako na UNK kwa umakini UNK tanzania ina wananchi zaidi ya milioni thebathini na tano UNK kwamba mashabiki wa timu hizo kongwe wamegawanyika ingawa bado UNK kuwa na ubishi upande gani ni wengi zaidi tathmini zinaonyesha ni yanga wengi ingawa hakuna sensa ya uhakika zaidi fanya iwe hivi kwa idadi ndogo kabisa mashabiki wa yanga na simba wawe ni milioni ishirini tu yaani UNK milioni kumi kwa yanga na milioni kumi kwa simba hiyo idadi ya watu milioni kumi na tano UNK pembeni sasa swali linakuja hivi tatizo ni lipi ambalo linafanya yanga au simba kutokuwa na wanachama hata zaidi ya kumi sifuri sifuri sifuri sijui kama UNK kujiuliza kuhusu hili UNK kila kukicha yanga wamekuwa wakizungumzia suala la wanachama hali kadhalika simba lakini inaonekana wanachama UNK na badala yake kila mmoja amekuwa UNK kwa kujiita shabiki mkubwa wa yanga au simba lakini si yule hasa ambaye analipa ada katika moja ya klabu hizo kuna kipindi klabu UNK kuhusu suala la kutotoa nafasi ya watu wengi kujiunga zaidi sasa inakuwaje wakati nafasi ipo wazi wanaojitokeza ni wachache sana lakini wapiga kelele na wale wanaojidai wana uchungu na yanga na simba ni wengi kupindukia kipi UNK UNK kulipa ada ya shilingi kumi na mbili sifuri sifuri sifuri kwa mwaka yaani shilingi moja sifuri sifuri sifuri kwa mwezi mapenzi yenu kwa hizo timu ni yapi huku kila kukicha mkiwa ni wale UNK lawama mbele kwa kila UNK nashangazwa na kuona watu UNK kwa kitu UNK lakini wao ndio wanaotaka kutoa amri UNK vipi hapa UNK nyie mashabiki wa yanga na simba kwamba tabia UNK ni ya kinafiki kwa kuwa UNK mapenzi ya kweli kwa timu zenu hasa linapofikia suala la kuzisaidia badala yake mnataka UNK nyie tu kutokana na kufanya vizuri msaada wenu ni upi mnafikiri kushangilia pekee UNK mtafakari hili unafiki ni moja ya vitu vibaya sana sipendi kuona watu wenye tabia ya kujidai wana uchungu kupindukia kwa yanga au simba wakati hawaonyeshi lolote kuzisaidia klabu hizo vipi hiyo shilingi moja sifuri sifuri sifuri ionekane ni ngumu lakini kesho UNK wale wanaotoa mamilioni kuendesha klabu zenu acheni uchungu wa kinafiki na kama mnataka kuwa wamiliki wa kweli wa klabu zenu jitokezeni na kuwa wanachama ili kama mapinduzi basi yawe ya kweli sasa viongozi wanaogombea nafasi za uongozi wamekuwa ni wale wale ingawa asilimia kubwa wanaonyesha uwezo wao UNK mwisho kwa kuwa wana mawazo yale yale ya enzi zile ziko wapi damu changa kwa yanga na simba kama tunavyoona kwenye siasa kwa watu kama akina zitto kabwe na halima mdee ambao ni vijana wanatoa changamoto kubwa bungeni na sehemu nyingine upande wa siasa inawezekana kukawa na watu wa namna hiyo katika klabu hizo na ninakuhakikishia mambo yatabadilika si kama ilivyo sasa mawazo mgando UNK kama mashabiki watajitokeza kwa wingi kuwa wanachama maana yake watakuwa UNK wigo hata katika suala la uongozi na kuleta mawazo mapya UNK safari mpya katika maendeleo ya klabu hizo si kila siku hatua moja mbele kesho hatua mbili nyuma onyesheni mna nia ya kuendelea kwa vitendo na si maneno tu nikiachana na mashabiki wavivu kuingia uanachama narejea na viongozi wa sasa wa klabu hizo kweli sielewi hasa nini walichonacho naweza kusema wapo wapo tu sidhani kama wana malengo ya kuona idadi kubwa ya wanachama inajitokeza katika klabu hizo ili kuongeza changamoto kwa ajili ya maendeleo mkakati ni upi naona nguvu nyingi zimeelekea kwenye suala la mapato na pia kisiasa zaidi lini kumekuwa na kampeni za kutosha kuhusu suala hilo na mwandishi akikutana na kiongozi wa simba au yanga si rahisi kulizungumzia hilo hali ambayo inaonyesha hata wao hawalipi kipaumbele sana sasa inafikia hadi wafadhili kama yusuf manji ambaye anasaidia tu yanga anaona umuhimu wa hilo anajaribu kupiga hesabu ambazo zinaonyesha namna ambavyo klabu hizo ni tajiri kama wanachama UNK lakini mashabiki na viongozi UNK mnataka nini siamini kama kweli mna nia nzuri na klabu zenu hisia zangu ni hivi kuna vitu viwili kwanza inawezekana ni uzembe tu wa viongozi na yale mazoea ya uongozi wa kizamani wapo wapo tu pili huenda wana hofu iwapo wataingia watu wengi wapya huenda kukawa na changamoto nyingi ikiwamo wengi kujitokeza kugombea nafasi zao au kuhoji masuala mengi UNK kama ni haya mawili malengo ni muhimu na UNK wakweli hadi ndani ya nafasi zenu mlinzi tegemeo wa kati wa taifa stars nadir haroub cannavaro amesema wanakwenda ivory coast kutetea na kurudisha heshima ya afrika mashariki stars itaondoka februari kumi na tisa kwenda kushiriki fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani inayoanza siku tatu baadaye ikiwa imepanga kundi a na wenyeji ivory coast zambia na senegal kikosi hicho cha marcio maximo ambacho UNK jana jijini dar es salaam kwenda zanzibar kuweka kambi ya siku mbili itaanza na senegal katika michuano ya chan tumejiandaa kikamilifu kuhakikisha kwamba tunafanya vizuri sana kila mechi tunaelewa umuhimu wetu kwenye yale mashindano alisema cannavaro ambaye ni UNK tunakwenda kama timu ya afrika mashariki na UNK kikamilifu kwa jitihada zetu zote na timu ni nzuri itafanya vizuri timu ipo vizuri sana na kila mchezaji amejiandaa na amepania kuhakikisha kwamba anafanya vizuri na naamini itakuwa hivyo aliongeza mchezaji huyo anayesifika kwa mipira ya juu stars ambayo jumatano ijayo itacheza na UNK katika mchezo wa kirafiki jijini dar es salaam ndio timu pekee ya afrika mashariki na kati iliyofuzu chan lakini kocha wa wenyeji ivory coast kouadio george UNK mwanaspoti hivi karibuni nchini uganda kwamba hakuna timu yoyote inayonolewa na kocha wa kigeni kama marcio maximo UNK ubingwa wa chan kouadio alidai kwamba hiyo ni nafasi pekee ya kudhihirisha ubora na akili za makocha waafrika mbele ya makocha kutoka nje ya bara la afrika prisons ya mbeya imesema jamani UNK tulikuwa tumeteleza sasa ndio tunajipanga upya kauli hiyo ya prisons imekuja siku chache baada ya mashabiki wake kukataa tamaa kutokana na kuboronga kwenye ligi pamoja na kufungwa na khalij sert ya libya mabao mbili sifuri katika mchezo wa awali wa kombe la shirikisho jijini dar es salaam kocha wa timu hiyo james nestory alisema kwamba kikosi chake kilikuwa hakiko vizuri lakini sasa wamerejea kwenye hali ya kawaida tulikuwa tumeteleza kwa kiasi fulani hakuna aliyekusudia yalikuwa ni mambo ya kimchezo watusamehe UNK kwenye hali ya kawaida alisema kocha huyo ushindi tulioupata kwa mtibwa wa mabao mbili moja UNK UNK vijana morali yao iko vizuri sana sasa UNK kwenye nafasi za juu tu hasa ukiangalia tofauti iliyopo kati ya timu na timu kwenye nafasi za katikati ni ndogo sana hilo pengo la pointi UNK vijana wako vizuri alisisitiza kocha huyo ambaye mashabiki UNK tamaa na timu yake msimu huu kutimua vumbi februari kumi na tano kengele amesema bado kuna idadi ndogo ya watu waliojiandikisha kwa ajili ya mashindano hayo na kusisitiza kuwa wanawake hawajafanya hivyo kabisa mashindano ya wazi ya kuogelea yanafanyika leo jumamosi kwenye UNK la shule ya kimataifa ya UNK iliyopo upanga jijini dar es salaam katibu mkuu wa chama cha kuogelea tanzania noel kihunsi amesema mashindano hayo yatakuwa ni kwa ajili ya kupata wachezaji watakaoiwakilisha nchi kwenye mashindano ya dunia yatakayofanyika rome italia julai kumi na nane hadi agosti mbili tunahitaji kiasi cha shilingi milioni kumi sifuri kwa ajili ya kambi ya timu itakayoshiriki michuano hiyo na UNK kusaka wadhamini mabondia watatu wa tanzania leo jumamosi wanapanda ulingoni nchini kenya kuzipiga na mabondia wa huko kwenye pambano lisilo la ubingwa UNK na kamisheni ya ngumi za kulipwa kenya bondia venance UNK wa tz atazipiga na samuel UNK rashid ali UNK na athanas UNK na omari ramadhan atazipiga na morris UNK katika pambano la raundi nane kiongozi wa msafara wa mabondia hao ali bakari champion amesema mabondia wote wako katika hali nzuri na naamini wataibuka washindi kiungo wa jkt ruvu mwinyi kazimoto aliyeitwa kwa mara ya kwanza na kocha marcio maximo katika kikosi cha taifa stars amesema klabu yake ina nafasi kubwa ya kutwaa nafasi ya pili ya ligi kuu tanzania bara kauli hiyo ya kazimoto inaweza kuwaudhi mashabiki wa simba ambao wamepania kuhakikisha timu yao inatwaa nafasi hiyo ili ishiriki kombe la shirikisho mwakani kazimoto alisema mechi saba zilizobaki ndizo UNK hatima yao lakini akaonya kuwa timu zote UNK kwani nafasi ya pili itatua kwa maafande hao ambao sasa wanatumia uwanja wa taifa jijini dar es salaam kama uwanja wao wa nyumbani bado tuna nafasi tena kubwa tu ya kutwaa nafasi ya pili hivyo tunaamini ligi itakapoanza tena tutajitahidi na kuweza kushinda mechi zetu zote zilizobaki ili tuweze kutwaa nafasi hiyo alisema mchezaji huyo bora wa mwezi januari tumedhamiria kucheza michuano ya kimataifa mwakani na hilo UNK endapo wachezaji wote tutaongeza bidii na kuibuka na ushindi katika mechi zilizobaki nafikiri timu yetu ipo juu kuliko timu yoyote kiuchezaji kila mmoja anafahamu hivyo hatuwezi kushindwa alisema kiungo huyo ambaye amejiunga jkt akitoa ruvu shooting akizungumzia kuteuliwa kwake taifa stars kazimoto alisema amefurahi sana na atahakikisha anacheza kwa bidii ili awemo kikosi cha kwanza nimefurahi sana kwani UNK hii ni nafasi yangu ya kuitangaza nchi yangu kimataifa na kujitangaza mwenyewe nitahakikisha UNK na wenzangu kucheza kwa bidii na kuweza kuibuka mabingwa kwenye michuano ya chan nchini ivory coast taifa stars imefuzu kucheza fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani ambazo zitafanyika ivory coast kuanzia februari ishirini na mbili mpaka machi nane mwaka huu taifa stars imepangwa kundi moja na wenyeji ivory coast senegal na zambia uongozi wa simba UNK mikoba yote ya usajili kocha wao patrick phiri ambaye atakuwa na uwezo wa kusajili wachezaji anaowataka hatua hiyo imekuja baada ya uongozi na kamati ya usajili kukubaliana kuwa phiri ndiye atakuwa akifanya kazi zote za usajili wa wachezaji habari za uhakika kutoka simba zinasema kuwa wahusika wa kamati ya usajili watafanya kazi ya kumsaidia tu mzambia huyo ambaye ndiye atakuwa na sauti ya mwisho kuhusu suala hilo habari hizo zinasema kuwa tayari phiri ameanza kazi ya kufanya uteuzi wa baadhi ya wachezaji kutoka klabu kadhaa zinazoshiriki ligi kuu tanzania bara akizungumza na mwanaspoti jijini dar es salaam phiri alisema angependa kuongeza wachezaji wachache huku akibaki na idadi kubwa ya wachezaji ambao wako katika kikosi chake mara nyingi ni vizuri kutoa nafasi kwa watu UNK kwanza halafu unaweza kuangalia wengine ambao unaona ni msaada mkubwa kuna mabadiliko yatatokea lakini pia yatategemea zaidi tumemaliza msimu vipi alisema najitahidi kurekebisha makosa yanayotokea na ninaona kuna mabadiliko na wachezaji wanaelewa vizuri na kukubaliana na mabadiliko kitu ambacho UNK matumaini sana akizungumzia kikosi chake phiri alisema ana imani kubwa na mabadiliko hayo ya siku hadi siku lakini bado hajawa na imani kubwa kwani wapo katika kipindi cha mabadiliko makubwa huku wakiendelea kucheza ligi haya mambo hufanyika wakati wa kipindi cha majaribio kwenye mechi za kirafiki sisi tuna wakati mgumu kidogo kwa kuwa kila kitu kinakwenda wakati ligi inaendelea phiri alichukua nafasi hiyo baada ya uongozi wa simba kumtimua mbulgaria UNK bezinski ambaye UNK katika mzunguko wa kwanza na kuiacha simba ikiwa na pointi kumi na nne tu katika nafasi ya sita mechi nyingi za ligi kuu england UNK wikiendi hii na kituo cha supersport saba ikiwa ni wiki moja tangu mashabiki wakose mechi kubwa baina ya liverpool na chelsea jumapili iliyopita mashabiki nchini walikosa mechi hiyo baada ya kituo cha kulipia cha televisheni cha gtv kutangazwa mufilisi hivyo kufunga matangazo yake lakini kampuni ya multichoice imefanikiwa kupata haki za kuonyesha moja kwa moja mechi za ligi kuu england kwa nchi za kusini mwa jangwa la sahara ambazo awali haki hizo zilikuwa zinamilikiwa na kampuni ya gateaway UNK service ya uingereza iliyokuwa inamiliki gtv na sasa UNK kuonyesha imeanza kazi haraka multichoice imetangaza mechi UNK na supersport saba wikiendi hii wakianza na mechi za leo jumamosi baina ya manchester city na UNK saa tisa arobaini na tano alasiri wataonyesha pia chelsea v hull city saa kumi na mbili jioni na liverpool v portsmouth saa mbili thebathini usiku wakati jumapili manchester united v west ham united itaonyesha saa moja sifuri sifuri usiku awali gateaway iliyokuwa inaonyesha ligi hiyo kupitia UNK zake za g sports moja g sports mbili na g sports extra imetangazwa kufilisika jumamosi iliyopita na mara moja multichoice ikaanza mazungumzo ya kumiliki haki hizo ambazo imezipata na sasa itaanza kuonyesha mechi hizo kupitia supersport saba rais wa multichoice UNK UNK alisema wiki hii kuwa wanajivunia kukamilisha mazungumzo na UNK ligi hiyo tena kwa nchi za kusini mwa jangwa la sahara kupitia supersport saba tuna uzoefu wa miaka zaidi ya ishirini kufanya kazi barani afrika tunajivunia kurejea kwa ligi kuu england na tunaahidi kuendelea kufanya vizuri zaidi alisema naye mkurugenzi wa ligi kuu england phil UNK alisema tunaona ni mafanikio makubwa kufikia makubaliano haraka na multichoice ili watu wa kusini mwa jangwa la sahara waendelee kuona ligi hii gtv ilikuwa inamiliki asilimia themanini ya kuonyesha ligi hiyo huku multichoice ikipewa nafasi ya kuonyesha baadhi ya mechi za ligi hiyo ingawa kwa afrika kusini walikuwa ndio wamiliki wa haki ya kuonyesha mechi zote meneja uhusiano wa multichoice tanzania furaha samalu alisema wiki hii jijini dar es salaam kwamba wanajisikia faraja kurejesha ligi hiyo maarufu kwa wapenda soka wa tanzania hasa baada ya kupata haki hizo lakini akaongeza kwamba wako katika hatua za mwisho kuwapa ofa waliokuwa wateja wa gtv ili wajiunge na multichoice na kuendelea na huduma hiyo kama nilivyosema hivi karibuni mazungumzo yalikuwa yameanza lakini sasa yamekamilika na naamini itakuwa ni furaha kwa wapenda soka alisema imeelezwa ofa hiyo UNK kuwarahisishia wateja wa zamani wa gtv ambao sasa watalazimika kununua UNK tu na baada ya hapo watatumia UNK yao ya zamani ingawa watalazimika kufanya marekebisho kidogo tu ili waendelee UNK kwa raha zao kufilisika kwa gateway kumezua kizazaa kikubwa kwa nchi za kusini mwa jangwa la sahara hivi karibuni wateja walivamia kwenye ofisi za makao makuu ya gtv jijini dar es salaam na kutaka kurudishiwa fedha zao walizolipa lakini siku chache baadaye matangazo UNK baadhi ya makampuni yamefungua kesi mahakamani UNK kampuni hiyo iliyotangazwa mufilisi kampuni hiyo pia ilikuwa mdhamini wa ligi kuu za soka tanzania bara uganda na ghana pia ile michuano ya kombe la chalenji chini ya UNK moja ya mambo ambayo husaidia kukua kwa soka katika nchi yoyote duniani ni kuwa na wachezaji wanaocheza nje ya nchi kuna mifano mingi ambayo UNK kwa baadhi ya nchi kuwa na wachezaji wazuri wanaocheza ndani ya nchi lakini wakashindwa kuipa mafanikio nchi yao kimataifa misri ni moja ya nchi yenye wachezaji wazuri sana ambao UNK nchi yao kutwaa makombe mengi ya afrika na kuzifanya timu zao kutamba afrika licha ya uzuri wao huo misri haijapata mafanikio makubwa inapofika katika kombe la dunia na ndio maana huwa UNK ikiishia hatua za awali kabisa tofauti na nchi kama cameroon na senegal ambazo UNK majina makubwa kimataifa tatizo la misri ilikuwa ni kutokuwa na wachezaji wanaocheza soka nje ya nchi kabla ya miaka ya hivi karibuni wachache kuanza kwenda kucheza soka ulaya wakiwamo UNK amr zaki na mohammed UNK sababu ambayo iliwafanya wachezaji wengi wa misri kutokwenda ulaya ni klabu zao kuwa na fedha nyingi hivyo wengi hawakuona haja ya kwenda nje ndio maana wakawa wanacheza ndani tu nchi nyingine ni sudan ambayo licha ya kuwa na klabu kama za el merreikh na al hilal ambazo zina wachezaji wengi wa ndani na nje nchi hiyo imeshindwa kutamba katika soka la dunia ni ukweli kwamba klabu zao zimekuwa zikifanya vizuri katika ligi ya mabingwa afrika na kombe la shirikisho lakini timu yao ya taifa imekuwa haifanyi vizuri sana inapofika katika anga la dunia kuna sababu nyingi lakini sisi tumeamua kuichagua hii ya kutokuwa na wachezaji wengi wanaocheza soka nje ya nchi tanzania haiwezi kuwa nyuma ya hilo na ndio maana licha ya kutumia pesa nyingi kwa ajili ya kambi ya taifa stars kumekuwa hakuna mafanikio makubwa sababu kubwa ni kwamba hatuna wachezaji wanaocheza soka nje ya nchi viongozi wa klabu kubwa hawataki wachezaji waende kucheza ulaya kwa sababu wanaangalia manufaa yao zaidi na wanataka kujinufaisha wao na mashabiki wao nani anaweza kuwa na hofu na uwezo wa mrisho ngassa kama anaweza kushindwa kucheza soka sehemu yoyote duniani ni viongozi wa yanga tu ambao hawapo tayari mchezaji huyo aende ulaya ndio maana tunachukua nafasi hii kuwapongeza viongozi wa simba kwa kujali masilahi ya wachezaji wao na kuwaruhusu wachezaji wao wakafanye majaribio nje ya nchi hivi karibuni simba UNK david naftari na emeh izuchukwu kwenda dubai kufanya majaribio ya kucheza soka katika klabu moja ya bulgaria na wiki iliyopita simba imewaruhusu tena emeh na henry joseph kwenda norway kufanya majaribio ya kucheza soka simba imewaruhusu wachezaji hao huku ikiwa na mechi ngumu za ligi kuu tanzania bara sisi tunawapongeza viongozi wa simba mwenyekiti hassan dalali na wenzake na ubinafsi zaidi ya UNK UNK pia kocha patrick phiri ambaye UNK wachezaji hao waondoke kwani angekuwa kocha mwingine UNK UNK lakini phiri ambaye ni kocha wa zamani wa zambia anaijua vizuri kazi yake ndio maana UNK tu kuhusu wachezaji hao kutakiwa UNK mara moja tunakumbuka mwaka ishirini sifuri tano phiri alimruhusu selemani matola auzwe katika klabu ya supersport ya afrika kusini na hakika jambo hilo UNK matola mwenyewe UNK lakini pia lilisaidia kuitangaza tanzania miongoni mwa klabu za afrika kusini huku tukiwapongeza viongozi wa simba tunalaani juhudi za viongozi ambao wanataka kukandamiza masilahi ya wachezaji kwa sababu tu wachezaji hao hawajui haki zao au kwa sababu wanataka kufurahisha mashabiki wao meshack abel amemwambia kocha marcio maximo umepewa ripoti tofauti UNK nipe namba yangu maximo alimtema beki huyo wa simba katika kikosi kinachojiandaa na fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani sababu kubwa ikiwa ni majeruhi meshack aliiambia mwanaspoti jana ijumaa kwa njia ya simu kutoka kigamboni ilipo kambi ya simba kwamba yupo fiti na anafanya mazoezi kwa nguvu nilikaa nje kwa siku kadhaa kwenye klabu yangu kwa vile tulipokuwa uganda nikiwa kwenye timu ya taifa UNK halafu katika ligi pia nilikuwa UNK mechi tatu nisingeweza kucheza alisema meshack lakini nimerudi kambini na nafanya mazoezi mazito na najisikia nimeshakuwa fiti kabisa niko kwenye fomu yangu nilishtuka UNK kwamba mimi ni majeruhi si kweli alisema nina nguvu ya kufanya kazi kwenye timu ya taifa na nilikuwa UNK sana kucheza mashindano makubwa kama chan ambayo ni bahati ya kipekee kwa mchezaji mdogo kama mimi alisema mchezaji huyo anayeishi tabata jijini dar es salaam maximo UNK kikosi cha chan alimtema mchezaji huyo kwa madai kuwa hayupo fiti kimchezo kutokana na kuwa majeruhi kwa kipindi kifupi lakini maximo alikuwa ni miongoni mwa mashuhuda UNK meshack akiichezea simba dhidi ya jkt ruvu jumatatu wiki hii licha ya kuwa aliingia kipindi cha pili kuchukua nafasi ya kelvin yondani aliyekuwa ameumia maximo amewateua godfrey boniface na amir maftah wa yanga ambao ni majeruhi lakini la ajabu amemtema meshack kwa madai ni majeruhi wakati alicheza mechi wiki hii al ahly ya misri UNK shati na timu dhaifu ya al gaish katika mchezo wa ligi kuu misri mwishoni mwa wiki iliyopita mabingwa hao mara sita afrika wameshinda mechi tano mfululizo za ligi kuu misri lakini wakajikuta wakibanwa na timu dhaifu ya al gaish na kutoka nayo suluhu mwishoni mwa wiki iliyopita al ahly ambao walishika nafasi ya sita katika kombe la dunia ambalo UNK na manchester united watacheza na yanga katika mechi ya raundi ya kwanza ya ligi ya mabingwa afrika mwezi ujao hata hivyo yanga hawatakiwi kuchukulia matokeo hayo kama kigezo cha kudharau kwani timu hiyo ya misri ni kubwa kwa kila kitu ingawa kwenye soka lolote linaweza kutokea al ahly jana ijumaa usiku ilikuwa na matarajio makubwa ya kutwaa ubingwa wa super cup afrika kwa mara ya nne mashetani hao wekundu wa cairo walikuwa wanacheza na UNK sfaxien ya tunisia katika uwanja wa cairo unaobeba mashabiki sabini na tano sifuri sifuri sifuri katika mchezo ambao ni maalumu kwa bingwa wa ligi ya mabingwa afrika na bingwa wa kombe la shirikisho shirikisho la soka afrika huandaa mchezo moja tu wa super cup kati ya bingwa wa ligi ya mabingwa afrika na bingwa wa kombe la shirikisho kila mwaka wachambuzi wa soka walikuwa wanaipa nafasi kubwa al ahly kutwaa ubingwa kutokana na kucheza nyumbani mjini cairo maajabu ya fainali hizo yamewahi kutokea miaka kumi na moja iliyopita wakati timu dhaifu ya etoile sahel ya tunisia ilipoifunga kwa penalti timu ngumu wakati huo UNK casablanca mjini morocco al ahly ilitwaa ubingwa wa sita wa ligi ya mabingwa afrika novemba mwaka jana kwa jumla ya ushindi wa mabao nne mbili dhidi ya UNK garoua ya cameroon na ina rekodi sawa na zamalek kwa kutwaa ubingwa wa super cup mara tatu hata hivyo kabla ya mechi ya jana ijumaa al ahly ilikuwa inakabiliwa na majeruhi kwa kiungo wao mohamed UNK ambaye hata hivyo alitarajia kucheza iwapo daktari UNK mchezaji huyo aliyeingia katika fainali ya mchezaji bora wa mwaka wa afrika alifunga bao pekee katika dakika ya tisini al ahly ilipoifunga sfaxien bao moja sifuri mjini tunis baada ya timu hizo kwenda moja moja jijini cairo miaka mitatu iliyopita kiungo mwingine wa al ahly mohamed barakat alikuwa anakabiliwa na mafua na licha ya kutakiwa kucheza hakuwa amefanya mazoezi kwa wiki nzima sfaxien imekuwa klabu ya kwanza kutetea ubingwa wake wa kombe la shirikisho novemba mwaka jana baada ya sare ya mbili mbili dhidi ya timu nyingine ya nyumbani kwao ya etoile sahel baada ya kutoka suluhu katika mechi ya kwanza kwenye uwanja wao ukitaka kuona mchezo wa kuvutia na UNK hakuna shaka kuwa unatakiwa kuangalia jinsi simba wanavyocheza mechi zao za mzunguko wa pili wa ligi kuu tanzania bara kama UNK kuiona timu ya taifa ya zambia ikicheza mpira wa kuvutia na samba la uhakika sasa kocha patrick phiri maarufu kama piriton ameleta soka hilo msimbazi tena beki wa kati juma nyoso amekuwa ni kivutio kikubwa huku akiwa UNK mpira kupiga chenga na kupanda kana kwamba ni kiungo wakati ni beki wa kati lakini la muhimu zaidi ni kwamba mechi nne za simba katika ligi kuu bara chini ya mzambia patrick phiri UNK kumaliza kazi aliyoifanya kocha wa bulgaria krasmir bezinski UNK katika mechi kumi na moja za mzunguko wa kwanza simba ilishinda mechi nne tu ikafungwa tano na kupata sare mbili ikiwa imepata mabao kumi na moja ya kufunga na kufungwa mabao kumi na tatu hali ambayo ilionyesha safu ya ushambuliaji ilikuwa butu na ile ya ulinzi ilikuwa UNK lakini tangu kocha wa zambia atue na kuiongoza timu hiyo kwenye mzunguko wa pili wa ligi kuu bara simba imeshinda mechi tatu kati ya nne za ligi na kutoka sare moja pia imetoka sare nyingine katika mechi ya kirafiki dhidi zesco ya zambia katika mechi hizo simba imeshinda dhidi ya villa squad mabao mbili sifuri polisi morogoro prisons na mwisho sare ya mabao moja moja dhidi ya jkt ruvu sare nyingine ni ya bao moja moja dhidi ya zesco ya zambia takwimu zinaonyesha katika mechi hizo tano ikiwamo ya zesco msimbazi wameshinda mechi tatu na kutoka sare mbili huku washambuliaji wake wakiwa wameweka rekodi ya kutotoka bila bao katika mechi zote simba imefunga mabao kumi imefungwa matano hali inayoonyesha kasi ya wafungaji ni nzuri huku safu ya ulinzi ikiwa inahitaji marekebisho na kocha huyo ameliona hilo phiri raia wa zambia amefanya mabadiliko makubwa haraka katika kikosi hicho wiki zisizozidi sita tangu UNK kikosi hicho hasa katika uchezaji kuanzia beki kiungo na ushambuliaji safu ambayo tangu ametua nchini kweli safu ya ulinzi bado ni kazi ya kurudia na kukumbushana najua baada ya muda fulani UNK watacheza vizuri na imani tufanya vizuri tu alisema phiri ambaye amewahi kuwa kocha wa timu ya taifa ya zambia chipolopolo UNK kuivusha hadi kombe la mataifa afrika nchini ghana kocha huyo aliyewahi kuinoa simba kwa vipindi viwili tofauti na kuifanya kuwa tishio afrika mashariki na kati amesema anataka kuendelea kuiunganisha timu hiyo kwa uhakika zaidi ingawa anapata wakati mgumu kufanya hivyo huku wakiendelea na ligi aliiambia mwanaspoti kuwa katika kipindi ambacho ligi imesimama kupisha maandalizi ya taifa stars kwenda chan ataendelea kufanya maandalizi na wachezaji wake UNK kiuchezaji hasa kutumia idara zote kwa pasi nyingi za uhakika zaidi simba inaweza kuwa inaongoza kwa pasi na mpira wa kuvutia ikifuatiwa na jkt ruvu na moro united mshambuliaji wa zamani wa mabingwa wa england manchester united ole UNK solskjaer ni kati ya watu walio katika jopo la wataalamu UNK iwapo wachezaji wa simba henry joseph na emeh izuchukwu wasajiliwe au UNK na klabu ya daraja la kwanza ya molde fc solskjaer ambaye UNK kuichezea klabu manchester united imeelezwa yuko katika kamati inayoshughulikia masuala la ushauri wa usajili katika klabu hiyo ingawa amekuwa akiendelea kufanya kazi kama kocha wa timu ya kikosi cha pili cha manchester united mshambuliaji huyo aliyeonyesha uwezo mkubwa akiwa na manchester united alitokea katika klabu ya molde fc inayotumia jezi za rangi ya bluu na nyeupe na kuweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza wa kulipwa kujiunga na klabu kubwa ya england mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita wakati huo kocha alex ferguson akiwa anatimiza miaka kumi na klabu hiyo aliyojiunga nayo akitokea aberdeen fc ya scotland mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na sita habari kutoka katika mtandao zimeeleza kwamba solskjaer kawaida hufanya kazi ya kuishauri klabu hiyo UNK kisoka katika masuala ya usajili na mmoja ya wachezaji UNK wasajiliwe ni UNK UNK diouf wa senegal ambaye ndiye mfungaji tegemeo kwa sasa wa timu hiyo imeelezwa henry ameonyesha mwelekeo mzuri kutokana na siku chache wakiwa na timu hiyo katika mechi za kirafiki nchini hispania lakini bado hali inaonekana si nzuri sana kwa izuchukwu ambaye analazimika kuwashawishi kwamba ana mikiki kama ilivyo kwa msenegal huyo diouf wikiendi iliyopita molde fc ilicheza mechi ya kirafiki na UNK ya hispania kwenye uwanja wa UNK na kupata sare ya bao moja moja bao la kusawazisha la timu hiyo ya norway likiwa limefungwa na diouf katika dakika ya themanini na nane hadi ligi ya norway inasimama katika msimamo molde fc UNK katika nafasi ya tisa ikiwa na pointi thebathini na moja huku UNK na UNK zikiongoza kwa kuwa na pointi hamsini na nne na arobaini na nane huku UNK ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na pointi arobaini na nne kocha mkuu wa simba patrick phiri aliiambia mwanaspoti jana ijumaa kuwa ana imani wachezaji hao watafanya vema kwa kuwa hawana tofauti kubwa na wachezaji wa ulaya wanaocheza kwenye klabu za norway lakini wakala anayetambuliwa na fifa ambaye UNK wachezaji hao mehd rehmtulla alisema juzi usiku kuwa wachezaji wameondoka hispania kurejea norway ambako kwa sasa kuna baridi kali baridi ni kali sana ila kocha wa molde kaniambia wanaendelea vizuri na hali inaonyesha kidogo UNK lakini huenda UNK ukiachana na hayo kweli wanafanya vizuri na tunashukuru mungu kwa kuwa afya zao ni njema amani kwenu wasomaji wangu wapendwa mara nyingi nimekuwa nikijiuliza kuhusu kauli nyingi ambazo daima UNK kuhusu kupanda na kushuka kwa viwango vyetu katika michezo sina uhakika kuwa UNK kwa kauli hizi huwa kunatokana na ufinyu wetu katika kutambua mienendo ya mambo au inatokana na ulimbukeni ambao huwa tunakuwa nao mara tu UNK harufu ya mafanikio kidogo katika soka kwa bahati mbaya sana unapozungumzia michezo hapa kwetu asilimia tisini na tisa ya wale UNK wadau wa michezo watakuwa wanazungumzia soka hii asilimia moja UNK ndio utakuta ina mtazamo mpana zaidi wa dhana hii ya michezo idadi hii ndogo ya hao wanaojiita wadau ndio angalau inajua uwepo wa michezo mingine kama vile riadha mipira ya wavu kikapu na mikono kuogelea baiskeli na mingineyo mingi ni kutokana na udhaifu huu wa dhana nzima ya michezo ndio maana mtanzania wa mtaani anaposema kiwango cha michezo UNK au UNK dhamira yake kuu hapa inagusa kiwango cha soka na si mchezo mwingine wowote ule UNK ni kutokana na mtazamo huu UNK upofu ndio maana kila anayejaribu kuwa kiongozi wa michezo wa kutambulika katika jamii yetu UNK katika anga za soka iwe ni katika ngazi ya klabu wilaya mkoa na hata taifa hali hii imekuwa mbaya zaidi pale unapoona kwamba hata wanawake wameamua kujikita zaidi katika soka kuliko michezo mingine ambayo kihistoria ilikuwa UNK wanawake zaidi hebu tazama jinsi wanawake wengi UNK kugombea katika kujaza nafasi mbalimbali za uongozi katika chama cha soka la wanawake tanzania wakati ule wa uchaguzi wa shirikisho la soka tanzania idadi ya wanawake waliojitokeza kugombea ilikuwa ni kubwa mno ukilinganisha na idadi ya wanawake waliojitokeza kugombea nafasi kama hizo katika chama cha netiboli tanzania michezo kama ya mpira wa kikapu mpira wa mikono na mpira wa wavu ambayo miongo kadhaa iliyopita ilikuwa na washiriki wengi sana wa kike sasa imepoteza mvuto kwa akina dada hao hivi sasa kuna manispaa moja ya jijini dar es salaam ambayo ina klabu nyingi za soka la wanawake kuliko klabu za netiboli pamoja na jitihada kubwa zilizofanywa na chaneta katika kuhamasisha ushiriki wa wanaume katika mchezo huo ikiwemo na mechi za kimashindano za wanaume kasi ya mchezo huo kupokelewa na wanaume ilikufa kama moto wa kifuu maana kelele zilikuwa nyingi sana katika kuutangaza na kuupa mchezo huo mvuto wa pekee kabisa na mara tu baada ya hapo ushiriki wa wanaume katika mchezo huo UNK kama UNK wa alfajiri jumapili iliyopita nilipata mshtuko mwingine kule UNK ambapo kulikuwa na mashindano ya soka ya maveterani yanayojulikana kwa jina la bonanza la ujirani mwema pamoja na ukweli kwamba mashindano haya UNK wanaume UNK kulikuwa na waamuzi wa kike wawili ambao walishiriki kikamilifu katika kulipa uhai bonanza hilo pamoja na uwepo wa wanawake wengi kwenye bonanza hilo lakini ushiriki wao ulikuwa zaidi katika kula na kunywa vinywaji mbalimbali pale UNK kwa kuwa haya UNK UNK kama nyezo ya kuboresha afya ya watu kupitia michezo lingekuwa jambo jema basi hata wanawake nao wangekuwa na mashindano yao katika mchezo fulani kwa bahati mbaya sana pamoja na kuwa na umaarufu mkubwa sana na uwepo wa UNK na udhamini mkubwa sana katika UNK soka jitihada hizo UNK sana kubadilisha soka letu endapo michezo mingine UNK msukumo kama huu ambao soka inapewa nina uhakika kwa kiasi kikubwa sana kwamba tungekuwa UNK mafanikio makubwa zaidi ni vema basi wale ambao UNK dhamana ya kuendeleza michezo yetu UNK utando huu machoni mwao utando ambao unawafanya waone kuwa mchezo unaoweza kulitangaza taifa hili ni soka pekee yake dhana hii ni potofu sana na kwa kiasi kikubwa imechangia kuua michezo mingine hapa tanzania amani kwenu huku kukiwa na uvumi wa kutaka kujiondoa kwa mfadhili mkuu wa yanga miezi michache ijayo bilionea huyo ametoa ofa nyingine kwa wana jangwani kwa kuongeza ghorofa zaidi katika upande moja wa makao makuu wa jangwani na twiga jijini dar es salaam habari za uhakika ambazo imezipata mwanaspoti ni kwamba manji amekubali mabadiliko ya ukarabati baada ya kampuni inayoshughulikia ujenzi katika makao makuu ya yanga eneo la jangwani kuamua kubadili ramani ambayo itaongeza gharama manji amekubali kutoa kitita kingine kwa ajili ya ujenzi huo baada ya ramani mpya kuonyesha kwamba inalazimika kuongezwa upande mmoja wa ghorofa na pia sehemu ya maegesho ya magari kwa ajili ya wageni na wachezaji lakini pia ramani inaonyesha lazima kuwe na UNK ambayo katika ramani ya mwanzo UNK gharama imeongezeka kwa kiasi kikubwa lakini manji amekubali kugharimia kilieleza chanzo hicho imeelezwa bado majadiliano ya kitaalamu yanaendelea kuhusu suala la uwanja wa kaunda kuwekewa nyasi bandia au za kawaida bado halina uhakika kwa kuwa kitaalamu inaonyesha kama wataweka nyasi bandia wachezaji watakuwa wanacheza mechi nyingi katika nyasi za kawaida ukiachana na uwanja wa taifa sasa walikuwa wanaangalia waweke nyasi bandia au waweke za kawaida wengine walisema matunzo ya nyasi za kawaida ni makubwa na yanahitaji uangalizi makini kwa hiyo bado wanajaribu kuwasiliana na wataalamu mbalimbali ili kujua nini kifanyike kabla ya kufikia uamuzi wa mwisho wa suala hilo wakati ukarabati mwingine ukiendelea kilieleza chanzo mwanaspoti ilifanikiwa kumpata manji juzi alhamisi ambaye alisema kwa ufupi kuhusu suala hilo ukarabati unaendelea na kuna mambo kadhaa yamebadilika nafikiri UNK wataalamu wafanye kazi alipoulizwa suala lake kuamua UNK yanga alisema nani kasema nafikiri utaona ujenzi unaendelea na mambo mengine zaidi hata hivyo chanzo kingine kilieleza kwamba manji huenda UNK na yanga baada ya kukamilisha kila kitu kama UNK angalia itakuwa ni hosteli ya kimataifa ambayo sidhani kama kuna klabu ya afrika mashariki na kati UNK baada ya hapo nafikiri ataendelea na mambo mengine na kuiacha yanga ambayo siku zote amekuwa UNK ijitegemee kilieleza chanzo hicho cha uhakika hivi karibuni kumekuwa na taarifa za kutaka kuondoka kwa manji kuendelea kuidhamini yanga ingawa mwenyekiti wa yanga iman madega alisema kwamba mfadhili huyo bado yuko bega kwa bega na klabu hiyo UNK kwa kawaida wanawake wote wanapenda kuonekana wakivutia pamoja na hayo kuna wanawake ambao hufikiri kwamba ili kuwa mrembo UNK kiasi kikubwa cha fedha cha kununua UNK lakini watu wa aina hiyo wanasahau kwamba mwanamke anaweza kuwa mrembo kwa kutumia vitu asili ambavyo kwa kawaida havina madhara yoyote na gharama yake ni nafuu ni kweli kwamba kuna wakati mtu hulazimika kununua urembo wa dukani lakini kama UNK kutumia vipodozi vya asili na kuona kwamba UNK vema ni bora kushikilia msimamo huo katika makala ya leo tutaangalia njia nyingine ya kulainisha ngozi kwa kutumia vipodozi vya asili na njia yenyewe si nyingine bali ni utumiaji wa UNK kwa kawaida parachichi ni tunda UNK mafuta mengi katika makala ya leo tutaangalia utumiaji wa tunda hilo kuhakikisha kwamba ngozi ambayo ni kavu inakuwa laini na kuonekana ya UNK mahitaji parachichi lililokomaa bakuli la wastani maziwa ya maji kijiko kisu taulo dogo maji na UNK njia chukua parachichi moja lililokomaa vema UNK katikati na uchukue kipande kimoja ondoa maganda ya UNK hicho kisha weka kijiko kimoja cha UNK changanya maziwa na parachichi mpaka UNK mchanganyiko wako UNK vema chukua kiasi kidogo na upake usoni hakikisha uso wote UNK mchanganyiko huo lakini zingatia kwamba macho UNK kuguswa ndoa yangu imeharibika hata sijui UNK wapi kuirudisha katika hali nzuri kama ilivyokuwa awali mwenzangu amekuwa ana majibu mabaya UNK natamani ni bora UNK peke yangu ni vilio vya baadhi ya watu walio kwenye ndoa ukweli ni kwamba kuna ndoa nyingi hasa zile za muda mrefu wa kuanzia miaka miwili ya kuendelea wanandoa wengi wanaishi kwa sababu eeh kwa sababu wana watoto kwa sababu wanaona haya maana kusema ukweli kama hakuna sababu za msingi UNK si jambo zuri hata kidogo kuna baadhi ya ndoa zimejaa ubabe mwanaume akisema jambo ni lazima liwe hilo hata kama halina maana au katika baadhi ya ndoa wanawake wana ndugu UNK akisema hiki kisifanyike maana yake ni hivyo hata hivyo kusema ukweli ni kwamba ndoa nzuri au mbaya ni matokeo ya pande zote kuwa na matatizo kitaalam mtu mmoja ana uwezo wa kuifanya ndoa UNK kuwa nzuri ilivyo katika ndoa ni hivi ni kwamba wakati fulani kunaweza kutokea mikwaruzo ukiangalia jambo lenyewe UNK UNK unaona kabisa ni lenye kuweza UNK lakini mke au mume anaona aaah siwezi kuanza kuomba msamaha kwa sababu nitaonekana UNK au nitaonekana mkosaji ndoa nyingi UNK kwa sababu hii ya UNK ukweli ni kwamba kama kila mtu katika ndoa atakuwa mwenye kushuka na kutaka mabaya UNK mbali ndoa nyingi UNK kuwa nzuri ipi bora kujifanya mpumbavu ili kupisha mabaya au kujifanya UNK ili mabaya UNK sijui lakini binafsi naamini mpumbavu ni yule ambaye UNK ndoa yake iendelee kuharibika ndugu yangu ninachosisitiza ni kwamba kuharibika au kuendelea kuwa na ndoa nzuri kunategemea na jitihada zako UNK UNK wiki kadhaa zilizopita niliarikwa kuwa mzungumzaji kwenye semina tatu tofauti za ndoa huko arusha moshi na nyingine kati ya mambo UNK ni haya ambayo nimeona UNK kwako leo nilikutana na baadhi ya ndugu zangu ambao UNK aaah kaka dismas mimi najitahidi sana kuiboresha ndoa yangu lakini mwenzangu ndio UNK ni kweli UNK watu wengi wanaamini wanawafanyia mazuri wenzi wao wanaamini bila kuuliza kwa vile UNK mumeo pilau basi unaamini kuwa atakuwa amefurahi si kweli usipende UNK moyo jambo zuri ambalo ningependa kuzungumza nawe siku ya leo ni kuwa siku zote penda kushirikisha mwenzi wako muulize UNK hiki au hiki au hiki UNK muulize hivyo kama humjui vizuri anataka au hataki nini unaweza UNK pilau lakini kuna wengine wakipika pilau si nzuri wakati wengine wakipika pilau UNK acha hadi unaweza kutamani kila siku uwe unakula pilau tu pilau ni chakula kizuri baadhi ya watu UNK viungo vingi kwa mfano UNK vitunguu saumu UNK nk viungo hivi zaidi ya UNK chakula baadhi yake vinasaidia kumfanya mwanaume kuongeza nguvu zake za kiume na mwili wenye UNK umeshaelewa ninachosema ni kwamba kuna baadhi ya UNK sio tu kwamba vinakuwa ni vyakula lakini kwa kiasi fulani ni dawa nimewahi kuandika vitabu kadhaa kuhusu mbinu za kuondokana na matatizo haya ya nguvu za kiume kwa mfano katika kitabu cha saikolojia na utafiti sehemu ya pili UNK na wataalam mbalimbali nilizungumzia kwa kina suala hili pamoja na mazoezi ya UNK ambayo husaidia kuongeza maumbile kwa wanaume ninachotaka kusisitiza hapa ni kwamba msingi mwingine wa kukusaidia kuwa na ndoa nzuri ni kusoma vitu vingi zaidi UNK na ndoa usifikiri kwamba baada ya kuingia kwenye ndoa ni basi kama ilivyo katika kazi kwamba baada ya muda mtu anasoma zaidi ili kumfanya afanye kazi yake vizuri ndivyo inavyotakiwa katika ndoa jifunze mambo mapya ndoa nyingi watu wanaishi kwa sababu wanaona hawana tena sababu ya kusaka njia za kupendana wakati wa uchumba watu wengi walipokuwa UNK UNK ya kuonana walikuwa wasafi hata nguo za ndani zilikuwa mpya baada ya ndoa wengine nguo zao za ndani ni chafu au UNK wengine kuvaa nguo nzuri hadi aende kliniki au kama ni mwanaume labda kama anakwenda kwa daktari kudungwa sindano kuna wanaume wengi baada ya ndoa usafi UNK teke wengi wanalala bila kuoga wananuka jasho UNK ndugu zangu ndoa haziendi hivi ukiwa mchafu maana yake ni kwamba hata mwenzi wako UNK shauku ya kulala akiwa UNK inapungua kama sio kutoweka uchafu huharibu ndoa ndoa yako inaweza kuwa nzuri cha msingi ni wewe mwenyewe kubadilika kwa kuanza kuchukua hatua za kufanya ili kurekebisha kasoro zenu UNK kusameheana wala UNK mtu wa kujifanya kuwa yeye ni mzuri zaidi wala mbaya zaidi ninachotaka kusema katika mada hii ni umuhimu wa kujifunza zaidi elimu haina mwisho unapoingia kwenye ndoa isiwe kwamba ndio mwisho wa kila kitu isiwe kwamba ndio mwisho wa kujifunza mambo la hasha unapaswa kuendelea kutafuta mbinu za kuwasaidia muweze kuwa na ndoa nzuri kama mke au mume una tatizo UNK kiafya UNK raha cha msingi ni kusaka tiba sahihi ya tatizo sio kununiana au kulaumiana huwezi kuwa na maisha mazuri kwa kulaumu mwanasoka bilionea wayne rooney aliwashangaza wafanyakazi wa mgahawa wa UNK katika maeneo ya UNK UNK UNK baada ya kula chakula cha gharama kubwa kisha kutoa kadi ya malipo yenye kiasi kidogo cha fedha rooney alifika katika mgahawa akiwa na mke wake coleen na kula chakula cha thamani ya pauni ishirini na saba themanini lakini walitoa kadi ya malipo iliyokuwa na kiasi cha pauni kumi na tatu tisini tu mtu mmoja kutoka mgahawa huo alisema kila mmoja anapenda UNK wayne na coleen hawana tofauti na walifika katika mgahawa huo baada ya kufahamu kwamba kulikuwa na punguzo la bei na kocha wa wayne alex ferguson amewahi kuwaambia wachezaji wake kwamba pamoja na kutembea na kadi ya malipo ni vema pia kutembea na kiasi cha fedha mtu mmoja alisema huwa wanakwenda kwenye mgahawa huo mara kwa mara ni karibu na nyumbani kwao na hupenda kula chakula cha usiku ambacho huwa ni cha bei nafuu baada ya kula walitoa kadi ya malipo wafanyakazi wa mgahawa walifikiri kwamba ingekuwa na fedha nyingi lakini ilikuwa na fedha kidogo mno kitu pekee kilichosaidia ni kwamba mgahawa huo siku hiyo ulikuwa na promosheni ya chakula na salma said zanzibar mwaka ishirini sifuri tisa unaonekana kuanza vibaya kwa wasanii wa muziki wa kizazi kipya hasa kama UNK mafanikio yao katika ushirikishwaji wao katika tamasha maarufu la sauti za busara wasanii kadhaa wa muziki wa kizazi kipya wamekuwa UNK tamasha hilo kama sehemu ya kupiga hatua na wengine wakionyesha kulitumia kama sehemu ya kupata uzoefu katika kazi zao UNK ilikuwa ni kitu cha kawaida kuwashuhudia wasanii wakongwe au wenye mafanikio katika muziki wa kizazi kipya kama profesa jay mwana fa ay lady jaydee matonya mb dogg na wengine wakipata nafasi ya kutumbuiza lakini kama mshituko vile baada ya waandaaji wa tamasha hilo kuchukua uamuzi wa kusitisha ushiriki wao kwa madai kwamba wanaonekana kuwa hawana mvuto mwaka huu tamasha la sauti za busara limepangwa kufanyika februari kumi na mbili hadi kumi na saba mjini zanzibar na kama ilivyo ada litashirikisha wasanii mbalimbali kutoka ndani na nje ya tanzania mkurugenzi wa tamasha hilo UNK mahmoud ameiambia mwanaspoti kwamba uamuzi huo umechukuliwa baada ya kupata maoni kwa zaidi ya miaka miwili kutoka kwa wadau mbalimbali ambao wanaamini wasanii wa kizazi kipya hasa katika miondoko ya hip hop au UNK hawana mvuto watu wengi UNK nao na wengine kupiga kura katika mtandao wametoa maoni yao kuwa wasanii wa kizazi kipya wanaimba nyimbo zisizokuwa na mvuto hasa uimbaji wao unakuwa ule wa kufoka UNK tu inaonekana ni kama makelele vile alisema katika mahojiano yaliyofanyika katika hoteli ya UNK mkoa wa mjini magharibi lakini sasa utaona pamoja na vijana kuvutiwa nazo inaonekana ni nyimbo ambazo UNK mambo mengi au taratibu za kuufanya kuwa wimbo ni mambo ya kitaalamu na ndio maana wengine wameshauri hivyo wakiwamo wataalamu hata hivyo wanaonekana UNK mwaka wa kuondoa vikundi vya muziki wa kizazi kipya moja kwa moja baada ya kutoa nafasi chache ikiwamo ile aliyopewa joh makini msanii UNK hip hop kutoka arusha ambaye hupenda kujitambulisha kama mfalme wa a town mahmoud amesema juhudi zao zinaelekezwa zaidi katika makundi kutoka tanzania na hasa katika suala la kusaidia UNK kiushindani na bora zaidi ili yaweze kutoa burudani bora na kusisitiza kwamba ni wakati wa kuthibitisha hayo kwa kila mmoja tunaamini kwamba tofauti zetu kama binadamu UNK kuonekana maalumu na wa kipekee muziki ndio kitambulisho cha utaifa wetu sauti UNK sambamba na maneno mazuri yanayotoa nafasi ya kuanzisha UNK na UNK wa mawazo ya aina mbalimbali alisema mahmoud kadri siku zinavyosonga mbele tamasha hilo limekuwa likizidi kupata umaarufu kutokana na washiriki kutoka nchi mbalimbali kujitokeza na kuomba kushiriki awali lilianza kwa kushirikisha wasanii kutoka nchini za afrika mashariki tamasha la mwaka huu litakalofanyika kwenye viwanja vya ngome kongwe mjini hapa UNK rekodi ya matamasha yaliyopita kutokana na maandalizi yake kuwa bora zaidi jumla ya vikundi arobaini vimethibitisha kushiriki miongoni mwa wasanii watakaokuwepo ni pamoja na samba UNK akiwa na bendi yake ya UNK UNK kutoka nchini kenya ambao UNK na nyimbo kama vile UNK mifupa dunia tunapita nyama UNK na nyimbo yake mpya ya obama UNK mahmoud amesema baadhi ya vikundi vya hapa nyumbani UNK nafasi ya kuonyesha umahiri wao wakati wa tamasha ni pamoja na msondo ngoma bendi UNK UNK shada UNK UNK ngoma UNK original UNK bend wakati kwenye hip hop nafasi imetolewa kwa joh makini kwa upande wa zanzibar ni pamoja na culture UNK club mohamed UNK nyota UNK UNK zima moto UNK na zinduka ngoma bila kumsahau mkongwe wa muziki wa taarab bibi UNK tamasha la sauti za busara ishirini sifuri tisa UNK malengo yake kwani asilimia sabini na tano ya vikundi vinavyoshiriki vinatoka afrika ya mashariki na asilimia ishirini na tano vinatoka kusini na kaskazini mwa bara la afrika haya ni mafanikio kwetu kwa mwaka huu anasema mahmoud pia wasanii wasiopungua ishirini kutoka tanzania kenya na uganda UNK pamoja katika mafunzo ya siku tatu mafunzo hayo UNK zaidi katika suala zima la taa na sauti kwa msanii wanapokuwa UNK jukwaani kwa pamoja washiriki watapata fursa ya kutunga nyimbo mbili za kiswahili UNK wakati wa UNK tamasha la sauti za busara limeanza mwaka ishirini sifuri nne na kuwakusanya wasanii mbali mbali wa ndani na nje ya nchi za afrika ulaya na asia kuna uwezekano mkubwa baada ya miezi miwili ijayo yanga itakuwa ndio klabu yenye makao makuu bora zaidi kwa timu zote zilizo katika ukanda wa afrika mashariki na kati kwa kipindi hiki hasa zile zinazomilikiwa na wananchi na si makampuni au serikali ukarabati unaoendelea katika makao makuu ya yanga mtaa wa jangwani na twiga kariakoo jijini dar es salaam unaashiria kila sababu kwamba yanga itaweka rekodi hiyo ya kumiliki jengo la kisasa lenye vyumba vya kulala thebathini na sita mgahawa baa ndogo na chumba cha wazi cha mikutano chenye uwezo wa kuchukua watu wapatao hamsini katika jengo hilo sehemu ya chini tayari umeanza ukarabati wa uwanja wa kaunda na mwanaspoti ilishuhudia mafundi wakiwa katika hatua za awali kujenga mifereji ya pembeni ambayo itasaidia maji UNK kwenye nyasi iwapo mvua UNK lakini mafundi wengine walikuwa wanaendelea na ujenzi sehemu ya vyumbani juu na chini ya jengo hilo imeelezwa tayari uongozi wa yanga UNK na mfadhili wao mkuu yusuf UNK manji kufanyiwa ukarabati huo ikiwa ni pamoja na kuweka nyasi ingawa imeelezwa kulikuwa na majadiliano ambayo UNK mwafaka iwapo ziwekwe nyasi bandia au za kawaida katika ukarabati wa jengo hilo mambo mengi yatakuwa mapya ikiwamo bwawa la kisasa la kuogelea ambalo wakati mwingine litakuwa linatumika kama sehemu ya kufanyia mazoezi kwa wachezaji wa timu hiyo klabu nyingi hasa kutoka katika nchi zilizopiga hatua kubwa kisoka zimekuwa na makao makuu yenye vitu vingi vikiwamo viwanja na hosteli binafsi imeelezwa jangwani wamekosa nafasi ya kujenga kiwanja kingine kwa ajili ya watoto na vijana kutokana na kuwa na nafasi finyu katika eneo hilo hivyo timu zote zitalazimika kuchangia ukiachana na hivyo hivi karibuni ramani ya ukarabati huo ilibadilika na unaendelea kuinufaisha zaidi yanga baada ya kuongezeka sehemu ya maegesho ya magari ya wachezaji na wageni watakaofika kwenye jengo hilo ambalo tayari UNK kupakwa rangi za njano na kijani ambazo hutumiwa na timu hiyo imeelezwa mabadiliko ya ramani hiyo yatafanya upande mmoja wa jengo hilo kuongezwa na mwanaspoti ilishuhudia nguzo kadhaa zimeanza kujengwa kutokea chini upande wa magharibi wa jengo hilo la yanga mafundi walionekana wanaendelea na ujenzi sehemu mbalimbali za jengo hilo kizuri zaidi au kama vile mshangao ukarabati wake ulionekana kuwa ni wa kiwango cha juu kwa kuwa kila chumba kimewekewa UNK na UNK huku bafu na vyoo vya kila chumba vikiwa vimejengwa kwa ubora wa juu kukiwa na mikono ya mabomba ambayo wahusika wanaweza kuamua kutumia maji ya moto au ya baridi kati ya timu ambazo zinaonyesha kuishi katika hali ya ubora kwa ukanda wa afrika mashariki na kati ni apr ya rwanda na st george ya ethiopia angalau waethiopia hao wanatumia mali nyingi wanazomiliki kutokana na utajiri wao lakini apr wamekuwa wakitumia vitu vingi vinavyomilikiwa na serikali kupitia jeshi la wazalendo la rwanda chini ya rais paul kagame ambaye ni shabiki wao namba moja mfano hosteli za timu ya taifa zilizo katika makao makuu ya chama cha soka rwanda eneo la UNK na pia uwanja wa nyasi bandia ambao pia ni wa timu ya taifa ya rwanda UNK hali kwa klabu nyingi za uganda inaonekana kuwa si nzuri ingawa ura inayomilikiwa na mamlaka ya mapato inaonekana kuwa UNK maana yake hata kama yanga ingekuwa inazidiwa na timu kati ya ura na apr bado ingeendelea kuwa bora kwa kuwa hizo ni timu za mashirika wakati yenyewe ni timu iliyo mikononi mwa wananchi imeelezwa kuwa makadirio ya ukarabati huo kukamilika ni ndani ya miezi miwili na baada ya hapo kikosi cha yanga kitaondoka katika hoteli ya lamada na kuweka kambi katika makao makuu yao ikiwa ni sehemu ya kupunguza gharama wakati jangwani wakiwa UNK neema hiyo imeelezwa huenda manji akaondoka na kuwaachia hiyo ikiwa ni zawadi yao ya karne ambayo pamoja na kupita wadhamini wengi katika klabu hiyo hakuna ambaye amewahi kutoa zawadi kubwa kama hiyo kwa klabu hiyo iliyoanzishwa mwaka elfu moja na mia tisa na thebathini na tano na mwaka mmoja baadaye UNK simba ambayo jengo lake la makao makuu yake barabara ya msimbazi jijini dar es salaam liko katika sura inayoonyesha huenda pia linasubiri mfadhili wa UNK timu ya soka ya maili moja united ya kibaha imetinga UNK ya sita bora katika ligi ya taifa ngazi ya mkoa wa pwani baada ya kuwa ya kwanza katika kituo cha bagamoyo kilichokuwa na timu nane akizungumza na mwanaspoti jana jumatatu jijini dar es salaam kocha mkuu wa timu hiyo james washokera alisema uongozi wa timu hiyo kwa kushirikiana na benchi la ufundi wanaandaa mikakati ya kuhakisha timu hiyo inafanya vema katika hatua ya pili tunajipanga kuhakikisha tunafanya vizuri katika hatua ya sita bora ili tuweze kuibuka mabingwa wa mkoa wa pwani matumaini ya kufanya vizuri yapo kwa sababu mechi zote zitachezwa katika uwanja wa jkt ruvu ambao ndio uwanja wetu wa nyumbani hivyo tutapata sapoti ya kutosha kutoka kwa wapenzi na mashabiki wa timu yetu anasema timu ya soka ya union fc ya jijini dar es salaam inatarajiwa kuingia kambini mwezi huu kujiandaa na mashindano ya kuwania ubingwa wa tanzania kwa timu za madhehebu ya baniani yatakayofanyika mkoani tanga mwanzoni mwa mei kocha mkuu wa timu hiyo mohammed hussen mmachinga amesema jijini dar es salaam kuwa mashindano hayo pia UNK kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya kuwania kombe la dunia kwa timu za madhehebu hayo yatakayofanyika mwaka huu matumaini yetu ni kufanya vizuri katika mashindano hayo ambayo kwa hakika yatasaidia kujua uwezo wa timu yangu ambayo mwaka huu tutatetea ubingwa wetu wa dunia kwa timu za madhehebu ya baniani UNK mwaka jana kamati ya uchaguzi ya chama cha soka mkoa wa mwanza imemtangaza john tegete kuwa mwenyekiti wa chama cha makocha mkoani humo baada ya kuibuka kidedea katika uchaguzi wa viongozi wa chama hicho uliofanyika jumamosi jijini humo mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya mzfa richard UNK ameliambia mwanaspoti kuwa tegete alipita katika uchaguzi huu bila ya kupingwa katika nafasi hiyo tegete alikuwa ni mgombea pekee lakini wakati wa kupiga kura UNK utaratibu wa ndiyo na hapana na katika uchaguzi huo kura zote thebathini na tano zilisema ndiyo kwa tegete katibu mkuu wa chama cha soka wilaya ya kinondoni frank mchaki UNK timu zote zitakazoshiriki hatua ya pili ya ligi ya taifa ngazi ya wilaya hiyo itakayoanza kutimua vumbi februari ishirini na tano kuzingatia taratibu zote za ligi hiyo ili kujiepusha na matatizo yasio ya lazima mchaki ameliambia mwanaspoti kuwa hawatakuwa na huruma kwa timu yoyote ambayo UNK taratibu za ligi hiyo zaidi ya kuondolewa katika mashindano hayo safari hii hatutavumilia makosa ambayo yamekuwa yakijitokeza katika mechi mbalimbali hivyo viongozi wa timu wanatakiwa kuwa makini zaidi alisema na kuongeza kuwa pia watazingatia nidhamu hivyo viongozi wa timu wanatakiwa kuwa makini na wachezaji kocha mkuu wa timu ya soka ya vinane UNK ya kimara jijini dar es salaam UNK mkushi ameitaka serikali ya mtaa huo kuandaa mashindano ya watoto chini ya umri wa miaka kumi na tano ambayo yatakuwa na lengo la kufundisha maadili mema kwa watoto wa eneo hilo ili wasiingie katika vitendo UNK akizungumza na mwanaspoti mkushi amesema baadhi ya watoto katika eneo hilo wamekuwa wakiacha shule na kujiingiza katika makundi ya kihuni hivyo kuna haja ya kuwapa elimu kupitia michezo mbali na kupiga vita vitendo viovu na kuwafundisha maadili mema pia watapata kujifunza mambo mbalimbali yanayohusiana na maisha ya kila siku naamini kupitia soka hakuna UNK UNK kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo amesema watanzania UNK timu yake kwani huenda ikafanya vizuri katika fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani nchini ivory coast akizungumza katika ukumbi wa ofisi za UNK fm zilizopo mombasa mjini zanzibar maximo pia aliwataka wachezaji wa taifa stars UNK wachezaji wa timu nyingine wanazokwenda kuchuana nazo licha ya kuwa wachezaji hao si wa kulipwa alisema timu wanazokwenda kuchuana nazo ni timu nzuri hivyo kunahitajika juhudi za hali ya juu kukabiliana nazo ili kuibuka washindi kocha huyo wa brazil alisema kwenda katika fainali hizo ni fursa nzuri ya wachezaji hao kuonekana si tu katika nchi za ulaya lakini hata timu kubwa za afrika zinaweza kuwachukua katika soko la kulipwa maximo alisema timu yake inataka kuchagua vipaji vizuri lakini si rahisi kuchukua wachezaji wa tanzania nzima kwa kuwa wachezaji wengi wana vipaji vya kuridhisha alifafanua kuwa iwapo atachagua vipaji vya wachezaji wote timu yake inaweza kuwa na wachezaji moja sifuri sifuri sifuri kwa kuwa wachezaji wengi wa tanzania wana vipaji maximo alisema hayo kufuatia maombi ya mashabiki wa soka kumtaka achague wachezaji wenye vipaji waliopo zanzibar kuwaingiza katika taifa stars kwa kweli najua kama kuna vipaji vingi sana walivyonavyo watanzania si bara peke yake na katika mikoa mbalimbali ya tanzania ikiwemo zanzibar lakini kama tutachukua wachezaji wenye vipaji wote basi timu inaweza kuwa na wachezaji kumi sifuri sifuri jambo ambalo halitawezekana alisema maximo kocha maximo ameponda mfumo mzima wa kuendesha ligi kuu ya zanzibar na kusema umepitwa na wakati kwa sasa kutokana na mfumo UNK wachezaji katika kiwango cha kuwa tayari kwa mashindano zanzibar wapo wachezaji wazuri tatizo njia na mbinu za kuwaendeleza hazipo kwa mfano mfumo wa ligi inayochezwa hapa umepitwa na wakati na kunahitajika mfumo mpya ambao utakwenda sambamba na wakati wa sasa akitoa mfano maximo alisema kwa muda wa miezi minne sasa hakuna ligi kuu yoyote inayochezwa kisiwani hapa sasa hao wachezaji wa kuwachagua na kuwaingiza katika timu ya taifa kutoka zanzibar UNK wapi alihoji alisema moja ya njia ya kuchagua wachezaji ni kuangalia katika ligi kuu zinazofanyika hapa lakini kwa muda mrefu hakuna ligi inayofanyika katika kisiwa cha unguja na pemba mchezaji anatakiwa kuwa fiti na kucheza mpira katika kipindi cha miezi minane ligi kuu ya zanzibar inachezwa kwa muda wa miezi mitatu na miezi saba wachezaji wanapumzika mfumo huu haufai kabisa alisisitiza mbrazili huyo uongozi wa chama cha UNK uzito afrika UNK kwa wamisri baada ya zaidi ya miaka thebathini na sasa UNK libya katika uchaguzi uliofanyika mjini hapa hivi karibuni daktari UNK UNK ambaye ni mwanzilishi wa chama hicho mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na nane aliamua kujitoa kabla ya uchaguzi na kumwachia UNK khaled mohamed wa libya aliyekuwa anagombea nae nafasi hiyo katika uchaguzi huo UNK UNK wa libya alipata nafasi ya katibu mkuu baada ya edmund UNK wa misri nae kujitoa UNK mujibu wa katiba ya UNK viongozi hao wa juu UNK UNK katika nchi moja ili kurahisisha uendeshaji makamu wa rais UNK UNK UNK wa nigeria UNK UNK wa cameroon UNK fathi wa tunisia na UNK UNK wa misri kutoka afrika mashariki na kusini mwa afrika john ogolla wa kenya UNK akuwa katika kamati ya ufundi na kuwaacha wagombea wengine wengi wakiwa UNK UNK ana siasa za uchaguzi huo UNK makundi mkutano huo ambao UNK na chama cha dunia chini ya rais wake tamas ajan haukuwa na vurugu kama uliofanyika mjini al UNK misri ambao ulilazimika kuvunjika kutokana na matukio mbalimbali ya ukiukwaji wa kanuni ikiwemo madai ya rushwa daktari tamas ajan UNK wajumbe UNK uchaguzi kwa amani ili kulinda heshima ya mchezo huo UNK na kuahidi kuwa baada ya uchaguzi huo atafanya jitihada ya kuweza kusaidia afrika kukuza mchezo huo kama ilivyo kwa mabara mengine mshambuliaji wa yanga mike baraza amewaomba radhi mashabiki wa yanga kwa kuchelewa kuonyesha makali yake lakini akasema UNK al ahly dunia UNK baraza ambaye ni miongoni mwa wachezaji wazoefu UNK na yanga kwenye dirisha dogo la usajili wa ligi kuu tanzania bara lakini bado kiwango chake UNK mashabiki wa yanga mkenya huyo hajaweza kupachika bao na amekuwa akikosa nafasi nyingi kitu ambacho UNK mashabiki wa yanga UNK makubwa kutoka kwake baraza aliiambia mwanaspoti kwamba nawaomba radhi mashabiki kwa kushindwa kufanya kwa haraka kile UNK lakini si kwa kusudi imetokea kwa vile kabla ya UNK kucheza kuna mambo mengi UNK kimazoezi nipo UNK na najua kuanzia sasa kuendelea UNK bidii zaidi naomba wanipe muda kidogo kwenye soka kuna mambo mengi huwezi kuanza na kufanya vizuri siku hiyo hiyo naamini nina nafasi ya kufanya vizuri sana alisema mchezaji huyo na kuongeza kwamba endapo mikakati yao UNK dunia UNK nimecheza na al ahly kwenye mechi mbili nikiwa UNK lakini walitufunga nyumbani na ugenini UNK bao moja nairobi nafikiri na mwaka huu kama mungu akipenda nitakuwa na bahati nao vile vile tumepanga kucheza kitimu sana UNK sana UNK UNK kila kitu kwa pamoja tunataka kuwakamata kwanza kwao kwenye mchezo wa nyumbani kwao hata UNK bao moja sifuri au mbili moja si mbaya UNK dar es salaam tukiweza kuwakamata kwenye mchezo wa kwanza tu wa pili nyumbani utakuwa si mgumu sana na UNK dunia UNK sisi ni kina nani tutakuwa na uwezo wa kupiga yeyote yule wala sidhani kama kuna timu inaweza UNK bingwa mtetezi mara nyingi anakuwa imara sana na UNK kila mtu UNK hiyo itakuwa ni faida kwetu hasa UNK tuna timu nzuri mechi ya marudiano na etoile ya comoro si ya kubeza na kuchukulia rahisi kama mashabiki wanavyodhania tunapaswa kuitumia kujipanga vizuri kimchezo na kuzoea mazingira ya ugenini kama tumedhamiria kumfunga al ahly nyumbani kwao tunapaswa UNK etoile mengi sana ili UNK sawa sawa kwa mazingira ya ugenini kama misri yanga ambayo inarudiana na etoile ya comoro wikiendi ijayo katika mchezo wa awali ilishinda nane moja jijini dar es salaam na imeanza kujipanga kwa mchezo dhidi al ahly katika hatua ya kwanza ya ligi ya mabingwa afrika timu ya taifa ya mpira wa kikapu ipo katika hatihati ya kuikosa michuano ya chalenji itakayofanyika kigali rwanda februari ishirini na tano hadi machi mosi kutokana na ukata katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa kikapu tanzania lawrence cheyo amesema timu hizo zilianza mazoezi wiki iliyopita lakini bado hawana pesa kwa ajili ya kuiweka timu kambini timu zimeanza mazoezi lakini zitakuwa zinarudi nyumbani kwa sababu hatuna fedha za kambi UNK kiasi cha shilingi milioni arobaini na tano kwa ajili ya kambi na safari ya timu hivyo wadhamini wajitokeze kutusaidia kwani kuna hatihati ya kuyakosa mashindano hayo michuano ya tenisi ya vijana ya mikono open UNK februari ishirini na moja na ishirini na mbili kwenye viwanja vya gymkhana jijini dar es salaam kocha wa tenisi wa klabu ya gymkhana salum mvita amesema mashindano hayo yatashirikisha vijana chini ya umri wa miaka kumi kumi na nne na kumi na nane mwisho wa wachezaji kuthibitisha ushiriki wao ni februari kumi na tano na washindi watapata UNK mwenyekiti wa chama cha gofu tanzania michael shirima amewataka watu mbalimbali kujitokeza kuchukua kwa wingi fomu za kuwania uongozi wa chama hicho uchaguzi wa tgu utafanyika februari ishirini na nane kwenye viwanja vya gymkhana jijini dar es salaam shirima amesema bado kuna idadi ndogo ya uchukuaji fomu hivyo kuwataka watu kujitokeza kuwania uongozi kwa ajili ya maendeleo ya mchezo huo hapa nchini katibu mkuu wa chama cha baiskeli mkoa wa dar es salaam said kengele amewataka wanawake nchini kujitokeza kwa wingi kushiriki michuano ya wazi itakayofanyika februari kumi na tano kengele amesema sasa wanataka kuwainua wanawake waweze kupenda mchezo huo na anaamini wanaweza mimi naamini kabisa wanawake wanaweza wajitokeze kushiriki mashindano haya ili waonyeshe vipaji vya na kuleta changamoto dhidi ya wanaume michuano ya mpira wa mikono ya klabu bingwa taifa itafanyika februari kumi na tano hadi ishirini na mbili UNK mwanza katibu msaidizi wa chama cha mpira wa mikono tanzania nicolaus mihayo amesema maandalizi yote UNK vizuri na kuzitaka timu kujiandaa tunaendelea vizuri na maandalizi ila bado tunahitaji fedha kiasi cha shilingi milioni tano kwa ajili ya michuano hii hivyo tunaomba wadhamini UNK hasira walizonazo moyoni washambuliaji gaudence mwaikimba na maurice sunguti wa yanga UNK kwa benchi la ufundi mwishoni mwa wiki wachezaji hao ambao wamekuwa benchi kwa kipindi kirefu sasa walionyesha kiwango cha juu katika mchezo wa kirafiki dhidi ya mwanza united yanga ilishinda tatu mbili katika mchezo huo ambao yanga ilitumia wachezaji wengi wa kikosi cha pili na chipukizi mwaikimba na sunguti walitawala na kudhihirisha ukongwe wao sunguti ambaye ni mkenya alipachika mabao mawili safi ya kwenye video huku mwaikimba akipachika moja na kufanya vitu vilivyokuwa burudani kwa mashabiki wa yanga mwaikimba alionyesha umahiri mkubwa kwenye kutuliza mipira kushambulia kwa nguvu huku UNK vizuri na sunguti kitu ambacho UNK shida safu ya ulinzi ya mwanza united inayowania kupanda ligi kuu bara msimu huu mbwembwe za mwaikimba UNK na UNK mashabiki pale alipokuwa akipokea mashuti kutuliza kwa kifua kupiga chenga kutoa pasi safi na UNK mashuti wachezaji hao wamejikuta wakikosa nafasi baada ya kuja kwa boniface ambani ambaye amekuwa akichezeshwa zaidi na ben mwalala ambao wote ni wakenya mshambuliaji wa azam fc philip arlando amezuiwa kwenda likizo na mabosi hadi kiwango chake UNK sawa arlando amejiunga na azam akitokea kagera sugar kwenye dirisha dogo la usajili wa ligi kuu tanzania bara akiwa na mabao matatu mchezaji huyo ambaye kitaaluma ni mwalimu wa shule ya msingi ameonekana akifanya mazoezi na kikosi cha timu ya vijana wadogo ya azam kwenye uwanja wa tanganyika parkers kawe jijini dar es salaam lakini habari zilizoifikia mwanaspoti zinadai kwamba wachezaji wengine wa kikosi cha kwanza wameruhusiwa isipokuwa yeye ambaye kocha neider dos santos amemuamuru aendelee na mazoezi kimsingi UNK ni kwamba wanataka niwe fiti zaidi na nirudi kwenye fomu yangu wakati huu wa mapumziko mafupi villa squad imerejea mazoezi rasmi na benchi la ufundi UNK kufanya kazi kubwa kubadili taswira ya timu hiyo kocha wa timu hiyo iliyoanza mazoezi jana jumatatu jioni kwenye viwanja vya jangwani jijini dar es salaam kennedy mwaisabula alisema wana programu nzito mwaisabula alisema kwamba wamepanga UNK na kutengeneza safu moja baada ya nyingine katika kipindi chote cha mwezi mmoja wa mapumziko UNK kazi idara zote tunafanya mambo ya kiufundi zaidi kuhakikisha kwamba tunarudi vizuri baada ya mapumziko mwezi mzima ni kipindi kirefu ambacho nina imani mambo yatakuwa mazuri kwa vile vijana wangu ni waelewa halafu ni wazoefu na hii michuano haya maandalizi UNK sana nina imani timu itafanya vizuri mashabiki wetu wawe na subira sisi UNK sasa ni vitendo kwa sana villa squad ya kinondoni bado ipo katika hatari ya kushuka daraja kutokana na matokeo yasiyoridhisha kwenye msimamo wa ligi inayoendelea tumekuwa UNK na malumbano yanayoendelea baina ya shirikisho la soka tanzania kocha wa taifa stars marcio maximo na klabu ya yanga hivi karibuni tff ilitoa ombi kwa yanga kutaka isiwachukue wachezaji wake walio katika kambi ya taifa stars kwa ajili ya mchezo wao wa marudiano wa raundi ya awali wa ligi ya mabingwa afrika dhidi ya etoile ya comoro tff imeomba yanga isiwachukue wachezaji walio katika kikosi cha stars kwa ajili ya mchezo huo wa marudiano huku yanga ikiomba tff iwape ndege ili UNK wachezaji hao kwa siku chache na wawahi kurudi haraka ikiwezekana baada ya mchezo sisi tunaona tff imeanzisha vurugu ambazo UNK hata kufahamika kwa mashabiki na wapenda soka wote nchini ikumbukwe kuwa wachezaji ni mali ya klabu hivyo ni maajabu ambayo tunayaona tff kwa kutaka eti yanga isiwachukue wachezaji wao kwa ajili ya mchezo wa marudiano tunashangazwa kuona tff inaongozwa na watu ambao utadhani UNK mpira kama kuna mtu anadhani ushindi wa mabao nane moja unatosha kuipeleka yanga kwenye raundi ya kwanza UNK hata kama yanga ina uhakika mkubwa kutokana na ushindi huo suala la yanga kuweka rekodi ni jambo zuri pia yanga ikishinda katika mchezo wa marudiano kwa magoli mengi zaidi ikiwa na wachezaji wote litakuwa ni jambo zuri na rekodi nzuri kwao ikumbukwe kuwa yanga inakwenda comoro kutafuta ushindi hatudhani kama yanga inakwenda comoro kutafuta sare au kufungwa mabao machache kwa sababu tayari ina magoli mengi ya kufunga sisi tunaungana na yanga kwamba ni muhimu kama tff inaona inawahitaji wachezaji hao iwape yanga ndege ambayo itawapeleka comoro na kuwarejesha bila kuharibu programu za taifa stars UNK vizuri umuhimu wa fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani zitakazofanyika ivory coast lakini pia tff inapaswa kuthamini klabu ambazo zimekuwa UNK wachezaji kwa gharama kubwa tff ilitakiwa kukaa kwanza na yanga kabla ya kukurupuka na kutoa maombi kwa umma jambo ambalo tunadhani halikuwa busara hata kidogo sisi tunadhani tff ilitaka kupata huruma ya mashabiki na malumbano ya bure mara zote tumekuwa msitari wa mbele kutetea masilahi ya wachezaji klabu na timu ya taifa stars lakini pia huwa UNK haki zaidi na kwa hili tunaamini kuwa wachezaji ni mali ya klabu hivyo klabu UNK UNK ikumbukwe kuwa UNK klabu hata kidogo kama mchezaji wake angekuwa amepata timu nje ya nchi halafu UNK kwani mara zote tunataka maendeleo ya wachezaji mshambuliaji nyota wa yanga boniface ambani amesema ana uhakika wa asilimia kumi sifuri wa yanga kufuzu kwa kuifunga etoile katika ligi ya mabingwa afrika labda wacomoro hao waingie uwanjani na askari wenye mitutu akizungumza na mwanaspoti jana jumatatu jijini dar es salaam ambani alisema timu hiyo ya comoro watakayocheza nayo jumapili ijayo haina uwezo wa kuwafunga mabao saba sifuri ili wafuzu badala yake wataendelea kuipa kipigo na kufuzu yanga ilishinda mabao nane moja katika mchezo uliofanyika jijini dar es salaam wiki iliyopita na etoile inatakiwa kushinda mabao saba sifuri kama inataka kusonga mbele kweli mpira una mambo na maajabu yake lakini wale hawana uwezo wa kutufunga mabao saba labda waje na polisi wenye bunduki watutishie ili watufunge bao hizo tutacheza kwa nguvu sana na kuhakikisha hata huko tunashinda alisema kwa kujiamini nataka kufunga tena na ikiwezekana kutoa pasi nzuri za mwisho kwa wenzangu ili tupate ushindi mwingine mkubwa kwangu nikifunga nitazidi kubaki juu kwa wafungaji wa afrika kitu ambacho nakihitaji si vibaya nikifunga mengine mawili au matatu alisema mshambuliaji huyo raia wa kenya ameanza kurudisha hali ya kujiamini baada ya kukabiliwa na majeruhi kwa mwezi mzima ingawa bado hajafunga bao kwenye ligi kuu tanzania bara tangu kuanza mzunguko wa pili wa ligi hiyo tayari ambani yupo kileleni na mabao kumi na tatu hali inayowaumiza washambuliaji wengine nyota nchini kama mussa hassan mgosi ambaye tayari amepachika mabao sita sawa na mnigeria mwingine wa simba orji obina UNK huyo mwenye kasi na mashuti makali amekuwa changamoto kubwa kwa mabeki nchini kutokana na kasi yake hiyo ya kupachika mabao kocha wa saint george ya ethiopia sredojevic milutin micho amemsifu kipa wake ivo mapunda na kuahidi kumpiga bei afrika kusini au serbia akizungumza na mwanaspoti micho ambaye amewahi kuinoa yanga alisema tangu ivo asajiliwe na kikosi hicho amekuwa akifanya kazi kubwa langoni jambo ambalo limemfanya apate sifa kutoka kwa mashabiki wa soka nchini humo kocha huyo kutoka serbia alisema katika mechi kumi na saba walizocheza ivo amedaka mechi kumi na mbili na alikosa mechi tano kwa sababu alikuwa majeruhi amedaka mechi kumi na mbili ameruhusu mabao mawili tu mpaka hapo unaweza kuona kuwa ni kipa mzuri katika mechi kumi na mbili kuruhusu magoli mawili tu si kazi ndogo alisema kocha huyo wa zamani wa orlando pirates ya afrika kusini alisema kuwa kutokana na mafanikio hayo ya ivo timu yake inaongoza ligi kuu ethiopia ikiwa na pointi hamsini na tatu ikiwa na mechi moja mkononi huku timu inayowafuata ikiwa na pointi arobaini na mbili baada ya kumaliza mzunguko wa kwanza alisema kutokana na uhodari wa ivo amepanga kumuuza afrika kusini au serbia mwishoni mwa msimu huu juni ivo alijiunga na st george oktoba mwaka jana akitokea yanga baada ya kusajiliwa kwa kipa kutoka simba juma kaseja ambaye inadaiwa walikuwa hawaelewani kiasi kwamba hata mazoezi walikuwa hawapeani habari za saa hizi wewe mwenyewe unajua kuwa hapa ethiopia ni sehemu ya kupita nitakwambia ikifika juni nadhani nitampeleka afrika kusini au serbia alisema micho ambaye kwa mara ya kwanza alifika katika bara la afrika kuinoa villa sc ya uganda mwaka ishirini sifuri moja katika hatua nyingine micho amempongeza kocha wa simba patrick phiri kwa uamuzi wake wa kurejea msimbazi uamuzi wake ni mzuri ninajua ni kocha mzuri kama kila mara ninavyosema kuwa katika bara hili yeye ni miongoni mwa makocha mahiri wazawa lakini naomba simba wampe ushirikiano mzuri simba ikifanya makosa safari hii kwa kutompa ushirikiano phiri wanaweza wasipate kocha mzuri kama yeye kwa kipindi kirefu nawasihi sana kwa hilo alisema micho ambaye mwaka jana alikuwa mshauri wa benchi la ufundi la timu ya taifa ya ghana micho ambaye anaifundisha st george kwa awamu ya pili baada ya kuondoka mwaka ishirini sifuri sita na kujiunga na orlando pirates aliipongeza pia yanga kwa kuifunga etoile ya comoro mabao nane moja katika ligi ya mabingwa afrika kocha mkuu wa simba patrick phiri amesema watani wao wa jadi yanga walijipanga mapema na kuanza ligi kwa nguvu huku wao wakiwa usingizini hivyo kinachotakiwa kufanyika katika kipindi hiki ni kuhakikisha simba inashika nafasi ya pili na si mashabiki kujua kinachofanywa na yanga akizungumza na mwanaspoti jijini dar es salaam phiri alisema kupoteza muda kuzungumza mengi kuhusu yanga UNK simba badala yake wanatakiwa kuwa watulivu na kuangalia kipi ni muhimu kwao kwa kipindi husika hakuna sababu ya kufanya hivyo tuachane na yanga wao walifanya vema na kuanza ligi vizuri tena kwa nguvu kitu ambacho ni muhimu tuangalie hapo tulipo nini cha kufanya alisema kocha huyo wa zambia yanga inaongoza ligi ikiwa na pointi arobaini na mbili kagera inafuata ikiwa na pointi ishirini na sita na simba ishirini na nne simba ni timu nzuri tu wachezaji wanahitaji muda na wanaweza kufanya vizuri pamoja na kuwa katika hali hii lakini tunachotakiwa ni kujipanga na kuingia vitani katika hali ya ushindani na malengo nafasi ya pili ina ushindani mkubwa na hiyo inatokana na yanga kujikusanyia pointi nyingi wengi watakuwa wanaangalia nafasi ya pili na ziko timu zaidi ya nne ambazo zinawania nafasi hiyo sasa hapo ndio kazi yetu tupeane moyo UNK na kukosoana kwa maendeleo ili timu yetu ipate nafasi nzuri tusipoteze muda na kitu kingine kwa kuwa tayari UNK phiri alisema pamoja na likizo kuwa ndefu kutokana na taifa stars kushiriki fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani nchini ivory coast hadhani kama atakwenda zambia kwani tayari familia yake imetua jijini dar es salaam kumpa UNK tangu ametua simba kocha huyo wa zamani wa timu ya taifa ya zambia chipolopolo ameiwezesha kushinda mechi tatu za ligi na kutoka sare moja sare nyingine ni mechi ya kirafiki dhidi ya mabingwa wa zambia UNK wakati uongozi wa timu ya soka ya daraja la kwanza ya molde fk ya norway ukiwa bado UNK jibu rasmi kiungo henry joseph amekumbana na balaa kwa kuumia wakati wa mechi ya kirafiki dhidi ya kristiansund jumamosi iliyopita kwenye uwanja wa timu hiyo mjini UNK kocha mkuu wa molde fk UNK wakala aliyefanya kazi ya kuwapeleka henry na emeh izuchukwu raia wa UNK avute subira ndani ya wiki moja kuanzia ijumaa iliyopita ili atoe jibu kama wamefaulu au la katika mechi hiyo henry aliumia dakika ya sabini na nne baada ya kugongana na mchezaji wa kristiansund wakati wakiwania mpira na baada ya kutibiwa kwa muda aliomba kutolewa wakati henry anaumia emeh alikuwa anajiandaa kuingia na dakika moja baadaye alipata nafasi ya kwanza kuichezea timu hiyo wakiwa nchini norway kwa dakika ishirini na tano akichukua nafasi ya msenegal UNK UNK UNK awali wachezaji hao wa simba walijiunga na molde fk na kucheza mechi za kirafiki nchini hispania akizungumza na mwanaspoti mehdy UNK wakala aliyewapeleka wachezaji hao kufanya majaribio alisema alipewa taarifa hizo za kuumia kwa henry ingawa jana jumatatu au leo jumanne anaweza kuanza mazoezi mepesi kweli ameumia lakini si kwa kiwango kikubwa unajua bado mazingira ni tofauti kule kuna baridi kali lakini nimeambiwa ataanza mazoezi leo au kesho alisema pamoja na taarifa nyingi zisizo rasmi kuhusu wachezaji hao lakini imeelezwa kwa kiasi kikubwa huenda henry akafanya vema ingawa suala la baridi kali nchini norway huenda UNK majaribio yao mji wa burgen ambao ni wa pili kwa ukubwa nchini norway baada ya mji mkuu wa nchi hiyo UNK na ndio makao makuu ya klabu hiyo la molde UNK iwapo henry na emeh watafanikiwa majaribio hayo UNK nchini hadi katikati ya mwaka huu ndio watajiunga na timu ya hiyo ingawa henry atatakiwa kwenda kujiunga na kikosi cha timu ya taifa stars kwenye michuano ya kombe la mataifa afrika kwa wachezaji wa ndani yatakayofanyika nchini ivory coast kuanzia february ishirini na mbili hadi machi nane kikosi cha timu ya taifa ya zimbambwe kikiwa na wachezaji kumi na nane UNK nchini leo jumanne tayari kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya taifa stars kesho jumatano kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam afisa habari wa shirikisho la soka tanzania florian kaijage alisema zimbabwe inatua na ndege ya shirika la kenya airways na itaambatana na viongozi saba chini ya katibu mkuu wa shirikisho la nchi hiyo UNK UNK UNK kikosi UNK leo UNK wachezaji UNK na fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani zinazoanza februari ishirini na mbili nchini ivory coast zimbabwe ikiwa kundi b na libya ghana na daktari congo katika mchezo wa kesho ambao ni wa mwisho kwa stars UNK februari kumi na tisa huenda kiungo athuman idd asicheze kutokana na kusumbuliwa na matatizo ya nyama za paja kocha wa taifa stars marcio maximo alisema mchezo huo utakuwa ni mgumu kwani zimbabwe iko juu kisoka afrika na itakuwa kipimo kizuri cha chan mwamuzi wa kati katika mechi hiyo ya kesho jumatano atakuwa israel nkongo msaidizi wa kwanza hamisi changgwalu wa pili UNK erasmo na wa akiba ni oden mbaga ambao wote wana UNK ya fifa viingilio katika mechi hiyo ni vip bluu shilingi ishirini na tano sifuri sifuri sifuri jukwaa kuu kumi na tano sifuri sifuri sifuri kijani ni kumi sifuri sifuri sifuri na mzunguko tatu sifuri sifuri sifuri yanga UNK kwenda jijini cairo kuisoma al ahly ya misri wakati ikicheza na sc sfaxien ya tunisia katika fainali ya super cup mwishoni mwa wiki badala yake kocha dusan kondic yupo UNK katika mchezo huo al ahly ilishinda kwa mabao mbili moja lakini yanga UNK mtu yeyote wa benchi la ufundi kwenda kuangalia mchezo huo uliochezwa ijumaa kwenye uwanja wa cairo unaobeba mashabiki sabini na tano sifuri sifuri sifuri mabao yote mawili ya al ahly katika mchezo huo yalifungwa na mchezaji wa angola flavio amado huku la sc sfaxien likifungwa na mchezaji wa ivory coast kouassi UNK badala yake yanga imetamba kuwa imepata mkanda wa al ahly wa mechi mbalimbali za miaka ya nyuma mwenyekiti wa yanga imani madega alipoulizwa jana jumatatu kama walituma mtu yeyote wa benchi la ufundi kwenda misri alisema hawakufanya hivyo kiongozi mwingine ambaye hakupenda jina lake litajwe alisema hatukuona ulazima wa kufanya hivyo ila kuna mashabiki wetu wanaoishi misri watatupa habari za al ahly watalaamu kadhaa wa soka nchini ambao hawakupenda kutajwa wamesema yanga ilitakiwa kumtuma mtu wa benchi la ufundi kwenda kuangalia mechi hiyo badala ya kutegemea mkanda wa video au kuona mechi hiyo kupitia televisheni mmoja wa makocha maarufu nchini alisema kuwa jose mourinho licha ya kuiona manchester united mara kwa mara kwenye televisheni amesafiri mara mbili kwenda kuiona timu hiyo ikicheza ligi kuu england mourinho UNK inter milan alikwenda uingereza juzi jumapili kuona manchester united inapocheza na west ham man united ilishinda moja sifuri mourinho pia alikwenda uingereza kuiona manchester united inapocheza na chelsea katika mechi hiyo manchester ilishinda mabao tatu sifuri mwezi uliopita inter milan ya mourinho na manchester united ya alex ferguson zitakutana katika mechi ya ligi ya mabingwa ulaya hatua ya mtoano mwezi huu jambo ambalo limefanya makocha hao UNK mtaalamu mwingine wa soka alisema yanga walipaswa kumtuma mtu katika mechi hiyo kwani al ahly ni timu ngumu na ili kuifunga unapaswa kuisoma kwa undani na kujua jinsi UNK wataalamu wawili wa benchi la ufundi la al ahly walikuwapo uwanja wa taifa jijini dar es salaam wiki iliyopita wakati yanga ilipotoa kipigo cha mabao nane moja kwa etoile ya comoro wiki iliyopita wakati yanga UNK na kocha sredojevic milutin micho kocha huyo alikuwa anakwenda karibu sehemu zote kusoma timu ambazo atacheza nazo na yanga ilifika mbali katika michuano hiyo mwaka juzi micho alikwenda angola tunisia na ethiopia UNK timu za petro atletico esperance na el merreikh ambayo ilicheza mchezo wa kirafiki ethiopia hivyo kumpa nafasi kocha huyo kuisoma vizuri ikiwa nchini humo licha ya yanga kufungwa na esperance na el merreikh kwa mabao tatu sifuri katika kila mechi ya ugenini mwaka juzi lakini timu hiyo ya jangwani ilitoka suluhu na timu hizo katika mechi za marudiano jijini mwanza si siri kuwa kikosi cha micho hakikuwa na wachezaji bora kama wa sasa hivyo yanga inaweza kuwa na uhakika wa kuwaondoa mabingwa hao mara sita wa ligi ya mabingwa afrika na mabingwa mara nne wa super cup afrika jana jumatatu mwanaspoti UNK kocha mkuu wa yanga mserbia dusan kondic bila ya mafanikio kwa kuwa simu yake ilikuwa UNK lakini baadaye msaidizi wake spaso skolosovisk raia wa macedonia akasema bosi wake yupo afrika kusini kwa matatizo ya kifamilia mwanaspoti UNK simu yake ya afrika kusini na ilikuwa haipatikani lakini tulifanikiwa kumpata mkewe anayeishi johannesburg ambaye alithibitisha kuwa mumewe yupo nchini hapo yuko nyumbani na mimi niko njiani narejea huko ni mbali kidogo ila UNK ili UNK nawe alisema mkewe ingawa kondic hakupiga simu baadaye kama alivyoahidi mkewe raia wa angola alisema hiyo inaonyesha udhaifu katika uendeshaji wa masuala ya soka nchini mimi nadhani walimtuma mtu kama walimtuma UNK lakini kama hawakutuma mtu huo ni udhaifu mkubwa alisema mziray yanga walitakiwa kutuma mtu kufanya upepelezi katika soka ujasusi wa kimichezo unaruhusiwa wangekuwa wanacheza na simba UNK watu wao UNK simba inavyofanya mazoezi lakini hawaoni umuhimu wa kutuma mtu misri mimi bado siamini kama kweli yanga hawakutuma mtu nadhani wanafanya siri tu hawataki kutangaza kwa umma kitu ambacho pia ni kizuri alisema mziray kocha msaidizi wa azam fc sylvestre marsh alisema kwenda kuwaangalia UNK sana lakini pia kwa upande mwingine si lazima sana inawezekana UNK na wana vitu UNK wale makocha watatu wa yanga ni wajanja sana na wameshiriki mashindano makubwa kwa kipindi kirefu watakuwa wameshapata mikanda yao lakini nina imani yanga itafanya vizuri kocha msaidizi wa kagera sugar UNK kabange alisema yanga ingeweza kwenda misri kuangalia hiyo fainali na matokeo yakaja UNK pia siku ya mchezo kwenye haya mashindano kuna ulazima umjue UNK naye kabla lakini wakati mwingine haisaidii sana yanga ni timu kubwa naamini ina mipango mizuri na lolote linaweza kutokea huu ni mpira na mashindano wanayocheza ni makubwa wakati simba UNK mabingwa watetezi wa afrika mwaka ishirini sifuri tatu zamaleki ya misri walituma watu kadhaa kwenda kuona mechi mbalimbali zinazoihusu zamaleki lakini pia UNK katika benchi la ufundi talib hilal wa oman kutokana na kujua jinsi timu za kiarabu UNK matokeo ya sare ya bila kufungana baina ya taifa stars na zimbabwe UNK kwa hisia tofauti na mashabiki hasa walioenda uwanjani wengi walitoka na hisia tofauti baada ya safu ya ushambuliaji kuonekana ikishindwa kuipenya ngome ngumu ya wazimbabwe ambayo ilionekana dhahiri kuwa ilikuwa na taarifa zote kuhusu nguvu ya stars katika ushambuliaji kumshika mrisho ngasa kwanza ni kweli ngasa amekuwa ndio chanzo cha mabao mengi ambayo taifa stars imeyapata tangu ilipoanza kutikisa nyavu baada ya kipindi kirefu cha matokeo mabaya wakati kocha UNK maximo akihaha kuijenga timu ili ijue UNK kujilinda kabla ya kwenda mbele ngasa alijaribu sana kutumia mbinu zake kuwatoka mabeki wa zimbabwe lakini ujanja wa ngome yao wa kutotoa nafasi kwa mshambuliaji huyo kukimbia na mpira kulimfanya ashindwe kusababisha madhara ambayo yamekuwa UNK stars mabao matokeo yake mshambuliaji mwenzake jerry tegete ambaye ana kipaji cha kuzaliwa cha kucheza kama mshambuliaji wa kati akaonekana hana madhara na muda mwingi alionekana kurudi katikati kutafuta mipira jambo ambalo hakuweza kulifanya vizuri mara nyingi tegete huwa hatari wakati mpira unapokuwa golini mwa wapinzani na kwa maana hiyo mpira huo ni lazima UNK eneo hilo ndipo mshambuliaji huyo chipukizi UNK cheche zake bila ya mpira kuwepo eneo hilo basi tegete anakuwa si hatari tena kwa ujumla stars waliweza kumiliki mpira kwenye kiungo lakini kuitoa sehemu hiyo na kuipeleka eneo la hatari ilionekana kuwa kazi ngumu na hasa wakati nizar khalfan alipoumia na kulazimika kutoka kitendo cha viungo kushindwa UNK mipira kwenye eneo la hatari na kuumia kwa nizar kulifanya mashabiki wengi UNK kiungo wa yanga athuman iddi chuji na wa simba henry joseph viungo hao wawili ni tegemeo kubwa la maximo ingawa chuji huchezeshwa kulingana na ugumu wa mechi na aina ya mchezo ambayo kocha UNK siku hiyo joseph ni wa kudumu kwenye hicho na ndiye nahodha chuji ni kiungo ambaye ana maamuzi tofauti na jasiri hasa anapokuwa anapeleka mipira eneo la hatari huweza kujaribu mashuti ya mbali lakini pia ana uwezo wa kupunguza mabeki na kutoa pasi nzuri kwa wafungaji na kikubwa zaidi hucheza kwa juhudi kubwa na bila ya kuchoka henry ni mmoja wa wachezaji makini mwenye uwezo mkubwa wa kusaidia kufunga nafasi kwenye ngome yake lakini pia kwenda mbele kusaidia mashambulizi akiwa na pasi nyingi za hatari na uwezo wa kufunga kukosekana kwa wawili hao UNK dhahiri wakati stars UNK kabisa kumjaribu kipa wa zimbabwe kwa hiyo haikuwa ajabu kwa maximo kuamua UNK kiungo wa jkt ruvu mwinyi kazimoto ambaye kwa macho ya wengi alionekana UNK vizuri nafasi hiyo kiasi cha kuitwa nje katika kipindi cha pili binafsi naona kuwa maximo alifanya kitu kikubwa pamoja na kwamba hiyo ilikuwa mechi ya kwanza ya kimataifa ya kazimoto na kwamba jukumu UNK lilikuwa kubwa na muda UNK UNK awe uwanjani kwa muda mwingi tofauti na wachezaji wengine UNK mechi za kimataifa kama stars UNK kuwa inakuwa kwenye wakati mgumu UNK chuji na henry basi kazimoto na wengine hawana budi kuendelea UNK wakati huu ili UNK fainali hizo za chan wiki ijayo awe amezoeana na wengine wakati wa mechi kazimoto anaonekana kuwa bado ni mdogo lakini mwenye kipaji kikubwa cha kucheza hiyo nafasi ngumu hivyo kutofanya vizuri kwenye mechi hiyo kulitokana na upya wake kwenye timu kama ilivyokuwa kwa kigi makassy tegete na wengine binafsi naona mwanga mkubwa mbele kwa chipukizi kama kazimoto iwapo UNK mkono na mashabiki na kocha wake kama utakuwa ni mwanamichezo wa kweli UNK muda wako mwingi kubishana kwa kuwa tu ni shabiki wa arsenal lakini kitendo cha mshambuliaji wa timu hiyo ya england emmanuel adebayor kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa afrika UNK kiasi gani njia ya ubabaishaji inavyoendelea kutawala katika soka katika bara hili adebayor hakustahili kutwaa tuzo hiyo na badala yake ilitakiwa kwenda kwa mohammed aboutrika ambaye ana vigezo vyote ambavyo vimekuwa UNK kuwapata wachezaji bora wa afrika kwa mwaka ishirini sifuri saba na mingine iliyopita waliokuwa wanawania tuzo hiyo kwa mwaka jana ni ni adebayor amr zaki didier drogba na michael essien wote chelsea england na mchezaji pekee anayecheza soka barani afrika aboutrika wa klabu ya al ahly ya misri kupewa tuzo kwa adebayor naamini UNK wengi mitaani nimekuta mijadala ya kila aina na kila mmoja akizungumza kwa mtazamo wake wachambuzi kadhaa wa soka wakiwa wale wa kimataifa UNK hilo lakini mimi nasimamia kwamba kumpa UNK huyo tuzo ya mchezaji bora wa afrika inaonyesha namna gani caf UNK kwamba mchezaji bora wa afrika lazima awe anacheza soka ya kulipwa ulaya kitu ambacho ni mawazo mgando na UNK caf ni wasimamizi na UNK ni makocha mbalimbali wa nchi za afrika ambao pia naamini wakati wa kuchagua hawakuwa watu waliokuwa huru kimawazo UNK zaidi ulaya kuliko hali halisi kwa kuwa kama ni suala la mafanikio basi aboutrika alikuwa mara kumi zaidi ya adebayor na hakuna siri kuwa makocha wengine walipiga kura kwa sababu tu ni mashabiki wa arsenal au soka la england tumeona namna ronaldo UNK lionel messi tuzo za mchezaji bora wa ulaya na dunia kama ni suala la uwezo binafsi wengi waliotoa maoni walimpa messi lakini vigezo vinavyotumika mara zote vya mafanikio na vikombe vilikuwa kwa ronaldo ambaye UNK man united ubingwa wa england ulaya na dunia na wadau kweli hawakuwa na sababu ya kuendelea na UNK sasa adebayor kwa kigezo gani kikubwa naamini itakuwa ni kwa sababu anacheza soka ulaya na hata UNK akiwamo kocha mkuu wa tanzania marcio maximo ambaye alimpa adebayor wameathirika na historia kwa kuwa kila aliyeshinda miaka ya nyuma alikuwa mwafrika anayecheza ulaya naona ni utumwa wa mawazo kwa kuwa katika wote waliokuwa wanawania tuzo hiyo kama ni suala la vigezo basi mafanikio makubwa yako kwa aboutrika ambaye mwaka jana UNK klabu yake ubingwa wa afrika na timu ya taifa UNK kombe la afrika huku adebayor timu yake ya arsenal UNK kwenye ligi kuu england na ikishindwa kupata hata nafasi ya kushiriki mwaka juzi frederic kanoute wa mali aliwazidi michael essien na didier drogba kwa kuwa timu yake ya sevilla ilitwaa kombe la uefa na yeye likuwa mfungaji bora wa la UNK mwaka ishirini sifuri sita tunakumbuka mafanikio ya drogba aliyeshinda tuzo hiyo chelsea ilibeba makombe ya england na fa kwa msaada wake mkubwa halafu mwaka ishirini sifuri tano UNK samuel etoo akiwaacha drogba na essien hakuna UNK kwa kuwa kazi yake kwa barcelona ilionekana katika la liga na ligi ya mabingwa sasa adebayor amefanya nini mwaka jana upuuzi mtupu kuna mchezaji kama junior agogo wa zamalek ameonyesha mfano kwamba hata afrika inawezekana baada ya kuamua kuachana na soka ya england na kwenda misri wakati akiwa UNK iko haja ya afrika kuanza kuonyesha nia ya kujitegemea hapo baadaye kwani tutacheza ulaya hadi lini na hao wa ulaya watacheza lini kwetu afrika sina maana angepewa aboutrika kwa kuwa itaonyesha afrika ina wachezaji bora lakini ubora wake tayari ulionyesha anastahili tuzo hiyo kwa zaidi ya ya asilimia hamsini zaidi ya adebayor na ulikuwa ni mwaka wa kwanza mfano kuwaonyesha wazungu kwamba mchezaji anaweza kuwa bora hata akiwa afrika aboutrika ameonyesha hilo akiwa uwanjani natamani nikuelezee historia yake na mafanikio yake mwaka jana kwa kila mechi lakini sina nafasi ya kutosha wakati mwingine nimekuwa nikifikiria kwamba huenda ushabiki wa timu kubwa kama arsenal ndio UNK kupata tuzo hiyo kwa kuwa makocha nao ni UNK au kwa kuwa makocha wengi waliopiga kura hizo kama maximo wanatokea nje ya afrika basi wanaamini mchezaji bora hawezi kuwa anachezea afrika au vingine au ni nini tuzo hizo za mwaka huu pia zilithibitisha aboutrika alistahili kuwa bora baada ya al ahly kuwa klabu bora ya na misri timu bora ya taifa sasa vipi kiungo wake bora na mwenye mchango mkubwa ambaye amesaidia timu hizo kuwa bora ameshindwa kutwaa tuzo na kupewa adebayor ambaye hana lolote linaweza kumfanya asimame na kusema ni zaidi ya kiungo huyo maarufu kama muuaji mwenye tabasamu mara ya mwisho tuzo hiyo kuchukuliwa na mchezaji kutoka afrika ilikuwa mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tano alipochukua mohamed UNK wa morocco ambaye alikuwa anachezea far rabat ambaye alipata kura mia moja na kumi na tatu na kuwashinda UNK wawili UNK UNK wa fc porto na UNK UNK wa je UNK UNK iko haja ya kuliangalia upya suala la kishabiki wakati wa UNK lakini hisia za kitumwa za UNK ambazo UNK na wakati na kinachotakiwa kuangaliwa ni hali halisi na ukweli ili kuendelea kuijenga afrika katika misingi ya haki kimaendeleo ndio maana nasisitiza safari hii tuzo ya mchezaji bora wa afrika ilipaswa kubaki afrika na si ulaya kwa adebayor ambaye hakustahili hata UNK kwangu hata essien alikua ni bora zaidi ya adebayor kwa kuwa mchango wake mwaka jana UNK chelsea kufika fainali ya kombe la ulaya na kushika nafasi ya pili kwenye ligi kuu england juu ya arsenal ya adebayor amani kwenu wasomaji wangu wapendwa tupo tena pamoja kama ada ya kila mwisho wa juma kufanya tafakari ya michezo katika miaka ya hivi karibuni klabu nyinig za soka nchini hapa zimekuwa zikipata tabu kidogo katika kusajili makipa wa kiwango kinachofanana na kile kinachokidhi mahitaji na mikikimikiki ya ligi kuu bara hali hii inazidi kuwa mbaya zaidi hasa pale hata timu ya taifa inapokuwa na makipa kadhaa ambao kwa hakika kati yao kunakuwa hakuna hata mmoja ambaye anakubalika kuwa na kiwango cha kucheza katika timu hiyo ninajua kwamba kuna wale ambao huwa wanasoma makala zangu juu juu tu bila kufanya tafakari ya kina hawatanielewa nataka kusema nini hapa sina maana kwamba tanzania haina makipa wazuri la hasha ninachodhamiria kusema kwamba makipa wazuri na wenye umahiri mkubwa wa kustahili kuchezaa katika ligi kuu bara ni wachache sana na kwa mantiki hiyo hata wale ambao wanachaguliwa katika timu ya taifa wanakuwa hawana ubora unaostahili yawezekana kabisa kwamba wapo makipa wengi wazuri katika sehemu mbalimbali za nchi yetu ambao wangeweza kuonyesha ubora stahili lakini kwa miaka ya hivi karibuni hali imekuwa inatisha kidogo hebu fikiria idadi kubwa ya makipa wazuri waliowahi kuchezea klabu mbalimbali na timu za taifa na kisha ujaribu kuwalinganisha na hawa wa sasa majina ni mengi sana lakini hebu kumbuka watu kama kitwana manara popat omar mahadhi athman mambosasa juma pondamali moses mkandawile ally salehe idd pazi hamisi kinye mohammed mwameja steven kasimir nemes salum waziri kichochi lemba mbwana makata sahau kambi duncan mwamba au kwa wale wachache sana waliwahi kumjua charles odenyo wa kule shule ya sekondati malangali miaka ya sabini wakati wa enzi hizo makocha wengi walikuwa wakipata tabu sana katika kuamua wampange yupi katika safu ya makipa walisajiliwa na klabu hiyo kuna wakati klabu zilikuwa na hata utaratibu wa makipa wenyewe kupangiana zamu ni nani acheze mechi gani na ni nani apumzike hali ni tofauti sana sasa katika klabu nyingi za ligi kuu ya vodacom nadhani ni klabu moja tu ambayo unapoenda kuangalia mechi zao unakosa uhakika kuwa ni kipa yupi atakuwa langoni klabu hiyo ni yanga pekee yake ambayo uwezo wa juma kaseja na ule wa mserbia obren cirkovic unakaribiana kwa kiasi kikubwa klabu nyingi zilizobaki zimekuwa ni zile ambazo zina kipa mmoja tu mwenye ubora wa kutosha ambaye kwa kiasi kikubwa huwafanya wengine katika klabu hiyo kuwa wanasugua benchi ninafahamu kabisa na kwa undani chanzo kikubwa cha tatizo hili hapa kwetu unapokwenda kuangalia mazoezi ya timu za klabu nyingi za ligi kuu utagundua kwamba makocha wengi huweka zaidi msisitizo katika mazoezi ya wachezaji kucheza na mpira kuliko kitu kingine chochote sehemu kubwa ya mazoezi haya huwa ni ya kuwafanya wachezaji wawe na ubora katika umiliki wa mpira na hasa kukazia msisitizo katika stadi za ushambuliaji wa timu ni mara chache sana utawakuta makocha wetu wakitia mkazo katika maandalizi ya walinda milango kuanzia sehemu ya upashaji moto miili yaani warming up sessions na kuendelea huku mazoezi hayo yakizingatia umahsusi wa nafasi ya kipa na majukumu yake mchezoni kuna baadhi ya klabu zimeona umuhimu wa kuajiri kocha maalum kwa ajili ya makipa hata hivyo makocha hawa wa makipa bado hawajapatiwa mafuzo maalum ambayo yangewafanya waweze kumudu wajibu wao kwa ufanisi zaidi mapungufu makubwa yapo katika dhana kwamba kila aliyecheza nafasi ya kulinda pale golini ndiye apewaye ajira hiyo au jukumu hilo kama kocha wa makipa hii ni dhana potofu na yenye upungufu mkubwa sana wale wanaodhani kwamba kila aliyewahi kuwa kipa mzuri basi anaweza na kufaa kuwa kocha mzuri wa makipa wana upofu katika kufanya upembuzi yakinifu wa mambo hebu tutazame jambo hili kwa makini miongoni mwa makocha bora sana wa soka wanaochipukia ni mbwana makata ambaye kwa kiasi kikubwa amekuwa akizibadilisha sana timu zake kimchezo huyu aliwahi kuwa kipa pamoja na ubora wa uchezaji wa timu yake bado hajafanikiwa kumtengeneza kipa bora wa kiwango chake kuna haja kubwa ya kujiuliza hivi kuna nini hasa limewasibu makipa wetu wa sasa kiasi kwamba hata ukiwata mchana na kwa kutumia tochi pia bado utagundua kwamba wenye kiwango cha kukubalika ni wawili tu ambao ni amani simba na juma kaseja katibu mkuu wa chama cha soka wilaya ya kinondoni frank mchaki ameutaka uongozi wa chama cha soka mkoa wa dar es salaam kushirikiana na vyama vya soka vya wilaya za mkoa huo kwa maendeleo ya soka UNK na mwanaspoti mchaki amesema kuwa drfa imekuwa UNK kufanya mambo mbalimbali peke yake bila ya kushirikisha vyama hivyo UNK na mwenendo mzima wa drfa kwani chama hicho kimekuwa kikifanya mambo yake kimya kimya bila kutushirikisha kwani hali hiyo hailengi kuinua soka la mkoa wetu uongozi wa timu ya soka ya pamba ya jijini mwanza umeanza kutekeleza mikakati yake ikiwa ni pamoja na kufanya usajili ili kuziba nafasi zilizoachwa wazi na wachezaji wake UNK timu hiyo akizungumza na mwanaspoti kocha mkuu wa timu hiyo ibrahim UNK amesema kuwa UNK kufanya hivyo ili kuhakikisha malengo yao UNK mapema kabla ya kuanza kwa ligi ya taifa ngazi ya mkoa huo tumeamua kutekeleza mikakati yetu mapema iwezekanavyo ili tuweze kupata muda mzuri wa kujiandaa zaidi na ligi ya mkoa ambayo inatarajia kuanza hivi karibuni timu ya soka ya kampuni ya bia tanzania ipo katika maandalizi makali ya kujiwinda na mechi mbalimbali za kirafiki ikiwemo mechi dhidi ya timu ya soka ya waandishi wa habari za michezo tanzania inayotarajia kufanyika hivi karibuni kocha mkuu wa timu hiyo mwanamtwa kihwelu amesema jijini dar es salaam kuwa timu hiyo inaundwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo ukiwa ni mwanzo wa kuanza safari ya kuandaa timu itakayokuwa UNK michuano mbalimbali hapa nchini tunajiandaa na mechi mbalimbali za kirafiki ambazo zitakuwa UNK kuijenga timu kwani lengo kubwa la tbl kuanzisha timu hii ni kuanza safari ya kuunda timu imara ambayo baadaye itakuwa ikishiriki ligi mbalimbali hapa nchini katibu mkuu wa chama cha soka mkoa wa arusha gerald munishi amesema kuwa uongozi wa chama hicho upo katika harakati za kutafuta wadhamini kwa ajili ya kuimarisha ligi ya soko mkoani humo akizungumza na mwanaspoti munishi amesema kuwa hatua hiyo ni mwanzo wa kuhakikisha wanatekeleza mikakati ya chama hicho ya kuinua soka mkoani humo UNK majukumu ili kuhakikisha tunafanikiwa kwani udhamini wa ligi za huku chini ni tofauti na udhamini wa ligi kuu hivyo tunawaomba wadau mbalimbali wa soka nchini wajitokeze kudhamini ligi zetu za mikoa kwa ajili ya maendeleo ya soka la tanzania timu ya soka ya vijana muslim ya kinondoni jijini dar es salaam UNK afya wachezaji wake kwa ajili ya maandalizi ya hatua ya pili ya ligi ya taifa ngazi ya wilaya hiyo inayotarajia kuanza kutimua vumbi februari ishirini na tano katibu mkuu wa timu hiyo abdalah UNK amesema kuwa wachezaji wapatao thebathini wa timu hiyo UNK afya zao katika hospitali ya kinondoni tumeamua kufanya hivyo ili kuhakikisha UNK na matatizo mbalimbali ya kiafya pia kujenga misingi mizuri ya soka kwa wachezaji wa timu yetu darisalama leo jumamosi UNK kila kona vijana UNK utadhani UNK moshi wa sumu kila kona ni redi kala tu mpaka uswazi UNK UNK siunajua mambo ya valentaini mpaka jinsi ya kupendana UNK na wazungu ukoloni gani huu zee la kutibua lipo zake mitaani UNK upepo na kucheki UNK nyingine wala msije UNK UNK kwenye UNK zenu za valentaini UNK nggo tucheki ishu zingine kwanza halafu UNK baadaye nilichokuwa najaribu kutafakari na wadau wiki iliyopita ni usajili wa nyota mpya wa chelsea ricardo UNK aliyetokea inter milan ya italia pamoja kifaa andrei arshavin UNK arsenal siku si nyingi kilitokea russia nilikuwa UNK moja kwa moja lakini nilikuwa UNK ujio wa wachezaji hao kutokana na muda sehemu UNK na jinsi UNK kabla lakini wadau kijiweni UNK kupangua hoja zangu kwa nguvu ingawa bado siamini kama UNK kama UNK kabla hilo halijaisha vizuri UNK wiki hii tony UNK kibarua chake cha kuinoa portsmouth ya england UNK majani siku chache baadae wiki UNK bilionea abramovich naye na bodi yake ya chelsea kama kawaida yao UNK chini luiz felipe UNK kilichomkuta scolari UNK kutokana na mwenendo wa kikosi hicho kwenye ligi kuu england safari hii na tabia za abramovich ambaye kama alivyo bilionea yoyote yule anaamini fedha ni kila kitu nilitarajia janga UNK scolari lakini ukiangalia upande mmoja UNK na alex ferguson wa manchester united na makocha wengine kwamba bosi huyo UNK na miezi saba aliyopewa ni michache sana lakini pia madai ya scolari mwenyewe kwamba mastaa kama petr didier drogba michael ballack na frank lampard wamechangia yeye kutimuliwa kwa kuharibu kazi pamoja na kuchochea utambi kwa bosi yanaweza kuwa na ukweli fulani kwani waliokuwa wakisoma kauli zao na mwenendo wa uwanjani tangu mambo yaanze kwenda mrama nikiwa najaribu kusahau hayo UNK frederick mwakalebela mwenye cheo cha katibu mkuu wa shirikisho la soka tanzania akitoa kauli tata na ambazo UNK akili yangu pengine hata na wewe UNK katibu huyo bila wasiwasi na kuonyesha sura ya kujiamini asilimia zote alithubutu kuutangazia umma kwamba ndani ya kikosi cha taifa stars hakuna mchezaji yoyote anayevuta bangi mwakalebela alitamka hilo ikiwa ni siku chache baada ya kuwaambia watanzania hao hao kwamba caf imesema itapima wachezaji kadhaa kila kabla ya kuanza kwa mechi za fainali za chan ili kubaini wanaotumia bangi na madawa mengine ya kulevya mwakalebela ambaye awali niliamini kwamba huwa UNK UNK kauli kwenye hili napata wasiwasi mkubwa na kulazimika kurejea kwenye kauli tata alizowahi kutoa akiwa kwenye wadhifa huohuo ambazo baada ya muda zilitoa matokeo ambayo na yenyewe yalikuwa tata katika mazingira ya kawaida alichokisema kiongozi huyo UNK ni propaganda na kauli ya kutaka kujiridhisha na ambayo naamini watanzania na wadau wengine wakikubali kujiridhisha iko siku UNK na kusaga meno timu UNK ivory coast UNK kwamba adhabu ya timu kutolewa kwenye mashindano kufungiwa na kutozwa faini kama kitu rahisi tuangalie heshima yetu kimataifa kama taifa changa lililoanza kuchanua katika soka la kimataifa mwakalebela ametoa kauli yake kwa UNK tu na hana utafiti wowote aliofanya au vipimo vyovyote vikubwa UNK wachezaji hao ambavyo sisi watanzania UNK sasa anaweza UNK kwa mchezaji mmoja mmoja sisi UNK na wachezaji mitaani tunaelewa nani anavuta na nani UNK hata kama UNK kwamba ameacha jana na sikubaliani na kauli ya kiongozi huyo ingawa naweza kushukuru endapo akithibitisha kitaalamu na si kwa propaganda na UNK na kuoneana aibu naona UNK kutoa kauli hii UNK hata kupanga dondoo zingine muhimu za ofisi ambazo UNK zaidi wachezaji kadhaa si tu waliopo ndani ya kikosi cha taifa stars bali waliobaki kwenye klabu za ligi kuu ambao wanashinda na wenzao saa ishirini na nne wamekiri wiki iliyopita kwamba miongoni mwao wapo UNK bangi na wanawajua kwani vitendo hivyo wamekuwa vikifanywa hata kambini naamini kwa asilimia kubwa kauli hizo za wachezaji hao na kana kwamba semi hizo hazitoshi wanachama makomandoo pamoja na baadhi ya viongozi wamekiri kuna wachezaji wanavuta bangi kwenye klabu zao na baadhi ya sura zao zipo stars sasa UNK mwakalebela ni nini au mpaka UNK hadharani UNK ndio UNK ukiwa kiongozi mkubwa si lazima kuchangia kwa kutoa tamko kwa kila kitu UNK kwa faida labda ya mwakalebela kama atataka na wadau wengine ni kwamba kwa mujibu wa wataalamu mtu UNK bangi anaweza kubainika ndani ya siku mbili mpaka wiki kumi na moja iwe amevuta au UNK ina maana kwamba hata kama mchezaji amevuta bangi mwezi uliopita akiwa kwenye klabu yake akienda chan UNK lazima itabainika na ubaya zaidi ni kwamba caf UNK wenyewe mchezaji wa UNK kinachopaswa kufanyika sasa ni kuwaambia ukweli wachezaji na tff ifanye kazi ya ziada kwa kukaa na wachezaji pamoja na kocha marcio maximo kubaini ukweli na jinsi ya kutatua tatizo kabla mambo UNK wachezaji wote UNK iwe mkojo damu au vipimo vingine vya kitaalamu na vyenye uwezo mkubwa na kwa kuwatumia madaktari bingwa ili kubaini na kuthibitisha kwamba nani anavuta bangi na nani yuko salama tayari kwa safari ya ivory coast ni bora UNK kwamba wanavuta bangi na wana tatizo hilo watolewe kiungwana kikosini na kuangalia jinsi ya kuziba mapengo yao kabla timu haijaondoka na kwenda UNK hata kama muda wa maandalizi uliobaki ni mfupi lakini ni bora tukabaini ukweli mapema na UNK nafasi kuliko kwenda kuaibika mbele ya UNK wasiofaa waondolewe haraka kabla mambo UNK na ikiwezekana wachukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwemo kusimamishwa na kupigwa faini ili iwe fundisho na kutokomeza hatua hiyo ambayo klabu za ligi kuu bara hususani simba na yanga zimeshindwa kuidhibiti kwa kuhofiwa majina ya wachezaji tabia hiyo ilipaswa kutokomezwa kuanzia ngazi ya klabu na wachezaji waambie madhara yake kwa vile inawezekana baadhi yao kutokana na hali duni ya maisha pamoja na upeo mdogo wameshinda UNK na kuona kama ni kawaida lakini mwakalebela UNK afanye utafiti matumaini UNK katika klabu ya toto african ya mwanza kwamba huenda UNK kwenye ligi kuu tanzania bara na UNK kufikia uwezo wa juu kama ilivyokuwa pamba maarufu kama tp UNK katika miaka ya elfu moja na mia tisa na tisini akizungumza na mwanaspoti kutoka mwanza kocha msaidizi wa toto africa choke abeid ambaye ni mchezaji wa zamani wa pamba alisema upepo unavyokwenda inaonekana wana kila sababu ya kubaki katika ligi kuu bara na baada ya hapo watakuwa wana nafasi ya kujipanga na kufanya makubwa kama ilivyofanya pamba wakati wa enzi zake mwelekeo si mbaya tunafanya vizuri kwa kweli ukiangalia tumemaliza mzunguko wa kwanza lakini pia UNK vibaya katika mzunguko wa pili tunaenda vizuri alisema tumetoa mapumziko ya siku kumi kwa vijana na baada ya hapo UNK tena kuanza maandalizi UNK sana wakati huu wa mapumziko kwa kuwa tumepanga kujiandaa mapema alisema msaidizi huyo wa kocha razak UNK kama tukiweza kubaki kwenye ligi msimu huu naamini tutakuwa na nafasi ya kujipanga vema msimu ujao na hata kufanya mambo makubwa kama ilivyokuwa enzi za pamba toto ina pointi ishirini na moja katika msimamo wa ligi kuu tanzania bara na bado UNK kuepukana na janga la kuteremka daraja ingawa choke amesema suala la kusaka ushindi kwao UNK nyumbani wala ugenini enzi za pamba kulikuwa na wachezaji kama george masatu hussein masha nico UNK khalfan ngassa mao UNK UNK simba na wengine wengi UNK kikosi hicho kiwe moto wa kuotea mbali maurice sunguti ambaye aliifungia yanga mabao mawili mwishoni mwa wiki kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya mwanza united amesema ataacha kucheza soka akisikia kiungo anayecheza kwa mkopo ac milan david beckham UNK sunguti alisema bado nguvu zake zinaruhusu kucheza soka na hawezi kuacha mpaka nguvu UNK bado nina nguvu za kucheza umri si tatizo kwani kinachotakiwa ni nguvu zako za uwanjani hivyo bado nahitaji kuendelea mbele zaidi alisema nina muda mrefu wa kucheza soka si unaona hata ulaya kuna watu wana miaka arobaini bado wanacheza hivyo hata mimi naamini nina kiwango cha kuendelea UNK pale beckham UNK kucheza alisema sunguti licha ya kuwekwa benchi mara kwa mara na kocha dusan kondic mwishoni mwa wiki sunguti alionyesha uwezo mkubwa na kushangiliwa kila mara na mashabiki wa timu hiyo akiizungumzia mechi yao ya ligi ya mabingwa afrika dhidi ya al ahly ya misri sunguti alisema anaamini UNK uwezo tunao wa kuwafunga kinachotakiwa ni kujiamini tu wale wana miguu miwili kama sisi hivyo wanafungika tu uwezo UNK timu hiyo kupanda daraja mrope ambaye aliachwa na simba msimu uliopita kwa madai ya kushuka kiwango alisema UNK vilivyo kuhakikisha anarudi katika chati yake naendelea na mazoezi kwenye timu yangu ya manyema nataka kurudisha heshima yangu sasa nitahakikisha nacheza kwa juhudi kubwa na kuipandisha timu ligi kuu bara si kwamba sina uwezo ndio maana simba UNK nafikiri waliamua tu lakini mimi naamini nina uwezo mkubwa wa kucheza popote na sasa UNK watu kuwa naweza alisema mrope alisema anaamini timu hiyo ni bora kuliko timu yoyote iliyofika hatua hiyo na itaweza kupanda daraja na kucheza ligi kuu bara msimu ujao timu ni nzuri kwani ina wachezaji wengi vijana na najua mashindano UNK yatakuwa magumu sana kwani kila timu inawania nafasi hizo tatu za kupanda lakini nafikiri sisi tutakuwa ni mojawapo ya timu hizo alisema mchezaji huyo UNK kwa chenga za UNK kocha wa manyema abdallah kibadeni alisema ameridhishwa na kiwango cha mchezaji huyo na atawashangaza wengi mrope ni mmoja ya wachezaji wazuri hapa tanzania ana kiwango kikubwa anajua mpira na UNK katika timu hii kwa sababu naamini atatusaidia kwani mazoezini anafanya vizuri na kwenye mechi pia atafanya vizuri alisema kibadeni manyema inashiriki hatua ya tisa bora itakayoanza februari kumi na saba kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam ikitokea kundi b pamoja na african lyon na korosho mtwara wakati kutoka kundi a ni polisi iringa majimaji ya songea na kijiweni ya mbeya kundi c kuna afc arusha mwanza united na nyerere ya kilimanjaro kocha mkuu wa stars marcio maximo ametaka watu UNK suala la kumuingiza na kumtoa kiungo wake mwinyi kazimoto katika mechi ya kirafiki dhidi ya zimbabwe katika mchi hiyo iliyochezwa jumatano wiki hii maximo UNK kazimoto dakika ya ishirini kuchukua nafasi ya nizar khalfan aliyeumia na kumtoa dakika ya sabini na mbili na kumuingiza kigi makasi hatua hiyo ya maximo ya kumtoa kazimoto UNK mashabiki wengi uwanjani hapo na baadhi walipinga kuwa aliwahi sana kumuingiza kinda huyo ambaye ilikuwa ni mechi yake ya kwanza ya kimataifa huku wengine wakidai kumuingiza na kumtoa kunaweza kumkatisha tamaa zaidi na kupunguza hali ya kujiamini kila kitu kinakwenda kwa mipango ilikuwa lazima atoke kwa kuwa mchezo UNK presha ilikuwa juu na yeye bado ni mdogo sana inawezekana kweli aliwahi kuingia lakini nizar aliumia na presha ilikuwa juu alisema maximo akifafanua suala hilo ni bora kumtoa mapema kuliko kumuacha aendelee kutofanya vema kitu kinachoweza kumyumbisha zaidi hapo baadaye tena hiyo ndio inaweza kumkatisha tamaa zaidi kazimoto alipoulizwa kuhusu hilo alisema nafikiri ugeni na pia ilikuwa ni mechi yangu ya kwanza ya taifa nitakachofanya ni kujituma na kufanya vizuri sidhani kama UNK tamaa kazimoto ambaye alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi uliopita wa ligi kuu tanzania bara anachezea jkt ruvu michuano ya klabu bingwa ya mpira wa mikono inaanza kesho jumapili kwenye uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza katibu msaidizi wa chama cha mpira wa mikono tanzania nicholaus mihayo amesema timu tisa zitashiriki michuano ambazo ni jkt ngome magereza zote wanawake na wanaume dar stars na chuo cha ualimu UNK amesema bingwa wa michuano hiyo UNK tanzania kwenye mashindano ya afrika mashariki mwaka huu mashindano ya mchujo kupata timu ya mkoa wa dar es salaam itakayoshiriki michuano ya majiji UNK februari kumi na tisa kwenye UNK wa ddc UNK katibu mkuu wa chama cha ngumi za ridhaa mkoa wa dar es salaam herman mabula amesema klabu ishirini na sita zitashiriki michuano hiyo baada ya mashindano hayo tunatarajia kupata wachezaji bora watakaounda timu ya mkoa kwa ajili ya michuano ya majiji itakayofanyika machi ishirini na sita hadi aprili tatu kamati ya muda ya chama cha pool tanzania wanakutana leo jumamosi kwenye ukumbi wa UNK sinza jijini dar es salaam kujadili na kupitisha rasimu ya katiba ya chama hicho mwenyekiti wa UNK isaack UNK amesema katika mkutano huo wajumbe watatoa mapendekezo mbalimbali ya mfumo wa uendeshaji wa ligi kwa msimu huu ngazi ya mkoa na taifa amesema wajumbe watakaoshiriki watatoka mikao wa tanga kilimanjaro arusha manyara mbeya mwanza dodoma kinondoni ilala na temeke mabingwa watetezi wa mpira wa kikapu mkoa wa dar es salaam vijana city bulls kesho jumapili wanashuka uwanjani UNK na UNK mechi hiyo ambayo inatarajia kuwa kali kutokana na ubora wa timu zenyewe itakuwa ni ya robo fainali ya kili rba itakayochezwa kwenye uwanja wa ndani wa taifa jijini dar es salaam mechi nyingine itakuwa kati ya jkt dhidi ya chui oilers itapambana na tz prisons wakati savio watacheza na pazi wachezaji arobaini na tano wamethibitisha kushiriki michuano ya tenisi ya vijana ijulikanayo kama mikono open itakayofanyika februari ishirini na moja na ishirini na mbili kwenye viwanja vya gymkhana jijini dar es salaam kocha wa tenisi wa klabu ya gymkhana salum mvita amewataka wachezaji wengine kujitokeza kwa wingi ili kuonyesha vipaji vyao amesema mwisho wa kuthibitisha ushiriki ni februari ishirini kocha msaidizi wa kagera sugar mlage kabange ana uhakika mkubwa kwamba prisons itafuzu katika michuano ya kombe la shirikisho kama ilivyo kwa yanga kwenye ligi ya mabingwa afrika prisons ikiwa nyumbani ililala kwa mabao mbili sifuri jijini dar es salaam na inarudiana na khalij sert ya libya wikiendi hii jijini tripoli kama ilivyo kwa yanga iliyopo kisiwani UNK kuivaa etoile d or mirontsy katika mchezo awali yanga ilishinda nane moja lakini kocha huyo alipozungumza na mwanaspoti alisema anaamini kwamba lolote linaweza kutokea hususani kwa prisons ninaamini kwamba prisons inaweza kushinda na kusonga mbele licha ya kwamba ilifungwa mabao mbili sifuri inawezekana UNK na mambo yakawa mengine alisema kocha huyo inawezekana kutofanya vizuri kwenye ligi ndio mambo UNK kwa kiasi fulani lakini huenda UNK sana yote yanawezekana kwenye mpira naamini kwamba tanzania ina nafasi ya kufanya vizuri kimataifa wakati huu kwenye ngazi ya klabu mambo siyo mabaya timu zimesajili vizuri hasa yanga ambayo inashiriki ligi ya mabingwa afrika ulimboka mwakingwe wa simba amewaomba radhi mashabiki wa timu hiyo kwa kupoteza uelekeo wa ubingwa lakini amesema wanaumiza vichwa kusaka nafasi ya pili ambayo amewahakikishia wasiwe na wasiwasi kwani ipo simba yenye pointi ishirini na nne haina nafasi ya kutwaa ubingwa wa bara kutokana na pengo kubwa la pointi baina yake na watani wao wa jadi yanga wanaoongoza kwa pointi arobaini na mbili lakini ulimboka amewaambia mashabiki wa simba kwamba chini ya mzambia patrick phiri ambaye ni rafiki yake mkubwa klabu hiyo itachukua nafasi ya pili ingawa kagera sugar iko juu yake na ikiwa na pointi ishirini na sita kila mtu anapaswa kuelewa kwamba UNK vichwa sana na akili kutafuta nafasi ya pili ubingwa UNK ni bahati mbaya UNK mashabiki wa simba watusamehe alisema ulimboka wachukulie kama hali ya kawaida ya kimchezo ambayo UNK sana na kubadilisha walimu watupe sapoti ya hali na mali nina imani kubwa sana na phiri ambaye hata ukiangalia timu yetu kiufundi imebadilika kwa vile anajua wachezaji vizuri na ana uzoefu na mazingira ya kiafrika anachohitaji sasa ni sapoti ya wanachama na viongozi wa simba afanye kazi yake sawa sawa uzuri wake utakuwa hauna maana kama hawawezi kumsaidia na UNK timu kila UNK simba anapaswa kutambua kwamba sasa tupo kwenye wakati mgumu wa kutetea heshima yetu na kupata angalau nafasi ya pili turudi katika mashindano ya kimataifa mwakani hakuna UNK kwa vile sisi wachezaji tumeweka UNK na tuko katika mapambano ya usiku na mchana kufanikisha azma yetu kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo huenda akapata pengo la kumkosa kiungo wake muhimu athuman idd chuji katika michuano ya kombe la mataifa afrika kwa wachezaji wa ndani kutokana na kuwa majeruhi ingawa awali ilionekana kama si kitu chenye madhara sana daktari mmoja wa hospitali ya agha khan amesema chuji anatakiwa kupumzika ikiwezekana zaidi ya wiki moja wakati stars itakwenda ivory coast februari kumi na tisa muda ambao ni ndani ya kipindi ambacho daktari huyo ameshauri chuji apumzike misuli inataka kupumzika wakati mwingine wiki tatu au zaidi utaona ilivyokuwa wa boniface ambani lakini inategemea suala la ameumia vipi kwa chuji nafikiri wiki moja na nusu alisema daktari huyo ambaye hakutaka kutajwa jina lakini daktari wa taifa stars juma sufiani alisema kiungo huyo mkabaji anatakiwa kupumzika si chini ya wiki moja kuanzia juzi juzi alhamisi na maana yake mapumziko hayo UNK februari kumi na nane ikiwa ni siku moja kabla ya stars kuondoka lakini inategemea ana UNK vipi huenda ikawa hata siku tano au UNK lakini anaendelea vizuri na ameshaanza kupata matibabu katika hospitali ya agha khan alisema kuhusu chuji maximo alisema ana matumaini atapona haraka na kuondoka naye ni muhimu ndio maana niko naye naamini atapona haraka UNK mabaya kwanza tuamini atapona na daktari anajitahidi kila namna nzuri chuji alihamishiwa UNK katika hospitali ya aga khan kwa ajili ya kupigwa mionzi ya ultra sound awali alikuwa akitibiwa katika hospitali ya muhimbili yanga imelazimika kumuacha chuji katika safari yake kuivaa etoile dor ya comoro kesho jumapili ugenini kutokana na kuwa majeruhi wachezaji wengine majeruhi ni nizar khalfa UNK kwa mujibu wa daktari sufiani anatarajia kuanza mazoezi leo jumamosi kutokana na matatizo ya nyama ambazo UNK baada ya kupiga shuti kali katika mechi ya kirafiki dhidi ya zimbabwe jumatano wiki hii haruna moshi boban ambaye alikuwa akisumbuliwa na kifundo cha mguu ameendelea na mazoezi vizuri hali UNK benchi la ufundi ahueni kwamba mambo yatakuwa mazuri katika michuano hiyo stars imepangwa kundi a na wenyeji ivory coast senegal na zambia wakati kundi b lina timu za ghana zimbabwe libya na rd congo kocha wa timu ya polisi iringa joseph kanakamfumu ametamba kuanza vizuri hatua ya tisa bora ya ligi daraja la kwanza itakayoanza februari kumi na saba polisi iringa itafungua pazia la ligi hiyo kwa kucheza na kijiweni ya mbeya kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam kanakamfumu ambaye aliwahi kuzifundisha prisons ya mbeya na ashanti united alisema timu yake imejiandaa vizuri kwa ajili ya mchezo huo alisema wana kila sababu ya kuibuka na ushindi katika mchezo huo na michezo mingine inayofuata ili kujihakikishia nafasi ya kupanda daraja msimu ujao tupo vizuri sana wachezaji wana ari kubwa na naamini tutapanda daraja na ndio malengo yetu makubwa hivyo wapinzani wetu wakae mbali sana na sisi alisema UNK polisi iringa ilifanikiwa kucheza hatua ya tisa bora baada ya kuongoza kundi a kwa pointi kumi na sita ikifuatiwa na kijiweni ya mbeya na majimaji ya songea wakati kutoka kundi b zilizofuzu ni african lyon mbagala market manyema fc na korosho mtwara kocha mkuu wa zimbabwe sunday chidzambwa amesema mshambuliaji nyota wa yanga na taifa stars mrisho ngassa atakuwa na wakati mgumu katika fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani kwa sababu anapenda kucheza na jukwaa akizungumza na mwanaspoti chidzambwa alisema amevutiwa na ngassa lakini amegundua ana kasoro kubwa kwani anapenda kucheza na mashabiki wa jukwaani jambo ambalo UNK kumsaidia kumkuza kisoka UNK taifa stars ambayo ilikuwa nyumbani kwenye uwanja wa taifa UNK dar es salaam na kutoka suluhu kuna mipira miwili au mitatu aliiacha akisubiri refa apige filimbi alikwenda na kubaki mbele zaidi ya mara tatu baada ya kuharibu mpira lakini utaona anapata mpira kwa kuwa imekuwa ni tabia yake UNK pembeni tu hata kama kuna nafasi ya kuingia ndani alisema mchezaji huyo wa zamani wa zimbabwe sijui zaidi kuhusu yeye kwa kuwa namuona kwa mara ya kwanza ila nimesikia wakati tunajiandaa na mechi ya kirafiki dhidi yao nilielezwa kuhusu yeye lakini hakuwa tatizo kubwa kwetu kocha huyo ambaye pia timu yake imefuzu kwa ajili ya michuano ya chan ikiwa kundi b na ghana rd congo na libya aliongeza kingine anatakiwa kuongeza mazoezi na kuwa na nguvu zaidi kule atakutana na watu wengine kutoka magharibi na kaskazini na UNK vigumu kwake kucheza beki wa kati na nahodha wa UNK UNK UNK alisema ingawa stars ni timu nzuri lakini wao walikuwa na nafasi ya kushinda katika mechi hiyo ya kirafiki huku akisema mchezaji aliyewapa shida zaidi ni haruna moshi na si ngassa kama UNK awali yule aliyevaa jezi namba tatu aliyetoka kipindi cha kwanza ana kasi nguvu na uwezo mzuri wa kumiliki mpira kuliko hata huyu mchezaji mfupi mwanzo alitupa wakati mgumu ingawa tulijipanga na kumdhibiti alisema hali ya hewa ni joto zaidi ya kwetu lakini tumejitahidi kwenda nayo tumeweza kujifunza kwa kiasi fulani katika mechi hiyo stars mbele ya rais jakaya kikwete ilishindwa kuonyesha soka ya kuvutia hali iliyoonyesha kuwakatisha tamaa mashabiki wachezaji wake akiwamo ngassa jerry tegete mussa mgosi walishindwa kufurukuta mbele ya wazimbabwe hao kocha wa saint george ya ethiopia sredojevic milutin micho amemsifu kipa wake ivo mapunda na kuahidi kumpiga bei afrika kusini au serbia akizungumza na mwanaspoti micho mwenye umri wa miaka thebathini na nane na ambaye amewahi kuinoa yanga alisema tangu ivo asajiliwe na kikosi hicho amekuwa akifanya kazi kubwa langoni jambo ambalo limemfanya apate sifa kutoka kwa mashabiki wa soka nchini humo kocha huyo kutoka serbia alisema katika mechi kumi na saba za ligi walizocheza ivo amedaka mechi kumi na mbili na alikosa mechi tano kwa sababu alikuwa majeruhi amedaka mechi kumi na mbili ameruhusu mabao mawili tu mpaka hapo unaweza kuona kuwa ni kipa mzuri katika mechi kumi na mbili kuruhusu magoli mawili tu si kazi ndogo alisema kocha huyo wa zamani wa orlando pirates ya afrika kusini alisema kutokana na mafanikio hayo ya ivo timu yake inaongoza ligi kuu ethiopia ikiwa na pointi hamsini na tatu ikiwa na mechi moja mkononi huku timu inayowafuata ikiwa na pointi arobaini na mbili baada ya kumaliza mzunguko wa kwanza alisema kutokana na uhodari wa ivo amepanga kumuuza afrika kusini au serbia mwishoni mwa msimu huu juni ivo alijiunga na st george oktoba mwaka jana akitokea yanga baada ya kusajiliwa kwa kipa kutoka simba juma kaseja ambaye inadaiwa walikuwa hawaelewani kiasi kwamba hata mazoezi walikuwa hawapeani habari za saa hizi wewe mwenyewe unajua kuwa hapa ethiopia ni sehemu ya kupita nitakwambia ikifika juni nadhani nitampeleka afrika kusini au serbia alisema micho ambaye kwa mara ya kwanza alifika katika bara la afrika kuinoa villa sc ya uganda mwaka ishirini sifuri moja katika hatua nyingine micho amempongeza kocha wa simba patrick phiri kwa uamuzi wake wa kurejea msimbazi uamuzi wake ni mzuri ninajua ni kocha mzuri kama kila mara ninavyosema kuwa katika bara hili yeye ni miongoni mwa makocha mahiri wazawa lakini naomba simba wampe ushirikiano mzuri simba ikifanya makosa safari hii kwa kutompa ushirikiano phiri wanaweza wasipate kocha mzuri kama yeye kwa kipindi kirefu nawasihi sana kwa hilo alisema micho ambaye mwaka jana alikuwa mshauri wa benchi la ufundi la timu ya taifa ya ghana micho ambaye anaifundisha st george kwa awamu ya pili baada ya kuondoka mwaka ishirini sifuri sita na kujiunga na orlando pirates aliipongeza pia yanga kwa kuifunga etoile ya comoro mabao nane moja katika ligi ya mabingwa afrika na kuitakia kila la kheri kwenye mechi ya marudiano ugenini kesho jumapili wikiendi hii timu nne za tanzania zitakuwa katika pilikapilika ya kutafuta nafasi ya kwenda katika raundi ya kwanza katika mashindano mbalimbali ambayo huandaliwa na shirikisho la soka afrika yanga iliyoshinda mabao nane moja katika mchezo wa kwanza jijini dar es salaam itakuwa ugenini kurudiana na etoile ya comoro katika mechi ya raundi ya awali ya ligi ya mabingwa afrika prisons nayo baada ya kupata kipigo cha mabao mbili sifuri katika mchezo wa kwanza jijini dar es salam itakuwa ugenini kucheza mchezo wa pili na khalij sert ya libya katika michuano ya kombe la shirikisho tunazitakia kila la kheri timu hizo tukiamini kuwa yanga inaweza kuendeleza ushindi hata ugenini huku tukiamini kuwa prisons UNK kufa au kupona kuhakikisha inashinda na kulipa kisasi ili isonge mbele lakini tungependa kuchukua nafasi hii kusisitiza kuhusu mechi ambazo zitafanyika katika uwanja wa taifa na kuzihusisha timu kutoka zanzibar miembeni na mundu leo jumamosi miembeni ambayo ilipata kipigo cha mabao mbili sifuri jijini harare itakuwa ikirudiana na timu ya monamotapa ya zimbabwe katika mechi ya ligi ya mabingwa afrika mechi hiyo ya miembeni itafanyika katika uwanja wa taifa kama ya jana ijumaa ya mundu na red arrows ya zambia katika kombe la shirikisho miembeni wametangaza kuwa mechi yao itakuwa haina kiingilio hivyo kila shabiki anakaribishwa kwenda uwanjani kuona mchezo wao UNK mashabiki ni kujitokeza kwa wingi kushuhudia mechi ya miembeni na kuishangilia timu hiyo kwani nayo ni klabu kutoka tanzania ambayo inastahili UNK mashabiki wanatakiwa kuonyesha muungano wa kweli kwa kuishangilia kwa nguvu timu hiyo mwanzo mpaka mwisho wa mchezo bila kujali matokeo ya uwanjani kazi ya mashabiki iwe ni kushangilia mambo ya uwanjani waachiwe makocha na wachezaji na haitakuwa jambo la busara kama kila shabiki ataamua kuwa kocha wa kutaka UNK sisi tunaamini kuwa busara kwa mashabiki itakuwa ni kubwa na kila mmoja ambaye atajitokeza uwanjani UNK timu hiyo bila kujali kama yeye ni shabiki wa simba au yanga tunazitakia kila la kheri timu zetu zote ambazo UNK katika michuano hiyo ya caf yanga miembeni prisons na mundu mshambuliaji wa simba moses godwin amesema ataanza mazoezi na timu yake hivi karibuni baada ya kupona mguu mchezaji huyo aliumia mguu katika mazoezi ya taifa stars iliyokuwa ikijiandaa na mchezo wa fainali za kufuzu mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani dhidi ya sudan mwishoni mwa mwaka jana godwin alisema kwa kiasi kubwa UNK ingawa bado anajisikia maumivu kidogo nimepona kwa kiasi kikubwa ingawa huwa nasikia maumivu kama UNK fulani hivi UNK miguuni lakini natumaini mpaka mwisho wa mwezi huu nitakuwa fiti alisema mshambuliaji huyo aliyesajiliwa kutoka timu ya mkoa wa mbeya nafikiri simba wakianza mazoezi na mimi nitaanza nao ili niwe fiti zaidi na naomba mungu UNK hata nicheze mechi chache za kumalizia mzunguko wa pili wa ligi kuu bara alipoulizwa kama timu yake itatwaa nafasi ya pili tanzania bara godwin alisema nina matumaini makubwa wachezaji UNK katika mechi zilizobaki ninaamini kabisa nafasi ya pili ni yetu tunajua tulianza vibaya ligi ubingwa UNK hata nafasi ya pili UNK hilo haliwezekani inabidi wachezaji wajue hilo kwamba lazima tushiriki michuano ya kimatifa mwakani alisema mchezaji huyo ambaye ana mpango wa kwenda masomo marekani aprili mwaka huu godwin mchezaji mrefu mwenye mwili wa kimichezo anakumbukwa na mashabiki wa simba kutokana na kufunga bao maridadi simba ilipoifunga kagera sugar moja sifuri katika mzunguko wa kwanza wa ligi kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam kocha simba patrick phiri ametangaza kikosi chake kitaanza mazoezi jumatatu ijayo yanga ipo katika kisiwa cha comoro ikiwa na hamu kubwa ya kumaliza kazi ambayo itawafanya wafuzu kwa raundi ya kwanza ya ligi ya mabingwa afrika yanga UNK katika kisiwa hicho juzi alhamisi itakuwa kibaruani na silaha zote nzito katika mchezo huo wa marudiano utakaofanyika kesho jumapili isipokuwa athuman idd chuji ambaye ameachwa dar es salaam kwa sababu ni majeruhi habari kutoka comoro zinasema kuwa kikosi hicho UNK na wachezaji wake wana ari kubwa kuhakikisha wanaweka rekodi ya kuwa timu UNK mabao mengi mwaka huu katika hatua ya awali yanga ni timu pekee ambayo ina uhakika wa kufuzu kwa raundi ya kwanza na kukutana na mabingwa mara sita wa afrika al ahly ya misri kwani katika mechi ya awali walishinda kw amabao nane moja jijini dar es salaam mshambuliaji nyota wa yanga boniface ambani alisema ana uhakika wa asilimia kumi sifuri wa yanga kufuzu kwa kuifunga etoile katika ligi ya mabingwa afrika labda wacomoro hao waingie uwanjani na askari wenye mitutu akizungumza na mwanaspoti jijini dar es salaam kabla ya kupanda ndege kwenda comoro ambani alisema timu hiyo ya comoro watakayocheza nayo kesho jumapili haina uwezo wa kuwafunga mabao saba sifuri ili wafuzu badala yake wataendelea kuipa kipigo na kufuzu yanga ilishinda mabao nane moja katika mchezo uliofanyika jijini dar es salaam wiki iliyopita na etoile inatakiwa kushinda mabao saba sifuri kama inataka kusonga mbele UNK katika hatua hii ya awali atafuzu kwa hatua ya kwanza ambako atakutana na mabingwa mara sita wa afrika al ahly ya misri kweli mpira una mambo na maajabu yake lakini wale hawana uwezo wa kutufunga mabao saba labda waje na polisi wenye bunduki watutishie ili watufunge bao hizo tutacheza kwa nguvu sana na kuhakikisha hata huko tunashinda alisema ambani aliyefunga mabao manne katika mechi ya kwanza nataka kufunga tena na ikiwezekana kutoa pasi nzuri za mwisho kwa wenzangu ili tupate ushindi mwingine mkubwa kwangu nikifunga nitazidi kubaki juu kwa wafungaji wa afrika kitu ambacho nakihitaji si vibaya nikifunga mengine mawili au matatu mshambuliaji huyo raia wa kenya ameanza kurudisha hali ya kujiamini baada ya kukabiliwa na majeruhi kwa mwezi mzima ingawa bado hajafunga bao kwenye ligi kuu tanzania bara tangu kuanza mzunguko wa pili wa ligi hiyo tayari ambani yupo kileleni na mabao kumi na tatu katika ligi kuu bara hali inayowaumiza washambuliaji wengine nyota nchini kama mussa hassan mgosi ambaye tayari amepachika mabao sita sawa na mnigeria mwingine wa simba orji obina mshambuliaji huyo mwenye kasi na mashuti makali amekuwa changamoto kubwa kwa mabeki nchini kutokana na kasi yake hiyo ya kupachika mabao katika hatua nyingine miembeni itakuwa uwanja wa taifa jijini dar es salaam leo jumamosi kupambana na monamotapa ya zimbabwe katika mechi ya marudiano ya raundi ya awali ya ligi ya mabingwa afrika miembeni ambayo ilipata kipigo cha mabao mbili sifuri mjini harare imetoa ofa kwa mashabiki wote kwamba hakutakuwa na kiingilio katika mechi hiyo hivyo kila shabiki ataingia bure uwanjani wakati miembeni wakiwa wametoa ofa hiyo timu nyingine ya tanzania prisons ya mbeya ipo jijini tripoli kupambana na khalij sert ya libya katika kombe la shirikisho katika mechi ya kwanza jijini dar es salaam prisons ilipigwa mabao mbili sifuri hivyo inatakiwa kushinda mabao tatu sifuri wikiendi hii mundu inayoshiriki kombe la shirikisho UNK zanzibar jana ijumaa ilikuwa inacheza na red arrows ya zambia ambayo iliipa kipigo cha mabao sita moja katika mchezo wa kwanza mjini lusaka amani kwenu wasomaji wangu wapendwa tupo tena pamoja kama ada ya kila mwisho wa juma kufanya tafakari ya michezo katika miaka ya hivi karibuni klabu nyinig za soka nchini hapa zimekuwa zikipata tabu kidogo katika kusajili makipa wa kiwango kinachofanana na kile kinachokidhi mahitaji na mikikimikiki ya ligi kuu bara hali hii inazidi kuwa mbaya zaidi hasa pale hata timu ya taifa inapokuwa na makipa kadhaa ambao kwa hakika kati yao kunakuwa hakuna hata mmoja ambaye anakubalika kuwa na kiwango cha kucheza katika timu hiyo ninajua kwamba kuna wale ambao huwa wanasoma makala zangu juu juu tu bila kufanya tafakari ya kina hawatanielewa nataka kusema nini hapa sina maana kwamba tanzania haina makipa wazuri la hasha ninachodhamiria kusema kwamba makipa wazuri na wenye umahiri mkubwa wa kustahili kuchezaa katika ligi kuu bara ni wachache sana na kwa mantiki hiyo hata wale ambao wanachaguliwa katika timu ya taifa wanakuwa hawana ubora unaostahili yawezekana kabisa kwamba wapo makipa wengi wazuri katika sehemu mbalimbali za nchi yetu ambao wangeweza kuonyesha ubora stahili lakini kwa miaka ya hivi karibuni hali imekuwa inatisha kidogo hebu fikiria idadi kubwa ya makipa wazuri waliowahi kuchezea klabu mbalimbali na timu za taifa na kisha ujaribu kuwalinganisha na hawa wa sasa majina ni mengi sana lakini hebu kumbuka watu kama kitwana manara popat omar mahadhi athman mambosasa juma pondamali moses mkandawile ally salehe idd pazi hamisi kinye mohammed mwameja steven kasimir nemes salum waziri kichochi lemba mbwana makata sahau kambi duncan mwamba au kwa wale wachache sana waliwahi kumjua charles odenyo wa kule shule ya sekondati malangali miaka ya sabini wakati wa enzi hizo makocha wengi walikuwa wakipata tabu sana katika kuamua wampange yupi katika safu ya makipa walisajiliwa na klabu hiyo kuna wakati klabu zilikuwa na hata utaratibu wa makipa wenyewe kupangiana zamu ni nani acheze mechi gani na ni nani apumzike hali ni tofauti sana sasa katika klabu nyingi za ligi kuu ya vodacom nadhani ni klabu moja tu ambayo unapoenda kuangalia mechi zao unakosa uhakika kuwa ni kipa yupi atakuwa langoni klabu hiyo ni yanga pekee yake ambayo uwezo wa juma kaseja na ule wa mserbia obren cirkovic unakaribiana kwa kiasi kikubwa klabu nyingi zilizobaki zimekuwa ni zile ambazo zina kipa mmoja tu mwenye ubora wa kutosha ambaye kwa kiasi kikubwa huwafanya wengine katika klabu hiyo kuwa wanasugua benchi ninafahamu kabisa na kwa undani chanzo kikubwa cha tatizo hili hapa kwetu unapokwenda kuangalia mazoezi ya timu za klabu nyingi za ligi kuu utagundua kwamba makocha wengi huweka zaidi msisitizo katika mazoezi ya wachezaji kucheza na mpira kuliko kitu kingine chochote sehemu kubwa ya mazoezi haya huwa ni ya kuwafanya wachezaji wawe na ubora katika umiliki wa mpira na hasa kukazia msisitizo katika stadi za ushambuliaji wa timu ni mara chache sana utawakuta makocha wetu wakitia mkazo katika maandalizi ya walinda milango kuanzia sehemu ya upashaji moto miili yaani warming up sessions na kuendelea huku mazoezi hayo yakizingatia umahsusi wa nafasi ya kipa na majukumu yake mchezoni kuna baadhi ya klabu zimeona umuhimu wa kuajiri kocha maalum kwa ajili ya makipa hata hivyo makocha hawa wa makipa bado hawajapatiwa mafuzo maalum ambayo yangewafanya waweze kumudu wajibu wao kwa ufanisi zaidi mapungufu makubwa yapo katika dhana kwamba kila aliyecheza nafasi ya kulinda pale golini ndiye apewaye ajira hiyo au jukumu hilo kama kocha wa makipa hii ni dhana potofu na yenye upungufu mkubwa sana wale wanaodhani kwamba kila aliyewahi kuwa kipa mzuri basi anaweza na kufaa kuwa kocha mzuri wa makipa wana upofu katika kufanya upembuzi yakinifu wa mambo hebu tutazame jambo hili kwa makini miongoni mwa makocha bora sana wa soka wanaochipukia ni mbwana makata ambaye kwa kiasi kikubwa amekuwa akizibadilisha sana timu zake kimchezo huyu aliwahi kuwa kipa pamoja na ubora wa uchezaji wa timu yake bado hajafanikiwa kumtengeneza kipa bora wa kiwango chake kuna haja kubwa ya kujiuliza hivi kuna nini hasa limewasibu makipa wetu wa sasa kiasi kwamba hata ukiwata mchana na kwa kutumia tochi pia bado utagundua kwamba wenye kiwango cha kukubalika ni wawili tu ambao ni amani simba na juma kaseja kisa mi UNK si wimbo mgeni masikioni wa mwako kama wewe ni msikilizaji mzuri wa redio na moracka ndiye aliyesababisha ngoma hiyo kutoka pande za the rockaz mwanamuziki huyu anayekuja kwa kasi alianza kusikika kwa mara ya kwanza alisikika mwaka ishirini sifuri nne na ngoma demu wa mjanja lakini anakiri kwamba haikuweza kumtoa kwenye gemu kwakuwa alikuwa anaimba ili tu kujifurahisha baada ya shule baada ya hapo aliona ni bora UNK shule ndiyo UNK rasmi kwenye gemu kwakuwa UNK mchezo na kuona kwamba anatakiwa ajiandae vya kutosha ili kuweza kuikabili gemu niliona ni bora nimalize shule kwanza ndiyo niweze kurudi kwenye gemu kwasababu ukiingia UNK unaweza UNK pua ndiyo maana nilikuwa kimya anasema mo racka baada ya kukamilisha wimbo huo mwaka ishirini sifuri saba aliachia wimbo huo pamoja na video ambao umeweza kutamba na kumtambulisha kwenye UNK UNK sasa UNK kwa mwaka mzima alikuwa kimya huku UNK mashairi ili aweze kurudi tena mwaka ishirini sifuri nane lakini ndani ya mwaka huohuo aliweza kuachia wimbo mwingine how you feel aliofanya na fatma lakini hakuweza kuutoa kwasababu ambazo leo UNK kwenye UNK ukitaka kujua kwanini endelea kusoma starehe mbali na kazi zake binafsi mo racka ni kiongozi wa kundi la the rockaz ambalo linaundwa na chief racka UNK racka da racka na yeye mwenyewe na wameshatoa wimbo wa kundi unaoitwa rockaz UNK ambao hivi karibuni UNK sura tena kwenye tv zenu mpaka sasa wanaumiza kichwa kama kundi ni albamu ya nani ianze kutoka ya kwake au ya kundi lakini anataka tu mashabiki waelewe kwamba UNK kazi kutoka the rockaz kuhusu kazi zake zote kutengeneza kwa prodyuza lamar mo racka aliweka wazi kwamba ni kutokana na lamar kuwa rafiki yake wa siku nyingi na anaweza UNK wake hana mpango wa kufanya kazi na producer mwingine hapa bongo labda mbele lamar ni rafiki yangu lakini UNK mbali urafiki lamar anaweza na ndiyo UNK napenda kufanya nae kazi na kama asingekuwa anaweza basi UNK kufanya kazi na mtu UNK anasema mo racka mo racka anabainisha kwamba mbali na kuwa mwanamuziki lakini anapenda kuweka sawa vitu vingine UNK kabisa na muziki kama kuhakikisha kwamba anasaidia watoto yatima na kufikiria kuanzisha kituo cha watoto yatima kwasababu anaona wanahitaji msaada zaidi kuliko binadamu wengine napenda sana kusaidia watoto yatima kwasababu UNK na hakuna watu wa kusaidia na ndiyo UNK nafikiria hata kuanzisha kituo cha watoto yatima ili tu niweze kuwahudumia vyema alisema moracka ni mtoto wa mwisho kwenye familia ya mzee hassan na jina lake kamili ni mohamed hassan msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini lady jay dee amekanusha vikali uvumi wa yeye kutokutoa albamu tena na kudai kuwa hakuna ukweli wowote kuhusiana na uvumi huo jay dee aliyasema hayo baada kutokea uvumi siku chache zilizopita kuwa msanii huyo UNK tena albamu msanii huyo alidai kuwa hiyo ni kazi yake hivyo hawezi kutoa ahadi ya kutotoa tena albamu hakuna ukweli kabisa kuhusiana na mimi kutokutoa albamu nikiwa kama UNK UNK kuwa sitoi tena album wakati ndio kazi yangu sema tu vile sasa hivi kibiashara kutoa albamu UNK kuliko matamasha UNK muda kidogo kutoa album ila nitatoa alisema amesema kiukweli kabisa kama mwanamuziki anapaswa kupeleka muziki wake kwa mashabiki ili wapate kumuelewa na singo UNK zaidi ya kumi ni albam tayari kwa hiyo suala la albamu lipo japo halitakuwa kwa mkazo sana UNK pia amechaguliwa katika kinyangganyiro cha kuwania tuzo za kora kama msanii bora wa afrika mashariki ikiwa ni nafasi nyingine baada ya kufanya vema katika baadhi ya tuzo mbalimbali alizowahi kuchaguliwa ni msanii pekee kutoka hapa nchini na pia katika kinyangganyiro hicho wasanii wengine waliochaguliwa ni nameless kutoka kenya kundi la wadada watatu UNK kama blue tatu kutoka uganda michael rose uganda pamoja na msanii mwingine kutoka comoro mwanamuziki wa miondoko ya hip hop nchini mansoor mohammed mansu li amewataka wasanii chipukizi kujifunza zaidi muziki kabla ya kuamua kurekodi nyimbo zao studio kwani hatua hiyo itawafanya waweze kudumu katika fani hiyo kuliko ilivyo hivi sasa akizungumza na mwananchi mansu li alisema kuwa kitendo cha wasanii hao kukurupuka na kurekodi nyimbo zao bila kuwa na muda mrefu wa kukaa na kutunga mashairi yenye ubora pamoja na kujifunza zaidi muziki ndio UNK hivi sasa kuwe na wasanii wengi ambao hawana uwezo mimi nimeanza muziki mwaka ishirini sifuri sifuri lakini nimekuja kutoa nyimbo zangu mwaka ishirini sifuri sita muda huo wote nilikuwa UNK mbinu mbalimbali za kurap pamoja na mashairi gani ambayo ninaweza kutunga UNK watu watambue kuwa kuna msanii mpya kaingia ili watafute nyimbo zangu UNK alisema mansu li na kuongeza kuwa lakini hali imekuwa tofauti hivi sasa mtu UNK nyimbo leo kesho anaingia studio sasa hapo kweli utaweza kushindana na watu walioanza hip hop miaka kumi na tano ishirini iliyopita au unataka kuchekesha watu wanatakiwa wajifunze na wakiingia kwenye fani basi waingie wakiwa na ujuzi na uwezo wa kutosha mansu li ambaye yupo katika kundi lake la kapito letaz alisema kuwa hivi sasa yupo katika maandalizi ya album yake ya kwanza UNK kina kirefu japo mpaka sasa bado hajajua album hiyo UNK lini alisema baadhi ya nyimbo zilizomo katika album hiyo inayoelezea zaidi hali halisi ya maisha yake ikiwa ni pamoja na wapi UNK na anapokwenda kuwa ni pamoja na kina kirefu sina budi sura ya mchezo tupo pamoja naamini pamoja na mengi UNK hivi sasa soko la muziki nchini haliendi vizuri lakini hali itakapokuwa shwari UNK album yangu UNK UNK UNK ester wasira pamoja na kundi langu la kapito letaz huwa sipendi kuwashirikisha wanamuziki wakongwe huwa napenda kusimama mwenyewe katika nyimbo zangu alisema mansu li msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini joseph gabriel UNK maarufu kama bwana misosi anatarajia kutoa singo nyingine mpya mapema UNK akiongea jijini mwanamuziki huyo alisema kuwa singo hiyo ambayo ameamua kuipa jina la mungu yupo bize UNK katika studio za UNK singo yangu ambayo nimeiita mungu yupo bize ambayo kwa sasa siwezi kuielezea sana UNK katika studio za UNK na muda si mrefu UNK hewani alisema msanii huyo mwanamuziki huyo ambaye amesema kuwa hivi sasa ameamua kunyoa UNK zake na ameamua kuwa na nywele ambazo ni saizi ya kati licha ya kutoa singo pia mwanamuziki huyo hivi sasa ameamua kuanzisha upya kundi lake linalojulikana kwa jina la nitoke vipi UNK misosi amewahi kutamba na vibao kama nitoke vipi mabinti wa kitanga heshima na nyinginezo msanii chipukizi wa kundi la wisdom ambalo UNK muziki wa hip hop regae r b na dance hall muhidini jongo aka mas j amesema ukata umefanya nyimbo thebathini na mbili UNK anasema hivi sasa wana nyimbo moja tu UNK inayoitwa tangu kundi hilo UNK mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nane amini usiamini tangu UNK kundi letu mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nane mpaka sasa ni miaka kumi na moja lakini tumefanikiwa kurekodi nyimbo moja tu ambayo UNK katika vituo mbalimbali vya redio muda si mrefu anasema mas j na kuongeza kuwa hiyo yote imetokana na ukata wa pesa kwani kurekodi nyimbo moja ambayo UNK unaotakiwa ni pesa nyingi ambazo kwa hali yetu ni vigumu kuzipata kwani sisi tunataka kurekodi nyimbo katika viwango bora na sio bora kurekodi tu mas j anasema wanahitaji meneja mwenye kuujua muziki na mwenye nia UNK ya kuwasimamia kimuziki na kupanga mikakati mingine endelevu kwani anaamini kuwa nyimbo zao ni kali pamoja na kuwa hatuna kitu lakini tunaitaji meneja ambaye anaujua muziki na UNK ya dhati UNK UNK na UNK kimuziki na sio wa kuja UNK na UNK tukiwa hoi anasema mas anasema lengo la kuimba mahadhi tofauti tofauti ni kuweza kuwashika mashabiki wa aina mbalimbali kwa wingi kwani wapo wanaopenda hip hop na wapo wanaopenda r b wapo wanaopenda regae na pia wapo wanaopenda dance UNK hao wote UNK kwa wakati mmoja na pia hiyo UNK ni jinsi gani vijana hao walivyo na vipaji mbali na meneja pia anaomba watu au mtu mwenye uwezo aweze kuwasaidia kurekodi albamu angalau hata moja tu mwisho wakali wa bongo fleva nchini pamoja na watangazaji maarufu wa kipindi cha xxl kinachorushwa na kituo cha redio cha clouds fm wanatarajia kuangusha burudani leo katika royal zambezi mjini mbeya burudani hiyo ambayo imelenga UNK wakazi wa mbeya kutokana na siku maalum ya valentine day yaani sikukuu ya wapendanao ambayo UNK leo duniani kote wasanii watakaokuwepo ni pamoja albert UNK chidi benz mr blue maunda zorro UNK UNK bushoke pamoja na steve watakuwepo ukumbini hapo leo mbali na wasanii hao pia watakuwepo watangazaji nyota kutoka katika kipindi cha xxl ambao ni b kumi na mbili adam mchovu dj UNK reuben steve tenga pamoja na dj steve b UNK ndani ya mji wa mbeya katika kusherehekea valentine day aka siku ya wapendanao huku UNK miaka kumi ya clouds fm UNK UNK natumaini wote UNK na leo UNK sikukuu ya UNK kwa raha zenu leo ni siku ambayo kila mmoja wetu anatakiwa kuwa karibu na yule UNK leo nina habari za kushangaza kama si kusikitisha wakati leo UNK siku ya wapendanao tayari kuna wengine UNK manundu kwa kufumaniwa leo hii unashangaa ni kweli kabisa labda niwape kisa kilichomtokea UNK wangu wa karibu mwaka jana siku kama ya leo jamaa yangu huyu anapenda ambaye aliamua kuukimbia UNK bongo na kuishia zake visiwani unguja akihofia siku ya leo itakuaje jamaa alikuwa na UNK kama watatu hivi na wote yuko serious nao umeshaelewa na maanisha nini kama UNK kidogo ni kwamba jamaa UNK kila mmoja yeye ndiye yeye sasa kwa siku kama ya leo kwa vyovyote vile jamaa UNK tu kila mmoja si kampa himaya jamaa akaamua UNK ili isiwe UNK lakini kitu kibaya alichofanya UNK hawa UNK na kuwaambia anakwenda kumpiga mzigo huko zenji na ingawa UNK lakini UNK kazi zaidi kwa hiyo valentine aliahidi UNK atakaporudi jamaa akawa UNK na hao wasichana wake kuwa huku kila mmoja akitaka kujua alipofikia na mambo mengine kadha wa kadha ili mradi tu kuonyeshana upendo siku moja kabla ya valentine day alishtuka alipomuona mmoja kati ya wasichana wake hao akiingia ndani ya chumba alichofikia huku mkononi akiwa na mazawadi kedekede ya kwa ajili ya mpenzi wake jamaa alishtuka lakini akaona sio ishu kama ameamua kuja kusherekea valentine naye sawa atafanya nini sasa akakubali matokeo na kutulia na huyo msichana huku UNK anaendelea kuwasiliana na wale wasichana wengine saa tatu asubuhi ya siku kama ya leo mlango UNK tena kufungua UNK akakutana uso kwa uso na msichana wake mwingine naye akiwa na maua na mazawadi kedekede UNK mambo ya UNK kilichoendelea hapo unaweza UNK lakini mambo ya aina hii yanatokea sana siku kama ya leo kama hujawahi kuona ipo siku UNK lakini kwanini hali hii UNK wengi wetu sio waaminifu leo ni siku takatifu ya kuonyeshana upendo na si kufanya ngono na mambo mengine mabaya kutoka hapa mimi sina la ziada happy valentine na tukutane wiki ijayo wiki nyingine hii hapa kaka na dada zangu na huwezi kuamini leo ni siku ya wapendanao kama ulikuwa hujui basi naomba UNK masikio kwamba tangu jarida la starehe lianze kutengenezwa huu ni mwaka wa tatu na huu ndio umri wa makala hii ambayo kila kukicha wasomaji wapya hujitokeza na kusema maneno mawili matatu ambayo kwa njia moja ama nyingine husaidia kuifanya iwe bora zaidi tumshukuru mungu kwa hilo wasomaji wangu UNK kwenye harusi kwa madai ya kwamba UNK na starehe nawashukuru sana mjue UNK UNK mkubwa sana kwa kukutanisha watu ambao hatimaye wameamua kuishi pamoja kama mtu na mkewe hili ni jambo la kumshukuru sana mungu na kuendelea kumuomba kwani UNK ndugu zangu UNK kila siku UNK sembuse UNK pigeni goti UNK kuliko kusherehekea sana na sababu kubwa ni kwamba hamuwezi kujua m baya wenu nani au nani UNK jambo lenu na nani UNK na anafanya nini kuiharibu furaha yenu leo nataka kuandika kitu kuhusiana na matatizo ya UNK ambayo UNK wapenzi kila siku na hii sana UNK vijana ambao wana mambo mengi ya kufanya katika maisha yao ya kila siku lakini mapenzi ambayo kwa kawaida huchukua nafasi kubwa katika maisha huwafanya washindwe kuendelea mbele kutokana na kujawa na fikra za kimapenzi ambazo UNK raha kila kukicha UNK ili uwepo huwa UNK maneno matamu kweli katika maisha yetu ya mapenzi UNK kwa ajli yako ni moja kati ya maneno mengi matamu ambayo UNK wapenzi wetu jambo ambalo kuna wakati ni imani mbaya kuliko zote katika maisha yetu kwali kila nafsi UNK UNK i kivyake ukifa leo UNK mwenzako duniani UNK siku mbili tatu kisha UNK wa UNK we UNK UNK mimi naamini hakuna aliyeumbwa kwa ajili ya mwenzake na kama UNK nafasi ya kuonya vijana wenzangu UNK UNK ukali wa ahadi zetu na sifa UNK wapenzi wetu UNK ni mbaya sana hii UNK ukweli ili mwisho wa siku tusije UNK UNK kuamua kinyume mnanisoma hakuna aliyeumbwa kwa ajili ya mwenzake kila mtu UNK na ahadi zake kuna kila haja ya UNK iwapo UNK na kujikuta UNK na UNK kuishi pamoja lakini hii isiwe sababu ya UNK na kujenga imani kwamba eti mimi bila fulani siwezi kuishi kijana kama kijana unatakiwa kuwa jasiri na kuweza kusimama peke yako kama wewe ili ikitokea siku UNK UNK kuanguka unaondoka na kutembea kwa miguu yako UNK mwenyewe kwanza ukifika nyumbani leo nenda kwenye kioo UNK UNK kwamba wewe ni mzuri sana ila kuna mambo UNK UNK safi na hii ni hatua moja na kuanza kujipenda mwenyewe bila kumtegemea mtu anza na muonekano wako afya mavazi na jinsi ya kuishi nadhani UNK raha jipe mwenyewe si UNK basi kifupi UNK kupita kiasi utajikuta tu na moyo wako UNK wewe mwenyewe ukiweza kujipenda mwenyewe huwezi kujiangusha huwezi UNK UNK kujitimizia huwezi kujidanganya utaona ujinga UNK kujidanganya mwenyewe nakwambia ukiweza hili mbona maisha rahisi hakikisha kila UNK UNK kulingana na uwezo wako ukiwa hivi ni rahisi hata UNK UNK maana si UNK bila kumsumbua mtu UNK tu na ujue unatakiwa kuwa vipi hata UNK UNK moyo UNK kabisa dunia si UNK imeharibika basi uwe tayari kwa lolote kwamba itatokea siku UNK au ujue kabisa mko watano ingawa mwenyewe hata UNK ukweli lakini hii UNK kwamba hata siku ikitokea ni jambo ambalo UNK kwa hiyo UNK UNK UNK lakini sio ile kwa UNK itakuwa kawaida kuliko kuumia huku UNK hii ni mbaya zaidi siku UNK UNK sana hili neno kwa mara ya kwanza UNK kutoka kinywani mwa msanii bora kabisa wa kike kwa mujibu wangu mwenyewe anaitwa lady UNK linalotokea leo kaka na dada zangu sio kwamba litaendelea kutokea milele siku itapita na kesho itakuja na maisha UNK ndivyo hata maisha ya kimapenzi yanavyokwenda kuachwa kwako ama UNK kwako sio kwamba kutakuwa katika maisha yako yote ni kwa muda tu na UNK na kesho itakuja pengine utapata mwingine ambaye pengine atakupenda kuliko ambaye UNK ndio anakupenda sana na mwisho wa siku utakuja kugundua kwamba kumbe UNK ungekuwa UNK mambo mengi mazuri katika maisha yako kila siku sio ijumaa ndio msemo ambao mimi nilikuwa UNK hapo awali lakini siku hizi nawaambia ndugu zangu UNK leo vumilia kwani itakuwa mchana kisha jioni na hatimaye usiku na baada ya hapo siku itakuwa imebadilika ujue hapo siku ndio inabadilika na ikija kesho maisha ndio yanakuwa UNK hatua moja jifunze kutokana na makosa kila siku huwa nawaambia hili angalieni watu wenu wa pembeni au hata katika hizi tamthilia UNK kuna kitu mimi binafsi UNK unayempenda UNK na yeye anayempenda pia anakuwa UNK na mpaka UNK kugundua mara nyingi mnakuwa UNK UNK tamaa na kibaya mnakuwa UNK nafsi zenu angalieni kutoka kwa wenzenu wanafanya nini mpaka UNK UNK hata kuangalia jinsi maisha ya wazazi wenu yalivyokuwa si mnataka kuiga mema kama UNK sio mbaya mimi naomba kwa leo niishie hapa lakini iwapo kuna mahala UNK UNK kuniambia nitarudia kila siku kuwaambia kwamba mimi ni binadamu wa kawaida kwa hiyo naweza kuwa nakosea basi kama ni hivyo muwe UNK kwamba hapa sio ndugu yetu wakati fulani nilipokuwa kenya baadhi ya wanafunzi watanzania wanaosoma huko waliniomba UNK nao kuzungumza nao kuhusu maisha hiyo ilitokana na UNK kupitia makala na vitabu kadhaa ambavyo nimewahi kuandika kuhusu vijana na maisha nilikutana nao uwanja wa uhuru park ni sehemu nzuri ambayo sijawahi kuiona tanzania ni sehemu ambayo mtu yeyote anaweza kwenda kupumzika bila kulipia chochote sijui watanzania UNK na nani viwanja vyote vya wazi hazijulikani UNK wapi wizi mtupu tafakarini haya ndugu zangu watanzania why viwanja vya kucheza watoto vimeuzwa na wakubwa UNK ok labda UNK haya nirudi kwenye hoja ni kwamba UNK mambo mengi lakini zaidi UNK kwamba wanapaswa kufahamu maisha ni mtu na dunia sio baba wala mama yako hebu rudia kipengele hiki ni kwamba ikiwa wewe UNK maisha yako UNK na hizo athari ni wewe sio mzazi wala mlezi wako huwa inasikitisha kuona kwa mfano kijana anaambiwa achana na tabia mbaya kama za ngono ulevi nk lakini yeye anaanza kumlaumu yule UNK aache mabaya kwa mfano mwanafunzi UNK anasema aaah mimi UNK mzazi mlezi wangu akijua itakuwa balaa tupu baba au mama ama mlezi wako ni nani katika maisha acha kuwa na akili ya matope ndugu yangu maisha ni wewe na dunia mzazi UNK uache uchafu ni kwa ajili ya maisha yako unapaswa kumshukuru sio UNK elewa kuwa katika maisha watu UNK UNK kama UNK upuuzi kama huo wa ngono anasa na ulevi maana yake hatma yako haiwezi kuwa nzuri ni lazima uwe makini au la badala ya kuwa na maisha yenye furaha utakuwa na hali ngumu katika kitabu UNK katika ya vile nilivyowahi kuandika kiitwacho saikolojia na utafiti sehemu ya pili ambacho kimetokea kuuzwa sana kutokana na kuwa na orodha ya vyuo bora na mashirika ya ufadhili kwa wanafunzi ngos siri za kuwa na maisha bora mbinu za UNK na wachawi nk nilizungumzia pia siri kubwa ya kuwa mshindi katika maisha ni kujiamini hata kama wewe umetokea familia maskini au ni mlemavu unao uwezo wa kuwa kichwa mtu wa hadhi ya juu kwa maana ya kuwa na mafanikio kiuchumi nk wala si mkia UNK utafanikiwa watu wengi UNK kwa sababu ya hofu utaona ana nyumba anaogopa kukopa kwa hofu ya kushindwa kulipa mkopo kuna watu wengi wana elimu kwa mfano shahada au hata shahada ya pili na kuendelea wanashindwa kuanzisha japo mradi wa aina yoyote kwa sababu tu hawajiamini kama wanaweza kufanikiwa utasikia wakisema aaah ndugu yangu wee acha tu niendelee kuajiriwa kuacha kazi na kuanzisha mradi ni jambo la hatari UNK si itakuwa balaa kwani hiyo sehemu UNK kazi UNK au kampuni hiyo UNK itakuwaje haya ni mawazo ya watu wapumbavu hebu fumba macho sema haya ni mawazo ya watu wapumbavu sitakuwa mpumbavu katika jina la mungu UNK kulingana na dini yako katika maisha ushindi ni suala la lazima sio hiari waza makubwa ili uwe mkubwa ukiendelea kuwa na hofu na kuwaza mambo madogo ni ndoto kuwa mtu mkubwa katika maisha kuna watu wana maisha mazuri zaidi sio kwa sababu wameajiriwa bali kwa sababu ya kazi binafsi kuna watu kwa mfano wasukuma mikokoteni walio wengi zaidi wanapata fedha nyingi kuliko wale wanaoajiriwa hasa wafanyakazi wa kawaida utakuta kwa mfano mfanyakazi anapata mshahara wa shilingi kumi sifuri sifuri sifuri sifuri kwa mwezi anafanya kazi kuanzia asubuhi hadi jioni anarudi nyumbani hoi kabisa kachoka je unajua mtu huyu kwa siku anapata shilingi ngapi chukua shilingi kumi sifuri sifuri sifuri sifuri UNK kwa siku thebathini ndio kusema anapata kwa siku shilingi tatu mia tatu na thebathini na tatu ok labda turudi kwenye gharama za maisha kwa mfano unafanya kazi posta unaishi ubungo kwa siku nauli ni shilingi sabini sifuri chakula cha asubuhi mchana na maji nk ni wastani wa shilingi ishirini sifuri sifuri wastani wa kima cha chini kabisa cha matumizi bado chakula cha usiku nk kwa siku unatumia wastani wa shilingi mia mbili na sabini sifuri sina hakika kama unaelewa ninachosema hebu tulia weka gazeti pembeni tafakari kwa makini kipato chako je ni kweli kuna haja ya kuendelea kuwa kibarua sehemu au UNK mambo yako baadhi ya kazi wakati mwingine ni sawa na kupoteza muda katika mshahara kama huu ni bora UNK UNK ambaye ana uhakika wa kupata kwa siku si chini ya shilingi hamsini sifuri sifuri yaani kwa mwezi shilingi mia moja na hamsini sifuri sifuri sifuri hana mtu UNK kwamba ni lazima uwe UNK kazini hakuna mtu UNK kwamba aaah siku hizi naona tabia yako imeanza kuwa mbaya nk eeeh maana sehemu za kazi wakati mwingine mtu anaweza UNK tu anavyotaka kwa maslahi yake furaha ya baadhi ya wasimamizi wa idara ni UNK wenzao wanashindwa kuelewa kuwa duniani tunapita yanini kufanyiana mabaya wachezaji tisa waliopo kwenye kikosi cha taifa stars kinachojiandaa na fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani wanatumia bangi mwanaspoti UNK shirikisho la soka afrika UNK nchi zote zinazoshiriki fainali hizo za chan kwamba UNK baadhi ya wachezaji kila kabla ya kuanza kwa mchezo kwenye fainali hizo na UNK na aina yoyote ya chembechembe za madawa nchi yake itatupwa nje kufungiwa na kupigwa faini ingawa shirikisho la soka la tanzania kupitia katibu mkuu frederick mwakalebela limekuwa likisisitiza kwamba hakuna anayetumia bangi utafiti wa mwanaspoti kwa wiki kadhaa umebaini mambo mengi ya aibu katika kikosi cha kwanza cha mbrazili marcio maximo wamo wachezaji watano tegemeo wanaotumia bangi kwa kiasi kikubwa huku wengine wanne wakiwa hawana namba za uhakika kwani mara nyingi huanzia benchi wachezaji hao UNK nafasi muhimu kama ulinzi kiungo na ushambuliaji na inadaiwa kuwa tangazo la kufanyiwa vipimo UNK baadhi yao kiasi cha kuonekana wenye mawazo muda wote hususani kambini kwenye hoteli ya atrium sinza afrika sana jijini dar es salaam inadaiwa kuwa mawazo ya wachezaji hao UNK wacheze hovyo mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya zimbabwe katika matokeo ya suluhu jumatano wiki hii uchunguzi wa mwanaspoti ndani ya kambi hiyo umebaini kwamba wachezaji husika wamekuwa UNK hatima yao na hata marafiki zao waliozungumza na mwanaspoti wamedai kwamba hali hiyo imeanza kuathiri utendaji wao katika orodha ambayo mwanaspoti inayo wachezaji sita wanatoka yanga na yanga wakati watatu ni wa kutoka timu nyingine habari za ndani zinadai kwamba endapo shirikisho la soka la tanzania UNK kuwatosa baharini wachezaji hao nyota wanaotumia kilevi hicho huenda stars UNK zaidi na pengine kuwa kichekesho chan kutokana na umuhimu wao katika kikosi hicho hasa hao watano ukimuangalia fulani na fulani utaona utofauti sana kama ni mtu UNK wamekuwa watu wenye wasiwasi sana wanaogopa alisema mchezaji mmoja mahiri wa stars baada ya kusikia lile tamko la caf kama wiki mbili zilizopita wameacha kuvuta bangi lakini sasa kinachotokea ni kwamba walikuwa UNK mwili kwamba hawawezi kucheza mpira wa nguvu bila bangi ndio maana unakuta hata mtu anaumia UNK kitu lakini baadaye ndio inakuwa UNK kambini aliongeza lakini mmoja wa wachezaji wa stars aliliambia mwanaspoti kwamba vipimo hivyo ni UNK tu wala havifanyi kazi mi mbona nimewahi kupima hospitali tena sikuona kitu wakati nilikuwa UNK siku tano kabla si wanasema inakaa zaidi ya wiki mbili waongo tu UNK tu hakuna cha bangi wala nini mdau mmoja ndani ya tff alisema kuwa mara nyingi vipimo ambavyo hufanywa na caf au hata fifa huwa si vya bangi ila ni vya madawa mazito kama heroine na cocaine hivyo akawataka wachezaji kutokuwa na hofu daktari wa taifa stars juma sufiani aliiambia mwanaspoti jana ijumaa kuwa UNK wachezaji hao siku chache zilizopita lakini hawezi kutoa majibu kwani ni siri kubwa kwa mujibu wa maadili ya taaluma yake UNK kujua kama wana malaria kuona mtiririko wa damu pamoja na wingi wa damu na sampuli nyingine zilichukuliwa maabara kwa ajili ya kupima kubaini kama kuna wanaotumia kilevi kinachodhalilisha mchezo na kuathiri uwajibikaji wa mchezaji kilevi kinachodhalilisha uwezo wa mchezaji yanaweza kuwa mambo mengi sana pombe na madawa ikiwa mojawapo kitaalamu hivyo kwa ujumla tumeangalia UNK majibu yote ninayo kama daktari lakini kwa mujibu wa taaluma yangu matokeo ya ugonjwa UNK mgonjwa tu si ruksa kumueleza mtu labda kwa matukio maalumu lakini si hilo la taifa stars kama unataka UNK nani majeruhi nani UNK leo au jana sawa lakini si matokeo ya maabara alisisitiza daktari huyo na kudai kwamba hana mchezaji yoyote anayevuta bangi katika kambi kwenye kikosi cha sasa kwa mujibu wa mganga huyo mtu anaweza kubainika ametumia kilevi hicho ndani ya siku moja mpaka wiki kumi na tano kwa vipimo mbalimbali ikiwemo choo damu na UNK fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani zitafanyika ivory coast kuanzia februari ishirini na mbili mpaka machi nane mwaka huu tanzania imepangwa kundi a pamoja na senegal zambia na ivory coast wakati kundi b litakuwa na zimbabwe ghana libya na congo kinshasa katibu mkuu wa timu ya manyema gebo peter amesema kuwa wamejipanga vilivyo ili kuhakikisha timu hiyo UNK vema safari ya kurudi ligi kuu msimu ujao manyema ambayo ni miongoni mwa timu tisa zinazo UNK nafasi tatu za kupanda daraja kesho UNK safari yake kwa kupambana na timu ya maji maji ya mkoani ruvuma zote zikiwa na UNK kubwa ya kurudi ligi kuu akizungumza na mwananchi jana jijini dar es saalam peter alisema kuwa uongozi kwa kushirikia na benchi la ufundi la timu hiyo wajipanga kikamilifu ili kuhakikisha timu hiyo inaibuka na ushindi katika pambano hilo tumejipanga vilivyo kuhakikisha tunafanya vizuri katika mechi yetu ya kesho dhidi ya maji maji naamini itakuwa na ushindani mkubwa kwa sababu kila timu inatafuta tiketi ya UNK daraja lakini tutapigana UNK ya uwezo wetu alisema timu tatu za kwanza kati ya timu tisa zinazoshiriki ligi hiyo inayoanza kutimua vumbi kesho februari kumi na saba zitapanda mpaka ligi kuu msimu ujao kuchukua nafasi ya timu tatu za ligi kuu UNK shuka daraja kocha wa timu ya soka ya miembeni ya zanzibar tom olaba ametoa wito wa kurejeshwa haraka kwa kombe la muungano ili kuzisaidia timu za visiwani humo kujiimarisha olaba alitoa kauli hiyo mara baada ya kumalizika kwa mpambano wa kuwania kombe la klabu bingwa afrika ulioshuhudia miembeni UNK mashindano licha ya ushindi wa mabao mbili moja dhidi ya monamotapa mchezo uliofanyika juzi kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam alisema kuwa moja ya sababu kuu iliyosababisha timu yake kuondoshwa mapema katika michuano hiyo ni kukosekana kwa ligi yenye ushindani visiwani humo na kushauri kurejeshwa kwa ligi ya muungano ambayo itakuwa inashirikisha timu bora kutoka bara na visiwani hivyo kusaidia UNK kabla ya kushiriki mashindano ya kimataifa unajua bado tuna tatizo kule zanzibar ligi yetu haina ushindani tofauti na bara hii inatuathiri sana kwa kweli mimi nashauri ligi ya muungano irejeshwe haraka kwani itasaidia timu zetu za visiwani kujiimarisha kabla ya kushiriki michuano mikubwa alisema olaba ambaye ni raia wa kenya aidha olaba aliwasihi wachezaji wake UNK tamaa na matokeo hayo na kuwataka wajiandae na msimu mpya wa ligi kuu ya visiwani humo inayotarajia kuanza mapema UNK miembeni iliondoshwa mashindanoni kufuatia mchezo wa awali uliofanyika zimbabwe kufungwa mabao mbili sifuri na hivyo kuungana na timu nyingine ya zanzibar mundu fc UNK nje ya michuano ya kombe la shirikisho baada ya ijumaa kufungwa bao moja sifuri na timu kutoka zambia bingwa wa dunia anayetambuliwa na shirikisho la ngumi duniani internation circuit boxing katika uzito wa middle UNK francis cheka UNK mwamuzi wa mchezo huo emmanuel mlundwa kuwa alionesha upendeleo kwa mpinzania wake rashid matumla ili UNK kwa ko akizungumza mjini hapa cheka alisema pamoja na kushinda kwa pointi lakini alistahili kushinda kwa ko endapo mwamuzi wa mchezo huo asingekuwa UNK na kusimamisha mchezo huo alipokuwa UNK matumla alisema hata majaji wa mpambano huo pia walionekana UNK mpinzani wake kutokana na pointi walizotoa kutotofautiana sana na mpinzania wake wakati kila mtu aliyeshuhudia mpambano huo waliona namna aliyokuwa UNK kwa ngumi mpinzani wake kwa muda mwingi wa mchezo katika hatua nyingine cheka alisema pamoja na kumuomba matumla kufuta dhamila yake ya kustaafu mchezo huo lakini hana mpango wa kupigana naye tena baada ya kufanikiwa kumpiga mara tatu kati ya mara nne UNK alisema baada ya kufanikiwa kutwaa ubingwa huo wa dunia sasa anataka kupigana zaidi na mabondia wa nje ya nchi hasa ulaya baada ya kubaini hapa nchini hakuna bondia mwenye rekodi nzuri kiasi cha kumshawishi kucheza naye kwa sasa nataka kupigana nje ya nchi hapa nchini hakuna bondia mwingine mwenye uwezo wa kucheza nami alikuwa rashid pekee na pamoja na kumpiga atabaki kuwa bondia bora ambaye anaweza kupigana zaidi ya miaka miwili ijayo na ndio maana namuomba UNK ngumi alisema cheka mpinzani wake rashid matumla alisema hakubaliani kabisa na matokeo hayo kwani UNK cheka vilivyo naye mwalimu wa rashid matumla bakari selemani akiuzungumzia mpambano huo alisema umri mkubwa ndio UNK bondia wake na kupelekea kupoteza pambano hilo lililokuwa la raundi kumi na mbili selemani alisema pamoja na makosa madogo madogo aliyoyafanya rashid hasa ya kurudi nyuma wakati UNK lakini alikuwa bora zaidi kimchezo kuliko katika mapambano mawili yaliyopita UNK na cheka UNK cheka kuwa ni bondia mzuri na endapo atapata mwalimu mzuri wa UNK zaidi ataweza kufika mbali na kulitangaza vizuri jina la tanzania katika medani ya kimataifa kutokana na uwezo wake mkubwa aliouonesha katika miaka ya hivi karibuni katika pambano hilo cheka alionekana kumzidi kwa kiasi kikubwa matumla kwa kumtwanga karibu raundi zote licha ya matumla kuonyesha ukomavu kwa UNK UNK hata mara moja inagawa alikuwa akipokea makonde ya maana kutoka kwa mpinzani wake cheka alifanikiwa kumpiga kwa mara ya tatu rashid matumla kwa pointi katika pambano lililofanyika katika uwanja wa jamhuri na kuandaliwa na kampuni ya best man promotion ya mjini hapa mmoja wa wakali wa muziki wa kizazi kipya nchini juma kassim nature maarufu kama juma nature amevunja ukimya kuhusu kazi zake na kusema ameamua kurudi nyuma kwa kufanya albamu yake mpya kwa mfumo wa kizamani wakati UNK mwanzoni mwa miaka ya ishirini sifuri sifuri na albamu yake ya kwanza ya nini chanzo nature UNK kwa kuwa msanii wa kwanza kuimba hip hop ikiwa na mfumo wa uswahilini ikiwa ni hali halisi kuliko wasanii wengi ambao walikuwa wakiimba au kujisifia hata kwa vitu wasivyokuwa navyo kwa kuwa UNK marekani ambako muziki huo ndio nyumbani ujio wa nature UNK mambo mengi kwa kuwa yeye alielezea mambo mengi yanayohusu maisha ya watanzania na hasa wale walio katika maisha ya kipato cha chini hali iliyomfanya UNK mashabiki wengi katika kipindi kifupi na kuweka rekodi ya kuwa msanii anayependwa zaidi katika bongo fleva rekodi UNK hadi sasa katika mahojiano na mwanaspoti juzi jumapili nature ambaye ni shabiki wa mabingwa wa soka tanzania yanga amesema amepata maoni mengi kutoka kwa mashabiki wake ambao wamemtaka kuimba nyimbo zenye mfumo wa zamani UNK nao unajua hata mimi baada ya kufanya tathmini UNK wako sawa naona wengi wanavutiwa na aina ile ya uimbaji ambayo hata mimi ndio kitu UNK kwa kuwa zaidi UNK kwenye ukweli na hali halisi ya mambo albamu hiyo UNK kule UNK watu wanaweza kusema mwaka arobaini na saba lakini najua napaswa kufanya kazi pia kwa kuangalia mashabiki wangu wanataka nini wao ndio UNK kazi zangu ninachotakiwa kuangalia huko unajua unaweza kuwa wewe ni msanii halafu mashabiki wakawa wanajua mambo mengi kuliko UNK kuwasikiliza ni vizuri na baada ya hapo unafanya kazi ya uhakika albamu yangu asilimia tisini itakuwa na mfumo wangu wa mwanzo kabisa anasema nature akionyesha kujiamini na kazi yake UNK albamu hiyo itakuwa ni ya tano kwa nature baada ya kuipua nyingine nne katika kipindi cha miaka takribani tisa ambazo ni nini chanzo ugali ubinadamu kazi na UNK ambayo anaamini haikufanya vizuri sana nini chanzo UNK lakini ugali ndio albamu iliyofanya vizuri zaidi katika maisha yangu ya muziki ingawa baadaye ubinadamu kazi nayo UNK sana tofauti na ilivyokuwa kwa UNK sasa nataka kufanya kitu kizuri zaidi na rekodi yangu ya mauzo iwe juu siwezi kuwa na uhakika wa asilimia mia moja kwa kila kitu lakini nafikiri kuweka malengo ya uhakika ni kitu kizuri mfano nimeamua kurejea katika mfumo wangu wa zamani kabisa kwa kuwa nimepata maoni kutoka kwa mashabiki wangu nami UNK lakini pia UNK namna watu UNK kwa karibu kila kitu huo ni uvivu wa ubunifu na unafanya hata mauzo ya kazi zetu UNK kwa kasi lazima watu wajifunze kubuni na malengo ya kuwa na vitu vipya ili kuboresha kazi zetu muziki si kazi ya kubahatisha kama kweli unataka kuifanya kweli kweli wanaoingia wajue hii ni kazi si sehemu ya kusaidia watu kujulikana UNK anasema baada ya majadiliano na wasimamizi wa albamu hiyo ndani ya mwezi mmoja huenda ikaingia sokoni huku akiwa na matumaini ya juu kwamba itafanya vizuri kwa kuwa amerudi katika mfumo ule ule wa zamani nature alifanya vizuri na albamu zake mbili za nini chanzo na ugali baada ya hapo UNK kundi la wanaume family akiwa na wasanii kadhaa kama mheshimiwa temba UNK mullah na wengine lakini miaka zaidi ya mitatu baadaye alijiengua na kuazisha wanaume halisi UNK hadi sasa msanii huyo mwenye umbo dogo lakini mashabiki lukuki umaarufu wake umekuwa UNK kila kukicha kutokana na kuimba mashairi UNK mashabiki wa muziki wa kizazi kipya meneja wa kundi la wanaume family ambaye hivi karibuni ameamua kuimba baada ya kutoa singo yake ya ishirini sifuri tisa yuko katika hatua UNK mwisho kumshirikisha msanii wa zamani wa kundi la east coast ambwene yessayah maarufu kama UNK imeelezwa fela UNK ay kuwa mmoja wa wasanii watakaoshiriki kwenye albamu yake ya kwanza baada ya kushiriki katika muziki kwa zaidi ya miaka minne kama kiongozi tu awali wanaume na ect ndio yalikuwa makundi yenye mafanikio zaidi lakini yenye upinzani wa juu UNK hadi kujenga uadui lakini inaonekana fela UNK kutoa singo ameamua kufanya mabadiliko fela aliamua kuimba baada ya wasanii wake watatu kujiengua na kuunda kundi la temeke UNK jumapili wiki iliyopita nilikwenda tanga ambako niliarikwa kwenye semina ya ndoa mada UNK ni dalili mbaya katika ndoa mada hiyo UNK katika mojawapo ya vitabu vingi nilivyowahi kuandika kiitwacho saikolojia na utafiti sehemu ya pili ambacho kimekuwa UNK karibu nchi zote za afrika mashariki hasa nairobi na tanzania nzima kupitia wauza magazeti na maduka ninachotaka kusisitiza hapa ni kwamba kati ya mbinu muhimu kabisa za kukusaidia kuwa na ndoa nzuri ni kusoma machapisho mbalimbali kuhusu ndoa kama ambavyo sehemu za kazi wakati fulani UNK kusoma zaidi ili kuboresha utendaji kazi ndivyo ilivyo katika ndoa UNK kwenda kwenye semina za ndoa kusoma machapisho mbalimbali na wakati fulani kutembelea wataalam kwa ajili ya kubadilishana mawazo muwe na ndoa nzuri zaidi kati ya mambo ya ujinga ambayo baadhi ya wanandoa wamekuwa UNK ni kuendekeza ndugu na jamaa badala ya mwenzi wake ndugu yangu kuruhusu watu UNK ndoa yenu ni ishara kuwa wewe ni UNK huna akili hata kidogo uliamua mwenyewe kuingia kwenye ndoa hata kama UNK lakini ndio hivyo kwamba tayari uko kwenye ndoa cha msingi ni ninyi mlio kwenye ndoa UNK ukweli ni kuwa baada ya kuoana sio hiari bali ni lazima kwamba unatakiwa kuacha kuendekeza ndugu na jamaa wengine UNK na mwenzi wako UNK masuala muhimu ya maisha na familia yenu nk sio kuendekeza sana ndugu ndugu wengi ni mizigo na wamekuwa ni chanzo cha kuhatarisha ndoa najua kuna baadhi ya watu wanaweza kusema aaah naweza kushirikiana na mke au mume wangu wakati matumizi yake ya fedha ni mabaya nk au anapeleka fedha na mali zingine kwa ndugu zake swali la aina hii UNK kwamba hapakuwa na uchaguzi mzuri toka awali UNK kwa UNK au wakati mwingine ni mabadiliko ya kawaida ya tabia za baadhi ya watu hata hivyo cha msingi ni kupenda kuwa na vikao baina ya wenzi ili kuondoa tofauti zao msipende sana kushirikisha watu hasa UNK kugombana kwenye ndoa ni aibu isitoshe kuna watu mnaweza kwenda kwao UNK tu tayari imekuwa ni matangazo mtaa mzima aaah fulani UNK katoka kwangu sasa hivi kuja kuomba ushauri kama unataka ushauri UNK wataalam au watu ambao UNK ndivyo wenzetu wengi wa nchi zilizoendelea wanavyofanya ushauri ni elimu inafundishwa shuleni sio kila mtu mzima au mdogo anaweza kushauri vizuri aidha ushauri pia ni kipaji kuna watu mungu UNK kwa kazi ya aina fulani na wengine nyingine nk ninachotaka kusisitiza hapa ni umuhimu wa kuwa makini na uchaguzi wa washauri unapokuwa na tatizo katika ndoa elewa pia kwamba matatizo ni sehemu ya maisha UNK usione kwamba ndio mwisho wa kila kitu bali ni wakati wako kufanya jitihada UNK UNK katika baadhi ya ndoa nimewahi kushuhudia mume anafukuza ndugu zake anaacha wa mke tu UNK UNK nk ndugu wa upande wa mume hata kulala siku moja hapo ni kero UNK mafumbo nk hali kadhalika katika baadhi ya nyumba kuna wanaume wanasikiliza sana ndugu zao hasa dada shangazi nk hasa mambo mabaya wakati fulani nikiwa kwenye duka moja nanunua nguo jamaa mmoja alinunua nguo za mkewe na za mama yake muuzaji akawa anasema aaah angalia UNK mkeo nguo nzuri mama yako anaweza kukasirika yule mwanaume akajibu ndoa yangu huwa UNK na mtu yeyote wala UNK ujinga wa aina hiyo hata mama anajua hilo huwa sitaki mtu UNK baya kuhusu ndoa yangu kama atasema UNK nguo mbaya UNK baba UNK ndio ni mama yangu lakini hana haki ya kuendesha maisha yangu kwa wakati huu je wewe mwanaume unasemaje kuhusu kauli ya huyu UNK ni mwanaume anayefaa ni mwanaume mwenye akili kuna watu eti utaona hata bajeti ya nyumba anampa dada badala ya mkewe ndugu yangu mbona unakuwa mpumbavu hivi kwanini unamdharau mkeo na kujali ndugu kuna baadhi ya watu utakuta wanapokuwa hawana kazi wanakwenda kwa shangazi au dada zao kuzungumza ya hapa na pale na kumuacha mke au mumewe kama kuna jambo la maana sawa lakini ukweli ni kwamba si sahihi hata kidogo kuendelea kuwa karibu sana na watu wengine na kumdharau mwenzi wako kwa wakristo someni mathayo kumi na tisa nne sita marko kumi sita tisa mwanzo mbili ishirini na nne imeandikwa ya kwamba kwa sababu hiyo mtu UNK baba yake na mama yake na hao wawili watakuwa mwili mmoja staili gani ya maisha unayoishi ndugu yangu hata kama ndugu UNK wakati mwingine ni vizuri kuachana nao UNK ndoa yako UNK aidha katika quran imeandikwa kuwa wao ni vazi kwenu nanyi ni vazi kwao hii ina maanisha ulinzi kwa kila mmoja wenu kujikinga kwa mwenzie kupeana msaada na kila mmoja ana haki kwa mwingine je wewe UNK mwenzi wako haki kwa hayo unayofanya tafakari ndugu yangu maisha tunapita yanini UNK eeeh maana wengine wanakwenda kwa ndugu zao wakifika huko wanaanza kuwasema vibaya wenzi wao badala ya kukaa nao chini kuondoa tofauti zilizopo imekuwa ni kawaida kwa wanawake wengi kupenda kupunguza miili yao kwa UNK chakula na lengo likiwa kuonekana warembo wanawake hao huamini kwamba mwili mwembamba UNK mtu aonekane UNK wanawake wengi wa nchi zilizoendelea na nchi chache za dunia ya tatu wamekuwa UNK kufanyiwa upasuaji ili kutengeneza aina ya shepu UNK kwa mfano kama makalio ni makubwa sana huamua UNK kwa kuondolewa kiasi cha nyama njia tenga kiasi cha fedha na UNK vitu muhimu ambavyo vinaweza UNK shepu ya mwili wako kwa kadri unavyotaka kama unataka kupunguza tumbo nunua mikanda UNK sliming UNK kama unataka kupata shepu mwili mzima nunua nguo maalum ya kubana mwili mzima bodysuits au kama unataka kupunguza makalio nunua panty UNK mtu anaweza kununua vifaa mbalimbali kulingana na mahitaji UNK na suala la kupata shepu mwili mzima muhusika anashauriwa kuvaa bodysuits wakati wanapotaka kwenda kulala kwa kawaida vazi hilo huanzia juu mpaka chini kwa hiyo ni vigumu kuvaa wakati wa mchana kama mtu anataka kupunguza makalio anaweza kuvaa panty UNK ambazo UNK makalio na kuyafanya yawe ya wastani kwa kadri muhusika anavyohitaji vilevile muhusika anashauriwa kuvaa mikanda maalum ya kupunguza unene wa sehemu fulani sliming UNK kama mwanamke anataka tumbo lake UNK ndani zaidi anaweza kuvaa mkanda huo mara kwa mara usiku na mchana huku akipumzika kwa muda mfupi ni vema mwanamke avae mkanda huo muda wa kula ili kuepuka kula chakula kingi ambacho ndio sababu ya kujaa kwa tumbo vilevile mikanda hiyo inaweza kuvaliwa katika mikono iwapo muhusika anataka kupunguza unene wa mikono hasa sehemu ya juu au kupunguza ukubwa wa UNK muhusika anaweza kufanya zoezi hilo hata anapokuwa kazini kwa kuvaa mkanda na kuendelea na kazi ikumbukwe kwamba zoezi hilo huchukua muda mrefu na kitu muhimu ni kwa muhusika UNK tamaa mpaka atakapoona amepata shepu UNK na vifaa hivyo vinapatikana kwa wingi katika maduka mbalimbali za nguo na urembo ni kibarua kigumu kuwa rafiki wa msanii mr nice katika kipindi hiki kwa kuwa imeelezwa yuko makini sana baada ya rafiki zake wa awali kuwa UNK vitu UNK si vya UNK rafiki wa karibu wa mr nice amesema msanii huyo UNK kifedha amekuwa hataki kuongeza marafiki kwa kuwa anasema si wa kweli na wanaopenda watu wenye uwezo wa kifedha tu anaona hata watu kumtafuta wamepungua na mbaya zaidi wako ambao wamekuwa UNK maneno ambayo si ya kweli UNK kirahisi mtu awe rafiki yake marafiki wengi wa zamani hawaoni kabisa kwamba UNK kimaisha alieleza rafiki yake wa karibu nyota wa zamani wa manchester united eric cantona amesema kwamba UNK na kitendo cha kocha alex ferguson cha UNK wachezaji wengi wa england katika kikosi chake nyota huyo kutoka ufaransa alionyesha uwezo mkubwa alipokuwa katika kikosi hicho katikati ya miaka ya elfu moja na mia tisa na tisini na cantona mwenye umri wa miaka arobaini na mbili alishuhudia vikombe vinne vya ligi kuu katika miaka mitano mchezaji huyo amesema kwamba kocha wa manchester united amekuwa akionyesha njia sahihi kuliko makocha wengine wa england cantona alisema ninafurahishwa na kazi ya alex ferguson timu kama arsenal na liverpool hazina wachezaji wengi wa england ferguson amefanikiwa kusajili wachezaji wa nje pia england kwa UNK ni vema kuibua vipaji vya wachezaji wa nchi hiyo na kuviendeleza ninajua kwamba klabu nyingi hupenda kuangalia wachezaji wakali duniani lakini suala la kusahau wale wanaotoka katika nchi husika ninaona kwamba ni ujinga cantona ambaye baada ya kuacha soka amekuwa muigizaji maarufu amekuwa akifuatilia maendeleo ya klabu yake kwa karibu mchezaji huyo anaamini kwamba uzoefu wa rio ferdinand gary neville paul scholes na wes brown UNK kukuza vipaji vya michael carrick na wayne rooney na hivyo kutoa matunda mazuri uongozi wa chama cha soka mkoa wa iringa umezitaka timu zote mkoani humo zilizofanikiwa kutinga katika hatua ya pili ya ligi ya taifa ngazi ya mkoa huo kuhakikisha zinafuata taratibu zote za ligi hiyo ili kuepukana matatizo akizungumza na mwanaspoti katibu mkuu wa UNK eliud UNK amesema kuwa timu yoyote itakayokiuka taratibu za ligi hiyo itachukuliwa hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kuondolewa katika ligi hiyo hatutasita kuchukua hatua kali kwa timu yoyote itakayokiuka taratibu za ligi yetu kwani tunataka kuwa na timu bora ambazo UNK kwa uhakika timu ya soka ya shule ya sekondari UNK ya mbagala dar es salaam imeanza kujifua ili kujiandaa na michuano mbalimbali dhidi ya shule nyingine ikiwamo mechi dhidi ya walimu wa shule hiyo ally juma ambaye ni mwalimu wa michezo shuleni hapo amesema kuwa hatua hiyo imefikiwa na uongozi wa shule hiyo ili kudumisha taaluma pamoja na kuinua vipaji vya soka kwa wanafuzi wa shuleni hiyo taaluma si darasani tu hivyo tumeamua kuanzisha timu ya soka ambayo itakuwa ikiwakilisha shule yetu katika mechi mbalimbali za kirafiki na mashindano chama cha soka mkoa wa mwanza kimeanza mikakati yake ya kukabiliana na uhaba wa waamuzi wa soka mkoani humo na kimepanga kuendesha kozi za muda mfupi na muda UNK kwa wanafunzi wa shule za sekondari mkoani humo akizungumza na mwanaspoti mkufunzi wa waamuzi kanda ya ziwa said nasoro amesema kuwa hilo linatarajia kuanza hivi karibuni mara baada ya mzfa kukamilisha taratibu zote zinazo husiana na zoezi hilo mikoa mingine ya kanda ya ziwa pia inatakiwa kuiga mfano huu wa mzfa ili iweze kukabiliana na uhaba wa waamuzi michuano ya copa coca cola wilayani kinondoni inatarajia kuanza kutimua vumbi mwisho wa mwezi huu mara baada ya kukamilika kwa usajili wa wachezaji katibu mkuu wa chama cha soka wilaya ya kinondoni franck mchaki amesema kuwa taratibu zote kwa ajili ya michuano hiyo zimekamilika na kinachosubiriwa ni kumalizika kwa usajili wa wachezaji watakaoshiriki michuano hiyo tumejipanga vilivyo kuhakikisha taratibu zote zinafuatwa pia safari hii tutakuwa makini zaidi katika uteuzi wa wachezaji watakaoiwakilisha wilaya yetu katika michuano ijayo timu ya soka ya jua kali ya kimara jijini dar es salaam inatarajia kufanya uchaguzi wake wa viongozi hivi karibuni ambao utakuwa ni wa kwanza tangu kuanzishwa kwa timu hiyo akizungumza na mwanaspoti kocha mkuu wa timu hiyo james faya amesema kuwa siku zote timu hiyo imekuwa ikijiendesha bila ya uongozi hivyo kushindwa kufikia malengo yake ikiwa ni pamoja na kushindwa kushiriki katika ligi ya taifa ngazi ya wilaya ya kinondoni tunatarajia kufanya uchaguzi wa viongozi hivi karibuni ili tuweze kupata watu ambao watakuwa UNK mikakati ya timu yetu lengo ni kuwa na tuwe na uhakika wa kuweka mikakati wakati wa kushiriki michuano mbalimbali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani mkienda ivory coast waziri wa michezo wa zambia kenneth chipungu amewaonya wachezaji wa timu ya taifa ya nchi hiyo chipolopolo katika fainali hizo za wachezaji wa ndani zinazoanza jumapili ijayo zambia imepangwa kundi a pamoja na senegal taifa stars na ivory coast waziri huyo akizungumza na wachezaji wa timu hiyo kambini jijini lusaka mwishoni mwa wiki aliwaambia wakifungwa na timu za kundi lake na UNK kitu hawatapewa mapokezi yoyote wakirejea zambia lazima UNK kwamba UNK fedha za walipa kodi kwa kushinda tunatumia fedha nyingi sana UNK alisema waziri huyo huku kocha mkuu herve renald UNK kwa makini ni fedha za walipa kodi UNK wanaangalia jinsi fedha zao zinavyotumika kwa hiyo UNK ivory coast mnahitaji kujua hilo na mnatakiwa UNK UNK mapokezi yoyote kutoka kwangu au mtu yeyote UNK kama mkishindwa kufanya vizuri zambia ambayo inaanza na wenyeji februari ishirini na mbili inakwenda ivory coast kesho jumatano huku mfaransa herve akiwa ndie mtu ambaye kibarua chake kipo hatarini zaidi kutokana na ufanisi mbovu wa timu hiyo rais jakaya kikwete amesema viwanja vyote kumi UNK kwa ajili ya kombe la dunia ishirini moja sifuri haviwezi UNK uwanja wa taifa wa tanzania kikwete aliyasema hayo jumapili wakati wa uzinduzi wa uwanja mkuu wa tanzania ambao sasa utaitwa uwanja wa taifa na uliokuwa uwanja wa taifa utaitwa uwanja wa uhuru tunaishukuru serikali ya china kwa msaada mkubwa tanzania inajivunia uwanja wa kisasa mzuri mkubwa na hata ambao ni tishio katika viwanja vyote vya ukanda wa sahara na hata viwanja vyote UNK kwa ajili ya kombe la dunia ishirini moja sifuri haviwezi kuingia alisema kikwete na kushangiliwa kwa nguvu uwanja wa soccer city unaojengwa afrika kusini ndiyo mkubwa hadi utakapokamilika utakuwa na uwezo wa kuchukua mashabiki themanini sifuri sifuri sifuri na UNK mechi ya fainali ya kombe la dunia ishirini moja sifuri hata hivyo alisema kuwa uwnaja huo ni mkubwa na wa kisasa zaidi kuliko viwanja vingine afrika hakuna uwanja mzuri na wa kisasa zaidi afrika kama uwanja huu alisema kikwete alisema kuwa tanzania itaendelea kushirikiana na china katika nyanja za michezo kwani kukamilika kwa uwanja huo si mwisho wa ushirikiano na china hata hivyo rais kikwete aliwataka watanzania UNK kwani safari ya UNK ilianza mbali nampongeza rais mkapa mimi nilikuwa waziri wake wa mambo ya nje wakati wa mazungumzo nilishuhudia na UNK kwenda kutia UNK nilikuwa na rais hu jintao UNK saini na leo hii rais jintao ndiye UNK uwanja kwa kweli ni faraja kubwa alisema kikwete hata hivyo kabla ya kuingia uwanjani wananchi walijipanga misururu mirefu huku wakilalamikia utaratibu uliokuwa unatumika kuzuia kuingia uwanjani mwanaspoti ilishuhudia maofisa usalama wakiwafanyia upekuzi kwa mikono kila anayetaka kuingia uwanjani na kusababisha vurugu na mvua ilipoanza walizidiwa nguvu na watu kuvamia uwanja huku maafisa hao wakibaki kuwaangalia wananchi UNK mvua kubwa iliyokuwa inanyesha kwani waliingia wakiwa UNK wakiwemo watoto mbali na hali hiyo ambayo hata hivyo hakuna vurugu iliyotokea kutokana na kuwa na ulinzi wa kutosha UNK na kusisimua mashabiki ni bendi ya msondo ngoma ambao angalau walitoa burudani ya UNK kwa kupiga vibao vya maarufu vikiwemo talaka majuto na kilio cha mtu mzima vikundi vya bendi ya mapipa na vikundi vya sarakasi UNK sana ispokuwa kile cha karate ambacho UNK kwa nguvu mwanaspoti UNK baadhi ya mashabiki walilalamikia maandalizi hayo ya uzinduzi kuwa UNK kwani uzinduzi wa uwanja mkubwa si kucheza sarakasi na kwamba UNK mechi ya dakika thebathini au arobaini na tano pamoja na mashindano ya riadha mashabiki wengi UNK ahadi ya serikali ambayo mwaka juzi iliahidi kuileta real madrid ya hispania kwenye uzinduzi wa uwanja huo timu ya soka ya polisi iringa leo jumanne inafungua pazia ya ligi daraja la kwanza hatua ya tisa bora UNK na kijiweni ya mbeya mchezo utakaofanyika kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam mchezo huo utakaoanza saa nane mchana unatarajia kuwa mkali kutokana na uimara wa timu zenyewe na UNK na mchezo mwingine kati ya manyema UNK na majimaji ya songea saa kumi sifuri sifuri jioni kocha wa polisi iringa joseph kanakamfumu alisema wamejiandaa vizuri kushinda mchezo huo kwani wamepania kupanda daraja msimu ujao lazima tushinde mchezo huu ili uwe ni mwongozo wa kushinda michezo mingine ijayo timu yangu ipo fiti kukabiliana na timu yoyote alisema kocha huyo ambaye zamani alikuwa kocha wa prisons na ashanti united naye kocha mkuu wa manyema abdallah kibaden chifu UNK alisema anajivunia kikosi chake kilicho na vijana wengi hivyo kumpa jeuri ya kupanda daraja msimu ujao kibadeni alisema wana kila sababu ya kuibuka na ushindi kwa vile wamejiandaa vizuri nina wachezaji wengi vijana na baadhi ya wakongwe ambao wanajua majukumu yao wawapo uwanjani hivyo tuna kila sababu ya kushinda mchezo wa jumanne tunajua majimaji ni timu nzuri lakini UNK manyema leo jumanne itakuwa ikiongozwa na mshambuliaji wa zamani wa simba julius mrope benedict ngassa patric mrope kassim UNK na ali ndondo kuhakikisha manyema inaibuka na UNK kwa hali yoyote timu tatu tu katika tisa ndiyo zinatakiwa UNK daraja msimu ujao ligi kuu bara timu hizo ni polisi iringa majimaji ya songea kijiweni ya mbeya manyema fc UNK lyon za dar es salaam korosho ya mtwara afc ya arusha mwanza united na nyerere ya kilimanjaro bondia wa kick boxing japhet kaseba yupo katika maandalizi makali kujiandaa na pambano lake la ubingwa wa dunia dhidi ya UNK UNK wa italia litakalofanyika machi mosi kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam kaseba amesema anataka kuendelea kuweka rekodi ya kushinda pambano hilo mapema kama alivyofanya katika mapambano mengine yaliyopita naendelea na mazoezi kwa kasi kubwa ili niwe fiti katika pambano hilo nataka kubakiza ubingwa nyumbani na nawahakikishia watanzania kuwa nitashinda tena katika raundi za awali kocha mkuu wa mabingwa watetezi wa ligi ya mpira wa kikapu mkoa wa dar es salaam vijana city bulls bahati UNK amesema amefurahi kupita kiasi timu yake kutinga nusu fainali ya michuano hiyo vijana iliifunga abc pointi sabini na tisa sabini na saba katika mchezo mkali ulishuhudia timu hizo UNK mchezo zikiwa zimefungana pointi sabini sabini hivyo kuongezewa muda wa ziada timu nyingine UNK nusu fainali ni jkt savio na tanzania prisons baada ya kutwaa ubingwa wa afrika mashariki kocha mkuu wa jkt mbweni anna shayo amesema alijua kuwa watatwaa ubingwa huo kwa kuwa UNK mbweni waliwafunga mabingwa watetezi nic ya uganda ambao pia ni mahasimu wao wakubwa magoli thebathini na sita thebathini na tano tulikuwa tumejiandaa muda mrefu hivyo kutupa urahisi katika mashindano hayo nic ni timu ambayo imekuwa UNK muda mrefu kila UNK lakini sasa UNK mwiko na tutaendelea kushinda katika mashindano yote mashindano ya baiskeli yaliyokuwa yafanyike mwishoni mwa wiki jijini dar es salaam UNK hadi februari ishirini na mbili kutokana na ziara ya rais wa china hu jintao hapa nchini katibu mkuu wa chama cha baiskeli mkoa wa dar es salam saidi kengele amesema nia ya mashindano hayo ni UNK timu ya mkoa kabla ya kushiriki michuano ya taifa mapema barabara ambayo ndio tulikuwa UNK mashindano hayo ndiyo UNK katika UNK ya rais wa china hivyo tukaona tuache kwanza shughuli hizo UNK ndipo tufanye mashindano kocha wa timu ya taifa ya gofu charles UNK amewataka wachezaji vijana kujitokeza kwa wingi kucheza mchezo huo kocha huyo ambaye ni mzungu amesema kuna idadi ndogo sana ya vijana katika mchezo huo kiasi cha kutishia kasi ya mchezo huo hapa nchini vijana hawapo sasa sijui wanaogopa UNK wengi wanocheza gofu ni wakubwa UNK vijana ili hawa UNK wao ndio wachukue nafasi zao waje huu mchezo si mgumu wala si wa matajiri kama wanavyofikiria vifaa viwili muhimu vya taifa stars athuman idd na nizar khalfan UNK uwanjani na daktari wa timu hiyo ameapa hata kwa dawa hatoi matokeo ya vipimo vya bangi wachezaji wote wa stars walichukuliwa vipimo vya afya hivi karibuni lengo likiwa ni kubaini wachezaji wenye malaria na wanaotumia madawa UNK soka athuman na nizar ambao walikuwa nje kwa siku kadhaa kutokana na majeruhi walikuwa kwenye hatihati ya kutokuwemo kwenye kikosi UNK fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani wote kwa pamoja walianza mazoezi juzi jumapili na timu hiyo na UNK maumivu kama ilivyokuwa awali nizar alikuwa anasumbuliwa na msuli hali yake ni nzuri athuman na yeye nyama zilikuwa UNK lakini yupo sawasawa alisema daktari wa stars juma sufiani wameanza mazoezi kwa nguvu na nadhani ndani ya muda mfupi watakuwa fiti tayari kwa kuwajibika nimewaangalia wote hakuna mwenye tatizo kubwa sasa kazi imebaki kwao na mwalimu ambaye ndiye UNK majukumu ya kiufundi lakini hali yao inaridhisha sana alisema alipoulizwa tena kuhusiana na matokeo ya vipimo vya afya vya hivi karibuni alisema hata ufanyaje hivyo siwezi kutoa ni siri kubwa sana hata kwa dawa siwezi kutoa siri za mgonjwa yeyote ni siri yangu na maadili ya kazi yangu UNK uchunguzi wa mwanaspoti hivi karibuni umebaini kwamba wachezaji tisa waliomo kwenye kikosi cha taifa stars wanatumia kilevi aina ya bangi ambacho caf imedai itapima wachezaji wote wa timu za chan kubaini wachezaji sita wanatoka yanga na simba na wengine watatu wanatoka katika timu nyingine lakini wapo wawili ambao ni wapya kocha marcio maximo leo jumanne atafanya mchujo wa wachezaji wa stars na kutangaza majina ishirini na mbili ambao watakwenda ivory coast beki wa yanga hamis yusuf amesema kutokuonekana kwenye kikosi cha kwanza si kwamba hayupo fiti lakini ametoa UNK kwa wachezaji wa taifa stars stars inashiriki fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani zinazoanza jumapili nchini ivory coast nipo fiti muda mrefu sana na mazoezi nafanya lakini unajua maamuzi ya mwisho ni ya benchi la ufundi kutokuonekana kwenye kikosi cha kwanza si kwamba sipo fiti akizungumzia timu ya taifa alisema chan haitakuwa rahisi kila mchezaji anapaswa kuwa makini sana muda wote na kuzingatia maelekezo alisema yusuf ambaye hajaitwa kwenye kikosi hicho kwa miaka miwili sasa timu ipo na wachezaji tunawaona wanaweza kufanya kazi lakini waongeze bidii zaidi nina uhakika kwamba uwezekano wa kufanya vizuri ni mkubwa kama kila mtu akiamua kwamba anakwenda kufanya kazi UNK wajibu wake stars ipo kundi a pamoja na zambia senegal na wenyeji ivory coast licha ya kocha wa zimbabwe UNK taifa stars kwamba kundi lake la chan ni rahisi kipa deo munishi dida amewaonya wachezaji wenzake kipa huyo wa stars anayechezea klabu ya simba ni miongoni mwa wachezaji waliomo kwenye kikosi UNK ivory coast akizungumza na mwanaspoti jana jumatatu dida alisema hakuna ya kubeza baadhi ya timu na kila mchezaji anapaswa kuelewa hivyo kundi letu ni gumu timu yoyote iliyofuzu ni imara hatupaswi kudharau timu yoyote mpira UNK sana alisema tunachotakiwa kufanya ni kujiandaa vizuri kupambana na kila mtu kwenye kundi letu na hakuna hata timu ambayo unaweza kusema ni rahisi kabla ya kucheza nayo maandalizi UNK mazuri sana lakini juhudi ni muhimu sana kila mchezo unahitaji kupambana kwa hali na mali lakini nikiangalia wenzangu naona hakuna lisilowezekana tutapambana kuanzia sisi makipa mpaka wachezaji wa ndani kuhakikisha kwamba tunapata matokeo mazuri haya mashindano ni makubwa na kila mtu tunajua UNK kufanya vizuri kadri ya uwezo wake aliongeza mchezaji huyo ambaye husisitiza kwamba jina lake la ukoo ni munishi na si mushi kama baadhi ya magazeti UNK wachezaji wa prisons wamedai kuwa bado pengo la kiungo aliyehamia yanga godfrey bonny lipo kwenye kikosi hicho na ndio kati ya mambo UNK timu hiyo kwenye kombe la shirikisho prisons ilitolewa kwenye kombe la shirikisho kwa jumla ya mabao sita sifuri dhidi ya khalij sert ya libya baada ya kufungwa mabao mbili sifuri jijini dar es salaam na nne sifuri mjini UNK ukiangalia timu UNK kwenye ulinzi kuna upungufu makubwa sana watu hawajiamini kabisa ndio maana tunafungwa mabao ya ajabu ajabu ambayo hata UNK alisema mchezaji mmoja tegemeo hata namba sita kwetu bado ni tatizo hakuna tangu aondoke bonny kwenda yanga UNK mtu imara wa kudumu ambaye anaweza kuchezesha timu na kwa uzito unaostahili tunahitaji kufanya kazi sana kutoka hapa tulipo ila nadhani kwenye ligi tutafanya vizuri kama kila mtu akituliza akili na kutekeleza wajibu wake bila mchecheto aliongeza mchezaji huyo tegemeo kocha wa prisons james nestory ingawa jana jumatatu hakupatikana kutoa ufafanuzi wa hilo lakini hivi karibuni aliomba radhi kwa mashabiki wa mbeya kutokana na matokeo mabovu ya timu hiyo lakini akasisitiza kwamba kuanza sasa morali iko juu na wanategemea mambo makubwa uwanjani ligi kuu tanzania bara ndio ligi kubwa zaidi tanzania na yenye kipato kizuri kwa klabu kuliko mashindano mengine yoyote yanayohusisha klabu ligi hiyo ambayo inahusisha timu kumi na mbili imekuwa na msisimko wa aina yake na mashabiki wameonyesha kuipenda ndio maana wamekuwa wakijitokeza uwanjani mara kwa mara hata hivyo shirikisho la soka tanzania limekuwa UNK ligi hiyo mara kwa mara wakati mwingine huwa kuna sababu maalumu na wakati mwingine huwa bila sababu za msingi ni ukweli usiofichika kuwa kwa sasa ligi hiyo haina budi kusimama kutokana na maandalizi ya timu ya soka ya tanzania taifa stars inayojiandaa kwenda ivory coast kushiriki fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani si hili tu ushiriki wa klabu za prisons na yanga pia umechangia ligi kusimama kwa muda jambo ambalo UNK mkono hata hivyo jambo ambalo UNK ni wakati mwingine tff kusimamisha ligi kwa sababu tu taifa stars inajiandaa kwa mechi moja ya kirafiki dhidi ya timu ya nchi fulani kuiweka taifa stars kambini kwa wiki tatu kujiandaa na mechi moja ya kirafiki ni uharibifu wa fedha na kupoteza muda haiwezekani ligi UNK kwa wiki tatu kwa sababu eti taifa stars inajiandaa kucheza mechi ya kirafiki na uganda huo ni uharibifu wa muda na fedha wakati kocha wa stars marcio maximo alipotua nchini tulikubaliana na sababu zake kwamba timu yetu bado ni changa ndio maana inastahili kukaa kambini kwa muda mrefu kujiandaa kwa mechi moja ya kirafiki au ya mashindano lakini kwa sasa hatudhani kama hoja hiyo kama ina msingi wowote kwani wachezaji karibu wote wa stars ni walewale na kwa muda wote waliokuwa pamoja UNK madhara ya hilo yalionekana katika michuano ya kombe la chalenji ambapo stars ilifungwa mechi mbili dhidi ya somalia na uganda jijini kampala hivi karibuni hata uwezo wa timu yetu ya tanzania bara kilimanjaro stars ambayo inaundwa na wachezaji karibu wote wa taifa stars ulikuwa mbovu kutokana na UNK wachezaji kujiandaa kwa muda mrefu na kucheza mechi moja tabia ya kukaa wiki tatu kambini kujiandaa na mechi moja UNK na ndio maana tukafanya vibaya kwenye chalenji kwa sababu tulizoea kujiandaa kwa siku nyingi kabla ya kucheza mechi moja jambo ambalo lilikuwa ni geni tulipokuwa uganda kwa timu yetu kucheza mechi kila baada ya siku mbili imefika wakati sasa tff kuzingatia ligi kuu bara na kuipa umuhimu wake kwa sababu kwa hali iliyopo sasa inataka ianze kukosa mvuto ligi inataka ianze kukosa mvuto kwa sababu kila baada ya wiki mbili imekuwa UNK kwa ama maandalizi ya mechi za kirafiki za stars au usajili mdogo sisi tunaamini kuwa hayo yote yanaweza kufanywa huku ligi ikiwa inaendelea lakini kwa sasa wakati tunajiandaa kwa chan ni suala zuri kwamba ligi imesimama hata hivyo tabia ya kusimamisha ligi kwa sababu ya stars kujiandaa na mechi moja UNK mshambuliaji wa zamani wa simba athuman machuppa UNK kimya kimya binamu wa mussa hassan mgosi kabla ya kutimua zake kwenda denmark kusaka timu ya kucheza soka machuppa aliyewahi kuichezea simba kwa mafanikio alimuoa binamu huyo wa mgosi kimya kimya mwezi uliopita bila ya kuwaalika hata marafiki zake wa karibu ambao sasa wamekuwa UNK lawama kwa kuwaficha jambo hilo nimesikia tu lakini UNK haki urafiki wetu umefikia kuwa kama undugu hakukuwa na haja ya kuficha jambo la kheri kama hiyo alisema mchezaji wa zamani ambaye alicheza na machuppa wakiwa simba imeelezwa ndoa hiyo ilifungwa nyumbani kwa mgosi eneo la sinza mapambano jijini dar es salaam wakati mshambuliaji huyo akiwa na timu ya taifa katika michuano ya kombe la chalenji uganda baada ya kufunga ndoa hiyo machuppa alikwenda denmark ambako anajaribu bahati yake ya kucheza soka ya kulipwa mgosi alithibitisha kufanyika kwa sherehe hiyo ingawa hakutaka kulizungumzia suala hilo kweli yule ni binamu yangu lakini ilikuwa ni mipango yao UNK naye mgosi hivi karibuni alipata mtoto wa pili baada ya mkewe kujifungua mtoto wa kike aliyempa jina la UNK mtoto wake wa kwanza wa kiume anaitwa hassan machuppa na mgosi wamewahi kucheza pamoja simba kwa vipindi tofauti na kuifanya kuwa moto wa UNK mbali wachezaji wawili wa simba kiungo henry joseph na mshambuliaji kinda emeh izuchukwu wamerejea nchini kutoka norway huku kukiwa na utata na hatima yao ingawa habari za uhakika jopo la makocha la molde fk ya norway litakutana wiki mbili zijazo kutoa jibu la mwisho henry na izuchukwu raia wa nigeria walitua nchini kimya kimya mwishoni mwa wiki na imedaiwa kuwa klabu hiyo itatoa majibu wiki mbili zijazo inadaiwa kuwa wachezaji hao UNK kutokana na kuisha kwa visa zao ambazo UNK kuishi norway wakala anayetambuliwa na shirikisho la soka la kimataifa mehdy rehmtulla ambaye aliwapeleka nchini humo kwa majaribio aliiambia mwanaspoti jana jumatatu kuwa molde fk UNK na wachezaji hao lakini kuna mambo mawili UNK emeh ana miaka kumi na saba ni vigumu kuingia naye mkataba lakini wataingia mkataba na simba ili mchezaji huyo akifikisha miaka kumi na nane ajiunge nao kuhusu henry wamempa ruhusu kujiunga na timu ya taifa taifa stars inayojiandaa kwa fainali za chan lakini jopo la makocha litakutana baada ya wiki mbili kutoa jibu la mwisho henry alijiunga na kambi ya stars mwishoni mwa wiki kwenye hoteli ya atrium eneo la sinza afrika sana jijini dar es salaam kuendelea na maandalizi ya chan chini ya kocha marcio maximo wachezaji hao walifanya vema wakati molde fk ikiwa katika mechi za maandalizi nchini hispania lakini henry UNK baada ya kurejea burgen norway katika mechi ya kirafiki waliyoshinda kwa bao moja sifuri imeelezwa hali ya baridi kali nchini humo ilikuwa UNK tangu UNK siku ya kwanza finito al ahly ya misri imerejea katika usukani wa ligi kuu misri baada ya kuifunga masry mabao mbili moja huku zamaleki UNK na UNK ushindi huo wa ahly ilioupata mwishoni mwa wiki umeifanya UNK ligi kwa pointi mbili ikiwa na mechi moja mkononi ikifuatiwa na petrojet inayoshika nafasi ya pili baada ya penalti ya mohamed barakat kupanguliwa dakika ya kumi al ahly ilipata bao la kuongoza dakika tisa baadaye baada ya mohamed UNK kujifunga mwenyewe kwa kichwa ahmed hassan alipiga bao la pili lakini dakika za majeruhi masry ikapata bao la kufutia UNK lililofungwa na ibrahim al UNK kocha msaidizi wa ahly hossam al badri alisema timu yake ilistahili ushindi kutokana na kucheza vizuri hassan flavio na barakat wametusaidia sana katika mchezo huu na kazi yao ilikuwa nzuri mwanzo mpaka mwisho wa mchezo alisema hatukuwa tishio kipindi cha kwanza kwa sababu UNK mawinga kama UNK kufanya lakini baadaye UNK na kuwapa wakati mgumu wapinzani wetu na hasa baada ya kuweka winga zote mbili zamalek ipo juu kwa pointi tatu kutoka katika timu ambazo zipo ukanda wa kushuka daraja baada ya kupata kipigo cha saba mfululizo katika mechi nane ikiwamo ya kufungwa na ittihad bao moja sifuri lililofungwa na mohamed UNK nayo UNK ikiwa na wachezaji kumi uwanjani iliipa kipigo cha mbili sifuri UNK el UNK na kuwa na matumaini ya UNK UNK nayo iliendeleza ushindi kwa kuifunga asyut petroleum mabao mbili moja hivyo kuwafanya wawe nafasi ya tatu nyuma ya pointi nne kutoka kwa vinara al ahly al ahly itakutana na yanga mwezi ujao kwa ajili ya ligi ya mabingwa afrika kocha mkuu wa simba patrick phiri ametaja sababu zinazowafanya wachezaji wengi wa afrika zikiwamo nchi za tanzania na zambia kushindwa kupata timu za kucheza soka ulaya akizungumza na mwanaspoti jijini dar es salaam phiri alisema klabu nyingi za ulaya zimekuwa zikiangalia mambo mengi zikiwamo sababu za kibiashara kabla ya kumsajili mchezaji kama unatoka afrika ili UNK kwao na UNK inatakiwa uwe na kipaji cha hali ya juu mpaka UNK unajua wao wapo kibishara zaidi kuliko suala la nani atacheza kwetu alisema kocha huyo wa zamani wa zambia wanaangalia msaada kwenye timu yao lakini wanaangalia biashara kwanza hawawezi kumuacha mchezaji wa nigeria ambaye wanaona uwezo wake ni sawa na wa tanzania wanajua UNK mfano nwankwo kanu basi kama wanamlipa pauni milioni hamsini kwa mwezi watakuwa na uhakika wa kuuza jezi nigeria kwa zaidi ya pauni milioni sabini kitu ambacho ni faida kwao wana uhakika wa kuuza bidhaa zao kwa wingi sana nigeria kwa sababu kuna idadi kubwa ya watu lakini wanajua hata mashabiki wa klabu hizo kwa tanzania na zambia wanaweza kununua kutokana na kuamini nigeria ni kubwa kisoka nchi zetu bado zina safari ndefu zaidi akaongeza nchi za ukanda wetu UNK UNK na hali hii na ikiwezekana ni wakati mzuri wa kupeleka vijana wengi wakati huu UNK ulaya ili baadaye wawe msaada senegal na ivory coast wachezaji wake wengi wamekulia ulaya kisoka wapo ambao hawakuwahi hata kucheza ligi ya kwao wamekulia kisoka ulaya inawezekana hata kwa tanzania lakini inahitaji muda alisema akizungumzia kuhusu maandalizi ya timu yake phiri aliyewahi kuwa kocha wa timu ya taifa ya zambia alisema amepanga waanze maandalizi mapema ikiwa ni pamoja na kupata mechi za kirafiki ili kujenga zaidi kikosi chake simba walitarajia kuanza mazoezi jana jumatatu jioni kujiandaa na mechi zilizobaki za ligi kuu tanzania bara msimbazi ipo nafasi ya tatu ikiwa na pointi ishirini na nne nyuma ya kagera sugar yenye pointi ishirini na sita na vinara yanga wenye pointi arobaini na mbili yanga imeweka rekodi ya aina yake kwa kutinga raundi ya kwanza ya ligi ya mabingwa afrika kwa mabao mengi kumi na nne moja huku wachezaji wake wawili mrisho ngassa na boniface ambani wakiwa wamefunga jumla ya mabao kumi na UNK afrika wakati ambani alifunga mabao manne jijini dar es salaam kabla ya kufunga moja mjini moroni ngassa amefanya kinyume chake kwani alifunga moja nyumbani kabla ya kufunga manne ugenini yanga imeifunga etoile ya comoro jumla ya mabao kumi na nne moja katika hatua ya awali ya ligi ya mabingwa afrika kwani wiki mbili zilizopita ilishinda nane moja jijini dar es salaam kabla ya juzi jumapili kufunga sita sifuri mjini UNK kwa ushindi huo yanga inakuwa timu pekee ya afrika kupata ushindi mkubwa katika hatua ya awali ya ligi ya mabingwa afrika msimu huu kama ingekuwa ni msimamo wa ligi yanga ingekuwa inaongoza katika ligi hiyo kwa kuwa na pointi sita na magoli kumi na nne ya kufunga ikiwa imefungwa bao moja tu winga mrisho ngassa alifanya kazi ya ziada juzi jumapili kwa kufunga mabao manne dakika ya tatu thebathini na tatu thebathini na tisa na arobaini na moja wakati vicent barnabas alifunga bao la tano dakika ya sabini na saba kabla ya boniface ambani kufunga dakika ya themanini na nane ngassa amefikisha mabao matano sawa na ambani kitu UNK wakae juu ya orodha ya wafungaji bora wa afrika msimu uliopita mchezaji wa enyimba stephen worgu alikuwa mfungaji bora kwa kupachika mabao kumi na tatu jambo ambalo liliifanya timu ya sudan el merreikh kumnunua kwa mamilioni ya fedha ambani aliondoka nchini akiwa amepania kuongeza mabao zaidi lakini pamoja na yanga kuibuka na ushindi wa mabao sita sifuri ugenini ngassa amepachika mabao manne hivyo kumfikia ambani aliyefunga idadi hiyo dar es salaam fainali ya wachezaji hao kuendelea kuwania mabao mengi zaidi ni pale watakapokutana na mabingwa wa afrika al ahly katika mechi mbili jijini cairo na dar es salaam mechi ya kwanza bila shaka itakuwa ijumaa ya machi kumi na tatu kwenye uwanja wa cairo unaobeba mashabiki sabini na tano sifuri sifuri sifuri nchi nyingi za kiarabu hupenda kucheza mechi ijumaa katika mechi ya juzi jumapili yanga ilikuwa hivi obren cirkovic fred mbuna amir maftah wisdom ndlovu nadir haroub geofrey bonny mrisho ngassa abdi kassim kigi makasi boniface ambani mike baraza na jerry tegete vicent barnabas hata hivyo yanga haijavunja rekodi iliyowekwa na pamba ya mwanza mwaka elfu moja na mia tisa na tisini UNK mbele kwa jumla ya mabao kumi na saba moja katika kombe la caf jijini mwanza pamba ilishinda kwa mabao kumi na mbili moja dhidi ya UNK UNK UNK ya UNK na mechi ya marudiano ikashinda mabao tano sifuri rapa mahiri wa twanga pepeta international msafiri diouf ijumaa iliyopita UNK mashabiki wa bendi hiyo baada ya kuonekana akitumbuiza kwenye baa ya UNK UNK makumbusho jijini dar es salaam msanii huyo alikuwa akipita katika baa hiyo ya wazi lakini ghafla akaenda mbele na kumfuata dj akimuomba kinasa sauti UNK huku dj wa baa hiyo akimtaja mara nyingi baadhi ya mashabiki walikuwa hawaamini kwamba ndie aliyeko mbele mpaka alipoanza kuimba vionjo mbalimbali katika tukio hilo UNK kwamba dakika kadhaa diouf alikuwa akizunguka huku na huko UNK wateja kwa kuwataja majina na baadhi yao kumpa chochote lakini baadhi walikuwa UNK yaani huyo jamaa ameshuka kiwango kiasi hiki mpaka huku mitaani anaimba bure kirahisi namna hii alisikika akihoji shabiki mmoja baada ya kukabidhi kipaza sauti kwa dj msanii huyo ambaye amekuwa na sifa mbaya katika miezi ya hivi karibuni alionekana bize akizunguka huku na huko kuteta na aliokuwa akiwataja na baadae UNK bobi wine ambaye ni nguli wa muziki nchini uganda amemtaka jose chameleone kubadilika na kuachana na maisha UNK msanii huyo alikuwa miongoni mwa wasanii wa uganda aliyemtembelea chameleone hospitali alipopata ajali mwezi uliopita na akakaa pembeni ya kitanda chake lakini amesema chameleone anatakiwa kuacha baadhi ya vitu UNK na watu wenye umri fulani anatakiwa atambue sisi kama mastaa tuna maadui wengi sana UNK anatakiwa ajue kwamba UNK na maadui kama hao yeye ndio anapata hasara si mtu mwingine ana mke na mtoto anapaswa kubadilika anatakiwa kuishi maisha ya tofauti na kuachana na hii mikosi ya kila mara usiku mbona kila siku ni yeye tu UNK kwanini alihoji bobi wine ambaye anatambulika zaidi uganda kama rais wa UNK siku chache baada ya kutambulisha vifaa vipya vyenye thamani ya shilingi milioni arobaini na tano akudo impact imedai kuwa hakuna wa kushindana nao bendi hiyo inayoundwa na wasanii wengi kutoka nchini congo chini ya christian UNK UNK vifaa vipya kwenye ukumbi wa mango garden kinondoni jumamosi iliyopita mkurugenzi wa bendi hiyo adam bundala alisema kwamba vifaa hivyo vimesaidia kuboresha kiwango cha muziki wao na kuwa tofauti na wasanii wengine hakuna bendi inaweza kushinda na sisi kwa ubora wa vifaa UNK kazi inafanyika UNK sana na ndio maana unaona sasa UNK kupanda chati tutazidi kuwa juu zaidi kwa vile kazi ni nzuri na kila msanii ana uwezo na kile UNK kufanya sapoti tunayopata sana ni kubwa sana na tunadhani itakuwa mara mbili zaidi hivi karibuni alisisitiza UNK msanii ismail wa kundi la b band ameripotiwa kufunga pingu za maisha na asali wake wa moyo mariam sudi hivi karibuni jijini dar es salaam dj choka banana zorro na b band ni miongoni mwa watu waliohudhuria sherehe hiyo UNK kwa kupambwa na nyimbo za wasanii wenzake ismail ambaye ametamba na wimbo wa ninachotaka amekuwa miongoni mwa wasanii mahiri na wenye mchango mkubwa ndani ya b band msanii huyo mbali na UNK kwa sauti yake na mbwembwe tungo zake zimekuwa na hisia nzito kwa mashabiki msanii buchaman wa uganda ametoa singo mpya ambayo maneno yake UNK na mashabiki kama madongo ya wazi kwa bebe cool ambaye pia ni UNK mwanaume gani mwenye aibu atakuja hadharani auambie umma kwamba mwanamke wake UNK ni maneno ya aibu buchaman aliwapa mashabiki mistari hiyo katika tamasha lililofanyika kwenye ukumbi wa UNK hivi karibuni hayo ni mambo ya kifamilia UNK umma kwa vile hawakuwepo ulivyokuwa UNK michezo yako UNK buchaman ameingiza madongo hayo katika nyimbo karibu zote mpya UNK habari hizo UNK bebe cool alidai hana muda wa kupambana na msanii huyo bebe UNK na mke wake hivi karibuni kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kukerwa na tabia zake na taswira mbaya iliyojengeka kwenye jamii mabingwa wa netiboli wa afrika mashariki na kati jkt mbweni wamekabidhiwa kitita cha shilingi milioni mbili pamoja na UNK kumi na tano za khanga katika hafla ya kuwapongeza dhidi ya ushindi walioupata katika mashindano hayo yaliyomalizika mwishoni mwa wiki mjini zanzibar watetezi akitoa pongezi wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika uwanja wa uhuru naibu waziri wa ulinzi na jkt daktari emmanuel nchimbi aliwataka wachezaji hao kuendeleza nidhamu na ushirikiano katika mashindano mbalimbali kwani ndio chanzo cha ushindi alisema wachezaji hao walionyesha nidhamu nzuri na ushirikiano wakati wa mashindano hayo ndiyo sababu wameibuka na ushindi na ameahidi kutoa ushirikiano wa UNK na kuzitaka taasisi na makampuni mbalimbali kujitokeza kusaidia kuinua mchezo huo hapa nchini makamu mwenyekiti wa chama cha netiboli tanzania UNK UNK alitoa ahadi yake ya shilingi milioni moja kama alivyoahidi kwa wachezaji hao kabla ya mashindano hayo kuanza mwenyekiti wake anna bay aliongeza shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri na mlezi wa chama hicho michael mwanda naye alitoa shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kama nyongeza na hamasa kwa wachezaji hao mashindano hayo yalimalizika jumapili iliyopita zanzibar na kushirikisha timu kumi na tano kutoka kenya uganda zambia tanzania na wenyeji zanzibar wakati kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo alitarajiwa jana kutangaza wachezaji ishirini na tatu watakaounda kikosi chake kitakachoshiriki michuano ya chan habari za uhakika zilizopatikana jana zilieleza kuwa wachezaji uhuru suleiman na zahoro pazi wa mtibwa UNK uhuru ameachwa katika kikosi hicho kwa mara ya pili baada ya kuikosa michuano ya chalenji iliyofanyika kampala uganda mwisho wa mwaka jana pazi aliteuliwa kwa mara ya kwanza katika kikosi hicho chanzo cha kuaminika cha habari UNK mwananchi kuwa licha ya uzuri wake uhuru ameshindwa UNK jopo la makocha wa stars na hivyo kuachwa kwa mara ya pili katika kikosi UNK kesho mwingine ambaye amekumbwa na panga ni beki wa azam fc salvatory ntebe na pia benchi la ufundi lilikuwa UNK majaliwa ya nahodha henry joseph na kiungo athuman idd ambao walianza mazoezi juzi henry alikuwa norway kwa majaribio ya soka ya kulipwa wakati chuji alikuwa majeruhi sawa na nizar khalfan aliyeumia wakati wa mechi dhidi ya zimbabwe wiki moja iliyopita pia haikufahamika kama mwinyi kazimoto UNK katika kikosi hicho kwa kuwa hakuwamo katika orodha iliyowasilishwa shirikisho la soka afrika ikiwa na wachezaji arobaini lakini habari zaidi zilieleza kuwa tff iliandika barua caf UNK kibali huenda wachezaji wakawa makipa shaaban dihile deogratius dida UNK farouk ramadhan mabeki UNK nsajigwa erasto nyoni juma jabu amir maftah salum sued nadir canavaro haroub kelvin yondani viungo godfrey boni boniface shaaban nditi nurdin bakari jabiri aziz washambuliaji mrisho ngassa jerry tegete kigi makasy abdi kassim haruna moshi na nizar khalfan wakati huo huo UNK UNK UNK kuwa nahodha wa stars henry joseph amewatoa hofu watanzania kwa kuahidi kuweka historia katika fainali chan akizungumza na mwananchi jana mara baada ya mazoezi nahodha huyo alisema hakuna kinachoshindikana na UNK na majina ya timu wanazokwenda kucheza nazo bali juhudi pekee ndizo UNK tunatambua ugumu wa michuano hiyo lakini anaamini ushirikiano baina yao ndio UNK ushindi na kuandika historia nyingine kwa tanzania kwa kuchukua ubingwa huo kwa kweli sisi tutacheza kadri ya uwezo wetu kuhakikisha tunaandika historia katika mashindano haya hatutakiwi kutishika na ukubwa wa majina ya timu pinzani ambazo tumepangwa nazo bali iwe changamoto kwetu kuona tunaweza na UNK stars ambayo inatarajia kuondoka kesho na ndege ya shirika la ndege la kenya kq kuelekea ivory coast inatarajia kufungua dimba na senegal katika kundi a ambapo fainali hizo zitaanza kutimua vumbi februari ishirini na mbili na kumalizika machi nane tayari wenyeji ivory coast chini ya kocha wake georges kouadio wametangaza kikosi chao makipa christian UNK UNK vincent de paul UNK UNK karim UNK mabeki UNK UNK UNK junior florent saoure georges eric UNK UNK aristide UNK kouassi UNK UNK sylvestre nene bibi tra UNK UNK UNK hamed herve UNK viungo UNK UNK blaise UNK UNK elysee UNK bibi UNK jean michael UNK UNK UNK UNK UNK jean paul kesse UNK UNK UNK UNK UNK washambuliaji frank UNK guedegbe UNK jacques alain tano UNK UNK UNK charles dje bibi UNK mwanamuziki mahiri wa msondo ngoma joseph maina amefariki ghafla jana asubuhi akiwa ndani ya daladala kuwa msanii huyo alifariki akiwa amekaa kiti cha mbele mlangoni unajua aliwahi kuingia na sisi ilikuwa zamu yetu kupakia hapo temeke UNK kulikuwa na abiria anataka kupanda UNK UNK kiti cha kati nikaona UNK na muda mfupi UNK baada ya kuona hali ile watu walijaa na UNK gari hadi kituo cha polisi maghorofani lakini na wao walinipa askari wakaniambia UNK hospitali ya temeke alisema salum hata hivyo mwili wa maina UNK kwenye kiti cha daladala kwa takriban saa nzima katika hospitali hiyo huku mashabiki na watu wengine wakielezea kumfahamu kama ni maina mwananchi ilifika hospitalini hapo na kukuta umati wa watu wakielezea masikitiko yao kutokana na kifo hicho saa saba kumi na moja mchana kiongozi wa msondo ngoma muhidin maalim gurumo UNK akifuatana na mpiga solo said mabera wacheza shoo na wanamuziki wengine hata hivyo wasimamizi wa chumba cha maiti walimruhusu mabera kwenda kutambua mwili na aliporudi alithibitisha kuwa kweli ni maina gurumo alisema kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na miguu na bendi walikuwa wakiandaa utaratibu wa kumtafutia matibabu kwa kweli ni pigo kubwa kwani maina alishiriki katika nyimbo zote za msondo alishiriki albamu zote ni pigo kwa sasa hatuna la kusema tutatoa taarifa alisema maina ambaye ameacha mke na watoto wa wawili UNK kibao UNK mke wake mama UNK ambacho UNK maina ameongeza pengo la wanamuziki wakali wa bendi hiyo waliofariki miaka ya karibuni akiwemo tx moshi william athumani momba na suleiman UNK huzuni na simanzi zilitawala jana katika eneo la hospitali ya wilaya temeke wakati mwili wa aliyekuwa mwimbaji wa bendi ya msongo ngoma marehemu joseph maina ulipokuwa UNK tayari kusafirishwa kwenda kijiji cha mkuzi muheza mkoani tanga ambapo ulitarajiwa kuzikwa jana jioni katika tukio hilo wanamuziki wa bendi mbalimbali wabunge na viongozi wa serikali walijitokeza kuuaga mwili wa marehemu maina aliyefariki ghafla jumatano wiki hii na taarifa ilizozipata mwananchi kutoka hospitalini hapo zilieleza kuwa kifo cha mwanamuziki huyo kilitokana na shinikizo la damu baadhi ya wabunge UNK wakati wa zoezi la kuuaga mwili wa marehemu hospitali ya temeke ni pamoja na mbunge wa temeke abasi mtemvu ambaye aliahidi kutoa shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri elfu kama rambirambi pamoja na mbunge wa ilala musa hassan zungu UNK kutoa msaada ambao hata hivyo UNK ukiondoa wanamuziki wenzake wa msondo wengine walioshiriki katika tukio hilo ni pamoja na king kiki kasim UNK innocent UNK ras UNK na juma UNK akizungumza katika eneo la tukio kiongozi wa bendi hiyo maaalim UNK gurumo aliwataka wapenzi na mashabiki wa bendi hiyo kuwa watulivu katika UNK hiki kigumu huku uongozi wake UNK namna na kulikabili pengo hilo ambalo alidai ni kubwa mno wito wangu kwa wapenzi na mashabiki wetu ni kwamba wawe watulivu tunajua tupo katika kipindi kigumu sana lakini sisi kama viongozi wa bendi tutajitahidi kulikabili pengo hili kubwa kadri ya uwezo wetu alisema maalim gurumo naye steven william anaripoti kutoka muheza kuwa mwili wa marehemu joseph maina UNK kijijini mkuzi wilaya ya muheza saa moja kumi na tano usiku na kufanyiwa ibada iliyoongozwa na mchungaji wa kanisa la UNK paulo UNK marehemu UNK maina alizaliwa mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na mbili mkoani tabora na kupata elimu yake ya msingi na sekondari huko huko kabla ya kujiunga na bendi mbalimbali zikiwemo national UNK double o UNK na baadaye UNK iliyokuja kuwa UNK sasa msondo ngoma ambayo UNK nayo mpaka mauti UNK ameacha watoto wanne watatu wakiume na moja UNK kocha wa taifa stars marcio maximo UNK nyota wake mrisho ngassa na jerry tegete kuachana na tabia ya kucheza na jukwaa na badala yake wajitume kwa ajili ya timu maximo aliyasema hayo wakati mazoezi ya mwisho ya timu hiyo juzi jioni kwenye uwanja wa karume jijini dar es salaam kabla ya safari yao ya kwenda ivory coast kushiriki fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani maximo alimwita ngassa na kumwambia wewe ni mchezaji mzuri lakini mara nyingi amekuwa akicheza na jukwaa badala ya kucheza kwa kuisaidia timu tunakwenda ivory coast kusaka ushindi tu acha kucheza na jukwaa mashabiki sawa UNK lakini UNK mno cheza mpira kwa manufaa ya timu yako baada ya kuongea na ngassa maximo alimgeukia jerry na kumwambia mshambuliaji mzuri ni yule anayejua UNK mabeki kila wakati na kutafuta nafasi ya kufunga si kutaka UNK nguvu ukikaa katika nafasi yako wengine watakupa mpira UNK kirahisi achana na mambo ya kupambana na mabeki kwa muda mrefu wengine wana nguvu zaidi yako UNK UNK nao rudi kaa katika nafasi yako usubiri mpira ili UNK alisema maximo maximo alisema kila mchezaji inampasa kujua kuwa amekwenda ivory coast kushindana si kucheza soka la kufurahisha mashabiki hivyo kila mchezaji ajitume kwa bidii na kuipigania taifa lake wafike fainali lazima kuwe na umoja tunakwenda kitimu kila mtu UNK upendo kwa mwenzake umoja wenu ndio silaha ya ushindi wenu hivyo lazima UNK hilo alilala UNK huyo nidhamu nidhamu nidhamu hicho ndio kitu kikubwa sana kwenu nidhamu ndani ya uwanja na nje UNK kila mmoja UNK waamuzi usibishane na mwamuzi nahodha ndiye anayepaswa kuongea na mwamuzi pale anapokosea ili kuepusha kadi za mara kwa mara tupo ugenini hivyo nidhamu lazima iwe mbele UNK akiizungumzia michuano hiyo maximo alisema kila timu ni ngumu lakini akasema mchezo wake dhidi ya ivory coast utakuwa mgumu sana taifa stars itafungua dimba la michuano hiyo chan jumapili ijayo kwa kucheza na senegal na siku tatu baadaye itaonyeshana kazi na wenyeji ivory coast taifa stars jana iliwasili mjini abidjan na kupewa mapokezi makubwa na wenyeji hali iliyofanya wachezaji waseme kuwa wana deni kubwa la kuonyesha uwezo wao baada ya kuanza na mapokezi mazuri kutoka kwa wenyeji wao stars imewasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa felix UNK boigny jijini hapa saa tisa na nusu ikiwa ni saa tatu nyuma kwa saa za tanzania na kupata mapokezi yaliyoongozwa na msafara wa askari wawili wenye pikipiki kukatisha jiji la hadi kwenye hoteli ya golf waliyopangiwa kilomita takribani kumi kutoka katikati ya jiji baada ya kuwasili stars UNK nairobi kenya na douala cameroon katika saa ya zaidi ya saa saba kocha wake marcio maximo alisema wana imani kubwa ya kufanya vizuri ingawa alisisitiza suala la ushindani UNK ni kubwa na kamwe UNK kazi itakua ni ngumu alisema maximo baada ya kuongoza dua ya wachezaji wake kwenye uwanja huo wa ndege wa kimataifa lakini kama nilivyosema mwanzo tunajua kilichotuleta huku na kila mtu anajua jukumu lake baada ya kuwasili katika hoteli ya golf ambayo imeelezwa na timu za zambia na senegal zimefikia hapo maximo aliwataka wachezaji wake waliopiga suti kupumzika vyumbani kwao kabla ya kuanza kufanya mazoezi kwa ajili ya mechi yao ya keshokutwa jumapili dhidi ya senegal ambayo tayari imeanza kuwa gumzo mashabiki kadhaa kutoka kenya na watanzania wachache walijitokeza kuilaki stars huku baadhi ya wenyeji wa hapa wakionyesha kuifurahia kwamba wamewahi kusikia taarifa zake jinsi UNK cameroon ambao wao ni wapinzani wao na kamwe hawapendi kufungwa na timu hiyo au nigeria karibu kila sehemu ya jijiji hili UNK nembo za michuano hiyo ya mataifa afrika kwa wachezaji wa ndani chan huku hali ikionekana kuwa na UNK mkubwa na kila mmoja akitaka kujua itakuwaje hata hivyo mashabiki wengi waliiambia mwananchi kwamba wana imani kubwa kikosi chao cha ivory coast ndio UNK kombe hilo bila ya matatizo yoyote ingawa hawatatumia wachezaji wao wa nje kama akina didier drogba salomon kalou au yaya toure mashabiki hao wameonyesha UNK tanzania na kutaka iifunge senegal wakitamba wanataka kupona UNK hadi nusu fainali pamoja na ivory coast zikitokea kundi a ambalo timu nyingine ni zambia na senegal kundi b lina timu za ghana libya zimbabwe na daktari congo ambazo mbili UNK hadi nusu fainali na kucheza timu mbili za kundi a kutafuta UNK ambazo UNK fainali kiungo wa juventus mohamed sissoko UNK chelsea na kiungo wake frank lampard kuwa wasubiri kuona maajabu wakikutana kwenye mchezo wa kumi na sita bora wa ligi ya mabingwa ulaya wiki ijayo sissoko mchezaji wa kimataifa wa mali ambaye amekuwa nje ya uwanja kwa muda kutokana na kuwa majeruhi alieleza kuwa amepona na kazi yake ya kwanza itakuwa dhidi ya chelsea ingawa leo jumamosi anatarajiwa kuivaa UNK didier drogba amesema anataka kubaki katika klabu yake ya chelsea na kuonyesha makali zaidi na hasa baada ya kuwasili kwa kocha wa muda guus hiddink kulikuwa na taarifa kuwa mchezaji huyo wa ivory coast alikuwa anataka kuhamia kwa kocha wake wa zamani jose mourinho katika kikosi cha inter milan ya italia kama ni afya ya zee la kutibua ipo mwake na makamuzi yanaendelea kama kawaida ndani ya jiji la kandoro ingawa presha imekuwa juu kadri mida inavyokwenda lakini mambo UNK UNK tu siunajua tena ishu za UNK na febu UNK UNK UNK mgumu UNK mjini na wenzio wanabaki UNK UNK UNK UNK kwa wanangu wa taifa stars komaeni mpaka kieleweke hapo kodi vua pigeni hao madogo wa senego tuweke heshima UNK wao ujue UNK sana lasti UNK na sisi tuwape kipondo kama vipi hata UNK kwa UNK poa lakini kati ishu UNK masela lasti wikiendi ni washikaji zetu wa magereza huku UNK na jamaa wa zenji hao nanihii hao mundu na miembeni kupiga chini zenji miembeni walikuwa UNK kwenye championzi ligi swahiba zao mundu kwenye UNK kama UNK zenu wa prisons miembeni UNK zao tatu mbili na monomotapa ya kwa mugabe UNK mundu UNK saba sifuri kwa redi UNK ya zambia ikapigwa chini pia prisons sita sifuri na khalij sert ya libya prisons msimu huu imefanya vibaya kuanzia kwenye ligi kuu bara mpaka kwenye kombe la shirikisho kubwa zaidi ikionekana ni maandalizi yasiyo makini maandalizi UNK kwa prisons UNK mechi za kirafiki la hasha ninachomaanisha ni kwamba imesajili wachezaji wapya ambao licha ya kwamba ni wageni kwenye ligi ya ndani hawakuwa na viwango au maandalizi ya mashindano makubwa kama kombe la shirikisho uongozi hauna sababu yote ya msingi ya kujitetea kutokana na aibu hii ya mabao sita sifuri kwa vile kila kitu walijua awali kwamba timu imefuzu na lazima UNK kwa kushindana si kushiriki na hiyo ni kuanzia kwenye benchi la ufundi kulifanyia mabadiliko na kuliongezea nguvu huwezi kusajili timu ambayo inawakilisha nchi haina kiungo ukuta legelege kama UNK halafu hata mshambuliaji mwenye uchu wa mabao hakuna UNK kiongozi makini uwe wa benchi la ufundi wa cheo chochote kile ni aibu na matokeo yake ndio hayo yaliyoonekana uwanjani angalia sasa timu ya bara yanga ndio pekee iliyosalia kwenye mashindano ya kimataifa aibu hiyo hiyo ndio UNK miembeni na mundu za zanzibar ambazo kwa wafuatiliaji wa soka la zanzibar kama mzee wa kutibua wanatupa lawama za moja kwa moja kwa viongozi wa chama cha soka UNK mfumo pamoja na programu zilizowekwa na viongozi wa zfa pamoja na serikali vimechangia kwa kiasi kikubwa aibu za miembeni na mundu kwa akili za kawaida kipigo UNK timu hizo mbili kinaashiria kwamba hakukuwa na maandalizi makini na bado ligi husika ni dhaifu mno tofauti na UNK debe na viongozi wa chama cha soka cha visiwa hivyo programu ya kucheza ligi kuu kwa miezi isiyozidi minne kwa mwaka huku muda mwingine wote klabu UNK ndicho UNK timu hizo kwani zimeingia kwenye mashindano makubwa zikiwa hazina maandalizi yoyote na hata ligi ya ndani ilikuwa UNK ligi hiyo UNK mfumo wa fifa na badala yake viongozi wamekuwa wakidai kwamba wanafuata utaratibu kama wa caf ambao unatoa nafasi kwa wachezaji kupumzika kwa kipindi kirefu sipingi sana kwamba ni vizuri UNK wachezaji lakini kwa malengo gani na ubora gani wa timu hebu fanyeni tathmini ligi imechelewa kuanza mundu imefanya maandalizi gani kwa muda UNK na nini UNK afrika zaidi ya UNK ukiingia sana kwenye hilo utakuja kubaini kwamba baadhi ya mifumo zanzibar iliyojiwekea UNK yenyewe kukataza makampuni ya vinywaji kudhamini ligi sioni kama kuna mantiki zaidi ya kuendelea UNK baadhi ya klabu ambazo zinakuwa dhaifu kisoka kama tulivyoona ugenini na kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam ukiangalia mfano mdogo vikosi vilivyosajiliwa na mundu na miembeni karibu nusu ya wachezaji hawakuwa na jipya kwenye kombe la shirikisho au ligi ya mabingwa na hata ukiangalia inaonekana dhahiri kabisa uwanjani ukiuliza viongozi wa klabu wanajitetea kwamba vyanzo vya mapato ambavyo UNK kuandaa timu kwa muda mrefu pamoja na kusajiliwa wachezaji imara wazoefu wa kuleta UNK UNK yapo makampuni ya pombe ambayo yameonyesha nia ya kumwaga mamilioni kwa baadhi ya klabu pamoja na kudhamini ligi nzima ibadilike na kuwa imara zaidi na kuongezeka mvuto lakini UNK kutokana mifumo dume iliyowekwa na serikali pamoja na baadhi ya taasisi angalieni mfano zaidi klabu za simba yanga za bara UNK na fedha za wadhamini wake hususani zinazotolewa na kampuni ya bia tanzania achilia mbali dau la wadhamini wa ligi kuu kampuni ya simu za mkononi vodacom kila mwezi klabu hizo zinapata fungu la mamilioni ya mishahara pamoja na gharama za uendeshaji wa ofisi angalia UNK na kujijenga kila kukicha lakini ukiangalia zanzibar klabu hazina wadhamini wa kueleweka hata ligi yenyewe mdhamini mkuu aliyejitokeza hivi karibuni mkataba wake umeibua utata na vurugu baina ya uongozi wa chama na klabu kumi na mbili zinazoshiriki ligi hapa napata wasiwasi na mambo mawili labda wamezoea kufanya hivyo katika mambo mengi ambayo yamekuwa UNK siku za nyuma au wamegundua udhaifu kwamba asilimia kubwa ya viongozi wa klabu hawana uelewa wa kutosha juu ya masuala ya mikataba na wala hawawezi kuhoji kumbe hawakujua kwamba kuna baadhi UNK ifike mahali viongozi wa klabu nao wabadilike waachie wasomi na wenye uwezo wa taaluma ya soka na mambo ya kiutendaji wawe watendaji wa kila siku haiwezekani klabu ikae mwaka mzima bila kuwa na wadhamini wa kueleweka na hata hakuna jitihada zozote za kufanya hivyo hata UNK muafaka leo jumamosi kwamba ligi ya muungano irejeshwe sidhani kama kuna mabadiliko yoyote ambayo timu hizo zinaweza kuambulia badala yake UNK kwenye wakati mgumu kwa klabu imara za bara na mwisho wa siku UNK kwenye ligi hiyo ya wiki moja na nusu yatakuwa ni UNK UNK hizi ni aibu tujenge timu za maana kazi inaanza rasmi kesho jumapili taifa stars inaanza kutupa karata yake ya kwanza kwenye fainali za kombe la mataifa afrika kwa wachezaji wa ndani dua zenu ni muhimu ingawa juhudi na maarifa kutoka kwa wachezaji wetu ni muhimu zaidi ili uwakilishi uwe wa uhakika na si kubahatisha inawezekana kabisa kwa kuwa ni mambo mengi kikosi hicho UNK kikubwa ni kujilinda ili kuepuka majeruhi kwa kuwa mechi za awali ni tatu na kama timu itafuzu nyingine UNK na ni mfululizo ingawa nguvu na hesabu zetu kusiwe na subira ya kupata hamu kubwa ya kuona stars UNK ili tuseme sisi UNK kila la kheri stars pia napenda kuwashukuru wale walionitumia ujumbe mfupi kuhusu suala la uchaguzi wa emmanuel adebayor kuwa mchezaji bora wa afrika nasisitiza ni mmoja wa wachezaji wazuri barani kwetu lakini mwaka jana aliyestahili kwa maoni yangu ni mohammed aboutrika wa al ahly ya misri UNK shauri yako hoja yangu ya leo ni kwenye suala la wachezaji wa tanzania na soka ya ulaya hakuna UNK kucheza soka ya kulipwa kwa kuwa hiyo ni kipimo tosha cha mafanikio kwa mchezaji yeyote ndio maana karibu kila mmoja anataka kucheza ulaya kwa kuwa anajua mafanikio waliyofikia lakini imekuwa ikionekana kama ndoto ya wachezaji wengi ikaendelea kuwa ndoto za mchana ambazo mara nyingi huwa UNK kutokana na hali jinsi inavyokwenda viongozi wengi wa klabu hasa kubwa za simba na yanga wanaonekana kuwa hawajui mengi kuhusu uhamisho wa mchezaji kutoka klabu kwenda nyingine hata katika uhamisho wa kimataifa kauli iliyotolewa wiki iliyopita na katibu mwenezi wa simba said rubeya na baadaye kupingwa siku moja baadaye na mwenyekiti wa kamati ya usajili kassim dewji imeonyesha kweli kuna matatizo makubwa rubeya UNK lawama wakala aliyewapeleka henry joseph na emeh izuchukwu kwamba ni tatizo kwa vile wao UNK na klabu inaonekana hajui lolote na inawezekana mambo mengi UNK au ni ile kawaida ya kusema mambo tu bila ya UNK wakala UNK nini au ni ile hali ya UNK tu kwa kuwa wiki iliyopita kiongozi fulani aliwashambulia mawakala basi naye ili aonekane au kusikika anafanya hivyo mashabiki na wanachama wanaamini kauli za viongozi wao hivyo kuropoka bila ya kuchuja mambo ni UNK mehd remtullah ndiye wakala aliyewapeleka akina henry amejitahidi kufanya mambo yote kwa kufuata taratibu na ndio maana kila kitu cha wachezaji hao kilikua UNK simba tff wote walikuwa UNK sasa wamerudi na imeelezwa baada ya wiki mbili majibu yatajulikana kipi ambacho haelewi kiongozi huyo acha hivyo tunajua wazi kwamba wakala alitangaza kuwapeleka wachezaji hao kwenye majaribio taratibu zake zipo wazi na kama molde fk watasema UNK nao basi wataanza mazungumzo moja kwa moja na simba kipi ambacho haelewi kiongozi huyo UNK vyombo vya habari kama sehemu ya kukuza umaarufu wenu na kutaka kusikika ingawa hata waandishi wenyewe wanapaswa kuwa makini na kuwachagua watu wa kuzungumza nao bado sielewi ambacho haelewi rubeya ila ni vema UNK makini na kuwapa ushirikiano mawakala badala ya UNK sehemu ya shutuma kila kukicha tuliona ya yanga kilichotokea kilikuwa wazi kuhusu mrisho ngassa lakini uongozi UNK suala hilo kukwepa makosa yake hadi UNK kuwashawishi wanachama na mashabiki wa yanga kwamba wakala ni UNK nao wao ndio walikua na nia nzuri zaidi na mchezaji huyo ambaye alipata bahati ya mtende kwenda norway hata bila majaribio kumbe hata hakukua na ukweli wowote ngassa sasa yupo anaendelea kuisaidia yanga na kuonyesha mapenzi makubwa lakini yenyewe haijamtendea haki UNK sasa ukweli UNK baadaye sana na inawezekana tayari watakuwa wamechelewa na UNK na msaada mwingine kwa ngassa waangalie nafasi ya kupata wachezaji chipukizi ambao watawapeleka ulaya ambako UNK katika mazingira ya huko itakua ni muda mrefu lakini mafanikio UNK ni ya muda mrefu kuliko kungangania sehemu ambazo zina matatizo mengi yanayoweza kuepukika ingawa pia hawapaswi kuwaadhibu wachezaji ambao UNK na viongozi wasiojua lolote au kutojali maisha yao ya baadaye kwa wachezaji pia wanapaswa kuwa makini katika mikataba wanayoingia na klabu zao ili isije UNK lazima iwe na kipengele UNK kufanya majaribio inapotokea wamepata nafasi ya kufanya hivyo viongozi UNK makini UNK soka letu na ulaya iendelee kuwa ndoto lakini ninaamini kuna wachezaji wengi wana uwezo wa kucheza huko acheni longo longo na maneno mengi ya kubahatisha kama kitu UNK ni bora kunyamaza badala ya kuropoka tu tuwe na busara linapofikia suala la namna hiyo kweli kwa maslahi ya klabu na mchezaji na si maslahi yenu hasa kutaka kujitambulisha au kuonekana mnajua kuzungumza mbele ya wanachama na mashabiki huku si upande wa siasa kama mnaweza UNK upande huo wa maneno mengi na utekelezaji kidogo kama kawaida yangu huwa napenda sana kuwasimamia makocha kwa kuwa naamini kuwa wanayo taaluma ambayo wengine wengi wanaozungumzia michezo hasa soka hawana hivyo UNK lawama kila timu inapofanya vibaya huwa si kuwatendea haki katika mazungumzo yangu mengi na wadau wa soka nimekutana na mashabiki wa yanga ambao kwa kweli sijawahi kusikia UNK kocha fulani kila UNK jukumu la kuifundisha timu yao hata iwe kocha mzuri namna gani mashabiki wa yanga hasa wale wanaoonekana kuwa wa karibu sana na uongozi huwa hawamkubali kocha UNK kuwa ni mzuri na UNK wa klabu hiyo wa wakati huo francis UNK nakumbuka presha ya kumtimua chamangwana ilikuwa kubwa sana hasa kutokana na kushindwa kuibuka na ushindi dhidi ya simba kwenye mechi za ligi hata mserbia sredojevic milutin micho ambaye UNK kuwa ni kocha mwenye mikakati mizuri ya ushindi aliondoka akiwa ameshaanza kuchukiwa na mashabiki hao hasa kutokana na msimamo wake wa kutaka nidhamu kwa wachezaji makocha wengine wote UNK mlolongo huo nilitegemea kuwa baada ya dusan kondic kufanya usajili mzuri wa aina yake ambao hakuna shabiki wala kiongozi UNK mashabiki wangeanza kuamini kuwa mserbia huyo anajua kazi yake kwa kuwa kocha huangaliwa kwanza katika aina ya wachezaji UNK wengi UNK wakati UNK boniface ambani wakisema kuwa amechukua mchezaji mzee ambaye hataweza kukabiliana na mikiki mikiki ya ligi kuu lakini uwezo mkubwa alioonyesha katika ufungaji na idadi ya mabao aliyofunga hadi sasa UNK UNK wale waliokuwa UNK hata kabla ya kuona timu nilitegemea kuwa baada ya yanga kushinda mechi zote isipokuwa moja hadi sasa mashabiki UNK kuwa kondic ndiye chaguo sahihi kwa klabu hiyo lakini wako wanaosema bila ya wasiwasi kabisa kwamba yanga haina kocha nilitegemea kuwa baada ya kuishinda simba kwa mara ya kwanza katika miaka karibu nane mashabiki wa yanga wangemkubali kuwa kondic ameleta dawa ya ugonjwa UNK raha kwa muda mrefu lakini wapo UNK kusema UNK na wengine kudai ushindi UNK sisi nilitegemea kuwa baada ya kuibadili yanga kiasi cha kuachana na mpira wake UNK wa butua butua na kucheza pasi huku UNK mpira kwa muda mrefu mashabiki wangesema mserbia huyu amebadili timu lakini wako wanaosema eti huo mchezo unatokana na wachezaji wengi kuwa kwa marcio maximo na UNK kusema kuwa kondic anamuiga maximo kwa kila kitu ndio maana yanga inaweza kucheza soka UNK sasa hivi yanga UNK malaika ndio UNK kuwa kocha UNK kwanza haiwezekani kabisa kondic kumuiga maximo kutokana na ukweli kuwa wachezaji alionao ni tofauti sana kulinganisha na wale walio taifa stars taifa stars haina washambuliaji wenye kasi kama ambani na mwalala hivyo ni dhahiri kuwa kutokana na kuwa na washambuliaji wa aina hiyo mchezo wa stars na yanga lazima utofautiane sana stars UNK mshambuliaji mmoja wa kati na hivyo upangaji wa wachezaji wake lazima utofautiane na ule wa timu ambayo inatumia washambuliaji wawili wa kati kama ilivyo kwa yanga lakini stars inatumia muda mwingi golini kwake ikitegemea timu pinzani isogee na hivyo kuacha mwanya ambao mara nyingi hutumiwa na mrisho ngassa kutengeneza mabao kwa washambuliaji lakini ngassa huchezeshwa kama winga anapokuwa yanga tofauti na anapokuwa stars ambako huchezeshwa kama mshambuliaji wa pili akicheza nyuma ya jerry tegete lakini tegete si tegemeo yanga kama ilivyo anapokuwa stars hivyo unashangaa iweje hawa jamaa waseme kondic anamuiga maximo pengine kitu ambacho UNK UNK hao UNK kondic ni tabia yao ya kupanga timu bila ya kujua nani anafaa mechi fulani na hadi wakati wa mechi nani alikuwa katika hali nzuri ya kimchezo kocha ndiye anayeandaa timu na ndiye anayeweza kusoma saikolojia ya mchezaji na kujua ni nani hasa yuko tayari kisaikolojia na kimchezo lakini hawa jamaa hukaa tu vijiweni na kujipangia timu na inapotokea kile UNK si kilichotokea uwanjani basi huanza kukandia na wengine hata kuanzisha kelele za kumzomea mchezaji UNK yanga hawana budi kukubali kuwa kocha ndiye mtaalamu na ndiye anayeandaa wachezaji na hivyo anajua walio tayari kimchezo UNK kulingana na mechi iliyo mbele yake na aina ya mchezo UNK kuitumia siku hiyo jukumu la mashabiki ni kuiunga mkono timu na kuishangilia ili iweze kufanya vizuri lakini si kuingilia upangaji timu kama ilivyokuwa wakati stars ilipocheza na cameroon ndivyo mashabiki wanatakiwa kuwa kila siku siku ya mechi hiyo iliyoisha kwa sare ya bila kufungana mashabiki walizomea kila kilichofanywa na cameroon hata kama kilikuwa kizuri vipi lakini UNK kila kilichofanywa na stars huo ndio ushabiki unaotakiwa mashabiki hawatakiwi kusubiri mchezaji UNK UNK ili UNK bali wanatakiwa kumpa moyo ili apate nguvu na kucheza kama UNK mwalimu mazoezini kiasi cha kuamua UNK hata wakati taifa stars itakapoanza kampeni zake kwenye fainali za ubingwa wa mataifa ya afrika nchini afrika kusini mashabiki tunatakiwa kuwaunga mkono kwa kila kitu kwa kuwa timu tuliyo nayo ndiyo hiyo na hatuwezi kuipata nyingine kwa sasa ingawa kelele zetu hazitafika ivory coast lakini kuiunga mkono UNK kutuliza akili zetu na kuuchambua vizuri mchezo badala ya kuiangalia kama haiwezi na hivyo kushindwa UNK zambia inakwenda kushiriki fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani huku macho yote ya mashabiki na serikali ya nchi hiyo yakiwa kwa kocha na wachezaji wa kikosi hicho fainali hizo zinaanza kesho jumapili nchini ivory coast kwa kushirikisha timu nane lakini zambia ipo kundi a na timu za tanzania senegal na wenyeji ivory coast kocha wa zambia mfaransa herve renald yupo kwenye wakati mgumu pengine kuliko mtu yoyote baada ya kikosi chake kushindwa kutamba katika michuano ya chalenji iliyomalizika jijini kampala uganda mwezi uliopita tofauti na mashabiki walivyotarajia baada ya kurejea nyumbani kocha huyo UNK ubovu wa viwanja vya uganda lakini baada ya muda alirejea mazoezini na wachezaji wake sita UNK kwenda kufanya majaribio ulaya akapata kisingizio kwamba yuko kwenye wakati mgumu hata katika mechi ya kirafiki baina ya afrika kusini hivi karibuni ambayo zambia ilifungwa mbili moja ugenini kocha huyo hakusafiri na timu akishinikiza pamoja na mambo mengine wachezaji walioondoka warudishwe nchini nipo kwenye wakati mgumu sana UNK hao wachezaji itakuwa kama tunakwenda kwa maonyesho katika hizo fainali hakuna jipya tunakwenda kufanya ivory coast anasema kocha huyo huwezi kukaa na wachezaji UNK kwa zaidi ya miezi miwili halafu wanaondoka sita kwa mpigo na wanaachiwa tu kocha utakuwa kwenye wakati mgumu sana hakuna kocha anaweza kuvumilia hilo UNK wasiende ulaya lakini viongozi UNK busara kuwazuia kwa kuzingatia na muda uliobaki anasema herve ambaye hajafanya la maana tangu achukue nafasi ya patrick phiri mwaka jana kocha huyo aliiambia mwanaspoti jijini kampala hivi karibuni kwamba anakwenda chan kupambana na kundi lake litakuwa gumu hasa tanzania ndio UNK kwa vile inabadilika kila mara hii tanzania imekuwa pamoja muda mrefu imeshiriki michuano mingi hata hizo timu nyingine ni ngumu kama unavyojua mpira wa kiafrika hakuna timu itakayokuwa rahisi ndio maana nimechukua hawa wachezaji vijana na wameonyesha morali kubwa ambayo naamini itatusaidia anasisitiza lakini wachezaji wa timu hiyo pia wapo kwenye wakati mgumu kwani waziri wa michezo alipokuwa akiwaaga wiki iliyopita amewaambia kwamba serikali imetumia fedha nyingi kuandaa timu na kuitunza hivyo walipa kodi wanataka UNK hizi fedha UNK ni za walipa kodi na nyingi mno kwa hiyo watakuwa UNK kwa makini kuona jinsi mnavyotumia kodi zao UNK hawakuwa na msamaha na nyie waziri keneth chipungu alionya hata mimi mkifanya vibaya UNK kwamba nitakuja kuwapokea uwanja wa ndege UNK UNK itakuwa kwa mashabiki ambao wana uchungu na timu yao kikosi UNK alhamisi wiki hii kilikosa mchezaji mkongwe elijah tana ambaye ni majeruhi na beki emmanuel mbola ambae anafanyiwa majaribio UNK kama tana na mbola hawatakuwepo kabisa nitakuwa na wachezaji ishirini na moja ni sawa tu kama kocha muda wote inabidi UNK tuna tatizo lakini tuna wachezaji imara anasema renald ambaye yuko kwenye presha kubwa ya mashabiki ambao wanataka kupima uwezo wake kupitia michuano hiyo kocha huyo anasifika kwa kucheza mpira wa kasi lakini huwa ana tabia ya kuzira hasa timu yake UNK na huwa haoni haya kutukana waamuzi zimbabwe ipo kundi b la fainali za mataifa ya afrika inayoanza kesho jumapili nchini ivory coast lakini UNK tanzania iliyopo kundi a zimbabwe yenyewe inacheza na ghana jumatatu fainali hizo zinaanza wikiendi hii kwa kushirikisha timu nane UNK kwenye makundi mawili huku wengi UNK kuwa kundi b lenye timu za zimbabwe ghana libya na daktari congo kuwa ndio gumu zaidi lakini kocha wa zimbabwe iliyokuwa nchini hivi karibuni kwa mechi ya kirafiki na taifa stars iliyoisha kwa suluhu sunday chidzambwa amesema tanzania ipo kwenye kundi rahisi lakini inapaswa kuwa UNK na kucheza kwa UNK UNK tanzania ina timu nzuri na kundi lake si gumu kama UNK ikijitahidi kujipanga itafika mbali sana lakini icheze kwa hadhari anasema sunday alipofanya mahojiano na mwanaspoti tanzania inapaswa kuifunga senegal kwenye mechi ya kwanza kwani senegal ya ndani siyo nzuri hawajafanya maandalizi mazuri lakini mnapaswa kwenda nao UNK zambia nao pia hawana timu na wamekuwa na matatizo yao siku za karibuni kwa hiyo hawajajiandaa timu ambayo UNK kwenye wakati mgumu ni ivory coast kwa vile ni wenyeji mwenyeji ni mwenyeji tu hata ufanyaje ana faida nyingi halafu kubwa zaidi ni kwamba mnapaswa kuwa makini sana na timu za afrika magharibi zinabadilika sana na zina mambo mengi wanaweza wakawa si wazuri lakini wakafanya vitu ambavyo UNK kabisa katika hali ya mchezo hayo mambo wanayo sana anasema kocha huyo ambae anaamini kwamba tatizo la timu yake ni safu ya kiungo lakini UNK kabla ya kutua kwenye mashindano hayo akiizungumzia tanzania anasema tanzania ni nzuri lakini inapaswa kufanya kazi zaidi kwenye ushambuliaji wachezaji wawe makini zaidi washambuliaji wake ni wazuri sana hasa UNK lakini hawako makini sana wana kasi na ushirikiano mzuri lakini wanakosa mambo madogo sana UNK nafasi kubwa sana ya kufika mbali timu za kundi lake si UNK ukiangalia timu zilizopo kundi b kuanzia na libya ghana na daktari congo zote ni timu imara na UNK kwenye ukanda wa afrika magharibi na kati zina ligi imara na wachezaji waliokulia kwenye UNK ligi zao zina fedha nyingi na timu vile vile kwa hiyo inaonyesha ni jinsi gani watakuwa imara tofauti na timu nyingine zilizoko kundi a hivyo tunahitaji kufanya kazi sana ningekuwa kundi a UNK kichwa klabu za senegal na ivory coast tumecheza nazo sana katika mashindano ya ligi ya mabingwa na kombe la shirikisho ndio maana tunawajua walivyo na aina ya wachezaji wao amani kwenu wasomaji wangu wapendwa mwishoni mwa juma lililopita nilipata mawasiliano ya simu kutoka kwa mmoja wa wasomaji wa safu hii ambaye anaishi sehemu za kahama na kujitambulisha kwangu kwa jina la daniel pamoja na mambo mengi sana ambayo UNK suala la ushangiliaji wetu wakati timu zetu zinacheza na timu za nje lilionekana kumgusa sana moyoni kiasi kwamba UNK kwa undani sana na kwa uchungu UNK maongezi yangu na daniel UNK msukumo mkubwa sana na kunifanya UNK kufanya tafakari hii pamoja nanyi wasomaji wangu ni ukweli ulio bayana kwamba mara nyingi ushangiliaji wetu umekuwa hauwasaidii sana wachezaji wetu wanapokuwa katika mapambano dhidi ya timu ngeni katika viwanja vyetu wenyewe hali hii imekuwa ni moja ya sababu za msingi kabisa ambazo zimewafanya wachezaji wa timu zetu mbalimbali kushindwa kunufaika na faida ya UNK uwanja wa nyumbani sina uhakika kwamba watanzania wengi tuna hali ya kutokujiamini kiasi kwamba hata timu zetu zinapocheza tunaona aibu hata kuzishangilia au yawezekana tunakosa uzalendo uliokolea katika mioyo yetu kiasi kwamba tunashindwa kujitoa kwa nguvu zote wakati timu zetu UNK imekuwa ni jambo la kawaida kushuhudia idadi ndogo sana ya mashabiki wa timu ngeni UNK wakati wakishangilia timu zao zinapocheza pale uwanja wa uhuru na UNK watazamaji wengi wa kitanzania ambao huwa UNK kwa maelfu uwanjani mambo yote huanzia pale nyimbo za taifa UNK kwani wakati wimbo wa taifa letu uko hewani utagundua kwamba ni idadi ndogo sana ya watazamaji wa kitanzania wana ujasiri wa UNK wimbo huo kwa sauti ya kujiamini wengi wa watazamaji UNK UNK tu midomo kana kwamba wanaimba UNK lakini sauti zao huwa UNK kabisa mambo hubadilika pale wimbo wa taifa geni UNK ambapo utagundua kwamba pamoja na uchache wa washangiliaji wa timu ngeni sauti zao kali husikika uwanja mzima na hivyo kuwafanya wachezaji wao pale kiwanjani kuanza kujiamini kwa kiasi kukubwa sana mara tu mchezo unapoanza ushangiliaji wetu huwa ni ule usiokuwa na mpangilio hata kidogo kwa kuwa huwa hakuna mshikamano na ushirikiano mzuri kati ya washangiliaji waliokaa kwenye majukwaa mbalimbali pale uwanjani hali hii ya unyonge kwa upande wa washangiliaji huchangia kwa kiasi kikubwa katika kudorora kwa wachezaji wetu kimchezo mara nyingi kelele za washangiliaji husikika zaidi pale mchezaji wetu anapokosea kwani hapo kila mmoja hujifanya ni kocha wa UNK ni nini UNK UNK kama ulikuwa mmoja kati ya wale ambao walikuwepo kushuhudia michezo ya tusker ambayo ilishirikisha klabu kutoka tanzania kenya na uganda ni dhahiri ulishuhudia kwamba hakukuwa na tofauti kubwa sana ya kuonyesha kwamba timu za simba yanga prisons na mtibwa zilikuwa ni za tanzania na zile za tusker na uganda revenue UNK zilikuwa ni ngeni pamoja na ugeni wao waganda na wakenya UNK kwa kiasi kikubwa katika ushangiliaji na hivyo kuwafanya wachezaji wao kujiamini kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na wachezaji wa kitanzania hili si jambo la kupendeza hata kidogo na kuna kila sababu ya kulitafutia ufumbuzi ni jambo la aibu sana kuona kwamba miaka nenda miaka rudi klabu moja imekuwa haina namna yoyote ile ya kushangilia zadi ya kupiga tarumbeta milio mitano UNK na kisha mashabiki kuitikia UNK UNK kuna ile klabu nyingine ambayo kwa muda mrefu sana ilikuwa na ushangiliaji wa kutaja jina la chama kimoja cha siasa nchini hali hii ya ushangiliaji uchwara ambao kwa kiasi kikubwa hauwasaidii wachezaji kuongeza morali yao itaendelea mpaka lini nadhani wakati wa kuwa wabunifu zaidi umefika kwani miongo miwili iliyopita tuliwahi kushuhudia ubunifu wa hali ya juu kabisa wa ushangiliaji kama vile ule wa UNK wa coastal union ya tanga UNK wa african sports ya tanga na hata ile ya UNK UNK na UNK samba UNK UNK iliyotumiwa na UNK fc ya dar UNK natumaini UNK amani kwenu wakati kukiwa na hisia tofauti kuhusu ushiriki wa taifa stars kwenye fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani kocha mkuu wa kikosi hicho mbrazili marcio maximo amesema ana imani kubwa watafanya vizuri ivory coast stars imepangwa katika kundi a lenye nchi za ivory coast zambia na senegal maximo anasema kazi ni ngumu mbele yao lakini wanajua wanakwenda katika mashindano hayo si kama wasindikizaji ingawa si kama timu inayoonekana kuwa ni hatari sana na ya UNK timu nyingine UNK na sisi kwa umakini mkubwa kitu ambacho sisi tunaenda tukiwa tumejipanga kwa kuwa kila mmoja atakuwa makini na sisi anasema maximo ambaye UNK tanzania tangu julai ishirini sifuri sita tunajua kazi ni ngumu lakini ndio maana halisi ya mashindano UNK mimi ni majeruhi kama haitatokea ninaamini tutapambana kuhakikisha UNK heshima ya tanzania timu zote UNK safari hadi pale kwa ajili ya kushindana lakini naweza kusema wenyeji wana timu nzuri sana bila ya kujali hawatakuwa na nyota wao wanaocheza soka ulaya kama kanuni UNK nilitembelea kituo cha kukuza watoto cha asec mimosas nafikiri ni cha kwanza kwa afrika na UNK wachezaji wengi wana wachezaji wa asec mimosas ambao UNK katika kituo hicho na kwa asilimia hamsini maana yake wana kikosi kizuri na tunacheza nao nyumbani kundi lina timu nne na tunatakiwa kusonga mbele hakuna cha zaidi kikosi chetu kina wachezaji wengi ambao hawana uzoefu mkubwa wa mechi za kimataifa lakini pia tunao wenye uzoefu na wanaweza kufanya vizuri hata hivyo kama ukiangalia utaona tanzania ndio ya mwisho katika ubora wa soka katika nchi zote zinazoshiriki katika fainali hizo UNK kufikia tamati machi nane jijini abidjan katika timu zinazoshiriki chan ghana ndio inaongoza kwa ubora kwani ni ya thebathini na tano kwa ubora wa soka duniani na inafuatiwa na wenyeji ivory coast walio katika nafasi ya thebathini na sita senegal inashika nafasi ya tatu kwa kuwa nafasi ya sitini na libya inashika nafasi ya themanini kwa ubora duniani zambia iko katika nafasi ya tisini na mbili wakati daktari congo iko katika nafasi ya tisini na nne zimbabwe kwa ubora duniani ni nafasi ya kumi sifuri wakati tanzania iliyo katika nafasi ya kumi tatu ndio ya mwisho kati ya nchi nane zinazoshiriki katika michuano hiyo ya kwanza kuandaliwa na shirikisho la soka afrika maximo anasema hiyo UNK tamaa hivyo ni viwango vya fifa lakini soka ipo uwanjani hatuwezi kucheza na timu UNK kwa kuwa ipo juu yetu tulipambana vema na cameroon ambayo kwa afrika ni ya kwanza ghana tumecheza nao pia lakini wakiwa na wachezaji mchanganyiko wa ndani na nje tanzania ya sasa ni tofauti hatuna sababu ya kubabaika na kuyumba hata kidogo imani yetu tutafanya vizuri tena kwa asilimia kubwa tu ingawa huwezi kutabiri kila kitu nina imani na utendaji wetu kama timu anasema ingawa anaonyesha kukwepa maswali kadhaa kama lile la iwapo wakitolewa mapema inaweza ikawa ni uoga au uzembe wacha iwe hivyo halafu UNK anasema kwa mkato stars ambayo ilifuzu katika hatua hiyo baada ya kuichakaza sudan kwa jumla ya mabao tano mbili baada ya kushinda dar es salaam kwa mabao tatu moja na ugenini kwa mabao mbili moja inaanza kazi kesho jumapili kwa kuivaa senegal itatupa karata yake ya pili februari ishirini na tano kwa kucheza na ivory coast kabla ya kucheza mechi yake ya mwisho ya makundi dhidi ya zambia februari ishirini na nane iwapo itafuzu kwa nusu fainali itaingia uwanjani tena machi nne na iwapo itatinga fainali itakuwa uwanjani machi nane makipa farouk ramadhan shaaban dihile na deogratius dida UNK mabeki ni shadrack nsajigwa salum sued nadir haroub juma jabu kelvin yondani erasto nyoni na amir maftah viungo ni henry joseph godfrey bonny nurdin bakari shaaban nditi athuman idd na mwinyi kazimoto washambuliaji ni mrisho ngassa jerry tegete kigi makasy abdi kassim haruna moshi mussa mgosi na nizar khalfan mwenyekiti wa chama cha soka cha wanawake mkoa wa mwanza sofia gidion amewataka wakazi wa mkoa huo kuondokana na fikra za kuwa soka ni mchezo wa wanaume pekee akizungumza na mwanaspoti gidion alisema kuwa kwa kushirikia na uongozi wa chama cha soka mkoa wa mwanza UNK kuhakikisha wanaandaa kampeni za kuelimisha jamii ya mkoa huo ili iweze kuondokana na mawazo hayo najua kazi litakuwa ngumu lakini UNK kadri ya uwezo wangu kuhakikisha tunafanikiwa katika hili na baada ya hapo UNK timu ya mkoa ambayo itakuwa ikicheza mechi mbalimbali za kirafiki michuano ya copa coca cola wilayani ilala jijini dar es salaam inatarajia kuanza kutimua vumbi machi mbili mara baada ya kukamilika kwa usajili wa wachezaji watakaoshiriki michuano hiyo daudi kanuti katibu mkuu wa chama cha soka wilaya ya ilala aliliambia mwanaspoti kuwa michuano hiyo ilitarajia kuanza kesho jumapili lakini kuchelewa kwa usajili wa wachezaji kumesababisha kusogezwa mbele kwa michuano hiyo maandalizi yanaendelea vizuri uongozi wa idfa unajipanga kuhakikisha tunapata timu ya ushindani UNK faraja kwa wapenzi wa soka katika wilaya yetu ambayo imepewa hadhi ya mkoa katika michuano hiyo timu ya soka ya UNK ya mbagala UNK ya jijini dar es salaam imeanza mazoezi yake ya kujiandaa na hatua ya fainali ya ligi ya taifa ngazi ya wilaya ya temeke ambayo itatoa timu sita zitakazo cheza katika hatua ya kanda akizungumza na mwanaspoti kocha mkuu wa timu hiyo hamis UNK alisema kuwa lengo kubwa la kuanza mazoezi mapema ni kuhakikisha wafanya UNK ili waweze kuwa miongoni mwa timu sita UNK temeke katika hatua ya kanda mchezaji yeyote UNK kinyume na mikakati yetu ikiwa ni pamoja na kutegea mazoezi tutamchukulia hatua kali za kinidhamu kwani matarajio yetu ni kufika mbali timu ya soka ya sekondari UNK ya mlandizi mkoani pwani imeanza maandalizi ya kujiandaa na mashindano ya soka pamoja na michezo mbalimbali itakayohusisha shule za sekondari za wilaya ya kibaha akizungumza na mwanaspoti mwalimu wa michezo shuleni hapo juma UNK amesema mashindano hayo yanatarajia kuanza kutimua vumbi wilayani humo mwanzoni mwa mwezi ujao lengo letu kubwa la kuanza maandalizi mapema ni kuhakikisha tufanya vizuri katika mashindano hayo ambayo kwa hakika UNK kuitangaza shule yetu uongozi wa kituo cha soka cha kimara jijini dar es salaam machi mosi unatarajia kusherekea mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwa kituo hicho msimamizi wa kituo hicho bakari kassim UNK mwanaspoti kuwa katika sherehe hizo pia kutakuwa na mechi ya kirafiki yenye lengo la kunyesha wazazi wa watoto wa kituo hicho uwezo wa watoto wao wa kutandaza UNK UNK na mikakati ya kuhakikisha sherehe hizo UNK mgeni rasimi katika sherehe hizo anatarajia kuwa diwani wa kata yetu hii ni kutokana na kutambua mchango wake katika kituo chetu wapinzani wa taifa stars timu ya taifa ya zambia ambayo imepangwa kundi moja la a hadi juzi walikuwa hawajawasili jijini hapa kwa ajili ya fainali za mataifa afrika kwa wachezaji wa ndani chan stars ilikuwa ya kwanza kuwasili hapa senegal iliwasili saa tano baada ya stars kuwasili wakati zambia UNK timu timu hizo zimepangwa kwenye hoteli ya golf jijini hapa meneja wa stars tasso mukebezi ameiambia mwanaspoti inawezekana zikawa ni mbinu za kimchezo kwa kuwa hata wao walielezwa kwamba senegal ingekua ya kwanza kufika na waliwasili hapa wakijua tayari UNK wapinzani wao hao waliopangwa nao kuanza nao kazi kesho jumapili kuchelewa kwa senegal na zambia kulifanya kikao cha timu UNK kufanyika juzi usiku kwa ajili ya masuala kadhaa ya taratibu kisifanyike na wandaaji walikua wakilalama kwamba hakukuwa na taarifa rasmi na huenda walihofia senegal ambao ni majirani wanaweza kuwa wametua kimya kimya na kujichimbia sehemu nyingine hata hivyo mukebezi alisema hali hiyo haiwezi kuwatia hofu ingawa wanaweza kujiuliza kipi kimewafanya wenzao kubadili ratiba nimesikia wanaweza kuwasili ijumaa au jumamosi na ni tofauti na UNK lakini UNK kama changamoto tu kwamba vipi UNK ratiba lakini haiwezi UNK kwa kuwa kila kitu tunachukulia kama changamoto unajua watu wana kila mbinu katika mashindano makubwa kama haya hivyo umakini ndio silaha kubwa kwetu zaidi ya kitu kingine alisema UNK ukiachana na wenyeji stars na senegal ghana na nyingine za libya UNK hapa siku moja kabla ya mashindano kwa kuwa hazina hofu ya hali hewa ya hapa kiungo mshambuliaji wa taifa stars mrisho ngassa amesema ushiriki wa wachezaji wa tanzania katika fainali za chan ni kipimo tosha cha kujua wamefikia hatua gani na atahakikisha ubora wake unajulikana dunia nzima na ikiwezekana UNK dau lake akizungumza mjini hapa ngassa alisema wachezaji watakuwa na nafasi ya kupima uwezo wao vizuri lakini hata hivyo anayecheza vizuri na kuisaidia timu yake ndiye atakayepata nafasi ya kuwaniwa na timu nyingi na dau lake kupanda juu kujua ubora wako ni mambo mengi lakini kila mmoja atataka kuona anacheza vizuri kama ilivyo kwa makocha watataka kuona timu zao UNK mimi kama ngassa nataka kufanya vizuri na stars ishinde lakini siku ya mwisho UNK na ikiwezekana dau langu UNK juu na nipate nafasi ya kucheza ulaya bado ndoto yangu haijafikia mwisho ninataka kucheza ulaya na ninataka ndoto UNK nitacheza kwa kujituma na juhudi kubwa na UNK hilo nikipata nafasi nataka niende ulaya nikacheze soka ingawa najua michuano hii itakua ni migumu sana kwa kuwa awali tumekuwa tukicheza mechi moja moja lakini hii itakua ni mechi mfululizo na tutakutana na wachezaji wengi ambao wamefanya maandalizi ya kutosha lakini wanatokea katika ligi za nyumbani kama ilivyo sisi mimi ninaona huku ndio kuna ugumu zaidi kwa kua hata wao watakua wamejiandaa kushinda zaidi tofauti na wachezaji wengi wa kulipwa ambao wanacheza huku pia wakiwa wanawaza klabu zao za ulaya wachezaji wengi hata kama wakiwa ni wa senegal na ghana wanaocheza kwenye timu hizi watakua wanatafuta nafasi ya kucheza ulaya pia maana yake kazi itakua ni ngumu sana watacheza kwa juhudi na malengo yakiwa ni timu kushinda lakini pia wapate nafasi ya kwenda ulaya alisema ngassa UNK kwamba anaamini binafsi kwake itakua ni michuano mikubwa na UNK zaidi na atakachofanya ni kucheza kwa juhudi kuhakikisha stars UNK vizuri kitu UNK heshima ya wachezaji na tanzania ngassa alizua mzozo mkubwa baada ya uongozi wa yanga kugoma kumpa nafasi kwenda kucheza soka ya kulipwa katika timu ya lov ham ya norway wakati kila kitu kilikuwa UNK na kukubalika na dau lake UNK kitita cha dola hamsini sifuri sifuri sifuri huku UNK mshahara wa dola kumi sifuri sifuri sifuri kila mwezi waandaaji wa michuano ya chan wameanzisha utaratibu kwa kuwataka madaktari wa timu zote kukagua vyakula vya wachezaji wao kabla ya kuanza kula kwa ajili ya masuala ya usalama utaratibu huo ulianza juzi mara baada ya stars kuwasili jijini hapa na kazi hiyo alipewa daktari juma sufiani ambaye alikagua chakula hicho kabla ya kutoa ruhusa ya wachezaji hao kula mchana na usiku sufiani alisema utaratibu huo utaendelea hadi mwisho wa mashindano na kuunga mkono ni mzuri ingawa alitaka wakati mwingine kuwe na nafasi kwa yeye kupewa nafasi ya kuchagua aina gani ya chakula wachezaji wake wale inawezekana ni utaratibu wa mashindano mengi makubwa mimi nimeona ni sawa na inafanya wachezaji kula wakiwa UNK kama watasikia daktari wao UNK ingawa wakati mwingine inatakiwa ukaguzi kuwa wa juu kidogo lakini pia ni vizuri wakatoa nafasi kwa mimi kuwaeleza kesho wachezaji wangu wanataka chakula gani basi itakua ni nzuri zaidi alisema hata hivyo chakula hicho juzi UNK na viongozi na wachezaji wa stars kwamba kiko katika kiwango cha chini ukilinganisha na kile ambacho wamekua wakila kabla ya kutua jijini hapa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya cameroon gweha jean ametua mjini hapa kushuhudia fainali za afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani inayoanza kesho jumapili kwenye uwanja wa felix houphouet boigny jijini hapa gweha aliiambia mwanaspoti juzi kwamba amekuja kwa ajili ya kushuhudia timu mbalimbali UNK kwa kuwa anaamini UNK kitu kuna timu nyingi na imara hapa nia ni kujifunza na kuangalia mambo mbalimbali ndio maana chama changu UNK na kukubali nifike hapa nitakaa hadi UNK kabla ya kurejea tena cameroon alisema kocha huyo UNK kuikosa michuano hiyo baada ya kikosi chake kushindwa kuvuka kutokana na kutolewa na ghana inayoongozwa na mserbia UNK alisema UNK mechi hizo kama vile mafunzo na baada ya hapo atarejea nyumbani na kutumia mambo kadhaa kwa manufaa ya timu yake alisisitiza kwamba kutolewa kwao na kufanya washindwe kushiriki si tatizo badala yake wanaangalia safari nyingine watafanya nini kwa kuwa katika soka si lazima kushindwa beki wa taifa stars shadrack nsajigwa amesema watanzania wasiwe na hofu kwa sababu wamejiandaa vya kutosha kwa ajili ya ushindi katika fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani inayoanza kesho jumapili ivory coast nsajigwa alisema kocha wao marcio maximo amewafundisha vya kutosha na jukumu lililobaki ni la wachezaji kuonyesha uwezo wao uwanjani akiwaaga wachezaji hao katikati ya wiki jijini dar es salaam waziri wa habari utamaduni na michezo george mkuchika aliwasihi wachezaji wasigombane na waamuzi uwanjani kwani mwamuzi ndiyo mwenye mamlaka ya mwisho uwanjani alisema stars inatakiwa ijitahidi kuanza kufunga kila mechi ili kuzichanganya timu pinzani kwani hata stars ikifungwa mapema huwa inachanganyikiwa pia katika hafla hiyo ya kuwaaga wachezaji wa stars naibu waziri wa utamaduni na michezo joel bendera pia aliwasihi wachezaji kuwa makini katika michezo yote watakayocheza na nidhamu ndani na nje ya uwanja aliwataka wachezaji hao kujiamini na kujenga imani ya ushindi wasiwe wazembe kwa kucheza kwa asilimia sitini badala ya kumi sifuri kwa sababu wanatakiwa wajenge ari na morali itakayowasaidia kisaikolojia bendera aliwaambia wachezaji wa stars wakabe kwa umakini na wasiruhusu magoli ya kipuuzi na kuacha tabia za kutaka kuzurura kila kona ya jiji la abidjan stars inaanza kampeni yake kesho jumapili kwa kucheza na senegal katika mechi ambayo itaanza saa nne usiku kwa saa za tanzania kipa wa simba amani simba amebadili namba kwenye mechi za mchangani na sasa anacheza kama mshambuliaji na kiungo amani ambaye alijiunga na simba msimu uliopita akitokea polisi morogoro ni miongoni mwa makipa maarufu na wakongwe nchini waliosalia kwenye ligi kuu bara akiwemo juma kaseja wa yanga na denis edwin wa prisons kipa huyo katika mazoezi ya hivi karibuni na timu za mtaani mjini morogoro alipo mapumziko amekuwa akicheza kama mchezaji wa ndani nikifanya mazoezi na shani nacheza kama kiungo lakini timu zangu nyingine za mtaani nacheza kama mshambuliaji alisema amani alipozungumza na mwanaspoti naweza kucheza kama mshambuliaji lakini si kwenye klabu kubwa haya ni mazoezi tu ndio maana unaona nafanya hivyo halafu pia hakuna viwanja vya maana unaweza kukaa langoni ukajikuta UNK kwenye vitu ambavyo havina maana kwa hiyo inabidi nicheze ndani tu kidogo kidogo simba iliyoko chini ya kocha patrick phiri raia wa zambia imekuwa ikihaha kupata nafasi ya pili kwenye ligi kuu ya bara timu hiyo yenye pointi ishirini na nne wachezaji wake pamoja na kocha phiri wameapa kuwa watapambana kufa kupona kupata nafasi ya pili ingawa kagera sugar UNK akili kama al ahly walijua UNK yanga kwa kunasa mikanda yake kadhaa ikiwemo ya mechi ya kwanza ya ligi ya mabingwa afrika dhidi ya etoile ya comoro UNK kwani kila kitu chao tayari kipo jangwani na yanga imemruhusu kocha wake dusan kondic aende afrika kusini kutafuta pasipoti mpya ya kusafiria ili awahi kurejea nchini kabla ya jumanne tayari kwa mipango mingine mabingwa hao watetezi wa ligi kuu bara wanakwaana na klabu hiyo tajiri ya misri kati ya machi kumi na tatu kumi na tano jijini cairo katika mechi ya hatua ya kwanza ya ligi ya mabingwa afrika ingawa mwenyekiti wa yanga imani madega amekuwa msiri kuzungumzia mikakati ya timu hiyo habari za ndani UNK na mwanaspoti zinadai kuwa timu hiyo UNK mikanda miwili hadi sasa kuna mikanda miwili imepatikana ya al ahly ambayo kocha UNK na marafiki zake walioko misri ndio ataanza kuifanyia kazi kwa sasa kilisema chanzo chetu cha kuaminika ndani ya uongozi kama hiyo haitoshi kocha amekwenda afrika kusini kushughulikia pasi yake ya kusafiria kwani ya sasa imekwisha kule amekwenda kwa vile ana uraia wa afrika kusini pia na hata familia yake inaishi huko akimaliza atarudi tanzania februari ishirini na nne kukamilisha baadhi ya mambo halafu aondoke kwenda misri kuangalia baadhi ya mechi za ligi kuu misri ambazo UNK al ahly ataenda misri kuchunguza hayo na mambo mengine ambayo ni ya ndani zaidi si lazima kuyasema hadharani we elewa hivyo tu alisisitiza kiongozi huyo muhimu kiongozi huyo aliiambia mwanaspoti kwamba wachezaji wameonyesha morali kubwa kwa mchezo lakini kondic amekuwa akikosa usingizi na kila mara anahaha kujua undani wa al ahly ambao ni mabingwa watetezi kondic anaumia kichwa sana na wachezaji karibu wote wa kikosi cha kwanza wameondoka na stars ndio kabisa anashindwa la kufanya ndio maana hata akija ataacha programu kwa wasaidizi wake halafu aondoke kwenda misri wakati anasubiri timu nzima alidokeza na kukataa kutajwa jina lake kwa madai kuwa ni siri za ndani mno ya menejimenti al ahly ndio mabingwa watetezi wa ligi ya mabingwa afrika na katika siku za hivi karibuni wamekuwa wakifanya vyema kwenye ligi ya misri kama ilivyo yanga tanzania yanga inaongoza msimamo wa ligi kwa kuwa na pointi arobaini na mbili lakini al ahly inaongoza kwa pointi thebathini na tisa lakini imekuwa ikishinda kwa wastani wa bao moja sifuri mbili sifuri au mbili moja katika mechi nyingi huku wachezaji wake wakiumia mara kwa mara ni mara nyingi tumekuwa tukishuhudia klabu zetu zinapofanya vibaya katika mashindano ya kimataifa huanza kutoa visingizio mbalimbali ambavyo havina miguu wala kichwa visingizio hivyo UNK kwa klabu pekee yake ila hata katika timu ya taifa ya tanzania taifa stars ambayo ipo ivory coast kushiriki fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani ni mara nyingi tumesikia taifa stars inapofanya vibaya benchi la ufundi UNK kuwa wamefanya vibaya kwa sababu ya kukosa uzoefu viwanja vibovu waamuzi hovyo au kukosa wachezaji wanaocheza ulaya ni visingizio ambavyo UNK mara kwa mara katika timu zetu iwe ni katika kiwango cha klabu au timu za taifa lakini sasa UNK na hatutaki kuvisikia tena tumejaribu kuangalia mazingira mbalimbali ya fainali za chan ambazo zinafanyika ivory coast tukagundua kuwa taifa stars haina kisingizio chochote badala yake ina nafasi kubwa kuliko nchi nyingine zinazoshiriki fainali hizo stars haina kisingizio chochote kwa sababu kambi iliyowekwa na timu hiyo ni ya kiwango cha juu pengine kuliko timu nyingi ambazo zinashiriki fainali hizo lakini udhamini mkubwa wa kampuni ya bia ya serengeti na benki ya nmb pamoja na serikali kuwa karibu na timu hiyo UNK tuone hakuna sababu ya stars kurejea mikono UNK ukiangalia hata viwango vya timu za kundi a ambapo ndio tanzania ipo utagundua kuwa hakuna timu UNK ukiondoa wenyeji ivory coast zambia ni timu ambayo siku za hivi karibuni imekuwa na migogoro mikubwa huku baadhi ya wachezaji wake wakiwa wamekimbilia ulaya na kocha wao mfaransa herve renald anaonekana kukata tamaa inafahamika kabisa kuwa kikosi cha zambia ambacho kilitolewa kwenye michuano ya chalenji nchini uganda ndicho hicho hicho ambacho kimekwenda ivory coast na kwa hakika si kikosi imara senegal inafahamika vizuri kuwa huwa inawategemea wachezaji wanaocheza soka ulaya hivyo haiwezi kutisha na hasa UNK kuwa mwaka juzi stars ilitoka sare ya moja moja na senegal katika mechi iliyofanyika mwanza wakati huo senegal ikiwa na wachezaji wake wa ulaya karibu wote huku wachezaji wengi wa stars wakiwa ni wale wale faida iliyopo kwa taifa stars ni kwamba kikosi kimekuwa pamoja kwa takribani miaka miwili na ni timu hiyo hiyo ambayo imekuwa ikipata uzoefu inapocheza na nchi nyingine zenye wachezaji ulaya ukiangalia kwa macho mawili utagundua kuwa taifa stars ina faida kubwa katika mashindano hayo kuliko timu nyingine yoyote kwani inaingia kwenye mashindano hayo ikiwa na timu ile ile wakati nchi nyingine zote zinaingia na vikosi vipya au vyenye wachezaji wengi wageni kutokana na hilo ndio maana tunaamini kuwa stars haina sababu yoyote ya UNK ingawa mpira UNK lakini UNK kuona timu hiyo UNK kibonde katika fainali hizo tunawatakia kila la kheri marcio maximo amemteua shadrack nsajigwa kuwa nahodha wa taifa stars na atakuwa na wasaidizi wawili henry joseph na nadir haroub cannavaro akizungumza jijini hapa jana maximo alisema kuwa alitaka kumteua nsajigwa kuwa nahodha wa timu hiyo julai mwaka juzi lakini beki huyo pamoja na kipa ivo mapunda UNK na yanga kwa miezi sita kwa madai ya utovu wa nidhamu maximo alisema UNK uteuzi wa nsajigwa kuwa nahodha wa stars baada ya yanga kumsimamisha kwani adhabu hiyo ilimfanya aondolewe hata kwenye kikosi cha stars alisema kutokana na mambo kutulia sasa amemrejesha nsajigwa katika unahodha lakini atakuwa akisaidiwa na henry na cannavaro habari za ndani zinasema kuwa kiwango cha juu ambacho nsajigwa UNK katika michuano ya chalenji nchini uganda ndio kimemfanya maximo ampe nsajigwa zawadi ya UNK jambo jingine ambalo UNK henry ni kuwa majeruhi mara kwa mara pamoja na kwenda kufanya majaribio ya kucheza soka norway jambo ambalo lilimfanya maximo asiwe na uhakika kama kiungo huyo wa simba UNK katika fainali hizo zinazoanza kesho jumapili nsajigwa alianza kazi hiyo ya unahodha katikati ya wiki hii wakati kikosi hicho kilipokuwa UNK kwenda ivory coast kwani ndiye aliyezungumza kwa niaba ya wachezaji wengine allan UNK UNK hafla hiyo anaripoti kuwa nsajigwa aliwataka watanzania wasiwe na hofu kwa sababu wamejiandaa vya kutosha kwa ajili ya ushindi katika fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani inayoanza kesho jumapili ivory coast nsajigwa alisema kocha wao marcio maximo amewafundisha vya kutosha na jukumu lililobaki ni la wachezaji kuonyesha uwezo wao uwanjani akiwaaga wachezaji hao katikati ya wiki jijini dar es salaam waziri wa habari utamaduni na michezo george mkuchika aliwasihi wachezaji wasigombane na waamuzi uwanjani kwani mwamuzi ndiyo mwenye mamlaka ya mwisho uwanjani alisema stars inatakiwa ijitahidi kuanza kufunga kila mechi ili kuzichanganya timu pinzani kwani hata stars ikifungwa mapema huwa inachanganyikiwa pia katika hafla hiyo ya kuwaaga wachezaji wa stars naibu waziri wa utamaduni na michezo joel bendera pia aliwasihi wachezaji kuwa makini katika michezo yote watakayocheza na nidhamu ndani na nje ya uwanja aliwataka wachezaji hao kujiamini na kujenga imani ya ushindi wasiwe wazembe kwa kucheza kwa asilimia sitini badala ya kumi sifuri kwa sababu wanatakiwa wajenge ari na morali itakayowasaidia kisaikolojia bendera aliwaambia wachezaji wa stars wakabe kwa umakini na wasiruhusu magoli ya kipuuzi na kuacha tabia za kutaka kuzurura kila kona ya jiji la abidjan stars inaanza kampeni yake kesho jumapili kwa kucheza na senegal katika mechi ambayo itaanza saa nne usiku kwa saa za tanzania al ahly imethibitisha kwamba mshambuliaji wake UNK flavio na viungo mohamed barakat na mohammed abu tereika ni cha mtoto kwa mshambuliaji wa yanga boniface ambani katika kupachika mabao yanga itakwaana na mabingwa hao watetezi wa ligi ya mabingwa afrika ijumaa ya machi kumi na tatu kwenye uwanja wa cairo jijini cairo misri kwa mujibu wa dondoo mpya za wachezaji wa al ahly zilizowekwa kwenye mtandao wake ambazo zinajumuisha mashindano yote zinaonyesha kuwa ambani amepachika mabao mengi zaidi ya mshambuliaji yoyote wa al ahly msimu huu wa ligi ya tanzania na misri flavio amepachika mabao kumi na tano katika mechi thebathini na mbili alizocheza msimu wa ishirini sifuri nane sifuri tisa na ndiye mchezaji mwenye mabao mengi zaidi akifuatiwa na barakat na abu tereika wenye mabao tisa kila mmoja katika mashindano yote wamecheza thebathini na moja na shady mohamed thebathini mshambuliaji UNK UNK amecheza mechi kumi na nne huku akiwa ameanza mechi nne tu lakini rekodi za klabu hiyo zinaonyesha UNK ashour ameonyesha kadi kumi na moja za njano rekodi za wachezaji hao UNK na zile za ambani wa yanga ambaye amecheza mechi kumi na mbili za ligi kuu bara na mbili za ligi ya mabingwa afrika na UNK mabao kumi na tisa akimzidi flavio kwa mabao manne mabao hayo ya ambani ambaye ni raia wa kenya aliyepania kunyakua tuzo ya ufungaji bora UNK mechi za kirafiki alizocheza tangu mwaka jana ambayo yanaweza kufunika kabisa thamani kubwa ya washambuliaji hao ghali wa al ahly rekodi mbaya zaidi al ahly ni ile ya kipa namba moja ahmed abdel UNK ambaye katika mechi thebathini na moja alizocheza amefungwa mabao ishirini na nne na kuokoa penalti moja kipa namba mbili ramzy saleh amecheza mechi mbili na kufungwa moja lakini kipa namba tatu mohamed UNK amekuwa UNK benchi daima na UNK mechi yoyote ingawa wamekuwa wakipokezana katika mechi UNK makipa wa yanga juma kaseja na obrem cirkovic hakuna hata mmoja UNK idadi ya mabao inayofanana na ya kipa huyo namba moja katika mechi za ligi kuu bara na ligi ya mabingwa afrika yanga imefungwa jumla ya mabao saba sita wamefungwa kwenye ligi na moja ligi ya mabingwa afrika taifa stars inaingia uwanjani kesho jumapili kucheza na senegal saa nne usiku kwa saa za tanzania huku marcio maximo UNK na hasira ya waandaji kutaka UNK muda wa mazoezi stars inayoshika nafasi ya kumi tatu katika viwango vya fifa ilikuwa ya kwanza kutua nchini hapa na inacheza na senegal inayoshika nafasi ya sitini ambayo ilikuwa ya pili kuwasili jana ijumaa wachezaji wa stars walifanya mazoezi katika uwanja wa mazoezi wa chama cha soka cha ivory coast ambao ni umbali wa kilometa arobaini kutoka katika hoteli waliyofikia inayoitwa golf UNK katika mazoezi hayo wachezaji karibu wote walionekana kuwa na morali ya hali ya juu isipokuwa kiungo godfrey boniface ambaye alikuwa akisumbuliwa na tumbo hivyo kumfanya kukatisha mazoezi mara kwa mara katika mazoezi hayo maximo alikuwa UNK timu mbili lakini kuna uwezekano kikosi ambacho kitaanza kikawa hivi juma dihile shadrack nsajigwa juma jabu salum sued nadir haroub cannavaro godfrey boniface henry joseph nurdin bakari mrisho ngassa jerry tegete na haruna moshi maximo anaonekana kutaka kulinda zaidi huku ndio maana anataka kupanga viungo watatu UNK huku pia akitaka kushambulia kwa kushtukiza kwa kuwatumia mrisho ngassa na haruna moshi kumlisha mipira jerry tegete maximo ambaye tangu atue tanzania amecheza mechi arobaini na moja na kupoteza kumi tu huenda UNK kikosi hicho kutokana na hali ya wachezaji itakavyokuwa lakini ni uhakika kuwa athuman idd chuji hawezi kuanza kwa sababu bado hayupo fiti stars leo jumamosi itafanya mazoezi mara moja katika uwanja ambao UNK kwa mechi ya kesho jumapili wenye jina la rais wa kwanza wa ivory coast wa felix houphouet boigny katika hatua nyingine maximo UNK wenyeji na waandaaji wa fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani kutokana na UNK timu yake ratiba ya mazoezi badala ya ile UNK yeye huku akisisitiza kuwa wanataka UNK maximo UNK jijini hapa baada ya waandaaji kumweleza kwamba kwa mujibu wa ratiba ya mazoezi ya UNK la soka afrika stars wanatakiwa kufanya mazoezi siku moja tu katika ratiba maalum wakati yeye alikuwa amepanga kikosi chake kifanye mazoezi kuanzia juzi alhamsi mara mbili baada ya kupumzika siku nzima kutokana na uchovu wa safari ndefu kutoka dar es salaam kupitia nairobi kenya na douala cameroon ratiba ya waandaaji hao inaonyesha kuwa jana ijumaa stars ilitakiwa kufanya mazoezi mara moja tu saa tatu asubuhi kwenye uwanja wa UNK UNK na leo jumamosi ingefanya mazoezi saa tano asubuhi kwenye uwanja wa felix houphouet boigny ambao kwa kuwa kesho jumapili ndio UNK mechi dhidi ya senegal mimi nimepanga tufanye mazoezi mara mbili siku ya ijumaa na jumamosi itakuwa ni mara moja tunapaswa kujipangia muda na si muda wanaopanga wao alisema maximo ambaye awali alitumia muda mrefu kuzozana na waandaaji hao haiwezekani na si sahihi michuano yote mikubwa timu hukabidhiwa uwanja na usafiri na wenyewe ndio wanaamua wafanye mazoezi wakati upi si wenyeji UNK alilalamika pamoja na uamuzi huo wa wandaaji na caf maximo alisisitiza kikosi chake kitafanya mazoezi mara mbili kwa ijumaa na jumamosi kitafanya mara moja badala ya kufuata ratiba hiyo ya waandaaji kama ilivyopangwa uchunguzi wa mwanaspoti unaonyesha wenyeji wana uhaba wa viwanja hali iliyowafanya UNK UNK timu ratiba kwa kuwa zitalazimika kupokezana kutumia viwanja UNK vinne kwa ajili ya mazoezi kujiandaa na mechi zinazoanza kesho jumapili kwenye uwanja mkubwa zaidi nchini humu wa felix houphouet boigny wenye uwezo wa kuchukua watu takribani arobaini sifuri sifuri sifuri makamu wa pili wa rais wa tff ramadhani nassib alisema walishaanza utaratibu wa kulishughulikia suala hilo ili kuhakikisha stars inafanya mazoezi katika ratiba inayotakiwa na maximo badala ya waandaaji kweli ulikuwa ni mzozo mkubwa lakini wametuambia wameanza kulishughulikia na sisi UNK kwa karibu kuhakikisha ratiba ya mwalimu ndio UNK badala ya ile waliotoa wao alisema jana ijumaa jioni waandaji wa michuano hiyo walikubali yaishe baada ya kumwambia maximo kuwa UNK UNK ratiba anayotaka ya mazoezi na kwamba walimruhusu kufanya mazoezi kwa vyovyote anavyotaka katika timu zinazoshiriki chan ghana ndio inaongoza kwa ubora kwani ni ya thebathini na tano kwa ubora wa soka duniani na inafuatiwa na wenyeji ivory coast walio katika nafasi ya thebathini na sita senegal inashika nafasi ya tatu kwa kuwa nafasi ya sitini na libya inashika nafasi ya themanini kwa ubora duniani zambia iko katika nafasi ya tisini na mbili wakati daktari congo iko katika nafasi ya tisini na nne zimbabwe kwa ubora duniani ni nafasi ya kumi sifuri wakati tanzania iliyo katika nafasi ya kumi tatu ndio ya mwisho kati ya nchi nane zinazoshiriki katika michuano hiyo ya kwanza kuandaliwa na shirikisho la soka afrika baada ya simba kushindwa kulipa gharama zilizotolewa na kampuni ya dettoile UNK katika kuendesha mchakato wa kupata katibu mtendaji na mhazini wa kuajiriwa klabu hiyo sasa UNK kamati ya utendaji kushugulikia suala hilo akizungumza makao mkuu ya timu hiyo mtaa wa msimbazi dar es salaam jana katibu mkuu mwina kaduguda alisema kampuni hiyo inaendesha mchakato huo kwa zaidi ya shilingi milioni thebathini ambapo kwa wakati huu fedha hizo ni nyingi mno alisema kiwango hicho cha fedha ni kikubwa hivyo suala hilo wameamua kulipeleka kwa kamati ya utendaji ili kukaa na kutafakari nini cha kufanya dettoile wanahitaji zaidi ya milioni thebathini tumeshindwa kumudu hicho kiwango lakini tutahakikisha tunafanya mpango wa kuhakikisha tunapata katibu mtendaji wa kuajiriwa haraka iwezekanavyo tunawaheshimu wadhamini wetu kampuni ya bia ya tanzania alisema kaduguda alisema kamati hiyo inatarajiwa kukutana marchi mosi mwaka huu klabuni hapo kujadili suala hilo ambapo wanatarajia kutochukua muda mrefu kutokana na umuhimu wake katika kujenga msingi wa uendeshaji wa soka la kisasa alisema katika kuhakikisha hilo linafanyika kwa wakati tayari UNK taarifa kwa wajumbe wa kamati hiyo wakiwemo wenyeviti wa kamati zote ndogondogo mbali na hilo kikao hicho kitajadili ushiriki wao katika mzunguko wa pili wa ligi kuu ya bara ambapo timu hiyo imebakiza michezo saba kuhakikisha wanapanga mikakati ya kupata nafasi ya kuiwakilisha nchi katika michuano ya kimataifa alisema timu hiyo itaanza mazoezi leo katika uwanja wa kinesi urafiki kujiandaa na michuano mbalimbali ikiwemo ya kirafiki ya kimataifa ambapo wanatarajia kujipima na timu za rayon sports ya rwanda na mathare united ya kenya daktari wa taifa stars juma sufiani amechukua uamuzi wa kubadili chakula watakachokuwa wanakula wachezaji wa timu hiyo ikiwa ni pamoja na kutilia mkazo kupikwa kwa uangalifu mkubwa akizungumza na mwananchi mjini hapa sufiani alisema hali ya viungo geofrey bonny na nurdin bakari kushindwa na tumbo la kuhara ghafla huku wengine wakilalamika UNK vizuri imemfanya UNK mkazo kwa kubadili mpangilio wa chakula unajua tangu mwanzo niliwaeleza kuhakikisha chakula wanachokula hakina tofauti na kile walichokuwa wanakula tanzania ni kawaida mtu kuathirika kimwili unapoenda sehemu na kula kitu tofauti na kile UNK mwili unakua UNK wakaniambia UNK UNK nimefanya hivyo lakini naona kama utekelezaji wao si mzuri nitafanya hivi sasa itabidi UNK karibu ili kuhakikisha UNK ni kile kile lakini pia UNK kidogo ili wachezaji wale vyakula UNK na walivyokuwa wakila nyumbani kitu ambacho kitawafanya wawe katika hali ya kawaida alisema daktari huyo mahiri katika mambo ya uganga wa michezo siku moja baada ya kuwasili jijini hapa bonny alilazimika kwenda kujisaidia zaidi ya mara tatu wakati wa mazoezi ya kwanza ya timu hiyo lakini hali hiyo baadaye UNK nurdin na baadhi ya wachezaji walianza kulalama kuumwa na matumbo wachezaji na hata viongozi wa tff pia walilalama kwamba chakula walichokuwa wakila si taifa stars tu hata timu nyingine katika hoteli ya golf hakikuwa UNK kwa utaalamu zaidi sufiani alilazimika kufanya kazi ya ziada kumpa matibabu ya haraka bonny ambaye ni kiungo wa yanga ili aweze kuendelea na mazoezi na pia kucheza mechi ya jana dhidi ya senegal wengine UNK chakula ni viongozi wa senegal ambao waliiambia mwananchi UNK na chakula hicho ingawa UNK maandalizi mengine yako katika mpangilio mzuri UNK wawe katika hali nzuri ya kufanya vizuri kocha wa taifa stars marcio maximo amesema pamoja na mambo yote yanayofanyika jijini hapa hata kama ni mazuri au mabaya UNK ni kiwanja cha kuchezea cha dimba la felix houphouet boigny na ana imani kikosi chake kitacheza vizuri zaidi akizungumza na mwananchi jijini hapa maximo raia wa brazil alisema amevutiwa sana na uwanja huo na umempa UNK kwa kuwa kikosi chake kitakuwa na nafasi ya kuonyesha walichonacho hauna tofauti na uwanja wetu mkuu wa dar es salaam ni nafasi nzuri ya kucheza vizuri sisemi kwamba kwa kuwa uwanja ni mzuri basi sisi tuna asilimia mia moja ya ushindi hapana ila tutakuwa na nafasi nzuri ya kucheza kama UNK na kucheza soka yetu ni nafasi nzuri na hatuwezi kuwa na kisingizio cha uwanja labda ule mwingine wa bouake ambao UNK alisema maximo baada ya kufanya mazoezi kwa mara ya kwanza kwenye uwanja jana asubuhi kabla ya kuivaa senegal katika mechi yake ya kwanza ya chan uganda tulipata shida sana mazoea yetu ni uwanja mzuri lakini haikuwa hivyo lakini wachezaji UNK suala la uwanja UNK kwa hapa abdijan aliongeza wakati wa michuano ya chalenji nchini uganda maximo pamoja na wachezaji walilalama kwamba viwanja vya kuchezea vilikuwa katika hali duni hali iliyowapa wakati mgumu kiuchezaji pamoja na maximo wachezaji pia walionyesha kuukubali uwanja huo na kusema una kiwango kizuri ambacho kitawafanya wacheze vizuri unajua kama uwanja kwa ujumla jamaa UNK ule wa kwetu kiboko tena mbali tu lakini kama UNK jamaa ni UNK kila mtu UNK alisema nahodha msaidizi wa stars nadir haroub cannavaro katika michuano hii stars iko kundi a lenye timu za zambia senegal na ivory coast ambao ni wenyeji UNK sana UNK kombe hilo kwenye ardhi yao tanzania kwa mara nyingine imeanza vibaya michuano ya mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani chan baada ya kukubali kipigo cha bao moja sifuri kutoka kwa senegal huku jirani zao zambia wakitoa onyo kwa timu nyingine kwa kufunga wenyeji wa michuano chan ivory coast kwa mabao tatu sifuri taifa stars iliyoanza mchezo huo vibaya kwa safu ya ulinzi kushindwa UNK vizuri na kuacha mipira ya juu kutawaliwa na washambuliaji wa senegal waliokuwa makini zaidi kutumia mwanya huo mshambuliaji mamadou traore aliunganisha vizuri krosi kwa kichwa UNK kipa shabaan dihile katika dakika ishirini na tisa kuipa ivory coast bao pekee kuingia kwa bao hili kulirudisha hali stars kujaribu kufanya mashambulizi mengi kupitia kwa winga wake mrisho ngassa aliyekuwa chini ya ulinzi mkali wa ngome ya senegal kocha marcio maximo alijaribu kuwatoa godfrey bonny haruna moshi na jerry tegete walioshindwa kuonyesha kiwango cha kuvutia na nafasi zao UNK na nurdin bakari musa hassan mgosi na UNK UNK kuingia kwa wachezaji hao taifa stars UNK na kufanya UNK mengi katika kipindi cha pili lakini walishindwa kumalizia nafasi nyingi UNK katika mchezo wa awali kati ya wenyeji wa michuano hiyo ya afrika ivory coast walipokea kipigo UNK cha mabao tatu sifuri kutoka kwa zambia chipolopolo mshambuliaji given singuluma ndiye aliyekuwa shujaa wa mchezo huo kwa kufunga mabao yote matatu ya zambia katika dakika ya thebathini na sita arobaini na saba na sabini na sita kuharibu sherehe zote za ufunguzi mbele ya rais laurent gbagbo wa ivory coast valentine day imepita lakini UNK kupendana au sio kila siku iwe valentine day dunia itakuwa sehemu nzuri ya kuishi UNK valentine yako ilikuwa poa sana sisi starehe tulikuwa unguja UNK live sauti za busara huku UNK kama kawaida kwa kuwa nilikuwa unguja basi kisa chetu cha leo UNK maeneo ya hukohuko unguja tunaanza UNK UNK wazuri wako wengi tena wa zaidi yako hiki ni kionjo kidogo tu kutoka kwenye wimbo wa kundi la taarabu la jahazi morden taarab ambalo kwa sasa UNK lao nimeanza UNK mipasho ya UNK mzee katika wimbo usemao maneno ya mkosaji leila anasema maneno ya mkosaji hayamnyimi raha za jiji lakini johari kwa upande wake anasema maneno ya mkosaji ni sawa na debe tupu si unafahamu mwenzangu debe tupu UNK UNK basi maneno ya mkosaji wetu wa leo UNK na debe tupu tena lililoachwa kwenye sehemu ambapo UNK UNK kama litapigwa au kuguswa mkasa wetu leo umetokea huko eneo la UNK unguja ambako muhusika wetu dada johari UNK ingawa kwa wakati huu unaweza kumuita UNK abdulkadir kwani ameolewa lakini ndani humo ndimo UNK akisema maneno haya ya mkosaji sawa na debe tupu kila kukicha kwani kuna mpangaji wa chumba cha pili haishi vijembe kwa bibi UNK kisa chenyewe kiko hivi huyu bibie UNK vijembe ni mtoto wa mama mwenye nyumba kabla johari kuolewa au UNK jumla na abdulkadir mara ya kwanza abdulkadir alikuwa UNK na mtoto huyo wa mama mwenye nyumba wake na inasemekana UNK UNK lakini vijimambo UNK UNK kukata kamba UNK wa habari hii wanasema si kwamba binti huyo alikuwa UNK na abdulkadir ila alikuwa mwingi wa mambo mpaka siku moja UNK wanawake wanaweza kusamehe lakini mwanaume UNK ugoni mwenzangu sahau basi ndiyo ukawa mwisho wa abdulkadir na binti huyo wa mama mwenye nyumba na ndiyo ukawa mwanzo wa johari na abdulkadir akiwa hana hili wala lile johari wa watu akaingia ndani ya hiyo nyumba siku zote alishangazwa na UNK ya msichana huyo kwani ilikuwa tofauti na watu wengine wote hakuwahi kumuonyesha UNK lake achilia mbali salamu na mwanzoni alijua pengine ni tabia yake lakini siku zilivyozidi kwenda na mambo UNK kuongezeka si UNK kwenye nyumba za kupanga kuna kuwa na zamu za UNK basi ikifika zamu ya kufagia kwa johari lazima binti huyo UNK tena kila mwenzake UNK huku akidai kuwa johari UNK vizuri ndipo mashoga waungwana UNK kisa hasa cha binti huyo kutapatapa kama panya UNK kwenye pipa la maji waswahili wanasema UNK kobe UNK basi ujue anatunga sheria johari akawaambia basi kama habari ndiyo hiyo basi wamwachie hiyo kazi UNK UNK kwani mume si kashindwa mwenyewe kumuenzi sasa kwa nini leo anipe UNK kama yeye UNK UNK basi mimi UNK na hii nyumba ni mali yao basi ataondoka yeye na kwenda kupanga basi kila alilofanya huyo binti alipewa jibu lake muda UNK na kila akitoa fumbo UNK kwa UNK akiweka utalijua jiji UNK UNK jiji mpaka ikafika wakati ngumi UNK mwisho mwenzangu akashindwa tena akashindwa kweli kwa sababu kile UNK UNK alimpenda saaana abdulkadir lakini kutokana na kumkosa akabaki na maneno ya mkosaji mara leo hivi mara kesho vile mwisho vita ilimshinda akaamua kuhama nyumbani kwao na kwenda kupanga baada ya kushindwa jaribio la kuwatenganisha wawili waliopendana kwa dhati maneno yakizidi hukosa msikilizaji na kubaki kuwa UNK sawa na ule wa debe tupu kaka na dada zangu naomba niwaambie kitu kimoja hii ni makala yangu ya mwisho kabisa kabla ya mwaka kugeuka UNK huku nikiwa kama nafanya majumuisho ya matatizo mengi kweli ambayo yamewahi kuifikia meza yangu matatizo UNK ndani ya husiano nyingi ambay kiukweli yanasababisha husiano nyingi kuonekana kama UNK vile ah leo UNK na salamu tena hamjambo jamani mimi ni mzima kama kawaida ni wakati wetu UNK wa kuongelea angalau kwa uchache kuhusiana na husiano zetu hizi za kijana wa kike na kiume ikiwa ni katika kuwekana sawa kwa njia huru zaidi ya kusoma unaruhusiwa kufuata kitu ambacho unahisi UNK rahisi kama hivi UNK muda huu kwa moyo mkunjufu kabisa kuwatumia wasomaji wangu wapendwa salamu za mwaka mpya nawashauri kuwa makini sana mwaka huo ujao kimsingi UNK vizuri UNK huenda mambo yakawa magumu zaidi kuna haja ya kurahisisha maisha kwa kuepuka UNK muda kwa mambo yasiyo na msingi UNK imani imetoweka duniani wanaume UNK waongo na wadada nao kutokana na uongo wetu wameamua kuwa UNK UNK hata kidogo wakihisi kwamba hata wakitulia wataishia kudanganywa tu kwa hiyo watu hawasikii UNK UNK nao wanakuwa waoga kuingia kichwa kichwa kwenye husiano wanahisi kila msichana UNK usikute mtu UNK mara mbili tatu hivi sasa hata UNK anapendwa anakuwa haamini anahisi anataka kuwekwa sawa kisha UNK kwenye mataa sasa UNK kwa ujumla yanakuwa kama hamna hivi watu wanaishi kwa UNK UNK hii ipo bwana we angalia hata uhusiano kwa makini utagundua kwamba UNK na kuna muda hata we mwenyewe unakuwa kama UNK mwenzako hivi yaani sijui inakuwaje hupendi kupoteza imani lakini moyo sasa UNK hivi hii ni kasumba mimi UNK kwa sababu kuna wakati watu UNK na walio waongo UNK wote na UNK sana bata unaweza UNK we si umeamua kuingia kwenye uhusiano we ingia mzima mzima UNK ubinafsi mapenzi yanakuwepo lakini sasa mioyo inakuwa kama UNK hivi kila UNK wa mmoja unakuwa UNK mwenzake mtoto wa kike anakuwa anaangalia kama UNK au la sasa anakuwa na kazi ya UNK moyo wake kwamba ni kweli huyu wa sasa sio UNK UNK mpaka hapa UNK mtoto wa kiume sasa ambaye amezoea kuona watoto wa kike ambao UNK hata chembe anakuwa na kazi ya kuangalia huyu aliyenaye UNK ama la anachokifanya ni kuendelea na huu uhusiano lakini katika mtindo wa UNK zaidi sijui UNK na hii inakuwa mpaka pale UNK moyo wake kwamba huyu aliyenaye safari hii UNK huu mimi UNK ubinafsi mnatakiwa kuamini jambo moja katika mapenzi kila kitu kinawezekana mnapoanza tu uhusiano mnachotakiwa kuangalia hisia na kisha kuambiana kuhusiana na kutulia na kuwa wa kweli UNK wazi kwamba maisha ya furaha yako hivi na hivi na hivi kabla UNK mbele UNK mnaweza hayo maisha mnaendelea lakini UNK kuwa kila mtu kivyake UNK kwenye mapenzi tu UNK kushoto wapenzi wengi hupenda kujifananisha utasikia UNK mwenzako anakwambia mbona flani na flani wenyewe wanaishi hivi UNK hiyo hii mbaya sasa wewe ni wewe na wao ni wao huwezi jua UNK mpaka kufikia walipo kama unahisi unaitaka ile hatua UNK na mwenzio na nyumba huanza na msingi kaka na dada yangu ukianza nyumba bati lazima UNK kama ulikuwa hujui nyie si mmeamua kuwa pamoja UNK mambo yenu na mwisho wa siku hakikisheni kwamba mnakuwa kitu kimoja sawa mkiamua kuwa wawili ni wawili haya mambo ya UNK tuone hasara mwisho wa siku ni kwa wote hasa hasara ya muda UNK wote kama we UNK UNK mwenzio muda UNK naishia hapa kwa maoni ushauri kila mtu anapenda kuwa na maisha bora lakini kutokana na sababu mbalimbali watu wengi wamejikuta wakiishi maisha magumu je wewe maisha yako UNK unafanya nini kuwa na maisha bora zaidi makala haya kama nilivyosema toleo lililopita ni sehemu ya kitabu cha saikolojia na utafiti sehemu ya pili moja ya vitabu vingi nilivyoandika ambacho UNK kwa kina mbinu za kuwa na maisha yenye mafanikio orodha ya vyuo bora duniani na vile vyenye ufadhili tiba ya tatizo la nguvu za kiume orodha ya nafasi za kazi ndani na nje ya tanzania nk imani yangu ni kwamba kama UNK kitabu hicho ingawa bado vipo angalau makala haya yanaweza kukusaidia kukupa mwanga wa nini cha kufanya katika maisha ukweli ni kuwa katika maisha tunahitaji ujuzi zaidi ili tuwe na mafanikio zaidi hata kama umesoma kiasi gani bado unahitaji kusoma zaidi machapisho UNK kujua mbinu nyingi zaidi ndio kama nilivyoeleza katika kitabu hicho katika sehemu mojawapo kuwa hata kama unaishi na virusi vya ukimwi ukijua kula vyakula fulani fulani afya yako itakuwa nzuri hadi UNK watu una ukimwi hawawezi UNK kuna mtu kwa mfano siku moja aliniuliza aaah ndugu yangu mkombozi wangu dismas lyassa nimekuwa nikisoma makala zako tangu mwaka ishirini sifuri tatu umesema kwamba chakula ni dawa mke wangu ana mafua makali ale chakula gani huenda hata wewe unaweza kujiuliza hili jibu lake ni dogo mno nunua vitunguu saumu si UNK UNK kisha paka chini ya unyayo lala UNK asubuhi mafua yote yanakwisha UNK maganda yake paka tu yale majimaji yake maisha ni raha ukiwa UNK wa mambo mengi soma vitabu vingi iwezekanavyo ndio siri ya kujua mambo mengi huwa inaniuma mtu yuko safarini sijui ni kwa basi ndege boti nk yuko bize anasoma gazeti ni sawa lakini ukimaliza gazeti kwa sababu ni dogo chukua kitabu maisha malengo mwishoni mwa mwaka jana niliwaomba ndugu zangu wasomaji wa safu hii kuwa na tabia ya kuweka akiba niliomba majina yao na tulikubaliana kwamba suala la kuweka akiba ni lazima ili mwanzoni mwa mwaka jana hata wale ambao hawakuwa na ndoto za kumiliki magari wanunue wanaotaka kusoma zaidi wasome wajenge nk naomba UNK kuwa bado niko nanyi kila siku angalau uweke shilingi hamsini sifuri sifuri na kwa wale ambao kipato chao ni zaidi ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kwa mwezi ni lazima kwa siku waweke shilingi kumi sifuri sifuri sifuri ndio kusema huyu wa shilingi hamsini sifuri sifuri kwa siku hadi disemba mwaka huu ataweka shilingi moja themanini na mbili milioni na wa shilingi kumi sifuri sifuri sifuri atakuwa na zaidi ya shilingi tatu sitini na nne milioni au weka akiba kulingana na UNK hata shilingi hamsini sifuri kwa siku si mbaya napenda kusisitiza kuwa hata kama wewe ni mlemavu amini unaweza kufanya mambo makubwa labda nikukumbushe je unamjua ahmed yassin kama utakuwa umesahau ni kwamba mtu huyu ni mwanzilishi wa kikundi cha hamas ambacho kwa sasa ni chama cha siasa kule palestina alizaliwa kumi na tisa machi elfu moja na mia tisa na thebathini na saba na kufariki ishirini na mbili machi ishirini sifuri nne kwa kupigwa mabomu na israel eneo la UNK alikuwa UNK kwa kuburuzwa na baiskeli ya miguu mitatu hakuwa anaona vizuri lakini alikuwa ana akili nzuri ya kuwaza mambo ya kufanyia kazi sina maana kwamba ni kundi zuri au baya isipokuwa ninachotaka kuzungumzia hapa ni namna gani hata wewe ambaye huoni au huna miguu unaweza kufanya mambo makubwa bila shaka kuna jambo hapa unapaswa kujifunza kuhusu uwezo wa mtu kwamba wakati mwingine hata kama una ulemavu wa aina gani huna sababu ya kulia badala yake tafuta mbinu za kujinasua uwe na maisha bora baiskeli ya miguu mitatu hajui kama anapelekwa kulia wala kushoto namna gani anaweza kutoka kwenye hali hiyo kwa hakika UNK na kuanza kuchukua hatua utafanikiwa UNK sioni vizuri miguu yenyewe ndio hivyo tena akaamua kumshirikisha jamaa mmoja anaitwa abdel aziz al UNK ukitaka kuwa mwanasiasa bora uwe karibu na jamii baada ya kuanzisha hamas unajua nini UNK wee acha tu ndugu yangu ni kwamba palestina kama yalivyo mataifa mengi hadi wakati huo ilikuwa na watu wengi maskini ingawa si kama nchi nyingi za afrika kazi kubwa ya hamas ilikuwa ni kukaa chini na kuangalia matatizo yaliyoko kwenye nchi hiyo hawakutoa ahadi kuwa tutajenga hiki na kile tukishinda uchaguzi bali mara moja walianza UNK na kujenga shule uchaguzi shule maktaba hospitali na huduma nyingine nyingi za jamii je vyama vya upinzani nchini vikiwemo cuf chadema tlp udp UNK UNK nk vimefanya nini kwa jamii kama ambavyo hamas imekuwa ikifanya kule palestina au hadi UNK kuna vyama vimekuwa UNK fedha nyingi kukodi helkopta wakati wa kampeni lakini haviko tayari kuanzisha kwa mfano kampeni maalum ya kuchimba visima kutokomeza tatizo la maji ambalo limekuwa kero kubwa kwa jamii nk wanawake wengi wanapotaka kwenda katika shughuli fulani hutumia muda mwingi kuwaza nguo za aina gani UNK na baada ya hapo hufikiria kuhusu heleni mikufu bangili pochi na pia UNK makala hii itaonyesha hatua za kuchukua kuhakikisha mtu UNK vema na kuonekana mrembo bila kuumiza kichwa hatua ya kwanza ni kufikiri ni nguo ya aina gani ambayo unataka kuivaa huenda nguo yako UNK sana ina urembo mwingi au haina urembo hata kidogo kama nguo yako haina urembo kwa kawaida mwanamke hupata nafasi nzuri ya UNK zaidi hatua inayofuata ni kutafuta urembo ambao UNK na nguo UNK kuvaa kwa mfano heleni bangili na mkufu unaofanana na nguo yako mwanamke anaweza kuvaa bangili katika mikono yote lakini kitu cha msingi ni kuhakikisha hizo ni za wastani kama muhusika anataka kuvaa heleni kubwa si vema kuvaa mkufu kwani madoido yatakuwa yameongezeka zaidi na kama mtu analazimika kuvaa mkufu basi uwe wa wastani vilevile iwapo mtu atavaa mkufu wa mkubwa ni vema kuvaa heleni za wastani ambazo hazionekani sana kama mtu anataka kupendeza zaidi ni vema kuvaa vito vya thamani vya aina moja na wala si kuchanganya kwa mfano UNK urembo wa rangi ya fedha unatakiwa kujumuisha rangi hiyo kuanzia heleni mkufu na bangili na sio kuchanganya na rangi ya dhahabu urembo wa plastiki au wa asili vilevile muhusika unatakiwa kutokuogopa kuvaa nguo zinazokwenda na wakati kuna baadhi ya watu huogopa kuvaa nguo hizo kwa kuhisi kwamba wataonekana kituko machoni mwa watu hasa kwa vile nguo hizo UNK ikumbukwe kwamba mtu UNK katika kioo na kuona kwamba UNK usihofu kutoka mbele za watu jose chameleone ameongeza gari la kifahari katika yadi yake ya magari kwa kununua gari moja matata aina ya cadillac escalade lenye rangi ya bluu ikiwa ni mfululizo wa magari mengi aliyonayo kama UNK UNK bmw na ml UNK UNK habari zinasema kuwa gari hilo ambalo UNK marekani UNK kwa dola za marekani thebathini sifuri sifuri sifuri kabla ya kodi kuna uhakika wa bei hiyo kwani hata kwenye mitandao ya UNK hiyo ndio bei ambayo inatajwa unapozungumzia wanaume kuvaa hereni na mikufu kusuka nywele na kuongea UNK na kwa staili za kimarekani watu wengi huwa na tafsiri kuwa wanaofanya hivyo ni vijana hasa wanaoimba muziki wa kizazi kipya lakini wapo watu wazima ambao pengine wanastahili hata kuitwa babu lakini wamekuwa UNK na kuvaa vipuri huku wakizungumza kana kwamba kiswahili UNK vizuri au wameishi UNK miaka mingi mmoja wa watu wenye staili hiyo ya maisha ambayo inaweza pengine UNK na kukufanya UNK mambo mengi ni mwanamuziki ebby sykes ambaye ni baba mzazi wa msanii wa muziki wa kizazi kipya dully sykes ebby ambaye UNK UNK nyingi na UNK kinywaji ni msanii wa amekuwa UNK na vituko kila kukicha na ni vigumu kukutana naye UNK bila kucheka kutokana na mambo yake kwani licha ya umri wake kuwa mkubwa marafiki zake wengi ni vijana wadogo ambao kiumri anaweza UNK ukifuatilia mambo ambayo amekuwa akiongea hata kufanya anapokuwa na hao marafiki zake ndio unaweza kupigwa na butwaa zaidi na kutaka kujua undani wa maisha yake ambayo hayaendani hata kidogo na yeye alivyo ebby ambaye kiumri ni mkubwa amekiri kuwa mpaka sasa hajafunga ndoa lakini ana watoto sita kila mmoja na mama yake akiwemo dully sykes anasema yupo UNK sasa akitafuta msichana mrembo atakayekuwa tayari kuvumilia aina ya maisha yake ambayo UNK one in a million mimi mwenyewe UNK kimtindo sasa kama nikimpata mwanamke ambaye atakuwa na tabia zinazoendana na za kwangu UNK najua nikimpata UNK UNK sana ebby ameiambia mwanaspoti jijini dar es salaam ebby anasema katika umri alionao UNK kupata mke ingawa amekiri kuwa na watoto sita ambao UNK kwa wanawake tofauti anakiri pia kuwa hajutii kabisa kitendo hicho na amekuwa akijisikia fahari kuwa baba wa watoto hao akiwemo mwanamuziki dully sykes aka mr misifa ambaye hivi karibuni amekuwa UNK na nyimbo baby UNK na UNK akimzungumzia dully sykes anasema kama dully angekuwa mwanamuziki pekee katika familia yangu UNK kupita kiasi lakini yeye si mwanamuziki wa kwanza ana kipaji kwasababu UNK kutoka kwenye damu yangu ebby anasema baba yake abdul UNK sykes alikuwa mwanamuziki enzi hizo akiimba na bendi ya UNK UNK makers miaka ya elfu moja na mia tisa na hamsini katika ukumbi wa UNK jijini dar es salaam ambako sasa kuna jengo la x UNK muziki uko kwenye damu zetu na utaendelea kuwepo katika familia yetu hata watoto wa dully naamini watakuwa wanamuziki nampongeza tu kwa kuwa anajituma anasema msanii huyo ambaye muda mwingi huonekana amebeba UNK mgongoni anasema yuko mbioni kuachia albamu yake ya kwanza itakayokwenda kwa jina la mimi na wewe huku ndani yake kukiwa na wimbo mmoja aliomshirikisha mtoto wake dully sykes anayemiliki studio ya dhahabu records kwenye albamu yangu kutakuwa na nyimbo tisa na kati ya hizo wimbo mmoja uitwao malaika UNK na mtoto wangu dully wimbo huo unaitwa malaika uko bomba naamini utafanya vizuri sana UNK mbali na wimbo huo baadhi ya nyimbo zitakazo kuwemo katika albamu hiyo ni pamoja na dance UNK na only you kabla ya kuwa mwanamuziki ebby au baba misifa kama UNK kuitwa anasema alikuwa UNK kwa miaka mingi je hii ndiyo imemfanya awe na staili ya maisha ya kimarekani UNK amesema katika albamu hiyo watanzania wategemee aina nyingine ya muziki ambayo UNK rock in afrika ndani yake UNK aina mbalimbali za muziki kama vile rock blues na UNK haya bwana huyo ndiye baba UNK mambo yanayoendelea ndani ya bendi maarufu za msondo ngoma na mlimani park sikinde ngoma ya ukae ndio UNK na wanaofuatilia muziki wa dansi jijini dar es salaam ndani ya bendi hizo kongwe katika miezi na siku za hivi karibuni kumekuwa na UNK na baadhi ya mambo ambayo yametokea na kupelekea mabadiliko kadhaa ambayo baadhi wamediriki kutabiri kwamba ndio enzi za makundi hayo zinaanza kuishia kwenye medani ya muziki hii inatokana na ukweli kwamba asilimia kubwa ya mambo yaliyokuwa UNK masikioni na machoni mwa wengi yameanza kupotea na wengine wamedai kwamba hata ladha ya muziki UNK katika miaka kama miwili iliyopita ilikuwa UNK sana kwenye medani ya muziki ingawa imekuwa ikiendelea na maonyesho yake kwenye viunga vya dar es salaam baadhi ya wasanii wa bendi hiyo walikuwa wakidai kwamba wamiliki wa kundi ambao ni shirika la maendeleo dar es salaam walikuwa hawatoi kipaumbele stahili kwa bendi hiyo ndio maana ikashindwa kuvuma kama enzi zake lakini wiki mbili zilizopita ddc ilitangaza rasmi kuifuta na kuachana na mradi wa bendi hiyo siku moja baadaye wanamuziki wa bendi hiyo chini ya mratibu wao juma mbizo UNK mkutano na kutangaza kwamba sikinde haijafa bali haitakuwa chini ya UNK walisema kwamba kila kitu kitakuwa kikiendeshwa na wao wenyewe na kuanzia sasa UNK kama mlimani park ochestra kama ilivyokuwa awali wakati wa UNK wa bendi hiyo mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na nane sikinde bado ipo na ipo imara wala haijafa kilichotokea ni kwamba hatutakuwa tena chini ya ddc lakini kila kitu kipo sawa na kitakuwa vile vile tofauti iliyopo sasa ni jina tu anasema UNK kuanzia machi mosi tutaanza kutumia jina la mlimani park ochestra wanamuziki ni walewale na nyimbo zetu ni zile zile na sasa tunajipanga vizuri zaidi kuendana na ushindani wa soko la muziki bendi yetu ipo na itazidi kuwepo wanamuziki wana uwezo mkubwa hawawezi kushindwa kazi mashabiki UNK mambo yetu anasisitiza mbizo ambaye maelezo yake hayatofautiani na wanamuziki karama UNK na shabaan dede waliyoyatoa hivi karibuni swali la kila shabiki je wataweza kusimama wenyewe lakini wazoefu wa mambo ya muziki wanadai kwamba wasanii hao wanapaswa kufanya kazi ya ziada ikiwa ni pamoja na kujituma zaidi ili kurejesha heshima ya bendi hiyo ambayo ilikuwa UNK hadhi yake kibiashara baada ya kushindwa kuhamasisha licha ya kuwa na wasanii chipukizi na wakongwe ddc ilianza kumiliki bendi hiyo mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na mbili ikiwa na UNK gurumo hassani UNK abel UNK michael UNK cosmas chidumule na shaaban UNK bendi hiyo iliyoanzishwa mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na nne ikijulikana kama nuta jazz imekuwa ikifanya vizuri katika medani ya muziki lakini kufariki kwa mwimbaji wake joseph maina wiki hii akiwa kwenye usafiri wa daladala UNK mashabiki ambao wameingiwa na hofu hofu hiyo inatokana na mchango aliokuwa nao maina na ukongwe wake hasa ukizingatia kwamba wakongwe wengine mahiri na waliokuwa vichwa vya bendi hiyo ambao ni suleiman mbwembwe athuman momba na tx moshi UNK mbele za haki tathmini za wanaofuatilia bendi hiyo wanadai kuwa kadri muda unavyozidi kwenda ladha ya muziki wake inazidi kubadilika sababu kubwa ikiwa ni kutokana na ujio wa wanamuziki wapya ukiangalia ubora wa muziki wao si kama miaka mitatu iliyopita au miwili huu wa sasa umekuwa na ladha kama za UNK za congo si msondo kweli kweli na sababu kubwa nafikiri ni wanamuziki vijana wamepewa sana nafasi na wakongwe wanaonekana wamebaki kama wasimamizi anasema shabiki mmoja maarufu baadhi ambao UNK mifano hai ya tx na mbwembwe wamedai kuwa kadri wakongwe UNK kuondoka ndani ya msondo ndivyo ubora wa muziki unazidi kupotea na hilo UNK kazi huenda miaka kadhaa ijayo muziki wa bendi hiyo UNK uelekeo na kuwa kama bendi za vijana wapo wengine waliodai kwamba huu ni wakati muafaka kwamba viongozi wa juu wa msondo kunyakua baadhi ya vichwa vikongwe kutoka sikinde ili kulinda hadhi yake sokoni na kurejea ilipokuwa awali miaka mitatu iliyopita lakini kiongozi wa bendi hiyo maalim gurumo amesema kwamba UNK kwa kiasi fulani kwa kuondoka kwa maina lakini ni mapenzi ya mungu hatuna la kufanya naamini UNK bendi ipo imara na watu waliopo watazidi kufanya kazi nzuri kama kawaida yetu mimi ni kama alex ferguson naamini kazi yangu na nitafanya kazi hawa waliopo na tutatengeneza vijana wachapakazi kila mtu UNK kuna wanamuziki wengi sana wana vipaji vya kuimba dar es salaam UNK wakongwe UNK mwanamuziki yoyote mkongwe sikinde tunajua hasara yake ndio maana tumeamua kufanya kazi na vijana tu tutafanya juhudi kubwa sana hawa vijana waelewe staili yetu ya msondo nataka watu UNK na hata nikitoka leo bendi UNK wakongwe pale tupo mimi mkurugenzi gurumo na said mabera lakini kiutendaji tupo kama kumi na nane wote wanafanya kazi sana ndio maana unaona tupo hapo tulipo nataka tukiondoka sisi gurudumu la msondo libaki pale pale anasisitiza gurumo msondo imeendelea kudumu licha ya shirikisho la wafanyakazi kujitoa UNK bendi hiyo miaka minne iliyopita je ni mwanzo na mwisho wa enzi za msondo na UNK ni maswali ambayo mashabiki wa bendi hizo wamekuwa wakijiuliza ngoja UNK kiungo nyota wa zamani wa ghana na afrika abedi ayew pele amesema tanzania ina nafasi ya kuwa moja ya mataifa tishio na yanayoweza kujijengea heshima katika soka ya kimataifa na hilo UNK kutokana na hatua yao ya kufikia hapa katika fainali za chan akizungumza na mwanaspoti tu wakati akiingia kushuhudia ufunguzi wa fainali za chan ambayo ilikuwa na mechi mbili kati ya wenyeji ivory coast dhidi ya zambia na tanzania dhidi ya senegal pele alisema ana hamu kubwa ya kuiona taifa stars kwa kuwa amekuwa akisikia taarifa zake UNK mara mbili wakati wa mechi za cameroon na pia ghana alisema pele huku UNK askari aliyetaka UNK mwandishi wa habari hizi UNK naye kama ni mashariki mwa afrika basi inasikika yenyewe haiwezi kuwa bure na kama kuna mipango ya maendeleo basi iendelee kufikia hapa si kitu kidogo na hapa kuna timu nane tu kwa afrika nzima kwamba zipi ni bora katika bara hili leo ndio ziko hapa alisema naamini tanzania inakuja na kama mipango itakuwa mizuri baada ya miaka michache itakua moja ya timu kubwa za bara la afrika alisema pele aliyewahi kuichezea kwa mafanikio makubwa marseille ya ufaransa na kuisaidia kubeba vikombe kadhaa muhimu wakati huo akisaidiana na UNK UNK pele amekuwa mchezaji wa nne kati ya wale maarufu UNK stars makubwa baadaye baada ya mkongwe mwingine UNK UNK wa cameroon kuwahi kutoa kauli hiyo mwaka jana wengine waliowahi kutabiri mema ni el UNK diouf wa senegal na samuel etoo wa cameroon pele pia amewahi kuichezea kwa mafanikio makubwa na kuipa heshima timu yake ya taifa ya ghana wakati akisaidiana na mshambuliaji mwingine tonny yeboah ambaye hata hivyo mara kadhaa wamewahi kuingia kwenye migogoro iliyosababisha kikosi hicho kuyumba baada ya kuondoka kwao kutokana na umri kikosi cha black star kilionyesha kupoteza mwelekeo hadi UNK programu upya ya kusaka na kukuza vipaji ambayo UNK wachezaji kadhaa nyota kama akina michael essien na steven UNK kimewashtua wengi hasa timu zilizo katika kundi a la fainali za chan inayoendelea nchini hapa kutokana na kiwango cha juu UNK katika mechi yao ya ufunguzi dhidi ya wenyeweji ivory coast juzi alhamisi zambia ilionyesha soka ya kiwango cha juu katika mechi hiyo na kufanikiwa kupata ushindi mkubwa wa mabao tatu sifuri huku ikionekana kabisa kwamba ilistahili kushinda hata bao tano au zaidi mashabiki waliojitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa felix houphouet boigny waliishangilia timu hiyo badala ya timu yao ambayo UNK baada ya kuona inafanya madudu wakati zambia walikua wakicheza kwa uhakika na kuonyesha soka safi kutokana na hali hiyo mashabiki wengi wa soka jijini abidjan wamekua UNK chipolopolo kwamba huenda ikatwaa ubingwa wa fainali hizi kutokana na kiwango UNK washambuliaji wake watatu given singuluma henry banda na william njovu wamekua gumzo kubwa kutokana na namna walivyocheza mechi hiyo ya kwanza ingawa kocha mkuu wa zambia herve renald amesema kikosi chake bado hakina sababu ya kuona UNK tuna mechi mbili mbele yetu bado hatuwezi kusema kazi imeisha tunatakiwa kuongeza umakini zaidi kwa ajili ya mechi inayofuata na UNK lakini pia hatuwezi kuidharau tanzania kwa kuwa ni timu inayojulikana kwenye ukanda wetu kuwa ni bora alisema wakati zambia wanaonekana kuwa tishio kocha mkuu wa senegal joseph koto amesema kamwe UNK chipolopolo kama wengine wanavyofikiri na UNK nao hiyo kesho jumatano kwenye uwanja wa felix houphouet boigny kuhakikisha wanapata ushindi tumeanza na ushindi kitu ambacho UNK lakini hatuwezi kuhofia timu nyingine yoyote tuko kwenye mashindano na kila UNK mbele yetu basi tutapambana naye alisema senegal ilianza vizuri fainali hizo kwa kuishinda taifa stars kwa bao moja sifuri katika ya ufunguzi ambayo pia wenyeji walilala kwa mabao tatu sifuri kutoka kwa zambia kati ya wachezaji mia moja na themanini na nne wanaounda vikosi vinane vya timu zinazoshiriki fainali za chan iliyoanza rasmi juzi jumapili ivory coast ghana zambia na zimbabwe ndio timu zilizoleta wachezaji vijana zaidi kuliko timu nyingine karibu kila timu ina wachezaji vijana lakini timu hizo tatu vijana wake ndio wanaonekana kuwa wenye umri mdogo zaidi kuliko wengine wanaoshiriki fainali hizi huku libya ikionekana kuongoza kwa kuwa na wachezaji wengi wakongwe ghana ndio iliyotoa mchezaji kinda zaidi UNK UNK mshambuliaji wa timu ya king faisal aliyezaliwa januari mosi mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu akifuatiwa na mzambia emmanuel mbola mshambuliaji kutoka zanaco aliyezaliwa mei kumi mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu na kiungo UNK UNK wa zimbabwe wa caps fc aliyezaliwa agosti nane mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu wachezaji wanaoonekana kuwa na umri mdogo zaidi katika michuano hii ni wale waliozaliwa kuanzia miaka ya elfu moja na mia tisa na tisini huku waliozaliwa miaka ya elfu moja na mia tisa na sabini ndio wanaoonekana wakongwe UNK timu zao chan chipukizi wengine ni beki wa zambia na red arrows jimmy UNK aliyezaliwa aprili tatu mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na mbili beki wa ivory coast na african sport koran UNK aliyezaliwa kumi na tano mei mwaka elfu moja na mia tisa na tisini mwingine ni kiungo wa zambia kutoka zanaco henry banda aliyezaliwa septemba kumi na sita mwaka elfu moja na mia tisa na tisini pia yuko mshambuliaji kinda joel UNK wa dr congo kutoka dc motema pembe aliyezaliwa oktoba kumi na nne mwaka elfu moja na mia tisa na tisini kwa upande wa kikosi cha taifa stars kinda zaidi kwa mujibu wa shirikisho la soka afrika ni kigi makasi aliyezaliwa desemba mbili mwaka elfu moja na mia tisa na tisini akifuatiwa na kipa wa simba deogratius munish aliyezaliwa aprili sita mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tisa huku kiungo mshambuliaji wa yanga mrisho ngassa akiwa katika nafasi ya tatu kwa vile amezaliwa mei tano mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tisa mshambuliaji jerry tegete amezaliwa oktoba saba mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nane wakati akitoa hotuba yake hivi karibuni rais wa ivory coast laurent gbagbo alitoa wito vijana kupewa nafasi zaidi kwa ajili ya manufaa ya baadaye ya bara la afrika huku UNK jina michuano hii kuwa ni ya vijana kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo naye amekuwa akisisitiza soka la vijana na tangu atue nchini kuanza kuinoa timu hiyo miaka mitatu iliyopita wachezaji chipukizi wamekuwa wakipata nafasi kubwa tofauti na UNK awali kikosi cha libya kinaamini kina kila sababu ya kufanya vizuri na kutwaa kombe la mataifa afrika kwa wachezaji wa ndani kutokana na maandalizi mazuri waliyoyafanya kabla ya kutua jijini hapa libya imepangwa kundi b lililo katika mji wa bouake uliowahi kuwa kambi kuu ya wapinzani wakati wa vita ya wenyewe kwa wenyewe katika nchi hii na imepangwa na timu za ghana zimbabwe na rd congo kipa mkongwe wa libya anayechezea katika timu ya al UNK samir abud amesema wamejiandaa vya kutosha kwa kuwa wanajua vema heshima ya mashindano haya na muda mrefu wamekuwa UNK nafasi ya kufika hapa tulitaka nafasi ya kuja huku ilikuwa ni kazi ngumu katika michuano ya UNK lakini ilitokana na kuonekana hatukuwa tumejipanga tangu mwanzo kutokana na soka ya vijana lakini sasa libya mambo ni tofauti kabisa alisema ndio maana unaona timu zetu ni kati ya zile zinazofanya vizuri katika michuano ya kimataifa hiyo ni kwa klabu lakini ni nafasi nzuri ya UNK timu ya taifa kufanikiwa kwetu kuja hapa ni kwa sababu mambo yamebadilika na tuna uwezo wa kufanya vizuri zaidi alisema UNK nchini hapa wamekua UNK libya nafasi ndogo na hasa kwa kuwa ilifanikiwa kuvuka baada ya kupata UNK kutokana na misri kujitoa katika michuano ya chan halafu UNK na morocco na kuichakaza kwa mabao tatu sifuri baada ya kufungwa kwa mabao tatu moja ugenini hivyo UNK kwa kutumia bao lake moja UNK ugenini samir alisema UNK timu zote zilizo katika kundi hilo na hasa ghana ingawa wanajua daktari congo ina wachezaji imara na wenye kasi huku akisisitiza hawajui namna ilivyo zimbabwe ingawa wako tayari kupambana na kila timu alicheza vizuri na kuokoa hatari kadhaa tatizo ni kushindwa kufanya hesabu za kutokea krosi sita UNK njia kwa upande wake hata hivyo mashambulizi mengi yalimfanya ashindwe kupanda alitoa pasi nzuri lakini alishindwa kuwa mwepesi kwenye UNK alipoteza hesabu nyingi za mipira ya juu mfumo waliotumia kuvunja wingi ya kushoto kulimfanya awe njia anapata tano tano alipambana vikali katika ulinzi na kupiga mipira ya vichwa lakini alikuwa mzito wa kuamua anapata saba alikuwa kizingiti alichukua mipira yote ya juu na alifanya kazi kubwa kuwazuia washambuliaji wa senegal anapata nane hakuwamo kabisa uwanjani aliumia mapema lakini hata hivyo alishindwa kutoa msaada anapata nne alijitahidi kupandisha mashambulizi lakini baada ya timu kuyumba alirejea nyuma na kusaidia ulinzi lakini alipoteza pasi nyingi anapata saba UNK kiungo dakika za mwanzo lakini baadaye alipoteza mwelekeo kwa kupoteza pasi nyingi alirejea tena mwishoni anapata saba pamoja na kucheza vizuri dakika ishirini za mwanzo alishindwa UNK alipoteza pasi nyingi na hakuwa na madhara kwa wapinzani anapata sita alibanwa kutokana na mfumo na pasi nyingi za juu alizopewa lakini alishindwa kubadilika ili kuwatoroka maadui hivyo kushindwa kutumia kasi yake alitoa krosi mbili nzuri hazikupata mwenyewe anapata saba inawezekana ndiye UNK mfumo mzima wa timu alicheza chini ya kiwango na hata kushindwa kutoa pasi za uhakika hakupiga hata shuti moja anapata nne kama kuna chati za wanamichezo kumi bora UNK juzi alhamsi kwenye mechi za ufunguzi za fainali za chan kocha wa ivory coast kouadio georges ni namba wani kocha huyo mwenye maneno mengi timu yake ilikutana na kipigo cha mabao tatu sifuri kutoka kwa zambia lakini kouadio UNK kichwa chini kouadio akiwa jijini kampala mwezi uliopita alipofika kuangalia michuano ya chalenji alionyeshwa kukerwa waziwazi na uwepo wa makocha wa kigeni na kuapa kwamba UNK chan nakuapia hakuna kocha yeyote UNK au kuondoka na kombe kwenye chan nataka kuwaonyesha kwamba sisi waafrika tunaweza kufanya mambo zaidi yao wanapewa nafasi sana wakati hawana lolote alisisitiza kouadio kocha huyo alidai kwamba kuajiri makocha wazungu na kuwapa timu zinazoshiriki fainali za chan ni kudhalilisha makocha UNK kwani walipaswa kupewa nafasi hiyo UNK ubora wao na wageni wapewe timu nyingine lakini zambia UNK puta ivory coast ipo chini ya kocha mzungu raia wa ufaransa herve renald ambaye pia ni swahiba wa kouadio kikosi cha herve kilionyesha uwezo mkubwa ambao jana vyombo vya habari vya zambia vilikuwa UNK uwezo hasa wa mshambuliaji given singuluma aliyepachika mabao matatu peke yake simba ambayo jana jumatatu jioni ilianza mazoezi kwenye uwanja wa kinesi jijini dar es salaam imesema haijui alipo beki wake mahiri victor costa nyumba ya taifa stars mwenyekiti wa simba hassan dalali aliiambia mwanaspoti jana jumatatu kuwa hawana mawasiliano na mchezaji huyo wala hawajui aliko dalali alisema tangu kumalizika kwa michuano ya kombe la mapinduzi mwezi uliopita hawajui lolote kuhusu beki huyo ingawa wamepata tetesi kwamba yupo msumbiji tangu lile kombe la mapinduzi UNK kule zanzibar hatufahamu alipo wala hatuna mawasiliano naye lakini kuna habari tumesikia kwamba yupo msumbiji alisema dalali ambaye UNK madaraka desemba mwaka huu lakini mpaka sasa hatujafikia uamuzi wowote kuhusu suala lake tunasubiri mpaka kamati ya utendaji itakapokutana katika vikao vyake vya kawaida ndio litajadiliwa hilo yule ni mchezaji wetu na bado tuna mamlaka naye na wala hawawezi kufanya lolote bila kurudi kwetu alisisitiza dalali na kuongeza kuwa walipanga kuanza mazoezi jana jumatatu jioni programu ya mazoezi imeanza rasmi chini ya kocha patrick phiri na itakuwa kwenye uwanja wa kinesi mpaka UNK vinginevyo alisema dalali simba ipo nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi kuu bara UNK ikiwa na pointi ishirini na nne yanga inaongozwa kwa pointi arobaini na mbili ikifuatiwa na kagera sugar ishirini na sita yanga itakuwa na mechi ngumu dhidi ya al ahly ya misri katika mchezo wa ligi ya mabingwa afrika mwezi ujao yanga imefuzu kwenda raundi ya kwanza baada ya kuifunga etoile ya comoro jumla ya mabao kumi na nne moja katika hatua ya awali ya ligi ya mabingwa afrika yanga ambao ni mabingwa wa tanzania bara watacheza na mabingwa hao wa misri katika wikiendi ya machi kumi na tatu kumi na tano lakini kwa utaratibu wa misri kuna uwezekano mkubwa mechi hiyo kuchezwa ijumaa ya machi kumi na tatu itakuwa ni mechi ngumu kwa sababu licha ya utajiri ilionao al ahly inaundwa na wachezaji wengi wazuri na wenye uwezo wa hali ya juu wanaoweza kubadili matokeo uwanjani wakati wowote lakini licha ya hilo rekodi yake ni nzuri na ndio maana inaongozwa kwa kutwaa ubingwa mara sita wa ligi ya mabingwa afrika na mara nne ubingwa wa super cup afrika kwa mazingira yaliyopo sasa tunajua kuwa yanga ina wakati mgumu kutokana kuwa na wachezaji kumi katika kikosi cha stars lakini hilo haliwezi kuwazuia kufanya maandalizi kwa ajili ya mechi hiyo kukosekana kwa wachezaji kumi wa kikosi cha kwanza katika timu hiyo hakuna shaka kuwa UNK kocha dusan kondic kuwa na wakati mgumu kuandaa kikosi chake kwa ajili ya mechi hiyo kwani analazimika kubadili baadhi ya UNK hata hivyo tungependa kuwahadharisha yanga kuwa UNK kwa hilo kwani ni mgongano ambao umetokea bila UNK na hakukuwa na jinsi zaidi ya wachezaji hao kuitwa stars ili kuiwakilisha nchi katika mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani nchini ivory coast badala ya kuanza kulalamika ni vema benchi la ufundi la yanga UNK mazoezi ya nguvu na wachezaji waliobakia ili wakija waliopo kutoka stars kazi iwe ni kuweka tu mfumo wa uchezaji tunaamini kuwa mechi za stars katika fainali za chan zitawasaidia wachezaji wa yanga kuwapa mazoezi mazuri kwa kukutana na wachezaji wa nchi nyingine hivyo kuwafanya wawe fiti watakapokutana na al ahly ya misri ni kweli wachezaji hao wanaweza kuwa na uchovu baada ya fainali hizo lakini tunaamini kwa kwa siku nne au tano ambazo watakuwa nazo kabla ya kucheza na al ahly UNK kufanya wapumzike na kurejea katika hali yao ya kawaida hiyo ni kama taifa stars itafika fainali lakini iwapo UNK katika hatua hiyo ni dhahiri kuwa wachezaji wa yanga watapata muda mrefu zaidi wa maandalizi ni vyema wana yanga UNK na kuiunga mkono timu yao ya wachezaji waliopo kambini sasa badala ya kulalamika kwani kufanya hivyo UNK nguvu wachezaji hao na kudhani hawana thamani katika klabu hiyo tunaamini kuwa mazoezi ya dusan kondic na wasaidizi wake UNK kuiangamiza al ahly katika mchezo wa kwanza jijini cairo na mchezo wa pili jijini dar es salaam tumepokea zaidi ya meseji kumi sifuri sifuri za kutabiri matokeo ya mechi ya taifa stars dhidi ya senegal iliyochezwa juzi jumapili tulipanga kutoa fulani ishirini na tano kwa ambao UNK matokeo sahihi lakini ni watu sita tu ambao UNK sahihi kwa wakazi wa dar es salaam wafike ofisi za mwanaspoti kesho jumatano relini barabara ya mandela saa sita mchana kuchukua zawadi zao walio mikoani tutawatumia kabla ya siku saba hussein UNK tabata mbili michael elia tatu khamis issa nne isack UNK tano abdalla salim wa kariakoo sita hassan wa morogoro zingatia namba za simu za washindi tunazo ofisini kwetu hakikisha unakuja na kitambulisho kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo amesema viongozi wa soka wa yanga na simba wanaweza kupata nafasi nzuri ya kujifunza iwapo wanaweza kushuhudia fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani inayoendelea jijini hapa mwenyekiti wa simba ni hassan dalali na yanga inaongozwa na iman madega maximo raia wa brazil alisema kuna mambo mengi ya kujifunza katika soka ya ivory coast na hasa uwekezaji katika mchezo huo katika mfumo wa biashara hali ambayo inaweza kuzisaidia klabu za tanzania ningependa kuona viongozi wa simba na yanga nao wanapata nafasi ya kuwa hapa hata siku chache ni vizuri kuja kwa ajili ya taifa stars lakini pia ni vizuri kuja kujifunza mambo mengine yanayotokea hapa kutokana na ubora wa vitu alisema tayari viongozi wa tff wako hapa na ninaamini watakuwa na nafasi ya kujifunza kama shirikisho watakuwa wamejifunza na klabu hata kama ni baadhi UNK nafasi ya kujifunza basi kuna kila sababu ya kufanya mabadiliko kuelekea kwenye maendeleo hii ni mara ya pili kwa kocha huyo kutua jijini hapa kwani awali akiwa na msaidizi wake marcus tinnoco rais wa tff leodegar tenga na mkurugenzi wa ufundi wa shirikisho hilo sunday kayuni walikuja wakati wa upangaji ratiba ya chan klabu mbalimbali za ivory coast hasa asec mimosa zimeweka fedha nyingi katika soka ikiwa ni pamoja na kujenga vituo vikubwa UNK mamilioni ya dola kwa ajili ya kukuza na UNK vipaji vya watoto kitu ambacho kimemvutia maximo kwa upande wa shirikisho la soka ivory coast pamoja na kuwa na ofisi kubwa mara tatu ya zile za tff limefanikiwa kuwekeza kwa kujenga eneo kubwa lenye ukubwa mara tano ya lile la karume huku kukiwa na karibu kila kitu kama kambi ya wachezaji kumbi kubwa na ndogo za mikutano viwanja vya mazoezi hadi vya ndani bwawa kubwa la kuogelea majukwaa sehemu maalum ya kufanyia mazoezi ufukweni na vitu vingine mbalimbali muhimu kitu ambacho kimemvutia pia maximo lakini pia akawataka kufanya ziara za kisoka ikiwamo ivory coast na kujifunza mambo kadhaa kuboresha mafanikio ya klabu zao kama ambavyo wanavyofanya katika nchi hii stars ilianza kampeni zake za fainali za chan kwa kukaribishwa kwa kipigo cha bao moja sifuri kutoka kwa senegal juzi jumapili usiku mshambuliaji wa al ahly ya misri ahmed belal amejikuta akiangukia jela baada ya kuandika hundi feki ambayo benki iligoma UNK kufungwa kwa mchezaji huyo UNK klabu yake ambayo inajiandaa kucheza na yanga katika mchezo wa ligi ya mabingwa afrika mwezi ujao jijini cairo belal amehukumiwa kwenda jela miezi sita ambapo ameamriwa kufanya kazi ngumu akiwa huko ili liwe funzo kwa wengine mahakama ya rufaa ya UNK imethibitisha kumhukumu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka ishirini na nane alhamisi iliyopita licha ya kwamba UNK mahakamani mfanyabishara mohamed UNK alimshitaki belal ambaye amewahi kufanya kazi UNK kwa kuandika hundi feki ya dola za marekani ishirini sifuri sifuri sifuri sifuri shilingi milioni ishirini sifuri za tanzania ambayo ilikataliwa benki kwa madai ni feki akiwa hana maelewano mazuri na klabu yake ya al ahly baada ya siku za karibuni kukosa namba ya kudumu katika kikosi hicho cha matajiri wa misri mchezaji huyo amejikuta akiingia katika matatizo mengine nje ya uwanja mshambuliaji huyo ambaye UNK jezi namba kumi alizaliwa agosti ishirini elfu moja na mia tisa na themanini na msimu huu amecheza jumla ya mechi kumi na tatu katika kikosi cha al ahly amecheza mechi sita za ligi ya mabingwa afrika msimu uliopita huku akiwa na rekodi ya kucheza mechi moja ya kombe la misri mechi sita za ligi kuu misri akiwa pia amefunga goli moja kwa penalti msimu huu rekodi zake zinaonyesha kuwa katika mechi hizo kumi na tatu kaanza mara sita huku akiingia akitokea benchi mara saba na kutolewa mara tatu akiwa amefunga mabao mawili kwenye ligi ya misri al ahly itacheza na yanga katika mchezo wa kwanza wa raundi ya kwanza ya ligi ya mabingwa afrika ijumaa ya machi kumi na tatu katika uwanja wa cairo wenye uwezo wa kubeba mashabiki sabini na tano sifuri sifuri sifuri waliokaa timu hizo zitarudiana jijini dar es salaam wiki mbili zijazo na timu ambayo itakuwa imefuzu itasonga mbele katika hatua ya pili yanga imepata nafasi hiyo baada ya kuifunga etoile ya comoro kwa jumla ya mabao kumi na nne moja na kuweka rekodi ya kuwa klabu UNK mbele kwa idadi kubwa zaidi ya mabao lakini imetoa wachezaji wawili boniface ambani na mrisho ngassa ambao wamefunga jumla ya mabao kumi kila mmoja akifunga matano mshambuliaji wa enyimba ya nigeria stephen worgu ambaye sasa anachezea el merreikh ya sudan aliongoza mwaka jana kwa kufunga mabao kumi na tatu katika ligi ya mabingwa afrika katika hatua nyingine al ahly imetoka sare ya mabao mbili mbili na petrojet katika mechi ya ligi kuu misri iliyofanyika juzi jumapili al ahly bado inaongoza ligi ikifuatiwa na petrojet mabao ya al ahly yalifungwa na mohammed na flavio wakati ya petrojet yakifungwa na shaaban na hassan kocha mkuu wa taifa stars ambayo kesho jumatano usiku inacheza na wenyeji ivory coast kwenye mchezo wa kufa au kupona wa fainali za chan juzi alhamisi usiku nusura UNK makonde mmoja wa maofisa wa UNK la soka la afrika baada ya kumuonyesha dharau lakini kipigo cha bao moja sifuri kutoka kwa senegal ndio UNK zaidi marcio maximo ambaye hana rekodi ya kufanya fujo tangu atue tanzania julai ishirini sifuri sita UNK na kutaka kutenda kitendo hicho wakati ofisa huyo UNK kwenda kwenye mkutano wa waandishi wa habari baada ya mechi ya awali ambayo taifa stars ilifungwa bao moja sifuri na senegal kama isingekuwa makamu wa pili wa tff nassib ramadhani basi maximo UNK ofisa huyo ambaye aliingia kwenye vyumba vya wachezaji na kutamka kwa ukali kwamba kocha na nahodha wanatakiwa haraka kwenye chumba cha waandishi wa habari huku UNK lakini wakati ofisa huyo aliyekuwa amevaa kitambulisho shingoni kilichoandikwa caf akimueleza maximo kwa hulka ya dharau tayari kocha huyo alikuwa UNK taarifa mara mbili na kusema anazungumza na wachezaji wake dakika moja ndio angekwenda kwenye mkutano huo wa waandishi ambao huwa ni lazima kwa makocha wote baada ya mechi kauli hiyo ilionyesha kumuudhi maximo ambaye mara moja UNK huku UNK maneno kadhaa makali ya kireno na kiswahili huku akielekea upande wa ofisa huyo na nusura UNK na kumvaa lakini nassib alikaa katikati yao na mwandishi mmoja alimtaka ofisa huyo kuondoka eneo hilo ili kuepusha UNK huwezi kuniambia hivyo wewe si mwajiri wangu kwa nini UNK kwa heshima we ni nani hasa unajua sisi tumefika vipi hapa UNK na nani sipendi watu wenye dharau kama wewe poteza sura yako hapa alisema maximo ambaye tangu timu yake UNK mchezo ameonekana kutokuwa na furaha kabisa kabla ya ofisa huyo kuingia na kusababisha tafrani hilo maximo alikuwa UNK wachezaji wake kwamba wamejitahidi lakini wamewaangusha watanzania kwa kuwa hawakuwa makini na kwamba wengine mpira UNK bila sababu za msingi ingawa hakutaja majina bila shaka haruna moshi atakuwa alijisikia vibaya kwa kushindwa kabisa kuonyesha cheche zake nifanye nini sasa au mnataka tupate nini ilikua ni nafasi yetu hii kipi ambacho UNK na tulikuwa na nafasi ya kufanya vizuri alisema na UNK kichwa chini katika mechi hiyo dhidi ya senegal kikosi cha mbrazili huyo kilipata nafasi kadhaa nzuri lakini UNK vizuri na kufanya kiwe katika hali ngumu ya kusonga mbele kwa kuwa kinapaswa kushinda mechi mbili dhidi ya wenyeji ivory coast kesho jumatano na zambia jumamosi kuhusu mechi maximo alisema amesikitishwa na matokeo ingawa amefurahishwa na uchezaji wa timu yake kama ni haki basi bora matokeo yangekuwa sare tulicheza vizuri hasa kipindi cha pili kipindi cha kwanza UNK vizuri lakini mambo UNK baada ya kufungwa lile bao UNK na kupoteza kila UNK tumepanga alisema kwa uchungu mchezo dhidi ya ivory coast kesho jumatano unatazamiwa kuwa na ushindani mkubwa na kila aina ya maarifa hasa baada ya wenyeji kupoteza mchezo wa kwanza kwa kipigo cha aibu cha bao tatu sifuri UNK kocha wao kouadio UNK mbali na wenyeji kutaka kushinda ili kulinda heshima na kufufua matumaini kouadio ambaye hapendi utitiri wa makocha wa kigeni afrika hatataka kufungwa tena na marcio maximo ambaye ni kocha UNK zambia UNK kouadio ilikuwa ipo chini ya kocha mfaransa herve UNK maximo alisema kwamba hajakata tamaa na uwezekano wa kushinda mechi mbili zilizosalia na kutinga nusu fainali upo na amepanga mikakati mipya ikiwa ni pamoja na kuwarudisha vijana wake mchezoni kocha huyo pamoja na benchi lake wamekiri kuwa kesho jumatano watalazimika kutumia mbinu mpya ikiwemo UNK kwa nguvu na kubadili baadhi ya sura kwenye kikosi cha kwanza lakini wachezaji waliozungumza na mwanaspoti wamesema kuwa kesho jumatano ni kufa na kupona katika mchezo dhidi ya senegal viungo walipoteana na kumpa kazi ya ziada beki wa kushoto juma jabu kabla ya kutolewa kwa haruna moshi aliyeshindwa kumsaidia kukaba kushoto na pia kutokuwa katika hali yake ya kimchezo godfrey bonny kabla ya kuingia kwa mussa mgosi na nurdin bakari walioleta ahueni wachezaji hao walidai kuwa UNK kwenye mchezo wa awali lakini hawafanyi tena kosa na wanaelewa nini UNK na watanzania mechi nyingine ya kesho itakayoanza saa moja sifuri sifuri usiku itazikutanisha zambia na senegal zenye pointi tatu kila moja kabla ya taifa stars kucheza na ivory coast saa nne usiku kiungo athuman idd anaendelea vizuri na atacheza mechi hiyo na kigi makasi anaendelea vizuri pia rais wa shirikisho la soka afrika issa hayatou juzi alhamisi alikiona cha mtema kuni baada ya mashabiki waliokuwa wamejazana kwenye uwanja wa felix houphouet boigny wenye uwezo wa kuchukua watu takribani arobaini sifuri sifuri sifuri kumzomea kwa nguvu mbele ya rais wao laurent gbagbo mashabiki walionyesha kuchukizwa na hayatou raia wa cameroon baada ya kuchelewa kuteremka uwanjani pale mc wa ufunguzi huo UNK kwamba UNK lakini iligundulika kwamba alichelewa baada ya kuamua kumuomba rais gbagbo washuke wote katikati ya uwanja kwa ajili ya kutoa hotuba fupi baada ya kushuka hayatou alikuwa wa kwanza kukabidhiwa kipaza sauti na kuanza kuzungumza kwa sauti ya chini hali UNK mashabiki na wakaanza kumzomea kwa nguvu walijitahidi UNK ikiwa ni pamoja na kumpa kipaza sauti cha mc ambaye alikua UNK kwa nguvu lakini bado rais huyo wa caf alionekana UNK na mashabiki wakaanza kumzomea kwa nguvu tena na kufanya hata hotuba yake fupi UNK dakika chache baada ya kumaliza kuzungumza huku UNK mfululizo rais gbagbo alichukua nafasi na mashabiki hao UNK mwelekeo na kuanza kushangilia kwa nguvu sana yeye aliendelea UNK mkono kwa takribani dakika nzima halafu akaanza kuhutubia hakutoa hotuba ndefu badala yake UNK hayatou na kusema wananchi wa ivory coast UNK kwa kuamua kuleta mashindano hayo kwao kwa kuwa nchi nyingi UNK UNK hivyo ni mtu UNK na kuwataka watu wawe watulivu na UNK mashindano hayo kwa utulivu hata hivyo kikosi cha gbagbo kilianza vibaya baada ya kuchapwa mabao tatu sifuri na zambia katika mechi ya ufunguzi ya fainali hizo iliyofunguliwa kwa shamra shamra nyingi ivory coast haijawahi kuandaa michuano ya kimataifa kwa zaidi ya miaka ishirini kutokana na kukabiliwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe mara kadhaa kuna watu wamekuwa UNK katika UNK na hata kwenye ndoa na watu hao wamekuwa wakilalamika kila kukicha bila kupata ufumbuzi wa nini sababu ya UNK na mwenza kwa muda mrefu ndugu yangu kumbuka kwamba mchawi mkubwa wa ndoa yako na mapenzi yako kwa jumla ni wewe mwenyewe unapokuwa makini katika maisha yako mambo yatakuwa mazuri kitu cha msingi kuangalia kwa makini kauli yako na matendo yako kuna watu wengine wana visasi ukiwa hivi ni ngumu kuwa na ndoa nzuri wakati fulani huwa najikuta UNK na machozi namna baadhi ya watu UNK mambo yasiyo mazuri katika ndoa utakuta baadhi ya wanaume wamebaki UNK jina lakini kimatendo sifuri mfano utakuta UNK majukumu ya nyumbani wanaume wengine ni UNK UNK familia ndugu zangu wanaume naomba tukubaliane kwamba tunapaswa kuelewa hata kama mkeo ana kazi au hana kuna mambo mnapaswa kuendelea UNK eeeh bwana mimi sijui ni mara ya mwisho lini UNK mkeo UNK ni nguo ndogo lakini haileti raha mtu kujinunulia mwenyewe vivyo hivyo kwa mwanamke unapaswa kuonyesha kujali ni kweli wengi tunapenda furaha katika ndoa lakini tunapaswa kuelewa kuwa furaha hutafutwa haiji yenyewe sio tu UNK kuna wanaume wengine UNK nguo wake UNK wewe ni mwanaume wa namna gani unatia aibu mwaka wa mwisho kuninunulia nguo ni ishirini sifuri tano yaani hata upande wa khanga hajawahi kuninunulia analalamika mwanamke mmoja mkazi wa moshi mwanaume badilika bwana mwanaume unapaswa kujua hata mavazi ya watoto wako baba yeyote ambaye UNK kwa mkewe au watoto huyo ni mpumbavu kuna wengine UNK watoto eti kwa sababu wamegombana na wake zao huu ni ujinga kwani mtoto kosa lake nini ndugu zangu hapa duniani tunapita tuache roho mbaya mwanaume UNK UNK kwa familia yako hata kama kuna kasoro katika ndoa imani niliyonayo ni kuwa zinaweza kuondolewa cha msingi ni kukaa chini na kuangalia wapi UNK kisha chukua hatua inasikitisha sana kusikia baadhi ya wanaume hawajui hata watoto au familia yake imekula nini au inavaa nini ndoa yoyote ambayo watu wake UNK ni vigumu sana kuwa na amani duniani kote inajulikana kuwa mwanaume ni kichwa lakini kuwa kichwa sio kitandani tu eeh bwana yakupasa kuwajibika UNK UNK hata kama imetokea mume umezaa nje ya ndoa huna sababu ya kumtelekeza mtoto msaidie awe na maisha kama wengine acha kuwa mbaya UNK wajibu wako kama baba UNK wengine yale ambayo wewe ukifanyiwa utajisikia raha kuwajibika kwingine ni katika raha eeeh bwana maana kuna wanaume wamekuwa ni watu wa kujipendelea sana nyumbani anaacha fedha ya kununua UNK yeye anakwenda kula chai na mayai supu nk hii si haki mwanaume bora ni yule ambaye UNK nyumba yake yuko tayari UNK familia yake UNK kuwajibika kwingine UNK kuzungumzia ni umuhimu wa kuwa karibu hata kama uko mbali na mwenzi wako hakuna ubaya kuwasiliana japo kwa ujumbe mfupi kwa njia ya simu acha kuendeleza kinyongo hata kama UNK vivyo hivyo kwa wanawake wanapaswa kubadilika kuna wengine UNK kama walivyo baadhi ya wanaume wengine ni maarufu wa UNK wanaume zao kwa watu wengine ndugu zangu kama ndoa ina tatizo sawa hakuna ubaya kuomba ushauri lakini ubaya ni kutangaza mabaya eeeh maana mwingine labda mwenzi wake ana kasoro fulani anatangaza vibaya kwa wengine tangaza na mazuri basi wengine katika suala la mahaba hadi UNK UNK kama unaomba UNK acha kuwa hivyo uliingia kwenye uwanja mwenyewe cheza acha kuwa kero kwa mwenzi wako watu wanaingia katika ndoa kusaka furaha kwa hiyo inakuwa ni kosa kubwa kuonekana ni mwenye kero inakuwa ni mbaya kuonekana ni mtu ambaye UNK kwa yale ambayo unapaswa kuwajibika nayo kuna wanawake wengine wamekuwa na marafiki wabaya marafiki ambao kwa mfano UNK kuwa na wapenzi wengi na mambo mengine yasiyofaa kama haya je UNK au kuoa ili uwe kero kwa mwenzio je ni kweli unaona ni sahihi kuwasikiliza zaidi wengine zaidi ya mwenzi wako maana kuna wengine wamekuwa UNK zaidi marafiki au ndugu badala ya wenzi wao hali hiyo inapoingia kwenye ndoa ni hatari ndoa ni UNK hakuna UNK hakuna ndoa ndoa nzuri ni mke kutenga maji ya kuoga kwa mumewe kutenga chakula kwa mumewe lakini pia ndoa nzuri ni ile ya mume kufanya haya hasa wakati ambao mke hawezi mfano anaumwa nk au siku tu ambayo ataamua kufanya hakuna ubaya siku baba anaingia jikoni na kupika kisha UNK watoto na mkewe ni njia nyingine nzuri lakini isiwe kila siku itapoteza heshima fulani kwa jamii na hata familia kwa sababu sio utamaduni wa mwafrika mwanaume kupika au kutenga UNK mashindano ya kombe la kagame mwaka huu UNK kufanyika mjini kampala uganda huenda yakafanyika tanzania kutokana na wadhamini wakuu wa michuano hiyo kampuni ya bia ya tbl kutaka mashindano hayo yafanyike dar es salaam awali tbl ilitoa masharti kwa baraza la soka kwa nchi za afrika mashariki kuwa UNK michuano hiyo kama itafanyika hapa nchini kwa mara ya pili baada ya mwaka jana kufanyika hapa dar es salaam na timu ya tusker ya kenya kuibuka bingwa wakati wawakilishi wa tanzania simba kushika nafasi ya tatu na yanga kuambulia nafasi ya nne katibu mkuu wa cecafa nicolas UNK alisema kuwa kweli taarifa hizo UNK kutoka kwa wadhamini wetu tbl na ndio maana nimekuja ili tujadili suala hili na kulitolea maelezo alisema alisema wanatarajia kukutana na uongozi wa tbl leo UNK suala hilo kwa kina kwani mpaka sasa michuano hiyo haijapata mdhamini mkuu alisema mbali na suala hilo la kagame pia UNK suala la yanga la kutolipa faini yao ya dola thebathini na tano na kufungiwa miaka mitatu kucheza michuano yoyote inayoandaliwa na cecafa baada ya kugomea kucheza mechi ya kutafuta mshindi wa tatu dhidi ya simba nimekuja kwa ajili ya mambo mawili la kagame na la yanga kiukweli timu hiyo mpaka sasa bado UNK faini yao na mwisho ilikuwa desemba mwaka jana nataka kukutana na viongozi tuongee nao na naamini UNK vizuri na hatutaki tena kitu kama hicho kitokee tena alisema pia alitoa lambi lambi zake kwa uongozi wa yanga kwa msiba wa francis UNK aliyekuwa katibu mwenezi wa klabu hiyo na kusema kuwa cecafa inajipanga kutoa lambi lambi zake ni siku ya mwisho kwa taifa stars kupata jibu sahihi kama itasonga mbele au safari ya nyumbani imeiva wakati watakapokuwa wakionyeshana kazi na wenyeweji ivory coast katika mechi ya kundi a la kombe la chan ivory coast walianza vibaya michuano hiyo kwa kukubali kipigo cha mabao tatu sifuri kutoka kwa zambia nayo taifa stars ikafungwa bao moja sifuri na senegal hivyo kufanya mechi ya leo kuwa na uzuri wa aina yake kwao yoyote atakayefungwa kwenye uwanja wa felix houphouet boigny katikati ya jiji la abidjan atakuwa ameaga mashindano kocha marcio maximo UNK UNK kikosi chake na zaidi katika suala la kisaikolojia lakini furaha zaidi ni kurejea kwa kiungo wake athuman idd chuji aliyekuwa majeruhi na chipukizi kigi makasi alilazimika UNK mechi iliyopita kutokana na kuwa na kadi mbili za njano alizopata katika mechi za kufuzu kwa fainali hizo kiungo mkongwe godfrey bonny leo atakuwa mtazamaji jukwaani baada ya kuumia nyama za mguu katika mechi na senegal na hivyo kuna uwezekano kabisa maximo akapanga kikosi chake hivi juma dihile shadrack nsajigwa juma jabu salum sued nadir haroub henry joseph mrisho ngassa jerry tegete haruna moshi na athuman idd kocha wa ivory coast george UNK ambaye anaaminika kuwa kocha mkorofi kuliko wote katika michuano hii amekuwa hataki kuzungumzia lolote ingawa siku nne zilizopita alifanya kila linalowezekana kuangalia mbinu za stars mazoezini huku UNK askari kuwazuia watu UNK wakati kikosi chake kikifanya mazoezi alifunga safari hadi uganda UNK stars na zambia ambayo UNK mabao tatu sifuri mbele ya rais laurent gbagbo na kumtia aibu ya mwaka stars itashuka dimbani bila UNK yoyote kwa ivory coast kutokana na kipigo kikubwa walichokipata kutoka kwa chipolopolo tembo hao wanajivunia nyota wake kadhaa kama UNK karamoko anayevaa namba kumi na jean paul UNK anayevaa jezi namba kumi na tatu tembo hao wataingia uwanjani wakiwa UNK kwa kipigo na kumkosa beki wake wa kati florent saoure UNK nje kwa kadi nyekundu katika mechi dhidi ya zambia kuhusu mechi hiyo maximo amesema bado ana imani kubwa na kikosi chake kama UNK basi watafanya vema ingawa alisisitiza ni suala la wachezaji kujua nini UNK huko hakuna haja ya kufundishana kwenye hili kila mmoja anajua kilichotuleta lakini kukumbushana ni kitu kizuri napenda kila mtu achukue jukumu lake kwa asilimia kumi sifuri tuna nafasi ya kufanya vizuri na kwetu mechi hiyo ni kama fainali na kama UNK basi mechi ya mwisho itakua ya kujifurahisha tu alisema kingine ambacho kinaweza kuwa nafasi nzuri kwa stars kufanya vizuri ni kuyatumia makosa mengi yaliyojitokeza katika safu ya ulinzi ya ivory coast lakini walinzi wa kati wa stars wanatakiwa kuwa makini na mshambuliaji wa kati wa tembo hao UNK guedegbe mwenye nguvu na uwezo mkubwa wa kupiga mashuti anapopata nafasi kocha wa simba patric phirri amewaambia wachezaji wake wasije UNK kwa UNK UNK katika mazoezini ya timu hiyo leo simba ilianza mazoezi juzi jioni kwenye uwanja wa kinesi ikiwa na wachezaji kumi na tano tu ukiondoa sita waliopo na timu ya taifa nchini ivory coast kwenye michuano ya chan phirri amesema muda uliobaki ni mchache hivyo lazima kufanyike mazoezi ya nguvu kabla ya kumalizia mechi zao saba zilizobaki za mzunguko wa pili wa ligi kuu tanzania bara nataka wachezaji wote waripoti mazoezini ifikapo kesho tabia ya leo amekuja huyu kesho mwingine si nzuri inaharibu programu yangu kama wachezaji wameambiwa mazoezi yanaanza siku fulani basi iwe ni hivyo hivyo inabidi wafuate sheria wasso wakati huo huo sosthenes nyoni anaripoti kuwa kocha msaidizi wa timu ya azam sylvester marsh amesema sasa anamini tatizo la wachezaji wake kutocheza kitimu limekwisha na hivyo ana matumaini ya kufanya vema katika michezo yao iliyosalia akizungumza na mwananchi jijini dar es salaam jana marsh alisema kutocheza kitimu kwa timu hiyo katika mechi zilizopita kulitokana kuongezwa kwa wachezaji wengi wageni unajua UNK wachezaji wengi kutoka sehemu tofauti kipindi cha dirisha dogo sasa hii UNK sana kwa vile walikuwa UNK na ndiyo maana kila mtu alikuwa anacheza kwa uwezo wake binafsi lakini sasa UNK muda mwingi kufanya mazoezi ya pamoja hivyo hapana shaka tutafanya vizuri katika michezo iliyosalia tuna mechi ngumu sana dhidi ya simba na jkt ruvu ambazo UNK katika mzunguko wa awali sasa watakuwa na nia ya kulipiza kisasi ni lazima UNK hadi mwisho ili kuokoa jahazi alisema UNK tupo katika nafasi ya nane kwenye msimamo wa ligi sasa ukiangalia hapo na muda uliopo hatuwezi kufikiria suala la kutwaa ubingwa au washindi wa pili kilichopo mbele yetu ni kufanya vizuri katika michezo iliyobaki ili UNK daraja alisema kocha huyo wa zamani wa kagera sugar mashabiki wa yanga wanaotaka kwenda cairo misri kwa ajili ya kuishangilia timu hiyo wanatakiwa kulipa dola themanini sifuri shilingi moja sifuri nne milioni yanga itapambana na al ahly ya misri ijumaa machi kumi na tatu kwenye uwanja wa taifa ulioko cairo ikiwa ni mchezo wa wa kwanza wa raundi ya kwanza ya ligi ya mabingwa afrika mabingwa hao wa tanzania wamefuzu baada ya kuitoa etoile dor mirontsy ya comoro kwa jumla ya mabao kumi na nne sifuri na kuweka historia mwenyekiti wa yanga iman madega alisema kuwa kiasi hicho cha fedha ni nauli ya kwenda misri na kurudi dar es salaa pamoja na viza tu madega alisema bado wanawasiliana na misri UNK mambo ya hotel UNK japo kila shabiki anatakiwa kujilipia malazi na chakula alisema mashabiki wote wanaotaka kwenda huko wanatakiwa kumuona katibu mkuu wa yanga lucas kisasa kwa maelezo zaidi aliongeza kuwa fomu hizo zinaanza kutolewa kuanzia leo na mwisho wa kuchukua fomu na kuthibitisha ni siku sita kabla ya safari hiyo ya cairo bado UNK mechi inachezwa lini kwa kwa sababu mpaka sasa wapinzani wetu UNK barua ya UNK ila tunadhani timu itaondoka hapa machi nane au tisa kwenda huko alisema madega timu ya taifa ya tanzania taifa stars UNK matumaini ya kuingia nusu fainali ya fainali za afrika kwa UNK wa ligi za ndani chan baada ya kuifunga ivory coast bao moja sifuri mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa felix houphouet boigny mjini abidjan jana matokeo hayo UNK kabisa wenyeji katika michuano hiyo sasa watacheza na senegal jumamosi mchezo wa kukamilisha ratiba katika mchezo wa kwanza walifungwa mabao tatu sifuri na zambia stars bado iko katika nafasi ya tatu ikiwa na pointi tatu wakati zambia inaongoza ikiwa na pointi nne sawa na senegal lakini zambia ina mabao mengi wenyeji wanashika mkia kwa kutokuwa na pointi ili kusonga mbele stars inahitaji ushindi dhidi ya zambia jumamosi huku ikiombea ivory coast kumfunga senegal ili kujihakikishia nafasi nzuri zaidi ukiacha hayo katika mchezo wa jana wenyeji walianza kwa kasi na kuanza kushambulia mfululizo lango la wapinzani wao lakini hata hivyo ngome ya stars chini ya shadrack nsajigwa salum swed juma jabu na nadir haroub cannavaro walisimama imara kupunguza kasi ya mashambulizi kasi ya wenyeji UNK mara kwa mara stars hata kuruhusu kona kumi na saba nane UNK kipindi cha kwanza huku wenyewe wakiambulia nne kipindi cha pili na kipindi cha kwanza hawakupata kona kiujumla ivory coast walifanya mashambulizi mengi wakiongozwa na junior mango UNK karamoko na UNK nene lakini hata hivyo hayakuwa na madhara kutokana na ukuta imara wa tanzania stars ambayo ilichapwa bao moja sifuri katika mchezo wa kwanza na senegal walionyesha kubadilika lakini pengine ni kutokana na kubadilisha kikosi kwa kumuanzisha mussa hassan mgosi na kigi makassi kocha wa timu hiyo marcio maximo alimtema kikosini haruna moshi boban pamoja na athumani idd chuji ambao hata hivyo UNK ilifuatilia na kugundua kuwapo na bifu la chini kwa chini kati ya boban na maximo wakati chuji alijitonesha mazoezini wachezaji hao wote walikuwa jukwaani na hawakuwa hata katika benchi la ufundi watanzania walishangilia kwa nguvu katika dakika ya thebathini na nane wakati mrisho ngassa UNK bao kwa kichwa baada ya kupata pande la mbali la henry joseph kutoka katikati ya uwanja stars iliyokuwa ikishambulia kwa kushtukiza UNK lango la wapinzani wao kipindi cha kwanza huku mussa hassan mgosi ngassa UNK wenyeji kwa kuunganishwa na henry joseph kigi makasi na nizar khalfan hata hivyo henry na nizar walionekana UNK kwa vipindi hata kupoteza mipira mfululizo kipindi cha pili maximo alifanya mabadiliko kadhaa aliwatoa henry joseph mussa hassan mgosi na mrisho ngassa na nafasi zao kuchukuliwa na mwinyi kazimoto shaaban nditi na jerry tegete lakini hata hivyo sura ya mchezo UNK stars iliwakilishwa na juma dihile shadrack nsajigwa juma jabu said sued nadir haroub nurdin bakari henry joseph shaaban nditi nizar khalfan mussa hassan mgosi mwinyi kazimoto mrisho ngassa jerry tegete na kigi makassi katika mchezo mwingine zambia na senegal zilitoka suluhu katika mchezo uliokuwa na ushindani wachezaji wawili wa taifa stars kipa juma dihile na kiungo nizar khalfan juzi walipimwa kama wanatumia dawa za kuongeza nguvu na kitengo cha tiba cha shirikisho la soka afrika kawaida kila mechi ya michuano chan wamekuwa UNK wachezaji kutoka kila timu kwenda kupima mkojo ili kuangalia kama wanatumia dawa za kuongeza nguvu katika mechi ya kwanza mrisho ngassa na kiungo chipukizi mwinyi kazimoto walichukuliwa vipimo hivyo kwa mara ya kwanza baada ya vipimo hivyo nizar alisema hana hofu na ana imani siku UNK majibu hayo yatakuwa ni salama kauli ambazo zilitolewa na ngassa na kazimoto baada ya kuchukuliwa vipimo hivyo jumamosi iliyopita siku ya ufunguzi wa mashindano ya chan utaratibu unaotumika ni vigumu kujua mchezaji gani ambaye atapimwa siku hiyo inawezekana kabisa aliye benchi au hata jukwaani ndio UNK inakuwa hivi vikaratasi vya namba za wachezaji wote ishirini na tatu UNK kwenye kapu na baada ya hapo ofisa UNK viwili na baada ya hapo UNK kuangalia namba ngapi baada ya namba kujulikana ndio wanachukuliwa wachezaji wenye namba hizo mara tu baada ya mechi kwenda kupimwa ili kujua kama wanatumia dawa za kuongeza nguvu au la mdau mmoja ameiambia mwananchi vipimo hivyo ambavyo husafirishwa nchini tunisia kwa ajili ya vipimo huenda majibu yake UNK hata baada ya miezi miwili lakini daktari wa taifa stars juma sufiani ambaye UNK na wachezaji hao kwa ajili ya kupimwa alisema huenda majibu UNK mapema zaidi sina uhakika sana lakini inawezekana majibu yakaja mapema hata kabla ya mwisho wa mashindano kwa sasa huwa UNK kwenda tunisia na wakati mwingine afrika kusini alisema daktari caf limeamua kuchukua hatua hivyo ili kuongeza nguvu katika vita ya kupambana na dawa za kuongeza nguvu katika michezo jambo UNK vita kwa nguvu zote duniani na taasisi mbalimbali za michezo marta UNK kusini mwa UNK au kuangalia timu yake ikifanya mazoezi kabla ya kusaini mkataba wa kuichezea los angeles sol katika ligi ya wanawake mchezaji huyo bora mara tatu wa dunia wa fifa alitegemewa kuwasili hapa wiki iliyopita ikiwa ni zaidi ya miezi mitatu baada ya kukubali kusaini mkataba wa miaka mitatu marta anataraji kuonyesha uwezo wake katika ligi ya hapa mwezi ujao wakati timu yake ya sol UNK dhidi ya washington freedom mjini UNK UNK hapo marchi ishirini na tisa urefu wake ni futi tano marta ni mfungaji bora wa kombe la dunia ishirini sifuri saba akiwa UNK nyavu mara saba mawili alifunga kwenye nusu fainali brazil iliposhinda nne sifuri dhidi ya marekani vitu vyote vya ajabu UNK uwanjani vinatokea tu alisema sijawahi kwenda uwanjani na kufikiria kuwa nitafanya nini lakini wakati UNK kufanya kwa faida timu yangu au brazil basi vinatokea tu si kitu UNK mazoezi timu ya taifa ya zimbabwe jana ilijiweka kwenye nafasi finyu ya kusonga mbele kwenye nusu ya fainali za mataifa ya afrika chan baada ya kulazimisha sare ya bao moja moja na daktari congo katika mchezo huo mkali uliokuwa na upinzani ufundi wa mchezaji moja moja ulishudia vijana wa kabila wakiandika bao la kwanza kupitia mshambuliaji wake nyota tresor mputu aliyeunganisha vema krosi kwa kichwa katika dakika ya kumi na tisa kuingia kwa bao hilo kuliamsha hamasa kwa zimbabwe UNK mashambulizi mengi langoni mwa congo na kufanikiwa kupata bao la kusawazisha kwa mpira kona UNK vizuri kwa kichwa na UNK marufu kufanya matokeo kuwa moja moja kuingia kwa mabao hayo kuliongeza UNK ya mchezo huo kila timu ilikuwa ikitaka ushindi katika kujiweka kwenye mazingira mazuri ya kusonga mbele lakini makipa wa pande zote mbili walikuwa kikwazo kwa kuokoa michomo kadhaa ya hatari kwa matokeo hayo daktari congo itakuwa inaongoza kundi b ikiwa na pointi nne UNK na zimbabwe yenye pointi mbili kabla ya mchezo wa ghana na libya black stars UNK moja kutokana na sare yake dhidi ya vijana wa mugabe katika mchezo wa ufunguzi kocha wa taifa stars ametoa kauli ya tahadhari kwa wachezaji wote ambao hawana msaada kwenye kikosi chake wasiotaka ushirikiano na kujituma uwanjani UNK kwenye timu hiyo baada ya mashindano maximo alitoa kauli muda mfupi baada stars kupambana hadi dakika ya mwisho na kuwashinda wenyeji ivory coast huku wachezaji kadhaa nyota wa kikosi hicho haruna moshi boban na athuman idd chuji wakiwa jukwaani bila ya maelezo akizungumza katika hoteli ya golf jijini hapa maximo alisema atachukua uamuzi mkubwa wa kufanya mabadiliko katika kikosi chake baada ya mashindano haya na wachezaji watakaopata nafasi ni vijana na watanzania wasahau tena zile tabia za majina kwa kuwa si UNK umeona timu ya leo wachezaji wameonyesha kutekeleza majukumu yao na upendo kwa taifa wamecheza kwa kujitolea UNK kwa nguvu na kwa kuwa nyumbani wameshuhudia mchezo huo watakuwa wameona hilo watu wa namna hiyo ndio wenye nafasi kwenye timu yangu hakuna nafasi ya majina hakuna mchezaji nyota kwenye kikosi changu ambaye hana msaada basi tu anachaguliwa kwa kuwa jina lake UNK kwenye kikosi hiki hakuna safari ijayo nafasi kubwa ni kwa vijana na si vijana wa umri tu nataka wawe na mawazo na malengo mapya pia kwa ajili ya faida ya tanzania alisema maximo unajua kuna lawama nyingi ambazo kama UNK hauwezi kufanya kazi unajua kama ilivyo ada ya wengi kama timu ikifanya vizuri sifa zinaenda kwa wengine na ikifanya vibaya basi ni lawama za kocha bora iwe hivyo lakini nataka timu ifanye vizuri huu ni wakati mwafaka wa kujenga kikosi kipya cha tanzania chenye wachezaji wenye nidhamu na uwezo wa kujitolea kwa ajili ya taifa lao na si wenye majina makubwa yanayojulikana kwa watu wa taifa lao lakini hawana msaada wowote kwa watu wa taifa lao alisisitiza alipoulizwa sababu ya UNK haruna moshi na athuman idd walikuwa katika kiwango kizuri maximo alijibu kwa ufupi tu hii ni timu si mtu mmoja mmoja na tunaangalia nani yuko tayari kwa ajili ya mechi akizungumzia mchezo huo dhidi ya ivory coast maximo aliwapongeza wachezaji wake kwamba walicheza kwa kujitolea UNK mtu mfano henry aliumia muda mrefu alitaka kutoka nikamwambia UNK hata dakika ishirini kwanza alifanya hivyo akiwa na maumivu lakini lengo lilikuwa ni kulisaidia taifa lake angalia wengine kama kingi kacheza kwa nguvu zote nawapongeza sana stars inahitaji kushinda mechi ya kesho dhidi ya zambia kwa idaidi yoyote ili ipate nafasi ya kusonga hadi hatua ya nusu fainali huku chipolopolo ikiwa inahitaji sare tu kupata nafasi ya kusonga mbele wanangu ishu vipi mambo UNK mitaa ya huko mavituzi ya zee lenu UNK kwa kudra za mkubwa na ndio kama hivi mnaona linazidi kukamua tu kila kukicha UNK UNK basi mzee mzima UNK zangu mitaa ya kati mbezi hapo maeneo ya UNK kwenye UNK jipya ambalo siku si nyingi litafanyiwa UNK kimtindo kabla mtu mzima UNK ndani UNK UNK pembeni kimtindo UNK dada nanihii UNK UNK kumbe kuna machizi wawili wa longitaimu kitambo UNK huko wako pale mmoja UNK zee la kutibua njoo mwana miaka kitambo sana ujue UNK zangu mezani kumbe bahati nzuri mpaka mashemeji kama watatu walioko mezani ambao wanapiga buku hapo UNK wanapenda porojo za zee la kutibua na huwa hawakosi hapa kila UNK dah baada ya utambulisho zoezi la UNK UNK kasi nikawa UNK madongo ya hapa na pale basi masela hoi hawana UNK mashemeji UNK hivi zee lenyewe ndio hili mi UNK bonge la mtu UNK ya kumwaga kumbe zee kijana UNK UNK UNK kumiminika meza UNK kila mmoja anaonyesha ubavu wake UNK moyo nasema wangejua kwamba watu wengine UNK na maji ya ilala UNK na kujaribu UNK zingine UNK UNK si vitu UNK kichwani wakaanza UNK wenyewe wacha waanze kumwaga UNK zee unajua kitu stars UNK chan sababu machalii UNK kijiti longitaimu ishu haziendi bila ile ishu mmoja UNK UNK vichwa kama saba hivi vya UNK UNK ana data zao kichizi mpaka UNK ishu nikasema wadau vipi si mle UNK fasta UNK UNK UNK UNK tu taifa stars ilianza vibaya kwa kupigwa bao moja sifuri na senegal lakini UNK ngassa UNK UNK UNK UNK UNK na leo satadei UNK tunapiga na madogo wa zambia kinachoweza kututoa salama kwenye hiyo gemu ni ushindi tu kwani hali ni mbaya kwenye kundi a kutokana na senego na zambia kuwa na pointi nne ambazo UNK kwenye mazingira mazuri ya kusonga mbele tofauti na vijana wa maximo wenye pointi tatu maximo amefanya kila kinachowezekana sasa hatma yetu ipo mikononi mwa wachezaji wenyewe ambao kwa nyakati tofauti baadhi yao wamekuwa UNK au UNK uwanjani na kulazimisha hali ngumu bila ulazima wowote katika gemu ya kwanza wachezaji wengi walionekana kupaniki bila sababu katika dakika zote arobaini na tano za awali na kushindwa kuendana na kasi ya senego na ukijaribu kuangalia tatizo hilo siyo la mwalimu lakini ukiingia kiundani zaidi utabaini kwamba wachezaji wenye uhakika wa namba kwenye kikosi cha maximo wameanza kubweteka na ndio ambao wanakwamisha mengi baadhi ya wachezaji hao wamekuwa wakicheza soka la UNK lenye madoido ambalo halina manufaa yoyote kwa stars wakati huu wa mashindano ukitaka kubaini hilo angalia mfano mdogo wa mchezaji kama mussa mgosi au nurdin bakar wanapoingia uwanjani iwe UNK kuanza au wakiingia kipindi cha pili ni shughuli UNK mwanzo mwisho tofauti na mastaa wakubwa wenye uhakika wa namba wanaonyesha vitu ambavyo mchezaji wa timu ya taifa anapaswa kufanya na ukiangalia kwa asilimia kubwa wachezaji karibu wote ambao hawana namba UNK UNK mwanzo mwisho wachezaji waamke UNK kwa kujua umuhimu wa kazi hiyo kwenye maisha yao badala ya kujiona kwamba UNK mchezo wa leo jumamosi ni muhimu kwa maendeleo ya soka la tanzania na endapo stars ikiifunga zambia itakuwa heshima kubwa barani afrika na ndio soko letu linazidi kukua na kufahamika zaidi tofauti na tukifanya vibaya hiyo ndio nafasi pekee kwa kila mchezaji kuionyesha afrika kwamba yeye ni bora kuliko mwingine na anastahili kucheza soka yenye maslahi zaidi ya ilivyo sasa mechi mbili za awali hazitoshi mnapaswa kushinda mchezo huo ili kusonga mbele kwenye nusu fainali za chan na hatimaye fainali kila mtanzania yupo nyuma yenu na anatarajia matokeo mazuri UNK presha mashabiki ambao kodi zao UNK hapo UNK ni wakati pia kwenu kulipa fadhila kwa marcio maximo na kumuonyesha kwamba mnaweza kupambana na kwamba hakufanya makosa kuwapa UNK mbele nyinyi hatma ya tanzania ipo mikononi UNK UNK akili mtambue hilo kisha UNK juhudi wasalaam wasomaji wangu wapendwa wa safu hii leo naandika nikiwa na furaha sana baada ya taifa stars kupata ushindi wa kwanza kwenye mashindano makubwa na UNK historia mpya ni rekodi ambayo inafungua milango iliyokuwa imefungwa kwenye anga ya kimataifa kutokana na ukweli kwamba ushindi ulikuwa adimu sana kwenye mashindano makubwa itakumbukwa kwamba mwaka elfu moja na mia tisa na themanini wakati tanzania UNK kucheza fainali za mataifa ya afrika nchini nigeria ilimaliza michuano hiyo bila ya kuonja ushindi lakini miaka kumi na nane baadaye tunaandika historia mpya ambayo ni mafanikio tosha kwenye fainali hizo za ubingwa wa mataifa ya afrika inayoendelea nchini ivory coast kikubwa zaidi ni ushindi huo wa bao moja sifuri UNK dhidi ya wenyeji kitu UNK utamu kwenye ushindi huo lakini UNK ushindi huo huku UNK kutokana na uchambuzi usio wa haki wa mechi ya kwanza ambayo stars ilifungwa bao moja sifuri na timu nyingine iliyo juu kwa ubora senegal wengi UNK kwa namna yao lakini wako waliochambua kwa lengo la kumchafua kocha marcio maximo aonekane hajafanya kitu wapo ambao wamediriki hata kusema kwamba eti kiwango chake sasa kimefikia kikomo kibaya zaidi wachambuzi hao wamediriki kuacha kabisa kuuchambua mchezo wenyewe na kujikita zaidi katika kuelekeza mashambulizi dhidi ya mbrazili huyo sijui kama huu ni uchambuzi wa kimpira lakini nadhani huo ni uchambuzi ambao yule UNK huenda kusali sala zote ili timu ishindwe na baadaye aseme si UNK huyu kocha UNK ndizo sala za watu wasiotaka kuchambua mpira na badala yake kumtia ubaya kocha wakisubiri kwa hamu kuona timu yake ikishindwa ili uchambuzi wao uonekane kuwa sahihi nadhani ili kuweza kuchambua mpira ni vizuri kwanza kujua falsafa ya kocha na mkakati wake kwenye mechi hiyo na si mechi nyingine nyingi zilizopita kwa kuwa kila mechi ina mkakati wake kulingana na ugumu au wepesi wa mpinzani na aina ya mchezo ambayo timu pinzani UNK nadhani UNK falsafa ya maximo UNK kukimbilia kusema kuwa eti taifa stars UNK wakati wote uchambuzi huo utakuwa umejengwa kwenye msingi mbovu maximo alisema mara kadhaa kuwa anapokutana na timu zenye uzoefu kama hizo za mataifa ya afrika magharibi basi UNK zicheze kwenye nusu ya timu yake falsafa yake ni kwamba timu inapocheza kwenye nusu yako unakuwa UNK uwanja watu ishirini wanacheza kwenye nusu moja na hivyo kupunguza nafasi za kupenyeza mipira kitu ambacho kinaonekana kwenye kila mechi ambayo stars UNK kwa hiyo maximo anasema UNK kuziba njia mbele ya goli timu pinzani huamua kucheza krosi za kukatisha uwanja yaani zinazopigwa kutoka pembeni na mabeki ambao kwa kawaida huwa nyuma kwa hiyo kudhibiti ni kuwa na mabeki wa kati wanaoweza kucheza mipira ya vichwa kwa mantiki hiyo timu pinzani inapokuwa na mpira kwa muda mwingi inapocheza na stars kwangu UNK kuwa ni aina ya mchezo ambayo stars UNK lakini maximo anaongeza kuwa unapotumia aina hiyo ya mchezo washambuliaji wako hupata nafasi kubwa ya kuitumia nyuma ya mabeki wa timu pinzani kwa kuwa huwa wamepanda hadi katikati ya uwanja na kuacha uwazi nyuma yao kwa hiyo unapokuwa na mshambuliaji mwenye kasi kama mrisho ngassa mabeki na viungo huwa na kazi moja tu UNK mpira huwa na kazi ya kutuma mipira mirefu mbele na mabao mengi ya stars yamepatikana kwa jinsi hiyo nadhani baada ya kujua falsafa hiyo ndiyo unaweza kuanza kuchambua kama stars ilicheza kwa kufuata maelekezo ya makocha au kocha hajui na hapo ni vizuri hao wachambuzi wetu wakaanza kuchambua kama wachezaji wanatekeleza majukumu yao kulingana na falsafa hiyo ya mchezo wa maximo badala ya kukurupuka na kuanza UNK ndio maana kocha aliamua UNK wachezaj hasa wale nyota kuwa UNK kutekeleza majukumu waliyopewa kiasi cha kuamua kupanga vijana katika mechi ya pili wachambuzi wetu wangeweza kuyaona hayo kama UNK kwa dhati maana haruna moshi alionekana dhahiri UNK ipasavyo juma jabu kiasi kwamba beki huyo alionekana kuwa njia lakini pia hawa wachambuzi wetu hawana budi kujua mfumo unaotumika na staili inayotumia kutekeleza mfumo huo maana wamezoea kusema stars inacheza nne nne mbili bila ya kujua hiyo UNK UNK unaweza kucheza nne nne mbili lakini ukawa na mshambuliaji mmoja tu mbele kabisa huku mwingine akiwa nyuma kidogo na huyo UNK nyuma sio lazima awe ni yule mchezaji ambaye daima hucheza nafasi hiyo anaweza kuchezeshwa kiungo kuna mambo mengi ya kuangalia wakati wa kuchambua mpira nadhani mchezaji mkongwe wa taifa stars na pan african adolph UNK ana upeo mpana sana na stadi ya kuchambua vizuri mpira labda hao wachambuzi wetu wangekuwa wanamsikiliza kwa makini ili wanufaike na uchambuzi wake ninayo mengi ya kuelezea lakini nafasi leo ni ndogo namuomba mola anipe uzima ili wiki ijayo tujadili vizuri kuhusu uchambuzi ili UNK kila tunapotetea makocha au kukandia makocha waungwana kwanza salamu nyingi sana kutoka hapa katika jiji la abidjan nchini ivory coast ambako watanzania kadhaa tunaendelea na maisha ya kila siku wako mashabiki na wadau wengine lakini wako wanahabari ambao nia yao hasa ni kuwaeleza timu yetu inaendelea vipi na nini kinafanyika hapa sitaki kumsemea mtu binafsi UNK sana kwa niaba ya UNK huku lakini kwa mapenzi yangu binafsi na heshima kwa wasomaji wa gazeti hili kwa kuwa najua ni wa uhakika wafuatiliaji na wanaojua mambo hivyo wanataka vitu vya uhakika na si kubahatisha ndio maana kila siku juhudi ya kazi na umakini inaongezeka kukosea kupo kwa kuwa ni ubinadamu kwa kuwa niko huku ninaweza kuwaeleza hivi taifa stars inaweza kusonga mbele au UNK si timu ya kudharauliwa wala si ile ya UNK yaani UNK sana ila tayari imejenga picha kwamba ni timu UNK hivyo kila UNK nayo anakuwa makini sana UNK dua katika kitimtim cha bouake mji ulio UNK arobaini sifuri kutoka abidjan kama unakumbuka ndiko ilikuwa kambi ya wapinzani wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe miaka kadhaa iliyopita leo hoja yangu UNK wale watu wanaojiita wachambuzi wa soka mara kadhaa nimekua UNK kwenye vyombo mbalimbali vya habari UNK huku na kule lengo linakuwa ni kuchambua mambo mbalimbali huku wakitoa historia kadhaa baadhi nawajua wengine ni rafiki zangu na wengine nimekuwa nawasikia tu kwa kweli hoja yangu huenda UNK wote lakini hasa huyu mmoja anayeitwa hussein UNK kama nitakuwa UNK inawezekana kabisa akawa ni shabiki mmoja mkubwa wa moja ya hizi timu zetu kongwe ndio maana anaweza hata kufikia kupotosha maana ya neno uchambuzi na hata kufikia kuwa shabiki kwa kuwa amezungumza maneno kama yale wanaozungumza baadhi ya makomandoo wa klabu za simba na yanga maana wao wanaangalia ushabiki tu maximo kwa kuwa tu amepata nafasi ya kuzungumza kwenye redio kwa kweli ni UNK nafikiri umefikia wakati hata hao wanaowaalika UNK zaidi muda UNK kwa kujadili mambo ambayo hayajengi na hata wanaowaalika ni wale wanaokwenda kupotosha jamii badala ya kusaidia sijui sapi amecheza wapi mpira kwa kuwa wachambuzi wengi wa soka walikuwa wachezaji wa zamani wa timu mbalimbali kweli wako wale ambao UNK kucheza soka kama mamadou UNK wa super sport lakini utaona walivyo makini na hoja zao UNK kocha yupi anaweza kuja tanzania akawa ni bora milele makocha wote hukaa na kuondoka lakini kwa hali tuliyokuwa nayo awali ya soka la shaghalabaghala kuanzia kwenye chama hadi timu yenyewe maximo sasa ameleta mabadiliko makubwa kama tunataka wa kuja kuendeleza sawa lakini kwa nini hatumsifii hata kidogo hawa wachambuzi walikuwa wapi awali UNK na wanachosema sasa ilimradi tu kwa kuwa wana nafasi ya UNK suala la kusema maximo amemaliza uwezo wake eti kwa kuwa makocha wengi wa brazil hawana rekodi nzuri sidhani kama ni kitu cha msingi ambacho hata chombo cha habari kinaweza kutoa nafasi tuwape nafasi na watu wa michezo mingine kama UNK UNK na hata bao wapate nafasi ya kuzungumza kuliko kutoa nafasi kwa watu ambao wanataka tu kupoteza muda jamani tuwe waungwana na kuepukana na tabia kama hizo za wanaojiita wachambuzi tunapaswa kujua hili kwamba kweli maximo ni binadamu na inapofikia wakati UNK basi ni vema kabisa UNK kujenga tanzania ni taifa letu na si la maximo tunajua UNK katika hali gani sijui hata kama huyo mchambuzi anajua rekodi zetu kabla ya kuja kocha huyo na baada ya kufika hapa uchambuzi wa fulani hatufai sidhani kama ni sahihi badala ya kueleza nini kifanyike tanzania ingekuwa na fedha ingechukua kocha ambaye anaweza kulipwa fedha nyingi saizi yetu ni maximo na ameleta mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuzalisha nyota wengi ambao awali mimi na bwana mchambuzi tulikuwa hatuwajui kabisa mimi ni kati ya watu ambao nimekuwa UNK maximo lakini kikubwa ni hoja si yeye hafai kwamba anatakiwa hiki na kile UNK na baada ya hapo afanye hivi ndio itakuwa sahihi lakini haitakiwi eti mchambuzi ndiye anakuwa mtoa majibu ya mwisho kwamba kuwa fulani hatufai na tuangalie kocha nchi fulani ndio maana naanza kupata hofu na hawa wanaojiita UNK bwana mchambuzi karibu abidjan uone mambo mengi ambayo unapaswa kujifunza kuliko kubaki nyumbani na kupiga kelele nyingi wachezaji wetu ambao wewe UNK bora wengi wameshindwa kucheza mpira huku na kuwa mzigo mkubwa naamini unajua ni vigumu maximo kuingia akacheza badala yao viungo karibu wote UNK ni tegemeo huku soka UNK basi anza UNK wao kwanza na baada ya hapo UNK kocha lakini lazima ujue wachambuzi wanatoa tathimini na kushauri si kutaka makocha wafukuzwe au kuajiriwa wa nchi fulani kwa kuwa hata ujio wa maximo UNK kutoa ushauri kama UNK mashabiki kuachana na tabia za kishabiki kupindukia hasa usimba na uyanga vipi nyie UNK heshima ambazo UNK mnashindwa UNK na kuwa watu mnaotaka maendeleo UNK kwa kuwa hata hayo madudu yenu UNK kwenye vyombo vya habari ambako inawezekana ikaonekana sisi tulio katika vyombo hivyo ni kama wasambazaji wakuu UNK mkono watu wenye tabia kama za mchambuzi huyo aliyeibuka hivi karibuni na kupewa jina hilo lakini leo tanzania ilipofikia ina kila sababu ya kujivunia kuwapo kwa kocha huyo lakini nawapongeza ambao wamekuwa UNK maximo bila ya uoga lakini kwa lengo la kujenga na wala si ushabiki na maneno ya kuropoka tu mchambuzi uwanja ni wako lakini UNK kaka na wala usifikiri kila UNK kama mimi leo hivi UNK naweza kuwa mtu tu ilimradi ambaye naweza kuvutiwa na maneno yako yenye mfumo wa wimbo mzuri kwa upande wa UNK lakini sauti ya mwimbaji haina lolote UNK bwana mchambuzi stars imefungwa na senegal bao moja sifuri na imeshinda moja sifuri dhidi ya wenyeji ivory coast na leo jumamosi inapambana na zambia ikishinda inaenda nusu fainali ikifungwa tunarudi nyumbani kama hafai basi ni kocha wa ivory coast kouadio george ni wenyeji lakini wamefungwa mechi zote mbili nyumbani amani kwenu wasomaji wangu wapendwa mara nyingi nimekuwa nikiepuka sana kufanya tafakari ya kimichezo ambayo inakuwa na mguso au harufu ya msuguano kati ya viongozi wa michezo na wanasiasa hii ni kutokana na ukweli kwamba watu wengi miongoni mwetu hudhani kwamba michezo na siasa havitengamani jambo ambalo siliafiki hata kidogo ufahamu wetu finyu wa dhana ya siasa ndio umefanya wengi wetu kuweka ukuta mkubwa sana kati ta dhana hizi mbili ambazo kiuhakika zinafungamana wakati siasa ni zamivu zaidi katika masuala ya kiutawala na hasa ushikaji wa hatamu za mamlaka ya nchi husika michezo ni nyezo ya kuboresha uhusiano jamii katika nchi kukuza uzalendo na kujenga dhana ya mshikamano katika taifa husika kwa bahati mbaya sana wanasiasa wetu wamekuwa mbele katika kuitumia michezo katika kampeni zao mbalimbali za kuingia madarakani na pia kuitumia michezo kama nyenzo ya kueneza kauli mbiu mbalimbali ambazo zinasaidia kuleta ufanisi katika maendeleo katika jamii na pia urahisi wa kupeleka ujumbe kwa idadi kubwa ya watu kwa wakati mmoja ndio maana basi kwa nchi zilizoendelea kifikra wanasiasa na wanamichezo wamekuwa wakifanya kazi pamoja kwa ufanisi mkubwa sana mifano ni mingi mno kiasi ambacho sina haja ya kuitaja katika makala hii fupi kwa muda mrefu sana kumekuwa na hali ya kuvutana na kusuguana baina ya uongozi wa chama cha soka zanzibar na wizara yenye mamlaka ya kusimamia maendeleo ya michezo visiwani humo malumbano hayo yamekuwa ni kero na aibu kubwa sana kwa wanamichezo kwa kuwa viongozi wa pande hizo mbili wamekuwa wakilumbana hadharani kiasi cha kudhalilishana mbele ya jamii wakati ninaandika makala hii sina uhakika ni nani hasa ni msemaji wa zfa kwani kuna vyombo vya habari ambavyo vinamtamka maulid maulid kuwa ndio msemaji wa chama hicho kwa kuwa yeye ndiye katibu mwenezi wa zfa wakati kuna vyombo vingine vya habari vinamnukuu hafidh ally tahir kuwa ni msemaji mkuu wa chama hicho jambo la chama kimoja cha michezo kuwa na wasemaji wakuu wawili ni dalili tosha ya kuwepo wa mtafaruku katika chama hicho katika mazingira ya kawaida ningetarajia maulid maulid kuwa ndiye msemaji mkuu wa mambo yote yanayoihusu zfa hii ni kutokana na nafasi yake ya ukatibu mwenezi ambayo ameipata kikatiba kabisa kupitia uchaguzi wa kidemokrasia lengo la tafakari yangu si kutaka kuingilia utendaji kazi wa viongozi wa zfa hasha ila ni katika kutaka kuifanya busara itumike zaidi katika kutatua matatizo ya uongozi wa soka visiwani pamoja na kwamba suala la misuguano ndani ya zfa limekuwa si geni masikioni mwa watu msuguano uliopo sasa miongoni mwa viongozi wa zfa na kati ya chama hicho na wizara ya michezo inayoongozwa na mheshimiwa shamhuna ambaye pia ni naibu waziri kiongozi wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar linakera zaidi hivi ni nani hasa anyenufaika na malumbano na kutokana na ukomavu wa viongozi hawa ambao wamekuwa katika malumbano nilitarajia hatua sahihi na za haraka zingechukuliwa ili kunusuru kuporomoka kwa heshima za viongozi hawa ambao sisi wananchi tunawaheshimu kwa kiasi kikubwa sana kuna suala la udhamini ambalo kwa kiasi kikubwa linawafanya viongozi hawa kutofautiana kwa kiasi kikubwa pamoja na kuwa nisingependa sana kujihusidha na msuguano huo ambao nina uhakika wengi wanadhani kuwa unaathiri soka la zanzibar tu na si tanzania kwa ujumla hoja ya hafidhi inatoa changamoto zaidi na kuonyesha ukomavu mkubwa kuhusu mabadiliko ya uendeshaji wa michezo inavyoendeshwa duniani kote kuna suala moja tu ambalo hafidhi analisimamia nalo ni kwenda na wakati jambo ambalo hata mimi ninamuunga mkono hafidhi ana hoja ya msingi sana pale anapohoji uhalali wa shillingi milioni mia mbili za tanzania breweries limited kupokelewa ili kusaidia kuchimba visima vya maji safi kwa wananchi na wakati huohuo fedha za kampuni hiyo hiyo zikikataliwa katika kudhamini maendeleo ya soka hii ni hoja ya msingi na ambayo haihitaji elimu ya shahada ya chuo kikuu kuitafutia majibu sahihi amani kwenu wasomaji wangu wapendwa mara nyingi nimekuwa nikiepuka sana kufanya tafakari ya kimichezo ambayo inakuwa na mguso au harufu ya msuguano kati ya viongozi wa michezo na wanasiasa hii ni kutokana na ukweli kwamba watu wengi miongoni mwetu hudhani kwamba michezo na siasa havitengamani jambo ambalo siliafiki hata kidogo ufahamu wetu finyu wa dhana ya siasa ndio umefanya wengi wetu kuweka ukuta mkubwa sana kati ta dhana hizi mbili ambazo kiuhakika zinafungamana wakati siasa ni zamivu zaidi katika masuala ya kiutawala na hasa ushikaji wa hatamu za mamlaka ya nchi husika michezo ni nyezo ya kuboresha uhusiano jamii katika nchi kukuza uzalendo na kujenga dhana ya mshikamano katika taifa husika kwa bahati mbaya sana wanasiasa wetu wamekuwa mbele katika kuitumia michezo katika kampeni zao mbalimbali za kuingia madarakani na pia kuitumia michezo kama nyenzo ya kueneza kauli mbiu mbalimbali ambazo zinasaidia kuleta ufanisi katika maendeleo katika jamii na pia urahisi wa kupeleka ujumbe kwa idadi kubwa ya watu kwa wakati mmoja ndio maana basi kwa nchi zilizoendelea kifikra wanasiasa na wanamichezo wamekuwa wakifanya kazi pamoja kwa ufanisi mkubwa sana mifano ni mingi mno kiasi ambacho sina haja ya kuitaja katika makala hii fupi kwa muda mrefu sana kumekuwa na hali ya kuvutana na kusuguana baina ya uongozi wa chama cha soka zanzibar na wizara yenye mamlaka ya kusimamia maendeleo ya michezo visiwani humo malumbano hayo yamekuwa ni kero na aibu kubwa sana kwa wanamichezo kwa kuwa viongozi wa pande hizo mbili wamekuwa wakilumbana hadharani kiasi cha kudhalilishana mbele ya jamii wakati ninaandika makala hii sina uhakika ni nani hasa ni msemaji wa zfa kwani kuna vyombo vya habari ambavyo vinamtamka maulid maulid kuwa ndio msemaji wa chama hicho kwa kuwa yeye ndiye katibu mwenezi wa zfa wakati kuna vyombo vingine vya habari vinamnukuu hafidh ally tahir kuwa ni msemaji mkuu wa chama hicho jambo la chama kimoja cha michezo kuwa na wasemaji wakuu wawili ni dalili tosha ya kuwepo wa mtafaruku katika chama hicho katika mazingira ya kawaida ningetarajia maulid maulid kuwa ndiye msemaji mkuu wa mambo yote yanayoihusu zfa hii ni kutokana na nafasi yake ya ukatibu mwenezi ambayo ameipata kikatiba kabisa kupitia uchaguzi wa kidemokrasia lengo la tafakari yangu si kutaka kuingilia utendaji kazi wa viongozi wa zfa hasha ila ni katika kutaka kuifanya busara itumike zaidi katika kutatua matatizo ya uongozi wa soka visiwani pamoja na kwamba suala la misuguano ndani ya zfa limekuwa si geni masikioni mwa watu msuguano uliopo sasa miongoni mwa viongozi wa zfa na kati ya chama hicho na wizara ya michezo inayoongozwa na mheshimiwa shamhuna ambaye pia ni naibu waziri kiongozi wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar linakera zaidi hivi ni nani hasa anyenufaika na malumbano na kutokana na ukomavu wa viongozi hawa ambao wamekuwa katika malumbano nilitarajia hatua sahihi na za haraka zingechukuliwa ili kunusuru kuporomoka kwa heshima za viongozi hawa ambao sisi wananchi tunawaheshimu kwa kiasi kikubwa sana kuna suala la udhamini ambalo kwa kiasi kikubwa linawafanya viongozi hawa kutofautiana kwa kiasi kikubwa pamoja na kuwa nisingependa sana kujihusidha na msuguano huo ambao nina uhakika wengi wanadhani kuwa unaathiri soka la zanzibar tu na si tanzania kwa ujumla hoja ya hafidhi inatoa changamoto zaidi na kuonyesha ukomavu mkubwa kuhusu mabadiliko ya uendeshaji wa michezo inavyoendeshwa duniani kote kuna suala moja tu ambalo hafidhi analisimamia nalo ni kwenda na wakati jambo ambalo hata mimi ninamuunga mkono hafidhi ana hoja ya msingi sana pale anapohoji uhalali wa shillingi milioni mia mbili za tanzania breweries limited kupokelewa ili kusaidia kuchimba visima vya maji safi kwa wananchi na wakati huohuo fedha za kampuni hiyo hiyo zikikataliwa katika kudhamini maendeleo ya soka hii ni hoja ya msingi na ambayo haihitaji elimu ya shahada ya chuo kikuu kuitafutia majibu sahihi chama cha soka wilaya ya temeke hivi karibuni kinatarajia kuendesha kozi ya wiki moja kwa waamuzi wa soka wilayani humo kabla ya kuanza kwa hatua ya pili ya ligi ya taifa ngazi ya wilaya inayotarajia kuanza machi nane mkurugenzi wa ufundi wa UNK UNK UNK amesema kuwa lengo kubwa la kozi hiyo ni kuhakikisha makosa madogo madogo yanayofanywa na waamuzi katika hatua ya kwanza ya ligi hiyo UNK tena katika hatua ya pili ya ligi hiyo tunaendelea na maandalizi ya kuhakikisha suala hilo linafanikiwa bila tatizo lolote pia kabla ya ligi kuanza tutakutana na viongozi wa timu zote zilizofanikiwa kutinga katika hatua ya pili ya ligi kwa ajili ya semina elekezi timu ya soka ya maili moja united ya mkoa wa pwani juzi imejitengenezea mazingira mazuri ya kuibuka bingwa wa mkoa baada ya kuifunga timu ya mzinga fc ya bagamoyo magoli tatu sifuri katika hatua ya sita bora ya ligi ya UNK ngazi ya mkoa wa pwani akizungumza na mwanaspoti kocha mkuu wa maili moja fc joseph washokera amesema mzinga fc ndiyo timu iliyokuwa UNK usingizi katika ligi hiyo lakini kutokana na ushindi huo amepata matumini ya kufanya vema katika mechi zake tatu zilizosalia sasa nina uhakika wa timu yangu kuwa mabingwa wa pwani kwani timu nyingine ambazo tunatarajia kucheza nazo ni za kawaida sana tofauti na mzinga ambayo inaundwa na wachezaji wengi wakongwe uongozi wa chama cha soka wilaya ya ilala umezitaka timu za soka za wanawake wilayani humo kuanza maandalizi ya kujiandaa na mashindano ya kutafuta timu itakayowakilisha wilaya hiyo katika mashindano ya taifa yatakayofanyika baadaye mwaka huu akizungumza na UNK katibu msaidizi wa idfa daudi kanuti amesema mashindano hayo yatafanyika mara baada ya kumalizika kwa mashindano ya copa coca cola ambayo yanatarajia kuanza kutimua vumbi hivi karibuni tumedhamiria kwa nguvu zetu zote kuhakikisha safari hii tunapata timu ya wanawake pia tunaendelea na kampeni ya kuhamasisha wanawake ili wajitokeze kushiriki katika mashindano hayo timu ya soka ya UNK rangers yenye maskani yake handeni mkoani tanga inatafuta wafadhili ambao watasaidia vifaa vya michezo kwa timu hiyo ambayo imeanzishwa hivi karibuni ili ifikie malengo yake mwenyekiti wa timu hiyo joseph matei ameiambia mwanaspoti kuwa timu hiyo inakabiliwa na matatizo mbalimbali ikiwemo ukosefu wa mipira na jezi tunawaomba wapenda soka nchini watusaidie vifaa vya michezo kwani mwaka huu tumeshindwa kushiriki katika ligi ya taifa ngazi ya wilaya kwa sababu hatukuwa na vifaa vya kufanyia mazoezi timu kumi na sita za kata ya vingunguti iliyopo jijini dar es salaam zimeanza harakati za kuwania kombe la diwani wa kata hiyo maarufu kama diwani cup mratibu wa michuano hiyo mohamed diego amesema timu zimegawanywa katika makundi manne ambapo kila kundi litatoa timu mbili zitakazoshiriki robo fainali baada ya kukutana na viongozi wa timu hizo tumekubaliana UNK katika makundi ili tuweze kumaliza mapema michuano hiyo kabla ya sikukuu ya pasaka alisema UNK kiungo mshambuliaji wa taifa stars ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kuifungia timu ya taifa bao kwenye michuano mikubwa kama ya kombe la chan ambayo tanzania kwa mara ya mwisho ilishiriki mwaka elfu moja na mia tisa na themanini jijini lagos nigeria tangu mwaka huo stars haikuwahi kushiriki michuano yoyote mikubwa ya kimataifa ukiachana na ile ya awali kuwania nafasi ya kucheza kombe la mataifa afrika au kombe la dunia ambayo mara zote UNK ngassa aliifungia taifa stars bao lake la kwanza katika chan katika mechi ya pili dhidi ya wenyeji ivory coast na kumfanya kiungo huyo mshambuliaji wa yanga kuingia katika rekodi ya mfungaji wa bao la kwanza la stars katika michuano mikubwa katika kipindi cha zaidi ya miaka ishirini akizungumza na mwanaspoti jijini hapa ngassa alisema anajisikia furaha kubwa kwanza ni kwa ajili ya kuiwezesha taifa stars kuibua matumaini mapya baada ya kufungwa bao moja sifuri dhidi ya senegal katika mechi ya kwanza goli lilikuwa muhimu zaidi kwa ajili ya taifa stars na watanzania kwa ujumla bila kujali amefunga nani lakini tulikuwa UNK kwa nguvu sana tulitaka kuamsha matumaini ya UNK alisema ngassa tangu mwaka elfu moja na mia tisa na themanini tanzania UNK kwenye fainali za mataifa huru ya afrika jijini lagos nigeria haijapata nafasi tena ya kurejea kwenye michuano kama hiyo ukiachana na ile inayoandaliwa na baraza la vyama vya soka ukanda wa afrika mashariki na kati bao hilo la ngassa UNK matumaini makubwa kwa stars kuwania nafasi ya kusonga mbele hadi hatua ya nusu fainali ikiwa inalazimika kuhakikisha UNK zambia leo jumamosi mabeki wawili wa kati wa taifa stars salum sued na nadir haroub cannavaro wamekuwa gumzo kubwa miongoni mwa mashabiki wa soka katika jiji la abidjan jinsi wanavyocheza kwa nguvu na kuondosha hatari langoni mwao mashabiki wameonyesha kuvutiwa na kazi ya cannavaro wa yanga na sued wa mtibwa sugar katika mechi mbili walizocheza za fainali za chan dhidi ya senegal na ivory coast katika mechi ya kwanza ambayo stars ililala kwa bao moja sifuri dhidi ya senegal mchezaji aliyecheza kwa kiwango cha juu zaidi alikua ni cannavaro ambaye alifanya kazi ya ziada kuwapunguza washambuliaji wakali wa simba wa terranga mamadou traore na malick UNK lakini katika mechi ya pili dhidi ya ivory coast sued ndiye alikuwa mchezaji aliyepata alama za juu kiuchezaji kutokana na kuwadhibiti vilivyo washambuliaji wepesi wa wenyeji hao waliokuwa wanataka bao kwa udi na uvumba ili kuepuka kuondolewa kwenye fainali hizo kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo amekuwa akiwatumia wachezaji hao katika mechi zote kama walinzi pacha wa kati na wamecheza vizuri na kuifanya ngome ya stars kuwa kisiki ukiachana na senegal na zambia ambazo UNK hata bao moja katika mechi zake mbili stars imefungwa bao moja lakini bado mabeki hao wameonyesha kuwavutia mashabiki na wadau wengi kocha mkuu wa ivory coast kouadio george amesema walikuwa na nafasi nzuri ya kupata bao lakini mabeki hao wawili ndio walikuwa UNK kwa washambuliaji wake kutokana na kuunda ukuta mgumu kumlinda kipa wao shaaban dihile hata katika mechi ya kwanza kocha mkuu wa senegal joseph koto UNK mabeki hao kwamba walifanya kazi ya ziada na kuizuia timu yake kupata mabao zaidi ingawa UNK pia uchezaji wa kitimu wa tanzania kwa ujumla ikiwa ni mara ya kwanza kumuanzisha katika kikosi cha wachezaji kumi na moja mshambuliaji mussa hassan mgosi kocha mbrazili marcio maximo ameridhishwa na utendaji wake kwa kusema ni mkali na mwendo wake UNK maximo alisema amefurahishwa na kiwango alichokionyesha mgosi katika mechi ya pili ya fainali ya chan katikati ya wiki hii dhidi ya wenyeji ivory coast na hasa kasi ambayo ndio silaha ya kikosi chake alicheza vizuri na anapaswa kupongeza hiki ndio kitu nilichokuwa UNK nafasi katika timu ya taifa haiwezi kuwa rahisi kama watu wanavyofikiri mgosi ana uwezo lakini amekuwa akiingia katika kipindi cha pili sasa ameanza na tumeona kwamba UNK na kucheza kwa nguvu sana kuhakikisha timu inashinda alisema ameshirikiana vizuri na wenzake ambao pia wamecheza vizuri mwisho wa mchezo UNK na ushindi kitu ambacho ndio hasa malengo na nia kuu ya kufunga safari hadi hapa ivory coast sisi si washiriki tumekuja kushindana na basi UNK tuwe washindani hasa maximo pamoja na kuwapongeza wachezaji wake wote alimpongeza kiungo wake kinda mwinyi kazimoto ambaye alikua anacheza mechi yake ya pili ya kimataifa na ya kwanza ya mashindano akiwa na kikosi cha taifa stars angalia wachezaji vijana kama kigi amecheza vizuri na kwa kujituma kwa umri wake anastahili UNK mwinyi kaingia kipindi cha pili na kafuata maelekezo ya kile UNK hicho ndio ninachotaka alisema mara kadhaa wadau wamekuwa wakimpigia kelele kocha huyo kutaka mgosi aanze badala ya jerry tegete wa yanga lakini mara nyingi kocha huyo amekuwa akishikilia msimamo wake wa kumchezesha tegete kwanza kama alivyofanya katika mechi ya kwanza dhidi ya senegal akizungumzia mara yake ya kwanza katika kikosi cha watu kumi na moja mgosi alisema UNK faraja na kuona kocha anazidi UNK inanipa imani zaidi ingawa mimi niko hapa kusikiliza majukumu UNK kocha akisema naanza sawa akisema naingia baadaye UNK sawa kocha mkuu wa timu ya taifa ya judo UNK UNK anatarajia kutangaza kikosi cha wachezaji kumi na tano kesho jumapili kujiandaa na michuano ya afrika mashariki michuano hiyo ambayo awali ilikuwa ifanyike mwezi huu na kusogezwa kutokana na ukarabati wa uwanja itafanyika machi ishirini na mbili na ishirini na tatu kisiwani zanzibar katibu wa chama cha judo tanzania kashinde shaban amesema baada ya kocha kutangaza kikosi mazoezi yataanza mara moja tayari kwa mapambano katibu mkuu wa chama cha netiboli tanzania anna kibira ameitaka mikoa kuthibitisha mapema ushiriki wao katika michuano ya taifa itakayofanyika aprili kibaha pwani kibira amesema ana matumaini mwaka huu mikoa yote itashiriki kutokana na kuwapelekea barua ya ushiriki mapema wathibitishe ili tuanze maandalizi na naamini mwaka huu mikoa yote itashiriki kwani UNK mapema na tunaamini UNK mapema baada ya wiki iliyopita kufungwa na vijana city bulls kwenye ligi ya kili rba kocha wa timu ya mpira wa kikapu ya savio dassy makula ametamba kulipa kisasi kesho jumapili timu hizo UNK mechi ya kwanza ya nusu fainali vijana ilishinda pointi sitini na nane sitini na saba hivyo mchezo huo kurudiwa tena kesho jumapili na iwapo vijana itashinda itakuwa imetinga fainali lakini savio ikishinda mchezo huo utarudiwa tena makula amesema timu yake imejiandaa vizuri na lazima waibuke na ushindi mihayo amesema mchezo huo umekuwa una kasi kubwa kwa timu za jeshi kutokana na kuwa na walimu wenye uzoefu mkubwa timu nyingi ni za jeshi na hiyo inatokana na kuwa na walimu wazuri sasa hao UNK kufundisha na timu nyingine za kawaida basi mchezo huu utakuwa juu mashindano ya kilimanjaro marathon yanafanyika kesho jumapili jijini moshi mkoani kilimanjaro katibu mkuu wa chama cha riadha tanzania suleiman nyambui amesema maandalizi kwa ajili ya michuano hiyo UNK tunaamini wanariadha wataonyesha uwezo wao na viwango vya hali ya juu ili kupata wanariadha bora watakaoiwakilisha nchi kwenye michuano ya kimataifa mwenyekiti wa yanga iman madega amewataka wachezaji wa kigeni kuacha malumbano na kucheza mpira madega alisema wachezaji wote wanatakiwa kuwa na nidhamu na hakuna mchezaji nyota yanga kwani kila mmoja ana umuhimu katika timu hiyo uongozi wa timu hiyo umeingia katika malumbano na wachezaji wanne wa kenya na mwingine wa serbia ambao wametakiwa kuhamia sinza kwenye nyumba UNK na klabu hiyo wakenya hao boniface ambani maurice sunguti george owino na mike baraza na mserbia obrem cirkovic wamegoma kuhamia kwenye nyumba hiyo kwa madai haina hadhi ben mwalala aliwasili dar es salaam juzi usiku na alikuwa bado hajatoa msimamo wake hiyo ilitokana na wachezaji hao kutupiwa virago katika hoteli ya lamada ambayo walikuwa wakiishi siku zote kutokana na klabu hiyo kudaiwa shilingi milioni kumi na tano baada ya jumatano wachezaji hayo UNK virago na uongozi wa hoteli hiyo na kutakiwa kuhama wachezaji waligoma na kuutupia lawama uongozi wa yanga kwa madai kuwa ndiyo umesababisha yote hayo madega alisema anashangazwa na kitendo cha utovu wa nidhamu UNK na wachezaji hao kwani nyumba ya sinza ina kila kitu kama ilivyo lamada wanataka nini nyumba ina kila kitu na kabla ya kuwaambia wahamie huko UNK na UNK na kila mmoja akachagua chumba chake sasa iweje sasa UNK kama si ukosefu wa nidhamu alihoji madega watambue kuwa wamekuja bongo kucheza mpira si kutaka kila kitu UNK wao lazima wafuate sheria za uongozi unavyotaka lakini kama hawataki basi watajua wenyewe naye katibu mashindano wa klabu hiyo emanuel mpangala alisema kama wachezaji hao wakiendelea hivyo watachukuliwa hatua kali za kinidhamu UNK sisi hapa ni nidhamu tu hakuna mchezaji nyota yanga kila mmoja ni muhimu hivyo lazima wewe na nidhamu alisema UNK wakati tunataka kuwafungia ivo mapunda na shadrack nsajigwa wakati ule kila mmoja aliona uongo lakini tukafanya kweli na ukiangalia UNK ivo UNK na kipa mmoja tu na huyo huyo alidaka mechi zote na timu ikafanya vizuri hivyo hata hao wakiendelea na tabia hiyo tunaweza tukafanya hivyo hivyo wasitubabaishe alisema timu ya soka ya african lyon inayoongoza ligi daraja la kwanza hatua ya tisa bora inashuka uwanjani leo jumamosi saa nane mchana kucheza na majimaji ya songea kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam mechi nyingine itakuwa kati ya mwanza united itakayocheza na kijiweni ya mbeya saa kumi jioni african lyon ina pointi tisa sawa na majimaji lakini wakitofautiana idadi ya magoli ya kufunga na kufungwa hivyo kuufanya mpambano huo kuwa wa kukata na shoka kutokana na ubora wa timu zenyewe timu zote mbili zimeonyesha kiwango cha juu cha uchezaji tangu kuanza kwa ligi hiyo huku mashabiki wengi UNK kuwa zina nafasi kubwa ya kupanda ligi kuu bara msimu ujao majimaji maarufu kama wana UNK UNK mashabiki wengi jijini dar es salaam kutokana na soka lao maridadi UNK na wamefanikiwa kushinda michezo yote mitatu iliyocheza sawa na african lyon ambayo nayo imeshinda yote kocha wa majimaji peter mhina ametamba kushinda mchezo huo na kukata ngebe za african lyon inayodhaminiwa na mfadhili wa zamani wa simba mohamed dewji sisi tumejiandaa vizuri tutaendelea kugawa dozi tu kama kawaida yetu na kitu kikubwa tunachotaka ni kuifunga african lyon jumamosi ili wanyamaze maana wanaongea sana african lyon itakuwa UNK mfungaji wao hatari mbwana samata ambaye sasa UNK kwa ufungaji akiwa ameshapachika wavuni mabao nane na UNK kuwa anataka kumaliza ligi akiwa na magoli kumi na tano majimaji wao watakuwa wakijibu mapigo kupitia mshambuliaji wao hatari omari kapilima safu ya ulinzi ikiwa chini ya mchezaji wa zamani wa simba na nahodha wao patrick UNK wakati african lyon na majimaji zikiongoza ligi hiyo kwa kufungana pointi timu ya mwanza united ni ya tatu ikiwa na pointi sita sawa na kijiweni ya mbeya manyema na afc ya arusha zote zikiwa zimefungana pointi na zikitofautiana idadi ya magoli ya kufunga na kufungwa polisi iringa inashikilia nafasi ya saba ikiwa na pointi tatu baada ya kushinda mchezo mmoja na kufungwa tatu huku nyerere ya kilimanjaro na korosho ya mtwara zikiwa ni timu UNK mkia kwa kuwa na pointi moja baada ya kufungwa michezo yao mitatu na kutoa sare moja yanga UNK mazoezini beki UNK amoroso baada ya klabu ya atraco ya rwanda UNK mkwara mzito amoroso ambaye alitua yanga mwanzoni mwa mwaka huu na amekuwa akifanya mazoezi na klabu hiyo amecheza baadhi ya mechi za kirafiki za timu hiyo ya jangwani lakini mwanaspoti ilishuhudia juzi alhamisi jioni amoroso akitolewa mazoezini na kuvua jezi ya yanga na baadaye kupanda daladala na kuondoka mchezaji huyo UNK nywele rangi aliiambia mwanaspoti kwamba ameambiwa hawezi kufanya mazoezi na yanga mpaka apate kibali cha uhamisho au barua yoyote kutoka UNK nilikuwa naanza mazoezi viongozi wakaniambia niache kwavile atraco UNK pingamizi atraco wamewaambia yanga kwamba mimi ni mchezaji wao wakati si kweli alisema UNK nashangaa sana wanazungumza mambo ya uongo mimi mkataba wangu na atraco UNK na UNK kwao muda mrefu sana lakini UNK najaribu yanga UNK faranga sasa lakini nitaongea na hao viongozi nijue wanataka nini hasa alisema mchezaji na kupanda daladala kuondoka zake huku yanga wakiendelea na mazoezi yaliyomalizika saa mbili sifuri sifuri usiku katibu wa kamati ya mashindano ya yanga emanuel mpangala alipoulizwa baada ya sakata hilo alisema kwamba mchezaji huyo aliomba nafasi ya kufanya mazoezi lakini waliamua kumuondoa kwa kuhofia kuingia kwenye matatizo yanayoweza kuigharimu klabu hiyo huyu aliomba kufanya mazoezi lakini atraco wanadai kwamba ni mchezaji wao ndio maana UNK asije kutuletea matatizo alisema kiongozi huyo mazoezi ya simba yameanza kuchanganya kwenye uwanja wa kinesi ubungo jijini dar es salaam huku mambo ya kocha wao mzambia patrick phiri UNK jasho wachezaji phiri amesema kuwa ameanza programu yake mapema ili kuwaweka wachezaji katika hali nzuri kabla ya kuendelea kwa mzunguko wa pili ambao UNK kwa muda kupisha timu ya timu inayoshiriki fainali za chan ingawa wachezaji kadhaa mastaa kama ulimboka mwakingwe na amani simba UNK mazoezini lakini mchakamchaka wa juzi jioni ulikuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki ambao mara kadhaa walikuwa UNK phiri alianza kwa kuwapa wachezaji hao mazoezi ya viungo ambayo mara kadhaa baadhi yalikuwa UNK shida baadhi ya mastaa na kwenda kinyume na maagizo kivutio zaidi ambacho kiliwafanya mashabiki kuangua kicheko ni zoezi la kusimama na UNK ambapo baadhi ya wachezaji walishindwa kufuata maelekezo kwa haraka kwani alipokuwa akisema juu wengine wanakwenda chini akisema chini wengine wanakwenda juu hali hiyo ilijitokeza mara nyingi hadi kocha huyo alipoamua kutumia lugha ya kiswahili juu chini lakini bado baadhi wakawa wanashindwa kuendana na kasi yake kiasi cha kuchekwa hata na wachezaji wengine zoezi lingine lililokuwa burudani ni pale alipokuwa akiwaambia wachezaji hao kuunga mstari halafu kugeuka mbele kwa kasi na nyuma halafu akawa anawataka kukimbia kwa kulia au kushoto walipokuwa UNK nyuma na kuambiwa UNK kulia wachezaji wengine walikuwa wakikimbia kushoto hali kadhalika kulia wengine walikimbia kushoto na kugeuka burudani ya mashabiki ambao walikuwa UNK zoezi hilo UNK baada ya kuona makosa hayo yanajirudia kocha phiri alikuwa UNK kukimbia kuzunguka uwanja kila aliyekuwa UNK na mpaka zoezi hilo UNK UNK na wachezaji watano tu ambao UNK simba katika mazoezi ya juzi kulikuwa na wachezaji anthony matangalu ally mustapha barthez kelvin mhagama meshack abel UNK nyagawa moses godwin george nyanda mohammed kijuso salum kanoni mohamed banka ramadhani chombo redondo mohamed nassor chollo juma nyosso jabir aziz na adam UNK phiri alisema jana ijumaa kuwa ulimboka na amani simba wangeanza mazoezi wakati wowote lakini akatoa ufafanuzi kuwa mhagama alikuwa akifanya tu mazoezi na timu hiyo kwa sababu hana timu kwa sasa kocha wa yanga kondic dusan amewaambia yanga kwamba wasiwe na wasiwasi kwani anajua kila kitu kuhusiana na al ahly ya misri na ameahidi soka safi mwanzo mpaka mwisho lakini kauli nzuri zaidi akasema atashinda mechi hiyo ambayo ilikuwa ifanyike ijumaa ya machi kumi na tatu inadaiwa kuwa UNK mbele mpaka jumapili machi kumi na tano katika uwanja wa cairo wenye uwezo wa kubeba mashabiki sabini na tano sifuri sifuri sifuri waliokaa yanga UNK mabingwa hao watetezi katika mchezo wa ligi ya mabingwa afrika ambao mashabiki wa jangwani watakaokwenda kushangilia watalazimika kulipa dola themanini sifuri za kimarekani kondic ambaye katika siku za karibuni amekuwa akisafiri mara kwa mara aliiambia mwanaspoti jijini dar es salaam kwamba safari hizo UNK na mambo ya kikazi zaidi na hasa mchezo huo ambao mshambuliaji mike baraza amewaambia wachezaji wenzake UNK mazoezi yanakwenda vizuri ingawa asilimia kubwa ya wachezaji wa kikosi cha kwanza wapo na taifa stars lakini hawa waliopo wanafanya kazi nzuri na nimeiita na timu ya vijana ili kuongeza idadi kidogo alisema kondic ambaye ana uraia serbia na afrika kusini al ahly ninajua kila kitu kuhusiana nao na nimekuwa nikifanya kazi hiyo muda mrefu ninajua kila kitu ninachofanya sasa ni kuitengeneza timu yangu kiufasaha tufanye kile UNK na ambacho kila shabiki atataka kuona ninachoweza kusema ni kwamba tutacheza soka safi la kuvutia sana lenye ufundi mkubwa katika mazingira yoyote UNK iwe nyumbani ama ugenini wachezaji wako imara sana tunataka ushindi mzito na wa kuridhisha na ni kitu ambacho kinawezekana kama kila kitu tulichopanga UNK sawasawa UNK kufanya vizuri sana kwenye hii mechi kwa vile ni ngumu na tunakutana na timu yenye historia na rekodi nzuri kimataifa hilo kwetu ni jambo la kawaida cha muhimu ni matokeo mazuri na tunaweza kwa aina ya wachezaji nilionao alisisitiza kwa kujiamini na kusema kwamba leo jumamosi atazungumza na waandishi wa habari kondic alisema kwamba haya mashindano ni magumu sana kwa hiyo inabidi maandalizi mazito na umjue vizuri yule UNK naye na mbinu gani anatumia na kwa kiwango gani unaweza UNK kocha huyo alisema kwamba wachezaji wake waliopo mazoezini wako vizuri na wakiungana na wale waliopo timu ya taifa mambo yatakuwa mazuri zaidi wachezaji wangu waliopo kwenye timu ya taifa wanafanya vizuri sana UNK katika mechi zote mbili UNK wamefanya vitu ambavyo vinastahili kutokana na thamani zao imani yangu ni kwamba wakija kuungana na wenzao hayo mambo watayafanya zaidi kwa vile walikuwa nao muda mrefu zaidi ya timu ya taifa kipa wa yanga mserbia obren curkovic na mshambuliaji baraza waliiambia mwanaspoti hivi karibuni kwamba yanga inaweza kuwafunga al ahly kama wataongeza juhudi na morali iliyoonekana katika mchezo wa kwanza dhidi ya etoile ya UNK yanga iliitoa timu hiyo kwa jumla wa mabao kumi na nne moja leo jumamosi timu ya taifa ya tanzania taifa stars itakuwa uwanjani kucheza na zambia katika mechi ya mwisho ya hatua ya makundi ambayo itaamua kama UNK nusu fainali au la stars ambayo ipo kundi a pamoja na zambia senegal na wenyeji ivory coast wanatakiwa kushinda mechi hiyo kwa idadi yoyote ya magoli ili kutinga nusu fainali ya fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani stars inacheza na zambia baada ya kuanza vibaya fainali hizo za chan kwa kufungwa na senegal bao moja sifuri jumapili iliyopita stars ilifanya marekebisho na kushinda mchezo wa pili dhidi ya wenyeji ivory coast kwa ushindi wa bao moja sifuri jumatano lakini ili kusonga mbele na kutinga nusu fainali stars inabidi kushinda mchezo wa leo jumamosi dhidi ya zambia kwa aina yoyote ya mabao hilo ni jambo ambalo linawezekana kwani timu zote ambazo zinashiriki fainali hizo UNK wachezaji wa ndani na wengi wao ni mara ya kwanza kuitwa timu za taifa wakati nchi karibu zote zikiwa na wachezaji wageni stars UNK kikosi karibu kile kile ambacho kimekuwa UNK michuano mbalimbali na hilo ndilo UNK jeuri tuamini kuwa stars ina uwezo wa kushinda mchezo dhidi ya zambia ili kufikisha pointi sita iwapo stars itashinda itakuwa imefikisha pointi sita ambazo zinaweza kufikiwa na senegal tu iwapo itaifunga ivory coast katika mchezo mwingine utakaochezwa muda sawa na mechi yetu kwa kumfunga ivory coast imeonyesha kuwa kumbe tunaweza kufika mbali katika fainali hizo na ikiwezekana hata kutwaa ubingwa wa chan na ndio maana kabla ya kuanza kwa fainali hizo sisi mwanaspoti tulifanya uchunguzi wetu na kugundua stars haina sababu yoyote ya kusingizia katika fainali hizo kwani ina nguvu pengine kuliko timu nyingine zote ambazo UNK hilo linatokana na kuwa na kikosi kile kile ambacho kinashiriki mashindano mengine wakati nchi UNK kama ivory coast ikiwa imeingia na kikosi kipya chote tunaomba kila mtanzania UNK mkono taifa stars huku tukiwa na matumaini makubwa kuwa UNK nusu fainali kwa kuifunga zambia mabingwa wa afrika al ahly ya misri wamepata mwaliko wa kwenda ulaya kushiriki mechi za kirafiki ambako wanaweza kukutana na arsenal ya england lakini ikiwa ni siku moja tu tangu UNK mwaliko huko al ahly imejikuta katika balaa baada ya kufungwa bao moja sifuri na ismailia katika mechi ya ligi kuu misri juzi alhamisi kichwa cha UNK abou greisha dakika nne tangu kuanza kwa kipindi cha pili UNK ismailia pointi zote tatu na kupunguza kasi ya al ahly ambayo inawania ubingwa wa tano mfululizo wa ligi kuu misri hilo ni bao la kwanza la greisha tangu arejee ismailia mwezi uliopita baada ya kushindwa kuonyesha makali yake nchini china alikokuwa anachezea klabu ya zhejiang UNK mshambuliaji wa angola flavio alishindwa kuiokoa timu yake ya al ahly baada ya kukosa penalti kipindi cha pili cha mchezo ushindi huo umeifanya ismailia UNK mpaka nafasi ya pili ikiwa na pointi thebathini na nane huku al ahly yenye mechi moja mkononi ikiwa inaongoza kwa kuwa na pointi arobaini kipa raia wa palestina ramzi saleh alicheza mechi yake ya kwanza kwa al ahly baada ya kocha manuel jose kumuweka benchi kipa namba moja abdul hamid kutokana na makosa ya kizembe ya mara kwa mara makosa ya abdul hamid yaliifanya timu yake itoke sare ya mabao mbili mbili na petrojet katika mechi iliyofanyika jumapili iliyopita beki wa kati wa al ahly mohamed samir alilazimika kucheza nafasi ya kiungo kumsaidia UNK kutokana na mabingwa hao wa afrika kuwa na majeruhi wengi wachezaji maarufu kama ahmed fathi ahmed hassan hossam ashour na hussein ali wote walikosa mechi hiyo kutokana na kuwa majeruhi na kusimamishwa majukumu ya mohamed abou treika ambaye ni majeruhi sehemu ya kiungo ya al ahly iliyumba karibu dakika zote za kipindi cha kwanza na kama ismailia wangekuwa makini wangepata bao la mapema kocha msaidizi wa al ahly hossam al badri amekiri kwamba makosa ya mabeki wake ndio yalisababisha timu yake iruhusu bao hilo juzi usiku katika hatua nyingine al ahly imepata mwaliko wa kwenda ulaya julai ambako itashiriki michuano ya kirafiki na inaweza kukutana na mabingwa mara kumi na tatu wa england arsenal kocha msaidizi wa al ahly hossam al badri amesema kwamba bado kamati ya klabu hiyo haijaamua kama watashiriki michuano hiyo au la kocha manuel jose alikuwa tayari amepanga kukipeleka kikosi hicho kambini nchini ujerumani kuanzia julai kocha huyo wa ureno amewataka wachezaji wake kushinda kila mechi ili kutwaa ubingwa mapema ili wapate muda wa kushiriki vizuri mechi hizo za kimataifa za kirafiki ulaya waswahili wanasema punda afe mzigo wa bwana ufike ndicho kitu wanachotakiwa kufanya wachezaji wa taifa stars kufia uwanjani lakini pointi tatu UNK katika mechi yao dhidi ya zambia itakayopigwa leo jumamosi saa moja usiku kwa saa za nyumbani iwapo taifa stars itatoka sare ya aina yoyote itakuwa imeyaaga mashindano hayo kwa sababu zambia itakuwa imefikisha pointi tano huku yenyewe ikiwa imefikisha pointi nne hivyo kinachotakiwa ni kushinda tu taifa stars yenye pointi tatu iwapo itatoka sare UNK mashindano hayo kwani itakuwa inasubiri matokeo ya ivory coast na senegal ambayo hayatakuwa na msaada sana senegal ambayo ina pointi nne hata ikifungwa na ivory coast inaweza kusonga mbele kwa sababu iliifunga taifa stars katika mechi ya kwanza hivyo iwapo UNK kwa pointi senegal itasonga mbele huku ivory coast ikiwa haina nafasi kwani tayari imeyaaga mashindano hayo na hata ikishinda itafikisha pointi tatu tu taifa stars inatupa karata yake hiyo katika mji wa bouake ulio kilomita arobaini sifuri kutoka abidjan wakati huo huo kwenye uwanja wa felix UNK boigny kutakuwa na mechi nyingine kati ya ivory coast na senegal mechi zote zitachezwa muda sawa saa moja usiku kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo alisema jana ijumaa kuwa ana imani kubwa na kikosi chake baada ya mechi iliyopita kuwashinda wenyeji the elephant na kuamsha tena matumaini upya huku zambia ambayo katika mechi ya kwanza ilionyesha soka ya uhakika UNK katika mechi ya pili dhidi ya simba wa UNK na kuonyesha kiwango cha chini ingawa ilipata sare ya bila kufunga cha kwanza kabisa ni kuamini kuwa hakuna kinachoshindikana na UNK nao si timu ngeni kwetu alisema maximo ambaye katika mechi mbili za mwisho walizocheza na zambia mjini morogoro na jijini dar es salaam kikosi chake kilitoka sare ya moja moja kabla ya kushinda moja sifuri kazi si rahisi na hii si mechi ya kirafiki malengo ni tofauti na hali UNK tunataka kuwafunga ili tusonge mbele tunajua pia wao watataka kufanya hivyo hivyo mchezo utakuwa mgumu niseme kuwa UNK sana kikosi changu na hasa kama wachezaji watacheza katika kiwango chao cha juu na kufuata maelekezo yangu wakifanya hivyo tutakuwa na uhakika wa kusonga mbele zambia ilianza mechi yake ya kwanza ya kundi a kwa kishindo kwa kuwachabanga wenyeji ivory coast kwa mabao tatu sifuri huku stars ikipoteza mechi ya kwanza kwa kufungwa bao moja sifuri na simba wa UNK kocha mkuu wa zambia mfaransa herve renard aliiambia mwanaspoti kuwa wanajua kazi waliyonayo mbele ni kubwa kwa kuwa anajua ubora wa stars senegal wametupa wakati mgumu na katika mechi yao UNK vizuri hatupaswi UNK tanzania lakini tunapaswa kuwa makini kwa kuwa ni timu ambayo tunaifahamu ni bora lengo letu ni kuvuka hadi fainali tulijua kwenye mashindano haya tutakutana na timu yoyote hivyo lolote linaweza kuwa mbele yetu na tuko tayari alisema maximo anatakiwa kutumia mfumo ule ule wa kulinda muda mrefu na kufanya mashambulizi ya kushitukiza na kwa kasi timu yetu ni bora kwa kasi tuna kasi kubwa ambayo ni silaha wakati wa kushambulia alisema maximo kasi hiyo inaonekana kuongezeka baada ya kuanza kumtumia mwanzo mshambuliaji wa simba mussa hassan mgosi ambaye anaonekana kwenda sawa na kasi ya mrisho ngassa na kuwapa wakati mgumu mabeki wa timu pinzani kikosi chake kinaweza kuwa hivi juma dihile shadrack nsajigwa juma jabu salum sued nadir haroub nurdin bakari henry joseph nizar khalfan mussa mgosi mrisho ngassa na kigi makasi lakini kwa upande wa zambia kocha huyo mfaransa zaidi UNK washambuliaji wake william njobvu given singuluma na wingi henry banda kuhakikisha UNK stars ili wapate nafasi ya kusonga mbele majarida mbalimbali UNK habari za nyota wa marekani UNK kwamba wakati mwanamuziki rihanna alipopigwa na mpenziwe chris brown wiki iliyopita alikuwa mjamzito na habari zaidi zinasema kwamba huenda mimba hiyo ilitoka baada ya dada huyo kupata kipigo rafiki wa karibu wa rihanna alisema kwamba mwanadada huyo alisema kwamba alikuwa na ujauzito kabla ya kugombana na chris rafiki huyo alisema alisema kwamba alikuwa na mimba lakini hakuwa tayari kumwambia chris brown kwa sababu anafahamu mwanaume huyo hahitaji mtoto kwa sasa na baada ya tukio hilo ilifahamika kwamba rihanna alifika katika hospitali ya wanawake ili achunguzwe afya yake UNK baada ya kipigo rihana alisema mungu wangu sifahamu kama mtoto wangu yuko salama lakini baadhi ya vyombo vya habari zimesema kwamba rihana alimwambia mpenzi wake kwamba ni mjamzito ndio maana mwanaume huyo akawa na hasira huku UNK mpenziwe hata kwa sababu ndogo rihanna alihisi ana ujauzito tangu mwezi uliopita lakini alipomwambia brown kwamba ana hali hiyo kaka huyo alikuja juu alisema rafiki huyo wa karibu mtafaruku kati ya kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo na wachezaji wake watatu juzi usiku lilipata ufumbuzi baada ya waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais muhammed seif khatib kuingilia kati hatua ya khatibu ambaye ameongozana na taifa stars jijini hapa kwa ajili ya fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani lilitokana na maombi aliyopata kutoka kwa viongozi wa shirikisho la soka tanzania walio hapa baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya ingawa suala lenyewe limekuwa UNK kwa siri kubwa maximo ameingia katika wingu zito la kutoelewana na wachezaji wake wawili nyota mshambuliaji haruna moshi boban na kiungo athuman idd chuji ingawa beki wa pembeni amir maftah naye amejikuta kwenye mkumbo huo baada ya kuonekana kuwa karibu na wenzake hao wawili inaelezwa kuwa maximo amekuwa akiwashutumu wachezaji hao kutokuwa na nidhamu akianzia na haruna ambaye alicheza si zaidi ya dakika ishirini na tano katika mechi ya kwanza ya chan dhidi ya senegal na UNK nje kutokana na kuonyesha kiwango cha chini huku ikielezwa kuwa chuji ambaye hajacheza hata mechi moja kutokana na kuwa majeruhi pia alimuonyesha kocha huyo utovu wa nidhamu jambo ambalo limesababisha UNK ingawa haijawekwa wazi utovu wa nidhamu walioufanya wachezaji hao habari zinasema wachezaji hao pia walikuwa UNK maximo kutokana na kuwashutumu mara kwa mara katika masuala kadhaa ambayo UNK kitu ambacho UNK wakose uhuru kutokana na kila upande UNK upande mwingine hali ilizidi kuwa mbaya na maximo aliamua kuwaweka benchi wote katika mechi ya pili dhidi ya wenyeji ivory coast ingawa chuji alikuwa amerejea kuwa fiti na haruna hata tatizo lolote kiafya kocha UNK kwamba UNK anasema haruna UNK kwa kuwa anajiona ana jina kubwa lakini anasema pia chuji hana nidhamu na hataki kumsikiliza kitu ambacho anahofia huenda itachangia hata wachezaji chipukizi kuwa na UNK kama wataona wakubwa hao hawapewi adhabu yoyote kilisema chanzo cha habari siku ya mechi ya pili dhidi ya ivory coast jumatano mchana wiki hii wachezaji hao walionekana kujitenga mara kadhaa kutokana na kutotaka kukaa karibu na kocha huyo huku nao UNK mbrazili huyo kuwa amekuwa akiwashutumu kwa mambo kadhaa ambayo UNK nao UNK kwamba kocha UNK sana kwa mambo mengi ndio maana unamuona haruna mara nyingi anakuwa hayuko pamoja na watu kwa kuwa anasema hana raha kukaa karibu na kocha kilieleza chanzo hicho baada ya maximo kutowapanga kabisa wachezaji na kuamuru wakae jukwaani uongozi wa tff UNK suala hilo na kuona njia nzuri ya usuluhishi ni kumweleza khatibu ambaye aliwaita maximo wachezaji hao pamoja na viongozi wa tff na kufanya mkutano wa dharura usiku wa jumatano kwenye hoteli ya golf jijini hapa mwafaka wa suala hilo ulifikiwa baada ya kuona pande zote zina makosa kwamba kweli akina haruna chuji na amir walikuwa na makosa lakini maximo pia akaonekana kuwa na jazba kupindukia kitu ambacho hakutakiwa kununa badala yake kuwaeleza ukweli wachezaji hao ili UNK baada ya suluhisho hilo kikao hicho kiliamua kuwa maximo kwa kuwa ndiye kocha atakuwa na uamuzi wa mwisho kama atataka kuwatumia wachezaji hao au la katika mechi ya leo jumamosi dhidi ya zambia kwenye mji wa bouake hata hivyo maximo amesema hawezi kuwatumia na alipoulizwa na mwanaspoti alisema walikuwa wagonjwa walikuwa wagonjwa lakini ni vigumu sana kuwatumia kwa kuwa hawajafanya mazoezi kwa siku zaidi ya mbili sasa haruna juzi na jana alifanya lakini nimeelezwa anaumwa UNK maximo alipoulizwa iwapo kulikuwa na tatizo na wachezaji hao alikataa katakata kulizungumzia niko katika wakati ambao natakiwa kuangalia timu inafanya nini badala ya mtu mmoja mmoja tunatakiwa kufanya kitu kwa ajili ya watanzania hivyo sipendi kwenda kwenye upande wa mtu mmoja mmoja alisema nasisitiza na nilisema hivi tangu nimefika hapa suala la nidhamu na kujali utekelezaji wa majukumu ndilo namba moja kwangu majina hayana nafasi na watanzania wanapaswa kujifunza hili na kujua kila kitu kinawezekana hata bila ya majina kama kuna mtu anaona ana jina kubwa basi ni vizuri UNK uwezo uwanjani kwa ajili ya heshima ya tanzania na si jina tu huku hana msaada wowote alisema bila kuweka wazi UNK nani hasa ingawa moja kwa moja ilionekana inakwenda kwa haruna na chuji boban na chuji walikataa kulizungumzia suala hilo kwa madai wanajisikia vibaya ndio maana UNK katika mazoezi ya pamoja na wenzao ingawa mdau mwingine alisema wachezaji hao inaonekana hawana uhusiano mzuri na maximo kwa sasa wachezaji hao mara kadhaa wamekuwa kama wakimbizi na sehemu UNK wenzao wao wamekuwa UNK ingawa daktari wa timu juma sufiani naye aliiambia mwanaspoti kwamba walikuwa wagonjwa haruna anaendesha chuji bado UNK na maftah anasumbuliwa na malaria ingawa bonny UNK mazoezi taratibu alisema sufiani ambaye siku tatu zilizopita UNK mwanaspoti kwamba chuji yuko katika hali nzuri na anaweza kucheza kama kocha atataka UNK maximo alisema baada ya fainali za chan atafanya mabadiliko makubwa katika kikosi chake na atachagua vijana huku akiwaacha wachezaji ambao wana majina makubwa kwa madai hawana msaada wowote katika timu amekuwa akiwatumia mussa mgosi na kigi makasi kuziba nafasi za haruna na chuji katika mechi zake za chan akiwa ameanza na mechi dhidi ya ivory coast ambayo stars ilishinda kwa bao moja sifuri si mara ya kwanza kwa maximo kuingia katika malumbano na wachezaji kwani juma kaseja mmoja ya makipa mahiri tanzania alipigwa chini na mpaka sasa maximo amekuwa akisema kuna jambo moyoni kati yake na kaseja manchester united jana ilianza kukusanya vikombe msimu huu wakati UNK kombe la ligi kwa kuishinda kwa penati tottenham hotspur katika fainali iliyofanyika kwenye uwanja wa wembley na kuisha suluhu katika muda wa kawaida na nyongeza anderson alifunga penati ya ushindi ya united baada ya jamie UNK na darren bentley wa spurs kupoteza mikwaju yao nafasi zilikuwa chache katika muda wa dakika tisini na nyongeza huku UNK UNK akimlazimisha kipa wa united ben foster kufanya kazi ya ziada na kiki ya cristiano ronaldo kugonga mwamba UNK wachezaji wa united wakikimbia huku wakishangilia kuelekea kwa anderson aliyepiga penati ya ushindi wanariadha wa tanzania jana walishindwa kuendeleza rekodi ya mwaka jana baada ya kushindwa kungara katika mbio za kilimanjaro marathon dhidi ya wakenya katika mbio za kilimanjaro marathon kilometa arobaini na mbili mia moja na tisini na tano UNK UNK kutoka kenya aliibuka mshindi baada ya kutumia saa mbili kumi na tano ishirini na nne na kumwacha patrick nyangero kutoka jwtz arusha aliyeshika nafasi ya pili akitumia mbili kumi na tano thebathini na nne huku mkenya mwenzake julius kilimo akikamata nafasi ya tatu kwa mbili kumi na tano thebathini na tano huku pia bingwa wa mwaka jana jumanne UNK akishindwa kumaliza baada ya kushikwa na misuli kwa upande wa wanawake bingwa mara mbili ishirini sifuri saba ishirini sifuri nane UNK brighton alishindwa kumaliza kutokana na kuwa majeruhi hivyo kumwacha jane UNK wa kenya akishinda kwa kutumia saa mbili arobaini na moja thebathini mshindi wa pili alikuwa UNK UNK pia wa kenya aliyetumia mbili arobaini na tisa hamsini na tisa na kufuatiwa na mwenzake UNK UNK aliyetumia saa mbili hamsini na nne kumi na sita kwa upande wa nusu marathon kilometa ishirini na moja wanaume samwel UNK wa magereza arusha aliitoa kimasomaso tanzania baada ya kuibuka wa kwanza kwa kutumia saa moja sifuri tatu arobaini na sita na kufuatiwa na shamba gitime kutoka team kumi sifuri pia ya arusha kwa saa moja sifuri nne kumi na sita huku nafasi ya tatu ikienda kwa mkenya peter UNK kwa upande wa wanawake hellen mugo alishinda kwa kutumia saa moja kumi na saba kumi na nne na kufuatiwa kwa karibu na mwanariadha chipukizi mshindi wa medali ya shaba mita tatu sifuri sifuri sifuri katika mashindano ya jumuiya ya madola kwa vijana ishirini sifuri nane na mwanamichezo bora wa oktoba wa taswa mary naali aliyetumia saa moja kumi na saba ishirini na nne huku wa tatu akiwa ni UNK UNK kutoka kenya mbili kumi na saba arobaini na nane katika mbio za nusu marathon kwa walemavu ambazo UNK na benki ya standard chartered maulid juma aliibuka mshindi akitumia saa moja arobaini na mbili arobaini na nne na kufuatiwa na UNK lema moja arobaini na moja kumi na moja huku nafasi ya tatu ikienda kwa yussuf UNK moja arobaini na moja kumi na moja akizungumza baada ya mbio hizo mgeni rasmi waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa bernard membe aliwapongeza wadhamini wa mbio hizo kwa kutambua umuhimu umuhimu wa kuendeleza mchezo wa riadha ambao kihistoria na mpaka sasa unaendelea kuliletea sifa taifa kimataifa kuliko michezo mingine nawashukuru kwa kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali kuinua mchezo wa riadha nawasihi UNK azma hii thabiti kwani jitihada zenu UNK na kuwaletea heshima ya aina yake ukizingatia kuwa udhamini wenu unasaidia kuibua vipaji ambavyo UNK taifa letu katika mashindano mbalimbali ya kimataifa mbio za kimataifa za kili marathon zimedhaminiwa na kampuni ya bia tanzania standard chartered bank vodacom dt dobie tanga cement kk security UNK UNK goodyear kili water hoteli ya new africa na keys huku waratibu wa kitaifa wakiwa ni executive UNK na wa kimataifa ni UNK UNK kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo amekiri kwamba kiungo wake mshambuliaji mrisho ngassa alishindwa kuonyesha kiwango kilichozoeleka akimtetea kuwa ni kutokana na mashindano magumu ambayo UNK mfululizo kila baada ya saa arobaini na nane akizungumza juzi katika hoteli president mjini hapa maximo alisema ngassa alishindwa kuonyesha kiwango chake cha kawaida kutokana na ugumu wa michuano hiyo ambayo wachezaji walicheza mechi tatu ngumu ndani ya wiki moja huku wakilazimika kupumzika saa arobaini na nane kabla ya mechi nyingine hata kama utasema ni ligi ile ya tanzania haiko hivyo mechi tatu ndani ya wiki moja si rahisi halafu mechi za huku ziko juu zaidi na unakutana na wachezaji wenye uwezo wa juu na ufundi mkubwa hivyo ilikuwa ni vigumu sana mchezaji kucheza katika kiwango cha juu kama ingekuwa ni mechi moja yaani maandalizi yanakuwa ni kwa ajili ya dakika tisini inakuwa ni rahisi kidogo si ngassa pekee hata ukiangalia wachezaji wengine yuko huyu alicheza mechi hii vizuri nyingine UNK ni vitu vigeni ambavyo wanatakiwa kukutana navyo mara nyingine tena ili UNK ndiyo maana utaona nimekuwa UNK kufanya mabadiliko ya wachezaji watatu kila mechi kwa kuwa nataka wapumzike na kujenga nguvu kwa ajili ya mechi inayofuata alisema maximo katika mechi ya kwanza dhidi ya senegal ambayo stars ililala ngassa akashindwa kuonyesha cheche zake lakini aliibuka katika mechi ya pili dhidi ya ivory coast na UNK mabeki kama kawaida yake lakini akashuka tena kiwango katika mechi ya tatu dhidi ya zambia ambayo ilimalizika kwa sare ya bao moja moja UNK ndiye amekuwa tegemeo kubwa katika ushambuliaji na pasi za mwisho katika kikosi cha maximo na amekuwa UNK namba mara kadhaa kama katika michuano ya chan mara nyingi amekuwa UNK kama mshambuliaji wa kati badala ya pembeni henry joseph na nizar khalfan viungo wa stars nao walishindwa kucheza baadhi ya mechi lakini waliibuka na kufanya kazi kwa nguvu jambo ambalo maximo anasisitiza kuwa limetokana na kutozoea mashindano magumu rais jakaya kikwete ameeleza masikitiko yake kutokana na kutolewa mapema kwa taifa stars katika michuano ya afrika na kueleza kuwa UNK kamwe timu hiyo na badala yake UNK mkono ili ipate mafanikio makubwa zaidi taarifa ya ikulu iliyotolewa jana ilieleza kuwa rais amesikitishwa na kutolewa mapema kwa timu hiyo na zambia katika dakika za majeruhi lakini UNK hatua UNK katika maendeleo ya soka sasa UNK na kuheshimika katika ulimwengu wa soka barani afrika tuongeze bidii UNK nyuma bali twende mbele ilieleza taarifa hiyo kikwete aliwapongeza wachezaji na benchi la ufundi la timu hiyo kwa juhudi zao ambazo UNK mafanikio timu hiyo ambayo imeonyesha kiwango kikubwa na kizuri cha soka pia kikwete aliwapongeza watanzania kwa kuendelea kuiunga mkono timu hiyo kwa kiwango kikubwa pamoja na UNK kiasi cha kuipa maendeleo ambayo UNK watanzania wenzangu UNK moyo mwanzo mgumu tumeanza vizuri na tumefika pazuri UNK kuiunga mkono timu yetu mimi naahidi kuendelea kuiunga mkono timu yetu mpaka tufike pale UNK UNK wakati huo huo UNK UNK anaripoti kuwa rais wa shirikisho la soka tanzania tff leodgar tenga ameipongeza stars kwa nidhamu ya hali ya juu katika michuano ya fainali za chan akizungumza na mwananchi jana tenga alisema stars ilicheza kwa kujituma na kuonyesha ni jinsi gani UNK makosa yake na kuwasihi watanzania wakubaliane na matokeo timu hiyo UNK tanzania tuna kila namna ya kujivunia kutokana na timu yetu UNK nchini ivory coast kwa kiwango walichokionesha mpaka UNK katika michuano hiyo alisema tenga aliongeza tumetolewa katika michuano hiyo ya chan kwa mbinde baada ya kufungwa goli katika dakika za mwisho na kufanya sare ya moja moja stars wanatakiwa UNK kwa namna moja ama nyingine cha msingi ni kusisitiza timu kufanya vizuri kwenye michuano ijayo stars inategemewa kucheza mechi ya kirafiki jijini dar es salaam na timu ya vancouver white caps ambao ni mabingwa wa ligi ya marekani ya kaskazini ligi inayojumuisha nchi za marekani na canada nahodha wa timu ya taifa taifa stars shadrack nsajigwa amesema zambia UNK juzi UNK tonge mdomoni kutokana na kukosa umakini UNK nafasi wapinzani wao wapate bao katika za nyongeza akizungumza na mwananchi mjini hapa nsajigwa alisema inawezekana kabisa kujenga imani za kwamba dakika zimeisha na wao wameshinda ndizo ziliwapa nafasi zambia ambao walipambana hadi mwisho wa mchezo kupata bao katika dakika hizo za majeruhi hapa UNK nani labda kila mmoja UNK mwenyewe kwa kuwa tulikuwa karibu wote UNK kikubwa ni kukubali kwamba tumepoteza nafasi na ni uzembe wetu tuliona kama UNK kitu ambacho ni makosa makubwa kila mmoja UNK hana raha hapa kwa kuwa nafasi ilikuwa yetu kwa kila kitu lakini UNK na haiwezekani kuirudisha badala yake tuifanye kama mafunzo na turejee nyumbani kwa ajili ya kujipanga na mambo mengine tena ya maana alisema nsajigwa ambaye alifunga penalti iliyoifanya stars kuongoza kabla ya wazambia kusawazisha dennis banda aliunganisha moja kwa moja mpira wa kona ya kumi na nane kona iliyochongwa kutoka mashariki ya uwanja na kuandika bao la kusawazisha baada ya bao hilo mwamuzi alielekeza mpira kati na hapo hapo akapiga filimbi ya kumaliza mpira hivyo kuwaacha wachezaji wa stars UNK chini kwa majonzi mashabiki wa stars waliojitokeza kuishangilia wakiwamo waliotoka dar es salaam na wengine abidjan hawakuamini kilichotokea huku wale wa zambia waliokuwa wengi zaidi wakishangilia kwa nguvu sana kupatikana kwa bao hilo stars ilipata penalti baada ya beki mmoja kuunawa mpira wakati akijaribu kuokoa wakati mrisho ngassa alipoingia kwenye eneo la hatari la zambia na kupiga krosi iliyomkuta beki wa zambia UNK mpira UNK mwenzake mkononi ambaye alikuwa amekaa chini baada ya kutokwa na ngassa kama stars UNK UNK nafasi ya kucheza nusu fainali na kuongoza kundi a zambia walikuwa wanahitaji sare ili wafikishe pointi tano na kufanikiwa kwenda nusu fainali kitu UNK UNK president jakaya kikwete commended taifa stars yesterday for UNK UNK they have UNK in the african nations UNK despite their UNK to qualify to the UNK he UNK the UNK for working UNK to UNK the team UNK better UNK that their UNK have made tanzania UNK in football the president also expressed his UNK to the public for UNK patriotic to their country as to support their team he said i am pleased with the progress our national team has made in this UNK UNK after UNK the president UNK to keep on UNK the team saying i will continue to support the team we have to reach the level we UNK the UNK in chief pointed out that he was UNK by the fact that taifa stars failed to UNK on to a moja sifuri UNK they had in the UNK time before zambia UNK an equaliser UNK away from UNK however the football UNK president was UNK that tanzania can UNK good progress UNK that leaders set UNK UNK in the game played in bouake chipolopolo s equaliser was enough to send them to the semi finals after UNK with five UNK which UNK only be UNK by senegal the UNK match between senegal and the hosts ivory coast finished in a UNK UNK UNK from group a senegal and zambia UNK to semi finals the UNK chan tournament was UNK UNK for players trading their skills in their home UNK tanzania qualified for the chan tourney for the first time UNK elfu moja na mia tisa na themanini when they managed to reach the same UNK after UNK zambia in the african nations championship the kilimanjaro UNK UNK off yesterday UNK and kenyan runners managed to dominate the races after winning many top UNK in the UNK UNK half UNK race for participants with UNK julius mutie finished first after UNK moja kumi na nane ishirini the event was sponsored by the standard UNK UNK i feel UNK happy to win this race it is my second win in two years last year i won UNK event in kenya mutie said he said he was UNK UNK to competing in the UNK UNK UNK UNK tournament and UNK to take part in the ishirini moja sifuri commonwealth games in UNK india his compatriot steven UNK came second after UNK moja ishirini sifuri sifuri as the tanzanian wilbert UNK managed a third UNK winners were UNK shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri each while other participants who finished in the top ten also got awards from the UNK the winners UNK the sponsors for their support saying they UNK UNK to UNK with UNK disabled from east africa alex UNK who is the sponsors head of global UNK said they managed to raise up UNK shilingi thebathini milioni from the event for the UNK while in the half marathon tanzanian samwel UNK won the event after UNK moja sifuri tatu arobaini na tatu as his compatriot gitime shamba came second the women UNK saw kenyan UNK mugo win the title with tanzanian mary naali coming second the full marathon race sponsored by the kilimanjaro premium lager was won by kenyan UNK kibet and patrick nyangero of tanzania finished second UNK the five UNK fun UNK saw UNK minister for information culture and sports joel bendera mp lucy UNK and kilimanjaro police commissioner mohamed babu take UNK young africans UNK UNK ambani who UNK to china for UNK will join his club before the first leg of african champions league encounter against egyptian side al ahly iman madega who is club s chairman said yesterday ambani has UNK of the club to go for the trial and will come back between march sita and tisa madega said there was no problem with the player as he went for a short time saying they were certain to UNK him in the coming UNK the UNK is UNK to happen we have UNK him because the chinese team followed UNK it is a golden opportunity for our player to UNK his skills madega said he added the club did not UNK mrisho ngassa to join UNK club because UNK UNK UNK and UNK the chairman said the club was not UNK with the UNK the soccer UNK UNK the matter by UNK them meanwhile he said other players are training and they would start residential training when other key players return from ivory coast i cannot UNK UNK when the residential training will start but it is UNK this week a day after the arrival of other ten players madega said the team is in preparations for the coming UNK UNK by al ahly the match will be played on march kumi na tano the team will leave for cairo on march kumi na tatu the match will be UNK by UNK from morocco UNK UNK UNK ayoub mohamed and UNK UNK while UNK UNK will be kombo ali from zanzibar ikumbukwe kwamba si kila mwanamke UNK kuwa na ngozi ya kawaida watu UNK ngozi ya aina hii ni wachache mno na wanatakiwa UNK kwamba wamepata faida kwa UNK hivyo pamoja na kwamba kupata ngozi ya namna hiyo ni faida lakini kuna watu ambao hawajui wafanye nini UNK ngozi hiyo badala ya kuitunza UNK UNK vitu vya ajabu ambavyo UNK chunusi hivyo mtu huonekana mbaya badala ya kupendeza ikumbukwe kwamba hata kama ngozi yako ni nzuri namna gani kama ukitumia vipodozi visivyotakiwa au kama ukiacha kuitunza kitaalam unaweza kujikuta UNK na harara zisizo za lazima katika makala ya leo tutaangalia mbinu za kufanya ili kuepuka chunusi kwa mwanamke mwenye ngozi ya kawaida kwa kawaida mtu mwenye ngozi ya aina hiyo hahitaji ufundi mwingi ili kuhakikisha anakuwa mbali na chunusi au vipele vidogo kitu cha msingi kwa mtu mwenye ngozi ya aina hiyo ni kuhakikisha anakuwa na kawaida ya kuosha uso kwa kutumia UNK vilevile mtu wa aina hiyo anashauriwa kuosha uso wake kwa kutumia maji yasiyo na chumvi UNK UNK iwapo eneo UNK lina maji ya chumvi unaweza kuhakikisha kwamba UNK kwa maji hayo na baadaye UNK uso kwa maji ya kawaida mtu mwenye ngozi hiyo pia anaweza kuepuka chunusi kwa kupaka maji ya limao usoni kila anapotaka kwenda kulala na kuhakikisha UNK uso wake vema ifikapo asubuhi vile vile muhusika anashauriwa kutumia vipodozi ambavyo UNK rangi ya ngozi na kwa ushauri zaidi anaweza kuonana na daktari wa ngozi ili ajue nini cha kufanya wakati fulani kuna wanandoa watarajiwa wawili walinifuata kuomba ushauri kuhusu nini wafanye ili ndoa yao iwe ya mafanikio makubwa kwa maana kuwa hawapendi siku moja UNK katika maisha ni jambo la msingi sana kupenda kujifunza mbinu za kufanya ili kuhakikisha unakuwa mtu UNK na amani ikiwezekana siku zote kwa baadhi ya watu hili huenda likawa ni jambo lisilowezekana ukweli ni kuwa kama UNK hakuna lisilowezekana katika maisha mojawapo ya mambo ya msingi sana katika uhusiano ni kwa wahusika kupenda kuwa karibu na kila mmoja kujiona kuwa ana deni la kumpenda na kumfanyia mambo mema mwenzi wake hakuna amani ya kweli katika maisha ya uchumba au ndoa inawezekana kupatikana ikiwa wahusika wenyewe wanashindwa kuaminiana UNK kuaminiana namaanisha pia tabia ya baadhi ya watu kupenda kuhisi mambo na UNK kuwa ni halisi bila kuomba kupata ukweli au la ndugu zangu uwezo wa kufikiri miongoni mwa wanadamu si sawa wakati mwingine ni kwamba wewe unaweza kuhisi hivi kwa sababu ya vile lakini kumbe ukweli sio huo ndio kusema kwamba ni vizuri kupata nafasi ya kujua ukweli badala ya kungangania na msimamo wako uhusiano wowote ambao watu wake wanapenda kuendekeza misimamo yao ni vigumu sana kuwa na uhusiano mzuri uchumba na ndoa ni ndoto kuwa na maendeleo mazuri kama hakuna kushuka ni suala la lazima kwa wahusika wakubali kushuka na kukubaliana kuondoa tofauti zao ikiwa unataka kuingia kwenye ndoa lakini kukawa na dalili mbaya kwa maana kuwa hamuelewani au mmoja amekuwa akishika zaidi misimamo yake ni dalili isiyo ya kuridhisha kwenye uhusiano huo cha msingi ni kwa wahusika wenyewe UNK hilo na kuanza kubadilika tabia kimsingi wake ni jambo linaloweza kubadilika ikiwa mtu kwa mfano alikuwa ana tabia mbaya UNK kwamba nataka kuacha tabia hiyo na kuwa mwenye tabia nzuri kwa hakika hakuna UNK kama wewe ulikuwa una tabia nzuri leo umekuwa na mbaya ndio kusema kuwa unaweza kubadilika kuwa na tabia mbaya au unaweza kuwa na tabia nzuri ninachosisitiza hapa ni umuhimu wa wahusika kujadiliana kuhusu uhusiano wao kwani msingi mkuu wa kuwa na uhusiano mzuri ni UNK hata hivyo majadiliano hayo UNK kuboresha sio kuharibu kuharibu ni pamoja na kujadiliana migogoro kwa mfano kubishana kuhusu hisia zao nk kwa mfano utakuta watu badala ya kuangalia namna ya kuimarisha uhusiano wao wanaendeleza mijadala kwamba aaah hapana UNK wewe ni UNK tu aaah mbona umefanya hivi na vile ndio ulikuwa umefuata wanawake zako nk mtu anafikia hatua za kumwambia mwenzi wake kuwa si mwaminifu kwa sababu ya hisia tu hana uhakika kumwambia mwenzi wako kwamba si mwaminifu hasa pale anapokuwa mwaminifu ni jambo la hatari sana ni vizuri kutamka hili ukiwa na uhakika wa asilimia mia moja sio kwa hisia tu kuna athari nyingi za kutamka ovyo jambo hili mojawapo ni kwamba mwenzi wako atakuwa anahisi labda UNK sababu aonekane asiyefaa una mwingine au wakati mwingine anaweza kuhisi kwamba aaah mtu huyo labda UNK UNK hiyo ni moja ya mbinu za kumuona fulani hafai mbinu ya aina hii hutumika katika masuala ya UNK na hasa vitani ni kwamba unamfanya mtu UNK asiyefaa ni njia moja ya kisaikolojia ya kuharibu akili ya mtu wakati fulani kuna wachumba ndani ya siku maalum ya wapendanao mmoja alianzisha ukorofi kwa kusema aaah mbona una dalili kwamba ulikuwa na mwanamke mwingine ni kwamba mwanamke kwa mujibu wa maelezo yake alimkuta mwanaume akiwa na kitu UNK meta ambacho mwanaume hajui ni wapi UNK lakini alikubali kwamba anaomba msamaha yaishe hiyo haiwezi kuwa ni njia pekee kwa wapendanao kwa dhati kuachana huenda ikawa ni vitu UNK kutoka sehemu moja kwenda nyingine nk ni suala la kuzungumza na kusubiri ukweli subiri iko siku ukweli utajulikana wala usikubali kuendeshwa na hisia pia si vizuri kufanyiana visa kama nilivyosema wapo watu kwa sababu ana mambo yake UNK migogoro ili tu UNK kwamba aaah wewe endelea na mambo yako au ni kwa sababu tayari UNK inakuwa vigumu sasa kukaa pamoja kuzungumza kwa raha matokeo yake ni mmoja hususan yule alijiwekea mipango yake kuondoka na kwenda kule ambako alikuwa anataka kwenda msingi mwingine muhimu hata kama mwenzi wako anaonekana UNK sababu za kukufanya UNK UNK cha msingi ni wewe kusimamia ukweli na kufanya UNK kuhakikisha amani ya kweli inapatikana linda utu wako wala usikubali hata siku moja kuuvunja kwa aina yoyote ile iwe kwamba wewe ni maskini au la hata kama wewe labda ni mtu fulani wa kutokea kwenye mazingira yasiyo ya kuvutia amini wewe ni bora wala usikubali mtu yeyote UNK kwa namna yoyote ile ndugu yangu mambo mazuri hutafutwa ndio kusema kuwa nawe kwa jitihada zako hakika siku moja hali yako ya maisha UNK lakini pia unapaswa kufahamu kuwa ni heri uwe maskini mwenye furaha na amani kuliko kuwa kwenye uhusiano wa UNK ambao hamna amani ya dhati katika nafsi zenu kocha wa manchester united amesema kwamba ameanza kutimiza malengo yake ya kunyakua vikombe mbalimbali vya england na ulaya msimu huu na kwa kuanzia wamelitwaa kombe la carling wikiendi kocha huyo amebainisha kwamba vikombe vinavyofuata ni kombe la fa ligi kuu england na hatimaye ligi ya mabingwa ulaya ferguson alifurahi kuona kikosi chake kikipata ubingwa mwingine baada ya kunyakua kombe la dunia la klabu mwishoni mwa mwaka jana lakini kocha huyo anakiri kwamba hakuna muda wa kutosha wa kusherehekea ubingwa uliopatikana kwa njia ya penalti na badala yake wasonge mbele na kusaka vikombe vingine alisema tungetakiwa kumaliza kazi kabla ya kupewa dakika za nyongeza nina uhakikka kwamba hata tottenham watakuwa wanaongea maneno kama haya wachezaji watakuwa wamechoka kwa sasa nimewataka wapumzike kiasi ubingwa wa ligi kuu england ni kitu tunachokiwania kwa udi na uvumba sambamba na ligi ya mabingwa ulaya katika mechi hiyo ben foster aliokoa shuti kali la jamie o hara katika dakika za awali na david bentley alishindwa kuipa manchester united ubingwa mapema katika uwanja wa wembley ferguson amefurahishwa na kiwango alichokionyesha foster na alisema alidaka mipira bila wasiwasi na wachezaji wangu hawakufanya makosa katika upachikaji wa penalti kipa wa england foster aliongeza ni jambo la kufurahisha ilikuwa ni mechi ya kupaniana dakika thebathini za mwisho tulicheza kwa nguvu lakini ilikuwa ni jambo zuri kuibuka na ushindi ninawaonea huruma wapinzani wetu walijitahidi lakini mpira ni mchezo wa ajabu wakati mwingine ni wa kikatili kocha wa tottenham harry redknapp amesema hajutii kitendo cha kupoteza kombe la carling mikononi mwa manchester united kikosi hicho kilikosa kombe hilo baada ya kufungwa mabao nne moja kwa njia ya penalti kufuatia kumalizika kwa dakika mia moja na ishirini huku kila timu ikishindwa kuona lango la mwenzake sasa kocha redknapp amewataka wachezaji wake wasahau mambo hayo na badala yake wahangaikie mechi ya ligi kuu england dhidi ya middlesbrough itakayochezwa kesho jumatano redknapp alisema tulicheza vizuri sana na mwisho wa mechi ilikuwa ni kama kamali nataka kuwa mkweli kwa kusema kwamba hatukuwa makini wakati wa kupiga penalti lakini walishindwa kutufunga katika dakika ya tisini au mia moja na ishirini tulikuwa imara wakati huo huo redknapp anaamini kwamba manchester united itaweka historia mpya msimu huu kwa kunyakua vikombe vitano tayari kikosi cha manchester united kimenyakua kombe la dunia wa klabu na sasa wamechukua kombe la carling wanaongoza ligi kuu england wako katika robo fainali ya michuano ya kombe la fa na wanaendelea kufanya vema kwenye ligi ya mabingwa ulaya kocha wa spurs redknapp ametabiri kwamba kikosi hicho kitatesa msimu huu alizema wana nafasi nzuri ya kufanya vema msimu huu ni wazi kwamba upepo wa ubingwa wa ligi kuu england unavuma mlangoni kwao na watajitahidi kupata ushindi wa ligi ya mabingwa ulaya kabla ya kunyakua kombe la fa redknapp pia anaamini kwamba mpango wa ferguson wa kuwapa kasi wachezaji chipukizi ni mzuri juzi aliwachezesha danny welbeck na darron gibson katika kikosi cha kwanza lakini mambo yalipokuwa magumu aliwaingiza wachezaji wakongwe redknapp aliongeza tuwe wakweli ni kwamba tumecheza na timu kubwa ya ulaya na si kikosi cha vijana aliwaanzisha wachezaji vijana wawili lakini baadaye waliingia vidic na giggs kunapokuwa na kombe mezani alex hufanya kila jitihada kuhakikisha kikosi chake kinaibuka na ushindi kocha wa arsenal arsene wenger amesisitiza kwamba kitendo cha mashabiki wa arsenal kuonyesha hasira juu ya kikosi chake hakimuogopeshi kocha huyo amesema kwamba mashabiki wanatakiwa watathmini matokeo ya kikosi baada ya msimu kumalizika na si kuanza kuzomea hivi sasa kikosi hicho kimeshindwa kuonyesha soka safi na kupachika mabao katika mechi za karibuni mashabiki wanaonekana kushikwa na hasira na mwenendo wa kikosi huku uwezekano wa kushiriki ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao ukionekana kuwa finyu zaidi lakini wenger alisisitiza kwamba bado ana imani na wachezaji wake na amekitaka kikosi kuonyesha kwamba mawazo ya mashabiki si sahihi alipoulizwa kama anaona mashabiki wamepoteza mapenzi na klabu alijibu sifahamu huo si wasiwasi wangu kitu muhimu ni kwamba tunakwenda sawa tunatakiwa kuonyesha kasi kubwa na kufanya mambo tunayotakiwa kufanya baada ya ligi tutawaruhusu mashabiki watoe maoni na mitazamo yao ninafahamu kubwa tatizo si kubwa kwa hiyo hakuna sababu ya kuogopa sana lakini wasi wasi wangu ni kwamba kwa nini hatushindi mechi ambayo tunapaswa kushinda aliongeza nadhani wachezaji wangu wanaonyesha uwezo mkubwa lakini kama hawapati mabao mashabiki lazima watalalamika tunajua ni kwa kiasi gani tunataka kuingia katika ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao na kwa upande wangu sio kitu cha kujiuliza ni lazima kufanya hivyo kocha wa arsenal arsene wenger amesisitiza kwamba kitendo cha mashabiki wa arsenal kuonyesha hasira juu ya kikosi chake hakimuogopeshi kocha huyo amesema kwamba mashabiki wanatakiwa watathmini matokeo ya kikosi baada ya msimu kumalizika na si kuanza kuzomea hivi sasa kikosi hicho kimeshindwa kuonyesha soka safi na kupachika mabao katika mechi za karibuni mashabiki wanaonekana kushikwa na hasira na mwenendo wa kikosi huku uwezekano wa kushiriki ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao ukionekana kuwa finyu zaidi lakini wenger alisisitiza kwamba bado ana imani na wachezaji wake na amekitaka kikosi kuonyesha kwamba mawazo ya mashabiki si sahihi alipoulizwa kama anaona mashabiki wamepoteza mapenzi na klabu alijibu sifahamu huo si wasiwasi wangu kitu muhimu ni kwamba tunakwenda sawa tunatakiwa kuonyesha kasi kubwa na kufanya mambo tunayotakiwa kufanya baada ya ligi tutawaruhusu mashabiki watoe maoni na mitazamo yao ninafahamu kubwa tatizo si kubwa kwa hiyo hakuna sababu ya kuogopa sana lakini wasi wasi wangu ni kwamba kwa nini hatushindi mechi ambayo tunapaswa kushinda aliongeza nadhani wachezaji wangu wanaonyesha uwezo mkubwa lakini kama hawapati mabao mashabiki lazima watalalamika tunajua ni kwa kiasi gani tunataka kuingia katika ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao na kwa upande wangu sio kitu cha kujiuliza ni lazima kufanya hivyo staa wa filamu za tanzania kanumba amesema baadhi ya wasichana huingia katika tasnia hiyo ya uigizaji kwa sababu ya kupata wachumba na kujulikana tu akizungumza katika kipindi cha mcheza kwao kinachorushwa na star tv kanumba alidai baada ya mabinti hao kutimiza malengo yao UNK katika fani hiyo anasema chanzo cha wasanii UNK michezo UNK katika runinga na filamu kuitwa wauza sura ni kutokana na tabia hiyo ya kinadada kutafuta wachumba kwa njia ya UNK mabinti wengi wanatafuta nafasi ya kuigiza aidha katika UNK ya runinga na hata katika filamu wakiwa na lengo la kuuza sura zao kwa kutafuta wachumba na hii ndiyo chimbuko la waigizaji kuitwa wauza sura kitu ambacho si UNK na taswira halisi ya tasnia hii anasema kanumba sisi wasanii ambao tumeanza tangu zamani na mpaka sasa bado tupo kwenye tasnia hii tunapigana kufa na kupona ili kuweza kufikisha filamu zetu katika soko la kimataifa na hilo UNK hapa nyumbani sasa kama watu fulani wanafanya mzaha kwa kuigiza kwa lengo la kutafuta wachumba au kuolewa hao ndio UNK zetu UNK wasanii kumi maarufu zaidi kwenye filamu za tanzania huwezi kumkosa nora na amefikia katika hatua hiyo kutokana na mambo mengi ambayo baadhi yake ni mabaya na mengine mazuri wapo UNK na kumkubali kutokana na umakini na ubora wake katika kuuvaa uhusika kuanzia kwenye maigizo ya televisheni mpaka katika filamu ambazo nyingi UNK zimekuwa na mauzo ya juu lakini kutokana na fani yake amekumbwa na kashfa kadhaa katika miezi ya hivi karibuni nyingi kati ya hizo ikidaiwa kuwa ndio maisha yake halisi ya uraiani ingawa yeye amekuwa akikanusha na kudai kuwa UNK msanii huyo amekuwa akidai kwamba watu wengi wamekuwa UNK maisha yake kwa malengo yao binafsi ingawa mara kadhaa amekuwa mgumu kuzungumzia matukio yake halisi ambayo yamekuwa na vithibitisho vya picha lakini nora anadai kuwa umaarufu wake UNK na kugawa penzi kwa mapromota au waandaji kama UNK na baadhi ya watu wenye malengo yao binafsi nora amedai kuwa wasanii chipukizi wa kike na wasio na majina wamekuwa UNK kwamba umahiri wake umetokana na kutoa penzi kwa watu mbalimbali ili wampe nafasi ya kuonekana baadhi ya waandaaji wa filamu za kibongo za kitanzania ni matapeli kabisa wala hawana lolote wanatumia nafasi zao kufanya mambo mengine kabisa na yanayofahamika anasema ambaye hivi karibuni aliwahi kuangua kilio mbele ya waandishi wa habari kwa madai kuwa UNK wanatumia nafasi zao kuwalaghai mabinti kwa lengo la kufanya nao ngono halafu baadae UNK kwenye mataa wanatumia mifano mingi ya uongo ya majina ya watu anasema msanii huyo ambaye jina lake halisi ni nuru UNK mtu UNK msanii mdogo kwamba mimi UNK penzi kwa watu ndio maana nimefikia kwenye umaarufu niliona kwa hiyo na yeye akitaka kufanikiwa awe naye karibu ikiwa ni pamoja na kumpa penzi kitu ambacho ni upotoshaji mkubwa mchezo huo mchafu UNK wasanii na UNK matope ni mambo ambayo UNK sio tu kwa mimi bali wasanii wote ambao wanapigana kufa na kupona kwa lengo la kufanikiwa UNK nyuma na baadhi ya watu kuona kuwa sanaa kwa wanawake ni uhuni na ili waweze kufikia kiwango fulani lazima wawe na mahusiano na watu kitu ambacho si kweli hata kidogo na UNK UNK mimi anasisitiza nora anasema hali hiyo kwa upande mwingine inachangia UNK sokoni kwa filamu ambazo hazina ubora unaotakiwa kutokana na kuwa waandaaji hawakuwa na haja ya kuandaa filamu makini bali kutimiza matakwa yao kuna mfumuko wa filamu ambazo hazina ubora katika soko la hapa nyumbani na hata kufikia hatua ya wananchi UNK na UNK filamu zetu na za nigeria kutokana na waandaaji wachache kushindwa kutunga stori zao na kubaki UNK za wenzetu nora anasema wasichana wengi kwa kutaka majina ya haraka UNK kwa kujua wasanii wa mahiri ndio UNK ngazi kama hizo na kuanza kudanganywa kuwa watakuwa maarufu zaidi ya waliopo kwenye chati wasichana wanakuwa rahisi kudanganywa na wao bila UNK wanakubali tu kutumiwa kisha UNK waandaaji wengi UNK kuwa wasanii wote wa kike ambao ni maarufu kama mimi eti tulifanya vitendo kama hivyo kumbe sisi hatukufanya vitendo hivyo nao bila kujiuliza basi wanakubali kutumiwa anasema nora nora anasema alianza kuigiza tangu mwaka ishirini sifuri sifuri katika kundi la sanaa la UNK la dar es salaam na mpaka sasa ni miaka nane ambayo imekuwa na vikwazo matatizo na mafanikio ambayo yamemfanya kufikia alipo wala si kutokana na kutoa penzi umaarufu wangu katika uigizaji umetokana na kipaji changu nafasi yoyote ambayo UNK nafanya vizuri na naelewa kwanza uhusika kabla ya kuanza kazi anasema nora sikuwa na papara na waandaji matapeli kwanza nimekataa kufanya kazi nyingi na waandaaji feki ambao nilikuwa UNK kuwa nia yao si kufanya kazi bali ni kutaka mapenzi kutoka kwangu na kwa baadhi ya mabinti ambao walikuwa wakitaka UNK nao katika filamu ambazo walitaka wao anasema nora nora ni mtoto wa kwanza kwa mzee UNK mama akiitwa sheila na UNK filamu nyingi na zote zikifanya vizuri sokoni baadhi ya filamu hizo ni kama UNK desire UNK langu na upande wa pili wa ndoa msanii huyo anaiomba serikali kuingilia kati suala la haki za wasanii pamoja na kuwa makini na kuchukua sheria UNK vitendo vya udhalilishaji wa wanawake kama UNK kwa baadhi ya wasanii ingawa aligoma kuwataja kwa majina uzinduzi wa pamoja wa wasanii wa muziki wa kizazi kipya baby sitta na feisal UNK moja kwa moja kwa dakika kadhaa kwenye kituo cha televisheni aprili kumi na nane feisal na baby sitta walikuwa walionggara katika shindano ya bongo stars search mwaka jana tetesi za uhakika toka ndani ya kampuni ya pilipili entertainment UNK wasanii hao zinasema kuwa mazungumzo yameanza wiki iliyopita na vituo viwili maarufu wasanii hao ambao video zao UNK kwenye miji ya india na thailand imebainika kuwa UNK uzinduzi huo katika hoteli ya UNK au movenpick jijini dar es salaam tetesi za ndani zilizoifikia mwanaspoti zimedai kuwa makampuni kadhaa ya nje yameonyesha nia ya UNK fungu la udhamini wa mamilioni ya shilingi wasanii hao ndio maana wamepanga kuweka rekodi kwenye UNK za muziki wa kizazi kipya kuondolewa kwa taifa stars katika fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani inaweza kuonekana ndio kitu gumzo zaidi lakini ushiriki wa wachezaji mmoja mmoja kinaweza kuwa kitu kikubwa zaidi na kinachopaswa UNK kila mchezaji alijitahidi kadri ya uwezo wake kuhakikisha UNK stars mbali katika fainali hizo na kitu kizuri zaidi wachezaji wengi walipania kufanya vizuri kwa lengo la kuona stars inafika mbali lakini pia kujitangaza zaidi hakuna mwaka ambao taifa stars imewahi kupata nafasi kama hiyo kwani hata mwaka elfu moja na mia tisa na themanini ilipopata nafasi ya kushiriki fainali za mataifa afrika hakukuwa na nafasi ya televisheni nyingi kuonyesha mashindano hayo ili wachezaji wapate soko ni tofauti ya masuala na maendeleo ya UNK kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo raia wa brazil amekiri kwamba fainali hizo zilikuwa ngumu sana kwa wachezaji wake ambao walilazimika kupumzika saa arobaini na nane tu kabla ya mechi nyingine na pia kucheza mechi tatu tena ngumu ndani ya wiki moja hakikuwa ni kitu kirahisi lakini pamoja na tathmini hizo za mbrazili huyo mabeki salum sued na nadir haroub cannavaro waliocheza dakika mia mbili na sabini yaani mechi zote tatu ndio waliokuwa wachezaji wa taifa stars waliofanya vizuri zaidi katika fainali hizo za chan wachezaji wa stars akiwamo mrisho ngassa ambaye alitegemea kufanya makubwa hakuwa katika hali nzuri UNK sana chini ya kiwango lakini alijitahidi kucheza vizuri ingawa si kwa kiwango ambacho watanzania wengi walitegemea na maximo alisema mashindano ya chan ni magumu ndio maana hali hiyo UNK lakini sued na cannavaro walicheza kwa ustadi mkubwa walizuia kwa nguvu zao zote katika mechi tatu walizocheza na kupambana na mikiki yote ya washambuliaji wa timu za senegal ivory coast na zambia na kufungwa mabao mawili tu huku wakiwa wamepoteza mechi moja sare moja na kushinda moja kocha mkuu wa ivory coast kouadio george alisema kwamba timu yake ilikuwa na uwezo wa kuwashinda taifa stars lakini aina ya uchezaji wao na umakini mkubwa katika ulinzi na hasa walinzi wawili wa kati ndio walikuwa kisiki kikubwa kocha mkuu wa senegal joseph koto naye anasema kwamba cannavaro na sued ndio UNK mabao mengi zaidi baada ya kucheza kwa nguvu zao zote na kuwa makini sana katika kuzuia mipira ya juu ambao ndio mfumo wa kikosi chake katika ushambuliaji wakati koto anasema hivyo wadau mbalimbali wa soka hapa ivory coast wamekuwa UNK stars kutokana na uchezaji wake hasa inapokuwa UNK na yenyewe kuibuka na kushambulia kwa kasi kubwa iliyokuwa UNK timu nyingi lakini asilimia kubwa ya watu UNK taifa stars kamwe UNK UNK mabeki wawili cannavaro na sued kwamba ni visiki na walicheza soka ya uhakika katika michuano hii ya chan ambayo imepoteza mwelekeo kwa mashabiki wa hapa baada ya wenyeji kutolewa mapema uwezo wa kuruka vichwa na kuondosha hatari lakini umakini katika UNK na hata hesabu za haraka za kuondosha pasi za mwisho ambazo zinaweza kuleta madhara langoni mwao imekuwa ndio gumzo la uwezo wao na kumfanya kipa shaaban dihile kuwa likizo kwa kipindi fulani hakuna wakala ambaye amejitokeza hadharani kusema anavutiwa na mchezaji wa tanzania na kama itatokea hivyo basi bila shaka kama itakuwa ni suala la kutaka walinzi visiki hao wawili hawawezi kukosa nafasi kutokana na ushiriki wao kwenye chan ulivyokuwa wachezaji wengi wa stars katika michuano hii kama mussa hassan mgosi nizar khalfan ngassa henry joseph na shadrack nsajigwa hawakuweza kucheza mechi zote tatu kwa kasi na uwezo ule ule kuna mechi ambazo walicheza vizuri na kuna ambazo UNK UNK sued na cannavaro ilikuwa ni UNK twende kazi ilikuwa ni kazi kweli na walionyesha ni wanaume wa shoka bila ya kujali wanakutana na mshambuliaji kutokea katika taifa gani walichofanya ni kuhakikisha kazi ya ulinzi inafanyika kwa uhakika na kuweza kufanya ulinzi katika hali ya juu wakati wanakutana na senegal kibarua dhidi yao na washambuliaji wawili malick falli na mamadou traore ambaye alifunga bao pekee dhidi ya stars kazi ilikuwa ngumu na wanaume walionyesha kweli wako kazini kila mtu alikubali baada ya mechi baada ya mechi hiyo dhidi ya ivory coast kocha wao alilazimika kuwatoa wachezaji wake ambao ni tegemeo baada ya kushindwa kabisa kuipenya ngome ya stars hao ni UNK UNK na kesse jean paul hali iliyofanya hata mashabiki kuwazomea kwamba wameshindwa kulisaidia taifa lao mechi ya mwisho mzambia anayeongoza kwa kufunga mabao given singuluma akisaidiana na william njobvu na winga machachari henry banda walionekana wangepata mabao ya kutosha lakini hali haikuwa hivyo hadi walipopata bao la mwisho baada stars kuzubaa wakiona wakiwa wamemaliza kazi katika dakika za nyongeza mfungaji alikuwa kiungo na wala si washambuliaji hao kwa kifupi katika michuano hiyo hata kama viungo UNK au kushindwa kukaba kwa uhakika sued na cannavaro walikuwa kama UNK kutokana na kurekebisha makosa ya timu na kufanya mambo yaanze upya ndio wachezaji waliocheza kiwango cha juu kwenye mashindano hayo kuliko mchezaji mwingine yoyote kati ya wachezaji ishirini na tatu wa stars walioshiriki katika mashindano hayo ambayo ni mageni kwa afrika lakini ni vitu vigeni kwa wachezaji wetu ambao taratibu huenda UNK na mabadiliko kupatikana renard alisema timu yake ambayo ilianza fainali hizo kwa kasi na kiwango cha juu cha uchezaji imekuwa UNK kadri wanavyocheza mechi nyingine hali inayomfanya kuhakikisha UNK sawa kabla ya kuanza mechi za nusu fainali jumatano kuvuka tu haikuwa kazi rahisi timu ilianza vizuri lakini tulipoteza mwelekeo baadaye sasa tunaingia katika hatua inayohitaji umakini zaidi na kosa moja tu basi safari inakuwa UNK hatutaki hilo litokee kwetu kwani tuliweka malengo ya kufika fainali alisema kocha huyo tunajua timu nne zilizobakia ndio bora kati ya nane UNK kila moja inataka kufika fainali na ikiwezekana kuchukua kombe kamwe hatuwezi kukubali kuteleza tulipofikia lakini pia tunahitaji nguvu za ziada na umakini zaidi na zaidi zambia ilianza fainali hizo kwa kasi kubwa kwa kuifunga ivory coast mabao tatu sifuri huku ikionyesha kandanda ya kuvutia lakini ikajikuta ikishuka taratibu baada ya kutoka sare ya bila kufungana na senegal huku ikiwa imezidiwa kisoka na baadaye UNK kupata bao katika dakika za nyongeza dhidi ya taifa stars ili kupata sare iliyoifanya isonge hadi nusu fainali mfaransa huyo alisema kadri siku zinavyosonga mbele fainali hizo zinazidi kuwa ngumu ndio maana ameamua kuongeza umakini na hata UNK katika mechi zake kadhaa za kundi b aligundua ni timu imara na inayocheza mchezo wa kasi hasa kwa kutumia UNK washambuliaji given singuluma mwenye mabao matatu william njobvu na henry banda ndio wamekuwa tegemeo la renard katika fainali hizo za chan kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo amesema pamoja na yote yaliyotokea katika fainali za chan kikosi chake UNK nchini kishujaa kutokana na kazi nzuri UNK akizungumza mjini UNK na baadaye jijini hapa maximo raia wa brazil alisema kuna mengi yanaweza kusemwa yakawa ya maendeleo na mengine la lakini yeye UNK kikosi chake kama kikosi cha mashujaa UNK nyumbani huwezi kumlazimisha mtu yeyote kwa lolote lakini mimi nawapongeza vijana wengi ambao walijitolea kwa nguvu zao zote kwa ajili ya kuliwakilisha taifa lao katika ngazi nzuri na ya mafanikio wako wanaosema UNK lakini mimi nasema hapana alisema uwezo wetu UNK ulikuwa hapo lakini tumefanya vema tumeshinda mechi moja UNK sare moja na kupoteza moja ambayo ni matokeo ya mpira tumecheza mechi tatu na kupata pointi nne sidhani kama ni kitu kibaya ubaya upo kwa kuwa UNK mbele daktari congo UNK mbele wakiwa na pointi nne tu kwa kundi letu imekua tofauti kidogo lakini nina imani vijana wanastahili sifa na walifanya kila UNK hakuna haja ya kujilaumu na kukosa raha labda kutafakari kwa lengo la kujifunza alisema maximo kwa kusisitiza unaweza UNK sisi angalia wenyeji wamepata pointi moja kwenye mechi tatu kama ilivyo kwa libya zimbabwe wameondoka na pointi tatu za sare tu na daktari congo wakapita sawa na pointi zetu kipi cha kujilaumu kwetu zaidi tunatakiwa kujifunza na hasa kutafakari kipi ambacho UNK ili tufanye kazi vizuri zaidi hapo baadaye alisema kufungwa na senegal kwa bao moja sifuri UNK na kuifunga ivory coast kwa bao moja sifuri kabla ya kumaliza na sare ya bao moja moja dhidi ya zambia stars jana jumatatu saa nne asubuhi ilitarajia kuanza safari ya kutoka UNK mwendo wa saa tatu hadi jiji hapa na leo jumanne usiku itafunga safari kurejea nyumbani kupitia nairobi kenya ambako itatua saa kumi na moja alfajiri ya kesho jumatano kabla ya kuwasili jijini dar es salaam saa tatu ishirini asubuhi bila ya mkono wa prodyuza majani wa bongo records hali hiyo UNK kadri siku UNK mbele hasa baada ya msanii huyo kuibuka hadharani na kudai kwamba yuko katika mipango na majani ili kutoa vitu vipya lakini bado akawa UNK kwa kipindi kirefu hata uvumi UNK baadae kwamba UNK gari yake aina ya UNK na kuonekana mitaa akitembelea gari nyingine na mara kadhaa akiwa kwenye lifti za marafiki zake UNK uvumi kwamba amekwisha kiuchumi huku wengine wakienda mbali zaidi kwa kudai kuwa ni ndoto kurejea UNK lakini msanii huyo ambaye ametoa singo mpya ya polisi man ambayo inatamba sasa ameiambia mwanaspoti kwamba UNK na anaishi anavyotaka yeye na hakuna UNK maisha msanii huyo alisisitiza kwamba anafanya mambo kwa mpangilio na utaratibu wake na wala makelele ya raia UNK taabu kwani UNK tangu aingie kwenye fani hiyo mimi UNK siwezi kufilisika kuuza gari yangu si kufilisika unajua watu wamezoea kuona nipo na ile gari leo wakiona nipo na gari fulani basi unaanza kusikia maneno anasema msanii huyo mwenye miaka ishirini na saba kila wakati wanataka wakuone hivyo ukitaka kubadilika wanajua UNK kutokana na shida mimi niliuza kwa lengo la kutaka kubadilisha kulingana na maisha yangu yalivyo sasa kuna mambo mengi sana ambayo kama binadamu wa kawaida UNK ubadilike tu kutoka aina moja ya maisha kwenda nyingine na si kitu cha ajabu kwenye hii dunia si kila siku tu nitumie gari la aina moja dunia inabadilika nami natakiwa kubadilika kwani mashabiki nao wanatakiwa kubadilika si ajabu msanii kuuza na kununua gari jingine ni maisha ya kawaida na UNK mtu kubadilika ili kwenda na hali halisi duniani na kwenye kazi pia anasema feruz maisha UNK na UNK lazima mtu ubadilike nayo kwa kufanya mambo ya maana zaidi na hata staili ya maisha UNK kadri siku UNK ndio maana kama utaona nimeamua kusimama mwenyewe na kuachana na mambo ya kundi kuhusu majani msanii huyo anasema si kwamba siwezi kutoka bila majani lazima mtu UNK utaratibu wa kazi ambao UNK na mimi nipo chini yake muda mrefu sana majani ana kazi za watu wengi pia UNK na kumfanya UNK albamu zetu naye kwa namna nyingine amechangia kuchelewesha ujio wangu mpya wa albamu ya sauti na vyombo ferouz anasema kuwa UNK uliojitokeza baina yake na wasanii wenzake wa kundi la daz nundaz umechangia kumyumbisha na ilimchukua muda kujipanga upya kama msanii wa kujitegemea lakini anafurahi kwa sababu kwa sasa mambo yake safi UNK ambaye amepanga kuzindua albamu yake mpya mwezi aprili anaongeza watu walijua UNK muziki kumbe hawakujua UNK na UNK ambavyo UNK inahitaji kujipanga lakini natumaini mashabiki wangu watakubaliana nami na UNK ujio huu mpya anasema feruz anasema albamu yake mpya ina wasanii wengi wenye majina wasanii hao ni pamoja na chid benz matonya dully sykes enika maunda zorro UNK na jay UNK ferouz ambaye wiki chache zijazo atatoa video mpya alikiri kwamba katika kazi zake zote alizofanya mpaka sasa bado starehe na kamanda ndio ziko juu zaidi na UNK sana kama starehe wimbo wenyewe na albamu ilikuwa ya mafanikio makubwa sana kwangu na ndio nataka UNK kwenye kile kiwango changu na ikiwezekana kwa vile kazi UNK ni za levo ya juu sana UNK fm studio kwa mika mwamba singo ya kwanza binafsi iliyomtoa ferouz ni UNK aliyomshirikisha jay moe mwaka ishirini sifuri tatu kocha mkuu wa ivory coast kouadio george amewaomba radhi mashabiki wa soka wa nchi hiyo kutokana na kikosi chake kufanya vibaya kwenye fainali za chan na kutolewa mapema kikosi cha kouadio UNK michuano hiyo kikiwa na pointi moja tu katika mechi tatu za kundi a kilianza kuchapwa tatu sifuri na zambia kabla ya tanzania kuwatandika kwa bao moja sifuri na mwisho wakatoka sare ya bila kufungana na senegal akizungumza jijini hapa kouadio aliwaambia mashabiki wa soka wa ivory coast kuwasamehe kutokana na namna ambavyo wamewaangusha na kuahidi kwa suala hilo haliwezi kutokea tena kilikua ni kitu ambacho kweli hauwezi UNK UNK timu kwa kipindi kirefu lakini hatimaye mambo yakaenda tofauti kuna wachezaji waliondoka katika hatua za mwisho UNK kutufanya kuanza hesabu zetu upya lakini kingine ni kupoteza umakini na labda kuchanganyikiwa katika mechi ya pili kwa kuwa UNK kurekebisha makosa tulitaka kushinda mechi ile kwa nguvu zote lakini mambo yakawa tofauti ninachoomba mimi kocha na wachezaji wangu UNK kutokana na kuwaangusha katika ardhi ya nyumbani alisema kocha huyo mwenye UNK pamoja na hivyo UNK kwamba nia yetu ilikuwa ni kushinda na kulinda heshima ya nchi yetu haikuwa hivyo tumeshindwa na hatuna ujanja badala yake tutafanya kila linalowezekana kujipanga upya hasa kama tutapata msamaha wenu alisema kouadio mashabiki wa jiji la abidjan na mji mkuu wa ivory coast wa UNK wameonyesha kuchukizwa na ushiriki wa timu yao katika michuano hiyo kiasi ya kuamua kushangilia timu nyingine na kuizomea yao kila UNK wachezaji wawili wa tanzania UNK hans na anwar UNK wataiwakilisha nchi kwenye michuano ya mbio za magari ya afrika UNK UNK leo jumanne hadi machi tano kenya katika michuano ya awali iliyofanyika dar es salaam mwezi uliopita wachezaji hao walishindwa kufanya UNK sana kutokana na matatizo ya injini UNK magari yao hivyo kumaliza mbio hizo wakiwa nafasi ya tano na sita hans amesema wamejiandaa vizuri kutwaa ubingwa katika michuano hiyo mikubwa timu ya taifa ya mpira wa meza inaendelea na mazoezi kwenye UNK yao iliyopo shule ya kisutu jijini dar es salaam kujiandaa na michuano ya vijana ya afrika itakayofanyika machi kumi na sita hadi ishirini na nane cairo misri katibu mkuu wa chama cha mpira wa meza tanzania issa mtalaso amesema wachezaji wote wako katika hali nzuri na wanajifua vilivyo wachezaji wote wako katika hali nzuri na tunatumaini watafanya vizuri kutokana na mazoezi UNK wajumbe kutoka mikoa kumi na sita wanatarajia kupiga kura katika uchaguzi wa shirikisho la ngumi za ridhaa tanzania utakaofanyika machi kumi na nne jijini dar es salaam jumla ya wagombea arobaini na tatu wamechukua fomu kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika chama hicho ofisa wa baraza la michezo tanzania mohamedy kiganja amesema idadi ya uchukuaji fomu inaridhisha na watu wameonekana kuwa na mwamko wa hali ya juu timu ya pazi UNK tiketi ya kucheza michuano ya kili super cup itakayoanza hivi karibuni mashindano ya kili super cup yanashirikisha timu sita za juu zilizofanya vizuri kwenye ligi ya mkoa kili rba inayoendelea kwenye uwanja wa ndani wa taifa jijini dar es salaam na tayari nne UNK tiketi ambazo ni jkt vijana savio na tz prisons pazi imepata nafasi hiyo baada ya kushinda UNK miwili dhidi ya abc na UNK kocha mkuu wa tenisi wa klabu ya gymkhana salum mvita amewataka wazazi nchini kutowazuia watoto kucheza mchezo huo mvita amesema wameanzisha UNK ya kuwafundisha vijana ili waweze kuujua mchezo huo na UNK hivyo kuwataka vijana kujitokeza kila mwisho wa wiki ili kufanya mazoezi tunapigana ili mchezo huu uendelee kuwa juu na ndio maana tunasisitiza vijana kujitokeza kwa wingi ili wajifunze na UNK tuwe na wachezaji wa kulipwa watakaoiwakilisha nchi katika mashindano mbalimbali mshambuliaji wa simba ulimboka mwakingwe amesema kikosi hicho sasa UNK sawa lakini akawaonya mashabiki wa tanzania acheni kuwalaumu wachezaji wa taifa stars wamefanya vizuri sana mchezaji huyo ambaye ametokea kuaminika sana na kocha wa simba patrick phiri alianza mazoezi wikiendi iliyopita na timu hiyo kwenye uwanja wa kinesi jijini dar es salaam winga huyo wa zamani wa reli morogoro tutacheza mpira wa hali ya juu na tutashinda na nafasi ya pili mimi nina uhakika ni yetu ingawa mtibwa na kagera sugar nao UNK kwa kasi sana tuna deni moja tu kwa mashabiki wa simba kuibakisha timu kwenye nafasi ya pili katika msimamo wa ligi na sisi kurejesha heshima yetu hakuna kingine kinaweza kutufanya tukae vizuri sasa lakini kila kitu kinawezekana UNK sana kocha phiri alisema mchezaji huyo ambaye kuchelewa kwake kujiunga na mazoezi kulizua wasiwasi kwa mashabiki kuhusu kutolewa kwa taifa stars mapema katika fainali za chan nchini ivory coast ulimboka alisema hakuna haja ya kumlaumu mtu yeyote kwenye ile timu wamecheza mpira mzuri sana na kwa jinsi historia yetu ilivyo tumepiga hatua sana hakuna haja ya kumlaumu mtu yoyote na kwa shabiki anayejua mpira hawezi kulaumu angalia kwa mfano mechi ya zambia wamecheza kwa nguvu sana wachezaji kuanzia dakika ya mwanzo mpaka mwisho kilichotokea tukatoa sare ni mambo ya kimchezo na yanatokea kwa timu yoyote ile kitendo cha kuingia tu kwenye zile fainali ni heshima na inaonyesha kwamba kuna mabadiliko makubwa kwenye mpira wetu UNK kufanya sasa ni kutengeneza timu turudi UNK zaidi kwa vile ukiangalia kila mchezaji amecheza kwa kiwango chake chote yaani pale ndio mwisho tujipange tena kwa mashindano yajayo tutafanya vizuri zaidi hakuna haja ya kukata tamaa wala kumlaumu mtu haina maana UNK kwa UNK alisisitiza ulimboka ambaye ni mara chache sana kusifia timu nyingine stars UNK kwenye chan baada ya kutoa sare ya bao moja moja na zambia jumamosi mjini bouake polisi iringa ambayo imeendelea kuvurunda kwenye ligi daraja la kwanza inashuka uwanjani leo jumanne kucheza na timu inayoshika mkia korosho ya mtwara kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam vinara wa ligi hiyo african lyon dhidi ya nyerere ya kilimanjaro polisi ambayo ilianza ligi hiyo kwa kasi imejikuta ikipokea vipigo mfululizo na kumchanganya kocha wake joseph kanakamfumu ambaye anatafuta kila njia kuikoa timu yake ipande daraja kanakamfumu alisema hali ni ya hatari na yanahitajika marekebisho ya haraka ili waweze kushinda michezo yao mitatu iliyobaki huku UNK wapinzani wao wafungwe hata sijui ni nini UNK timu yangu kadri muda UNK ndivyo UNK kupotea hapa inabidi nifanye marekebisho kidogo ili michezo iliyobaki tushinde songea inashuka uwanjani leo jumanne kuikabili timu dhaifu ya nyerere huku ikiwa na matumaini makubwa ya kuibuka na ushindi na kuendeleza rekodi yao ya kutofungwa hata mchezo mmoja mshambuliaji wao mbwana samata ambaye jumamosi iliyopita alishindwa kutamba mbele ya majimaji katika mechi iliyomalizika kwa sare ya moja moja anaweza akaendeleza rekodi yake ya kuzifumania nyavu na kuhakikisha timu yake UNK mwanza united ni ya tatu katika msimamo wa ligi ikiwa na pointi tisa kabla ya mechi yake ya jana jumatatu jioni dhidi ya afc arusha manyema ni ya nne ikiwa na pointi tisa pia sawa na mwanza baada ya jumapili UNK korosho mabao nne sifuri jana jumatatu mwanza ilikuwa ikicheza na afc ya arusha UNK nafasi ya tano kwa kuwa na pointi sita sawa na kijiweni ya mbeya ambayo jana jioni nayo ilikuwa UNK kazi na majimaji kocha wa yanga dusan kondic amesema kuwa mshambuliaji wake mrisho ngassa ni kifaa cha nguvu na bao lake alilofunga kwa kichwa ivory coast ni bora stars UNK nje ya fainali hizo jumamosi iliyopita baada ya kutoka sare ya bao moja moja na zambia katika mchezo ambao ilikuwa ikihitaji ushindi kusonga mbele katika kundi a kondic akionekana mwenye furaha aliiambia mwanaspoti jijini dar es salaam kwamba ngassa alionyesha ubora na kipaji kwenye fainali hiyo na anategemea kwamba mambo yatakuwa mara mbili atakaporejea jangwani kuivaa al ahly machi kumi na tano jijini cairo misri goli la kijana wangu ngassa lilikuwa zuri sana mimi UNK ni safi sana alionyesha juhudi kubwa kwa kufanya kitu ambacho hakuna aliyetarajia kwenye mazingira yale alisema kocha huyo raia wa afrika kusini na serbia hata ukiangalia uwezo wake katika mechi zote taifa stars ilizocheza kiwango chake kilikuwa juu amethibitisha kwamba anajua UNK sana uwezo wake alisisitiza kocha huyo ngassa alifunga bao pekee katika mechi dhidi ya wenyeji ivory coast mchezaji huyo ambaye inadaiwa ana miaka kumi na tisa huku akiwa na mtoto wa miaka minne alifunga bao lake kwa kichwa huku mashabiki wakiwa hawaamini kutokana na kimo chake pamoja na maumbo ya mabeki wa ivory coast sitaki kuzungumzia sana mambo ya taifa stars lakini ninachoweza kukwambia ni kwamba wachezaji wa yanga wote wamecheza kwa kiwango cha juu na wametoa mchango mkubwa sana kwa timu ya taifa stars kwenye chan alisema kocha huyo ambaye licha ya kuzaliwa serbia ana uraia wa afrika kusini kocha huyo UNK angola kwa miaka kumi na tano alisema anafanya mazoezi makali kujiandaa na mechi dhidi ya al ahly ambayo aliahidi ushindi na soka safi yanga inapewa nafasi ya kufanya vizuri kutokana na al ahly kuandamwa na majeruhi kila kukicha ambapo wachezaji wake wamekuwa wakiripotiwa kuumia mazoezini timu ya taifa ya tanzania taifa stars imetolewa katika fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani ambazo zinafanyika ivory coast stars iliyokuwa kundi a ilianza fainali hizo kwa kufungwa na senegal bao moja sifuri UNK wenyeji ivory coast bao moja sifuri kabla ya kutoka sare ya moja moja na zambia tumeangalia kwa makini fainali hizo tukagundua kuwa licha ya timu yetu kuimarika zaidi tofauti na siku za nyuma bado kuna mambo yanakosekana taifa stars inacheza kitimu zaidi na ni wazuri katika ulinzi wachezaji wanajituma sana lakini wanakosa vipaji binafsi hakuna ambaye anaweza kulaumiwa kwa hilo ila ni mfumo mzima ambao umekuwa UNK mikakati madhubuti katika soka la vijana na katika shule za awali msingi sekondari mpaka vyuoni ukiangalia timu nyingine UNK utagundua kuwa wachezaji wanajua wanachokifanya lakini kubwa ni kuwa na uwezo binafsi na akili ya mpira ambayo UNK vizuri wanapocheza kitimu vipaji binafsi haviwezi kupatikana kutoka hewani ila katika michezo ya shule na mashindano mbalimbali ya vijana au kutoka kwenye shule maalum za michezo tutabaki kulaumiwa kila mara kutokana na taifa stars kufanya vibaya katika mashindano mbalimbali kama hatuwezi kuwekeza kwanza kwenye soka la vijana ukiangalia katika fainali za chan timu karibu zote zimekwenda na wachezaji wageni wengi tofauti na tanzania ambayo imekwenda na kikosi chake kile kile cha siku zote kwa taifa stars kuwa na kikosi kilichozoeleka ilitupa jeuri na hata UNK kuwa hakuna ambaye UNK katika fainali hizo kwani karibu timu zote zimekwenda na wachezaji wapya ndio maana ilikuwa kazi rahisi kwa stars kuifunga ivory coast kwa sababu timu hiyo ya afrika magharibi UNK na wachezaji wote wageni tofauti na timu yao ya siku zote ambayo inaundwa na wachezaji wote wa ulaya mpaka wanaokaa benchi UNK stars ni kitu kidogo sana kwamba wachezaji UNK katika mazingira ya kimichezo tangu utotoni jambo ambalo linakuwa gumu kushika baadhi ya maelekezo ukubwani tuanze kuweka mkazo katika soka ya vijana ili angalau miaka kumi na tano ijayo UNK fainali za kombe la dunia na kufanya vizuri kuliko mtindo wa sasa wa kutumia fedha na nguvu nyingi kufanya maandalizi ambayo UNK kutokana na uwezo halisi wa wachezaji kocha mkuu wa simba patrick phiri amesema anataka UNK upya safu ya kiungo ya timu hiyo ili icheze kwa uelewano zaidi tofauti na sasa jumamosi iliyopita simba iliifunga ruvu shooting mabao mbili moja katika mchezo wa kirafiki kupitia kwa mohamed kijuso na nassor said chollo huku phiri akisifu uwezo mkubwa ulioonyeshwa na kikosi chake phiri alisema wachezaji wake walicheza vizuri na kuonekana wanafuata maelekezo lakini ana kazi ya kusuka safu ya kiungo ambayo inaonekana bado haijakaa sawa timu imecheza vizuri mabeki sasa wanacheza kwa uelewano mkubwa washambuliaji wako vizuri unaona kabisa wanatafuta magoli lakini tatizo katikati UNK marekebisho alisema kocha huyo wa zambia viungo wapo wengi lakini wanaonekana bado wanahitaji UNK upya ili waweze kuchezesha timu vizuri naamini kwa muda mchache uliobaki UNK kazi hiyo na UNK kwenye ligi tutafanya vizuri akiwazungumzia wachezaji watatu ambao hadi wikiendi iliyopita walikuwa hawajaripoti mazoezini phiri alisema tatizo hilo UNK kwa uongozi wa klabu hiyo ulimboka nimeambiwa ana matatizo ya kifamilia na jumatatu atajiunga na wenzake ramadhan wasso na kipa amani simba hao sina taarifa zao labda uongozi unajua walipo alisema kocha huyo wengine ambao hawajaripoti mazoezini ni wachezaji wa nigeria emeh izuchukwu na orji obinna simba UNK kuingia kambini jana jumatatu kwenye hoteli ya bamba beach kigamboni kujiandaa na hatua ya lala salama ya ligi kuu tanzania bara simba inashikilia nafasi ya tatu kwenye ligi ikiwa na pointi ishirini na nne na ikiwa na kazi kubwa ya kushinda mechi zake zilizobaki kupata nafasi ya pili ligi kuu bara ambayo ilikuwa imesimama kwa muda kupisha maandalizi ya taifa stars kwenye fainali za chan itaanza tena machi kumi na nne phiri ambaye anaifundisha simba kwa mara ya tatu ukiondoa mwaka ishirini sifuri nne na ishirini sifuri tano UNK timu ya taifa ya zambia chipolopolo na kuipeleka katika fainali za mataifa ya afrika ghana mwaka jana al ahly itaikaribisha yanga katika mchezo wa kwanza wa raundi ya kwanza ya ligi ya mabingwa afrika jumapili ya machi kumi na tano kwenye uwanja wa cairo unaobeba mashabiki sabini na tano sifuri sifuri sifuri yanga imefuzu kwa hatua hiyo baada ya kuifunga etoile ya comoro jumla ya mabao kumi na nne moja lakini nayo UNK kwa hamu mshambuliaji wake hatari boniface ambani aliyekwenda kufanya majaribio nchini china ambaye ameahidi kurejea machi tisa al ahly ambao ni mabingwa wa afrika wamepata balaa tena kwa kiungo wao mwingine mohamed barakat kupata matatizo ya misuli hivyo kukosa mechi ya jana jumatatu ya ligi kuu misri dhidi ya asyut UNK barakat mwenye umri wa miaka thebathini na moja alipata maumivu hayo wakati UNK mechi dhidi ya ismailia walipopata kipigo cha bao moja sifuri alhamisi iliyopita kocha wa al ahly manuel jose amechanganyikiwa kwani licha ya UNK barakat katika mechi ya jana jumatatu alimkosa pia kipa wake namba moja amir UNK hamid huku suala la mohamed abou treika likiwa halina ufumbuzi wa haraka abou trika aliumia jumapili ya wiki iliyopita na sasa atakaa nje kwa wiki nne baada ya kuumia katika mechi dhidi ya petrojet mchezaji huyo mwenye umri wa miaka thebathini alitolewa nje kwa machela katika mchezo huo baada ya kugongana na hassan UNK mchezaji huyo ambaye aliingia katika kinyangganyiro cha kuwania uchezaji bora wa afrika ameanza vibaya msimu huu baada ya kuwa majeruhi mara kwa mara hivi karibuni mchezaji huyo alikuwa amekwenda ureno na ujerumani kufanyiwa matibabu ya goti lake ambalo linaonekana kuwa tatizo sugu kwake abou trika hana uhakika kama atacheza mechi ya kufuzu kwa mataifa ya afrika na kombe la dunia dhidi ya zambia mwezi huu lakini kipa wa al ahly amir abdul hamid amepata majeraha na aliikosa mechi ya jana jumatatu ya ligi kuu misri dhidi ya asyut petroleum baada ya kuumia goti mazoezini maofisa wa al ahly wanasema kuwa kipa huyo mwenye umri wa miaka thebathini aliumia goti lake ijumaa jambo ambalo lilifanya UNK uwanjani kuumia kwa kipa huyo namba moja kunamfanya kipa wa palestina ramzi saleh kuchukua mikoba kwa mara ya pili mfululizo mpalestina huyo alidaka mechi yake ya kwanza alhamisi iliyopita wakati al ahly ilipopata kipigo cha moja sifuri kutoka kwa ismailia kutokana na kipa aliye majeruhi kushuka kiwango katika hatua nyingine kiungo wa al ahly hossam ashour alitarajia kurejea jana kwenye mechi dhidi ya asyut baada ya muda mrefu kuumia goti al ahly waliwakaribisha pia wachezaji wao wawili ahmed hassan na ahmed fathi ambao waliikosa mechi dhidi ya ismailia baada ya kusimamishwa viungo wazoefu wa ushambuliaji wa timu ya soka ya taifa taifa stars athuman idd chuji na haruna moshi boban wamejitoa katika kikosi hicho kinachofundishwa na kocha mbrazili marcio maximo haruna kutoka simba na idd wa yanga wamefikia hatua hiyo kutokana na kutoelewana na kocha huyo ambaye ameshindwa kuwapanga katika fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani ukiondoa haruna ambaye alicheza mechi ya kwanza dhidi ya senegal kwa dakika zisizozidi UNK habari za uhakika ambazo mwanaspoti imezipata jijini hapa zinasema wachezaji hao wamejitoa stars katika kipindi chote ambacho itakuwa chini ya mbrazili huyo kwa madai kuwa UNK baada ya kuwaweka benchi huku akitangaza kwa wananchi kuwa ni wagonjwa wakati ni wazima wa afya njema chuji na boban wanaonekana kama wakimbizi wameamua kujitoa ingawa kuna wakati wamekuwa UNK watu UNK vibaya lakini jana wamekubaliana kuachana na taifa stars alisema mchezaji wa karibu na wachezaji hao wameona wakiendelea kuwa chini ya maximo kamwe hawawezi kuisaidia stars na yataendelea kuwa malumbano kwa kuwa tayari ameonyesha kinyongo dhidi yao na amekuwa hataki UNK lakini kila anapoulizwa na waandishi wa habari UNK maneno kibao bila ya kusema ukweli boban na chuji wamepanga kuwa wakifika dar es salaam UNK suala hilo kwa undani ndio maana unaona wamekuwa wakifanya mazoezi pekee yao baada ya maximo kuwatenga unaona maisha yao kama juzi UNK kwenye basi tena mbele ya watu alisema mchezaji huyo jumamosi usiku baada ya stars kuwasili kwenye hoteli ya the president mjini UNK ikitokea bouake ambako walimaliza mechi yao ya mwisho dhidi ya zambia kwa sare ya bao moja moja maximo aliwataka wachezaji waliocheza na wale waliokuwa kwenye benchi kubaki kwenye basi bila ya kutaja majina alisema wale waliocheza na waliokuwa kwenye benchi ndio wabaki kwenye basi UNK hali hiyo iliwafanya chuji na boban wateremke kimya kimya na UNK hadi vyumbani kwenda UNK lakini baada ya dakika kumi na tano maximo alifanya mkutano na waandishi wa habari na alipoulizwa sababu ya kuteremka wachezaji hao alisema kauli tofauti unajua tumetoka sare ambayo UNK huenda wachezaji wengine wana uchungu ndio maana UNK kwenye basi wanataka kujipumzisha huwezi kuwakata na hakuna chochote kibaya alijibu mwanaspoti UNK boban na chuji kila mtu kwa wakati wake na kukiri kwamba walishushwa kwenye basi na maximo alisema waliocheza na waliokuwa kwenye benchi ndio wabaki kwenye basi sisi tulikuwa jukwaani wakati wa mechi hakutaja majina lakini mtu mzima unaelewa UNK kusukumwa alisema boban na alipoulizwa suala la kujitoa kwenye timu alisema nipo katika mazingira magumu sana mimi huwa si mzungumzaji lakini wakati huu UNK naomba unipe muda kuna maamuzi ambayo nimefikia na nisingependa UNK lakini kwa upande wa chuji ambaye pia alikiri UNK kwenye basi kuhusu suala la kujitoa alisema uamuzi huo ni mzito kama utakuwa umefikiwa unataka busara na ushauri lakini kuna ambacho nimefikia hata kama kuna ambao UNK lakini sipendi kuendelea kuumia kama UNK huku ivory coast nitasema kila kitu baada ya kufika dar es salaam ni vizuri kuyamaliza haya tukiwa nyumbani unaniona niko huku mimi ni kama askari ambaye nimekuja kutetea taifa langu lakini pamoja na kuwa na bunduki UNK kufyatua risasi wakati naona wenzangu UNK inaniuma sana kweli ila naomba UNK ikifika siku nitasema tu wacha nirudi nyumbani kwanza alisema chuji maximo alikataa katakata kwa mara nyingine kwamba kuna ugomvi ndani ya timu hiyo na kusisitiza kuwa suala la nidhamu anaendelea kulipa nafasi na yoyote ambaye hatataka kulifuata basi hatapata nafasi katika kikosi chake siku chache zilizopita alisema kikosi UNK kwa mara nyingine UNK damu mpya zaidi kwani amegundua majina hayana msaada bado chanzo cha tafrani la maximo boban na chuji hakijajulikana vizuri ingawa kila upande UNK mwingine kwa kutokuwa na nidhamu au kuwa na dharau kwa upande mwingine wiki iliyopita mbrazili huyo alitaka wachezaji hao warudishwe dar es salaam lakini busara za waziri seif khatib ndio zilifanya wabaki baada ya kukataza mtu yoyote kurudishwa ingawa maamuzi ya mwisho ya kikao yalifikiwa kwamba kocha ndiye mwenye uamuzi wa mwisho kama ataamua kuwapanga au kutowapanga uwanjani hii ni mara ya pili kwa maximo kuingia kwenye tafrani kubwa na wachezaji mara ya kwanza ikiwa ni dhidi ya kipa juma kaseja ambaye UNK kabisa kumuita katika kikosi chake huku akiwa hataki kutoa sababu za uhakika pamoja na ubora wake katika ufundishaji moja ya kasoro kubwa ya kocha huyo imekuwa ni suala la kukasirika mara kwa mara na pia kuweka visasi kitu ambacho wadau wamekuwa UNK kuachana navyo kwa faida ya kikosi chake habari za ndani zinasema kuwa maximo amepanga UNK kikosi chake atakaporejea nchini na kwamba anataka kuunda kikosi kipya cha vijana wengi timu hiyo imesajili baadhi ya wachezaji wazoefu waliowahi kucheza ligi kuu lakini imekuwa haina matokeo mazuri kocha msaidizi wa timu hiyo sheikh abdalla alisema kuwa bado wako kwenye nafasi nzuri ya kusonga mbele na wana imani kwamba timu zilizoko mbele yao UNK hao walioko juu UNK tu majimaji na lyon ni timu za kawaida sema kwa sasa wapo katika wakati mzuri kwavile wameshinda tayari alisema lakini sisi bado tuko na mikakati mingi na mambo UNK sawa tu hakuna haja ya kukata tamaa na sisi hatukati tamaa tuko kwenye wakati mzuri UNK mambo ya mpira ni mengi na wachezaji wapo kwenye hali nzuri mi naamini bado nafasi ipo alisisitiza kocha huyo ambae yupo chini ya abdallah kibadeni manyema ambayo UNK daraja msimu uliopita inapambana kurejea kwenye ligi kuu bara ambayo ilicheza kwa msimu mmoja tu na kushindwa kuhimili UNK nakaaya sumari alizaliwa mkoani arusha nchini tanzania mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na mbili UNK hapa inaweza kuwa habari kweli jamani hatutakuwa tumekosea hivi ngoja UNK nakaaya ni dada wa kwanza katika familia yenye watoto watano umeona bwana na moja kati ya wadogo zake ni nancy sumari ambaye ni miss tanzania wa mwaka ishirini sifuri tano ambaye pia alifanikiwa kunyakua taji la miss world africa mwaka huo huo wengi UNK kumjua baada ya cheche alizozitoa kwenye shindano la uimbaji linalojulikana kwa jina la tusker project fame ambalo UNK UNK kuanzia tarehe kumi oktoba mpaka desemba kumi na saba ilikuwa ni mwaka ishirini sifuri sita na lilikuwa ni shindano kwa vijana kwa afrika ya mashariki yawezekana mafunzo aliyoyapata akiwa huko ndio UNK UNK zaidi kimuziki maana wakiwa kambini wakati wa mashindano walikuwa wakipewa mbinu hizi na zile yote haya yalikuwa ni katika kuhakikisha kwamba wanakuwa wanamuziki wa kweli na huu ni kama ukweli hivi maana baada ya kurudi huko ndio tukaanza kuona cheche swali la kujiuliza ni kwamba mwanzoni alikuwa wapi haya ni kama matunda ya tusker project fame hivi mwaka ishirini sifuri saba alitulia lakini mwaka uliofuata yaani ishirini sifuri nane mwezi wa pili tu akaangusha UNK nervous conditions ambayo ilianguka sambamba na ngoma yake ya kwanza iliyokwenda kwa jina la malaika ila watu kama UNK hivi basi UNK ngoma UNK ambayo ilikwenda kwa jina la mr politician mtayarishaji akiwa UNK UNK wa UNK digital na video UNK na visual UNK UNK mashariki nzima UNK na kitu kikubwa ambacho UNK juu binti alienda marekani UNK cd zake UNK mkononi na huko alifanya matamasha mawili matatu UNK kikubwa kimetokea mwaka huu bwana wakati binti UNK semina ya kisanii baada ya taasisi wa UNK inayojulikana kwa jina la UNK centre for culture and development UNK copenhagen akashiriki kwenye semina iliyokuwa UNK muziki na nafasi yake katika nchi za dunia ya tatu baada ya semina binti akaangusha UNK moja ambalo alifanya onesho kali ndani ya ukumbi wa copenhagen jazz house kesho yake akafanya kipindi na kituo kimoja cha huko UNK dr mbili kipindi cha UNK hapo ndipo sony music entertainment alipomuona na hivi UNK UNK na kusaini naye mikataba na binti anakula hizi bata mbili tatu maana yuko lebo moja na watu kama akina mariah carey umeona bwana na wanamuziki wengi maarufu peter UNK wa sony music entertainment amesema UNK mpaka sasa wamepata kipaji ambacho UNK vema sana afrika ya mashariki jamani imefika ile jumamosi ambayo kuna watu wengi wananiambia kwamba huwa UNK sana eti waangalie nimesema nini leo jamani hivi mnajua kwamba sasa hivi nakuwa napata wakati mgumu sana ninapofikiria kufanya jambo na hii ni kwa sababu kuna watu wengi makini UNK kwa sasa shukrani za dhati kwa wasomaji wangu wa arusha tulikutana bwana UNK mengi tu na UNK kwa kweli kuonana wengi UNK watakutana na UNK hilo kumbe UNK tu lakini wengi UNK kila mtu kwa imani yake kwamba mungu UNK busara zaidi maana ninayosema huwa hayalingani na umbo langu na miaka niliyonayo eti wanadai naongea maneno ya kijana mwenye umri wa miaka arobaini jamani tuendelee na ya leo maana hizi sifa nikianza UNK wala UNK kaka na dada zangu UNK kuandika haya UNK leo kuna watu UNK malalamiko kila kukicha lawama kwa wapenzi wao wakidai kwamba hawaoni kama wanapendwa yaani wenzi wao hao hawajitumi kabisa katika mapenzi lakini kuna jibu UNK ambalo liliwafanya wanyamaze unajua UNK nini sawa hao wenzenu hawajitumi na nyie wenyewe UNK jitihada gani kuwaweka karibu ama mnataka UNK kwani jamani mapenzi ni kupenda ama kupendana maana wewe unasema huoni dalili kutoka kwa mwenzako wewe zako ulionesha UNK benchi sasa kuna utaratibu wa kuangalia katika haya mapenzi hasa kwa wale ambao walifuatwa na sio wao kufuata UNK kujua mambo flani ambayo UNK katika UNK tupo p UNK jamani me naanza moja mapenzi na kuamua hili ni jambo ambalo wengi wa vijana waliokuwemo katika uhusiano mlikuwa UNK basi habari ndiyo hiyo mapenzi ya UNK yamepitwa na wakati na ni kujidhulumu na mwisho wa siku utajikuta UNK na kila UNK maana utagundua kwamba labda UNK kumbe wenyewe UNK na mwisho wa siku UNK UNK vibaya baada ya kila mtu kutegea kumuona mwenzake akiwa UNK kwa mwenzake kama UNK kwamba wewe uko na fulani haina kutegea kaka ama dada yangu umeamua kupenda penda moja kwa moja na hatua ya kwanza katika hili ni kufukia UNK uliza UNK unapoona anakosea UNK unapohisi hupendi mambo fulani ambayo mwenzako UNK mwambie ukweli na kwa kuwa yeye anakupenda UNK wazungu wanasema love UNK UNK happen na mimi UNK mkono nimeshuhudia watu wakiacha pombe wakiacha sigara wakiacha hata UNK kwa sababu ya mapenzi lakini UNK kila mtu utamuona ana tabia mbaya na kumbe tabia mbaya UNK wewe na kibaya zaidi sasa unajikuta UNK na huyu umeanza na huyu ukaenda kwa huyu na huyu na yule na mwisho wa siku umefanya UNK wa watu katika uhusiano wako wa kimapenzi na dunia si UNK UNK na teknolojia ndio UNK unaingia mahala unakuta katika watu kumi wanne UNK nao mkao wa kimapenzi heshima ipo hao unajinyima mwenyewe uhuru wa nafsi unakuwa au nadanganya UNK mapenzi huambatana na amani ya moyo ndio maana hapo mwanzoni UNK kwamba ukiamua kufanya uhusiano UNK tu moja kwa moja maana uhusiano wa UNK UNK unakuwa kama UNK hivi unakuwa na moyo wa kusita sita kuliko kufanya hivi ni bora kuacha kaka au dada yangu maana UNK utakuwa kama unajinyima haki yako ya msingi sasa mambo ya kukaa kama bosi na kusubiri mwenzako UNK ndio nini na yeye kwa kukuona hivyo unataka UNK unadhani atakubali kufanywa mjinga na yeye huenda akawa na mtu UNK UNK kwamba kwako hamna mapenzi kumbe yawezekana UNK ila sasa tatizo ni kwamba UNK kwamba kama kweli lipo ndio unakuta muda unakwenda mmoja ataona UNK mara uhusiano UNK kila mtu kivyake unatakiwa kabla ya kumwambia mtu i love you too UNK kabisa kutoka moyoni mwako kama umeamua na moyo ukiamua kupenda unakuwa na amani na ule uhusiano ambao UNK unaona bwana na ukipata baraka kutoka moyoni mwako penzi la namna hii UNK UNK mtu na ukihisi moyo UNK achana na huo uhusiano UNK muda bila mwenyewe kujijua na kama UNK UNK haufiki popote uhusiano wa namna hii nyie tu na mambo yenu kuna kosa kubwa ambalo vijana hulifanya pindi wanapokuwa katika husiano zao hupenda sana mambo mawili moja ni kupenda sana kushirikisha rafiki zao katika husiano zao yaani kuanzia kwenye maamuzi ama katika jambo ambalo wenyewe UNK ushauri kumbe wanakuwa wanauza silaha za maisha yao UNK ki nguoni mwako kama ulikuwa hujui we una uhakika gani huyo UNK ushauri UNK maisha yako na mpenzio hili ni moja UNK bwana ni lile la kulinganisha mambo kwamba mbona flani anafanyiwa hiki mi UNK maisha ni kama vidole mikononi mwako hayawezi kulingana kuna aina ya maisha ambayo mungu UNK unatakiwa kukubali hali uliyonayo na kuirekebisha kwa zana ambazo ziko ndani ya uwezo wako unaona bwana UNK tu unakuwa UNK kila kitu UNK UNK kitu kaka na dada zangu rafiki yako mkubwa awe mpenzi wako kama kweli unampenda yeye ndio UNK kwenye mambo yako na mwisho wa siku utakuja kuona kila kitu UNK unajua hii itatoka wapi katika kuhakikisha kwamba UNK wiki ijayo nipo hapa hapa UNK wahenga walisema mla mla leo mla jana kala nini nyinyi mnaweza kujua jana UNK nini mie hamjui hata mimi sijui UNK nini lakini wote tukiamua kujua nani anakula nini leo tunaweza UNK mmejipanga vipi kuhakikisha UNK mwaka huu UNK mwakani au ndio mnasema ya kesho UNK kesho UNK hivyo bwana future UNK to UNK who UNK haya pia ni sehemu ya kijiwe chetu hiki kukumbushana mambo ya hapa na pale si vibaya hata nyinyi UNK na kuniambia UNK nini na tuongeze kitu gani au sio hapa ni mimi na nyinyi leo tunapata kisa kutoka katika jiji la kandoro namaanisha dar es salaam kisa hiki UNK na msomaji mwenzenu kutoka hapa jijini kisa chake kinasema mla kala leo alo kula jana kala nini katika mkasa huu tunaambiwa kuwa eti kuna dada mmoja ambaye kwa kiasi fulani anaonekana kuwa umri umeenda kama angekuwa kaka yangu UNK katika zee la nyeti angesema age imeenda au aka imeondoka lakini yote hiyo UNK kuwa mwenzetu umri umeanza kumtupa mkono lakini UNK bibie huyu haishi kujisifu kuwa eti yeye enzi zake alikuwa hatari atakwambia msondo na sikinde kote alikuwa akijulikana yeye kiwanja gani UNK hapa dar UNK yeye yote kwa yote kabla UNK UNK ukweli kama alikuwa mtu wa kujirusha kweli au UNK hivi hii UNK nini sasa alo kula jana bado UNK au anataka kula tena halafu kitu kingine hajui kama starehe zipo za kila rika kwani leo hii hakuna wazee wa kisasa wanaoendeleza UNK hivi nyinyi UNK huyu jamani mie naona kizunguzungu tu lakini ukweli wa stori hii ni kwamba bibie huyu enzi hizo UNK yeye alikuwa house girl huko kwa UNK UNK kariakoo habari za ngoma ya ukae alikuwa UNK tu haihusu kama umewahi kufanya nini katika maisha yako kwasababu sisi tunaelewa kila mtu UNK UNK au sio huna sababu pia ya UNK kwasababu UNK wewe wala msikilizaji wako kinachohusu ni mla kala leo alo kula jana kala nini wala hatuhitaji kujua UNK unapozungumzia UNK tanzania hapana shaka kichwani mwako taswira UNK ni ya kundi la tht lakini UNK kundi hilo moja kwa moja UNK UNK wawili islam na UNK unapata raha fulani ya kipekee pale unapomuona kijana UNK na kuvitumia viungo vyake kwa namna ya pekee ambayo inahitaji kipaji na mazoezi UNK vijana wanajituma katika hilo kati ya wachezaji ambao wamekuwa ni tegemezi katika mchezo huo ni pamoja na islam awadh na kauye dotto anayefahamika zaidi kwa jina la kay hawa ni baadhi ya wacheza shoo ishirini wanaounda kundi la tanzania house of talent kwa kawaida shoo hiyo UNK na islam awadh kwa wavulana na mwanadada kauye dotto UNK kwa wasichana wasanii hawa hivi sasa wasanii hawa wameweza kujichukulia umarufu mkubwa kupitia vipaji walivyonavyo ambavyo huweza kumvuta kila mmoja UNK kuwaona wawapo UNK michezo ya hatari ni kitu ambacho UNK wengi islam awadhi ambaye alizaliwa miaka ishirini na tano iliyopita jijini dar es salaam anasema kabla ya kujiunga na kundi hilo hali yake kiuchumi ilikuwa duni na kumkatisha tamaa licha ya kutokuwa na fani nyingine aliyoipenda zaidi ya dansi anasema wakati akiwa kwenye fikra za kuachana na fani hiyo UNK kuwa miongoni mwa wacheza shoo walioitwa kujiunga na UNK niliamua kujaribu tena maisha katika kundi hili ambalo UNK na miezi michache baadaye maisha yangu yameanza UNK anasema anasema tangu ajiunge na kundi hilo UNK vipaji vipya ikiwemo upigaji wa vyombo ambapo anatarajia kumiliki studio za kurekodia muziki ndoto ambayo alikuwa nayo miaka mingi licha ya matokeo yake ya kidato cha nne kuwa mazuri anasema hakutaka kuendelea na masomo na badala yake anasema aliamua kutii kiu yake ya kuzama katika masuala ya muziki wa dansi kwa upande wa kucheza kwa maoni yake hata hilo UNK UNK mambo yake safari yake ya mafanikio ilianza mwaka ishirini sifuri tano alipojiunga na kundi la tht kundi analosema UNK na kusababisha aweze kukamilisha ndoto zake za siku nyingi akiongea kay ambaye amezaliwa mjini tanga mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na saba anasema kuwa kutokana na kipaji chake hicho ameweza kutimiza ndoto nyingi pamoja na kujiendeleza kimaisha nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa ikiwa ni pamoja na kutopata magonjwa ya mara kwa mara ambayo UNK afya UNK hata hivyo nimeweza kuujenga mwili wangu kimazoezi na pia nimekuwa msichana ambaye si mvivu kwani ninaweza UNK mimi na maisha yangu anaeleza kay ambaye anasoma chuo cha biashara UNK kilichopo kimara jijini dar es salaam nimeweza kujitafutia kipato changu mimi mwenyewe bila kutegemea mtu mwingine na pia kujitegemea na kutoa msaada kwa wazazi wangu anasema kay ambaye anatarajia kuja kuwa mfanyabiashara na mwalimu wa dansi hapo baadaye hata hivyo msichana huyu anasema kuwa huweza kucheza michezo hiyo ya hatari bila kujali chochote lakini anakiri kuwa kufanya hivyo kunahitaji uzoefu na kuweza kujizatiti ili uweze kufanya kazi hiyo ambayo ni ngumu mazoezi zaidi yanahitajika ili kuweza kufanya vizuri na pia kutokuwa katika hatari ya kuweza kuumia au kuweza kupata matatizo unapokuwa katika mchezo huu ninafanya mazoezi mara kwa mara hali UNK kuweza kuzoea na kujifunza mengi ikiwa ni pamoja na ubunifu lakini katika kila zuri lazima kuna doa ambalo mhusika hawezi UNK sitasahau siku UNK nikiwa katika kutengeneza filamu ya mwanzo mwisho na UNK kupata maumivu makali pamoja na kidonda UNK kupata kovu hili usoni mwangu anaonyesha kovu kwenye UNK la uso kuna habari UNK mezani kwetu kwamba mtoto mwenye sauti tamu kutoka ilala ally saleh UNK asiye na aka ameamua kumuweka hadharani yule jamaa UNK laifu kisha UNK ambaye aliwahi UNK katika moja ya songi zake hivi karibuni UNK UNK na hata wale wachumba aliokuwa akihangaika nao pia nao UNK akabaki kachoka hadithi UNK na ngoma ilikubalika nyumbani na kwa muda huu ally kiba yuko ulaya UNK kutengeneza songi hili kwa ushirikiano wa karibu kabisa na kampuni moja hivi inayokwenda kwa jina la UNK ni moja kati ya ngoma kumi na tano zilizomo kwenye albam yake inayokwenda kwa jina la UNK ngoma nyingine zilizomo ni pamoja na njiwa UNK UNK yatima kuteseka nimechoka nakshi nakshi UNK zaidi yangu UNK UNK UNK na ragga tone kutoka tusker project fame ya mwaka jana hemed suleiman ambaye aliiwakilisha bongo fresh tu hivi sasa yuko katika dili ya kurekodi filamu huku pembeni yake akiwa na mastaa wakubwa wa anga za filamu nchini hemed ambaye anatajwa na wadau kuwa ni msanii nyota anayekuja kwa kasi katika medani ya muziki wa kizazi kipya mbele akiwa UNK ngoma yake inayokwenda kwa jina la ninachotaka ametajwa kuwa mmoja wa waigizaji wa filamu mpya itakayokwenda kwa jina la wrong number umeona bwana mbali na hemed ndani ya filamu hiyo kuna wasanii nyota kama UNK cherry aka UNK mtangazaji wa clouds fm UNK UNK g UNK UNK na wengineo UNK hemed aliulizwa kama dili UNK alienda kuomba kujaribu kipaji kama UNK tusker jibu likawa UNK jamaa si UNK hemed alikuwa mwakilishi wa tanzania katika kinyanganyiro cha tusker project fame mashindano yaliyofanyika mwaka jana ishirini sifuri nane hemed ni kati ya washiriki watatu kutoka tanzania waliokuwa wakiishi katika jumba la tusker project academy jijini nairobi kenya baada ya bingwa wa kombe la carling kujulikana jumapili iliyopita vikosi vya manchester united na tottenham hotspur ambavyo UNK kazi sasa UNK macho yao katika mechi za ligi kuu england manchester united walifanikiwa kulitwaa kombe hilo kwa njia ya mikwaju baada ya kumalizika kwa dakika mia moja na ishirini za mchezo huo huku kila timu ikishindwa kuona lango mwenzake sasa manchester united inayoongoza ligi kuu england ikiwa na pointi sitini na mbili itakwaana uso kwa uso na newcastle united ambayo inashika nafasi ya kumi na nne huku ikiwa na pointi ishirini na nane baada ya kocha wa manchester united alex ferguson kutwaa kombe la carling alisema kwamba hakuna nafasi ya UNK ubingwa huo kwani ana kazi ya kuhakikisha anaongeza pointi zaidi katika ligi kuu lakini huenda newcastle united UNK kipigo kingine kirahisi baada ya kufungwa na bolton UNK bao moja sifuri katika mechi iliyochezwa jumapili iliyopita katika mechi nyingine tottenham hotspur itakuwa na shauku ya kufuta jeraha la kukosa kombe la carling wakati itakapocheza na UNK kikosi cha tottenham ambacho kinanolewa na kocha harry redknapp kwa sasa UNK nafasi ya kumi na nne huku wapinzani wao wakiwa katika nafasi ya tatu kutoka mkiani na mpaka sasa wamekusanya pointi kumi na sita kocha wa tottenham harry redknapp alisema kwamba baada ya kumalizika kwa fainali ya kombe la carling kitu muhimu ni kuangalia mbele na sio kujutia yaliyopita kocha wa arsenal arsene wenger amesisitiza kwamba kitendo cha mashabiki wa arsenal kuonyesha hasira juu ya kikosi chake hakimuogopeshi kocha huyo amesema kwamba mashabiki wanatakiwa watathmini matokeo ya kikosi baada ya msimu kumalizika na si kuanza kuzomea hivi sasa kikosi hicho kimeshindwa kuonyesha soka safi na kupachika mabao katika mechi za karibuni mashabiki wanaonekana kushikwa na hasira na mwenendo wa kikosi huku uwezekano wa kushiriki ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao ukionekana kuwa finyu zaidi lakini wenger alisisitiza kwamba bado ana imani na wachezaji wake na amekitaka kikosi kuonyesha kwamba mawazo ya mashabiki si sahihi alipoulizwa kama anaona mashabiki wamepoteza mapenzi na klabu alijibu sifahamu huo si wasiwasi wangu kitu muhimu ni kwamba tunakwenda sawa tunatakiwa kuonyesha kasi kubwa na kufanya mambo tunayotakiwa kufanya baada ya ligi tutawaruhusu mashabiki watoe maoni na mitazamo yao ninafahamu kubwa tatizo si kubwa kwa hiyo hakuna sababu ya kuogopa sana lakini wasi wasi wangu ni kwamba kwa nini hatushindi mechi ambayo tunapaswa kushinda aliongeza nadhani wachezaji wangu wanaonyesha uwezo mkubwa lakini kama hawapati mabao mashabiki lazima watalalamika tunajua ni kwa kiasi gani tunataka kuingia katika ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao na kwa upande wangu sio kitu cha kujiuliza ni lazima kufanya hivyo alilalama tulikuwa na uwezo mkubwa na tulionyesha kasi kubwa katika mchezo huo kocha huyo ambaye amekuwa na shauku kubwa ya kuhakikisha anashiriki katika michuano ya ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao UNK sherehe yake ya kutimiza miaka hamsini na saba ikiingia doa baada ya kikosi chake kukubali kutoka sare aliongeza ili kupata nafasi nne bora kwenye ligi UNK inabidi kuibuka na ushindi mara kwa mara wachezaji UNK UNK na john UNK alipata mabao makali dakika za mwanzo na kukifanya kikosi cha villa UNK hata hivyo ryan UNK na glenn UNK walijitahidi na kupachika mabao ya kusawazisha kwenye dakika ya themanini na nane na tisini kocha wa tottenham harry redknapp amesema hajutii kitendo cha kupoteza kombe la carling mikononi mwa manchester united kikosi hicho kilikosa kombe hilo baada ya kufungwa mabao nne moja kwa njia ya penalti kufuatia kumalizika kwa dakika mia moja na ishirini huku kila timu ikishindwa kuona lango la mwenzake sasa kocha redknapp amewataka wachezaji wake wasahau mambo hayo na badala yake wahangaikie mechi ya ligi kuu england dhidi ya middlesbrough itakayochezwa kesho jumatano redknapp alisema tulicheza vizuri sana na mwisho wa mechi ilikuwa ni kama kamali nataka kuwa mkweli kwa kusema kwamba hatukuwa makini wakati wa kupiga penalti lakini walishindwa kutufunga katika dakika ya tisini au mia moja na ishirini tulikuwa imara wakati huo huo redknapp anaamini kwamba manchester united itaweka historia mpya msimu huu kwa kunyakua vikombe vitano tayari kikosi cha manchester united kimenyakua kombe la dunia wa klabu na sasa wamechukua kombe la carling wanaongoza ligi kuu england wako katika robo fainali ya michuano ya kombe la fa na wanaendelea kufanya vema kwenye ligi ya mabingwa ulaya kocha wa spurs redknapp ametabiri kwamba kikosi hicho kitatesa msimu huu alizema wana nafasi nzuri ya kufanya vema msimu huu ni wazi kwamba upepo wa ubingwa wa ligi kuu england unavuma mlangoni kwao na watajitahidi kupata ushindi wa ligi ya mabingwa ulaya kabla ya kunyakua kombe la fa redknapp pia anaamini kwamba mpango wa ferguson wa kuwapa kasi wachezaji chipukizi ni mzuri juzi aliwachezesha danny welbeck na darron gibson katika kikosi cha kwanza lakini mambo yalipokuwa magumu aliwaingiza wachezaji wakongwe redknapp aliongeza tuwe wakweli ni kwamba tumecheza na timu kubwa ya ulaya na si kikosi cha vijana aliwaanzisha wachezaji vijana wawili lakini baadaye waliingia vidic na giggs kunapokuwa na kombe mezani alex hufanya kila jitihada kuhakikisha kikosi chake kinaibuka na ushindi kocha wa manchester united amesema kwamba ameanza kutimiza malengo yake ya kunyakua vikombe mbalimbali vya england na ulaya msimu huu na kwa kuanzia wamelitwaa kombe la carling wikiendi kocha huyo amebainisha kwamba vikombe vinavyofuata ni kombe la fa ligi kuu england na hatimaye ligi ya mabingwa ulaya ferguson alifurahi kuona kikosi chake kikipata ubingwa mwingine baada ya kunyakua kombe la dunia la klabu mwishoni mwa mwaka jana lakini kocha huyo anakiri kwamba hakuna muda wa kutosha wa kusherehekea ubingwa uliopatikana kwa njia ya penalti na badala yake wasonge mbele na kusaka vikombe vingine alisema tungetakiwa kumaliza kazi kabla ya kupewa dakika za nyongeza nina uhakikka kwamba hata tottenham watakuwa wanaongea maneno kama haya wachezaji watakuwa wamechoka kwa sasa nimewataka wapumzike kiasi ubingwa wa ligi kuu england ni kitu tunachokiwania kwa udi na uvumba sambamba na ligi ya mabingwa ulaya katika mechi hiyo ben foster aliokoa shuti kali la jamie o hara katika dakika za awali na david bentley alishindwa kuipa manchester united ubingwa mapema katika uwanja wa wembley ferguson amefurahishwa na kiwango alichokionyesha foster na alisema alidaka mipira bila wasiwasi na wachezaji wangu hawakufanya makosa katika upachikaji wa penalti kipa wa england foster aliongeza ni jambo la kufurahisha ilikuwa ni mechi ya kupaniana dakika thebathini za mwisho tulicheza kwa nguvu lakini ilikuwa ni jambo zuri kuibuka na ushindi ninawaonea huruma wapinzani wetu walijitahidi lakini mpira ni mchezo wa ajabu wakati mwingine ni wa kikatili siku za hivi karibuni kocha wa manchester united alex ferguson alibainisha kwamba ryan giggs ndiye mchezaji bora wa ligi kuu england msimu huu sasa ryan giggs amepewa sifa na kocha jose mourinho wa inter milan mourinho UNK kwa makini mchezaji huyo katika mechi ya ligi ya mabingwa ulaya wiki iliyopita wakati manchester united ilipokutana na inter milan katika uwanja wa san UNK kocha mourinho the special one alisema kwamba mchezaji huyo mwenye umri wa miaka thebathini na tano ni mkali mno unaweza kusema nini kwa mchezaji ambaye ameshuhudia vikombe kumi vya ligi kuu england lazima atakuwa na uwezo mkubwa alisema mourinho hapa UNK mchezaji mkali zaidi katika ligi kuu england na mpaka sasa hakuna mchezaji yeyote aliyetoa mchango mkubwa katika ligi kuu england kama ryan giggs mourinho aliiongoza chelsea katika mbio za ubingwa wa ligi kuu england wakati akikinoa kikosi cha stamford bridge na anafahamu kwamba kitendo cha kukubali uwezo wa giggs ni kumlinganisha nyota huyo na wachezaji wengine wa zamani kama alan shearer eric cantona na gianfranco zola lakini kitendo cha giggs kuonyesha soka nzuri mpaka sasa ndio UNK zaidi mourinho ni takribani miaka kumi na tisa sasa tangu giggs alipoingia kwenye kikosi cha kwanza katika timu ya manchester united lakini mpaka leo anaonyesha maajabu mourinho alisema anaonyesha uwezo mkubwa katika nafasi ya kiungo wa kati ninadhani kwamba hilo UNK uhai mkubwa katika kikosi cha manchester united msimu huu akiwa na miaka thebathini na tano anaweza kuwa amepoteza mbio kiasi lakini alex ferguson ametumia mbinu ya ziada ya kumuweka katika nafasi ya kiungo wa kati tumewahi kuna jambo hilo kwa wachezaji kama zola UNK na zidane alisema kocha wa liverpool rafa benitez ameacha kushughulikia suala la kuwasajili wachezaji mpaka atakapomaliza sakata lake la kutia saini mkataba wa miaka minne kocha huyo wa anfield anatakiwa kukutana na wamiliki kutoka marekani tom hicks na george gillett wiki hii ili kufanya mazungumzo juu ya usajili wenye thamani ya pauni milioni kumi na nane lakini hakuna uhakika kama UNK mkataba huo licha ya kwamba mkurugenzi rick UNK anataka kuondoka mwishoni mwa msimu huu vilevile benitez ana hamu kubwa ya kujua nani atachukua nafasi ya UNK lakini mkataba wa sami hyypia utamalizika mwishoni mwa msimu huu wakati dirk kuyt daniel agger alvaro arbeloa na emilio insua wanamaliza mikataba yao baada ya miezi kumi na nane mshambuliaji kutoka uholanzi kuyt alisema kocha aliniambia kwamba anataka kunipa mkataba mpya lakini kwa kuwa anashughulikia mkataba wake inabidi nisubiri kwanza sijali sana juu ya suala hilo ninachoangalia ni mechi zinazokuja sijawahi UNK kwamba kuna siku kocha wangu ataondoka alisema imefahamika kwamba kuyt fernando torres javier mascherano na pepe reina wataondoka katika klabu hiyo iwapo benitez UNK kusaini mkataba mpya nyota wa barcelona kutoka cameroon samuel etoo amemaliza uvumi UNK kwamba yuko mbioni kuondoka katika kikosi hicho kwa kusema kwamba ataendelea kukaa katika klabu hiyo yenye maskani yake camp UNK mkataba wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka ishirini na saba unamalizika mwishoni mwa msimu huu na kumekuwa na habari kwamba ana mpango kabambe wa kuondoka tangu mwishoni mwa msimu uliopita lakini etoo alisema nimekuwa katika klabu hii kwa miaka mitano sasa ingawa msimu uliopita ulikuwa mbaya kwangu UNK na uamuzi wa klabu wa kutaka UNK lakini ukweli ni kwamba nilitamani kukaa katika klabu hii na kuendelea kucheza soka nitaendelea kuchezea klabu hii mpaka mwishoni mwa mkataba wangu UNK kucheza zaidi mpaka klabu UNK UNK tena ni wazi kwamba ninataka kukaa katika klabu hii ninaipenda barcelona ninafurahishwa na mwenendo wa klabu katika hatua nyingine UNK UNK ana wasiwasi iwapo suala lake la kusajiliwa kwa mkopo kutoka west ham kwenda real madrid UNK na kuwa usajili wa kudumu mchezaji huyo ameingia uwanjani mara moja tu tangu alipojiunga na real madrid UNK west ham msimu uliopita ni kazi ngumu kuishi namna hii kwa kuwa hakuna mtu anayejali kwa nini UNK na sifahamu nani anaweza kunisaidia alisema frank rijkaard ni mmoja kati ya makocha wanaopewa nafasi kubwa ya kukinoa kikosi cha chelsea msimu ujao kocha huyo wa zamani wa barcelona anapewa UNK cha kuchukua nafasi ya guus hiddink na yeye mwenyewe anaonyesha nia ya kutaka kukiongoza kikosi hicho imefahamika kwamba viongozi wa chelsea wiki iliyopita UNK juu ya suala hilo baada ya mazungumzo marefu uamuzi uliopatikana ulikuwa ni kwamba iwapo kocha hiddink UNK kurudi russia mwishoni mwa msimu rijkaard atachukua nafasi yake katika uwanja wa stamford bridge na kuna uwezekano kuwa hiddink anaweza kufanya kazi na rijkaard baada ya kampeni za kuwania nafasi ya kushiriki fainali za kombe la dunia ishirini moja sifuri lakini mmoja atakuwa kiongozi wa michezo makocha hao wameshafanya kazi pamoja wakati huo rijkaard alikuwa mmoja wa wasaidizi wa hiddink katika kikosi cha uholanzi makocha hao walionyesha mafanikio makubwa kwa kuwa walishirikiana pamoja na wana uwezo mkubwa lakini rijkaard alipoulizwa juu ya mapenzi yake na klabu ya chelsea hakuwa tayari kuzungumzia suala hilo kwa UNK kocha huyo alisema ni klabu UNK lakini hakutaka kuzungumzia kwa kirefu juu ya suala hilo mtu mmoja kutoka uholanzi alisema kwamba kuna kila dalili kwamba kocha huyo atachukua nafasi katika klabu hiyo mtu huyo alisema guus na frank walifanya mazungumzo juu ya kazi hiyo wiki iliyopita na imefahamika kwamba frank atatua chelsea baada ya msimu huu kumalizika abramovich anataka kuona hiddink akimalizia suala lake la kutaka UNK kikosi cha russia mpaka katika kombe la dunia mwakani lakini baada ya mafanikio hayo arudi chelsea kufanya kazi sambamba na rijkaard UNK amekosa kikosi tangu alipoondoka barcelona mwishoni mwa msimu uliopita lakini ni mmoja kati ya makocha wenye uwezo mkubwa duniani akiwa hispania kwa muda wa miaka mitano aliipa barcelona ubingwa wa la liga mara mbili pia alipata kombe la ligi ya mabingwa ulaya kwa kuichapa arsenal mabao mbili moja katika mechi ya fainali iliyocheza jijini paris mwaka ishirini sifuri sita the tanzania football federation has said there is a need to UNK a strong youth foundation in order to UNK UNK progress in the sport tff secretary general fredrick mwakalebela UNK the citizen UNK his arrival in the country from ivory coast yesterday that most of the countries that featured in the champion of african nations UNK players UNK out for their youth teams he said tanzania zimbabwe and libya were the only teams that had a UNK of youth and senior players we need to UNK other countries and build a strong national team by UNK on UNK talent you saw for UNK how teams that had UNK players did well in the championship it was a vital UNK for us mwakalebela said he added that UNK clubs in west africa had UNK in which young players UNK their UNK clubs like asante UNK asec UNK and many others in west africa have youth UNK its time our clubs in tanzania followed UNK if they hope to make an impact on the international UNK mwakalebela said tff would UNK to local clubs the UNK of UNK youth teams UNK the federation was UNK that most of them were UNK UNK UNK UNK we need to UNK in order to reach the UNK that others have UNK i know that money is a problem but the fact UNK that you cannot make any progress in football without UNK UNK on youth programmes like they do in west and north africa he said that tff was playing its part by UNK youth UNK UNK the UNK of the UNK under ishirini championship won by azam fc this is UNK the UNK we are UNK UNK on the youth and we need clubs to work with us in this if tanzania is to uplift its soccer UNK kocha wa yanga dusan kondic amesema sasa mpango wake wa mazoezi kwaajili ya kujiandaa na mpambano dhidi ya al ahly utaenda vizuri baada ya wachezaji wake walioko kikosi cha taifa stars kurejea na kuungana na wenzao yanga ina wachezaji kumi katika kikosi cha taifa stars ambacho kinatarajia kurejea nchini asubuhi wakitokea ivory coast UNK michuano ya kombe la mataifa ya afrika na kuondolewa na zambia akizungumza na mwananchi jijini dar es salaam kondic alisema licha ya mazoezi na wachezaji wake waliosalia kuendelea vizuri lakini kurejea kwa wachezaji wake muhimu walioko taifa stars kutasaidia UNK mikakati ya kuhakikisha wanapata ushindi katika mpambano huo alisema tayari UNK na uongozi wa yanga na kuzungumza nao kuhusiana na mipango mpangilio wa kambi na mazoezi ya timu hiyo baada ya kurejea nyota wake aidha kondic alisema kuwa wakati wowote kuanzia sasa atakutana na vyombo vya habari kuelezea maendeleo ya kikosi chake siwezi kusema mengi lakini nitakutana na vyombo vya habari ili niwaeleze maendeleo ya vijana wangu nafikiri wengi watapata nafasi ya kujua nini tunachokifanya wakati huu alisema kondic kitimtim cha nusu fainali ya michuano ya chan ni leo ambako timu mbili UNK hadi fainali itakayochezwa jumapili ijayo UNK baada ya vikosi vinne UNK mtoano kuonyesha kazi katika miji ya abidjan na bouake wababe wa kundi a zambia UNK daktari congo kwenye uwanja wa felix UNK boigny jijini hapa katika mechi itakayoanza saa moja jioni hapa wakati kule bouake mechi itaanza saa tisa alasiri kwa saa za hapa katika mchezo huo ghana ambao ni vinara wa kundi b wakiwakaribisha senegal walioshika nafasi ya pili kundi a hakuna UNK moja kwa moja nani hasa anastahili kwenda fainali kutokana na michuano hiyo kuwa haiaminiki ingawa kuna UNK mwingine UNK pia hakuna kocha ambaye ana uhakika timu yake itapita moja kwa moja hadi fainali kwa kuwa kila timu inaonekana kujiandaa na kuwa tayari kwa ajili ya mechi za leo ambazo zinaweza kuamsha hamu tena ya mashabiki wa soka nchini hapa walioonekana kukerwa na timu yao kuondolewa mapema kocha wa zambia mfaransa herve renard bado anaonekana kuwa na hofu na namna mambo yanavyokwenda kikosi chake kimeonekana kuteremka kiwango kadri mechi zinavyosonga mbele na walifanikiwa kusonga mbele baada ya kupata bao la UNK katika dakika za majeruhi dhidi ya tanzania inanipa hofu na UNK kurekebisha mambo lakini naona kuna muda wa kutosha kwa ajili ya hivyo jumatano ninaweza kufanya vizuri na kikubwa nimewaambia wachezaji wangu kutulia na hasa mbele kuhakikisha wanatumia nafasi alisema mfaransa huyo zaidi UNK given singuluma mwenye mabao matatu kuongoza safu yake ya ushambuliaji wakiwamo william njobvu na henry banda ambao wameonyesha kuwa na ushirikiano mzuri lakini kwa upande wa daktari congo uchezaji wao UNK na wamekua UNK kwa kushtukiza na kasi kubwa kitu ambacho walinzi wakongwe wa zambia kama elijah tana wanaweza kuwa katika wakati mgumu kama UNK makini makini kocha mfupi wa senegal joseph koto na hofu na kitu kimoja tu kucheza mechi muhimu zaidi katika uwanja mgeni kwa kuwa timu yake imekua UNK abidjan mechi zote na si UNK lakini akaahidi kwamba ghana UNK cha moto uwanja unaweza kuwa athari lakini nimezungumza na vijana na aliwataka wachezaji wake waondokane na hofu tunaweza kufanya vizuri kokote ingawa ghana ni timu nzuri na ambayo imekaa muda mrefu hata kuliko sisi alisema koto ambaye ni kocha mfupi kuliko wote katika michuano hii hata hivyo watalazimika kufanya kazi ya ziada kuwachunga washambuliaji chipukizi wa ghana ibrahim ayew ambaye ni mtoto wa mkongwe abeid pele na UNK UNK huku hao black stars wakilazimika kuwa makini na washambuliaji pacha wa simba wa terranga malick falli na traore mamadou ambao ni UNK hali ya ahueni inaonyesha kurejea kwa kocha mserbia milovan rajevac baada ya timu yake kuibuka na ushindi wa mabao tatu sifuri dhidi ya daktari congo awali alianza na sare mbili dhidi ya zimbabwe na libya kitu kilichomfanya kupata hofu kuu naona kuna mabadiliko nilitaka hivi na sasa tunaanza kucheza katika kiwango chetu tuna nafasi ya kufanya vizuri na kufika mbali ingawa tunakutana na timu yenye wachezaji waliokaa kipindi kirefu na UNK kimchezo alisema kwa hiyo kutabiri moja kwa moja ni vigumu sana hasa kwa kuwa zinakutana timu za afrika magharibi upande mmoja na upande mwingine zambia na daktari congo zinatoka katika ukanda ambao soka yao pia UNK miss tanzania wa mwaka ishirini sifuri sita wema sepetu na mwenzake asha jumbe wakazi wa tabata senene jijini dar es salaam wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kinondoni wakikabiliwa na tuhuma ya kuharibu mali akisoma hati ya shtaka hilo mwendesha mashtaka inspekta wa polisi nassoro UNK mbele ya hakimu mfawidhi UNK mchauru alisema kuwa watuhumiwa hao walitenda kosa hilo januari ishirini na tisa majira ya saa tatu sifuri sifuri usiku maeneo ya magomeni mikumi dar es salaam nassoro alidai kuwa siku ya tukio hilo watuhumiwa hao waliharibu kioo cha mbele cha gari aina ya toyota rav nne yenye namba ya usajili UNK mia tisa na tisini na tatu UNK mwendesha mashtaka alidai kuwa kioo cha gari kilikuwa na thamani ya shilingi milioni moja mali ya stephen kanumba hata hivyo watuhumiwa hao walikana shtaka hilo na walipelekwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri wadhamini wawili mmoja awe mtumishi wa serikalini awali mtuhumiwa wa kwanza alikuwa ana mdhamini lakini cha kushangaza alipofika mahakamani hapo alidai kuwa alikuwa amesahau barua zake kwenye gari baada ya muda kupita hakimu mchauru alisema yaani mahakama UNK mtu alienda nyumbani kuchukua barua za kumdhamini mtu kesi hii UNK hadi hapo itakapotajwa tena machi kumi na nane kocha wa timu ya taifa ya vijana mbrazili marcos tinoco ameanza kazi ya kuifundisha klabu ya united petrotrin inayoshiriki ligi kuu ya trinidad tobago tinoco aliwahi kuzifundisha timu za vijana chini ya miaka ishirini na tatu UNK na vasco da gama brazil yupo likizo ya mwaka mmoja bila malipo UNK kwa mwajiri wake shirikisho la soka tanzania tff na UNK muda huo kufanyakazi nchini trinidad tobago kwa mujibu wa mwenyekiti wa timu ya united petrotrin arnold UNK tinoco ambaye alisoma chuo cha soka cha brazil UNK kuwafundisha wachezaji thebathini wa timu hiyo ambao anawaandaa kwa ajili ya msimu wa ligi kuu ya mwaka huu ya trinidad tobago katika kuthibisha hilo katibu mkuu wa tff frederick mwakalebela aliiambia mwananchi jana kuwa wao walipokea barua ya tinoco na wamekubali kumwachia kwa kipindi hiki alisema atakuwa nchini kwao kwa ajili ya kuendelea na shughuli zake nyingine kwa kuwa timu haipo kwenye mashindano hakuna tatizo kwa sasa tupo kwenye mchakato wa kutafuta kocha mwingine wa vijana nafasi ambayo itatangazwa rasmi hapo aprili alimaliza kusema katibu huyo tinoco alishawahi kufundisha timu za visiwa vya UNK kabla ya kuja tanzania mwaka ishirini sifuri saba mwaka ishirini sifuri tano alikuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya soka ya visiwa vya UNK akiwa nchini alifanya kazi nzuri ya kuzijenga timu za taifa za vijana na kuweza kushinda mashindano ya copa coca cola kombe la muungano na kombe la UNK timu ya taifa ya vijana ya tanzania ilishinda kombe la copa coca cola baada ya kuishinda chile moja sifuri katika mechi ya fainali katika mashindano hayo timu za vijana chini ya miaka kumi na saba za argentina paraguay chile na peru zilishiriki mwenyekiti wa timu ya united petrotrin arnold UNK alisema kulikuwa na makocha wengine watatu kutoka brazil na mmoja kutoka argentina waliokuwa wakiwania nafasi ya kufundisha timu hiyo ila walipewa ushauri na aliyekuwa kocha mkuu wa trinidad tobago mbrazil UNK de oliveira kuwa tinoco ndiyo anafaa kuchukua nafasi hiyo atakuwa na sisi kwa muda wa mwaka kwa sababu bado ana programu ya kuitumikia nchini hiyo tanzania UNK kufuzu kucheza kombe la dunia hivyo aliiomba tff kuwa nje kwa muda wa mwaka mmoja ili aweze kuwa nasi alisema UNK aidha uongozi wa klabu hiyo umekubali kuwa kitendo cha kumchukua kocha huyo ni gharama ila UNK bajeti yao kwani watakuwa UNK kama walivyokuwa wakilipwa makocha wengine waliotangulia kuifundisha timu hiyo the north americas first division champions vancouver whitecaps will UNK in the country for three international friendly matches on march the canadian team is scheduled to play the matches on march tisa kumi na mbili and kumi na nne against young africans simba and taifa stars respectively this is the second time for a team from america to play international matches in the country after UNK UNK in ishirini sifuri moja the goals of their visit are to promote our tourist attractions and UNK for the ishirini moja sifuri world cup finals which will take place in south africa the tour is also an opportunity for our local players to show their UNK and UNK from the north american UNK UNK UNK manager of the lz enterprise said the goals of this event are to promote tanzania as a world class football UNK in the light of the ishirini moja sifuri world cup in south africa local football and tourism UNK UNK said after the matches the team will UNK a visit to the ngorongoro UNK hubert said the lz enterprise is UNK to UNK the bridge between the two countries and uplift the standard of tanzanian football meanwhile tanzania football federation president leodegar tenga UNK the lz enterprise for its initiative to promote the game in the country tenga said the tour would promote and UNK the development of football in the country hubert pointed out that the team would come with thebathini people UNK including their UNK UNK the tour has the support of the UNK UNK of information sports and culture UNK high commissioner and the tanzania tourist UNK the UNK UNK rugby festival UNK to UNK UNK all rugby teams will take place at the dar es salaam gymkhana UNK on saturday UNK of this event nicole israel said the dar leopards rugby club will UNK it and on the same day three competitions will take UNK israel said the event will feature competitions UNK to age UNK which include UNK league chui league and adult league the adult UNK is one deemed competitive and UNK as the last years winners UNK UNK will feature to defend their UNK he pointed out that in the last years festival they managed to raise about shilingi nne million for development of junior rugby in the city on this years festival israel UNK that they have UNK a UNK event as well to support young rugby players the dar leopards rugby club has also set programmes aiming at UNK rugby in UNK by UNK UNK tools for training the UNK sports have been UNK as one of the UNK tools which can play a role in UNK countries tourist attractions a minister said minister for foreign UNK and international cooperation bernard membe made this comment UNK the recently UNK kilimanjaro international UNK he said kili marathon has UNK UNK of runners from UNK countries it is an opportunity for the tourism sector to UNK on such UNK UNK participants and marathon UNK membe said this years event has been UNK because a big number of foreign runners UNK all sponsors UNK UNK be commended for their good work the event has UNK UNK UNK he said the minister said he was UNK by the UNK of the UNK UNK and that the government would continue working UNK with UNK it is UNK UNK to make these people feel they are part of our UNK and have a UNK role to play in the development of sports in the country membe said the event which UNK more UNK arobaini sifuri sifuri from arobaini UNK had shilingi ishirini na nane million UNK out as UNK runners like tanzanian patrick nyangero and kenyan UNK kibet managed to UNK shilingi moja tano million each UNK UNK the tanzania breweries limited sponsored the kili marathon standard chartered bank sponsored the disabled half marathon and vodacom sponsored the tano UNK fun UNK other sponsors include goodyear UNK dt dobie new africa hotel keys hotel kilimanjaro water tanga cement kk security tanzanite one and UNK UNK managed to dominate these races as many top UNK in the tourney went on their way young africans will start residential training tomorrow as the first leg tie of the african champions league against al ahly of egypt UNK UNK the match against the defending champions has been scheduled to take place on march kumi na tano in cairo young africans chairman iman madega said yesterday they UNK to UNK residential training because their kumi key players were on international UNK in ivory coast the players will UNK their team tomorrow a day after arriving from ivory coast where they failed to qualify for the african nations championship semi finals madega said they would UNK the public of the final squad which would fly to cairo after this UNK intensive UNK however the chairman did not state when the team would leave for cairo but the citizen has UNK that the team will jet off on march kumi na mbili he said the UNK players are training UNK day and night in order to be in good shape for the match which will be played at UNK our opponents have UNK us the match would be played at night UNK we UNK UNK at night as well to be UNK to the UNK madega said he said they are determined to win the away and home UNK as they did against etoile d or mirontsy in UNK development tff secretary general said taifa stars would jet in the country this morning from ivory coast where they have been UNK for the chan he said after arriving they would go UNK to their camp before UNK it msimu mbaya umeendelea kwa schalke sifuri nne baada ya kulazwa na timu ya daraja la pili mainz na kutupwa nje ya michuano ya kombe la chama cha soka cha hapa dfb UNK bao la dakika za mwisho la aristide bance lilitosha kuipa ushindi mainz na kuleta mshangao katika hatua ya robo fainali ya michuano hiyo jambo ambalo linaongeza shinikizo kwa kocha wa schalke fred UNK katika msimamo wa ligi kuu schalke maarufu the royal blues wana pointi tisa pungufu ya vinara hertha berlin na hivyo kutolewa kwao katika michuano ya dfb UNK mapema UNK UNK dalili za kutolewa kwao zilianza kuonekana mapema baada ya mchezo huo kizembe na kushindwa kushambulia kwa malengo walikosa nafasi ya wazi kupitia kwake UNK UNK aliyepiga mwamba wa goli kaitka kipindi cha kwanza wakati wao schalke UNK mainz walionyesha kila dalili ya kutaka ushindi hasa kipindi cha pili ingawa katika baadhi ya nyakati schalke waliweza kutawala mchezo na kukosa nafasi nyingine lakini dakika ya themanini na nane mainz walimaliza kazi kupitia kwake bance aliyepokea mpira wa florian UNK ambalo UNK uwanja UNK kulipuka kwa shangwe za mashabiki wachache wa klabu hiyo ndogo leo mabingwa bayern munich watasafiri kwenda kucheza na UNK UNK wolfsburg wakiwa wenyeji wa UNK UNK na hamburg wakiwa wenyeji wa timu nyingine ya daraja la chini UNK UNK timu ya lazio UNK juventus kwa kipigo cha mabao mbili moja katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali wa kombe la italia mabao ya kipindi cha pili ya UNK pandev na UNK rocchi yaliipa nafasi lazio kufuzu kwa fainali ya michuano hiyo mshambuliaji raia wa macedonia pandev UNK kwanza mpira na UNK UNK UNK na kupachika mkwaju wavuni dakika ya sitini na tano naye rocchi aliweza kukimbia na mpira kwa kasi na kufunga bao hilo kwa klabu hiyo ya jiji la rome dakika ya sabini na nane ya mchezo huo lakini juve ndio waliokuwa wa kwanza kuifunga lazio kupitia kwa kiungo wao marco marchionni dakika ya thebathini na nne ya mchezo huo baada ya kunasa mpira ambao mabeki wa lazio walishindwa UNK wageni juve walianza kuitia shinikizo lazio baada ya mshambuliaji wao UNK UNK kufunga bao ambao lilikataliwa na mwamuzi ingawa picha za marudio za televisheni zilionyesha kuwa mshambuliaji huyo hakuwa ameotea UNK mpira nao lazio walijibu mara moja na kumlazimisha kipa wa alex manninger ambaye alicheza badala ya kipa namba moja gianluigi buffon aliyepumzishwa akicheza vizuri na kumzuia rocchi aliyepokea krosi ya cristian UNK kuandika bao pia rocchi alikosa nafasi nzuri ya kuandika bao muda mfupi baada ya kuanza kwa kipindi cha pili cha mchezo huo wenyeji lazio waliendelea kuisumbua ngome ya juve baada ya bao pandev huku UNK UNK akimlazimisha kipa manninger kuokoa michomo mikali ingawa alishindwa kumzuia rocchi kufunga la ushindi mabingwa wa ligi kuu serie a inter milan walitarajiwa jana kucheza na sampdoria jana katika mchezo mwingine wa nusu fainali ya michuano hiyo mechi za marudiano UNK licha ya manchester united kuwa na mechi mbili mkononi hadi jana ushindi wa wapinzani wao wa karibu liverpool na chelsea umeipa raha ligi kuu england huku timu hizo UNK tofauti yao ya pointi kuwa nne ushindi mwingine UNK kutoka kwa arsenal UNK kuipiku aston villa katika nafasi ya tatu ya ligi hiyo baada ya kuiadhibu west brom tatu moja katika mechi za juzi usiku liverpool imepata nyota mpya ambaye aliweza kusababisha kocha wa timu hiyo rafael benitez apate tabasamu la nadra baada ya vijana wake kuichapa sunderland mbili sifuri mchezaji huyo ambaye ni mdogo kiumri mfaransa david ngog alifunga goli la kwanza katika dakika ya hamsini na mbili na baadaye katika dakika ya sitini na tano alisaidia kupatikana goli la pili lililofungwa na yossi UNK ushindi huo umeifanya liverpool UNK matumaini ya harakati zake za kuendelea kuwania ubingwa wa england na kuwarudishia furaha mashabiki wake ambao UNK na timu hiyo kupoteza mechi dhidi ya middlesbrough jumamosi kwa mabao mbili sifuri katika mechi hiyo benitez UNK nje wachezaji wanne walioanza katika kikosi kilichocheza dhidi ya middlesbrough sami hyypia fabio aurelio ryan babel na UNK el UNK na UNK albert riera yossi benayoun UNK insua na david UNK benitez UNK kiungo javier mascherano katika nafasi ya beki ya kulia na huku katika kiungo akiwatumia steven gerrard na xabi alonso beki wake wa kulia alvaro arbeloa ni majeruhi tofauti na ilivyokuwa jumamosi liverpool walicheza mchezo wa kasi katika kipindi cha pili ambapo fernando torres na UNK benayoun walikuwa wakiwasumbua sana mabeki wa sunderland sunderland UNK UNK UNK ambaye alishawahi kuichezea liverpool na alishangiliwa kwa nguvu na mashabiki wa anfield benitez alikipongeza kikosi chake kwa kucheza vizuri na kuweza kupata ushindi katika uwanja wa nyumbani ushindi huu UNK ari za timu yetu baada ya kupata kipigo kibaya wikiendi iliyopita tulihitaji ushindi timu ilitakiwa UNK uwezo wake na matokeo tumeyaona alisema ngog amefanya kazi nzuri alifunga goli zuri na lilimfanya aweze kujiamini katika mchezo hata benayoun pia alicheza vizuri kwani tulihitaji na kipa wetu jose reina aweze kuzuia michomo hatari kabla hatujapata ushindi alisema benitez katika mechi nyingine chelsea iliifunga portsmouth moja sifuri bao ambalo lilifungwa na didier drogba katika dakika sabini na tisa nayo arsenal ambayo imekuwa ikisumbuliwa na tatizo la upachikaji mabao ilizinduka na kuichakaza west bromwich albion tatu moja huku shujaa akiwa UNK bendtner aliyefunga mabao mawili na UNK wa muda kolo toure akifunga jingine jana vinara manchester united walitarajiwa kujitupa uwanja wa st james park wakiwa wageni wa newcastle united nao aston villa wakichuana na manchester city washambuliaji wa sampdoria UNK pazzini na antonio cassano UNK inter milan wakiwa wachezaji kumi kwa kuwafunga tatu sifuri katika kombe la italia nusu fainali ya kwanza kocha wa inter jose mourinho alianzisha kikosi cha pili alikiona cha mtema kuni wakati nelson UNK UNK beki wa kulia na kumruhusu cassano kupokea mpira na kupiga shuti lilomshinda kipa wa akiba UNK UNK katika dakika ya tisa pazzini alitumia vizuri uzembe wa mabeki wa inter kufunga bao la kichwa kufutia mpira wa kona mshambuliaji huyo wa zamani fiorentina alifunga bao la pili katika dakika ya arobaini na mbili dhidi ya vinara hao wa ligi ya serie a UNK ilimpoteza beki wake UNK UNK aliyepewa kadi mbili za njano lakini inter walishindwa kutumia mwanya huo kupata hata bao la kufutia machozi kiungo wa arsenal cesc fabregas ametoboa siri kuwa endapo kocha arsene wenger ataondoka emirates wataondoka wote kijana huyo wa catalan anafikiri kuwa gunners ndiyo klabu anayoipenda lakini bado anaamini mafanikio zaidi ya timu hiyo yapo mkononi mwa mfaransa huyo ambaye amefanya mapinduzi makubwa katika UNK moja na nusu hapo london kama wenger ataondoka UNK kuondoka pia fabregas aliiambia radio UNK nafurahi kuwa arsenal kwa sababu ndiyo klabu UNK fabregas UNK hayo UNK nyumbani kwake pia aliunganisha mtindo wa uchezaji wa gunners na UNK wa vinara wa ligi ya hispania barcelona kwa kusema kama kwa sasa kuna timu inacheza soka safi sawa na barca ni arsenal akiwa bado ni majeruhi baada ya kugongana na kiungo wa liverpool xabi alonso UNK alijibu kuwa atarejea uwanjani mwezi ujao sipendi kuongelea sana kuhusu hali yangu alisema lakini aliongeza nataka kuanza kucheza upya katikati ya UNK ikiwa bado suala la utata na wachezaji wawili wa taifa stars haruna moshi boban na athuman idd chuji likiwa linaendelea kocha marcio maximo amedaiwa kuchangia kuondoka kwa mwenzake amour itamar na marcus UNK habari ambazo mwananchi imezipata jana kuwa makocha hao wawili alikuwa wakitoa malalamiko mengi kuhusu maximo kuwa ni mgumu kufanya naye kazi chanzo hicho UNK kusema sababu hiyo ndio UNK makocha kutotaka kuongeza mkataba UNK kutokana na mazingira ambayo wanakutana nayo kutoka kwa mbrazil UNK kwa kweli makocha hao wamekuwa wakitoa taarifa mara kwa mara kwa tff UNK kama hawajasema ukweli kocha huyo ni mgumu kuelewa katika utendaji wa kazi amekuwa mbishi sana anapenda sana kuwa na maamuzi yake binafsi kitu ambacho katika soka hakuna alisema mtoa habari huyo alisema mfano mzuri ni kwa itamar aliondoka nchini baada ya mkataba wake kuisha akasema anataka kupumzika na familia yake lakini viongozi wa azam UNK alikuja nchini UNK klabu hiyo kama kweli alitaka kupumzika mbona UNK ukweli alishasema tangu mwanzo kuwa yuko tayari kurudi tanzania lakini si kufanya kazi na maximo kitu hicho UNK tena kwa tinoco ambaye tulikuwa UNK bado UNK soka leo kwa kuwanoa vijana wadogo alisema kocha huyo leo anatangaza kikosi chake kipya cha timu ya taifa lakini mpaka sasa bado hajatoa uwamuzi sahihi wa kucheza na timu ya vancouver whitecaps ya canada maximo ni moja wa makocha ambao wameiweka tanzania katika ramani ya soka duniani katika kipindi chake cha miaka minne UNK mkataba wake wa sasa unamalizika julai kocha wa klabu ya asec mimosa ameshangazwa na kutomuona kiongozi hata mmoja wa klabu za simba na yanga katika michuano ya chan na kusema wanatakiwa kutohofia gharama kwa kuwa soka inataka kuwekeza akizungumza na mwananchi jijini hapa patrick liewing raia wa ufaransa alisema alitegemea kuwaona viongozi wa klabu hizo kwa kuwa UNK lakini imekuwa ni tofauti inawezekana gharama ni kubwa lakini hawana sababu ya UNK utaona kuna viongozi wa klabu mbalimbali ambao timu zao za taifa UNK wachezaji wao walikuwa hapa kujifunza mambo kadhaa na kujua suala la ushindani pia inasaidia kukutana na watu mbalimbali na kuanzisha mahusiano mazuri kwa ajili ya kujenga kufanya kazi na watu mbalimbali ni kitu kizuri kwa kuwa UNK mawazo mimi sikuwa na haja ya kuja afrika kwa kuwa soka ya ulaya ipo juu lakini hapa asec nimejifunza mambo mengi tu alisema soka inataka kuwekeza ikifika wakati ukaanza kuogopa gharama ujue UNK kwa kuwa utalazimika kubahatisha kikubwa ni kuwa makini na gharama zisizo za lazima halafu unajipanga na kufanya mambo mazuri kingine katika soka ni suala la subira naweza kusema hili ni tatizo soka kidogo si kama biashara nyingi nyingine inataka UNK halafu uendelee kutoa hata kwa miaka mitatu au zaidi na baada ya hapo ndio uanze kupata matunda kama una haraka basi ujue UNK patupu na lawama au migogoro waambie yanga na simba tunawakaribisha hapa asec kuona mambo kadhaa kwa ajili ya uhusiano na namna ya ufanyaji kazi pamoja alisema liewing ambaye ni mchangamfu sana viongozi wa timu mbalimbali kutoka daktari congo ghana zambia senegal na zimbabwe walihudhuria katika michuano ya chan ambayo tamati yake ni keshokutwa jumapili pale vinara ghana na daktari congo UNK jasho kwenye uwanja wa felix houphouet boigny jijini hapa siku chache baada ya kikosi cha taifa stars kuwasili jijini hapa kocha wake mkuu marcio maximo alisema viongozi wa klabu mbalimbali za ligi kuu tanzania walipaswa kuja nchini hapa wakati wa michuano hiyo kujifunza mambo mbalimbali kocha marcio maximo leo UNK kutangaza kikosi chake cha wachezaji chipukizi hakuna shaka kwamba katika orodha hiyo kutakuwa na nafasi UNK kwa kiungo athuman idd chuji wa yanga na haruna moshi boban wa simba kabla ya kuondoka jijini hapa mara kadhaa maximo alikuwa akiwazungumzia mshambuliaji chipukizi wa mtibwa sugar zahoro pazi mshambuliaji idd mbaga wa yanga na kiungo razak khalfan wa yanga ambao ndio wenye nafasi ya kwanza kuingia awali maximo aliimbia mwananchi kwamba UNK vijana kadhaa walio kwenye timu zinazoshiriki ligi kuu tanzania bara na hawana nafasi kwenye timu zao lakini anajua namna ya kufanya nao kazi na kuwafanya kuwa wachezaji wazuri hapo baadaye kauli hiyo inatoa uthibitisho moja kwa moja kwamba mbaga khalfan na pazi UNK dume na kujiunga na stars pazi UNK kwenye kikosi hicho lakini UNK kwenye timu iliyokuwa ivory coast wachezaji wengine ambao nafasi zao zitakuwa na hatihati katika kikosi cha stars ni mabeki amir maftah na kelvin yondani ambao wanaonekana kuingia kwenye mkumbo wa maximo ingawa wanaweza kukumbana na msahama ambao hauna uhakika asilimia kumi sifuri maximo amesema ameamua kufanya mabadiliko kwenye kikosi chake kwa kuchukuwa vijana ambao anaamini watafundishika na kuwa msaada katika timu kuliko kuwa na wenye majina makubwa wasio na msaada wa kazi gani majina yawe na uwezo uwanjani nataka vijana ambao watafundishika ili tufanye kazi pamoja alisema maximo wakati akiwa jijini hapa ingawa amekuwa hataki kuweka hadharani ugomvi wake na haruna na UNK baada ya kutua jijini dar es salaam maximo ameahidi kutangaza kikosi chake leo kwa ajili ya UNK mabingwa wa amerika kusini vancouver whitecaps ya canada katika mechi ya kirafiki jijini dar es salaam kocha taifa stars ametangaza kikosi cha wachezaji kumi na tisa watakaocheza mechi ya kirafiki dhidi ya klabu ya vancouver machi kumi na nne jijini dar es salaam katika kikosi hicho hakuna mchezaji yoyote wa yanga kwa vile inakabiliwa na mechi ngumu ya ligi ya mabingwa dhidi ya al ahly ya misri machi kumi na tano lakini kocha maximo amesema hakuna nafasi tena kwa wachezaji athuman idd na amir maftah wa yanga pamoja na haruna moshi wa simba kutokana na utovu wa nidhamu walioonyesha timu hiyo ikiwa kwenye fainali za chan sura mpya ya simba UNK kikosini ni deo naftari na jabir aziz ingawa simba ina wachezaji saba kwenye timu hiyo imefahamika kuwa mwanamuziki rihanna na mpenziwe chris brown wapo katika mapenzi motomoto jarida la people limeripoti kwamba wawili hao wamesahau yote yaliyopita juu ya ugomvi wao na sasa wanakula raha wiki mbili UNK chris alimpiga mwanamuziki huyo kiasi cha UNK huku chanzo cha ugomvi UNK kwamba rihanna aliona ujumbe mfupi katika simu ya mpenziwe kutoka kwa mwanamke mwingine na alipotaka maelezo ndipo ugomvi UNK mtu mmoja ambaye hakutaka kutaja jina lake alisema rihanna na UNK kwa sasa wako katika nyumba moja ya diddy UNK ambako wanakula raha rihanna anampenda mpenzi wake na aliapa kwamba kamwe hawezi kumuacha licha ya mgogoro wao alisema mtu huyo mfalme wa miondoko ya pop michael jackson UNK afya yake na ameonekana kwamba yuko fiti na anaweza kufanya shoo jijini london miezi ya karibuni madaktari wameona kwamba jackson hana ugonjwa wowote unaofanya ashindwe kukamilisha shoo yake au kupata mkataba mnono kutoka katika kampuni ya UNK jackson alifika katika hoteli ya UNK mwanzoni mwa wiki hii na kwenda hospitalini kuchunguzwa afya yake nyota huyo ambaye amekuwa na matatizo ya UNK kwa pua atafanya shoo huko sifuri mbili arena nje kidogo ya london kampuni ya aeg itampa kiasi cha dola milioni kumi kwa ajili ya onyesho hilo na kama onyesho hilo litakuwa bora kampuni hiyo UNK shoo zaidi zitakazokuwa na thamani ya dola milioni thebathini ni jambo zuri kwa mwanamuziki huyo ambaye ameshindwa kuonyesha shoo ya live tangu mwaka ishirini sifuri moja kocha wa arsenal arsene wenger huenda akapewa kipaumbele katika kikosi cha manchester city mmiliki wa klabu hiyo daktari sulaiman al fahim anatafuta kocha UNK nafasi ya mark hughes mmiliki huyo anaona kwamba hughes ameshindwa kutoa matunda katika kikosi wanangu vipi kitaa mambo yanaenda komaeni wakubwa siunajua tena ishu za bongo zilivyo UNK kitu cha januari UNK UNK febu na chenyewe UNK sasa tupo machi tena leo satadei UNK siku zinakata kimtindo lakini zee lingali tauni UNK na mambo yake ingawa lasti satadei UNK kichizi baada ya UNK kushindwa kufanya mambo hapo UNK UNK mtu mzima niko zangu na masela UNK mara ghafla UNK ilikuwa bonge la noma maana wazee wazima UNK majumba ya kufa mtu UNK mwewe siku ya siku UNK masela semi UNK lakini dah lakini ishu zikawa si UNK sasa sijui wapi tena tutafanya UNK ya mambo fulani wakati wadau ndio hao tena hata kufunga pingu za laifu hawataki dah wikiendi hii zee lipo zake maeneo UNK mitaa tayari kwa maandalizi ya kuhamia nchi ya ahadi ambayo siku si nyingi wadau UNK UNK hii UNK UNK UNK siunajua tena laifu ilivyo gia namba wani ikikataa kufanya mambo unaingiza nne kabisa UNK zake UNK juu kwa juu lakini wiki kama mbili zilizopita nilikuwa UNK zangu mdogo mdogo mida asubuhi kwenye uwanja wa karume kucheki fainali za vijana wa u ishirini zilizokuwa UNK madogo wa klabu zote za UNK ligi mashindano hayo ya muda mfupi yaliibua mambo kadhaa mengi kati ya hayo yakiwa ya aibu na fedheha kwa soka la tanzania waliokuwa wakifuatilia kwa ukaribu michuano hiyo UNK ninachomaanisha ingawa baadhi huenda UNK ukurasa huu kutokana na aibu hasa viongozi wa simba na yanga asilimia kubwa ya timu zilizoshiriki mashindano hayo ambayo azam sc ilitwaa ubingwa na villa squad nafasi ya pili zilikuwa na vikosi ambavyo UNK aibu na ambavyo hata ukiangalia kwa dakika kadhaa tu unaweza kubaini utashi wa viongozi wa klabu husika ulivyo na UNK UNK na kuendelea na azma yako ya kuzishangilia timu za england asilimia kubwa timu zilikuwa na wachezaji walioonekana dhahiri kuwa na umri mkubwa na ambao hata ukiwaangalia katika mazingira ya kawaida UNK na dhana ya mashindano hayo ambayo yamefanyika kwa mara ya kwanza katika miaka ya hivi karibuni simba na yanga UNK aibu kwa kuwa na matokeo mabovu ambayo UNK mashabiki wake ule mfumo wa timu hewa ndio umebainika hapo kwani kila zilipokuwa zikishuka uwanjani licha ya kuwa na UNK zilikuwa UNK kabisa kufurukuta na mwisho wa siku UNK UNK kipigo cha mabao zaidi ya moja ukiangalia kelele zinazopigwa na viongozi wa simba na yanga mitaani hayaendani kabisa na kinachoonekana uwanjani na wala hawaonyeshi kusikitishwa au kuona aibu kwa kilichotokea hakuna UNK kutengeneza timu hizo za vijana kiumakini ili angalau baada ya miaka kadhaa kuwe na timu ya kueleweka UNK zaidi na kauli iliyotolewa na kiongozi wa juu wa simba kwamba UNK kuipeleka timu ili kuiridhisha tff na mdhamini akili gani hii ya mtendaji wa klabu kubwa kama simba wanachama nao kimya wala hakuna UNK kwanini aibu hii ya timu ya vijana kufungwa mabao manne na kuwa na wachezaji dhaifu tena wa kuokota mitaani yanga na yenyewe ndio aibu zile zile wengi UNK kuanza kwa mashindano hayo UNK ujio wa kocha UNK aliyeletwa na mdhamini wa klabu hiyo kwa ajili ya timu za vijana UNK kwamba timu yao ambayo hawajapata kuiona itakuwa imepiga hatua kubwa kulingana na mambo UNK siku za nyuma lakini ikawa ndivyo sivyo viongozi wa simba na yanga wanapaswa kuachana na mawazo ya kizamani ya kusubiria kubebwa eti azam imeshinda kwa vile ndio UNK akili gani hizo karne hii yanga au simba ingechukuwa ubingwa kwa timu zipi dhaifu kiasi hicho tena za kuokoteza kwenye uwanja wa jangwani na magomeni mpaka lini hii azam sc ilistahili ubingwa kwa maandalizi iliyofanya usajili wake pamoja na umakini kwani mabosi wake walioonyesha kwa kuwekeza kwenye soka la vijana timu hiyo ya vijana ina programu ya mazoezi ya siku kadhaa kila wiki chini ya kocha mbrazili itamir amorin ambaye ameletwa tanzania kwa kazi hiyo tu angalia tu hata gari ya kifahari UNK timu hiyo ya vijana timu za wakubwa za simba na yanga hazijawahi kumiliki labda UNK pale biafra tena kwa gharama kubwa lakini uongozi wa makampuni ya ssb ltd wameona kwamba ni busara kuwekeza kwenye timu za vijana ili kutengeneza wachezaji wao wenyewe kuepukana na gharama za kununua wachezaji kwa mamilioni katika klabu zingine kama ilivyofanya mwaka huu kwenye dirisha dogo klabu kubwa kama simba na yanga zilistahili kuwa juu zaidi ya azam kwa kila kitu zilitakiwa kuwa na wadhamini wengi zaidi ya tbl na vodacom lakini ukijaribu kuangalia hapo utabaini kwamba viongozi wa simba na yanga hawana mpangilio wa mambo na pengine hata kalenda ya mwaka unaweza kufika mbali zaidi na kuafikiana na mawazo ya baadhi ya wadau kwamba hao viongozi asilimia kubwa wapo hapo walipo kwa maslahi yao binafsi na kutumia mamlaka kama daraja la kurahisisha mipango yao ya kila siku ina maana hawapati hata wazo mbadala simba na wenyewe ndio kabisa wamelala baada ya kupata fungu la tbl UNK elimu ya ngazi ya uprofesa kubaini udhaifu wa viongozi hawa ambao wanashindwa kuwa wabunifu na kwanini viongozi wakimbie UNK zaidi utabaini ubabaishaji uswahili na ujanja ujanja ambao UNK mazingira mabovu ambayo hata ukisema UNK miaka kumi ya madaraka hakutakuwa na lolote zaidi ya kuendelea kunyoosha mambo yao wasalaam wapenzi wasomaji wa safu hii nimefurahishwa sana na jinsi UNK makala yangu ya wiki iliyopita kuhusu wachambuzi wetu ambao wamejikita zaidi katika kumshambulia kocha marcio maximo kuliko kuchambua uzuri na ubaya wa timu ya taifa tunajua hakuna kizuri kisicho na upungufu na ndio maana UNK sana hawa wachambuzi wetu wangekuwa UNK uzuri wa mchezo wa maximo ni upi na ubaya wake ni upi na nini kinatakiwa UNK kwa kuzingatia hali halisi ya sasa kusema maximo hafai bila ya kuwa na hoja si kuchambua mpira na badala yake ni kutaka kumjengea chuki zisizo na maana wakati mamilioni ya mashabiki wanaamini kuwa kuna mambo mengi ambayo mbrazili huyo amefanya kitendo tu cha timu kuruhusu zaidi ya mabao mawili katika mechi zisizozidi tatu katika kipindi cha miaka miwili ni mafanikio makubwa kitendo cha timu kuanza kushinda ugenini au kupata matokeo mazuri ugenini ni mafanikio makubwa ukiangalia taifa stars UNK tangu ifungwe mabao nne sifuri na senegal UNK kuwa kuna maendeleo makubwa iweje basi hayo mafanikio UNK machoni pa hao wachambuzi na badala yake wasubiri kosa kidogo ndio UNK bango nadhani hayo hatuna budi kuachana nayo sasa tumetolewa bahati UNK dakika za majeruhi UNK zambia lakini matatizo madogo ya mwishoni ndio yaliyosababisha wazambia UNK na kutuondoa mashindanoni kama wachambuzi wetu wangekuwa wakiangalia kwa dhati nadhani UNK tatizo moja kubwa ambalo limekuwa likiisumbua timu yetu UNK nadhani mechi nyingi ambazo tulipata matokeo mabaya zilitokana na kujisahau na hivyo kupoteza umakini matatizo hayo ndio ambayo hufanya ama mabeki ama kipa aonekane hafanyi vizuri kumbe timu nzima ilikuwa UNK na wachezaji kutotekeleza majukumu yao wakati muhimu wa mechi ilikuwa hivyo mwanzoni mwa mchezo baina ya msumbiji uliofanyika kwenye uwanja wa taifa wakati viungo waliposhindwa kurudi nyuma kuziba nafasi na kumuacha amir maftah akihangaika kumzuia UNK ambaye alitoa krosi UNK wavuni kwa kichwa na UNK UNK wachezaji UNK wakidhani kuwa kwa sababu mchezo ndio kwanza ulikuwa umeanza isingewezekana wapinzani wakajituma kiasi cha kumjaribu kipa lakini badala yake ilikuwa ni UNK hata bao ambalo ghana ilisawazisha tulipocheza nao dar es salaam lilitokana na makosa kama hayo angalia bao ambalo wazambia walisawazisha pia lilitokana na makosa kama hayo viungo UNK kurudi nyuma kutekeleza majukumu yao ya kuziba nafasi mawinga wa timu pinzani hupata sehemu kubwa ya kucheza na beki wa pembeni na hivyo kutoa krosi hatari ambazo zimekuwa UNK matokeo yake lawama nyingi zimekuwa UNK kwa kipa badala ya timu nzima ambayo inaruhusu krosi kupigwa kwa ufundi wote badala ya kuwabana mawinga ili wasipige krosi kwa uhakika nadhani katika suala hilo tumekuwa UNK sana na hii UNK sasa hapa ndio wachambuzi wetu wangekuwa wakihoji kuwa kwa nini tatizo hili limekuwa likiisumbua timu wakati wote na kutupa uzoefu wao maximo alijaribu sana kupambana nalo na hata katia mechi ya kwanza dhidi ya senegal kocha huyo alidiriki hata kumtoa haruna moshi katika kipindi cha kwanza baada ya kuona UNK juma jabu aonekane uchochoro na hivyo kusababisha godfrey bonny afanye kazi ya ziada kumsaidia jabu huku UNK akishindwa kufanya vizuri kazi yake ya kuunganisha timu tunajua kuwa stars inayo matatizo yake lakini ina mazuri mengi ambayo UNK tupate matokeo mazuri ya kwanza katika mashindano ya afrika kushinda mechi moja na kutoka sare moja sasa tunataka mafanikio makubwa zaidi na si kupata kocha ambaye ataanza mwanzo nadhani tatizo jingine kubwa linaloendelea kusumbua timu na klabu zetu ni hilo la nidhamu kambi UNK nidhamu ni vigumu sana kuwa na mafanikio tumeona hata kwenye mataifa makubwa ukosefu wa nidhamu huwa ni tatizo kubwa haiwezekani UNK siku moja mchezaji akakaa juu ya kocha ni kocha anayeamua nini kifanyike rivaldo alijaribu UNK kocha louis van gaal kucheza wingi ya kushoto akidai kuwa yeye ni mshambuliaji na hivyo hawezi kucheza pembeni van gaal UNK naye bali UNK kwenye kikosi cha kwanza kwa takriban wiki mbili na rivaldo UNK amri redondo hakutaka kutii amri ya kunyoa nywele iliyotolewa na kocha wake wa argentina kilichofuata ilikuwa ni kuachwa timu ya taifa hadi UNK hakukuwa na mchezaji nchini ufaransa ambaye alikuwa nyota kama eric cantona akini kocha wa ufaransa aliamua kumuacha tangu UNK na david UNK wote UNK hadi UNK soka ni nyota gani basi anayeweza kuwa nguvu zaidi ya kocha ni athuman chuji haruna moshi amir UNK kelvin yondani au nurdin bakari maximo kama walivyo makocha wengine wa brazil alifanya kitu sahihi na nadhani timu ilicheza vizuri zaidi baada ya kuamua kuwaweka benchi hao wanaojiona kuwa UNK tumefika mbali na hatuna budi kujenga juu ya mafanikio haya habari waungwana naamini kila kitu kinakwenda katika mstari kitu ambacho wote tunaomba iwe hivyo na hasa utulivu wa mfuko najua kila mtu UNK hilo nawatakia kila la kheri kwa wale UNK kikosi cha taifa stars katika michuano ya chan inayoendelea nchini hapa kweli naungana nao kwa kuwa UNK kazi rahisi kufika UNK kwa kuhadithiwa au kuona kwenye televisheni tu unaweza kusema lolote lakini UNK na msafara huo ungekuwa na kila sababu ya kuona kweli vijana UNK taifa lao hakuna tofauti na wanajeshi waliokuwa vitani kila siku mazoezini kila siku safarini kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine kambi UNK mkoa huu mechi inachezwa mkoa mwingine na siku hiyo hiyo kurejea tena kambini baada ya siku moja safari kurejea kwingine misafara yenyewe inatisha walinzi zaidi ya kumi na tano unaambiwa hakuna usalama wa kutosha na wakati wowote linaweza kuzuka la kuzuka si hali ya kawaida kwa mtanzania anayeishi tanzania ndio maana nimeamua kuwapongeza pia ukiachana na matatizo kadhaa ya kibinadamu yaliyojitokeza ambayo naamini busara UNK UNK kizuri ni kuhakikisha kwanza matatizo hayo yanakuwa wazi halafu baada ya hapo UNK marekebisho na si kuanza kuficha tatizo kwa sababu ya kuona haya halafu UNK matatizo ambayo UNK baadaye kumbukeni UNK ugonjwa kifo UNK huku UNK kweli mimi nimeamua kubaki kwa niaba ya nyie wasomaji wetu kwa kuwa najua bado hata kwa uchache mnahitaji kujua yanayoendelea hadi kesho jumapili wakati wa fainali basi ndio hivyo UNK vikumbo hadi mwisho na hao waandishi kutoka ulaya na sehemu nyingine ilimradi ngoma UNK hadi mwisho hongera pia mwananchi communication limited kwingine ngoma nzito hoja yetu leo moja kwa moja kwa moja katika mafunzo ambayo UNK huku kila mwenye kitengo chake atakuwa amejifunza mambo kadhaa naamini kabisa viongozi zaidi ya watano wa shirikisho la soka tanzania waliokuwa kwenye chan watakua wamejifunza mengi ambayo yatatumika kwa maendeleo ninasema hivyo nikiwa na maana kwamba huku haikuwa sehemu ya kutembea pekee au kuangalia mpira na kurejea nyumbani na baada ya hapo imalizike kama hadithi tu tumeona mambo mengi sana na kama tff UNK basi inaweza kuwa nafasi nzuri kupiga hatua na sisi kuendesha mambo yetu kitaaluma zaidi mfano nimeshangazwa na kutomuona mwenyekiti au kiongozi yoyote wa klabu hasa zinazoshiriki ligi kuu tanzania bara huku wamesahau kwamba mashindano haya ni ya klabu za ndani si wale wachezaji wa ulaya maana yake walikuwa na mengi ya kujifunza na pia kukutana na wachezaji wa klabu za nchi nane za afrika kwa wakati mmoja wakiwa katika mashindano ya kimataifa lakini pia wangepata nafasi ya kujifunza mengi badala ya kukaa huko nyumbani na kusubiri kupiga soka timu yetu ni kiboko na hakuna wa UNK huku ndiko kulikuwa sahihi zaidi na kuna haja ya kujenga tabia ya kusafiri na kwenda kujifunza hata kama utakuta mabaya yanaweza kukupa nafasi ya kubadili ya kwako yawe na manufaa zaidi tff mlikuwa wengi wa kutosha huku ni vizuri tu kwa kuwa kama kweli mtakuwa mmeamua kujifunza itakuwa ni nafasi nzuri kwenu kukumbushana kuhusu haya na yale kama UNK huku kama vile mlikwenda kutembelea mbuga za wanyama za serengeti itakuwa ni makosa makubwa nawakumbusha namba ambavyo shirikisho la soka la ivory coast UNK hosteli kubwa zenye viwanja vya kutosha kwa ajili ya mazoezi ya timu timu yao imekuwa ikiweka kambi hapo si yenyewe inayotoa fedha lakini ni mipango maalum kwa kushirikiana na wadhamini zaidi ya kumi yakiwamo mashirikisho kadhaa ya soka kama vile fifa sidhani kama UNK hata nafasi ya kuzungumza na kubadilishana nao mawazo na UNK ili kupata moja au mawili lakini kikubwa ni kuhakikisha safari inakuwa yenye mafanikio si kwa stars tu uwanjani bali kwa maendeleo ya soka ya baadaye kwa kujua mfanye nini kama walivyofanya wao ili kuleta mafanikio kama hayo ambayo ni mfano wa kuigwa kwa upande wa viongozi wa klabu sijui hata niwasaidie vipi mlikuwa nyumbani UNK tu karibuni UNK UNK lakini msisitizo hata kama stars iliifunga ivory coast kiujumla wenzetu wamepiga hatua sana na sehemu nzuri ya kujifunza ni ile mwenzako aliyepiga hatua zaidi yako lazima tujue wote walio tff si wamiliki ni wawakilishi wa watu hivyo UNK kupata bahati ya kufika sehemu ambayo wanaweza kujifunza basi ni vema wakaitumia kwa manufaa ya hao watu na hasa kizazi kijacho ili UNK na kucheza mpira wa kubahatisha ambao tumekuwa UNK bila ya kuwa na msingi imara halafu kesho tunaanza kuwatupia wachezaji lawama wenye kutaka kuelewa tutakuwa UNK lakini kama ni kubishana basi itakua ni nje ya hapa nawatakia kila la kheri watanzania wenzangu mimi bado UNK amani kwenu wasomaji wangu awali ya yote tupeane pole sana kwa yale UNK taifa stars kule pwani ya pembe ambako iliondolewa kwenye kinyanganyiro cha mabingwa wa afrika kwa wachezaji wanocheza ligi za ndani ni bahati mbaya sana kwamba kuna wengi wetu wenye mitazamo isiyozingatia misingi ya kisayansi walikuwa na matumaini makubwa sana kwamba timu yetu ilikuwa na nafasi kubwa ya kufikia hatua ya fainali ya mashindano hayo kuna wengine ambao wana fikra mgando kuhusu mafanikio ya nchi katika soka UNK hata kuwa na UNK kwamba vijana wetu walikuwa na nafasi kubwa ya kulileta kombe hilo nyumbani ni dhahiri kwamba kila mmoja wetu angependa na kufurahi sana kuona taifa stars UNK kombe hilo hapa bongo lakini mafanikio kama hayo hayaji kama mawingu ya mvua tu hata mawingu ya mvua huja kwa kufuata kanuni kadhaa za kimaumbile ndio maana kuna maeneo hapa duniani ambayo hayajawahi kabisa kushuhudia mvua UNK kama vile ilivyo kwamba hatujawahi kushuhudia theluji UNK dar es salaam au dodoma mafanikio katika mchezo wowote wa kimashindano huletwa na mipango ya muda mfupi wa kati na mrefu kwa bahati mbaya UNK katika mipango ya muda mfupi mfupi tu na kuamini kwamba UNK kwa bahati mbaya nchi yetu inao wanataaluma wachache sana ambao ni bobevu katika masuala ya maendeleo ya michezo pamoja na uchache wao wanataaluma hawa UNK kutumika kwa ufanisi zaidi kutokana na utamaduni tuliojijengea wa kuwaogopa watu ambao tunadhani wana uwezo UNK utamaduni huu UNK kiasi kwamba katika sehemu nyingi zinazohitaji uwepo wa wanataaluma wa fani ya elimu kwa michezo wamewekwa watu ambao upeo wao ni finyu kiasi kwamba wanakosa jinsi ya kushauri uwepo wa mwelekeo sahihi wa kuendeleza michezo yetu hebu tazama mifano ya kauli UNK mara zote wakati wa ufunguzi au uzinduzi wa michezo ya copa coca cola kumekuwa na kauli kwamba michezo hiyo inasaidia kuibua vipaji vya wachezaji wa soka hivi ni kweli kwamba mashindano husaidia kuibua vipaji hebu fikiria vizuri na kwa kina msomaji wangu mpendwa hivi ngombe anaweza UNK UNK mashindano katika michezo ni mchakato wa kupima uwezo na ufanisi wa washiriki wa mchezo husika katika kumudu stadi mbalimbali zinazohusu mchezo huo ni dhana potofu sana kwamba mashindano sehemu ya kuibua vipaji vya michezo mbalimbali ukweli wa mambo ni kwamba mashindano husaidia kukuza vipaji ambavyo UNK aidha mitaani au shuleni endapo tuna dhamira ya kuziona timu za michezo mbalimbali za watanzania UNK bendera ya nchi yetu ni lazima tuanze maandalizi ya wachezaji wetu tangu wakiwa na umri UNK nadhani kwa wale ambao wana upeo japo mdogo wa kutafakari mambo wanajua kwamba shughuli yoyote inayohusu vitendo vya mwili ni shughuli ambayo mustakabali wake hutegemea zaidi mazoezi kama ilivyo katika suala la kujifunza lugha kwamba mtu yeyote huwa bobevu na mahiri sana katika lugha aliyojifunza utotoni ndivyo hivyo huwa katika shughuli zote ambazo binadamu ameanza UNK nazo akiwa na umri mchanga tatizo letu ni ukosefu wa mipango thabiti ya kisayansi zaidi katika kuwaandaa wanamichezo wa kesho pamoja na mipango mizuri sana ambayo kanali mstaafu iddi kipingu alikuwa nayo katika kuendeleza wanamichezo ambao walionekana kuwa na vipaji na hivyo kuchukuliwa na shule ya sekondari ya makongo kwa mafunzo zaidi wengi wa wachezaji hao UNK kujiunga na klabu za simba yanga na moro united hata kabla ya kumaliza masomo yao ya sekondari idadi yao ni ndefu sana ni vyema basi UNK na nadharia ya kwamba UNK na timu bora katika soka la kimashindano sisi bado UNK na bado hata UNK kusimama katika uendeshaji wa soka la UNK soka letu bado ni la UNK kwa kuwa hata watazamaji wamekuwa wakichagua ni mechi gani waende kuangalia kwa msingi huo basi watazamaji wetu si watazamaji wanaokwenda viwanjani kutazama mchezo wa soka ukichezwa bali ni watazamaji wa kwenda kumuona mchezaji fulani au klabu fulani UNK iko siku UNK ac milan itaikaribisha atalanta kwenye mechi ya ligi kuu italia serie a kesho jumapili na mchezo huo huenda ukawa wa mwisho kwa david beckham huko UNK klabu ya los angeles galaxy ya marekani imeendelea kusisitiza kwamba mchezaji huyo mwenye miaka thebathini na tatu atarudi marekani jumatatu wakati mkataba wake wa mkopo UNK lakini kikosi cha UNK kinaamini kwamba kinaweza kuwashawishi la galaxy ili wabaki na mchezaji huyo mpaka juni ac milan ilitaka kumsajili mchezaji huyo kwa muda wa miezi kumi na nane lakini baada ya kuona msimamo wa la galaxy ni mkali sasa wanataka kukaa na mchezaji huyo mpaka mwisho wa msimu huu tu uamuzi juu ya mchezaji huyo UNK kutolewa jana ijumaa lakini mpaka sasa galaxy wanaendelea na msimamo wao sina habari yoyote lakini kitu cha msingi ni kwamba ninataka kuendelea kuchezea klabu hii beckham aliwaambia waandishi wa habari inahitajika moyo wa kujitolea ili maendeleo yaanze kuchukua mkondo wake na kufikia sehemu ambayo kwa macho ya kila mmoja bila ushabiki anaweza kusema kwamba hapa panaweza kuitwa ni hatua fulani ya kimaendeleo jengo la klabu ya yanga katika mitaa ya twiga na jangwani linafanyiwa ukarabati na UNK makala kuhusu jengo hilo hawakuwa na pingamizi kutoa ushirikiano kwa kuwa wanajua mambo ni mazuri na UNK machoni kwa kila atakayepata nafasi ya UNK lakini kwa simba mambo yalikuwa tofauti na hawakukubali tuingie ndani ya jengo lao la msimbazi kwa kuwa wanajua namna mambo yalivyo shaghalabaghala wanataka kuficha UNK simba hawana la kujivunia hata yanga pia kwa kuwa kama si mfadhili wao yusuf manji ambaye si mdhamini wao ila UNK hakuna lolote ambalo kiongozi anaweza kujivunia kwamba amefanya sasa jiulize viongozi wa enzi zile waliweza kuwa na mipango hadi ya kujenga majengo makubwa kama hayo lakini wa sasa hata kukarabati inakuwa shida mimi na wewe yetu macho hapa katika jiji la abidjan kuna klabu nyingi zinaweza kuwa mfano kwa klabu zetu za tanzania lakini asec mimosas inaweza kuwa nafasi nzuri zaidi ya kujifunza au UNK macho wale ambao watataka kujifunza hasa mwanaspoti imefanya kila linalowezekana na kufanikiwa kufika katika klabu hiyo maarufu barani afrika na kupata nafasi ya kufanya ziara na mahojiano na viongozi mbalimbali wakiwamo makocha wa timu za asec UNK unapoingia kwenye lango kuu la asec mimosas katika kitongoji cha riviera upande wa UNK sol UNK utaona bango UNK UNK jina la klabu hiyo kirefu cha asec ni association UNK des UNK de UNK yaani asasi ya maendeleo ya michezo kama ajira na hicho ndicho kinachofanyika achana na historia yake ya wachezaji kibao ambao sasa wapo ulaya UNK hapo asec bado wanaendelea kufanya kazi ya kusaka kukuza na kuendeleza vipaji vingine lakini lengo likiwa ni kuendeleza timu yao na kuwauza wengine ulaya au nchi nyingine za afrika naweza UNK wachezaji kama emmanuel UNK pius UNK boneventura kalou salomon kalou UNK keita bakari kone emmanuel kone kolo toure yaya toure ahmed toure bakari toure serge UNK UNK yapi yapo daniel yeboah didier zokora aruna dindane UNK UNK na blaise UNK hao ni baadhi kati ya wale wanaocheza katika ligi kuu za italia hispania england ufaransa uturuki na kwingine ulaya bado kuna wengine wanakuja kutokana na mpangilio mzuri wa klabu hiyo ndani ya uzio wa asec baada ya kuingia ndani ya jengo hilo unakutana na walinzi watatu ambao UNK UNK baada ya taratibu zote kukamilishwa kulia kuna viwanja vya mpira wa kikapu na uwanja wa wavu lengo lao baada ya miaka kadhaa ni kuwa na timu imara za mpira wa kikapu kama ilivyo kwa klabu za real madrid na barcelona za hispania au olympiakos ya ugiriki upande huo wa kulia pia kuna sehemu maalum kwa ajili ya maegesho ya magari ya wageni pamoja na ya wachezaji kumbuka wachezaji wa klabu hiyo hawalali hapo na karibu kila mmoja ana gari lake isipokuwa wale vijana chini ya miaka kumi na saba kushuka chini ndio UNK hapo na wanatumia basi maalum kushoto kuna UNK ya wachezaji na ofisi za zamani na kushoto zaidi kukiwa na hoteli mpya na ofisi mpya pia vyumba vipya vya kubadilishia nguo unavyozidi kusonga mbele kwenye eneo hilo lenye urefu wa kama kilomita tatu hivi utaona kuna uwanja wa mazoezi kwa ajili ya timu ya wakubwa jengo la ghorofa moja kwa ajili ya ofisi ya gazeti na redio inayotarajia kuanza kazi mwezi ujao halafu madarasa na viwanja vya mazoezi vya vijana chini ya miaka kumi na saba na watoto chini ya miaka kumi na nne pia kuna hosteli zao ofisi nyingine za viongozi vyumba vya mkutano na pia jiko na sehemu maalum ambao ni ukumbi wa wazi kwa ajili ya chakula vyote hivyo ni mali ya asec mkurugenzi wa masoko na mawasiliano wa asec mimosa benoit you anasema wanajitahidi kila mwaka kuhakikisha wanapeleka ulaya wachezaji si chini ya watatu bila ya kujali umri tunafanya hivyo na tuna wataalamu wa kutathimini thamani ya mchezaji kutokana na uwezo wake kuanzia wale wa miaka chini ya kumi na nne kumi na saba hadi hawa wakubwa na mara nyingi tumekuwa UNK na watu wa ulaya kwa kuwa tunaenda kitaalamu zaidi benoit raia wa ufaransa anaendelea tayari tuna hoteli yenye nyota tano inaweza kuchukua timu na viongozi wote ina vyumba thebathini na mbili maana yake kama timu ina wachezaji na kocha ina uwezo wa kuweka kambi hapa kuna uwanja wa mazoezi na vitu vyote kuna mabwawa mawili ya kuogelea moja la kawaida na jingine kwa ajili ya wachezaji UNK baada ya mazoezini lakini pia tuna vyumba vya kisasa vya kubadilishia nguo kwa wachezaji kama vile ambavyo UNK katika klabu kubwa za ulaya gazeti letu la asec mimosa linaendelea vizuri lakini baada ya mwezi mmoja redio yetu itaanza kufanya kazi na suala kubwa hapa litakuwa ni soka na michezo mingine huku tukipata mahojiano na wachezaji wengi waliopitia hapa na kupata timu sehemu mbalimbali za ulaya na kwingine duniani anasema benoit ambaye ni UNK kuhusu wachezaji wanavyoweza kwenda darasani benoit anaelezea wanasoma kama kawaida kuna walimu wachezaji wa elimu ya kawaida wanaishi hapa hosteli lakini wengine wanakuja na kuondoka lakini kawaida watoto na vijana wanakwenda darasani na kufanya taratibu za masomo kama kawaida na jioni wanarejea kwa ajili ya mazoezi kama kawaida utaratibu kila mtoto anakuwa na mpira wake kama UNK huo ni mfumo kwa kuwa anaweza kuutumia wakati wowote nje ya programu ya mazoezi ya mwalimu na ile ya masomo darasani tuna madarasa manane hapa ingawa tunaendelea kufanya ukarabati zaidi kwa ajili ya UNK ikiwezekana UNK ukisema UNK gharama ni kujidanganya unatakiwa kuwekeza fedha kwanza halafu baada ya hapo inafuatia mipango na itachukua si chini ya miaka mitatu au minne kuanza kupata matunda kama utakuwa na haraka na fedha UNK basi maendeleo ya soka kwako itakuwa ni hadithi tu anasema liewing ambaye huu ni mwaka wa tano akiwa na asec UNK UNK vijana ulaya au kweye klabu mbalimbali zenye mfumo kama wetu kama vile esperance al ahyl zamalek na nyingi za ulaya tunajua tunachokifanya na hata kama itatokea mwaka idaidi ya kuuza wachezaji ulaya imeshuka basi tunaanza kupika hesabu tatizo ni lipi na baada ya hapo timu maalum kwa ajili ya kusaka vijana mitaani na hata katika nchi za ghana nigeria mali na nyingine jirani inaongeza nguvu kuhakikisha tunaingia mikataba na wale ambao tuna uhakika wanaweza kutuingizia faida hapa UNK mtu tunaangalia ambaye anaweza kutusaidia baada ya sisi kuingiza fedha yetu kwake wako ambao UNK mshahara hasa wale ambao wanafikia umri wa miaka kumi na tano lakini unakuwa ni kiasi fulani tu kama posho ya kujikimu kwa kuwa bado UNK na wadhamini wa kutosha au fungu kubwa kwa ajili ya kulipa mishahara mikubwa kama tunavyofanya kwenye timu ya wakubwa kwa kuwa udhamini kuna sehemu UNK wengine UNK timu kubwa na wengine watoto anasema UNK upande wa masoko ni wa you anafafanua kwamba wana wadhamini zaidi ya makampuni kumi ambao huwa wanakuja na kuondoka lakini wana wadhamini kadhaa ambao wamekuwa ni wa kudumu sasa mfano UNK UNK express kampuni maarufu ya simu ya orange na klabu ya UNK athletic ya england hawa ni wadhamini wa siku nyingi na wamekuwa pamoja na sisi na wako tayari hata kusaidia mambo kadhaa nje ya bajeti yao kama wataona kinachotaka kufanyika kina manufaa kwa asec na kwao pia mwanaspoti ambayo iliwasili asubuhi katika eneo hilo ilitakiwa kurejea tena jioni na UNK hivyo ilishuhudia sehemu hiyo ikiwa bize kweli kweli uwanja wa wa wakubwa timu ya asec mimosa ilikuwa ikifanya mazoezi huku timu ya vijana chini ya miaka kumi na saba ikiendelea na mazoezi kama ilivyokuwa kwa timu ya watoto chini ya miaka kumi na nne chini ya kocha wao mwingine mfaransa pia hapa mazoezi tunafanya kidogo kidogo kwa kuwa ligi imesimama anasema liewing UNK kidole kwa vijana wake UNK lakini programu ya vijana inaendelea kama kawaida kwa kuwa hakuna cha UNK hadi ligi kuu ya ivory coast inasimama kwa ajili ya fainali za chan asec mimosa inaongoza kwa kuwa na pointi tisa ikifuatiwa na UNK yenye pointi nne sawa na klabu nyingine kongwe ya african sports hiyo ndiyo asec mimosa chini ya rais wake maurice UNK UNK moja ya klabu kongwe ya ivory coast iliyoanzishwa mwaka elfu moja na mia tisa na arobaini na saba inawezekana kabisa mipango ikiwa ni dira ya viongozi wa simba na yanga basi UNK asec inawezekana pia haya yakaonekana dar es salaam asec ilianzishwa mwaka elfu moja na mia tisa na arobaini na saba wakati yanga ilianzishwa mwaka elfu moja na mia tisa na thebathini na tano na simba mwaka elfu moja na mia tisa na thebathini na sita lakini licha ya ukongwe wa klabu za dar es salaam ubabaishaji ndio umetawala kuliko mipango madhubuti uongozi wa timu ya soka ya kijitonyama united umejipanga kuhakikisha timu hiyo inafanya vema katika ligi ya taifa ngazi ya wilaya ya kinondoni ili iweze UNK mazingira mazuri ya kutinga daraja la kwanza mratibu wa timu hiyo majuto omary amesema jijini dar es salaam kuwa umefika wakati wa timu hiyo kutoka katika ligi za chini baada ya kuwa huko kwa muda mrefu tumejipanga vilivyo ili kufikia malengo yetu timu ni kongwe hivyo ni aibu muda wote huo hatujawahi kushiriki hata ligi daraja la kwanza timu ya home boys hivi karibuni UNK nguvu ya kufungana mabao tatu tatu na timu ya morning stars katika michuano ya kuwania kombe la diwani wa kata ya vingunguti jijini dar es salaam maarufu kama assa cup mratibu wa michuano hiyo mohamed diego amesema kutokana na soka safi UNK na timu hizo ni dhahiri kuwa timu hizo mbili zina nafasi ya kutwaa ubingwa kati ya timu zote kumi na sita zinazoshiriki michuano hiyo mratibu wa timu ya twiga UNK ya tabata jijini dar es salaam hamis kinonda amewataka wachezaji wa timu hiyo kuhudhuria mazoezi kwa lengo la kujiandaa na mechi mbalimbali za kirafiki wakati wa sikukuu za pasaka kinonda amesema kuwa uongozi wa timu hiyo upo katika mchakato wa kuandaa bonanza kwa ajili ya pasaka tunaendelea na harakati za kuhakikisha UNK mikakati hiyo hivyo wachezaji wajitume kufanya mazoezi ili tuweze kufanya vizuri uongozi wa chama cha soka wilaya ya kinondoni umeanza harakati za kuhakikisha unakuwa na miradi endelevu ili kukabiliana na baadhi ya matatizo madogo madogo ya kiuchumi ndani ya chama hicho katibu mkuu wa UNK frank mchaki alisema kuwa chama hicho kimekuwa na matatizo ya kiuchumi kwa mda mrefu jambo ambalo linachangia kurudisha nyuma maendeleo ya soka wilayani humo tumekuwa na matatizo mbalimbali ya kiuchumi kwa muda mrefu sasa ligi mbalimbali zinasimama kwa sababu ya kukosekana pesa za kuwalipa waamuzi sasa tunataka kuondokana na hali hiyo tunajipanga kufikia juni tuwe tayari na sehemu ya kushika tunapotaka pesa sasa mwenyekiti wa timu ya mchangani rangers ya UNK jijini dar es salaam selemani sufiani amewataka wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kushirikiana na uongozi ili kufanikisha ndoto za timu hiyo kunyakua ubingwa wa kinondoni sufiani amesema uongozi pekee wa timu hiyo hauwezi kufanikisha mikakati hiyo bila ya kupata ushirikiano kutoka kwa wapenzi na mashabiki wa timu hiyo ili tuweze kufika huko UNK inatubidi kushirikiana ili tuweze kufanikisha mikakati yetu mashabiki hao walikuwa wakiwazomea wachezaji wa senegal hata wanapokuwa kwenye basi lao kwenda mazoezini hali ambayo imeonekana kuwa si ya kawaida kwa kuwa hawafanyi hivyo kwa timu nyingine kocha mkuu wa senegal joseph koto alipoulizwa kuhusu hilo alisema huwezi kujua mashabiki wanawaza nini lakini kwa wachezaji kuzomewa ugenini si kitu cha ajabu inaweza kuwa ni chuki tu au wana sababu zao binafsi lakini uchunguzi wa mwanaspoti UNK kwamba raia wengi wa senegal ndio wafanyabiashara eneo la UNK ambalo ni maarufu kwa biashara kama kariakoo jijini dar es salaam na raia wa hapa wamekuwa UNK kuwa wanasababisha biashara zao kufungwa UNK wasenegali wamejazana hapa na kufanya biashara utafikiri hawana kwao lakini ajabu badala ya kuwa na heshima wanazidi UNK na kutoa maneno ya kashfa ni watu wanaojisikia na kuzungumza sana alisema dereva teksi aitwaye UNK mohammed ambaye ilifikia wakati UNK mwandishi wa habari hii kununua miwani kwenye duka ambalo alidai ni la wasenegali achana nao hao ni wezi utapata sehemu nyingine dereva teksi mwingine aliyejitambulisha kwa jina moja la abbas ambaye ni raia wa ivory coast lakini mama yake ni mnigeria alisema kinachofanya watu UNK wasenegali ni dharau kupindukia wakati UNK jeuri hiyo ni fedha ambazo UNK kwenye ardhi yao moja ya dua yao kubwa ilikuwa ni kuhakikisha senegal haifiki fainali na inaonekana wamefanikiwa baada ya kuondolewa na ghana katika mechi ya nusu fainali ambayo mashabiki wa bouake walishangilia kwa UNK lakini baada ya mechi hiyo sherehe zikaanza kwenye sehemu mbalimbali za jijini la abidjan wakishangilia ushindi wa ghana utafikiri the elephant walikuwa wametinga fainali makocha wa senegal na zambia UNK jeuri kuwa timu zao zina nafasi ya kutwaa nafasi ya tatu ya fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani katika mechi itakayochezwa kwenye uwanja wa felix houphouet boigny jijini hapa kocha mkuu wa senegal joseph koto alisema hakuna kitakachowazuia kutwaa nafasi ya tatu ya chan watakapokuwa wanakutana na zambia kwa mara ya pili kwenye fainali hizo ndani ya wiki moja wakati koto UNK kwa hilo kocha mkuu wa zambia herve renard alisema nafasi ya tatu kwao itakuwa ni sehemu ya kupoza machungu ya kushindwa kwenda fainali hivyo wanachukulia kama mechi muhimu na UNK UNK koto alisema mpira una maajabu makubwa sidhani kama UNK UNK hata kama wengi waliipa nafasi ghana vijana wangu walifanya kila wanaloweza ingawa kulikuwa na makosa ya mpira ambayo ni ya kibinadamu na kawaida lakini kwa nafasi ya tatu hatutapenda tuendelee kukosea hata kama tunakutana na zambia ambayo tulicheza nayo na kutoka sare lakini kwa upande wa mfaransa huyo wa zambia alisema wachezaji wake walikuwa na majonzi makubwa baada ya kushindwa mechi ya nusu fainali na kwamba UNK na kukubaliana kuepuka hali hiyo kuwatokea na kinachotakiwa ni kucheza na kushinda mchezo huo tusipofanya hivyo itakuwa ni wakati mgumu zaidi bora kutocheza mechi hiyo ya mshindi wa tatu kama itawezekana lakini nina imani kubwa lazima tutashika nafasi hiyo kutokana na uwezo wetu kisoka ingawa katika mpira hakuna uhakika wa matokeo ya aina moja alisema renard ambaye alilazimika kutoka nje ya vyumba vya kubadilishia nguo kwenye uwanja wa felix houphouet boigny kutokana na wachezaji wengi kuwa katika hali ya majonzi ndio niliona vema kukaa nje kwa kuwa kila UNK naona anazidi kuchanganyikiwa wanahisi kama UNK kwa kuwa wanajua walikuwa na uwezo wa kushinda alisema wiki iliyopita katika hatua ya makundi senegal na zambia na timu hizo zilitoka suluhu senegal na zambia zilikuwa katika kundi a katika hatua ya makundi huku congo na ghana ambazo zitacheza fainali kesho jumapili zikitokea kundi chama cha netiboli tanzania kimeitaka mikoa yote nchini kufanya uchaguzi wa viongozi wao kabla ya kuanza michuano ya taifa itakayofanyika aprili kumi na tatu ishirini kibaha pwani katibu mkuu wa chaneta anna bayi amesema itapendeza kama kila mkoa utakwenda kwenye mkutano huo na kiongozi wa kuchaguliwa kwa ajili ya maendeleo ya mchezo huo ni vizuri kama mikoa UNK kushiriki kuwa na viongozi wao halali wa kuchaguliwa hiyo itapendeza sana hivyo tunasisitiza mikoa yote kufanya chaguzi zao timu ya mpira wa kikapu ya savio inashuka uwanjani leo jumamosi kucheza na vijana city bulls katika mchezo wa nusu fainali ya pili wa ligi ya kili rba utakaochezwa kwenye uwanja wa ndani wa taifa jijini dar es salaam katika mechi ya kwanza vijana ilishinda kwa pointi sitini na nane sitini na saba na iwapo itashinda itakuwa imekata tiketi moja kwa moja ya kucheza fainali na endapo savio itashinda mchezo huo utarudiwa tena katika nusu fainali nyingine jkt ambayo ilishinda mchezo uliopita itashuka uwanjani kucheza na prisons michuano ya riadha ya mbio za nyika inafanyika leo jumamosi jijini moshi kilimanjaro michuano hiyo ambayo UNK na kampuni ya makontena kwa shilingi milioni kumi na tatu na itashirikisha wanariadha zaidi ya ishirini sifuri katibu mkuu wa chama cha riadha tanzania suleima nyambui amesema maandalizi kwa ajili ya michuano hiyo yamekamilika michuano ya gofu ya afrika mashariki ya wachezaji wa kulipwa itafanyika machi kumi na mbili hadi kumi na nne jijini moshi nahodha wa chama cha gofu cha wachezaji wa kulipwa john davis amesema michuano hiyo itakuwa ya viwanja sabini na mbili na itashirikisha wachezaji ishirini na mbili wachezaji kutoka nchi tatu watachuana na uganda wataleta wachezaji wanne kenya wanne na wenyeji tanzania kumi na nne hivyo tunaamini mashindano yatakuwa mazuri zaidi ya nchi arobaini zimethibitisha kushiriki michuano ya mpira wa meza ya vijana ya afrika itakayofanyika machi kumi na sita hadi ishirini na nane jijini cairo misri timu ya taifa ya tanzania imeshaanza maandalizi kwa ajili ya michuano hiyo na tayari imeingia kambini kwenye shule ya kisutu jijini dar es salaam katibu wa chama cha mpira wa meza tanzania issa mtalaso amesema kuthibitisha kwa nchi hizo UNK changamoto kubwa ya kujiandaa kikamilifu ili wafanye vizuri baada ya katikati ya wiki hii kuifunga mwanza united mabao mbili moja majimaji ya songea inayoshika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi daraja la kwanza hatua ya tisa bora inashuka uwanjani leo jumamosi kucheza na korosho mtwara kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam majimaji inajitupa uwanjani ikihitaji ushindi ili izidi kujitengenezea mazingira mazuri ya kupanda daraja msimu ujao wa ligi kuu bara mshambuliaji na kiungo wao hatari omari kapilima anaweza akarejea uwanjani kwa kasi baada ya kukosa mchezo mmoja kutokana na kulimwa kadi nyekundu kwenye mechi dhidi ya kijiweni ambapo majimaji ilifungwa bao moja sifuri kiungo na nahodha wa majimaji patrick betwel naye anaweza kurejea dimbani baada ya kusumbuliwa na maumivu ya mguu lakini sasa yuko fiti kwa mujibu wa yeye mwenyewe na yuko tayari kuliongoza jahazi kuhakikisha timu hiyo inaibuka na ushindi mnono kocha wa timu hiyo peter mhina alisema ana matumaini kikosi chake UNK na ushindi na kuzidi kujiwekea mazingira mazuri ya kupanda daraja mchezo mwingine leo jumamosi utakuwa kati ya polisi iringa dhidi ya mwanza united utakaoanza saa kumi sifuri sifuri jioni timu hiyo ya maafande wa iringa imeendelea kufanya vibaya kwenye UNK zake hivyo kufuta matumaini ya kupanda daraja msimu huu hata kama itashinda mechi zake mbili zilizobaki katika msimamo wa ligi african lyon ndiyo inaongoza kwa kuwa na pointi kumi na tatu kabla ya mechi yake ya jana ijumaa jioni dhidi ya afc ikifuatiwa na majimaji yenye pointi kumi na tatu manyema ni ya tatu ikiwa na pointi tisa kabla ya mechi yake ya jana ijumaa dhidi ya nyerere mwanza united ni ya nne ikiwa na pointi tisa pia sawa na afc na kijiweni korosho ni ya saba ikiwa na pointi tano ikifuatiwa na nyerere yenye pointi nne sawa na polisi iringa UNK mkia kiungo mahiri wa al ahly ya misri mohamed abou trika jana ijumaa mchana UNK mgawanyiko katika benchi la ufundi wengine wakitaka acheze mechi dhidi ya polisi katika mchezo wa ligi kuu misri na wengine wakipinga jana ijumaa usiku al ahly ilicheza na police union katika mechi ya ligi kuu misri mchezaji huyo mwenye umri wa miaka thebathini aliumia kifundo cha mguu wakati alipogongana na hassan konde katika mechi dhidi ya petrojet iliyoisha kwa sare ya mbili mbili wiki mbili zilizopita abou trika alitarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa wiki nne lakini amepewa matibabu maalum ambayo yamemfanya arejee haraka na jana ijumaa usiku alitarajiwa kucheza ingawa kundi jingine lilitaka asicheze ili awe fiti kabisa kuivaa yanga jumapili kundi ambalo lilitaka acheze lilikuwa UNK kuwa licha ya kiungo huyo kutokuwa fiti kwa asilimia zote alitakiwa kucheza ili kuisaidia timu hiyo ambayo imeonekana kuyumba katika mechi nne za mwisho za ligi kuu misri kwa mara ya mwisho mabingwa hao wa misri walishinda mechi yao mabao mbili moja dhidi ya arab UNK februari kumi na nane na kiungo huyo alicheza mechi hiyo na kufunga bao la kwanza lakini tangu wakati huo timu hiyo haijashinda mechi yoyote tangu hapo al ahly ilitoka sare mara mbili dhidi ya petrojet na asyut petroleum huku wakiwa wamefungwa na ismailia wakati mohammed abou treika akiwa UNK goti lakini kundi ambalo linataka asicheze UNK nguvu zake kwa mechi ya ligi ya mabingwa afrika likitaka kiungo huyo UNK ili kuivaa yanga jumapili ya wiki ijayo kocha wa al ahly manuel jose alikuwa atoe uamuzi wake kabla ya saa kumi na mbili jana jioni kujua kama mchezaji huyo UNK usiku au atasubiri mechi ya yanga jumapili lakini habari nzuri kwa al ahly ni kurejea kwa kiungo mwingine mohamed barakat na ahmed hassan ambao wamepona kabisa al ahly wamekuwa makini kuzuia kufungwa mechi nyingine baada ya kupata kichapo kutoka kwa ismailia alhamisi ya wiki iliyopita kabla ya kupata sare mbili lakini pia UNK kupata wachezaji wengine majeruhi mashetani hao wekundu wa misri wamepania kutwaa ubingwa wa misri kwa mara ya tano mfululizo na tayari wapo kileleni wakiwa na pointi arobaini na moja wakifuatiwa na ismailia wenye pointi thebathini na nane imekuwa ni wiki nzuri kwa al ahly kwani licha ya kurejea kwa mohamed barakat pia kipa namba moja amir abdel hamid amerejea akiwa fiti jambo ambalo linaonyesha kuwa timu hiyo sasa ipo kamili katika hatua nyingine klabu hiyo UNK kauli yake kuwa mechi yao ya ligi ya mabingwa afrika dhidi ya yanga itachezwa jumapili ya machi kumi na tano kwenye uwanja wa cairo unaobeba mashabiki sabini na tano sifuri sifuri sifuri waliokaa klabu hiyo jana ijumaa iliweka matangazo kwenye magazeti na redio yao kuonyesha kuwa mechi hiyo itachezwa kwenye uwanja wa cairo unaobeba mashabiki sabini na tano sifuri sifuri sifuri magazeti ya klabu hiyo yameonyesha habari mbalimbali zinazoihusu yanga na habari yao kubwa ilikuwa ni kuhusu klabu hiyo ya jangwani kupewa vifaa vya michezo kujiandaa na mechi hiyo kutoka kwa kampuni ya bia tanzania shirikisho la soka afrika limesema kuwa wachezaji wote waliopimwa kama wanatumia dawa za kuongeza nguvu wameonekana hawana tatizo hilo msemaji wa caf suleiman abouba raia wa misri alisema katika mahojiano maalum na mwanaspoti kwamba majibu ya awali ya vipimo UNK tunisia yameonyesha wachezaji arobaini na nane wa mwanzo kutoka katika timu zote nane wako salama salimini hiyo inawafanya wachezaji sita kutoka tanzania ambao walipimwa katika mechi hizo na vipimo vyao kupelekwa tunisia kwa ajili ya uchunguzi kuwa salama na kuepukana na rungu la kufungiwa kucheza soka kama UNK kwamba wanatumia dawa hizo wachezaji wa stars UNK kutokana na mechi tatu za makundi kundi a ni mrisho ngassa na mwinyi kazimoto katika mechi ya kwanza dhidi ya senegal nizar khalfan na shaaban dihile katika mechi ya pili dhidi ya ivory coast na salum sued na kelvin yondani katika mechi ya tatu dhidi ya zambia tumepata majibu ya mechi zote za makundi hakuna mchezaji ambaye amekamatwa kuwa anatumia dawa za kulevya au kuongeza nguvu kitu ambacho ni cha kujivunia kwa afrika kwamba wachezaji wetu ni wana michezo wa kweli na wanaungana nasi katika kupinga utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu au zile za kulevya waambie watanzania kwamba wachezaji wao ni salama na wanatakiwa kuendeleza hilo ili kuifanya soka ya afrika kuwa ni ya ukweli na ya ushindani wa kweli hiki ni kitu cha kujivunia kwetu caf alisema UNK msemaji huyo aliongeza ambao UNK hadi mwisho wa mechi mbili za nusu fainali ni wachezaji hamsini na sita lakini majibu yaliyotoka ni hayo arobaini na nane tunasubiri kupima wengine pia ili kukamilisha idadi ya sitini na nne wanaotakiwa kupimwa kwenye michuano hii mke wa beki wa chelsea ashley cole aitwaye cheryl UNK ghafla akiwa kwenye mlima kilimanjaro nchini tanzania baada ya kusikia mumewe ameshikiliwa na polisi uingereza cheryl na rafiki zake wapo tanzania wakipanda mlima kilimanjaro wenye urefu wa futi kumi na tisa mia tatu na arobaini cole alikamatwa na polisi juzi alhamisi baada ya kukasirika na kugombana na mpigapicha ambaye UNK akizungumza na mrembo mwenye nywele za rangi ya dhahabu katika klabu ya usiku ya UNK eneo la UNK jijini london polisi walimkamata mchezaji huyo asiye mwaminifu wakati mkewe cheryl akiwa nchini tanzania kupanda mlima kilimanjaro kwa ajili ya UNK mfuko wa UNK cheryl anapanda mlima kilimanjaro akiwa sambamba na rafiki yake UNK UNK kufuatia tukio hilo cole alitakiwa kulipa faini ya pauni themanini shilingi mia moja na sitini sifuri sifuri sifuri kwa kosa la kulewa na kutoa lugha chafu wakati hayo yakiendelea mkewe UNK ghafla katika siku ya tano ya upandaji wa mlima kilimanjaro na miezi kumi na tano iliyopita nyota huyo wa soka alilala na mwanadada mmoja anayefanya kazi saluni katika tukio hilo la juzi nyota huyo mwenye miaka ishirini na nane alikuwa sambamba na wachezaji mwenzake john terry na michael UNK wasichana kadhaa waliwakaribisha nyota hao na baadhi ya wageni mpaka ndani ya klabu cole anayepokea pauni themanini na mbili sifuri sifuri sifuri kwa wiki alikaa katika stuli ya baa wakati terry na UNK wakiendelea kuzungumza mchezaji huyo aliagiza kilevi kutoka japani kiitwacho UNK lager alitoa kiasi cha pauni ishirini na kuagiza mzunguko wa vinywaji pamoja na wenzake wakati huo cole alianza kuzungumza na mwanadada mmoja mwenye UNK za rangi ya dhahabu wawili hao walionekana UNK kadri muda ulivyokwenda na mara kadhaa walishikana mikono mtu mmoja aliyeshuhudia tukio hilo alisema baada ya muda waliondoka katika kundi na kuanza kuzungumza pekee yao dada huyo UNK cole mkono katika paja wakati UNK jambo na kuna wakati cole alikuwa akiongea kwa ishara na dada huyo aliona pete yake ya ndoa ya UNK walikuwa UNK ili kufanya UNK kuwa ya siri zaidi lakini usiku wa manane cole alikasirika baada ya kugundua kwamba UNK wa gazeti la sun alikuwa akimpiga picha ndipo mchezaji huyo alipoanza kuongea maneno makali kabla ya polisi UNK dakika thebathini baadaye cole alitoka katika klabu na kwenda nje lakini mpiga picha aliendelea UNK alipoona hivyo alianza kutoa maneno machafu na kumtaka mpiga picha UNK picha zote katika kamera polisi walimtaka aache kelele lakini aliendelea kutukana na kuwaambia polisi kwamba hawafanyi kazi yao sawa sawa terry alikuwa pembeni yake na alisikika akisema achana nao cole ingia katika gari polisi wa kike alimtaka cole UNK la sivyo angeingia matatani lakini mchezaji huyo hakusikia na ndipo UNK kabla ya kuachiwa saa tatu baadaye cole aliomba radhi kwa polisi juzi usiku na kusema kwamba hakusikia hadhari yao ukisoma ukurasa wa sita wa gazeti hili leo jumamosi kuna makala kuhusu klabu ya asec mimosas ya ivory coast ukisoma makala hiyo utagundua kuwa klabu hiyo inaendeshwa kwa mfumo wa kisasa kuanzia utawala na miradi mingi ambayo inawaingizia kipato kikubwa licha ya kuwa na viwanja mbalimbali za michezo hoteli kubwa ya nyota tano wanamiliki magazeti huku wakikaribia kuanzisha redio yao ya klabu kuna timu za vijana mbalimbali katika klabu hiyo kuna timu yao ya wakubwa inayoshiriki ligi kuu ivory coast lakini pia kuna timu za kikapu na wavu pamoja na michezo mbalimbali ni timu ambayo imepeleka wachezaji wengi wanaocheza soka katika nchi nyingi za ulaya kama england ufaransa italia hispania uturuki ubelgiji na nyinginezo ni klabu ambayo ina mtendaji mkuu mwenye taaluma ya utawala huku wakiwa pia na makocha kutoka ufaransa wenye uwezo wa juu wanafanya kazi kama wapo kwenye kampuni kwa sababu wameajiriwa hayo ni baadhi ya mambo ambayo yametuvutia na kujikuta tukishindwa kuvumilia na hasa tunapoziona klabu kubwa za tanzania simba na yanga zikiendeshwa kienyeji klabu hizo ambazo zimetakiwa kuajiri wahasibu na makatibu zimekuwa zikitoa sababu mbalimbali za kushindwa kufanya hivyo jambo ambalo linathibitisha ubabaishaji kwa klabu hizo mbili licha ya kuanzishwa miaka sabini iliyopita tumeshuhudia klabu hizo za tanzania zikiwa na majengo lakini yakiwa katika hali mbaya hadi inapofika mahali kwa wahisani kujitolea kufanya ukaratabati hakuna miradi ya maana kwa simba na yanga badala yake viongozi wake wamebaki kuwa na longolongo tu na kujigamba kwa mambo ambayo hayapo au wanajua hawawezi kutekeleza tatizo kubwa ni moja kuwa na viongozi ambao hawataki kuendesha mambo kisayansi na kwenda na wakati badala yake wao wanadhani kumzuia mchezaji kwenda ulaya ni sifa mbele ya mashabiki na wanachama wa klabu hizo kuwa na kiongozi ambaye anatazama upepo wa mashabiki wanasemaje haiwezi kutusaidia kamwe tunatakiwa kuwa na viongozi wenye visheni nzuri kwa ajili ya kuzifanya simba na yanga angalau zifikie nusu hatua ya ilichokifanya asec haiwezekani simba na yanga zenye mashabiki wengi zikashindwa kuwa na makampuni angalau matano kila mmoja ambayo yanazidhamini kuanzia kwenye jezi mishahara ya wachezaji na mambo mengine imefika muda kwa wanachama nao kubadilika kuchagua viongozi wenye mtazamo wa mbali na si kuangalia watu ambao hawajui hata maana ya visheni ukisoma ukurasa wa sita wa gazeti hili leo jumamosi kuna makala kuhusu klabu ya asec mimosas ya ivory coast ukisoma makala hiyo utagundua kuwa klabu hiyo inaendeshwa kwa mfumo wa kisasa kuanzia utawala na miradi mingi ambayo inawaingizia kipato kikubwa licha ya kuwa na viwanja mbalimbali za michezo hoteli kubwa ya nyota tano wanamiliki magazeti huku wakikaribia kuanzisha redio yao ya klabu kuna timu za vijana mbalimbali katika klabu hiyo kuna timu yao ya wakubwa inayoshiriki ligi kuu ivory coast lakini pia kuna timu za kikapu na wavu pamoja na michezo mbalimbali ni timu ambayo imepeleka wachezaji wengi wanaocheza soka katika nchi nyingi za ulaya kama england ufaransa italia hispania uturuki ubelgiji na nyinginezo ni klabu ambayo ina mtendaji mkuu mwenye taaluma ya utawala huku wakiwa pia na makocha kutoka ufaransa wenye uwezo wa juu wanafanya kazi kama wapo kwenye kampuni kwa sababu wameajiriwa hayo ni baadhi ya mambo ambayo yametuvutia na kujikuta tukishindwa kuvumilia na hasa tunapoziona klabu kubwa za tanzania simba na yanga zikiendeshwa kienyeji klabu hizo ambazo zimetakiwa kuajiri wahasibu na makatibu zimekuwa zikitoa sababu mbalimbali za kushindwa kufanya hivyo jambo ambalo linathibitisha ubabaishaji kwa klabu hizo mbili licha ya kuanzishwa miaka sabini iliyopita tumeshuhudia klabu hizo za tanzania zikiwa na majengo lakini yakiwa katika hali mbaya hadi inapofika mahali kwa wahisani kujitolea kufanya ukaratabati hakuna miradi ya maana kwa simba na yanga badala yake viongozi wake wamebaki kuwa na longolongo tu na kujigamba kwa mambo ambayo hayapo au wanajua hawawezi kutekeleza tatizo kubwa ni moja kuwa na viongozi ambao hawataki kuendesha mambo kisayansi na kwenda na wakati badala yake wao wanadhani kumzuia mchezaji kwenda ulaya ni sifa mbele ya mashabiki na wanachama wa klabu hizo kuwa na kiongozi ambaye anatazama upepo wa mashabiki wanasemaje haiwezi kutusaidia kamwe tunatakiwa kuwa na viongozi wenye visheni nzuri kwa ajili ya kuzifanya simba na yanga angalau zifikie nusu hatua ya ilichokifanya asec haiwezekani simba na yanga zenye mashabiki wengi zikashindwa kuwa na makampuni angalau matano kila mmoja ambayo yanazidhamini kuanzia kwenye jezi mishahara ya wachezaji na mambo mengine imefika muda kwa wanachama nao kubadilika kuchagua viongozi wenye mtazamo wa mbali na si kuangalia watu ambao hawajui hata maana ya visheni je congo italipa kisasi kwa ghana jibu litapatikana kesho jumapili katika uwanja wa felix houphouet boigny jijini hapa kuanzia saa moja usiku kwa saa za tanzania mechi hiyo UNK na tbc moja kitu kizuri ni kwamba timu zote zinatokea kundi b ambalo lilikuwa katika mji wa bouake kilomita arobaini sifuri kutoka jiji la abidjan na ziliwahi kukutana na ghana inayonolewa na mserbia milovan rajevac ilishinda kwa mabao tatu sifuri na kukata tiketi ya kwenda nusu fainali lakini licha ya congo kupata kipigo hicho ilifuzu kwani ilikuwa na pointi nne wakati zimbabwe na libya zilitoka suluhu na kuishia pointi tatu na mbili kocha mkuu wa ghana rajevac ametamba kuwa kikosi chake ndio bora katika fainali hizi na ndio kinachostahili kutwaa ubingwa huo na kama itatokea UNK itakuwa ni bahati mbaya nina kila sababu ya kusema mapema kombe ni letu inawezekana lakini soka ina maajabu na matokeo yake inabidi tusubiri lakini kama ni uhalisia basi ghana inastahili kulitwaa kombe hili kwa kuwa ina kikosi bora zaidi katika michuano hii alisema lakini kocha mkuu wa daktari congo mutubile santos alisema ghana wanaweza kuwa na hadithi nyingi lakini nafasi ya kuifunga timu yake kwa mara ya pili ni finyu sana safari hii si mechi za makundi ni fainali na congo haitakuwa tayari kufungwa mara mbili na timu moja katika michuano hiyo hiyo safari hii mambo yatakuwa tofauti alisema santos ambaye anazungumza kifaransa kupitia UNK wake akionekana mwenye jazba kocha wa taifa stars marcio maximo amesema hafanyi kazi kwa majungu ya watu na wala hatavumilia wachezaji mizigo na hataona haya kumtupa nje mchezaji yoyote UNK utovu wa nidhamu kama haruna moshi athuman idd na amir maftah mbrazili huyo aliwaambia waandishi wa habari jana jumatatu jijini dar es salaam wakati akitaja kikosi cha wachezaji kumi na tisa UNK vancouver whitecaps ya canada machi kumi na nne wachezaji wa simba wataripoti kambini jumatano jioni baada ya mechi yao na timu hiyo huku kukiwa hakuna mchezaji yeyote wa yanga kutokana na kujiandaa na ligi ya mabingwa afrika dhidi ya al ahly jumapili ya wiki ijayo jijini cairo maximo alisema maelezo aliyotoa kuhusiana na wachezaji hao watatu UNK na hana muda tena wa kuzungumzia lolote kuanzia jana ingawa amesikia majungu na tetesi nyingi kila kona kuhusiana na suala hilo hatuna muda wa kumjadili amir haruna na idd kwa sasa hawa wachezaji wameonyesha upungufu mkubwa hata kabla timu ya taifa UNK ivory coast UNK kurekebisha baadhi ya mambo UNK nao lakini bado tulipofika kule UNK tabia ile ile hawajitumi hawafuati utaratibu wa mazoezi wanafanya kila kitu wanavyotaka tu UNK kukaa na watu kama hao wanini hatuna muda wa kupoteza kama mtu hataki mazoezi hana ushirikiano na upendo na wachezaji wengine hatakuwa na msaada kwangu kufanya kazi na mimi inaweza kuwa rahisi sana lakini vilevile inaweza kuwa ngumu sana kama hufuata maelekezo na kila UNK kama mchezaji wa taifa stars kwenye soka kuna wacheza mpira na wachezaji profesheno wacheza soka wapo wengi sana mitaani unaweza UNK lakini profesheno ni wachache na ni wale walioko tayari kufuata maelekezo na wanaojua nini wanachokifanya sasa kama mtu anataka kuwa mchezaji soka sisi hatuna muda naye alisema maximo ambaye kikosi alichoita jana ijumaa kina wachezaji saba wa simba kocha huyo alisema kuwa katika kikosi kilichokuwa ivory coast wachezaji karibu wote wazoefu walionyesha uwezo mkubwa lakini mussa mgosi shadrack nsajigwa na salum sued walikuwa mfano wa kuigwa zaidi katika kikosi UNK jana kitakachoivaa vancouver katika mchezo ambao UNK na fifa makipa ni shabaan dihile deogratius mushi UNK UNK mabeki ni erasto nyoni salum sued kelvin yondani david naftar george minja juma jabu stephano mwasika viungo ni henry joseph shabaan nditi jabir aziz nizar khalfan mwinyi kazimoto na washambuliaji ni mussa mgosi john bocco zahoro pazi na uhuru seleman wote wa mtibwa mbali na hao pia maximo ambaye alisema UNK nidhamu kujituma hadhi uzalendo na umri katika kuteua kikosi amewaita wachezaji vijana watano wa chini ya miaka ishirini ambao ni razak khalfan khalid haji UNK furaha yahaya haji nuhu na ahmed hassan kocha wa simba amesema UNK wachezaji watatu wa cameroon waliopo dar es salaam lakini akasisitiza wachezaji mussa mgosi na henry joseph wameonyesha nidhamu ya hali ya juu na ni mfano wa kuigwa patrick phiri ambaye ni raia wa zambia anayeishi na familia yake jijini dar es salaam amekuwa akikinoa kikosi cha simba kwenye uwanja wa kinesi ubungo na muda wowote anaweza UNK kambini kujiandaa na mzunguko wa pili wa ligi kuu bara unaoanza wikiendi ijayo bosi huyo aliiambia mwanaspoti kuwa mgosi na henry UNK sana na kuonyesha tabia ya kuigwa baada ya kuwahi mazoezini juzi alhamisi jioni ikiwa ni siku moja baada ya kutua dar es salaam wakiwa na taifa stars iliyokuwa ikishiriki fainali za chan ivory coast mgosi na henry wameonyesha nidhamu ya hali ya juu sana wametoka kwenye timu ya taifa na tayari wapo mazoezini kwa muda muafaka na wanajituma kwa uwezo wao wote hiki walichofanya ni kitendo cha kuigwa na kila mchezaji wanajituma sana UNK wameonyesha kwamba UNK kazi yao na wanajua majukumu yao alisisitiza hii ni mara ya pili kwa mgosi kuwahi kwa mtindo huo kwani januari mwaka huu akitokea uganda kwenye michuano ya chalenji alitoka uwanja wa ndege na kwenda moja kwa moja uwanja wa taifa ambapo simba ilikuwa inacheza mechi ya kirafiki na zesco na alifunga bao la kusawazisha phiri aliongeza kwamba hawa wachezaji wa nigeria orji obinna ameomba ruhusa amekwenda kwao kwa masuala ya kifamilia lakini emeh izuchukwu yupo hapa dar es salaam kuna mambo yake UNK sawa atajiunga na timu muda wowote kuanzia sasa pia kuna wachezaji raia wa cameroon ambao wapo dar es salaam wanataka kufanya majaribio hapa kwetu sasa wanamalizana kwanza na viongozi wakishamaliza ndio watakuja mazoezini wapo watatu mmoja kiungo beki na mshambuliaji mmoja kuna nchi walikuwa wanakwenda sasa nadhani wamekwama na kwa huu muda walioko hapa nadhani ndio wanataka kujaribu bahati yao simba wakija UNK UNK UNK kama ni wazuri UNK kwa uongozi kwa ajili ya usajili ujao hakuna kocha ambaye anakataa wachezaji wazuri lakini habari za ndani ambazo mwanaspoti UNK zinadai kuwa UNK hao wanataka kupewa mikataba ya ajira moja kwa moja na si kufanya majaribio kwa vile wana viwango vya juu phiri alisema mazoezi ya kikosi chake yanaendelea vizuri na leo jumamosi watacheza mechi ya kirafiki na villa squad kwenye uwanja wa kinesi ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kumalizia mechi saba zilizosalia katika ligi kuu bara haruna moshi UNK mjini arusha na kudai kuwa kocha wa taifa stars marcio maximo ana gubu na kamwe hawezi kuwa chini ya kocha huyo wa brazili lakini athuman idd chuji amedai kocha huyo alimwambia anavuta bangi jambo ambalo UNK sana haruna kiungo mahiri wa simba alisema kwa simu kuwa yupo mjini arusha akipumzika na kwamba atarejea jijini dar es salaam jumatatu siwezi kucheza taifa stars chini ya mtu ambaye ana gubu mnafiki na mbinafsi hata nikiitwa siwezi kujiunga na timu hiyo alisema haruna ambaye hata hivyo hajaitwa na maximo kwenye kikosi kipya akizungumza kuhusu madai kuwa anavuta bangi ndio maana akaingia katika mgogoro huo haruna alisema kila mtanzania anaujua ukweli wake mimi UNK huyo mzungu UNK leo anasema hiki kesho hiki mimi nimechoka ndio maana UNK kwenye timu ya taifa tangu nikiwa ivory coast narudia tena siwezi kuwa chini ya kocha ambaye ni mbinafsi mnafiki mwenye gubu na ambaye si mkweli mimi nikirudi UNK na simba na kocha ninayemjua sasa ni patrick phiri yeye anajua kuishi vizuri na wachezaji na si huyo mzungu alisema haruna ambaye alicheza dakika zisizozidi thebathini tu dhidi ya senegal katika fainali za chan zilizofanyika ivory coast licha ya haruna kutoa dukuduku lake mwenzake athuman idd chuji amekuwa UNK kuzungumza lakini siku moja kabla ya kurejea nchini alizungumza na mwandishi wetu jijini abidjan chuji alisema kuwa kocha huyo mbrazili alimuita wakiwa ugenini na kumwambia kuwa UNK bangi UNK timu yangu milele nilikuwa fiti na nilijua nitacheza lakini akaniambia nikae jukwaani sikujali kwa kuwa nilijua mechi mbili zipo mbele yangu sikujali kukosa mechi ya senegal niliendelea na mazoezi vizuri na daktari UNK niko fiti naye UNK na kuthibitisha hilo siku hiyo nilichukua jezi yangu namba nne na kwenda kuweka lebo ya caf nikajua nitakuwa kwenye kikosi bila kujali nitaanza au UNK benchi lakini mambo yakaenda tofauti kabisa alisema chuji katika mahojiano aliyoyafanya mara ya mwisho UNK baada ya mechi siku hiyo maximo aliniita kwa kweli UNK UNK na hasira UNK UNK UNK timu ya taifa iliyo chini yake aliniambia kwamba hata UNK huku ivory coast ilikuwa ni msaada tu kwa kuwa mimi navuta bangi na UNK dawa za kulevya mungu wangu UNK sana nilitaka hata tuchukue vipimo sikuamini maneno yale yanatoka kwa kocha mimi natumia dawa za kulevya ana uhakika gani kwamba eti UNK tu sikuamini na hadi sasa roho inaniuma sana nafikiri anataka kuniangusha kisoka kitu ambacho UNK wakati chuji anaelezea UNK boban naye alisema UNK kosa lake na kwamba UNK na tabia ya maximo kutotaka kuweka mambo hadharani kuna kipa kama kaseja kocha UNK tu na hadi leo watu hawajui kwanini UNK mimi silijui kosa na hakuna utovu wowote wa nidhamu nilioufanya kama kutocheza vizuri kwenye mechi ya kwanza ndio utovu wa nidhamu sawa lakini kocha ni mzazi na alipaswa kunieleza kwamba UNK vizuri lakini UNK UNK zaidi nilijua anataka kunieleza kosa badala yake alinieleza mambo ya ajabu sana sikutegemea na sikutaka kucheza tena timu yake kwamba UNK kule kwa kunisaidia UNK kunipeleka kwa kuwa kama UNK basi vyombo vya habari UNK na kujua UNK labda kwa kuwa navuta bangi lakini kocha kwa nini UNK mchezaji halafu kesho UNK UNK kwa kumsaidia tu kweli hata wewe mtu UNK leo halafu kesho anakwambia hauna vigezo na kwamba UNK kama msaada tu ingawa wakati mwingine nasema labda urafiki wangu na chuji ndio UNK sijali kwa kuwa inaonekana kama ugomvi umeanzia kwake lakini siwezi kuvunja urafiki na mtu kwa kuwa UNK na kocha naona hata wengine kama na kelvin UNK bila sababu kwa kuwa wanazungumza na sisi na hao ni rafiki zetu hata nurdin UNK tu kwa kuwa alikuwa anacheza na alijua hana namba sita baada ya bonny kuumia lakini la sivyo angeingia kwenye mkumbo wetu ingawa kosa halijulikani alisema haruna lakini maximo alipozungumza jijini dar es salaam jana jumatatu alisema kuna tetesi nyingi UNK na nimesikia vitu vingi sana hapa kabla timu haijaondoka lakini ninachosema ni kwamba siwezi kukaa na wachezaji kama haruna idd na amir siwezi kumbembeleza mchezaji mtu ambaye hataki kufuata maelekezo yangu siwezi kuwa naye kamwe kocha wa yanga kondic dusan amesema hana raha kwani wachezaji wote waliokuwa kwenye kikosi cha taifa stars wapo katika hali mbaya ingawa hakumtaja kocha wa taifa stars marcio maximo kondic amekuwa akilalamika mara kwa mara wachezaji wake wengi kuitwa kwenye kikosi cha stars na kuingilia ratiba ya klabu hiyo yanga inajiandaa na mechi ya raundi ya kwanza ya ligi ya mabingwa afrika dhidi ya al ahly ya misri ambayo wenyeji wametangaza rasmi kwamba itachezwa jijini cairo jumapili ya wikiendi ijayo kondic aliiambia mwanaspoti mazoezini kwenye uwanja wa uhuru alhamisi usiku kwamba hali ya wachezaji wote waliokuwemo kwenye kikosi cha stars si nzuri na UNK katika wakati mgumu wachezaji wa yanga waliokuwa na kikosi cha stars kwenye fainali za chan ni shadrack nsajigwa nurdin bakari kigi makassi godfrey bonny nadir haroub cannavaro athuman idd amir maftah mrisho ngassa jerry tegete na abdi kassim sina raha kabisa UNK ninavyozungumza na wewe niko kwenye wakati mgumu sana wachezaji wangu tegemeo waliokuwa safarini wamerudi lakini wote ni matatizo alisema kondic kwa hasira kocha huyo wa serbia kila mmoja ni mgonjwa hakuna mzima hata mmoja halafu angalia nina siku ngapi kabla ya kuingia kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa afrika dhidi ya al ahly tena ugenini ngassa na cannavaro hawapo mazoezini matatizo ni hayo hayo kwamba hawako vizuri na wana majeraha madogo madogo ndio maana UNK UNK hao wengine UNK hapo wamekuja na wanafanya mazoezi lakini kila mmoja ana tatizo mara msuli unauma mara goti hakuna hata mmoja ambaye yuko kamili yaani hapa inabidi kufanya kazi ya ziada sana na kutegemea ripoti ya daktari vinginevyo hali itakuwa ngumu sana halafu muda tulionao ni mfupi mno sina raha kabisa najaribu kufanya kazi kadri inavyowezekana niangalie hali za hawa wachezaji UNK katika siku zilizobaki alisisitiza kondic ambaye alisema mambo mengine yanakwenda vizuri mazoezini katika hatua nyingine kondic alisema kwamba kiungo wake athuman idd chuji amemwambia kwamba hana tofauti zozote na kocha marcio maximo kama UNK nimezungumza naye kaniambia kwamba hana matatizo yoyote na maximo wala taifa stars na mimi nadhani kama kungekuwa na tatizo maximo UNK lakini huyo kocha UNK au UNK simu alisisitiza kondic kwa kifupi na kusisitiza kwamba labda UNK mwenyewe idd anaweza kusema zaidi lakini hata hivyo mchezaji huyo ambaye amejitoa kwenye timu ya taifa amekuwa mgumu kutoa tamko katika mazoezi ya juzi jioni ambayo wachezaji ngassa na cannavaro ndio pekee UNK mabingwa hao watetezi walikuwa wakichezea mipira uwanjani kwa zaidi ya saa mbili na baadaye wakatumia dakika chache kunyoosha viungo kabla ya kupanda gari na kuelekea kambini kwenye hoteli ya UNK iliyoko karibu na mwenge karibu na ofisi za mamlaka ya mapato tanzania jijini dar es salaam timu hiyo UNK kwenye hoteli ya lamada baada ya kushindwa kulipa fedha UNK mabingwa wa ligi daraja la kwanza kutoka marekani ya kaskazini timu ya vancouver whitecaps wamewasili nchini huku kocha wao teitur thordarson akisema ujio wao umelenga hasa kuinua vipaji vya soka kwa vijana akizungumza na waandishi wa habari leo ijumaa kocha huyo alisema tanzania ina vipaji vingi ambavyo ameweza kuvisikia akiwa nchini kwao na moja kati ya ujio wao hapa nchini ni pamoja na kuangalia utaratibu wa kubadilishana wachezaji kwenda kujifunza soka nchini mwao timu hiyo iliwasili leo ijumaa asubuhi ikitokea marekani ambapo inashiriki ligi daraja la kwanza na walifanikiwa kuwa mabingwa katika mashindano nchini humo naye katibu wa shirikisho la soka nchini fredrick mwakalebela alisema ujio wa timu hiyo si tu kucheza na wenyeji bali itakua ni fursa pekee ya kuitangaza nchi ya tanzania kisoka pamoja na kuutangaza utalii wa hapa nchini ili kupata wawekezaji zaidi alisema pia wachezaji hao watapata fursa ya UNK maeneo mbalimbali ya shule za soka pamoja na kufanya mazoezi na timu za vijana chini ya miaka ishirini za azam villa squad pamoja na kituo cha tanzania soccer academy pamoja na kubadilisha mawazo kuhusiana na maendeleo ya mpira wa miguu nao wadhamini wa timu ya taifa kampuni ya bia ya serengeti na benki ya nmb wametoa kiasi cha shilingi milioni ishirini na tatu kwa ajili ya kugharamia timu hiyo ambayo itakuwa hapa nchini kwa muda wa wiki mbili shirikisho la soka la tanzania limethibitisha kwamba kocha wa timu za vijana za tanzania mbrazil marcus tinocco ameondoka rasmi kocha huyo ambae mkataba wake umemalizika mwezi uliopita amekataa kuongeza baada na kutimkia kwenye visiwa vya trinidad and tobago ambako amepata klabu ya ligi kuu na ameshaanza kazi mkataba wake ulimalizika mwezi uliopita lakini UNK barua akiwa huko trinidad na kutuambia kwamba amepata timu kwahiyo UNK kila la kheri katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela aliiambia mwanaspoti leo ijumaa mchana kocha wa taifa stars marcio maximo amesema ana taarifa za kuondoka kwa kocha huyo ambae alikuwa UNK arithi kiti chake lakini amesema kwamba hiyo ni faida pia kwa wachezaji wa tanzania ambao kuna uwezekano UNK daktari congo imeweka histori kwa kutwaa ubingwa wa michuano ya afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani chan kwa kuifunga ghana kwa mabao mbili sifuri ghana iliyoshuka dimbani na kumbukumbu nzuri ya kuifunga congo tatu sifuri katika mchezo wa mwisho wa kundi a na kupewa nafasi kubwa ya kuwa bingwa wa michuano hiyo lakini mambo UNK kombo mwanzoni mwa kipindi cha pili congo ilipata bao la kwanza kupitia kwa UNK UNK aliyeunganisha vizuri mpira wa krosi kwa kichwa na kushinda kipa wa ghana UNK kuingia kwa bao hilo kuliamsha hali ya ghana ambao UNK nzuri ya kusawazisha mabao kila UNK katika michuano hii lakini mashambulizi yao UNK mikoni mwa ngome imara ya vijana wa kabila ghana UNK mashambulizi ya kutafuta bao la kusawazisha UNK na kufungwa bao la pili kwa krosi ya mputu iliyomkuta john bedi aliyepiga shuti lilomshinda kipa UNK na kufuta ndoto ya black stars kutwaa ubingwa huo juzi timu ya taifa ya zambia chipolopolo UNK kwamba UNK tu kwa kushindwa kufika fainali baada ya kufanikiwa kuwafunga senegal kwa mabao mbili moja na kutwaa nafasi ya tatu ya michuano hiyo huku mshambuliaji wake given singuluma akiwa mfungaji bora wa michuano hiyo kwa kufunga mabao tano shirikisho la soka la tanzania limesema hawana mpango wa kuwachukulia hatua yoyote waliokuwa wachezaji wa taifa stars haruna moshi boban na athuman idd chuji kutokana na utovu wa nidhamu walionyesha kwenye timu hiyo wachezaji hao UNK na kocha wa timu hiyo kuwa ni watovu wa nidhamu wamekuwa UNK ratiba ya kocha ni wavivu wa mazoezi na wanataka kucheza mechi tu katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema kuwa kwa sasa hakuna kamati yoyote ambayo imeundwa kushughulikia suala hilo kwa kuwa hawajapata malalamiko yoyote kutoka kwa kocha marcio maximo timu ya taifa si sawa na timu za klabu mchezaji akiwa na utovu wa nidhamu UNK hatua katika timu ya taifa mchezaji akionyesha utovu wa nidhamu UNK katika kikosi kama alivyofanya kocha wakati huu lakini kama kocha akisema wapewe adhabu tunaweza kutoa alisema mwakalebela alisema kitendo UNK wachezaji hao UNK lakini hawawezi kuchukua hatua yoyote mpaka wapate ripoti kamili ya wachezaji hao ambayo mpaka sasa UNK na kocha mwenyewe aseme wachukuliwe hatua na wao hawatasita kufanya hivyo lakini bila hivyo nao watakuwa kimya alisema wanampongeza kocha huyo kwa kukemea utovu wa nidhamu katika timu hiyo UNK kikosi hicho ambacho kwa sasa kimekuwa kikifanya maajabu katika mashindano mbali mbali alisema wanamuunga mkono maximo kwa hatua UNK ya kuwaacha wachezaji ambao ni watovu wa nidhamu katika kikosi chake hiyo itasaidia wachezaji wengi kuwa na nidhamu shirikisho la soka afrika UNK majibu ya vipimo ya wachezaji waliopimwa awali kama wanatumia dawa za kuongeza nguvu wakiwamo wachezaji sita wa kikosi cha tanzania taifa stars walionekana wako safi na UNK kwao kwamba ni wanamichezo wa uhakika msemaji wa caf suleiman abouba raia wa misri ameiambia mwananchi shirikisho hilo UNK faraja kwamba hata wachezaji walio katika klabu mbalimbali za nchi za afrika wanajua umuhimu wa kuepuka matumizi ya dawa za kuepusha nguvu ni kitu cha kujivunia na kuwapongeza wachezaji wa nchi zote nane kutokana na kufikia hatua hii wamefanya kitu kizuri na cha maana sana alisema wachezaji arobaini na nane wa mwanzo kutoka timu hizo nane walipimwa wakiwamo sita wa tanzania waliopimwa katika mechi tatu za kundi a ambao ni mrisho ngassa na mwinyi kazimoto katika mechi ya kwanza dhidi ya senegal nizar khalfan na shaaban dihile katika mechi ya pili dhidi ya ivory coast na salum sued na kelvin yondani katika mechi ya mwisho dhidi ya zambia shirikisho hilo UNK kuchukuwa hatua hiyo ikiwa ni kuongeza nguvu ya matumizi ya dawa za kulevya na zile za kuongeza nguvu michezoni kitu ambacho kinapigwa vita na taasisi mbalimbali duniani wakati huo huo tanzania huenda ikapata nafasi nyingine ya kushiriki michuano ya kombe la chan kwa mara ya pili mfululizo mwaka ishirini moja moja nchini sudan baada ya shirikisho la soka afrika kutangaza kuongeza timu hadi kufikia kumi na sita katika fainali zijazo uamuzi huo wa caf umetokana na mafanikio makubwa yaliyopatikana katika michuano ya kwanza ya chan iliyofanyika nchini hapa msemaji wa caf suleiman abouba juzi ameiambia mwananchi kwamba UNK uamuzi huo ili kutoa nafasi zaidi kwa timu nyingi za afrika kushiriki michuano hiyo na kuongeza wigo kwa wachezaji wanaocheza kwenye klabu za afrika kupata nafasi ya kutosha michuano hii ya chan ilikuwa ni kama kuangalia na kupima masuala kadhaa lakini tumeona inawezekana kabisa kuongeza timu kwa kuwa ushiriki wa mwaka huu umeonekana kuwa na mafanikio makubwa na timu UNK ukiachana na hivyo wachezaji walijitolea na kuonyesha uwezo mkubwa na kila kitu kwa kweli UNK kwa mpangilio ilikuwa ni nafasi ambayo nchi nyingi zimekuwa UNK baada ya kuonekana michuano ya can zaidi inashirikisha wachezaji wengi wa afrika wanaocheza ulaya hivyo itakuwa ni nafasi zaidi kwa timu za afrika kushiriki kwa wingi kwenye michuano ya sudan hivyo kila mmoja ana uwezo wa kujiandaa vema na kupata nafasi hiyo muhimu kwa kuwa muda upo alisema tamko hilo la caf linaweza likawa UNK tanzania katika hali nzuri ya kushiriki tena michuano hiyo kama itajipanga mapema kwa kuwa ilionekana nafasi ya timu nane tena katika mashindano yajayo ingekuwa na upinzani mkali zaidi kutokana na nchi nyingi mwaka huu kuvutiwa na mafanikio ya chan hata hivyo tayari kocha mkuu wa stars marcio maximo amependekeza maandalizi kuanza mapema kwa michuano yote ambayo UNK stars ingawa hajaweka wazi msimamo wake wa kuongeza mkataba ingawa kauli zake zinaonyesha yuko tayari kuendelea kukinoa kikosi hicho pamoja na tanzania inaonekana kauli hiyo ya caf itakua faraja kwa nchi nyingine ambazo hazikupata nafasi kwa kuwa zitafanya kila linalowezekana kupambana na kupata nafasi hiyo mwaka ishirini moja moja nchini sudan mwaka huu timu nane UNK ngangari katika michuano ya awali hadi kufanikiwa kupata nafasi ya kushiriki chan ni wenyeji ivory coast ambao UNK mlango mapema kwa kutolewa hatua ya makundi wengine ni senegal zambia na tanzania zote kundi a na kundi b kulikuwa na timu nyingine nne ambazo ni congo daktari ghana libya na zimbabwe je una maisha magumu au mazuri jibu la swali hili ndilo UNK kuwa wewe ni mtu mwenye akili au la waweza kuwa ni mtu UNK sana lakini usiwe na akili ya maisha ni kweli kila mtu ana akili ninachosema hapa ni uwezo wa kuitumia vema akili yako katika kukuletea maendeleo ni kuwa kama wewe umesoma halafu una maisha duni elimu yako ni sawa na UNK kama unabisha au UNK shauri yako lakini huo ndio UNK kuwa kipimo cha akili yako ni aina ya maisha UNK kipimo cha akili pia ni aina ya vitu UNK UNK au UNK kwa mfano inafahamika kabisa kuwa sigara ni hatari kwa afya je UNK unapenda watu UNK kuwa wewe ni mtu wa aina gani sigara ni hatari kwa maana kwamba inaweza kumfanya mtu kupata kansa nk je ni kweli ina uzuri au umuhimu sana kwako hata uendelee kuitumia wakati unajua fika unaweza kufa kwa ugonjwa hatari wa kansa ambao tiba yake ni shida hata ngombe hali tumbaku hata UNK bakora vipi mwanadamu UNK mtu mwenye akili hawezi kutumia dawa za kulevya unapotumia dawa za kulevya maana yake wewe ni UNK huna akili katika makala haya ninaposema wenye akili namaanisha wenye kufanya mambo mazuri na wasio na akili ni wale wanaofanya ujinga msingi wa maisha yako ya kesho utatokana na yale UNK leo hii ina maana kwamba leo unatakiwa kufanya mambo mazuri na yenye maana ili kesho uwe na maisha mazuri kati ya mambo ambayo UNK sana UNK mwanadamu ni pale anapofanya mambo yasiyo na maana katika maisha yake nimekuwa nikifanya tafiti mbalimbali na kulazimika kuandika vitabu vingi kwa lengo la kusaidia jamii ibadilike iwe na maisha bora kwa mfano katika mojawapo ya vitabu vyangu kiitwacho saikolojia na utafiti sehemu ya pili nilizungumzia kwa kina suala hili pia mbinu za kupata kazi na nafasi za kazi orodha ya vyuo UNK bure orodha ya vyakula ambavyo ni tiba ya nguvu za kiume nk UNK kufanya yote haya ni kuhakikisha jamii inaondokana na matatizo mbalimbali UNK nayo watu wengi wanaumwa magonjwa sababu kubwa ni wao wenyewe staili yao ya maisha UNK sana shule za msingi hata sekondari juu ya vyakula bora lakini watu wengi wanakula ili mradi tumbo UNK kuna watu wanafikiri kula nyama ni jambo zuri zaidi kuliko mboga za majani anashindwa kufahamu kuwa mboga za majani kwa mfano chai ya soya ni nzuri zaidi kwa afya kuliko aina yoyote ya chakula kwa sababu ina madini na virutubisho vingi watu wengi wanaangamia kwa kukosa maarifa msingi wa makala haya na hata machapisho mbalimbali ni kusaidia jamii kuwa na maarifa kwa mfano mtu UNK mafua tiba yake ni ndogo sana chukua kitunguu saumu ponda paka maji yake chini ya nyayo zako paka asubuhi mchana usiku mafua UNK kama huamini fanya UNK ndio nasema kinachoweza kukusaidia katika maisha ni kusoma kwa wingi kazi za watu mbalimbali hasa vitabu juzi niliitwa kwenye kituo kimoja cha redio nikiwa huko nilikutana na watu kadhaa mmoja akasema aaah wewe ndio dismas lyassa nashukuru sana kitabu chako cha saikolojia UNK mdogo wangu hivi ninavyozungumza na wewe yuko ujerumani kaenda kusoma na UNK kila kitu alichukua anuani UNK kwenye kile kitabu na kuwasiliana nao wakati huyo anasema hivyo kuna mwingine alisema aaah unajua mimi huwa UNK vitabu wala magazeti niko bize sana sina muda nilimuuliza kwa siku baa huwa unakaa kwa muda gani hivi alisema aaah nikitoka kazini ni lazima nikapumzike kubadilishana mawazo na jamaa zangu baa je ndugu zangu yupi mjanja hapa yule ambaye akitoka kazini anakwenda baa au yule ambaye akitoka kazini anakwenda kazini na kupumzika kisha kujisomea mambo mbalimbali jibu ni rahisi ukweli ni kuwa unapaswa kuwa msomaji wa mambo mengi ndio siri ya kukufanya uwe na maisha bora wengi wetu tuna maisha duni kwa sababu hatujui mambo kwa mfano kuna wanaume wengi wanaamini kwamba wanajua kila kitu katika suala la ndoa huko ni kujidanganya eti huwa nawasikia watu wanasema aaah bwana hakuna haja ya kutafuta ujuzi wa masuala la ndoa ninachotaka kusisitiza hapa ni kuwa ugumu wa maisha ni kipimo cha akili yako ndugu yangu ambacho ningependa UNK ni kwamba hata kama una maisha magumu kiasi gani huna sababu ya kukaa chumbani na kulalamika badala yake unapaswa kusaka marafiki wa kubadilisha nao mawazo watakusaidia mawazo mapya na jinsi ya kuwa na mafanikio zaidi huwezi kuwa mshindi wa kulalamika tu bali kwa kusaka majibu ya shida UNK hata kama wewe una ulemavu bado waweza kuwa na maisha bora cha msingi ni kutafakari kwa makini wapi unakosea hata UNK katika hali duni ya maisha jambo jingine la msingi zaidi katika maisha ni kwamba usiwe mwoga wa kujaribu kufungua mradi ushindi ni vita kwa maana hiyo wewe ni mpiganaji acha woga pigana hadi ushinde sawa ndugu yangu u hali gani msomaji wangu UNK na majukumu ya UNK gurudumu gumu la maisha mimi ni mzima wa afya na ninaendelea vizuri na kazi UNK ikiwemo ya kusikiliza hadithi mbalimbali kwa ajili ya kuwahabarisha nyinyi wasomaji wangu wiki hii katika mihangaiko ya hapa na pale ndipo nilipokutana na huu msemo wa fungu la kukosa halijai hata UNK halijai nami UNK msemo huu na hii hadithi ninayotaka kuwaletea hapa kuna msichana mmoja ambaye anastahili kukaa upande huu wa fungu la kukosa maana hata UNK UNK basi huyo dada alikuwa na papara za UNK mambo mazuri bila kukumbuka kuwa vizuri hutafutwa na pia subira inapaswa kupewa kipaumbele huyu binti alikuwa na mpenzi wake ambao walikuwa UNK kwa kila kila kitu kuanzia elimu umri na hata uwezo baada ya kumaliza kidato cha sita mpenzi wake alichukuliwa na kaka yake ambaye alikuwa akiishi athens ugiriki wakati akiondoka alimsihi sana mpenzi wake kuwa mwaminifu na UNK kumuoa pindi atakaporejea na iwapo mambo yatakuwa mazuri basi UNK UNK huko UNK kijana akaondoka na binti akabaki katikati ya maisha ya huyu msichana UNK kishawishi kutoka kwa mmoja wa waheshimiwa ndani ya nchi hii si mna UNK wengine UNK mpaka magari mekundu majina UNK wasichana wengi UNK na waheshimiwa UNK ni bahati ya mtende ambayo kuipiga teke ni sawa na kupiga teke ufunguo wa benki msichana akakubali kuruka na mheshimiwa na kujisahau mpaka ndugu wa mpenzi wake UNK hilo unajua tena mtu UNK ugali lakini si maneno na ukichanganya mawasiliano UNK dunia kama kijiji haikuchukua muda salamu UNK huko ughaibuni kwa mwenyewe kwamba vyako UNK huku bongo wote tunajua malipo ya wasaliti basi alilipwa huyu msichana tena na mafao yake yote na kuachwa kama alivyo UNK huko ulaya nako mambo yakawa mazuri kijana wa watu UNK UNK UNK UNK na kutinga nacho bongo kwa ajili ya kufunga ndoa basi mwenzangu na mimi nae akaanza UNK UNK na kujibamiza akiamini lolote laweza kutokea bahati mbaya akakutana uso kwa uso na huyo jamaa akiwa UNK mtoto mzuri UNK UNK macho mithili ya mdudu UNK na mlango abaki afanye nini aliondoka kama vile alipotea njia kufika pale fungu la kukosa ni la kukosa tu halijai hata UNK mara ngapi juzi juzi alitangaza kuachia ngoma mbili UNK mkali wa bongo UNK ambaye pia ni mtaalam wa kompyuta UNK c UNK the UNK ambaye jumatatu iliyopita alikuwa UNK siku yake ya kuzaliwa ametangaza kuachia ngoma kwa mashabiki wake wa kitaa ngoma ni ile ile inayokwenda kwa jina la problem ambayo kwanza ilikwenda kwa wadau wa UNK kupitia UNK za UNK na UNK UNK kia kitu kimeeleweka na sasa ngoma inakuja UNK kupewa nyota na wadau wa ukweli halafu unajua mtu mzima UNK zipi huu ni muendelezo wake wa ule ule wa levo za mbele na kwa wakati huu ni kiuhakika zaidi kama UNK jamaa ndio yule wa UNK walikuwa wawili yeye na suma lee UNK kaa tayari kumsikiliza basi bendi ya muziki wa dansi ya african stars twanga pepeta inatarajia kuzindua albam yao ya kumi mwezi huu kwenye ukumbi wa diamond jubilee jijini dar es salaam UNK mbutu ambaye ni mmoja kati ya waimbaji mahiri wa bendi hiyo alisema kuwa albamu hiyo ambayo bado UNK jina itakuwa na jumla ya nyimbo sita songi zenyewe ni nazi UNK jiwe iliyotungwa na thabit abdul ambaye ni mpiga kinanda wa bendi hiyo sumu ya mapenzi UNK na khalid chokoraa shida ni darasa na mwana dar UNK na charles baba kuna mpya inaitwa mwisho wa ubaya ni aibu iliyotungwa na rapa wa bendi hiyo UNK UNK maarufu kama ferguson ambayo imerekodiwa wakati walipokuwa ziarani nchini UNK alisema kuwa bado nyimbo moja ambayo ndio wapo katika maandalizi ya kuimalizia ili UNK na ndipo wachague jina UNK albamu hiyo bendi hiyo ambayo kwa sasa inatamba na kionjo chao kipya kiitwacho UNK kisigino baada ya zile UNK sana kama UNK na UNK mbutu alizitaja albamu ambazo UNK hadi hivi sasa kuwa ni pamoja na kisa cha mpemba mtaa wa kwanza jirani mtu pesa chuki binafsi ukubwa UNK mwanamuziki nyota wa muziki wa kizazi kipya ambaye hivi karibuni amekuwa akikumbwa na mikasa ya hapa na pale inayosababisha kulazwa hospitali na hata kufanya mashabiki UNK unaweza ukawa mwisho wa muziki wake ameibuka akiwa imara kabisa na kusema si kweli kwamba ameamua UNK muziki wa kizazi kipya na UNK mungu katika mahojiano maalum na ya kipekee yaliyofanywa na kipindi cha uganda central kilichorushwa na UNK chameleone alisema mambo mengi yaliyosemwa wakati akiwa na misukosuko hayana ukweli lakini pia hana muda wa kwenda popote UNK UNK kwamba ni kweli kuna mtu alikuja kumuombea na sio jambo la kukataa eti mtu uko hospitali anakuja mtu anasema UNK na mungu aje UNK halafu UNK sio sawa kwa tamaduni za kiafrika alikubali UNK UNK hii haimaanishi kwamba mimi ni UNK mimi bado ni mkatoliki na UNK mungu UNK dhehebu na ninaendelea kuwa chameleone yule yule habari UNK hiyo baada ya kukimbiwa na mchumba wake mwezi mmoja uliopita nyota wa england frank lampard amepata mpenzi mwingine imefahamika kwamba kiungo huyo wa chelsea mwenye miaka thebathini ameanza mapenzi motomoto na mwanadada saskia UNK ambaye ni mtoto wa milionea mmoja nyota huyo mwenye fedha nyingi alionekana akiwa sambamba na msichana huyo mwenye miaka ishirini na tatu wiki iliyopita wawili hao waliingia katika klabu ya usiku na kukaa pamoja kwa muda mrefu na baadaye lampard alimpeleka nyumbani kwao lampard na msichana huyo wameanza mapenzi motomoto ikiwa ni wiki chache tu tangu elen UNK ambaye ni mama wa watoto wawili wa lampard alipoondoka kutokana na kuchoshwa na tabia ya uhuni ya mwanasoka huyo lampard ambaye alifanya udanganyifu kwa mchumba wake elen mara mbili katika miaka saba ya uhusiano wao UNK UNK katika mapenzi na saskia na amekutana naye mara kadhaa katika kipindi cha siku nane saa moja baada ya kupachika bao wakati chelsea UNK na wigan na kutoka kifua mbele kwa mabao mbili moja mchezaji huyo alionekana akifika katika mgahawa wa kensington majira ya saa tatu usiku dakika chache baadaye dada huyo UNK naye katika kupata chakula cha usiku wawili hao walizungumza kwa muda mrefu kabla ya kuondoka baadaye mtu mmoja alisema mchezaji huyo aliondoka kwenye mgahawa akiwa peke yake alianza kuzunguka na gari kwenye jengo hilo na aliporudi chini ya jengo hilo aliungana na mwanamke huyo na kuondoka jumatano jioni wapenzi hao walioonekana katika klabu ya usiku ya UNK katika barabara ya chelsea na baadaye walifika katika ghorofa UNK UNK saskia ambaye ni msichana mwembamba anafanya kazi ya ubunifu wa mitindo na amekuwa akihudhuria shughuli nyingi za mitindo jumatano nyingine wapenzi hao walikutana katika mgahawa wa UNK UNK huko chelsea ambako walijumuika na marafiki zao pamoja na wapenzi wa klabu baada ya kukaa katika mgahawa huo kwa muda mfupi rafiki wa frank aliita teksi na wapenzi hao walipanda kisha UNK alisema shuhuda mmoja kocha wa arsenal arsene wenger amesema kwamba ana wasiwasi soka inaweza kuvamiwa na magaidi kocha huyo aliangalia jinsi wachezaji wa kriketi wa sri lanka UNK na magaidi huko pakistan na kusema kwamba magaidi wanaweza kuvamia mchezo wa soka ambao ni mchezo unapendwa zaidi duniani lengo likiwa ni kujipatia umaarufu arsenal ni moja kati ya timu zilizokuwa UNK na magaidi miaka miwili iliyopita bomu UNK katika uwanja wa emirates kocha huyo kutoka ufaransa alikuwa akikinoa kikosi cha UNK UNK wakati UNK ulipuaji wa mabomu huko UNK mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano wenger alisema kwamba wadau wa soka wanatakiwa kuwa makini zaidi ili kuzuia uvamizi wa magaidi polisi hawataki kufanya hivyo na wala hawachukui tahadhari kwa karibu si jambo la ajabu kukuta mtu amesahau begi lake uwanjani mtu unatakiwa kuwa katika ulinzi wa nchi popote ulipo nakumbuka nilipokuwa japan nilikutana na matatizo kama hayo kulikuwa na kundi ambalo UNK gesi ya sumu barabarani kundi hilo lilikuwa limejiandaa kupaa na helikopta watu wengi walikufa manchester united imeajiri walinzi maalum ambao kazi yao ni kulinda kikosi nje na ndani ya mji watu hao pia UNK hoteli kabla wachezaji UNK kocha wa inter milan jose mourinho amesema kama akitakiwa kukinoa UNK cha manchester united atafanya hivyo mara moja atapewa nafasi hiyo wakati kocha alex ferguson UNK katika kikosi hicho chenye maskani yake old trafford jose mourinho alisema ferguson amekosa mpinzani tangu UNK katika kikosi cha chelsea mourinho alikutana na ferguson wakati kikosi cha inter milan kilipopambana na manchester united katika mechi ya ligi ya mabingwa ulaya wiki iliyopita na kocha huyo anaona kwamba yeye ni mmoja kati ya makocha wakali duniani mourinho anaamini kwamba uongozi wa manchester united hautasita kumpa nafasi ya kwanza wakati watakapoanza kusaka kocha mpya wa kuchukua nafasi ya ferguson mourinho alisema klabu bora inahitaji kocha bora jambo hilo ndio linaweza kuboresha kazi lakini katika mpira jambo lolote linaweza kutokea huenda UNK UNK kikosi cha england hiyo ni kazi kubwa mno lakini nadhani ferguson akiondoka uongozi wa manchester united UNK kocha anayeweza kazi nami UNK katika nafasi hiyo lakini alex ferguson hana dalili ya kuondoka katika kikosi hicho ni kweli UNK timu UNK unatamani kuona mafanikio zaidi kama una afya njema hakuna sababu ya kuondoka katika kikosi UNK pamoja na kwamba rio ferdinand anaona huyo ni kocha mkali anayeweza kukinoa kikosi cha manchester united wachezaji wa zamani wa klabu hiyo bobby charlton na bryan UNK wanaamini kwamba staili yake huenda isiwe imara katika kila kikosi na kocha ferguson wiki hii alisema unaweza kuniondoa kwa lazima lakini sifikirii suala la kustaafu soka jina la msanii alpha blondy si geni masikioni mwa wapenzi wa muziki wa reggae lakini pia hata kwa wale wanaopenda aina nyingine za muziki watakuwa na kumbukumbu nzuri ya mkali huyo aliyetikisa katika miondoko hiyo akitokea pwani ya nchi ya ivory coast nyimbo kama jerusalem masada liberia cocody UNK god bless africa UNK mafia apartheid is nazism afrika na nyingine nyingi UNK wanamuziki wa reggae na kumfanya kuwa mwanamuziki wa kwanza UNK akiimba katika lugha ya kifaransa kutamba wengine walifikia hatua kumlinganisha na bob marley wa jamaica maisha anayoishi katika jiji la abidjan ni ya kawaida kabisa ingawa ni kati ya watu wenye utajiri mkubwa pia ni kiongozi anayetambuliwa na serikali ya rais laurent gbagbo kama balozi wa amani na kuzuia vita ambaye ni mwakilishi wa umoja wa mataifa na ukifika nyumbani kwake katika eneo la riviera utakuta kuna bendera ya serikali UNK mwanaspoti ilifanya juhudi za kumpata alpha blondy kwa takribani siku nne hii ilitokana na kuwa na kazi kadhaa za kiserikali na kibiashara kwa kifupi UNK na muda lakini alijitahidi kutafuta muda mfupi kwa ajili ya kufanya mahojiano UNK kuzungumza kwa muda mrefu lakini UNK na kama nitapata nafasi zaidi tunaweza kukutana tena anasema mara baada ya kukutana na mwanaspoti kwa mara ya kwanza alpha blondy ni jina la kisanii jina lake halisi ni seydou kone na mara nyingi amekua ni mchangamfu na inawezekana akawa ndiye msanii anayependwa zaidi nchini hapa kutokana na aina ya maisha ya kawaida anayoishi ambayo hayaendani na utajiri wake pengine ni ya kawaida zaidi ya wasanii wa tanzania wengi UNK na mimi UNK kuhusu ukimya wangu jibu langu UNK ni kwamba wasiwe na hofu kwa kuwa nina uwezo mkubwa wa UNK UNK na nikiamua ninaweza kurejea na kutikisa tena niliwahi kupumzika kwa karibu miaka mitano kabla ya kuamua UNK lakini sasa nina majukumu ninayofanya ninaona ni nafasi nzuri ya kuyatekeleza na kama yanaenda vizuri basi ni bora kuyatekeleza napenda kuishi kawaida ndio maana hata watu UNK namna ninavyoweza kuacha gari langu na kupanda UNK lakini hata wananchi leo UNK ni mtu wa kawaida tu kwa kuwa sipendi kujificha hata wewe umefanikiwa UNK kwa kuwa si mtu wa kujificha anasema lakini UNK kama hapendi kujificha au ulinzi mkali kwa nini ameweka ukuta mrefu sana nyumbani kwake pale UNK peke yangu kumbuka nina familia ulinzi ni kitu muhimu kama mtu anataka kumdhuru alpha huku mtaani basi afanye hivyo kwa kuwa mimi si mtu wa kuhofia mtu mwingine napenda kuwa rafiki wa watu ingawa kuwa msema ukweli lazima utakua na maadui wengi kweli kwangu kuna ulinzi lakini huwezi kusema mkali kupindukia swali linakuwa hivi nyumba yake imejengwa katika mfumo kama msikiti kabisa lakini juu zimewekwa picha mfano wa sanamu zaidi ya kumi na tano za bikira maria mama wa yesu kristo wa UNK maana yake nini kati ya vitu ambavyo UNK watu kwamba ukitaka UNK sana UNK kichwa ni imani ya mtu mimi ni binadamu na ninaamini UNK ili mradi kwanza ni mungu nimesoma quran tukufu nimesoma biblia hivyo nina hisia zangu zaidi nikiwa na muda zaidi naweza UNK hili kwa kuwa linahitaji utulivu pia si hapa tulipo anasema msanii huyo aliyezaliwa mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na tatu katika eneo la UNK nchini hapa alpha blondy anamiliki hoteli mgahawa klabu ya usiku katika eneo la UNK UNK au seven UNK swali je anaweza vipi kusimamia uendeshaji wake kutokana na UNK na majukumu mengi ya kiserikali kama balozi wa amani wa umoja wa mataifa napenda kufanya kazi na watu waaminifu sipendi kuwachunga watu na kuwafuata UNK kama wanyama siwezi kuchunga mtu hata UNK ni mke wangu ukiona binadamu anashindwa kujiendesha hadi UNK au UNK basi UNK sana mambo yangu mengi yanafanywa na wafanyakazi wangu na mimi ninapata ripoti lakini mara kadhaa nimekua mshauri kwa kuwa moja ya sehemu zangu za kutembelea ni hapa kwenye mgahawa au UNK kwenye klabu siku nikiamua kujirusha na rafiki zangu wengi wamekua wakipenda kukutana na mimi hapa hivyo mara kadhaa UNK pamoja na watu wangu kwa ajili ya kufurahi pamoja kwa kuwa maisha yanataka furaha na faraja anasema gari yake aina ya bmw x tano kwenye ubao wa namba UNK namba imeandikwa bob marley UNK UNK UNK za ivory coast hamsini sifuri sifuri sifuri badala ya alpha UNK huyu ndiye shujaa wangu mimi UNK na wasanii wengi wa rege wakati nikisoma marekani lakini bob marley ni zaidi hakuna mfano wake anasema alipoulizwa kuna watu walifikia kumfananisha yeye na mkali huyo huwezi kukataza au kuzuia hisia za watu waache na zao na UNK mkono lakini ni vizuri uwe na zako mimi kama kitu UNK UNK miaka nyuma basi ningeomba kurekodi hata wimbo mmoja tu na bob marley kwangu ni nyota na UNK ivory coast ni nchi UNK kwa soka mkali huyo wa reggae anavutiwa na mchezo upi kila mtu wa ivory coast anajua soka mimi kama si kuwa mwanamuziki ningekuwa mchezaji mahiri tena mchezaji wa kulipwa na leo UNK nchi yangu kama akina drogba toure na wengine lakini nikipata muda nafanya mazoezi uwanjani na kucheza soka vizuri tu unaweza kudhani ni mchezaji fulani nimerejea nyumbani kwa mapumziko ningecheza mpira lakini bibi yangu hakupenda kabisa na alitaka UNK hivyo UNK kusikia mambo ya mpira nilisoma mambo mengi shuleni ikiwa ni pamoja na dini mwisho wake hakukuwa na muda tena baadaye nikaenda kusoma liberia na marekani nisingeweza kuweka akili yangu kwenye mpira ingawa UNK sana mazungumzo ya mara ya pili na msanii huyo UNK baada ya kusafiri nje ya jiji la ivory coast katika shughuli zake za kiserikali akiwa na rais laurent gbagbo ambaye inaelezwa ni mtu UNK naye sana ukiingia kwenye mgahawa wake ambao UNK na UNK UNK kwa ustadi mkubwa kulia kuna picha kubwa ya yesu kristo na katikati ya mgahawa huo kuna sanamu ya bikira maria ingawa alpha blondy ni UNK ila amekua akiweka msisitizo wa kuachwa aendelee na UNK alpha blondy alifukuzwa chuoni mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na mbili baada ya kuonyesha UNK na baadaye bibi yake cocody aliamua kumhamishia nchini liberia UNK jina la bibi huyo UNK coco limechukua eneo kubwa la kusini mwaka abidjan na hata wachezaji kadhaa maarufu wa soka kama akina yaya toure didier zokora wamejenga katika eneo hilo ambalo kuna cocody i ii iii na cocody yenye majina tofauti ni eneo maarufu ambalo wanaishi watu wa kuanzia maisha ya kati na wale wa maisha ya juu kabisa wakati fulani alpha blondy aliwahi kuimba nyimbo ya cocody rock akiwa anaelezea namba bibi huyo UNK katika maisha yake yote ya utoto UNK imara msanii huyo alijua kingereza vizuri baada ya kuhamia liberia na baadaye marekani baada ya kuwa mwanamuziki ilikua ni faida kubwa kwake kwa kuwa na uwezo wa kuzungumza kiufasaha lugha kingereza na kifaransa na hata nyimbo zake alichanganya lugha au kuimba za lugha tofauti hivyo kuwapa watu ladha nzuri na ya kutosha wakati huo akiwa ni seydou kone tu alianza kutamani kuwa mwanamuziki mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na saba baada ya kuhudhuria shoo ya kundi la UNK spears la jamaica kwenye uwanja mkubwa wa new york marekani na baada ya hapo ndio akaanza kujiandaa taratibu na baadaye mambo UNK hasa baada ya kukutana na prodyuza UNK UNK UNK na sauti yake na kuamua kuingia naye mkataba mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na mia tisa na themanini aliamua kurejea kwao ivory coast baada ya kumaliza masomo lakini mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tatu alitoa albamu yake ya kwanza jah glory ikiwa ni miaka miwili baada ya kifo cha gwiji wa reggae bob marley aliyekufa kutokana na kuugua ugonjwa wa kansa albamu iliyomtoa ni cocody rock UNK paris ufaransa na kuanzia hapo safari yake ikaanza na mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tano akatoa albamu ya tatu apartheid is nazism mwaka uliofuata UNK jerusalem na kukamata ulimwengu wa reggae sawa sawa mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na saba alirekodi revolution na mwaka uliofuata akatoa the UNK mwaka elfu moja na mia tisa na tisini aliutumia kwa kufanya ziara nyingi sehemu mbalimbali duniani kabla ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na moja kuipua masada ambayo ilimtangaza zaidi hata hivyo pamoja na mafanikio hayo baadaye msanii huyo aliwahi kuandamwa na matatizo kibao ikiwa ni pamoja na kuugua ugonjwa wa akili na kuna wakati aliwahi kutoroka hospitali na kuibukia kwenye UNK pamoja na kuelezwa kwamba amepona lakini wataalamu kadhaa wanaeleza ugonjwa huo unaweza kurudi wakati wowote amekua bize sana akikutana na viongozi mbalimbali wa kisiasa na wale wa upinzani nchini kwake kuhakikisha suala la vita linaondoka nchini hapa lakini pia umoja wa mataifa umekua UNK kwenye kwenye nchi jirani kama za liberia na burkina faso kwa ajili ya masuala ya amani hata hivyo mwaka jana mwezi machi alishindwa kuvumilia baada ya kwenda kwenye onyesho nchini UNK ambako UNK nyoyo mashabiki baada ya hapo makampuni kadhaa UNK aingie nao mkataba wa kufanya maonyesho lakini amekataa UNK nyota wa kundi la tmk wanaume family mheshimiwa temba aliyefunga ndoa hivi karibuni yupo mbioni kupata mtoto habari uhakika toka kwa marafiki wa karibu wa msanii huyo msomi zinadai kuwa mkewe ni mjamzito na huenda UNK muda wowote kuanzia sasa kwani siku UNK tetesi hizo zinadai kuwa temba amekuwa karibu sana na mkewe kiasi cha kuibua hata wivu kwa marafiki zake wa karibu ambao UNK kama msanii huyo angeweza kutulia na mwenzi wake kiasi hicho timu ya taifa ya tanzania taifa stars imetolewa kwenye fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani kwa tofauti ya pointi moja katika kundi a ambalo lilikuwa na timu za zambia senegal na wenyeji ivory coast ambao pia UNK pamoja na kutolewa tatizo kubwa lililokuwa UNK taifa stars ni kukosa mshambuliaji mrefu na mwenye nguvu wa kuweza kusukumana na mabeki wa timu pinzani kukosekana kwa mshambuliaji mwenye sifa hizo kulisababisha kocha mbrazili marcio maximo kubadilisha mfumo wa uchezaji wa timu hiyo na kutegemea zaidi mawinga na viungo kufunga mabao jambo ambalo lilikuwa gumu UNK ukiangalia maumbile ya mrisho ngassa musa hassan mgosi na jerry tegete utagundua ugumu wanaoupata kucheza mpira ya juu na kusukumana na mabeki wa timu pinzani pamoja na vipaji vyao vya kumiliki mpira na kupiga UNK ngassa na mgosi wana kasi na uwezo mkubwa wa kupiga chenga na kuanzisha mashambulizi lakini walishindwa kupenya ngome pinzani hali hiyo ni sawa kwa jerry tegete akiwa mrefu zaidi yao lakini alionekana kukosa kasi na nguvu za kumfanya awe mshambuliaji UNK na kuleta madhara kwa adui pamoja na upungufu huo wa wachezaji hawa watatu walionyesha uhai kwenye safu ya UNK wa stars wakishirikiana vema na viungo wao na kuwanyima usingizi mabeki wa timu pinzani kila mara lakini kama kuna mchezaji ambaye amekwamisha mafanikio ya kocha mbrazili marcio maximo hakuna mwingine zaidi ya mshambuliaji wa yanga gaudence mwaikimba tangu maximo alipowasili hapa nchini miaka mitatu iliyopita alipotangaza kikosi chake cha kwanza cha timu ya taifa UNK mwaikimba akiwa mchezaji wa kikosi cha kwanza uteuzi wa mchezaji huyo ulizua utata mkubwa lakini kocha huyo UNK kwamba angefanya vizuri kutokana na umbo lake refu na misuli kwa kuwa katika ulimwengu wa michezo watu wanaamini ukiwa mrefu basi una kipaji cha kucheza mchezo wowote utakaofundishwa UNK hili kwa UNK mtanzania chipukizi hasheem thabiti ambaye kwa sasa anatamba kwenye mpira wa kikapu marekani pamoja na jitihada zote za maximo kumlinda na kumtetea mwaikimba ambaye ni mshambuliaji mrefu kuliko wote tanzania UNK dau mwisho akamwacha kwani hakuwa na msaada gaudence mwaikimba aliendelea kuwa mzigo kwa taifa stars licha ya kwenda kwenye kambi ya mwezi mmoja brazil na kutokana na UNK kwa kelele za mashabiki na wadau kutaka UNK na mchezaji mwenye kushindwa kuthibitisha ubora wake uwanja ukawa mwisho wake kwenye timu hiyo ya taifa baada ya tukio hilo kocha na mchezaji wa zamani wa pamba UNK tomas kasoro UNK na mwaikimba na kumwomba mchezaji huyo akubali UNK kwa mwezi mzima ili UNK kiwango chake edmund anasema nilimwambia gaudence wewe ni mchezaji pekee UNK tanzania mwenye umbo la kimataifa na maximo anakupenda UNK mwezi mzima UNK UNK kwenye viwanja vya jangwani lakini cha kushangaza alikataa wazo langu unajua tanzania kwa sasa tuna uhaba wa wachezaji wa aina ya yake tofauti na ilivyokuwa wakati tulipokuwa tunacheza sisi ni sawa kwa mchezaji huyo wa zamani UNK mshambuliaji huyo wa yanga mwenye urefu UNK na emmanuel adebayor wa arsenal au ibrahimovic zlatan wa inter milan UNK ambao wamekuwa wakiwasumbua sana mabeki kwa jinsi UNK kutumia vema miili yao kwa UNK mpira na kucheza mpira ya juu lakini si mwaikimba pekee ambaye amekwamisha matarajio ya maximo na taifa stars bali ni washambuliaji wote wa tanzania waliopewa nafasi na kushindwa kuthibisha ubora wao uwanjani emmanuel gabriel athumani machupa joseph kaniki abdalah juma na michael chuma ni miongoni mwa washambuliaji mahiri katika miaka ya hivi karibuni lakini hawana cha maana walichofanya kwa taifa kushindwa kwa washambuliaji hawa ndiko UNK mbrazili huyo kubadilisha mfumo wa uchezaji na kuanza kushambulia kwa upande wa kulia akitegemea zaidi kasi ya mrisho ngasa kama mwaikimba gabriel na abdalla juma wangekuwa katika viwango vya hali ya juu unadhani UNK mapema chan UNK mashindano ya dunia ya mbio za nyika yatafanyika machi ishirini na nane huko jordan huku shirikisho la mchezo huo duniani UNK kutoa milioni ishirini kwa ajili ya kugharamia safari ya wanariadha wa tanzania katibu mkuu wa chama cha riadha tanzania suleiman nyambui amesema timu ya wanawake itagharamiwa na iaaf na wanaume watagharamiwa na UNK tumeshapata majina ya wachezaji watakaoshiriki michuano hiyo wachezaji hao wamepatikana katika mashindano ya mbio za nyika yaliyofanyika arusha sasa tunaanza maandalizi mara moja ili tuweze kufanya vizuri michuano ya mpira wa kikapu ya miji mikuu itaanza machi ishirini na mbili jijini arusha mkurugenzi mtendaji wa chama cha mpira wa kikapu mkoa wa dar es salaam mbaga UNK amesema tayari wameshatangaza majina arobaini ya timu ya mkoa wa dar es salaam UNK majina timu itaanza mazoezi mara moja kwa ajili ya michuano hiyo wanaume watakuwa chini ya kocha dassy makula na wanawake UNK na UNK UNK chama cha tenisi tanzania kinahitaji makocha kwa ajili ya kusaidia ufundishaji wa mchezo huo hapa nchini katibu wa tta inger njau amesema idadi ya wachezaji imeongezeka hivyo inabidi na makocha nao UNK tunahitaji makocha wenye taaluma hiyo kujitokeza kwani UNK na idadi kubwa ya wachezaji huku kukiwa na idadi ndogo ya makocha hivyo kurudisha nyuma maendeleo ya mchezo huu timu ya taifa ya vijana ya netiboli inaingia kambini machi ishirini na moja kujiandaa na michuano ya vijana ya afrika itakayofanyika nchini namibia kuanzia aprili nne katibu mkuu wa chama cha netiboli tanzania anna kibira amesema timu hiyo yenye wachezaji ishirini itaingia kambini kwenye hosteli za shule ya filbert bayi kibaha mkoani pwani timu UNK kambini huko ili ijiandae kikamilifu kwa ajili ya michuano hiyo mikubwa na tunaamini mungu atatusaidia tutafanya vizuri timu ya ngumi ya mkoa wa dar es salaam iliyo na mabondia kumi na moja ipo katika maandalizi makubwa kujiandaa na michuano ya majiji itakayofanyika machi ishirini na sita hadi ishirini na tisa jijini dar es salaam katibu wa chama cha ngumi mkoa wa dar es salaam herman mabula amesema timu hiyo ipo kambini kwa wiki tatu sasa ikijiandaa kwa michuano hiyo tunataka UNK rekodi kwa kutwaa ubingwa wa jumla na hilo linawezekana na ndio maana tunafanya maandalizi ya maana soud razak ameiongoza timu yake ya mpira wa kikapu ya vijana city bulls kutinga fainali ya kili rba baada ya kuifunga savio pointi sitini hamsini na saba katika mchezo mkali uliofanyika kwenye uwanja wa ndani wa taifa jijini dar es salaam juzi jumapili razak ambaye anasifika kwa kutupa mitupo mitatu kiustadi aliifunga pointi ishirini na tano pekee yake na kuiwezesha timu yake kuibuka na ushindi katika mchezo huo uliokuwa kama fainali na uliojaa ushindani na ubabe wa kila aina vijana walionekana kushinda mechi hiyo tangu mwanzo wa mchezo tofauti na savio ambao walionekana kuchoka mchezo huo ulikuwa wa tatu kufanyika baada ya ule wa kwanza vijana kuifunga savio pointi sitini na nane sitini na saba kabla ya savio kuifunga vijana sitini na saba hamsini na tatu hivyo kila shabiki kuamini savio inaweza kutinga fainali kutokana na mchezo safi walionyesha katika mchezo wa pili huku UNK na kikundi cha mashabiki wengi maarufu kama kidedea vijana walionekana kuwa juu na wamepania mechi hiyo waliongoza robo tatu ya mchezo huo kwa ponti kumi na tano tisa na thebathini na mbili kumi na tisa robo ya mwisho ambayo vijana waliongoza kwa hamsini na saba arobaini na tano hadi dakika ya tano ya mchezo savio UNK na kuja juu na kufunga pointi nane na kufanya matokeo kuwa hamsini na saba hamsini na tatu hadi dakika ya nane ya mchezo savio walizidi UNK kwa kurusha pointi tatu ili waweze kwenda sambamba na vijana lakini kila waliporusha mitupo mitatu ilikataa na UNK vijana wakitawala na kushinda mchezo huo baada ya filimbi ya mwisho ya waamuzi mashabiki wa vijana na wachezaji walishangilia kwa furaha huku baadhi wakiwazomea wachezaji wa savio ambao walikaa kimya na kuchukua mabegi yao na kutoka nje kutokana na matokeo hayo vijana itakutana fainali na jkt jumamosi kwenye uwanja huo huku ikitarajiwa kuwa fainali ya kihistoria na itakayokuwa ya ushindani mkubwa fainali hiyo itakuwa na ushindani kutokana na timu hizo kukutana tena katika fainali hiyo kwa mara ya pili baada ya mwaka jana jkt kukubali kipigo na kuwaachia vijana UNK kombe hilo ambalo lilikuwa UNK na jkt kwa muda mrefu ni vita ya manyema fc na afc ya arusha kuwania nafasi moja iliyobaki ya kucheza ligi kuu bara msimu ujao tayari timu mbili UNK ligi kuu bara ambazo ni african lyon yenye pointi kumi na saba ikiwa na mchezo mmoja dhidi ya korosho mtwara leo jumanne na majimaji ya songea ambayo ina pointi kumi na sita pia ikiwa na mchezo mmoja kesho jumatano dhidi ya nyerere ya kilimanjaro manyema yenye pointi kumi na tatu itabidi icheze kufa au kupona leo jumanne dhidi ya mwanza united na kushinda mchezo huo ili kupanda ligi kuu lakini endapo manyema itafungwa au kutoka sare ya aina yoyote na afc yenye pointi kumi na mbili ikashinda kesho jumatano dhidi ya polisi iringa itakuwa imetoka na afc itapata tiketi ya kucheza ligi kuu msimu ujao kwani itafikisha pointi kumi na tano kocha wa manyema fc abdallah king kibaden alisema hawatakubali UNK nafasi hiyo badala yake watafanya kila kitu ili washinde mechi hiyo UNK wachezaji wangu kuwa nafasi ni hii na UNK shauri yenu tuna kila sababu ya kuibuka na ushindi na wachezaji wangu wote wako fiti alisema kocha wa mwanza united john tegete alisema licha ya timu yake kutokuwa na nafasi ya kupanda ligi kuu hawatakubali wapoteze mchezo huo ili kulinda heshima mechi nyingine leo jumanne itakuwa kati ya african lyon na korosho mtwara na kesho jumatano ni afc dhidi ya polisi iringa na majimaji dhidi ya nyerere african lyon ndiyo kinara wa ligi kwa kuwa na pointi kumi na saba ikifuatiwa na UNK pointi kumi na sita manyema kumi na tatu afc kumi na mbili mwanza united tisa kijiweni tisa polisi iringa saba korosho mtwara tano na nyerere ya kilimanjaro inashika mkia kwa kuwa na pointi nne kocha wa zambia UNK herve yupo tayari kujiunga na taifa stars lakini anataka kujua kama marcio maximo UNK au ataongeza mkataba akizungumza na mwanaspoti jijini hapa mara baada ya fainali za chan renard raia wa ufaransa alisema stars ni moja ya timu ambazo angependa kuzifundisha lakini asingependa kufanya hivyo wakati anajua maximo bado hajatoa tamko tanzania ni moja ya timu UNK na nikipata nafasi hiyo UNK lakini kwa sasa siwezi kwa kuwa maximo bado yupo alisema ni mtu UNK sana ni rafiki yangu na wakati akiwa hapa UNK mawazo ya mambo kadhaa kuhusu ufundi lakini kama UNK hayupo pale na tanzania ikawa UNK basi mara moja UNK wanasema nini alisema si mara ya kwanza kwa mfaransa huyo kuitaka taifa stars kwani hata alipokwenda na kikosi cha zambia kwenye michuano ya chalenji nchini uganda alisema anapenda kuchukua mikoba ya maximo kikosi cha zambia UNK nafasi ya tatu katika fainali hizo baada ya kupoteza kwa mabao mbili moja katika hatua ya nusu fainali dhidi ya congo na wenyewe kuifunga senegal kwa matokeo kama hayo katika mechi ya kutafuta mshindi wa tatu manchester united imefanikiwa kuikwepa chelsea katika nusu fainali ya kombe la fa baada ya kupangwa dhidi ya everton everton UNK middlesbrough mabao mbili moja katika mchezo wa robo fainali juzi jumapili UNK kusawazisha na kuibuka na ushindi katika uwanja wake wa nyumbani goodison park walikuwa middlesbrough walioanza kuwaduwaza wenyeji wao kwa bao la david UNK kwa kichwa dakika ya thebathini ya mchezo huo akimwacha kipa UNK tim howard hana la kufanya mpinzani wake brad jones UNK naye akiwa na wakati mgumu baada ya kiungo marouane UNK kutumia vizuri makosa yake na kuipa timu yake bao kwa kichwa kocha wa everton david moyes alimwingiza uwanjani mchezaji wa zamani wa man united louis saha wakati wa kuanza kipindi cha pili na mfaransa huyo akaibuka mkombozi baada ya kupachika bao la pili akitumia vizuri krosi ya steven UNK kwa ushindi huo moyes na jeshi lake wamekabidhiwa jukumu la kutia kikwazo ndoto za man united kutwaa mataji matano msimu huu timu hizo zitakutana uwanja wa wembley aprili kumi na nane huku arsenal ambayo UNK burnley tatu sifuri juzi UNK na hull city kusaka mshindi ambaye UNK chelsea katika mchezo mwingine wa nusu fainali mwishoni mwa wiki hii yanga itakuwa na mtihani mwingine wakati UNK na vigogo wa soka barani afrika katika michuano ya klabu al ahly ya misri katika mechi ya raundi ya kwanza ya ligi ya mabingwa yanga inakutana na timu hiyo yenye kila rekodi nzuri katika kipindi ambacho waarabu hao wamekuwa na matokeo mabaya kwenye mechi zake za ligi kuu ya misri lakini pia timu kukumbwa na utovu wa nidhamu katika mechi takriban tano zilizopita al ahly imeshindwa kuibuka na ushindi na jana magazeti UNK kuwa kiungo nyota mohamed barakat amepigwa faini kutokana na utovu wa nidhamu na kwamba UNK anaweza kufungiwa kucheza mechi za aina yoyote kwa upande UNK habari hizo UNK al ahly kwa sasa ni neema kwa yanga ambayo bila shaka ina timu bora ambayo haijawahi kuipata kwa muda mrefu wahenga walisema adui UNK njaa na ndivyo pengine yanga inaweza kuwa inaomba kila siku matatizo hayo yaendelee ili mechi itakapofika al ahly wawe UNK lakini habari hizo za matatizo yanayoendelea UNK al ahly zinaweza kuwa mbaya kwa yanga iwapo UNK na kujiamini kuwa itawafunga vigogo hao wa soka afrika kwa sababu tu wako kwenye hali mbaya mlolongo wa matokeo mabaya kwa wamisri hao unaweza kuwa changamoto kwao kiasi cha kuamua kujipanga upya hasa kutokana na ukweli kuwa si rahisi kwao kukubali kuipoteza heshima yao barani afrika kwa sababu ya migogoro midogo na ndio maana UNK barakat faini kubwa kuonyesha kuwa haitaki masihara yanga inatakiwa ijiandae kupambana na al ahly ile bora ambayo tumezoea kuiona ikipambana katika hatua kubwa kama za fainali na si al ahly mbovu iliyo na migogoro na UNK vizuri kwenye ligi ya misri al ahly ni timu kubwa na inayocheza kwenye moja ya ligi bora barani afrika na hivyo kutofanya vizuri kwake kunaweza kuwa kunatokana na timu nyingine za misri kujiimarisha zaidi na kutoa upinzani unaostahili tofauti na ule upinzani ambao timu nyingine zilikuwa zikitoa wakati al ahly ikiwa juu sana ya klabu nyingine ni vizuri benchi la ufundi la yanga UNK wachezaji kisaikolojia ili wajue kuwa jukumu lililo mbele yao ni kubwa na zito na hivyo linahitaji nidhamu ya hali ya juu ya kimchezo kujituma kwa dakika zote juhudi binafsi na kuzingatia maelekezo ya kocha ndio wataweza lakini pia benchi la ufundi halina budi kuwajenga wachezaji kisaikolojia ili UNK kuwa wanaweza kuiondoa al ahly hata kama ndiyo timu bora barani afrika kwa sababu bila ya kuishinda na kuiondoa mashindanoni hakuna timu nyingine itakayokuwa bora isipokuwa vigogo hao pekee rais joseph kabila ametuma ndege UNK kikosi chake cha jamhuri ya kidemokrasi ya congo baada ya kutwaa ubingwa wa mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani houphouet boigny congo ambayo UNK nafasi ya kutwaa kombe la chan ilicheza mchezo mzuri katika fainali hiyo na kuleta burudani ya pekee katika fainali hizo congo ilikuwa inakutana na ghana kwa mara ya pili baada ya kukumbana na kipigo cha mabao tatu sifuri katika hatua ya makundi mjini bouake hivyo hakuna aliyekuwa na uhakika kama vijana hao wa kabila UNK ubingwa huo kaluyituka dioko aliipatia timu yake bao la kwanza dakika ya kwanza ya kipindi cha pili baada ya mabeki wa ghana kujichanganya kuokoa wakati ikionekana kama ghana UNK ikiwa tayari imefanya mabadiliko kwa kumtoa UNK UNK na kumwingiza coffee francis congo walipata bao la pili kupitia kwa UNK UNK dakika ya sabini na nne baada ya kufunga kwa shuti kali kutokana na pasi kutoka wingi ya kushoto huku mabeki wa black star wakiwa wamekaa upande mmoja na UNK congo pia ilishinda kikombe kidogo cha kuwa timu bora kwa UNK play katika fainali hizo huku mshambuliaji wake mabi mputu akiibuka mchezaji bora wa michuano hiyo mabingwa wa afrika al ahly wamempa mikoba kipa wa pili wa timu hiyo ramzi saleh kudaka mechi ya yanga jumapili al ahly ambao mwishoni mwa wiki walitoka sare ya nne dhidi ya police union watacheza mechi nyingine leo jumanne dhidi ya olympic mjini UNK katika mechi ya ligi kuu misri baada ya mechi hiyo al ahly watakuwa wakijiandaa kuikaribisha yanga katika uwanja wa cairo unaobeba mashabiki sabini na tano sifuri sifuri sifuri katika mechi ya ligi ya mabingwa afrika utakaofanyika jumapili kipa huyo kutoka palestina amepewa jukumu hilo baada ya kipa namba moja wa timu hiyo amir abdul hamid kufanya makosa mengi ya kizembe ambayo UNK al ahly kufungwa mabao ya kizembe mashabiki wamekuwa UNK mwanzo mpaka mwisho kila amir anapokuwa langoni jambo ambalo limemfanya kocha mreno wa al ahly manuel jose kumpa mikoba yote kipa mpalestina katika mechi ya jumapili kujiandaa na mechi ya yanga jumapili alisema UNK mpalestina huyo alidaka mechi yake ya tatu katika suluhu dhidi ya timu ya polisi mwishoni mwa wiki badala ya kipa namba moja mwenye makosa ya kizembe amir abdul UNK ikiwa na wachezaji kumi uwanjani al ahly imejikuta ikitoka sare hiyo ya nne mfululizo ya ligi kuu misri huku kiungo wao mohammed barakat akipewa kadi nyekundu ali ahly ilitoka suluhu na police union jambo ambalo UNK washindwe kulipa kisasi cha kufungwa bao moja sifuri na timu hiyo ya polisi inayonolewa na UNK youssef katika mzunguko wa kwanza balaa zaidi lilikuwa ni kwa kiungo wao mahiri mohamed barakat kutolewa kipindi cha pili baada ya kupewa kadi ya pili ya njano ya kwanza alipewa baada ya kujiangusha na ya pili alimfanyia faulo beki wa police UNK al ahly inaongoza ligi kwa kuwa na pointi arobaini na mbili ambazo ni nne mbele ya ismailia inayoshika nafasi ya pili lakini walikuwa na nafasi ya kupunguza pengo hilo kama wangeifunga petrojet jana jumatatu usiku ingawa al ahly itakuwa na mechi nyingine leo jumanne dhidi ya UNK police union UNK mpaka nafasi ya tisa wakiwa na pointi ishirini na saba ambazo ni saba juu ya ukanda wa kushuka daraja katika mechi hiyo ya mwishoni mwa wiki al ahly walifanya kazi kubwa kuivuruga ngome ya police united lakini pengo la mohamed abou treika lilikuwa UNK kiungo mkongwe ahmed hassan na barakat walijitahidi kumpa sapoti mshambuliaji pekee flavio bila mafanikio milioni kumi kiungo wao barakat kwa kitendo chake cha kupewa kadi nyekundu kocha mkuu wa asec mimosas ya hapa patrick liewing amesema yanga ina kila sababu ya kuitoa al ahly ya misri kwenye ligi ya mabingwa afrika iwapo UNK lakini UNK mbinu za kuwamaliza waarabu hao akizungumza na mwanaspoti jijini hapa liewing alisema mwaka jana kwenye ligi ya mabingwa afrika aliapa UNK na waarabu hao akiwa na asec mimosas na ndivyo UNK sisi tulicheza nao mechi mbili kwenye hatua ya makundi kwao ikawa sare na hapa sare lakini nakwambia hapa abidjan fuatilia UNK UNK mpira UNK mapema na sisi wenyewe tulipoteza nafasi nyingi ndio maana naamini yanga ina kila sababu ya kuishinda al ahly alisema kocha huyo wa ufaransa mwenye miaka hamsini na mbili kitu cha kwanza katika mechi ya ugenini kwa kuwa wanakwenda kucheza kwenye uwanja wa wale jamaa lazima wahakikishe UNK uwanja na kuwanyima nafasi ya UNK sana mpira lakini kitu kingine kizuri hawapaswi UNK mipira hovyo wanachotakiwa yanga ni kukaa na mipira huku wakipanga mipango UNK wachezaji wengi wa kaskazini ya afrika wana jazba kama yanga watakaa na mpira muda mrefu na kupiga pasi za kutosha lazima al ahly UNK unajua wanapokuwa kwao wana haraka na kupaniki na ndicho nilichofanya mie lakini baada ya mechi ya kwanza yanga wahakikishe wanafanya kitu kimoja kama inawezekana wakafanye mazoezi kwenye nyanda za juu sehemu hiyo hewa inakuwa tofauti kama watafanya mazoezi makali huko basi watakaporejea mji watakaocheza wanakaa hata siku nne hivi na kusubiri mechi ya pili ile inasaidia kuwa na oxygen ya kutosha kwa wachezaji na UNK nguvu ya ziada yaani suala la UNK UNK timu yangu hapa abidjan na kuipeleka sehemu ambako ina hali ya hewa ya namna hiyo naamini tanzania haiwezi kukosekana sehemu kama hiyo alisema liewing ambaye UNK asec mimosas kwa miaka mitano aliongeza UNK na zile hisia za kizamani kwamba watu wa kaskazini UNK umeona hata kwenye chan watu ambao mliona ni bora wameonekana si lolote na ndio soka ipo hivyo UNK kwa yule UNK na kuifanyia mambo yanayokwenda kwenye msitari wake al ahly imeonekana kuteleza katika mechi zake tano mfululizo ikiwa imetoka sare mfululizo na kufungwa na ismailia bao moja sifuri yanga imekuwa ikifanya maandalizi kwa ajili ya pambano hilo dhidi ya al ahly ambao ni mabingwa mara sita afrika na mabingwa mara thebathini na tatu wa ligi kuu misri baada ya kumalizika kwa fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani shirikisho la soka afrika UNK kikosi cha wachezaji bora kumi na nane ambao wanaunda kikosi cha fainali hizo mchezaji pekee aliyeteuliwa kutoka tanzania taifa stars ni mshambuliaji mussa hassan mgosi ambaye alipata nafasi ya kuanza mechi mbili za fainali hizo za chan dhidi ya ivory coast na zambia ikiwa ni mara ya kwanza kuanza mechi chini ya mbrazili marcio maximo msemaji wa caf suleiman abouba amesema kazi hiyo imefanywa na wataalamu kwa kuangalia uwezo binafsi wa mchezaji mchango wake kwenye timu idadi ya mechi alizocheza uhamasishaji wake na mbinu binafsi wataalamu hufanya kazi hii na kikosi hicho ndio UNK huku mchezaji wa congo mabi mputu akiwa amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa fainali hizo ambazo zitafanyika sudan mwaka ishirini moja moja pamoja na kumchagua mputu kuwa mchezaji bora mshambuliaji huyo mwenye uwezo mkubwa aliyewahi kufanya majaribio katika klabu ya arsenal ya england ndiye alikuwa kipenzi kikubwa cha mashabiki wa miji ya abidjan na bouake ilipofanyika fainali za chan kikosi kamili UNK ni moja mamadou ba mbili samuel UNK tatu UNK UNK nne gladys bokese dr congo tano harrison UNK sita jonas UNK saba kazembe mihayo nane UNK diallo tisa given singuluma kumi mabi mputu na kumi na moja bongeli lofo benchi abud UNK UNK mussa mgosi ibrahim ayew mamadou UNK traore na charles UNK mwenyekiti wa shirikisho la soka la ivory coast UNK anouma juzi alikabidhi bendera ya caf kwa uongozi wa shirikisho la sudan ikiwa ni ishara ya kuwapa rasmi majukumu ya kuandaa mashindano ya chan mwaka ishirini moja moja caf imeipa sudan nafasi ya kuandaa mashindano ya pili ya chan mwaka ishirini moja moja baada ya ivory coast kuwa mwenyeji wa kwanza na kushudia daktari congo wakitwaa ubingwa wa kwanza baada ya UNK bendera hiyo kwa shirikisho la sudan anouma ambaye alikuwa mwenyekiti wa maandalizi ya michuano hiyo iitwayo UNK alisema wanashukuru kumaliza kila kitu salama na kwa mafanikio makubwa kama ivory coast tutabaki na kumbukumbu kwamba timu yetu haikufanya vema lakini UNK hali hiyo kama changamoto lakini kwa maandalizi ya chan bondia wa ujerumani UNK UNK UNK masumbwi UNK UNK wa ufaransa wakati wa mchezo wa ubingwa wa ulaya ebu light heavyweight mchezo uliofanyika mjini UNK ujerumani picha na UNK images ni lazima UNK bao leo hiyo ni kauli ya mshambuliaji wa inter zlatan ibrahimovic wakati akizungumzia mchezo wa marudiano wa ligi ya mabingwa ulaya baina ya timu hiyo na manchester united baada ya kumaliza kwa suluhu ya sifuri sifuri uwanja wa san siro mjini milan wiki mbili zilizopita timu hizo zinarudiana leo huku kila kocha akitegemea UNK mwenzake kocha wa inter jose mourinho UNK rekodi nzuri dhidi ya united na pia kuwa naye ibrahimovic ambaye anadai kuwa ndiye mshambuliaji bora duniani ingawa kwa siri UNK wivu man united kutokana na mafanikio yake ili kujiandaa na mchezo huo alex ferguson UNK cristiano ronaldo na dimitar berbatov katika mchezo wa jumamosi wa robo fainali ya kombe la fa dhidi ya fulham ambao united ilishinda nne sifuri huku carlos tevez akitumia nafasi hiyo kupachika mabao mawili tevez amefunga mabao kumi na mbili kwa united msimu huu ingawa leo anaweza kuanzia benchi na kumwacha berbatov akishirikiana na wayne rooney na ronaldo kuitesa inter ni uamuzi mgumu ambao ninapaswa kuufanya UNK kuwaacha nje wachezaji nyota ferguson UNK kituo cha televisheni cha klabu yake mutv UNK kukamilika kwa safu ya ushambuliaji kocha huyo anakabiliwa na mtihani baada ya kuumia kwa mabeki wake rio ferdinand na john o UNK rio ndiye UNK shaka alisema ferguson ameumia kano la goti tunasubiri kupata ushauri wa madaktari nipo UNK la kufanya ni bahati mbaya kupoteza wachezaji muhimu muda kama huu naye mourinho amepata pigo baada ya mabeki wake tegemeo marco UNK na nicolas UNK kuumia katika mchezo wa ligi kuu ambao walishinda mbili sifuri dhidi ya UNK beki mwingine cristian UNK ameshindwa kupata nafuu faraja pekee ni kwa beki mwingine walter samuel ambaye amerejea uwanjani kocha huyo wa zamani wa porto ana mpango wa kuiongoza inter kurudia mafanikio ya mwaka ishirini sifuri nne UNK nje ya michuano hiyo man united akiwa na UNK ambao hatimaye walitwaa ubingwa wa ulaya porto iliitoa united united katika uwanja wa old trafford na tangu wakati ule UNK amekuwa mwiba mkali kwa ferguson na vijana wake akiwa chelsea baada ya kutoka porto sasa inter mourinho anataka kudumisha ushindi ambao UNK na kipigo katika mechi moja kati ya kumi na tatu dhidi ya ferguson lakini united haijafungwa katika mechi kumi na nane za nyumbani za ligi ya mabingwa ulaya na ina ndoto ya kutwaa mataji matano msimu jambo ambalo linaufanya mchezo wa leo kuwa mgumu kiungo UNK UNK ambaye alifunga penalti katika uwanja wa old trafford msimu wa mwaka jana akiwa portsmouth na kuilaza united moja sifuri katika kombe la fa UNK mshambuliaji wa taifa stars na simba mussa hassan mgosi amesema UNK na mafanikio aliyoyapata katika fainali za afrika za wachezaji wa ligi za ndani ambako ameteuliwa kuwa katika kikosi cha nyota kumi na nane badala yake mgosi alisema atahakikisha kuwa anafanya maajabu zaidi katika historia ya soka nchini mgosi ambaye ni moja ya wachezaji wanaounda timu ya taifa ambayo nayo ilishiriki fainali hizo aliiambia mwananchi katika mahojiano maalum kuwa kuchaguliwa kwake katika timu hiyo ni zawadi kwa wale wote ambao wamekuwa UNK kuhusu uchezaji mpira na ambao UNK mahali hapo alipo kusema kweli mpaka nimefikia hapa si juhudi zangu binafsi bali no pamoja na mchango wa watu mbalimbali ambao siwezi kuwataja wote kwani ni wengi mno ambao wamekuwa UNK pale nilipokuwa UNK njia na kuniambia nifanye hivi au vile ili kupata mafanikio ambayo leo UNK UNK wote alisema nimefurahi kuchaguliwa kwangu katika kikosi hicho cha wachezaji kumi na nane na nitahakikisha nafanya vizuri na lengo langu ni kuwa UNK tegemeo na siyo wa akiba kwani nafasi UNK nitahakikisha naitumia vizuri hata nikiitwa kwa mechi yoyote ya nyota wa afrika UNK kwa bidii juhudi na maarifa alisema mgosi naye katibu mkuu wa shirikisho la soka tanzania fredrick mwakalebela alisema kuwa kwa upande wao kama shirikisho la mchezo huo wanampongeza mchezaji huyo kwa kuonyesha njia ambayo kwa miaka mingi wamekuwa UNK alisema mpaka sasa inaonyesha kuwa tanzania UNK vipaji vingi lakini vilikuwa bado UNK mwanya wa kuonekana au kuonyeshwa kwani kuna nchi kama ivory coast ambayo licha ya kuwa na nyota UNK kote ulimwenguni haikutoa mchezaji hata mmoja UNK hicho mwakalebela alisema mgosi atakuwa amefungua njia hata kwa mawakala mbali mbali wa soka kuja nchini kwa ajili ya kuangalia wachezaji ambao wataweza kuwauza katika klabu za madaraja mbalimbali alisema mchezaji huyo ameonyesha njia kwa wachezaji wengine ili waweze kujituma ili nao waweze kufanya vizuri si tu hapo alipofikia mgosi bali kwenda mbali zaidi na kuifanya tanzania UNK kisoka duniani aliongeza kuwa mafanikio hayo UNK imani pia kocha wake marcio maximo ambaye UNK atampa kipaumbele zaidi tofauti na vile alivyokuwa UNK zaidi kama mchezaji wa akiba alisema tff itakuwa bega kwa bega na mchezaji huyo ili kuhakikisha kuwa wanamuunga mkono ili aweze kufanya vizuri pindi UNK katika kikosi hicho cha afrika kwa mechi za UNK mshambuliaji wa kimataifa wa kenya anayeichezea yanga boniface ambani amewataka wachezaji wenzake UNK na kiwango cha wapinzani wao al ahly katika mchezo wao jumapili na badala yake waelekeze nguvu zao katika kusaka ushindi ambani alirejea juzi nchini akitokea china alikokuwa akifanya majaribio ya kusakata timu ya kulipwa na kusema kuwa wachezaji wenzake wa yanga wanatakiwa kufahamu ugumu wa mchezo uliopo mbele yao na kufuta fikra zao kwamba hawataweza kuwafunga vigogo hao wa misri kwani ni timu kama zilivyo nyingine yanga ambayo imekuwa na historia mbaya kila inapocheza dhidi ya timu kutoka misri mwishoni mwa wiki itakuwa mgeni wa al ahly mjini cairo akizungumza baada ya kumalizika mchezo kati ya yanga na vancouver whitecaps ya canada ambani alisema wana kila sababu ya kuwafunga mabingwa hao wa afrika unajua kila kitu ni maandalizi mazuri na ukitaka ufanikiwe katika kila jambo ni UNK uwezo na maarifa tunafahamu kuwa timu ya al ahly ni nzuri na yenye rekodi ya kufanya vizuri katika mashindano mbalimbali lakini kwetu hiyo ni changamoto na tutahakikisha tunashinda ugenini na hapa nyumbani UNK kinara huyo wa upachikaji mabao wa ligi kuu tanzania aidha aliwataka wachezaji wenzake kuwa na ushirikiano mzuri hasa watakapokuwa ugenini kwani hiyo ni moja ya kuwafanya wapate matokeo mazuri na kutambua mbinu za wapinzani wao na watambue umuhimu wa mchezo huo kocha wake dusan kondic alisema timu yake kwa sasa imeiva kwa ajili ya mchezo huo na anaamini vijana wake watafanya vizuri kutokana na maandalizi mazuri baada ya juzi kucheza mchezo wa kirafiki uliomalizika juzi kwa ushindi wa mabao tatu sifuri dhidi ya UNK alisema wachezaji wote wako katika hali nzuri na wenye morali ya kufanya vizuri hivyo ni jukumu la watanzania kuwaombea UNK ili waweze kushinda katika mchezo huo ambao anaamini utakuwa na ushindani mkubwa yanga inatarajia kuondoka nchini kesho kuelekea cairo misri kwa ajili ya mchezo huo wa jumapili young africans UNK ishirini players who would fly out to cairo egypt as the team is scheduled to play al ahly in the african champions league first leg tie on UNK UNK to UNK team s chairman imani madega said they were UNK to win the encounter due to strength of their team and better UNK al ahly is an UNK team we are UNK by them we will go and play our game the chairman said UNK to the monday friendly match madega said whitecaps were not a good test for the team that will UNK UNK with the african UNK he said UNK we did not have a competitive trial match our players are determined to give their all to beat them we are the best and we are certain to UNK them we would like to UNK our mission of UNK a new record in africa madega UNK the team UNK today UNK kenya airways kq at tatu UNK and would UNK seven UNK on air before UNK in cairo iman madega UNK the players as UNK juma kaseja and obren UNK UNK shadrack nsajigwa fred mbuna amir maftah nadir canavaro haroub and wisdom UNK the UNK will UNK by george owino godfrey boniface nurdin bakari athuman idd and abdi kassim UNK jerson tegete mrisho ngassa bernard mwalala kigi makassy boniface ambani shamte ally mike baraza and vicent barnabas the players who will not UNK are abubakari mtiro castory mumbala gaudence mwaikimba and idd mbaga the technical UNK will be under their head coach dusan kondic and team manager keneth mkapa despite their bad record against the egyptian clubs young africans are UNK of the strength of their UNK squad on his part coach dusan kondic expressed his UNK saying he would continue his winning UNK a one week UNK basketball tournament is set to kick off on march ishirini na mbili in arusha the tournament is UNK to feature teams from UNK cities in east and central africa as preparations of the event are in progress dar es salaam team managed to UNK UNK from the sd africa limited president of the basketball dar es salaam simon msoffe said the firm has UNK shilingi kumi na moja million to support the preparations of the teams we are UNK happy for this UNK support i hope it will UNK our teams UNK msoffe said dar es salaam players were UNK from the premier league teams which have been competing UNK in the rba league UNK executive director james chae said they were pleased to be part of basketball development in the country we will UNK our support to UNK many local basketball players chae said msoffe pointed out the UNK for the teams UNK and UNK including allowances medical care UNK UNK transport and UNK UNK UNK at about shilingi ishirini na moja million dar es salaam is the reigning champions in the men UNK while kampala beat women teams to UNK winners in the last years event held in dar es salaam among the cities which would UNK include mwanza mbeya nairobi kampala kigali mogadishu mombasa jinja and hosts arusha the tourney will also feature new teams from harare mogadishu djibouti and UNK simba sc will UNK the north americas champions today in an international friendly match to be held at the ultra modern national UNK the visiting team played their first match against young africans and UNK to a tatu sifuri UNK the match would be a good test for simba who are in intensive preparations UNK the UNK of the UNK vodacom premier league simba under UNK UNK patrick phiri have a UNK hill to UNK in order to restore their status as they have been UNK in the league the msimbazi street club are third in the league UNK UNK the reigning champions young africans and the second UNK kagera sugar the visiting canadian UNK side go UNK the UNK UNK to get their first UNK whitecaps have to play UNK as young africans UNK UNK simba will be out to beat the their UNK s UNK after playing simba the canadian team will have a UNK with the national soccer team taifa stars UNK UNK taifa stars who were recently UNK from the chan are in camp training under coach marcio maximo final match of the UNK basketball association will take place on saturday at the national UNK stadium where vijana city bulls will be out to defend their title against jkt the defending champions qualified after beating savio UNK out of three UNK UNK the match is deemed UNK and more competitive as UNK teams managed to UNK good games in the UNK UNK vijana UNK jacob malenga said nothing would stop them from defending their title because they know their opponents UNK we played them last year we know their UNK but we are the UNK to win it malenga said he said they were pleased by their UNK in this tournament and that they would defend their title well come saturday we are under intensive training all players are UNK and in good shape malenga said jkt on the other UNK qualified to the final after beating tanzania prisons in their two UNK UNK tubert matiku jkt coach said the match would be UNK but they were aiming to UNK and win the UNK we will never UNK last years UNK this time UNK we are UNK to restore our status he said the league featured kumi na moja and five teams for men and women respectively the men teams UNK jkt savio oilers abc vijana tz prisons udsm pt stars pazi UNK and UNK life while women teams were jeshi stars jkt stars don bosco lady lions and UNK UNK nyota wa UNK ya rege shaggy wiki hii alionekana jijini new york akiwa sambamba na msichana mwenye umri mdogo ambaye anadaiwa kuwa ni mpenzi wake mwanamuziki huyo mwenye umri wa miaka arobaini alionekana katika hoteli moja jijini new york UNK raha na msichana huyo watu UNK walisema kwamba wapenzi hao walionekana UNK mara kwa mara na UNK wakati wote lakini shaggy hakuwa mtanashati alikuwa amevaa nguo UNK na wakati huku sura yake ikionekana kuanza UNK kwa kasi alisema shuhuda mmoja imefahamika kwamba mwanamke UNK ugomvi kati ya chris brown na rihanna ni tina UNK habari kutoka los UNK zinasema kwamba mwanamke huyo mwenye miaka thebathini na tisa aliwahi kuwa mpenzi wa brown na UNK mwanamuziki huyo ujumbe mfupi wa simu wenye kurasa tatu imefahamika kuwa brown alianza uhusiano na mwanadada huyo alipokuwa na umri wa miaka kumi na sita rihanna alikasirishwa na kitendo cha mwanamke huyo kumtumia ujumbe mpenzi wake hivyo UNK kibao brown na ndipo varangati UNK alisema mtu mmoja wa karibu na UNK awali kulikuwa na habari kuwa brown na tina walikuwa na mapenzi motomoto licha ya kwamba wote walikanusha madai hayo imefahamika kwamba tina ambaye alikuwa mkurugenzi wa kampuni ya kurekodi ya a r alimkaribisha brown nyumbani kwake huko new UNK wakati mvulana huyo alipokuwa akifanya mazoezi ya kujiimarisha kimuziki nyota wa UNK of new york city kelly UNK amedaiwa kumpiga mpenzi wake wikiendi iliyopita imefahamika kwamba mwanamitindo huyo wa zamani mwenye urefu wa futi sita na miaka arobaini aliingia katika ugomvi mkubwa na mpenzi wake aitwaye nick stefanov mwenye umri wa miaka thebathini rafiki mmoja wa nick alisema kuwa siku ya tukio mwanamke huyo alimpiga mpenzi wake kwa kutumia kitu kigumu na kumsababishia maumivu makali habari zaidi zinasema kwamba tukio hilo UNK katika kituo cha polisi cha UNK na mwanamke huyo alijisalimisha mwenyewe baada ya kuandika maelezo na kesi yake itasikilizwa machi thebathini na moja UNK wiki chache zilizopita stefanov alimwambia rafiki yake tuliingia katika malumbano ambayo yalipamba moto kadri muda ulivyokwenda alinipiga shavuni kwa kitu kigumu damu UNK nilikwenda polisi nikiwa UNK damu mke wa david beckham aitwaye victoria beckham amekuwa ni mmoja kati ya wanawake wanaovaa nguo zinazokwenda na wakati pia huvutia mno lakini dada huyo wiki hii alionekana katika mitaa ya los angeles akiwa amevaa nguo ambayo UNK kabisa baadhi ya watu walisema kwamba huenda dada huyo UNK kwenye kioo na kuamini kuwa nguo hiyo ni moja kati ya mavazi yake makali kocha wa liverpool rafa benitez amemshukia alex ferguson kwa mara nyingine na kumwambia kwamba kikosi chake ndio UNK wa soka ulaya kocha huyo alisema manchester united wanaweza kupata ubingwa kwa juhudi na upendeleo wa marefa lakini hawawezi kugusa rekodi ya liverpool ya miaka mitano iliyopita vikosi hivyo UNK katika uwanja wa old traford leo jumamosi saa tisa arobaini na tano alasiri na liverpool itahitaji kushinda ili kupata uhai zaidi katika ligi kuu england benitez aliingia katika mzozo na ferguson miezi miwili iliyopita na kusisitiza kwamba kocha huyo wa manchester united hupendelewa na UNK benitez pia alimtolea maneno makali ferguson kwa mara nyingine baada ya kikosi chake kuibuka na ushindi wa mabao nne sifuri dhidi ya real madrid ikiwa ni kipigo kibaya zaidi kwa timu hiyo ya hispania kwenye ligi ya mabingwa ulaya rafa alisema liverpool ni timu kali ulaya katika kipindi cha miaka mitano watu wanasahau kwamba tulifanya maajabu kwa kuingia katika fainali mara mbili pia nusu fainali katika kipindi cha miaka minne iliyopita nimepewa jukumu kubwa ambalo UNK kwa kuwa kupambana na chelsea na manchester ni kazi ngumu klabu hizo zina fedha nyingi za kusajili wachezaji watano kwa pauni milioni ishirini kama wachezaji hao UNK mafanikio bado klabu zina uwezo wa kutafuta wengine wawili au watatu nina uwezo wa kusajili wachezaji wawili tu kwa kiasi hicho cha fedha na iwapo mmoja kati ya wachezaji hao akionekana kuzorota kila mtu UNK macho mwaka jana UNK jumla ya mabao mia moja na kumi na tisa katika michuano yote ikiwa ni idadi kubwa kuliko klabu yoyote ya england akizungumzia mechi ya ligi ya mabingwa wiki hii kocha huyo alisema nilisikia juande ramos akisema kwamba bao letu la kwanza lilikuwa la kubahatisha hiyo si kweli kwa sababu dunia nzima imeona kwamba UNK uwezo kama walisema kuwa bao la kwanza lilikuwa la kubahatisha vipi kuhusu hayo mengine manne alihoji ishu ni vipi wanangu zee la kutibua lipo kama kawa bongo likiendelea na UNK za kuhakikisha mambo yanakaa freshi mfukoni ingawa UNK kibao UNK kona UNK za kubana bana kibao tu zee mida hii liko zake shamba mbali kichizi na UNK likifanya UNK fulani hivi ambayo wani dei UNK mavituzi yake UNK mtu mzima siunajua tena shavu nje nje dah lakini UNK kitu pole kwa machizi wangu wa UNK UNK na UNK UNK kwa UNK ndio boli hilo mambo hadharani halina cha mtu mzima wala dogo ebu tucheki ishu zingine za championzi ligi ya kibongo kwanza UNK afrika imesaliwa na timu mbili tu wanangu kcc ya uganda na yanga ya bongo kenya burundi na rwanda zote hoi UNK kcc inacheza na supersport ya afrika kusini jijini kampala huku yanga ikiwa ugenini kuikabili al ahly ya misri kesho ambao ni mabingwa watetezi wa michuano hiyo mikubwa afrika kwa ngazi ya klabu yanga ipo jijini cairo misri ikijiandaa na mchezo huo ambao afrika nzima inasubiri kusikia atakachofanya bingwa mtetezi hasa kutokana na mikosi iliyokuwa UNK siku za karibuni katika ligi kuu ya misri katika mchezo utakaochezwa kwenye uwanja wa kimataifa wa cairo UNK mashabiki sabini arobaini sifuri yanga ina uwezo na kila sababu ya kupata matokeo mazuri hasa kutokana na mazingira ya mchezo yalivyo na hali halisi ya misri kwa sasa wachezaji wa kikosi hicho cha jangwani UNK kisaikolojia lakini wanapambana na timu ambayo licha ya uzoefu na ubora wa aina ya wachezaji ilionao wana udhaifu unaoweza UNK mara matano ambayo ni faida kwa yanga endapo wakiamua kutuliza akili na kuionyesha afrika kwamba wanaweza kwanza ahly imecheza mechi sita za hivi karibuni za ligi kuu misri ya kwao ikiwa imeshinda mbili kufungwa moja dhidi ya ismailia na kutoa sare nyingine zilizosalia kitendo ambacho kimewakera mashabiki wake mpaka kufikia hatua kwamba hawataki hata kumuona kipa wao namba moja amir hamed kwa madai kwamba UNK muelekeo wa timu kutokana na uzembe wake langoni hususani kipindi cha pili pili matokeo hayo pamoja na presha ya mashabiki imefanya baadhi ya wachezaji kupaniki hivyo kufanya makosa mengi ya utovu wa nidhamu ambayo yamesababisha mohamed barakat kupewa kadi nyekundu katika mchezo wa ligi kuu wiki hii sambamba na faini ya pauni hamsini sifuri sifuri hiyo ni faida kwa yanga endapo wakitulia na kuongeza umakini tatu umri umeanza kuwatupa mkono baadhi ya wachezaji wakongwe wa ahly ambao hawawezi kuendelea na pilika walizokuwa UNK kwa miaka miwili iliyopita hivyo endapo wachezaji kama ben mwalala shadrack nsajigwa mrisho ngassa kigi makassi na athuman idd wataongeza kasi uwezekano wa kuwabana nyumbani waarabu hao upo licha ya kwamba kocha wao manuel jose ameomba sapoti kubwa ya mashabiki na UNK kusahau yaliyopita nne wachezaji kadhaa tegemeo kama mohammed abou treika wanarejea uwanjani kesho jumapili baada ya majeruhi ya muda mrefu kwa mara ya kwanza na vigumu kucheza katika viwango vyao UNK hivyo ni faida nyingine kwa ambani na ngassa kuendeleza rekodi yao ya ufungaji kwenye ligi hiyo tano kocha jose amekuwa UNK kutokana na mabadiliko yake anayofanya kipindi cha pili ambayo kwa asilimia kubwa yanakuwa ni ya kujilinda zaidi na kukaribisha hatari ambazo safu ya ulinzi imekuwa ikishindwa kuhimili na kulazimisha sare huku kipa amir UNK na endapo yanga UNK safu ya ulinzi huenda wakapata bao la mapema au penalti ambayo lolote linaweza kutokea na UNK matajiri hao kama simba ilivyofanya kwa zamalek mwaka ishirini sifuri tatu ikiwa chini ya kipa juma kaseja ambaye yumo katika kikosi cha yanga yanga kwa kutumia wachezaji mahiri kama kipa juma kaseja ambaye ni mara ya tatu anacheza mechi kwenye uwanja huo wa cairo inaweza kushangaza afrika hasa kutokana na kwamba wachezaji wake wengi wamekuwa pamoja muda mrefu na wanaunda sehemu kubwa ya taifa stars ambayo siku si nyingi ilikuwa ikishiriki fainali za chan nchini ivory coast ahly ina tabia ya kucheza soka ya kasi wana maumbo makubwa wana stamina ambayo kwa staili ya nne nne mbili wanayocheza yanga inaweza kuwa ngumu kuwakabili lakini endapo UNK mfumo na kutumia nne tatu tatu inaweza kuwa salama zaidi kwa upande wa ushambuliaji na ulinzi lakini yanga itahitaji umakini mkubwa hususani kwenye safu ya ushambuliaji ambako katika mechi kadhaa UNK ikikosa mabao mengi ya wazi ambayo hayahitaji kufundishwa zaidi ya juhudi na akili binafsi ya mchezaji husika hakuna haja ya kuwa na papara wala kufunga mabao ya UNK kazi ya mshambuliaji ni kufunga mabao hasa kwa wakati muhimu kama huu ambao timu iko kwenye mashindano makubwa ambayo faida yake ni kubwa zaidi kwa mchezaji binafsi kuliko klabu kocha kondic dusan hapaswi kutoa visingizio visivyo na msingi kwa kusingizia wachezaji wa taifa stars ni majeruhi wakati tunawaona uwanjani wakifanya mazoezi bila wasiwasi saa zilizobaki ni kutuliza akili za wachezaji na kuwajenga vizuri kisaikolojia tayari kwa mchezo huo ambao kama UNK kwa waarabu itakuwa ni ajabu endapo UNK UNK na fitna za ndani na nje ya uwanja kukaba kwa umakini pamoja na UNK nafasi ndio kitu ambacho yanga wanapaswa kufanya endapo wanataka usalama mbele ya al ahly ambayo inasaka kurejesha heshima kwa mashabiki wake ambao wamepoteza imani nayo na endapo yanga itabahatika kupata bao la mapema itakuwa faida kubwa kutokana na makosa ya kizembe ya timu hiyo ambayo wachezaji wake wanalipwa kwa dola za kimarekani na paundi za uingereza salaam wasomaji wangu wapendwa wa safu hii ya kila wiki UNK nguvu sana UNK sms zenu na simu kwa ajili ya kuniunga mkono kwa hoja zangu na wengine kunipinga ingawa UNK sana wale wanaokosa hoja na kutumia matusi ili waonekane wanazungumza kitu chenye mantiki hata uwe hupendi vipi kitu kama huna hoja utaonekana una chuki binafsi hivyo ni vizuri UNK kujenga hoja tunapotetea au kupinga kitu fulani hivyo ndivyo dunia ya leo UNK mambo yanaenda kisayansi na si kwa kusukuma UNK tu tukumbuke kuwa kuendesha mambo kiholela ndiko kulitufanya UNK hatua mbele na badala yake UNK UNK bila ya kujua UNK kwa sababu gani wengi wakiona unajenga hoja wanadhani UNK kocha marcio maximo hapana kama nilivyoeleza kwa wiki mbili mfululizo kumkosoa kocha yeyote ni lazima uwe na hoja za msingi na za kiufundi huwezi kumkosoa kocha eti kwa sababu tu UNK mchezaji unayempenda wewe hao wengine UNK nani UNK ni wangapi ambao UNK na wako fiti labda leo niachane kidogo na hiyo stars na kuangalia mambo mengine ingawa kwa kiasi kikubwa yanahusiana na taifa letu wengi tumekuwa UNK macho timu ya taifa na kukosoa kwa nguvu zetu zote lakini UNK kabisa kuwa hayo UNK yalitakiwa UNK kwanza sehemu ambako mchezaji anatokea yaani kwenye klabu yake mchezaji hawezi kuitwa timu ya taifa kama hajaonyesha kiwango kwenye klabu yake au kama hajaonyesha nidhamu kwenye klabu yake hizo ni sehemu tu ya sifa ambazo makocha wengi huzitumia kuteua timu ya taifa lakini pia kuna yale UNK ambayo si ya kawaida ambayo kocha UNK kutokana na imani yake kwa mfano kuteua mchezaji ambaye pengine wengi hawamkubali lakini kutokana na utaalamu ambao kocha anao na mbinu anazotaka huamua kumuita mchezaji ambaye hata UNK kwa wengi lakini umuhimu wake unaweza kuonekana baadaye lakini nikirudi kwenye suala la klabu nimesoma sana maoni ya wengi kuhusu utovu wa nidhamu uliosababisha baadhi ya wachezaji waachwe kwenye kikosi kilichocheza fainali za ubingwa wa mataifa ya afrika wengi wanasema kocha alistahili UNK ili kuweka maslahi ya taifa mbele lakini hao wote wamesahau kuwa hao wachezaji UNK ndio ambao utovu wa nidhamu umesababisha pengine wakose sehemu kubwa ya msimu kwenye klabu zao kutokana na utovu wa nidhamu haruna moshi aliitwa stars akiwa ametoka kutumikia adhabu ya kufungiwa miezi sita kwa utovu wa nidhamu alirejea klabuni kwake na haikuchukua muda UNK tena adhabu ya miezi mitatu kutokana na utovu wa nidhamu katika kipindi hicho UNK adhabu alikumbana na misukosuko kwenye klabu yake akituhumiwa kucheza kwa kiwango cha chini na kuwa na mipango ya kwenda yanga UNK hata kwamba safari yake ya arabuni ilipangwa na yanga kwa wale tulio karibu na soka lenyewe maximo alikaa naye kwa muda mrefu akijaribu kumueleza umuhimu wa nidhamu nas kwamba anahitaji wachezaji wa aina gani lakini ndiye huyo ambaye baada ya kuitwa akaamua UNK kambini na kibaya zaidi badala ya kwenda mazoezini akiwa na vifaa alienda akiwa hana vifaa na akiwa kwenye hali ambayo ilimshangaza kila mtu maximo UNK lakini baada ya kuonyesha kiwango kizuri na kukaa na watu maximo UNK kwenye kikosi chake hao UNK maximo UNK wakati akifungiwa kwenye klabu yake na wala UNK mazoezini stars akiwa kwenye hali ya ajabu UNK kule zambia UNK kwenye baa mshambuliaji UNK ambaye aliamua kwenda kunywa pombe baa wakati wenzake wakiwa kwenye mazoezi ya timu ya taifa sisi kwa ujinga wetu UNK yanga UNK athuman iddi kama ambavyo simba UNK wanaelewa vile vituko alivyofanya mwanza baada ya kufungiwa kwa kosa la kunyoosha kidole UNK matusi alikuwa akienda uwanjani katika hali ya ajabu bahati nzuri sana sisi hapa ofisini tuna picha zake yanga UNK mkono kwa vituko vyote alivyofanya kwa sababu tu alisajiliwa kutoka simba walisahau yote kutokana na kuwa mchezaji UNK tunataka na maximo aige tabia hiyo ya wana yanga ya kuvumilia utovu wa nidhamu wakati yanga UNK ivo mapunda na shadrack nsajigwa kwa makosa ambayo hadi leo UNK rasmi yanga waliunga mkono kwa nguvu zote kwa sababu tu walikuwa na jazba ya kufungwa na simba UNK nsajigwa na ivo walifanya kosa gani inasikika tu kwamba walipewa hongo ingawa uongozi unasema ni utovu wa nidhamu kama walipewa hongo ni nani UNK UNK yanga UNK mtu UNK njama UNK kiasi cha kuona shida kuishi mjini leo hii wameshindwa kumjua aliyewapa hongo na UNK leo UNK maximo kwa nini alimuacha chuji kwenye kikosi chake kabla ya mechi ya yanga simba iliwafungia wachezaji wake takriban sita na mwina kaduguda UNK akisema kuwa hata wafanye nini hawatarudi kwenye timu hawakuwa na kosa walikuwa wakidai haki zao watu UNK iweje leo wahoji sababu za kutowatumia chuji na haruna nidhamu ni lazima UNK UNK utovu wa nidhamu kwenye timu ya taifa ni matokeo tu ya uozo uliojaa kwenye klabu zetu kama ilivyo kote ulimwenguni timu ya taifa ndio kioo cha soka lilivyo ndani ya nchi yaani kwenye klabu iweje uozo ulio kwenye timu ya taifa UNK maximo namshukuru mungu nimerejea salama UNK na leo jumamosi naungana tena na wasomaji wa mwanaspoti nikiwa hapa nyumbani naamini wengi mtakuwa salama na wale wenye matatizo basi dua kwa mwenyezi mungu mwingi wa rehma ni muhimu timu ya taifa chini ya kocha marcio maximo leo jumamosi itakuwa na mechi dhidi ya vancouver white cap ya canada ni mechi ya kujipima nguvu lakini si vibaya kuitakia kila la kheri kwa kuwa mbrazili huyo UNK vijana wapya basi huenda tukapata sura mpya tunawakaribisha na pia kuwatakia kila la kheri katika kulitumikia taifa letu tunajua kazi inavyokuwa ngumu hasa mwanzoni lakini malengo ni muhimu na kikubwa ni kukumbuka siku mliyopata nafasi ya kuingia kwenye timu hiyo ili siku UNK umaarufu UNK majukumu yenu kitu cha pili ni dua na pongezi kwa mabingwa wa tanzania yanga ambao kesho jumapili wanashuka uwanjani kucheza mechi ya ligi ya mabingwa afrika dhidi ya mabingwa watetezi al ahly jijini cairo misri kipute hicho mtu wangu si mchezo ila mimi ninaamini kabisa kwamba hakuna ambacho UNK simba waliweza lakini pia uwezekano upo kwa kuwa soka ya afrika sasa si kaskazini au magharibi kama ilivyokuwa miaka ya nyuma UNK chan namna vigogo hali ilivyokuwa ngumu na hata bingwa daktari congo UNK kwenye ukanda huo sasa kwa nini yanga washindwe basi komaeni kiume hoja yangu ni kwa mshambuliaji nyota wa simba mussa hassan mgosi ambaye pia yumo katika kikosi cha taifa stars kwanza kabisa nampongeza kwa kuwa najua kitu kizuri ni kutokuwa UNK kwa kuwa UNK kuripoti mechi ya kwanza hadi ya mwisho katika fainali za chan nchini ivory coast naweza kusema mgosi ni kati ya wachezaji UNK tanzania heshima kwa afrika na kama ataendelea hivyo basi hakuna shaka kusema ni mfano wa kuigwa tuliona siku UNK nchini akitokea uganda ambako stars ilishiriki chalenji moja kwa moja kutoka uwanja wa ndege akajiunga na wenzake uwanja wa taifa na kuingia kipindi cha pili ambako aliisawazishia simba bao katika mechi ya kirafiki dhidi ya zesco ya zambia pia baada ya kurejea kutoka chan UNK kwenda mazoezini na hata ikafikia hatua kocha mkuu wa simba patrick phiri kumsifia kwa kitendo hicho cha kujituma na kuonyesha mapenzi makubwa hapo ni ya hapa nyumbani lakini angalia mgosi amepata nafasi za kuanza katika kikosi cha kwanza cha marcio maximo mara mbili tu tayari wiki iliyopita shirikisho la soka afrika wakati UNK kikosi cha wachezaji walioshiriki chan ni mgosi pekee kutoka tanzania ndiye amepata nafasi ya kuchaguliwa mechi mbili zilikuwa tosha kuonyesha mgosi ni bora caf ingawa ni UNK UNK kwamba mgosi ana uwezo wa kuungana na nyota wengine walioonekana kuwa na viwango vya juu kutoka katika timu nane zilizoshiriki chan ninaamini hata maximo hatakuwa UNK kumteua kwenye kikosi chake lakini pia ataona hakukosea kuamua kumuanzisha katika mechi mbili za chan dhidi ya ivory coast ambayo stars ilishinda moja sifuri na ile ya zambia iliyomalizika kwa sare ya bao moja moja hata kama ni muziki basi itakuwa ni singo ambayo UNK kocha huyo na watanzania wapenda maendeleo ya soka utulivu na nidhamu yake lakini ile hali ya kujituma anapokuwa anachezea simba au taifa stars UNK hadithi za mtaani ni kwamba mshambuliaji huyo anakosa sana mabao lakini ukiangalia katika nafasi kumi UNK inawezekana kabisa nafasi nane ilikuwa ni juhudi yake binafsi na si pasi ya mwisho kutoka kwa mchezaji mwenzake labda mgosi anapaswa kujua kwamba mwendo UNK nao ni mzuri ambao inawezekana kwa mchezaji yoyote ungeweza kuwa UNK kumbukumbu UNK zinaonyesha alienda afrika kusini na baadaye oman tukaelezwa kote UNK majaribio kushindwa majaribio si kitendo cha aibu kwa kuwa kila timu inahitaji mchezaji kutokana na matakwa yake lakini kama sasa angekuwa ni mchezaji mwenye haraka basi huenda angekuwa amekata tamaa na kuamua kuendelea na maisha mengine lakini kwa UNK huyo anaonyesha amepania sana kupata maendeleo kisoka anaichukulia kama kazi kweli na si sehemu ya kupata UNK au nafuu ya maisha nafikiri inawezekana kwa wachezaji wetu wengi kufanya hivyo watu wa afrika magharibi na kaskazini si kwamba wanatuzidi uwezo kisoka lakini mipango hasa katika suala la vijana lakini ile hali ya kujituma kwa wenzetu ipo juu kwa kuwa wana malengo kibao na soka ni biashara kubwa au kazi ambayo mwajiriwa wake anahitaji UNK UNK mtu ambaye anajituma na mwenye uwezo mkubwa uwanjani kati ya nchi zenye sifa nzuri ya UNK ukabila ni tanzania hilo ni suala la kujivunia ingawa inaonekana nchi nyingi sana za afrika zimeshindwa kuweka msimamo wa kutosha katika hilo rwanda wanaweza kupata pongezi pia baada ya mauaji ya halaiki ya mwaka ishirini sifuri nne UNK mkazo suala la makabila na kizuri zaidi wenyewe wana makabila matatu tu watutsi wahutu na UNK kinachotakiwa sasa kila mtu ni kuzungumzia UNK na si UNK UNK wala UNK sheria kali UNK na unaweza kwenda jela UNK hilo ivory coast ni nchi iliyo magharibi mwa bara la afrika moja ya umaarufu wa taifa hilo ni vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini pia linajulikana sana kisoka wachezaji wake wengi kama akina didier drogba didier zokora aruna dindane yapi yapo salomon kalou UNK kalou na wengineo vita vya wenyewe vya mwanzoni mwa miaka ya ishirini sifuri sifuri kati ya serikali na waasi ambao UNK msituni na kuufanya mji wa bouake ulio kilomita arobaini sifuri kutoka jiji la abidjan kuwa makao makuu yao sasa wanasema vita imeisha lakini wakazi wa nchi hiyo wanasema hiyo ni UNK toto vita UNK na kuna baadhi ya sehemu bado kuna watu UNK hivyo hakuna uhakika wa kutosha kama kweli vita imeisha ingawa serikali ili kupoza mambo kutokana na washauri na jirani wema UNK kuwepo mgawanyo wa madaraka rais laurent gbagbo kwa shingo upande akaamua kumpa uwaziri mkuu soro jioni ambaye ni kiongozi wa waasi wakati inaonekana kama vile vita UNK waasi hao nao UNK kuna wenzao walikuwa wanapinga kuungana na serikali hivyo nao wameingia msituni ndio maana hadi sasa hakuna asilimia mia ya usalama nchini humo mfano mzuri utaona wakati wa fainali za chan kundi b lenye timu za dr congo ghana libya na zimbabwe lilikuwa bouake lakini kila siku timu hizo UNK kusafiri kilomita themanini na mbili kwenda bouake wakitokea yamoussokro ambako ndio walikuwa wanalala na si katika mji wa bouake ambao serikali ilikuwa haina uhakika na usalama wake pamoja na hayo vita na ukabila linaonekana ni tatizo kwa kiasi fulani kutokana na watu kupendeleana kupitia makabila yao katika mambo mbalimbali lakini wengi wanakiri kwamba soka ndio kimekuwa UNK kikubwa cha wao kusahau mambo mengi hasa inapokuwa inacheza timu yao ya taifa the elephant basi kila kitu UNK au inapotokea mchezaji fulani amefanya vizuri kwenye klabu anayochezea basi UNK kwa pamoja kama mtu kutoka ivory coast makabila yako zaidi ya sitini lakini kuna makabila kadhaa maarufu nchini humo ambayo UNK kama makabila makuu ya kanda na ndani yake kunakuwa na makabila kadhaa hali ya watu kadhaa maarufu kutoka katika makabila mbalimbali pia imechangia kupunguza ile nguvu ya kabila moja UNK kabila jingine mfano ni kabila kubwa na maarufu zaidi linajulikana kama jula na kuna watu kadhaa ambao wanatokea kwenye kabila hilo upande wa siasa kuna watu kama al asan UNK ambaye ni kiongozi wa upinzani akitokea chama chake cha UNK na anaonekana kuwa tishio kwa rais gbagbo huyu si kiongozi wa waasi yeye ni kiongozi wa chama cha siasa na imeelezwa rais huyo aliye madarakani amekuwa UNK uchaguzi mbele kila wakati kutokana na kumhofia UNK ndani ya kabila la jula kwa kuwa lenyewe ndio kubwa la kanda kuna makabila kadhaa ndani yake kama UNK UNK UNK UNK na mengine na ndani yake UNK watu wengi tu akiwamo mkuu wa waasi soro UNK ambaye ndiye waziri mkuu wa sasa kwa upande wa wachezaji wako kadhaa kama UNK keita kolo toure UNK UNK UNK UNK tene UNK yaya toure na wengine wengi tu wanaocheza nje ya nchi hiyo na wengine hapo nyumbani kabila kubwa la pili ni UNK au maarufu zaidi kama baoule ambalo anatokea rais aliyepita wa ivory coast kabla ya gbagbo huyu ni UNK kona UNK anayeongoza chama cha UNK mwanasiasa mwingine maarufu anayetokea kwenye kabila hilo ambalo zaidi UNK kaskazini mwa ivory coast ni kona UNK aliyekuwa waziri mkuu wa kwanza baada ya gbagbo kuchukua madaraka mwanamuziki maarufu anayetokea kwenye kabila hilo ni saydou toure maarufu kama alpha UNK lakini pia kuna wachezaji kadhaa wa soka kama yapi yapo UNK UNK UNK UNK UNK UNK bless yao kona didier na wengine halafu kuna kabila UNK namba tatu hili ni bete na linazungukwa na makabila kadhaa kama la rais laurent gbagbo wa nchi hiyo makabila UNK kabila la bete ni kama UNK UNK UNK dida UNK na mengine mengi chama cha UNK mwanasiasa mwingine maarufu wa nchi hiyo ambaye anafanya kazi na umoja wa mataifa UNK UNK pia anatokea katika kabila la UNK kwa upande wa wachezaji wanaotokea katika kabila hilo na makabila mengine madogo madogo ndani yake ni mshambuliaji nyota wa chelsea ya england didier drogba kiungo wa spurs didier zokora UNK zorro kalou boneventura salomon kalou dje serge na wengine wengi utaona kwamba suala la makabila awali lilikuwa UNK kwa nafasi kubwa sana lakini kitendo cha kuwa pamoja katika mambo kadhaa na hasa soka kidogo kinapunguza kasi hiyo chuki imekuwa ikiondoka UNK na mara kadhaa tofauti za kivita zimekuwa UNK kisiasa zaidi badala ya suala la ukabila kwa kuwa mara nyingi watu wamekuwa wakiungana sana katika soka mashabiki kutoka kabila la jula au baoule wamekuwa wakimshangilia drogba kwa nguvu zote na kumfanya kama mfano wa kuigwa kitu ambacho UNK hapo awali ilikuwa ni nadra sana kufanyika kutokana na ukabila UNK wakazi wengi wa miji ya abidjan na yamoussokro wanakiri kwamba soka imekuwa ni nguzo kubwa ya kusaidia kurejea kwa upendo miongoni mwa wananchi wa ivory coast mhudumu wa hoteli ya UNK UNK aliyejitambulisha kwa jina moja la sebastian katika mji wa yamoussokro anasema wengine wanaweza kuficha lakini mimi nakwambia hata sasa vita bado haijaisha hapa ninajua kuna baadhi ya sehemu wanaendelea UNK vigumu kwa watu wa abidjan kujua karibu kila kitu tofauti na sisi ila nakuhakikishia soka ni muhimu na imefanya kazi kubwa sana ya UNK sisi sasa bila ya hivyo ingekuwa taabu sana lakini asan mohammed ambaye ana asili pia ya senegal mkazi wa abidjan anasema wengi wanajua kwamba hali haijatulia kwa asilimia mia moja haihitaji kuwa nje ya abidjan kujua hilo hali halisi UNK lakini soka imekuwa ni nguzo kubwa na utaona hata kile kitendo cha watu wa makabila tofauti kuwa mashabiki wa klabu moja UNK sana lakini pia nguzo zaidi katika soka imekuwa ni timu yetu ya taifa na wale wachezaji wanaocheza ulaya soka imekuwa na mchango mkubwa wa watu wa nchi hiyo kusahau makovu yao wakati wa vita pia wamekuwa wakiitumia kuepuka mambo ya ukabila ambayo serikali ya rais gbagbo anaamini UNK ukabila UNK na kuchukua nafasi kubwa itakuwa ni sawa na UNK petroli kwenye moto bondia rashid matumla yupo uingereza akijiandaa na pambano dhidi ya bondia paul smith UNK mwezi huu katika jiji la manchester city rais wa shirikisho la ngumi za kulipwa tanzania emmanuel mlundwa amesema UNK hilo litakuwa la raundi kumi na mbili na UNK na shirikisho la ngumu duniani nimeongea naye kabla ya kuondoka na ameahidi kufanya vizuri na kumpiga mpinzani wake UNK kwa mungu ili ashinde timu ya taifa ya kuogelea itakayoshiriki michuano ya duniani itakayofanyika italia juni itatajwa machi ishirini na moja katibu wa chama cha kuogelea tanzania noel kihunsi amesema mara baada ya timu hiyo kutangazwa mazoezi yataanza mara moja mwezi ujao tunasaka shilingi milioni kumi sifuri kwa ajili ya maandalizi ya timu kwani bila fedha hatuwezi kushiriki michuano hiyo hivyo watu UNK chama cha mpira wa kikapu mkoa wa dar es salaam kinasaka shilingi milioni kumi kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya majiji itakayoanza machi ishirini na mbili hadi ishirini na tisa jijini arusha awali bd ilikuwa ikihitaji shilingi milioni ishirini na moja lakini kampuni ya firm s imetoa shilingi milioni kumi na moja kwa ajili ya kusaidia michuano hiyo rais wa bd simon UNK ameyataka makampuni kujitokeza kudhamini michuano hiyo ili iweze kufanyika kwa mafanikio katibu mkuu wa chama cha netiboli tanzania anna kibira amesema mwisho wa mikoa kuthibitisha ushiriki wao kwenye michuano ya kombe la taifa ni jumatatu ya machi kumi na sita mashindano ya taifa ya netiboli yatafanyika aprili kumi na tatu hadi kumi na nane kibaha pwani huku mikoa mitano tu ikiwa imethibitisha mwisho wa kuthibitisha ilikuwa machi kumi na mbili lakini tumesogeza hadi machi kumi na sita lakini kama mikoa itakuwa haijathibitisha hadi tarehe hiyo itakuwa imejitoa yenyewe mikoa mitano imethibitisha kushiriki michuano ya muungano ya karate itakayofanyika aprili kumi na tisa kwenye uwanja wa ndani wa taifa jijini dar es salaam zimethibitisha ushiriki wao mashindano hayo yatasaidia kukuza viwango vya wachezaji wetu na kufundishana mbinu mbalimbali za mchezo huu pamoja na wenzetu wa zanzibar beki wa vancouver white caps ya canada mwenye uzito unaokadiriwa kuzidi kilo kumi sifuri wesley charles amesema asilimia sabini ya wachezaji wa simba na yanga wanaweza kucheza soka ulaya lakini hawana mtu wa UNK mchezaji huyo ambaye umbo lake limekuwa tishio kwa baadhi ya wachezaji na kivutio kwa mashabiki yupo nchini na timu yake ambayo inafanya ziara ya mechi za kirafiki na leo jumamosi itacheza na taifa stars kwenye uwanja taifa jijini dar es salaam ukiangalia simba na yanga zina wachezaji wazuri sana ambao wanaweza kucheza popote ulaya kwa vile wana vipaji binafsi uwanjani hawa si wachezaji wanaocheza mpira wa kufundishwa kama ilivyo ulaya mchezaji mwenye kipaji ni bora zaidi na anaweza kucheza sehemu yeyote atakuwa anahitaji kuongezewa vitu vidogo sana ambavyo ni vya kawaida kwenye soka kama nguvu na stamina alisema rasta huyo anayezungumza kingereza cha kimarekani hawa wachezaji wanahitaji mtu wa kuwapeleka nje wanaweza kabisa kucheza tatizo UNK lipo hapa ni kwamba hakuna mawasiliano mazuri na mawakala wa kigeni ukiangalia simba ina wachezaji wenye kasi sana ambao kwa ligi ya marekani wana nafasi ya kucheza hata yanga kuna baadhi wana maumbo mazuri sana lakini mimi kwa simba UNK yule nahodha mwenye namba kumi na nne UNK kitu halafu UNK sehemu nyingi kwa yanga washambuliaji wao karibu wote ni wazuri alisema mchezaji huyo kocha wa moro united fred felix minziro amekiri kuwa atakuwa na kazi kubwa jumatatu UNK na simba kwenye mchezo wa ligi kuu tanzania lakini akaahidi ushindi simba na moro zinakutana jumatatu kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam ukiwa ni mchezo wa ligi kuu ambayo imerejea baada ya kusimama kwa muda kupisha maandalizi ya timu ya taifa iliyokuwa ikishiriki fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani nchini ivory coast minziro alisema anajua simba ni timu ngumu kufungika lakini ni lazima wafungwe kwa sababu timu yake ipo katika nafasi mbaya ya kushuka daraja tupo vibaya ni lazima mchezo huo tushinde kama tunataka kupanda juu la sivyo bado tutazidi kujiweka pabaya alisema minziro simba ni timu nzuri na ngumu kufungika lakini najua nitatumia mbinu gani kuwafunga subiri utaona ni lazima tushinde hiyo mechi UNK alisema sasa UNK hesabu mechi sita zilizobaki ili kujihakikishia nafasi ya kubaki ligi kuu bara hizo mechi sita inabidi tujitahidi kushinda ili kuinusuru timu hii na panga la kushuka daraja naamini wachezaji wakiamua wanaweza wanachotakiwa ni kujituma tu moro united ina pointi kumi na tano na iko katika nafasi ya tatu kutoka chini kwenye msimamo wa ligi kuu huku simba ikiwa katika nafasi ya tatu kwa kuwa na pointi ishirini na nne na UNK nafasi ya pili kwa udi na uvumba timu tatu zitashuka daraja UNK majimaji african lyon na manyema ambazo zimepanda daraja ni fainali ya aina yake leo jumamosi wakati miamba miwili ya mpira wa kikapu vijana city bulls na jkt zitakapoumana kwenye uwanja wa ndani wa taifa jijini dar es salaam kuwania ubingwa wa mkoa kili rba vijana ndio bingwa mtetezi wa michuano hiyo huku wachezaji wake wengi wakiahidi kuendeleza rekodi yao ya kuifunga jkt na kutetea ubingwa wao timu hizo UNK mwaka jana katika fainali kama hiyo na jkt kukubali kipigo na UNK kombe hilo kutua vijana hivyo mashabiki UNK kama historia inaweza UNK tangu kuanza kwa ligi hiyo vijana imefungwa mechi moja tu huku jkt ikiwa haijafungwa mechi yoyote hivyo kuifanya fainali hiyo kuwa ya kukata na shoka ubora wa wachezaji wa timu zote mbili UNK wa mitupo mitatu kiustadi kwa wachezaji wa timu zote UNK zenye ubora na viwango ndivyo vitu UNK fainali hiyo huku kila mmoja akitaka kuweka heshima kwa mwenzake kocha wa jkt tubert matiku amekiri vijana kuwa ni timu bora lakini leo ndio mwisho wao na hawatakubali wafungwe tena najua tunacheza na moja ya timu bora ya mpira wa kikapu tanzania lakini hilo UNK kushinda tunajua mchezo utakuwa mgumu na wenye ushindani lakini historia haiwezi kujirudia ni lazima vijana wafungwe alisema wachezaji wangu wote wapo katika hali nzuri na wana ari kubwa ya mchezo hivyo tunasubiri lolote linaweza kutokea ila leo hatutakubali alisema UNK naye nahodha wa vijana jacob malenga alisema wembe ni ule ule ushindi na lazima UNK adabu jkt kwa nini UNK wepesi tu hao UNK tunachotaka sisi ni kubaki na ubingwa wetu ili heshima iendelee kuwepo nawahakikishia mashabiki wetu kuwa tutawafunga jkt alisema soud razak wa vijana anaweza akaendeleza rekodi yake ya kutupa mitupo mitatu ili kuiwezesha timu yake kuibuka na ushindi lakini jkt nao watakuwa wakijibu kupitia kwa charles UNK vijana itakuwa ikiwategemea mohamedy all UNK jacob malenga na sudi kuhakikisha UNK kombe lao huku jkt wakijibu kupitia kwa juma UNK frank UNK na mkumbo UNK kocha wa taifa stars marcio maximo yupo kwenye presha kubwa baada ya kuzidiwa kete na wachezaji haruna moshi boban wa simba na athuman idd chuji wa yanga ambao wana sapoti kubwa ya mashabiki wiki iliyopita maximo alitangaza kuwaengua wachezaji hao kwenye kikosi chake kutokana na utovu wa nidhamu pamoja na kutotaka kujituma na kuonyesha ushirikiano kwa wenzao ndani na nje ya uwanja hata hivyo wachezaji hao walikuwa wametangaza mapema kuwa wamejitoa katika kikosi hicho na kamwe hawatakubali kujiunga na timu hiyo ikiwa chini ya maximo baada ya uamuzi huo wa mbrazili amejikuta kwenye wakati mgumu kwamba mashabiki wa pande zote mbili kwa nyakati wamewapokea wachezaji hao kishujaa UNK klabuni baada ya kutoka stars iliyokuwa iliyokuwa ikishiriki fainali za chan nchini ivory coast wiki iliyopita chuji alipokelewa kwa shangwe na mashabiki wa yanga mazoezini kwenye uwanja wa uhuru kabla ya kitendo hicho kujirudia katika mchezo wa kirafiki dhidi ya vancouver white caps jumatatu wiki hii ambapo mashabiki UNK kwa nguvu hali hiyo UNK tena kwenye uwanja wa taifa juzi alhamisi simba ilipocheza na vancouver ambapo baada ya boban kuanza kupasha ili kuingia uwanjani kuchukua nafasi ya adam kingwande jukwaa zima lililipuka kwa shangwe UNK baada ya mchezaji huyo kuingia uwanjani kila UNK chenga mashabiki walikuwa wakishangilia kwa nguvu na kugeuza shingo kuangalia jukwaa kuu lakini UNK kuona sura ya maximo ambaye alikuwa UNK kwa nyuma balaa ilizidi pale boban UNK mabeki wawili na kupiga shuti lililotinga wavuni ambapo uwanja UNK na mashabiki wote wa simba kusimama na kugeuka nyuma kwa dakika kadhaa huku wakiimba maximoo maximoo maximoo lakini UNK mashabiki hao walishangilia kwa nguvu huku baadhi wakielekea jukwaa kuu walipokuwa wamekaa wageni rasmi kumzomea maximo lakini baadaye wakati wa mapumziko maximo aliibuka ghafla na kuanza kuzomewa na mashabiki wa simba lakini hakujibu lolote kocha huyo alipita na faili lake na kwenda karibu na viti vya wageni maalum na kusalimiana na timu yake ambayo ilikuwa imetulia ikifuatilia soka na baadaye akafuta UNK yake akakaa lakini kuanzia hapo mashabiki UNK tena wakimzomea kwani na boban alipunguza kasi ya mashambulizi lakini wadau mbalimbali walionekana kukerwa na tabia hiyo ya mashabiki huku wakidai kwamba UNK na UNK vichwa wachezaji husika ambao wamefanya vitendo vya utovu wa nidhamu waziwazi maximo alipokuwa UNK wachezaji hao alisema haruna idd na maftah hawataki kuzingatia maagizo yangu hawajitumi hawataki kufanya mazoezi sasa tukae nao wa nini kambini hakuna haja ya wachezaji kama hawa kama watu hawataki kubadilika UNK nje lakini chuji alisema wiki iliyopita kuwa maximo UNK walipokuwa kwenye fainali za chan ivory coast alisema wakiwa katika jiji la abdijan UNK alimuita na kumwambia anavuta bangi jambo ambalo UNK sana haruna kwa upande wake alisema kocha huyo ni mbinafsi ana gubu na si mkweli mechi za ligi ya mabingwa afrika zitaendelea wikiendi hii katika viwanja mbalimbali barani afrika ni wikiendi ambayo mechi za raundi ya kwanza ya ligi hiyo zitakuwa UNK jambo ambalo linawafanya mashabiki kusubiri kwa hamu mechi hizo hakuna shaka kuwa watanzania wote watakuwa wameelekeza fikra zao misri ambako yanga itacheza na al ahly al ahly ambao wametwaa kombe la afrika mara sita wataikaribisha yanga katika mechi itakayochezwa kesho jumapili saa moja usiku katika uwanja wa cairo kuwa fiti tayari kwa mechi hiyo ambayo ni ngumu kuliko ambavyo mashabiki UNK ni mechi ngumu kwa sababu al ahly licha ya kutokuwa na mwendo mzuri kwenye ligi ya ndani wanaongoza ligi yao na rekodi UNK al ahly imetwaa ubingwa wa afrika mara sita na kombe la super afrika mara nne hivyo ni timu kubwa ambayo yanga wanatakiwa kuwa makini kutokana na hilo ndio maana UNK mashabiki kuwa licha ya kuitakia kila la kheri mabingwa hao wa tanzania wakubali matokeo yoyote ambayo yatapatikana katika mechi hiyo sisi tunawatakia kila la kheri yanga kwani tunaamini kuwa katika soka hakuna timu kubwa wala timu ndogo na kuna mifano mingi kwa hilo kama simba UNK mabingwa watetezi wa afrika wakati huo zamalek mwaka ishirini sifuri tatu itakuwaje yanga ikashindwa kuwatoa mabingwa watetezi wa sasa al ahly maandalizi mazuri mshikamano na kujituma kwa wachezaji ni baadhi ya mambo ambayo yaliwasaidia simba kuishinda UNK tunaamini kabisa al ahly ni timu nzuri lakini wanaweza kufungwa kama yanga itakuwa imejiandaa vizuri na wachezaji wake kujituma kila mmoja bila kujali ushabiki anatakiwa kuwaombea yanga ili wafanye vizuri katika mechi hiyo ya kesho jumapili ambayo UNK na zaidi ya mashabiki sabini na tano sifuri sifuri sifuri kwenye uwanja wa taifa wa cairo wawakilishi wa tanzania katika ligi ya mabingwa afrika yanga wamewasili hapa na kupata mapokezi ya kihistoria tangu uwanja wa ndege wa kimataifa wa cairo kiasi cha kuwashtua mashabiki wa wapinzani wao al ahly ambao UNK mapokezi hayo yaliyorushwa laivu na televisheni ya wapinzani wao yaliongozwa na msaidizi wa balozi tanzania nchini hapa UNK UNK na kuhusisha gari maalum ambalo liliandaliwa na ubalozi huo na kuliacha lile la lililotolewa na wenyeji wao UNK wapenzi lukuki waliofika kuipokea timu hiyo wapenzi hao kila mmoja akiwa ameshikilia bendera ya tanzania walikuwa wakiimba nyimbo mbalimbali za kuihamasisha na kuipa moyo yanga kiasi cha kuwaduwaza wapinzani wao ambao hawakujua kilichokuwa kikiendelea baada ya kuwasili hapa majira ya usiku wachezaji wa yanga walidhani kelele hizo zilizokuwa UNK zilikuwa za mashabiki wa wapinzani wao ahly ili kuwavunja moyo wao kumbe ni watanzania wenzetu kweli hii ni historia kupokelewa na mashabiki wengi kiasi hiki tunawapongeza wenzetu wa ubalozi na wafanyakazi wote waliofika kutupokea alisema meneja wa timu hiyo kenneth mkapa mwenyekiti wa yanga iman madega alisema kuwa wamefarijika kwa kiasi kikubwa na mapokezi hayo na kazi UNK mbele yao ni kuifanyia mauaji timu hiyo kesho wapenzi wengi waliofika kwenye mapokezi hayo ni pamoja na wanafunzi wa chuo kikuu cha UNK na watanzania wengine wanaoishi na kufanya kazi mjini hapa msafara wa timu hiyo ulikuwa wa magari takriban kumi na mbili ukiongozwa na magari mawili ya polisi na uliongozwa hadi hoteli ya royal marshal iliyoko mjini hapa baada ya kuwasili hapa saa sita thebathini usiku mkuu wa msafara wa timu hiyo wakili alex mgongolwa alikataa wachezaji wa timu yake kulala mahali hapo kutokana na hoteli hiyo kutokuwa na hadhi baada ya mabishano ya muda mrefu uongozi wa al ahly chini ya mratibu wao ibrahim saad walikubaliana na mgongolwa kuwa watalala kwa usiku mmoja hotelini hapo na baadaye kuhamia hoteli nyingine kubwa yenye hadhi kama ile ya kilimanjaro kempinsky au movenpick zote za dar es salaam saad alisema kuwa hoteli hiyo ya royal marshal imepitishwa na shirikisho la soka la afrika na ndiyo maana wao UNK kwa ajili ya malazi na makazi ya timu hiyo uongozi wa al ahly na mgongolwa walikuwa na majadiliano usiku wa manane kuhusu suala hiyo lakini hali ilikuwa ngumu na kikao kufanyika jana asubuhi na kukubaliana kuwa yanga iendelee kukaa hapo na wao al ahly wakifika dar es salaam watakaa hoteli yoyote UNK na yanga bila kugoma ili mradi iwe UNK na caf katika UNK hayo pia ilikuwa kuwa endapo yanga watataka kuhama wao wakifika dar es salaam wiki mbili zijazo watakaa kwenye hoteli kubwa kama movenpick au kilimanjaro UNK baada ya masharti hayo uongozi wa yanga madega na kocha mkuu dusan kondic walikubali kukaa hapo ambapo ni mwendo wa dakika kumi na tano kwenda kwenye uwanja wa UNK wa cairo wakati huo huo mshambuliaji nyota wa yanga mrisho ngassa amesema kuwa mechi yao ya kesho itakuwa ya kufa au kupona kutokana na jinsi walivyoikamia ngassa alisema hayo baada ya kuwasili hapa na kueleza kuwa wamekuja hapa kufanya kile ambacho UNK na wala si tofauti na hilo na kwamba watahakikisha wanawalazimisha al ahly kucheza wanavyotaka wao alisema kuwa wanajua umuhimu wa mechi hiyo kwa timu yao na ikizingatiwa kuwa wao ndiyo timu pekee iliyobakia katika mashindano ya kimataifa kwa tanzania alisema kuwa al ahly ni timu kubwa ambayo ina historia ya kutisha si hapa misri bali kote afrika na hivyo umakini zaidi unatakiwa kila sehemu kikosini mwao baada ya kuzijua fitna za waamuzi katika mechi kama hizo mabeki wetu wanatakiwa wacheze kwa uangalifu zaidi maana nasikia al ahly ni wazuri kwa mipira ya faulo sisi tutatakiwa zaidi kumiliki mpira na wao UNK kuona tunatawala alisema ngassa alisema kuwa watatumia uzoefu walioupata kwenye michuano ya afrika ili kuhakikisha wanafanya vyema katika mechi hiyo ambayo imelifanya jiji la cairo kuwa kimya huku magazeti yakimpamba mohamed abou treika na flavio amado katika kurasa zao za michezo kuwa ni visu vyao katika mechi ya yanga hata hivyo baadhi ya wapenzi wa soka wa hapa wamesema al ahly haina matokeo mazuri katika ligi kutokana na kukamia zaidi mchezo wao wa yanga gazeti moja la hapa limesema jana kuwa wanaijua yanga kutokana na kupata mikanda ya video dvd na vcd katika mechi zake za hivi karibuni na ile ya etoile d or mirontsy ya comoro kocha mkuu wa yanga dusan kondic juzi aligoma kuhojiwa na kituo cha televisheni cha klabu ya al ahly kwa kutokuwa tayari kuzungumzia masuala ya ufundi na mbinu za uchezaji wa kikosi chake dhidi ya al ahly kesho televisheni hiyo ilifika uwanjani wakati wa mapokezi na kurusha laivu mapokezi hayo na katika mahojiano hayo kondic alisema wamejiandaa kuja kufanya vizuri na kukataa kuzungumzia masuala yanayohusu wachezaji wake baada ya hapo televisheni hiyo ilifanya mazungumzo na iman madega ambaye alitamba kuja kusimamisha historia nzuri ya timu yao na kusema kuwa huo ndio mwisho wao katika soka la afrika madega alizungumza hayo huku watanzania walioshiriki mapokezi hayo wakimshangilia kwa nguvu na kufanya baadhi ya maneno yake UNK yake baada ya kumkosa ngassa walimtafuta boniface ambani na kufanya naye mahojiano ambayo mchezaji huyo aliwajibu kuwa wanajua wajibu wao na baadaye kufanya mahojiano na nurdin bakari na abdi kassim ambaye ndiye nahodha wa timu katika mahojiano hayo babi aliwajibu kwa mkato kuwa wamejiandaa vilivyo na hakuna cha kuwasimamisha kuhusiana na suala la ushindi katika tukio jingine yanga haina daktari na italaizmika kucheza bila ya kuwa na daktari huyo nassoro matunzya aliyeachwa na ndege jijini dar es salaam matunzya alikuwepo wakati msafara wa timu hiyo ulipokuwa unaondoka juzi mchana lakini alitoweka katika mazingira ambayo hayakufahamika na ndege kuondoka mshambuliaji nyota wa klabu ya yanga mrisho ngassa amesema kuwa mechi yao ya jumapili usiku itakuwa ya kufa na kupona kutokana na walivyoikamia ngassa alisema kuwa wamekuja kufanya kile UNK na wala si tofauti na hilo na watahakikisha wanawalazimisha al ahly kucheza wanavyotaka wao alisema kuwa wanajua umuhimu wa mechi hiyo kwa timu yao na ikizingatiwa kuwa yanga ni timu pekee iliyobakia katika mashindano ya kimataifa ya tanzania alifafanua kuwa al ahly ni timu ambayo ina historia kubwa hapa misri na afrika kwa ujumla na hivyo umakini zaidi UNK kila sehemu baada wanajua fitna za waamuzi katika mechi kama hizi mabeki wacheze kwa uangalifu zaidi maana nasikia al ahly ni wazuri kwa mipira ya faulo UNK tutatakiwa zaidi kumiliki mpira na wao UNK kuona tunatawala ngassa alisema kuwa watatumia uzoefu UNK UNK kwenye michuano ya chan UNK wanafanya vyema katika mechi hiyo ambayo imelifanya jiji la cairo kuwa kimya huku magazeti yakimpamba mohamed aboutrika na flavio UNK katika kurasa zao za michezo kuwa ni visu vyao katika mechi ya yanga hata hivyo baadhi ya UNK wa soka wa hapa wamesema timu ya al ahly haina matokeo mazuri katika ligi kutokana na kukamia mchezo wao wa yanga moja ya gazeti la hapa limesema kuwa wanaijua yanga kutokana na kupata mikanda ya video dvd na vcd katika mechi zake za hivi karibuni na ile ya etoile d or mirontsy ya comoro wawakilishi wa tanzania katika mashindano ya ligi ya mabingwa ya afrika italaizmika kucheza bila ya kuwa na daktari wake nassoro matunzya kutokana na daktari huyo kuchelewa ndege UNK alikuwepo wakati msafara wa timu hiyo ulipokuwa unaondoka juzi mchana lakini alitoweka katika mazingira ambayo hayakufahamika na ndege kuondoka uongozi wa yanga ulifanya mpango ili daktari huyo aondoke na ndege ya ethiopia hata hivyo haikuweza kueleweka kwa nini UNK mpaka sasa mwenyekiti wa yanga iman madega alisema kuwa juhudi zinafanyika ili matunzya afike kabla ya mchezo uliopangwa kufanyika kesho saa moja sifuri sifuri za misri madega alisema kuwa kama itashindikana basi wataomba msaada kwa ubalozi ili kuona kama UNK kupata msaada wa UNK mashabiki UNK wachezaji wala msiogope kwani kikosi kipo kamili kwa ajili ya kumalizia ligi kuu bara na hakuna UNK simba kocha huyo UNK soka la chini na pasi fupi amesema pia kuwa ili simba kuwa fiti kabisa anahitaji wachezaji wanne zaidi wapya msimu ujao katika mchezo wa kirafiki uliochezwa juzi alhamisi kwenye uwanja wa uhuru dhidi ya vancouver white caps ya canada simba ilifungwa mabao mbili moja huku mashabiki wakilaumu safu ya ulinzi na kipa kwamba hawana mawasiliano mazuri lakini kocha phiri ambaye ni mzambia amewahakikishia simba kwamba kila kitu kinakwenda sawa na kipigo walichopata ni fundisho la kujipanga kikamilifu kabla ya kuingia uwanjani keshokutwa jumatatu kuikabili moro united wachezaji wamefanya mazoezi na wapo tayari kuendelea na ligi kuu na UNK ni kushinda mechi zote na kuipata nafasi ya pili haya matokeo ya kufungwa mchezo wa kirafiki UNK tamaa mashabiki alisema kocha huyo aliyezaliwa mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na sita hakuna haja ya kuwalaumu wachezaji wamecheza kwa kiwango chao chote hii vancouver ni timu nzuri ingawa si bora angalia aina ya wachezaji wao mmoja mmoja halafu UNK na hawa wa kwangu wale wana akili sana stamina ya kutosha nguvu za hali ya juu ambazo zinakwenda sambamba na uzito huwezi UNK na wachezaji wa simba ni vitu viwili tofauti huwezi kulaumu mabeki kama juma nyosso au meshack abel kwa matokeo yale mimi niliona wamecheza vizuri kutokana na aina ya washambuliaji ambao walikuwa UNK nao hawa ni mabeki bora kwenye ligi ya tanzania bara mnapaswa kujua hilo hii vancouver si timu bora lakini ni nzuri kwa majaribio ina wachezaji wenye uwezo na walioandaliwa ambao wametusaidia sana kujiweka sawa na kujua udhaifu wetu aina ya mchezo UNK nao UNK na timu za huku ndani tungeshinda ndio maana ninasema kwamba sisi tupo tayari kwa mechi saba zilizobaki na simba itashinda tunaanza kwanza na moro united tunajua utakuwa na ushindani sana lakini tunawajua UNK nao tunachoomba kwa mashabiki watupe sapoti kubwa ya kila namna ili tufanye vizuri na zaidi na kupiga hatua alisema phiri ambaye UNK kikosi hicho na kusema kwamba licha ya kwamba amepanga kukifanyia mabadiliko siku za usoni lakini kwa mechi zilizobaki hana wasiwasi wachezaji wote wapo imara sana lakini inabidi tukipata nafasi ya kusajili UNK wachezaji si chini ya wanne ili kuongeza nguvu alisema phiri na kusema hana mawasiliano na mnigeria orji obinna ambaye ameomba UNK kwenda kwao nigeria kama ingekuwa ni kifo bila shaka mashabiki wa yanga wangesema bora tufe pamoja lakini timu imtie adabu UNK ikitumia wachezaji sita wa kikosi cha kwanza cha taifa stars yanga ambayo ndani ya miaka kumi haijawahi kutinga robo fainali ya ligi ya mabingwa afrika inacheza na al ahly kesho jumapili jijini cairo misri katika mchezo wa ligi ya mabingwa afrika redio ya taifa ya misri imenunua haki ya kutangaza mchezo huo kuanzia saa moja sifuri sifuri usiku yanga ambayo hutumia zaidi mfumo wa nne nne mbili imetua kamili jijini humo huku nahodha wake fred mbuna akiahidi matokeo mazuri kama UNK kocha wake dusan kondic mchezo huo unatazamiwa kuwa na kila aina ya ushindani huku al ahly iliyokuwa ikifanya vibaya katika ligi ya ndani ikiwa na morali mpya baada ya kushinda mabao tatu sifuri dhidi ya olympic jumatatu wiki hii katika mechi ya ligi kuu misri na kufikisha pointi arobaini na tano bado ikiwa kileleni mbali na hilo wachezaji wote saba wa ahly ambao walikuwa majeruhi wamepona na baadhi yao waliokuwa UNK wataanza kuonekana uwanjani kesho jumapili kutaka kurejesha hadhi ya klabu hiyo tajiri afrika na ambayo huenda UNK na arsenal mechi ya kirafiki baadaye mwaka huu kondic ambaye yanga yake inangoza ligi ya bara kwa pointi arobaini na mbili alisema kwamba kikosi chake kipo katika hali nzuri na wachezaji wake UNK ushindi na soka safi nyumbani na ugenini na UNK kwamba UNK tunaahidi soka nzuri na ya kiwango cha hali ya juu sambamba na matokeo mazuri ugenini na nyumbani tunaifahamu kiundani hii al ahly na tunajua mambo yatakwenda sawa mashabiki watusapoti kadri UNK yanga ambayo haijawahi kucheza na al ahly kwa zaidi ya miaka kumi na tano haijawahi kuifunga timu hiyo zilipokutana miaka ya nyuma na haina rekodi nzuri inapokutana na UNK licha ya kutoka nayo sare mara mbili nyumbani UNK vipigo kila ilipokwenda cairo lakini mashabiki na wadau wa soka wamekuwa wakiamini kwamba yanga inaweza kutisha safari hii hasa kutokana na kuwa na wachezaji wa kigeni ambao ni wazoefu na michuano mikubwa na wanaocheza nafasi mbalimbali al ahly ambayo hutumia mfumo nne tatu tatu na kushambulia kwa kasi pamoja na kutumia nguvu nyingi UNK kuanza kwa mchezo wa kasi ili kukwepa kuzomewa na mashabiki sabini na nne kumi sifuri watakaohudhuria kwenye uwanja wa kimataifa wa cairo ambao kipa wa yanga juma kaseja ndiye pekee ambaye anatua kwenye uwanja huo mara ya tatu kaseja akiwa na simba alikwenda kwenye uwanja huo mara mbili kucheza dhidi ya zamaleki na UNK ninataka kuendeleza rekodi yangu ya kufunga mabao kwenye hii michuano mechi itakuwa ngumu sana kwa vile wako nyumbani lakini tunawaweza tusubiri muda anasema mchezaji huyo mwenye mabao matano kwenye ligi hiyo hiyo sawa na mrisho ngassa maandalizi yetu ni mazuri sana kwa muda wote tuliokuwa dar es salaam na tunachotaka ni ushindi UNK timu ambayo afrika inaonekana ni bora zaidi yetu sisi alisema nahodha huyo ambaye mara nyingi huanzia benchi bosi huyo mreno wa al ahly aliwaonya wachezaji wake jana ijumaa asubuhi baada ya mazoezi UNK wale etoile du sahel mwaka jana walikuwa mabingwa watetezi lakini tabia yao ya kudharau timu UNK kwenye raundi ya pili alionya katika kikao na wachezaji hizi timu ambazo hazina majina makubwa huwa zinabadilika sana hawa zinapocheza mashindano makubwa na kukutana watu kama sisi mnatakiwa kusahau kila kitu na kurudisha mawazo mchezoni msikubali kupoteza nafasi yoyote UNK UNK hasa UNK na timu kama hizi alisema kocha huyo wa ureno ambaye UNK video nyingi za yanga ambazo wachezaji wote UNK mashabiki UNK kuliko mchezaji yeyote na juzi alhamisi jioni aliwaambia kwamba UNK wote wanaosema vibaya dhidi yetu siku chache zijazo tunaahidi kuwa tutatetea ubingwa wetu wala UNK alisema mchezaji huyo mwenye miaka thebathini ambaye kesho jumapili UNK yanga akitokea kwenye majeruhi wachezaji tegemeo wa al ahly katika mchezo huo ni pamoja na flavio gilberto mohammed barakat abu treika ahmed UNK na kipa mpalestina ramzy saleh ambaye UNK yanga ambayo kuna uwezekano mkubwa UNK langoni kipa mserbia obren curkovic kwenye safu ya ulinzi itawatumia shadrack nsajigwa nurdin bakar nadir cannavaro george owino huku mbele yao kwenye kiungo akisimama godfrey bonny na athuman idd kwenye ushambuliaji UNK mrisho ngassa ben mwalala boniface ambani na abdi kassim kabla ya mchezo huo wa kirafiki timu hiyo ilicheza na yanga jumatatu wiki hii na kufungwa mabao tatu sifuri lakini juzi jioni simba ilifungwa na wazungu hao mabao mbili moja kwenye uwanja huohuo huku mashabiki wakimlaumu kipa deo munishi dida kwa kuonyesha kiwango cha chini mbali na dida pia mabeki meshack abel na juma nyosso UNK lawama lakini kocha patrick phiri UNK kwa UNK UNK angalia aina ya uchezaji na miili ya wachezaji waliokuwa wanapambana nao halafu UNK wale wamecheza vizuri sana na kwenye ligi yetu ndio mabeki bora phiri aliyezaliwa mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na sita aliiambia mwanaspoti baada ya baada ya wasanii kibao kuamua kusambaza kazi zao wenyewe mwamba wa kaskazini naye ameamua kujitoa kwa mdosi kutokana na kutokuwa na uhakika na chakula cha kesho akiongea joh makini alisema kuwa ameamua kusambaza kazi zake yeye mwenyewe UNK na kunyanyaswa na mdosi na kutokuwa na uhakika na malipo anayoyapata kama ni halali au UNK nimeamua kubadili mfumo huu wa kupeleka kazi zangu kwa mdosi kutokana na matatizo ambayo UNK nayo mara kwa mara nimeamua kutafuta mtu ambaye atanisaidia kuzisambaza alisema aidha msanii huyo alisema kuwa nafasi bado ni wazi na anatafuta mtu ambaye UNK album hiyo hivi karibuni wasanii wengi wameonekana kukana suala la albamu zao kusambazwa na wadosi na kutaka kupata haki zao walio wengi wanauzia majumbani na kwingineko ambako wao wanaona ni salama mwanadada ambaye aliamua kuondoka katika kundi la UNK na hivi karibuni kuibuka na singo ya zamu yangu sasa UNK na kuweka wazi kuwa licha ya kufanya muziki lakini lengo lake kubwa ni kupata pesa ambayo UNK kwenda kumalizia masomo yake nchini marekani mwanamuziki huyu anasema alilazimika kujilipia ada baada ya baba yake mzazi aliyekuwa UNK ada kupatwa na maradhi ya kupooza na kushindwa kuendelea na kazi hata hivyo mwanamuziki huyo ambaye UNK jina la UNK na msanii mwenzake albert mangwea UNK ujio wa albamu yake ya kwanza albamu hiyo ambayo ina jumla ya nyimbo kumi anasema kuwa UNK wasanii kama ay maunda zorro UNK kaka yake UNK kwa jina la ras UNK albamu kubwa kuliko zote hapa nchini ambayo imebeba jumla ya nyimbo thebathini ikiwa na cd mbili itafanya ziara ambayo itafanyika zaidi ya mikoa saba itazinduliwa leo ndani ya uwanja wa mpira wa mkwakwani mjini tanga baadhi ya mikoa ambayo itatembelea ni pamoja na mwanza shinyanga mbeya tanga morogoro albamu hiyo inayodhaminiwa na str nane muzik na hivyo kuitwa str nane muzik shangwe albam UNK ziara hiyo itakuwa na wasanii wengi ambao wameshiriki ndani ya albamu hizo albamu hiyo ambayo imebeba historia za wasanii mbalimbali walioshiriki kuikamilisha albamu hiyo ambayo pia itakuwa inapatikana katika mfumo wa UNK baadhi ya nyimbo ambazo zipo ndani ya albamu hiyo ni pamoja na uko juu lady jay dee ft chidi benz taxi bubu matonya ft fid q nipe UNK mangwea ft dark UNK ngoma UNK chidi benz UNK bushoke price UNK ali kiba ft mwasiti UNK UNK wakibana sana ferooz tatu bila wanaume halisi nyingine ni njoo profesa jay ft UNK ni aje ni vipi joe makini ft nick UNK wabaya q chief UNK ray c ft chidi benz bado nipo nipo mwana fa pia kuna mbele yako nyuma yangu afande sele mida mibovu mangwea jay moe p funk shangwe watoto wa maghorofani na nyingine nyingi kiongozi wa umaskini na mkali wa muziki aina ya genge kutoka nchini kenya peter UNK aka jua kali anayetamba na singo ya ngeli ya genge anatarajia kushusha mistari ijumaa ya machi ishirini kwenye ukumbi wa diamond jubilee jijini mkali huyo ambaye anapendwa nchini humo kutokana na staili ya mashairi yake UNK mistari hiyo kwenye uzinduzi wa albamu ya tano ya msanii kutoka hapa nchini juma kasim nature aliyoipa jina la tugawane umasikini mbali na msanii huyo kutakuwepo na wasanii kadhaa kutoka hapa nchini ambao pia watakuwepo katika uzinduzi huo wasanii hao ni pamoja na afande sele UNK wanaume halisi fid q na kundi la wakali kwanza washiriki wawili kati ya watatu walio katika ukanda wa hatari ya kutolewa wataondoka kijiji kesho kutokana na uchache wa kura walizopata washiriki watatu walio katika ukanda huo ni pamoja na UNK mangii na peter putir wanaowakilisha mkoa wa dodoma na maulid wadi mwanaume pekee anayeuwakilisha mkoa wa dar es salaam washiriki hao walipigiwa kura na wenzao usiku wa jumapili iliyopita kutokana na ushiriki wao mdogo katika kazi wanazopewa katika makundi kati ya washiriki hao watatu efrancia aliongoza kwa kupendekezwa mara nyingi kuliko wenzake katika kundi lake lenye watu sita wote walimpendekeza aondolewe kutokana na uvivu UNK putir UNK kutokana na ubishi na kutotaka kufanya kazi akidai hawezi kufanya kazi wakati wa jua hali UNK abdul UNK jina la mtu wa jua maulid naye alijikuta akiangukia katika ukanda wa huo UNK ya kutajwa mara nne na washiriki wenzake kuwa amekuwa akifanya kazi kwa maneno zaidi kuliko matendo mshriki kutoka zanzibar UNK UNK teddy yuko tayari kuikosa milioni kumi UNK lakini hayuko tayari kumkosa msichana huyo inawezekana ikawa ni sehemu ya mchezo pia lakini abdul ameonekana kuwa serious katika hili mpaka kutishia kumpiga na manati iwapo UNK kuuzunguka mbuyu si kazi kazi UNK abdul anaendelea kumshawishi msichana huyo UNK na UNK kumpeleka kwa wazazi wake katika kisiwa cha marashi ya karafuu UNK katika shindano hili katika hali ya kushangaza mshiriki huyu UNK vituko UNK mafuta ya moto katika kidonda kilichokuwa mguuni alichanganya mafuta ya kula na chumvi na kisha UNK katika kijiko na UNK katika kidonda haijulikani kama ilikuwa ni sehemu ya kuonyesha ujasiri wake katika mchezo huo lakini kwa taarifa tu ni kwamba kidonda UNK mshiriki kutoka mwanza boniface michael aka lil wayne UNK wenzake kwa nyimbo zake kwenye disko la kushtukiza lilopigwa katika kijiji hicho disko hilo ambalo lilikuwa surprise mbali ya kuwa lilipambwa na nyimbo za mshiriki mwenzao ambaye kwa mara ya kwanza UNK usiku huo lil wayne alisema nyimbo hizo hajawahi kuzitoa mahali popote tangu alipomaliza kuzifanyia kazi washiriki wenzake walionekana UNK zaidi kazi hizo baadhi ya washiriki UNK kabisa kazi za kuchimba kwa kuhofia kuweza kufukua mafuvu mengine yanayodaiwa kuwa ya binadamu washiriki hao ambao UNK kuwa mafuvu hayo ni ya binadamu wamesema uwezekano wa kufukua mafuvu mengine ni mkubwa kwa kuwa kuna baadhi ya viungo havikuonekana katika mafuvu UNK mapema wiki hii hivi sasa hata visiki wamekuwa UNK juu juu wakiogopa kufukua kwa kuwa wanaamini bado kuna viungo ambavyo UNK ndugu zangu katika maisha haya ya ujana nina imani kabisa hamjambo na mnaendelea vema na shughuli zenu za kila siku mimi kwa kweli kabisa ni mzima na mambo yanaenda si unajua zetu za kitanzania UNK UNK na mambo yanaendelea hivyo hivyo tuna deni la kumshukuru mungu kwa uhai UNK bwana kwa nini wengine wanakufa na UNK UNK shukrani kwa UNK ninachotaka muwe UNK mara kwa mara ni kwamba mwandishi wa makala hizi ni binadamu kama UNK UNK kumuamini kwa kila kitu mnatakiwa kuangalia ya ukweli yapi na ambayo mna wasiwasi nayo jamani sio lazima kuamini naamini kabisa mimi nimepata tu mahala pa UNK lakini UNK mtu mtaani akapewa nafasi hii pengine UNK na hata la kusema leo jamani naomba UNK hili jambo la kupuuza vitu katika mapenzi kua watu bwana wanaamini kabisa eti katika masuala ya mapenzi kuna vitu ambavyo unaweza UNK mimi UNK hatari kuhusiana na kauli hizi jamani siamini kabisa haya mambo na kufuatia hilo jambo nimeamua kuja na hii mada UNK eti jamani kwenye mapenzi kuna jambo ambalo unaweza UNK dogo mimi kama UNK hivi kutokana na hilo basi nimeamua kwenda na mambo yetu yale ya vipengele na moja kwa moja naomba UNK macho yako tuendelee moja huku ni kuridhika akinadada ndio UNK mjadala huu ambapo UNK kwamba jamaa zao mwanzoni UNK vitu ambavyo baadae vinakuja kupotea bwana kwa UNK vijimambo kama zawadi hivi ice UNK leo kesho UNK na keshokutwa kitu kingine unaona bwana baada ya UNK sasa utakuta huyu mtu UNK tu kwamba mpenzi wake anapata vitu muhimu kama UNK mahala bora anakula vema UNK na kifupi anapata anachotaka unaona bwana lakini mwisho wa siku anaweza UNK hata nafasi ya kukaa na mwenzie na anapoulizwa jibu linakuwa nini ujue mambo madogo haya acha UNK mambo ya maana vidogo ndio vikubwa hii ni kwa mujibu wangu mimi mwenyewe kaka na dada zangu uliza kwa nini kwa sababu tu anayetafuta penzi si kwamba anatafuta maisha bora au anatafuta kutimiziwa mahitaji yake au sio jamani anatafuta faraja UNK la moyo wake kifupi naweza UNK anatafuta mwenzake wa kula naye shida na raha mwenzake wa kuhangaika naye katika haya maisha magumu tuliyonayo UNK jamani sasa UNK mtu hela mezani kisha UNK zako UNK mengine ni madogo kwani yeye kafuata hela kwako huna muda naye zawadi za zamani hamna hata muda wa kucheka na UNK mawazo unasema ni mambo madogo UNK jamani kama ni hivi si bora muwe kaka na dada tujue moja jamani uhusiano huu wa kijana wa kike na kiume UNK sana na hisia sasa mtu UNK hata kukuona hakuna hata kikubwa cha kufanya UNK sana maana kama nguo hata wazazi wake walikuwa UNK na usikute hata sasa UNK chakula anapata kama pesa hata mjomba wake anampa wewe unafanya nini cha ziada akuone wa pekee sasa naomba kuchukua wasaa huu kusema ukweli wangu wa ndani kuhusiana na hili ni bora kufanya hili ambalo UNK dogo kuliko kufanya haya makubwa utakuja kulaumu watu bure UNK moto kwa UNK mwisho wa yote haya kaka na dada zangu ni UNK makubwa sana katika huu uhusiano jamani kama mlikuwa hamjui maana ujue nini dunia imejaa watu na utandawazi huu ndio UNK kila mtu anahisi kuna mambo UNK zaidi ya mwenzake unaona sasa ikifika mahala ukaonekana hujui mambo kuna watu UNK haya mambo sasa itakuja kuwa lawama kama wewe huna UNK kuna wenzio wanao kama wewe unaona mambo ya UNK mpenzio ni madogo wenzio wanahisi ni makubwa kabisa na UNK unaona bwana kwa hiyo sijui sasa ukisikia kuna mtu UNK usukani UNK gari lako utasema ana roho mbaya au nini mimi kwa leo jamani naomba niishie hapa na mambo madogo lakini makubwa naomba tukutane wiki ijayo nitakuwepo jamani UNK na nitakuwa nafanya majadiliano nanyi kwa njia hii hii lakini kwa leo nimemaliza sote UNK ladha ya maji ya bahari la kama UNK basi maji hayo yana chumvi kweli kweli wala si UNK naamini hata kama yangekuwa UNK kwa kupikia basi suala la kununua chumvi kwaajili ya kutia kwenye mboga wala UNK duniani lakini leo unaambiwa eti UNK kwa kiu baharini UNK hivi kiu tiba yake ni nini hasa je ni kimiminika chochote au maji baridi kwa maana ya kuwa yasiyo na chumvi kama ile ya baharini mimi sifahamu na UNK kuwa wiki ijayo UNK daktari kwa niaba yako wewe UNK kama mimi lakini leo niwape hiki kisa ambacho mwisho wa siku tunaambiwa eti ukifa kwa kiu baharini utakuwa UNK mwenyewe kisa bin mkasa huu UNK katika uchunguzi wangu wa kawaida wa kupata mikasa kwa ajili yako mhusika mkuu wa mkasa huyu aisha UNK kutoka hapa katika jiji la kandoro niliambiwa kuwa eti kuna jamaa mmoja nikisema jamaa inaeleweka moja kwa moja kuwa ni mwanaume au sio basi huyu jamaa alikuwa na urafiki wa kawaida na msichana huyu yaani aisha aisha ananiambia kuwa alikuwa UNK kama kaka yake wa hiyari kutokana na heshima aliyokuwa akipewa UNK na kusaidiana UNK walitoka out nyingi pamoja huku akiamini alikuwa kaka yake lakini kumbe ukweli ni kwamba jamaa hakuwa na fikra kama UNK ashura huyu jamaa alikuwa akimtamani kimapenzi lakini tatizo sijui mdomo ulipata ajali ya UNK na super UNK au sijui ulikuwa mzito hakuwahi japo kuonyesha hisia za kumtaka kimapenzi hata siku UNK alikuwa UNK subira maana UNK subira ya vuta heri lakini ndugu yangu UNK subira inaweza UNK UNK mwenye kaka hakosi UNK siku ya siku ikafika ashura UNK mchumba wake kwa huyu kaka wa hiyari pasipo kutarajia mapokezi hayakuwa kama UNK alipokea tu ilimradi kwa kuwa hakuwa na jinsi kesho yake ndipo alipomwita na kumwambia kuwa eti yeye anamfahamu vizuri sana huyu kaka si mwaminifu na alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke mmoja ambaye amekufa kwa UNK lakini ukweli ni kwamba ashura na mwenzi wake UNK nakujikuta wako salama na wala huyu kaka hajawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke kama anavyodai huyu UNK hivi UNK ashura UNK ndoa na huyu bwana wake UNK na yule jamaa UNK na wamekuwa maadui kwani hata salamu zake UNK tena hapo sasa ndipo linapokuja suala la kufa kwa kiu baharini ni UNK mie UNK nimeshafanya kazi yangu ya kukuletea stori UNK tukutane wiki ijayo mr blue ni mmoja kati ya wa wasanii nchini wenye bahati ya pekee hasa kwenye gemu hii ya muziki wa bongo UNK alianza akiwa UNK kwa kutoka na blue blue ambayo UNK ile mbaya na watu wengi kukubali kazi yake kuna wasanii wengi walioanza na mwanzo mzuri lakini mwisho wao unakuwa mbaya UNK wamekuwa mastaa zaidi na kusahau kufanya kazi lakini kwa blue hakuridhika na mafanikio madogo UNK amekuwa na UNK wa kuachia nyimbo na kuweza kukubalika hebu ngoja nikukumbushe kidogo mapozi nipo pamoja na kushirikishwa kwenye nyimbo UNK kama dhahabu toa UNK nacho pamoja na mbona wa UNK hizo ni baadhi tu ya rekodi ambazo mr blue ameweza kufanya vizuri lakini kuna orodha UNK kidogo ambayo blue ameweza kufanya kwenye gemu alikaa kimya kidogo na ndipo ametoka na tabasamu wimbo ambao umeweza kumuweka sawa kwenye gemu na sio kumrudisha kwakuwa blue kwa mtazamo binafsi hajawahi kutoka nje ya mstari mitaani barabarani kila kona ni tabasamu la blue linalokua furaha blue anatamba kuwa nyimbo zake zote zina ubora na huku UNK mfano ngoma yake ya UNK hata UNK leo hii lazima UNK nyimbo zangu daima zina ubora na UNK nakuhakikishia kwamba leo unaweza UNK mapozi na UNK kutokana na ubora kuwa palepale tofauti na nyimbo nyingine ambazo huwa za msimu alisema UNK blue aliwashauri wasanii kufanya kitu ambacho UNK na bora na kuachana na kasumba ya kutengeneza wimbo UNK kwakuwa kutokana na kasumba hiyo unakuta wimbo hauna ubora naona niishie hapa kwa leo ili niweze kujipanga vema kwa wiki ijayo baada ya kupata barua pepe yako nahodha wa vancouver whitecaps ya canada martin UNK amesema wamefurahishwa na mechi zao tatu za kwanza katika historia yao barani afrika ambazo wamecheza jijini dar es salaam na kusema kuwa simba waliwaweka kwenye wakati mgumu kiungo huyo wa mabingwa hao wa ligi ya canada na amerika kaskazini alisema mechi zao tatu dhidi ya yanga simba na taifa stars ziliwapa mazoezi mazuri ingawa joto UNK sana vancouver ililala kwa mabao tatu sifuri mbele ya yanga katika mechi ya kwanza na baadaye kuishinda simba kwa mabao mbili moja kabla ya kutoka suluhu na timu iliyojaa chipukizi ya taifa stars timu zote zilicheza vizuri lakini simba UNK sana kwa sababu hawakuwa wanatupa nafasi ya kukaa na mpira alisema UNK walikuwa UNK wakati wote na wanacheza kwa kasi sana hivyo UNK vigumu kufanya mipango yetu ni tofauti na siku tulipocheza na yanga na leo tulipocheza na taifa stars yanga walitupa muda mwingi wa kukaa na mpira na kupanga tufanye nini lakini bahati mbaya siku hiyo tulicheza pungufu ya mtu mmoja kocha teitur thordarson kutoka iceland alilazimika kutumia wachezaji kumi baada ya winga UNK UNK kutolewa nje kwa kadi nyekundu kutokana na kuhamaki vibaya baada ya kuchezewa rafu mbaya na beki wa kushoto amir maftah lakini inaonekana yanga ina wachezaji wazuri sana na wenye uzoefu mechi ya leo ilikuwa nzuri pia inaonekana huku kuna wachezaji wa aina moja wengi ni wepesi na wana kasi sana vancouver ambayo itaondoka nchini alhamisi kurejea canada wanatarajiwa kucheza mechi nne za maandalizi kabla ya kuanza kutetea ubingwa wao wa ligi ya UNK moja kwa kuikaribisha UNK UNK kwenye uwanja wa UNK aprili kumi na moja akizungumzia mechi ya stars kocha thordarson aliiambia tovuti ya klabu hiyo akisema ni dhahiri kuwa haikuwa mechi ya kuvutia hata hivyo ilikuwa mechi yetu ya tatu kwenye joto kali na ilikuwa ngumu kwa wachezaji wetu kuweza kukabiliana na joto lakini nadhani UNK vizuri tanzania ina wachezaji wazuri na ilikuwa timu nzuri kama ilivyo kwa yanga na simba wana uwezo kuliko baadhi ya wachezaji wetu ukijumuisha mechi ya leo tulicheza vizuri sana mechi tatu hapa tanzania katika kile kinachoonekana kuwa ni hujuma kabla ya mchezo wachezaji wa yanga UNK kuhamishwa hoteli kwa muda baada ya UNK kuwepo kupulizwa dawa katika vyumba na sehemu ya kulia chakula hali hiyo ilitokea baada ya ubalozi wa tanzania nchini misri kuamua wachezaji hao kutokula hotel ya royal marshal na UNK yake kula kwenye ofisi za ubalozi kuanzia chakula cha asubuhi baada ya kubainika hali hiyo sehemu ya kulia chakula na UNK wachezaji UNK dawa ambazo zilikuwa UNK UNK hali hiyo UNK kama sehemu ya hujuma za wenyeji timu ya al ahly na hatua za haraka za kuinusuru timu UNK moja ya hatua hiyo ni kutokwenda kabisa eneo la kulia chakula mapokezi na maeneo mbali mbali ambayo wachezaji UNK kupumzika mbali na hatua hiyo eneo la hotel hiyo lilikuwa linapigwa deki mara kwa mara tofauti na hali siku nyingine na UNK viongozi tukio lisilokuwa la kawaida lilitokea baada ya watu wanne UNK kama waandishi wa habari wa televisheni ambao walikuja hotelini hapo na kuanza kuwafuata wachezaji vyumbani mwao kwa lengo la UNK uongozi wa yanga chini ya iman madega na mkuu wa msafara alex mgongolwa waligeuka mbogo huku wanafunzi wa tanzania UNK union walipinga vikali vitendo hivyo vya hujuma mkuu wa msafara huo mgongolwa alisema kuwa vitendo hivyo UNK hujuma za wazi wazi kwa ajili ya mchezo huo na UNK hatua za tahadhari ili kuhakikisha wanakuwa salama timu ya azam fc na mtibwa sugar zimeshindwa kutambiana kwa kutoa sare moja moja na kutoa mwanya kwa simba yenye pointi ishirini na nne kusaka nafasi ya pili kwa udi na uvumba leo inashuka kwenye uwanja wa uhuru kucheza na moro united ukiwa ni mwendelezo ligi kuu tanzania bara vijana wa azam walikuwa wa kwanza kupata bao lilofungwa na nsa job katika dakika ya ishirini na moja baada ya kumpiga chenga beki chacha marwa kabla ya kupiga shuti lilomshinda kipa shaaban UNK kuingia kwa bao hilo kuliamsha ari kwa mabingwa hao wa kombe la tusker na kufanya mashambulizi UNK kona mbili mfululizo zilizopigwa na mecky maxime iliyomkuta salum swed na kufunga bao la kusawazisha dakika ya thebathini na mbili kwa matokeo hayo mtibwa UNK pointi ishirini na mbili huku wauza lamba lamba wa azam wakiwa na pointi kumi na tisa ligi hiyo inaendelea leo kwa simba kuonyeshana kazi na moro united licha ya alhamisi iliyopita kukubali kipigo cha mabao mbili moja kutoka kwa timu ya vancouver whitecaps ya canada katika mchezo wa kirafiki ambao kocha wa mzambia patric phirri amesema hilo si jambo UNK presha phirri alisema kufungwa katika mchezo huo ni sehemu ya mchezo na hakuna wa kulaumiwa UNK ni kushinda mchezo wa leo hivyo kuwataka mashabiki kufika uwanjani na kuishangilia timu yao tuachane na mechi ya kirafiki hayo UNK hivi sasa tunaangalia ligi ni jinsi gani tutaweza kuipata nafasi ya pili ambayo UNK kwa kasi kubwa alisema ushindi katika mchezo wa leo utampa matumaini ya kuendelea kushinda michezo sita iliyobaki na kutwaa nafasi ya pili baada ya ubingwa kutua yanga tukishinda leo tutakuwa tumefungua njia ya ushindi kwa kila mechi nafahamu moro ni wazuri na wako katika hali ushindani kuifanya mechi yetu kuwa ngumu lakini sisi tutaingia uwanjani UNK ushindi tu alisema UNK naye kocha wa moro united fred felix minziro alisema mchezo wa leo utakuwa mgumu sana lakini wao wanahitaji ushindi kwa hali yoyote ile ili kukwepa panga la kushuka daraja moro united iko katika nafasi ya tatu kutoka chini kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi kumi na tano hivyo inabidi ifanye kazi kubwa kuhakikisha inashinda mechi zake zote zilizobaki ili ibaki ligi kuu msimu ujao minziro alisema timu yake iko katika hali mbaya sana na wanaomba mungu UNK na kubwa wanalotaka ni kushinda mchezo wa leo tunaamini kabisa tukishinda mchezo wa leo tutashinda na mingine yote mechi ni ngumu sana tunaomba mungu tu tushinde na tumalize mechi zetu zote zilizobaki vizuri ili UNK hili janga ka kushuka daraja alisema minziro ligi kuu imerejea tena wiki hii baada ya kusimama kwa muda kupisha maandalizi ya timu ya taifa iliyokuwa ikishiriki michuano ya chan nchini ivory coast katika mechi za mwishoni mwa wiki jkt ruvu iliichapa villa squad mabao tano sifuri polisi dodoma ilitoka suluhu na kagera sugar na toto african kuibamiza prisons magoli mbili moja bao lililofungwa na michael essien katika dakika ya kumi na saba ya kipindi cha kwanza katika mechi ya ligi kuu dhidi ya manchester city limeendelea kumpa nafasi nzuri kocha wa chelsea guus hiddink katika sekunde ya sitini tu za mchezo chelsea walitoa onyo kwani nicolas anelka akiwa winga ya kulia alipiga krosi iliyomkuta frank lampard aliyefunga bao ambalo lilikataliwa na mwamuzi wa mchezo huo akidai ameotea manchester city walijibu mashambulizi hayo katika dakika ya sita kupitia felipe UNK baada ya UNK UNK kumuacha ashley cole katika winga ya kushoto robinho aliweza kuonyesha cheche zake katika dakika ya kumi baada ya kucheza vizuri na kutoa pasi kwa jose bosingwa ambaye UNK wayne bridge ambapo juhudi zao UNK na kipa peter cech wa chelsea katika mechi hiyo iliyohudhuriwa na mashabiki arobaini na moja sifuri sifuri sifuri drogba na anelka walipata nafasi chache lakini waliweza kupeleka hatari katika lango la machester city kipindi cha pili kilianza kwa chelsea kutaka kutafuta bao la pili wakati essien alipowatoka mabeki wa manchester city na kutoa pasi iliyomkuta drogba lakini beki wa city UNK aliweza kuondoa mpira katika hatari katika dakika ya themanini ya mchezo huo manchester city walimtoa robinho na kumuingiza UNK UNK ambaye alipiga shuti lililookolewa na UNK katika dakika ya themanini na tano florent malouda alipata nafasi na kupiga shuti kali la mbali ambalo lilipanguliwa na kipa wa manchester city hadi mwisho chelsea iliongoza mpira huo kwa bao moja sifuri matokeo ambayo yanaendelea kukipa matumaini ya kuendelea na mbio za UNK ubingwa wa ligi kuu ya uingereza kikosi cha chelsea kinachoongozwa na guus hiddink ambaye ni kocha pia wa timu ya taifa ya russia mabingwa watetezi wa ligi ya mabingwa afrika al ahly wameanza kampeni ya kutetea taji la kwa kishindo kwa UNK yanga kwa mabao tatu sifuri katika mchezo uliochezwa jijini cairo misri mshambuliaji mohamed barakat alikuwa mwiba kali kwa ngome ya yanga kwa kuifungia al ahly mabao mawili pamoja na lile la mapema zaidi katika sekunde ya arobaini na nne mwanzoni mwa mchezo mabingwa hao watetezi UNK mchezo kwa kasi na kutawala vema sehemu ya kiungo walipata bao hilo la mapema kwa mshambuliaji wa kimataifa wa misri mohamed barakat akipokea pasi ya UNK UNK na kupachika mpira wavuni kuingia kwa bao hilo kuliamsha ari ya yanga ilijibu shambulizi katika dakika ya pili kupitia mshambuliaji wake bonifase ambani aliyekosa bao la wazi UNK kuunganisha pasi nzuri ya mrisho ngasa baada ya kosa kosa hiyo mabingwa hao wa afrika al ahly UNK mchezo kwa zaidi ya dakika kumi na sita yanga ilifanikiwa kufika langoni kwa wamisri hao mara moja huku mashambulizi yao yote UNK upande wa kulia na kumpa wakati ngumu beki amri maftah kipa obren UNK UNK kufanya kazi ya ziada kuokoa mpira wa kichwa uliopigwa na ahmad UNK katika dakika ya kumi na mbili mshambuliaji wa kimataifa wa angola flavio alitumia vizuri uzembe wa kipa obren aliyeshindwa kuokoa kwa umakini krosi ya barakat na kumkuta mfungaji dakika ya ishirini kufanya matokeo kuwa mbili sifuri hadi mapumziko al ahly wakionekana UNK vizuri yanga na kutumia udhaifu wa beki za pembeni walipata bao la tatu lilofungwa tena na mohamed barakat aliyeunganisha vizuri krosi ya ahmad UNK katika dakika ya hamsini na tatu baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya kocha dustan kondic alifanya mabadiliko kwa kumtoa godfrey bonny ben mwalala na mrisho ngassa na nafasi zao kuchukuliwa na geogre owino UNK tegete na mike baraza mabadiliko hayo UNK uhai wa yanga na kufanya mashambulizi mengi na kushudia mashuti ya bonifase ambani na nurdin bakari yakigonga mwamba katika dakika sabini na tisa na themanini huku mike baraza akikosa bao yeye na kipa kwa shuti lake kupaa juu kwa matokeo haya yanga sasa inahitaji kushinda mabao nne sifuri kama inataka kusonga mbele kwa raundi ya kumi na sita bora msimu huu matokeo mengine yoyote watabaki na kumaliza hadithi ya tanzania katika michuano ya kimataifa kwa mwaka huu malaika wa chelsea ambaye UNK kikosi hicho katika wasiwasi wa kuporomoka guus hiddink amesema atahakikisha UNK mancheter united mpaka mwisho wa ligi baada ya kikosi hicho kujiimarisha kwenye nafasi ya pili katika mbio za kusaka ubingwa wa ligi kuu england kocha huyo alisema UNK manchester united ikiangukia mikononi mwake bao la michael essien UNK chelsea na kuwa nyuma ya vinara kwa pointi nne kitendo cha manchester united kuadhibiwa kwa mabao nne moja na liverpool katika uwanja wa nyumbani kimefanya kikosi hicho UNK mbio za kusaka ubingwa hiddink alisema UNK kiti cha uongozi na kuona kuna kikosi kinakuja nyuma yako kwa kasi lazima UNK na wasiwasi lakini kama ingekuwa ni tofauti ya pointi nne tu tungekuwa karibu mno lakini wana mechi nyingine mkononi ingawa baada ya kucheza mechi ya jumamosi iliyopita presha imeongezeka katika ligi kama tunataka kuwafikia inabidi tuendelee kuibuka na ushindi na jambo hilo litaongeza wasiwasi mpaka mwisho wa msimu kila unapopata kichapo UNK roho huuma sana lakini hali huwa mbaya hasa UNK katika uwanja wako wa nyumbani ambao umekuwa ukiweka rekodi kila mara kocha huyo aliongeza lakini katika ligi kuu england kila timu inaweza kuibuka na ushindi kwenye uwanja wa old trafford kwa sababu vikosi vyote ni imara kocha wa liverpool rafa benitez amemwambia alex ferguson kwamba ataendelea kuwa baba yake katika soka kocha huyo wa liverpool amefurahi baada ya kuona akitoa kichapo kwa mabingwa wa ulaya kwa jumla ya mabao nne moja katika uwanja wa old trafford benitez aliongeza liverpool imekuwa ni timu bora ya ulaya kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo hilo lipo wazi sasa tunajiamini tuna nguvu kubwa tunatakiwa kushinda kila mechi kuanzia sasa ili tuone nini UNK kwao benitez amepania kumkosesha raha ferguson na amesema kwamba kitendo cha kuwafunga kwenye uwanja wao wa nyumbani UNK na kocha huyo wa liverpool ambaye aliwahi kukifunga kikosi hicho katika mechi ya awali msimu huu anaona kwamba ana kila sababu ya UNK ferguson benitez alisema ninamheshimu alex ferguson ni kocha bora lakini ninatakiwa kuitetea klabu yangu wakati mwingine kiingereza changu si kizuri lakini sielewi vizuri UNK ya scotland ijumaa iliyopita ferguson alisema kwamba alitakiwa kusoma filosofia za sigmund freud ili kumuelewa benitez benitez aliongeza ni kweli nilijifunza kuhusu freud wakati nilipokuwa shule ya awali na chuo kikuu nilijaribu kuongea kingereza changu na ninadhani ferguson UNK ninachozungumza baada ya mechi ya jumamosi kocha huyo anaamini kwamba liverpool ina uwezo wa kushinda mechi zote zilizobaki na hatimaye kuibuka na ushindi kocha huyo kutoka hispania alisema tunacheza vema inabidi UNK maisha hayo na kuendelea kupata pointi tatu katika kila mechi lakini kocha huyo anafahamu kwamba iwapo liverpool inataka kuhakikisha inaibuka na ushindi kila mara inabidi itumie kiasi kikubwa cha fedha katika usajili benitez alisema lengo la klabu yetu ni kupata ushindi na kuibuka na ubingwa lakini mancheter united pia wanataka jambo hilo katika maisha ya sasa ya soka fedha inaweza kukufanya uwe na kikosi imara zaidi unaweza kuona jambo hilo wakati wa kubadilisha wachezaji uwanjani kama katika benchi huna watu wazuri ni vigumu kufanikiwa sigmund freud ni miongoni mwa wataalamu anayesifika kwa kuandika vitabu mbalimbali vya matatizo ya akili ya binadamu na jinsi maisha ya utotoni UNK maisha ya mtu ukubwani kocha wa arsenal arsene wenger amesema kwamba mchezaji andrey arshavin wa russia ni hazina kwa klabu arshavin amekuwa UNK fiti tangu alipojiunga na kikosi hicho katika dirisha dogo la usajili wa mwezi januari imeonekana kwamba mshambuliaji huyo ameanza kukaa sawa baada ya kupachika mabao mawili wakati timu yake ilipotoka kifua mbele kwa mabao nne sifuri dhidi ya blackburn rovers wenger alisema alicheza kwa juhudi nadhani hata yeye ameshangazwa na uwezo UNK lakini ninadhani kwamba ni mtu anayependa changamoto kwa kuwa alidiriki kuondoka st petersburg ambako alikuwa nyota na kufika england akiwa na umri wa miaka ishirini na nane inaonyesha ana uhakika na UNK ninapenda wachezaji kama hao kwa sababu katika hatua ya mwisho wanaweza UNK nadhani kila mchezaji anatakiwa kuwa na ari kama hiyo mpaka mwisho wa msimu lakini hata sisi tumewahi kuwauza wachezaji wetu kama alexander hleb na tomas rosicky ambao walikuwa na miaka kati ya ishirini na saba na thebathini waliamini kwamba wanaweza kufanya vema mbele ya safari mchezaji wa manchester united rio ferdinand anaamini kwamba kitendo cha nemanja vidic kutolewa nje ya uwanja kiliongeza sumu kwenye mchezo wao dhidi ya liverpool ndio maana UNK kwa kichapo cha mabao nne moja wikiendi iliyopita zikiwa zimebaki dakika kumi na tano kabla ya kumalizika kwa mchezo na manchester united ikiwa kwenye harakati za kutaka kusawazisha baada ya kuwa nyuma kwa mabao mbili moja nemanja vidic alipewa kadi nyekundu kwa kumuangusha steven gerrard na fabio aurelio alipachika bao la tatu kupitia mpira wa adhabu ferdinand hata walipokuwa mbele kwa mabao mbili moja tulionyesha uwezo mkubwa katika kipindi cha pili na carlos tevez nusura UNK bao lakini kitendo cha kumtoa nemanja vidic kilifanya kikosi UNK na watu mbalimbali wamekuwa wakisema kwamba refa hakutakiwa kutoa adhabu hiyo lakini ferdinand amesema kwamba UNK mchezaji huyo na aliongeza vidic ni mmoja wa wachezaji wakali msimu huu kila mtu anaweza kufanya makosa kwa hiyo hatuwezi kumshutumu licha ya kupata kipigo hicho ferdinand anasema kufungwa ni jambo baya lakini UNK na wapinzani wako wakubwa ni kitu cha kusikitisha lakini tunatakiwa kuondokana na mzimu huu kipigo hicho kinatakiwa kuwa changamoto zaidi tunatakiwa kufahamu kwamba UNK katika mechi bila kuwa na umoja lazima tutapata matokeo mabaya kipa wa zamani wa arsenal david seaman UNK mke wake wa pili ikiwa ni miaka kumi na tano tangu UNK na mkewe wa kwanza kipa huyo wa zamani wa england ambaye alipewa jina la mikono salama amewashangaza marafiki na ndugu zake kwa uamuzi huo wikiendi hii mke wa pili aliyeachwa aitwaye debbie ambaye ni mama wa watoto wawili alisema kila mtu amechanganyikiwa lakini nina watoto wawili wazuri wa kuwalinda mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne gazeti la news of the world liligundua kwamba seaman ambaye sasa ana miaka arobaini na tano alimtelekeza mke aitwaye sandra na watoto baada ya kuishi naye kwa miaka kumi ilielezwa kwamba mchezaji huyo wa zamani wa arsenal alikimbia nyumba yake na kumuacha mkewe na watoto wawili daniel na tommy wakati huo wakiwa na umri wa miaka saba na nane waandishi wa gazeti hilo UNK mchezaji huyo akiondoka nyumbani kwake london kwa siri akiwa na mabegi mawili msemaji wa seaman alisema kuwa kwa mara nyingine ameikimbia familia yake alisema david ameikimbia familia yake kwa mara nyingine wiki chache zilizopita tumejaribu kuweka mambo sawa lakini tumeshindwa mawakili wanaoshughulikia talaka bado UNK lakini ndio kitu UNK rafiki yake wa karibu alisema suala hilo ni kama kipindi cha nyuma wakati UNK sandra UNK kama anaweza kurudia kitendo hicho lakini UNK kazi pamoja na ubunifu kwenye muziki wa taarab ni miongoni mwa vitu UNK umaarufu mkubwa mzee yusuf ambaye huwezi kuzungumza lolote katika sanaa hiyo bila UNK ni kinara ambaye ameweza kulinda chati na heshima yake katika muziki huo popote pale anapokuwa na hilo UNK kwani hata katika tuzo za muziki hakuwahi kukosa katika miaka ya hivi karibuni lakini ukiachilia mbali umahiri wake kwenye kazi maisha yake binafsi na yenyewe yamekuwa UNK maswali mengi kwa mashabiki wa taarab ingawa wapo wanaodai ni haki yake kufanya anavyofanya kutokana na sheria za uislamu kumruhusu msanii huyo katika miaka ya hivi karibuni amekuwa mijadala mdomoni mwa mashabiki baada ya kuachana na wake zake watatu kwa nyakati tofauti baada ya kutokea kutoelewana miongoni mwa wanawake UNK na mzee yusuf ni msanii wa taarab UNK kassim lakini yeye anaona ni jambo la kawaida kumtaliki mtu endapo mambo hayaendi kama UNK anasema katika maisha ya ndoa si ajabu kusikia baadhi ya wapenzi waliopendana na kuoana UNK baada ya muda japo UNK hata watoto na anadai kuwa hali hiyo UNK yeye mara kwa mara kutokana na misukosuko ya maisha mzee yusuf ambaye anaishi magomeni na wake zake wawili wa sasa anasema kuwa sasa nina wake wawili na maisha yanaendelea mmoja yupo katika kundi letu la jahazi ambaye ni leila rashid na wa pili ni chiku UNK kuoa na kuacha UNK siyo kitu cha ajabu watu UNK na wanapoamua kuachana ukiona hivyo ujue kuna sababu ambazo UNK tabia hiyo ya kuoa na kuacha imekuwa UNK na mashabiki wake kwamba inatokana na kukurupuka na kwamba sasa anatakiwa kusubiri mpaka atakapokuwa tayari kuhusu madai hayo mzee yusufu anasema hili ni jambo la kawaida kabisa na wala sioni ni kitu gani cha ajabu kuoa na baadaye kuacha kama mnashindwa UNK alianza muziki mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba kama mpiga kinanda katika kundi la east african UNK na mwaka ishirini sifuri sifuri alijiengua katika kundi hilo na kujinga na zanzibar stars ambalo sasa linajulikana kama new zanzibar UNK baadhi ya nyimbo alizotunga akiwa katika kundi hilo ni pamoja na sina kinyongo UNK UNK UNK UNK mtu hana mungu na mwenye wivu UNK alidumu na new zanzibar star kwa miaka sita kabla ya kujitoa na kuanzisha kundi lake la jahazi mwishoni mwa mwaka ishirini sifuri sita na akiwa na jahazi ametoa albamu nne hadi sasa katika kundi lake anatamba na vibao kama two in one nakshi nakshi tupendane pamoja na vip wimbo unatamba katika vituo mbalimbali vya redio nature ambaye amekuwa kimya kwa muda mrefu UNK baadhi ya nyimbo zake redioni mwezi uliopita na kutangaza wiki iliyopita kwamba UNK machi ishirini kwenye ukumbi wa diamon jubilee mmoja wa marafiki wa karibu wa msanii huyo wamedai kuwa amepania na anajiamini kwa kiasi kikubwa ndio maana ametoa matangazo kwa muda mfupi na kuamua kuzindua albamu yake diamon akijua UNK watu anajiamini sana amefanya mazungumzo na wasanii wengi ili UNK ingawa amewataja UNK afande sele lakini vipo vichwa vingi sana UNK ukumbini na UNK alhamisi anathibitisha kwanza hakuwa katika kiwango UNK alisababisha timu kufungwa bao la pili na alikuwa UNK mipira mingi licha ya kuokoa hatari kadhaa ambazo zilikuwa UNK langoni mwake anapata tano alicheza vizuri na kusaidia mashambulizi alionyesha kiwango cha juu ingawa mwanzoni alionekana kuelemewa na wachezaji wawili wa al ahly kwa lengo la UNK alicheza UNK anapata sita alicheza vizuri sana kinyume na matarajio ya wengi alipanga na kusaidia mashambulizi anapata tano tano alikaba sana na kuwanyima nafasi UNK wa al ahly hakuonyesha mzaha hata kidogo muda wote alikuwa UNK anatapa sita tano ndiye aliyekuwa kizingiti kikubwa cha washambuliaji nyota wa al ahly UNK zaidi ya hatari sita kati ya hizo tano zilikuwa magoli ya wazi alijituma zaidi anapata saba alionyesha uwezo mkubwa alitawala eneo la kiungo na kupiga UNK kadhaa alisaidia mashambulizi na kuzuia anapata sita tano alibanwa zaidi na alitumia vyema nafasi alizopata kushambulia hakuwa katika kiwango cha kawaida kinachoeleweka anatapa sita alifanya kazi kubwa ya kuzuia kuanzia kati alisaidia ulinzi na kufanya UNK kadhaa pamoja na kutoonekana kuwa fiti anapata sita hakuonyesha cheche zake za ligi kuu bara alikosa nafasi kadhaa za wazi UNK kukaba wakati timu ilipokuwa UNK alipoteza mipira mingi anapata tano UNK kama UNK ingawa alisaidia kukaba na kutafuta upenyo kila upande anapata tano alionyesha kuwa na uchu mkubwa ingawa alicheza wingi ya kushoto alikaba na kuhaha uwanja mzima hakuwa na mzaha na kujituma zaidi anapata sita tano alionyesha uwezo mkubwa wa kukaba na kushambulia alipiga mashuti kadhaa na UNK ngome ya al ahly anapata sita alijituma na kuwa chanzo cha kutoa pasi nyingi za mwisho alionyesha uwezo mkubwa na kuwa tegemeo anapata sita alifanya kazi kubwa ya kukaba na kushambulia UNK pasi anatapa sita timu ya taifa ya kriketi imeanza mazoezi kwenye uwanja wa muhimbili jijini dar es salaam kujiandaa na michuano ya kufuzu kombe la dunia itakayoanza machi ishirini na tano hadi aprili tisa nchini zambia mwenyekiti wa chama cha kriketi tanzania zulfikar UNK amesema timu hiyo itacheza mechi nyingi za kirafiki ili kujiweka fiti kabla ya kwenda zambia tayari UNK imetangaza majina ya wachezaj kumi na nne watakaoiwakilisha nchi katika michuano hiyo ambayo mshindi atapata nafasi ya kushiriki michuano ya dunia itakayofanyika nairobi mwakani nchi sita zimethibitisha kushiriki michuano ya judo ya afrika mashariki na kati itakayofanyika machi ishirini na moja hadi ishirini na tatu kisiwani zanzibar katibu mkuu wa chama cha judo tanzania kashinde shabani amesema timu zote zinatakiwa zifike zanzibar machi kumi na tisa tayari kwa michuano hiyo tunaamini nchi nyingine zitaendelea kuthibitisha na sisi hapa kwetu tunaendelea kujifua kwa ajili ya mashindano hayo na tuna uhakika mkubwa wa kufanya vizuri bondia rashid matumla UNK katika raundi ya pili na paul smith wa uingereza katika pambano la kuwania ubingwa wa dunia lililofanyika mwishoni mwa wiki jijini manchester city rais wa UNK la ngumi za kulipwa tanzania emmanuel mlundwa amesema katika pambano hilo lililokuwa la raundi kumi na mbili matumla alishindwa kuhimili ngumi za mpinzani wake na kukaa mara mbili hivyo ilipofika raundi ya pili kushindwa kuendelea na mchezo matokeo ndio hayo nafikiri kupigwa mfululizo kunatokana na umri nao kwenda hivyo muda wake wa kupambana unaenda ukingoni leo atarejea nchini aeleze kilichomsibu kocha mkuu wa timu ya mpira wa kikapu ya jkt tubert matiku amewapongeza wachezaji wake kwa kujituma na kufanikiwa kutwaa ubingwa wa mkoa wa dar es salaam kili rba baada ya kuifunga vijana pointi sitini na nane hamsini na tatu matiku amesema wachezaji wake UNK mno na kuonekana kweli wamepania UNK ubingwa na ndio kitu kilichotokea nawapongeza kwani wamecheza kitimu zaidi naamini wataendelea hivi katika mashindano yoyote yale pia nawapongeza vijana kwa kutupa ushindani mkubwa lakini naamini UNK michuano ya gofu ya wachezaji wa kulipwa itafanyika kesho jumanne kwenye uwanja wa tpc mkoani kilimanjaro nahodha wa klabu ya tpc john davis amesema mashindano hayo yatashirikisha wachezaji zaidi ya thebathini kutoka mufindi dar es salaam gymkhana UNK lugalo arusha na UNK pia tunatarajia kuwa na wachezaji wa kulipwa kutoka nje ya nchi ambao wamethibitisha kushiriki tunaamini mashindano yatafanyika kwa amani na ushindani mkurugenzi wa ufundi wa malawi jack afrika chamangwana amemtaka beki wake wisdom ndhlovu kuripoti mara moja nchini humo mara UNK jijini dar es salaam akitokea cairo misri malawi imepangwa kundi moja na ivory coast kwenye michuano ya awali ya kombe la mataifa ya afrika na dunia mwaka ishirini moja sifuri nchini afrika kusini chamangwana ambaye alikuwa nchini ivory coast kukagua viwanja na hoteli ambako malawi itafikia ameiambia mwanaspoti kuwa UNK mara moja ndhlovu kujiunga na timu ya taifa mara baada ya kurejea akitokea cairo ambako yanga imefungwa mabao tatu sifuri na al ahly sitapenda awe na muda wa kupoteza nimewasiliana naye na kumweleza hilo tutakuwa na mechi ngumu sana dhidi ya ivory coast na UNK kikosi chao chote cha wachezaji wanaocheza ulaya UNK ndhlovu afanye kila linalowezekana kuhakikisha anakuwa malawi unajua hatutakiwi kujiandaa kwa mafungu na badala yake kila mmoja awe pale na hii si kwa ndhlovu pekee UNK wachezaji wote wanaocheza nje alisema chamangwana ambaye anaongoza mipango ya kikosi hicho kinachonolewa na kina phiri kabla ya kuondoka kwenda misri kuivaa al ahly ndhlovu aliiambia mwanaspoti kwamba amepata mawasiliano ya kocha huyo na atatekeleza hilo baada ya kumalizana na waarabu hao wa misri ndhlovu alikuwa katika kikosi cha yanga UNK mabao tatu sifuri na al ahly ambayo pia imepania kuja kushinda dar es salaam ingawa mchezo utakuwa mgumu kwa kuwa jangwani wanataka kulipa kisasi kipa wa mtibwa sugar shabaan kado ameiambia simba kwamba hakuna mtu wa kutufunga sasa tunaitaka nafasi ya pili kwa nguvu zote kado ambaye wadau wanampigia upatu aingie taifa stars kutokana na kiwango chake aliipa mtibwa ubingwa wa kombe la tusker mwishoni mwa mwaka jana kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam simba UNK dar es salaam lakini isitegemee hayo kujirudia morogoro sisi tumejipanga sana kwa kumalizia mechi zilizobaki ndio maana unaona tulikuwa na majeruhi na wengine wa kikosi cha kwanza hawakuwepo lakini tukatoa sare na azam dar es salaam UNK sana nafasi ya pili na tunaweza kwa vile tumefanya maandalizi ya muda mrefu sana tangu ligi UNK tunaamini kwamba kila kitu kitaenda sawa kwa vile waliokuwa wanaumwa wanaendelea vizuri na wale wa timu ya taifa wamerudi kuendelea na kazi pointi za simba UNK na itakuwa ni muendelezo mzuri alisema kipa huyo ambaye timu yake ina pointi ishirini na mbili na ikiwa UNK ubingwa wa bara katika miaka ya hivi karibuni ulimboka mwakingwe UNK kipigo cha mabao mbili moja UNK na vancouver white caps ya canada katika mchezo wa kirafiki wiki iliyopita kwa madai kuwa kimewashtua usingizini na kuwaweka fiti zaidi kabla ya ligi kuu tanzania bara kuendelea mchezaji huyo mkongwe na tegemeo kwenye kikosi cha kocha patrick phiri alisema ni kheri wamekutana na hali hiyo kabla kuendelea na ligi afadhali tumefungwa ili tujue nini cha kufanya kabla ya kurudi uwanjani tungeshinda UNK kwamba tunaweza na UNK tatizo liko wapi alisema mchezaji huyo ambaye jana jumatatu timu yake ilikuwa ikirejea uwanjani kwa kucheza na moro united jioni katika uwanja wa uhuru jijini dar es salaam kushinda si ishu sana lakini wale wazungu wametupa mazoezi makali sana ambayo UNK safi na kutusaidia kujijua ni nini tunapaswa kufanya hali ya wachezaji iko vizuri na morali ipo juu tayari kwa kumalizia hizi mechi saba zilizobaki tunachoomba kwa mashabiki ni sapoti tu hizi mechi zilizobaki ni ngumu sana na zinahitaji nguvu ya kila aina UNK yanga imeanza vibaya ligi ya mabingwa afrika baada ya kufungwa mabao tatu sifuri na mabingwa watetezi wa afrika al ahly ya misri mchezo huo ulifanyika juzi jumapili usiku katika uwanja wa cairo wenye uwezo wa kubeba mashabiki sabini na tano sifuri sifuri sifuri hatupendi kuzungumzia mchezo huo sana lakini tungependa kuzungumzia kauli ambazo zilikuwa zinatolewa na mwenyekiti wa klabu hiyo imani madega kabla ya mechi hiyo madega ambaye ameongozana na klabu hiyo nchini misri alikuwa akikaririwa kwenye redio na magazeti mbalimbali akidai kuwa wamedhibiti fitina za al ahly nje ya uwanja miongoni mwa kauli chache za madega ilikuwa ni kuwa wamefanikiwa UNK basi la wenyeji wao na kwamba hata chakula walikuwa wanapata sehemu nyingine tofauti na UNK hatuna pingamizi na hilo lakini jambo la UNK zaidi ni pale madega UNK kuwa waandishi wa habari walikuwa UNK watoke nje ya mchezo madega kwa kujiamini kabisa amekaririwa akisema kuwa waandishi wa habari wa misri walikuwa na lengo la kuwafanya wachezaji wa yanga kutoka nje ya mchezo na kwamba walikuwa wanatumika UNK kambi yao tutakuwa watu wa mwisho kukubaliana na madega kuhusu hilo na hasa ikizingatiwa kuwa waandishi wa habari wanafanya kazi yao kitaalamu na ni wajibu wao kutafuta habari usiku na mchana yeyote aliye mbele yao madega hawezi kuwapangia waandishi jinsi ya kufanya kazi zao na ndio maana hata waandishi wa tanzania wamekuwa wakifanya mahojiano na wachezaji wa timu nyingine UNK nchini hata al ahly wakija dar es salaam UNK wa habari wa tanzania watafanya kazi yao ya kwenda mara kwa mara kwenye hoteli kwa lengo la kupata habari za kuwapa wapenzi wa soka timu zote ambazo zimekuja nchini kama cameroon burkina UNK zambia sudan senegal burundi UNK burundi kenya na klabu kubwa kama super sports enyimba na asec mimosas zimekuwa zikitoa ushirikiano mkubwa kwa waandishi wa habari zinapokuwa tanzania UNK fani ya uandishi wa habari kuwa si kwa ajili ya kuharibu programu za watu wengine lakini ni kwa ajili ya kuhakikisha watu wanapata habari za uhakika na za kila wakati UNK madega awe kiongozi asiwe UNK rais wa shirikisho la soka afrika UNK kombe la mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani linaweza kuipiku la mataifa ya afrika baada ya kuonyesha viwango vya juu ivory coast rais wa caf issa hayatou aliiambia mwanaspoti katika mahojiano maalum jijini abidjan ivory coast hivi karibuni kuwa chan imeonyesha mabadiliko makubwa na sasa fainali zitakuwa na timu kumi na sita badala ya nane fainali za chan hujumuisha wachezaji wanaocheza ligi za ndani za nchi wakati fainali za can hujumuisha wachezaji wote wa ndani na nje ya nchi wachezaji wengi wa timu mbalimbali ambao wanacheza soka ulaya na kwingine watakaporejea kuzichezea timu zao kwenye can lazima waonyeshe mabadiliko na kiwango cha juu alisema mfano mchezo wa fainali ya chan kati ya congo na ghana ulikuwa ni wa kiwango cha juu sana hakuna anayeweza kuthubutu kusema kulikuwa na kubahatisha maana yake fainali zilikuwa za kiwango cha juu nikiwa kiongozi wa caf najivunia wazo la kuanzisha chan ni wakati mwingine pia kwa wachezaji wa sehemu mbalimbali za afrika kuona kwamba UNK hata uamuzi wa kuongeza timu hadi kumi na sita huko sudan mwaka ishirini moja moja pia ni kuwapa nafasi zaidi wachezaji tunaamini wengi walikosa nafasi ya kuja chan kutokana na nafasi chache kwani tuna timu nane ni nafasi ya wazi kwa kila mmoja tunataka vipaji vya afrika vipate nafasi zaidi alisema hayatou katika mahojiano UNK waandishi wa mwanaspoti na wale wa super sport ya afrika kusini kwa kuwa vyombo viwili vya habari UNK nafasi ya kufanya naye mahojiano kwa wakati mmoja congo ilitwaa ubingwa wa chan kwa kuifunga ghana beki wa yanga nadir haroub cannavaro amewataka wachezaji wenzake kucheza kufa au kupona katika mechi ya marudiano ya ligi ya mabingwa afrika itakayofanyika dar es salaam wiki mbili zijazo cannavaro alisema hayo baada ya mechi yao dhidi ya mabingwa watetezi wa ligi hiyo al ahly iliyofanyika kwenye uwanja wa cairo mjini hapa na kufungwa mabao tatu sifuri magazeti ya misri ya jana yameandika kuwa wachezaji wa yanga walikuwa wakicheza kung fu uwanjani hata hivyo cannavaro alisema kuwa wachezaji wanatakiwa kujua kuwa hali waliyonayo sasa si ya mzaha kwani al ahly ni timu kubwa na wanastahili kujituma ili kuitoa alisema kuwa yeye amejitolea kufa siku hiyo na kazi aliyoifanya katika mchezo wa kwanza UNK maradufu zaidi katika mchezo huo cannavaro UNK vilivyo washambuliaji wakali kama flavio amando UNK gilberto na mohammed aboutrika ambaye aliingia kipindi cha pili na kushindwa kufurukuta mchezaji huyo alianza kwa kumpa shoti flavio na kumfanya mchezaji huyo kumuogopa na UNK goli ingawa alifunga bao la pili kutokana na makosa ya kipa wao cirkovic UNK halikuwa bao lililotokana na makosa ya mabeki sisi tulidhani ule mpira UNK au UNK mbali ya hapo kwani ulikuwa juu yetu na yeye alikuwa anatumia mikono matokeo yake ndiyo yale UNK UNK bao la tatu alisema alisema kazi kubwa ya viongozi sasa ni kuweka mazingira mazuri ya mechi ya marudiano kwani wanahitaji kambi iliyokuwa makini na si vinginevyo naye mrisho ngasa aliungana na cannavaro kwamba wanatakiwa kujua kuwa yanga ndio timu pekee UNK tanzania katika mashindano ya kimataifa ngassa ambaye alibanwa vilivyo katika mchezo huo na nafasi yake kuchukuliwa na mike baraza alisema pamoja na matumaini ya kufanya vyema mchezo wa pili wanahitaji maandalizi ya kina kwani al ahly UNK ili kusonga mbele tujiandae kwa ajili ya vita ya mchezo wa marudiano tufanya mazoezi ya kujiandaa kweli kwani magoli nne au tatu zinapatikana kama UNK vilivyo alisema haruna moshi boban athuman idd chuji na juma kaseja UNK taifa stars mpaka julai mwaka ishirini moja sifuri hiyo inatokana na mtu UNK kumfahamu marcio maximo kuongeza mkataba wa mwaka mmoja UNK utaisha julai ishirini moja sifuri maximo ambaye alitua nchini julai ishirini sifuri sita aliingia mkataba wa miaka miwili kabla ya kuongeza mkataba wa mwaka mmoja ambao unaisha julai mwaka huu lakini sasa kocha huyo wa brazil ameongeza mkataba wa mwaka mmoja ambao utawafanya wabaya wake boban chuji kaseja na amir maftah kutocheza taifa stars katika utawala wake maximo aliapa kuwa UNK kaseja katika kikosi chake huku boban na chuji nao wakiapa kuwa hawatacheza kikosi kinachonolewa na mbrazili huyo ugomvi wa maximo na wachezaji hao watatu boban chuji na maftah ulitokea ivory coast wakati wa fainali za mataifa ya afrika kwa wachezaji wa ndani huku kaseja akidaiwa kuigawa timu leodegar tenga alisema jana jumatatu kuwa kilichowafanya kuongeza mkataba mwingine na kocha huyo ni kwa sababu ya mafanikio yake ya miaka mitatu katika kikosi cha taifa stars lengo letu sisi kutoka mwanzo tulikuwa tunataka tukae na maximo kwa miaka minne na tulikuwa tunaamini miaka hiyo atakuwa UNK kuiweka timu yetu katika hali nzuri na mafanikio makubwa alisema tenga alisema wamefurahi baada ya kukubali kuongeza mkataba mwingine wa mwaka mmoja kwa kuwa ni kocha ambaye ana nia ya kukuza soka nchini hasa kwa kutaka kuwainua vijana zaidi alisema kwa upande wa wasaidizi wake ambao wameondoka kocha wa vijana marcus tinocco na kocha msaidizi amour itamar ambaye yuko azam wamempa kazi hiyo maximo kuwatafuta wasaidizi kwa kupendekeza watu watatu na kamati ya ufundi itakaa na UNK wawili maajabu kocha wa yanga kondic dusan ametamka kwa maneno yake kwamba UNK kwani yanga haiwezi kuifunga al ahly jijini dar es salaam kauli hiyo ilitoka kwa jazba katika kinywa chake juzi jumapili usiku timu hiyo ilipofika hotelini royal marsh baada ya kufungwa mabao tatu sifuri na al ahly katika mchezo wa raundi ya kwanza ya ligi ya mabingwa afrika uliopigwa kwenye uwanja wa cairo unaobeba mashabiki sabini na tano sifuri sifuri sifuri wakiwa wamepumzika hotelini wakipata chakula cha usiku huo kondic alimwambia kiongozi wa msafara wa yanga alex mngongolwa kwamba ni vigumu timu yangu kushinda mchezo wa marudiano kwani al ahly ni nzuri mno mwanaspoti iliyokuwa maeneo ya hoteli hiyo UNK kocha huyo akimwambia mngongolwa kauli hiyo ambayo ilizua tafrani kwa dakika kadhaa kwani kiongozi huyo wa msafara wa tff UNK mgongolwa ambaye kitaaluma ni mwanasheria alitofautiana na kondic kwa dakika kadhaa na kumshutumu kwa kauli hiyo ambayo alimwambia si ya kiungwana kwa kiongozi au kocha kutamka wakati timu yake ikikabiliwa na mchezo mgumu tena wa ligi ya mabingwa afrika walitofautiana kwa muda lakini alichokuwa anasema mngongolwa ni kwamba ile kauli ni mbaya na akamwambia kondic asije UNK tena kwani inakatisha tamaa wachezaji na mashabiki bado kuna dakika tisini za kumalizia dar es salaam mngongolwa alionekana kupewa sapoti na baadhi ya wadau wa yanga kwani kauli ya bosi huyo aliyekuwa akilaumu pia waamuzi haikuwa na UNK habari kutoka ndani ya kambi ya yanga jijini hapa zinadai kuwa wachezaji pamoja na baadhi ya viongozi wanalalamikia kitendo cha makocha hao wa serbia kutembea na kipa cirkovic obren hadi usiku wa manane siku moja kabla ya mchezo habari hizo zinadai kwamba kondic na msaidizi wake spaso UNK na obrem walirejea hotelini saa saba usiku wa kuamkia jumapili ya mchezo ambao yanga UNK hata kama ni kutembea UNK wenyewe UNK obren apumzike na wachezaji wenzake halafu kwanini atembee usiku wakati anajua kwamba kuna mechi ngumu siku inayofuata angeumia je alihoji mdau mmoja wa yanga UNK na tukio hilo yalitokea majibizano ya hapa na pale kwa vile nilikuwa namwambia kocha kwamba kauli aliyoitoa si ya kiuanamichezo na inakatisha tamaa alikiri kiongozi huyo alipohojiwa na mwanaspoti jijini hapa wachezaji wanalaumu kuwa UNK kwa mazingira ya kukabiliana na timu ngumu ya al ahly na kwamba mchezo wa kirafiki dhidi ya vancouver white caps ya canada ulikuwa wa UNK muda kocha UNK kisaikolojia kupambana na mazingira hatukuwa na kambi UNK ya muda mrefu ambayo tungekuwa tunafanya mazoezi hata mara tatu kwa siku halafu tulipaswa kucheza na timu ngumu kama ya uganda au kenya kabla ya kuja huku angalau alidai mchezaji mmoja wa kikosi cha kwanza kitendo cha kondic kwenda kusalimia na gilberto na flavio wakati timu zikielekea vyumbani kwa mapumziko badala ya kufariji wachezaji wake kiliwakera yanga kocha huyo ambaye UNK na kuzungumza na waangola hao kwa dakika kadhaa inadaiwa kuwa UNK hata na wachezaji wake UNK chumbani wakijiandaa kurudi uwanjani kwa kipindi cha pili wachezaji wanadai kuwa baadhi ya vitendo vinavyofanywa na kocha wao pamoja na kutokuwa nao karibu UNK morali na kuibua matabaka baina yao mabao ya al ahly yalifungwa na kiungo mohamed barakat aliyepiga mawili na flavio moja mabao yote matatu yametokana uzembe wa safu ya ulinzi ambako nadir cannavaro ndiye pekee aliyeonyesha uhai ahly wameripoti kuwa wachezaji wengi wa yanga walikuwa wakicheza kwa staili ya kung fu ili kupunguza kasi ya wapinzani wao ambao UNK uwezo lakini wakadai kwamba wanashukuru wachezaji wao UNK mchezo wa marudiano unapigwa wiki mbili zijazo jijini dar es salaam huku kocha wa ureno manuel jose wa ahly akisema kwamba wangeweza kupumzika na kula kuku kama wangeifunga yanga mabao nne sifuri lakini ushindi walioupata unaweza UNK yanga inapaswa kushinda mabao nne sifuri kama inataka kusonga mbele kocha wa villa squad kennedy mwaisabula amesema uongozi wake unastahili kujibu kelele za mashabiki kutokana na kipigo cha aibu cha mabao tano moja dhidi ya jkt ruvu wikiendi iliyopita villa ilipata kipigo hicho huku mashabiki wakilalama kwamba timu haikuwa na mazoezi yoyote wakati ligi kuu tanzania bara ilipokuwa imesimama kwa wiki kadhaa UNK taifa stars iliyoshiriki fainali za chan ukiangalia kile kipigo ni kikubwa mno na aibu na kwa kiasi kikubwa UNK na viongozi wenyewe hakuna haja ya kulaumu wachezaji alisema mwaisabula ambaye timu yake ina pointi kumi na nne ikiwa imecheza mechi kumi na sita viongozi hata wadau wengine wa kinondoni wanaonekana tu pale timu inapocheza na simba au yanga nyingine zote UNK halafu mwisho wa siku kocha na wachezaji ndio wanabeba lawama mtu UNK mpira wakati hana uhakika wa maisha yake na familia yake inaishi kwa shida hii timu ikishuka daraja viongozi ndio wanapaswa kubeba lawama na UNK umma wa kinondoni walifanya nini kunusuru timu yao sisi UNK kabisa hali ni mbaya mno hata UNK watu wakizungumzia villa wanaangalia matokeo ya uwanjani tu hawaangalii maisha ya wachezaji UNK jasho alisema kocha huyo na kuomba ushirikiano kwa mashabiki na wadau wa kinondoni katika michezo sita ya ligi iliyobaki ingawa anaonekana kukata tamaa mabao mawili UNK na mussa mgosi na haruna moshi katika mechi ya ligi kuu ya bara dhidi ya moja la moro united yalitosha kuipa simba pointi ishirini na saba na kukalia nafasi ya pili kwenye msimamo yanga ambao ni mabingwa watetezi ndio wanaoongoza msimamo huo wa ligi hiyo kwa pointi arobaini na mbili na kipigo cha jana jumatatu UNK moro united UNK na pointi zake kumi na tano kwenye nafasi ya tisa bao pekee la moro lilifungwa kwa kichwa na seleman kibuta imefahamika kwamba baba wa beyonce aitwaye mathew knowles UNK kazi ya UNK wa mwanamuziki lyfe UNK na badala yake jennings UNK meneja mwingine aitwaye UNK UNK ambaye pia ni meneja wa UNK cole habari za uhakika zinasema kwamba lyfe na mathew walikorofishana katika mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na masuala ya kipato mtu mmoja wa ndani alisema kwa mara ya kwanza katika maisha yake lyfe amefanikiwa kupata meneja ambaye UNK hivi karibuni mathew pia alitimuliwa kazi na kelly na imefahamika kwamba UNK pia anataka kuachana na baba huyo wa UNK jaji wa beverly hills UNK UNK amefuta kibali cha kumkamata muigizaji lindsay lohan baada ya wakili wa muigizaji huyo kuonyesha vielelezo vilivyothibitisha kwamba dada huyo amekuwa akihudhuria darasa maalum la ushauri wa kuacha pombe lindsay aliwahi kufikishwa mahakamani mwaka ishirini sifuri saba kwa kosa la kutumia kiasi kikubwa cha kilevi na alitakiwa kuanza kuhudhuria darasa la ushauri maalum wa kupunguza utumiaji wa pombe lakini baadaye kulikuwa na taarifa kwamba lindsay hakuwa akihudhuria darasa hilo pamoja na kwamba kulikuwa na malalamiko hayo lakini wakili wa lohan alifikisha vithibitisho mahakamani UNK kwamba mwanamke huyo amekuwa akihudhuria darasa na hakukuwa na matatizo yoyote ilisema taarifa ya polisi ingawa kuna habari kwamba nyota huyo wa filamu amedaiwa kuhudhuria darasa hilo lakini waandishi wa habari wameshikwa na mshangao kwa sababu hakuna hata siku moja ambayo walifanikiwa kumuona lindsay eneo la ushauri licha ya UNK kila mara mwanamuziki nyota wa miondoko ya r b rihanna anaogopa kutoka hadharani sambamba na mpenzi wake chris brown licha ya kurudisha uhusiano motomoto nyota huyo UNK sawa kutokana na tukio la kugombana na mpenzi wake februari saba mwaka huu kwa mujibu wa jarida la star rihanna alisema bado ninaona aibu kutoka katika shughuli zangu na kwenye starehe kwa sasa mtu mmoja alisema rihanna anahisi atapata mapokezi mabaya kwa jamii baada ya tukio hilo kwa kuwa ameonyesha udhaifu katika mapenzi badala ya kuchukua hatua za kisheria UNK anajiuliza ataanza vipi kumshika mkono brown mbele za umati wa watu kama UNK anampenda mpenzi wake mno ingawa amemsamehe brown lakini hafahamu kama mashabiki wake UNK wikiendi vipi wanangu mambo ya zee yangali yakienda uzuri ndio maana lipo zake kwenye hiki kijiwe UNK porojo zake kama kawa ndio kilichobaki lazima watu wazima tuongee ili mambo fulani yakae freshi kimtindo na kila mdau UNK laifu kwa usawa wa kamba yake ishu zingine si wala nini halafu mwanangu siku zinakata UNK yaani UNK wiki machi na yenyewe UNK UNK ebu jiulize umepiga mchongo gani wa maana mpaka dakika hii UNK freshi UNK mpaka penati kama vipi ebu tucheki kwanza ishu zingine halafu UNK mchongo mida mida yanga kufungwa mabao tatu sifuri na al ahly ugenini kwenye ligi ya mabingwa afrika ndio kinachosemwa sana wanapokutana popote mashabiki wa simba na yanga lakini kama kawaida ya soka wamekuwa UNK kwamba UNK kisasi kwenye mchezo wa marudiano wiki mbili zijazo jijini dar es salaam na kusonga mbele hilo linawezekana kabisa kwa mipango na maandalizi ya vitendo na si siasa na propaganda za viongozi kwenye vyombo vya habari na mitaani hata kabla timu UNK dar es salaam kocha mkuu wa yanga kondic dusan akatamka kwamba ni ndoto yanga kuifunga ahly dar es salaam hata watumie mbinu gani kondic aliwaambia viongozi waliokuwa na msafara wa yanga misri kwamba hakuna nafasi ya timu yake kusonga mbele kwenye michuano hiyo kauli ambayo ilizua malumbano ambayo nusura UNK amani viongozi UNK katika malumbano hayo ni pamoja na alex mgongolwa ambaye alikuwa mkuu wa msafara kwa niaba ya tff ambaye alipinga kauli ya kocha huyo na kumueleza kuwa si ya kiungwana na inakatisha tamaa kwa wachezaji na UNK klabu hiyo UNK kauli ya kondic kwa mapana unaweza UNK maswali mengi ambayo mwisho wa siku UNK kukubaliana na maneno yanayosemwa huku mtaani kwamba ni mtu muoga UNK kufungwa na ambaye pengine imefika wakati abaki kuwa mkurugenzi wa ufundi na si kocha wa kikosi cha kwanza kama yanga UNK hapa sitaki kuzungumzia kwamba usiku wa kuamkia siku ya mechi kwamba alionekana kwenye kambi ya ahly mpaka saa saba usiku lakini wakati mwingine nafsi UNK kuhoji hivi kocha mkubwa kama huyo amekwenda kufanya nini maeneo hayo usiku wa UNK je UNK kwamba UNK mambo ya kishirikina alikwenda kuzungumza na makocha wa ahly alikuwa na mipango yake binafsi au labda alikwenda kwenye starehe na kama ni starehe kwanini iwe katika hoteli waliyoweka kambi wapinzani wake kama hutaki kuumiza kichwa yote ni majibu kauli aliyoitoa kondic haifai na ndio inanipa wasiwasi na pengine kulazimika hata kujiuliza mara nyingi kuhusiana na uprofesa wake kwa vile ninavyojua wenye hadhi hiyo ya usomi UNK kutoa kauli kama yake tena ikizingatiwa kwamba ni mgeni kinachoonekana ni kwamba UNK timu kwenye mashindano kwa vile UNK tena dar es salaam hata kabla ya mechi ya marudiano UNK hata kama afanye nini alichozungumza kondic UNK kisaikolojia mazingira UNK kondic baada ya timu kufika misri yamechangia kipigo kilichotokea kocha huwezi kuwaambia wachezaji hawawezi kuifunga timu pinzani kwa vile ni ngumu na wana uwezo zaidi yao hata uswahili kwenye mechi za ndondo hakuna kocha anayeweza kuthubutu kutamka kauli hiyo soka ni jinsi unavyopanga mikakati yako ndani na nje ya uwanja kondic hata kama alikuwa akifanya mazoezi mazuri kiasi gani lakini kitendo cha kuwaambia wachezaji kwamba hawa hamuwezi kuwafunga lakini jitahidini kuwadhibiti si kauli na inaonyesha udhaifu wake ukweli ni kwamba huwezi kufananisha mchezaji mmoja mmoja wa yanga na ahly UNK mno kwa kila kitu kuanzia uwezo matunzo uzoefu mishahara na maisha ya ndani na nje ya uwanja na kondic pengine anaelewa hilo lakini soka ni jinsi UNK maandalizi na unavyopanga mipango yako ndio maana unaweza kumleta anelka au tevez yanga na wakaonekana hovyo pengine hakuna hata mfano lakini kondic alipaswa kuwajaza morali na motisha wachezaji wake na kukaa nao karibu zaidi kuliko kuwatisha angekuwa na uwezo wa kufanya hilo naamini wangeingia uwanjani UNK kufa na kupona na UNK na aibu ya mabao tatu sifuri kwanini UNK kwa kocha wa inter milan jose mourhino au alex ferguson wa manchester united kwani unafikiri mourhino hakujua kwamba manchester UNK mapema ligi ya mabingwa ulaya lakini angalia maneno aliyokuwa akitoa kila siku na wachezaji wake UNK kiume uwanjani na liverpool liverpool ilikuwa UNK kwamba man united ni imara sana na ni timu ambayo UNK lakini angalia benitez UNK upepo wachezaji wake UNK man nne moja tena old UNK hapohapo ferguson UNK kilichotokea licha ya presha ya mashabiki akatamka kwamba sina la kujitetea mimi si kocha wa visingizio UNK tunaelekeza nguvu kwenye michezo ijayo je huyu profesa kondic angeweza kutamka hilo hata kitendo cha kondic kuwakumbatia wachezaji wa mpinzani wake hata kama ni marafiki zake wakati wa mapumziko na timu yake UNK ni kuwakatisha tamaa wachezaji wake kondic alipaswa kufanya kitendo hicho baada ya mchezo kumalizika kufanya vile kuliwapa morali zaidi wapinzani na kuwafanya wachezaji wa yanga UNK UNK hasa wakikumbuka kauli walizokuwa wakiambiwa kambini na pengine kama si kujali heshima zao wangefungwa hata mabao kumi sifuri huu ndio wakati mchango wa kocha huyo unahitajika kwa yanga na kama ameona kwamba mambo hayaendi sawa au kuna watu hawatekelezi maagizo yake auambie umma wa wenye klabu yao UNK au njia rahisi ni UNK UNK kushinda kombe la ligi au kuifunga simba peke yake si wanachotaka mashabiki wa yanga kwa aina ya wachezaji wa ghali waliosajiliwa msimu huu ni hayo tu wasalaam wasomaji wangu wapendwa nashukuru sana kwa jinsi UNK safu hii na kunipa maoni mengi kama kawaida baadhi yakiwa yanatolewa kwa njia nzuri na mengine kwa njia ya matusi na hali inayoonekana kuwa ni ugomvi napenda kuzidi kusisitiza kuwa njia pekee ya kurekebisha uendeshaji wetu soka ni ile ya majadiliano ya hoja na si matusi kama ilivyozoeleka huko nyuma kiasi kwamba hata viongozi wakaamua kuwa na vikundi vyao vya vijana wenye matusi kwa ajili ya kutukana wale wanaoonekana wana hoja na badala yake hata mikutano ya klabu na ile ya shirikisho la soka ikawa UNK kwa wale walio karibu na klabu hizi mbili kubwa wanajua jinsi watu UNK kutukana kila mtu aliyeonekana ana mawazo ya maendeleo kiasi kwamba soka ikaonekana kuwa inafaa kuongozwa na watu UNK shule watu wasio na busara na watu wa mapambano na fitina lakini maendeleo yaliyopatikana katika siku za karibuni yanadhihirisha kuwa tulikuwa tukipoteza muda kwa kuendekeza mapambano fitina chuki matusi na UNK kila UNK kuzungumzia soka nafahamu kuwa wako wale wachache ambao wamebakia na fikra hizo lakini ni lazima wafahamu kuwa vitu hivyo UNK tunahitaji watu wenye mawazo mbadala lakini walio na hoja na ushawishi na si UNK matusi na kuponda eti kwa sababu tu kufanya hivyo ni haki yao ya kidemokrasia napenda UNK pamoja mechi baina ya yanga na al ahly ya misri iliyofanyika jijini cairo jumapili iliyopita na kuona jinsi waarabu walivyofunga mabao yale matatu kirahisi na kulinganisha na mambo ambayo tunayaona na ambayo makocha wetu UNK kuhusu wachezaji wetu na mashabiki kwa ujumla binafsi naamini kuwa waarabu hawana kipaji kikubwa kama ilivyo kwa wachezaji wetu UNK barakat ahmed hassan au UNK unaweza UNK kuwa wana mambo ya ajabu sana kuzidi akina mrisho ngassa au mussa hassan mgosi lakini unapoangalia kwa makini utaona tofauti kubwa iliyopo ni ile nidhamu binafsi ya mpira nidhamu ya kuwa kwenye eneo lako wakati unapotakiwa kupeleka mpira sehemu sahihi UNK mambo UNK au yasiyo na manufaa kwa timu na kutumia uwezo binafsi pale inapohitajika huku kwetu uwezo binafsi ndio huanza kwanza yaani mchezaji UNK kupiga chenga bila ya sababu kujaribu shuti kali na kuacha wenzake walio kwenye nafasi ya kufunga beki kujaribu kumgeuza mshambuliaji au kumpiga kanzu bila ya sababu matokeo yake ni kupoteza mpira bila ya sababu au kusababisha hatari golini kwako ukiangalia jinsi al ahly walivyofunga bao la kwanza UNK yote hayo walipiga pasi zaidi ya nane wakati wakielekea kufunga hakuna mchezaji UNK mpira bila ya sababu hata huyo barakat ambaye ndiye UNK UNK yote hakupiga chenga hata moja zaidi ya UNK kidogo wakati UNK upande wa kulia kwa ujumla hakuna mchezaji UNK mpira zaidi ya mara tatu kati ya wote sita waliopewa mpira kabla ya kufunga hiki ni kitu ambacho UNK kwa wachezaji wetu barakat pengine angeweza kumgeuza amir maftah na kukimbia kupiga krosi lakini aliona ni heri UNK kwa kupitisha mpira sehemu ambayo aliona haina utata angalia jinsi wachezaji wetu UNK maftah alikuwa amekwenda sehemu sahihi alipoingia katikati kumfuata mshambuliaji ambaye alikimbia mbele ya goli UNK mabeki lakini kiungo wa kushoto hakuwa ameshuka na mpira wakati wamisri UNK kutafuta UNK kwa hiyo pasi ya mwisho ilimkuta barakat akiwa hana mtu yeyote kwa kuwa nadir cannavaro alikuwa UNK juu kujaribu kuziba nafasi ambayo alidhani UNK mpira ukiangalia video utaona jinsi abdi kassim na athuman chuji walivyokuwa wanafuatilia mpira kwa macho badala ya kwenda kwenye nafasi walizotakiwa kusimama ili kuziba mwanya UNK pasi ya goli mchezaji UNK UNK beki nurdin bakari alitoka mbele ya chuji wakati kassim aliyetakiwa kushuka chini kuziba nafasi kushoto kwa amir maftah alibakia pembeni kana kwamba ana uhakika mabeki UNK mpira na kumpasia kumbe alitakiwa kushiriki UNK kwa ujumla lilikuwa ni bao zuri lakini ambalo UNK kuzuiwa kwa kila mchezaji kutekeleza jukumu lake vizuri uwanjani bao la pili pia lilitokana na mabeki kutokuwa kwenye sehemu sahihi wakati kipa obrien alipotoka na UNK mpira kichwani mwa mshambuliaji wa al ahly mpira wa kichwa uliopigwa na flavio ungeweza kuzuiwa kirahisi kama mabeki UNK kipa lakini pia kwa nini flavio alibakia peke yake namna ile mbele ya goli nadhani bao la tatu pia lilitokana na mabeki kutokaa sehemu zao kwa kuwa mfungaji alipata mpira akiwa peke yake UNK na kupiga shuti kumchambua kipa UNK nidhamu ya mpira tunazungumzia mambo yote hayo lakini hapa UNK na cha ajabu sana wengi UNK hayo badala ya UNK mpira wa siku hizi UNK sana kuziba nafasi mbele ya goli kushirikiana na wengine kuhakikisha wapinzani UNK kiki kirahisi golini yaani kama wanapata nafasi basi iwe ya mazingira magumu si kama zile nafasi alizopata barakat hata kocha aseme vipi kama wachezaji hawatazingatia majukumu yao uwanjani ni vigumu timu kupata mafanikio salaam waungwana kama ilivyo ada UNK na kuwapongeza wasomaji wote ambao UNK maoni kuhusu uchambuzi wa wiki iliyopita hoja inaendelea na kutoa maoni ni uhuru wazi wa kila mtu kikubwa naomba tuangalie kujenga na si ushabiki kilichotokea england kimekuwa gumzo lakini hakuna haja ya kuona ajabu sana kwa kuwa hiyo ndio soka kwa mashabiki wa soka ya hispania hawana sababu ya kuona ajabu kwa kuwa timu kama real madrid au barcelona kutandikwa mabao manne matano hata zaidi wala si kitu cha ajabu kwa kuwa soka ipo juu na ya ushindani pia aina tofauti ya uchezaji karibuni upande huo hoja leo jumamosi ipo kwa kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo ambaye kwa mwaka mmoja tena ataendelea kuwa kocha wa kikosi hicho baada ya kuongeza mkataba nashukuru kwa mwanaspoti kuwa ya kwanza UNK kwamba kocha huyo atabaki baada ya kutoa kauli ya kufanya maandalizi ya michuano itakayofanyika mwisho wa mwaka huu wakati mkataba wake unaisha julai UNK mapema tu uamuzi wake wa kusaini mkataba huo wa mwaka mmoja ambao unamfanya awe UNK stars kwa miaka minne mfululizo umezua gumzo kubwa wako ambao wanamuunga mkono na wako ambao wanapinga tena wanaonekana kukasirishwa kweli kweli nimekutana na wadau kadhaa nilishangazwa kila mmoja alinieleza hivi si unaona sasa UNK mkataba maximo UNK kwa kuwa sijawahi kuwaza kufanya kazi tff na wala sipo huko sasa inakuaje UNK mkataba kocha huyo wapo UNK UNK kushinikiza ili UNK nilishangazwa sana na hilo kwa kwa kuwa naamini mtakuwa UNK hapa basi napenda niwaeleze mimi au gazeti hili si sehemu ya UNK UNK au kufurahisha watu kadhaa kwa manufaa yao kuhusu maximo UNK tff na si mimi wala mwanaspoti ambalo halina upande wala ushabiki wa upande wowote inawezekana kabisa kuongezwa mkataba kwa kocha huyo kukawa hakuna baya lolote kipi kibaya na kipi ambacho UNK hebu wekeni hoja mezani badala ya yale majungu ya zamani ya soka ambayo kwa kipindi hiki yamepitwa na wakati wengi ni wale UNK kwenye soka ya wakati ule sasa mnataka kuendeleza mambo ya UNK ule nawakumbusha huu ni wakati huu na si wakati ule hivyo twende katika mtindo mpya na maslahi yenu binafsi yasiwe ni sehemu ya taifa stars kama maximo UNK kwenye kitu fulani UNK chuki zako unataka UNK mnaotaka maximo aondoke UNK kocha mwingine bora ni yupi mna uhakika gani kuhusu hilo sasa akiondoka nani anachukua timu mna uhakika vipi na huyo UNK chuki zenu wekeni kando na kama hoja ziwe za msingi na si UNK rekodi yake inaonyesha kacheza mechi arobaini na saba kashinda ishirini na moja katoka sare kumi na nne na kushindwa kumi na mbili UNK ila binafsi nina machache nataka kumweleza maximo wanasema binadamu hakosi kasoro basi zake zimeonekana wazi ambazo mimi nasisitiza UNK kwa asilimia kumi sifuri kwa kuwa hazijengi hata kidogo kitimu yaani uchezaji tumepiga hatua ukilinganisha na enzi hizo na tumeona hata kwenye fainali za chan tanzania haikuwa timu iliyoshika nafasi ya mwisho katika timu nane ilishika nafasi ya tano katika timu nane UNK libya zimbabwe na wenyeweji ivory coast hilo ni la kujivunia lakini tabia ya kununa ya maximo si nzuri kulumbana na wachezaji halafu baada ya hapo unatumia neno utovu wa nidhamu na mbaya zaidi hakuna ufafanuzi si sahihi kamwe siwezi kuwaunga mkono wachezaji wasio na nidhamu lakini siwezi kuunga mkono tabia mbovu ya kiongozi wa familia kununa badala ya kuelezea tatizo maximo hadi sasa hajaeleza tatizo la juma kaseja zaidi ya kusisitiza utovu wa nidhamu UNK haruna moshi boban na UNK idd chuji kwamba ni watovu wa nidhamu sasa ni upi aweke wazi na wengine wajue na kuepukana na tabia hizo tayari UNK na UNK taifa stars kununa huko mwisho lini maximo mwaka huu uwe mpya na tabia ya UNK wachezaji achana nayo na tuonyeshe UNK kwamba fulani ameonyesha utovu huu wa nidhamu na UNK au UNK lakini si UNK kina nanihii UNK wewe pia kocha wa timu tena ya taifa UNK na wachezaji hilo si sahihi na mwaka huu UNK basi ubadilike na kila kitu kiwe wazi si kwa ujumla au UNK hasira za manchester united za UNK chini ya alex ferguson katika miongo miwili zitakuwa kubwa wakati kikosi hicho UNK uwanjani leo jumamosi kupambana na fulham katika mechi ya ligi kuu england aibu ya kuchapwa mabao nne moja na liverpool baada ya kutesa kwenye ligi kwenye mechi kumi na moja kiliifanya manchester united UNK kasi katika mbio za kusaka ubingwa msimu huu guus hiddink ambaye kikosi chake cha chelsea UNK na liverpool nyuma ya manchester united kwa pointi nne anaamini kwamba milango iko wazi ingawa anakiri kuwa wasiwasi mkubwa UNK ligi msimu huu rafa benitez alisema kwamba liverpool lazima ishinde mechi tisa zilizobaki ili kupata nafasi ya kuwapiku vinara lakini hiddink pia ana hamu kubwa ya kuona UNK kikosi chake ubingwa UNK ligi kuu england msimu huu ferguson alisema kuwa ameona mambo mbalimbali na kocha huyo ambaye UNK vikombe kumi vya ligi kuu england amekiri kwamba wiki za mwisho za ligi hiyo zitakuwa ngumu mtu UNK iwapo UNK kombe siku ya mwisho alisema ferguson katika televisheni ya mutv tunajitahidi kukabiliana na vikwazo tuhakikishe tunakuwa vinara mpaka mwisho wa msimu inawezekana kukaa kileleni lakini inabidi kukabiliana na vikwazo kushika nafasi hiyo ni jambo zuri na kitu hicho tumekuwa UNK kwa nguvu man united ambayo inaongoza ligi juu ya chelsea na liverpool itajaribu kulipa kisasi kwa fulham na kufunga midomo ya wapinzani wao huku wiki hii kukiwa hakuna presha kubwa kikosi cha ferguson kitakuwa na ari ya kutosha licha ya kwamba nemanja vidic ambaye alipewa kadi nyekundu hatakuwepo uwanjani mwanzoni mwa mwezi huu manchester united iliiadhibu fulham mabao nne sifuri huko UNK UNK katika mechi ya kuwania kombe la fa lakini ni wazi kwamba manchester united itapata wakati mgumu kwa kuwa wapinzani wao hawana uhakika iwapo UNK kushuka daraja au la chelsea itakuwa na kazi ya kuhakikisha inaendeleza rekodi ya kutofungwa tangu kuingia kwa hiddink leo jumamosi wakati kikosi hicho UNK tottenham hotspur nayo liverpool itaikaribisha aston villa kesho jumapili kiungo wa chelsea michael ballack anaamini kwamba timu yake itafanya vema na kuwakimbiza wapinzani wao ni kazi ngumu kuwakamata lakini kama wakipoteza pointi nyingine itakuwa ni jambo rahisi kuwashika alisema liverpool imekuwa UNK na beki mpya daniel agger na alvaro arbeloa anatarajiwa kuingia uwanjani baada ya kushindwa kucheza mechi na manchester united katika mechi nyingine newcastle united itaikaribisha arsenal inayoshika nafasi ya nne leo jumamosi klabu ya newcastle ipo katika eneo la hatari ya kushuka daraja ambapo tofauti ya mabao ndio UNK kikosi hicho cha st james park kiwe juu ya timu tatu za chini nyota wa manchester united cristiano ronaldo anaamini kwamba bayern munich ndio kikosi cha UNK katika robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya UNK huyo UNK kikosi kinachonolewa na jurgen klinsmann kwa kuwa UNK sporting lisbon mabao kumi na mbili moja katika mechi za awali ronaldo amebainisha kwamba amekuwa UNK kikosi hicho cha ujerumani ambacho kilifungwa na manchester united mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa na kufanikiwa kuingia hatua ya fainali alisema UNK bayern walipocheza na sporting wanaonekana ni wenye nguvu nyingi kati ya wanasoka UNK uwezo kwa sasa na huenda wakawa ngome kuu ya manchester united katika miaka ya usoni ni mchezaji kutoka brazil rafael da silva mchezaji huyo licha ya kuwa na umri wa miaka kumi na nane tayari amepangwa katika kikosi cha kwanza cha manchester united na ameonyesha kwamba anaweza kucheza vema na kocha alex ferguson alikuwa sahihi kumsajili kijana huyo pamoja na pacha wake ajulikanaye kama fabio da silva mapacha hao wote wanacheza kama mabeki wa pembeni mmoja akiwa upande wa kushoto na mwingine kulia ni UNK UNK UNK macho na kujua kuna hazina kubwa katika klabu soka ni mchezo wa ajabu sana wakati mwingine mtu mashuhuri anaweza kuzimika ghafla na wakati mwingine mtu UNK anaweza kuibuka na kuwashangaza watu lakini mchezaji huyo anasema kwamba pamoja na kuwa manchester united ilionyesha nia ya kumsajili tangu akiwa na umri wa miaka kumi na tano klabu ya arsenal ilitaka kumnyakua kwa njia isiyo halali rafael anasema kuwa wakati huo yeye na ndugu yake fabio walifuatwa na mtu mmoja aliyesema kwamba alikuwa UNK arsenal wakati tukiwa na umri wa miaka kumi na tano mtu huyo UNK na kututaka UNK klabu yetu ya fluminense ambayo tayari ilikuwa imeingia mkataba na manchester united rafael sasa ana miaka kumi na nane alisema UNK na mbinu za mtu huyo UNK katika mazoezi ya kikosi chake lakini wakati huo tulikuwa UNK manchester united na tuliwahi kufanya mazoezi mara moja tu tena kwa ruhusa ya klabu yetu lakini mtu huyo alitaka UNK na kutufikisha england kwa njia ya wizi hakutaka klabu yetu UNK hatukuona sababu ya kutoroka kwa kuwa fluminense ndio klabu UNK hata mama yetu hakuwa tayari kuona UNK klabu ya UNK ni wazi kwamba arsenal UNK kuwa wachezaji hao watakuwa nyota ndio maana ilitaka UNK rafael pereira da silva alizaliwa julai elfu moja na mia tisa na tisini huko UNK rio de UNK watu wengi wamekuwa wakipenda kumuita kwa jina moja la UNK mchezaji huyo wa brazil kwa sasa anachezea kikosi cha manchester united kama beki wa kulia rafael alianza soka katika timu ya fluminense brazil na alikuwa akichezea kikosi cha vijana rafael na ndugu yake fabio UNK klabu ya manchester united mwaka ishirini sifuri tano wakati kiongozi mmoja wa klabu hiyo UNK UNK alipowaona UNK soka katika timu ya vijana cha fluminense huko hong kong rafael na pacha wake UNK manchester united januari ishirini sifuri nane lakini hawakufanikiwa kucheza mechi mpaka UNK umri wa miaka kumi na nane julai ishirini sifuri nane rafael aliingia katika kikosi cha manchester united kwa mara ya kwanza katika mechi ya kirafiki dhidi ya UNK united agosti nne mwaka jana mchezaji huyo UNK kwenye kikosi cha wakubwa msimu wa ishirini sifuri nane ishirini sifuri tisa na alipewa jezi namba ishirini na moja ambayo awali ilikuwa UNK na dong UNK aliingia katika mechi ya ligi kuu england kwa mara ya kwanza msimu wa ishirini sifuri nane ishirini sifuri tisa kwenye kipindi cha pili akitokea benchi kuchukua nafasi ya UNK UNK wakati kikosi hicho kilipopambana na newcastle united rafael aliingia kwenye kikosi cha kwanza cha manchester united septemba ishirini na tatu ishirini sifuri nane wakati timu yake UNK na middlesbrough katika mzunguko wa tatu wa kuwania kombe la ligi mechi yake ya kwanza ya kimataifa ulaya ilikuwa dhidi ya UNK UNK kwenye ligi ya mabingwa ulaya septemba thebathini mchezaji huyo alipoingia uwanjani badala ya gary neville na wes brown alionyesha uwezo mkubwa na kukipa wakati mgumu kikosi cha denmark licha ya kuonyesha soka safi uwanjani rafael alitolewa nje ya uwanja dakika ya sitini na sita kutokana na kuumia vilevile rafael alipangwa kwenye kikosi cha kwanza cha manchester united ambacho kiliibuka na ushindi wa mabao nne sifuri dhidi ya west bromwich albion oktoba kumi na nane ishirini sifuri nane bao lake la kwanza katika kikosi cha manchester united lilipatikana baada ya kucheza mechi saba katika klabu wakati timu hiyo UNK mabao mbili moja na arsenal kwenye uwanja wa emirates kwa upande wa mechi za kimataifa rafael aliitwa katika kikosi cha vijana cha brazil chini ya miaka kumi na saba mwaka ishirini sifuri saba kilichoshiriki fainali za kombe la dunia kwa vijana wa wenye umri huo unataka nini zaidi rafael ni miongoni mwa hazina kubwa siku zijazo katika kikosi cha old trafford mwanzoni mwa miaka ya ishirini sifuri sifuri wakati manchester united ilipokwenda china mashabiki wa huko walimuuliza mtendaji mkuu wa manchester peter kenyon je UNK arsenal kwenye mechi ijayo naye akawajibu nimezungumza na alex ferguson amesema tutashinda kwa kauli hiyo ya kenyon unaona jinsi kiongozi huyo alivyo na upeo wa kiutawala pamoja na kuwa na sifa ya kuwa kiongozi wa kuigwa miongoni mwa klabu zetu kwanini nampa sifa UNK kwa sababu alipoulizwa masuala yanayohusu matokeo ya uwanjani hakutaka kujibu moja kwa moja hivyo ili kujilinda akasema nimezungumza na alex ferguson amesema tutashinda kenyon alijua kuwa yeye hakustahili kujibu lolote kuhusu mambo yanayohusu matokeo ya uwanjani licha ya kuwa alikuwa ni mtendaji mkuu wa manchester united lakini kwa sababu mashabiki walitaka kupata jibu hakutaka kuwaangusha hivyo UNK kuwa mtu anayestahili kuzungumzia hilo ferguson alikuwa ametoa uhakika kuwa UNK nimeanza na mfano huo mdogo ili kutofautisha jinsi viongozi wa soka wa nchi ambazo zimeendelea UNK na viongozi wa soka wa nchi za dunia ya tatu kama tanzania wakati yanga UNK kwenye uwanja wa ndege wa julius nyerere jijini dar es salaam jumanne wiki hii mwenyekiti wa yanga iman madega aliwaambia waandishi wa habari kuwa mechi ijayo dhidi ya al ahly watashinda zaidi ya mabao manne uhakika wa kushinda mabao manne ni mkubwa kikosi chetu kipo sawa sawa tutawapiga zaidi ya mabao manne alisema madega kauli ya madega UNK na ya kocha wake dusan kondic ambaye hapo hapo uwanja wa ndege aliwaambia waandishi wa habari kuwa yanga ina kazi kubwa kwani al ahly ni timu kubwa mno hivyo yanga itakuwa na kazi kubwa katika mechi ya marudiano yanga ilipopata kipigo cha mabao tatu sifuri katika mechi ya kwanza ya ligi ya mabingwa afrika jumapili iliyopita dhidi ya al ahly kondic alinukuliwa akisema kuwa huo ndio ulikuwa mwisho wa yanga kwa madai kuwa timu hiyo ya jangwani haina uwezo wa kushinda hata katika mechi ya marudiano dhidi ya al ahly jijini dar es salaam kwa shabiki yeyote wa soka ataona jinsi soka la nchi maskini kama tanzania UNK viongozi na makocha wote ni mashabiki wameacha kazi zao na sasa wameungana na mashabiki ambao mara zote huwa ni kutambiana na kusifu timu zao au kuponda timu nyingine tofauti ya maneno kati ya madega na kondic inaonyesha jinsi soka la tanzania lilivyokuwa nyuma na UNK watu ambao watalifikisha karne ya ishirini na moja tukumbuke kuwa kabla ya mechi ya kwanza iliyofanyika kwenye uwanja wa cairo kwa takribani siku tatu madega alikuwa akizungumza na redio na vyombo vingine vya habari kutamba kuwa huo ndio mwisho wa waarabu kwa sababu vijana wake wote walikuwa fiti kwa mchezo mara kadhaa UNK kuwa wamedhibiti mambo mengi ya nje ya uwanja kwani wachezaji walikuwa wanakula sehemu tofauti na waliyopangiwa walikuwa hawatumii basi la al ahly na pia walizuia waandishi wasiwe wanafanya mahojiano na wachezaji wao kauli ya madega kwamba yanga itashinda zaidi ya magoli manne ilikuwa itolewe na UNK wa nyota kama sheikh yahya au mashabiki wa mitaani na si kiongozi kama yeye sitaki UNK kazi lakini kauli nzuri kwa madega UNK kuzungumza kama UNK peter kenyon ambaye sasa ni mtendaji mkuu wa chelsea kwani kama madega angesema nimezungumza na kondic UNK kuwa UNK mbele kulikuwa na tatizo gani au kama madega angesema tunatarajia kukutana na kocha kupanga mikakati angekuwa na tatizo gani madega hakuwa sahihi kuanza kutabiri matokeo ya uwanjani ya mechi ya marudiano na ubaya zaidi ni kwamba kocha wake kondic UNK waziwazi kwa kusema kuwa mechi hiyo ni ngumu na yanga itakuwa katika wakati mgumu lakini pia UNK mtu UNK kondic na kuzungumza kauli ambayo hakuna shabiki wa yanga ambaye anataka kuisikia kauli aliyoitoa misri kwamba yanga haina ubavu wa kuifunga al ahly nani alimtuma UNK si bure kuna mtu atakuwa UNK UNK aibu zaidi kwa kondic aliyoifanya misri ni wakati wa mapumziko UNK lolote na wachezaji wake ili kuwapa mbinu za kucheza kipindi cha pili badala yake UNK dakika kadhaa kukumbatiana na kuteta na wachezaji wa angola gilberto na flavio hata kama kondic anaujua ukweli wa mambo yote hatakiwi kuwakatisha tamaa vijana wake badala yake alitakiwa kuwapa moyo na kuwatia nguvu kwamba timu yake ni bora na itafanya vizuri kwenye mechi ya marudiano ya mzunguko wa pili jijini dar es salaam kondic anapaswa kujifunza kutoka kwa kocha wa arsenal UNK wenger ambaye licha ya mashabiki UNK kikosi chake siku zote amekuwa UNK mkono wachezaji wake kwamba ni bora na wana uwezo mkubwa UNK wenger kwa sababu hata timu yake ikifungwa mabao tatu sifuri bado ataendelea UNK kikosi chake kuwa ni bora na kwamba watashinda mechi zijazo ona mifano ya makocha wa ulaya alex ferguson wa manchester united rafael benitez wa liverpool jose mourinho wa inter milan au kocha mwingine yeyote hakuna hata mmoja kati yao ambaye anaweza kuwakatisha tamaa wachezaji wake kabla ya mechi alichozungumza madega kutabiri matokeo ya mechi ijayo UNK kwa hamu kubwa na bila shaka UNK kwa kuwa UNK mzuri iwapo hilo UNK lakini kauli ya kusikitisha ya kondic UNK mno kiasi kwamba bado sielewi mtu ambaye UNK kocha huyu wa serbia mshambuliaji wake tegemeo mrisho ngassa mwenye mtoto mmoja wa kiume wa miaka minne anaondoka nchini mwezi ujao kwenda uingereza kufanya majaribio kwenye klabu ya west ham inayoshiriki ligi kuu ya uingereza mshambuliaji wake mussa hassan mgosi amepoteza pasi yake ya kusafiria namba UNK sifuri nane tano saba sita sifuri iliyotolewa novemba ishirini na tano mwaka ishirini sifuri tano jijini dar es salaam ilipotea machi saba maeneo ya sinza na UNK ameomba yeyote UNK ampigie kwenye simu yake ambayo ni sifuri saba moja nane nane sita sifuri tisa sita sifuri sifuri kocha wake salum mayanga ameliambia shirikisho la soka la tanzania kuwasisitiza waamuzi kutumia kikamilifu sheria za soka hasa katika mechi yao ya kesho jumapili dhidi ya simba mjini morogoro kocha wake charles kilinda amesema ushindi walioupata dhidi ya villa squad wikiendi iliyopita wa mabao tano moja UNK katika mbio za kuwania nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi ambayo itawapa nafasi ya kushiriki kombe la shirikisho mwakani wachezaji wa kikosi hicho wamepania kuifunga kagera sugar katika mchezo wa jumanne ijayo mbeya ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kusalia kwenye ligi kuu bara baada ya kupoteza matumaini ya kupata nafasi mbili za juu kwenye msimamo wa ligi kocha wake juma mwambusi ameanza vizuri kibarua kipya baada ya kupata suluhu kwenye mechi ya kwanza ya duru la lala salama ya mzunguko wa pili dhidi ya kagera sugar mjini dodoma kennedy mwaisabula ambaye ni kocha wa timu hiyo amewaambia mashabiki kwamba endapo viongozi wakiendelea kukwepa majukumu kama ilivyo sasa UNK timu hiyo ikishuka daraja kwani hali ni mbaya mno ndani na nje ya uwanja sare ya bao moja moja dhidi ya moro united wiki hii imemfanya kocha wake mbrazili neider dos santos kukata tamaa ya kuipata nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu bara na amedai kwamba hali ni ngumu na anashangaa matokeo ya uwanjani ya kikosi chake ambayo ni tofauti na utendaji wa mazoezini bosi wao fred minziro amedai kuwa kikosi chake kipo kamili kwa ajili ya kumalizia mechi sita zilizosalia kwenye mzunguko wa pili wa ligi kuu ya bara lakini UNK na kiwango cha waamuzi na amedai kwamba ndio UNK beki wake said kokoo amedai kwamba watapambana mpaka dakika ya mwisho waelewe hatima yao mashabiki wake UNK uongozi kwa kutokuwa na mipango madhubuti huku wakidai kwamba ndio imewafanya wakatoka kwenye chati ya kuwania nafasi mbili za juu kwenye msimamo wa ligi kuu ya bara kocha wake msaidizi mlage kabange amesema kikosi chake UNK kwa mapambano yoyote kuhakikisha wanapata nafasi ya pili kwenye msimamo wa pili ingawa wanajua kwamba presha ni kubwa sana kutoka kwa mtibwa sugar na simba katibu mkuu wa chama cha judo tanzania kashinde omari amesema timu yao itafanya vizuri kwenye michuano ya judo ya afrika mashariki inayoanza kesho jumapili visiwani zanzibar kashinde amesema timu ya taifa ya tanzania imejiandaa vizuri kutwaa ubingwa huo kutokana na maandalizi UNK tupo vizuri sana kwani tumefanya mazoezi ya nguvu na tuna uhakika wa kutwaa ubingwa kocha wa timu ya netiboli ya mkoa wa pwani peter kamwila amesema wanajifua vilivyo kuhakikisha wanafanya vizuri kwenye michuano ya taifa itakayofanyika aprili kumi na tatu mpaka ishirini mjini kibaha kamwila amesema wana kila sababu ya kuibuka na ushindi kutokana na timu yake kusheheni wachezaji wenye vipaji vya hali ya juu kila atakayekuja mbele yetu UNK tu hakuna wa kutuzuia lazima kombe libaki hapa kwa sababu sisi ni wenyeji michuano ya gofu kuwania ubingwa wa afrika itafanyika machi thebathini na moja mombasa nchini kenya tayari chama cha gofu tanzania kimetangaza majina ya wachezaji watano watakaounda timu ya vijana na watano timu ya wakubwa kwa ajili ya kuiwakilisha nchi katika michuano hiyo mwenyekiti wa tgu dioniz malinzi amesema wachezaji hao tayari wameanza mazoezi ili kujiweka fiti na michuano hiyo mikubwa kocha wa timu ya mpira wa kikapu mkoa wa dar es salaam dream team dassy makula amesema licha ya michuano ya miji mikuu afrika mashariki na kati kuwa karibu kuanza bado mazoezi ya timu yake UNK michuano ya miji mikuu itaanza machi ishirini na nne hadi ishirini na tisa jijini arusha huku dream team wakiwa ni mabingwa watetezi mazoezi UNK sana sasa hii inaweza UNK timu kufanya vibaya kwa sababu wachezaji hawaji mazoezini hivyo inaharibu programu yangu katibu wa chama cha riadha tanzania suleiman nyambui amesema timu ya taifa ya mchezo huo inaendelea na mazoezi makali kujiandaa na michuano ya dunia ya mbio za nyika itakayofanyika machi ishirini na nane nchini jordan nyambui amesema sasa wanasaka fedha kwa ajili ya UNK timu hiyo ili iweze kushiriki michuano hiyo bado tunasaka fedha kwa ajili ya timu ya wanaume kwani wanawake tayari wamepata ufadhili hivyo UNK makampuni kujitokeza UNK beki mkongwe wa timu ya polisi morogoro amesema ligi kuu tanzania bara msimu huu inaweza kuwa bora zaidi na yenye ushindani mkubwa zaidi ya misimu mingine zaidi ya mitano iliyopita akizungumza na mwanaspoti jijini dar es salaam masumbuko ambaye amecheza katika ligi hiyo kwa zaidi ya miaka kumi alisema msimu huu umekuwa na ushindani wa hali ya juu na hakuna timu inayoonekana dhaifu ligi ni ngumu sana na mambo yanakwenda tofauti kabisa hakuna timu kubwa wala ndogo timu zinapokutana uwanjani inatia moyo na inafanya kila mchezaji ajitume UNK anajiandaa kwa ajili ya mechi ya ligi hii alisema zamani kulikuwa na timu zinajulikana kama timu kubwa mfano yanga na simba halafu mtibwa sugar na prisons lakini sasa ni tofauti na ushindani unazidi kwenda juu alisema masumbuko ambaye sasa ni beki wa kushoto wa polisi morogoro akizungumzia timu yao kubaki ligi kuu baada ya kupoteza mechi dhidi ya yanga kwa kufungwa bao moja sifuri jumatano wiki hii kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam masumbuko alisema wana kila sababu ya kubaki kwenye ligi kuu bara pamoja na ushindani mkali lakini naamini kabisa tutabaki kwa kuwa tuna kikosi kizuri na watu UNK hata hii kufungwa ni bahati mbaya alisema katika mechi hiyo pamoja na kuwa mkongwe masumbuko alionyesha uwezo wa juu na kumbana mshambuliaji nyota wa yanga mrisho ngassa na kufanya burudani kuwa kubwa uwanjani hapo kabla ya kutua polisi morogoro masumbuko alikuwa mmoja wa mabeki mahiri UNK sifa kubwa mtibwa sugar ikiwa ni pamoja na kutwaa ubingwa wa tanzania bara mara mbili kuwa nafasi ya pili ni ya maafande hao kilinda alisema timu zilizo juu yao hazitafika popote kwani jkt UNK na kutwaa nafasi ya pili kwa kishindo kikubwa jkt ruvu ina pointi ishirini na nne kwenye msimamo wa ligi kuu bara ikiwa katika nafasi ya nne na leo jumamosi inacheza na polisi dodoma kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam kilinda alisema hakuna wa kuizuia jkt kutwaa nafasi hiyo kwani soka lao lipo katika kiwango cha juu kama tukiendelea hivi hakuna wa kutukamata hao waliopo juu wanaongoza tu lakini UNK umma watabaki midomo wazi tupo vizuri sana kukabiliana na mechi yoyote iliyo mbele yetu hatutaki kupoteza hata mchezo moja lakini waamuzi wawe makini maana UNK sana alisema tatizo la waamuzi limekuwa kubwa sana kiasi cha kushusha UNK ya timu kwani waamuzi hao wamekuwa UNK zaidi timu kubwa akizungumzia mchezo huo dhidi ya polisi kilinda alisema utakuwa ni mchezo mgumu kutokana na maafande wa dodoma kuwa moja ya timu iliyo katika nafasi ya kushuka daraja wako katika hali mbaya hivyo mchezo utakuwa mgumu kwa sababu wanataka kujinasua lakini tutawapiga tu ni lazima wafungwe wiki iliyopita jkt ruvu ilifanya kufuru baada ya kuitandika villa squad mabao tano moja aliyewahi kuwa kocha mkuu wa yanga jack chamangwana raia wa malawi amekerwa na kikosi hicho kupata kipigo cha mabao tatu sifuri kutoka kwa mabingwa wa afrika al ahly na sasa amewapa mbinu za kulipa kisasi akizungumza kutoka mjini blantyre malawi chamangwana alisema ni vigumu kuepuka kipigo unapokwenda kucheza kwenye ardhi ya waarabu hao lakini suala huwa ni kupunguza idadi ya magoli ili kuweza kutumia nafasi ya mechi ya marudiano lakini akadai wanafungika na kuna mbinu wanazotakiwa UNK ilikuwa vigumu lakini UNK kuachia wafungwe mabao mengi mimi naamini hao waarabu wanafungika kabisa wakija dar es salaam yanga ina wachezaji wengi wazuri na ina uwezo wa kuwafunga al ahly alisema wakija dar es salaam utaona watajaza wachezaji wengi kwenye ulinzi na kiungo baada ya hapo watafanya mashambulizi machache na kwa hadhari kubwa huku wakiwahi kurudi nyuma na pia kupoteza muda kinachotakiwa kwa yanga ni kushambulia kwa nguvu sana na ikiwezekana wapate bao ndani ya dakika kumi za mwanzo mpaka mwisho wa kipindi cha kwanza wanatakiwa wawe wanaongoza kwa mabao mawili unajua UNK dakika arobaini na tano za mwisho jamaa wana mipango mingi sana na kama mpira utachezwa basi ni dakika thebathini na tano watahakikisha dakika kumi wanazitumia kupoteza na ishirini katika kumiliki mpira muda mrefu ili UNK mwaka jana malawi ilicheza na timu ya taifa ya misri tulikuwa nao kundi moja UNK kwao mabao mbili sifuri walipokuja kwetu UNK bao moja sifuri ila UNK UNK sana ndio maana nasisitiza yanga wanatakiwa kupata bao la mapema ili kuwatishia presha zaidi yanga kwa mafanikio makubwa na katika vipindi tofauti vya miaka minne aliipa yanga ubingwa mara tatu beki huyo wa zamani wa kaizer chiefs ya afrika kusini aliondoka yanga akiwa kocha wa timu ya vijana UNK kubwa sana nchini mwake na anajulikana kwa jina la jack afrika UNK yanga inalazimika kushinda kwa mabao nne sifuri ili kusonga mbele dhidi ya waarabu hao mabingwa wa afrika mara mbili mfululizo na ndio timu bora ya afrika kwa mwaka jana ikiwa imetwaa ubingwa wa afrika mara sita kocha mkuu wa simba patrick phiri amesema anataka nafasi ya pili ya ligi kuu bara kwa udi na uvumba kwa kushinda mechi zote sita zilizobaki lakini mshambuliaji abdallah juma wa mtibwa sugar ataendelea kumnyima usingizi hadi kesho jumapili akizungumza na mwanaspoti jijini dar es salaam phiri alisema timu yake imejiandaa vema na amekuwa UNK kazi matatizo ya safu yake ya ulinzi na hasa watu wa kumdhibiti juma wa mtibwa simba na mtibwa zitacheza kesho jumapili katika uwanja wa jamhuri mjini morogoro kwenye mchezo wa ligi kuu tanzania bara unajua ni vigumu kugundua kwani ukiangalia haraka haraka UNK juma akicheza na yanga alionyesha uwezo wa juu sana anamiliki vema mpira na kuhakikisha UNK hata kama atakuwa katikati ya mabeki watatu alisema kocha huyo wa zambia kingine hapendi kubaki na mpira UNK mara moja na kwenda kukaa kwenye nafasi nyingine wakati krosi inapigwa mara nyingi mipira UNK kwake hivyo ni muhimu sana kuwa makini naye abdallah juma aliyewahi kuichezea simba msimu mmoja amewahi kuwa mfungaji bora wa ligi kuu tanzania bara na amekuwa akisifiwa kutokana na uwezo wake mkubwa wa kutikisa nyavu ingawa msimu huu ameshindwa kuonyesha cheche huku mkenya boniface ambani wa yanga akiwa kileleni hata hivyo phiri alisema hatafanya kazi ya kumlinda mshambuliaji huyo pekee badala yake atahakikisha wanacheza kitimu zaidi ili kuwa katika hali nzuri na kuhakikisha wanashinda mechi yao hiyo ya ugenini simba ina pointi ishirini na saba katika nafasi ya pili sawa na kagera sugar UNK kwa mabao huku mtibwa sugar ikiwa na pointi ishirini na mbili lakini pia inawania nafasi hiyo ya pili huku yanga ikiwa tayari inasubiri pointi moja tu kutangaza ubingwa kikosi hicho cha msimbazi UNK phiri katika mzunguko wa pili kimeonekana kubadilika kiuchezaji lakini tatizo kubwa limekuwa ni safu ya ulinzi na makipa ambao wamekuwa hawajiamini kwa kuruhusu sifa za kizembe hata hivyo phiri ametaka kuendelea kupewa muda wa kulifanyia kazi hilo huku akisisitiza umakini kwa wachezaji wake wa safu ya ulinzi ligi ya mpira wa kikapu mkoa wa dar es salaam imemalizika kwa timu za jkt wanaume na wanawake kutwaa ubingwa wa mkoa ligi hiyo ilishirikisha timu kumi na mbili za wanaume na tano za wanawake ambazo zilicheza kwa kiwango cha juu kuliko mwaka jana pamoja na ligi hiyo kumalizika bado zawadi zimekuwa UNK zitatolewa lini kutoka kwa wadhamini wa michuano hiyo kampuni ya bia tanzania kupitia bia yake ya kilimanjaro kila mara kabla ya kuanza kwa ligi hiyo mdhamini huwa UNK mkutano wa waandishi wa habari kwa ajili ya kugawa vifaa kwa timu na kutangaza zawadi lakini kwa msimu huu imekuwa sivyo kwani mdhamini aligawa vifaa tu na zawadi kuziweka gizani hadi UNK kutangazwa siku ya mchezo wa fainali hivyo kuzua malalamiko kwa timu zilizoshiriki ligi hiyo kwa kifupi ni kwamba timu zilicheza michuano hiyo bila kujua zawadi ambazo zitatolewa kwanza UNK ni kwamba baada ya wadhamini kudai kuwa timu zote zimepewa vifaa kabla ya kuanza kwa ligi tulishuhudia timu nyingi UNK jezi za zamani huku baadhi ya wachezaji wa timu za wanawake wakichezea UNK jambo ambalo UNK picha nzuri katika michuano hiyo zawadi nyingi za wachezaji bado hazijatolewa mpaka sasa jambo ambalo UNK picha nzuri kwa wadhamini na ligi hiyo kwa ujumla mathalani mashindano yamemalizika mwezi huu lakini utashangaa zawadi hizo zinatolewa mwezi juni haileti picha nzuri wadhamini wanapaswa kutambua kuwa mpira wa kikapu unawategemea wao hivyo wanapaswa kuhakikisha kuwa mambo yanakwenda katika njia sahihi badala ya kuwepo kwa njoo kesho njoo kesho haiwezekani wachezaji wakajituma kwa nguvu zote huku wakitarajia kuwa watapata kitu fulani kutoka kwa mdhamini halafu wanashindwa kupata kitu hicho kwa wakati muafaka hali hii inaweza UNK UNK lakini ikumbukwe kuwa inachangia kushuka kwa mpira wa kikapu hapa nchini kwani wachezaji wanaweza wakakosa ari ya kucheza hivyo kuporomosha kiwango cha soka tunaamini mambo haya yatabadilika na ligi ijayo mambo yatakuwa mazuri na hakutakuwa na malalamiko kama hayo ratiba ya ligi ya mabingwa ulaya imepangwa huku timu mbili za england UNK zenyewe kwa zenyewe katika mchezo wa robo fainali ratiba hiyo ambayo ilipangwa jana katika mji wa nyon nchini uswisi ilishuhudia chelsea UNK na liverpool katika mchezo wa robo fainali mabingwa wa ligi hiyo manchester united walipangwa na porto fc ya ureno huku arsenal UNK na villarreal ya hispania kabla ya bayern munich ya ujerumani kuuana na barcelona ya hispania mechi za kwanza zitafanyika aprili saba na nane na mechi za marudiano zitafanyika aprili kumi na nne na kumi na tano mwaka huu upangaji wa ratiba hiyo ulifanyika katika jiji la nyon nchini uswisi na kwa mara ya pili timu zote nne za england zimeingia katia hatua ya robo fainali katika ratiba hiyo villarreal itaanza kwa kuikaribisha nyumbani arsenal wakati manchester united nayo itaanzia katika uwanja wake wa old trafford dhidi ya porto liverpool ya rafael benitez itaanza nyumbani kwenye uwanja wa anfield kwa kucheza na chelsea huku barcelona nayo ikianza kwa kuikaribisha bayern munich kwenye uwanja wa nou camp mshindi wa mechi ya manchester united porto atacheza na mshindi wa villarreal arsenal katika nusu fainali wakati mshindi wa mechi ya liverpool chelsea akicheza na mshindi wa barcelona bayern munich kwenye nusu fainali mechi za nusu fainali zitafanyika aprili ishirini na nane na ishirini na tisa wakati mechi za marudiano zitakuwa mei tano na sita mwaka huu manchester united inayofundishwa na alex ferguson imetwaa ubingwa mara mbili wa ulaya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa na ishirini sifuri nane manchester united ambayo ilitwaa ubingwa mei mwaka jana kwa kuifunga chelsea kwa penalti imeingia robo fainali kwa kuifunga inter milan mabao mbili sifuri manchester united ambao waliifunga bayern munich na kutwaa ubingwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa winga wao cristiano ronaldo alikuwa akihofia kupangwa na UNK hao wa ujerumani ambao wameifunga sporting lisbon mabao kumi na mbili moja bosi alex ferguson bosi rafa benitez bosi guus hiddink bosi arsene wenger taji nafasi ya pili ya ligi ya mabingwa ulaya mwaka ishirini sifuri sita bosi UNK guardiola taji kombe la ligi ya mabingwa ulaya mwaka ishirini sifuri sita bosi jesualdo UNK bosi jurgen UNK bosi manuel UNK baraza la michezo la zambia UNK kwa muda usiojulikana rais wa chama cha soka cha zambia UNK UNK uamuzi huo UNK zambia katika hatari ya kusimamishwa na shirikisho la soka la kimataifa ambalo limekuwa likipinga serikali kuingilia masuala ya soka bwalya amesimamishwa na chombo hicho cha serikali kwa kukataa kwenda katika kamati ya nidhamu ya baraza hilo kujibu shutuma za UNK mchezaji wa zambia kwenda kujiunga na timu ya maccabi tel aviv ya israel mwaka jana kwa njia ambazo zinadaiwa kuwa za panya utata wa kuhamishwa kwa mshambuliaji huyo emmanuel UNK kwenda tel aviv uliibuka mwaka jana baada ya klabu yake ya kabwe warriors kuishutumu faz kwa kutoa leseni ya uhamisho wa kimataifa bila ridhaa yao malalamiko hayo ya kabwe warriors yaliifanya serikali kuingilia kati na kuliagiza baraza la michezo la nchi hiyo kufanya uchunguzi wa suala hilo uchunguzi huyo wa siku hamsini ambao UNK kusikiliza maoni ya watu UNK mambo mengi UNK kienyeji katika faz na kufanya bunge kulijadili kwa kina ripoti ya kurasa tisini UNK bwalya na makamu wake emmanuel UNK kuhusika katika utoaji wa itc hiyo kinyume cha sheria lakini jumatatu bwalya aligoma kuhudhuria kikao cha kamati ya UNK madai UNK suala hilo fifa UNK kujibu tuhuma zinazomkabili alisema mwenyekiti wa baraza la michezo la zambia daktari julius UNK daktari UNK ambaye ni mwanasheria anayeheshimika zambia alisema fifa haiwezi kuifungia nchi hiyo kwa uamuzi huo kusimamishwa kwa bwalya UNK UNK kwa mkutano mkuu wa mwaka wa faz ambao ulipangwa kufanya leo jumamosi wasanii wa runinga zaidi ya sita o kutoka nchi za russia nigeria na uingereza wamewapokea na watashiriki katika video za feisal na baby madaha jijini mumbai india feisal na madaha wametua mumbai jumatano wiki hii kwa udhamini wa kampuni ya pilipili entertainment ya dar es salaam kwa ajili ya kutengeneza video za nyimbo zao mpya madaha akizungumza na mwanaspoti alisema wasanii hao wa runinga watashiriki katika sehemu mbalimbali kwenye video hizo wengine wanafanya kazi kwenye hii kampuni ya UNK UNK na wengine wamepangwa tu kushirikiana na sisi na wanafanya mazoezi kila siku alisema msanii huyo kwa njia ya simu wasanii hao wakiwa huko UNK video mbili za nyimbo zao ambazo ni indian UNK ya baby madaha na back it up ya UNK baba mzazi wa kiungo wa yanga athuman idd chuji amesema UNK na kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo lakini amemtaka kuwa na tabia za UNK uzima kama inavyokuwa kwa kiongozi wa familia na UNK usiwe UNK wala kuwa na visasi akizungumza na mwanaspoti kutoka mjini dodoma idd athuman pajero alisema anaamini maximo ana kiwango kizuri kwa aina ya uchezaji wa tanzania ulivyo lakini hakubaliani na tabia ya kocha huyo kununiana na wachezaji kunapotokea tatizo kocha sioni kama unaweza kusema hafai lakini UNK sana na tabia ya kuchukiana na wachezaji anapaswa kuwa mzazi na si mshindani UNK wale kama watoto unajua vijana wana mambo mengi na huwezi kujua nini kimetokea alisema baba chuji wanapokaa watu wengi iwe timu hata shule au familia kupishana kauli na matendo ni kitu cha kawaida kinachotakiwa ni kukaa na kujadili tatizo haiwezekani ndani ya siku nne kocha na wachezaji kugombana na UNK sidhani kama ni sahihi mfano UNK njia panda kuhusu utovu wa nidhamu aliosema UNK ni upi mfano hata mimi mzazi kama suala hilo lingekuwa wazi UNK na athuman na UNK au kumweleza lakini sijui ni kitu gani kwa nini kocha UNK alisema pajero aliyekuwa na kasi kubwa katika wingi ya kulia UNK na athumani kuzungumza tatizo hili ila kwa maoni yangu suala hili ni hamsini kwa hamsini wote wana makosa kocha ana makosa na wachezaji wana makosa pia akitoa maoni yake kuhusu suala la maximo kuongeza mkataba wa mwaka mmoja pajero alisema hakuna haja ya kuendeleza malumbano kwa kuwa tayari mwajiri wa kocha huyo shirikisho la soka tanzania limeamua kufanya hivyo sidhani kama ni sahihi kuendelea kulumbana tayari UNK mkataba tuangalie tunavyoweza kuisaidia timu yetu tukumbuke ile timu si ya maximo ni yetu sisi wakati wa enzi zake pajero alikuwa akicheza wingi ya kulia katika timu ya kurugenzi dodoma tangu mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na moja hadi elfu moja na mia tisa na tisini na tatu na pia aliichezea timu ya mkoa wa dodoma ya UNK UNK jkt ruvu itakuwa ikicheza na polisi dodoma leo jumamosi kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam wakati simba UNK kwa basi kwenda morogoro kuivaa mtibwa sugar kesho jumapili simba ambayo kocha wake patrick phiri ameapa kupambana mpaka dakika ya mwisho kupata nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu bara wachezaji wake wamesisitiza kuwa wapo naye kutopoteza pointi yoyote ili tufikie tunapotaka kwa muda muafaka phiri alisema wiki hii simba inashikilia nafasi ya pili kwa sasa ikiwa na pointi zake ishirini na saba sawa na kagera sugar lakini kwa tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa ambayo wekundu hao wanayo mengi mtibwa kupitia kwa kocha wake salum mayanga alisema wanachotaka ni pointi tatu kwani ishirini na mbili walizonazo kwa sasa bado wana nafasi ya kujiweka pazuri na kushiriki michuano ya kimataifa mwakani kipa shabaan kado alisema mchezo huo utakuwa mgumu lakini kwa hali ilivyo kambini simba UNK kitu kwenye uwanja wa jamhuri mjini morogoro jumatatu polisi morogoro itacheza na moro united mjini morogoro huku prisons ikiikaribisha kagera sugar jijini mbeya siku inayofuata kocha msaidizi wa kagera sugar mlage kabange aliiambia mwanaspoti jana ijumaa kuwa wamejiandaa kwa lolote na wanaelewa mbinu zinazofanywa na timu pinzani kupata nafasi ya pili kwa nguvu lakini wao UNK watu midomo kwa matokeo ya uwanjani yanga inaongoza msimamo wa ligi kwa pointi arobaini na tano na inahitaji pointi moja tu itakapocheza na toto africa ili kutawazwa mabingwa wapya ikiwa imesaliwa na mechi nne mkononi joseph shikokoti anakuja dar es salaam kuwapa morali wachezaji wa yanga kabla ya mchezo wao wa marudiano wa ligi ya mabingwa afrika dhidi ya al ahly ya misri na amewaambia wenzake wajiandae kwa penalti yanga ilipata kipigo cha mabao tatu sifuri kutoka kwa al ahy ugenini wiki iliyopita na ili kusonga mbele inahitaji kushinda mabao nne sifuri jumamosi ijayo jijini dar es salaam mchezaji huyo wa yanga aliyebakizwa kwa mkopo katika klabu ya tusker ya kenya amewaambia vijana hao wa jangwani kuwa mabao matatu yapo na wanatakiwa kuwa makini zaidi na watu watatu mohammed abou treika flavio amando na mohamed barakat shikokoti akizungumza na mwanaspoti kwa njia ya simu kutoka nairobi alisema kuwa uwezekano wa yanga kurudisha mabao matatu na kwenda kwenye hatua ya penalti upo kutokana na ari ya wachezaji wa yanga nimesikitika sana lakini bado yanga tuna nafasi tukijituma kwenye mchezo ujao wa marudiano nafasi ipo kabisa kwa vile watakuja na mbinu chafu ambazo zitawaponza alisema shikokoti ambaye alisajiliwa wakati msimu wa usajili ukiwa umekwisha hivyo kubaki kwenye klabu yake ya tusker tukiwashambulia na kujipanga vizuri tunawaweza kabisa wakija dar es salaam watajilinda zaidi kuliko kushambulia na wana wachezaji watatu tu ambao tunapaswa kuwa nao makini abou treika flavio na barakat sisi tukiweza kuwakimbiza vizuri watachoka yanga ina wachezaji ambao wanaweza kuwafunga wale waarabu wanakuwa hatari zaidi wakiwa kwao na si ugenini mimi nimeongea na viongozi nitakuja kuangalia mchezo pamoja na kuwatia hamasa wenzangu napenda sana tushinde na tusonge mbele kwa vile tuna wachezaji wenye uzoefu mkubwa kucheza ligi za nyumbani imeshakuwa kitu cha kawaida sasa tunatakiwa kufanya vizuri zaidi nje na tunaweza yanga inaweza kabisa kurudisha zile goli na kilichopo ni kujiandaa pia kwa penalti tukiingia kwenye penati itakuwa pia ni vizuri na nafasi yetu itakuwa kubwa kwa vile tunao watu wanaojua kupiga na makipa wapo wazuri alisema mchezaji huyo anayeichezea tusker ya kenya kwa sasa ingawa kuna habari kwamba huenda akatimkia norway mwezi ujao shikokoti ataichezea yanga kwenye msimu ujao wa ligi kuu ya bara na ligi ya mabingwa afrika endapo itafuzu robo fainali kwani atakuwa tayari amesajiliwa kwenye ligi ya ndani wakati huo joseph shikokoti anakuja dar es salaam kuwapa morali wachezaji wa yanga kabla ya mchezo wao wa marudiano wa ligi ya mabingwa afrika dhidi ya al ahly ya misri na amewaambia wenzake wajiandae kwa penalti yanga ilipata kipigo cha mabao tatu sifuri kutoka kwa al ahy ugenini wiki iliyopita na ili kusonga mbele inahitaji kushinda mabao nne sifuri jumamosi ijayo jijini dar es salaam mchezaji huyo wa yanga aliyebakizwa kwa mkopo katika klabu ya tusker ya kenya amewaambia vijana hao wa jangwani kuwa mabao matatu yapo na wanatakiwa kuwa makini zaidi na watu watatu mohammed abou treika flavio amando na mohamed barakat shikokoti akizungumza na mwanaspoti kwa njia ya simu kutoka nairobi alisema kuwa uwezekano wa yanga kurudisha mabao matatu na kwenda kwenye hatua ya penalti upo kutokana na ari ya wachezaji wa yanga nimesikitika sana lakini bado yanga tuna nafasi tukijituma kwenye mchezo ujao wa marudiano nafasi ipo kabisa kwa vile watakuja na mbinu chafu ambazo zitawaponza alisema shikokoti ambaye alisajiliwa wakati msimu wa usajili ukiwa umekwisha hivyo kubaki kwenye klabu yake ya tusker tukiwashambulia na kujipanga vizuri tunawaweza kabisa wakija dar es salaam watajilinda zaidi kuliko kushambulia na wana wachezaji watatu tu ambao tunapaswa kuwa nao makini abou treika flavio na barakat sisi tukiweza kuwakimbiza vizuri watachoka yanga ina wachezaji ambao wanaweza kuwafunga wale waarabu wanakuwa hatari zaidi wakiwa kwao na si ugenini mimi nimeongea na viongozi nitakuja kuangalia mchezo pamoja na kuwatia hamasa wenzangu napenda sana tushinde na tusonge mbele kwa vile tuna wachezaji wenye uzoefu mkubwa kucheza ligi za nyumbani imeshakuwa kitu cha kawaida sasa tunatakiwa kufanya vizuri zaidi nje na tunaweza yanga inaweza kabisa kurudisha zile goli na kilichopo ni kujiandaa pia kwa penalti tukiingia kwenye penati itakuwa pia ni vizuri na nafasi yetu itakuwa kubwa kwa vile tunao watu wanaojua kupiga na makipa wapo wazuri alisema mchezaji huyo anayeichezea tusker ya kenya kwa sasa ingawa kuna habari kwamba huenda akatimkia norway mwezi ujao shikokoti ataichezea yanga kwenye msimu ujao wa ligi kuu ya bara na ligi ya mabingwa afrika endapo itafuzu robo fainali kwani atakuwa tayari amesajiliwa kwenye ligi ya ndani wakati huo uongozi mpya wa shirikisho la ngumi za ridhaa tanzania bft utakutana wiki ijayo kujadili pamoja na mambo mengine barua iliyotoka kwa familia ya aliyekuwa rais wa bft alhaj shaaban mintanga kuhusu vifaa vya ofisi akizungumza na mwananchi jijini jana katibu mkuu wa shirikisho la bft UNK UNK alisema wao kama shirikisho wameamua kulijadili suala hilo ili kujua nini cha kufanya alisema wao walipewa taarifa kupitia baraza la michezo la taifa bmt UNK juu ya vifaa vilivyo katika ofisi ya bft kuwa ni mali ya aliyekuwa rais wa shirikisho hilo alhaj mintanga iliyoandikwa na mkewe ester mintanga kwa niaba ya mumewe hivyo suala hilo UNK na watalifanyia kazi ili kulipatia mwafaka tumeamua kukaa kamati nzima ili kujadili suala hilo hivyo UNK viongozi wote wa kamati iliyopita kwa ajili hiyo alisema UNK pamoja na hilo viongozi hawa walihoji kuwa shirikisho la ngumi la kimataifa aiba hutoa kiasi cha pesa kila mwaka ili kuendesha shughuli mbalimbali za kiofisi na mambo mengine na pesa hizo UNK kwa shughuli zipi naye katibu mwandamizi wa bmt mohamed kiganja alisema suala hilo yeye hawezi kutoa maamuzi yoyote kwa kuwa ofisi na majukumu yote UNK uongozi mpya hivyo wao ndio UNK kazi suala hilo bft iliingia katika mgogoro baada ya viongozi wake kutuhumiwa kujihusisha na dawa za kulevya kabla ya aiba kutangaza UNK uongozi na kutaka ufanyike uchaguzi mwingine chama cha soka wilaya ya bagamoyo bfa kimewataka wadau mbalimbali wa soka kujitokeza kudhamini michuano ya copa cocacola chini ya miaka kumi na saba inayotarajia kuanza kutimua vumbi aprili nne mwaka huu akizungumza katika mkutano wa kuandaa mashindano hayo katibu mkuu wa bfa john fransic UNK alisema kuwa kujitokeza kwa wadhamini hao kutasaidia kufanikisha kwa mchezo huo ambao wanaamini kuwa unaweza kuibua vipaji tuko kwenye maandalizi ya michuano ya copa coca cola ambayo itafanyika hivi karibuni hivyo basi tunawaomba wadau kujitokeza kwa wingi kudhamini timu hii tunaamini kuwa katika michezo yote inayofanyika tunaweza kuibua vingi ambavyo vinaweza UNK katika timu ya taifa alisema UNK aliongeza kuwa mpaka sasa kuna timu zaidi ya ishirini ambazo zimethibitisha kushiriki mashindano hayo kumi na mbili zimetoka shule za sekondari na nane za mitaani alisema mpaka sasa kuna zaidi ya viwanja vinane ambavyo vimethibitishwa na mkutano huo kuchezewa kwa mashindano hayo ambavyo ni lugoba sekondari UNK msata chalinze UNK na shule ya msingi kizuiani majengo na UNK kwa mujibu wa fransic wanafunzi wanaosoma katika wilaya hiyo ni wazuri katika soka ikiwa wataanza kujengewa mazingira tangu sasa wanaweza kuwa wachezaji wa kulipwa alisema kwa sasa wako kwenye maandalizi hayo ambayo wana amini kuwa inaweza kuwa mafanikio kwa wilaya hiyo kutoa vipaji vya mpira mwa miaka ijayo waziri wa kazi ajira na maendeleo ya vijana profesa juma kapuya juzi aliongoza maelfu ya mashabiki kucheza sebene ya obama obama ya bendi ya akudo impact baada ya kupiga nyimbo kadhaa bendi hiyo UNK kwenye sebene hilo ilikuwa ni katika kusindikiza onyesho la mwanamuziki kanda bongoman iliyofanyika kwenye ukumbi wa new msasani waziri huyo alikuwa mmoja wa mashabiki alijikuta katikati ya ukumbi UNK sebene hilo lililokuwa UNK na bendi hiyo kabla ya bongoman kupanda huku rapa wa akudo UNK UNK kanali top UNK kwa UNK kapuya alishindwa kuzuia hisia zake pale rapa kanal top alipoanza kuimba kibao cha albino kwa nini wanakatwa miguu mikoni na UNK hiyo yote ni kwaajili ya pesa kwanini UNK pesa kwa jasho lako sebene hiyo ilikuwa ni miongoni mwa UNK ambayo imepigwa siku hiyo wakati mashabiki wakimsubiri bongoman kupanda jukwaani akudo walianza kwa kuporomosha kibao cha UNK love safari sio kifo kijana wa bukoba mama UNK pamoja na sebene lingine la impact mwanamuziki wa zamani wa ddc mlimani park cosmas thobias chidumule ambaye kwa sasa amebobea katika nyimbo za injili ni kati ya wasanii waliothibitisha kushiriki tamasha la pasaka mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tamasha hilo alex msama alisema jana kuwa chidumule amekubali kushiriki tamasha hilo tumezungumza na amekubali kimsingi ameahidi kufanya makubwa siku hiyo alisema alisema vikundi mbalimbali vya muziki wa injili kutoka mikoa ya mwanza morogoro dodoma arusha tanga pwani na zanzibar vimethibitisha UNK msama alisema pia kuwa mbali na wasanii kutoka mikoa hiyo wasanii wengine akiwemo christina shusho ambaye kwa sasa anatamba na albam yake ya jina lako li hai tamasha la pasaka limepangwa kufanyika kwenye ukumbi wa diamond jubilee aprili kumi na tatu ikiwa ni tamasha la tano kufanyika mwaka huu uzinduzi wa albamu ya juma nature iitwayo tugawane umasikini ulitawaliwa na harufu ya bangi katika ukumbi wa diamond jubilee baada ya vijana mbalimbali kuamua kugawana bangi katika uzinduzi huo uliofanyika jumamosi usiku usiku huo uliohudhuriwa na waheshimiwa wabunge kutoka jimbo la temeke abbas mtemvu na mbunge viti maalumu al shymaa UNK ambaye aliposimama jukwaani kusalimia alishangiliwa na vijana UNK ukumbini baada ya kuwataka kupiga vita UNK ya viungo vya watu wenye UNK wa ngozi albino nimefurahishwa na nyimbo zenu zenye kutoa maadili kwa viongozi kutokuwa na vyeo zidi ya kimoja ili waweze kutekeleza majukumu yao kikamilifu na pia wimbo wa kupinga unyanyasaji wa aina zote kwa watu wa jinsia zote ikiwemo matumizi mabaya ya viungo vya wenye ulemavu wa ngozi kwa lengo la kujiongezea utajiri wimbo wa kulalamikia viongozi kujilimbikizia vyeo zaidi ya kimoja uliimbwa na msaanii seleman UNK afande sele ambaye UNK kama mr politician kwa usiku huo UNK wakati wimbo wa kupinga matumizi ya viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi uliimbwa na kundi la wanaume halisi bila juma nature UNK kabla ya yeye kupanda jukwaani usiku huo ulitawaliwa zaidi na vijana wa umri kati ya miaka kumi na tano hadi thebathini hivi na licha ya kutokea hitilafu ya umeme majira ya nne arobaini na tano lakini mambo yalikwenda sawa kuanzia saa sita thebathini baada ya umeme kurudia katika hali ya kawaida UNK dj UNK akisema hapa tunagawana umaskini pamoja na tanesco ua UNK baada ya hapo UNK jukwaani kundi la tht na walianza kushambulia jukwaa na kufutiwa na wasanii wengine kama farid kubanda fid q akiongozana na mkongwe wa muziki wa dansi ali zorro kisha msanii kutoka kenya jua UNK ndipo alipopanda afande sele halafu na UNK kwa kibao cha kwa nini viongozi wa waafrika wanavaa kofia zaidi moja kabla ya ferooz naye UNK na kundi lake la daz UNK na baadaye juma nature alianza UNK wake UNK timu ya soka ya mwananchi communications limited imejiondoa kwenye mashindano ya kombe la nssf kutokana na UNK kwa taratibu za mashindano hayo na UNK kushiriki tena iwapo taratibu zitafuatwa ijumaa mwananchi iligoma kucheza mechi yake na tanzania daima baada ya wapinzani hao kushindwa kutoa maelezo ya wachezaji nane UNK pingamizi kuwa ni mamluki lakini badala ya waendeshaji kuhakiki uhalali wa wachezaji hao UNK mwananchi icheze mechi na baadaye UNK rufaa kitu ambacho mwananchi fc UNK awali kabla ya mashindano hayo kulikuwa na taratibu zilizowekwa kuwa mbali na usajili kutakuwa na zoezi la kuwatambua wachezaji uwanjani ambao ni waandishi wa habari hata hivyo mwananchi walikataa kuendelea na mchezo dhidi ya wahuni UNK kwenye timu hiyo ya tanzania daima wakisema kuwa kukubali kucheza ni kubariki ubabaishaji ambao tayari ulikuwa UNK kiongozi wa mwananchi fc angetile UNK alisema amesikitishwa na waandaaji kushindwa kulipatia ufumbuzi suala la mamluki kwa karibu miaka mitano sasa tangu michuano hiyo UNK tulitarajia kuwa mashindano yangekuwa UNK kadri miaka inavyokwenda lakini badala yake tunaona mashindano UNK nguvu na ubabaishaji alisema angetile ambaye alipangwa kama mshambuliaji kwenye mechi ya ijumaa haieleweki ni nani hasa UNK na utumiaji wa mamluki ni waandaaji au timu UNK sisi tumejaribu kuwa UNK mashindano haya kwa miaka yote lakini UNK wenzetu hawataki kuheshimu kwa hiyo ni afadhali UNK kabisa kwenye mashindano haya hadi hapo ubabaishaji UNK lazima nssf UNK kuwa fedha zinazotumiwa kwenye mashindano haya ni wanachama wake ambao ni sisi hivyo UNK kuona wanachama wenyewe wakinufaika na fedha UNK na sio watu wa mitaani wasiotaka kufanya kazi na hivyo kutochangia mfuko pamoja na kamati ya mashindano kutoa maamuzi angetile aliongeza kusema kuwa haikuwa sahihi kwa kuwa mwamuzi alivunja mchezo bila ya kuita timu zote katikati alisema haikufahamika ni nani UNK mchezo na kwamba hata kamati ya usimamizi UNK kujadili rufaa ambayo haikuwepo kwa kuwa hakuna timu UNK barua kwa hiyo hapo unaweza kuona kamati ilikosa umakini na kuamua kuipa ushindi tanzania daima iliyokuwa imesheheni wachezaji ambao si wahusika wa chombo hicho hapa si kujadili tatizo hapa tatizo lilikuwa ni mamluki kamati UNK vipi tatizo la UNK au imeamua iendelee nalo nadhani waandishi tulitakiwa tuwe mfano badala ya waandishi wenyewe kuwa wababaishaji wakubwa alisema naye nahodha wa mwananchi saleh ally alisema tulipanga waandishi wetu wakiwemo wahariri ili wafurahie changamoto toka kwa wapinzani wetu tanzania daima lakini UNK sana kuona wenzetu wameamua kuchezesha watu wa mitaani kuna mantiki hapo kama tatizo UNK mapema basi UNK ufumbuzi kabla ya mechi sio UNK upigwe ngumi usoni ili upate ushahidi kuwa fulani UNK saleh aliongeza kuwa kamati ya maandalizi ilitakiwa ipate uhakika wa wachezaji hao kama ilivyofanya wakati clouds fm UNK siku hiyo kamati ya mashindano ilipiga simu ili kuhakikisha kuwa wachezaji waliopangwa ni wafanyakazi halisi wa clouds na UNK kuwa hawakuwa waajiriwa timu hiyo UNK wanawake wengi wamekuwa na tabia ya kununua pochi na kubeba bila kujali aina ya pochi au maumbile yao wanawake hao hawajui kuwa si vema kubeba pochi ya aina yoyote wakati wowote kwani kila mtu ana nafasi ya kuchagua kitu ambacho UNK hiyo ni kwa sababu mwanamke huenda dukani mwenyewe na anapaswa kutoa fedha kununua kitu kizuri katika makala ya leo tutaangalia mbinu za kuchagua mapochi UNK UNK pia kwenda na wakati kuna njia mbalimbali za UNK wa mapochi njia ya kwanza ni ile ya kuchagua pochi UNK na wakati ambalo UNK vilevile muhusika anapaswa kuzingatia ununuaji wa pochi kulingana na vitu anavyotaka UNK iwapo unabeba vitu vingi ni vema kununua pochi kubwa na iwapo unabeba vitu vichache ni vizuri kununua la wastani kwa mfano kama unataka UNK vitu vingi hutakiwi kubeba pochi dogo kwa sababu pochi likijaa vitu vingi UNK mno na hivyo kumfanya muhusika aonekane UNK vilevile mtu anatakiwa kuchagua pochi kulingana na umbile lake kwa mfano pochi pana UNK mtu mrefu pia mwembamba pochi refu na lenye madoido mengi UNK wanawake wafupi na UNK pamoja na hayo muhusika hatakiwi kubeba pochi kubwa mno kama ni mwembamba au kubeba pochi dogo sana wakati yeye ni UNK lakini kitu cha msingi ni kuzingatia kwamba mwanamke anatakiwa kubeba pochi ambayo urefu wake UNK UNK zake tafiti mbalimbali duniani zinabainisha UNK kubwa la watu wanaosumbuliwa na tatizo la nguvu za kijinsia ed au UNK UNK ingawa tatizo hili UNK pia wanawake wenye kuathirika na kuaibika zaidi ni wanaume kiasi kwamba baadhi hufikia maamuzi mabaya kwa mfano kujiua nk kulingana na taarifa za shirika liitwalo the national UNK medical care survey nchini marekani kati ya wanaume moja sifuri sifuri sifuri watu ishirini na mbili UNK na tatizo la nguvu za kiume kijinsia hasa wale wenye umri wa kuanzia miaka thebathini na kuendelea juu aidha kutokana na kukithiri kwa tatizo hilo UNK inasema zaidi ya watu mbili sita milioni wanatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume hali ni mbaya pia nchini hii ndio sababu kuna matangazo mengi ya waganga wa jadi wenye kutibu nguvu za kijinsia kiasi kwamba inakuwa vigumu kufahamu yupi mkweli yupi mwongo utafiti pia unaonyesha kuwa asilimia tano ya wanaume wenye umri wa arobaini na kuendelea wamekuwa wakisumbuliwa na tatizo hilo aidha kati ya asilimia kumi na tano na ishirini na tano na wanaume wenye umri wa miaka sitini na tano wanakabiliwa na tatizo hili nimewahi kuandika vitabu kadhaa kwa mfano kile kiitwacho saikolojia na utafiti ambacho nilizungumzia mbinu za kupona tatizo la nguvu za kiume baada ya kushirikiana na watafiti mbalimbali duniani ninachotaka uelewe ni kwamba tatizo hili UNK cha msingi ni kujua nini cha kufanya sio kukata tamaa kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakifanya msingi wa kuwa na maisha yenye amani ni kusaka tiba ya kile UNK sio kulia tu tatizo UNK umbile la mume lina sehemu mbili muhimu UNK corpora cavernosa na corpora UNK aidha kuna sehemu nyingine inaitwa the UNK UNK ambayo inajumuisha misuli na mishipa ya damu mwanzo wa tatizo hilo huanzia kwenye ubongo na kitendo cha mwanaume kushindwa kuwa imara ni dalili ya magonjwa mabaya hasa ya moyo figo nk hisia zinazoingia kwenye ubongo UNK misuli UNK hisia hizo kwenye umbo la mume ndio kusema kwamba UNK ipasavyo kwa mume ni dalili kwamba mfumo wa damu UNK vizuri kinachofanyika ni kwamba baada ya msisimko damu hujaa kwenye eneo liitwalo corpora cavernosa hapo ndipo mwanaume UNK na kuwa mwenye nguvu wenye magonjwa kama vile kisukari figo wenye kuendeleza vileo kutokula vizuri kuvuta sigara kuacha kufanya mazoezi na kujichua wana uwezekano wa asilimia sabini kupata tatizo la nguvu za kijinsia takribani asilimia thebathini na tano na hamsini ya wanaume wenye ugonjwa kisukari wanasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume wengine walio katika hatari ya kupata tatizo hili ni wale wenye uzito wa kupita kiasi wengine kati ya asilimia kumi na ishirini wanasumbuliwa na tatizo hili kwa sababu ya matatizo ya kisaikolojia kwa mfano kama mwenzi wako UNK jambo baya nk waziri wa afya na ustawi wa jamii profesa david UNK mwakyusa alijibu kuwa upungufu wa nguvu za kiume unasababishwa na mambo mengi baadhi yao ni lishe duni hasa mboga za majani kutokula aina mbalimbali za jamii ya karanga matumizi yasiyofaa ya ulevi kama pombe alisema sababu nyingine kuwa ni matumizi ya sigara na dawa za kulevya dawa zinazotibu baadhi ya magonjwa kama kisukari shinikizo la damu magonjwa ya akili na vilevile kutopumzika kunakosababishwa na shughuli nyingi za kijamii hivyo kusababisha uchovu lakini ni kweli dawa hizi za asili zinauwezo wa kutatua tatizo la upungufu wa nguvu za kiume UNK mwakyusa anathibitisha kwa kusema kuwa dawa nyingi za tiba asili ni virutubisho ambavyo UNK angeweza kuvipata endapo UNK vyakula vyenye virutubisho hivyo pia haijawahi kuripotiwa mtu kuathirika baada ya kutumia dawa hizi ninachotaka kusisitiza katika makala haya ni kwamba ikiwa una tatizo la nguvu za kijinsia jambo la msingi ni kuangalia staili za maisha unayoishi hasa kwa kuachana na tabia zinazosababisha mtu kupata tatizo hili kama vile ulevi kuacha kujichua kujifunza namna ya kuishi na watu tofauti wakiwemo wale UNK nk zaidi ya yote unapaswa kujua aina ya vyakula ambavyo ukila vinaweza UNK tatizo hilo kwa kawaida kuna vyakula vya aina tofauti kwa mfamo vya wagonjwa watoto watu wa ndoa nk zaidi ya vitu vingine unavyopaswa kuvitumia unatakiwa kwanza mwenye kutoa tiba kujua udogo au ukubwa wa tatizo kumbuka chakula ni chakula lakini chakula ni tiba ukitaka kuamini hili kama una mafua chukua kitunguu swaumu UNK UNK chini ya unyayo UNK ndio nasema kwamba katika maisha tafuta mbinu za kuondokana na shida UNK kwa njia ya amani sio kujiua atafute UNK wala UNK kuhangaika hadi upate unachotaka mlango wa mbio za kusaka ubingwa wa ligi kuu england wikiendi hii zilikuwa wazi wakati vinara manchester united UNK kupokea kipigo cha mara ya pili kutoka fulham huku liverpool UNK aston villa kwa jumla ya mabao tano sifuri na kuwa nyuma ya vinara kwa pointi moja barcelona iliendelea kujikita kileleni kwa tofauti ya pointi sita katika ligi kuu hispania wakati mabao mawili ya zlatan ibrahimovic UNK inter milan kuendelea kuongoza ligi kwa pointi katika ligi ya serie a manchester united iliendelea kuongoza ligi kuu england kwa pointi moja baada ya kukubali kichapo cha mabao mbili sifuri kutoka fulham jumamosi iliyopita huku liverpool UNK aston villa kwa jumla ya mabao tano sifuri juzi jumapili penalti iliyopigwa na danny UNK na bao la dakika za majeruhi la UNK UNK liliifanya fulham ipate ushindi wa kwanza katika uwanja wa nyumbani dhidi ya manchester united kwa kipindi cha miaka arobaini na tano na siku mbaya ya manchester united ilimalizika kwa kushuhudia paul scholes na wayne rooney wakitolewa nje ya uwanja liverpool iliifunga villa ambapo steven gerrard alifunga mabao matatu wakati mabao mengine yalifungwa na dirk kuyt na albert UNK manchester united inaongoza ligi ikiwa na pointi sitini na tano baada ya kucheza mechi ishirini na tisa juu ya liverpool kwa pointi moja liverpool kwa sasa ina pointi sitini na nne chelsea ambayo ilipokea kipigo cha kwanza tangu kujiunga kwa kocha guus hiddink ina pointi sitini na moja vinara barcelona walifanya maajabu kwa kuwafunga wapinzani wao malaga jumla ya mabao sita sifuri katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa nou camp juzi jumapili na kuonyesha kwamba hakuna mabadiliko katika timu nne za juu huku kila kikosi kikiwa kimebaki na mechi kumi barcelona iliendelea kutesa kwa pointi sita zaidi dhidi ya real madrid huku samuel etoo akifunga mabao mawili na xavi lionel messi daniel alves na thierry henry wakifunga bao moja kila mmoja real madrid pia ilifanikiwa kushinda mechi ya kumi na mbili kati ya kumi na tatu wakati ilipoifunga almeria jumla ya mabao tatu sifuri jumamosi iliyopita frederic kanoute alifunga mabao matatu na kuisaidia timu ya sevilla kupata ushindi wa mabao nne moja dhidi ya real UNK majambazi jijini dar es salaam UNK baba mzazi wa msanii wa muziki wa kizazi daz baba selestine mwanyika kwa kumpiga na nondo yenye ncha kali kichwani polisi mkoa wa ilala UNK daz ambae sasa anamiliki kundi la UNK akiwa amewahi kutamba na wimbo wa nipe tano baba yake UNK na tukio hilo la ajabu wikiendi iliyopita baada ya majambazi hayo mawili kumvamia nyumbani kwake segerea kwa bibi akiwa anafunga duka lake la vinywaji selestine ambae alikuwa mkufunzi wa chuo cha ufundi na mafunzo stadi baada ya kupigwa na nondo hiyo alitokwa na damu nyingi kiasi cha kusababisha kifo chake mke wa marehemu UNK UNK mwanyika aliliambia mwanaspoti kuwa majambazi hayo yalimvamia mumewe wakati akiwa anafunga duka lake la vinywaji aliwaambia hana kitu na fedha za mauzo UNK UNK mapema lakini walikataa na kumtaka yeye na sisi pamoja na watoto wetu UNK chini nasi UNK alisema UNK kamanda wa polisi mkoa wa ilala faustine shilogile alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na uchunguzi unaendelea wachezaji thebathini kutoka mikoa mbalimbali ya tanzania watashiriki michuano ya taifa ya baiskeli itakayofanyika aprili ishirini na sita jijini dar es salaam katibu mkuu wa chama cha baiskeli tanzania lado haule amesema mbio hizo zitakuwa za kilomita mia moja na kumi amesema mikoa kumi na saba ya tanzania tayari imethibitisha kushiriki na ameitaka mikoa mingine kufanya hivyo pia ili mashindano yawe na mvuto michuano ya kimataifa ya tenisi ya vijana itafanyika aprili kumi na moja jijini casablanca morocco katibu wa chama cha tenisi tanzania inger njau amesema UNK wachezaji watano watakaoshiriki michuano hiyo na wataweka kambi ya wiki mbili jijini nairobi kenya ili kuwaweka fiti wachezaji hao ni shaaban ibrahim tumaini martin lydia lucas justin joseph na yasin abdallah kocha wa timu ya taifa ya vijana ya gofu itakayoshiriki mashindano ya afrika yatakayoanza machi thebathini hadi aprili sita mombasa kenya amesema timu hiyo ipo katika maandalizi makali kujiandaa na michuano hiyo stanley sanga amesema wachezaji wote wapo katika ari kubwa ya ushindi huku wakionyeshana ushindani mkubwa mazoezini wachezaji watano tu ndio UNK kuiwakilisha nchi katika mashindano hayo yanayoshirikisha nchi mbalimbali za afrika katibu mkuu wa chama cha riadha tanzania suleiman nyambui ametamba timu ya taifa kushangaza umma wa kufanya vizuri kwenye michuano ya dunia ya mbio za nyika itakayofanyika machi ishirini na nane jordan nyambui amesema timu hiyo yenye wachezaji wanane imefanya maandalizi makubwa na ana imani itafanya vizuri timu itaondoka machi ishirini na tano kwenda jordan na nina imani kubwa itafanya vizuri watanzania wasiwe na wasiwasi kwa nini kila siku wachukue kenya na ethiopia sasa ni zamu yetu michuano ya mpira wa kikapu ya majiji ya afrika mashariki na kati inaanza leo jumanne hadi machi ishirini na nane jijini arusha mratibu wa michuano hiyo alijua mwakalinga amesema maandalizi kwa ajili ya UNK hiyo yamekamilika na baadhi ya timu tayari UNK mabingwa watetezi mkoa wa dar es salaam dream team tayari wamewasili pamoja na harare ya zimbabwe na mogadishu ya somalia huku jiji la mwanza UNK kujitoa kwa madai ya ukata kocha wa polisi morogoro john simkoko amedai kuwa ligi kuu bara msimu huu imekuwa ya ajabu tofauti na misimu mingine iliyopita bosi huyo msaidizi wa zamani wa kilimanjaro stars alisema kuwa timu yenye furaha kwenye michuano hiyo ni yanga tu ambayo imeshajihakikishia ubingwa lakini zingine zote zinaishi maisha ya wasiwasi ukiangalia yanga ndio angalau amepumzika kwa vile ana uhakika kwamba UNK mzigo mapema na ana pointi nyingi lakini ukiangalia timu nyingine zote kazi bado alisema nafasi ya pili timu kama tatu au nne zina nafasi ya kuipata na kila mmoja UNK UNK mwenzake kwenye kushuka daraja na kwenyewe UNK timu nne zilizoko chini zote zina nafasi sawa ligi imekuwa ngumu kwa kweli na kadri siku UNK ndio hiyo hali inazidi UNK akizungumzia kile kinachodaiwa ni kushuka kiwango kwa timu yake alisema sisi bado tuko vizuri haya yanayotokea ni matokeo tu ya mchezo ambayo ni kitu cha kawaida polisi dodoma imesema kuwa UNK wala haitaki kujua matokeo ya timu yoyote ya ligi kuu na wanachotaka sasa ni kushinda mechi zao zote huku wakiomba dua baya kwa wapinzani wake kocha mpya wa timu hiyo juma mwambusi alianza kibarua chake kwa staili ya aina yake baada ya kutoa suluhu na kagera sugar nyumbani na kuifunga jkt ruvu bao moja sifuri jijini dar es salaam mwishoni mwa wiki hatutaki kuangalia matokeo ya mtu yoyote UNK sasa ni kushinda tu halafu mambo mengine UNK tunazo mechi tano zilizosalia ambazo zitaamua hatima yetu alisema mwambusi alipozungumza na mwanaspoti jana jumatatu jumamosi tunacheza na prisons mbeya ni mechi ngumu sana ndio maana tumerudi dodoma ili kujipanga UNK tuingie na nguvu mpya kila kitu kinawezekana ndio maana UNK kabisa kuipokea timu wakati ninaona UNK mlango wa kushuka daraja vijana wangu wameelewa falsafa yangu na UNK kwamba timu UNK daraja na UNK nao kutokana na aina ya soka UNK katika mechi mbili zilizopita hakuna haja ya kuwa na wasiwasi watu wa dodoma watupe ushirikiano tuingie vitani wasahau yaliyopita sisi tunaombea tu wapinzani wetu wafanye vibaya UNK mazingira mazuri hizi timu nne zilizopo kwenye nafasi nne za chini katika msimamo wa ligi kuu bara kila moja ina uwezekano wa kushuka bado hali ni ngumu alisisitiza mwambusi ambaye ni kocha wa zamani wa prisons kama UNK toto africans vita yao ni kutoshuka daraja tu utakuwa umekosea kwani wametangaza kuwa wanaitaka nafasi ya pili ya ligi hiyo ili waweze kushiriki michuano ya kombe la shirikisho na kwamba kazi inaendelea leo jumanne dhidi ya yanga kwenye uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza kocha msaidizi wa toto choke abeid ambaye amekuwa na kikosi hicho kwa muda mrefu aliiambia mwanaspoti jana jumatatu kuwa wanachotaka dhidi ya yanga ni ushindi tu kikubwa UNK kambi yetu hadi sasa hakuna majeruhi na kweli kabisa suala UNK ni ushindi na hakuna UNK tuna uwezo wa kuifunga yanga na kama tutakuwa makini na kufuatilia vema tulichojifunza basi tutawafunga yanga alisema iwapo yanga itaifunga toto africa nyumbani kwao itakuwa na kila sababu ya kutangaza ubingwa kwa mara ya pili mfululizo choke aliyewahi kuichezea pamba alisema anajua wanakutana na yanga ikiwa imepoteza mechi moja tu dhidi ya kagera sugar hivyo wanatakiwa kufanya kazi ya ziada hakuna timu UNK lakini yanga si timu ya kuifunga kirahisi hivyo tunatakiwa kujipanga kweli ili tushinde mechi hiyo pia hatupendi kuona jamaa wanakuja UNK ubingwa hapa alisema kocha mkuu wa mtibwa sugar salum mayanga amesema homa iliyokuwa ikimsumbua kwa kipindi kirefu UNK mara tu baada ya kuifunga simba ya jijini dar es salaam na sasa UNK timu nyingine salamu zenu akizungumza na mwandishi wa habari hii mayanga alisema licha ya kupata ushindi huo UNK UNK badala yake atahakikisha UNK kikosi chake kwa mechi zijazo namshukuru mungu UNK UNK UNK kwa muda mrefu sasa nitahakikisha UNK ushindi huo kwani UNK na sasa ni kuganga yajayo ili vijana wangu wafanye vizuri michezo inayokuja alisema UNK alisema anaamini mechi zilizobaki bado ni ngumu kwao kwa kuwa kila timu imekuwa UNK na kutaka pointi tatu mayanga ambaye ni kocha mkongwe kwenye timu hiyo tangu akiwa mchezaji hadi ukocha UNK mtibwa sugar mafanikio makubwa kwa kipindi kifupi UNK na timu hiyo baada ya kukabidhiwa mikoba kutoka kwa abdalah king UNK mtibwa sasa inashika nafasi ya nne ikiwa na pointi ishirini na tano nyuma ya yanga simba na kagera sugar yanga inaongoza ligi hiyo ikiwa na pointi arobaini na tano na endapo watashinda mchezo wao wa leo jumanne dhidi ya toto africa ya mwanza UNK pointi arobaini na nane na kutwaa ubingwa simba ndio timu inayoongoza kwa wachezaji wake wengi kupewa kadi nyekundu kwenye ligi kuu tanzania bara mpaka juzi jumapili mara baada ya mechi yao dhidi ya mtibwa sugar jumla ya kadi tano nyekundu zilikuwa zimetolewa kwa wachezaji wa simba katika mechi za ligi kuu bara ikifuatiwa na polisi morogoro polisi dodoma na mtibwa sugar ambazo zina kadi tatu kila moja kwa mujibu wa takwimu za ligi kuu tanzania bara kutoka shirikisho la soka tanzania timu ambazo wachezaji wake wamepewa kadi mbili nyekundu ni yanga kagera jkt ruvu moro united na villa squad timu zenye kadi moja nyekundu ni toto african ya razak siwa prisons chini ya james nestory na azam fc chini ya mbrazili neider dos santos kwa maana hiyo simba ina jumla ya kadi thebathini na tatu kwa sababu ina kadi ishirini na nane za njano na nyingine tano nyekundu kwa upande wa kadi za njano toto africans moro united na villa squad zinaongoza kwa kuwa na kadi thebathini na mbili kila moja zikifuatiwa na prisons mtibwa sugar simba moro united na polisi moro kagera yanga na jkt na azam kadi ishirini na mbili za njano azam fc ndio inaonekana kuwa na kadi chache zaidi kwani UNK za njano na nyekundu inazo ishirini na tatu ligi kuu england imeshika kasi kubwa huku timu mbalimbali zikiwania ubingwa na nyingine zikitaka kubaki tu katika ligi msimu ujao inapofika mwishoni mwa wiki mashabiki hujitokeza kwa wingi katika sehemu zinazoonyesha mechi hizo za england na kulipa UNK jinsi mashabiki UNK timu zao huwezi kuamini kama klabu hizo zipo mbali sana na tanzania UNK mashabiki wa manchester united UNK kuhusu timu yao ona jinsi mashabiki wa liverpool na chelsea UNK ubingwa msimu huu hebu angalia UNK wa arsenal UNK nafasi nne za juu UNK kuona mashabiki hao UNK na jinsi UNK kuhusu timu zao UNK UNK pia kuona mashabiki hao UNK na wachezaji au makocha kwenye televisheni kama kwamba UNK ilimradi ni furaha tu mashabiki hawa huumia sana timu zao UNK mechi mathalani mashabiki wa manchester united wamekosa raha kwa siku kadhaa sasa kutokana na timu yao hiyo kufungwa na liverpool mabao nne moja kabla ya kupata kipigo cha mabao mbili sifuri kutoka kwa fulham sisi tunafurahia kuona mashabiki UNK kwa umakini ligi za nje ikiwa pamoja na zile za hispania ureno italia ujerumani ufaransa na kwingineko lakini tungependa kama ushabiki huu UNK hata katika klabu zetu za tanzania na kuifanya ligi yetu UNK zaidi tunajua kuna mashabiki wengi wa yanga na simba lakini kuna ushabiki mdogo sana inapofika timu nyingine zinazoshiriki ligi hiyo kwanini UNK mfano kama wa wenzetu wa ulaya UNK timu zao kama za bolton hull city stoke city portsmouth porto villareal na nyinginezo kama UNK klabu zetu kama kagera sugar mtibwa moro united na nyingine na kujaza viwanja katika kila mechi bila shaka tungekuwa mbali sana kama tunaweza UNK na kuzitetea kwa nguvu zote klabu za ulaya kwanini UNK hivyo pia kwa klabu zetu licha ya kuwa na udhaifu mwingi bila shaka klabu zetu UNK mapato mengi kutokana na viingilio vya uwanjani na soka lingekuwa linapigwa la uhakika zaidi kwa sababu wachezaji wangekuwa wanalipwa vizuri tofauti na sasa kipa wa mtibwa sugar shaaban kado amemwambia mwamuzi mathew UNK kwamba hata henry joseph anastahili kadi nyekundu kipa huyo ambaye anadai kwamba alionewa alionyeshwa kadi nyekundu pamoja na mshambuliaji wa simba mussa hassan mgosi baada ya kuzozana na kutwangana uwanjani katika mechi ya juzi jumapili ambayo simba ilifungwa bao moja sifuri katika mjini morogoro kuna wakati haruna moshi UNK faulo nikawa UNK naye ndio henry na mwenyewe akaanza UNK maneno ya kashfa akawa UNK rudia alisema kado ambaye ndie kipa namba moja wa mtibwa iliendelea muda na kila mpira ulivyokuwa unakuja alikuwa anafanya vitu vya ajabu ili UNK mchezoni lakini akakuta nipo imara na naelewa nini nafanya lakini kwa alichokuwa anafanya alistahili kadi nyekundu tena mapema kabisa kabla yetu sisi ile ya mgosi ilitokea kwenye malumbano ya mpira wa faulo kabla mwamuzi UNK kipyenga upigwe mgosi akapigiwa pasi kabla hajaenda nao mbali UNK ndio UNK na hasira UNK akaanza kufanya fujo tulipokuwa UNK na kusukumana na kutoleana maneno ndio mwamuzi akaona akaja na UNK lakini ile kadi aliyotoa haikustahili ilikuwa ni kiasi cha UNK tu mambo yaishe kama ni kadi alipaswa kutoa wakati nimefanyiwa faulo na haruna au henry alipokuwa UNK na mimi alisema kipa huyo na kudai kuwa kutokuwepo kwake langoni kwa michezo miwili UNK mtibwa yenye pointi ishirini na tano kwa vile wapo makipa wengine wenye uwezo mshambuliaji nyota wa yanga boniface ambani raia wa kenya amesema hakuna sababu yoyote ya kuendelea kulumbana kwamba kuna mtu alichangia kupoteza mechi yao dhidi ya al ahly ya misri kwani wanachotakiwa ni kuangalia zaidi mechi ya marudiano ambani aliiambia mwanaspoti kutoka nairobi kenya kuwa katika mechi ya kwanza kilichotokea ni kwamba walizidiwa kimchezo kutokana na mabingwa hao wa afrika mara sita kucheza kitimu zaidi kitu ambacho nao wanatakiwa kufanya kwenye mechi ya marudiano kocha mkuu wa yanga dusan kondic amekuwa UNK lawama kuwa UNK ingawa baadhi ya mashabiki wamekuwa wakimlaumu kocha huyo wa serbia sidhani kama kuendelea kulaumiana ni njia sahihi ya kuiondoa al ahly hakuna haja ya kusema fulani UNK au UNK kweli wenzetu walicheza kitimu zaidi na kupata mabao alisema tunachotakiwa kufanya sisi wakati huu si kulumbana tukae na kutafakari tujiandae vizuri kwa ajili ya mechi hiyo ili tufanye vizuri alisema ambani mwenye mabao kumi na nne kwenye ligi kuu bara na mabao matano kwenye ligi kuu ya mabingwa afrika tukiendelea kulumbana ni sawa na kuiachia nafasi yetu kwa al ahly kwa kuwa wao watakuwa wanajiandaa kwa vile pamoja na ushindi UNK UNK sasa sisi ambaye tulipoteza mchezo wa kwanza vipi UNK utulivu mimi naamini kabisa wanafungika ni timu kama sisi tu ila tunatakiwa kujituma na kucheza kitimu tuna uwezo wa kuwafunga kabisa alisema ambani ambaye amejiunga na timu yake ya taifa harambee stars kujiandaa na mechi ya kuwania nafasi ya kucheza kombe la dunia na mataifa afrika ishirini moja sifuri dhidi ya tunisia jumamosi yanga ilianza hatua ya kwanza ya ligi ya mabingwa kwa kipigo cha mabao tatu sifuri dhidi ya al ahly jijini cairo misri na tangu timu hiyo imerejea nyumbani kumekuwa na lawama kutoka kila upande kondic amekuwa akituhumiwa kuondoka na kwenda kutembea mitaani na kipa obren cirkovic siku moja kabla ya mechi jambo ambalo UNK kambi pambano la watani wa jadi kati ya al ahly na zamalek limesogezwa mbele mpaka aprili ishirini na tatu kutokana na mabingwa wa misri kujiandaa na mechi ya yanga mechi imecheleweshwa kwa sababu al ahly watakuwa na mechi dhidi ya yanga mkuu wa kamati ya mashindano ya chama cha soka misri nayef ezzat alisema al ahly watakuwa na kibarua cha kuivaa yanga aprili nne katika mechi ya marudiano ya ligi ya mabingwa afrika ikiwa na faida ya magoli tatu sifuri iliyoyapata mjini cairo mashetani hao wa misri walikuwa wacheze na zamalek aprili tano katika ligi kuu lakini hilo sasa halitawezekana badala yake mechi itakuwa aprili ishirini na tatu miamba hiyo ya misri imekutana mara nne msimu huu katika super cup na ligi ya mabingwa na ligi kuu ahly imeshinda mechi tatu na kutoka sare moja dhidi ya zamalek ambao mara ya mwisho waliifunga al ahly mei ishirini sifuri saba katika hatua nyingine al ahly ya misri bila wachezaji wake tisa tegemeo imeanza mazoezi makali jana jumatatu asubuhi kujiandaa na mechi ya marudiano dhidi ya yanga na imewapiga marufuku wachezaji wake wote kuzungumzia kitu chochote al ahly itacheza na rabat anwar jumamosi ijayo katika mechi ya kirafiki lakini hakuna mchezaji ambaye ameruhusiwa kuzungumza lolote al ahly imeanza mazoezi hayo kujiandaa na yanga katika mechi ya marudiano aprili nne baada ya kupumzika kwa siku tatu tangu wacheze mechi ya ligi kuu misri dhidi ya ettihad kocha msaidizi wa al ahly hossam el badry amepewa jukumu la kusimamia mazoezi hayo kutokana na kocha mkuu manuel jose kuwa mapumzikoni ureno wachezaji sita wa al ahly ambao wapo na timu zao za taifa kujiandaa na mataifa ya afrika na kombe la dunia ishirini moja sifuri ni flavio gilberto wote wa angola na mpalesina UNK katika hatua nyingine hossam el badry amekubali kuwapo kwa mechi ya kirafiki kati ya timu yake ya al ahyl na rabat and anwar katika mechi ya kirafiki jumamosi hossam el badry amewaonya wachezaji wake kuheshimu mazoezi na kwamba atakuwapo mtu rasmi wa kuzungumza na waandishi wa habari na si kila mchezaji kocha mkuu wa simba patrick phiri amesema anajisikia vibaya kutokana na kikosi chake kucheza vizuri lakini wakapoteza mechi yao dhidi ya mtibwa sugar mwishoni mwa wiki hali ambayo imemfanya abadili uelekeo na sasa atacheza na saikolojia za wachezaji wake phiri aliiambia mwanaspoti jana jumatatu kwamba analazimika kuanza UNK baadhi ya washambuliaji wake ili waanze kwenye kikosi cha kwanza katika mechi yao inayofuata dhidi ya azam fc kuziba nafasi ya mussa hassan mgosi aliyepewa kadi nyekundu katika mechi ya mtibwa sugar baada ya kuzichapa na kipa shaaban kado juzi jumapili najisikia vibaya kwa kuwa mechi ilikuwa ni yetu tulicheza vizuri zaidi kuliko mtibwa safu ya ulinzi ilijitahidi na kama kosa lilikuwa ni moja ambalo tu wenzetu UNK nalazimika kubadili uelekeo kwanza kabisa nafikiri suala la kuzungumza na wachezaji wangu ili kuwaweka vizuri saikolojia yao mtu UNK vizuri halafu UNK huwa hajisikii vizuri UNK nao vizuri alisema mtaalamu huyo wa zambia halafu pia UNK suala la kubadilisha mtu kwa kuwa mechi inayofuata hatutakuwa na mgosi hivyo UNK baadhi ya washambuliaji wangu ili mmoja wao aanze katika kikosi cha kwanza phiri alisema ana imani kubwa wanaweza kuibuka na ushindi katika mechi zilizobaki na kushika nafasi ya pili hata hivyo alisisitiza kwamba kazi itakuwa ya ziada kwa kuwa mechi zao zilizobaki ni ngumu simba imebakiza mechi tano dhidi ya tano dhidi ya azam kwenye uwanja wa uhuru kagera toto african yanga na polisi dodoma mechi ni ngumu sana lakini ndio hivyo tunatakiwa kukutana na kucheza na kila timu ambayo tumepangwa nayo tutafanya vizuri kwa kuwa timu UNK UNK alisema phiri kwa sauti ya taratibu simba imebaki na pointi ishirini na saba sawa na kagera sugar huku zikifuatiwa kwa karibu na mtibwa sugar yenye pointi ishirini na tano msimbazi wanalazimika kushinda mechi zote zilizobaki ili kujihakikishia kupata nafasi ya pili phiri aliyewahi kuinoa timu ya taifa ya zambia chipolopolo kwa mafanikio makubwa amechukua nafasi ya kuinoa simba baada ya kutimuliwa kwa mbulgaria krasmir bezinski ambaye aliongoza timu hiyo kwenye mzunguko wa kwanza na kupoteza mechi tano ikashinda nne na kutoka sare mbili tff UNK pointi mbili shirikisho la soka la tanzania UNK yanga pointi mbili lakini mabingwa hao watetezi wanahitaji pointi tatu kama hizo leo jumanne dhidi ya toto africa ndani ya uwanja wa ccm kirumba jijini ili kufunga hesabu ya msimu wa ishirini sifuri nane sifuri tisa na kukabidhiwa kombe lake kwa mara ya ishirini na mbili katika historia ikiwa ni mara ya tano tangu mwaka ishirini sifuri sifuri katika mechi ya mzunguko wa kwanza dhidi ya polisi morogoro kwenye uwanja wa jamhuri mjini morogoro yanga ilitoka suluhu lakini UNK pointi mbili zaidi baada ya kumkatia rufaa kwenye kamati ya mashindano mchezaji UNK daudi kwa madai alikuwa na kadi mbili za njano lakini ofisa habari wa tff florian kaijage aliiambia mwanaspoti jana jumatatu kuwa kamati ya nidhamu ilikutana hivi karibuni jijini dar es salaam baada ya polisi kuweka pingamizi na UNK kuwa mchezaji huyo hakuwa na kadi tatu hivyo matokeo UNK kuwa suluhu na hivyo kuifanya yanga kupata pointi moja tu za mchezo huo baada ya kupitia tena vielelezo vya pande zote matokeo yanabaki kama yalivyo polisi morogoro UNK pointi yake moja na yanga inakuwa na pointi moja kwa hiyo yanga ina pointi arobaini na tatu na si arobaini na tano kama inavyoelezwa alifafanua kaijage hali hiyo UNK yanga kutangaza ubingwa leo jumanne kwani ikishinda itafikisha pointi arobaini na sita lakini itapaswa kuishinda toto yenye pointi ishirini na nne timu zote kumi na moja zilizopo nyuma yake zina uwezo wa kuzifikia arobaini na tano lakini yanga inahitaji pointi moja ya ziada kuziacha kwenye mataa timu hiyo ambayo ndiyo pekee afrika mashariki yenye kipa mzungu itakuwa imesaliwa na mechi tano ikiwamo ya watani wao wa jadi simba ambazo zitakuwa za kujifurahisha tu na kutoa nafasi kwa wachezaji wa benchi huku ikipiga hesabu za ligi ya mabingwa afrika simba ambayo imetwaa ubingwa wa bara mara kumi na sita juzi jumapili ilifungwa na mtibwa sugar bao moja sifuri imeanza kutoka kwenye mstari wa kuwania nafasi ya pili kwani ikishinda mechi tano UNK itafikisha pointi arobaini na mbili ambazo kagera sugar UNK michezo yake yote zinaweza UNK kikosi cha yanga kilichopo chini ya kocha kondic dusan UNK mwanza juzi jumapili saa nne usiku kwa basi maalum na jana jumatatu jioni kilifanya mazoezi kwenye uwanja wa ccm kirumba mwanza kondic ambaye katika mchezo wa mwisho dhidi ya polisi morogoro alizomewa kwenye uwanja wa uhuru wiki iliyopita kutokana na kauli zake za hivi karibuni kuwa hawawezi kuifunga al ahly alisema kwamba kikosi chake kimejipanga vizuri kumalizia michezo ya ligi ingawa tayari UNK mabingwa kocha huyo ambaye anaonekana kuridhika UNK mfungaji bora na anayeongoza kwa mabao kumi na nne boniface ambani kwenda kwenye timu yake ya taifa ya kenya inayojiandaa na mechi za kufuzu kombe la dunia mbali na huyo pia george owino na ben mwalala ambao wote ni wakenya tegemeo kwenye kikosi cha kwanza wameruhusiwa kwenda timu ya taifa na wakenya pekee waliobaki ni mike baraza na maurice sunguti lakini beki wa malawi wisdom ndhlovu naye UNK yanga ambayo imekuwa ikitumia mfumo wa nne nne mbili itakuwa ikiwategemea zaidi baraza mrisho ngassa jerry tegete na shamte ally safu ya mbele huku safu ya ulinzi ikiwa chini nurdin bakar abdul mtiro yusuf khamis na nadir canavaro safu ya kiungo itakuwa na godfrey bonny na athuman idd lakini UNK wa yanga nassoro matuvya aliiambia mwanaspoti jana kuwa shadrack nsajigwa hayupo mwanza kwani anaumwa enka abdi kassim ana malaria na sunguti pia amebaki akiwa majeruhi ngassa UNK ila hakuja na timu huku jumapili kwa vile alikuwa anashughulikia mambo yake ya visa ya kwenda uingereza kwenye klabu ya UNK lakini leo atatua hapa kambini mwanza kujiandaa na mchezo alisema wachezaji wa yanga waliiambia mwanaspoti kuwa wapo katika hali nzuri na lazima washinde mchezo huo ili kwenda na rekodi yao nzuri waliyoanza nayo mbali na mchezo huo leo jumanne prisons inacheza na kagera sugar jijini mbeya katika mchezo mgumu ambao kagera kupitia kwa kocha wake msaidizi mlage kabange iliiambia mwanaspoti kuwa lazima tushinde tunacheza kwa hadhari kubwa sana UNK kwamba kuna timu nyingi UNK nafasi ya pili kwenye msimamo kwa hiyo hatupaswi kupoteza chochote ndio maana tuliwahi sana kufika huku mbeya na tukacheza juzi mchezo wa kirafiki na UNK mjini iringa UNK tano sifuri alisema kabange wakati michuano ya riadha ya nyika ya dunia inafanyika jumamosi kwenye mji wa amman jordan timu ya taifa ya riadha ya tanzania inatarajia kuondoka nchini kwa mafungu kwenda kwenye michuano hiyo katibu mkuu wa shirikisho la riadha tanzania at suleiman nyambui alisema majina ya wanariadha hao UNK leo lakini pamoja na hayo baadhi ya wanariadha wanaondoka leo na wengine kesho at ambayo haijafanya maandalizi yoyote kwa michuano hiyo awali ilikuwa UNK kutoa majina hayo baada ya mwananchi kufuatilia kwa karibu baada ya kuwepo madai ya kuingizwa mamluki kwenye msafara wa timu hiyo arusha wamekilalamikia chama hicho kwa kushindwa kuweka bayana wanariadha ama watu UNK na timu hiyo hivi karibuni mmoja wa wanariadha wa siku nyingi john UNK alisema kuwa kuna wasiwasi wanariadha watakaokwenda huko wakawa si wahusika halisi kwa kuwa at haikufanya maandalizi yoyote alisema mwaka jana tanzania ilishindwa kwenda katika mbio za nyika zilizofanyika UNK scotland kwa sababu ya kuwepo wazamiaji katika msafara huo hali hiyo imesababisha tanzania kupewa adhabu na shirikisho la kimataifa la riadha iaaf adhabu ni wanariadha wake wa kike kulipiwa nauli kamili wakati wanaume UNK nusu ya UNK alipotafutwa jana na mwananchi nyambui alisema UNK wanariadha waliofanya vizuri katika mashindano ya taifa ya mbio za nyika yaliyomalizika mkoani kilimanjaro hivi karibuni hata hivyo nyambui ambaye alisema baada ya uteuzi huo wanariadha hao wataondoka katika makundi mawili kundi la kwanza la wanariadha wanawake wanne UNK leo na majina yao hayajafahamika na wanaume watatu wataondoka kesho mimi ninayo majina ya wanariadha watakaosafiri lakini hivi sasa sipo ofisini na siwezi kurudi ofisini ila njoo kesho UNK majina hayo alisema nyambui kipigo UNK simba jumapili kutoka kwa mtibwa sugar kimezidi kuwachanganya viongozi wa klabu ya hiyo ambao wameanza kutuhumiana kwa hujuma ya wenyewe kwa wenyewe mechi hiyo ilichezwa mwishoni mwa wiki iliyopita na simba kupata kipigo cha bao moja sifuri dhidi ya mtibwa na kuwafanya wawe katika hali ngumu ya kuendelea kushikilia nafasi ya pili habari za uhakika kutoka kwa kiongozi wa simba UNK mwananchi kuwa kumekuwa na hujuma kutoka kwa baadhi ya watu kundi la fri of simba ambao UNK uongozi wa mwenyekiti hassan dalali kiongozi huyo alidai kuwa kumekuwa na ugomvi wa siku nyingi kati ya dalali na baadhi ya wanachama wa kundi hilo ambalo wamedaiwa UNK ili kushinikiza aondoke madarakani hata hivyo kiongozi huyo alidai kuwa baada ya mechi hiyo kuna baadhi ya viongozi wa kundi hilo walioonekana kuondoka na wachezaji kadhaa wakiwa nao kwenye magari kitu ambacho kilimfanya dalali aitishe kikao cha dharura na viongozi wa matawi wa mjini morogoro kuwaambia kuwa kuna watu UNK imeelezwa kuwa chanzo cha chuki hizo baina ya dalali na baadhi ya watu wa kundi hilo ni kwenye uchaguzi wa viongozi wa shirikisho la soka tanzania uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana wakidai kuwa UNK mwanafunzi wa shule ya msingi UNK denozio muwanga alianguka na kufariki juzi wakati akiongoza mbio za mita thebathini sifuri sifuri katika mashindano ya ubingwa wa riadha wa UNK ya namutumba nchini uganda denozio mwenye umri wa miaka kumi na sita ambaye alikuwa akisoma darasa la sita alianguka akiwa katika raundi ya mwisho ya mbio hizo katika uwanja wa UNK kwa mujibu wa mwalimu mkuu wa shule yake denozio alifariki muda huo huo alipokuwa uwanjani na hakuwahi kulalamika kama anasumbuliwa na ugonjwa wowote uchunguzi uliofanywa katika kituo cha afya cha UNK umeonyesha kwamba denozio muwanga alikuwa akisumbuliwa na malaria wiki moja kabla ya mashindano hayo na alikuwa UNK na maji hivyo kuathiri mzunguko wa damu yake lakini wazazi wake walisema hawakuwa wamegundua kama mtoto wao alikuwa mgonjwa kwa sababu alionekana yupo katika hali ya kawaida mkuu wa michezo wa shule za wilaya hiyo fred UNK alisema muwanga UNK wilaya hiyo katika michezo ya shule mwaka jana iliyofanyika UNK mkuu wa polisi wa namutumba george UNK alithibitisha kifo hicho na kuwaomba wazazi wa muwanga wamzike mtoto huyo bao la mwaka la kipa juma kaseja lilitosha kuweka historia mpya kwa kuipa yanga ubingwa wa ishirini na mbili kwenye uwanja wa ccm kirumba mjini mwanza huku azam ikiichapa sita mbili villa squad jijini dar es salaam yanga iliyokuwa ikihitaji pointi tatu ili kutangazwa mabingwa kwa msimu wa ishirini sifuri nane sifuri tisa iliandika bao lake la kwanza katika dakika ya ishirini na moja lililofungwa na kaseja aliyetumia vizuri udhaifu wa mwenzake abdallah msafiri wa toto africa na kuachia mkwaju ambao UNK na kutinga nyavuni awali kaseja alidaka na kupiga mpira mrefu wa juu uliokwenda moja kwa moja wavuni dakika tisa baadaye hussein sued aliisawazishia toto afrika kabla ya mike baraza kufunga bao la pili na ushindi kwa mabingwa hao katika mchezo huo ulioshuhudia timu hizo UNK penalti kila moja mshambuliaji UNK baraza wa yanga alikosa penalti dakika ya kumi na nane kipindi cha kwanza naye said dilunga alipoteza nafasi ya pekee ya kuisawazishia toto wakati mkwaju wake wa penalti UNK mkononi mwa kaseja dakika ya sitini na mbili naye UNK UNK anaripoti kutoka uwanja wa uhuru jijini dar es salaam kuwa jahazi la villa squad limezidi kuzama baada ya kukubali kipigo cha mabao sita mbili kutoka kwa azam fc mshambuliaji nsa job ndiye aliyekuwa mwiba mkali kwa ngome ya villa kwa kupachika mabao matano peke yake na kuzawadiwa mpira akimwachia mchezaji wa kimataifa wa uganda danny wagaluka akihitimisha karamu hiyo ya mabao kwa bao la sita katika mchezo huo uliokuwa na raha ya aina yake ulishuhudia mabao manne yakifungwa ndani ya dakika nane za mchezo huo azam ilipata mabao kupitia kwa nsa job dakika ya kumi na sita na ishirini na tano wakati villa walisawazisha kupitia kwao juhudi samwel kumi na tisa na UNK UNK kipindi cha kwanza na kufanya matokeo kuwa mbili mbili hadi mapumziko kipindi cha pili kilikuwa kibaya zaidi kwa villa baada ya nsa job kufunga bao la tatu nne na sita katika dakika ya hamsini na moja sabini na nne na themanini na nane huku mganda wagaluka akipachika bao la tano katika kile kilichoonekana kama kuchanganyikiwa na kipigo mchezaji wa villa UNK UNK alikosa penalti mwisho mwa mchezo dakika ya tisini UNK na kipa wa azam vladimir UNK kutoka mbeya UNK nelson anaripoti kuwa mvua kubwa iliyokuwa inanyesha mjini humo ilisababisha mwamuzi dominick nyamsana kutoka dodoma kuusimamisha mchezo huo katika dakika ya ishirini na nane mchezo huo baina ya prisons na kagera sugar ulikuwa ukichezwa kwenye uwanja wa sokoine mjini hapa huku zikiwa zimefungana bao moja moja akizungumzia kuahirishwa kwa mechi hiyo mwenyekiti wa chama cha soka mkoani mbeya festo nkemwa alisema mvua kubwa iliyojaza maji uwanjani ndiyo sababu ya kuahirishwa kwake nkemwa alisema mvua hiyo ilisababisha wachezaji wa timu hizo kuanguka na kuweza kuhatarisha afya zao naye mwamuzi nyamsana alisema hadi uamuzi huo ulifikiwa kutokana na hali ya uwanja UNK tena kwa mchezo huo mabao hayo prisons yalifungwa na shaban mtupa dakika ya nne haruna hassan wa kagera UNK dakika ya kumi na nane timu ya mkoa wa dar es salaam dream team jana waliifunga kampala pointi hamsini na nane arobaini na tano katika mchezo mkali wa michuano ya majiji uliochezwa kwenye uwanja wa soweto arusha katika mchezo huo uliojaa ubabe na ushindani wa kila aina dream team UNK mchezo huo kwa kasi huku wakiwa wamedhamiria kuibuka na ushindi na kwenda mapumziko UNK kwa pointi thebathini ishirini na moja robo ya tatu kcc ambao wachezaji wao wengi UNK miili na kucheza mpira wa nguvu walijibu mashambulizi kupitia kwa mchezaji wao jeff omond aliyefunga pointi kumi na mbili lakini hata hivyo safu ya ulinzi wa dream team ilikuwa imara ni george tarimo na charles makene UNK dream team kwa kufunga pointi kumi na saba kila mmoja huku wafungaji wa kcc wakiwa ni jeff omond kumi na mbili na andrew UNK tisa kutokana na UNK hayo dar es salaam inasubiri mechi yake ya leo dhidi ya mogadishu na iwapo itashinda itakuwa imetinga nusu fainali moja kwa moja mchezo mwingine mombasa waliifunga harare pointi hamsini na nne arobaini na tano na hadi mapumziko mombasa waliongoza kwa pointi ishirini na nane kumi na tisa katika mchezo mwingine kinadada wa dar es salaam walifanya kufuru baada ya kuibamiza bila huruma arusha pointi mia moja na hamsini na moja kumi na mbili katika mchezo huo uliokuwa wa upande mmoja dar es salaam walienda UNK wakiwa mbele kwa pointi themanini na tatu nane wafungaji wa dar es salaam ni lulu joseph pointi thebathini na tano na faraja malick thebathini wakati wa arusha ni salma UNK nane dar es salaam UNK na nairobi pamoja na arusha ili kujua kama itatinga fainali ama la kutokana na mashindano yao kuchezwa kama mechi za nyumbani na ugenini leo dar es salaam wanaume watavaana na mogadishu harare UNK tanga nairobi itapambana na arusha meru na mombasa na kampala itaonyeshana kazi na arusha baada ya kuwepo na taarifa za utata wa safari wa timu ya taifa ya mbio za nyika UNK naibu waziri wa habari utamaduni na michezo joel bendera jana UNK bendera ya kwa wanaridha wanaokwenda kushiriki mashindano hao yatayofanyika amman jordan mashindano hayo ambayo yanaanza keshokutwa yanashirikisha nchi mbalimbali za afrika mwaka huu yanafanyika jordan katika mji wa amman na wanariadha saba kutoka tanzania watashiriki tanzania ina kwenda kwenye michuano hiyo bila ya maandalizi ya kutosha huku kambi hiyo UNK na taarifa za kuwatumia mamluki kwenda safari hiyo akizungumza wakati wa kukabithi bendera kwa wanariadha hao bendera amewataka wanariadha hao kuitangaza vyema tanzania kwa kufanya vizuri katika vipengele vyote wakati wa mashindano hayo alisema kupitia mashindano hayo wanariadha hao watapata nafasi na fursa ya kujifunza mambo mbalimbali wakati wa mashindano na amewataka kuiga mfano kutoka kwa nchi za wenzao ambao wako mbele katika maendeleo ya mchezo wa riadha mkienda huko muwe na lengo moja la kurudi na ushindi na mnatakiwa kufahamu watanzania wote wako nyuma yenu wakiamini nyie kutokana na viwango vyenu kutambulika na kukubalika mtaweza kuiwakilisha nchi na kuitangaza katika sekta ya michezo kimataifa alisema bendera aidha bendera alisema kwa sasa serikali inapitia wasifu UNK kutoka nje ambao watakuja kufundisha mchezo huo baada ya rais kutangaza kuleta makocha wa kigeni na majina hayo yatatangazwa hivi karibuni UNK chama cha riadha katika mashindano ya taifa ya riadha ambayo yanafanyika mwezi wa saba yafanyike katika uwanja mkuu ili UNK wachezaji hao ambao wameondoka kwa mafungu jana waliondoka wanawake watatu na ndege ya shirika la qatar airways ambao ni sara UNK asha khatibu na jackline sakila pamoja na kiongozi wa msafara khamis UNK wakati kipute cha ligi kuu tanzania bara kikiwa inaelekea ukingoni huku kila timu ikiwa imebakiza mechi tano tayari yanga imeshatwaa ubingwa kwa mara ya pili mfululizo prisons ya mbeya imeingia kwenye kinyangganyiro cha kutafuta baada ya kuichapa kagera sugar mbili moja katika mchezo huo ambao jana UNK kutokana na mvua nyingi iliyonyesha jijini mbeya na kusababisha uwanja wa sokoine kujaa maji ulishudia wenyeji prisons ikipata bao la mapema katika dakika ya saba lililofungwa na yona ndabila aliyeunganisha vema pasi ya UNK morris kagera sugar wenye hamu ya kubwa ya kuchukua nafasi ya pili UNK katika kipindi cha pili na kupata bao la kusawazisha mwanzoni kwa mkwaju wa penalti iliyopigwa na shija hassan baada ya kuchezewa vibaya kwenye eneo la hatari maafande hao wa magereza waliandika bao la ushindi kwa mkwaju wa penalti katika dakika ya sitini na nne iliyofungwa na ismail suma kwa ushindi huo sasa prisons imefikisha pointi ishirini na tano ikiwa nyuma kwa pointi mbili kwa simba simba ina kazi ya ziada kuhakikisha inashinda mechi zake zilizosalia ili kubaki nafasi ya pili huku UNK dua baya kagera sugar mabingwa wa tanzania bara ambao wamekuwa wakitumia staili yao ya nne nne mbili wameendelea UNK UNK wapinzani wao simba ambao UNK ubingwa huo msimu uliopita na kushikiria nafasi ya tatu huku nafasi ya pili ambayo ilichukuliwa na tanzania prisons ya mbeya wakati yanga UNK kutangaza ubingwa mapema timu za polisi dodoma villa squad na moro united UNK kwenye mashine kutokana na timu hizo kuwa kwenye hatari ya kushuka daraja katika msimamo wa ligi polisi dodoma inashika mkia baada ya kucheza mechi kumi na saba na imeshinda moja imetoka sare mara tisa na imepoteza saba na ina pointi kumi na mbili villa squad wamecheza mechi kumi na sita wameshinda nne UNK mbili na kupoteza kumi wana pointi kumi na nne wakati moro united ina pointi kumi na tano ikiwa UNK pointi moja na polisi morogoro ambayo ina pointi kumi na sita mechi zote zinaifanya ligi kuwa ngumu kutokana na timu zote kupambana kufa na kupona kuhakikisha UNK kwenye ligi kuu na timu za simba mtibwa na kagera wakiwania zikiwania nafasi ya kusaka kombe la shirikisho tayari timu za majimaji manyema na african lyon zimepanda daraja na timu tatu zitashuka daraja ligi kuu wafungaji UNK kwa ufungaji msimu huu ni boniface ambani wa yanga mwenye mabao UNK na UNK bunu said dilunga wa toto africa musa mgosi wa simba kipa wa yanga juma kaseja juzi alivunja rekodi ya dunia iliyowekwa na essam el hadary wa al ahly ya misri kwa kufunga bao la umbali wa zaidi ya mita themanini na mbili katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom uliofanyika uwanja wa ccm kirumba mwanza ambako yanga ilishinda kwa mabao mbili moja ni nadra kwa makipa kufunga mabao katika mchezo wa soka tena la aina ile aliyofunga kaseja pamoja na kuwepo makipa wengi waliona rekodi ya kuzifumania nyavu kwa mikwaju ya penalti mpira wa adhabu au kona kulingana na taarifa ya mtandao kipa wa kimataifa wa misri essam el hadary akiichezea al ahly alifunga bao la umbali wa mita sabini mwaka ishirini sifuri mbili katika kombe mabingwa wa afrika dhidi ya kaizer chiefs ya afrika kusini kipa mwingine alan UNK wa klabu ya UNK na timu ya taifa ya ireland kaskazini alifunga bao msimu wa ishirini sifuri tatu kwa mkwaju wa adhabu ndogo ambao UNK kichwani mpinzani wake UNK UNK wa UNK town na kutumbukia wavuni naye sebastian UNK aliifungia klabu yake deportivo UNK ya argentina katika kipindi cha miaka minne mwingine ni kipa wa korea kusini UNK UNK ambaye UNK mpinzani wake kipa wa ivory coast katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki julai mwaka jana kwa mkwaju wa umbali mita UNK mwaka jana pia kipa wa brazil eduardo martin aliifungia klabu yake UNK dhidi ya houston katika mchezo wa ligi ya daraja la pili kwa mkwaju wa UNK lakini ni kipa wa paraguay jose luis chilavert ambaye ameshikilia kwa muda mrefu rekodi ya kuwatungua wapinzani wake ngazi ya klabu na timu ya taifa mabao yake ya penalti UNK kuwa kinara mabao miongoni mwa walinda milango kote duniani rekodi ambayo hata hivyo imevunjwa na mbrazili rogerio ceni aliyepachika zaidi ya mabao sitini na mbili wavuni ambayo alifunga chilavert mojawapo ni la mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nane la mkwaju wa adhabu ndogo dhidi ya argentina mjini buenos UNK mwaka uliofuata alipachika mabao matatu kwa klabu yake velez sarsfield ilipocheza na ferro carril oeste lakini hapo awali haikuwa tatizo kwa kwa makipa kufunga katika mwaka elfu moja na mia tisa na kumi na mbili sheria ilikuwa inawaruhusu makipa kushika mpira mkononi na kukimbia nao hadi katikati ya uwanja na kuwapa nafasi kubwa ya kufunga mabao UNK gani msomaji wa safu hii jumamosi hii bado tunaendelea kuambukizana mambo mazuri huku UNK yaliyowahi UNK UNK dunia ndio hii na watu ni sisi na mambo ni haya kwa maana kuna wakati kama yanajirudia lakini UNK msingi wake ni mmoja leo tena UNK mkasa uliompata msichana mmoja UNK kwetu UNK hapa ili wewe msomaji UNK mwenzenu nilishuhudia mambo makubwa katika umri mdogo kuna wakati hata bibi yangu nilipokuwa UNK mambo UNK kwenye ndoa yangu iliyodumu kwa miaka miwili tu hakuwa UNK kuna wakati alisema mambo niliyokuwa UNK huenda UNK kwenye sinema au nimesoma kwenye vitabu vyenye hadithi za kutisha lakini hakuna hata moja UNK kwenye sinema wala vitabu yote nimekuwa UNK ndani ya ndoa yangu nikiwa na umri wa miaka kumi na tisa tu UNK nikiwa na umri huo wa miaka kumi na tisa wazazi wangu walipinga sana mimi kuolewa na huyu kijana lakini sikio la kufa mwenzangu halisikii miti shamba wala dawa za mahospitalini nikaingia kwenye ndoa na kushika ujauzito ndani ya miezi mitatu tu hapo naweza kusema ndio nilipoanza kuonja joto la kuwa ndani ya ndoa na ndipo yale maneno niliyokuwa UNK kwenye nyimbo yakisema ndoa ndoano yalipoanza kuleta maana mume wangu akaanza kulewa na kuchelewa kurudi nilikuwa nikilia na kukesha kumsubiri arudi majogoo kumbe hiyo ilikuwa tisa jamani kwani sasa alianza UNK asubuhi akiwa UNK niliogopa kumwambia mama yangu kwani najua kurudishwa nyumbani ilikuwa ndiyo hatua UNK mama yangu alikuwa hamtaki mume wangu tangu mwanzo na zaidi ya yote alikuwa UNK sana hakuwa tayari kuona nikitoka machozi UNK hali hiyo mpaka UNK nashukuru UNK salama kwa kupata mtoto UNK moyo kuwa huenda mume wangu akabadilika lakini wapi hakuna badiliko lolote ndani ya nyumba siku hiyo usiku nikiwa nimelala nilisikia honi ya gari akitaka afunguliwe geti kawaida huwa houseboy UNK mlango nikasikia gari ikiingia ndani na UNK mimi niliendelea kulala kwani mra nyingi akiingia anaweza kukaa sebuleni na kuangalia tv kidogo na pengine kula kama anahitaji na kisha huja chumbani kulala baada ya kama ya masaa mawili UNK katika hali ya UNK hakuwa chumbani nilitoka na kutaka kujua kulikoni mpaka wakati huo hakuwa ameingia ndani hakuwepo UNK nikaenda chumbani kwa houseboy UNK amelala na mdogo wake mume wangu wakati huyu kijana UNK chake UNK kulikoni akaniambia kuwa UNK kaka yake alale kwake nikaenda kugonga chumbani kule UNK kwanini aamue kulala kule na kwanini UNK mdogo wake wakati siku nyingine huwa akilala nae kama UNK UNK alitoka huku akiwa kama UNK nikamwambia mimi nataka UNK huko ndani kisha UNK aendelee kulala akawa UNK ndipo UNK na kuingia ndani nilipoingia ndani UNK taa nione UNK ndipo UNK mwili wa UNK kubwa UNK likiwa UNK kitandani kama UNK mwanzoni sikuwa na pumzi ya kuweza kuzungumza ilikuwa kama UNK ndoto moja isiyokuwa na maana yeyote baada ya kama sekunde arobaini na tano nikapata pumzi ya kuweza kumuuliza mume wangu huyu ni nani mume wangu hakujibu kitu na badala yake yule mwanamke akaanza UNK msamaha kwa madai kuwa mume wangu UNK kama ana UNK UNK hata UNK hapo hapo UNK kila kilichokuwa chepesi na kuondoka kuelekea kwetu nilipofika nyumbani mama UNK huku UNK kwa UNK lakini sasa UNK kwanini mwenye UNK UNK saluni eti nywele UNK ataenda mwenyewe tupo tena na kama kawaida kukosoana kupo si katika kukomoana lakini katika kuhakikisha somo linakuwa somo UNK na kwa kweli kuna UNK ambao UNK kutoka kwa msomaji mmoja UNK naomba tushirikiane unaambiwa akili ya mwenzako changanya na yako ndio mambo yatakuwa sawa hii inamaanisha ninayosema changanya na fikra zako katika hili UNK vinafaa ndio hivyo penye ukweli UNK unapoona una wasiwasi napo UNK UNK ndio mambo UNK leo jamani kuna jambo nataka UNK linahusiana na yale yale mambo yetu ya kuhusisha watu kwenye mambo yetu ya kimapenzi nani mwamuzi lakini UNK uhusiano wako ujumbe mwingi UNK mwaka uliopita unazungumzia baba kasema shangazi yangu UNK au nimeambiwa na UNK hivi ni uhusiano wa nani kwanza kaka na dada zangu naomba kwa mara ya mwisho nieleze kwa mapana ninayoweza kisha UNK mjadala wa haya mambo maana najua UNK baba na mama hawa ndio kwa kiasi kikubwa ukumbuke kwamba ndio UNK duniani na wanajua maisha yako kwa kiasi kikubwa kuliko mtu mwingine yeyote kama ugonjwa udhaifu UNK na mengine mengi hawa ndio wanajua UNK kitu kuhusiana na nani wa kuambatana nao kuna haja ya UNK lakini pia kuna kitu hapa kati baba na mama ukae ukijua kwamba wana maisha yao na uhusiano wao kwako na kwa mpenzio ni vitu viwili tofauti maisha hubadilika panapokuwa na penzi hata kama UNK sana ipo siku wanaweza UNK baada ya kuona kumbe kuna mtu UNK zaidi yao maana sio vyote vyako UNK kuna mtu atajua zaidi sasa hapa UNK ndugu yangu na katika kupima kwako uweke na busara ndani yake sio kwa kuwa wewe unajua unachotaka na UNK kwamba hii ndio haki yako basi ubabe na kiburi UNK haya mambo UNK hapo baadae halafu kuna wakati utalazimika kuangalia nyuma ikibidi kurudi ulikotoka kwa hiyo angalau unakuwa ulikotoka UNK mnanisoma ndugu wa karibu kuna tabia za ndugu zetu kutaka kuwaona watu ambao tuko nao katka uhusiano na kwa nia njema tu sisi huamua kuwaonesha na baada ya kuwaonesha maoni hutoka mengine mazuri na mengine mabaya hii UNK na uelewa wa hawa jamaa zetu ambao mara nyingi huwa ni mashabiki UNK mchezo UNK usishangae yule ambaye moyo UNK kwake UNK hakufai na UNK kuanzia mavazi mpaka uso wake ma kwa fikra za karibu UNK ka hafai UNK UNK na kwa wakati huo unaweza UNK uamuzi huo ambao UNK naomba UNK labda ukaja UNK baada ya kwenda ambako UNK na UNK lakini kwako wewe kama wewe UNK afadhali ya jana kuwa na tabia ya kupiga mahesabu mabaya UNK yana uzito gani na ni mangapi na jiulize hivi UNK au ni tabia sugu kingine ambacho unapaswa kujiuliza ni kwamba ni kweli kwamba tabia hizi zitakuwa ni kwa huyu tu au kuna mtu anakosa kabisa tabia hizi dunia ya leo umeona bwana ukipata jibu UNK ndugu yangu maana mpaka mwisho wa siku mwamuzi lazima atakuwa ni wewe UNK moyo kuna kitu kinaitwa shinikizo watu kama mia hivi UNK kwamba mpenzi uliyenaye bwana hakufai labda kwa hadhi yako au kuna ile tu mtu hatoi sababu msingi anakwambia tu yule hapana bwana UNK lakini labda sababu ana hela hivi au mzuri sana au lolote bila kuangalia baadae UNK hela na uzuri UNK hawa wanaweza kuwa watu UNK sana katika maisha yako ya kila siku moyoni unapenda lakini sasa ili kesho na keshokutwa wasije UNK kukupa msaada UNK unahisi ni bora kusikiliza mawazo yao huko moyo wako ukiwa hautaki lakini ndio unajikuta huna jinsi kaka na dada zangu UNK mkijua hili ni kosa tena kubwa sana ukisikia kujidhulumu sasa ndio huku hakuna UNK makali katika maisha ya kila siku ya binadamu kama maumivu ya moyo sasa ukihisi kwamba huwezi kuyakabili huna haja ya kubishana nao kaa nao chini UNK sio kwa UNK hawawezi UNK ukitumia busara UNK mimi na hii ni njia bora mimi nahisi kuliko kubishana na watu ambao mwisho wa siku unaweza kuwaita kama ni moja ya nguzo zako jamani nimemaliza wiki ijayo basi kundi la coast modern taarab wiki iliyopita UNK wimbo wao mpya wa UNK fenicha UNK maneno katika onesho lao lililofanyika ukumbi wa ddc kariakoo jijini dar es salaam katika onyesho hilo UNK jina la kupendana isiwe tabu UNK UNK cha redio cha times fm wasanii waliokuwepo kusindikiza onesho hilo ni pamoja na mwanahawa ally na khadija yusuf wa kundi la east african UNK ambapo walikuwa UNK uzinduzi wa wimbo huo ulioimbwa na omary UNK ambapo walifanikiwa kukonga nyoyo za mashabiki waliohudhuria katika onyesho hilo katika kusindikiza onyesho hilo wasanii hao UNK nyimbo zao za zamani na UNK sasa katika vituo mbalimbali vya redio na televisheni na kumbi za starehe mwanahawa ally aliimba nyimbo ya UNK cha UNK viumbe wazito na mwanamke UNK wakati khadija yusuf alitamba na vibao vyake vya langu jicho UNK kazi ya mungu pamoja na mkuki kwa nguruwe mwanamuziki mahiri wa myimbo za injili tanzania flora mbasha anatarajia kuzindua albamu yake mpya ya video ya nyimbo zake inayotambulika kama furaha yako siku ya sikukuu ya pasaka akiongea na starehe flora alisema kuwa albamu hiyo itakuwa ni maalum kama zawadi kwa wapenzi wa kazi zake sehemu kubwa ya maandalizi ya uzinduzi huo UNK na siku chache zijazo UNK eneo la tukio UNK shughuli hiyo nawaomba wapenzi wa nyimbo zangu na muziki wa injili kwa ujumla UNK kununua albamu hiyo ya video pamoja na audio yake ili wapate kusikia maneno mazuri ya kumtukuza mungu UNK ndani ya kazi hizo alisema mbasha ambaye bado anaendelea kutamba na nyimbo zake mbalimbali katika fani hiyo mpaka sasa nyota huyo wa injili UNK na vibao kama jipe moyo tanzania adui yako na nyinginezo nyingi ambazo zimeweza kumtangaza vema afrika mashariki flora UNK albamu mbili ikiwa ni vol moja jipe moyo mwaka ishirini sifuri nne vol mbili UNK mwaka ishirini sifuri saba hivi sasa UNK audio ya furaha yako na sasa ni video yake miss tanga elfu moja na mia tisa na tisini na sita na miss tanzania namba mbili wa mwaka huo mona lewis amechaguliwa kushiriki katika mashindano ya kila mwaka the apprentice uk ambayo UNK kama kipindi na kituo cha televisheni bbc one kipindi hicho ambacho kimeanza kurindima wiki iliyopita kwa kawaida UNK kila jumatano saa tatu usiku na kina jumla ya washiriki kumi na tano wanaowania nafasi ya kuwa the apprentice mmoja wao akiwa ni mona UNK mona ambaye ni mtanzania UNK uingereza kwa sasa amechaguliwa kushiriki katika mashindano hayo na ana jukumu la kumhakikishia sir alan sugar bosi wa kipindi hicho na tajiri mkubwa huko uk kuwa UNK cha kuwa the UNK akifuzu mona atakuwa amejishindia nafasi hiyo ya kufanya kazi katika mashirika ya sir alan sugar na kulipwa takriban kumi sifuri sifuri sifuri sifuri paundi laki moja kwa mwaka mona half UNK wa kihindi kwa mama na UNK kwa baba alizaliwa UNK pakistan na kupata elimu yake ya msingi sekondari na elimu ya juu mjini tanga na baadaye kuhamia uingereza ambako kwa sasa anaishi UNK england akiwa kama senior business UNK the apprentice uk ni kipindi UNK mno kwenye UNK ya bbc moja kipindi hicho kilianza mwaka ishirini sifuri nane na washiriki wake wanagombea kazi moja katika kampuni za sir alan sugar ambayo mshahara wake kuanzia paundi laki moja za UNK kwa mwaka mwanamuziki wa kwanza afrika mashariki kuweka mkataba na kampuni kubwa duniani ya sony nakaaya sumari UNK wazi kuhusu uhusiano wake na rapa na m moja wa kutoka kundi la dead UNK UNK kwenye wimbo wake wa mr politician na kusema wanatarajia kufunga ndoa hapo baadaye mwakani nyota huyu wa mr politician alisema uhusiano huo uko wazi na hivyo yeye na m moja sio kujificha tena kwakuwa ni wachumba hivyo hakuna kitu cha kujificha tena UNK kuhusiana na uhusiano na UNK kuwa mchumba wake gaidi nakaaya alisema kwamba jambo hilo sio la kuzungumzia sasa kwa kuwa anaamini jambo lililopita haliwezi kubadilishwa sipendi kuzungumzia sana kuhusu mahusiano yangu yaliyopita kwa kuwa naamini siwezi UNK nakubali nilikuwa na uhusiano na gaidi lakini haijaweza kudumu na ndiyo maana leo nipo na m moja alisema kabla ya kuwa na m moja nakaaya alikuwa na uhusiano wa muda mrefu na kijana aliyejulikana kwa jina la UNK faraji lakini baadaye walikuja kuachana na mwanamuziki huyu kuwa na m moja aliyeimba nae kwenye wimbo wa mr UNK kwa sasa mwanamuziki huyu anatarajia kufanya ziara mbalimbali barani afrika na ulaya kuitangaza albam yake ya nervous UNK pamoja na kujitangaza zaidi kimuziki mshiriki pekee aliyekuwa akiuwakilisha mkoa wa tanga levina UNK UNK mashindano haya baada ya UNK kura nyingi ambazo UNK kubakia katika shindano hilo levina ambaye ameweka rekodi ya kuwa mshriki pekee aliyekuwa na ujasiri alikuwa UNK mkoa wa tanga baada ya washiriki wawili kuondolewa katika hatua za awali za shindano hili mapema mwezi huu washiriki waliokuwa UNK mkoa wa tanga ni ramadhani UNK na athanas milanzi ambao UNK katika hatua za mwisho za shindano hilo lililofanyika machi moja mwaka huu naye grace samuel amekuwa mshiriki wa kwanza kuondoka kati ya washiriki watatu UNK mkoa wa zanzibar na kulifanya shindano hilo kubakiwa na washiriki wawili kutoka huko zanzibar na mwanza ilikuwa ni mikoa pekee iliyokuwa ikiwakilishwa na washiriki wote watatu mkoa huo sasa unawakilishwa na asha UNK na UNK UNK huku mwanza ikiendelea kuwakilishwa vema na washiriki wake upendo moshi na boniface eviction ya wiki hii UNK na vilio baada ya washiriki watatu kuzimia baada ya kupokea matokeo kwa namna tofauti UNK hao UNK kila mtu akiwa na UNK yake teddy alizimia baada ya kuambiwa anabaki kijijini wakati grace alizimia baada ya kuambiwa kuwa UNK nyumbani katika hali ya kushangaza mshiriki mwingine modesta ambaye hakuwepo hata kwenye UNK alizimia kizimbani wakati UNK teddy UNK na kuzimia kizimbani baada ya kumalizika kwa mchakato wa kuwatoa washiriki wawili jumapili hii washiriki wengine watatu UNK kuingia katika UNK cha kupigiwa kura washiriki waliopendekezwa wiki hii ni maulid kutoka dar es salaam kissa kutoka mbeya na upendo kutoka mwanza hii ni mara ya pili kwa maulid kupendekezwa wiki ya kwanza UNK baada ya kuwa UNK sambamba na efrancia mangii na putir UNK mshiriki pekee aliyekuwa akiuwakilisha mkoa wa dodoma juma madaraka amelazimika kuyaaga mashindano haya baada ya kuugua UNK na malaria kali kwa muda wa siku tatu mshiriki huyo alilazwa hospitalini kwa siku tatu katika hospitali hospitali moja iliyo karibu na kijiji cha maisha plus khalid mohamed maarufu kama tid aka prison UNK alitumbuiza katika shoo ya surprise iliyoandaliwa kwaajili ya washiriki hao dakika chache kabla ya kufanyika kwa UNK washiriki UNK kwa shangwe ya aina yake kwa kuwa ilikuwa ni mara yao ya kwanza kumuona msanii huyo tangu alipomaliza kutumikia kifungo chake mwishoni mwa mwaka jana tid ambaye UNK na UNK UNK aliyewahi kuwa mshiriki wa shindano la tusker project fame mwaka jana alhamisi wiki iliyopita ilikuwa siku mbaya mno kwangu pale UNK na gari nikapoteza fahamu na kujikuta niko chumba cha wagonjwa mahututi hospitali ya aga khan dar es salaam ilivyokuwa ni kwamba nikiwa kwenye gari nililokuwa UNK nikahisi kama lina tatizo UNK kwenye kituo cha daladala cha shekilango kama unaelekea sinza baada ya kurekebisha tatizo nikarudi kwenye gari tayari kuendelea na safari nikagundua UNK kitu UNK nikiwa UNK kwenye gari hilo kuelekea mbele ghafla kuna gari toyota land cruiser rangi UNK UNK nyuma UNK UNK UNK chini na kupoteza fahamu nikiwa UNK UNK na kupakizwa kwenye gari hadi hospitali ya aga khan nilizinduka na kuwaona madaktari wakiendelea UNK swali la kwanza ambalo nakumbuka daktari aliniuliza unaitwa nani nikamjibu dismas UNK UNK baada ya fahamu kurudi kwamba baada ya ajali kutokea nilipiga miguu na mwili mara tatu kama vile kuku UNK roho kisha wakatokea wazee watatu ambao walithibitisha kuwa tayari nilikuwa UNK ikaamuliwa UNK UNK na viatu kwa imani kuwa tayari UNK karibu watu wengi wanaoishi kwenye nyumba za karibu na kituo cha shekilango walifika kushuhudia nikiwa nimelala chini lakini mungu ni mwema baada ya kupigwa x ray kichwani mabegani kiunoni na maeneo mengine yaliyokuwa na maumivu makali wakati huo hakuna UNK je ni ajali ya namna gani jibu la swali hili UNK mungu hatma ya kila mmoja wetu UNK ni mungu akisema na iwe hivyo hakuna UNK kusema hapana jambo moja kubwa ambalo nimejifunza na ambalo nimeona UNK mawazo na wewe ndugu yangu ni katika kuishi kwetu ishi na watu vizuri maana hujui ya kesho UNK UNK kukusaidia wakati wa shida kuu ni kweli kuna idadi kubwa watu wana roho mbaya furaha yao ni kusikia wenzao wana matatizo nk lakini ni vizuri kuishi kwa akili kwa kutambua kuwa hapa duniani tunapita lakini zaidi ya yote acha kuamua mambo ukiwa hauna uhakika kusema fulani ni wa hivi wakati hauna uhakika ni jambo la hatari kwa mfano ni vizuri kuachia vitu kama ni vya UNK kupimwa na daktari apate uhakika kuwa viko katika hali fulani au la katika maisha acha kuishi kwa kutegemea hisia eeeh mtu unamuona na mwili mkubwa unaamini kwamba hana virusi vya ukimwi huko ni kujidanganya nendeni UNK muwe na uhakika kwani ni ukweli kwamba kuna watu wengi wana miili UNK na wana virusi UNK tabia ya kufanya mambo baada ya UNK na kuwa na majibu ya uhakika ndio msingi unaofaa wa kuwa na maisha bora hapa duniani kwa mfano nimewahi kuandika vitabu kadhaa vyenye lengo la kuwasaidia watu kupata majibu ya kero UNK kwa mfano kwenye kitabu cha saikolojia na utafiti UNK vyakula vinavyosaidia wanaume kuepukana na tatizo la nguvu za kiume ni baada ya UNK na kugundua ni kweli sio hilo kuna watu ambao wametumia na wamepona kabisa tatizo hilo ambalo limekuwa UNK wanaume wengi duniani pia UNK vyuo ambavyo mtu anaweza kulipiwa kila kitu navyo UNK utafiti kwa kuwapa watu na hata mimi mwenyewe shida kubwa iliyoko ni kuwa si watu wengi walio tayari kuwaeleza mazuri watu wengine ila ukweli ni kwamba katika maisha jitahidi kuwa mtafiti wa mambo ukiwa mbele za watu ambao unaamini ni UNK zaidi ya wewe UNK mjinga zaidi uliza maswali mengi zaidi ili UNK vizuri fanya kana kwamba majibu yao si muhimu sana kwako UNK hamasa kubwa ya kutaka kujua UNK wanaojifanya wajinga ndio UNK sana katika maisha nafikiri UNK kwamba kwa mfano nimewahi kuandika na baadhi ya watu wametumia wamekiri kupona kwamba kitunguu swaumu UNK na kupaka kwenye unyayo ni dawa ya UNK na mafua ndio kusema ikiwa unakwenda sehemu na UNK muuzaji kwamba hiyo ni dawa ikapata soko kubwa hakuna shaka kwamba bei yake inaweza kuwa ya juu zaidi lakini UNK kimya kimya si rahisi ipande bei muuzaji hatajua kama kuna aina mpya ya matumizi ni kuwa kama hakuna ulazima wa kuzungumza ni vizuri UNK kimya fanya kulingana na vile UNK ni sahihi katika ulimwengu wa sasa UNK maadui ni vizuri kuishi kwa umakini wa hali ya juu zaidi ya yote katika kuishi UNK kutafakari ni namna gani wataendelea kunufaika na wewe hata kama UNK ulimwengu huu kwa mfano kama unajua mambo fulani ni vizuri kuandika kitabu kuanzisha mtandao nk lile jambo la maana UNK nalo angalau litaendelea kubaki hata kama ni kwa watu wachache hii ni njia nzuri ya kusaidia ulimwengu uwe na maendeleo mazuri katika kuishi UNK tu wewe iangalie nchi yako kwa ujumla ndio maana niliandika kitabu cha saikolojia UNK vyuo vinavyotoa ufadhili kwa watu wa level tofauti nikiwa na matumaini kuwa popote mtu alipo anaweza kujaribu bahati yake kufanikiwa huja baada ya kujaribu si ndio jamani jiulize ni jukumu gani wanalo makipa katika mafanikio au ushindi wa mchezo wa soka jibu rahisi limekuwa ni kuwa wanalo jukumu la kuizuia mikwaju mizito na mikali ya washambuliaji na viungo wa timu pinzani ni wazi kuwa umbali wa mita kumi sifuri kutoka kwa makipa wenzao wa timu pinzani umewafanya makipa UNK kama watu hatari katika kupachika mabao ingawa ushahidi umeonyesha kuwa makipa nao ni wafungaji hodari wa mabao yakiwamo yale matamu kitendo cha kipa wa yanga juma kaseja kuandika bao la umbali wa mita themanini na mbili katika mchezo wa ligi kuu bara UNK katika orodha ya makipa ambao wamefanikiwa kuwatungua wapinzani wao kwa mkwaju wa umbali mrefu aliyekuwa kipa wa al ahly ya misri sasa anacheza soka ya kulipwa nchini uswisi anakumbukwa kwa mkwaju wake wa umbali wa mita sabini dhidi ya kipa wa kaizer chiefs ya afrika kusini katika mchezo wa fainali wa kombe la mabingwa wa mabingwa afrika mwaka ishirini sifuri tatu lakini hadi sasa kipa wa paraguay jose luis chilavert ndiye UNK katika historia ya makipa UNK wa wenzao yeye alikuwa UNK wa mapigo ya mipira mirefu ambaye mara kwa mara alifunga mikwaju hiyo pamoja na penalti ambazo UNK ushindi timu yake ya taifa na klabu yake alipachika mabao sitini na mbili rekodi ambayo majuzi imevunjwa na mbrazili rogerio ceni ambaye amepachika zaidi mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nane chilavert UNK mno na vyombo vya habari kwa mkwaju wake ambao UNK ukuta wa mabeki wa timu pinzani na kuipa bao timu yake dhidi ya argentina mjini buenos UNK na mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa akawa kipa wa kwanza kufunga mabao matatu katika historia ya mchezo wa soka akiichezea klabu ya velez sarsfield ya argentina dhidi ya ferro carril oeste kwa sasa ni nadra kuwapata akina chilavert kabla ya mwaka elfu moja na mia tisa na kumi na mbili makipa waliruhusiwa kuchezea mpira kwa mkono na kwenda nao hadi katikati ya uwanja na hilo UNK washambuliaji kupachika mabao kwa urahisi bila shaka bao maarufu pengine kuliko yote lililowekwa kimiani na kipa lilikuwa la pat jennings mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba katika mchezo wa ngao ya hisani wakati akiichezea tottenham hotspur dhidi ya manchester united aliokoa mpira langoni mwake na kuachia mkwaju uliompita alex stepney baada ya kusaidia na upepo mkali wakati huo wa mchezo kwa bahati mbaya kwa stepney tukio lote UNK na kamera tukio la kwanza la kipa kupachika bao kutokana na adhabu ndogo langoni kwake ni la aprili kumi na nne mia moja na tisini sifuri wakati kipa wa manchester city UNK williams UNK UNK UNK UNK wa sunderland alex stepney alikuja baadaye kugundua aliona tukio hilo ambalo awali UNK kuwa haliwezekani wakati huo mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na tatu akiichezea man united UNK na bao tamu la msimu wa UNK ujuzi wake wa kupachika mabao UNK wakati akicheza mechi za kuzindua msimu katika mechi za kirafiki akiwa hispania na man united UNK kucheza badala ya mkali wao wa penalti UNK morgan aliyekuwa majeruhi na kocha wa wakati ule tommy docherty akaamua kumpa nafasi stepney kupiga penalti kipa huyo UNK docherty kwa kutikisa nyavu kwa kila mpira wa penalti UNK pengine bao la aina ya pekee kuwahi kufungwa na kipa lilikuwa la jimmy glass wa klabu ya UNK united mei elfu moja na mia tisa na tisini na tisa ambalo UNK klabu yake katika hatari ya kushuka daraja zikiwa zimebakia sekunde kumi kabla ya kumalizika kwa mchezo huo na timu hizo zikiwa na bao moja moja glass alifunga kwa mkwaju wa karibu na lango baada ya kipa wa plymouth argyle UNK mpira wa kichwa bao hilo UNK kupata usajili katika klabu ya kulipwa ambayo pia ilipanda daraja huku wapinzani wao wakishuka daraja huo ulikuwa mchezo wa mwisho wa glass kwa united kwani alikuwa akicheza kwa mkopo kutokea klabu ya swindon town wiki tatu kabla kipa wa UNK peter UNK aliokoa mpira ambao UNK UNK kennedy kipa wa timu pinzani wa UNK na kuingia wavuni huo ukawa ushindi mnono wa mabao tatu sifuri wa klabu hiyo naye arthur UNK wa chesterfield alifunga mabao matano kati ya mwaka elfu moja na mia tisa na ishirini na tatu ishirini na nne yote yakiwa ya penalti mwingine ni kipa wa zimbabwe bruce UNK ambaye alifunga mabao ya penalti mwaka elfu moja na mia tisa na themanini katika mchezo dhidi ya york city wakati huo akiichezea klabu ya UNK UNK kabla ya hapo bruce alimweleza kipa mpinzani wake kuwa UNK mpira upande wa kushoto kipa mkongwe wa arsenal frank moss aliifungia bao machi elfu moja na mia tisa na thebathini na tano wakati ule akicheza dhidi ya everton katika uwanja wa goodison park baada ya kuumizwa kipindi cha kwanza wakati alipokwenda kucheza mpira wa kona moss alirejea kipindi cha pili bega lake likiwa limefungwa bandeji akacheza winga ya kushoto na kisha kupachika bao awali alikuwa UNK kupachika bao mara kadhaa dakika ya sabini na tano baada ya kuipokea krosi ya UNK UNK katika mchezo huo dhidi ya everton kipa wa zamani wa manchester united massimo taibi aliifungia bao UNK katika mchezo wa kwanza baada ya kurejea italia akitokea old trafford UNK alipanda hewani na kufunga kwa kichwa cha kuzamia katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya udinese akiwa kipa wa pili kufunga katika mchezo uliokuwa ukiendelea katika ligi hiyo ni yupi kipa wa kwanza italia kufunga bao ni swali ambalo UNK ni nani kama si UNK UNK ambaye aliifungia UNK dhidi ya atalanta mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na mbili kama taibi naye alifunga kwa kichwa kutokana na mpira wa kona dakika za mwisho za mchezo kipa wa sunderland mart poom aliingia katika orodha hiyo ya makipa wafungaji septemba ishirini sifuri tatu mwisho wa mchezo wa ligi daraja la kwanza dhidi ya derby county uwanja wa UNK park huku derby ikiwa mbele kwa bao moja sifuri dakika za mwisho za muda wa nyongeza poom UNK na kwenda mbele UNK na mpira wa UNK UNK na kupachika bao bila kutaka UNK na mpinzani wake wa sunderland aliyekuwa kipa wa leeds united paul robinson alifunga bao la kusawazisha la dakika ya mwisho dhidi ya swindon town katika kombe la ligi siku nne baadaye robinson UNK dimbani kana kwamba kuokoa jahazi aliokoa penalti wakati wa mikwaju mitano ya penalti na kuipa ushindi klabu yake miaka zaidi ya mitatu baadaye robinson alifunga bao lake la pili akiwa tottenham hotspur kwa mkwaju wa mita themanini wa adhabu ndogo UNK mwenzake wa england ben foster aliyekuwa akiichezea UNK msimu wa ishirini sifuri tatu sifuri nne ulikuwa mwema kwa makipa ndipo kipa wa blackburn rovers brad friedal alipofuata nyayo za robinson na poom katika mchezo dhidi ya charlton athletic karibu na dakika za majeruhi friedal alikwenda kucheza mpira wa kona na kusawazisha hata hivyo kipa huyo mmarekani UNK tamaa na bao la ushindi la claus UNK dakika moja baadaye kipa wa UNK united scott barrett alifunga bao la dakika za majeruhi msimu wa elfu moja na mia tisa na tisini na moja tisini na mbili UNK huo timu hizo zikiwa na matokeo ya moja moja barrett alipiga mpira kutoka eneo lake na kufunga bao mlinda mlango wa plymouth argyle fred craig alifunga mabao matano kwa klabu yake yote kwa penalti mara tatu ikiwa ni katika msimu wa elfu moja na mia tisa na ishirini na sita ishirini na saba dhidi ya UNK UNK county na charlton athletic na mchezo wa fainali msimu uliofuata dhidi ya UNK UNK bao lake la mwisho likiwa elfu moja na mia tisa na ishirini na tisa thebathini katika ushindi wa mabao nne tatu dhidi ya UNK mkongwe wa england ray UNK alifunga moja kwa tottenham katika mchezo wa UNK dhidi ya UNK fa UNK mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tano naye peter schmeichel alifunga mabao kumi na tatu katika kipindi chake UNK cha kucheza soka akiwa na manchester united likiwamo la kusawazisha kwa kona katika kombe la uefa dhidi ya UNK UNK msimu wa elfu moja na mia tisa na tisini na sita man united ilisonga mbele kwa bao la ugenini schmeichel alifunga bao la mwisho ambalo lilishindwa kuiokoa aston villa dhidi ya everton tatu mbili msimu wa ishirini sifuri moja sifuri mbili msimu wa elfu moja na mia tisa na sitini na saba UNK united ikiwa na majeruhi wengi ililazimika UNK kipa wake ken UNK kucheza kama mshambuliaji na akafunga bao la ushindi katika matokeo ya tatu mbili dhidi ya port UNK marc de UNK ni kipa mwingine ambaye alikuwa katika rekodi kwa aberdeen mwaka elfu moja na mia tisa na UNK baada ya dakika ishirini za mchezo aliokoa mkwaju langoni kwake na kupiga mpira wa moja kwa moja na UNK mpinzani wake kipa wa zamani wa england peter shilton alifunga bao pekee katika mchezo wa UNK city dhidi ya UNK mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba kipa wa watford steve UNK UNK katika mchezo dhidi ya UNK city mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nne baada ya mkwaju wake wa adhabu kumdanganya kipa wa city steve UNK UNK alikuwa mwenye bahati baada ya kufunga akicheza dhidi ya sheffield UNK mlinda mlango wa zamani wa middlesbrough ambaye aliichezea pia ireland kaskazini jim UNK ambaye alikuwa mshambuliaji wa akiwa kwa timu yake alifunga mabao matatu kipa wa sheffield UNK kevin UNK naye yumo katika rekodi ya kupachika mabao kama ilivyo kwa kipa wa chesterfield jim brown ambaye msimu wa elfu moja na mia tisa na themanini na mbili alifunga kwa mkwaju wa mita tisini na saba na kuilaza UNK county hilo lilikuwa bao lake la pili tangu aanze soka akiichezea washington UNK dhidi ya UNK kipa wa zamani wa UNK UNK na UNK ray UNK naye anafahamika kwa kupachika bao dhidi ya mpinzani wake neville UNK msimu wa elfu moja na mia tisa na themanini na moja mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nane UNK kupitia kipa wake andy UNK alikuwa mpachika mabao dhidi ya UNK wengine ni andy UNK ray charles na UNK UNK UNK united v UNK united elfu moja na mia tisa na tisini na moja carlos UNK dhidi ya ufaransa mwaka tisini na nane mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nane UNK klabu yake UNK mkongwe wa manchester city UNK UNK kipa wa charlton athletic sam UNK jim UNK wa UNK UNK alan UNK wa hull city phil smith mark UNK wa australia peter UNK wa bristol rovers ni miongoni mwa makipa waliowahi kufunga mabao wengine ni kipa wa vijana mexico oscar UNK kipa UNK sanchez pia wa mexico alisawazisha dhidi ya UNK wakongwe wa england chris UNK na david seaman walikosa mikwaju ya penalti seaman akikosa katika mchezo wa ngao ya hisani mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu ya arsenal dhidi ya manchester united msimu wa ishirini sifuri nne ricardo aliisaidia ureno dhidi ya england michuano ya euro ishirini sifuri nne robo fainali kipa mjerumani UNK UNK alifunga mabao tisa kwa sv hamburg yote kwa penalti msimu wa ishirini sifuri sifuri sifuri moja kuna orodha ndefu lakini hebu kumbuka mwaka jana wakati kipa wa ghana UNK ivo mapunda wa taifa stars na kufanya matokeo kuwa moja moja katika mechi ya kirafiki kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam watu bwana unaweza kusikiliza ishu fulani saa nyingine ukajikuta UNK mambo na kupoteza UNK wadau wengine UNK vitu vingine ambavyo hata sivyo eti jamaa fulani wanaenda hewani UNK biti UNK eti UNK UNK sisi achana na yanga yetu hata kama tumefungwa wewe UNK nini kama vipi UNK wako mwingine akaibuka kwani lazima UNK yanga bwana mbona villa inashuka daraja UNK ubovu wake lakini big up sana kwa UNK walionitumia barua pepe na UNK ya pongezi na kunipa tano kwa UNK kwamba wameelewa UNK UNK mtu hapa zee zima liko kwenye kijiwe chake wikiendi hii na makamuzi yanaendelea kama kawa juzi kati kuanzia desemba mpaka mida ya januari nilipokuwa kwenye michuano ya chalenji hapo uganda kwa museveni kocha mzalendo wa ivory coast kouadio georges na francis kimanzi wa kenya ndio walikuwa maswahiba zangu wa karibu kouadio alikuja jinja ikiwa ni kama kilomita themanini na tano kutoka kampala maalum kwa ajili ya kuisoma zambia ambayo ilikuwa ikishiriki michuano hiyo pamoja na tanzania kwa vile alikuwa amepangwa nazo kundi moja kwenye fainali za chan UNK hivi karibuni nchini ivory coast kimanzi na kouadio waligeuka marafiki zangu ghafla kwavile kila tulipokuwa tukikutana na kupiga stori lazima UNK na kuchambua kitu chochote kile kinachoonyesha udhaifu wa makocha wa kigeni na ulimbukeni wa viongozi wa mashirikisho ya soka afrika makocha hao ambao vibarua vyao UNK nyasi kwa nyakati tofauti hivi karibuni kutokana sababu mbalimbali hata UNK usingizini wataendelea kusisitiza msimamo wao kwamba makocha wa kigeni ni sumu ingawa makocha hao wa kigeni UNK kouadio kwenye chan na kumfanya UNK kazi miongoni mwa sababu alizokuwa akitoa ni kwamba hawana utaalam wowote wa ajabu elimu yao ni ya chini hawana msaada wowote afrika na UNK watumwa kwa staili mpya nimelazimika kukumbuka hayo yote kutokana na dhana UNK nchini kwamba makocha wazalendo UNK na kuonekana watu duni kwenye maendeleo ya soka la tanzania hoja hiyo imeibuka hasa kutokana na wimbi la makocha wa kigeni ambao wamekuwa wakizidi kumiminika na kupewa nafasi mbalimbali kila kukicha huku wazalendo wakiishia kuwa watazamaji kutokana na kutokuwa na nafasi lakini ukijaribu kuangalia UNK UNK suala hilo utabaini kwamba klabu nyingi UNK kuchukua hatua hiyo kutokana na mabadiliko yanayoendelea duniani na hali halisi ya makocha wetu wa kitanzania ingawa si wote kuna mambo machache ya msingi kama elimu utandawazi hali duni kutokuwa na misimamo kuridhika haraka na hali halisi pamoja na kujijengea fikra kwamba wao ni watu duni na wasio na kauli kwenye soka la tanzania kwanini nasema elimu ukijaribu kupata muda UNK kwa karibu ni makocha wangapi wa kitanzania ambao ndani ya mwaka mzima wamehudhuria mafunzo yoyote japo kuongeza ujuzi na kufahamu mambo mapya utakuta UNK kumi ndani ya hao hao kumi ambao wamejitahidi sana utakuta wamehudhuria semina ya siku tatu au wiki moja iliyoandaliwa na chama chao na kufanyika kwenye uwanja wa karume ilala jijini dar es salaam ambapo hapo sana sana hakuna kipya UNK zaidi ya UNK UNK awali na kupewa picha ya mambo UNK kwenye dunia nyingine lakini ukisikia ambaye amejitolea kwenda nje kujiendeleza zaidi kimasomo kwenye nchi zilizoendelea ujerumani uingereza ufaransa au brazil utasikia ni yule yule wa kila wakati na ukiangalia utakuta ndie pekee mwenye soko zaidi ya wenzake ambao hawaishi kulalamika kocha mwaka mzima anaishi kijijini UNK UNK achilia mbali ligi za nje hata ile ya vodacom tanzania hajui UNK sheria na taratibu UNK mabadiliko pengine hana uelewa nazo wa kutosha kutokana na UNK lakini mwisho wa siku UNK UNK kwenye vyombo vya habari na vijiweni kwamba makocha wazalendo wanaonewa hao wageni hawana lolote wanakula fedha za bure wanaendeleza ukoloni makocha wazalendo wamekuwa wepesi mno wa kuchukulia vitu kirahisi na kuanza kulaumu bila kuangalia nafsi zao na hali halisi ilivyo duniani kwa sasa wengi wao wanafanya mioyo yao kuwa migumu na UNK mfumuko wa wageni kama changamoto ndio maana ni nadra sana kusikia mgeni UNK aina ya mfumo wa nne nne mbili au tatu tano mbili wa mwaka elfu moja na mia tisa na themanini au tisini si ya leo ishirini sifuri tisa kuna mabadiliko mengi yaliyopo na yanayozidi kujitokeza kila kukicha ambayo si rahisi kuyajua kama wewe kocha UNK kutumia nguvu na muda wako kujifunza na kufuatilia kwenye nyanja mbalimbali kubwa zaidi ikiwa kuongeza taaluma huwezi kusoma cheti pale karume ukata kujifananisha na mbrazili japo aliyesoma shahada ya kwanza ujerumani na ambaye kila siku lazima aingie kwenye mtandao kujua jambo jipya linaloendelea duniani na mfumo gani UNK siku inayofuata lazima tukubaliane na ukweli nani ambaye UNK mamilioni yake UNK wachezaji wa maana halafu mwisho wa siku akubali kuchukua kocha asiye na ujuzi wa mambo ya kisasa eti kwa kigezo cha kuangalia UNK soka la kisasa haliendi hivyo watu UNK mamilioni ili waone matokeo yake baada ya kipindi fulani ujio wa makocha hao wa kigeni unahitajika zaidi kwa sasa ili kubadili pia taswira za wachezaji wetu ambao tunataka baada ya miaka kadhaa wacheze soka la kulipwa ulaya wanahitaji changamoto za kisasa zaidi kwa vile tumeshuhudia miaka mingi kwamba kumekuwa na mastaa wengi wenye uwezo wa kuwika kimataifa lakini wanakosa wa kuwaendeleza angalia changamoto na akili za wachezaji wa tanzania UNK ndani ya muda mfupi baada ya kuingia kwa wageni ambao ni makocha na wachezaji wenzao je wangeingia enzi za kina UNK UNK na madaraka suleiman au stephen mapunda je tatizo jingine UNK wazalendo ni kutokuwa na misimamo ya kimaamuzi na kuheshimu mikataba na programu maalum kocha yeyote ni vigumu sana kufanya kazi kama utakubali viongozi kuingilia na kuyumbisha maamuzi yako makocha wazalendo wamekuwa UNK hadhi zao kutokana kutokuwa na msimamo katika hilo na ndilo limefanya waonekane kwamba hawafai hususani pale timu zao zinapofanya vibaya kwenye ligi kuu na ndio maana mwisho wa siku wengine wanakubali hata kubeba tunguri na kuingia nazo uwanjani maisha duni UNK muwe wanyonge angalieni mifano hai ya makocha wa waafrika ambao ni patrick phiri wa zambia oliveira goncalves wa angola na hassan shehata wa misri makocha hao ambao UNK umaarufu mkubwa wakiwa na timu zao za taifa UNK kutokana na misimamo yao ambayo imekuwa UNK na wamekuwa hawaogopi kupoteza vibarua vyao popote pale wanapokuwa hususani kwenye timu za taifa makocha wa kitanzania wasiwe hodari wa kupinga kila jambo wakubali kubadilika kuelewa na wawe tayari kukaa karibu na wageni ili kujifunza mambo mapya kuliko kuwa wapinzani na kujenga hulka kwamba UNK hakuna haja ya kupoteza muda moja kwa moja kwenye hoja yetu ya leo ambayo UNK yanga na wanachama wake ambao hivi karibuni wamekuwa kwenye hofu kwa aina fulani baada ya kusikia huenda mfadhiri wao yusuf manji UNK hofu ya wanachama wengi hawataki kuionyesha wazi wazi na wako UNK aende tu bwana yanga ilikuwapo kabla yake lakini najua namna ambavyo UNK kama akiondoka siku ya mwisho itakua vipi kila mmoja anajua kuishi katika maisha mazuri halafu baada ya hapo mambo UNK lazima kunakuwa na wakati mgumu na hakuna ambaye anataka hali hiyo UNK ingawa kwa upande wa yanga wanaonekana UNK karibu kila mtu anakubali hasa kwa wadau wa soka kwa manji amejitolea kwa kiasi kikubwa katika klabu hiyo nampongeza kwa hilo lakini kuna wakati aliwahi kuwaeleza wana yanga kwamba isitokee siku moja yeye akafariki dunia basi na yanga ikaingia katika migogoro manji alitoa hadhari hiyo mapema baada ya kuwa UNK kifo na kufanya wana yanga wengi kuwa na hofu baada ya kutoa kauli hiyo manji alieleza kila kitu hasa suala la yanga ambavyo inaweza kujitegemea huku akisisitiza wenye uwezo wa kuifanya hivyo ni wanachama wake kupitia changamoto ya viongozi wao kama wahamasishaji na kuendelea kueleza faida za kujiunga kuwa mwanachama hai yaani UNK UNK lakini inaonekana somo hilo UNK vichwani mwa wanachama na viongozi wao na badala yake wanaendelea na tabia ile ile ya kutaka kuwa tegemezi moja ya watu dhaifu duniani ni wale wanaotaka UNK kwa mara nyingine taarifa kwamba manji yuko mbioni kuachana na yanga zimekuwa gumzo jiulize tangu miezi minne au zaidi iliyopita baada ya manji UNK kifo naye kutoa kauli ya kuitaka klabu hiyo kujenga misingi ya kujitegemea kama UNK kazi hilo leo UNK wapi inaonekana UNK tu kuanzia kwa viongozi hadi wanachama hakuna anayefikiria kuhusu klabu hiyo kwamba ili ifanye vizuri basi ni wao ndio wa kwanza wanatakiwa kuwa mstari wa mbele UNK watoe shilingi moja sifuri sifuri sifuri tu kwa mwezi na shilingi kumi na mbili sifuri sifuri sifuri kwa mwaka halafu baada ya hapo basi yanga haitahitaji ufadhiri tena labda udhamini viongozi wapo wapo tu na maneno mengi ambayo hata hawatakiwi kuzungumza kama vile kuzungumza masuala ya utaalamu ambayo ni kazi ya kocha kazi zao UNK mashabiki nao kelele nyingi bila ya kujua kwamba pia UNK kutekeleza kitu ambacho UNK UNK klabu yenu badala ya yenyewe kuwajali nyie kwa kuwa UNK kupata kiasi fulani ili kuendesha maisha yenu kwa wale ambao mna mipango na mnataka maendeleo basi suala ni kuepuka utegemezi kwa kuwa manji hawezi kuendelea kuidhamini yanga milele mnajua akiondoka itakua si hali nzuri lakini mnaonyesha hamna hofu kwa kuwa utegemezi umejaa kwenye damu zenu kwa kuwa UNK kesho atakuja mtu mwingine na UNK maisha hayo hadi lini hata kama kweli klabu itakuwa na mafanikio UNK uchungu wa kiume kwamba UNK hasa ni yule UNK na anayependa kuongoza mambo yake sasa nyie vipi sababu ni zipi hadi UNK hili na mnaendelea UNK bado UNK sioni sababu ya kusema najuta kuwafahamu lakini mnatakiwa kubadilika na mwelekeo wa akili UNK maendeleo na UNK na suala la kujitegemea ni bora kwa binadamu bora kuliko UNK naamini UNK vema ni vyema niwaombe radhi kwanza kwa kukosa kuwa nanyi kwa majuma mawili yaliyopita hii ni kutokana na matatizo ya mawasiliano kati ya mwandishi wa makala haya na mhariri wa gazeti lenu UNK la mwanaspoti kuna wachache walionitumia ujumbe UNK kwa nini UNK kwenye safu hii na wengine wamediriki kuniuliza kama UNK kuendelea na makala hii kutokana na joto la msuguano kati ya wenye mamlaka na wanaojiita wadau wa soka kuhusu suala la kuongezwa kwa mkataba wa kocha wetu wa timu ya taifa ya wakubwa moja ya fikra ambazo ninajitahidi sana kuzienzi ni fikra ya kuzingatia ukweli na kuutetea kwa nguvu zote mara nyingi wenye mamlaka wamekuwa waoga sana katika UNK ukweli na UNK kwao ukweli ni ule tu wenye sura nzuri UNK na UNK UNK wenye mamlaka wengi UNK UNK ukweli kwa UNK uongo ilimradi tu UNK nafsi zao bila kujali maslahi ya taifa na umma kwa ujumla huwa UNK mwanafalsafa mmoja maarufu sana aliyeitwa galileo UNK UNK huyu ndiye alikuwa mtu wa kwanza kutamka hadharani kwamba dunia ni duara na kwamba jua na mwezi UNK dunia kama nadharia ya kanisa la roma ilivyokuwa UNK kuna wakati ambapo galileo ilibidi UNK kwa kuwa alikuwa UNK mahubiri kinyume cha wenye mamlaka kwamba dunia ni duara na ndio UNK katika mhimili kutoka magharibi kuelekea mashariki ilipofikia hatua ya UNK kitanzi wenye mamlaka walimuuliza galileo kama bado alikuwa akiitetea dhana yake kwamba dunia ni duara mbele ya hadhira kubwa ya watu galileo alijibu kwa kauli moja tu kwamba alikuwa UNK tu kwa kusema kwamba dunia ni duara na kukubaliana na wenye mamlaka kwamba dunia ni UNK kitendo cha kukubaliana na fikra finyu za wenye mamlaka kilimfanya galileo UNK siku ile kwa kitanzi na hivyo kuwa huru baada ya kunusurika kwa kitanzi rafiki wa karibu wa galileo walimuuliza kama kweli alikuwa amefuta kabisa fikra zake kwamba dunia ni duara kwa busara kubwa aliwajibu kwamba kutamka kwake hadharani kuwa dunia si duara UNK dunia kuwa UNK na UNK uhalisia wa dunia aliendelea kuwaeleza kwamba endapo UNK kwamba dunia ni duara UNK maisha yake lakini kwa kukubaliana na wenye mamlaka wajinga UNK maisha yake na bado dunia ingeendelea kuwa duara miaka mingi baadaye kanisa katoliki liliafiki dhana ya galileo kwamba dunia ni duara dhana ambayo ilitaka kumtoa roho yake tunapoamua kulijadili kwa kina suala la maendeleo ya soka letu mara nyingi UNK katika makundi makubwa mawili kundi la kwanza ni lile la wale ambao hulka yao ni kusifu tu wenye mamlaka hata pale ambapo ukweli ni dhahiri kama dunia ilivyo kuwa duara kundi hili limejaa watu waoga wenye tabia ya kujipendekeza kwa sababu mara nyingi wanakuwa hawaamini kuwa nafasi walizonazo katika jamii ni stahili yao hali hii huwafanya kuwa watetezi wa hali ya juu kwa kila jambo ambalo wenye mamlaka UNK sihitaji sana kuwalaumu watu hawa kwa sababu bila kuwasifu wenye mamlaka nafasi zao wanakuwa wameziweka rehani inapotokea mwanataaluma yeyote wa kigeni UNK kuwa na ubora wa hali ya juu wakati ufanisi wake ni asilimia thelathini tu ni dhahiri kwamba wenye UNK wa fikra watakuwa na maswali ya UNK ubora wa mwanataaluma yeyote yule UNK na ufanisi wa kazi yake na UNK na mazao ya kazi yake inapofikia hatua ya wenye mamlaka kutetea ubora wa mwanataaluma wa kigeni kwenye majukwaa ya siasa na kwenye vyombo vya habari tunakuwa UNK haki wananchi ambao kodi zao ndizo UNK mishahara na UNK mwanataaluma UNK yeyote wa kigeni UNK kwamba wenye mamlaka UNK na kumtetea hadharani anakuwa na jeuri UNK ni vyema basi wenye mamlaka wakawa na busara japo kidogo ya kuruhusu ubora wa kazi ya wanataaluma kuwa ndio kielelezo halisi cha uwezo na ufanisi wa wanataaluma hao kama ilivyokuwa kwa galileo UNK kuna siku historia UNK na wenye mamlaka watakosa cha kusema majukwaani na kwenye vyombo vya habari amani kwenu mshambuliaji wake mkongwe raia wa kenya maurice sunguti amewaambia marafiki zake kwamba UNK maisha ya soka ndani ya klabu hiyo kwa msimu huu wa ishirini sifuri nane sifuri tisa kutokana na kutotumika ipasavyo uongozi wa timu hiyo UNK nguvu kubwa kuhakikisha inashinda mechi zote zilizosalia na kupata nafasi ya pili UNK pia na simba na mtibwa sugar wachezaji wake wamekuwa chini ya uangalizi mkubwa ikiwa ni pamoja na kufuatilia nyendo zao kila kukicha kukwepa hujuma kocha patrick phiri bado anawaangalia kwa umakini wachezaji wake kuona nani ataingia kwenye kikosi cha kwanza kuziba nafasi ya mussa mgosi aliyeonyeshwa kadi nyekundu jumatatu wiki hii katika mechi dhidi ya mtibwa sugar bosi huyo amekuwa akishangaa pia utendaji wa kikosi chake mazoezini ambao ni tofauti na uwanjani benchi la ufundi limebainisha mlinda mlango soud slim ndio ataanza kusimama langoni kama kipa namba moja baada ya shabaan kado kuonyeshwa kadi nyekundu katika mechi dhidi ya simba kocha wa timu hiyo salum mayanga amesema timu yake UNK na UNK mchezo wowote kuanzia sasa kipigo UNK cha bao moja sifuri dhidi ya polisi dodoma UNK bosi wa benchi la ufundi charles kilinda ambaye inadaiwa kila siku anakaa na wachezaji wake mazoezini na kuwasisitiza wakaze buti kwani hali UNK kocha mkuu wa timu hiyo mbwana makata anasema wachezaji wake hawakuwa na sababu ya kuipa yanga sifa na ubingwa wa bara jumanne iliyopita kwenye uwanja wa ccm kirumba makata anadai kuwa tatizo la wachezaji wake kucheza soka safi bila kuwa makini ndio lilifanya wafungwe mabao mbili moja nyumbani wachezaji wake wakongwe wameamua kujipanga upya ikiwa ni kucheza kufa kupona kwa kuhamasisha chipukizi kuhakikisha UNK aibu ya kushuka daraja uwezo uliopo kwa timu hiyo kushuka daraja UNK wachezaji hao ambao wanadhani kwamba ikishuka ni ngumu kurejea kwa hali ilivyo sasa mshambuliaji wake nsa job wiki hii ameweka rekodi ya kufunga mabao matano peke yake katika mchezo mmoja tangu kuanza kwa ligi kuu azam iliifunga villa sita mbili kocha wake neider dos santos amesema muelekeo wa timu yake si mbaya ingawa bado UNK waamuzi kipa wake namba moja benjamin haule amesema kuwa ushindi ilioupata wiki hii dhidi ya moro united mjini morogoro ni salamu kwamba UNK daraja na wameanza kutekeleza azma hiyo baada ya kuteleza katika mechi zilizopita ipo nafasi ya tatu kutoka mkiani mwa msimamo wa ligi kuu ikiwa na pointi kumi na tano jumanne ijayo inacheza na jkt ruvu na ndio inaanza kuhesabu mechi sita ambazo UNK au kunyoa kama inataka kutetea heshima yake na kusalia kwenye ligi kocha wake kennedy mwaisabula amewaambia wachezaji wajitahidi kadri ya uwezo wao japo kuondoa aibu ingawa hali si nzuri na nafasi waliyopo ni mbaya mno habari zinadai kuwa baadhi ya viongozi wamekata tamaa na kuingia mitini kutokana na mzigo wa gharama za uendeshaji ambazo haziendani na hali halisi kocha mpya juma mwambusi ambae amecheza mechi mbili nyumbani na ugenini na kuambulia pointi nne amewaambia mashabiki kwamba anajaribu bahati aliyonayo kuinusuru timu hiyo kushuka daraja amesisitiza kuwa hakuna cha ajabu UNK kwenye timu hiyo UNK mashine mkiani shirikisho la soka tanzania kupitia watendaji wake limesema kuwa litakuwa makini wakati huu kuona kama kuna upangaji matokeo wa mechi za ligi kuu bara zilizosalia kwa wiki nzima habari kutoka tff zimekuwa ni kutoa onyo kuhusu hilo na kwamba timu yoyote ambayo UNK matokeo itachukuliwa hatua kali mmoja ya mikakati ya tff ni kutuma wawakilishi wake katika kila mechi ambazo wanadhani matokeo yanaweza kupangwa watafanya hivyo licha ya kuwa kila kituo kina msimamizi wake kuna kamishina wa mechi na kuna waamuzi na wote huandika ripoti sisi tunaungana na tff kwa kutoa onyo hilo na tunadhani ni jambo zuri ingawa si mara ya kwanza kwa shirikisho hilo kufanya hivyo kila mwaka tff imekuwa ikitoa vitisho kama hivyo na kumekuwa hakuna jambo lolote ambalo wamekuwa UNK sisi tunaona UNK tff ni porojo zaidi na bla bla ambazo UNK kila mwaka na hatudhani kama shirikisho hilo lina uwezo wa kugundua timu UNK matokeo uwanjani sisi tunaona mpaka ligi ilipofikia tff imeonyesha udhaifu katika uendeshaji wa ligi ndio maana tunashuhudia timu zikipewa pointi za mezani na mara UNK kwa sababu tu maamuzi yalifanywa kiholela na kwa haraka bila kujali ushahidi wa kujitosheleza UNK mkono hata kidogo upangaji wa matokeo kwani ni jambo ambalo UNK kimichezo lakini pia tff iwe makini na kauli zake kama inataka kujijengea heshima kwa wadau wa soka kiungo nyota wa al ahly ya misri mohammed aboutrika ametangazwa kuwa mchezaji tajiri zaidi afrika aboutrika ameshika nafasi hiyo kutokana na kumiliki kiasi cha dola milioni kumi ingawa kwa waafrika wote kwa ujumla wakiwamo wanaocheza soka ya kulipwa ulaya na kwingineko samuel eto o wa cameroon ameshika UNK kwa kumiliki dola milioni thebathini na tisa shilingi bilioni arobaini kwa mujibu wa orodha iliyotolewa jana ijumaa kwa dunia nzima aboutrika anashika nafasi ya ishirini na tisa kwa wachezaji wote huku mbrazili UNK wa ac milan akishika nafasi ya kwanza kwa kuwa na dola milioni arobaini na sita akifuatiwa kwa karibu na david beckham mwenye dola milioni arobaini na tano wayne rooney anashika nafasi ya tatu kwa kuwa na dola arobaini na nne huku eto o akiongoza kwa afrika kwa kuwa na dola thebathini na tisa na akiwa nafasi ya nne duniani akifuatiwa na didier drogba mwenye dola milioni ishirini na sita akishika nafasi kumi na sita duniani aboutrika anashika nafasi ya tatu kwa utajiri kwa wachezaji kutoka afrika kama UNK eto o na drogba wanaocheza ulaya lakini kwa wachezaji wanaocheza soka katika bara la afrika aboutrika ambaye atakuja kucheza na yanga jumamosi ijayo kwenye ligi ya mabingwa afrika anaongoza kwa utajiri katika bara hili fedha hizo anazomiliki aboutrika zinaweza kusajili vikosi ishirini vya yanga yanga imetumia shilingi milioni hamsini sifuri kusajili wachezaji wake lakini kwa fedha za aboutrika fedha hizo ni sawa na UNK tu kwake kwani ni mara ishirini ya fedha alizonazo yeye pia mchezaji ismail UNK kutoka UNK za kiarabu amewashangaza wengi kutokana na kushika nafasi ya kumi duniani kwa utajiri UNK nyota kama cristiano ronaldo wa manchester united aliyeshika nafasi ya kumi na tano na ricardo kaka wa ac milan na alessandro del UNK wa juventus yanga inakutana na al ahly kwenye mechi ya marudiano ya ligi ya mabingwa jumamosi ijayo baada ya kufungwa mabao tatu sifuri jijini cairo wiki mbili zilizopita rais wa timu ya al ahly ya misri hassan UNK amekubali timu yake kucheza mechi za kirafiki wakati wa kiangazi na sasa mabingwa hao wa misri watacheza na barcelona na tottenham hotspur michuano hiyo ya kirafiki ya kujiandaa na ligi ya msimu ujao itafanyika england julai ishirini na nne mpaka julai ishirini na sita na licha ya barcelona na tottenham timu nyingine itakayoshiriki ni mabingwa wa scotland UNK rais huyo wa al ahly amekubali ombi hilo la kushiriki michuano hiyo baada ya benchi la ufundi kutaka kucheza na klabu kubwa za ulaya ili UNK sawa kwa ajili ya ligi ya msimu ujao na ligi ya mabingwa afrika iwapo watafanikiwa kufika fainali aprili mwaka ishirini sifuri saba barcelona iliifunga al ahly mabao nne sifuri katika mechi ya kirafiki ambayo ilifanyika mjini cairo katika hatua nyingine pambano la watani wa jadi kati ya al ahly na zamalek limesogezwa mbele mpaka aprili ishirini na tatu kutokana na mabingwa wa misri kujiandaa na mechi ya yanga mechi imecheleweshwa kwa sababu al ahly watakuwa na mechi dhidi ya yanga mkuu wa kamati ya mashindano ya chama cha soka misri nayef ezzat alisema al ahly watakuwa na kibarua cha kuivaa yanga aprili nne katika mechi ya marudiano ya ligi ya mabingwa afrika ikiwa na faida ya mabao tatu sifuri iliyoyapata mjini cairo mashetani hao wa misri walikuwa wacheze na zamalek aprili tano katika ligi kuu lakini hilo sasa halitawezekana badala yake mechi itakuwa aprili ishirini na tatu miamba hiyo ya misri imekutana mara nne msimu huu katika super cup na ligi ya mabingwa na ligi kuu ahly imeshinda mechi tatu na kutoka sare moja dhidi ya zamalek ambao mara ya mwisho waliifunga al ahly mei ishirini sifuri saba katika hatua nyingine al ahly ya misri bila wachezaji wake tisa tegemeo imeanza mazoezi makali jumatatu wiki hii kujiandaa na mechi ya marudiano dhidi ya yanga na imewapiga marufuku wachezaji wake wote kuzungumzia kitu chochote al ahly itacheza na rabat anwar leo jumamosi katika mechi ya kirafiki al ahly imeanza mazoezi hayo kujiandaa na yanga katika mechi ya marudiano aprili nne baada ya kupumzika kwa siku tatu tangu wacheze mechi ya ligi kuu misri dhidi ya ettihad kocha msaidizi wa al ahly hossam el badry amepewa jukumu la kusimamia mazoezi hayo kutokana na kocha mkuu manuel jose kuwa mapumzikoni ureno wachezaji sita wa al ahly ambao wapo na timu zao za taifa kujiandaa na mataifa ya afrika na kombe la dunia ishirini moja sifuri ni waangola flavio amado na gilberto na mpalesina ramzy saleh kwa mara ya kwanza msimu huu mashabiki wa simba pamoja na kocha wao patrick phiri hawatakuwa na la kufanya zaidi ya kuishangilia yanga angalau kwa dakika tisini tu ili iifunge kagera sugar kwenye mchezo wa ligi kuu tanzania bara leo jumamosi simba na kagera sugar zote zikiwa na pointi ishirini na saba zinawania nafasi ya pili katika ligi kuu bara kwani tayari yanga yenye pointi arobaini na sita imetangazwa ubingwa wa bara hivyo itacheza ligi ya mabingwa afrika mwakani na nafasi iliyobaki ni kupata mwakilishi wa kombe la shirikisho kutokana na hilo simba sasa UNK kila baya kagera sugar ambayo leo jumamosi itashuka uwanja wa uhuru jijini dar es salaam kucheza na yanga jambo ambalo litawafanya mashabiki wa msimbazi kuwashangilia vijana wa jangwani kocha mkuu wa simba patrick phiri naye amesema haitakii mabaya kagera sugar lakini UNK kama mabingwa wa bara mara mbili mfululizo yanga ambao ni watani wao wakishinda mchezo huo phiri raia wa zambia aliiambia mwanaspoti kuwa kama yanga wataifanya kazi hiyo vizuri itakuwa ni ahueni kwao lakini nao watakuwa na kazi kubwa watakapocheza na azam fc katika mechi nyingine kesho jumapili kagera ndio timu pekee ambayo iliipa kipigo yanga cha mabao mbili sifuri katika mzunguko wa kwanza mjini bukoba na sasa yanga inatakiwa kulipa kisasi katika mchezo huo simba yenye pointi ishirini na saba sawa na kagera sugar itashuka kwenye uwanja wa uhuru kesho jumapili kuivaa azam fc yenye pointi ishirini na mbili iliyo nafasi ya nane phiri alisema wanachotaka ni kubeba pointi tatu katika kila mechi watakayocheza lakini matokeo ya soka huwa UNK siwezi kusema UNK dua mbaya kagera lakini soka ipo hivyo wao wakifungwa na yanga na sisi UNK basi tunapata ahueni tunahitaji pointi tatu kwa kila mechi huku UNK wenzetu UNK alisema phiri kocha wa zamani wa timu ya taifa zambia chipolopolo tayari kagera sugar wameanza kutamba kwamba UNK yanga na kuendeleza ubabe na mratibu wake mohamed hussein amekaririwa akisema kwamba wana kila sababu ya UNK tena jangwani jangwani wameshatangaza kwamba pamoja na kubeba ubingwa mapema UNK pointi zilizobaki ili kulinda heshima yao akizungumzia kikosi chake phiri alisema wako katika hali nzuri ukiachana na wachezaji wawili juma jabu na haruna moshi ambao wanaumwa malaria ingawa wamepata nafuu lakini wameanza mazoezi ya taratibu huenda UNK ila wengine wako katika hali nzuri kabisa alisema phiri alisema hawezi UNK azam fc ambayo mechi yake iliyopita ilitoa kipigo cha mabao sita moja kwa villa squad ya kinondoni azam ni timu nzuri sana lakini hatuna ujanja kwa kuwa tunatakiwa kukutana na kila timu iwe bora au la na tushinde kujiandaa upande wetu ili tushinde kuhusu suala la usajili mpya wa kikosi chake phiri alisema UNK kuona wachezaji kadhaa wakiwamo chipukizi na anafanya mawasiliano na uongozi wake ingawa kitu cha kwanza kwa sasa ni kupata nafasi ya pili tunaweza kufanya vitu vyote kwa wakati mmoja lakini sasa tunaanza nafasi ya pili ndio muhimu alisema na alipoulizwa suala la UNK kipa juma kaseja wa yanga katika kikosi chake alisema sidhani kama kuna kocha anaweza akakataa kuwa na kaseja ni kipa mzuri na bora na bado kijana ni kati ya wachezaji ambao tunawahitaji kila mtu anajua umuhimu wa kazi yake wakati akiwa hapa kama itatokea akarejea itakua vizuri hatujui uamuzi wake kwa kipindi hiki na nini UNK lakini ni mmoja wa makipa bora afrika mashariki na kati alisema phiri kumekua na taarifa kwamba kaseja huenda akarejea simba kutokana kocha mkuu wa yanga dusan kondic kutotekeleza masharti ya mkataba likiwamo suala la UNK katika kila mechi kuhusu hilo kaseja ambaye mkataba wake unamalizika mei mwaka huu alisema sipendi kulizungumzia hilo kwa wakati huu bado ligi UNK kaseja alitua yanga akitokea simba alikokuwa nahodha na kuweka rekodi baada ya kusajili kwa shilingi milioni thebathini na sita finito soka fitina kama kauli hiyo ni ya kweli basi yanga UNK yanga UNK kuivaa al ahly kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam lakini shirikisho la soka tanzania UNK mechi hiyo ipigwe uwanja wa taifa kwa sababu za kiusalama yanga imetaka pia mechi hiyo ipigwe kuanzia saa tisa sifuri sifuri alasiri kwenye uwanja huo wa nyasi bandia kwa sababu wanahisi wamisri hao wakipelekwa uwanja mpya ambao sasa ni uwanja wa taifa watakuwa UNK kama nyoka jambo ambalo litafanya UNK kuwafahamu yanga na al ahly ya misri wanacheza mechi ya marudiano jumamosi baada ya mabingwa wa tanzania bara kupata kipigo cha mabao tatu sifuri jijini cairo wiki mbili zilizopita na sasa wanatakiwa kushinda mabao nne sifuri ili kuwatoa mabingwa hao wa afrika mara sita yanga ikiongozwa na mwenyekiti wake imani madega imesisitiza hilo na hesabu zao zimetoka kwa kocha dusan kondic kwamba kwenye uwanja mpya wamisri hao UNK kama nyoka na kuipa yanga wakati mgumu hivyo kutaka kutumia uwanja wa uhuru kwa kuwa una nyasi bandia katibu mkuu wa tff frederick mwakalebela aliiambia mwanaspoti jana ijumaa kutoka mafinga iringa kuwa walifanya kikao na yanga juzi alhamisi kuhusu suala hilo lakini msimamo wa yanga ni kuchezea uwanja wa uhuru ili kuwamaliza wamisri hao mchana kweupe tulipata barua jumatano na UNK nao alhamisi lakini inaonekana msimamo wao ni kucheza kwenye uwanja wa uhuru tff UNK na hilo kutokana na sababu za kiusalama mechi ni kubwa sana historia inaeleza alisema mwakalebela ambaye yupo mafinga kwenye uzinduzi wa michuano ya kombe la muungano watu wengi hata nchi jirani watataka kuja kuiona al ahly ambayo ni mabingwa na timu bora afrika uwanja wa uhuru unaweza kuchukua watu ishirini na mbili sifuri sifuri sifuri na tunaamini watajitokeza mara mbili au zaidi ya hapo kama msimamo utakuwa hivyo mpaka mwisho tutaandika barua serikalini kwamba wamekataa uwanja huo ambao UNK na serikali watasema kama watakuwa na ushauri au vipi lakini kama hadi mwisho msimamo wa yanga itakuwa ni uwanja wa uhuru basi tff itasimamia udhibiti wa tiketi UNK kama zitauzwa tiketi nyingi zaidi basi itakuwa hatari kiusalama na inabidi ziuzwe mapema ili kuepusha msongamano kwenye uwanja wa uhuru ni hatari sana kwa kweli alisema mwakalebela akionyesha kutokubaliana na msimamo wa yanga iwapo mechi hiyo itachezwa kwenye uwanja wa taifa mashabiki sitini sifuri sifuri sifuri wanaweza kushuhudia mechi hiyo kwa raha mustarehe na kuiingizia yanga mamilioni ya shilingi kupitia viingilio huku mashabiki wengi wakiwa salama kuliko uwanja wa uhuru katika uwanja wa uhuru inaonyesha yanga itaingiza kiasi kidogo cha fedha na kuna hatari ya viingilio kuwa juu sana ili kudhibiti watu kwa mujibu wa taarifa mbalimbali za mtandao hii si mara ya kwanza kwa al ahly kucheza kwenye nyasi bandia wala si mara ya kwanza kucheza saa tisa alasiri finito mama wa nyota wa chelsea john terry pamoja na mama mkwe wa mchezaji huyo wamekamatwa na polisi wakati wakijaribu kuingiza mzigo wa wizi katika gari mama wa terry aitwaye sue terry mwenye umri wa miaka hamsini na mama mkwe wake aitwaye sue UNK mwenye umri wa miaka hamsini na nne walichukua vitu katika duka la UNK UNK na tesco vyenye thamani ya pauni themanini sifuri shilingi milioni moja sita bila kulipa jambo hilo ni baya kwa mchezaji wa chelsea na kikosi cha england terry mwenye umri wa miaka ishirini na nane imefahamika kwamba miongoni wa vitu UNK katika maduka hayo ya vifaa vya michezo ni track UNK baada ya tukio hilo wanawake hao alifikishwa katika kituo cha polisi cha UNK UNK ambako walihojiwa na UNK anapata kiasi cha pauni mia moja na thebathini na tano sifuri sifuri sifuri kwa wiki sambamba na fedha nyingine za matangazo na wadhamini fedha hizo ni mahususi kwa ajili ya kutoa maisha bora kwa familia ya nyota huyo vilevile terry amenunua nyumba kwa ajili ya mama mkwe wake na mama yake huko UNK mtu mmoja alisema kila mtu alishangaa kusikia mama mzazi wa terry na mama mkwe wake wamekamatwa katika tukio hilo ni wanawake wasio na matatizo ya fedha inashangaza kuona wamechukua vitu vya bei rahisi bila kulipa terry pia anashangaa kuona mama yake UNK nguo ya michezo ambayo wala hapendi UNK alisema mtu mmoja na mtu mwingine aliongeza kwamba wanawake hao waliiba vitu kadhaa katika duka la m s lakini walisimamishwa wakati walipokwenda kwenye duka la tesco kufuata vitu vingine mmoja ya wamiliki wa liverpool tom hicks UNK nia yake ya kuuza asilimia hamsini ya hisa zake kwenye klabu hiyo imefahamika kwamba hicks ameshamtafuta wakala maarufu UNK UNK ili atafute UNK hicks UNK liverpool sambamba na mmarekani mwenzake george gillett kwa kiasi cha pauni milioni mia mbili na kumi na tisa februari ishirini sifuri saba na mmiliki huyo anategemea kukamilisha mpango wake mpaka kufikia mwezi julai wamiliki wote wawili walitaka kuiuza liverpool lakini hivi karibuni walikubaliana kuendelea kuiendesha klabu hiyo kabla ya hicks kugeuka tena hivi karibuni kulikuwa na habari kwamba gillett alitaka kuuza hisa zake lakini alikanusha vikali awali hicks alipanga kuiuza liverpool kwa pauni milioni mia tano na hamsini lakini mnunuzi kutoka UNK UNK al UNK aliona kwamba kiasi hicho cha fedha ni kikubwa sana katika hatua nyingine rafa benitez ameandaa kitita cha pauni milioni kumi na tano ili kumnasa mchezaji kutoka valencia david silva benitez alitaka kumnyakua mchezaji huyo msimu uliopita lakini alishindwa kwa sababu alitakiwa kutoa pauni milioni ishirini na tano kaseja UNK mkataba maximo yaani stars ndio basi tena sina raha kabisa tenga UNK hicho ni kitu kidogo sana siku UNK tenga vuta subira ataondoka tu ila mimi mwenye UNK mtu wangu tenga ukiingia UNK kama bao la juzi UNK wote kazi UNK kati ya matangazo ambayo UNK wasikilizaji wengi wa redio ni yale UNK mtu anayejulikana kwa jina la fataki hakuna ambaye amewahi kumuona lakini umaarufu wake ni uzinzi matangazo hayo kwenye redio mbalimbali UNK kivutio kikubwa kutokana na fataki alivyo mahiri katika kuwatokea wasichana mbalimbali wakiwamo hata wale wenye umri mdogo kama watoto wake umaarufu wa matangazo hayo umesababisha watu UNK kuwa utani kwani si kitu cha ajabu leo hii mtu kutungwa jina la fataki ikiwa ni sehemu ya utani au kama ataonekana ana tabia zinazoelekea kuwa za fataki kutokana na umaarufu huo wa fataki wengi wamekua wakijiuliza mtu huyo ni nani uwezo mkubwa aliouonyesha kwenye ubunifu mwanaspoti imefanikiwa kufanya mahojiano na fataki mwenyewe acha wale wa kutungwa huyu ni msanii mwenye mashabiki wengi mrisho mpoto kwanza ilikua ni kutaka kujua wazo lilitoka wapi hadi kufikia kufanya alichofanya na anasema sanaa ni kazi yangu UNK kumekua na matangazo mengi sana mwisho niliona kuna haja ya kubadili aina ingawa siku ya mwisho inakua ni kufikisha ujumbe anaanza kuelezea mpoto nikaona ni vizuri kutafuta mtu ambaye atakuwa anajulikana fulani na tabia zake ni ya namna fulani nilijua kufanya hivyo itakua ni lahisi kufikisha ujumbe ingawa wakati naanza UNK rahisi kuona kama itafanya kazi vizuri kampuni niliyofanya nayo kazi hii ilitoa ushirikiano mzuri watu UNK kwa pamoja na kupata kitu ambacho kweli kinafanya vizuri utaona tabia ya fataki inagusa sehemu tofauti wale wanaofuatilia watoto wa shule wakati fulani kashindwa hadi anafikia kwenda kijijini lakini kikubwa ni ujumbe kwa jamii anasema mpoto mpoto aliyechipukia kisanii katika kundi la UNK arts chini ya UNK mwa UNK amekuwa akionyesha uwezo mkubwa na mwishoni mwa mwaka jana alikuwa mshindi wa afrika katika mashindano ya slam yaliyofanyika kwenye visiwa vya UNK union ikiwajumuisha wakali wa sanaa hiyo kama UNK UNK UNK UNK UNK UNK UNK UNK UNK UNK na fred UNK mpoto anatamba na singo yake ya nikipata nauli akiwa ameshirikiana na banana UNK aliyeimba UNK wimbo huo umesababisha ule wa mjomba UNK na irene sanga upotee kabisa wasanii wa tanzania wanaweza kuwa ndio maarufu zaidi kwenye ukanda wa afrika mashariki na kati kwa majina na hata kazi zao ambazo UNK kwa haraka zaidi mastaa kama matonya q chilla ay mr nice ali kiba z UNK mb doggy mr blue UNK kwa nyimbo katika nchi hizo tofauti na bobi wine peter UNK bebe cool UNK wa uganda ambao ni watu wachache hapa tanzania wanaotambua kazi zao lakini maisha ya wasanii wa bongo fleva yamekuwa duni na hayafanani wala kukaribiana na yale ya mastaa wa uganda ambao utafiti unaonyesha kwamba ni matajiri wasanii hao wamekuwa wakiendesha magari ya kifahari ya gharama kubwa wana rasilimali nyingi za mamilioni na wanaishi maisha ya juu kuliko wa nchi yoyote ya afrika mashariki na kati ingawa nchi hiyo ina wasanii mahiri zaidi ya thebathini na tano huku waganda wengi UNK kwamba ragga dee ndio tajiri zaidi utafiti wa majarida mbalimbali ya burudani na gazeti la UNK unaonyesha kwamba mastaa matajiri zaidi ni bobi wine na jose UNK mkewe anaitwa barbara UNK raia wa rwanda ambaye amezaa naye watoto wawili bobi anamiliki nyumba nne za maana jijini kampala sambamba gari aina ya cadillac escalade land cruiser basi na UNK UNK UNK kutengeneza ufukwe na hoteli yake ya kitalii mbali na mali hizo anamiliki mbwa wa polisi na punda na ameingia mikataba ya udhamini na benki ya UNK mtn kondomu ya life UNK na wizara ya afya ya uganda pia anamiliki duka kubwa la vifaa vya ujenzi mitaa ya UNK studio ya kurekodia na bustani kwa ajili ya UNK eneo la UNK hivi karibuni amenunua pikipiki na ana kundi la muziki linaitwa fire base UNK utajiri wake unakadiriwa kuwa zaidi ya shilingi bilioni moja nane staa huyo anayetamba na UNK ana bahati na fedha kwa karibu miaka kumi sasa amenunua gari aina ya cadillac escalade UNK ya ishirini sifuri nne kama ya bobi wine ambayo kwenye sehemu ya mbele UNK namba za usajili ameweka picha yake akiwa ameshikilia kipaza sauti na nyuma ameweka jina UNK anamiliki UNK benz ml mia tatu na ishirini super UNK UNK na UNK pamoja na shamba kuwa kwenye milima ya UNK na anamiliki mbwa wa polisi mwenye mafunzo maalum nyumbani kwake chameleone ana nyumba UNK marekani na kigali rwanda habari toka kwa rafiki zake wa karibu zinaeleza kwamba ana mpango wa kununua nyumba mjini arusha mwanamuziki huyo ana kundi la wasanii wa muziki linaitwa UNK island na studio ya kurekodia lakini punda wake alikufa kwa njaa mwaka jana msanii huyo mwenye mke mzungu anamzidi bobi kwa kuzungumza kiswahili lakini mwenzake anamzidi kwa kuzungumza kingereza safi zaidi na ana shahada ya mambo ya muziki ameingia mkataba na nile UNK utajiri wake ni zaidi ya shilingi bilioni moja sita mbali na hao wasanii wengine wa uganda UNK kwa utajiri ni geoffrey UNK ragga dee UNK UNK na bebe cool huku waliosalia kama juliana UNK wakiwa na maisha ya juu lakini ambayo si kitu cha ajabu kwa mastaa wa uganda lakini bebe cool inadaiwa UNK kiuchumi na kukimbiwa na mke baada ya kuagiza gari aina ya UNK escalade ili kujibu mapigo kwa chameleone na bobi UNK ragga dee pia anamiliki gari kama hiyo wasanii UNK kuyumba zaidi kiuchumi nchini uganda ni UNK sarah UNK UNK in september na UNK UNK baadhi ya waandishi wa habari wa uganda waliiambia mwanaspoti kuwa wasanii wa nchini UNK kwa kila kitu na wale wa bongo fleva hasa kutokana na upeo pamoja na elimu waganda ni matajiri kwa sababu ya udhamini mnono wanaopata toka kwa makampuni makubwa ya simu kama mtn zain uganda telecom nile breweries na UNK ambayo UNK kutangaza bidhaa zao anasema michael UNK mpiga picha wa gazeti la serikali la UNK mfano mwaka jana bobi wine UNK mkataba wa zaidi ya milioni hamsini za uganda na mtn kutangaza simu mpya za bei nafuu UNK kuuza wengine wanapata fedha kwa kuuza muziki wao kabla hawajatoa albamu na wasanii hao kila mwaka wanazindua albamu mpya na UNK matajiri ambao wananunua kazi zao nyingi sana UNK uzinduzi mdogo wanatengeneza si chini ya shilingi UNK ishirini redio za hapa karibu kila mwezi UNK shoo kubwa ambayo kumchukua msanii si chini ya shilingi milioni moja tano mpaka tatu anasema elijah UNK wa UNK wasanii wa uganda wanaingiza fedha nyingi na wanajua kuweka akiba na wako makini sana ndio watu wanaopenda starehe pengine kuliko hata hao wa tanzania mikataba mingi ya kibiashara waliyoingia inawasaidia sana UNK mauzo ya albamu ni watu wa kuhangaika mno wana wivu wa maendeleo ndio maana kila siku utasikia UNK UNK joseph ambaye ni daktari anayefanya kazi jijini kampala anasema hawa wasanii ni matajiri kwa vile miaka mingi wamekua UNK wakifanya vizuri angalia mtu kama ragga dee anaimba kwa miaka kama kumi na tano sasa na chameleone pia wakipata fedha wanawekeza kwenye rasilimali angalia hata nyumba wanazoishi ni za kisasa sana huwezi kukuta yeyote amepanga halafu wana mikataba mizuri sana na makampuni ya hapa kazi za wasanii wa hapa ni nzuri wengi wao wanapendwa kwa vile wana uzalendo na wanaimba vitu UNK jamii na lugha kuu inayotumika ni UNK lakini ni vigumu kujua hapa nyumbani tanzania kwenye bongo UNK nani tajiri zaidi wasanii wachache wenye nyumba zao na wengi wakiwa wamepanga uswahilini kwetu pamoja na kwamba wana majina makubwa sana kila kona hawapendi kufafanua wana nini au wamepiga hatua vipi imeandaliwa na michael momburi na mashirika mbalimbali ya uganda vikosi vya hispania ujerumani na ufaransa vyote UNK kwa kishindo na kuendelea na kampeni yao ya kutafuta nafasi ya kushiriki fainali za kombe la dunia ishirini moja sifuri jamuhuri ya ireland ilionekana kufanya kazi ya ziada baada ya kupata bao la kuongoza kupitia kwa beki wao machachari kutoka manchester city richard dunne lakini bao la kujifunga la kevin UNK lilikifanya kikosi cha ireland kishindwe kutamba zaidi denmark iliendelea kujisafishia njia baada ya kushinda mabao tatu sifuri dhidi ya UNK na shukurani pekee zimuendee soren UNK katika mechi nyingine ya kundi la kwanza ureno ilishindwa kufurukuta baada ya kutoka suluhu na sweden kikosi cha serbia UNK katika kundi la saba baada ya kuwashinda wapinzani wao romania mpaka kufikia mapumziko wageni hao walikuwa mbele kwa mabao mawili kwa moja na baadaye kuongeza jingine lakini wapinzani serbia waliongeza bao hivyo matokeo kuwa tatu mbili israel ilishindwa kutamba katika kundi la pili baada ya kutoka sare ya moja moja na ugiriki ugiriki ilipata bao kabla ya mapumziko kupitia kwa mchezaji wa portsmouth UNK UNK lakini UNK UNK alisawazisha dakika chache kabla ya filimbi ya mwisho baada ya kufungwa katika mechi mbili za kirafiki ujerumani ilirudi kwa kasi na kuwafunga wapinzani wao UNK mabao nne sifuri ushindi huo UNK kikosi hicho kiwe juu kwa pointi nne kwenye kundi lao na urusi inashika nafasi ya pili baada ya wikiendi hii kufunga mabao mbili sifuri dhidi ya azerbaijan na mabao hayo yalipatikana kupitia kwa wachezaji roman UNK na UNK UNK katika kundi la tano hispania ilipata ushindi wa moja sifuri dhidi ya uturuki bao hilo UNK wavuni na gerard pique mabingwa hao wa ulaya hawajafungwa katika mechi thebathini sasa ufaransa iliendelea kutesa katika kundi la saba baada ya kufunga bao moja sifuri dhidi ya UNK bao la franck ribery ndilo UNK kikosi hicho wanawake wengi wanapokuwa na makovu usoni hufikiri kwamba hawawezi kupendeza tena hata kama UNK namna gani suala hilo huwafanya wanawake hao wawe wanyonge mbele za wenzao kila UNK kwamba wana alama mbalimbali kwa kawaida wanawake wengi hupata makovu makubwa usoni kutokana na chunusi UNK au wakati mwingine mtu anaweza kuungua au kupata UNK katika makala ya leo tutaangalia mbinu za kufanya ili kuhakikisha mwanamke UNK kiasi cha kuficha makovu ya usoni njia ya kwanza ya kufanya ni kuchukua concealer au foundation ambayo UNK rangi zaidi kuliko ngozi yako halisi na kupaka eneo UNK zoezi hilo UNK muhusika anaweza kuchukua kiasi kidogo cha concealer na kupaka uso mzima concealer itasaidia uso kuonekana UNK foundation ya aina moja baada ya hatua hiyo paka poda ya UNK uso mzima kwa uangalifu ili maeneo yanye jeraha yabaki kama yalivyo mpaka kufikia hatua hiyo mwanamke anaweza kupaka vipodozi vingine kama vile rangi ya mdomo UNK na vinginevyo ikumbukwe kwamba mwanamke UNK vipodozi vingi huonekana mzee badala ya kupendeza kwa hiyo inabidi kujipamba kiasi soka ina wigo mpana ndio mchezo unaopendwa zaidi duniani wengi UNK au kukerwa kama ilivyo kwa mmoja wa wakali wa hip hop nchini afande sele ambaye ametoa hisia zake kwenye mchezo huo na kueleza kwamba hakuna jambo kubwa zaidi la kujivunia kwa watanzania katika soka mpaka sasa na kushauri kuwa mipango malengo juhudi na maarifa ni vitu vinavyopaswa kuzingatiwa afande sele mwenye maskani yake mjini morogoro UNK mwanaspoti kwamba ushabiki wake mkubwa katika soka umemfanya UNK amani kutokana na tanzania UNK hatua kubwa huku wengine wakisifia kwamba imesonga mbele kwa kiasi kikubwa mimi naona UNK mapema sana hakuna mafanikio makubwa angalia leo kwenye michuano ya awali ya kombe la dunia wako malawi rwanda kenya uganda zambia na msumbiji ambao UNK wote wanacheza halafu sisi UNK kwamba tumepiga hatua kwa UNK mimi naona kuna hamasa lakini hakuna mabadiliko makubwa naona hakuna tofauti yoyote kati ya tff ya sasa na ile ya kipindi kile cha migogoro kwa kuwa mambo mengi tu yanafanana ingawa watu UNK mambo mengi sana hayana utekelezaji na badala yake ni maneno tu mfano kocha marcio maximo kumekua na mjadala mkubwa sana lakini kila mmoja anasema lake ingekua mimi ningesema UNK nafasi aende halafu tujaribu kuangalia mbele na kupiga hatua upya sidhani kama wachezaji wanacheza kwa hamasa ya juu hasa kwenye timu ya taifa leo tulipo si pazuri kwa kuwa tuna kila kitu sasa iwe vipi UNK hapa huku wenzetu wakifanya vema lazima tuangalie jamani tumechoka kuwaona wenzetu wanapiga hatua anasema afande akionyesha uchungu kutokana na mwenendo wa soka kulikuwa na mjadala mkubwa iwapo maximo aondoke au aongezewe mkataba hata hivyo mwisho UNK mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuinoa stars ingawa wako UNK mkono na wengine wakipinga wakisisitiza angepewa nafasi kocha mwingine bado nasisitiza kwamba tff ina mipango mingi lakini hakuna utekelezaji angalia suala la kocha wa vijana tinnoco UNK hapa hakuna alilofanya zaidi jiulize wale vijana wa copa coca cola wako wapi leo wanacheza tu mitaani na hakuna usimamizi wa kuwaendeleza tabia ya kubahatisha mambo ndio UNK lakini leo bado tunaendelea nayo ni kama vile watu ambao tunapenda kubahatisha kweli tunatakiwa kubadilika la sivyo kila kitu kitakuwa kigumu hadi mwisho anasema mwanamuziki huyo aliyewahi kutamba na singo ya darubini kali akiwa amemshirikisha dogo UNK mimi ni mtanzania UNK sana kuona wenzetu wanaendelea huku sisi tukiwa na vipaji vingi vya kutosha lakini tatizo mipango mibovu na maneno mengi tu ambayo hayana utekelezaji anasisitiza afande au baba UNK akizungumzia suala la kazi yake ya muziki afande amesema yuko katika hatua za mwisho za maandalizi ya kutengeneza video baada ya ile ya mbele yako aliomshirikisha ishirini kufanya vizuri utamaduni UNK huko watu wanapenda zaidi nyimbo kwenye video ingawa kuna wakati wanaangalia msanii UNK nini au UNK video kwa kiasi gani cha fedha badala ya ujumbe kwa ufupi tunaenda na mashabiki wetu anasema afande sele baba wa mtoto mmoja aitwaye tunda ni kati ya wasanii UNK kuwa kazi zao zina ujumbe mwingi na amekuwa mmoja wa wasanii wasio na uoga kusema ukweli au kukosoa UNK kufanya hivyo michuano ya taifa ya mpira wa kikapu imepangwa kufanyika me kumi hadi kumi na sita jijini mwanza katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa kikapu tanzania lawrence cheyo amesema awali mashindano hayo yalikuwa yafanyike april kumi na mbili hadi kumi na nane lakini wamesogeza mbele kutokana na ratiba UNK tunataka UNK nafasi wachezaji kupumzika kwa sababu wengine ndio wametoka kwenye michuano ya UNK huko tanga hivyo lazima tuwape muda wa kujiandaa ili mashindano yawe yenye msisimko chama cha riadha tanzania UNK iwapo UNK timu au la katika michuano ya vijana ya afrika itakayofanyika april nne jijini UNK UNK nchini ethiopia katibu msaidizi wa rt julius msomi amesema wamepokea mwaliko ijumaa iliyopita kuhusu kushiriki michuano hiyo hivyo watakaa kikao ili kupata uamuzi wa mwisho UNK mwaliko wa kushiriki michuano hiyo viongozi tutakutana kujadili suala la kupeleka timu kwenye michuano hiyo au la kuna mambo mengi ya kuangalia ingawa tunajua umuhimu wake michuano ya gofu ya vijana ya afrika inaanza leo hadi april sita kwenye viwanja vya gofu vya klabu ya UNK nchini mombasa kenya timu ya vijana ya tanzania iliondoka nchini jumapili kwenda kushiriki michuano hiyo huku ikiwa na matumaini makubwa ya kufanya vizuri kocha wa timu hiyo stanley sanga amesema wamefanya maandalizi makubwa na wana matumaini ya kuibuka na ushindi katibu mkuu wa chama cha kuogelea tanzania noel kihunsi ameyataka makampuni na watu binafsi kujitokeza kudhamini timu ya mchezo huo itakayoshiriki michuano ya dunia juni mwaka huu nchini italia kihunsi amesema zinahitajika shilingi milioni kumi sifuri kufanikisha safari hiyo pamoja na maandalizi ndio tumeanza kazi ya kutafuta hizo fedha hivyo tunaomba makampuni na watu binafsi watusaidie tuweze kupata hizo fedha ili UNK safari yetu chama cha judo tanzania kinahitaji shilingi milioni arobaini na mbili kwa ajili ya maandalizi ya timu ya taifa itakayoshiriki michuano ya dunia novemba nchini italia katibu wa jata kashinde shaban amesema wameanza mapema mchakato huo ili kuweza kuwa na uhakika na safari hiyo tumeanza mapema ili tujue kama tutafanikiwa au la unaweza UNK kuwaeleza watu mapema siku ya mwisho UNK mbona UNK mapema polisi dodoma imewaambia mashabiki wake kwamba UNK prisons kama si janja ya mwamuzi timu hiyo ambayo kocha wake juma mwambusi alidai kuwa watashinda mechi zote zilizosalia ilifungwa bao moja sifuri na prisons jijini mbeya juzi jumapili mwanaspoti jana jumatatu kuwa lazima watu wa dodoma waelewe kwamba aliwatoa mchezoni na hakuwatendea haki tumecheza soka ya hali ya juu sana na kila mtu UNK lakini tumekuja kuhukumiwa kwa kosa la ajabu ambalo halina maana yaani UNK sana mipango yetu alisema mchezaji huyo akimlaumu mwamuzi peter UNK na wasaidizi wake sijawahi kuona hali ya uchezeshaji kama ule wa mbeya alikuwa UNK muvi zetu nyingi sana mpaka ikafika sehemu wachezaji UNK inabidi waamuzi wa aina hii UNK sana hasa wakati huu ambao kila mtu anapambana kukamilisha mahesabu yake lakini sisi hatukati tamaa tutapambana tu ingawa vikwazo ni vingi hali ni ngumu sana alidai mchezaji huyo alipokuwa akizungumzia mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa sokoine polisi dodoma bado ipo kwenye hatari ya kushuka daraja ingawa ina mechi nne mkononi hali inaonekana kutokua nzuri ndani ya moro united kutokana na hofu ya kuteremka daraja kutanda huku hali ya uelewano ikionekana kutokua nzuri kutokana na wachezaji na baadhi ya viongozi kutoelewana baadhi ya wachezaji wamekua wakisema kwamba kuna viongozi wanalaumu kila wakati kwamba wanapewa fedha ili kuidhoofisha kitu ambacho hawakubaliani nao hali si nzuri unajua timu ina viongozi wengi sana wengine ni wale wanaosabisha migongano tu kwa kuwa ni viongozi lakini hawana tofauti na sisi wachezaji tunategemea uongozi na wao wanategemea viongozi wenzao alisema mmoja wa wachezaji wa moro united na kuungwa mkono na mwenzake wamekua wanasababisha kutoelewana kati yetu na viongozi wa juu si watu wanaozungumza busara na UNK wachezaji wengi wamekata tamaa kitu ambacho kinaweza UNK moro akaongeza sisi wenyewe UNK tunafungwa vipi inawezekana uzembe na kutokua na bahati lakini kweli UNK sana na UNK tamaa zaidi hao UNK wachezaji hovyo wakati hatuoni msaada wao UNK walio viongozi ili tuungane na kuisaidia moro UNK alipoulizwa mmoja wa viongozi wa moro united said UNK alikiri kuwapo na baadhi ya wachezaji UNK na kusema kuna mtu ambaye anafanya hivyo kwa lengo la kushinda uchaguzi wa tff hapo baadaye kuna shabiki mmoja anataka kugombea uongozi wa makamu wa pili wa tff anajua moro haiwezi kumpa kura anafanya kila UNK UNK na kuna wachezaji UNK hiki si kitu kizuri na ni kampeni chafu hatuwezi kukaa kimya na kuendelea UNK tu alisema UNK moro ina uwezo kisoka lakini kuna watu UNK wachezaji wengine UNK wanaangalia maslahi binafsi bila kujua hao wanaowataka kucheza kiwango cha chini UNK kocha wa villa squad kennedy mwaisabula amekiri kwamba jahazi linazidi kuzama lakini hajakata tamaa na hawezi kuchafuka kwa vile kila kitu kipo wazi timu hiyo ambayo mashabiki wake UNK mikono juu kukubali matokeo ipo mkiani mwa msimamo ikiwa na pointi kumi na nne ambazo UNK kushuka daraja mwaisabula ambaye amewahi UNK pia bandari mtwara iliyoshuka daraja aliiambia mwanaspoti jana jumatatu kuwa hali ya wachezaji wake hasa kifedha ni ngumu sana hali siyo nzuri sana na uwezekano wa kushuka upo kwa vile hali ya wachezaji wangu ambazo ndio silaha zangu za kufanyia kazi ni mbaya mno alisema kocha huyo UNK kiuchumi lakini UNK wafanye kazi kwa nguvu angalau UNK hii timu halafu mambo mengine UNK binafsi sijakata tamaa ninachotaka sasa ni kitu kimoja tu kushinda mechi zote nne zilizosalia halafu UNK tayari kwa lolote nikishapata hizo pointi kumi na mbili UNK nini kinaendelea mungu ndio atajua alisema kocha huyo na kusisitiza kuwa tatizo sio lake tatizo la timu kufanya vibaya siyo langu lipo nje ya uwezo wangu ni la kiuongozi alisisitiza kocha huyo ambaye ni mfanyakazi wa shirika la bandari dar es salaam katibu mkuu wa ccm yusuf makamba UNK kuwa chama hicho ni kama yanga kiuwezo kwa upande wa soka kwa kuwa wana uhakika wa kuchukua jimbo la busanda wilayani geita mkoani mwanza akizungumza jana jumatatu kuhusu uchaguzi mdogo wa jimbo hilo unaotarajia kufanyika mei ishirini na nne mwaka huu makamba alisema ccm ina uhakika wa kushinda jimbo hilo kama yanga ilivyochukua ubingwa wa tanzania bara wakati ligi ikiwa inaendelea sisi ni kama yanga wakati ligi inaendelea UNK ubingwa jimbo la busanda UNK vyama vingine UNK kulichukua jimbo hilo alisema yanga inayotumia rangi za njano na kijani kama ilivyo kwa ccm imetwaa ubingwa ikiwa na mechi nne mkononi kitu ambacho UNK kucheza mechi zilizobaki kwa ajili ya kulinda heshima nafasi ya kiti cha ubunge wa jimbo hilo iko wazi kufuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wake faustine rwilomba hamsini na saba kufariki dunia akiwa nchini india alikokuwa akitibiwa matatizo ya moyo ambayo yalikuwa UNK tangu desemba mwaka jana kabla ya kulazwa na hatimaye mauti kumkuta katika hospitali ya UNK UNK iliyopo new UNK alilazwa katika hospitali ya taifa ya muhimbili dar es salaam rwilomba alichaguliwa kwa mara ya kwanza mwaka ishirini sifuri sifuri kuwa mbunge wa busanda na kutetea nafasi hiyo katika uchaguzi wa mkuu mwaka ishirini sifuri tano kauli hiyo ya makamba UNK na mashabiki wa yanga ambao wamekua wakishangilia kwa kuimba ccm kila timu yao inapofanya vizuri ingawa kuna wakati mashabiki wa simba walikua wakishangilia hivyo inaonekana kuwa ni hali ya kawaida tu kama wanamichezo wa tanzania watakuwa wanashiriki mashindano mbalimbali halafu UNK na baada ya hapo viongozi wao au wenyewe wanatoa sababu nyepesi na kurasa UNK wanariadha wa tanzania walioshiriki katika mbio za nyika nchini jordan wiki iliyopita wamefanya vibaya UNK hata mashindano si vibaya kusema wamekuwa wa mwisho lakini kitu cha ajabu katibu mkuu wa chama cha riadha tanzania suleiman nyambui UNK nyambui ametoa sababu nyepesi kabisa kama ulivyo utamaduni wa viongozi wengi wa michezo eti wamejitahidi kwa vile ni mara yao ya kwanza kushiriki na maandalizi UNK ya muda mrefu inashangaza sana inaonyesha kiasi gani hata viongozi wenyewe wasivyokuwa makini at walikuwa wapi kufanya maandalizi ya muda mrefu wakati hilo ni jukumu lao inatakiwa ufikie wakati viongozi wa vyama wawe wanawajibika kutokana na timu kufanya vibaya wanachopaswa kujua viongozi kama nyambui ni kwamba washiriki hao UNK taifa kuendelea kuboronga kila kukicha halafu ngao inakua ni visingizio visivyo na msingi ni UNK taifa na kuwaumiza watanzania kuna vitu UNK kuwa na ugumu au kuhitaji muda ili kupata mafanikio lakini inakuwaje kila siku tanzania wanazungumzia maandalizi mabaya halafu baada ya miezi kadhaa wanashiriki mashindano mengine na kuvurunda na baada ya hapo wanatoa kauli ile ile lini UNK maandalizi ya kutosha na ya muda mrefu at hivi UNK vibaya kuandamana katika safari za kila kukicha kwenda kushiriki na kurejea na visingizio lakini nchi karibu zote zinazotuzunguka zinafanya vema katika wanariadha waliofanya vizuri ni UNK ambao walitoa mshindi kenya walioshika nafasi ya pili na kuchukua ushindi wa jumla na uganda mwanariadha wao alishika nafasi ya tatu kitu kizuri ni kwamba mashindano hayo UNK moja kwa moja na super sport hivyo watanzania UNK moja kwa moja na kuondoa tabia ya visingizio kibao kumbe uwezo ni mdogo tu kwa kuwa tunapenda kubahatisha zaidi kama kenya uganda na hata burundi wanafanya vema sisi tatizo ni lipi watu kama nyambui wanapaswa kuonyesha mfano kwa kuwa walifanya vema enzi zao pongezi za mwanariadha kwa UNK jordan ilikuwa ni kama kebehi kwa watanzania wapenda michezo tanzania ina uwezo wa kufanya vizuri na siku ya mwisho zikatolewa pongezi za dhati lakini inaonekana kila mmoja anaona UNK yaani kama kitu UNK basi hakuna UNK kubahatisha kinaonekana kuwa ni kitu kama utamaduni wetu vile UNK hakuna sababu ya UNK tena kwenye uozo badala yake suala la maandalizi ya uhakika katika ushiriki wa mashindano UNK bendera ya taifa yapewe umakini wa juu kumekua UNK kwamba kuna tabia ya UNK kwa undugu kuunda timu UNK kwenda kushiriki mashindano wanariadha wanaoshiriki pia wanapaswa kujituma na kuepuka kuwa wasindikizaji UNK kwa pongezi za aibu kutoka kwa viongozi wao maafa makubwa yametokea katika mechi ya kuwania nafasi ya kushiriki fainali za kombe la dunia kati ya ivory coast na malawi kwenye uwanja wa felix houphouet boigny jijini hapa mechi hiyo iliwakutanisha wenyeji na ivory coast UNK na nahodha didier drogba anayechezea chelsea ya england huku malawi ikiwa inaongozwa na mkurugenzi wa ufundi jack UNK aliyewahi kuwa kocha mkuu wa yanga imefahamika kwamba mashabiki ishirini na mbili wamekufa na wengine mia moja na thebathini na mbili wamejeruhiwa vibaya muda mfupi kabla ya mechi hiyo iliyochezwa juzi jumapili uwanja huo wenye uwezo wa kuchukua watu hadi arobaini sifuri sifuri sifuri ndio uliotumika wakati wa michuano ya chan na kuishirikisha tanzania na mwisho daktari congo kufanikiwa kutwaa ubingwa inaelezwa UNK watu hadi hamsini sifuri sifuri sifuri hiyo jana chanzo cha vifo hivyo ni kitendo cha mshabiki kusukumana muda mfupi kabla ya mechi hiyo na kusababisha UNK alisema waziri wa mambo ya ndani desire UNK katika televisheni ya taifa walianza kusukumana huku kila mmoja akitaka kuingia uwanjani baadae ikawa tatizo alisema UNK mpiga picha mmoja alisema kwamba watu walianza UNK dakika arobaini kabla ya kuanza kwa mechi na ili kuondoa fujo polisi walifyatua mabomu ya machozi UNK UNK ambaye ni mwandishi wa super sport alisema ukuta UNK wakati mashabiki wakisukumana tuliona watu UNK na kulikuwa na wasiwasi mkubwa alisema lakini mmoja wa mashabiki UNK mamadou aliiambia mwanaspoti jana kutoka abidjan kwamba polisi ndio walikua chanzo kikubwa cha vifo hivyo kwa kuwa walifanya papara na kupiga mabomu ya machozi polisi hawakuwa watulivu walifanya wanavyojua na walikuwa na haraka bila ya kujali usalama wa watu unajua kwenye chan mashabiki hawakuwa na raha kutokana na timu kufanya vibaya hivyo walikua na kubwa sana ya kuiona ivory coast yenye wachezaji kutoka nje inaibuka na ushindi polisi hawakuonyesha kuwa makini mimi UNK wao alisema akionyesha kukerwa na askari hao ambao mwanaspoti imewahi kuwashuhudia kuwa ni wababe kupindukia uwanja wa felix houphouet boigny uko katikati ya jiji la UNK kama ingekua ni dar es salaam maana yake ni posta na hauna ubora wa hali ya juu ingawa kabla ya kuanza kwa michuano ya chan ingawa hata hivyo hauwezi kufikia kiwango cha uwanja wa taifa wa dar es salaam ambao ni wa kisasa zaidi katika mechi hyo ivory coast ilishinda mabao tano sifuri hivi karibuni jack chamangwana alikua jijini humo kukagua sehemu na UNK ya kufikia timu yake kikosi hicho cha malawi pia UNK beki wa yanga UNK ndlovu UNK nacho wiki iliyopita jijini kampala uganda maafa yamewahi kutokea katika nchi kadhaa duniani na afrika ni yale ya zambia zimbabwe na afrika kusini rais wa fifa sepp blatter alilitaka shirikisho la ivory coast kufanya uchunguzi wa suala na kutoa maelezo wakati rais wa UNK UNK anouma amewataka watu wa ivory coast kuwa UNK wakati uchunguzi unaendelea kupitia kama UNK simba jana UNK kuwa mlio wa simba UNK kwa mikono pale UNK azam fc kwa mabao tatu sifuri na kusonga hadi katika nafasi ya pili ya ligi kuu bara kwa kufikisha pointi thebathini mechi hiyo ilikuwa ni marudio baada ya ile ya juzi kuahirishwa kutokana na mvua iliyosababisha maji kujaa UNK huku simba ikiwa inaongoza kwa bao moja sifuri lililofungwa kipindi cha kwanza na ramadhani chombo UNK katika mechi ya jana simba ilipata bao lake la kwanza katika dakika ya hamsini na saba mfungaji akiwa chombo baada ya kugongeana na emeh izuchukwu kabla ya kufunga kiufundi na dakika tatu baadaye emeh akatoa chumba cha maana kwa ulimboka mwakingwe aliyeukwamisha mpira wavuni kuandika bao la pili devid naftali aliyeingia kuchukua nafasi ya emeh UNK simba bao la tatu katika dakika ya themanini baada ya kupokea pasi ya haruna aliyengara jana mabao hayo yalionyesha kuichanganya azam na kuipa simba mwanya wa kucheza UNK huku mashabiki wake wakishangilia kwa nguvu mwanzo hadi mwisho katika kipindi cha kwanza simba walikuwa wa kwanza kupeleka shambulizi kali katika dakika ya kumi na mbili lakini mohammed kijuso akashindwa kumalizia krosi ya salum UNK upande wa azam nsa job na danny wagaluka walikuwa hatari zaidi hali iliyomfanya patrick phiri kuwazuia mabeki juma nyosso na meshack abel kupanda mbele dakika ya arobaini na tatu mwamuzi amon paul wa mara alimpa kadi nyekundu UNK odula ikiwa ni kadi ya pili ya njano kutokana na kumtolea lugha chafu pamoja na kushambuliana kwa zamu simba walitawala kipindi cha kwanza ingawa azam walionekana kubadilika na kujibu mashambulizi tofauti na mechi ya juzi iliyochezwa kwa kipindi kimoja wakiwa UNK vibaya baadaye phiri alimtoa kijuso na kumuingiza haruna moshi boban UNK kasi ya mashambulizi na kuwapa wakati mgumu simba mustapha matangalu kanoni nyosso abel henry chombo UNK haruna izuchukwu naftali na ulimboka mshambuliaji nyota wa simba mussa mgosi amesema wachezaji walio katika kikosi chake na wale wa watani wao jadi yanga wanakumbana uwanjani na roho mbaya karibu kila mechi ya ligi kuu bara UNK mgosi mwenye mabao saba kwenye ligi hiyo ameiambia mwanaspoti kwamba wachezaji wa simba na yanga na hasa washambuliaji wana wakati mgumu sana kutokana na kukumbana na chuki binafsi ambayo hata haiwahusu kutoka kwa wachezaji wanaotaka kusajiliwa na timu hizo au wale walioachwa na timu hizo mazingira ni magumu sana kama soka itaendelea kuwa hivi wachezaji UNK visasi na watu UNK na roho mbaya bila ya sababu unakuta mtu UNK tu kwa kuwa uko simba hapa wako wanaotaka kusajiliwa na wengine wana chuki kwa kuwa UNK hata mimi kuna siku nitaondoka simba lakini siwezi UNK wachezaji walio hapa kwa kuwachezea rafu au kuwaumiza makusudi mimi sidhani kama hiyo ni sawa naamini kabisa wanaofanya hivyo hawajui kwamba UNK hata utendaji wa timu mfano huyo UNK kisasi msimu ujao anakuja simba na mimi bado nina hasira kweli tutafanya kazi vizuri na kusaidia simba huyo aliyeachwa UNK mimi kwa kosa lipi mimi si kiongozi wala kocha UNK UNK lakini waangalie na kucheza mpira wa malengo kwa faida zetu na si kulenga kuumizana na kufanyiana vurugu ndio maana utaona hata mechi yetu na mtibwa haikuwa nzuri kwa kuwa ubabe UNK kuliko soka yenyewe wakati watu wakisikia timu hizo wanategemea soka ya kuvutia alisema akifafanua kuhusu kadi nyekundu aliyopewa katika mechi hiyo iliyomalizika kwa simba kulala kwa bao moja sifuri alisema UNK na mtu kado alinipiga mgongoni na UNK mwamuzi akaja na kutoa adhabu UNK vizuri kwa kweli na alinieleza yeye ndiye anaelewa na si mimi katika mechi hiyo mgosi alipewa kadi nyekundu akituhumiwa kuzichapa na kipa wa mtibwa sugar shaaban kado ambaye pia alitolewa nje mgosi amesema wachezaji wengi wamekua UNK na kuwaweka katika wakati mgumu sana kila wanapokutana na timu nyingine na wengi UNK hata kuwaumiza kwa kuwa tu wana chuki na simba au timu nyingine kongwe kama vile yanga nahodha wa yanga fred mbuna amesema atahakikisha UNK kizimbani mtu aliyemfanyia vurugu katika mechi ya ligi kuu bara kati ya yanga na kagera sugar hali iliyosababisha apewe kadi nyekundu akizungumza na mwanaspoti jana mbuna ambaye ni beki mkongwe wa kulia alisema amefungua kesi katika kituo cha polisi cha changombe jijini dar es salaam sidhani kama yule mtu ni mwanamichezo nimeamua bora kumfikisha mahakamani jana nilienda changombe nimeambiwa wamemtoa kwa dhamana lakini UNK msimamo hadi tuende mahakamani kwa kuwa UNK mara ya kwanza alinipiga na jiwe kwenye mbavu huku UNK matusi ambayo UNK mara ya pili alinipiga jiwe kwenye mgongo na mara ya tatu UNK mguuni UNK nilimweleza refa akaniambia kuna ulinzi wakati UNK kurusha mpira pia niliwaeleza polisi ingawa niliona kama hakuna UNK UNK ndio maana UNK na hasira hadi kuamua kuvuka UNK UNK kama watu wanavyosema UNK na kumkabidhi kwa polisi ndio maana nasema UNK kizimbani alisema mbuna na kuongeza nimefanya makosa kiuchezaji hadi UNK kadi nyekundu UNK mwamuzi lakini nilishindwa kuvumilia kutokana na hali UNK mimi ni binadamu na watu UNK mara mbili kwenye hili na kwangu haijawahi kutokea huku UNK ufanye nini huku unapigwa zaidi ya mara moja inaumiza sana mbuna amefungua kesi kwenye kituo cha polisi cha changombe yenye jalada namba cha rb elfu mbili na mia nane na thebathini na moja sifuri tisa imeelezwa kuwa shabiki huyo aliomba UNK na mbuna kwa kuwa yeye ni shabiki wa yanga na alifanya makosa makubwa lakini beki huyo alishikilia msimamo wake wa kumfikisha mahakamani ili kuwa funzo kwa wengine hata hivyo uchunguzi unaonekana huenda mbuna UNK uamuzi baada ya baadhi ya wadau upande wa yanga kutaka kuwasuluhisha mchezaji na shabiki huyo kwa kuwa wote wanatoka jangwani huku UNK kuna kila hali ya kuviziana mabingwa watetezi wa afrika al ahly inatarajia kuwasili nchini kimya kimya kesho alfajiri kwa ajili ya mechi yao ya marudiano katika mechi ya kwanza yanga ililala kwa mabao tatu sifuri na zitarudiana jumamosi kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam hadi jana mchana al ahly walikua kimya kuhusu ujio wao dar es salaam ingawa mwanaspoti ilifanikiwa kunasa kuwa wanaondoka kwao leo jioni kupitia nairobi kenya ambako UNK ndege na kesho alfajiri watatua dar es salaam kimya kimya uamuzi wao wa kutumia shirika la ndege la kenya ni kutaka kuwasili nchini alfajiri ili kufanya kila wanachotaka kimya kimya kuliko UNK mchana kweupe mwenyekiti wa yanga iman madega aliimbia mwanaspoti kwamba hadi jana mchana hawakuwa na taarifa yoyote kimaandishi hadi sasa hakuna UNK kuhusu ujio wao wanatakiwa UNK chama chao nacho UNK na tff lakini kimya hadi sasa alisema madega msemaji wa tff frolian kaijage alisema jana kwamba hawakuwa wametoa taarifa yoyote ingawa utaratibu unaeleza wanatakiwa kufanya hivyo kabla ya siku saba hakuna walichofanya hadi sasa sisi UNK taratibu na kuwatumia kila kitu kwa maana ya mechi itachezwa wapi lini na muda gani lakini wao bado wako kimya na wanajua kuwa wanakiuka taratibu alisema kaijage uchunguzi wa mwanaspoti unaonyesha kiongozi wa msafara wa al ahly ambao UNK jijini dar es salaam kesho alfajiri ni profesa khalid UNK ambaye ni mjumbe wa bodi ya timu hiyo mwanaspoti ilifunga safari hadi ubalozi wa misri nchini na walisema hawajui lolote kuhusu ujio wa timu hiyo hadi watakapofanya mawasiliano na kuomba namba watapiga lakini hawakufanya hivyo hadi tunaenda UNK wanasema acha namba watapiga baada ya kuwasiliana nao alisema mlinzi getini al ahly wanaondoka kuja tanzania ikiwa ni siku moja baada ya kuchoma chanjo ya ugonjwa wa kuhara na magonjwa mbalimbali ili kuepusha kutokewa na hali hiyo baada ya kutua dar es salaam kikosi hicho UNK nchini na maji maalum ya kunywa pamoja na baadhi ya vyakula huku wakiwa na lundo la dawa ili kujilinda iwapo UNK mmoja wao kuugua imeelezwa wana mpango wa kufikia katika moja ya hoteli za kilimanjaro UNK au movenpick za jijini bila ya kujali wenyeji wao UNK wapi kwa mujibu wa mtandao wa klabu hiyo nahodha wake hossam al badri alipigiwa juzi simu na maofisa wa ubalozi wao kutoka dar es salaam na kuelezwa kila kitu kuhusu mechi hiyo hata kabla ya UNK na tff maofisa hao UNK na baadhi ya watu UNK na ahly jijini hapa wamekua UNK yanga kwa karibu na kutuma taarifa kwao ingawa wameeleza kwenye mtandao wa klabu hiyo kwamba yanga itamkosa boniface ambani kwa kuwa UNK na UNK green town ya china kitu kingine ambacho wameweka wazi kwamba hawana hofu na janja ya yanga kuwapeleka kwenye uwanja wa nyasi bandia kwa kuwa wamewahi kucheza mara kadhaa zikiwamo katika mechi zao ngumu dhidi ya asec mimosas ya ivory coast na dynamo ya zimbabwe juzi al ahly iliahirisha mechi yao ya kirafiki iliyokuwa ichezwe wiki iliyopita dhidi ya timu ya rabat anwar ili kuwapumzisha wachezaji wake majeruhi ambao ni saied moawad na ahmed ali wanaosumbuliwa na matatizo ya nyama na ahmed UNK aliyeumia mguu katika mechi ya mwisho ya ligi ya misri kocha wao msaidizi hossam el badry alisema bosi wake manuel jose raia wa ureno aliona ni bora kufanya hivyo na UNK yanga imepanga kucheza kwenye uwanja wa uhuru wenye nyasi bandia ili kuwapunguza kasi waarabu hao na kocha wake mkuu dusan kondic amesema wako katika hali nzuri tumejiandaa katika kiwango chetu vizuri tunataka kufanya vizuri UNK makosa na nia ni kushinda na kusonga mbele hakuna cha kutupa hofu kupindukia hata kama wenzetu watakua ni wazoefu kikubwa ni kuwa makini na tulichojifunza alisema kondic lakini akakataa kuzungumzia uamuzi wake wa kutaka kucheza kwenye nyasi bandia kama ni uhakika wa kupata ushindi rafiki wa karibu wa kondic aliimbia mwanaspoti kwamba anakataa kuzungumzia kwa kuwa UNK pendekezo lake kwa asilimia mia moja yeye UNK hilo alitaka mechi sehemu yoyote ila kuna watu upande wa uongozi UNK kufanya hivyo alisema rafiki huyo wadau wengi wamekua wakipinga uamuzi wa yanga kutumia uwanja wa uhuru na UNK ule wa kisasa wa taifa wenye uwezo wa kuchukua watu UNK sitini sifuri sifuri sifuri timu za moro united na jkt ruvu zimetoka sare ya bao moja moja katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom uliofanyika uwanja wa uhuru dar es salaam jana kwa matokeo hayo jkt ruvu imefikisha pointi ishirini na tano na moro united pointi kumi na sita katika mchezo huo jkt walianza kuziona nyavu za moro united dakika ya hamsini na mbili kwa bao la hussein bunu alilofunga kwa shuti kali lakini vijana wa kocha wa zamani wa jkt fred felix minziro walisawazisha kwa mkwaju wa penalti dakika ya sitini kupitia kwa seleman kibuta katika kipindi cha kwanza dakika ya thebathini na mbili bunu alipiga shuti kali lililogonga mwamba wa juu kutoka mita kama ishirini na tano lakini mabeki wa moro united walifanikiwa UNK mpira huo jkt chini ya charles kilinda walionekana kutawala kipindi cha kwanza kwani waliweza kufika katika lango la wapinzani wao mara kwa mara jkt ruvu walianza kipindi cha pili kwa kasi na dakika ya arobaini na saba amosi juma alikosa bao baada ya kupaisha mpira wakati kipa wa moro united haji UNK alikuwa ametoka langoni kocha kagera sugar burhan msoma amesema wanaelekeza nguvu zao katika mchezo wa jumapili dhidi ya simba ambao utaamua hatma yao katika nafasi ya pili ya ligi kuu ya vodacom inayoendelea mchezo huo unatazamiwa kuwa na upinzani wa hali ya juu baada ya timu zote mbili kuwania nafasi hiyo na kagera watakuwa wakiwakaribisha simba mjini bukoba akizungumza na mwananchi jana kocha huyo alisema wanakabiliwa na mchezo mgumu na wenye kuwa na kila aina ya upinzani mbele yao dhidi ya simba katika uwanja wa kaitaba ili kuamua nani mwamba na anayestahili nafasi ya pili inaonekana ni kama sikio la kufa halisikii dawa baada ya miss tanzania ishirini sifuri sita wema abraham sepetu kuendeleza vituko visivyokuwa na mwisho kufuatia jana kufunguliwa mashtaka mengine na kuswekwa rumande kwenye kituo cha polisi cha kijitonyama jijini dar es salaam wema pamoja na mpenzi wake jumbe wamefunguliwa mashitaka ya wizi wa televisheni redio na UNK habari ambazo mwananchi imezipata zinaeleza kuwa wema na jumbe wamefunguliwa jalada namba UNK rb elfu moja na mia tisa na sabini na saba sifuri tisa linalohusiana na wizi huo na inaelezwa mrembo huyo UNK vitu hivyo kutoka kwao na kupotea navyo kwa mpenzi wake huyo ambako UNK kwa siku kadhaa wema ambaye amekuwa UNK vituko mfululizo bado kesi yake ya kuvunja kioo cha gari la aliyekuwa mpenzi wake mwigizaji maarufu steven kanumba inaendelea katika mahakama ya kinondoni jana asubuhi mama yake pamoja na dada yake anayeishi sinza walionekana kwenye kituo cha kijitonyama kuhusiana na suala hilo na imeelezwa walikuwa wanataka waelezwe vilipo vitu hivyo ili UNK nje kwa dhamana hivi karibuni hali ya wema ilionekana kubadilika baada ya mama yake kumtafutia kazi lakini siku chache zilizopita tabia yake ilibadilika tena na kuanza kurejea usiku nyumbani katika eneo la sinza jirani na UNK hotel ambako ni nyumbani kwa dada yake anakoishi baada ya kuibuka kwa tafrani mahakamani siku UNK dhamana mwezi uliopita jumbe amekuwa akituhumiwa kumfundisha mrembo huyo kutumia dawa za kulevya na alishindwa hata kumwekea dhamana alipolazimika kulala mahabusu lakini alipotoka mrembo huyo UNK na kumsahau hata mama yake aliyechukua jukumu la UNK dhamana hiyo imeelezwa alipotea kwa dada yake eneo la sinza kwa zaidi ya siku mbili na walikuwa hawajui aliko na baadaye ilielezwa alirejea tena kwa jumbe ambaye ndugu zake UNK kuwa UNK mrembo huyo ambaye anaonekana UNK tangu kuanzishwa kwa mashindano ya miss tanzania mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne wema aliyechipukia katika kitongoji cha dar indian ocean kanda ya kinondoni ndiye anaonekana kuwa mrembo mwenye vituko kuliko mwingine yoyote mrembo wa mwaka ishirini sifuri saba richa UNK pia kutoka kinondoni akionekana kuwa mrembo aliyemaliza muda wake kimya kimya bila kuguswa na tafrani ya aina yoyote katika kuonyeshwa kuchanganyikiwa na uwanja upi itatumia kwa mchezo wake dhidi ya al ahly ya misri jumamosi yanga UNK suala hilo mikononi mwa wageni wao UNK leo timu hizo zinakutana katika mchezo wa marudiano wa ligi ya mabingwa afrika lakini wenyeji wakiwa na kigugumizi kuhusu uwanja gani UNK baada ya awali kuweka bayana kuwa UNK uwanja wa uhuru uamuzi huo umekuwa UNK na wadau mbalimbali wa soka nchini kwa madai kuwa uwanja huo UNK uongozi wa yanga uliweka bayana kuwa mechi hiyo UNK uwanja wa zamani wakidai kuwa ndio UNK ushindi dhidi ya mabingwa hao wa afrika kitu ambacho kilizua mawazo tofauti kutoka kwa mashabiki na hata shirikisho la soka tanzania tff jana katibu mkuu wa yanga lucas kisasa alisema jana kuwa kama mechi hiyo UNK kwenye uwanja wa taifa lakini inabidi wakae kwanza na wenzao al ahly ili wakubaliane kuhusu suala hilo alisema wamepokea maoni mbalimbali kutoka kwa wadau wa soka tff na hata kocha mkuu wa timu hiyo dusan kondic kuhusu kuihamishia mechi hiyo kwenye uwanja wa taifa dusan kondic UNK pia kuhusu kuhamishia mchezo huo kwenye uwanja wa taifa kutokana na hali ya hewa iliyopo hivi sasa maana kuna mvua na hata hayo maafa yaliyotokea ivory coast pia UNK UNK hilo pia tulikaa na tff leo na walitupa masharti kuhusu mauzo ya tiketi iwapo mechi itachezwa kwenye uwanja wa uhuru na pia UNK kuwa UNK mechi uwanja wa taifa kwani idadi ya watu inaweza kuwa kubwa na haiwezi kuhimili ule uwanja wa zamani alisema aliongeza hata hivyo kuwa wanasubiri kukaa kikao na viongozi wa al ahly kuwaeleza jambo hilo na kama UNK jambo hilo basi UNK mechi hiyo kuhusu tiketi kisasa alisema tiketi tayari UNK na zitaanza kuuzwa leo ambapo kiwango cha juu kitakuwa ni shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri na cha chini shilingi tano sifuri sifuri sifuri vip watalipa shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri jukwaa ku la viti vya bluu na njano shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri viti vya kijani kumi na tano sifuri sifuri sifuri na mzunguko shilingi hamsini sifuri sifuri wakati huo huo al ahly inatua jijini dar es salaam leo saa tatu asubuhi kwa ndege ya shirika la ndege la kenya kisasa alisema timu hiyo itafikia kwenye hoteli ya movenpick baada ya kuikataa hoteli ya awali ya UNK sisi UNK wafikie durban lakini wamekataa na kusema wanataka hoteli ya nyota tano hivyo UNK lakini kwa sababu gharama zote za mchezo inabidi UNK sisi UNK gharama ambazo tulitakiwa kulipia kwenye hoteli ya durban na hizo nyingine watalipa wenyewe alisema ndoa ni ushirika kati ya mke na mume kwa wakristo au wake na mume kwa waislam UNK dhamana ya kuunda maisha ya kudumu msingi wa kuwa na maisha bora ni kuheshimiana na kila mmoja UNK kuwa anayo haki ya kumpenda mwenzi wake kwa wakati huu familia UNK na changamoto mbali mbali zinazochangia kuharibika kwa ndoa nyingi zikiwemo baadhi yao kuiga mambo ya kigeni lakini ni wajibu wa wanandoa kusimama kidete kutetea kulinda na kuimarisha ndoa zao msingi wa kuwa na maisha ya amani ya ndoa ni kwa kila mwanandoa kujiona kuwa UNK deni kubwa la kuilinda na kuiheshimu ndoa yake je UNK UNK ndoa yako jiulize mwenyewe kisha chukua hatua jambo jingine la kutafakari sana ni juu ya kauli na matendo yako wakati fulani watu huharibu ndoa kwa kauli zao wenyewe kwa mfano kuna mwanaume kwa miaka mingi amekuwa mwenye matendo mabaya ya kwenda nje ya ndoa baadaye akaamua kuachana na tabia hiyo hakuishia hapo hakuwa anakwenda hata kwenye nyumba ya ibada akaanza kwenda na mkewe ambaye alikuwa akienda sana kuomba mungu ili mumewe UNK ndoa yao siku moja wakiwa na amani mke akaanza kuiharibu ndoa kwa maneno yake unajua ni maneno gani ni maneno machache UNK aaah bila mimi kuwa imara katika maombi UNK na kuendelea kuiheshimu ndoa yetu kwa haraka unaweza kuona kama ni neno lisilo na nguvu lakini ukweli ni kwamba tangu siku hiyo lilianza kuiharibu ndoa UNK aliuliza aaah kwa hiyo wewe ndio umechangia nimekuwa na mabadiliko yote haya katika maisha yakiwemo maendeleo mke alijibu eeeh nimekuwa UNK sana je ndugu yangu umejifunza nini hapa ni kwamba ulimi umechangia kuharibu uhusiano ukweli ni kwamba katika UNK unapaswa kuwa makini sana kwa asili yake wanaume walio wengi huwa hawapendi kuonekana kwamba UNK jambo fulani baya na wanawake huwa hawapendi kuonekana kwamba wako juu ya wanawake kwa namna yoyote ile kama unafanikiwa kumbadilisha mumeo huna sababu ya kujigamba mbele yake tahadhari sana jua kwamba kitendo chako hicho UNK kuharibu wala sio kujenga hiyo pia iko kwa wanawake kimsingi si vizuri kujifanya wewe ni bora zaidi ya mwingine uwe makini sana na ulimi wako hata kama anaanza UNK mwambie aaah hapana mpenzi wangu ni jitihada zako hizi acha mwenzi wako UNK kwa mazuri UNK sio kujisifia mwenyewe ninachotaka kusisitiza ni kwamba ndoa ili UNK ni lazima uwe makini sana ndio huwa nasisitiza kwamba wakati fulani unapaswa kukaa na washauri kuzungumza nao namna unavyopaswa kuendesha ndoa yako hata kama kuna amani ya kutosha ili UNK kuifanya iendelee kuwa na amani zaidi kama kweli unataka kuwa na ndoa yenye amani ni lazima uchukue hatua za kuhakikisha unakuwa na ndoa yenye amani pia fahamu ya kuwa ni kweli tunaingia kwenye ndoa ili kupata raha lakini raha huwa haiji yenyewe kama upepo ni lazima uendelee kufanya jitihada za kuipata hiyo raha kama unafikiri ndoa ni raha tu ndoa ni amani tu nakushauri UNK kwenye ndoa kama nilivyosema kuwa ni kweli tunaingia katika ndoa kwa lengo la kuwa na amani lakini pia elewa kuwa migogoro ni vitu ambavyo hutokea katika maisha nina maanisha kuwa elewa namna ya UNK katika migogoro kukwaruzana sio mwisho wa ndoa maana kuna wanandoa wakikwaruzana kidogo wanaanza kutoleana matusi ya nguoni nk wanashindwa kuelewa kwamba wakati mwingine migogoro ni vitu vya kawaida kitu cha msingi ni kusameheana na kuendelea na uhusiano wanandoa wanatakiwa kujua mbinu za kufanya ili UNK sababu kubwa ya wanandoa UNK ni pale mmoja au wanandoa wote wanaposhindwa kutumia nafasi zao kuleta utulivu katika ndoa yao aidha ndoa yoyote ambayo watu wake UNK au hawaishi kwa kuzingatia misingi ya dhati ya dini husababisha wanandoa UNK katika zama tulizonazo zama ambazo UNK umetawala katika mila na desturi zetu watu wengi ukiwauliza watakuambia ni wa dini fulani lakini UNK mafundisho yao dini inaonekana ni imani ya kuzaliwa nayo na si matendo na utaratibu wa maisha ya mtu kuna watu UNK vibaya mafundisho ya mungu kwa mfano kuna watu wanaamini kuwa muislamu ni kuvaa hijaab hata kama UNK UNK ili mradi amezaliwa muislamu basi huyo ana dini ufahamu huu UNK wanandoa wengi katika mitihani hata katika ukristo kuna watu wanaitwa wakristo kwa sababu tu wamezaliwa familia za kikristo ndio kusema kuna watu wanavaa hijaab kama sehemu ya mila na UNK swala tano kutokana na makuzi yake kuna mabinti au wanaume wanakwenda kanisani au misikitini kwa sababu ya kushinikizwa na wazazi au walezi wao lakini wao wenyewe hawana hofu na mungu hata kidogo hivyo basi ni muhimu kwa wanaotaka kuoana wahakikishe kama kweli wanataka kuchagua kwa misingi ya dini zao kuwa makini kwa kuhakikisha kweli wanapata aina za watu wanaowataka hasa kwa kuangalia mavazi na matendo yao jipe muda wa kuchunguzana wala haraka haina baraka kama UNK ruhusu aendelee na safari kama ni bahati yako UNK si ndio jamani dismas lyassa ni mtaalam wa uhusiano wasiliana naye sifuri saba tano nne nne tisa nane tisa saba mbili dah wanangu inakuwaje kitaa wikiendi ya mambo mengi ndio hivyo tena UNK kila mwana najua yuko fulu UNK siunajua tena siku zenyewe lazima UNK unapopata zali mwaka wenyewe UNK kichizi juzi juzi tu tumeanza na leo UNK kota ya kwanza na siku si nyingi UNK wiki tunakula ubwabwa wa UNK ishu ngapi UNK mpaka sasa na UNK kuingia kwenye kota nyingine kazi kwako mwana UNK nao kama zee la kutibua hakuna kumpa mtu UNK UNK mpaka penati kama vipi lakini punguza UNK UNK kimtindo UNK ishu zingine mambo ya UNK kaunta fulu dei siyo ishu UNK nilikuwa natoa UNK kwa masela tu UNK pa UNK si noma lakini hivi hawa viongozi wa yanga haya mambo ambayo huwa wanafanya ni kwa maslahi ya nani au kwa lugha nyingine kauli zao walizokuwa wanatoa wiki hii walitaka kumtisha nani hakuna asiyejua kwamba leo jumamosi wana mechi ya marudiano ya ligi ya mabingwa afrika dhidi ya al ahly ya misri jijini dar es salaam viongozi hao walikuwa wakitoa kauli tata na ambazo zilikuwa UNK maswali mengi walipokuwa UNK mchezo huo uchezwe kwenye uwanja wa uhuru mwenyekiti wao imani madega alianza kwa kudai kwamba mchezo huo uchezwe uhuru kwa vigezo kuwa wachezaji UNK uwanja huo na wanaweza kulipiza kisasi cha mabao tatu sifuri kirahisi zaidi ya uwanja wa taifa hakuishia hapo sababu nyingine UNK umma ni kwamba wapinzani wao hawana viwanja vya nyasi bandia hivyo itakuwa ni rahisi UNK badala ya kuandaa timu wanapiga porojo za uwanja lakini baada ya al ahly kusikia kigezo cha yanga cha uwanja kocha msaidizi al badr akawajibu kwenye uwanja wowote sisi tunacheza na UNK mechi zisizopungua tatu kwenye nyasi bandia kauli hiyo UNK yanga viongozi wake wakalazimika kwa shingo upande kurejea kwenye uwanja wa taifa baada pia ya kupuuza kelele ya serikali na tff madega na viongozi wenzake wanapaswa kuelewa kwamba hizi ni zama za kisayansi na kitu kinachoweza kuifanya timu ipate matokeo mazuri ni maandalizi ya kina si siasa za kuwapa moyo mashabiki kwa al ahly UNK mimi inayotokea cairo misri ni ngumu kuifunga kwa staili waliyokuwa UNK viongozi wa yanga ambao nina wasiwasi hawafanyi utafiti wa kitaalamu kabla ya kuzungumza mambo tena yanayohusu ufundi wapinzani wao wana wachezaji wazoefu wa miaka mingi ambao kwao hakuna dhana ya nyumbani wala ugenini wao kiwango na mbinu ni zile zile na ndio maana hata sasa UNK UNK hata tanganyika parkers bado uwezekano wa kuwazidi ujanja uwanjani na kurudia waliyofanya misri upo UNK UNK tufanye mambo UNK kwanini nasema hivyo UNK mazoezi na mwenendo wa yanga tangu irudi misri kama mtanzania mwingine wa kawaida sijaona kitu UNK kwamba kuna uwezekano wa kufunga mabao nne sifuri kama madega UNK kwa mzigo mkubwa yanga UNK kwenye mchezo huo kulikuwa hakuna muda wa kupoteza mazoezini na sikutarajia kwamba ipo siku kama jumanne iliyopita usiku UNK kwamba makocha wamechelewa mazoezini kwasababu ambazo hata UNK akili na baada ya kufika wanafanya mambo chini ya dakika kumi UNK timu kambini UNK nini hapo yanga ilikuwa ina programu mbili za mazoezi kwenye uwanja wa uhuru lakini sikuona kitu kipya cha kiufundi tofauti na kile UNK kuona wakati ikijiandaa na mechi dhidi ya mji mpwapwa au villa squad katika ligi kuu ya bara programu ya kondic haikuwa na jipya sikuona mbinu mpya za kukabiliana na watu wenye nguvu kasi na ujanja wa uwanjani kama al ahly hata sikuwahi kusikia kwamba leo kocha amekaa na wachezaji wake sehemu japo kuwaweka sawa kisaikolojia ili waingie uwanjani wakiwa na fikra mpya lakini hata mazoezi mepesi na magumu ya kuweka mwili sawa ya nje ya uwanja sikuwahi kusikia yanga yenye makocha watatu wazungu imefanya programu kama hiyo zaidi ya kwamba wanamaliza mazoezi wanakwenda kulala kambini na UNK yanga UNK kutoka misri tayari ilikuwa na uhakika mkubwa wa ubingwa wa bara nilitegemea kuona mabadiliko makubwa kwenye kikosi kitakachocheza dhidi ya toto africa na kagera sugar lakini matokeo yake asilimia kubwa ya wachezaji UNK kutumia kocha ni walewale hilo UNK UNK wachezaji kwenye hali nzuri zaidi hata kisaikolojia UNK na UNK mtu kama athuman idd anasumbuliwa na malaria leo wakati UNK kumuona akiwa fiti asilimia mia moja safari ya kutoka dar es salaam mpaka mwanza ni ndefu hasa kwa kuzingatia na mabadiliko ya hali ya hewa na kwa kutegemea kwamba yanga ilikuwa imetokea misri siku si nyingi zilizopita licha ya kwanza kocha alitaka ushindi lakini uamuzi wake UNK mara mbili kwa vile hata UNK kikosi cha pili na yanga ikatoa japo sare haikuwa na hasara ina mechi nyingi mkononi ligi ya mabingwa ni muhimu zaidi ya bara kwa hayo yote ndio maana bado napata ugumu UNK redio na kusikia kauli ya kiongozi ikisema mabao nne sifuri milioni nakwambia yapo vijana wako sawasawa sana na kila kitu UNK UNK UNK nini wanachama baada ya dakika tisini kumalizika na bahati mbaya mabao yasitoshe au pengine kibao UNK kama watanzania UNK kuona yanga ikisonga mbele kimataifa kwa vile ni heshima ya nchi lakini mazingira maandalizi yanatia wasiwasi pengine UNK mungu tusubiri maajabu wanayoweza kufanya wachezaji uwanjani kama UNK wiki hii lakini kila mmoja anapaswa kuelewa kwamba mchezo huo ni mgumu na unaohitaji mahesabu makubwa na mashabiki wanapaswa kutoa sapoti kwa wachezaji wao muda wote wa mchezo kwa kutegemea lolote lile linaweza kutokea na wawe tayari kukubaliana nalo ndio maana argentina yenye wachezaji ghali wenye vipaji na wazoefu kama carlos UNK wa manchester united imefungwa mabao sita moja na bolivia juzi katika mechi ya kuwania kufuzu kombe la dunia ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu imewadia maneno mengi yalikuwa ni kama hadithi lakini watanzania wapenda soka watapata nafasi ya kuona na kuthibitisha kwa macho yao kwamba ukweli ni upi yanga inaweza kufanya nini mbele ya wababe al ahly kwenye soka lolote linawezekana UNK yanga haiwezi kufanya lolote inawezekana na haitakuwa maajabu lakini tusione leo jumamosi ni zamu ya jangwani kuinyanyasa al ahly kweli ni wababe na wako makini kweli hivyo kazi ipo kila la kheri yanga kwa kuwa mna bendera ya taifa letu mkononi hoja ya yangu ni upande wa viongozi wa klabu ya yanga nafikiri hili litakuwa ni msisitizo tu kwamba kila mtu afanye kazi yake na kuwa makini zaidi badala ya bla bla nyingi ambazo zinalenga kuonyesha fulani anajua kati ya viongozi UNK katika soka ni lucas kisasa kwa kuwa kwanza ni mmoja wa waandishi wakongwe na UNK ambao mimi hata robo UNK UNK kwenye uandishi nafurahi kukutana naye na kujifunza mengi nafasi UNK lakini wiki iliyopita UNK akihojiwa redioni yalikuwa mahojiano mazuri na UNK ingawa nilishangazwa na uamuzi wake wa kuwashambulia wachezaji moja kwa moja ingawa UNK kidogo kwa kusifia waungwana nimewaeleza kwamba kusisitiza jambo kwa ajili ya kujenga ni vizuri sana wachezaji lazima pia UNK nafasi yao na kujua mambo kadhaa kwamba wako uwanjani inakuwaje na ugumu wa kazi yao baada ya yanga kufungwa kule misri kwa mabao tatu sifuri nilisikia maneno mengi sana likiwamo lile la kwamba UNK bao la pili kwa kumtemea flavio amado aliyefunga bao la pili siku chache baadaye kupitia mtandao UNK kuona mabao hayo UNK yanga na hadi sasa UNK na UNK UNK yenye video ya mabao hayo nilielezwa kwamba mabao yote UNK kwa amir maftah lakini baada ya kuangalia kweli nikagundua mambo mengi sana ambayo nafikiri kama kocha dusan kondic angekuwa hajaacha UNK za kusema leo nazungumza kesho sitaki basi angekuwa na nafasi nzuri ya kuelezea sidhani kama kuna tofauti ya mie UNK kwenye video hiyo na katibu mkuu wa yanga lucas kisasa aliyekuwa uwanjani maana nilisikia akiwashutumu wachezaji hao kwamba walisababisha mabao hayo ingawa UNK kipa mserbia obren curkovic alijitahidi sana bao hilo la pili cirkovic aliruka juu na kuondoa mpira kichwani kwa mtu ambaye alikuwa anafunga lakini mpira huo UNK sehemu aliyokuwa flavio ambaye alikuwa peke yake bila beki yoyote na kufunga kirahisi jiulize nani alikuwa UNK mshambuliaji huyo hatari kwa vichwa na UNK afunge kirahisi cirkovic aliokoa mpira kichwani kwa mtu lakini maftah alikuwa na wakati mgumu kwa kuwa kiungo cha waarabu hao kilikuwa na nguvu sana wengi walijaa upande wake na aliyekuwa anapiga krosi zile ni beki wa kulia wa al ahly na si wingi UNK yeye maana yake aliyekuwa anacheza wingi upande wake ndiye alipaswa UNK hawezi kukaba watu wawili hata bao la tatu linaonyesha nadir cannavaro alikuwa katikati ya flavio na mohammed hassan hivyo wengine walizubaa kwa kifupi yanga walizidiwa upande wa kiungo kitu ambacho leo kinatakiwa kuwa ngao na kucheza kwa uhakika na kujiamini kama kiongozi UNK akimlaumu mchezaji wake siku mbili kabla ya mechi ya marudiano huoni ni hatari ya kuwatisha wengine kabla ya mechi hiyo jamani lazima tuwe makini sana na hayo huu ni wakati wa yanga kujengwa zaidi kisaikolojia lakini pia kulaumiana sana si kujenga na kiongozi ni mzazi ambaye nafikiri anapaswa kuchukua nafasi ya kuzungumza zaidi na wachezaji wake uso kwa uso kuliko UNK na kuwajengea chuki na mashabiki inawezekana kisasa kasema hivyo kwa kuwa anaamini hiyo ni hali halisi lakini kumbe anajenga chuki kubwa kati ya mashabiki na wachezaji hao kwa kuwa mapokeo yanaweza kuwa tofauti wachezaji kutokuwa kwenye hali ya kujiamini ni UNK timu kwenye hili bado busara zaidi inahitajika kwa faida ya timu zenu na kuonyesha kweli nyie ni viongozi amani kwenu wasomaji wangu wapendwa sina uhakika ni wasomaji wangu wangapi wamekuwa wakifuatilia kwa karibu namna waamuzi wa soka wa kitanzania UNK michezo mbalimbali ikiwemo ile ya ligi na ile ya kirafiki mara kwa mara nimekuwa nikijiuliza maswali mengi UNK uwezo na ufahamu wa waamuzi wengi wa soka nchini tanzania na nimekuwa UNK majibu sahihi UNK kila unapoangalia mchezo wa soka UNK viwanjani kwetu UNK na matukio na maamuzi ambayo hayalingani kabisa na madaraja vya waamuzi hao kuna maamuzi mengi sana ambayo hufanywa na waamuzi wetu viwanjani ambayo kwa kiasi kikubwa huwa ni ya kukatisha tamaa kabisa mpira wa miguu kama ilivyo michezo mingine UNK inaongozwa na mambo mawili makuu katika kusimamia mashindano yake nayo ni kanuni na sheria kanuni ni taratibu ambazo zimewekwa katika kuhakikisha kwamba usajili wa wachezaji uhalali wa wachezaji katika klabu UNK katika msimu husika na mwenendo mzima wa uendeshaji wa mashindano katika ngazi husika unakuwa UNK na kuzingatiwa na kila klabu shiriki kanuni za mashindano ya ngazi fulani ni jambo ambalo kwa kiasi kikubwa UNK na taasisi inayosimamia mashindano hayo katika ngazi husika hii yaweza kuwa ni chama cha soka cha wilaya mkoa na katika ngazi ya taifa shirikisho la soka sheria ni taratibu madhubuti zilizowekwa ili kuufanya mchezo UNK kwa misingi ya haki kwa washiriki wote wa mchezo huo nazo husimamiwa na mwamuzi wa kati wa mchezo akisaidiwa na wale UNK wake wawili UNK UNK sina uhakika ni wangapi miongoni mwa wale UNK viwanjani kulitazama soka letu la kimashindano huridhika na viwango vya waamuzi wa michezo hiyo mara nyingi waamuzi wengi wamekuwa na tabia ya kufanya maamuzi ya kibabe bila kuzingatia haki ikitendeka kwa pande zote mbili UNK tatizo hili kwa kiasi kikubwa limesababisha UNK mengi kutoka kwa washiriki wa mashindano mbalimbali yakiwemo ya ligi kuu bara ligi daraja la kwanza na hata mashindano yale UNK ya kuibua vipaji yaendayo kwa jina la copa coca cola swali kwamba waamuzi wa tanzania hawajui au hawawezi nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu sana nimekuwa UNK kuona kwamba waamuzi wetu hawapati fursa ya kuchezesha fainali za michezo mbalimbali ya bara la afrika achilia mbali fainali za kombe la dunia kuna mwaka fulani mwamuzi mmoja wa tanzania alipata fursa ya kuwa miongoni mwa wale waliochezesha fainali za mataifa ya afrika mwamuzi huyo alichezesha mechi moja tu katika mashindano hayo kwa kuwa hakuweza kupangiwa mechi nyingine tena baada ya kuboronga katika mechi ya kwanza kwa kutumia vibaya kadi nyekundu tangu mwaka huo hadi sasa UNK kutazama pambano lolote la ngazi ya fainali za mashindano ya bara la afrika UNK na mtanzania miongoni mwa uchezeshaji UNK katika siku za hivi karibuni ni ule wa mwamuzi aliyechezesha mechi kati ya yanga na kagera sugar iliyochezwa kwenye uwanja wa bibi jumamosi ya juma UNK mwamuzi huyo kutoka shinyanga anayeitwa mabruk alionyesha udhaifu mkubwa sana katika maamuzi yake pale UNK adhabu ya kadi ya njano UNK iddi chuji wa yanga kwa kosa la kumpiga teke mchezaji wa kagera sugar kosa ambalo lilitakiwa UNK adhabu ya kadi nyekundu hili ni moja tu kati ya maamuzi mengi sana yenye utata ambayo huyo bwana mabruk aliyafanya maamuzi ambayo hata kama inawezekana kabisa aliyafanya kutokana na ufahamu wake mdogo wa sheria za soka ama kwa bahati mbaya kutokana na upungufu wa kibinadamu wengi wetu UNK kitendo kile na vitendo vichafu michezoni ambavyo mara nyingi vinafanywa na wale wenye nguvu ya pesa endapo hali hii ya maamuzi tata ya marefa wetu katika soka itaendelea daima tutakuwa na wawakilishi wa taifa ambao ubora wao ni hafifu na hivyo kuishia kwenye hatua za mwanzo tu za mashindano ya kimataifa pamoja na kwamba tumekuwa UNK lawama nyingi sana kwa makocha wetu na wachezaji wetu kuhusu ufanisi wao ni vyema pia UNK suala la waamuzi wetu ili UNK tatizo lao ni lipi je hawajui kuchezesha au hawana uwezo wa UNK UNK kuamini kwamba moja kati ya haya mawili ni sahihi amani kwenu winga wa yanga mrisho ngassa huenda akaondoka nchini wiki ijayo kwenda uingereza kwa ajili ya kufanya majaribio kwenye klabu ya west ham united ngassa anaomba mungu asipate majeraha katika mechi ya leo jumamosi dhidi ya al ahly ili asafiri salama na tayari amepata vibali vyote vya kusafiria bado uongozi wa simba UNK aliko mshambuliaji wake raia wa nigeria orji obinna ingawa wamekuwa wakidai kwamba yupo kwao na anakabiliwa na matatizo ya kifamilia lakini habari za ndani zinadai hawana mawasiliano kabisa na mshambuliaji huyo mrefu uongozi wa mtibwa umekuwa na uhusiano wa karibu zaidi na wachezaji katika siku za hivi karibuni lengo ikiwa ni kuhakikisha hakuna msaliti na wanashinda mechi zote zilizosalia ili kwenye sambamba na simba na kagera sugar zinazowania nafasi ya pili mwenyekiti wa prisons salum chambuso amesema kuwa na wachezaji wengi wakongwe si hoja na uwezekano wa kutetea nafasi yake ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu bara bado upo kwani yeyote UNK naye katika mechi zilizobaki UNK ingawa inacheza na prisons wiki ijayo jijini dar es salaam lakini wachezaji wanaonekana kupuuzia na kuelekeza akili zao zaidi ya mechi ya mtibwa sugar aprili kumi na nne kwenye uwanja wa manungu turiani mkoani morogoro benchi la ufundi UNK kusajili zaidi nyota chipukizi na mastaa wachache katika usajili mpya baada ya kumalizika kwa ligi kuu tanzania bara ambayo wana nafasi ya UNK imebainika uongozi umeamua kuvunja mkataba na kocha wake neider dos santos na kumpa kila kilicho chake baada ya kutoridhishwa na kiwango cha soka UNK habari za ndani zinadai kuwa uongozi UNK hasa baada ya kutumia mamilioni ya shilingi kwenye usajili mdogo lakini timu imeendelea kuwa UNK wachezaji na uongozi UNK nguvu nyingi kuhakikisha kwamba simba UNK salama kwenye uwanja wa kaitaba ikiwa ni mikakati yake ya UNK nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu tanzania bara mchezaji wa polisi dodoma john kanakamfumu ameomba sapoti kubwa kwa mashabiki wa dodoma hasa katika mechi nne zilizobaki na amewaomba UNK mechi UNK dhidi ya prisons wiki iliyopita moro united inacheza na mtibwa sugar leo jumamosi kwenye uwanja wa manungu turiani ikiwa ni moja kati ya mechi zake nne UNK kushinda kama inataka kusalia kwenye ligi kuu ya bara msimu huu ingawa polisi ya morogoro kiwiliwili chake UNK kuondoka kwenye shimo la kushuka daraja bado ina mtihani mgumu leo jumamosi itakapokuwa katika uwanja wa jamhuri mjini dodoma kuikabili polisi ya huko ambayo na yenyewe mambo yake si mazuri villa squad inacheza na toto africa kesho jumapili jijini dar es salaam lakini benchi lake la ufundi UNK jinsi timu hiyo inavyoweza kusalia kwenye ligi kuu tanzania bara msimu huu ingawa mechi zake zote nne zilizosalia inacheza jijini dar es salaam kuwasili kwa alan shearer kama mwokozi kwa newcastle united UNK kwa makini na chelsea wakati timu hizo UNK uwanjani kupambana katika uwanja wa st james park leo jumamosi ushindi kwa chelsea utaifanya timu hiyo UNK vinara manchester united na kuwa nyuma yao kwa pointi moja manchester united itacheza na aston villa kesho jumapili unaweza kuangalia hali ilivyo newcastle alan shearer ni kama mungu wao UNK wachezaji na UNK alisema kiungo wa chelsea frank lampard hiyo ni changamoto kwetu tuliwahi kupatwa hali kama hiyo wakati UNK kucheza na manchester city ikiwa ndio kwanza UNK robinho inabidi tupambane na mabadiliko na kufanya vema tunachohitaji ni pointi muhimu shearer alikuwa UNK enzi zake za kutandaza soka na ujio wake wa kuinoa newcastle UNK ari kwa wachezaji na mashabiki newcastle inahitaji UNK kutoka katika usingizi mzito ambao UNK tangu mwanzo wa msimu hivyo kujikuta katika timu tatu za mkiani katika mechi kumi na mbili ilizocheza newcastle ilishinda mara moja tu tena dhidi ya kikosi cha mkiani cha west bromwich albion na dalili ya kushuka daraja iko wazi shearer ambaye ni kocha mpya wa nne msimu huu katika kikosi cha newcastle ana mechi nane tu za kuhakikisha timu inabaki katika ligi kuu england chelsea ambayo karibu kikosi chote cha kwanza kilikuwa katika mechi za kimataifa wikiendi iliyopita bado inakumbuka kipigo cha bao moja sifuri kutoka kwa tottenham hotspur na kushindwa kuwakimbiza mancheter united kwa karibu mabingwa wa ligi kuu england manchester united wanakumbuka kipigo cha mabao nne moja kutoka kwa liverpool na baadaye kutandikwa mabao mbili sifuri na fulham timu hiyo ipo juu kwa pointi moja dhidi ya liverpool lakini ina mechi moja mkononi na itakuwa juu zaidi iwapo liverpool itashinda au UNK sare dhidi ya fulham leo jumamosi timu inayoshika nafasi ya nne arsenal ikiwa na pointi tatu juu ya aston villa itakuwa nyumbani kupambana na manchester city leo jumamosi baada ya kumalizika kwa mapumziko ya kupisha mechi za kimataifa barcelona inarudi uwanjani kusaka upenyo zaidi wa kujikita kileleni wakati itakapopambana na real valladolid kwenye mechi ya ligi kuu hispania kesho jumapili vinara hao wanaongoza kwa pointi sita zaidi ya real madrid na wamebaki na mechi kumi mkononi barcelona pia imeingia katika fainali ya michuano ya kombe la mfalme na inatarajiwa kucheza na athletic bilbao mei kumi na tatu jumatano ijayo kikosi hicho kitawakaribisha bayern munich katika mechi ya kwanza ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya kama watafanya vema katika safari yao ya kuelekea kwenye fainali ya ligi hiyo huko rome timu hiyo UNK kucheza jumla ya mechi kumi na sita kabla ya kumalizika kwa mwezi ujao hatuko tayari kufanya vibaya wiki hii alisema mchezaji wa barcelona silvinho ambaye pia ni beki wa brazil tunataka kufika mbali kwa kadri UNK tupo katika harakati za kunyakuwa ubingwa mwaka huu naye kocha pep guardiola atakuwa na amani zaidi kwa sababu beki carles puyol na viungo andres iniesta na yaya toure wataingia uwanjani kupambana na wapinzani wao wanaoshika nafasi ya tisa mabingwa real madrid wana matatizo zaidi kwa sababu wanasaka ubingwa wa ligi kuu pekee na kikosi hicho kimekuwa kikifanya juhudi kubwa ili kupanda kwa kasi katika mechi kumi na tatu za ugenini real imeshinda mara kumi na mbili leo jumamosi UNK malaga ambayo bado UNK baada ya kutandikwa mabao sita sifuri na barcelona wiki mbili zilizopita itakuwa ni mechi nzuri kwa mashabiki na watu wote tunataka kuondokana na mzimu wa kufanya vibaya tulioupata katika uwanja wa nou camp alisema beki wa malaga UNK kikosi kinachoshika nafasi ya tatu cha sevilla kitakuwa na mtihani wakati itakapochuana na recreativo huelva leo jumamosi na villarreal inayoshika nafasi ya nne itaitembelea UNK huko mkiani nako kuna kazi ya kukwepa kushuka daraja espanyol ambayo inatafuta pointi nane ili kuondoa wasiwasi itaikaribisha deportivo UNK kesho jumapili numancia ipo juu ya espanyol na inasaka pointi nne ili iondokane na mzimu wa kushuka daraja kesho jumamosi numancia itakwaana na real UNK kocha wa betis paco chaparro amepata presha kutoka kwa mshabiki baada ya kucheza mechi sita bila kuibuka na ushindi chaparro atakuwa nasi mpaka mwisho wa msimu na mashabiki wanatakiwa wampe moyo zaidi wanapaswa kukumbuka kipindi cha nyuma wakati UNK alisema rais wa betis pepe UNK beki wa inter milan maicon ametoa pigo kwa timu yake inayoongoza ligi kuu italia serie a baada ya kuumia kwenye mechi ya kufuzu fainali za kombe la dunia ishirini moja sifuri beki huyo wa kutumainiwa aliumia wakati kikosi chake cha brazil kilipopambana ecuador na kutoka sare ya bao moja moja jumapili iliyopita maicon atakuwa nje ya ligi kuu mpaka mwisho wa msimu na jambo hilo UNK raha kocha jose mourinho ambaye UNK kikosi chake katika mechi dhidi ya udinese kesho jumapili kikosi cha jose mourinho kinaongoza ligi kwa pointi saba na kimebakiza mechi tisa kabla ya kumalizika kwa msimu lakini kitalazimika kupambana na juventus inayoshika nafasi ya pili aprili kumi na nane wakati huo mchango wa maicon UNK sana uwezo wake wa kuzuia mipira umemfanya nyota huyo kuwa mmoja wa mabeki bora wa brazil na huenda akawa beki bora duniani zlatan ibrahimovic UNK katika vichwa vya habari vya magazeti kwa kuwa amepachika mabao kumi na tisa lakini maicon ametengeneza nafasi nyingi katika mechi dhidi ya sweden huku UNK mipira mingi ya hatari kwenye michuano mbalimbali kinda UNK UNK ambaye alitolewa katika kikosi cha vijana na kutinga katika timu ya wakubwa huenda akachukua nafasi hiyo lakini huenda akakaa benchi iwapo kiungo javier UNK atarudi nyuma ingawa inter milan ina matatizo lakini hayawezi kulinganishwa na udinese ambayo iliongoza ligi hatua za awali lakini kwa sasa ina hali mbaya antonio di natale atakuwa nje msimu mzima baada ya kuumia goti wakati kikosi chake cha italia kiliposhinda mabao mbili sifuri dhidi ya UNK jumamosi iliyopita na mchezaji mwenzake wa udinese UNK sanchez hataingia uwanjani kesho jumapili sambamba na beki UNK UNK kwani UNK nyota kutoka argentina diego milito aliumia katika mechi ya kimataifa na hataingia uwanjani wakati kikosi chake cha genoa UNK na UNK fiorentina UNK nafasi ya kushiriki ligi ya mabingwa ulaya na itaingia uwanjani bila mshambuliaji adrian mutu katika mechi dhidi ya UNK mchezaji huyo aliumia mguu huko romania nacho kikosi cha ac milan kinachoshika nafasi ya tatu kitakwaana na timu dhaifu ya UNK ambayo ina wasiwasi wa kushuka daraja kesho jumapili juventus ambayo UNK na chievo kesho jumapili itakuwa na amani kwa kuwa wachezaji wake walitoka katika mechi za kimataifa bila matatizo kitendo cha karim benzema kupunguza kasi kimesababisha olympique lyon ipate shaka kwenye ligi kuu ufaransa ligue moja na mabingwa hao wa mara saba leo jumamosi watatupa karata yao nyingine watakapopambana na vibonde le UNK nyota huyo kutoka ufaransa amefunga mabao mawili tu katika mechi kumi za ligi kuu mwaka huu na lyon ilikuwa mbele kwa pointi sita wakati benzema UNK nyavu kwa mara ya mwisho februari ishirini na moja mwaka huu dhidi ya nancy kikosi hicho kinachonolewa na claude UNK kina pointi hamsini na sita baada ya kucheza mechi ishirini na tisa na sasa ipo juu ya olympique marseille inayoshika nafasi ya pili kwa pointi moja na girondins bordeaux iliyo kwenye nafasi ya tatu ipo nyuma kwa pointi mbili toulouse lille na paris st germain ambazo zipo nyuma kwa pointi nne pia ni mwiba mkali kwa lyon lakini bernard lacombe ambaye UNK lyon amesema kwamba benzema UNK wakati mgumu benzema hawezi kuongelea suala hilo lakini kila kitu kiko wazi lacombe aliliambia gazeti la kila siku la ufaransa l UNK wiki hii anatakiwa UNK mambo yanayomzunguka na kufikiria mechi tu mambo mengine yatakwenda sawa benzema alionyesha mchezo mbaya mbele ya mashabiki themanini sifuri sifuri sifuri kwenye uwanja wa de france wakati kikosi cha taifa lake kiliposhinda bao moja sifuri dhidi ya lithuania kwenye mechi ya kuwania kufuzu fainali za kombe la dunia ishirini moja sifuri si watu waliokuwa uwanjani pekee ambao waliona uwezo mbaya bali wapenzi wote wa soka UNK mechi hiyo kupitia televisheni lakini lacombe anaamini kwamba benzema atarudi katika hali yake ya kawaida nafahamu kwamba atarudi katika hali yake ya kawaida tunahitaji juhudi zake hatuwezi kuwa mabingwa wa ufaransa bila mchango mkubwa wa benzema alisema mechi ya leo jumamosi itakuwa muhimu kwa benzema ambaye anadhaniwa kuwa atatumia nafasi hiyo kuonyesha uwezo wake huku bordeaux ikichuana na kikosi dhaifu cha nancy toulouse ambayo inasubiri UNK na mpachika mabao namba moja wa ligue moja andre UNK UNK itaitembelea UNK iliyo katika nafasi ya pili kutoka mkiani leo jumamosi vikosi vingine UNK ubingwa UNK na kazi mpaka kesho jumapili kikosi cha paris st germain UNK kufuta nuksi ya kufungwa na marseille pia UNK psg itakwaana na UNK marseille itakuwa katika uwanja wa st etienne kufunga hesabu ya mechi za wikiendi hii ilianza kutupwa nje mundu ya zanzibar tena kwa kipigo cha UNK ikafuata prisons ya mbeya kabla ya miembeni ya visiwani na yenyewe kuzama kwenye shimo hilohilo na kuacha timu nyingine zikiendelea na safari ya michuano ya kimataifa inayoandaliwa na shirikisho la soka afrika je leo jumamosi ni yanga mashabiki mitaani wanadai kwamba wameunga mkono kauli zilizotolewa na wachezaji wao kwamba ni pambano la kufa au kupona mpaka kieleweke wawakilishi hao pekee wa tanzania waliosalia kwenye ligi ya mabingwa afrika UNK na al ahly ya misri kwenye uwanja wa taifa katika mchezo mgumu ambao yanga iliyosajili kikosi cha shilingi milioni hamsini sifuri ikitakiwa kushinda mabao nne sifuri ili kusonga mbele au mabao tatu sifuri ili juma kaseja ajiandae kupangua penalti yanga ambayo imeshatwaa ubingwa wa tanzania bara msimu huu na kujihakikishia kushiriki tena ligi ya mabingwa afrika mwakani itapaswa kutuliza akili mbele ya maelfu ya mashabiki na kutibua rekodi ya waarabu hao ambao wamekuwa UNK timu za tanzania mara kwa mara washambuliaji boniface ambani bernard mwalala jerry tegete mrisho ngassa na mike baraza wana deni kubwa kwa mashabiki wao la kuhakikisha UNK kipa ramzy saleh ambaye ni mpalestina UNK mechi ya awali jijini cairo wiki tatu zilizopita kocha wa yanga mserbia kondic dusan baada ya mchezo wa awali aliwaambia viongozi wake yanga haiwezi kuifunga al ahly hata kwenye mchezo wa marudiano dar es salaam lakini mashabiki na wachezaji wameonekana kutofautiana na kauli ya bosi huyo ambaye amekuwa kimya akifanya mikakati ya UNK wale tunaweza kuwafunga ni mipango tu pamoja na kutuliza akili za wachezaji wetu wacheze mpira anasema jerry ambaye ni maarufu kama rais wa jukwaa kuu ya yanga kwenye uwanja wa uhuru lakini washambuliaji ngassa baraza na ambani walisema kwa nyakati tofauti wiki hii kwamba kuwafunga mabingwa hao watetezi wa michuano hiyo inawezekana kwa vile hakukuwa na cha ajabu kwenye mchezo wa awali ugenini sisi tumejiandaa kucheza vizuri kuhakikisha kwamba tunashinda na kusonga ingawa najua kwamba si kazi rahisi mchezo utakuwa mgumu sana baraza ambaye ni mkenya mkongwe na mzoefu zaidi alisema wiki hii kwa mujibu wa daktari wa yanga nassoro matuzya kiungo athuman iddi ndiye ambaye yuko kwenye hatihati ya kutocheza kutokana na kusumbuliwa na malaria lakini wachezaji wengine wana afya njema athuman idd ana tatizo la malaria lakini hali yake inaridhisha na kwa upande wa wachezaji wengine wako sawasawa kabisa kwa mchezo sina wasiwasi na yeyote anasema nassoro ambaye anafanya kazi kwenye hospitali ya wilaya ya mwananyamala jijini dar es salaam yanga ambayo inatumia mfumo wa nne nne mbili itamsimamisha langoni kipa wake mserbia obren cirkovic huku kwenye safu ya ulinzi akicheza shadrack nsajigwa george owino wisdom ndhlovu na nadir cannavaro kwenye kiungo godfrey bonny ataanza na nurdin bakar endapo hali ya athuman UNK huku ngassa mwalala ambani na shamte ally tegete wakianza katika ushambuliaji yanga ambayo UNK kwenye hatua ya mtoano na kukwaana na ahly baada ya kuitoa etoile ya comoro kwa jumla ya mabao kumi na nne moja imecheza mechi tatu kwenye michuano hiyo ikiwa imeshinda mbili na kufungwa moja timu hiyo ya jangwani yenye rekodi ya kutwaa ubingwa wa tanzania mara ishirini na moja ndio ilikuwa klabu ya kwanza ya bara kufuzu hatua ya nane bora mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nane al ahly iliyotwaa ubingwa wa afrika mara sita ikiwa UNK mwaka mia moja na tisini saba sasa ipo chini ya mwenyekiti hassan UNK na ilitua dar es salaam jumatano mchana wiki hii huku kocha wake mreno manuel jose akisisitiza kuwa amekuja tanzania kushinda na si vinginevyo na anakiamini kikosi cha wanaume kumi na tisa UNK nao na kuwalaza kwenye hoteli ya kifahari ya UNK pick akiwa amekataa ile ya durban UNK na wenyeji wao waarabu hao wanaoongoza ligi ya misri kwa pointi arobaini na nane ikiwa na tofauti ya moja na pointi arobaini na saba za yanga imekuja na makipa ramzy saleh amir abdel hamid ahmed UNK mabeki ni mohamed samir wael gomaa ahmed el saied shady mohamed ambaye ni nahodha huku viungo wakiwa mohamed aboutrika mohamed barakat ahmed fathi gilberto saied moawad UNK UNK hossam UNK na ahmed UNK wakati washambuliaji ambao ndio waliopewa jukumu la kuisumbua beki ya yanga na kuhakikisha UNK ni ahmed belal UNK hosni flavio na hani el UNK endapo yanga itawafunga ahly iliyotwaa ubingwa huo mara sita itakwaana na as douanes ya senegal au kano pillar fc ya nigeria april kumi na saba kumi na tisa timu hizo zilitoka sare ya bao moja moja katika mchezo wa awali jijini lagos na wikiendi hii zinarudiana UNK lakini wataalamu wa masuala ya soka wameshauri wachezaji wa timu hiyo kucheza kwa umakini na kasi kubwa pamoja kutulia wanapofika langoni timu ya taifa ya vijana ya kriketi ipo katika maandalizi makubwa kujiandaa na michuano ya vijana ya afrika mashariki na kati itakayoanza aprili ishirini na tatu nchini zambia kocha wa timu hiyo UNK waziri amesema timu hiyo imefanya mazoezi kwa wiki nne sasa ili kufanya vizuri katika michuano hiyo tunajua tunakwenda kupambana na nchi nyingi hivyo ni lazima tujiandae kwani maandalizi mazuri ndiyo UNK ushindi mzuri martin dzuwa ambaye ni kocha wa timu ya vijana ya tenisi itakayoshiriki mashindano ya kimataifa ya tenisi jijini casablanca morocco amesema timu yake ipo kamili kwa ajili ya michuano hiyo timu hiyo ya wachezaji watano inaondoka nchini nairobi leo jumamosi UNK kambi ya wiki mbili kwenda morocco kwa shirika la ndege la qatar bondia mada maugo atapanda ulingoni aprili ishirini na tano kuzipiga na kalama nyalawila katika pambano la kuwania mkanda wa taifa unaotambuliwa na kamisheni ya ngumi za kulipwa mratibu wa pambano hilo UNK UNK amesema bingwa wa pambano hilo atapambana na bondia francis cheka wa morogoro julai ndio tunaanza maandalizi kwa ajili ya pambano hilo na tunatumaini litakuwa kali kutokana na historia ya mabondia wenyewe mashindano ya taifa ya riadha yatafanyika juni jijini arusha katibu mkuu wa chama cha riadha tanzania suleiman nyambui amesema mikoa yote inatakiwa kujiandaa kikamilifu ili kuleta ushindani mikoa ianze kujiandaa sasa ili mashindano yawe na ushindani mkubwa na kupata wanariadha mahiri watakaoiwakilisha nchi kwenye michuano ya kimataifa chama cha judo tanzania kinasaka shilingi milioni kumi kwa ajili ya safari ya timu ya taifa ya mchezo huo itakayoshiriki michuano ya afrika itakayofanyika aprili ishirini na saba hadi mei mosi nchini mauritius katibu wa jata kashinde shaban amesema tayari timu hiyo imeanza mazoezi kwenye shule ya sekondari kisutu ikiwa chini ya makocha wazawa wachezaji wa yanga UNK kicheko baada ya kocha wao kondic dusan kumwambia yusuf manji kwamba klabu ya vancouver white caps ya canada inamtaka beki hamis yusuf kondic alitoa kauli hiyo juzi alhamisi jioni kwenye kikao cha faragha baina ya mdhamini huyo na wachezaji kilichofanyika kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam baada ya mazoezi ya mwisho kabla ya kuivaa al ahly leo jumamosi vancouver ilikuwa nchini hivi karibuni kwa ziara ya mechi za kirafiki na ilicheza mechi tatu dhidi ya yanga simba na taifa stars lakini katika mechi dhidi ya yanga yusufu hakucheza wala kukaa benchi ndio maana wachezaji hao UNK kicheko kondic alivyokuwa akisisitiza kwa masihala kuwa timu hiyo ya canada inamtaka yusuf mchezaji huyo akionekana asiye na furaha kwa kauli hiyo alijibu mbele ya manji kuwa hakuna kitu kama hicho kwa vile hajawahi kupewa nafasi ya kucheza wala UNK hata kwa jina habari kutoka kwa rafiki wa karibu wa yusuf zinasema kuwa beki huyo hana raha kuwepo kwenye timu hiyo na huenda akaondoka msimu ujao akipata timu kocha wa simba patrick phiri amesifu uwezo ulioonyeshwa na kipa wa timu hiyo ali mustafa barthez na kwamba atakuwa tishio siku zijazo phiri alisema barthez ameonyesha kiwango cha juu katika mechi zote UNK na kusisitiza kuwa ataendelea kumpa mechi nyingi zaidi ili azidi kuwa bora UNK kwa kweli ni kipa mzuri na ambaye UNK maelekezo yangu ana nidhamu uwanjani na nje ya uwanja UNK karibu mechi tatu amedaka vizuri na hata ukimuangalia ameonyesha utofauti mkubwa alisema phiri yupo juu nitaendelea kumpa mechi nyingi zaidi ili azidi kuwa bora nitaendelea kuwanoa makipa wangu wote ili wawe na viwango sawa kabla ya kuanza kwa msimu ujao wa ligi akizungumzia uamuzi wake wa kumuweka benchi beki kisiki wa timu hiyo kelvin yondan vidic phiri alisema kila mchezaji ana umuhimu wa kucheza katika timu hiyo kila mchezaji ana nafasi simba na kelvin ni beki mmoja imara sana mechi ya mtibwa alianza hivyo hapo najaribu kumpa nafasi kila mmoja nione UNK ligi karibu inamalizika hivyo najaribu kujenga timu taratibu nione nani na nani wakicheza pamoja wanaelewana lakini si kwamba atakaa benchi milele kocha wa moro united fred felix minziro amesema majaliwa ya timu hiyo anamwachia mungu ila leo jumamosi UNK kwenye uwanja wa manungu turiani mkoani morogoro watakapopambana na mtibwa sugar moro united ipo nafasi mbaya ya kushuka daraja kutokana na kuwa nafasi ya pili kutoka mwisho kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi kumi na sita na sare waliyopata dhidi ya jkt ruvu jumanne imezidi kuwaweka pabaya minziro alisema mustakabali wa timu yake kwa sasa UNK mikononi mwa mungu na yeye pekee ndiye anajua kama timu hiyo itashuka daraja au kubaki ligi kuu bara msimu ujao mambo ni magumu sana kwani kila UNK iwe hivi mambo yanakuwa sivyo hivyo UNK mungu ndiye atajua sisi tutakapokuwa alisema beki huyo wa zamani wa yanga tunajua UNK na mechi chache sana na hizo zote tunahitaji kushinda lakini hiyo yote ni mipango ya mungu kama tutafanikiwa kushinda mechi zote au la mnigeria wa simba emeh izuchukwu ameiambia kagera sugar kwamba tulichoifanyia azam ndio UNK kurudia kwenu simba ambayo ina pointi thebathini ikishikilia nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu bara inacheza na kagera sugar kesho jumapili katika uwanja wa kaitaba mjini bukoba ambako hali ya hewa ni ya mvua za kushtukiza kama ilivyo katika jiji la dar es salaam emeh ambaye ni tegemeo kwenye safu ya ushambuliaji ya simba aliiambia mwanaspoti kuwa hawahofii timu yoyote na UNK mechi zote kwa umuhimu sawa hizi mechi zilizobaki ni ngumu sana na ambazo inahitajika akili ya mpira na maamuzi ya haraka alisema UNK hatuwezi kudharau timu au mchezo wowote ule sisi UNK kuifunga azam tena kwa mabao mengi kwa vile imetusaidia tunakwenda kucheza na kagera tukiwa na nguvu kubwa tutatumia uzoefu wetu kuhakikisha tunawafunga na tulichoifanyia azam nafikiri ndio kitakachotokea hata kwa kagera si timu ngumu sana ipo sawa na hizi nyingine lakini mchezo wao UNK kwa umuhimu mkubwa sana lakini kocha msaidizi wa kagera sugar mlage kabange alisema kuwa amekiandaa vizuri kikosi chake chenye pointi ishirini na nane kukabiliana na simba ambayo anadai UNK mchezo huo utaanza kutoa uelekeo kwa timu itakayotwaa nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kwani timu hizo UNK vikali mserbia huyo amewaambia UNK mabaya waangalie rekodi yake tangu atue yanga hasa msimu huu wa ligi kuu bara na ligi ya mabingwa afrika kauli ya kocha huyo imetoka siku chache baada ya kuwepo kwa tuhuma kuwa alihusika moja kwa moja na matokeo mabovu ya mechi ya awali ya ligi ya mabingwa dhidi ya al ahly jijini cairo na kufungwa mabao tatu sifuri kila kitu kibaya UNK kondic tu lakini mambo yakiwa mazuri huwezi kusikia hata mmoja UNK kwa kumtaja kondic hili ni tatizo kubwa alisema bosi huyo wakati UNK mkataba nilisema kwamba naomba uvumilivu wa miaka mitatu mwaka wa kwanza UNK timu wa pili UNK mambo sawasawa na nianze kujenga heshima afrika na wa tatu ndio yanga iwe imara zaidi kwenye ligi ya mabingwa lakini cha kushangaza nimeingia mwaka wa pili tu UNK lawama za ajabu sana UNK kwamba mambo yanayoandikwa au kusemwa huko nje mimi UNK naelewa sana na kila siku napata ripoti manchester ambayo ndiyo bingwa wa dunia imefungwa na liverpool mabao nne moja real madrid kafungwa nne sifuri barcelona imefungwa argentina imefungwa sita moja itakuwa yanga UNK tuangalie uhalisia wa mambo na wenzetu walioendelea wanavyofanya hawa wachezaji ni binadamu na wenyewe wanakosea sasa mnataka niingie mimi nikacheze uwanjani kila mtu awe mvumilivu yanga ni timu bora ambayo inahitajika muda zaidi mafanikio UNK kupata siku hadi siku ni makubwa mno alisisitiza kondic ambaye pia ana uraia wa afrika kusini yanga inacheza na al ahly leo jumamosi kwenye uwanja wa taifa katika mchezo wa ligi ya mabingwa ambao inahitaji ushindi wa mabao nne sifuri kusonga mbele habari kubwa wiki hii nchini ilikuwa ni kufukuzwa kwa kocha wa azam fc ya dar es salaam neider dos santos wa brazil kocha huyo ambaye miaka miwili iliyopita alikuwa UNK simba kabla ya kuondoka baada ya uongozi wa hassan dalali na mwina kaduguda kuingia madarakani alitimuliwa kwa madai kuwa UNK kuna sababu nyingi zimetolewa kwamba kocha huyo hataki ushirikiano wa aina yoyote hataki kupewa ushauri na amekuwa akipanga kikosi ambacho hakifanyi vizuri uwanjani kilichosababisha kocha huyo kufukuzwa haraka zaidi ni kitendo cha timu hiyo kufungwa mabao tatu sifuri na simba ya dar es salaam katika mchezo wa ligi kuu tanzania bara uliofanyika jumatatu wiki hii hatutaki kumtetea kocha huyo kwa sababu hatujui hasa kilichotokea ndani ya klabu hiyo ya dar es salaam na hasa ikizingatiwa kuwa viongozi wa azam hawajawa wazi sana kuzungumzia hilo hata hivyo tulitaka kutoa onyo kuwa kitendo cha kufukuza makocha mara kwa mara hakiwezi kuwa suluhisho katika soka letu la tanzania kitendo cha kutimua makocha wa kigeni mara kwa mara tunadhani UNK picha mbaya na hasa katika medani ya kimataifa UNK nchi yetu kwa sababu tunaonekana jinsi UNK uvumilivu kwa mambo ya soka kiasi kwamba tunajenga hofu kwa makocha wengine kuja nchini UNK kujilinganisha na nchi kubwa kama england ambako kufukuza makocha katika klabu ni kitu cha kawaida kwa england na nchi nyingine za ulaya ni jambo la kawaida kwa sababu tayari soka lao lipo juu tofauti na hapa kwetu ambako bado soka letu ni la UNK badala ya kuwafukuza makocha mara kwa mara imefika wakati kwa viongozi wetu wa klabu kuanza kufikiria jinsi ya kufanya soka la tanzania kuwa la kulipwa ili miaka mitano ijayo angalau tuanze kuona matunda ya soka la kulipwa soka fitina na vituko na majungu ambayo hufanywa na mashabiki haviwezi kutufikisha mbali badala yake tutaendelea kufukuza makocha bila kupata suluhisho al ahly ya misri imefanya mazoezi mepesi na kucheza mechi tatu za wenyewe kwa wenyewe katika mfumo ambao watautumia kuivaa yanga leo jumamosi katika mechi ya marudiano ya ligi ya mabingwa afrika itakayofanyika kwenye uwanja wa taifa dar es salaam katika mazoezi ya timu hiyo yaliyokuwa yakifanyika kuanzia saa nane mchana kwenye shule ya kimataifa ya tanganyika eneo la upanga jijini dar es salaam kwa ajili ya kuzoea hali ya hewa al ahly walikuwa wakicheza kwa mfumo wa mechi kwani wanajua mechi yao ya leo itaanza saa tisa alasiri wachezaji kadhaa akiwamo kiungo mahiri mohammed aboutrika walikuwa wakiingia kutokea benchi ingawa mara kadhaa mchezaji huyo bora wa bbc wa mwaka jana alikuwa akipewa mazoezi ya ya viungo na ya pekee yake na mtaalamu wa viungo wa mabingwa hao wa afrika kocha mkuu wa al ahly mreno manuel jose alikuwa makini kuhakikisha mazoezi ya timu hiyo yanafanywa kwa siri bila kuwapo kwa watu wengine katika mechi hizo tatu walikuwa wakicheza kwa kasi na wakati mwingine taratibu jambo ambalo linaonyesha ndivyo UNK na yanga katika uwanja wa taifa pamoja na hayo mreno huyo kila baada ya kumalizika dakika za kawaida za mchezo alikuwa akiongeza dakika tano au zaidi na kuanzia hapo alikuwa UNK muda uliobaki kwa sababu anajua katika mchezo huo kutakuwa na dakika za majeruhi saa mbili thebathini usiku wa juzi alhamisi mwanaspoti ilifika katika hoteli ya movenpick na kuzungumza na kocha manuel ambaye alionekana kujiamini kama tayari amemaliza kazi mazoezi yetu yanatokana na kile ambacho tunataka hatuhitaji tena kuiona yanga lakini hatuna sababu ya kudharau kwa kuwa tuko hapa huu ni mpira huwezi kuidharau timu UNK nayo UNK kilichoitokea argentina ikiwa na wachezaji bora wa dunia kocha gwiji wa soka duniani sidhani kama kuna jipya ninaweza kuzungumza wachezaji wako vizuri tu unaona wanaonyesha furaha na kila mmoja anajua kazi iliyo mbele yake alisema akionyesha baadhi ya wachezaji wa ahly waliokuwa wakinywa kahawa kwenye mgahawa wa hoteli hiyo kabla ya hapo mchana walifanya mazoezi upanga na baadaye waliungana na balozi wao nchini wael nasr kwa ajili ya chakula cha jioni walirejea hotelini hapo kuendelea kunywa kahawa huku wengine wakizungumza katika makundi mabingwa wa afrika al ahly ya misri wamekuwa wakifanya mbinu zote kuhakikisha wanashinda mechi yao ya leo jumamosi dhidi ya yanga na mmoja ya mambo hayo ni kumficha kiungo wao hatari mohammed aboutrika katika hoteli ya kifahari ya nyota tano waliyofikia ya movenpick jijini dar es salaam chumba UNK aboutrika UNK jina la mchezaji mwingine ili kuwachanganya watu ambao wanataka kuleta hujuma lakini maofisa ubalozi wa misri nchini wamekuwa pia wakiranda kwenye hoteli hiyo mara kwa mara tofauti na ilivyozoeleka wachezaji wa al ahly wanaweza kuzungumza na mtu yoyote tena kwa upole lakini viongozi wa timu hiyo wamekuwa makini kama utajaribu UNK aboutrika kiongozi wa msafara huo khaled aldrndly alikataa mwandishi wa mwanaspoti kuzungumza na kiungo huyo tajiri zaidi kwa wachezaji wa bara la afrika akiwa UNK na samuel etoo na didier drogba ambao wanacheza ulaya aldrndly alimtaka mwandishi kuzungumza naye badala ya aboutrika hatuna nia mbaya ila ni utaratibu UNK unaweza kupata nafasi ya kutosha ya kuzungumza naye baada ya mechi ila sasa tuachie tuende na tulichopanga alisema akionyesha ukarimu huku akimtaka mwandishi akae kwenye meza yake na si ile aliyokuwa aboutrika wael gomaa na mchezaji mwingine wakinywa kahawa baadaye kocha manuel jose raia wa ureno alimtaka aboutrika kuacha kunywa kikombe cha tatu cha kahawa kwani tayari alikuwa amekunywa vikombe viwili haiwezekani vikombe vitatu hapana UNK kahawa nyingine alisema na kumzuia mhudumu wa UNK unajua atashindwa kulala halafu atakuwa UNK hali ambayo si nzuri kumbuka alikuwa majeruhi sasa kama unataka maji unaweza kunywa alisema kocha huyo huku viongozi na wachezaji wa timu hiyo UNK kicheko na aboutrika alionekana mtulivu huku akitabasamu na kuacha kunywa kahawa hiyo aboutrika UNK kinywaji chochote badala yake aliendelea UNK na wenzake huku UNK UNK wa kuhesabu kila mmoja amekunywa kiasi gani cha kahawa na akawa UNK wengine jamani kocha kasema mwisho vikombe viwili pamoja na umahiri wa wachezaji kama mohammed hassan na mohammed barakat kiungo aboutrika ndiye amekuwa mchezaji nyota kipenzi cha UNK kocha UNK na azam fc neider dos santos amesema hakuna timu ya kuifunga simba kwa sasa kwenye ligi kuu tanzania bara santos ambaye ni mbrazili alitimuliwa na timu hiyo wiki hii kwa kile kilichodaiwa kuwa ni mwenendo mbovu wa azam kwenye ligi pamoja na kutokubalika UNK kocha huyo aliiambia mwanaspoti jijini dar es salaam kuwa simba haihitaji kupita njia za panya kusaka ushindi kwa aina ya timu waliyonayo sasa simba hii UNK kwenye mechi mbili ni nzuri sana na hakuna timu inayoweza kuwafunga kwa sasa kwenye ligi kuu bara alisema kocha huyo ambaye aliwahi kuinoa simba kabla ya kuingia mitini baada ya UNK la hassan dalali na mwina kaduguda kuingia madarakani inacheza soka nzuri ambayo UNK kushinda katika mazingira yoyote hasa katika wakati huu ambapo timu nyingi zinawania nafasi ya pili alisema kocha huyo ambaye baada ya kuondoka simba alikwenda kuwa mkurugenzi wa ufundi wa visiwa vya UNK lakini ninachoweza kukwambia ni kwamba simba haitakiwi kupitia njia za pembeni kusaka ushindi wanatakiwa kucheza mpira uwanjani simba haitakiwi kucheza mchezo mchafu na waamuzi wacheze soka kwa juhudi zaidi wanaweza ila waache haya mambo ya kizamani kocha huyo alikuwa UNK timu hiyo kwa kucheza mchezo mchafu na mwamuzi kwa madai alisababisha wafungwe mabao tatu sifuri na katika mechi iliyofanyika jumatatu wiki hii kwenye uwanja wa uhuru katika hatua nyingine santos amesema ameondoka katika klabu hiyo kutokana na viongozi wa timu hiyo kuingia kwa bahati mbaya kwenye tabia za usimba na UNK santos alisema ana imani kubwa viongozi wake UNK na tabia hizo kutokana na watu wengi wanaotokea katika klabu hizo kujipenyeza ndani ya azam fc na kuendeleza mfumo wa UNK nahisi viongozi wangu watakuwa UNK azam ni kati ya timu zinaendeshwa kitaaluma kweli kweli sidhani kama hili lilitakiwa kutokea UNK vibaya na nimepata uchungu sana kwa kuwa niliona niko sehemu nzuri ya kazi na sikuwa nikilala ili kuhakikisha tunafanya vizuri kokote kule hili haliwezekani nilipofika waliniambia timu isishuke ili tujipange mwakani nilikuwa huko leo wanasema nimeshindwa kweli kufungwa na simba ndio kitu cha ajabu halafu UNK katika mzunguko wa kwanza mechi ilikuwa na presha kubwa na UNK sitaki kumlaumu kiongozi yeyote kwa kuwa wao ndio wenye uamuzi wa mwisho na timu ni yao UNK kulaumu ndio mambo ya soka ila wakati mwingine wawe makini na watu wenye majungu alisema santos azam fc yenye pointi ishirini na mbili katika nafasi ya nane kati ya timu kumi na tatu za ligi kuu bara imekabidhi mikoba yake kwa makocha sylvester marsh na mbrazili mwingine itamar amorim ili kuhakikisha inamaliza ligi hiyo salama wachezaji wa simba nusura UNK na majambazi jumatano usiku kama si jitihada za polisi kufyatua risasi hewani na UNK maharamia hao simba iliondoka jijini dar es salaam jumatano asubuhi wiki hii kwenda bukoba kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya kagera sugar UNK kesho jumapili kwenye uwanja wa kaitaba basi hilo lilipita kwenye pori maarufu la biharamulo majira ya saa sita usiku na kukuta magogo yamewekwa njiani na majambazi hayo akizungumza na mwanaspoti kipa wa timu hiyo timu hiyo ali mustapha barthez alisema baada ya kukuta magogo dereva ilibidi asimame na polisi UNK kwenye gari hilo alifyatua risasi hewani na kuwafanya majambazi hayo kuingia mitini UNK UNK afadhali tulikuwa na UNK ya polisi ndiyo imetusaidia sijui ingekuwaje maana baada ya kukuta magogo dereva UNK UNK UNK gari ndipo askari tuliyekuwa naye alifyatua risasi hewani na kuwachanganya wale jamaa alisema kipa huyo lile pori UNK sana na kila gari UNK usiku lazima liwe na polisi au UNK la sivyo mambo yangekuwa mengine alisema nahodha wa simba nico nyagawa nyagawa alisema wanashukuru mungu walifika salama bukoba tunamshukuru mungu kwani sijui ingekuwaje maana ilibidi UNK usiku ili UNK kufika kwani bukoba mbali inabidi jeshi la polisi UNK askari kule ili walinde usalama wa raia kocha wa simba patrick phiri ambaye UNK beki wake wa kati meshack abel baada ya kuumia katika mechi iliyopita dhidi ya azam fc amesema kama kikosi chake kitacheza kama ilivyokuwa katika mechi iliyopita vijana walicheza vizuri na kufunga katika mechi iliyopita kama watafanya hivyo tena basi hakuna sababu ya kuwa na hofu kwetu tuna kila sababu ya kupata pointi hizo tatu kwa kuwa ni muhimu sana ugumu unakuja kwa kuwa kagera pia UNK kwa nguvu lakini nina imani vijana watafanya vizuri na kushinda kwa kuwa pia wanajua umuhimu wa hilo alisema naye kocha msaidizi wa simba amri said aliiambia mwanaspoti jana kutokea bukoba mkoani kagera kwamba ukiachana na abel ambaye analazimika kupigwa picha ya x ray kutokana na kuwa na maumivu makali ya goti wachezaji wengine wako katika hali nzuri simba ipo katika nafasi ya pili ikiwa na pointi thebathini wakati kagera inayofundishwa na kocha burhan msoma iko katika nafasi ya tatu ikiwa na pointi ishirini na nane na ikiwa imepania kupata nafasi ya pili na kucheza michuano ya kimataifa leo simba iliyoshinda mechi ya mwisho dhidi ya azam itakuwa inaongeza UNK kutokana na kurejea kwa mshambuliaji wake mussa mgosi aliyekuwa na kadi nyekundu aliyopewa katika mechi dhidi ya mtibwa sugar mjini morogoro kagera mechi ya mwisho walitoka sare ya bao moja moja na yanga kwenye uwanja wa uhuru dar es salaam mechi ya mwisho katika msimu huu wa ligi simba iliilaza kagera kwa bao moja sifuri lakini kwa upande wa mechi ya mwisho kwenye uwanja wa kaitaba simba iliilaza kagera kwa mabao mbili sifuri lakini wachezaji na makocha wameomba mashabiki wawashangilie na kuwapa sapoti kubwa ndani ya dakika zote na wameahidi kutowaangusha watakapokuwa UNK na ahly ya misri leo jumamosi katika mchezo wa marudiano wa ligi ya mabingwa afrika kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam katika mchezo huo UNK na mwamuzi janvier buregeya wa rwanda yanga inapaswa kushinda mabao nne sifuri ili kusonga mbele au tatu sifuri ili juma kaseja ajiandae kwa mikwaju ya penalti ahly ilishinda tatu sifuri jijini cairo wiki tatu zilizopita yanga iliyosajili kikosi cha shilingi milioni hamsini sifuri UNK itacheza na as douanes ya senegal au kano pillars ya nigeria wasenegali hao ambao wapo nyumbani wikiendi hii walilazimisha sare ya bao moja moja katika mchezo wa awali yanga ilikuwa ikifanya mazoezi kwenye uwanja wa uhuru kabla ya juzi alhamisi jioni kuhamia uwanja wa taifa ambako walifanya mazoezi kidogo ya kuchezea mpira huku sehemu kubwa wakiitumia katika kupiga penalti wachezaji walionyesha umahiri katika kupiga penalti huku kipa juma kaseja akionekana kwamba ni mahiri kwenye mikwaju hiyo kuliko mwenzake obren cirkovic wa serbia baada ya kumaliza programu hiyo makocha na wachezaji hao walizungumza na mdhamini wa klabu hiyo yusuf manji kwa zaidi ya nusu saa wakiwa wamekaa chini kwenye nyasi za uwanja wa taifa wenye uwezo wa kubeba mashabiki sitini sifuri sifuri sifuri kikosi changu UNK kwa kila linalowezekana wamecheza uwanjani wamepiga penalti na kila mmoja yupo kwenye hali ya mchezo na anajua mzigo UNK kutokana na matokeo ya kwanza alisema tutafanya kazi kwa nguvu zote kwa kadri inavyowezekana tunataka UNK afrika na mashabiki wetu tunataka kushinda tunaomba sapoti kubwa sana ya mashabiki na wakubaliane na kila hali ambayo itatokea ndani ya mchezo hii ni soka unaweza ukawa UNK UNK lakini magoli yasitoshe kukuruhusu kuendelea itabidi UNK mchezo ni mgumu sana na mimi UNK ukweli kwamba lazima waangalie tofauti kubwa iliyopo baina ya hizi timu mbili sisi ndio UNK sasa wenzetu wameanza muda mrefu kocha kondic anasema tutajitahidi sana kuendana na mazingira ya uwanja kwa vile kama unavyojua timu yangu imekuwa ikifanya mazoezi kwenye nyasi bandia uwanja wa taifa UNK mazoezi alhamisi tu tena tumefanya mazoezi nyasi zikiwa ndefu bado UNK tukija kucheza mechi itakuwa ni mazingira mageni kabisa ambayo pengine yatapunguza hata ufanisi wa wachezaji wangu lakini nategemea sapoti ya mashabiki UNK hiyo hali UNK makasi anasumbuliwa na malaria ambayo daktari wa timu hiyo nassoro matuzya amethibitisha kwamba ndiye mchezaji pekee ambaye hatacheza leo jumamosi lakini athuman idd chuji amepona na atakuwapo uwanjani kondic alitofautiana na msaidizi wake srden juzi alhamisi jioni mazoezi baada ya abdul mtiro kumchezea rafu mike baraza kwa nguvu wakati mazoezi yakiendelea kondic aliwaambia wachezaji wacheze taratibu ili UNK lakini kitendo cha beki huyo kilimfanya kondic UNK ingawa srden UNK na bosi wake kwa madai kuwa mechi UNK ni ngumu hivyo hiyo UNK mdhamini wa yanga yusuf manji alifika mazoezini na kuangalia programu nzima na baadaye kuzungumza na wachezaji ingawa UNK chochote wakishinda aliwaambia kwamba yupo pamoja nao bega kwa UNK mtoto wa rais jakaya kikwete ridhiwani ambaye ni mnazi wa kutupwa wa yanga naye alitinga mazoezini na kuzungumza mambo kadhaa na viongozi pamoja na manji na baadaye kuondoka akiwa na furaha kubwa ingawa hakutaka kuzungumza lolote na mwanaspoti kocha msaidizi wa timu hiyo inayotumia mfumo wa nne nne mbili na wakati mwingine tatu tano mbili al badr alisema jana ijumaa kuwa kikosi chake kipo sawa na wako tayari kukabiliana na yanga na lengo la ni ushindi si sare kocha huyo wa mabingwa watetezi atakuwa UNK zaidi flavio mohamed barakat gilberto na flavio kcc ya uganda ambayo timu nyingine ya afrika mashariki iliyosalia kwenye ligi ya mabingwa wikiendi hii ipo ugenini jijini johanesburg ikirudiana na supersports ya huko katika mechi ya awali kcc ilishinda mbili moja alhaji taikun ally ndio jina lake halisi na sio ishu kuitana majina ya kwenye vitabu vya mahudhurio ndiyo maana anataka UNK mchizi mox ni mwakilishi kutoka kundi kongwe la wateule ambalo lina wawakilishi wengine kama UNK mo UNK solo UNK UNK mchizi mox amekua kimya kwa muda mrefu sana vuta picha nyuma tokea wimbo kinyumenyume UNK UNK na UNK ndio hii leo tunamsikia tena na chupa nyingine sikuweza kuvumilia kwasababu sipendi kusimuliwa na unajua itakuaje nitaonekana nimelala hivyo nilimtafuta mchizi mox ili aweze UNK alikuwa wapi siku zote hizo mpaka leo tunamsikia na chupa nyingine shule UNK sikuweza kuchanganya mambo mawili kwa wakati mmoja hivyo niliona kwanza ni heri niwe bize na mambo ya shule ili niweze kupata ujuzi flani halafu muziki upo nitarudi tu alisema mox hayo ndiyo maneno ya taikun kuwa alikuwa shule akipata ujuzi na UNK atarudi tu kwenye gemu kuendelea na safari ya muziki kwakuwa muziki hauna umri tofauti na elimu ambayo anatakiwa aipate sasa mchizi mox UNK kundi la muziki wa rap nchini linaloitwa wateule na huko ndiko nyota yake ilipoanza UNK miaka ya nyuma kidogo na vibao kama watu kibao UNK UNK lakini kundi hili nalo baadaye likaja kuwa kimya mox anabainisha kwamba amerudi kamili baada ya kumaliza mafunzo yake aliyokuwa anachukua na kitambulisho chake cha kwanza mwaka huu kimekuwa ni chupa nyingine mox anasema kwamba yupo kwenye maandalizi ya albamu yake ya pili ambayo anaamini lazima iwe albam bora ya mwaka lakini hakuweka wazi ndani ya albam hiyo kutakuwa na vibao vingapi kwakuwa bado anaendelea kurekodi kwa kweli mpaka sasa sijajua albamu yangu inayokuja itakuwa na ngoma ngapi kwakuwa bado naendelea kurekodi ni kiasi cha kutulia halafu tuone mox UNK nini alisema kwa sasa wimbo chupa nyingine UNK na kuonekana kupendwa na wengi kutokana na staili UNK mox pamoja na prodyuza lamar kuweza UNK biti za wimbo huo vizuri mwanamke pekee aliyekuwa akiuwakilisha mkoa wa mbeya kissa UNK ameaga mashindano haya jumapili ya wiki hii kisa ambaye alikuwa kikaangoni na washiriki kutoka mwanza na dar es salaam maulidi wadi na upendo peneza UNK baada ya kukosa kura nyingi za kumwezesha kuendelea kubaki ndani ya shindano hilo kissa alilazimika kurejea nyumbani akiwa peke yake tofauti na ilivyozoeleka baada ya mshiriki mmoja kuondoka wiki iliyopita juma madaraka machalii wawili wanaowakilisha pande za a town charles UNK na steve UNK wamewekwa kikaangoni lakini kama UNK kura nyingi hawatarudi makwao na badala yake watapelekwa kula bata katika hoteli ya grand villa iliyopo maeneo ya kijitonyama kama kawaida washiriki hao hawajui kama wamependekezwa na pia siku ya jumapili kama wakitolewa UNK aambiwa kama kutolewa kwao ni UNK wasichana wawili kutoka dar na zanzibar asha na modesta nao UNK nafasi hiyo ya kwenda kula bata kwa siku mbili washiriki watakao UNK watakaa kwa siku mbili katika hoteli hiyo bila kuambiwa kinachoendelea na usiku wa siku ya jumanne UNK kijijini ambako pia wanakijiji wenzao watakuwa UNK mpango mzima chidi UNK akiwa na chama zima la familia aliibukia kijijini usiku wa live ya mtoano na kufanya shoo ya surprise kwa washiriki wa shindano hilo pamoja na kuburudisha chid pia alizungumza na washiriki huku akipigwa maswali ya hapa na pale ambayo UNK pia kukanusha tuhuma za kuwa na UNK na profesa jay washiriki walimuuliza kama kweli ana ugomvi na msanii huyo naye kwa kifupi alikanusha kwa kusema kuwa hana bifu na msanii yeyote bongo charles kumi na moja steve kumi na nne asha thebathini na moja na modesta thebathini na sita UNK kura UNK mp halafu namba ya mshiriki na UNK kwenda elfu kumi na tano na mia tano na ishirini na mbili wakati fulani huwa UNK chumbani UNK simu na kuondoa kila aina ya kelele kutafakari mambo tofauti kuhusu wanadamu na maisha yao wiki hii nilifanya hivyo lakini hasa nikawa natafakari nini kifanyike ili watanzania wawe na maisha bora wakati natafakari UNK kuanza UNK taarifa za matajiri duniani na namna walivyofanikiwa matajiri UNK UNK waza kwamba suala la utajiri wa mtu halina uhusiano sana na msaada wa serikali kwa jamii tajiri namba moja duniani kwa sasa ni UNK UNK yeye muda mwingi anapokuwa hana kazi ya kufanya UNK bali UNK na kula juisi UNK nk licha ya kuwa tajiri sana lakini taarifa za uhakika ni kwamba huwa anaendesha gari mwenyewe vipi kuhusu tanzania kuna watu wengi akina na fedha kidogo badala ya kujiendesha UNK dereva ona wabunge mawaziri wafanyabiashara na hata baadhi ya wafanyakazi wengi wao UNK wanataka waonekane UNK fedha ambazo UNK kwa ajili ya shughuli za maendeleo wanazitumia kwa ajili ya kuwalipa watu wengine ikiwemo kuendekeza anasa na ulevi vivyo hivyo kwa tajiri namba nne mzaliwa wa india lakshmi UNK kwa mfano lakshmi UNK yeye alizaliwa mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini ni mtoto wa maskini amewahi kulalia vitanda vya kamba alivyokuwa UNK babu yake huko india tofauti na baadhi ya watu akiwa na fedha kidogo anaishia baa na wanawake wengine ni wazi kuwa UNK ndoa huchangia mikosi katika maisha ni wazi unapaswa kuamua kutoka kwenye ndoa moja kwa moja uishi bila mwanamke wala mwanaume au uwe kwenye ndoa kimsingi ni kuwa jambo la kwanza la kumsaidia mtu kuwa na maendeleo ni mtu mwenyewe kuanza kuwaza kuwa inawezekana kuwa na maisha bora watu wanapaswa UNK fikra kwamba kuwa na maendeleo ni hadi UNK na serikali kuna nchi inaitwa somalia kwa miaka mingi imekuwa haina serikali si kweli kuwa watu wote ni maskini bila shaka wewe ni shahidi kwamba hata tanzania kuna wawekezaji kibao kutoka nchi ya somalia isiyo na serikali sina hakika kama unaelewa ninachotaka kusema katika kuishi kwako achana na fikra za kusaidiwa iwe na serikali au mtu mwingine UNK njia zako za kuwa na maisha bora kaa chini na watu mtafakari namna ya UNK maisha kuna watu huwa UNK kura wanasiasa wakiamini UNK maisha bora haya ni mawazo tu kinadharia ni kuwa kila mtu anapaswa kuwa UNK kusoma ni sawa lakini kusoma au UNK sio UNK kwamba wewe utakuwa na maisha bora au la kuna watu wengi wamesoma hawana akili za maisha ana masters au UNK ubongo wake unaamini kuwa na maisha bora kunatokana na kuajiriwa tu kitu ambacho si sahihi hawezi hata kuanzisha mradi wa kuuza UNK ukweli ni kwamba kama unataka kuwa na maisha bora waza kuajiri watu kwamba nataka siku moja UNK watu UNK na kukaa chini na kutafakari hakika siku moja itawezekana mchawi wa maisha mabovu uliyonayo ni wewe mwenyewe hebu angalia matumizi yako ya fedha watu wengi hawana akiba benki lakini kwenye simu yako kwa wiki unaingiza shilingi ngapi kwa ajili ya maendeleo gani wengine wanasema aaah mimi UNK familia kubwa UNK ni sawa lakini wakati mwingine huruma huharibu maisha kama uko watu maana yake wanapaswa kufanya kazi hata kama ni kuuza UNK ni vita UNK ovyo utaishia kwenye aibu hadi kifo chako unasubiri serikali UNK raha unakosea ndugu yangu pigana kwa staili UNK ili mradi UNK chafu katika kuishi kwako zingatia ule msemo ishi kama mtumwa ili baadaye uishi kama UNK katika maisha pia unatakiwa kujua nini cha msingi na nini si cha msingi kwa mfano wakati wazungu wanapokuwa safarini wanakuwa bize kusoma vitabu vya kuwapa maarifa watanzania wengi huwa wanasinzia UNK toka dar moro tanga mwanza arusha zanzibar UNK amelala tu kuna vizuri vingine vina siri muhimu sana katika maisha kwa mfano kuna kitabu niliwahi kuandika kina orodha ya vyuo UNK na kutoa ufadhili wa kila kitu pia UNK na madaktari kutafiti tiba kwa ajili ya matatizo ya nguvu za kiume kuondokana na chunusi uzito kupindukia nk ndio kusema kwamba ukisoma kitabu cha aina hii unapata anuani za hivyo vyuo ambavyo unaweza kusoma bura au kulipia kidogo si lazima iwe ni wewe waweza kuweka hata kwa ajili ya watoto wako au kuwatumia watu UNK imani yangu ni kwamba kila mtu akifanya jitihada ikiwemo kutoa ujuzi au siri alizonazo ili watanzania wengine UNK na kuzitumia baada ya miaka kadhaa ijayo tanzania itasonga mbele kwa mfano hakuna mtanzania yeyote katika historia ya nchi hii kuandika kitabu akiorodhesha kwa uwazi nafasi za kazi orodha ya vyuo vyenye kutoa ufadhili nk kama nilivyofanya kwenye kitabu cha saikolojia na utafiti sehemu ya pili kwa maoni au hitaji lolote wasiliana na dismas lyassa sifuri saba tano nne nne tisa nane tisa saba mbili au sifuri saba nane sita moja nne nane moja sifuri tano kumbuka ndugu kuwa ushindi katika maisha hutafutwa UNK kama upepo mwanamuziki kutoka marekani chingy anatarajiwa kufungua pazia la wanamuziki wa nje wanaokuja nchini kutumbuiza kwa mwaka ishirini sifuri tisa chingy pamoja na washindi wa kili music awards ishirini sifuri tisa kesho watapanda kwenye jukwaa moja ndani ya uwanja wa leaders club jijini dar es salaam kwa UNK chingy anatokea st louis kule alikotokea UNK chingy ambaye jina lake la halisi ni howard UNK UNK alizaliwa march tisa mwaka elfu moja na mia tisa na themanini huko st louis marekani mtu wa kwanza kugundua kipaji chake huyu bwana alikuwa UNK kutoka UNK UNK ludacris yeye ndiye alikuwa mtu wa kwanza kuisambaza ngoma ya kwanza ya chingy UNK vyema katika ramani ya rap duniani ngoma inaitwa right UNK right thurr ilibamba vilivyo kiasi cha kutesa katika chati za UNK na kufanikiwa kufika mpaka nafasi ya nne kati ya ngoma kali kumi sifuri kwa wakati huo singo hiyo ilileta mafanikio makubwa kiasi cha kutumika kama UNK ya video game ya nba live ishirini sifuri nne mapema UNK kumi na tano mwaka ishirini sifuri tatu chini ya disturbing tha peace record UNK ya ludacris chingy UNK na albam yake ya kwanza jackpot UNK kuuza UNK jackpot UNK kutokana na wimbo right thurr pamoja na ngoma nyingine kali kama one call away aliyowashirikisha j UNK na UNK in aliyowashirikisha UNK dogg na ludacris mbali na kwamba albam yake hiyo ya kwanza ilifanya vizuri akiwa na dtp mzozo fulani ulizuka kati yake na lebo hiyo UNK chingy kujichomoa na kuunda lebo yake UNK aliyoipa jina la slot a lot records lebo hiyo baadaye UNK kwa karibu na capitol records mwaka ishirini sifuri nne chingy UNK albam yake ya pili UNK chini ya mkataba baina ya lebo yake slot a lot na capitol records kwa bahati mbaya albam hiyo ilishindwa kufurukuta sokoni kama ilivyokuwa albam yake ya kwanza lakini singo zake UNK baby na don t UNK UNK kufanya vizuri kiasi chake ndani ya albam hiyo UNK r kelly bun b lil wayne lil UNK janet jackson david UNK UNK dogg na get it UNK ingawa mauzo ya albam UNK chingy aliendelea kutawala katika vyombo vya habari UNK na ludacris mwaka ishirini sifuri sita chingy aliamua kujipanga upya na kuibuka tena na albam yake ya tatu mkono UNK albam hiyo ilizinduliwa rasmi september kumi na tisa ishirini sifuri sita kama UNK chingy alirudi tena kwa kishindo kwenye chati na hatimaye kutamba na vibao kama UNK me back aliyomshirikisha tyrese UNK new UNK UNK up na UNK UNK uliotamba katika UNK tone chingy baadaye aliamua kuweka tofauti zake pembeni na lebo ya chris ludacris bridges disturbing tha peace records iliyomtoa na kusaini upya mkataba nao april ishirini sifuri saba chingy UNK mkataba huo kuinganisha disturbing tha peace records na lebo yake slot a lot records kuwa kitu kimoja kuonyesha kuwa chingy UNK na dtp msanii huyu alifanya UNK katika UNK albam strength in UNK ndani ya wimbo UNK UNK baadaye chingy alirudi tena studio kutengeneza albam yake mpya ya nne mwaka ishirini sifuri saba iliyojulikana kwa jina la UNK it or love it albam hiyo matata ina mikono ya UNK wa kuaminika ambao ni pamoja na scott UNK UNK cool na UNK albam hiyo UNK rasmi december kumi na nane ishirini sifuri saba na kufanikiwa kuvunja rekodi katika chati mbalimbali ikitamba na wimbo fly like me aliyomshirikisha UNK katika albam hiyo pia wameshirikishwa kina ludacris bobby valentino UNK jones UNK UNK rick ross na anthony UNK albam yake mpya UNK and nothing ya mwaka ishirini sifuri tisa ndiyo ndiyo kwanza UNK sokoni huyo ndiye chingy UNK kuja kuonyesha tofauti kati yake na wale waliowahi kufika bongo kabla yake imeandaliwa na UNK UNK kwa msaada wa UNK kabla jina chingy UNK UNK na baadaye h UNK lakini baadaye chingy ndiyo UNK chingy ni neno la mtaani kwa maana nyingine ni sawa na kumuita UNK ama UNK au UNK chingy amekuwa UNK UNK na ice UNK chingy UNK st louis akiwa mtoto wakati ana kaka wawili waliomtangulia na wadogo wawili wa kike chini yake chingy ameanza kutunga na kurap akiwa na miaka tisa hope UNK sasa hivi ni mwanamuziki lakini ilikuwaje UNK nikiwa katika maandalizi ya mitihani yangu ya kidato cha sita ndipo nilipopata taarifa kuwa kuna UNK la tusker project fame kwa kuwa mitihani nilitakiwa kumaliza februari mbili ishirini sifuri nane niliamua kutuma maombi na UNK hivi ndivyo UNK kusema hemed suleiman mwenye miaka ishirini na mbili kijana ambaye amejikuta akiwa maarufu ghafla na kuingia mikataba mbalimbali huku UNK ndoto zake za maisha ambazo mwenyewe anasema bado UNK malengo alizaliwa mjini tanga agosti thebathini mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na sita bado UNK katika nafasi za juu kabisa kwenye chati za muziki wa kizazi kipya na singo yake matata ya ninachotaka kazi ya prodyuza sei ambayo imerekodiwa kwenye studio za sei records kwa kweli katika siku ambazo nimekaa ndani ya nyumba ya project fame niliishi maisha ya fulani kama UNK fulani hivi na wengi waliokuwa UNK kipindi hicho UNK kuwa UNK kuigiza na ninaweza kuhimili uhusika vilivyo baada ya kutoka nilifuatwa na UNK katika filamu ya kwanza iliyoitwa who is matter ambayo kwa sasa imetoka baada ya wengi kuiona filamu hiyo UNK nikafanya na ya pili ambayo bado UNK kaburi moja na sasa ni wrong number mwanzo wa kazi hiyo UNK kama kawaida mwanzo ni mgumu siku zote kwani kilikuwa ni kitu kigeni kwangu hivyo haikuwa rahisi kwangu UNK kwa wakati huo sikuwa mzoefu na uchezaji filamu hasa katika kuuvaa UNK nilikuwa nikikutana na watu tofauti kama kawaida katika uchezaji filamu watu hukaa kambi pale iliniwia vigumu kwani sikuwa UNK na hata mtu mmoja kutoelewana kwa hapa na pale lakini baadaye UNK na sasa ninajua kila kitu ni faida zipi ambazo UNK nazo je ushirikiano ukoje mafanikio yapo tena ni mengi sana pia nimeweza kujipatia kipato ingawa ni katika kipindi cha awali kabisa kwani bado nipo chuoni kwa sasa wasanii wakongwe katika filamu wana ushirikiano mzuri sana naweza sema pengine ni tofauti na katika sanaa ya muziki UNK kwa hilo na UNK sana wrong number mimi ni mhusika mkuu nikiwa pamoja na UNK filamu hii inazungumzia hasa matatizo yanayopatikana kwenye simu iwe ni katika meseji au kupigiwa simu na mtu ambaye wewe humjui na anakuwa amekosea namba hii inaleta mtafaruku sana katika mapenzi kwa kifupi simu ni mbaya sana kama UNK sana kwani huharibu mapenzi maisha baada ya tusker project UNK kumekuwa na UNK kubwa mno kutoka maisha ambayo niliishi zamani nikiwa shule kwani baada ya kumaliza tu nikaingia project fame licha ya kushika nafasi ya tano lakini bado nikachukua umaarufu mkubwa sana kenya uganda na tanzania na mara niliporudi tu hapa nchini kwa kuwa nilikuwa UNK UNK vibao kadhaa na kufanikiwa kutoa singo moja ya ninachotaka UNK sei records ambayo UNK vema na wapenzi wa muziki na kuachia albamu brown colour yenye nyimbo kumi na mbili ikiwemo brown colour UNK UNK s UNK na nyinginezo anasema hemed ambaye anatarajia kutoa video ya brown colour hivi karibuni jamani UNK sana kwa kuendelea kusoma hii mjue UNK kitu halafu ukijua kwamba kuna mtu UNK ni kitu kizuri sana mimi nakipenda UNK UNK sana kwa hili kwa kweli watu wangu tupo pamoja kuna msomaji mmoja jamani UNK kazi na ndio leo naitumia hapa hajajitaja jina mwenyewe UNK mwana habari UNK mada yenye vipengele kama ishirini hivi na si unajua na sisi UNK nitawapa vitano somo mtakuwa UNK kaka na dada zangu jamaa anaelezea mtu ambaye unaweza kumuita mwenzi wa maisha ana sifa zake na kama ana tabia ambazo UNK ujue moja kwa moja huyo jamaa au kama ni dada ana tatizo na wewe na unachotakiwa kuwa ni UNK sana natamani kujua jina la huyu mwana habari lakini bwana hajajitaja najua akisoma hii UNK tatizo UNK UNK sijui itakuwaje kaka na dada zangu tabia zifuatazo kama anazo mpenzio kuna kitu moja mgumu UNK kwa ndugu jamaa na marafiki mwenye malengo na wewe atakuwa na kila sababu ya kukuweka wazi kwa ndugu jamaa na marafiki umeona bwana kwamba jamani UNK huyu ndio mwenzangu ambaye UNK na nitakuwa naye katika maisha lakini ukiona mtu UNK ujue hana uhakika na wewe wewe utakuwa mtu wa kufichwa katika mikusanyiko UNK na mwisho wa siku ni kwamba hata UNK pa kushtaki unakuwa huna na si lazima UNK si unajua dawa ya dukuduku ni UNK sasa kama UNK na ndugu wala jamaa wala UNK dukuduku lako UNK nani sasa angalia suala hili unapokuwa na mwenzako na ukiona UNK UNK maana mwisho wake hapa ni kudanganywa kupelekwa kwa ndugu feki na si unajua UNK UNK UNK sasa ya nini UNK UNK UNK UNK maisha hata kidogo hebu fikiria mwenyewe maisha ya sasa unakaa na mtu ambaye mwenyewe UNK moyo kwamba huyo ndio mwenzi wa maisha yako halafu unakuja kuona kwamba hana mango hata wa kujua msimamo wa maisha yako yaani UNK nini au UNK kufanya kazi gani au kama unataka kusoma yaani mambo flani ya misimamo hivi UNK kama uliyenaye ni mtu wa hivi ujue hapo hamna kitu kwa sababu moja kama ana mpango wa kuwa na wewe katika maisha yake lazima ajue hayo mambo dunia ya sasa maisha ni UNK sasa kama mtu hajali UNK haya maisha unadhani ana mpango wa kukaa sana hapo UNK we subiri siku yako UNK na kwa nini UNK UNK UNK UNK dunia UNK hajutii UNK anachukulia poa tu kaka na dada zangu nadhani mapenzi mnayajua na kikubwa katika haya mapenzi ni UNK kwa kiwango kikubwa hisia za mwenzako kama kweli unampenda uliyenaye huwezi kufurahi unapomuona UNK huu ni uongo kabisa nadhani mnakubaliana na mimi katika hili si sawa sasa fikiria eti mtu UNK na anajua halafu hata kukwambia UNK na ni nini kilikuwa UNK tu ana mpango gani na hisia zako huyu mapenzi ni furaha sasa UNK wewe ni mtu wa kuumia kila siku ni bora UNK pembeni UNK amani yako ilipo hapo UNK kitu kikubwa ambacho vijana hasa tunatakiwa kuwa nacho ili kuishi maisha ya amani ni furaha kwanza haya mambo mengine yapo UNK kuachana kwake sio UNK UNK watu wa namna hii yaani uko naye halafu inatokea kwamba mmekwaruzana basi yeye kidogo tu UNK kama vipi kila mtu kivyake huyu UNK UNK na kama vipi UNK kuanzia leo kila mtu ajue ustaarabu wake ujue kuachana ni kitu kizito sana sio hatua ya mchezo katika uhusiano hata kidogo kama kweli umependa hii inauma sana sasa inakuwaje mtu anachukulia UNK namna hiyo kwa nini UNK kama wapenzi kumaliza tatizo shimo kijana mtanashati khalid mohamed ameibuka kidedea katika kinyangganyiro cha kumsaka mwanaume mkali zaidi bongo ishirini sifuri tisa the UNK man tanzania ishirini sifuri tisa shindano hilo la UNK lililofanyika jumamosi iliyopita katika hoteli ya new africa katikati ya jiji la dar es salaam UNK vijana kumi na moja walipatikana kufuatia mchujo wa washiriki thebathini na tatu waliokuwepo awali wavulana hao UNK katika nyanja mbalimbali ikiwemo miondoko katika kuonyesha mavazi mikogo na utanashati ni pamoja na pascal christopher khalid mohamed salim nguba gabriel mkwembe benard mkwembe na elias UNK wengine ni emmanuel richard henry mwiki kennedy victor UNK nassor na sadik UNK khalid mohamed UNK ni kwa jinsi gani anastahili kutwaa ubingwa huo kwa kuwazidi kete wenzake wa kutaja kuwa ndiye mvulana mtanashati kuliko wote kwa mwaka huu kwa maana hiyo mchizi UNK dola kumi sifuri sifuri taslimu na ataweza kufanya UNK ya nguvu katika maduka ya UNK UNK jijini majaji wa shindano hilo walikuwa steven kanumba christina UNK na richard ambaye alikuwa mshindi wa big brother ishirini sifuri saba shindano liliandaliwa na UNK entertainment na kudhaminiwa na british council c mbili c UNK UNK i r UNK UNK enterprises wapi na UNK UNK kwa mara ya kwanza mwanza na wakazi wake leo watashuhudia mitindo moto moto ya mbunifu gwiji wa mavazi kutoka dar es salaam mustafa UNK onyesho hilo la aina yake ambalo limepewa jina linaitwa UNK linatarajia kufanyika usiku wa leo katika ukumbi wa new mwanza hotel kuanzia saa mbili usiku imeelezwa kuwa mbunifu wa mavazi maarufu kutoka mwanza chris UNK amepangwa kusindikiza shoo na dar es salaam top UNK wataonyesha mavazi hayo UNK zaidi mapema wiki hii mustafa alisema onyesho hilo la aina yake UNK mtu shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri tu kama atataka kukaa vip na viti vya kawaida alisema ni shillingi kumi sifuri sifuri sifuri kwa kichwa kuna sababu kwa nini UNK mwanza kuonyesha mavazi yangu wakazi wa mwanza mje UNK UNK show hii ya kukata na shoka alisema onyesho hilo UNK na zain coca cola na nyanza road UNK mustafa UNK ni mbunifu wa mavazi wa muda mrefu aliyefanikiwa kufanya maonyesho yenye akili nchi na sehemu nyingine za afrika pamoja na ulaya albam ya mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya nchini jafarai ama unaweza kumwita UNK UNK imekamilika albam hiyo ambayo itakwenda kwa jina la wali nazi alisema itakuwa na jumla ya nyimbo kali tisa ukiwemo huu unaotamba sasa uitwao unapenda nini aliyomshirikisha fatma mdogo wake UNK UNK nyimbo nyingine zitakazo kuwemo ndani ya albam yake hiyo mpya kuwa ni pamoja na wali nazi uliobeba jina la albam UNK jafarai ye na mimi na saa nyingine albam iko UNK na kuna tofauti kubwa kati ya jafarai UNK na huyu wa sasa katika albam hii alisema amesema nyimbo zote UNK katika studio za fish UNK za jijini dar es salaam na amewashirikisha wanamuziki wengine nyota kama UNK kutoka kenya lamar ambaye pia ni producer na wengine alisema albam hiyo itakuwa sokoni wakati wowote kuanzia sasa na itapatikana kote nchini na kuwataka mashabiki wake wakae mkao wa UNK de plaizir kula pasaka na watoto UNK mwanamuziki UNK de plaizir kutoka nchini congo anayeishi nchini uingereza aliyeko nchini kwa ziara ya mwezi mmoja anatarajia kusheherekea sikukuu ya pasaka pamoja na watoto yatima kutoka kituo cha UNK kilichopo chini ya mwanamitindo khadija UNK akiongea na waandishi wa habari alisema kwamba amekuja nchini kwa mambo makubwa mawili na mojawapo ni kuwa karibu na watoto yatima ambao anaamini nao wanahitaji upendo kama watu wengine na ndiyo maana siku hiyo ambayo watu wengi UNK na familia zao ameona ni bora UNK na watoto yatima kutoka UNK h kila mtu anahitaji kuwa karibu na familia siku za sikukuu na ndiyo maana siku hiyo nitapenda kusheherekea na watoto yatima ambao naamini nao wanahitaji UNK alisema de UNK mbali na hayo mwanamuziki huyu aliyeweza kuwashirikisha wanamuziki nguli nchini kwenye baadhi ya nyimbo zake anatarajia kumalizia shooting ya nyimbo hizo ambazo ni swali na UNK kaka mapema wiki ijayo na UNK hapa nchini baada ya kukaa katika gemu kwa takribani miaka kumi na zaidi msanii mkongwe wa hip hop nchini joseph haule anayefahamika zaidi kama profesa jay mr red UNK anatarajia kutoa albamu ambayo itakuwa na vionjo vya staili mbili imefika wakati mkongwe huyo anakumbuka sana enzi zake kipindi hicho cha enzi za chemsha bongo kitu ambacho UNK aweke UNK mbili tofauti katika album yake ijayo vionjo vyangu vya kale UNK sana staili zile ndizo ambazo UNK niwe hapa nilipo hivyo ndani ya hiyo albamu UNK ijayo humo ndani kutakua na profesa jay yule wazamani na wa sasa alisema jay ni mmoja kati ya wasanii wakongwe nchini na mmoja wa wanaharakati katika maswala ya jamii UNK kutamba na vibao kama chemsha bongo UNK pigo la mwaka zali la UNK n UNK nyingi hivi sasa msanii huyo ameamua kuwa mtu wa UNK nyimbo zozote zile na badala yake anasoma sana UNK mimi ni msichana mwenye umri wa miaka ishirini na nne nimewahi kuwa na boyfriend kwa muda wa miaka mitatu iliyopita hadi kufikia december ishirini sifuri saba UNK kwa sababu ya kutoelewana baada ya miezi sita nilipigiwa simu na rafiki yake wa karibu sana ambaye aliwahi UNK kabla UNK UNK kuwa kapata namba zangu kutoka kwa boyfriend wangu alipokuja dar kwa likizo kwani yeye anaishi mwanza na UNK tu UNK hali kadri siku zilivyozidi kusonga alizidi kuwa na mawasiliano ya karibu sana na mimi japo yeye yupo mwanza nami nipo dar na alikuwa UNK sana mahusiano yangu na boyfriend wangu hadi ilifikia siku nikamwambia kuwa UNK siku nyingi naye aliniambia kuwa hilo UNK siku nyingi ila alitaka tu kujua kama ni kweli hivi sasa UNK kuwa UNK sana na anataka baadaye tuje UNK sasa UNK ni kwamba UNK huyu ilhali ni rafiki wa karibu sana na huyu wa zamani je urafiki wao utakuwa katika hali gani hawataweza kuonana maadui kwani huyu wa zamani naye anataka UNK ingawa UNK kumkubali kwa jinsi UNK hapo awali na UNK kidonda moyoni UNK ushauri kwani nipo njia panda juu ya hili UNK shukrani zangu kwenu UNK UNK dar es salaam laki mbili na elfu hamsini na tano na mia saba na sitini na mbili nne tisa tisa tisa tisa moja kama una kisa UNK kupitia sifuri saba nane saba tatu nane sita tisa tisa nane simba UNK kweli inataka kuiwakilisha nchi kwenye michuano ya kimataifa msimu ujao baada ya kuwachapa wapinzani wake nafasi ya pili kagera sugar kwa mabao mbili sifuri kwenye uwanja wa kaitaba mkoani kagera mshambuliaji wa kimataifa wa nigeria emer izuchukwu alikuwa shujaa wa mchezo huo kwa kufunga mabao yote mawili dakika ishirini na sita na themanini na tisa ya mchezo kagera sugar walipata pigo muda mfupi baada ya kufungwa kwa bao hilo kufuatia mchezaji wake themi felix UNK kwa makusudi juma nyoso na kutolewa nje kwa kadi nyekundu mnigeria emer izuchukwu UNK msumali wa mwisho kwenye jeneza la kagera sugar dakika ya themanini na tisa kwa kuunganisha vema krosi ya mohamed kijuso kutolewa kwa mchezaji huyo kuliongeza kasi kwa simba na kufanya mashambulizi mengi langoni mwa kagera ambao walionekana wakijaribu kutuliza mchezo huo katika kuonyesha kuchanganyikiwa kocha wa kagera UNK msoma aliwashangaza wengi kwa kuamua kuingia uwanjani kupinga kitendo cha mwamuzi idd mbwana kutoka shinyanga kukataa penalti baada ya nahodha wa simba niko nyagawa kunawa mpira kwenye eneo la hatari kutokana na kitendo cha kocha msoma kuingia uwanjani mwamuzi UNK kadi nyekundu na kutolewa nje ya uwanja katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam villa squad imezidi kujisafishia njia ya kushuka daraja baada ya kulazimishwa sare ya bao moja moja na toto africa kwa matokeo hayo simba imerejea kwenye nafasi ya pili ikiwa na pointi thebathini na tatu ikifuatiwa na mtibwa sugar katika vita hiyo ya kutafuta kuiwakilisha nchi kwenye michezo ya kimataifa waziri wa habari utamaduni na michezo joel bendera UNK klabu zinazoshiriki ligi kuu kuwa ndizo zinazochangia kufanya vibaya kwa timu ya taifa ya tanzania taifa stars huku katika klabu za ligi kuu UNK ni ovyo kabisa hakuna programu za vijana hakuna mipango endelevu kwa mchezo huu na wachezaji wanachaguliwa huko timu ya taifa matokeo yake ikifanya vibaya watu UNK huku ndiko tunakopata wachezaji inatakiwa kuwe na UNK watu wanataka kulaumu lakini hawaangalii historia ya mchezaji ametokea wapi UNK amefundishwa kupokea mpira anajua a UNK c za soka UNK mchezaji ndipo anza kulaumu wachezaji wetu hawana vitu hivi ndiyo maana kila siku utasikia huyu kaenda ulaya kesho UNK ni kwa sababu hakuna misingi UNK anafanya majaribio ulaya au kwingineko lakini hakuna shule aliyotoka UNK anaambiwa alete program za shule hana matokeo yake UNK kesho wanakwenda wengine mchezo unakuwa ule ule tatizo liko huku kwenye klabu za ligi kuu hakuna program za vijana sasa coca cola wameanzisha program za vijana wanatakiwa kuungwa mkono na sasa mikoa isiwe inasubiri michuano hii hii iwe ya kuendeleza zaidi alisema bendera bendera alitumia nafasi hiyo kuwataka wafadhili kujitokeza kudhamini michezo mbalimbali na si kuangalia soka pekee michezo iko mingi kuna netiboli wavu meza inataka kudhaminiwa wafadhili wajitokeze huku alisema mchezo wa ligi kuu tanzania kati ya watani wa jadi simba na yanga umepangwa kuchezwa jumapili aprili kumi na tisa na huenda UNK kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam yanga ambayo tayari imeshatwaa ubingwa wa ligi msimu huu UNK mchezo huo kwa umakini na wa kulipiza kisasi kufuatia kitendo cha mashabiki wa simba kuishangilia al ahly ya misri kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa afrika iliyochezwa kwenye uwanja wa taifa juzi mechi iliyokuwa ichezwe tarehe ishirini na tatu UNK nyuma hadi aprili kumi na tisa baada ya yanga kushindwa kufuzu kuingia hatua ya pili ya michuano ya ligi ya mabingwa afrika msemaji wa shirikisho la soka tanzania frolian kaijage jana amethibitisha hilo la mchezo wa simba na yanga kuchezwa tarehe hiyo ingawa amesema taarifa nyingine kuhusu mechi hiyo zikiwamo uwanja utakaotumika zitatolewa hivi karibuni taarifa nyingine tutaendelea kuwataarifu kuhusu mambo mengine yanayohusu mechi hiyo alisema kaijage mechi hiyo inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka nchini ambao mzunguko wa kwanza walishuhudia simba ikilala kwa bao moja sifuri lililofungwa na mkenya ben mwalala ingawa msimbazi walionyesha soka ya uhakika kipigo hicho UNK rekodi ya simba kuendelea kuinyanyasa yanga kwa zaidi ya miaka sita kitu ambacho wengi wana hamu ya kupata kujua iwapo msimbazi watalipa kisasi na kurejesha enzi zao za ubabe au yanga wataonyesha hawakubahatisha ushindi wao wa bao moja sifuri yanga huenda wasiwe na presha kwa kuwa wameshatwaa ubingwa wa ligi kuu bara kwa mara ya pili mfululizo huku watani wao wakiwa katika wakati mgumu kuhakikisha wanashika nafasi ya pili huku mtibwa sugar kagera sugar na prisons UNK amani kwa kuwa pia wanaitaka nafasi hiyo simba wako chini ya mzambia patrick phiri ambaye UNK nzuri dhidi ya vijana hao wa jangwani waliofanikiwa kufuta uteja nchini ya uongozi wa mserbia dusan kondic ambaye amewahi kukumbana na joto la msimbazi lakini ndiye aliyevunja mwiko kwa kuilaza simba kwa bao moja sifuri naye clara alphonce anaripoti kuwa mwenyekiti wa yanga iman madega alisema kuwa machungu yao UNK kwa watani wao wa jadi simba aprili kumi na tisa madega aliyasema hayo katika sherehe za tuzo ya kilimanjaro ambapo yeye alialikwa kutoa tuzo kwa mwimbaji dogo mfaume aliyeshinda nyimbo bora ya mahadhi ya asili na kusema kuwa pamoja na kutolewa katika michuano hiyo UNK watani wao simba kufungwa katika mechi yao na kagera sugar ili UNK nafasi ya pili UNK simba wafungwe katika mechi yao na kagera ili washindwe kushika nafasi ya pili na kushindwa kushiriki michuano ya shirikisho afrika na tukikutana nao sisi UNK kabisa alisema madega hata hivyo yanga awali kabla ya mechi hiyo walikuwa UNK simba kwa kudai kuwa ufunguo wa nafasi ya pili wanao wao wakileta jeuri watahakikisha hawachukui nafasi hiyo na kuendelea kubaki nafasi ya tatu kauli hiyo ya madega aliitoa muda mfupi baada ya kufungwa na watani wao wakiwazomea katika mechi hiyo na kuwafanya UNK hasira na kudai kuwa watani wao si wazalendo mashabiki wa simba juzi waliungana na waarabu na kuanza kuwashangilia al ahly huku UNK yanga na kuwaita ccm na kuhesabu pasi walizokuwa UNK al ahly ukiachana na mechi hiyo tff imesisitiza klabu kufuata kanuni na taratibu zote za ligi wakati wa michuano hiyo ili kuepuka kuivuruga katika hatua za mwisho kocha arsene wenger ana silaha zote na licha ya kwamba amepoteza matumaini ya kunyakua kombe la ligi kuu england anaamini kwamba kikosi chake kina nafasi kubwa ya kunyakua ubingwa katika ligi ya mabingwa ulaya na kombe la fa arsenal UNK kwenda kupambana na villarreal leo jumanne kwenye mechi ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya wenger atakuwa na amani kwa kuwa wikiendi iliyopita waliendeleza rekodi yao ya kutokufungwa kwenye mechi kumi na saba za ligi kuu england walipocheza na manchester city huwezi kuwa bingwa iwapo utafungwa mechi tano kati ya kumi na nne alisema kocha huyo baada ya kikosi chake kupata ushindi wa mabao mbili sifuri kikosi kina wachezaji chipukizi lakini kinatisha na timu hii si kama ile ya mwezi agosti na septemba mwaka jana kuna mwanga wa kutosha katika kikosi tunacheza bila breki tunakwenda kwenye mechi ya ligi ya mabingwa tukiwa na moto ule ule tunajiamini na UNK nadhani msimu huu utakuwa wa mafanikio arsenal imejikita katika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi kuu england baada kutoka usingizini kufuatia sare za mfululizo iwapo ligi UNK wakiwa katika nafasi hiyo watashiriki ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao na matumaini makubwa yatakuwa kwa kiungo cesc fabregas ambaye amerudi uwanjani baada ya kupona maumivu pia mshambuliaji emmanuel adebayor fabregas amerudi uwanjani kwa mara ya kwanza tangu desemba mwaka jana alipoanza kusumbuliwa na goti na alitengeneza mabao yaliyofungwa na adebayor ambaye pia alikuwa nje kwa mechi kumi kufuatia maumivu ya misuli winga theo walcott naye atajumuika katika kikosi cha kwanza wakati arsenal itakapokuwa ikicheza mechi ya ishirini sifuri kwenye michuano ya kimataifa ulaya robin van persie aliumia wakati UNK uholanzi wiki iliyopita lakini anaweza kurudi uwanjani kama atapona vema ingawa eduardo na abou diaby UNK uwanja villarreal bado UNK kipigo cha mabao tatu sifuri kutoka kwa almeria wikiendi iliyopita na mechi hiyo ilimuacha winga UNK cazorla katika maumivu kitendo cha UNK mguu kimemfanya nyota huyo kutoka hispania kukaa nje ya uwanja msimu mzima cazorla ni muhimu kwetu lakini tuna wachezaji wengi wenye uwezo na mtu yeyote anayeingia katika kikosi cha kwanza ana uwezo wa UNK vema tutajaribu UNK arsenal alisema mchezaji diego UNK villarreal inashika nafasi ya nne kwenye kwenye ligi kuu hispani na haijawahi kufungwa kwenye uwanja wa nyumbani katika ligi ya mabingwa ulaya mara ya mwisho walipocheza na arsenal katika uwanja huo walitoka suluhu lakini baadaye UNK kwa moja sifuri katika hatua ya nusu fainali ishirini sifuri sita mechi ya liverpool na chelsea ni mchezo mkali zaidi katika ligi ya mabingwa ulaya hatua ya robo fainali wiki hii kwani licha ya kwamba timu hizo UNK mno pia hukutana mara kwa mara katika ligi ya ndani liverpool ambayo imekuwa ikifanya vema katika mechi zake za karibuni itakutana na chelsea ambayo imeapa UNK mechi nyingine chini ya kocha guus hiddink kikosi cha rafa benitez ambacho UNK real madrid katika mechi ya nyumbani na ugenini na UNK manchester united katika mbio za kusaka ubingwa wa ligi kuu england kitakuwa na faida kesho jumatano kwa kuwa itacheza kwenye uwanja wa nyumbani kabla ya kukutana na wapinzani wao kwa mara nyingine aprili kumi na nne hakuna siri katika soka ya kisasa alisema hiddink katika mtandao wa uefa kabla timu yake UNK newcastle united mabao mbili sifuri katika mechi iliyochezwa jumamosi iliyopita na siku hiyo liverpool pia iliifunga fulham bao moja sifuri wachezaji wanafahamika kwa makocha wao na wanajuana vema jambo hilo liko wazi vilevile hiddink ni kocha mzuri nadhani UNK na upinzani mkubwa aliongeza benitez nahodha wa liverpool steven gerrard ni mpachika mabao namba moja katika ligi ya mabingwa na atatakiwa kuendelea ubabe na kuisaidia timu yake kupiga hatua muhimu mchezaji huo tayari ameonyesha kwamba anataka kuchezea liverpool kwa muda mrefu zaidi baada ya kusaini mkataba mpya liverpool iliifunga chelsea mwaka ishirini sifuri tano na ishirini sifuri saba katika hatua ya nusu fainali lakini walitoka sare mara mbili katika msimu wa ishirini sifuri tano ishirini sifuri sita hatua ya makundi kikosi cha manchester united kitawakaribisha wayne rooney nemanja vidic na paul scholes katika mechi ya ligi ya mabingwa ulaya dhidi la porto itakayochezwa leo jumanne katika uwanja wa old trafford wachezaji hao hawakucheza katika mechi ya nyumbani wikiendi hii kocha alex ferguson anataka kuhakikisha anapata ushindi mnono ili kujiweka kwenye nafasi nzuri katika mechi ya marudiano na kama rio ferdinand akiingia uwanjani matumaini yatakuwa makubwa lakini ferguson ataingiza timu uwanjani bila kuwepo kwa mshambuliaji dimitar berbatov ambaye ameumia mguu na huenda akawa nje ya uwanja kwa wiki mbili mabingwa UNK united wanataka kuendeleza rekodi ya kutokufungwa katika ligi ya mabingwa ulaya kwa mechi ishirini na mbili na ushindi wa mabao tatu mbili dhidi ya aston villa wikiendi hii unatoa nafasi nzuri kwa wachezaji kujiamini zaidi katika mechi hiyo manchester united walikuwa nyuma kwa mabao mbili moja kwa muda mrefu lakini bao la cristiano ronaldo na kinda federico macheda macheda lilitoa matumaini mapya kwa kikosi hicho matokeo hayo yamefanya wachezaji wa kikosi hicho chenye maskani yake old trafford wafurahie nafasi ya kwanza kwa mara nyingine na kuendeleza matumaini ya kuibuka na ubingwa wa ligi kuu england manchester united itaingia uwanjani na matumaini ingawa inakumbuka miaka mitano iliyopita wakati porto ilipoifunga mabao tatu mbili katika mechi za hatua ya timu kumi na sita bora katika mechi hiyo kocha jose mourinho alifanya maajabu ambayo bado UNK na mashabiki wa manchester united kikosi cha porto ambacho kwa sasa kinanolewa na jesualdo ferreira UNK vema kama kile cha mourinho lakini kina uwezo wa kushambulia kwa nguvu na kina uwezo wa kuilaza manchester united kwa mara nyingine hata hivyo rekodi yao kwa timu za england ni dhaifu ambapo katika mechi kumi na mbili wameshinda mechi moja na kupoteza kumi na moja kikosi hicho UNK kutoka sare ya bao moja moja na manchester united kwenye uwanja wa old trafford mwaka ishirini sifuri nne hulk mshambuliaji kutoka brazil ambaye UNK timu za hispania baada ya kufanya vema katika mechi za hatua ya kumi na sita bora dhidi ya atletico madrid atakuwa ni tishio kwa ronaldo niko fiti kiafya kwa sasa alisema mchezaji huyo baada ya kuifunga UNK jumamosi iliyopita kikosi hicho kinataka kushinda vikombe vinne katika ligi kuu ureno baada ya ferreira kuongeza chachu katika UNK mwanzo mbaya wa ligi hiyo ferreira alipata kikosi imara cha wachezaji kumi na moja oktoba mwaka jana na amekuwa akimpa nafasi ya kwanza hulk mara kwa mara mshambuliaji kutoka argentina lisandro lopez ambaye amepachika mabao sita katika mbio za porto za kusaka nafasi ya hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya alisema tunatakiwa kufahamu kwamba tuna timu yenye chipukizi tuna uzoefu mdogo lakini mechi hiyo ni sawa na fainali kwetu siku hizi watu wengi wake kwa waume UNK mtindo wa kujipamba kwa michoro ya tatoo sehemu mbalimbali za miili yao watu UNK kwa tatoo wamegawanyika katika sehemu mbili kuna wale wanaopenda UNK tatoo za muda mfupi na wengine hupenda michoro inayodumu maisha yote kwa wale ambao hupenda tatoo za muda mfupi hufikia wakati UNK UNK makala ya leo ni mahususi kwa wale ambao wana nia ya kuondoa tatoo za muda mfupi lakini hawajui njia ya kufanya mahitaji kitambaa kisafi losheni ya kawaida pamba UNK cleanser UNK laini spirit na mafuta laini ya watoto njia lowanisha sehemu yenye tatoo kwa kutumia mafuta laini ya watoto baada ya hapo lowanisha sponchi laini katika spirit na anza kusugua taratibu katika eneo lenye UNK kitu kingine cha kufanya ni kuchukua kitambaa kisafi na UNK katika maji ya moto na kuanza kuosha eneo hilo taratibu lakini angalia maji yasiwe ya moto sana kwani UNK kumbuka kwamba iwapo tatoo bado UNK rudia zoezi hilo mpaka UNK ngozi yako imebaki kwenye hali ya kawaida baada ya hapo unaweza kupaka sabuni ya kawaida na kusafisha eneo hilo kwa maji safi kisha UNK kwa taulo vilevile iwapo unadhani ngozi yako UNK unatakiwa kupaka UNK ndoa ni muungano wa kudumu lakini kama unataka kukaa humo miaka yote bila kutoka mojawapo ya jambo la kuzingatia ni kuacha kuhesabu mabaya aaah UNK jana leo UNK tena aaah mbona ulisema kwamba UNK UNK ndivyo baadhi ya watu UNK wanapoona wenzi wao wanakwenda kinyume lakini iko wapi ndoa ambayo watu wake wanaishi kwa amani kwa asilimia mia moja haipo kama unabisha anza UNK ni kweli kuna watu wana furaha lakini tafiti zinaonyesha kuwa mikwaruzo ipo tofauti kubwa ni ukubwa au udogo wa matatizo yaliyoko kwenye ndoa yako huenda yakawa makubwa au madogo kuliko ya mwingine kwa miaka mingi sasa nimekuwa nikiandika makala kuhusu ushauri wa masuala ya ndoa na hata vitabu uchunguzi nilioufanya ni kwamba kuna watu ni maarufu wa kusoma vitu shida iko kwenye utekelezaji mwingine anasoma halafu UNK aaah dismas lyassa bwana UNK kweli eti kasema wanandoa tuache kunyimana kunachangia kuharibu ndoa UNK kwa lengo la UNK ni ukweli kwamba kwenye uwanja umeingia mwenyewe cheza acha kushangaa UNK katika ndoa unapaswa kuwa mtu wa kumpa amani mwenzi wako sio kumpa majonzi na kumkosesha amani je wewe UNK raha au kero mwenzi wako wako tafakari chukua hatua aidha katika ndoa watu wengi wamekuwa wakiangalia zaidi kasoro hata kama alifanyiwa mazuri kiasi gani kunapotokea baya mazuri yote UNK kitu ambacho si sahihi kuna watu wengi wenye tabia hii UNK wengine wamekuwa maarufu wa kuangalia dosari katika ndoa za wengine kisha UNK badala ya watu kuangalia dosari katika ndoa za wengine kwanini UNK mafanikio katika ndoa nyingine wengi hupenda kutazama ndoa UNK kisha huanza kutaka kujua kwa nini ndoa hizo zimeshindwa kuwa nzuri lengo lao sio kutoa msaada bali lengo ni UNK lakini jambo la ajabu watu hao UNK macho ndoa zilizofanikiwa wala si wengi walio tayari kuchukua hatua za kufanya ili kuwa na ndoa zenye mafanikio ukweli ni kuwa ndoa zinapaswa kujengwa katika misingi ya dhati ya kuaminiana na kukubaliana juu ya staili ya maisha UNK ndoa inapaswa kuwa ni sehemu ya amani ya wanandoa wenyewe kujadiliana kuhusu hatma ya maisha yao je mwanandoa mwenzio ana amani na wewe je UNK mwenzi wako pengine kama UNK mume na mke wakiishi katika hali ya kila mmoja kujiona kuwa anayo haki ya kumpenda na UNK mwenzi wako watakuwa na maendeleo zaidi ndoa hizi huwa na mvuto kwa wengine na huandaa mazingira bora ya kizazi kipya ambacho kwa vyovyote kitakuwa na nguvu kubwa ya maadili UNK wanajamii kwa ujumla hata hivyo ubinafsi kwa maana ya kujiona mwenye haki kuliko mwingine ni mambo yanayosababisha ndoa nyingi UNK dhati ya moyo na upendo wa dhati ndizo sifa za msingi za ndoa yenye mafanikio uadilifu wa wanandoa ndio UNK ndoa na kuipa nguvu ya kudumu je wewe ni UNK katika uhusiano wako je wewe ni UNK katika ndoa yako kuna watu wamekuwa wanapenda zaidi wao wenyewe UNK mazuri wanashindwa kufahamu kuwa msingi wa kuwa na uhusiano mzuri ni kila mmoja UNK yaliyo bora mwenzi wake ndoa ni mkataba baina ya wanandoa huu ni mkataba ambapo kila upande lazima UNK na majukumu yake inasikitisha kuona baadhi ya ndoa utakuta mume si UNK wapo wanaume hawajui hata wake zao wanavaa nini kitu ambacho ni kosa kubwa katika maisha ikiwa mwanandoa watakuwa na moyo wa dhati kwa kushirikiana na mwenza wao kutekeleza majukumu ya msingi na kufanya kazi za kila siku wataweza UNK vema je ni kweli unatoa ushirikiano wa asilimia kumi sifuri kwa mwenzi wako kwa mfano pale UNK au katika maisha yenu ya kila siku wanandoa wanatakiwa kuwa na mawasiliano mazuri wanandoa wanaweza kutofautiana mara nyingi lakini bado UNK ndoa yao iwapo watapenda kuwa na mawasiliano yenye lengo la kusaka suluhu ya kile UNK uhusiano wao ukitaka kuwa na ndoa yenye furaha basi ni vema ujue zaidi njia ya kuyadhibiti mambo UNK tofauti baina ya wanandoa pale UNK hali ya kutoelewana fanyeni mazungumzo ya wazi baina yenu kwa kuzingatia kuwa kukwaruzana ni suala la kawaida katika maisha hivyo ni muhimu kujua namna ya UNK aidha ni jambo la msingi sana kwa wanandoa UNK siri na UNK acha kuwa mdomo wazi kwa watu maana kuna wanawake na wanaume migogoro kidogo ni matangazo kwa ndugu na jamaa zao kitu ambacho si sahihi kama una tatizo ni vizuri kukutana na washauri au watu wengine ambao si wa karibu sana nawe ambao kama ni ushauri UNK bila upendeleo tofauti na ndugu kumbuka kuwa kukwaruzana si jambo zuri lakini hutokea UNK acheni kuhesabu mabaya kati ya nyimbo tano zinazofanya vizuri kwenye muziki kizazi kipya kwa sasa ripoti ya tundaman aliyomshirikisha spark ni mojawapo ujumbe uliopo kwenye wimbo huo ndio ambao umekuwa UNK hisia za mashabiki kwani ni kisa cha kijana UNK kesi na tajiri na kufungwa jela huku mambo yakizidi UNK kwenye familia yake kila kukicha huku baadhi wakidhani kwamba wimbo huo ni wa spark tunda man amethibitisha kuwa ni wake na jumamosi iliyopita umepata tuzo ya wimbo bora wa reggae na ragga kwenye tuzo za muziki za kili katika ukumbi wa diamon jubilee msanii huyo ambaye amewahi kuwa mchezaji wa timu ya vijana ya yanga anasema nimeandika wimbo huo mwaka jana UNK kwa mara ya kwanza oktoba ishirini na mbili siyo wa mwaka huu kama wengi UNK ila ulianza kuwika zaidi januari baada ya video yake kutoka hiki kisa UNK lakini nimeandika kwa kusoma hali inavyoendelea kwenye jamii ya sasa imelenga watu wote pamoja na baadhi ya sekta za serikali hususani zinazohusika na haki za binadamu kuna mambo mengi sana yanaendelea ambayo UNK kwa karibu utabaini siri nyingi sana kuna watu wanapata matatizo sana kutokana na hali zao duni watu wanateseka kwa makosa ya wenzao na kwa kufanya hivyo huwezi kumsaidia mtu zaidi ya kwamba utakuwa UNK tu UNK mtu UNK kwa kosa lake huwezi UNK mtu kesi UNK UNK UNK maisha yake na ndio kinachotokea sasa hivi watu UNK na wanakwenda jela bila kujali kwamba nini madhara yake nimeamua kuandika wimbo huo ili angalau kufichua na kuuonyesha umma hali halisi ya uraiani na jinsi UNK UNK wewe alisema tundaman ambaye wimbo wake uliotamba mwaka jana ni UNK aliyomshirikisha chid UNK mimi sio nyota zaidi ya q chilla ishirini UNK au matonya lakini UNK kwa vile nina bahati na kazi yangu mashabiki UNK UNK ipate UNK nawaheshimu sana wasanii wote ambao nilikuwa UNK nao na najua kazi zao ni bora ndio maana UNK hapo walipo wengi wapo kwenye fani miaka mingi zaidi yangu lakini imenipa changamoto kubwa sana ya kuongeza juhudi kwa vile watu wangu UNK kupata mara mbili ya kile walichokuwa UNK awali muziki umekuwa wa ushindani mkubwa kila kukicha wasanii wanazidi kuongezeka na ubunifu wa kila aina unaonekana ndio maana unaona mambo yamezidi kuwa juu tundaman ameanza kunggara kimuziki mwaka jana huku akiwa miongoni mwa chipukizi walioingia haraka kwenye chati ya muziki na UNK maisha yake ya uhalisia huwezi kuamini kwamba ni mwanamuziki wa kizazi kipya kwani anaishi maisha ya kawaida kama watu wengine jerry tegete amekiri kuwa kiwango cha al ahly ya misri waliyocheza nayo kilikuwa cha juu mno tofauti na ilivyokuwa UNK lakini mchezaji huyo anayecheza sehemu ya ushambuliaji amewataka mashabiki kutokata tamaa kwa kuondolewa kwenye ligi ya mabingwa kwa vile ni sehemu ya maisha ya soka mshambuliaji wa simba emeh izuchukwu UNK kagera sugar mabao mbili sifuri juzi jumapili kama alivyoahidi kwamba wanakwenda kuifungia bukoba mwenyekiti wake hassan dalali amesisitiza kwamba mwendo walionao sasa ni mpaka mwisho wala hawaogopi mikwara ya timu za yanga mtibwa na prisons kipigo cha mabao tatu sifuri UNK kwa moro utd wikiendi iliyopita kimezidi kuiweka kwenye nafasi nzuri kwani michezo yake yote mitatu iliyosalia inacheza nyumbani kwake manungu nje kidogo ya mjini wa morogoro wachezaji wake wakiongozwa na nahodha mecky maxime wamepania kwamba hakuna mgeni atakayetoka na pointi yoyote morogoro kipigo cha mabao mbili sifuri walichokipata kwa simba UNK tamaa ya kushika nafasi ya pili lakini wamepania kushinda mechi tatu zilizosalia kwa idadi kubwa ya mabao wanataka UNK idadi kubwa ya mabao wakitegemea kwamba simba inaweza kupoteza mechi na kutoa sare kadhaa kwa hiyo itakuwa ni faida kwao wachezaji wa prisons wanadai kuwa shida yao ni kusalia kwenye ligi kuu bara tu na wala hawana morali na michuano ya kimataifa wanadai kuwa kwa hali ilivyo endapo timu hiyo UNK daraja ni ngumu kurejea na hawatakuwa na mapumziko wala nafasi za kutembea mikoani kwenye mechi jkt ruvu inacheza na prisons alhamisi kwenye uwanja wa uhuru lakini inaonekana kutokuwa na wasiwasi kwani kocha wake anawapa wachezaji wake mazoezi ya nguvu zaidi ili kuhakikisha kwamba UNK na maafande hao wakongwe mwanzo hadi mwisho uongozi wa azam umejitokeza hadharani na kudai kwamba wana imani kubwa na wachezaji waliosajiliwa na walikuwa na tatizo na bosi wa benchi la ufundi UNK neider dos santos azam UNK pia kwamba hawana mpango wa kuwatema mastaa waliowasajili kwa gharama kwenye dirisha dogo la usajili kocha wa moro united fred minziro amewaambia watu wake wa karibu kwamba mategemeo yake aliyokuwa amepanga alipojiunga na timu hiyo UNK na haamini UNK wadau wa karibu wanaamini mwenendo mbovu wa timu hiyo ni hujuma za watu wa nje ambao UNK baadhi ya wachezaji baadhi UNK na siasa za maandalizi ya chinichini kuwania nafasi ya makamu wa pili wa rais wa tff kwani UNK nafasi hiyo sasa timu yake huenda UNK kocha wa toto africa mbwana makata hakufurahishwa na sare ya bao moja moja dhidi ya villa squad juzi jumapili jijini dar es salaam kwani mchezo ujao anacheza na simba jumapili ijayo katika uwanja wa uhuru hali ya polisi moro bado si nzuri hasa baada ya kufungwa bao moja sifuri na polisi dodoma inacheza na prisons mjini morogoro jumapili na imesaliwa na mechi ya jkt ugenini na mtibwa mjini morogoro kocha wa polisi dodoma juma mwambusi UNK hesabu kali mechi dhidi ya yanga jumamosi kwenye uwanja wa jamhuri mjini dodoma wadau wa timu hiyo wanaamini kwamba ni rahisi kuifunga yanga kwa vile tayari imeshatwaa ubingwa kenny mwaisabula ambaye ni kocha wa villa squad ametangaza kwamba hatajiuzulu licha ya kwamba UNK dakika kabla ya timu yake UNK daraja lakini amedai kwamba ataingia mkataba mpya na uongozi ili kuanza kampeni mpya za kuipandisha kwa vile sasa hakuna linalowezekana tena kufanyika ili kusalia kwenye ligi mara nyingi tumekuwa mbele sana katika kukosoa kuliko UNK hii ni kutokana na hulka yetu ya kupenda kuona upungufu zaidi katika yale UNK wenzetu kuliko kuyatambua yaliyo bora kwa bahati nzuri UNK mpira uliochezwa jumamosi uwanja wa taifa kati ya yanga na al ahly ya misri nililazimika kuitazama mechi hiyo kupitia runinga kwa sababu kuu mbili mosi nilidhani kwamba kwa kupitia runinga ningeweza kufuatilia kwa karibu zaidi mchezo ule na kufanya tathmini ya UNK yenye umakini na usahihi zaidi kwa kuwa runinga huonyesha matukio yote muhimu katika mchezo husika ikiwemo na kurudia vile vipande muhimu ambavyo yawezekana mtazamaji asipate uhalisia wa tukio bila hilo kufanyika pili niliona ni vyema UNK pambano hilo kupitia runinga kwa kuwa pale uwanjani pamekuwa UNK na wababe wa milangoni ambao siku kama ile ni siku yao ya mavuno na katika kulitekeleza hilo huwa UNK tusi la UNK kuna kundi moja la wanaojiita UNK pale uwanjani hasa zinapocheza simba au yanga limekuwa ni kero kubwa sana kiasi kwamba inabidi wasimamizi wa ligi kuu bara wawe makini kidogo ili kupunguza adha UNK watu mbalimbali hasa kutokana na lugha chafu inayotumika UNK kwa ujumla mchezo kati ya yanga na al ahly ulikuwa na mvuto wa pekee kwa sababu wengi wa wanaojiita wadau wa soka walikuwa UNK pambano hilo kama ni mpambano kati ya daudi na UNK matarajio ya wengi yalikuwa ni kuona kwamba yanga inazidiwa kupita kiasi na wageni wakitawala pambano hilo ukweli wa mambo ni kwamba yanga walicheza vizuri sana kiasi kwamba wanastahili pongezi kutoka kwa kila UNK neema soka la bongo yanga walikuwa na uwezo wa japo kuwafunga wamisri bao moja au hata mawili siku ile lakini tatizo lilikuwa moja ambalo ningependa kulizungumzia kwa kina kidogo tatizo kubwa UNK yanga hata kushindwa kuifunga al ahly ikiwa kwenye uwanja wake wa nyumbani ni la kisaikolojia tu tatizo hili la kisaikolojia UNK wachezaji wa yanga pekee ila UNK wadau wote wa soka hapa nchini ikiwemo na viongozi wa yanga wapenzi wa yanga na hata wanahabari michezo UNK makala na habari nyingine kadhaa kuhusu ujio wa al ahly na aina ya kikosi UNK nacho historia ya klabu hiyo kongwe na hadhi kubwa ambayo klabu hiyo inayo katika UNK hilo kuna rafiki yangu mmoja wa karibu ambaye yuko karibu sana na timu ya yanga ambaye aliniambia unajua tunacheza na al ahly timu ambayo iliwahi kuirarua enyimba magoli sita kauli hii pekee yake UNK taswira kwamba yanga walikuwa tayari wamejiandaa kufungwa si kwa kutokuwa na uwezo bali kwa kuiangalia tu historia ya klabu ya al ahly na hadhi yake kama yanga UNK enyimba ni kipimo cha ubora wa timu za afrika na kwa kuwa enyimba wamekuwa UNK yanga kwa urahisi basi ni dhahiri kinadharia yanga walikuwa UNK mchezo ule kabla hata UNK hili si jambo jema hata kidogo na UNK kuendelezwa katika siku zijazo tatizo la kisaikolojia la yanga liliwafanya wachezaji waamini kwamba al ahly UNK magoli yake mapema na ukweli hivi ndivyo UNK baada ya UNK kwa muda mrefu na wachezaji UNK hali yanga ilibadilika sana hasa katika kipindi cha pili ambacho ilifanya mashambulizi mengi mazuri kiwango ambacho yanga UNK katika kipindi hicho ni kielelezo tosha kwamba kama wachezaji wa yanga wangekuwa wameandaliwa vyema kisaikolojia na kuwaona wachezaji wa kiarabu kuwa ni wa kawaida kabisa basi mambo yangeweza kuwa tofauti kabisa na yalivyokuwa kuna jambo ambalo watu wengi UNK ama kwa makusudi tu UNK macho hili ni ukweli kwamba yanga ilikuwa inacheza na mabingwa wa soka barani afrika na si mabingwa tu bali ni mabingwa mara kadhaa ukweli huu unadhihirisha kwamba yanga wamecheza vizuri na wanastahili pongezi kubwa kwa mafanikio hayo itabidi ikumbukwe kwamba katika mashindano yoyote licha ya kuangalia nani kashinda inabidi pia tuangalie kiwango cha ushindani katika pambano husika jambo ambalo linanifanya bila kigugumizi chochote kusema yanga wamecheza vizuri sana hongera sana yanga chama cha mpira wa wavu tanzania kinatarajia kutoa semina kwa makocha aprili ishirini na moja kabla ya kufanyika kwa michuano ya muungano aprili ishirini na tatu hadi ishirini na sita mkoani tanga katibu msaidizi wa tava george john amesema semina hiyo itaendeshwa na mkufunzi kutoka kenya UNK UNK timu za polisi zanzibar jeshi stars magereza nyuki na mzinga morogoro zimethibitisha kushiriki michuano hiyo timu ya mpira wa kikapu ya abc imeanza mazoezi kujiandaa na michuano ya kili super cup itakayofanyika mwishoni mwa mwezi huu kocha wa timu hiyo leonard kwale amesema wameanza mazoezi mapema ili kujiweka fiti kulitwaa kombe hilo michuano ya super cup inashirikisha timu sita bora zilizofanya vizuri kwenye ligi ya kili rba ambazo ni mabingwa jkt vijana savio tz prisons abc na pazi bondia mada maugo amemtaka promota wa ngumi nchini UNK kimbau UNK na kila mtu afanye kazi zake maugo alikuwa chini ya kimbau lakini alijitoa kwa madai promota huyo anajali maslahi yake binafsi kuliko mabondia wake hivi kwa nini UNK sana UNK na kila mtu afanye kazi yake mimi sasa naangalia mbele zaidi ni jinsi gani UNK kushinda mapambano yangu yajayo sitaki ugomvi michuano ya taifa ya riadha itafanyika juni jijini arusha katibu wa chama cha riadha tanzania suleiman nyambui ameitaka mikoa yote kuthibitisha ushiriki wao mapema katibu mkuu wa chama cha netiboli tanzania anna kibira amewataka wadhamini wengi kujitokeza kudhamini michuano ya kombe la taifa itakayoanza aprili kumi na tatu hadi ishirini kibaha pwani kibira amesema wadhamini wakijitokeza kwa wingi UNK mashindano hayo kufanyika kwa ushindani mkubwa wadhamini wakiwepo na wachezaji watacheza kwa bidii kwani wanajua wakishinda wanapata kitu fulani kutoka huko kocha wa toto africa choke abeid amewataka mashabiki wajitokeze kwenye uwanja wa uhuru jumapili watakapokuwa UNK na simba kwa kuwa wanahofia hujuma ya waamuzi choke aliyewahi kuichezea pamba ya mwanza alidai kuwa katika mechi yao dhidi ya villa squad juzi jumapili hali ilikuwa mbaya kutokana na waamuzi kuonyesha upendeleo hivyo wanataka mashabiki kuwa m UNK ilikuwa ni hatari hauwezi kuamini kama kitu hicho kinatokea hapa dar es salaam waamuzi walionyesha upendeleo wa moja kwa moja bila ya aibu na walionyesha walipania kuona villa inashinda alisema ndio maana nawaomba mashabiki waje kwa wingi siku ya simba ili haki itendeke najua kama kukiwa na watu wengi hata waamuzi wataona haya halafu watachezesha UNK kwa kufuata kanuni na mechi itakua nzuri akiizungumzia mechi dhidi ya simba choke alisema hawana hofu hatuna cha UNK ndio maana nataka watu waje kwa wingi na tunataka kushinda toto ina pointi ishirini na tano katika nafasi ya saba kati ya timu kumi na mbili za ligi hiyo huku villa squad moro united na polisi dodoma zikiwa hatarini kushuka balozi wa misri nchini wael nasr amewaambia yanga kuwa walikuwa hawaiwezi al ahly na kufungwa bao moja sifuri tu katika uwanja wa taifa ni kama yanga UNK yanga ilifungwa bao moja sifuri jumamosi iliyopita katika mchezo wa marudiano wa ligi ya mabingwa afrika hivyo kuyaaga mashindano hayo kwa jumla ya mabao nne sifuri kwani mechi ya kwanza mjini cairo al ahly ilishinda tatu sifuri wael alisema jijini dar es salaam kuwa yanga haiwezi kujilinganisha na al ahly kwa sababu timu hiyo ya misri ina uzoefu wa miaka mingi yanga imecheza vizuri kadri ya uwezo wake lakini haikuwa na maarifa kwa vile ahly wamewazidi sana na wana uzoefu wa miaka mingi alisema ukifuatilia rekodi za ahly imekuwa ikishinda tena kwa idadi ya mabao si chini ya mawili au matatu inapokuwa nyumbani na ugenini angalia rekodi zake ilipokwenda nigeria kwa UNK kwa hiyo yanga kufungwa bao moja sifuri wamejitahidi na ni kama wameshinda kwa vile nilitegemea UNK nyingi zaidi kwa vile hizi klabu mbili zinatofautiana sana lakini yanga imeonyesha kubadilika tofauti na ilivyokuwa katika mchezo wa kwanza jijini cairo alisema balozi huyo huku akilaumu mwamuzi janvier buregeya kwa kuibeba yanga kocha wa yanga kondic dusan alisema licha ya kufungwa lakini kikosi chake kina mabadiliko na UNK kadri ya uwezo wake na hakuna wa kulaumiwa kocha wa simba patrick phiri ameridhika na safu yake ya ulinzi kwa asilimia themanini na anaamini safu hiyo itafanya vizuri kwenye mechi tatu zilizosalia phiri alisema safu ya ulinzi bila ya kujali mchezaji anayecheza imekuwa UNK vizuri wakati wote UNK na kushambulia kwenye ulinzi kuna mambo kadhaa ambayo ndio msingi hasa wanaelewa vizuri na wana uhakika wa UNK awali mambo yalikuwa tofauti kulikuwa na mapengo ambayo sasa UNK alisema kocha huyo wa zambia haina maana kwa kuwa beki UNK hivyo hatuwezi kufungwa huwezi kuzuia makosa kwenye soka kwa asilimia mia ila UNK asilimia za makosa ndio uhakika wa kufanya vizuri safu ya ulinzi ya simba inaongozwa na juma nyosso meshack abel na kelvin yondan ambao wamekuwa wakipokezana huku devid naftal akianzia benchi mara kwa mara mabeki wa pembeni said nassor cholo salum kanoni juma jabu na anthony matangalu nao wakiwa UNK na kila anayeingia ameonyesha umakini baada ya kutua simba phiri alifanya kazi ya ziada kuinoa safu hiyo ya ulinzi kutokana na makosa lukuki huku pia UNK kando makipa waliokuwa wanatumiwa na kocha UNK mbulgaria krasmir UNK makipa hao deo munishi dida na amani simba walishindwa kufikia viwango UNK mzambia huyo ambaye amemrejesha kwenye namba moja ally mustapha barthez kocha wa yanga kondic dusan amesema timu hiyo ni bora kwa sasa nchini na inakwenda na mabadiliko ya kisayansi tofauti na klabu nyingine nchini huku akisifu wachezaji wake kuwa na magari binafsi kauli hiyo ya kondic imekuja huku timu yake ikiwa imetolewa kwenye ligi ya mabingwa kwa kufungwa jumla ya mabao nne sifuri dhidi ya al ahly ya misri kondic alisema baada ya kutua yanga amefanya mambo mengi ambayo yamebadili taswira ya klabu hiyo na kuonekana ya kimataifa zaidi kitu ambacho ndicho kinachohitajika kwa sasa ukiangalia mambo yalivyokuwa ndani ya yanga ni tofauti na sasa angalia kuanzia kiwango cha mpira maisha ya wachezaji na utendaji mzima tumechukua ubingwa mapema kabisa zikiwa zimebaki mechi nyingi tu angalia maisha ya wachezaji yalivyo sasa kila mmoja anaendesha gari lake tena la kifahari na anajivunia maisha yake pamoja na yanga lakini kabla UNK mimi kulikuwa hakuna kitu kama hicho watu walikuwa wanakuja mazoezi kwa daladala kama ilivyo kwenye timu zingine za ligi kuu bara angalia tunawapa mwanga wachezaji sasa hivi wataenda nje ambani ngassa na wengine wengi wataenda nje hii ni faida kwa timu yenu ya taifa watu wanatakiwa watusapoti na kutupa muda wa kufanya mabadiliko zaidi alisema kondic ambaye kabla ya mechi ya marudiano ya al ahly jumamosi kwenye uwanja wa taifa mashabiki walikuwa wakimlaumu kwa matokeo mabovu ya mabao tatu sifuri jijini cairo lakini baada ya mashabiki hao kushuhudia kiwango cha al ahly waliondoka kimya kimya uwanjani hapo kila mmoja akikiri kwamba waarabu hao wana kiwango kikubwa kwa kuitoa yanga kwenye raundi ya kwanza ya ligi ya mabingwa afrika al ahly ya misri UNK na kano pillar ya nigeria lakini kcc ya uganda al merreikh na al hilal za sudan ndizo timu pekee za cecafa zilizosalia katika michuano ya kimataifa al ahly iliitoa yanga kwa jumla ya mabao nne sifuri baada ya kuifunga mabao tatu sifuri wiki tatu zilizopita mjini cairo kabla ya kuipa kipigo cha bao moja sifuri mwishoni mwa wiki jijini dar es salaam kcc ya uganda ililazimisha sare ya bao moja moja ugenini dhidi ya supersports united ya afrika kusini na kusonga mbele kwani awali ilishinda mabao mbili moja jijini kampala al merreikh ya sudan UNK al ittihad ya libya kwa mabao nne moja huku apr UNK jijini cairo kwenye kombe la shirikisho al hilal iliifunga us stade ya UNK mabao nne tatu apr ilitoa suluhu jijini kigali kabla ya kufungwa mabao mbili sifuri mwishoni mwa wiki jijini cairo na kufanya kusiwe na timu yoyote ya ukanda wa cecafa kwenye kombe la shirikisho kcc inayomilikiwa na halmashauri ya jijini la kampala UNK na al merreikh ya sudan katika hatua ijayo timu za cecafa UNK nje ni mundu na miembeni za zanzibar yanga na prisons za tanzania gor mahia na mathare united za kenya na victors fc ya uganda timu za burundi zilizotolewa ni vital o na inter stars na kwa rwanda ni atraco fc na hay al UNK ya sudan unafiki uongozi mbovu porojo na kutokuwa na mipango ni baadhi ya mambo ambayo yanasababisha klabu zetu kutofanya vizuri katika michuano ya kimataifa inayoandaliwa na shirikisho la soka afrika hakuna shaka kuwa kutolewa kwa yanga katika ligi ya mabingwa afrika ikawa ni miongoni mwa mambo ambayo UNK mashabiki wa klabu hiyo ya jangwani lakini porojo pia za viongozi UNK ingawa al ahly ni klabu kubwa na yenye mafanikio makubwa haiwezi kuwa sababu ya kuwafanya viongozi wa yanga UNK kama sababu ya msingi kwao kujitetea kufungwa na al ahly si jambo la kushangaza hata kidogo kutokana na kiwango chake cha soka pamoja na rekodi yake katika mechi za kimataifa lakini tunapaswa kujiuliza viongozi wa yanga walikuwa na mikakati gani katika mechi hizo mbili zilizofanyika cairo na dar es salaam kwa kifupi hawakuwa na mikakati yoyote ndio maana tulikuwa tunashuhudia porojo siasa na kauli za kitoto kila mara kana kwamba hayo ndiyo yalikuwa maandalizi kwa mechi hiyo ngumu mathalani kabla ya mechi ya marudiano dhidi ya al ahly jumamosi iliyopita viongozi wa yanga walikuwa wakizungumza mambo ambayo UNK kama yanatoka kwa viongozi waliokuwa makini mikakati mikubwa kwa viongozi hao kushinda mechi hiyo ilikuwa ni kutaka ichezwe kwenye uwanja wa uhuru kwa madai kuwa al ahly haiwezi kucheza kwenye nyasi bandia kwa takribani wiki mbili viongozi wa yanga walikuwa wakisisitiza kuwa mechi hiyo lazima ichezwe kwenye uwanja wa nyasi bandia jambo ambalo liliwafanya wasahau mikakati ya mechi yenyewe na kuharibu saikolojia ya wachezaji wao ambao nao wakaanza kuamini kuwa ili washinde lazima wacheze uwanja wa uhuru hakuna siri kuwa wachezaji wa yanga waliamini kuwa wangeshinda katika uwanja wa uhuru kwa sababu ya porojo zilizokuwa zimepigwa na viongozi wao ziliwafanya waamini hivyo tunataka kusisitiza kuwa suala la uwanja au muda wa kuanza kwa mechi kwa timu kubwa kama al ahly huwa halina maana kama UNK maandalizi ya maana kwa wachezaji wake bila mipango ya kuwekeza kwenye timu za vijana kuwa makini katika utawala kuwekeza kibiashara kuwa na benchi zuri la ufundi pamoja na kufanya maandalizi bora na mechi kubwa za kirafiki kamwe klabu zetu haziwezi kufanya vizuri kwenye mechi za kimataifa viongozi wa klabu UNK siasa na porojo za ligi kuu bara na kuhamishia kwenye mechi za kimataifa kamwe UNK kuona klabu zetu zikifanya vizuri kwenye ligi za kimataifa kocha mkuu wa simba patrick phiri amesifu uwezo wa kiungo wa moro united amri kiemba na kusema kuwa ni kati ya wachezaji bora nchini phiri amekuwa akihudhuria baadhi ya mechi za ligi kuu bara na alishuhudia uwezo wa mchezaji huyo kwenye mechi ya moro united dhidi ya jkt ruvu iliyofanyika wiki iliyopita kwa sare ya moja moja kwenye uwanja wa uhuru phiri alisema kiemba ambaye ni kiungo wa zamani wa kagera sugar na yanga ana kila kitu anachotakiwa kuwa nacho mchezaji kwani anatoa msaada binafsi anapoona timu yake UNK UNK karibu mechi tatu ni mchezaji mzuri kati ya wachezaji UNK hapa nchini anajituma sana alisema mtaalamu huyo wa zambia ni mapema mno kuongelea kuhusu jambo hili acha ligi iishe kwanza ndipo nitasema kama UNK au la ila nataka msimu ujao kujenga timu imara hii timu ya sasa UNK hivyo walikuwa wameshafanya usajili nataka msimu ujao kutengeneza timu kali haiwezekani simba ikakosa ubingwa kwa msimu wa pili phiri amewahi kuikochi simba kwa misimu miwili tofauti mwaka ishirini sifuri nne na ishirini sifuri tano na kuipa ubingwa mara zote mbili simba kiungo athuman idd chuji wa yanga anatarajia kuondoka nchini hivi karibuni kwenda katika klabu ya galatasaray inayoshiriki ligi kuu uturuki galatasaray moja ya klabu kongwe za uturuki iliyoanzishwa mwaka mia moja na tisini tano safu yake ya ushambuliaji inaongozwa na mcongo shaaban nonda aliyewahi kuichezea yanga pamoja na milan UNK raia wa jamhuri ya UNK aliyewahi kungara na aston villa ya england yusuf bakhresa ambaye ni wakala anayetambuliwa na shirikisho la soka la kimataifa ameiambia mwanaspoti kwamba tayari amepokea barua ya chuji kwenda kufanya majaribio katika timu hiyo hapo muda UNK kila kitu kinakwenda vizuri na katika mpangilio nafikiri itakuwa ni katikati ya mwaka huu ataenda kufanya majaribio na kama atafanikiwa basi kama zilivyo taratibu yatafanyika mawasiliano na klabu yake kwa ajili ya suala la usajili alisema pamoja na UNK na nonda wachezaji wengine nyota ndani ya klabu hiyo inayomiliki uwanja wa ali sami UNK wenye uwezo wa kuchukua watu ishirini na sita mia saba na hamsini ina wachezaji wengine wa kiwango cha juu ulaya baadhi ya wachezaji hao ni kama nahodha wake UNK UNK na msaidizi wake UNK UNK lakini pia wana harry UNK raia wa australia aliyengara england akiwa na leeds na baadaye liverpool akizungumzia jana jumatatu suala hilo la kupata nafasi ya kufanya majaribio katika klabu hiyo na ushindani kutokana na kuwa na wachezaji wenye viwango vya juu chuji alisema yuko tayari na ana imani kubwa ya kufanya vema kama nikipata nafasi kwa kweli UNK kuipoteza UNK kwa hamu siku hiyo ili UNK wakala wangu ameniambia anashughulikia na yupo hatua za mwisho hivyo ni moja ya vitu nimekuwa UNK kuvipata na itakuwa nafasi nzuri kwangu lakini kama ni ushindani ndio bora zaidi kwa kuwa binafsi navutiwa na soka ya ushindani itakua ni kipimo bora zaidi kwangu alisema chuji akionyesha kujiamini chuji aliyejiunga na yanga mwaka juzi akitokea simba na uhamisho wake kuzua mjadala mkubwa alikuwa mmoja wa wachezaji walioonyesha ushindani katika mechi dhidi ya al ahly ya misri jumamosi iliyopita kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam wamisri hao UNK yanga katika idara zote huku wakicheza pasi za taratibu kama vile wako mazoezini lakini chuji na nurdin bakari walikuwa kati ya wachezaji UNK na kucheza kiushindani dhidi yao chuji ambaye alikuwa mchezaji wa polisi dodoma hivi karibuni amejikuta UNK baada ya kukorofishana na kocha wa taifa stars marcio maximo nahodha wa simba nico nyagawa amewaambia yanga dua la kuku halimpati mwewe na lazima simba icheze kombe la shirikisho mwakani nyagawa alisema UNK dua mbaya za yanga za kuwatakia mabaya lakini sasa mambo ni mbele kwa mbele mwenyekiti wa yanga imani madega alishangaza umati wa watu waliojitokeza kushuhudia utoaji wa tuzo wa muziki za kilimanjaro jumamosi alipopewa nafasi ya kutoa mmoja ya tuzo alisema watahakikisha simba haichukui nafasi ya pili tumesikia UNK mabaya ili tufungwe na sisi tunasema UNK nggo tutazidi kugawa dozi hata tukikutana nao tunajua mungu yupo pamoja na sisi na dua la kuku halimpati mwewe alisema nyagawa sasa tupo vizuri sana kila mchezaji anatambua majukumu yake na nini anatakiwa afanye kuisadia timu yetu hivyo hakuna timu UNK alisema watajitahidi kadri ya uwezo wao kuhakikisha wanashinda michezo yao mitatu iliyobaki ukiwemo wa watani wao yanga utakaopigwa aprili kumi na tisa sasa UNK nakwambia kama UNK mzunguko wa kwanza wasifikiri UNK tena sisi tumepanga kushinda michezo yetu yote iliyobaki ukiwemo wa kwao UNK tu alisema nyagawa alisema UNK dar es salaam kutoka kagera hawatakuwa na muda wa kupumzika hivyo kujipanga kwa mchezo wao wa jumapili dhidi ya toto africa kwenye uwanja wa uhuru UNK kwa sababu tunataka kushinda na unajua kuna timu UNK UNK hivyo lazima UNK buti tunajua mchezo wa toto utakuwa mgumu lakini UNK UNK UNK mabao manne UNK kwao simba UNK leo jumanne jijini dar es salaam kutokea bukoba UNK kagera sugar mabao mbili sifuri yaliyofungwa na mnigeria emeh UNK simba imefikisha pointi thebathini na tatu ikiwa inashika nafasi ya pili huku yanga ikiwa tayari imetangaza ubingwa kwani ina pointi arobaini na saba ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine yoyote jumapili hii ndio siku rasmi kiungo mshambuliaji wa yanga mrisho ngassa anaanza safari ya kutimiza ndoto ya kwenda kujaribu bahati yake katika soka ya england UNK majaribio katika timu ya west ham ya jijini london ngassa ataondoka nchini akiongozana na wakala wake yusuph bakhresa ambaye anatambuliwa na shirikisho la soka la kimataifa na amethibitisha safari hiyo kuwa jumapili nyota huyo wa yanga atakuwa katika majaribio hayo kwa wiki tatu na faida ambayo ataipata ni kuwepo jukwaani kwenye uwanja wa upton park wakati west ham itakapocheza na chelsea katika mchezo wa ligi kuu england akifika london jumapili usiku UNK timu ya west ham imecheza ugenini na tottenham jana yake katika mechi ya ligi kuu england lakini kwa sababu atakuwa katika majaribio hawezi kuhakikishiwa kusafiri kwenda kwenye mechi ya ugenini dhidi ya aston villa aprili kumi na nane kwenye uwanja wa villa park ila ngassa atakuwa na bahati kukaa jukwaani kushuhudia timu yake ikicheza na chelsea aprili ishirini na tano kwenye uwanja wa upton park wenye uwezo wa kubeba mashabiki thebathini na sita thebathini tatu baada ya hapo west ham itasafiri kwenda ugenini kucheza na stoke city mei mbili siku ambayo huenda ngassa akawa safarini kurejea tanzania bakhresa alisema barua kutoka west ham inaonyesha kuwa ngassa atakuwa chini ya kocha mkuu wa west ham gianfranco zola raia wa italia kila kitu kimekamilika na jumapili ndio tunaondoka kwenda england UNK kwamba ngassa atakuwa chini ya zola ambaye ametaka kufuatilia kwa karibu wachezaji wanaofanyiwa majaribio alisema wakala huyo tunachoomba hapa ni kwake ngassa kujituma na kujiamini wakati wa majaribio hayo ili afanikiwe ili iwe njia kwa watanzania wengine alisema akifafanua kuhusu uwezekano wa ngassa kusajiliwa wakati anatokea tanzania ambayo haijafikia nafasi ya sabini kwa ubora wa soka duniani bakhresa alisema ana imani west ham united wanajua kila kitu wanajua anatokea tanzania na wanajua watafanya nini kuna mifumo ya kutumia ikiwa ni pamoja na kuwapeleka wachezaji kwenye timu nyingine kucheza kwa mkopo halafu wakifanya vema wanarejea tena alisema hivyo sidhani kama ni suala la kuwa na hofu tena ila ni kuomba ngassa afanikiwe kwa kuwa itakuwa ni kwa faida ya watanzania wote ngassa amepata nafasi nyingine ya majaribio baada ya kushindwa kwenda norway katika klabu ya lov ham ambako UNK timu na wakala wake huyo lakini uongozi wake ukaweka ngumu pamoja na ofa hiyo ya west ham united imeelezwa kwamba bakhressa amepokea ofa kadhaa kutoka nchi mbalimbali zikiwamo za ulaya UNK kiungo huyo mshambuliaji kwenda kufanya majaribio hivi karibuni baba mzazi wa mrisho khalfan ngassa aliyewahi kungara na pamba ya mwanza na simba aliutaka uongozi wa yanga kufikia mwafaka na wakala huyo ili mwanaye akafanye majaribio ulaya katika mechi kati ya yanga na al ahly jumamosi iliyopita ngassa alipunguza makali na kucheza kwa makini mkubwa pengine kwa kuhofia kuumia ngassa ambaye amewahi kuichezea kagera sugar alisajiliwa na yanga miaka mitatu iliyopita na ana mtoto mwenye miaka minne kitendo cha chipukizi federico macheda kuiokoa manchester united wiki iliyopita kinaweza kuwa tishio kwa wapinzani wao sunderland wikiendi hii wakati manchester united itakapokutana na sunderland on leo jumamosi itakuwa ikitafuta pointi zaidi ili UNK liverpool kwa mbali lakini liverpool pia itakuwa nyumbani kupambana na blackburn rovers wiki iliyopita liverpool UNK kiti cha uongozi kwa saa ishirini na nne tu baada ya kuichapa fulham bao moja sifuri lakini siku moja baadaye manchester united ilishinda mabao tatu mbili dhidi ya aston villa na kurudi kileleni shukurani pekee zimuendee macheda mwenye umri wa miaka kumi na saba manchester united ambayo itaingia uwanjani bila ya rio ferdinand ilipata wakati mgumu jumanne wiki hii ilipokutana na porto kwenye mechi ya ligi ya mabingwa ulaya na kutoka sare ya mabao mbili mbili kwenye uwanja wa old trafford kikosi hicho huenda UNK pia beki UNK evans ambaye aliumia katika mechi ya porto lakini kocha wa sunderland ricky UNK alisema wapinzani wetu wanafungika tutatumia nafasi hiyo huku wakiwa na mabeki wao wakali ferdinand na nemanja vidic manchester united ilicheza mechi kumi na nne bila kufungwa kati ya mwezi novemba na februari mwaka huu hivyo kuwaacha mbali wapinzani wao tuna rekodi ya kuzuia lakini UNK mabao mbili moja dhidi ya blackburn mambo yalianza kubadilika alisema ferguson vilevile kwa kuwa wachezaji kama cristiano ronaldo wayne rooney na carlos tevez UNK kwenye kikosi sunderland itakuwa na wakati mgumu kwani ipo katika hatari ya kushuka daraja pamoja na kwamba ferguson anajitahidi kukimbiza mbawa zake rafa benitez anakuja nyuma kwa kasi benitez UNK ferguson alisema ninadhani sasa ana wasiwasi anahisi UNK kikosi cha chelsea kinachoongozwa na guus hiddink kipo kwenye nafasi ya tatu nyuma ya manchester united kwa pointi nne na UNK na liverpool kwa pointi tatu kikosi hicho kitakuwa nyumbani kupambana na bolton UNK arsenal inayoshika nafasi ya nne ikiwa juu ya aston villa kwa pointi sita leo UNK itaitembelea wigan athletic aston villa iliyo nafasi ya tano itakuwa nyumbani kupambana na everton ambayo ipo nyuma yao kwa pointi moja tu katika mechi ya kesho jumapili st etienne ambayo ni timu yenye mafanikio makubwa ufaransa UNK kwa kasi na ina wasiwasi wa kushuka daraja kikosi hicho leo jumamosi UNK stade rennes kuendelea kubahatisha ushindi timu hiyo ambayo imenyakua vikombe kumi vya ligi iliingia katika fainali ya michuano ya kuwania kombe la ulaya mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na sita na timu hiyo ni ya tatu kutoka mkiani mwa ligue moja ikiwa imebaki na mechi nane mkononi wamepoteza mechi tatu za ligi za wiki za karibuni na UNK kikosi uwanjani bila nahodha UNK UNK ambaye ameumia paja na hatakuwepo uwanjani mpaka mwisho wa msimu kiungo UNK UNK UNK wakati timu hiyo itakapocheza na rennes kutokana na kuumia mguu mchezaji yeyote UNK uwanjani UNK kwamba anatakiwa kuiokoa timu alisema kiungo christophe UNK ambaye alishuhudia timu yake UNK mabao tatu sifuri na kikosi cha olympique marseille jumapili iliyopita st etienne msimu huu ilijitahidi kwa kushika nafasi ya kumi lakini baadaye walishuka kwa kasi UNK kocha laurent UNK novemba mwaka jana na kumpa kazi alain UNK wakati huo st etienne ilikuwa katika nafasi ya kumi na nane lakini miezi mitano baadaye wamebaki kwenye nafasi hiyo hiyo kipa UNK UNK ambaye ametumikia klabu hiyo kwa miaka kumi na tatu na tayari UNK ligi daraja la pili katika misimu miwili kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita mpaka ishirini sifuri moja amewataka wachezaji wenzake wakaze UNK tunatakiwa kupambana vikali ili kujiokoa la sivyo tutajikuta UNK katika ligi daraja la pili alisema mchezaji huyo baada ya kushuhudia kipigo jumapili iliyopita ingawa watatakiwa kuchuana na klabu ya mkiani ya le UNK na nancy ambayo UNK etienne itatakiwa kuchuana na timu kali za lille na toulouse kabla ya kumalizika kwa msimu katika mechi nyingine za ligi hiyo olympique lyon inaweza kuangukia nafasi ya tatu wakati itakapochuana na monaco kesho jumapili girondins bordeaux ambayo ipo nafasi ya tatu itakuwa ugenini kupambana na UNK auxerre leo jumamosi huku timu iliyo katika nafasi ya pili ya olympique marseille nyuma ya vinara kwa pointi ikicheza na grenoble kesho jumapili lille inayoshika nafasi ya nne itakutana na paris st germain UNK nafasi ya tano barcelona itarudisha UNK katika ligi kuu hispania baada ya kutoa UNK cha mabao nne sifuri kwa bayern munich ya ujerumani na kujiweka nafasi nzuri kwenye ligi ya mabingwa ulaya wiki hii na kocha wa kikosi hicho cha catalans pep guardiola amesema atahakikisha timu yake inapanda zaidi katika ligi hiyo na kuwa mbele ya wapinzani wao kwa pointi tisa kikosi hicho kitakutana na timu dhaifu ya recreativo huelva leo jumamosi na ushindi wa mara tano mfululizo utaongeza presha kwa real madrid ambayo itakwaana na real valladolid katika uwanja wa bernabeu kesho jumapili hatupo tayari kupumzika tunahitaji kuendelea na mbio zetu alisema guardiola katika mkutano na vyombo vya habari baada ya mechi dhidi ya bayern UNK tuna mechi nyingine jumamosi hatuwezi kushangilia ushindi kwa sasa mpaka baada ya mchezo huo barcelona ina nafasi ya kunyakuwa vikombe vitatu msimu huu kwa kuwa wanaendelea vema katika ligi ya mabingwa ulaya ligi kuu hispania na kombe la mfalme wakati real madrid inasubiri ubingwa wa mara tatu mfululizo katika ligi kuu vilevile klabu hiyo imekuwa ikisumbuliwa na suala la uchaguzi wa viongozi mwishoni mwa msimu na taarifa kwamba kiungo machachari guti na kocha juande ramos UNK imeondoa amani lakini guti aliwashangaza waandishi wa habari baada ya kusema kwamba uhusiano wake na kocha wa zamani wa tottenham ni mzuri kwa sasa anawaangalia wachezaji wengine aliongeza nipo kama wachezaji wengine tu kocha ndiye mwenye uwezo wa kuchagua kikosi anachotaka katika mechi nyingine sevilla iliyo kwenye nafasi ya tano itakutana na getafe kesho jumapili villarreal iliyo nafasi ya nne itakwaana na malaga katika uwanja wa nyumbani leo jumamosi valencia iliyo nafasi ya tano inaonekana kusahau matatizo yao ya kiuchumi na kushinda mechi mbili mfululizo kikosi hicho kitakwaana na sporting UNK kesho jumapili rais wa valencia vicente UNK alikanusha habari kwamba mshambuliaji david villa na kiungo david silva wanatakiwa na real madrid jose maria UNK ambaye alichukua nafasi ya paco chaparro kama kocha wa real betis jumatatu wiki hii baada ya kikosi hicho chenye maskani yake UNK kuangukia nafasi ya kumi na sita ikiwa ni pointi moja kutoka eneo la hatari ataongoza kikosi hicho kupambana na racing santander kesho jumapili kumekucha zee la kutibua lipo zake kwenye anga za kujidai kama kawa kila jumamosi mambo yangali shwari ingawa kwa baadhi UNK si UNK watoto wangali wakililia viwalo vya sikukuu na kimsingi leo ni siku ya kuumia walau kieleweke huko kariakoo na UNK vya kuku UNK zee la kutibua ni miongoni mwa wanaosubiri kula vyake hiyo kesho jumapili UNK ufufuo wa bwana na limepata mialiko kibao uswazi hata UNK UNK ndio maana limeamua UNK na kaya yake UNK vyake na mama UNK siunajua UNK UNK ndio hivyo tena UNK UNK UNK kwako kama zee la UNK huko kijiweni sinza UNK ishu zetu kwanza baada ya yanga kutolewa na al ahly ya misri katika mechi ya marudiano ya ligi ya mabingwa wiki iliyopita UNK ni uwezo wa wapinzani wao na kelele za mashabiki wa simba simba walikuwa UNK ahly na kuizomea yanga muda wote wa mchezo na hakukuwa na chembe yeyote ya utaifa kwenye uwanja huo wa taifa tendo lililofanywa na simba kwa upande mmoja wa kitaifa si la kiungwana hata kidogo kwa vile lilikuwa halina faida yoyote kwa soka la tanzania ambalo linahitaji safari ndefu kubadilika kushangilia kwa simba kuliwapa nguvu ahly ambao UNK kana kwamba wapo nyumbani huku yanga wakionekana kuchanganyikiwa na kelele pamoja na mzigo wa deni la mabao nne sifuri walilokuwa wakidaiwa ili kusonga mbele kimataifa kwenye soka huwezi kulazimisha shabiki UNK timu gani kwa vile UNK kiingilio na ameingia kutazama mpira kama sehemu ya burudani nyingine yeyote ile lakini aina hii ya ushabiki wa tanzania UNK popote kwani mwisho wa siku yanga imetolewa na tanzania ndio imeonekana kwamba ni dhaifu na soka lake lipo chini aina hii ya unazi wa kushangilia wageni hautusaidii na UNK kuiga hata katika nchi za wenzetu wa afrika mashariki na kati wanachofanya inapofika kwenye suala la utaifa hakuna simba ambaye anaweza kuipenda yanga milele kutokana na utani wa jadi lakini utani huo unapaswa kuelekezwa kwenye wivu wa maendeleo kufanya vitu vya maana ambavyo UNK hapa tulipo kufikia ngazi nyingine ya kimataifa zaidi na si kushangilia na kuombeana matatizo ushabiki wa simba na yanga si uadui ni changamoto ya ushindani wa kila nyanja wa klabu hizo mbili kongwe nchini na ndio inavyokuwa kwa timu kama rayon na UNK huko rwanda au inter na vital o za burundi lakini ukijaribu kuangalia kwa upande mwingine kilichotokea kwenye mechi ya yanga si kitu cha ajabu sana mfano mdogo tu ni kauli aliyotoa mwenyekiti wa simba hassan dalali baada ya tukio hilo UNK mashabiki wake walichofanya wale mashabiki ni sahihi hakuna cha ajabu pale sisi hatuwezi kuishangilia yanga hata siku moja wale ni watani wetu anasema dalali imani madega ambaye ni mwenyekiti wa yanga na mwenyewe akaibuka tutazidi kuwafunga na UNK kabisa hata hiyo nafasi ya pili UNK ni kauli ya kiongozi msomi ambayo inazidi kuongeza uhasama wa jadi ambao UNK jina la utani wa jadi kwa aina hii ya viongozi kilichotokea wiki iliyopita taifa UNK na tutazidi UNK na kuishia hapohapo tu kwenye raundi ya kwanza na kushangilia mafanikio ya wenzetu ambao wanajua nini maana utani wa jadi na UNK na mashabiki wao halafu pia imefika sehemu viongozi UNK kikamilifu timu zao UNK na hadhi ya ukongwe wa klabu hizo afrika UNK kwa sc villa na express za uganda imefika wakati wa kubadilika viongozi wanapaswa kuwa makini zaidi na kuumiza akili kuzitoa klabu hizo hapo zilipo kwa dunia ya sasa simba si klabu ya kutembeza bakuli ifanye usajili au wachezaji waingie kambini ilitakiwa kuwa kwenye kiwango ambacho wadhamini wanaiomba tena UNK hata watu kama yanga waliokuwa wanakabiliwa na mechi ngumu kama ya ahly walipaswa kufanya maandalizi ya ukweli si tia maji tia maji na matokeo yake tumeyaona uwanjani siasa ya maneno na vitendo ni vitu viwili tofauti tubadilike na kuona wivu wa maendeleo na kama kuna walafi na wenye njaa ya fedha UNK hii ni karne nyingine simba na yanga kwa ukongwe wake UNK kuwa na hadhi ya ahly kuanzia udhamini wake mpaka kiwango cha soka ni hayo tu zee la kutibua UNK heri ya pasaka wadau wote salamu kwenu wasomaji wa safu hii sidhani kama kutakuwa na nafasi ya kuzungumzia mengine ingawa kuna ule mjadala wa simba kuishangilia al ahly wakati mwingine naona ni kama kupoteza muda kwa kuwa ni vigumu sana kuwalazimisha watu UNK la muhimu ni kusubiri siku ukipata nafasi na wewe UNK upande mwingine lakini si kuifanya utafikiri ishu ya maendeleo acheni kupoteza muda wenu bure hoja yetu inaanza mapema kabisa nazungumzia suala la klabu na jinsi zinavyoweza kupata fedha za kujiendeleza bila ya kuwa tegemezi na badala yake UNK kwa miguu yake imara na kusonga mbele kitu kinachowezekana kabisa moja ya njia nzuri ni wanachama hasa kwa klabu za simba na yanga ambazo ni kongwe na zinatakiwa kuwashawishi wanachama wake wawe hai ni kulipa ada kitu ambacho kitawasaidia kufanya mambo yao kwa uhakika mara kadhaa kuna viongozi wa klabu wamekuwa wakilaumu kwamba UNK sidhani kama ni hivyo kwa kuwa hakuna ambaye nina kinyongo naye na pia nafanya hivyo kwa lengo la maendeleo ya soka imani yangu kati ya hao walio viongozi wa klabu ndio maana UNK lakini kama wakiwa hawahusiki na soka kamwe UNK UNK jina lao moja ya njia nzuri ya kuingiza mapato ni mechi hilo ni kubwa na mfano mzuri tumeona yanga ambavyo UNK katika mechi yake ya ligi ya mabingwa afrika dhidi ya al ahly kwa kupata shilingi milioni kumi sifuri awali UNK kucheza kwenye uwanja wa uhuru sijui UNK wapi UNK UNK badala yake yake ni kuwatakia mema UNK milioni kumi sifuri kwa biashara ya siku moja tena dakika tisini tu yaani saa moja na nusu jiulize inapatikana kwenye biashara ipi ya hapa nyumbani kupata kiasi cha shilingi milioni kumi sifuri si mchezo wafanyabishara wakubwa na wadogo wanaweza kunielewa vizuri zaidi hii inadhihirisha namna gani soka ni biashara bora ambayo kama utakuwa makini faida inakuwa kubwa ajira UNK na timu UNK kitu ambacho viongozi wa klabu na vyama wakiwa na dira basi hakuna UNK kinachotakiwa kufanyiwa kazi kwa sasa ni suala la shirikisho la soka tanzania kuchukua kiasi kikubwa cha mapato katika mechi za kimataifa pia wapunguze kiasi UNK katika mechi za nyumbani mfano mzuri ni mechi ya yanga na al ahly mapato kwa ujumla yalikuwa shilingi milioni mia moja na themanini na tatu tff wakapewa asilimia kumi ambazo ni shilingi milioni kumi na nane huku uwanja nao UNK asilimia ishirini ambazo ni shilingi milioni thebathini na sita shirikisho la soka afrika wamepewa asilimia tano ambayo ni shilingi milioni tisa waungwana hapa lazima tukubali kuwa na upendo na UNK tff inachukua asilimia kumi katika mechi ambayo yanga UNK waamuzi na timu pinzani gharama ya tff ni kitu gani hadi UNK hizo shilingi milioni kumi na nane ni nyingi sana wanapaswa kujifikiria michuano ni ya caf lakini shirikisho hilo la afrika linaonyesha kuelewa na kuchukua kiasi cha chini lakini tff ambao si michuano hasa ya kwao kama ilivyo kwa ligi wanabeba kiasi kikubwa huu ni uonevu ambao inawezekana kwa kuwa ni klabu chache zinapata nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa basi ndio maana hakuna anayeweza kulipigia kelele asilimia ishirini ya uwanja ni kubwa sana ni sawa na kusema kutoa kodi ya pango shilingi milioni thebathini na sita kwa saa moja na nusu kitu ambacho nasisitiza ni wizi mtupu UNK kwenye ligi kuu tanzania bara pia utakuta uozo kama huohuo kutokana na baraza la michezo la taifa kuwa na asilimia kutoka katika mchezo fedha ambazo huchukua katika kila mchezo wanapeleka wapi halafu hatujawahi kusikia zinarejea vipi kusaidia michezo tangu miaka na miaka hatujawahi kusikia bmt imetoa hata shilingi kumi sifuri sifuri sifuri sifuri kusaidia maandalizi ya timu za tanzania zinazoshiriki michuano ya kimataifa haijulikani wapo kwa sababu gani zaidi ya kuhudhuria kwenye UNK na kutoa wasaa tu ndio ushiriki wao hasa katika michezo nchini zaidi ya hapo UNK kama ni kuilipa serikali ninaamini fedha zinazopatikana uwanjani zitakuwa tayari UNK kupitia taratibu maalum sasa tena inakuwaje klabu UNK serikali kupitia bmt huku serikali ikiwa haijachangia lolote kwao katika maandalizi yao na hata inapofikia mechi za kimataifa UNK lolote kama mchango wa UNK acheni UNK wazi wazi na baadaye UNK wamelala sioni faida ya bmt hakuna la maana wanalofanya zaidi ya kukinga bakuli na kusubiri klabu zicheze na wao wapate fedha huku tayari wakiwa wanapokea mishahara kutoka serikali wakiwa wamekaa mkao wa kula bila ya kuwa na mipango yoyote endelevu acheni hizo klabu zinahitaji mipango lakini suala la kuwapunguzia mzigo ni sehemu ya kuwaonyesha njia ya maendeleo tff mnaweza kujiendesha kupitia wadhamini na fedha kidogo kutoka kwa klabu mashabiki arobaini na tatu mia nne na themanini na moja tu ndio waliokata tiketi katika mchezo wa marudiano wa yanga na al ahly uliofanyika kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam kwa mujibu wa shirikisho la soka la tanzania watu wengine waliingia kwa tiketi maalum na jumla ya shilingi milioni mia moja na themanini na mbili saba zilipatikana hivyo yanga kuambulia shilingi milioni kumi sifuri tano mwenyekiti wa simba hassan dalali amewashangaa watu UNK mashabiki wake kwa kuizomea yanga ilipokuwa ikicheza na al ahly kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam katika mchezo wa ligi ya mabingwa afrika bosi huyo amesema UNK kwenye suala la ushabiki klabu hizo hazijawahi kuwa marafiki hata siku moja na ndio maana wakawa watani wa jadi hivyo kuombeana njaa ni kitu cha kawaida kwa simba na yanga na mashabiki wake wapo sahihi kabisa kuishangilia al ahly mchezaji wa mtibwa sugar omar matuta mwenye mabao matano ndiye aliyeifungia timu hiyo mabao mengi kwenye ligi kuu tanzania bara msimu huu itakayomalizika wiki chache zijazo abdallah juma kwa upande wake amepachika mabao manne mtibwa inacheza keshokutwa na jkt ruvu kwenye uwanja wa UNK benchi la ufundi la kagera sugar UNK wachezaji kuwa makini na waamuzi katika mechi zilizosalia kwa vile wanaamini kuna hujuma mabosi hao wamewaambia wachezaji hao kwamba wasifanye mabishano wala vita yoyote isiyo na manufaa uwanjani kwani wataongeza uwezekano wa kukosa nafasi ya pili kwa kupewa kadi ambazo hazina ulazima uwezekano wa moro united kubakia kwenye ligi kuu bara ni mdogo mno na inategemea mechi mbili zilizosalia dhidi ya kagera sugar na prisons lakini hata ikishinda itapaswa kuomba dua azam na polisi moro zipoteze mechi zake mwenyekiti wa prisons salum chambuso amesema amezungumza na wachezaji wake UNK kwamba watashinda mechi zote zilizobaki na nafasi ya pili ni yao mabao kumi na moja UNK wavuni mchezaji wa jkt ruvu hussein bunu yanampa presha boniface ambani wa yanga anayeongoza kwa mabao kumi na nne bunu amepania kuzitumia vilivyo mechi zilizobaki kabla ya kumalizika kwa msimu wa ligi na kurejesha heshima ya wachezaji wa tanzania kwani msimu uliopita wageni ndio walikuwa wafungaji bora kocha wa azam sylvestre marsh UNK uongozi kwamba hakuna UNK wala kutetereka kwa kuondoka kwa mbrazili neider dos santos kocha huyo amesema kwamba wapo kwenye hatari ya kushuka daraja lakini hilo haliwezi kutokea kwani anakiamini kikosi chake toto inacheza na simba kesho jumapili jijini dar es salaam katika mchezo ambao wachezaji UNK wapinzani wao imedaiwa kuwa wachezaji hao wamekuwa wakicheza kwa nguvu kwa vile hakuna mwenye uhakika wa kusalia kikosini msimu ujao maafande hao wa dodoma wana chaguo moja tu leo jumamosi kuifunga yanga kwenye mchezo utakaopigwa kwenye uwanja wa jamhuri mjini humo au kukubali kushuka daraja na kuifuata cda daraja la kwanza UNK maana yake mechi mbili zilizosalia zitakuwa ni za kujifurahisha tu kwani itakuwa imeshuka daraja tayari kocha wa polisi morogoro john simkoko anajaribu kutengeneza saikolojia za wachezaji wake ili kuepuka fedheha ya kupoteza mechi tatu zilizobaki habari za ndani zinadai kocha huyo amewaambia wenzake kwamba anaogopa kuchafua rekodi yake na huenda UNK kikosi hicho msimu ujao endapo UNK kubaki kwenye ligi mmoja wa viongozi wa villa squad nassib ramadhani ambaye ni makamu wa pili wa rais wa shirikisho la soka la tanzania amesema timu yake UNK daraja rasmi UNK uzito kwa cheo UNK tff kiongozi huyo atalazimika kujiuzulu kwa vile klabu hiyo iliyoko taabani kwenye ligi kuu ndio UNK tff timu ya taifa ya mpira wa mikono itaondoka nchini aprili kumi na tisa kwenda kenya kushiriki michuano ya jumuiya ya madola itakayofanyika aprili ishirini na tano mpaka thebathini katibu mkuu wa chama cha mpira wa mikono tanzania sudi omari amesema timu hiyo itakuwa na wachezaji kumi na sita na tayari wameshaanza mazoezi timu ya taifa ya gofu itashiriki michuano ya zimbabwe open itakayofanyika aprili kumi na tatu hadi kumi na tano nchini zimbabwe kocha wa timu hiyo UNK mollel amesema wamefanya UNK makubwa na wana uhakika wa kuibuka na ushindi timu hiyo iliondoka jijini dar es salaam jumatano wiki hii kwenda zimbabwe tayari kwa mashindano hayo wachezaji watano wa tenisi wa tanzania leo jumamosi UNK nchi kwenye michuano ya tenisi ya afrika inayofanyika UNK wachezaji hao tumaini UNK shaaban ibrahim yassin shaban justin joseph na lydia lucas wameapa kuipeperusha vema bendera ya tanzania kocha wa timu hiyo martin dzuwa amesema timu yake ipo katika hali nzuri na wana matumaini makubwa ya kuibuka washindi timu ya netiboli ya kinondoni ipo katika maandalizi makali kujiandaa na michuano ya taifa ya netiboli itakayoanza aprili kumi na tatu hadi ishirini kwenye uwanja wa shule ya filbert bayi kibaha pwani katibu msaidizi wa chama cha netiboli kinondoni michael maurus amesema timu hiyo ipo kambini kujiandaa na michuano hiyo ili iweze kutwaa ubingwa tunataka tuweke historia kwa mkoa wetu kutwaa ubingwa hilo linawezekana kwani tuna wachezaji wazuri na wenye uzoefu mkubwa shirikisho la mpira wa kikapu tanzania limewaomba wadhamini mbalimbali kujitokeza kudhamini michuano ya taifa ya mchezo huo itakayofanyika mei kumi hadi kumi na sita jijini mwanza katibu mkuu wa tbf lawrence cheyo amesema mashindano hayo ni makubwa hivyo zinahitajika fedha kuyaendesha tunahitaji fedha kwa ajili ya mashindano hayo hivyo tunaomba watu binafsi na makampuni kujitokeza kudhamini michuano hiyo yanga ni mabingwa wa tanzania bara kwa mwaka wa pili mfululizo lakini bado inaonekana kutokuwa na hali ya utulivu kutokana na malumbano yanayoendelea huku kila upande UNK lawama kwa upande mwingine na kocha wao kutoka serbia dusan kondic amewaonya wana yanga kuwa UNK watakuwa wamefanya kosa kubwa kwani simba itatwaa ubingwa msimu ujao kumekuwa na taarifa za kocha mkuu wa yanga dusan kondic kutaka kuondoka katika klabu hiyo baada ya kudaiwa kuhujumu mechi yao ya kwanza ya ligi ya mabingwa afrika dhidi ya al ahly jijini cairo misri akiwa anahusishwa na kipa obren curkovic inadaiwa kutokana na hali hiyo kocha huyo amekuwa na mipango ya kuondoka na kuendelea na kazi yake sehemu nyingine kwenye amani mwanaspoti UNK kocha huyo ambaye UNK UNK mambo yalivyo kwanza siwezi kusema moja kwa moja nimekuwa nikifikiria hilo kwa muda mrefu najiuliza kipi ambacho kinafanya UNK yawe hivi yanga haijafanya lipi ambalo kila mtu alikuwa UNK UNK imetwaa ubingwa wa tanzania bara mara mbili tena msimu huu ikiwa ni mapema tuna mechi zaidi ya tatu halafu ubingwa tumechukua anasema kocha huyo wa serbia nachanganyikiwa hali hii kweli nitaondoka kwa kuwa nina sehemu nyingi tu za kupata kazi hata kama ni ndani ya tanzania au nje kwani kocha wa namna gani anatakiwa kuwa kocha bora afanye nini vitu vyote ambavyo nimefanya ni bora kufungwa na al ahly si kitu cha ajabu ni klabu kubwa yenye uwezo sawa na manchester united tumeona ikicheza ubingwa wa dunia na jiulize klabu gani ya afrika UNK kwa kipindi hiki inaumiza sana siku moja nitaondoka utaona kama yanga itachukua ubingwa mwakani kama sipo anasema na alipoulizwa nani UNK ubingwa na kwa sababu gani yoyote lakini nafikiri simba kwa kuwa ni timu UNK na sasa wanaonekana wako makini kubadili makocha ni tatizo lakini sasa naona hao wasiotaka mafanikio yanga ndiyo wanataka hali hiyo itokee hapa unajua nimekuwa nikipokea vitisho pia wamefanya hivyo kwa obren UNK UNK wengine UNK kwamba kuendelea kuishi hapa ni kuhatarisha maisha yetu UNK obren kutuliza akili kwa kuwa wanaofanya hivyo ni wale wasiojua UNK na hawana mapenzi ya dhati kwa yanga na wengi wao ni wasaliti tu najua wanaofanya hivyo ni wana yanga lakini ni wale wenye uroho wa madaraka wanaochukia kuona yanga inafanya vizuri chini ya madega na kocha kufungwa na ahly ndio kuharibu kila kitu cha yanga kama wangeweza kuiongoza yanga vizuri UNK awali na si sasa waache aliye madarakani UNK na wajue sehemu nyingi uroho wa madaraka umekuwa UNK taasisi zilizo imara yanga wawe makini sana na watu hao kondic aliyezaliwa mwaka elfu moja na mia tisa na arobaini na saba mjini UNK UNK yugoslavia anaeleza ubingwa mara mbili sasa wachezaji wana mafanikio makubwa angalia wanamiliki magari na wanaishi kama wachezaji nyota ukilinganisha na wa klabu nyingine sasa mnataka yanga ifike wapi UNK iendelee kusonga mbele au hapa mnaona inatosha tutafika vipi mbele kama sisi kwa sisi UNK UNK sana anasema kondic ambaye ni baba wa watoto wanne na ameoa mwanamitindo raia wa angola kondic UNK ubingwa yugoslavia mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tatu na themanini na nne akiwa na fc UNK ya belgrade na baadaye ubingwa wa angola mwaka elfu moja na mia tisa na tisini hadi tisini na tatu halafu mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba akiwa na moja st agosto de angola anaonekana kukerwa na tafrani UNK ndani ya klabu hiyo huku akiwa amekaa mguu mmoja ndani na mmoja nje mserbia huyo anayezungumza lugha tatu za kiingereza kireno na UNK kwa ufasaha amejivunia timu yake kupata nafasi ya kuuza wachezaji nje ya tanzania wanaochukia ni wana yanga inashangaza sana sasa hawataki wachezaji wetu wauzwe nje wanataka wauzwe wa timu gani nachanganyikiwa na hawa watu na siamini kama ni yanga kwa kuwa ndio wanaotaka kuvuruga mafanikio yetu katika kipindi ambacho tumekuwa na mafanikio anasema kondic ambaye amewahi kuwa mhadhiri wa chuo kikuu cha belgrade katika kitivo cha sayansi kwa miaka miwili tangu yanga imelala kwa jumla ya mabao nne sifuri dhidi ya al ahly katika ligi ya mabingwa afrika kumezuka malumbano mara kadhaa hali inayoonyesha kupoteza amani ndani ya jangwani akizungumzia suala la kulumbana na mshambuliaji wake gaudence mwaikimba raia huyo wa serbia amesema UNK kwa uongozi wa jangwani sikuona kama ana sababu ya kutukana wakati tukiwa mazoezini UNK nje lakini UNK baadaye UNK lugha chafu huku akisema mimi si kocha UNK suala hilo kwa uongozi na wao ndio wanajua la kufanya kondic UNK na mwaikimba ambaye amekuwa akilaumu UNK kwenye mechi za timu hiyo jumatatu wiki hii katika uwanja wa uhuru jijini dar es salaam finito kocha wa jkt ruvu charles kilinda amesema hajafurahishwa na matokeo ya sare dhidi ya prisons juzi alhamisi na kwamba sasa wanajipanga kwa mchezo ujao dhidi ya mtibwa sugar jkt ilitoka sare ya bao moja moja na prisons katika mchezo huo ikiwa sare ya tatu mfululizo kwa timu hiyo ambayo pia UNK nafasi ya pili ya ligi kuu tanzania bara kilinda alisema alitarajia kushinda mchezo huo lakini mambo yamekuwa tofauti hivyo mechi kwisha kwa sare sijafurahishwa kwa kweli kwa sababu nilitaka kushinda mechi hii lakini mambo yamekuwa tofauti najua prisons UNK kwa sababu walikuwa wakitafuta sare na wameipata ila mimi UNK alisema timu yangu ilicheza vizuri lakini baadaye UNK kasi na kuifanya prisons kutawala na kupata penalti iliyozaa bao hiyo UNK tamaa bado tunaendelea kupambana hadi mwisho alisema sasa wanajipanga kwa michezo ijayo ili waweze kuvuna pointi tatu kila mechi na UNK ligi hiyo vizuri mpambano wa nafasi ya pili bado mkali kwani mechi zetu ni kama mzunguko huyu lazima acheze na huyu hivyo lazima wote tupambane atakayefungwa anazidi kuwa chini ndio maana nataka tujitahidi angalau tuwe miongoni mwa timu tatu za juu alisema kocha mkuu wa yanga dusan kondic raia wa serbia ametoa mtihani kwa wachezaji wake na kuwataka wahakikishe wanashinda mechi zao tatu zilizosalia kwenye ligi kuu tanzania bara ingawa UNK ubingwa kwa mara ya pili mfululizo akizungumza na mwanaspoti jijini dar es salaam kondic alisema amechukizwa na kipigo dhidi ya azam fc na moja kwa moja UNK lawama wachezaji wake kwamba UNK huku wakiwa mbele kwa mabao mawili mpaka mapumziko lakini wakakubali kufungwa tatu mbili yanga ipo mbele kwa mabao mawili hadi mapumziko halafu tunafungwa mabao matatu wanafanya hivyo kwa kuwa wanajua UNK ubingwa hayo si makubaliano yetu kwamba baada ya ubingwa tukubali kufungwa alisema kondic nimewaambia lazima wajue wanafanya kazi kwa ajili yao na familia zao lakini kukubali kufungwa maana yake UNK mashabiki na kama ni hivyo UNK uwanjani fedha za mishahara yao itapatikana vipi wanatakiwa kufanya kazi kitaalamu wajue rekodi ni muhimu UNK mechi ngapi umeshinda ngapi sare ngapi na hiyo inaingia kwenye rekodi zako sitapenda kuona tunapoteza hata mechi moja kati ya hizo zilizobaki kama ni kucheza basi iwe kama UNK kombe lazima UNK heshima yetu ambayo ni heshima ya wachezaji alisema katika mechi dhidi ya azam fc yanga ilikuwa inaongoza kwa mabao mawili ya boniface ambani hadi mapumziko lakini azam walirejea kipindi cha pili na UNK kabati kwa kufunga mabao matatu kupitia yahaya tumbo na shaaban kisiga na kuibuka na ushindi wa mabao tatu mbili katika mechi iliyofanyika uwanja wa uhuru jumatano wiki hii yanga imebakiza mechi tatu kumaliza ligi dhidi ya polisi dodoma leo jumamosi mjini dodoma dhidi ya simba aprili kumi na tisa na dhidi ya villa squad mechi itakayochezwa aprili ishirini na sita siku ya mwisho ya ligi kuu bara msimu huu nahodha wa yanga fred mbuna amemsamehe shabiki wa soka aliyedaiwa kumshambulia kwa kumtupia maneno makali na kumpiga kwa mawe wakati wa mechi ya ligi kuu tanzania bara dhidi ya kagera sugar katika mechi hiyo hivi karibuni mbuna alikumbana na adhabu ya kadi nyekundu baada ya kuruka uzio wakati wa mapumziko na kumkamata shabiki huyo ambaye alimkabidhi kwa askari polisi na kumfungulia mashitaka kituo cha polisi cha changombe jijini dar es salaam siku ambayo UNK kumpeleka mahakamani jamaa alikuja pale kituoni na familia yake mkewe na watoto wawili halafu ni wadogo mkewe na ndugu zake wote wakawa UNK UNK alisema mbuna ulikuwa uamuzi mgumu kwani nilikuwa na hasira sana jamaa UNK alinipiga kwa mawe na kunitukana matusi bila ya sababu na si mtu ambaye UNK na wala sijawahi UNK kwa lolote kaniambia yeye ni shabiki wa yanga sasa inakuwaje nipo vitani UNK klabu yeye UNK moyo kwa UNK lakini UNK nimesikia imani na kumsamehe ninajua wengi watajifunza kwa hilo soka si vita alisema mbuna mbuna alifungua kesi namba cha rb elfu mbili na mia nane na thebathini na moja sifuri tisa kwenye kituo cha polisi cha changombe jijini dar es salaam mbuna ndiye mchezaji aliyecheza yanga kwa muda mrefu zaidi katika ya wachezaji walio katika kikosi hicho na ana uwezo wa kucheza kama beki wa pembeni kati na ushambuliaji makocha waliopita jack chamangwana na sredojevic milutin micho UNK mchango wake na kumbakiza kwenye kikosi lakini amekuwa hana namba ya uhakika hasa wakati huu wa kocha dusan kondic finito kocha wa azam fc itamar UNK amesema kipa juma kaseja ni namba moja nchini na anatakiwa kupongezwa kutokana na ubora ambao amekuwa UNK siku hadi siku itamar aliwahi kuwa kocha wa viungo katika kikosi cha timu ya taifa taifa stars chini ya marcio maximo ambaye ameapa UNK kaseja katika kikosi chake achana na chochote ambacho anaweza kuzungumza mtu lakini kaseja ni kipa bora kabisa hakuna anayeweza kupinga hilo alisema kocha huyo mbrazili baada ya timu yake kuifunga yanga mabao tatu mbili jumatano wiki hii mimi nampongeza kwa uwezo alioonyesha amecheza mpira wa uhakika na si kitu cha kawaida ana uwezo mkubwa wa kuondosha penalti lakini utamuona anavyojipanga langoni azam fc ingeweza kushinda zaidi kama si yeye alisema itamar ambaye baada ya kuwa chini ya maximo kwa miaka miwili alirejea kwao brazil kabla ya kurudi nchini na kuwa kocha wa viungo wa azam fc kabla ya kupandishwa baada ya kutimuliwa kazi kwa neider dos santos katika mechi ya ligi kuu ya tanzania bara jumatano wiki hii azam fc iliyopanda daraja msimu huu imekuwa timu ya pili kuifunga yanga msimu huu kwa kuifunga mabao tatu mbili huku kaseja akiokoa penalti mbili zilizopigwa na UNK monday raia wa kenya na shaaban kisiga licha ya wadau mbalimbali kutaka maximo UNK kaseja katika timu yake kocha huyo amekuwa akidai kuwa hataki wachezaji wanaogawa timu kumekuwa na taarifa kuwa kaseja na maximo walikorofishana walipokuwa nchini senegal ambako stars ililala kwa mabao nne sifuri lakini hata hivyo hakuna kati yao aliyewahi kuweka wazi chanzo cha sintofahamu hiyo shirikisho la soka la tanzania UNK klabu za soka kuhakikisha zinakuwa na tovuti kabla ya kuanza kwa msimu ujao wa ligi kuu tanzania bara fredrick mwakalebela ambaye ni katibu mkuu wa tff alisisitiza hilo wiki hii akisema kuwa ni moja kati ya maazimio ya kikao cha fifa na klabu miezi michache iliyopita mjini bagamoyo lakini mwakalebela ameitoa kauli hiyo huku akibaini fika kwamba mtandao wa tff haupo hewani tangu septemba mwaka ishirini sifuri saba mtendaji huyo katika kujikosha alidai kwamba UNK ukarabati mtandao wao ili urudi hewani na uendelee kufanya kazi lakini ni maneno ambayo sisi wanahabari tumekuwa UNK kila mara ambayo hayana utekelezaji wowote zaidi ya siasa tff kama chombo kikubwa cha taifa UNK masuala ya soka UNK kuonyesha mfano kwa kuwa na mtandao wa kisasa ambao utakuwa ukitoa habari za kila siku za soka la tanzania lakini hilo limeonekana kuwa ni hadithi zisizo na mwisho lakini matokeo yake ukiingia kwenye mtandao wa shirikisho hilo habari ya mwisho mpya iliwekwa septemba ishirini na saba mwaka ishirini sifuri saba saa nane sifuri sifuri mchana UNK kwamba tunapinga klabu kuingia katika teknolojia hiyo muhimu na ya kisasa lakini tff inapaswa kuacha propaganda na kufanya kazi kiumakini zaidi na kuhakikisha kwamba inaonyesha mfano kwa wanachama wake UNK klabu kujitahidi kuhakikisha kwamba zinaingia kwenye teknolojia hiyo haraka iwezekanavyo na kuendana na mfumo wa utandawazi ulioko duniani na kuondokana na aibu ya sasa ya kutokuwa na habari ambazo UNK kusomwa kimataifa angalau mtibwa sugar ya turiani imekuwa ikionyesha mfano kwenye mtandao wake na kuweka vitu vipya lakini hali hiyo inahitaji kuboresha zaidi kwa klabu zote tff inapaswa kuonyesha mfano kwa vitendo zaidi kuliko kuzungumza kama wanasiasa huku yenyewe ikiwa haina cha kuigwa tunaamini kuwa tff badala ya kuzitaka klabu kuwa na tovuti zao yenyewe itakuwa ya kwanza UNK wa kwake simba imesema mshambuliaji wake mnigeria orji obinna UNK kwenye kikosi kitakachoivaa yanga aprili kumi na tisa katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam mchezaji huyo yupo kwao nigeria kwa kile kinachoelezwa na uongozi kwamba amekwenda kuoa na baada ya hapo akapewa mapumziko mafupi lakini habari UNK ndani ya simba zinadai kuwa mchezaji huyo huenda UNK mpaka mwisho wa msimu ingawa viongozi wametoa hofu katika hilo na kudai ni uzushi tu kwani mshambuliaji huyo mrefu atakuwapo katika mechi ya watani wao wa jadi yanga mwenyekiti wa kamati ya usajili ya simba kassim dewji aliiambia mwanaspoti jijini dar es salaam kuwa mchezaji huyo atatua nchini muda wowote kuanzia sasa UNK naye mara kwa mara alikwenda kwao kwa ruhusa maalum kwamba anakwenda kuoa na baada ya hapo lazima apumzike kidogo kwa ajili ya UNK alisema dewji huyu mchezaji atarudi nchini muda wowote kuanzia sasa mpaka ifikie mechi ya yanga atakuwa amesharudi mazoezini hiyo haina wasiwasi dewji alisema huwa wanawasiliana mara kwa mara na mchezaji huyo na ana imani kwamba atarudi nchini katika muda muafaka ingawa amekosa mechi nyingi za ligi kuu ya bara UNK ambaye alisajiliwa msimu huu wa ligi na mwenzake emeh izuchukwu amefunga mabao sita hata hivyo obinna mwenyewe amekaririwa akisema kuwa anachelewa kurejea nchini kwa sababu simba wanashindwa kumtumia tiketi ya ndege mechi ya watani hao wa jadi imekuwa gumzo kubwa kutokana na yanga kutwaa ubingwa huku simba ikiwa inatafuta nafasi ya pili ili icheze kombe la shirikisho mwakani simba UNK kambini dar es salaam UNK toto africa kesho jumapili lakini leo jumamosi yanga itakumbana na maajabu mengine ya ligi kuu ya bara itakapopambana na vibonde wa polisi dodoma mjini dodoma polisi hao watakaokuwa nyumbani hawana dalili ya kuchomoka kwenye shimo la kushuka daraja lakini UNK yanga kwamba UNK vitu ambavyo UNK yanga yenye pointi arobaini na saba tayari ni mabingwa wa bara na polisi imesema itatumia vilivyo nafasi hiyo ili kujichomoa kwenye tundu la kushuka daraja hali yetu ni mbaya lakini bado tuna imani na UNK yanga mambo ambayo UNK ili tupate nafasi ya kutetea nafsi yetu kikamilifu alisema meneja wa polisi ramadhani panga jana ijumaa huu mchezo ni halali yetu kushinda na ndio ambacho UNK wachezaji wote wapo katika hali nzuri tayari kuendelea na mapambano UNK daraja kama baadhi ya watu UNK hii ni soka na tunaombea polisi morogoro UNK angalau tuwe pazuri aliongeza kiongozi huyo ambaye timu yake ina pointi kumi na tano ikiwa inashika nafasi ya pili kutoka mwisho yanga iliwasili mjini dodoma juzi alhamisi majira ya saa saba thebathini usiku na kufikia hoteli ya royal iliyoko barabara ya kondoa na walitarajia kufanya mazoezi mepesi jana jioni kwenye uwanja wa jamhuri simba yenye pointi thebathini na tatu ikiwa UNK nafasi ya pili kwenye msimamo inacheza na toto africa kesho jumapili jijini dar es salaam katika mchezo ambao wachezaji wa wekundu hao wameapa kuwa ni ushindi kama kawa simba ipo kwenye presha kubwa ya kagera sugar mtibwa na prisons ambazo kila mmoja UNK UNK UNK nafasi ya pili na kupata tiketi ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani soka la uhakika la simba katika mechi mbili za mwisho dhidi ya azam na kagera sugar zimewafanya mashabiki wengi kuwa na hamu na kuona mchezo huo mshambuliaji wa simba emeh izuchukwu pamoja na kocha wake patrick phiri wamesema ushindi upo kwenye mchezo huo pamoja na mechi zingine zilizosalia toto haina cha kupoteza kwenye mchezo huo kwani nafasi yake ya kuwania nafasi ya pili ni ndogo lakini imeshajihakikishia kubakia ligi kuu bara msimu ujao ligi kuu imekuwa na mvuto kutokana mchuano wa kuwania nafasi ya pili na kukwepa kushuka daraja timu za villa squad polisi dodoma na moro united ndio UNK kwenye shimo la kushuka daraja na endapo kila moja ikipoteza mchezo ujao itakwenda na maji villa ilicheza na moro united jana ijumaa jijini dar es salaam wakati kipa obren curkovic wa yanga akiwa ameanza kupima afya nchini austria wachezaji wengine kumi wa mabingwa hao wa tanzania bara wanatarajia kwenda kufanya majaribio kwenye klabu mbalimbali za ulaya na amerika ya kaskazini wachezaji wanne kati ya hao wamepata timu za kujaribiwa marekani na canada huku wengine wawili wakiwa wanatarajia kwenda kufanya majaribio nchini serbia ambako ni nyumbani kwa kocha wao dusan kondic ukiachana na hao sita mmoja ambaye ni boniface ambani tayari amepata timu nchini china UNK kusaini mkataba baada ya kufanikiwa majaribio aliyofanya hivi karibuni huku beki wa kulia wa yanga shadrack nsajigwa akitarajia kwenda albania kufanya majaribio huku kiungo athuman idd akiwa anasubiri ruhusa kuanza safari ya kufanya majaribio katika klabu ya galatasaray ya uturuki mchezaji mwingine anayekwenda kufanya majaribio ni mrisho ngassa UNK jumatatu kwenda jijini london uingereza kwenye klabu ya west ham inayoshiriki ligi kuu ya england chini ya kocha UNK gianfranco zola iwapo wachezaji hao wote watafanikiwa kufanya vizuri kwenye majaribio hayo maana yake kikosi cha wachezaji kumi na moja watakuwa wameondoka jangwani na kufanya kikosi UNK kuuzwa ulaya na amerika ya UNK kocha mkuu wa yanga dusan kondic amethibitisha wachezaji hao kutakiwa kufanya majaribio katika nchi hizo ingawa hakutaka kuweka wazi kuhusu majaribio hayo yatakuwa ya muda gani na hakusema siku ambayo baadhi ya wachezaji hao UNK hata hivyo wakati obren aliondoka mwanzoni mwa wiki hii uongozi wa yanga UNK kujua lolote lakini kondic amesema kipa huyo ameondoka kwa uhalali kabisa obren kaanza kuchukuliwa vipimo ni kipa bora amecheza mechi kumi za ligi kuu bara na kafungwa bao moja tu mechi mbili za kimataifa kafungwa mabao matatu umri wake ni miaka ishirini na nne bado kijana ana nafasi lakini pia hawa wengine wataondoka baada ya kumalizika kwa ligi kinachofanyika ni kufuata taratibu kwanza kutoka kwa uongozi wa yanga ili kila anayekwenda awe UNK taratibu zote alisema kondic hatutaki mtu aondoke na kusababisha lawama kila mmoja UNK kuhusu suala hilo la kufanya majaribio katika nchi husika na wale wanaokwenda serbia nafikiri wataondoka mapema alisema uchunguzi wa mwanaspoti UNK kati ya wanaokwenda serbia ni beki george owino raia wa kenya huku beki nadir haroub cannavaro akienda kwenye majaribio kati ya marekani na canada siwezi kuweka wazi subiri vitu vikae sawa ili kuepusha kuharibu mambo kuna klabu nyingine bado UNK vizuri ikiwa tayari kila kitu UNK alisema kondic soka ya sasa ndio inakwenda hivyo na kama wakifanikiwa wote yanga itaingiza mamilioni na kusajili kikosi kingine imara mwakani huku kuhusu safari ya england mwanaspoti ilifanikiwa kumpata ngassa ambaye alisema amejiandaa vya kutosha na ana imani kubwa ya kufanya vema kweli nimejiandaa ingawa ninakwenda katika mazingira tofauti lakini UNK kufanya vizuri ni ndoto yangu kucheza ulaya na hii ni nafasi nzuri kwangu alisema ngassa akionyesha kujiamini yanga ikiongozwa na kondic na msaidizi wake spaso skolosovisk raia wa macedonia ilitwaa ubingwa ikiwa na mechi tano mkononi lakini imetolewa kwenye ligi ya mabingwa afrika na vigogo wa afrika al ahly kwa kufungwa jumla ya mabao nne sifuri baada ya kufungwa tatu sifuri jijini cairo na moja sifuri jijini dar es salaam baada ya kutua nchini mwaka jana kocha huyo raia wa serbia pamoja na kusisitiza kutwaa ubingwa aliahidi kwamba atajitahidi kutafuta sehemu ambayo wachezaji kutoka yanga watapata nafasi za kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa yanga leo jumamosi inacheza na polisi dodoma katika uwanja wa jamhuri mjini dodoma alfajiri ya jumapili iliyopita niliarikwa na kituo cha televisheni ya taifa ambako nilikwenda kuzungumzia umuhimu wa serikali kusaidia watafiti wa tiba asili ili kuharakisha maendeleo nchini tbc UNK kufuatia kuandika makala na vitabu kadhaa UNK jamii kupenda kula vitu vya asili kama njia ya kupambana na magonjwa baadhi ya vitabu nilivyoandika ambavyo vingi ni matokeo ya tafiti UNK na madaktari kadhaa vimesaidia watu kupona magonjwa na matatizo mbalimbali ya afya yakiwemo nguvu za kiume namna ya kupunguza uzito unene harufu mbaya na kuondoa chunusi niliandika pia katika vitabu hivyo kwamba ingawa hakuna tiba ya moja kwa moja hadi sasa lakini kuna vyakula ukila vinasaidia kuongeza cd nne UNK hata wewe usiye na ukimwi kinga yako kuwa juu kiasi kwamba inakuwa vigumu kwako kupata magonjwa ovyo nikiwa katika kituo hicho cha televisheni nilieleza pia umuhimu wa serikali kuwa karibu na watafiti ambao tiba zao zinaonyesha kuwa na mafanikio ili sio tu ziendelee kuboreshwa bali iwasaidie kuzisambaza kwa watu wengi zaidi nina hakika kwa kupata ushauri mzuri kuhusu chakula unaweza kuwa mtu mwenye afya njema zaidi watu wengi wanakosea wanakula ili mradi tumbo limejaa hawaangalii hiki UNK kinakwenda kusaidia nini mwilini UNK ukweli ni kwamba ukiwa makini kusaka maarifa na kupenda kufanya kazi kwa bidii kufanikiwa ni suala la lazima kuwa na maisha ya raha ni suala la lazima UNK msingi wa kuwa na maisha ya mafanikio na yenye raha ni kusoma machapisho vikiwemo vitabu pamoja na kujenga tabia ya kusikiliza vipindi kwenye redio na televisheni ambavyo vina msaada kwa kumbadilisha mwanajamii awe na furaha na mafanikio zaidi kwa mfano kuna watu wamekuwa wakifanya ngono ovyo kwa imani kuwa kondom zitawasaidia wasipate virusi vya ukimwi ukweli ni kuwa unaweza kutumia kondom na bado ukapata ukimwi kinamna gani ziko sababu nyingi wakati mwingine yawezekana hali ya usafi wako au kuna baadhi ya wanaume wamekuwa wakitaka UNK sababu tu ana hofu kuwa maumbile yake ni madogo hii si sahihi hata kidogo kwa sababu watafiti norway wamegundua njia salama za kukufanya mwanaume kuendelea kuwa bora kupitia mazoezi UNK UNK ndio nasema msingi wa kuwa na maisha yenye raha ni kupenda kusoma kazi za watu wa ndani na nje utakuwa mwenye uelewe mzuri zaidi ndio sababu nimekuwa nikiandika makala na vitabu mbalimbali vya mambo hayo niliyoyaeleza ili kukusaidia wewe UNK mafanikio katika maisha hayaji kama upepo ni lazima UNK kwa bidii kinyume na hilo utabaki kuwa mtu usiye na mafanikio raha ya maisha ni kuwa na wingi wa maarifa si ndio jamani kwa mfano nikiwa tbc nilieleza utafiti ambao umebainika kuwa ni wenye mafanikio kwamba mtu anaweza kupaka kitunguu swaumu chini ya unyayo kama alikuwa ana mafua baada ya muda yanakwisha nafikiri umeshaelewa sasa ninaposema kuwa ni jambo la msingi sana katika maisha kusaka maarifa je wewe unafanya jitihada gani kuhakikisha unakuwa na maisha yenye wingi wa mafanikio na raha ukweli ni kwamba unapaswa kuwa msomaji wa magazeti na machapisho mbalimbali vikiwemo vitabu nk lakini pia unapaswa kuwa makini kwa sababu si kila chapisho UNK si ndio jamani kuna mambo ya kuzingatia katika kufuatilia jambo kwanza ni historia ya mtu katika kazi hiyo na namna UNK lakini zaidi ya yote ni nafsi yako UNK baada ya kuisikia ama kuiona kazi yake katika dunia hii hakuna mtu ambaye amezaliwa ili kuyaendesha maisha yako milele ni wajibu wako kuhakikisha unafanya jitihada kusaka maarifa hata katika vitabu UNK kwa mfano katika kitabu cha biblia watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa maarifa katika kuendesha maisha maarifa katika ulaji maarifa katika kuzungumza na watu maarifa katika kuishi na wazazi nk msingi wa machapisho yangu mengi ni kuongeza maarifa kwa jamii msingi wa maisha yenye raha ni kuwa na maarifa kisha kuyafanyia kazi maarifa hayo kuwa na elimu kwa mfano ya darasa la saba kidato cha nne sita au hata chuo ni muhimu kujua namna ya kuwa na maisha bora kupitia elimu hiyo ni jambo la msingi zaidi kwenda kwenye nyumba ya ibada ni suala muhimu kuzingatia UNK ni muhimu zaidi kuna watu wengi wanakwenda nyumba za ibada ukija mitaani unashindwa kutofautisha yupi huwa anakwenda na yupi UNK nyumba za ibada kutokana na matendo yao kutotofautiana sana shida ni sehemu ya maisha kuna watu wengi wamekuwa wakikata tamaa wanapoona mambo hayaendi vizuri kufanya hivi ni kosa cha msingi katika maisha ni kufanya kazi kwa bidii na kukaa na watu ambao watakusaidia kubadilishana mawazo hata kama mambo yanakuwa magumu kiasi gani jipe moyo kwamba uko kwenye mapito na ipo siku mambo yatakuwa safi unapokuwa na matatizo katika maisha maana yake ni darasa na lifanye kuwa ni daraja la kuelekea kwenye maisha bora hata kama labda wazazi wako UNK au labda umezaliwa hujui mzazi hata mmoja au labda baba au mama yako UNK huna sababu ya kukata tamaa kwa sababu wapo watu wamekuwa na maisha mazuri hata kama hawakuwa na wazazi katika kusherehekea siku kuu ya pasaka wanamuziki mbalimbali nchini watashiriki kuwasha moto sehemu mbalimbali za burudani na tayari baadhi yao wamekwisha tangaza ratiba zao mwanamuziki nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini lady jay dee ni miongoni mwa waliopanga kuwasha moto katika onyesho maalum la kusherehekea siku kuu ya pasaka ndani ya ukumbi wa hotel ya giraffe ocean view ya jijini dar es salaam shoo hiyo ya machozi bendi bila kum UNK lady jay dee anayetamba na kibao chake uko juu inatarajia UNK vumbi kuanzia saa moja usiku mpaka UNK wakati huo huo mwimbaji nyota wa myimbo za injili tanzania flora mbasha naye anatarajia kuzindua albamu yake mpya na video ya nyimbo yake UNK kama furaha yako siku ya pasaka mbasha ambaye bado anaendelea kutamba na nyimbo zake kama jipe moyo tanzania adui yako na nyinginezo nyingi alisema albam hiyo itakuwa ni maalum na zawadi ya pasaka kwa wapenzi wa kazi zake pamoja na flora mbasha rose mhando bahati bukuku na christina shusho wanatarajiwa kutoa burudani ya aina yake katika tamasha hilo kubwa la pasaka litafanyika kesho kwenye ukumbi wa diamond jubilee na kushirikisha wasanii wengine UNK wa nyimbo za injili kutoka afrika mashariki pamoja nao atakuwepo msanii wa muziki wa injili kutoka arusha erick UNK ambaye atatumia nafasi hiyo kuzindua albam yake iitwayo molel yenye nyimbo kumi na moja ikiwemo dunia tupendane jamani wakristo champion UNK UNK msalaba kipawa ahsante na acha UNK waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu philip marmo anategemewa kuwa mgeni rasmi katika tamasha hilo nayo bendi ya top in dar top band jana ilitarajiwa kufanya onyesho la nguvu katika ukumbi wa UNK UNK jijini tanga na tarehe kumi na tatu bendi hiyo imepanga kuendeleza makamuzi kwa kutumbuiza katika ukumbi wa fax night club hapo hapo mjini tanga onyesho hilo mahsusi katika UNK siku kuu ya pasaka UNK kwa mara ya kwanza bendi hiyo kwa mashabiki na wakazi wa tanga wasanii wengine watakaoshiriki katika maonyesho mbalimbali ya pasaka ni pamoja na wanamuziki kutoka katika familia yenye vipaji vya muziki maunda zorro na mwasiti almasi ambao watapanda jukwaani kumpiga UNK rutta UNK bushoke katika uzinduzi wa albamu yake dunia njia ndani ya ukumbi wa UNK UNK UNK mjini bukoba bushoke alisema mbali na mabinti hao wasanii kama ngwea blue steve na wengine kibao wataungana naye katika zoezi hilo la utambulisho wa albamu yake yenye takribani nyimbo kumi na moja onyesho hilo mahsusi kwa sherehe za siku kuu ya pasaka ina kiingilio cha shilingi kumi sifuri sifuri sifuri kwa kichwa show ya pili itakuwa kwa shilingi hamsini sifuri sifuri tu na itafanyika katika uwanja wa kaitaba kazi kwenu wakazi wa bukoba wilaya na mikoa ya jirani wakazi wa chanika nao UNK jumapili hii yaani jumapili ya kesho ya pasaka watapata burudani ya aina yake kutoka kwa mshindi wa tuzo ya mwanamuziki bora UNK ishirini sifuri tisa UNK mshindi wa tuzo ya mwanamuziki bora wa hip hop chidi benz bila kumsahau marlow na UNK wa pili wasanii hawa wamepania kuwatoa jasho mashabiki katika ukumbi wa UNK UNK maeneo ya chanika jijini dar es salaam kuanzia saa moja usiku morogoro nako moto ni uleule taarifa tulizonazo ni kwamba yule UNK tuzo ya mwimbaji bora wa kike keisha atakuwa na kazi ya kudhihirisha kama kweli alistahili tuzo hiyo shoo hiyo ambayo itafanyika katika ukumbi wa ddc imeandaliwa na kampuni ya kuaminika nyau entertainment na UNK pia yule jamaa anayetamba na wimbo wake sumu ya penzi anaitwa UNK tisa mkurugenzi wa nyau entertainment UNK anasema mchana kutakuwa na mashindano ya UNK toto watoto watachuana kuwania tv mbili morogoro huku huko pia kuna shoo ya q jay UNK UNK na zanzibar morden taarabu UNK roho mashabiki katika ukumbi wa UNK UNK hiyo ya pasaka habari njema kwa wapenzi wa muziki wa kizazi kipya nchini ni kwamba mavazi ya msanii wa bongo fleva aliyehamishia shughuli zake uingereza msafiri kondo maarufu kama solo UNK sasa yanapatikana UNK mbali na kuachia UNK line yake solo aka msafiri aka mzee wa vina yuko mbioni kuachia ngoma mpya UNK mtoto wa down town ambayo muda si mrefu itatua katika soko la muziki nchini solo amewataka mashabiki wa muziki wa kizazi kipya kukaa mkao wa kula kwa kuwa yuko mbioni kuachia albam yake mpya sokoni UNK kwa jina la msafiri aka UNK akiizungumzia albam hiyo UNK na starehe hivi karibuni solo ambaye kwa sasa anataka aitwe msafiri kuweka msisitizo alisema UNK traveller msafiri na itakuwa na mchanganyiko wa lugha ya kigeni na kiswahili na natarajia itakuwa ni albam ya kimataifa side a kiswahili UNK kiingereza anaeleza amesema msafiri ni stori ya msafiri toka mbagala primary school mpaka ughaibuni alipo namaanisha UNK mimi zaidi na safari yangu kimuziki pamoja na mengi yaliyowahi UNK UNK kitu anasema alizitaja ngoma ambazo UNK UNK katika albam hiyo kuwa ni pamoja na traveller why me am UNK without me UNK of africa UNK UNK na do you UNK na kudai za kiswahili UNK UNK bongo baada wimbi la wasanii kibao wa muziki wa kizazi UNK nchini kuamua kusambaza kazi zao wenyewe msanii rogers lucas wa bongo star search naye amefuata mkondo huo rogers UNK wadosi kutokana na kile alichodai kuogopa UNK rogers alisema ameamua kufuata msimamo wa wasanii kibao waliopita kwa kuogopa kunyanyaswa na mdosi na kutokuwa na uhakika wa uhalali wa malipo yatokanayo UNK albam yangu mwenyewe UNK kuipeleka kwa mdosi kutokana na matatizo ambayo UNK wasanii wenzangu wengi waliopita nimeamua kutafuta mtu ambaye atanisaidia kuzisambaza alisema albam ya mchizi inapatikana kwa buku kumi tu na UNK ulipo kama UNK namba hizi sifuri saba tatu mbili mia tatu na thebathini na nne mia tatu na thebathini na nne albam hiyo ina nyimbo nane ambazo ni pamoja na rudi uliotokea kutamba mno niambie leo vipi jasho la upendo ni wewe si utani hayupo na mama rogers anawaomba mashabiki wamuunge mkono na alidai yuko katika harakati ya kuzindua albam yake hiyo mikoa yote ya tanzania hivi karibuni wasanii wengi wameonekana kukana suala la albamu zao kusambazwa na wadosi kwa kutaka kupata haki zao walio wengi wanauzia majumbani na kwingineko ambako wao wanaona ni salama baada ya kutamba na vibao kadhaa albam yake ya kwanza inayokwenda kwa jina la UNK na kukubalika katika anga ya muziki msanii hussein rashid maarufu kama hussein machozi yupo UNK akikamilisha albamu yake ya pili husein ambaye UNK singo mpya kwa ajili yako ambayo ndio jina la albam ambayo UNK hivi sasa katika studio ya UNK iliyopo mwanza video ya wimbo wangu mpya imefanywa na kampuni ya visual UNK chini yake adam juma na video yote imefanyika nairobi kenya alisema hussein aliongeza kuwa sababu UNK nairobi ni katika kujaribu kubadili mandhari ambayo kwa kiasi kikubwa huchangia kuifanya video kuwa bora zaidi albam yake mpya inatarajiwa kutoka mwishoni mwa mwezi mei au mwanzoni mwa juni mwaka huu UNK mkali UNK UNK kwenye tasnia ya muziki bongo hammy b amewataka watayarishaji wanaochipukia kuwa makini na kazi zao hammy b ambaye ametengeneza ngoma kali za fa na ay habari ndio hiyo UNK ageuke na UNK kibao kwenye project ya fa na ay ameyasema hayo muda mchache baada ya kutunukiwa tuzo ya mtayarishaji bora wa mwaka katika tuzo za kili UNK iliyopita ni kweli wimbi la wasanii UNK kurekodi limeongezeka nadhani ni wakati wanaotaka kubaki katika hii game kuwa makini na kazi zao ukisema UNK kazi tu bora zitoke matokeo yake unaharibu kazi yako binafsi amesema hammy b aliwaasa watayarishaji UNK fani akisema kuwa kazi hii ya kuandaa muziki sio kazi ndogo kama wanavyodhania alisema ni kazi ambayo inataka mtu kwenda shule ili ifanyike kwa ufundi na ustadi zaidi unajua watu wanafikiri kuwa kazi hii ni kuandaliwa tu na kwamba kila mtu anaweza kuifanya akiamua wanakosea sana kazi hii jamani ni ngumu na inamtaka mtu aingie darasani UNK kama zilivyo kazi nyingine tu alisema hammy b aliwataka watayarishaji wachanga UNK mazingira ya UNK na kuwaomba msaada watayarishaji ambao wana utaalam zaidi yao ili kujifunza na kuzifanya kazi zao UNK alisema ni vizuri pia kwa watayarishaji wakongwe kuendelea kujifunza kwa kuwa teknolojia zinakwenda UNK ushindani mkubwa umeibuka katika soko la muziki safari hii upepo ukionekana kuelekea upande wa utengenezaji wa video bora na zenye mvuto kwa mashabiki na wasanii wamekuwa wakijitahidi kufanya vizuri video mbalimbali za wasanii na hasa za wasanii wa muziki wa kizazi kipya zimekuwa na mabadiliko makubwa kwa kiasi fulani wanapaswa kupongezwa kuona kuwa wanatakiwa kuwa maridadi na kazi zenye ubora unaotakiwa nimeelezwa kutengeneza video bora ni kuanzia kiasi cha shilingi themanini sifuri sifuri sifuri sifuri hadi shilingi milioni tatu kitu ambacho enzi zile za mwalimu UNK lakini leo inaonekana ni kawaida na hiyo ndiyo hali halisi kwenda na wakati kwa lengo la maendeleo ubora wa kazi ni kati ya vitu vinavyotakiwa kama changamoto ya maendeleo tunajua namna marekani na ulaya UNK hatua kimuziki kweli kuna vitu kadhaa tunapaswa kuchukua kutoka kwao kwa ajili ya maendeleo lakini si lazima kuchukua kila kitu na kubandika katika video zetu za muziki na baadaye UNK bora nilipata nafasi ya kushuhudia video nyingi za bongo kwa wakati mmoja kweli UNK sana kutokana na hatua UNK na ushindani umekuwa mkubwa kwa kila mmoja anajitahidi kutoa video bora na si bora video lakini UNK sana na tabia hiyo ya kuiga kupindukia pamoja na ubora wa video zetu kilichoshangaza zaidi ni namna ambavyo karibu kila msanii kutaka kuigiza kama msanii fulani wa ulaya au marekani mfano jay z hamsini cent au wale wanaoimba miondoko ya r b kama usher raymond UNK brown na wengine wengi kila msanii anaonekana wakati akifanya kazi zake tayari anakuwa katika hisia za kutaka kuwa kama msanii fulani wa marekani au ulaya ili kuhakikisha anafanikiwa kitu ambacho si sahihi badala yake ubunifu ndiyo unaweza kuwa nguzo sahihi ya mafanikio hayo mashabiki wa muziki wanaonekana kubadilisha mwelekeo kwa hapa nyumbani wengi wanafuatilia sana kwenye televisheni video za wasanii tofauti na miaka michache wengi walikuwa wakifuatilia UNK kama ni hivyo huu ndio wakati mwafaka kwa wasanii kuwekeza ubunifu wao na kuhakikisha wanafanikiwa kwa kutoa vitu ambavyo ni bora na vina utofauti mkubwa na vile vya wazungu inawezekana kama wengi mkiamua kufanya hivyo na baadaye kuwashawishi wengine kuamini hatuwezi kufanya vizuri zaidi ya wazungu kwa kuwa wameanza ni uoga ambao ukiendelea basi siku zote mtakuwa nyuma yao UNK mkia milele kwa kuwa hamtaki kutumia vichwa vyenu kuanzisha vitu vipya badala yake mnaona njia lahisi ni UNK unaweza kuiga lakini UNK kitu hicho kupata kitu kipya au kupiga hatua zaidi lakini si kutoa kitu kama hicho au UNK na kutoa chenye ubora chini ya hicho katika video nyingi za marekani na ulaya wamekuwa wakionyesha vitu vyenye mazingira wanayoishi na kutokana na wimbo wenyewe unamaanisha kitu gani vema nasi UNK hilo na kujali zaidi mazingira yetu na si kuigiza wimbo wa kiswahili katika mazingira ya kingereza tena kupindukia wenye makampuni ya kutengeneza video yameonyesha mabadiliko yamefanya vizuri ukilinganisha na miaka ya nyuma lakini bado wahusika wana deni la ubinifu zaidi na ikiwezekana katika kampuni zao kuwa na watu wenye kazi ya kufanya ubunifu kutokana na wimbo wa msanii UNK kitu gani na kipi cha kufanya kitu cha kukumbuka kwamba siku zijazo UNK kwenda kimataifa zaidi ikiwa na maana kwamba UNK kushindana na wasanii ambao leo UNK sasa utafanikiwa vipi kama unataka kushindana na mtu ambaye kila kitu chako UNK cha kwake ndio itakuwa ile hali ya mbio za dansi ya tanzania hasa kwa bendi nyingi UNK muziki wa daktari congo halafu kesho yake wakaanza UNK UNK kwamba muziki wao hauna ubora lakini siku ya mwisho wakongo wamekuwa juu kwa kuwa wao ndio wenye asili ya muziki huo angalia zinavyofanya fm academia na akudo impact na jinsi bendi za kitanzania kama twanga pepeta UNK mchinga sound UNK na nyingine zimebaki hadithi tu hatua zinazopigwa kwenye video za wasanii kipindi hiki ni nzuri lakini kikubwa ni kuangalia baada ya miaka mitatu ijayo tutakuwa wapi lazima kuwa na malengo na hesabu kwa ajili ya baadaye badala ya kuangalia leo tu tusipokuwa makini tunaweza kuona tumepiga hatua kubwa kutokana na hapa tulipo lakini baada ya miaka miwili mitatu tukagundua kuwa tunacheza UNK na UNK uamuzi wetu wa kuwa wavivu wa kufikiri na wenye haraka ya UNK mwisho wake UNK kufika na tukaendelea kuwa pale pale kwa kuwa UNK watakuwa wamehama na kuingia hatua nyingine iko haja ya hesabu za uhakika mafanikio yawe yenye UNK vema na mazingira yetu kama UNK ufundi na ubunifu wa kutosha basi hata hao wamarekani na watu wa ulaya watapata washindani wa kweli imeelezwa kamati ya miss tanzania imekuwa ikifanya juhudi ili mashindano ya urembo yaliyo chini yake UNK katika hali ya kawaida kutokana na kuelezwa kwamba UNK umaarufu wake wa kawaida hali hiyo inatokana na mrembo wa mwaka huu UNK karim kutoshiriki katika shughuli nyingi za kijamii kama ilivyokuwa kwa mrembo aliyepita richa UNK lakini pia tabia ya mrembo wema sepetu kuingia kwenye kashfa mfululizo imefanya wazazi wengi kuingia hofu kwa watoto wao kushiriki ingawa waandaaji wamekuwa wakisisitiza kwamba hiyo ni tabia ya mtu pamoja na kufanya vizuri nyumbani warembo kadhaa wa tanzania wameshindwa kufanya vizuri kwenye mitindo nchini afrika kusini imeelezwa warembo wengi walioenda huko baadhi yao wamerejea nchini baada ya kushindwa kufanya vema huku UNK UNK UNK pekee ndiye anafanya vema zaidi UNK matata ameonyesha angalau lakini wengine akiwamo nancy sumari na victoria martin mambo yao yameonyesha kutokuwa katika msitari mzuri kama ambavyo walitarajia wakati wakifunga safari kwenda nchini humo kusaka mikataba ya kimataifa msanii albert UNK ngwea ameonyesha kufurahishwa na maisha ya bagamoyo ambako yuko chuoni UNK masuala ya muziki rafiki wa karibu wa mangwea amesema msanii huyo amekuwa akiishi maisha ya raha mustarehe na amesisitiza atahakikisha anatimiza ndoto yake ya kuhitimu masomo yake jamaa sasa ameamua kumaliza shule UNK lakini pia maisha ya huko UNK sana hakuna bugudha nyingi kama za dar es salaam na mambo yanaenda kwa utulivu alisema rafiki wake huyo wa karibu kutokana na kuendelea kusimama na kufanya mambo yake vizuri msanii juma nature amekuwa akiishi kwa tahadhari kubwa kutokana na kupata taarifa kwamba kuna wasaliti wanaotaka kuhakikisha UNK imeelezwa nature ambaye anaongoza kundi la wanaume halisi amekuwa makini sana baada ya kuelezwa kuna watu UNK wahakikishe anaingia kwenye kashfa UNK jina lake alipoulizwa na mwanaspoti kama ana taarifa ya hali hiyo nature alisema siwezi kujua ila nimewahi UNK kwamba kuna watu UNK na lengo ni kuchafua jina langu sijui kama ni ukweli lakini nimechukua tahadhari kwa kuwa watu UNK na hawapendi mafanikio ya wengine alisema arsene wenger kocha wa arsenal amekiri kufanya kosa la mwaka UNK timu yake kutwaa ubingwa kocha huyo mwenye mafanikio makubwa katika klabu yake amekumbana na shutuma za mashabiki baada ya mashabiki waliokosa subira kuanzisha UNK kuwa arsenal imekosa ubingwa kwa mwaka wa nne wenger amekuwa akishutumiwa kwa kutumia zaidi vijana ambao UNK mafanikio kwa muda mrefu wenger amekuwa na timu hiyo kwa miaka kumi na mbili sasa lakini pamoja na hayo arsenal imeingia nusu fainali ya kombe la fa na itacheza na chelsea kwenye uwanja wa wembley jumamosi wakati suluhu na villarreal katika mchezo wa kwanza UNK nafasi arsenal kufanya vizuri kesho kwenye uwanja wake wa emirates kumnunua gareth barry au xabi alonso UNK vijana wake wenger UNK haikuwa chaguo langu lakini ndiyo imeshakuwa na nimefanya haya kwa miaka thebathini na tano licha ya kuwa sikuwa najua nilichokuwa UNK nakiri kufanya makosa labda kwa sababu niliangalia sana matokeo ya msimu uliopita hasa baada ya kupoteza kasi ya ubingwa nilijiuliza maswali mengi yasiyo na majibu na ndiyo maana nikafanya maamuzi UNK mwenyewe hasa kusajili vijana arsenal ilimaliza msimu kwa kulazimishwa sare ya mbili mbili na birmingham mechi ambayo ilimpoteza eduardo kwa kuvunjika mguu na pia william gallas kupoteza penalti muhimu baadaye kiungo alexander hleb aliamua kwenda barcelona adebayor akatishia kujiunga na timu hiyo kama UNK mshahara flamini alikwenda milan baada ya kugomea kuongeza mkataba na tomas rosicky kuumia yote hayo yalikuwa matatizo wenger aliongeza UNK hleb flamini na UNK UNK sana flamini kama UNK kwa sababu UNK kuwaza kama ataondoka suala la adebayor naondoka nabaki naondoka nabaki nalo UNK ni kitu kimoja na baadaye kingine vilikuwa UNK hata mashabiki wa arsenal waliwahi kusema ni ni UNK utashangaa kwanini wachezaji ni walewale mechi zetu zinakuwa ngumu sana mimi na wafanyakazi tunashangaa pengine mazoezi UNK kitu kilichoshangaza ni matokeo ya sisi kupigwa tatu sifuri na manchester city mapema novemba hiyo ndiyo mechi UNK kwa mabao mengi lakini ajabu UNK kushinda mabao mbili moja dhidi ya chelsea na hapo nikasema kuwa timu yangu bado UNK mashabiki kuzomea timu baada ya kipigo cha city huku wengine wakisema ni wakati mwafaka kwa mimi UNK mimi sijali UNK za mashabiki alisema kushinda au kushindwa ni kitu cha kawaida ninachoangalia ni kuhakikisha UNK kazi yangu kwa nguvu zote kitu ambacho najua ni cha kawaida katika kufanikisha majukumu ya UNK kama matokeo yakiwa vinginevyo mashabiki UNK inapotokea timu inafanya vizuri kunakuwa na mabango ya mashabiki kama arsene UNK kwenye uwanja wa emirates wakati wenger UNK kuhakikisha timu inafanya UNK kwa ligi ya mabingwa ulaya na fa aliongeza lakini mimi nadhani ndiye UNK timu pengine kuliko shabiki au mtu mwingine UNK kelele cesc fabregas aliumia na UNK na imani yangu kuwa tunaweza licha ya kuwa kila mtu alianza kusema sasa mambo yameharibika arsenal kutokana na wachezaji wengi kuwa majeruhi baada ya tukio lile mashabiki walinifuata na kusema kwanini UNK gareth barry au xavi alonso lakini UNK nakuwa mfungwa wa sera zangu kumnunua barry au alonso ni kuja kumuua UNK song abou diaby na UNK kimsingi wenger anasema UNK mgongo shutuma nyingi mimi UNK kazi kwa kuangalia mtu anataka nini mimi UNK misingi na taratibu kila UNK ni kwa ajili ya klabu wachezaji na mashabiki huwezi kufanya kazi katika klabu ya bila kushinda mechi hata moja na kusema kila kitu kitafanyika kwa mujibu wa taratibu kati ya vitu ambavyo wenger anasema hawezi kusahau ni fainali ya ligi ya mabingwa ulaya UNK kwa mikwaju ya penalti kuwa ni historia ya aina yake kiujumla katika msimu huo pia arsenal ilikumbwa na majeruhi wengi akiwemo fabregas adebayor theo walcott rosicky kolo toure johan UNK gallas kipa manuel almunia na gael UNK kati ya wachezaji hao watatu watakosa mechi ya kesho dhidi ya villarreal lakini wenger aliongeza tuna wachezaji wenye ujuzi wa hali ya juu na UNK kutolewa watu wengi huwa hawajali ngozi zao mpaka wanapoona wamepata madhara fulani mwanamke anaweza UNK harara wala chunusi kwa muda mrefu na kuona kwamba UNK kuwa hivyo bila kujua kwamba hali ya hewa au kutokuwa UNK katika upakaji wa vipodozi anaweza kubadilika ghafla katika makala ya leo tutaangalia njia rahisi ya utunzaji wa uso wako ili kuepukana na chunusi njia ya kwanza ya kufanya ni kuhakikisha unaosha uso mara mbili mpaka tatu kwa siku ili kuondoa mafuta usoni ambayo wakati mwingine yanaweza kusababisha harara au chunusi njia ya pili ni kuhakikisha kwamba unatumia cleanser kila siku na maji UNK yasiwe na chumvi kwa sababu yanaweza UNK ngozi yako hivyo kuonekana kama mtu UNK ngozi vilevile mwanamke anashauriwa kutumia vipodozi visivyokuwa na kemikali kali au poda ya mara kwa mara kwa mfano ni vema muhusika UNK ngozi yake wakati wa usiku kwa kupunguza kupaka vipodozi vya UNK ni vema muhusika ajenge tabia ya kuifanya ngozi yake iwe na unyevu kwa kupaka mask za vitu vya asili wakati wa usiku mask hizo zinaweza kuwa za asali matango parachichi UNK nk muhusika anashauriwa kutumia mask mara mbili mpaka tatu kwa wiki kwa matokeo mazuri zaidi iwapo ngozi yako inaonyesha dalili ya kupata vipele vingi unaweza kutumia mask kutoka madukani lakini hakikisha unapata ushauri kutoka kwa daktari wa ngozi kitu kingine cha msingi ni kuhakikisha kwamba unaosha vitu UNK kwa ajili ya kupaka vipodozi vitu kama brashi ndogo au sponchi ni rahisi kuingia bakteria iwapo vinatumika kila mara na kuachwa vikiwa safi kati ya matatizo yaliyoko kwenye ndoa ni wanawake wengi kupenda UNK chakula kwa namna wanavyotaka wao sio watoto au waume zao je wewe mwanamke UNK makala haya nyumba yako UNK tafiti nyingi ndani na nje ya tanzania zinaonyesha kuwa katika ndoa nyingi wanawake ndio wamekuwa UNK kupika wanachotaka kitu ambacho kimsingi si sahihi kama wewe ni mwanamke UNK kwenye ndoa unapaswa kubadilika badilisha mfumo wako wa kuendesha nyumba katika upande huu wa mapishi ya chakula zaidi ya kupika kilichozoeleka unapaswa kujifunza kwa watu wengine aina mpya ya chakula ili kuifanya nyumba yako kuwa njema zaidi kwa maana kwamba unapaswa kupika chakula ambacho wenzio pia UNK na ni muhimu kwa afya ni kweli kwamba msingi wa wanawake kupendelea kupika aina fulani tu ya chakula ni mila na desturi kwa mfano mwanamke wa UNK anaamini kuwa si sahihi kumpikia mwanaume ubwabwa wali badala yake wanaamini chakula kizuri ni ugali na nyama lakini kwa wanawake kwa kabila la UNK wa kule ifakara mkoani morogoro chakula cha heshima kwa mume ni wali na samaki mbichi hasa UNK au UNK lakini katika nyakati hizi tunapaswa kubadilika kwa maana kwamba kila UNK ni vizuri kushauriana katika familia kama ni sahihi hicho au la wachaga wanapenda sana ndizi UNK wanapenda kula senene mchwa lakini haina maana kwamba kila siku uwe UNK mchwa tu si ndio jamani ni vizuri katika maisha ya ndoa kubuni mbinu mpya za kumpikia chakula kizuri mwenzi wako au familia yako kwa ujumla ingawa tatizo la upikaji wa chakula halina athari kubwa lakini ziko ndoa zinayumba kwa sababu mke anashindwa kupika chakula cha kuvutia mojawapo ya dalili mbaya kabisa katika ndoa ni pale mume anaporudi nyumbani na kusema tayari UNK huko UNK je UNK UNK hiyo ikiwa jibu ndiyo kaa chini tafakari kwa makini namna ya kurekebisha mfumo wa upikaji chakula tafiti nyingi zinaonyesha kuwa wanawake wanao uwezo mkubwa wa kuboresha nyumba hasa kwa kuwa na maandalizi mazuri katika upikaji na upakuaji chakula kwa mfano ikiwa mke atakuwa muelewe kwa kujua aina ya chakula UNK mumewe au familia yake kwa ujumla ndio kusema wanafamilia wake watapenda chakula cha nyumbani kwa wakati huu kuna wanaume wengi wanasumbuliwa na ukosefu au upungufu wa nguvu za kiume mbaya zaidi baadhi yao wamekuwa wakitumia dawa hasa za kisasa wakiamini hilo ni UNK matokeo yake mambo huwa tofauti kwa maana kuwa tatizo hilo UNK ndugu lyassa sijui nikupe nini nashukuru kwani mimi nimekuwa nikisoma sana makala zako na vitabu vyako UNK kuandika kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume kwa kula vyakula aina fulani nilikuwa UNK na tatizo la nguvu za kiume kupungua sasa nimepona anasema mkazi wa zanzibar ambaye sasa hana tatizo hilo baada ya kutumia mchanganyiko wa vyakula na mbegu nilivyowahi UNK katika mojawapo ya vitabu nilivyowahi kuandika kimsingi vyakula hutofautiana viko vyakula maalum kwa watoto watu wazima na wazee mtu mzima aliyeko kwenye ndoa anapaswa kujua vyakula vya kumsaidia nguvu au kumfanya mwenye mwili UNK wakati mtoto anatakiwa kupewa vyakula kwa ajili ya kumkuza nk nafikiri umeshaelewa nini ninachotaka kuelezea ni kwamba ni jambo la msingi sana kujua utofauti wa vyakula UNK watu tu ili mradi upungufu wa nguvu za kiume unasababishwa na mambo mengi baadhi yake ni lishe isiyo sahihi hasa mboga za majani kutokula aina mbalimbali za jamii ya karanga matumizi yasiyofaa ya ulevi kama pombe sigara tumbaku na dawa za kulevya dawa zinazotibu baadhi ya magonjwa kama kisukari shinikizo la damu magonjwa ya akili na vilevile kutopumzika kunakosababishwa na shughuli nyingi za kijamii hivyo kusababisha uchovu mwilini kwa ujumla baadhi ya wanaume wamekuwa wakipoteza fedha kwa kununua dawa zisizo na msaada ni kwa sababu wanaotangaza dawa hizo katika vyombo vya habari baadhi yao hawafanyi utafiti wa kina wengi wanafanya tiba hii kwa sababu alielezwa na babu yake bibi yake na kadhalika lakini sio kwa kufanya utafiti binafsi nini la kufanya kama unahisi unalo tatizo la nguvu za kiume ni lazima uwe makini sana katika kutafuta mbinu za kuondokana na tatizo hilo iwe ni tiba asili au ya kisasa ni lazima ifanywe kwa uangalifu kwani si wote wanaofaa mume anayesumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume anapaswa kufanya mazoezi ya viungo kila asubuhi awe UNK huku na kule hadi mwili UNK jasho la kutosha hii itasaidia mafuta katika mwilini na kuifanya damu ipite vizuri kuna watu UNK vyakula vikiwa na mafuta mengi wanafikiri ndio kuunga UNK sio sahihi mafuta mengi huongeza matatizo katika afya ya UNK kwa yule ambaye hana tatizo la nguvu za kiume anapaswa kubadilisha mfumo wa maisha yake mfano wa kuacha au hata kuacha kabisa vileo sigara na kujipa muda wa kupumzika huku UNK pia mpangilio wa UNK kikosi cha manchester united kitatakiwa kutumia jitihada zaidi ili kupata matokea mazuri kwenye mechi ya ugenini dhidi ya porto na villarreal itafanya kazi ya ziada kuhakikisha inapata ushindi dhidi ya arsenal katika mechi ya ugenini mechi hizo zitakazochezwa kesho jumatano zitaamua ni kikosi gani UNK katika hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo manchester united itatakiwa kuonyesha uwezo mkubwa baada ya kukubali kutoka sare ya mabao mbili mbili katika uwanja wao wa nyumbani wiki iliyopita na kikosi hicho kinahitaji umakini zaidi kwa kuwa UNK katika mechi za hivi karibuni ingawa wikiendi iliyopita kilipata ushindi wa mabao mbili moja dhidi ya sunderland bao la dakika za majeruhi la mchezaji mwenye umri wa miaka kumi na saba federico macheda lilikifanya kikosi hicho UNK ushindi dhidi ya aston villa katika mechi ya wiki moja iliyopita hata hivyo kikosi hicho UNK kipigo kutoka kwa fulham na liverpool wiki mbili zilizopita jose mourinho ambaye alikuwa porto wakati UNK manchester united katika jitihada zao za kusaka ubingwa mwaka ishirini sifuri nne alisema wachezaji wa alex ferguson wa sasa ni tofauti na wa miaka iliyopita manchester united ni kikosi imara kwa sasa alisema mourinho katika mkutano na vyombo vya habari porto ilikwenda katika mechi hiyo na kucheza vema lakini bado kuna nafasi katika mchezo wa marudiano kama ilivyo kwa manchester united timu ya hispania villarreal pia itahitaji ubingwa ili kusonga mbele baada ya kutoka sare ya bao moja moja na arsenal kikosi hicho bado UNK ili kuhakikisha kwamba kinapata kasi kubwa villarreal imefungwa mara tatu katika mechi nne za ligi ya nyumbani lakini mwendo wao wa kusuasua UNK na kumpoteza beki wa hispania marcos senna ambaye aliumia misuli kiungo robert UNK anaamini kwamba timu yake itaibuka na ushindi dhidi ya kikosi chake cha zamani ambacho UNK wigan mabao nne moja katika mechi iliyochezwa jumamosi iliyopita hivyo kupata ushindi wa tano mfululizo katika ligi kuu england msimu huu kikosi chetu ni imara huku hispania na ulaya kwa ujumla tunashinda katika mechi za ligi ya mabingwa ulaya tutajaribu kuhakikisha tunafikia hatua ya fainali tunafahamu ni jambo gumu lakini tunajua kikosi hiki ni imara na kinaweza kufika popote katika hatua nyingine chelsea na barcelona UNK kwamba huenda UNK katika hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa chelsea itakuwa nyumbani kuchuana na liverpool na barcelona itakwaana na bayern munich leo jumanne chelsea iliwafunga wapinzani wao katika mechi ya kwanza ya robo fainali ya ligi ya mabingwa jumla ya mabao tatu moja katika uwanja wa anfield wakati barcelona UNK kikosi cha ujerumani jumla ya mabao nne sifuri katika uwanja wa nou camp kikosi cha liverpool kinahitaji uwezo wa ajabu ili UNK chelsea katika mechi ya ligi ya mabingwa ulaya liverpool itahitaji UNK angalau wa mabao matatu katika uwanja wa stamford bridge ili kuipiku chelsea katika mechi ya pili ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya katika mechi iliyopita chelsea UNK liverpool jumla ya mabao tatu moja katika mechi kati ya bolton na chelsea wikiendi iliyopita UNK UNK mabao matatu katika muda wa dakika nane ingawa wakati wakifanya mashambulizi hayo tayari walikuwa nyuma kwa mabao nne sifuri na chelsea waliwatoa frank lampard na didier drogba katika mechi ambayo walidhani kwamba ushindi ni lazima lakini chelsea UNK uzi na kuifunga bolton mabao nne tatu na kuongeza presha kwa liverpool na vinara wa ligi kuu england manchester united UNK kwa kuwa UNK kufungwa mabao matatu lakini mechi hutofautiana alisema kocha wa chelsea guus hiddink lakini ukweli ni kwamba tumepata fundisho aliongeza ingawa chelsea itaingia uwanjani bila kuwepo kwa john terry ambaye anatumikia kadi nyekundu kufuatia makosa aliyoyafanya katika mechi ya kwanza kikosi hicho kina wachezaji wengi wanaoweza kuchukua nafasi hiyo ricardo carvalho ambaye alirudi uwanjani baada ya kukosa mechi tatu za awali anatarajiwa kufunika nafasi ya UNK liverpool itakuwa ikifanya jitihada za kuhakikisha UNK katika michuano hiyo kwa mara ya pili mfululizo baada ya UNK kwenye nusu fainali msimu uliopita lakini wameshinda mara moja katika uwanja wa UNK bridge msimu huu mwezi oktoba mwaka jana kikosi hicho kilimaliza rekodi ya chelsea ya kutokufungwa kwenye uwanja wao katika mechi themanini na sita za ligi kuu england tangu wakati huo uongozi wa chelsea UNK kocha wa brazil luiz felipe scolari na kumpa kazi hiddink na mafanikio yameanza kuonekana kwani kocha mpya UNK kikosi na kushinda mechi tisa kati ya kumi na moja nameless ni kati ya wasanii UNK umaarufu katika ukanda wa afrika mashariki msanii huyo alikuwa kati ya wasanii walioalikwa kwa ajili ya kutumbuiza wakati wa utoaji wa tuzo za kilimanjaro hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa diamond jubilee wiki iliyopita katika mahojiano mafupi kwenye hoteli ya kilimanjaro kempinsky baada ya utambulisho wa msanii chingy kutoka marekani nameless anasema amefurahi kuitwa tanzania kwani ni mara yake ya kwanza swali vipi UNK mwaliko wa kufika tanzania nameless kwa kweli nimefurahi sana kwa kuwa ni mara yangu ya kwanza kuja tanzania kutumbuiza katika tuzo hizi niliwahi kusikia baadhi ya wasanii kama UNK wakifika nami nikifika siku moja kupata UNK kwa kweli kuna wasanii wengi sasa ikitokea UNK nchi nyingine ni heshima hii UNK heshima sana swali katika kazi zako za sanaa hip hop reggae na nyingine eneo lipi UNK zaidi nameless mimi sina eneo maalum nadhani maeneo yote niko fiti na nafanya hivyo ili kupata watu wa ladha zote nameless muziki wa hip hop afrika mashariki uko juu sana sababu kubwa ni kutokana na muingiliano wa wasanii wa kila upande wasanii kwenda tanzania kenya au uganda au hata nchi nyingine ni rahisi ni wazi kuwa soko la muziki UNK sana kufika tanzania na UNK ni wazi UNK UNK kimuziki nadhani hata wenzetu wakija kenya wakafanya matamasha wanajisikia hivyo pia wakienda uganda UNK mfano mzuri hivi sasa muziki wa hip hop unashika chati kenya kuna wasanii wa tanzania wamekuwa maarufu sana kama ay profesa j tid mr nice japo nasikia kuwa mr nice hayuko sana kwenye chati binafsi UNK napenda kusikiliza kazi mbalimbali kwa sababu nami UNK najifunza kupitia wao nameless kusema ule ukweli ally kiba kwa sasa ndiye UNK kati ya wasanii wa tanzania wimbo wake UNK UNK umekuwa maarufu karibu kila redio stesheni kwenye baa na sehemu nyingine madereva teksi wamekuwa wakipiga pia swali katika kenya ni vipi UNK na hawa majangili wa muziki nameless hilo ni tatizo kubwa kwa UNK katika kenya naona wahusika wamejipanga vizuri kuna taasisi ambayo imekubali kusimamia kazi za wasanii imekuwa na mawakala kila eneo katika baa mbalimbali masoko kufuatilia vituo vya televisheni na redio kwenye matatu vituo vya teksi UNK UNK na tunashukuru wahusika wanaelewa mpango huu na wanatoa ushirikiano katika kulipa kwa kweli nchini kenya kama ni msanii kwa sasa unaona kabisa kazi ya sanaa UNK zamani tulikuwa UNK tamaa hii taasisi kwa kweli inafanya kazi vizuri ya kukusanya mirabaha na kila mara utasikia UNK simu kuna UNK yako huku pengine unaweza kuwa na hundi hata kumi za malipo swali nini ushauri wako kwa wasanii wa jinsi yako UNK mimi nina mawili katika eneo hili kwanza nataka kuwaambia wasanii UNK na mafanikio wanayopata mafanikio ni kufika mbali zaidi mfano katika hili wasanii wanatakiwa kujituma zaidi na ifike wakati wanakwenda kufanya maonyesho au kuzindua albam ghana nigeria afrika kusini na hata mataifa ya ulaya hapo UNK kweli tumepiga hatua kuliko kuangalia afrika mashariki pili kubwa ni kupendana wasanii tupendane na tushirikiane hii itasaidia hata inapotokea kazi ya mwenzao UNK hata wewe unasikia uchungu yule anasikia uchungu kuliko kila mtu kuwa kivyake na ndipo majangili wanatumia nafasi kuiba kazi zetu wachezaji mahiri wa yanga wamekuwa wakicheza chini ya kiwango ili kumshinikiza kocha UNK wachezaji waliokuwa wakikaa benchi hadi timu hiyo inatwaa ubingwa wa ligi kuu ya bara habari zinadai kuwa asilimia kubwa ya wachezaji hao walikuwa hawataki kwenda dodoma kuivaa polisi ya huko wakitaka wenzao UNK kwa vile timu hiyo haina cha kupoteza katika mechi zilizobaki lakini uongozi umekuwa UNK kwamba unataka timu hiyo ishinde mechi zote hata kama imeshatwaa ubingwa winga wake mrisho ngassa amekwenda uingereza kufanya majaribio kwenye klabu ya west ham kocha wa simba patrick phiri amesema kuwa sasa timu hiyo itakuwa ikishambulia kwa nguvu sana ikiwa ni moja ya mbinu za kulazimisha ushindi wa mapema kwani mechi zilizosalia ni ngumu kocha huyo alisema kwamba mpango wake wa kushinda mechi zote zilizosalia upo palepale na wamefanya maandalizi ya kina ndio maana hawana presha viongozi wamedai kuwa mechi dhidi ya yanga aprili kumi na tisa ndiyo itakayowapa tiketi ya nafasi ya pili wala hawahofii lolote kwa vile wanaijua yanga vilivyo mchezaji wa simba orji obinna atatua muda wowote kutoka nigeria kipa wa mtibwa sugar shaaban kado amekerwa na kitendo cha UNK timu hiyo katika mechi zinazoendelea za ligi kuu hasa wakati huu ambao timu yake inasaka nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi lakini kipa huyo ambaye anaamini namba yake ipo taifa stars amewaambia rafiki zake kwamba UNK sana soud slim ambaye ni kipa mwenzake aliyekuwa akikaa benchi mchezaji wake UNK UNK atakosa mechi zote zilizosalia baada ya kuumia mguu na madaktari wa timu UNK uongozi kwamba hawezi kuwa fiti ndani ya muda mfupi lakini wachezaji wake ingawa UNK matumaini uongozi hawana uhakika wa kushikilia nafasi ya pili kutokana na kasi ya simba kagera imeelekeza nguvu kubwa kwenye mchezo wa kesho jumatano dhidi ya azam fc kwa vile inataka pointi muhimu ili kupambana na simba na mtibwa zinazowania nafasi ya pili lakini imekuwa ikihofia hali ya azam ambayo inafundishwa na kocha wake wa zamani sylvestre marsh ambaye anawajua vilivyo kila mchezaji na aina yao ya uchezaji kocha wa jkt ruvu charles kilinda amesema wanapambana kufa kupona mpaka dakika ya mwisho lakini ameiomba yanga iwasaidie kuifunga simba aprili kumi na tisa kilinda anaamini endapo yanga itaifunga simba watakuwa kwenye wakati mzuri kwani pointi za wekundu hao wa msimbazi UNK sisi tutashinda zote zilizobaki lakini kikubwa ni kama yanga UNK kasi simba japokuwa tulikuwa hatutegemei kufikia kwenye hali hiyo katika wachezaji wote ishirini na tatu wanaoshikilia nafasi za juu kwenye ufungaji katika ligi kuu ya bara wana mchezaji mmoja tu ambaye ni said dilunga mwenye mabao nane mchezaji huyo tegemeo anashikilia nafasi ya tatu baada ya boniface ambani wa yanga anayeongoza kwa kumi na sita na hussein bunu wa jkt aliye na mabao kumi na moja haina cha kupoteza katika mechi zilizobakia kwani ina uhakika wa kubakia kwenye ligi na haina uwezo wa kushika nafasi ya pili baadhi ya waandishi wa habari za michezo wa uganda wameshangazwa kusikia kwamba mganda danny wagaluka anayeichezea azam hajaonyesha makali yake kwenye kufunga mabao tangu ajiunge na timu hiyo imedaiwa kuwa hali hiyo huenda UNK namba yake kwenye timu ya taifa ya uganda kocha wa azam itamir amorim amesema kuwa viwango vya wachezaji wa kigeni UNK na wataonyesha cheche katika mechi dhidi ya kagera kesho jumatano kipa wa polisi moro benjamin haule amesema kwamba juhudi binafsi za kila mmoja wao ndio UNK pumzi kwenye ligi kuu ya bara mchezaji huyo amekiri kuwa ligi ya msimu huu ni ngumu na angalau kwenye nafasi waliyopo sasa hawawezi kushuka daraja kwani hakuna UNK katika mechi zilizobaki hesabu za kocha juma mwambusi kutaka kujaribu kubakiza timu hiyo kwenye ligi kuu UNK na kumfanya ageuke bubu kujibu maswali kwa vyombo vya habari bosi huyo ambaye inaaminika ana bahati aliichukua timu hiyo hivi karibuni na kufufua matumaini lakini mambo tayari UNK kutokana na mchuano mgumu uliopo kwenye ligi imeshuka daraja villa squad imeshuka daraja kocha kennedy mwaisabula amedai kwamba kilichotokea UNK tangu awali lakini kama kocha asingeweza kukatisha tamaa vijana wake bosi huyo amedai kuwa katika michezo iliyobaki watacheza soka la hali ya juu kwa vile hawana la kupoteza na watakuwa UNK na kuaga mashabiki wa ligi kuu ya bara amedai kuwa UNK wadhifa wake na mwakani UNK timu hiyo ligi kuu kipa wa mtibwa sugar shabaan kado amelalamikia kitendo cha shirikisho la soka tanzania kuchelewa kutoa uamuzi wa suala lake na mussa hassan mgosi kado anadaiwa kupigana na mgosi katika mechi dhidi ya simba iliyofanyika kwenye uwanja wa jamhuri mjini morogoro machi ishirini na mbili wakati simba UNK bao moja sifuri tff imewaambia wachezaji hao kwa kutocheza mechi yoyote ya ligi mpaka kamati ya mashindano ikutane mwishoni mwa msimu ingawa habari nyingine zinadai kamati hiyo itakutana leo jumanne lakini kado ambaye leo jumanne UNK miaka ishirini alisema jana jumatatu kuwa kitendo cha tff kuchelea kutoa uamuzi kwenye suala dogo kama lao ni UNK timu zao lile suala ni dogo na tff ilipaswa kukutana ndani ya muda mfupi na kutoa uamuzi sasa tumekaa nje mechi tatu halafu bado tena wanatuambia UNK alilalamika kado UNK sana hayo mambo tofauti na ukweli ulivyo mimi nilidhani UNK baada ya kutumikia ile adhabu ya mechi tatu kuendelea UNK ni kudhoofisha timu zetu na hata mchezaji mwenyewe UNK mchezoni morali yake inapotea busara ilipaswa kutumika zaidi alisema mchezaji huyo ambaye amelazimika kukabidhi mikoba yote kwa kipa mwenzake soud UNK kagera sugar ambayo leo jumanne inacheza na azam fc mjini bukoba imesema mpaka sasa simba ina nafasi kubwa ya kutwaa nafasi ya pili katika ligi kuu tanzania bara simba ina pointi thebathini na sita ikiwa imesaliwa na mechi mbili huku kagera sugar ikiwa na pointi ishirini na nane na mechi tatu ikiwemo ya azam kocha msaidizi wa kagera mlage kabange alisema jana jumatatu kuwa simba ina pointi nyingi ambazo ikishinda michezo yake miwili iliyobaki UNK UNK simba ipo kwenye nafasi nzuri kwa vile wakishinda mechi zao zote zilizobaki hata sisi tushinde UNK alisema kabange tukimaliza mechi zote zilizobaki tutafikisha pointi thebathini na saba ambazo simba anaweza UNK na kufika hata arobaini ambazo ni faida kwake mchuano umekuwa mgumu sana sisi tunaweza kuwa na faida endapo tu simba UNK na hizo timu nyingine UNK vibaya pia lakini UNK tamaa ingawa ligi ni ngumu sana kama UNK kusema awali alisema kocha huyo ambaye leo jumanne atakuwa benchi kuiongoza timu yake baada ya bosi wake kuonyeshwa kadi nyekundu katika mechi dhidi ya simba wiki iliyopita nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi inawaniwa kwa karibu na simba kagera na mtibwa polisi morogoro azam fc na toto africa zinahitaji sare tu katika mechi zao zijazo ili kuishusha daraja moro united ya kocha mwenye maneno mengi fred felix minziro timu hizo kila moja ina pointi ishirini na tano ambazo zinaweza kufikiwa na moro united yenye pointi kumi na tisa ikiwa bado na mechi mbili mkononi moro united ikishinda mechi zake UNK pointi ishirini na tano hivyo endapo timu hizo zikipata pointi moja kila moja itakuwa ni mwisho wa historia ya moro united kwenye ligi kuu bara lakini mmoja kati ya hao akipoteza michezo yake hadithi inaweza kugeuka na kuwa vinginevyo villa squad na polisi dodoma tayari UNK daraja hivyo inasubiriwa timu moja ili kutimiza idadi ya timu tatu UNK lakini mashabiki UNK moro united kushuka msimu huu moro united ambayo UNK makazi yake jijini dar es salaam imekuwa UNK tangu kuanza kwa mzunguko wa pili ikiwa chini ya wamiliki wapya ambao ni wafanyabiashara wa dar es salaam timu tatu zilizopanda daraja ni manyema na mbagala market za dar es salaam na majimaji ya songea michuano ya gofu ya kimataifa ya wachezaji wa kulipwa itafanyika aprili kumi na sita kwenye viwanja vya klabu ya UNK nairobi kenya kocha wa timu gofu ya taifa ya tanzania stanley sanga amesema tanzania itawakilishwa na wachezaji wawili katika michuano hiyo mikoa kumi na mbili imethibitisha kushiriki michuano ya muungano ya karate itakayofanyika aprili ishirini na sita kwenye uwanja wa ndani wa taifa jijini dar es salaam katibu mkuu wa chama cha karate tanzania sensei hassan jango ameitaka mikoa mingine kuendelea kuthibitisha ushiriki wao mikoa UNK ili kuleta ushindani pia tunaomba UNK wajitokeze UNK ili tuweze kufanikisha mashindano haya michuano ya tenisi ya kimataifa ya vijana chini ya miaka kumi na nne itafanyika mei tano tisa jijini dar es salaam kocha wa timu ya vijana ya tenisi salum mvita amesema tayari timu ya tanzania imeshaanza mazoezi kwenye viwanja vya UNK wachezaji nane ndio watakaoshiriki michuano hiyo kutoka tanzania na tayari sita wameanza mazoezi na tunawasubiri wawili ambao wapo morocco kwenye mashindano ya kimataifa wakirudi watajiunga na wenzao mwenyekiti wa chama cha netiboli tanzania anna bayi amewashukuru wadau mbalimbali wa michezo nchini kwa kuwasaidia fedha kwa ajili ya michuano ya taifa iliyoanza jana jumatatu kibaha pwani bayi amesema wamejisikia faraja kupata kiasi kadha cha fedha ambacho kitawasaidia kufanikisha michuano hiyo mikubwa nchini tunawashukuru kwa kweli kwa msaada UNK kwani michuano UNK ingekuwa aibu tunaomba watu wazidi kutusaidia ili kuweza kuurudisha mchezo huu juu kama ilivyokuwa zamani kocha wa timu ya mpira wa kikapu ya savio dassy makula amesema sasa anapanga mikakati madhubuti kuhakikisha wanatwaa ubingwa wa taifa katika michuano itakayoanza mei kumi na nne jijini mwanza makula amesema inaumiza kuona wamekosa ubingwa wa mkoa kwa msimu wa pili mfululizo na sasa hasira zao UNK kwenye ubingwa wa taifa hatuwezi UNK vyote sasa tunapanga mikakati kuhakikisha tunachukua ubingwa huo naamini tunaweza kama wachezaji wangu wakiweka UNK shirikisho la soka tanzania limekuwa UNK kutoa uamuzi juu ya adhabu ya wachezaji wawili wa soka nchini kipa wa mtibwa sugar shaaban kado na mshambuliaji wa simba mussa hassan mgosi wachezaji hao wanadaiwa walipigana katika mechi iliyohusisha timu zao machi ishirini na mbili mwaka huu lakini wachezaji wenyewe wamekataa kuwa UNK ila UNK hatutaki kuingia katika hilo kwani tunajua kuna ripoti ya mwamuzi na kamishina wa mchezo ambayo ina mambo yote tatizo ambalo UNK ni jinsi tff UNK kukutana kuamua suala hilo kana kwamba kuna ushawishi ambao unawafanya washindwe kufanya hivyo tumekuwa UNK mara kwa mara katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela akizungumza kuwa wachezaji hao hawaruhusiwi kucheza mpaka hapo kamati ya mashindano itakapokutana huu ni ubabaishaji mkubwa ambao tunaweza kuufananisha na enzi ya ubabaishaji wa chama cha soka tanzania kwa mujibu wa kanuni ya ishirini na tano inayohusu udhibiti wa wachezaji kifungu cha i kinaeleza kuwa mchezaji UNK anaweza kufungiwa kati ya miezi mitatu mpaka kumi na mbili au kulipa faini au vyote kwa pamoja kwa jinsi kamati ya utendaji UNK lakini pia katika kanuni hiyo mchezaji akipewa kadi nyekundu ya moja kwa moja atakosa mechi mbili akipewa kadi mbili za njano atakosa mechi moja na akipewa kadi tatu za njano katika mechi tatu tofauti atakosa mechi moja kwa sababu mgosi na kado walipewa kadi nyekundu ya moja kwa moja kanuni inawataka wakose mechi mbili ambazo tayari UNK hivyo walitakiwa warudi uwanjani uzembe wa tff wa kutokutana isiwe kigezo cha kuwafanya wachezaji hawa waendelee kutumia adhabu ambayo haipo katika kanuni za shirikisho hilo mbona tff inataka kukaribisha tuhuma ambazo pengine haziwahusu mbona shirikisho hilo linataka UNK kuamini maneno ya mitaani kwamba wanataka kuikomoa moja ya timu katika ligi hiyo kama hawataki tuamini hayo ni vizuri basi suala hilo likajadiliwa mapema kuliko kuleta siasa na porojo ambazo haziwezi kusaidia soka la tanzania uongozi wa simba umesema UNK taarifa za kutaka kubadilishwa kwa mwamuzi oden mbaga na badala yake israel nkongo ndiye achezeshe mechi kati yao na yanga jumapili ijayo kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam tayari uongozi huo UNK kuandika barua kwa tff kupinga suala hilo na kutaka aendelee kuwa mbaga hiyo itakuwa ni barua ya pili baada ya simba kuandika barua kwa shirikisho hilo kulitaka UNK waamuzi wasaidizi wa mechi hiyo waamuzi hao john kanyeye wa mbeya na jesse erasmo wa morogoro ambao UNK mechi ya mzunguko wa kwanza kati ya timu hizo iliyomalizika kwa simba kulala kwa bao moja sifuri tuko katika hatua za mwisho tutaandika barua tena na kusisitiza mbaga abaki na si nkongo ambaye katika mechi ya kwanza alikuwa UNK wanataka kulazimisha achezeshe alisema kiongozi mmoja lakini wale waamuzi wa pembeni pia hatuna imani nao tumeandika barua tff lakini UNK na kusema UNK inashangaza sana kwa nini wao ndio wachezeshe mechi zetu hapa kutakuwa na kitu simba wamekuwa wakimtuhumu mmoja ya waamuzi hao kuwa ana kadi ya uanachama wa yanga kitu ambacho wanaamini si sahihi kuchezesha mechi yao katika mechi ya kwanza mwamuzi wa kati alikuwa ni victor UNK siku nne zimebaki kabla ya siku rasmi ya mechi hiyo na tayari ni gumzo karibu kila sehemu nchini kiungo mshambuliaji wa yanga mrisho ngassa amekwenda england kufanya majaribio katika klabu ya west ham united na kutoa onyo kuwa kikosi cha dusan kondic inabidi kifanye kazi ya ziada kukamata sehemu ya kiungo ya simba katika mechi ya ligi kuu bara itakayopigwa jumapili kwani anaamini itakuwa ngumu ngassa aliondoka juzi jumapili akiongozana na wakala wake yusuf bakhresa ambaye anatambuliwa na shirikisho la soka la kimataifa na atafanya majaribio hayo kwa wiki mbili akizungumza kabla ya kwenda england ngassa alisema watani wao wa jadi simba wamekuwa na UNK makubwa na wana uwezo mkubwa wa kucheza katikati ya uwanja na mashambulizi ya kushitukiza kitu ambacho ni hatari kwa yanga unajua wanacheza vizuri kwa kweli ingawa nina imani kuwa yanga itashinda mechi hiyo kikosi chetu ni kizuri na tumecheza mechi nyingi zaidi zikiwamo za kimataifa wachezaji watakuwa tayari kwa kila mechi lakini umakini unatakiwa kwani ukiangalia utaona simba UNK katika mechi za mwisho na hasa kiungo chao UNK mpira muda mrefu alisema yanga itamkosa ngassa katika mechi hiyo inayosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka nchini kwa kuwa katika mechi ya mzunguko wa kwanza simba iliyokuwa imeweka rekodi ya kutofungwa na yanga kwa zaidi ya miaka nane ililala kwa bao moja sifuri lililofungwa na ben mwalala kabla ya kuondoka nchini ngassa alifanya programu yake maalum kwa kufanya mazoezi kwenye uwanja wa UNK kwa siku tatu mfululizo ili kuongeza kasi yake kabla ya kutua katika jiji la london na kuanza majaribio katika kikosi hicho kilicho chini ya muitaliano gianfranco zola kuhusu suala la majaribio ngassa alisema matumaini makubwa ya kufanya vizuri katika majaribio yake katika klabu ya west ham united ya england lakini amewataka watu kutoweka matumaini makubwa sana kwake lolote linaweza kutokea malengo yangu ni kufanya vizuri lakini huwezi kujua kwa kuwa hii ni mara yangu ya kwanza na ni mazingira mapya ingawa ninataka kufanya vizuri alisema ngassa ngassa amefanikiwa kupata nafasi hiyo ambayo ni ya pili baada ya miezi michache iliyopita uongozi wake UNK ngumu kujiunga na timu ya lov ham ya norway ambayo ilikuwa tayari kumsajili bila majaribio ulimboka mwakingwe amewaambia mashabiki wa simba kuwa UNK yanga jumapili kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam na kwamba wasiwe na wasiwasi wowote kauli hiyo ya ulimboka inaongeza makali ya upinzani kati ya watani hao kwani hivi karibuni mashabiki wa simba waliishangilia al ahly ya misri katika mechi ya ligi ya mabingwa afrika jambo ambalo UNK watani hao wa jangwani simba inayowania nafasi ya pili itacheza na yanga jumapili kwenye uwanja wa taifa katika mchezo ambao ni muhimu sana kwa wekundu hao wa msimbazi kwani watani wao tayari wameshatwaa ubingwa simba itataka UNK katika ubabe wake dhidi ya yanga na hasa baada ya kufungwa bao moja sifuri katika mechi ya mzunguko wa kwanza ulimboka ambaye ni miongoni mwa wachezaji tegemeo wa simba alisema mchezo huo utakuwa mgumu kutokana na vita ya maneno iliyoibuka hivi karibuni baina ya klabu hizo nimefanya mazoezi najisikia vizuri UNK yanga simba lazima tushinde hiyo mechi na matokeo tofauti na hayo tutakuwa UNK alisema ulimboka yanga hawatakuwa na presha UNK hilo ndio maana tumejipanga vizuri na tutacheza soka safi mpira utakuwa mzuri kila mtu UNK vita ya mashabiki UNK na wala UNK kwa lolote tunakwenda uwanjani kufanya kazi moja tu kuhakikisha UNK yanga hatuwezi kukubali kufungwa mara mbili msimu mmoja UNK hadhi simba tunaitaka nafasi ya pili ndio maana unaona tumeongeza juhudi na hatuko tayari kupoteza mchezo wowote tunataka pointi zote yanga UNK wachezaji wake mrisho ngassa alikwenda kufanya majaribio katika klabu ya west ham ya england na kipa wake obren curkovic aliyekwenda UNK simba itakuwa bila mshambuliaji wake mussa mgosi ambaye amezuiwa na shirikisho la soka tanzania kwa madai UNK na kipa wa mtibwa sugar shaaban kado katika mechi ambayo vijana wa msimbazi walilala kwa bao moja sifuri machi ishirini na mbili mwaka huu mjini morogoro hali ya kutoaminiana imerejea na sasa kila upande wa simba na yanga unaonekana kuwa makini zaidi pengine kuliko kabla ya mechi yao ya kwanza ya ligi kuu tanzania bara msimu huu timu hizo kongwe nchini zitakutana katika mechi ya ligi kuu tanzania bara jumapili kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam huku simba ikiwa na kumbukumbu ya kufungwa bao moja sifuri katika mechi ya mzunguko wa kwanza simba UNK wachezaji wake bamba beach kigamboni ambako imekuwa ni kambi yao ya kawaida wakati yanga huenda UNK katika hoteli iliyo eneo la mwenge jijini dar es salaam ambako wamekuwa wakiweka kambi baada ya kuondolewa hoteli ya lamada UNK wanadaiwa shilingi milioni kumi na tano makocha wa timu zote mbili wanaamini mchezo huo utakuwa mgumu na patrick phiri raia wa zambia amesema wanahitaji pointi tatu wakiwa na lengo la kushika nafasi ya pili baada ya yanga kutwaa ubingwa kabla ya kumalizika kwa ligi tumejiandaa vizuri na utaona katika mechi na toto UNK baadhi ya wachezaji haitakuwa mechi ya mzaha na kila upande UNK kushinda kwa ajili ya heshima yanga ni mabingwa tayari lakini UNK kupoteza dhidi yetu alisema phiri lakini mserbia wa yanga dusan kondic pamoja na kujiamini anaonyesha kuingia hofu na suala la wachezaji wake kucheza mechi nyingi wanaweza kuwa na uchovu lakini nimezungumza nao na kuwaeleza hii vita UNK kwa pamoja na kinachotakiwa ni kuendelea kulinda heshima ya yanga hata kama tumeshatwaa ubingwa UNK simba imebadilika na inacheza vizuri tofauti na mwanzo na sisi tunachotaka ni ushindi tu alisema kondic pamoja na hayo kuendelea timu hizo zimekuwa UNK kujua upande wa pili unafanya nini na nahodha wa yanga fred mbuna amesema wanachukua hadhari kubwa wakati huu kila mmoja anakuwa anajaribu hili na lile sisi tuko makini na timu yetu ipo vizuri hivyo tumejiandaa na UNK kama mchezo mwingine wa ligi kwa umakini wa juu alisema mbuna lakini kiongozi mwingine wa simba akasisitiza kwamba rafiki zao yanga UNK mshambuliaji wao mrisho ngassa ili aibuke ghafla siku ya mechi hiyo UNK wanataka kufanya hivyo lakini ni kupoteza muda hakuna simba UNK mchezaji wa yanga ingawa tunasisitiza suala la uamuzi liwe la haki lakini mbuna alisisitiza ngassa ameondoka wanachosema simba ni hofu yanga tayari ni mabingwa wana pointi hamsini wakati simba ina pointi thebathini na sita na inafanya kila juhudi kuhakikisha inashinda ili kupata nafasi ya pili ishiriki michuano ya kimataifa kipindi UNK mechi za watani hao ulinzi katika kambi za timu hizo umekuwa mkali na wanachama wanaojiita makomandoo wamekuwa wakijitokeza kufanya ulinzi kutokana na hofu ya hujuma jeshi la polisi kanda maalum ya dar es salaam tayari limekabidhiwa majina ya askari wake wanaotuhumiwa kulangua tiketi za mechi ya ligi ya mabingwa afrika kati ya yanga na al ahly ya misri mwanzo wa mwezi huu kamanda wa mkoa wa kipolisi kinondoni mark kalunguyeye aliiambia mwananchi kuwa wamekabidhiwa majina hayo na uongozi wa shirikisho la soka tanzania nao wameanza UNK tumefanikiwa kuwabaini askari polisi wetu waliodaiwa kulangua tiketi hizo za mechi ya yanga na al ahly katika kituo cha ubungo na majina yao yamewekwa UNK jana alieleza kamanda kalunguyeye na kuyataja majina hayo ambayo mwananchi inayo kauli hiyo ya kamanda kalunguyeye kwa mwananchi ilitokana na ile ya awali ya kamanda wa kanda maalum ya dar es salaam suleiman kova aliyedai kuwa majina na namba za askari hao zilikuwa bado kufikishwa kwao na tff hata hivyo kamanda kova aliiambia mwananchi jana kuwa anayeweza kuzungumzia suala hilo ni kamanda wa polisi wa mkoa wa kinondoni ambako tukio hilo UNK alipoulizwa jana kamanda kalunguyeye alijibu tumepata majina yao tayari UNK jalada isipokuwa bado UNK UNK ukweli hatua za kinidhamu zitachukuliwa alisema tff iliwasilisha majina kwao wiki iliyopita pamoja namba zao askari hao walikuwa wakisimamia uuzaji tiketi kituo cha ubungo huku wakiacha kazi waliyopangiwa na kuanza kulangua tiketi awali baada ya mchezo huo tff kupitia kwa katibu wake mkuu fredrick UNK UNK kukamatwa kwa askari polisi hao wawili lakini siku moja baadaye kamanda kova alieleza kuwa jeshi lake halikuwa na majina wala namba zao na kuitaka tff iwasilishe kwao majina na vielelezo kabla ya mchezo huo ilitolewa tahadhari kwa watu kutojihusisha na ulanguzi wa tiketi kitu ambacho UNK na askari hao ambao walipewa jukumu la kulinda usalama katika kituo hicho ligi ya mabingwa ulaya hatua ya robo fainali UNK leo kwa manchester united na arsenal zote za england UNK na wapinzani wao porto na villareal zikiwa na malengo tofauti man united maarufu mashetani wekundu wanakabiliwa na mtihani mgumu dhidi ya porto ambao hawajawahi kufungwa na wapinzani kutoka uingereza mashetani wekundu wa old trafford wameonyesha kuuweka rehani ubingwa wa ulaya kwa sare ya mabao mbili mbili katika mchezo wa awali kocha wao alex ferguson aliwasili mjini lisbon juzi akieleza wazi kazi ngumu iliyoko mbele ya vijana wake huku jukumu zito akikabidhiwa kijana muitaliano federico kiko macheda ambaye ameibuka kuwa UNK macheda kumi na saba alifunga mabao ya kipindi cha pili ya ushindi dhidi ya aston villa na sunderland akitarajia kufanya hivyo dhidi ya vijana wa jesualdo ferreira ambao walitoka sare ya mabao mbili mbili mjini manchester wiki iliyopita ferguson amekerwa na ukuta mwepesi wa kikosi chake ambao UNK mabao saba katika mechi tatu za ligi kuu huku beki wa kati rio ferdinand akiendelea kuwa majeruhi kwa upande wake arsenal inaikaribisha villarreal katika mchezo ambao umepewa nafasi ya kurudia matokeo ya mwaka ishirini sifuri sita ambao timu hizo mbili UNK arsenal chini ya arsene wenger iliitoa villarreal kwa bao moja sifuri katika hatua ya nusu fainali ya ligi hiyo ingawa timu hizo zinakutana leo zikiwa zimefungana bao moja moja katika mchezo wa awali mjini villarreal bao la ajabu la emmanuel adebayor UNK nafasi kubwa arsenal ya kuweza kufuzu kwa nusu fainali leo usiku na kusubiri mshindi kati ya man united na porto katika mchezo wa aprili ishirini na tisa mwaka huu hata hivyo arsenal ambayo haijafungwa mechi yoyote ya ligi ya mabingwa ulaya UNK na kuumia kwa beki wake wa kati william gallas beki wa kushoto gael UNK na kipa manuel almunia ingawa villarreal UNK kiungo na nahodha marcos senna UNK arsenal uwanja wa el UNK wiki moja iliyopita shirikisho la soka tanzania limetangaza viingilio vya mchezo wa ligi kuu kati ya simba na yanga uliopangwa kufanyika jumapili kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam katibu mkuu wa tff frederick mwakalebela alivitaja viingilio hivyo kuwa ni shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri kwa watazamaji wa viti maalum a wakati wale wa viti maalumu b wakilipa shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri mwakalebela alivitaja viingilio vingine kuwa ni shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri itakayolipwa na watazamaji watakaokaa jukwaa la viti maalumu c wakati wale watakaokaa jukwaa lenye viti vya rangi ya machungwa watalipa shilingi nane sifuri sifuri sifuri aidha alivitaja viingilio kwa watazamaji wa jukwaa la rangi ya bluu na kijani vitakuwa shilingi tano sifuri sifuri sifuri alisema kuwa zoezi la uuzaji wa tiketi zitakazotumika kwa ajili ya mchezo huo litaanza kesho kwenye vituo vilivyozoeleka na kuendelea hadi jumamosi tutaanza kuuza tiketi alhamisi kwenye vituo vilivyozoeleka na kuendelea hadi jumamosi ili kuondoa usumbufu kwa wapenzi UNK kushuhudia mchezo huo hivyo ni vizuri watu UNK kununua tiketi hatutaki kuuza tiketi baada ya UNK yaani siku ya mchezo alisema mwakalebela wakati huo huo clara alphonce anaripoti kuwa simba UNK wapinzani wao yanga kuwa ni mabingwa wa kuingia mitini na kamwe wasifanye katika mechi hiyo ya jumapili kwa upande wao yanga UNK mapigo wakieleza kuwa mpira si maneno bali vitendo uwanjani viongozi wa klabu zote kubwa walikutana jana katika hosteli za tff uwanja wa karume dar es salaam kila upande UNK kuhusiana na mechi hiyo katibu mkuu wa simba mwina kaduguda aliwataka yanga UNK mechi hiyo kwa kuwa wana historia ya kukimbia mechi mwaka jana yanga iliingia mitini katika mechi ya kuwania mshindi wa tatu wakati wa michuano ya kombe la kagame kwa madai kuwa UNK yanga wasitegemee ushindi katika mechi hiyo kwani raundi ya kwanza walitufunga kwa bahati licha ya kuwazidi karibu kwa kila idara alitamba kaduguda tunaingia uwanjani si kuifunga yanga bali kuhakikisha tunachukua pointi tatu zote muhimu na kujihakikishia nafasi ya pili ni aibu kwa klabu kubwa kama simba kukosa mechi za kimataifa kwa miaka miwili mfululizo nami nawaambia kuwa kiama UNK nacho yanga jumapili kitazidi kile cha al ahly alisema kaduguda aliongeza kuwa klabu yake imejipanga vizuri na timu iko vizuri na tayari imeondoka kwenda zanzibar kwa ajili ya kuweka kambi na kujiandaa na mechi hiyo naye mwenyekiti wa yanga iman madega alijibu tambo hizo akisema kuwa simba wana mchecheto na mechi hiyo na siku zote mpira si kelele bali ni rekodi na rekodi hiyo wanayo yanga hata mtu akija leo kutoka brazil akiulizwa ni timu gani bora bila shaka UNK yanga ambao ni mabingwa mara mbili UNK ligi kwa pointi hamsini na timu yetu ina maendeleo inao wachezaji wazuri na kocha mzuri alitamba madega rekodi hii itaendelea kwa miaka kumi ijayo na pia ni aibu kwa timu kusikika UNK nafasi ya pili siku zote timu inaingia kwenye ligi ikiwa na nia ya kushinda na kushika nafasi ya kwanza na si ya pili kama simba alieleza tutaingia uwanjani tukitaka kuwaonyesha uwezo kuwa sisi tayari ni mabingwa wa ligi kuu bara kwa mara ya pili na hatuwezi kuwaonea simba huruma bali ni kuhakikisha tunachukua pointi zote zilizobaki mashindano ya kombe la taifa ya mchezo wa netiboli UNK kasi na kuwa na msisimko wa aina yake baada ya timu za mikoani kuonyesha viwango vya hali ya juu michuano hiyo inafanyika katika viwanja vya shule ya sekondari ya filbert bayi iliyopo kibaha mkoani pwani akizungumza na mwananchi jana katika viwanja hivyo mwenyekiti wa chama cha netiboli nchini anna bayi alisema timu za mikoani zimeonyesha kiwango juu tofauti na miaka ya nyuma ambapo timu za dar es salaam zilikuwa zikifanya vizuri nimeridhishwa na kufurahishwa na timu za mikoani ambazo siku hadi siku zimezidi kufanya vizuri na kuleta m UNK katika mashindano yetu ukilinganisha na miaka ya nyuma UNK zile za dar es salaam UNK na kuchukua ubingwa hii kwetu ni changamoto katika kuinua mchezo huu mikoani kama UNK yetu inavyoeleza alisema bayi katika mchezo wa jana mwanza arusha lindi dodoma na wenyeji wa pwani zilikuwa nyota baada ya kucheza na kushinda katika michezo yote mwanza iliifunga tanga kwa magoli thebathini na moja kumi na saba lindi ilitoka kifua mbele dhidi ya kagera kwa magoli thebathini na moja kumi na manyara ilishindwa kuonyesha makucha yake dhidi ya morogoro baada ya kukubali kipigo cha magoli hamsini na nane saba nayo dodoma ikaifunga mbeya magoli ishirini na nane ishirini kinondoni iliamka jana na kuitandika rukwa arobaini na tatu nane iringa ikaifunga ruvuma ishirini na saba kumi na tisa huku pwani UNK temeke thebathini na nne kumi na saba baada ya kufuzu kucheza nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya ndoto za barcelona UNK zaidi kwenye ubingwa msimu huu barcelona ambao UNK kwa kuilaza bayern munich mabao tano moja watakutana na chelsea ambao wamefuzu kwa ushindi wa saba tano dhidi ya liverpool katika mchezo wa aprili ishirini na nane wachezaji nyota wa barca mshambuliaji samuel eto o na beki UNK alves UNK chelsea kuwa haina ubavu wa kuwazuia katika mchezo wa nusu fainali wawili hao walieleza kabla ya kuondoka hapa kuwa hawajali kukutana na chelsea bali kushinda taji msimu huu wakirejea mafanikio ya mwaka ishirini sifuri sita tunahitaji ushindi dhidi ya chelsea lakini UNK zaidi kwenye fainali ni kikosi chenye uwezo wa kushinda nusu fainali na hatimaye fainali na kitu muhimu ni kujiandaa kushinda mechi tatu zilizobaki tutwae taji alieleza eto o kwa upande wao chelsea wamefurahia kufuzu lakini wasiwasi wao ni safu ya ulinzi wakati UNK barcelona bila kuwa naye ashley cole aliyeonyeshwa kadi ya pili ya njano ukuta wao utakuwa na wakati mgumu wa kumkabili lionel messi lakini faraja kubwa itakuwa ni kurejea kwa nahodha john terry ambaye aliikosa mechi ya juzi dhidi ya liverpool ingawa kocha guus hiddink alieleza kusikitishwa na kumkosa cole ni kweli hali ya safu ya ulinzi hasa sehemu ya kushoto itatupa matatizo lakini lazima tuondoe tatizo hilo hiddink aliwaambia UNK barcelona wana wachezaji wenye ujuzi wanajua namna ya kuchezea mpira ninapenda filosofia yao ya soka wana wachezaji UNK kuwaona UNK wanapenda kucheza mfumo wa kushambulia ni vigumu kuwakabili hasa wanapokuwa katika kiwango chao ukuta wa chelsea UNK baada ya beki mwingine wa kushoto wayne bridge kuhamia manchester city mwezi januari huku paulo ferreira ambaye hucheza nafasi hiyo kuwa majeruhi pia hiddink anakabiliwa na tatizo la kipa petr cech ambaye UNK kama ambavyo alionyesha katika mchezo dhidi ya liverpool akichangia kupatikana bao la kwanza la fabio UNK kamati ya mashindano ya shirikisho la soka tanzania kesho itakutana na miongoni mwa majukumu ni kukata mzizi wa fitina kuhusu ushiriki wa mshambuliaji mussa hassan mgosi katika mchezo wa watani wa jadi simba na yanga jumapili hatua hiyo inakuja baada ya wadau mbali mbali wa soka kutaka kujua hatma mchezaji huyo pamoja na kipa wa mtibwa shaaban kado wachezaji hao walizuiwa na tff hadi kamati hiyo itakapokutana kujadili suala lao ambalo limezua utata baada ya wachezaji hao kumaliza adhabu ya kufungiwa baada kupewa kadi nyekundu katika mchezo wa ligi kuu mgosi na kado walipigana uwanjani katika mechi baina ya simba na mtibwa katika mchezo ambao simba UNK bao moja sifuri katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema kuwa kamati hiyo inakutana kesho kujadili masuala mbalimbali yaliyotokea kwenye ligi kuu bara inayoelekea ukingoni mwakalebela alisema kuwa tayari wamewapa taarifa wajumbe wote wa kamati hiyo ambayo mwenyekiti wake ni makamu wa pili wa rais wa tff ramadhan UNK alisema kuwa wao kama tff UNK wachezaji hao bali walituma barua za tahadhari kwa klabu zote mbili ili UNK katika mechi zao kutokana na taarifa iliyotolewa na kamisaa wa mchezo huo ambayo ilieleza kuwa UNK aliongeza kuwa kwa mujibu wa kanuni za ligi mchezaji akifanya kosa kama walilofanya adhabu yao ni kukaa nje kwa mechi tatu au kifungo cha miezi sita na maamuzi ya mwisho yanatolewa na kamati ya mashindano ya ligi uamuzi huo umezua wasiwasi miongoni mwa mashabiki hasa wa simba wakiamini kuwa hizo ni mbinu za kumzuia mgosi kuichezea timu yao dhidi ya yanga jumapili mchezo ambao umezua gumzo timu za england arsenal na manchester united zimefuzu kucheza nusu fainali baada ya kuwashinda wapinzani wao villarreal na porto katika hatua ya robo fainali mabao ya theo walcott emmanuel adebayor na robin van persie yaliipa ushindi arsenal wa mabao tatu sifuri dhidi ya villarreal na kufuzu kucheza nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya kwa jumla ya mabao nne moja arsenal walianza kushangilia bao kupitia kwa theo walcott dakika ya kumi ya kipindi cha kwanza katika mchezo uliofanyika uwanja wa emirates villarreal walipata pigo baada ya beki wake sebastian UNK kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kumchezea rafu walcott na kuipa arsenal penalti ambayo ilifungwa na van UNK nao manchester united waliandika bao kupitia kwa cristiano ronaldo dakika ya sita na kulinda hadhi na heshima yake kwa dakika zaidi ya sabini kabla ya kukata tiketi ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya arsenal mwisho wa mwezi united ambao walilazimishwa sare ya mabao mbili mbili katika uwanja wake wa nyumbani wamefuzu kwa mabao tatu mbili katika mchezo huo man united walitawala sehemu kubwa ya kipindi cha kwanza cha mchezo huo man united walitawala mchezo huo na kushuhudia wachezaji wao nemanja vidic na patrice evra UNK kadi za njano wanangu vipi ishu za wikiendi UNK UNK UNK najua leo jumamosi presha juu juu mpaka kieleweke UNK UNK rafiki zangu wa ligi ya bongo na kwenyewe roho UNK wakikumbuka vumbi la simba na yanga UNK UNK kesho jumapili basi jasho tupu mwili mzima mikwara kibao uswahili hatukai jamaa UNK UNK yetu macho msije UNK manundu tu sisi wengine tunataka kuona boli tu na UNK UNK kihalali halafu washikaji mambo ya tunguri yamepitwa na wakati UNK UNK soka la kistaarabu linaloendana na hadhi ya majina yenu onyesheni upeo na viongozi UNK kuondoa hizi hali UNK wachezaji wetu na hata wageni wanaotoka nje ya nchi kuja kuwaangalia wanashangaa kukutaka klabu kama yanga au simba za ishirini sifuri tisa zinaamini mambo ya elfu moja na mia nane na arobaini na saba madega na dalali UNK hii aibu ya kuamini ushirikina hoja ya zee la kutibua wikiendi hii ni mambo ya gaudence mwaikimba UNK na kuyasikia ambayo UNK sana kunifanya nifikirie mambo mengi ambayo baadhi UNK majibu na mengine yana majibu ya wazi kama humjui mwaikimba ngoja nikuelezee kidogo lakini nitapenda kutumia jina maarufu la straika ambalo nimekuwa UNK zaidi kwenye mijadala la uswahili kwetu ni straika mrefu ambaye amewahi kuvuma na tukuyu stars ya kule wilayani kwetu rungwe mkoani mbeya na kipindi fulani akacheza ashanti ya hapa bongo na baadaye yanga alipo sasa lakini UNK sana wakati marcio maximo alipokabidhiwa taifa stars kwa kifupi elewa hivyo tu straika huyo wiki iliyopita alitofautiana na kujibizana kwa maneno makali ya kushtua na kocha wake dusan kondic pamoja na baadhi ya viongozi wa yanga ingawa hakuna aliyeweza kunasa kauli za kwanza za tukio hilo lilitokea kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam yanga ikifanya mazoezi inadaiwa kondic alimwambia mwaikimba akapumzike benchi wakati UNK vikosi viwili mazoezini akiwa na nia ya kumuingiza baadaye kwenye programu nyingine mimi na wewe hatujui kwamba kondic alikuwa na progamu gani lakini tuamini ni utaratibu wa kawaida wa kocha kwa vile mwaikimba UNK kutuambia kuwapa nafasi zaidi wachezaji fulani ambao amedhamiria kuwatumia kwenye mchezo unaofuata na ndio kinachotokea mara nyingi kwa klabu za soka za afrika achilia mbali zile za nchi zilizoendelea ambapo kwa mtu kama mwaikimba UNK na kocha mwingine labda wa viungo na kupewa zoezi jingine pembeni hapa hatutaki kujua kwamba huyu straika amekuwa akikaa benchi lakini kitendo cha kutolewa nje UNK na kumpandisha jazba mwaikimba kiasi cha kufikia hatua ya kushindwa kujizuia na kuanza kuhoji ndipo wawili hao UNK na kutoleana maneno ya kashfa kwa madai kuwa mwaikimba UNK tusi na kocha na yeye UNK na kuanzisha vita ya maneno huku akielekea nje ya uwanja wakati mashabiki jukwaani UNK na kushangaa kilichokuwa kikiendelea baada ya hapo mwaikimba alishindwa kuzuia hali yake na kutoa lugha mbaya kwa baadhi ya viongozi wa yanga waliokuwepo mazoezini ambao baadaye UNK aondoke kurudi nyumbani lakini UNK mpaka UNK tuhuma zake kimaandishi kitu ambayo yanga nao hawakufanya na kuendelea kumuacha aishi kambini kondic akaibuka baada ya siku kadhaa na kudai kudhalilishwa na mwaikimba na kueleza kuwa mchezaji huyo amemtukana na hana nidhamu mwaikimba ninayemjua mimi sikutarajia kwamba ndie angeweza kufanya UNK na napata ugumu kuelewa na kukubaliana na maneno yanayosemwa mitaani kwamba mchezaji huyo anaonewa au ni UNK lakini nikiangalia aliyofanya mchezaji huyo ni mambo ya kushtua na ambayo ni hatua ya juu mno ya uamuzi ambao sikutarajia kuyasikia kwa vile UNK sifa mbaya ambayo UNK ulaji wake kwa mwaikimba alivyo na nafasi anayochezea ni mchezaji ambaye hata alex ferguson wa manchester united angepewa yanga sasa UNK nafasi ya kucheza ili amuone kutokana na umbo na kimo chake ambacho kwa nafasi ya ushambuliaji ni muhimu zaidi lakini hata kama hachezeshwi au wana chuki na kondic hakustahili kujibizana naye hadharani kama alivyofanya ni kosa kubwa angeweza kutumia njia nyingine za kidiplomasia ambazo zingeweza kumsaidia zaidi ikiwemo UNK roho na kukaa kitako na kocha ili UNK tatizo na hata ikishindikana akae na viongozi wake mambo UNK ufumbuzi na kama kuna chuki UNK kuliko kubishana mbele ya hadhira ambayo kila mmoja anachukulia jambo kwa upeo wake ambapo matokeo yake hata kama mwaikimba wa watu yuko sahihi ni ngumu kuhamasisha tena mtu UNK alichofanya mchezaji huyo kina hasara nyingi kuliko faida na alipaswa kuelewa kwamba kila kocha ana matatizo yake ndio maana hata didier drogba wa chelsea alikuwa hachezeshwi na kocha UNK scolari lakini hakuwahi kumtukana hata siku moja badala yake alipokuwa akiulizwa alikuwa akijibu kwamba nipo fiti kocha ndie mwenye maamuzi ya mwisho sina matatizo drogba UNK na maneno na kejeli ninayemjua mimi UNK kumtukana scolari na kuondoka zake potelea mbali hasara ambazo UNK lakini alijua kwamba kufanya vile UNK na akazidi kudhihirisha mazoezini kwamba yeye ni mali wakati drogba anazungumza hayo alikuwa na mipango ya chini chini na wakala wake kutaka kukimbilia kati ya inter milan au ac milan mwaikimba UNK kufanya ni kukubaliana na hali halisi na kusubiri msimu umalizike atafute maisha mengine kocha anahitaji mafanikio lakini akiona baadhi ya mambo UNK au hayana manufaa kwake kwa wakati fulani anaamua kumuweka mchezaji benchi na wakati mwingine UNK kabisa hiyo inaweza kuwa kwa lengo la UNK hiyo ndio njia pekee ambayo angeweza UNK umma kwamba labda kondic alikuwa UNK kwa kumchezesha dakika thebathini na wakati mwingine kumuweka jukwaani mwezi mzima doa la utovu wa nidhamu UNK sana kwenye soka hasa kwa straika mwenye ndoto ya kucheza soka nje kama mwaikimba katika sakata hili UNK na upande wowote lakini imefika wakati na mwaikimba na mwenyewe auambie umma tatizo hasa ni nini kati yao mpaka ikafikia hali hiyo kukaa kimya au kuzira kupokea simu za waandishi wa habari haimsaidii badala yake hata kama kuna UNK moyoni mwake bado mashabiki watazidi kuamini kwamba ni UNK tu kutokana na ushahidi walionao mpaka sasa toka hadharani UNK mashabiki wako tatizo ni nini viongozi hasa meneja wa timu na yeye anapaswa kuwa karibu zaidi na wachezaji na kubaini matatizo UNK ndani kwa ndani ambayo yanaweza kuhatarisha amani na UNK kiungwana si kuogopana na kuangaliana usoni ndio UNK roho cha mashabiki wengi wa soka tanzania lakini pia huwa ni UNK roho baada ya kumalizika kwa mechi baina ya watani wa jadi simba na yanga kwa kuwa matokeo mabaya huwa chanzo cha migogoro kama viongozi na wanachama hawako imara zamani tulizoea kusema kuwa mechi baina ya klabu hizo mbili kongwe nchini ndio kipimo cha kiwango cha soka nchini lakini nadhani imani hiyo inazidi kutoweka kutokana na ukweli kuwa klabu kama mtibwa sugar prisons kagera sugar toto africans na nyingine zinazidi kucheza kwa kiwango cha juu pengine kuliko hata simba na yanga kwa hiyo kueleza kuwa mechi ya simba na yanga ndio kipimo cha kiwango cha soka cha tanzania kwa sasa unaweza kuwa unakosea na pengine UNK haki klabu kama hizo UNK hapo juu lakini naweza kusema kuwa mechi baina ya watani hao wa jadi ni kipimo cha presha ya mashabiki wa soka nchini kwa kuwa wengi UNK ni matokeo ya mchezo na si kile UNK kwa dakika tisini na wengi wanajivunia hilo kwamba hata timu yake icheze vibaya vipi lakini ikapata goli hata liwe la kipa kujifunga UNK basi matokeo ya mwisho ndiyo UNK mashabiki wa timu hiyo na si burudani ambayo ingetolewa uwanjani ni dhahiri kuwa matokeo ndio msingi wa yote katika soka lakini ikiwa matokeo hayo yanapatikana kwa njia ambazo si za kisayansi basi yanakuwa hayana maana sana kwa kuwa uhakika wa kuwepo kwa matokeo mazuri unakuwa ni mdogo hiyo ina maana kuwa matokeo ya namna hiyo UNK presha mashabiki na ndivyo ilivyo kwa simba na yanga na ndivyo UNK kesho wakati simba na yanga zitakapokutana kukamilisha mapambano baina yao kwenye ligi kuu ya bara tayari yanga imeshatwaa ubingwa ikiwa ni kwa mwaka wa pili mfululizo na simba bado UNK ili isije ikatoka mikono mitupu kwa mwaka wa pili mfululizo baada ya mwaka jana kukosa tiketi ya kupata visa kwenda japo comoro kucheza mechi za kimataifa za mashindano binafsi siwezi hata kubashiri timu gani itashinda hata kama kwa sasa ndiyo UNK soka la uhakika kuliko mwenzake hii ni kwa sababu mshindi wa mechi ya kesho UNK na kiwango chake cha soka kwa kuwa simba na yanga ni habari nyingine ndicho UNK kwamba hata timu moja iwe inacheza vizuri vipi matokeo mazuri yanategemea mambo mengine ni ajabu sana tunahitaji kurudi kule UNK UNK kuwa mechi ya simba na yanga ndio kipimo cha kiwango cha soka nchini badala ya kuendelea kujivunia ujinga kama ni kweli kuwa yanga na simba ndizo klabu kongwe zenye mashabiki wengi utajiri basi hazina budi kuwa ndizo UNK soka la hali ya juu ili ziwe kielelezo halisi cha hadhi yao katika soka nchini na kielelezo halisi cha kiwango cha juu cha soka la tanzania badala ya kuwa kielelezo cha ubabaishaji wa hali ya juu kwenye soka tanzania kwa kuzirejesha mechi za simba na yanga kwenye hadhi hiyo natumaini mashabiki watakuwa na hamu ya mwaka mzima ya kuona soka UNK wakti timu hizo zitakapokutana na mshindi awe ndio zawadi ya burudani safi UNK kwa dakika tisini na klabu zote mbili tunategemea kuwa wale wanachama wanaotengeneza mazingira ya kujipatia fedha kwa UNK mizengwe wachezaji au makocha hawatapewa nafasi tena kwenye mechi hizi ili kuwafanya wachezaji wacheze kwa uhuru wote na kutumia stadi zao bila ya woga ili burudani inayotarajiwa ipatikane kama nilivyowahi kuandika huko nyuma jukumu la mashabiki UNK zote linatakiwa kuwa ni kuchangia mafanikio ya timu zao kwa kushangilia na kuweka mazingira halisi ya pambano kubwa badala ya kusubiri kushangilia mafanikio na hilo ndilo linatakiwa kesho wakati simba na yanga UNK UNK yao kwenye uwanja wa taifa pongezi zangu UNK kwa rafiki yangu hashim thabit manka ambaye amefanikiwa kuingia mara ya pili kwenye mchakato wa wachezaji wanaoweza kuchukuliwa na timu za ligi ya kikapu ya marekani safari hii akiwa nafasi za juu mwaka jana hasheem aliingia kwenye draft lakini UNK na kocha wake rafiki na familia wakaona bora asubiri msimu huu amefanya hivyo na kweli amefanikiwa anastahili pongezi ila safari bado ni ndefu kila la kheri salamu nyingi kwa wasomaji wangu na pongezi kwenu waungwana kutokana na maoni na changamoto UNK nawapongeza kuwa mpo juu mawazo yenu UNK zaidi uwezo wangu wiki mbili zilizopita tumeona hata kama itakuwa ni ulaya lakini burudani ilikuwa ni ya juu sana katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya si mchezo tumeona mengi na ninaamini tumejifunza mengi timu nane za arsenal liverpool na manchester united za england fc porto villareal na barcelona na bayern munich ya ujerumani zimeonyesha kile ambacho mashabiki wengi wa soka walikuwa UNK kwa hamu kubwa asilimia kubwa ya mashabiki wa soka walikuwa kwenye makundi na vijiwe wakijadili na kutabiri itakuwa hivi au vile lakini utaona siku ya mwisho wako walioonekana kuendana na UNK wako UNK na wengine UNK hiyo ndio soka na ndio maana ni kipenzi cha wengi wachambuzi wa uhakika wa mambo ya soka wanatoa mfano huu kwamba kama kuna mechi milioni kumi sifuri UNK basi hakuna hata mechi moja inayolingana na nyingine na karibu kila mechi ina kitu kipya ambacho UNK kutokea kwenye mechi nyingine nakubaliana nao achana na ulaya hapa nyumbani nasi tuna gumzo letu simba na yanga ambazo kesho jumapili zitamaliza ubishi kama tulivyoona huko ughaibuni UNK kwa kuonyesha soka ya kiwango cha juu na hakuna longolongo na mambo mengine inaonekana kabisa kuwa watu wale walikuwa wanajua wanachokifanya hata UNK kwa hamu tumeona UNK kutokana na burudani ya kutosha UNK ilikuwa ni burudani ya kutosha ya uhakika na ndio maana nina kila haki ya kuhoji wakati tukiwa UNK kwa hamu pambano la simba na yanga je tutapata burudani au UNK tunataka mpira si vurugu kadi nyekundu zisizokuwa na sababu lawama zisizokuwa na sababu baada ya mechi eti kwa sababu inaonekana ni kawaida kila baada ya mechi hiyo ya watani basi lazima mchawi UNK simba na yanga za enzi zile zina vitu vyake sasa hakuna wa enzi hizo UNK na mimi ingawa pia nimepewa hadithi tu lakini kuna mambo ya wakati huo inabidi tuachane nayo kwani tumepiga hatua na tupo karne nyingine ninaamini watu watakaokuja uwanjani kesho jumapili itakuwa ni idadi kubwa kwa kuwa wanataka kumaliza ubishi lakini kwa soka tena iwe ya kuvutia kwa kuwa ndiyo UNK safari na si mambo ya ajabu ajabu wakongwe wanakutana ndio kioo cha soka ya tanzania basi ndilo UNK kuonekana na si vituko vingi kuliko mpira wenyewe kwa upande wa mashabiki vema kuonyesha ni watu wa soka kweli kushangilia kwa kila hali poa lakini si vurugu au kuharibu mali za uwanja ambao ni mali yetu sisi wenyewe kama hamjui UNK kuwa ule uwanja ni mali yangu mimi wewe na mtanzania mwingine kwa kuwa umejengwa kwa fedha zangu zako na za mwingine soka ya tanzania imebadilika kipimo kizuri kiwe kesho nawatakia kila la kheri katika mchezo huo uanze na kumalizika salama amani kwenu wasomaji wangu wa safu hii ya uchambuzi wa mambo ya michezo nipo nanyi tena mwisho huu wa juma kufanya tafakari pamoja nanyi kuhusu hii hali ya uwanja wa taifa wa zamani ambao wengi UNK kama shamba la bibi na sasa unaitwa uwanja wa uhuru nina uhakika mkubwa kuwa wengi wa wale ambao huenda uwanjani hapo kuangalia mechi mbalimbali za kimashindano na kirafiki wanalifahamu fika tatizo kubwa la uwanja huo hasa pale mvua UNK tatizo hili limekuwa ni la muda mrefu sana kiasi kwamba ninadiriki kuamini kwamba mamlaka husika UNK macho au kwa namna moja au jingine UNK hiyo imeliona kwamba hili ni tatizo la kawaida kabisa kwa wale walioshuhudia pambano la marudiano kati ya timu ya simba na azam zote za dar es salaam ambalo ilibidi liahirishwe hadi siku iliyofuata watakubaliana nami kwamba hali ya uwanja huo imekuwa ni kero kubwa kwa wachezaji hasa pale mvua UNK pambano hilo ambalo ilibidi liahirishwe wakati wa mapumziko wakati timu ya simba ikiwa inaongoza kwa bao moja ilibidi UNK kutokana na hali ya uwanja kuwa UNK ya maji UNK hasa katika upande wa kaskazini magharibi mwa sehemu ya kuchezea hali ilikuwa ni ya kusikitisha zaidi pale wapenzi wengi wa simba walipoingia ndani ya uwanja huo na kuanza kukausha maji hayo kwa kutumia zana mbalimbali zikiwemo nguo na UNK katika kufagia maji hayo pamoja na jitihada kubwa sana zilizofanywa na wapenzi na mashabiki wa simba kukausha maji hayo ili UNK mchezo ule kuahirishwa jitihada zao ziligonga mwamba mwamuzi wa mchezo huo alipoamua UNK mchezo huo pamoja na kwamba wakati wa kipindi cha mapumziko mvua UNK kunyesha miundombinu hafifu ya UNK wa maji kutoka kiwanjani hapo haikusaidia kumaliza kiasi kikubwa cha maji ambayo tayari UNK mabwawa katika sehemu mbalimbali za uwanja ule mashabiki na wapenzi wa simba walikuwa na kila sababu ya kujitahidi kukausha maji yale uwanjani kwa kuwa tayari timu yao ilikuwa inaongoza japo kwa goli moja goli ambalo walidhani kwamba wachezaji wao walikuwa na uwezo wa kuweza kulilinda hadi mwisho na hivyo kujizolea pointi zote tatu za mchezo ule pamoja na kuwa tatizo hilo ni la muda mrefu mamlaka husika haijachukua hatua zozote za kueleweka ili kulipatia ufumbuzi kuna wakati meneja wa uwanja huo aliwahi kunusuru michezo kadhaa kwa UNK maji yale kwa kutumia magodoro teknolojia ambayo hailingani hata kidogo na hadhi ya uwanja huo pamoja na jitihada hizo kubwa za ubunifu za charles masanja ambaye kuna wakati alilazimika kuingia yeye mwenyewe na kutumia magodoro UNK maji yale hali ya uwanja imeendelea kuwa vilevile na hakuna mabadiliko yaliyofanywa ili kurekebisha mfumo mzima wa mtiririko wa maji kutoka katika eneo la kuchezea soka la uwanja huo kuna maswali mengi ambayo tunaweza kujiuliza kuhusu uwanja huo mosi hivi huyo mkandarasi aliyejenga sehemu ile ya kuchezea na kutandaza nyasi bandia ni wa kiwango kilichostahili kupewa kazi ile baada ya kuwa kazi aliyofanya mkandarasi imeonekana kuwa na kasoro nyingi sana je ni hatua gani zimechukuliwa katika UNK mkandarasi huyo je hakukuwa na mkataba wowote UNK mkandarasi kuhusu ubora UNK wa uwanja huo na hatma yake kama viwango vya ubora UNK kwa kuwa hali ya uwanja UNK viwango vya kuufanya utumike hata wakati wa mvua je ni nani ana wajibu wa kufanya marekebisho hayo kama kuna UNK na kufanya marekebisho hayo ni kwanini marekebisho hayo UNK kiasi hicho wasomaji wangu wapendwa maswali ni mengi mno na sidhani kama yanaweza kuwa na majibu ya moja kwa moja na ya kueleweka kwa kuwa tumekuwa ni jamii ambayo ina uwoga katika kuulizia na kufuatilia mambo ya msingi ni dhahiri kwamba sitarajii hata hili UNK UNK hali hii ya uwanja ikiachiwa UNK hivi ilivyo kuna uwezekano mkubwa wa kuoza ama kuharibika kwa sehemu ya jamvi la nyasi bandia ambalo mara UNK huwa UNK maji hii italeta gharama kubwa zaidi kwa mamlaka husika kuliko kufanya marekebisho katika mfumo wa UNK maji katika uwanja huo nadhani UNK amani kwenu adriano ni jina kubwa katika soka duniani na UNK zaidi nchini italia ambako ni maskani ya kikosi cha inter milan UNK ligi kuu adriano UNK umaarufu mkubwa inter milan kwa sababu ya mchango wake wa kuinua kikosi hicho kiasi cha kuongoza ligi hiyo kwa pointi kumi juu ya juventus msimu huu pamoja na juhudi na umaarufu wa mchezaji huyo wiki iliyopita alitangaza kuacha soka rasmi kwa madai anataka kuishi nyumbani kwake brazil bila presha suala la kutangaza kuacha soka lilikuja baada ya adriano kujichimbia kusikojulikana kwa takribani wiki moja ambapo si kocha wa brazil dunga wakala wake UNK UNK wala kocha wa inter milan jose mourinho aliyefahamu alikokuwa UNK mchezaji huyo UNK la mtu kocha wa brazil ambaye ndiye UNK na mchezaji huyo mara ya mwisho baada ya mechi za kufuzu fainali za kombe la dunia alisema UNK tiketi ya ndege mchezaji huyo ya kwenda italia kama alivyofanya kwa wachezaji wa timu nyingine na alishangaa kusikia adriano hajafika inter milan wakati dunga akishangaa naye kocha wa inter milan jose mourinho alipata wasiwasi kwa sababu hakujua mchezaji wake alipo kwani alikuwa UNK kambini sifahamu mchezaji huyo yupo wapi kwani hata akipigiwa simu UNK nina shaka na usalama wake sina hofu juu ya kumkosa katika timu bali usalama wake kama binadamu anasema mourinho pamoja na utata huo wiki iliyopita baadaye adriano alijitokeza na kusema kuwa yupo salama katika kitongoji chao cha vila UNK jijini rio de janeiro brazil na kwamba ameamua kuachana na soka adriano anasema kuwa soka ni mchezo wa presha kubwa na amekuwa katika maisha hayo tangu alipoanza soka akiwa na umri wa miaka kumi na nane na sasa amechoshwa na maisha hayo ingawa kulikuwa na madai kuwa mchezaji huyo ameamua kuachana na soka kwa sababu aliwekwa benchi wakati kikosi cha brazil UNK mechi za kufuzu fainali za kombe la dunia ishirini moja sifuri hivi karibuni mchezaji huyo alipinga vikali madai hayo kwa kusema anafahamu kuwa yeye ni mchezaji mzuri na kukaa benchi ni sehemu ya soka kuhusu madai kuwa huenda ana chuki na inter milan adriano alisema sina ugomvi na inter milan isipokuwa nataka kupunguza presha nimekaa katika hali hiyo tangu nikiwa na miaka kumi na nane nimechukua uamuzi huu kwa lengo la kuwa na furaha kwa mara nyingine adriano UNK ribeiro alizaliwa februari kumi na saba elfu moja na mia tisa na themanini na mbili mjini rio de janeiro brazil na alianza soka la kulipwa katika klabu ya flamengo mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa wakati huo alikuwa katika kikosi cha vijana lakini baada ya mwaka mmoja alipandishwa mpaka katika timu ya wakubwa alijiunga na inter milan msimu wa ishirini sifuri moja ishirini sifuri mbili na alipachika bao la kwanza katika kikosi hicho kwenye mechi ya ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya real madrid ya hispania msimu huo wa ishirini sifuri moja ishirini sifuri mbili adriano alihamia fiorentina kwa mkataba wa mkopo wa miaka miwili na miaka hiyo UNK alirudi inter milan na kusaini mkataba wa miaka minne mwaka ishirini sifuri nne na msimu wa mwaka ishirini sifuri nne ishirini sifuri tano alifunga jumla ya mabao kumi na tano baada ya kuingia uwanjani mara kumi na sita kuanzia julai kumi na moja ishirini sifuri nne mpaka juni ishirini na tano ishirini sifuri tano adriano alifunga mabao arobaini katika mechi za ligi ya ndani na kimataifa lakini baada ya kufanya mambo hayo makubwa msimu uliofuata kiwango chake UNK na mara kadhaa alionekana katika kumbi za starehe UNK kocha wa brazil dunga UNK katika kikosi chake kilichocheza mechi ya kirafiki dhidi ya ecuador oktoba kumi ishirini sifuri sita na alimtaka abadili UNK februari kumi na nane ishirini sifuri saba adriano alikimbia mazoezi ya kikosi cha inter milan na kwenda kusherehekea siku yake ya kuzaliwa kocha wa inter milan UNK UNK UNK benchi katika mechi ya ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya valencia na baadaye alikaa benchi katika mechi ya ligi kuu italia dhidi ya UNK novemba kumi na sita mwaka ishirini sifuri saba mmiliki wa inter milan massimo moratti alimpa adriano likizo isiyo na malipo mmiliki huyo alimtaka adriano ajijenge kimazoezi kwenye kikosi cha sao paulo fc kabla ya kurejea inter milan hiyo ilitokana na ukweli kwamba tabia ya ulevi ya mwanasoka huyo ilimfanya UNK na nguvu za kutosha kukabiliana na mikiki ya uwanjani ingawa klabu mbalimbali UNK kumsajili mchezaji huyo mwaka ishirini sifuri saba wakati akiwa kwao brazil moratti alisisitiza kuwa alitaka kuona adriano akirudi inter milan tena akiwa fiti kama zamani pamoja na maneno hayo klabu ya sao paulo ambako alikuwa akicheza soka kwa muda ilituma maombi inter milan ya kuitaka klabu hiyo imruhusu adriano akae brazil mpaka kumalizika kwa michuano ya copa UNK msimu wa ishirini sifuri saba ishirini sifuri nane baada ya kuruhusiwa kuendelea kuchezea sao paulo kwa muda adriano alionyesha uwezo mkubwa katika kikosi hicho ambapo alipachika mabao mawili wakati UNK na UNK kwenye mechi ya fungua dimba na kupata ushindi wa mabao mbili moja pamoja na kutoa mchango mkubwa katika michuano hiyo februari ishirini na tisa aliwaudhi viongozi wa klabu kwa kufika mazoezini akiwa amechelewa na kuondoka kabla ya muda muafaka mkurugenzi wa timu hiyo marco aurelio UNK alisema adriano aliacha mazoezi bila sababu anaweza kuondoka sasa wala UNK tena juni kumi na saba adriano alirudi inter milan na mwanasoka huyo alikuwa mchezaji wa akiba katika mechi dhidi ya UNK fc septemba kumi na nne ishirini sifuri nane lakini alipoingia uwanjani dakika ya themanini na moja alipachika bao pekee la ushindi kufuatia matokeo hayo nyota huyo alianza kupangwa katika kikosi cha kwanza na katika mechi dhidi ya torino UNK c alitengeneza mabao mawili yaliyofungwa na maicon wakati inter milan ilipopata ushindi wa mabao tatu moja baada ya mechi hiyo televisheni ya sky ilimtangaza adriano kuwa mchezaji bora wa mechi hiyo mpaka kufikia septemba ishirini sifuri nane adriano alikuwa ametimiza mabao kumi sifuri katika mechi za ligi ya serie a na za kimataifa oktoba ishirini na mbili ishirini sifuri nane mchezaji huyo alipachika bao pekee la ushindi wakati kikosi chake kilipopambana na UNK kwenye mechi ya kuwania ligi ya mabingwa ulaya bao hilo lilimfanya adriano afikishe magoli kumi na nane kwenye michuano hiyo na bao la sabini kwa klabu yake kutokana na uwezo UNK mchezaji huyo klabu mbalimbali zilianza UNK ikiwa ni pamoja na chelsea licha ya juhudi za chelsea za kutaka kumsajili katika dirisha dogo la mwezi januari mwaka huu mambo yalikuwa magumu na walishindwa kufanya hivyo je hali itakuwaje sasa atabaki brazil kama alivyoahidi au atarudi ulaya tusubiri manchester united arsenal na chelsea wanawania ubingwa wa ligi ya mabingwa ulaya katika fainali itakayochezwa jijini rome baada ya kufanya vema katikati ya wiki hii lakini wikiendi hii watakuwa na kazi ya kusafisha njia kuelekea uwanja wa wembley kwenye fainali ya kombe la fa UNK united ambayo iliifunga porto na kutinga nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya baada ya cristiano ronaldo kufunga bao safi la mita arobaini itakwaana na everton katika nusu fainali ya kuwania kombe la fa kesho jumapili wakati arsenal na chelsea zitakuwa UNK kazi saa ishirini na nne zilizopita kwa kucheza leo jumamosi katika mechi ambazo zote zitafanyika uwanja wa wembley wakati ukiwa UNK mwezi mmoja na wiki chache kabla ya kumalizika kwa msimu huu timu zote zimekuwa zikiwania vikombe kadhaa ili kuweka UNK vinara manchester united wana uwezo wa kuibuka na ushindi na wana nafasi ya kupata vikombe vitano kama walivyoahidi kikosi hicho tayari kimenyakua kombe la ligi carling cup na kombe la dunia kwa klabu wakati kocha wa chelsea guus hiddink hajakata tamaa kuwania ubingwa wa ligi kuu england na atahakikisha anafanya vema wakati UNK na barcelona katika nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya arsenal ambayo ilifanya makosa mwanzoni mwa ligi huenda ikaendelea na ukame wa vikombe kwa miaka minne mfululizo licha ya kwamba bado ina nafasi katika ligi ya mabingwa ulaya na kombe la fa kikosi hicho UNK villarreal mabao tatu sifuri na kuingia nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya wiki hii kwa kupata ushindi wa jumla ya mabao nne moja tunafahamu chelsea ni timu nzuri lakini tukicheza kwa makini tuna uwezo wa kukifunga kikosi chochote duniani alisema mshambuliaji emmanuel adebayor chelsea ambayo ilitoka sare ya mabao nne nne na liverpool jumanne wiki hii katika mechi ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya na kutinga nusu fainali kwa jumla ya mabao saba tano hawatakubali kupoteza mechi dakika za majeruhi lakini arsenal inaonekana kuwa nzuri zaidi hasa kwa kuwa kuna wachezaji nyota kama cesc fabregas theo walcott na eduardo ambao wamerudi uwanjani baada ya kuumia arsene wenger ambaye wiki hii alilalama kwamba utaratibu wake wa kusajili watoto wadogo umemponza sasa amebadili kauli na kusema anaamini watashinda vijana hawa ni washindi wameonyesha moyo wa kujiamini kwa muda mrefu wana uwezo mkubwa alisema wenger wameonyesha kuwa na njaa ya mabao kila kukicha na katika mazoezi hali huwa nyingine kabisa wakati manchester united arsenal na chelsea wakiangalia uwezekano wa kupata mataji mbalimbali everton inawania kombe moja tu la fa na nafasi ya kushiriki kombe la uefa msimu ujao wamepoteza mchezo mmoja tu katika mechi kumi na moja zilizopita everton ambayo iliifunga manchester united mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano katika fainali ya kombe la fa huenda isiwe na mshambuliaji kutoka ufaransa louis UNK nyota wa brazil UNK na yakubu UNK wa nigeria ni wagonjwa wakati timu hizo kubwa zitakuwa katika kinyangganyiro hicho katika msimamo wa ligi kuu england timu nne zitakuwa zikipambana kukimbia kushuka daraja msimu huu stoke city ambayo iko juu ya eneo la hatari kwa pointi sita itakutana na blackburn rovers wakati kikosi kinachoshika nafasi ya kumi na saba cha sunderland UNK na hull city iliyo nafasi ya kumi na tano newcastle pia itaendelea na ushindani ili kukwepa kushuka daraja wakati kocha alan shearer UNK kikosi chake kupambana na tottenham hotspur ambayo UNK UNK kikosi cha juventus kina kila kitu lakini UNK matumaini ya kuwakamata vinara wa ligi kuu italia inter milan ingawa kina uwezo wa kupunguza pointi kutoka kwa wapinzani wao na kuwa saba iwapo watawafunga katika mechi ya ligi kuu italia serie a leo jumamosi wiki chache zilizopita wapenzi wa soka walifikiri kuwa mechi dhidi ya wapinzani hao wanaowania ubingwa itatoa uamuzi wa timu gani itanyakua kombe mwaka huu lakini juventus inaonekana wazi kuwa UNK kikosi cha claudio ranieri kilitoka sare ya mabao tatu tatu katika uwanja wa nyumbani dhidi ya chievo kabla ya kufungwa mabao tatu mbili na kikosi kinachoshika nafasi ya nne cha genoa jumamosi iliyopita hata kama inter milan itafungwa mjini UNK nafasi ya kikosi cha jose mourinho kuukwaa ubingwa ni kubwa na hasa ikizingatiwa kimebakiza mechi sita tu tulifanya uzembe inter milan inastahili kuwa mahali hapo alisema kipa wa juventus gianluigi UNK lakini siku ya jumamosi tunataka kuibuka na ushindi lakini kumaliza ligi tukiwa nyuma kwa pointi nne au tano ni jambo zuri kuliko kumaliza ligi tukiwa nyuma kwa pointi kumi au kumi na mbili alisema nahodha alessandro del UNK sababu kubwa ya maendeleo ya kikosi kinachonolewa na kocha jose mourinho ni uwezo mkubwa wa kipa kutoka brazil julio UNK wiki iliyopita UNK lango kwa kuwa UNK na maumivu ya misuli wakati kikosi chake UNK sare ya mabao mbili mbili na palermo lakini huenda UNK fiti kwa ajili ya mechi ya leo jumamosi buffon ambaye alikosa mechi nyingi za mwanzoni mwa msimu kutokana na maumivu anaonekana kuwa nyuma ya UNK kwa uwezo na vyombo vya habari vya italia UNK fununu kuwa huenda juventus UNK buffon ili kupata fedha za kusajili wachezaji wapya ranieri anatarajiwa kutambulisha sura tatu mpya katika mechi ya leo jumamosi baada ya viungo UNK UNK na claudio UNK kusimamishwa wakati mshambuliaji UNK huenda UNK uwanjani kutokana na kusumbuliwa na maumivu aliyoyapata mwezi uliopita ac milan bado UNK na wingu kufuatia taarifa kwamba kocha carlo ancelotti yuko mbioni kuondoka licha ya kwamba mwenyewe amekuwa akisema hawezi kufanya jambo kama hilo ac milan inaweza kuchukua nafasi ya pili kama juventus itafungwa na wao kushinda dhidi ya torino kesho jumapili kikosi cha bologna kitakuwa safarini kuchuana na palermo kesho jumapili rais wa getafe angel torres ni mwanachama wa real madrid na anaamini kuwa kikosi chake kinaweza kuwasaidia mabingwa hao wa hispania kwa kuwafunga barcelona katika ligi kuu hispania leo jumamosi kikosi chenye maskani yake catalans kilifungwa mbili sifuri huko getafe msimu uliopita na kutoka sare ya moja moja katika uwanja wa nou camp novemba mwaka jana na kama wakipoteza pointi muhimu watatoa pumzi kwa kikosi cha real madrid barcelona inaongoza ligi hiyo ikiwa na pointi sabini na tano huku ikiwa imebakiwa na mechi nane kumaliza ligi timu hiyo ipo juu ya real madrid kwa pointi sita real madrid itakwaana na kikosi dhaifu cha recreativo huelva leo jumamosi real madrid inatafuta ubingwa wa tatu mfululizo barcelona hawapendi kucheza katika uwanja wetu nadhani tutawapa wakati mgumu alisema torres barcelona UNK uwezo mkubwa wakati ilipocheza na UNK na kupata ushindi wa mabao mbili sifuri katika uwanja wa nyumbani hiyo ni nafasi nzuri kwa getafe iliyo katika nafasi ya kumi na nne kujichimbia mbali zaidi na eneo la hatari aliongeza hawawezi kucheza vema katika uwanja wetu na hicho ndio kitu UNK chini ya kocha juande ramos real madrid imefanya kila liwezekanalo UNK na barcelona ambapo wameshinda mechi kumi na nne kati ya kumi na tano tangu UNK mabao mbili sifuri katika uwanja wa nou camp desemba mwaka jana beki wa kati pepe alisema ari ya getafe itakuwa juu baada ya kushinda bao moja sifuri dhidi ya sevilla wikiendi iliyopita wanataka kucheza mechi nzuri dhidi ya barcelona na watakuwa na moyo wa kujiamini alisema nyota huyo kutoka ureno barcelona bado ina nafasi ya kushinda vikombe vitatu msimu huu kombe la ligi ya hispania ligi kuu na ligi ya mabingwa ulaya na nyota wa kikosi hicho xavi amesema timu ina uwezo mkubwa kwa sasa kwa madai kasi imeongezeka mwishoni kwa ligi tupo tayari kwa ajili ya mapambano ya mwezi mmoja na nusu alisema mchezaji huyo kutoka hispania ukweli ni kwamba timu zote zitakuwa zikiangalia uwezo wetu aliongeza tunatakiwa kushinda vikombe vyote vitatu licha ya mambo yanayoendelea katika hatua nyingine timu mbalimbali zimekuwa zikiwania nafasi ya kushiriki fainali ya ligi ya mabingwa ulaya kikosi cha valencia kinachoshika nafasi ya nne villarreal katika nafasi ya tano atletico madrid nafasi ya sita na malaga iliyo nafasi ya saba zinatofautiana kwa pointi chache nahodha wa valencia carlos UNK alisema UNK vema unakuwa na uhakika wa kupanda juu pia kuongeza moyo wa kujiamini aliuambia mtandao wa klabu yake espanyol itakuwa ikitafuta pointi tatu muhimu wakati itakapokutana na racing santander kesho jumapili huku wakihitaji pointi saba ili watoke eneo la hatari nafasi ya olympique lyon kuendelea kuwania ubingwa wa ufaransa itafahamika baada ya matokeo ya kesho jumapili dhidi ya girondins bordeaux mabingwa hao mara saba wa ufaransa waliongoza ligi hiyo kwa muda wa miezi saba lakini kitendo cha kutoka sare ya mabao mbili mbili na monaco wiki iliyopita kilisababisha timu hiyo ishike nafasi ya pili nyuma ya olympique marseille kwa pointi moja huku bordeaux ikishika nafasi ya tatu nyuma ya lyon kwa pointi moja kuna mechi saba zimebaki na lyon inatakiwa kufanya kazi ya ziada katika kila mechi na kama wakifungwa jumapili hali itazidi kuwa mbaya kuna mechi kadhaa zimebaki lakini tutatakiwa kufanya vema alisema kocha wa lyon claude UNK lyon itatakiwa kufanya jitihada ili kunyakuwa ubingwa kwa mara ya nane lakini uwezo wao unaonekana si mkubwa kama bordeaux iwapo bordeaux itaifunga lyon watakuwa katika mwendo wa kasi katika safari ya kuwania ubingwa alisema kocha wa auxerre jean fernandez baada ya kikosi chake kuchapwa mabao mbili sifuri na bordeaux wikiendi iliyopita kama ukiangalia katika mechi kadhaa zilizopita utabaini kuwa bordeaux ni kikosi imara zaidi na kimejipanga vema kuliko lyon na hali inazidi kuwa mbaya kwa timu za toulouse lille na paris st germain ambazo zipo nyuma ya vinara kwa pointi tano pia nyuma ya bordeaux kwa pointi tatu marseille wanatafuta ubingwa wa kwanza tangu mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu UNK kombe la ligi ya mabingwa ulaya na kesho jumapili watakutana na kikosi cha UNK katika mechi nyingine siku hiyo psg itakwaana na kikosi dhaifu cha le havre toulouse na lille watakuwa katika kazi kubwa leo jumamosi wakati watakapopambana na grenoble na st UNK kulikuwa na habari njema kwa lyon wiki hii baada ya mshambuliaji kutoka ufaransa sidney govou kuanza kufanya mazoezi ikiwa ni miezi minne baada ya kuumia govou aliwaambia wachezaji wenzake kuwa uwezo wao ni mkubwa kwa sababu walitoka nyuma kwa mabao mbili sifuri na kutoka sare ya mbili mbili dhidi ya UNK katika mechi dhidi ya monaco nilishuhudia wachezaji wakiwa na ari kubwa govou aliliambia gazeti la michezo la kila siku la ufaransa l UNK ni kweli tunatakiwa kuwa na hofu kiasi lakini hata kama bordeaux marseille na lille zimeonyesha soka safi tutaibuka na ubingwa msimu huu alisema wachezaji watatu wa tanzania athuman UNK khalid rhemtulah na hamis abdallah wameondoka alhamisi wiki hii kwenda uingereza baada ya kupata mwaliko wa kushiriki ligi ya kriketi ya huko kwa miezi mitano mwenyekiti wa chama cha kriketi tanzania zulfikar rhemtulah amesema ziara ya wachezaji hao itatoa mwanga kwa wachezaji wengine kwenda kucheza mchezo huo nchini humo tunaamini watafanya vizuri na kuwafungulia milango wengine ya kwenda huko hao walipata nafasi hiyo baada ya kufanya vizuri kwenye ziara tuliyofanya februari nchini humo dereva ahmed huwel amesema anafikiria kutafuta gari jingine kwa ajili ya kulitumia katika raundi ya pili ya michuano ya magari ya taifa huwel amesema gari lake la sasa linasumbua injini hivyo kumpa hofu linaweza UNK ushindi gari limekuwa linasumbua sana injini na hata katika mashindano ya mwaka jana nilishindwa kufanya vizuri kwa sababu hiyo nafikiria kutafuta jingine ili niweze kutwaa ubingwa katika michuano hiyo katibu mkuu wa chama cha netiboli tanzania anna kibira amesema amefurahishwa na viwango vya timu za mikoani katika michuano ya kombe la taifa inayoendelea kibaha pwani amesema timu za mikoani zimeonyesha kiwango cha juu kuliko jiji la dar es salaam hivyo kuwataka waongeze juhudi ili kutoa wachezaji wengi watakaounda timu ya taifa kwa kweli mikoa imejitahidi sana mwaka huu maana kila mara ilikuwa ni dar es salaam lakini sasa mikoa mingine ndio ipo juu sana inafurahisha sana mchezaji hawa UNK ndiye pekee UNK tanzania katika michuano ya UNK open itakayofanyika aprili ishirini na nne kwenye viwanja vya royal UNK afrika kusini mchezaji huyo anaendelea na mazoezi kwenye klabu ya gymkhana na kuahidi kuwa atajitahidi kadri ya uwezo wake kufanya vizuri na kurudi na ushindi michuano hiyo inashirikisha nchi za zimbabwe namibia nigeria afrika kusini na UNK timu ya taifa ya judo imeweka kambi jijini tanga kujiandaa na michuano ya afrika itakayofanyika aprili ishirini na saba hadi mei nne nchini mauritius katibu mkuu wa chama cha judo tanzania kashinde shaaban amesema timu hiyo imeweka kambi ikiwa na wachezaji kumi na nane wataweka kambi ya wiki moja na baadaye UNK dar es salaam na UNK wachache watakaokwenda mauritius katibu mkuu wa yanga lucas kisasa amesema UNK simba ni timu bora ina wachezaji makini na ipo juu lakini tutawafunga jumapili yanga na simba UNK kesho jumapili katika mzunguko wa pili wa ligi kuu tanzania bara huku kila upande ukitaka heshima ingawa kwa simba ni muhimu zaidi kwani inataka kujihakikishia nafasi ya pili kisasa alisema simba ina wachezaji makini na wanaojua soka hivyo anaamini mechi itakuwa ngumu lakini akaahidi kipigo kama walivyofanya katika mechi ya mzunguko wa kwanza si siri simba ipo juu kiuchezaji na najua itaingia uwanjani ikiwa na presha kubwa hivyo tunatarajia mechi itakuwa ya kukata na shoka lakini tumejiandaa vya kutosha kuibuka na ushindi alisema kisasa tumeshatwaa ubingwa lakini hakutakuwa na mteremko kwani hiyo mechi ni ya watani wa jadi lazima UNK heshima lazima ipewe kipaumbele hivyo wachezaji wangu naamini watacheza kwa bidii ili kulinda heshima ushindi ni lazima hatuwezi UNK simba hivi hivi tutapigana kufa au kupona kuhakikisha tunafanya kama UNK katika mzunguko wa kwanza alisema katika mchezo wa mzunguko wa kwanza bao maridadi lililofungwa na bernard mwalala dakika ya kumi na sita lilitosha kupeleka kilio msimbazi baada ya yanga kuibuka na ushindi wa bao moja sifuri mtanzania hasheem thabeet manka amesema ana matumaini makubwa ya kufanya vizuri katika timu yoyoye inayoshiriki ligi ya mpira wa kikapu ya marekani kwani ni ndoto yake ya muda mrefu akizungumza na mwanaspoti kutoka UNK marekani hasheem mwenye urefu wa futi saba tatu alisema amekuwa na ndoto ya kucheza kwenye timu inayoshiriki nba na kufanya vizuri kitu ambacho anaamini sasa UNK kwa kuwa nimeingia kwenye draft ya nba wakati sasa umefika na ninaamini UNK malengo yangu alisema hasheem anayechezea timu ya chuo kikuu cha connecticut hasheem amechaguliwa kwenye mchakato wa kuwa mmoja wa wachezaji watakaosajiliwa na timu za nba huku akiweka rekodi baada ya kuingia kwenye tatu bora kati ya wachezaji themanini watakaoshiriki katika mchakato wa kusajiliwa kwenye ligi hiyo mwaka jana wadau wengi walishangazwa na uamuzi wake wa kuteuliwa kuingia kwenye mchakato huo akiwa kwenye nafasi ya kumi bora lakini akakataa na kusema angeendelea kubaki mwaka mmoja akiwa UNK maarufu kama UNK katika ligi ya vyuo ya big UNK wengi walidhani huenda UNK kutimiza malengo yake kwa kuwa mmoja wa wachezaji walio ndani ya tano bora ya mchakato huo lakini amefanikiwa hadi kuwa mmoja kati ya tatu bora mwisho wa usajili ni juni ishirini na tano sasa litaanza suala la usajili ni kitu cha kuangalia ni timu gani unatakiwa kwenda au UNK baada ya hapo kutakuwa na nafasi ya kufanya mazoezi na timu hizo ili uwe na uhakika na chaguo lako alisema hasheem aliyepata tuzo mara mbili mfululizo ya mlinzi bora wa ligi ya big east huku akiweka rekodi mbalimbali ndani ya connecticut mtanzania huyo aliyeanza kuchipukia katika mpira wa kikapu katika eneo la sinza jijini dar es salaam timu yake ya kwanza ni udsm outsiders ambayo hata hivyo hakufanikiwa kungara sana kutokana na kukosa mtu wa UNK kipaji chake ambacho sasa kimekuwa gumzo duniani katika hali inayoashiria kuogopa imani za kishirikina meneja wa simba innocent njovu ameficha jezi ya kiungo mshambuliaji wake ulimboka mwakingwe kwa kuhofia viongozi wa yanga UNK simba na yanga zinacheza mechi ya ligi kuu bara mzunguko wa pili kesho jumapili kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam katika mchezo ambao ni muhimu zaidi kwa simba kwani inasaka nafasi ya pili huku yanga ikihitaji heshima tu kwa sababu tayari imetwaa ubingwa tukio hilo la kuficha jezi ambalo UNK waandishi wa habari UNK juzi alhamisi kwenye ofisi za shirikisho la soka la tanzania timu hizo zilipokuwa UNK jezi na mdhamini wao kampuni ya bia tanzania baada ya timu hizo kukabidhiwa jezi huku njovu akiwa ameshika jezi namba kumi na nne ya ulimboka mmoja wa wadau wazito kwenye uongozi wa yanga ayoub UNK UNK na kumuomba jezi hiyo lakini njovu akashtuka na kucheka kisha UNK UNK ingawa ayoub alizidi kumfuata kuitaka jezi hiyo huku UNK njovu UNK katakata na kujiondoa sehemu hiyo kwa kile kilichotafsiriwa kuhofia mchezo mbaya wa wapinzani wao baada ya hilo kushindikana ayoub UNK na kwenda kukaa kwenye nafasi yake na kila mmoja alionekana kujilinda kwa kumhofia mwenzake hadi hafla hiyo ilipomalizika ulimboka ambaye amekuwa na bahati ya kuifunga yanga kwa miaka zaidi ya sita aliyokuwa simba ni miongoni mwa wachezaji UNK zaidi katika mchezo huo ambao tayari ametangaza kufanya maafa jangwani kwa upande wa yanga jezi ambayo ilikabidhiwa hapo ni ya idd mbaga yenye namba ishirini na saba viongozi hao kila mmoja ametamba kuwa moto utawaka katika mechi hiyo na soka safi ya kiufundi UNK pamoja na kuteremka daraja polisi dodoma imeweka mkakati kuhakikisha UNK mkia wa ligi kuu bara kocha mkuu wa polisi dodoma juma mwambusi alisema wamepanga kushinda mechi zao mbili zilizobaki dhidi ya villa iliyofanyika jana ijumaa na dhidi ya simba aprili ishirini na sita ili wapate pointi sita na kumaliza ligi hiyo wakiwa angalau nafasi ya juu kati ya timu tatu UNK daraja suala la kushuka daraja tayari UNK lakini hatutaki kumaliza ligi tukiwa ndio timu UNK timu zote alisema mwambusi ambaye aliichukua polisi kwa mkataba wa mechi saba ili kujaribu kuikoa UNK daraja ndio maana tumeweka mkakati wa uhakika tunataka kushinda mechi zote mbili na baada ya hapo UNK ni mikakati ya nini kifanyike katika ligi daraja la kwanza ili turejee tena baada ya msimu mmoja alisema mwambusi alisema akikamilisha mkataba wake baada ya mechi hizo mbili huenda akakaa na uongozi wa polisi na kulijadili suala hilo polisi ina pointi kumi na tano sawa na villa squad inayoshika mkia lakini UNK na tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa mechi yao na villa inakuwa kama mwamuzi wa mwisho kwa vile timu hizo katika mechi za mwisho UNK na yanga na simba awali polisi dodoma ilikuwa chini ya sekilojo UNK kiungo wa zamani wa yanga na taifa stars ambaye hata hivyo aliwahi kulalamika kuwa waliofanya usajili hawakuwa makini kitu ambacho hivi karibuni mwambusi pia UNK villa squad imeshuka daraja lakini kocha wa timu hiyo ameibuka na kushangaza mashabiki baada ya kuitaka kamati ya utendaji ya shirikisho la soka la tanzania kumnusuru bosi wake ramadhani nassib nassib ambaye ni makamu wa pili wa tff kwa mujibu wa kanuni za shirikisho hilo anapaswa kuachia nafasi hiyo kwa vile timu yake ambayo ndio UNK madarakani haipo tena kwenye ligi mwaisabula aliiambia mwanaspoti jana ijumaa jijini dar es salaam kuwa sifa UNK kiongozi huyo akiwa madarakani ni vyema aendelee kushikilia nafasi yake villa ilikuwa kwenye wakati mgumu sana alijitahidi kwa uwezo wake kuhakikisha wachezaji wanaishi vizuri ili timu isishuke daraja lakini ikashindikana alidai kocha huyo hakuwahi kutumia nafasi yake ya uongozi kuipendelea villa na huo ni mfano wa kuigwa alikuwa anaacha wachezaji wacheze kwa uwezo wao uwanjani angekuwa mtu mwingine mwenye uchu wa madaraka angefanya lolote lisilo la kiungwana kuhakikisha timu inabaki kwenye ligi kuu lakini hakuwahi kucheza mchezo mchafu tangu nianze kufanya naye kazi kama kocha mkuu aliongeza kocha huyo halafu kuitisha mkutano mwingine wa uchaguzi sasa ni kuharibu fedha ambazo zinaweza kufanya kazi nyingine nafikiri busara inapaswa kutumika zaidi alisema mwaisabula ambae ni mwajiriwa wa mamlaka ya bandari dar es salaam kwa mujibu wa kanuni zilizopo UNK atatakiwa kuachia ngazi katika mkutano mkuu wa mwaka wa tff utakaofanyika desemba hivyo kufanyika uchaguzi mdogo ambao UNK nafasi hiyo mabasi mawili ya kisasa kwa ajili ya klabu za simba na yanga UNK katika bandari jijini dar es salaam kampuni ya bia tanzania imethibitisha kwa mujibu wa mkataba wa miaka miwili wa klabu hizo kongwe na tbl kupitia bia yake ya kilimanjaro timu hizo zilitakiwa kupewa mabasi ya kisasa ya kusafiria mkurugenzi wa masoko wa tbl david minja alisema jijini dar es salaam kuwa mabasi hayo UNK hivi karibuni na yanafanyiwa taratibu za kuyatoa haraka ili UNK mabasi ya timu zote mbili UNK dar es salaam na siku si nyingi yatakabidhiwa kinachofanyika sasa ni taratibu za kuyatoa na UNK yatakabidhiwa kwa klabu husika alisema minja ni mabasi ya kisasa na ambayo kila timu UNK na kujivunia hatuwezi kusema ni aina gani ngoja UNK kwanza lakini ni ya kisasa mbali na hilo tbl itaipa yanga shilingi milioni ishirini na tano kama ahadi yake kwa timu itakayotwaa ubingwa na endapo simba itabahatika kupata nafasi ya pili itanyakua shilingi milioni kumi na tano kwa mujibu wa mkataba huo wa tbl kila klabu itakuwa UNK na gharama mbalimbali ikiwemo mishahara kwa wachezaji na wafanyakazi ingawa klabu zote zimeshindwa kuajiri katibu kwa visingizio mbalimbali washambuliaji wanne wa ligi kuu tanzania bara wameibuka lulu na kujiwekea rekodi ya kipekee kupitia mgongo wa villa squad iliyoshuka daraja msimu huu wachezaji hao ndio pekee waliofunga mabao matatu kwenye mchezo mmoja UNK UNK kila mmoja na wote wakiwa wameifunga dhidi ya timu dhaifu ya villa squad inayonolewa na kennedy UNK wakali hao ni boniface ambani wa yanga hussein bunu wa jkt ruvu nsa job wa azam fc na thomas maurice wa moro united wachezaji hao wamejiwekea rekodi ya pekee kwenye ligi ya msimu huu inayoelekea ukingoni huku yanga ambayo kesho jumapili itacheza na simba kwenye uwanja wa taifa ikiwa tayari UNK bingwa mpya ambani ambaye ni raia wa kenya ndiye mfungaji mwenye mabao kumi na sita na UNK mara kwa mara kunapotokea mechi baina ya watani wa jadi simba na yanga ni rahisi kusikia viongozi wa pande hizo mbili wakirushiana makombora ya UNK kila upande hujaribu kuzungumza maneno ya dharau kwa upande mwingine kuonyesha kuwa wapinzani wao si lolote tena ambao huwa wanazungumza maneno hayo ni viongozi wakuu wa klabu ambao UNK wangekuwa msitari wa mbele kumwaga sera za klabu zao badala ya kuanza malumbano yasiyo na maana yoyote katika soka ukiangalia nchi ambazo zimeendelea utagundua kuna tofauti kubwa ya UNK baina ya viongozi wa simba na yanga kwa upande moja na viongozi wa klabu kama za al ahly asec mimosas na nyinginezo za afrika kwa upande mwingine huwa ni nadra sana kwa kiongozi wa simba kuisifu yanga hata kama imetwaa ubingwa pia huwa ni nadra sana kwa kiongozi wa yanga kuisifu simba hata kama imecheza mpira mzuri wao wanajua kupondana tu na wanadhani hiyo ndio njia nzuri ya kukubalika kwa mashabiki wao wiki hii tumeshuhudia viongozi wa klabu hizo mbili wakiendelea kupondana kila upande ukidai ni bora kuliko mwingine huku ukitoa maneno ya dharau kwa klabu pinzani yalikuwa ni malumbano ya kishabiki zaidi lakini faraja ambayo tumeipata na UNK moyo ni kuona busara za katibu mkuu wa yanga lucas kisasa ambaye amekuwa tofauti na viongozi wote wa klabu hizo kisasa ambaye ana shahada mbili kutoka chuo kikuu cha dar es salaam ameonyesha mfano kwa kutoa maneno ya busara ambayo UNK yangekuwa yanatolewa na viongozi wote mara kwa mara alipoulizwa na waandishi wa habari kuhusu pambano dhidi ya simba ambalo litachezwa kesho jumapili kisasa alisema anaiheshimu simba ni timu nzuri ina wachezaji wazuri lakini yanga itashinda ni vizuri viongozi wengine wakajifunza kutoka kwa kisasa kutokana na kauli ya kupenda kuheshimu wengine kwa kiongozi wa yanga kusema anaiheshimu simba na kwamba ni timu nzuri ni jambo ambalo tunadhani ni mfano wa kuigwa kwa viongozi wote viongozi kama kisasa ndio wanatakiwa kuongoza soka kwa sababu wanaweza kusimama mbele ya watu na kuzungumza maneno UNK na si kwa ajili ya kufurahisha kundi fulani la watu tumeshuhudia viongozi wengi wa soka wakiwa na tabia ya kutaka kufurahisha mashabiki wao kwa kuzungumza maneno ambayo huwa UNK kama viongozi hao walikwenda shule kupata elimu au walihudhuria madarasa tu lakini kwa kauli hii ya kisasa tumepata faraja kuwa kumbe kuna viongozi wanaoweza kuongoza klabu zetu bila kufuata mambo ya kishabiki na badala yake UNK kile UNK ni vyema basi viongozi wote wa simba na yanga wakajifunza kutoka kwa kisasa ambaye wiki hii UNK kuwa kumbe inawezekana kwa kiongozi wa simba kuisifu yanga na pia inawezekana kiongozi wa yanga UNK simba kama kuna kitu ambacho wachezaji muhimu wa yanga nadir haroub cannavaro mike baraza na athuman idd chuji hawawezi kukisahau kabla ya mchezo wa kesho jumapili dhidi ya simba basi ni UNK matumbo na kuendesha mfululizo mjini bagamoyo wachezaji hao ambao timu yao ilikuwa imepiga kambi kwenye hoteli ya millenium UNK breeze mjini bagamoyo walikuwa UNK jumanne na jumatano iliyopita kabla ya kupata nafuu juzi alhamisi kwa mujibu wa daktari wa yanga nassoro matuvya wachezaji hao walikuwa kwenye wakati mgumu lakini sasa wako fiti kabisa walikuwa UNK kwa siku mbili lakini hali zao tangu alhamisi zipo safi na wanaendelea na mazoezi kama kawaida alisema nassoro daktari huyo alisema wachezaji wote wapo katika hali nzuri kwa mchezo wa kesho jumapili na mshambuliaji mkongwe maurice sunguti yupo fiti hatima ya kiungo mshambuliaji wa yanga mrisho ngassa iwapo ataendelea na majaribio kwa wiki moja zaidi katika timu ya west ham ya england au la itafahamika kesho jumapili wakala wake yusuf bakhresa ambaye ameongozana naye jijini london england amesema atakabidhiwa ripoti hiyo na kujua hatima ya ngassa kujua kama atakuwa amepewa nafasi ya kuendelea na majaribio kwa wiki nyingine zaidi kawaida hawa jamaa wanatoa taarifa yao jumapili taarifa UNK na mchujo ili kujua nini UNK hapa atajua kama anaendelea na majaribio kwa wiki ya pili au la ila hali ya kuteuliwa kufanya mazoezi na kikosi cha kwanza imenipa matumaini alisema wakala huyo kutoka london siku ya kwanza ambayo ni jumatatu iliyopita ngassa alianza mazoezi na kikosi cha akiba cha west ham united akiwa na wachezaji wengine kumi na nne kutoka katika nchi mbalimbali za ulaya pamoja na nchi za brazil chile na UNK lakini alhamisi wiki hii uongozi wa west ham united UNK kufanya mazoezi kwenye kikosi UNK ligi kuu england chini ya kocha muitaliano gianfranco zola ambacho UNK na mechi ngumu ya ligi kuu england dhidi ya aston villa ugenini kwenye uwanja wa villa park leo jumamosi bakhresa alisema jana ijumaa alitarajia kufanya mazungumzo na uongozi wa fulham ili kuangalia kama watakuwa na nafasi ya majaribio kwa ngassa iwapo atashindwa majaribio yake west ham ngassa mtoto wa kiungo nyota wa zamani wa simba na pamba khalfan ngassa alijiunga na yanga misimu miwili iliyopita akitokea kagera sugar ambayo ilifanikiwa kumnasa kutokea mwanza ambako UNK kisoka kocha wa zamani wa simba milovan cirkovic raia wa serbia amesema ana matumaini ya juu kuwa kikosi chake hicho cha zamani kitashinda mechi ya kesho jumapili dhidi ya watani wao wa jadi yanga akizungumza jana ijumaa na mwanaspoti kutoka belgrade serbia kocha huyo alisema amefurahishwa na mwenendo wa yanga kutokana na kutwaa ubingwa mapema lakini imani yake kubwa simba itashinda kutokana na aina ya uchezaji wa timu hizo mbili sina maana ni asilimia mia moja simba watashinda lakini UNK na kuangalia aina ya uchezaji utaona simba wana nafasi kubwa ya kushinda lazima wao watapata nafasi nyingi zaidi za kufunga alisema milovan ambaye simba ilishindwa kumuongezea mshahara jambo ambalo lilifanya aondoke ushindi wa simba unategemea umakini mara mbili kwanza kuwazuia yanga UNK kwa kuwa wana aina ya uchezaji wa kulazimisha pili simba kuwa makini kutumia nafasi ambazo UNK yanga wanatumia mchezo wa haraka na kukimbia ambao kiuchezaji UNK nafasi kwa mtu kufanya vitu vya uhakika ni wachezaji wachache wenye uwezo wa kufanya vitu kwa haraka wakiwa katika kasi inahitaji kipaji cha hali ya juu kama simba watazitumia vizuri nafasi basi nafasi kubwa ya ushindi itabaki kwao na wanaweza kushinda zaidi ya mabao mawili alisema milovan ambaye amesema bado anapenda kurejea afrika bado ninapenda kurejea afrika lakini sijapata timu kwa sasa nafanya kazi kwenye timu nyingine ndogo ya hapa lakini haiwezi kunizuia iwapo nitapata timu afrika alisema wakati akiwa simba UNK kutokana na kubadili aina ya uchezaji lakini mtafaruku wa kuongezewa mshahara ni jambo ambalo lilisababisha aondoke na kujiunga na fanja fc ya oman kabla ya kurejea kwao serbia yanga ikiwa mjini bagamoyo jana ijumaa waliwaweka wachezaji wote chini ya ulinzi mkali huku wakifuatilia nyendo za kila mmoja wao kwa kile kilichodaiwa kwamba jopo la simba UNK mjini humo tangu juzi alhamisi jioni timu hizo UNK kesho jumapili katika mchezo wa marudiano wa ligi kuu tanzania bara ambao ni muhimu kwa simba kushinda kwani yanga tayari imeshatwaa ubingwa hofu hiyo ya simba kutua bagamoyo imefanya baadhi ya wanachama wa yanga kutanda karibu na kambi yao kwa kuhofia wachezaji kufanyiwa hujuma mmoja wa wachezaji wa yanga aliiambia mwanaspoti jana ijumaa mchana kuwa walikuwa UNK na kufuatiliwa mno baada ya kupigwa simu kutoka dar es salaam na viongozi pamoja na mtoto wa kigogo mmoja maarufu nchini ambaye ni mnazi wa yanga viongozi waliopo hapa kambini walipigiwa simu kwamba jopo la simba wamekuja bagamoyo jana usiku alidokeza mchezaji huyo viongozi UNK sana na UNK kila hatua tangu leo asubuhi kwa vile wanahofia hujuma inayoweza UNK na hao viongozi wa simba waliokuja huku lakini hakuna mchezaji yeyote ambaye UNK UNK kwa lolote mpaka sasa labda baadaye alidai mchezaji huyo tegemeo kwenye kikosi cha kwanza lakini mwanaspoti UNK na mmoja wa viongozi mjini humo aliyekataa kutajwa jina lake gazetini kwa madai hawana ushahidi lakini akadai kuna jopo la simba lipo bagamoyo na wamekuwa wakitafuta mawasiliano na baadhi ya wachezaji simu zimepigwa sana kutoka dar es salaam kuwa ichukuliwe tahadhari kubwa kwa vile hao watu wameonekana wakija huku na hata hapa bagamoyo kuna watu UNK kwenye baadhi ya maeneo lakini hawajaja kambini kwetu alisema ila tahadhari kubwa tayari UNK kila kona ya kambi mpaka kwenye uwanja wa mazoezi na baadhi ya wanachama wapo hapa wakitoa msaada alisisitiza kiongozi huyo kocha wa yanga kondic dusan alisema UNK wachezaji wake na hana presha na mchezo huo kwa vile amekiandaa kikamilifu kikosi chake kulinda heshima katika mchezo dhidi ya mnyama simba yenye pointi thebathini na sita ilifungwa na yanga bao moja sifuri katika mzunguko wa kwanza baada ya bao la ben mwalala kumaliza ubishi dakika ya kumi na sita siku wiki na hata miezi imepita lakini sasa yametimia lazima simba na yanga UNK kesho jumapili katika mechi ya ligi kuu tanzania bara mzunguko wa pili idadi ya mabao ya kufunga na kufungwa inaonekana kuwa yanga imeizidi simba msimu huu na tena tofauti ikiwa ni mabao tisa katika kila idara yanga ikiwa tayari imetwaa ubingwa na pointi zake hamsini imefunga mabao thebathini na saba huku simba ikiwa imefunga mabao ishirini na nane jambo ambalo linaonyesha kuwa UNK ya yanga imeizidi ya simba kwa mabao tisa zaidi yanga imefungwa mabao kumi tu wakati simba imefungwa mabao kumi na tisa jambo ambalo linaonyesha kuwa beki ya yanga ni imara zaidi huku beki ya simba ikiwa imeruhusu mabao tisa zaidi ya kufungwa tofauti hiyo ya tisa kwa tisa ndio inayotenganisha ubora wa timu hizo kwenye ulinzi na ushambuliaji msimu huu lakini swali liko kwenye ubora wa nafasi tatu uwanjani yaani ulinzi kiungo na ushambuliaji huku simba wakionekana na uwezo wa kumiliki mpira katikati ya uwanja na pasi za uhakika lakini yanga ikiwa na safu kali zaidi ya ushambuliaji inayoongozwa na boniface ambani mwenye mabao kumi na sita kila upande umeahidi ushindi lakini kumbukumbu ya oktoba ishirini na saba mwaka jana zilipokutana kwenye uwanja huo inaonyesha kuwa ikiendelea kuwa chachu kwa kuwa simba UNK moja sifuri inataka kuonyesha yanga UNK kuvunja mwiko wa kuwa mteja kwa miaka saba huku jangwani ikitaka kuonyesha kazi imeanza na hawakubahatisha simba imeweka kambi mjini zanzibar wakati yanga wamejichimbia kwenye hoteli ya UNK sea breeze mjini bagamoyo pwani kujiandaa na mechi hiyo inayosubiriwa na mashabiki kwa hamu kubwa kocha mkuu wa simba ambao ni wenyeji patrick phiri amesema wana kila sababu ya kushinda mechi hiyo kwa kuwa wao ndio wenye malengo zaidi na wanahitaji zaidi ushindi kuliko watani wao wa jadi hata ukiangalia kisaikolojia sisi tunahitaji zaidi hizo pointi tatu wenzetu wanataka kushinda tu ilimradi malengo yako upande wetu na kinachotakiwa ni ushindi mechi itakuwa ngumu lakini ni jukumu letu kufanya hivyo kutimiza UNK alisema phiri raia wa zambia ambaye ana rekodi ya kutofungwa na yanga kwa upande wa kocha mkuu wa yanga dusan kondic raia wa serbia alionekana kusita kuizungumzia na badala yake akataka simba waulizwe wataifanya nini yanga waulize wao mimi sijui kitu alisema na alipoulizwa kama ni uoga UNK UNK mtu yoyote tutaenda uwanja kwa ajili ya kushinda hata hivyo alikataa katakata kuzungumzia suala la iwapo ana majeruhi au vipi wakati phiri alieleza beki wake wa pembeni anthony matangalu aliumia katika mazoezini ya juzi alhamisi wakati upande wa yanga inaelezwa kuwa ambani aliumia na kulazimika UNK UNK uchezaji wa simba ni wa pasi nyingi hasa sehemu ya kati ya uwanja huku yanga ikitegemea mipira mirefu na krosi za kushitukiza ikiwategemea zaidi ambani na wakenya wenzake ben mwalala na mike baraza mshambuliaji wa simba mussa hassan mgosi ambaye alikuwa anasubiri kujadiliwa kwa rufaa yake ameshajiunga na kambi ya timu hiyo lengo ikiwa ataruhusiwa na tff kucheza mechi hiyo awe katika kiwango cha uhakika mechi hii inatarajia kuwa na makipa wapya ukilinganisha na mechi iliyopita yanga UNK mserbia obren curkovic ambaye ameenda kwenye majaribio austria na hivyo langoni atakuwa juma kaseja wakati simba UNK amani simba mechi iliyopita ina kila sababu ya kumtumia ally mustapha barthez ambaye amerejea katika kiwango kizuri mechi zao za mwisho za ligi timu hizo zote zilishinda ugenini simba iliilaza kagera sugar kwa mabao mbili sifuri nyumbani kwao na yanga ikashinda idadi kama hiyo dhidi ya polisi dodoma na UNK safari ya kuteremka daraja phiri anaweza UNK simba hivi ally mustapha barthez salum kanoni juma jabu juma nyosso kelvin yondani henry joseph ramadhani chombo redondo nico nyagawa emeh izuchukwu haruna moshi na ulimboka mwakingwe kondic anaweza kupanga hivi juma kaseja shadrack nsajigwa wisdom ndhlovu george owino nadir haroub cannavaro nurdin bakari shamte ally abdi kassim boniface ambani ben mwalala na athuman idd chuji waziri wa maliasili na utalii shamsa UNK ameahidi kuwapeleka washindi kumi wa shindano hili kwenda mbuga za wanyama za mikumi mara baada ya kumalizika kwa shindano hilo wiki ijayo mwangunga alitoa ahadi hiyo alipokutana na washiriki hao jumapili ya wiki iliyopita ambako alialikwa kama mgeni rasmi wakati wa mtoano eviction wa mwisho wa sehemu ya kwanza ya shindano hilo UNK ujasiri wa hali ya juu kwa kuweza kufanya kazi ngumu kwa kipindi kirefu mimi kama mama UNK zawadi ya UNK UNK katika mbuga za wanyama mikumi zilizopo mkoani morogoro alisema baada ya UNK eviction wiki hii washiriki wawili kutoka zanzibar na mbeya UNK shindano hili ambalo UNK wiki mbili UNK UNK nassib alikuwa mshiriki pekee aliyekuwa amebaki ndani UNK hilo akiwakilisha mkoa wa mbeya baada ya kissa kuondoka wiki tatu zilizopita kuondoka kwa asha kunamfanya abdul awe mshiriki pekee UNK tanzania visiwani katika shindano hili mkoa wa mwanza ndio mkoa pekee UNK na washiriki wote watatu mpaka katika hatua ya fainali huku mikoa mingine kama tanga ikiwa imepoteza washiriki wake mapema mwanza UNK na UNK UNK boniface michael na upendo peneza ambaye ndiye pekee aliyewahi kuingia UNK huku wengine wakiendelea UNK mikoa ambayo imepoteza washiriki wake wote ni tanga dodoma na mbeya nani kata ya hawa kumi UNK kitita cha shilingi milioni kumi jumapili ya tarehe ishirini na sita mmoja kati ya washiriki atakwenda nyumbani na kitita cha shilingi milioni kumi maisha ni safari ndefu yenye shida na raha wa kukupa raha au shida hapa duniani ni wewe mwenyewe si mtu mwingine matokeo ya kesho yanatokana zaidi UNK ale UNK leo wiki iliyopita nilifuatwa na wanafunzi kadhaa wa chuo kikuu dodoma kwa lengo la kubadilishana mawazo tulizungumza mengi kisha mmoja wao aliniomba UNK namna ya kuishi na mabosi UNK au kujenga uhusiano mbaya na wafanyakazi UNK kimsingi kuwa na uhusiano mzuri au mbaya na bosi wako ni mambo ya kawaida katika kazi hata hivyo mojawapo ya jambo UNK sana wafanyakazi kiasi cha baadhi yao kushindwa kufanya kazi vizuri ni uongozi mbaya UNK uongozi mbaya ni pamoja na kuwa na kiongozi ambaye hatoi ushirikiano mzuri kwa wale UNK bosi mbaya kwa kauli zake UNK ushirikiano au kuonyesha kutojali huweza kuyafanya mazingira ya kazi UNK kama kuna mtu anataka kuacha kazi aache UNK na mfanyakazi yeyote hii ni kampuni UNK watakuja wengine huenda wakawa bora zaidi yako ndivyo baadhi ya mabosi UNK wanashindwa kuelewa kuwa bosi ni dhamana tu leo uko juu lakini kesho waweza kuwa chini maisha hayana adabu hakuna ajuaye hatima ya kesho si ndio jamani ni vizuri kama una madaraka ishi vizuri na watu wote wala UNK yeyote wakati fulani niliarikwa moshi kwa ajili ya kuhutubia kwenye mkutano wa vijana nikiwa kwenye duka mojawapo nilisikia jamaa mmoja anaongea kwa sauti kubwa hili duka ni mali yangu hujui UNK kama UNK ndio UNK au UNK UNK kama unasema UNK ondoka nitatafuta mtu mwingine wa kuuza kati ya vitu unavyopaswa kuvichukia katika maisha ni kutishwa au kunyanyaswa katika staili kama UNK yangu hatma ya kila mtu UNK ni mungu si mtu yeyote acha kunyanyasa wenzio labda kwa sababu wewe ni bosi au mtu fulani mwenye fedha ama mwenye unafuu wa aina fulani katika maisha ndugu yangu maisha tunayoishi yanahitaji uelewe kwamba kinachoweza kukusaidia uwe na maisha yenye raha ni kuishi na watu vizuri kwa sababu kesho haijulikani itakuwaje wakati fulani kuna mama mmoja katika familia alikuwa UNK sana UNK kwamba UNK akakuta tayari mume ana watoto UNK nao na mwanamke mwingine aliyefariki dunia baada ya kuolewa akawa anaona kana kwamba ameingia kwenye ndoa iliyojaa shida akawa UNK watoto kwa kuwasema vibaya na hata wakati mwingine UNK watoto wa kike wakubwa akawa UNK na nini ni wanawake wakubwa bado mko hapa kwa baba yenu hadi lini kwanini UNK UNK hapa sitaki kuwaona hali hii ilisababisha watoto kulazimika kuolewa kwa lazima mmoja wa watoto alijikuta UNK kwa jamaa mmoja ambaye kwa bahati mbaya alikuwa ana virusi vya ukimwi hivyo tunavyoongea UNK simulizi hii ni ya kweli na UNK kuielezea ni msichana mwenyewe ambaye sasa anaendelea na vidonge vya kuongeza siku wakati huo walipokuwa UNK hawakuwa na kazi aliyekuwa na kazi ni baba mama ni wa nyumbani kwa bahati mbaya sana mmoja wa watoto ana kazi nzuri baba amefukuzwa kazi nyumba nzuri iliyokuwa UNK imesimama na hakuna matarajio ya kuendelea hasa baada ya kubainika kuwa baba UNK fedha katika kampuni aliyokuwa UNK kazi na ana kesi nzito mahakamani UNK familia kwa sasa ni mtoto kati ya wale waliokuwa UNK baba na mama wote wako choka mbaya hata UNK nauli ya shilingi mia tatu na hamsini kutoka ubungo kwenye posta hawana waliwahi kukopa benki tayari imeanza kuwasumbua ikitaka chao kwa ujumla hali ni ngumu umejifunza nini kuhusu maisha ni kwamba ishi na watu vizuri huwa inasikitisha sana hata majumbani utaona fulani anakuwa ana roho mbaya kwa mwingine kwanini uwe hivyo ndugu duniani tunapita kuna wengine katika sehemu za kazi badala ya kushirikiana wanaanza UNK utaona labda fulani kwa sababu ana cheo anaona ndio njia ya kumdharau mwingine si sahihi hiyo UNK na watu kwa kuwafanyia yale ambayo wewe ukifanyiwa UNK raha msingi wa maisha yenye raha katika maisha unapaswa kuwajua watu na tabia zao kitaalam inaaminika watu wafupi na warefu kwa mfano wana tabia tofauti kwa mfano wakati watu wafupi wanaaminika kuwa wenye kuchekesha na kupendelea UNK watu warefu wengi wao hawapendi UNK hii haina maana kuwa watu wote warefu au wafupi wana tabia hizo isipokuwa wengi wao wako hivyo ninachotaka kusema hapa ni umuhimu wa kujifunza tabia za watu kwa kina ili ujue namna ya kuishi nao kwa vyovyote itakavyokuwa amini kuwa maisha ni wewe na dunia fanya kazi zako kwa kuamini hilo acha kuwaza watu wanasema nini juu yako angalia kama kile UNK kina maslahi kwako au la makala haya ni sehemu kitabu cha saikolojia na utafiti kati ya vitabu vingi UNK na mwandishi dismas lyassa kuhusu mbinu za kuwa na maisha yenye mafanikio na furaha katika maisha wasiliana naye kwa simu sifuri saba tano nne nne tisa nane tisa saba mbili au sifuri saba nane sita moja nne nane moja sifuri tano hata kama bosi hamuelewani acha kuwa na hofu kwa sababu hatma yako njema inakuja wala usiwe na hofu kila baya lina uzuri wake wakati mwingine elewa kuwa kumtupa UNK ni kumsaidia safari si ndio jamani sehemu ambayo UNK kwa saa nzima UNK kwa sekunde miongoni mwa wasanii nyota waliofanikiwa kuipeperusha bendera ya muziki wa reggae na UNK umaarufu nchini na kimataifa kutokana na ustadi wa kazi zao jhikoman anatajwa kuwa mmoja wao jhikoman UNK kutokana na staili yake ya uimbaji na namna UNK kuweka vionjo vya kiafrika katika muziki wake huku akipiga muziki wake live lakini si hivyo tu jhikoman ambaye ameshafanya ziara nyingi katika nchi mbalimbali za ulaya kwa ajili ya kutangaza kazi zake anaaminika kuwa mwanamuziki wa reggae mwenye mafanikio makubwa nchini leo UNK naye karibu na live msanii huyu makini ambaye jina lake halisi ni UNK UNK kumtambua jhikoman inabidi kwanza utambue alikotokea alizaliwa oktoba kumi na mbili mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na mbili dar es salaam na safari yake kwenye muziki wa reggae ilianza rasmi mara baada ya kumaliza shule ya sekondari alipata fursa ya kushiriki matamasha ya reggae ya msanii jah UNK na marehemu justin UNK na kundi la wakushi na kujifunza mambo mengi kutoka kwao lakini hiyo ilikuwa ni baada ya kuvutiwa na nyota wa muziki wa reggae duniani hayati robert nesta marley bob marley peter tosh na jimmy cliff miaka ya elfu moja na mia tisa na themanini na tisa hadi tisini wimbo wake wa kwanza aliutoa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nne UNK UNK UNK wimbo huu ulikuwa mahsusi kwa wanawake UNK kuwatahadharisha wanawake na masuala ya kujichubua ngozi kwa ajili ya kuwa weupe ambapo kipindi hicho tabia hiyo iliingia nchini na kushamiri miongoni mwa wanawake wengi singo hiyo ilibamba na kuanzia hapo muziki wake UNK kuwa kitambulisho chake mapema mwaka ishirini sifuri sifuri albam yake ya kwanza ilikuwa tayari kuingia sokoni ikiwa imebeba jina la UNK UNK albam hiyo kwa bahati nzuri UNK na kufanikiwa kumuweka vyema katika ramani ya muziki wa reggae nchini mwaka ishirini sifuri moja jhiko alitoa toleo jipya albam yake ya pili safari iliyokuwa ni kombora jingine katika anga za reggae ikifuatiwa na albam yake ya tatu aliyoiita safari inaendelea mwaka ishirini sifuri mbili kipindi hicho kweli hakuweza kurudi nyuma safari yake ya muziki ilianza UNK na UNK kutokana na yeye kupata mialiko ya matamasha makubwa ya muziki ndani na nje ya nchi pamoja na hivyo msanii huyo alipata shavu la kuipua albam iliyojulikana kwa jina la wakulima tutambuliwe ndani ya project maalum ya uhamasishaji kilimo mwaka ishirini sifuri tatu mkali huyo aliibuka na albam nyingine aliyoiita hali halisi kabla ya kufyatua albam yake ya sita iliyobeba jina la kweli na kweli bwana mafanikio katika muziki wake yalianza kuonekana jhikoman alipata nafasi ya kushiriki katika tamasha la reggae la UNK nchini uingereza la mwaka ishirini sifuri tano na kufanikiwa kupata mkataba na leave it record ya norway na kutengeneza albamu nyingine UNK UNK akiwa nchini norway ambako aliishi kwa takribani nusu mwaka kabla ya kurejea nchini jhiko ambaye kwa sasa makazi yake ni bagamoyo ana albam mpya mkononi iitwayo yapo iliyokuja baada ya tupendane na anamiliki bendi yake iitwayo UNK na hii UNK moja kwa moja katika habari njema kwa wapenzi wa muziki huu nchini ni kwamba msanii huyu mahiri wa muziki wa reggae na bendi yake hiyo anatazamiwa kuangusha bonge la shoo jioni ya leo pande za sweet UNK jijini dar es salaam jhikoman anayetamba kwa sasa na fataki zake UNK nyumbani na UNK anatarajiwa kuwasha moto wa kufa mtu ndani ya saturday UNK live ya sweet UNK katika onyesho maalum kwa wapenzi wa muziki wa reggae nchini shoo hiyo live ambayo imepangwa kuanza saa moja kamili usiku wa leo UNK kiasi cha shilingi tano sifuri sifuri sifuri tu kwa kichwa labda uende UNK kwanini jhikoman anatajwa kuwa fahari ya reggae tanzania kaka na dada zangu natumaini hamjambo na mnaendelea vema na shughuli za ujenzi wa taifa wasomaji mahiri kabisa wa ukurasa huu UNK kwa muda wenu mimi mzima na maisha ni mafupi kusema ukweli lakini nitakuwa nakosea UNK UNK sifa yake matamu shukrani kwa wasomaji wangu wa zanzibar walioamua kushuka kwenye boti na kuja moja kwa moja mpaka tabata relini kuja kumuona huyu mwandishi wa makala UNK UNK UNK walipoondoka kuna neno waliniambia UNK niwe mpole kidogo unajua UNK hata siku moja UNK UNK mtu kwa UNK utakuwa umekosea sana haya tuachane na hizi kazi za mungu naomba leo tuangalie mambo makubwa UNK sisi vijana wa kike na kiume wa kiafrika nazungumzia suala la ujauzito leo kusema ukweli jamani mengi UNK hapa kuna watu hufikia hatua ya kutoroka hata makwao wakihofia ukali wa wazazi wao au wakihofia aibu kwa umma imani ni kwamba mimba nje ya ndoa ni dhambi ya uzinzi ambayo kiukweli jamii ikijua kwamba unaifanya bila haya haya linaweza kuwa tatizo mimi nina yangu ambayo UNK katika hili naomba nipewe wasaa nianze kumwaga vipengele vyangu si sawa jamani moja sio ajabu kawaida ukweli uko hivi kile kitendo tu cha kuwa wapenzi kwa utamaduni yetu wa kiafrika iko bayana kwamba uhusiano huu unahusisha pia tendo la ndoa ambalo UNK wake ndio huu hasa mkiwa sio watu wa kutumia kinga ya aina yeyote UNK kwa hiyo kwa kushiriki tendo la ndoa suala la kupata ujauzito lina uwezekano mkubwa hapo jamani nadanganya sasa cha ajabu nini hapo umepanda mpunga mchele ndio huo aibu inatoka wapi wakati ulikuwa pengine UNK kinachofuata hapo ni jinsi ya kukabiliana na tatizo lenyewe kama kweli wewe UNK tatizo lakini kusema kwamba sijui UNK UNK mwenyewe kwa kuwa asilimia kubwa ni watu wanaojua UNK na kama ulikuwa UNK huu ujauzito mbona hata tahadhari UNK UNK bwana UNK pia atakuwa mjinga maana waliozaliwa nje ya ndoa siku hizi ni wengi kuliko hata waliozaliwa ndani ya ndoa unatakiwa kujipanga hapa na jinsi ya kukabiliana na tatizo UNK ni lako na UNK na pa UNK unalo hilo UNK chochote kuna akinadada UNK huamini kwamba UNK UNK mtu mimba basi kuna uwezekano mkubwa akawa ndio wako wa maisha naomba kuchukua wasaa huu kuwatahadharisha dada zangu kwamba hili si kweli kwamba UNK ujauzito kunaweza UNK mimi UNK au labda kuishi na wewe kama mtu na mwenzake kwa akili zetu vijana wa siku hizi unaweza kuwa UNK tunaogopa majukumu kuliko UNK magonjwa ya zinaa mdio ukweli mdio maana sioni aibu UNK hili kwa watu si UNK UNK makusudi maana wanaolalamika mtaani wako wengi ya kwamba UNK huamua tu kubeba mimba bila ya kuwaambia wenzao kisha UNK jamaa sasa mara nyingi sijui ndio kusema hawajajiandaa na maisha ya malezi UNK au kukimbia kabisa mji ukiangalia sio busara lakini sasa UNK na ndio UNK UNK pale pale pa kukubali matokeo na kuangalia nini cha kufanya baada ya yote hayo unaua ni dhambi zaidi hili ni kimbilio la wengi kukimbilia kutoa akiamini kwamba amemaliza tatizo kumbe ndio UNK matatizo zaidi maana duniani kama mlikuwa hamjui ni mungu UNK UNK uwezo wa kupata kiumbe UNK unafikiri UNK we ngoja matokeo yake hukumu siku hizi iko hapa hapa duniani kama UNK hamjui hii ni ya kiimani zaidi fikiria umefanya dhambi ya uzinzi UNK nayo unaenda kuua tena halafu huyu mungu UNK UNK UNK msaada bado utasema maisha yako UNK baraka na utakuwa unahisi kama UNK hivi jibu mwenyewe kabla UNK UNK kutoa mimba ni hatari kwa afya na kwa kweli hata kiimani ni mbaya kwa hiyo ushauri wangu ni kwamba kama unahisi kwamba huko tayari jamani kinga mbona zimejaa kibao UNK na mwenzako au kama vipi acha kabisa haya mambo kama huko tayari nayo wasanii barnabas na pipi kutoka katika kituo cha kukuza vipaji vya muziki nchini tht ni miongoni mwa wasanii waliopangwa kutumbuiza katika fainali za mashindano ya kumtafuta miss usagara ishirini sifuri tisa barnabas na pipi UNK kwa sasa na wimbo wa njia panda wanatazamiwa kufunika katika shindano hilo lililopangwa kufanyika aprili thebathini mwaka huu kwenye ukumbi wa UNK view hotel mjini tanga mkurugenzi wa UNK UNK entertainment lilian UNK inayoandaa shindano hilo alisema wanatarajia wasanii hao UNK katika fainali hizo zitakazo UNK siku ya ijumaa kwa kuwa UNK jumla ya washiriki tisa watapanda jukwaani kuchuana kuwania taji la miss usagara ishirini sifuri tisa ambalo mpaka sasa linashikiliwa na mrembo wa mwaka jana UNK UNK shindano hilo UNK na sir john primary school halima kaoneka mkwakwani UNK saloon UNK UNK UNK education institute na sofia UNK baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu msanii wa muziki wa r b nchini maunda UNK zorro ameibuka na kusema huu ni wakati wake wa kutoa albam yake ya kwanza mwanamuziki huyo aliyezaliwa katika familia yenye vipaji alisema kuwa amekaa kimya kwa muda mrefu hakutaka kuzungumzia kuhusu ujio wa albam yake kwa sababu maalum nilikuwa kimya kwa muda mrefu sijawahi kutoa tamko lolote juu ya albam yangu zaidi ya kutoa nyimbo tu kwa kuwa sikutaka kutoa ahadi hewa lakini sasa nataka kuwaambia mashabiki wangu wakae tayari kila kitu kipo tayari na muda si mrefu wategemee kupata albam yenye ubora wa hali ya juu alisema UNK maunda ambaye amewahi kutamba na vibao vyake niwe wako na mapenzi ni ya wawili amefanikiwa kuwika katika chati ya juu ya wasanii wa kike nchini maunda ni zao la tht na mmoja wa wasanii wakali kwa sasa katika muziki wa kizazi kipya mkali wa genge kutoka nchini kenya aliye maarufu kwa jina la jua kali ameweka wazi kuwa UNK kwa sana msanii mahiri wa muziki wa bongo profesa jay kati ya wanamuziki wote hapa jua kali mmoja wa waasisi wa muziki wa genge alisema kuwa anatamani sana siku moja aje afanye kazi na mtu mzima profesa jay aka the heavyweight UNK unajua jay UNK sana akisimama na yeyote lazima ngoma ikubalike angalia kuanzia lady jaydee jose UNK mpaka UNK nyimbo UNK si mchezo alisema jua kali jua kali ambaye alikuwa nchini wiki chache zilizopita akitumbuiza katika uzinduzi wa albamu ya tano ya juma khasim nature amewahi kutamba na vibao kama kwaheri UNK nipe asali kamata demu UNK na sasa anatamba na ngeli ya UNK baada ya kutamba sana na kibao chake cha i m a UNK msanii mahiri kutoka mwanza farid kubanda aka fid q ametangaza rasmi UNK mikononi mwa prodyuza p funk UNK akiongea na starehe mwishoni mwa wiki hii fid q amethibitisha kuachana rasmi na prodyuza huyo maarufu na kuamua kufanya kazi kivyake na kudai kuwa hata kama atakwenda kwa majani UNK UNK kazi UNK fid q ambaye mpaka sasa ana albam mbili mkoni vina mwanzo kati na mwisho pamoja na UNK UNK amesema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kutafakari mambo mengi na haamini kwamba anaweza kutetereka kwa lolote zaidi kuendelea kushika chati majani alikuwa UNK na ukweli ni kwamba nilishindwa kubadilika kwa kuwa sikuwa na kauli hivyo nilifanya tu UNK UNK ubishi niliweza lakini sasa naweza niko free anaeleza sakata hilo UNK na msanii huyo kutangaza UNK haraka iwezekanavyo kundi lake UNK jina la jeshi la mtu mmoja mshambuliaji jerry tegete alizima kelele na shangwe za mashabiki wa simba kwa kufunga bao la kusawazisha dakika za ziada na kufanya matokeo kuwa mbili mbili kwenye mchezo uliochezwa katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam jana mashabiki wa simba walikuwa wakishangilia kipindi chote cha mchezo na furaha yao ilizidi baada ya winga wake ramadhani chombo redondo kuunganisha kwa kichwa krosi ya henry joseph dakika ya ishirini na tatu kuandika bao la kwanza kwa wekundu hao kuingia kwa bao hilo kuliamsha ari kwa simba na kufanya mashambulizi na hadi mapumziko walikuwa UNK kwa bao moja sifuri mwanzoni mwa kipindi cha pili mshambuliaji wa kimataifa wa kenya ben mwalala aliisawazishia yanga dakika ya arobaini na nane na kukimbilia eneo walipo mashabiki wa simba na kuwafunga mdomo kitendo kilichowakera na kuanza kurusha chupa za maji hata hivyo dakika ya sitini na mbili mchezaji bora wa mechi hiyo haruna moshi boban aliifungia timu yake bao la pili baada ya kuuwahi mpira UNK na kipa juma kaseja baada ya UNK shuti la ramadhani chombo moshi alionyesha mchango mkubwa kwa timu yake jambo lilopelekea jopo la ufundi kumtangaza mchezaji bora wa mechi na kuzawadiwa shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri bao hilo la boban UNK hadi dakika tisini kabla ya jerry tegete kuzima furaha za mashabiki wa simba baada ya kuunganisha krosi ya mike barasa kwa kifua na kumwacha kipa wa simba ally mustapha asijue la kufanya katika mchezo huo ulishuhudia timu zote zikicheza soka safi na UNK huku yanga wakitumia zaidi mipira ya krosi na washambuliaji wake warefu ben mwalala na boniface ambani kupiga vichwa na kuwapa wakati mgumu mabeki wa simba mashabiki walifurahi zaidi soka ya upinzani iliyoonyesha kati ya haruna moshi na nadir haroub huku kwenye nafasi ya kiungo kulikuwa na kazi kubwa kati ya henry joseph niko nyagawa na ramadhani chombo wa simba dhidi ya godfey bonny nurdin bakari na mike baraza kufanya mwamuzi kuwa na wakati ngumu viatu kusukumana na maneno ya hapa na pale baina ya wachezaji yalisababisha mwamuzi israel nkongo kutoa kadi za njano kutuliza hali ya mchezo mwamuzi wa mchezo huo nkongo alilalamikiwa na mashabiki wa timu zote mbili kwa kutoa kadi nyingi za njano kabla ya kumtoa kwa kadi nyekundu bei nadir UNK cannavaro cannavaro alizawadiwa kadi hiyo baada ya kuvua jezi wakati timu yake UNK awali UNK kadi ya njano baada ya kumfanyia madhambi ramadhani chombo tofauti na siku za nyuma mechi za watani hao zimekuwa UNK na imani za kishirikina mechi ya jana hakukuwa na vitendo hivyo na wachezaji walionyesha mpira ni furaha na si uhasama baada ya kubadilisha jezi mara baada ya mchezo kabla ya mchezo mwenyekiti wa simba hassan dalali aliingia uwanjani na kuonyesha ishara ya vidole vitatu UNK magoli matatu lakini mambo hayakuwa UNK akizungumza mara baada ya mchezo huo kocha wa simba mzambia patrick phiri alisema yanga imebadilika tofauti na siku za nyuma ni timu imara ina wachezaji wazuri matokeo ya si mazuri kwetu kwa vile UNK washindi tumepoteza dakika za mwisho alisema phiri wakati phiri akisema hayo kocha wa yanga dusan kondic UNK mzambia phiri kwa kuibadilisha simba na kuifanya icheze kitimu tofauti na ilivyokuwa katika mchezo wa awali nina furaha kwa matokeo haya timu zote zimecheza mpira mzuri mabadiliko yaliyofanywa na timu zote ni mazuri mwamuzi kwa upande wangu ni mzuri alisema kondic ambaye pia alilalamikia kitendo cha baadhi ya wapenzi wa yanga ambao wamekuwa wakimtuhumu yeye na kipa obren kuwa UNK yanga na kudai kamwe hawezi kufanya hivyo kocha wa manchester united alex ferguson amemuomba arsene wenger afanye kila linalowezekana kuhakikisha UNK liverpool ili timu yake iondokane na presha kocha wa manchester united anaamini kwamba wenger atamsaidia katika UNK mpinzani wake mkubwa rafael benitez kwa kupata ushindi katika uwanja wa anfield leo jumanne siku za nyuma ferguson aliwahi kuwa na upinzani mkubwa na wenger na sasa mambo hayo UNK kwa rafa benitez kocha huyo anasema kwamba ingawa awali aliwahi kuwa na matatizo na wenger lakini hana hasira naye na kwamba UNK kocha huyo kutoka ufaransa kocha alex alisema heshima ipo pale pale licha ya kwamba awali tuliwahi kukorofishana ndio maana tunataka watupe msaada alisema joe cole atapewa mkataba mpya katika timu ya chelsea UNK na imeelezwa kwamba mchezaji huyo atakuwa akipokea kitita cha pauni kumi sifuri sifuri sifuri sifuri kwa wiki nyota huyo wa england alikuwa nje ya uwanja kutokana na kuumia mguu katikati ya mwezi januari na amefanikiwa kucheza mechi ishirini tu msimu huu vilevile cole hatarudi uwanjani mpaka mwezi julai kwenye mechi za kujiandaa na ligi kuu england msimu ujao miezi miwili iliyopita aliumia na atatakiwa kuwa nje ya uwanja kwa miezi mitano na pamoja na matatizo hayo klabu hiyo itampa mkataba wa mpya ili aendelee kukaa kwenye timu hiyo mpaka kufikia mwisho wa msimu huu cole angekuwa amebakiza mwaka mmoja kabla mkataba wake kumalizika na angekuwa huru kuondoka mwaka ishirini moja sifuri chelsea haiko tayari kuruhusu jambo hilo kwani inafahamu kuwa baadhi ya timu zimeanza UNK manchester city na west ham ni baadhi ya timu zilizoanza kumtolea macho lakini winga huyo anaonekana kuanza kupona ingawa chelsea haipo tayari kumpa mazoezi ya nguvu kwa kuhofia UNK kwa mara nyingine nyota wa manchester united cristiano ronaldo amesema ataendelea kuchezea timu hiyo iwapo alex ferguson ataendelea kuwa kocha wa timu hiyo winga huyo kutoka ureno aliwaambia rafiki zake wa karibu kwamba hana mpango wa kujiunga na real madrid msimu huu na kwamba hawezi kuondoka manchester united iwapo kocha ferguson UNK kwamba ataendelea kuinoa timu hiyo msimu ujao mtu mmoja wa karibu alisema cristiano hana mpango wa kuondoka manchester united kwani anapenda kunolewa na alex ferguson na cristiano ameweka wazi suala hilo kwa kocha wake alisema mtu huyo habari hizo ni njema kwa manchester united ambayo inatafuta ubingwa wa ligi kuu england kwa mara nyingine msimu huu taarifa hiyo UNK tetesi za awali kwamba ronaldo anaweza kuhamia real madrid msimu ujao wakati baadhi ya timu zinazoshiriki ligi kuu england zilikuwa katika mechi mbalimbali wikiendi iliyopita wachezaji wa liverpool walikuwa wamepumzika huku UNK tayari kwa mechi dhidi ya arsenal itakayochezwa kwenye uwanja wa anfield leo jumanne timu hiyo UNK vya kutosha kuhakikisha kwamba inarudi katika uongozi wa ligi kuu england rafa benitez amepania kutumia kila mbinu kuhakikisha kwamba anapata ushindi n kocha huyo hajasahau UNK ya sare ya mabao nne nne dhidi ya chelsea kwenye mechi ya pili ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya wiki iliyopita hivyo ameahidi kuangusha mvua ya mabao wiki hii katika misimu mitatu iliyopita liverpool ilikuwa ikiambulia nafasi ya tatu na ya nne huku manchester united na chelsea zikiwania ubingwa lakini msimu huu hawataki kurudia makosa na msimu huu hali ilikuwa mbaya kwa arsenal ambapo badala ya kuwania ubingwa imekuwa UNK na aston villa kuwania nafasi ya nne ili ilishiriki ligi ya mabingwa ulaya msimu unaofuata liverpool sasa imebaki ikitafuta kombe moja tu lakini wako sambamba na manchester united katika mbio hizo ligi kuu england huwa ni ngumu tuko katika nafasi ambayo tulikuwa tukiitaka kwa muda mrefu alisema benitez tungependa kuwa katika nafasi hii kila mwaka lakini kama tukifanya makosa itakuwa ni jambo baya na manchester united wanakwenda kwa kasi ingawa hawachezi vema kwenye mechi zao lakini UNK kocha wa tottenham harry redknapp amesema kwamba UNK na soka iwapo timu UNK daraja msimu huu redknapp alipewa kazi ya kuokoa timu hiyo miezi sita iliyopita na sasa wako juu wakiwa na matumaini ya kupata nafasi ya kushiriki kwenye michuano ya ulaya msimu ujao redknapp alisema UNK kufundisha soka katika klabu hii kama UNK daraja niliwahi kumwambia na mmiliki wa klabu daniel UNK kwamba UNK shearer amepewa kazi ya kuinoa timu hiyo mpaka mwisho wa msimu na redknapp anaamini kwamba shearer anatakiwa kufanya kazi ya ziada ili kuendelea na kuwepo katika ligi hiyo kama hatafanya vema kwa sasa sidhani kama kutakuwa na wakati mzuri siku za baadaye alisema UNK ndoa inapokuwa nzuri si rahisi baba au mama kwenda nje ya ndoa badala yake fikra zao zitakuwa ni namna ya kuimarisha uhusiano wao na kuwasaidia watoto wao wawe na maisha bora zaidi wakati fulani nimekuwa nikikaa na watu mbalimbali ambao UNK namna ya kuifanya kazi ya kushauri watu mambo ya mapenzi na lengo kubwa likiwa ni kuokoa ndoa tanzania ili kila ndoa isimame imara kwani kwa sasa hali ni mbaya wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa hawana mafunzo ya kutosha kuhusu nini wanachopaswa kufanya mila zile za jando na unyago ambazo kwa kiasi kikubwa zilikuwa msaada kwa wanandoa kwa vile zilikuwa UNK masuala haya hazipewi nafasi na watu wengi hali ilivyo sasa ni kama msemo wa utani ambao UNK nchini kwamba kila anayezaliwa tarime ile akizaliwa tu ni UNK watu wanaamini akizaliwa tu anajua kuishi kwenye ndoa salama si kweli huku ni UNK nimeona UNK haya ili kuwekana sawa kwamba ni muhimu unapokuwa katika uhusiano uwe makini jitahidi kuwa makini au la UNK kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa na wanasheria wa familia ni muhimu kuwa na watu au mtu ambaye utakuwa naye katika mazungumzo ya namna ya kuimarisha uhusiano wako kuharibu kwa uhusiano UNK mambo mengi katika maisha kwa mfano kulingana na sheria za ndoa UNK UNK mali kuwasumbua watoto kuwa na ugumu wa kuoa au kuolewa hasa kutokana na ukweli kuwa si wanaume au wanawake wengi wanapenda kuoana na wanawake ambao tayari UNK unaanza kuitwa baba au mama wakati bado UNK naye sababu kubwa ya watu kuogopa kuoana na mtu ambaye tayari ana mtoto au watoto ni hasa woga kuwa baba au mama watoto anaweza kuja baadaye kuangalia watoto mtoto hapo kwa baadhi ya watu wasio na msimamo huweza kuanzisha uhusiano upya hata kama ni kwa siri ndugu zangu nimezungumza mengi lakini ninachotaka kukusisitizia ni kwamba mchawi wa penzi lako ni wewe mwenyewe ni lazima uwe makini kwa kile UNK au kutenda kwa mwenzi wako kuna idadi kubwa ya wanandoa kwa kutenda au kuzungumza kwao aidha kwa kujua au kutojua wamekuwa wakisababisha wenzi wao UNK hapa nazungumzia kwa wachumba na wanandoa kuna watu baada ya kuishi pamoja kwa miaka mingi huanza kudharauliana jambo ambalo si zuri katika maisha unamchukuliaje mkeo mimi sijui unavyoishi na mkeo lakini ukweli ni kuwa tafiti zinaonyesha kama mkeo humuheshimu iko siku tegemea UNK nje ya ndoa hata kama ni mtu mwenye UNK kiasi gani watu UNK sio kwa sababu wanatafuta fedha au wanatafuta sehemu ya kula wanatafuta kupendwa hivyo kama wewe UNK upendo kwa mkeo tegemea kupambana na mabaya je mkeo UNK ni sawa na thamani za ndani ya nyumba yako kama meza kabati sufuria nk mimi sijui jibu UNK ninachotaka kukusisitizia ni kwamba namna unavyoishi na mwenzi wako unamfanya awe mbaya au mzuri kwako je wewe mke unamchukuliaje mumeo kama UNK UNK au UNK UNK mumeo hana kauli juu ya mahusiano na mahaba angalia kwa makini kuna matendo ukifanya ni sawa na kumuuza mwenzi wako aende kwa wengine kusaka furaha UNK ndugu zangu UNK kuoana yanini UNK katika ndoa yanini kunyimana na kuwekeana masharti mara UNK nimechoka mbona jana tu UNK na leo unataka tena kwani mimi ngombe aaah bwana eeeh hata ngombe huwa wanapumzika kama ndoa yenyewe ndio hivyo ni bora UNK ndivyo baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli chafu badala ya UNK UNK au kuoa huna mamlaka ya kumzuia mwenzi wako kufanya anachotaka juu yako ukifanya hivi UNK mwenyewe ndoa yako ni kumwambia nenda kwingine UNK unachotaka yanini unakuwa hivi ndugu yangu UNK nafasi mwenzi wako kufurahia uwepo wako acha lugha kali na chafu siku zote penda amani penda kushuka hasa kama utaona hakuna athari ya kufanya hivyo ni wazi hata kama mwenzi wako ana vituko kiasi gani wewe UNK vizuri namna ya kumpenda uhusiano wenu unaweza kuendelea kwani watu wanachohitaji ni amani ya kweli kutoka kwa wenzi wao wala si kitu kingine kama mmekwaruzana acheni UNK endeleeni kuwasiliana kadri UNK pamoja au karibu UNK uwezekano wa kuachana mkiwa mbali UNK mambo mabaya kuingia UNK sana ndoa yako jicho ni kiungo muhimu katika mwili wa binadamu hasa ikizingatiwa kwamba eneo hilo ndio huwa UNK mara kwa mara kwa mfano ni UNK kuongea na mtu bila kumwangalia kwenye macho ingawa kiungo hicho ni muhimu kwa watu wa jinsia wote hususani linapokuja suala la kuangalia wakati macho ni kama pambo la mwili hasa kwa wanawake nasema hivyo kwa sababu wanawake wengi hupenda kuyapamba macho yao na hivyo kuonekana wakivutia zaidi lakini kuna macho ya aina mbili ambapo kuna wale wenye macho madogo na wengine makubwa kwa kawaida mwanamke anapokuwa na macho makubwa huwa na mvuto wa kipekee lakini pia mwanamke mwenye macho madogo anaweza kuyapamba macho yake na yakaonekana makubwa katika makala ya leo tutaangalia mbinu ya kufanya ili mtu UNK mwenye macho makubwa hata kama asili yako ni macho madogo mahitaji wanja wenye rangi iliyokolea na rangi ya kawaida maskara pamba kiasi na kope za bandia njia paka wanja UNK kwenye kingo za nje za kope zako na si eneo la ndani ni vema kuanza na wanja ambao UNK sana na baadaye kupaka wanja uliokolea ili kuhakikisha UNK zaidi unaweza kupaka wanja mpaka nje kidogo ya kingo za jicho yaani upande wa kulia na wa kushoto baada ya hatua hiyo kubandika kope bandia kwa UNK kumbuka kwamba kope bandia hufanya mwanamke aonekane mwenye macho makubwa hatua hiyo UNK mwanamke anaweza kupaka maskara ya kutosha ambayo UNK kope zako zaidi na kuonekana UNK kumbuka kwamba kama huwezi kufanya jambo hilo wewe mwenyewe unatakiwa kuomba mtu akusaidie zoezi hilo na matokeo yatakuwa mazuri mafanikio ni kitu kinachohitaji mambo mengi sana moja ya mambo hayo ni ndoto ya mhusika kutaka kufanya vizuri na kufikia hatua ya juu ambayo anaamini ni bora kwake mara kadhaa watu mbalimbali wamekuwa wakikata tamaa kuhusu wanachotaka kufanya au kidogo walichopata kutokana na kukatishwa tamaa inaonekana unapoomba ushauri mtu badala ya kukusaidia UNK njia nzuri UNK kupitia msaanii nakaaya abraham sumari ni kati ya wasanii ambao wanaendelea kuwashangaza wengi nchini kutokana na mafanikio makubwa kimuziki katika kipindi kifupi tangu aanze kujulikana kama UNK nakaaya aliibukia katika mashindano ya project fame miaka michache iliyopita akiwa na mtanzania mwingine UNK UNK lakini sasa anafanya vizuri na hivi karibuni ameweka rekodi ya kuwa msanii wa kwanza nchini kuingia mkataba na kampuni kubwa ya muziki ya sonny UNK mkataba huo wa mwaka mmoja UNK na usambazaji na usimamizi wa kazi zake zote hasa albamu yake ya nervous conditions UNK singo ya mr politician ambayo ndio chachu ya karibu kila kinachoonekana kuwa mwelekeo kwake sonny music imekubali kuingia naye mkataba wa mwaka mmoja UNK kazi ya albamu hiyo na kuisambaza barani ulaya na marekani na sehemu nyingine mbalimbali duniani kitu ambacho hata wasanii wa marekani inapotokea kampuni hiyo wamekuwa wakililia bahati hiyo UNK kwa msanii huyo wa kike singo ya mr politician imetokana na ubunifu wa hali ya juu wa nakaaya pamoja na kwamba ni iko katika miondoko ya r b na hip hop lakini imebeba ujumbe wa juu kuhusu wanasiasa ambao wamekuwa wakionyesha kuwajali wananchi karibu au katika kipindi cha upigaji kura na baada ya hapo wanasahau kila kitu inaonekana namna ambavyo wanasiasa UNK wananchi kama UNK uchumi chao hii si tanzania tu badala yake ni duniani kote ndio maana hata sonny music nao UNK na hali hiyo nakaaya anasema anaamini pamoja na kufanya kazi vizuri lakini hiyo ilikuwa ni bahati yake nilikuwa nimeenda denmark kwenye tamasha na kuingia mkataba nikiwa huko nilipata nafasi ya kuhojiwa na moja ya televisheni kubwa nchini humo kumbe mkurugenzi wa sonny music alikuwa akifuatilia baada ya hapo UNK kwenye mtandao wa UNK na tukaanza mawasiliano kuhusu hilo baadaye UNK mwafaka na kuingia mkataba wa mwaka mmoja ambao kama albamu yangu itafanya vizuri basi tutaongeza mkataba mwingine wa mwaka mmoja tena anasema nakaaya ambaye UNK mafanikio ya muziki kwa udi na uvumba kweli nataka kusonga mbele zaidi ya hapa nataka kufanya kazi kimataifa zaidi kwa kuwa mara kadhaa naona hapa nyumbani kama vile hakuna UNK kuna wadau wanaoniunga mkono lakini asilimia kubwa naona sivyo utaona hata tuzo za nyumbani ni vigumu kwangu kupata nafasi lakini jiulize UNK na mkataba huu wa sonny ndiye msanii ambaye televisheni kama cnn na al UNK walifunga safari kutoka kwao kuja UNK mimi maana yake wameona UNK ni kitu kikubwa na kina maana nyumbani haikuwa hivyo wakati mwingine inakatisha tamaa lakini nashukuru kwa kuwa mambo yanakwenda tofauti na UNK niwe na kiu ya mafanikio zaidi kwa kufanya kazi bila kuchoka nataka kufika mbele na kutimiza ndoto zangu kwa vile nina uwezo anasema na kusisitiza natamani sana siku moja kufanya kazi na watu kama kanye west nas na UNK ni vigumu kufikia huko lakini itawezekana iwapo kama nitafanya kazi zangu kwa ufasaha kujituma na kujiamini hizi ni ndoto zangu na ninapenda UNK kampuni ya sonny tayari inafanya mawasiliano na wasanii kadhaa wakubwa ili UNK nao sina uhakika kuhusu UNK lakini kama itatokea nikapata nafasi basi nitafurahi kutimiza ndoto yangu ikiwa ni njia ya mafanikio UNK anasema UNK nas na kanye west ni wasanii mahiri wa hip hop kutoka nchini marekani na wamekuwa wakifanya vizuri na wana heshima kubwa katika miondoko hiyo duniani hiyo haitoshi bado ninaamini pamoja na kukosa tuzo za hapa nyumbani lakini nina uwezo wa kutwaa tuzo kubwa kama kora grammy na UNK naendelea kupigana kwa kuwa nina ndoto ya kufanya hivyo anasema nakaaya akionyesha kujiamini nakaaya ambaye ni dada wa miss tanzania ishirini sifuri tano nancy sumari anaamini atatimiza ndoto zake kwa kuwa wako watu wanaompa matumaini ya kufanya hivyo akiwamo baba yake mzazi abraham sumari UNK kuitoa mr politician baada ya kuwa UNK kwa ambrose niliona kama inasema sana ukweli na kuwalenga wote wenye tabia hizo lakini baba yangu UNK wimbo UNK kutohofia kwa kuwa ulikuwa ni wakati mwafaka wa kuwapa watanzania UNK hayo kupitia muziki amekuwa akiendelea kunipa moyo wa kuendelea kupambana pamoja na vikwazo kadhaa ninaamini UNK anasema kabla ya kusambazwa albamu yake ya nervous conditions itaongezewa nyimbo kadhaa pamoja na ubora wa kimataifa kabla ya kuanza kusambazwa kwenye nchi mbalimbali za ulaya na marekani baada ya hapo baadhi ya nakala zitauzwa nchini zikiwa katika usimamizi wa sonny music ambayo ni kampuni inayofanya kazi na wasanii mbalimbali wakubwa ikiwa ni pamoja na beyonce knowles wa marekani hivi karibuni nakaaya alisema anatarajia kuipua singo mpya ambayo amewashirikisha wasanii enika chid benz na UNK wa arobaini na moja records maarufu kama UNK mbali na tanzania singo ya mr politician umekuwa ukifanya vizuri nchini kenya uganda na rwanda na mara kadhaa umekuwa ukitumiwa na wanasiasa mbalimbali kama sehemu ya kampeni zao za kuwania nafasi mbalimbali katika nchi zao wasanii wengi hasa wanawake wamekuwa wakiimba nyimbo za mapenzi tu lakini wazo la nakaaya UNK kuleta mapinduzi kutokana na kuamua kuimba kitu UNK jamii mkongwe wa miondoko ya hip hop nchini mr ii maarufu kama sugu imeelezwa kutua nchini kimya kimya huku kukiwa na taarifa huenda akafanya shoo kuhamasisha muziki huo imeelezwa msanii huyo yuko jijini mbeya ambako ameenda kuitembelea familia yake baadaye atarejea jijini dar es salaam kwa ajili ya kukamilisha mipango ya shoo itakayojumuisha wasanii wengi wa hip hop mr ii anaishi nchini marekani ambako amekuwa akifanya kazi zake za muziki na rafiki yake wa karibu amesema hivi karibuni anatarajia kuipua albamu yake mpya nchini humo gwiji huyo ni kati ya wasanii waliotoa mchango mkubwa katika maendeleo ya miondoko hiyo ambayo awali haikuwa ikikubalika kwa mashabiki mkongwe wa miondoko ya hip hop nchini mr ii maarufu kama sugu imeelezwa kutua nchini kimya kimya huku kukiwa na taarifa huenda akafanya shoo kuhamasisha muziki huo imeelezwa msanii huyo yuko jijini mbeya ambako ameenda kuitembelea familia yake baadaye atarejea jijini dar es salaam kwa ajili ya kukamilisha mipango ya shoo itakayojumuisha wasanii wengi wa hip hop mr ii anaishi nchini marekani ambako amekuwa akifanya kazi zake za muziki na rafiki yake wa karibu amesema hivi karibuni anatarajia kuipua albamu yake mpya nchini humo gwiji huyo ni kati ya wasanii waliotoa mchango mkubwa katika maendeleo ya miondoko hiyo ambayo awali haikuwa ikikubalika kwa mashabiki mashabiki wa simba UNK kukerwa na kundi la UNK original kujiingiza moja kwa moja kwenye ushabiki wa kuishangilia yanga katika mechi dhidi yao wakidai ni sawa na bendera kufuata upepo mashabiki kadhaa walipiga simu mwanaspoti na kusema wanajua kundi hilo litakuwa UNK na yusuf manji ambaye ni mfadhili wao lakini UNK biashara hawezi kukaa nao milele tunawajua wengine UNK ni yanga wengine simba sasa kwa nini UNK alisema shabiki mmoja aliyejitambulisha kwa jina la UNK wengine waliopiga walisema hata upande wa yanga wanajua baadhi wa wasanii hao ni simba hivyo kutangaza UNK mkono wanajua wanafanya hivyo kufuata fedha tu na si zaidi alifanya kazi kubwa kuondoa michomo ya washambuliaji wa yanga alitulia langoni na kwa mara ya kwanza akawapa matumaini mashabiki wa simba kuwa hawana haja ya kusajili kipa mwingine msimu ujao aliokoa michomo mitano ambayo dhahiri ilikuwa inakwenda wavuni mchezaji bora wa mechi kwa mujibu wa mwanaspoti anapata tisa alianza kwa kusuasua dakika za mwanzo na akaonekana UNK mike baraza ambaye alikuwa balaa kubwa lakini kadri muda ulivyokuwa UNK mbele akabadilika na kuwa ngangari kuzuia kupanda na kupiga krosi licha ya ufupi wake lakini aliruka nao juu kwa juu anapata saba alifanya kazi kubwa kupambana na washambuliaji wa yanga alikuwa anapanda UNK na kuruka juu kupambana na UNK warefu wa yanga ambao walionekana UNK ni mchezaji mwenye umri mdogo ambaye simba wanatakiwa kujivunia kwa sasa ni mzuri kusaidia mashambulizi anapata saba alianza kucheza kibabe kwa kucheza rafu ambazo hazina maana yoyote na kama mwamuzi angekuwa makini UNK mchezo kuna wakati alimpiga teke ben mwalala alifanya kosa la mwaka kwa kumuacha mike baraza kupiga krosi ambayo ilimkuta jerry tegete aliyefunga bao dakika za majeruhi anapata tano ni beki ambaye UNK simba kumsahau victor costa kwani alicheza vizuri na kuwadhibiti washambuliaji wenye uchu wa yanga alitulia na kufanya ulinzi imara lakini cha kufurahisha zaidi UNK anacheza kama kiungo kwa sababu alikuwa UNK timu mara kwa mara anapata alianza vizuri kwa kucheza pasi za nzuri na kadri muda ulivyokwenda akaonekana kuzozana na mwamuzi mara kwa mara jambo ambalo lilifanya apewe kadi ya njano hata hivyo alikuwa imara katika kiungo na akaanza kuharibu dakika za mwisho lakini aliwaongoza wenzake kufanya simba kutawala muda mwingi sehemu ya kiungo anapata saba alicheza pande zote mbili winga ya kushoto na kulia na alikuwa mzuri kwa kupiga krosi UNK alikuwa anarudi nyuma mara kwa mara kusaidia safu ya ulinzi ya timu yake alikuwa imara na sehemu ya kiungo ya timu hiyo kwa ujumla ilikuwa imara kutokana na utulivu wake kwa ujumla alitawala sehemu ya kiungo na kuunganisha vizuri timu yake anapata nane alikuwa miongoni mwa wachezaji wa kiungo wa simba ambao UNK vyema sehemu hiyo alitulia na kusaidia safu ya ulinzi na kupeleka mara kwa mara mashambulizi kwa yanga licha ya kuchezewa faulo nyingi alisimama imara anapata sita alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa vodacom katika mechi hiyo UNK sana beki wa kushoto wa yanga amir maftah ambaye hakika hawezi kusahau mechi hiyo licha ya kucheza kama mshambuliaji haruna alicheza kama kiungo wa kushoto kulia na kuna wakati alirudi nyuma kusaidia mabeki alifunga bao la pili lililokuwa zuri anapata nane alifunga bao la kwanza kwa kichwa cha ufundi mkubwa lakini ndiye aliyesababisha bao la pili kwa sababu UNK mpira akiwa eneo la hatari la yanga na bila kujali msitu wa mabeki wa yanga alitua na kupiga shuti kali ambalo lilipanguliwa na juma kaseja na mpira huo UNK haruna aliyefunga UNK anapata nane alianza vizuri kwa kuwasumbua mabeki wa pembeni wa yanga lakini alikosa bao akiwa pekee yake jambo ambalo UNK mashabiki wengi na hasa kutokana na uzoefu wake katika soka kadri muda ulivyokwenda alionekana kuchoka anapata sita alichukua nafasi ya ulimboka mwakingwe aliongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji ya simba na UNK ni kutumia nguvu ambazo zilikuwa mwiba kwa mabeki wa yanga anapata sita alichukua nafasi ya redondo lakini akaanza kuchelewesha muda kwa kukaa na mpira muda mrefu pengine yalikuwa ni maelekezo ya kocha lakini mbinu hiyo ilifanya mabeki wa yanga kupumua na kushambulia anapata tano aliingia dakika za mwisho kusaidia ulinzi baada ya yanga UNK alichukua nafasi ya nico nyagawa abel licha ya kuingia dakika za mwisho alishindwa kuisaidia beki hiyo kwani jerry tegete alifunga bao anapata tano hakupata misukosuko mingi lakini pia alijitahidi kuokoa michomo michache UNK alifungwa mabao mawili ambayo hawezi kulaumiwa kwani alifanya kila UNK lakini alizidiwa ujanja anapata saba alicheza kwa nguvu mwanzo mpaka mwisho na kama kawaida yake akawa imara katika kuwadhibiti washambuliaji wa simba licha ya kupanda mara kwa mara alikuwa na tatizo moja la kuwa na hasira ambazo zilimfanya kulumbana na mwamuzi mara kwa mara anapata saba ni beki ambaye alijikuta katika wakati mgumu kwa kushindwa kumdhibiti haruna moshi aliyekuwa anacheza pande zote katika ushambuliaji kuingia kwa nurdin bakari UNK maftah ambaye awali alionekana kama njia kuna wakati alipata pasi nzuri na akiwa katika lango la simba akashindwa kufunga anapata sita ni beki mtulivu ambaye hakufanya masihala hata kidogo alitulia na kuosha hatari nyingi huku UNK vizuri washambuliaji wa simba alicheza mipira mingi ya vichwa na kuwapa wakati mgumu washambuliaji wa simba UNK vizuri kipa wake juma kaseja anapata saba alifanya uzembe wa kupata kadi nyekundu ya kujitakia kwani akiwa tayari na kadi ya njano UNK kadi ya pili ya njano na hivyo kuwa nyekundu baada ya kuvua jezi yake akishangilia bao la pili kimchezo alicheza vizuri ingawa hakuwa kama UNK anapata saba alianza vibaya kwa kutoa pasi UNK na UNK lakini kadri muda UNK ndivyo UNK na kucheza vizuri huku akituliza kasi ya simba alikuwa na wakati mgumu wa kukabiliana na viungo watatu wa simba waliokuwa wanacheza kwa ushirikiano mzuri anapata saba alicheza vizuri katika wingi ya kulia na kupambana ana kwa ana na juma UNK kazi ilikuwa kubwa kiasi kwamba utadhani lilikuwa pambano la UNK wawili alicheza vizuri na alitoa krosi nyingi ambazo hata hivyo UNK na mabeki wa simba anapata sita hakuwa na wakati mzuri licha ya kuanza kwa kasi na kupiga mashuti makali dakika za mwanzo alichoka baada ya muda mfupi na kushindwa UNK kiungo cha simba alitolewa kabla ya mapumziko na nafasi yake kuchukuliwa na nurdin bakari kocha wake anasema anaumwa malaria anapata tano alicheza kwa kasi na kukosa mabao mawili ambayo kama UNK hadithi ingekuwa nyingine licha ya kukimbia kwa kasi na kuwapeleka puta mabeki wa simba hakuwa na madhara katika mechi hiyo anapata sita licha ya kufunga bao la kwanza kwa upande wa yanga hakuwa na madhara sana muda mwingi UNK na kutegea wenzake kwani hakuwa UNK zaidi ya kusababisha mipira mingi ya UNK UNK faulo nyingi na kelvin yondani na juma UNK anapata saba alikuwa mshambuliaji UNK beki ya simba kuliko mwingine yeyote ana akili ya mpira anajua anachokifanya na kila mpira UNK ulikuwa hatari langoni mwa simba krosi zake nyingi zilikuwa hatari UNK beki wa simba kelvin yondani na kupiga krosi iliyozaa bao la kusawazisha baada ya jerry tegete kufunga anapata nane aliingia kuchukua nafasi ya vicent UNK licha ya machachari yake hakuwa na madhara sana anapata sita aliingia kuchukua nafasi ya chuji na kuingia kwake UNK mchezo wa yanga na kuifanya ibadilike kabisa na kucheza vizuri alipambana vyema na viungo wa simba anapata nane aliingia kuchukua nafasi ya boniface ambani tegete alicheza vizuri na kubadilisha matokeo ya mechi hiyo kuwa mabao mbili mbili hakuonekana muda wote wa mchezo akaonekana mara moja tu UNK bao la pili kutokana na kujiweka sehemu nzuri anapata saba katibu msaidizi wa chama cha netiboli mkoa wa pwani peter kamwita amesema walijua watachukua ubingwa wa taifa wa mchezo huo kwa sababu walijiandaa vizuri pwani imetwaa ubingwa huo mwishoni mwa wiki baada ya kuifunga dodoma mabao thebathini na sita thebathini na nne katika mchezo mkali wa fainali uliochezwa kwenye uwanja wa filbert bayi mjini kibaha sisi tulianza maandalizi mapema na tukiwa na nia kuwa lazima kombe libaki pwani kwa sababu ni wenyeji na kweli hilo limefanikiwa nawapongeza wachezaji kwa kujituma na kutwaa ubingwa huu michuano ya mpira wa mikono ya jumuiya ya madola iliyokuwa ianze aprili ishirini na tano jijini nairobi kenya imesogezwa mbele mpaka mei ishirini na tano katibu mkuu wa chama cha mpira wa mikono tanzania sudi omari amesema kuhairishwa kwa michuano hiyo UNK nafasi ya kujiandaa kikamilifu bondia kalama nyilawila amemwambia mada maugo kuwa dharau zake UNK aprili ishirini na tano kwenye ukumbi wa diamond jubilee jijini dar es salaam mabondia hao watapambana siku hiyo kuwania ubingwa wa taifa na mshindi atazipiga na francis cheka julai maugo UNK sana lakini mimi UNK tu UNK kwenye ulingo UNK hata kidogo michuano ya mpira wa kikapu ya kili super cup itafanyika mei baada ya kumalizika kwa michuano ya klabu bingwa taifa itakayoanza mei kumi jijini mwanza meneja wa bia ya kilimanjaro ambao ndio wadhamini wa michuano hiyo oscar shelukindo amesema maandalizi UNK ili kuifanya michuano hiyo kuwa na ubora makocha thebathini kutoka tanzania bara na zanzibar watashiriki kozi ya kimataifa ya mchezo huo itakayofanyika mei tisa kwenye viwanja vya gymkhana jijini dar es salaam kocha wa tenisi wa klabu hiyo salum mvita amesema kozi hiyo itakuwa ya wiki mbili na imeandaliwa na shirikisho la kimataifa la UNK lengo la kozi hiyo ni kuwafundisha makocha kujua sheria za kimataifa za mchezo huo na itaendeshwa na mkufunzi wa kimataifa prince UNK kutoka zimbabwe kiungo nyota yanga athuman idd chuji amekubali kuwa mechi yao dhidi ya watani simba ilimshinda na kwamba angeendelea UNK uwanjani kutokana na homa kali ya malaria akizungumza baada ya mechi hiyo kwenye uwanja wa taifa dar es salaam chuji alisema hali yake haikuwa nzuri tangu wakiwa kwenye maandalizi hakuwa akijisikia vizuri lakini niliona naweza kucheza nilitaka kupigana kwa ajili ya heshima ya yanga UNK sana kucheza vizuri lakini kama ningecheza muda zaidi hali ingekuwa mbaya alisema na saa moja baada ya mechi hiyo alipigiwa simu na kusema nimeanza dozi baada ya kupimwa nimeambiwa nina wadudu wengi wa malaria alisema chuji katika mechi hiyo chuji alishindwa kucheza vema katika kiungo na kutoa nafasi kubwa kwa simba kupeleka mashambulizi mengi langoni mwa yanga hata hivyo dakika kumi za mwanzo za mechi hiyo alicheza vizuri kabla ya kuanza kupoteza pasi nyingi zilizomfanya kocha mkuu dusan kondic kumtoa kipindi cha kwanza na kumuingiza nurdin bakari baadaye kondic alisema hakuweza kucheza vizuri kweli kulikuwa na taarifa za malaria licha ya daktari kumtaka asicheze chuji mwenyewe UNK kucheza cannavaro alisema kuwa kadi yake nyekundu UNK dakika za mwisho alishindwa kujizuia kuvua jezi baada ya jerry tegete kufunga bao la kusawazisha na kujisahau kama alikuwa na kadi ya njano mchezo ulikuwa mgumu sana na ulikuwa UNK kichwa kwa vile tulipaswa kulinda heshima yetu na kuhakikisha tunaendelea kushinda alisema cannavaro kulikuwa na presha kubwa sana kila kona na sisi wenyewe kama wachezaji tulitaka kuendeleza rekodi ya kufanya vizuri na kulinda ubingwa wetu timu zote zimecheza soka la kiwango cha juu na nashukuru tumeweza kujilinda vizuri na kusukuma mashambulizi mazuri ambayo UNK ipasavyo tumepata matokeo mazuri ndio mambo ya soka na kwa mazingira na kiwango cha soka kilichoonyeshwa kitu kama hicho kilikuwa UNK alisema beki huyo wa taifa stars na zanzibar heroes yanga tayari imeshatwaa ubingwa wa tanzania bara na sasa imesaliwa na mechi moja kumaliza msimu kama ilivyo kwa simba ben mwalala amekiri kuwa simba UNK ujanja dakika arobaini na tano za mwanzo na ndio muda pekee waliocheza soka la uhakika lakini bao lake la kusawazisha ni zawadi kwa kocha dusan kondic na mashabiki wa yanga mshambuliaji huyo raia wa kenya ndiye UNK simba bao pekee katika mchezo wa mzunguko wa kwanza kabla ya juzi jumapili kufunga bao la kwanza timu hizo UNK sare ya mabao mbili mbili kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam mwalala ambaye msimu uliopita UNK aliiambia mwanaspoti kuwa alikuwa amepania kulinda heshima yake katika mchezo huo ndio maana akawaambia wenzake UNK mpaka filimbi ya mwisho simba walicheza vizuri kipindi cha kwanza na wakatumia nafasi walizopata UNK na kwa muda wote walikuwa wanamiliki mpira vizuri kutokana na nguvu waliyokuwa nayo lakini hasira UNK nayo kipindi cha pili UNK sana UNK na ndio maana UNK haraka mpira ulikuwa mzuri sana na wenye ushindani ni moja kati ya mechi bora ambazo mimi ndio huwa kiwango changu UNK lengo langu ilikuwa ni kuifunga simba kama nilivyofanya mechi ya kwanza ili kutunza heshima yangu na timu yangu ambayo UNK tanzania kufanya kazi tumejenga heshima kubwa msimu huu ambayo hatukutaka kuiharibu kwa kufungwa na simba ndio maana mpaka mwamuzi anaonyesha dakika za ziada nilikuwa nawaambia wenzake tupambane tu hata ikibaki UNK moja lolote UNK tulichofanya ni kutumia nguvu nyingi zaidi na akili hasa dakika kumi za mwisho na kweli tukapata bao la kusawazisha dakika ya mwisho tulijua mtaani UNK ndio maana UNK aibu haraka lakini mkataba wangu wa kazi unamalizika UNK mengine msimu ujao alisema mchezaji huyo wa timu ya taifa ya kenya katibu mkuu wa shirikisho la soka tanzania fredrick mwakalebela amesema mwamuzi israel nkongo ni safi na UNK kasoro zozote kwenye mechi baina ya yanga na simba iliyofanyika juzi jumapili kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam katika sare ya mabao mbili mbili ingawa makocha UNK lolote lakini mashabiki na viongozi wa klabu hizo walikuwa wakimlalamikia nkongo na wasaidizi wake wa pembeni kuwa UNK mwakalebela aliliambia mwanaspoti kuwa malalamiko hayo yamekuwa ya kishabiki na ni kawaida katika soka duniani kote hatukuona tatizo la mwamuzi kwenye ule mchezo kwanza kila mmoja anapaswa kuelewa kwamba ile ni mechi kubwa na ilikuwa na hisia za watu wengi alisema mwakalebela hakuna shabiki wa yanga UNK kuona mchezaji wake UNK kibendera cha kuotea wakati anakwenda kufunga hali kadhalika na simba hivyo hivyo wala hakuna mshabiki UNK akiona mchezaji wake UNK kadi lazima UNK mechi kubwa kama hii lazima iwe na visingizio huwezi UNK kila mtu ukiwa mwamuzi sisi tumeona kwamba ametumia sheria zote kumi na saba za soka na UNK vizuri hali ya mchezo na kwenda na presha ya kila mchezaji wale waliokuwa wanaonyesha vitendo visivyo vya kiungwana mchezoni ndio UNK kadi za njano na nyekundu hakukuwa na matatizo yoyote na mchezo umekwisha salama na matokeo ndio hayo UNK timu zote kwa kuonyesha mchezo mzuri na kwa kiwango cha kuridhisha aliongeza mtendaji huyo wa tff viongozi na mashabiki walikuwa wakimlaumu nkongo kwa madai alishindwa UNK mchezo huo na kutoa kadi nyingi huku wasaidizi wake wa pembeni wakishindwa kwenda na kasi ya mchezo bao la jerry tegete wa yanga lililosababisha sare ya mabao mbili mbili baina ya watani wa jadi UNK hesabu za simba na imesaliwa na dakika tisini tu uwanjani kuamua hatma yake kimataifa mwakani matokeo ya juzi jumapili kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam yaliifanya simba UNK pointi thebathini na saba ambazo zinaweza kufikiwa au UNK na mtibwa yenye pointi thebathini na sita ikishikilia nafasi ya tatu kama wekundu hao wa msimbazi wangeweza kulinda ushindi wao wa mabao mbili moja wangekuwa wamefikisha pointi thebathini na tisa ambazo ingekuwa rahisi kuikimbia mtibwa hata UNK sare na polisi dodoma jumapili ijayo lakini kwa matokeo hayo UNK kuwa simba lazima iifunge timu dhaifu iliyoshuka daraja ya polisi dodoma jumapili ijayo na kufikisha pointi arobaini ambazo mtibwa hata ikishinda haiwezi kuzifikia mshambuliaji wa simba ulimboka mwakingwe kama ilivyo kwa kocha wake alisema wana kazi kubwa ya kushinda mchezo ujao ili kupata nafasi ya pili na kushiriki kombe la shirikisho ulimboka alisema hawakuridhishwa na matokeo waliyoyapata kwa yanga lakini hawakuwa na la kufanya kwa vile ndicho kilichotokea baada ya muda wa mchezo mtibwa UNK kipa wake namba moja shabaan kado itacheza na polisi morogoro jumapili kwenye uwanja wa jamhuri mjini humo mechi ya mtibwa huenda ikawa na ushindani wa aina yake kwa vile ndio mchezo wa mwisho wa polisi morogoro yenye pointi ishirini na tano ikihitaji pointi moja tu ili kuepuka janga la kushuka daraja pambano la ligi kuu tanzania bara kati ya simba na yanga lilifanyika juzi jumapili katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam lilikuwa pambano zuri kwa timu zote mbili kuonyesha kiwango cha juu na kwa hakika mashabiki wanaweza kuwa walipata burudani UNK katika mechi hiyo iliyoisha kwa sare ya mabao mbili mbili wachezaji wa timu zote mbili walionyesha kiwango cha kuridhisha na hakika mashabiki walikuwa UNK na hakukuwa na vurugu licha ya ustaarabu wa mashabiki na hata viongozi wa klabu zote mbili soka la tanzania litaendelea kuwa nyuma kama tutakuwa na waamuzi ambao hawana uhakika na kazi yao mwamuzi israel nkongo wa dar es salaam alionekana kujichanganya katika mambo mengi huku mwamuzi msaidizi wa pembeni john kanyenye wa mbeya UNK zaidi mara kwa mara nkongo alijikuta akipiga filimbi nyingi ambazo hazikuwa na maana yoyote na ilifika mahali akawa UNK na msaidizi wake wa pembeni UNK kuna wakati utashangaa kuona faulo imefanywa na mchezaji wa simba lakini mpira unapigwa kwenda yanga faulo inafanywa na mchezaji wa yanga faulo inapigwa kwenda simba kulikuwa na UNK vidogo vidogo vingi ambavyo UNK mwamuzi ilifika mahali kanyenye alionyesha kibendera juu kuonyesha mpira ni wa kuotea lakini mwamuzi nkongo hakuona badala yake UNK mpira uwe wa UNK hatutaki kuingia kwa undani kumchambua mwamuzi lakini kwa mechi kubwa ambayo ilikuwa na burudani nzuri kama ya simba na yanga juzi jumapili mwamuzi UNK wachezaji walipigana ngumi za chini kwa chini wengine UNK mateke mwamuzi UNK hayo yote hatujui mwamuzi aliona au alifanya kusudi kuacha lakini swali ambalo litaendelea kuwa kumbukumbu kwa mashabiki ni jinsi mwamuzi huyo UNK mpira huo kwa dakika zaidi ya saba kipindi cha pili wakati mwamuzi wa mezani alionyesha dakika mbili ilifika mahali mwamuzi wa mezani UNK na kumtaka nkongo kumaliza mpira kwa sababu dakika zilikuwa zimekwisha lakini hatuna budi kumpongeza mwamuzi mwingine wa pembeni jesse erasmo wa morogoro ambaye alifanya kazi yake vizuri na kama kulikuwa na makosa yalikuwa ya kawaida sana tofauti na wenzake tunaamini kuwa nkongo ni miongoni mwa waamuzi wazoefu na wenye sifa kubwa katika soka nchini lakini kwa pambano la juzi tunaanza kupata wasiwasi kama ndio amefika mwisho au ilikuwa mechi kubwa kuliko yeye kocha dusan kondic alitegemewa kuwa mwenye furaha baada ya timu yake kusawazisha dakika ya mwisho na kutoka sare ya mabao mbili mbili na simba kwenye uwanja wa taifa lakini mserbia huyo alikuwa na machungu mengi hasa kwa mashabiki hiki ndicho kiwango ambacho klabu hizi kubwa zinatakiwa UNK alisema kondic katika mkutano na waandishi baada ya mechi baina ya watani hao wa jadi iliyofanyika jumapili kwenye uwanja wa taifa lakini ngoja niwaambieni wapenzi wa soka na baadhi ya watu ndio wanaoua klabu hizi wengi wana maneno mabaya walisema mengi baada ya timu yetu kufungwa na al ahly kule misri walimtumia kipa ujumbe wa maneno mabaya hadi akaamua kuondoka nchini hii UNK soka hapa waliniambia hata mimi kuwa niliuza ile mechi mmoja wao ni huyu hapa ngoja niwaambieni al ahly ni timu kubwa ahly haihitaji kununua mechi ahly ina uwezo lakini watu walisema mimi niliuza mechi haya mambo UNK maendeleo ya soka kondic alikuwa hajawahi kuzungumzia tuhuma kuwa alifanya njama za kuuza mechi hiyo ambayo ahly walifunga mabao mawili katika dakika ishirini za kwanza mabao yaliyotokana na matatizo katika ngome yaliyosababisha barakat na flavio kubaki peke yao mbele ya goli na kufunga kirahisi lakini baada ya timu kurejea nchini kondic aliripotiwa kuwa aliondoka hotelini usiku akiwa na kipa obren na kurudi usiku mwingi jambo UNK kuwa alikwenda kwenye njama za kuihujumu timu mbali na tuhuma hizo kipa obren alitumiwa ujumbe wa sms wa kutukanwa na kutishiwa maisha jambo lililomfanya aamue kuondoka nchini yanga ilitolewa kwa jumla ya mabao nne sifuri baada ya kufungwa bao moja sifuri kwenye mechi ya marudiano jijini dar es salaam akizungumzia mchezo huo wa juzi jumapili kondic alimsifu kocha mwenzake patrick phiri kwa kuweza kuigeuza simba na kuwa timu UNK soka safi na kusifia washambuliaji wa simba kuwa waliweza kutumia nafasi chache walizopata kufunga mabao mawili walipata nafasi tatu wakatumia mbili hiki ni kitu kikubwa sana alisema kocha huyo aliyetokea angola kabla ya kuja nchini sisi tulitawala mchezo kwa karibu asilimia themanini tulipata nafasi nane lakini UNK mabao mawili tu lakini UNK kusifu tena kiwango kilichoonyeshwa na timu zote mbili akisema kuwa ni mchezo ambao UNK leo mashabiki wa simba watakwenda nyumbani wakifurahia jinsi timu yao UNK leo mashabiki wa yanga watakwenda nyumbani wakifurahia jinsi timu yao UNK alisema mserbia huyo ambaye ameiongoza yanga kutwaa ubingwa wa bara misimu miwili mfululizo kabla ya ligi kuu kumalizika kocha phiri alisema anasikitishwa kuruhusu bao dakika za mwisho na kuifanya mechi hiyo iishe kwa sare lakini UNK sana kwa kuwa kuruhusu bao dakika ya mwisho na mechi UNK kwa sare si kitu kibaya sana kama kuruhusu bao dakika za mwisho na timu yako ikafungwa alisema mzambia huyo ambaye timu yake inasaka nafasi ya pili kwa udi na uvumba ili UNK msimu mikono mitupu kwa mara ya pili mfululizo ligi ya mabingwa afrika hatua ya tatu imeendelea mwisho wa wiki na kuishuhudia al ahly ikizuiwa na wageni kano pillars na kutoka sare ya bao moja moja mjini UNK nigeria pillars klabu inayomilikiwa na tajiri ibrahim UNK ikiwa chini ya kocha raia wa slovenia ilianza kuandika bao kupitia kwa victor UNK mabingwa ahly walisawazisha dakika ya sabini na tano walipopata bao kupitia mchezaji aliyeingia kutoka benchi hani al UNK kutokana na pasi ya UNK ahly wamejiwekea mazingira mazuri ya kufuzu katika mchezo ujao wiki ya kwanza ya mei kocha wa ahly manuel jose ametangaza kuiacha klabu hiyo mwisho wa msimu huu baada ya kuipa mafanikio makubwa mabingwa wa zamani etoile du sahel of tunisia UNK na kutoka suluhu sifuri sifuri dhidi ya al ahly tripoli ya libya katika mechi nyingine jumapili tp mazembe kutoka jamhuri ya kidemokrasi ya congo walipata ushindi mwepesi kama ilivyokuwa kwa asec mimosas wa ivory coast mazembe UNK al ittihad UNK ya morocco moja sifuri mjini lubumbashi huku asec UNK monomotapa ya zimbabwe moja sifuri mjini abidjan nao primeiro agosto wa angola heartland wa nigeria waliibuka na ushindi katika mechi zao zesco ya zambia iliambulia suluhu sifuri sifuri dhidi ya UNK ya mali heartland UNK UNK sport garoua ya cameroon kwa ushindi wa mabao mbili moja timu mbili zilizo katika nafasi ya juu kwenye msimamo wa ligi kuu england liverpool na arsenal leo jumanne zitachuana vikali huku kila kikosi kikiwa na hamu ya kupata pointi tatu wakati liverpool ikijitahidi kupanda zaidi ili kunyakua ubingwa wa ligi kuu england msimu huu arsenal itakuwa ikitafuta mbinu ya UNK katika nne bora liverpool kwa sasa ina pointi sabini ikiwa nafasi ya pili nyuma ya manchester united inayoongoza ligi hiyo kwa pointi moja zaidi kwa upande mwingine arsenal ambayo imekuwa ikiwania nafasi ya nne sambamba na aston villa sasa ina pointi sitini na moja huku ikiwa UNK wapinzani wake kwa pointi saba pamoja na kuwa tayari UNK na wapinzani wao kwa pointi saba arsenal haiko tayari kupoteza pointi hata moja ili kuhakikisha inashiriki ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao na kocha wa arsenal arsene wenger ambaye kikosi chake kilitolewa katika mbio za kuwania kombe la fa hatua ya nusu fainali wakati UNK na chelsea jumamosi na kufungwa mabao mbili moja alisema anategemea kuona timu yake ikifanya vema zaidi tutahakikisha tunafanya vema ili kuongeza pointi zaidi alisema wenger katika mtandao wa klabu yake wakati wenger UNK mechi hiyo kocha wa liverpool rafa benitez amedhamiria kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha anapata ushindi kocha huyo hajasahau maumivu ya sare ya mabao nne nne dhidi ya chelsea kwenye mechi ya pili ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya wiki iliyopita hivyo ameahidi kuangusha mvua ya mabao liverpool sasa inasaka makombe mawili tu ligi kuu england na ligi ya mabingwa ulaya ligi hii huwa ni ngumu tupo katika nafasi ambayo tulikuwa tukiitaka kwa muda mrefu UNK tunaendelea na msimamo wetu alisema benitez kwa upande mwingine matokeo ya mechi hiyo UNK kwa hamu na manchester united ambao UNK arsenal iifunge liverpool kocha wa manchester united alex ferguson amemuomba kocha arsene wenger afanye kila liwezekanalo UNK liverpool mshambuliaji nyota wa simba mussa hassan mgosi amepewa mechi moja tu ya majaribio katika kikosi cha timu ya mahindra united ya india ili kupima uwezo wake kama asajiliwe au la mechi hiyo ilitakiwa kuchezwa jana jumatatu huku mgosi akiwa katika kikosi cha mahindra united pamoja na wachezaji wengine kutoka afrika magharibi ambao UNK majaribio katika kikosi hicho kabla ya kuondoka nchini mgosi alisema kuwa amejiandaa vema kuhakikisha anashinda majaribio hayo ingawa inategemea na timu hiyo inahitaji mshambuliaji wa aina gani unajua mgosi ana aina yake ya uchezaji sijui wenyewe wanataka mchezaji wa aina gani lakini kama itakuwa wa aina yangu nina matumaini makubwa ya kufanya vizuri kwa kuwa nimejiandaa alisema mgosi nilikuwa kambini na simba kwa takribani wiki nzima UNK niliondoka siku moja kabla ya safari kwa ajili ya maandalizi ya safari ndio maana nasema nipo vizuri kwa kuwa nilifanya mazoezi ya kutosha kabisa alisema mgosi baba wa watoto wawili hassan na UNK mshambuliaji huyo aliyejiunga na simba misimu mitatu iliyopita akitokea mtibwa sugar ana kasi na mashuti makali na amekuwa mshambuliaji tegemeo wa simba hadi ligi kuu bara inafikia ukingoni amefunga mabao saba mgosi aliondoka nchini ijumaa iliyopita kwenda india kufanya majaribio katika timu hiyo ambayo alianza mazoezi na wachezaji wengine jioni ya siku iliyofuata ya jumamosi na jumapili kabla ya mechi hiyo ya jana jumatatu mshambuliaji nyota wa yanga mrisho ngassa amesema amepewa nafasi ya kuendelea na mazoezi kwa wiki moja zaidi katika timu ya ligi kuu ya england ya west ham klabu hiyo ilitangaza itatoa ripoti baada ya wiki ya kwanza ya majaribio iliyomalizika juzi jumapili lakini ngassa amesema hakukuwa na ripoti yoyote akizungumza moja kwa moja na mwanaspoti kutoka jijini london england ngassa alisema baada ya mazoezi ya jumamosi aliambiwa kujiandaa kwa ajili ya mazoezi ya jumatatu wiki ya pili inaanza leo UNK taarifa ya kuendelea na mazoezi naendelea vizuri na kuna mambo kadhaa najifunza ingawa hakuna tofauti kubwa sana kwenye mpira hakuna tofauti kubwa sana mambo mengi ni yale yale tu na ninajitahidi kufanya kila kitu katika uwezo wangu ili UNK lakini siwezi kujua siku ya mwisho nitapata nini alisema ngassa moja kwa moja kutoka jijini london ngassa alisema hali ni tofauti lakini amezoea kwa kiasi na haimpi shida kiasi cha kushindwa kufanya mazoezi pamoja na wenzake kwa uhakika baada ya kuwasili katika klabu hiyo ngassa alipelekwa kwenye timu ya watoto chini ya miaka ishirini ambao alifanya nao mazoezi na baadaye alipandishwa kwenye timu ya akiba ya west ham wakala wake yusuf bakhresa ambaye anatambuliwa na fifa wiki iliyopita alitarajia kukutana na uongozi wa fulham kuangalia nafasi zaidi kwa ajili ya ngassa kufanya majaribio iwapo atakosa nafasi west ham united awali kabla ya kuondoka nchini bakhresa aliiambia mwanaspoti kuwa tayari ngassa ana ofa nyingine ya kufanya majaribio nchini UNK iwapo angeshindwa west ham kabla ya kwenda england ngassa aliwahi kutakiwa na klabu ya lov ham ya norway ambayo ilikuwa tayari kumchukua kwa kitita cha dola hamsini sifuri sifuri sifuri lakini uongozi wa yanga ukatia ngumu kocha mkuu wa yanga dusan kondic raia wa serbia UNK ubora wa safu ya ushambuliaji ya watani wake simba kwa kusema ina uwezo mkubwa wa kuzitumia nafasi chache UNK tofauti na yanga kondic huyo UNK sifa patrick phiri raia wa zambia kuwa ni kocha bora aliyefanya mabadiliko makubwa na kuifanya timu hiyo kucheza kitimu zaidi ukilinganisha na mzunguko wa kwanza wa ligi kuu tanzania bara akizungumza jijini dar es salaam kondic alisema katika mechi yao ya ligi kuu bara iliyomalizika kwa sare ya mabao mbili mbili juzi jumapili simba walipata nafasi tatu tu za uhakika na wakatumia vizuri mbili kufunga mabao mawili wakati kikosi chake UNK nafasi nane na kuzitumia vema mbili tu tulitengeneza nafasi nyingi zaidi ya simba zilikuwa nane lakini UNK mabao mawili tu wakati simba walitengeneza nafasi tatu tu na kufunga mabao mawili hii inaonyesha wenzetu walikuwa makini zaidi timu zote zilicheza vizuri zimeonyesha mabadiliko makubwa na ninaamini kila upande hasa mashabiki watakuwa wameondoka uwanjani wakiwa na furaha kutokana na mpira uliochezwa na timu zao ulikuwa wa ushindani kweli na kila upande ulionyesha kuwa ulitaka kushinda alisema na kuongeza mimi nampongeza sana kocha phiri ameonyesha ni bora na amefanya mabadiliko makubwa katika kikosi ambacho UNK kitimu zaidi ukilinganisha na hapo awali alisema kondic ambaye kabla ya mchezo alivuka mstari hadi upande wa simba na UNK phiri kondic pia UNK kikosi chake kwa kusema pamoja na kufanya makosa mengi lakini walionyesha uwezo mkubwa wa kupigana hadi dakika ya mwisho huku UNK jina la you will never UNK UNK ambayo kwa kiswahili ambacho si rasmi maana yake UNK pekee yako inayotaka kufanana na ile ya liverpool ya england you will never UNK UNK kondic ameonyesha kufurahia sare hiyo na kusisitiza kuwa amemaliza mwaka kwa kuipa timu yake ubingwa lakini pia bila ya kufungwa na watani wao simba ambao walikuwa na rekodi ya kuwafunga mfululizo miaka saba na UNK kwa kuwafunga mzunguko wa kwanza kabla ya kulazimisha sare sina deni na simba kama utafanya tathmini kwa umakini utagundua huu ni msimu wa yanga kuna kila sababu ya kusema hilo alisema kuhusu wachezaji mmoja mmoja alikataa kutaja UNK zaidi huku UNK haruna moshi boban kuwa mchezaji bora wa mechi hiyo kwa upande wa phiri pia aliipongeza yanga kwa kucheza vizuri lakini akasema anasikitika kupoteza pointi mbili kutokana na sare hiyo hivyo wanalazimika kuhamishia nguvu zao katika mechi ya mwisho dhidi ya polisi dodoma jumapili mechi inayokuja ndio nafasi ya mwisho itakuwa ngumu kwa kuwa hakuna mechi inakuwa rahisi kwetu kwa kuwa kila timu inataka kuonyesha ni bora zaidi yetu wanafanya kila wanaloweza kuhakikisha UNK polisi hawana cha kupoteza watacheza kwa nguvu lakini wachezaji wangu wanajua umuhimu wa mechi hiyo kupata nafasi ya kucheza michuano ya kimataifa tunatakiwa kushinda na si zaidi alisema phiri aliyewahi kuwa kocha mkuu wa zambia chipolopolo UNK hadi kombe la mataifa afrika nchini ghana mechi hiyo ilikuwa ni ya ushindani mkubwa huku timu hizo zikishambuliana kwa zamu na simba ikitawala zaidi sehemu ya kiungo katika msimamo wa ligi hiyo yanga iliyoanza kwa kasi imefunga mabao thebathini na tisa na kufungwa kumi na mbili wakati simba iliyoonekana kuanza msimu kwa kusuasua imefunga mabao thebathini na kufungwa ishirini na moja beki wa kati wa real madrid pepe alitawala vichwa vya habari vya magezeti kwa sababu tofauti wiki hii baada ya kumpiga mateke mwenzake wakati timu yake iliposhinda tatu mbili dhidi ya getafe jumanne usiku beki huyo wa ureno aliomba msahama muda mfupi baada ya mchezo kumalizika kwa kitendo cha kumpiga mateke ya mgongoni mshambuliaji javier UNK wa UNK ilikuwa ni siku mbaya maisha UNK UNK UNK na hamu tena ya kurudi uwanjani kucheza soka alisema wakati wa mahojiano yake na gazeti la UNK niliangalia kwa umakini mkanda wa video wa tukio lenyewe lakini sikuweza kutambua ni kitu gani UNK nilipoteza utu wangu na kuwa kama kichaa au mwendawazimu nafikiri sikuwa mimi nafikiri UNK kupata adhabu kubwa zaidi kwa kitendo hiki kwa jinsi UNK UNK nina nafasi ndogo ya kurudi uwanjani tena nafikiria kufanya kitu kingine kabisa pepe anataraji kupewa adhabu kali ya kufungiwa kucheza kwa muda usiojulikana na kamati ya ligi na klabu yake pamoja na kutozwa faini pia kuna uwezekana ukawa mwisho wake kuchezea real madrid endapo utawala mpya utaamua UNK tena mshambuliaji wa timu ya mtibwa sugar ya morogoro na taifa star uhuru suleiman ameondoka jana kuelekea nchini finland kwa UNK kufanya majaribio akizungumza na mwananchi jijini jana uhuru alisema amepata timu kwenye nchi hiyo na anaenda kujiunga na kikosi hicho alisema nimeona bora kwenda huko ili nami UNK bahati yangu kwani kila mchezaji yeyote anatamani apate angalau nafasi hiyo ya majaribio kwa kuwa naiheshimu kazi yangu nitafanya kila UNK ili UNK UNK nikiwa UNK kwa lolote kwani najua kule naenda kupigana ili niweze kupata nafasi hiyo na sita fanya mchezo alisema uhuru uhuru aliondoka jana akielekea huko majira ya saa nane mchana na ndege ya shirika la ndege la emirates mamia ya wapenzi na mashabiki wa soka wakiongozwa na waziri wa mambo ya nje benard membe pamoja wachezaji wa soka wazamani jana UNK katika UNK ya tandika UNK katika mazishi ya mchezaji wa zamani wa yanga na taifa stars sahau kambi kambi alifariki dunia jumanne aprili ishirini na moja baada ya kusumbuliwa na matatizo ya tumbo pamoja na UNK wakizungumza na mwananchi jana baadhi ya wachezaji wa zamani waliowahi kucheza naye soka mara baada ya kumalizika ya mazishi walisema kuwa tanzania imepoteza mtu muhimu katika michezo tumepoteza mtu muhimu katika michezo kwani marehemu ni miongoni mwa watanzania wachache walitoa mchango mkubwa katika kuhakisha tanzania inapiga hatua mbele zaidi katika soka lakini kwa vile imeisha tokea UNK kumwombea kwa mwenyezi mungu na kuyaenzi mazuri yote UNK enzi za uhai wake walisema wachezaji hao UNK UNK gebo peter dua saudi abeid mziba abeid UNK ken mkapa felix minziro na steven nemes kwa UNK walionekana kuguswa sana na UNK nao baadhi ya wapenzi na mashabiki wa soka UNK mazishi hayo walieleza kuwa UNK mlinda mlango huyo kutokana na uhodari wake na kupewa jina la tanzania one katika miaka ya elfu moja na mia tisa na tisini akiwa na timu ya yanga mashabiki wa yanga UNK sahau kambi kwa kitendo chake cha UNK mpira mshambuliaji wa simba marehemu edward UNK aliyefunga bao UNK fred felix UNK kocha wa moro united kuanza kupiga sahau ata UNK kambi baada ya kuachana na soka alikuwa UNK wa balozi wa comoro nchini na kazi aliyokuwa akifanya mpaka anafariki dunia hivi karibuni alikuwa mdhamini wa mkurugenzi wa zamani wa timu ya moro united UNK UNK anayekabiliwa na kesi ya kujipatia fedha isivyo halali katika benki ya barclays mungu aweke roho ya marehemu UNK pema peponi UNK mwenyekiti wa yanga iman madega ameshutumu vikali tabia ya ubabaishaji unaoendelea kujitokeza kuhusu mgawanyo wa mapato baina ya klabu na serikali katika mechi zinazochezwa kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam akizungumza muda mfupi baada kukabidhi barua kwa shirikisho la soka tanzania la kutaka kikao cha moja na kamati UNK mahesabu ya mapato ya mechi ya simba na yanga madega alisema ameshangazwa na kitendo cha serikali na tff kushindwa kuwalipa milioni kumi na tano za mapato ya mechi yao ya marudiano dhidi ya al ahly ya misri na hawajui zilipo mpaka sasa kwa ajili ya ubabaishaji uliopo sasa alisema mapato hayo UNK siku kumi UNK jambo linalotia wasiwasi kuwa uhalali wa kiasi UNK UNK madega alisema sababu ya kupeleka barua tff kutaka kikao kingine ni kutokana na UNK na kiasi kidogo cha fedha UNK tunachotaka ni kupata mchanganuo wa mapato hayo na kujua wapi tumekosea UNK UNK kutokana na mgao huo wa shilingi arobaini na sita milioni kwa kila klabu mgao huo UNK sana yanga mpaka sasa hatujui hata kiasi gani tutoe kama posho kwa wachezaji kwa hiyo bado tunaitaji maelezo ya kina ya kutokana na mapato hayo kwani UNK kuna fedha nyingi zimekatwa pasipo na sababu alisema madega aliongeza kuwa serikali inachukua asilimia arobaini na saba ikiwa ni gharama za mchezo asilimia ishirini na gharama za uwanja asilimia ishirini kitu ambacho si sahihi UNK UNK uwanja kwa asilimia ishirini ya mapato ikiwa imebeba gharama zote za usafi na kila kitu alisema UNK kuchezea uwanja wa taifa ni kutaka kuwapa raha mashabiki wao kwa kuangalia mpira wakiwa UNK lakini suala hilo limekuwa tofauti na kuona kuwa wanawafanyia kazi serikali na wao UNK uwanja huo kupata hasara suala hilo la mapato UNK kidogo awali UNK wizara ya habari utamaduni na michezo na kuwatupia lawama tff ambao nao UNK lawama serikali kwa kudai kuwa wao ni UNK wa nne anayepaswa kuulizwa ni mwenyekiti wa kamati hiyo katibu mkuu wa wizara hiyo mwaka mmoja baada ya kuipongeza kwa kazi nzuri kamati inayoandaa michezo ya olimpiki ya london maofisa wa kamati ya kimataifa ya olimpiki ioc wamerudi tena jijini humo kuangalia maandalizi ya michezo hiyo UNK wakati huu wa msukosuko wa uchumi duniani tume ya kuratibu ya kamati ya kimataifa ya olimpiki wanaangalia maendeleo ya maandalizi yanayoendelea jijini london hii ikiwa ni mara ya nne kutembelea mji huo tokea london UNK nafasi ya kuandaa michezo hiyo mwaka ishirini sifuri tano mambo mengi yamebadilika tokea mwaka jana ambapo jiji la london linataka kufanikisha mashindano hayo wakati huu wa msukosuko mbaya wa kiuchumi katika karne hii kamati ya jiji la london inayoshughulikia maandalizi hayo ina jukumu la UNK kamati ya kimataifa ya olimpiki ioc miradi inayotumia mabilioni ya dola za kimarekani inaendelea kama UNK na watu wengi sehemu mbali mbali duniani watakuambia wana hali ngumu hivi sasa kwa hiyo ni muhimu UNK hali hiyo inatuathiri na sisi kusema ukweli UNK alisema mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya olimpiki london sebastian UNK jiji la london linatarajia kukamilisha miradi yote ya viwanja miundombinu na shughuli nyingine za michezo hiyo kwa kutumia kiasi cha dola bilioni kumi na tatu nane bingwa wa kuogelea mita kumi sifuri katika mashindano ya olimpiki iliyofanyika beijing alain bernard anatarajia kuvunja rekodi kwa kutumia sekunde arobaini na saba kuogelea mita kumi sifuri mfaransa bernard anashikilia rekodi ya ulaya ya kuogelea mita kumi sifuri kwa kutumia sekunde arobaini na saba ishirini nina rekodi yangu kichwani na ninapenda UNK UNK sekunde arobaini na saba nadhani itakuwa vizuri itakuwa UNK kusema ukweli sijui alisema bernard bernard mwenye miaka ishirini na tano atakuwa na nafasi ya kuonyesha uwezo wake wiki hii katika michuano ya ubingwa wa kuogelea ya ufaransa itakayofanyika mjini UNK ambapo anatakiwa kuonyesha ubingwa wake katika mashindano ya dunia yanayotarajiwa kufanyika mjini UNK mwezi wa kwanza na februari nilifanya mazoezi sana zaidi ya mwaka jana UNK maumivu katika mikono yangu ambayo sikuwa kuyasikia ninafikiri ni hivi karibuni nitaanza kupata mafanikio kutokana na mazoezi ninayofanya alisema bernard bernard alisema anatumia muda mwingi kuwa katika bwawa la kuogelea lakini hivi karibuni atachukua mapumziko ili aweze kupumzika na mpenzi wake UNK UNK ambaye alikuwa wanne katika mita arobaini sifuri kwenye michuano ya olimpiki ya UNK ni msichana ambaye UNK UNK sana kuhusu uzoefu wetu ingawa hatufanyi kazi pamoja alisema bernard mfilipino UNK donaire amebakisha taji lake la ibf uzito wa fly baada ya kumchapa mmarekani raul martinez katika raundi ya nne donaire ambaye ameshinda mapambano ishirini na moja na kupigwa moja alimshambulia kwa makonde martinez ambaye ameshinda mapambano ishirini na nne na kupigwa moja na kufanikiwa kumuangusha mara nne kabla ya mwamuzi kusimamisha pambano katika raundi ya nne nilifanya UNK kufanya alisema donaire mwenye miaka ishirini na sita ambaye aliahidi kutowaangusha mashabiki wake waliokuwa wamejaa katika ukumbi wa UNK UNK donaire UNK martinez mara mbili katika raundi ya kwanza na mara moja katika raundi ya pili katika raundi ya nne martinez alipigwa ngumi kali mbali ambayo UNK chini na mwamuzi pete UNK UNK pambano hilo wafilipino walikuwa wakishangilia huku UNK jina UNK raisi wa zamani wa UNK joseph UNK alikuwa amekaa kando kando ya ulingo na alimpongeza donaire mara baada ya pambano kumalizika katika pambano lingine mfilipino brian viloria ambaye amepigana mapambano ishirini na tano na kushindwa mawili aliweza kumchapa UNK solis wa mexico ambaye amepigana mapambano ishirini na nane amepigwa mawili na kutoka sare mbili viloria UNK solis katika raundi ya kumi na moja na kufanikiwa kuwa bingwa mpya wa ibf uzito wa light UNK viloria ambaye ni mfilipino aliyezaliwa na mwenye uraia wa marekani UNK mabondia watatu kutoka ufilipino na alilia baada ya kumuangusha UNK raisi gloria UNK UNK wa ufilipino aliwapongeza donaire na viloria na kusema mchezo wa ngumi nchini ufilipino unapitia kipindi cha kuibuka upya kwani wafilipino wanajulikana kwa kupiga ngumi kocha alex ferguson UNK wachezaji wake wa manchester united bado wanakazi ngumu kupata ubingwa pamoja ushindi mzuri juzi usiku ushindi wa mabao mbili sifuri dhidi ya portsmouth kwenye uwanja wa old trafford imeifanya united kuongoza ligi kwa tofauti ya pointi tatu mbele ya liverpool wakiwa na mchezo moja mkononi vijana wa rafael benitez walipunguzwa kasi kwa kulazimishwa sare ya mabao nne nne dhidi arsenal jumanne na juzi jumatano chelsea walishindwa kupaa kileleni baada ya kulazimishwa UNK na everton manchester united imebakiza michezo sita akianza jumamosi nyumbani dhidi ya tottenham hotspur huku wakijiandaa na nusu fainali ya ligi ya mabingwa dhidi ya arsenal jumatano ijayo ferguson ni bingwa wa england na ulaya timu yake UNK nafasi nyingi dhidi ya vijana wa paul UNK pompey pamoja na sasa kushikiria usukani wa ligi kocha wa united amewaambia wachezaji wake wanatakiwa kujituma zaidi kama wanataka kuendelea kuongoza ligi tupo kwenye nafasi nzuri zaidi ya tulivyokuwa jumanne asubuhi lakini sasa UNK pazuri UNK presha sitaki kuongelea lolote kwa UNK na kubweteka kwa wakati huu alisema ferguson kocha huyo ferguson ataendelea kuwakosa gary neville UNK o shea kwa wiki kadhaa baada wachezaji hao kusumbuliwa na maumivu lakini bosi huyo wa united anategemea kurejea kwa rio ferdinand katika mchezo dhidi ya spurs mwishoni mwa wiki baada ya kupumzishwa katika mchezo dhidi ya UNK kusaka mbinu za kumdhibiti nyota wa barcelona lionel messi ni jambo la msingi kwa kocha wa chelsea guus hiddink katika mechi ya kwanza ya ligi ya mabingwa ulaya hatua ya nusu fainali leo jumanne nyota huyo wa argentina anaongoza kwa kupachika mabao katika mechi za ligi hiyo akiwa na mabao manane lakini kazi ya chelsea ya kumzuia mchezaji huyo UNK mabao zaidi inaweza kuwa ngumu kutokana na kusimamishwa kwa ashley cole hiddink alimjaribu jose bosingwa katika nafasi ya cole kwenye mechi ya ligi kuu england jumamosi dhidi ya west ham ambapo matokeo yalikuwa bao moja sifuri na kocha hiddink alisema kwamba alikuwa akijaribu kuona kama wazo lake linawezekana UNK kulia kwa kumkosa cole katika nafasi hiyo au ningeomba radhi kwa hilo alisema kocha huyo wa zamani wa real madrid na valencia katika mtandao wa chelsea mimi si mtu wa aina hiyo ninataka kila mtu UNK na mchezaji UNK nafasi ya mwenzake lazima afahamu kwamba anatakiwa kufanya vema zaidi aliongeza mtu yeyote anayecheza sambamba na messi ana kazi kubwa ya kufanya hiyo ni kwa sababu nyota huyo ni mmoja wa wanasoka bora duniani ni mmoja wa wachezaji ambao napenda kuwaangalia barcelona ni timu pekee nje ya england iliyofika nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya na jambo hilo limetokea misimu miwili sasa mabingwa hao wa ishirini sifuri sita walifungwa bao moja sifuri na manchester united katika nusu fainali mwaka jana na shukurani pekee UNK paul scholes ambaye alifunga bao safi katika mechi ya pili ingawa gabriel milito hayupo uwanjani kwa muda mrefu lakini kocha wa barcelona pep guardiola ana wigo mpana wa kuchagua wachezaji licha ya kwamba vinara hao wa ligi walitoka sare ya mbili mbili na valencia katika mechi ya ligi kuu hispania iliyochezwa jumamosi iliyopita tulitakiwa kupumzika kiasi na kujiweka sawa kwa sababu tulitakiwa kuanza wiki muhimu ya mwaka huu alisema kiungo huyo wa zamani wa hispania na barcelona sikuona dalili kwamba wachezaji walichoka aliongeza tupo kama UNK kiungo seydou keita alisema wachezaji wa barcelona wanafahamiana vema na wapinzani wao kocha anafanya kazi kubwa kuhakikisha tunajiandaa vema kwa ajili ya mechi alisema nyota huyo kutoka mali katika mkutano na waandishi wa habari tumeangalia mechi nyingi za wapinzani wetu na UNK makosa yao na tumebaini hatari UNK kukutana nazo kocha wa arsenal arsene wenger amesema ataingiza timu yake katika uwanja wa old trafford kupambana na manchester united kwenye mechi ya kwanza ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya kesho jumatano kwa lengo la kushinda tu timu hiyo juzi jumapili iliichapa middlesbrough mabao mbili sifuri kwa matokeo hayo arsenal UNK jumla ya mechi ishirini bila kufungwa katika mechi hiyo wenger aliingiza uwanjani wachezaji nyota wote licha ya kwamba alikuwa akisubiri mechi kubwa saa sabini na mbili baadaye lengo la kwanza lilikuwa ni kupata ushindi na hiyo ni njia sahihi ya kujiandaa kama utakwenda katika uwanja wa old trafford huku ukiwa na wasiwasi utapata wakati mgumu sana alisema tutakwenda kupambana na wapinzani wetu bila mashaka tuna uhakika kwamba matokeo yatakuwa mazuri tutafanya kama ambavyo tumekuwa tukifanya katika mechi nyingine kitu cha msingi ni ubora wa kikosi real madrid ilianza kuwakimbiza vinara baada ya raul kufunga mabao matatu na timu yake kutoka kifua mbele kwa mabao nne mbili dhidi ya sevilla katika ligi kuu hispania wenyeji walianza kufunga mabao wakati UNK mwenye umri wa miaka kumi na saba alipopiga krosi safi na UNK alifunga bao kwa kichwa real madrid ilisawazisha baadaye baada ya raul kupiga shuti lililompita kipa dakika ya sitini na tatu raul alipiga shuti kali na kufunga bao jingine dakika tatu baadaye na kumwacha kipa andres UNK UNK sevilla ilisawazisha dakika ya themanini wakati diego UNK UNK nyavu kutokana na uzembe wa mabeki lakini real madrid ilipata uhakika wa pointi tatu muhimu baada ya raul kufunga bao jingine na UNK UNK mauaji dakika za lala salama kwa matokeo hayo real madrid imefanikiwa kupunguza pointi kutoka kwa vinara barcelona wenye pointi themanini na mbili na wao wana pointi sabini na nane na sasa tofauti ni pointi nne tu wiki kadhaa zilizopita UNK kwenye semina ya ndoa mkoani morogoro kufundisha kanuni za kuwa na ndoa bora nilikwenda na wakati naendelea kuhutubia alitokea mtu mmoja akilia kwamba anajuta ni kwanini amekubali kuolewa kwani maisha yake kwa sasa ni mabaya kuliko wakati ule alipokuwa UNK kwenye ndoa naandika taarifa hii kwa sababu UNK na mhusika mwenyewe kuandika kwani kitaalam ni makosa kuandika jambo au habari ya mtu anayeomba ushauri au kutoa siri za mtu bila ridhaa yake anayefanya hivi anakosea na anaweza kuchukuliwa hatua za kisheria nimeona UNK hili kwa lengo la kukuweka sawa ndugu yangu eeeh maana UNK aaah dismas UNK ushauri UNK hapana ni kosa pia katika maisha UNK kitu ambacho ukifanyiwa UNK raha kwa mfano hakuna mtu anayeweza kuona raha ikiwa amekwenda sehemu kuomba ushauri au kupata matibabu halafu siri zake UNK nimekuwa nikitoa ushauri wa ana kwa ana tangu mwaka ishirini sifuri moja baada ya kushiriki mafunzo kadhaa kuhusu ndoa na uchumba hasa mahaba hakuna anayependa shida ndio kusema kuwa mtu anapolalamika kwamba mambo yake yanakwenda vibaya jambo la msingi ni kumsaidia wala UNK kwa sababu hakuna anayependa shida hata kama mtu ni mlevi acha kumtukana au UNK kwa sababu baadhi ya watu UNK akili zao kwa namna mbalimbali hakuna mtu anayependa kuendekeza vitu vibaya msaidie mtu huyo UNK na tabia au mambo yasiyofaa mtu huyo UNK mambo mabaya UNK kwa makini alivyokuwa UNK wakati wa utoto wake kwamba nikiwa mtu mzima nitafanya hiki na kile UNK huruma kwa hayo anayofanya leo wengi wamekuwa na malengo mazuri lakini kwa sababu mbalimbali baadhi yao wanajikuta wanaishi maisha mabaya tofauti na matakwa yao kuna idadi kubwa ya watu wanaishi aina ya maisha UNK kwa mfano anataka kuwa mstaarabu lakini kuna nguvu ndani yake UNK kuwa mtu UNK raha ya ndoa UNK UNK makala hii UNK kwa UNK mwanamke ambaye anajuta kwanini ameolewa si huyu tu kuna watu wengi wanawake kwa wanaume wamekuwa UNK kwanini wamekubali kuingia kwenye ndoa UNK kwenye semina hiyo ni kwamba kinachopatikana kwa UNK ni kizuri zaidi kuliko cha papara au cha UNK huyu dada yeye UNK kuolewa na mazingira kwamba wadogo zake wote UNK kwa hiyo alikuwa tayari kuolewa na yeyote ili mradi naye awe ameolewa kuingia au kutoingia kwenye ndoa hakuna maana kuwa una maisha mazuri sana cha msingi zaidi ni kumpata mtu ambaye kweli UNK na kuamini kwamba ni bora kwako yaani yule ambaye anakujali eeeh UNK UNK UNK nini mpenzi UNK anakuwa tayari kuacha yote na kuhakikisha unakuwa salama nk unatakiwa kuwa na mtu ambaye furaha yake ni kuona uko naye karibu na kutembea naye huku na kule si ndio jamani sasa kilichopo katika mahusiano ni kwamba kuna watu mwaka mzima unapita hajawahi kutoka na mume au mkewe ukiwa kwenye ndoa ya aina hii jua UNK UNK hiyo omba mungu akusaidie lakini ukweli ni kwamba hauko kwenye ndoa uko kwenye shida unaweza kubisha kwa sababu zako lakini wanandoa UNK kwa dhati ambao wamekuwa hata kama UNK UNK na kusonga mbele haiwezekani kupita mwaka UNK japo kwenda sehemu jioni au mchana ama asubuhi kula au kunywa chochote au kama sio kutoka ile hali ya mtu kuonyesha hamu ya kuwahi nyumbani kukaa na mwenzi wake ndoa nyingi zimebaki mafuvu utaona wakati mwingine mke au mume hayuko bize ofisini lakini anaona ni bora aendelee kubaki hapo hata kama ni kwa kucheza mchezo kwenye kompyuta kwa sababu nyumbani si salama aidha mke hana cha kumfurahisha ama ana mwingine kwa hiyo anaona UNK nyumbani ni shida tu maana wakati mwingine itakuwa vigumu UNK dalili kwamba mtu fulani ana uhusiano mzuri na mwenzi wake ni namna UNK kuwahi kurudi nyumbani lakini ukweli ni kuwa wengi wanarudi nyumbani usiku si kwa sababu ya kazi nyingi bali mapenzi UNK wanaishi kwenye nyumba kama kaka na dada raha ya dhati ya wanandoa haipo kuna sababu nyingi za kuwa katika hali hii sababu kubwa ni wanandoa UNK eeeh wakati ule wa uchumba ilikuwa wachumba UNK ahadi aaah hata nguo ya ndani inakuwa safi UNK si wengi wanavaa nguo mpya au safi si wengi UNK UNK kwa mfano kuna wanaume wengi wanalala UNK UNK hata kumkumbatia inatia UNK UNK je wewe huwa ukoje usafi ni jambo la msingi sana kuna wengine wananuka midogo lakini si wengi UNK meno kabla ya kwenda kulala si ndio jamani mwingine UNK unasema balaa gani hii UNK UNK kama UNK panya unatamani amalize busu UNK UNK UNK ni pamoja na kupata muda wa kuzungumza muulize mwenzi wangu kuna nini unafikiri kwangu napaswa kukibadilisha iwe ni tabia au jambo lolote UNK mtaweza kuboresha zaidi ndoa huendeshwa kwa kauli nzuri sio ubabe kama wanavyofanya baadhi ya wanaume kuuma kucha ni jambo la kawaida kwa baadhi ya wasichana na wavulana wengi tabia hii si nzuri kwa watu wa jinsia zote kwani wahusika huwa na kucha mbaya wakati wote licha ya kwamba wanaume wanahusika lakini hali huwa mbaya zaidi kwa mwanamke kwa sababu hushindwa kuwa na kucha ndefu hivyo kukosa fulsa ya kupaka rangi na kupendeza mara nyingi watu UNK kucha kutokana na kukosa amani yaani kuwa na msongo wa mawazo kutokujiamini juu ya uamuzi fulani na wakati mwingine mtu anapokuwa hana raha katika makala ya leo UNK mbinu za kufanya ili kuhakikisha kwamba mwanamke au mwanaume UNK mwenyewe tabia hii na kwa upande wa wanawake iwapo utafanikiwa kuacha tabia hii UNK kucha na kuwa mrembo zaidi kitu cha kwanza kwa muhusika ni yeye mwenyewe kuamini kuwa jambo UNK si sahihi na anatakiwa kuacha kwa njia yoyote ile kama kusudio la kuacha limeshindikana anaweza kufuata njia UNK jambo la kwanza ni UNK kwamba kila wakati unapotaka kwenda kazini au UNK nyumbani UNK vidole vyako kwenye maji ya alovela hususani sehemu ya UNK kwa kawaida maji ya alovela ni machungu mno na kama muhusika UNK UNK kucha na kupeleka vidole mdomoni hali hiyo UNK na kuacha mara moja vilevile muhusika anaweza kugusa vitu vingine ambavyo ni vichungu au UNK ambavyo anahisi kwamba UNK mkono mdomoni UNK wakati mgumu vitu kama pilipili pia vinaweza kusaidia hata hivyo muhusika anatakiwa kufahamu kwamba anatakiwa kupaka vitu ambavyo UNK kucha zake vilevile anatakiwa kurudia zoezi la kupaka vitu vichungu kila anapoona kwamba uchungu UNK jambo zuri kwa muhusika ni kuhakikisha kwamba UNK vidole machoni au kula kwa kutumia mkono kwani vitu vichungu vinaweza kuondoa ladha ya chakula au kuutoa matatizo katika macho kumbuka kwamba njia hii si sahihi kuwafanyia watoto wadogo kwani wana tabia ya kusahau haraka na wanaweza kupata wakati mgumu mno frank lampard ameingia katika mzozo na mtangazaji wa kituo cha redio ya lbc james o brian baada ya mtangazaji huyo kumwambia kwamba UNK familia yake kiungo huyo wa england mwenye umri wa miaka thebathini alichukia baada ya mtangazaji lbc james o brian kutangaza bila wasiwasi kwamba lampard si baba mzuri o brien alitoa maneno makali kwa nyota huyo kufuatia mpenzi wa lampard kulalamika kwamba anaishi katika nyumba ndogo akiwa na watoto wakati lampard anaishi katika jumba la kifahari lenye thamani ya pauni milioni nane tano o brien mwenye miaka thebathini na saba ambaye ni baba wa watoto wa kike wawili alisema baba yeyote mwenye kufanya mambo kama hayo ni dhaifu na UNK lampard ambaye ni baba wa UNK mwenye miaka miwili na UNK mwenye mwaka mmoja UNK na machozi baada ya kusikia maneno hayo na alipiga simu lbc kwa lengo la kujibu mashambulizi alimwambia o brien na wasikilizaji wa redio hiyo ya london UNK sana kila siku ninafanya kazi ya kukimbia kwa kasi uwanjani ili kutimiza mahitaji ya watoto wangu UNK na mpenzi wangu na amechukua watoto wanaishi katika ghorofa ambalo si baya na wanaishi hapo kwa muda mfupi wataondoka tu niko katika mpango mahsusi wa kuwanunulia nyumba kama UNK au zaidi watoto wangu hawawezi kuishi katika mazingira ya UNK lampard hakuwa na wazo la kusikiliza kipindi hicho lakini dada yake aitwaye UNK alimpigia simu huku akilia na kumjulisha kinachoendelea kwenye redio hiyo baada ya kupiga simu katika redio hiyo lampard alizungumza na o brien kwa dakika kumi alimwambia hujui lolote kuhusu mimi ninaona ni kama matusi kuniambia kwamba UNK kufa na kupona kwa ajili ya watoto wako na kuniambia mimi sijali familia yangu unafahamu nilikuwa nafanya nini katika kipindi cha miaka miwili kitu UNK sana baada ya kuachana na mpenzi wangu ni kitendo cha kutokutana na watoto wangu kila siku kwa hiyo kabla ya kutukana watu na kuwaambia kwamba hawajali watoto wao naomba siku moja mke wako aibuke na kusema UNK halafu aondoke na mtoto hiyo UNK kuwa UNK watoto kwa siku kadhaa licha ya lampard familia ya mchezaji huyo pia UNK na kauli ya o brien kwa sababu aliongea siku ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha mama wa mchezaji husika wakati mwingine unapaswa kufikiri juu ya mambo fulani kabla ya UNK wakati mwingine nitaongea na wewe uso kwa uso sahau kuhusu redio na baada ya kipindi hicho o brien alihojiwa na wandishi wa habari na kutakiwa kuomba radhi lakini alisema siwezi kuomba radhi ni jambo la ajabu kuna mwanaume unaishi katika nyumba nzuri halafu watoto wako wanaishi kwenye mazingira magumu eti kwa sababu yeye ni milionea basi hatakiwi kukosolewa hiyo haiwezekani banana ameamua kuasisi bendi nyingine binafsi ambayo itakuwa ikifanya shughuli kwa kujitegemea tofauti na ile ya sasa ya b band habari za uhakika UNK zinadai kuwa msanii huyo ameamua kuasisi bendi hiyo baada ya UNK na b band na kundi hilo litakuwa UNK na wasanii pamoja na shughuli maalum msanii huyo alibainisha jijini dar es salaam kuwa atachukua wasanii chipukizi na wakongwe wachache ambao watakuwa tayari kufanya kazi hivi karibuni kumekuwa na maswali mengi kuhusu ukimya wa kundi la east coast team ambalo lilipata umaarufu mkubwa miaka mitatu iliyopita kutokana na kuwa na wasanii wenye uwezo mkubwa wasanii kama ay mwana fa UNK UNK g na wengine wakiwa chipukizi walionyesha uwezo mkubwa na kukamata karibu kila kona ya muziki wa kizazi kipya wakiongozwa na amiri jeshi mkuu king crazy UNK kuyumba kwao kulitokana na mambo mengi wasanii wawili waliondoka mwana fa na baadaye ay ambao walionekana kama roho ya kundi hilo waliachia ngazi na kila mmoja akaamua kufanya kazi zake akiwa solo huku wakitangaza hakuna ambaye UNK na mwenzake kuhama ingawa siku chache baadaye UNK albamu mpya ya pamoja gk alisisitiza kuwa UNK huku akiendelea kushikilia msimamo wa singo yao ya piga manati ambayo baadhi ya wadau UNK lakini wako UNK mkono wakisisitiza ile ndio hip hop singo hiyo ilionyesha kuwashambulia wanaume family na halisi ambao walikuwa UNK kutoka wanaume family na UNK makundi mawili ay na mwana fa pamoja na mambo mengine ya kimaslahi walionekana kutounga mkono maudhui ya singo hiyo UNK gk alishikilia msimamo wake na baada ya piga manati kupigwa sana redioni ikapotea gk UNK na ect ikawa kimya huku kila kukicha akikataa kata kata kulizungumzia kundi hilo taarifa nyingi zisizokuwa rasmi UNK kwamba ni kutokana na kuondoka kwa akina ay na mwana fa lakini sasa gk ameibuka na kusema kwamba ndani ya mwezi mmoja tu watakuwa wamekaa kwenye mkao wa uhakika ambao wanaweza kuchagua kwenda chini chini au kusonga wakiwa UNK kitendawili cha muda mrefu kitakuwa kimepata jibu na gk amesisitiza waliokuwa wapinzani wao kama wanaume au hata akina juma nature na wengine wakae UNK kwani wanaume wanarudi kazini kauli hiyo ameitoa king crazy gk maarufu kama amiri jeshi mkuu huku akionyesha kujiamini na kusisitiza kwamba wale ambao walikuwa ni wapinzani wao wataendelea kuwa wapinzani na wanatakiwa kukaa chonjo ukimya wetu una maana kubwa kuna mambo mengi sana tunaandaa ambayo kama UNK tulikuwa mfano kwa wengine basi hata safari hii tutaleta changamoto kubwa na mabadiliko kwa wengine ambao ninaamini hata waseme nini east coast team ndio mfano wa kuigwa kwao hili ndio kundi lililoanza kuuza nguo zenye ubora wa juu tulikuwa mahiri katika msimamo wetu na kazi zote tulifanya kwa nguvu na kama ndugu kweli matatizo yalitokea lakini kabla tulikuwa mfano wa kuigwa ndio kinachofuata na kama kuna ambao walikuwa wapinzani wetu basi wataendelea kuwa wapinzani wetu suala la kuwa juu halitakuwa na mjadala hatuna shida ya malumbano badala yake kama kuna ambaye anataka kufanya hivyo UNK na kazi zetu za kisanii anasema gk lakini anakataa kuzungumzia kwa undani kuhusu mipango yao kwa ujumla akaongeza hatuwezi kuwa kimya kwa muda wote ule halafu UNK na kufanya kazi kama kipindi kile UNK mabadiliko yapo ni makubwa lakini bado wakati mwafaka wa kuzungumzia na kuweka kila kitu hadharani si vema kubahatisha hata hivyo imeelezwa studio yao mpya iliyopewa jina la kiraka international iliyo katika makazi yao upanga jijini dar es salaam chini ya prodyuza maarufu effector imeanza kazi imeelezwa effector aliyefanya kazi kwa kiasi fulani na kusaidia kuongeza kasi ya wasanii mbalimbali kufikia mafanikio wakiwamo ay na mwana fa tayari amefanya kazi ya kurekodi nyimbo za gk east coast na wasanii wengine wa kundi hilo lakini bado wanaendelea na utaratibu wao wa kusambaza mavazi ya kiraka hadi nje ya tanzania kwani ndilo kundi la kwanza kuuza mavazi hayo kwa mafanikio makubwa ukilinganisha na mengine gk amekuwa wa kwanza kuibuka mara kadhaa pamoja na kauli zake kuwa katika muziki amekuwa akionekana ni adui wa mashabiki wa manispaa ya temeke ambako UNK makundi ya wanaume akiwemo juma nature ambaye anaamini ndiye msanii mwenye mashabiki wengi zaidi nchini katika muziki wa kizazi kipya kuna wakati gk alikuwa hatakiwi kufanya shoo kwenye ukumbi wowote wa manispaa ya temeke kwa kuwa mashabiki walitangaza UNK na kumdhuru iwapo itatokea akashiriki kwenye shoo yoyote kilichowakera zaidi ni kauli yake katika singo ya hii leo sehemu UNK yeye alieleza kwamba wakati huo ulikuwa ni mwisho wa temeke UNK yaani ni mwisho kwa wasanii wa manispaa hiyo kuimba na kungara tena na mambo yote ni upanga na UNK pamoja na mashambulizi mfululizo kutoka upande wa temeke wakiwa wanaume family gk alionyesha kutojali akisisitiza hiyo ni hip hop naye akaibuka na piga manati ambayo pamoja na baadhi kuipinga lakini wako wadau UNK mkono na kuhoji tatizo lilikuwa wapi wakati singo hiyo ilikuwa ikiweka wazi hisia za ect tena kimuziki na si ngumi mitaani au vitisho kupooza kwa ect kiasi fulani kumechangia kupungua kwa kasi ya hip hop nchini kwa kuwa upinzani wao na temeke ulionyesha UNK mara kadhaa na hata baada ya kusambaratika wengi walitangaza kwamba hakuna ambao walikuwa wanaunda kundi la zaidi ya watu watano wangeweza kudumu kama magwiji hao wa kazi na undugu UNK kama barafu kilichopo sasa ni kusubiri kazi mpya za ect kasi na mkwara wao kama wakiibuka wataweza kucheza vipi na nguvu ya makundi mawili ya wanaume halisi na wanaume family zilizokuwa kundi moja la wanaume family tmk wapinzani namba moja wa east coast team pamoja na ambwene yessayah ay kukataa katakata kuzungumzia taarifa kwamba UNK kwenye penzi la mwanamitindo kumekuwa na taarifa kwamba msanii huyo UNK huko imeelezwa ay yuko kwenye mapenzi ya dhati na mwanamitindo huyo wa kitanzania ambaye hufanya kazi zake nchini na afrika kusini ingawa bado jina UNK hadharani taarifa za ndani kabisa zimeeleza kwamba wawili hao UNK ingawa wameamua kufanya mambo yao kikubwa bila ya matangazo mengi msanii huyo ambaye UNK wengi kutokana na kutinga viwalo vya uhakika kila UNK imeelezwa kuwa amekuwa akionekana sehemu kadhaa na mwanadada huyo ingawa ni mara chache inaonekana penzi hilo ni siri lakini wadau wameeleza kwamba UNK zaidi ya siku mia tatu na sitini na sita ambazo ni mwaka mzima kiungo wa yanga nurdin bakari na kiungo mshambuliaji wa azam salum UNK hivi karibuni UNK timu ya mambo hadharani kutinga fainali ya michuano ya kombe la fta entertainment baada ya kuibanjua mogo fc kwa mabao mbili sifuri katika pambano lilopigwa kwenye uwanja wa air wing jijini dar es salaam katika pambano hilo ambalo lilikuwa na ushindani mkubwa iliwalazimu wachezaji hao kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwahimiza wenzao kucheza kwa nguvu ili kuibuka na ushindi lengo kubwa la michuano hii ni kuinua mchezo wa soka katika wilaya yetu ya ilala na hapa ilipofikia imeongezeka UNK kwa kiwango cha juu kila timu inajitahidi kupigana kwa nguvu zake zote ili kuhakikisha inaibuka bingwa na kujinyakulia zawadi ya ngombe kwa hiyo tunajitahidi kuhakikisha inamalizika kwa amani anasema juma agogo ambaye ni mratibu wa michuano hiyo hatua ya robo fainali ya michuano ya ubungo super cup inaanza kutimua vumbi alhamisi wiki hii katika uwanja wa kibangu jeshini baada ya kukamilika kwa upangaji wa ratiba mratibu wa michuano hiyo majaliwa wilson amesema timu UNK pazia katika hatua hiyo ni survey fc na UNK fc wakati timu za mabibo boys na young boys UNK ijumaa ya mei mosi kabla ya kibangu united na wakushi fc kuchuana siku inayofuata jumamosi mechi zote za robo fainali zitachezwa kwa mtindo wa nyumbani na ugenini isipokuwa mechi ya fainali na mshindi wa tatu kipa wa international mfaume said UNK amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa UNK ya kuwania kombe la ccm kwa timu za kata ya UNK iliyopo katika tarafa ya tegeta nje kidogo ya jiji la dar es salaam mratibu wa michuano hiyo ambaye pia ni katibu wa vijana wa ccm katika kata hiyo UNK john amesema kuchaguliwa kwa said kuwa mchezaji bora ni kutokana na uwezo wake mkubwa wa kulinda lango alionyesha tangu kuanza kwa michuano hiyo na kuiwezesha timu yake kutinga fainali ya michuano hiyo timu za kb boys na small boys za wilayani muheza mkoani tanga hivi karibuni UNK msaada wa jezi zenye thamani ya shilingi arobaini sifuri sifuri sifuri sifuri kutoka kwa mbunge wa jimbo la muheza herbert UNK kocha mkuu wa kb boys shaaban dede amesema kuwa msaada huo ni changamoto kwa timu yake na ni changamoto kwa wapenzi na wadau mbalimbali wa soka mkoani tanga kuzisaidia timu za soka mkoani humo ili kurudisha hadhi ya mkoa huo ambayo UNK mvua kubwa zinazoendelea kunyesha jijini dar es salaam zimesababisha kusogezwa mbele kwa mchezo wa fainali wa kuwania kombe la diwani wa kata ya vingunguti assa cup dhidi ya manchester chipolopolo na fc UNK baada ya uwanja kujaa maji mratibu wa michuano hiyo mohamedi diego amesema kuwa pambano hilo limepangwa kupigwa tene ijumaa mei mosi katika uwanja wa ok plastic mara baada ya uwanja huo kuwa fiti kampeni za simba kusaka nafasi ya kushiriki kombe la shirikisho mwakani UNK na rekodi ya ajabu kwani katika mechi zake tano za mwisho kulikuwa na kadi tano nyekundu kwa wachezaji wa timu pinzani katika mechi hizo simba ilicheza dhidi ya kagera sugar polisi dodoma toto africa azam na yanga na katika kila mechi mchezaji mmoja wa timu pinzani alipata kadi nyekundu katika mchezo wao wa mwisho wa juzi jumapili mkoani dodoma dhidi ya polisi ambao simba ilikuwa lazima ishinde kupata nafasi ya pili mchezaji wa polisi dodoma alipata kadi nyekundu polisi dodoma ambao imeshuka daraja ilichapwa mabao mbili sifuri huku mchezaji wake said UNK akitolewa nje kwa kadi nyekundu dakika sabini na mbili baada ya kuonyeshwa kadi mbili za njano na mwamuzi amos paulo wa mara simba katika mechi dhidi ya mabingwa yanga pamoja na mechi hiyo kutawaliwa na ubabe na ufundi wa hali ya juu mwamuzi israel nkongo wa dar es salaam alitoa kadi nyekundu kwa beki wa yanga nadir haroub cannavaro hiyo ilitokana na mchezaji huyo kuvua jezi akishangilia bao la kusawazisha la jerry tegete huku akiwa na kadi moja ya njano mchezo huo UNK kwa mabao mbili mbili naye mwamuzi idd mbwana kutoka shinyanga alimtoa juma seif wa toto africa kwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya salum kanoni wakati simba ikishinda moja sifuri katika mchezo dhidi ya azam beki wa kimataifa wa kenya UNK odula alitolewa nje kwa kadi nyekundu na mwamuzi amosi paul kutoka mara na simba UNK na ushindi wa mabao tatu moja kwenye uwanja wa kaitaba mkoani bukoba mchezaji wa kagera sugar felix themi mnyama alitolewa nje kwa kadi nyekundu na mwamuzi idd mbwana kutoka shinyanga simba ilishinda mbili sifuri ukiondoa mechi ya yanga ambayo UNK na nkongo mechi nne za simba UNK na waamuzi wawili tu mbwana wa shinyanga na paul wa mara msimu wa ligi kuu ya bara umemalizika rasmi jana UNK lakini yapo mambo kadhaa ambayo hayawezi kusahaulika ingawa hali ya uchumi kwa kiasi kikubwa ndiyo UNK miongoni mwa UNK zaidi msimu huo ni kipa wa yanga juma kaseja ambaye alipiga shuti toka golini kwake na kumfunga mlinda mlango wa toto africa goli lililoipa ubingwa yanga ni msimu pekee ambao hauwezi kusahaulika pia na jeshi la polisi baada ya kushuhudia timu zake mbili polisi dodoma na polisi morogoro zikishuka daraja hata kocha wa villa squad kennedy mwaisabula alikaa tena kwenye benchi la timu ya polisi dodoma na kushuhudia timu hiyo ikishuka daraja kama UNK miaka kadhaa iliyopita akiwa na bandari ya mtwara wachezaji boniface ambani wa yanga hussein bunu wa jkt ruvu nsa job wa azam na thomas maurice wa moro united UNK pia msimu huo kwani ndio pekee waliofunga mabao matatu kwa mchezo mmoja mabao hayo yote walifunga dhidi ya timu dhaifu na iliyokuwa UNK kiuchumi villa squad ya kinondoni dar es salaam lakini kwa mujibu wa wadau mbalimbali msimu huo uliokuwa na timu kumi na mbili ulikuwa wa kuvutia na wenye ushindani zaidi ya miaka mingi iliyopita ingawa baadhi ya makocha na wachezaji wanadai kwamba kuna haja ya kuongeza idadi ya timu hadi kufikia angalau kumi na nne ili kuongeza msisimko na ushindani zaidi kwa vile tanzania ni kubwa kijiografia hoja hiyo bado haina baraka za uongozi wa shirikisho la soka yanga ambayo imetwaa ubingwa ilikuwa imefanya usajili wa kufuru wa milioni hamsini sifuri za kitanzania ulioifanya klabu hiyo kusheheni idadi kubwa ya mastaa wa ndani na nje akiwemo kipa pekee mzungu obren curkovic aliyecheza soka UNK huu wa afrika mashariki na kati timu hiyo iliweza kutwaa ubingwa mapema mno ikiwa imesaliwa na mechi sita mkononi na mshambuliaji wake ambani raia wa kenya amekuwa mfungaji bora kwa mabao kumi na sita kocha wa timu hiyo dusan kondic amejivunia rekodi zake na kudai kuwa UNK hawajui UNK kwa vile amefungwa mechi tatu tu msimu huo baina ya al ahly mara mbili dhidi ya kagera sugar na azam fc imefanikiwa kukata tiketi ya kushiriki michuano ya afrika mwakani ilianza kwa kuyumba wakati fulani na kumfukuza kocha wake mbulgaria krasmir UNK lakini baadae ikaja kutulia baada ya kutua kwa mzambia patrick phiri haikuwa na uhakika wa kushiriki michuano ya afrika hadi katika mchezo wa mwisho wa msimu dhidi ya polisi dodoma mshambuliaji wake mussa mgosi pamoja na haruna moshi walionyesha kiwango kizuri ingawa safu ya ulinzi ilionyesha upungufu kwa msimu mzima ikubali kupoteza rekodi yake kwa kufungwa na yanga bao moja sifuri katika mchezo wa awali na kulazimisha sare mabao mbili mbili katika mechi ya marudiano ilionyesha kiwango kizuri chini ya makipa wake shabaan kado na soud slim na ilikuwa na nafasi kubwa ya kupata nafasi ya pili iliibua hofu kubwa kwa simba kutokana na kasi yake ingawa baada ya kutoa sare ya bao moja moja na jkt ruvu ikawa imepoteza mwelekeo kipigo chake cha mabao tatu mbili juzi jumapili UNK daraja polisi morogoro iliyokuwa chini ya kocha mzoefu john UNK kocha wake burhan msoma ulikuwa ni mwaka wake wa kwanza wa mkataba wake na akaahidi kuonyesha soka la kiwango juu alifanikiwa kwa kiasi fulani ingawa dakika za mwisho alikuja kutoka nje ya mstari wa kuwania tiketi ya kucheza mechi za kimataifa mwakani msaidizi wake mlage kabange anasema kwamba waamuzi walichangia kwa kiasi kikubwa kuwaharibia malengo yao msimu huo ambao ulishuhudia mshambuliaji wao mganda mike katende UNK na ukame wa mabao ikicheza msimu wake wa kwanza ligi kuu ilianza kwa kusuasua ilimfukuza kazi kocha wake mbrazili neider dos santos kwa madai kuwa timu ilikuwa ikicheza chini ya kiwango azam kama yanga ilisajili mastaa wengi wa kigeni lakini haikuweza kuonyesha kiwango cha juu na kupata matokeo mazuri kama ilivyotarajiwa kwani ilikuwa UNK UNK daraja lakini kocha wake itamir amorin amedai kuwa kilikuwa ni kipindi cha mpito mwakani watacheza soka la maana timu hiyo ya magereza haikuweza kufanya mambo ya kutisha msimu huu kama ilivyotarajiwa na safu ya ulinzi ndio iliyokuwa UNK zaidi kikosi hicho kilikuwa kikitumia wachezaji wengi wapya na ilikuwa ikidaiwa kwamba ndio sababu ya kudorora na kukosa nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa ambayo mwenyekiti wake alikuwa akitamba kwamba wachezaji UNK ipo ushindi wa mabao mbili moja dhidi ya prisons na mahesabu ya tofauti ya mabao dhidi yake na polisi morogoro ndio UNK na kubakia ligi kuu ni msimu ambao UNK kutoka morogoro na kuanza maskani mapya dar es salaam chini ya kocha mpya fred felix minziro na wamiliki wapya ambao ni wafanyabiashara UNK ilimfukuza kocha wake razak siwa ambaye ni raia wa kenya baada ya kubaini kuwa hana vigezo na kuingia mkataba na mbwana makata kipa wa zamani ambaye UNK matumaini na kuibakisha kwenye ligi ilikuwa kwenye mstari wa kushuka daraja na ushindi wa bao moja sifuri dhidi ya azam ndio UNK msimu huo ilionyesha uhai mkubwa huku kocha wake charles kilinda akitamba kwamba UNK kwenye michuano ya kimataifa mwakani lakini ghafla mambo UNK na kujikuta ikiombea wenzake mabaya wapoteze ingawa UNK haukuwa msimu mzuri kwao kwani haikuweza kuonyesha cheche zake UNK huku ikidaiwa kwamba ilitokana na hali mbaya ya kiuchumi iliyumba na baadae ikaja kutulia lakini dakika za mwisho ikajikuta tena kwenye wakati mgumu kwamba kukosa pointi moja ndiko UNK daraja baada ya kunusurika kushuka daraja mfululizo kwa misimu miwili iliyopita lakini mwaka huu haikuwa na dawa UNK na maji ilianza kuyumba tangu mwanzo wa mzunguko wa kwanza na kufikia hatua ya kumfukuza kazi kocha sekilojo chambua lakini hata kocha mpya wa muda juma mwambusi akashindwa kuinusuru kwa vile ilikuwa kwenye hali ngumu na ushindi ulikuwa haupatikani kutokana na ubutu wa safu ya ushambuliaji timu hiyo ngeni UNK mseto wa wakongwe na chipukizi ambao walikuwa UNK kiwango kulingana na aina ya mchezo lakini hawakuweza kuinusuru kurudi daraja la kwanza baadhi ya viongozi pamoja na kocha walikuwa UNK wachezaji kwa kuhujumu ingawa walikuwa wakidai kwamba hali yao mbaya ya kiuchumi ilikuwa ikitumiwa na wapinzani wao UNK chama cha karate tanzania UNK wachezaji kumi watakaounda timu ya taifa ya vijana itakayoshiriki michuano ya jumuiya ya madola itakayofanyika mei ishirini na tano nairobi kenya katibu wa tashoka sensei hassan jango amesema wachezaji hao UNK mazoezi kwenye kambi ya mlalakuwa mwenge jijini dar es salaam waendesha baiskeli wa tanzania wametakiwa kujiandaa kikamilifu kwa ajili ya michuano ya mei mosi itakayofanyika zanzibar katibu mkuu wa chama cha baiskeli tanzania lado haule amesema waendesha baiskeli hao ni wale ambao walifanya vizuri katika michuano ya taifa maandalizi kwa ajili ya michuano hiyo yanaendelea vizuri na sasa yamefikia hatua za mwisho hivyo waendesha baiskeli wote wawe tayari ili kuleta ushindani bondia mada maugo amepinga mpinzani wake kalama nyilawila kupewa ushindi na kudai kuwa yeye ndiye aliyestahili kushinda pambano hilo nyilawila alishinda pambano hilo la kuwania ubingwa wa UNK kwa kumzidi maugo pointi tisini na tisa tisini na sita tisini na nane tisini na saba na tisini na tisa tisini na nane zikiwa ni pointi zilizotolewa na majaji watatu raisi wa chama cha mpira wa kikapu mkoa wa dar es salaam simon UNK amesema wanakamilisha baadhi ya taratibu ili waweze kuwapa zawadi mabingwa wa kili rba kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wachezaji na viongozi wa timu bingwa kulalamikia zawadi zao kucheleweshwa huku kukiwa hakuna jibu maalum kutoka kwa wahusika wapunguze maneno zawadi tayari tbl wameshatoa na ziko katika hatua za mwisho kutolewa na muda si mrefu watapata zawadi zao timu ya wanaume ya magereza imetwaa ubingwa wa mpira wa wavu baada ya kuifunga jeshi stars seti tatu moja katika mchezo wa kuwania kombe la muungano uliochezwa mjini tanga ofisa michezo wa makao makuu wa jeshi tanzania meja bakari amesema magereza walionekana kutawala sana mchezo huo na walistahili kutwaa ubingwa kwa upande wa wanawake jeshi stars walitwaa ubingwa baada ya kuifunga jkt mbweni seti tatu moja nahodha wa moro united amri kiemba amesema ni miujiza iliyotokea kwao na anaamini mungu ndiye UNK na janga la kushuka daraja moro united ambayo imebaki UNK kwenye ligi kuu bara d ilikuwa katika hali mbaya ya kushuka daraja baada ya kuwa na pointi ishirini na mbili kabla ya mchezo wao wa juzi dhidi ya prisons huku toto african na polisi moro UNK sare tu katika mechi zao ili UNK katika ligi kutokana na kuwa na pointi ishirini na tano kila mmoja kabla ya mechi za wikiendi toto africa iliichapa azam bao moja sifuri na kubaki ligi kuu polisi moro ikajikuta UNK shimoni bila kutarajia baada ya kuchapwa na mtibwa mabao tatu mbili na kuicha moro united iliyoifunga prisons mbili moja kubaki ligi kuu kiemba alisema hawana cha kusema zaidi ya kumshukuru mungu kwa jambo hilo hata siamini kwa sababu hali ilikuwa mbaya kila mmoja alijua tayari tunayo safari lakini tulipiga moyo konde tukacheza kwa bidii mechi dhidi ya prisons na tukasema mengine UNK mungu tunacheza mechi huku masikio yetu yakiwa kwenye timu mbili wapinzani wetu na baada ya kusikia tumebaki kila mmoja alifurahi naamini mungu alikuwa upande wetu alisema moro united imebaki ligi kuu bara baada ya kufikisha pointi ishirini na tano sawa na polisi morogoro lakini wakitofautiana mabao ya kufunga na kufungwa moro united imefunga mabao thebathini na moja na kufungwa mabao thebathini na moja wakati polisi moro imefunga mabao ishirini na tano na kufungwa mabao ishirini na tano hivyo kwa mujibu wa kanuni ya sita kwa sababu timu hizo zimefungana mpaka tofauti ya mabao maana yake moro united inabaki kwenye ligi kwa sababu ya kuwa na mabao mengi mshambuliaji nyota wa yanga boniface ambani ameiambia klabu hiyo kongwe nchini kwamba kama ataondoka hawana hofu ya kuhangaika kusaka washambuliaji kwa kuwa mkongwe maurice sunguti ataendelea kuwa mwokozi wao ambani raia wa kenya kama ilivyo kwa sunguti ameshapachika mabao kumi na sita kabla ya mechi ya jana jumatatu kati ya yanga na villa squad UNK daraja alisema kama yanga UNK na zhejiang greenntown fc ya china yeye yuko tayari kuondoka lakini UNK kuwa sunguti bado ni lulu kubwa mara nyingi utaona watu wengi wanakuwa na kitu halafu UNK lakini UNK na kwenda kwingine wanaweza kuona ni bora zaidi sunguti bado ni msaada mkubwa kwa yanga msimu huu hakupata nafasi alisema lakini nakuhakikishia jamaa nampa heshima zote ni mfungaji anayejua lango yanga inapaswa kufikiria mara mbili sina uwezo wa kuwalazimisha kumsajili au kumuacha lakini huu ni ushauri wangu tu kwa kuwa bado mimi ni mchezaji wa yanga alisema ambani msimu uliopita kabla ya ambani kutua nchini sunguti ndiye alikuwa mfungaji bora wa timu na kuiwezesha yanga kubeba ubingwa wa bara kutoka mikononi mwa simba lakini msimu uliomalizika jana mkongwe huyo chini ya mserbia dusan kondic amekuwa hapati nafasi ya kucheza mechi nyingi ambani ambaye ni mshambuliaji mrefu mwembamba na mwenye kasi uwanjani anatarajia kuondoka wakati wowote kwenda kujiunga na timu hiyo ya china ambayo amefanikiwa lakini timu hiyo inafanya mazungumzo kutokana na malipo ya uhamisho ambani alifunga mabao mawili moja kila mechi katika mechi mbili za majaribio alizocheza akiwa na timu hiyo ya china alipokuwa nchini humo kwa majaribio hali iliyofanya uongozi wa klabu hiyo kumkubali na kutaka ajiunge nayo kabla ya kutua yanga ambani alikuwa akicheza soka ya kulipwa nchini india na baadaye kurejea nchini mwao na wakati timu hiyo ikitaka arejee kuichezea yanga ilitupa UNK na kufanikiwa UNK tangu amefika yanga amekuwa chachu ya ushindi ya klabu hiyo ya jangwani ikiwa ni pamoja na kufanikiwa kumaliza ligi akiwa kinara wa mabao na kusaidia timu yake kubeba kombe kwa mara ya pili mfululizo mganda wa kagera sugar mike katende amemaliza mkataba wake katika timu hiyo na sasa yupo tayari kujiunga na simba au yanga msimu uliopita mshambuliaji huyo nusura ajiunge na timu hizo lakini UNK dakika za mwisho jambo ambalo lilifanya klabu hizo kuachana naye akizungumza na mwanaspoti katende alisema mkataba wake na kagera sugar umekwisha sasa yupo huru kujiunga na timu yoyote msimu ujao ninaweza kubaki kagera sugar au kuondoka kwa sababu mkataba wangu umekwisha lakini kwa sasa hebu kwanza tusubiri mambo UNK alisema katende alisema msimu uliokwisha wikiendi iliyopita haukuwa mzuri kwake kwa sababu alikuwa majeruhi kwa muda mrefu na alishindwa kufanya vizuri mchezaji huyo ndiye aliyekuwa mfungaji bora msimu uliopita akiwa na mabao kumi na mbili huku akionekana tishio kubwa kwa mabeki lakini safari hii UNK kabisa katende ambaye yupo mapumziko jijini dar es salaam aliiambia mwanaspoti kuwa msimu huu umekwisha UNK na UNK nilikuwa na mikosi na haikuwa bahati yangu nimecheza mechi tano tu tena za mzunguko wa pili ndio maana sikusikika kabisa alisema goti lilikuwa UNK sana halafu muda ambao nilikuja kurudi uwanjani sikuweza kucheza katika kiwango changu kwa vile bado nilikuwa na UNK sikuweza kutoa mchango mkubwa kama UNK lakini UNK vizuri kwa msimu UNK nitakuwa kwenye hali nzuri zaidi kuhusu kukosa nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa kagera ilikuwa nzuri sana lakini kuna mazingira mengine yalikuwa UNK waamuzi walikuwa UNK sana kwenye baadhi ya mechi walikuwa UNK sana na wengi wao walikuwa wanashindwa kufuata sheria za soka ligi kuu tanzania bara imekwisha mwishoni mwa wiki huku tukishuhudia yanga na simba zikipata nafasi ya kuiwakilisha nchi katika michuano ambayo huandaliwa na shirikisho la soka afrika yanga ambao ni mabingwa wataiwakilisha nchi katika ligi ya mabingwa afrika na simba watacheza kombe la shirikisho simba pia wamepata nafasi ya kucheza michuano ya kombe la kagame juni nchini uganda kutokana na yanga ambao walitakiwa kuwakilisha kufungiwa na baraza la vyama vya soka afrika mashariki na kati baada ya kususia mechi ya kutafuta mshindi wa tatu dhidi ya simba mwaka jana tumeshuhudia timu tatu zikishuka daraja ambazo ni polisi dodoma polisi morogoro na villa squad ambao tunadhani UNK upya na kujua kilichosababisha hali kuwa hivyo ili msimu wa mwakani zirejee tena kwenye ligi kuu bara lakini tungependa UNK timu tatu zilizopanda daraja manyema na african lyon za dar es salaam na majimaji ya songea na tunaamini zitacheza soka safi na kubaki katika ligi kuu msimu ujao hata hivyo tungependa kutoa ushauri wetu kwa shirikisho la soka tanzania kujifunza kutokana na ligi iliyopita ili msimu ujao mambo yaende kisasa zaidi tatizo la waamuzi kulalamikiwa mara kwa mara kutokana na wengi wao kushindwa kwenda na kasi ya mchezo hivyo kutoa uamuzi tata linatakiwa kuchukuliwa hatua za haraka zaidi kusimama mara kwa mara kwa ligi na kupoteza ladha yake pamoja na kuhairishwa kwa baadhi ya mechi ni miongoni mwa mambo ambayo yaliifanya ligi iwe na kasoro na tunaamini msimu ujao hilo litafanyiwa kazi tff inatakiwa kuangalia udhaifu uliotokea katika ligi iliyopita ili ifanye marekebisho yasije UNK tena msimu ujao kwani yanasababisha kukosa mwamko wa ligi na kuwafanya mashabiki kuhamisha mawazo yao ulaya hata hivyo hatuna budi kuwapongeza tff kwani angalau ligi ya msimu huu ilikwenda vizuri tofauti na miaka mingine tunaweza kukiri kuwa angalau ligi imekuwa ikiimarika kila msimu na tunaamini kuwa hata msimu ujao ligi UNK zaidi kwa sababu hata kanuni za soka zimekuwa UNK mara kwa mara shirikisho la soka tanzania limetangaza tarehe ya kuanza kwa usajili wa msimu ujao wa ligi kuu bara kuwa ni julai mosi ligi kuu tanzania bara msimu huu imemalizika huku yanga wakiwa mabingwa na simba wakishika nafasi ya pili na zote mbili zitacheza michuano ambayo huandaliwa na shirikisho la soka afrika mwakani katibu mkuu wa tff fredrick mwakalebela alisema timu UNK kutangaza wachezaji UNK kuanzia juni mosi mpaka juni thebathini na baada ya hapo hakuna timu UNK kumuacha mchezaji mwezi juni kuna siku thebathini za kutangaza UNK halafu mwezi julai wote ni kwa ajili ya kufanya usajili mpya alisema mtendaji huyo wa tff kiongozi huyo alisema baada ya hapo kila kitu kitakuwa kimekamilika kwa ajili ya msimu mpya wa ligi utakaoanza agosti timu za ligi kuu UNK kusajili wachezaji kumi wa kigeni huku UNK kuwatumia watano tu kwenye mchezo moja harakati za usajili tayari zimeanza kwa baadhi ya timu huku azam african lyon zikionekana kuhofiwa zaidi kwani inadaiwa UNK kuzoa nyota wa simba na yanga licha ya kuwa usajili utaanza julai mosi lakini timu kadhaa zimeanza kuingia mikataba na wachezaji ambao UNK ukifika muda muafaka african lyon ya temeke ni moja ya timu tatu zilizopanda daraja msimu huu nyingine zikiwa ni majimaji ya songea na manyema fc ya ilala kiungo mshambuliaji wa yanga mrisho ngassa anatarajia kuungana tena na kikosi cha west ham united chini ya muitaliano gianfranco zola mwezi julai mwaka huu wakati timu hiyo itakapokuwa kwenye maandalizi ya msimu ujao nchini italia zola amesema wakati west ham united itakapokuwa inafanya maandalizi kujiandaa na msimu ujao wa ligi atampa nafasi nyingine ngassa kujiunga nao kwa mara ya pili lakini amempa masharti ya kuujenga mwili wake kwa miezi mitatu wakala wa ngassa anayetambuliwa na shirikisho la soka la kimataifa yusuph bakhresa amesema kiungo huyo ametakiwa kufanya marekebisho kadhaa na baada ya hapo west ham UNK watu kuja kuangalia akicheza mechi mbili za kimataifa dhidi ya daktari congo na new zealand watakuja ili kumuangalia wanataka kumuona akicheza mechi ngumu tayari wametoa ofa hiyo ili UNK nao italia wakati wa UNK UNK alisema UNK akizungumza na mwanaspoti baada ya kutua jijini dar es salaam ngassa alisema anajisikia furaha kwa kuwa amepata nafasi nyingine ya kuendelea na majaribio mimi UNK sidhani kama wazungu wana sababu ya kuzungusha maneno kama ningekuwa sijafanya vizuri wamenipa nafasi nyingine na wana mpango wa kutuma watu kuja kuniona UNK mechi ngumu katika mazingira ya nyumbani hivyo nitakachofanya ni kuhakikisha UNK kufanya vile ambavyo UNK na UNK ili kufikia wanachokihitaji alisema ngassa kweli zola amevutiwa sana amenipa moyo na kuniambia ninaweza kucheza kama UNK kila UNK na kunitaka kutokata tamaa kwa haya yaliyotokea sasa badala yake UNK juhudi kuvuka hii mitihani na mimi nitafanya hivyo aliongeza mtoto huyo wa khalfan ngassa kiungo wa zamani wa pamba na simba ngassa alipita katika majaribio ya wiki ya kwanza akiwa na west ham united jijini london england na baadaye akaendelea na wiki ya pili kabla ya kupewa majibu haya ya kufanya maandalizi zaidi ya mabadiliko ya mwili hasa suala la nguvu zaidi ngassa aliyejiunga na yanga misimu miwili iliyopita akitokea kagera sugar aliwahi kutakiwa na klabu ya lov ham ya norway ambayo ilikuwa tayari kumchukua kwa kitita cha dola hamsini sifuri sifuri sifuri lakini uongozi wa yanga ukatia ngumu kuonyesha imepania michuano ya kombe la shirikisho mwakani simba imetupa karata yake kwa mfungaji bora wa fainali za chan given singuluma raia wa zambia hata hivyo jaribio hilo la simba UNK ukuta baada ya mshambuliaji huyo wa zanaco fc kusisitiza malengo yake ni kucheza soka ya kulipwa ulaya singuluma ameendeleza vituko baada ya wiki iliyopita kugoma kusaini mkataba wa miaka miwili nchini finland akitaka kucheza ufaransa au italia mwezi uliopita singuluma huyo aliiambia mwanaspoti jijini abidjan ivory coast kuwa hawezi kucheza soka afrika zaidi ya kwao zambia na afrika kusini au labda apate timu ulaya singuluma alikuwa gumzo chan baada ya kupachika mabao matano huku akionekana kuwa mmoja ya washambuliaji hatari zaidi kutokana na uwezo aliouonyesha wakati wa michuano hiyo baada ya kumkosa singuluma imeelezwa phiri ameushauri uongozi wa simba kukutana mapema kuhusu suala la usajili ili kujua mambo ya kufanya haraka iwezekanavyo akizungumza na mwanaspoti kocha huyo kutoka zambia alisema ushindi wa mabao mbili sifuri dhidi ya polisi dodoma katika mechi ya juzi jumapili ni jambo la kujivunia lakini hawawezi kujisahau kwani wanatakiwa kuanza maandalizi kwa ajili ya kombe la shirikisho mwakani UNK vijana wangu waende mapumziko kwani msimu wote wamekuwa katika kazi kubwa lakini wakirudi itakuwa ni kuanza maandalizi ya kombe la kagame kombe la tusker ligi kuu msimu ujao na kombe la shirikisho alisema kocha huyo wa zamani wa timu ya taifa ya zambia phiri ambaye UNK zambia katika fainali za kombe la mataifa ya afrika zilizofanyika ghana mwaka jana alisema wiki hii atakutana na viongozi wa simba ili kupanga mikakati mbalimbali ikiwa ni pamoja na usajili tutajadili kuhusu nini UNK baada ya hapa kuna mambo mengi usajili na mambo kadhaa kuna sehemu katika timu kuna udhaifu ninadhani itabidi UNK mapengo hayo kuna wachezaji wengine inabidi waongezwe nadhani nikikutana na viongozi wiki hii tutajadili hilo nimeona wachezaji wengi wazuri katika timu nyingine msimu huu kuna baadhi ambao tunawahitaji katika timu yetu lakini siwezi kuwataja kwa sasa mpaka hapo UNK na viongozi wangu phiri ambaye UNK simba kwa vipindi viwili mwaka ishirini sifuri nne na ishirini sifuri tano na kuipa ubingwa mara zote mbili aliwapongeza wachezaji kwa kazi kubwa waliyoifanya hata kuifunga polisi dodoma katika mechi ya mwisho juzi jumapili na kuifanya ifikishe pointi arobaini ambazo zimeiweka nafasi ya pili mohammed kijuso alikuwa chachu ya ushindi baada ya kufunga mabao yote mawili katika mechi iliyofanyika katika uwanja wa jamhuri mjini dodoma lakini pongezi ziende pia kwa mashabiki kwa kutuunga mkono katika safari hii ndefu mpaka kufikia hapa siwezi kusahau kundi la fri of simba na viongozi kwa ujumla wote wanastahili pongezi kwa kutuunga mkono phiri ambaye amejiunga na simba katika mzunguko wa pili wa ligi kuu tanzania bara ameibadilisha vizuri timu hiyo kwani licha ya kushinda mechi nyingi hata uchezaji wake UNK kwa vipindi vyote UNK simba hajawahi kufungwa na yanga katika mechi za mashindano ya aina yoyote bayern munich UNK kocha wake jurgen klinsmann na UNK UNK heynckes katika mechi tano zilizosalia za ligi kuu ujerumani hatima ya klinsmann ilifika mwisho baada ya kikao UNK mwenyekiti wa klabu karl UNK rummenigge meneja mkuu UNK UNK na mkurugenzi karl UNK mchezaji huyo wa zamani wa ujerumani alianza kuinoa bayern katika bundesliga tangu julai lakini ameshindwa kuiweka juu katika msimamo wa ligi kufungwa na schalke bao moja sifuri katika mechi ya jumamosi kumeifanya bayern iwe nyuma ya vinara wa ligi hiyo wolfsburg kwa pointi tatu rummenigge alisema ulikuwa uamuzi mgumu lakini matokeo kuanzia wiki iliyopita na mwenendo wetu katika raundi tano haukuwa mzuri na UNK kufanya uamuzi huu heynckes sitini na tatu ambaye alikuwa kocha mkuu wa bayern kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na saba mpaka elfu moja na mia tisa na tisini na moja atasaidiwa na kocha wa timu ya wachezaji wa akiba UNK wayne rooney amesema mauaji ambayo manchester united UNK kwa UNK UNK UNK kwa arsenal kesho jumatano mashetani UNK watacheza na kikosi cha mizinga katika uwanja wa old trafford katika mechi ya kwanza ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa kuanzia saa tatu arobaini na tano usiku kesho jumatano baada ya kuwa nyuma ya mabao mawili manchester united ilicharuka na kuifunga spurs mabao tano mbili katika mechi ya ligi kuu england na hiyo ndio inampa kiburi rooney kuwa UNK arsenal alisema ilikuwa muhimu sana kushinda na kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo imetufanya UNK katika mechi ya jumatano carlos tevez anaweza kuwa UNK kuanza katika kikosi cha kwanza katika mechi hiyo baada ya kufanya kazi kubwa katika mechi ya jumamosi iliyopita kocha alex ferguson alisema tevez alifanya kazi ngumu na kutupa nguvu sana kipindi cha pili alifanya timu icheze vizuri na kwa nguvu mshambuliaji wa yanga mike baraza amemwambia mrisho ngassa UNK yanga umekwisha ngassa aliwasili nchini juzi jumapili asubuhi akitokea kwenye majaribio katika timu ya west ham ya england ambayo kwa mujibu wa wakala wake amefanya vizuri na atakwenda kwenye majaribio mengine julai lakini baraza ambaye ni mkenya mwenye uzoefu mkubwa na soka la kimataifa amemshauri ngassa kwa kiwango alichofikia hapaswi kuichezea yanga kwani itakuwa ni kujimaliza zaidi asirudi yanga itakuwa ni kujimaliza tu mazingira aliyonayo kichwani mpaka sasa pamoja na hatua UNK ni kubwa mno alisema baraza ambaye uwezekano wa kusalia yanga msimu ujao ni finyu ngassa kwa mazingira UNK UNK west ham UNK hapa akisikia maneno ya watu pamoja na mambo yanavyokwenda hapa UNK kiwango hawezi kucheza mpira tena hapa inabidi UNK timu nje ya nchi anapaswa kubadilika kimawazo na kuangalia mbali zaidi kwa vile ngassa wa mwezi uliopita si ngassa huyu wa sasa anahitaji kupata timu kubwa katika hizo nchi zilizopiga hatua ili ajijenge vizuri lakini si yenye kiwango cha west ham huu si wakati wa yeye kuja kucheza soka ya kishabiki hapa atakuwa hapati kitu chochote kipya hapo alipofikia UNK anapaswa kuangalia maisha mengine na kubadilika kwa kiwango chake ni mtu ambaye anapaswa kuwa na kipato kikubwa zaidi sasa na kila kitu anachofanya inabidi afikirie mara mbili na kuangalia mbele baraza alisema wachezaji wengi wa tanzania wana viwango vya juu na wanaweza kucheza ligi kubwa nje lakini wanapaswa kubadilika na kukubaliana na hali halisi waongeze zaidi kiwango cha nidhamu ya ndani na nje ya uwanja hilo bado ni tatizo kwa wengi wao halafu pia wasiwe ni watu wa kuridhika na manufaa ya kuchezea simba na yanga UNK pia vizuri kitaaluma alisisitiza mchezaji huyo aliyecheza timu karibu zote kubwa za ligi kuu ya kenya baraza alijiunga na yanga kwenye dirisha dogo la usajili na kuichezea kwa mafanikio mechi za mzunguko wa pili ikiwemo dhidi ya simba ambayo timu hizo zilitoka sare ya mabao mbili mbili wiki iliyopita katika hatua nyingine baraza amesema hawezi kusaini mkataba mwingine na yanga kwani ana mipango mingine manchester united UNK ripoti ya madaktari UNK kwamba beki wao rio ferdinand UNK mbavu na huenda akacheza mechi ya marudiano ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya arsenal jumanne ijayo awali kulikuwa na hofu kwamba beki huyo tegemeo alivunjika mbavu baada ya kugongana na nicklas bendtner katika mechi ya kwanza ya michuano hiyo lakini sasa kuna matumaini manchester united ilikuwa ikisubiri habari mbaya wakati ferdinand UNK katika gari la wagonjwa na kutolewa katika uwanja wa old trafford baada ya mechi dhidi ya arsenal ambapo walishinda kwa bao moja sifuri nyota huyo alilala hospitalini usiku huo kwa ajili ya uchunguzi zaidi huku akitumia dawa za kutuliza maumivu lakini majibu ya vipimo UNK yalionyesha mchezaji huyo UNK na badala yake alipata UNK na maumivu ya kawaida nyota huyo hatacheza mechi dhidi ya middlesbrough leo jumamosi lakini kuna uwezekano mkubwa wa kutocheza mechi dhidi ya arsenal jumanne ijayo nyota wa arsenal cesc fabregas amesisitiza kwamba chama cha soka cha england fa kitatakiwa kuwafungia wachezaji wenzake nane kama UNK kwa suala lake la kushangilia ushindi wa mechi ya kuwania kombe la fa dhidi ya hull city nahodha huyo wa arsenal alisema ni kweli nilirudi uwanjani baada ya mechi ili kushangilia lakini sikuwa peke yangu nilikuwa sambamba na wachezaji wengine nane nadhani wakitaka UNK watoe adhabu hata kwa wachezaji wengine mchezaji huyo kutoka hispania analalamikiwa kwa kumtemea mate kocha msaidizi wa hull city brian UNK fabregas ambaye UNK miaka ishirini na mbili jumatatu ijayo alisema kuhusu madai UNK mate brian sina wasiwasi moyoni kwa sababu sijafanya jambo kama hilo mchezaji huyo anatakiwa kutoa maelezo juu ya tuhuma hizo ifikapo mei kumi na mbili kabla madai hayo kusikilizwa na kamati maalum ya fa lakini uelekeo wa mambo unaonyesha kwamba huenda mchezaji huyo asipewe adhabu mpaka msimu utakapomalizika kwani hakuna video inayoonyesha akifanya tukio UNK kocha wa hull phil brown pia anakabiliwa na tuhuma za kutoa maneno mabaya kwa refa mike riley baada ya mchezo manchester united imetenga kitita cha pauni milioni thebathini ili kumnasa karim benzema tayari kwa kuchukua nafasi ya carlos tevez imefahamika kocha alex ferguson alimtuma jamaa yake aitwaye martin kuangalia kiwango cha benzema alipokuwa akichezea lyon wikiendi iliyopita nyota wa argentina tevez anataka kuondoka manchester united baada ya kukaa benchi mara kwa mara msimu huu alisema ninaona dalili ya kuondoka ni kubwa kuliko ya kukaa katika timu hii mchezaji kutoka ufaransa benzema anaonekana ni mmoja wa washambuliaji hatari wa ulaya na manchester united itakuwa tayari kupambana na real madrid barcelona na chelsea kwenye mbio za kumsajili mchezaji huyo benzema mwenye umri wa miaka ishirini na moja atakuwa tayari kuondoka katika timu yake iwapo itashindwa kufuzu ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao lyon kwa sasa inashika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi kuu ikiwa juu ya paris st germain kwa pointi moja na kama wakifanya vibaya katika mechi zilizobaki watashindwa kufuzu kwenye michuano hiyo mikubwa ya ulaya mkataba wa tevez wa miaka miwili ya mkopo katika klabu ya manchester united unamalizika mwishoni mwa msimu na manchester united itatakiwa kumlipa kia UNK ambaye UNK mchezaji huyo ferguson anaonekana kuwa tayari kumuuza mchezaji huyo kwa sababu anadhani UNK mabao kama UNK awali michael essien amewaambia wachezaji wa barcelona akiwemo iniesta kwamba chelsea itawaumiza zaidi katika mechi ya marudiano ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya wiki ijayo wachezaji wa barcelona xavi na andres iniesta walilalamika kuwa chelsea ilicheza rafu mbaya katika mechi ya kwanza kwenye uwanja wa nou camp ambapo vikosi hivyo UNK bila UNK pamoja na malalamiko hayo kiungo wa chelsea essien alisema katika soka ya kisasa hutakiwi kulegea unatakiwa kuwa na nguvu wakati wote sisi tunacheza mpira wa kisasa UNK kulegea hata kidogo imekuwa ni kawaida kwa wachezaji wa barcelona kujiangusha kila UNK mambo hayo UNK kama watakuwa wakifanya kazi ya kujiangusha wasubiri maumivu zaidi katika mechi ya marudiano kwa sababu tunapenda timu ya aina hiyo timu hizo zinarudiana jumatano ijayo na wachezaji wa chelsea wamepania kufanya mauaji kwa sababu watakuwa katika uwanja wa nyumbani kocha wa liverpool rafael benitez anafahamu timu yake itaendelea kupata upinzani mkali wakati huu wa UNK ubingwa wa ligi kuu england lakini benitez ambaye ataongoza timu yake kucheza na newcastle kesho jumapili anaamini kikosi chake UNK kiume mpaka hatua ya mwisho kocha wa timu hiyo yenye maskani yake anfield anakumbuka timu yake UNK wapinzani wao mabao tano moja kwenye uwanja wa st james park desemba mwaka jana na timu yake kushika usukani wa ligi sasa timu hizo zinakutana kesho jumapili kwa mara nyingine katika mechi ambayo ni muhimu kwa klabu zote mbili tulikuwa katika hali nzuri siku ile alisema benitez tulitawala mpira katika kila idara tulipata nafasi nyingi na timu hiyo ilitakiwa kumshukuru kipa UNK given kwa sababu alionyesha uwezo mkubwa liverpool UNK na manchester united ikiwa na lengo la kuukwaa ubingwa lakini newcastle pia imepania UNK zaidi na kuondoka katika eneo la kushuka daraja lakini mpango wa UNK unaweza kuwa mgumu kwa sababu steve gerrard ambaye alikuwa nje ya uwanja katika mechi nne zilizopita atarudi uwanjani kukwaana na timu ya alan UNK vilevile manchester united itakuwa juu kwa pointi sita iwapo itashinda kwenye mechi dhidi ya middlesbrough na liverpool ikishindwa kufurukuta benitez anafahamu kwamba timu yake inatakiwa kupata ushindi wa hali na mali kama inataka kuendelea na matumaini na anasisitiza kwamba wakifanikiwa kutoa kipigo kama cha mwaka jana watakuwa kwenye nafasi nzuri mwanamuziki nyota wa miondoko ya rage beenie man katikati ya wiki hii UNK rihanna na mpenzi wake chris brown katika tamasha la muziki la UNK imeelezwa kwamba rihanna na chris brown walifika katika tamasha la rege huko barbados kwa lengo la kufurahisha nafsi zao lakini baadaye walijikuta wapo jukwaani wakijibu maswali kutoka kwa UNK shuhuda mmoja aliyekuwa katika onyesho hilo alisema beenie alipopanda jukwaani kutumbuiza alimuita chris brown mbele ya mashabiki wapatao kumi sifuri sifuri sifuri mtu huyo alisema baada ya kumwita chris jukwaani ghafla beenie man alimwita na rihanna nyuma ya jukwaa dakika moja baadaye rihanna alionekana jukwaani sambamba na chris brown na beenie alianza kuwahoji mashabiki iwapo UNK suala la ugomvi wa wapenzi hao lakini mashabiki walionekana kumzomea chris vilevile beenie alimuuliza chris mbele ya mashabiki kwa nini alimpiga mwenzake lakini nyota huyo alikaa kimya na ndipo beenie akamwambia chris kwamba suala la kumpiga rihanna halikuwa sahihi na baada ya kuongea maneno hayo beenie aliweka UNK ya wimbo wa UNK ulioimbwa na rihanna na watu waliendelea kucheza baada ya muigizaji UNK lohan kuachana na mpenzi wake wa jinsia moja samantha UNK sasa amekuwa UNK na kila mara amekuwa akionekana peke yake dada huyo wiki hii alionekana katika ufukwe wa UNK UNK peke yake tofauti na ilivyozoeleka awali ambapo alipenda kuambatana na UNK watu waliomshuhudia lindsay walisema muigizaji huyo alionekana akiwa UNK mno tofauti na zamani huku uso wake ukiwa na huzuni wakati wote hakuwa karibu na marafiki aliambatana na mdogo wake mmoja tu UNK mwenyewe na kujipumzisha pembeni ya mdogo wake ambaye ana umri mdogo inaonekana kwamba suala la kuachana na samantha UNK mwanadada huyo alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na samantha kwa muda mrefu kiasi cha UNK pete ya uchumba huku UNK kuoana lakini hivi karibuni walikorofishana na kila mtu akachukua ustaarabu wake wakati UNK safu hii nilikuwa najiuliza kama hoja UNK nayo leo ni mpya au la katika kufikiria hayo UNK hoja ya rafiki yangu mmoja haji manara wakati UNK masuala ya michezo na hasa soka na maendeleo yake haji aliniambia kuwa wakati mwingine tunachotakiwa kuandika ni kwamba tunasubiri utekelezaji maana kila tatizo UNK haji ambaye siku hizi ni mwanasiasa alikuwa sahihi kabisa kwa sababu ni mambo machache sana ambayo ni mapya na ambayo wachambuzi wa soka hawajawahi UNK kinachotokea ni kwamba suala fulani UNK leo kwa kuwa kiongozi ni muhidin UNK na suala hilo hilo litazungumzwa kesho kwa sababu kiongozi ni leodegar tenga hali kadhalika kwenye klabu lakini hatuna budi kurudia na kurudia na kurudia kwa kuwa kufanya hivyo tunaweza kusaidia kiasi fulani kubadilisha mambo au kuchangia katika kuhimiza masuala fulani yafanyiwe marekebisho lakini kama haji alivyosema yote UNK na kutoa maoni nini kifanyike leo labda UNK kile alichokisema mshambuliaji hatari wa yanga boniface ambani wakati alipoongea na mwananchi mapema wiki hii ambani alisema anashangazwa na jinsi viongozi wa klabu za yanga na simba UNK sana wakati inapokaribia mechi baina yao alisema alishangazwa na jinsi viongozi walivyokuwa UNK kabisa na maandalizi wakati yanga ilipokuwa inajiandaa kurudiana na al ahly kiasi kwamba kambi ya yanga ilikuwa kama inajiandaa kwa mechi ya kirafiki lakini UNK mechi na simba hali ya kambi UNK ulinzi ulikuwa kama vile wachezaji ni wafungwa ufuatiliaji ulikuwa mkubwa kiasi kwamba mchezaji mgeni UNK yanga ilikuwa inajiandaa kwa mechi ya fainali ya ligi ya mabingwa hivi haya yapo hadi leo yaani mechi kubwa ya kimataifa UNK halafu viongozi waamke siku ya mechi na simba eti kwa sababu hiyo ndiyo mechi ya kujitengenezea jina kwa wapenzi na wanachama hivi ndivyo soka la karne hii UNK leo hapa tanzania tunajua kuwa kila nchi ina utamaduni wake ambao ni lazima uheshimiwe na soka la tanzania UNK na upinzani baina ya klabu hizo mbili na hivyo ni lazima uwepo na ni lazima uendelee lakini kama utakuwepo na kama utaendelea kwa jinsi hii ya kupuuza mechi nyingine muhimu na za kimataifa basi huo utamaduni hauna maana na hautusaidii kwa lolote tunapaswa kuondoka huko tunajua kuwa kama yanga UNK kuiondoa al ahly na kusonga mbele hatua za juu ndizo zenye fedha nyingi kwa klabu na wachezaji na ndizo UNK si tu na afrika nzima bali na sehemu nyingine za afrika iweje basi tusione umuhimu wa kwenda mbele zaidi kutengeneza jina kwa kufanya vizuri afrika UNK zaidi kujijenga kwa wanachama kuliko kutengeneza jina kwa wapenzi na wanachama na kufanya vibaya afrika tukiendelea kuendekeza mechi za simba na yanga basi tutaendelea UNK hapa hapa uwanja wa taifa na kuzomeana wakati wenzetu UNK mbuga kuelekea kucheza mechi na klabu kubwa kama manchester united na barcelona kwenye michuano ya klabu bingwa ya dunia tunahitaji kubadilika mapenzi ya mashabiki wa soka nchini kwa simba na yanga hauna mfano ni mkubwa na dhati na wote wanataka kuona klabu hizo UNK hata kufikia utajiri mkubwa kama timu za ulaya suala la kupatika kwa utajiri kila mmoja UNK ukitaka hali hiyo UNK lazima kuwe na watu na yanga na simba ni timu zenye watu hasa wale ambao wanajiita mashabiki damu wa timu hizo damu ni rangi nyekundu wale mashabiki wa yanga UNK kutamka kuwa kama UNK ngozi yao basi itatokea damu ya rangi ya njano kutokana na mapenzi yao makubwa kwa klabu hiyo si mimi au wewe waulize makocha au wachezaji wageni wanaocheza soka nchini kwetu namna UNK na mapenzi ya sisi watanzania kwa simba na yanga na namna ambavyo tunaonekana tuko tayari kwa lolote lakini klabu hizo ziendelee kuwepo ingekuwa uwezo wangu ningesema yanga simba sasa basi kwa kuwa ndio klabu zilizojaa mashabiki wanachama na viongozi UNK wakubwa kwa kuwa hawana wanalofanya kuziendeleza timu hizo badala yake wao ndio wanasubiri zenyewe UNK nahisi kuchoka kulizungumzia hili kila wakati lakini dawa ya nyoka ni kupiga kichwani potelea mbali lakini hii ndio hali halisi viongozi wa simba na yanga si watu wabunifu na tegemezi wa mawazo kwa kuwa hatuoni lolote wanalofanya kwa ajili ya kuwashawishi wanachama zaidi ya kujiunga na timu hizo ili kuongeza kipato cha klabu zao hivi karibuni uongozi wa yanga UNK kwamba kuna watu wanauza nguo na UNK kwa nembo ya klabu lakini hatuoni wenyewe wanachofanya kuinufaisha klabu kupitia mauzo hayo ya nguo kitu kinachowezekana badala yake wanaona kazi kubwa ni kuhakikisha wanaifunga yanga au simba wanapokutana kwenye mechi ya UNK viongozi kuzungumza kama mashabiki au wao kama makocha ni kitu cha kawaida kabisa huku ikiwa haijulikani majukumu yao ni kitu gani kukaa pale uwanja wa taifa wakiuza sura zao ndio sehemu ya maendeleo hasa kama timu itakuwa imefanikiwa kuwa baadhi ya wachezaji na kocha kutoka nje ya nchi basi nini kingine zaidi ya hicho inawezekana wakati wa mapinduzi ya wazi umefika wimbo wa wanachama wajitokeze yanga au simba au kuwa wanachama ili UNK mamilioni kwenye klabu zao umekuwa wa kawaida kutokea nje ya klabu hizo na si ndani inawezekana basi iko haja ya kuangalia umri wa viongozi ndani ya klabu hizo kwamba wakati huu iwe ni damu changa ambao wanaweza kuja na mawazo mapya na kusaidia kuendesha kisasa zaidi kwa kuwa hakuna tofauti kubwa ya viongozi wa leo na wale wa miaka ishirini iliyopita tena inaonekana hata wale wa miaka thebathini UNK ndio walikuwa na busara na uwezo mkubwa wa kufikiri na kupanga mipango endelevu ndio waliojenga majengo ambayo sasa hata kukarabatiwa viongozi hawa wanasubiri misaada kwa kuwa wana mipango tegemezi yanga na simba UNK hata kumiliki webusaiti simba walijaribu UNK baadhi ya viongozi UNK mkono eti si lazima kichekesho cha mwaka mungu UNK hata azam fc african lyon wanazo nyie lini huku mnataka kuiga mafanikio ya man united ac milan na real madrid UNK hapo milele jiulize jengo jezi mapato ya mechi mikataba na wadhamini matangazo ya wachezaji wao kupitia makampuni mbalimbali ambayo yanaweza kuwasaidia ni sehemu ambayo klabu hizo zinaweza kuigiza fedha nyingi viongozi tegemezi lakini hata nyie mashabiki mnaonyesha UNK na hali hiyo kwani pia ni tegemezi na hamtaki kuingia na kulipa ada ya uanachama kwenye klabu zenu ili UNK ni tegemezi kweli kweli UNK yanga na simba kuhusu suala la mapato ambayo yanaonyesha yamejaa ubabaishaji kwenye makato lakini angalia wewe UNK wao kama mimi na wewe UNK kelele halafu wahusika wenyewe UNK tu angalau yanga lakini simba kama hawapo vile sasa uwezo wa hizi klabu ni kujitegemea kwenye nini au wanasubiri hata katika suala kama hilo ajitokeze mdhamini na UNK maana hatuoni kuunganisha nguvu na UNK kwa kila njia ili UNK tff bmt na wengine UNK mapato yao UNK utegemezi tu suala la viongozi vijana UNK kipaumbele lakini wanachama nawaasa kuacha unafiki kwa kuwa UNK kuchagua uongozi huwa mnafanya hivyo kinafiki na ushabiki mkubwa halafu siku ya mwisho mnaanza kulaumu kuwa viongozi hawafai utafikiri UNK kufanya hivyo acheni hizo busara ndio nguzo kwenye maisha ya kila siku UNK akili zenu miili UNK kila la kheri zee la kutibua angalau lingali UNK pumzi hapa lilipo lakini dah mwanangu makombora noma UNK mtu yale madude noma we UNK tu mchizi wetu UNK au UNK UNK nayo UNK kwenye muvi lakini ni noma uliza masela wa mbagala watakupa UNK unaambiwa kuna UNK UNK shoti kwenye kambi ya UNK hapo mbagala madude UNK kujibu bwana unaambiwa kila kona UNK tu watu wanatoka UNK UNK madude yanazidi kulipuka tu unadhani UNK enzi hizo jamaa fulani walikuwa UNK wametoka UNK na UNK tu ilikuwa aibu lakini si ishu zee linatoa pole yake kwa wadau walioathirika mungu UNK ujasiri kama UNK ni kitu gani UNK michezoni ambacho siwezi kukisahau wiki hii nitakwambia ni kauli za mshambuliaji mkongwe wa yanga mike baraza baraza ambaye ni raia wa kenya akizungumza na mwanaspoti wiki hii alitamka kauli tatu nzito ambazo kwa yeyote UNK mbali akiwemo winga tegemeo wa yanga mrisho ngassa kama alijaribu kumuelewa UNK mkenya huyo alisema kwamba west ham united ni kubwa kuliko mrisho ngassa na kuutupia lawama uongozi wa yanga kwa kuweka mbele zaidi masilahi yao wakati winga huyo alipopata nafasi ya kwenda kucheza kwenye klabu ya lov ham ya norway baraza licha ya kumsifia ngassa lakini akadai mchezaji huyo alipaswa kuanzia norway ili apate uzoefu na sura ya mazingira ya soka la kulipwa ndipo aende england ambako soka lake ni la kibiashara zaidi maradufu ya afrika kauli ya mwisho UNK baraza ni UNK ngassa UNK kurudi kucheza yanga bali atafute klabu nyingine kubwa ya nje ya afrika UNK kiwango chake na UNK kwamba akirudi jangwani tena kucheza UNK kauli hizo ambazo haziwezi kutamkwa na mchezaji yoyote wa tanzania ni nzito na zenye manufaa kwa ngassa uongozi wa yanga pamoja na wachezaji wengine wa nchini endapo wakiweka pembeni fikra potofu na kukubali kuelewa mantiki lakini ukiachana na hilo mshambuliaji tegemeo wa yanga kutoka kenya boniface ambani alivunja ukimya na kueleza UNK uongozi timu hiyo na mambo unayofanya ambani alishangazwa na mipango maandalizi ya timu yanavyokuwa dhaifu kwenye michezo ya kimataifa huku nguvu kubwa UNK kwa mechi dhidi ya simba na amewataka pia viongozi hao kuumiza vichwa na kuangalia vyanzo mbadala vya mapato ambavyo ni vingi mno kuliko kutegemea mfuko wa mdhamini yusuf manji na kampuni ya bia tanzania ambao nadhani una manufaa makubwa zaidi kwa viongozi kama kweli nia yao ni kuhakikisha yanga inapiga hatua afrika na kurejesha heshima yake ya miaka ya nyuma mambo wanayofanya viongozi wa yanga hayaendani na hadhi zao na yamepitwa na wakati mno mwenyekiti imani madega na katibu lucas kisasa wanapaswa kuamka usingizini na kuangalia yanayotendeka duniani hakuna ambaye hakuona maandalizi ya yanga ilipokuwa ikijiandaa kurudiana na al ahly kwenye mechi za ligi ya mabingwa afrika yalikuwa ya kawaida mno na ambayo hayaendani na aina ya mashindano hayo tulikuwa tukishuhudia wachezaji wakiranda hovyo mitaani timu ilichelewa kuanza kambi na hata ilipoanza kambi hakukuwa na umakini ambao unaashiria kwamba watu wapo makini na wanaelewa maana ya ligi ya mabingwa na ndio maana mchezaji anayefikiria mbali na mwenye malengo kama ambani UNK ukweli bila kujali sura za viongozi mikakati yanga iliyokuwa nayo kwa ajili ya mechi dhidi ya simba ilikuwa ni mikubwa mno kuanzia ulinzi wa wachezaji matunzo ya kambi mazoezi na UNK yanga ilikuwa kambini ilala UNK bagamoyo baadaye ikarudi oysterbay kwa matajiri yote hiyo ni mikakati ya viongozi kuhakikisha simba inafungwa lakini kwenye ligi ya mabingwa timu ilikuwa UNK kana kwamba inavaa na villa squad au polisi dodoma kiongozi haoni umuhimu wa kuiandaa timu yake kikamilifu ili ifike mbali kimataifa na badala yake anabaki kuthamini ligi ya vodacom ambayo mwisho wa siku UNK kombe na faranga ambazo hazitoshi chochote kuendesha klabu viongozi waliopo madarakani yanga wanapaswa kuamka na kufanya mambo kitaalamu kwa kutumia elimu zao ili utofauti uonekane na klabu zingine walipaswa kutumia vizuri udhamini na neema za manji kupanga mipango endelevu ikiwa ni pamoja na kubuni vyanzo mbadala vya mapato ikiwemo kuchangisha mashabiki na wanachama wake nchi nzima na kuvutia wadhamini wengine wenye nia ya maendeleo UNK klabu si pazuri kimaendeleo ndio maana mchezaji mwenye uelewa wa mambo kama baraza au ambani akikaa UNK anaamua kuzungumza na UNK kama ni msaliti changamoto yake ni muhimu kwa uongozi wa madega UNK ni ukweli mtupu amani kwenu wasomaji wangu mwisho huu wa juma niko nanyi tena ili tufanye tafakari nyingine ya maendeleo ya michezo nchini tanzania ninajua matumaini ya kuiona elimu kwa michezo ikiwa sehemu ya mtaala kwa watoto wetu shuleni yameanza kutoweka kwa wengi wetu ambao tunafuatilia kwa karibu suala la maendeleo ya michezo hii inatokana na ukweli kuwa kumekuwa na kimya kikubwa sana tangu UNK kwamba mchakato wa kuirudisha shuleni elimu kwa michezo ilikuwa UNK ninadhani kuna jambo ambalo haliko bayana sana miongoni mwa wanajamii ya kitanzania kuhusu elimu kwa michezo mbaya zaidi hata baadhi ya wanaohusika na na maendeleo ya elimu kwa michezo shuleni wana fikra kwamba urejeshaji wa umiseta ndio lengo mahsusi la kurejesha elimu kwa michezo shuleni fikra hizi finyu UNK hata kidogo kukuza viwango vya wanamichezo yetu kwa miongo ijayo kwa kuwa umitashumta na umiseta pekee si suluhisho la kuboresha hali ya maendeleo ya michezo nchini njia pekee na iliyo bora kabisa katika kuinua viwango na ubora wa wanamichezo wetu ni uwepo wa mtaala wa elimu kwa michezo kutoka ngazi ya chini kabisa yaani shule ya msingi hadi sekondari hali ilivyo sasa UNK kabisa mtoto wa kitanzania kupata makuzi stahili UNK ubora na ufanisi katika UNK maisha hasa pale ubora wa viungo na mifumo mbalimbali ya mwili inapohitajika wanaohusika na UNK wa mitaala yetu UNK mkazo zaidi ukuaji na UNK wa mtoto kiakili zaidi kuliko kuangalia ubora wa kiwiliwili ambamo ndimo UNK nafsi ambayo ndio inayopewa kipaumbele zaidi kumekuwa na jitihada mbalimbali za UNK wa mitaala UNK na kuuboresha mtaala wa walimu wa elimu kwa michezo na kwa mara ya mwisho mtaala huo UNK kazi na jopo la UNK mitaala hiyo katika chuo cha elimu UNK mkoani arusha sina uhakika ni kwa kiasi gani mitaala hiyo UNK kazi lakini ninalazimika kuamini kwamba itakuwa UNK mahali bila kufanyiwa utekelezaji mara nyingi mambo mengi ambayo yamekuwa yakifanyiwa utafiti yamekuwa UNK kazi kutokana na utamaduni tuliojijengea wa kufanya kazi kwa mtindo wa zimamoto miaka kadhaa iliyopita serikali UNK azimio la kusimamisha michezo ya kimashindano kwa wanafunzi ambayo ni pamoja na ile ya umitashumta na UNK waraka ule UNK elimu kwa michezo kama wengi UNK bali UNK ni mashindano kwa wanafunzi ambayo UNK kuchukua muda mrefu hali ambayo UNK muda wa kutosha kuhudhuria madarasani yawezekana elimu kwa michezo shuleni ilikufa kifo cha kawaida UNK UNK kwa vile shule nyingi za msingi na hata za sekondari hazina hata mpira mmoja wa kuchezea mchezo wowote ule achilia mbali vifaa vya riadha kama mikuki UNK na UNK ambavyo hutumika kwenye UNK wa somo la elimu kwa michezo shuleni kurudishwa ni mdogo sana hii ni kutokana na ukweli kuwa michezo haijapewa kipaumbele kinachostahili katika nchi ya tanzania michezo ni moja ya mambo yanayotumika sana na wanasiasa linapokuja suala la kujinadi na kujitambulisha kwa wapiga kura ni wakati huo basi ndipo jezi nyingi hununuliwa na mipira mingi hupelekwa vijijini ili kuwashawishi wapiga kura kwamba mgombea yupo pamoja nao ni wakati kama huo ndio wagombea wengi huwa wageni rasmi wa mashindano ya michezo mbalimbali na kutumia nafasi hizo UNK sina uhakika mapenzi ya watanzania kushabikia klabu na wachezaji wa nje UNK lini vilevile sijui ni mpaka lini tutaendelea kuwaona majirani zetu wa kenya na waethiopia wakitamba kwenye mbio za nyika na marathoni huku wanariadha wa kitanzania wakiendelea UNK mkia kwa kuwa waziri mwenye dhamana ya maendeleo ya elimu UNK kuhusu kukazia mafunzo ya sanaa za maonyesho shuleni alipokuwa kule mwanza mwanzoni mwa juma hili natarajia UNK kuwahimiza wenye dhamana ya kurejesha elimu kwa michezo shuleni siku za karibuni amani kwenu kwa kawaida mechi kati ya timu kubwa za hispania real madrid na barcelona UNK kwa hamu kubwa na safari hii utamu UNK kwa kuwa mabingwa real madrid wako nyuma ya vinara barcelona kwa pointi nane real madrid UNK kikosi cha catalans katika uwanja wa bernabeu leo jumamosi huku wakifahamu kwamba ushindi utawafanya UNK nyuma ya vinara kwa pointi moja iwapo barcelona itashinda itapiga hatua nzuri katika kampeni yao ya kusaka ubingwa wa hispania ushindi kwa moja ya timu hizo kubwa utaleta faida alisema mchezaji wa zamani wa real madrid zinedine zidane katika mtandao wa klabu barcelona ikishinda itapata mwanga mzuri katika mbio za kusaka ubingwa aliongeza iwapo real madrid itashinda mambo yatakuwa tofauti na mbio za ligi zitakuwa nzuri zaidi barcelona kwa mara ya mwisho ilishinda mabao mbili sifuri katika uwanja wa nou camp desemba mwaka jana kuondolewa kwa real madrid katika ligi ya mabingwa na kombe la mfalme UNK kikosi hicho UNK zaidi ubingwa wa ligi kuu wakati timu ya pep guardiola bado inawania vikombe UNK na mechi hiyo itakuwa kipimo thabiti kwa barcelona ambayo inatarajia kukwaana an chelsea katika mechi ya pili ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya barcelona ilifanya vibaya februari na mwanzoni mwa machi baada ya kutoka sare na real betis na baadaye kupoteza mechi kwa wapinzani wengine espanyol na atletico madrid suala la kutoka sare ya mabao mbili mbili dhidi ya valencia wikiendi iliyopita wakati real ilipotoka nyuma na kushinda nne mbili dhidi ya sevilla linaonyesha kwamba mbio za ubingwa ni kali kama ningekuwa mchezaji wa barcelona ningekuwa na wasiwasi kuona timu kama real madrid UNK nyuma yangu alisema beki wa real marcelo jumanne wiki hii barcelona itatembelea bernabeu kwa mara ya kwanza tangu msimu uliopita ambapo walipata kichapo cha aibu cha mabao nne moja nyota kutoka argentina lionel messi ambaye alifunga bao la pili la barcelona wakati timu hiyo iliposhinda mabao mbili sifuri desemba alisema kila mchezaji hataki kuona makosa UNK kama tukishinda tutakwenda chelsea tukiwa na amani alisema tunakaribia kupata ubingwa ni vema kuipatia ushindi barcelona baada ya kukosa ubingwa kwa miaka miwili sasa makocha wote wana matatizo ya wachezaji beki wa barcelona rafael marquez atakuwa nje msimu mzima baada ya kuumia goti wakati timu hiyo ilipocheza na chelsea jumanne wiki hii na beki wa real madrid pepe amefungiwa mechi kumi real madrid itaingiza kikosi uwanjani bila kiungo guti ambaye ameumia mguu na hakuna uhakika iwapo winga arjen robben na kiungo wesley sneijder atapona miguu baadaye kuondoka kwa kocha eric gerets mwishoni mwa msimu UNK kampeni ya olympique marseille ya kusaka ubingwa ambao UNK kwa miaka kumi na saba watakapopambana na toulouse kwenye ligi kuu ufaransa ligue moja leo jumamosi vinara marseille wapo juu ya girondins bordeaux kwa pointi mbili na sasa wanacheza mechi tano za mwisho za ligi UNK gerets ambaye alianza kuongoza timu hiyo septemba ishirini sifuri saba alisema UNK marseille kwa kuwa UNK na mmiliki wa klabu robert louis UNK kwa upande wetu jambo la msingi ni kuukwaa ubingwa alisema nahodha UNK UNK nikiwa kama nahodha nadhani wachezaji UNK na mambo yanayoendelea katika hatua za mwisho ingawa baadhi ya wachezaji UNK na tangazo la gerets ambaye alidai kutaka kuondoka mwishoni mwa msimu lakini hawakubali jambo hilo UNK sisi ni wachezaji wa kulipwa nilidhani jambo hilo UNK wachezaji lakini hakuna kitu kama hicho alisema beki ronald UNK kama tukiwa mabingwa shukurani pekee zimuendee UNK kiungo UNK UNK ambaye alikuwa akipangwa kwenye kikosi cha kwanza mara kwa mara chini ya gerets alisema alishangaa kusikia kocha huyo wa ubelgiji ataondoka aliongeza marseille itakuwa na kazi moja tu ya kuibuka na ushindi alisema hatukubali ushindi UNK tutafanya kila liwezekanalo kuhakikisha UNK mabingwa ushindi dhidi ya toulouse katika uwanja wa velodrome UNK marseille na kuwa mbali kwa pointi tano angalau kwa saa ishirini na nne kwani bordeaux itakuwa nyumbani kupambana na UNK kesho jumapili mabingwa mara saba olympique lyon wanashika nafasi ya tatu wakiwa nyuma ya marseille kwa pointi sita na watakuwa katika presha UNK kupambana na valenciennes leo jumamosi kama wakikosa ushindi itakuwa ni rahisi kwa paris st germain inayoshika nafasi ya nne kuwapiku iwapo wataifunga stade rennes katika uwanja wa nyumbani kesho jumapili katika mechi nyingine st etienne iliyo katika nafasi ya tatu kutoka mkiani itaikaribisha nancy huku UNK UNK na timu ya mkiani ya le havre african lyon ilikuwa timu ya kwanza kupanda daraja kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu tanzania bara na baadaye ikafuatiwa na majimaji ya songea na manyema ya dar es salaam timu hizo ndizo UNK nafasi za villa squad polisi morogoro na UNK dodoma ambazo zimeshuka daraja ujio wa timu hizo tatu imekuwa changamoto kubwa huku african lyon iliyokuwa ikijulikana kama mbagala market ikiwa imepanda hadi ligi kuu bara kwa mara ya kwanza tofauti na majimaji na manyema ambazo zinarudi baada ya kushuka kwa vipindi tofauti pamoja na kuwa ni mara yake ya kwanza african lyon ilionyesha uwezo mkubwa na kuwa ya kwanza kupanda mpaka ligi kuu huku ikiweka rekodi ya kutopoteza hata mechi moja ilishinda moja sifuri dhidi ya korosho fc nne tatu dhidi ya kijiweni fc moja moja dhidi ya manyema saba sifuri dhidi ya nyerere tatu moja dhidi ya polisi iringa tano sifuri dhidi ya mwanza united mbili sifuri dhidi ya UNK mmiliki wa timu hiyo mohammed dewji ambaye ni mbunge wa singida mjini anasema baada ya kikosi hicho kufanya vizuri hiyo ni zawadi tosha kwa wakazi wa mbagala jijini dar es salaam katika mahojiano maalum dewji anasema kuwa mafanikio yaliyopatikana katika timu hiyo ilikuwa ni mipango ya muda mrefu na ana imani kubwa kama kila kitu kitaenda UNK african lyon itaibuka na kuwa moja ya timu bora na yenye ushindani mkubwa tanzania hii timu si ya mtu mwingine nianze kwa kutangaza kwamba hii ni timu ya watu wa mbagala wao ndio washangiliaji na wahamasishaji wakubwa wanapaswa kujua ni ya kwao kwa kuwa kila kitu cha timu hii kinafanyika huko ni mali yao na wao ndio wanapaswa kuihamasisha anasema dewji UNK mheshimiwa rais UNK kwenye vijana kisoka ndio maana utaona kuwa african lyon ni timu yenye vijana wengi zaidi UNK nafasi za wakongwe watatu au wanne UNK lakini waliobaki ni damu changa na pia tupo katika mkakati wa mwisho kuanzisha timu imara ya vijana ambayo itakuwa ikizalisha vijana wenye vipaji kwa ajili ya maendeleo ya soka ya tanzania anasema dewji ambaye amekuwa kwa muda mrefu kwenye soka kama mwenyekiti wa kamati ya kusaidia ushindi taifa stars kabla ya kuwa mdhamini mkuu wa simba kupitia kampuni yake ya mohammed enterprises limited kwa zaidi ya miaka mitano maendeleo katika soka hayawezi kupatikana kama hakuna miundombinu tayari UNK kitita cha shilingi milioni thebathini sifuri kwa ajili ya african lyon hizi zitatumika kwa ajili ya ujenzi wa uwanja tutatengeneza viwanja viwili kwanza cha nyasi bandia na baada ya hapo kile cha kawaida itakuwa ni awamu ya kwanza ambayo itajumuisha hosteli zenye uwezo wa kuchukua kulaza watu thebathini kutakuwa na awamu ya pili ambayo itahusisha ujenzi wa majukwaa na baada ya hapo uwanja huo utakuwa ukitumika kwa ajili ya ligi kama nilivyosema ni timu ya watu wa mbagala mambo yote haya yatafanyika katika eneo la mbagala ambako ndio makao makuu ya timu hii na baada ya miezi sita nina imani kila kitu UNK anasema dewji wakati mipango hiyo inaendelea dewji ambaye tayari ametumia zaidi ya shilingi bilioni moja kwa ajili ya kuendeleza jimbo lake la singida mjini tayari amekabidhi basi jipya lenye thamani ya shilingi milioni hamsini kwa uongozi wa african lyon basi hilo uwezo wa kubeba watu thebathini waliokaa UNK UNK na sasa lipo katika mipango ya kuwekwa lebo za african lyon lakini hiyo haiwezi kuwa kila kitu badala yake tunaendelea na mipango mingine kama kuwa na mfumo UNK dira na mwelekeo ili kuhakikisha tunafikia malengo yetu tunaendelea na mazungumzo na kocha kutoka ureno tunafanya majadiliano na wachezaji kadhaa wakongwe lakini bado tumeonyesha tunajali kutokana na kutoa kipaumbele kwa wachezaji wa nyumbani zaidi watu wa mbagala nawapa msisitizo hiyo ni timu yao angalia kuna timu kama leeds united england ipo madaraja ya chini lakini ukienda leeds utakuta watu wa pale UNK timu hiyo na kuiunga mkono anasisitiza dewji maarufu kama UNK akielezea moja ya malengo muhimu ya african lyon dewji anasema kamwe hawajafanya juhudi kufika ligi kuu bara kwa lengo la kushindana na yanga au simba badala yake ni suala la changamoto na kuongeza UNK katika ligi hiyo na soka ya tanzania kwa ujumla kuwa na timu imara katika ligi maana yake kunakuwa na ushindani wa kutosha african lyon ndiyo UNK kufanya na ninakuhakikishia kitafanyika kwa lengo hilo hilo la ushindani kama UNK kushindana na timu mbili pekee hatutakuwa tumefikia malengo lakini kushindana na kila aliye kwenye ligi kwenye ushindani wa kimpira maana yake tutaongeza ushindani tunataka kuwa na timu yenye kila kitu kinachohusiana na uchezaji wa kitaaluma suala la nidhamu kuwa na wachezaji wenye malengo kama ambavyo sisi UNK dira anasema dewji pamoja na yote hayo anasema tayari wameanza kusaka klabu au watu kutoka nje ya tanzania hasa ulaya kwa ajili ya kubadilishana mambo mbalimbali tunaweza kubadilishana nao mambo ya kitaalamu lazima watakuwa wamepiga hatua lakini ukiachana na hivyo pia kuna suala la kuuza wachezaji hasa wale chipukizi kitu ambacho timu yoyote yenye malengo itakuwa imepanga kufanya hivyo tukifanya watu wa ulaya itatusaidia kutimiza malengo yetu na UNK mambo mengi kwa lengo la kuwasaidia wachezaji wetu na UNK maendeleo ya soka la tanzania kwa ujumla kitu ambacho kinataka umoja na ushirikiano wa watu wote kwa karibu kwa kuwa wanaotakiwa kufanya hivyo ni watanzania wenyewe na tayari african lyon tumeanza anasema dewji timu hiyo tayari imeongeza mkataba na kocha wake msaidizi jumanne chale ambaye UNK pia UNK wachezaji kumi na nane kati ya wale UNK daraja na UNK kipa chipukizi kutoka majimaji ya songea waziri hamad timu ya soka ya sinza stars imeshindwa kuonyesha ubabe wake baada ya kutoka sare ya bao moja moja na mabibo united katika pambano la kuwania kombe la washindi kata ya sinza mkurugenzi wa sinza stars UNK kado alisema kuwa sare hiyo imeongeza matumaini mkubwa kwa timu hiyo kufanya vizuri zaidi katika mechi zake nyingine za michuano hiyo mechi hiyo ndiyo ilikuwa UNK usingizi kwa sababu mabibo united ni timu nzuri na ina wachezaji wengi ambao wanacheza ligi kuu wakiongozwa na shabani kado kipa wa timu ya mtibwa sugar hivyo kutokana na sare hiyo tuna uhakika wa kufanya vizuri katika mechi zetu zijazo michuano ya kuwania kombe la diwani wa kata ya mbugani mkoani tabora pili mavumbi mavumbi cup imesimama kwa muda usiofahamika kutokana na sababu ambazo UNK mratibu wa michuano hiyo saidi UNK alisema tangu ligi hiyo isimame hakuna mawasiliano na muandaaji ambaye ni diwani wa kata hiyo ili kujua sababu iliyofanya asitishe ligi hiyo tangu ligi hiyo ilipo UNK ili kupisha ukarabati wa uwanja uliokuwa ukitumika mpaka sasa sina mawasiliano na muandaaji kutokana na hali hiyo naweza kusema UNK timu ya lazio fc na no name fc za wilayani ilala zinashuka dimbani leo jumamosi katika pambano la nusu fainali ya mwisho ya kuwania kombe la nggombe lililo UNK na kampuni ya fta UNK mratibu wa michuano hiyo juma agogo aliliambia mwanaspoti kuwa pambano hilo litapigwa katika viwanja vya air wing ukonga UNK timu hizo kuonyesha uwezo wa kucheza soka na sio kuoneshana uwezo wa kucheza faulo mratibu wa michuano ya ubungo cup majaliwa wilson amezitaka timu zote zinazoshiriki ligi hiyo katika hatua ya robo fainali kuzingatia kanuni na taratibu zinazo husiana na mashindano hayo akizungumza na mwanaspoti wilson alisema timu yoyote itakayo kiuka taratibu za michuano hiyo itachukuliwa hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kuondolewa katika ligi hiyo kila timu UNK kanuni na taratibu za ligi yetu ili kuhakikisha inamalizika kwa utulivu bila ya matatizo timu itakayo kiuka UNK kuichukulia hatua kali ikiwa ni pamoja na kuiondoa timu ya mkunguni fc imejitengenezea mazingira mazuri ya kutinga katika ligi ya kanda ya mashariki baada ya UNK UNK kwa bao moja sifuri katika mechi ya ligi ya taifa ngazi ya wilaya ya ilala iliyo UNK kwenye dimba la benjamin mkapa akizungumza na mwanaspoti baada ya pambano hilo katibu mkuu wa mkunguni frank j frank amesema wamebakisha mechi mbili muhimu zitakazo UNK timu kutinga katika hatua ya kanda ambayo itashirikisha washindi kutoka wilaya zote za mkoa wa dar es salaam UNK nafasi ya pili katika msimamo wa ligi tukiwa na pointi nane wakati timu inayoongoza ina ponti kumi tunajipanga kuhakikisha tunapigana mpaka dakika ya mwisho ili tumalize ligi tukiwa katika nafasi tatu za juu wachezaji nane wa tenisi wanaendelea kujifua kwenye viwanja vya gymkhana kujiandaa na michuano ya vijana ya afrika chini ya miaka kumi na nne itakayofanyika mei tano hadi tisa jijini dar es salaam kocha wa gymkhana salum mvita amesema wachezaji hao wanaendelea na mazoezi kwa wiki mbili sasa nia ni kujiweka fiti kwa ajili ya michuano hiyo tunaamini kwa mazoezi waliyofanya wataweza kufanya vizuri na kutwaa ubingwa chama cha karate tanzania kinahitaji shilingi milioni kumi na moja kwa ajili ya kambi ya timu ya taifa ya vijana inayotarajia kushiriki michuano ya jumuiya ya madola itakayofanyika mei ishirini na tano nairobi kenya katibu mkuu wa tashoka sensei hassan jango amesema wataweka kambi ya wiki mbili eneo la mwenge mlalakuwa jijini dar es salaam lakini fedha tatizo tunahitaji kiasi hicho cha pesa ili kuiweka timu kambini pia ili iweze kusafiri inahitaji fedha hivyo tunaomba makampuni na wafadhili mbalimbali wajitokeze kutusaidia waamuzi wawili wa mpira wa kikapu wanaondoka nchini leo kwenda ivory coast kuhudhuria kozi ya kimataifa ya mchezo huo itakayoanza mei tano hadi nane nchini humo UNK wa shirikisho la mpira wa kikapu tanzania richard UNK amesema waamuzi hao UNK boniface wa dar es salaam na zulfikar UNK wa mwanza ambao wamefuzu UNK michuano ya kimataifa tunaamini kozi hiyo itawasaidia sana ili wazidi kujua sheria na kanuni za mchezo huo na UNK kuchezesha nchi yoyote wachezeshe kwa haki chama cha riadha tanzania kinahitaji shilingi milioni thebathini na sita kwa ajili ya mashindano ya riadha ya taifa UNK mwezi juni jijini dar es salaam katibu mkuu wa rt suleiman nyambui amesema fedha hizo zitakuwa ni gharama za uendeshaji mashindano hayo viongozi wa vyama vinne vya michezo watashiriki kozi ya michezo itakayofanyika mei kumi na moja hadi kumi na tano kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam kozi hiyo ambayo imeandaliwa na kamati ya olimpiki tanzania itahusisha michezo ya kuogelea baiskeli kikapu na UNK mshambuliaji mkongwe wa yanga maurice sunguti amesema anaungana na mkenya mwenzake boniface ambani kuwa ana uwezo wa kufanya vizuri na kufunga mabao ila apewe nafasi sunguti alisema ana uwezo wa kufunga mabao mengi na kuisaidia timu yake kufanya vizuri lakini msimu uliomalizika jumapili iliyopita ulikuwa mbaya kwake kwa kuwa hakupata nafasi ya kucheza huwezi UNK kocha katika kupanga timu lakini mimi ninajiamini na ninaona nina muda wa kutosha kucheza siwezi kusema ni hadi lini ila UNK mwili wangu hadi siku ikifika nione kuwa kweli imetosha alisema kocha UNK nafasi nina imani UNK timu msimu uliokwisha haukuwa mzuri kwangu kwa kuwa nimecheza mechi mbili tu na kufunga bao moja wakati msimu uliomalizika UNK mabao kumi na moja siwezi kufunga mabao kumi na moja halafu safari hii nikashindwa kufanya vizuri nasisitiza nafasi ndio tatizo na UNK nitafanya vizuri hilo ninajiamini alisema sunguti wiki hii ambani ambaye ameibuka kuwa mfungaji bora wa ligi kuu bara kwa kufunga mabao kumi na nane alisema iwapo ataondoka na kujiunga na klabu ya zhejiang greenntown fc ya china yanga itakuwa haina haja ya kuhaha kusaka mshambuliaji kwa kuwa sunguti ni bora katika nafasi hiyo alisema sunguti ameshindwa kufunga mabao kwa kuwa hakuwa na nafasi ya kucheza na kusisitiza iwapo ataipata atawashangaza wengi kwani hata yeye UNK uwezo wake katika upachikaji mabao kabla ya kutua kwa ambani mwanzoni mwa msimu uliopita sunguti ndiye alikuwa mshambuliaji tegemeo wa yanga na aliipa timu hiyo ubingwa kutoka mikononi mwa watani wao simba kocha wa taifa stars marcio maximo amesema hakuna haja ya kuongeza idadi ya timu za ligi kuu tanzania bara kutoka kumi na mbili zilizopo sasa baadhi ya wadau pamoja na makocha wa ligi kuu bara wamekuwa wakitaka idadi ya timu hizo iongezwe mpaka kufikia kumi na nne kama ilivyokuwa kwenye msimu wa mwaka ishirini sifuri saba sifuri nane sababu kubwa iliyokuwa ikitolewa ni kutokana na ukubwa wa tanzania pamoja na kuongeza msisimko na ushindani lakini mbrazili huyo mwenye dhamana ya kuinoa stars mpaka juni mwakani amepinga mawazo hayo na kudai kuwa yatapunguza makali ya ligi hiyo hakuna haja ya kuongeza idadi ya timu itakuwa ni kuua hamasa na kupunguza utamu wa ligi alisema maximo unajua unapokuwa na timu kumi na mbili ushindani unakuwa juu zaidi kwa vile watakuwa pia na muda halafu na ligi daraja la kwanza itakuwa imara zaidi na yenye ushindani kila mtu atakuwa UNK kuwania hizo nafasi na hakuna atakayekubali kirahisi kushuka kuingia kwenye hizo nafasi tatu za chini kushuka daraja sasa katika huo mchuano ndio kunakuwa na ushindani wa kweli maximo alisema kuwa ligi iliyokwisha ilikuwa imara zaidi ya msimu uliopita ndio maana amepata wachezaji vijana zaidi timu nyingi zimesajili vizuri na zina wachezaji wengi vijana ndio maana unaona kikosi cha sasa cha timu ya taifa kina wachezaji wengi wenye umri mdogo tofauti na awali mwina kaduguda amesema tatizo lililokuwa UNK simba na kufanya ishindwe kupiga hatua kimataifa UNK simba imepata nafasi ya pili tanzania bara hivyo kushiriki michuano ya kombe la shirikisho mwakani huku yanga ikitwaa ubingwa hivyo kushiriki ligi ya mabingwa afrika kaduguda ambaye ni katibu mkuu wa simba alisema tatizo kubwa lilikuwa ni mipango na mikakati madhubuti ambayo sasa UNK sawa kiongozi huyo alisema kuwa tatizo hilo UNK simba kwa kipindi kirefu lakini sasa wamejipanga vizuri na hakuna wa kuwasumbua tena unajua matatizo yalikuwa mengi sana na sisi viongozi tulikuwa hatuna mipango madhubuti ndio tatizo kubwa alisema kiongozi huyo UNK ukiangalia sasa mambo mengi tumeanza kuyarekebisha kuanzia uongozi muundo mpaka usajili wa wachezaji tumepanga mambo ya msingi kabisa ambayo msimu ujao tunajua kwamba yatafanya simba ipige hatua kimataifa kuanzia kwenye ligi ya ndani mpaka kimataifa tuna uhakika mkubwa simba hii itafanyiwa mabadiliko makubwa na kwa mipango tuliyonayo hakuna wa UNK tayari kocha wa simba patrick phiri ametangaza kufanya mabadiliko kwenye kikosi chake ikiwa ni pamoja na kusajili wachezaji kadhaa wa kigeni kuongeza nguvu simba msimu uliopita ilikuwa na wachezaji watatu wa kigeni ambao ni UNK orji obina na emeh izuchukwu pamoja na mrundi ramadhani wasso mfungaji bora wa ligi kuu tanzania bara boniface ambani amesema kama kungekuwa na uongozi imara na mipango ya uhakika yanga ingekuwa klabu tajiri afrika ambani raia wa kenya alisema hakuna timu zenye mashabiki wengi ambao wana uwezo wa kuzisaidia kupitia mipango endelevu kama za tanzania na hasa yanga ambayo ina mashabiki wengi zaidi lakini tatizo kubwa ni mipango madhubuti inayoweza kufanywa na uongozi mshambuliaji huyo aliyemaliza ligi kuu bara kwa kuwa na mabao kumi na nane alisema iwapo uongozi wa yanga ungekuwa makini sasa wangekuwa wanazungumza lugha nyingine yanga ina mashabiki wengi sana hakuna klabu hata moja ya kenya ambayo ina uwezo wa kufikia hata robo ya mashabiki wa yanga watu wa hapa UNK timu zao na hasa yanga alifafanua UNK wanaweza kuwa sehemu ya maendeleo UNK kuanzia kiwango cha juu kabisa hadi shilingi moja sifuri sifuri sifuri tu kwa mwezi kwa wale ambao wana uwezo wa chini lakini hakuna mipango yoyote kutoka kwa uongozi wetu ambani alisema ni aibu kubwa kwa klabu kubwa ya yanga kuendelea kumtegemea mfadhili wao yusuf manji kwani ina vitega uchumi vingi ikiwa ni pamoja na kuuza jezi za timu hiyo ya soka angalia tunaweza kuwa na maandalizi makubwa sana katika mechi dhidi ya simba halafu maandalizi dhidi ya al ahly yakawa ya kiwango cha chini lakini kama ni suala la mapato dhidi ya al ahly ndio tulipata fedha nyingi UNK hatua na kujenga jina la klabu afrika kama tungeshinda lakini hakuna hiyo mipango na mechi inaonekana kubwa na muhimu ni moja tu dhidi ya simba lakini UNK simba ni sawa na kuishinda villa squad ambazo zote unapata pointi tatu alisema ambani alizungumza hayo akiungwa mkono na mike baraza ambao walifanya ziara katika ofisi za mwanaspoti jijini dar es salaam jumatano wiki hii katika ziara hiyo ambani aliambatana na kipa stephen marashi baraza na maurice sunguti matamshi ya ambani ni sawa na yale aliyowahi kuyatoa mfadhili wa yanga yusuf manji miezi kadhaa iliyopita alipofanya mahojiano na mwanaspoti kuwa klabu hiyo ina uwezo wa kuwa tajiri kama ilivyo al ahly ya misri enyimba ya nigeria lakini kama uongozi ukiwa imara akizungumzia ugumu wa ligi iliyomalizika akiwa kinara wa mabao ambani alisema ilikuwa nzuri lakini mzunguko wa pili UNK na kuwa mgumu wachezaji walipania ugomvi zaidi kuliko mchezo wakati mwingine unasikia hata watu wa kwenye benchi wanasema UNK mguu huyo hauwezi kuamini lakini mimi najiuliza mara mbili mathalani mimi UNK huyu beki UNK nini zaidi ya kuharibu maisha yake lakini wao hawajali kitu ambacho si kizuri kwa maendeleo ya mpira alisema ambani anatarajia kuondoka nchini wakati wowote kwenda kujiunga na timu ya zhejiang greenntown fc ya china ambayo tayari inaelezwa imeanza mazungumzo na yanga ili kumsajili mchezaji huyo aliye katika kikosi cha timu ya taifa ya kenya harambee stars ambani amefunga jumla ya mabao ishirini na nne katika msimu mmoja UNK yanga mengine yakiwa ni kwenye kombe la kagame na ligi ya mabingwa afrika kocha mkuu wa simba patrick phiri amebainisha mbinu za kufanya kazi vizuri na makocha wanaofundisha timu za taifa huku akiwataka wachezaji wake wahakikishe wanalinda heshima ya msimbazi simba ina wachezaji saba waliochaguliwa katika kikosi cha taifa stars inayonolewa na mbrazil marcio maximo na mzambia huyo alifanya mkutano na wachezaji hao mara tu baada ya kuteuliwa na kuwaeleza mambo kadhaa akizungumza jana jijini dar es salaam phiri alisema klabu yoyote inajivunia kuwa na wachezaji katika kikosi cha timu ya taifa na kinachotakiwa ni kufanya mambo matatu makubwa kulinda heshima ya taifa heshima ya kocha wa taifa na heshima ya klabu kama mchezaji atatekeleza hayo matatu basi atakuwa na furaha kila siku kuhusu suala la kazi atapata heshima kutoka kwa wananchi wote kwa kuwa ametetea taifa lake atamshawishi kocha wa timu ya taifa amwite tena na pia klabu yake itafurahishwa na heshima aliyoipa alisema phiri aliyewahi kuinoa timu ya taifa ya zambia chipolopolo na kuiwezesha kuvuka hadi kwenye michuano ya kombe la mataifa afrika iliyofanyika nchini ghana mwaka jana maximo ni kama makocha wengine wa timu ya taifa wanaotaka kushinda na kuweka rekodi nzuri hivyo atataka wachezaji wanaofanya vizuri na ndio maana nimewaeleza wachezaji wangu kuwa makini na kuhakikisha wanamsikiliza kocha na kutekeleza maamuzi yake ili walitetee taifa lao vizuri lakini wakati wanacheza soka huko lazima wajue watu wa klabu yao wanawaangalia wanawategemea kuilinda heshima ya klabu nina imani kubwa watalitekeleza hilo kwa kuwa wamekuwa wakinisikiliza wananielewa na kutekeleza aliongeza kocha huyo mtaratibu asiye na makuu wachezaji wa simba walio katika kikosi cha taifa stars ni kipa ally mustapha ambaye kiwango chake kimereja baada ya kutua kwa phiri wengine ni henry joseph jabir aziz juma jabu kelvin yondani david naftari na mussa hassan mgosi aliyerejea juzi kutoka india stars iliyoweka kambi katika hoteli ya atrium ya sinza afrika sana inajiandaa na mechi za kirafiki dhidi ya daktari congo na new zealand ikiwa ni programu za maximo kuimarisha kikosi chake maximo amekuwa akisisitiza suala la nidhamu kwa wachezaji hivi karibuni aliamua kuwaondoa mshambuliaji wa simba haruna moshi na kiungo wa yanga athuman idd ingawa amekuwa kimya kueleza wazi ni utovu upi wa nidhamu waliofanya kitu ambacho wadau wamekitoa kasoro kocha mkuu wa simba patrick phiri amebainisha mbinu za kufanya kazi vizuri na makocha wanaofundisha timu za taifa huku akiwataka wachezaji wake wahakikishe wanalinda heshima ya msimbazi simba ina wachezaji saba waliochaguliwa katika kikosi cha taifa stars inayonolewa na mbrazil marcio maximo na mzambia huyo alifanya mkutano na wachezaji hao mara tu baada ya kuteuliwa na kuwaeleza mambo kadhaa akizungumza jana jijini dar es salaam phiri alisema klabu yoyote inajivunia kuwa na wachezaji katika kikosi cha timu ya taifa na kinachotakiwa ni kufanya mambo matatu makubwa kulinda heshima ya taifa heshima ya kocha wa taifa na heshima ya klabu kama mchezaji atatekeleza hayo matatu basi atakuwa na furaha kila siku kuhusu suala la kazi atapata heshima kutoka kwa wananchi wote kwa kuwa ametetea taifa lake atamshawishi kocha wa timu ya taifa amwite tena na pia klabu yake itafurahishwa na heshima aliyoipa alisema phiri aliyewahi kuinoa timu ya taifa ya zambia chipolopolo na kuiwezesha kuvuka hadi kwenye michuano ya kombe la mataifa afrika iliyofanyika nchini ghana mwaka jana maximo ni kama makocha wengine wa timu ya taifa wanaotaka kushinda na kuweka rekodi nzuri hivyo atataka wachezaji wanaofanya vizuri na ndio maana nimewaeleza wachezaji wangu kuwa makini na kuhakikisha wanamsikiliza kocha na kutekeleza maamuzi yake ili walitetee taifa lao vizuri lakini wakati wanacheza soka huko lazima wajue watu wa klabu yao wanawaangalia wanawategemea kuilinda heshima ya klabu nina imani kubwa watalitekeleza hilo kwa kuwa wamekuwa wakinisikiliza wananielewa na kutekeleza aliongeza kocha huyo mtaratibu asiye na makuu wachezaji wa simba walio katika kikosi cha taifa stars ni kipa ally mustapha ambaye kiwango chake kimereja baada ya kutua kwa phiri wengine ni henry joseph jabir aziz juma jabu kelvin yondani david naftari na mussa hassan mgosi aliyerejea juzi kutoka india stars iliyoweka kambi katika hoteli ya atrium ya sinza afrika sana inajiandaa na mechi za kirafiki dhidi ya daktari congo na new zealand ikiwa ni programu za maximo kuimarisha kikosi chake maximo amekuwa akisisitiza suala la nidhamu kwa wachezaji hivi karibuni aliamua kuwaondoa mshambuliaji wa simba haruna moshi na kiungo wa yanga athuman idd ingawa amekuwa kimya kueleza wazi ni utovu upi wa nidhamu waliofanya kitu ambacho wadau wamekitoa kasoro uamuzi wa shirikisho la soka tanzania kutangaza kuwa usajili wa wachezaji kwa ajili ya msimu ujao utaanza juni mosi umeipa ahueni kubwa simba kwa kuwa itafanya usajili wake kwa nafasi ya kutosha akizungumza na mwanaspoti jijini dar es salaam kocha mkuu wa simba patrick phiri amesema tangazo hilo la tff litawafanya wapate wakati mzuri wa kufanya shughuli zao za usajili kwa kuwa linatoa muda wa kutosha muda utakuwa wa kutosha hiyo itakuwa ni vizuri zaidi kwa timu yetu sijui wenzetu lakini kwetu inatupa nafasi ya kufanya mambo mengi sana kuna wachezaji huenda wanahitaji kuzungumza tena na klabu lakini kuna wachezaji wanataka kuondoka na pia tutakuwa na muda mwingine wa kujadili mambo kadhaa na uongozi na kuangalia nini cha kuongeza mfano kama tunataka wachezaji kutoka nje au la alisema phiri aliongeza usajili ni kitu kinachohitaji muda wa kutosha na papara hazitakiwi hivyo unatakiwa muda mwingi phiri alisema ameshafanya kazi ya tathimini ya usajili kwa kiasi kikubwa lakini ni suala ambalo linahitaji mwendelezo ndio maana amefurahishwa kuwa na muda wa kutosha tayari phiri UNK ana imani kuwa kuanza usajili mapema UNK simba na huenda akachukua wachezaji kutoka nje ya tanzania ingawa amesema suala hilo linahitaji kufanya tathmini ya kutosha kabla simba inashuka dimbani leo kucheza na zanzibar heroes katika mechi iliyoandaliwa na chama cha waandishi wa habari za michezo kupiga vita dhidi ya mauaji ya albino pia kuwachangia watu hao mechi hiyo imepangwa kuchezwa kwenye uwanja wa uhuru na taswa imetangaza viingilio kuwa ni shilingi tano sifuri sifuri sifuri jukwaa kuu shilingi tatu sifuri sifuri sifuri kijani na shilingi moja sifuri sifuri sifuri kwa jukwaa la mzunguko mshambuliaji nyota wa simba mussa hassan mgosi amefuzu majaribio katika klabu ya mahindra united ya india lakini sheria za soka nchini humo UNK sheria za soka za india zinaagiza kila timu kusajili wachezaji watatu tu kutoka nje ya nchi lakini mahindra united tayari ina wasenegali wawili na mchezaji mmoja wa ivory coast jambo ambalo UNK mgosi kukosa nafasi kwa sasa kwa sababu tayari kuna wageni watatu akizungumzia majaribio yake mgosi ambaye tayari amerejea jijini dar es salaam alisema msenegali mmoja alienda kufanya majaribio katika klabu ya marseille nchini ufaransa na iwapo UNK basi mgosi atachukua nafasi yake india tayari yule jamaa amerejea anaichezea mahindra united huku akisubiri jibu lake ufaransa iwapo atafanikiwa mimi UNK nafasi yake unajua kule klabu zinatakiwa kusajili wageni watatu tu lakini mahindra pamoja na timu nyingine zimepeleka ombi kwa chama chao cha soka kutaka kuongezwa nafasi za wachezaji wa kigeni ikibidi zifike nne au tano alisema mgosi hapa nasubiri mambo mawili kwanza kama jamaa UNK marseille na pia kama fa ya india itakubali kuongeza nafasi za wageni ukiachana na hilo jamaa nimeshakubaliana nao karibu kila kitu kuhusu mishahara na mambo mengine usajili wao unaanza juni na ligi inaanza mwezi wa septemba hivyo UNK subira UNK alisema mgosi ambaye alikataa kutaja mshahara UNK nao ingawa imeelezwa anaweza kuchukua dola tatu sifuri sifuri sifuri hadi nne sifuri sifuri sifuri kwa mwezi kwa kuwa msenegali huyo analipwa kitita cha dola nane sifuri sifuri sifuri kwa mwezi na ndiye anayelipwa zaidi katika klabu hiyo mahindra united yenye makao yake makuu katika eneo la UNK mumbai nchini india imechukua kombe la chama hicho wiki mbili zilizopita na mgosi aliichezea mechi moja ya kirafiki iliyokuwa maalum ya kukabidhiwa kombe hilo na alifunga mabao mawili UNK kuibuka na ushindi wa mabao tatu mbili kabla ya mechi UNK mabao mawili nilishuhudia mechi moja ya ligi wakicheza na mabingwa wa india UNK lakini mahindra walishinda mabao mbili moja jamaa wana mshambuliaji mnigeria wanamlipa dola ishirini sifuri sifuri sifuri kwa mwezi kule fedha ipo na ushindani si wa chini kama ambavyo watu UNK mimi ninataka kucheza india kama UNK hiyo nafasi mara moja nitaenda kwa kuwa najua hakuna ambacho nitakuwa UNK kwenda ulaya sawa lakini mambo kwa hatua na siwezi kulazimisha wakati naona kuna sehemu nyingine kuna maslahi alisema mgosi baba wa watoto wawili hassan na UNK mahindra inayotumia rangi nyekundu bluu na nyeusi inamilikiwa na kampuni ya mahindra group inayotengeneza magari aina ya UNK inamiliki uwanja wa UNK wenye uwezo wa kubeba mashabiki kumi na mbili sifuri sifuri sifuri mara ya mwisho kuchukua ubingwa wa india ilikuwa mwaka ishirini sifuri sita wakati mwaka jana ilifanya vibaya zaidi baada ya kushika nafasi ya tano mgosi alijiunga na simba akitokea mtibwa sugar na aliwahi kufanya majaribio afrika kusini na baadaye akaenda oman ambako hata hivyo alishindwa kukubaliana na viongozi UNK kabla ya kuamua UNK nyumbani amekuwa tegemeo la simba katika safu ya ushambuliaji na amemaliza ligi kuu bara akiwa na mabao saba na ndiye anayeongoza kwa timu ya simba wiki hii wachezaji wanne wa yanga walifanya ziara katika ofisi za mwanaspoti kwa ajili ya kuona jinsi gazeti hili UNK mwanaspoti ambalo lipo chini ya kampuni ya mwananchi communications limited pia lina dada zake gazeti la mwananchi na the UNK wachezaji hao boniface ambani maurice sunguti mike baraza na stephen marashi licha ya kuona utendaji wa kazi wa UNK walifurahishwa na habari za magazeti hayo lakini ambacho UNK zaidi ni ujumbe wa wachezaji wawili wa yanga boniface ambani na mike baraza wachezaji hao ambao walikuwa ndio UNK wakubwa wameshangazwa na uongozi wao kuendelea kumtegemea mfadhili wao yusuf manji kuongoza klabu hiyo wameshangazwa kuona klabu hiyo ikiwa na mashabiki wengi lakini ikishindwa kujiendesha bila kuwapo kwa manji wamesema kama yanga ingekuwa na viongozi makini klabu hiyo ingekuwa tajiri kuliko pengine klabu yoyote ya afrika wametoa mfano kuwa jezi nyingi za yanga zimekuwa zikiuzwa na watu mbalimbali kwa kutumia nembo ya yanga lakini klabu hiyo imekuwa haipati chochote huku viongozi wakibaki kulalamika bila kuwa na mikakati madhubuti wakasema kutokana na yanga kuwa na mashabiki wengi inawezekana kabisa kutumia michango ya mashabiki na wanachama hao kupata fedha nyingi kuendesha klabu hiyo si hilo tu jambo jingine ambalo UNK wachezaji hao ni jinsi viongozi wao UNK kwa uzito mkubwa mechi dhidi ya simba UNK mechi ya ligi ya mabingwa afrika dhidi ya al ahly ya misri wachezaji hao wanasema simba ni sawa na timu yoyote kama villa squad ambazo UNK nazo utapata pointi tatu tofauti na al ahly ambayo kama ingetolewa maana yake yanga UNK mbele na kuweka ramani mpya ya afrika ikiwa ni pamoja na kupata fedha nyingi ambazo hutolewa katika mashindano hayo walizungumza mambo mengi ambayo hakika tumeona ni ya manufaa ambayo viongozi wa yanga wanapaswa kuamka ya kuyafanyia kazi hivi kama wachezaji wanaweza kuwa na upeo mkubwa kama huo inakuwaje viongozi wakashindwa kutambua mambo hayo na UNK kazi sisi tunawapongeza wachezaji hao kwa kuwa na ujasiri wa kuzungumza mambo hayo ambayo UNK ingekuwa si rahisi kwa wachezaji ambao hawana ujasiri kuzungumza tunawapongeza wachezaji hao kwa sababu tunaamini kuwa UNK bila shaka yatafanyiwa kazi na uongozi wa yanga hata kama si sasa lakini siku zijazo mshambuliaji wa yanga mike baraza ameongea kitu ambacho kitawafanya mashabiki wa manchester united kumbeba juu kwa juu UNK popote nchini lakini mashabiki wa arsenal wanaweza kumfanya kitu mbaya mkenya huyo ambaye ni shabiki mkubwa wa arsenal ya london ametamka kuwa timu hiyo haiwezi kuitoa manchester united kwenye mechi ya marudiano ya ligi ya mabingwa ulaya hata kwa dawa baraza ambaye ni mshambuliaji hatari wa yanga ameenda mbali zaidi na kuwataka mashabiki wenzie UNK kwa vile mabeki wa arsenal hawana ubavu wa kuwazuia washambuliaji wa manchester united UNK na cristiano ronaldo dimitar berbatov wayne rooney na carlos tevez mnyama bao lililofungwa na john o shea raia wa ireland dakika ya kumi na nane UNK manchester united ushindi wa bao moja sifuri dhidi ya arsenal kwenye uwanja wa old trafford jumatano wiki hii na mechi ya marudiano ya nusu fainali kati ya miamba hiyo ya england itachezwa jumanne ijayo kwenye uwanja wa emirates jijini london mechi ya old trafford nilikuwa na mategemeo nayo sana nilidhani kwamba tutawafunga man united lakini imekuwa tofauti kabisa alisema baraza akizungumzia mechi hiyo lakini matokeo yake sisi ndio tulikuwa UNK vibaya na ronaldo na rooney wamekosa mabao karibu matatu ya wazi yaani tulikuwa tufungwe magoli mengi tu kule kwao ushindi wa manchester united ingawa ni wa bao moja lakini UNK kwenye mashindano hatuwezi kucheza fainali hakuna hiyo nafasi tena emirates tutacheza kwa kushambulia UNK na kitakachotokea ni kwamba wale washambuliaji wao UNK hakuna dalili yoyote ya arsenal kushinda hatuna wachezaji ambao wanaweza kubadilisha hayo matokeo goli tunaweza kupata lakini si kushinda mchezaji mwingine ambaye ameumizwa na matokeo hayo ni maurice sunguti wa yanga ambaye kabla ya mechi hiyo alitamba kuwa arsenal wangeshinda na hasa ikizingatiwa kuwa yeye mwenyewe ni shabiki wa kikosi hicho cha mizinga cha london lakini mtu ambaye alikuwa na furaha kubwa ni boniface ambani ambaye ni shabiki mkubwa wa manchester united huku makamu wa kwanza wa zamani wa tff UNK magori aliyetamba kuwa wao arsenal wangeshinda akiwa hana hamu baraza ambaye anatarajia kuondoka leo jumamosi kwenda mapumzikoni nchini kenya aliiambia mwanaspoti wiki hii kwamba uwezekano wa kuichezea yanga msimu ujao ni mdogo kwani ana mipango mingine na wakala wake kitendo cha chelsea cha kutoruhusu kufungwa na barcelona katika uwanja wa nou camp kinatoa matumaini ya kufanya vema kwenye mechi ya marudiano ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya katika mechi ya kwanza chelsea ilionekana kujihami zaidi na kulinda lango mpaka hatua ya mwisho matokeo yalikuwa ni suluhu na kesho jumatano katika uwanja wa stamford bridge jijini london watatakiwa kujitahidi kufunga mabao ya mapema ili kuwa salama lakini mbinu yao ya awali UNK vikali na kocha wa barcelona pep guardiola ambaye amesema hatakubali kufungwa kirahisi baada ya kuangalia mechi ya bernabeu jumamosi iliyopita wakati barcelona UNK real madrid kwa jumla ya mabao sita mbili kocha wa chelsea guus hiddink anaamini atakuwa na kazi ya ziada barcelona inaonekana kuwa timu imara imekuwa na historia ya kufanya vema katika mechi za ligi ya mabingwa ulaya manchester united ambayo iliifunga chelsea kwa penalti katika fainali ya ligi ya mabingwa ulaya mwaka jana huko moscow itakuwa na faida zaidi kwa sababu iliifunga arsenal bao moja sifuri katika mechi ya kwanza kwenye uwanja wa old trafford lakini barcelona itakuwa na kazi ngumu ya kupangua ukuta imara wa chelsea kwa kuwa wachezaji nyota waliokuwa katika mechi ya kwanza watakuwa uwanjani kwa mara nyingine katika mechi ya awali wachezaji hao walimbana lionel messi kiasi cha kushindwa kufurukuta chelsea ambayo ilitumia mfumo wa nne nne mbili UNK fulham mabao tatu moja katika mechi ya ligi kuu england wikiendi hii wakati huo kocha UNK nicolas anelka na didier drogba mbele kwa kuwa beki wa barcelona carles puyol na rafael marquez hawatakuwepo kocha wa chelsea atahakikisha inakuwa vuta nikuvute lakini huenda anelka UNK benchi kama UNK mchezo tutashinda lakini tukifanya masihara UNK alisema hiddink kwa upande mwingine kocha wa barcelona alisema kipigo cha real madrid ni salam tu wanakwenda chelsea kwa ajili ya kufuzu tunakwenda chelsea kuhakikisha tunashinda na UNK fainali huko rome wapinzani wetu wanalifahamu hilo alisema kocha wa barcelona lakini wapenzi wengi wa soka wanatamani kuona manchester united na barcelona UNK katika fainali kwa sababu zinatoka katika mataifa tofauti kwa upande mwingine manchester united bado ina kazi kubwa ya kufanya kuhakikisha UNK arsenal katika mbio za kutinga fainali kwa mara ya pili baada ya misimu minne kupita timu hiyo ilifungwa na barcelona katika fainali ya mwaka ishirini sifuri sita arsenal bado UNK kufungwa katika uwanja wa nyumbani kwenye mechi ya ligi ya mabingwa msimu huu lakini manchester united ina silaha kali na inafahamu nini cha kufanya watakapokutana na wapinzani wao arsenal itaingia uwanjani bila mshambuliaji andrei arshavin na eduardo ambaye aliumia na kocha arsene wenger atakuwa na shauku ya kuona robin van persie anakuwa imara baada ya kupona maumivu ninaamini tutawafunga manchester united mabao mawili muhimu hiyo ni kwa sababu tuna dakika tisini kabla ya kutinga fainali alisema wenger manchester united iliifunga middlesbrough jumamosi iliyopita hivyo kujiimarisha zaidi katika safari yao ya kusaka ubingwa wa england na haijafungwa katika mechi ishirini na nne za ligi ya mabingwa fainali ya ligi ya mabingwa ulaya itafanyika jijini roma mei ishirini na saba kocha wa manchester city wiki hii ameibuka na kusema UNK kwa kuwa timu yake UNK nyota wa soka duniani robinho kocha huyo alisema kitendo cha robinho kuwepo uwanjani huwafanya wapinzani wapate wasiwasi kila wanapokutana naye hata hivyo nyota huyo wa brazil amekuwa na wakati mgumu msimu huu baada ya jahazi la timu yake kwenda kombo mara kwa mara licha ya kufunga mabao kumi na tano suala la kufunga mabao kumi na tano UNK hughes na kila mara amekuwa akisema mchezaji huyo ni makini zaidi robinho ni mchezaji mzuri ana kipaji kikubwa watu hupenda kumuangalia uwanjani na hata wapinzani anapokutana naye hupata wasiwasi alisema hughes amekosa amani msimu huu kwa kuwa timu haikufanya vema ninaamini hayuko peke yake katika nafasi hiyo yuko sambamba na wachezaji wenzake tunataka kumpa furaha kwa kutafuta wachezaji nyota wa aina yake ili wawe sambamba jambo hilo ndio litatoa mwanga wa maendeleo kwa klabu alisema hughes hata hivyo kauli ya kocha huyo UNK kwani wiki chache zilizopita UNK kwamba robinho si mchezaji wa kuigwa kwa sababu UNK UNK na UNK kasi uwanjani kiungo wa chelsea frank lampard anaamini nyota wa barcelona lionel messi ni mchezaji bora duniani huku wakisubiri mechi ya marudiano ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya itakayochezwa kwenye uwanja wa stamford bridge kesho jumatano lampard alisema messi hakuwa na wakati mzuri wiki iliyopita lakini wiki hii anaweza UNK ninaamini messi ni nyota duniani alisema mchezaji huyo katika gazeti la news of the UNK anastahili kuwa bora bila wasiwasi kiwango chake kiko juu kuliko mchezaji yeyote ana uwezo wa kufanya maajabu uwanjani lakini katika mechi ya kwanza hakutoa matunda ambayo watu walikuwa UNK kwa hamu pamoja na hayo watu wanatakiwa kuamini kijana huyo ana akili ya ziada anaweza kufanya miujiza UNK mfumo mzima wa mchezo chelsea na barcelona zinakutana kesho kwenye mechi ya pili ya ligi ya mabingwa ulaya kwenye uwanja wa UNK bridge jijini london kocha wa newcastle alan shearer alikasirika baada ya joey barton kupewa kadi nyekundu katika mechi dhidi ya liverpool hasa kwa sababu mechi hiyo ilikuwa UNK vizuri kocha wa newcastle shearer UNK barton faini ya pauni mia moja na ishirini sifuri sifuri sifuri baada ya kumfanyia makosa xabi alonso na kutolewa nje ya uwanja kwa kupata kichapo cha mabao tatu sifuri shearer alisema UNK mimi yeye mwenyewe na klabu kwa ujumla mabao kutoka kwa wachezaji wa liverpool yossi benayoun dirk kuyt na lucas UNK wapinzani wao mkiani zaidi huku wakiwa na mechi tatu mkononi kiungo barton alipangwa katika kikosi cha kwanza kwa mara ya kwanza tangu alipoumia mguu mwezi januari mwaka huu na alipewa kadi nyekundu dakika ya sabini na saba alitolewa baada ya UNK xavi alonso shearer aliongeza alionekana UNK na uamuzi lakini kutolewa nje ilikuwa ni adhabu UNK wala hataingia uwanjani mpaka kumalizika kwa msimu sijafurahishwa na jambo hilo nitafanya kila UNK kuongeza nidhamu katika klabu na kuhusu matokeo sina malalamiko alisema ilikuwa ni mechi mbaya nilitamani refa amalize mchezo nilitaka kumwambia refa UNK sekunde thebathini tu za muda wa nyongeza badala ya dakika kadhaa sasa tunaangalia mchezo ujao dhidi ya middlesbrough itakuwa ni mechi kubwa katika klabu hii tangu UNK alisema naandika makala haya nikiwa kenya ambako huenda nikarudi hivi karibuni nikiwa hapa jumatano iliyopita nilisikia kitu ambacho nililazimika UNK mara mbili ili kujua kama ni kweli kilikuwa UNK au labda masikio UNK ni kwamba chama fulani cha wanawake UNK wanawake wote wa kenya kuacha kuwapa unyumba waume zao hadi serikali yao itakapomaliza tofauti zilizoko ndani yake kwa kifupi ni kuwa serikali ya kenya ni ya mseto shida kubwa iliyoko ni kwamba kuna mabishano juu ya nani anayepaswa kuwa mwakilishi wa serikali bungeni baina ya waziri mkuu raila odinga na makamu wa rais stiven kalonzo UNK kwa hiyo kwa sababu hakuna maelewano wanawake wa kenya wanaamini UNK kuwapa unyumba waume zao aaah mambo ndani ya kenya yatakuwa sawa unaweza kuuliza inakuwaje leo ndugu lyassa UNK habari za siasa hapa sio siasa ila ni jambo lenyewe UNK kidogo sina hakika kama ni jambo la kufurahisha au la lakini hata mke wa waziri mkuu UNK odinga inasemekana anaunga mkono mkakati huu hata hivyo kuna taarifa kwamba wengi wa viongozi waliotangaza mgomo huu ni wanawake wasio na ndoa hata hivyo kuna wanawake wengi UNK wanafurahia mgomo huu huku wengi wakiomba uendelee je ni kweli nchi inaweza kubadilishwa kwenda katika mkondo fulani kwa sababu tu ya hili ukweli ni kwamba suala hili UNK kubadilisha nchi isitoshe ni mawazo potofu kwamba wanaume ndio wenye kuhitaji zaidi unyumba kuliko wanawake kitaalam wote ni wahitaji tofauti kubwa iliyoko ni kwamba wanawake kwa namna walivyo wamekuwa wazito kutamka kwamba labda kwa mfano anahitaji uhusiano nk wakati kwa wanaume hili ni si jambo gumu kwao ingawa baadhi yao wamekuwa UNK kugoma kufanya unyumba ni dalili mbaya katika ndoa pia ni dalili kwamba kundi moja tayari UNK nguvu kitu ambacho si sahihi kuwepo katika ndoa ndoa kwa muundo wake inapaswa kuendeshwa kwa pande zote kushirikiana kabla ya kutoa uamuzi si heshima hata kidogo fulani kujiamulia jambo bila kumshirikisha mwingine hasa kwa kuzingatia kuwa nchi zilizowahi kufanya jambo kama hili duniani kama sweden nyinginezo ikiwemo liberia UNK kwa kile UNK baada ya wanawake kutangaza hili wanaume wamekuwa wakihojiwa kueleza maoni yao wengi walisema kwamba kwa kweli sikuwa na mpango wa kufanya unyumba lakini leo ni lazima UNK halafu UNK nitamtwanga ngumi hadi UNK huo ujinga wake huko huko ndio kusema badala ya kujenga kinachofanyika ni kuharibu wapo baadhi ya wanawake wa tanzania hapa mombasa UNK nao kuhusu jambo hili mmoja wao ni mpigania haki na alisema anafikiria kuleta jambo kama hili tanzania wala si muda mrefu kuna mambo yanakwenda ovyo tanzania UNK wanawake wote UNK kuwapa unyumba waume zao kwani ndio wenye madaraka makubwa serikali nk akasema huyo mama ambaye sitapenda kumtaja jina kutokana na wadhifa mkubwa alionao tanzania misingi muhimu kwa wanandoa ukweli ni kwamba ndoa nzuri hutengenezwa na wanandoa wenyewe kuelewana na kuwa na umoja sio UNK ndoa yoyote ambayo watu wake wameanza kuachana kimawazo haiwezi kuwa na raha katika siku za usoni ikiwa nchi au jambo fulani katika jamii linakwenda ovyo jambo la msingi sana ni kwa wote wawili kukaa chini na kutafakari kisha kukubaliana kwa pamoja nini cha kufanya ili kuweka mambo sawa sio vinginevyo maisha UNK bila ndoa bila shaka hata wewe wakati fulani huwa unajiuliza hivi maisha yangekuwa vipi kama UNK na ndoa rafiki si mtu UNK na kufurahia naye maisha tu hapana bali pia UNK naye katika shida na raha lakini hao marafiki UNK ni akina nani ni wale ambao UNK kupata majibu ya maswali mbalimbali UNK katika ndoa urafiki ni msingi imara kwani wanandoa wanatakiwa kuwa marafiki huyu anapaswa kuwa rafiki wa kweli mwenye kufuatilia kile kizuri UNK kwako huyu ni yule ambaye anasema mambo mema na anahitaji uwe mwema kwa kila jambo mtu ambaye hapendi upotee wala UNK kukuona au kuwasiliana naye muda wote ni furaha hata inapotokea kasoro yuko tayari kurekebisha mambo ili uhusiano uendelee kuwa bora je kunyimana unyumba ni kujenga bila shaka hapana dismas lyassa ni mtaalam wa uhusiano anapatikana kwa simu mia mbili na hamsini na tano mia saba na hamsini na nne nne tisa nane tisa saba mbili kwa kawaida ngozi UNK vipodozi kwa muda mrefu UNK na wakati mwingine UNK kwamba kuna eneo fulani la mwili UNK na baadaye ngozi huanza kujichubua yenyewe wakati huo ni muda muafaka kwa muhusika kuchukua hatua ya kuondoa eneo la ngozi iliyokufa ili kuendelea kuwa na ngozi laini na yenye muonekano mzuri katika makala ya leo tutaangalia hatua za kuondoa ngozi iliyokufa kutokana kupaka vipodozi kwa muda mrefu au kuchomwa na jua kwa muda mrefu UNK ya maji na UNK baada ya hatua hiyo ingia UNK na UNK mwili mzima weka cleanser kwenye brashi laini au taulo dogo na uanze kusugua mwili wako taratibu katika hatua hii ni vema kusugua mwili wako kwa kuzungusha taulo au brashi lengo likiwa ni kutokushusha ngozi ya uso au sehemu nyingine ya mwili muhusika ni vema atumie cleanser badala ya sabuni kwa sababu cleanser ina UNK vya ngozi kama muhusika hana fedha za kutosha anaweza kutengeneza cleanser yake kwa kuchanganya chumvi ya bahari mafuta ya UNK juisi ya limao na maziwa ya UNK baada ya hatua ya kujisugua UNK mwili mzima kwa maji safi na UNK losheni yoyote UNK lakini kama ukipata losheni yenye mchanganyiko wa UNK UNK itakuwa vema zaidi losheni hiyo itasaidia zaidi kwani itaendelea kuondoa ngozi UNK lakini kitu kizuri cha kukumbuka ni kuhakikisha UNK ngozi hiyo mara kwa mara kwani utapata madhara iwapo ngozi yako ni laini mno unatakiwa UNK kwa uangalifu zaidi kocha wa arsenal arsene wenger amesema amefurahishwa na uamuzi wake wa kumpa unahodha andrey arshavin katika mechi ya ligi kuu england dhidi ya portsmouth wikiendi iliyopita alisema arshavin alionyesha uhai mkubwa na kwamba jambo la maana ni kubadilisha uongozi wa timu mara kwa mara ninapenda kubadilisha uongozi arshavin ni mchezaji mwenye uzoefu mkubwa na alionyesha kasi alisema wenger nyota wa manchester united ryan giggs amefurahishwa na kitendo cha kuifunga middlesbrough wikiendi hii na kusema wiki hiyo ilikuwa njema UNK ungekuwa ni mchezo mgumu alisema giggs kila UNK na timu hiyo huwa tunapata wakati mgumu mwaka jana walitupa tabu kubwa alisema tunatakiwa kushinda katika kila mechi ili mwisho wa siku UNK kikombe aliongeza atletico madrid imeanza rasmi mbio za kutaka kumnasa winga wa tottenham david UNK gazeti la mirror limeandika winga huyo amekuwa akipata wakati mgumu tangu UNK katika timu hiyo kwa ada ya pauni milioni kumi na tano akitokea blackburn msimu uliopita bentley mwenye miaka ishirini na nne amekuwa akikosa nafasi katika kikosi cha kwanza na tottenham UNK mshahara beki wa valencia raul UNK UNK na aston villa gazeti la mirror limeandika kuwa kocha wa villa martin o neill wikiendi iliyopita alimtuma wakala wake kwenda kuangalia kiwango cha mchezaji huyo wa hispania o UNK anaamini anaweza UNK mchezaji huyo kwa sababu valencia inakabiliwa na ukata o neill alisema kiasi cha pauni milioni sita UNK kumnasa mchezaji huyo winga wa west brom juan carlos UNK amesema nyota wa manchester united carlos tevez UNK kiwango kwa muda mrefu nilikuwa naye katika timu ya argentina ya vijana chini ya miaka kumi na saba alikuwa akicheza vema na mpaka sasa kiwango chake ni kikubwa ni jambo la kushangaza alisema mchezaji huyo wa UNK aliongeza ni mchezaji mzuri kila UNK timu fulani mchango wake huonekana wazi kipa wa liverpool pepe reina amesema mashabiki wa soka wa UNK wana mwamko mkubwa kuliko england nimewahi kusema jambo hilo siku za nyuma lakini ukweli ni kwamba UNK barcelona na villarreal nimeshuhudia mapenzi makubwa sijawahi kuona jambo kama hilo maishani mwangu alisema reina tangu UNK na liverpool sijaona kitu kama hicho nadhani hiyo inatokana na aina ya wakazi katika eneo husika nyota wa liverpool steven gerrard amekiri kwamba kitendo cha kuwa nahodha wa liverpool UNK presha kubwa mimi ni nahodha wa moja kati ya klabu kubwa duniani kila siku mashabiki pamoja na uongozi wa klabu wanategemea ushindi alisema mchezaji huyo katika mtandao wa klabu yake wakati UNK na ushindi huwa kuna furaha lakini UNK unaweza kufikiri kwamba dunia UNK kocha wa chelsea guus hiddink amefurahishwa na kiwango cha soka kilichoonyeshwa na john obi mikel tangu alipojiunga na timu hiyo nimefurahishwa na maendeleo yake alisema hiddink ni mchezaji mwenye umri mdogo lakini ana uwezo mkubwa UNK mazoezi ya mara kwa mara kwa lengo la kuhakikisha kiwango chake UNK maradufu hiyo ni hazina kubwa kwa klabu kocha wa wigan athletic steve bruce amekiri yeye ni shabiki mkubwa wa nahodha wa bolton wanderers kevin UNK bruce alisema UNK davies kutoka katika timu hiyo hawawezi kufurukuta kabisa ana uwezo mkubwa na bila yeye kikosi hicho kingekuwa UNK katika kila mechi alisema kocha huyo UNK UNK anasubiri mkataba mpya katika timu ya fulham wakala wangu anafanya mazungumzo na uongozi ninachotakiwa kufanya ni kuendelea kucheza soka mambo mengine yatakuja baadaye alisema ninafurahi kuona UNK kupata mkataba mpya tangu nimefika hapa nimekuwa nikisema hii ni klabu nzuri na ningependa nicheze soka kwa miaka mingi zaidi kipa wa atletico madrid leo franco amekataa kusaini mkataba mpya katika klabu hiyo kwa kuwa ana mpango wa kuondoka mwishoni mwa msimu mkataba wa kipa huyo unakwisha mwezi juni na franco anaamini atafanya vema zaidi UNK na timu nyingine imefahamika kuwa timu za UNK na galatasaray UNK nyota huyo kutoka UNK zlatan ibrahimovic amewataka mashabiki wa timu inter milan wawashangilie wachezaji badala ya UNK timu hiyo ilipata wakati mgumu baada ya mashabiki kuwazomea katika mechi dhidi ya lazio wikiendi UNK walifunga jumla ya mabao mbili sifuri pamoja na kwamba real madrid ilisema inaanza mbio za kumnasa ronaldo mchezaji huyo wa manchester united amesema amefuta mawazo ya kujiunga na timu hiyo kabisa sifikirii kuhusu real madrid kwa sasa ndoto hiyo imekufa kitu pekee UNK kwa sasa ni kuhakikisha manchester united inapata kombe la ligi ya mabingwa ulaya inter milan barcelona na manchester united zinakaribia kupata ubingwa baada ya kushinda katika mechi zao za mwishoni mwa wiki barcelona ilijiweka vizuri kwenye kinyangganyiro cha ubingwa baada ya kuwadhalilisha wapinzani wao real madrid kwa kichapo cha mabao sita mbili katika uwanja wa bernabeu huku inter milan UNK ushindi wa wiki ijayo kutangaza ubingwa wa mapema baada ya kuichapa lazio mabao mbili sifuri barcelona ilipiga hatua kubwa katika mbio zao za kusaka ubingwa wa hispania msimu huu baada ya kuwafunga real madrid kwa jumla ya mabao sita mbili kocha pep guardiola UNK mchezaji UNK licha ya kwamba anasubiri mechi ngumu ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya dhidi chelsea kesho jumatano timu ya catalan ilionyesha uwezo mkubwa na kupanda juu kwa pointi saba zaidi huku ikibaki na mechi moja mkononi lionel messi na thierry henry UNK mabao mawili kila mmoja na mengine yalifungwa na carles puyol na gerard pique sevilla iliendelea kujikita katika nafasi ya tatu baada ushindi wa mabao mbili sifuri dhidi ya villarreal wakati valencia iliyo katika nafasi ya nne ikishinda tatu sifuri dhidi ya UNK inter milan huenda UNK ubingwa wa italia wikiendi ijayo baada ya zlatan ibrahimovic kufunga bao moja na kutengeneza jingine wakati timu yake ilipopata ushindi wa mabao mbili sifuri dhidi ya lazio katika uwanja wa nyumbani mshambuliaji huyo kutoka sweden ambaye anataka kuendelea kuchezea klabu hiyo kwa muda mrefu UNK bao huku akiweka kidole mdomoni ikiwa ni ishara ya kuwataka mashabiki UNK baada ya kumzomea wakati alipofanya makosa mwanzoni mwa mchezo ac milan iliyo katika nafasi ya pili iko nyuma ya vinara kwa pointi saba huku ikiwa imebaki na mechi nne mkononi inter milan huenda UNK ubingwa wikiendi ijayo kama ikishinda huko chievo na iwapo ac milan ikiishinda juventus ushindi kwa juventus uko katika hatihati baada ya timu hiyo inayonolewa na claudio ranieri kushindwa kuibuka kidedea katika mechi tano za ligi ya serie a na imetoka sare ya mabao mbili mbili na timu UNK kushuka daraja UNK fiorentina iliifunga torino bao moja sifuri na kuendelea na mbio zao za kuwania nafasi ya kushiriki ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao manchester united imekaribia kunyakua ubingwa wa england kwa mara ya tatu mfululizo baada ya kuwafunga middlesbrough mabao mbili sifuri mkongwe ryan giggs na park ji sung kila moja alifunga bao lake manchester united ina pointi themanini baada ya kucheza mechi thebathini na nne nayo liverpool inayoshika nafasi ya pili ikiwa nyuma kwa pointi tatu baada ya kuifunga newcastle tatu sifuri timu zote kubwa nne za juu ziliibuka na ushindi wikiendi hii chelsea iliyo katika nafasi ya tatu inajiandaa na mechi ya nusu fainali ligi ya mabingwa ulaya na wikiendi hii iliifunga fulham mabao tatu moja arsenal ambayo itakutana na manchester united katika nusu fainali ya ligi ya mabingwa leo jumanne iliifunga portsmouth mabao tatu sifuri na kuendelea UNK nafasi ya nne mabao matatu ya edin dzeko ndani ya dakika kumi na mbili yalisaidia vfl wolfsburg UNK ubingwa wa ujerumani baada ya kuwafunga UNK mabao nne sifuri na kuongoza ligi wakiwa juu kwa pointi tatu mabingwa bayern munich waliifunga UNK UNK mabao mbili moja na kuendelea kuwakimbiza vinara wakiwa na pointi hamsini na saba hertha berlin na hamburg sv zilitoka sare ya bao moja moja na kufanya kikosi cha UNK kiwe katika nafasi ya tatu kwa jumla ya pointi hamsini na sita na hamburg iko katika nafasi ya tano ikiwa na pointi hamsini na tano olympique marseille iliendelea kuongoza ligi UNK ya kutoka sare ya mabao mbili mbili na toulouse katika uwanja wa nyumbani timu ya UNK ambayo ilipata ubingwa kwa mara ya mwisho mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na mbili ina pointi sitini na nane huku ikiwa imebaki na mechi nne timu hiyo iko juu ya girondins bordeaux kwa tofauti ya mabao girondins ilishinda mabao tatu sifuri dhidi ya UNK matumaini ya olympique lyon ya kupata ubingwa wa nane UNK wakati mabao ya johan UNK UNK valenciennes kuibuka na ushindi wa mbili sifuri katika uwanja wa nyumbani lyon iliyo katika nafasi ya tatu ina pointi sitini na moja ikiwa imeizidi paris st germain kwa pointi moja mabingwa rubin kazan waliongoza kwa pointi kumi na nne baada ya kushinda mechi saba mfululizo na UNK UNK kufunga mabao matatu katika mechi iliyomalizika kwa ushindi wa mabao tano sifuri dhidi ya timu ya mkiani ya UNK UNK fc moscow ilifikia pointi sawa na rubin na shukurani pekee zitolewe baada ya kufunga bao moja sifuri huko UNK UNK wapinzani wao wa karibu cska wako juu zaidi baada ya kufunga mabao tatu mbili huko UNK UNK UNK dynamo kiev inahitaji pointi moja katika mechi nne zilizobaki ili kunyakua ubingwa wa kumi na tatu baada ya kushinda kwa bao moja sifuri huko UNK UNK na kuwa juu kwa pointi kumi na mbili zaidi ya mabingwa shakhtar UNK kiungo kutoka romania UNK UNK alifunga bao la ushindi kwa dynamo ambayo itasafiri kwenda shakhtar alhamisi wiki hii kwa ajili ya mechi ya marudiano ya nusu fainali kuwania kombe la uefa baada ya kutoka sare ya moja moja na UNK UNK UNK iliwafunga mabingwa UNK UNK bao moja sifuri na shukrani pekee UNK UNK UNK kwa ushindi huo timu hiyo iko kileleni mwa ligi kuu kwa tofauti ya pointi mbili timu inayofuata ni unirea urziceni ambayo ilitoa presha kwa ushindi wa mabao tatu sifuri ilipocheza na gloria UNK kwenye uwanja wa nyumbani timu inayoshika nafasi ya tatu ya fc UNK pia inasaka ubingwa timu hiyo iko nyuma kwa pointi moja huku ikiwa imebaki na mechi sita timu hiyo ilipata ushindi wa mabao tatu mbili dhidi ya UNK UNK timu ya kocha wa zamani wa england steve mcclaren ya UNK UNK ilifunga mabao matatu katika kipindi cha pili na kuwaadhibu mabingwa az alkmaar kwa mabao tatu sifuri na kujikita kwenye nafasi ya pili huku UNK kwamba itacheza mechi za ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao UNK UNK iliiadhibu UNK UNK inayoshika nafasi ya tatu kwa jumla ya mabao nne sifuri na kuendelea kupanda juu wakati UNK UNK ilitoka sare ya bao moja moja katika uwanja wa nyumbani dhidi ya nec UNK UNK UNK iliifunga UNK UNK bao moja sifuri na kuondoka eneo la hatari ya kushuka daraja timu hiyo UNK UNK na UNK UNK UNK madj maarufu ukanda wa afrika mashariki akiwemo dj UNK wa kenya wamepanga kufanya shoo za kihistoria nchini kuanzia ijumaa ijayo shoo hizo UNK kama h ishirini live zitahusisha madj wa home boys ya kenya black star na amo blaze wa tanzania kwa mujibu wa amo blaze watakuwa wakifanya shoo kali za kuonyesha ustadi wa kucheza na mashine za muziki katika kuchanganya picha kwenye televisheni kubwa za kisasa zitakazokuwa ukumbini pamoja na sauti kitu ambacho ni adimu kwa tanzania alisema shoo hiyo UNK na kampuni ya mwananchi communications na UNK itaanzia mwanza ijumaa ijayo na baadaye arusha jumamosi dar es salaam itafanyika mei kumi na tano na kumi na sita ushindi wa UNK mwaka ishirini sifuri tisa umekuwa gumzo kwa kuwa ni kitu kinachoonekana kuleta changamoto mpya katika anga ya urembo si mazuri pekee yanayozungumzwa baadhi wamekuwa wakitamka hadharani kwamba mshindi alipangwa kwa vile alijulikana kabla siku chache baada ya kumalizika kwa kinyanganyiro cha kumsaka mtanashati kwa mwaka ishirini sifuri tisa khalid mohammed aliyeibuka kinara ameamua kuelezea hali halisi na kila kitu UNK huku akisisitiza kwamba ana amini alistahili kubeba taji hilo khalid ameiambia mwanaspoti nilistahili kutwaa taji hili ni uwezo wangu na si kitu kingine UNK akaongeza ushindi wangu ni halali UNK hayo ni maneno ya mkosaji tu ambayo kwa hakika UNK nyuma katika juhudi zangu za maendeleo unajua katika mashindano kuna mambo mengi yanayojitokeza UNK watu kusema hayo ni kawaida kabisa kwa washindani kutoa tuhuma tofauti baada ya mshindi kutangazwa anasema anasema wanaohoji juu ya ushindi wake hawaelewi vigezo halisi vinavyotumika kumpata mshindi hivyo ni vema wakajifunza na kuhoji kitu ambacho wana uhakika nacho khalid ambaye ni mmoja wa UNK aliyefanya kazi kwa muda mrefu na kampuni UNK ya jijini dar es salaam anasema ana uzoefu mkubwa katika shughuli za mitindo uzoefu katika fani hii UNK niliingia kushindana UNK na ninajua ninachofanya anasema mkurugenzi wa angel entertainment joseph rwebangira ambao ni waandaji wa shindano hilo amesema tuhuma dhidi ya khalid hazina ukweli wowote sisi kama waandaaji hatukuwa na sababu ya kufanya utoto wa aina hiyo pamoja na kuwa shughuli ya kumchagua mshindi ilifanywa na majaji nina hakika vigezo UNK anasema rwebangira UNK baadhi ya vigezo hivyo kuwa ni miondoko utanashati pamoja na muonekano wa mwili kwa ujumla fainali za UNK ya kumsaka mtanashati wa mwaka ishirini sifuri tisa zilifanyika jijini dar es salaam mwezi machi ambapo khalid alishinda kinyanganyiro hicho katika onyesho hilo walikuwepo washiriki zaidi ya ishirini waliofanikiwa kuingia kumi bora ni sadik UNK salim ally elias kwembe UNK nassor pascal UNK emmanuel richard gabriel kwembe henry mwiki khalid mohamed kenny victor na benard UNK baada ya mchujo kupita majaji waliokuwepo katika kinyanganyiro hicho khalid aliibuka mshindi na UNK dola kumi sifuri sifuri zaidi ya shilingi milioni moja mbili ushindi wa khalid ulizua maswali kwa washiriki wengi kwani baadhi yao walidai kuwa kuna upendeleo ndani yake kitu ambacho UNK vikali na UNK anasema hilo halikuwa shindano lake la kwanza kushiriki kwani awali aliwahi kushiriki katika shindano la kumsaka mr dar hata hivyo UNK akielezea historia yake anasema alizaliwa miaka ishirini na nne iliyopita jijini dar es salaam na kupata elimu yake ya msingi katika shule ya UNK iliyopo wilaya ya temeke jijini dar es salaam kati ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu na tisini na tisa baada ya kumaliza elimu ya msingi nilijiunga na shule ya sekondari al farouk mwaka ishirini sifuri sifuri hadi ishirini sifuri tatu kwa kuwa sikupata nafasi ya kuendelea elimu ya juu nilijiunga na chuo cha ufundi veta kwa kozi ya mwaka mmoja anasema baada ya kuhitimu mafunzo hayo nikafanya kazi ya UNK lakini kwa kuwa fani ya mitindo ilikuwa kwenye damu niliamua kujiunga na kampuni inayojihusisha na masuala ya mitindo inayofahamika kama UNK anasema baada ya kufanya nao kazi kwa muda mrefu aliamua kuwa mwanamitindo wa UNK nikiwa katika fani hiyo nimekuwa UNK mavazi ya aina mbalimbali na kufanya matangazo mbalimbali lengo likiwa ni kujiingizia kipato cha kila siku anasema khalid anasema mipango yake ya baadaye ni kujiendeleza zaidi katika fani ya mitindo na kuwa mwanamitindo wa kimataifa si hivyo tu nina ndoto ya kuwa mtayarishaji na mtangazaji wa vipindi vya televisheni tayari UNK mikakati ya kukamilisha hilo anasisitiza kadri siku zinavyosonga mbele michuano ya muungano ya mufindi inazidi kupata umaarufu mkubwa kutokana na mafanikio UNK miaka kumi na nne tangu imeanzishwa kuna mambo mengi ambayo waandaaji wake hata mashabiki ambao wamekuwa wakihudhuria wanaweza kujivunia kwamba wanachokifanya ni kitu kikubwa na ubora wake ni wa juu mratibu wa mashindano hayo daud yassin anasema inaweza kuonekana miaka kumi na nne ya mashindano hayo imeenda haraka lakini hiyo inatokana na mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi hicho mwaka huu wa ishirini sifuri tisa ni mwaka wa kumi na nne tangu kuanzishwa kwa mashindano ya kombe la muungano UNK yassin ameeleza kwamba tangu mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita hadi sasa mashindano hayo yamekuwa yakifanyika kila mwaka na UNK kitu kipya kuelekea katika mafanikio kusema kweli tumefanikiwa sana tangu tulipoanza mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita hadi sasa mashindano yamekuwa yakifanyika kila mwaka ameeleza yassin kwa sasa mashindano hayo ambayo ni maarufu hapa nchini UNK mikoa yote ya nyanda za juu kusini yaani iringa mbeya rukwa na ruvuma kwa upande wa tanzania bara na mikoa yote ya zanzibar kwa mwaka miaka miwili sasa wadhamini wakuu ni kampuni ya simu za mkononi vodacom yassin amesema licha ya matatizo madogo ya hapa na pale kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa tangu mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita zaidi ya vijana arobaini sifuri sifuri wameshiriki katika mashindano hayo pia wapo baadhi ya wachezaji wameshiriki kuchezea timu za ligi kuu na timu ya taifa ya vijana na taifa stars wakitokea kwenye michuano hiyo aidha viongozi wengi wa kitaifa wamekuwa wakishiriki katika sherehe za ufunguzi wa fainali ya michuano hiyo kila mwaka huku umaarufu wake ukiendelea kupanda yassin amewashukuru viongozi wa wilaya ya mufindi hususani wabunge joseph mungai na benito UNK pia wadhamini wa mashindano hayo shirikisho la soka nchini tff wadau mbalimbali vyombo vya habari na wananchi wote kwa ujumla kwa kuiunga mkono michuano hiyo alisema pamoja na kutoa burudani inasaidia kuimarisha muungano wa tanganyika na zanzibar msimu uliopita haukuwa wa neema kwa golikipa ally mustapha maarufu kama barthez kutokana na kutofanya vizuri katika mechi zake za ligi na hata kwenye kikosi cha timu ya taifa chini ya mbrazil marcio maximo lakini ghafla msimu huu mambo yanaonekana kubadilika kabisa kutokana na barthez kuonyesha uwezo wa juu huku UNK kwa karibu kila anachokifanya langoni UNK simba kipa amani simba aliyesajiliwa kwa ajili ya kuziba pengo la juma kaseja aliyehamia yanga amelazimika kusubiri kwenye benchi barthez anapokuwa langoni na hata chipukizi deo munish dida naye amekuwa hana jinsi kutokana na barthez kuonyesha kiwango kizuri mashabiki wengi wanaonyesha kushangazwa na hali hiyo wanataka kufahamu kipi ambacho UNK kipa huyo wa zamani wa ashanti united na kushindwa kabisa kuonyesha cheche zake zilizowafanya msimbazi UNK naye alikuwa akiwekwa benchi kwa muda mrefu na makocha waliokuwepo wakati huo lakini tangu kuwasili kwa kocha mzambia patrick phirri katika kikosi hicho amepewa nafasi ya kudaka na ameonyesha kiwango kizuri kiwango chake UNK hata kocha wake phirri ambaye hakusita UNK kwa jinsi UNK uwezo katika mechi UNK amedaka mechi saba na kati ya hizo amefungwa mechi moja tu sare mbili na nyingine zote ameiongoza timu yake kushinda na kuiwezesha kushika nafasi ya pili swali la kwanza lilikuwa haoni kama anaweza kuingia katika chuki na makipa wenzake ambao walionekana kuwa na nafasi ya kwanza naye ya pili halafu yeye akaibuka na kuwapiku ghafla mimi sidhani kama tunaweza kuchukiana eti kwa sababu mimi UNK hilo UNK kila mmoja amekuja simba kufanya kazi kila mmoja ana muda wake wa UNK mimi nilikaa sana benchi lakini nilijitahidi kila siku kufanya mazoezi UNK nidhamu na sikukata tamaa kwa sababu nilijua ipo siku UNK nafasi na nikasema nikipata nafasi hiyo sijui kama UNK na kweli kama UNK phiri amenipa nafasi na mimi nimeonyesha uwezo UNK juhudi kubwa ili niendelee kucheza na UNK timu yangu anasema barthez pamoja na kuonyesha uwezo lakini barthez anasema UNK mechi mbili tu UNK dhidi ya yanga na mechi ya mwisho dhidi ya polisi dodoma ambazo UNK wakati mgumu sana katika mechi ambazo UNK presha ni hizo tukiwa na mechi ya yanga si mchezo kwa sababu kwanza ilikuwa ni mechi yangu ya kwanza kudaka dhidi ya yanga lakini namshukuru mungu niliweza kushinda yote na nafikiri nilifanya vizuri siku ile ukisema UNK mchezaji bora wa mechi ile nitakwambia mimi mwenyewe ya pili ile ya polisi dodoma ni mechi iliyokuwa ngumu sana kwangu kwa sababu tulikuwa UNK nafasi ya pili kwa hali yoyote ile halafu wale jamaa walikuwa wagumu sana kufungika na UNK sana nilipata tabu sana ila nashukuru UNK na UNK ila sitasahau anasema barthez UNK timu yake ya simba UNK msimu huu imecheza kwa kusuasua barthez anasema tatizo kubwa ni ubadilishaji wa makocha mara kwa mara hilo ndio tatizo kubwa kila mara walikuwa UNK makocha na ndio UNK timu ikawa haijatulia kabisa kila mmoja nacheza kivyake maana kila kocha anakuja na mbinu zake tunashukuru sasa hivi tuna kocha mzuri patrick phirri ambaye UNK vizuri na kama tutaendelea naye msimu ujao UNK anasema bathez anasema UNK kocha wake phirri kwa kumpa nafasi ya kucheza na kurudi katika kikosi cha taifa stars nafikiri yeye amechangia nikarudi stars namshukuru sana ni kocha mzuri na UNK wachezaji wake na huwa UNK nitafurahi kama ataendelea kuinoa timu hii anasema barthez anavutiwa na beki juma said nyosso nchini na nje ya nchi ni mshabiki wa manchester united huku mchezaji UNK akiwa ni mreno cristian ronaldo golikipa huyo alizaliwa miaka ishirini na nne iliyopita jijini dar es salaam na alianza kucheza soka katika timu ya daraja la tatu ya mogo mwaka ishirini sifuri sifuri mwaka ishirini sifuri nne alijunga na ashanti united ambayo alicheza kwa msimu miwili na baadaye alijunga na simba mwaka ishirini sifuri sita na ndiyo timu UNK hadi sasa wakati fulani aliwahi kuchaguliwa katika kikosi cha taifa stars akiwa kipa namba mbili nyuma ya kaseja hali iliyoonyesha kuwaudhi baadhi ya mashabiki wa simba UNK kumzomea alipokuwa UNK stars wakionyesha kupinga uamuzi wa maximo ambaye ana chuki na kaseja UNK kuiweka hadharani lakini leo barthez ni shujaa wa wale waliokuwa wakimzomea na inawezekana kabisa wanaongoza kwa UNK anapokuwa akilinda lango la timu yao mwenyewe anasema ni juhudi binafsi pia malengo ya kutaka kufanya vizuri gumzo kubwa katika msimu mpya wa ligi ya mpira wa kikapu ya marekani ni kuhusu suala la uhamisho na hasa wachezaji maarufu nani ataenda wapi na kitita cha kiasi gani cha fedha ni maneno ya kila siku lakini wadau wa mchezo huo wanaangalia nani ataweka rekodi ya usajili hasa kwa wachezaji chipukizi ambao wanaotokea kwenye ligi ya vyuo vikuu ambayo kila msimu mpya wale walionggara hupata nafasi ya kuingia kwenye nba na kupata mshahara wa mamilioni ya dola mchezaji UNK UNK wa UNK walioibuka mabingwa wa ligi ya vyuo anaonekana ndiye UNK namba moja katika UNK ya wachezaji kutoka vyuoni ambao watapata nafasi ya kuwaniwa na timu zinazoshiriki nba swali limekuwa nani atashika nafasi ya pili kwa kuwa kuna majina mengine ya waliofanya vizuri kama ricky UNK james UNK na jordan hill hata hivyo wataalamu wengi wanaamini anayepaswa kuwa namba mbili katika suala la thamani ni mtanzania hasheem thabeet UNK thabeet mwenye umri wa miaka ishirini na mbili na urefu wa inchi saba tatu tayari ameanza kutabiriwa kwamba atakuwa moto wa kuotea mbali kama ilivyokuwa dikembe mutombo mwenye asili ya jamhuri ya kidemokrasia ya kongo ambaye hivi karibuni ametangaza kustaafu mchezo huo akizungumza kutoka marekani hasheem amesema hana uhakika kwamba yeye ni chaguo la ngapi ingawa ana uhakika wa kuingia katika tatu bora kitu ambacho UNK tangu mwaka jana alitaka kuingia tano bora baada ya kuwa ameingia kumi bora aliamua kutoingia kwenye nba na badala yake kuendelea na chuo kitu ambacho baadhi waliona kama ni makosa siwezi UNK hilo moja kwa moja nimefanya kazi kubwa kwa kipindi kirefu kufikia malengo haya leo niko hapa na UNK nafasi hii najua kinachotakiwa ni utulivu na uhakika wa kila ninachofanya anasema hasheem amepata wastani wa pointi kumi na tatu sita kwa mwaka pamoja na asilimia sitini na nne ya kurusha mipira langoni asilimia kumi nane ya kuchukua mipira UNK bodi pamoja na asilimia nne mbili ya kuzuia wale wanaotaka kufunga kitu kilichomfanya UNK nafasi ya mlinzi bora wa ligi za kikapu za vyuo mtanzania huyo pia amepata wastani wa kuzuia UNK mmoja kwa kila mechi aliyocheza kitu ambacho ni nadra kutokea kwenye ligi hiyo jambo UNK wadau wengi wa mpira wa kikapu kumfananisha na dikembe mutombo mutombo ni kati ya wachezaji bora wanaoendelea kukumbukwa katika nba kutokana na urefu wake wa inchi saba nne pia uwezo mkubwa wengi wanaamini kwamba umri kwa miaka ishirini na mbili aliyonayo hasheem anaweza kuongezeka urefu na pia akipata uzoefu basi anaweza kuwa gwiji kama mutombo hata hivyo gazeti la the UNK UNK la marekani limeripoti kwamba hasheem anatakiwa kuongeza uzito kutoka paundi mia mbili na sabini hadi mia mbili na themanini na tano kabla ya kuingia kwenye ligi ya nba kitu ambacho ameahidi kukifanyia kazi mara moja kabla ya msimu mpya kuanza lakini mchezaji mwingine wa UNK ray allen ambaye pia alicheza UNK anasema tofauti na wengi UNK hasheem atakuwa na kazi ngumu katika nba kwa kuwa mambo yanakuwa tofauti kazi itakuwa ngumu kuna mabadiliko makubwa huko kuna mabadiliko makubwa katika kila kitu lakini mimi ninaamini UNK utaona ni dikembe wachache sana katika nba lakini kuna nafasi ya kuibuka wengine anasema UNK sidhani kama kitakuwa ni kitu cha kunipa hofu mabadiliko UNK kwa kuwa UNK katika hatua ya juu UNK kufika huko siku nyingi sana maana yake ninatakiwa kukubaliana na kushindana ili kufikia malengo yangu sipaswi kuhofia natakiwa kujiandaa kukabili chochote anasema akionyesha kujiamini lakini hivi karibuni mmoja wa wataalamu wa masuala ya kusaka vipaji kutoka nba UNK mtanzania huyo atakuwa gumzo na kivutio kikubwa kwa ligi hiyo kwa vile ana vitu vingi vinavyotakiwa UNK ili kuongeza ubora wake tayari hasheem ameingia mkataba na wakala maarufu wa mpira wa kikapu duniani bill duffy ambaye ameanza kufanya naye kazi na amempangia programu ya kwenda los angeles ambako ataweka kambi na kujifua chini ya kocha mahiri ili UNK zaidi kabla ya kuanza kwa suala la usajili katika nba hasheem aliyezaliwa miaka ishirini na mbili mjini dodoma na kukulia jijini dar es salaam ni mtoto wa pili wa familia ya thabeet manka yenye watoto watatu tu dada yake wa kwanza ni UNK na mdogo wake wa mwisho ni UNK akiwa hapa nchini alicheza mpira wa kikapu shule ya sekondari ya makongo na pia timu ya udsm outsiders katika ligi ya rba hata hivyo hakuwa mchezaji tegemeo kwani hakuna UNK kipaji chake na kumuunga mkono hadi alipopata nafasi huko UNK nchini marekani UNK kuchanua na kuonyesha uwezo mkubwa UNK wengi michuano ya tenisi ya afrika mashariki na kati inaanza leo jumanne kwenye viwanja vya gymkhana jijini dar es salaam kocha wa timu ya vijana ya klabu hiyo majuto majaliwa amesema maandalizi yote yamekamilika na wanachosubiri ni kuingia uwanjani kucheza wachezaji wangu wote wako salama UNK mazoezi ya kutosha nina imani watafanya vema mabingwa wa mpira wa kikapu mkoa wa dar es salaam jkt wanaendelea kujifua vikali kujiandaa na michuano ya klabu bingwa taifa itakayoanza mei ishirini na tano jijini mwanza kocha wa jkt tubert matiku amesema mazoezi hayo yatawasaidia kufanya vizuri katika michuano hiyo na kutwaa ubingwa awali michuano hiyo ilikuwa ianze mei kumi lakini imesogezwa mbele kutokana na maandalizi UNK chama cha judo tanzania kinasaka fedha kwa ajili ya timu ya taifa inayotarajia kwenda nchini mauritius kushiriki michuano ya afrika itakayoanza mwishoni mwa mwezi huu katibu wa jata kashinde shabani amesema timu hiyo inaendelea na mazoezi ikiwa na wachezaji saba ingawa fedha bado ni tatizo mazoezi yanaendelea lakini tatizo kubwa ni fedha hatuna uhakika kama tunaweza kwenda mauritius hivyo wadhamini wajitokeze kutusaidia michuano ya muungano ya karate iliyokuwa ifanyike april ishirini na saba imesogezwa mbele kutokana na kukabiliwa na ukata katibu mkuu wa chama cha karate tanzania sensei hassan jango amesema michuano hiyo itafanyika mapema mwezi juni hatuna fedha kwa ajili ya mashindano hayo ndio maana tumesogeza mbele lakini hii ni nafasi kwa wachezaji kujiandaa zaidi katika mikoa yao chama cha netiboli tanzania kinatarajia kuanzisha mashindano ya mashuleni ili kuibua vipaji vingi zaidi vya mchezo huo katibu mkuu wa chaneta anna kibira alisema chama kinaamini shuleni kuna vipaji vingi vya netiboli lakini hakuna wa UNK tunapanga mikakati ili tuanzishe michuano katika shule mbalimbali tunaamini huko kuna wachezaji wazuri ambao UNK watakuwa hazina ya taifa katibu mkuu wa timu ya soka ya azam twalib chuma amesema hawana mpango wa kusajili wachezaji wa simba na na yanga kwa ajili ya kuwatumia katika msimu ujao wa ligi kuu tanzania bara akizungumza jijini dar es salaam chuma alisema wachezaji waliopo katika timu hiyo wanatosha na wanafikiria kuongeza chipukizi zaidi simba na yanga wa nini hawa tulionao wanatosha na ukiangalia utaona tulikuwa tunajaribu kuibakisha timu kwenye ligi isishuke na hilo UNK kikosi UNK ni kizuri na naamini makocha waliopo ndiyo muda wao wa UNK vizuri kikosi hiki ili msimu ujao kiweze kucheza kwa kiwango UNK kumudu alisema pamoja na kauli ya kiongozi huyo viongozi wake wamekuwa wakiendelea na mazungumzo na kipa namba moja wa yanga juma kaseja ili kumsajili kitu kinachoonyesha hana taarifa za kutosha kuhusu usajili UNK msimu uliopita azam ingawa ilifanya usajili wa uhakika lakini UNK hatua za mwisho kuteremka daraja huku uongozi ukiamua kumtupia virago kocha wake mbrazil neider dos santos uongozi wa timu ya majimaji ya songea UNK kamati ya usajili ili kuhakikisha inafanya kazi hiyo kwa uhakika tayari kwa kuandaa kikosi kikali kitakachoshiriki ligi kuu ya tanzania bara msimu ujao mwenyekiti wa majimaji hemed dizumba ameiambia mwanaspoti jijini dar es salaam kwamba wamechukua uamuzi huo ili kuhakikisha watakachofanya kinakuwa ni kitu cha uhakika na kurejesha heshima ya majimaji tutakuwa na kamati yenye watu kadhaa wengine watakuwa hapa dar es salaam na wengine mikoani lengo litakuwa ni kuhakikisha usajili wetu unakuwa wa uhakika nafasi tulizonazo si zaidi ya nane maana yake umakini UNK hatuwezi kusema hadi sasa UNK nani lakini suala la tathmini linaendelea ikiwa ni pamoja na kukutana na baadhi ya wachezaji na baada ya hapo ndiyo tunaweza UNK lakini pia tutatoa nafasi zaidi kwa wachezaji waliofanya vizuri katika kikosi chetu na kuhakikisha UNK kila mtu wa soka anajua hadhi ya majimaji katika soka ya tanzania hivyo ni kitu ambacho tunataka kiwe na uhakika alisema dizumba ambaye inaelezwa alipokuwa jijini dar es salaam alifanya mazungumzo na baadhi ya wachezaji hata hivyo alisisitiza hawahitaji wachezaji kutoka yanga na simba badala yake wataangalia wengine wanaoamini kwamba wana vipaji na uwezo mkubwa kwa ajili ya kuisaidia majimaji majimaji ikiongozwa na nahodha wake patrick betwel chini ya kocha juma mhina imepanda daraja pamoja na african lyon yenye makazi yake mbagala jijini dar es salaam sambamba na manyema ya ilala katika hatua nyingine polisi dodoma polisi morogoro na villa squad UNK daraja la kwanza kocha mkuu wa simba patrick phiri amesema kipa wake deo munishi dida ana nafasi ya kubaki katika kikosi chake kutokana na mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na umbo na tabia ya kujituma phiri raia wa zambia ameiambia mwanaspoti pamoja na makosa mfululizo na hali ya kutojiamini UNK kipa huyo katika mechi za mwisho msimu uliopita lakini umbo lake na juhudi mazoezini ni sehemu ya silaha kubwa alizonazo kweli mechi za mwisho hakufanya vizuri lakini ni mchezaji chipukizi ambaye anahitaji muda ana umbo zuri ambalo anaweza kucheza nchi yoyote ile kama ataendelea hivyo kwa kujituma na kutaka kuendelea kufanya vizuri basi atakuja kuwa mmoja wa makipa bora baadaye anastahili muda hivyo sidhani kama tunaweza kumuacha alisema phiri hata hivyo kocha huyo hakutaka kuweka wazi kila kitu kuhusu usajili wa simba huku akisisitiza kwa kuwa muda unaruhusu atakuwa na kikosi imara msimu ujao wakati phiri anatua simba miezi kadhaa iliyopita dida alikuwa kipa namba moja lakini akafanya vibaya katika mechi mbili alizokuwa langoni hali iliyofanya mzambia huyo kutoa nafasi kwa ally mustapha barthez ambaye hakufanya mzaha tena na ndiye kipa namba moja kupoteza namba katika kikosi cha kwanza na kurejea katika hali nzuri kwa barthez UNK kocha mkuu wa taifa stars marcio maximo kumuondoa dida na kumrejesha barthez katika kikosi hicho kipa mwingine wa simba ni amani simba ambaye inaonekana kuwa nafasi yake iko katika hatihati kutokana na kushindwa kutoa msaada kwa simba aliyojiunga nayo akitokea polisi morogoro msimu uliopita kiungo wa ulinzi wa zamani wa yanga na simba edwin mukenya anatamani kurudi tanzania kucheza soka na ameanza kusaka timu baada ya kukaa nje kwa muda mukenya raia wa kenya ameiambia mwanaspoti jana jumatatu kwa njia ya simu kutoka nairobi kenya kwamba yupo fiti baada ya kumaliza mihangaiko yake na anataka timu yoyote ya ligi kuu bara baada ya kutoka simba nilitulia kwa muda nyumbani nikarudi chuoni kuongeza elimu kidogo na sasa UNK alisema mchezaji huyo ambaye amesomea kozi ya usimamizi wa hoteli kipindi chote hicho nilikuwa nafanya mazoezi maalum ndiyo maana naamini nipo fiti sana ila sitaki kucheza kenya mazingira ya hapa nimewahi kucheza sana soka yangu nataka kucheza nje ya kenya tu ndiko hata mchezaji thamani yako inatambulika kwa kiasi kikubwa nimefanya mazungumzo na timu mbili za rwanda lakini bado UNK baadhi ya mambo ila mimi nilikuwa nataka kuja kucheza tanzania kwa vile ni mazingira ambayo pia UNK soka lake lina ushindani sana kuliko huko kwingine mukenya aliwahi kuichezea yanga na baadaye kuhamia simba ambako hata hivyo UNK kuonyesha cheche kabla ya kuamua kurejea kwao kenya na UNK mike baraza amedai kuwa hata kama UNK kwa kiwango cha juu kwenye mechi ya ligi kuu dhidi ya simba UNK katika timu ya taifa ya kenya mchezaji huyo pamoja na wakenya wenzake UNK yanga ben mwalala boniface ambani na george owino wameitwa kwenye timu yao ya taifa siku yoyote hata katika uteuzi wa mwisho kabla ya kikosi cha sasa niliitwa lakini UNK tiketi ya ndege lakini sikukata tamaa kwa vile wanaojua mpira wanatambua umuhimu wangu alisema wala UNK kwa vile nimecheza vizuri mechi moja ama mbili za ligi ya hapa mimi UNK kwenye soka kama unajua unajua tu UNK wachezaji zaidi ya ishirini na tano lakini baada ya mchujo watabaki kumi na nane ambao na natumaini nitakuwepo ingawa mchuano najua utakuwa mkali sana wameitwa wachezaji wengi sana na wenye uwezo mkubwa toka sehemu mbalimbali alisema mchezaji huyo ambaye ni shabiki wa arsenal ya uingereza aliyejiunga na yanga kwenye mzunguko wa pili ni miongoni mwa wachezaji wakongwe na maarufu zaidi wa kenya krosi jiwe ya baraza ndiyo iliyozaa bao la kusawazisha katika mechi kati ya simba na yanga huku mshambuliaji huyo UNK katika mechi hiyo wiki iliyopita chama cha soka cha waandishi wa habari UNK mechi maalum kwa ajili ya kuonyesha msimamo wa kupiga vita mauaji ya albino pia kuwachangia watu hao wenye ulemavu wa ngozi mechi zilikuwa mbili na UNK kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam ikianza timu ya waandishi wa habari wa michezo taswa fc ambayo UNK jasho na albino fc halafu UNK mechi kati ya simba dhidi ya zanzibar heroes mechi ya kwanza ilikuwa kivutio kikubwa kutokana na wachezaji wa albino kutoa upinzani mkali huku wakiongozwa na wachezaji watatu wa yanga raia wa kenya boniface ambani ben mwalala na mike baraza taswa fc ilishinda kwa mabao tano tatu mechi ya pili pia ilikuwa yenye mvuto kutokana na simba na zanzibar heroes kucheza soka ya ushindani na matokeo ya mwisho yalikuwa ni mabao mbili moja simba wakaibuka washindi waliotoa wazo walikuwa ni taswa ambao wanapaswa kupongezwa kwa kuwa pamoja na kutakiwa kuwa mstari wa mbele katika suala la maslahi ya waandishi wa habari za michezo pia wanatakiwa kufanya mambo kadhaa yanayoihusu jamii ya watanzania kwa ujumla lakini UNK kushiriki pia wanapaswa kupewa pongezi mfano ambani mwalala na baraza si watanzania lakini UNK kwamba kushiriki kwao itakuwa ni changamoto kwa namna moja au nyingine kwa kuwa ni kioo cha jamii simba na uongozi wake zanzibar heroes na wengine waliofanikisha siku hiyo wanastahili pongezi na kuendelea kushiriki katika mambo mengine kwa faida ya jamii ya watanzania albino wanaofanyiwa unyama ni jamii ya watanzania mchezo wa soka ni namba moja kwa kuwa na mashabiki wengi zaidi hii inaonyesha inawezekana kabisa kutoa changamoto ya mambo mbalimbali kupitia soka na wahusika wake yaani wachezaji makocha viongozi na wadau wengine soka ina nguvu kubwa wako wajanja wachache wamekuwa wakiitumia kisiasa kwa lengo la kujifurahisha binafsi lakini inawezekana kabisa ikatumika kwa UNK wana jamii tena kwa nguvu kubwa pamoja na kusaidia mambo kadhaa ambayo inawezekana ikawa vigumu kueleweka uzuri au ubaya wake kwenye jamii soka ni njia lahisi kuwasaidia watanzania kuongeza upendo urafiki na pia umoja tumeona nchi kama rwanda au burundi ambazo zimekuwa zikitumia soka kama nguzo kubwa ya kuwarudisha katika hali ya umoja kutokana na matatizo ya vita vya wenyewe kwa wenyewe UNK huko nyuma soka ina nguvu kubwa UNK vizuri UNK jamii ya watanzania simba na uongozi wake zanzibar heroes ambani mwalala baraza na wenyeji wenu taswa UNK kwa hilo mategemeo ni kuona mengine zaidi kwa faida ya watanzania uongozi wa simba unafanya tathmini katika suala la usajili lakini makipa wawili juma kaseja wa yanga na ally mustapha wa timu hiyo wanaonyesha kuwa tishio uongozi umeamua kumuachia kocha wao suala la usajili lakini patrick phiri raia wa zambia ameamua kutoa nafasi kwa uongozi kupendekeza wachezaji gani wanaowaona ni bora baadhi wamekuwa wakisisitiza suala la kuhakikisha kaseja UNK msimbazi ambako aliondoka na kujiunga na yanga kwa kitita cha zaidi ya shilingi milioni thebathini na tano lakini upande mwingine unasisitiza hakuna haja ya kumchukua kaseja na badala yake wabaki na barthez ambaye amerejea katika kiwango cha juu na kuiwezesha simba kupata nafasi ya kushiriki michuano ya kombe la caf na ile ya kagame baada ya kushika nafasi ya pili upande huo wa pili unaeleza iwapo kaseja atarejea msimbazi UNK kipaji cha barthez kwa kuwa atalazimika kubaki benchi hivyo ni bora kumuacha aendelee kutoa msaada msimbazi na akipata uzoefu zaidi UNK hata kiwango cha kipa huyo wa yanga kweli kazi imekuwa ni ngumu sana kurejea kwa barthez nafikiri kutazuia safari ya kaseja kurudi simba tumekuwa UNK sana na watu wamegawanyika kilieleza chanzo alipoulizwa phiri alisema barthez na kaseja ni kati ya chaguo la wana simba lakini bado UNK na si kwamba usajili UNK hakuna anayeweza kukataa kuwa na mchezaji kama kaseja lakini kweli barthez ameonyesha ni bora na amerudi kwenye timu ya taifa usajili kwa sasa bado itajulikana baadaye baada ya mambo mengi kupitiwa kwa kuwa si suala la mchezaji mmoja au wawili ni usajili wa timu alisema phiri hata hivyo imeelezwa wakati simba UNK vichwa kaseja huenda akajiunga na azam fc au lyon fc ambazo zimefanya naye mazungumzo UNK kuhakikisha UNK kwa kuwa mkataba wake unamalizika juni tano kabla ya barthez kurejea katika kiwango chake simba haikuwa na kipa namba moja kutokana na yeye amani simba na deo munishi dida kushindwa kuonyesha cheche na kuifanya msimbazi kuyumba lakini ujio wa phiri umeonyesha kubadili mambo kwa dida ambaye amekuwa lulu kutokana na kuonyesha uwezo wa juu kipa huyo alijiunga na simba misimu miwili iliyopita akitokea ashanti ya ilala lakini hata hivyo alishindwa kuonyesha cheche zake hasa UNK mwa msimu uliopita wachezaji wa yanga toka kenya wamekwama dar es salaam wakisubiri mishahara pamoja na posho zao baada ya kumalizika kwa ligi kuu ya bara habari za uhakika zilizoifikia mwanaspoti juzi usiku zinadai kuwa wachezaji hao wamekwama na wameomba ruhusa kwenye shirikisho la soka la kenya kwamba watachelewa kwa siku nne mambo mbalimbali walipanga kuondoka wikiendi iliyopita lakini hawajapewa fedha zao ndio maana wameomba ruhusa nchini kenya kwa madai kwamba watachelewa na leo wataonana na manji alisema mchezaji mmoja aliye karibu na wakenya hao kuna uwezekano mambo yao UNK na jumanne mchana UNK hata kama hawatapewa fedha hawawezi kusubiri kwa vile UNK kambini kwenye timu ya taifa wamekasirika sana nilikuwa na mmoja wao juzi ananiambia amehangaika mpaka amechoka UNK na viongozi kila mtu yuko bize usishangae kusikia baadhi yao UNK kurudi au wakivunja mikataba na kwenda kwingine lakini mike baraza alipoulizwa na mwanaspoti jana jumatatu mchana alikiri kuwa bado wapo dar es salaam kwa muda wakifuatilia mambo yao kwenye uongozi kuna mambo tunafuatilia kwenye uongozi bado hatujafikia muafaka tukimaliza UNK ila kuna uwezekano mkubwa ikawa jumanne alisema baraza kwa kifupi wachezaji wote wamekuwa wakilalama kucheleweshwa kwa mishahara pamoja na posho zao mwenyekiti wa kamati ya mashindano wa yanga emanuel mpangala alisema jana kuwa mambo yote yanashughulikiwa haraka na utaratibu wa benki na serikali ndio UNK zoezi hilo wakati harakati za usajili zimeanza kupamba moto mshambuliaji wa simba mussa hassan mgosi amesema yuko tayari kujiunga na yanga kwa dau la kitita cha kuanzia shilingi milioni hamsini tu na wala si zaidi mgosi ameiambia mwanaspoti jana jumatatu kwamba anataka kuendelea kuichezea simba lakini iwapo kocha wa yanga dusan kondic UNK UNK shilingi milioni hamsini za kitanzania soka ni kazi yangu lakini utaona hata hapa nyumbani kuna mabadiliko makubwa kila mtu anaangalia maslahi kuna watu ambao walinipigia na kuniuliza kama niko tayari kuchezea yanga kwa nini isiwe hivyo kama watanipa maslahi ya kutosha alisema mgosi kama wananitaka UNK nao sawa si chini ya shilingi milioni hamsini hili ndio dau langu linaloweza kuniondoa msimbazi chini ya hapo nitaendelea kubaki hapa kwa kuwa ni sehemu ambayo imesaidia UNK kisoka mkataba wangu na simba unamalizika mwezi wa nne mwakani naona si vibaya kama kuna timu UNK katika kipindi bado nina mkataba na simba nayo UNK ni vizuri kuwathamini watu ambao UNK najua watu wa hapa wameonyesha mapenzi makubwa kwangu nina haki ya kuwalipa vizuri na kama UNK timu nyingine mfano yanga basi inakuwa ni ofisi yangu mpya ambayo ninahitaji kuitumikia kwa juhudi na maarifa ili wajue UNK kina msaada kwao na UNK alisema mgosi akionyesha kujiamini imeelezwa tayari yanga wamekuwa wakipiga ndogo ndogo kuhakikisha UNK mgosi ambaye ni rafiki wa karibu wa kipa juma kaseja aliyekuwa nahodha wa simba kabla ya jangwani kutoa kitita cha zaidi ya shilingi milioni thebathini na tano kwake na kumchukua mwaka jana wakiwa wameweka rekodi ya usajili kocha wa yanga dusan kondic juzi alisema kuna wachezaji kadhaa kutoka timu mbalimbali za ligi kuu bara anawataka lakini akakataa kulizungumzia suala hilo kiundani kwa madai kwamba programu yake UNK bado wakati wa kuzungumzia hili haujafika elewa ni wachezaji kutoka timu mbalimbali hata kama ni simba lakini huu si wakati wa kuzungumzia kwenye vyombo vya habari alisema kocha huyo aliyepania kuweka rekodi ya usajili lakini kwa upande wa phiri alisema bado UNK mgosi kutokana na uwezo wake na kuwa chachu ya ushambuliaji hata kama atakuwa UNK katika mechi za mwisho za ligi baada ya kwenda kufanya majaribio india nilieleza kwamba nahitaji kufanya tathmini kwa kujua UNK na wanaoondoka ndio nijue nini cha kufanya mtu kama mgosi ni muhimu akibaki itakuwa vizuri lakini huwezi kujua hii ni kazi yake huenda akawa amepata nafasi hivyo huwezi kumzuia alisema phiri pamoja na yanga azam fc na african lyon fc zimeonyesha nia ya kumnasa mgosi aliyemaliza ligi na mabao saba ingawa UNK baadhi ya mechi za mwisho kutokana kwa kuwa shirikisho la soka nchini tff lilimtaka asubiri mpaka wakutane kujadili tuhuma zake za kudaiwa kuzichapa na kipa wa mtibwa sugar shaaban kado hata hivyo iligundulika UNK hivi karibuni mgosi alifanya majaribio katika klabu ya mahindra united ya india ambako ameeleza kwamba huenda akajiunga nayo iwapo nafasi za kusajili wageni UNK au mchezaji mmoja kutoka senegal atapata nafasi ya kucheza ulaya mgosi baba wa watoto wawili hassan na UNK alijiunga na simba misimu mitatu iliyopita akitokea mtibwa sugar na manungu turiani mkoani morogoro sasa ni kati ya wachezaji tegemeo kwenye kikosi cha taifa stars chini ya mbrazil marcio maximo kocha mpya wa timu ya taifa ya vijana mbrazil rodrigo UNK amewasili nchini juzi usiku na kutoa matumaini kadhaa huku akikiri kwamba wachezaji wabovu ndio UNK china rodrigo ambae leo atazungumza na waandishi wa habari alitua sambamba na kocha mpya wa viungo marcelo guerreiro na UNK na kocha wa taifa stars marcio maximo bosi huyo ataziba pengo la mbrazil marcus tinocco aliyetimkia kwenye visiwa vya trinidad na tobago wakati marcelo UNK itamir amorin aliyejiunga na azam fc ya dar es salaam miaka miwili iliyopita nilikuwa zanzibar kwenye mashindano ya soka la ufukweni lakini huku tanzania ndio mara ya kwanza lakini mazingira ni mazuri sana alisema UNK UNK raha sana kuwa tanzania kwa vile miaka mitatu iliyopita nilikuwa china nimefanya kazi pale nimepata ushirikiano mkubwa toka kwa shirikisho lao la soka lakini wachezaji walikuwa UNK wachezaji wao walikuwa hawana ubora ilikuwa ni ngumu sana kwa mimi kufanya kazi pale ndio maana iliniwia vigumu sana lakini hapa mambo ni tofauti nimezungumza na maximo kaniambia hapa shirikisho linatoa sapoti na wachezaji wa afrika wana ubora kama ilivyo kwa brazil hivyo UNK alisema kocha huyo ambae leo anatarajia kuweka bayana urefu wa mkataba wake na makubaliano yake na mwajiri wake ambae ni serikali maximo nimezungumza nae kwa siku nne alipokuwa brazil ameniambia kwamba tanzania haina wachezaji wengi wanaocheza nje lakini tuna muda wa kuweka mambo sawa aliongeza huku UNK na UNK UNK ambae hajawahi kufanya kazi afrika alisifu ukarimu wa watanzania na akadai kuwa anajivunia kufanya kazi nchini na anategemea sapoti kubwa makocha hao wakionekana wenye furaha wameahidi mambo makubwa kwa soka la tanzania na watafanya kazi bega kwa bega na maximo shirikisho la soka la tanzania halikuwa tayari kutoa ufafanuzi wa kina kuhusiana na makocha hao kwa madai kuwa kila kitu kitawekwa bayana leo mbele ya waandishi wa habari na makocha hao UNK chama cha soka mkoa wa temeke kimetangaza majina ya wachezaji UNK na mashindano ya taifa cup huku kukiwa na nyota wanaoshiriki ligi kuu akiwemo kipa wa simba deo munishi abubakar mtiro na shamte ally wa yanga akizungumza na waandishi wa habari jana meneja wa temeke utd said akida alisema wamechagua wachezaji ishirini na tano ambapo watachujwa na kubaki kumi na tano wakiwemo nyota tano wanaoshiriki ligi kuu ya vodacom ambao tayari UNK alisema timu hiyo inatarajia kuondoka ijumaa kwenda mkoani ruvuma ambapo ndipo kituo chao kipo na kabla ya safari yao watashiriki mechi mbili za kirafiki siku ya jumatano na ilala na siku ya alhamisi na timu ya pwani kwa kiasi kikubwa tumeanza maandalizi na kwa mwaka huu tunatarajia kufanya vyema katika mashindano haya ili tuweze kuibuka na ubingwa kwa sasa tunajiandaa na safari ya ruvuma ambapo ndipo UNK chetu kilipo huku UNK na mazoezi alisema UNK abdul mwalimu mbwana samata idrisa rajabu yusuph soka stephano UNK UNK UNK said seif lazaro yusuph ally UNK mwalami juma awadhi UNK fred UNK fred UNK ally UNK igogo maganga khatibu ally musa UNK bakari adui karim UNK abdalah UNK fransis robert michael UNK miraji juma hamis UNK na abdala ally mashindano hayo yanatarajia kuanza kutimua vumbi may kumi ambapo bingwa mtetezi katika mashindano hayo ilikua timu ya ilala kutoka jijini dar es salaam ikifuatiwa na kinondoni mashindano ya tenisi ya afrika kwa vijana chini ya miaka kumi na nne yanaanza leo kwenye viwanja vya gymkhana ambapo ni awamu ya pili baada ya kumalizika nchini kenya mwishoni mwa wiki akizungumza na mwananchi jana mkurugenzi wa mashindano hayo juma rajabu alisema nchi mbalimbali zimewasili kwa ajili ya mashindano hayo na yatafunguliwa rasmi na mwakilishi kutoka shirikisho la kimataifa la tenisi itf prince UNK alisema kila nchi itawakilishwa na wachezaji wanne na kwa upande wa tanzania ambao ni wenyeji itawakilishwa na wachezaji ishirini rajabu alisema mashindano hayo UNK na chama cha tenisi cha tanzania taa na mshindi katika mashindano haya atapata nafasi ya kushiriki mashindano ya afrikan masters mwakani nchini ivory coast alizitaja nchi zilizowasili kuwa ni pamoja na kenya burundi rwanda mauritius sudan na wenyeji tanzania katika ngwe ya kwanza timu ya sudan iliibuka na ushindi huku ikifuatiwa na tanzania mashindano yaliyomalizika juzi nairobi kenya mashindano ya klabu bingwa afrika ya kikapu yamesogezwa mbele kutokana na waandaaji kukumbwa na ukata awali mashindano hayo yalipangwa kufanyika mei kumi na sita mkoani mwanza lakini yamesogezwa mbele hadi mei ishirini na nne baada ya viwanja hivyo kutumika kwa mashindano ya kombe la taifa akizungumza na mwananchi jana makamu wa rais wa chama cha mchezo wa tenisi tanzania tbf mussa UNK alisema wamesogeza mashindano hayo kutokana na kukosa fedha za kuendesha mashindano pamoja na viwanja alisema bado wana ukosefu wa fedha za kuendesha mashindano hayo na UNK kampuni na wadau mbalimbali kujitokeza kudhamini mashindano hayo alisema mashindano hayo UNK vilabu vyote ambapo bingwa mtetezi katika mashindano hayo ilikua timu ya abc kutoka jijini dar es salaam waswahili wanasema mguu wa kutoka mtume UNK na hivi ndivyo ilivyokuwa kwa abdulhalim hafidh salim ambaye mwishoni mwa wiki iliyopita alijinyakulia kitita cha shilingi za tanzania milioni kumi mbali na UNK pesa hiyo katika shindano la maisha plus anakuwa mtanzania wa kwanza kuibuka kidedea katika mashindano yaliyowahi kufanyika nchini akiwakilisha pande za visiwani kubwa kuliko zote ni kwamba wakati akikabidhiwa ushindi na pesa tanzania ilikuwa UNK miaka arobaini na tano ya muungano wake UNK plus nayo UNK kimtindo mwananchi ndiyo gazeti la kwanza nchini lililopata nafasi ya kwanza ya kufanya mahojiano UNK na mshindi huyu kama hutaki haya lakini habari ndiyo abdul kila mmoja alikuwa na ndoto ya kuibuka kidedea lakini kubwa kuliko zote UNK sana kwa kuwa ushindi unamaanisha pia niliweza kushinda kila jaribio UNK ndani ya kijiji kula maharage kila siku kukata kuni kupika kuosha vyombo task za hatari na mambo mengine ndio yalikuwa maisha yetu ya kila siku kushinda yote haya ndiyo kushinda milioni kumi nimefurahi kwa kuwa lengo langu la kwanza limetimia abdul lengo la kwanza lilikuwa ni kushinda na kutwaa milioni kumi lakini hiyo milioni kumi ina mipango yake ambayo pia inahitaji UNK starehe wewe ni mmoja kati ya washiriki waliokuwa vinara katika shindano hilo tangu mwanzo kabisa kuna siri yoyote ya UNK wako abdul nilikuwa na kontena la vituko na kwa bahati mbaya shindano limeisha nikiwa UNK robo UNK ya vituko vyangu lakini kura moja ya mtanzania ndiyo UNK hapa naiheshimu sana starehe umejifunza nini katika kijiji cha maisha plus starehe upendo mshiriki kutoka mwanza aliwahi kusema kuwa wewe ndiye UNK ile hirizi chooni je ni kweli ilikuwa ya kwako na kama sio UNK tuhuma zile abdul kila kilichokuwa UNK kwenye kijiji cha maisha plus kilikuwa UNK maisha yetu ya huku majumbani mwetu iliniuma kwa kuwa nilikuwa siwezi UNK kuwa sihusiki katika lile lakini nililipokea na kulichukulia kama changamoto katika maisha ya kila siku na niliweza UNK abdul baada ya mungu na wazazi wangu nawashukuru sana watanzania kwa UNK siwezi kugawana nao hii zawadi lakini wajue ushindi wangu ni wa kwao ile kura waliyopiga imewapa ushindi nawashukuru sana na nina UNK mema kila siku abdul kwanza naomba UNK maisha plus hii ni zaidi ya taasisi ya elimu watanzania ni mashahidi wanaweza kunisaidia katika hili pili atimize ahadi alizotoa kwenye kampeni zake mwaka ishirini sifuri tano abdul alizaliwa miaka ishirini na tano iliyopita huko kwenye kisiwa cha marashi ya karafuu ni mhitimu wa shule ya sekondari UNK UNK miezi nane imeisha tangu mwanamuziki nguli wa muziki wa hip hop nchini chid benz atangaze rasmi kuachana na muziki na kubaki kuwa kiongozi wa kundi la UNK juzi msanii huyo UNK ofisi kwetu na kutueleza ujio wa albam yake mpya aliyoiita the return of the big UNK ambayo awali alidai kuwa ndiyo itakayokuwa ya mwisho tofauti na kauli yake hiyo haijafahamika zaidi kuwa the return inamaanisha anarudi ama anaishia msanii huyo alisema albam inakuja itakuwa na ngoma ishirini na saba lakini mpaka sasa bado sijajua ni nyimbo ngapi ziingie katika albam hii na ngapi UNK lakini mashabiki wategemee albam sokoni muda wowote kuanzia sasa alisema kitendo cha msanii huyu kutangaza awali kwamba UNK na muziki UNK kwa majonzi lakini ujio wa albam hii huenda UNK hisia kwa mashabiki kama ali UNK baada ya kuibuka kwa kishindo na singo yake inayoendelea kusumbua mpaka sasa mr policeman aliyewahi kuwa kiongozi wa kundi la daz nundaz ferooz mrisho aka ferooz anaingia sokoni albam yake sauti na vyombo ambayo miezi miwili iliyopita ilifanyiwa uzinduzi sambamba na albam ya msanii mwenzake juma khasim nature itaanza kuuzwa rasmi na kampuni ya UNK kuanzia jumatatu ijayo ya mai nne mwaka huu albam itaanza kuuzwa rasmi nchini kote jumatatu kwa hivyo wapenzi wa muziki wa kizazi wataweza kupata kopi zao kila kona ya tanzania alisema hii ni albam ya pili kwa ferooz aliyewahi kutamba na vibao kama starehe jahazi na vingine alisema albam hiyo itakuwa na jumla ya ngoma kumi za ukweli ambazo ni pamoja na mr policeman UNK kila kipindi wakibana sanaa sauti na vyombo hamisa na nyinginezo baada ya kupewa kubwa na mwanamuziki aliye katika chati ya juu hapa nchini kwa sasa nakaaya sumari UNK kubanda aka fid q ameibuka na kuomba msamaha hivi karibuni nakaaya aliwapa live k UNK na fid q kwa kuwaeleza live jinsi UNK kutokana na kitendo cha wasanii hao UNK studio kwa ajili ya kuingiza sauti katika wimbo uliolenga UNK wasanii wengi wakubwa nchini UNK iam an african akizungumza jijini fid q alikiri kosa hilo na kudai kwamba UNK siku ya tukio alieleza kuwa siku ya tukio alikuwa na kazi nyingi ambazo UNK hivyo alipopigiwa simu na nakaaya alishindwa kuvunja mipango yake ghafla kwani alikuwa na shughuli za maana nakaaya alinipigia simu mida ya mchana na kuniambia niende studio muda huo huo nilimwambia angeniambia mapema maana UNK mjini na mihangaiko mingine na nisingeweza kufika studio muda huo huo UNK simu angeniambia kabla UNK kwanini UNK alisema fid q hata hivyo singo hiyo imekwisha kamilika ikiwa na sauti za wasanii wengine kama chidi benz UNK na wengineo imeelezwa kuwa na video ya wimbo huo pia iko tayari jamani muda si mrefu UNK mwaka UNK ni jana tu UNK mwezi wa tano naomba UNK kuendelea kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuendelea UNK pumzi na kwa UNK UNK kazi za mikono yetu ndugu yenu kutoka pande hizi naomba niendelee kuwashukuru ninyi wasomaji wangu kwa hamasa na changamoto UNK nadhani ninyi mtakuwa mashahidi kurasa hii UNK zaidi ni ni wazi kwamba mambo hapa yatakuwa yakienda yakiongezeka mara nyingi nimekuwa nikipata bahati ya kuwepo kwenye vikao vya usuluhishi wa migogoro mingi ya wanandoa nasema bahati kwa sababu ni kutokana na migogoro hiyo nimejifunza vitu UNK ambavyo hata mimi nilikuwa UNK UNK kusikia wawili UNK UNK wazi kuwa UNK alikaa kimya UNK na ndiyo sababu tuko pale katika vikao vya namna ile utasikia wazee wakisema kikao hiki UNK baraka ile ni ya wale wawili wanaojaribu kuzungumza mambo yaliyo jaa UNK mwao na kisha kuunganisha tena wakiwa wanaanza maisha mapya baada ya kukunjua UNK vyao mwanzoni nilipokuwa naanza kuhudhuria vikao vya usuluhishi kama vile nilijikuta UNK upande mmoja baada ya kusikiliza pande zote mbili zikieleza kuhusu UNK lakini UNK kugundua kuwa kumbe na upande wa pili nao UNK ya kujibu vile wale kuongea ndivyo dawa yenyewe inapofanya kazi mbaya tu ni kwamba hawa watu wangekuwa wawazi baina yao wakiwa pekee yao labda mambo yao UNK namna hii sijui UNK jamani kwa maneno rahisi kabisa ni kwamba kujieleza kila mmoja UNK nafasi mwenzako kujua UNK nini na anataka afanyiwe nini hasa migogoro inakuja kwa sababu mtu mmoja kati yenu UNK mwenzake UNK kama UNK sema na UNK UNK tofauti UNK na kama UNK liko kifuani basi UNK UNK kuhesabu makosa ya mwenzie bila ya yeye kujijua UNK na mwenyewe labda niseme hivi kila kitu huwa kinakuja kwa sababu fulani na huo ndiyo ukweli na linapokuja suala hili basi matatizo mengi yanayozungumzwa huenda yangeweza UNK mapema UNK huku kama hivyo ndivyo usiogope kumwambia UNK unavyotaka UNK kwani asipofanya UNK kwa kuwa hawezi kujua na kama UNK jua basi hawezi UNK na kama UNK jua UNK na kama UNK basi mengine ndiyo haya yatokanayo ni hayo tu kwa leo eti UNK hamu ya ndoa jamani UNK umri unaenda mtu mzima n na miaka hii thebathini na tatu sasa nahisi kama UNK hivi au UNK UNK ngoja niangalie kushoto na kulia kisha nikae upande wa pili wa UNK niwe mpinzani wao nahisi italeta maana tafakuri yetu ya leo jamani inatokana kama kawaida na ujumbe mwingi ambao huletwa na wasomaji wetu kwa kawaida huwa naangalia wasomaji wengi UNK kuhusiana na nini wengi wao wiki hii UNK na penzi wanataka kuhamia kwa wapenzi wao wake kwa waume tatizo liko kwa akinadada wanahisi kama UNK tu ndio kuolewa basi maana kutakuwa hamna jipya vijana kama vijana wamekaa chini na kujadiliana jinsi hizi pesa za kwenda nyumba za wageni UNK au mara huyu kampa huyu hela ya kula wakati wangekuwa nyumba moja UNK na kula kwa gharama nafuu na ule ukaribu tu wa kushauriana hili na lile ukiwepo pia ni sawa maana kama UNK tabia huu ndio muda wake lakini sasa UNK wanadai UNK UNK na mtoto wa kiume kuolewa sahau UNK kisha UNK hii ni kweli au ndio twende kwenye UNK UNK haya twendeni UNK kwa mtazamo wangu mimi UNK hili huku UNK UNK kwamba si lazima uamini kila UNK mimi kwani na mimi jamani ni binadamu wa kawaida tu ambaye nina mapungufu yangu UNK pumba chukua nafaka UNK kwa nia njema mbona fresh tu kuna kitu kimoja ambacho mimi UNK kila siku katika maisha yangu na nina imani kwamba hii ni moja ya imani ambazo UNK nazo UNK penzi huleta mabadiliko makubwa katika maisha ya binadamu kama ulikuwa hujui sasa wewe una nia njema na mwenzako kwa nini UNK usafi wa nia huleta mabadiliko kama ulikuwa hujui sasa hapa ujue kuna nini mtu anaweza akawa kabisa ana nia ya UNK aishi na wewe kisha UNK lakini kuna moja lipo wazi sana mwanamke ukiamua kum badilisha mwenzako mawazo mbona ni kazi ndogo tu huduma zile za baba mwenye nyumba kutoka kwa mama UNK kila kitu na akitoka kwenye mtego huu huyo UNK UNK naye UNK anza asubuhi maji ya kuoga atavaa nini mchana UNK sms za UNK kula kama anafanya kazi jioni akitoka kazini mambo yetu yale kama kawaida nina uhakika nia njema hujenga njia njema mbili hapa ndio penye ukweli ujue bwana sisi vijana wa mjini tuna tabia moja ambayo watu wanahisi ni muhimu na ya kudumu lakini ni mbaya sana ya uongo UNK mapenzi kila mmoja UNK mwenzako kuhusiana na jambo moja ama jingine si kwa nia mbaya lakini mara nyingi huwa ni katika kuhakikisha kwamba uhusiano unakaa kwenye mstari lakini mwisho wa siku uongo ni m baya unaona bwana sasa katika kuhakikisha kwamba UNK uhusiano salama njia njema ya kuujua ukweli ni kuishi pamoja mnanisoma UNK pamoja lolote UNK utalijua tu na mimi nahisi ni bora ukae miezi mitatu na kuujua ukweli ili kama UNK UNK kabla mambo UNK mabaya kuliko kukimbilia kufunga UNK za maisha halafu unakutana na mambo makubwa ukiwa ndani tayari ujue ni balaa watu wakitaka yao UNK makucha bwana hujifanya kuwa na tabia ambayo ni njema sana kwa sababu tu anataka lake UNK UNK sasa ndio unaanza kusema UNK kumbe UNK wakati UNK kwa sasa kwa kuwa UNK tabia halisi kabisa ndio inakuja sasa sasa kuliko mtu UNK ujinga akiwa tayari UNK pingu za maisha ni bora UNK tabia zake za kweli ukiwa kama nje ya uwanja ili ufanye maamuzi sahihi kama UNK haya kama unahisi UNK UNK ni bora UNK UNK penzi la kweli UNK kama una penzi la kweli inakuwaje UNK penzi la kweli UNK na watu hawa kama UNK kama wana mapungufu huamua kuambiana ukweli na UNK na sio kuamua kuumizana na mwisho wa siku kuachana kwa hiyo kama una penzi la kweli kwa mwenzio ujue kuna uwezekano mkubwa sana wa kudumu tabia UNK na penzi kaa ulikuwa hujui nikupe njia UNK kwanza ule utamu wenyewe mwenzio ukiona UNK sasa mwambie hutaki hiki na hiki na kile umeona bwana UNK mwenyewe na mtakuwa sawa mi nakwambia huna haja ya kuogopa kwamba nikikaa naye penzi UNK kutakuwa hamna jipya kwamba UNK UNK wasiwasi wangu ni kwamba huenda UNK bwana mambo yakawa mazuri kiasi mwenyewe UNK jamani mimi mwenzenu naishia hapa kuna watu wanasema wao hawana simu kabisa lakini wanataka kuwasiliana na ukurasa huu basi anuani ya posta jamani p o box elfu kumi na tisa na mia saba na hamsini na nne UNK haya makubwa eti mpaka UNK leo nakuja na staili mpya kidogo msomaji wa safu hii UNK kisa cha mkewe UNK moja kwa moja kwa msomaji huyu kwa UNK na UNK mkasa huu UNK wala UNK habari zenu wasomaji mimi ni mtanzania mwenzenu na msomaji mzuri wa gazeti la mwananchi nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana hadithi zenye mafunzo zinazotolewa kwenye kona hii sikuwahi kufikiria hata siku moja kama yanayoandikwa hapa ni kweli mara kadhaa UNK ni watu ambao wameamua kufurahisha baraza lakini UNK mimi pengine yanaweza kuonekana kichekesho zaidi kwa kuwa hakuna mtu anayeweza kuamini kama mke wangu anataka niwe UNK ili UNK kuwa nampenda UNK mwanamke wa kikurya mwaka mmoja uliopita lakini kuna tabia ya ajabu ambayo mke wangu amekuwa nayo UNK kama binadamu UNK mara kwa mara lakini inapotokea yeye UNK UNK makosa yake na kumwambia kuwa UNK huwa namuona hana furaha kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza huyu mwanamke ni wa aina gani kwani UNK na mwenzako akasema UNK kwa hakika ni jambo la kufurahia sana lakini kwake haikuwa hivyo siku moja aliniudhi sana nilirudi nyumbani kama saa kumi na mbili hivi na kumkuta akiwa nyumbani hajaenda shule kumfuata mtoto UNK kwanini mpaka muda ule hajaenda kumfuata mtoto UNK kuwa alikuwa saluni UNK bila kumuuliza tena nilijikuta UNK kibao cha nguvu na kuondoka zangu kwenda kumfuata mtoto shuleni baadae niliporudi nilikutana na hali ambayo haikuwa ya kawaida mke wangu alikuwa na furaha sana nilimuuliza iwapo kumuacha mtoto shuleni mpaka muda ule lilikuwa jambo la kumfurahisha kiasi hicho akiwa na raha za ajabu aliniambia kuwa siku hiyo kwa mara ya kwanza UNK kuwa nampenda bendi ya jahro sound leo inatarajia UNK kifo cha mwanamuziki nguli wa muziki wa regge duniani hayati robert nesta marley bob marley ambaye alifariki dunia mei kumi na moja mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na moja akiwa na miaka thebathini na sita huko miami florida nchini marekani kwa ugonjwa wa mapafu hayati bob marley mei kumi na moja mwaka huu atakuwa ametimiza miaka ishirini na nane toka kifo chake kutokana na mwezi mei kuwa mwezi UNK hayati bob marley watu wengi wamekua UNK mwezi huo kuwa mwezi wa amani na upendo kwa kuzingatia kuwa muziki wa reggae unaashiria upendo na amani jahro sound wameamua kuwaletea wadau wa jijini dar dansi la reggae la kumuenzi muasisi wa miondoko hiyo hayati bob marley tukio hilo linatarajiwa kufanyika mei mbili mwaka huu katika ukumbi wa kilimanjaro uliopo mwenge jijini dar es salaam aidha waandaaji wa tamasha hilo wamesema kuwa wamejiandaa vya kutosha katika kumuenzi muasisi huyo katika pasipoti yake kulikuwa na jina la mwanzo na la katikati baba yake norval UNK marley aliyekuwa na asili ya watu weupe alitokea UNK jamaica norval alikuwa ofisa wa baharini na kapteni nahodha ambapo alijenga familia yake baada ya kumuoa UNK UNK aliyekuwa na asili ya watu weusi mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na tano wakati bob marley alipokuwa na umri wa miaka kumi baba yake alifariki kwa ugonjwa wa moyo akiwa na umri wa miaka sitini ndipo bob marley alipoanza kutafakari namna gani UNK kuishi siwezi UNK UNK wangu muda mwingi nikikaa maana kuna wengine UNK mimi mweusi na wengine UNK half UNK au vyovyote ni maneno ambayo alikuwa UNK bob marley akiongea mara kwa mara ingawaje marley alikuwa akijua yeye ni mchanganyiko hasa upande wa wazazi wake kutokana na staili yake ya maisha pamoja na imani zake alikuwa akiishi na kufuata taratibu zote za watu weusi katika kudhihirisha hilo aliimba nyimbo nyingi kama mtu mweusi zikiwemo black progress african UNK UNK UNK UNK na nyingine nyingi ambazo marley aliimba kuhusiana na namna ya kutafuta uhuru pamoja na haki za mtu UNK baadaye alikutana na peter UNK ambaye awali alijulikana kama peter tosh ambaye naye alikuwa anapenda muziki wa UNK mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na mbili marley alirekodi singo zake mbili za kwanza UNK not na one cup of coffee akiwa na prodyuza UNK kong mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na tatu bob marley UNK UNK peter tosh junior UNK UNK UNK na cherry smith waliunda kundi lao jipya ambalo wao wenyewe UNK the UNK na baadaye walibadili jina na kuita the wailing UNK na baadaye the wailing UNK mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na sita marley alimuoa rita anderson na kuondoka na kwenda kuishi karibu na mama yake alianza kufanya kazi marekani na baadaye alirudi jamaica na kuwa miongoni mwa UNK ilipofika elfu moja na mia tisa na sabini na tano marley akawa mwanamuziki wa kimataifa kupitia wimbo wake UNK duniani no woman no UNK kutoka katika albamu ya UNK UNK alihama jamaica mwishoni mwa elfu moja na mia tisa na sabini na sita na kwenda ujerumani ambapo alirekodi albamu mbili exodus na kaya vibao kama exodus UNK in UNK UNK one love na people get UNK aliendelea kutamba na vibao kama zimbabwe africa UNK wake up and live na UNK kwa mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na tisa mwaka elfu moja na mia tisa na themanini alitoa albamu yake ya mwisho ambayo UNK mpaka sasa kwa vibao kama UNK song na UNK UNK UNK alipanda ndege ujerumani akielekea nyumbani jamaica marley alianza kuumwa na kupelekwa moja kwa moja miami kwa ajili ya matibabu alifariki katika hospitali ya UNK lebanon miami florida asubuhi ya mei kumi na moja elfu moja na mia tisa na themanini na moja akiwa na umri wa miaka thebathini na sita hiyo ilisababisha na UNK katika mapafu yake pamoja na ubongo ambavyo UNK kifo chake maneno yake ya mwisho kwa mtoto wake UNK ni alisema money can t UNK UNK marley alirudishwa na kuzikwa jamaica mei ishirini na moja elfu moja na mia tisa na themanini na moja mwezi mmoja baada ya kifo chake marley alizawadiwa tuzo kama mwanamuziki bora wa jamaica mpaka sasa ameweza kupata tuzo mbalimbali za grammy na nyinginezo nyingi bob marley ana watoto kumi na mbili watatu akiwa amezaa na mkewe rita marley katika hali ya kawaida tu ukipata kusikiliza wimbo pip pip wa mwanamuziki malima lawrence aka marlaw kwa mara ya kwanza lazima UNK hamasa ya UNK mara nyingine na nyingine zaidi kwa mara nyingine tena bwana malima ameweza kuwashika mashabiki wa rika zote kwa wimbo wake huu wa pip pip ambao unatamba sana kwenye vituo vya redio nchini na kwenye chati mbalimbali kwa mujibu wake marlaw aliongea na starehe na kusema kwamba pip pip UNK baada ya kuona kero za barabarani zimezidi na kuamua kuweka ujumbe huo kwa vyombo husika kwa njia ya wimbo kero za foleni hapa nchini zimezidi sana na kitu hiki tumeshindwa kabisa UNK hivyo nilichukua nafasi hii mimi kama kioo cha jamii kuwasilisha kwa vyombo husika marlaw kama umepata UNK wimbo huu vyema basi marlaw analalamika jinsi UNK mpenzi wake na sababu kubwa ikiwa ni foleni barabarani na hicho ndicho yeye alikuwa anataka vyombo husika UNK ili waweze kufanyia kazi katika safari ya kimuziki ya marlaw imekuwa ni rahisi sana kwake kufika hapa alipo kwa kuwa ameweza kuonesha juhudi kwa kutoa kazi nzuri kwa kipindi kifupi UNK kwenye muziki wimbo wake wa kwanza ulikuwa ni UNK na uliweza kumtambulisha vyema kwa mashabiki kwa kuwa kazi ilikuwa nzuri na yenye ujumbe UNK marlow hakuchoka kwani aliachia kazi nyingine mfululizo kama UNK busu la UNK bado UNK na UNK na kuachia albam ambayo ilikuwa UNK kupokelewa kwake vizuri kwenye gemu ndiyo kumesababisha yeye kupata moyo wa kufanya kazi bora zaidi ya zile za zamani na hivyo watu UNK marlaw mpya kwani kazi imeanza upya nataka nifike hatua flani ambazo UNK UNK maradufu ya hii leo na ndiyo maana tukija kwenye suala la kazi zangu huwa UNK uzi kwani najua muziki ndio kila kitu kwangu marlaw hayo ndiyo maneno ya marlaw na kama UNK mwenyewe kwamba hataki mchezo kwenye kazi basi UNK hizo kazi ambazo anabainisha kwamba zina ubora maradufu wa kazi zake zilizopita na vilevile ujio wa albam yake mpya ambayo mpaka sasa hajajua jina la kuipa albam hiyo akiwa na umri wa miaka kumi alianza kuimba kwaya katika kanisa la anglikan lililopo magomeni jijini dar es salaam aliendelea kuimba mpaka alipofika darasa la saba na baada ya masomo kubana jamaa akaona ni bora kuzidisha nguvu kwenye kitabu alifanikiwa kuendelea na masomo katika shule ya sekondari ya st antony na baadaye kuingia masomo ya elimu ya juu ya sekondari katika shule ya st mathew na kufanikiwa kuhitimu kidato cha sita wakati huo aliendelea na muziki akiwa shule alitegemewa sana katika kupamba matamasha mbalimbali kwa UNK baada ya kuhitimu kutokana na kipaji alichokuwa nacho aliamua kuingia studio na kurekodi singo yake ya kwanza iliyokwenda kwa jina la nisamehe iliyokuwa na mahadhi ya regge ambayo haikufanya vema katika chati za muziki mwenyewe anakiri huenda alikuwa bado chipukizi anaitwa stephen UNK maarufu kama steve e kijana ambaye UNK zaidi mara baada ya kushirikishwa katika singo ya mr blue ya tabasamu ambayo mwenyewe anakiri kuwa ndiyo iliyomtoa kisanii na mpaka sasa UNK sogea karibu ni singo ambayo imeanza kusumbua hivi sasa katika medani ya muziki wa kizazi kipya akiwa amemshirikisha mwanadada dataz singo ambayo imetengenezwa katika studio za UNK records chini ya prodyuza nice p wakati huo huo video yake ikiwa imefanywa na UNK UNK na tayari UNK katika vituo mbalimbali vya televisheni UNK kurushwa UNK steve anasema kuwa wasanii chipukizi wanakabiliwa na tatizo hili na walio wengi hushindwa kufikia malengo na matokea yake kuamua kuachana na muziki steve alielezea namna alivyoweza kukutana na blue na kukubaliana kufanya naye kazi nikiwa UNK kazi zangu katika studio ya UNK sound kwa prodyuza water ndipo nilipokutana na mr blue wakati huo alikuwa UNK sana mtu wa kuweza kufanya naye singo hiyo lakini alikuwa bado UNK baada ya kukutana ndipo tulipoanza mikakati ya kutengeneza singo hiyo na baadaye ikafuatiwa na video yake na haikuchukua muda UNK hewani wakati huo mimi nikiwa bado sijapata meneja wa kusimamia kazi zangu baadaye nilikuja kumpata tippo ndiye ambaye UNK mkataba kwake na mpaka sasa tayari UNK nyimbo zipatazo nne nikiwa chini ya tippo anasema steve na kuongeza baada ya kufanya kazi na blue ndipo UNK kujua namna ya kuwa serious na kazi kwani awali nilifanya muziki kutokana na kusubiri majibu ya kidato cha sita na nilikuwa sijui hatma ya muziki ambao nilikuwa UNK anasema steve ni mwanamuziki ambaye anaimba staili ya r b ambayo UNK kufananishwa sana na mr blue hasa katika UNK zake kitu ambacho yeye UNK kuwa UNK na blue siyo kweli kwani muziki wangu naamini nipo pekee na UNK na blue kwani ile ni UNK hivyo vionjo ilikuwa lazima UNK anasema msanii huyu anazidi kufafanua kwamba r b ni staili ya muziki ambayo kwa hapa bongo bado UNK kasi kutokana na kutothaminiwa au bado ipo chini na kuonekana ni staili ambayo UNK na watu wachache tena wa aina fulani pekee lakini ni staili ambayo UNK zaidi na vijana licha ya kuwa chini ya tippo msanii huyu bado yupo shule katika chuo cha UNK kitengo cha it akiwa mwaka wa kwanza steve anasema kuwa anapata shida sana kujipanga kimasomo pamoja na muziki kwa wakati mmoja lakini anafanikiwa kutokana na kuweka siku maalum kwa ajili ya muziki tu UNK katika kuhakikisha ninafanya vizuri katika masomo yangu kwani naamini kwamba masomo ni suala la msingi zaidi na muziki unafuatia baadaye naamini elimu ndiyo UNK ili niweze kufikia malengo yangu ya kuwa mwanamuziki wa kimataifa anasema anaeleza kuwa wasanii wengi wanapenda njia za mkato katika kupata mafanikio ya haraka jambo UNK kuingia katika mikataba ambayo wanakuwa hawajui mwisho wake ni nini wanamuziki wengi wamekuwa hawaelewi na wengi UNK muziki kama tegemezi huku wakisahau kuwa muziki ni mapito kwani UNK ladha hivyo inampasa mwanamuziki kubadilika kutulia na pia muonekano kwa jamii ndio chambo UNK steve anatarajia kuja na albamu yake mpya ya kwanza mwezi agosti mwaka huu ambayo bado UNK jina mpaka sasa albamu hiyo ina jumla ya nyimbo sita ikiwamo nisamehe nimeshindwa baby girl ft ngwea sogea karibu UNK UNK dataz ambao tayari unafanya vema hivi sasa homa ya moyo pamoja na UNK hii ni kwa mara ya kwanza kabisa nchini kushuhudia tuzo za elimu zikitolewa kwa wanafunzi waliofanya vizuri kwenye ngazi za shule za msingi pamoja na sekondari na katika utoaji huo wa tuzo wanamuziki mbalimbali ambao ni profesa jay UNK na UNK tundaman spark pamoja na kundi zima la bongo dar es salaam wakiwemo kusindikiza utoaji wa tuzo hizo mwezi ujao ndani ya viwanja vya leaders tumezoea kusikia tuzo zinatolewa kwa wanamuziki bora waigizaji bora wachezaji bora na tuzo nyingine mbalimbali lakini kwa hapa nchini hatujawahi kusikia tuzo zinatolewa kwa wanafunzi bora nchini lakini kwa mara ya kwanza UNK UNK tuzo kwa wanafunzi bora nchini ambazo zitakuwa na lengo moja kuu na la muhimu la kutaka kuwapa moyo wanafunzi ili waweze kufanya vizuri na kuinua elimu nchini mmoja wa waandaaji wa tuzo hizo za elimu godfrey maginga alisema kwamba yeye pamoja na wenzake waliweza kukaa chini na kujiuliza maswali kwanini kila siku UNK tuzo mbalimbali na elimu inakuwa inapewa UNK na ndiyo maana wameamua kuchukua uamuzi wa kuandaa tuzo hizo maalumu kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari tanzania kila siku tunasikia tuzo kwa wasanii mbalimbali lakini hata siku moja hatujawahi kusikia tuzo kwa wanafunzi ambao ni kizazi chetu cha kesho hivyo ndiyo maana tuliamua kuandaa tuzo hizi za wanafunzi wanaofanya vizuri nchini alisema godwin maganga akielezea kuhusu mchakato mzima wa tuzo hizo msemaji huyo alisema tuzo haziwezi kutolewa bila ya burudani yeyote ile hivyo kusindikiza utoaji wa tuzo hizo wameamua kuwaalika wanamuziki mbalimbali ambao nao watahamasisha wanafunzi kushiriki mashindano ambayo UNK kupata tuzo hizo pamoja na burudani starehe iliweza kuongea na baadhi ya wanamuziki hao ambao watatoa burudani siku hiyo na walisema kwamba ni moja ya changamoto ambayo itaweza kuamsha juhudi za wanafunzi nchini kufanya vizuri mashuleni kwakweli ni moja kati ya tuzo ambazo UNK mwamko wanafunzi wa kusoma kwa bidii ili waweze kupata tuzo hizo UNK naye profesa jay mzee wa UNK alisema kwamba tuzo hizo ni moja kati ya tuzo zinazotakiwa kupewa heshima zake nchini kwakuwa ni moja kati ya tuzo ambazo zinaweza kuibua viongozi wa kesho tuzo hizi za elimu tanzania zinatakiwa UNK heshima yake kutokana na kuwa na UNK tunaweza kuona kwamba hata viongozi wetu wa kesho wanaweza kutoka kwenye tuzo hizi profesa jay utoaji wa tuzo hizo unatarajiwa kufanyika mwezi ujao ndani ya viwanja vya leaders timu ya taifa ya jamhuri ya kidemokrasi ya kongo inatarajiwa kuwasili leo kwa makundi mawili tofauti kwa kutumia ndege ya shirika la kenya kundi la kwanza la watu kumi na nne UNK kinshasa linatarajia kuwasili dar es salaam saa kumi na mbili thebathini na tano jioni wakati kundi la pili la watu kumi na moja UNK lubumbashi UNK saa tatu kumi usiku taarifa ya shirikisho la soka tanzania ilieleza kuwa kundi linalotoka kinshasa linajumuisha viongozi wa ufundi na wachezaji wanaotoka katika klabu mbalimbali isipokuwa klabu ya tp mazembe yenye makao UNK ambayo wachezaji wake na baadhi ya viongozi ndio watakaosafiri wakitokea mjini humo drc inayokuja inajumuisha wachezaji wote nyota wa kikosi UNK ubingwa wa michuano ya afrika kwa wachezaji wa ndani iliyofanyika huko ivory coast mapema mwaka huu wachezaji hao nyota ni pamoja na UNK bora wa fainali hizo tresor mabi mputu na mlinda mlango muteba UNK safari ya arsenal kusaka taji msimu huu imemalizika jana usiku bada ya kuchapwa na manchester united katika nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya kwa mabao tatu moja bao la kipindi cha kwanza la ji sung park na mawili ya cristiano ronaldo moja kila kipindi yameiwezesha manchester united kukata tiketi ya fainali ya mjini rome italia mei ishirini na saba kwa ushindi wa jumla wa mabao nne moja kutokana na ushindi united inasubiri mshindi wa leo baina ya barcelona na chelsea katika mchezo huo dakika kumi na moja za kwanza UNK kuipa united uongozi wa mabao hayo ambayo UNK hadi dakika arobaini na tano za kwanza za mchezo huo ambao beki kinda wa arsenal UNK gibbs ambaye alikuwa shujaa wa mchezo wa kwanza UNK katika dakika za mwisho arsenal walipata bao la kufutia machozi kwa mkwaju wa penalti kupitia kwa robin van persie baada ya kuchezewa rafu na darren fletcher ambaye alitolewa kwa kadi nyekundu na mwamuzi ferguson alifanya mabadiliko kadhaa kipindi cha pili kwa kuwatoa patrice evra na rooney wayne na kuingia rafael na dimitar UNK wawili hao walikuwa katika hatari ya kukosa mchezo wa fainali kutokana na kuwa na kadi za njano kabla ya mechi hiyo arsenal haikuwa imefungwa bao katika michezo mitano ya ligi ya mabingwa ulaya msimu huu ingawa haikuwahi kuifunga timu pinzani ya england katika michuano ya ulaya man united ilikuwa imefanikiwa kufunga katika kila mechi iliyocheza uwanja wa emirates na kudumisha rekodi yake ingawa arsenal imeendeleza matokeo mabaya na kushindwa kusonga mbele katika michuano ya ulaya hadi jana arsenal haikuwa imepoteza mechi ishirini na nne za ligi hiyo tangu UNK na chelsea mabao mbili moja katika uwanja wake wa zamani UNK mwaka ishirini sifuri nne man united van der sar o shea ferdinand vidic evra fletcher carrick anderson park ronaldo rooney kocha wa timu ya moro united fred felix minziro ambaye pia ni kocha wa timu ya wilaya UNK inayojiandaa na michuano ya kombe la taifa pamoja na msaidizi wake abeid mziba wamefungiwa na shirikisho la soka tanzania kutojihusisha na soka kwa muda wa miezi mitatu na kulipa faini ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri hatua hiyo imefikiwa na kamati ya mashindano ya tff iliyokutana juzi kupitia ripoti za michezo ya mwisho ya ligi kuu ya tanzania bara ambayo imemalizika hivi karibuni akizungumza na mwananchi jana ofisa habari wa tff florian kaijage alisema UNK za UNK kwa makocha hao ni kukiuka taratibu na kanuni za ligi kuu katika pambano UNK timu yao united na prisons UNK kwenye uwanja wa sokoine mjini mbeya pia kamati ya mashindano ya imemfungia mwenyekiti wa moro united abdul sauko kutojihusisha na soka kwa kipindi cha miezi sita na kulipa faini ya shilingi milioni moja baada ya kufanya fujo na kumtukana aliyekuwa kamishina wa mchezo david UNK timu ya simba yenyewe imepigwa faini ya shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri kufuatia shabiki wa timu hiyo frank mwaipopo kumvamia mwamuzi aliyechezesha mechi baina ya timu hiyo na polisi dodoma mjini dodoma hata hivyo mwaipopo naye amefungiwa kujihusisha na soka ikiwa ni pamoja na kuhudhuria mechi yeyote kwa mda wa miezi mitatu alisema kaijage alisema mtibwa sugar imepigwa faini ya shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri baada ya kiongozi wake kuingia katika mkutano wa kabla ya mechi na kudanganya kuwa ni daktari wa timu pia kamati hiyo baada ya kupitia ripoti nyingine ilibaini kosa kama hilo ambalo UNK mwenyekiti wa moro united abdul sauko na kumpiga faini nyingine ya shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri sifuri UNK kufungiwa kwa minziro uongozi wa chama cha soka wilaya ya temeke UNK imepewa hadhi ya mkoa katika michuano ya kombe la taifa unatafuta kocha mwingine ambaye atakiongoza kikosi cha timu hiyo kwenye michuano hiyo ambayo inaanza kutimua vumbi mei kumi mshambuliaji lionel messi UNK chelsea akidai inaogopa kuwashambulia jambo ambalo linaufanya mchezo wa marudiano wa nusu fainali baina ya timu zao leo usiku kuwa mgumu alisema kabla ya timu kuondoka kwenda london kuikabili chelsea kuwa mbinu hizo chafu zinazotumiwa na vijana wa guus hiddink zitawaponza na kamwe UNK wapinzani wao kauli hiyo hata hivyo inapingana na msimamo wa nahodha wa chelsea john terry ambaye ameapa kuwa watatumia mchezo tofauti na ule wa wiki iliyopita ambapo UNK zaidi messi ambaye aliifungia barcelona mabao mawili katika ushindi mnono wa mabao sita mbili dhidi ya real madrid katika uwanja wa bernabeu UNK kuwa chelsea hawana budi UNK alisema nina matumaini ya kuiona chelsea ikicheza zaidi mchezo wazi pengine mchezo wetu dhidi ya madrid UNK kubadilika na kucheza soka ili washinde lakini nasi tunataka ushindi alimshangaa hiddink kushindwa kutimiza ahadi yake ya kushambulia na badala yake vijana wake kujihami kwa dakika zote tisini aliionya chelsea kuwa itakutana na zinedine zidane mpya aliyeko barca andres iniesta alisema andres ana kiwango kama cha UNK anafanya vitu vikubwa uwanjani ni mchezaji wa aina yake kikosini UNK UNK na wachezaji nyota chelsea UNK barca kucheza na kupachika bao katika mchezo huo ambao walikosa nafasi kadhaa huku kipa petr cech kucheza vizuri na kuokoa hatari nyingi alimtuhumu mwamuzi wa mchezo huo UNK stark kwa kuipendelea chelsea na kushindwa kuwapa kadi walipocheza rafu wakali hao wa UNK waliamini kuwa UNK haki stark UNK kwa kadi nyekundu kiungo michael ballack UNK rafu kiungo andres iniesta na pia UNK penalti baada ya beki jose bosingwa kumfunga shati thierry UNK mchezo wa leo utakuwa chini ya mwamuzi raia wa norway tom UNK ambaye hawajawahi kuchezesha mechi ya chelsea lakini alichezesha mechi ya raundi ya pili baina ya barca dhidi ya olympique lyon katika mchezo huo UNK kadi za njano wachezaji wa lyon ambao UNK mabao manne katika kipindi cha kwanza barca ilishinda mchezo huo tano mbili mshambuliaji wa simba na taifa stars mussa hassan mgosi ameeleza kushangazwa na kiwango cha mchezo wa soka nchini india ambako wachezaji kutoka mataifa mbalimbali ya afrika wanalipwa kiasi kikubwa cha fedha kama mishahara na marupurupu mengine alisema kinyume na inavyodhaniwa na wengi india ina wachezaji wengi kutoka nchi za nigeria senegal ivory coast na ghana wanaocheza ligi ya soka ya nchi hiyo kuliko wenyeji mgosi alisema kuwa wachezaji hao wamekuwa wakilipwa fedha nyingi kuliko wachezaji wanaokwenda kucheza soka la kulipwa katika nchi nyingine kama norway na sudan alisema ameona kuwa mchezaji wa kiwango cha chini kabisa tena wa kutoka ndani ya nchi hiyo katika timu aliyokuwa akifanya nayo majaribio analipwa kiasi cha dola tano sifuri sifuri sifuri za tanzania kiasi ambacho hakuna mchezaji anayelipwa fedha hizo nchini alisema kuwa kiwango hicho ndio kinamfanya afikirie zaidi kwenda kucheza soka nchini humo kama mambo yake yatakuwa UNK vizuri malengo yangu kwa sasa ni kwenda kucheza soka nchini india kwa sababu najua watanilipa vizuri na maisha yangu yatakuwa mazuri na kuongeza kuwa hata kama ataondoka simba UNK faida kwani ni timu pekee UNK hadi hapo UNK alisema kuwa angependa kuondoka simba akiwa na mkataba na timu hiyo ili iweze kufaidika kupitia kwake ikiwa kama ni kulipa fadhila kwa timu hiyo ambayo UNK maisha mazuri ya kisoka na kimaisha kocha wa taifa stars marcio maximo amesema kikosi chake kiko tayari kwa mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya jamhuri ya kidemokrasia ya kongo mchezo kati ya timu hizo mbili umepangwa kufanyika mei tisa kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam akizungumza jijini dar es salaam jana wakati wa mazoezi ya timu hiyo kwenye uwanja wa karume maximo alisema amemaliza suala la kuwaunganisha wachezaji waweze kucheza kitimu na sasa anashughulikia masuala ya kiufundi tunaweza kuingia uwanjani sasa na kufanya kitu kinachoonekana wiki iliyopita nilikuwa najaribu kuwaunganisha wachezaji kwa vile baadhi yao ndio kwanza wameingia kwenye timu hii lakini kazi hiyo imemalizika na sasa UNK na mambo ya UNK zaidi alisema maximo kwa upande wake kocha wa viungo marcelo guerreiro ambaye kwa mara ya kwanza alishiriki katika mazoezi hayo tangu awasili nchini alisema UNK na uwezo pamoja na uwajibikaji wa wachezaji hao isipokuwa wanahitaji muda wa kujengwa miili yao wengi wao UNK wanao uwezo na wanawajibika kadri mwalimu UNK isipokuwa wanahitaji kujengwa kimwili zaidi kwa mfano yule cannavaro anacheza kwa nguvu na kujituma lakini bado anatakiwa aongeze mwili alisema UNK katika hatua nyingine katibu mkuu wa shirikisho la soka tanzania frederick mwakalebela alisema kikosi cha drc kinatarajia kutua nchini leo lakini akaongeza kuwa taarifa kamili juu ya ujio huo zingetolewa baadaye jana jioni daktari wa mwanamuziki jennifer hudson UNK dada huyo asifanye ziara nyingi za kikazi kwa sababu ni hatari kwa afya yake imefahamika kwamba daktari amemtaka dada huyo UNK ili kulinda ujauzito wake ambao una wiki chache rafiki wa karibu wa jennifer alisema mwanamuziki huyo amechanganyikiwa baada ya taarifa hiyo kwa sababu ameandaa safari hizo kwa gharama kubwa rafiki wa mwanamuziki huyo alisema sifahamu nini kinaendelea kwa sasa lakini siku mbili zilizopita mwanamuziki huyo alikuwa na mawazo mengi hataki kupoteza mtoto wake tumboni wala hataki kupata hasara atafanya uamuzi baada ya siku chache alisema rafiki huyo ray j ambaye awali hakuwa tayari kuweka bayana uhusiano wake wa UNK na UNK UNK amepigwa kumbo na mpenzi wake baada ya dada huyo kuwa wa kwanza kutoa tamko ana uhusiano wa kimapenzi na p diddy au tyrese lakini ukweli ni kuwa hao ni marafiki zake wa kawaida UNK sana watu hao kwa sababu UNK katika mambo mengi sikutaka kuweka wazi kuhusu mpenzi wangu awali kwa sababu binafsi lakini sasa UNK kuwa ray j ndio mwanaume wangu nimekuwa na uhusiano na mwanaume huyo kwa muda mrefu sasa sikutaka vyombo vya habari UNK kwa sababu haiwahusu alisema UNK tangu nilipoanza uhusiano na ray j maisha yamekuwa matamu sana hakuna mwanaume UNK raha kama yeye UNK sana ninafurahi kwa sababu uhusiano wetu unakwenda vema hatimaye maggie gyllenhaal mwenye umri wa miaka thebathini na moja amefunga ndoa na mpenzi wake peter UNK wapenzi hao ambao wamekuwa na uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne sasa walifunga pingu ya maisha nchini italia UNK kusema maggie na peter wamefunga ndoa wiki hii alisema mwakilishi wa waigizaji hao UNK ya ndoa yao ilifanyika jijini UNK na miongoni mwa wageni mashuhuri waliohudhuria walikuwa ni UNK gyllenhaal na UNK UNK harusi hiyo UNK na kundi la muziki wa kitamaduni la italia liitwalo UNK kundi hilo UNK nyimbo UNK na bibi harusi ambazo ni UNK UNK you are a UNK thing for me na wimbo unaotamba kwa sasa uitwao UNK baada ya harusi wana ndoa hao ambao wana mtoto wa kike mwenye miaka miwili na nusu waliungana na familia yao na kuendelea na UNK mwanamuziki ciara wiki hii aligeuka kituko baada ya kuingia katika mgahawa mmoja jijini new york marekani akiwa amevaa nguo inayoonyesha matiti yake mwanamuziki huyo ambaye ni mpenzi wa nyota wa miondoko ya rap hamsini cent UNK gauni refu UNK ambalo kitambaa chake cha chini kilikuwa kizito lakini juu kilikuwa chepesi mno kiasi cha kuacha matiti UNK baadhi ya watu waliomshuhudia dada huyo UNK na vazi hilo licha ya kwamba wanaume kadhaa walionekana UNK macho dada mmoja katika mgahawa huo alisema amevaa nguo UNK kitambaa cha juu cha gauni hilo ni kama wavu bila shaka UNK kuonyesha mwili wake ciara ni mwanamuziki anayependa kuacha sehemu kubwa ya mwili wazi ila hapendi kuacha matiti nje na baadhi ya watu wanaona kwamba hiyo ni ajali tu nahodha wa arsenal cesc fabregas amesema msimu huu haukuwa mzuri kwa timu yake alisema tumecheza mechi ishirini na moja bila kufungwa hiyo inaonyesha tulikuwa na maendeleo mazuri lakini tumeshindwa kufanya vema katika michuano ya ligi ya mabingwa ulaya hiyo inaonyesha tumefanya ujinga mwishoni kujikita katika nafasi ya nne katika msimamo wa ligi si sahihi aliongeza misaada ya UNK lakini jamaa wamenipa UNK kwamba ishu zitakuwa shwari mida si mingi na pilika za tauni UNK kuchukua mkondo wake kama kawa dah mwanangu ishu zingine zinahitaji roho ngumu mzee mzima kushusha UNK puani kama UNK wakati jua kali UNK noma unaweza kufikiria kurudi tukuyu fasta UNK mambo yakae sawa pole yangu kwa maswahiba zangu wa UNK mambo hayakuwa mambo UNK jamaa UNK mno hawana hata UNK yaani mwanzo mwisho mchakamchaka tu dah wamefanya hata watu UNK UNK kwa amani lakini hebu UNK kitu hivi kweli mnafikiri kuna haja ya kuendelea kuwa na huyo mzee UNK UNK maoni yako kwenye hizo UNK hapo UNK kwetu bongo tayari ligi kuu bara imeisha na kila mmoja UNK UNK wa simba na yanga wanashangilia kukwea pipa mwakani huku UNK wa moro na UNK ndugu zao wa villa UNK wakilia kwa kushuka daraja kupulizwa kwa kipyenga cha mwisho UNK kwamba msimu wa mavuno ndio umeanza kila mmoja kuvuna kwa urefu wa kamba yake na ishu rasmi na kujua nani anaelekea wapi ndio zinaanza mwezi ujao wanangu lakini kwa misimu kadhaa sasa tumekuwa tukishuhudia wachezaji UNK kimaamuzi inapofika kipindi kama hiki na wengi wao wakishindwa kutofautisha kati ya rangi na maisha hali hiyo imekuwa UNK mkenge wengi wao na kujikuta kwenye matatizo ya kuishia kujutia baadae wakati huu ndio wa wachezaji kutulia na kutumia akili na busara katika kufanya uamuzi wa busara kwa kuzingatia mambo ya msingi na yenye faida huu ndio wakati ambao wapambe na washauri wabovu huwa bega kwa bega na baadhi ya wachezaji wakijifanya ndio washauri lakini msimu wa mavuno UNK UNK mbali kwa kujiuliza yote hayo mchezaji husika anaweza akapata picha halisi kwamba anapaswa kucheza wapi msimu ujao na iwe ni timu ya aina gani soka ni ajira na kila mmoja UNK anapaswa kuweka nguvu zake zote kama kweli anataka mafanikio na anajua nini anachohitaji maishani mwake mchezaji UNK kulewa sifa za viongozi au shabiki zile UNK kama changamoto na sehemu ya kazi yako kama kiongozi UNK kwamba labda wewe mrisho ngassa au mussa mgosi unajua sana umefanya kazi kubwa sana kwetu basi mwisho wa siku UNK maslahi yako uishi maisha bora zaidi na si kwamba unapotaka kuhamia timu nyingine aanze kukupa ahadi za kisiasa na wewe UNK naye kuna mambo kama manne ambayo kila mchezaji anapaswa kuzingatia kabla ya kusaini fomu mpya za usajili na mikataba cha kwanza ni maslahi maisha mikataba na kuweka ushabiki pembeni angalia mustakabali wa maisha yako kwa vile mpira ndio ajira UNK mjini hata kama una biashara zako nyingine zingatia kwanza ile UNK heshima na UNK fedha nyingi kwa mkupuo UNK kubadilika na kwenda mbali zaidi kifikra karibu kila klabu inakuwa na mwanasheria wakati wa UNK mikataba na wachezaji na nyie jitahidini kuwa na mawakili wenu UNK na kuangalia kitaalamu zaidi vipengele UNK sidhani kwamba ni gharama kubwa kuwa na wakili hasa ukizingatia kwamba ni sehemu muhimu zaidi katika muongozo wa kazi yako kwa kipindi cha mwaka mzima wachezaji wengi hawana uelewa wa sheria ndio maana husaini mikataba bila kuchanganua vipengele UNK na baadaye wanaingia kwenye matatizo hata bila kujua halafu UNK mikataba ya kujifunga saini mkataba wa mfupi wa mwaka mmoja tu unatosha msimu UNK salama UNK mambo mengine baadaye kwanini UNK na mkataba wa miaka miwili au mitatu wakati mambo yanabadilika kila kukicha fanyeni mambo kwa kuangalia alama za nyakati na ni vizuri kujaribu kujifunza na kupata uelewa wa mambo kila UNK nafasi msikubali kuburuzwa na watu wachache wenye nguvu zao na ushabiki pia UNK nafasi mchezaji usiangalie mambo ya ushabiki kwamba wewe ni shabiki wa yanga basi uendelee UNK hapo wakati simba au azam pana maslahi mazuri zaidi na wameonyesha nia ya kukupa mkataba acheni kuangalia mambo ya kishabiki soka ndio maisha yenu wakati wa kusaini fomu bure kwa vile tu baba yako rafiki yako au mkeo ni shabiki wa simba UNK kumuudhi si wakati wake angalia mwisho wa siku nini UNK mfukoni kwako kwa kuvaa jezi klabu yako wachezaji wa kitanzania wanapaswa kuiga hasa wanachofanya wachezaji wa kigeni hakuna haja ya kumuogopa mwenyekiti wakati linapokuja suala la kutetea maisha au maslahi yako ndio maana nawaambia kwamba unapopata sekunde moja ya kufanya maamuzi ya mambo yako itumie kikamilifu bila kuogopa mwenyekiti UNK au atafanya nini hao watu ni wajanja mno haswa wakati kama huu wakishapata saini yako basi UNK kufanya maamuzi ukaja kujuta mwaka mzima mwenye macho UNK na mwenye masikio UNK UNK mzee wa UNK matokeo ya kipigo cha mabao tatu moja ambacho arsenal UNK mbele ya mahasimu wao wakubwa manchester united kwenye mechi ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa wa ulaya yalitosha kabisa kuturudisha waswahili kwenye misimamo yetu ya kawaida kwamba ujuzi wa kocha huyo mfaransa sasa umefikia kikomo na hivyo hana budi kuondoka na kuchukuliwa kocha mwingine ambaye UNK arsenal kutwaa kwa mara ya kwanza ubingwa wa ulaya ndivyo wengi UNK kwa kuwa ndivyo UNK mambo yetu kila UNK vibaya hapa tanzania kwamba kocha fulani anaweza eti kufikia kikomo cha ujuzi wake na hivyo ni lazima achukuliwe kocha mwingine ambaye ataweza kuichukua timu fulani kutoka pale UNK imetokea hivyo mara nyingi lakini kila aliyeletwa eti kuivusha timu kutoka kwenye ukomo wa yule aliyeondoka mambo UNK kudumaa vilevile na pengine kushuka kulikoni tuliona jinsi yanga walivyokuwa wakilalamika kuwa eti kiwango cha UNK chamangwana UNK ukomo na hivyo alitakiwa kocha mwingine mwaka waliotangaza msimamo huo na kumuondoa chamangwana ndio mwaka ambao yanga UNK hata ubingwa wa bara na hata tiketi ya kwenda kucheza nje matokeo yake UNK UNK huyo na hakufanya ajizi katika mwaka wake wa kwanza tangu arejeshwe jangwani alitwaa tena ubingwa kwa hiyo unajiuliza hivi matatizo yetu huwa yako wapi ni kwa kocha ambaye anadhaniwa eti ujuzi wake umefikia kikomo au kwa wachezaji ambao hawapewi maandalizi muafaka kwa mechi za kimataifa kama UNK mambo boniface ambani ama kwa kutokuwa na uongozi unaoweza kuchangia kupatikana mafanikio makubwa maana uongozi ambao haujawahi kupata mafanikio makubwa hauwezi UNK lawama kocha kwamba hajapata mafanikio makubwa kwa kuwa eti kiwango chake kimefikia ukomo hicho kiwango cha viongozi UNK ukomo kama waingereza UNK imani hiyo basi UNK zamani kocha alex ferguson katika kazi ya kuifundisha manchester united alianza kazi mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na sita lakini ubingwa wake wa kwanza UNK msimu wa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na mbili tisini na tatu baada ya kusota kwa miaka mingi akijaribu kujenga timu ya ushindi akikumbana na vikwazo kama ulevi wa wachezaji usajili na mengineyo lakini leo hii ferguson ndiye kocha bora si tu uingereza bali pia ulimwenguni hii inatokana na subira na imani waliyokuwa nayo manchester united kwa kocha huyo kutoka scotland pengine kocha mwingine UNK kuwa na mafanikio makubwa kwenye soka la england ni arsene wenger mfaransa UNK arsenal na kuwa timu ya ushindi tangu alipoanza kazi london mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita miaka kumi tangu ferguson atue england mfaransa huyo mwenye digrii ya uhandisi na digrii ya pili ya uchumi ndiye kocha mwenye mafanikio kuliko wote waliowahi kupitia arsenal na ndiye aliyeongoza mageuzi makubwa lakini alitumia wachezaji aliowakuta kutwaa ubingwa msimu wa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba tisini na nane akiwa UNK na tatizo kubwa la ulevi kwa wachezaji hasa mabeki wake wakongwe na kuwarejesha kwenye fomu wakati walikuwa UNK kuacha soka akiwemo nahodha tony UNK lakini sifa yake kuu imekuwa ni kujenga kikosi imara kwa kutumia gharama ndogo na kuinua kiwango cha wachezaji na kuwa na kiwango cha dunia thiery henry george weah victor UNK patrick UNK robin van persie na kolo toure lakini pia ameweza kujenga kikosi ambacho kimepata mafanikio mbalimbali kwa kutumia si chini ya pauni tano milioni kwa mwaka kitu ambacho hakuna kocha anayeweza UNK kwenye ligi kuu ya england viongozi wa arsenal wanaona mengi ndani ya mfaransa huyu na pengine wanaona mwanga mkubwa mbele na ndio maana UNK tofauti na hawa viongozi wa kwetu ambao huwa wa kwanza kusema kocha amefikia ukomo wa ujuzi wake tunahitaji viongozi wanaoweza kuona mambo hayo ndani ya kocha na kumpa nafasi ya kuyatekeleza badala ya kutafuta sifa kwa wanachama na mashabiki na kutimua makocha UNK bila kujali ana mambo gani yanayoweza kuisaidia klabu katika miaka mitano au kumi ijayo hakuna kocha ambaye eti ujuzi wake umefikia kikomo bali kocha anaweza kuondoka au kuondolewa kutokana na mazingira ya wakati huo kutotoa nafasi kwake ya kupata mafanikio na baadhi ya mazingira hayo ni upeo mdogo wa viongozi wa soka ukosefu wa ushirikiano wa ufanisi kati ya kocha viongozi na wachezaji kuendesha mambo kiholela sera za kocha UNK au kocha kutokuwa na uwezo arsenal wanaona uwezo wa wenger haujafikia kikomo na wameahidi kumuongezea fedha katika usajili mpya baada ya kuondolewa ligi ya ulaya sisi UNK makocha wetu waungwana salamu kwenu ila UNK ligi ya mabingwa ulaya ni noma waulize arsenal na chelsea hawana amani lakini wanapaswa UNK timu zao na hakika soka ni dakika tisini wote UNK tuyaache hayo unaweza kusema nina ugonjwa wa yanga na simba lakini UNK sana maana hawa ndio hasa wakongwe wa soka ya tanzania ambao kila mmoja UNK anaweza kukubaliana nami kuwa wanaweza kuwa mfano mzuri kama wakifanya mambo kwa mpangilio na kila kitu kwa uhakika kuna mambo kadhaa ambayo yamekuwa yakijitokeza kwa takribani wiki moja hivi iliyopita huenda yanaendelea kwanza nianze na suala la makabidhiano ya mabasi kutoka kwa kampuni ya bia ya tanzania kupitia bia yake ya kilimanjaro yaliyofanyika kwenye viwanja vya leaders jijini dar es salaam nawapongeza wadhamini hao kwa kuwa mfano mzuri na wanapaswa kuigwa kwani kutoa mabasi manne si kitu kidogo uongozi wa klabu zote mbili UNK hata mashabiki na wanachama pia wamefurahi lakini kitu kimoja UNK sana wakati viongozi hao wakitoa shukrani mwenyekiti wa yanga imani madega alitamka mengi tu ya busara lakini hili moja UNK eti anaomba msaada zaidi UNK alitamka kuwa mabasi hayo ni mizigo kwa kuwa ni vyombo vya moto halafu akaongeza kwamba kilimanjaro wasaidiane nao kuyatunza mabasi hayo kweli kila mtu anaweza kusema analoamini ila kwangu ilikuwa ni kitu cha UNK sana sielewi kama msaada wa mabasi UNK tena awali walitegemea basi moja kila timu baadaye wakapewa mawili bila ya UNK sasa wanaomba msaada wa kuyatunza pamoja upi dereva au matengenezo hii si picha nzuri na ndiyo maana nimeamua kulizungumzia hili mabasi hayo yatakuwa kipimo kingine cha utendaji mzuri au mbovu wa klabu hizo tayari watani hao UNK kuyumba siku ya kwanza tu ya UNK dalili ya mvua ni UNK busara ilitakiwa UNK zaidi katika hili la sivyo aibu UNK na wadhamini wataingia hofu nanyi na UNK mara kadhaa nimekuwa UNK kelele kuhusu suala la klabu zetu kujisahau na kuona maisha ya utegemezi ni kitu bora kama ilivyo sasa unaona yanga wanaona kitu cha kujivunia kuendelea kuwa UNK na yusuf manji ambaye pia amekuwa akisisitiza kwamba wanatakiwa kujitegemea kwa kuwa ni kitu kinachowezekana hili ni somo kwamba kuna vitu inatakiwa UNK na utegemezi ni dalili za uzembe na kutotaka UNK vichwa tunaona wachezaji wa kigeni wa yanga UNK kuhusu mishahara na posho zao uongozi UNK hilo wameitwa timu ya taifa lakini hadi katikati ya wiki walikuwa nchini wakihaha uongozi umesahau mchango wao siku chache zilizopita na inawezekana uongozi una nia ya kutoa fedha hizo mapema lakini tabia ya utegemezi ndio athari kwa kuwa hawana chao zaidi ya kusubiri wapatiwe msaada ili waweze kulipa maisha haya hadi lini ingawa pia kuna mamilioni shilingi yaliingia katika mechi dhidi ya al ahly na pia simba karibu shilingi milioni mia moja na hamsini ziko wapi fedha hizo kwa nini zisitumike katika kipindi hiki badala ya kusubiri UNK unaweza kuona kama simba na yanga UNK hatua lakini hazina lolote kwa kuwa hakuna UNK chao zaidi ya jina na histori nzuri ya zamani mfano angalia wazee wa zamani UNK kutengeneza vitega uchumi kama majengo hayo wakati sasa hata kufanya ukarabati wameshindwa zaidi ya misaada UNK vipi wale wazee wa enzi zile waliweza kuwa na malengo ya maana halafu hawa tulionao kipindi hiki cha sayansi na teknolojia wanashindwa hata kumiliki webusaiti tu huku klabu ndogo zikifanya mambo ya kisasa na maendeleo lakini tunashindwa UNK mkono kutokana na ushabiki kwa klabu hizo ambazo hazina lolote la maana kutokana na kuongozwa na watu wasiokuwa na mipango madhubuti wachezaji wenyewe UNK hilo wakijaribu kuwa wakweli wanaonekana ni maadui lakini UNK kuona viongozi wakizungumzia masuala ya ufundi wakisifia mfumo itakaotumia timu yao namna UNK wakati si makocha hawajui kama wameingia sehemu ambayo si yao huku wao wakilalama kuingiliwa bado nasisitiza kwamba wanachama ndio wanaweza kuwa dira mpya ya klabu hizo sioni sababu ya kuendelea kuchagua viongozi kiushabiki badala ya kufanya tathmini kwanza kwa ajili ya maendeleo ya klabu zenu yanayofanyika sasa yanaweza kuwa mfano mzuri sana kwenu mara kadhaa mnakuwa kati ya wale UNK wakati kama huu lakini unapofika wakati wa uchaguzi ndio UNK kwa ushabiki na kuchagua viongozi wa aina hizo hizo ambao UNK UNK wakati wa kufanya mambo ya kimaendeleo sina maana imani madega na hassan dalali hawafai lakini nasisitiza utendaji wao bado una upungufu mkubwa heshima ya woga wasiotaka UNK na kama ikitokea hivyo basi siku zote wanaona wameonewa au kudhalilishwa kitu ambacho si lengo la hoja yangu zaidi inalenga kufundisha na kupeana changamoto kwa faida ya soka ya tanzania na watanzania kwa ujumla mnaweza kuzungumzia mapato vipi kuhusu ushawishi wa wanachama kujitokeza kwa wingi na kuwa wanachama hai na si wale wa maneno safari ni ndefu lakini ili iwe na ushindani inahitaji viongozi imara mwendo UNK nao kweli ni wa kinyonga lakini hauna uhakika kwa vile ni wa kubahatisha kwa asilimia nyingi zaidi na mambo yanajieleza kwa UNK ila inaonekana wana yanga na wana simba UNK sana kufikia hapo UNK na kuendelea kufurahia hatua za wenzenu ulaya kila la kheri amani kwenu wasomaji wangu wapenzi kwa kawaida si rahisi mtu yeyote kuwa mwandishi mahiri kama si msomaji UNK kutokana na utamaduni wangu UNK wa kujaribu kusoma kila makala inayogusa maendeleo ya michezo nchini tanzania mwishoni mwa juma lililopita nilikutana na makala moja katika gazeti moja UNK kila wiki ambalo lilikuwa na nukuu kadhaa kuhusu viwango vya wachezaji wa soka wa tanzania katika makala hiyo iliyokuwa na kichwa cha habari chuji na boban UNK mara mbili mwandishi wa makala hiyo alikuwa UNK wachezaji hao wawili kwa kukataa kwenda katika moja ya nchi za bara la asia kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa makala hiyo UNK wachezaji hao kwa kukosa mtazamo mzuri wa soka endelevu na kudai kwamba nchi hiyo ingeweza kuwa dirisha zuri la wachezaji hao UNK na klabu kubwa za soka za ulaya sina haja ya kulifanyia ubishi suala hilo kwa kuwa yawezekana kabisa kwamba mwandishi wa makala hayo hakufanya utafiti wa kutosha kuhusu kiwango cha soka cha nchi ile na vilevile kuweza kubainisha au kuorodhesha idadi ya wachezaji wanaocheza ligi za ulaya ambao wamewahi kuitumia nchi ile au klabu ile UNK kama daraja la UNK kwenda kucheza soka ulaya wengi wa watanzania wamekuwa limbukeni tu wa kutaka kutoka nje ya nchi au kwa kufanya kazi au kucheza soka bila kujali ni aina gani ya kazi anafanya au ni aina gani ya klabu UNK chuji na mwenzie wameonyesha ukomavu wa kutosha sana kwa kukataa ofa uchwara ya kucheza soka katika nchi yenye ligi dhaifu kuliko tanzania jambo ambalo kwa kiasi kikubwa UNK kabisa wachezaji hao katika hatua ya kushangaza mwandishi wa makala hayo UNK mwanahabari mmoja wa unguja aitwaye ally saleh kuwa amesema kwamba wachezaji hao ingekuwa ni bora wakakubali kwenda kucheza huko barani asia kwa kuwa mchezaji wa kitanzania mwenye uwezo wa kucheza ligi kuu za ulaya bado UNK kauli hii ni kauli mbaya kuliko zote ambazo nimewahi kuzisikia kutoka kwa mwanahabari mkongwe wa kiwango cha ally saleh kauli hii ni mbaya na UNK kwa kuwa inawafanya na UNK akina mama wa kitanzania kuwa matumbo yao hayana nafasi wala baraka za kuzaa watoto wenye vipaji kama matumbo ya akinamama wa UNK burkina faso na senegal ambao wameweza kuzaa vipaji kama akina nwankwo kanu didier drogba na akina alhaj diouf kauli hii na nyingine za namna hii UNK mama wa kitanzania na kumfanya awe ni mama mwenye uzao UNK uzao usio na chembe ya vipaji sina uhakika kwamba hilo UNK saleh ndilo alilolisema kwa kuwa mara nyingi sana wanahabari wetu wamekuwa na UNK cha kuongeza chumvi kupita kiasi katika UNK mahojiano mengi wanayoyafanya ninadiriki kusema kwa kujiamini kabisa kwamba wachezaji wa kitanzania wenye uwezo wa kucheza soka la kulipwa katika ligi za maana huko ulaya wapo na UNK siku nyingi sana isipokuwa mfumo wetu umekuwa hauruhusu vipaji hivyo kuonekana mapema na kuendelezwa ipasavyo kauli kwamba wenye vipaji vya kutosha kucheza ulaya bado UNK ni ya kuwakatisha tamaa si wachezaji pekee yao bali wazazi wao na taasisi zote zinazofanya kila jitihada kuhakikisha kwamba wachezaji wetu wanakuwa na viwango bora kabisa vya kuchezwa soka la kulipwa watanzania wengi wana hulka ya kudharau sana wazawa na kuthamini sana wageni ni kwa mantiki hiyo basi ndio maana wageni wengi wanaocheza katika klabu mbalimbali za soka hapa nchini hupewa thamani kubwa na malipo bora sana kuliko watanzania kama fikra hizi finyu za kitumwa tutaendelea UNK miongoni mwetu ni dhahiri kwamba tutazidi kuwadharau wachezaji wetu na daima kuwakumbatia na UNK wachezaji wa kigeni nadhani UNK vya kutosha amani kwenu rio ferdinand amesema mchezaji mwenzake wa manchester united cristiano ronaldo amerudi katika kasi yake ya zamani watu walisahau kwamba cristiano alifanyiwa upasuaji mwanzoni mwa msimu na baada ya muda UNK katika hali ya kawaida alisema ferdinand ni kweli mwanzoni UNK lakini amerudi katika hali ya kawaida nadhani sasa watu wanamuona ronaldo UNK nyota wa barcelona samuel eto o amemsifu kocha pep guardiola kwa kazi nzuri aliyoifanya na kusababisha timu hiyo UNK fainali ya ligi ya mabingwa ulaya msimu huu alisema pep UNK UNK tamaa ni kocha mzuri UNK tungeshinda chelsea walifanya makosa na andre iniesta huwa UNK kutumia nafasi kama hizo UNK maelekezo ya kocha aliyokuwa akiyatoa msimu mzima pamoja na kuwa muda UNK tuamini tuna uwezo kwa sababu silaha ilikuwa miguuni UNK na hilo tumefanikiwa kwenda rome tunataka ubingwa tu alisema timu za arsenal na chelsea ambazo zilitupwa nje ya ligi ya mabingwa ulaya katikati ya wiki hii zitakutana kesho jumapili katika mechi ya ligi kuu england timu hizo UNK katika hatua ya nusu fainali huku arsenal UNK kichapo cha jumla ya mabao nne moja kutoka kwa manchester united wakati chelsea iliongoza kwa bao moja kwa muda mrefu lakini barcelona walisawazisha dakika ya majeruhi na kuwatupa nje ya mashindano hayo ari ya arsenal itatakiwa kurudi haraka iwapo wanataka kuwamaliza chelsea ambayo ina maumivu ya kuondolewa katika ligi ya mabingwa ingawa walilalamika kunyimwa penalti nne za wazi arsenal UNK nguvu baada ya cristiano ronaldo kupachika mabao mawili jumanne wiki hii na kocha arsene wenger aliona uwezo wa timu yake wa kupambana na miamba umeshuka kama arsenal ikifungwa na chelsea kwa mara nyingine baada ya mechi ya nusu fainali kuwania kombe la fa mwezi uliopita arsenal itakuwa na nafasi ndogo ya kumaliza ligi ikiwa kwenye namba tatu huku UNK uhai wake katika nafasi ya nne ambayo ni mahususi kwa ajili ya kushiriki ligi ya mabingwa ulaya msimu ujao lakini arsenal itakuwa na mechi ngumu dhidi ya manchester united wikiendi ijayo huku ikiwa zimebaki na mechi tatu chelsea iko juu ya arsenal kwa pointi sita na nyuma ya vinara manchester united kwa pointi sita liverpool imekuwa UNK na manchester united msimu mzima na huenda UNK mbali kama wapinzani wao watawafunga manchester city kwenye uwanja wa old trafford na wao wakishindwa kutamba dhidi ya west ham lakini liverpool UNK na wapinzani wao kama watachukua pointi tatu muhimu kutoka west ham leo jumamosi timu ya kocha rafael benitez itakuwa na mshambuliaji fernando torres katika safari ya leo jumamosi ambapo ushindi UNK kileleni angalau kwa saa ishirini na nne ingawa xabi alonso ambaye UNK na joey barton wa newcastle UNK huenda UNK katika mechi hiyo wa beki alvaro arbeloa timu hiyo UNK tamaa ya kunyakuwa ubingwa ninataka kucheza kabla ya manchester united kwa sababu iwapo tutashinda watapambana na manchester city kwa presha kubwa alisema manchester united inahitaji pointi saba kutoka katika mechi zilizobaki kabla ya kutawazwa mabingwa wa ligi kuu england na kocha alex ferguson alisema timu yake imepata kasi katika kipindi kizuri katika hatua nyingine timu za mkiani zinafanya juhudi za kujinasua katika hatari ya kushuka daraja newcastle united ambayo imefanya vibaya mno mwaka huu itaikaribisha middlesbrough jumatatu kisha sunderland ikiishinda bolton wanderers leo jumamosi timu hizo zitakuwa juu ya eneo la hatari kwa pointi sita na kama wakifungwa uwezekano wa kushuka daraja utakuwa mkubwa msimu wa ligi kuu tanzania bara ishirini sifuri nane sifuri tisa umemalizika hivi karibuni huku yanga ikitwaa ubingwa na simba ikishika nafasi ya pili timu hizo ni miongoni mwa timu za ligi kuu bara ambazo zilikuwa zimesajili vikosi imara vilivyokuwa UNK nyota wa kigeni lakini katika usajili wao wapo wachezaji kadhaa ambao walishindwa kuzisaidia timu zao kama ifuatavyo ni raia wa kenya mwenye uzoefu na jina kubwa unapozungumzia soka la afrika mashariki ulikuwa ni msimu wake wa pili ndani ya yanga lakini UNK mechi zaidi ya tatu kati ya ishirini na mbili za msimu mzima na katika hizo hakuwahi kucheza dakika tisini ingawa alifunga bao moja katika mechi alizocheza UNK kabisa msimu huu na amekuwa akitajwa UNK katika wachezaji ambao hatma yao ipo UNK alipokuwa akichezeshwa japokuwa ni dakika chache UNK kituko na mashabiki wa simba ambao walikuwa wakimshangilia na kufurahia kwa jinsi alivyokuwa akikosa nafasi za wazi za kufunga anapokuwa kwenye eneo la hatari ulikuwa ni msimu wa mikosi kwake kwani licha ya kusajiliwa baada ya simba kutishia kutaka kumsajili UNK ipasavyo na siku chache kabla ya kumalizika kwa msimu alidaiwa kumtukana kocha na baadhi ya viongozi mbele ya mashabiki mazoezini kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam yupo shakani kuachwa UNK kwa shilingi milioni arobaini za tanzania na kuchezea mechi chache za mwanzo wa msimu kabla ya kuomba ruhusa kwenda kwao na UNK tena jangwani baada ya viongozi kugoma kumtumia tiketi ya ndege kama kuna mchezaji aliyeipa hasara yanga pengine mcongo huyo ndiye namba wani na pengine hata dusan kondic hataki kusikia jina lake ingawa kondic alikuwa UNK sana kwamba ana upeo mkubwa lakini alibaki kuwa mchezaji wa benchi baadaye alitoroka na kukimbilia sweden ambako hadi sasa haijawahi kufahamika matokeo yake yupo jijini dar es salaam kwa muda sasa akifanya shughuli zake haikusaidia yanga kwa lolote msimu huu UNK mtu yoyote wa mwanza atakwambia ni bonge la kiungo kutokana na mambo aliyofanya akiwa na toto africa lakini baada ya kutua yanga mwaka jana ameshindwa kuonyesha uwepo wake hata namba yake ya timu ya taifa UNK na UNK hajapewa nafasi kama ilivyotarajiwa lakini katika mechi chache alizocheza aliingia na kuitetea kwa nguvu namba yake lakini kocha hakuridhika na kuzidi kumweka benchi benchi UNK kama ilivyokuwa kwa maurice sunguti naye alikaa jukwaani muda mrefu na mechi zisizozidi mbili alizocheza alionekana kuathirika kisaikolojia na uchezaji wake wa taratibu UNK baadhi ya mashabiki na kuanza kumzomea sababu UNK zaidi na kumpa kocha tiketi ya kuendelea kumuweka benchi hakuna alichofanya na uwezekano wa kuendelea kuwepo yanga ni mdogo ingawa na yeye ameweka bayana kwamba wampe chake aondoke hatari zake alizokuwa akifanya akiwa kagera sugar hazikuwa na maana yoyote baada ya kutua yanga kwani zilionekana kawaida kwa kocha ambaye aliamua kumuweka benchi muda mwingi alisajiliwa dakika za mwisho za usajili mwaka juzi pengine alipata hasara mara mbili kwa vile alikumbana na benchi na kutemwa timu ya taifa stars alisajiliwa simba akitokea yanga baada ya kudaiwa kuwa ni mnazi mkubwa wa wekundu hao lakini katikati ya msimu UNK kwa madai alikuwa UNK timu hiyo UNK simba na pengine UNK hasara kubwa baada ya kufukuzwa na kuitia heshima yake UNK alisajiliwa simba kiwango kikawa UNK kwa muda na kushuka UNK benchi na hatimaye jukwaani hakudumu simba kama ilivyokuwa ikitarajiwa na mashabiki kwani alikwenda kufanya majaribio oman na alipofuzu UNK kwenye timu ya fanja fc ingawa alikuwa akikataa kwenda huko ni mrundi ambaye alirejea kwenye timu yake ya zamani ya simba msimu uliopita akitokea yanga huku mashabiki wakidhani kwamba UNK kiwango cha juu ili kuthibitisha kuwa UNK kama inavyodaiwa lakini alishindwa kufanya hivyo muda mwingi alikuwa akitumia shule kwenye chuo cha UNK mjini dodoma na kushindwa kufanya mazoezi na wenzake UNK benchi alipokuwa UNK na wenzake lakini alipopewa nafasi alikuwa akicheza soka safi ambalo lilikuwa likiacha mashabiki UNK vichwa simba waliamini kwamba UNK pengo la juma kaseja aliyetimkia yanga lakini ikawa vinginevyo na kufunikwa hata na waliokuwa wakikaa benchi alijiunga simba akitokea polisi morogoro alisimamishwa katikati ya msimu kwa wiki kadhaa kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni utovu wa nidhamu na hataki kufanya mazoezi alisimama kwenye lango la simba na kufungwa na yanga bao moja sifuri katika mechi ya mzunguko wa kwanza na kufuta uteja wa yanga kwenye mechi za awali alionyesha kiwango kizuri lakini kadri muda ulivyokuwa ukienda akaanza kupunguza makali alionekana kuathirika kisaikolojia kwani hata akicheza alikuwa UNK machachari yake alianza msimu vizuri lakini baadaye akawa UNK benchi ingawa mashabiki walikuwa wakikubali kimo chake mabadiliko ya makocha simba hayakuwa na manufaa kwake kwani alikuwa akiambulia benchi mpaka alipokuja kuondoka kwenda yemen kujitafutia makao mapya msimu huu UNK na hakufanya lolote simba kwani kila mara alikuwa akitangaza kwamba nipo fiti lakini bado aliendelea kuonekana UNK benchi chama cha mpira wa wavu tanzania kimeandaa kozi ya makocha itakayofanyika juni kumi na tano mpaka ishirini jijini tanga mwenyekiti wa tava agustino UNK amesema kozi hiyo UNK walimu mbalimbali kwa ajili ya kufundisha shuleni tumeandaa mafunzo kwa ajili ya walimu ambao watatumia mafunzo hayo kuwafundisha wanafunzi shuleni ili tuwe na wachezaji wengi wa mpira wa wavu mchezaji wa tenisi shaaban ibrahim amesema mafanikio yake yanatokana na juhudi ya mazoezi na nidhamu shaaban ni mchezaji pekee wa tanzania aliyefanikiwa kutinga fainali kwenye michuano ya vijana chini ya miaka kumi na nne iliyofanyika kwenye viwanja vya gymkhana na jana ijumaa alikuwa akicheza fainali na adam UNK wa sudan nafanya mazoezi kwa bidii ndio maana nafanya vizuri pia nina nidhamu kwa kocha wangu UNK mafundisho yake ambayo UNK mimi kufanya vizuri zaidi baraza la michezo tanzania UNK vyama vya michezo nchini kupeleka kalenda zao za mwaka ili waanze kujipanga kufanya kazi zao ofisa michezo wa bmt mohammed kiganja amesema mpaka sasa ni vyama vitano tu UNK kalenda hizo tff chama cha netiboli chama cha mpira wa mikono chama cha riadha na UNK ndio pekee UNK hatujui wengine wanasubiri nini kocha wa timu ya taifa ya vijana ya kriketi rajab waziri amesema michuano ya afrika iliyomalizika hivi UNK nchini zambia UNK mengi tanzania ni miongoni wa nchi zilizoshiriki michuano hiyo lakini ilirudi mikono mitupu baada ya kufanya vibaya pamoja hatukufanya vizuri lakini tumejifunza mambo mengi ambayo tutayafanyia kazi ili michuano ijayo tuweze UNK naibu waziri wa habari utamaduni na michezo joel bendera na mwenyekiti wa baraza la michezo tanzania kanali iddi kipingu ni miongoni mwa wanariadha watakaoshiriki mbio za marathoni zitakazofanyika juni ishirini na moja jijini dar es salaam meneja wa udhamini wa matukio wa vodacom ambao ndio waandaaji wa michuano hiyo rukia mtingwa amesema michuano hiyo ni ya wazi kwa watu wote zaidi wa wanaridha ishirini UNK kushiriki na tunaomba wengine wajitokeze kwa wingi pazia la michuano ya kuwania kombe la taifa kili taifa cup UNK kesho jumapili katika vituo vitano tofauti huku kwenye uwanja wa sokoine mjini mbeya mabingwa watetezi mkoa wa ilala wakianza kucheza na timu ya mkoa wa mbeya kabla ya pambano hilo kwenye kituo hicho rukwa itacheza na iringa katika kituo cha songea mtwara UNK kazi na lindi kabla ya temeke kucheza na ruvuma kocha wa mbeya hassan UNK alisema timu yake imejiandaa vizuri kufanya maajabu katika michuano hiyo na kuibuka bingwa katika kituo hicho tumejiandaa vizuri tunataka tuonyeshe maajabu mwaka jana tulitwaa nafasi ya tatu lakini sasa tunataka tutwae ubingwa kabisa tunaanza na kushika uongozi wa kituo chetu na baadaye tunakwenda dar es salaam kumaliza kazi alisema naye kocha wa ilala ambayo ilitoka sare ya bao moja moja na temeke kwenye mechi ya kirafiki katikati ya wiki hii jamhuri kiwhelo julio alisema wanaanza kazi rasmi ya kutetea ubingwa nina timu imara ingawa sasa sina wachezaji wengi wa ligi kuu bara lakini naamini bado tuna uwezo wa kufanya vizuri na kutetea ubingwa wetu alisema kocha huyo wa zamani wa simba kwenye uwanja wa jamhuri mjini dodoma singida itakuwa ikichuana na morogoro wakati tabora itaonyeshana kazi na dodoma kwenye uwanja wa ccm jijini mwanza shinyanga itaonyeshana kazi na kigoma wakati wenyeji mwanza watacheza na kagera kwenye uwanja wa sheikh amri abeid arusha wenyeji watachuana na UNK na mara watacheza na mara kila kituo kina timu nne isipokuwa kituo cha tanga ambako mechi zake UNK kuanza kwa sababu kina timu tatu tu michuano hiyo ambayo imepangwa katika kanda sita bingwa ataondoka na shilingi milioni thebathini mshindi wa pili shilingi milioni kumi na tano na wa tatu atapata shilingi milioni saba tano kocha mkuu wa mtibwa sugar salum mayanga amesema UNK kikosi chake kwa utulivu mkubwa na tayari kuna washambuliaji wanne ambao UNK na anataka kuchukua wawili kati yao akizungumza na mwanaspoti mayanga alisema washambuliaji hao wapo kwenye orodha yake ya kuboresha kikosi hasa safu ya ushambuliaji nimeona washambuliaji wanne lakini hapo kuna suala la majadiliano na mambo mengine huwezi kujua nani atakubali kuja au itakuwa vipi ndio maana nasema inahitaji muda na utulivu alisema alipoulizwa kuhusu usajili mayanga alisema amekuwa mtulivu ili kujua wachezaji watakaobaki na kuondoka ukitaka kuziba nafasi lazima ujue kwanza ni akina nani wanataka kuondoka baada ya hapo UNK ni wapi panapotakiwa kuziba kwa kuwa imekuwa ni kitu cha kawaida timu nyingine kubeba wachezaji wetu baada ya ligi hii ni soka hauwezi kuzuia kwa vile ni kitu UNK maendeleo na maamuzi ya mchezaji mwenyewe alisema mayanga aliyeiongoza mtibwa sugar kushika nafasi ya tatu katika ligi hiyo ambayo ilimalizika kwa yanga kubeba ubingwa ikifuatiwa na simba halafu wakali hao wa manungu UNK kiungo mshambuliaji wa apr ya rwanda moses odhiambo anaweza kutimka katika klabu hiyo baada ya uongozi kutaka kila mchezaji kunyoa nywele ili ziwe fupi kama za UNK odhiambo raia wa kenya ana rasta ambazo tayari ameamriwa kuzitoa kabla ya jana ijumaa jioni UNK afunge virago na kusitisha mkataba wake wa mwaka mmoja uliobaki katika klabu hiyo mmoja wa viongozi wa apr aliiambia mwanaspoti kuwa amri hiyo imetoka katika uongozi wa ngazi za juu kila kitu UNK juu timu hii ni ya jeshi mabadiliko yanaweza kutokea wakati wowote mimi si msemaji wa timu lakini hili ndio UNK alisema odhiambo aliyewahi kungara hapa nchini akiwa na moro united na simba alisema hakubaliani na uamuzi huo nina mkataba wa mwaka mmoja umebaki lakini sielewi hali hii na ninaona kama watu wanatafuta sababu ili UNK hii ni kuingilia uhuru binafsi wa wachezaji nimekuja kucheza mpira na sidhani kama suala la nywele linapaswa kupewa kipaumbele alisema odhiambo aliyehamia apr akitokea simba wangesema nimeshindwa kucheza sawa lakini suala la nywele zangu kwa kweli sikubaliani nao nimewaambia wanipe muda nifikirie na si UNK huu ni uonevu naangalia zaidi kuachana kabisa na apr kuliko kunyoa nywele zangu bado nipo kwenye majadiliano nao kuhusu hili alisema odhiambo baba wa mtoto mmoja hali hiyo iliwahi kumkuta mmoja wa viungo mahiri duniani redondo katika timu ya taifa ya argentina baada ya kocha kuwalazimisha wachezaji UNK UNK redondo alikataa na akawa tayari kuachwa kwenye timu ya taifa huku nyota wengine wakiwamo gabriel UNK aliyekuwa mpachika mabao kinara wakifuata maelekezo ya kocha wao kocha wa simba patrick phiri amepewa jukumu la kuandaa timu mpya ya vijana ya klabu hiyo ili kuepuka aibu msimu ujao simba ya vijana ambayo ilishiriki michuano ya vijana ya kombe la uhai mwaka huu ni kati ya timu zilizofungwa mabao mengi na kunggolewa kwenye hatua za awali katibu mkuu wa simba mwina kaduguda alisema wameamua kuwekeza kwa nguvu zote kwenye timu ya vijana baada ya UNK mwanzoni mwa mwaka huu timu yetu ya vijana si imara kabisa kwa hiyo tulichofanya sisi ni kumpa phiri kazi ya kusuka timu mpya na ambayo itakuwa imara zaidi tunataka kuondoa aibu tuliyoipata kwa muda ambao kocha atakuwa nao atafanya kazi yake vizuri na tutakuwa na msingi mzuri kiongozi huyo alisema kocha huyo ataanza kazi hiyo mara baada ya kurejea kwenye likizo fupi nchini zambia uongozi umedai kuwa simba UNK na mzambia huyo ameibadilisha kwa kiwango kikubwa timu yao tofauti na ilivyokuwa kwenye mzunguko wa kwanza wa ligi kuu msimu uliopita kocha mahiri nchini david mwamaja amesema kuna haja ya shirikisho la soka tanzania kurejesha kombe la fa ili kuongeza msisimko wa soka mwamaja alisema jijini dar es salaam kuwa ligi kuu tanzania bara inayoshirikisha timu kumi na mbili inapaswa kutoa bingwa tu ambaye atashiriki ligi ya mabingwa afrika hii michuano ya fa itapaswa kuhusisha timu mbalimbali zilizoko kwenye michuano mbalimbali na atakayekuwa bingwa ndio aende kombe la shirikisho alisema kocha huyo wa zamani wa simba na ruvu shooting hiyo itakuwa na changamoto zaidi na soka itachezwa nchi nzima tofauti na sasa ambako timu zote zipo kwenye majiji tu wakati mikoani kuna wachezaji wengi lakini hawaonekani ikitokea hiyo nafasi hizo timu zitacheza mpira mzuri na huenda bingwa atakayepatikana akawa imara zaidi hata ya huyu anayecheza ligi ya timu kumi na mbili timu za ligi kuu bara zinapaswa kuongezwa angalau zifikie kumi na nne ili zicheze mechi nyingi na kupata changamoto zaidi michuano ya kombe la taifa kili taifa cup ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini inaanza kesho jumapili katika vituo vitano huku kituo cha sita mechi zake UNK mwanzo mwa wiki ijayo vituo itakapochezwa michuano hiyo ni dar es salaam arusha mwanza dodoma na mbeya ambako kuna timu nne kila kituo huku tanga ikijumuisha timu tatu na mechi zake UNK kuanza ni imani yetu kwamba michuano hiyo itatumika kikamilifu kuonyesha vipaji na uhalisia wa soka la mkoa husika badala ya kutumia mamluki na kusababisha migogoro isiyo na maana tunategemea kuona soka la vijana chipukizi kutoka vijijini ambao tunadhani kwamba ndio wakati muafaka kwa wao kupata nafasi ya kuonyesha uwezo na vipaji vyao kwa vile wamekuwa hawana nafasi kutokana na uchache wa timu za ligi pamoja na matatizo ya kiuchumi kwa semina walizopewa viongozi wa mikoa hatutarajii kuona mkanganyiko wowote kuanzia kesho hadi itakapomalizika michuano hiyo ambayo bingwa atapewa shilingi milioni thebathini mshindi wa pili milioni kumi na tano na wa tatu saba tano ni changamoto kubwa pia kwa wachezaji chipukizi kuonyesha uwezo ili kujiwekea mazingira mazuri ya kusajili na timu za ligi kuu na kutimiza ndoto zao za kusajiliwa na timu kubwa si kusajiliwa na timu kubwa tu mafanikio na michango yao itasaidia pia kuongeza ubora wa timu za soka za taifa ambazo zimepiga hatua kubwa katika miaka ya hivi karibuni ni mwanya pia kwa makocha wa timu za ligi kuu kuzunguka mikoani kuangalia vipaji vipya kwa ajili ya usajili wa msimu mpya unaoanza hivi karibuni tunaamini endapo makocha wa timu za ligi kuu wakiwa makini huu ndio wakati muafaka wa kuangalia damu changa mikoani ambazo zitakuwa na manufaa zaidi kuliko kungganggania nyota ambao umri unazidi kuwatupa mkono kwa maoni yetu hatuoni haja ya klabu hususani za simba na yanga kungganggania au UNK wachezaji wakati kuna vipaji kibao kwenye kombe la taifa ambavyo vinaweza kuendelezwa kombe la taifa pia ndio nafasi ya dhahabu kwa klabu kusaka wachezaji vijana wa kuunda timu zao za vijana ambazo kwa miaka kadhaa zimekuwa hazina maana kwa vile UNK wachezaji wa kikosi cha kwanza bali ziko kwa ushahidi ili timu husika UNK daraja na shirikisho la soka la tanzania umefika wakati wa kubadilika na kufanya mambo kisasa zaidi hivyo kila mmoja afanye wajibu wake kwa umakini mkubwa tunawatakia kila la kheri wachezaji wote wanaoshiriki michuano hiyo kocha mkuu wa timu ya taifa ya kenya harambee stars UNK hey raia wa ujerumani amechoshwa na ahadi za washambuliaji wawili wa yanga boniface ambani na mike baraza hivyo kuwapa mpaka kesho jumapili wawe UNK na kikosi hicho mjini nairobi hey amewaita ambani na baraza katika kikosi hicho lakini wameshindwa kujiunga mapema kwa madai walikuwa wanasubiri fedha za mishahara yao na posho kutoka kwa uongozi wa yanga akizungumza na mwanaspoti baraza alisema wamepewa hadi jumapili hivyo kuwafanya watekeleze ahadi hiyo mara moja kocha UNK na ana haki ya kuwa mkali halikuwa kosa letu kwa kuwa UNK kuondoka bila ya malipo ya mshahara wetu uongozi umekubali kutupa mshahara wa mwezi moja tu lakini wamegoma kutupa posho zetu alisema baraza boniface ambani alisema mjerumani huyo aliwaonya kuwa UNK wachezaji wengine iwapo UNK zaidi kitu ambacho kimewafanya UNK nauli ya ndege na walitarajia kuondoka nchini jana ijumaa jioni UNK nauli yetu UNK kuchelewa ni sababu ya mishahara unajua si kwamba UNK wenzetu wengine walio harambee stars kutoka azam fc UNK hapa kwani walilipwa mishahara ya miezi mitatu mara tu baada ya ligi kumalizika tusingeweza kuondoka na kuacha mishahara nyuma UNK wa mwezi moja wacha tuende UNK taifa letu kwa kuwa kuendelea kukaa UNK zaidi huyo kocha alisema ambani wachezaji hao waliendelea kusubiri na kuchelewa kujiunga na timu hiyo kutokana na uongozi wao kutowalipa mishahara hata hivyo uongozi wao ulisema hali hiyo ilitokana na taratibu za kibenki na kuahidi UNK mara moja baada ya taratibu hizo kukamilika ambani aliyejiunga na yanga mwanzoni mwa msimu huu ndiye mfungaji bora wa ligi kuu bara baada ya kupachika mabao kumi na nane huku baraza aliyejiunga na jangwani katika dirisha dogo akiwa ametoa mchango mkubwa hasa katika mechi za mwisho za ligi rayon sc ya hapa imemfukuza kazi kocha wake UNK shungu lakini wachezaji wamesisitiza kwa pamoja kwamba hakuna shungu hakuna UNK timu hiyo itakayocheza na atraco katika ligi kuu rwanda kesho jumapili imemfukuza kocha huyo raia wa jamhuri ya kidemokrasi ya congo kwa madai ya utovu wa nidhamu na kuchochea migomo kwa wachezaji shungu alisema UNK kwa madai UNK wachezaji kuandika barua kwa kamati kudai malimbikizo yao ya mshahara nahodha wa timu hiyo jimmy UNK amethibitisha kuwa UNK mazoezi na kwamba UNK uwanjani mpaka shungu arejeshwe na walipwe mishahara yao shungu hana matatizo anashutumiwa kwa kutuambia tuandike barua kudai fedha zetu lakini si kweli sisi ndio tumekaa tukakubaliana kama wachezaji kwamba tuandike barua kushinikiza tulipwe UNK kwa miezi sasa alisisitiza gatete kwa wachezaji kurudi mazoezini viongozi lazima UNK shungu na UNK aliongeza shungu ambaye aliwahi kuinoa yanga ya tanzania aliiongoza rayon kushinda makombe manne ya ligi mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba elfu moja na mia tisa na tisini na nane ishirini sifuri mbili ishirini sifuri nne na kombe la kagame mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nane katika mechi ya mwisho ya makundi stars ilitoka sare ya moja moja na zambia hivyo kukosa nafasi ya kucheza na congo katika nusu fainali machi mwaka huu sasa mashabiki wa soka watataka kuona iwapo stars na congo UNK kwenye nusu fainali hizo nani angekuwa UNK jibu litapatikana leo jumamosi stars chini ya bosi wa brazil marcio maximo inashuka kwenye uwanja wa taifa jijini dar es salaam leo jumamosi kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya mabingwa wa afrika kwa wachezaji wa ndani jamhuri ya kidemokrasi ya congo daktari congo inayoongozwa na kocha mkuu muntubile santos tayari imewasili nchini kwa mechi hiyo huku mchezaji wake nyota tresor mabi mputu UNK kutua nchini jana ijumaa jioni kutoka kinshasa mputu ambaye analipwa mshahara wa dola kumi sifuri sifuri sifuri kwa mwezi na tp mazembe ya lubumbashi alichelewa kuwasili kutokana na matatizo ya kifamilia mechi hiyo inatarajia kuwa kivutio kikubwa kwa kuwa maximo amesema wataitumia kama kipimo cha ubora wa kikosi chake ambacho kina wachezaji mchanganyiko wakongwe na chipukizi ubora wa congo si kitu cha kuhadithiwa wamechukua ubingwa wa chan na wameonyesha kiwango cha juu kila mtu aliona tunacheza nao nyumbani na ni jukumu letu kuonyesha ubora tulionao alisema maximo huwezi kusema tutashinda lakini ndicho kitu tunachotaka lakini si kushinda tu ila kucheza soka ya uhakika kwa kuwa ndio mafunzo yetu alisema maximo ambaye kikosi chake kimeweka kambi katika hoteli ya atrium sinza jijini dar es salaam hata hivyo maximo UNK mshambuliaji wake chipukizi zahoro pazi wa mtibwa sugar ambaye amefanyiwa oparesheni ya UNK nimeambiwa nipumzike mwezi mzima tatizo lilianzia kwenye UNK lakini baadaye kidole UNK matatizo makubwa nimefanyiwa oparesheni alisema pazi lakini nadir haroub cannavaro alisema yupo katika hali nzuri kabisa kwa ajili ya mechi hiyo mimi niko safi sana UNK mazoezi siku mbili tu lakini baada ya hapo UNK mazoezi siku zote niko fiti kabisa alisema cannavaro stars itabidi wawe makini na mputu kutokana na kasi pasi za haraka na mashuti ya kushitukiza kitu ambacho mabeki wa kati inabidi wawe imara ingawa pia kumtolea macho peke yake ni hatari kwa kuwa daktari congo ina washambuliaji wengine makini na hatari kwa upande wa santos ambaye amekuwa UNK kujaza wachezaji wa timu yake ya tp mazembe katika kikosi cha chui hao wa kabila amesisitiza kuwa wanataka kulinda heshima yao kama mabingwa wa chan katika historia ya soka ya afrika hatuwezi kuidharau tanzania alisema UNK kiswahili na mwandishi mmoja wa habari kutoka daktari congo tanzania ni timu bora UNK kidogo tukutane chan lakini zambia ikapata nafasi dakika za mwisho kule bouake alisema santos ambaye timu yake hucheza pasi za haraka haraka na mbwembwe nyingi huenda stars UNK na daktari congo katika nusu fainali kama UNK zambia lakini ikatoka nayo sare ya moja moja hivyo chipolopolo UNK mbele na kukutana na kipigo cha chui hao wa congo santos aliongeza huenda mechi ingekuwa ngumu zaidi lakini tumechukua baadhi ya wachezaji wageni ambao wakipata nafasi wanaweza kuleta mabadiliko na wengine wa kikosi cha chan ingawa hakuna mabadiliko makubwa alisema pamoja na mputu kocha huyo amemchukua kiungo mihayo kazembe anayecheza taratibu lakini kwa umakini mkubwa huku nyota wa as vita lofo bongeli aliyefunga bao bora la chan akiwa ndani pamoja na mshambuliaji UNK bokese UNK nyota wengine wa kikosi hicho ni UNK muteba kaluyituka dioko na UNK UNK kikosi cha daktari congo kina wachezaji wanane kutoka tp mazembe huku wapinzani wao timu ya UNK club motema pembe ambao wamekuwa wakilalama uteuzi huo wa santos wakiwa na wachezaji wanne tu katika fainali za chan zilizofanyika ivory coast mwaka huu daktari congo iliyokuwa kundi b ilibeba kombe kwa kuilaza ghana kwa mabao mbili sifuri shirikisho la soka afrika walitoa nafasi ya kwanza kwa ubora wa michuano hiyo kwa congo kocha mkuu wa simba patrick phiri raia wa zambia anaamini manchester united itaifunga barcelona kwenye mchezo wa fainali wa ligi ya mabingwa ulaya mei ishirini na saba mwaka huu mjini UNK kocha huyo ambaye UNK zambia katika fainali za mataifa ya afrika nchini ghana mwaka jana alisema anaipa manchester united asilimia sabini ya kutwaa ubingwa huo kwa mara ya pili mfululizo wakati kocha huyo akisema hayo mshambuliaji nyota wa yanga boniface ambani amesema kiwango cha manchester united kipo juu na suala la kutwaa ubingwa halina mjadala manchester united na barcelona zitakutana mei ishirini na saba kwenye nyasi za stadio UNK mjini roma nchini italia katika fainali ya ligi ya mabingwa ulaya kuanzia saa tatu arobaini na tano usiku kwa tanzania manchester united imetinga fainali kwa kuifunga arsenal jumla ya mabao nne moja huku barcelona ikisonga mbele kwa bao la ugenini baada ya sare ya bao moja moja na chelsea akiitetea hoja yake phiri alisema uhakika wake unatokana na manchester united kuwa timu yenye uwezo wa kufanya vizuri katika mechi za mtoano na zenye presha kubwa timu nyingi zikicheza mechi ya presha zinakuwa na hofu na wachezaji hawajiamini jambo ambalo ni tofauti kwa manchester united ambayo mechi hizo ndio hucheza vizuri zaidi na kwa malengo alisema phiri mechi mbili za robo na nusu fainali zinaweza kuwa mfano mzuri kila mtu alijua man united UNK na porto lakini UNK kwa kushinda ugenini nusu fainali baada ya kuifunga arsenal bao moja sifuri old trafford watu walidhani UNK emirates lakini mambo yakawa tofauti ikashinda tatu moja manchester united ni timu inayofanya vizuri kwenye presha kubwa fainali ni mechi ya presha na alex ferguson atakuwa anataka kuweka rekodi ya kutwaa tena kombe hilo kwa mara ya pili mfululizo ili aweke rekodi ya kutwaa kombe hilo mara tatu sidhani kama watafanya makosa ingawa barcelona ni timu inayoweza kubadili matokeo wakati wowote na hasa kama ikipata mabao mapema alisema phiri ambaye anakiri kuwa ni shabiki wa mashetani UNK akaongeza lakini pia kumbuka manchester wamecheza mechi nyingi za kimataifa kwa mwaka jana na mwaka huu kuanzia kombe la ulaya mpaka dunia kwa upande wake ambani ambaye pia ni shabiki wa timu hiyo ya old trafford alisema unajua uzoefu mkubwa walionao manchester na umakini wa beki yao ni sehemu ambayo inawafanya kuwa imara utaona hata ikifungwa ni bao moja na si zaidi barcelona hawana uhakika katika hilo lakini mshambuliaji mwingine wa yanga raia wa kenya mike baraza alisema pamoja na yeye kuwa shabiki wa arsenal lakini anaipa nafasi zaidi manchester united kama alivyofanya kwenye nusu fainali UNK kuwa vijana wa ferguson wangeshinda dhidi ya vijana wa arsene wenger barcelona wana kadi hasa beki kama UNK UNK silvinho ambaye hajacheza mechi nyingi hiyo ni hatari na huo ni upande wa ronaldo nahodha puyol atarejea lakini bado bila UNK bado kuna kasoro alisema baraza barcelona wanacheza zaidi kwenye kiungo beki haina uhakika lakini manchester wanaweza kutumia mfumo wa UNK UNK mashambulizi ya kushtukiza kama walivyofanya kwa arsenal mechi hiyo imekuwa gumzo kubwa duniani kote kutokana na umaarufu wa timu hizo na michuano hiyo inayoongoza kwa malipo makubwa duniani katika mashindano kwa ngazi za klabu barcelona imefunga mabao kumi sifuri katika ligi kuu hispania msimu huu huku manchester united ikiwa imefunga mabao sitini na tatu katika ligi kuu england washambuliaji watatu wa UNK samuel eto o lionel messi na thiery henry wamefunga mabao tisini kwa pamoja katika mashindano yote wakati cristiano ronaldo amefunga mabao kumi na saba kwenye ligi kuu england eto o amefunga mabao ishirini na saba kwenye ligi ya hispania mwina kaduguda amedai kuwa hakuna kiongozi yoyote wa timu hizo ambae anapenda kusikia mechi ya watani ya jadi katibu huyo mkuu wa kuchaguliwa wa simba alisema jijini dar es salaam kuwa licha ya kwamba viongozi UNK hadharani lakini moyoni huumia sana mechi UNK simba na yanga hakuna kiongozi yoyote wa hizo timu UNK ni mechi ngumu sana na yenye mambo mazito alidokeza kaduguda kwanza gharama ni nyingi mno tofauti na watu wa kawaida wanavyofikiria halafu kwa viongozi UNK mpaka mkeo nyumbani anakuwa hana raha kwa mfano mimi muda wangu wa kulala kwa wiki ambayo tunafanya maandalizi ya hiyo mechi siwezi kulala chini ya saa sita usiku hata nikilala lazima utasikia kiongozi fulani UNK muda fulani kuashiria kwamba kuna mambo yakufanya au hata wazee yaani ni mechi ngumu sana ambayo hakuna kiongozi wa timu yoyote kati ya hizo mbili UNK mshambuliaji wa yanga boniface ambani alitamka hivikaribuni kwamba anashangazwa jinsi viongozi wa yanga walivyokuwa wakijiandaa na mechi dhidi ya simba tofauti na ligi ya mabingwa afrika azam fc UNK pabaya yanga baada ya kuafikiana na wachezaji wake nyota wawili na huenda idadi UNK zaidi timu hiyo ambayo inamilikiwa na makampuni ya ssb group ya jijini dar es salaam ilishiriki ligi kuu tanzania bara kwa mara ya kwanza msimu uliopita huku ikiwa imesheheni nyota kutoka kenya na uganda habari za kuaminika kutoka kwenye uongozi wa azam zinasema kuwa makocha UNK kiraka nurdin bakari na mshambuliaji boniface ambani wote wa yanga na beki wa mtibwa sugar salum sued kiongozi mmoja aliyeko kwenye jopo la usajili aliiambia mwanaspoti kuwa tayari wameshafanya mazungumzo na wachezaji hao na UNK ila UNK wamalizane kwanza na viongozi wa klabu hizo mazungumzo ya awali UNK kwa kila mchezaji na tunategemea kwa asilimia kubwa kuwasajili wachezaji hao kwa msimu ujao alisema kiongozi huyo aliyekataa kutajwa jina kwa madai ni mapema mno nurdin na sued UNK kwa kila kitu kuanzia mishahara na dau la usajili lakini ambani bado kwenye suala la mshahara tulikuwa UNK ila hilo ni jambo dogo tu kwa vile hata yeye ameonyesha nia ya kuichezea azam na UNK tuzungumze na viongozi wake aliongeza ambani alikaririwa jana akisema kwamba amezungumza na azam na kufanya makubaliano lakini akawapa masharti kwamba wamalizane kwanza na uongozi wa yanga hata hivyo nurdin UNK na mkataba wa miaka miwili yanga huku ambani akiwa amebakiza mwaka mmoja kocha msaidizi wa azam sylvestre marsh alipoulizwa jana ijumaa alisema wamepanga kufanya mabadiliko kwenye kikosi hicho lakini bado UNK kikao maalum makocha tunakutana wiki ijayo kujadili mambo ya usajili lakini hao wachezaji inawezekana wamefanya mazungumzo na viongozi sisi kama makocha UNK nao alisema marsh na kusisitiza kuwa maamuzi makubwa yanafanywa na bosi wake itamar amorin ambaye sasa yupo mapumzikoni kwao brazil nurdin na sued wamekuwa na mchango mkubwa msimu uliopita kwenye klabu zao mpaka timu ya taifa ilipokuwa ikishiriki michuano mbalimbali ambani ambaye ni mkenya alikuwa mfungaji bora wa ligi kuu ya bara msimu uliopita akiwa na mabao kumi na nane na ametangaza kuwa atacheza popote UNK na dau kubwa huku akiwa na mpango wa kucheza klabu mmoja ya china mwenyekiti wa yanga imani madega mara kwa mara amekuwa akisisitiza kuwa watakuwa tayari kumruhusu mchezaji wao kwenda timu nyingine iwapo tu taratibu UNK na kocha wao dusan kondic UNK ferre gola ndani ya dar kampuni ya UNK production ikishirikiana na udhamini mkubwa wa kipindi cha bambataa cha redio clouds inatarajia kumleta mwanamuziki ferre gola pamoja na kundi lake zima bila kumsahau mtoto UNK malkia wa bambataa sophia kessy ameiambia starehe kwamba wameamua kumleta mwanamuziki huyo pamoja na kundi lake zima kutokana na maombi ya muda mrefu kutoka kwa wapenzi wa muziki wa dansi nchini ferre ni kipenzi wa watu wengi na tumeamua kumleta kutokana na maombi ya wadau wa muziki wa dansi nchini naamini tutakuwa UNK kiu ya mashabiki hao alisema UNK kumbuka mwanamuziki ferre alikuwa ndani ya kundi la UNK UNK pamoja na UNK UNK na baadaye kujiengua kutokana na kutoridhika uongozi wa mkongwe koffi hivyo kuanzisha bendi zao mbali na hayo sophia kessy alisema wataangalia uwezekano wa kuwapeleka ferre na UNK jijini mwanza na mkoani dodoma kama UNK makubaliano pindi watakapotua nchini tamasha la aina yake la usiku wa kanga za kale lililofanyika UNK iliyopita lilifanikiwa kuvuta mashabiki wengi katika ukumbi wa diamond jubilee jijini dar es salaam tamasha hilo UNK na bingwa wa masuala ya ubunifu na mitindo hapa bongo asia UNK kwa kushirikiana na kipindi cha leo tena cha clouds fm UNK na umati mkubwa wa watu wakiwemo wanamuziki wa kongwe kama UNK UNK king kiki mzee njenje wa the kilimanjaro music bend na wengine usiku UNK na maonyesho kadhaa ya mavazi kutoka kwa wabunifu wengine waliobobea kama martin UNK UNK UNK george paka UNK na UNK shoo hiyo kali pia UNK watu kwa mapigo ya mavazi ya kanga UNK kwa ustadi wa hali ya juu pamoja na kanga za kale za miaka ya arobaini hadi sitini na kushangaza watu namna kanga hizo UNK hadi leo mgeni rasmi katika onyesho hilo mheshimiwa sophia simba alitoa changamoto kwa wabunifu nchini UNK kanga akisema kuwa ni vazi lenye asili ya tanzania na kwamba kanga hutumika tangu mtu UNK hadi UNK kwa hivyo ni vazi ambalo linastahili heshima onyesho hilo la kipekee la kanga za kale UNK na burudani za kikundi cha muziki wa taarabu UNK UNK taarab kutoka zanzibar na UNK band ya deo UNK huku UNK mbalimbali walipata nafasi ya kupita jukwaani kuonyesha matumizi mbalimbali ya vazi hilo mashuhuri siku hiyo soko la filamu nchini UNK ongezeko la filamu mpya kila kukicha linaashiria kuwa UNK huu UNK filamu mpya zimekuwa zikiingia sokoni kila kukicha na zaidi ya yote sasa tumeweza kuziona filamu zetu kwenye televisheni za kimataifa hii inatia moyo sana ingawa mapungufu ya hapa na pale yameendelea kuwepo lakini wadau wamekubali hali hiyo na kuahidi kulifanyia mabadiliko UNK wa wadau wa siku nyingi kwenye tasnia hii UNK mtambalike amekiri kuyaona mapungufu hayo na kuahidi mabadiliko makubwa katika filamu yake mpya itakayoingia sokoni wiki mbili zijazo katika filamu hiyo UNK jina la solemba richie amesema UNK kazi mapungufu yaliyokuwa UNK katika filamu nyingi nchini UNK makubwa katika filamu hizo ni pamoja na UNK wa ujumbe na tafsiri za maneno nimefanya kazi kubwa ya kuhakikisha ujumbe unafika kama ulivyo kwenye makaratasi kwa kuwa hili ni moja kati ya matatizo makubwa yanayoikabili tasnia hii nchini alisema alisema waigizaji wamekuwa UNK maana halisi ya filamu wa kutofanya kama ilivyoandikwa na mwandishi lakini alisema UNK inatokana na ulipuaji wa kazi hasa wakati wa kurekodi ritchie amekiri kuwa hadithi iliyopo katika filamu hiyo ni ya kawaida lakini UNK wa filamu nchini wakae tayari kushuhudia jinsi filamu hiyo UNK katika ustadi wa aina yake kitu kipya ndani ya filamu hiyo ambacho hakimo katika filamu nyingine nchini ni UNK ambayo UNK ujumbe unafika kama UNK kwenye kitabu alisema richie aliongeza kusema kuwa filamu hiyo analenga pia kuiuza kwenye soko la afrika kwa kuiwekea subtitles ambazo zinatoa tafsiri halisi alitolea mfano filamu nyingi UNK maana kwa UNK subtitles ambazo UNK tofauti kitu UNK ubora kwenye soko hasa katika nchi ambazo UNK kiswahili kabisa unakuta katika filamu imetafsiriwa i have bad UNK pale mtu anaposema nina mawazo kweli hii sio tafsiri ya neno hili lakini yote hii inatokana na kutokuwa makini au kutowatumia wataalamu wa hizi lugha alisema katika filamu hii utakutana na vijana wawili wa kike na wakiume ambao walikuwa wakisoma shule moja mvulana alikuwa UNK UNK kadhaa huyu msichana hapo shuleni mvulana anampenda msichana lakini kama mdogo wake UNK kwenye masomo kwa kumpa UNK paper ya kumwaga lakini kwa msichana UNK ya mapenzi UNK juu ya kijana huyo umri mdogo anashindwa kumwambia kaka kuwa UNK miaka inaenda kaka anamaliza shule na kumwacha msichana huyo na mapenzi tele moyoni mvulana anamaliza shule na kuendelea na maisha yake kivyake huko mtaani hali kadhalika msichana anamaliza shule na kuingia kitaa baada ya miaka kadhaa wanakutana kila mmoja mambo yakiwa safi lakini huyu msichana sasa ni mama kwa kuwa UNK kwa mapenzi mazito UNK kuwa UNK ili ale tunda la mti wa kati na mvulana huyu kaka alipigiwa akacheza lakini mambo si mambo mwenye mali UNK siri hapo kati kilichoendelea hatujui labda UNK kopi ya filamu hii lakini kwa mujibu wa richie ni kwamba huyu binti aliachwa solemba na wote wawili mbali na ritchie mwenyewe filamu hii UNK na mastaa wa UNK bongo akiwemo rose ndauka haji adam UNK UNK na wengine wengi baada ya kukamilika filamu hii itakuwa UNK na UNK production ya jiji dar es salaam mradi wa uimarishaji uwanda wa muziki nchini unaosimamiwa na rulu arts promoters chini UNK wa best ac umeleta mafanikio UNK mradi huu ulioanza mwaka ishirini sifuri sita kwa malengo ya kuweka mazingira bora ya mafao ya wanamuziki nchini ikiwa ni pamoja na kuirekebisha sheria ya hakimiliki na hakishiriki umezaa mafanikio akizungumza na jarida hili mwishoni mwa wiki mkurugenzi utawala na mafunzo wa rulu arts promoters angelo luhala alisema mafanikio yaliyopo hadi sasa ni makubwa na muhimu na kwamba hatua ya urekebishaji sheria upo mbioni sasa cosota imeanza kugawa UNK kwa wasanii ambapo mpaka sasa wasanii mia tisa na hamsini na sita wamepewa kiasi cha UNK tatu elfu tatu na mia mbili na sabini arobaini thebathini na tatu wasanii moja mia tatu na themanini na sita walijiandikisha cosota na kazi nane mia tisa na tisini na nne za wasanii UNK cosota hadi kufikia tarehe thebathini na moja machi ishirini sifuri tisa alisema alisema mafanikio ni mengi ikiwa ni pamoja na cosota kumudu kuzungumza na wamiliki wa vyombo vya utangazaji ambapo mkoa wa dar es salaam tayari wameanza kulipa mirabaha inayotokana na kazi za UNK alisema kuwa maoni na mapendekezo ya marekebisho ya sheria ya hakimiliki na hakishiriki yamekwisha UNK katika nchi nzima kwa wadau wa muziki na tayari vifungu UNK viko tayari kwa marekebisho kifungu na arobaini na tatu wajibu wa jeshi la polisi katika sheria UNK wazi kifungu arobaini na mbili na vifungu hivi lazima UNK adhabu ya kiwango cha chini sivyo kama kilivyo hivi sasa kwani kinawapa mwanya wahalifu kupewa adhabu ndogo kifungu na arobaini na saba cosota ipewe mamlaka kamili katika sheria hii kudhibiti uzalishaji katika viwanda vya uzalishaji kazi za sanaa kwa kutoa maagizo ya kiwango cha chini cha uzalishaji na UNK kifungu cha UNK right UNK katika sheria kifungu na tisa na kumi na nane ni sharti vifungu hivyo UNK wazi ni asilimia ngapi ambazo wabunifu wanastahili kwa kila nakala ya kazi yenye leseni ambayo inaingia sokoni mafanikio mengine ya kujivunia alisema ni yale ya UNK wasanii kuwepo kwa sheria husika na haki zao ambayo baadhi walikuwa hawajui kuwepo kwake aidha luhala alisema wako katika mkakati wa kuongeza uelewa wa sheria kwa undani na juu ya haki za wasanii ili wanaweza kudai na kujadili kitu UNK tanzania UNK UNK tanzania UNK music association na tanzania coastal music association yote yakitajwa kuwa mafanikio alisema mafanikio mengine yatokanayo ni semina kwa waheshimiwa wabunge arobaini wa kamati ya ustawi wa jamii katika ofisi za bunge dodoma julai kumi na saba ishirini sifuri sita na kufanikiwa kujenga uelewa wa nafasi ya muziki katika kusaidia ajira na kuchangia kuinua uchumi wa nchi hii UNK na mchango wao walioutoa katika bunge la mwaka ishirini sifuri sita sifuri saba la bajeti kwa wizara husika na katika hotuba ya mwenyekiti wa kamati ya ustawi wa jamii ombi la kupunguziwa kodi kwa zana za muziki liliwasilishwa lakini utekelezaji UNK kutokana na mabadiliko ya mara kwa mara ya mawaziri na UNK mfano wizara ya fedha wakati ule alikuwa mh zakia meghji alieleza mafanikio mengine alisema kumekuwepo na msukumo wa sera madhubuti ya utamaduni muziki akielezea hili luhala alisema hili liliwasilishwa mwaka ishirini sifuri saba mwezi mei mheshimiwa waziri seif khatibu alitoa agizo kwa basata washughulikie utekelezaji hata hivyo juhudi imesaidia hivi sasa wizara imo katika mchakato wa UNK sera ya utamaduni na vikao mbalimbali UNK haya nayo ni mafanikio jamani roma UNK siku moja kwa kuwa suala hili hata viongozi wa juu na waunda sera UNK makers wenyewe walikuwa hawajui faida ya sekta ya muziki hivyo ilikuwa kazi kubwa kutoa elimu hiyo hadi wote twende sawa alisema hata hivyo imani tuliyo nayo ni kwamba uelewa uliopo hivi sasa kwa wanamuziki viongozi wa serikali UNK wabunge una matumaini makubwa ya sekta ya muziki kuwanufaisha wasanii na kufanya muziki kuwa bidhaa muhimu yenye manufaa kwa wavuja jasho wa sekta hii aidha sheria zinazo linda maslahi ya wanamuziki tayari utafiti ulikwisha UNK na upungufu wote uliopo katika sheria ya hakimiliki na hakishiriki ulikwisha UNK wazi hayo yote ni mafanikio makubwa yaliyopatikana kwa juhudi za mradi huu alisema mradi huo ulizinduliwa rasmi katika semina ya wadau wa muziki machi kumi na tatu hadi kumi na tano ishirini sifuri sita ndani ya ukumbi wa hoteli ya palm UNK bagamoyo ambapo zaidi ya wanamuziki sitini na tano walihudhuria na kupata kujadili mambo mbalimbali chini ya UNK a UNK mtaalam wa masuala ya uwanda wa muziki na uchumi na UNK UNK UNK UNK UNK UNK malawi kutoka malawi semina hiyo UNK na semina ya pili ilifanyika katika hotel ya lamada jiji dar es salaam mei ishirini na mbili hadi ishirini na tatu ishirini sifuri nane chini ya uwezeshaji wa daktari j UNK mtaalamu wa masuala ya UNK kuu UNK UNK director of south african UNK rights association limited wasanii ishirini na moja na viongozi waserikali kumi ambao ni brela cosota polisi law UNK UNK tra basata UNK vibindo na UNK walihudhuria na kwamba wasanii waliweza kuonyesha nini wanataka na kuangalia mapungufu ya sheria ya hakimiliki na UNK the UNK kocha wa arsenal arsene wenger amechukizwa na kipigo cha mabao nne moja kutoka kwa chelsea katika uwanja wa nyumbani wa emirates ni vigumu kukubaliana na kipigo hiki kufungwa mabao nne moja ni jambo la kusikitisha mno lakini tulionyesha mchezo safi na tulitengeneza nafasi nyingi za mabao UNK kufungwa mabao yote hayo alisema wenger alisema mabeki wake hawakuwa imara na ndio maana waliacha nafasi kwa wapinzani hivyo kupoteza matumaini ya kumaliza msimu katika nafasi ya tatu hiyo inamaanisha uwezekano wa kumaliza ligi katika nafasi ya tatu umekwisha UNK sidhani kama mechi zilizobaki UNK tumefanya uzembe mkubwa katika msimu huu tumepokea vipigo kutoka timu kubwa mara tatu mfululizo UNK mabao manne na liverpool manchester united UNK matatu na sasa tumefungwa magoli manne ingawa tumefungwa mabao nne moja si wakati muafaka wa kusema iwapo UNK mabeki wengine ninaamini nina mabeki imara kwa kuwa makosa mengine yalifanyika katika nafasi ya kiungo wenger alipoulizwa kama anataka kusajili wachezaji wapya kwenye nafasi mbalimbali alisema kwa sasa sifahamu kutakuwa na fedha kiasi gani nitaongea na uongozi wa klabu kuona nini cha kufanya alisema nyota wa chelsea didier drogba UNK kwa kumtukana refa katika mechi ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya wiki iliyopita na juzi jumapili alilalamikiwa kwa kitendo cha kujiangusha makusudi kwenye mechi ya ligi kuu england dhidi ya arsenal nahodha wa arsenal cesc fabregas alishikwa na hasira baada ya kuona mshambuliaji huyo wa chelsea akijiangusha na kupata faulo katika mechi ambayo walipokea kichapo cha mabao nne moja ikiwa ni kipigo kikubwa cha kwanza kwenye uwanja wa nyumbani kwa miaka thebathini na mbili fabregas alimuonyesha refa phil UNK ishara kuwa drogba alijiangusha makusudi lakini mwamuzi huyo hakuzingatia hilo kocha wa arsenal arsene wenger alisema tunaishi katika ligi ambayo watu UNK wanapewa nafasi hiyo si sahihi sidhani kama wapinzani wetu walistahili kupewa mpira wa adhabu vilevile drogba alionekana akijiangusha makusudi katika mechi ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa dhidi ya barcelona jumatano iliyopita wachezaji wa wenger UNK kufungwa mabao saba katika mechi mbili na kocha huyo alisema ukweli ni kuwa tulicheza vema na tulitengeneza nafasi nyingi katika hatua nyingine kocha wa chelsea guus hiddink amesema amefurahishwa na kiwango cha soka kilichoonyeshwa na timu yake baada ya kuitandika arsenal mabao nne moja kwa ujumla nimefurahishwa na kiwango UNK kikosi hiki hata UNK katika nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya niliamini UNK alisema ingawa drogba amefanya mambo hayo lakini kocha hiddink UNK na kusema UNK na kuhusu suala la kumtukana refa katika mechi ya ligi ya mabingwa ulaya kocha huyo alisema najua uefa wana mpango wa UNK lakini wanatakiwa wafahamu aliomba radhi cristiano ronaldo UNK manchester united karibu na ubingwa wa england lakini alitolewa nje ya uwanja wakati timu yake UNK na manchester city juzi jumapili mchezaji huyo aliwashangaza wengi baada ya kumulikwa na televisheni UNK juu ya uamuzi wa kocha alex ferguson wa kumtoa nje ya uwanja ronaldo ambaye alikasirika mno UNK UNK aliyopewa na kukaa benchi huku akiamini uamuzi huo ni kama UNK ingawa ronaldo alionyesha utovu wa nidhamu ferguson alimtetea kwa kusema alitaka kuendelea kucheza yupo juu kwa sasa lakini nilitaka matokeo mazuri zaidi tunatakiwa kufikiria kuendelea kuwa na mchezaji huyo kwa kadri inavyowezekana ni jambo zuri kuona anataka kucheza kila mara kuna mechi dhidi ya wigan kesho jumatano na jumamosi kuna mechi dhidi ya arsenal asiwe na wasiwasi UNK mechi ya jumatano itakuwa ngumu na UNK silaha zangu muhimu nitafanya mabadiliko kidogo nina kikosi kikubwa lakini ninataka ushindi katika mechi zilizobaki nyota huyo kutoka ureno alifunga bao la kwanza la manchester united katika mchezo huo lakini kitendo cha kuhamaki mbele ya kocha huenda UNK doa katika safari yake kwenye uwanja wa old trafford msimu huu hasa kwa vile real madrid UNK kwa udi na uvumba carlos tevez alifunga bao jingine na kusababisha timu hiyo irudi kileleni mwa ligi huku ikiwa na mechi moja mkononi kama wakishinda katika mechi dhidi ya wigan kesho jumatano UNK pointi moja tu kwenye mechi dhidi ya arsenal ili kutwaa ubingwa kiungo wa barcelona andres iniesta huenda asicheze mechi ya fainali ya ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya manchester united kwa sababu ameumia iniesta alipata maumivu ya paja juzi jumapili wakati UNK sare ya mabao tatu tatu na villarreal sifikirii kama atakuwa amepona wakati huo alisema kocha pep guardiola atafanyiwa uchunguzi kesho kuona ameumia kiasi gani lakini hakuna uwezekano wowote wa kucheza wiki hii tutajaribu kumpa huduma nzuri ili tuone kama kuna uwezekano wa kwenda rome katika fainali lakini yote hayo yanategemea vipimo UNK nini barcelona na manchester united zitachuana katika fainali ya ligi ya mabingwa ulaya mei ishirini na saba lakini kabla ya mechi hiyo UNK na athletic bilbao kwenye fainali ya kombe la mfalme kesho jumatano nahodha wa liverpool steven gerrard ambaye alifunga mabao mawili katika mechi ambayo walitoka kifua mbele kwa mabao tatu sifuri dhidi ya west ham katika uwanja wa upton park mwishoni mwa wiki anaamini timu yake inahitaji kuongezewa nguvu msimu ujao nyota huyo alisema kama liverpool inahitaji kukata kiu ya ubingwa itatakiwa kusajili wachezaji wapya wenye uwezo wakati manchester united ikionyesha ujasiri zaidi kwa kuwafunga manchester city mabao mbili sifuri katika uwanja wa old trafford uwezekano wa liverpool kuchukua ubingwa utategemea maendeleo ya wapinzani wao katika mechi zilizobaki liverpool imebaki na mechi mbili tu na tayari nahodha huyo ameanza kufikia msimu ujao badala ya msimu huu tumeonyesha uwezo mkubwa msimu huu hayo ni maendeleo mazuri alisema nadhani kila kikosi kinahitaji kuimarishwa bila kuangalia kina nguvu namna gani sidhani kama timu hii inahitaji mabadiliko makubwa wachezaji wanaendelea vema kama tukipata wachezaji UNK mabadiliko itakuwa ni jambo zuri awali vyombo vya habari vya england viliripoti kuwa kocha wa liverpool rafa benitez ana mpango wa kubadilisha wachezaji wengi msimu ujao katika jamii zetu ni wanawake wachache ambao UNK poda ya kunggaa wakati wa usiku si kwamba hawapendi bali wengi hawajui jinsi ya kutumia na wengine UNK poda hiyo inauzwa bei kubwa au ni mahususi kwa ajili ya baadhi ya watu wenye fedha vilevile baadhi ya wanawake hudhani poda hiyo ni mahususi kwa wanawake UNK ndoa na katika mazingira ya kawaida hawawezi UNK katika makala hii tutangalia hatua za kuchukua kuhakikisha muhusika UNK vema poda ya kunggaa na kupendeza hasa anapokuwa na UNK wa usiku jambo la kwanza kwa muhusika ni kukumbuka kuwa poda za kunggaa zinapatikana katika maduka ya urembo tena kwa bei za kawaida mara nyingi poda hizo huwa na rangi ya dhahabu au fedha na kitu kingine ambacho muhusika anatakiwa UNK ni kuwa poda hii UNK wakati mchana ni lazima UNK usiku mahitaji vipodozi vya kawaida kama wanja foundation poda UNK maskara na vinginevyo pia poda ya kunggaa hasa inayofanana au kukaribiana rangi na nguo UNK njia baada ya kuoga chukua UNK vyako vya kawaida na upake kwa kuzingatia kanuni za upakaji na UNK UNK katika ngozi yako ukimaliza kupaka vipodozi chukua kiasi kidogo cha poda ya kunggaa na uanze kupaka sehemu za chini ya macho hasa kwenye kona za macho yako baada ya kupaka poda usoni vaa nguo zako za kutokea na uchukue kiasi kingine cha poda hiyo na upake baadhi ya sehemu zilizo wazi sehemu muhimu ni kifuani na hata mgongoni taarifa hiyo ilisema kuwa ongezeko la joto la maji juu ya wastani katikati ya bahari ya UNK inaashiria kuwepo kwa mvua za el nino UNK hadi mwishoni mwa april ishirini moja sifuri imeelezwa kuwa ongezeko la joto magharibi mwa bahari ya hindi linatarajiwa kuhamia katikati ya bahari hiyo hali ambayo itasababisha pepo kutoka kaskazini mashariki kuvuma kuelekea bahari ya hindi aidha ilisema kuwa mwelekeo wa kupungua kwa joto kusini mashariki mwa bahari ya atlantic kunatarajiwa kusababisha pepo kutoka magharibi kuvuma kuelekea magharibi mwa tanzania katika maeneo ya ziwa victoria mwelekeo wa mvua wa septemba hadi desemba ishirini sifuri tisa unatarajiwa kuwa katika namna tofauti ambapo baadhi ya maeneo yanaweza kunufaika huku mengine UNK ilifafanua kuwa msimu wa vuli unahusu maeneo ambayo hupata mvua mara mbili ambayo ni kaskazini mwa nchi ikiwa ni nyanda za juu kaskazini mashariki kanda ya ziwa victoria na pwani ya kaskazini katika maeneo hayo mvua zinatarajiwa kunyesha wiki ya pili na tatu ya septemba mwaka huu mvua za msimu ambazo UNK mara moja kwa mwaka zinatarajiwa katika mikoa ya magharibi ambayo ni tabora rukwa kigoma kusini mwa mkoa wa shinyanga ambapo zinatarajiwa kuanza wiki ya kwanza ya novemba mwaka huu ambapo wastani wake unatarajiwa kuwa juu katika mikoa ya kati mvua zinatarajiwa kunyesha singida na dodoma kuanzia wiki ya tatu na nne ya novemba mwaka huu na kupimwa juu ya wastani mikoa ya nyanda za juu magharibi mvua UNK kuanza wiki ya tatu hadi ya nne ya novemba mwaka huu ambapo zinatarajiwa kuwa zaidi ya wastani wa kawaida katika mikoa ya kusini na pwani ya kusini ambayo ni ruvuma mtwara pamoja na lindi mvua zinatarajiwa kuanza katika wiki ya tatu na nne ya novemba ambapo zinatarajiwa kuwa chini ya wastani taarifa hiyo ilieleza kuwa baadhi ya maeneo yanaweza kuathirika kutokana na uwepo wa mvua hizo huku mengine UNK kwa kuwa na mvua za wastani mamlaka ya hali ya hewa nchini imeshauri wakulima kuchagua zao linalofaa kupanda pamoja na kupata ushauri kutoka kwa maofisa ugavi wa kilimo ili kuongeza mavuno rais jakaya kikwete amewataka majaji na mahakimu kuhakikisha tabaka la masikini linapata haki zao kupitia mahakama rais kikwete aliyasema hayo jana wakati alipokuwa akifungua mkutano wa siku mbili wa chama cha kimataifa cha majaji wanawake wa afrika unaofanyika katika kituo cha mikutano ya kimataifa cha arusha ni lazima muelewe kuwa kazi yenu ni kutafsiri sheria na ndio maana hata katiba ya tanzania inawatambua hivyo msitumie uwezo huo kwa kutoa upendeleo kwa upande mmoja ama kwa tabaka fulani lenye uwezo kuliko lingine kwa kufanya hivyo mtakuwa UNK haki alisema rais kikwete alisema kuwa haki ni msingi kwa maisha ya binadamu yeyote ndio sababu ya kuwepo kwa mahakama ili iweze kutenda haki kwa watu wote hivyo ni changamoto kwa majaji kuhakikisha kuwa jamii inayowazunguka UNK na inathamini mchango wao katika kutenda haki alisema kuwa majaji wamepewa jukumu la kutafsiri sheria hivyo wanatakiwa kufanya hivyo bila ya kutumia visivyo uwezo na nguvu walizopewa kisheria kwa maslahi ya mtu fulani ama kikundi fulani aliwataka majaji kuhakikisha uendeshwaji wa kesi unafanywa kwa haraka ili kuwezesha kesi UNK muda mrefu ambapo pia itasaidia kupungua kwa kesi kwenye mahakama akizungumzia chama cha majaji wanawake tanzania rais kikwete alisema kuwa chama hicho kimekuwa na mchango mkubwa dhidi ya serikali kwa kusaidia katika masuala ya uanzishwaji sera za taifa ambapo alitaja baadhi kuwa ni mkakati wa taifa wa kupambana na umasikini hata hivyo alisema nchi za afrika tanzania ikiwa mojawapo zipo tayari kupata maoni kutoka kwa majaji kuhusiana na masuala ya sheria ili ziweze kutoa haki kwa watu wote kwa maslahi ya taifa husika mkutano huo ambao washiriki ni majaji wanawake kutoka nchi tisa za afrika utajadili baadhi ya mada ikiwemo haki za wanawake na mtoto haki za binadamu na uendeshwaji wa kesi na tumaini makene rais jakaya kikwete amemtumia salamu za rambirambi rais barack obama wa marekani kufuatia kifo cha seneta mashuhuri na mpigania hali bora za maisha ya watu bwana edward kennedy katika salamu hizo rais kikwete UNK marehemu kennedy kuwa ni kiongozi UNK daima kwa mchango wake UNK katika kupigania masuala ya haki za kiraia kwa watu wote amani huduma za afya na maendeleo ya kiuchumi kwa wamarekani bila kujali tofauti za rangi taarifa iliyotolewa na wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa imesema rais kikwete binafsi na kwa niaba ya watanzania amepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha seneta kennedy na kuiombea faraja familia yake katika wakati huu mgumu watanzania tuko pamoja na wamarekani wote na hasa familia ndugu na jamaa wa hayati kennedy katika wakati huu mgumu wa kuondokewa na kiongozi muhimu UNK kwa mungu UNK nguvu na uvumilivu ilisema taarifa hiyo seneta edward kennedy aliyefariki juzi kwa saratani ya ubongo UNK kwa muda mrefu anatarajiwa kuzikwa kesho pembeni mwa makaburi ya kaka zake wawili katika eneo la UNK national nje kidogo ya jiji la washington familia kennedy ikiwajumuisha rais wa thebathini na tano wa marekani marehemu john kennedy robert kennedy edward kennedy na dada yao eunice UNK ilikuwa moja ya familia mashuhuri yenye ushawishi katika duru za siasa za marekani katika kile kinachoonekana kuwa ni kujivua lawama mahakama kuu ya tanzania imesema haihusiki kwa namna yoyote na ucheleweshaji wa kesi ya samaki wa magufuli ambao wamekuwa UNK serikali gharama kubwa ya kuwatunza mahakama kuu imesema kuwa serikali haijawahi kutuma maombi tena kuomba ruhusa ya kuwauza samaki hao baada ya ombi la kwanza kusitishwa kwa mujibu wa sheria na ombi la pili kuondolewa mahakama kuu na upande wa mashitaka kwa mujibu wa taarifa ya mahakama hiyo iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari amri ya kuwauza samaki hao kwa njia ya zabuni na mnada wa hadhara ilitolewa na mahakama ya hakimu mkazi kisutu aprili sita mwaka huu kabla shauri hilo UNK kusikilizwa katika mahakama hiyo na kuhamishiwa mahakama kuu pamoja na amri hiyo ya kuwauza samaki hao baadae ilitolewa hoja ya kisheria iliyokubalika na pande zote kuwa mahakama ya hakimu mkazi kisutu haikuwa na mamlaka kisheria kusilikiza shauri hilo kwa hiyo lilikuwa limefunguliwa kwenye mahakama hiyo kimakosa ilisema sehemu ya taarifa hiyo aprili thebathini ilitolewa amri kusitisha mwenendo wa shauri hilo na kuelekeza kwa mujibu wa sheria ya mwenendo wa jinai shauri hilo lichunguzwe kwanza na mahakama hiyo baadae washtakiwa wapelekwe mahakama kuu kwa ajili ya shauri lao kusikilizwa taarifa hiyo iliyosainiwa na msajili wa mahakama kuu bwana john utamwa ilisema mei ishirini na moja mwaka huu jamhuri ilituma maombi mahakama kuu ikiomba samaki hao wauzwe kwa kuwa wangeweza kuharibika lakini baadaye upande huo uliomba kuondoa maombi hayo huku mahakama ikitoa uhuru kwa ombi hilo kupelekwa tena kama UNK mahakama haina jukumu la kukamata na kupeleka watuhumiwa hivyo makosa ya kupeleka shitaka katika mahakama isiyo na mamlaka haiwezi kutafsiriwa kama ucheleweshaji wa wa shauri iliongeza kuwa hakukuwa na amri iliyositisha uamuzi wa kwanza wa kuruhusu uuzwaji wa samaki hao kabla ya kusitishwa kwa mwenendo wa shauri la awali na wala serikali haijawahi kuomba kufanya hivyo baada ya kuondoa maombi yake ya pili taarifa hiyo ya mahakama kuu imekuja baada ya hivi bwana magufuli kuitupia mpira mahakama kuwa inachelewesha kusikilizwa kwa shauri linalohusu raia thebathini na saba wa kigeni ambao wanatuhumiwa kuvua samaki kinyume cha sheria katika bahari ya hindi eneo la tanzania samaki waliokamatwa kama kidhibiti wanaofikia tani mia mbili na tisini na mbili wanadaiwa kuigharimu serikali kiasi cha shilingi milioni thebathini saba kwa mwezi kuwahifadhi katika kampuni ya bahari food mwenge dar es salaam sakata la mradi wa upimaji na uthamini wa viwanja linalofanyika katika eneo la kigamboni temeke dar es salaam UNK familia ya baba wa taifa mwalimu julius nyerere nakujikuta ikitakiwa kuachia eneo lao familia hiyo ya baba wa taifa ilihamia kijiji cha gezaulole kilichopo kigamboni tangu mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na tatu baada ya kuhamasishwa na mke wa mwalimu mama maria nyerere akizungumza na majira nyumbani kwake gezaulole kigamboni jana mzee warioba chacha alisema yeye na wenzake hao wa jamii ya wasimbiti kutoka mkoa wa mara UNK na mama maria kuwa kulikuwa na pori lenye rutuba nje kidogo ya jiji la dar es salaam hivyo wahamie na kuanzisha makazi alisema walipofika eneo hilo kulikuwa na msitu mnene wenye wanyama wakali wakiwemo simba chui na fisi ambao walikuwa tishio kwa wenyeji na kuwafanya kuamua kuishi mbali na gezaulole tulikuja hapa agosti elfu moja na mia tisa na sitini na tatu baada ya mama maria kutuambia tuje tuanzishe makazi hapa tulikuwa watu kumi na tatu na kwa sababu kulikuwa na wanyama wakali wenyeji wachache waliokuwa wakiishi hapa walikuwa wakilala kwenye nyumba ambazo walijenga juu ya miti kujilinda na wanyama wakali wakati wa usiku mzee chacha alisema kutokana na msitu huo kuwa na miti mingi na mikubwa walishindwa kufyeka kwa kutumia mapanga na shoka ndipo mwalimu nyerere aliwapelekea matrekta matatu kusaidia shughuli hiyo kwa kweli nikikumbuka jinsi UNK kusafisha eneo hili naona UNK alisema mzee chacha akionesha kupinga hatua ya kutakiwa kuachia maeneo hayo akielezea UNK jicho lake la kulia baada ya kupigwa na mti alisema ilikuwa kazi ngumu ambayo sasa ilipaswa kutulia na kula matunda ya kazi hiyo na si kunyangganywa viwanja vyao halafu sasa watu wanakimbilia kuja gezaulole na kutaka kutufukuza nasikitika sana hivi unavyoniona nimevaa miwani mwaka huo nilipoteza jicho moja ambalo UNK baada ya kuchomwa mti mkubwa alisema mzee chacha huku akionesha sehemu ya jicho hilo alisema baada ya kufyeka pori hilo walianza kulima mazao mbalimbali yakiwemo pamba viazi vitamu na matunda ambayo UNK alisema mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na nane UNK pamba ambayo UNK kwa kiasi kikubwa na kuwashinda kuvuna na baba wa taifa aliwapa vijana wa jeshi la kujenga taifa kuwasaidia vijana hao walivuna pamba hiyo jumapili huku wakiongozwa na mwalimu nyerere na baada ya UNK walichambua katika madaraja ya ubora na kuiuza alisema walipata fedha nyingi ambapo mwalimu nyerere aliwashauri kubuni miradi ambao ingekuwa endelevu hivyo waliaamua kuanza ufugaji wa kuku alisema mradi wa kuku ulikuwa wa mafaniko kutokana na usimamizi wa mwalimu nyerere ambaye alifika mara kwa mara na kulala katika kijiji cha gezaulole hadi UNK gari kwa ajili ya kusafirisha mazao mzee marwa alisema baada ya kuingia mfumo wa vijiji vya ujamaa mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na moja UNK na watu wengine ambao walisababisha kufilisika kwa mradi huo alisema mwaka ishirini sifuri saba aliwashauri wenzake kupima ardhi yao kama UNK rais jakaya kikwete katika moja ya mikutano yake hata hivyo anashangazwa na habari za wakazi kulazimika kuondoka eneo hilo ili kupisha mradi wa uendelezaji mji unaofanywa na manispaa ya temeke mara ya kwanza nilitoa laki nane baadaye laki sita mara ya mwisho nilitoa laki saba lakini UNK hivyo tukakubaliana na UNK wangu kuwa nikishapata hati ya umiliki UNK kiwanja kimoja alisema bwana chacha alisema familia hiyo imejikuta haina mtetezi wala mahali pa kwenda baada ya mwalimu nyerere kufariki mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa na mama maria kushindwa kuwatembelea mara kwa mara kama zamani kutokana na umri mkubwa sasa yataka viongozi wa dini wapime madhara yake yasema jamii UNK wote UNK yadai hata waumini wao wataanza UNK UNK uhuru wa maoni usitumike vibaya siku moja baada ya askofu mkuu wa jimbo kuu la dar es salaam muadhama polycarp kardinali pengo kuonya wanasiasa wasiingilie utendaji wa maaskofu serikali UNK juu viongozi hao ikiwataka wapime matokeo ya mwongozo walioutoa hasa unapokuwa na sura ya kikatiba kama chama cha siasa viongozi dini wapime manufaa wanayopata kutokana na mwongozo huo na athari zake mwongozo wa mwaka huu umeleta malumbano wapime manufaa yake kwa dhehebu lao na waumini wao kauli hiyo ilitolewa dar es salaam jana na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bwana philip marmo alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari waliomtaka atoe maoni yake kuhusu kauli ya kardinali pengo ingawa alisema alikuwa hajasikia kilichoelezwa na kardinali pengo bwana marmo alisisitiza kuwa viongozi wa dini ni watu waadilifu wapime matokeo ya maamuzi yao waangalie manufaa UNK na athari zake aliendelea kusema kuwa unaweza kuleta kitu ambacho hakiwezi kuleta faida jamii ikianza kuathirika wote UNK hakutakuwa na cha UNK au mkristo alibainisha kuwa UNK mwongozo wenye sura ya katiba basi wanavyofanya hivyo UNK kama chama cha siasa tukifanya kama tunavyofanya sasa hata waumini wenyewe wanakuwa na wasiwasi alisema na kuongeza kila kiongozi apime maana ya mwongozo huo alitahadharisha kuwa uhuru mpana uliotolewa na katiba usiwe chanzo cha kuutumia kwa makusudi ambayo UNK kuhusu hatua ya waislam kutaka kutoa mwongozo wao bwana marmo alisema kama wataona una manufaa wafanye hivyo lakini wapime matokeo kama wao ni wazalendo wapime matokeo ya miongozo hiyo ama waumini wao na hatima ya nchi alisema bwana marmo kauli hiyo ya bwana marmo imetolewa wakati kardinali pengo akiwa ameelezea kukerwa na tabia ya baadhi ya wanasiasa kutaka kugeuza mamlaka ya kanisa kuwa chama cha siasa akizungumza wakati wa misa ya mazishi ya askofu mkuu wa jimbo kuu la mwanza marehemu anthony mayala aliyefariki jumatano iliyopita na kuzikwa juzi kardinali pengo alisema tabia ya baadhi ya viongozi kuendelea kukumbatia mfumo ulioshindwa wa UNK unachangia kupora haki za wananchi na kuua uadilifu wa taifa lazima tukubaliane UNK mamlaka ya kanisa kuwa chama waacheni maaskofu wafanye kazi zao kutekeleza majukumu ya mungu tuondokane na kelele UNK katika moyo mwema alionya kardinali pengo aliongeza kuwa kila mmoja ana mchango wake wa kuzuia uovu mchango huo utoke moyoni lakini maneno matupu yanachangia kutuongezea hasira na kujenga chuki tangu maaskofu wa kanisa katoliki watoe waraka huo yamekuwepo malumbano kutoka kwa viongozi wa siasa na serikali wengine UNK akiwemo mwanasiasa mkongwe kingunge ngombale UNK timu ya soka ya simba imeendelea kufanya mauaji katika michuano ya ligi kuu tanzania bara baada ya jana kuichapa toto african ya mwanza mabao tatu moja mchezo huo ulichezwa uwanja wa uhuru dar es salaam kipindi cha kwanza cha mchezo huo toto african ndio walioonekana kuutawala mchezo dakika sita walipata bao kupitia kwa lawrence mgia baada ya kupiga mpira wa kona uliokwenda moja kwa moja wavuni dakika ya thebathini na moja mussa hassan mgosi wa simba alikosa bao baada ya kupata pasi nzuri kutoka kwa haruna moshi boban na kushindwa kufunga simba walisawazisha bao dakika ya arobaini na tano kwa mkwaju wa penalti uliopigwa na mgosi kufuatia beki wa toto african philimon UNK kuunawa mpira ndani ya eneo la penalti kipindi cha pili simba walionekana kucheza kwa kuelewana tofauti na kipindi cha kwanza ambapo dakika ya arobaini na saba boban aliipatia timu yake bao baada ya kuwatoka mabeki wa toto na kufunga bao la pili bao hilo UNK nguvu simba waliendelea kulishambulia lango la wapinzani wao huku boban mgosi na okwi wakikosa mabao dakika ya hamsini na tisa mchezaji wa toto juma abdul alionesha kadi nyekundu baada ya kumpiga na kiwiko cha mkono uhuru seleman simba walipata bao la tatu dakika ya sitini na sita baada ya salum kanoni kutoa safi kwa emmanuel okwi ambaye hakufanya makosa na kuukwamisha mpira wavuni leo manyema rangers itaumana na kagera sugar katika mfululizo wa ligi hiyo kwenye uwanja wa uhuru jijini dar es salaam simba juma kaseja salum kanoni juma jabu kelvin yondan juma nyosso mohammed banka nico nyagawa amri kiemba ramadhan kijuso mussa hassan mgosi uhuru seleman emmanuel okwi ramadhan chombo redondo haruna moshi boban toto african msafiri abdallah juma abdul philimon UNK ladislaus mbogo william UNK tete UNK ally mrisho jacobo masawe ally sultan lawrence mgia juma seif amani george athuman UNK semi kessy chesido UNK wilaya ya kongwa inakabiliwa na upungufu mkubwa wa chakula kwa asilimia sabini na mbili ya mahitaji yake sawa na tani hamsini mia sita na thebathini na sita kutokana na upungufu wa mvua katika msimu wa kilimo kwa mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa akiwasilisha taarifa ya wilaya hiyo kwa mkuu wa mkoa wa dodoma daktari james msekela juzi mkuu wa wilaya hiyo bwana lembris UNK alisema kutokana na upungufu huo mkubwa wilaya imebuni utaratibu wa kuhakikisha kwamba inaondokana na hali hiyo katika msimu ujao licha ya hali hiyo ya chakula cha nafaka kutoridhisha wilaya imejiwekea utaratibu wa kuhakikisha UNK na chakula na kuwa na ziada kama ilivyo kuwa huko nyuma baadhi ya mbinu hizo ni kununua na kusambaza tani sitini na tano za mtama kwa wakulima usambazaji wa mbegu bora za kilimo na zana za kukokotwa na wanyama kazi alisema bwana kipuyo kuhusu zao la korosho ambalo ni jipya la biashara alisema wilaya ya kongwa imejiwekea lengo kwa kila kaya kulima hekari tatu ya zao hilo sawa na miti sitini na sita taasisi za elimu kulima hekari zisizopungua kumi na wawekezaji wakubwa kulima hekari zisizopungua hamsini ili kufikia lengo la kuzalisha zao hilo pamoja na kuwa na chakula cha kutosha kamati ya kilimo imeundwa na itapita kila kijiji kuhakikisha kila kaa inatekeleza lengo hilo pia maofisa ugani wetu wamepewa maelekezo maalum ya kuwa na daftari la kazi ya kila siku ambayo inaweka kumbukumbu na taarifa zote za wakulima UNK alisema bwana kipuyo kuhusu utawala bora alisema wilaya ya kongwa imefanikiwa kutekeleza dhana hiyo kwa kusoma taarifa ya mapato na matumizi kwa kila kijiji na kwamba kilimo cha umwagiliaji umepewa kipaumbele kwa kutengewa zaidi ya hekari mia tatu na sabini na mbili kwa upande wake daktari msekela alipongeza wilaya hiyo kufikia malengo ya serikali na kuwa wilaya ya kwanza kutekeleza ilani ya uchaguzi wa ccm ya mwaka ishirini sifuri tano na kuagiza mapato na matumizi UNK ukutani katika ofisi za serikali za vijiji ili wananchi waweze kupitia mara kwa mara jumuiya ya makanisa ya kikristo tanzania imezindua mwongozo UNK mapambano dhidi unyanyapaa ubaguzi na unyanyasaji kwa watu wanaoishi na virusi vya ukimwi mwongozo huo ulizinduliwa dar es salaam jana na mwenyekiti wa taasisi ya wanawake na UNK mama salma kikwete ambapo walikuwepo wachungaji wa makanisa kutoka sehemu mbalimbali nchini akizindua mwongozo huo mama salma aliwataka watanzania kuendeleza mapambano hayo ili kutokomeza hali ya unyanyapaa kwa watu UNK na virusi vya ukimwi aliipongeza jumuiya hiyo kwa kuamua kwa nia moja kutoa elimu kwa wakristo juu ya kuelimisha jamii ili kuendeleza vita dhidi ya unyanyapaa makanisa kupitia mwongozo huu naamini yatakuwa mstari wa mbele katika kukemea kwa nguvu zote na kuhakikisha wenzetu wanaishi kwa amani alisema UNK wananchi wasiogope kuendeleza kampeni ya kupima virusi kwa hiari UNK rais kikwete julai kumi na nne mwaka ishirini sifuri saba na kwamba si wote wanaoishi na virusi walivipata kwa zinaa bali wengine walivipata kupitia njia nyingine watoto wengi wamepata maambukizi kutoka kwa wazazi hiyo ni kutokana na wazazi kutokuwa tayari kupima afya zao ili kuruhusu mama kupata kinga kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto na kujikuta UNK watoto wenye virusi vya ukimwi alisema kwa upande wake mwenyekiti wa kamati ya katiba na sheria za kikristo askofu john nkola alisema lengo la kuandaa UNK huo ni kuyajengea uwezo makanisa wanachama katika kuendesha mambo mbalimbali ya kujikinga na ugonjwa wa ukimwi akikabidhi mwongozo huo mama salma kikwete alisema baada ya kuzinduliwa UNK kwenye makabati bali utumike katika utekelezaji wa shughuli ambazo zimeainishwa ndani yake askofu mkuu wa kanisa la full gospel bible fellowship church UNK kakobe amesema anamheshimu na kumtambua askofu msaidizi wa jimbo kuu la dar es salaam methodius kilaini mbali na yeye kutomtambua kama UNK akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu dar es salaam juzi askofu kakobe alisema kuwa alitarajia kauli kama hiyo kutoka kwa askofu kilaini na kwa mkatoliki yoyote yule kwa kuwa dhehebu hilo UNK muumini wa dhehebu jingine kama UNK askofu kilaini UNK wazi kuwa kanisa lake ni la kibaguzi ndio maana wakaamua kutoa waraka maalumu kwa ajili kuwagawa watanzania kwa matabaka ya dini jambo ambalo liliibua hisia za waislam nao kutoa mwongozo wao alisema askofu kakobe na kuongeza we kama hujui mtu yoyote asiye mkatoliki hujulikana kama muasi wa kanisa hilo UNK hivyo kwa nini UNK mwenzio muasi kama wewe siyo mbaguzi alihoji askofu kakobe alisema misingi ya katoliki inatambulika duniani kote kuwa uaskofu huteuliwa na papa lakini UNK UNK hawakupewa uaskofu na papa bali waliwekwa na yesu mwenyewe neno askofu maana yeke ni mwangalizi wa makanisa hivyo yoyote UNK wa makanisa ni askofu alisema askofu kakobe alisema kuwa kama rais UNK kujenga taifa hili kwa misingi ya udini na ukabila tutajenga taifa lenye chuki ambayo huzaa mapigano ndio maana muasisi wa taifa aliamua nchi hii isiwe na dini ili wenye dini waunganishwe na utanzania aidha askofu kakobe alisema kuwa kumtaka rais jakaya kikwete kutoa tamko haina maana kuwa UNK kwake kama baadhi ya watu UNK bali yeye ni mtu mwenye msimamo pale akiona kuna tatizo lazima UNK alisema kuwa umaarufu wake UNK kwa kupinga waraka na mwongozo kwani yeye ni maarufu toka zamani hivyo amewataka watanzania kutazama mbali zaidi kwani taifa UNK ni pabaya mbunge wa singida kaskazini bwana lazaro nyalandu ameonya tabia ya vyama vya siasa kuingiza mambo yanayohusu imani za dini katika masuala ya siasa na kusema kuwa hali hiyo itasababisha kugawa nchi alisema pia ni hatari kwa mstakabali wa amani na utulivu wa nchi kama mamlaka ya nchi itatumia pesa za walipa kodi na kujiingiza katika uendeshaji wa mambo ya dini yasiyokuwa na maslahi ya umma kwa watanzania wote bwana nyalandu ambaye ni mbunge wa UNK kaskazini alisema hayo jana dar es salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari juu ya kutimiza adhima yake ya kupeleka hoja binafsi kulitaka bunge kupitisha azimio la kutoruhusu masuala ya imani za dini kujadiliwa bungeni katika bunge lililopita niliahidi kuwa nitawasilisha hoja binafsi kwenye mkutano ujao wa kumi na saba kulitaka bunge kupitisha azimio la kutoruhusu kabisa kujadili masuala ya imani za dini ndani ya bunge kwa kuwa ni hatari kwa amani ya nchi yetu na uvunjaji wa masharti na misingi ya katiba yetu ambayo inaeleza kuwa serikali haina dini alisema bwana nyalandu alisema msukumo wa kutoa hoja hiyo umechangiwa kwa kiasi kikubwa na tabia iliyojitokeza kwa baadhi ya wabunge kujadili na kutaka kutungwa kwa sheria itakayowezesha serikali kuanzisha mahakama ya kadhi na tanzania kujiunga na na jumuiya ya nchi za kiislamu mijadala kuhusu masuala ya kidini katika bunge imekuwa mikali sana na ikichangiwa kwa hisia za imani za dini husika na hivyo kuacha masuala yenye manufaa kwa nchi kwani muda huo ungeweza kutumika kujadili na kutafuta suluhu kwa mambo yenye maslahi kwa umoja wa kitaifa uendeshaji wa taasisi za kidini unapaswa kuwa nje ya mamlaka ya nje ingawa serikali inaweza kushirikiana na taasisi hizo katika mambo yanayohusiana na huduma kwa jamii nzima alisema bwana nyalandu alisema ipo nchi ambazo zimejikuta kwenye migogoro mikubwa ya kisiasa na kijamii hadi kusababisha kuvunjika kwa amani na wakati mwingine hadi vita ambapo ukifuatilia chanzo chake pamoja na mambo mengine ni mijadala mbalimbali inayohusu na masuala ya imani za dini alisema kuwa hoja yake haina nia ya UNK bunge uhuru wake wa kujadili jambo lolote lenye maslahi ya taifa kma ilivyoelezwa katika katiba bali ana lengo la kuwakumbusha wabunge kujadili masuala UNK na katiba ya nchi bwana nyalandu aliongeza masuala ya imani ya dini UNK kwa mtu mmoja mmoja kujiunga na imani anayotaka isipokuwa yatajadiliwa bungeni pale kutakapokuwa na hoja mahsusi inayohusu suala la dini linalotishia UNK wa taifa anapendekeza kuwa hoja ya namna hiyo itajadiliwa baada ya kamati ya uongozi ya bunge kuidhinisha kwa kujiridhisha kuwa UNK masharti ya misingi ya katiba ya nchi msingi huo ndiyo UNK nchi yetu kuwa miongoni mwa nchi chache duniani ambapo utakuta mtaa wake mmoja kuna msikiti kanisa UNK na ofisi ya mganga wa jadi na taasisi zote hizo zinafanya UNK zake kwa amani na watu wote wanaishi kwa amani na udugu bila mfarakano alisema alipoulizwa na waandishi wa habari kuwa suala la mahakama ya kadhi liliibuliwa na chama chake cha ccm katika ilani yake bwana nyalandu alisisitiza kuwa masuala ya dini ya dini yanapaswa kuachwa mbali na chama chochote cha siasa ili kuiepusha nchi na UNK kwa mujibu wa bwana nyalandu hoja yake hiyo UNK mkono na wabunge takribani kumi sifuri na watu wengine wa kada nyingine wakiwemo viongozi wa dini huku akiwa bado anaendelea kutafuta uungwaji zaidi alipopigiwa simu ili kujua msimamo wa ccm kuhusiana na hoja hiyo ya bwana nyalandu katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho bwana john chiligati alisema kuwa tayari wamekwisha kutoa tamuko juu ya mijadala inayohusiana na masuala ya imani na dini sina cha UNK siwezi kusema kingine tofauti na kilichoamuliwa na mkutano wa nec hivi karibuni ambapo tulisema kuwa serikali ikutane na wadau wote na kuyazungumza mambo hayo na kuyamaliza alisema bwana chiligati katika tamuko la nec ccm kiliamua kuwa suala la mahakama ya kadhi waachiwe waislamu wenyewe waanzishe bila kuihusisha serikali katika uendeshaji wake kwa upande wake hamad rashid ambaye ni mbuge wa wawi na mkuu wa kambi ya upinzani bungeni alionesha wasiwasi kwa hoja kupata uungwaji mkono kwa kusema kuwa inaweza kupingana na katiba UNK bunge uhuru wa kujadili jambo lolote katika jamii nina wasiwasi kama hoja hiyo inaweza kuwa na ushawishi wa kutosha kukubalika kwa sababu ukisema leo tuzuie kujadili mambo ya dini kesho mwingine atakuja akiomba tuache kujadili mambo ya wafugaji mwingine atasema mambo ya wavuvi au wafanyakazi UNK naye katika kukataa watu kuchangia mijadala kwa ku UNK watu lakini siyo kuyajadili kabisa masuala hayo maana ni kama alivyosema mwalimu kuwa ukianza dhambi moja ya ubaguzi utafuata nyingine the UNK thing is UNK alisema bwana hamad hoja hiyo ya bwana nyalandu imekuja wakati huu kukiwa na mkanganyiko mkubwa ndani ya jamii kuhusiana na masuala ya dini na siasa kuchanganywa kwa kiasi kikubwa hata baadhi ya watu kuhofia UNK nchi huko inakoelekea masuala hayo ya dini amabyo yamekuwa UNK watu katika msingi ya imani yao ni pamoja na kuwepo kwa madai ya kuundwa kwa mahakama ya kadhi huku ikiendeshwa na serikali nchi kujiunga na oic waraka wa kanisa katoliki na mwongozo kamti ya ashura ya waislamu mijadala kama vile kuruhusu kujiunga oic na kuanzishwa kwa sheria ya kuendeshwa kwa mahakama ya kadhi imekuwa UNK hata wabunge UNK katika vikao bungeni huku mmoja mmoja wakionekana kutetea kulingana na imani za dini zao waandishi wa habari walipotaka kujua kama wabunge ambao misimamo yao kuhusiana na masuala UNK watu hivi sasa kama vile kingunge UNK mwiru na bwana manju UNK wameunga hoja hiyo bwana nyalandu hakutaka kuweka wazi juu ya hilo kwa mujibu wa taratibu za kibunge siyo muda mwafaka kuweka wazi majina ya wabunge hao kumi sifuri wanaoniunga mkono katika hoja hii lakini wapo na UNK wengine wataongezeka UNK kwa makini kwa kuangalia mambo yote ikiwemo mambo ya katiba na sheria za nchi amiri jeshi mkuu na rais wa tanzania daktari jakaya kikwete ameyataka majeshi ya afrika mashariki kuyatumia mazoezi UNK jana kuboresha uhusiano baina ya wanajeshi na wananchi wa nchi wanachama pia amewataka kutumia mazoezi hayo UNK jina la mazoezi mlima kilimanjaro kuwa nafasi muhimu kwa majeshi hayo katika kukabiliana na UNK zinazowakabili wananchi hao ki afrika mashariki rais kikwete alikuwa akizindua mazoezi ya kwanza ya aina yake yanayotarajiwa kufanyika kwa takribani wiki tatu ya nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki katika mikoa ya arusha na tanga naamini kwa kufanya mazoezi haya ya pamoja UNK uzoefu kuongeza uhusiano kudumisha amani na mshikamano zaidi baina ya wanajeshi na wananchi wa nchi wanachama alisema rais alisema mazoezi hayo yamefanikiwa baada ya nchi wanachama kuimarisha mahusiano baina ya nchi hizo na kwamba kwa kufanikisha mazoezi hayo na wazi UNK hao na wananchi kwa ujumla wan chi wanachama watajifunza mengi UNK nchi hizo yapo mengi makubwa na madogo UNK kuyafanya ikiwa na pamoja na kupunguza umaskini kwa wananchi wa nchi wanachama UNK mazoezi haya tutaongeza uwajibikaji umakini na nidhamu katika majeshi yetu alisisitiza makubaliano ya jumuiya ya afrika mashariki UNK wazi kwa majeshi yetu na vyombo vya usalama kwa kushirikiana katika nyanja mbalimbali ikiwa ni pamoja na mafunzo ya kijeshi oparesheni za pamoja masuala ya kiufundi na kubadilishana taarifa na kutembeleana aliongeza uzinduzi huo ulioshirikisha mawaziri wa ulinzi wa nchi wanachama na waziri wa ulinzi wa tanzania daktari hussein mwinyi ambaye awali alisema kuwa mazoezi hayo yanaweza kupunguza kwa kisi kikubwa migogoro inayojitokeza katika nchi husika mazoezi hayo yanatarajiwa kufikia tamati septemba ishirini na tatu mwaka huu linalenga kutoa mafunzo kwa majeshi na wadau wengine wa nchi hizo katika dhana za operesheni za ulinzi wa amani vita dhidi ya ugaidi na kukabiliana na maafa zaidi ya wanajeshi elfu moja na mia sita na hamsini UNK zoezi hilo kutoka nchi wanachama na idadi yao katika mabano tanzania rwanda kenya na uganda kila nchi na burundi wanajeshi hamsini rais jakaya kikwete ameitaka benki ya wanawake tanzania katika kutengeneza sera ya mikopo bila kusahau kilimo rais kikwete alitoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki alipokuwa akizindua rasmi benki hiyo ambapo pamoja na mambo mengine alisema kuwa anaelewa hisia na hasa hofu za benki kukopesha sekta ya kilimo nawaomba UNK hofu hizo ila UNK wala kuendeleza hofu na kuwafanya UNK sekta ya kilimo zaidi ya asilimia themanini ya watanzania wanaishi UNK na wanategemea kilimo katika kuleta maendeleo alisema alisema kuwa wengi wa watanzania hao UNK kilimo ni wanawake ambapo alidai kuwa benki hiyo ikitoa mikopo kwa sekta ya kilimo UNK wadau wengi na UNK mtoe mikopo kwa kinamama wanaojihusisha na shughuli hizo mkifanya hivyo pia mtakuwa UNK katika utekelezaji wa mkakati mpya wa kusukuma kilimo maarufu kama kilimo kwanza alisema viongozi na waumini wa dini nchini wametakiwa kutumia mahubiri na nyimbo kuombea nchi iondokane na malumbano yanayoendelea yanayoashiria kuleta chuki mifarakano na uhasama na hivyo kuhatarisha amani na ustawi wa nchi hayo yalisemwa na naibu waziri wa kazi ajira na maendeleo ya vijana daktari makongoro mahanga katika hafla ya usiku wa marafiki wa agape iliyofanyika makao makuu ya shirika la dini la agape dar es salaam daktari mahanga alisema viongozi wa dini wanatakiwa kutumia fursa waliyonayo kuombea neema UNK hii ili mungu aepushe maovu ukiwemo uhalifu wa ujambazi ubadhirifu rushwa na ufisadi alisema anaamini kwamba maombi na nyimbo za kumtukuza na kumwomba mungu zinaweza kuondoa balaa na maovu nchini badala ya viongozi wa dini kutumia utaratibu wa wenyewe kunyoosheana vidole na viongozi wa kisiasa na dini nyingine akizungumzia tatizo la ukosefu wa ajira nchini alisema linasababishwa na ukosefu wa mitaji elimu na hali ya uchumi na vijana UNK kukuza na kutumia vipaji walivyopewa na mungu hivyo akawataka wawe wabunifu na thomas dominick masheikh nchini wametoa tamko la kulaani vikali tukio la kushambuliwa na kupigwa kofi rais mstaafu bwana ali hassan mwinyi na kijana ibrahim said wakati wa baraza la maulid lililofanyika ukumbi wa diamond jubilee wakitoa tamko hilo dar es salaam jana masheikh waliohudhuria mkutano ulioandaliwa na taasisi ya mwinyi baraka islamic foundation ambapo msemaji mkuu sheikh mohamed idd imamu wa msikiti wa mnyamani alisema waislamu inabidi kulaani kitendo hicho na kama wanataka kupeleka ujumbe watumie njia sahihi masheikh UNK kwa kina na mfumo sahihi wa kufikisha ujumbe katika jamii ikizingatia kitendo cha kushambuliwa bwana mwinyi na misimamo mbalimbali iliyotolewa kuhusisha uislamu na mafundisho yake alisema sheikh idd katika mkutano huo ambapo pia ulihudhuriwa na mufti mkuu wa tanzania sheikh issa shaban bin simba baada ya majadiliano ya kina wanasheria wa kiislamu walitoa msimamo wa pamoja kuhusu njia sahihi ya kufikisha ujumbe kwa jamii ikiwemo kutaka UNK ujumbe kuwa na elimu juu ya kuufikisha kuwa mpole wakati wa kufikisha na kuzingatia maslahi kwa UNK ili kuepusha madhara kwake na jamii UNK ujumbe masheikh hao walisema kitendo cha kupigwa bwana mwinyi ni kibaya na UNK uislamu wala maadili ambayo waumini wa kiislamu wanatakiwa UNK wote waliomuunga mkono kwa madai ya kufuata mafundisho ambayo yametolewa na mtume mohamed wanasumbuliwa na matatizo ya ufahamu wa mafundisho hayo maslahi binafsi ya kisiasa na uchumi na kushindwa kuzingatia yale yaliyosemwa na mzee mwinyi ambaye UNK matumizi ya kondomu alisema alisema bwana mwinyi aliwataka masheikh kutoa maelekezo na misimamo ya pande mbili za waislamu juu ya njia ya kukabiliana na maradhi ya ukimwi ambayo inasisitiza na kuweka wazi kuwa zinaa ni dhambi kubwa na chukizo mbele ya mungu hata hivyo walitumia fursa hiyo kumpata pole bwana mwinyi kwa yaliyomfika na wamefarijika na UNK mungu wake ambao ulisababisha kumsamehe kijana huyo mara tu baada ya tukio kutokana na tatizo hili tumeamua kuunda jopo wataalamu wa dini na wanasheria wa kiislamu kwa ajili ya kufuatilia matukio mbalimbali yanayohusu uislamu kitaifa kikanda na kimataifa na kuyatolea kauli muafaka na majibu sahihi kwa wakati alisema tamko hilo UNK saini na masheikh watano kwa niaba ya wote waliohudhuria kikao hicho ambao ni sheikh sharifu UNK sheikh suleiman UNK sheikh shehata shaban sheikh muharami juma doga na sheikh abubakari UNK wabunge wa chama cha mapinduzi wanaopinga ufisadi nchini wameibuka kwa staili ya vijembe na kuendelea UNK mafisadi wakitumia mafumbo nukuu za biblia koran na hata nyimbo za taarab kufikisha ujumbe staili yao hiyo mpya iliibuliwa juzi wakati kundi la wabunge hao walipopewa nafasi ya kusalimia wananchi wa jimbo la nzega mkoani tabora katika uzinduzi wa mfuko wa akiba na kukopa wilayani humo uliofanyika kwenye viwanja vya kanisa la pentekoste UNK bwana lucas seleli mbunge wa nzega ambaye ndiye aliyekuwa mwenyeji wao alishika kipaza sauti saa saba arobaini na tano mchana aliyewataka wananchi waunge mkono jitihada zao na rais jakaya kikwete katika kupambana na ubadhirifu wa mali za nchi mbunge wa kishapu bwana fred mpendazoe ndiye aliyekuwa wa pili kuzungumza alisema kwa mafumbo si rahisi mtu kuukumbatia UNK bali ni rahisi kuuzunguka lakini akabainisha kuwa bwana UNK ameweza kuukumbatia hivyo naye amefuata nyayo zake kwa kuukumbatia UNK alisema watu wamekuwa wakikwepa kujadili mambo mazito ya taifa na kutafuta njia za mkato nchi inakwenda pabaya inahitaji ujasiri wa hali ya juu nawaomba tumuunge mkono rais jakaya kikwete kwani ana nia ya dhati ya kulikomboa taifa hili tumuunge mkono spika wa bunge la tanzania samwel sitta kwani ana nia ya dhati ya kupigania maslahi ya taifa muungeni mkono watu wanaotoa mali zao kutetea wanyonge muungeni mkono mengi UNK mkono UNK mhanga selelii mwakyembe sendeka kilango na wengine alisema mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ccm bwana nape nnauye ambaye pia ni katibu msaidizi idara ya siasa na uhusiano wa kimataifa ccm makao makuu ndiye alikuwa wa tatu kuzungumza akikamata kipaza UNK saa nane kumi na mbili na kusema hata babu huwa UNK wajuu zake wapeleke mkono sehemu UNK kugusa mimi ndiye UNK utekelezaji wa ilani ya ccm anayebisha aseme hao waache wafanye yoote na UNK kama mjukuu na babu lakini wakipeleka mkono UNK tuwaambie huko hapa safari ya mamba na kenge hawakosi hivyo katika safari hii ipo haja ya UNK mamba ni nani na kenge ni nani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni na mwenye macho haambiwi tazama alimalizia bwana nape na kumpa kipaza sauti mbunge wa kilindi beatrice shelukindo aliyewataka watanzania UNK kupambana na mafisadi aliyepokea UNK sauti kutoka kwa bibi shelukindo saa nane thebathini na moja alikuwa mbunge wa simanjiro bwana christopher ole sendeka UNK alianza kunukuu maandiko ya biblia akisema yesu alisema UNK aibu nami UNK aibu katika mambo UNK aibu ni haya ya kumsaidia mnyonge na maskini pia alinukuu korani kumweleza mtume muhammad alivyoweza kuishi na watu bila kubagua kisha UNK wote wanaosaka uongozi kwa misingi ya dini kama haitoshi bwana sendeka aliimba wimbo unaozungumzia mafisadi baadhi ya maneno UNK walipewa dhamana na kuaminiwa leo wamegeuka mafisadi UNK chama na nchi yetu ndipo tena akaanza UNK kwa wimbo wa taarab usemao kupendwa ni bahati yangu na wala si mzizi kutumia huku akishangiliwa na UNK alipopewa kipaza sauti saa nane arobaini na mbili mbunge wa kyela daktari harison mwakyembe alieleza kwa ufupi kuwa kwakua mafisadi wanatumia fedha kufanya mambo yao wananchi wakipewa fedha UNK lakini UNK wanayotaka mafisadi ndipo UNK mwenyekiti mtendaji wa ipp bwana reginald mengi bwana mengi aliyepewa kipaza sauti saa tisa ishirini na tano alieleza umma wa wananchi waliokusanyika kuwa anashangazwa na watu wanaokwamisha juhudi za kusafisha ufisadi nchini na kusema binafsi hatoi misaada kwa kusaka madaraka wanasiasa wana wivu wakiona unashangiliwa sana wanadhani unataka kuwanyangganya madaraka yao mimi sitaki siasa na wala madaraka yao sipendi uongozi wa kisiasa sipendi uongozi wowote alieleza bwana mengi chama cha wananchi kimeeleza wasiwasi kuhusu mwenendo wa uchaguzi wa serikali za mitaa na kusema hautakuwa huru na haki hayo yalisemwa jana dar es salaam na mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba kuwa ni miaka arobaini na nane tangu tanzania ilipopata uhuru lakini imeshindwa kusimamia uchaguzi kuwa huru na wa haki huu usanii utaendelea hadi lini tunahitaji tume huru ya uchaguzi ili tuweze kupata viongozi waadilifu UNK maendeleo ya nchi alisema profesa lipumba alisema kasoro zilizojitokeza katika uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa upande wa serikali za mitaa na mgawanyo mbovu wa mitaa ni kielelezo kuwa UNK huo hautakuwa wa haki na huru alisema mgawanyo huo umezingatia maslahi ya kisiasa badala ya vigezo vya msingi vya kugawa maeneo kama vile wingi wa watu ukubwa wa UNK na upatikanaji wa huduma muhimu za kijamii maeneo mengi ya mitaa hii mipya UNK baada ya kuona kuna wana ccm wakihisi ndio njia ya kujipatia maeneo ya kutawala alisema profesa lipumba alisema kukataliwa kuandikishwa katika daftari kwa wananchi ambao wameshindwa kujua tarehe zao za kuzaliwa hata kama kama wanatambua mwaka wao wa kuzaliwa ni kuwanyima haki ya msingi wananchi alisema cuf inalaani kitendo cha naibu waziri wa tamisemi bibi celina kombani kupuuza makubaliano ya mkutano wa wadau kuhusu kanuni na taratibu za uchaguzi wa viongozi wa vijiji mitaa na vitongoji ishirini sifuri tisa yaliyofikiwa hivi karibuni pia alielezea cuf chama chake kusikitishwa na jeshi la polisi kutumiwa ili kudhoofisha shughuli za maandalizi ya uchaguzi wa chama hicho ambapo viongozi wa jeshi UNK wamegeuka kuwa makada wa ccm badala ya kuwa watumishi wa umma hujuma tena treni UNK kuangushwa baada ya UNK kamanda wa polisi kitengo cha reli azungumza siku mbili baada ya wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania kufanya mgomo wakidai mshahara na hatma ya ajira yao limetokea kundi maalumu lenye nia ya kutaka kuangusha treni mbili za abiria katika maeneo mawili tofauti jijini dar es salaam tukio la kwanza limetokea juzi eneo la gongolamboto saa moja usiku baada ya kuondolewa kipande cha reli wakati treni namba sabini na tatu r kumi na tisa ikitoka mwanza kupitia kigoma kwenda dar es salaam hata hivyo kabla ya treni hiyo kufika eneo hilo wasamaria wema walitoa taarifa kwa kamanda wa polisi kitengo cha reli bibi ruth makelemo ambapo alifika katika eneo la tukio akiwa na askari pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa trl na UNK dereva kusimama kabla ya kufika eneo hilo akizungumza na wafanyakazi waliokuwa UNK kiongozi kutoka serikalini bibi makelemo alisema taratibu za kiufundi zilifanyika na kuweza kuepusha hujuma hizo ambazo haijulikani ni kutoka upande wa wafanyakazi wenyewe au rites katika tukio la pili jana saa nne asubuhi eneo la stesheni wakati treni namba trl sabini na tatu r kumi na tisa ikiwa inakaribia inaingia kituoni ghafla mtu mmoja UNK alijitokeza na kubadili njia kwa lengo la UNK wafanyakazi waliokuwepo karibu kwa jitihada za haraka na uzoefu wao walikimbia na kuirudishia njia ile huku wakipiga yowe kuashiria mwizi na wengine kuanza kumfukuza ili kumkamata lakini kwa bahati baya UNK pasipo UNK eneo la barabara ya kawawa hata hivyo taarifa hiyo ilipofikishwa kwa bibi makelemo kwa mara ya pili aliamua UNK za kufungwa kwa njia zote za treni na kuweka ulizi wa askari hadi hapo migogoro hiyo itakapomalizika na hasa palipo na vifaru vya uganda ambavyo hadi sasa UNK kusafirishwa kutokana na mgomo huo alisema kutokana na hali ya kutokuwepo usalama kwenye njia za treni kutakuwepo na operesheni itakayohusisha wahandisi askari na fundi kwa ajili ya ukaguzi wakati wa usafirishaji wa abiria na vifaru hivyo akizungumzi abiria waliokwama siku tatu kusafiri alisema kuwa nauli zao UNK na abiria waliotakiwa kusafiri jana hata hivyo alieleza kuwa ma kabla ya kurudisha fedha hizo UNK malumbano kati ya mwekezaji rites bwana UNK UNK UNK UNK nauli kitu ambacho UNK na kuagiza askari kushirikiana naye kutoa huduma ya kurudisha nauli hizo bibi makelemo alisema kuwa abiria tisa waliokamatwa juzi kwa kusababishwa vurugu watafikishwa leo mahakamani kusomewa shitaka la kuanzisha fujo hatma ya wafanyakazi hao itajulikana leo baada ya waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa kutoa taarifa kwa viongozi wa trawu kuwa atafika leo ili kuwasikiliza matatizo yao katika mgomo huo UNK makundi mawili ambayo kundi la kwanza lipo kwa mwekezaji ambalo UNK majina ya wafanyakazi wenzake na kumweleza kuwa ndio chanzo cha migogoro kitu ambacho kimeleta hofu baada ya kupatikana majina sabini na mbili ya wafanyakazi wanaotakiwa kufukuzwa kazi leo kwa kauli ya pamoja viongozi wa trawu na wafanyakazi wameahidi kukutana leo asubuhi ili kumsubiri daktari kawambwa na kusema kuwa kamwe UNK kuchukua barua hizo labda wafukuzwe wote kazini migogoro na migomo mingi imekuwepo katika kmpuni hiyo ya trl tangu menejimenti ya iliyokuwa shirika la reli tanzania kukabidhi trl huku wafanyakazi wakidai haki zao mbalimbali na kusababisha ufanisi wa kampuni hiyo kuwa dhaifu mara ya mwisho wafanyakzi hao kugoma ilikuwa mwanzoni mwa agosti na waligomea kushinikiza kusainiwa kwa mkataba wa hali bora ambao tayari UNK lakini baada ya mvutano mkubwa na mgomo huu unaoendelea ulianza tangu ijumaa siku moja baada ya kamati ya mashindano ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania kuwafungia kocha mkuu wa timu ya yanga dusan kondic na kiungo wake athuman idd chuji uongozi wa timu hiyo UNK na adhabu aliyopewa chuji kwa UNK kuwa ni kubwa mno kamati hiyo iliwafungia kondic kutojihusisha na masuala ya soka kwa michezo mitatu mfululizo huku chuji akifungiwa miezi mitatu kucheza soka na pia walitozwa faini ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kutokana na mashabiki wao kufanya fujo kitendo ambacho yanga inadai UNK wakizungumza kwa nyakati tofauti dar es salaam jana msemaji wa timu hiyo louis sendeu alisema adhabu iliyotolewa kwa chuji ni kubwa kwani inaonekana ni kutaka kuikomoa yanga sijawahi kusikia au kuona mchezaji anafungiwa kwa muda mrefu tena kwa kosa kama lile analodaiwa kufanya ingekuwa jambo la busara kama UNK faini au UNK kipindi kile wenzetu walioendelea mambo ya UNK muda mrefu kwa sasa hakuna alisema sendeu alisema wanashindwa kuielewa kamati iliyotoa uamuzi huo walikuwa na lengo na kwani anadhani kwa mtindo huo soka la hapa nchini halitaweza kukua kutokana na kuwa adhabu zinazotolewa ni za kukomoana na si za maendeleo naye katibu mtendaji wa klabu hiyo lawrance mwalusako alisema licha ya kamati hiyo kutoa maamuzi yao lakini wao kama yanga watakaa chini na kutafakari kujua la kufanya baada ya uamuzi huo alisema hadi jana mchana walikuwa hawajapokea barua yoyote ya kuelezea adhabu hizo lakini kwa kuwa klabu yao huifadhi kumbukumbu ya matukio yote wataangalia katika kumbukumbu za mchezo wa kwanza na kisha watajua la kufanya baada ya mabingwa watetezi wa ligi kuu tanzania bara yanga kukwaa kisiki kwenye mchezo dhidi ya majimaji jumamosi leo wanatarajia kurudi dar es salaam kuwa UNK maafande wa jkt ruvu katika mechi UNK uwanja wa uhuru yanga ambayo imeanza vibaya katika hiyo baada ya kutoka sare ya bao moja moja kwenye mechi ya ufunguzi dhidi ya african lyon na baadaye kuzinduka na kuichapa manyema mabao tatu sifuri kabla ya kukutana na kipigo cha bao moja sifuri kutoka kwa majimaji mabingwa hao leo watashuka uwanjani bila ya kocha wake mkuu dusan kondic na kiungo wake wa kutegemea athumani idd chuji baada ya kufungiwa na shirikisho la mpira wa miguu tanzania kutokana na utovu wa nidhamu mchezo huo unatarajiwa kuwa mgumu kwa yanga kutokana na kuhitaji ushindi kwa hali na mali ili kurudisha matumaini kwa wapenzi wa klabu hiyo baada ya kuvurunda katika UNK iliyopita wakati mabingwa hao wakipiga hesabu za ushindi jkt nayo itakuwa ikijipanga kuhakikisha inatoka na pointi zote tatu katika mechi hiyo dhidi ya yanga na kuhakikisha UNK vizuri katika msimamo wa ligi hiyo kwani hadi sasa imepoteza mechi moja tu akizungumzia mechi hiyo msemaji wa yanga louis sendeu alisema mchezo huo utakuwa mgumu kwao kutokana na wachezaji wake kuwa na uchovu wa safari ikiwa ni pamoja na kuwakosa nyota wao ambao wapo nje ya nchi UNK timu zao za taifa UNK huu ni mgumu kwetu kutokana na ratiba mbovu iliyopangwa na tff tumerudi jana usiku kesho tunatakiwa kucheza wachezaji hawawezi kuwa katika hali nzuri ya kucheza pia hatutakuwa na wachezaji wetu waliokuwa na timu zao za taifa labda wisdom ndhlovu ndiyo pekee anaweza kurudi alisema sendeu sendeu alisema wanatarajia kuwatumia wachezaji steven bengo na moses odhiambo kama tff itatoa ruhusa kwani muda wao wa kuwaombea itc umepita bila ya vyama vyao kutoa hati hizo kwa upande wake kocha wa jkt charles kilinda alisema wanatarajia kuibuka na ushindi katika mchezo huo kwani kikosi chake kimejiandaa vizuri kwa mchezo huo huku akiahidi kurekebisha makosa ya umaliziaji yaliyofanya katika mchezo wake wa mwisho dhidi ya mtibwa sugar watu wasiofahamika wamemuua kwa kumkata na kitu chenye ncha kali kichwani na mdomoni bwana richard UNK mkazi wa kitongoji cha UNK kata ya UNK manispaa ya sumbawanga mkoani rukwa na kumnyofoa meno manne sehemu zake za siri na kutoweka nazo kamanda wa polisi mkoa wa rukwa bwana isunto mantage alisema jana kuwa mauaji hayo yalitokea mwishoni mwa wiki nyumbani kwa marehemu ambapo walichukua mwili wake na kuutelekeza shambani alisema wauaji hao walimtoa meno manne ya juu na kumnyofoa sehemu za siri aidha alisema kuwa kufuatia tukio hilo polisi walianza uchunguzi na kufanikiwa kuona michirizi ya damu ikitokea nyumbani kwa mke mkubwa wa marehemu huyo hadi katika eneo UNK mwili huo kamanda mantage alisema kuwa kufuati tukio hilo jeshi hilo UNK mke huyo mkubwa bibi flora mwanakatwe kwa uchunguzi zaidi kuhusiana na mauaji hayo katika kipindi cha wiki mbili zilizopita wanawake watatu UNK na jeshi hilo kwa tuhuma ya kuhusika na mauaji ya waume zao aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi katika benki kuu ya tanzania bwana amatus liyumba amekwama kufika kufika mahakamani kuendelea na kesi yake kutokana na kuugua hatua ya kuugua bwana liyumba ilijulikana jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kusikilizwa mbele ya jopo la mahakimu bwana lameck mlacha bwana edson UNK na bwana benedict UNK akiomba kuahirisha kesi hiyo wakili wa serikali bwana justus mlokozi aliiambia mahakama kuwa pamoja na upande wa mashitaka kuwa tayari kwa ajili ya kuanza kusikilizwa kwa kesi ya bwana liyumba wanaomba iahirishwe kutokana na mshitakiwa huyo kushindwa kufika mahakamani kutokana na kuugua kwa mujibu wa taarifa tulizozipata kutoka jeshi la magereza ni kwamba mshitakiwa ni mgonjwa asingeweza kuletwa mahakamani hapa kuendelea na kesi yake kutokana na hali hiyo tunaomba ipangwe tarehe nyingine kwa ajili ya usikilizwaji wa awali ili haki ya mshitakiwa huyo iweze kutendeka alisema bwana UNK hoja hiyo pia iliungwa mkono na upande wa utetezi kupitia wakili wa mshitakiwa huyo bwana majura magafu ambaye alisema kesi hiyo ipangiwe tarehe nyingine kwa ajili ya kusikilizwa kutokana na hoja hizo mahakama ilipanga kutajwa kwa kesi hiyo septemba ishirini na moja na kusikilizwa septemba ishirini na tano mwaka huu hivyo ikaagiza kuletwa mshitakiwa katika tarehe hizo bwana liyumba anakabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya ofisi yake akiwa mtumishi wa bot ambapo anadaiwa kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kwa kuidhinisha malipo ya majengo pacha ya bot bila idhini ya bodi ya wakurugenzi mshitakiwa huyo anasota rumande kwa kipindi kirefu sasa kutokana na kushindwa kuhimili masharti ya dhamana ambayo UNK kuweka nusu ya fedha mahakamani zinazotokana na hasara hiyo watuhumiwa wengine wawili akiwemo raia wa burundi wanaodaiwa kuhusika na tukio la mauaji katika benki ya nmb tawi la temeke dar es salaam wamefikishwa mahakamani watuhumiwa hao walifikishwa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam ambapo mmoja wao bwana richard muhonza ambaye ni raia wa burundi alisomewa mashitaka akiwa amelala baada ya kushindwa kukaa wala kusimama kutokana na alichodai kupigwa na polisi na kumsababishia maumivu makali kufikishwa kwa watuhumiwa hao wawili kunafanya idadi ya watuhumiwa katika kesi hiyo kufikia kumi ambao wanatarajiwa kuunganishwa kwenye kesi hiyo kesho kutwa washitakiwa hao ni bwana muhonza na bwana seleman nzowa ambao wote kwa pamoja wanadaiwa kuwa julai thebathini na moja mwaka huu wakiwa katika benki ya nmb tawi la temeke waliwaua marehemu seif mkweke na e mia tatu na ishirini na tisa cpl josephat hata hivyo hawakutakiwa kujibu chochote katika mashitaka hayo kutokana na mahakama kutokuwa na uwezo wa kusikiliza kesi hiyo watuhumiwa wengine ni boniface joseph deogratius masawe mkazi wa moshi elfu hamsini na tano na mia tisa na thebathini na tano sgt mathew mwangunga ambaye ni askari wa jeshi la wananchi na mkazi wa kibaha antony sokya said hamisi issack abuu mkazi wa moshi jopo salum na yusuph rajab ambao wataunganishwa na wenzao kesho kutwa mauaji haya yalisababishwa na uporaji wa fedha katika benki hiyo ambapo silaha kali yakiwemo mabomu ya kutupa yalitumika na zaidi ya shilingi milioni sitini ziliporwa kutokana na hali aliyokuwa nayo bwana muhonza mahakama iliamuru uongozi wa magereza UNK hospitali kwa ajili ya matibabu wakati huo huo waandishi grace ndossa na mercy james wanaripoti kuwa jeshi la polisi kanda maalum ya dar es salaam limefanikiwa kukamata watuhumiwa wengine sita akiwemo mwanamke mmoja wanaodaiwa kuhusika katika tukio la mauji na uporaji ya nmb temeke akizungumza jana kamanda wa polisi kanda maalum ya dar es salaam bwana suleiman kova alisema watuhumiwa hao walipatikana baada ya kufanyika msako katika mikoa ya arusha mwanza pwani na dar es salaam kwa kutumia vikosi maalumu vya kudhibiti vitendo vya uhalifu bwana kova alisema watuhumiwa hao walikutwa na silaha tatu ambazo ni smg namba ab mbili saba sita tatu nane tatu sita na risasi arobaini magazine moja ikiwa na risasi thebathini na magazine nyingine na risasi kumi alisema silaha nyingine ni bastola aina ya UNK namba sifuri saba tatu sifuri tisa tano ikiwa na risasi mbili na aina ya UNK ikiwa na risasi sita kwenye magazine na zingine kumi zikiwa kwenye UNK ya sigara na kufichwa kwenye UNK aliwataja watuhumiwa wanne kati ya waliokamatwa kuwa ni wilbert UNK mkazi wa arusha bwana muhonza raia wa burundi anayedaiwa kuingiza mabomu ya kurusha kwa mkono na ambaye tayari amefikishwa mahakamani jana na seleman nzowa mkazi wa kigogo mburahati dar es salaam alimtaja mwanamke mmoja mkazi wa mburahati halima mvungi kuwa anashikiliwa kwa tuhuma za kuhifadhi majambazi pamoja na silaha watuhumiwa wawili hawakutajwa majina kwa maelezo kwamba bado jeshi la polisi linaendelea na mahojiano mkazi wa yombo vituka jijini dar es salaam mchungaji denis milanzi anaendelea kushikiliwa na polisi kuhusiana na kifo cha mkewe bibi rose marcel ambaye UNK kwa moto chumbani kwake na kufariki dunia katika hospitali ya muhimbili juzi akizungumza na majira kwa njia ya simu jana kamanda wa polisi mkoa wa temeke bwana liberatus sabas alidai kuwa mchungaji huyo wa kanisa la the winners lililopo banana ukonga jijini dar es salaam anahusishwa na kifo hicho kwa vile hakutoa ushirikiano wowote kwa majirani bwana sabas alisema licha ya tuhuma hizo za mauaji alikuwa na ugomvi mkubwa na mkewe kwa muda mrefu UNK mchungaji huyo kutaka kuoa mke mwingine kutoka katika kanisani lake kamanda huyo alisema kuwa kuwa saa saba usiku wa kuamkia jumamosi wakati mchungaji alipokuwa sebuleni UNK moto ulizuka chumbani ambako marehemu alikuwa amelala ndipo majirani walisikia kelele za kuomba msaada na kufika eneo la tukio kamanda alisema majirani walipofika walikuta mwanamke huyo akiwa UNK kutoka chumbani baada ya mume wake kufungua mlango ambako moto UNK alisema majirani walimbeba na kumkimbiza katika hospitali ya taifa ya UNK kupatiwa matibabu huku mchungaji huyo akiwa amebaki nyumbani pasipo kutoa ushirikiano inadaiwa huyu mtuhumiwa alikuwa anataka kuoa mke wa pili kwa madai kuwa mkewe si mke halali kwa kuwa alikuwa akipinga kusali kanisani kwake na yeye alitaka kuoa mke mwingine UNK naye alisema hata hivyo ndugu wa marehemu na majirani walisema kulikuwa na ugomvi wa muda mrefu kuhusu kuwepo kwa ndoa nyingine ambapo marehemu alikuwa akipinga hatua hiyo pia inadaiwa alikuwa akipokea ujumbe wa simu wa vitisho katika simu yake kutoka kwa mtuhumiwa kuwa ipo siku atakufa hali ambayo ilisababisha kuamini kuwa tukio hilo limesababishwa na yeye mwenyewe jitihada za kuokoa maisha yake zilishindikana kwani alifariki wakati akipatiwa matibabu UNK hapo polisi wanaendelea na uchunguzi kuhusiana na tukio hilo na mtuhumiwa atafikishwa mahakamani mara upelelezi utakapo kamilika mbunge wa jimbo la morogoro kusini mashariki bwana sameer lotto jana UNK makali ya dola baada ya kukamatwa na jeshi la polisi na kuswekwa mahabusu kwa tuhuma za kukaidi mwito wa jeshi hilo kumtaka kuripoti kituoni hapo kwa madai ya kumshambulia mfanyakazi wa mamlaka ya maji safi na maji taka morogoro akiwa kazini mwandishi wa habari hizi alishuhudia mbunge huyo akikamatwa na polisi katika eneo lake la ujenzi lililoko barabara ya zamani ya dar es salaam na baadaye kupandishwa kwenye gari la polisi toyota land cruiser namba t mia moja na themanini na tano UNK kwanza alifikishwa ofisi ya upelelezi mkoa na baadaye kupelekwa kituo cha polisi kati na kuwekwa chini ya ulinzi saa sita arobaini mchana akizungumzia mazingira ya tukio hilo mtumishi wa moruwasa ambaye alikuwa eneo la kituo hicho bwana michael mapunda alidai kuwa alifanyiwa kitendo hicho na mbunge huyo agosti ishirini mwaka huu saa sita mchana katika eneo lake la ujenzi barabara ya zamani ya dar es salaam alidai kuwa alikabwa shingo na mbunge huyo baada ya kumuuliza kuwa UNK maji eneo hilo au la kauli ambayo UNK mtumishi huyo anadai alimtaka mbunge huyo UNK kwanza deni lake analodaiwa ndipo atarejeshewa huduma hiyo ambapo alikataa bwana mapunda alidai kuwa katika tukio hilo mbunge huyo pia UNK faili alilokuwa amehifadhi kumbukumbu za wateja na nyaraka zingine za ofisi pamoja na fedha taslimu shilingi mia moja na hamsini sifuri sifuri sifuri alisema kutokana na tukio hilo alilazimika kulifikisha suala hilo polisi kwa ajili ya hatua za kisheria ambapo polisi waliendelea na uchunguzi hadi jana mchana UNK alifafanua kuwa kutokana na kumbukumbu zilizopo moruwasa mbunge huyo anadaiwa kiasi cha shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri ikiwa ni deni lake la muda mrefu ambalo anadaiwa kujiunganishia maji kinyume cha sheria alisema hata hivyo baada ya kukatiwa maji mbunge huyo anadaiwa kutumia ya jirani yake ambayo alikuwa akidaiwa kiasi cha shilingi saba sabini sifuri na ili kurejeshewa huduma hiyo alipaswa kulipa kiasi cha shilingi kumi sifuri sifuri sifuri ikiwa ni faini pamoja na deni mbunge huyo alifunguliwa majadala rb UNK rb elfu nane na mia moja na themanini na saba sifuri tisa na mo moja r elfu nne na mia saba na tisini na saba sifuri tisa katika kituo cha polisi kati mjini morogoro na nyakasagani masenza polisi jijini dar es salaam jana walilazimika kurusha risasi hewani wakati wakipambana na vijana wawili wenye asili ya kiasia wanaodhaniwa kuwa majambazi sakata hilo lililofananishwa na mchezo wa kuigiza ndani ya filamu za kibabe lilianzia makutano ya barabara ya nyerere na kawawa ambapo vijana hao wakiwa ndani ya gari aina ya toyota land cruiser lenye namba t mia saba na ishirini ang walipotakiwa kujisalimisha kwa polisi polisi waliokuwa na land rover mia moja na kumi namba t kumi tano UNK UNK njia gari la vijana hao waliokuwa wakitokea barabara ya nyerere mbele ya taa za usalama barabarani ili UNK hata hivyo dereva wa gari hilo alikataa kutii amri hiyo na kulipita gari la polisi kwa kasi kwenye taa nyekundu akienda upande wa keko nalo gari la polisi likiwa na askari wenye silaha lilifuata nyuma kwa kasi gari la vijana hao lilipofika kituo cha daladala keko fenicha ambako magari yalikuwa UNK barabara dereva UNK kwa staili ya aina yake na kuwaacha polisi wakihangaika kugeuza gari lao baada ya polisi kufanikiwa kuligeuza gari lao walianza tena kulifukuza gari hilo na hatimaye kuwatia mbaroni vijana hao baada ya kurusha risasi mbili hewani UNK UNK karibu na kiwanda cha simba plastic kufuatia kukamatwa kwa vijana hao wanaodaiwa kuwa majambazi umati mkubwa wa wananchi ulijaa kushuhudia tukio hilo wakati polisi UNK chini ya uvungu wa gari lao na hatua zaidi wananchi walioshuhudia tukio hilo walisema eneo hilo limekuwa na matukio ya mara kwa mara yanayohusisha polisi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi kurushiana risasi aliyekuwa mgombea wa serikali ya mtaa wa ubungo kibangu kinondoni dar es salaam kwa tiketi ya tpp maendeleo bwana maulid lugonzo amesema ni vigumu kwa rais jakaya kikwete kutoa tamko la kukataa waraka wa kanisa katoliki na mwongozo wa waislamu kwani alikubali kuitwa chaguo la mungu akizungumza na gazeti hili jana dar es salaam bwana lugonzo alisema ni vigumu kwa viongozi wa nchi hii kutenganisha dini na siasa kutokana na wanasiasa wengi kukubali kuungwa mkono na taasisi za kidini alisema jambo hilo UNK wakati askofu wa kanisa la full gospel bible fellowship zacharia kakobe alipojitokeza hadharani kumpigia kampeni mwenyekiti wa tanzania labour bwana augustino mrema kwa kuwa siasa inaweza kuizungumzia dini vivyo hivyo hata dini inaweza kuizungumzia siasa ndio maana ccm wakati inakwenda kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini sifuri tano ilibeba nguvu ya maaskofu alisema bwana lugonzo alisema viongozi wa juu wa kanisa katoliki nchini waliwahi kusimama na kusema rais kikwete ni chaguo la mungu lakini bwana kingunge ngombale mwiru hakusema kitu lakini baada ya wakatoliki kutoa waraka kwa ajili ya elimu ya uraia katika uchaguzi mkuu ujao bwana kingunge aliibuka na kudai wanachanganya dini na siasa bwana lugonzo alisema jambo hilo linadhihirisha kuwa ccm ipo zaidi kwa ajili ya maslahi ya kichama na si kitaifa ndiyo maana iko tayari kukubali kuungwa mkono na taasisi za dini ili kushinda kwa kishindo na kutoa ahadi katika ilani yake kama hoja ya waislamu kuwa na mahakama ya kadhi na kujiunga na oic leo mashekhe na maaskofu wakisimama na kuipigia debe ccm hakuna atakayesema wamekosea lakini UNK utaona wanadai kuwa wanachanganya dini na siasa alisema bwana lugonzo wafanyakazi wa kampuni ya reli nchini jana walirejea kazini ikiwa ni siku moja baada ya mkutano wao na waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa wakizungumza na majira dar es salam jana wafanyakazi hao walisema wameamua kurudi kazini ili kutoa nafasi kwa serikali kushughulikia matatizo yao kamanda wa polisi kitengo cha reli bibi ruth makelemo alithibitisha kuwa safari za treni zitaendelea kama UNK hata hivyo wafanyakazi hao walionesha wasiwasi juu ya mishahara yao kufuatia kitendo cha UNK mkuu wa kampuni ya rites ya india bwana vinay agarwal kushikilia msimamo wake wa kutaka kusitisha huduma za usafirishaji kuanzia septemba kumi mwaka huu kampuni inakabiliwa na madeni makubwa kutoka kampuni mabalimbali ya usambazaji wa mafuta mbao na magurudumu ya mabehewa hivyo tuna wasiwasi kama shughuli zitasimama mishahara yetu itatoka wapi alisema mmoja wa wafanyakazi hao aidha wafanyakazi hao UNK jeshi la polisi nchini kufuta mashitaka dhidi ya abiria saba waliofikishwa mahakamani kwa kosa la kufanya mkusanyiko kinyume cha sheria na kusababisha usumbufu kwa watumiaji wa barabara hata hivyo bibi makelemo alisema wasimamizi wa miundombinu na mali zote za reli wana haki ya kufikishwa mahakamani kwa kuuza baadhi ya injini na mabehewa bila kuishirikisha serikali malalamiko yanayotolewa na wafanyakazi wa trl juu ya kampuni ya rahco ni ya haki na ya msingi kwa kuwa kitendo hicho hakikuwa cha UNK alisema alisema kamati iliyoundwa kuchunguza madai hayo haina budi kutoa majibu ya kweli kwa kuwa kila mfanyakazi anafahamu ukweli wa suala hilo na ushahidi UNK hata hivyo UNK hali ya mwekezaji alidai yeye hana mamlaka ya kuelezea udhaifu wake bali alikabidhiwa mamlaka na serikali ya kumlinda mwekezaji ili UNK gazeti hili lilifika katika ofisi za rahco ili kupata ufafanuzi lakini uongozi wote ulikuwa kwenye kikao kuzungumzia suala hilo na kuahidi kukutana na waandishi leo hata hivyo mjumbe wa chama cha wafanyakazi wa reli ambaye hakutaka jina lake liandikwe gazetini alisema hujuma za kuangusha treni za juzi zilifanywa na wafanyakazi wa zamani wa trc na si wafanyakazi wa trl jumla ya wanafunzi moja sifuri mbili sita themanini sita nchini wanafanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi leo naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi bibi mwantumu mahiza jana aliwaambia waandishi wa habari dar es salaam kuwa idadi hiyo imepungua kwa asilimia moja tisa ikilinganishwa na mwaka jana akitoa taarifa ya mtihani huo bibi mahiza alisema idadi ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mitihani hiyo mwaka huu ni moja sifuri mbili sita themanini sita ambapo kati yao wasichana ni mia tano na kumi na nne mia tisa na sitini na sita na wavulana ni mia tano na kumi na moja mia nane na arobaini kati ya ya watahiniwa hao kumi na tatu mia moja na themanini na tisa wanatarajiwa kufanya mtihani kwa lugha ya kiingereza ambayo wamekuwa wakiitumia masomoni mtihani huo utafanyika katika masomo matano ambayo ni kiswahili kiingereza sayansi hisabati na maarifa ya jamii mtihani huu ni muhimu kwa wanafunzi na jamii kwa ujumla kwa kuwa hupima uwezo na uelewa katika yale waliyojifunza alisema bibi mahiza aliagiza kuwa wanafunzi wote waliosajiliwa waruhusiwe kufanya mtihani bila kikwazo na wale wenye matatizo ya ulemavu wameandaliwa mitihani kutokana na hali zao kama mwanafunzi amegundulika kuwa ana ujauzito baada ya kusajiliwa au ana tatizo na uongozi aruhusiwe kufanya mtihani na baada ya hapo achukuliwe hatua nyingine aliagiza aliwaasa wazazi na wasimamizi kujiepusha na udanganyifu wa aina yoyote unaoweza kufanyika katika kipindi cha mitihani kutoka manyara mwandishi wetu mohamed hamad anaripoti kuwa jumla ya wanafunzi tatu mia nne na themanini na sita wakiwemo wavulana moja mia nane na arobaini na nne na wasichana elfu moja na mia sita na arobaini na tano wilayani kiteto wanatarajiwa kufanya mtihani wa taifa leo akizungumza na gazeti hili ofisini kwake ofisa elimu wa wilaya bwana emmanuel mwagala alisema idadi hiyo ni ongezeko la wanafunzi mia mbili na kumi na tano sawa na asilimia sita tano ukilinganisha na mwaka jana ambao wanafunzi tatu mia mbili na sabini na nne waliofanya mtihani wa kuhitimu darasa la saba bwana mwagala alisema ongezeko la wanafunzi hao ni sehemu ya mikakati inayofanywa na wilaya kupandisha kiwango cha elimu wilayani humo kila mwaka kuna ongezeko la wanafunzi wanaofanya mtihani kutokana na jitihada zinazofanywa na wadau mbalimbali wa elimu ikiwemo bodi ya elimu ya wilaya ambayo kwa sasa imesaidia watoto sitini na nane wa wazazi wasiojiweza alisema rais jakaya kikwete leo usiku UNK maswali ya papo kwa papo yatakayoulizwa na wananchi kwa njia ya redio na televisheni ikiwa ni njia mpya ya kuwasiliana na wananchi kwa kuwasikiliza hoja maoni na ushauri wao taarifa iliyotolewa jana na kurugenzi ya mawasiliano ya ikulu ilisema mazungumzo hayo yatatangazwa moja kwa moja na shirika la utangazaji tanzania na vyombo vingine vya utangazaji nchini kuanzia saa mbili na nusu usiku mbali na tbc moja televisheni nyingine za itv UNK mlimani tv tumaini tv na channel ten pia zinatarajia kuonyesha mazungumzo hayo kwa mujibu wa taarifa hiyo rais atatumia mtindo huo mpya kusikiliza ushauri kutoka kwa wananchi na pia kupata maoni juu ya mambo mbalimbali yanayohusu mustakabali wa nchi serikali na maendeleo taarifa hiyo ilieleza kuwa rais atasikiliza matarajio ya wananchi katika jitihada zao za kuboresha maisha yao kwa kujiletea maendeleo ilieleza kuwa mazungumzo hayo yatakayochukua dakika tisini yataanza saa mbili thebathini usiku hadi saa nne kamili usiku taarifa hiyo iliongeza kuwa mazungumzo hayo yatatangazwa katika vituo vya redio za tbc taifa sauti ya tanzania zanzibar radio mlimani radio clouds radio tumaini na radio uhuru ilieleza kuwa maswali maoni hoja ushauri utapokelewa moja kwa moja na tbc kupitia simu namba ishirini na mbili mbili saba saba mbili nne nne nane ishirini na mbili mbili saba saba mbili nne tano mbili na ishirini na mbili mbili saba saba mbili nne tano nne maswali maoni hoja ama ushauri yanaweza kutumwa moja kwa moja tbc kupitia ujumbe mfupi wa sms kwenye namba sifuri saba nane nane tano sifuri sifuri sifuri moja tisa sifuri saba moja nne tano tisa moja tano nane tisa na sifuri saba sita nne nane sifuri saba sita nane tatu na kwenye barua pepe kuanzia leo taarifa hiyo UNK wananchi kutumia kikamilifu nafasi hiyo ya kuwasiliana moja kwa moja na rais hatimaye siri nzito za maisha na kifo cha bibi rosemary munseri kinachodaiwa kusababishwa na mumewe bwana denis mlanzi anayedaiwa kuwa mchungaji wa kanisa la the winners lililopo gongolamboto jijini dar es salaam UNK kwa mujibu wa ufuatiliaji uliofanywa na timu ya waandishi wa gazeti hili UNK kuwa kifo hicho UNK kusababishwa na bwana mlanzi kwa lengo la kutaka kuoa mwanamke mwingine aliyetambulika kwa jina la rosemary ambaye pia ni mshirika wa kanisa lake akizungumza na gazeti hili jana nyumbani kwake ubungo maziwa baba mdogo wa marehemu bwana fredy munseri alidai huenda kifo hicho kimetokana na mgogoro wa kifamilia uliodumu kati ya wanandoa hao kwa muda mrefu hali inayojenga mazingira tata ya tukio hilo bwana munseri alisema katika miaka ya hivi karibuni bwana mlanzi alikuwa akionesha dhahiri jeuri na ukatili kwa kumpiga mkewe huku akimtishia kumfukuza ndani ya nyumba kwa lengo la kutaka kumiliki mali ambazo alidai hata hivyo si zake aliongeza kuwa ugomvi wa wanandoa hao kwa mara ya mwisho ulihusu maamuzi ya bwana mlanzi ya kutaka kuoa mke mwingine ambaye alifahamika kwa jina la rosemary UNK bwana mlanzi tangu UNK binti yetu mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na nane hakuwa na kazi rasmi zaidi ya kutegemea kipato kutoka kwa mkewe ambaye ndiye alikuwa UNK familia hiyo kwa kipindi chote cha uhai wake alidai binti yangu alikuwa na taaluma ya uuguzi na alishafanya kazi sehemu mbalimbali ikiwamo hindu mandal muhimbili regency na kabla ya kukutwa na mauti hayo alikuwa akifanya kazi na shirika moja lisilokuwa la kiserikali hata hivyo alisema kuwa hakuwahi kumtambua UNK huyo bwana mlanzi kuwa ni mchungaji ingawa taarifa hizo alizipata siku ya tukio akiwa hospitali ya muhimbili ambako ulikuwa umehifadhiwa mwili wa marehemu kwa mujibu wa mdogo wa marehemu bibi UNK munseri aliyekuwa akiishi na marehemu ijumaa baada ya chakula cha jioni bwana mlanzi alitoa agizo mtoto wao baraka denis UNK na mama yake kama ilivyokuwa kawaida badala yake UNK na ndugu yake wa kiume aliyetambulika kwa jina la ephraim agizo ambalo UNK naye mdogo wa marehemu bibi UNK alisema kuwa siku ya tukio waliposikia kelele za kuomba msaada walijaribu kufungua mlango na kukuta umefungwa kwa nje wakati wakijaribu kuufungua ndipo bwana mlanzi UNK mlango wa chumba walichokuwa wamelala shemeji alionesha ujasiri wa hali ya juu kwani wakati dada UNK yeye alikuwa sebuleni huku akiendelea kutoa vitu ndani ili UNK hadi majirani walipofika kutoa msaada wa UNK marehemu hospitalini alisema bibi UNK bwana munseri alisema jambo ambalo liliwashangaza ni kitendo alichokifanya bwana mlanzi cha kutojishughulisha kumpeleka mkewe hospitalini ambapo hata hivyo alikwenda hospitalini hapo kesho yake saa mbili asubuhi huku akiwashutumu wauguzi kuwa mkewe UNK kiasi hicho hali iliyosababisha wauguzi hao kumshangaa huku akiendelea kusema mkewe hajafa bali amelala hata hivyo majira UNK hapo ilifika hadi eneo la tukio yombo vituka ambapo lilizungumza na baadhi ya majirani kwa sharti la kutotajwa majina yao gazetini walisema wakati UNK hospitalini marehemu alikuwa akiongea UNK kumlalamikia mumewe mwili wa marehemu umehifadhiwa hospitali ya taifa muhimbili na unatarajiwa kusafirishwa leo kuelekea kijijini kwao kilima mkoani kagera kwa maziko asema kamwe kanisa halitakubali kunyamaza asema watapambana na ufisadi hadi mwisho aapa kupambana na yeyote anayetetea uovu katoliki UNK mgombea urais mwaka ishirini moja sifuri askofu wa jimbo kuu katoliki la dar es salaam muadhama polycarp kardinali pengo ameibuka tena na kutangaza mapambano mapya dhidi ya mafisadi huku huku akidai nchi imeoza na kamwe kanisa UNK kimya na kulea hali hiyo sisi viongozi wa dini hatuwezi kunyamaza huku tukiona nchi inaendelea kuozeshwa na viongozi wasiozingatia maadili ya utawala bora lazima UNK kwa nguvu zote alisema kiongozi huyo wa kanisa katoliki aliyasema hayo jana wakati wa jubilee ya miaka sabini na tano ya shirika la masista wa bibi yetu kilimanjaro iliyokwenda sambamba na harambee ya kuchangia shule ya sekondari henry UNK iliyopo wilayani rombo aliwataka wananchi kushirikiana na viongozi wa dini UNK mafisadi na kuwakemea popote pale walipo wananchi UNK katika vita hii viongozi wa dini hawawezi kuwajua mafisadi wote unaweza kumjua mmoja wapo lakini ninyi mnawajua wengi na wametapakaa nchini kote hata hivyo tutapambana nao hata angekuwa nani alisema kardinali pengo kardinali pengo alisema kanisa katoliki halina mgombea wa urais UNK kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini moja sifuri kama ambavyo imekuwa ikidaiwa na baadhi ya watu nchini alisema kanisa halina ugomvi na rais jakaya kikwete katika uongozi wake bali lina ugomvi na mafisadi ambao hutumia nafasi zao kuiangamiza nchi alisema ni jukumu la kanisa katika UNK waumini wake na wananchi kwa ujumla kuhusu athari za ufisadi ambazo zimeendelea UNK taifa kardinali pengo alisema kanisa halitasita kukemea viongozi wanaotumia madaraka yao kuendeleza na kuwatetea mafisadi bali lipo tayari kuwasaidia watu wote wenye nia njema na nchi katika kuongoza vita ya kupinga vitendo hivyo alisema nyaraka za kichungaji zipo na zinalenga kuamsha wananchi kwa ujumla kwa vile wananchi hao wanawajua mafisadi zaidi kwa sababu UNK mara kwa mara hususani wakati wa kampeni ili wawachague katika nafasi mbalimbali kardinali pengo alisema waraka wa kanisa katoliki haulengi kutangaza dini hiyo wala kuligawa taifa kwa misingi ya kidini bali unazingatia zaidi kuelimisha wananchi kuhusiana na athari za ufisadi na umuhimu wa kuwa na viongozi UNK kanisa halina ugomvi na yeyote aliyepo madarakani wala dhehebu lolote la dini UNK ni msafi waraka wetu UNK lakini anayehusika na ufisadi hafai kuwa kiongozi wa wananchi alisema alisema kanisa katoliki halina ugomvi na madhehebu ya dini UNK mipango ya mungu inavyoelekeza lakini wasiofuata mipango ya mungu lazima UNK na UNK macho alisema vita dhidi ya ufisadi UNK dhehebu la dini na kwamba hata kama fisadi huyo atakuwa UNK lazima UNK na kumueleza waziwazi kwamba kanisa haliko pamoja naye akitoa salamu za serikali waziri wa maliasili na utalii bibi shamsa mwangunga ambaye alimwakilisha waziri mkuu bwana mizengo pinda alisema serikali itaendelea kushirikiana na taasisi zote kuendeleza sekta ya elimu katika harambee hiyo waziri mwangunga alichangia shilingi milioni kumi na moja tano mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya mwalimu nyerere bwana joseph butiku amesema mapambano ya ufisadi nchini UNK kutokana na viongozi kukosa ujasiri wa kukemea kama alivyokuwa waziri mkuu wa zamani hayati edward sokoine bwana butiku kwa muda mrefu amekuwa msitari wa mbele katika kukosoa mwenendo wa baadhi ya viongozi wa serikali na ccm wanaotuhumiwa kwa ufisadi akitaka wawajibishwe na kuchukuliwa hatua akizungumza juzi katika kipindi cha jambo tanzania kinachorushwa na shirika la utangazaji tanzania bwana butiku alisema hayati sokoine ataendelea kukumbukwa kwa ushujaa wake alisema sokoine alikuwa tofauti na viongozi wa sasa ambao UNK na kuwaogopa wenzao wa juu waliowateua wakati yeye alimheshimu kila kiongozi lakini UNK yule alikuwa kiongozi wa mfano hakuwa wa kuitikia ndiyo mzee ndiyo brother ndiyo bosi na huu ndiyo udhaifu wa viongozi wetu wengi wa kuwa watiifu kwa kila kitu alisema bwana butiku kwa mtazamo wa bwana butiku hali ya sasa ya ufisadi nchini ingekuwa imeshughulikiwa kwa watuhumiwa kukamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kama sokoine angekuwa hai alisema waziri mkuu huyo wa zamani alikuwa akiona kiongozi anafanya jambo la hovyo lenye kuharibu maisha ya watu alikuwa UNK rais nyerere muda wa mwezi mmoja ili UNK nadhani bado watu UNK jinsi UNK na walanguzi wakati ule nchi ilipokuwa na njaa baadhi ya wafanyabishara UNK bidhaa na kupandisha bei kwa kisingizio kuwa ziko adimu alisema bwana butiku alisema mwalimu nyerere alimpenda sana sokoine hasa kwa jinsi alivyokuwa anapambana na kutatua matatizo ya wananchi bila kuchoka wala kumwonea mtu haya kwa jinsi tuhuma za ufisadi UNK kasi nchini bwana butiku alisema kama hayati sokoine angekuwepo leo UNK mtuhumiwa mmoja baada ya mwingine na kuwashauri UNK serikalini na kwenye ccm alisema hata kama asingekuwa na ushahidi wa moja kwa moja kuwatia hatiani lakini kwa manufaa ya taifa UNK kwa vile kwenye suala la rushwa hayati sokoine alikuwa kama paka na panya bwana butiku alisema siyo kwamba serikali UNK vita dhidi ya ufisadi isipokuwa imekuwa kama UNK ama inakwenda pole pole katika hatua za mapambano kwa kweli vita hii inawahitaji watu mashujaa kama hayati sokoine kwani mapambano hayo UNK kwa kusubiri ushahidi wa kimahakama tu bali inabidi hatua nyingine za kuwajibishwa zifanyike alisema alisema jambo kubwa linalowasumbua viongozi wengi wa sasa ni ukosefu wa uzalendo na uadilifu wa kweli kama alivyokuwa hayati sokoine badala yake kila kiongozi anawaza kutajirika yeye kwanza bwana butiku ambaye alikuwa katibu UNK wa rais nyerere alisema watu UNK umma kwa kujiita wazalendo wakati wanaficha fedha kwenye benki za nje na wengine wamejilimbikizia mali bila kufafanua UNK hata hivyo bwana butiku alidai hayati sokoine UNK vya kutosha kulingana na mchango wake kwa taifa ndiyo eneo UNK ajali serikali ilijenga shule ya msingi lakini hii siyo hadhi yake UNK UNK kitu chenye hadhi kubwa kama chuo kikuu alisema jana nchi iliadhimisha kumbukumbu ya miaka ishirini na tano tangu kufariki kwa sokoine nje kidogo ya mji wa morogoro kwa ajli ya gari iliyotokea aprili kumi na mbili elfu moja na mia tisa na themanini na nne wakati akitoka dodoma asilimia kumi ya watoto wanaozaliwa na walio chini ya miaka mitano hufa kila mwaka kwa kushindwa kupumua mara baada ya kuzaliwa hayo yalisemwa jana na katibu mkuu wa wizara ya afya na ustawi wa jamii bibi blandina nyoni katika uzinduzi wa mpango wa kusaidia watoto wachanga kupumua watoto wengi hupoteza maisha kutokana na kuzaliwa na uzito chini ya gramu mbili mradi huu utasaidia kupunguza vifo vya watoto ili kufanikisha hilo tayari tumeanza kutoa mafunzo kwa wauguzi katika hospitali za mikoa wilaya na zahanati ambapo jijini dar es salaam yameanza jana na mikoani yataanza januari mwakani alisema bibi nyoni naye mratibu wa huduma za watoto wachanga nchini daktari georgina msemo alisema kazi ya ziada inatakiwa ili kupunguza vifo hivyo nchini na kufikia lengo la kusaidia watoto milioni moja kwa mwaka alisema idadi ya hamsini na moja sifuri sifuri sifuri ya watoto UNK kila mwaka ni sawa na kila siku basi moja kupata ajali na kuua abiria wote ambapo alisema wakunga hawana miongozo ya kutosha ili kuwasaidia watoto UNK alisema utafiti unaonesha kuwa asilimia ishirini ishirini na tano ya vituo vya vya afya havina vifaa na wataalamu wa kutosha ili kuwasaidia watoto wanaozaliwa kusafishwa njia ya hewa kwa upande UNK alisema wajawazito huchangia vifo hivyo kwa kutohudhuria huduma za kliniki na kujua afya na matatizo yao mapema ili kuweza kusaidiwa kabla ya kujifungua mradi huo umefadhiliwa na wizara ya afya na ustawi wa jamii kupitia shirika la afya duniani na shirika la kimataifa la maendeleo duniani wanawake wa wilaya ya ngorongoro mkoani arusha wameshangazwa na kitendo cha serikali kukaa kimya baada ya UNK nyumba zao na kuharibiwa mali zao na mwekezaji katika eneo hilo kwa madai kuwa wanatakiwa kupisha uwindaji wakizungumza na waandishi wa habari jijini jana wanawake hao walisema kuwa katika operesheni hiyo ya kuhamishwa kwa ajili ya kumpisha mwekezaji kuwinda UNK maeneo ya kwenda na kwamba wamekuwa wakipata manyanyaso ya hali ya juu pamoja na kitendo cha kuchomewa makazi yetu UNK na manyanyaso mengi serikali UNK maeneo ya kuishi na badala yake UNK mbugani UNK kama wanyama pori kwa sababu hii wanawake na watoto wadogo wamejikuta katika hali ngumu ikiwa ni pamoja na kupata magonjwa hasa kwa watoto na kukosa ulinzi alisema bibi UNK UNK kwa niaba ya wenzake aliongeza kuwa katika operesheni hiyo ya kuwahamisha pia watoto watatu walipotea na baadae kuja kupatikana wawili tu wanawake wengi walipata matatizo ya uzazi ikiwa ni pamoja na mimba kutoka watoto kushindwa kuendelea na masomo na mali zao kuungua ikiwemo vyakula fedha taslim vyombo vya ndani na mifugo wameitaka serikali kuwapa kibali cha kuandamana kwa ajili ya kudai haki zao kwani hapo awali UNK kufanya hivyo hivi karibuni vitongoji nane vya loliondo ambavyo ni UNK UNK UNK mairowa UNK UNK na sero na vinginevyo UNK maboma yao na kaya arobaini na tatu zimeathirika idadi ya watu walioathirika ni mia moja na thebathini na nne na thamani ya uharibifu wa mali ni shilingi milioni sitini na tatu sifuri mbili mwisho wanafunzi wa chuo cha the mwalimu nyerere kigamboni katika wilaya ya temeke wameiomba serikali na wafadhili mbalimbali kujitokeza UNK ili waweze kuboresha mradi wao wa pamoja ambao utawasaidia kuwafikia vijana wa elimu ya juu nchini kwa ajili ya UNK akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam jana ofisa uhusiano wa umoja bibi furaha thonya alisema mradi huo ambao uko katika awamu ya pili unalenga kuwafikia vijana wote nchini hasa wale wa elimu ya juu alisema mradi huo utawawezesha kuwafikia vijana na kutoa elimu ya jinsi ya kutoendelea kuwa tegemezi kwenye masuala mbalimbali yakiwemo ya kisiasa kujiendeleza kiuchumi utamaduni mazingira pamoja na suala zima la kujituma katika kuhakikisha wanaweka bidii katika kusoma aidha alisema kuwa mwaka huu wamefanikiwa kuwasafirisha wanafunzi kumi na mbili kutoka nje ya nchi ambao wameungana pamoja katika kubadilishana mawazo kuhusiana na suala zima la masomo na masuala ya uchumi na siasa bibi thonya alisema vile vile mradi huo unalenga kuwafikia vijana wa vyuo vya mikoani na kuendelea kuwahamasisha zaidi kuhusu mambo hayo yaliyotajwa hapo juu hata hivyo alisema kuwa anaimani kwamba pamoja itawafikia vijana wengi kwani wamejiandaa vizuri na kwamba timu hiyo ni ya wanafunzi watanzania ni kumi na mbili na wanafunzi kutoka ujerumani kumi na mbili mwisho morogoro tanzania kupitia kampuni ya kiwanda cha tumbaku kilichopo morogoro imefanikiwa kushinda tuzo bora katika afya na usalama mahali pa kazi barani afrika inayofahamika kama tuzo ya nosa akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa ambao walitembelea kiwandani hapo daktari wa kiwanda hicho ambaye pia ni mratibu wa afya na usalama kazini kwenye kampuni hiyo daktari UNK gugten alisema kuwa tuzo hiyo imepatikana kutokana na ushirikiano mzuri wa wafanyakazi wote alisema kuwa tuzo hiyo ilitolewa katika hafla iliyofanyika katika mji wa UNK afrika kusini mwezi uliopita tuzo hii hutolewa na chama cha afya na usalama mahali pa kazi katika nchi za kusini mwa afrika na mwaka huu zaidi ya makapuni ishirini sifuri yalishiriki na sisi tulifanikiwa kushinda ushindi wetu ulikuwa mpango wa kimataifa unaojulikana kama green star health and UNK unaohusu usindikaji wa vyakula vinywaji baridi na tumbaku alisema daktari UNK tuzo hiyo ilitokana na matokeo ya ukaguzi wa hesabu wa nosa uliofanyika novemba mwaka jana ambapo kiwanda hicho kilipata hadhi ya nyota tano kwa miaka mine mfululizo alisema kuwa wakaguzi wa nosa huangalia idadi ya masuala ya afya na usalama katika kipindi cha mwaka mmoja na kutoa alama kuanzia asilimia UNK hadi kumi sifuri mchakato huo wa ukaguzi ulifanyika aprili ishirini sifuri nane hadi machi thebathini na moja mwaka huu na kutokana na ukaguzi huo kiwanda hicho kilikuwa na idadi ndogo ya matukio ya kudhuru afya na usalama kazini hivyo kujizolea asilimia tisini na moja daktari gugten alisema kuwa ni mara ya kwanza kwa kampuni hiyo kupata tuzo ya juu inayojumuisha afrika zima hata hivyo kampuni hiyo iliwahi kupata tuzo nyingine mbili ndogo mwaka ishirini sifuri sita na ishirini sifuri saba ambazo UNK programu za afya na usalama kazini iliyojumuisha eneo dogo la afrika alisema kuwa mwaka ishirini sifuri sita ttpl iliibuka mshindi katika programu ya afya na usalama kazini na kutunukiwa tuzo yenye hadhi ya nyota tano katika kundi la usindikaji vyakula vinywaji baridi na tumbaku katika kanda ya kaskazini na mwaka ishirini sifuri saba ilipokea tuzo kwa kuwa na programu bora ya afya katika kanda ya kaskazini kuwa washindi kimataifa mwaka huu ina maana kubwa sana kwa kampuni yetu na ni kielelezo tosha cha uwekezaji wa ttpl katika mitambo yake na pia kuboresha viwango vya afya na usalama kila mwaka nosa hutoa tuzo kwa kampuni zilizofanya vizuri katika masuala ya afya na usalama mahali pa kazi nah ii inatokana na kutoa kipaumbele katika masuala hayo mwisho vyombo vya habari vimechangia kutoa elimu kwa walipa kodi nchini kutokana na shughuli ya ulipaji kodi mamlaka ya mapato tanzania kufanyika kwa urahisi hayo yalisemwa na kaimu mkurugenzi wa idara ya huduma na elimu kwa mlipakodi bwana allan kiula wakati akizungumza na majira kuhusu mlipakodi alisema wateja wao wanalipa kodi kwa hiari na kwa wakati na kuchangia pato la taifa kuongezeka pia kuisaidia tra kufanya kazi zake kwa ufanisi mafanikio yaliopo kwa mlipakodi kulipa kodi kwa hiari yametokana na kazi kubwa inayofanywa na vyombo vya habari kwani kila mteja anajua umuhimu wa kulipa kodi hiyo alisema bwana kiula alisema UNK analipa kwa njia ya hundi katika akaunti ya tra benki na kisha fedha hizo huenda benki kuu na wao kubaki na rekodi za malipo hayo alisema utaratibu wa ukusanyaji kodi umekuwa ni mzuri kwa kiasi kikubwa isipokuwa mwaka wa jana uliingia dosari kutokana na mtikisiko wa uchumi duniani vodacom tanzania jana imezindua kitengo cha biashara vodacom business kwa lengo la kukidhi mahitaji ya huduma ya mawasiliano na taarifa kwa wateja wenye kampuni kubwa na ndogo nchini akizungumza wakati wa uzinduzi wa kitengo hicho mkuregenzi mkuu wa kitengo hicho bwana UNK lennox alisema vodacom imefikia katika hatua muhimu kwani kitengo hicho kinatokana na mahitaji makubwa ya biashara yanayokuwa kwa kasi kitengo hichi cha kibiashara cha vodacom kinalenga kuboresha na UNK njia za mawasiliano ya wateja wetu kwa kutumia teknolojia za kisasa za mawasiliano ya ofisini kibiashara na ya binafsi kwa gharama nafuu alisema bwana lennox alisema vodacom business inalenga kutoa huduma zote zaidi ya sauti ambapo sasa UNK katika kutoa huduma za UNK huduma mbalimbali za taarifa ambazo UNK kuunganisha kampuni nchini na kampuni mama duniani alisema ili kuhakikisha vodacom tanzania inatoa huduma za uhakika inashirikiana na kampuni ya UNK ya UNK ambayo inamilikiwa na kundi la kampuni ya vodacom bwana lennox alisema vodacom ina mkakati wa kuboresha huduma zake na kuwa za kisasa ili kuhakikisha wateja wake wanapata huduma zote kwa pamoja na kwa wakati muafaka teknolojia inakuwa biashara tanzania inakua na vodacom tanzania kupitia vodacom business itaweza kukabiliana na mabadiliko na kuwa tegemeo la uhakika kwa watanzania wanaopenda maendeleo na ubora alisema kampuni ya uchimbaji dhahabu ya barrick gold mining tanzania UNK mafunzo ya kilimo kwa wakulima mia tisa na sitini wilayani kahama mkoani shinyanga akizungumza juzi na majira katika mgodi huo meneja wa maendeleo ya jamii wa barrick UNK bibi UNK UNK alisema elimu hiyo imetolewa kwa njia ya semina na katika vijiji nane vina idadi hiyo ya wakulima kutoka vijiji nane vinavyozunguka mgodi huo hizi ni jitihada za kuunga mkono kauli mbiu ya kilimo kwanza na lengo letu ni kuhakikisha wakulima UNK kiuchumi kila kijiji UNK na wakulima mia moja na ishirini tunashirikiana nao na tayari barrick UNK kuwapa trekta alisema alisema mbali ya barrick kufanya shughuli za uchimbaji dhahabu pia imekuwa ikishirikiana na wananchi katika miradi ya maendeleo kama kilimo na elimu uchimbaji dhahabu pia imekuwa ikishirikiana na wananchi katika miradi ya maendeleo ombaomba thebathini na tisa wakiwemo watoto ishirini na tano wanashikiliwa na manispaa ya ilala kwa tuhuma za kuomba fedha na vitu mtaani katika maeneo tofauti jijini dar es salaam akizungumza na majira dar es salaam jana ofisa uhusiano na elimu kwa umma wa manispaa ya ilala bibi tabu shaibu alisema kuwa ombaomba hao wamekamatwa jana katika oparesheni maalumu ya kuwaondoa na kuwarudisha makwao bibi tabu alisema kuwa baada ya kuwakamata ombaomba hao watawapeleka katika ofisi za ustawi wa jamii kwa ajili ya kuwapa ushauri ili waache tabia ya kuombaomba na badala yake wafanye kazi mbalimbali za kujiingizia kipato ushauri watapatiwa ili waweze kufahamu juu ya kufanya kazi na UNK na dhana ambayo wamejijengea ya kuomba kwa watu ambapo elimu hiyo itatolewa katika ofisi za ustawi wa jamii na wakishapewa elimu hiyo kila mmoja atapelekwa sehemu aliyotoka alisema bibi UNK alisema kuwa katika operesheni hiyo imebainika kuwa watoto ambao wapo chini ya miaka kumi na nane ndio wanaofanya kazi ya kuomba omba na wanatumiwa na walezi ama wazazi wao katika kufanya shughuli hiyo alisema kuwa katika operesheni hiyo jumla ya wanawake kumi na tatu wamekamatwa na akiwemo mwanaume mmoja na kwa sasa wanapatiwa elimu ya ushauri alisema kuwa operesheni hiyo itakuwa endelevu ili kuweza kuwaondoa kabisa katika maeneo ya jiji kwani tabia hiyo imekuwa kero hasa kwa majiji makubwa upelelezi wa kesi ya kuendesha shughuli za upatu kinyume na sheria inayowakabili vigogo wa kampuni ya development entrepreneurship community initiative bado haujakamilika huku hatma ya mbegu za wanachama ikiwa UNK hatua ya kutokamilika kwa upelelezi huo ilijulikana jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam mbele ya hakimu mkazi bibi warialwande lema wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa wakili wa serikali bwana justus mlokozi aliiambia mahakama kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika hivyo akaomba tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa kutokana na taarifa hiyo mahakama iliahirisha kesi hiyo mpaka oktoba kumi na mbili mwaka huu ambapo UNK washitakiwa katika kesi hiyo ni bwana jackson mtares bwana dominick kigendi bwana timotheo ole loitg nye bwana swamel mtares na bwana arbogast kipilimba wote wakazi wa dar es dar es salaam wote kwa pamoja wanadaiwa kuendesha na kusimamia mradi wa upatu kinyume na sheria za kibenki na taasisi za fedha walidaiwa kuwa kati ya mwaka ishirini sifuri saba na machi mwaka huu wakiwa makao makuu ya kampuni hiyo huko mabibo dar es salaam na maeneo mengine hapa nchini walikusanya fedha kutoka kwa umma kwa ahadi ya matumaini ya kuwapa fedha zaidi ambayo katika mazingira ya biashara ilikuwa ni kubwa tofauti na mradi uliokuwepo katika makosa ya pili washitakiwa hao walidaiwa kupokea amana kutoka kwa umma kinyume na sheria ambapo kosa hilo linadaiwa kufanyika katika kipindi cha mwaka ishirini sifuri saba hadi machi mwaka huu katika maeneo mbalimbali ya nchi hii walipokea amana hizo bila kuwa na leseni kutokana na kuwepo kwa kesi hiyo hatma ya mbegu za wanachama wa kampuni hiyo haijulikani huku viongozi hao wakiwa na zuio la kuendesha mkutano wowote kuhusiana na mambo ya upatu huo mpaka kesi yao itakapomalizika watuhumiwa wa mauaji yaliyofanyika katika benki ya UNK tawi la temeke yaliyotumia silaha kali pamoja na bomu la kurusha kwa mkono wameiomba mahakama kuwahakikishia usalama wao endapo UNK wachukuliwe na polisi kwa ajili ya hatua zingine za mahojiano ombi hilo lilitolewa jana na washitakiwa bwana antony sokya na bwana yusuph rajab baada ya kuwasilishwa ombi la kuwataka warejeshwe mikononi mwa polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi mheshimiwa mimi hapa sijui kusoma wala kuandika na UNK hawa polisi wanataka tukubali mambo yao wanayotaka wenyewe hivyo naogopa wasije UNK vitu vingine na UNK UNK hivyo naomba kuhakikishiwa ulinzi na mahakama yako aliomba bwana UNK naye bwana sokya aliiomba mahakama kuwa iangalie afya walizonazo kabla ya kukabidhiwa kwa askari hao ili UNK mahakamani wawe kama UNK kwani wanahofia vipigo wakiwa mikononi mwa askari hao hawa askari UNK hapa ni kama rafiki zetu lakini tukiondoka hapa ni hatari tuangalie mheshimiwa tuna hali nzuri hivyo UNK tuwe hivi hivi aliomba bwana UNK kutokana na maombi ya washitakiwa hao upande wa mashitaka uliowakilishwa na bwana shadrack kimaro ulisema kuwa una imani washitakiwa hao watarejeshwa wakiwa salama hivyo akawaomba askari polisi kuhakikisha wanarudi wakiwa na hali za kawaida mbali na hayo mahakama hiyo pia UNK washitakiwa wa kesi hiyo na kufanya idadi yao kuwa kumi ambao walisomewa mashitaka upya washitakiwa hao wanadaiwa kuwa julai thebathini na moja mwaka huu wakiwa katika benki ya nmb tawi la temeke waliwaua bwana seif mkweke na e mia tatu na ishirini na tisa cpl josephat watuhumiwa wengine ni boniface joseph deogratius masawe mkazi wa moshi elfu hamsini na tano na mia tisa na thebathini na tano sgt mathew mwangunga ambaye ni askari wa jeshi la wananchi na mkazi wa kibaha said hamisi issack abuu mkazi wa moshi jopo salum na yusuph rajab seleman nzowa na richard lucas ambaye ni raia wa burundi mauaji haya yalisababishwa na uporaji wa fedha katika benki hiyo ambapo silaha kali yakiwemo mabomu ya kutupa yalitumika na zaidi ya shilingi milioni sitini ziliporwa kesi nyingine iliyohusisha washitakiwa wote ni ya uporaji wa gari aina ya prado kwa kutumia silaha ambapo mbali na gari hilo jumla ya shilingi milioni kumi na nne zilidaiwa kuporwa na washitakiwa hao ambao wanadaiwa kutenda julai thebathini mwaka huu mwisho chama cha wananchi kimegundua mabaki ya shahada za kupigia kura ambazo zilikuwa zimechomwa moto katika bohari kuu ya kutunzia nyara za serikali iliyopo eneo la keko karibu na wizara ya maliasili na utalii jijini dar es salaam cuf ilidai kugundua vitambulisho hivyo juzi na baada ya kukamilisha uchunguzi jana UNK waandishi wa habari na kuwapeleka eneo la tukio kwa ajili ya kushuhudia msafara wa waandishi wa habari ukiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho profesa ibrahimu lipumba ulifika eneo la tukio na kukuta vitambulisho hivyo ambavyo baadhi yake vilikuwa UNK kabisa huku vingine vikiwa UNK sana vikiwa katika lundo la majivu na baadhi ya UNK akizungumza baada ya kufika eneo la tukio profesa lipumba alisema kuwa jambo hilo ni la kusitisha na linaloonesha kuwa tanzania haina demokrasia ya kweli tunaingia katika uchaguzi gani namna hii vitambulisho hivi zaidi ya milioni moja tumeshuhudia leo UNK moto katika bohari ya serikali na hatujui ni nani muhusika ina maana hawa watu hawataweza kupiga kura tena alisema profesa lipumba aliongeza kuwa anashangazwa na tume ya uchaguzi na kudai kuwa hafahamu inafanya kazi gani na kudai kuwa serikali ya chama cha mapinduzi iliyopo madarakani haina misingi ya utawala bora ina maana watu wote hawa milioni moja hawakupiga kura na UNK kura sasa tunataka serikali itueleze vitambulisho hivi vinatoka wapi alisema mbunge wa micheweni zanzibar bwana shoka khamis shoka ambaye alikuwepo katika msafara huo alisema kuwa vitambulisho hivyo ni wazi vimenunuliwa kutoka kwa wananchi mimi nilishawahi kulieleza jambo hili hapo kabla na UNK bungeni badala yake nilitakiwa kutoa maelezo huku spika akidai kuwa suala hilo halina ukweli wowote na kwamba ni madai tu lakini leo jambo hili UNK alidai bwana shoka viongozi waandamizi wa cuf ambao pia walikuwepo katika msafara huo walichukua lundo la vitambulisho kama ushahidi kuondoka nalo mwisho rais jakaya kikwete amewataka viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini nchini kuacha kutoa nyaraka na miongozo inayolenga kuelekeza wanaumini wao namna ya kuchagua viongozi kwenye uchaguzi mkuu ujao mwakani ili kuepuka madhara yanayoweza UNK taifa akijibu maswali ya papo kwa papo kwa njia ya simu na barua pepe kupitia redio na televisheni katika kipindi maalum kiitwacho muulize rais kupitia televisheni ya taifa kilichorushwa pia na vituo vingine jana usiku rais alisema jambo hilo UNK serikali hususani wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu alisema tabia hiyo ikiendelea itawafanya watanzania kupigakura kwa maelekezo ya dini zao jambo alilosema binafsi UNK hofu kwani tanzania si nchi ya kidini alisema kwa kuzingatia hali hiyo kikao cha halmashauri kuu ya taifa ya chama cha mapinduzi kilichokutana hivi karibuni mjini dodoma UNK kuwa hoja hizo na hali hiyo zikiendelea zitaathiri utaifa wetu alieleza kuwa hatua hiyo ina mwelekeo mbaya kwani baba wa taifa marehemu mwalimu julius nyerere alijenga taifa lenye umoja na mshikamano bila kujali rangi dini wala ukabila bali alizingatia utanzania alisema katika kikao hicho nec iliwataka viongozi wa ccm UNK katika mambo hayo na kumwagiza rais na wakuu wenzake wa serikali kukaa pamoja na kuzungumza na viongozi wa dini kuona mwelekeo wa taifa na namna ya kuepuka hatari UNK ni hofu ambazo na sisi tunazo UNK kukaa nao na kuona ni wapi tutafikisha suala hilo alisema rais kikwete aliwataka viongozi wa dini kutoendelea kutoa matamko tena na kuviomba vyombo vya habari UNK kuepusha jambo hilo ili UNK kuwasha moto unaweza kuliangamiza taifa na kutoa mifano ya nchi kadhaa ikiwemo iraki ambazo zimeathiriwa na migogoro ya kidini ufisadi akizungumzia suala la ufisadi na mafisadi nchini rais kikwete alisema serikali yake imechukua hatua madhubuti katika vita hiyo hasa kwa kujenga chombo cha kuratibu mapambano ya rushwa taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa alisema kuwa hilo lilikuwa moja kati ya mambo ya msingi kuchukuliwa kwa wakati huu ambalo lilihusisha kubadili sheria ya rushwa ya mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na moja iliyokuwa na makosa machache na muundo wa takukuru kwa kweli UNK kama swali hilo la ufisadi na mafisadi UNK si kweli kuwa UNK hatua za kutosha tumefanya mambo makubwa ikiwemo kuiangalia upya ile sheria ya zamani hii ya sasa imepanua tafsiri ya rushwa ambapo hata ubadhilifu wa mali ya umma ni makosa ya rushwa tumebadili muundo wa takukuru ambapo sasa inapatikana katika kila wilaya nchini tumeongeza watumishi na kuwapatia vitendea kazi huku UNK waendelee kuwahamasisha watu UNK vitendo vya rushwa na watoe taarifa zaidi za makosa hayo alisema rais kikwete alikiri kuwa katika vita dhidi ya ufisadi yamekuwepo UNK malalamiko kuwa watuhumiwa wakubwa wenye dhamana na majina makubwa katika jamii hawachukuliwi hatua hivyo mkono wa sheria kuwaangukia zaidi watu wadogo alisema kuwa amekuwa akiwasihi watumishi wenzake serikalini kuwa lazima wachukue hatua dhidi ya wale wote wanaohusika na vitendo vya ufisadi na wananchi waone hatua hizo UNK ni kweli kuwa pamoja na yote tuliyoyafanya bado UNK kusikia malalamiko kutoka kwa wananchi kuwa UNK tunachukulia hatua dagaa tu lakini papa wale samaki wakubwa wanaachwa lakini ni vyema kutambua kuwa hili lina ugumu wake watu wakubwa nao pia wana mbinu na maarifa makubwa ya kujificha lakini tumechukua hatua katika kashfa za epa minara pacha ya bot na bado takukuru wameniambia kuwa wana kesi mbili tatu UNK mahakamani hivi karibuni kwa kweli yale UNK fanya mapaka sasa yanaifanya serikali hii iwe na rekodi ya pekee ya kuthubutu kuwafikisha watu wakubwa mahakamani alisema rais kikwete kagoda na richmond alipoulizwa juu ya tuhuma kwamba mafisadi walioshiriki katika kashfa za kagoda na richmond ni marafiki zake wa karibu ndio maana serikali yake imeshindwa kuwachukulia hatua rais kikwete alisema katika mapambano ya rushwa hakuna rafiki wala adui alisema baada ya kashfa ya epa aliunda tume kusaidia kuwapata waliochota pesa hizo ili UNK kabla hawajafikishwa mahakamani kuepuka uwezekano wa kukosa vyote kama wangepelekwa mahakamani na kushinda kesi baada ya hapo ulifuata uchunguzi na hatimaye watuhumiwa wakafikishwa mahakamani sasa hilo la nani UNK au UNK halimo ndani ya mamlaka yangu ilikuwa kazi ya dpp katika hilo la richmond kwa kweli nilikuwa na wasi wasi mapema na nilimwambia hilo waziri wakati wa kuitafutia dhamana kampuni hiyo kupitia hazina kuwa awe makini isije ikawa kampuni hiyo haipo nilikuwa nikiita kwa kiingereza UNK company yaani kitu ambacho hakipo kampuni ya maruhani baada ya uchunguzi wa kamati ya bunge ambayo hata hivyo haikusema wazi kama kulikuwa na rushwa sasa kuna watu UNK viongozi wa kisiasa waliwajibika kwa nafasi zao kwa makosa yaliyofanywa na watu waliokuwa chini yao sasa wapo maofisa ambao tunasubiri taarifa yao katika bunge la novemba ambayo natumaini itakuwa nzuri waraka mwongozo alisema waraka uliotolewa na kanisa katoliki na mwongozo uliotolewa na shura ya maimamu UNK hofu alisema ni mambo hayo UNK kwa kuwa yametokea katika kipindi cha kuelekea katika uchaguzi mkuu ujao na kueleza hofu yake kwamba watanzania wanaweza kupiga kura kutokana na maelekezo ya dini zao rais kikwete alisema kuwa kutolewa kwa maandiko hayo kutoka kwa viongozi wa dini katika kipindi hiki kunaashiria mgawanyiko katika jamii kwani kuna uwezekano wa kupata viongozi UNK udini badala ya UNK na kulifikisha taifa mahali pabaya alisema kwa kuwa maandiko ya viongozi wa madhehebu ya dini wanatoa maelekezo kwa waumini wa dini tofauti jinsi ya kumchagua kiongozi yanaweza kuhatarisha amani na kusababisha kutoelewana miongoni mwao alisema baada ya uchaguzi mkuu kuisha kuna uwezekano kutokea kwa na majigambo kati ya wanachama wanamuunga mkono aliyeshindwa na yule aliyeshindwa na kusababisha matafaruku mkubwa aliwataka viongozi hao kuacha kuzungumzia mambo hayo kwa sasa kutoka na kuchukua sura mpya inayoashiria malumbano miongoni mwa serikali na viongozi hao wa dini alisema kwa kuwa bado kuna muda wa kutosha hadi kufikia uchaguzi mkuu wa ishirini moja sifuri anafanya UNK za kuonana na viongozi hao ili kujadili kwa kina suala hilo tumekubaliana na katika vikao vyetu vya chama kuwa waliozungumzia suala hili waache kulizungumzia na wale mambo wako mbioni kulizungumzia pia nawaomba waliache kwani sasa nimeanza kufanya mawasiliano na viongozi wa dini ili kujadili suala hilo alisema rais kikwete alivitaka vyombo vya habari kutambua kuwa jambo hilo ni hatari na kuvitaka kuacha UNK kwani ni hatari kubwa kwa amani ya nchi na iwapo amani itavunjika hakuna mtu UNK UNK alisema katika kikao cha halmashauri kuu ya taifa ya chama cha mapinduzi kilichofanyika mwishoni mwa agosti mwaka huu mjini dodoma walikubaliana kuacha kulizungumuzia suala hilo hadi hapo litakapopatiwa ufumbuzi ucheleweshaji kesi rais kikwete alikiri kuwa katika mahakama nyingi nchini haki inanunuliwa kesi UNK sana na hii ni kutokana na uhaba wa majaji na mahakimu pamoja na vitendea kazi rais kikwete alisema kuwa serikali yake katika kukabiliana na uhaba wa majaji na mahakimu iliamua kuongeza majaji ishirini na kufikia idadi ya majaji arobaini na mbili nchini kama njia ya kuboresha utendaji wa mahakama aliongeza kuwa mbali na kuteua majaji pia serikali yake UNK vema kuongeza idadi ya mahakimu wakazi pamoja na wilaya ambapo aliteua zaidi ya mahakimu mia moja na themanini na kufikisha idadi ya mahakimu wakazi na wa wilaya mia tatu na ishirini nchini kwa upande wa mahakimu wa mahakama za mwanzo waliteuliwa mahakimu wengi na kufikisha idadi yake kuwa sabini sifuri jambo ambalo UNK kwa kiasi fulani tatizo la uhaba wa mahakimu nchi alisema jambo lingine linalochangia katika ucheleweshaji wa kesi ni pamoja na mahakama kutokuwa na zana bora za kufanyia kazi zikiwamo kompyuta hivyo UNK watendaji hao muda mrefu kuandaa kazi zao hukumu ya zombe kuhusu kesi ya mauaji ya wafanyabiashara watatu wa madini wa mkoani morogoro na dereva teksi mmoja mkazi wa manzese jiji dar es salaam rais kikwete alisema serikali haikuridhishwa na hukumu iliyotolewa na mahakama kuu ya tanzania ya UNK washitakiwa wa kesi ya mauaji ambapo imeamua kukata rufaa mahakama ya juu alisimulia kuwa baada ya kufika dar es salaam kutoka kwenye ziara zake kikazi alipewa taarifa kuwa polisi wameua majambazi wakati UNK kwa risasi naye UNK kwa kazi nzuri kwani wakati huo wimbi la ujambazi lilikuwa limekithiri sana lakini aliposikia malalamiko yameongezeka akaunda tume kuchunguza mauaji hayo muafaka zanzibar akijibu swali kuhusu muafaka wa hali ya kisiasa zanzibar rais kikwete alisema kuwa hata yeye hali ilivyo visiwani humo UNK kwani hakuna jambo ambalo haliwezi kuzungumzwa mezani na kushangazwa na UNK iliyopo alisema kuwa kakika suala la muafaka linahitaji kuketi na kuzungumza badala ya kulaumiana mimi jambo ambalo ninaliona kuwa ni tatizo sana kwa yale yanayozungumzwa ni kuhusu katiba ya zanzibar uendeshaji wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar lakini tumezungumza na tukafika mahali hatukuweza kumalizia alisema mafuta zanzibar alisema suala la mafuta zanzibar awali lilikuwa la muungano lakini baada ya kuona mafuta yanaweza kupatikana zanzibar ndio likawa sio jambo la muungano hatuna sababu za kulumbana katika suala hili kwani mimi sioni kama ni tatizo kubwa lakini kama lingekuwa suala la kuvunja muungano hapo kweli lingekuwa jambo kubwa alisema rais kikwete makundi ndani ya ccm akijibu swali la bwana UNK UNK wa arusha aliyetaka kujua sababu za kuibuka kwa makundi mawili ndani ya chama cha mapinduzi rais kikwete alikanusha kuwepo kwa makundi ndani ya chama rais pia alizungumzia kilichotokea katika mkutano wa halmashauri kuu ya taifa ya ccm mjini dodoma na kukiri kwamba chuki miongoni mwa wabunge wa ccm ilikuwa kubwa hatua iliyosababisha kuundwa kamati ya watu watatu bwana pius msekwa mzee ali hassan mwinyi na bwana abdulrahaman kinana kufuatilia mwenendo wa wabunge wa ccm hata hivyo aliwataka wabunge wa ccm kumaliza tofauti zao kupitia vikao vya chama na si kulumbana kupitia vyombo vya habari ili kulinda hadhi ya chama akijibu UNK la bwana tido mhando kuhusu kampuni ya reli alisema serikali inaendelea kushugulikia maslahi ya wafanyakazi hao akijibu swali lililoulizwa na mkurugenzi mtendaji wa shirika la utangazaji tanzani bwana tido mhando aliyetaka kujua serikali inakabiliana vipi na changamoto za sekondari za kata rais kikwete alisema serikali imeongeza kasi ya kufundisha walimu kupita vyuo vya umma na binafsi jambo ambalo limeongeza idadi ya walimu alisema walimu wanaohitimu wameongezeka kutoka hamsini sifuri kwa mwaka ishirini sifuri tano hadi kufikia tano mia tatu na thebathini na moja kwa mwaka ishirini sifuri tisa aliongeza kuwa serikali ina mpango wa kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu katika bajeti ya mwaka ujao kuhusu suala la ujenzi wa maabara alisema serikali ina mpango wa kuongeza fedha kwa ajili ya ujenzi wa maabara na kwamba tayari benki ya dunia imetoa kiasi cha shilingi milioni tisini kati ya milioni mia tatu na hamsini zinazohitajika habari hii imeandikwa na peter masangwa edmund mihale elisante kitulo na tumaini makene kesi ya wizi wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje inayowakabili wafanyabiashara akiwemo bwana jeetu patel na wenzake itaanza kusikilizwa upande wa mashahidi wa mashitaka septemba ishirini na tisa mwaka huu hatua hiyo ilijulikana jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa mbele ya hakimu bibi grace mwakipesile na bwana ruwaichi meela katika kesi hiyo upande wa mashitaka unatarajia kuwa na mashahidi kumi na nane ambao watafika mahakamani hapo na kueleza wanachokifahamu UNK wizi wa mabilioni hayo kutoka benki kuu ya tanzania washitakiwa katika kesi hiyo wanadaiwa kuwa septemba mbili ishirini sifuri tano waliiba jumla ya shilingi bilioni saba sita baada ya kughushi mkataba wa makubaliano ya kuhamishiwa deni kutoka kampuni ya marubeni corporation ya japan kwenda kampuni ya bencon UNK ltd mbali na fedha hizo pia washitakiwa hao wanadaiwa kuwa agosti kumi na mbili ishirini sifuri tano walijipatia jumla ya shilingi bilioni mbili tano baada ya kughushi mkataba mwingine wa makubaliano ya kuhamishiwa deni kutoka kampuni ya matsushita UNK UNK washitakiwa wengine ni bwana amit nandy na bwana devendra patel hata hivyo washitakiwa hao wamekuwa wakiwasilisha maombi ya kusimamishwa kwa kesi zao mahakamani hapo mpaka kesi ya kikatiba UNK mahakama kuu ya tanzania itakapomalizika kesi hiyo UNK wakitaka kufutwa kwa kesi zote zinazowakabili kutokana na kuwa tayari UNK na jamii kwa kuitwa mafisadi kabla ya baada ya kufikishwa mahakamani serikali mkoani arusha UNK uongozi wa wilaya ya ngorongoro UNK asasi zisizo za kiserikali zinazofanya kazi katika maeneo ya hifadhi ya loliondo mkuu wa mkoa wa arusha bwana isidore shirima alisema jana kuwa hatua hiyo imetokana na baadhi ya asasi hizo kufanya kazi kinyume na malengo ya kuwapo kwao katika eneo hilo bwana shirima alisema utitiri wa ngo s eneo la loliondo umekuwa kero kutokana na malumbano yasiyo na maana yanayosumbua wananchi alisema katika kudhibiti hali hiyo amemwagiza mkuu wa wilaya hiyo kuorodhesha mashirika hayo na baada ya hapo serikali itafuatilia kujua shughuli ya kila moja eneo hilo wingi wa mashirika haya ungekuwa unamaanisha maendeleo basi utitiri wa asasi hizo UNK maisha na mazingira katika eneo hilo tengefu lakini mambo ni kinyume sijui wanafanya nini alisema alisema kuwa katika uchunguzi huo pia watataka kujua wamiliki halisi wa asasi hizo pamoja na uraia wao kutokana na kuwapo kwa taarifa kuwa baadhi wamiliki hao si raia wa watanzania mkuu huyo wa mkoa alisema kuwa tatizo jingine kubwa linaloikabili wilaya hiyo ni kuingia kwa makundi makubwa ya mifugo kutoka nchi jirani ya kenya na kuzidi kuharibu mazingira alisema hatua madhubuti UNK kukabiliana na changamoto hiyo ikiwamo kuitaifisha mifugo UNK kuingia nchini na wamiliki wake kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria hawa wenzetu kule kwao wameshamaliza kila kitu hata wanyama pori kwa ajili ya shughuli za kitalii sasa UNK kwa wanataka kuja kwetu UNK mazingira tukinyamaza na sisi tutajikuta siku moja mbuga zetu hazina wanyama asilimia sabini hadi themanini ya utalii nchini kwetu ni kutoka katika eneo hili kwa sababu ndipo kwenye mazalia ya wanyama sasa tukiacha miti UNK na mifugo iingie kwenye maeneo ya hifadhi tutakuwa watu wa ajabu sana hivyo tunasema hapana alisema bwana shirima alisisitiza kuwa katika operesheni iliyofanyika kuwaondoa wavamizi kwenye maeneo ya hifadhi hakukuwa na matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari hata ukienda kwenye hospitali ya wilaya au polisi hakuna tukio lolote UNK huko hakuna watu waliobakwa kupigwa au kujeruhiwa hizo zote ni propaganda zisizo na mantiki yoyote ile alisema hali bado tete kwa waziri wa miundombinu bwana shukuru kawambwa baada ya kampuni ya rites kushikilia msimamo wake wa kusitisha kutumia mabehewa na injini zinadaiwa jumla ya dola za marekani milioni kumi tano kampuni ya rites kutoka india agosti thebathini na moja mwaka huu ilitoa siku kumi kwa kampuni ya reli tanzania ambazo zilimalizika jana na hali UNK serikali juzi kumwandikia barua mkurugenzi wa rites bwana vinay agarwal kumwomba kulegeza msimamo huo akizungumza na majira dar es salaam jana msemaji mkuu wa wizara wa miundombinu bwana martin ntemo alisema kuwa viongozi wa rites waliitwa na waziri daktari shukuru kawambwa katika vikao vinavyoendelea kuwataka kukubaliana na barua yao alisema vikao vinavyoendelea takribani siku tatu mfululuzo UNK muafaka kwani kumekuwa na mvutano kati ya pande zote kila mmoja akivutia kwake leo viongozi wa rites wameitwa wizarani baada ya ukimya wao wa UNK barua UNK juzi hivyo wapo kwenye kikao cha majadiliano na waziri kawambwa ingawa kuna mvutano mkubwa kati ya pande zote alisema bwana UNK gazeti hili lilifika kwa kamanda wa polisi kitendo cha reli bibi ruth makelemo ili kufahamu safari za treni kuanzia jana alisema kuwa hajapokea mabadiliko yoyote kutoka serikalini abiria mikoa ya kaskazini UNK saa tatu barabara kuu iendayo tanga kilimanjaro na arusha jana ilifungwa kwa saa tatu na kusababisha magari zaidi ya kumi sifuri kushindwa kupita katika kijiji cha mkata baada ya kuzuka vurugu kubwa kati ya wakazi wa eneo hilo na kigogo mmoja anayedaiwa kupandisha bei ya maji tofauti na wenzake mmoja wa abiria aliyekumbwa na mkasa huo na kujitambulisha kwa jina la bwana UNK UNK aliliambia gazeti hili kwa njia ya simu kuwa jana asubuhi umati mkubwa wa wakazi wa eneo hilo ulifunga barabara na kuzuia magari yasipite kushinikiza kigogo huyo anayeuza maji shilingi sabini sifuri kwa dumu apunguze bei sambamba na wenzake wanaouza shilingi arobaini sifuri alisema msururu mrefu wa magari hayo yakiwemo mabasi ya abiria malori magari wadogo yalilazimika kusimama kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa saba mchana mgogoro huo UNK uongozi wa mkoa wa tanga kwa kushirikiana na jeshi la polisi waliitisha mkutano wa dharura chini ya mkuu wa mkoa huo bwana said kalembo kutafuta ufumbuzi akizungumza kwa simu kutoka mkata bwana kalembo alikiri kutokea tukio hilo na kueleza kuwa tayari walishapata ufumbuzi unajua mkata kuna uhaba mkubwa wa maji kilichotokea ni kuwa kuna magari matatu yanauza maji lakini gari moja UNK dumu moja shilingi sabini sifuri wakati wenzake wanauza kwa shilingi arobaini sifuri huo ndiyo ugomvi uliosababisha wananchi kuchukua sheria mkononi bwana kalembo alisema wananchi wa mkata hawakupaswa kufunga barabara kwa sababu hilo ni kosa la kujichukulia sheria mkononi badala ya kufuata taratibu kaimu kamanda wa polisi mkoa wa tanga bwana simon mgawe naye alikiri kutokea vurugu hizo na alipotakiwa na kuthibitisha kuwa vurugu hizo UNK chama cha wananchi cuf kimemtaka mwenyekiti wa tume ya uchaguzi jaji lewis makame kujiuzulu kwa kushindwa kusimamia na kutetea haki za wapigakura wake hayo yalisemwa dar es salaam jana na mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari juu ya vitambulisho wanavyodai vilichomwa moto juzi katika bohari kuu ya serikali iliyoko keko dar es salaam alisema kuwa jaji makame ambaye amekuwa mwenyekiti wa tume hiyo tangu mfumo wa vyama vingi uanze nchini ameshindwa kuijenga taasisi hiyo kuwa yenye uwezo na UNK na wadau wake profesa lipumba alieleza kusikitishwa na kitendo hicho na kudai kuwa anayepaswa kuwa na shahada ni mpigakura mwenyewe na siyo serikali wala taasisi nyingine yoyote alisema katiba na sheria ya uchaguzi inaipa tume ya uchaguzi wajibu wa kutoa na kusimamia elimu ya uraia na elimu ya uchaguzi kwa wapigakura ambapo tume imeshindwa kutoa mafunzo hayo ambayo yamechangia wananchi kutoa shahada zao za UNK na kukusanywa au kununuliwa na mafisadi ni dhahiri kabisa kadi UNK zikichomwa moto ni zile za wananchi ambazo kwa kipindi kirefu tumekuwa UNK taarifa kuwa kuna biashara ya kununua shahada za wapigakura licha ya jambo hilo kufanyiwa kazi lakini juzi tumeshuhudia wenyewe alidai profesa lipumba alidai katika shahada zilizochomwa juzi nyingi ni za mwaka ishirini sifuri tano na nyingine zilitolewa mwaka ishirini sifuri nane ambapo inaonesha wazi kuwa serikali ya ccm inahusika na ukusanyaji wa shahada hizo za wapiga kura aliongeza kuwa inaonesha dhahiri kuwa mchezo huo mchafu unafanya na tume ya uchaguzi zanzibar kwa kushirikiana na nec kwani baadhi ya shahada hizo tatu zilibainika kuwa za wapigakura kutoka UNK katika shahada zilizochomwa nyingi ni za wakazi wa mkoa wa dar es salaam wilaya ya kinondoni ambapo katika uchaguzi mkuu wa ishirini sifuri tano wapigakura halisi waliojiandikisha walikuwa asilimia hamsini na tano ambapo asilimia arobaini na tano kati yao hawakupiga kura huku asilimia kumi pekee ndio UNK alisema profesa lipumba aidha cuf UNK kitendo vya nchi wahisani kuendelea kutoa fedha kwa tume ya uchaguzi kwa lengo la kuboresha usimamizi wa kura jambo ambalo limekuwa likifanyika kinyume mahakama ya wilaya ya kinondoni dar es salaam imetamka wazi kuwa aliyekuwa mkuu wa jeshi la polisi nchini bwana omar mahita ndiye baba halali wa mtoto juma mahita ambaye alizaa na mfanyakazi wake wa ndani bibi rehema shaaban mbali na kutamka kuwa ndiye baba halali mahakama hiyo imemwamuru bwana mahita kulipa malimbikizo ya gharama za matunzo ya mtoto huyo tangu mwaka ishirini sifuri tatu hukumu hiyo ilitolewa jana mahakamani hapo mbele ya hakimu mkazi bibi suzan kihawa ambapo mlalamikaji wa kesi UNK na wakili wa kituo cha sheria na haki za binadamu bwana UNK daud kesi hiyo ya madai ambayo bibi rehema alikuwa UNK mahakama kutamka wazi kuwa bwana mahita ndiye baba wa mtoto huyo na UNK kugharimia matunzo ya mtoto juma kwa mujibu wa hukumu hiyo pamoja na kutamka kuwa bwana mahita ndiye baba wa mtoto huyo anatakiwa kubaki kwenye uangalizi wa mama yake hadi atakapofikisha umri wa kujitegemea uamuzi wa mahakama hiyo ulifikiwa kutokana na ushahidi uliowasilishwa mahakamani hapo ambapo iliridhika bila kuacha shaka kuhusu madai hayo na bwana mahita kutakiwa kuhakikisha UNK masomo ya mtoto huyo kwani ndiye baba halali pia mdaiwa huyo ameamriwa kutoa shilingi kumi sifuri sifuri sifuri sifuri kila mwezi kama gharama za matunzo kwa mtoto na mama yake bibi rehema baada ya kusomwa hukumu hiyo upande wa wadaiwa uliambiwa una haki ya kukata rufaa endapo UNK na uamuzi uliofikiwa na mahakama hiyo awali kesi hiyo ilifunguliwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu ambayo ilikuwa mbele ya hakimu mkazi bibi pelagia UNK ambaye sasa ni jaji wa mahakama kuu ya tanzania lakini ilifutwa mahakamani hapo na kuamriwa kufunguliwa katika mahakama ya wilaya kutokana na maelekezo ya sheria bwana mahita katika kesi hiyo alikuwa UNK na wakili wa kujitegemea bwana charles UNK ambapo mshitakiwa huyo kupitia wakili wake walipinga vikali kuwa mtoto juma si mwanawe bibi rehema katika maelezo yake alisema kuwa alipata ujauzito wa mtoto juma wakati akifanya kazi za ndani kwa bwana mahita katika kipindi cha mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano ambapo baada ya kuzaliwa kwa mtoto huyo bwana mahita alimtelekeza na kushindwa kutoa gharama za matunzo hatua iliyomfanya kufungua kesi ya madai naye kulwa mzee anaripoti kuwa mwenyekiti wa tanzania labour tlp bwana augustino mrema ameupongeza umoja wa wanawake wa chama hicho kwa kulipa gharama za wakili UNK bibi rehema bwana mrema alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na gazeti hili baada ya mahakama kutoa hukumu dhidi ya bwana mahita alisema wanawake wengi wanaangamia kwa kukosa msaada lakini wanawake wa tlp kwa kutambua hilo waliamua kumsadia mwanamke huyo kwa kuchangishana fedha na kupata wakili wa UNK hukumu hii inaonesha wazi jinsi mahakama UNK haki alisema mwenyekiti na kushauri vyama vingine vya siasa kuiga mfano wa chama chake kusaidia kisheria wanawake wenye shida wasiokuwa na uwezo UNK yalikuwa mepesi hayakukidhi haja za wananchi UNK wasiwasi baadhi ya maswali kuandaliwa shekhe issa napongeza rais kukemea tishio la udini hamad rashid apongeza utaratibu wa papo kwa papo lakini slaa UNK waraka lipumba alia muafaka mrema apongeza baadhi ya maswali aliyoulizwa rais jakaya kikwete jana kwenye utaratibu mpya wa muulize rais kwa kupiga simu kutuma barua pepe na kujibiwa moja kwa moja kupitia redio na televisheni UNK ufafanuzi wa kina kulingana na uzito wa masuala husika kama ilivyotarajiwa na wengi imedaiwa masuala yanayodaiwa rais hakuyatoa majibu fasaha ni pamoja na vita dhidi ya ufisadi safari zake za nje na nyaraka zinazotolewa taasisi za dini ambapo imedaiwa majibu yake yalikuwa mepesi na hayakukidhi haja ya wananchi mhadhiri mwandamizi wa chuo kikuu cha dar es salaam profesa mwesiga baregu aliliambia gazeti hili jana kuwa wananchi wengi waliondoka na kiu kubwa ya majibu kutokana na maswali mengi aliyoulizwa rais kikwete UNK kwa kina profesa baregu ambaye ni UNK wa masuala ya sayansi ya siasa na uhusiano wa kimataifa alisema majibu aliyotoa rais kikwete juu ya vita dhidi ya ufisadi hayalingani na uzito wa jambo hilo ambalo limechukua sehemu kubwa ya mijadala nchini takribani kipindi chote cha utawala wake suala la ufisadi UNK majibu ya kuridhisha kulingana na uzito wake UNK mpaka sasa ni moja ya mambo ambayo UNK muda mrefu katika kuyajadili bila kupata majibu sahihi alizungumzia takukuru tu kwa muda mrefu lakini ninavyojua mimi chombo hicho pia kiliwahi kutuhumiwa katika vita dhidi ya rushwa kuwa UNK watu na hakifanyi kazi yake sawasawa sidhani kama kuongelea chombo hicho pekee ilikuwa ndio jibu sahihi la swali lile juu ya vita vya ufisadi alisema profesa baregu akizungumzia safari za mara kwa mara ambazo rais kikwete amekuwa UNK nje ya nchi profesa baregu alisema huenda rais hakuelewa mantiki ya UNK swali hivyo kujikuta akijibu tofauti alisema mantiki ya swali lile lilikuwa ni kutaka kujua umuhimu wa safari hizo ambapo muda mwingi rais kikwete amekuwa akitumia kuzunguka kuomba misaada kwa nchi tajiri kuisaidia tanzania badala ya kuiuza nchi kwa kutumia maliasili zilizopo na kutafuta wawekezaji makini wanaoweza kusaidiana na serikali kuziendeleza swali lile nahisi UNK chenga safari zake hizo za nje badala ya kutuingizia nafikiri zimekuwa UNK cost zaidi badala ya kutumia fursa hiyo kutambulisha rasilimali zetu UNK ili zitusaidie wananchi wote amekuwa akienda kuomba misaada mbali ya kuwa unapoomba unajinyima uwezo wa kujitegemea lakini pia hakuna nchi UNK kitu bure hivyo swali UNK tutaendelea kuomba omba mpaka lini alihoji profesa baregu huku akionekana kuwa na wasiwasi na utaratibu uliotumika kuwasiliana na rais akisema kuwa inawezekana baadhi ya maswali yalikuwa yameandaliwa mapema profesa baregu alisema suala la nyaraka za taasisi za dini nalo pia halikupata majibu muafaka alisema haoni mantiki ya majibu ya rais kikwete kuwa nyaraka hizo zitaleta mgawanyo miongoni mwa wanajamii nafikiri nyaraka hizo kwa jinsi UNK na kuzielewa zililenga kupata viongozi waadilifu na kwa hakika viongozi wa dini wana wajibu wao katika jamii kuhakikisha kuwa maadili yanakuwepo sasa vipi zilete matatizo ingawa pia viongozi wa dini walitakiwa kuunganisha nguvu zao za madai pamoja lakini kama taifa linalotaka kuwa na viongozi waadilifu basi rais hakuwa na haja ya UNK alisema profesa baregu kwa upande wake shekhe mohamed issa ambaye ni mwanazuoni na mchambuzi mahiri wa masuala ya dini alisema wanashukuru kuwa hatimaye rais kikwete amezungumzia masuala hayo baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu shekhe issa alisema rais anastahili kupongezwa kwa hatua hiyo ya kuzungumzia hatari ambayo taifa linanyemelewa kwa UNK na mambo ya kidini lakini akahoji kwa nini hatua hiyo imekuja baada ya waislam kutoa mwongozo wao waraka wa wakatoliki umetolewa karibu miezi tisa nyuma tunaamini kabisa rais kikwete alijua kwa kutumia njia zake za kupata habari anajua mambo ya waraka toka januari lakini alikaa kimya lakini mara zote katika nchi hii hatari imekuwa inaonekana pale waislam wanapoamua ku UNK katika msuala yao hapo ndipo watu huanza kusema kuna hatari na hali hii imekuwepo toka awamu ya kwanza ya utawala wa nchi hii alidai mwanazuoni huyo akizungumzia kuhusu waraka na mwongozo alisema kuwa kimsingi demokrasia inahusisha mambo mengi ikiwemo kusikiliza na kusimamia maoni yanayotolewa na makundi ya kijamii alisema hakuna tatizo kwa makundi mbalimbali ya kijamii kama yale ya kidini walemavu wawindaji na mengine kutoa maoni na malalamiko yao kupigania haki au stahili yao lakini itakuwa vibaya tu endapo kundi moja litatoa maelekezo ya kukandamiza maslahi ya makundi mengine mfano watu wenye ulemavu wa ngozi wenye virusi vya ukimwi wahadzabe wote wanahaki ya kutoa maoni yao jinsi wanavyohitaji kutimiziwa stahili zao UNK tu UNK maslahi ya makundi mengine hivyo hakukuwa na makosa kwa watu wa dini kutoa utashi wao kwa serikali au vyama vya siasa UNK namna gani wanapaswa UNK ikiwa ni mojawapo ya michakato ya demokrasia ilani ya wakatoliki na mwongozo wetu haina shida labda tatizo liko kwa ule waraka wa kichungaji ambao umeweka mambo ya kidini zaidi hivyo sisi tunasisitiza tutamchagua yeyote yule bila kujali dini ilimradi atimize haki zetu za msingi alisema naye kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni bwana hamad rashid mohamed amesema mbali na kuridhishwa na utaratibu mpya wa rais jakaya kikwete kujibu maswali ya wananchi papo kwa papo kupitia vyombo vya habari amesikitishwa na kiongozi huyo kuwa kigeugeu katika suala la muafaka wa kisiasa visiwani zanzibar bwana hamad alidai rais kikwete ndiye kikwazo kikubwa cha kupatikana muafaka visiwani zanzibar kwani wakati akilihutubia bunge alisema kuwa ajenda zote tano zilizokuwa UNK baina ya ccm na cuf zimemalizika lakini baadaye alikuja na ajenda ya sita ya kupigakura ya maoni kwa wananchi rais kikwete ni mwepesi wa kujua matatizo yanayojitokeza katika jamii lakini ni mzito wa kutoa majibu jambo ambalo ni hatari sana hasa kwa suala kama la muafaka visiwani zanzibar alisema bwana rashid alidai kuwa vyama vyote katika vikao vyake UNK kwa pamoja mambo yote yaliyokuwamo kwenye ajenda tano ambazo walijiwekea lakini cha kushangaza wakati wakielekea mwisho rais akaja na ajenda ya sita ya kupigakura za maoni kitendo ambacho hakiwezi kuleta suluhu kutokana na udhaifu uliopo kwenye chaguzi zote huwezi kuwa na double conflict kwamba mazungumzo yamemalizika lakini unakuja na ajenda nyingine ya kura za maoni kwa madai kuwa kuna mabadiliko makubwa ya katiba na utendaji wa serikali ya mapinduzi ya zanzibar alisema na kuongeza kuwa shughuli ya uchaguzi zanzibar haiaminiki kwa nini ulete kura ya maoni alisema dosari hiyo inaweza kuigharimu zanzibar kwani UNK za muafaka zinaanza aliahidi kufanyika kwa wiki tatu lakini cha kushangaza imechukua zaidi ya wiki kumi na nane bila ufumbuzi naye mbunge wa karatu daktari wilbroad slaa alisema rais kikwete amepotosha kuhusu waraka uliotolewa na kanisa katoliki kuelimisha wanaumini wao namna ya kuchagua viongozi kwenye uchaguzi mkuu ujao mwakani kwa kueleza kuwa una hatari kwa mustakabali wa taifa daktari slaa ambaye pia ni katibu mkuu wa chadema alidai rais kikwete alipaswa kusoma vizuri waraka huo na kuuelewa rais alitakiwa kuusoma vizuri waraka huo kabla UNK suala hilo mbele ya wananchi ambao wengi wa UNK wameonesha kuukubali alisema alisema rais kikwete alipaswa kuwapongeza wanataaluma wakatoliki kwa UNK waraka huo kwani unalenga kutoa elimu kwa watanzania hususan katika kipindi hiki cha kuelekea katika uchaguzi mkuu UNK mtu yeyote anayepinga waraka huu kwani UNK kuchagua kiongozi kutokana na dhehebu au dini anayotoka bali unafundisha jinsi ya kumpata kiongozi UNK na rushwa na ubinafsi alisema daktari slaa naye mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba alisema chama chake UNK na majibu ya rais kikwete kwani alipaswa kuelezea undani wa suala la muafaka wa ccm na cuf lakini hakufanya hivyo kwa kweli majibu aliyotoa UNK tumemwandikia barua zaidi ya nne kuhusu jambo hilo lakini hadi sasa hakuna hata moja UNK alisema profesa lipumba kuhusu waraka wa kanisa katoliki profesa lipumba alisema wameshangazwa majibu ya rais kikwete kwani pamoja na malalamiko yote vipo vipengele umuhimu vyenye manufaa makubwa akizungumzia ahadi ya maisha bora kwa kila mtanzania kama ilani ya chama cha mapinduzi inavyoeleza profesa lipumba alisema hali ya maisha inazidi kuwa ngumu siku hadi siku alisema rais kikwete anakosea kutumia kigezo cha huduma za jamii kama afya na elimu kwani idadi ya vifo vya kina mama wajawazito na watoto inaongezeka siku hadi siku mwenyekiti wa tanzania labour bwana augustino mrema alisema kuwa ufisadi uliokithiri nchini ndicho chanzo cha nyaraka zinazotolewa na madhehebu kwani watu wamechoshwa na hali hiyo alisema wananchi wamechoshwa kuona watu wachache wanafaidi rasilimali za umma na wengine wakiumia kwa umasikini wa kutisha hata hivyo bwana mrema alimpongeza rais kikwete kwa jitihada zake za kupambana na mafisadi kwa kuwa ndiye rais wa kwanza kushughulikia kero hiyo na kumshauri kuongeza nguvu zaidi na grace ndossa chama cha demokrasia na maendeleo kimetoa mafunzo kwa viongozi wote wa wilaya ya temeke ili waweze kukabiliana na changamoto zilizopo ndani ya chama hicho na wilaya hiyo akizungumza dar es salaam jana wakati akifungua semina hiyo mkurugenzi wa mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa wa chama hicho bwana john mnyika alisema mafunzo hayo ya siku moja yatawasaidia viongozi hao kutumikia wananchi kwa uaminifu na kuondoa kero zilizopo ndani ya wilaya ya temeke alisema viongozi wa wilaya hiyo wanatakiwa wawe chachu ya maendeleo na kupiga vita ufisadi ili waweze kuendelea wenyewe na kuboresha huduma za jamii ikiwemo hospitali ya wilaya wajibu wa chama cha chadema ni kukemea ufisadi unaofanywa na wananchi viongozi pamoja na kukabiliana na changamoto zilizopo ndani ya wilaya ya temeke alisema bwana mnyika mkurugenzi huyo alisema mafunzo hayo yatachangia katika mabadiliko ndani ya wilaya hiyo kwa kutoa vifaa vya kusaidia hospitali ya wilaya temeke na kuboresha miundombinu iliyopo alisema viongozi wa chadema wanatakiwa wawe mstari wa mbele katika kufichua maovu yote yanayofanywa ndani ya chama hicho na kusaidia halmashauri ya wilaya hiyo kujenga kituo kikubwa cha mabasi mbagala kama kilichopo ubungo bwana mnyika alisema viongozi wa chadema wanatakiwa kuwa mahiri na sera mbadala katika ngazi ya siasa hasa kipindi hiki ambacho uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji unakaribia uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika oktoba mwaka huu awali semina hiyo ilikuwa ifunguliwe na mwenyekiti wa chadema bwana freeman mbowe ambaye alishindwa kufanya hivyo kutokana na majukumu mengine jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania limesema mabomu kumi na nne aina ya anti tank yaliyokamatwa na polisi katika kiwanda cha simba UNK cha mabibo ubungo si mali ya jeshi hilo akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya jeshi hilo jana mnadhimu mkuu wa jwtz luteni kanali abraham shimbo alisema mabomu yalikamatwa haina uhusiano kwa sababu yale ya jeshi yana alama maalum ya kuonesha uhalali wa UNK alisema mabomu hayo huenda UNK baharini kwa kuisha muda wake na kuokotwa na watu waovu kwa nia ya kufanya uhalifu lakini jeshi hilo halina upungufu wa silaha katika maghala yake luteni kanali shimbo alisema jeshi linaendelea kufanya uchunguzi wa mabomu yaliyolipuka kambi ya jwtz kambi ya mbagala na kusababisha maafa aliwatahadharisha wananchi kuacha kuokota vitu ambavyo UNK mashaka na kupiga ripoti kwa maofisa wa jeshi hilo ili kuviteketeza alisema baada ya mabomu ya kambi ya mbagala kulipuka yalirushwa angani na mengine kujichimbia chini ya ardhi hivyo bado kuna hatari ya kuendelea kulipuka UNK misukosuko na joto imebainika kundi la linalojiita mungiki UNK makundi mawili na kuteka msitu wa sakare uliopo wilayani korogwe mkoani tanga kiwanda cha kusindika chai cha lupembe na msitu wake wa UNK wilayani njombe mkoani iringa huenda lina mkono wa watu wakubwa serikalini kundi hilo UNK na vyombo vya dola UNK mali hizo kwa takribani miezi tisa sasa na kuzuia uzalishaji wa chai kutoka kwa wakulima wadogo na ajira za wafanyakazi wapatao kumi sifuri sifuri kusitishwa kwa muda usiojulikana huku viongozi wa ngazi mbalimbali UNK mpira kuwa suala hilo linashughulikiwa na viongozi wa kitaifa hata baadhi wa wanahabari miezi michache iliyopita waliokwenda njombe kufuatilia sakata la mgogoro huo na kujeruhiwa kwa kupigwa na kunyang anywa vifaa vyao vya kazi na kundi hilo lakini hadi leo polisi katika ngazi zote wameshindwa kuwatia mbaroni wahusika wa tukio hilo kwa madai kuwa lina baraka kutoka ikulu akizungumza na gazeti hili mmoja wa waandishi waliopigwa alidai kuwa licha ya kulalamika kwa igp said mwema na kuagiza uongozi wa mkoa na wilaya kuwakamata wahusika mara moja na kuwafikisha mahakamani hadi leo hakuna yeyote aliyekamatwa kwa madai kuwa kuna amri kutoka ngazi za juu mwandishi huyo alishangazwa na polisi kushughulikia mambo madogo na kupuuzia suala lao UNK kupoteza maisha ya watu na kutoa mfano wa mbunge samir lotto wa morogoro kusini UNK ofisa wa moruwasa na akawekwa sero mara moja na suala lake kufikishwa kwa mwendesha mashtaka wa serikali ndani ya siku mbili bwana nawab mulla ambaye ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa lupembe tea estate kampuni UNK kiwanda hicho kupitia tume ya rais ya kurekebisha mashirika ya umma alisema kuwa alifuata taratibu zote za manunuzi na kukabidhiwa kiwanda tangu mwaka ishirini sifuri nne na sasa anaona kuna njama ya UNK mali hizo bwana mullah alisema anashindwa kuelewa wavamizi hao kulenga viwanda UNK na kampuni zake za lushoto tea company na lupembe na kwa nini UNK zaidi ya miaka miaka kumi ipite ndipo wachukue hatua nimewekeza mabilioni ya fedha katika kupanda misitu kukarabati viwanda na kulipa madeni mbalimbali sasa eti wavamizi hao wanadai vilikuwa mali zao nataka serikali itamke nani mkosaji mimi UNK kihalali au hawa UNK alilalamika mwekezaji huyo katika maelezo yake yaliyoambatana na nyaraka mbalimbali zinaonesha masharti ya ubinafsishaji wa kiwanda hicho yaliyokuwemo kwenye tangazo la kuuza viwanda na misitu hiyo ilimtaka mwekezaji kuingia ubia na muungano wa vyama vya ushirika vya lupembe ambapo asilimia thebathini kwa ushirika huo na mwekezaji asilimia sabini alishangaa kimya cha serikali kutokana na mgogoro huo uliofikishwa mahakama kuu kitengo cha biashara na kuamuliwa kuwa wavamizi waondolewe ili uzalishaji uendelee wakati kesi ya msingi kuhusu pande hizo zote mbili UNK lakini dalali wa mahakama ilipokwenda kutekeleza amri hiyo alipata UNK oto kutoka kwa mungiki alisema gazeti hili UNK kuwa uvamizi huo unafadhiliwa na kundi la wafanyibiashara wenye ushawishi mkubwa ndani ya ccm na viongozi wazito serikalini ikiwemo ikulu ili kumwondoa mwekezaji huo ambaye pia ni mwenyekiti wa ccm mkoa wa mbeya na baadaye kuwauzia wawekezaji wengine wenye nia ya kummaliza kiongozi huyo kisiasa mgogoro wa njombe umetokana na baadhi ya wanahisa wa mvyulu kushinikiza fedha zilizolipwa na mwekezaji kwa tume ya rais ya kurekebisha mashirika ya umma psrc ilipwe kwenye ushirika huo kwa vile licha ya kuwa wanahisa baada ya ubinafsishaji bado mali hizo UNK ni zao na hivyo kuvamia msitu huo ili mwekezaji huyo UNK kiwanda cha chai cha lupembe kilikuwa UNK na iliyokuwa mamlaka ya chai kwa asilimia sabini na wanachama wa mvyullu walimiliki kiwanda cha kusindika chai cha lupembe lakini kutokana na madeni na kushindwa kusimamia uzalishaji serikali iliamua kubinafsisha mali hizo mwaka ishirini sifuri nne wazazi waomba dua watoto wao UNK mitihani ya taifa wengine UNK wafanye madudu kwa makusudi lengo ni kuepuka kuwasomesha usumbufu wa serikali wakati watahiniwa mia saba na tisini na nne kumi mbili wakiwa wamefanya mtihani wa taifa wa kuhitimu darasa la saba mwaka huu katika hali ya kushangaza baadhi ya wazazi katika halmashauri ya wilaya ya lindi vijijini wanaomba dua ili watoto wao wasifaulu mtihani huo kutokana na kukosa uwezo wa kuwasomesha wazazi wengine wameenda mbali zaidi na kufikia hatua ya kushawishi watoto wao kujibu mitihani yao chini ya kiwango ili UNK uchunguzi uliofanywa na gazeti hili wiki hii wilayani humo kwa kuwahusisha wanafunzi wazazi walimu na viongozi wenye dhamana ya kusimamia elimu wilayani humo umebaini kuwa kutokana na hali tete ya umasikini inayowakabili wazazi wengi hawataki kusikia mtoto amefaulu ndiyo maana wanaomba dua hatua hiyo inalenga kuwaepusha na misukosuko ya kuwafikisha polisi au mahakamani kwa kushindwa kupeleka watoto wao shule baada ya kufaulu darasa la saba wakizungumza na gazeti hili baadhi ya wananchi wa vijiji vya UNK UNK UNK jangwani moka mtimba UNK makumba UNK na UNK walisema hali ya umasikini ndiyo UNK katika hatua hiyo bwana paul ngole alisema wazazi kuomba dua ili mtoto UNK mtihani ni jambo la kawaida kutokana na hali duni ya maisha wanayoishi alisema mtoto UNK wazazi hujikuta wakibeba jukumu la kuwapangia nyumba kutokana na shule za kata kutokuwa na mabweni kuwanunulia chakula na mahitaji mengine mzazi anajikuta akilazimika kutunza familia mbili ingawa wengi wetu hatuna kipato ndiyo maana wengine wanaamua kuomba mungu wasifaulu ili kuepuka usumbufu alisema bwana UNK hebu angalia watoto wale wazazi wameshindwa kuwanunulia sare unadhani wakifaulu wataweza kulipa ada hiyo ya shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri alihoji bwana ngole na kusema wanaona ni bora waombe dua bwana hussen said alisema kipato UNK siyo cha kuwasaidia kusomesha watoto kwa kuwa ni kidogo wazazi waliozungumza na gazeti hili walithibitisha kuwepo kwa tabia ya kuwashawishi watoto ili wafanye vizuri mitihani yao mwalimu mkuu wa shule ya msingi UNK bwana yusuf rashid alisema katika mkoa huo wazazi kuomba dua ili watoto wasifaulu darasa la saba ni jambo la kawaida katika familia nyingine mtoto akifaulu mtihani wa darasa la saba amani inatoweka kwa sababu wazazi wanakuwa hawana uwezo wa kuwasomesha wakati huo huo wakiandamwa na viongozi wa serikali ili UNK kwa nguvu alisema bwana rashid alibainisha kuwa alishawahi kufanya utafiti na kubaini hilo kutokana na kukithiri kwa umasikini mtoto akifaulu amani inatoweka ndani ya familia zao hivyo wanaona ni heri waombe mungu washindwe alisema alizidi kufafanua kuwa wazazi wanaoshindwa kuwasomesha watoto wao wanafikishwa polisi hivyo kukosa amani mwalimu huyo alisema shule za sekondari za kata kwa kiwango kikubwa zimejengwa kwa nguvu za wananchi hivyo hata watoto wakifaulu wanajikuta hawana uwezo wa kuwasomesha pia ipo michango inayojitokeza wanakuta UNK na wanaoshindwa wanafikishwa mahakamani alisema na kuongeza katika hali hii baadhi ya wazazi wanaona ni bora watoto wasifaulu ili waendelee kuishi kwa amani kwa upande wake mwalimu mkuu wa shule ya msingi songambele bwana rashid UNK alisema tatizo la wazazi wa mkoa huo kutotilia mkazo elimu linatokana na umasikini watu wanalima lakini hawapati cha kuuza familia nyingi zinaishi kwa kubahatisha matokeo yake hawatoi kipaumbele kwa elimu ndiyo maana wazazi wanashauri watoto wao wafanye vibaya mitihani yao makusudi ili wasifaulu alisema bwana UNK akifaulu amani inatoweka nyumbani mzazi fedha hana serikali UNK ili kumfikisha kwenye vyombo vya sheria wengine wanaamua kukimbia na kutekeleza familia alifafanua mwalimu huyo alieleza kuwa baadhi ya watoto wanashindwa kuhudhuria shuleni kutokana na kulala njaa na wale wanaokwenda wengine wanasinzia kiasi cha kushindwa kufuatilia masomo kutokana na hali hiyo bwana UNK alisema wanafunzi wengine wanaamua kuacha masomo na kwenda kutafuta vibarua ili kusaidiana na wazazi kuongeza kipato cha familia mwalimu mkuu wa shule ya msingi UNK bwana mbinga UNK alisema umasikini unaendelea kuathiri maendeleo ya elimu kwa kuwa watoto wa kike wanaachishwa masomo na UNK mratibu elimu katika kata ya mnonela bwana abbas kajuna alisema katika shule ya sekondari mnonela kuna wanafunzi watatu ambao waliandika barua za kuacha shule kutokana na wazazi wao kutokuwa na uwezo wa kuwasomesha UNK barua wakisema kusoma ni sawa na biashara ya ubuyu hivyo hawataki kuendelea na masomo kwa kuwa wazazi wao hawana uwezo wa kusomesha alisema na kuongeza walimweleza kuwa iwapo UNK kuendelea na masomo UNK mkuu wa kituo cha polisi cha UNK bwana daud alisema katika eneo lake la kazi kuna wanafunzi hamsini na mbili waliofaulu darasa la saba lakini hawajapelekwa shuleni kwa kuwa wazazi hawataki tatizo la wazazi wale ni kipato suala hilo limefikishwa kwangu imekuwa vigumu kuwasaidia kwa kuwa wazazi hawana kitu alisema bwana daud akizungumzia suala hilo ofisa elimu wa halmashauri ya lindi vijijini bwana mussa minduva alikiri kuwa idadi kubwa ya watoto wanaofaulu mtihani wa darasa la saba wanashindwa kujiunga na sekondari kutokana na wazazi kukosa uwezo kuanzia mwaka ishirini sifuri sita tulikuwa na mkakati wa kupeleka sekondari watoto wote wanaofaulu lakini wengi UNK kutokana na wazazi kuwa na uwezo mdogo alisema bwana UNK alisema matokeo ya hali hiyo ni watoto wengi kuolewa kwa sababu hata wakifaulu wazazi hawana uwezo wa kuwasomesha alikiri kuwa baadhi ya wazazi wamekuwa wakitoa kauli za kuwakatisha tamaa watoto wao hivyo kushindwa kuongeza bidii kwenye masomo akithibitisha jinsi wazazi wa wilaya yake UNK na uwezo wa kusomesha watoto wake bwana minduva alisema kwa mwaka huu alipokea fomu hamsini za kuwawezesha vijana waliohitimu elimu ya msingi na sekondari kujiunga na mamlaka ya vyuo vya ufundi lakini zilizochukuliwa hadi sasa ni nane ili UNK watoto ambao wazazi wao hawana uwezo kuendelea na masomo ya sekondari bwana minduva alisema kwa kushirikiana na tume ya taifa ya kudhibiti ukimwi na taasisi mbalimbali halmashauri yake imekuwa UNK kusomesha watoto ambao wazazi wao hawana uwezo ingawa tatizo bado ni kubwa alisema tacaids imeweza kusomesha wanafunzi themanini na tano wa kidato cha tano alisema kupitia mfuko wa elimu mwaka jana halmashauri yake ilitumia kiasi cha shilingi milioni mbili kusomesha watoto hamsini na tano ambao wazazi wao walishindwa kuwasomesha kutokana na kukosa uwezo kwa mwaka huu alisema zilitumika kiasi cha shilingi milioni tano sita kwa ajili ya kusomesha wanafunzi mia mbili na sitini hata hivyo mwaka huu hali ya mahudhurio ya wanafunzi itakuwa mbaya kutokana na zao la korosho kushindwa kustawi alisema alisema imefikia hatua katika wilaya yake watu wanajivunia kutojua kusoma na kuandika nenda pale UNK ukipita pale mnolela kuna vijana wengi ukiuliza ni nani hajui kusoma na kuandika watakuzunguka UNK kwa furaha utafikiri UNK ni wa ngapi wapo kidato cha sita alisema wasomi wasema vyama vya upinzani ni dhaifu wasema vinamilikiwa kama kampuni za watu binafsi demokrasia katika vyama vya siasa tanzania imeelezwa kuwa iko katika UNK kiasi ambacho upinzani umeshindwa kuaminika kwa wananchi na kama hali itaendelea kuwa hivyo ni muujiza pekee UNK chama cha mapinduzi madarakani imeelezwa kuwa vyama vya upinzani ambavyo vinapaswa kuwa mbadala wa chama tawala katika siasa za ushindani vimeshindwa kuonesha kulitambua na kuwa tayari kwa jukumu hilo kwa jinsi UNK demokrasia hali hiyo inatokea huku vyama hivyo vikionekana kuchukua sehemu kubwa katika uwanja wa demokrasia ilihali ni mmoja tu ya wachezaji katika uwanja huo mpana huku pia wananchi wakishuhudia demokrasia UNK kwa aidha kutofanya uchaguzi viongozi wake kukaa madarakani kwa muda mrefu na kutotaka kupingwa wakizungumza na gazeti hili jana na juzi dar es salaam wasomi waliobobea katika taaluma ya sayansi ya siasa na wananchi wa kawaida wamesema kuwa mwenendo UNK na vyama vya siasa UNK wapiga kura wengi ahueni kwa UNK kuwa mbadala wa ccm profesa amon chaligha mhadhiri mwandamizi katika chuo kikuu cha dar es salaam alisema kuwa takribani vyama vyote nchini vimeshindwa kuitetea demokrasia kinyume na jinsi vinavyoonekana kupiga kelele katika ngazi ya taifa au chama tawala huku akitoa mifano inayoonesha kuminywa kwa demokrasia ndani ya vyama hivyo profesa chaligha alisema kuwa vyama vya upinzani vinapaswa kuonesha utofauti na chama kilichopo madarakani hasa kwa UNK demokrasia ili waweze kuaminika mbele ya wapiga kura demokrasia katika vyama vya siasa hasa vile vya upinzani ambavyo watu UNK kama mbadala wa ccm bado UNK kwa kiasi fulani vyama hivyo UNK mpiga kura ahueni ya UNK UNK nchi kwa kuwa UNK kwa ccm profesa chaligha ambaye pia ni mtafiti wa mambo ya demokrasia katika mpango wa utafiti na elimu ya demokrasia nchini aliongeza kwa kutoa mifano kuwa kwa sababu ya kuminywa kwa demokrasia ndani ya vyama hivyo wanachama wake wamekuwa wakikosa uhuru na hivyo wengine kuhama au kuamua kukaa kimya na kufuata kile kinachoweza kuitwa mdundo wa ngoma alisema kuwa tafiti mbalimbali zinazofanyika UNK kwa uwazi nafasi ya vyama vya upinzani kushika madaraka bali wananchi wamekuwa wakionekana UNK kwa kutoa changamoto kwa ccm lakini UNK kushika madaraka alishangazwa na wapinzani kufurahia tafiti mbalimbali ambazo zinaonesha kuwa asilimia kubwa ya wabunge wa ccm wataondoka madarakani wakati huo huo wakiwa hawajui kama nafasi hizo zitachukuliwa na wabunge wa upinzani au UNK na wana ccm wengine wananchi wameshuhudia akina tambwe hizza wilfred lwakatare wakikimbia cuf kwa sababu ya mizengwe mizengwe huko chadema tumewaona akina UNK hata hiyo ya zitto demokrasia UNK kwa kuzuia wanachama kutoa uamuzi kwa njia ya mchakato wa uchaguzi hakika hapo wamerudi kinyume UNK tlp iko taabani huko nako akina mtungirehi na mwenzake wameonekana wabaya kwa sababu tu UNK mwenyekiti katika uchaguzi nccr inadidimia udp hakina utaifa ni cha kikanda zaidi ingawa siyo kosa kisheria cuf hakijawa na demokrasia ya kuridhisha vingine ndio kabisa UNK kusikika wakati wa uchaguzi alisema profesa chaligha ambaye pia ni UNK tume ya uchaguzi tanzania kwa upande wake mkufunzi mwandamizi mwingine wa UNK daktari benson bana alisema kama vyama vya upinzani UNK kwa kuendesha mambo yake kwa kufuata misingi ya demokrasia na kuweka sera mbadala zenye kutokana na tafiti watanzania watakuwa na upinzani dhaifu kwa muda mrefu ujao alisema hali hiyo inatokana na vyama hivyo kutengeneza ilani bila bila ya kuwa na taarifa za kitaalamu ili kutoa majibu ya kero za wananchi kwa njia UNK kuwa wako tayari kuchukua madaraka ya kuongoza nchi daktari bana ambaye pia ni mkuu wa idara ya sayansi ya siasa na utawala wa jamii chuoni hapo aliongeza kuwa vyama vingi vya siasa ukiachilia ccm kwa kiasi kidogo havina hazina ya kupata viongozi walioandaliwa vyema ndani ya chama kwani wanaojitokeza hawapewi fursa ya UNK kwenda juu safari nyingine kusitishwa leo yalalamikia wafanyakazi kwa kutojituma hujuma za miundombinu UNK kampuni ya reli tanzania imetoa ufafanuzi uliosababisha ifikie uamuzi wa kusitisha baadhi ya huduma zake kuanzia septemba kumi mwaka huu na kutahadharisha kuwa huenda ikalazimika kupunguza huduma za safari za abiria kufuatana na hali UNK taarifa iliyotolewa kwenye vyombo vya habari dar es salaam jana na kusainiwa na mkurugenzi mtendaji bwana hundi chaudhary ilieleza kuwa moja ya sababu hizo ni mabehewa UNK kuchelewa kufanyiwa ukarabati mkubwa kutokana na kukosa vipuri trl inashindwa kununua vipuri hivyo kwa kukosa fedha kwa vile imeshindwa kukopeshwa kutokana na kutokuwa katika hali nzuri ya kifedha ilieleza taarifa hiyo na kuongeza kuwa mabehewa saba kati ya hayo imebidi UNK kutoa huduma kwa sababu ya kiusalama aliongeza kuwa ukiongeza mabehewa yaliyotajwa mabehewa mengine sita ya trl imebidi yasimamishwe kutoa huduma kwa vile yameharibika sana kutokana na ajali ya treni ya abiria iliyotokea kati ya stesheni za mazimbu na mkata agosti nane mwaka huu ambapo inatuhumiwa kufanyika hujuma katika njia ya reli taarifa hiyo ya bwana chaudhary ilieleza kuwa kutokana na kutolipwa ada ya ukodishwaji inayofikia dola za kimarekani milioni kumi arobaini na mbili rites UNK barua trl ikiitaka kulipa malimbikizo hayo ya ada au kusimamisha matumizi ya vichwa ishirini na tano vya treni na pia matumizi ya mabehewa ishirini na tatu ya daraja la tatu kulala kupitia kwenye taarifa yake hiyo bwana chaudhary alieleza kuwa wafanyakazi hawajitumi vya kutosha ikiwa ni pamoja na kutunza nyenzo za kazi hali ambayo inahatarisha usalama wa abiria licha ya UNK kuhusu tabia hiyo mara nyingi kutokana na hali hiyo trl imeamua kuchukua hatua ya kusimamisha treni ya kila wiki ya express inayotumia mabehewa daraja la tatu kulala kwenda kigoma kuanzia septemba kumi ishirini sifuri tisa alisema bwana UNK alitua nyingine aliitaja kuwa ni kusimamisha huduma ya treni ya abiria kwenda kigoma kila jumapili kuanzia leo UNK kumi na tatu ishirini sifuri tisa na kusimamisha huduma ya abiria kutoka dodoma kwenda singida kuanzia septemba kumi mwaka huu wakati trl ikitoa ufafanuzi wa kusitisha huduma zake hali ndani ya shirika bado ni tete kutokana na habari zilizopatikana kueleza kuwa huduma za treni zitakazokuwa zikiendelea ni za jumanne na ijumaa akizungumza na majira dar es salaam jana mkuu wa kituo cha reli kitengo cha usafirishaji bwana francis bendera alisema ili kuwaondolea abiria usumbufu wamelazimika kutumia injini na mabehewa yaliyokuwa ya kampuni ya reli tanzania kusafirisha abiria na mizigo treni itakayoingia kesho kutoka mwanza ambayo iliondoka baada ya mgomo kumalizika UNK tena na ile inayotakiwa kuondoka dar es salaam kesho ilisimamishwa kigoma hivyo tumelazimika kusitisha safari na kurudisha nauli kwa wale wanaotaka au kubadilisha tiketi na kusubiria jumanne alisema gazeti hili lilifika kwa ofisa mahusiano wa trl bwana UNK maez kujua safari za treni UNK lakini hakutoa ushirikiano badala yake alianza kuwa mkali umefuata nini hapa kwanza unajua leo ni siku gani wewe UNK kwenda wapi mimi siyo mwajiriwa wa rites pigeni simu india mkawaulize naomba UNK toka nje au UNK walinzi UNK hapa alifoka bwana UNK wakati huo huo vikao vilivyokuwa vikiendelea katika wizara ya miundombinu takribani siku tano mfululizo vikihusisha viongozi kutoka trawu rahco na menejimenti ya rites chini ya waziri daktari shukuru kawambwa UNK bila muafaka kupatikana akizungumza na majira kwa njia ya simu dar es salaam jana msemaji wa wizara ya miundombinu bwana martin ntemo alisema kuwa vikao UNK kutatua matatizo ya trl UNK juzi ambapo kila mmoja anashikilia msimamo wake hasa rites kwa kuanza kusimamisha injini na mabehewa yao mkuu wa wilaya UNK ffu wakaa chonjo jwtz UNK yasema jeshi sio katili wakati kampeni ya kuwaondoa wananchi walioweka makazi katika eneo la loliondo lililoko katika hifadhi ya ngorongoro ikiendelea baadhi ya wananchi waishio katika eneo hilo jana walivamia lango la ikulu jijini dar es salaam wakitaka kuonana na rais jakaya kikwete kuhusiana na mgogoro huo akizungumzia suala hilo msemaji wa wakazi hao waliobomolewa majengo yao bibi paulina UNK alisema kuwa waliamua kwenda ikulu kupata tamko kutoka kwa rais mwenyewe kwa kuwa hawana mahali pa kuishi kutokana na makazi yao kubomolewa nia yetu kubwa ya kuja hapa ni kuonana na rais kwa sababu sisi ni wapiga kura wake halali UNK kwa kura zote na tunasikitishwa na kitendo cha kuondolewa bila hata UNK zozote alilalamika hata hivyo baada ya mkuu wa wilaya ya ilala bwana evans balama kuwasili maeneo ya ikulu na kuzungumza nao waliamua kuondoka na kuazimia kwamba endapo tatizo lao halitapatiwa ufumbuzi atarudi tena na safari hii watalala katika lango kuu la ikulu bwana balama aliwashukuru kwa kuwa waelewa na kuwajibu kwamba rais asingeweza kuonana nao kwa vile alikuwa kwenye kikao muhimu hata nikiwaambia njooni kesho sina uhakika kama UNK nae alisema hata hivyo mkuu huyo wa wilaya alikabidhiwa tamko la wakazi hao ili UNK kwa rais jakaya kikwete mwenyewe kamanda wa kanda maalum ya dar es salaam suleiman kova na askari wa kikosi cha kutuliza ghasia walifika katika eneo hilo ingawa hawakuchukua hatua yoyote baada ya mkuu wa wilaya kuwatuliza wananchi hao naye gloria mhiliwa anaripoti kuwa waziri wa maliasili na utalii bibi shamsa mwangunga amezungumzia mgogoro uliopo loliondo wilayani ngorongoro kufuatia serikali kuendesha operesheni ya kuwaondoa wafugaji waliojenga kwenye kitalu cha uwindaji na kusema kuwa operesheni hiyo ilifanyika kwa maslah ya taifa waziri mwangunga aliyasema hayo jana ngorongoro muda mfupi baada ya makabidhiano ya mradi wa asasi ya UNK kwa baraza la wafugaji wa ngorongoro pamoja na halmashauri ya wilaya ya ngorongoro ambapo alisema kuwa operesheni ya kuwaondoa wafugaji hao ilifanyika kwa utulivu isipokuwa baadhi ya taasisi zisizokuwa za kiserikali ambazo zimekuwa zikitumia baadhi ya vyombo vya habari kupotosha kweli kwa maslah yao na taasisi zao alisema kuwa eneo la loliondo ni pori tengefu ambalo UNK serikali fedha nyingi sana na wananchi wa eneo hilo kupitia makubaliano yao na mwekezaji wa kampuni ya uwindaji ya UNK business company ambapo kwa mwaka serikali inapata milioni hamsini sifuri na wananchi wa vijiji nane vinavyopakana na eneo hilo la obc hupewa kila mwaka shilingi milioni thebathini sifuri kupitia makubaliano yao alisema serikali haiwezi kukaa kimya kuona uharibifu wa mazingira UNK loliondo kwa kuwaacha watu wakate miti ya kujenga maboma pamoja na kuendeleza shughuli za kilimo alisema kuwa wananchi wa vijiji hivyo hususani katika eneo la pembezoni na eneo la uwindaji waliruhusiwa kupeleka mifugo kwa ajili ya malisho lakini siyo kujenga maboma ambapo hukata miti mara kwa mara ama kulima na kwamba kufanya hivyo ni kuharibu mazingira ambayo yatasababisha kutoweka kwa wanyamapori alisema kuwa bila ya pori la loliondo hifadhi ya taifa ya serengeti UNK kwa kuwa maji yote ya hifadhi hiyo kama mto grumeti vyanzo vyake vipo kwenye msitu wa loliondo pia ni mapito ya wanyamapori kutoka ngorongoro serengeti kwenda masai mara nchini kenya pia ni chanzo cha maji cha loliondo yenyewe alisema kuwa uharibifu wa mazingira kwenye eneo hilo la msitu ulianza taratibu kuanzia mwaka ishirini sifuri sita na ndipo serikali ilipoamua kuanzisha operesheni hiyo julai nne ya mwaka huu ambapo viongozi wa vijiji walishirikishwa inagawa waziri mwangunga alikiri kuwa kulikuwa na mapungufu kidogo katika kuwashirikisha wananchi japokuwa ni mapungufu madogo sana mimi mwenyewe nimekwenda loliondo mara nyingi tangu mgogoro huo uanze lakini UNK aliyebakwa wala UNK chakula chake kama nilivyosema hapo awali baadhi ya taasisi ndizo UNK wananchi zinawapa nauli kwenda dar na kuwaeleza mambo ya kuzungumza kwa nini wawaeleze vitu vya kuzungumza hapa kuna maslahi binafsi inatakiwa UNK alisema mwangunga wakati huo huo jeshi la ulinzi la wananchi limetoa tahadhari kuwataka wananchi wa kata ya UNK arusha kutoandamana kwenda ikulu kwa kuwa mgogoro huo ulikuwa UNK ufumbuzi akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya jeshi hilo jana mnadhimu mkuu wa jwtz luteni kanali abraham shimbo alisema waziri wa ulinzi na jkt daktari hussein mwinyi na mkuu wa majeshi jenerali davis mwamunyange wametoa maelekezo ya muafaka wa kumaliza mgogoro huo alisema jeshi hilo haliwezi kuwa katili kwa wananchi wake UNK japokuwa hukalia ardhi hiyo kwa mujibu wa sheria sawa na taasisi nyingine kulingana na sheria ya ulinzi wa taifa ya mwaka ishirini sifuri mbili alisema ardhi inayomilikiwa na jeshi hutumika kuweka kambi zana za ulinzi mafunzo mazoezi shule maghala karakana hospitali viwanda viwanja vya ndege viwanja vya shabaha mafunzo ya zana mafunzo ya vikosi maalum na mashamba ya UNK na maghala yote ni salama UNK mali alisema baadhi ya wananchi wamekuwa UNK ardhi ya jeshi UNK eneo la wazi au msitu bila kujua eneo hilo limetengwa kwa kazi hizo luteni kanali shimbo alisema wananchi ndiyo wanaofuata huduma katika kambi za jeshi lakini badala yake wamekuwa wakali kuondoka wanapotakiwa kufanya hivyo kupisha kazi nyingine aliwashauri wananchi wanaofuata huduma katika kambi za jwtz kuanza ujenzi baada ya kupata ridhaa ya manispaa zinazohusika na wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi kamati kuu ya ccm imeridhia utaratibu aliotumia rais jakaya kikwete wa kuwapa fursa wananchi kuhoji serikali yake kwa kumuuliza maswali ya papo kwa papo kwa kuwa unafaa licha ya kupingwa na wanasiasa UNK na gazeti hili dar es salaam jana katibu wa itikadi na uenezi wa halimashauri kuu ya taifa ya ccm bwana john chiligati alisema cc imeona utaratibu huo unafaa kwa sababu UNK rais kujua matatizo ya wananchi moja kwa moja kikao kimeona utaratibu huo unafaa na UNK wanasiasa uchwara UNK mfumo huo na kwa kauli moja wamekubaliana na wao UNK rais aendelee kutumia mfumo huo katika siku za usoni alisema bwana chiligati alisema mfumo huo ni mzuri na wa kihistoria kwani haujawahi kutokea tangu nchi hii ipate uhuru kwa kuwa UNK wananchi wengi kwa wakati na haraka zaidi na kwa kujua kero zao UNK watakuwa wakizitoa papo hapo na kujibiwa alibainisha kuwa cc ilijadili mfumo ulitumiwa na rais kikwete ambapo kikao hicho UNK kuwa unafaa na uendelee UNK licha ya kupingwa na wanasiasa wa vyama vya upinzani bwana chiligati alisema tafiti UNK kwa muda mfupi umebaini kuwa mfumo huo unapendwa zaidi na wanachi wa hali ya chini kuliko aliokuwa akitumia awali wakati huo huo kikao hicho kimeweka mikakati ya kuhakikisha ccm inashinda viti vyote katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika oktoba ishirini na tano mwaka huu wabunge wa bunge wa kenya wamefurahishwa na taratibu za manunuzi zinazotumika nchini na kuwezesha vifaa UNK na serikali kupatikana kwa wakati tofauti na nchini mwao ziara ya wabunge hao sita nchini iliyomalizika mwishoni mwa wiki ilikuwa ni utekelezaji wa ahadi ya rais mwai kibaki ya kuwatuma nchini wabunge wa nchi hiyo kuja kujifunza jinsi tanzania UNK taratibu za manunuzi akizungumza kwa niaba ya wabunge UNK mbunge wa jimbo la UNK kati bwana devid UNK ekwee alisema wameridhishwa na utaratibu mzima unaotumiwa na tanzania kuagiza vivuko kutoka nje na jinsi wataalam wazalendo wanavyoweza kuviunganisha kwa muda mfupi alisema serikali ya kenya imekuwa ikisubiri kwa muda wa miaka saba kupata kivuko chenye ukubwa wa tani hamsini sifuri bila mafanikio wakati tanzania iliweza kukinunua kwa muda wa miaka miwili bwana ekwee alisema kutokana na rais mwai kibaki kuvutiwa na utaratibu unaotumiwa na tanzania aliamua kuwatuma waje nchini kujifunza mwenendo mzima wa manunuzi ili baadaye waweze kutuma wahandisi wao kupata uzoefu akizungumza na wabunge hao mkurugenzi wa huduma za ufundi wizara ya miundombinu bwana john ndunguru alisema kivuko cha mv magogoni kimenunuliwa na serikali kutokana na bajeti yake ya mwaka ishirini sifuri sita ishirini sifuri saba ambapo mkataba wa ujenzi wa kivuko hicho ulisainiwa octoba ishirini sifuri sita na ujenzi kuanza novemba ishirini sifuri saba alisema kivuko hicho UNK na watanzania kulingana na viwango vya kimataifa vinavyosimamia vyombo vya baharini kivuko hicho kina urefu wa mita sabini na nne moja upana wa mita kumi na saba arobaini na nne kimefungwa injini nne mpya zenye arobaini sifuri hp kila moja aina ya UNK r mitambo ya uendeshaji aina ya UNK UNK jet mawasiliano life UNK UNK na vifaa vya kisasa kuongoza UNK wakati kukiwa na tetesi kuwa waziri mkuu aliyejiuzulu bwana edward lowassa anaweza kugombea kiti cha urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi katika uchaguzi mkuu ujao mwanasiasa huyo ameweka bayana kwamba hataki kuzungumza jambo lolote na waandishi wa habari bwana lowassa aliweka msimamo huo alipozungumza na gazeti hili kwa njia ya simu alipotakiwa kutoa maoni yake kuhusu tetesi hizo alipopigiwa simu na gazeti hili bwana lowassa kama kawaida yake alitoa ushirikiano mzuri mwanzoni mwa mazungumzo lakini UNK kuwa anazungumza na mwandishi kutoka chumba cha habari gazeti la majira kabla ya kuelezwa kilichokusudiwa alisema nimeshasema sitaki kuongea na waandishi wa habari kuhusu jambo lolote lile hapa nchini i won t give my comment on UNK baada ya kutoa kauli hiyo bwana lowassa alikata simu yake kabla ya kuelezwa chochote zaidi gazeti hili lilimtafuta bwana lowassa ili kujua ukweli kuhusu tetesi kuwa ana mpango wa kugombea urais mwaka ishirini moja sifuri pamoja na kuwepo na taarifa hizo katika vyombo vya habari mara kwa mara bwana lowassa amekuwa kimya hali inayowafanya wananchi wengi kuwa na kiu ya kutaka kujua msimamo wake bwana lowassa ambaye bado anakumbukwa kwa ujasiri wake katika baadhi ya masuala kama vile kuvunja mkataba mbovu wa city water na ufuatiliaji wa maamuzi mbalimbali ya serikali na yale aliyokuwa UNK na wakubwa wake bila kuchoka alijiuzulu wadhifa wake uwaziri mkuu februari mwaka jana baada ya kuwajibika kutokana na yaliyojitokeza katika mkataba tata wa richmond tangu wakati huo bwana lowassa amekuwa kimya kiasi cha kufikia hatua watu kutoa tafsiri mbalimbali na kuwakanganya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wengine wamekuwa wakiona ukimya huo kama moja ya mikakati mkali kuhakikisha anarudi katika chati ya juu kisiasa na wengine wakidhani ni hatua muhimu ya kutotaka kujiingiza kwenye malumbano ya kisiasa wengine wamekuwa wakikosoa kitendo hicho cha kukaa kimya katika masuala mengi ya kitaifa ambayo kama mtu mwenye ushawishi wa kisiasa na kijamii alipaswa kusikika UNK maoni hivi karibuni gazeti hili lilimtafuta bwana lowassa ili atoe maoni yake kuhusu utekelezaji wa mapendekezo ya richmond yaliyowasilishwa bungeni na serikali ambapo kama ilivyokuwa jana alikataa kutoa maoni yake ni wapambanaji wa vita dhidi ya ufisadi yasema wanabebwa mabegani na mafisadi yadai UNK iwapo UNK wenyewe chama cha mapinduzi mkoa wa dar es salaam kimewataka wabunge wake UNK kupambana na ufisadi kuacha kubebwa mabegani na mafisadi vinginevyo jamii UNK kombora hilo dhidi ya wabunge UNK lilitolewa juzi na katibu wa ccm mkoa wa dar es salaam bwana UNK nggenda wakati akifungua semina ya viongozi wa mashina na matawi katika kata ya ukonga unakuta hawa wapambanaji wanapambana na ufisadi lakini ukiwaangalia nao wamebebwa mabegani na mafisadi kwa kulipwa posho na vitu vingine hii inaondoa maana halisi ya wao kupambana na ufisadi alisema bwana nggenda na kuongeza ili UNK maana wanatakiwa wasimame wenyewe wapambane ndipo itakuwa na maana kwa kuwa chama chetu UNK mafisadi alisema bwana UNK kuna kundi la wabunge wa ccm ambao wanasema watapambana na mafisadi kufa na kupona ndani ya chama sisi tunasema kuwa vita ya ufisadi ni kubwa ambayo inatakiwa kupambana na wana ccm pamoja na wananchi wengine kwa ujumla na sio kikundi cha watu alisema na kuongeza kuwa alibainisha kuwa hata mjadala ulioendeshwa kwenye mkutano wa halmashauri kuu ya ccm haukuwa na lengo la kuwaziba midomo wabunge wa ccm kama ambavyo imekuwa ikidaiwa na baadhi ya watu wabunge waendelee UNK mambo mbalimbali wananchi wana matatizo makubwa ambayo wanatakiwa kuyajadili lakini mijadala yote hiyo izingatie maslahi ya ccm na serikali yake hivyo hakuna UNK mdomo alisema alisema kuwa baadhi ya watu wamekuwa UNK hoja za ccm na kuzifanya kuwa za malumbano bila hata ya ccm yenyewe UNK alisema mwenendo huo unatia shaka kwa siku za karibuni baadhi ya wabunge wa ccm wamekuwa mstari wa mbele kupiga vita vitendo vya ufisadi ndani na nje ya bunge kiasi cha kuibua mjadala miongoni mwa wana ccm wenyewe tayari baadhi ya wabunge hao wameapa kuendeleza mapambano dhidi ya mafisadi hata kama UNK maisha katika mkutano wa kumi na sita wa bunge la jamhuri ya muungano spika wa bunge bwana samuel sitta aliiomba serikali UNK ulinzi kutokana na kutishia usalama wake na mafisadi wabunge wengine wa ccm ambao wamekuwa mstari wa mbele kupita vita ufisadi na majimbo yao kwenye UNK ni bwana jemes lembeli fred mpendazoe daktari harrison mwakyembe christopher ole sendeka na lucas selelii na zamzam abdul mwenyekiti wa democratic party mchungaji christopher mtikila amewapa wiki mbili viongozi wa serikali wanaoipinga taasisi ya upatu ya deci kuacha mara moja kuifuatilia na kushauri watafute shughuli nyingine za kufanya akihutubia mkutano wa hadhara kwenye viwanja wa jangwani dar es salaam jana mchungaji mtikila alidai anawashangaa viongozi wanaoacha kufanya shughuli zao na kufuatilia mbegu UNK wananchi wa tanzania nataka niwaambie viongozi pamoja na wanachama wa deci wasiwe na wasiwasi kwani dp iko nao pamoja katika kuwatetea japokuwa waliniambia UNK mkutano wangu jangwani kwani UNK matatizo na kuonekana nafanya siasa mimi UNK mpaka mwisho kwa sababu wamekuwa wakifanya kazi nzuri sana alidai mchungaji huyo wa kanisa la UNK kamili alidai anawashangaa viongozi wa benki kuu ya tanzania kusema deci haijasajiliwa wakati viongozi hao na wa deci wamekuwa UNK tangu zamani sasa leo UNK wenzao na kusema hawaitambui taasisi hiyo kwani UNK tunasema mpango wa kuifungia mbegu yenye faida UNK akilini kabisa hao wanaoipinga deci kama wanatafuta fedha kijanja wakatafute kwa njia nyingine lakini sio njia hiyo ya kuifungia alidai bwana mtikila katika mkutano huo ambao hata hivyo UNK na wana deci wengi kama ilivyotarajiwa alisema wataendelea kuitetea deci kwa gharama yoyote ile kama walivyofanya mkutano huo wa jangwani bila gharama japokuwa wenyewe wana deci wanapigwa vita amewetaka wanachama wa deci waendelee kupanda na kuvuna wala wasiwe na wasiwasi wasiogope mtu yeyote kwani wajue huduma hiyo UNK na wakumbuke watashinda tu kwa ushindi wa yesu wakati serikali ikisisitiza nia yake ya kupinga hukumu UNK huru aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana abdallah zombe na wenzake kitabu kinachoelezea mwendendo wa kesi hiyo kimetungwa na UNK katika maeneo mbalimbali nchini bwana zombe na wenzake walikuwa wakikabiliwa na mashitaka ya mauaji ya wafanyabiashara watatu wa madini na dereva teksi mmoja mwaka ishirini sifuri sita mwandishi wa kitabu hicho bwana charles mullinda alisema kitabu hicho kinaelezea matukio muhimu tangu kutokea kwa mauaji hayo uchunguzi wake kukamatwa kwa polisi waliodaiwa kuhusika na mauaji hayo mwenendo wa kesi hadi kutolewa kwa hukumu hiyo kitabu hiki kinaitwa kesi ya zombe UNK na usiyoyajua tayari kimeanza kusambazwa sehemu mbalimbali nchini anasema anasema pamoja na kitabu hicho kuwa na mambo mengi ya msingi tetesi zilizopo ni juu ya kitabu hicho kununuliwa kwa wingi na kundi la watu ambao UNK kwa sababu UNK bwana mullinda alisema kuwa aliamua kuandika kitabu hicho kutokana na mvuto wa kipekee wa kesi hiyo ambayo ilikuwa UNK kwa karibu na watanzania wengi aliongeza kuwa lengo la kuandika kitabu hicho ni kuweka kumbukumbu ya kudumu ya tukio hilo la kihistoria katika nchi na kuwawezesha watu waliokosa nafasi ya kufuatilia kesi hiyo kujua mwenendo wake kitabu hiki kinazungumzia mambo ya kawaida yaliyotokea katika kesi hiyo lakini UNK na taarifa nilizopata kuwa kinanunuliwa kwa wingi na kundi la watu ambalo mimi UNK na UNK ili kisiweze kusomwa na watu mbalimbali alisema kampuni ya mafuta ya gapco imezindua kampeni ya kuelimisha wateja ya uhalisi wa kuaminika kupitia misingi ya usafi na uaminifu ili kupambana na uchakachuaji mafuta ofisa mkuu wa operesheni wa gapco bwana godfrey UNK alisema jana dar es salaam kuwa kampeni hiyo ambayo imezinduliwa katika vituo kumi na tisa vya mafuta katika jiji la dar es salaam inalenga kuwaelimisha wateja kujua mafuta halisi na feki alisema kutokana na huduma bora zitolewazo na gapco imetoa mafunzo kwa wafanyakazi wake jinsi ya kutumia pampu za kujaza mafuta kwa uaminifu na kuwapa wateja mafuta bora kwa magari yao awali mwenyekiti wa wafanyabiashara wa mafuta nchini bwana george UNK alisema serikali inapaswa kuwachukulia hatua kali wafanyabiashara wanaouza mafuta kiholela na kuhatarisha maisha ya wananchi ambao wanaweza kuteketea kwa moto na kuleta maafa makubwa endapo kutatokea mlipuko alisema kutokana mafuta hayo kuuzwa holela mitaani kwenye madumu na mapipa imefika wakati serikali iwachukulie hatua kali watu wanaokwenda kuuza mafuta hayo stendi ya mabasi ya mikoani ubungo na sehemu nyingine za kurasini na temeke naye waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja alisema serikali imekuwa ikipambana na wafanyabiashara wasio waaminifu wanaochakachua mafuta na kuharibu sifa ya tanzania alisema kutokana na mapambano hayo gapco imeonesha nia ya kusaidia serikali ambayo inajali na kuthamini mchango wa sekta binafsi nchini alisema dawa ya wafanyabiashara wanaochakachua mafuta inakuja baada ya ewura na wafanyabiashara wa sekta hiyo kubuni njia ya kumaliza tatizo hilo serikali imesema inachunguza kwa kina kubaini endapo haki za binadamu zilikiukwa wakati wa operesheni ya kuhamisha wafugaji wa pori tengefu la loliondo mkoani arusha na endapo itabainika hatua kali za kisheria zitachukuliwa akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana waziri wa maliasili na utalii bibi shamsa mangunga alisema kwa sasa hawajafahamu kwa kina kama kuna haki za binadamu zilikiukwa au la mpaka hapo watakapofanya uchunguzi serikali imeamua kulifanyia uchunguzi suala hilo na endapo ikibainika kuwa haki za binadamu zilikiukwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa ili iwe fundisho kwa wengine alisema bibi mangunga alisema kama ikibainika kuwa kuna taasisi zozote za misaada au kuna mkono wa mtu kwa namna moja au nyingine UNK na uchochezi wakati wa operesheni hiyo ikifanyika serikali itachukua hatua kali za kisheria bibi mangunga alisema inashangaza kuona kuna taasisi zaidi ya thebathini ambazo zipo loliondo hivyo amehoji kuna kitu gani ambacho kinafanyika huko kiasi kwamba taasisi zote UNK huko kuna baadhi ya taasisi UNK na waandishi wa habari na kuupotosha umma kuwa katika operesheni hiyo kuna wanawake walibakwa mifugo kuchomwa moto na nyumba hivyo nikafunga safari mpaka huko na kuzungumza na wananchi kuhusiana na matukio hayo lakini wananchi wa huko walikana kutokea kwa vitendo hivyo alisema chama cha walemavu tanzania UNK utaratibu mpya uliotumiwa na rais jakaya kikwete kujibu maswali ya papo kwa moja na wananchi kwa njia ya redio na televisheni kwamba haukuzingatia mahitaji ya makundi maalum akizungumza dar es salaam jana mwenyekiti wa chawata bibi shida salum alisema mazungumzo ya rais hayakuzingatia mahitaji ya walemavu wa kusikia alisema kukosekana mkalimani wa lugha za ishara UNK walemavu hao haki ya kupata habari hivyo kushindwa kushiriki katika kuuliza maswali tumepeleka malalamiko kwenye kamati ya maendeleo ya jamii na hatuelewi kwa nini walemavu wasiosikia hawapewi nafasi ya kujua kinachoendelea katika nchi yao alisema alisema ni vyema serikali na vyombo vya habari UNK mtazamo na kuwafikiria walemavu wasiosikia kwa kuweka wakalimani wa lugha za ishara kwani nao wana haki ya kupata habari kama wananchi wengine aidha bibi shida alikemea tabia ya baadhi ya watu kutaka kujipatia umaarufu kupitia walemavu kwa kutangaza kutoa misaada feki kauli hiyo imetokana na kuwepo taarifa mmoja wa viongozi wa umoja wa vijana wa ccm mkoani tabora kusaidia kuwasomesha walemavu wa viungo kumi sifuri wilayani nzega kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne uchunguzi UNK kupitia ofisi zetu umebaini kuwa watoto wenye ulemavu wa viungo katika wilaya hiyo hawafiki idadi hiyo iliyotajwa alisema wakati huo huo mwenyekiti wa kamati ya usalama barabarani kwa watu wenye ulemavu bwana UNK kabatele alisema chawata inatarajia kuzindua kitabu cha alama za usalama barabarani kwa walemavu katika wiki ya nenda kwa usalama mkoani mbeya bwana kabatele alisema lengo la uzinduzi wa kitabu hicho ni kuwalinda walemavu wa viungo macho ngozi na akili kwa kuwatengenezea mazingira rafiki wanapotumia vyombo vya moto aliongeza kuwa vyombo vya moto vya wenye ulemavu hao UNK kwa namba za pekee ambazo zitawatambulisha wawapo barabarani bwana kabatele ambaye ni mbunifu wa kwanza wa alama za usalama barabarani kwa watu wenye ulemevu aliongeza kuwa alama hizo hazilengi kutengua alama za awali bali ni nyongeza ya alama zilizopo shirika la umeme tanzania limetangaza magawo wa umeme kwa kipindi UNK kwa mikoa sita ya tanzania bara kutokana na kuzidiwa kwa gridi ya taifa taarifa iliyotolewa dar es salaam jana na ofisi ya mawasiliano makao makuu ya tanesco imetaja mikoa hiyo kuwa ni mwanza shinyanga arusha kilimanjaro tabora na dodoma wakati tatizo hilo likiendelea jitihada mbalimbali zinafanywa na uongozi wa shirika hilo kuhakikisha huduma ya umeme inarudi katika hali ya kawaida mgawo huo utahusisha vitongoji tofauti katika maeneo yote ambayo yatahusika na mgawo mkoa wa mwanza umeme utakatika kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa nne usiku katika maeneo mengine ya mkoa huo umeme utakatika kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa kumi na mbili jioni mkoani dodoma umeme utakatika kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa nne usiku kwa kuhusisha vitongoji mbalimbali kama ilivyo kwa mikoa mingine ya shinyanga na kilimanjaro shirika hilo limesema taarifa kamili ya mgawo kwa mikoa ya tabora na arusha itatangazwa baadaye na kuwaomba radhi kwa usumbufu wote UNK na mgawo huo UNK shitaka la mauaji hatimaye mchungaji denis lawrence mlanzi anayedaiwa kuua mkewe kwa kumchoma moto akiwa usingizini amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya temeke akikabiliwa na mashitaka ya mauaji mchungaji huyo alifikishwa jana mahakamani hapo na kusomewa mashitaka na mrakibu wa polisi bwana basil pandisha mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo bibi hellen UNK akisomewa mashitaka yake alidaiwa kuwa septemba sita mwaka huu saa kumi na moja alfajiri katika maeneo ya yombo vituka malawi dar es salaam alimuua mkewe bibi rosemary UNK katika mashitaka hayo mshitakiwa huyo hakutakiwa kujibu chochote kutokana na mahakama hiyo kutokuwa na uwezo wa kusikiliza kesi za mauaji upande wa mashitaka ulieleza kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika hivyo itatajwa tena septemba ishirini na nane mwaka huu wakati akitoka mahakamani mchungaji huyo aliwashangaza watu waliokuwa mahakamani hapo baada ya kuinua mikono yake juu kama ishara ya kumwomba mwenyezi mungu watu waliokuwa mahakamani hapo walikuwa wakizungumzia tukio hilo kwa masikitiko huku UNK mchungaji huyo marehemu rosemary alikufa kutokana na moto uliozuka ghafla kwenye chumba alimokuwa amelala mshitakiwa anatuhumiwa kusababisha moto huo kutokana na ugomvi waliokuwa nao kwa muda mrefu na mke wake utata wa kifo hicho uliibuka baada ya mchungaji huyo kudai kuwa wakati tukio hilo likitokea alikuwa sebuleni akiandaa somo la biblia kwa kutumia kompyuta kwa ajili ya waumini wake kutokana na maelezo hayo ambayo yaliibua utata mkubwa wazazi na ndugu wa marehemu walikuja juu kiasi cha kususa kufanya matanga na ndugu wa mshitakiwa hivi karibuni kamanda wa polisi mkoa wa temeke bwana liberatus sabasi alikaririwa akisema mchungaji huyo alidai kuwa wakati akiandaa somo ghafla alisikia kelele za kuomba msaada kutoka kwa mkewe aliyekuwa amelala ndani na baada ya kufungua mlango alitoka na kuanguka sebuleni hapo marehemu alizikwa ijumaa iliyopita kwa wazazi wake katika kijiji cha UNK wilaya ya bukoba vijijini mkoani kagera mume wa aliyekuwa mbunge wa viti maalum kwa tiketi ya chama cha mapinduzi kupitia umoja wa vijana marehemu amina chifupa bwana mohamed mpakanjia maarufu kama meddy mpakanjia amefariki dunia ndugu wa karibu wa marehemu kwa sharti la kutotajwa jina gazeti alithibitisha kutokea kifo hicho na kueleza kuwa marehemu mpakanjia alifariki jana saa tisa alasiri katika hospitali ya jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania lugalo dar es salaam bwana mpakanjia alilazwa hospitalini hapo kwa muda usiozidi siku tatu akisumbuliwa na ugonjwa wa homa ya mapafu hadi kifo UNK jana na anatarajiwa kuzikwa leo jana jioni mipango ya mazishi ilikuwa ikiendelea kufanywa nyumbani kwa marehemu sinza jijini dar es salaam tupo sinza nyumbani kwa marehemu tunafanya tunaendelea na mipango ya mazishi ni kweli amefariki leo katika hospitali ya lugalo alisema alisema ndugu huyo mpakanjia ambaye pia alikuwa mshauri wa zamani wa bendi ya ddc mlimani park sikinde UNK kwa mchango wake mkubwa katika fani ya burudani nchini ndoa ya mpakanjia na amina marehemu amina ilikuwa na mvuto wa aina yake hatua iliyofanya vyombo vya habari kuwafuatilia kwa karibu wanandoa hao na kuvuta hisia za jamii hadi mkewe huyo alipofariki juni ishirini na sita mwaka juu baada ya kifo cha mkewe si mara moja wala mbili taarifa za uvumi wa kifo cha bwana mpakanjia zilikuwa UNK kwa njia ya mitandao na vyombo vya habari baadaye kuthibitika kwamba hazikuwa na ukweli awali mpakanjia UNK kifo agosti mwaka ishirini sifuri saba baada ya kuugua na kulazwa katika hospitali ya lugalo na baadhi ya vyombo vya habari kuandika kwamba yuko mahututi bwana UNK ambaye pia mfanyabishara kabla ya kuwa mshauri wa sikinde aliwahi kuwa mmoja wa wakurugenzi wa bendi ya UNK sound iliyokuwa na maskani yake wilayani kinondoni na kupiga muziki wake katika mahadhi ya mduara mwenyezi mungu ailaze mahala pema peponi roho ya marehemu UNK wananchi wagoma kujiandikisha risasi za UNK ffu watumia mabomu ya machozi kutawanya wananchi watoto wajawazito wazee UNK hospitali wananchi UNK UNK vinyesi upupu kituoni wakati shughuli ya UNK daftari la kudumu la wapigakura ikiendelea zanzibar hali si shwari kisiwani pemba baada ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia na jeshi la kujenga uchumi kulazimika kurusha risasi za moto na mabomu ya machozi angani kutuliza wananchi hatua hiyo ilitokana na baadhi ya wananchi hao kugoma kwenda kujiandikisha na kupinga kile walichodai kulazimishwa kwa nguvu na askari kufanya hivyo tafrani hiyo ilisababisha watoto watano wajawazito kadhaa na wazee kukimbizwa hospitali ya wete baada kuathiriwa na moshi huo wa mabomu sakata hilo lilitokea kwenye kituo cha sizini mjini kiuyu na UNK ya UNK mkuu wa mkoa wa kaskazini pemba bwana dadi faki dadi ndiye aliyeongoza vikosi hivyo kupita nyumba kwa nyumba kutaka wananchi hao kujiandikisha malori yenye askari waliokuwa na silaha UNK mitaani na kupita kila nyumba kutaka wananchi hao kwenda kujiandikisha hata hivyo watu walioandikishwa kituo cha kambini ni hamsini na nne na kiuyu ni ishirini na nne tu maeneo mengine watu hawakujitokeza kabisa kujiandikisha wakati huo huo uandikishaji daftari hilo visiwani zanzibar limezidi kugubikwa na matukio ya utata baada ya kundi la watu wasiofahamika kuvamia kituo cha shehia ya mwange wilaya ya kaskazini a na kupaka kinyesi milango na madirisha hali hiyo ilijitokeza jana alfajiri wakati mawakala na wasimamizi walipofika kituoni hapo na kushuhudia vinyesi vya binadamu vikiwa UNK kila kona ya chumba hicho mbali na vinyesi viti vya kukalia na meza kituoni hapo zilikuwa UNK upupu hali iliyosababisha waandikishaji na mawakala UNK wakati wote shughuli hiyo ilipokuwa ikiendelea akizungumzia sakata hilo sheha wa mwange bwana makame hamis ali alisema hali hiyo imejitokeza baada ya kundi la watu kuzuiwa kujiandikisha kutokana na kutokidhi masharti kwa kukosa vitambulisho vya ukaazi shughuli iliyokamilika juzi pamoja na UNK kinyesi watu hao walikata nyaya za umeme na kusababisha uandikishaji kukwama katika eneo hilo hadi umeme UNK mara ya pili bwana ali alisema baada ya kubaini hali hiyo mawakala wa vyama walishiriki kusafisha chumba hicho na baadaye kurejea katika hali ya kawaida na uandikishaji kuendelea akizungumzia hali ya UNK mkuu wa kituo cha mwange bibi UNK abeid alisema idadi ya watu kujiandikisha imeongezeka tofauti na siku mbili za kwanza ambapo shughuli hiyo ilihusisha watu ambao hawajawahi kupigakura na ni mara yao ya kwanza kushiriki alisema hadi kufikia saa nane thebathini jumla ya watu mia moja na ishirini walikuwa wamejiandikisha tofauti na idadi ya watu saba waliojitokeza kwa siku ya kwanza na ya pili na kwamba hata hivyo anaamini kazi hiyo itakamilika na kufanyika kwa ufanisi akizungumza na waandishi wa habari mkuu wa wilaya ya kaskazini a bibi riziki juma simai alisema pamoja na dosari zilizojitokeza watu wamepata mwamko na UNK kwa wingi katika uandikishaji kwa siku ya tatu alisema kazi hiyo si ya siku moja na watu watapata uzoefu na anaamini uandikishwaji utafanikiwa kwa asilimia kubwa aidha baadhi ya wakazi ambao hawakupata fursa ya kujiandikisha kwa kile kilichodaiwa kuwa hawana sifa ya ukaazi UNK serikali kuanzisha utaratibu huo kwa madai kuwa umelenga kuwagawa wazanzibar walisema kuwa utaratibu huo hauna mantiki kutokana na aina mbili za uchaguzi unaofanyika visiwani wa kumchagua rais wa zanzibar rais wa jamhuri mbunge na mwakilishi ilhali upande wa bara unachagua rais wa jamhuri na mbunge pekee viongozi wa serikali za mitaa vijiji na kimila katika maeneo ya loliondo wilayani ngorongoro mkoa wa arusha wamepinga madai ya kundi la jamii ya wafugaji UNK ikulu dar es salaam jumamosi iliyopita wakizungumza kwa nyakati tofauti walisema madai yaliyotolewa si ya kweli na yanalenga kuvuruga amani ofisa mtendaji wa kijiji cha UNK bwana elias UNK alipongeza juhudi zilizofanywa na serikali kuwaondoa wafugaji kutoka nchi jirani ya kenya waliokuwa wamevamia maeneo ya pori tengefu la loliondo tunaishukuru serikali kwa kuwaondoa wafugaji wavamizi kutoka nchi jirani waliovamia loliondo na maelfu ya mifugo hadi kwenye maeneo ya kijiji chetu kwa kweli hali ilikuwa mbaya sana lakini sasa imerejea na kuwa ya kawaida baada ya operesheni nzuri ya kuwaondoa na hata sasa wanyama wameanza kuonekana kwa kweli tunaishukuru serikali alisema kuwa katika operesheni hiyo viongozi wa ngazi zote za kata na vijiji walihusishwa na kushiriki kwa asilimia kumi sifuri na kwamba tuhuma za ukiukwaji wa haki za binadamu UNK wakazi wa loliondo naye kiongozi wa kimila wa kabila la wamaasai UNK sumari sayi alisema asasi zisizo za kiserikali kwa sasa ni tatizo kubwa wilayani loliondo alisema badala ya asasi hizi kuleta maendeleo wilayani kwetu zenyewe zimegeuka kuwa adui namba namba moja wa maendeleo na kama hiyo haitoshi sasa wameamua kuwagawa wananchi lakini pamoja na kuwapo asasi hizi na wawekezaji wengine lakini huyu mwekezaji obc amefanya mambo ambayo mtu hahitaji kuambiwa kwa sababu yanaonekana kwa hiyo sote tunapaswa kushirikiana na kuacha chuki ili tuendelee alisema kwa upande wake mwenyekiti wa kijiji cha olorien UNK bwana UNK UNK alihoji na UNK ngos kuwa kama wanataka wawekezaji waondoke na kama wawekezaji wakiondoka sasa wao watabaki wanafanya kazi gani sisi tunanufaika kwa uwepo wa wawekezaji hasa obc ingawaje hatumsifii lakini misaada aliyoitoa inaonekana wazi na kila katika wilaya yetu mfano shule ya sekondari loliondo hospitali ya wilaya visima vya maji na kulipia ada watoto wetu kwa sisi ambao hatujiwezi ni mwekezaji muhimu kwetu sasa hii foleni ya ngo s hapa kwetu UNK nini tunataka tusikie au kuona ngo yoyote ambayo inaweza kutoka hadharani na kujivunia kutuletea maendeleo hatutaki malumbano kwenye vyombo vya habari alisema juzi waziri wa maliasili na utalii bibi shamsa mwangunga wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam alinukuliwa akisema kuwa wafugaji waliondolewa kutoka maeneo ya pori tengefu la loliondo wengi wao walikuwa kutoka nchi jirani ya kenya alisema kuwa serikali iliamua kufanya operesheni ya kuwaondoa wafugaji kutokana na kukithiri kwa uharibu wa mazingira ambao ulikuwa ukitishia uhai na uwapo wa wanyamapori mkurugenzi wa kampuni ya uchapishaji UNK printers limited bwana rashid mbuguni amewataka walimu wa kuwa mabalozi katika jamii na kuleta mapinduzi ya kitamaduni kwa njia ya utafiti kupitia shule zao akizungumza dar es salaam jana katika semina iliyohusisha walimu na kampuni hiyo bwana mbuguni alisema kwa kipindi cha miaka kumi sasa amesaidia katika kujenga uwezo wa watanzania kufanya utafiti wa mambo mbalimbali bwana mbuguni alisema lengo la utafiti ni kutafuta njia ya kuyapatia ufumbuzi matatizo UNK katika jamii lakini walimu kwa kutumia nafasi zao wana uwezo mkubwa wa kuisaidia jamii kwa njia hiyo tumieni fikra zenu kutengeneza maisha vitabu hivi mnavyotumia vimeandikwa na watu isipokuwa UNK kwa lugha rahisi ili UNK lakini maudhui ni yale yale tu alisema bwana UNK alisema wameamua kutoa nafasi kwa walimu kuwawezesha kuchapisha vitabu vya aina zote ili kuwapa uhuru wa kuandaa mada za kufundishia mashuleni ambazo zinaendana na mitaala ya elimu naye mmoja wa washiriki wa semina hiyo bwana ally UNK alisema ofa hiyo ya kuchapisha vitabu itawasaidia kwani walimu wengi wana uwezo wa kuandika vitabu lakini wanashindwa kukidhi gharama za uchapishaji semina hiyo iliyohudhuriwa na wadau mbalimbali wakiwemo centre for social change na junior UNK tanzania ina lengo la kuwawezesha walimu wa shule za sekondari UNK ya hesabu na biashara ikiwa na lengo la kukuza upeo wa kuweza kufundisha kwa vitendo ili kusaidia wanafunzi kuelewa zaidi chama cha demokrasia na maendelao kimesema hakuna wapambanaji wa vita dhidi ya ufisadi ndani ya chama cha mapinduzi kwa kuwa hawajawahi kutaja majina ya wahusika wa ufisadi kama ilivyofanywa na chama hicho septemba ishirini sifuri saba chama hicho kimesema kama kweli wapo wapinga ufisadi kwanini wasijitenge na ccm kwani wengi watuhumiwa ufisadi wanaotajwa na waliofikishwa mahakamani wanatoka katika chama hicho kauli hiyo ilitolewa jana dar es salaam na mkurugenzi wa sheria katiba na haki za binadamu chadema bwana tundu lissu alipozungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya chama hicho ikiwa ni miaka miwili tangu orodha ya mafisadi itolewe alihoji kuwa wanamgambo wanaopambana na ufisadi ndani ya ccm wanapambana na nani aliwataka kutoa orodha ya majina yao ili kuonesha jamii kuwa ni nani maadui zao kama kweli wapo vitani na wanapigana na ufisadi kwanini wasijitenge na mafisadi hawawezi kusema ccm ni nzuri ila viongozi wake ndio wabaya labda tukubali kuwa chama ni majengo na si watu alisema bwana lissu alidai kuwa safari ya kusafisha nchi bado ndefu kwa kuwa watawala wale wale wanaohusika na uchafu ndio wanaoshika madaraka mpaka sasa safari ya kusafisha serikali na mfumo wa kisiasa ni ndefu kwa sababu tatizo liko kwenye ccm ambacho ndio chimbuko la mafisadi wanaohujumu taifa alidai bwana lissu alisema kwamba nchi haiwezi kutatua tatizo la ufisadi kama haitaweza kutatua tatizo la ccm kwa kwani ndiko UNK mafisadi hatuwezi kutatua tatizo la ufisadi bila kuanza na ccm ccm ndio tatizo alisema alifafanua kuwa hilo haliwezekani kwa kuwa watuhumiwa wengi wamo katika kamati muhimu na zenye nguvu katika maamuzi bwana lissu alisema tangu chadema UNK orodha ya mafisadi waliotumia mabilioni ya fedha ndani ya nchini serikali haijachukua hatua za kinidhamu kwa watuhumiwa hao alisema serikali UNK mazingira mazuri ya ushindi washitakiwa kwa kuwashitaki kwa makosa mepesi hapa UNK ya UNK yanatengenezwa kutokana na kushitakiwa kwa makosa madogo alisema bwana lissu alisema kati ya watuhumiwa kumi na moja waliotajwa majina yao septemba kumi na tano ishirini sifuri saba katika viwanja vya mwembeyanga jijini dar es salaam saba walichukuliwa hatua za kisiasa ambazo ni kujiuzulu na wengine wamechukuliwa hatua za kisheria ambazo ni kufikishwa mahakamani kwa makosa madogo pamoja na kuwa ni hatua muhimu zilizochukuliwa lakini haitoshi UNK kwa makosa makubwa ila wameshitakiwa kwa makosa madogo alisema bwana lissu alipoulizwa na waandishi kama chadema UNK orodha ya mafisadi wengine alisema bado kwa kuwa ni kazi kubwa inayohitaji kuwa na ushahidi wa UNK kabla ya kutoa orodha hiyo aliwashukuru waandishi kutokana na mchango wao mkubwa katika kuelimisha wananchi vita dhidi vitendo vya ufisadi maofisa wanne wa benki kuu ya tanzania wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya ilala wakikabiliwa na mashitaka ya uhujumu uchumi ambapo wanadaiwa kusababisha hasara kwa serikali ya shilingi bilioni kumi nne washitakiwa hao walifikishwa jana mahakamani hapo na kusomewa mashitaka na wakili wa taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa bwana ben UNK mbele ya hakimu mfawidhi bwana samwel maweda watuhumiwa hao ni mkurugenzi wa benki kuu ya tanzania bwana saimon jengo naibu mkurugenzi wa idara ya sarafu bwana kisima mkango mwanasheria wa bot bwana bosco kimera na bwana ally bakari ambaye ni mstaafu wa benki hiyo katika mashitaka yao ya kwanza ambayo yalimkabili bwana jengo na bwana mkango walidaiwa kuchukua oda kutoka kwa mtoa huduma ya uchapishaji wa noti na kubadili tarakimu za hesabu kwa kuweka kiasi kikubwa tofauti na kilichokuwa kinatakiwa mbali na hiyo pia bwana jengo alidaiwa kutoa amri ya uchapishaji wa noti nyingi zaidi ya kiasi kilichokuwa kinatakiwa na idara ya sarafu katika mashitaka mengine ambayo yaliwakabili washitakiwa wote walidaiwa kuwa wakiwa waajiriwa wa benki hiyo walisababisha hasara ya shilingi kumi nne mia moja na hamsini na nane mia tatu na thebathini na tisa mia moja na arobaini na sita baada ya kusomewa mashitaka hayo washitakiwa hawakutakiwa kujibu chochote kwa kuwa kesi hiyo inatakiwa kusikilizwa na mahakama kuu ya tanzania ambayo ndiyo ina mamlaka ya kesi za uhujumu uchumi kwa upande wa mawakili wa washitakiwa ambao ni bwana mpare mpoki na bwana mabere marando walipinga kufunguliwa kwa mashitaka mahakamani hapo kwa kudai kuwa kifungu cha sitini na tano cha sheria ya bot kinatoa kinga kwa wafanyakazi wa bot kushitakiwa kwa kitu chochote UNK wakiwa wanatimiza majukumu yao kazini akiwasilisha hoja hizo bwana mpoki alisema kuwa mashitaka yote UNK nayo washitakiwa hao ni makosa ambayo yamefanyika wakiwa kazini hivyo kutokana na kifungu hicho hawakustahili kushitakiwa mbali na hiyo alisema kuwa kesi hiyo imepokelewa kwa makosa mahakamani hapo kwa kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza mashitaka hayo hivyo wakaomba kesi hiyo ifutwe upande wa mashitaka ulipinga vikali hoja hizo na kudai kuwa mashitaka hayo yamefunguliwa chini ya sheria ya uhujumu uchumi ambapo iko wazi na inaelekeza mambo ya kufanya hivyo UNK mahakama kutupilia mbali hoja hizo kutokana na kuwasilishwa kwa hoja hizo mahakama iliahirisha kesi hiyo na kuamuru washitakiwa hao warejeshwe rumande hadi septemba kumi na nane mwaka huu ambapo itatoa uamuzi juu ya hoja zilizowasilishwa baada ya kupitia na kuona sheria zinasemaje kuhusiana na jambo hilo shughuli ya uandikishwaji daftari la kudumu la wapigakura awamu ya pili visiwani pemba imeendelea kuwa tete baada askari wa kikosi cha kutuliza ghasia na wale wa jeshi la kujenga uchumi kuendelea kurusha mabomu ya machozi na kusababisha majeruhi kadhaa huku nyumba mbili za wakazi wa sizini zikichomwa moto jana asubuhi tukio hilo ambalo limekuja siku moja baada ya askari hao kurusha mabomu ya machozi na kujeruhi wajawazito watoto wanawake na wazee na kusababishwa kulazwa hospitali ya wilaya ya wete limesababisha wakazi wa sizini kuhama makazi yao na kukimbilia porini mabomu yaliyorushwa na askari hao yalisababisha nyumba mbili moja ya mfuasi wa chama cha wananchi na nyingine ya mfuasi wa chama cha mapinduzi ambao bado hawajatambuliwa majina yao kuteketea hata hivyo hakuna aliyejeruhiwa lakini mali zote zilizokuwamo ndani ya nyumba hizo UNK sakata hilo limeendelea katika siku ya pili ya uhakiki wa uandikishwaji kwa wale wenye vitambulisho vya kupigia kura ambapo hata hivyo makundi ya watu walioshindwa kupata vitambulisho vya ukaazi walishindwa kujiandikisha kwa siku mbili za awali askari wakiwa katika gari la matangazo waliwataka wananchi kujitokeza kujiandikisha katika daftari la kudumu kila UNK amri hiyo askari hao walirusha mabomu ya machozi na risasi za moto angani kuwatisha hatua hiyo ilianza kujenga hofu miongoni mwa wakazi wa maeneo hayo ambapo makundi ya akina mama watoto na watu wazima walionekana wakikusanya virago vyao na kukimbia makazi yao kuelekea katika mji wa shumbu ya mjini uliopo katika jimbo la UNK makundi hayo ya askari yakiongozwa na kamanda wa polisi mkoa wa kaskazini pemba bwana yahaya UNK yalionekana yakiendelea na operesheni hiyo ya kulazimisha wananchi kujitokeza kujiandikisha hivyo kuzua mtafaruku watu wawili akiwemo mmoja wa UNK nyumba wanadaiwa kushikiliwa na polisi kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kushiriki kushawishi vurugu na watu kutojiandikisha katika daftari la kudumu akizungumza katika eneo la tukio mbunge wa micheweni bwana shoka hamis shoka alisema hali hiyo imeibuka siku moja baada ya vurugu zilizosababishwa kutokana na hatua ya askari kupita nyumba hadi nyumba kulazimisha wakazi hao kujiandikisha naye mkurugenzi wa uenezi wa bwana salim bimani alisema utaratibu unaoendelea wa kutumia vyombo vya dola UNK wananchi ni wa hatari na unajenga chuki kwa serikali na kuzidi kuifanya pemba kukosa maendeleo alisema risasi na mabomu yanatokana na kodi za wananchi badala ya kupewa haki yao ya msingi ya kujiandikisha wanajeruhiwa na kuumizwa kutokana na jasho lao wenyewe serikali itafute ufumbuzi wa tatizo hili wala si sifa kusikia wananchi wakikimbia na kuhama makazi yao kwa sababu ya kujiandikisha tunataka kuipeleka wapi nchi yetu alilalamika bwana bimani juzi ffu na jku wakiongozwa na mkuu wa mkoa wa kaskazini pemba bwana dadi faki dadi waliendesha operesheni kupita nyumba kwa nyumba kuwataka wananchi wajitokeze kujiandikisha jambo ambalo lilisababisha vurugu na watu kadhaa kujeruhiwa na kulazwa hospitali urafiki wake na jk sasa kitendawili kigumu salim sumaye mwandosya UNK kufunga buti ikiwa imebaki takribani miezi mitano kabla ya kuanza mchakato kupata mgombea urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi kwenye uchaguzi mkuu ujao mwakani migongano ya kauli kuhusu nani ni nani imeanza kuibuka ndani ya chama hicho kikongwe nchini taarifa za hivi karibuni kupitia vyombo vya habari UNK kada wa chama hicho mwenye ushawishi mkubwa bwana edward lowassa kwamba ni mmoja wa wanachama UNK mkono na wajumbe wengi ndani ya vikao vya chama hicho UNK petroli ya kinyangganyiro hicho ingawa bwana lowassa amekataa katakata kuzungumza lolote kuhusu tetesi za kugombea urais kwa tiketi ya ccm mwakani wachunguzi wa mambo wanaamini kuwepo shinikizo kubwa kutoka kundi la mtandao kutaka mwanasiasa huyo agombee bwana lowassa aliyewahi kuwa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania kabla ya kujiuzulu mwaka juzi kwa shinikizo la kisiasa kutokana na kashfa ya richmond anatajwa kuwa na nguvu zinazoweza kubadilisha mwelekeo kwenye mchujo huo uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa ingawa bwana lowassa UNK dalili zozote kutaka nafasi hiyo kuna shinikizo kubwa la kundi la wanamtandao maslahi kumtaka aingie uwanjani bwana lowassa alitoa mchango mkubwa katika mtandao UNK rais kikwete kuteuliwa mwaka ishirini sifuri tano na kwa kutumia uzoefu huo anaweza kuleta ushindani mkubwa ndani ya vikao vya chama na kuteuliwa kugombea chanzo chetu cha kuaminika kutoka ndani ccm kimeeleza kuwa kundi la wanamtandao maslahi limejipanga kumshinikiza bwana lowassa kujitosa kwenye kinyangganyiro hicho kinachotarajiwa kuanza kutimua vumbi mapema mwakani hata hivyo kilisema urafiki wake wa siku nyingi na rais kikwete ni mtihani mgumu kwa mwanasiasa huyo kufikia uamuzi huo mzito mbali ya shinikizo UNK kutoka kwa wanamtandao hao lowassa ni rafiki wa siku nyingi wa kikwete wanafahamiana vizuri walipigana bega kwa bega mwaka ishirini sifuri tano wakashinda lowassa akiwa kiongozi wa mtandao lakini katika siasa kijana hakuna urafiki wala uadui wa kudumu akipima upepo na kusikiliza washauri wake atajitosa ingawa ngumu kusadikika kwa wengi lakini kumbuka hii ni siasa kilieleza chanzo hicho wanamtandao wanaoshinikiza bwana lowassa agombee wanatajwa kuwa wengi wao ni majeruhi UNK na kuwekwa nje ya serikali ya rais kikwete baada ya kuingia madarakani lowassa aliongoza mtandao wa kikwete bado ana nguvu kwenye mtandao huo walioachwa nje ya serikali sasa wanamwona ndiye mtu wa mwisho kurejeshea matumaini yao hata kama yeye hataki kugombea wanajipanga kumshinikiza afanye hivyo ili UNK majeraha yao kilisema juzi bwana lowassa alikaririwa na gazeti hili akikataa katakata kuzungumzia tetesi hizo na kumweleza mwandishi kwamba hayuko tayari kuzungumzia suala lolote lile hapa nchini wakati tetesi hizo zikiendelea baadhi ya makada wa chama hicho wamekuwa na mitazamo tofauti huku wengine wakiunga mkono kwa maelezo kwamba itafunga milango zaidi ya demokrasia ndani ya chama akizungumza na gazeti hili jana kwa sharti la kuhifadhiwa jina kada mkongwe wa ccm aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali za juu na sasa ni mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya ccm alisema hatua hiyo ni mwanzo mzuri wa kufunguka milango zaidi ya demokrasia katika chaguzi za chama hicho hili ninyi waandishi UNK kuwa lowassa anataka kugombea urais UNK ni kitu kizuri tu ccm ina demokrasia kubwa tofauti na UNK akigombea yeye na wengine wakajitokeza ndio mafanikio ya chama alisema kada huyo na kuongeza sisi tunashindana kwa kura baada ya hapo tunarudi kuwa wamoja alifafanua kwamba kufunguka milango zaidi kwa wanachama kugombea nafasi za juu bila hofu wala vitisho ni changamoto muhimu kwa maendeleo ya demokrasia nchini mwaka ishirini sifuri tano mliona walijitokeza wagombea kumi na moja wakapita kwenye UNK la moto kweli kweli mwisho tukapata mgombea mmoja na kwenye uchaguzi mkuu alishinda kwa kishindo hivyo yote ni sawa ni nafasi nzuri kwa wanachama wengine hata kama kina salim sumaye mwandosya akina shibuda waliojitokeza mwaka ishirini sifuri tano wajitokeze tena UNK mimi naamini kuwa kama UNK mwaka huo kwanini wasiwe na hamu kujaribu tena tunawataka sana tujenge demokrasia ndani ya chama alipotakiwa kueleza msimamo wake na mwanachama UNK kura ndani ya chama alisita kutoa kauli ya moja kwa moja na kudai UNK ni sera za kila mmoja kura yangu mimi itategemea kuguswa na sera za mgombea UNK vizuri kama mwanasiasa UNK siasa si ushabiki tunaangalia hoja alisema kada huyo mchakato wa kupata mgombea urais kwa tiketi ya ccm unatarajiwa kuanza mapema mwakani mwaka ishirini sifuri tano uteuzi wa mwisho wa mgombea huyo ulifanyika mwanzoni mwa mei chama cha wananchi kimedai kuwa kimegundua mbinu mpya ya kupandikiza watu kwa kuwaandikisha askari wa kikosi cha kmkm ili kuongeza idadi ya wapiga kura katika uchaguzi mkuu ujao hali hiyo imejitokeza katika kituo cha shehia ya nungwi baada ya kundi la watu wanaodaiwa kuwa askari wa kmkm kuongozwa hadi kwa sheha wa nungwi bwana kombo mkuni ali na kupitishwa kujiandikisha bila ya kuwa na vitambulisho vya UNK akizungumzia hali hiyo naibu katibu mkuu wa cuf zanzibar bwana juma duni haji alidai kuwa kundi hilo la askari lilipitishwa vichochoroni na kuandikishwa ilhali wakijua kuwa hakuna utaratibu unaoruhusu kmkm kuwa na vitambulisho vya ukaazi na kujiandikisha kupiga kura huu ni moja ya UNK unaotumika kuhujumu uandikishwaji na upigaji wa kura kuna wengine ni janjaweed hupitishwa hivi katika vituo vingi ipo haja ya kurekebisha hali hii na sisi UNK iendelee hivi alidai bwana duni aidha kundi hilo la watu wapatao kumi akiwemo mmoja aliyevalia sare za kmkm UNK na waandishi wa habari lilianza kutoa vitisho na kutishia kuvunja kamera zao iwapo wangethubutu kupigwa picha hata hivyo hali hiyo UNK na polisi waliokuwepo eneo hilo na kutoa maelekezo kwa askari hao wa kmkm kwamba waandishi wote wenye vibali wanaruhusiwa kupiga picha shughuli nzima ya uandikishaji wa daftari la kudumu visiwani humo pamoja na hali hiyo bado askari hao walionekana kuhamaki na kutaka kuwavamia waandishi ambao walikimbilia kwa askari polisi ambapo hata hivyo askari hao wa kmkm walionekana kubabaika na kupitishwa moja kwa moja kwenye sehemu ya kujiandikisha na kupita kundi kubwa la watu waliokuwa wamesimama kwenye mstari kusubiri zamu yao akizungumzia hali hiyo sheha wa nungwi bwana mkuni alionekana kubabaika na kusema kuwa suala hilo si la kuzungumza yeye na kwamba mwandishi UNK katika ofisi ya mkurugenzi wa vitambulisho ili kubaini kama kuna watu ambao hawakuwa na sifa ya kujiandikisha wamepachikwa katika kituo cha UNK hata hivyo idadi ya watu waliojitokeza kuandikishwa daftari la kudumu katika kituo hicho imefikia moja thebathini tano katika siku ya tano mkuu wa kituo cha nungwi bibi sunna seif ahmed alisema kuwa watu wameanza kujitokeza kwa wingi katika shughuli hiyo tofauti na siku ya kwanza ambayo wananchi wengi waliojitokeza walikuwa hawajawahi kupiga kura tanzania imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza uzalishaji na matumizi ya kemikali zinazoharibu tabaka la ozoni kupitia utekelezaji wa mikataba ya kimataifa inayolenga kukabiliana na uharibifu wa tabaka hilo hayo yalisemwa juzi na waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais mazingira daktari batilda burian wakati akifungua maadhimisho ya siku ya kimataifa ya hifadhi ya tabaka la ozoni katika UNK yanayoendelea katika chuo cha ufundi daktari burian alisema mafanikio hayo yametokana na utekelezaji mzuri wa mikataba ya UNK na montreal ambayo imesababisha kupungua kwa matumizi ya kemikali za UNK toka tani mia mbili na hamsini na nne mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa hadi kufikia tani kumi na nne mwaka ishirini sifuri saba alisema kutokana na uelewa wa wanasayansi nchini kampuni nyingi za biashara na viwanda vinavyotumia mitambo ya kupoozea vinatumia kemikali mbadala ambazo ni rafiki wa mazingira alisema kemikali zinazoharibu tabaka la ozoni zitapatikana katika viyoyozi majokofu dawa za kupulizia pamoja na vifaa vya kuzima moto hivyo amewataka wananchi kubadili matumizi ya kemikali hizo kupitia mafundi mchundo waliopata mafunzo ya kitaalam natoa mwito kwa UNK kuendelee kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa tabaka la ozoni na kuikabili changamoto ya mabadiliko ya teknolojia hasa katika vifaa vya kupoozea alisema maadhimisho hayo yanaenda sambamba na maonesho ya mafundi mchundo kuhusu namna ya kubadili matumizi ya kemikali haribifu na kuwa kemikali rafiki wa mazingira katika magari na UNK maadhimisho ya siku ya kimataifa ya hifadhi ya tabaka la ozoni hufanyika septemba kumi na tano hadi kumi na sita kila mwaka kaulimbiu ya mwaka huu ni ushiriki wa wote hifadhi ya tabaka la ozoni UNK dunia upungufu uliomo katika menejimenti ya kampuni ya reli tanzania na uwezo mdogo kifedha umechangia migogoro inayoendelea sasa kauli hiyo ilitolewa jana dar es salaam na katibu mkuu wa chama cha wafanyakazi wa reli bwana sylvester rwegasira wakati akieleza msimamo wa chama hicho kuhusu hali ya trl alisema mkataba mbovu ulioingiwa na viongozi katika ubinafsishaji wa kampuni hiyo haukuzingatia maslahi ya taifa hivyo kusababisha sintofahamu na kufanya trawu kuonekana wakorofi menejimenti ya trl katika siku za karibuni imekuwa na dhana kwamba sisi wafanyakazi ni wakorofi na ndio chanzo cha kutofanya vizuri na kutoa masharti kwa serikali ikiwa mojawapo ni UNK kazi alisema bwana rwegasira msimamo wa trawu umeelezwa kuwa kwa kuwa haki ni yao kamwe hawatasita kusema na wataendelea kupinga kunyanyaswa pamoja na njama zilizopo na zinazolenga kuua shirika hilo kwa maslahi binafsi alisema miaka thebathini ya trc usafirishaji wa mizigo na abiria ulikuwa wa juu sana ukilinganisha na wakati huu baada ya kuvunjika jumuiya ya afrika mashariki miaka kumi ya mwanzo tulisafirisha tani mia tisa na ishirini sifuri sifuri sifuri miaka kumi baada ya hapo tulisafirisha tani moja sifuri saba sifuri sifuri sifuri sifuri na miaka kumi ya mwisho elfu moja na mia tisa na tisini na nane sifuri saba tulisafirisha tani moja kumi sifuri sifuri sifuri sifuri kila mwaka ambapo uwezo huo ulitokana na wafanyakazi wazalendo ambao tulikuwa tayari na tuko tayari kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu alisisitiza bwana rwegasira aidha alisema baada ya rites kusitisha mabehewa yake na injini UNK wafanyakazi waliweza kukarabati zilizokuwepo bila msaada wa mwekezaji huyo ili kuonesha uzalendo wao alidai kwamba serikali UNK kuvunja mkataba huo kwa nia njema iangalie vipengele UNK kwenye mkataba kama kulipia gharama za vitendea kazi ambazo UNK kulipwa na mwekezaji huyo alisema baada ya mwekezaji rites kuanza kazi alikabidhiwa vitendea kazi na rasilimali watu ambazo UNK vibaya na nyingine UNK kabisa na kudai kuwa mkataba huo ulikuwa wa UNK baada ya mwekezaji rites kuchaguliwa kushika hatamu za iliyokuwa trc alikabidhiwa vitendea kazi na rasilimali watu lakini kwa hali ya kusikitisha sana hali ya kiutendaji na UNK imekuwa kinyume na UNK na hata vitendea kazi UNK kwa kiwango cha kutisha alisema bwana rwegasira alisema mwekezaji huyo alikabidhiwa injini mia moja na kumi na saba kati ya hizo tisini na tatu zilikuwa zinafanya kazi lakini sasa UNK kazi ni thebathini na mbili tu UNK mabehewa moja mia nane na arobaini na saba ya kubeba mizigo kati ya hayo moja mia mbili na themanini na tano yalikuwa yanafanya kazi lakini sasa ni mia sita na thebathini ndio yanayofanya kazi pia alikabidhiwa mabehewa ya abiria mia moja na ishirini na nne ambapo tisini na nane yalikuwa mazima lakini sasa ni thebathini na mbili ndio yanayoendelea na kazi wafanyakazi hao wameiomba serikali iwaunge mkono kwa kufuta mkataba huo ili iweze kunusuru shirika hilo na kuwanufaisha watanzania wote watu sita wamekufa katika matukio tofauti yaliyotokea mkoani shinyanga likiwemo la mwanafunzi wa shule ya sekondari kuchomwa kisu katika ugomvi wa deni la simu ya mkononi kamanda wa polisi wa mkoa wa shinyanga bwana daudi siasi alimtaja mwanafunzi aliyekufa kuwa ni UNK masatu aliyekuwa akisoma kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya UNK wilayani shinyanga kamanda siasi alisema tukio hilo lilitokea juzi saa nane mchana katika kijiji cha UNK shinyanga vijijini na kwamba mwanafunzi huyo alichomwa kisu kichwani na mwenzake aliyetajwa kwa jina la UNK UNK chanzo cha ugomvi ni kudaiana simu ya mkononi alisema chanzo cha ugomvi wa wanafunzi hao ni deni la simu ya mkononi ambalo walikuwa UNK na kwamba jeshi la polisi linamshikilia mtuhumiwa wa mauaji hayo ambaye atafikishwa mahakamani baada ya upelelezi kukamilika kamanda huyo alisema watu wengine wanne walikufa kutokana na ajali ya gari iliyotokea juzi saa kumi na moja jioni katika kijiji cha msasa barabara ya ushirombo runzewe wilayani bukombe baada ya gari aina ya toyota UNK namba t mia tano na ishirini na saba UNK kuacha njia na kupinduka kamanda siasi aliwataja waliokufa katika ajali hiyo kuwa ni bwana seif UNK mwalimu wa shule ya msingi kahama bwana peter UNK bwana UNK mashaka wakazi wa kahama na abiria mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja alisema chanzo cha ajali hiyo ni kupasuka tairi la mbele abiria wengine kumi na sita walijeruhiwa katika ajali hiyo na wamelazwa hospitali ya wilaya ya bukombe mwingine aliyekufa alitajwa kuwa ni bibi UNK UNK mkazi wa kijiji cha UNK wilayani meatu aliyeuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wauaji kuondoka na mkono wake mmoja kamanda siasi alisema polisi wanaendesha msako wa kusaka wahusika vurugu zinazotokana na uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili visiwani zimeanza kuathiri sekta ya utalii baada ya baadhi ya wageni hao kutoka nchi mbalimbali zikiwemo marekani na ulaya kuanza kuondoka kwa hofu ya usalama wao katika maeneo mbalimbali yenye vivutio vya utalii kama vile nungwi na maeneo ya UNK katika shehia za UNK UNK na maeneo mengine hoteli zimebaki wazi hatua inayohusishwa na vurugu hizo mwandishi wa habari hizi alitembelea katika jumba la historia na makumbusho la unguja maarufu kama UNK el UNK na kushuhudia idadi ndogo ya watalii UNK eneo hilo tangu kuzuka kwa vurugu za UNK mmoja wa UNK wageni ambaye pia mfanyabiashara wa bidhaa za asili bwana farouk abdillah alisema kuwa tangu kuzuka vurugu za uandikishwaji mwishoni mwa wiki iliyopita jumba hilo UNK na watu wachache tofauti na ilivyokuwa awali alisema kabla ya shughuli ya uandikishwaji wageni wa nje waliokuwa wakitembelea katika jumba hilo walifikia thebathini hadi hamsini kwa siku na sasa idadi hiyo imeshuka kufikia watalii watano hadi kumi kwa siku hali kama UNK tangu asubuhi wamekuja watalii wawili tu wakati ule ungeona kundi la watalii limejaa katika jumba hili wengi wameanza kuondoka baada ya kuibuka vurugu alisema bwana UNK aidha alisema biashara ya bidhaa za asili anazouza zinategemea watalii na kwamba tangu kuibuka vurugu hizo mauzo yake pia yameshuka kwa kiasi kikubwa wakati wa ujio wa watalii wengi naweza kuuza bidhaa kwa wingi na kuhitaji bidhaa zaidi kutoka kwa watengenezaji lakini sasa nakaa kuanzia asubuhi hadi jioni bila kuuza chochote hata hela ya kula inakosekana alisema majira pia lilitembelea eneo la ufukwe wa bahari ya hindi ambako katika siku za awali walionekana watalii wengi UNK lakini sasa muda mwingi fukwe hizo ni tupu na thomas dominick padri john mlekano wa kanisa la anglikana la utatu mtukufu mbagala kizuiani dar es salaam amekata alizokuwa UNK mtoto wakati wa ubatizo na kuzichoma mbele ya waumini tukio hilo lilitokea kwenye mkesha wa pasaka wakati wa ubatizo wa watoto wadogo ambapo ilipofika zamu ya mtoto janet daudi alikutwa na hirizi ambazo alikuwa amefungwa mikononi na shingoni ambazo UNK padri huyo kusimamisha ibada hiyo na UNK mdhamini wa mtoto huyo bwana joseph UNK alisema kitendo hicho kinaonesha bado wazazi wa mtoto huyo hawajakubali na kumuamini mungu bado wazazi hawa wanaonesha imani yao bado potofu mbele ya mungu na ni kitendo cha kufedhehesha mbele ya waumini wote wanatakiwa kushika imani sana na nitawaambia wasirudie tena kumfunga uchafu ule alisema bwana UNK wazazi wa mtoto huyo hawakuweza kupatikana mara moja kwa vile waliondoka kabla ya ibada kuisha kitendo kilichotafsiriwa kuona aibu kwa kile kilichotokea kanisani humo naye padri mlekano alisema bado kuna wakristo ambao wanaendekeza imani potofu kwa kuwafunga hirizi watoto wao kwa ajili ya kuwakinga kwa vile wanawaamini waganga wa jadi inawabidi wakristo wamuamini mungu na mwanae yesu hao ndio walinzi wao wa kila siku na hakuna mlinzi mwingine ambaye anaweza kuwalinda kama yupo basi ni batili alisema padri UNK aliongeza kuwa nililazimika kusimamisha ibada kwa sababu hauwezi kumbatiza huku akiwa amefungwa hirizi na kama UNK ubatizo huo mungu UNK kwa sababu yupo mwingine ambaye walikuwa wanamtegemea alisema alisema kama mkristo hapaswi kuchanganya mambo mawili kwa wakati mmoja yaani mungu na imani potofu za kishirikina kwa kufanya hiyo ni UNK mungu alitoa mwito kwa waumini wenye imani kama hizo waachane nazo mara moja na UNK mungu kwa nguvu zao zote na kwa uwezo wao ili UNK kupitia kwake UNK waliopiga kura ishirini sifuri tano kulikoni kukosa haki hiyo leo nyumba ya kamanda wa polisi UNK UNK yadai kinachoendelea pemba ni mazoezi ya kijeshi si kulinda amani chama cha wananchi kimeandaa maandamano makubwa kupinga tume ya uchaguzi ya zanzibar kwa madai kwamba tume hiyo si huru na imeshindwa kutenda haki akizungumza dar es salam jana katibu mkuu wa chama hicho maalim seif sharif hamad alisema zec na idara ya uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura wanashirikiana kuendesha hujuma dhidi ya chama hicho maalim seif alisema kinachoendelea visiwani humo si uboreshaji wa daftari bali uandikishaji mpya kwani watu UNK vigezo vya kuandikishwa mwaka ishirini sifuri tano sasa wamekosa vigezo hivyo alisema shughuli ya uandikishaji katika daftari imegeuka kuwa zoezi la kijeshi ambapo silaha nzito vikiwemo vifaru mabomu ya machozi pamoja na magari ya maji ya kuwasha vinatumika kutisha wananchi hatua hiyo ya serikali kutumia vyombo vya dola haina tofauti na zinazochukuliwa na viongozi UNK kuwanyamazisha wanachi wanaopinga dhuluma na unyanyasaji dhidi yao alisema alidai idara ya uandikishaji wa daftari na vyombo vya dola zinafanya kazi chini ya chama tawala kupandikiza mamluki toka bara ili kuhakikisha ccm inapata ushindi haramu watu kadhaa wamepigwa kuwekwa ndani na kuchomewa nyumba zao wakiwemo wanawake wajawazito nyumba kadhaa zimeungua moto kutokana na fukuto la mabomu ya machozi alimtaka amiri jeshi mkuu rais jakaya kikwete kuacha kuruhusu vikosi vyake kutesa raia wasio na hatia wanaotetea haki yao ya msingi ya kupiga kura cuf inalaani matumizi yote ya nguvu kutoka kwa mtu yeyote na inawataka wanachama na wazanzibari wote kwa ujumla kuendelea kuwa watulivu na UNK vitendo vya uchokozi badala yake waendelee kudai haki zao kwa njia za amani na utulivu alisema maalim alitoa mwito kwa zec kusitisha shughuli ya uandikishaji hadi hapo wananchi wote wenye sifa watakapo patiwa vitambulisho vya mzanzibari mkaazi ili waweze kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura naye mkuu wa idara ya mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa wa cuf bwana ismail jussa alisema kinachoendelea zanzibar ni uharibifu na uporaji mkubwa wa haki ya wazanzibari kuchagua na kuweka madarakani viongozi wanaowataka naye ali suleiman kutoka zanzibar anaripoti kuwa kamanda ya kamanda wa polisi mkoa wa kaskazini pemba bwana yahya rashid bugi UNK kuteketea baada ya watu wasiojulikana kuchoma moto usiku wa kuamkia jana eneo la UNK mjini hapa moto huo ulizimwa na majirani kabla UNK madhara inasadikiwa watu hao UNK petroli kwa nia ya kuteketeza nyumba hiyo kamanda wa polisi mkoa wa mjini magharibi bwana khatib bakari shaaban alithibitisha kutokea tukio hilo na kusema uchunguzi unaendelea kusaka waliofanya kitendo hicho watu wasiojulikana walijaribu kuchoma moto nyumba ya kamanda wa polisi mkoa wa kaskazini pemba usiku tunaendelea kufanya uchunguzi kujua chanzo cha tukio hilo alisema alisema ni mapema mno kubaini kama tukio hilo linahusiana na mambo ya kisiasa au ni hujuma hata hivyo inasadikiwa kwamba tukio hilo linahusishwa na mambo ya kisiasa zaidi hususan uandikishaji daftari la kudumu la wapigakura unaoendelea unguja na pemba kamanda bugi amekuwa akisimamia kulinda amani mkoa wa kaskazini pemba katika uandikishaji daftari na kadi za vitambulisho vya mzanzibari mkaazi amekuwa akipambana vikali na baadhi ya wafuasi wa chama cha wananchi pemba ambao wamekuwa wakisababisha vurugu katika shughuli hiyo na kusababisha isitishwe kwa wiki nne chuki na uhasama zimeanza kujitokeza unguja na pemba kuelekea uchaguzi mkuu mwakani hali inayotishia amani katika shughuli hiyo uongozi wa klabu ya simba UNK wachezaji wake ulimboka mwakingwe na UNK nyanda huku wakipewa onyo kutorudia tena kufanya makosa hayo wachezaji hao walifungiwa na kamati ya utendaji ya klabu hiyo baada ya kugundulika wanachochea mgomo wa mazoezi wakati timu hiyo ikijiandaa na ligi kuu tanzania kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya kamati ya nidhamu ya klabu hiyo wachezaji hao wameachiwa kwa masharti ya kutorudia utovu wa nidhamu kamati hiyo ambayo ilikutana juzi jijini dar es salaam kwa lengo la kuwasikiliza wachezaji hao iliamua kuwafungulia ili kukiongezea nguvu kikosi cha timu hiyo katika ligi kuu chanzo hicho kilisema kuwa baada ya kuwasikiliza wachezaji hao iligundulika kweli walifanya makosa lakini kwa kuwa tayari UNK nje ya uwanja kwa muda mrefu ndiyo maana ikaamuliwa waachiwe UNK ilibidi itumike kuwasamehe wachezaji hao kwani wamekaa nje kwa muda mrefu ambao kimsingi watakuwa wamejirekebisha kwani kwa mchezaji kusimamishwa hata wiki ni adhabu kilisema chanzo hicho chanzo hicho kiliendelea kusema kuwa taarifa ya kuwasamehe wachezaji hao itawakilishwa katika kamati ya utendaji ambayo itawapa taarifa wachezaji hao kujiunga na wenzao tangu kusimamishwa kwa wachezaji hao hadi sasa inakaribia kufikia mwezi mmoja hivyo kuwafanya wachezaji hao kushindwa kucheza mchezo hata wowote katika ligi hiyo mamlaka ya mapato tanzania imefunga kifaa UNK kiitwacho UNK kwa kila yadi na ofisi zote za forodha kitakachotumika kuonesha gari au mzigo UNK na kutoka pia kilichomo ndani ya gari hayo yalisemwa dar es salaam juzi na naibu kamishna idara ya forodha bibi UNK bateyunga katika semina ya siku moja kwa wafanyakazi wa forodha na wafabiashara wanaomiliki yadi za magari na mizigo hatua hiyo UNK wafanyakazi wawili wanaodaiwa kushirikiana na mawakala kufanya udanganyifu hivi karibuni forodhani na kusababisha upotevu mkubwa wa fedha na mizigo ya wafanyabiashara bibi bateyunga alisema kuwa baada ya kubainika walifukuzwa kazi ambapo mawakala wanane wamefungiwa yadi zao huku wafanyakazi kumi na saba UNK kwa uchunguzi zaidi jeshi la polisi mkoani pwani linamshikilia bwana frank maganga kwa tuhuma za kumchinja aliyekuwa mkewe bibi joyce jeremia kutokana na wivu wa mapenzi kamanda wa polisi mkoa wa pwani bwana absalom mwakyoma alisema tukio hilo lilitokea septemba kumi na tano mwaka huu saa kumi alfajiri katika kijiji cha UNK wilayani kibaha kamanda mwakyoma alisema kuwa siku ya tukio mtuhumiwa UNK nyumbani kwa marehemu na kumchinja kwa panga na kusabisha kifo hicho alisema baada ya kumshambulia watoto wa marehemu walipiga kelele hali iliyowafanya majirani kufika na kumkamata mtuhumiwa na kuwaita polisi waliofika na kumpeleka mahabusu chanzo cha kumuua ni wivu wa mapenzi lakini hata hivyo watu hao walikuwa wametengana kwa sababu ambazo hazikutajwa lakini ni jambo la kusikitisha alisema kamanda UNK alisema mtuhumiwa anatarajiwa kufikishwa mahakamani uchunguzi utakapokamilika chama cha mapinduzi kata ya kitangiri manispaa ya shinyanga kimepata pigo baada ya wanachama wake mia moja na kumi kurejesha kadi huku wakitishia kujiunga na chadema kwa kile walichodai kupinga upendeleo kwenye upigaji wa kura za maoni katika mtaa wa kitangiri a wakizungumza na majira juzi wanachama hao walisema wamechukua hatua za kurejesha kadi hizo baada ya kuona demokrasia ndani ya chama hicho UNK kwa makusudi kwa matakwa ya viongozi wachache wanaopanga safu zao za uongozi hatua hiyo inafuatia uchaguzi wa kura za maoni katika mtaa huo wenye matawi matatu kurejewa mara mbili baada ya mwenyekiti wake wa zamani bwana nyerere moris kukata rufaa akipinga matokeo ya kura hizo baada ya kushindwa na bwana UNK UNK mmoja wa wanachama hao ambaye hakupenda kutajwa gazetini alisema hatua yao ya kurejesha kadi za ccm ni kuonesha jinsi UNK na kitendo cha wasimamizi wa uchaguzi katika mtaa wao walionesha wazi kuwa walikwenda katika uchaguzi huo wakiwa na jina la mtu wanayemtaka awe mwenyekiti mwanachama huyo alifafanua kuwa katika uchaguzi wa awali mwenyekiti wao wa zamani aliangushwa hivyo alikata rufaa akipinga matokeo hayo ambapo ilikubalika kuwa uchaguzi urudiwe lakini wanachama wa tawi moja UNK katika uchaguzi huo wa marudio na matawi mawili pekee ndiyo UNK kurudiwa hata hivyo katika uchaguzi huo wa marudio bwana nyerere aliangushwa tena na bwana makoye kuongoza kwa mara ya pili lakini katika hali ya kushangaza wasimamizi walichukua matokeo ya awali ya tawi ambalo UNK kupiga kura na UNK na ya uchaguzi wa pili kitendo UNK na wanachama hao kwa upande wake bwana makoye alikiri kuwepo tukio hilo na kurejeshwa kadi hizo na kwamba kati ya wanachama waliorejesha wamo wenyeviti wa mashina UNK kumi na wajumbe wa kamati ya siasa ya tawi hata hivyo alisema wanachama hao hawajaamua watajiunga na chama kipi cha upinzani naye katibu wa ccm wa wilaya ya shinyanga mjini bwana shukuru rajabu alikiri kuwepo tukio la wanachama hao kurejesha kadi zao lakini alisema tayari diwani wa kata ya kitangiri bibi mary UNK UNK kwa kurekebisha kasoro zilizojitokeza na kuwasihi wanachama hao kurudi ndani ya chama ni kweli wanachama wetu hao walirejesha kadi zao wakipinga kitendo cha kuwepo mizengwe katika upigaji kura za maoni katika mtaa wao lakini diwani wetu ameingilia kati tatizo hilo na amewasihi wasichukue uamuzi UNK kuuchukua na leo wanasubiri matokeo ya kikao cha uteuzi ili kuona ni hatua zipi watachukua alieleza bwana rajabu naye UNK kapinga kutoka songea anaripoti kuwa wanachama wa ccm wa mtaa wa ccm songea mjini wametishia kukihama chama hicho na kujiunga na chadema kwa madai kuwa viongozi wa ccm wilaya wamekuwa UNK taratibu na kanuni za chama kwenye uchaguzi wa kura za maoni wakizungumza na waandishi wa habari kwa nyakati tofauti kwenye maeneo mbalimbali ya mtaa huo wananchama hao walidai kusikitishwa na mazingira yaliojitokeza kwenye uchaguzi huo ambapo uongozi wa ccm umeonesha wazi kwamba kulikuwa na chuki binafsi na mizengwe iliyofanywa na baadhi wa chama hicho baadhi ya wanachama bwana mustapha hassani na bibi aisha selemani ambao ni wafanyabiashara wa soko kuu la songea mjini waliwaeleza walitaka hekima itumike zaidi kwa viongozi wa wilaya wakati wa uchaguzi serikali kwa ushirikiano na benki ya dunia imezindua mradi wa usimamizi endelevu wa rasilimali ya madini unaolenga kurasimisha sekta ya uchimbaji mkubwa na mdogo wa madini akizindua mradi huo dar es salaam jana kwa niaba ya waziri wa fedha na uchumi katibu mkuu wa wizara hiyo bwana ramadhan khijjah alisema mradi huu unalenga kusaidia kupunguza umasikini kwa kukuza kipato kinachotokana na shughuli za uchimbaji mdogo wa madini bwana khijjah alisema mradi huo pia UNK na kuboresha matumizi ya teknolojia kwa wachimbaji wadogo kupunguza athari kwa mazingira na jamii nna kuongeza kiwango cha madini yaliyoongezwa thamani nchini serikali imekuwa ikipoteza pato la taifa kwa kuuza madini ghafi kupitia mradi huu tunatarajia kufungua viwanda vya kusafisha madini ili UNK thamani katika soko kabla ya kuyasafirisha alisema naye katibu mkuu wizara ya nishati na madini bwana arthur mwakapugi alisema mradi huo ni mwendelezo wa mageuzi katika sekta ya madini kufuati utekelezaji wa mradi wa kuendeleza sekta ya madini pamoja na sera mpya ya madini iliyopitishwa na serikali julai mwaka huu idara ya kazi madini UNK ya kukagua madini yote lazima tujue madini kiasi gani yamepatikana na thamani yake na sisi kama nchi tunapata nini kwa hiyo mradi huu utaleta uwazi na utawala bora katika sekta ya madini alisema alisema katika utekelezaji wa mradi wizara imeainisha wadau washiriki kuwa ni pamoja na wizara na serikali za mitaa taasisi za ufundi taasisi za fedha washirika wa maendeleo kampuni na vyama vya wachimbaji asasi za kimataifa vyombo vya habari pamoja na watoa huduma wa ndani na nje idadi ya mashahidi upande wa mashitaka wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya kuiingizia hasara serikali inayowakabili mawaziri waandamizi wa serikali ya awamu ya tatu bwana basil mramba wa fedha na bwana daniel yona itatajwa jumanne wiki ijayo hatua ya kutajwa mashahidi hao UNK na upande wa mashitaka baada ya kuchambua ni wapi wanaostahili kufika mahakamani hapo na kutoa ushahidi kuhusu tuhuma za washitakiwa hao hatua hiyo ilijulikana jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu bwana saul kinemela bwana john utamwa na bwana sam rumanyika baada ya kumalizika kusomwa maelezo ya awali ya washitakiwa hao upande wa mashitaka uliowakilishwa na wakili mkuu wa serikali bwana stanslaus boniface uliiomba mahakama kutoa muda ili upande huo uweze kuchambua mashahidi ambao wataweza kuthibitisha mambo yaliyobishaniwa na upande wa utetezi katika hatua ya usomwaji wa maelezo ya awali tunaomba muda ili UNK mashahidi wetu orodha tuliyokuwa nayo hapa ni mashahidi ishirini na tano lakini kutokana na baadhi ya mambo kutokuwa na ubishani tuna haja ya kuwachambua ili tuone ni mambo gani yanayohitaji mashahidi pamoja na vielelezo alisema bwana boniface kabla ya hatua hiyo washitakiwa walitakiwa kuieleza mahakama ni mambo gani UNK kati ya maelezo yaliyosomwa na upande wa mashitaka mahakamani hapo kwa upande wa bwana mramba aliieleza mahakama kuwa mambo UNK ni pamoja na kuwa na wadhifa wa juu serikali kati ya mwaka ishirini sifuri mbili hadi ishirini sifuri tano kuombwa ruhusa ya kusaini hati ya makubaliano kati ya serikali na kampuni ya alex UNK na aliyekuwa gavana wa benki kuu ya tanzania bwana daud balali mbali na hayo pia alikiri kuhojiwa na taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa ambapo alitoa maelezo kuhusiana na tuhuma hizo kwa upande wa bwana yona alikiri kuwahi kuwa waziri wa nishati na madini pamoja na kuhojiwa na takukuru na kwa upande wa mshitakiwa wa tatu bwana gray mgonja alikiri kuwa katibu mkuu wa fedha na uchumi baada ya kumalizika kwa hatua hiyo upande wa mashitaka ulitakiwa kutoa idadi ya mashahidi na vielelezo ambavyo wanatarajia kuvitumia kuthibitisha kesi yao lakini kutokana na baadhi ya mambo UNK upande huo uliomba muda ili uweze kuchambua kesi itaendelea septemba ishirini na mbili mwaka huu washitakiwa wote kwa pamoja wanadaiwa kusababisha hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba kutokana na kuidhinisha matangazo ya serikali ambayo yalitoa msamaha wa kodi kwa kampuni ya alex stewart kinyume na ushauri uliokuwa umetolewa na wataalam mbalimbali ambao walipinga kuwa kampuni hiyo haikustahili msamaha huo baadhi ya wakazi wa eneo la kipawa ilala dar es salaam wanaohamishwa kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere wanatuhumiwa kutaka kuhujumu uwanja huo na kuchoma moto nyumba ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa huo bwana juma UNK kamanda wa polisi mkoa ilala bwana faustine shilogile aliwaambia waandishi wa habari dar es salaam jana kuwa watu hao ni miongoni mwa wanaodai fidia na polisi wanaendesha msako dhidi yao alisema juzi UNK mwenyekiti wa kamati ya wenye nyumba wanaodai fidia hizo bwana magnus mulisa ambaye alihojiwa na kuachiwa kwa dhamana tutahakikisha UNK wote waliotoa vitisho hivyo kwa kuwa tunao mashahidi wakutosha ambao walisikia baadhi yao wakitoa vitisho hivyo katika mikusanyiko wanayoifanya alisema bwana shilogile aliongeza kuwa jadala la hujuma dhidi ya uwanja huo limefunguliwa kituo cha polisi msimbazi na lile la kutaka kuchoma moto nyumba ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa limefunguliwa kituo cha polisi UNK alisema wakazi hao septemba kumi na nne mwaka huu walikusanyika ofisi za mkuu wa wilaya ilala bwana evans balama kushinikiza kulipwa fidia zao kwa kutumia sheria mpya ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa badala ya ile iliyotangazwa na serikali ya mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba bwana shilogile alisema baada ya kutofikia maafikiano na mkuu huyo wa wilaya kuhusu sheria itakayotumika kuwalipa walitoa lugha ya vitisho mbele yake kitendo UNK utovu wa nidhamu aliwataka wakazi hao kuacha kufanya mikusanyiko isiyo halali na kutishia kuandamana kwenda ikulu kwani upande wa usalama hautasita kuchukua hatua kali dhidi yao pindi UNK sheria alisema polisi inatarajiwa kukamilisha msako huo wiki ijayo na wote UNK kuhusika watafikishwa mahakamini kujibu tuhuma zinazowakabili hali bado si shwari kisiwani pemba katika shughuli ya uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura kutokana na kuendelea vitendo vya kumwaga upupu kwenye vituo vya kujiandikisha chumba cha uandikishwaji katika skuli ya nungwi kililazimika kuhamishwa baada ya kuta meza na viti vilivyokuwa UNK na waandikishaji kupakazwa UNK akizungumza na waandishi wa habari waliotembelea kupata UNK ya shughuli hiyo mkuu wa kituo cha UNK skuli ya nungwi bibi sunna seif ahmed alisema walilazimika kuhamia chumba kingine baada ya kubaini upupu huo tumelazimika kuhama chumba kwani meza kuta na vitu vyote UNK upupu wenzetu waliotangulia asubuhi wamekutana na adha hii alisema bibi UNK kituo cha nungwi ni miongoni mwa vyenye watu wengi ambako pia kumekuwa na tafrani za hapa na UNK tangu kuanza shughuli hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita wakizungumzia hali hiyo wakazi wa maeneo hayo ambao wamekosa sifa ya kujiandikisha walidai kuwa kinachofanyika sasa ni kuambiwa wafuate vitambulisho katika ofisi ya mkurugenzi wa vitambulisho eneo la gamba ambako nako kuna idadi kubwa ya wananchi ambao huzuiwa kupata vitambulisho tumefika hapa leo siku ya tatu kutokea tumbatu lakini hadi sasa hakuna dalili ya kupata vitambulisho UNK makusudi ili UNK watu UNK alisema bwana khamis haji ali mkazi wa tumbatu aidha majira ilifika katika ofisi za vitambulisho vya gamba na kushuhudia umati mkubwa ukisubiri vitambulisho jitihada za kuwaona maofisa watoa vitambulisho zilikwama baada ya mlango wa ofisi yao kufungwa mara baada ya kusikia kuna waandishi wamefika ofisini hapo kujua chanzo cha tatizo linalosababisha uandikishwaji kukwama wakati huo huo waathirika ambao nyumba zao ziliteketea kwa mabomu wakati UNK kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura katika shehia ya sizini kaskazini pemba wamepata hifadhi kwa majirani zao familia hizo ni za bwana dadi sheha hassan bwana juma makame juma na naibu sheha wa sizini bwana suleiman UNK ambao wote nyumba zao UNK kwa mabomu yaliyorushwa na polisi juzi asubuhi aidha katika sakata hilo watu wanne wanashikiliwa na polisi kufuatia matukio ya vurugu yanayodaiwa kusababishwa kuteketezwa nyumba hizo watu hao ni yusuf haji yusuph kombo hassan UNK hamad na UNK bakari ambao walifikishwa katika mahakama ya mkoa ya wete kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mbunge wa jimbo la micheweni bwana shoka hamis shoka washitakiwa hao walifikishwa mahakamani na kujidhamini kwa fedha taslimu shilingi milioni moja na dhamana ya mali isiyohamishika yenye thamani ya shilingi milioni kumi kila mmoja wakati huo huo baadhi ya watu waliokimbia makazi yao wakati wa vurugu hizo kisiwani pemba juzi walianza kurejea kutoka mafichoni baadhi ya wananchi hao waliokimbilia shumbu ya mjini katika jimbo la micheweni na wale waliokimbilia mashambani walifuatwa na mbunge wa jimbo hilo bwana shoka na kuwataka warejee UNK serikali kwa kuficha uovu wao waeleze ukweli kuhusu chanzo cha mtaji wao wasitumie uchaguzi kama kinga yao mratibu wa shirika la kimataifa la mkate wa kila siku mchungaji UNK mwaisumbe amewaonya maaskofu walioibuka na kuitisha serikali kwa ajili ya kuzuia taasisi yao ya upatu ya deci UNK ambapo amesema vitisho hivyo ni kelele mbele za mungu akizungumza katika mahojiano maalumu jana alipokuwa anaeleza mpango wa shirika lake alisema kazi ya maaskofu ni kuwatunza watu kiroho na si kujiingiza katika malumbano na serikali kwa kisingizio cha kutetea ukweli unajua kazi ya maaskofu ni kubwa sana wao ni wawakilishi wa mungu duniani kazi yao ni kuzungumza na mungu moja kwa moja tena wakijipanga sawa sawa yaweza kutokea yale za zamani ya mungu kushuka ana kwa UNK sasa huu ugomvi wa fedha umetoka wapi alihoji aliwahadharisha kuwa wasije wakawa wanatumika kwa ajili ya kuharibu amani na utulivu nchini ambao unatokana ukweli kuwa pamoja na watu wengi kuwa na maisha magumu wameridhika na kuipenda nchi yao na kuendelea UNK mungu kama ilivyo sasa hofu yangu ni pale pale ambapo malumbano haya UNK siasa kwa maaskofu hawa waanzilishi wa deci kutoa matamshi ya kusema mwakani ni kipindi cha uchaguzi na hivyo kuonesha kuwa UNK rais jakaya kikwete hapo UNK kuwa wamesahau wajibu wao alisema alisema kinachotakiwa kwa watumishi hao wa mungu ni kuwa na hofu ya mungu na kuamua kuwa wakweli katika kusema undani wa taasisi hiyo na chanzo cha mapato yake ili kuondoa hofu miongoni mwa watanzania ambao kwa sasa wengine wamefikia kusema fedha hizo ni za kuzimu mchungaji mwaisumbe wa kanisa la baptist alisema ukweli unashinda fitina na UNK hivyo maaskofu hao waanzilishi wa deci wanachotakiwa kufanya ni kujibu maswali yaliyopo na kuachana na imani kuwa kuna mkono wa mtu aliwaonya maaskofu na wachungaji waliojiingiza katika taasisi hiyo kujihadhari katika kipindi hiki chenye malumbano mengi ya kisiasa ambayo alisema yaweza kuwaambukiza na kujikuta wakiacha hoja ya msingi ya kujibu maswali yenye utata kwenye taasisi yao waziri asema lengo ni kulinda mazingira ya uwekezaji adai serikali inahofia fidia kubwa inayoweza UNK pia inaogopa kuchafuliwa na mwekezaji nje ya nchi hata hivyo akiri upungufu mkubwa wa mwekezaji serikali imesema kamwe haiwezi kuvunja mkataba wake na kampuni ya reli tanzania ili kulinda mazingira ya uwekezaji nchini na kuhofia gharama kubwa UNK kutozwa endapo itachukua uamuzi huo hatua hiyo imekuja siku chache baada ya chama cha wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania na wadau wengine kutaka mkataba trl uvunjwe kutokana na kusuasua kwa mwekezaji kampuni ya rites kutoka india kuendesha reli hiyo akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa alisema kuvunjwa mkataba huo kunaweza kusababisha mwekezaji atakayefukuzwa kuitangaza tanzania vibaya nje ya nchi kuvunjwa mkataba wa trl kutasababisha watanzania kuingia gharama kubwa kulipa fidia wawekezaji hao serikali haiwezi kuvunja mkataba kirahisi kama wengi wanavyofikiria kwa sababu mkataba huu ni wa kimataifa unaohusisha nchi tatu ambazo ni tanzania india na msumbiji hivyo badala yake ina uharaka wa kutenga fedha nyingi za kuboresha reli hata kama mwekezaji ataendelea kuwepo umoja wa mataifa una orodha ya nchi UNK mikataba iliyosainiwa kihalali UNK huu UNK baadaye kama UNK kuuvunja utakuwepo utaratibu maalum wenye maridhiano baina ya pande zote mbili huu ni mkataba wa kimataifa UNK kamwe alisema daktari kawambwa huku waandishi wa habari wakionekana kuwa na hamasa kuuliza maswali juu ya kile kinachoonekana kuwa utendaji mbovu wa trl waziri kawambwa alikiri kudorora huduma za reli hiyo tangu trl UNK jukumu hilo alitaja kasoro zinazosababisha kudorora huduma hizo kuwa ni pamoja na matatizo ya UNK na uwezo mdogo UNK mwekezaji huyo pia alikiri kuwepo upungufu ya mtaji katika utekelezaji wa mkataba wa ukodishaji ambapo alisema hali hiyo imesababisha uhaba wa pesa ambazo zingetumika kufanyia matengenezo njia ya reli na kukarabati vyombo vya uendeshaji akizungumzia uhalali wa ukodishwaji wa lililokuwa shirika la reli ya tanzania uliozaa wa sasa wa trl alisema waraka wa baraza la mawaziri na ishirini na tisa ishirini sifuri sita uliruhusu utumike utaratibu wa ubia katika kuendesha na kugharamia trl kati ya serikali ya tanzania na kampuni ya rites kutoka india daktari kawambwa alikiri kuwa mkataba huo una matatizo ambayo ni trl kutozingatia mkataba wa ukodishaji uongozi wa trl kutotekeleza makubaliano ya nyongeza ya mshahara wa kima cha chini kati yake na trawu kuhusu uhalali wa rites UNK trl injini na mabehewa na kuamua kusitisha matumizi ya vifaa hivyo mpaka UNK dola za marekani milioni kumi na tatu arobaini na mbili daktari kawambwa alisema serikali haina habari na deni hilo kwani mkataba huo ni kati ya trl na rites alisema serikali itaendelea kuikopesha trl UNK na vitendea kazi vingine alitoa rai kwa wafanyakazi na kuendelea kuchapa kazi kwa mujibu wa kanuni za ajira na kuacha kuingilia majukumu ya serikali ambayo ndiyo ilisaini mkataba nchi ni yetu sote lazima tufuate kanuni na utaratibu wa utawala bora hivyo wasifanye maamuzi yoyote ya kuiondoa UNK ya trl wafanye kazi UNK wananchi wawe wavumilivu kwa kuwa hali ya sasa ya trl ni ya mpito ambayo itarekebishwa na kupatiwa ufumbuzi wa kudumu alisema bwana kawambwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi bwana lawrence masha na mkuu wa jeshi la polisi nchini said mwema wanatarajia kwenda pemba wiki ijayo kufuatilia hali ya usalama kisiwani humo naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi balozi khamis kagasheki alisema hayo dar es salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari katika maadhimisho ya siku ya amani ambayo hufanyika kila mwaka septemba ishirini na moja bwana kagasheki alisema serikali UNK zanzibar katika suala la amani bali katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu joto la siasa UNK ndiyo maana hali inaonekana si nzuri na kuitia nchi doa mbaya katika kulitambua hili viongozi wetu watatembelea na kufanya mikutano na wananchi kutafuta njia ya kudhibiti hali ya uvunjifu wa amani inayojitokeza mara nyingi katika kisiwa hicho alisema balozi kagasheki alisema tatizo zanzibar lilikuwepo tangu enzi za baba wa taifa mwalimu julius nyerere hivyo katika kipindi hiki ni vyema wanasiasa wasitumie vibaya demokrasia UNK wananchi alisema baadhi ya viongozi wa siasa na viongozi wa dini wamekuwa chanzo cha kuchochea migongano miongoni mwa nchi na kuhatarisha amani na utulivu ambayo nchi imekuwa UNK kwa muda mrefu balozi kagasheki alisema nchi ikipoteza amani na utulivu shughuli za maandeleo zinasimama na kulitumbukiza taifa katika umasikini uliokithiri aidha alisema katika maadhimisho ya siku ya amani nchi za maziwa makuu zinatakiwa kudhibiti UNK silaha ndogondogo na kubwa ili kuzuia machafuko ambayo ni hatari kwa maisha ya watu na mali zao maadhimisho hayo yaliandaliwa na umoja wa mataifa kwa ajili ya kuwajengea uwezo vijana na wanafunzi katika kupambana na mazingira yanayochangia uvunjifu wa amani nchini wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania wanajipanga kutoa tamko zito dhidi ya msimamo wa serikali kuhusu kampuni hiyo uliotolewa na waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa juzi kauli ya wafanyakazi imekuja baada ya waziri huyo kutangaza juzi kuwa kamwe serikali UNK mkataba wa trl ili kulinda mazingira ya uwekezaji ikiwa ni pamoja na kuhofia gharama kubwa inayoweza kutozwa endapo itachukua hatua hiyo wakizungumza na gazeti hili dar es salaam jana wafanyakazi hao ambao hawakutaka majina yao yatajwe gazetini walidai UNK na tamko la serikali kwa kuwa ndilo UNK kutokana na serikali kuwa upande wa mwekezaji siku zote tupo katika mchakato wa kukusanya maoni ya wafanyakazi wa vituo vyote vya reli nchini juu ya kauli ya serikali ili maamuzi UNK yawe zaidi ya tamko la waziri na serikali isije UNK kwa hatua UNK chukua alisema mmoja wa wafanyakazi hao awali chama cha wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania kiliitaka serikali kuvunja mkataba wa trl kutokana na kusuasua kwa mwekezaji rites katika kuendesha reli hiyo ambapo waliahidi kusambaratisha ofisi za menejimenti ya trl endapo agizo lao UNK wafanyakazi hao walisema mkataba huo umekuwa wa siri kubwa jambo linalowafanya kukosa imani na serikali kwa kile wanachoamini kuwa inajaribu kuficha upungufu uliomo kwenye mkataba huo waziri aliomba UNK siku kumi ili kuutafutia ufumbuzi mgogoro uliokuwa unaendelea ndani ya trl na kama haya ndio majibu yake tunashawishika kuamini kuwa serikali iko tayari kumkandamiza mtanzania kwa lengo la kujisafisha katika anga za kimataifa alisema wafanyakazi hao walionesha kupoteza matumaini kwa serikali huku baadhi wakisifu kitendo walichokiita cha kishujaa cha kuvunjwa kwa mkataba wa city water na aliyekuwa waziri mkuu bwana edward UNK naye ofisa habari wa trl bwana UNK maez alipotakiwa kutoa ufafanuzi juu ya maamuzi ya serikali kushindwa kuvunja mkataba huo alisema suala hilo UNK rites kwa kuwa ndio UNK kukumbatiwa na serikali hata hivyo ofisa wa wizara ya miundombinu bwana martin ntemo alisema upande UNK kuvunja mkataba ni kampuni ya rites na si serikali kwa kuwa kampuni hiyo ndio iliyoshindwa kuendelea na mkataba huo juhudi za kumtafuta katibu wa mkuu wa bwana sylivester rwegasira kutoa msimamo wa chama hazikufanikiwa kutokana na kuwa nje ya ofisi kwa shughuli za kikazi habari hii imeandikwa na benjamin masese elisante kitulo na makumba mwemezi tangazo UNK magazetini UNK wizara menejimenti hawana taarifa tangazo la kazi kwa nafasi ya mkurugenzi mtendaji wa shirika la umeme tanzania lililotolewa kwenye baadhi ya magazeti jana limezua utata mkubwa huku kila upande ukidai UNK utata huo uliibuka baada ya menejimenti ya tanesco kueleza kushtushwa na tangazo lililotolewa na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa shirika hilo akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu ofisa uhusiano wa tanesco bibi badra masoud alisema ofisi yake haina taarifa zozote za kuwepo tangazo linalohitaji mtu mwenye sifa za kuwa mkurugenzi wa shirika hilo nafasi hiyo kwa sasa inashikiliwa na daktari idrisa rashid matangazo yote yanayotolewa na shirika hili hupitia ofisini kwangu kabla ya kutolewa magazetini nasikitika kusema kuwa tangazo hilo UNK na sasa nipo bagamoyo kwenye mkutano alisema bibi badra aliongeza kuwa ofisi yake haitahusika na gharama za tangazo hilo magazeti haijafahamika kwamba tangazo kwa hilo linatokana na kumalizika mkataba wa ajira kwa nafasi hiyo au ni kusitishwa kwa sababu za kiutendaji naye msemaji wa wizara ya nishati na madini bwana aloyce tesha alipoulizwa kuhusu suala hilo alisema tanesco ni shirika la umma UNK na bodi hivyo jukumu la kutangaza nafasi ni la bodi si serikali serikali huandaa sera na kanuni kwa ajili ya mashirika ya umma lakini haihusiki katika kuendesha mashirika hayo mwenyekiti wa bodi wa shirika hilo ndiye mwenye mamlaka ya kutoa tangazo hilo alisema aliongeza kuwa wizara yake haitahusika na gharama zozote za tangazo hilo wala uwajibikaji wowote kwakuwa limetolewa na bodi ya wakurugenzi wa tanesco na si wao tangazo lingekuwa ni letu UNK tumeweka saini yetu sisi na ndio maana mnaona amesaini mjumbe wa bodi ya tanesco kwa hiyo wao ndiyo wenye majibu yote kuhusiana na nafasi hiyo kutangazwa alisema bwana tesha gazeti hili lilifanya jitihada za kumtafuta mwenyekiti wa bodi hiyo bwana peter UNK kwa njia ya simu ili kujiridhisha juu ya uhalali wa tangazo hilo lakini jitihada hizo hazikufanikiwa habari hii imeandaliwa na christina gauluhanga elisante kitulo benjamin masese na makumba mwemezi mahakama ya wilaya ya ilala dar es salaam imetupilia mbali hoja za upande wa utetezi kuhusu kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili vigogo wanne wa benki kuu ya tanzania na kuonya kuwa hawakutakiwa kutoa hoja yoyote kabla ya washitakiwa hao kusomewa mashitaka yanayowakabili hoja hizo zilitupwa jana mahakamani hapo na hakimu mfawidhi bwana samwel maweda wakati akitoa uamuzi wa hoja mbalimbali zilizotolewa na wakili wa utetezi bwana mpare mpoki uamuzi huo ulilenga kwenye hoja mbili moja ikiwa ni kinga ya watuhumiwa hao kazini na kama ilikuwa halali kwa mawakili kuwasilisha hoja hizo mahakamani hapo akizungumzia suala la kuwasilisha hoja mahakamani hapo alisema kuwa haikuwa halali upande huo kuanza kuwasilisha hoja kabla ya watuhumiwa hao kusomewa hati ya mashitaka alisema kuwa kifungu cha sheria namba mia mbili na arobaini na tano cha cpa kinatoa maelekezo yote kuhusu makosa ya aina hiyo kuanzia kukamatwa kwa washitakiwa hadi kufikishwa mahakamani kuhusu kinga ya waliyonayo watumishi wa bot alisema anakubaliana na upande wa mashitaka kuwa inawalinda watumishi ambao wametenda makosa wakiwa na nia njema lakini kwa upande wa makosa ya washitakiwa hao haiwezi kutumika alisema kesi hiyo imefunguliwa chini ya sheria ya uhujumu uchumi ambayo inaeleza bayana kuwa inaweza kufunguliwa katika mahakama ya wilaya kwa hatua za awali na baadae kusikilizwa katika mahakama kuu ya tanzania yenye mamlaka ya kufanya hivyo kutokana na hayo alitupilia mbali hoja zote za utetezi na kuamuru washitakiwa hao kurejeshwa rumande hadi oktoba mbili mwaka huu kesi hiyo itakapokuja kwa ajili ya kutajwa katika hali isiyokuwa ya kawaida wakati washitakiwa hao wanaingizwa mahakamani huku UNK na askari magereza askari hao waliwazuia waandishi wa habari kufanya kazi zao ambapo walizingira mlangoni na kuamuru wasiingie ili kuifanya mahakama hiyo kuwa na hewa mbali na kuzuia waandishi kuingia pia waliwazuia wapiga picha kuwapiga picha vigogo hao bila kubainisha sababu ya kufanya hivyo ambapo hali hiyo imekuwa tofauti na katika kesi zingine UNK washitakiwa wamekuwa wakipigwa picha kwa ajili ya jamii UNK awali washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo wakikabiliwa na mashitaka matatu ya uhujumu uchumi ambapo wameisababishia hasara kwa serikali ya shilingi bilioni kumi nne watuhumiwa hao ni mkurugenzi wa benki kuu ya tanzania bwana saimon jengo naibu mkurugenzi wa idara ya sarafu bwana kisima mkango mwanasheria wa bot bwana bosco kimera na bwana ally bakari ambaye ni ofisa wa bot katika mashitaka yao ya kwanza ambayo yalimkabili bwana jengo na bwana mkango walidaiwa kuchukua oda kutoka kwa mtoa huduma ya uchapishaji wa noti na kubadili tarakimu za hesabu kwa kuweka kiasi kikubwa tofauti na kilichokuwa kinatakiwa mbali na hiyo pia bwana jengo alidaiwa kutoa amri ya uchapishaji wa noti nyingi zaidi ya kiasi kilichokuwa kinatakiwa na idara ya sarafu katika mashitaka mengine ambayo yaliwakabili washitakiwa wote walidaiwa kuwa wakiwa waajiriwa wa benki hiyo walisababisha hasara ya shilingi kumi nne mia moja na hamsini na nane mia tatu na thebathini na tisa mia moja na arobaini na sita katika makosa hayo washitakiwa hawatakiwi kujibu chochote mpaka kesi hiyo UNK katika mahakama kuu ya tanzania waislamu wa makundi mbalimbali nchini wameanza kulumbana kufuatia kutolewa kwa mwongozo unaoelekeza waumini wao jinsi ya kuchagua viongozi kwenye uchaguzi mkuu wa mwakani kutokana na malumbano hayo yanayotokana na upande mmoja kuukubali na wengine kuukataa amiri wa baraza kuu jumuia na taasisi za kiislamu sheikh mussa kundecha amemshambulia katibu wa kamati ya kuokoa mali za waislamu sheikh khalifa khamis kuwa upeo wake wa elimu ya dini ni mdogo na anajipendekeza kwa baraza kuu la waislamu tanzania kwa maslahi binafsi kundecha ambaye pia amiri mkuu wa shura ya maimamu tanzania alitoa kauli hiyo alipoongea na majira kuhusu kauli ya sheikh khamisi kuwa mwongozo wa waislamu ulihusisha kikundi kidogo cha answar sunnah na si waislamu wote nchini na kuwa kuran UNK kila kitu kuhusu siasa uchumi utamaduni na hata teknolojia shekhe khalifa alisema kuwa hakuna haja yoyote ya kutoa mwongozo wowote wa kisiasa kwa kuwa hakuna faida yoyote na kuwa msimamo wao ni kuwa kila anayetaka kugombea katika ngazi mbalimbali na afanye hivyo sisi tuna msimamo toka awali kuwa waislamu wanapaswa kugombea nafasi mbalimbali kama udiwani na ubunge alisema shekhe khalifa alifafanua kuwa katika uislamu kila kitu kimewekewa misingi na taratibu zake kwani masuala ya kisiasa kiuchumi na kiutamaduni yameelezwa katika vitabu hivyo kauli ya shehe khamis haina tofauti na iliyotolewa na sheikh wa bakwata mkoani dar es salaam mussa salum wakati wa akitoa salamu za idi kuwa uislamu unajitosheleza na hivyo hakuna haja na kuongeza mwongozo wowote wa kisiasa akijibu hoja hizo sheikh kundecha mbali na kuzama katika kauli iliyotolewa kwanza alimvaa binafsi shekhe khalifa kuwa si UNK katika mambo mbalimbali na anajipendekeza bakwata ili kupata kile UNK tatizo ni kuwa khalifa haelewi maana ya kuran kinachomsumbua ni elimu ndogo ya dini kiwango chake cha ufahamu ni kidogo alisema shekhe kundecha lakini sheikh kundecha alitofautiana na kauli hizo akisema kuwa kuran imeelekeza mambo mengi ambayo yanahitaji ufafanuzi katika utekelezaji wake kwa mfano alisema katika kuran mwenyezi mungu amewataka waislamu kuswali lakini haikusema kuwa UNK vipi na kwa nyakati gani imewataka waislamu kufungua benki za kiislamu lakini haikusema ziendeshwe vipi isipokuwa kuna maelezo ya kina katika kufanikisha kila mahitaji ya kitabu hicho alisema kuwa kauli ya shekhe khalifa inaonesha wazi kuwa uwezo wake katika masuala ya dini ni mdogo na ndio maana UNK katika kuran bila kujua kuwa inahitaji ufafanuzi katika utendaji wake akirejea kauli ya shekhe khalifa kuwa mwongozo huo umetolewa na kikundi kidogo cha answar sunnah alisema kuwa ukweli haupimwi kutokana na idadi ya watu isipokuwa kile kilichomo ndani yake na wingi wa watu UNK ukweli huo ukweli wa jambo haupatikani kwa kusemwa na watu wengi hata mtu mmoja akisema jambo la kweli litabaki kuwa la kweli alisema shekhe kundecha alisema kuwa mwongozo huo UNK chumbani ulitolewa hadharani na kila mtu aliyetaka kuusoma UNK uliwekwa hadharani na kila aliyetaka kuuona alifanya hivyo alisema kuwa waislamu wa tanzania hawawi waislamu kwa kuwa kwenye bakwata pekee na bahati nzuri nchi hii imetoa uhuru na ndio maana kuna taasisi nyingi za kidini zimesajiliwa alisema shekhe kundecha mapema shekhe khalifa aliunga mkono kauli ya sheikh salum kuwa ni sahihi na haina utata wowote kwa kuwa kila kitu kimehifadhiwa katika UNK alisema kuwa nchi hii si ya kidini na hivyo hakukuwa na ulazima wala faida za msingi ya kuwa na mwongozo wa jinsi ya kuchagua viongozi wa kisiasa yumo aliyekuwa naibu wake makamishna wa madini na nishati vigogo kutoka idara mbalimbali serikalini akiwemo aliyekuwa naibu waziri wa fedha bwana abdisalaam issa khatibu watapanda kizimbani kutoa ushahidi dhidi ya mawaziri waandamizi wa serikali ya awamu tatu bwana basil mramba wa fedha na bwana daniel yonna wa nishati na madini mashahidi hao walitajwa jana na upande wa mashitaka katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu watatu bwana john utamwa bwana saul kinemela na bwana sam rumanyika baadhi ya mashahidi hao wapo waliohusika na kutoa ushauri kwa washitakiwa hao kuhusiana na ama kusitisha mchakato wa kuajiri kampuni ya kukagua dhahabu alex stewart au UNK kupewa msamaha wa kodi kwa kampuni hiyo akitaja mashahidi hao wakili mkuu wa serikali bwana boniface stanslaus alisema kuwa upande huo unatarajia kuita mashahidi kumi na saba kuthibitisha mashtaka dhidi ya washitakiwa hao mbali na bwana khatibu mashahidi wengine ni waliokuwa makamishna wa nishati na madini bwana gray mwakalukwa na bwana bashir mrindoko na maafisa wengine wa juu serikalini akiwamo UNK na mkuu wa kitengo cha sheria katika wizara ya nishati na madini bwana godwin UNK wengine ni mkurugenzi wa sheria za madai na za kimataifa bibi maria kejo bibi betha soka bibi rehema kitambi bwana mustapha ismail bwana ludovick kandege bwana saddy kambona christine shekidele bwana p kasera bwana agrey teemba bwana george kaindoa kesysia mbatia nakuwera senzia na bwana george tigiti baada ya kutajwa kwa mashahidi hao bwana stanslaus UNK mahakama iamuru upande wa utetezi nao UNK mashahidi wao watakaofika mahakamani hapo kutoa ushahidi kadri waraka wa jaji mkuu UNK hoja hiyo ilipingwa na wakili wa utetezi bwana herbert nyange kuwa kwa mujibu wa sheria za mwenendo wa jinai katika kifungu cha mia mbili na thebathini na mia mbili na thebathini na moja vinatoa maelekezo namna mshitakiwa UNK kujitetea baada ya kukutwa na kesi ya kujibu alisema kuwa sheria hiyo inamtaka mshitakiwa kutaja mashahidi wake baada ya kufungwa mashitaka na mahakama kuwakuta washitakiwa na kesi ya kujibu huu ni waraka tu wa jaji mkuu ambao hauwezi UNK sheria zilizotungwa na bunge hivyo UNK na ombi la upande wa mashitaka alisema bwana nyange kutokana na hoja hiyo mahakama UNK upande wa mashitaka kuusoma waraka huo mahakamani hapo kwa ajili ya mawakili wa upande wa utetezi ili waweze kuuelewa na kutoa sababu za UNK nadhani tutoe muda kwenu ili UNK vizuri huo waraka kwani nayo ni sheria lakini mbali na waraka huo someni na sheria mbalimbali zinazohusiana na suala hili ili tutakapokutana mje na hoja za kisheria ambazo UNK mahakama kufikia uamuzi wa haki alisema bwana utamwa kutokana na uamuzi huo kesi iliahirishwa mpaka leo ambapo itakuja kwa ajili ya malumbano ya kisheria kwa pande zote mbili kuhusiana na kutajwa au kutotajwa kwa mashahidi wa washitakiwa waraka wa jaji mkuu unatoa mwongozo au UNK upande wa utetezi kuelezea mashahidi wake mara baada ya upande wa mashitaka kumaliza hatua ya usomaji wa maelezo ya awali ya washitakiwa mbali na akina mramba kesi hiyo inamkabili pia aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha na uchumi bwana gray mgonja wote kwa pamoja wanadaiwa kutumia vibaya ofisi zao na kusababisha hasara ya mabilioni ya fedha kwa serikali kwa mujibu wa maelezo ya awali na nyaraka zilizosomwa mahakamani bwana yona alikaidi ushauri wa wataalam mbalimbali kuhusiana na kuajiri kampuni hiyo ambayo ilipewa misamaha ya kodi na kusababisha hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba mbali na huyo pia bwana mramba naye alidaiwa kutoa maelekezo ya kusainiwa kwa hati ya makubalino kati ya serikali na kampuni hiyo bila ya suala hilo kufikishwa kwenye baraza la mawaziri au hati hiyo kufikishwa kwa mwanasheria mkuu wa serikali kati ya mashahidi waliotajwa na upande wa mashitaka shahidi namba kumi na saba ambaye ni bwana shekidele ndiye aliandika barua ya ubadhilifu huo kwenda kwa mkurugenzi wa taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa akiomba kuchunguzwa kwa upotevu wa fedha hizo uliosababishwa na misamaha ya kodi kwa kampuni hiyo ambayo ililipwa jumla shilingi bilioni hamsini na sita tano upande wa utetezi katika kesi ya wizi wa mamilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje inayowakabili kada wa ccm bwana rajab maranda na wafanyakazi wa benki kuu ya tanzania umepinga kurejeshwa bot kwa jalada ambalo lilitolewa kama kielelezo mahakamani kwani kufanya hivyo ni kuvunja katiba ya nchi pingamizi hilo liliwasilishwa jana na wakili wa utetezi bwana mpare mpoki katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu bwana john utamwa bwana ignas kitusi na bibi eva nkya akiwasilisha hoja za kupinga kurejeshwa kwa jalada hilo alisema kuwa mahakama hiyo kwanza haina uwezo tena wa kusikiliza maombi ya upande wa mashtaka kuhusiana na jalada hilo kwa kuwa tayari imeshatoa uamuzi wake na kuzuia alisema kuwa upande wa mashitaka UNK kuwasilisha ombi hilo kwa kuwa tayari limetolewa uamuzi hivyo walitakiwa kwenda mahakama ya juu zaidi hoja nyingine ni kuhusiana na kiapo cha upande wa mashitaka ambacho bwana mpoki alidai kuwa baadhi ya vipengele UNK uhuru wa mahakama ambayo haitakiwi kuingiliwa kwa mujibu wa katiba ya nchi kuna kipengele kinasema kuwa jalada hilo linatakiwa bot na kampuni ya lazard ambayo inafanya kazi kwa maelekezo ya rais katika akaunti na epa hivyo kipengele hiki kinaingilia moja kwa moja uhuru wa mahakama na endapo mahakama UNK na kiapo hiki ni kuvunja katiba ya nchi alisema bwana mpoki kwa upande wa mashitaka ulizidi kuiomba mahakama hiyo kukubaliana na ombi lao kwa kuwa mahakama hiyo ilisema wanayo nafasi ya kufanya hivyo upande huo ulisema kuwa kampuni ya lazard kufanya kazi kwa maelekezo ya rais haihusiani na kesi hiyo kwa kuwa jalada hilo linahitajika kwa kazi mbalimbali za kibenki mahakama hiyo itatoa uamuzi wake oktoba kumi na mbili mwaka huu ambapo kesi hiyo itaendelea kusikilizwa kwa siku mbili mfululizo washitakiwa hao ni bwana maranda bwana farijala hussein bwana imani mwakyosa bibi ester komu na bibi kimera ambao wote kwa pamoja wanadaiwa kuiba jumla ya shilingi milioni ishirini saba moja katika benki kuu ya tanzania baada ya kughushi nyaraka mbalimbali askari ishirini sifuri kutoka vikosi vya jeshi la magereza na jeshi la kujenga taifa wilayani rungwe wamewasili katika msitu wa mlima rungwe mkoani mbeya kukabiliana na moto unaoendelea kuteketeza mlima huo serikali mkoani mbeya imelazimika kuomba msaada wa vikosi hivyo baada ya moto huo ulioanza kuwaka tangu septemba kumi na nane mwaka huu kuwazidi nguvu wananchi mkuu wa mkoa wa mbeya bwana john mwakipesile aliliambia gazeti ili kwa njia ya simu jana kuwa moto huo umeleta athari kubwa kwa rasilimali za misitu zilizopo katika mlima huo nilipojaribu kuuliza chanzo cha moto huo kila mtu amekuwa akizungumza lake wengine wanasema ni hujuma na wengine wanadai kuwa wanafunzi walipanda juu ya mlima huo na kuwasha moto lakini mpaka sasa chanzo cha moto huo hakijajulikana alisema alisema kuwa ili kujiridhisha na tetesi hizo ameunda kamati maalumu ili kubaini chanzo cha moto huo moto UNK juu ya miti huwezi kuuzima mchana kutokana na upepo unaovuma na hivyo kulazimika kuuzima usiku na ule wa chini UNK lakini baada ya muda unawaka tena hivyo mpango huu kuwa mgumu alisema bwana mwakipesile alisema kuwa kila wanapojaribu kuuzima na kufanikiwa wakishuka chini unaanza tena kuwaka hali ambayo imesababisha UNK kuwa gumu kwao huku hofu ya mafua ya nguruwe ikiendelea kutawala miongoni mwa watanzania mgonjwa mmoja amegundulika na ugonjwa na amelazwa katika hospitali ya taifa muhimbili habari UNK UNK majira na kuthibitishwa na mkurugenzi wa huduma ya tiba wa mnh profesa andrew swai mgonjwa huyo ambaye ni mtoto amelazwa katika uangalizi maalum na hali yake inaendelea vizuri hata hivyo profesa swai alikataa kutaja jina lake kwa maelezo kwamba kufanya hivyo ni kinyume cha maadili ya kazi yake mimi sipo UNK hata hivyo nimetoka nipo ofisini jina la huyo mtoto UNK ila yupo na anaendelea vizuri na yupo chini ya uangalizi maalumu ili UNK wengine alisema unajua tumejizatiti kukabiliana na ugonjwa huo kila kona kuanzia katika mipaka ya kuingia nchini bandarini na viwanja vya ndege vilivyopo nchini ili kuhakikisha usienee hivyo mgonjwa huyo yupo katika uangalizi maalumu aliongeza profesa swai alidai kuwa mgonjwa si mgeni bali ni mtanzania na anaendelea vizuri na matibabu hivi karibuni wagonjwa wengine wawili raia wa uingereza waligundulika kuwa na ugonjwa huo na kukimbizwa katika hospitali ya taifa muhimbili kwa matibabu raia hao ambao ni ndugu wa familia moja wanaoishi mbezi beach jijini walibainika kuwa na ugonjwa huo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu julius nyerere wakati wakirejea kutoka nairobi kenya walikokwenda kukutana na ndugu zao mgonjwa wa kwanza hapa nchini kuwa na ugonjwa huo aligundulika julai nne mwaka huu katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere wakati akiingia nchini kwa ndege ya shirika la ndege la kenya taarifa ya wizara ya afya ilisema raia huyo wa uingereza alitoka london na kutua nairobi kenya kabla ya kuingia nchini mwanasiasa mkongwe ambaye alipata kuwa mgombea mwenza katika chama cha nccr mageuzi katika uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini sifuri tano bibi naila jidawi amesema UNK mkono chama cha mapinduzi kama kitasimamisha mgombea mzuri anayekubalika na wananchi katika nafasi ya urais wa zanzibar uchaguzi mkuu mwakani akizungumza na gazeti hili bibi jidawi alisema wazanzibari wanataka mgombea wa nafasi ya urais ambaye atasaidia kuvunja makundi na kuwaunganisha wananchi wote bila ya kujali itikadi za kisiasa mimi nitaunga mkono ccm kama itamsimamisha mgombea ambaye UNK wananchi wa visiwa vya unguja na pemba kwa kuleta suluhu kwani wananchi wamechoshwa na migogoro ya kisiasa isiyokwisha alisema jidawi alisema watu UNK na vitendo UNK amani na utulivu katika nchi kila wakati unapokaribia uchaguzi mkuu mambo ambayo UNK nyuma maendeleo na sekta ya uwekezaji nchini alifafanua kuwa kwa sasa hayupo katika chama chochote cha siasa lakini atakuwa tayari kurudi katika ulingo wa kisiasa kama atachaguliwa mgombea urais mwenye sifa za kuleta umoja na kuwaunganisha watu wa visiwa vya unguja na pemba kuwa wamoja kama miaka ya nyuma ccm UNK mgombea anayekubalika na wananchi kama chaguo lao basi mimi UNK kidete na kupiga kampeni nikimaanisha kurudi katika ulingo wa kisiasa alisema jidawi jidawi ni maarufu na anakubalika na wananchi wengi wenye kuamini itikadi tofauti za kisiasa huko katika mkoa wa kusini unguja na alitaka kuwa mgombea urais wa zanzibar na kutaka kupambana na katibu mkuu wa chama cha wananchi seif sharif hamad katika uchaguzi mkuu mwaka ishirini sifuri sifuri lakini cuf ilimwekea pingamizi kuwa ni mwanachama wake mwanasiasa huyo alimmwagia sifa rais amani abeid karume ambaye amefanya kazi kubwa katika kuimarisha miundombinu ya barabara zaidi vijijini katika visiwa vya unguja na pemba alisema hivi unatoka bwejuu mkoa wa kaskazini unguja hadi mjini kwa dakika arobaini na tano tofauti na miaka ya nyuma wakati barabara zilipokuwa katika hali mbaya ya mashimo na vumbi mimi sina chuki wala sisemi kwa ajili ya kujipendekeza lakini mtu mwenye sifa yake UNK karume amefanya kazi kubwa sana bwana katika sekta ya miundombinu mimi kama mwekezaji nimeridhishwa na hilo alisema jidawi jidawi ni mmoja ya wawekezaji wa mwanzo UNK wito wa serikali ya zanzibar ya kuwataka wazalendo kuwekeza katika sekta ya utalii huku akimiliki hoteli ya kitalii ya palm beach iliopo bwejuu mkoa wa kaskazini unguja serikali inafanya tathmini katika wilaya sitini na tano za mikoa kumi na tano yenye upungufu wa chakula nchini waziri wa kilimo chakula na ushirika bwana stephen wasira amesema mikoa inayofanyiwa tathmini kuanzia mwanzoni mwa mwezi huu ni pamoja na arusha manyara kilimanjaro tanga pwani morogoro dodoma singida tabora shinyanga mwanza mara mbeya lindi na mtwara ili kukabiliana na tatizo hilo serikali imetenga tani sitini na tano mia moja na sitini tano katika maeneo yenye upungufu na hadi septemba kumi na saba mwaka huu tani hamsini sifuri sifuri tatu sifuri tatu tano zilikuwa UNK kwa walengwa katika maeneo yaliyokumbwa na njaa hali hiyo ya upungufu wa chakula ilitangazwa jana na bwana wasira alipozungumza na waandishi wa habari kuelezea maandalizi ya kilimo kwa msimu wa ishirini sifuri tisa kumi na kutumia nafasi hiyo kutangaza kuendelea kutoa msaada wa chakula kwa wananchi wanakabiliwa na upungufu huo serikali itaendelea kutoa chakula kwa wananchi watakaothibitika kuwa wanaendelea kukabiliwa na upungufu wa chakula alisema bwana wasira ili kukabiliana na tatizo hilo bwana wasira alisema wakala wa hifadhi ya chakula ya taifa UNK sehemu ya chakula katika soko kwa lengo la kupunguza makali katika maeneo ya nchi UNK kuwa na bei kubwa ya chakula vile vile wizara inatoa wito kwa mikoa kuwahamasisha wafanyabiashara kununua chakula katika mikoa na maeneo yenye ziada na kukiuza katika maeneo yenye upungufu waziri huyo alisema serikali itaendelea kusitisha biashara ya uuzaji wa mazao ya chakula nchi za nje hadi hapo hali itakapokuwa nzuri bwana wasira alitoa wito kwa wakulima waliopata mavuno ya ziada UNK chakula cha kutosha kwa mahitaji ya kaya zao na kuuza ziada tu katika soko la ndani akizungumzia suala la wakulima watakaonufaika na ruzuku kwa utaratibu wa kutumia vocha alisema kuwa idadi imeongezeka kutoka wakulima mia saba na thebathini na saba sifuri sifuri sifuri mwaka jana na kufikia moja hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri mwaka huu wa fedha kwa utekelezaji wa bajeti ili kuongeza uzalishaji aliitaja baadhi ya mikoa UNK kuwa ni ile inayolima mazao ya nafaka kama ilie ya iringa mbeya rukwa ruvuma morogoro kilimanjaro arusha kigoma tabora mara mwanza kagera na shinyanga alisema ili kudhibiti udanganyifu mkulima atakabidhiwa vocha pale tu atakapotoa fedha za kuongezea katika bei ya pembejeo tofauti na ilivyokuwa awali ambapo mkulima alikuwa akikabidhiwa vocha mkononi na kutokuitumia kwa UNK kwa upande mwingine katika msimu wa mwaka ishirini sifuri nane sifuri tisa hali ya uzalishaji wa mazao ya chakula haikuwa nzuri kutokana na sehemu kubwa ya nchi kukabiliwa na ukame hali iliyosababisha bei za vyakula nchini kuwa juu na kufanya watu wa kipato cha chini kuwa na hali ngumu mahakama kuu maalumu mjini kahama mkoani shinyanga imewahukumu kunyongwa hadi kufa watu watatu baada ya kupatikana na hatia ya kosa la mauaji ya kukusudia ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi matatizo dunia mkazi wa bunyihuna bukombe waliohukumiwa kutumikia adhabu hiyo ni bwana masumbuko madata mkazi wa kijiji cha ituga wilayani bukombe bwana emmanuel masangwa mkazi wa kijiji cha UNK na bwana charles masangwa mkazi wa kijiji cha nanda bukombe akiwasomea hukumu yao iliyochukua muda wa saa moja jaji gabriel rwakibalila alisema ametoa hukumu ya kunyongwa kwa washitakiwa wote watatu baada ya kuridhishwa na ushahidi uliotolewa mahakamani hapo na upande wa mashitaka kuwa washitakiwa walitenda kosa hilo hukumu hiyo ya kwanza huenda itatuliza hasira za wanaharakati na serikali ambao wamekuwa wakidai kuwa hatua zinazochukuliwa dhidi ya wauaji wa albino ama hazistahili au UNK mno watu zaidi ya arobaini albino UNK nchini na viungo vyao vimekuwa vikiuzwa kwa imani za kishirikina baada ya wahusika UNK kupata utajiri kutokana na mauaji hayo makundi ya watu kadhaa wamekwishakamatwa lakini uendeshaji wa kesi zao umekuwa ukienda taratibu na hao ndio watuhumiwa wa kwanza kuhukumiwa jaji rwakibalila alisema pamoja na ushahidi uliotolewa na upande wa utetezi kuonesha kuwa washitakiwa hao hawakuwepo katika tukio hilo lakini ni utetezi huo huo UNK mahakamani hapo kuwa wao ndiyo waliokula njama na kufanya mauaji ya mtoto huyo desemba mosi mwaka jana jaji huyo aliieleza mahakama hiyo UNK wasikilizaji kuwa pamoja na dosari ndogondogo UNK na upande wa jamhuri bado haziwezi kuharibu kwa namna yoyote ile shitaka lililokuwa UNK alisema ushahidi wa mkemia mkuu wa serikali ulionesha wazi kuhusika kwa mshitakiwa wa kwanza na wa tatu katika mauaji hayo kutokana na kupatikana kwa vinasaba UNK na damu ya miguu yote miwili ya marehemu dunia kutokana na hali hiyo jaji huyo alisema ushahidi huo wa upande wa jamhuri unatosha kuwatia hatiani washitakiwa na kupewa adhabu hiyo kwa mujibu wa sheria ya makosa ya jinai mia moja na tisini na sita sura ya kumi na sita iliyofanyiwa marekebisho ya mwaka ishirini sifuri mbili kwa kuzingatia ushahidi huo jaji rwakibalila aliwahukumu washitakiwa kunyongwa mpaka kufa na hata hivyo alisema wanayo nafasi ya kukata rufaa katika mahakama ya juu iwapo watakuwa hawakuridhika na hukumu hiyo muda mfupi mara baada ya kutolewa kwa hukumu hiyo upande wa utetezi ukiongozwa na wakili bwana kamaliza kayaga UNK nia yake ya kukata rufaa katika mahakama ya rufaa kupinga hukumu hiyo hadi sasa kuna kesi nyingine hamsini za mauaji ya albino ambazo zinasubiri kufikishwa mahakamani katika kukabiliana na mauaji hayo serikali ya tanzania ilitangaza mikakati ya kukomesha mauji ya albino ambapo mwezi machi mwaka huu rais jakaya kikwete aliwataka watanzania kujitokeza na kutoa taarifa walizonazo mauaji hayo yamekuwa yakiongezeka katika nchi za maziwa makuu na julai mwaka huu mhakama ya nchi jirani burundi ilimuhukumu kifungo cha maisha jela na vifungo vingine tofauti watu wengine wanane kwa mauaji ya albino ambao viungo vyao vinadaiwa kuuwa tanzani inakadiliwa kuwa watu wapato kumi na saba sifuri sifuri sifuri wenye ulemavu wa ngozi wanaishi nchini tanzania asema hana tatizo naye UNK na jk akana kuwaomba wazee wa mbeya UNK mkuu wa mkoa wa mbeya bwana john mwakipesile amesema mbunge wa kyela daktari harrison mwakyembe anapotoshwa na wapambe wake kwa kumpa taarifa za uongo bila yeye UNK na kujua ukweli wake vile vile alisema kuwa hana tatizo na mbunge huyo kwa kuwa tofauti zao UNK kupitia tume iliyoundwa na rais jakaya kikwete iliyoongozwa na bwana UNK kinana bwana mwakipesile alitoa ufafanuzi huo jana alipozungumza na gazeti ili ikiwa ni siku chache tangu daktari mwakyembe adai kwenye vyombo vya habari kuwa anatishiwa kuuawa na hivyo kumfanya ashindwe kukaa kwa amani ninashangazwa sana na kauli zinazotolewa na daktari mwakyembe za kudai kuwa anatishiwa maisha mara anataka kuuawa mpaka anashindwa kukaa kwenye nyumba yake na kumfanya UNK wapambe wake wanampa taarifa za uongo ambazo UNK kazi alisema alisema kuwa tangu UNK mgogoro wao na kushikana mikono yeye hana tatizo lolote na daktari makyembe lakini anashindwa kuelewa UNK nyingine zinatokea wapi nimeshangazwa na baadhi ya vyombo vya habari hivi karibuni kuandika habari kuwa eti mimi niliwaomba wazee wa mbeya UNK mimi na daktari makyembe kwa kosa gani wakati UNK na yakaisha alihoji alisema kuwa kauli hizo za kuuawa kwa daktari mwakyembe amekuwa akizitoa kwenye mikutano kwa wapiga kura wake taarifa ambazo anadai kuwa anapewa na wapambe wake bila ya kuzifanyia kazi mimi ndiye mtawala wa mkoa wa mbeya sina tatizo na mbunge yoyote yule nashindwa kuelewa haya mambo ya kizushi yanatoka wapi tangu UNK sijawahi kuzungumza lolote kuhusu daktari mwakyembe hivyo ninashangazwa na kauli zake za mara kwa mara kuhusu kutishiwa kuuawa alisema alisema kuwa alipokutana na baraza la wazee mkoani mbeya hivi karibuni walimuuliza swali kuhusiana na mgogoro wake na daktari mwakyembe ambapo yeye aliwaeleza kwamba UNK baada ya rais kuunda tume UNK lakini cha kushangaza baadhi ya vyombo vya habari UNK maneno na kudai kuwa mimi niliwaomba wazee UNK jambo ambalo siyo kweli bwana mwakipesile alisema kuwa hakuna mwenye muda wa kutaka kumuua daktari mwakyembe kama ambavyo anadai na na kusisitiza kwamba hana tatizo lolote na yeye kama ambavyo inadaiwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari na kumtaka kabla ya kupokea taarifa kutoka kwa wapambe wake akae chini kwanza na kupembua taarifa hizo kabla ya kuzitoa kwa wapiga kura wake au katika vyombo vya habari muulizeni daktari mwakyembe mwenyewe labda bado ana tatizo na mimi UNK lakini mimi nasisitiza kwamba sina tatizo lolote na yeye UNK yakaisha alisema mgogoro kati ya daktari mwakyembe na bwana mwakipesile umedumu kwa muda mrefu ambapo daktari mwakyembe amekuwa akidai kutishiwa maisha mara kwa mara za kutaka kuuawa na watu wasiojulikana kwa kumtumia ujumbe mfupi katika simu yake ya mkononi naye daktari UNK alipoulizwa juu ya mgogoro huo kati yake na bwana mwakipesile alidai kuwa vyombo vya habari vimekuwa vikiandika habari za uzushi na kumtaka mwandishi wa habari hizi ampigie simu jioni baada ya kusoma kilichoandikwa kwenye magazeti lakini alipotafutwa simu yake UNK mgogoro kati ya wanasiasa hao ni majeraha ya uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini sifuri tano walipokuwa wanawania uteuzi wa kugombea katika jimbo la kyela na mwakyembe akaibuka mshindi UNK mkuu bwana mizengo pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika harambee ya kuchangia mfuko wa elimu wa wilaya ya mbozi mkoani mbeya ambapo zaidi ya shilingi milioni ishirini nane zinatarajiwa kupatikana kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu katika wilaya hiyo akizungumza na waandishi wa habari mjini mbeya mkuu wa wilaya ya mbozi bwana UNK kimollo alisema kuwa tayari waziri mkuu amekubali kufanya jukumu hilo la kimaendeleo kesho alisema kwamba mkakati wa kuwa na mfuko huo ulianzishwa mwaka jana baada ya kuonekana mahitaji mkubwa ya uboreshaji wa miundombinu ya elimu hasa baada ya kufanikiwa kuwa na sekondari zaidi ya mbili kwa kila kata na hivyo kuvuka lengo la serikali bwana kimollo alisema kuwa kutokana na ongezeko kubwa la sekondari katika kata limefanya kuwapo kwa wanafunzi wengi UNK kila mwaka wanaojiunga na elimu ya sekondari na hivyo kuhitajika miundombinu mingine kwa ajili ya kukidhi mahitaji alisema hali hiyo imefanya kuwapo kwa mahitaji makubwa kama nyumba za walimu mia nne na kumi na mbili maabara kumi nne madarasa mia mbili na arobaini na moja na mabweni arobaini na sita hali iliyofanya waamue kubuni mpango wa kuwa na mfuko utakaofanya kazi ya kutatua matatizo hayo wakati uandikishwaji wa daftari la kudumu la wapigakura ukiwa umegubikwa na kasoro za malalamiko kwa baadhi yao kunyimwa fursa ya kuandikishwa kwa kukosa sifa kundi lingine UNK daftari hilo kwa madai ya UNK mgogoro wa ardhi wa muda mrefu uliopo katika shehia ya jongowe kisiwani tumbatu shehia hiyo inayokadiriwa kuwa na wakazi moja sifuri sifuri sifuri UNK kujiandikisha katika daftari la kudumu tangu uandikishwaji uanze katika kisiwa cha tumbatu huku lawama UNK kwa mwakilishi wa jimbo hilo bwana haji omar kheri wakizungumza na waandishi wa habari waliotembelea kisiwani humo wakazi hao walisema kuwa wameamua kutojiandikisha kwa kuwa hakuna umuhimu wa kufanya hivyo huku kilio chao cha mgogoro wa ardhi kikiwa hakina ufumbuzi wananchi wa shehia ya tumbatu jongowe na tumbatu kichangani wako katika mgogoro wa ardhi ya mashamba kwa zaidi ya miaka mitano na kusababisha wakazi wa shehia hizo mbili kususia kuzikana na kutishia kuuana kutokana na sehemu moja ya ardhi kuzidi upande mmoja akizungumza na waandishi wa habari sheha wa shehia ya jongowe bwana mwadini makame ame alisema wananchi wameamua kutojiandikisha kwa kuwa tatizo lao la ardhi halijapatiwa ufumbuzi kwa muda mrefu na kwamba sehemu moja ya tumbatu kichangani ina eneo kubwa kuliko lile la tumbatu jongowe alisema kutokana na hali hiyo alifikisha kilio cha wananchi hao kwa mwakilishi wa jimbo la tumbatu bwana kheri ambapo hata hivyo hakuna ufumbuzi wa tatizo hilo kwa wakazi hao majira ilibaini kuwa mgogoro uliopo baina ya wakazi wa shehia hiyo haukuwa na itikadi za kisiasa kama shehia nyingine bali wananchi wote kwa umoja wao bila kujali itikadi zao za vyama wameamua kuungana na kuonesha msimamo wa kutojiandikisha hadi hapo mgogoro wa ardhi utakapopatiwa ufumbuzi hakuna haja ya kujiandikisha mwakilishi wetu hatuthamini UNK UNK maneno ya kutudhalilisha kwamba hatuna elimu UNK kwamba sisi tuna elimu au la asubiri mwaka ishirini moja sifuri alisikika mmoja wa wakazi wa shehia hiyo aliyejitambulisha kuwa ni mwanachama wa ccm naye bwana zuberi bakari ali mkazi wa eneo hilo alisema kuwa mwakilishi huyo amekuwa akitoa upendeleo kwa watu wa kichangani kwa kuwa yeye ni mmoja wa wakazi wa eneo hilo na kwamba kutokana na hali hiyo wameona hakuna umuhimu wa wao kuwepo katika uandikishwaji kwani matatizo yao UNK na viongozi UNK tunaomba serikali UNK kati mgogoro huu kwani watu UNK wala UNK majumbani wakati sote tu ndugu moja huyu UNK yule na yule UNK kwa huyu tuondoshewe uadui huu UNK wenyewe kwa wenyewe alisema mmoja wa wakazi hao tunakaribia wana ccm mia tatu na sitini sote UNK na UNK tumedhalilishwa tutabaki na ujinga wetu UNK UNK mwenyewe alisikika mama mmoja mkazi wa shehia ya jongowe mkuu wa kituo cha uandikishaji katika shehia ya jongowe bwana suluhu ali rashid alisema kuwa wananchi wameamua kususia uandikishaji katika shehia hiyo kwani hakuna mtu hata mmoja aliyejitokeza kujiandikisha tangu siku ya kwanza akizungumzia mgogoro huo mkuu wa mkoa wa kaskazini unguja bwana pembe juma alisema kuwa mgogoro huo ni wa muda mrefu serikali ilipeleka ramani kwa wakazi wa shehia hiyo ambayo UNK tunawaomba wananchi UNK suala lao linashughulikiwa kujiandikisha ni haki yao ya msingi alisema bwana juma jitihada za kumpata mwakilishi wa jimbo la tumbatu bwana kheri zilishindikana kutokana na simu yake ya mkononi kutopatikana kwa muda mrefu mtoto ambaye amelazwa katika hospitali ya taifa muhimbili kutokana na homa ya mafua ya nguruwe ametokea kenya mgonjwa huyo ambaye ni mwanafunzi mwenye jinsia ya kike aligundulika kuwa na ugonjwa huo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere baada ya kushuka akitokea kenya hivi karibuni ingawa hakutaka kutoa taarifa za kina kuhusiana na mgonjwa huyo mkurugenzi wa huduma ya tiba mnh profesa andrew swai alisema kuwa mgonjwa huyo ni mtanzania na hali yake inaendelea vizuri hofu ya ugonjwa wa mafua ya nguruwe imezidi kushika kasi siku hadi siku baada ya idadi ya waliowahi kuugua ugonjwa huo nchini kufikia wanne mgonjwa wa kwanza hapa nchini kuwa na ugonjwa huo aligundulika julai nne mwaka huu katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere wakati akiingia nchini kwa ndege ya shirika la ndege la kenya wagonjwa wengine walikuwa ni raia wa uingereza ambao ni ndugu wa familia moja wanaoishi mbezi beach jijini dar es saalam nao walibainika kuwa na ugonjwa huo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu julius nyerere wakati wakirejea kutoka nairobi kenya walikokwenda kukutana na ndugu zao profesa swai UNK hofu watanzania na kudai kwamba wamejizatiti kukabiliana na ugonjwa huo kila kona kuanzia katika mipaka ya kuingia nchini bandarini na viwanja vya ndege hatimaye waliokuwa mawaziri waandamizi wa serikali ya awamu ya tatu bwana basil mramba wa fedha na bwana daniel yonna wa nishati na madini wamefanikiwa kuwaficha mashahidi wao kinyume na matakwa ya upande wa mashitaka kufikiwa kwa hatua hiyo kunaifanya kesi hiyo kuanza kusikilizwa kwa mashahidi wa upande wa mashitaka novemba mbili hadi tano mwaka huu hatua hiyo ilifikiwa jana baada ya malumbano ya kisheria katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu kwa muda wa siku tatu mbele ya jopo la mahakimu bwana john utamwa bwana saul kinemela na bwana sam rumanyika mahakama hiyo ilikubaliana na sababu za upande wa utetezi kuwa kwa sasa hawawezi kuwataja mashahidi wake kwa kuwa hawajui kitakachofumka ndani ya kesi hiyo baada ya mashahidi wa upande wa mashitaka kutoa ushahidi wao uamuzi huo ulifikiwa baada ya busara za mahakama kutumika na kutumia muda mrefu UNK upande wa utetezi kuhusiana na malumbano hayo ya kisheria ambayo yalilenga UNK waraka wa aliyekuwa jaji mkuu francis nyalali UNK pande zote mbili kutaja mashahidi wake katika hatua za awali tunadhani tulikuwa na kazi kubwa ya kusikiliza kesi hii na sio malumbano UNK upande wa utetezi UNK kazi na upande wa mashitaka ambao umesema kuwa kama hamjui kilichomo ndani ya kesi kwa sasa hamuwezi kuwataja mashahidi hao mpaka baada ya kumalizika kusikilizwa kwa mashahidi hao alisema bwana john utamwa mwenyekiti wa jopo la mahakimu awali akijibu hoja za upande wa mashitaka wakili wa bwana mramba bwana herbert nyange alisema kuwa upande wao una wasiwasi wa kutishwa kwa mashahidi wao endapo UNK mapema kwa kuwa kesi hiyo ni ya serikali ambayo UNK vyombo vingi vya dola na washitakiwa hawawezi kushindana na serikali kutajwa kwa mashahidi wa serikali ni sawa kwa kuwa wateja wetu kwanza hawana uwezo wa kuwatisha mashahidi hao ambao wengi wao wanatoka idara mbalimbali serikalini na hivyo kutishwa kwa mashahidi wetu kuko pale pale endapo watatajwa alisema bwana nyange wakili mkuu wa serikali aliutaka upande wa mashtaka kuchagua moja ama kutaja mashahidi wake au kusema hawajui kitakachofumka ndani ya kesi ili waachwe mpaka mashahidi wa mashitaka umalize ushahidi wake hatua hiyo ya bwana boniface iliwafanya upande wa utetezi kuomba mahakama UNK mashahidi hao kwa madai ya kutojua kilichomo ndani ya kesi na hatua hiyo wataifanya baada ya kukutwa na kesi ya kujibu baada ya upande wa utetezi kuomba kufanya hivyo mahakama iliamuru kuwa malumbano kuhusiana na waraka wa jaji mkuu yanawekwa kando na kesi itaendelea kusikilizwa kwa mashahidi wa upande wa mashitaka mbali na hayo washitakiwa wote akiwemo bwana gray mgonja aliyekuwa katibu mkuu wa fedha wameruhusiwa kusafiri nje ya mkoa wa dar es salaam kwa shughuli zao ambapo kwa upande wa bwana mramba atakwenda jimboni kwake kutembelea wapiga kura na kazi zingine za bunge washitakiwa wote wanakabiliwa na mashitaka ya kuingiza hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba kwa serikali kutokana na matumizi mabaya ya ofisi ambapo walitoa misamaha ya kodi kwa kampuni ya alex UNK adhabu ya kifo iliyotolewa kwa watu watatu wilayani kahama mkoani shinyanga baada ya kupatikana na hatia ya kumuua albino imepokewa kwa hisia tofauti na wanaharakati na wanasheria baadhi UNK wengine UNK kuwa UNK haki za binadamu kituo cha sheria na haki za binadamu kimesema kuwa mahakama kuu kanda ya shinyanga imetekeleza sheria mbovu katika kutoa hukumu ya washitakiwa wa mauaji ya mlemavu wa ngozi kwani mshitakiwa UNK haki ya msingi ya kuishi kikatiba kauli hiyo ilitolewa jana dar es salaam na mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binaadamu bwana francis kiwanga ofisini kwake wakati akitoa maoni yake juu ya adhabu ya kifo iliyotolewa jaji gabriel rwakibalila juzi waliohukumiwa ni masumbuko madata mkazi wa kijiji cha ituga wilayani bukombe bwana emmanuel masangwa mkazi wa kijiji ca bunyihuna na bwana charles masangwa mkazi wa kijiji cha nanda bukombe baada ya kupatikana na hatia kumuua kwa albino matatizo dunia bwana kiwanga alisema hukumu hiyo ni sahihi kwa kuwa imefuata taratibu na matakwa ya kisheria lakini sheria inayotoa dhabu ya kifo ni miogoni mwa sheria mbovu na katili UNK katiba na haki za binadamu hatuwezi kuilaumu mahakama kwa kutoa adhabu hiyo kwa kuwa mahakama inapaswa kutafsiri na kutumia sheria zilizopo tatizo ni katika adhabu yenyewe jamii haipati lolote kutoka katika kuwaua wauaji na hilo ndilo UNK alisema bwana kiwanga alisema adhabu ya kifo ni adhabu UNK kwa kuwa kila rais anayeongoza tanzania anakwepa UNK kunyongwa kwa watu hao kulingana na takwimu za tanzania zaidi ya miaka kumi na tano iliyopita hakuna mshitakiwa UNK licha ya kuwa adhabu hiyo inatolewa mara kwa mara fikiria sasa jamii itapoteza watu wengine watatu wakati UNK mmoja je familia na jamii ya kijana aliyeuawa inapata nini kutoka katika adhabu ya kifo alilalamika kuwa baadhi ya wafungwa wamekuwa wakiishi maisha ya taabu kutokana na kuhukumiwa adhabu hiyo muda mrefu na kushindwa kutekelezwa tofauti ya wale walioua albino na hawa UNK kunyonga kwa sasa kwa sababu wote watakuwa wameua tunapendekeza adhabu mbadala kwa mfano kifungo cha maisha gerezani ili UNK taifa na si kuuawa alisema pia alisema kuwa katika mila na desturi za watanzania hakuna hata kabila moja lenye hukumu ya kuua alisema kuwa mtu anapopatikana na hatia hata ya kuua hudaiwa fidia na adhabu nyingine kama njia mbadala akizungumzia hilo mwanasheria maarufu profesa abdallah safari alisema kuna ushahidi wa aina mbili ushahidi wa moja kwa moja na ushahidi wa mazingira na kama jaji alifuata ushahidi wa mazingira kuwatia hatiani washitakiwa ni sawa washitakiwa wanayo nafasi ya kukata rufaa profesa safari alisema adhabu ya kifo imekuwa UNK na baadhi ya majaji na wanaharakati wakidai kwamba ni adhabu ya kinyama lakini kuna swali la kujiuliza nani mnyama kati ya mshitakiwa aliyeanza kuua na huo uamuzi wa UNK wakili damas ndumbaro akizungumzia hukumu hiyo alisema ni nzuri na muhimu kwa wakati huu kwani sheria inatakiwa kuondoa matatizo yaliyopo katika jamii naye wakili evarist UNK alisema watuhumiwa kutokuwepo eneo la tukio sio kigezo cha mahakama kuwaachia huru lakini kwa mujibu wa jaji kulikuwa na dosari katika ushahidi UNK na kisheria kunapokuwa na shaka lolote uamuzi hutolewa kwa manufaa ya mshitakiwa alisema hajajua hiyo shaka ina ukubwa kiasi gani kumfanya jaji kutozingatia matakwa ya sheria kwa sababu katika ushahidi wa kimazingira tahadhari kubwa inapaswa kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kuwepo ushahidi mwingine wa kuunga mkono katibu mkuu shura ya maimamu shekhe ponda issa ponda akizungumzia hilo alisema adhabu ni sawa na kwa kuwa imefuata taratibu wanakubaliana na uamuzi wa mahakama kwani hata katika dini inapothibitika kuwa washitakiwa waliua wanastahili kuuawa shekhe ponda alisema jamii haipaswi kuangalia uzito wa adhabu badala yake waangalie athari zinazoweza kupatikana kutokana na utekelezaji wa adhabu hiyo UNK ni uamuzi wa waziri mkuu bwana mizengo pinda kwamba UNK naye auawe papo hapo kawaida katika dini na sheria inapaswa UNK kwanza kama mshitakiwa alitenda kosa alisema imeandikwa na UNK katimba kulwa mzee na makumba mwemezi tahadhari iliyotolewa na waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa daktari husein mwinyi kuwa mbagala siyo salama kwa kuishi imejidhihirisha jana baada bomu kulipuka na kuua watoto wawili na wengine watatu kujeruhiwa bomu hilo liliibua upya vilio na simanzi kwa wakazi wa mbagala na kuwakumbusha tukio la aprili ishirini na tisa mwaka huu ambapo ghala la jeshi la ulinzi wa wananchi wa tanzania liliteketea na kusabisha vifo vya watu ishirini na sita tukio la jana lilitokea mbagala kizuiani na kusababisha vifo vya watoto wawili jirani regina chawala na rajabu said na kuwajeruhi asha suleman na sada suleman ambao walitibiwa katika hospitali ya temeke na kuruhusiwa huku mwenzao stella chawala akiendelea kulazwa katika hospitali ya taifa mhimbili mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi aliwaambia waandishi wa habari katika hospitali ya temeke kuwa mbali na maafa hayo kwa watoto mlipuko huo UNK uharibifu wa mali bwana lukuvi alisema timu ya wataalam kutoka polisi na jeshi la wananchi walifika eneo la tukio ili kubaini chanzo cha mlipuko na aina ya bomu UNK inawezekana bomu hilo lilikuwa eneo hilo kwa muda mrefu hivyo UNK takataka likapata joto na kulipuka alisema na kuongeza kuwa uchunguzi wa awali umeonesha kuwa tukio hilo ni ajali kama ajali zingine kama ilivyokuwa kwa maafa ya awali lukuvi aliahidi kuwa serikali itagharamia gharama za matibabu ya watoto waliojeruhiwa na zile za mazishi ya UNK hivi karibuni daktari mwinyi alisema mbagala siyo mahali salama kwa kuishi kutokana na kuwepo uwezekano mkubwa wa mabomu yaliyosambaa kutokana na tukio la aprili ishirini na tisa hata hivyo ushauri huo wa daktari mwinyi UNK na baadhi ya wakazi wa mbagala bomu hilo lililipuka huku daktari mwinyi akiwa ameahidi kujiuzulu endapo itabainika kuwa milipuko ya aprili ishirini na tisa ilitokana na uzembe wa kiutendaji hatima ya daktari mwinyi kujiuzulu au la itajulikana baada ya ripoti ya uchunguzi wa tukio hilo UNK na maofisa wa jwtz na wizara ya ulinzi itakapotolewa hadharani mlipuko huo wa jana ulitokea saa mbili asubuhi na mashuhuda walisema kuwa ulisababishwa na takataka zilizokuwa zikichomwa moto bibi eva paul ambaye ni mama wa asha na sada ambao waliojeruhiwa alisema baada ya kusikia mlipuko alitoka nje na kuwakuta watoto hao wametapakaa damu ndipo UNK hospitali mashuhuda hao walisema mpangaji katika nyumba ya bibi UNK komba ambaye jina lake halikupatikana alikuwa akifanya usafi na baada ya kumaliza alikusanya takataka na kuzichoma moto walieleza kuwa muda mfupi baada ya takataka hizo kuchomwa moto ndipo ulitokea mlipuko wa bomu uliosababisha vifo na majeruhi kwa watoto waliokuwa wakicheza karibu na eneo hilo vifo vya watoto hao UNK idadi ya waliokufa kutokana na mlipuko wa mabomu kufikia ishirini na nane katika tukio la mlipuko wa kwanza walikufa raia ishirini na wanajeshi sita wakati wa milipiko ya aprili ishirini na tisa serikali iligharamia matibabu na mazishi ya waliokufa lakini imekuwa UNK na kugharimia matukio ya ajali za kawaida baadhi ya wananchi waliozungumza na gazeti walihoji iweje serikali ibebe gharama ya kuwatibia na kuzika waliokufa kama tukio hilo la jana ni la ajali ya kawaida huku kwenye ajali nyingine imekuwa UNK kando diwani wa mbagala bwana anderson chale aliwaambia waandishi wa habari kuwa umefika wakati wa kuunda kamati maalumu ya kutafuta masalia ya mabomu maeneo yote ya mbagala vinginevyo yataendelea kuangamiza maisha ya watu naye diwani wa mbagala bwana chale alisema baada ya kutokea milipuko ya kwanza maoafisa wa jwtz walianza kutafuta mabaki ya mabomu yaliyosambaa lakini baadaye UNK tena askari wa jwtz walifika mapema katika eneo la tukio na kuweka uzio wa kuonesha kuwa eneo hilo ni la hatari huku wakiendelea na uchunguzi wa kubaini chanzo cha mlipuko huo tukio hilo limekuja wakati serikali ikitumia shilingi bilioni nane tano kuwalipa fidia wakazi wa mbagala walioathirika na milipuko ya aprili ishirini na tisa mwaka huu katika kambi ya jwtz mbagala kizuiani katika fedha hizo shilingi bilioni mbili nne zililipwa kwa ajili ya nyumba mia mbili na thebathini na tano zilizoteketea kabisa ambazo zinatakiwa kujengwa upya shilingi bilioni nne sita kwa ajili ya fidia ya nyumba nane mia tisa na sabini ambazo UNK lakini hazifai kukaliwa na vitu vingine UNK shilingi milioni hamsini na moja mbili UNK siri ya ugomvi wake na mwakipesile adai kiongozi huyo anafanya kazi ya mafisadi ataka atambue kwamba yeye ni rc na siyo mc mbunge wa jimbo la kyela mkoani mbeya daktari harrison mwakyembe amesema kuwa tatizo UNK kati yake na mkuu wa mkoa wa mbeya bwana john mwakipesile ni harakati zake za kutaka kumnggoa katika jimbo la kyela jambo ambalo UNK alisema kuwa kazi anayoifanya bwana mwakipesile katika jimbo lake ni sawa na kuuza kofia za polisi ambazo hazinunuliki na kwamba anajisumbua anajidhalilisha na kujifedhehesha licha ya kutumwa na mafisadi kwa ajili ya kufanya kazi hiyo daktari mwakyembe alitoa kauli hizo za kejeli alipozungumza na gazeti hili kujibu hoja za bwana mwakipesile kuwa mbunge huyo anapotoshwa na wapambe wake wanaompa taarifa za uongo na kwamba hajawahi kuwaomba wazee wa mbeya ili UNK ni lazima bwana mwakipesile atambue kuwa yeye ni rc na siyo mc kwa maana ya msema chochote mkuu wa mkoa mmoja kati ya wakuu wa mikoa ishirini na moja kuzungumza magazetini kila siku UNK wabunge wanaopambana na ufisadi ni dalili ya UNK ninalazimika kusema kuwa mwenzetu anahitaji ushauri nasaha waandishi UNK bwana mwakipesile ili kujua UNK na mbunge gani mkoani mbeya alisisitiza daktari mwakyembe daktari mwakyembe aliongeza kuwa kila mtu anatambua kuwa bwana mwakipesile anashinda kyela kufanya kampeni za kuhakikisha kuwa UNK mwaka ishirini moja sifuri katika uchaguzi mkuu na kwamba serikali inatambua jambo hilo hili tatizo UNK tabu hata kidogo kwa sababu kazi anayofanya ni kama kuuza kofia za polisi mali ambazo hazinunuliki anajisumbua anajidhalilisha na kujifedhehesha alisema daktari mwakyembe alisema kuwa alipata kura asilimia tisini na tatu katika uchaguzi mkuu mwaka ishirini sifuri tano lakini anashangazwa na kauli aliyoitoa bwana mwakipesile katika gazeti hili kwamba wapambe ndio wanaompotosha na kumtaka atambue kuwa wapambe hao ni wananchi wote wa kyela tatizo la bwana mwakipesile UNK sana na mafisadi ambao UNK kama wakala hiyo kazi waliyompa kwa kyela ni ngumu kwelikweli ni sawa na kuuza kofia za polisi kwa wananchi hivyo ni lazima atambue kuwa mimi ni mti UNK UNK dawa alisisitiza daktari mwakyembe alisema kuwa yeye alikuwa nje ya nchi na amerudi juzi ndipo alipomkuta mwenzake akiongea hovyo katika vyombo vya habari huku akitoa malalamiko kwamba yeye ndiye anayekwamisha maendeleo ya mkoa wa mbeya alipoulizwa kiini cha mgogoro kati yake na bwana mwakipesile unasababishwa na nini daktari mwakyembe alisema kuwa yeye hana mgogoro wowote na mkuu huyo wa mkoa bali yeye rc huyo anayekwamisha maendeleo ya mkoa huo kutokana na muda wote kukaa kyela kwa lengo la kumwondoa mbunge mwaka ishirini moja sifuri akizungumzia madai ya kutaka kuuawa alisema kuwa huo ni uongo na kwamba UNK maneno barabarani na kuyafanyia kazi aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi wa benki kuu ya tanzania bwana amatus liyumba amebwaga mzigo wa upotevu wa mabilioni ya fedha kwa bodi wa wakurugenzi wa benki hiyo iliyokuwa ikiongozwa na gavana bwana daud balali bwana liyumba alifikia hatua ya kusema hayo jana wakati wa usikilizwaji wa hoja za awali katika kesi inayomkabili ya kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya majengo pacha ya bot bila idhini ya bodi mbele ya jopo la mahakimu wanaoongozwa na bwana edson mkasimongwa aliiambia mahakama kuwa hakuna fedha iliyokuwa inaweza kutolewa au kufanyika kwa mabadiliko yoyote ya mradi bila ya kupitia na kuridhiwa na bodi hiyo hakuna fedha iliyokuwa ikilipwa bila bodi kujua na kama bodi ilijua kuwa mimi na balali tumebadili yaliyokubaliwa ndani ya mkataba wa majengo pacha na bodi ikashindwa kuchukua hatua basi bodi hiyo ilikuwa ni useless alisema bwana liyumba kauli hiyo ya liyumba ilikuja baada ya upande wa mashitaka kumtuhumu kuwa yeye na marehemu balali walibadili makubaliano ya ujenzi huo na kufanya gharama za mradi huo kuongezeka kwa asilimia mia nne na themanini hatua iliyoisababishia hasara serikali ya tanzania kwa mujibu wa sheria ya bot bodi ya wakurugenzi inaongozwa na gavana na kwa nafasi yake liyumba hakuwa mjumbe alisema kuwa mabadiliko yote ya mradi yaliyofanywa yalipelekwa kwenye bodi na ilibariki mchakato wote huo kwa kuwa mradi huo ulikuwa ukisimamiwa na meneja mradi lakini pia mshauri wa mradi nashangaa kuambiwa haya kwani mradi huu ulikuwa na meneja mradi ambaye hata hapa hajatajwa lakini mbali na hayo balali ndo alikuwa mwenyekiti wa bodi hivyo inashangaza kusikia mimi nilifanya mabadiliko hayo alisema bwana liyumba awali upande wa mashitaka ukisoma maelezo ya kesi hiyo ulidai kuwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini ilitolewa hoja ya ujenzi wa ofisi mpya za bot na michoro ya jengo hilo iliandaliwa na kampuni ya d s ltd na mradi huo ulijulikana kama kumi mirambo ilidaiwa kuwa hoja ya ujenzi wa ofisi mpya ilikuja baada ya ofisi za benki hiyo kuungua moto mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nne lakini ilipofika mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa bwana balali alitoa hoja ya ujenzi wa majengo pacha hivyo mchora michoro aliambiwa kubadili michoro hiyo ili kukidhi matakwa hayo mkataba wa mradi huo ulisainiwa juni ishirini na tano ishirini sifuri mbili kati ya bot na kampuni ya ukandarasi ya group five east ltd kwa gharama za dola za marekani milioni sabini na tatu mradi ambao ulitakiwa umalizike ndani ya miaka mitatu ilidaiwa kuwa bwana liyumba alikuwa na jukumu la kusimamia mradi huo lakini bila kupata idhini ya bodi akishirikiana na bwana balali walibadili makubaliano ya awali ya mkataba huo na kuongeza baadhi ya mambo ikiwemo kutoka ghorofa kumi na nne hadi kumi na nane kwa kila jengo ilidaiwa kuwa mabadiliko haya yalibadili gharama za awali na kuwa dola za marekani mia moja na hamsini na tatu sifuri saba saba mia saba na kumi na tano sabini na tano hoja ambazo zilikanushwa na bwana liyumba baada ya kusomwa kwa maelezo hayo na upande wa mashitaka kutaka kuwasilisha baadhi ya vilelezo ikiwemo mkataba wa mradi huo upande wa utetezi ulipinga vikali na nyaraka hizo kuwekwa sehemu ya vitu vinavyobishaniwa ambavyo vitataka mashahidi mbali na hiyo upande wa mashitaka pia uliomba kupewa muda kwa ajili ya kuangalia ni mashahidi gani ambao watawaita kutokana na mambo yaliyobishaniwa mahakamani hapo kwa upande wa utetezi ulisisitiza kutajwa kwa mashahidi hao pia kupewa maelezo ya mlalamikaji wa kesi hiyo ambaye alisababisha mteja wao kufikishwa mahakamani hapo kutokana na hoja hizo idadi ya mashahidi wa upande wa mashitaka watatajwa oktoba mosi mwaka huu serikali UNK zaidi ya shilingi bilioni thebathini na tatu nane kwenye halmashauri mbalimbali hapa nchini kwa ajili ya malipo ya walimu wa shule za msingi na sekondari yanayotakiwa kukamilika octoba kumi na tano mwaka huu uamuzi huo una lengo la kuharakisha na kumaliza madeni ya walimu yanayohusiana na likizo matibabu kujikimu na marekebisho ya mishahara UNK kulingana na madai yaliyofanyiwa uhakiki kwa utaratibu wa ana kwa ana chini ya usimamizi wa makatibu tawala wa mikoa yote nchini waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bibi celina kombani aliyasema hayo jana dar es salaam alipokuwa akitoa taarifa juu ya walimu wapya walioripoti katika mamlaka za serikali za mitaa na malipo ya madai wa walimu alisema kuwa ofisi yake imechukua hatua hiyo kwa lengo la kukabiliana na kero mbalimbali za walimu nchini ambazo zimekuwa zikilalamikiwa mara kwa mara na walimu hao bibi kombani amewataka wakurugenzi wa halmashauri kuwa makini katika zoezi hili ili kuondoa uwezekano wa kuwepo kwa malalamiko mengine yasiyokuwa na sababu za msingi halmashauri zinaweza kupitisha malipo hayo moja kwa moja kwenye akaunti zao binafsi lakini ni muhimu walimu wahusika wafahamishwe kuhusu utaratibu huo alisema na kusisitiza uwazi na uwajibikaji katika kutekeleza zoezi la ulipaji wa madai ya walimu akizungumzia suala la walimu wapya alisema serikali imedhamiria kulitekeleza na kuondoa kabisa kero ya walimu wapya kuchelewa kuingizwa kwenye mfumo wa malipo yaani payroll hivyo inajitahidi kuhakikisha walimu UNK walioripoti kwenye mamlaka za serikali za mitaa wanalipwa mishahara yao ya mwezi septemba sanjari na watumishi wengine walioko kwenye mamlaka hizo alisema kuwa ofisi yake UNK kuwa halmashauri nyingi UNK vizuri walimu hao na kuwalipa posho za kujikimu kwa wakati kama UNK nawasihi walimu wote wapya waripoti na kuendelea kufanya kazi katika mamlaka walizopangiwa ili kuondoa uwezekano wa kukosa mishahara yao alisema alisema kuwa ofisi yake inahakikisha walimu na watumishi wote wanaoajiriwa na mamlaka za serikali za mitaa kwamba itaendelea kuboresha mapokezi na utoaji wa huduma kwa watumishi hao na watumishi wengine wote wakiwamo walimu rais mstaafu wa awamu ya pili ali hassan mwinyi maarufu kama mzee ruksa amejikuta akilia kwa kwikwi huku akibubujikwa na machozi na kufanya viongozi alioambatana nao kuanza kumbembeleza baada ya kusikia kauli za kugusa hisia walizotoa walemavu wa viungo waliopewa msaada wa baiskeli hali hiyo UNK juzi kwenye kijiji cha ndungu wilayani same ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za uzinduzi wa wodi ya watoto katika kituo cha afya ndungu iliyojengwa na mbunge wa same mashariki bibi anne kilango malecela sanjari na uzinduzi wa wodi hiyo iliyojengwa kwa shilingi milioni sabini na tano kati yake shilingi milioni tano zikiwa zimechangwa na wananchi walemavu thebathini na mbili walikabidhiwa baiskeli ili ziweze kuwasaidia kwenda sehemu mbalimbali mzee mwinyi UNK sifa kemkem kwa wananchi kutokana na sera zake za kulegeza masharti ya bishara na UNK jina la ruksa alipewa jukumu la kukabidhi baiskeli hizo na watu hao wenye ulemavu wakatoa shukurani kwa manano ya kuvuta hisia UNK machozi kiongozi huyo walemavu tulikuwa tunakosa fursa nyingi ikiwemo za kwenda kupiga kura kutokana na kutengwa na jamii ndugu kutotaka kutuona tukitoka nje kwa kuwa ni aibu kwa familia lakini kwa viongozi pia UNK kwa kushindwa kutupa msaada wa aina yeyote ukiwemo wa kujiendeleza kiuchumi lakini mbunge wetu mama anne kilango amekuwa kama mkombozi wetu tofauti na wabunge wote waliopita ambao UNK kama kuna kundi moja UNK la walemavu wa viungo lakini kwa kutupa baiskeli hizi ametufanya tuwe na uwezo wa kwenda kupiga kura alisema bwana charles kaoneka mkazi wa kijiji cha UNK maneno hayo ndiyo yaliyomfanya mzee mwinyi kububujikwa na machozi na kuwafanya baadhi ya viongozi alioambatana nao walie akiwemo kaimu mkuu wa wilaya ya same bwana athuman mdoe mbunge wa viti maalumu mkoa wa kilimanjaro bibi shally raymond na mwenyekiti wa ccm wilaya ya same bwana august UNK mzee ruksa alimmwagia sifa bibi kilango akisema kuwa uongozi ni fani na kipawa hivyo viongozi lazima wawe na sifa hizo ndiyo waweze kuwaongoza wananchi vizuri lakini kama kuna watu wataingia kwenye uongozi bila sifa hizo UNK alisema chanzo cha ufisadi ni viongozi kukosa sifa za namna hiyo mama kilango ni kiongozi wa kweli na ameweza kuongoza wananchi wake kwa kuwa uongozi ni fani na kipawa aliyekosa kipawa hicho hawi kiongozi mzuri kwa kuwa ameingilia shughuli za watu ndiyo maana unasikia kiongozi fulani ni fisadi alisema mzee mwinyi na kuongeza ufisadi ni sawa na chuya ndani ya mchele inakuwa ni kitu kimoja kimoja lakini mwingi ni mchele hivyo hiyo ni hila ya chuya sio ya mchele na ccm vivyo hivyo yenyewe ni safi na viongozi wake ni wasafi lakini ndani yake kuna chuya na ukiamua kuondoa chuya unaweza kwa kuwa ni chache na ukabaki na mchele mzuri alisema mzee mwinyi akizungumza na UNK huku akilia bibi kilango alisema UNK ni kuona wananchi wake ni maskini huku baadhi ya viongozi wachache ndani ya serikali na ccm UNK rasilimali ya nchi kwa manufaa yao huku jamii kubwa ya watanzania UNK umasikini wa wananchi wangu ndiyo UNK niwe mkali bungeni wengi wa wananchi wa vijijini ni masikini na najua serikali yao haina uwezo wa kuwahudumia kwa kila kitu hivyo UNK mtu anakula rushwa ama kufanya ufisadi kamwe UNK na nitapambana nao hadi kufa alisema bibi kilango katika kituo hicho cha afya bibi kilango amejenga wodi ya watoto kukarabati wodi ya wazazi na kuweka njia za kuunganisha wodi na wodi ili kuwawezesha wagonjwa UNK kwa urahisi na kujikinga na mvua na jua inaelekea kwamba mabomu yanayozidi kulipuka na kuleta maafa katika eneo la mbagala kizuiani karibu na kambi ya jeshi la wananchi wa tanzania UNK serikali na sasa imelazimika kuunda tume mpya ya kufuatilia mabomu hayo tume hiyo mpya inayohusisha watalaamu wa jwtz polisi na usalama wa taifa ni ya tatu tangu maafa hayo yatokee aprili mwaka huu na iliundwa jana na mkuu wa mkoa wa dar es salaam william lukuvi kuchunguza masalia ya milipuko ya mabomu yaliyotokea aprili ishirini na tisa mwaka huu kwa mujibu wa lukuvi watalaamu hao watapita sehemu zote wakiwa na vifaa maalumu vya kubaini wakianza na mbagala kizuiani ili kutafuta hata vipande vidogovidogo vilivyosalia ardhini leo tumeunda tume ikiongozwa na jeshi la wananchi polisi na usalama wa taifa ili kuchunguza masalia ya mabomu yaliyosambaa ambao watapita sehemu zote wakiwa na vifaa maalumu vya kubaini mabomu wakianza na mbagala kizuiani ili kutafuta hata vipande vidogovidogo vilivyosalia ardhini alisema bwana lukuvi lukuvi alisema kuwa wameamua kuunda tume hiyo baada ya kubaini kuwa bado kuna masalia ya mabomu ardhini kauli inayoenda sawa na ile iliyowahi kutolewa na jwtz na waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa daktari hussein mwinyi kuwa eneo la mbagala si salama pia daktari mwinyi aliwahi kusema kuwa serikali itatumia setelaiti maalumu ya kutambua masalia hayo na kukusanya mabomu UNK hatua ambayo UNK matokeo yake tume hiyo ya lukuvi ni ya tatu baada ya zile zilizoundwa baada ya tukio la aprili ishirini na tisa mwaka huu moja ikiwa na kutafuta chanzo cha milipuko hiyo na nyingine ya kutathmini athali za milipuko hiyo hasa uharibifu wa mali tume ya kutafuta chanzo cha milipuko hiyo UNK ripoti yake kwa daktari mwinyi lakini haijatangazwa hadharani wakati ile ya UNK iliwekwa hadharani kuwa shilingi bilioni nane tano zinahitajika kuwalipa fidia walioathirika na milipuko hiyo mkuu wa mkoa alisema tukio lililotokea juzi na UNK vifo vya watoto wawili na kujeruhi wengine watatu limeonesha kuwa mabomu hayo yalisambaa katika eneo kubwa na yanahitaji utalaamu zaidi na kuwapatia vifaa vya kisasa ili kubaini masalia hayo hata hivyo bwana lukuvi aliongeza kuwa timu hiyo ina vifaa vya kutosha na wataalamu UNK katika kuchunguza mabomu ya ardhini aliwataka wananchi kutoa taarifa kwa wataalamu hao kama wanatilia shaka sehemu UNK ili kurahisisha shughuli hiyo wananchi wote wanatakiwa kuchukua tahadhari ni sio kwa watu wa mbagala peke yake kwa kuwa mabomu hayo yalisambaa sehemu kubwa ya dar es salaam na hatuwezi kujua UNK mpaka wapi hivyo watoe taarifa mara wanapokutana na chuma au kitu kisicho cha kawaida alisema vile vile aliwataka wananchi wa mbagala UNK mashimo yasiyo na kazi na kutafuta sehemu maalumu ya kuchomea takataka pia kukaa mbali pindi kunapokuwa UNK takataka wakati huo huo hali ya mtoto stella chawala aliyelazwa katika hospitali ya taifa muhimbili kutokana na mlipuko wa mabomu uliotokea juzi imeendelea kuwa mbaya na sasa amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum baada ya kufanyiwa upasuaji akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam ofisa uhusiano wa hospitali ya taifa muhimbili bwana jezza waziri alisema hali ya mtoto huyo bado ni tete tangu juzi alipofikishwa hapo na kufanyiwa upasuaji sehemu kadhaa UNK hali bado ni tete na hasa baada ya kufanyiwa upasuaji ila madaktari wanafanya jitihada za kuokoa maisha yake na amewekwa icu kwa uangalizi maalum alisema katika hatua nyingine watoto waliokufa juzi regina chawala na rajab saidi walizikwa jana huku serikali UNK shughuli zote za mazishi yao majeruhi UNK na kuruhusiwa juzi katika hospitali temeke ni asha selemani na sada selemani ambapo hali zao zinaendelea vizuri hadi sasa watu ishirini na nane wamekufa kutokana na milipuko ya mabomu yaliyotokea aprili ishirini na sita mwaka huu na kujeruhi watu kadhaa na kuzua hofu kwa wakazi wa mbagala imeandikwa na godfrida jola benjamin masese na husna ridhiwan msekwa ahofia yaliyotokea kenya zimbabwe cuf yasema hatudanganyiki huo ni usanii chama cha mapinduzi UNK na kutangaza kuwa UNK machafuko yaliyotokea kenya na zimbabwe yatokee zanzibar ndipo kiunde serikali ya umoja wa kitaifa visiwani humo kauli hiyo ya ccm imetolewa huku zikiripotiwa vurugu za mara kwa mara visiwani humo za kupinga utaratibu wa uandikishaji wananchi kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kutokana na vikwazo katika UNK wa vitambulisho vya ukaazi kiasi cha kusababisha jeshi la polisi kutumia mabomu kutuliza hali hiyo akihojiwa katika kipindi cha jambo tanzania UNK dar es salaam jana na televisheni ya taifa makamu mwenyekiti wa ccm bwana pius msekwa alisema kuwa chama chake UNK kuwa zanzibar kuna tatizo tunafikiria kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa tatizo ni mfumo tulionao mtu akishindwa kwa kura chache anabaki nje ya serikali alisema bwana msekwa na kutahadharisha kuwa UNK matatizo yatokee kama ya zimbabwe na kenya ndipo iundwe serikali ya kitaifa hayo ndiyo UNK alitolea mfano uchaguzi wa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano ambapo mgombea wa ccm daktari salmin amour ilipata ushindi wa asilimia hamsini mbili na chama kilichofuatia UNK asilimia arobaini na tisa nane kikawa nje ya serikali hii siyo hali nzuri alionya bwana msekwa bwana msekwa UNK kutolea mfano tofauti iliyokuwepo kwa upande wa baraza la wawakilishi akisema chama kimoja kilikuwa na wawakilishi ishirini na tisa na kingine ishirini na nne hata hivyo alisema matatizo ya zanzibar UNK leo bali ni ya tangu nchi hiyo UNK uingereza ambapo kwenye uchaguzi wa kwanza zilitokea vurugu na kwa kumbukumbu zake watu thebathini walikufa bwana msekwa alisema hali ya kutokubali matokeo iliendelea na utulivu uliokuwepo uliletwa na mfumo wa chama kimoja uliokuwa umeanzishwa mfumo huu wa vyama vingi ulipoanzishwa matatizo ndipo UNK mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano tukapata muafaka lakini UNK mafanikio mwaka ishirini sifuri tano muafaka UNK tunaendelea alisema bwana msekwa lakini kauli hiyo ya bwana msekwa ilipokewa kwa shingo upande na chama cha cuf na UNK kuwa ni usanii wa kisiasa mkurugenzi wa mawasiliano ya umma wa cuf bwana salim biman alisema mpango huo ni usanii wa kisiasa kwanza hatuwezi kumwamini kwa kuwa UNK na mwenyekiti wake bwana biman alisema cuf haiwezi kukaa kwenye mazungumzo tena kwa kuwa muafaka UNK na kinachosubiriwa ni utekelezaji UNK muundo wa serikali ya umoja utakavyokuwa wao walienda butiama wakarudi na pendekezo la kura za maoni kama wanataka wakutane makatibu wakuu wa vyama kwa ajili ya utekelezaji alisema bwana biman muafaka ulitolewa na chama cha cuf kikidai ndiyo makubaliano ya kamati ya muafaka na ccm unaitaka katiba ya zanzibar iwe na kifungu UNK kuwa naibu wa kwanza wa rais ni mjumbe wa baraza la mapinduzi baraza la mawaziri kwa mujibu wa makubaliano hayo ambayo ccm UNK kutakuwa na msaidizi mkuu wa rais kuhusu mambo yote ya zanzibar ambaye atamsaidia rais kufuatilia utekelezaji wa siku hadi siku wa mambo ya muungano katika zanzibar pia kikatiba ndiye atafanya kazi zote UNK na rais na UNK urais wakati rais hayupo nchini pia kutakuwa na manaibu wawili wa rais naibu wa kwanza UNK chama cha pili katika uchaguzi na naibu wa pili atakayetoka chama sawa na UNK rais pia iliainishwa kuwa rais atashirikiana na naibu wa kwanza wa rais katika uundaji wa baraza la mawaziri baraza la mapinduzi na nafasi zipi chama chake UNK kupata muda wa kushika madaraka wa mtu aliyechaguliwa kuwa naibu wa kwanza wa rais utakuwa sawa na ule wa rais na mazingira ya kuacha madaraka yatakuwa sawa na yale yanayomhusu rais UNK kwamba kiti cha naibu wa kwanza wa rais kikawa wazi kutokana na masharti hayo ya kikatiba rais UNK mtu mwingine UNK na chama cha siasa UNK naibu wa kwanza wa rais aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo kuwa naibu wa kwanza wa rais kwa muda UNK mbali na kuzungumzia umuhimu ya serikali ya umoja wa kitaifa bwana msekwa alisema malumbano ambayo yamekuwa yakiendelea ndani ya baraza la wawakilishi na bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania yanadhohofisha nguvu za chama na kukifanya kishindwe kuelekea UNK kwenda malumbano yanadhohofisha nguvu ya pamoja ya kutaka kuelekea kule tunapotaka kuelekea alisema bwana msekwa alisema kutokana na hali hiyo ndiyo maana mwenyekiti wa ccm kwa kutumia busara zake aliamua kuunda kamati ili kufuatilia hali hiyo na kutoa mapendekezo ya kuiondoa aliongeza kuwa hatua ya kikao cha halmashauri kuu ya taifa kukutana na kuunda kamati ambayo yeye ni mjumbe ni utaratibu wa kawaida ndani ya chama wengine wanaounda kamati hiyo ni bwana abdulrahaman kinana na rais mstaafu mzee ali hassan mwinyi anayeiongoza hii siyo kwamba imetokea mara ya kwanza kwenye nec miaka yote tumekuwa tukizungumzia hali ya siasa katika kikao kilichopita UNK macho yetu katika malumbano yaliyotokea katika baraza la wawakilishi na bungeni alisema watoto wenye makengeza kutoka mikoa yote ya tanzania wametakiwa kufika katika hospitali ya taifa muhimbili kwa ajili ya kupata matibabu ya ugonjwa huo bure rai hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na daktari christine mataka wa kitengo cha macho katika hospitali hiyo alipokuwa akitoa taarifa ya wagonjwa waliojitokeza kwa mkoa wa dar es salaam kwa kipindi cha wiki tatu alisema tangu walipotangaza kutoa tiba hiyo dar es salaam kwa watoto wenye umri usiozidi miaka kumi na tano ni watoto kumi na tano tu waliojitokeza kupata huduma hiyo watoto hao walifanyiwa uchunguzi kwa kushirikiana na madaktari kutoka marekani na kumi na mbili kati yao walibainika kuwa na makengeza watatu walikutwa na matatizo mengine ya macho ambayo hayahusiani na makengeza daktari mataka alisema kuna wagonjwa mbao wana makengeza lakini pia jicho au macho yote yanakuwa hayaoni hivyo hata akifanyiwa upasuaji hataweza kuona kwa wenye macho yasiyoona hatuwafanyii haraka upasuaji sababu hauna manufaa kwao kwani hata akifanyiwa bado atakuwa haoni isipokuwa sura yake itakuwa imekaa vizuri kwa mwonekano alisema alisema wanaofanyiwa haraka upasuaji ni wale wenye makengeza na macho yao yanaona kama kawaida akizungumzia watoto wachanga alisema akibainika ana makengeza hushauri asifanyiwe upasuaji haraka hadi atakapokua kidogo kwani akifanyiwa mapema macho yanarudia kupinda tena baada ya miaka mitano hadi sita kufuatia tangazo hilo wagonjwa zaidi wanaendelea kujitokeza na watoto kutoka mikoa mbalimbali wanaruhusiwa kufika kwa ajili ya kupata huduma hiyo baada ya kupata rufaa katika hospitali za mikoa wanamoishi hata hivyo alisema si lahisi huduma hiyo kutolewa mikoani kwani wako wachache na vifaa wanavyotumia ni vikubwa ambayo ni usumbufu kuvisafirisha UNK risasi mmoja UNK gari wasichana wawili wanusurika kifo polisi wadai hawana mafuta vocha majambazi yakiwa na bunduki jana yalimvamia msichana na kumjeruhi vibaya kaka yake maeneo ya sinza kumekucha jijini dar es salaam katika tukio linaloweza kufananishwa na mchezo wa kuigiza sakata hilo lilitokea eneo hilo usiku wa kuamkia juzi ambapo watu wawili wakiwa na bastola waliwavamia mabinti wawili ambao majina yao hayakuweza kupatikana waliokuwa ndani ya gari lililokuwa limeegeshwa nje ya nyumba ya mama abdul mkazi wa sinza kumekucha katika tukio hilo ambalo iliwachukua polisi wa kituo cha mabatini kijitonyama zaidi ya saa nzima kufika eneo la tukio abdalah amrani mtoto wa mama abdul alijeruhiwa kwa risasi na majambazi hayo watu walioshuhudia tukio hilo wakiwemo mabinti hao walioporwa vitu na majambazi hayo pamoja na mama abdul walisema mpaka sasa UNK nia ya majambazi hayo ilikuwa ni nini majambazi hao walifuatilia nyendo za mabinti hao na jinsi ambavyo hawakuonesha nia ya kupora gari hilo lakini wakaonekana kutaka pochi na simu walizokuwa nazo mabinti hao baada ya kuwa UNK kioo cha gari kwa kutumia nyundo na kisha kuanza kutoa vitisho vya kuwapiga risasi kabla UNK na watu akizungumza na gazeti hili mama abdul alisema akiwa yuko sebuleni kwake katika muda wa saa sita usiku alisikia honi ya gari getini kwake UNK watoto wake aliambiwa kuwa hao rafiki zake na watoto wake waliokuwa wamekwenda kumpitia mmoja wa mabinti wa mama huyo kwenda UNK kwa kweli mpaka sasa hatuwezi kuelewa nini hasa ilikuwa nia ya watu hao kwa sababu kwa mujibu wa watu waliokuwa nje walisema kuwa walishushwa na gari aina ya prado iliyokuwa UNK upande ambako mabinti zangu hao walikuwa wameelekeza gari baadaye UNK alisema kuwa dulla alipofungua geti hakuweza kuelewa haraka kilichokuwa kikiendelea pale hivyo aliuliza kilichokuwa kikiendelea pale na kuwataka watu wale waondoke mara moja eneo hilo aliongeza kuwa wakati watu hao wakiondoka mmoja wa walinzi wa maeneo hayo akawa amejitokeza kutoa ushirikiano wa kutaka kumkamata mmoja wao ndipo jambazi mmoja aliyekuwa na bunduki akafyatua risasi iliyompata dulla mguuni eneo la paja kwa upande wao mabinti waliovamiwa na kuporwa fedha taslimu shilingi sitini sifuri sifuri sifuri pamoja na vitu vingine vyenye thamani kama vile simu za mkononi alisema kuwa kitu cha ajabu UNK kufungua milango majambazi wale walitumia nyundo kupasua kioo na kuwaamuru wawapatie pochi na simu zao za mkononi huku wakiwa UNK mmoja wao bastola shavuni wakizungumzia jinsi walivyopata msaada wa polisi walisema walishangazwa jinsi askari hao UNK muda mrefu kufika eneo la tukio hata baada ya kuwa wameenda kuripoti mapema kituo cha mabatini kwa kisingizo kuwa magari hayakuwa na mafuta na wala hawakuwa na vocha kwa ajili ya kuwapigia simu wakubwa wao kupata maelekezo zaidi kauli za kuwa gari halina mafuta na kutokuwa na vocha zilikuwa UNK mara kwa mara huku wakitaka mwanangu UNK maelezo ndio apatiwe pf tatu wakati yuko katika hali mbaya mpaka UNK basi mimi UNK hapo ili UNK hospitali UNK kuondoka kwa mujibu wa mama abdul hali ya dulla ilikuwa inaendelea vizuri katika hospitali ya taifa muhimbili na alitarajiwa kuruhusiwa wakati wowote jana hiyo baada ya kuonekana risasi haikufika sehemu ya mfupa wowote mgogoro unaofukuta kati ya mwekezaji katika mashamba ya chai yaliyoko katika mikoa ya iringa na tanga umechukua sura mpya baada ya ikulu ya dar es salaam kuhusishwa nao mwekezaji huo nawab mulla ambaye ndiye mmiliki mwenye hisa nyingi katika kampuni ya chai lupembe iliyoko njombe mkoani iringa na mponde iliyoko korogwe tanga UNK uzalishaji kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa baada ya kundi la watu wanaojiita mungiki kuvamia viwanda hivyo kujeruhi watu na kupora mali ya mamilioni ya shilingi serikali iliuza viwanda vya chai vilivyokuwa chini ya mamlaka ya chai tanzania ambapo mulla pamoja na wawekezaji wengine UNK kwa kufuata taratibu zote kupitia tume ya rais ya kurekebisha mashirika ya umma lakini machi na agosti mwaka jana mungiki walianza uvamizi huo katika msitu wa sakare uliopo korogwe na ule wa iyembele njombe UNK kuni za kukaushia chai hiyo mgogoro wa hivi karibuni umeibuka baada ya waandishi wa habari watano waliokwenda kufuatilia sakata hilo kupigwa na kujeruhiwa na mungiki kabla hawajafika kwenye kiwanda cha lupembe kilichoko njombe julai kumi na tano mwaka huu ambapo hadi leo hakuna hatua zilizochuliwa dhidi ya wahalifu hao tulipeleka malalamiko yetu hadi kwa igp mwema akaahidi kulishughulikia ndani ya siku kumi na nne lakini hakuna kinachoendelea ila tumeambiwa na mmoja wa maafisa polisi iringa kwamba munguki hawawezi kutishika kwa sababu wanakingiwa kifua na wakubwa ikulu alisema carlos UNK mmoja wa waandishi waliojeruhiwa vibaya katika vurugu hizo mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai robert manumba alipoulizwa kuhusu sakata hilo hakutaka kulizungumzia na badala yake alimwelekeza mwandishi wa habari hizi kuwasiliana na makamanda wa polisi wa mikoa kuhusika alipoulizwa juzi kamanda wa polisi wa mkoa wa iringa evalist mangalla alisema mmoja wa watuhumiwa hao alikamatwa na kufikishwa kortini na kwamba polisi inafanya uchunguzi kuhusu wengine waliohusika kuwajeruhi waandishi kuhusu mungiki kukingiwa kifua na vigogo alisema hana uhakika hili suala UNK mara kwa mara tumemkamata mmoja na kumfungulia mashitaka kuhusu watuhumiwa kulindwa na wakubwa hilo sina uhakika nalo alisema mangalla hata hivyo walioshuhudia tukio hilo wanasema waliowapiga waandishi wapo kiwandani hapo hawawezi kuguswa kwa kuwa wana kinga ya ikulu na kwamba ndio maana polisi wanashindwa kwenda kuwakamata machi mwaka jana kundi la mungiki lilivamia msitu wa sakare ulioko korogwe na kusababisha kiwanda cha chai mponde nusura kifungwe lakini UNK na ushirika wa wakulima wa chai wa lushoto utega wakiongozwa na william shelukindo mbunge wa bumbuli ccm kujitolea kutafuta vyanzo vingine vya kuni kwa ajili ya kusindika chai agosti mwaka jana kundi hilo UNK mashambulizi yao katika kiwanda cha chai lupembe iringa wakafanya uharibifu mkubwa wa miundombinu na kusababisha kifungwe hadi leo mwaka jana mahakama kuu ya ardhi UNK kampuni ya udalali ya yono kuwaondoa wavamizi kwenye kiwanda cha chai lupembe lakini maafisa wa kampuni hiyo waliambulia kipigo na kupewa matibabu lakini cha ajabu hakuna mungiki UNK hadi leo hisia kwamba mungiki hao wanaweza kuwa wanakingiwa kifua na baadhi ya vigogo ikulu inaelezwa na ukweli kwamba hakuna hatua zinazochukuliwa dhidi ya watuhumiwa na pili kutokana na ukweli mwingine kwamba katibu mkuu kiongozi philemon luhanjo alitoa kauli iliyoashiria kuwapa nguvu mungiki luhanjo ambaye hivi karibuni alikuwa akizungumza kwenye msiba wa chifu mbanga ambaye ni babake khamis chifupa kijijini kwake lupembe gerezani aliwahamasisha vijana kumuenzi chifu UNK chifu mbanga alikuwa mlezi wa mungiki ambao wengi wao ni wanachama wa vyama vya wakulima lupembe katibu huyu kiongozi pia anatuhumiwa kumpigia simu mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya lupembe tea estate yussuf mulla akimtaka kuruhusu kuuzwa kwa miti katika msitu wa iyembele unazalisha kuni za kukaushia chai huku mgogoro ukiwa bado haujapata ufumbuzi hata hivyo UNK alinukuliwa na gazeti moja la kila wiki hivi karibuni akikanusha habari hizo kwamba mungiki UNK na ikulu na kwamba habari hizo zinatungwa na watu wachache wenye lengo la kumharibia jina kisiasa wafuatiliaji wa sakata hilo wanasema kwamba mungiki pia wanafadhiliwa na wafanyabiashara wenye maslahi katika biashara ya chai ambao wanaotumia siasa na hujuma kuwamaliza mwenzao kibiashara na kisiasa mulla ambaye pia ni mwenyekiti wa ccm mkoani mbeya anasema amepata hasara kubwa kwa kuwa amewekeza jumla ya shilingi bilioni tano kwenye miradi hiyo ambayo imefungwa na kwamba wafanyakazi zaidi ya kumi na tano sifuri sifuri sifuri wamekosa ajira tanga na iringa anasema kila anapolalamika anaambiwa uzalishaji hauwezi kuanza kwa sababu ya machafuko ya hali ya siasa lakini mbona maeneo mengine yenye vurugu za uwekezaji polisi wanachukua hatua nahisi kuna watu wanataka kutupora mali iliyopatikana kihalali kwa sababu tu za kisiasa analalamika UNK ni kupitia mchongo wa watumishi moja mia tano na kumi na moja hata waliokufa UNK mabilioni kiaina waziri UNK aapa kuwaburuta vigogo kortini serikali imepoteza shilingi bilioni nne arobaini na nane kwa kuwalipa mishahara wafanyakazi hewa wa sekta ya afya moja mia tano na kumi na moja wakiwemo waliokufa wastaafu waliohamishwa na ambao hawajulikani walipo wafanyakazi hao hewa wamebainika kutokana na uhakiki uliofanywa na ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma kati ya aprili na julai mwaka huu ambapo wizara ya afya na ustawi wa jamii inaongoza kwa kuwa na watumishi mia tatu na tisini na tano hayo yalisemwa dar es salaam na waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma bibi hawa ghasia alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana alisema kiasi hicho cha shilingi bilioni nne arobaini na nane kilitumika kulipa wafanyakazi hao hewa tangu mwaka ishirini sifuri tano hadi machi mwaka huu tatizo la kuwepo kwa watumishi hewa limeonekana kuwa sugu waajiri walio wengi wanashindwa kuwatafuta watumishi walio katika orodha ya malipo ya mishahara alisema bibi ghasia bibi ghasia alisema hospitali ya taifa muhimbili inashikilia nafasi ya pili kwa kuwa na watumishi hewa mia tatu na sitini na nne mikoa mingine na watumishi hewa kwenye mabano kama ilivyoainishwa na bibi ghasia ni arusha tanga tabora pwani ruvuma mwanza lindi sabini na moja iringa na morogoro alitaja mikoa mingine kuwa ni dodoma kagera kilimanjaro manyara mbeya shinyanga dar es salaam singida mara mtwara na kigoma alisema watumishi hao hewa waligundulika kutokana na uhakiki uliofanyika wizara ya afya hospitali za rufaa hospitali za mikoa hospitali za mshirika ya dini hospitali teule hospitali za wilaya vyuo taasisi za afya wakala vituo vya afya na zahanati bibi ghasia alisema waliogundulika wakilipwa mishahara wakati hawafanyi kazi kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo kufariki kustaafu kuacha kazi na kuhamia taasisi nyingine alisema wengine wamebainika wamekuwa wakilipwa mishahara mikubwa kuliko stahili zao alifafanua kuwa tatizo hilo linachangiwa kwa kiasi kikubwa na ukosefu wa uwajibikaji miongoni mwa wenye dhamana ya masuala ya UNK serikali itachukua hatua kali kwa wale wote watakaobainika kushiriki kwa namna moja au nyingine na kusababisha watumishi hewa kuingizwa kwenye malipo ya mishahara serikalini alisema bibi ghasia aliwaagiza waajiri kuangalia suala zima la watumishi ili kuondoa upotevu wa fedha za serikali zinazolipwa kwa watu ambao UNK taifa hii ni mara ya pili kwa serikali ya awamu ya nne kufanya uhakiki wa watumishi tangu iingie madarakani uhakiki wa kwanza ulifanyika katika sekta ya elimu mwaka juzi ambapo waligundulika watumishi hewa moja mia nne na kumi na tatu ambao walikuwa wameisababishia serikai hasara ya shilingi bilioni tatu sifuri nne nne watumishi wa sekta ya afya na elimu kwa pamoja wameisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni saba tisa bibi ghasia alisema uhakiki kama huo kwa sasa unaendelea kufanyika katika sekta ya sheria ambapo watumishi wa mahakama zote UNK boti mpya UNK uwezo wa kuchukua abiria hamsini sifuri imezinduliwa jijini dar es salaam na itakuwa inafanya safari kati ya dar es salaam unguja na pemba pamoja na uzinduzi huo wamiliki wa boti hiyo wameiomba serikali kuangalia upya kodi za vipuri vya magari na boti ili kusaidia kupunguza gharama za usafiri kwa wananchi ushauri huo ulitolewa jijini juzi na meneja mkuu wa kampuni za azam marine na coastal fast marine bwana hussein mohamed issa katika uzinduzi wa boti mpya ya kilimanjaro inayomilikiwa na kampuni ya azam uliofanyika bandarini jijini dar es salaam alisema kuwa wawekezaji wengi katika usafirishaji wamekuwa wakijitahidi kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa bei nafuu lakini suala hilo linashindikana kutokana na kodi ya vipuri kuwa kubwa bwana issa alisema kuwa ni boti hiyo ni mpya na ya kisasa ikiwa imegawanywa katika madaraja matatu upande wa viongozi v p na daraja la kawaida boti hii UNK kwa oda maalumu kutoka australia na ilichukua muda wa miezi nane kutengenezwa ina kila kitu mpaka huduma kwa wagonjwa ambapo kwa wale wanaosafirisha wagonjwa wana uhakika wa kupata sehemu nzuri yenye usalama ni boti yenye thamani kubwa kiasi kwamba baadhi ya nchi nyingi afrika hawana kama hii alisema aliongeza kuwa katika utengenezaji wamezingatia watu wenye ulemavu na huduma kwao vikiwamo vyoo viwili kwa ajili yao mbali na fundi anayeshughulika na masuala ya umeme kutoka australia bwana matt francis hakuna UNK wa kigeni UNK boti hiyo kapteni ni yule yule bwana clement mgalula na mafundi ni walewale na wafanyakazi wote ni watanzania hakuna mgeni alisisitiza meneja huyo chama cha demokrasia na maendeleo kimesema hakitambui muungano wa uliofanywa kati ya wanachama wake na wale wa chama cha wananchi juu ya kuachiana mitaa katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika octoba ishirini na tano mwaka huu afisa habari na uenezi bwana erasto tumbo kuwa chama hakitambui muungano huo UNK mwenyekiti wa UNK mtaa wa picha ya ndege lulanzi mkoani pwani bwana jumanne mohamed bwana tumbo alisema makao makuu ya chama haitambui muungano huo kwa kuwa hatua hiyo imefikiwa bila idhini ya makao makuu chama chetu hakitambui jambo hilo na UNK wagombea katika kila mtaa na hatupo tayari kuacha sehemu eti kwa UNK ya chama fulani kina nguvu katika eneo fulani huu siyo msimamo wa chama alisema bwana tumbo alisema maamuzi yaliyofanywa na kiongozi huyo yalikuwa ni ya kwake binafsi na chama UNK mgombea kila mtaa ili kushindana na vyama vingine mohamed alikaririwa na gazeti hili juzi akisema juzi kuwa chama chake mtaa wa picha ya ndege lulanzi UNK na cuf kuachiana mitaa ambayo chama kinakubalika ili kuongeza nguvu katika uchaguzi wa serikali za mitaa alisema vyama hivyo katika eneo hilo vipo katika mchakato wa kubaini chama kipi kinakubalika wapi na yeye amesimamishwa kugombea nafasi hiyo picha ya ndege lulanzi UNK mtaa wa UNK ukiachwa kwa mgombea wa cuf na gladness mboma kamati ya bunge ya nishati na madini imemtaka waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja kuwasilisha taarifa za siri UNK pamoja na mikataba ya mgodi wa almasi wa mwadui uliopo shinyanga kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika ndani ya kamati hiyo iliyokutana dar es salaam jana bwana ngeleja alitakiwa kupeleka taarifa zilizojitosheleza baada ya kuwasilisha ripoti inayohusu mgodi huo ambayo haikueleweka kwa kamati ripoti tumeipokea lakini UNK hata kidogo hivyo tumemtaka bwana ngeleja UNK nyingine na kutuletea taarifa kamili tumemtaka pia atuletee taarifa za siri zilizojitosheleza na mikataba ya mgodi wa wdl kwani ripoti nzima haijitoshelezi kilisema chanzo hicho bwana ngeleja UNK wabunge katika maelezo yake baada ya kuwaeleza kuwa kampuni ya petra diamonds limited ambayo imenunua kampuni ya willcroft UNK asilimia sabini na tano bila ya kutolea ufafanuzi kamati imemtaka bwana ngeleja kutupa ufafanuzi ni kwa nini kampuni hiyo ichukue asilimia sabini na tano kuna mkanganyiko mkubwa katika ripoti hii UNK sisi watanzania tutavuna nini kwenye mgodi huo chanzo hicho UNK pia kamati UNK na deni kubwa la dola za marekani milioni themanini na saba tano lililoachwa na willcroft ambalo serikali inapaswa UNK kabla ya kununuliwa na petra diamonds limited tatizo ni kwamba wawakilishi wa serikali kwenye wdl hawajawahi kuhudhuria kikao hata kimoja na ndio maana kampuni hiyo iko kifua mbele uzembe huu ni wa kujitakia alisema wawakilishi wa serikali kwenye kampuni ya wdl UNK vikao kumi baadhi ya wawakilishi hao ni bwana fred mpendazoe bibi lucy mayenga na wengine kutoka wizara za nishati na madini na fedha na uchumi alisema hali hiyo ndiyo inayosababisha sekta hiyo ya madini kulegalega na baadhi ya kampuni kufaidika na madini huku serikali ikiachiwa mzigo mkubwa wa madeni awali kamati hiyo iliruhusu waandishi wa habari kuingia katika kikao hicho baada ya bwana ngeleja kusoma ripoti yake aliiomba kamati hiyo kuijadili wenyewe bila ya waandishi mvutano mkali uliibuka kati ya wabunge wa kamati hiyo ambao baadhi yao walitaka waandishi wabaki na wengine wakitetea kauli ya bwana ngeleja ambaye alisisitiza mwenyekiti atatoa taarifa kwa waandishi baada ya kumalizika kwa kikao hicho jambo ambalo wabunge hao UNK kwa shingo upande licha ya serikali kutafuta mabomu yanayoendelea kulipuka na kusababisha maafa mbagala panya waliohitimu digrii ya kutegua mabomu katika chuo kikuu cha kilimo sokoine hawatapelekwa eneo hilo kusaidia kubaini mahali yalipo kwa sababu wanaweza kuchanganyikiwa akizungumza na gazeti hili kwa simu juzi mratibu wa mradi huo upande jeshi la wananchi wa tanzania brigedia jenerali charles UNK alisema panya hao UNK kubaini mabomu UNK kwa mpangilio maalumu na ambayo yanakuwa hayajalipuka wanafanya kazi katika eneo ambalo halina alama ya mlipuko kama kuna mlipuko UNK alisema brigedia jenerali UNK gazeti hili lilitaka kujua kama panya hao kwa sasa watapelekwa mbagala kufanya kazi ya utambuzi wa mabomu kufuatia kupungua kwa milipuko ikilinganishwa na ilivyokuwa aprili ishirini na tisa mwaka huu hivyo kuondoa uwezekano wa panya kuchanganyikiwa wasimamizi wa mradi huo waliwahi kulieleza gazeti hili wakati mabomu yalipokuwa yakilipuka kwa wingi kuwa kwa hali ilivyokuwa kama wangepelekwa wangeweza kuchanganyikiwa panya hao wanaelezwa kufanyakazi ya uteguaji mabomu ya kutegwa ardhini kwa ufanisi nchini msumbiji uchunguzi wa kutumia panya kunusa na kuashiria UNK mabomu umetokana na faida mbalimbali alizonazo panya ikilinganishwa na wanyama wengine wataalam mbalimbali wanaeleza kuwa udogo wa panya huwafanya kuwa karibu zaidi na ardhi na uwezo mkubwa wa kunusa hivyo kuwa rahisi kwake kutambua mabomu utafiti huo unafanyika kwa ushirikiano mkubwa wa wataalamu wa milipuko wa jeshi la wananchi wa tanzania na unaoendeshwa chini ya mkataba wa ushirikiano baina ya sua na chuo kikuu cha UNK cha ubelgiji na shirika la kujitolea la uondoaji wa mabomu ya kutengwa ardhini mwisho mwendesha pikipiki bwana rajabu saidi mkazi wa minazi mirefu wilaya ya ilala UNK na UNK na kufariki dunia muda mfupi baada ya UNK na kutoka UNK tukio hilo lilitokea juzi saa kumi na moja jioni wakati said akitokea eneo la migombani alipojaribu UNK reli na pikipiki kuzimika ghafla huku treni ikiwa imekaribia eneo hilo akiwa UNK kuvuta pikipiki yake bila mafanikio huku mashuhuda waliokuwepo UNK mayowe kumtaarifu kukimbia lakini kabla hajachukua hatua ghafla UNK na kumburuza kama mita tano na baadaye kusimama mwili wa marehemu ulioonekana umevunjika mkono miguu na upande mmoja wa kichwa kujeruhiwa vibaya ulipelekwa hospitali ya amana marafiki wa marehemu walisema kuwa pikipiki hiyo alikuwa ameinunua kwa jitihada zake mwenyewe na kuanza kuifanyia biashara katika kituo cha mchicha kwenda temeke kiwalani na sehemu zingine wazazi wa marehemu walipata mshutuko baada ya kupata taarifa za kifo hicho na kuzimia kwa muda hadi jana tukio hilo halikuwa katika taarifa zilizotolewa na polisi na afisa mmoja alisema hawakuwa na tukio hilo watoto wenye makengeza kutoka mikoa yote ya tanzania wametakiwa kufika katika hospitali ya taifa muhimbili kwa ajili ya kupata matibabu ya ugonjwa huo bure rai hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na daktari christine mataka wa kitengo cha macho katika hospitali hiyo alipokuwa akitoa taarifa ya wagonjwa waliojitokeza kwa mkoa wa dar es salaam kwa kipindi cha wiki tatu alisema tangu walipotangaza kutoa tiba hiyo dar es salaam kwa watoto wenye umri usiozidi miaka kumi na tano ni watoto kumi na tano tu waliojitokeza kupata huduma hiyo watoto hao walifanyiwa uchunguzi kwa kushirikiana na madaktari kutoka marekani na kumi na mbili kati yao walibainika kuwa na makengeza watatu walikutwa na matatizo mengine ya macho ambayo hayahusiani na makengeza daktari mataka alisema kuna wagonjwa mbao wana makengeza lakini pia jicho au macho yote yanakuwa hayaoni hivyo hata akifanyiwa upasuaji hataweza kuona kwa wenye macho yasiyoona hatuwafanyii haraka upasuaji sababu hauna manufaa kwao kwani hata akifanyiwa bado atakuwa haoni isipokuwa sura yake itakuwa imekaa vizuri kwa mwonekano alisema alisema wanaofanyiwa haraka upasuaji ni wale wenye makengeza na macho yao yanaona kama kawaida akizungumzia watoto wachanga alisema akibainika ana makengeza hushauri asifanyiwe upasuaji haraka hadi atakapokua kidogo kwani akifanyiwa mapema macho yanarudia kupinda tena baada ya miaka mitano hadi sita kufuatia tangazo hilo wagonjwa zaidi wanaendelea kujitokeza na watoto kutoka mikoa mbalimbali wanaruhusiwa kufika kwa ajili ya kupata huduma hiyo baada ya kupata rufaa katika hospitali za mikoa wanamoishi hata hivyo alisema si lahisi huduma hiyo kutolewa mikoani kwani wako wachache na vifaa wanavyotumia ni vikubwa ambayo ni usumbufu kuvisafirisha mwisho zikiwa zimepita zaidi ya wiki tatu tangu chama cha demokrasia na maendeleo UNK mfumo wa UNK UNK kupata wanachama kupitia ujumbe wa simu na mtandao wa kompyuta bado utatibu huo haujaanza kutumika katibu mkuu wa chadema daktari wilbroad slaa wapo hatua ya mwisho ya kukamilisha utaratibu huo UNK kuanza kutokana na mambo ya kitaalamu mfumo huo ulizinduliwa septemba tatu mwaka huu katika ukumbi wa shule ya sekondari ya mbezi beach na mwenyekiti wa chama hicho bwana freeman mbowe akitamba kuwa UNK chadema kuvuna mamilioni ya wanachama lakini hadi sasa haujaanza kutumika kwa mujibu wa bwana mbowe chama chake kitakuwa ni cha kwanza afrika kutumia mfumo huo ambao umekuwa ukitumiwa na vyama vingi katika nchi zilizoendelea akizungumza na majira kwa njia ya simu jana daktari slaa alisema mfumo huo uko katika hatua za mwisho kwani sasa kilichobaki ni mambo ya data base tumekuwa tukipata simu na ujumbe mfupi kutoka kwa wanachama wetu kutoka katika maeneo mbalimbali ya nchi kuhusu mfumo huo lakini tumekuwa UNK kwa bado mambo ya kitaalamu yanafanyiwa kazi na iwapo yatakamilika tutaweka bayana alisema daktari slaa alisema hawezi kutoa siku kamili ya kuanza kufanya kazi kwa mfumo huo kwani yeye si mtalaamu lakini watakapomaliza kufanya kazi hiyo itatangazwa katika vyombo vya habari ili wanachi wote waelewe nini kinachofuata baada ya uzinduzi huo alisema mfumo huo utawezesha wanachama kujiunga na chadema kwa wingi kwani ndio mfumo unaotumiwa na vyama vingi nchini marekani daktari slaa alisema mpango huo utakiwezesha chama hicho kuwa na oganaizesheni ya kiteknolojia sanjari na oganaizesheni yake ya sasa ya matawi na vikao vyake vya kichama bwana slaa alisema kama mtu anayetaka kujiunga na chadema iwapo mfumo huo utakapokamilika atalazimika kutuma ujumbe mfupi wa simu yake ya mkononi kwa kuandika neno chadema kwenda namba elfu kumi na tano na mia saba na kumi na baada ya kufanya hivyo atakuwa UNK kiasi hicho cha shilingi thebathini sifuri kila mwezi mwisho aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi wa benki kuu ya tanzania bwana amatus liyumba amebwaga mzigo wa upotevu wa mabilioni ya fedha kwa bodi wa wakurugenzi wa benki hiyo iliyokuwa ikiongozwa na gavana bwana daud balali bwana liyumba alifikia hatua ya kusema hayo jana wakati wa usikilizwaji wa hoja za awali katika kesi inayomkabili ya kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya majengo pacha ya bot bila idhini ya bodi mbele ya jopo la mahakimu wanaoongozwa na bwana edson mkasimongwa aliiambia mahakama kuwa hakuna fedha iliyokuwa inaweza kutolewa au kufanyika kwa mabadiliko yoyote ya mradi bila ya kupitia na kuridhiwa na bodi hiyo hakuna fedha iliyokuwa ikilipwa bila bodi kujua na kama bodi ilijua kuwa mimi na balali tumebadili yaliyokubaliwa ndani ya mkataba wa majengo pacha na bodi ikashindwa kuchukua hatua basi bodi hiyo ilikuwa ni useless alisema bwana liyumba kauli hiyo ya liyumba ilikuja baada ya upande wa mashitaka kumtuhumu kuwa yeye na marehemu balali walibadili makubaliano ya ujenzi huo na kufanya gharama za mradi huo kuongezeka kwa asilimia mia nne na themanini hatua iliyoisababishia hasara serikali ya tanzania kwa mujibu wa sheria ya bot bodi ya wakurugenzi inaongozwa na gavana na kwa nafasi yake liyumba hakuwa mjumbe alisema kuwa mabadiliko yote ya mradi yaliyofanywa yalipelekwa kwenye bodi na ilibariki mchakato wote huo kwa kuwa mradi huo ulikuwa ukisimamiwa na meneja mradi lakini pia mshauri wa mradi nashangaa kuambiwa haya kwani mradi huu ulikuwa na meneja mradi ambaye hata hapa hajatajwa lakini mbali na hayo balali ndo alikuwa mwenyekiti wa bodi hivyo inashangaza kusikia mimi nilifanya mabadiliko hayo alisema bwana liyumba awali upande wa mashitaka ukisoma maelezo ya kesi hiyo ulidai kuwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini ilitolewa hoja ya ujenzi wa ofisi mpya za bot na michoro ya jengo hilo iliandaliwa na kampuni ya d s ltd na mradi huo ulijulikana kama kumi mirambo ilidaiwa kuwa hoja ya ujenzi wa ofisi mpya ilikuja baada ya ofisi za benki hiyo kuungua moto mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nne lakini ilipofika mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa bwana balali alitoa hoja ya ujenzi wa majengo pacha hivyo mchora michoro aliambiwa kubadili michoro hiyo ili kukidhi matakwa hayo mkataba wa mradi huo ulisainiwa juni ishirini na tano ishirini sifuri mbili kati ya bot na kampuni ya ukandarasi ya group five east ltd kwa gharama za dola za marekani milioni sabini na tatu mradi ambao ulitakiwa umalizike ndani ya miaka mitatu ilidaiwa kuwa bwana liyumba alikuwa na jukumu la kusimamia mradi huo lakini bila kupata idhini ya bodi akishirikiana na bwana balali walibadili makubaliano ya awali ya mkataba huo na kuongeza baadhi ya mambo ikiwemo kutoka ghorofa kumi na nne hadi kumi na nane kwa kila jengo ilidaiwa kuwa mabadiliko haya yalibadili gharama za awali na kuwa dola za marekani mia moja na hamsini na tatu sifuri saba saba mia saba na kumi na tano sabini na tano hoja ambazo zilikanushwa na bwana liyumba baada ya kusomwa kwa maelezo hayo na upande wa mashitaka kutaka kuwasilisha baadhi ya vilelezo ikiwemo mkataba wa mradi huo upande wa utetezi ulipinga vikali na nyaraka hizo kuwekwa sehemu ya vitu vinavyobishaniwa ambavyo vitataka mashahidi mbali na hiyo upande wa mashitaka pia uliomba kupewa muda kwa ajili ya kuangalia ni mashahidi gani ambao watawaita kutokana na mambo yaliyobishaniwa mahakamani hapo kwa upande wa utetezi ulisisitiza kutajwa kwa mashahidi hao pia kupewa maelezo ya mlalamikaji wa kesi hiyo ambaye alisababisha mteja wao kufikishwa mahakamani hapo kutokana na hoja hizo idadi ya mashahidi wa upande wa mashitaka watatajwa oktoba mosi mwaka huu chama cha wananchi kimesema wakati wa maandamano yake keshokutwa UNK baadhi ya barabara za jiji la dar es salaam ili kushinikiza kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi na kutungwa kwa katiba mpya ambayo itapanua wigo kwa demokrasia nchini akizungumza jana dar es salaam katika kongamano la wanachama wa cuf katibu mkuu wa chama hicho seif sharif hamad alisema maandamano hayo yataanzia katika barabara ya uhuru bibi titi na maktaba hadi kwa msajili wa vyama vya siasa bwana john tendwa alisema kuwa maandamano hayo yatakuwa ya kihistoria UNK kuwa wananchi wamechoshwa na ubovu wa tume ya taifa ya uchaguzi ambayo imekuwa kichaka cha chama tawala katika maandamano yetu tunatoa wiki mbili kwa bwana tendwa kumaliza UNK hilo kama sivyo tutaandamana tena hadi ofisi ya waziri mkuu na UNK pia huko tutaandamana usiku na mchana hadi ikulu kuhakikisha tunapata haki yetu ya msingi alisema bwana seif alisema kuwa lengo la maandamano hayo pia ni kutaka kuuonyesha mkutano wa bunge la jumuiya ya madola unaoanza leo mpaka oktoba nne mjini arusha kutambua kuwa tanzania hakuna demokrasia akizungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa alisema kuwa wananchi wanatakiwa kupewa haki ya kujiandikisha bila vikwazo na uhuru wa kuwachagua viongozi wanaowataka ili kuepusha migogoro ya kisiasa kwa upande wa kasoro zilizojitokeza katika shughuli za uboreshaji wa daftari la wapiga kura alisema ni chuki za kupandikizwa na baadhi ya viongozi na kutaka kuwanyima wananchi haki yao ya msingi ya kupiga kura katika uchaguzi wa wawakilishi naye mkurugenzi uenezi na mahusiano ya umma cuf bibi ashura mustafa UNK baada ya maandamano dar es salaam septemba thebathini oktoba moja UNK na wenzetu morogoro UNK tume huru ya uchaguzi kuundwa na kutupatia majibu ya kuridhisha kwa kile tunachokidai alisema bibi mustafa mwisho makamu mwenyekiti wa ccm bwana pius msekwa ameunga mkono kazi inayofanywa na kikundi cha wabunge wapambanaji wa ufisadi na kusisitiza kuwa kinafuata nyayo za wabunge waliotangulia bwana msekwa ambaye kwa nyakato tofauti amewahi kuwa katibu wa bunge na spika wa bunge alitoa kauli hiyo dar es salaam jana wakati akihojiwa katika kipindi cha medani za siasa kilichorushwa na star tv kuwa na kikundi cha wabunge wachache wa kupambana na uovu siyo jambo baya alisisitiza bwana msekwa ambaye ni mjumbe wa kamati ya nec inayochunguza mahusiano ya wabunge wa ccm na serikali yao akiwa pamoja na abdulrahaman kinana na rais mstaafu ali hassan mwinyi anayeiongoza aliongeza kusema kuwa wakati akiwa spika ndani ya bunge kulikuwa na kikundi cha wabunge wachache wa kupambana na ukimwi chini ya bibi UNK UNK na kingine cha wabunge wachache kilichokuwa UNK na rushwa chini ya uongozi wa mbunge wa kibaha mjini bibi zainab gama sasa kuna uovu unaoitwa ufisadi kazi inayofanywa na kikundi cha wabunge hao kupambana na uovu huo ni sahihi kikundi hicho kinafuata nyayo za vikindi vilivyotangulia alisema bwana msekwa bwana msekwa alitoa kauli hiyo huku ndani ya ccm kukiwa na wanasiasa UNK vita wabunge wapambanaji wa ufisadi huku kukiwa na taarifa kuwa kikao cha halmashauri kuu ya taifa ya ccm iliyokutana hivi karibuni UNK azimio UNK kuwaziba midomo wabunge UNK wa ufisadi katika kikao hicho wabunge wapatao ishirini na mbili walichangia mada ya hali ya siasa na kumshambulia spika wa bunge samuel sitta na kilichoitwa kikundi chake cha wabunge wanaopambana na ufisadi kuwa UNK ccm na kuiweka pabaya serikali hivyo kutaka UNK kadi yake ya uanachama jambo ambalo UNK mjadala huo ni tuhuma za baadhi ya wanasiasa wa chama hicho tawala wakiwamo waliokuwa mawaziri UNK na ufisadi na hasa katika kashfa ya ukodishaji wa mitambo ya kuzalisha umeme wa dharura kutoka kwa kampuni tata ya richmond kundi hilo limekuwa likifanya chini juu na wakati mwingine kwa kutumia fedha nyingi kuhakikisha vita dhidi yao UNK na wabunge wanaopambana dhidi yake UNK wabunge ambao wamekuwa wakiendesha mapambano dhidi ya ufisadi wakiongozwa na sitta ni lucas selelii wa nzega daktari harrison mwakyembe wa kyela anne kilango malecela wa same mashariki aloyce kimaro wa vunjo james lembeli fredy mpendazoe wa kishapu na john shibuda wa maswa wabunge hao wake nyakato tofauti wamekuwa wakiapa kutofunga midomo yao hadi ufisadi UNK lakini siku chache baada ya ccm kutoa tamko la kuwabana lililopingwa vikali na chama hicho kuwa katika wakati mgumu viongozi wa juu wa chama hicho wamegeuka na kuanza kuunga mkono harakati za wabunge hao wa kwanza kuzungumzia suala hilo ni mwenyekiti wa ccm rais jakaya kikwete UNK katibu na nec itikadi na uenezi john chiligati katibu mkuu yusuf makamba UNK hadi utambo na kumpigia debe spika sitta kwa kazi yake nzuri na sasa msekwa kujitokeza kwa msekwa na kutoa kauli hiyo kumekuja siku moja baada ya mzee mwinyi maarufu kama mzee ruksa anayeongoza kamati ya nec kukaririwa UNK mbunge wa same UNK anne malecela kwa ushupavu wake wa kupambana na na ufisadi mzee ruksa alikwenda mbali zaidi akisema mafisadi UNK kwenye nafasi za uongozi na sasa UNK mwisho nyaraka zote za uchaguzi mkuu wa rais na wabunge mwaka ujao UNK na idara ya mpigachapa mkuu wa serikali badala ya kuchapishwa nje ya nchi kama ilivyokuwa awali waziri katika ofisi ya waziri mkuu bwana UNK marmo alisema jana jijini dar es salaam kuwa hatua hiyo imechukuliwa ili kudhibiti wizi wa nyaraka za serikali na kuhakikisha usahihi wake bwana marmo alisema hayo alipozungumza na wafanyakazi wa idara hiyo baada ya kutembelea mitambo ya uchapaji inayosimamiwa na mpigachapa mkuu wa serikali na kuongeza kwamba serikali imejipanga vizuri kuhakikisha mitambo mipya ya kisasa UNK ili kutimiza lengo hilo alisema mitambo hiyo itakuwa na uwezo kubandika alama na namba za siri ili kudhibiti wizi na kwamba mpigachapa mkuu wa serikali na maafisa wa tume ya taifa ya uchaguzi UNK kutazama namna bora ya kufanikisha kazi hiyo pia alisema serikali itahakikisha wizara na idara zote zinachapisha nyaraka zote kwa mpigachapa mkuu wa serikali ikiwa ni hatua ya kutunza siri za serikali na kudhibiti wizi wa nyaraka hizo akizungumzia suala hilo mpigachapa mkuu wa serikali bwana cassian chibogoyo aliwataka wafanyakazi kutunza siri za serikali na kuonya kwamba watakaobainika UNK siri hizo watachukuliwa hatua za kisheria mara moja kuna wafanyakazi hapa UNK kwa sababu tu ya tamaa UNK wapo wezi wapo na ndio wanaounda vikundi kuvuruga kiwanda hatutakubali kuendelea nao alionya katika risala yao kwa waziri wafanyakazi waliiomba serikali kuboresha mitambo iliyopo na majengo ambayo walisema yamechakaa kwa kuwa hayajafanyiwa ukarabati kwa muda mrefu mjane wa baba wa taifa mama maria nyerere amesema tuzo aliyopewa marehemu mumewe na baraza la kuu la umoja wa mataifa imetia chachu katika maandalizi ya maadhimisho ya ya miaka kumi ya kumbukumbu ya kifo cha mwalimu akizungumza nyumbani kwake msasani mama maria aliwaambia waandishi wa habari kuwa tuzo hiyo ilitolewa na rais wa baraza hilo padre miguel d UNK imemtangaza mwalimu nyerere kuwa shujaa wa ulimwengu wa haki za jamii mama maria alishauri watanzania kutafakari kwa makini mawazo ya mfumo wa maendeleo walioachiwa na na viongozi akiwemo mwalimu nyerere kama njia mojawapo ya kupambana na changamoto zinazoikabili dunia tuzo hii ni heshima kubwa si kwangu na kwa marehemu mume wangu bali pia kwa viongozi wote waliopigania na wanaoendelea kutetea haki haki usawa na maendeleo ya binadamu wote bila kuzingatia rangi dini uwezo wa kiuchumi itikadi ama ukabila alisema mama maria ambaye hakutaka kujibu maswali mengine nje ya mada tuzo hiyo UNK marehemu mumewe mama maria alisema enzi za uhai wake alijulikana kwa kukemea rushwa katika sura zote kwa nguvu zote na kuifananisha na ukoma pia alichukia na kupinga taasisi za kifedha za kimataifa UNK nchi zinazoendelea sera na mustakabali wao mwalimu aliamini na kutetea kwa nguvu na maarifa yake yote heshima ya utu na haki za binadamu wote kama zilivyoainishwa katika tamko la kimataifa la haki za binadamu alisema mama maria aliongeza kwa kusema kuwa mwalimu nyerere alikuwa na maono kwamba baada ya giza nene la ukoloni na ubaguzi waafrika wataungana katika msingi wa kutafuta maendeleo ya bara lao aidha mama maria alisema tuzo hiyo imetia chachu katika maandalizi ya maadhimisho ya ya miaka kumbukumbu ya miaka kumi ya kifo cha mwalimu katika hafla hiyo mama maria UNK padre miguel machapisho mbalimbali ya mwalimu nyerere kuwa kumbukumbu ya kazi yake katika kutetea wanyonge mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba amesema rais jakaya kikwete anatoa kauli za kuifurahisha nafsi yake kuhusu mwenendo wa mazungumzo ya muafaka kati ya ccm na cuf zanzibar alitoa kauli hiyo kufuatia taarifa zilizochapishwa jana katika vyombo mbalimbali vya habari kuhusu kauli ya rais kikwete kuwa hajashindwa kurejesha mazungumzo ya mwafaka wakati alipokuwa akizungumza na katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban ki moon ambaye alitaka kufahamu hali ya kisiasa visiwani zanzibar katika mazungumzo hayo rais kikwete alisema kuwa hajakata tamaa katika UNK vyama vya ccm na cuf ili kufikia mwafaka na hatimaye kutuliza hali inayoonekana kutishia amani ya nchini hasa visiwani zanzibar profesa lipumba alisema kuwa kauli ya rais kikwete UNK sana na kuwa anatoa kauli hizo kwa kujifurahisha yeye mwenyewe kwa kuwa inaenda kinyume na ukweli wa hali halisi kauli ya rais kikwete UNK sana tatizo lake hana kauli dhabiti kwa kuwa anaweza kusema kuwa anashughulikia lakini asifanye hivyo anatoa kauli za kujifurahisha alisema profesa lipumba pia alisema tatizo kubwa lilianzia katika hoja ya kura ya maoni visiwani zanzibar na hata pale walipomtaka rais kikwete kuzungumza naye kipindi cha nyuma hakuwa tayari kufanya hivyo tumezungumzia suala hili zaidi ya mara moja UNK mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa ishirini sifuri moja ishirini sifuri saba sifuri nane lakini bado halijafika mwisho alisema profesa lipumba baadhi ya maeneo ya wilaya ya UNK yakiwemo makazi ya waziri mkuu ubalozi wa uingereza china japan kenya na nigeria yatakosa umeme leo kuanzia saa mbili sifuri sifuri asubuhi hadi saa nane sifuri sifuri mchana ili kutoa fursa ya matengenezo yanayofanywa na shirika la umeme tanzania matengenezo hayo yanahusu ufungwaji wa kifaa maalumu cha kusambaza umeme katika kituo cha umeme oysterbay kwa ajili ya kituo cha umeme kilichoko eneo la UNK maeneo UNK ni msasani eneo la mamwinyi msasani UNK UNK sehemu ya mikocheni kujumuisha masaki morogoro store UNK hotel and UNK centre UNK hotel tambwe UNK ofisi ya rais st UNK kwale street UNK street na international school of tanganyika sehemu nyingine ni hotel ya karibu hill road tour drive coco beach UNK club kahama mining sea cliff UNK village chole road bandari quarters ccbrt hospital UNK flats atc quarters UNK century hotel na slip way katika maeneo ya osterbay ni ubalozi wa kenya vodacom kwale street kinondoni government flats UNK bank ubalozi wa urusi na india laibon street kaunda road kinondoni hananasif kinondoni shamba mikocheni a na victoria drive UNK vyama vya tanzania labor party na chama cha demokrasia na maendeleo vimesema haviko tayari kushirikiana na chama cha wananchi katika maandamano wanayotarajia kufanya kutokana na kutoa masharti chama cha cuf kupitia katibu mkuu wake seif sharif hamad UNK vyama vingine vya upinzani kushiriki katika maandamano ili kuonesha umoja wao na kutoa hisia zao za kidemokrasia kwa lengo la kuitaka tume ya uchaguzi UNK katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo daktari wilbrod slaa alisema kuwa wazo la cuf lakini mpango wake una dosari kubwa ya kuviomba vyama vingine vya upinzani kushiriki kupitia vyombo vya habari daktari slaa alisema kuwa chama hicho pia UNK vyama vyote vishiriki bila bendera zao kama utambulisho jambo ambalo hawawezi UNK sisi kama chama hatuwezi kushiriki katika maandamano ya aina hiyo kwani tutakuwa UNK haki kwa UNK utambulisho wetu alisema daktari slaa daktari slaa aliongeza kuwa UNK cuf barua ya kukitaka UNK mwongozo wa siku hiyo ikiwa ni pamoja na kukubali kushiriki wakiwa na bendera na kadi zao za chama nimeagiza barua iandikwe kama UNK basi iko njiani wataipata kama UNK na masharti UNK kuyafuata hatutakuwa tayari kushiriki maandamano hayo alisisitiza daktari slaa kwa upande wake mwenyekiti wa tanzania labour party bwana agustine mrema alionesha wasiwasi wake na kusema kuwa cuf imekuwa ikiomba msaada pindi inapopata matatizo tu lakini pasipo matatizo wanaishi kama UNK bwana mrema alisema kuwa uamuzi wao wa kutoshiriki kwa tlp una lengo la kuwataka wajifunze ingawa amekiri kuwa wana hoja ya msingi na inatakiwa kuungwa mkono ingawa wao hawako tayari mimi niko mbele kutoa msaada pale UNK lakini wao wanasubiri pindi wanapopata matatizo ndio UNK sasa huo moyo wa kuwasaidia unatoka wapi ndugu mwandishi alisema mrema mtoto wa miaka kumi na mbili pendo mwaipopo mkazi wa kigamboni vijibweni UNK minyororo miguuni na kukaa chooni kwa siku nzima na babake mzazi bwana venance mwaipopo akishirikiana na mama wa UNK kana kwamba wazazi hao hawakuridhika walimwekea binti yao ndoo ya maji ya chooni na kikombe ili anywe maji hayo pindi akisikia kiu tukio hilo la lilitokea jumamosi iliyopita nyumbani kwao vijibweni kabla ya kupata msaada kutoka kwa majirani waliomsikia akilia kwa lengo la kuomba msaada baada ya wazazi hao kumfungia binti yao chooni na wenyewe walifunga nyumba na kuondoka mtoto huyo alianza kupiga kelele kuomba msaada na majirani wakasikia na kukusanyika ukatili dhidi ya mtoto huyo anayesoma darasa la tano katika shule ya msingi vijibweni uliwashangaza wananchi waliofika kumpatia msaada baada ya kumkuta amekaa kwenye tundu la choo huku miguu yake ikiwa imefungwa mnyororo kama UNK mtumwa baada ya wananchi kufika akiwemo jirani ambaye kwa muda mrefu amekuwa akimsaidia binti huyo kwa kumpatia mahitaji muhimu kutokana na kunyanyaswa na wazazi walienda kutoa taarifa katika kituo polisi vijibweni baada ya polisi kufika nyumbani kwa mtoto huyo na kushuhudia ukatili huo walimpigia simu bwana mwaipopo na UNK maneno ya UNK ili aweze kurudi nyumbani alipofika alikuta umati wa watu na askari na UNK afungue nyumba yake baada ya kufungua mlango aliongozana na askari na kuingia ndani hadi kwenye mlango wa choo uliokuwa umefungwa kwa nje choo hicho kipo ndani ya nyumba hiyo na alikutwa akiwa kwenye giza kutokana na milango yote ya nyumba hiyo kufungwa ukiwemo ule wa choo binti huyo alikutwa amekaa kwenye tundu la choo askari walimbeba UNK na minyororo miguuni hadi kituo cha polisi wananchi wenye hasira walianza kushambulia nyumba ya bwana mwaipopo kwa mawe na kunggoa miti na mazao UNK shambani kwake iliwalazimu polisi kuingilia kati na kuwatuliza ili wasiendelee na uharibifu huo wakizungumzia tukio hilo majirani walisema mtoto huyo alianza kukumbana na ukatili baada ya mama yake mzazi kwenda kijijini kwao mbeya kutokana na maradhi walidai kuwa baada ya kuona mke wake ameondoka bwana mwaipopo alibadilisha dini na kuoa mke mwingine ambaye ni mfanyakazi mwenzake na kufunga naye ndoa ya kiislamu huku akiwa na ndoa ya kikristo UNK awali na mama wa mtoto huyo aliyeondoka mwaka mmoja uliopita mtoto huyo alipelekwa hospitali ya taifa ya muhimbili kufanyiwa uchunguzi na matibabu na baadaye kuruhusiwa na sasa UNK kwa UNK kamanda wa polisi mkoa wa temeke liberatus sabas hakupatikana ofisini jana wala kwenye simu yake kuzungumzia suala hilo wanafunzi wa shule za sekondari na msingi kibasila jana walifanya vurugu kubwa UNK kulala barabarani na kupiga mawe magari kwa lengo la kuishinikiza serikali kuweka matuta katika barabara ya changgombe baada ya wenzao kugongwa na gari vurugu hizo zilizoambatana na nyimbo na mayowe zilidumu kwa saa tano ambapo zilianza tatu sifuri sifuri hadi saa nane sifuri sifuri mchana huku zikisababisha usumbufu mkubwa kwa wenye magari na waenda kwa miguu katika eneo hilo wanafunzi hao walikuwa na mabango yenye ujumbe leo lazima kieleweke tunataka haki zetu kama vile taa za kuongoza magari matuta katika barabara ya mandela na changombe na tumechoka kuzika kuzika bila kuuguza mgomo huo ulioshirikisha zaidi ya wanafunzi tatu sifuri sifuri sifuri kutoka katika shule hizo na wakazi mbalimbali wa eneo hilo umetokea baada ya wanafunzi watatu na mkazi wa eneo hilo kugongwa huku mwingine akipoteza maisha na wengine kupata ulemavu wa kudumu jana mmoja wa shuhuda alisema kuwa jana asubuhi wanafunzi consolata kilaza na winston sango wote wa darasa la tano katika shule ya msingi kibasila waligongwa na kupata ulemavu wa kudumu wakati wakisaidiwa kuvushwa na msamaria ambaye pia UNK alisema winston sango alivunjika mguu na kukimbizwa katika UNK ya muhimbili kitengo cha mifupa na kilaza alivunjika mkono na amelazwa katika hospitali ya wilaya ya manispaa ya temeke shuhuda huyo alisema siku ya septemba ishirini na tano mwaka huu katika makutano ya barabara hizo mwanafunzi mmoja wa kidato cha sita katika shule ya sekondari kibasila zubeda UNK aligongwa na kufa papo hapo wakati akijaribu kuvuka tukio hilo lilisababisha magari kutoka katika maeneo mbalimbali kupitia katika makutano hayo kushindwa kupita katika eneo hilo baada ya wanafunzi hao kufunga barabara na kurusha mawe kwa madereva waliokaidi amri katika hali iliyoashiria kuwa wanafunzi hao walikuwa tayari kukabiliana na jambo lolote kuna wakati walishikana mashati na askari wa kutuliza ghasia katika sakata hilo mkuu wa upepelezi kanda maalumu ya dar es salamu bwana charles mkumbo na askari wengine walikuwa na wakati mgumu kuwanasua askari kadhaa waliokuwa wameshikwa na wanafunzi ambao walikuwa UNK mwenzao alikamatwa na polisi hao majira ilishuhudia msururu wa magari yakiwemo ya matatu yakiwa ya jeshi la wananchi wa tanzania polisi na jeshi la magereza yakiwa yamebeba askari aliokuwa wakienda katika vituo vyao vya kazi UNK kutii amri ya wanafunzi hao juhudi za bwana mkumbo kujalibu kuzima ghasia hizo hazikufanikiwa kutokana na wanafunzi kusisitiza kuwa walitaka mkuu wa mkoa aje kutoa kauli vurugu hizo UNK na mkuu wa wilaya ya kinondoni bwana jordan UNK aliyefika katika eneo hilo kama kaimu mkuu wa wilaya ya temeke ambaye aliitisha kikao cha dharula kilichohusisha uongozi wa wanafunzi walimu na wanahabari kujadili UNK la vurugu hizo wakizungumza katika kikao hicho viongozi wa wanafunzi walisema ni jambo la kusikitisha kuona serikali inashindwa kuweka alama za barabarani katika barabara hiyo muhimu eneo hili limepewa jina la barabara ya machinjio kutokana na umaarufu wake wa matukio kama haya watu wengi wamekufa na serikali inafahamu ilipaswa kuwa UNK kazi alisema mmoja viongozi wa wanafunzi hao kwa jazba rugimbana aliwaahidi wanafunzi hao kulifanyia kazi suala hilo haraka na kuwaomba waonane leo saa tatu kwa ajili ya majibu ya hatua UNK adaiwa kusema kazi ya rais ni kuchekacheka ameshindwa kuongoza na UNK mafisadi mbunge wa viti maalumu cuf bibi nuru awadh bafadhili na viongozi wengine UNK wa chama hicho wilaya ya tanga wamekamatwa na polisi na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kufanya mkutano bila kibali na kumkashifu rais jakaya kikwete mbunge huyo na wenzake walifikishwa jana katika mahakama ya wilaya ya tanga mbele ya hakimu mkazi bwana laurent mbuya na kusomewa mashtaka matatu ya kula njama za kutenda kosa kukusanyika bila kibali na kutumia lugha ya kashfa kinyume cha sheria wakili wa serikali bibi UNK massawe aliiambia mahakama hiyo kuwa mnamo septemba ishirini na saba mwaka huu majira ya saa kumi hadi kumi na mbili jioni eneo la UNK jijini tanga mbunge huyo ambaye ni mshitakiwa wa kwanza na wenzake walifanya mkutano bila kibali na kumkashifu rais kikwete kuwa na kazi yake ni kuchekacheka na ameshindwa kuongoza na kukumbatia mafisadi hali iliyosababisha uvunjifu wa amani wakili huyo wa serikali aliendelea kudai mahakamani hapo kuwa washtakiwa hao walisababisha usumbufu kwa majirani waliokuwapo katika eneo hilo mbunge huyo na wenzake rashid jumbe diwani wa kata ya UNK mussa mbarouk diwani wa kata ya UNK kusini UNK hassan mkurugenzi wa haki za binadamu wa chama hicho wilaya ya tanga amina yusuph na mohamed asilia kwa pamoja wamekana mashtaka hayo na wako nje kwa dhamana hadi oktoba kumi na mbili mwaka huu kesi yao itakapojatwa tena mamia ya wafuasi wa chama hicho walifurika katika mahakama hiyo wengi wao kutoka maeneo ya vijijini wakitaka kujua hatma ya viongozi wao UNK wakizungumza na gazeti hili nje ya mahakama ya hiyo wafuasi hao walieleza kuwa kukamatwa kwa viongozi hao hakumaanishi kuwa ndio mwisho wa kufanya mikutano na UNK tukio hilo kama ni vita ya kisiasa hasa katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika oktoba ishirini na tano mwaka huu kwa upande wao baadhi ya viongozi wa cuf ambao hawakutaka kutajwa majina yao walieleza kuwa pamoja na tukio hilo bado wataendelea kufanya mikutano ya hadhara ili kuwahamasisha wananchi kujiandikisha ili waweze kupata nafasi ya kushiriki uchaguzi huo mkuu wa wilaya ya kibaha bibi halima kihemba ametishia kuwacharaza bakora madereva wa pikipiki UNK abiria kwa madai kuwa wanavunja sheria za usalama barabarani makusudi bibi kihemba ametoa tishio hilo ikiwa imepita miezi tisa tangu rais jakaya kikwete UNK kazi aliyekuwa mkuu wa wilaya ya bukoba bwana albert mnali kwa kuwacharaza bakora walimu wa shule za msingi katerero na UNK za wilayani humo akihutubia katika sherehe za uzinduzi wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani juzi mjini kibaha bibi kihemba alisema kuanzia sasa ataanza kutembea na bakora kwa ajili ya kuwacharaza madereva hao kwa kukaidi sheria na kusababisha ajali na vifo kwa abiria wao na wao wenyewe pikipiki za abiria zinaleta kero na kusababisha vifo madereva wake wanavunja UNK sheria za usalama barabarani wanabeba abiria zaidi ya mmoja wakiwaita UNK hawana UNK na hawavai UNK tangu sasa nitaanza kutembea na bakora kuwacharaza wote wanaovunja sheria za barabarani alisema bibi kihemba naomba jeshi la polisi tushirikiane kuifanya kazi hii tuifanye kwa makini na uangalifu mkubwa ili tusipoteze na kufutwa kazi alihimiza bibi kihemba bibi kihemba aliyemwakilisha mkuu wa mkoa wa pwani bibi amina said katika UNK jeshi la polisi mkoani hapa kuwakamata madereva wote wa pikipiki wanaovunja sheria za usalama barabarani na kuzuia pikipiki zao hadi makosa UNK pia alikemea vitendo vya baadhi ya wananchi kuvamia na kupora mizigo ya abiria mara UNK ajali na kuliagiza jeshi la polisi kufika kwa haraka na kudhibiti eneo la ajali ili uporaji wa mali za majeruhi UNK baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya korogwe UNK kazi mweka hazina wa halmashauri hiyo bwana gofrey kiwelu kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo halmashauri yao kupata hati ya mashaka pamoja na kumtimua bwana kiwelu pia wamewapa onyo mkurugenzi mtendaji wa halmashauri bibi lilian matinga mganga mkuu wa wilaya daktari rashid said ofisa elimu wilaya bwana shaaban UNK na ofisa ugavi wilaya bwana mkome UNK hata hivyo bibi matinga amekataa kutekeleza agizo hilo akisema mwenye mamlaka ni katibu mkuu wa ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya hiyo bwana sadick kallaghe alisema uamuzi huo ulifikiwa kwenye baraza maalumu la madiwani lililofanyika septemba ishirini na sita mwaka huu na wamemtaka mkurugenzi kumwandikia barua mara moja bwana kiwelu kumsimamisha kazi bwana kallaghe alisema bwana kiwelu pamoja na makosa mengi UNK kwenye ukaguzi wa mahesabu yanayoishia juni thebathini ishirini sifuri nane bado ofisi yake ilizembea kujibu hoja za mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali hivyo kuifanya halmashauri hiyo kupata hati ya mashaka alizitaja baadhi ya hoja kati ya kumi na moja zilizotakiwa kujibiwa lakini wakashindwa UNK kwa wakati ni halmashauri kushindwa kuandaa taarifa za mwisho wa mwaka wa fedha kwa UNK taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo hivyo kushindwa kujua matumizi ya miradi ikiwa ni kinyume cha kifungu namba themanini na nne cha kanuni za matumizi ya fedha za serikali za mitaa bwana kallaghe alisema kwa upande wa idara ya elimu shilingi milioni ishirini na tatu moja zilitumika kama ziada wakati makisio ya bajeti kwa ajili ya mitihani ya darasa la saba ya ilikuwa shilingi milioni kumi tisa tisa lakini zikatumika shilingi milioni mia moja na thebathini na tatu moja huku watumishi wanaochukua masurufu kwa ajili ya safari za kikazi wakishindwa kurejesha pindi fedha UNK bwana kallaghe alisema kibaya zaidi ni bibi matinga kuukumbatia uozo uliopo kwenye idara ya fedha na yeye kudaiwa kughushi kwamba kamati ya uongozi fedha na mipango imekaa na kutoa maoni kuwa waandishi wa taarifa za fedha wawe makini suala hilo UNK mimi kwa mujibu wa sheria pia ndiye mwenyekiti wa kamati ya fedha uongozi na mipango iweje mkurugenzi UNK tumekaa na kutoa maoni yetu kwenye taarifa iliyopelekwa kwa mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali tangu mweka hazina huyu amekuja hatujawahi kupata hati safi lakini mkurugenzi UNK alisema bwana UNK akizungumza na mwandishi wa habari bibi matinga alisema UNK barua bwana kiwelu kwa kuwa baraza hilo maalumu halikuwa kwa ajili ya kuhukumu watumishi bali ni kujadili hoja za mkaguzi na kusema sheria na kanuni za halmashauri haziruhusu kikao UNK jambo fulani kuingizwa jambo jingine kanuni ya nne inasema hakuna shughuli yeyote itakayojadiliwa katika mkutano maalumu wa halmashauri isipokuwa ile tu UNK kwenye taarifa ya kuitishwa mkutano huo kwa maana hiyo mimi siwezi kumwandikia barua ya kumfukuza kazi mtu mwenye uwezo wa kufanya hivyo ni katibu mkuu wa tamisemi serikali wilayani handeni mkoani tanga imeamuru kufunga shule zote mia moja na sabini na mbili za msingi na sekondari wilayani humo kutokana na hali ya mlipuko kipindupindu kuzidi kuwa mbaya na kuleta athari kubwa kwenye jamii mkuu wa wilaya ya handeni kapteni mstaafu seif mpembenwe amefikia uamuzi huo wa kufunga shule zote baada ya watu ishirini na mbili kufariki dunia kutokana na ugonjwa huo wengi wao wakiwa ni wanafunzi alieleza kuwa shule hizo zitafungwa kwa kipindi cha mwezi mmoja wa oktoba ili kupisha ugonjwa huo na kwamba wanafunzi UNK na masomo huku UNK tahadhari ni wale wa kidato cha nne tu wanaokabiliwa na mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari baadae mwezi ujao pamoja na hatua hiyo serikali wilayani humo imefuta likizo kwa watumishi wote wa afya na kusitisha semina zilizokuwa zifanyike nje ya wilaya hiyo katika kipindi hicho cha mwezi mmoja hatua hiyo imelenga kuweka nguvu ya pamoja katika kukabiliana na ugonjwa huo hatari ambao unaendelea kupoteza watu wilayani humo pia serikali itatumia mahakama za kuzungukia wananchi kwa lengo la kuwafungulia mashtaka na kuwashitaki wananchi wote watakaokuwa UNK UNK za usafi zilizowekwa ikiwemo biashara ya vyakula tangu kulipuka kwa ugonjwa huo agosti kumi na sita mwaka huu wilayani humo watu ishirini na mbili wameshafariki dunia huku wengine moja sifuri moja tisa UNK kutokana na maradhi hayo na hadi sasa eneo lililoathirika zaidi na ugonjwa huo ni chanika kanisa la nyumba ya ufufuo wa uzima la ubungo dar es salaam limeingia katika mgogoro wa kugombea ardhi ambapo uongozi wa kanisa unatuhumiwa kunggoa mipaka iliyokuwepo na kujisogeza katika eneo la muuzaji wa kiwanja hicho maofisa wa ardhi wilaya ya kinondoni jana walilazimika kufika kwenye kanisa hilo UNK UNK maelfu ya waumini kupima upya mipaka ya eneo hilo UNK baina ya kanisa na bwana josiah baltazar bwana baltazar alidai kanisa hilo pamoja na kuwa na mgogoro wa siku nyingi wa umiliki wa kiwanja hicho bado limeendelea kunggoa mawe ya mpaka yaliyowekwa kutenganisha kiwanja chake na kile cha kanisa maofisa wa ardhi hao waliweka upya mipaka inayotenganisha nyumba ya mlalamikaji na kanisa hilo na kurudishia upya mawe UNK kunggolewa mmoja wa wachungaji wa kanisa hilo ambaye alikataa jina lake lisichapishwe gazetini alidai UNK mgogoro huo na kubainisha kuwa umegubikwa na utata mkubwa mchungaji alidai eneo linalotumiwa na kanisa kwa mujibu wa hati ni la kanisa isipokuwa kuna madai ya shilingi milioni kumi na tano yaliyokuwepo wakati wa kuuziana kiwanja hicho na kanisa lilikubali kumlipa bwana baltazar baada ya UNK na uongozi wa kanisa mchungaji huyo alidai kuwa walikubaliana kumlipa gari moja aina ya toyota land cruiser kompyuta na printa na baada ya kutumia vifaa bwana baltazar UNK kwa uongozi wa kanisa akidai UNK alidai kesi ya siku nyingi ni utata uliokuwepo wakati wa kuuziana kiwanja hicho ambayo bado ipo mahakamani moja mahakama ya hakimu mkazi kisutu na nyingine mahakama ya kinondoni mchungaji wa kanisa hilo bwana UNK UNK akizungumzia hilo UNK na mwenzake isipokuwa alikanusha kunggoa mawe ya mipaka na aliongeza kuwa hawakuwa na taarifa ya maofisa wa ardhi kufika katika eneo hilo na UNK wakati chama cha wananchi kimepanga kufanya maandamano makubwa kuanzia buguruni UNK hadi kwenye ofisi ya msajili wa vyama vya siasa msajili huyo amepiga marufuku maandamano kufika katika maeneo ya ofisi hizo taarifa za kupingana kwa taasisi hizo mbili zilitolewa jana kwa nyakati UNK na kila moja ikitoa sababu zake za kuchukua hatua husika mapema asubuhi mwenyekiti wa chama hicho profesa ibrahim lipumba alisema msimamo wao ni kumtaka mwenyekiti wa tume ya uchaguzi jaji lewis makame ajiuzulu kutokana na kushindwa kuzuia na kuhakikisha uwajibikaji na uwazi kwenye taratibu za uchaguzi na kutaka tume hiyo ivunjwe na kuweka watu safi wenye kuijua demokrasia tutaendelea na maandamano hayo bila kuchoka na yatafanyika nchi nzima kwani tume imeshindwa kuunda asasi za kuhakikisha usalama na uwazi katika vipindi kadhaa vya uchaguzi hapa nchini alisema profesa lipumba lakini ilipofika mchana msajili wa vyama vya siasa nchini bwana john tendwa naye aliitisha mkutano wa waandishi wa habari na kueleza kuwa yupo tayari kupokea ujumbe wao katika maandamano yanayofanyika leo lakini wapange maeneo tofauti na viwanja vya eneo la ofisi yake ofisi ya msajili wa vyama vya siasa iko katika barabara ya mirambo ikiwa takriban mita thebathini sifuri kutoka kwenye geti la ikulu ya rais jakaya kikwete ofisi ndogo ya bunge na maeneo mengine nyeti ya serikali nimekubali kuwapokea lakini UNK kuwa eneo letu ni dogo na hapa tupo karibu na ofisi mbalimbali ikiwa ni benk kuu ofisi ndogo ya bunge shule ya msingi wizara ya fedha pamoja na magereza tunahitaji kulinda usalama alisema bwana tendwa alisema kuwa katika maandamano hayo si kila mmoja ana nia ya kufikisha ujumbe kama ulivyokusudiwa bali miongoni mwao wapo watu wanaoweza kufanya vurugu na kuvunja amani iliyopo katika msafara wa mamba hata kenge wamo sisi tunaangalia usalama pia kesho ni siku ya kazi niliwashauri na pia UNK msisitizo kuwa tupo tayari kuwapokea mahali popote alisema bwana tendwa alifafanua kwamba baada ya kupata taarifa kuwa wanataka kuandamana aliamua kuwapa taarifa kuwa yupo tayari kukutana katika maeneo mbalimbali ya wazi ikiwa ni pamoja na eneo la mnazi mmoja kidongo chekundu pamoja na jangwani lakini hakupata majibu yoyote tatizo la cuf ni kuwa namba UNK katika paper yao UNK UNK mpaka UNK mtu binafsi alisema wakati hayo yakiendelea cuf kwa upande wake ilikuwa ikiendelea na maandalizi ya maandamano na profesa lipumba alipoulizwa msimamo wa tendwa alisema hakuwa na taarifa nao lakini kijana wake alikuwa polisi akizungumzia suala hilo imeandikwa na prosper mosha yusuph katimba na husna ridhiwan mkazi wa vijibweni kigamboni dar es salaam bwana venance mwaipopo amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya temeke akikabiliwa na mashitaka mawili ya kumfanyia ukatiri mwanawe kwa kumfungia mnyororo chooni mshitakiwa huyo alifikishwa jana mahakamani hapo na kusomewa mashitaka na mwendesha mashitaka bwana UNK kombe mbele ya hakimu mkazi bibi rose kangwa ikiwa ni siku moja baada ya gazeti hili pekee kuripoti habari hizo katika mashitaka ya kwanza bwana mwipopo anakabiliwa na makosa ya ukatiri kwa watoto kinyume na kifungu mia moja na sitini na tisa a cha kanuni ya adhabu ambapo alifanya ukatiri kwa mtoto upendo mwipopo kwa kumfunga mnyororo miguuni na mikononi katika chumba cha choo alidaiwa kuwa kitendo cha kumfunga mtoto huyo UNK majeraha na maumivu makali shitaka la pili ambalo ni mbadala na shitaka la kwanza ambalo ni kumzuia mtoto huyo isivyo halali kinyume na kifungu cha mia mbili na hamsini na tatu cha kanuni ya adhabu mshitakiwa huyo anadaiwa kumfungia mtoto huyo isivyo halali baada ya kusomwa kwa mashitaka hayo bwana mwaipopo alikana kutenda makosa hayo na upande wa mashitaka uliiambia mahakama kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika mshitakiwa huyo alitakiwa kuwa na wadhamini wawili wa kuaminika hata hivyo alirejeshwa rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti hayo na kesi itatajwa tena oktoba kumi na tatu mwaka huu mada ya rushwa na ufisadi ambayo imekuwa UNK nchini kwa muda sasa itakuwa miongoni mwa agenda ya za mkutano wa hamsini na tano wa chama cha mabunge ya jumuiya ya madola unaoendelea mjini arusha rais wa cpa bwana samwel sitta ambaye amekuwa kinara wa mapambano dhidi ya ufisadi nchini aliyasema hayo jana wakati akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu mada zitakazojadiliwa katika mkutano huo UNK na rais jakaya kikwete bwana sitta UNK mkutano huo utakaotumia shilingi bilioni tatu kuwa ni wa mafanikio makubwa ukijumuisha wabunge kutoka nchi mbalimbali duniani themanini sifuri wakiwa tayari wamewasili mjini arusha rais kikwete atawasili mjini humo kesho akitokea UNK dc marekani alikokwenda kwa ajili ya uzinduzi wa ubalozi mpya wa tanzania nchini humo na UNK mkutano wa baraza kuu la umoja wa mataifa katika mkutano huu maspika thebathini na nane na manaibu spika kumi na saba UNK huku kaulimbiu ikiwa ni kukabiliana na changamoto mbalimbali wakati ujao alisema mada nyingine zitakazojadiliwa katika mkutano huo kuwa ni jinsi mtindo wa serikali za mseto UNK demokrasia nchi zifanye nini kukabili mtikisiko wa uchumi duniani na jukumu la wabunge kupambana na uhalifu wa kisiasa ufisadi na rushwa UNK katika mkutano huo kwa sababu inawezekana mtikisiko wa uchumi unaweza UNK na rushwa na kwamba ndio maana wabunge wa tanzania wamekuwa wakichukia sana rushwa alisema sitta kwa mujibu wa sitta kwa mwaka jana tanzania ilipoteza karibu dola bilioni ishirini zilizotokana na mikataba mibovu na ufisadi na kwamba mikataba hiyo UNK vizazi vijavyo vitapata shida ya kulipa madeni wakati waliokuwa wanafaidi wamefariki dunia bwana sitta alitaja mada nyingine zitakazojadiliwa kuwa ni mabadiliko ya hali ya hewa inayotokana na vitendo vya uchafuzi wa mazingira unaotokana na wanadamu pamoja na kutazama sababu zipi UNK migongano ndani ya jamii kama vile vita katika nchi za afrika zinazosababisha vifo vya watu wasiokuwa na hatia mada zote hizi zitajadiliwa mara baada ya ufunguzi rasmi wa mkutano huu oktoba mbili hadi mwisho wa mkutano huu na oktoba tatu UNK wajumbe wetu katika maeneo mbalimbali ya vivutio vya utalii kama vile mlima kilimanjaro na wale wenye uwezo watapanda mita kumi sifuri sifuri wengine watakwenda mbuga za wanyama ngorongoro serengeti tarangire na zanzibar alisema bwana sitta alisema kuwa pamoja na tanzania UNK mkutano huo kwa gharama kubwa ya shilingi bilioni tatu fedha hizo zote zitarejea kutokana na kila mshiriki kulipia gharama ya mkutano huo wakati huo huo bwana sitta alisema kuwa nchi ya rwanda iliomba kushirikishwa katika jumuiya hiyo ambapo ombi lao litajadiliwa katika kamati ya sekretarieti leo na kwamba ana imani kuwa ombi lao UNK UNK kikwete kusema ni mpasuko kidogo yeye asisitiza uliopo ni mkubwa UNK taifa asema tatizo ni tofauti ya kipato cha tajiri maskini waziri mkuu mstaafu jaji joseph warioba amevunja ukimya na kusema kuwa upo mpasuko mkubwa ndani ya chama cha mapinduzi ambao unaweza kuwagawa watanzania katika matabaka ya udini na ukabila jaji warioba alitoa kauli hiyo jana alipozungumza na baadhi ya vyombo vya habari ofisini kwake dar es salaam ili kutoa ujumbe wa miaka kumi ya tanzania bila baba wa taifa mwalimu julius nyerere alisema watanzania wanafahamu kuwa upo mpasuko ndani ya chama ambao pia ulithibitishwa na mwenyekiti wa ccm rais jakaya kikwete alipozungumza na wananchi kupitia televisheni ya taifa kuwa upo mpasuko kidogo hata hivyo jaji warioba aliyeshika UNK ya waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais kati ya mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tano tisini alisema kauli hiyo ya rais kikwete ilimshangaza kwa mwenyekiti wa chama kusema kuwa upo mpasuko mdogo wakati uliopo ni mkubwa alisisitiza kuwa ndani ya ccm kuna mpasuko mkubwa akitolea mfano kauli ya rais kikwete kuwa wabunge wa ccm sasa hawaaminiani hata kuachiana glasi zao za maji kwa kuhofia kuwekeana sumu jambo ambalo jaji UNK alisema linathibitisha kuwa kuna mpasuko mkubwa ndania ya chama kiongozi huyo alisema wakati taifa linaelekea kwenye uchaguzi mkuu mwaka ishirini moja sifuri yameibuka makundi na matabaka kiasi kwamba mtu akitangaza adhima ya kugombea uongozi ndani ya vyama vya siasa anaonekana kuwa adui kiasi cha kutafutiwa sababu tofauti na zamani ambapo wagombea uongozi UNK kabla ya kushindana kwa mujibu wa jaji warioba msingi umeanza kusambaratika tofauti na enzi za mwalimu nyerere ambapo wananchi walikuwa na mshikamano bila ubaguzi wakiitana ndugu tofauti na sasa ambapo wamegawanyika katika makundi na matabaka akizungumzia sababu ya mgawanyiko huo jaji warioba alisema unatokana na tofauti kubwa kati ya matajiri na masikini jambo ambalo UNK wakati wa utawala wa mwalimu nyerere ambaye alijitahidi kuleta usawa kwa wananchi wananchi walikuwa na sauti katika kuongoza nchi leo matajiri ndio wenye sauti viongozi wako karibu na matajiri zamani ukiwa serikalini lazima UNK siri za serikali leo siri UNK sana watu wanaona yanayotendeka wengine wanalipwa milioni tano na marupurupu wengine UNK laki moja ndio maana sasa kuna migomo ya walimu wanafunzi na wananchi alisema jaji warioba alisema imani ya wananchi kwa serikali imepungua matokeo yake yameibuka matabaka huku wengine UNK mkono wabunge UNK mapambano dhidi ya ufisadi na wengine UNK tamaa kwa kuwaona wasaliti ndani ya chama jamii UNK nini kuhusu mgawanyiko ulioibuka ndani ya ccm na kusababisha spika bwana samuel sitta kukumbwa na wakati mgumu na baadaye tuhuma zake kumalizwa kimya kimya nec ilitoa msimamo kuwa spika anafanya mambo peke yake baadaye UNK mgogoro huu UNK kimya kimya UNK maswali mengi kwa wananchi alisema jaji warioba na kufafanua kuwa ccm ina ushawishi mkubwa mgawanyiko unapotokea ndani yake unaweza kuigawa tanzania nzima alizungumzia pia tanzania kujiunga oic na waraka wa maaskofu jaji warioba niliangalia majadiliano ndani ya bunge akisimama mbunge UNK anapinga hoja akisimama mwislamu anaunga mkono baada ya hapo umekuja waraka na mwongozo sijui msingi wake kila tunapoelekea uchaguzi mkuu mambo haya hujitokeza ilianza elfu moja na mia tisa na tisini na nne ikaibuka tena elfu moja na mia tisa na tisini na tisa na ishirini sifuri nne alisema jaji warioba amesema watanzania wameanza kuchanganya dini na siasa wakati wa pasaka mtu anakaribisha watu sikukuu kwa msingi wa siasa hivyo hivyo wakati wa mwezi wa ramadhani kiongozi wa siasa anaandaa futari wakati UNK jambo ambalo amesema UNK nafasi na watanzania jaji warioba amesema hayati mwalimu nyerere alifanya kazi kwa uadilifu UNK dini na siasa kama ilivyo kwa baadhi ya wanasiasa sasa alikuwa msikivu sana pamoja na wananchi kusema kuwa mwalimu alikuwa mtu mbishi UNK jambo ambalo si kweli kuhusu vita dhidi ya ufisadi jaji warioba amesema inatia matumaini baada ya watu wazito kufikishwa kwenye vyombo vya sheria huku akitoa UNK kuwa kesi za aina hii zinatokana na msukumo wa kisiasa na kwamba kuna hatari zake akitoa mfano kesi za uhujumu uchumi mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tatu ambapo serikali ililipa fidia na mwandishi wetu kuanzia mwaka ujao wa fedha serikali itaongeza madaraja ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini kutoka matano ya sasa na kufikia kumi na moja akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari ofisini kwake dar es salaam jana waziri mkuu bwana mizengo pinda alisema hatua hiyo imelenga kutoa nafasi zaidi kwa wanafunzi kupata elimu chini ya utaratibu huo alisema utaratibu wa sasa UNK makundi hayo katika madaraja matano ambapo kundi la a UNK mkopo wa aslimia kumi sifuri kundi b asilimia themanini kundi c asilimia sitini kundi d asilimia arobaini na kundi e asilimia ishirini kunzia mwaka ujao wa fedha ishirini sifuri tisa kumi serikali itaongeza madaraja hayo ambapo kundi a litapata mkopo wa asilimia kumi sifuri kundi b asilimia tisini kundi c asilimia themanini kundi d asilimia sabini kundi e asilimia sitini kundi f asilimia hamsini kundi g asilimia arobaini kundi h asilimia thebathini kundi i asilimia ishirini kundi j asilimia kumi kundi j asilimia sifuri bwana pinda alisema serikali itajitahidi kusimamia utaratibu huo ili kuhakikisha hauleti manungguniko kwa wananchi UNK mambo mengi ikiwa ni pamoja na hali ya mwombaji wazazi shughuli za kiuchumi mali za mwombaji wazazi hali ya maisha ya mwombaji na hali ya kijamii ya mwombaji alisema alisema pamoja na nia njema ya serikali UNK wanafunzi wote wenye sifa wanapata elimu ya juu chini ya utaratibu huo bado kuna ugumu wa kutoa mikopo wa asilimia kumi sifuri kwa kila wanafunzi kutokana na matatizo ya kiuchumi hata hivyo alisema sera ya uchangiaji elimu ya juu si mbaya na kuwataka wenye uwezo kuitekeleza ili kutoa nafasi kwa wanafunzi wengine kupata elimu akizungumzia madai ya mishahara ya walimu alisema serikali imejitahidi kwa kiasi kikubwa kulipa madai hayo na kuahidi kuendelea kutekeleza jambo hilo hilo hata hivyo alisema yamejitokeza mambo yanayochangia ulipaji madai mbalimbali ya walimu na kuyataja kuwa ni pamoja na kukosekana kwa nyaraka na viambatanisho vingine vyeti vya ndoa na watoto fomu za likizo barua za uhamisho na vibali vya waajiri vivuli vya risiti udanganyifu wa kughushi alisema serikali itaendelea kulipa madeni hayo na kukubaliana na hoja inayotolewa na walimu kuwa matatizo yao mengine yamechangiwa na idara hiyo kuwekwa katika mamlaka mbalimbali akizungumzia matokeo ya kidato na sita aliwataka walimu UNK taarifa za alama za majaribio ya wanafunzi kuhakikisha wanatekeleza jambo hilo haraka vinginevyo watachukuliwa hatua stahiki hali ya chakula alisema taarifa zilizopo zinaonesha kuwa hali ya chakula nchi si nzuri na kuwataka wananchi kutunza chakula na kueleza kuwa serikali itaendelea kudhibiti UNK chakula nje ya nchi alisema tatizo hilo limechangiwa na baadhi ya mikoa nchini kukosa mvua za vuli na hivi sasa serikali inafanya utaratibu kusambaza mbegu mazao ya muda mfupi yanayostahimili ukame mihogo na UNK UNK baadhi ya mikoa yenye nafuu ya chakula kuwa ni pamoja na kigoma rukwa mbeya iringa morogoro dodoma singida manyara na tabora mikoa inayokabiliwa na upungufu mkubwa wa chakula ni pamoja na pwani lindi mtwara na dar es salaam alisema mtikisiko wa uchumi duniani umeathiri bei ya zao la pamba katika soko la dunia hata hivyo alisema bei za mazao mengine kama sukari tumbaku korosho chai pareto zimeendelea kuwa nzuri dar es salaam kampuni ya simu za mikono ya zain tanzania imetimiza miaka mitano ya mpango wake wa kusaidia jamii wa build our nation ambao unalenga kusaidia sekta ya elimu nchini akizungumza na waandishi wa habari jana jijini dar es salaam meneja wa huduma kwa jamii wa zain bibi tunu kavishe alisema kampuni ya zain imewekeza UNK ya shilingi bilioni moja kwenye program ya bon kwa kipindi cha miaka mitano kupitia bon tumeweza kuchangia katika jamii na kuimarisha jukumu letu la kusaidia sekta ya elimu hapa tanzania tunaamini kwamba tumeleta mabadiliko mazuri katika elimu na tutaendelea kutoa msaada wa vitabu vya kufundishia na kujifunzia kwa shule zisizo na vifaa au zenye upungufu mkubwa wa vifaa vya kujifunzia bibi tunu alisema ameongeza kuwa kupitia mpango huo shule zipatazo mia sita na sabini za mikoa yote tanzania UNK kwa kupata vitabu na vifaa vya elimu alisema zain pia inawekeza katika elimu ya juu kupitia mpango wake wa kusomesha wanafunzi ambapo wanafunzi nane bora wa kike na kiume waliosajiliwa katika vyuo vikuu nchini huteuliwa na tume ya vyuo vikuu kwa ajili ya kupata ufadhili wa zain UNK wanafunzi thebathini na moja ambao kati ya hao watatu wamemaliza masomo yao na mmoja tayari ameajiriwa na zain hadi kufikia mwisho wa mwaka UNK wanafunzi thebathini na tisa kupata elimu ya juu kupitia mpango huo ili kuboresha maisha yao na mwezi oktoba ni wa bon bibi kavishe alisema mradi wa uzalishaji na ushindani wa sekta ndogo ya chai utatumia dola za marekani milioni tisa kwa ajili ya kuboresha sekta ndogo ya chai na kukuza uchumi kwa miaka sita hayo yalisemwa juzi dar es salaam na waziri wa kilimo chakula na ushiriki bwana stephen wasira katika uzinduzi wa mradi huo alisema mradi huo utasaidia kuongeza uzalishaji na ubora wa chai ili kuongeza soko la chai nje ya nchi ambapo fedha hizo zitatolewa na kampuni ya gatsby charitable foundation ya UNK katika dunia nzima tanzania ni nchi ya nane katika uzalishaji wa chai kwa kiasi cha tani thebathini na mbili sifuri sifuri sifuri mradi huu una mpango wa kuongeza uzalishaji hadi tani arobaini na mbili hamsini sifuri kwa mwaka ifikapo mwaka ishirini moja tatu alisema bwana wasira naye UNK kampuni hiyo bwana UNK wood alisema kikwazo cha uzalishaji duni cha wakulima wadogo wa chai ni upatikanaji wa pembejeo na miundombinu mibovu hali inayochangia upatikanaji wa wawekezaji wapya ambao hupunguza kipato cha wakulima hao aliongeza mradi huo ni sehemu ya utekezaji wa mpango wa taifa wa maendeleo ya nchi katika maeneo UNK ili kuongeza hamasa na kutangaza sekta ndogo ya chai kwa kuimarisha matumizi ya rasilimali asilia morogoro mkoa wa morogoro unakabiliwa na upungufu wa tani kumi na tisa mia sita na kumi na tano za chakula kutokana na ukame ulioikumba nchi hali itakayochangia watu zaidi ya mia nne na ishirini na nane mia nane na themanini na saba kukosa uhakika wa chakula katika maeneo mbalimbali ya mkoa huu akitoa taarifa ya mkoa wa morogoro kwa makamu wa rais daktari ali mohamed shein katika ikulu ndogo mjini hapa jana mkuu wa mkoa wa morogoro luteni kanal mstaafu issa machibya alisema wilaya za kilosa na mvomero ndizo UNK na upungufu huo wa chakula kwa asilimia kubwa bwana machibya alisema wakazi wa wilaya hizo watakabiliwa na upungufu huo wa chakula katika kipindi cha mwaka huu na februari mwakani na tayari juhudi mbalimbali zimeshachukuliwa na serikali ya mkoa ili kutatua tatizo hilo alisema katika mpango huo wa kilimo cha umwagiliaji wanatarajia kupata hekta hamsini na tatu sifuri saba sita za kilimo cha umwagiliaji ifikapo mwaka ishirini moja tano ili kuongeza tani nyingine kutoka tani kumi na nane mia tatu na ishirini na moja za kipindi hiki kama wataongeza eneo la umwagiliaji zikiwa zimebaki siku chache kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa katibu mkuu wa chama cha mapinduzi bwana yussuf makamba ameanza ziara ya siku nne katika mikoa ya kigoma na wilaya ya biharamulo kagera kwa lengo la kukutana na kamati za siasa na kuimarisha chama taarifa ya makao makuu wa ccm ilisema jana kuwa makamba atatembelea wilaya za kigoma mjini kigoma vijijini kasulu na kibondo na biharamulo ambako pia atazungumza na mabalozi wa nyumba kumi wa ccm wilaya anazotembelea bwana makamba UNK kuwa ngumu kwa chama hicho katika uchaguzi huo utakaofanyika oktoba ishirini na tano mwaka huu kwa kiwango kikubwa zinamilikiwa na chama cha demokrasia na maendeleo wakati chama hicho cha upinzani kinaongoza halmashauri ya kigoma ujiji wilayani biharamulo kilitoa upinzani mkali wakati wa uchaguzi mdogo na kuilazimisha ccm kupata ushindi mwembamba katika ziara hiyo bwana makamba atapokea taarifa mbalimbali za maendeleo za wilaya hizo na kukagua kazi za ujenzi wa chama kukutana na kamati za siasa za wilaya pamoja na kuzungumza na halmashauri kuu za wilaya chama cha mapinduzi na chama cha wananchi vimetakiwa kuacha kufanyiana vitendo vya UNK ili kufikia makubaliano na hatimaye kutuliza vurugu za kisiasa zinazoendelea sasa visiwani zanzibar kauli hiyo ilitolewa na msajili wa vyama vya siasa nchini bwana john tendwa alipozungumza na waandishi wa habari juzi dar es salaam ofisini kwake huku akisisitiza kuwa mgogoro huo UNK kama wadau hao hawatakaa pamoja na kuumaliza alisema kuwa cuf ndio walio na jukumu kubwa la kusaidia kutuliza vurugu katika kisiwa cha pemba kwa kuwa wao ndio walio na nafasi kubwa ya kulea amani kisiwani humo katika utatuzi wa suala hili lazima ujue mdau wa kwanza ni nani wanaoweza kutatua tatizo hilo ni wadau wenyewe cuf watasaidia kuleta amani kule pemba kwa kuwa wana nafasi kubwa ya kufanya hivyo alisema bwana tendwa alisema kuwa amani ya nchi au eneo UNK kwa kuwatuma wafuasi UNK nyumba moto wamwage upupu au kulipua madaraja bali kwa kufuata misingi na taratibu zilizowekwa katika kudai haki pia alisema kuwa polisi wana kila sababu ya kutumia nafasi yao katika kukabiliana na hali yoyote ya uvunjifu wa amani endapo inaonekana kutaka kutokea hata hivyo alikiri kuwa matumizi ya nguvu kama kukamata watu au kutoa adhabu yoyote sio suluhisho la upatikanaji wa amani isipokuwa mazungumzo yanayolenga kufikia muafaka alisema kutokana kwa malalamiko ya mara kwa mara baada ya uchaguzi serikali imeamua kuanzisha baraza la ushauri wa kisiasa ili kushughulikia matatizo hayo baraza hili UNK vyama vyote vya siasa nchini lakini UNK kutokana na taratibu na kanuni zake UNK alisema na kulwa mzee mahakama ya wilaya ya ilala dar es salaam imemwachia huru mtoto wa naibu waziri wa kazi ajira na maendeleo ya vijana daktari makongoro mahanga bwana nixon mahanga baada ya upande wa mashitaka kuamua kuifuta kesi hiyo uamuzi wa kumwachia huru mshitakiwa ulitolewa jana na hakimu mkazi bibi UNK chande baada ya mwendesha mashitaka wa polisi bwana denis mujuba kudai upande wao hawaoni haja ya kuendelea na kesi hiyo bwana mujuba alidai upande wa mashitaka unaomba kuondoa kesi hiyo chini ya kifungu cha sheria ya makosa ya jinai namba tisini na nane a kwani wamezingatia ushauri wa mwathirika ambaye aliomba kesi ifutwe hakimu chande alikubali maombi hayo na kumwambia mshitakiwa yuko huru anaweza kuondoka mshitakiwa alimshukuru hakimu na kuondoka bwana mahanga ambaye ni meneja wa chuo cha ugavi cha ips chanika alifikishwa mahakamani machi tano mwaka huu UNK kwa kumjeruhi bwana joseph daudi kwa chupa usoni ilidaiwa kortini kuwa machi mosi mwaka huu saa tatu usiku katika baa ya UNK iliyopo chanika kinyume cha sheria mshitakiwa alimpiga bwana daudi kwa chupa ya bia na kumsababishia majeraha usoni sakata la malipo ya wafanyakazi waliohamishwa baraza la mitihani la taifa kwenda kwenye idara nyingine za elimu bado ni tete kutokana na serikali kushindwa kuwalipa mishahara yao ya agosti kama ilivyokuwa imeahidi juzi wakizungumza na gazeti hili dar es salaam wafanyakazi hao walisema hawajalipwa mishahara yao ya agosti na septemba kutokana na katibu mkuu utumishi kushindwa kuidhinisha mishahara hiyo kiongozi wa wafanyakazi hao alisema katibu mkuu huyo hajatoa kibali cha wao kuingizwa katika orodha ya malipo ya utumishi kwa kisingizio kuwa mishahara hiyo ni mikubwa licha ya katibu mkuu wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi kuomba kibali hicho UNK kwa taratibu zisizo sahihi lakini sisi hatuna mgogoro na hilo tunachohitaji ni kulipwa mishahara yetu tuko hapa tangu jumatatu UNK tu hatuelewi nini hatima ya malipo yetu alisema kiongozi huyo wafanyakazi hao waliongeza kuwa kuna mvutano unaoendelea kati ya katibu mkuu utumishi na katibu mkuu wizara ya elimu jambo ambalo limesababisha kuchelewa kulipwa mishahara yao baraza la mitihani ni taasisi UNK tunashangaa uhamisho huo kufanyika kienyeji bila kushirikishwa hata mwenyekiti wa bodi profesa rwekaza mkandala hakuwa na taarifa ya uhamisho huo ambao kwetu ni kama adhabu aliongeza kiongozi huyo baraza la mitihani liliamua kuikopesha wizara ya elimu shilingi milioni thebathini na mbili kwa ajili ya malipo ya wafanyakazi hao baada ya wizara hiyo kushindwa kuwalipa wafanyakazi hao lakini malipo hayo hayakufanyika kwa sababu hundi iliyotolewa haikufuata taratibu za kibenki kwa kuwa ilikuwa inazidi shilingi milioni kumi kutoka mfumo wa utendaji wa fedha serikali kuu ni tofauti na necta hundi hii inapaswa UNK vipande vinne ili iweze kukubalika na benki kuu kwa taratibu za kibenki zilivyo malipo haya yatakuwa tayari hapo ijumaa alisema mhasibu mmoja mwandamizi kutoka wizara ya elimu pamoja na ufafanuzi huo wafanyakazi hao hawakuridhishwa na majibu kutoka ofisi ya uhasibu na kuapa kuwa hawataondoka katika majengo ya wizara hiyo hadi waonane na katibu mkuu ili awapatie nauli za kurudi kwao wafanyakazi hao zaidi ya sabini kutoka mikoa mbalimbali wamekusanyika makao makuu ya wizara ya elimu kudai mishahara yao tangu wahamishwe kutoka necta julai mwaka huu wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha waliofanyiwa mtihani wa hesabu na wanafunzi wa sekondari ya azania UNK kuti kavu na mchakato wa kushughulikia adhabu yao umeanza huku ikielezwa kuwa adhabu yao ni kufukuzwa chuo akizungumza na majira dar es salaam jana mkuu wa chuo hicho profesa edwin mjema alisema wanafunzi hao wa mwaka wa tatu walikamatwa wiki UNK nje ya eneo la chuo wakisubiri wanafunzi wa azania waliokuwa wanawafanyia mtihani kwa kweli tukio hilo UNK sana kwa sababu sheria kanuni na taratibu za mitihani zinatolewa siku ambayo mwanafunzi anajiunga kwa mara ya kwanza lakini lazima waitwe na kujieleza kuhusina na tukio hilo ikiwa ni pamoja na kutaka kujua njia wanazotumia kufanya ujanja huo alisema profesa mjema na kusisitiza kuwa adhabu ya kosa hilo ni kufutiwa mtihani na kufukuzwa chuo alisema bwana frank kaduma aliyekuwa mwanafunzi wa sekondari ya azania alikuwa anamfanyia mtihani bibi tina wakati bwana john kapinga mhitimu wa kidato cha sita ishirini sifuri tatu alikuwa anamfanyia bwana UNK UNK anayesoma stashahada ya juu profesa mjema alisema wanafunzi hao wa azania walipohojiwa walikiri kufanya hivyo kwa ahadi ya kupewa shilingi mia moja na hamsini sifuri sifuri sifuri kila mmoja baada ya kufanya mtihani huo hatua hiyo imekuja baada ya wanafunzi hao wakiwa mwaka wa kwanza kufeli somo hilo kuwalazimu UNK somo sasa na kwa kuwa hawakuwa UNK vyema walilazimika kukodisha vijana hao kutoka sekondari kuwafanyia mtihani huo profesa mjema alisema pamoja na kwamba wakati tukio hilo yeye hakuwepo lakini atahakikisha zinachukuliwa hatua kali kukomesha tabia hiyo ambayo inaendelea kukithiri chuoni hapo alisema kabla ya kuanza kwa muhula wa mwaka huu lazima kesi zote ikiwamo ya hao wanafunzi zitajadiliwa na kutolewa adhabu ambayo itakuwa fundisho kwa wanafunzi wengine mashahidi wanaotarajiwa kumbana aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi bwana amatus liyumba katika kesi inayomkabili ya kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja watatajwa leo katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mashahidi hao watatajwa na upande wa mashitaka baada ya kuchambua na aina ya mashahidi wanaohitajika bwana liyumba alisomewa maelezo yake ya awali wiki iliyopita ambapo aliieleza kuwa michakato yote ya ujenzi wa mradi wa majengo pacha ya benki kuu ya tanzania ilikuwa na baraka ya bodi ya wakurugenzi mtuhumiwa huyo alikwenda mbali zaidi kwa kusema kuwa kama bodi hiyo iliona amebadili makubaliano ya awali kwa kushirikiana na marehemu bwana daud balali na ikashindwa kumwajibisha basi haikuwa na maana lakini akasisitiza kuwa hakukuwa na malipo yoyote bila idhini ya bodi hiyo kutajwa kwa mashahidi hao kutaifanya kesi hiyo sasa ianze kuunguruma moja kwa moja kwa mashahidi hao kufika mahakamani hapo na kueleza namna mshitakiwa huyo alisababisha hasara ya mabilioni ya fedha mbali na hiyo pia upo uwezekano wa upande wa mashitaka kumtaja mbaya wa bwana liyumba ambaye ndiye alisababisha mshitakiwa huyo kufikishwa mahakamani hapo upande wa utetezi tayari UNK ombi mahakamani hapo la kutaka maelezo ya mlalamikaji wa kesi hiyo ili ujue kilichomo ndani yake hatua UNK upande huo kujiandaa kwa kesi yake serikali imeshauriwa kuhakikisha huduma za dharula kwa wajawazito zinatolewa kuanzia ngazi ya zahanati ili kupunguza vifo vitokanavyo na matatizo ya uzazi ushauri huo ulitolewa dar es salaam jana na mwenyekiti wa chama cha madaktari wanawake daktari UNK njelekela wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu jukwaa la wazi UNK vifo vitokanavyo na uzazi na ulemavu litakaloanza jumatatu ijayo huduma ya dharura ni haki ya kila mwanamke kwani madaktari UNK kati mjamzito anaweza kupoteza maisha alisema daktari UNK akizungumzia vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia daktari njelekela alisema kwa kiasi kikubwa vinachangia vifo vya wajawazito alitoa mfano akisema baadhi ya wajawazito wamekuwa wakipigwa bila kujali hali waliyonayo na matokeo yake kusababishiwa matatizo wakati wa kujifungua alisema vifo vya wajawazito vimekuwa UNK na sababu mbalimbali mbali ya unyanyasaji wa kijinsia daktari njelekela aliongeza kuwa UNK damu kwa akina mama wajawazito husababisha vifo vya wajawazito kwa asilimia themanini sifuri alitaja sababu nyingine kuwa ni uzazi pingamizi mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida wakati wa ujauzito na maambukizi ya magonjwa kikosi kazi kilichoundwa na mkuu wa mkoa wa dar es slaam bwana william lukuvi kwa ajili ya kutafuta masalia ya mabomu katika eneo la mbagala kimefanikiwa kupata mabomu manane likiwemo kombora moja la UNK ndege lilikuwa ndani ya nyumba ya makazi wa mtaa wa kipata UNK hayo ambayo ni masalia ya mabomu yaliyolipuka kuanzia april ishirini na tisa mwaka huu na kuua jumla ya raia ishirini na tisa wakiwemo askari sita na kuharibu nyumba tisa mia mbili na arobaini na saba na mali nyingine katika kambi jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania ya iliyoko mbagala kizuiani kikosi hicho UNK polisi jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania na usalama wa taifa kiliundwa kwa mara nyingine tena baada ya kutokea mlipuko mwingine ambao ulisababisha kifo cha watoto watatu stella chavala regina chavala na rajabu said na kumjeruhi mwenzao saida suleiman chanzo cha habari kutoka katika eneo la tukio kilisema kuwa mabomu hayo yaliokotwa katika maeneo mbalimbali moja katika eneo la UNK ambalo ni kombora la kutungulia ndege UNK na mgeninani mabomu matano kwa mujibu wa chanzo hicho shughuli hiyo bado inaendelea katika maeneo UNK hadi hapo watakapojiridhisha kuwa mabomu hayo yameisha na UNK eneo hilo kuwa salama hata hivyo chanzo hicho kilisema kuwa pamoja na kazi nzuri inayofanywa na askari walio katika UNK hicho zimeanza kufifia kutokana na kukosa huduma za msingi kama chakula na maji kwa wakati wote wa shughuli hiyo majira ilipowasiliana na bwana lukuvi alisema kuwa tayari UNK timu hiyo madaraka yote na hawezi kuzungumzia jambo hilo na kumtaka mwandishi kuwasiliana na mkuu ya timu hiyo ambaye hata hivyo juhudi za kumpata jana zilishindikana viongozi wa juu ya dini kubwa nchini wamesema matajiri wasiachwe kuamua mustakabali wa nchi kwa kutumia fedha zao kuwaweka madarakani viongozi watakaolinda maslahi yao badala ya maslahi ya umma viongozi hao ambao huungana kwa nadra wametoa kauli hiyo ya pamoja wakati taifa likiwa linaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwezi huu na uchaguzi mkuu mwakani huku kukiwa na tishio la matumizi makubwa ya ya fedha kwenye chaguzi hizo tayari serikali UNK sheria UNK bunge kuweka ukomo wa matumizi ya fedha kwa wagombea na vyama vya siasa lakini pia kukiwa na wimbi la wafanyabiashara wakubwa kujipenyeza kwenye siasa kwa maslahi binafsi waliofikia azimio hilo dar es salaam jana ni wawakilishi wa baraza la waislamu tanzania baraza la maaskofu katoliki jumuiya ya kikristo tanzania ofisi ya mufti zanzibar na ofisi ya kadhi zanzibar wawakilishi hao ni rais wa tec askofu yudda thaddaeus ruwa ichi mufti mkuu wa zanzibar harith khelef mwakilishi wa naibu kadhi mkuu wa zanzibar kadhi said mahmud mwenyekiti wa cct askofu peter kitula na mwakilishi wa mufti mkuu sheikh taufiq ibrahim viongozi hao pia waliwataka wasiasa kutotumia dini kujipatia madaraka tunawataka wanasiasa wa vyama vyote kutotumia dini kwa siri au kwa wazi kujipatia kura na madaraka walisema katika maazimio ya mkutano huo aidha waliazimia kuvikutanisha vyama vya siasa vya ccm na cuf na UNK kufikia muafaka kumaliza mgogoro kati yao uliodumu kwa muda sasa huku juhudi za kutafuta muafaka zikionekana kushindikana viongozi hao wanaoheshimika katika jamii waliafikiana kushiriki katika kutoa elimu ya uraia kufanya juhudi kufahamu yanayofanywa na serikali kwa kuitaka iwaruhusu kushiriki kikamilifu katika michakato ya utengenezaji sera sheria na taratibu na masuala muhimu ya kitaifa katika kikao hicho waliitaka serikali kuweka bayana wizara au idara inayoshughulikia mambo yahusuyo vyombo vya dini tunatoa wito wa pamoja kuwakumbusha wadau wote wa uchaguzi kuwa mchakato wa uchaguzi uwe wa amani na huru na tumeazimia kuitisha mkutano wa viongozi wote wa vyama vya siasa na tume ya uchaguzi ili kutoa nasaha za viongozi wa dini kuhusu umuhimu wa amani uhuru na haki katika uchaguzi mkuu ujao mapema akifungua mkutano huo mwenyekiti wa juhudi za viongozi wa dini kuimarisha amani tanzania askofu UNK sendoro aliwaasa viongozi wa dini kutojihusisha moja kwa moja au kutumiwa kwa manufaa ya chama kimoja au mgombea tafakarini kwa makini UNK kuona chaguzi zijazo za serikali za mitaa na ule wa mwakani wa rais wabunge na madiwani zinafanyika kwa amani ili kupata viongozi bora alisema askofu sendoro ambaye askofu mstaafu wa kkkt dayosisi ya mashariki na pwani viongozi wa dini UNK kujihusisha moja kwa moja na chama kimoja yaani isije ikaonekana kuwa kiongozi fulani UNK kampeni mgombea au chama fulani UNK vyama au mgombea alisema alisema UNK kampeni mgombea au chama chochote kutasaidia viongozi wa dini kuingilia kati UNK migogoro na kusikilizwa na pande zote katika shughuli na mijadala yetu kama watanzania lazima tufuate falsafa ya kukubali kutokubaliana lakini UNK wala kuwekeana uadui alisisitiza ilipendekezwa pia kuwa viongozi wa dini watumie nafasi zao kukemea uendeshaji wa shughuli za kisiasa kiuchumi kidini na kijamii usio na maslahi kwa taifa akichangia katika mkutano askofu wa kkkt dayosisi ya iringa daktari UNK UNK alisema amani inayumba nchini kutokana na kutopewa umuhimu katika mambo na alama mbalimbali za kitaifa ukiwamo wimbo wa taifa naye askofu john nkola alipendekeza iundwe kamati ya kitaifa ya viongozi wa dini kuishauri serikali katika mambo ya dini mamia ya wafuasi wa chama cha wananchi jana walifanya maandamano makubwa UNK buguruni na kupokewa msajili wa vyama vya siasa bwana john tendwa katika viwanja vya kidongo UNK ulinzi mkali wa polisi wenye sare na wasiokuwa na sare wakiwamo askari wa usalama barabarani kikosi cha kuzuia ghasia huku gari la upupu lenye maji ya kuwasha UNK barabara ya uhuru walipokuwa wanapita waandamanaji hao wafuasi wa cuf walionekana wakiwa na mabango yenye kueleza hisia zao kwa ujumbe tofauti kama vile UNK vitambulisho vya watu UNK na zanzibar iunde serikali ya umoja wa kitaifa kabla ya uchaguzi mkuu ishirini moja sifuri vinginevyo hatutakuwa na uchaguzi ujumbe mwingine ulikuwa tunataka tume ya uchaguzi ivunjwe na iundwe tume itakayosimamia demokrasia ya kweli kwa dhamana ya muungano ni hivi UNK wazanzibar na tunasema muungano basi UNK tena waandamanaji hao waliongozwa na magari kadhaa ya polisi pt elfu moja na mia nne na arobaini na nne pt sifuri saba tano nne na pt sifuri mbili tano tano akiwahutubia wananchi waliohudhuria maandamano hayo naibu katibu mkuu bwana juma duni haji alisema kila chenye mwanzo lazima kiwe na mwisho na sasa cuf imefika tamati na inahitaji mabadiliko ya haraka katika serikali ya tanzania hasa katika mfumo wa siasa na utendaji wa baadhi ya viongozi alisema demokrasia ya nchi yoyote akitolea mfano tanzania kuwa kamwe UNK kutokana na kuwa na watendaji wabovu UNK kupokea na kukubali changamoto za kuleta maendeleo hali inayotishia tanzania kuingia kwenye machafuko ya kisiasa endapo UNK kubadilika akizungumzia suala la mwenyekiti wa nec jaji lewis makame kujiuzulu ikiwa ni pamoja na tume hiyo kuvunjwa alisema kuwa tume hiyo imeshindwa kuwa na meno kwa sababu watendaji wake wengi huteuliwa na rais jambo linalowafanya kuwa wazito kuchukua hatua dosari zinapojitokeza nyakati za uchaguzi bwana tendwa aliwasihi wanachama hao na kuwataka kuwa wavumilivu katika kipindi chote UNK malalamiko yao huku yakifanyiwa kazi na kuahidi kuwa atayafikisha katika mahala UNK naahidi kushiriki kikamilifu katika kulitekeleza hili na kulifikisha ingawa ni suala la mchakato hivyo nidhamu na uvumilivu kwenu iwe silaha alisema bwana tendwa katika hatua nyingine reuben kagaruki anaripoti kuwa mwanachama wa cuf na wakili wa kujitegemea profesa abdalla safari alisema maandamano yanayofanywa na cuf ni uhuni wa kisiasa kwa kuwa hayawezi kusaidia kupatikana kwa tume huru ya uchaguzi akizungumza na gazeti hili dar es salaam jana profesa safari alisisitiza wanachofanya ni uhuni wa kisiasa UNK watu masikini kwenye jua lakini hakuna UNK alidai kuwa mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba na katibu mkuu wake maalim seif sharrif hamad wanachotaka ni ruzuku maana sheria inaeleza kuwa chama UNK ruzuku bila kugombea kama hawana imani na tume ya uchaguzi ni kwanini washiriki uchaguzi UNK profesa safari ni kwa nini chama chake kinashiriki uchaguzi kama hakina imani na tume alisisitiza alisema chama hicho kimekuwa kikipata fedha za ruzuku matokeo yake maalim seif anaenda nje kila siku huku wananchi wakiwa hawana wanachopata asema kila mtu ana haki kugombea hata yeye akitaka chiligati tumepokea maoni UNK na wastaafu makalla UNK jaji warioba adai haoni mema ya jk katibu mkuu wa chama cha mapinduzi bwana yusuf makamba amesema ni ruksa kwa waziri mkuu mstaafu daktari salim ahmed salim kujitosa kwenye kinyangganyiro cha urais kupitia chama hicho mwakani kama anajisikia kufanya hivyo bwana makamba alitoa kauli hiyo jana alipozungumza na gazeti hili kufuatia kauli ya daktari salim kutaka ccm iruhusu wagombea zaidi ndani ya chama hicho kupambana na rais jakaya kikwete kwenye uchaguzi mkuu mwakani kwenye uchaguzi mkuu ujao hata yeye kama anataka kuingia katika kinyangganyiro hicho anaruhusiwa kufanya hivyo sababu ccm haina pingamizi kwa wanaotaka kugombea alisema bwana makamba kauli ya makamba inaungana na iliyowahi kutolewa na makamu mwenyekiti wa chama hicho pius msekwa kuwa kila mwanachama anaruhusiwa kuwania nafasi hiyo ingawa kwa utaratibu waliojiwekea ccm ni kumpisha rais aliyeko madarakani kumalizia kipindi chake bila kupingwa alisema ushahidi uko wazi kwani mbunge wa maswa bwana john shibuda tayari ametangaza azma yake kugombea nafasi hiyo na UNK kwa hilo wala kuzuiwa akizungumzia kauli nyingine iliyotolewa na jaji joseph warioba kuwepo mpasuko ndani ya ccm bwana makamba alisema hajui mwanasiasa huyo anazungumzia mpasuko upi ndani ya chama hakuna mpasuko na kama upo UNK yeye chama kipo imara na kina viongozi makini hivyo UNK kupongezwa badala ya kulaumiwa kwani kinapiga vita ubaguzi ukabila na udini kwa nguvu zote alisema bwana makamba naye katibu mwenezi wa ccm bwana john chiligati alipotakiwa kutoa maoni yake kuhusu kauli za wanasiasa hao alisema asingependa kuingia katika malumbano na wazee wastaafu na waliyotoa ni maoni yao ccm haitaki malumbano na wazee wetu hayo waliyotoa ni maoni yao hakuna binadamu mkamilifu aliyekamilika ni mungu peke yake alisema bwana chiligati alisema kama kuna UNK kwamba ndani ya ccm kuna upungufu wanashukuru na kama upo wataufanyia kazi naye katibu wa halmashauri kuu ya ccm uchumi na fedha bwana amos makalla amepinga kauli ya jaji warioba na kudai kuwa jaji warioba amekuwa mtu wa kulaumu bila kutoa hoja za kujenga nimesoma kwa makini dukuduku la waziri mkuu mstaafu joseph warioba UNK na vyombo vya habari kuwa nchi inaelekea kubaya imani ya wananchi kwa serikali imepungua na pia mgawanyiko katika chama utayumbisha nchi kwa kifupi niseme namheshimu sana mzee warioba kwanza kama kiongozi mkuu mstaafu na pia kama mzee wangu ila nataka niseme mzee warioba amekuwa mtu wa kulaumu tu pasipo kutoa hoja za kujenga kuna usemi usemao kuwa ukiwa unajua tatizo na UNK njia za kutatua wewe pia ni tatizo alisema bwana makalla alipowasiliana na gazeti hili jana kwa barua pepe kutoka london uingereza aliko kikazi bwana makalla alidai kwamba kwa muda mrefu matamshi ya jaji warioba yamekuwa yakilenga kuilaumu serikali ya rais jakaya kikwete jambo linalochangia wananchi kujenga chuki mimi nachelea kusema kuwa mzee warioba amekuwa mzee UNK namba moja kutengeneza chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao UNK watanzania UNK ni kuwa mzee warioba ni miongoni mwa wanaccm waliokuwa na wagombea wao katika kinyangganyiro cha urais ishirini sifuri tano na yeye mgombea wake alikuwa salim a salim ambaye alishindwa na jakaya kikwete kauli zake zimeelekea siku zote kutaka kuwaonesha watanzania kuwa serikali ya awamu ya nne haijafanya jambo hata moja jema alisema bwana makalla alidai kuwa ni vigumu mwanasiasa huyo kusifia mafanikio ya serikali ya awamu ya nne kwani dhamiri UNK kuwa hakupenda mgombea wake UNK nashangaa mzee warioba hataki kuamini utafiti uliofanywa na watafiti bado serikali ya chama cha mapinduzi UNK hivi jitihada za serikali kuwachukulia hatua watuhumiwa ufisadi kwake yeye serikali ya kikwete haijafanya lolote alihoji bwana makalla alisema ccm imeendelea kushinda chaguzi nyingi ndogo jambo linaloonesha iko imara na wananchi wana imani nayo na kuongeza kuwa vita ya UNK inayoendeshwa sasa utekelezaji wa mambo UNK ndani ya katiba ya chama hicho alimtaka jaji warioba kuacha kueneza propaganda za kuichafua serikali kwa malengo yake ya kisiasa namuomba mzee warioba akumbuke kuwa ukijua kukosoa ujue pia kusifia UNK ni kwa kiasi gani yeye alipambana na rushwa na haelezi ni namna gani tume yake UNK hatimaye ndugu UNK kiula UNK kwa ushauri wake na matokeo yake kiula akashinda kesi namwomba mzee warioba aiche serikali iendelee kuwatumikia wananchi kuwaletea maendeleo na kukabiliana na changamoto mbalimbali msingi wa umoja amani na mshikamano kwa watanzania ni mambo muhimu kwa ustawi wa nchi yetu kwa kauli za warioba anataka kuvunja misingi hiyo aliwataka watanzania kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali ya ccm na rais kikwete na kuchukulia kauli za jaji warioba kama ni za ubinafsi zenye harufu ya makundi ya urais mwaka ishirini sifuri tano akizungumzia kauli ya daktari salim mwanasheria wa chadema bwana tindu lissu alisema inadhihirisha kuwa ndani ya chama hicho kuna nguzo isiyo salama kauli hiyo siyo ya kupuuza atakuwa UNK haridhishwi na kauli utendaji wake alisema bwana lissu lakini kuhusu kauli ya jaji warioba mwanasheria mwandamizi profesa abdallah safari alisema rais kikwete alikuwa sahihi kusema hivyo ili wananchi waelewe hatua zinazochukuliwa katika vita ya ufisadi aliulizwa na wananchi UNK ingekuwa aibu kwa rais kuulizwa vitu ikaonekana hafahamu alisema na kuongeza ni lazima kesi kubwa UNK nchi UNK leo waziri hawezi kufikishwa mahakamani rais akawa hafahamu dpp kama anajua kitu kikubwa lazima UNK na rais ili aone kama kuna tatizo alizidi kusema kuwa kuna mambo mengi UNK na rais kikwete lakini kwa hili siwezi kusema ana washauri wabaya alisema kila kiongozi ana stahili yake ya kuongoza katika kipindi hiki cha kupambana na ufisadi na kuelekea uchaguzi ni lazima rais aoneshe anafanya nini alisema profesa safari alisema ni jambo la kawaida rais kupokea taarifa kutoka kwa wasaidizi wake itakuwa ni jambo la ajabu kama kuna taarifa kubwa mkurugenzi wa usalama au dpp anaifahamu rais UNK alisema profesa safari kwa upande wake lissu aliunga mkono kauli ya jaji warioba akifafanua kuwa ofisi ya mwendesha mashtaka wa serikali ipo huru kulingana na mabadiliko yaliyofanyika katika katiba alisema katiba inaeleza kuwa ofisi ya dpp ni chombo huru itafanya kazi kwa uhuru bila kuingiliwa na mtu yeyote sasa rais alijuaje kuwa kuna kesi zinatakiwa kufunguliwa mahakamani hii inadhihirisha kuwa ofisi ya dpp UNK na rais kumpatia taarifa kabla ya kesi kufikishwa mahakamani alisema bwana lissu alibainisha kuwa kazi ya kuandaa mashitaka siyo ya rais kikwete bali ni ya ofisi dpp hivyo rais kikwete hakutakiwa kupelekewa taarifa hizo hata kama hakutaja majina ya watu UNK kesi lakini alijuaje kuwa kuna kesi mbili UNK mashtaka mahakamani alihoji bwana lissu na kuongeza hilo siyo jukumu lake rais hawezi kufanyakazi kila idara wakiachiwa UNK alipoulizwa kama anaungana na kauli ya jaji warioba kuwa washauri wa rais UNK vizuri bwana lisu alijibu inawezekana hana washauri wazuri au hashauriki inawezekana anashauriwa vizuri UNK mkuu wa majeshi ya ulinzi jenerali davis mwamunyange leo anatarajia UNK kikosi kazi UNK masalia ya mabomu katika eneo la mbagala mwamunyange anatembelea kikosi hicho ikiwa ni siku moja baada ya kuripotiwa na gazeti hili pekee kuwa kimefanikiwa kupata mabomu manane moja likiwa kombora la kutungulia ndege UNK kwenye nyumba ya mtu kikosi hicho kiliundwa wiki iliyopita baada ya mlipuko mpya kuua watoto watatu na kujeruhi mwingine mmoja chanzo cha habari kutoka katika kikosi hicho kilisema mkuu huyo wa jeshi atawasili katika eneo hilo saa mbili sifuri sifuri asubuhi kazi inakwenda vizuri na kesho mkuu wa majeshi anakuja kututembelea kuangalia jinsi kazi inavyokwenda kilisema chanzo hicho alisema sasa watu wote wameanza kufanya kazi kwa bidii kubwa kutokana na kuanza kupewa huduma za msingi ambazo awali walikuwa wakinyimwa na hivyo katika siku ya jana UNK kupata risasi sita aina ya smg na flora amon dodoma polisi mkoani hapa wanamshikilia bwana maneno UNK mkazi wa kijiji cha msanga wilayani chamwino kwa tuhuma za ubakaji wa wanawake kumi na mbili wakiwamo wanafunzi akizungumza mjini hapa jana kamanda wa polisi wa mkoa wa dodoma bwana omari mganga alisema tukio hilo lilitokea juzi saa saba usiku katika kijiji hicho baada ya mtuhumiwa kwenda katika nyumba mojawapo na kufanikiwa kuingia ndani alisema baada ya mtuhumiwa kuingia ndani aliwakuta mke na mume wakiwa wamelala na kuanza kumwingilia mwanamke bila mumewe kujua ambapo inadaiwa hufanya hivyo kwa imani za kishirikina akiwa amevaa UNK hata hivyo mume wa mwanamke huyo alishituka na kuanza kupiga kelele rpc alisema kelele hizo UNK majirani ambapo walifanikiwa kumkamata kijana huyo na kumfungia katika ofisi za serikali ya kijiji ambapo asubuhi wakazi hao UNK mtuhumiwa kuhusiana na tukio hilo alisema siku za hivi karibuni kijana huyo aliwabaka wanawake kumi na moja wakiwamo wanafunzi watatu wa kijiji hicho ambapo juzi ndipo alibainika kumwingilia mama huyo na kukamatwa mtuhumiwa alipohojiwa kuhusiana na tuhuma hizo alikiri kutenda kosa hilo ambapo alidai alipewa dawa hiyo na mama yake mzazi ambayo huwa UNK mkononi kama saa anatarajiwa kufikishwa kortini wakati wowote mara baada ya uchunguzi kukamilika naye wilhelm mulinda anaripoti kutoka mwanza kuwa polisi inamshikilia mkazi wa nyamhongolo bwana said idd kwa tuhuma za kumuua mkewe kwa kumpiga fimbo kichwani rpc wa mwanza bwana jamal rwambow alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa kumi alfajiri aprili kumi na tatu mwaka huu eneo hilo la nyamhongolo na kumtaja mwanamke huyo kuwa ni bibi UNK musa ambaye alikuwa mganga wa kienyeji alisema chanzo cha tukio hilo ni wivu wa mapenzi ambapo inadaiwa mara kwa mara bwana idd alikuwa UNK na kitendo cha mkewe kukamatwa ugoni kabla UNK miaka miwili iliyopita pia katika tukio lingine bwana rwambow amesema wanawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumbaka bibi kizee mwenye umri wa miaka sitini katika eneo la UNK UNK aliwataja watu waliokamatwa katika tukio hilo lililotokea juzi saa nane usiku kuwa ni bwana mwikwabe juma na bwana UNK marwa ambaye umri wake UNK mara moja alisema kabla ya tukio hilo ajuza huyo na wanaume hao walikuwa pamoja wakinywa pombe za kienyeji na baada ya kulewa wanaume hao walimbeba ili kumpeleka nyumbani ambapo wakiwa njiani UNK nguo na kuanza kumbaka hatma ya watendaji wa mamlaka ya ustawishaji makao makuu wanaotuhumiwa kupokea rushwa na kuwabagua wananchi kwa uwezo wao wa kifedha ipo mkononi mwa waziri mkuu mizengo pinda hatua hiyo imedhihirika jana baada ya tume iliyoundwa na bodi ya mamlaka hiyo kukabidhi taarifa yake iliyosheheni vielelezo kwa waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bwana philip marmo kwa mujibu wa sheria UNK cda mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na nne mwenye maamuzi ya mwisho juu ya utendaji wa mamlaka hiyo ni waziri mkuu hivyo iwapo UNK maamuzi mazito ndiye UNK akikabidhi taarifa hiyo ya vitabu vitabu kwa marmo mwenyekiti wa tume hiyo bibi susan bidya alisema tume yake imefanya kazi kama ilivyoagizwa kwa muda wa siku ishirini na moja na kubaini mambo mbalimbali ambayo UNK taarifa yetu imegawanyika katika sehemu kuu tatu kitabu cha kwanza ni taarifa ya malalamiko ya wananchi pili ni mchakato wa kufuatilia tuhuma hizo na cha tatu ni vielelezo kuhusu malalamiko hayo alisema habari zilizolifikia majira tangu juzi zinaeleza kwamba tume hiyo imebaini mambo mengi yasiyofaa yakiwa na vielelezo ambavyo vinaweza kutumika kama ushahidi dhidi ya baadhi ya watendaji wa cda hasa kuhusu suala la viwanja vya wazi na vya michezo pamoja na minara ya simu bwana marmo ambaye pia ni mwenyekiti wa bodi ya cda aliwataka wananchi watambue kwamba serikali UNK bali inayafanyia kazi malalamiko yao juu ya cda marmo UNK kilichomo ndani ya taarifa hiyo kwa sasa siwezi kueleza kwa kuwa tume UNK na bodi ya wakurugenzi wa cda na mimi ni mwenyekiti tu mpaka niwasilishe hii taarifa kwenye bodi ili iamue nini cha kufanya alisema hata hivyo alibainisha kwamba mapendekezo yote ya tume ya bidya yatatekelezwa ndani ya miezi sita hadi miezi kumi kuanzia sasa kuhusu hatma ya wafanyakazi watatu wa cda waliosimamishwa kazi kwa tuhuma mbalimbali alisema bodi yake itatoa uamuzi juu yao ndani ya mwezi mmoja kuanzia jana wajumbe wengine wa tume hiyo walikuwa bwana noel kazimoto hilda kabisa neema mwanda bwana martin mhagama UNK UNK bibi modesta UNK UNK UNK na bwana UNK UNK pia kutoka ofisi ya waziri mkuu katibu mkuu wa chama cha wananchi maalim seif sharif hamad UNK tume ya uchaguzi ya zanzibar kuwa inajihusisha na uchafuzi wa uchaguzi na sio usimamizi wa uchaguzi kama ambavyo UNK katika barua yake iliyoelekezwa kwa mwenyekiti wa tume hiyo bwana khatib mwinyichande alisema kuwa lengo lake ni kuikumbusha tume hiyo kuwajibika ipasavyo ili kuepuka matatizo hapo baadaye tume hiyo imekuwa mara kwa mara UNK utendaji wake kuwa unafuata sheria na kuwataka UNK kuwa na kitambulisho cha mzanzibari mkaazi bali chama cha cuf ndicho kinasababisha vurugu visiwani humo bwana seif alisema kwamba cuf ilifanya uchunguzi na kugundua kuwepo kwa tofauti kubwa katika uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa sababu tume hiyo UNK wapiga kura katika maeneo ambayo uboreshaji wa daftari hilo UNK alidai tume hiyo haitumii vitambulisho hivyo kama kigezo cha mtu kuandikishwa kwa kuwa idadi ya waliopewa vitambulisho hivyo na wale walioandikishwa na tume hiyo UNK pia UNK zec na idara ya vitambulisho kuwa wanasema uongo katika takwimu zao za watu waliojiandikisha kwamba kuna watu UNK na masheha kutoka majimbo mengine ikiwa ni njama za UNK chama cha mapinduzi maalim seif alisema kwamba vitendo hivyo UNK mazingira UNK baadhi ya watu kupiga kura zaidi ya mara moja unapaswa kuifahamu hoja yetu kwamba wananchi UNK zoezi hili ambalo tume yako imelipa jina la uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura ni kwa sababu wanafahamu kwamba ni mwendelezo wa uchafuzi na kwamba wewe na tume yako UNK uchafuzi wa haki ya wazanzibari alisema maalim seif hata hivyo alisema kwamba cuf kamwe haitakubali kuwa sehemu ya uchafu huo na wameishauri tume hiyo UNK kwa kujitoa kwenye uandikishaji huo mchafu azimio la viongozi dini kutaka kuvikutanisha tena vyama vya siasa UNK visiwani zanzibar limepokelewa kwa hisia tofauti na vyama husika huku chama cha mapinduzi UNK kurejea mazungumzo na chama cha wananchi kutaka utaratibu mbadala akizungumza na majira makao makuu ya cuf jana naibu mkurugenzi wa uenezi na mahusiano na umma bibi ashura mustapha alisema kuwa hawatakuwa tayari kurudi nyuma na kujadili yaliyopita bali UNK ni kufanya utekelezaji wa UNK alisema kuwa ni furaha kwao kuona taasisi za dini UNK mbali na kuamua kuliingilia suala hilo ingawa amewataka katika utekelezaji wao wazingatie suala hilo lilipofikia ndipo waone UNK la sivyo watoe suluhisho mbadala suala lililopo ni ccm kutekeleza tuliyokubaliana na sio kama UNK wenzetu kwa kulirudisha jambo hili kwa wanachi ili UNK maamuzi alisema alisema kuwa wenzao wa ccm wamekuwa kigeugeu kwani makubaliano yao ya mwisho yalikuwa kwamba iundwe serikali ya mseto lakini wenzao walipokwenda butiama UNK maamuzi na kutaka kura ya maoni kwa upande wake katibu wa itikadi na uenezi wa ccm bwana john chiligati UNK hatua ya viongozi wa dini hao na kusema kuwa wako tayari kwa wito huo wa kutaka kuwakutanisha na mahasimu wao wa cuf alisema anashangaa siku cuf kutotaka kurejea katika meza ya mazungumzo huku UNK waanze utekelezaji wa makubaliano ambayo kwa upande wake yalikuwa na dosari na yalirudishwa kwa ajili ya kufanyiwa marekebisho hatutaweza kuyatekeleza haraka hivyo viongozi wa pande zote mbili walikaa wakaona mapungufu yaliyopo na ikaamuliwa yarudishwe yafanyiwe marekebisho kwanza kwa hiyo kuna mambo machache ambayo bado UNK alisema bwana chiligati bwana chiligati alisema kuwa UNK sana endapo cuf hawatakubali UNK wito huo jambo litakaloashiria kuwa hawana nia ya dhati ya kutaka kumaliza mgogoro huo ffu apigwa nondo atapika damu viongozi wa cuf watiwa mbaroni eneo la njiapanda ya segera wilayani handeni mkoani tanga jana UNK uwanja wa vita kwa saa kadhaa baada ya wakazi wa vijiji jirani kufunga barabara kuu ya chalinze segera kwa zaidi ya saa sita kupinga hatua ya kubomolewa vibanda vyao vya biashara kwa lengo la kumpisha mwekezaji mwenye asili ya kisomali vurugu hizo zilisababisha mkazi mmoja wa kijiji cha michungwani bwana omari juma kuuawa kwa majeraha ya risasi huku askari wa kikosi cha kutuliza ghasia namba d ishirini sifuri nne staff sajini ramadhani kujeruhiwa vibaya baada ya kupigwa nondo kichwani na wananchi wenye hasira kipigo hicho kilimfanya atapike damu na kukimbizwa hospitali ya magunga wilayani korogwe ambako amelazwa kwa matibabu vilio UNK eneo hilo wakati operesheni ya kubomoa vibanda hivyo ikiendelea huku wananchi hao wakimtaka mkuu wa mkoa wa tanga bwana said kalembo kufika eneo hilo kuona wazawa UNK kwani walidai hawakupewa taarifa ya bomoa bomoa hiyo sisi hatuna ugomvi na mwekezaji tunachotaka kujua ni kwamba kwa nini waje UNK vibanda vyetu bila ya taarifa tena mali zetu zikiwemo UNK hasara hii UNK nani hivi kweli rais kikwete haya ndiyo maisha bora kwa kila mtanzania alisema mmoja wa wananchi hao aliyejitambulisha kwa jina moja la bakari huku akibubujikwa machozi walisema hatua ya kuvunjia vibanda UNK kwa kiasi kikubwa uchumi wao kwani eneo hilo UNK kuwaingizia kipato UNK na gazeti hili katika hospitali ya magunga wilayani korogwe mkuu wa upelelezi mkoa wa tanga jaffar mohamed alithibitisha kutokea kifo hicho na kuumia kwa askari huyo alisema mwananchi huyo alifariki dunia baada ya gari ya benki lililokuwa likisafirisha fedha kutoka tanga kwenda dar es salaam kufika eneo la segera na kukuta mkusanyiko huo mkubwa wa watu na magogo barabarani huku baadhi ya wananchi katika vurugu hizo wakidaiwa UNK mawe gari hilo kutokana na hali hiyo askari wa benki waliokuwa kwenye gari hilo walilazimika kufyatua risasi kuwatawanya wananchi hao katika purukushani za kuwatawanya wananchi hao ndipo risasi hiyo UNK mtu huyo na kufariki dunia baada ya tukio hilo wananchi walimvamia askari huyo na kuanza kumpiga na kumjeruhi vibaya askari wengine pia walijeruhiwa watu kadhaa UNK kwa tuhuma za kuchochea vurugu hizo hali ya askari huyo hadi jana jioni ilikuwa mbaya ambapo utaratibu wa kumhamishia hospitali ya mkoa wa tanga bombo ulikuwa UNK kutokana na vurugu viongozi waandamizi wa chama cha wananchi kata ya segera wanadaiwa kushikiliwa na polisi wakituhumiwa kuhusika kuchochea vurugu hizo viongozi hao ni pamoja na bwana nassoro UNK bwana hassan UNK ambao walikamatwa sambamba na watu wengine wanaosadikiwa kuwa vinara wa vurugu hizo kutokana na kamata kamata hiyo baadhi ya wananchi wa eneo hilo waliingia mafichoni kwa muda wakihofu kukamatwa baada ya hali ya usalama kutokuwa nzuri siku ya jana mkuu wa wilaya ya handeni kapteni mstaafu seif mpembenwe aliwasili eneo hilo saa nne na ffu na kuanza kuondoa magogo hayo barabarani kuruhusu magari kupita alipotakiwa kueleza sababu za mgogoro huo alisema hapa hakuna mgogoro ni uhuni kwa sababu kama mgogoro wa kiwanja UNK na mahakama wao wanajua lakini wanafanya uhuni alieleza kuwa mtu huyo aliyeuawa kifo chake UNK na ffu bali ni wale wa benki waliokuwa wakijihami kutokana na msongamo huo mkubwa ili UNK fedha hizo aliongeza kuwa tayari mahakama ilishatoa uamuzi kuwa wafanyabiashara hao waondoke katika eneo hilo lakini wakaendelea kukaidi kama kweli kuna tatizo hakuna kiongozi yeyote wa kijiji aliyekuja kunieleza chochote tangu nilipofika lakini kama UNK ya msingi UNK taratibu zinazostahili sio kufunga barabara alisema kauli za hivi karibuni za waziri mkuu mizengo pinda kuwa watanzania waache kununua suti kwa sababu zina gharama kubwa na ile ya kutaka viongozi waandamizi kuacha kununua magari ya kifahari UNK mjadala na upinzani mkubwa watu wa kada mbalimbali waliozungumza na majira wameonyesha kutokubaliana na kiongozi huyo na wengine kumshambulia kuwa ameanza kulalamika badala ya kuonyesha kuwa mtendaji mbunge wa karatu daktari wilbroad slaa alimtaka pinda kuwa waziri mkuu mtendaji na siyo mlalamikaji daktari slaa alisema kuwa waziri mkuu ni mtendaji na ndiye mwenye maamuzi anachotakiwa kufanya ni kuwachukulia hatua wale wote wanaokwenda kinyume na maagizo yake pinda analalamika kama mimi UNK kuhusu mashangingi kambi ya upinzani UNK sana hilo toka mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita tulisema magari yanayotakiwa kutumika yawe suzuki tukatoa mifano mingi wenzetu wa nchi ya india viongozi walivyo na utaratibu mzuri wa kutumia magari lakini UNK kama kauli yetu UNK kutoka mwaka huo tulipokuwa tunapiga kelele tungekuwa tumejenga zahanati ngapi nchini sasa alihoji alisema kuwa UNK ni pale anaposikia waziri mkuu analalamika wakati yeye anatakiwa kuchukua hatua na kwamba tatizo kubwa lililopo nchini ni kwamba hakuna watu wanaofikiria na UNK na ndio maana analazimika kusema kuwa serikali UNK akizungumzia vazi la suti daktari slaa alisema kuwa anaunga mkono kauli ya bwana pinda kwa sababu anashangazwa na baadhi ya viongozi wanaokwenda kukagua bustani au mashamba wakiwa amevaa suti sasa hivi hata bwana maji utamkuta anakwenda kukagua bomba akiwa amevaa suti na ndio maana mimi UNK hata siku moja nikiwa nimevaa suti UNK UNK wangu na kama wangekuwa wanaruhusu ningekuwa UNK hata bungeni alisema mbunge wa viti maalum bibi anna abdallah aliunga mkono kauli ya bwana pinda akisema kuwa wanaovaa suti sehemu UNK anawaona kama weu na ndio maana kazi nyingi zina mavazi yake rasmi kila kazi ina miiko yake sisemi kuwa watu wasiwe nadhifu ni vema turudi tulikotoka ila sijaona mbunge anayekwenda kuwatembelea wananchi wake akiwa amevaa suti labda kwa dar es salaam ila ninachoomba kuwepo vazi la kazi na rasmi alisema naye mbunge wa ilala bwana mussa hassan zungu akizungumzia magari ya kifahari alisema kuwa suala hilo aliwahi kulipigia kelele bungeni na kwamba anashangazwa sana kuona kiongozi akiwa ametinga kwenye gari kubwa la kifahari akienda jimboni huku wananchi wake wakiwa hawana mbele wala nyuma lakini bibi halima mdee ambaye ni mbunge wa viti maalum alisema umaskini wa watanzania hauwezi kwisha kwa kutovaa suti kwani wanaovaa vazi hilo ni matajiri na viongozi ambao ni sehemu ndogo bibi mdee alisema kuwa vazi hilo hupendelewa kuvaliwa na viongozi wa serikali na watu wenye uwezo kwa sababu wanamudu gharama za manunuzi nashangaa kusikia waziri mkuu kusema kuwa umaskini unachangiwa na kuvaa suti hii sio kweli kwani wavaaji wa vazi hilo hawajafika watu mbili sifuri sifuri sifuri kinachotakiwa aangalie kitu ambacho kinasababisha umaskini na sio hili UNK alisema bibi mdee alisema kuwa kama pinda anataka wananchi wavae mavazi mengine serikali inatakiwa iboreshe viwanda vya kutengeneza nguo ili watanzania UNK nguo kutoka nje zikiwemo suti ambazo anasema zinauzwa kwa gharama kubwa chukua hatua kwa kweli sisi ndio tunazunguka mikoani na tunaona watanzania mavazi UNK ni ya kawaida ikiwemo mitumba ambayo wanamudu gharama zake alisema bibi mdee kwa upande wake mbunge wa micheweni kwa chama cha wananchi bwana shoka khamis juma alisema kuwa kuvaa suti au UNK ni UNK la mtu alisema kuwa kinachotakiwa waziri mkuu asiingilie utamaduni wa mtu kumtaka avae vazi gani na pia vazi hilo UNK umaskini wa nchi kama waziri mkuu anataka watu waache kuvaa suti angeanza kuonesha mfano kwa kuwapiga marufuku watumishi wa serikali kama UNK nguo hizo lakini kama UNK haina haja ya UNK naye mkazi wa jiji bwana UNK mdoe alisema uvaaji wa suti umetokana na ukuaji wa sayansi na teknolojia na watu wameanza kuiga vitu kutoka nchi za magharibi vikiwemo na mavazi jana pinda alikaririwa akisema kuwa vazi la suti UNK watanzania ni la gharama kubwa ukilinganisha na kipato chao cha kawaida na hivyo kushauri wavae mavazi mengine ya kawaida imeandikwa na gladness mboma arusha rehema mohamed na rehema mwakasese dar asema lengo ni kutaka kulinda maslahi yao adai huo ni udhaifu dawa yake UNK waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bwana philip marmo amekiri kuwapo kwa kasoro za kiuongozi katika serikali ya tanzania ikiwamo ile ya matajiri kuwa na msukumo mkubwa katika kuweka viongozi madarakani ili kulinda maslahi binafsi bwana marmo aliyasema hayo jana alipokuwa akizungumza na majira ili kutoa maoni yake juu ya kauli ya viongozi wa dini walioitaka kuhakikisha matajiri UNK wananchi viongozi alisema pamoja na kwamba sio rahisi kuwabaini kwa mara moja watu hao ila anafurahi kusikia wadau wa madhehebu ya kidini walivyoamua kulivalia njuga kwa lengo la kulinusuru taifa hii inaashiria kuwa tumefikia mahala pazuri katika kupambana na watu wa aina hiyo alisema kauli hiyo ya bwana marmo inakuja siku moja baada ya viongozi wa juu wa madhehebu ya dini nchini kukemea tabia ya matajiri wanaotumia mali zao vibaya kwa kuweka viongozi watakaolinda maslahi yao viongozi waliofikia azimio hilo katika mkutano wa pamoja juzi ni wawakilishi wa baraza la waislamu tanzania baraza la maaskofu katoliki jumuiya ya kikristo tanzania ofisi ya mufti zanzibar na ofisi ya kadhi zanzibar wawakilishi madhehebu hayo ni rais wa tec askofu yudda thaddaeus ruwa ichi mufti mkuu wa zanzibar harith khelef mwakilishi wa naibu kadhi mkuu wa zanzibar kadhi said mahmud mwenyekiti wa cct askofu peter kitula na mwakilishi wa mufti mkuu sheikh taufiq ibrahim bwana marmo alisema kuwa miongoni mwa njia zitakazotumika kuwabaini watu wa aina hiyo ni pamoja kutungwa kwa sheria ya kusimamia matumizi ya fedha wakati wa uchaguzi kuanzia kwenye kura za maoni ambayo mchakato wake umeanza sio rahisi kwa sasa kugundua ni kwa kiasi gani watu wanatumia fedha vibaya wakati wa uchaguzi na namna ya kuwabana na hii ni kutokana na kwamba hakuna sheria UNK mambo haya alisema alisema kuwa muswada wa sheria hiyo unatarajiwa kuchapishwa wiki ijayo kwenye gazeti la serikali kupitia kwa mpiga chapa mkuu wa serikali ili watu UNK na kuupitia huku ukisubiri kupelekwa kusomwa kwa mara ya kwanza bungeni katika mkutano ujao kuanzia oktoba ishirini na saba mwaka huu bwana marmo alisema kuwa sheria hiyo itakapokamilika hawezi kujihakikishia kwa asilimia mia kuwa itatekelezwa na kufuatwa katika nyakati za uchaguzi lakini anaamini kuwa itawabana na kuwawajibisha wahusika kama zilivyo sheria nyingine alisema sheria hiyo mpya itawabana wagombea wa kila chama cha siasa kuonesha viwango halali vya fedha watakazotumia katika kipindi chote cha uchaguzi hivyo kuepusha mianya ya matajiri kuendelea kuivuruga serikali katika kuwania madaraka serikali imesema upatu unaoendeshwa na kampuni ya deci ni mfumo uliojaa ujanja ujanja na haujawahi kufanikiwa sehemu yoyote duniani kutoka na ukweli huo imewataka wananchi kuzingatia onyo lililotolewa hivi karibuni na benki kuu ya tanzania na soko la mitaji kuepuka upatu huo kwa maslahi ya mitaji yao akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari dar es salaam jana waziri mkuu bwana UNK pinda alisema deci inaendeshwa kinyume cha sheria na kamwe serikali haiwezi kukaa kimya kuacha wananchi wahatarishe mitaji yao bwana pinda alisema sheria namba nane ya mwaka ishirini sifuri sita iliyosainiwa na rais na kuanza kutumia januari tano ishirini sifuri saba UNK michezo yote ya upatu alieleza kuwa kifungu cha mia moja na sabini na moja na cha sheria hiyo kimeeleza wazi kuwa yeyote anayeongoza au kuendesha mchezo wa upatu kwa kukusanya fedha kutoka kwa mtu mmoja na kumpa mwingine kwa muda uliopangwa anafanya kosa nilipokaa na wataalamu nikawauliza kuhusu jambo hili wameniambia mfumo huu ni upatu upatu unaendeshwa kwa kuchukua fedha kutoka kwa mtu mwingine bila kumlipa riba ila ni fedha inayolipwa kutokana na ongezeko la wateja wapya nikasema makubwa haya mbona itatuletea mgogoro alihoji bwana pinda na kuongeza upatu unaoeneshwa na deci haujawahi kufanikiwa sehemu yoyote duniani ni mfumo uliojaa ujanja ujanja mwisho wa siku watu wanalia bwana pinda alisema deci iliandikishwa kwa wakala wa usajili wa kampuni julai ishirini na tano mwaka ishirini sifuri saba na imekuwa ikiendesha skimu mbili ambazo ni vuna tokana na mbegu uliyopanda na elimu skimu kwa kuboresha elimu taarifa za brella zimeonesha deci inamilikiwa na mchungaji jackson mtaresi mwenye hisa kumi na mbili themanini sifuri bwana timotheo ole UNK mchungaji dominick kigendi bwana samwel mtaresi na deci africa limited huku akifafanua viwango mbalimbali vya fedha UNK na kuvunwa na wateja wa deci bwana pinda alionya kwamba pamoja na faida kubwa wanayopata wakati wa mavuno jambo UNK wengi kujiunga mchezo huo ni hatari kwani mtaji unaotegemewa kulipa mavuno unategemea fedha za wateja wapya alisema watu wengi sasa wanakimbilia kukopa kiasi kikubwa cha fedha benki na vyama vya akiba na mikopo na kuzipeleka deci jambo ambalo ni hatari kubwa kwa uchumi wa nchi viwango vya deci ni vikubwa sana ukilinganisha na riba ya asilimia sita inayotolewa na mabenki wapo UNK benki na saccos wanachukua fedha nyingi wanapeleka deci hii UNK mambo yatakuwa kama yale ya marekani alionya bwana pinda alisema hadi sasa deci ina matawi arobaini na sita katika mikoa kumi na nane nchini na jumla ya wanachama mia nne na ishirini na tatu mia nne na sabini na sita amana zao zikiwa jumla ya shilingi bilioni kumi na tatu sabini na tano wakati taarifa za mabenki zinaonesha kampuni hiyo ina shilingi bilioni moja themanini na tatu tu ukilinganisha sehemu kubwa ya fedha za deci zinatunzwa nje mfumo wa benki maana yake deci ikifungwa leo na mali zake zote kukusanywa hazitoshi kuwalipa wanachama wake alisema na kusisitiza kuwa uhai wa deci unategemea idadi ya wanachama wapya bwana pinda alisema skimu za namna hiyo UNK mara tu UNK wanachama wapya UNK alitoa mfano wa albania mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita ambapo theluthi mbili ya wananchi wake walijiunga kwenye skimu kama hiyo UNK mwamba watu wote waligeuka na kuilaumu serikali jambo lililozua machafuko makubwa alieleza kuwa taarifa zimeonesha kuwa deci kenya nayo ilisambaratika kadhalika nchini marekani skimu ya namna hiyo ilisambaratika na kuonya jambo hili leo laweza kuonekana rahisi lakini madhara yake yatakapotokea watu wengi wataumia alisema serikali imeunda sekreterieti inayojumuisha bot polisi na soko la mitaji kuchunguza deci na itakapokamilisha shughuli hiyo na kujua ukubwa wa tatizo hatua za haraka zitachukuliwa mfumo huu ni kinyume cha sheria zetu sasa kama ni kinyume cha sheria vyombo vipo ni lazima sekreterieti hiyo ikamilishe na hatua zichukuliwe alisema na kuongeza upatu huu si jambo ambalo katika ngazi ya serikali tunaweza kusema UNK upatu huu umetengenezwa na wajanja wajanja na hakuna cha maono wala UNK alisema bwana pinda alisema mbali na deci amepewa taarifa za kuwepo taasisi zingine kama hiyo zinazoendesha shughuli kama hiyo nchini na kuahidi kufuatilia jambo hilo aliitetea bot kwa kushindwa kuchukua hatua mapema dhidi ya deci kwani alisema yalikuwepo mawasiliano ya barua ya muda mrefu kati ya chombo hicho kuitaka deci kutoa maelezo ya kukiuka malengo ya usajili wake lakini UNK majibu naye reuben kagaruki anaripoti kuwa wakati bot ikiendelea kuwahadharisha wana upatu wa deci kuwa wanahatarisha mitaji yao wateja hao UNK kiasi cha kufika makao makuu ya kampuni hiyo usiku wa manane kwa ajili ya kuwahi kupanda na kuvuna ili kukwepa msongamano wa watu hali hiyo UNK uongozi wa deci kuwapiga marufuku kufika ofisini hapo kuanzia saa nane usiku vinginevyo itaimarisha ulinzi kuwadhibiti UNK agizo hilo tahadhari hiyo ilitolewa makao makuu ya deci yaliyopo mabibo dar es salaam na mmoja wa maofisa wa kampuni hiyo aliyekataa kutaja jina lake kuanzia sasa ni marufuku watu kufika nyakati za usiku vinginevyo tutaimarisha ulinzi kuanzia saa nane usiku alisema ofisa huyo na kusisitiza kuwa wateja wanaofika usiku ili kuwahi nafasi wanakiuka taratibu hivyo watakaokamatwa UNK pia ofisa huyo aliwaambia wateja hao kuwa deci haitatoa nauli kwa watu wanaokwenda kuvuna lakini kutokana wingi wa watu wakalazimika kuondoka bila kulipwa wengine wamekuwa wakidai nauli deci haiwezi kufanyakazi zote hizo kampuni haitatoa nauli kwa mtu anayedai alihadharisha ofisa huyo na kuongeza kuwa watakuwa wanatoa fedha hadi saa tisa alasiri alisema utaratibu huo mpya umeanzishwa kufuatia kuongezeka kwa wateja wanaokwenda kuvuna tofauti na ilivyokuwa kipindi cha nyuma awali ofisa huyo wa deci alizuiwa na wateja alipotaka kuondoka ofisi za mabibo huku wakishinikiza UNK utaratibu utakaotumika kuvuna na kupanda kutokana na kuongezeka kwa msongamano wateja wa deci waliendelea kuvuna na kupanda bila wasiwasi licha ya tangazo lililotolewa na bot na baadhi walisikika UNK waandishi wa habari kuwa wanashirikiana na serikali kuua kampuni hiyo ninyi waandishi wa habari UNK na serikali kutukandamiza lakini hata UNK bado tuna imani na deci alisema bwana salum abdallah kutoka mbeya thompson mpanji anaripoti kuwa deci imesema kumekuwa na ongezeko kubwa la wateja baada ya kusikia katika vyombo mbalimbali vya habari kuhusu manufaa ya huduma wanayoitoa ya kupanda na kuvuna tumefanikiwa kwa asilimia tisini na tano kuwafikia walengwa wa huduma hii na hasa yule UNK maandazi mwenye kipato cha chini ambaye hawezi UNK katika benki ya aina yoyote alisema mmoja wa watendaji wa tawi la mbeya aliyejitambulisha kwa jina la brother jackson aliyedai anazungumza kwa niaba ya meneja wa tawi hilo alifafanua sababu UNK kuchagua neno la kupanda na kuvuna ni kuwa katika maandiko ya kidini na kwamba kutokana na deci kuendeshwa na shirika la dini la madhehebu ya kipentekoste waliona ni neno bora baadhi ya wateja wa deci mbeya wakizungumza na majira UNK waasisi wa kampuni kwa kutoa huduma hiyo na kudai mungu UNK wahitaji wake bibi asha mohamed mkazi wa block t jijini mbeya alisema viongozi wa dini mbalimbali wanapaswa kuiunga mkono deci kutokana na kuwasaidia watanzania wanyonge watumishi kadhaa wa halmashauri ya jiji la mwanza wamekamatwa katika hifadhi ya taifa ya serengeti kwa tuhuma za kuingia kinyume cha sheria na kufanya ujangili katika hifadhi hiyo akizungumza na mwandishi wa gazeti hili juzi ofisini mwake mjini bunda mkuu wa kikosi cha kudhibiti ujangili kanda ya serengeti bwana hassan nkussa alisema watu hao walikamatwa hivi karibuni katika hifadhi hiyo wakitumia gari aina ya toyota pick up lenye namba za usajili UNK elfu sita na mia tatu na sitini na sita mali ya halmashauri hiyo ni kweli tukio hilo lipo lakini kwa sasa hatuwezi kutoa taarifa zaidi wala kutaja majina ya watuhumiwa kwa vile uchunguzi bado unaendelea kuhusiana na suala hili alisema bwana UNK hadi juzi alasiri wakati mwandishi wa habari hizi akitoka ofisini hapo gari hilo bado lilikuwa UNK katika yadi ya ofisi hiyo hata hivyo bwana nkussa hakuwa tayari kueleza ni lini gari hilo UNK ili kuendelea kutumika katika shughuli za serikali mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la mwanza bwana wilson kabwe alipoulizwa ni nani aliruhusu gari hilo kwenda huko alimwambia mwandishi wa habari hizi aende UNK mamlaka UNK na kumshangaa kwa nini anafuatilia suala hilo nendeni bunda mkawaulize UNK gari hilo UNK sana mtu mwenye akili kama wewe kuniuliza kuhusu jambo hilo alieleza bwana kabwe bila kutoa ufafanuzi zaidi rais jakaya kikwete ambaye pia ni mlezi msaidizi wa chama cha mabunge ya jumuiya ya madola ameyataka mabunge wanachama wa jumuya hiyo kuwa na mikakati ya kuzijenga nchi na si UNK na kuziingiza kwenye vurugu zinazoweza kuleta machafuko makubwa duniani rais kikwete alitoa kauli hiyo jana mjini arusha alipokuwa akifungua mkutano wa hamsini na tano wa cpa ambapo alidai kuwa mabunge hayo UNK kubwa katika kuhakikisha nchi hizo UNK rais kikwete pia alizitaka nchi tajiri kutimiza ahadi zake walizozitoa kwa zile nchi masikini ili ziweze kufanikisha malengo ya milenia UNK ikiwa ni pamoja kuwajibika kutokana na uharibifu wa mazingira duniani alisema kuwa kama mabunge hayo hayatakuwa makini katika kutekeleza majukumu yao yanaweza kupelekea mazingira yasiyo na matumaini kwa vizazi vijavyo hivyo kuyataka kutekeleza majukumu yao na si vinginevyo hali hii inapaswa kutimizwa na wanachama wote wa cpa zikiwamo nchi masikini na tajiri ili kuimarisha ustawi wa maendeleo ya mataifa husika ikiwa ni pamoja na kuhakikisha yanaweka mikakati na kutatua changamoto mbalimbali zinazokabili nchi hizo alisema rais kikwete pia alizitaka nchi tajiri kutimiza ahadi zao kwa nchi masikini ili ziweze kufanikisha malengo ya milenia wakati kukiwa UNK muda mfupi kabla ya muda uliopangwa wa mwaka ishirini moja tano alisema changamoto nyingine kwa cpa ni kuwezesha mataifa wanachama kuyafikia malengo hayo ya milenia pamoja na mikakati ya kukabiliana na misukosuko ya kiuchumi duniani rais kikwete aliongeza kuwa kwa kiasi kikubwa nchi zinazoendelea bado hazijafikia yale malengo waliyojiwekea hivyo kuna umuhimu mkubwa wa kupewa msaada zaidi kuhakikisha UNK aliitaka cpa kuwa na mikakati UNK kutatuliwa kwa changamoto mbalimbali zinazoikumba dunia hivi sasa ikiwamo ya mtikisiko wa kiuchumi ambao umesababisha mataifa mengi kuyumba kiuchumi akizungumzia mabadiliko ya hali ya hewa rais kikwete alisema cpa pia inajukumu la kuweka mikakati ya kupambana na tatizo hilo linalosababisha kuathiri maisha ya viumbe hai ulimwenguni rais kikwete alisema kuwa tayari athari za hali hiyo zimeanza kutishia viumbe duniani ambapo alitoa mfano kupanda kwa joto la dunia kumesababisha barafu kwenye mlima kilimanjaro na maeneo ya kusini mwa kaskazini mwa dunia UNK alisema uoto wa asili umeanza kupotea jangwa limezidi kuenea mifugo inakosa malisho mbu wameenea na kusababisha ugonjwa wa malaria katika maeneo ambayo awali hayakuwa na ugonjwa huo naye rais wa cpa ambaye pia ni spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania bwana samuel sitta alisema mkutano huo ni sehemu muhimu kwa nchi wanachama kupata nafasi ya kubadilishana mawazo na kuweka mikakati mbalimbali ya kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wa nchi za jumuiya ya madola ni kwa kauli UNK UNK kuwadhalilisha chama cha walimu tanzania kimemtaka naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi bibi mwantumu mahiza kuomba radhi walimu wote nchini na kufuta kauli yake aliyoitoa wakati UNK walimu na wanachuo wa chuo cha songea agosti ishirini na mbili mwaka huu kuwa wanaodai mishahara mikubwa UNK fani nyingine hayo yalisemwa dar es salaam jana na rais wa cwt bwana gratian mukoba alipokuwa akielezea jinsi kauli hiyo UNK walimu nchini akisema ililenga kuwakejeli na UNK bwana mukoba alisema katika kikao cha dharura cha baraza la taifa la cwt wajumbe walijadili kwa kina kauli hiyo aliyoitoa na kumtaka aombe radhi na kuifuta vinginevyo walimu nchini wataendelea kuongozwa na mtu wasiokuwa na imani naye nasema kauli ya kusema kama unaona mshahara ni mdogo wa ualimu toka sasa nenda UNK biashara au siasa ili uwe mwanasiasa ni mbaya na inaumiza alisema alisema kauli hiyo iliyojaa dharau udhalilishaji na kupuuza hadhi ya walimu na uhuru wa walimu kuhoji na kujieleza ilitolewa na kiongozi wa serikali akijua kuwa mishahara ya walimu ipo chini alisema UNK aliyeuliza kuhusu serikali kuona umuhimu wa mishahara ya walimu kuongezwa alikuwa na hoja huku yeye kama naibu waziri akiwakejeli na kuwataka wanaotaka mishahara mikubwa kuondoka chuoni hapo kwani UNK serikali UNK alisema baraza linatambua yeye mwenyewe katika kusoma kwake hakusoma sayansi ya siasa wala uongozi wa biashara bali amesomea ualimu hivyo ni mwalimu wenzao na kwamba UNK UNK nao alipewa na wananchi ambao UNK walimu aidha alisema serikali inatakiwa kulipa madeni yote ya walimu wakiwemo walimu wa sekondari vyuo vya ualimu na wakaguzi ifikapo oktoba thebathini na moja mwaka huu vinginevyo chama kitaamua kuchukua hatua kwa mujibu wa sheria za kazi alisema madai mbalimbali yaliyotokana na likizo matibabu walimu kupandishwa madaraja ajira mpya bila ya mafanikio hadi agosti ishirini sifuri tisa jumla ya shilingi bilioni thebathini na tano zimelipwa bali walimu wa wanaohudumiwa na katibu mkuu wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi ni shilingi bilioni kumi na nane bwana mukoba alisema kwa taarifa za serikali ambazo zimethibitishwa na chama jumla ya shilingi bilioni thebathini na mbili za walimu za shule za msingi zimetumwa kwa wakurugenzi wa halmashauri ambapo walimu wamelipwa na wengine wanaendelea kulipwa alisema pia walimu wa shule za sekondari wanadai shilingi bilioni kumi na nane lakini bado hawajalipwa isipokuwa zaidi ya shilingi bilioni moja UNK kuwa ni madai halali mtoto wa aliyekuwa waziri wa kilimo bwana charles keenja bibi UNK keenja ameburutwa katika mahakama ya wilaya ya ilala akikabiliwa na makosa ya kukutwa na dawa za UNK kinyume cha sheria mshitakiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka mbele ya hakimu wa wilaya bibi janeth UNK bibi keenja anatuhumiwa kwa makosa ya kupatikana na dawa za kulevya kinyume cha kifungu kumi na mbili cha sheria ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya alidaiwa kuwa oktoba mosi mwaka huu katika mtaa wa UNK dar es salaam alikamatwa na gramu sita sita za dawa ya kulevya aina ya UNK yenye thamani ya shilingi sitini sifuri sifuri sifuri hata hivyo mshitakiwa huyo alikana kutenda makosa hayo na upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika mshitakiwa huyo aliiomba mahakama kumpatia dhamana ambapo ilimtaka kuwa na wadhamini wawili wa kuaminika ambao watasaini dhamana ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri alitimiza masharti ya dhamana na kesi yake itatajwa tena novemba mbili mwaka huu ni baada ya mwenzao kugongwa na kufa siku chache baada ya wanafunzi wa sekondari ya kibasila dar es s alaam kuandamana na kufunga barabara kwa saa kadhaa wanafunzi wengine tena wa sekondari ya temboni kimara wamefanya vivyo hivyo na kusababisha dhahama kubwa kwa wakazi wa jiji la dar es salaam wanafunzi wao walichukua uamuzi huo baada ya mwenzao mmoja kugongwa na gari maeneo ya kimara temboni na kufariki dunia wakati akiwa kituoni akisubiri kupanda gari wakizungumza na gazeti hili mashuhuda wa tukio hilo walisema mwanafunzi huyo aliyetajwa kwa jina la sebastian fabian wa kidato cha tatu temboni sekondari mkazi wa mbezi UNK alikuwa akisubiri usafiri kituoni kabla UNK na gari hilo unajua ilikuwaje kulikuwa na gari kubwa UNK ikitokea mjini kufika hapa ikawa ina UNK sasa yule dereva aliyesababisha ajali akaona watavaana uso kwa uso UNK hatari hiyo ile kutoka tu barabarani akakuta mbele yake kuna dcm UNK kituoni akaamua kutoka zaidi nje ndio ajali hiyo ikatokea alisema bwana peter mwakyusa na kuongeza kwanza alimkosa kosa mwanajeshi mmoja aliyeruka ndipo akamkuta kijana huyo UNK na kudondoka kwa mbele kabla UNK tena kwa juu alisema bwana peter mwakyusa mmoja wa shuhuda wa ajali hiyo shuhuda mwingine ambaye hakutaka jina lake kuandikwa gazetini alisema baada ya ajali hiyo wanafunzi waliamua kufunga barabara kwa amani kwa kuweka mawe na magogo njiani ghafla walifika vijana wanne amabo walichukua mawe yale na magogo na kuanza kuwatupia wanafunzi ambao nao waliamua kujibu mapigo mwanzoni walikuwa wamesimama barabarani wengine wakicheza bila kufanya vurugu yeyote wala kumdhuru mtu yeyote wakisema wanamtaka mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya aje waongee naye sasa walipokuja wale mabaunsa wale ndio UNK mambo yote lakini kitu walichokosea wanafunzi badala ya kuwalenga wale vijana wakaamua kumalizia hasira zao kwa wenye magari alisema bwana hussen UNK mmoja wa madereva ambaye gari lake lilikuwa UNK kwa UNK mawe gazeti hili lilishuhudia eneo la tukio likiwa limetapakaa mawe vipande vya magogo na vioo vya magari UNK magari yakiwa UNK mawe huku shuhuda mwingine akisema kuwa mwanafunzi aliyegongwa alikufa wakati akipelekwa hospitali ya UNK habari zinasema magari zaidi ya matano yalivunjwa vioo katika vurugu hizo mkuu wa wilaya ya kinondoni bwana jordan rugimbana aliyekuwa kiongozi mwandamizi wa kwanza kufika eneo la tukio alisema kuwa kitendo walichofanya wanafunzi wale ni uvunjifu wa sheria za nchi unajua serikali ili UNK wanafunzi wa kibasila kwa sababu wao pamoja na kwamba walifanya makosa lakini bado UNK vurugu wala kuhatarisha amani na kuharibu mali za watu kiasi walichofanya hawa unaona UNK mawe magogo na kibaya kabisa wahuni pia wamepitia humo na kufanya uharibifu mkubwa katika kuonesha kuwa dhahama ilikuwa kubwa iliwalazimu wanajeshi kadhaa waliokuwa katika magari yao yenye na elfu tano na mia tano na kumi na nane jw o saba elfu tano na mia nne na tisini na tisa jw sifuri saba elfu tano na mia nne na tisini na tisa jw sifuri saba thebathini nne tatu jw sifuri nne na mengine kushuka na kuanza kuwaamuru baadhi ya madereva kupisha njia magari ya jeshi yaliyoonekana kuwa na mizigo wakati wanafunzi wa kibasila walifunga barabara ya changgombe jijini dar es salaam wale wa temboni UNK barabara ya morogoro moja ya njia kuu za kuingia katika jiji la dar es salaam katika maeneo ya kimara kwa tembo katibu wa halmashauri kuu ya taifa uchumi na fedha ya chama cha mapinduzi bwana amos makalla amezidi kumshambulia waziri mkuu mstaafu jaji joseph warioba na kudai kiongozi huyo hapendi kupingwa wala kukosolewa bali anapenda hoja zake zionekane ndio fikra sahihi bwana makalla ametoa hoja hiyo jana kufuatia kauli za jaji warioba kupitia gazeti moja la kila siku nchini kudai kuwa amemtukana na anajipendekeza kwa mwenyekiti wa ccm rais kikwete baada ya kujibu hoja zake za hivi karibu UNK masuala mbalimbali ya chama na utendaji wa serikali katika taarifa yake aliyoituma kwa gazeti hili jana bwana makalla alisisitiza kuwa anamheshimu sana jaji warioba na hajawahi kumtukana bali alimlaumu mwanasiasa huyo kuwa hapendi kukosolewa wala kupingwa hoja zake nimesoma majibu ya mzee warioba katika gazeti leo katika utetezi wake anadai nimemtukana UNK kwa kikwete UNK mtandao na pia amesema yeye UNK matatizo yaliopo sasa ya udini na matabaka yanayohatarisha amani na alitumia fursa hiyo kuishauri serikali naomba niseme tena namheshimu sana mzee warioba na si kweli kama mimi nimemtukana ila mzee warioba ni miongoni mwa wazee wasiopenda kupingwa wala UNK na anapenda hoja yake ichukuliwe ni fikra sahihi ambayo kila mtanzania anapaswa UNK UNK kama kweli yeye ni mwana ccm thabiti tena waziri mkuu mstaafu UNK kutumia uzoefu wake kutoa ushauri kwa viongozi wa chama na serikali katika vikao vyao au kuwaona moja kwa moja maofisini awe rais waziri mkuu na viongozi wa juu katika chama je fursa hizo kwake yeye anaona zimeshindikana na anaona ni vema ashauri kupitia vyombo vya habari au ni UNK gani ya kushauri serikali kwa kuita waandishi wa habari kwanini yeye anapenda kukosoa kupitia vyombo vya habari alihoji bwana makalla bwana makalla alisema kama jaji warioba anataka kuendelea kuheshimika akubali ushauri wake na akitumia staili hii ajiandae pia kupokea changamoto kama hizi za kupingwa hadharani mimi UNK kwa kikwete kama anavyodai yeye mimi ni wajibu wangu kama mwana ccm na kiongozi kutetea chama changu na serikali ya ccm yeye mwenzangu ameamua kutafuta umaarufu wa kuikosoa serikali ya chama chake hadharani kwa maslahi binafsi alidai bwana makalla alikana madai ya kuendekeza mtandao na kudai kuwa jaji warioba UNK sauti kwa hoja dhaifu na kueleza kwamba UNK ni kuambiwa ukweli kuwa kasoro anazotoa na kulaumu zinasababishwa na kinyongo cha kushindwa mgombea aliyemuunga mkono mwaka ishirini sifuri tano daktari salim ahmed salim namshukuru amekiri kwa mara ya kwanza wazi wazi kuwa alikuwa kwa salim ishirini sifuri tano hivi kama inajulikana hivyo sasa tutegemee nini UNK serikali hata jambo moja la kusifia hana kwanini nisiamini kuwa UNK makundi mimi sina kinyongo na salim namheshimu sana ila nina tatizo na wapambe kama anavyofanya mzee wangu warioba hayaishi tu hivi anataka nimkumbushe kuwa siku ya mkutano wa kupata mgombea urais ishirini sifuri tano yeye tayari UNK shati lake safi la ccm lenye nembo ya bendera ya taifa huku UNK kuwa salim akishinda anakuwa mgombea mwenza kwanini nisiamini kuwa salim UNK kushindwa lakini yeye akikumbuka umakamu basi hasira zake ndiyo kushambulia serikali UNK anasema UNK alilalamika bwana makalla alimtaka jaji warioba kutafakari upya namna bora ya kutoa ushauri kwa serikali na chama pasipo kuingia katika njia ambazo zitawaingiza watanzania katika malumbano nachelea kuamini kama uzee ni dawa lakini si kila mzizi ni dawa ipo mizizi mingine ni sumu mimi niliamini kuwa mzee warioba UNK rais alipoongea na wananchi juu ya udini UNK vizuri sana sasa kama mkuu alishaliongelea hakuwa na sababu tena ya kuitisha mkutano suala la tabaka la walionacho na UNK ni changamoto kwetu sote kushirikiana na serikali kutafuta majawabu UNK kwa UNK pasipo kutoa majawabu namtaka mzee warioba na watanzania wote tushirikiane na serikali kujenga nchi yetu tuache siasa UNK umoja wetu na amani tuliyonayo alisema bwana makalla ni kawambwa wasira masha na kapuya kama UNK UNK ishirini moja sifuri maaskofu na wachungaji ishirini na tano kutoka makanisa mbalimbali nchini wamemtaka rais jakaya kikwete kuwawajibisha mawaziri wake wanne ambao wamedai wameshindwa kutekeleza wajibu wao na kutishia kuwa asipofanya hivyo watahamasisha waumini wao UNK kura viongozi hao katika uchaguzi mkuu ujao mwakani mawaziri waliotajwa na wizara zao katika mabano ni daktari shukuru kawambwa bwana stephen wasira bwana lawrance masha na profesa juma kapuya wakizungumza katika shamba la rais jakaya kikwete walilotembelea wilayani bagamoyo juzi maaskofu hao walidai mawaziri hao wanatia doa serikali na kuonekana kuwa ina upungufu katika katika utendaji wake rais ana muongozo mazuri lakini sasa watendaji wake ndio wanaosababisha UNK UNK ingawa naye ana upungufu katika ucheleweshaji wa kutoa majibu yanayohusu masuala magumu yanayolikabili taifa kama mambo yanayoendelea sasa visiwani zanzibar alisema askofu thomas faida wa kanisa la UNK assemblies of god shinyanga walifafanua kuwa waziri kawambwa ameshindwa kusimamia shughuli za kampuni ya reli tanzania na kumuachia mwekezaji kufanya jambo lolote analotaka huku akiwadanganya wananchi kuwa kuna mazungumzo yanayoendelea katika ya serikali na mwekezaji huyo kuhusu profesa kapuya walidai amekuwa kimya katika wizara yake badala ya kutafuta mbinu mbadala za kupunguza UNK mitaani na vijana wanaoishi katika mazingira magumu ambao wizara yake UNK walimlalamikia waziri mwingine bwana masha na kudai kuwa amekuwa UNK katika mradi wa vitambulisho vya utaifa na hoja iliyozua malumbano katika mkutano wa kumi na sita wa bunge wa bunge la jamhuri ya muungano jambo walilodai ni hatari kwa taifa maaskofu hao ambao walifika kujionea jinsi rais kikwete anavyofanya shughuli zake binafsi kama kilimo walifurahishwa na shamba lake linalotumia mbolea ijulikanayo kama earth food kutoka marekani na kusambazwa nchini na kampuni ya UNK internation ltd shamba hilo lenye hekari ishirini na tano ambalo limepandwa UNK migomba pamoja na minazi lipo katika mkoa wa pwani wilaya ya bagamoyo kata ya UNK maaskofu haoa wamemtaka waziri wa kilimo na chakula bwana wasira naye kujizulu wadhifa wake baada ya kushindwa kujifunza jinsi ya utumiaji wa mbolea kutoka katika shamba hilo na kutoa elimu kwa wananchi walisema bwana wasira amekuwa akitoa elimu ya kutumia mbolea ya chumvi chumvi yenye kemikali kali zinazoua rutuba katika ardhi na kusababisha njaa katika mikoa kumi na saba walisema waziri huyo anapaswa kujua mbolea inayotumiwa katika shamba la rais kikwete ndiyo mkombozi wa wakulima wa tanzania kwa kuwa inatengenezwa kwa kutumia taka za shamba zisizo na UNK akizungumza kwa niaba ya wachungaji wenzake mchungaji william mwamalanga wa shirika la UNK and UNK conservation association alisema lengo la ziara hiyo ni kujifunza namna mbolea hiyo inayotumika katika shamba hilo mchungaji mwamalanga alisema hawaafiki hatua ya kusambaza mbolea ya UNK mikoani hivyo wanaandaa maandamano nchi nzima kupinga matumizi ya mbolea hiyo pamoja na kudai fidia UNK yatokanayo na mbolea hiyo alisema kuwa wanahitaji kuonana uso kwa uso na rais kikwete ili kutoa sababu za msingi juu ya mbolea hiyo huku wakisisitiza athari kubwa ya uingizaji na usambazaji wa mbolea hiyo kwa mkulima na mazingira wakizungumzia siasa nchini walidai kuwa kuna utata ulioibuka kati ya wanasiasa na dini hivyo wameahidi kufanya mdahalo nchi nzima kati ya wanasiasa na dini zote ili kutofautisha vitu hivyo naye mchungaji wa kanisa la christ to all people lililopo dar es salaam onesmo UNK alisema kuhusu matumizi ya mashangingi UNK la suti UNK na waziri mkuu bwana pinda hivi karibuni yeye mwenyewe anapaswa kuonesha mfano kwa kuanza kutumia gari la kawaida badala ya UNK hakuna maana yoyote kukataa kitu kwa wengine kisha unakitumia wewe mbona hajafanya msafara na bajaj au teksi ili awe mfano kwa wenzake alihoji mchungaji UNK matatizo yanayojitokeza kati ya wapangaji wa shirika la nyumba la taifa na serikali yalisababishwa na maamuzi ya kutaka shirika hilo UNK mwelekeo ili lianze kujenga nyumba na kuuza badala ya kupangisha kauli hiyo ilitolewa jana dar es salaam na waziri wa nyumba na makazi bwana john chiligati alipokutana na wapangaji hao waliomtaka kukutana naye ili kuelezea kero zao na kutaka ufafanuzi jinsi nyumba hizo UNK hapo baadaye bwana chiligati alisema kutokana na kuwepo kwa malalamiko mengi serikali imeamua kubadilisha mwelekeo wa nhc wa kupangisha na kuwa na majukumu ya kujenga nyumba na kuuza tu serikali imeamua kubadilisha mwelekeo wa shirika hilo na sasa UNK na kujenga nyumba na kuuza na si kupangisha tena kama ilivyo sasa alisema bwana chiligati na kuongeza kwamba kutokana na maamuzi hayo serikali tayari imeimarisha utaratibu wa kuwakopesha wananchi ili waweze kununua nyumba au kujenga nyumba zao hapo baadaye akijibu baadhi ya madai ya wapangaji hao kuwa nhc imeamua kupandisha kodi kiholela waziri alisema kuwa nhc UNK kodi kiholela na kuwa kodi UNK na nhc ni ya kiwango cha chini sana lakini pia kuwa mabadiliko ya kodi lazima yawepo ili shika hilo UNK kibiashara aidha alifafanua kwamba utaratibu wa nhc kuamua kuingia ubia na baadhi ya mashirika katika ujenzi wa nyumba hizo ulitokana na shirika hilo kutokuwa na pesa za kujiendeleza hivyo iliamua kuendelea kuwapatia huduma wananchi kwa kutumia mfumo huo bwana chiligati alisema kuwa kutokana na umuhimu wa nyumba hizo kumilikiwa na watu binafsi aliamua kutoa maagizo kuwa baadhi ya nyumba hizo ziuzwe UNK kauli hiyo ukumbi wote UNK na mashaka na kuwa na hamu kubwa ya kutaka kujua mchanganuo wa nyumba zitakazouzwa kwao na zile UNK katika mikono ya nhc alisema kuwa nyumba zilizopo katika maeneo ya uchumi hazitauzwa kwa watu wanaozitumia bali UNK ili kuiongezea kipato serikali nyumba za makazi ya watu zitauzwa kwa UNK wajumbe wa mkutano wa hamsini na tano wa mabunge ya jumuiya ya madola UNK unggangganizi wa baadhi ya viongozi a afrika kwenye madaraka kuwa unavunja demokrasia na kulazimisha serikali za mseto katika nchi zao kauli hizo zilitolewa jana na majumbe wa cpa wakati walipokuwa wakichangia mada ya namna serikali za mseto UNK demokrasia duniani katika mada hiyo ambayo ilikuwa ni vute nikuvute mjadala mkali ulizuka katika mkutano huo kuhusu suala la serikali ya mseto katika nchi ya zimbambwe na kenya kama ni za mseto au la hali iliyosababisha kuzua utata wajumbe hao walisema kuwa ili kunusuru balaa hilo ni vema viongozi waliokaa madarakani kwa muda mrefu kuwaachia wengine hata hivyo aliyekuwa spika wa bunge la afrika bibi getrude mongela ambaye ni mbunge wa ukerewe ccm alifafanua maana ya demokrasi akisema kwamba ni mfumo ambao maamuzi hufikiwa kwa kuangalia kura za wengi alisema serikali za mseto maana yake ni UNK wa vyama wa kuunda serikali baada ya mojawapo ya chama kushindwa kupata kura UNK kuunda serikali alionya kuwa kulingana na mfumo huo serikali za kenya na zimbabwe siyo za mseto hivyo UNK wajumbe kuwa makini wakati wa mjadala huo naye mbunge wa viti maalum bibi halima mdee akichangia mada alisema kwamba serikali za mseto UNK pale vyama UNK na wawakilishi wengi bungeni kwa kiwango UNK hivyo kuonekana kuwa ipo haja ya kushirikiana katika kuendesha serikali lakini akasema pia serikali ya mseto huweza pia kuundwa pale inapotokea kutoelewana katika matokeo ya uchaguzi na hata kusababisha machafuko kwa sababu hiyo kama njia ya kusuluhisha mgogoro wanaunda serikali ya pamoja yaani mseto alisema alisema pia kuwa kuunda kwa serikali ya mseto inawezekana kuwa ni mbinyo wa kulazimishwa na jumuia ya kimataifa professa UNK kabudi alisema kuwa hata muundo wa serikali za umoja wa kitaifa kama ilivyo zimbabwe na kenya unakandamiza demokrasia naye mchambuzi wa mambo ya siasa nchini jenerali ulimwengu alielezea maana ya serikali ya mseto kuwa ni muungano unaotokea baada ya chama kimoja kushindwa kuwa na haki ya kuunda serikali peke yake alitoa mfano wa mataifa hayo kuwa ni india pakistani australia na uswizi akichangia mada hiyo mbunge wa UNK kupitia chama cha pnu nchini kenya bwana njoroge UNK alisema kwamba muundo wa serikali ya umoja wa kitaifa kama ulivyo nchini kwake unaelekea utatokea hata kwa nchi nyingi afrika naye mbunge wa jimbo la kisumu kupitia odm bwana UNK UNK alisema kwamba muundo wa serikali ya kenya ulitokana na chama cha pnu kung ang ania kuendelea kuwa madarakani alisema ni tatizo ambalo limetokea kenya na zimbabwe lakini pia UNK nchi ya uganda kutokana na hali UNK mjadala huo umekuja wakati kuna shinikizo la kuvitaka vyama vya ccm na cuf kufikia makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa kuongoza visiwa vya zanzibar mtihani wa kidato cha nne kwa shule za sekondari na wa maarifa unaanza hii leo nchini kote huku wizara ya elimu ikionya dhidi ya udanganyifu kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa dar es salaam jana kwenye vyombo vya habari na waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi profesa jumanne maghembe jumla ya watahiniwa mia tatu na hamsini na moja mia tisa na hamsini na nane watafanya mtihani huo ambao utamalizika oktoba ishirini na tatu mwaka huu kutokana na unyeti wa mtihani huo serikali imewaonya wale baadhi ya watahiniwa na wasimamizi wasio waaminifu ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya udanganyifu katika mitihani watahiniwa watakaobainika kufanya udanganyifu wamekuwa UNK mitihani na matokeo yao yote kwa mujibu wa kanuni za uendeshaji wa mitihani taifa ilisema ilisema kuwepo na vitendo hivyo kunaweza kulisababishia taifa kupata wataalamu UNK ubora na hivyo kurudisha nyuma juhudi za serikali za kutoa elimu bora kwa wote wizara inapenda kuwaasa watahiniwa wasimamizi walimu na wananchi wote kwa ujumla kujiepusha na vitendo vya udanganyifu wa aina yoyote katika kipindi chote cha mtihani ili kuhakikisha mtihani unafanyika katika hali ya amani na UNK ilisema ilisema yeyote atakayebainika kukiuka taratibu za uendeshaji mitihani hatua kali za kinidhamu na za kisheria zitachukuliwa mfanyabiashara maarufu wa zanzibar bwana mohamed raza ameibuka na kusema kuwa bila bunge la tanzania chini ya spika samuel sitta kusimama kidete katika mambo kadhaa yanayoendelea hivi sasa nchini watanzania wangekuwa watumwa wa matu wachache wenye pesa pia katika hali ambayo inaweza kuzua mjadala mkubwa ndani ya ccm na bila shaka nchi nzima bwana raza alisema kuwa haoni sababu ya chama hicho kutoa karipio kwa wabunge ambao wameamua kusimama kidete kupinga ufisadi wala kuunda kamati ya kuwachunguza akisema hiyo ni kazi bure kwani mambo yanayosumbua UNK mbali na hilo bwana raza ambaye alisema alivuka bahari jana kuja kuongelea masuala matatu ya kitaifa hasa katika wakati huu ambapo taifa liko katika maombolezo ya miaka kumi ya kifo cha baba wa taifa hayati mwalimu julius nyerere aliwataka watu kadhaa wakiwemo makada wa ccm wanaotuhumiwa kwa ufisadi kupisha katika nyadhifa zao na kukaa pembeni bwana raza alisema kuwa kwa sasa bunge la tanzania ndio kimbilio cha kilio na uhai wa watanzania alisema kwa kusimama kwao kidete kupinga ufisadi na kuikosoa serikali wabunge wakiongozwa na sitta wameweka heshima kubwa kwa nchi na walipaswa kupongezwa na kupewa heshima hapa hapa nyumbani ikibidi kwa kuitisha maandamano nchi nzima mheshimiwa spika kada wa ccm yule na wabunge wanaopinga ufisadi wameweka heshima kwa nchi yetu sasa tunashuhudia wanapewa tuzo za heshima na nchi kama marekani kwa kupinga ufisadi kwa nguvu zote bila kificho wanapongezwa kwa mapambano yao kwa nini UNK alihoji tulipaswa kuandaa maandamano nchi nzima kuwapongeza sio kutoa karipio karipio la nini ati sasa imeundwa kamati ya kuwachunguza ya kazi gani hiyo mbona UNK kazi mzee wa watu mwinyi bila sababu ya msingi masuala yaliyosababisha yote hayo yanafahamika alisema kada huyo bwana raza alikuwa anabeza kazi iliyoundwa kuchunguza mahusiano ya wabunge wa ccm na serikali yao UNK na halmashauri kuu ya taifa ya ccm ikiongozwa na rais mstaafu ali hassan mwinyi na wajumbe wawili makamu mwenyekiti wa ccm pius msekwa na spika wa zamani wa bunge la afrika mashariki UNK kinana alisema ni wakati mwafaka sasa kwa viongozi kuchukua hatua katika masuala hasa yanayohusiana na ufisadi na uhujumu uchumi yanayoendelea nchini badala ya kuishia kuunda tume ambazo zinatumia pesa nyingi lakini inapofikia wakati wa kuchukua maamuzi kunakuwepo na UNK tume nyingi tu zinaundwa zinatoa taarifa lakini ikifika pahala pa kutoa maamuzi watu UNK na UNK sasa kitu cha busara wale wote ambao wanatuhumiwa kwa ufisadi ni bora UNK katika nyadhifa walizonazo kuanzia walioko bungeni ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu wote waondoke haiwezekani bunge ndicho chombo kinachosimamia serikali cc na nec zina nguvu ya kuongoza nchi kote huko kuna watu wamejaa tuhuma za ufisadi vyombo hivyo vinapaswa kuwa safi UNK kuna watu wana tuhuma nyingi tu wanaongoza kamati za maadili za chama UNK hao wakae pembeni mtu mzima akituhumiwa hukaa pembeni UNK alisema alisema kuwa katika kipindi hiki cha miaka kumi bila kuwepo kwa mwalimu nyerere tanzania inapitia misukosuko ambapo maadili miongoni mwa viongozi na wananchi kwa ujumla yameshuka kwa kiwango cha kutisha alisema inashangaza kusikia au kuona kiongozi anatembelea wananchi akiwa ndani ya gari la kifahari lakini wananchi wale hawapati huduma za msingi ambazo ziko ndani ya wajibu wa kiongozi huyo unajua inashangaza labda ninyi UNK vijijini mimi UNK kote huko unguja na pemba kuna matatizo ya skuli vituo vya afya maji lakini unamuona mkurugenzi wa maji au afya akiwa na gari la mamilioni ya pesa anakwenda kuwatembelea wananchi ambao hawana hata uhakika wa kupata maji au dawa katika vituo vya afya watu UNK kutafuta maji kilometa kadhaa taabu kweli mara unasikia shirika limejenga nyumba kwa milioni kama themanini sifuri halafu nyumba hiyo UNK kwa mkurugenzi kwa milioni chache kama sabini hivi kwa nini inakuwa hivi tunaishia kuunda tume kama hatuwezi kuchukua maamuzi basi bora tume hizo zisiundwe alisema bwana raza huku akikwepa kutaja majina ya watu kama waandishi wa habari walivyokuwa wakitaka katika maswali yao kwake aliwataka wananchi kutokaa kimya katika masuala ambayo yanafanywa na viongozi na kurudisha maendeleo ya taifa nyuma pia aliwataka kuwaunga mkono ikibidi kuwaombea wale wote wakiwemo wabunge wanaopinga vita ufisadi akizungumzia suala la muungano bwana raza alisema unapaswa kuimarishwa kwa kuzingatia mambo ya msingi kama vile kuridhiana kuheshimiana kuvumiliana na kuaminiana alisema ni suala la ajabu badala ya viongozi kuketi pamoja na kuyazungumza mambo ya muungano kama walivyokuwa wakifanya waasisi wa muungano mwalimu nyerere na hayati abeid karume wamebaki kutoleana kauli ambazo zinatishia mstakabali wa mahusiano baina ya pande zote mbili watu wamesikia harufu ya mafuta tu hata hayajapatikana tayari imefanywa kuwa ajenda kubwa wanagombea mafuta ambayo UNK na kamwe suluhisho la muungano haliwezi kuwa serikali moja huu UNK kwa ajili ya serikali mbili basi tena wengine wanaotoa kauli hizo za ajabu ni makada wa ccm na viongozi wa serikali alisema katika suala la vurugu zinazoendelea tanzania visiwani juu ya uandikishaji vitambulisho vya makazi alisema kuwa kila mmoja anastahili kupata haki hiyo bila kujali itikadi ya kisiasa rangi kabila wala dini ilimradi sheria iliyowekwa kwa mujibu wa katiba UNK alisema ilikuwa inasikitisha kuona vurugu zikiendelea hata wakati wa mwezi mtukufu wa ramadhani hivyo akaitaka tume ya uchaguzi na mamlaka nyingine husika UNK mambo kama hayo wakati mwingine wakati kaulimbiu ya kampeni UNK madarakani rais jakaya kikwete maisha bora kwa kila mtanzania ikizidi kuhojiwa na wananchi kama imesaidia kuboresha maisha yao jana rais huyo ameikana akisema si yake bali ilikuwapo hata kabla ya uhuru taarifa iliyotolewa jana na kurugenzi ya mawasiliano ya rais ikulu ilimkariri rais kikwete UNK sera hiyo kuwa wanaosema UNK yeye wanabeza wakati sera hiyo ilikuwapo na itaendelea kuwapo hata baada yake wapo watu UNK kuwa hii sera ya maisha bora imeletwa na akina kikwete sisi UNK sera ile ile ambayo taifa hili limekuwa linatekeleza tokea uhuru wetu na wala kazi hii haitaishia kwangu mimi hata wale viongozi UNK wataendeleza sera hii kwa sababu kazi ya kujenga maisha bora kwa wananchi UNK haina kikomo alisema rais kikwete alisema kuwa hata kabla ya uhuru mwalimu julius nyerere alitambua ili uhuru na umoja viweze kudumishwa ni lazima wananchi wake wapate maisha bora na ndiyo maana akawatambua maadui wakuu watatu ujinga maradhi na umasikini na njia za kukabiliana na maadui hao rais kikwete ameyasema hayo mjini mwanza juzi jioni alipozungumza na vijana wa ccm ambao walioondoka mjini mwanza jana kwenda butiama mkoani mara kwa matembezi maalum ya kumuezi mwalimu kwenye kumbukumbu ya miaka kumi tangu kifo chake oktoba kumi na nne elfu moja na mia tisa na tisini na tisa vijana mia moja na sitini na sita kutoka mikoa yote ya tanzania wanashiriki katika matembezi hayo ya siku kumi na UNK njia ambayo mwalimu nyerere alitembea mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba katika kuunga mkono na kuhamasisha azimio la arusha kaulimbiu ya matembezi hayo ni uhuru na kazi na miongoni mwa mambo ambayo vijana hao watafanya njiani ni kukarabati shule ya msingi ya UNK ambako mwalimu nyerere alipata elimu yake ya msingi rais kikwete aliwashangaa watanzania ambao wanabeza uhuru wa tanzania na kufurahia wakati jina la tanzania UNK na wageni na kuwasihi watanzania kuzidi kumuenzi mwalimu wamarekani wale wanaye george washington sisi tunaye mwalimu julius kambarage nyerere na kila nchi ina mwasisi wake ambaye anakumbukwa kwa UNK amesema mwalimu na kuongeza la kwanza la kumkumbuka mwalimu ni uhuru wa nchi yetu huyu alikuwa ni kiongozi aliyeambiwa achague kati ya siasa ama kazi ya ualimu huyu mzee wetu akachagua siasa na utumishi wa umma bila hata kujua UNK nini akachagua kupigania uhuru wa nchi yetu kama mnavyojua nyote hii kazi ya siasa ni kamari unakwenda kugombea ukijua kuna kupata ama kukosa lakini yeye alifanya uamuzi sahihi wa kupigania uhuru rais kikwete alisema kuwa uhuru siyo mipaka bali ni heshima ya nchi na ndiyo maana tanzania haitasita kumkabili yoyote ambaye UNK kuchezea uhuru huo kuhusu umoja wa taifa rais kikwete amesema kuwa mwalimu alihakikisha kuwa uhuru wa nchi unazaa umoja ili nchi iwe moja na UNK vipande vipande kwa sababu yoyote ile aliondoa viashiria vyote vya kuvunja umoja wa taifa tokea mwanzo kabisa aliondoa UNK ili kuondoa nguvu za ukabila alitambua hatari ya dini na UNK shule zote za dini ili vijana wetu waelimishwe na kulelewa kama vijana wa taifa moja na siyo vijana wa dini tofauti UNK hotuba UNK na walinzi yaelezwa ni uchovu wa safari nyingi asema ubishi wake ndio umemponza rais jakaya kikwete jana alilazimika kukatisha hotuba yake na kuomba kukaa baada ya kuishiwa nguvu ghafla na kisha kubebwa na walinzi wake kwenda kupumzika tukio hilo UNK jana mchana wakati akihutubia kwenye maadhimisho ya UNK ya kutimiza miaka kumi sifuri ya kanisa la african inland church tanzania kwenye uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza uwanja wa kirumba unaweza kuelezwa kuwa una bahati mbaya kwa rais kikwete kwani akiwa hapo aliwahi kunusurika kuanguka aliposhikwa miguu na mganga wa jadi oktoba mwaka ishirini sifuri tano wakati akiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu katika tukio hilo kijana huyo UNK bwana kikwete miguu akiwa juu ya kigoda akisimikwa na mtemi wa wasukuma kwa kumuangusha lakini UNK na walinzi kijana huyo alikamatwa na kushitakiwa baadaye kumhukumu kifungo cha miaka kumi jela pia rais kikwete aliwahi kuanguka na kukimbizwa hospitalini wakati akihutubia mkutano wa kufunga kampeni zake katika uwanja wa jangwani kama ilivyo kuwa jana tukio hili lilielezwa kusababishwa na uchovu uliotokana na safari ndefu ya kampeni baada ya kutokewa na mkasa huo jana rais kikwete aliomba kwenda kuketi ili aendelee na hotuba lakini hali yake ilizidi kuwa mbaya UNK nguvu na UNK mkuu wa mkoa abas kandoro na ndipo UNK na wasaidizi wake kwenye chumba cha mapumziko UNK kwa takriban dakika kumi wakati rais akipewa huduma ya kwanza UNK mussa UNK UNK na kuvunja ukimya na kuwataka waumini kumwombea rais kikwete kutokana na hali UNK ghafla wote tumuombee rais wetu UNK mungu UNK afya yake alisema wakati wananchi wakiendelea kujiuliza kilichomkuta rais wao bwana kandoro alirejea uwanjani na kutangaza kuwa rais anaendelea vizuri alipatwa na uchovu baadaye aliporejea uwanjani rais kikwete alikuwa mchangamfu UNK kidogo tehe tehe nguvu zimerejea kisha akaongeza kwanza UNK radhi kwa mstuko UNK hii yote ni sababu ya ubishi wangu nilikuwa marekani na nilirudi oktoba mbili juzi usiku saa saba kesho yake nikaenda arusha kufungua mkutano wa UNK baadaye UNK dar es salaam na leo niko hapa kushiriki maadhimisho haya ya jubilee ya miaka kumi sifuri ya kanisa la UNK hivyo ni uchovu tu sasa UNK ushauri wa wasaidizi wangu UNK nipumzike lakini nikakataa kuwasikiliza alisema baadaye rais kikwete aliendelea na shughuli yake ya kuzindua mfuko wa kuwachangia walemavu wa ngozi kwa kuchangia shilingi milioni moja na kisha kwenda ikulu ndogo kupumzika watu saba wameripotiwa kufa kutokana na kuugua ugonjwa wa kichaa cha mbwa na homa ya uti wa mgongo kwa kipindi cha wiki moja iliyopita taarifa iliyotolewa na wizara ya afya na ustawi wa jamii jana ilisema vifo vya ugonjwa wa kichaa cha mbwa ni vinne kati yake tatu katika mkoa wa manyara na kimoja mkoa wa kagera kwa mujibu wa taarifa hiyo homa ya uti wa mgongo imeua watu wawili katika mkoa wa kigoma na mmoja katika mkoa wa morogoro huku wagonjwa wengine wanne kutoka mkoa ruvuma na kagera wakiripotiwa kulazwa hospitalini kwa upande wa ugonjwa wa kipindupindu taarifa hiyo ilibainisha kuwa hadi jana kulikuwa na jumla ya wagonjwa sitini sifuri nchini kote mia tano na sitini na saba wakiwa mkoa wa tanga kumi kigoma manyara wagonjwa ishirini na tatu aidha wananchi wametakiwa kufika vituo vya afya UNK huduma pindi wanapoona dalili za magonjwa hayo idadi ya wagonjwa wa mafua ya nguruwe imezidi kupungua kutoka wagonjwa mia moja na sabini hadi kufikia wagonjwa thebathini na moja ambao wanatoka katika mikoa ya dar es salaam na manyara hali hiyo inatokana na hatua za serikali kudhibiti ugonjwa huo mashuleni na kutoa tahadhari kwa wananchi kuwa UNK kwa njia ya kula nyama ya nguruwe bali kwa njia ya hewa akizungumza na majira dar es salaam jana ofisa habari wa wizara ya afya bwana nsachris mwamwaja alisema kuwa idadi hiyo imepungua kutokana na udhibiti wa njia za kuingia wageni na kuboresha huduma za matibabu katika kila hospitali bwana mwamwaja alisema kuwa wagonjwa wengi waliogundulika ni wanafunzi ambao wamekumbwa na ugonjwa huo kutokana na msongamano kwa kuwa ugonjwa huo huambukizwa zaidi kwa njia ya hewa alisema mlipuko wa ugonjwa huo umewatia hofu wazazi na walezi ambao wengi wanahofia maisha ya watoto wao kutokana na ugonjwa huo kuenea zaidi nchini kwa mujibu wa bwana UNK jiji la dar es salaam sasa limebaki na wagonjwa kumi na tatu kutoka mia moja na hamsini na moja wa awali wakati mkoa wa manyara umefikisha wagonjwa kumi na nane kutoka kumi na tano wa awali ikiwa ni UNK la wagonjwa watatu bwana mwamwaja alisema kuwa wagonjwa hao wamelazwa katika vituo vya afya na hali zao zinaendelea vizuri alisema kuwa serikali imechukua tahadhari ya ugonjwa huo kwa kuimarisha mfumo wa ufuatiliaji katika viwanja vya ndege mipakani na bandarini na utambuzi wa ugonjwa huo umeimarika katika hospitali za rufaa mikoa na wilaya na kuunda kamati za UNK kitaifa mikoa na wilaya ili kupambana nao pia imetoa mafunzo kwa kwa watumishi wa afya katika hospitali zote kuhusiana na ugonjwa huo na kutoa vifaa kinga pamoja na dawa waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi bwana john chiligati amekiri kuwapo uzembe wa baadhi ya watendaji kushindwa UNK makazi UNK serikali pesa nyingi na kusababisha usumbufu kwa wananchi wanaowahi kuendeleza maeneo wanavyojua wao waziri chiligati alisema hali hiyo inasababisha serikali badala ya kuyapima maeneo hayo kama inavyotakiwa kuishia kuyarekebisha kitu ambacho ni sawa na kushindwa kuzuia ugonjwa na baadaye kulazimika UNK kwa gharama kubwa bwana chiligati aliyasema hayo jana dar es salaam wakati akijibu maswali aliyoulizwa na wadau mbalimbali walioshiriki kuadhimisha siku ya makazi duniani ambayo hufanyika duniani kote jumatatu ya kwanza ya oktoba kila mwaka kunahitajika mapinduzi au mabadiliko ya kifikra kwa wanaohusika suala la kuendeleza makazi kwa kupima maeneo kabla hayajaanza kukaliwa au kuendelezwa na watu linakuwa halipewi kipaumbele kama UNK kwa mfano huko katika halmshauri halmashauri na manispaa wakati mwingine UNK hata bajeti wala hawataki kuona umuhimu wa kuajiri wafanyakazi wa kutosha lakini wakikosa watu wa afya au walimu utawasikia wakipiga kelele kweli alisema bwana chiligati katika ujumbe wake katibu mkuu wa umoja wa mataifa bwana ban ki moon alisema ushahidi unaonesha serikali nyingi duniani zimeshindwa kukabiliana na changamoto zinazokabili ukuaji wa miji katika karne ya ishirini na moja na akasisitiza suala la utawala bora UNK watu wote katika suala la mipango miji kwa upande wake mwakilishi wa shirika la makazi la umoja wa mataifa bwana phillemon UNK aliyesoma ujumbe kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji bibi anna tibaijuka alisema kuwa kuwepo kwa makazi holela mijini ni alama ya kuwepo kwa umaskini jamii UNK na kutengwa katika dunia ya sasa siku ya makazi huadhimishwa duniani kote kila jumatatu ya kwanza ya mwezi oktoba kila mwaka ikiwa ni utekelezaji wa azimio na arobaini ishirini mbili la baraza kuu la umoja wa mataifa la disemba elfu moja na mia tisa na themanini na tano mwalimu wa shule ya sekondari dumila wilayani kilosa amekamatwa na walinzi wa shule hiyo akifanya mapenzi porini na mwanafunzi wa kidato cha nne shuleni hapo ikiwa ni siku moja kabla ya kuanza mitihani ya taifa wakizungumza kwa nyakati tofauti na mwandishi wa habari hizi mjini dumila mashuhuda wa tukio hilo walisema mwalimu huyo alikamatwa na walinzi wa shule hiyo oktoba mbili saa mbili sifuri sifuri usiku katika pori lilipo shuleni hapo mwalimu huyo na mwanafunzi alikamatwa kutokana na mtego uliowekwa baina ya wanafunzi na walinzi wa shule hiyo baada ya kudaiwa kuwa na tabia hiyo kwa watoto wa kike kwa muda mrefu mkuu wa shule hiyo bwana vitalis shija alikiri kuwepo kwa tukio hilo na kufafanua kuwa watuhumiwa wanashikiliwa na polisi katika kituo kidogo cha dumila kwa maelezo zaidi siku hiyo mimi nilikuwa morogoro mjini kwa maandalizi ya mitihani nikapigiwa simu na makamu wangu akidai kuwa mwalimu huyo UNK akifanya mapenzi na mwanafunzi huyo wa kidato cha nne wakati huo kulikuwa na kelele wanafunzi wakiimba hatutaki fataki shuleni alisema bwana shija aliongeza kuepusha vurugu na pengine madhara kwa watuhumiwa niliomba msaada wa polisi kufika shuleni hapo ambapo walipofika UNK hadi kituo cha polisi dumila akizungumzia adhabu za wahusika hao bwana shija alisema kwa UNK wa mwanafunzi shule imechukua hatua za dharura kuruhusu afanye mtihani huku mwalimu akisubiri vikao vya uongozi na bodi baada ya kukamilika kwa maelezo yao na walioshuhudia tukio hilo chama cha wananchi UNK kauli aliyoitoa waziri wa habari utamaduni na michezo bwana george mkuchika kuwa hakuna makubaliano yoyote yaliyofikiwa kati ya chama cha mapinduzi na cuf kuhusu uundwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa visiwani zanzibar msemaji wa upinzani bungeni hamad rashidi mohamed alisema kuwa makubaliano kati ya vyama hivyo yalikuwepo na kutiwa saini na baadhi ya viongozi wa vyama hivyo kabla ya taarifa hizo kupelekwa butiama ambako hoja ya kukusanya maoni ya wananchi iliibuliwa ikiwa ni njia ya kukwepa utekelezwaji wa makubaliano hayo aliyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari baada ya ufunguzi wa mkutano wa kumi na saba wa mpango wa utafiti wa elimu ya demokrasia tanzania unaoendelea leo katika ukumbi wa nkurumah katika chuo kikuu cha dar es salaam uliofanywa na bwana mkuchika kwa niaba ya rais jakaya kikwete mimi nashangaa sana kauli yake sisi UNK kabla ya kuibuka kwa suala la kura za maoni zanzibar alisema mohamed na kuongeza kuwa yapo mambo mengi yaliyofanyika kinyume na katiba ya nchi alisema mohamed alihoji kuwa kama suala la uundwaji wa serikali ya pamoja halitawezekana kutokana na kutokuwepo kwake katika katiba kama alivyodai bwana mkuchika mbona uendeshaji wa kura za maoni umependekezwa kufanyika bila katika katiba ya nchi je hili suala la kura za maoni limetoka wapi ni kwa nini wanasema UNK wakati jambo hilo UNK toka awali ccm walianzisha kura za maoni lakini mbona pia halipo kwenye katiba alihoji mohamed alisema kuwa rais kikwete amekuwa akiahidi mara nyingi kushughulikia suala la zanzibar bila utekelezaji wowote hivyo hawawezi kumwamini tena alisema bwana mkuchika pia alizindua kitabu kipya kilichoandaliwa na redet na kupewa jina la dini na siasa tanzania ambacho mchakato wake ulianza baada ya mwaka ishirini sifuri moja na kuzinduliwa na makamu wa rais daktari mohamed shein na marekebisho yake kufanyika mwaka ishirini sifuri tatu sifuri nne akitoa maelezo mafupi kuhusu uanzishwaji wa kitabu hicho profesa samuel mushi kutoka udsm alisema redet iliamua kufanya utafiti wa kina mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa baada ya hali ya nchi kuonekana kugubikwa na migogoro ya kisiasa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano alisema kuwa migogoro hiyo UNK katika makundi matatu migogoro ya dini na serikali dini na dini pamoja na madhehebu ndani ya dini moja na kuitaka serikali kuanzisha chombo UNK migogoro hiyo akizungumzia kitabu hicho askofu mkuu wa kanisa la anglikana daktari valentine mokiwa alisema pamoja na uzinduzi wa kitabu hicho bado hakubaliani na neno migogoro ambalo analiona ni kali na UNK kutumika hata hivyo alisema kuwa ni vyema kuwepo kwa chombo hicho cha kushughulikia matatizo ya kidini mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba alisema chombo hicho kinaweza kuanzishwa lakini kikawa hakina meno alidai kuwa jambo jema ni kuwepo kwa mawasiliano ya karibu kati ya viongozi wa kidini na viongozi wa nchi ili kutatua matatizo hayo kwa urahisi mzimu wa kampuni tata ya kufua umeme wa dharura richnond development llc utazidi kutingisha taifa wakati kamati ya bunge ya nishati na madini kuketi leo na kesho kujadili taarifa ya utekelezaji wa maazimio ya richmond mjadala huo unakuja wakati serikali ikisubiriwa kuwasilisha majibu ya kuhitimisha mjadala huo kwenye mkutano wa bunge utakaoanza oktoba ishirini na saba mwaka huu baada ya taarifa ya utekelezaji iliyo UNK na naibu waziri wa nishati na madini bwana adam malima kukataliwa na bunge kamati hiyo chini ya mbunge wa bumbuli william shelukindo na aliyekuwa mwenyekiti wa kamati teule ya bunge iliyochunguza kashfa ya mkataba huo tata daktari harrison mwakyembe watakuwa wanapitia kifungu kwa kifungu kuona kama serikali imetekeleza maazimio ishirini na tatu kama UNK na bunge au la baadhi ya maazimio UNK muda mfupi baada ya kamati ya mwakyembe kuwasilisha ripoti yake ambapo aliyekuwa waziri mkuu edward lowassa alijiuzulu baada ya kutajwa katika mchakato wa mkataba huo akifuatiwa na waliokuwa wameshika uwaziri katika wizara ya madini na nishati katika vipindi tofauti wakati wa mchakato huo daktari ibrahim msabaha na nazir karamagi wabunge waliendelea kushinikiza serikali kuwachukuliwa hatua ama za kisheria au za kinidhamu watumishi wa umma waliohusika katika mchakato wa mkataba huo akiwamo mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa daktari edward hoseah na mwanasheria mkuu wa serikali johnson mwanyika pia waliokuwa mawaziri karamagi na msabaha pamoja na kujiuzulu nyadhifa zao walitakiwa kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria maazimio yaliyorejeshwa serikalini kwa ajili ya kufanyiwa kazi ni maazimio namba tano saba tisa na kumi na nne kwa utekelezaji unaozingatia misingi ya sheria na katiba maazimio hayo yanataka waliohusika katika mkataba huo kuwajibishwa na mamlaka ya juu ya nchi kwa kuchangia kuingiza nchi katika mkataba wa aibu kuwajibishwa kwa maofisa waandamizi wa serikali kwa manufaa ya umma na kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu kwa kuliingiza taifa kwa makusudi kwenye mkataba wa kampuni ya mfukoni hata hivyo rais jakaya kikwete hivi karibuni alipozungumza moja kwa moja na wananchi alisema amemwagiza katibu mkuu kiongozi phillemon luhanjo kuhakikisha utekelezaji wa suala hilo utafikia mwisho kwenye mkutano ujao wa bunge kwa UNK watumishi wa umma UNK hawa wachukuliwe hatua stahiki kwa sababu wangeweza UNK na madhara haya UNK hapa nimemwagiza katibu mkuu kiongozi kuchukua hatua ili ifikapo novemba bunge UNK hatua hizo na umma ufahamu hatua zilizochukuliwa alisema rais kikwete baada ya serikali kuwasilisha utekelezaji wake wa maazimio ya richmond wabunge waliijia juu serikali kwa madai taarifa hiyo ililenga kuwasafisha watuhumiwa katika sakata hilo kamati ya nishati na madini ilipinga utekelezaji wa mapendekezo yaliyokuwa yametolewa katika suala la richmond ambapo iliitaka serikali kuandaa upya taarifa kuhusiana na utekelezaji wa sakata hilo katika hatua nyingine kamati ya miundombinu nayo UNK na kujadili taarifa ya utendaji kazi wa shirika la reli tanzania kamati hiyo itajadili suala hilo siku ya jumatatu wiki ijayo kampuni ya trl imekuwa kwenye mgogoro mkubwa wa uendeshaji wake hali iliyosababisha huduma ya usafiri wa reli kudorora na kuwa kero kubwa kwa wananchi mbali na hilo pia kamati hiyo itajadili taarifa ya utendaji wa shirika la ndege la tanzania shirika ambalo nalo limekuwa na migogoro mikubwa na imeripotiwa kuwepo kwa mchakato wa kupunguza nusu ya wafanyakazi wake sasa kufunga virago novemba sita rais jakaya kikwete amekubali kustaafu kwa lazima kwa mwansheria mkuu wa serikali bwana johnson mwanyika ifikapo novemba sita mwaka huu bwana mwanyika anastaafu kwa lazima katika kipindi ambacho mkutano wa kumi na saba wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania utakuwa ukiendelea ukitarajia kuhitimisha sakata la mkataba tata wa richmond ambao ulisainiwa wakati akiwa mshauri mkuu wa serikali wa mambo yote ya kisheria habari za kustaafu kwa lazima bwana mwanyika ambaye amekanusha mara kadhaa kuhusika kwake na richmond zimethibitishwa dar es salaam jana na ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma majibu ya maandishi kutoka ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma kwa gazeti hili iliyosainiwa na mkuu wa kitengo cha habari elimu na mawasiliano bibi UNK kawawa ilieleza bwana mwanyika UNK kustaafu atakapofikisha umri wa kustaafu kwa lazima wa miaka sitini ifikapo tarehe sita novemba ishirini sifuri tisa hatua ya bwana mwanyika kukubaliwa UNK kwa lazima inaibua maswali mengi hasa kwa kuzingatia kuwa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania kifungu cha hamsini na tisa haina kipengele UNK kuwa mwanasheria mkuu wa serikali atastaafu baada ya kufikisha umri wa miaka sitini kifungu kidogo cha kinaeleza kuwa mwanasheria mkuu wa serikali atashika madaraka yake mpaka uteuzi wake UNK na rais au mara tu kabla ya rais mteule kushika madaraka ya rais kwa maana hiyo ya katiba bwana mwanyika angeweka kuacha kushika wadhifa huo ama kwa kuachishwa na rais au kusubiri mwakani baada ya uchaguzi mkuu kabla ya rais mteule kushika wadhifa wa rais kutokana na wadhifa wake huo baada ya mkataba kati ya tanesco na richmond development company llc kusainiwa na baadaye bunge UNK kamati teule ya kuchunguza utata uliogubika mkataba huo chini ya daktari harrison mwakyembe ilibainika kuwa utiaji saini mkataba huo UNK makosa mengi wakati akiwasilisha taarifa ya kamati UNK utiaji saini mkataba huo bungeni daktari mwakyembe alisema mkataba umesheheni makosa mengi ya kisheria yanayoashiria udhaifu mkubwa wa kitaalamu katika ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali au ukosefu wa umakini katika kuiwakilisha serikali daktari mwakyemba alisema mwanasheria mkuu wa serikali na wakili wa serikali bwana donald UNK ambaye ushiriki wake katika UNK haukuwa na tija yoyote hivyo wawajibishwe na mamlaka ya juu ya nchi kwa kuchangia kuiingiza nchi katika mkataba wa aibu alisema daktari mwakyembe wakati akiwasilisha mapendekezo ya kamati yake kwa bunge kuhusu hatua UNK kuchukuliwa mwanyika baada ya kamati hiyo kutoa mapendekezo hayo serikali kupitia waziri mkuu bwana mizengo pinda ilitoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa mapendekezo ya kamati akisema kikatiba mamlaka ya nidhamu ya mwanasheria mkuu wa serikali ni rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kwa hiyo mwanasheria mkuu wa serikali ambaye alikuwa miongoni mwa watendaji wakuu watatu waliokuwa wanaishauri serikali suala lake la kuhusishwa kwake katika mchakato mzima wa mkataba huo linashughulikiwa na ofisi ya rais ikulu alisema bwana pinda hata hivyo katika mkutano wa kumi na sita wa bunge uliomalizika mjini dodoma serikali kupitia naibu waziri wa nishati na madini bwana adam malima ilitangaza utekelezaji wa awamu ya pili mapendekezo ya kamati ya daktari mwakyembe ambapo alisema bwana mwanyika hakuwa na kosa UNK kutenda kutokana na wadhifa wake huo bwana malima alisema iwapo mtumishi yeyote wa umma UNK na watuhumiwa walioko mahakamani kuwa alihusika katika makosa ya jinai serikali haitasita kumfikisha mahakamani hata hivyo utekelezaji wa mapendekezo hayo pamoja na yaliyohusu maofisa wengine ulikataliwa na bunge na kuiagiza serikali kuwasilisha upya utekelezaji mwingine wa maazimio yake katika mkutano wa bunge unaotarajiwa kuanzia oktoba ishirini na saba mwaka huu siku tisa kabla ya bwana mwanyika kustaafu mamlaka ya rufaa katika ya usimamizi wa ununuzi wa umma imeliagiza shirika la umeme nchini kurudia upya mchakato wa utoaji zabuni ya huduma za afya wa mwaka ishirini sifuri tisa kwa wafanyakazi wake hatua hiyo inafuatia kushinda kwa rufaa iliyokatwa na mmoja wa waliokuwa wameomba zabuni hiyo tanzania consortium of UNK and UNK limited wakipinga vitendo vilivyojitokeza na kutia dosari mchakato mzima wa kumpata mshindi wa zabuni ya kutoa huduma hizo kwa mujibu wa jarida la ppra la oktoba sita vol ii toleo na kumi na nne la mwaka huu katika rufaa yao tchc waliwatuhumu waombaji walioshinda zabuni hiyo consortium kwa kufanya vitendo UNK kanuni za zabuni kama zilivyoainishwa katika sheria ya manunuzi ya umma na ishirini na moja ya mwaka ishirini sifuri nne baada ya kuzingatia ushahidi kutoka kila upande tchc tanesco consortium na matokeo ya uchunguzi wetu uliojikita katika mambo yaliyoainishwa ppaa imehitimisha kuwa mchakato wa zabuni ulikuwa na kasoro nyingi na hivyo ushindi wa consortium ulikiuka sheria na hivyo si halali kutokana na ushahidi huo ppaa inakubaliana na rufaa na imeiamuru tanesco kurudia mchakato wa zabuni hiyo kwa mujibu wa sheria ilisema sehemu ya taarifa ya hukumu hiyo katika jarida hilo mbali ya kuvunjwa kwa sheria hiyo pia tchc ilidai kuwa walalamikiwa hao consortium ambao ni muungano wa consortium of alexander forbes ltd UNK insurance co ltd na pharmaccess international wakati wakiwasilisha maombi yao ya zabuni hawakufanya hivyo kwa jina hilo moja na waliamua kuunda jina moja baada ya kuwa UNK katika ushindi wa zabuni hiyo pia tchc katika rufaa yao walihoji uhalali wa pharmaccess international kuwemo katika mchakato wa kupata mshindi wa zabuni kwa sababu haikuwahi kutajwa sehemu yoyote wakati wa mkutano wa kufungua maombi hayo kuwa imeungana na wengine na kuwa UNK pia walilalamika kuwa pharmaccess international inajulikana kama shirika la kigeni linalopata misaada kutoka jumuiya ya ulaya ili kusaidia shughuli za kijamii na uchumi katika nchi zinazoendelea na hapa nchini limefanya hivyo kwenye mipango ya hiv UNK ndani ya jeshi na polisi hivi karibuni ilidaiwa katika vyombo vya habari kuwa mmoja wa wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa tanesco ana hisa katika moja ya UNK UNK zabuni hiyo jambo UNK mgongano wa UNK waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi profesa jumanne maghembe amesema kuwa wizara yake imejidhatiti vya kutosha kudhibiti uvujaji wa mitihani na kuahidi kuwa hakuna mtihani wowote UNK mwaka huu pia ametumia nafasi hiyo kukanusha habari zilizochapishwa na gazeti moja kuwa kuna baadhi ya mitihani UNK akizungumza na majira jana profesa maghembe alisema kama UNK UNK siyo mtihani wa taifa UNK yeye alisema wapo kwa matapeli wanaojifanya wanauza mitihani jambo ambalo UNK jina la nchi na kujiwekea sifa mbaya hata kwa mataifa ya nje mtihani ni jambo la siri sio la kuzungumzwa kila mahali tena kwa kusema inauzwa hao ni matapeli wa kweli na hizo feki UNK ni feki kweli hakuna mtu mwenye mtihani alisema aliongeza kuwa baraza la mitihani limejipanga kikamilifu na kukiri kuwa mitihani inayofanyika ni migumu lakini lengo ni kupata wasomi bora ambao wamesoma na kuwaacha ambao UNK katika hatua nyingine baadhi ya wanafunzi walilieleza majira juu ya kuwepo kwa tetesi za kuvuja kwa mitihani katika baadhi ya shule za sekondari hapa nchini wanafunzi hao wamesema huo ni uvumi na kuongeza kuwa mitihani inayodaiwa kuvuja ni feki wala si ile inayotolewa na necta mmoja wa wanafunzi hao boniphace warioba alisema kuwa ni vigumu sana mitihani kuvuja hasa kwa shule za hapa des salaam kwa sababu mitihani yetu huletwa asubuhi tofauti na mikoani ambako mitihani UNK vituoni taarifa ya utekelezaji wa maazimio hayo ishirini na tatu iliyokuwa iwasilishwe na serikali kwenye kamati ya kudumu ya nishati na madini ya bunge ilikwama jana kwa sababu ya kutokuwapo kwa waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja mwenyekiti wa kamati hiyo bwana william shelukindo alisema suala la richmond UNK na taarifa yake itawasilishwa oktoba ishirini katika kamati hiyo awali ratiba iliyotolewa na ofisi za bunge ilionesha kuwa taarifa hiyo UNK jana na leo lakini ilibadilishwa hadi oktoba ishirini mwaka huu baada ya bwana ngeleja kuwa katika shughuli nyingine za kitaifa bwana shelukindo alisema anaamini majibu ya utekelezaji wa maazimio y ishirini na tatu ya bunge bunge yatakidhi matakwa ya wabunge na wananchi na iwapo UNK kamati yake UNK nini cha kufanya dhidi ya serikali waziri wa nishati na madini anayetakiwa kusoma taarifa ya maazimio hayo amesafiri hivyo suala la kampuni ya richmond litajadiliwa kama ratiba UNK asubuhi inavyosema alisema bwana shelukindo alisema anaamini serikali UNK maazimio yote yaliyotolewa na wabunge na hivyo majibu yatakuwa makini na ya kuridhisha moja ya maazimio hayo ni kuwawajibisha watu UNK hasara serikali kwa kuingia mkataba huo tata wakiwamo maafisa waandamizi wa serikali na wengine waliokuwa na nyadhifa za kisiasa katika wizara hiyo nazir karamagi na daktari ibrahim UNK baadhi ya maafisa hao ni mwanasheria mkuu wa serikali bwana johnson mwanyika katibu mkuu wa UNK ya nishati na madini bwana arthur mwakapugi mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa daktari edward hoseah aliyekuwa katibu mkuu wizara ya fedha na uchumi bwana gray mgonja ambapo walikuwa na jukumu la kutoa ushauri kwa waziri wa nishati na madini na serikali kwa ujumla wengine ni timu ya wataalamu na idara wanazotoka katika mabano akiwamo bwana UNK madata daktari lutengano UNK bwana UNK UNK bwana stephen UNK bwana athanas mbawala bwana james UNK na bwana julius UNK wataalamu hao walikuwa na jukumu ya kutathmini wazabuni wote waliokuwa wameomba zabuni za mitambo ya kukodi ya dharura ya kufua umeme wa megawati kumi tano sita katika sakata hilo aliyekuwa waziri mkuu bwana edward lowassa alijiuzulu baada ya kutajwa katika UNK hiyo akifuatiwa na msabaha na karamagi mkazi mmoja wa tuangoma dar es salaam bibi rehema UNK ambaye ni mlemavu wa macho jana alisababisha simanzi kwa umati wa watu baada ya kusimulia mkasa wa mtoto wake mmoja pacha kuibwa katika hospitali ya taifa muhimbili na kubakia na mmoja miongoni mwa UNK na tukio hilo ni waziri wa afya na ustawi wa jamii profesa david mwakyusa aliagiza UNK na matukio ya namna hiyo kuripoti haraka ili hatua zichukuliwe bibi rehema alitoa ushuhuda huo uliompata miaka kumi na tatu iliyopita katika kongamano la jukwaa la wazi la vifo vitokanavyo na uzazi na ulemavu ishirini sifuri tisa lililofanyika dar es salaam jana leo nina mtoto mmoja UNK pacha mwenzake angekuwepo ningekuwa napata msaada mkubwa kutoka kwa watoto wote wawili alisema alieleza kuwa wakati akiwa mjamzito mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba alikuwa akihudhuria kliniki alifanyiwa vipimo kikiwemo kile cha ultrasound ambapo alionekana alikuwa na mimba ya watoto mapacha bibi rehema ambaye kitaaluma ni mwalimu alisema alipopata uchungu wa kujifungua alipelekwa hospitali ya amana lakini kutokana na hali yake kuwa mbaya alihamishiwa mnh ambapo alijifungua kwa UNK baadaye daktari aliniambia nimejifungua watoto wawili mapacha na wauguzi UNK kamba mikono yote miwili zenye namba za watoto wangu alisimulia bibi rehema na kuongeza kuwa watoto wake walilazwa wodi za juu na yeye na wazazi wengine walikuwa chini na muda wa kunyonyesha ulipofika walienda UNK hata hivyo kutokana na hali yake ya ulemavu na UNK uliotokana na operesheni hakutakiwa kunyanyuka kitandani isipokuwa watoto wake hao walikuwa wakipewa maziwa alisema mama yake na bibi yake hawakutakiwa kwenda kuwaangalia watoto wake kwa kile UNK kuwa anayeruhusiwa ni baba wa watoto hao ambaye wakati huo alikuwa masomoni mkoani arusha walipokuwa wakija hospitalini nao waliambiwa nimejifungua watoto mapacha na waliridhika kutokana na kamba UNK mikono yote miwili kuashiria UNK watoto mapacha ilipofika siku ya tano mmoja wa wauguzi alinifuata na UNK kamba moja alipohoji aliambiwa na muuguzi huyo kuwa kamba moja alifungwa kimakosa lakini wazazi wenzake walipokwenda kunyonyesha na kurudi walimweleza kuwa watoto wake wote wapo hai na UNK aliongeza kuwa siku ya saba alitolewa nyuzi na bibi yake alipofuata tangazo la uzazi alipewa la mtoto mmoja alieleza kuwa bibi yake alipohoji aliambia alijifungua mtoto mmoja alisema katika mazingira ya kutatanisha hata kadi ya mahudhurio ya kliniki ambayo UNK kwenye kitanda ilipotea katika mazingira hayo bibi rehema aliporuhusiwa kwenda nyumbani hakuweza kufuatilia kutokana na hali yake kuwa haijatengemaa hivyo kulazimika kukaa nyumbani bila kurudi UNK ili kujua UNK mtoto wake baada ya kupona nilirudi muhimbili lakini nilikuta vielelezo vyote vinavyoonesha kuwa mimi niliwahi kujifungulia hapo vimepotea alisema akizungumzia tukio hilo profesa mwakyusa aliwataka watu UNK na matatizo kama hayo kutosita kuchukua hatua alisema ikibidi wamuone moja kwa moja waziri ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa mahakama ya hakimu mkazi kisutu imesitisha kusikiliza moja ya kesi za mfanyabiashara maarufu bwana jeetu patel na wenzake mpaka mahakama kuu ya tanzania itakapotoa uamuzi wake kuhusiana na kesi ya kikatiba inayotaka kufutwa kwa kesi zote UNK uamuzi huo ulitolewa jana mahakamani hapo na bwana ruwaichi meela ambaye ni mwenyekiti wa jopo la mahakimu watatu wanaosikiliza kesi hiyo ya wizi wa zaidi ya shilingi bilioni kumi katika akaunti ya madeni ya UNK hatua ya kusitishwa kwa kesi hiyo ilitokana na upande wa utetezi ukiongozwa na bwana gabriel UNK ambaye aliiomba mahakama hiyo kusitisha kesi hiyo kutokana na ukiukwaji wa haki za kikatiba za washitakiwa hao ambao tayari wameitwa mafisadi papa na kuufanya umma utegemee kufungwa kwao akitoa uamuzi huo bwana meela alisema kuwa malalamiko ya utetezi kuhusiana na matangazo yaliyotolewa kwenye vyombo vya habari UNK washitakiwa hao kabla ya mahakama kuwakuta na hatia yanaweza kukiuka mwenendo wa usikilizwaji wa kesi hiyo hivyo ni vyema ikasitishwa si vyema shauri likiwa mahakamani likaendelea kujadiliwa na kama walivyosema na kuwasilisha vielelezo kuwa hawa washitakiwa waliitwa mafisadi papa tunaona jalada hili ni vyema UNK mahakama kuu ya tanzania kwa ajili ya kutoa mwongozo na kuona kama matangazo hayo UNK au kukiuka haki za kikatiba alisema bwana meela ingawa UNK majina ya wahusika lakini aliyemtaja bwana patel kuwa ni fisadi papa ni mfanyabiashara maarufu bwana reginald mengi wengine aliowataja ni bwana rostam aziz bwana tanil somaiya bwana subash patel na yusuf manji alisema kuwa kwa mujibu wa kifungu cha tisa cha sheria ya haki na wajibu UNK mahakama inayosikiliza kesi hiyo kuwasilisha jalada mahakama kuu baada ya kugundua kuwepo kwa malalamiko yanayokiuka haki za washitakiwa hao ili utolewe mwongozo sisi kama jopo tumeona malalamiko hayo hivyo majaji watatoa mwongozo wao baada ya kupitia na kuridhika alisema bwana UNK mambo yanayotakiwa kujibiwa na mahakama kuu katika kesi ya kikatiba inayotaka kesi zote za mfanyabishara huyo UNK ni pamoja na kwamba kwa nini serikali haikuwa na jukumu la kufuta kesi hizo baada ya matangazo hayo maswali mengine ni je kama shauri hilo litaendelea kusikilizwa kutakuwa na usikilizwaji wa haki na kama matangazo hayo UNK uhuru wa mahakama na haki za kikatiba za washitakiwa hao washitakiwa katika kesi hiyo ni bwana jeetu patel bwana amit nandy na bwana UNK patel ambao kwa pamoja wanakabiliwa na mashitaka ya wizi wa zaidi ya shilingi bilioni kumi kupitia kampuni ya bencon international ltd na kampuni ya japan ya UNK electric trading company pia wanakabiliwa na kesi zingine za wizi wa epa hatua ya serikali kuiondolea ukiritimba wa kazi ya kuhudumia makontena bandarini kampuni ya ticts lakini UNK muda wa nyongeza wa miaka kumi na tano imeelezwa ni sawa na kiinimacho na huenda ikaendelea kuigharimu serikali katika mkutano ujao wa bunge wakizungumza na gazeti hili baadhi ya wabunge ambao wamekuwa mstari wa mbele kuisimamia serikali kuupitia upya mkataba wa ticts walisema hatua hiyo ya serikali imekiuka ushauri wa wabunge waliotaka muda UNK na kuwezesha wawekezaji wengine kushindana nayo bwana godfrey zambi mbunge wa mbozi mashariki ambaye aliwasilisha hoja binafsi kuhusiana na kampuni hiyo alisema hatua hiyo ya serikali kufikia makubaliano na ticts ni sawa na kiinimacho kwa watanzania kwa sababu kwa mujibu wa mkataba itaendelea kuwepo kwa miaka ishirini na tano hivyo kuwanyima fursa wawekezaji wengine pamoja na kuwa inawezekana kamati ya bunge ya miundombinu ikatoa maelezo yake zaidi bungeni kwa mawazo yangu mimi UNK hatua hiyo ya serikali kama kitendawili fulani hivi au UNK utasemaje umeondoa ukiritimba wakati ticts bado ana uwezo wa kukaa hapo kwa miaka ishirini na tano ni sawa una nyumba yako UNK kwa mtu kwa muda mrefu mkataba haujaisha unasema kuwa iko wazi UNK mtu yeyote kukaa pale sasa UNK mbali na hilo ticts bado inamiliki gates nyingi na karibu zote za muhimu bandarini tena zingine wameongezwa hivi karibuni sasa huyo mshindani akija UNK wapi hata kama wanasema kazi sio kubeba makontena tu alisema bwana godfrey zambi bwana zambi alisema kuwa jambo jingine ni kuhusu ukarabati wa bandari hiyo ambayo inatakiwa kufanyika kila baada ya miaka kumi hali ambayo UNK kusimama kwa shughuli bandarini lakini kwa jinsi alivyofunga mkataba UNK serikali UNK ticts imalize muda wake wa miaka ishirini na tano ndipo ukarabati ufanyike alisema anachoamini kutokana na alivyoona mkataba huo haitakuwa rahisi kwa kampuni hiyo kuiacha serikali kufanya ukarabati kwa sasa hivyo kuilazimu serikali kusubiri mpaka miaka ishirini na tano iishe ndio ukarabati ufanyike kitu ambacho itakuwa ni gharama kubwa na bandari itakuwa hali mbaya karibu ya kuoza kwa kweli sijajua msimamo wa kamati juu ya suala hilo lakini ninachoweza kuona suala hilo bado lina utata hasa katika kutatua hoja kwa nini uliongezwa kinyemela hii UNK kama mtanzania sina ugomvi na mtu yeyote unajua wengine wana UNK haya mambo walichofanya UNK tu katika vyombo vya habari lakini mambo bado alisema bwana zambi msemaji mkuu wa kambi ya upinzani bungeni na mbunge wa wawi bwana hamad rashid mohamed alisema serikali UNK kazi ushauri wa wabunge walioitaka kuangalia kwa nini suala la kuongezwa kwa mkataba wa ticts lililofanyika kinyume cha taratibu alisema kuwa serikali inapaswa kujiandaa kutoa maelezo bungeni kwa kushindwa kuchukua hatua dhidi ya ukiukwaji huo wa utaratibu katika kuipatia kampuni hiyo zabuni ya kupakua makontena bandarini pamoja na suala hilo la ukiritimba kitu kingine cha msingi kilichokuwa UNK katika mkataba wa ticts ni kuhusu ukiukwaji wa tendering system serikalini ambapo kampuni ile iliongezewa mkataba wa muda mrefu bila kufuata utaratibu hivyo mara ya mwisho tulishauri kuwa serikali iende UNK mkataba huo kuangalia suala hilo lakini nasikitika haijafanya hivyo sasa kama UNK ukiritimba UNK tendering upya ili kuruhusu kupata huo ushindani labda UNK muda wa kuja kutoa maelezo katika kikao kijacho cha bunge alisema bwana hamad aliongeza kuwa suala la ukiritimba wa kampuni hiyo halikupaswa kuwepo wala kuwa hoja ya UNK kwa sasa kwani moja ya sababu ya kubinafsisha ni kuleta ufanisi wa utendaji kazi unaotokana na ushindani wa kibiashara mbunge wa tabora mjini bwana silaji kaboyonga ambaye alipata kumbana waziri mkuu juu ya suala hilo naye kukiri kuwa mkataba huo una dosari na serikali ilikuwa ikiangalia namna ya kuuvunja au kutafuta kampuni nyingine kushindana na ticts alisema anakubaliana na uamuzi huo wa serikali kwa maoni yangu uamuzi huo wa serikali kuondoa ukiritimba ili kuleta ushindani katika uendeshaji wa kitengo cha makontena ni kitu ninachoweza UNK alisema naibu waziri wa miundombinu bwana hezekiah chibulunje alipoulizwa alisema kuwa yuko singida akikagua barabara hivyo waulizwe wenzake waliosaini mkataba huo jana dar es salaam lakini waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa hakupatikana kulizungumzia hata hivyo katibu mkuu wa wizara hiyo bwana omari chambo alisema wana uhakika kuwa baada ya kuondolewa kwa ukiritimba ushindani utakuwepo kwa sababu UNK kampuni hiyo baadhi ya mageti iliyokuwa nayo hivyo watapewa washindani wengine lakini alipoulizwa kuhusu hoja za wabunge chambo alisema kuwa hawezi kujibu mambo ya wanasiasa bali yeye anashughulikia utendaji mimi siongelei mambo ya wanasiasa mambo ya wabunge watafute wenye ubavu wa kuweza UNK mimi niulize mambo ya kiutendaji suala lenyewe UNK UNK halafu bado UNK mambo kwa nini alisema bwana chambo rufaa dhidi yake UNK mahakamani ni siku moja baada ya kusema hatishiki wamo pia askari polisi wenzake wanane hatimaye mkurugenzi wa mashitaka nchini amekata rufani dhidi ya askari polisi tisa akiwemo aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana abdalah zombe ambao waliachiwa huru na mahakama kuu kwa kesi ya mauaji hivi karibuni rufani hiyo yenye namba mia mbili na hamsini na nne ya mwaka huu ina sababu kumi na moja zinazopinga kuachiwa huru kwa washitakiwa hao ambao wanadaiwa kuwaua kwa makusudi wafanyabiashara watatu wa madini kutoka mahenge morogoro pamoja na dereva UNK waliouawa katika tukio hilo ni ephraim chigumbi sabinus chigumbi mathias UNK ombe na dereva teksi juma ndugu wa manzese tukio hilo lilitokea januari kumi na nne ishirini sifuri sita katika msitu wa pande mbezi luis dar es salaam sababu zilizowasilishwa na dpp ni kwamba jaji salum massati ambaye ndiye aliyesikiliza kesi hiyo alikosea kisheria katika kujenga na kutoa tafsiri juu ya ushiriki wa wahusika katika kosa la mauaji pia rufani hiyo ilidai kuwa katika mazingira ya kesi hiyo jaji UNK vibaya katika kutumia kanuni zinazolinda nia ya pamoja lakini pia alifanya makosa ya kisheria na ukweli katika kujenga na kutafsiri kanuni ya ungamo hatua iliyosababisha kufikia uamuzi usio sahihi rufani hiyo inadai kuwa jaji massati alifanya makosa katika kumwachia huru mshitakiwa wa kwanza ambaye ni bwana zombe licha ya kuwepo ushahidi wa kutosha wa kimazingira ambao ungeweza kumtia hatiani tayari zombe alikaririwa na gazeti moja jana akisema hatishiki kwa rufaa inayokatwa na serikali kwa kuwa inataka kujikosha kwa wananchi kuwa inafanya kazi nzuri wakati ikijua kuwa wapelelezi wake walikiuka taratibu na kuwa huo ni mwendelezo wa ufujaji wa fedha za walipa kodi kwa upande wa mshitakiwa wa pili ambaye alikuwa ni sp UNK bageni dpp anadai kuwa jaji alikosea kisheria kumwachia mshitakiwa huyo kwa kuwa kulikuwa na ushahidi wa kutosha ambao UNK na upande wa mashitaka sababu za rufani kwa mshitakiwa wa tatu bwana asp ahmed makelle zilidai kuwa yalifanyika makosa na kushindwa kutoa tafsiri na kutumia vizuri kanuni ya kukutwa na mali ambapo kwa mujibu wa ushahidi mshitakiwa huyo ndiye aliyehusika katika ukamataji wa marehemu hao rufani hiyo pia inadai kuwa jaji alishindwa kutoa sababu za washitakiwa wa wp jane na d mia mbili na thebathini sifuri d cpl UNK ni waathirika wa kimazingira bila kueleza ni jinsi gani waliathirika kimazingira washitakiwa wengine ni d mia moja na arobaini sita cpl mabula na d elfu nane na mia mbili na themanini na tisa pc shonza ambao sababu zilizomo kwenye rufani hiyo zinadai kuwa yalifanyika makosa ya kisheria katika kuwaachia kwa kuegemea katika utetezi wa kutokuwepo kwenye tukio kuhusiana na mshitakiwa d elfu nne na mia sita na hamsini na sita d cpl rajab ambaye katika utetezi wake alielezea namna marehemu hao walivyouawa rufani hiyo inasema yalifanyika makosa makubwa katika kumwachia kwa kuwa kulikuwa na ushahidi mzito dhidi yake aidha ilielezwa kuwa jaji alishindwa kuwatia hatiani bwana zombe na mshitakiwa wa tisa d elfu moja na mia tatu na sitini na saba d cpl gwabisabi kwa kuzingatia kifungu cha thebathini sifuri cha cpa lakini pia yalifanyika makosa katika kufanya uchambuzi wa ushahidi uliotolewa mbele yake hali iliyosababisha kuwepo mkanganyiko katika hukumu hiyo washitakiwa hao waliachiwa huru na mahakama kuu ya tanzania ambayo ilisema upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha bila kuacha shaka yoyote katika mashitaka yaliyokuwa yakiwakabili kuachiwa kwao huru kulizua mtafaruku mbele ya jamii ambayo ililalamikia kitendo cha kuachiwa kwa washitakiwa hao taasisi zinazotoa huduma ya afya na wataalamu wa afya wakiwemo madaktari wakunga na wauguzi wanaweza kushitakiwa endapo watafanya uzembe unaoweza kusababisha ulemavu au vifo vya wajawazito wanasheria wamesema kila mwaka zaidi ya wanawake nane sifuri sifuri sifuri hufariki dunia kwa ujauzito hapa nchini ambapo ni wastani wa wanawake ishirini na nne kwa siku kitu UNK tanzania kuwa miongoni mwa nchi zilizo na idadi kubwa ya vifo vya namna hii vinavyoweza kuzuilika kauli hiyo ilitolewa na majaji wawili wa mahakama kuu bibi aisha nyerere na UNK mbise wakiwa na wanasheria wengine katika jukwaa la wazi lililojadili jinsi ya kupunguza ulemavu na vifo vya wanawake taarifa ya mkurugenzi mtendaji wa chama cha waandishi wa habari tanzania bibi ananilea nkya UNK wanasheria hao wakisema kila UNK anayo haki ya kwenda mahakamani kudai haki yake kama uzembe umefanyika na kusababisha madhara au kifo cha mjamzito walisema kuwa taasisi au mtu aliyesababisha kifo kwa uzembe anaweza kushitakiwa kwa kutumia ibara ya kumi na nne ya katiba ya tanzania pia wanaweza kushitakiwa na kutiwa hatiani kwa kutumia ibara ya mia mbili na thebathini na tatu ya sheria ya makosa ya jinai inayoelekeza kuwa mtu yoyote atakayekuwa ametenda vitendo vya kizembe vinavyoweza kudhuru mtu mwingine au kutoa tiba isiyo sahihi mtu huyo atakuwa ametenda kosa la jinai jaji nyerere pamoja na UNK waliwataka wananchi kutumia mahakama zao kudai haki zao dhidi ya ukatili wa aina yoyote unaochangia vifo vinavyotokana na ujauzito mahakama ya mwanzo temeke UNK elizabeth massawe maarufu kwa jina la mama tema kumlipa aliyekuwa mfanyakazi wake martha elisha shilingi milioni nane tatu kama fidia baada ya kumfungia duka lake kinyume cha sheria hukumu hiyo ilitolewa jana mahakama hapo na hakimu mfawidhi bibi mary goha baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa dhidi yake kuwa alichukua sheria mkononi akitoa hukumu hiyo hakimu goha alisema mahakama UNK kuanzia katika baraza la kata ambapo kesi hiyo ilianzia na imeonekana madai ya bibi elisha ni ya haki na hivyo anatoa hukumu kwa mdaiwa bibi massawe kulipa fedha hizo ambazo zinajumuisha na usumbufu bibi elisha alikuwa ni mfanyakazi katika kampuni ya mdaiwa iitwayo tema enterprises inayohusika na uuzaji wa vinywaji hadi april mosi mwaka huu UNK na bosi mpaka nyumbani kwake na kumfungia dukani akitaka amweleze amepata wapi mtaji wa kuanzisha duka mdai huyo alidai pia UNK kazi bila mshahara na ndipo alipochukua hatua za kisheria kudai haki zake mhariri wa gazeti la mwanahalisi bwana saed kubenea UNK mshitakiwa wa kwanza bwana alex UNK na kuieleza mahakama kuwa alihusika katika tukio la kumjeruhi na kumwagia tindikali machoni mbali na kumtambua mshitakiwa huyo bwana kubenea aliieleza mahakama hiyo namna alivyokuwa akipokea barua za vitisho na ujumbe mfupi kutoka kwa wanasiasa na watu mbalimbali wakiwemo mawakili kabla ya kutokea kwa tukio hilo hayo aliyasema jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam mbele ya hakimu mkazi bwana UNK shamsham wakati akitoa ushahidi kuhusiana na tukio la kuvamiwa ofisini kwake ambako alijeruhiwa na kumwagiwa UNK mwingine aliyejeruhiwa katika tukio hilo ni bwana ndimara tegambwage ambaye alikatwa na sime katika maeneo ya kichwa na kusababishiwa maumivu makali bwana kubenea pia aliwatambua washitakiwa bwana hamisi ramadhan na bwana UNK moshi na akabainisha kuwa washitakiwa hao hawakuwepo siku ya tukio hilo bali anawatambua kwa kuwa ni majirani zake katika ofisi za gazeti hilo alidai kuwa siku ya tukio hilo januari tano mwaka jana saa mbili usiku alisikia mlango wa ofisi yake ukigongwa na alipokwenda kufungua na akakutana na watu ambao walimwambia wanamtaka yeye niliowakuta nje ni pamoja na mshitakiwa wa kwanza ambaye kabla hata ya kupigwa nilimwona nje na nilipowauliza wanataka nini mmoja UNK UNK mimi aliyesema hivyo hapa mahakamani hayupo alidai bwana kubenea alidai kuwa mbali na kukutana na mshitakiwa huyo kwenye tukio hilo lakini pia aliweza kumtambua kwenye gwaride la utambulisho ambalo lilijumuisha watu kumi na mbili na yeye UNK mtoto wa darasa la awali katika shule ya msingi al UNK iliyoko kijiji cha pangani mashariki wilayani pangani mkoani tanga amejeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili baada ya kuunguzwa kwa kisu cha moto na shangazi yake aliyekuwa akiishi naye mtoto huyo zuhura omari amejeruhiwa vibaya mdomoni sikioni mikononi na maumivu makali na kukimbizwa katika hospitali ya wilaya kwa matibabu zaidi tukio hilo limetolea juzi saa nne asubuhi baada ya mtoto huyo kumaliza kunywa chai na kutakiwa na shangazi huyo bibi madawa ramadhani kuosha vyombo lakini UNK kufanya kazi hiyo mara baada ya hali hiyo mama huyo alipandwa na hasira na kuchukua kisu na kukitumbukiza jikoni hadi UNK moto akaanza kumchoma mtoto mdomoni na sikioni na kumfungia ndani ya nyumba hiyo ili majirani wasielewe tukio hilo ofisa mtendaji wa kata ya pangani mashariki bibi rehema salim aliliambia majira jana kuwa kabla ya kuchukua uamuzi huo wa kumchoma moto mama huyo alianza kwa UNK viboko sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha mtoto huyo kupoteza fahamu ofisa huyo UNK kukamatwa kwa mzazi huyo ili hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa dhidi yake jeshi la polisi mkoani hapa UNK kwa kukiuka haki za binadamu kufuatia kumweka rumande mfugaji UNK UNK rotiken aliyepigwa risasi na askari wa kikosi cha kutuliza ghasia wanaoendesha operesheni ya kuwaondoa wafugaji katika kitalu cha uwindaji kinachotumiwa na kampuni ya UNK business UNK wakizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa ndugu wa rotiken walisema mara baada ya ndugu yao kupigwa risasi UNK jicho lake la kushoto septemba ishirini na nne mwaka huu UNK katika hospitali ya wasso wilayani humo kwa matibabu akiwa UNK na baadaye kuhamishiwa kwenye hospitali ya st elizabeth mjini arusha bwana lucas UNK mmoja wa ndugu zake alisema baada ya kupata matibabu madaktari walimruhusu kurudi nyumbani jumanne ya septemba ishirini na tisa mwaka huu lakini ghafla alikamatwa na polisi mjini arusha na kumweka rumande hadi sasa sisi tunaona huu ni unyanyasaji ambao ndugu yetu anafanyiwa tunaomba serikali na wanaharakati waingilie kati suala hili kwani ndugu yetu bado ni mgonjwa na ameruhusiwa tu aende nyumbani akaangalie afya yake ili aweze kurudishwa kwa ajili ya uchunguzi zaidi alisema bwana UNK kwa upande wake ndugu mwingine bwana jacob UNK alisema wamejaribu kuonana na viongozi husika katika kituo cha polisi mkoani arusha kwa ajili ya kumwekea dhamana lakini wamekosa msaada wowote kamanda wa polisi mkoa wa arusha basilio matei alikana morani huyo kupigwa risasi lakini akadai alijeruhiwa tu na askari wa ffu katika mapambano na askari wakati wa operesheni hiyo na alipofuatwa kuzungumzia kukamatwa na kuwekwa kwake rumande huku akiwa mgonjwa alisema ha taarifa hizo kwa mujibu wa ndugu wa rotiken askari wa ffu walimpiga risasi ndugu yao huyo akiwa UNK mifugo yake katika eneo la makazi katika kijiji cha UNK na kwamba eneo hilo wamekuwa UNK kwa ajili ya shughuli hizo na sio eneo la kitalu cha uwindaji cha obc na gladness mboma kamati ya bunge ya nishati na madini imekataa kupokea taarifa juu ya utekelezaji wa miradi ya umeme nchini iliyowasilishwa kwao na shirika la umeme tanzania mwenyekiti wa kamati hiyo bwana william shelukindo alisema dar es salaam jana kuwa wamekataa makabrasha hayo kwa sababu yalitakiwa kuwasilishwa kwao tangu aprili tisa mwaka huu mwaka jana tanesco UNK kwenye hoteli ya kempinski ambapo waliwasilisha mpango kabambe wa umeme na sisi wabunge tulitoa maoni yetu na tuliwaambia mpango huo ukiwa tayari watuletee katika kamati ili UNK kwa ajili ya UNK katika bunge la wiki ijayo alisema alisema mpango huo ambao ulikuwa UNK kwao ni taarifa ambayo ilikuwa inaelezea jinsi tanesco UNK na ilivyojipanga kwa kipindi chote cha mwaka ishirini sifuri tisa ishirini tatu moja bwana shelukindo alisema makabrasha hayo yenye muongozo mzima wa shirika hilo walitakiwa kupewa mapema ili wayajadili kwa siku tatu na kuwasilisha bungeni lakini tanesco hawakufanya hivyo cha kusikitisha ni kwamba makabrasha hayo waliyawasilisha juzi saa kumi na moja na saa nne asubuhi jana ndio wametuletea kwenye kamati kwa ajili ya kuyajadili kamati tumejadiliana na kuona kuwa tunahitaji kupata muda wa kutosha hivyo UNK kwa kuwa muda hautoshi na badala yake tumewataka UNK mapema ili UNK aprili ishirini na sita mwaka huu bungeni alisema bwana shelukindo alisema kuwa cha kusikitisha zaidi ni kwamba tanesco UNK UNK moja la uwasilishaji na kuacha kuwasilisha lile lenye mpango kabambe kuhusu shirika hilo alisema kuwa kamati ilitaka kujadili hali ya uzalishaji wa umeme ili kujua ni kitu gani kinafanyika ikiwa ni pamoja na kuangalia kama maoni waliyowasilisha siku UNK kempinski yametekelezwa bwana shelukindo alisema kuwa moja ya mambo ambayo walipendekeza siku hiyo kwa tanesco walitaka umeme UNK kwa haraka sana kupitia nishati ya upepo na njia nyingine badala ya kutegemea chanzo kimoja kuna kampuni moja ilikuja bungeni dodoma ya power pool east africa ya singida ambayo ina nia ya kuwekeza teknolojia ya wakorea na wana mitambo ya kisasa ya kuweza kuzalisha umeme wa upepo alisema wakati serikali imewaondolea wananchi wasiwasi kuhusu sumu kwenye maji ya mto ruvu kampuni la maji safi na maji taka mkoa wa dar es salaam na pwani imeiomba kusaidia kuzuia uchafuzi wa maji yanayotumiwa na wateja wake tamko la serikali kupitia kwa waziri wa maji na umwagiliaji profesa mark mwandosya limekuja ikiwa ni siku tatu baada ya wakazi wa jiji la dar es salaam kulalamika kuwa maji ya mto ruvu mkoani pwani yamewekwa sumu na watu waliokuwa wanavua samaki profesa mwandosya aliwaeleza waandishi wa habari jana kuwa uchunguzi wa awali umebainisha kwa hakuna sumu katika mto huo ambayo italeta madhara kwa watumiaji wa maji hata hivyo waziri mwandosya alisema anasubiri majibu ya uchunguzi wa kina kutoka kwa mkemia mkuu wa serikali ili serikali ijiridhishe zaidi na uchunguzi walioufanya profesa mwandosya alikiri kuwekwa kwa sumu katika mto huo lakini kwa umbali wa kilomita sabini kutoka katika chanzo cha maji yanayotumiwa na wakazi wa dar es salaam na pwani alisema kuwa maji hayo mpaka kufika katika eneo la ruvu juu ambapo dawa ya kusafisha maji aina ya UNK huwekwa sumu hiyo UNK uchunguzi wa awali uliofanywa baada ya kutokea kwa tukio hilo ilibainika kuwa viumbe hai vinavyoishi katika mto huo UNK madhara ya aina yoyote kwa sababu sumu hiyo haikuwa na madhara alisema profesa mwandosya alisema kuwa kwa sasa sampuli za maji zinaendelea kuchukuliwa na kupimwa kila baada ya dakika kumi na tano kabla ya kuyasafisha ili kuchunguza tofauti yoyote ile isiyokuwa ya kawaida katika tabia ya maji ghafi kwa vile UNK yana samaki ndani yake tunaendelea kuchunguza kwa karibu kama kuna dalili yoyote ya tishio kwa uhai wa samaki sampuli za maji zimechukuliwa na kupelekwa kwa mkemia mkuu wa serikali akiwemo samaki mmoja aliyekufa ili kubaini sababu ya kifo chake alisema profesa mwandosya alisema kuwa mpaka sasa UNK wavuvi wanne ambao wanasadikiwa UNK samaki kwa kutumia sumu katika hatua nyingine dawasco imesema uchafuzi wa vyanzo mbalimbali vya maji ukiwamo mto mto kizinga ambao maji yake yanatumika kwa wakazi wa wilaya ya temeke umekithiri kiasi cha kusababisha kina cha maji kupungua na kusababisha uzalishaji kuwa mdogo meneja wa mtambo wa kuzalisha maji mtoni bwana masoud omari alisema sheria inasema shughuli zote za kibinadamu katika mto kama huu unaozalisha maji kwa matumizi wa binadamu ni kuanzia mita sitini kando ya mto lakini watu wanahamia na kujenga kila kukicha hivyo UNK maji kwa kuoga kufua na kutupa takataka na magogo alisema bwana omari mto kizinga unaanzia wilayani kisarawe mkoa wa pwani unapita wilaya ya ilala hadi temeke ambako maji yake UNK na kuwekwa kwenye UNK kubwa katika mashine ya maji ya mtoni ambako kuwekwa dawa kwa ajili ya matumizi wa binadamu na kisha UNK mbunge wa same mashariki anne kilango amesema UNK pesa za mafisadi ndio maana watuhumiwa wa ufisadi hawatakuwa na nafasi katika harambee ya kuchangia ununuzi wa mitambo ya kiwanda cha kusindika tangawizi kwa manufaa ya wapiga kura wake alitoa kauli hiyo jana dar es salaam alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu harambee itakayofanyika octoba kumi na sita katika hoteli ya new afrika wakati wa chakula cha usiku UNK mgeni rasmi atakuwa rais jakaya kikwete alikuwa akijibu swali la mwandishi aliyetaka kujua kama yupo tayari kupokea pesa za mafisadi endapo watajitokeza kumuunga mkono katika nia yake ya kumuunga mkono rais kikwete katika utekelezaji wa kaulimbiu ya kilimo kwanza mbunge huyo ambaye katika siku za karibuni amekuwa mwiba kwa mafisadi alisema watu hao hawana nafasi katika harambee hiyo kwa kuwa UNK katika orodha ya watu UNK kuchangia akijibu swali hilo alisema this is a technical UNK mpaka sasa tunayo list ya watu tunaowaomba wachangie lakini hakuna jina lolote la mtu anayetuhumiwa kwa ufisadi katika list hiyo alisema bibi kilango alisema wanatarajia kukusanya shilingi bilioni moja tano ili kukamilisha ununuzi wa mitambo hiyo ikiwa na lengo la kuwasaidia wakulima wa tangawizi jimboni humo kilimo cha sasa hivi UNK na viwanda jengo lipo tayari tunahitaji vifaa ili tuanze kazi alisema bibi kilango mbunge alisema kuwa hayupo tayari kuona wananchi wake wakiteseka katika kutafuta pesa kupitia mabenki ili kukamilisha ununuzi wa mitambo hiyo ndio maana kama mbunge wao ameamua kukutana na wadau mbalimbali ili kusaidia wananchi wake na kutoa wito kwa viongozi kuwa wateremke chini ili kuwasaidia watu wao alisema kuwa same wamekuwa viongozi katika kujenga kiwanda hicho hivyo tabia hiyo UNK kwa viongozi wengine alifafanua kuwa katika juhudi hizo viongozi wa serikali tayari UNK juhudi zao katika uchangiaji huo waziri mkuu alichangia shilingi milioni kumi na rais UNK kwa kuwa ndiye mgeni rasmi katika shughuli hiyo na sio lazima pesa hizo zitoke epa alisema aliwataka wadau mbalimbali kujitokeza ili kukamilisha lengo la ujenzi wa kiwanda hicho ili kiweze kusaidia maisha ya wananchi katika kuinua kipato chao pia pato la taifa kesi ya waziri wa zamani wa vijana nchini rwanda callixte nzabonimana iliyokwama kwa muda wa miezi ishirini na moja itaanza kusikilizwa novemba tisa mwaka huu mbele ya mahakama ya kimataifa ya mauaji ya kimbari ya rwanda UNK wa ict r roland amoussouga alithibitisha kwamba kesi hiyo itaanza kusikilizwa kuanzia tarehe hiyo lakini hakutoa taarifa zaidi nzabonimana sasa anakabiliwa na mashtaka tano katika hati ya mashtaka iliyofanyiwa marekebisho na kutiwa saini na mwendesha mashtaka wa ict r hassan UNK UNK oktoba nne ishirini sifuri nane ikiwa ni pamoja na mauaji ya kimbari kula njama za kufanya mauaji hayo uchochezi kuteketeza kizazi na mauaji awali mtuhumiwa huyo alikana mashtaka kumi na moja dhidi yake ikiwa ni pamoja na mauaji ya kimbari kuteketeza kizazi na ubakaji alipofikishwa kwa mara ya kwanza mahakamani februari ishirini ishirini sifuri nane kwa mujibu wa hati ya mashataka inadaiwa kwamba mtuhumiwa huyo alishiriki kikamilifu katika mauaji ya dhidi ya watutsi katika mkoa wa gitarama katikati ya rwanda alikozaliwa zaidi ya mara moja kati aprili na julai elfu moja na mia tisa na tisini na nne mkoani gitarama callixte nzabonimana aliwahamasisha raia kuanza kuwaua watusi na kisha kuchukua mali zao inasomeka sehemu ya hati ya UNK hati hiyo ilieleza pia kwamba katika kipindi hicho hicho mtuhumiwa huyo UNK hadharani makundi mbalimbali ya wananchi wakiwemo wanajeshi polisi wanamgambo wa interahamwe wakuu wa mikoa mameya kikosi cha usalama wa rais na watu wengine wenye mamlaka na raia wa kihutu kwa ujumla kuua wenzao wa kitutsi mtuhumiwa huyo alitiwa mbaroni mkoani kigoma magharibi mwa tanzania februari nane ishirini sifuri nane na kuhamishiwa UNK makuu ya ictr mjini arusha mara moja watuhumiwa wengine wawili wanasubiri kupangiwa tarehe za kuanza kusikilizwa kwa kesi zao watuhumiwa hao ni mameya wawili wa zamani wa rwanda UNK UNK wa wilaya ya UNK na mwingine kutoka wilaya ya UNK jean baptiste gatete kwa mujibu wa makadirio yaliyofanywa na un watu wapatao themanini sifuri sifuri sifuri sifuri wengi wao wakiwa watusi na wahutu wenye msimamo wa wastani walipoteza maisha shahidi wa tano wa upande wa mashitaka ambaye ni mkurugenzi wa benki kuu bwana emmanuel boaz ameieleza mahakama kuwa dokezo la kuomba idhini ya malipo ya kampuni ya changanyikeni residential complex kwa gavana liliandikwa na mkurugenzi wa idara ya madeni bwana imani mwakosya ambaye naye kwa sasa anakabiliwa na kesi nyingine za wizi hayo UNK jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu wakati boaz akitoa ushahidi kuhusiana na wizi katika akaunti ya madeni ya nje uliofanywa na washitakiwa hao mbele ya jopo la mahakimu bibi sekela moshi sam rumanyika na bwana lameck UNK bwana boaz alisema kuwa mkurugenzi wa kampuni ya changanyikeni aliandika barua bot akiomba kununua deni kwa kampuni ya marubeni corporation la dola za kimarekani moja sifuri sita tisa mia moja na ishirini na tano na dola zingine hamsini moja mia mbili na kumi sifuri mbili baada ya kuandikwa kwa barua hiyo bwana mwakosya aliandika dokezo kwenda kwa gavana wa bot akiomba kibali cha kununuliwa deni hilo na kampuni hiyo na gavana daud balali akaridhia malipo ya shilingi moja mia moja na themanini na sita mia tano na thebathini na nne mia saba na hamsini na tisa baada ya kupata idhini hiyo mchakato wa kulipwa fedha hizo uliendelea kufanywa na bot hatimaye fedha hizo kuingizwa katika akaunti namba sifuri moja j sifuri moja tatu tatu saba saba nne sifuri moja katika benki ya crdb tawi la kijitonyama dar es salaam na wahusika kujulishwa kwa hatua hiyo washitakiwa katika kesi hiyo ni bwana bahati mahenge bwana manase mwakale bibi eda mwakale bwana davis kamungu na bwana UNK mosha ambao wanakabiliwa na makosa ya wizi wa fedha hizo chama cha wananchi kimesema kuwa viashiria vyote vya kuvuruga uchaguzi mkuu mwakani tayari UNK na sasa kinachosubiriwa ni maamuzi ya baraza kuu la chama hicho chama hicho kimesema hali hiyo inatokana na jinsi uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura visiwani zanzibar UNK huku kukiwa hakuna mabadiliko yoyote yaliyofikiwa kauli hiyo ilitolewa jana na mkurugenzi wa uenezi na mahusiano na umma bwana salim bimani alipotakiwa kueleza maamuzi ya chama hicho kulingana na hali ya kisiasa ilivyo visiwani humo viashiria vya vurugu vimeongezeka na hofu yetu ni kuwa UNK mjini hali itakuwa mbaya zaidi nadhani wanataka mpaka waone watu wamekufa ndio waamini kuwa mambo si mazuri alisema na kuongeza kuwa kutokana na hali hiyo tume ya uchaguzi zanzibar isitishe uandikishaji huo naye mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni bwana hamad rashid mohamed ameonesha wasiwasi wake kuwa huenda hali hiyo UNK hapo baadaye kwa kile alichosema kuwa ni ukosefu wa demokrasia ya kweli nchini alisema kuwa hata mataifa ya nje UNK kuwa tanzania haina demokrasia tanzania UNK kuwa ipo nyuma kidemokrasia hata au un wanatambua kuwa yapo yanayofanywa nje ya katiba alisema bwana mohamed na kuongeza kwamba kuingia katika uchaguzi mwakani kunategemea na maamuzi ya baraza la chama hicho kwa upande wake naibu mkurugenzi wa uenezi na mahusiano na umma bibi ashura mustafa alisema serikali imeandaa mazingira ya kutofanyika uchaguzi huo hasa visiwani zanzibar alisema kuwa hakuna anayeweza kukubali kuongozwa na rais atakayechaguliwa na watu wachache kwa kuwa wengi wao bado UNK kutafuta haki zao ikiwemo kitambulisho za kupigia kura kitu ambacho UNK kuwa na mizengwe mingi mazingira yanayoandaliwa na serikali katika uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura zanzibar ni kutokuwepo kwa uchaguzi zanzibar alisema pia alihoji kwa nini zanzibar kama ni tanzania wasitumie utaratibu wa kupata masheha kama huku ambako madiwani huchaguliwa na wananchi na si kuteuliwa masheha sasa wanafanya kazi kama mawakala wa watwana wao na mwandishi wetu rais jakaya kikwete amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa mikoa kwa kuwabadilisha vituo vya kazi taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa dar es salaam jana na ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa na kusainiwa na naibu waziri wa wizara hiyo bwana aggrey mwanri ilisema mabadiliko hayo UNK wakuu wa mikoa kumi na moja bwana mwanri alisema mabadiliko hayo yamelenga kutoa msukumo zaidi wa shughuli za serikali katika mabadiliko hayo mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana abbas kandoro amehamishiwa mkoa wa mwanza wakati mkuu wa mkoa wa dodoma bwana william lukuvi anakuwa mkuu mpya wa mkoa wa dar es salaam mkuu wa mkoa wa mwanza daktari james msekela anakwenda kuwa mkuu wa mpya wa mkoa wa dodoma wengine walioguswa na mabadiliko hayo ni mkuu wa mkoa wa kagera kanali mstaafu enos mfuru anayekwenda kuwa mkuu wa mkoa wa mara kuchukua nafasi ya luteni kanali issa machibya aliyehamishiwa morogoro mkuu wa mkoa wa morogoro meja jenerali mstaafu said kalembo amehamishiwa tanga na aliyekuwa mkuu wa mkoa huo bwana mohamed abdulaziz amepelekwa iringa kuchukua nafasi ya hajat amina mrisho anayekwenda kuwa mkuu wa mkoa wa pwani aliyekuwa mkuu wa mkoa wa pwani daktari christine ishengoma UNK ruvuma kuchukua nafasi ya bibi monica mbega anayekwenda kilimanjaro mkuu wa mkoa wa kilimanjaro bwana mohamed babu amehamishiwa mkoa wa kagera mabadiliko ya wakuu hao wa mikoa yamekuja siku chache baada ya yale ya wakuu wa wilaya yaliyohusisha uteuzi wa sura mpya kumi na tano huku wengine UNK mbali ya wengi kuhamishwa vituo vya kazi wananchi wa kada mbalimbali wamekerwa na ongezeko la gharama za vipimo na matibabu ya magonjwa mbalimbali kwa wagonjwa wa rufaa binafsi katika hospitali ya taifa muhimbili wakizungumza na majira kwa nyakati tofauti baadhi ya wananchi walihoji juu ya hatua hiyo na kudai kuwa kitendo cha mnh kupandisha gharama ni cha kutaka kuwakomoa wananchi nadhani sasa wanataka UNK gharama za mwanzo wengi walikuwa UNK sembuse hizo mpya kwanza wanatakiwa kutambua kwamba hospitali hiyo ni ya serikali na inategemewa na taifa zima na wala si hospitali binafsi sasa kitendo cha kuongeza gharama sisi tuwaeleweje mfano mimi nilikuwa UNK katika hospitali ya amana halafu UNK rufaa kwenda muhimbili na nikifika huko baadhi ya huduma natakiwa kulipia hivi nitatoa wapi pesa alihoji mwananchi aliyejitambulisha kwa majina ya nyamizi idd lakini afisa uhusiano wa mnh aminiel aligaesha pamoja na kukiri kupandisha gharama hizo alisema bado huduma za hospitali hiyo ya taifa ni nafuu ukilinganisha na hospitali nyingine za binafsi alifafanua kuwa bei hizo ambazo UNK kwa miaka sita tangu mwaka ishirini sifuri tatu hadi mwezi huu haziwahusu wagonjwa wa kawaida wanaochangia matibabu wala wale wa magonjwa yenye msamaha maalumu wa serikali kama vile kifua kikuu wajawazito watoto na magonjwa nyemelezi wakati aligaesha akitetea uamuzi huo wananachi wakiwamo wanasiasa wamesema hatua hiyo haikuzingatia hali hali ya wananchi mbunge wa same mashariki bibi anne kilango UNK na uamuzi huo na amesema ana imani kamati ya bunge ya huduma za jamii UNK suala hilo kwangu mimi ni mapema mno kuzungumzia suala hili lakini nina imani kamati ya huduma za jamii ya bunge UNK suala hili kama jambo la kufanyia kazi alisema bibi kilango mkazi mwingine wa jijini alisema inaeleweka wazi mtu anapokwenda katika hospitali ya serikali anatakiwa kuchangia huduma na si kulipia sasa iweje UNK kwanza huduma zenyewe mbovu kuna madai ya watu kufa kila siku kwa kukosa huduma badala ya kuboresha huduma UNK bei sijui wametumia vigezo gani alisema bwana said mhina bibi UNK daniel alisema rais jakaya mrisho kikwete anatakiwa kuingilia kati suala hilo kwani UNK wananchi wa kipato cha chini ambao wanaweza kupoteza maisha kwa kushindwa kumudu gharama hizo kwa upande wake bwana juma almasi mkazi wa mbagala kiburugwa alisema alipokea taarifa za kupanda kwa gharama hizo kwa masikitiko kwani serikali imeamua kufanya hivyo ili watu wa kipato cha chini wazidi kufa kwa kukosa fedha kulipia vipimo hata hivyo baadhi ya wananchi walikuwa na maoni tofauti kuwa huenda kuna mipango maalumu wa kuboresha huduma na hivyo kuna kila sababu ya kuueleza kwa umma sidhani kama watakuwa wamepandisha bila mipangilio kwa maoni yangu mi najua kwamba serikali inafahamu kuna watu wasiojiweza na inajua fika wananchi wengi ni masikini na ndio wanaokwenda kupata huduma katika hospitali alisema bwana charles UNK viwango vipya UNK kutumika tangu octoba mosi mkwa huu UNK na uongozi wa mnh kusababishwa na kupanda gharama za uendeshaji vifaa tiba na matumizi mengine ya wagonjwa gharama zilizopanda ni pamoja na kulazwa kuona daktari na upasuaji ambapo kwa mujibu wa nyaraka mpya kutoka hospitalini hapo baadhi ya gharama za upasuaji zimepanda kufikia zaidi ya shilingi milioni moja huku zingine UNK kwenye UNK hilary komba rabia bakari reuben kagaruki na godfrida jola taarifa ya mwenyekiti wa kampuni za ipp bwana reginald mengi aliyoitoa ikiwa na tuhuma za ufisadi papa imezidi kukwamisha usikilizwaji wa kesi zinazomkabili mfanyabiashara maarufu bwana jeetu patel na wenzake baada ya mahakama kukubaliana na maombi ya kusitishwa kwa kesi ya pili bwana jeetu anakabiliwa na kesi nne tofauti katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu na jana kesi ya pili UNK kusitishwa usikilizwaji wake hadi mambo ya msingi ya kikatiba UNK na mahakama kuu ya tanzania mahakama kuu imeombwa kupitia na kutoa ushauri kama shutuma za mengi kwamba mshitakiwa huyo jeetu patel ni fisadi papa UNK mwenendo wake pamoja na patel mengi aliwashutumu pia wafanyabiashara wengine rostam aziz tanil somaiya yusuf manji na subash patel kesi UNK jana mahakamani hapo ni ya wizi wa shilingi bilioni tatu tisa kupitia kampuni ya c itoh company ltd ya japan na kampuni ya UNK resort ltd ya tanzania akitoa uamuzi wa kusitisha kesi hiyo hakimu bwana amir msumi alikubaliana na maombi ya upande wa utetezi ambao uliomba kusitishwa kwa kesi hiyo mpaka kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na washitakiwa hao ikitaka kufutwa kwa kesi zote za bwana patel kutokana na kuhukumiwa na jamii UNK bwana msumi alisema kuwa kutokana na taarifa ya bwana mengi ambayo iliandikwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari UNK bwana patel kuwa ni fisadi papa hali inayoonesha kumhukumu mshitakiwa huyo kabla ya mahakama kumtia hatiani upande wa utetezi katika hoja zake ulisema kuwa taarifa hiyo UNK jamii kuwa washitakiwa ni watu hatari ndani ya jamii hivyo kuifanya itegemee kufungwa kwa washitakiwa hao kutokana na hatua hiyo upande huo ulisema kuwa tayari uhuru wa mahakama UNK na kuondosha usikilizwaji wa haki huku haki za kikatiba za washitakiwa UNK siku tano tangu rais jakaya kikwete UNK nguvu na kupumzishwa kwa muda katika uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza daktari wake binafsi daktari peter mfisi ameweka wazi vipimo mbalimbali vya afya ya rais ukiwamo ugonjwa wa shingo unaomsumbua rais kikwete alilazimika kukatisha hotuba yake katika sherehe za miaka kumi sifuri ya kanisa la african inland church baada ya kuishiwa nguvu na alipopata nafuu alisema ni uchovu uliotokana na safari zake nyingi kufuatia hatua hiyo watanzania wamekuwa wakizungumzia afya ya kiongozi wao na wengine kupendekeza afanyiwe uchunguzi wa kina ili kubaini ni kitu gani kinamsumbua hasa ikizingatiwa kuwa aliwahi kuanguka wakati akihitimisha kampeni zake katika uwanja wa jangwani dar es salaam mwaka ishirini sifuri tano akizungumza na waandishi wa habari ikulu dar es salaam jana daktari mfisi alisema kwa ridhaa ya rais ameamua kufafanua masuala muhimu kuhusu afya ya rais kikwete ili kuondoa hofu kwa wananchi alisema baada ya kumfanyia vipimo ushahidi wa kitaalamu umethibitisha kuwa rais kikwete hakuwa na matatizo yoyote ya kiafya ambayo yanaweza kuhusishwa na chanzo cha tukio lile isipokuwa tu alizidiwa na uchovu hata hivyo daktari mfisi alibainisha kuwa rais kikwete anasumbuliwa na maumivu ya shingo yaliyotokana na kuumia zamani utotoni na akiwa jeshini na wingi wa damu yake majibu ya vipimo vyake yanaonesha alikuwa na pressure mia moja na thebathini UNK ambayo ni kiwango cha kawaida kwa mtu wa umri wake mapigo ya moyo yalikuwa sabini na sita kwa dakika sukari kwenye damu ilikuwa tano tano UNK moja joto lilikuwa thebathini na saba tano ambavyo vyote ni viwango vya kawaida pia hapakuwa na kiungo chochote kilichoonekana kutetereka jambo ambalo lilithibitisha hakupata kiharusi alisema aidha daktari mfisi alisema rais kikwete anasumbuliwa na tatizo la wingi wa damu ambalo UNK kutoa damu kila baada ya miezi sita aliongeza kwa kusema kuwa tatizo lingine ambalo limekuwa UNK mara kwa mara ni maumivu ya shingo yanayotokana na kuumia wakati wa utoto na ujana wake alisema maumivu hayo yanasababishwa na kuumia kwa baadhi ya pingili za uti wa mgongo sehemu ya shingo hata hivyo daktari mfisi alibainisha kuwa rais kikwete anasumbuliwa na maumivu ya shingo yaliyotokana na kuharibika kwa pingili moja kwenye uti wa mgongo na kuwa matatizo ya namna hiyo UNK wanamichezo na wanajeshi kama alivyokuwa rais kikwete pia ameshonwa na madaktari bingwa wa upasuaji wa mishipa ya fahamu hapa nchini na nje madaktari hao kwa dhati wameshauri kuwa kwa sasa maumivu yake hayahitaji upasuaji isipokuwa mazoezi ya viungo alisema daktari huyo alisisitiza kuwa rais kikwete amefundishwa mazoezi anayotakiwa kufanya na amekuwa akiyafanya kwa nidhamu ya hali ya juu hata hivyo daktari huyo alisema kutokana na maumivu hayo ndio maana rais kikwete haonekani kunyoosha shingo mara kwa mara kama ilivyokuwa zamani kwa wale UNK alitaja vipimo ambavyo rais ameshafanyiwa kuwa ni pamoja na shinikizo la damu moyo ubongo ini figo UNK UNK mfumo wa njia ya chakula tezi la shingo tezi la kibofu macho masikio pua na damu ambapo vipimo vyote vinaonesha kuwa afya yake haiko hatarini mimi na daktari mwenzangu hatuna mashaka juu ya afya ya rais hana maradhi yanayotishia maisha yake au kupunguza uwezo wake wa kulitumikia taifa alisema daktari huyo ambaye alibainisha kuwa UNK na daktari mohamed UNK ambaye ni daktari bingwa wa magonjwa ya moyo katika hospitali ya taifa muhimbili alisema uchovu uliokithiri ndio chanzo cha rais kuishiwa nguvu na kupumzishwa hata hivyo alisema watalazimika kuwa UNK zaidi katika kupanga ratiba ya kazi zake aidha daktari mfisi alisema bado wanaendelea kufuatilia kwa karibu na kwa umakini mwenendo wa afya ya rais ili kujiridhisha juu ya usalama wake kwa kuwa wao ndio wenye dhamana ya kuangalia afya yake baadhi ya walimu wa shule ya msingi kijiji cha mkundi UNK kata ya mnazi tarafa ya umba wilayani lushoto wanaikimbia shule hiyo kwa wengine kuacha kazi na kuhama vituo kutokana na kulazwa walimu sita kwenye nyumba ya vyumba viwili wake kwa UNK hayo yalisemwa juzi na baadhi ya walimu hao shuleni hapo walipokuwa wanazungumza na mwandishi wa habari hizi kwa nyakati tofauti ambapo walisema hawaridhiki na mazingira wanayoishi kijijini hapo tangu waliporipoti septemba tatu mwaka huu bwana godfrey mzenga alisema analazimika kulala na suruali kwa kuwa hana uhuru kutokana na UNK kwenye chumba kimoja walimu watatu wa kiume wanaotoka maeneo tofauti ya nchi lakini kibaya zaidi nyumba hiyo ya mwalimu haina choo hivyo usiku wanalazimika kwenda umbali wa zaidi ya mita kumi sifuri kujisaidia kwenye choo cha shule naye bwana haji mswaki alisema UNK nyumba mbili kabla ya kupelekwa kwenye nyumba hiyo iliyojengwa kwa ajili ya kuishi mwalimu mwenye familia moja kati ya nyumba hizo moja ilikuwa haina mlango na nyingine haina choo hata kwa jirani mwalimu mwingine bibi maria elia alisema wanalazimika kulala chini kwenye magodoro kwa kuwa kama kila mtu ataweka kitanda chake hataweza kupata nafasi hivyo hajui atafanya nini pindi akienda nyumbani kuchukua godoro lake kwenye likizo ya mwezi wa sita hata hivyo baadhi ya wanakijiji zaidi ya kumi na tatu waliozungumza na mwandishi wa habari hizi kwa nyakati tofauti walisema tatizo UNK walimu hao kukosa nyumba za kuishi linatokana na wananchi kususia shughuli za maendeleo ikiwemo kujenga nyumba za walimu na madarasa mmoja wa wana kijiji hao bwana adam mpemba alisema zaidi ya miaka miwili iliyopita walianzisha ujenzi wa nyumba ya mwalimu yenye uwezo wa kuishi familia mbili na darasa moja ambapo waliweza kujenga boma la darasa pamoja na nyumba ya mwalimu bwana mpemba alisema wakati wanajenga maboma hayo tayari UNK na uongozi wa kijiji kuwa serikali itatoa shilingi milioni tatu sita kwa ajili ya mbao na bati kwa ajili ya UNK nyumba ya mwalimu na shilingi milioni tatu moja kwa ajili ya bati na mbao za UNK alisema walijenga kwa shida majengo hayo ikiwemo kwenda kuchota maji kwa kutumia baiskeli zaidi ya kilomita saba kwa ajili ya kufyatua matofali huku wanawake UNK mchanga na mawe ili kuona wanakamilisha nyumba ya mwalimu na darasa mwandishi alipomuuliza mjumbe wa kamati ya shule ya ujenzi bwana saleh sabuni alisema wao kama kamati walipata kumuhoji takribani mwaka mmoja uliopita mwalimu mkuu wa shule hiyo bwana salim shemweta ni kwa nini UNK majengo hayo mimi na mwalimu mkuu ndiyo tuliokwenda benki ya nmb lushoto kutoa shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri kwa ajili ya kununua boriti za kuezeka nyumba ya mwalimu na UNK mbona nyumba UNK alisema ameshindwa kusafirisha boriti zilizopo mnazi kutokana na ubovu wa barabara mtendaji wa kijiji bwana seif UNK alisema kwa upande wa wananchi wao UNK kwa kuwa UNK kwenye kazi za UNK ila kuna mambo ya kuweka sawa kwenye shule hiyo ambayo alikiri kuingiziwa kiasi hicho cha fedha na serikali kuu tanzania imetajwa kuwa nchi ya mwisho duniani kutumia huduma ya posta ya kusafirisha barua nyaraka na vipeperushi na kusababisha kudumaa kwa shirika hilo takwimu zilizopo sasa UNK kuwa wastani wa barua kwa kila mtanzania kwa mwaka anatuma barua moja huku nchi zinazoongoza kwa viwanda ikiwemo ulaya na marekani wakituma barua arobaini tatu kwa mwaka kwa mtu mmoja vile vile hali hiyo UNK katika nchi nyingine zilizoko kusini mwa jangwa la sahara ambako kuna asilimia kumi ya idadi ya watu wote duniani ambapo bara la afrika lina asilimia moja ya idadi ya barua za ndani ambazo kila mtu huandika au kupokea wastani wa barua tatu hayo yalisemwa dar es salaam jana katika kilele cha maadhimisho ya siku ya posta duniani na naibu katibu mkuu wizara ya mawasiliano sayansi na teknolojia daktari patrick UNK daktari makungu alisema kuwa mawasiliano kwa njia ya posta ni nyenzo muhimu na rahisi sana ambayo inaweza kutumiwa na jamii yoyote katika kufanikisha masuala ya kijamii na kiuchumi hakuna njia mbadala au ya mkato kurekebisha huduma za posta bali inabidi zichukuliwe hatua za awali kuwajengea wananchi na hasa vijana wa shule tabia ya kuandika barua zenye mada na maudhui mbalimbali alisema pia alisema kuwa takwimu zilizoandaliwa na umoja wa posta duniani zinaonyesha kuwa kiwango cha barua katika nchi zilizoendelea UNK na kiwango cha nchi zilizo maskini katika hatua nyingine wanafunzi wa shule mbalimbali UNK zawadi zikiwemo fedha taslimu vyeti na vifaa vingine baada ya kushiriki katika uandishi wa barua duniani na kuwa washindi kati ya kumi bora wanafunzi hao ni UNK UNK wa shule ya msingi UNK ya mkoani tanga doreen UNK wa shule ya msingi brooke bond ya mkoani iringa na UNK nassor wa shule ya brooke bond hata hivyo ameiomba wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi kuandaa mashindano shuleni ya uandishi wa barua kitaifa sambamba na kuwashirikisha watalaamu wa posta kutoa semina pamoja na tawala za mikoa na serikali za mitaa alisema kuwa huduma za posta zinaweza kupunguza kero katika jamii hasa ikizingatiwa kuwa mitandao ya posta hapa nchini ina ofisi mia mbili na hamsini ambazo ni sehemu ya ofisi za posta mia sita na sitini sifuri sifuri sifuri duniani lengo letu kuu liwe ni kupanua vipaji na ubunifu wa vijana wetu ili waweze kushiriki ipasavyo kwenye utandawazi katika dunia ya soko huria na yenye mapinduzi ya kiteknolojia pia vijana sharti wawe wadau wa maendeleo sio kuwa watazamaji tu alisema tangu shirika la posta kuanzishwa duniani octoba tisa elfu moja na mia nane na sabini na nne limefikia umri wa miaka mia moja na thebathini na tano ambapo tanzania UNK mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na tatu kauli mbiu ya mwaka huu ilikuwa inasema huduma za posta zinazingatia utunzaji wa mazingira hatimaye mahakama kuu ya tanzania imekubali kuwapa dhamana vigogo wanne wa benki kuu ya tanzania wanaokabiliwa na mashitaka ya uhujumu uchumi kwa masharti ya kuweka zaidi ya shilingi bilioni hamsini na mbili mahakamani hapo uamuzi huo ulifikiwa jana mahakamani hapo mbele ya jaji emilian mushi baada ya kupitia malumbano ya kisheria yaliyokuwa yamewasilishwa na pande zote mbili kuhusiana na dhamana kwa washitakiwa hao washitakiwa hao ni mkurugenzi wa benki kuu ya tanzania bwana saimon jengo naibu mkurugenzi wa idara ya sarafu bwana kisima mkango mwanasheria wa bot bwana bosco kimera na bwana ally bakari ambaye ni ofisa wa bot ambao wote kwa pamoja wanadaiwa kusababisha hasara ya shilingi bilioni kumi nne akitoa uamuzi huo jaji mushi alisema kuwa pamoja na dhamana kuwa ni moja ya haki za kikatiba kwa mshitakiwa lakini sheria iko wazi kwa makosa ya uhujumu uchumi ambayo inatoa maelekezo ya namna gani mshitakiwa huyo UNK alisema kuwa baada ya kupitia vipengele na malumbano ya pande zote ameridhika kuwa washitakiwa hao wanatakiwa kudhaminiwa kwa kutumia kifungu namba thebathini na sita cha sheria ya uhujumu uchumi ambacho kinataka kuwekwa nusu ya fedha UNK mahakamani hapo yapo maamuzi mengine ambayo yamerahisisha UNK haya kwa washitakiwa ambayo UNK kuchangia kiasi hicho cha fedha hivyo kutokana na kiasi hicho ambacho nusu yake ingekuwa bilioni hamsini na mbili sasa watatakiwa kuweka kila mmoja bilioni kumi na tatu ili kukidhi matakwa ya sheria hiyo alisema jaji mushi kutokana na hali hiyo mahakama iliwataka washitakiwa hao sasa kuweka mahakamani shilingi bilioni kumi na tatu kila mmoja kuwasilisha nyaraka zote zinazohusiana na kusafiri kwa mkuu wa upelelezi wilaya ya ilala kuwa na wadhamini wawili ambao watasaini dhamana ya shilingi bilioni kumi na tatu kila mmoja pamoja na kutosafiri nje ya mkoa wa dar es salaam bila ridhaa ya msajili wa mahakama kuu ya tanzania sharti jingine ni kuripoti kwa rco kila siku ya jumatatu ya wiki kabla ya saa sita mchana jaji pia alitumia mwanya huo kufafanua sheria na baadhi ya maamuzi ya kesi zinazohusiana na uhujumu uchumi ambapo alisema kuwa mahakama hiyo haiwezi kukiuka sheria zinazohusiana na makosa hayo hata kama dhamana ni haki ya kila mshitakiwa awali kupitia wakili wa washitakiwa hao bwana mpare mpoki aliomba mahakama hiyo kutoa dhamana kwa washitakiwa hao bila kuzingatia vifungu UNK kuweka nusu ya fedha mahakamani kwani kwa kufanya hivyo ni kuwanyima haki zao za msingi mbali na hayo pia bwana mpoki alisema kuwa washitakiwa wataweza kutimiza masharti ya dhamana kwa kuwa wana wadhamini wanaoaminika lakini pia hawawezi kukimbia kwa kuwa wamekuwa waaminifu na kutoa ushirikiano kwa wachunguzi wa kesi hiyo tangu awali katika ukurasa wa kwanza wa gazeti hili toleo la jana tulichapisha habari ya taarifa ya daktari wa rais aliyoitoa juzi kwa waandishi wa habari kuhusu afya ya rais jakaya kikwete habari hiyo ilikuwa na kichwa kisemacho daktari UNK ugonjwa wa jk ambacho kwa namna moja ama nyingine UNK tofauti na maana halisi iliyokusudiwa ambayo ni kutoa ufafanuzi wa kawaida kuhusu afya ya rais na si kuanika ugonjwa wake neno kuanika linaweza kuwa na tafsiri tofauti kwa wasomaji wetu katika maelezo yake daktari wa rais daktari peter mfisi alisema aliamua kufafanua masuala muhimu kuhusu afya ya rais kikwete ili kuondoa hofu kwa wananchi alisema baada ya kumfanyia vipimo ushahidi wa kitaalamu umethibitisha kuwa rais kikwete hakuwa na matatizo yoyote ya kiafya yanayoweza kuhusishwa na tukio la hivi karibuni la kuzidiwa na uchovu wakati akihutubia mjini mwanza hata hivyo daktari mfisi alibainisha kuwa rais kikwete anasumbuliwa na maumivu ya shingo yaliyotokana na kuumia zamani utotoni na wakati akiwa jeshini na wingi wa damu alisema maumivu hayo yanasababishwa na kuumia kwa baadhi ya pingili za uti wa mgongo sehemu ya shingo tunachukua nafasi hii kuiomba radhi ofisi ya rais ikulu na wale wote ambao kwa njia moja ama nyingine walipata usumbufu kutoka na tafsiri ya kichwa cha habari UNK nia yetu ni kuhabarisha na kuelimisha umma kwa kujenga na si kubomoa wala kupotosha mhariri vigogo wawili wa chama cha UNK wilayani kahama mkoani shinyanga juzi almanusura UNK makonde wakigombea pikipiki ya msaada iliyotolewa kwenye ofisi ya chama hicho na mbunge wa jimbo la msalala bwana ezekiel maige ambaye pia ni naibu waziri wa maliasili na utalii viongozi hao UNK kuchapana makonde ni katibu mwenezi wa wilaya ya kahama bwana UNK mwanangolelwa na katibu wa uchumi na fedha wa wilaya bwana zacharia shinzi aliyekuwa akipinga pikipiki hiyo kuchukuliwa kama mali binafsi na katibu mwenezi huyo katibu wa ccm wilaya ya kahama bwana sospeter nyigoti alisema kutokana na ugomvi huo aliitisha kikao cha sekretarieti UNK hali hiyo huku kila upande ukidai una haki ya kumiliki pikipiki hiyo iliyotolewa kwa shughuli za chama bwana nyigoti alisema baada ya kuitisha kikao cha dharura juzi mchana na kuwaita wahusika na kuwahoji juu ya kugombea pikipiki hiyo chama kilitaka kuwepo kwa orodha ya mali za chama ili kuondoa mgongano wa umiliki wa mali hizo mwenezi wa wilaya bwana mwanangolelwa alipoulizwa alisema ugomvi huo ulikuwa ni utani japo alikiri alichukua piki piki hiyo na kuanza kuitumia toka ikabidhiwe na kukaa nayo nyumbani kwake kwa upande wake bwana shinzi alikiri kuwepo ugomvi huo na kusema kuwa alikuwa akitetea mali za chama zisitumike kama mali binafsi hali ambayo ilikuwa ikipingwa na kiongozi mwenzie kwa madai amepewa kama mali yake na kwa kazi zake za UNK mbunge wa jimbo la msalala bwana maige alipokuwa akikabidhi piki piki hiyo alisema hiyo ilikuwa ni utekeleza wa ahadi zake kutokana na kutambua utendaji na shughuli za chama kuhusu changamoto kuhusiana na usafiri pikipiki hiyo aina ya UNK ambayo aliikabidhi jumatatu wiki hii katika ofisi ya ccm ya wilaya ina thamani ya shilingi moja arobaini sifuri sifuri sifuri sifuri ilitolewa kurahisisha usafiri katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa baadaye mwezi huu vilio simanzi butwaa na vurugu za hapa na pale zilitawala katika eneo la ofisi za makao makuu ya kampuni ya upatu ya deci iliyoko mabibo dar es salaam baada ya kukuta ofisi hizo zikiwa zimefungwa kutokana na tamko la waziri mkuu mizengo pinda kuwa kampuni hiyo UNK shughuli zake kihalali tamko hilo la serikali lililotangazwa juzi na kuwataka wananchi kuzingatia onyo lililotolewa hivi karibuni na benki kuu ya tanzania na soko la mtaji na dhamana kuepuka upatu huo kwa kuwa ni mfumo unaoendeshwa kwa ujanja ujanja majira ikiwa katika ofisi hizo jana ilishuhudia wanachama mbalimbali wakiwa wameshikwa na butwaa wengine wakisali kwa UNK kwa lugha mbalimbali wengine wakiwa katika makundi madogo madogo pia wapo waliokuwa katika hali ya majonzi na simanzi na wengine wakiwa wamekata tamaa kabisa baada ya kukuta ofisi hizo zikiwa zimefungwa mbali na eneo la ofisi hizo za makao makuu majira ilishuhudia watu wakiwa wamekaa katika vikundi mbalimbali katika maeneo mengine ya jiji kama ubungo manzese na kinondoni wakiwa katika mijadala mizito kuhusu hatima ya fedha zao akizungumza na majira bwana joshua warioba ambaye ni mmoja wa wateja wa deci alidai anashangazwa sana na baadhi ya magazeti jinsi UNK habari za deci akidai zinakuzwa kuliko kawaida pia anashangazwa na baadhi ya wateja wa deci wanaojaribu kuilalamikia kampuni hiyo kwa UNK ofisi zake kwani hilo liko nje ya uwezo wao na kuwataka wawe na subira mpaka uongozi huo utakapotoa tamko mpaka sasa sijaona mtu UNK deci kwa kukosa mavuno yake ila haya yote yanasababishwa na serikali na kama UNK sisi UNK koo serikali kwani ndiyo UNK alidai bwana warioba alisema ni bora mabilioni ya jakaya kikwete UNK nguvu deci kwani iko tayari kuwakomboa maskini na serikali ni bora ingechukua jukumu la kuiboresha badala ya kuwasababishia watu kushindwa kuvuna fedha zao hadi jioni jana wateja wa deci walikuwa wakisubiri kwenye hizo kwa maelezo kuwa wanawasubiri wamiliki wa upatu huo walioelezwa kuwa wako kwa waziri mkuu mizengo pinda nao zamzam abdul na said mwishehe wanaripoti kuwa viongozi wa deci jana UNK kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwa sakata la kampuni hiyo na kuomba kukutana na serikali wakisisitiza kuwa inawapenda na UNK pia wakati wakiomba kufanya mazungumzo na serikali ni vema wanachama wao wakawa na UNK katika kipindi hiki cha mpito na kudai wamekuwa wakitoa huduma hiyo bila kupata faida yoyote bali wanaifanya kwa maono ya mungu wakizungumza ukumbi wa idara ya habari walisema walianzisha deci kwa nia ya kuwakomboa watanzania wa kipato cha chini lakini kutokana na hali ilivyo sasa ni vema wakakutana na viongozi wa ngazi za juu wa serikali ili kuzungumzia hatma yao meneja ushauri wa deci bwana arbogast kipilimba alisema nia yao ni kuwasaidia wananchi basi ni vema wakakutana na viongozi ikiwezekana waziri mkuu bwana mizengo pinda au rais jakaya kikwete ili kueleza sababu za kuamua kufanya shughuli hiyo tunaamini UNK na bot UNK na kututambua na hata yale matangazo yaliyotolewa kwenye vyombo vya habari inaonesha ni kwa kiasi gani inatupa muongozo wa sisi kuendelea na utoaji wa huduma hiyo kwa bahati nzuri hatutaki kulumbana na serikali wala hatupo kwa ajili ya kubishana na mtu au kiongozi yeyote alisema bwana kipilimba alidai kwa bahati mbaya wananchi wametiwa hofu na baadhi ya watu kutokana na kuichafua kwa kuifanya deci kama kundi la matapeli au watu wa upatu jambo ambalo sio kweli kwani ipo kwa ajili ya kuwakomboa wananchi dhidi ya umasikini kuhusu hatma ya deci alisema kwa sasa hawawezi kuzungumza lolote katika hilo kwa sababu kuna tume ambayo inawachunguza lakini wanatarajia kufanya mazungumzo na serikali na baada ya hapo watatoa msimamo wao kama wataendelea ama la alidai hawawezi kutoa hatma wakati mazungumzo yanaendelea na kuongeza ni vizuri washiriki wao wakaendelea kupanda na kuvuna kwa wingi kama utaratibu ulivyo tangu wanaanza kutoa huduma hiyo ambayo kwa sasa ina wanachama zaidi ya sabini sifuri sifuri sifuri sifuri alisema wakati hayo yakiendelea tayari wananchi waliopanda wameanza kuondoa mbegu zao na katika kipindi cha wiki mbili tayari shilingi bilioni tano UNK jambo ambalo limesababisha wawe katika kipindi kigumu na kufanya mtaji wao kuyumba aliongeza kuwa tangu walipoanza kupanda na kuvuna mbegu shilingi bilioni hamsini na nne UNK na katika hizo shilingi bilioni thebathini na nane UNK na fedha za washiriki ambazo zipo kwa sasa ni shilingi bilioni kumi na moja baada ya shilingi bilioni tano kunggolewa alisisitiza kuwa walisajiliwa rasmi julai mwaka ishirini sifuri saba na wamekuwa wakishirikiana kwa karibu zaidi na bot kupitia kitengo chake cha micro finance hata hivyo deci ilisajiliwa kwa ajili ya kutoa mikopo na si kupokea fedha za watu kama wanavyofanya alisema tunashangaa maneno yamekuwa mengi dhidi ya taasisi yetu ya deci lakini tunaomba ifahamike kuwa kama kuna mtu anapambana basi ajue hapambani na sisi bali anapambana na mungu naye mwenyekiti wa bodi ya deci bwana jackson mtaresi alidai kutoa kwao huduma za aina hiyo haina maana kuwa wameamua kupata faida lakini inatokana na maombi ya siku nyingi ya kufunga na kusali na mungu akaitikia kilio chao na kuwawezesha kuanzisha aina hiyo ya mradi wa kuwakomboa masikini alisema deci yao asili yake ni mabibo dar es salaam wala haina UNK wa nchi yoyote kama UNK kuwa inaweza kuwa ni ya nje na wamiliki wake sio watanzania viongozi hao walisema kuwa kwa sasa maisha yao yamekuwa hatarini tangu walipoanza kuandikwa kwenye vyombo vya habari kwa mtazamo hasi kuhusu usalama wa fedha zao walisema wanajua UNK na kuongeza hakuna sababu ya kusema ni wapi UNK kwa sababu hata bot hawasemi wanaweka wapi fedha zao lakini ifahamike kuwa zipo mahali salama kutoka tanga mashaka mhando anaripoti kuwa washiriki wa mchezo wa upatu unaoendeshwa na deci tawi la tanga wamekumbwa na wasiwasi mkubwa wa kujua hatma ya ushiriki wao na namna wavunaji wa leo watakavyoweza kupata fedha hizo hali hiyo inatokana na tangazo lililowekwa jana kwenye ofisi za kampuni hiyo jijini hapa ambalo limeeleza kwamba shughuli za upandaji na uvunaji zimesitishwa kuanzia aprili kumi na tano hadi watakapotangaziwa tena na makao makuu dar es salaam deci ltd inapenda kuwatangazia washiriki wake kuwa ofisi zote nchini UNK huduma ya kupanda na kuvuna kuanzia kumi na tano nne ishirini sifuri tisa hadi uongozi wa deci utakapotoa maelezo tunaomba kila mwanachama atunze risiti zake na tuwe UNK limetolewa na deci makao makuu lilisomeka tangazo hilo wanachama waliokuwa wavune fedha zao jana UNK ofisini hapo na wengine walifika kujua hatma ya mchezo huo baada ya serikali kutoa onyo na kuwahadharisha wananchi kuendelea na upatu huo walikutwa baadhi ya wameshika vichwa wasijue la kufanya mimi nimefika hapa kujua hali ikoje kwa sababu kesho natakiwa kuvuna lakini nimekuta tangazo hili na hapa ofisini hakuna mtu hatujui ni nini hatma yetu wala ni nani atatupa fedha zetu za mavuno tunalia na serikali sasa ni wao wametaka hali hii itokee kwani kama UNK tungeendelea kupanda na kuvuna na kuwa matajiri leo wapo waliokuwa wapande na wengine UNK hatujui twende wapi na UNK nani alihoji bwana paul UNK alisema kama hoja ni kuhofia kufilisika kwa mabenki nchini baada ya wananchi wengi kuyakimbia na kuwekeza fedha zao deci haina maana kwa sababu mpango mzima wa kampuni hiyo ni kuwasaidia wananchi waondokane na umasikini wa kipato bwana shekilango alisema washiriki wote wa mchezo huo wamepanga kukutana ofisi za deci ili kuzungumzia mustakabali wao na namna ya kuonana na viongozi ambapo wamemtaja bwana ernest kimaya kuwa ndiye meneja wa upatu huo mkoani hapa bwana kimaya pia ni mwenyekiti wa albino nchini pia watachagua kamati ya watu wanane ambao wataonana na mkuu wa mkoa wa tanga bwana mohamed abdulaziz ili wapate taarifa rasmi ya serikali kuhusu kusitishwa kwa shughuli za kampuni hiyo na wapi wataweza kupata fedha zao walizopanda hivi karibuni naye reuben kagaruki anaripoti kuwa askofu mkuu wa kanisa la full gospel bible fellowship bwana zakaria kakobe UNK lawama viongozi wa serikali kwa kushindwa kuichukulia hatua za kisheria kampuni ya deci limited kwa lengo kulinda maslahi yao kisiasa huku sheria za nchi zikivunjwa UNK akizungumza dar es salaam jana askofu kakobe alisema inashangaza kuona serikali ikiendelea kukaa kimya ili kuwalinda watu wanaovunja sheria wasipate madhara makubwa kwa kuifungia deci mara moja viongozi wa kisiasa UNK kura kwa wananchi kwa kuwatazama wakivunja sheria badala yake UNK sheria kwani kwa kufanya hivyo tutafanikiwa alisisitiza askofu kakobe askofu kakobe alihoji kwa nini serikali imekuwa ikiharibu mashamba ya bangi na hata bidhaa feki zenye thamani ya mamilioni bila kuwaonea huruma wamiliki wake lakini linapokuja suala la deci ishindwe kusimamia sheria sheria ipo wazi mwendeshaji wa upatu na mshiriki wote wanavunja sheria tukitaka kuwasaidia deci tutaleta shida vinginevyo watu wanaolima bangi na kuingiza bidhaa feki nao wataomba UNK huruma alihadharisha na kusisitiza kuwa viongozi hawatakiwi kuwa na huruma wakati wa kusimamia sheria pia askofu kakobe hakusita kuwalaumu viongozi wa dini kwa alichodai walishindwa kuwa mwanga na dira ya kuipa jamii mambo mema badala yake UNK ivunje sheria kwa kutumia vyombo vya dini na nyimbo za UNK kushawishi waumini wao kujiunga na deci alisisitiza kuwa deci ilianzishwa nchini kupitia mgongo wa kanisa kwa waumini kuambiwa kuwa kuna maono ya kuhakikisha watu waliookoka hawabaki masikini na viongozi UNK ni wa madhehebu ya pentekoste ambayo pia yeye ni muumini wake akieleza siri ya wamiliki wa deci UNK fedha zao benki askofu kakobe alisema ni kwa sababu wanaogopa sheria ya udhibiti wa fedha haramu ndiyo maana wamekaa nazo kwenye UNK wanajua wakipeleka benki itakuwa vigumu kuzichukua wakitaka kutoweka alisema askofu kakobe na kutoa mwito kwa waliopanda fedha deci kwenda kuzidai vinginevyo UNK UNK hadi sasa wanachama wa deci wamepoteza fedha zao hivyo wale wajanja UNK kwenda kudai ndio UNK chochote alisema kuhusu miongoni mwa waumini wa kanisa lake kupanda mbegu deci alisema hadi sasa hakuna UNK wowote lakini akaonya kwa watakaobainika walifanya hivyo UNK na kanisa lake watu wanane wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyotokea kijiji cha UNK wilayani geita mwanza baada ya mabasi madogo mawili ya abiria maarufu kama vipanya kugongana uso kwa uso akithibitisha tukio hilo kwa njia ya simu kamanda wa polisi mkoa a mwanza bwana jamal rwambow alisema ajali hiyo ilitokea juzi saa tisa thebathini mchana katika barabara kuu itokayo geita kwenda mjini mwanza aliwataja waliokufa katika na ajali hiyo kuwa ni bwana UNK masinde daktari mwanafunzi katika chuo cha udaktari cha muhimbili ambaye alikuwa UNK wilayani geita wengine ni bwana emmanuel UNK mwalimu shule ya msingi UNK wilayani ukerewe bibi lucy mussa mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi tisa pamoja na bwana festo UNK dereva wa gari lililopata ajali lenye namba t mia saba na hamsini na saba atg alisema miili ya maiti wengine bado haijatambuliwa majina yao na ndugu zao na kwamba majeruhi wote wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya geita kwa matibabu ni ajali mbaya ambayo imepoteza watu wanane na tisa kujeruhiwa vibaya imetokea eneo ambalo barabara ni nzuri tena ya lami hakuna hata kona hivyo chanzo ni mwendo kasi pamoja na uzembe wa madereva wa magari hayo alisema UNK rwambow alisema kuwa ajali hiyo ilihusisha gari lenye namba za usajili t mia tano na kumi na moja UNK ambalo dereva wake alikimbia baada ya ajali na kwamba mmiliki wake bado hajatambuliwa na lingine lenye namba t mia saba na hamsini na saba atg mali ya bwana UNK ramadhan ambalo dereva wake alifariki papo hapo miili ya watu waliokufa pamoja na majeruhi ilichukuliwa toka eneo la tukio na kupelekwa hospitali ya wilaya ya geita ambako vilio na majonzi toka kwa watu waliofika kushuhudia vilitawala eneo hilo kwa upande wake mganga mkuu mfawidhi wa hospitali ya wilaya ya geita daktari cassian kabuche UNK majeruhi hao alisema kuwa majeruhi watatu kati ya tisa hali zao ni mbaya aliwataja majeruhi ambao hali zao ni mbaya kuwa ni bwana UNK masanja mkazi wa bugando jijini mwanza ambaye amevunjika nyonga bwana dotto UNK mkazi wa geita ambaye amepata majeraha makubwa kichwani na UNK pamoja na bibi asteria UNK ambaye hajitambui kutokana na hali yake kuwa mbaya alisema kuwa majeruhi hao walipelekwa katika hospitalia ya rufaa ya bugando jijini mwanza kwa ajili ya matibabu zaidi kutokana na hali zao kuwa mbaya kikwete UNK kwa uwazi ujasiri madaktari wasema ni hali ya kawaida hatua ya ikulu dar es salaam kutangaza taarifa ya hali ya afya ya rais jakaya kikwete imeelezwa kwamba imesaidia kuepusha uvumi ambao UNK watanzania kuachwa njiapanda kuhusiana na afya ya mkuu huyo wa nchi watu waliozungumza na gazeti hili jana walisema kuwa uamuzi wa ikulu kutangaza kilichomsibu rais wakati alipoishiwa nguvu jijini mwanza wakati akihutubia katika jubilee ya miaka kumi sifuri ya kanisa african inland church ni wa busara na umetolewa wakati muafaka walieleza kufurahishwa na hatua hiyo wakisema imewaondolea watanzania hofu juu ya afya ya kiongozi wao mkuu wa kambi ya upinzani bungeni na mbunge wa wawi hamad rashid mohamed alisema kuwa kitendo hicho cha kutangazwa hali ya afya ya rais kikwete ni jambo jema UNK mambo mengi ndani ya jamii hasa baada ya kuishiwa nguvu kwa mara ya pili akihutubia wananchi bwana hamad alisema nchi inapokuwa na rais mtendaji mwenye mamlaka makubwa ni vyema wananchi UNK afya na uwezo wake wa kuendelea kufanya kazi kwa ajili ya mstakabali wa nchi unajua rais ni public UNK na kwa nchi kama za kwetu huyu ni executive president anategemewa kufanya maamuzi mengi mbalimbali na anapokuwa UNK na mambo kama hayo hadharani ni vyema UNK ufafanuzi kuhusu afya yake maana UNK hivyo kila mmoja ata conclude anavyojua yeye alisema bwana hamad naibu katibu mwenezi na uhusiano wa umma wa cuf bibi ashura mustafa alisema ingawa hakukuwa na ulazima wa rais kutangaza majibu yake hadharani hatua hiyo UNK hofu wananchi kwa kuwa hali hiyo UNK kwa mara ya pili toka aingie madarakani hakukuwa na ulazima wa kutangaza majibu hadharani kwa kuwa kufanya hivyo ni kuingilia uhuru wa mtu cha msingi wananchi walitakiwa kupewa taarifa kuhusu afya ya rais na si majibu ya vipimo alisema bibi UNK aidha alisema kuwa kwa sasa rais anatakiwa kuwa na uangalizi wa karibu ili kumaliza tatizo linalomsumbua na kuzuia hali kama hiyo kumtokea wakati mwingine mmoja wa madaktari kutoka huduma ya damu ya taifa alisema damu nyingi mwilini husababishwa na vitu kadhaa ikiwemo ugonjwa na kula chakula bora aliongeza kuwa mtu akiwa na damu nyingi mara nyingi UNK na kizunguzungu kuzimia kuumwa na kichwa na hata kutokwa damu puani kwa ujumla kuwa na damu nyingi UNK isiwe tatizo kubwa sana na kuna wakati wanakuja watu hapa wana damu nyingi mpaka UNK lakini bado wanatembea tu barabarani bila kujitambua lakini ndiyo hivyo ikitokea UNK na matatizo kama hayo alisema daktari huyo kwa upande wake daktari moses ringo wa jijini dar es UNK alisema tatizo la ongezeko la damu halina madhara makubwa katika afya na huweza kudhibitiwa kwa kupunguza damu alisema kuwa wananchi hawatakiwa kuwa na wasiwasi kwakua hali hiyo haiwezi kumzuia kuendelea na majukumu yake pia amewataka viongozi na wananchi kuwa na UNK wa kupima afya zao ili kujiepusha na matatizo ambayo siyo rahisi kujitokeza hadi kufanyiwa uchunguzi na daktari naye bwana ridhiwani rashidi mkazi wa jijini dar es salaam alisema hatua ya rais kutoa taarifa ya afya yake ni kitendo cha kishujaa na mfano wa kuigwa na viongozi wengine raisi ni mtu muwazi kwani tangu alipopima virusi vya ukimwi katika viwanja vya mnazi mmoja aliweka wazi majibu yake haikuwa na ulazima kufanya hivyo bali ni kwa mapenzi yake kwa wananchi alisema bwana rashid bwana rashidi alisema kuwa rais anatakiwa kupunguziwa ratiba ya shughuli zake na kuwapatia viongozi wengine kwa kuwa wote wanatakiwa kuwatumikia wananchi aliongeza kuwa rais ni mfano wa kuigwa na viongozi hasa katika bara la afrika ambao wanafikiri kutangaza afya zao ni suala la siri na hakuna mtu anayetakiwa kupata taarifa hizo aidha alisema kuwa wananchi wana haki ya kujiridhisha kuhusu afya ya rais kwakua ni kiongozi wao na hali hiyo itasaidia kuondoa taarifa zisizo rasmi kuhusiana na afya yake hoteli kubwa ya kitalii inayokadiriwa kuwa ya nyota nne ipo hatarini kubomolewa kwa kujengwa katika eneo la hifadhi ya barabara mkoani arusha katika mpango wa ujenzi wa barabara ya njia nne ya jumuia ya afrika ya mashariki aidha hoteli hiyo inayojulikana kwa jina la snowcrest ambayo inaendeshwa chini ya kampuni ya snowcrest yenye vyumba themanini na nne na kumbi za mikutano zenye uwezo wa kubeba watu kuanzia hamsini mpaka thebathini sifuri kibali cha ujenzi wake kilitolewa na halmashauri ya manispaa ya arusha hoteli hiyo ambayo imeanza kutoa huduma hivi karibuni ambapo wageni wa kwanza kuingia hotelini hapo walikuwa washiriki wa mkutano wa wabunge wa jumuiya ya madola uliomalizika mwanzoni mwa wiki huu mkoani hapa ujenzi wake UNK kuleta mgongano baina ya tanzania na jumuia ya afrika ya mashariki mtaalamu kutoka sekretarieti ya jumuia ya afrika ya mashariki alisema wahisani waliojitokeza kufadhili mtandao wa barabara za afrika ya mashariki wanaweza kukataa kutoa fedha za ujenzi huo kutokana na nchi wanachama kutoweka mazingira mazuri ya ujenzi huo kwa kuhakikisha kuwa maeneo ya akiba ya barabara hayatumiwi alisema kuwa wahisani hao ambao wamekubali kugharamia ujenzi wa barabara ya njia nne kwa nchi za eac na ujenzi huo UNK katika pande za namanga ya kenya na namanga ya tanzania lengo likiwa kuziwezesha nchi za eac kuwa na mtandao wa barabara kuanzia kusini mpaka kaskazini magharibi mpaka mashariki hatua ya ujenzi wa hoteli hiyo kumega eneo la hifadhi ya barabara ya mkoa wa arusha ambayo ndiyo barabara kuu inayounganisha mkoa wa arusha na mkoa wa kilimanjaro imetafsiriwa kuwa inaleta mkanganyiko kuhusiana na matumizi bora ya ardhi na mpango mkakati wa eac wa barabara hiyo alipohojiwa na majira kwa njia ya simu meneja wa tanroads mkoa wa arusha bwana UNK kakoko kuhusiana na hatua ya hoteli hiyo kujenga kwenye eneo la akiba ya barabara ya mkoa alisema kuwa ofisi yake imeanza kushughulikia suala hilo kwa UNK barua ya kuwataka hadi ifikapo novemba kumi eneo lote la akiba ya barabara iliyomegwa na hoteli hiyo kubomolewa ni kweli tumekuwa tukisimamia sheria mpya ya barabara ambapo hoteli hiyo imeingia kidogo kwenye eneo la akiba ya barabara kwa kujenga geti na uzio wa hoteli kwenye akiba ya barabara katika upande wa hoteli ya UNK UNK hiyo barua tangu julai na hii ni barua ya tatu kuwaandikia UNK kuhusu kumega eneo la akiba ya barabara alisema bwana UNK alibainisha kuwa tanroads arusha haijatoa barua kwa hoteli hiyo pekee isipokuwa kwa watu wote na taasisi zote UNK eneo la akiba ya barabara alisema lazima ieleweke kuwa eneo la akiba UNK za mkoa ambazo ni barabara za taifa ni mita thebathini kutoka katikati ya barabara huku barabara za wilaya zikiwa ni mita kumi na tano ambazo zinatakiwa UNK kwa matumizi yoyote yale zaidi ya matumizi ya barabara pekee mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya manispaa ya arusha bwana raphael mbunda alikiri ofisi yake kutoa kibali cha ujenzi wa hoteli hiyo ambapo alifafanua kuwa ujenzi wa hoteli hiyo umeenda kama ilivyoagizwa na manispaa hiyo isipokuwa suala la hoteli hiyo kumega eneo la akiba ya barabara ni suala la tanroads ambao wao ndio wasimamizi wa sheria ya barabara aidha alipohojiwa na majira jumapili meneja wa hoteli hiyo bwana marc dingiria kuhusiana na hoteli hiyo kujengwa kwenye eneo la akiba ya barabara sanjari na barua ya iliyoandikwa na tanroads UNK na kujenga kwenye eneo la akiba ya barabara alikataa kuzungumzia suala hilo ninachoweza kusema ni kuwa suala la hoteli kudaiwa kujengwa kwenye eneo la akiba ya barabara n na barua UNK na tanroads naona hilo UNK sipo tayari kulizungumzia kwa sasa alisema bwana dingiria wizara yasema wabaneni nhc sio sisi mvutano kati ya wapangaji na uongozi wa shirika la nyumba la taifa unazidi kuongezeka baada ya shirika hilo kudaiwa kukwamisha utekelezaji wa sheria UNK wapangaji kunufaika na nyumba hizo na badala yake kuziuza kinyemela wapangaji wanasema nhc UNK mchango wao wa muda mrefu ambao UNK nyumba hizo hadi hapo UNK licha ya rais kikwete kulitaka shirika hilo kuwauzia nyumba hizo wapangaji waliokaa muda mrefu mwenyekiti wa kamati maalum ya wapangaji wa nyumba za nhc UNK gwao alipozungumza na gazeti hili mara baada ya kamati yake kumaliza kuzungumza na kamati ya ardhi nyumba na mazingira ya bunge iliyo chini ya mwenyekiti wake job ndugai alisema nhc inachelewesha utekelezaji wa sheria mbili za unit titles na mortgage UNK ambazo zinaruhusu wapangaji kuuziwa nyumba hizo haraka kwa mujibu wa gwao kauli ya rais aliyoitoa agosti saba mwaka jana mkoani iringa wakati wa ufunguzi wa majengo mapya ya nhc kuwa haoni sababu kwanini wapangaji UNK na nyumba hizo baada ya kuishi humo kwa miaka mingi ndiyo ililazimisha kuanzishwa kwa sheria hizo haraka sheria ya unit titles inaruhusu mtu kununua na kumiliki sehemu ya jengo UNK wakati sheria ya mortgage financing inamruhusu mtu kutumia sehemu aliyopanga katika jengo husika kuombea mkopo benki ili aweze kununua nyumba ama sehemu UNK hata hivyo sheria hiyo si kwa majengo ya nhc pekee bali hata kwa nyumba za watu UNK wanaweza kuuza sehemu tu ya jengo lao sheria hizo mbili zilipitishwa na bunge mwaka jana baada ya tamko la rais na zilipitishwa kwa hati ya dharura kutokana na kile kilichodaiwa kuwa unyeti na uzito wa suala lenyewe wiki UNK waziri wa UNK nyumba na maendeleo ya makazi john chiligati alikutana na wapangaji wa nhc wapatao hamsini sifuri katika ukumbi wa korea jijini dar es salaam na kutangaza kuwa ubia umesitishwa katika nhc na uuzaji wa majengo umegawanywa katika makundi matatu aliyataja makundi hayo kuwa la kwanza ni nyumba zile zitakazouzwa kama zilivyo bila kuvunjwa wala kukarabatiwa kundi la pili ni nyumba kawaida zilizopo katika kiwanja vikubwa kuwa UNK na kujengwa UNK ili ziweze kuuzwa kwa watu wengi huku haki ya wapangaji wa awali ikiwa palepale na tatu ni nyumba ambazo zipo maeneo muhimu ya kibiashara ambazo zitabakia kuwa mali ya shirika kwaajili ya UNK mikopo benki malalamiko hayo yamekuja wakati ambapo jengo lililopo mtaa wa kongo na uhuru ambalo linadaiwa kuuzwa kwa raia mmoja wa pakistan huku shirika likiendelea kutumia fedha nyingi kwa ukarabati hatua ambayo inaleta utata hata hivyo afisa habari mkuu wa nhc leonard maganga alitoa ufafanuzi kuwa jengo la mtaa wa kongo na uhuru UNK kama inavyodaiwa na wapangaji bali shirika limeingia ubia na kampuni moja ya raia wa UNK alikiri nhc kulifanyia ukarabati kwa gharama ya shilingi milioni nane licha ya kuwa lipo katika mradi wa ubia na UNK huyo ingawa hakueleza ubia huo ulitangazwa katika vyombo vya habari au ulifanyika kwa siri akijibu swali wiki hii mkurugenzi wa nyumba wa wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi profesa tumsifu nkya alisema habari zozote zinazo UNK nyumba za nhc yeye hapaswi kujibu isipokuwa nhc wenyewe nafahamu unachotaka kujua kwetu ni kuhusu hizi sheria mbili zilizopitishwa kwa fast track na bunge ambazo ni unit titles act na mortgage financing act zote za mwaka jana lakini kwa protocol ya wizara mimi sipaswi nikujibu chochote isipokuwa msemaji wa wizara au nhc wenyewe alisema profesa nkya mwishoni mwa wiki hii wakati msimu wa ununuzi wa chai kutoka kwa wakulima umeanza katika maeneo yanayozalisha chai mkanganyiko juu ya hatima ya viwanda vya chai vya mponde mkoani tanga na lupembe wilayani njombe serikali imekaa kimya juu ya kulichukulia hatua kundi linalojiita munguki UNK viwanda hivyo kumtia hasara mwekezaji na kuwakosesha ajira maelfu ya wafanyakazi katika viwanda UNK majira jumapili UNK mgogoro huo imebaini kuwepo kwa kauli zinazotofautiana juu ya msitu huo wa sakare unaotoa kuni za kukaushia chai ya kiwanda cha mponde ambapo consolidated holding UNK UNK shughuli za tume ya rais ya kurekebisha mashirika ya umma wanasisitiza kuuza msitu na kiwanda kwa kampuni ya lushoto tea na ushirika wa wakulima wadogo wa chai wa UNK nyaraka zote kutoka mchakato wa kuuzwa kwa kiwanda cha mponde uanze hadi kukabidhiwa kwa mwekezaji zinazonesha kiwanda kuuzwa pamoja na msitu wake kwa ajili ya kuni za UNK chai kwa mujibu wa nyaraka wawekezaji hao UNK mabilioni ya shilingi kwa ajili ya kuuendeleza msitu huo pia zipo barua kadhaa za iliyokuwa mamlaka ya chai tanzania tta zinazoonesha kuwa msitu wa sakare ulikuwa mikononi mwa mamlaka hiyo na iligharamia mamilioni ya fedha kila mwaka hadi UNK miaka kumi iliyopita kwa wabia hao ambao UNK hadi UNK kundi la mungiki mwaka jana lakini mtendaji mkuu wa bodi ya chai martin assenga alipozungumza na mwandishi wa habari hizi alisema msitu wa sakare kwa mujibu wa kumbukumbu za ardhi ni mali ya mzungu mmoja aitwae law ambaye ndiye mmliki halali kauli hii imeifanya serikali kukumbwa na kigugumizi kwa UNK mungiki kwani nao ni wavamizi mwenyekiti wa utega william shelukindo mbunge wa bumbuli alisema anashangaza msitu huo UNK kwa miaka zaidi ya nane UNK leo huku wavamizi hao wamechukua mbolea na vifaa na serikali kuendelea kukaa kimya hadi wakulima kutafuta njia nyingine za kupata kuni na kuzalisha chai kwa gharama kubwa akizungumzia kauli ya assenga mwenyekiti mtendaji wa lushoto tea company nawab mulla alisema kauli ya mtendaji huyo inalenga kuhalalisha uvamizi na kuwaumiza wakulima wa chai ambao yeye ndiye wadau wake wakubwa na kwamba historia ya mashamba yote ya kuni za kusindika chai UNK kutoka kwa wazungu na wahindi kwa upande wa lupembe wilayani njombe assenga alipoulizwa kuhusiana na msitu wa UNK alisisitiza kuwa kwa vile kuna kesi mahakamani asingeweza kutoa maoni yake hadi hapo wanahisa hao dhow mercantile na muungano wa ushirika wa lupembe mvyulu UNK mbele ya vyombo vya kisheria majira ilipofuatilia historia ya kiwanda hicho ilibaini mchakato wa ubinafsishaji wa mali za kiwanda ulikamilika mwaka ishirini sifuri nne ambapo mali zilizokuwa za tta na muungano wa ushirika wa lupembe mvyulu zilibinafsishwa kwa kampuni ya dhow mercantile kwa hisa za sabini na mvyulu kubaki na hisa zao za asilimia thebathini makubaliano ya ununuzi kati ya mwekezaji huyo na iliyokuwa psrc ilikuwa ya nipe nikupe mwekezaji alilipa fedha hizo kupitia benki ambapo muuzaji alitakiwa kuwasilisha hati za kumiliki kiwanda hicho ili benki iruhusu fedha hizo jambo ambalo psrc ilishindwa kulitekeleza hadi leo baada ya psrc kuvunjwa na shughuli zake kukabidhiwa consolidated holdings corporation UNK suala hili liliibuliwa ambapo mwekezaji alitakiwa kulipa fedha taslimu la sivyo UNK anywa kiwanda jambo hilo UNK mara moja lakini baada ya kukabidhiwa hundi ya malipo hayo shirika hilo UNK kimya hadi uvamizi UNK kujikanganya kwa serikali kuhusiana na uuzwaji wa viwanda hivi imeelezwa kuwa UNK katika wakati mgumu kwamba haina nia nzuri na wawekezaji wa ndani na unazidi kuweka alama ya kuuliza katika uwazi na uwajibikaji wa serikali watu watano wamefariki dunia wanne papo hapo kufuatia ajali mbaya UNK magari mawili ambayo UNK eneo la UNK moshi vijijini mkoani kilimanjaro usiku wa kuamkia jana UNK kutokea kwa ajali hiyo kamanda wa polisi mkoani kilimanjaro lucas ng hoboko alisema jana kuwa ajali hiyo iliyotokea saa sita usiku ikihusisha gari aina ya toyota hiace pick up lenye nambari za usajili t mia nane na ishirini na tatu aea lililokuwa likiendeshwa na probe shirima na gari aina ya mitsubishi fuso lenye namba za usajili t mia tisa na hamsini na tano UNK lililokuwa likiendeshwa na robert richard gari aina ya toyota hiace lilikuwa UNK wapiga tarumbeta maarufu kama kidedea waliokuwa wametoka kwenye sherehe ya send off eneo la marangu moshi vijijini ambapo lilipofika eneo la tukio liligongana na fuso kusababisha vifo na kujeruhi wengine saba alisema aliwataja waliofariki kuwa ni UNK UNK tumaini athumani mhina julius dafa david shirima na dereva wa toyota hiace probe shirima kamanda ng hoboko aliwataja waliojeruhiwa kuwa ni koplo hassan na koplo amiri wote askari wa jeshi la polisi kutoka chuo cha polisi moshi ambao alisema huwa wanashirikiana na wana kikundi hicho cha kidedea katika kutumbuiza aliwataja wengine kuwa ni mbonea athuman UNK gidion UNK manase UNK na UNK mbwambo aidha alisema koplo amiri bado amelazwa hospitali ya rufaa ya kcmc kwa ajili ya matibabu kufuatia majeraha mabaya aliyoyapata ambapo wengine walitibiwa hospitalini hapo na kuruhusiwa wakati huo huo polisi mkoani kilimanjaro inawashikilia watu wawili kwa kukutwa na silaha aina ya shortgun na risasi nne kinyume cha sheria kamanda wa polis mkoani kilimanjaro kamishina msaidizi wa polisi lucas ng hoboko aliwataja watu hao kuwa ni yohana mwaipaja na UNK leonard ambao alisema wote kwa pamoja wanatuhumiwa kukutwa na silaha hiyo iliyokuwa na nambari elfu tisa na mia tisa na arobaini na moja watu hawa walikamatwa eneo la kambi ya raha boma nggombe wilaya ya hai mnamo octoba nane mwaka huu baada ya polisi kupata taarifa kutoka kwa raia wema ambao waliwatilia mashaka watu hao wawili ambapo baada ya kwenda kupekuwa nyumbani kwa yohana mwaipaja siku ya tukio saa nane mchana walikuta silaha hiyo na risasi hizo alisema alisema watu hao wamekuwa UNK na polisi kwa muda mrefu kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ya ujambazi katika miji ya moshi rombo na eneo la boma ng ombe wilayani hai katika siku za hivi karibuni UNK mashangingi themanini kwa kumi na tano bilioni ni baada ya pinda kutaka UNK matumizi wakati waziri mkuu bwana mizengo pinda akizitaka wizara idara na taasisi mbalimbali za serikali kuacha kununua magari ya kifahari serikali imenunua magari ya kifahari themanini maarufu kama mashangingi katika kipindi cha mwaka mmoja agizo hilo la bwana pinda ni la pili kutolewa ndani ya kipindi cha mwaka mmoja tangu ateuliwe kuishika madaraka hayo hata juzi alipokwenda nchini indonesia UNK ziwe zinavaliwa nguo za UNK alizovaa kiongozi wa nchi hiyo UNK kumtembelea bwana pinda alisema na yeye na msafara wake waliamua kuvaa mavazi ya aina hiyo na kuondokana na suti uchunguzi ulifanywa na majira jumapili na kuthibitishwa na mmoja wa watumishi idara ya ufundi iliyo chini ya wizara ya miundombinu umebaini magari hayo aina ya toyota land cruiser vx v nane ambayo ni toleo jipya tayari yameanza kutumika katika wizara idara na taasisi mbalimbali za serikali magari hayo ambayo awali yalikuwa yakiuzwa shilingi mia moja na kumi na mbili mia nne na tisini na sita mia nne na tisini na saba kabla UNK marekebisho na kuwa ya kisasa zaidi sasa yanauzwa shilingi mia moja na themanini na saba mia saba na sitini mia mbili na sitini na moja uchunguzi huo umebaini magari yote themanini UNK serikali jumla ya shilingi bilioni kumi na tano sifuri mbili ikiwa ni nje ya gharama za mafuta vipuri na matengenezo endapo mawaziri wote arobaini na saba UNK magari hayo serikali italazimika kutumia shilingi nane mia nane na ishirini na nne mia saba na thebathini na mbili mia mbili na sitini na saba mbali na viongozi wengine wa taasisi za umma wanaotamani kutembelea magari hayo mapya gharama hiyo itakuwa na ongezeko la shilingi bilioni mbili ikilinganishwa na gharama za magari yaliyonunuliwa kwa ajili ya mawaziri na naibu mawaziri sitini na moja mwaka ishirini sifuri sita ambapo zaidi ya shilingi bilioni sita zilizotumika kwa ajili hiyo rais kikwete alilazimika kupunguza ukubwa wa baraza lake la mawaziri mwaka juzi ili kuongeza ufanisi na kupunguza gharama serikalini magari mengine yanayotumiwa na serikali nayo yamepanda bei kama land cruiser hard top milango mitano ambalo sasa linauzwa shilingi kumi sita mia tisa na kumi na nane kumi tatu wakati awali lilikuwa UNK kwa shilingi milioni sabini na toyota land cruiser lenye uwezo kwa kuchukua abiria kumi na tatu linauzwa kwa shilingi tisini na tisa mia tano na hamsini na sita mia moja na sitini na sita awali liliuzwa kwa shilingi milioni sitini wakati viongozi na wakuu wa taassisi na idara mbalimbali za serikali wakishindana kutumia magari hayo ya kifahari tayari baadhi ya idara kama mahakama imeshatoa malalamiko kutokana na kuwa na bajeti ndogo hali ambayo inashusha utendaji wa wa idara hiyo nyeti mbali na UNK ya mahakama bajeti ya wizara ya afya na utawi wa jamii nayo bado ni ndogo hali inayosababisha kukosekana kwa vitendea kazi huku idadi ya vifo vitokanavyo na uzazi vikiwa bado tishio kwa sasa bajeti ya sekta ya afya ni asilimia kumi na moja na ili hali iwe shwari katika sekta hiyo bajeti yake inapaswa kufikia asilimia kumi na tano uchunguzi huo umebaini kuwa idara ya mahakama hadi sasa inatumia teknolojia ya kizamani katika undeshaji wa kesi usafiri duni na malazi kwa watendaji wake hadi sasa baadhi ya majaji wamekuwa wakitumia magari ya kukodi ili kufanikisha majukumu mengine ya kitaifa hata waliokuwa na magari hayana hali nzuri kutokana kutumika kwa zaidi ya miaka kumi hadi kumi na tano na wengine wakiwa hawana nyumba za kuishi malalamiko mengine ni upungufu wa walimu katika shule za kata ambapo majira jumapili imebaini kuwa shule nyingi za kata hazina walimu baadhi ya shule zina wanafunzi hadi mbili sifuri sifuri sifuri kwa shule moja yenye walimu wanne ikiwa na uhaba wa madawati vitabu maabara na nyenzo nyingine chanzo cha habari kutoka ndani wizara ya miundombinu UNK majira jumapili kuwa kilio bwana pinda kutaka kusitishwa kwa ununuzi wa magari hayo ni sawa machozi ya samaki ndani ya maji alisema kimsingi maombi ya ununuzi wa magari hayo hufanywa kupitia katika wizara ya miundombinu idara ya ufundi na baada ya kupitiwa kwa kina maombi hayo hupelekwa kwa katibu mkuu kiongozi bwana UNK luhanjo ambaye ni mtu pekee aliye na mamlaka ya kupitisha au kukataa kwa maombi hayo hata hivyo chanzo hicho kilisema kuwa utaratibu wa mwanzo ulikuwa kwa mtindo wa kuachiana magari kwa mtindo wa kigogo wa juu kulitumia kwa kilometa kadha na kumwachia aliye chini yake lakini kwa sasa jambo hilo limeshindikana kwa kuwa kila mkuu wa idara amekuwa akiomba gari jipya na kupewa tofauti na ilivyo mwanzo magari ya mawaziri UNK kwa kilometa fulani kutokana na madaraka yake hivyo kilometa hizo zikiisha UNK gari hiyo naibu UNK au katibu makuu ambaye naye ana kilometa zake na mwisho wake gari hilo hubakia kuwa la kusambaza barua na kama limechoka zaidi huuzwa kwa njia ya mnada alisema inazuia maambukizi ya vvu asilimia kumi sifuri itazinduliwa rasmi ngurdoto ufaransa polisi sitini UNK UNK mashujaa profesa aonya isiwe kichocheo cha ngono chuo kikuu cha afya na sayansi kishiriki muhimbili kimesema majaribio ya utafiti wa chanjo ya kutengeneza kichocheo cha kinga dhidi ya maabukizi ya virusi umeonesha mafanikio makubwa makamu mkuu wa chuo hicho profesa UNK pallangyo akizungumza dar es salaam jana alisema utafiti ulioanza mwaka ishirini sifuri saba na unaondelea katika chuo hicho umepata mafanikio ambayo yamesaidia kupatikana kwa chanjo ya kukinga maambukizi ya virusi vya ukimwi majibu ya utafiti wa chanjo ya kukinga maambukizi ya vvu katika chuo cha muhas ni mazuri sana walioshiriki wote ambao UNK asilimia kumi sifuri miili yao imetengeneza kinga ya ukimwi alisema profesa UNK alisema baada ya mafanikio hayo muhas inatarajia kuwasilisha ripoti hiyo wiki ijayo kwenye hoteli ya ngurdoto arusha na baadaye kwenye mkutano wa chanjo ya ukimwi utakaofanyika ufaransa oktoba kumi na tisa profesa pallangyo alisema matokeo ya majaribio hayo ambayo yameonesha kutengeneza vichocheo vya kinga dhidi vvu yanafanana na majaribio ya awamu ya kwanza nchini swideni nchi ambayo pia ilitoa fedha za kufanya utafiti kupitia shirika lao la maendeleo la kimataifa ambalo lilitoa fedha za kununulia vifaa na kufanya utafiti mkurugenzi wa mafunzo wa muhas daktari muhammad bakari alisema majaribio ya chanjo ya vvu kwa binadamu yalifanywa kwa askari polisi baada kutimiza masharti ya kutokuwa na maambukizi ya vvu ambao wamefanyiwa majaribio ya chanjo ya kuangalia usalama na uwezo wa kutengeneza kinga daktari bakari alisema japokuwa chanjo hiyo imeonesha mafanikio katika kuzuia maambukizi ya vvu lakini hakuna uhakika kwamba inaweza kuua virusi vya ukimwi kwa wagonjwa ambao tayari wanaugua ugonjwa huo alisema chanjo hiyo inawezesha mwili kutengeneza vichocheo vya kinga ambavyo huenda UNK kinga dhidi ya maambukizi ya vvu na kuimarisha zaidi uwezo wa kitaalamu katika kufanya majaribio ya chanjo dhidi ya vvu nchini tanzania daktari bakari alisema utafiti huo ambao umefanyiwa majaribio kwa washiriki ambao ni miongoni mwa askari polisi polisi sitini wa mkoa wa dar es salaam ambao walikubali kwa utashi na ridhaa yao na katika majaribio hayo hapakuwa na madhara yaliyotokea baada ya kupatiwa chanjo hiyo alisema majaribio hayo yalianza kufanyiwa polisi hao baada ya kutimiza vigezo vya kutokuwa na maabukizi ya ukimwi afya njema na wenye uwezekano mdogo wa kupata vvu ambao kutokana na ujasiri wao wanastahili kupewa heshima ya kishujaa kama wale wanaokwenda mstari wa mbele vitani katika warsha hiyo mratibu wa maabara wa muhas profesa UNK lyamuya alisema washiriki ishirini na nne kati ya hamsini na mbili walipatiwa chanjo hiyo walifanikiwa kutengeneza vichocheo vya kinga dhidi ya vvu baada ya kupata chanjo tatu za dna alisema washiriki thebathini na tano kati ya arobaini na nane nao walitengeneza vichocheo baada ya kupata chanjo ya kupiga jeki na katika chanjo ya tatu washiriki ishirini na tatu kati ya hamsini na tisa wametengeneza vichocheo na wengine thebathini na nne kati ya hamsini walipata chanjo hiyo walipata mafanikio kwa asilimia kumi sifuri profesa lyamuya alisema pamoja ya mafanikio hayo chuo hicho kinakabiliwa na changamoto ya kuongeza maabara wafanyakazi wa maabara na kuongeza vifaa vya maabara naye mtaalam wa kinga na magonjwa yanayosababishwa na virusi profesa fred mhalu na alisema chanjo hiyo isiwe kichocheo cha kufanya ngono bila kufuata ushauri wa kitaalamu wa kuacha kujamiiana na kuchelewesha ngono kwa vijana hadi umri wa kuoana au kuishi pamoja uaminifu kwa wenye ndoa ambao wamepima na matumizi ya mipira ya kiume au ya kike ambayo ikitumiwa vizuri UNK kwa asilimia tisini alisema tanzania yenye watu watu milioni arobaini kati yao watu milioni moja nne wameambukizwa virusi vya ukimwi kati yao mia saba na sitini sifuri sifuri sifuri ni wanawake na watoto wanaoishi na virusi ni mia moja na arobaini sifuri sifuri sifuri profesa mhalu alisema kutoka utafiti huo uanze kufanyika muhas umetumia gharama za majaribio ya kutafuta chanjo ya vvu ya shilingi bilioni tano ambazo zimetumika ajili ya kununua vifaa vya kupima vinasaba na kwa sasa imeanzisha programu kwa ajili ya kutoa mafunzo ya mafundi wa maabara mbunge wa zamani wa jimbo la monduli bwana lepilall ole molleimet amesema umefika wakati rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania asiwe mwenyekiti wa chama cha mapinduzi kwa sababu wanachama wake wanashindwa kumkosoa kumshauri na kumdhibiti pindi anapokosea akizungumza kwa njia ya simu kutoka monduli jana bwana molleimet alisema angefurahi iwapo katika kipindi kijacho chama hicho kitafanya marekebisho ili anayekalia kiti cha urais asiwe mwenyekiti wa chama kwani chama kwa sasa chama kinashindwa kumkemea au kumpa ushauri pale anapokosea nitafurahi iwapo katika siku zijazo rais kama akatoka katika moja ya ngazi yeyote ya chini ndani ya chama ili kusudi chama kiweze kumkosoa na kumwajibisha pale anapofanya makosa kuliko ilivyo sasa kwani rais anapokuwa pia mwenyekiti wa chama inasababisha kushindwa kumkosoa kwa kuwa anakuwa anaogopwa hata katika vikao vya chama kwa kuwa ndiye anaongoza kikao alisema bwana molleimet luteni molloimet aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya kadhaa alisema hatua ya kujilimbikizia madaraka ndani ya chama kwa wakati huu ni sawa na kukiuwa na kukifanya kionekane kuwa kimeshikwa na wateule wachache hali ambayo inasababisha makundi ndani ya chama hicho na kukipeleka pabaya alisema chama hicho kina mpasuko mkubwa ambao kwa sasa hauwezi kuzibika hadi hapo kitakapozaliwa upya kwani kwa sasa kimepoteza mmelekeo wake kutokana kukifanya kuwa cha kibiashara na kuwatelekeza walengwa ambao ni wakulima na wanfanyakazi wa hali ya chini tofauti na ilivyokuwa wakati wa marehemu baba wa taifa mwalimu julius nyerere alisema hivi sasa chama hicho kimekuwa ni cha wafanyabishara wakubwa ambao wameingia katika ulingo wa siasa kwa kutafuta na kulinda maslahi binafsi na si kwa manufaa ya wananchi waliowachagua bwana molleimet ambaye amekuwa mbunge wa monduli kwa miaka tisa kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na saba hadi elfu moja na mia tisa na tisini na tano alimshutumu katibu mkuu wa ccm bwana yusuf makamba kuwa anakiharibu chama hicho kuwa kuwarubuni na kurudisha ndani ya ccm kisha kuwapa madaraka makubwa wanachama kutoka katika vyama vya upinzani hali ambayo ni hatari kwa uhai wa chama alisema hali hiyo inasababisha chuki ndani ya chama hicho katika ya wanachama waliokulia na kulelewa ndani ya chama hicho wakiwa hawana madaraka makubwa hali ambayo ni sawa na kuingiza mamaluki ndani ya chama na kuhatarisha usalama ndini ya chama hicho bwana molleimet alisema kutoka na kukithiri kwa wafanyabiashara ndani ya ccm imefika hatua unapozungumua suala la rushwa ndani ya chama hicho unajenga uadui miongoni mwa wanachama ndani ya chama hicho alisema kuzuka kwa mambo ya ufisadi ndani ya chama hicho yametoka na kuifanya siasa ya tanzania kuwa ni biashara na ili kukidhibiti suala hilo na kutojilimbikizia madaraka kama ilivyo sasa mbunge wa zamani wa jimbo la monduli bwana lepilall ole molleimet amesema umefika wakati rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania asiwe mwenyekiti wa chama cha mapinduzi kwa sababu wanachama wake wanashindwa kumkosoa kumshauri na kumdhibiti pindi anapokosea akizungumza kwa njia ya simu kutoka monduli jana bwana molleimet alisema angefurahi iwapo katika kipindi kijacho chama hicho kitafanya marekebisho ili anayekalia kiti cha urais asiwe mwenyekiti wa chama kwani chama kwa sasa chama kinashindwa kumkemea au kumpa ushauri pale anapokosea nitafurahi iwapo katika siku zijazo rais kama akatoka katika moja ya ngazi yeyote ya chini ndani ya chama ili kusudi chama kiweze kumkosoa na kumwajibisha pale anapofanya makosa kuliko ilivyo sasa kwani rais anapokuwa pia mwenyekiti wa chama inasababisha kushindwa kumkosoa kwa kuwa anakuwa anaogopwa hata katika vikao vya chama kwa kuwa ndiye anaongoza kikao alisema bwana molleimet luteni molloimet aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya kadhaa alisema hatua ya kujilimbikizia madaraka ndani ya chama kwa wakati huu ni sawa na kukiuwa na kukifanya kionekane kuwa kimeshikwa na wateule wachache hali ambayo inasababisha makundi ndani ya chama hicho na kukipeleka pabaya alisema chama hicho kina mpasuko mkubwa ambao kwa sasa hauwezi kuzibika hadi hapo kitakapozaliwa upya kwani kwa sasa kimepoteza mmelekeo wake kutokana kukifanya kuwa cha kibiashara na kuwatelekeza walengwa ambao ni wakulima na wanfanyakazi wa hali ya chini tofauti na ilivyokuwa wakati wa marehemu baba wa taifa mwalimu julius nyerere alisema hivi sasa chama hicho kimekuwa ni cha wafanyabishara wakubwa ambao wameingia katika ulingo wa siasa kwa kutafuta na kulinda maslahi binafsi na si kwa manufaa ya wananchi waliowachagua bwana molleimet ambaye amekuwa mbunge wa monduli kwa miaka tisa kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na saba hadi elfu moja na mia tisa na tisini na tano alimshutumu katibu mkuu wa ccm bwana yusuf makamba kuwa anakiharibu chama hicho kuwa kuwarubuni na kurudisha ndani ya ccm kisha kuwapa madaraka makubwa wanachama kutoka katika vyama vya upinzani hali ambayo ni hatari kwa uhai wa chama alisema hali hiyo inasababisha chuki ndani ya chama hicho katika ya wanachama waliokulia na kulelewa ndani ya chama hicho wakiwa hawana madaraka makubwa hali ambayo ni sawa na kuingiza mamaluki ndani ya chama na kuhatarisha usalama ndini ya chama hicho bwana molleimet alisema kutoka na kukithiri kwa wafanyabiashara ndani ya ccm imefika hatua unapozungumua suala la rushwa ndani ya chama hicho unajenga uadui miongoni mwa wanachama ndani ya chama hicho alisema kuzuka kwa mambo ya ufisadi ndani ya chama hicho yametoka na kuifanya siasa ya tanzania kuwa ni biashara na ili kukidhibiti suala hilo na kutojilimbikizia madaraka kama ilivyo sasa nyota za kisiasa za waziri kiongozi mstaafu daktari mohamed gharib bilali na katibu mkuu wa chama cha wananchi maalim seif sharif hamad zinaendelea kunggara kisiwani pemba huku viongozi hao kupewa nafasi kubwa ya kushinda urais wa zanzibar katika uchaguzi mkuu ishirini moja sifuri kupitia vyama vyao uchunguzi wa kina uliofanywa hapa katika mikoa miwili ya kisiwa cha pemba unaonesha kwamba majina ya viongozi hao ndiyo yenye nafasi kubwa katika vinywa vya wananchi wa kisiwa cha pemba uchunguzi huo hauko mbali na ule wa kisayansi uliofanywa na kampuni ya UNK UNK viongozi hao kuwa juu kisiasa maalim seif akimtangulia daktari balali uchunguzi wa mwandishi wa habari hizi unaonesha kwamba makamo wa rais wa muungano daktari ali mohamed shein hapewi nafasi yoyote huku akiwa UNK kabisa akizungumza na majira mohamed bakari wa ccm huko micheweni kiuyu UNK alisema wafuasi na wananchama wa ccm wanamkubali bilali kama mgombea na rais mtarajiwa wa zanzibar kwa tiketi ya ccm mwakani mapenzi yetu hapa kwa wanaccm yapo kwa dokta bilali na UNK chama cha ccm kuacha kabisa mpango wa kupindisha suala hilo alisema hadi sasa hakuna mwana ccm yoyote aliyejitokeza na kutangaza nia ya kuwania nafasi ya urais kwa tiketi ya ccm lakini baadhi ya majina yamekuwa UNK miongoni mwa wanaotajwa ni waziri kiongozi wa sasa shamsi vuia nahodha waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais mohamed seif khatib balozi ali karume na naibu waziri afrika mashariki mohamed aboud mohamed hivi karibuni dokta bilali UNK wananchi katika kisiwa cha pemba na watu wengi walihudhuria licha ya kuwepo kwa juhudi za kutaka UNK baadhi ya wafuasi wa ccm kuhudhuria mimi UNK salamu na kuambiwa kwamba UNK lakini nilikataa na kupinga wazo hilo kwa sababu halikuwa agizo halali alisema mwana ccm mmoja ambaye hakuwa tayari kutaja jina lake katika gazeti kwa upande wa cuf maalim seif bado ni tishio kwa ccm huku kasi yake ikiwa haina kizuizi katika uchaguzi huo ambao rais aman karume atakuwa anamaliza muda wake mwanachama mmoja wa cuf hamad salim alisema nyota ya maaalim seif katika duru za kisiasa pemba haina mpinzani kutokana na kukubalika na kuwa kipenzi cha wengi kwa upande wa chama chetu maalim UNK kuwa ni nguzo imara isiyokuwa na mpinzani katika harakati za kisiasa zanzibar ndiye mgombea wetu asiye na mpinzani alisema hamad asema ameshindwa kutatua kero nzito za kitaifa adai anajali masuala mepesi akerwa na UNK mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahimu lipumba amesema kuwa imani ya wananchi kwa serikali ya ccm imeanza kupungua kwa sababu mwenyekiti wake rais jakaya kikwete na washauri wake hawana msimamo katika kutatua kero nzito za kitaifa badala yake amesema kiongozi huyo anajihusisha na masuala yanayotokana na sera za chama cha mapinduzi yasiyokuwa na tija kwa taifa alisema kutokana na hali hiyo wananchi wanatakiwa kuzinduka ili kuleta mabadiliko kwa kuchagua viongozi wanaofaa katika chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani kwa kuwa hatima ya taifa iko mikononi mwao niwaambie wananchi kuwa rais kikwete ameshindwa kutoa maamuzi katika kutatua kero kubwa za kitaifa bali ni rais anayependa usanii na kutoa majibu mepesi yasiyoridhisha kuhusu namna gani taifa liwe na mshikamano alisema bwana lipumba baadhi ya kero alizosema rais UNK vikali ni mpasuko wa kisiasa zanzibar ufisadi katika akaunti ya madeni ya nje kashfa ya richmond dowans kashfa ya rada ndege ya rais tatizo la umeme na mikakati ya kudumu ya kuondoa umaskini kwa watanzania pia profesa lipumba alirejea kauli yake kuwa kutokana na nafasi ya rais kikwete kuwa kiongozi wa baraza la mawaziri moja kwa moja anahusika katika kashfa ya ufisadi wa richmond napenda pia wananchi watambue kuwa baraza la mawaziri liko chini ya rais hivyo mkataba wa richmond anautambua vizuri na hii ndio maana hawataki kulitolea uamuzi alisema profesa lipumba kashfa ya mkataba tata wa richnond iliibuliwa na bunge na kusababisha aliyekuwa waziri mkuu edward lowassa kujiuzulu UNK na mawaziri wa wawili waliokuwa wamewahi kuongoza wizara ya nishati na madini nazir karamagi na daktari UNK msabaha februari ishirini sifuri saba tangu wakati huo suala hilo limekuwa likiibua mjadala kati ya bunge na serikali na mara ya mwisho kwenye mkutano wa bunge uliopita wabunge walikataa taarifa ya serikali na kuiagiza kuleta majibu yenye tija kwenye mkutano UNK oktoba ishirini na saba mwaka huu aidha profesa lipumba ameonesha kukerwa na picha moja iliyochapishwa hivi karibuni katika gazeti moja la kila siku UNK rais kikwete akimlisha keki mkewe salma kwamba kitendo hicho UNK kiongozi wa nchi kwa kuwa haikuwa na maana yoyote kwa wananchi viongozi hao wa kitaifa wa wako mkoani mara ambapo wanaendesha kampeni ya zinduka inayolenga kuelimisha wananchi kujua hali ya nchi ilivyo hivi sasa na namna wanavyoweza kuikomboa kwa kuchagua viongozi wanaofaa shahidi wa saba katika kesi ya shambulio na kutishia kwa silaha inayomkabili mbunge wa simanjiro bwana christopher ole sendeka ameiambia mahakama ya hakimu mkazi arusha kuwa mbunge huyo UNK wala kumyooshea silaha mlalamikaji bwana james ole millya badala yake shahidi huyo shahidi huyo bwana UNK akyoo ambaye ni daktari wa mifugo alisema kwamba mlalamikaji ndiye alimfuata ole sendeka ambaye alikuwa akizungumza na baadhi ya wabunge waliokuwa wamealikwa katika semina hiyo bwana akyoo aliyasema hayo alipokuwa akihojiwa na wakili wa upande wa utetezi bwana mpaya kamara na kusema kuwa alikuwepo katika eneo hilo wakati wa tukio lakini hakuona bwana sendeka akimpiga wala kumyooshea UNK bwana millya ila alishangaa kumuona bwana millya akiwa ameanguka chini na ndipo UNK na watu wengine kumnyanyua hata hivyo shahidi huyo alipotakiwa kuieleza mahakama kama aliona au alisikia bwana sendeka UNK na bwana millya alisema kuwa hakusikia kitu chochote nilimwona james ole millya akitoka mbele alipokuwa amekaa na kwenda nyuma alipokuwepo mheshimiwa ole sendeka akisalimiana na baadhi ya wabunge baada ya muda mfupi nilishangaa kumuona ole millya akiwa amelala chini na nilipouliza kulikoni niliambiwa kuwa UNK ila mimi sikuona wakati anasukumwa wala kupigwa alisema shahidi huyo alipokuwa akihojiwa na wakili mpaya kamara wa upande wa utetezi wakili unafahamu bwana christopher ole sendeka anashitakiwa kwa makosa gani hapa mahakamani shahidi sifahamu wakili katika tukio hilo uliona mshtakiwa anatoa bastola shahidi sikuona wakili uliona UNK na kumyooshea ole millya shahidi sikuona wakili UNK ole sendeka akimpiga ngumi ole millya shahidi hapana wakili na wewe ulikuwepo kwenye tukio kuanzia mwanzo hadi mwisho shahidi ndio hata hivyo shahidi huyo alipotakiwa kueleza ni kwa nini baada ya watu UNK ole millya UNK katika chumba alisema kuwa hajui kesi hiyo imeahirishwa hadi novemba ishirini na tatu katibu wa kamati ya wazee wa chama cha mapinduzi iliyoteuliwa na halmashauri kuu ya taifa kufuatilia mahusiano ya wabunge wake na serikali bwana pius msekwa amesema kuwa utaratibu wa kuwajadili wabunge wa chama hicho utaendelea na sio mpya kwa kuwa ulikuwepo tangu awamu ya kwanza akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana kuhusu kazi za kamati hiyo bwana msekwa ambaye pia ni makamu mwenyekiti wa ccm bara alisema kuwa kutokana na serikali kuundwa na ccm si jambo la kushangaza kwa chama kuwajadili wabunge wake ili kuleta mshikamano ni utaratibu wa chama kwamba wabunge wakibishana mpaka kuleta mpasuko hujadiliwa katika halmashauri kuu kwa hiyo watu UNK kwanini tunaanza leo kwani UNK tangu awamu ya kwanza alisema alifafanua kuwa kazi ya kamati hiyo iliyoundwa na halmashauri kuu ya ccm chini ya uenyekiti wa rais mstaafu wa awamu ya pili alhaji ali hassan mwinyi ni kurejesha mshikamano wa wabunge ccm hata hivyo alisema mwongozo wa ccm wa mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na moja unaotumika mpaka sasa unaruhusu kiongozi kukosoa na kukosolewa UNK maadili ya chama hata mimi niliwahi kujadiliwa wakati nikiwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano baada ya kuruhusu mjadala wa kuundwa kwa serikali tatu kwa hiyo tunapojadili mwenendo wa wabunge wetu spika ambaye ni miongoni mwa wabunge hao lazima ahusike alisema aidha bwana msekwa alisema kuwa kamati hiyo bado haijaanza kazi yake tangu iundwe na kwamba UNK kuanza kwa kikao cha kumi na saba cha bunge kamati UNK mbunge mmoja mmoja bali tutazungumza nao wote katika kikao cha wabunge na kikao cha baraza la wawakilishi tutaanza na baraza la wawakilishi zanzibar ambalo linaanza vikao vyake wiki ijayo aliongeza bwana msekwa akijibu swali la mwandishi aliyetaka kujua ni hatua gani kamati itachukua dhidi ya wabunge watakaobainika kuwa chanzo cha makundi hayo bwana msekwa alisema UNK kumtafuta mtu ili kumwadhibu bali kuchunguza kwa undani kiini cha makundi hayo ili kujiridhisha kama kweli suala la ufisadi tu ndio chanzo cha wabunge wetu kutofautiana au kuna tatizo jingine suala la adhabu UNK kamati ya maadili ya ccm alieleza kuwa hatua hiyo hailengi kuwaziba midomo wabunge wa ccm bali kujenga nidhamu ya chama kwa kufuata taratibu zilizopo ukweli ni kwamba hii ni serikali ya chama hivyo wabunge wa ccm wanalazimika kuunga mkono masuala ambayo kama UNK UNK uhai wa serikali kama vile suala la kupitisha bajeti lakini bado wana uhuru wa kuikosoa serikali alisema pia bwana msekwa aliongeza kwa kusema kuwa hana ugomvi wowote na spika bwana samuel sitta na kuvitaka vyombo vya habari kuacha UNK kamati ya wazee wa ccm inayoundwa na wajumbe watatu ambao ni rais mstaafu alhaji hassani mwinyi bwana pius msekwa na bwana UNK kinana inatarajiwa kutoa ufumbuzi kutokana na kuibuka kwa makundi UNK kati ya wabunge wa chama hicho benki kuu ya tanzania inatarajia kutoa noti mpya hivi karibuni baada ya kampuni ya crein carens ya sweden na dela rue ya uingereza kushinda zabuni ya kuchapisha noti hizo noti UNK mpya ni zile za shilingi kumi sifuri sifuri sifuri tano sifuri sifuri sifuri mbili sifuri sifuri sifuri moja sifuri sifuri sifuri na hamsini sifuri akizungumza na waandishi wa habari jana mara baada ya kikao cha kamati ya bunge ya hesabu za serikali ambacho kilikuwa kikijadili hali ya kiuchumi na mfumuko wa bei gavana wa bot bwana beno ndulu alisema kuwa noti hizo UNK baada ya miezi tisa kuanzia sasa kati ya kampuni kumi zilizojitokeza lakini kati yao kampuni mbili ndizo zilizoshinda na kupatiwa zabuni hiyo ya uchapaji wa noti hizi ambapo zitaanza kuchapishwa hivi karibuni alisema wakati kampuni ya crein carens ya swiden UNK noti za shilingi kumi sifuri sifuri sifuri tano sifuri sifuri sifuri mbili sifuri sifuri sifuri na hamsini sifuri ile dela rue ya UNK noti za shilingi moja sifuri sifuri sifuri bwana ndulu alisema kuwa baada ya miezi tisa kazi ya uchapishaji itaanza na kuingiziwa kwenye mzunguko lakini noti za zamani zitaendelea kutumika hadi zitakapoisha kwenye mzunguko taarifa hiyo ya gavana imekuja wakati vitendo vya kughushi noti vikiwa vimekithiri na watu mbalimbali wamekuwa wakikamatwa na kufikishwa mahakamani kuhusiana na matukio hayo hata hivyo bwana ndulu alisema bot inakusanya taarifa za watu wanaoghushi fedha ili waweze kuchukuliwa hatua na kwamba sasa hivi kuna mashine maalumu ambayo imekuwa ikisoma kila noti inayokuwa kwenye mzunguko na kuangalia kama zimegushiwa au la alisema kuwa bot pia imekuwa ikitoa elimu kwa wananchi ili waweze kugundua fedha ambazo siyo salama na kwamba ubora wa fedha ni mzuri kwa sababu zinatengenezwa na kampuni zenye uzoefu wakati huo huo bwana UNK alisema kuwa hali ya uchumi bado ni tete tanzania japo kuna matumaini ya uchumi kuendelea kuimarika kidogo kidogo na mapato yatokanayo na uuzaji wa mazao nje siyo mbaya licha ya bei kuwa ndogo alisema kuwa bot imetoa shilingi bilioni kumi na sita kwa benki ya nmb na shilingi bilioni ishirini na mbili kwa crdb kwa ajili ya kuwakopesha wananchi ambao UNK na mikopo ya mwanzo hasa katika mikoa ambayo UNK wakati wa awamu ya kwanza bwana ndulu alisema kuwa mpango huu utaendelea tena kwa awamu ya tatu lengo ni kuhakikisha kwamba wananchi wote wanakopeshwa ili waweze kujiimarisha kiuchumi baadhi ya wanasiasa hapa nchini wamemtaka rais jakaya kikwete kuhakikisha anatekeleza sheria ya viongozi kutaja mali walizonazo kabla hajaanza kutunga sheria mpya ya kuwabana matajiri kauli za wanasiasa hao zinakuja siku moja baada baada ya rais kikwete akiwa mkoani mara kwenye maadhimisho ya miaka kumi ya kifo cha baba wa taifa mwalimu nyerere kusema kuwa miswada ya sheria ya kuwabana matajiri kwenye siasa na ule wa kudhibiti matumizi ya fedha kwenye chaguzi itapelekwa bungeni kwenye mkutano ujao mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba alisema rais hana uhakika na kauli zake kwani ni UNK wa kauli ambazo amekuwa akizitoa kwa watendaji wake na kwa wananchi bila kufuatilia UNK wake alisema wazo la kupelekwa kwa miswaada miwili ya sheria bungeni yenye lengo la UNK wanasiasa na wafanyabiashara ni kupoteza wakati kwani hata sheria zilizopo zinazotoa mwanya wa kuwabana watu wa namna hiyo bado hazitekelezeki itakuwa kazi ngumu kwa rais kujinasua kutoka kwenye makucha ya hao UNK matajiri ikizingatiwa kuwa ni miongoni mwa wanachama wenzake na UNK alisema katika hilo wala sina imani kabisa kuwa UNK sitegemei kitu cha namna hiyo alisema na kuongeza kuwa matajiri hao ndio wanaoiongoza nchi je UNK hatua nchi itaongozwa na nani sasa kwa upande wake mwanasheria mwandamizi chuo kikuu cha dar es salaam daktari sengondo mvungi alisema rais kikwete amechelewa kufanya hivyo na anashangaa yeye kuzinduka sasa hivi daktari mvungi alisema siasa ya tanzania kwa sasa inaendeshwa kwa pesa jambo ambalo ni doa kubwa kutokana na wanasiasa wake kukaa kibiashara zaidi yeye ni shuhuda mzuri katika chaguzi fedha zinavyotumika bila mpangilio kwa kuwa naye ni miongoni mwa watu walioshiriki uchaguzi wa ishirini sifuri tano hivyo alishiriki kikamilifu aliona na anajua yanayofanyika alisema alisema matajiri ni watu hatari sana katika kuliongoza taifa la tanzania na kusema kuwa utajiri huo unaweza kuwa umetokana na ama kufanya ramli ufisadi kumilikishwa kinyemela au wizi kwa msingi huu basi ni rahisi matajiri kuwanunua wanasiasa kwa sababu hawawezi kufanya siasa bila UNK matajiri UNK kuwa wanasiasa wanawanunua wanasiasa na kufanya utajiri wao kuwa siasa alisema kichaa mmoja mkoani arusha amemuua mwanafunzi wa mwaka wa pili wa chuo kikuu cha dar es salaam na baadaye wananchi wenye hasira UNK muuaji kwa mapanga kisha kumchoma moto kamanda wa polisi mkoani arusha bwana basilio matei amemtaja mwanafunzi aliyeuawa kuwa ni bwana jeremia lucas mkazi wa sanawari mjini hapa na kwamba tukio hilo lilitokea juzi saa kumi jioni katika eneo hilo la sanawari UNK matei alisema kuwa kichaa huyo alifika katika mgahawa unaomilikiwa na mama wa mwanafunzi huyo na kutaka apewe chakula kwa nguvu na UNK alianza kuvunjavunja vitu na kuanza kumpiga mama huyo kijana huyo aliyeuawa alipoona mama yake anashambuliwa aliingilia ili kumwokoa mama yake na ndipo kichaa huyo alipochukua kisu na kumchoma shingoni upande wa kushoto kijana huyo alifia njiani wakati akikimbizwa hospitali alisema bwana matei baada ya wananchi kugundua tukio hilo UNK kichaa huyo na walipomkamata UNK kwa mapanga hadi kufa na kisha UNK moto serikali imetakiwa kutumia nguvu yake kufanya uamuzi UNK na wengi wa kutaifisha mitambo ya umeme ya dowans ili kunusuru uchumi wa nchini kutokana na kuwepo kwa mgao wa umeme kwani inapoteza shilingi milioni ishirini sifuri kwa siku kauli hiyo ilitolewa jana dar es salaam na naibu katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo zitto kabwe alipozungumza na waandishi wa habari alisema hilo linawezekana kutokana na utata kuhusu uwepo wa mitambo hiyo nchini mitambo hiyo itaifishwe nani kasema kuwa mitambo hiyo haiwezi kutaifishwa serikali UNK dola kwanini hilo UNK alisema alifafanua kuwa serikali ifanye maamuzi ya kutaifisha mitambo hiyo licha ya kuwa madhara madogo yanaweza kujitokeza ikiwa ni pamoja na wasiwasi kutoka kwa wawekezaji kuwekeza nchini alisema kuwa kama marekani imeweza kufanya hivyo katika mabenki nchini humo katika harakati za kuokoa hali ya mtikisiko wa uchumi hivyo hata tanzania inaweza kufanya hivyo kwa kuwa mitambo hiyo inaweza kuzalishwa megawatt mia moja na ishirini alisema kuwa serikali imekuwa kimya huku taifa UNK na matokeo ya mgao huo aliongeza kuwa hali ya maisha ni mbaya kwa watanzania alisema kuna kila sababu ya serikali kuamua kufanya haraka katika mazungumzo kuhusu mitambo ya iptl huku mitambo hiyo ikiendelea kutoa huduma ya umeme kwani ina uwezo mkubwa wa UNK megawatt kumi sifuri alisema kuwa yupo UNK kupoteza umaarufu wake kwa kutetea taifa lake kuhusu uwezekano wa kuwashwa kwa mitambo ya iptl ili kuinusuru nchi kuingia katika UNK serikali lazima wazungumze na iptl wakubaliane iptl UNK mitambo yao na kuendelea kutoa umeme huku mazungumzo yakiendelea haiwezekani nchi kwenda kizani wakati tunayo mitambo nipo tayari kupoteza umaarufu wangu kwa kulitetea taifa alisema bwana zitto aidha alisema kuwa kwa kufanya hivyo serikali itakuwa UNK taifa katika kuongeza uzalishaji umeme bwana kabwe alisema kuwa UNK serikali kutokana na UNK kimya tatizo hilo ambalo linaonekana kuathiri sehemu kubwa ya uchumi wa nchi aliongeza kuwa viongozi wanapaswa kujali zaidi madhara yake ambapo kwa wananchi si rahisi kutambua madhara hayo alisema kuwa kutokana na utafiti mbalimbali alioufanya kutokana na mgao huo ni dhahiri kuwa sekta mbalimbali za uchumu UNK kwa kiwango kisichotarajiwa alitoa mfano kuwa kiwanda cha simenti ambacho kilikuwa kikitumia umeme kwa dola za marekani kumi kwa siku baada ya mgao kiwanda hicho kinatumia dola za marekani arobaini kwa siku hivyo kuongeza gharama za uzalishaji gharama hizo zinashuka moja kwa moja mpaka kwa mwananchi ambaye ndio UNK zaidi kwa kuwa hakuna mtu atakayetaka kuendesha biashara kwa hasara kutokana na mgao huo bei ya simenti itaongezeka juu kwa UNK cha shilingi kumi sifuri sifuri ambapo hiyo ni bei ya mlangoni alisema kuwa mpaka sasa serikali haijafanya kitu chochote aliongeza kuwa awali kulikuwa na tetesi kuwa tatizo la umeme lilitokana na hujuma lakini baada ya kutumia wiki mbili kuangalia chanzo cha tatizo hilo waligundua kuwa si hujuma lakini kitu cha kushangaza serikali haifanyi lolote katika kutafuta suluhisho sioni hatua zozote zikichukuliwa na serikali suala la umeme ni suala la kitaifa sio suala la kuchezea UNK na wanasiasa kurushiana maneno kila mmoja amekaa kimya kusubiri nani ajibu alisema bwana kabwe alisema kuwa hivi karibuni kutakuwa na mikutano UNK ya kimataifa nchi mmoja wako ni ule unaohusu masuala ya uwekezaji ma kudai kuwa wawekezaji hawawezi kuja kuwekeza wakati nchi UNK kwa majenereta alisema kuwa tatizo kubwa la viongozi wa nchi hii wamekuwa na majibu mepesi katika maswali magumu kwa mtazamo wake alisema kuwa katika nchi hii hajawahi kuona mkurugenzi makini kama mkurugenzi wa shirika la umeme tanzania daktari idrisa rashid naamini kuwa the best UNK in tanzania ni daktari rashidi alisema bwana zitto alifafanua kwa huu si wakati wa wanasiasa kuviziana ama kumtafuta mchawi kwa kuwa taifa linaendelea kuathirika kiuchumi isipokuwa ni kufanya maamuzi UNK taifa alisema kuwa kama serikali itashindwa kufanya maamuzi ya haraka katika kuinua maisha ya wananchi basi wananchi UNK kwa kushindwa kuwapatia maisha bora kutokana na gharama za maisha kuwa juu ni wakazi wa kipawa wanaotakiwa kuhama walitaka kufikisha kilio chao cha fidia eneo la shule ya msingi kipawa na maeneo yanayozunguka jana iligeuka uwanja wa mapambano baada ya wenye nyumba wa kipawa kupigwa mabomu ya machozi wakati wakijiandaa kufunga barabara kumsimamisha rais jakaya kikwete UNK awalipe fidia kwa sheria mpya ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa sakata hilo lilitokea jana saa sita thebathini wakazi hao ambao wanatakiwa kuhama eneo hilo ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu nyerere walihamasika kumzuia rais kikwete ambaye alirejea jana kutoka butiama ambako alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka kumi ya kifo cha hayati mwalimu nyerere katika UNK hizo kikosi cha kutuliza ghasia na baadhi ya askari polisi na makachero wakiongozwa na kamanda wa polisi mkoa wa ilala bwana faustine shilogile na mkuu wa kituo cha stakishari bibi komba wakazi hao UNK kilio cha nguvu wakidai UNK katika nchi yao haikuishia hapo polisi hao walimkamata mwenyekiti wa wenye nyumba wa kipawa bwana magnus mulisa na wengine wanne kuwapeleka katika kituo cha polisi askari wa ffu polisi na makachero wakiwa katika sare na wengine wamevaa nguo za kiraia walitoa matangazo ya kuwataka wenye nyumba hao UNK lakini walikaidi na hakuna aliyeondoka ndipo waliporusha mabomu ya machozi na kurusha maji ya kuwasha UNK na kuwafanya wakimbie hovyo gari lililokuwa UNK maji ya kuwasha lilizunguka eneo hilo na kurusha maji hayo ambayo mengine UNK abiria waliokuwa wakipita barabara ya nyerere ambao UNK na kukimbia huku na huko kutafuta hifadhi na wengine kutafuta maji ya kunawa usoni ili kuondoa UNK wa mabomu hayo wakati wakazi hao UNK na polisi wengine ambao UNK walikuwa wakichukua hundi zilizoanza kutolewa jana magereza ukonga na kuridhika na kiwango UNK mgogoro wa ulipwaji wa fidia eneo la UNK uwanja wa ndege ulianza baada ya serikali kuu kupitia wizara ya miundombinu kutoa tamko kuwa italipa fidia ya nyumba za wakazi wa kipawa kigilagila na kipunguni kwa sheria ya mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba ambayo inapingwa na wakazi hao wenye nyumba waliochukua hundi zao jana na kugoma kutaja majina yao kuhofia usalama wao walisema wamefikia uamuzi huo kwa sababu hawataki malumbano na serikali kwani wanaamini walicholipwa ni haki yao walisema kiasi walicholipwa kinatosha kwenda kujenga nyumba nyingine kauli ambayo inapingwa na wale ambao wanapinga kuchukua hundi hizo ambao wanadai waliokwenda kuchukua ni watu wenye uwezo na UNK zaidi ya moja ambao hawaathiriki na fidia kiduchu ofisa ardhi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana edgar japhet alisema UNK iliyofanyika haikuwa na kasoro na watu watalipwa kutokana na thamani ya nyumba yake UNK wa uthamini mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na saba wenye nyumba hao wamepewa viwanja na hundi zao na waliosaini kuchukua hundi zao UNK na hakuna aliyelalamika ingawa watu wa mirathi na UNK nyumba zao waje na ushahidi wa kutosha kutoka kwa UNK wa awali malipo ya fidia ya wakazi wa kipawa yalianza kwa awamu ya kwanza kwa watu kumi sifuri wa mwanzo na yataendelea kwa siku arobaini na tano habari za uchunguzi wa gazeti hili zinaonesha kuwa kuna ujanja uliotumika wakati wa uthamini wa nyumba hizo ambao kuna baadhi ya watu ambao nyumba zao zilikuwa UNK kulipwa milioni thebathini na tano na kuendelea na wengine ambao nyumba zao zilijengwa na kuwekwa ukuta wameandikiwa chini ya milioni ishirini wakazi wa kipawa juzi waliiandikia wizara ya miundombinu notisi ya siku tisini kudai UNK sheria ya kulipa fidia yao kutoka ya mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba itumike ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa kama UNK wanapeleka shauri hilo mahakama kuu ya tanzania kitengo cha ardhi serikali ya mapinduzi ya zanzibar imesema inaendelea na maandalizi ya sera ya nishati na kwamba haitabadilisha uamuzi huo hayo yalisemwa na waziri wa maji ujenzi nishati na ardhi wa smz bwana mansoor yussuf himid alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu swali lililoulizwa na mwakilishi wa jimbo la mikunguni kwa tiketi ya ccm aliyetaka kujua maandalizi ya sera ya nishati yamefikia wapi bwana suleiman alisema aliuliza swali hilo baada ya kuelezwa kuwa wajumbe waliambiwa kwamba UNK mbele ya baraza la wawakilishi bwana mansoor alisema tatizo kubwa UNK kwa serikali kushindwa kuwasilisha sera hiyo mapema ni kujitokeza kwa kasoro ndogondogo na kamati za baraza kushindwa kukutana kwa wakati dhamira na malengo ya kuwasilishwa kwa sera ya nishati yapo pale pale hakuna mabadiliko yoyote itawasilishwa katika vikao vijavyo vya baraza la wawakilishi alisema bwana UNK alisema kinachofanyika kwa sasa ni kwa wizara kuwasiliana na baadhi ya wafadhili kuhakikisha vijana wanapatiwa mafunzo ya kitaalamu nchi za nje mkuu wa mkoa wa iringa bwana mohamed abdulaziz anatarajia kumwona rais jakaya kikwete kumweleza mateso wanayoyapata wakulima wa chai wa tarafa ya lupembe wilaya ya njombe mkoani iringa mateso hayo yanatokana na mgogoro wa muda mrefu kati ya mwekezaji wa kiwanda cha lupembe tea factory na muungano wa vyama vya ushirika lupembe ni kweli mimi ndiye mwakilishi wa rais UNK kilio chenu kwake ili naye aweke baraka zake kuhusu ufunguzi wa kiwanda hiki UNK na mwekezaji waondoe tofauti hizo ili kiwanda UNK na mzunguko wa fedha kwa wananchi uanze alisema mkuu huyo wa mkoa alisema hayo wiki hii katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kitongoji cha UNK tarafa ya lupembe baada ya mmoja wa wakulima wa chai wa tarafa hiyo kutaka kujua kwa nini kiwanda kimefungwa huku yeye akiwa kimya wakati ni mwakilishi wa rais katika mkoa huo akijibu swali hilo bwana abdulaziz alikiri kuwa kiwanda kilifungwa baada ya wafuasi wa chama cha ushirika chenye ubia kwenye kiwanda hicho kumfanyia vurugu mwekezaji ambaye alikwenda mahakamani alisema asingeweza kulizungumzia kwa undani kwa kuwa suala hilo liko mahakamani nachoweza kusema hapa ni kwamba walichofanya muvyulu ilikuwa ni hasira tu lakini kwa sasa wote mwekezaji na muvyulu wanatakiwa kukaa pamoja haraka iwezekanavyo na kuangalia namna ya kufungua kiwanda hicho bila kuathiri kesi zilizopo mahakamani alifafanua kauli hiyo ya rc inafanana na uamuzi wa jaji mziray wa mahakama kuu kitengo cha ardhi aliyetoa uamuzi mapema mwaka jana kuwa kiwanda hicho kiendelee na uzalishaji kama awali huku kesi za pande zote mbili zikiendelea mahakamani lakini muvyulu UNK uamuzi huo wa mahakama na kuendelea kushikilia kiwanda kimya kimya hadi leo huku kikiwa UNK uzalishaji kiwanda cha lupembe tea factory kilifungwa agosti moja mwaka jana baada ya wafuasi wachache wa muvyulu kuvamia kiwanda na kuwatimua wafanyakazi na menejimenti ya kiwanda hicho hadi leo imekuwa ikidaiwa kuwa munguki wanapata kiburi kwa kuwa wanalindwa na baadhi ya vigogo wa ikulu akiwamo katibu mkuu kiongozi philemon luhanjo ingawa amekuwa akikanusha jambo hilo tangu kufungwa kwa kiwanda hicho uongozi wa muvyulu UNK vijana wa kihuni wanaolinda kiwanda hicho maarufu kama mungiki ambao wamekuwa wakiwashambulia watu wakiwemo waandishi wa habari watano waliopigwa na kujeruhiwa walipokwenda kuandika habari za mgogoro huo watu wa kwanza kushambuliwa na mungiki hao ni mawakala wa mahakama kumi na moja waliokwenda kiwandani kutekeleza amri ya mahakama ya kuwaondoa septemba mwaka jana lakini UNK kipigo cha mungiki hao na kulazwa huku serikali ikiwa haijachukua hatua yoyote hadi leo wengine kortini kwa kutaka kuzuia msafara wa kikwete wakati serikali ikiendelea kulipa fidia za kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu nyerere dar es salaam baadhi ya wenye nyumba waliochukua hundi zao wamegawanyika katika makundi ya wenye furaha na huzuni mgawanyiko huo umetokana na malipo kiduchu kwa baadhi yao na wengine kulipwa fidia nono wakati nyumba zao hazikuwa na thamani inayolingana na malipo hayo bibi fatuma juma alisema hundi ya shilingi milioni tano UNK hailingani na thamani ya nyumba yake ambayo ina vyumba vinne na ilikuwepo wakati wa tathmini iliyofanywa na kampuni ya uthamini ya tan UNK ya dar es salaam haya ni maumivu makali sijui fedha hizi UNK kufanya nini kwa sababu UNK kujenga vyumba viwili tu wakati familia yangu ni kubwa alisema bibi UNK mwingine bibi modester UNK aliliambia gazeti hili kuwa amelipwa shilingi milioni kumi na tatu saba ambayo hailingani na thamani ya nyumba yake na kusema huo ni uonevu kwa sababu wengine ambao hawana nyumba yenye thamani kubwa kuliko yake wamelipwa fedha nyingi fedha hizi hazitoshi kujenga nyumba ya kuishi familia yangu kama ya kipawa nilijenga nyumba yangu kutokana na kiinua mgongo UNK baada ya kuachishwa kazi mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita kwa shilingi milioni kumi na mbili tano hata majirani UNK malipo haya alisema bibi UNK wakati hundi hizo zikiendelea kutolewa wakazi wengine ambao wanapinga fidia hiyo kulipwa kwa sheria ya mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba walisema hawakubali kuchukua malipo hayo hadi serikali UNK kulipa kwa sheria ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa mkuu wa wilaya ya ilala bwana evans balama alisema wakazi wa kipawa wanaotaka kuchukua hundi hizo wafanye hivyo kwa sababu serikali haitabadilisha uamuzi huo katika hatua nyingine watu tisa akiwemo mwenyekiti wa wenye nyumba wa kipawa bwana magnus mulisa waliokamatwa juzi wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya ilala UNK kwa makosa matatu ya kuandamana kufanya usumbufu na kumpiga askari polisi wakisomewa mashtaka hayo mbele ya hakimu mfawidhi bibi joyce minde washtakiwa hao bwana athumani UNK bwana abdallah dadi bwana ali abdallah bwana joseph laizer bwana juma mussa bwana samuel gidion bwana mathew thomas na bibi teddy UNK washtakiwa hao kwa pamoja wamenyimwa dhamana hadi oktoba ishirini na tatu upelelezi utakapokamilika na kupewa dhamana juzi saa tatu asubuhi wakazi hao wa kipawa zaidi ya hamsini sifuri walikusanyika wakiwa na mabango yaliyokuwa UNK kuwa hawaridhiki na viwango vya malipo yanayotolewa ya UNK kutoka eneo hilo huku wakipania kuzuia msafara wa rais kikwete kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere alikuwa akisubiri matokeo darasa la saba ajuza mwenye umri unaokadiriwa miaka kati ya themanini na tisini mkazi wa kijiji cha UNK kata ya njoro wilayani same mkoa wa kilimanjaro bibi fatuma UNK amejiua kwa kile kinachodaiwa kukerwa na kitendo cha mjukuu wake mwenye umri wa miaka kumi na nne kuozwa na wazazi wake wakati akisubiri majibu ya mtihani wa darasa la saba bibi huyo UNK kwa UNK inadaiwa enzi za uhai wake alisisitiza sana umuhimu elimu kwa mjukuu wake huyo aliyemaliza elimu ya msingi mwaka huu tukio hilo lilitokea oktoba tano mwaka huu usiku ambapo mwili wake ulikutwa asubuhi oktoba sita kwenye mti nje ya nyumba aliyokuwa akiishi baadhi ya majirani wa eneo hilo walisema ajuza huyo kabla ya kifo chake aliacha ujumbe kuwa endapo mjukuu huyo aliyekuwa akiishi naye UNK katika umri mdogo asije kwenye msiba wake wala asirudi tena kwao na atapata matatizo maishani mwake mjukuu wa marehemu bwana rashidi UNK alisema baada tukio hilo alitoa taarifa ya kifo hicho katika ofisi ya ofisa mtendaji wa kijiji hicho bibi zaituni abeid ambaye alikiri kutokea tukio hilo na kueleza kuwa iliwalazimu kutoa taarifa polisi habari zaidi kutoka kijijini hapo zilieleza kuwa baada ya ajuza huyo kujinyonga majirani walimshusha kwenye mti huo na kwenda kumzika haraka kisha kukata mti huo na UNK kwa mujibu wa mila zao akizungumzia tukio hilo kwa njia ya simu kamanda wa polisi mkoa wa kilimanjaro bwana lucas ng UNK alikiri kupokea taarifa za tukio hilo na kueleza kuwa jeshi hilo linaendelea na uchunguzi kubaini kiini cha tukio hilo aidha kamanda UNK alitumia nafasi hiyo kuwaonya wazazi kuacha tabia ya UNK mabinti zao na kueleza kuwa hatua za kisheria zitachukuliwa kwa wazazi wa aina hiyo wakati serikali ikikemea malumbano ya kidini na kuonya kwamba ni hatari kwa mshikamano na amani ya taifa waraka UNK chama cha demokrasia na maendeleo na ukristo UNK nchini waraka huo ambao majira inayo nakala yake unadaiwa kuandaliwa na viongozi wa madhehebu ya kikristo nchini na kusisitiza kuwa kanisa lina nafasi kubwa ya kushiriki katika masuala ya umma tofauti na kauli zinazosisitiza kuwa jukumu lake ni la UNK waraka huo umedai kuwa kanisa litaendelea kushika hatamu za uongozi na kamwe halitakubali kupoteza sauti katika masuala yanayohusu nchi na kueleza mkakati wa kuunga mkono chadema kwenye uchaguzi mkuu ujao waraka huo umeeleza masikitiko ya kanisa kukataliwa baadhi ya mambo ambayo UNK kuwa yana athari kwa mshikamano wa taifa kama vile suala la kuanzishwa mahakama ya kadhi na tanzania kujiunga na jumuiya ya kiislamu duniani suala la mahakama ya kadhi na kujiunga na oic yalipingwa na kanisa lilisisitiza hapo awali kwa kuwa lilieleza madhara yatakayotokea kwa vyombo hivyo lakini serikali ya awamu ya nne UNK kauli ya kanisa ilidai sehemu ya taarifa hiyo na kuendelea kueleza vile vile ikumbukwe kuwa kanisa halina manufaa kwa serikali hii kwa mfano mdogo angalieni hata hili la msamaha wa ushuru wa kodi kwa kanisa serikali hii ya ccm ilitaka kufutia msamaha wa kodi masuala haya yote kanisa UNK kuvumilia kuna haja za maksudi kukabiliana na serikali hii ya ccm katika chaguzi zijazo muelekeo wa kanisa kwa sasa ni kuelekeza nguvu zetu kwa wakristo wote wa tanzania kwa chama chetu cha chadema katika uchaguzi ujao waraka huo ulidai kuwa maandalizi yote yamekamilika ikiwa ni pamoja na kukutana na viongozi na kutengeneza mtandao mzuri UNK endelevu kazi iliyobaki ni kuhamasisha wakristo wote kupigia kura chadema ili kulinda maslahi ya kanisa ofisa habari wa chadema bwana david kafulila alipoulizwa na gazeti hili kwa simu alikiri kuwepo kwa taarifa hizo ofisini kwake kwa zaidi ya wiki mbili zilizopita na kueleza kwamba hizo ni propaganda zinazoenezwa na chama kimoja cha upinzani kujaribu UNK chama chake nimezipata taarifa hizo zaidi ya wiki mbili waraka huo waligawa viongozi wa chini ili kukimaliza chadema sisi hatutaki kabisa kujihusisha na masuala ya dini chama hiki ni cha wote hatuwezi kukataa kuungwa mkono na wakristo alisema bwana kafulila alisema kuhusisha dini na vyama vya siasa ni hatari kwani inaweza kusababisha umwagaji damu na kuongeza kuwa kufanya hivyo UNK dini husika pia ni dhambi kwa mwenyezi mungu alipoulizwa naibu katibu mkuu wa chadema bwana zitto kabwe kuhusu taarifa hizo alisema kuwa hana jibu lolote no UNK msaidizi wa rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki tanzania father UNK alipoulizwa kuhusu suala hilo alisema kanisa katoliki halina taarifa zozote kuhusu waraka huo na kueleza kuwa jambo hilo si la kweli kwa kuwa msimamo wa kanisa ni kutounga mkono chama chochote cha siasa sina taarifa hizo pia naamini hazina ukweli kanisa kamwe haliwezi kuungana na chama chochote cha siasa kama taarifa hizo UNK basi hazina ukweli wowote alisema father UNK wasema serikali UNK UNK popote pia haiwezi kudaiwa malipo hata ya shilingi kumi baadhi ya wanasheria na wanasiasa nchini wamesema serikali haiwezi kuingia kwenye kesi ya aina yoyote ile kwa mujibu wa sheria za kimataifa za uwekezaji endapo itachukua uamuzi wa kutaifisha mitambo ya kufua umeme ya kampuni ya dowans na kutowalipa hata shilingi moja kauli hizo zinakuja siku moja baada ya naibu katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo bwana zitto kabwe kuitaka serikali kutaifisha mitambo hiyo huku akiitaka umeme unaozalishwa na UNK ni ya independent power tanzania limited yenye uwezo wa kuzalisha megawati kumi sifuri kuingizwa kwenye gridi ya taifa ili kuinusuru nchi na mgawo wa umeme akizungumza jana na majira kwa kutoa ufafanuzi wa kisheria kuhusu hoja hiyo mwanasheria mwandamizi nchini bwana tundu lissu alisema kauli ya mwenyekiti wa kamati ya nishati na madini bwana william shellukindo kuwa endapo serikali itakubali mapendekezo hayo taifa litaingia kwenye kesi si sahihi kwani mikataba hiyo UNK kuwa niyakitapeli hivyo hawana UNK hoja ya shellukindo finyu nchini haiwezi kushitakiwa popote pale kama UNK mitambo ya dowans tena watu hao hawatakiwi kulipwa hata hata shilingi kumi ndivyo sheria za uwekezaji UNK alisema alisema kuwa haoni sababu ya serikali kuchelewa kufanya hivyo kwani UNK mzigo mzito na kupata hasara kutokana na nchi kukosa UNK kuishauri kufanya kila linalowezekana kunusuru taifa kwa upande wake katibu mkuu wa chadema daktari wilbroad slaa alisema anashangaa kuona serikali inaogopa kutaifisha mitambo hiyo huku ikitambua kuwa iliingizwa hapa nchini kimaigizo sheria ya rushwa UNK wala hatuhitaji UNK serikali wala mtu yoyote katika hili kwenye kuchukua maamuzi au kulitekeleza lakini bado halijafanyika hata moja alisema mmoja wa wananchi bibi hellen mgomba alisema upungufu huo unasababishwa na utendaji mbovu wa serikali kushindwa kuchukua hatua za uhakika kwenye matatizo ya namna hii na kujikuta ikiingia kwenye hasara hatuwezi kuingia gharama bila sababu za msingi wakati UNK wetu wataalamu lakini mambo UNK hayaendani na hali halisi wanatakiwa kuchukua hatua madhubuti ili UNK na mgawo UNK alisema waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja alipotakiwa kutoa maoni yake kuhusu hatua hiyo alieleza kuwa alikuwa kwenye mkutano sasa niko kwenye vikao vyangu bwana nitafute baadae alisema na kukata simu tanzania inayo nafasi kubwa kutumia fursa zilizopo katika nyanja ya biashara ya kimataifa iwapo sekta muhimu katika usafirishaji na uchukuzi kama vile bandari na reli zitaongeza ufanisi katika kutekeleza majukumu yake tofauti na ilivyo sasa hayo yalisemwa jana dar es salaam na waziri wa biashara viwanda na biashara bibi mary nagu alipozungumza na gazeti hili baada ya kuuliza nafasi ya sekta hizo katika kuisaidia tanzania kushindana vizuri katika ushindani uliopo katika biashara ya kimataifa ili tuweze kushindana vizuri na kutumia fursa kadhaa zilizopo katika biashara ya kimataifa lazima kuwepo na ushirikiano wa sekta nyingi kwa mfano bandari na reli lazima UNK ufanisi wake bandari inajaribu kujitahidi lakini kwa kweli bado sana bibi nagu aliongeza kuwa kukosekana kwa ufanisi unaotakiwa katika sekta kama hizo kunasababisha ongezeko la gharama na hatimaye gharama katika bei ya bidhaa hivyo kufanya ushindani kuwa mgumu mkurugenzi mkuu wa shirika la biashara duniani bwana pascal lamy alisema kuwa wako tayari kuisaidia bandari hiyo hasa katika maeneo ya kuratibu shughuli zake na kuwawezesha wafanyakazi UNK bwana lamy alisema wto hawatoi misaada ya kifedha moja kwa moja kama mashirika mengine yanayohusika na isipokuwa wanaweza kutumia nafasi waliyonayo kushawishi ili kusaidia bandari hiyo kushindana na kuisaidia nchi katika biashara ya kimataifa mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya bandari nchini bwana ephraim mgawe alisema pamoja na changamoto UNK bandari ya dar es salaam wamekuwa wakichukua hatua ili kuboresha utendaji kazi utakaoifanya bandari ya dar es salaam kutimiza wajibu wake kulingana na mahitaji yaliyopo chama cha maendeleo na demokrasia manispaa ya morogoro UNK naibu mstahiki meya wa manispaa ya UNK amir nondo kuwa anaingilia mchakato wa demokrasia katika maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa mjini hapa katika barua yao ya malalamiko ya oktoba kumi na nne mwaka huu kwenda kwa msimamizi wa uchaguzi manispaa ya morogoro katibu mwenezi wa chadema bwana elias mwalusako amedai kuwa bwana nondo amekuwa UNK mgombea wao kwa nafasi ya uenyekiti wa mtaa kata ya mlimani bwana richard chacha ajitoe kuwania nafasi hiyo vinginevyo UNK kazi amedai mgombea wao ambaye kwa sasa ni mtumishi wa halmashauri hiyo amekuwa akishinikizwa na bwana nondo ambaye pia ni diwani wa kata ya mlimani kujitoa katika uchaguzi huo hali ambayo inaweza kuhatarisha demokrasia na hivyo kumuomba msimamizi wa uchaguzi kuchukua hatua haraka bwana mwalusako pia amedai kuwa mchakato mzima umegubikwa na kasoro mbalimbali katika kata za bigwa kigurunyembe kiwanja cha ndege na sabasaba alitaja baadhi ya kasoro kuwa ni madaftari ya wapiga kura kutoandikwa jina la mtaa vituo UNK kwa majina karatasi kwenye daftari la UNK wapiga kura kutokuwa na namba na uandikishaji wa watu wasiokuwa na sifa ya ukaazi katika eneo husika akijibu tuhuma hizo bwana nondo alisema kuwa UNK mgombea huyo kujitoa na kwa nafasi aliyonayo katika siasa unaibu meya na ujumbe wa vikao mbalimbali vya ccm kutoka ngazi ya tawi hadi taifa angekuwa ametumwa na ccm kuwarubuni wagombea wa vyama vingine wajitoe katika uchaguzi angepata faraja na angetimiza maagizo hayo haraka sana hata hivyo ametahadharisha kwamba watumishi wa halmashauri ya manispaa ya morogoro na wanaokusudia kugombea ni lazima wachague moja kuendelea na utumishi wao kwenye manispaa hiyo au kuingia kwenye uongozi wa serikali za mitaa kwa kuwa endapo UNK nafasi zote mbili kutakuwa na mgongano wa kimaslahi katika uwajibikaji jengo la ghorofa moja jijini dar es salaam limeporomoka na kusababisha uharibifu wa mali kutokana na ujenzi uliokuwa ukiendelea pembezoni mwa jengo hilo taharuki hiyo ilitokea jana saa tano asubuhi katika makutano ya barabara za zanaki na samora katika jengo lililopo pembezoni mwa barabara hizo lililokuwa likiendelea kujengwa huku wenyeji na majirani wakiendelea na shughuli zao kama kawaida mmoja wa wapangaji katika UNK hilo bwana bashir UNK na mfanyabiashara katika jengo hilo UNK alisema kuwa wakati ujenzi ukiendelea ghorofa hilo walimokuwa wamepanga kwenye vyumba vya chini ilikuwa UNK dalili zote za kuanguka jambo lililowafanya waishi hapo kwa hofu siku zote alisema mkandarasi wa jengo lililokuwa likijengwa aliwaeleza kuwa kuporomoka kwa jengo hilo unatokana na kuchimbwa vibaya kwa msingi ambao UNK kwa kuingia ndani na kulifuata jengo hilo UNK palikuwa UNK kienyeji sana kwani hawakuzingatia kabisa namna ya kuchimba ambayo UNK madhara alisema na kuongeza kuwa huenda mkandarasi huyo alikuwa anatumia mafundi wasio na uwezo baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo bibi elizabeth joseph alisema kuwa ujenzi huo haukuwa na kibao kinachoonesha mmiliki wa jengo hilo wala mkandarasi wake jambo linalotia shaka baada ya tukio hilo lilikuja gari likiwa UNK bango linaloonesha kibali cha ujenzi mkandarasi na mmiliki wa jengo hilo muda mfupi baada ya tukio hilo kwa mujibu wa mashuhuda hao jeshi la polisi lilifika katika eneo hilo na kuwachukua baadhi ya mafundi waliokuwapo katika eneo hilo kwa ajili ya mahojiano zaidi siku chache baada ya mkuu wa mkoa wa iringa mohamed abdulaziz kuahidi mbele ya wakulima wa chai wa lupembe kuufikisha mgogoro wa kiwanda cha chai kwa rais jakaya kikwete baadhi ya wakulima wamedai uwezo wa kukifungua kiwanda hicho upo mikononi mwa mkuu mwake na siyo rais wakizungumza na majira jumapili baadhi ya wakulima wamedai kiutawala mkuu huyo anao uwezo wa kulimaliza tatizo hilo kutokana na kuamuru kutekelezwa kwa maagizo ya kamati ya ulinzi ya wilaya njombe UNK agosti kumi na mbili mwaka jana ambayo viongozi wa uvamizi wa kiwanda hicho UNK hata hata kipengele kimoja mmoja wa wakulima aliyezungumza na gazeti hili aliyeomba jina lake lisitajwe UNK mwandishi wa habari UNK barua iliyokuwa na maagizo ya kamati hiyo na nakala yake kufikishwa kwa mkuu wa mkoa ambapo uongozi huo wa wilaya ilitoa siku saba wavamizi wanaojiita mungiki wawe wameondoka na kufuata mkondo wa sheria katika kudai haki zao walidai kuwa sasa ni zaidi ya mwaka mmoja bado wavamizi hao wapo kiwandani hapo na kuzuia uzalishaji jambo linaloendelea kuwatia umaskini wananchi wengi na kudai pia viongozi hao waliagizwa vyama tisa vinavyounda muungano wa vyama vya ushirika vya lupembe UNK mkutano na kujadili maslahi ya wanachama agizo ambalo UNK hadi leo sisi tunahangaika huku wavamizi hao kwa mujibu serikali UNK sheria na UNK kiwanda na walipewa siku saba kuhakikisha kiwanda na mali zote pamoja na watumishi wanakuwa katika hali ya usalama sasa tunashangazwa na mkuu huyo UNK hatua na UNK mzigo rais kikwete alisisitiza mkulima huyo pia alisema kuwa iwapo mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya ya njombe walishinda kutumia njia za utawala kuwachukulia hatua mungiki hao wengeweza kutumia njia ya kutekeleza amri ya mahakama kuu ya ardhi ambayo iliamua kiwanda UNK katika hali yake ya awali wakati mgogoro wa wanahisa ukiendelea wakulima hao walidai kauli hiyo ya mkuu wa mkoa ina nia ya kutaka UNK mgogoro huo huku wao wakiteseka pia ina lengo la UNK wao na serikali kwa kuwa haizingatii utawala wa sheria endapo viongozi wa wilaya na mkoa UNK basi bila shaka kuna watu wazito waliopo kwenye UNK huo wanaohitaji amri ya rais alisema mmoja wa wakulima hao katika siku za nyuma baada ya madalali wa mahakama kupigwa na kundi la wavamizi wanahabari UNK habari juu ya mgogoro huo nao walipigwa mkuu wa mkoa UNK kamati ya kukifungua kiwanda lakini kamati hiyo ilijikuta inashindwa na hatimaye mgogoro huo kuchukua zaidi ya misimu miwili ya uvunaji wa zao la chai na kulwa mzee mashahidi watatu wa upande wa mashitaka katika kesi ya mauaji yaliyotokea ubungo dar es salaam wamedai kortini kuwa shilingi bilioni moja zilizotolewa na benki kuu ya tanzania kwa ajili benki ya nmb tawi la wami morogoro UNK ushahidi huo ulitolewa mahakama kuu dar es salaam jana mbele ya jaji UNK rugazia mashahidi hao walikuwa wakiongozwa na wakili wa serikali mwandamizi bwana obadia UNK shahidi wa kwanza ambaye ni kaimu meneja wa nmb kibaha ambaye wakati wa tukio aprili ishirini ishirini sifuri sita alikuwa meneja shughuli wa tawi la wami morogoro bwana abdul kirumbu alidai aliandaa barua ya kuomba shilingi bilioni moja nmb tawi la benki house dar es salaam alidai barua nyingine alipeleka ffu morogoro kwa ajili ya kuomba askari wa kumsindikiza mfanyakazi wa benki hiyo bwana evarist manyoni aliyekuwa na jukumu la kufuata fedha dar es salaam maombi yalikubaliwa na askari wanne waliambatana na marehemu manyoni katika safari hiyo msafara huo ukitokea morogoro ulibeba fedha chakavu zisizofaa kwa matumizi kwa ajili ya kuzirudisha dar es salaam na kufuata shilingi bilioni moja UNK shahidi alidai fedha chakavu zilizokuwa UNK ni dola za marekani tatu ishirini tano euro mia moja na ishirini na shilingi milioni mia moja na ishirini na nne ambazo zilifika salama bwana kirumbu alidai shilingi bilioni moja UNK dar es salaam kwa ajili ya tawi la wami hazikufika na alipata taarifa kuwa msafara ulivamiwa maeneo ya ubungo shahidi wa pili ofisa wa benki hiyo tawi la mbagala bwana ibrahim mfaume ambaye wakati wa tukio alikuwa ofisi ya kanda dar es salaam alidai aliidhinisha gari moja kwa ajili ya kubeba shilingi bilioni moja kwenda wami morogoro lakini muda mfupi baada ya kuondoka alipewa taarifa msafara UNK aende hospitali ya taifa muhimbili kwa ajili ya kuwaangalia majeruhi alidai alipofika mnh alimkuta dereva wa gari alilotoa bwana juma nyundo na ali omari wakiwa wamejeruhiwa na mfanyakazi wa nmb wami bwana manyoni amekufa majehuri wengine ambao ni askari kutoka morogoro UNK naye shahidi wa tatu bwana colman UNK ambaye ni meneja wa nmb tawi la dodoma katika ushahidi wake alidai akiwa meneja uendeshaji tawi la benki house dar es salaam alikuwa UNK kiwango cha fedha UNK na matawi husika UNK alidai alipokea maombi kutoka benki ya wami morogoro aprili kumi na nane ishirini sifuri sita ya shilingi bilioni moja siku iliyofuata alipeleka maombi ya kiasi hicho cha fedha bot na aprili ishirini mwaka huo fedha hizo zilipatikana na kukabidhiwa kwa marehemu evarist manyoni kwa ajili ya kuzifikisha tawi la wami washitakiwa katika kesi hiyo ni mashaka mahenge rashid lembresi john mndasha martine mndasha philipo mushi jackson wangu haji hamisi yasin juma hamisi mjata musa mustafa mt elfu sabini na saba na mia saba na hamsini na nne pte UNK UNK wickliff angaruki rashid abdikadiri james chamangwana na hussein iddi awali ilidaiwa aprili ishirini ishirini sifuri sita maeneo ya ubungo dar es salaam washitakiwa walimuua evarist manyoni pia siku hiyo hiyo maeneo ya ubungo washitakiwa walimuua kwa makusudi askari d elfu sita na mia tatu na sitini na moja pc abdallah maro kesi inaendelea leo mizengwe ya kurudisha nyuma juhudi za mbunge wa maswa john shibuda kutaka kukamilisha nia yake ya kumnggoa rais kikwete katika uchaguzi wa kiti cha urais mwakani inazidi kutokota baada ya makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi pius msekwa kusema kuwa hana ubavu wa kumpiku rais kikwete alisema kuwa licha ya katiba ya ccm kuruhusu kila mwanachama aliye na sifa kugombea lakini bado mbunge huyo hawezi UNK rais kikwete katika nafasi hivyo bwana msekwa alitoa kauli hiyo alipozungumza na shirika la utangazaji la uingereza la bbc jana bwana UNK pia aliwahi kuwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania alisema kuwa kila mwanachama anayo sifa na kuongeza kuwa baada ya mwanachama kuchukua fomu na kurejesha mchakato hupita na kuwa yule aliye na sifa ndio hushika hatamu huku akimtaja rais kikwete kuwa ndiye aliye na sifa kwa sasa bwana shibuda amekuwa akikumbwa na misukosuko mbalimbali ndani ya chama chake julai mwaka jana alijikuta UNK nje ya kikao cha kamati ya siasa ya ccm ya wilaya ya maswa ilidaiwa kuwa hakuwa mjumbe halali wa kamati ya siasa alitimuliwa na mwenyekiti wa ccm wa wilaya hiyo bwana peter UNK na katibu mwenezi na itikadi bwana jeremiah UNK baada ya kutangaza nia yake ya kumnggoa rais kikwete kwa kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu mwakani UNK huku akisema ana uwezo wa UNK na kuongoza nchi pia alionesha kushangazwa na uamuzi wa kamati kuu na halmashauri kuu kuondoa jina lake katika UNK UNK cha nafasi ya uenyekiti wa jumuiya ya wazazi taifa kipindi hicho alikaririwa na vyombo vya habari akisema potelea mbali liwalo na liwe nimechoka kuwa mfungwa wa kisiasa ndani ya ccm wakati nina uwezo wa kuwaongoza watanzania UNK suala la rushwa jinsi UNK katika uchaguzi bwana msekwa alisema suala la fedha kuhusishwa katika uchaguzi ni suala la kawaida kwa kuwa hakuna uchaguzi unaofanyika bila kutumia fedha aliongeza kuwa rushwa na matumizi ya fedha lazima UNK ni kwa UNK magari nyumba kutokana na ukosefu wa nyumba na usafiri wa uhakika kwa watumishi wa idara ya mahakama serikali inapoteza shilingi milioni mia mbili na arobaini na sita kila mwezi kwa ajili ya kupanga nyumba na gharama za usafiri wa majaji arobaini na moja uchunguzi uliofanywa na majira jumapili kwa miezi miwili umebaini kuwa majaji hao UNK nyumba jijini dar es salaam na mikoa mbalimbali hapa nchini baada ya zile za serikali kuuzwa kiasi hicho cha fedha inayotumiwa kwa usafiri na malazi kwa maafisa hao ni sawa na shilingi bilioni mbili tisa kwa mwaka mmoja tu mara baada ya uteuzi wa baraza la mawaziri na watumishi wengine wa serikali ya awamu ya nne walijikuta wakiwa hawana nyumba za kuishi baada ya kuwa zimeuzwa katika utaratibu UNK kelele wa kuuza nyumba za serikali wapo baadhi walioripotiwa kuishi katika hoteli za kitalii kwa gharama za UNK wengine walilazimika kuishi katika nyumba za ndugu zao baada ya kutakiwa kuripoti katika vituo vyao vya kazi hata hivyo serikali UNK nyumba mpya UNK eneo la mikocheni watumishi wa serikali wakiwamo mawaziri makatibu wakuu na watumishi wengine huku ikiwaacha majaji wakiendelea kuishi katika hoteli hadi serikali ilipoamua UNK nyumba za kuishi uchunguzi umeendelea kubaini kuwa serikali inalazimika kulipa kodi ya shilingi milioni tatu kwa mwezi kwa ajili ya jaji mmoja kuna majaji arobaini na moja ambao hawana nyumba na hivyo kuilazimu serikali kupoteza shilingi milioni mia moja na ishirini na tatu kila mwezi kiasi ambacho kingeweza kuokolewa ikiwa wangekuwa wakiishi kwenye nyumba za serikali mbali na nyumba majaji hao wamekuwa UNK teksi kwa ajili ya usafiri ili kurahisisha majukumu yao ya kikazi baada ya kukosa magari na kuilazimu serikali kulipa kiasi cha shilingi kumi sifuri sifuri sifuri sifuri kwa siku ambazo ni jumla ya shilingi milioni tatu kwa mwezi kwa jaji mmoja katika kipindi cha mwaka mmoja serikali inatumia takribani shilingi bilioni tatu kwa ajili kugharimia usafiri na malazi ya majaji hao uchunguzi huo umeendelea kubaini kuwa kuna uwezekano kuwa majaji hao wataendelea kupanga na kutumia magari hayo ya kukodi kwa muda mrefu kwa kuwa huo ni mradi mzuri kwa waliowekeza kwenye nyumba na usafiri kwa maafisa hao wa serikali gazeti hili wiki iliyopita liliandika kuhusu serikali UNK kwenye gharama kubwa bila ulazima wowote kwa kutumia shilingi bilioni kumi na tano kununua mashangingi kwa vigogo wa serikali huku sekta za huduma za jamii UNK kutokana na hali mbaya ya kiuchumi adaiwa pia kumtishia kwa bastola ni mpendazoe mpiga vita ufisadi yeye asema hayo ni mambo ya siasa mbunge wa jimbo la kishapu mkoani shinyanga bwana fred mpendazoe amejikuta matatani baada ya kutuhumiwa kumshambulia mmoja wa makada wa chama cha mapinduzi wilayani UNK tukio hilo linadaiwa kutokea juzi usiku mjini shinyanga jirani na kiwanda cha kuoka mikate kinachomilikiwa na kanisa katoliki imedaiwa mbunge huyo alimshambulia kada huyo wa ccm aliyetajwa kwa jina la bwana abdulkadir mohamed mkazi wa kishapu kwa kumzaba makofi na kumsababishia maumivu akizungumza na majira jumapili jana katika kituo cha polisi cha mjini shinyanga bwana mohamed alidai alifikwa na mkasa huo juzi saa nne thebathini usiku alipokuwa akitokea kununua chips ambapo ghafla aliitwa na bwana mpendazoe aliyekuwa jirani na UNK hiyo ya mkate akiwa na vijana wengine wawili bwana mohamed alidai alipokuwa akirejea katika nyumba ya wageni aliyofikia ya mtemi alisikia mtu akimwita na alipobaini ni mbunge wake alikwenda mpaka eneo alilokuwa amesimama lakini hata hivyo baada ya kumsalimia ghafla alianza kutukanwa matusi ya nguoni huku akimuhoji kwa nini ameacha kumsaidia kwa kweli nilishangaa na kushitushwa na uamuzi wa mheshimiwa mbunge maana UNK ghafla na kuanza UNK makofi usoni mpaka UNK sehemu ya mdomo wa chini na kusababisha shati nililokuwa nimevaa UNK alieleza bwana mohamed hata hivyo alidai kuwa baada ya kubaini kuwa bwana mpendazoe alikuwa hafanyi mzaha aliamua kujinasua kutoka mikononi mwake na kutaka kukimbia lakini ghafla alitoa bastola yake na kumwelekezea akidai kuwa akikimbia angeweza kumfyatua mara moja nilishituka sana ilibidi nisimame lakini wakati huo wenzangu niliokuwa nao bwana isaack UNK na bwana paulo charles walikuwa UNK ili waweze kunisaidia baada ya kubaini kuwa nilikuwa UNK alipowaona UNK alirudisha silaha yake mfukoni na kuondoka katika eneo hilo wenzangu walifika na nikawaeleza kilichotokea alieleza alisema kutokana na hali hiyo waliamua kwenda katika kituo cha polisi kutoa taarifa ambako alipatiwa fomu namba tatu kwa ajili ya kwenda kutibiwa lakini hata hivyo alidai kuwa polisi walikataa kufunga jalada usiku huo kwa madai kuwa hayo yalikuwa ni mambo ya kisiasa kwa upande wake bwana mpendazoe alikanusha madai ya kada huyo wa ccm na kueleza kuwa kwa usiku huo wa juzi UNK mtu ye yote na kudai kuwa kijana huyo ana matatizo yake mimi UNK huyo kijana wala UNK kabisa nafikiri haya ni mambo ya siasa tu anatunga mimi ninachokumbuka UNK na watumishi wa basi la mombasa raha ambao walikuwa UNK eneo ambalo nilitaka kuteremka sasa kama yeye anadai UNK basi aende polisi waje wanikamate alieleza bwana mpendazoe kamanda wa polisi wa mkoa wa shinyanga bwana daud siasi alikiri kupata taarifa kuhusu tukio hilo hata hivyo alisema angeweza kutoa maelezo kwa kina mara baada ya kupelekewa taarifa rasmi kwa maandishi bwana mpendazoe ni kati ya wabunge wa ccm ambao wamekuwa mstari wa mbele kupiga vita ufisadi na kutaka viongozi waliotumia madaraka yao vibaya akiwamo rais mstaafu benjamin mkapa wachukuliwe hatua za kisheria waziri mkuu mizengo pinda amewashauri baadhi ya wakazi UNK eneo la shamba kubwa la mngeta wilayani kilombero mkoani morogoro kuondoka kistaarabu kupisha uwekezaji mkubwa katika kilimo cha kibiashara wa pamoja kati ya shirika la umma na kampuni ya binafsi pinda alikuwa akihutubia mkutano wa hadhara mngeta juzi katika siku yake ya pili ya ziara ya siku nne ya mkoa wa morogoro kukagua shughuli za kilimo hasa mashamba na vituo vya utafiti alisema wakazi hao wapatao mbili sifuri sifuri sifuri wa eneo la mngeta na UNK ambao UNK hekta thebathini sifuri katika shamba hilo la zaidi ya hekta tano sifuri sifuri sifuri lenye hati miliki itabidi waondoke na wapatiwe eneo jingine la karibu na wasaidiwe kuanzisha upya shughuli zao za kilimo viongozi wa mkoa wa morogoro na hasa wilaya ya ifakara kwa kushirikiana na halmashauri na wamiliki wa shamba la mngeta wafanikishe shughuli hii kwa njia za kistaarabu badala ya kutumia nguvu alisema shamba hilo la mpunga linamilikiwa kwa pamoja baina ya mamlaka ya kuendeleza bonde la mto rufiji na kampuni binafsi ya kuendeleza kilimo ya wawekezaji wa uingereza UNK rubada na UNK wameunda kampuni ya pamoja UNK kilombero UNK limited inayoendeleza kilimo cha kibiashara cha aina yake nchini kwa ushirikiano wa shirika la umma na kampuni binafsi shamba hilo lilianzishwa mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na sita chini ya uwekezaji wa pamoja wa kampuni ya pamoja ya korea ya kaskazini na tanzania lakini UNK baada ya mradi huo wa kushindwa kuendelea rais jakaya kikwete amesema kuwa kwa UNK mabenki yote duniani hayana tabia ya kukopesha watu maskini na badala yake hukopesha wale ambao tayari UNK alisema wananchi wanatakiwa kuwezeshwa ili waweze UNK na kisha wapate sifa ya kuaminiwa na kukopeshwa na mabenki kwa lengo la kuinua vipato vyao alitoa kauli hiyo juzi dar es salaam katika chakula cha usiku kilichoandaliwa na mbunge wa same mashariki bibi anne kilango kwa ajili ya harambee iliyolenga kuchangisha fedha za ununuzi wa mitambo ya kiwanda cha kusindika tangawizi kilichopo wilayani same mkoani kilimanjaro ambapo pesa taslimu shilingi mia mbili na themanini na tano mia tatu na ishirini sifuri sifuri sifuri na ahadi shilingi milioni arobaini na tatu UNK benki UNK maskini hukopesha wale UNK maskini wa mamba lazima wasaidiwe na ifike mahali benki UNK na tukisubiri UNK mpaka yesu atarudi alisema rais kikwete katika harambe hiyo rais kikwete alichangia ya shilingi milioni tano na kuahidi kuwa serikali UNK na kuangalia sula UNK ili kujua namna gani UNK rais kikwete alitaka mambo matano yanayoweza kufanikisha kilimo kuwa ni maji mbegu bora mbolea dawa za wadudu na ujuzi wa kutosha alisema kuwa kitendo cha bibi kilango kufikiria suala la kuwawezesha wakulima katika jimbo lake kinapasa kuungwa mkono kwa kuwa UNK na UNK watu hao kuwa na sifa ya kupata mkopo kutoka katika mabenki rais kikwete alisema kuwa miongoni mwa sababu zilizomfanya kukubali dhana ya bibi kilango ni kutokana na kulenga kauli mbiu ya kilimo kwanza hivyo aliona uwepo wa sababu za kumsaidia kukamilisha malengo hayo bibi kilango alisema kuwa amefarijika baada ya kuona kuwa jambo lake linafanikiwa kila mtu UNK kinamna yake mimi nikitaka kitu changu lazima mpaka nione mwisho wake nimefurahi sana hasa baada ya kuona UNK mkono alisema waziri wa fedha na uchumi bwana mustapha mkulo amesema kuwa kuna upungufu mkubwa katika utayarishaji wa taarifa za hesabu katika sekta mbalimbali hapa nchini akizungumza dar es salaam juzi wakati wa mahafari ya thebathini na moja ya bodi ya wahasibu na wakaguzi wa hesabu bwana mkulo alisema baadhi ya wanataaluma UNK taarifa za fedha kwa kufuata kanuni na viwango vya UNK alisema ripoti zinazotolewa na mdhibiti na mkaguzi mkuu hesabu za serikali zinaonesha baadhi ya wizara idara taasisi za umma na halmashauri hazikupata hati safi kutokana na kutofikia viwango vinavyohitajika mhasibu aliyesomea na kuifahamu vyema kazi yake anahitajika kutumia ujuzi alioupata katika mafunzo yake ili kuongeza ufanisi sehemu yake ya kazi na si kupindisha taratibu za kifedha kwa maslahi binafsi alisema aidha bwana mkulo aliongeza kwa kusema kuwa ripoti za tafiti mbalimbali kutathmini hali ya rushwa na utawala bora nchini hivi karibuni zimeonesha kuwa matatizo mengi ya kiuchumi kisiasa na kijamii yanatokana na kupuuzwa kwa misingi ya utawala bora uzoefu unaonesha kuwa mashirika mengi hasa yale ya umma ambayo yanazingatia utawala bora ari ya utendaji kazi upande wa wafanyakazi huwa ni kubwa kutokana na uhusiano mzuri kikazi na hivyo kuleta maendeleo katika taasisi husika alisema alisema katika kutekeleza dhima nzima ya utawala bora serikali imekusudia kuiimarisha bodi hiyo ili iwe na uwezo zaidi wa kusimamia na kuhakikisha kuwa taarifa zote za fedha zinafuata miongozo inayokubalika kwa upande wake mwenyekiti wa bodi ya taifa ya wahasibu na wakaguzi wa hesabu daktari mussa assad alisema idadi ya wahitimu katika shahada ya juu ya uhasibu imepungua ukilinganisha na mwaka jana kutokana na mabadiliko katika mitaala na mitihani katika mahafali hayo wahitimu mia tatu na sabini kati yao wakiwemo mia mbili na sabini na sita wa cpa na tisini na nne katika ngazi ya utunzaji vitabu vya hesabu walipata vyeti vya kuhitimu serikali imetakiwa kuacha siasa katika suala la umeme badala yake itoe nafasi kwa watalaamu kulipatia ufumbuzi tatizo hilo ushauri huo umetolewa na mwenyekiti wa chama cha nccr mageuzi bwana james mbatia alipozungumza na waandishi wa habari dar es salam jana katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa bwana mbatia alisema kuwa badala ya kuleta umeme serikali imekuwa ikitumia muda mwingi katika malumbano badala ya kutafuta ufumbuzi wa kitaalamu katika suala la umeme tuache siasa na lawama zisizo na msingi bali tukae na kufikiria namna ya kuyapatia ufumbuzi masuala muhimu katika jamii ikiwa ni pamoja na tatizo hili la umeme ambalo linarudisha nyuma shughuli za uzalishaji alisema alisema serikali imekuwa ikipoteza zaidi ya shilingi bilioni tatu sita kila mwezi kutokana na mkataba wa iptl huku maisha ya watanzania yakiendelea kuwa duni mimi mwenyewe nimesomea masuala ya umeme kama UNK kutoa mchango wangu niko tayari kufanya hivyo na UNK kabisa masuala ya kisiasa katika masuala yenye maslahi kwa taifa aliongeza aidha bwana mbatia ameiomba serikali kuwachukulia hatua za kisheria wale wote waliohusika katika mikataba mibovu ya dowans richmond na iptl na kuisababishia serikali hasara kubwa akizungumzia suala la uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini oktoba ishirini na tano bwana mbatia aliwataka wagombea wa nafasi mbalimbali kujenga hoja zinazolenga kuboresha maisha ya watanzania na si kuwalaghai kwa rushwa na ahadi za uongo kwa upande wake mwanasheria wa chama hicho daktari sengondo mvungi alisema kuwa wakati umefika sasa kwa chaguzi za serikali za mitaa kusimamiwa na tume huru ya uchaguzi na si ofisi ya waziri mkuu alifafanua kuwa serikali ya tanzania imeundwa na chama kimoja na kwamba uchaguzi huo kusimamiwa na ambayo ni wakala wa serikali ni sawa na mchezaji kuwa mwamuzi kwa wakati mmoja mwaka ishirini sifuri nne UNK kesi kupinga uchaguzi huu kuendeshwa na tamisemi mahakama haijatoa uamuzi mpaka sasa tumeamua kushiriki uchaguzi si kwa kuunga mkono sheria ya uchaguzi wa serikali za mitaa bali kuwapa wananchi haki yao ya msingi ya kuchagua alisema daktari mvungi alisema kuwa wagombea wa vyama vya upinzani wamekuwa wakati mgumu kwa kufanyiwa vitendo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kunyimwa fomu za kugombea na kuenguliwa kwa visingizio vya kukosa sifa za kugombea raia wa china bwana zhang hong fa ameuawa na wenzake watano kujeruhiwa kwa kupigwa risasi na majambazi juzi jioni kufuatia tukio hilo raia wengine wa chini UNK kuwa mwenzao amefariki dunia hawakukubali UNK tafrani na kuwatishia madaktari wa hospitali ya tumbi mkoani pwani msemaji wa hospitali ya tumbi bwana gerald chami alisema walipokea mwili ya marehemu na majeruhi wa tukio hilo lakini baada ya wachina hao kuelezwa kuwa mwenzao amefariki walipinga kauli hiyo wakaanza kufanya vurugu hospitalini kwa kuruka sarakasi na kuwatisha madaktari na UNK wa hospitali hiyo alisema baada ya kumaliza mbwembwe hizo walibeba mwili wa mwenzao na majeruhi na kuondoka katika eneo la hospitali bila kupewa ruhusa ya daktari na kutokomea kusikojulikana wakati wa uhai wake marehemu na wenzake walikuwa UNK mabomba ya maji katika kijiji cha kwa mathias wilaya kibaha mkoa wa pwani waliojeruhiwa katika tukio hilo na kupelekwa katika hospitali teule ya tumbi ni bwana UNK UNK bo bwana UNK bwana UNK UNK UNK bwana UNK na bwana UNK UNK mkuu wa mkoa wa pwani bibi amina said alisema wachina hao walivamiwa na majambazi hayo wakati UNK posho ya wiki vibarua waliokuwa wakifanya kazi ya kutandaza mabomba ya maji bibi amina alisema kuvamia na kuporwa kwa wachina hao ni uzembe ulisababishwa na kutofuata taratibu na sheria za fedha kwani walipaswa kuomba ulinzi wa jeshi la polisi wakati UNK posho hizo alisema kiasi cha fedha UNK kutoka kwa wachina hao bado hakijafahamika na kwamba serikali kwa kushirikiana na polisi inafanya uchunguzi na msako mkali ili kuwabaini majambazi hao madaktari bugando wazungumza sikuamini macho yangu baada ya kugundua mwanangu ambaye UNK katika hospitali ya rufaa ya bugando kuanzia septemba thebathini mwaka ishirini sifuri tano na baadaye kufariki dunia oktoba tatu mwaka ishirini sifuri tano UNK baadaye UNK naye akiwa hai hayo ni maneno ya bibi stella joseph ambaye ni mama mzazi wa binti anayedaiwa kufariki na baadaye kukutwa shambani miaka minne baadaye bibi juliana gembe baada ya kifo chake inadaiwa kuwa mwili wake UNK katika makaburi ya sweya nyegezi kata ya mkolani wilayani nyamagana kwa heshima zote zikiwemo misa sala na maombolezo kutoka kwa wakazi wa maeneo ya UNK UNK na gazeti hili kwa uchungu bibi joseph amesema kuwa binti yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa malaria na alikuwa amelazwa katika wodi namba nane katika hospitali ya rufaa ya bugando jijini mwanza alsema baada ya binti yake kufariki dunia uongozi wa hospitali ya bugando ulitoa kibali cha mazishi chenye nambari sifuri nane sita moja nane sifuri sifuri cha oktoba tatu ishirini sifuri tano na marehemu kuzikwa siku hiyo hiyo kwa kufuata utaratibu wote wa mazishi na baba paroko wa parokia ya mtakatifu augustino aliendesha ibada ya kumuombea marehemu mama huyo anasema UNK hisia wala imani zozote za kishirikina kwa sababu yeye ni mcha mungu na kuwa anajali sana maombi hata kuliko dawa za hospitali au mitishamba kwa ajili ya kuponya magonjwa mwilini anasema kuwa wakati UNK mwanawe mgonjwa huyo alikuwa akimwambia kuwa alikuwa anaona watu kadhaa wanafika kwa wingi kitandani mwake na kutaka kumchukua na kuwa hata UNK atarudi tu na wala hawezi kuishi nao milele mama naona watu UNK kwa wingi kitandani hapa eti wanataka UNK eti UNK UNK ila mimi UNK kunipeleka mie ni jeuri nitarudi tu muda wowote alisikika binti huyo akimweleza mama yake maneno ambayo UNK na mama huyo akisimulia jinsi binti huyo UNK akiwa hai mjumbe wa ccm shina nambari tano kitongoji cha UNK UNK nyegezi bwana sadik ramadhani amesema kuwa mnamo UNK kumi na tano mwaka huu majira ya saa kumi sifuri sifuri jioni UNK umati wa watu ukifika nyumbani kwake na kumweleza kuwa kwenye ubalozi wake ametokea kiumbe wa ajabu mwenye jinsi ya kike ambaye ni wa kutatanisha bwana sadik alisema kuwa aliongozana na umati huo wa watu hadi mahali ambapo binti huyo alikuwa amekaa huku akiwa akionekana kuchoka kavalia UNK akiwa hawezi kuongea ila kwa UNK wakati alipokuwa akiulizwa kama anahitaji chakula bwana sadik amesema kuwa alimchukua binti huyo hadi nyumbani kwake huku UNK na watu hao na kumpikia ugali ambao alikuwa UNK bila UNK amesema wakati UNK zaidi aligundua kuwa ulimi wake ulikuwa ndani na UNK huku akiwa na meno mawili moja likiwa juu na lingine chini pia mgogoni mwake kulikuwa na michirizi kama ya mtu ambaye alikuwa UNK fimbo bwana sadik anasema binti huyo kwa muda mrefu alikuwa UNK macho hata mtu akijaribu UNK UNK tena hali ambayo anaendelea nayo hata wakati huu akiwa katika wodi c moja katika hospitali ya bugando UNK akili yake bwana sadiki amesema kuwa kadri watu walivyokuwa UNK kwenda kumwangalia baadhi yao walimtambua kuwa ni binti ambaye alifariki mwaka ishirini sifuri tano na baadaye kuzikwa wengine ni wale ambao walikuwa wanasoma naye katika shule ya msingi UNK iliyoko nyegezi jijini mwanza amesema kuwa giza UNK ilibidi UNK watu wote waliokusanyika katika nyumba yake hadi siku iliyofuata wakati alipowasiliana na mtendaji wa kata ya mkolani ambaye alifika nyumbani kwake akiwa na polisi wakamchukua hadi bugando kwa uchunguzi zaidi mama mzazi wa binti huyo anasema UNK UNK zote alizokuwa nazo binti yake wakati wa uhai wake alithibitisha kuwa ni mtoto wake ambaye alifariki mwaka ishirini sifuri tano daktari rodrick UNK wa hospitali ya rufaa bugando katika wodi c moja UNK wagonjwa wenye matatizo ya akili amesema kuwa ugonjwa alionao binti huyo unatokana na mtu kuishi mbali na jamii na pia kuishi sehemu moja bila ya kuongea na mtu naye bwana UNK UNK ambaye ni mkuu wa idara ya afya katika hospitali hiyo alisema kuwa tayari idara yake UNK matukio mawili ya aina hiyo lakini hili la sasa lina utofauti kidogo kutokana na kujitokeza mtu mmoja tu ambaye anadai kuwa mgonjwa ni binti yake amesema kesi aliyowahi kuipokea ni ile ya mtoto mmoja aliyejulikana kwa jina la peter ambaye alifariki huko ukerewe na baadaye akaonekana na kukajitokeza ndugu wawili ambao walikuwa wakimgangania na matokeo yake alipopima vipimo vya dna kwa ndugu waliokuwa wakimgangania mmoja wapo ndiye aliyeonekana kuwa ana uhusiano naye amesema kuwa serikali ilipotoa kibali cha kufufua kaburi hiyo walikuta kisiki ndicho kilikuwa UNK katika kaburi hiyo badala ya kukuta mifupa ya binadamu amesema kuwa hata hospitalini bugando itabidi vipatikane vipimo vya binti huyo pamoja na wazazi wake ambavyo vitasaidia kubaini kama huyo binti ni wa kwao au vinginevyo ndipo ndugu zake wataweza kupata fursa ya kwenda polisi ili kupata kibali cha kumchukua katika hospitali hiyo akipata nafuu hata hivyo kiongozi mmoja wa ngazi ya juu katika hospitali alisema hakuna haja ya vipimo hivyo ambavyo ni gharama kwa vile ndugu walimtambua kutokana na alama na wakaleta picha alizopiga akiwa hai ambao ni ushahidi tosha wa kuruhusu jamaa kumchukua binti yake endapo atapata nafuu mzozo wa mafuta ambao umekuwa ukifukuta katika baraza la wawakilishi zanzibar unatarajiwa kuibuka katika kamati ya rais mstaafu wa awamu ya pili ali hassan mwinyi ambayo ilianza kukutana na wajumbe wa baraza hilo jana kamati hiyo inakutana na wajumbe kupitia chama cha mapinduzi katika ofisi kuu ya ccm kisiwandui mjini hapa kutafuta kiini cha malumbano na uhasama baina ya wabunge wa ccm kwa upande mmoja na wawakilishi UNK chama hicho kwa upande mwingine mbali na bwana mwinyi ambaye ni mwenyekiti kamati hiyo iliyoteuliwa na halmashauri mkuu ya ccm UNK pia makamu mwenyekiti wa ccm pius msekwa na mjumbe wa kamati kuu abdulrahman kinana jana kamati hiyo ilikutana na wajumbe wa kamati ya uongozi ya baraza la wawakilishi ambayo ipo chini ya waziri kiongozi wa serikali ya mapinduzi zanzibar shamsi vuai nahodha miongoni mwa wajumbe waliohudhuria kikao hicho ni mawaziri waandamizi wa UNK akiwamo waziri wa maji ujenzi nishati na ardhi mansoor yussuf himid ingawa hakukuwa na maelezo ya moja moja mambo UNK kutawala katika kikao hicho ni suala la mafuta na gesi asilia ambalo UNK katika mkutano wa bajeti wa baraza la wawakilishi julai mwaka huu na kusababisha wajumbe kutoa maneno makali UNK serikali ya muungano kwa upande wa zanzibar kauli za wezi wa mchana pamoja na wakoloni wanaotaka kututawala ndiyo kwa kiasi kikubwa zilizoleta kutoelewana na pengine kusababisha kamati hiyo kuundwa na kutafuta ukweli na sababu ya kuwepo kwa kauli hizo ambazo UNK vikali na rais jakaya kikwete mjadala wa mafuta UNK zaidi na hoja ya zanzibar sio nchi iliyotolewa na waziri mkuu mizengo pinda ziliwafanya baadhi ya wawakilishi wakiwamo mawaziri kutoa kauli kali zilizofikia hatua ya kutikisa misingi ya muungano baada ya kamati hiyo kumaliza shunguli zake zanzibar itaelekea dodoma kuendelea kukutana na wabunge wakati wa mkutano wao utakaoanza oktoba ishirini na saba mwaka huu pia kuangalia mahusiano baina yao hasa baada ya mgawanyiko uliotokana na mkataba tata wa richmond uliosababisha aliyekuwa waziri mkuu edward lowassa kujiuzulu baada ya mgawanyiko huo lilijitokeza kundi la wabunge wanaojipambanua kama wapambanaji dhidi ya ufisadi na wengine UNK nao hali ambayo UNK na mwenyekiti wa chama hicho rais kikwete kuwa kuna uhasama mkubwa kati yao kiasi kwamba mtu hawezi kumwachia mwenzie glasi ya maji na grace michael aliyekuwa balozi wa tanzania nchini italia profesa costa mahalu na ofisa utawala wa ubalozi huo bibi grace alfred wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi wamekutwa na kesi ya kujibu katika mashitaka yote yaliyokuwa yakiwakabili kitendo cha kukutwa na kesi ya kujibu UNK washitakiwa hao kupanda kizimbani na kutoa utetezi wao kuhusiana na kesi hiyo ambapo mei nne wataanza kutoa utetezi huo uamuzi huo ulitolewa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam mbele ya naibu msajili wa mahakama ya rufani bwana sivangilwa mwangesi baada ya kupitia ushahidi wa mashahidi watano wa upande wa mashitaka uliotolewa mahakamani hapo akitoa uamuzi huo bwana mwangesi alisema kutokana na ushahidi na vielelezo vilivyowasilishwa korti pasipo shaka imeona ni vyema washitakiwa hao wakapanda kizimbani kwa ajili ya kutoa utetezi wao katika makosa hayo baada ya kutolewa kwa uamuzi huo mahakama UNK washitakiwa wana haki ya kujitetea na kuita mashahidi wa kueleza wanachokifahamu kuhusiana na kesi hiyo hata hivyo kwa upande wa profesa mahalu aliiambia mahakama kuwa ataanza kutoa utetezi wake mwenyewe na atakapoona kuna umuhimu wa kuita shahidi mwingine atafanya hivyo kuhusiana na bibi alfred katika utetezi wake alisema ataanza kujitetea mwenyewe na baadae UNK kuwa na mashahidi watatu washitakiwa walifikishwa kortini hapo wakidaiwa kula njama kuiba matumizi mabaya ya nyaraka za hesabu kwa nia ya kumpotosha mwajiri wizi na kuisababishia jamhuri ya muungano wa tanzania hasara ya mabilioni ya fedha katika mashitaka ya kwanza walidaiwa kula njama ya kuiba kinyume cha kifungu cha mia tatu na themanini na nne cha sheria ya kanuni ya adhabu ambapo ilielezwa kuwa wote katika muda na mahali ambapo UNK nchini italia na maeneo mengine walikula njama za kutenda kosa la kuiibia serikali ya tanzania walidaiwa septemba ishirini na tatu ishirini sifuri mbili katika ubalozi wa tanzania nchini italia kwa pamoja wakiwa na nia ya kumdanganya mwajiri wao walitumia hundi namba d mbili tisa ikiwa na maelezo ya uongo kuhusu bei ya ununuzi wa jengo ambalo walidai wamenunua kwa euro tatu sifuri tisa nane mia saba na arobaini na moja hamsini na nane taarifa ambayo walijua ni ya uongo pia ilidaiwa oktoba moja ishirini sifuri mbili wakiwa waajiriwa wa serikali walitumia mkataba wa mauzo ukiwa na maelezo ya uongo wakionesha gharama zilizonunuliwa jengo hilo wakijua taarifa hizo sio za kweli ilidaiwa wakiwa katika ubalozi wa tanzania walitumia hati hizo kuonesha mwenye jengo alipokea euro tatu sifuri tisa nane mia saba na arobaini na moja hamsini na nane ikiwa ni gharama halisi ya jengo hilo wakati wakijua UNK serikali katika mashitaka ya tano walidaiwa kuiba euro mbili sifuri sita tano mia nane na ishirini na saba sitini wakiwa watumishi wa serikali na vile vile kuisababishia serikali hasara ya euro mbili sifuri sita tano mia nane na ishirini na saba sitini mfanyabiashara wa ndani UNK kwa jina UNK athumani mkazi wa sombetini mjini hapa amefariki dunia baada ya kunywa sumu ya mimea baada ya kushindwa kutoa mimba kaimu kamanda wa polisi mkoani hap deusdedit nsimeki alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa tatu katika eneo la UNK nsimeki alisema kuwa binti huyo alikuwa ni mfanyakazi wa ndani katika nyumba ya bibi UNK mjema ambaye ni mstaafu wa jeshi la polisi siku ya tukio binti huyo alimwambia mwajiri wake kuwa anahitaji kufanya kazi zake haraka na baada ya kauli hiyo bibi mjema alimuacha nyumbani akaenda kanisani na alipoondoka mfanyakazi hiyo akanywa sumu ya mimea na kufa bibi mjema aliporudi alikuta milango wazi na alipoingia alikuta binti huyo akiwa ameshafariki huku UNK UNK katika chumba alichokuwa UNK binti huyo UNK kumuambia mwajiri wake kuwa anataka kufanya uamuzi huo polisi wanaendelea na uchunguzi kuhusiana na kifo cha binti huyo ikiwa ni pamoja na kumtafuta aliyempa mimba UNK serikali imeshindwa kueleza kwa uhakika ni lini mgawo wa umeme unaoendelea nchini utaisha badala yake imesema inafuatilia kwa karibu matengenezo ya mitambo ya kufua umeme ya songas na kihansi UNK ni vigumu kutaja tarehe ambayo mgawo utamalizika lakini serikali inafuatilia matengenezo ya mitambo iliyoharibika tatizo limekuwa kubwa kwa sababu ya mashine hizo kuharibika kwa wakati mmoja alisema waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja waziri bwana ngeleja aliyekuwa anajibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka kujua ni hatua zipi zinachukuliwa na serikali kuhakikisha tatizo la mgawo wa umeme linakwisha alisema mgawo huo siyo hujuma kama inavyodhaniwa na baadhi ya watu alifafanua kuwa wataalamu kutoka norway wanaendelea kutengeneza mtambo wa kufua umeme wa kihansi alipoulizwa kama kauli iliyowahi kutolewa na mkurugenzi wa shirika la umeme tanzania daktari idrisa rashid kuwa shirika hilo lisilaumiwe endapo nchi ikiingiza gizani bwana ngeleja hakutaka kuongelea suala hilo kwa undani na kusisitiza kwamba hakuna aliyekuwa akijua kama kutatokea tatizo la umeme daktari rashid alitoa kauli hiyo baada ya mapendekezo ya tanesco UNK baraka za mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za mashirika ya umma zitto kabwe ya kutaka kununuliwa kwa mitambo ya dowans kukataliwa na serikali bwana ngeleja alisema kazi iliyopo sasa ni kwa serikali kuendelea kuboresha miundombinu ya tanesco ili kutatua tatizo hilo alisema tayari serikali kupitia kwa mawakili wake imewasilisha maombi kuiomba mahakama iruhusu mitambo ya iptl ianze kuzalisha umeme ili kukabiliana na makali ya mgawo wakati kesi ya msingi inaendelea mbali na mkakati huo bwana ngeleja alisema tanesco ipo kwenye mchakato wa mwisho wa kutafuta mzabuni wa kununua mitambo miwili ya kufua umeme UNK mikoa ya dar es salaam na mwanza pamoja na juhudi hizo bwana ngeleja alipoulizwa kama kuna uwezekano mgawo wa umeme UNK alijibu suala hilo watu wa UNK ni wataalamu alisema alipoulizwa kuhusu mawazo ya baadhi ya wabunge ya kutaka mitambo ya dowans itaifishwe alisisitiza kuwa tukichukua hatua kama hizo tutakuwa UNK wawekezaji taifa lina misingi yake kama kuna jambo UNK na sheria tufanye nini alihoji endapo serikali itaamua kutaifisha mitambo ya dowans siku nyingine likitokea tatizo jingine linalohitaji kuchukuliwa kwa mali za watu tutafanyaje serikali imewataka wakazi wa eneo la kipawa ilala dar es salaam waliohamishwa kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere kutumia fedha walizolipwa fidia kujenga nyumba badala ya kuchanga kufungua kesi mahakamani akizungumza jana na gazeti hili ofisini kwake dar es salaam waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi kapteni mstaafu john chiligati alisisitiza kuwa wakazi hao wanapaswa kuhamishwa kwa sheria ya ardhi ya mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba na si vinginevyo UNK wananchi hawa wanataka walipwe kwa sheria mpya ya ardhi ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa lakini wakumbuke uthamini wa nyumba zao UNK miaka kumi na mbili iliyopita kabla ya sheria mpya kutungwa hivyo wanapaswa kulipwa kwa sheria ya zamani alisema bwana chiligati alisema chini ya sheria ya mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na saba wanaohamishwa wanapaswa kulipwa kile UNK juu ya ardhi bila kulipwa gharama ya ardhi yenyewe kwani walipatiwa bure alisema sheria mpya ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tisa iliyoanza kutumia mwaka ishirini sifuri moja kwa kutambua mazingira ya wakati UNK kulipwa kile UNK juu ya ardhi na ardhi UNK pia kulipa posho ya usumbufu wa kubeba mizigo alisema kilichotokea kipawa ni kwamba baada ya wizara ya miundombinu kukamilisha tathmini hiyo miaka kumi na mbili iliyopita haikuwa na pesa za kuwalipa wakazi hao jambo lililoibua mgongano wa sheria kama wizara ya miundombinu UNK wakati huo UNK mgogoro huu lakini haikuwa na pesa malipo yaliahirishwa kwa miaka kumi na mbili sasa wamepata pesa hawa wanataka walipwe kwa sheria ya sasa kumbuka sheria UNK UNK nyuma inakwenda mbele mimi kama waziri mwenye dhamana ya sheria ya ardhi nasema lazima walipwe kwa sheria ya wakati ule jambo lao UNK jambo la leo UNK kwa sheria ya leo la juzi sheria ya juzi waziri chiligati alisema pamoja na wakazi hao kulipwa kwa sheria ya zamani wizara ya miundombinu kupitia mamlaka ya viwanja vya ndege imewapatia viwanja kwa ajili ya ujenzi jambo linalotoa nafuu kubwa mtu UNK UNK kiwanja UNK sana kwa mfano baadhi ya wakazi hao walikuwa na viwanja vyao hapo kipawa lakini hawakuwa na hati miliki sasa wamepatiwa viwanja na hati miliki vinavyoweza kuwasaidia hata kupata mikopo benki alisema bwana chiligati aliongeza kuwa pamoja na malalamiko ya wakazi hao kuna unafuu mkubwa wanaoupata kwenye operesheni hiyo kwani watalipwa pia asilimia sita ya riba kila mwaka kwa kipindi chote tangu ilipofanyika tathmini hiyo nawashauri wakazi hao UNK UNK pesa hizo kuwachangia watu kusimamia kesi yao mahakamani kesi ambayo hawajui hata kama watashinda kuna wajanja wanafanya mambo haya kama mradi wa kuishi mjini alionya bwana chiligati kuhusu madai ya wakazi hao kutaka kufanywa tathmini upya eneo hilo alisema hilo haliwezekani kwani kufanya hivyo ni kuongeza gharama zisizo za lazima narudia tena kuwashauri wakazi wa kipawa pesa walizolipwa fidia UNK mahakamani waelekeze kujenga alisema wizara ya afya na ustawi wa jamii imepata kibali cha ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma kuwaajiri na kuwapangia UNK vituo vya kazi wahitimu wote wa kada mbalimbali za afya kibali hicho cha septemba ishirini na mbili ishirini sifuri tisa UNK masharti ya kuajiri watumishi wa kada za afya na kuwachukua wahitimu hao UNK maombi ya ajira serikalini katika wizara idara za serikali zinazojitegemea sekretarieti za mikoa na halmashauri za wilaya kwa mwaka wa fedha ishirini sifuri tisa kumi wahitimu wanaohitajika ni kuanzia ngazi ya uuguzi hadi madaktari na wote wametakiwa kufikisha barua zao za maombi wizarani kwa ajili ya kupangiwa vituo vya kazi kuanzia jana hata hivyo msemaji wa wizara ya afya na ustawi wa jamii bwana nsachris mwamwaja alisema si rahisi kwa sasa kufahamu ni wahitimu wangapi wataajiriwa kwa kuwa idadi yao inategemea maombi UNK na kupitishwa kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na wizara hiyo jana UNK anatakiwa awe raia wa tanzania na umri usiozidi miaka arobaini na tano masharti mengine ni pamoja na mhitimu kuambatanisha cheti chake cha taaluma nakala ya cheti cha kumaliza elimu ya sekondari maelezo binafsi picha mbili za hivi karibuni na nakala ya cheti cha usajiri UNK na barua ya maombi aidha waombaji wametakiwa nakala za vyeti vyao vya taaluma na vyeti vya kuhitimu elimu ya sekondari UNK na hakimu ama wakili kamati ya bunge ya hesabu za serikali imesema haitavumilia kuona hati chafu zinaendelea kutolewa kwa ofisi ya bunge kutokana na kuwepo matumizi mabaya ya fedha za serikali katika kupitia ripoti ya matumizi ya ofisi hiyo mwaka ishirini sifuri saba sifuri nane iliyotolewa na katibu wa bunge daktari thomas kashililah kamati hiyo imebaini matumizi mabaya ya fedha za serikali yaliyosababisha kupewa hati chafu kutoka kwa mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali akizungumza katika kikao cha mahojiano ya kamati na bwana kashililah mwenyekiti wa pac bwana john cheyo alisema taarifa za ufujaji wa fedha katika ofisi za bunge UNK bunge na kumtaka katibu huyo kutoa ufafanuzi juu ya matumizi hayo kamati hiyo iliomba kupata ufafanuzi juu ya matumizi ya zaidi ya shilingi bilioni moja moja zisizo na mchanganuo sahihi wa jinsi gani fedha hizo zilivyotumika ripoti hiyo inaonesha kuwa fedha hizo UNK na bodi ya matumizi ya bunge oktoba ishirini sifuri saba wakati mkataba wa ujenzi na malipo UNK februari ishirini sifuri saba jambo ambalo ni kinyume na sheria za matumizi kamati hiyo pia UNK ofisi hiyo kwa kutofuata taratibu na sheria za manunuzi na matumizi ya fedha za umma kwa kuidhinisha fedha kwa watumishi bila stakabadhi jambo UNK serikali hasara kubwa akijibu tuhuma hizo bwana kashilila amekiri kuwepo kwa mkanganyiko katika mchanganuo wa matumizi ya fedha zilizoainishwa kwenye ripoti huku akidai kuwa matatizo yaliyojitokeza UNK mh mwenyekiti taarifa hizi mimi UNK usingizi kwa sababu UNK maoni ya cag na kuona kuwa kwa timu niliyonayo ninaamini kuwa UNK na UNK radhi kwa utendaji wa awali lakini UNK alisema bwana kashilila alisema kuongezeka kwa UNK za ujenzi wa ofisi ndogo ya bunge kutoka shilingi milioni mia nne na ishirini na tano hadi milioni mia nane na kumi na tatu na baadaye shilingi bil moja kumi na tatu ni kutokana na kubadilika badilika kwa aina ya mradi na wala si kutokana na nia ya ubadhilifu kama UNK awali mradi ulikuwa juu ya ujenzi wa maegesho ya magari peke yake UNK shilingi mili milioni arobaini sifuri lakini baadaye tukaambiwa zijengwe ofisi ndogo za bunge hivyo ikabidi bajeti UNK hadi kufikia shilingi milioni mia nane na kumi na tatu alidai bwana UNK kuhusu kuidhinishwa kwa malipo yasiyo na stakabadhi tena kwa watu wasio watumishi wa ofisi za bunge bwana kashilila alisema mtu pekee anayetajwa na kamati hiyo ni bwana UNK ambaye ni msaidizi binafsi wa spika ambaye amekuwa akichukua fedha kwa niaba ya spika zaidi ya shilingi milioni sabini anapewa mtu kwa imani tu mtaweza vipi kuzirejesha fedha hizo ikiwa hata jumla ya mshahara wake kwa miaka hamsini hauwezi kufikia hapo hata wasaidizi wa rais kwa ujumla hawajawahi kufikia kiwango hicho cha matumizi alilalamika bwana cheyo hatahivyo kamati imemwamuru katibu huyo kuhakikisha kuwa ndani ya miezi sita fedha zilizotolewa bila stakabadhi ziwe zimerejeshwa huku UNK kutoa msimamo wa kamati juu ya matumizi mabaya ya shilingi bil moja kumi na tatu baada ya kukaa kuchambua utetezi alioutoa katibu huyo mbunge wa maswa bwana john shibuda amesema kauli ya makamu mwenyekiti wa ccm bwana pius msekwa kuwa hana ubavu wa kumvaa na kumpiku rais jakaya kikwete katika kinyangganyiro cha urais ni sawa na kumpa kadi nyekundu hata kabla ya kuchukua fomu za kuwania nafasi hiyo bwana shibuda ambaye tayari ametangaza nia yake ya kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa mwaka ishirini moja sifuri kwa tiketi ya ccm aliliambia gazeti hili jana kuwa kauli ya bwana msekwa ni maoni yake binafsi kwani uamuzi wenyewe utatolewa na vikao vya chama akihojiwa na shirika la utangaza la uingereza mwishoni mwa wiki bwana msekwa alisema bwana shibuda hana ubavu wa kumpiku rais kikwete katika nafasi ya urais UNK bwana msekwa kwa kutoa maoni ambayo ni yake binafsi vikao ndivyo vitakavyotoa dira ya nani atakuwa mbadala wa jk kwani uwezo sifa na vigezo vyote UNK nia na dhamana ya urais siyo ya kukurupuka na ndio maana sasa tupo wawili UNK alisema alisema kuwa mwalimu nyerere enzi za uhai wake alisema mtu yoyote anayetaka kugombea urais anapaswa kujitangaza mapema na ndio maana aliamua kufanya hivyo mapema alisema kwa sasa watu ambao wametangaza kuwania kiti hicho ni yeye na rais kikwete nasisitiza kama kuna mtu mwenye uwezo na shabaha ajitokeze na UNK na siyo mtu aje kuotea kwenye mpira wa kuvizia watuache mimi na jk ndio tulio na uwezo wa kujipima ubavu alisema bwana shibuda na kuongeza bwana msekwa ni refarii anaanza kunipa red card mapema kabla UNK mpira wenyewe kauli yake inanipa shaka kuwa anaweza UNK haki katika vikao vya kupendekeza wagombea kwa sababu yeye ndiye msimamizi mkuu alisema bwana shibuda alisema anamshangaa ni kwa bwana msekwa UNK mapema na kwamba inawezekana ana wasiwasi nafasi yake ya makamu mwenyekiti wa ccm UNK pindi akichaguliwa kuwa rais napenda UNK wasiwasi kuwa UNK UNK haki nikiwa kama rais na mwenyekiti wa ccm hivyo ninaomba aondoe wasiwasi ila kwa wale UNK nafasi zisizo na wajibu wa dhamana UNK UNK huruma alisema alisisitiza kuwa bwana msekwa asianze kumuonesha kadi nyekundu kwani yeye ni mcheza mpira asubiri dakika tisini za mchezo na siyo kuanza kumuonesha red UNK alibainisha kuwa hadi sasa wagombea UNK ni wawili na kutaka wengine wanaotaka kuwania kiti hicho UNK na siyo kuzungumza UNK bwana shibuda alisema anashukuru ccm UNK lolote baya tangu atangaze nia yake ya kugombea ila anamshangaa refarii mkuu kuanza kutangaza matokeo ya mchezo kabla ya mpira kuwekwa uwanjani nampongeza katibu mkuu wa ccm UNK kimya na wengine wanatakiwa kumuiga kwani UNK kwa uamuzi wangu wa kutangaza kuwania kiti hicho alisema bwana shibuda na kuongeza ninachoomba ni jina langu lifikishwe katika vikao husika na UNK na UNK kwani mimi ni UNK jipya na nuru ya matamanio kwa wanyonge ambayo ndiyo sera ya ccm aliishukuru ccm kwa UNK vyema kushika madaraka ya urais na kuwataka wanachama wa chama hicho kuwa makini ili UNK na kauli ambazo zimeanza kutolewa kuhusu baraza la mawaziri UNK unda pindi akichaguliwa kushika wadhifa huo bwana shibuda alisema hiyo ni siri yake alisema kama mungu ameamua kwamba yeye ndiye atakayekuwa rais basi itakuwa hivyo na kama amempangia jk kuwa rais basi akishinda UNK mkono uteuzi huo alitoa mwito kwa wabunge wasizuie watu kwenda kugombea katika majimbo UNK kwa kuwa ni haki ya kila mtu mwenye uwezo kupeleka UNK wabunge ni lazima UNK ukomavu wa demokrasia ndani ya ccm alisema mwaka ishirini sifuri tano bwana shibuda alichukua fomu za kuomba kuwania nafasi hiyo kwa tiketi ya ccm lakini jina lake liliondolewa kwenye vikao vya vyanzo vya ccm hivi karibuni alitangaza nia yake ya kuwania kiti hicho ndani ya ccm katika mahojiano hayo bwana msekwa alisisitiza kuwa rais kikwete ndiye mwenye sifa za kuendelea kuwa rais naye aenda likizo ya kustaafu kwa lazima utekelezaji wa richmond kujadiliwa leo wakati kamati ya bunge ya nishati na madini inakutana leo kujadili utekelezaji wa maazimio ya bunge kuhusu mkataba wa kifisadi wa richmond imebainika kuwa katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini bwana athur mwakapugi ambaye iliazimiwa achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kushindwa kuishauri vizuri serikali ameanza likizo ya kustaafu kwa lazima kigogo huyo ni wa tatu kustaafu katika orodha ya watumishi wa umma UNK kwenye kamati teule ya bunge iliyochunguza mkataba huo UNK mwanasheria mkuu wa serikali bwana johnson mwanyika ambaye pia yuko likizo ya kustaafu akitarajia kukamilisha ngwe yake novemba sita mwaka huu mwingine UNK katika orodha hiyo ni aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha gray mgonja ambaye pia anakabiliwa na mashtaka ya matumizi mabaya ya ofisi habari za uhakika ambazo gazeti hili limezipata zimeeleza kuwa bwana mwakapugi ameshaanza likizo na anatarajia kustaafu januari mwakani habari hizo zimekuja wakati bunge linapinga hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa na serikali UNK mapendekezo ya kamati teule ya bunge kwa sasa yupo likizo ya kustaafu atastaafu wowote kuanzia sasa kama sikosei itakuwa ni januari kilisema chanzo chetu cha habari kutoka wizara ya nishati na madini bwana mwakapugi anastaafu huku azimio la kumi na nne la bunge la kutaka achukuliwe hatua kali za kinidhamu kwa kuliingiza taifa kwa makusudi kwenye mkataba wa kampuni ya mfukoni likiwa halijatekelezwa wengine waliopendekezwa kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu ni aliyekuwa katibu mkuu wizara ya fedha bwana gray mgonja na mwanasheria mkuu wa serikali bwana mwanyika bwana mwakapugi alikuwa kwenye kamati ya makatibu wakuu iliyoundwa na baraza la mawaziri UNK februari ishirini sifuri sita ikiwa na jukumu la kusimamia mchakato mzima wa zabuni ya richmond ili kuharakisha kazi hiyo serikali iliunda kamati ya wataalamu ili kuisaidia kwa karibu kamati ya makatibu wakuu watalaamu hao pia wanatakiwa kuchukuliwa hatua za kisheria katika kutekeleza pendekezo la kamati serikali UNK barua bwana mwakapugi kumtaka ajieleze katika maeneo ambayo kamati teule ya bunge iliyoongozwa na mbunge wa kyela daktari harrison mwakyembe ilibaini kuwa hakuzingatia maslahi ya taifa hatua hii imechukuliwa kwa kuzingatia sheria na kanuni za nidhamu katika utumishi wa umma na misingi ya kanuni asilia ya haki ya kusikilizwa kwanza kabla ya hatua nyingine kuchukuliwa alisema waziri mkuu bwana mizengo pinda wakati akieleza utekelezaji wa maazimio ya bungeni agosti mwaka jana bwana mwakapugi UNK maelezo yake kwa katibu mkuu kiongozi ambaye ndiye mamlaka yake ya nidhamu katika muda UNK baadhi ya maeneo ambayo bwana mwakapugi alitakiwa kujieleza ni kutozingatia maagizo ya baraza la mawaziri kuhusu suala la ununuzi wa mitambo ya umeme wa dharura kutozingatia ushauri wa kitaalamu uliotolewa na mamlaka ya udhibiti wa manunuzi ya umma kuhusu kufuata sheria ya manunuzi ya umma ya mwaka ishirini sifuri nne na kanuni zake za mwaka ishirini sifuri tano maeneo mengine ni UNK serikali ipasavyo kuhusu umuhimu wa kuifanyia uchunguzi zaidi kampuni ya richmond development company llc ili kujiridhisha na uwezo wake kifedha kiutendaji kiutaalamu na UNK ili kulinda maslahi ya taifa katika ripoti ya utekelezaji wa maazimio hayo iliyosomwa na naibu waziri wa nishati na madini bwana adam malima kwenye mkutano wa bunge uliopita alisema serikali UNK watendaji wake watendaji waliotajwa kuwajibishwa kwa mujibu wa kanuni namna arobaini na tisa ya sheria ya utumishi wa umma ya mwaka ishirini sifuri mbili ni pamoja na bwana UNK juhudi za gazeti hili kumpata bwana mwakapugi kuzungumzia suala hilo hazikuweza kuzaa matunda kamati ya nishati na madini inakutana leo kujadili utekelezaji wa mapendekezo ishirini na tatu ya richmond kabla ya kuwasilishwa katika kikao kijacho cha bunge na mwandishi wetu mfanyabiashara maarufu wa zanzibar na kada wa chama cha mapinduzi bwana mohamed raza naye amejitosa kwenye sakata la mafuta na kuhoji uhalali wa kuwa suala la muungano akizungumza dar es salaam jana bwana raza alikiri kuwa mafuta yametajwa katika orodha ya masuala ya muungano lakini alielezea wasiwasi kuwa liliingizwa nje ya utaratibu kama mafuta yako ndani ya muungano UNK minutes na saini za wakuu UNK suala hilo kwenye muungano mimi kama raza nakuhakikishia hakuna minutes hizo alisema bwana raza alisema muungano wa tanganyika na zanzibar ulikuwa wa kuaminiana ambapo waasisi bwana julius nyerere na bwana abedi karume walifanya hivyo kwa maslahi ya pande zote mbili mfanyabiashara huyo alisema pande zote mbili za muungano lazima UNK UNK na UNK kwa zote zina haki sawa ndipo utakuwa wa kushikamana zaidi kusema mafuta ya zanzibar yawe ndani ya muungano halafu dhahabu na gesi isiwe kwenye muungano labda UNK minazi na mikarafuu alisema mfanyabiashara huyo bwana raza alisema waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais bwana muhammed seif khatib alikosea kutoa tamko kuwa mafuta ni suala la muungano na badala yake alipaswa kwanza kuwasiliana na mwanasheria mkuu kuliko kuchukua ushabiki wa kisiasa alisema kwa vile suala hilo liko kwenye katiba angewasiliana kwanza na wanasheria wakuu wa tanzania na zanzibar ambao UNK kwa mtazamo wa kisheria katiba imezungumzia kuwepo au kutokuwepo kwa muungano UNK hivyo suala la mafuta ni dogo kama watu watakaa na kuzungumza huku pande zote mbili zikiwa na haki sawa kwani wakati UNK kila moja ilikuwa ni nchi huru alisema alisema wanaoweza kuondosha kero za muungano ni marais na marais wastaafu wa pande zote mbili kwa vile kamati zote zilizoundwa zitakuwepo hadi miaka kumi sifuri ijayo kwa sababu haziwezi kwenda ndani ya misingi ya muungano nawaambia viongozi waandamizi huwezi kuziba pua ukataka pumzi itokee masikioni ili watanzania waweze kushikamana zaidi kwa nini UNK mkataba wa muungano wetu kuna siri gani alihoji bwana raza wafanyakazi wawili wa kampuni ya ujenzi ya UNK inayotengeneza barabara ya mkuranga kisiju UNK kwa moto hadi majivu baada ya gari UNK kugonga mti na kulipuka tukio hilo lilitokea juzi mchana eneo la kurungu mkoani pwani wakati wafanyakazi hao wakirejea katika kituo chao cha kazi wafanyakazi waliokufa wametajwa kuwa ni dereva aliyekuwa akiendesha gari hilo aina ya toyota corolla namba t mia tano na arobaini na moja UNK aliyejulikana kwa jina moja la charles na meneja mradi william UNK pia katika ajali hiyo mtu mwingine aliyetajwa kwa jina martine samweli alijeruhiwa vibaya na amelazwa katika hospitali ya temeke dar es salaam baadhi ya watu walioshuhudia tukio hilo wamedai kuwa marehemu hao wakiwa na mwenzao mmoja walionekana wakinywa pombe katika baa ya dream na baadaye kuhamia baa nyingine ya UNK na kuendelea kunywa watoa habari hao walieleza kuwa ilipofika saa sita thebathini mchana waliondoka kwenye baa hiyo ili kuelekea katika kituo chao cha kazi chanzo hicho kilieleza kuwa ndani ya gari hilo walikuwa UNK madumu ya petroli waliyokuwa wakipeleka kazini kwao baada ya kupita eneo la kilima cha kurungu kwa karibu mita kumi sifuri gari hilo liliyumba na UNK UNK na kisha kulipuka moto watu walifanikiwa kuokoa mtu mmoja lakini meneja wa mradi na dereva UNK ndani ya gari na kubaki majivu kilisema chanzo chetu cha habari tulichokifanya tulichukua majivu na mifupa iliyokuwa kwenye kiti cha dereva UNK pamoja na mengine sehemu yake kwa kuwa hatukuwa na namna nyingine alisema mmoja wa mashuhuda habari zilisema kuwa majeruhi katika ajali hiyo atakuwa amepata majeraha kichwani kwani baada ya kutolewa ndani ya gari alikuwa akitokwa damu puani na masiki sifuri ni hiyo ni ajali ya tatu ya magari kuungua moto wilayani humo na tukio la kwanza lilitokea aprili mwaka huu na lingine wiki mbili zilizopita kamanda wa polisi mkoani pwani UNK mwakyoma amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lakini hakuweza kuzungumzia kiundani kutokana na kuwepo kwenye kikao baadhi ya wajumbe katika mkutano unaofanyika leo nchini ufaransa kujadili maendeleo ya utafiti wa chanjo ya virusi vya ukimwi wameonesha matumaini makubwa kuhusu matokeo ya chanjo yaliyotolewa hivi karibuni na chuo kikuu cha afya na sayansi muhimbili kuwa yana ubora kuliko yale yaliyofikiwa nchini thailand wakizungumza na vyombo vya habari nchini humo UNK kuwa matokeo hayo UNK kwa watu sitini yanaweza kusaidia kuzuia maambukizi ya hiv kwa asilimia hamsini wakati chanjo UNK thailand kwa watu kumi na sita sifuri sifuri sifuri ilifanikiwa kwa asilimia thebathini tu utafiti UNK na wataalamu hao unafanyika muhas kwa msaada wa shirika la maendeleo la kimataifa la sweden tuna matumaini kwamba chanjo hiyo nchini tanzania inaweza kuongeza usalama katika maambukizo kwa asilimia hamsini alisema profesa UNK UNK kutoka taasisi ya UNK iliyopo nchini ufaransa chanjo hiyo iitwayo UNK UNK kwa askari polisi sitini mwaka ishirini sifuri saba na matokeo yake yakawa mazuri katika mkutano huo wataalamu mbalimbali watapata fursa ya kuuliza na kufafanua baadhi ya mambo ikiwa ni pamoja na mjadala kuhusu udhaifu wa chanjo ya hiv ya nchini thailand hata hivyo baadhi ya wataalamu wamekataa kutoa tathmini yao kuhusu chanjo hiyo mpaka watakapopata maelezo ya kina na kuona matokeo yake tunahitaji kupata taarifa kamili za utekelezwaji wake na kisha tuanze kujadili na UNK alisema daktari alan UNK ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa shirikisho la chanjo ya hiv duniani aliongeza kuwa tunakutana katika mkutano muhimu wa kujadili UNK hii kwa sasa utafiti wa chanjo ya hiv unaonekana kwenda haraka sana kuliko nyakati zote za awali kwa miaka ishirini na sita iliyopita hata hivyo bwana michel UNK anayeshughulikia kitengo cha kupambana na hiv na malaria nchini humo alionesha wasiwasi wa mataifa husika kutokuwa na uwezo wa kuchangia mfuko wa kimataifa wa programu ya ukimwi hasa baada ya mtikisiko wa uchumi kutokea mtikisiko wa uchumi kwa kiwango fulani umeathiri na utaendelea kusababisha wadau wakuu kushindwa kuchangia maendeleo ya mfuko huo wakati wataalamu hao UNK chanjo hiyo baadhi ya watu wanasema kutangazwa kwa chanjo hiyo katika hatua za awali kunaweza kusababisha UNK la maambukizi kutokana na watu kushawishika kufanya ngono zaidi vile vile waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bwana philip marmo juzi alitoa onyo kali kwa wanaotangaza matokeo ya chanjo hiyo bila kibali cha wizara ya afya na ustawi wa jamii na tume ya sayansi watu wasiojulikana wamevamia nyumba ya bibi muhoja kulwa mkazi wa sweya nyegezi mtaa wa silivia wakimtuhumu kuwa ndiye alihusika kumficha binti ambaye anadaiwa kufariki dunia mwaka ishirini sifuri tano na baadaye kupatikana akiwa hai mapema wiki iliyopita tukio hilo limekuja wakati biti huyo anayesadikiwa kuwa ni bibi juliana gembe akiwa amelazwa katika hospitali ya rufaa bugando kwa ajili ya uchunguzi wa akili huku ikifanyika mipango ya kuchukua vipimo vya dna kwa lengo la kubaini kuwa ana uhusiano na mama anayedai ni mzazi wake lakini wakati vipimo hivyo vya kitaalamu UNK imani potofu za wenyeji wa eneo hilo UNK kuwa huenda tukio ni la kishirikina na UNK UNK hilo bibi kulwa kuwa ndiye mhusika bibi kulwa alisema kuwa ijumaa iliyopita sasa kumi usiku watu wasiojulikana walifika katika nyumba yake na kubomoa dirisha la chumba UNK na kutoa vitisho kwamba wanataka kumkata mapanga kutokana na kifo cha kutatanisha cha bibi gembe na baadaye kupatikana hivi karibuni akiwa hai lakini UNK alisimulia kuwa watu hao ambao alidai huenda wamo katika ukoo wake waligonga mlango wa mbele huku wakiwa UNK mapanga katika mlango wake na kutoa vitisho zaidi kuwa wana lengo la kumjeruhi kwa kumkatakata mapanga bibi kulwa alidai kuwa kutokana na sauti alizokuwa anasikia kundi hilo UNK na mjomba wa bwana gembe alisema kuwa mbali ya kupiga kelele na filimbi kwa ajili ya kuomba msaada kutoka kwa majirani hakuna mtu aliyejitokeza ili kusaidia kuokoa maisha yake hata hivyo mume wa mama huyo bwana mashindano njashi alisema kuwa tangu aishi na mke huyo hajawahi kusikia kuwa alikuwa UNK na vitendo vya ushirikina huyo binti ni mjukuu wangu na wala siwezi kukubali kuona mke wangu ambaye ni bibi yake wa kambo anamfanyia vitendo vya ushirikina huo ni uzushi ambao utaweza kuleta mfarakano miongoni mwa familia yetu alisema bwana njashi kwa uchungu balozi wa ccm shina nambari kumi na saba katika mtaa wa silivia alikiri kupokea malalamiko kutoka kwa bibi kulwa na kuongeza kuwa yeye alichofanya ni kumwandikia barua ya malalamiko na kumshauri kwenda kituo cha polisi cha igogo kwa ufuatiliaji hata hivyo bibi kulwa alipofika katika kituo hicho aliambiwa UNK shilingi kumi sifuri sifuri sifuri kwa ajili ya petroli ya gari la polisi na hakuweza kuzitoa kwa wakati huo na hivyo hakupata msaada hadi juzi majira ilipofika katika eneo la tukio polisi walikuwa hawajafika kunusuru maisha ya bibi kulwa anayeishi kwa mashaka ofisa mmoja wa polisi kituo cha igogo ambaye hakupenda jina lake litangazwe gazetini kwa kuwa kuwa siyo msemaji alikiri kupokewa malalamiko ya bibi kulwa na kuwa bado wanajitahidi ili kufika katika eneo hilo kufanya uchunguzi zaidi bila kufafanua kama kweli fedha zilidaiwa au vinginevyo mahakama ya wilaya ya temeke imewahukumu kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri kila mmoja washitakiwa watatu baada ya kuwatia hatiani kwa makosa matatu likiwemo la kutengeneza pombe haramu kwa kutumia nembo ya konyagi katika hukumu yake hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya temeke bibi hellen riwa alisema mahakama imeridhika kuwa washtakiwa hao wamepatikana na hatia ya kutenda makosa matatu alisema washtakiwa hao UNK UNK mohamed rashid na aden karim wamekutwa na makosa ya kutengeneza pombe ya konyagi bandia kutumia nembo ya konyagi kwa nia ya kuziuza na kupatikana na mali ya wizi kinyume cha sheria hakimu riwa alisema kutokana na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka uliongozwa na mrakibu wa polisi bwana basil pandisha washtakiwa hao walihusika katika kosa hilo hivyo wanastahili adhabu kali alisema kutokana na makosa hayo aliwahukumu kwenda jela miaka tano au kulipa faini ya shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri kila mmoja washtakiwa hao walikamatwa na jeshi la polisi septemba saba mwaka jana katika eneo la makangarawe temeke wakitengeneza pombe na kuweka nembo ya konyagi na nembo ya mamlaka ya kodi ya mapato tanzania kwa nia ya kuziuza washtakiwa hao kwa pamoja walilipa faini ya shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri kila mmoja na kuachiwa huru wakati kampuni ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ya songas imetangaza UNK kwa jenereta ya megawati ishirini keshokutwa serikali imeelezwa kuwa haiwezi kujivua lawama kutokana na uzembe uliosababisha nchi kuwa na magawo umeme kwa kipindi kirefu kauli hiyo ya UNK lawama serikali imetolewa na mbunge wa tabora mjini bwana siraji kaboyonga muda mfupi baada ya mwanasheria wa kampuni songas bwana reuben UNK kuileza kamati ya bunge nishati na madini kuwa kuna uwezekano mkubwa megawati ishirini kurejea kwenye gridi ya taifa ingawa haziwezi kuleta unafuu mkubwa akizungumza na waandishi wa habari ofisi ndogo za bunge dar es salaam jana mbunge wa tabora mjini bwana kaboyonga ilisema lawama zozote zinazotolewa na kuhusu magawo huo zinapaswa kuelekezwa serikalia kuu na wala si kwa shirika la umeme tanzania kama ilivyo sasa UNK kumi sifuri kwa shirika hilo bwana kaboyonga alisema wananchi wamechoshwa na majibu na sababu nyepesi katika masuala ya msingi kama nishati ya umeme na kuitaka serikali kuwa na mipango ya muda mrefu badala ya hii ya muda mfupi ambayo UNK serikali na wananchi kila mwaka tunapaswa kuwa na mipango ya muda mrefu tumechoshwa na UNK za dharura kila mwaka suala la upungua kwa kina cha maji si la dharura serikali ilipaswa kuwa na ufumbuzi tayari sielewi ni kwanini inashindwa kuona mbali alisema bwana kaboyonga alisema kuwa wataalamu kutoka katika shirika hilo walitoa tahadhari mapema lakini serikali ilizembea na kushindwa kuzingatia ushauri huo badala yake sasa inafanya mambo ya zimamoto alisema serikali inapaswa kuweka mikakati ya kudumu na madhubuti katika suala zima la kuzalisha nishati ya umeme kwani kushindwa kufanya hivyo taifa litaendelea kuingia hasara kubwa na kushusha pato la nchi alisema tanesco kwa sasa UNK na inahitajika igawanywe katika sekta tatu sekta ya uzalishaji usafirishaji na usambazaji na kila sekta ijitegemee ili kuboresha ufanisi kama mnakumbuka waandishi kampuni hizi nyingi zimekuja kwa maelezo kuwa UNK umeme wa dharula tulitegemea kuwa wakati vina vya maji katika mabwawa yetu UNK basi umeme huu utumike sasa huu mgao unatoka wapi aliuliza bwana kaboyonga alisema sheria ya ewura inaruhusu uzalishaji wa umeme wa jenereta binafsi hivyo kuitaka serikali kuondoa ukiritimba katika suala la nishati ya umeme kwa kuruhusu uzalishaji binafsi wa umeme bwana kaboyonga ilisema kama suala hili lingetokea nchi za ulaya ilikuwa inatosha kwa wahusika kuwajibika kwa kujiuzuru na kushauri tamaduni hizo za uwajibikaji kuigwa na watanzania ili kuonesha uzalendo na UNK na uzembe mfanyabiashara maarufu bwana mohamed raza na ametahadharisha kuwa dodoma kamwe isiwe machinjio ya wazanzibar wanaoshinikiza umiliki wa mafuta ya zanzibar na kwamba hakuna mwanachama atakayefukuzwa ndani ya ccm kutokana na msimamo huo akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana bwana raza alisema inashangaza kuona mafuta ya zanzibar UNK ya muungano wakati gesi asilia dhahabu na mafuta yaliyopo upande wa bara yanabaki kuwa ya UNK kauli ya bwana raza inakuja huku kamati ya iliyoundwa mjini dodoma na halmashauri kuu ya ccm inaendelea kuchunguza sababu za kauli za mfarakano zinazotolewa na wajumbe wa baraza la wawakilishi zikiwamo zinazohusiana na mafuta pamoja na hadhi ya zanzibar kama nchi au la mji wa dodoma una historia ya kuwa mchungu kwa wazanzibari kwani maamuzi ya vikao vya ccm yamekuwa UNK viongozi wengi akiwamo aliyekuwa rais wa visiwa hivyo aboud jumbe waziri kiongozi maalim seif sharif hamad na kufuta ndoto za rais mstaafu salmin amour kutaka kujiongezea kipindi cha kuwa madarakani ili tujenge mawasiliano mema ni lazima uamuzi ya baraza mapinduzi kuwa mafuta siyo ya muungano uheshimiwe na dodoma kamwe isiwe machinjio ya wazanzibar alisema bwana raza alisema hata mtu ambaye haoni wala kusikia hawezi kukubali gesi asilia mafuta na dhahabu zilizopo upande wa bara yasiwe kwenye muungano lakini mafuta ya zanzibar yawe ya muungano hii haijengi hoja vinginevyo UNK mgogoro wa kikatiba na siyo kutaka UNK watu katika kipindi hiki alisema bwana raza alisisitiza kuwa suala la mafuta halina mjadala kwa sababu uamuzi uliotolewa ulikuwa ni kwa maslahi ya wazanzibar alisema inashangaza kuona suala la mafuta linafanywa ni la chama wakati baraza la mapinduzi na wawakilishi wote wakiwemo ya ccm na cuf walipitisha suala hilo kuwa ni la wazanzibar nadhani umefika wakati kama suala hili limekuwa la muungano basi tuoneshwe UNK za vikao vilivyoamua kuwa mafuta ya zanzibar yawe ya muungano na tuoneshwe sahihi za rais UNK jambo hili alisema bwana raza alisema masuala yote yanayotokana na katiba pande zote mbili za muungano zinatakiwa kukaa na kuamua kwa pamoja hiyo ndiyo itaondoa fitina kama ingefanyika hivyo hata kamati ya mwinyi isingekuwepo alisema bwana raza na kuongeza UNK mimi raza mafuta ya muungano lakini gesi asilia na dhahabu siyo ya muungano naona hakuna ccm zanzibar katika kipindi hiki UNK UNK alisema matamshi yaliyotolewa bungeni na katika baraza la wawakilishi ambayo UNK kamati yametolewa na wana ccm wenyewe tena ambao ni wajumbe wa kamati kuu na halmashauri kuu ya taifa hivyo inaonesha wazi kuwa kuna tatizo alisisitiza kuwa suala la uchumi halipo kwenye muungano bunge halina mamlaka ya kuliambia baraza la wawakilishi nini lifanye hata wawakilishi hawana ubavu huo alisema na kuongeza kuwa tukijenga mawasiliano mema uamuzi wa baraza la mapinduzi kuwa mafuta siyo ya muungano UNK alisema pande zote mbili zinazounda jamhuri ya muungano zina nguvu sawa hivyo kinachotakiwa ni viongozi kuheshimiana alikuwa UNK amchome sindano daktari wa hospitali ya mkoa wa rukwa iliyopo mjini hapa daktari method mwinyara amechomwa kisu tumboni na mgonjwa wakati akijaribu kumshawishi amchome sindano tukio hilo lilitokea jana saa kumi na mbili asubuhi katika wodi namba tatu ambapo kwa mujibu wa mashuhuda daktari huyo aliyekuwa zamu ya usiku alifika katika kitanda cha bwana jairos katala ili ampe huduma hiyo walisema mgonjwa huyo alimwambia daktari kuwa ahitaji huduma yoyote kutoka kwake na daktari huyo akiwa katika harakati za kumshawishi ndipo mgonjwa huyo alipochomoa kisu chini ya godoro na kumchoma daktari huyo tumboni mganga mkuu wa hospitali hiyo daktari sadun kabuma alisema daktari huyo ameshonwa tumboni na kuruhusiwa kurudi nyumbani kwa mapumziko ambapo hali yake inaendelea vizuri alisema kuwa tukio hilo la aina yake ni la kwanza kutokea katika hospitali hiyo na kuwataka wauguzi na madaktari wa hospitali hiyo kuwa makini wakati wakiwahudumia wagonjwa kwa upande wake kamanda wa polisi mkoa wa rukwa bwana isunto mantage alisema kufuati tukio hilo UNK chini ya ulinzi mgonjwa huyo na kwa uangalizi maalumu alisema lengo ni kuhakikisha hawezi kuwadhuru madaktari wengine na wagonjwa wenzake waliolazwa katika wodi hiyo UNK wagonjwa wa majeraha mwanyika mgonja mwakapugi UNK wasomi wanasiasa wataka hatua zaidi wadai kikwete anashindwa kuchukua hatua kustaafu kwa baadhi ya vigogo wa serikali waliotuhumiwa kuhusika kwa namna moja au nyingine na kashfa ya zabuni ni mitambo ya umeme wa dharura ya richmond kumeibua maswali ya wasomi wanasiasa na wabunge huku wakipendekeza hatua zaidi dhidi yao zichukuliwe pia wasomi hao waliozungumza na majira wamesema kuwa kushindwa kuwachukulia hatua kama serikali ilivyoagizwa na bunge kunasababishwa na rais jakaya kikwete kutokuwa na misimamo katika uamuzi wake kauli hizo zimetolewa kwa nyakati tofauti jana dar es salaam na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa nchini wakati walipokuwa wakizungumzia kustaafu kwa katibu mkuu wa nishati na madini bwana arthur mwakapugi johnson mwanyika na gray mgonjwa ambao iliazimiwa na bunge wachukuliwe hatua za kinidhamu kwa kushindwa kuishauri vizuri serikali kuhusu mkataba wa kifisadi wa richmond mbunge wa karatu daktari UNK slaa alisema kuwa matatizo yanayojitokeza ni kutokana na nchi kutokuwa na maamuzi na kwamba hakuna kiongozi UNK maamuzi kikwete mwenyewe UNK maamuzi ndio maana nchi UNK nchi hii viongozi hawana maadili mema na ndio maana mambo yanakwenda kinyume kuna watu UNK kwamba UNK nchi vizuri ili waweze kulindwa matokeo yake ndio haya tunayaona nchi kuingia gizani alisema daktari slaa alisema kuwa aliyekuwa katibu mkuu wizara ya fedha bwana gray mgonja UNK na kupewa haki zake zote wakati UNK serikali hasara ya mabilioni ya fedha na mwakapugi naye UNK na kupewa haki zake zote na inawezekana baadaye UNK mahakamani kwa UNK tu hakuna hatua zozote UNK ninachosisitiza hapa ni kwamba nchi inazidi kuporomoka kutokana na kulindana alisema alisema kuwa UNK nchi ni watanzania ambao watakataa upuuzi unaoendelea kwa kuchukua hatua mwakani ili kuhakikisha kuwa UNK tena rais kikwete daktari slaa alisema bunge UNK tangu mwaka ishirini sifuri saba viongozi wote waliotajwa katika kamati teule ya bunge iliyochunguza mkataba wa kifisadi wa richmond kuchukuliwa hatua lakini UNK kabla ya kuchukuliwa hatua inaonyesha ni jinsi gani watu wanakwenda kinyume na taratibu za bunge hata rais mwenyewe hana mamlaka ya kwenda kinyume na bunge lakini tunashangaa anaingilia alisema kwa upande wake mwenyekiti wa chama cha wananchi professa ibrahim lipumba alisema kuwa matatizo yanayojitokeza yanatokana na rais kikwete kutokuwa makini katika uongozi wake bwana mwakapugi hana tatizo kwa sababu yeye alikuwa akitekeleza matakwa ya rais anayeongoza baraza la mawaziri na ndio maana anastaafu bila kuchukuliwa hatua yoyote kutokana na rais kuwa mhusika mkuu wa richmond alisema alisema kuwa mtu anayetakiwa kuwajibishwa kwa misukosuko yote inayoikumba nchi hususani katika suala la kuingiza nchi gizani ni rais kikwete pekee na wala si vinginevyo akizungumzia suala hilo wakili wa kujitegemea bwana theonest rutashoborwa alisema inashangaza watuhumiwa kustaafu na kulipwa mafao yao yote alisema kustaafu ni sehemu ya kutambua utumishi mwema wa mfanyakazi ndio sababu analipwa mafao yake mtuhumiwa UNK maana yake hajapewa adhabu kumlipa mafao mtuhumiwa ni kumwonesha kwamba hana tuhuma kitendo hicho UNK umma wa watanzania alisema bwana rutashoborwa alisema hatua hiyo imekiuka katiba na sheria ya nchi kwa kuwa mafao ya watuhumiwa hao yanatakiwa kuzuiliwa hadi uchunguzi na hatua zinazostahili zichukuliwe dhidi yao naye wakili damas ndumbaro alisema kama muda wa kustaafu umefika ni lazima wastaafu hata kama wanakabiliwa na tuhuma za jinai alisema kustaafu inawezekana ingawa ni njia moja wapo ya kukwepa tuhuma hizo lakini haisadii kwani sheria UNK huko huko alipo na kushitakiwa kama inaonekana kuna haja ya kufanya hivyo hata kama mtuhumiwa akiamua kuacha kazi mwenyewe hiyo UNK kosa la jinai atashitakiwa na sheria itachukua mkondo wake alisema vyama viwili vya upinzani jana UNK kwa nyakati tofauti kuchezewa rafu katika kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zinazoendelea nchini kote cha kwanza kutoa malalamiko hayo kilikuwa chama cha wananchi ambacho kilitangaza kutokuwa na imani na mchakato wa uchaguzi kwa madai kuwa umegubikwa na mizengwe mwenyekiti wa cuf profesa ibrahimu lipumba alisema karatasi za kupigia kura tayari UNK mitaani hali inayozua wasiwasi kuwa matokeo huenda UNK kabla ya uchaguzi kufanyika karatasi za kupigia kura hizi hapa zimezagaa mitaani kwa hiyo watu wanaweza kupiga kura wakati tayari masanduku yenye kura tofauti UNK alisema pia aliongeza kuwa wagombea wa cuf wamewekewa pingamizi na kusababisha maeneo mengi wagombea wa ccm kupita bila kupingwa mfano wilaya ya handeni tanga wagombea wa cuf katika vijiji kumi nne UNK kugombea kwa madai kuwa fomu zao zimedhaminiwa na kata na ilitakiwa kudhaminiwa na ngazi ya chini lakini wakati huo huo wagombea wa ccm waliodhaminiwa na ofisi zao za kata wameruhusiwa kuendelea kugombea tabora nako hivyo hivyo alisema lakini malalamiko UNK UNK mbali na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bibi celina kombani aliyesema kuwa hafahamu karatasi za kupigia kura profesa lipumba UNK wapi kwani karatasi zinatengenezwa na nembo ya halmashauri husika na mpiga kura lazima ahakikishe karatasi UNK kura ina nembo ya halmashauri yake hakuna UNK matokeo labda hiyo kazi ifanywe na hao cuf kwa sababu siku ya kupiga kura majina ya watu wote waliojiandikisha na ya wagombea UNK katika vituo vya kupigia kura kwa upande wake chama cha nccr mageuzi UNK ccm wilaya ya ngara mkoani kagera kwa kutaka mtendaji wa kata UNK bwana abdul ngangula kuhamishwa kituo cha kazi kwa tuhuma za kupigia kampeni chama hicho mkuu wa idara ya sheria na haki za binadamu wa ncc r daktari sengondo mvungi alisema kuwa barua hiyo ilidai kuwa mtendaji huyo akiendelea kukaa kijijini hapo UNK chama tawala mbali na hayo barua hiyo ilidai kuwa bwana ngangula alitakiwa kuhamishwa katika kata hiyo kwa kuwa uchaguzi wa jumapili utathibitisha ukweli kuwa mtendaji huyo anajihusisha na masuala ya siasa kinyume cha waraka wa mkuu wa utumishi wa umma vyama vyote vilivyosajiliwa vina haki ya kusaidiwa na watendaji na hakuna chama kilicho na mamlaka ya kumkatalia mtendaji kuwasaidia wananchi wake alisema daktari mvungi sakata la mbunge kishapu mkoani shinyanga bwana fred mpendazoe limechukua sura mpya baada kukataa kutoa maelezo yake polisi akitaka kwanza apate wakili UNK kufuatia kitendo hicho polisi wamempa siku mbili kuteua wakili atakayemsaidia kujibu hoja dhidi ya tuhuma za kumpiga kada mmoja wa ccm zinazomkabili katika kesi hiyo inayofanana na ile inayomkabili mbunge wa simanjiro bwana christopher ole sendeka ya kumpiga mwenyekiti wa umoja wa vijana mkoani arusha james ole millya mbunge huyo wa kishapu anatuhumiwa kumshambulia bwana abdulkadir mohamedi ambaye pia ni kada wa ccm wilayani humo bwana sendeka katika kesi yake inayoendelea mkoani arusha na kuvuta hisia za watu wengi hasa wanasiasa mbali na kudaiwa kumpiga kibao bwana ole millya pia anatuhumiwa kumtishia kwa bastola jambo ambalo pia linajitokeza kwenye kesi ya bwana mpendazoe wabunge hao wawili wamo kwenye kundi moja la wanaojipambanua kuwa UNK wa mbele katika mapambano dhidi ya ufisadi kamanda wa polisi mkoa wa shinyanga bwana daudi siasi aliwaeleza waandishi wa habari mjini hapa kuwa baada ya mbunge huyo kutoa maelezo akiwa na wakili wake atafikishwa mahakamani kujibu mashitaka dhidi yake kamanda siasi alisema kwa mujibu wa sheria za nchi hairuhusiwi kwa mtu ye yote anayemiliki silaha ya moto kumtishia mtu mwingine na kwamba iwapo itathibitika sheria itachukua mkondo wake mbunge huyo anadaiwa kumshambulia kwa kumpiga makofi bwana mohamedi UNK nguo aliyokuwa ameivaa na kumtisha kwa bastola mambo ambayo tayari mbunge huyo amekanusha vikali kuwa ni uongo dhidi yake wenye lengo la kutaka kumchafua kisiasa waziri mkuu bwana mizengo pinda amezindua maonyesho ya asali na kutangaza nia yake ya kuhakikisha kila kaya ina mzinga wa nyuki nitahakikisha kila kaya inakuwa na mzinga wa nyuki ili kuona umuhimu wake na matumizi ya ufugaji hivyo ni vema kila mtu akaona umuhimu wa kuwa na mizinga ya nyuki kwani asali ni dawa asali ni chakula na asali ni mali alisema bwana pinda pia amezitaka taasisi zinazoshughulikia ubora wa viwango mamlaka ya chakula na dawa na shirika la viwango tanzania UNK mbinu mbadala ili kuiwezesha asali ya tanzania ikubalike kimataifa kauli hizo alizitoa jana dar es salaam wakati wa uzinduzi wa maonesho ya tatu ya kitaifa ya asali ambako aliiagiza wizara ya maliasili na utalii kusimamia vizuri sekta hiyo kwa kuweka mikakati ya na kuwasaidia wazalishaji wa mazao ya nyuki alisema serikali imeandaa mazingira mazuri kwa kuhakikisha kuwa kuna sera na sheria kuhusu ufugaji nyuki na kuendeleza sekta hiyo ili iwe endelevu shirikisho la wenye viwanda tanzania limeonya kuwa endapo mgawo wa umeme utaendelea hadi mwishoni mwa oktoba mwaka huu viwanda nchini vitaathirika UNK kwa asilimia kumi hadi kumi na tano na kupoteza ajira za wafanyakazi wasio wa kudumu kwa asilimia ishirini angalizo hilo lilitolewa dar es salaam jana na mkurugenzi wa sera na ushawishi wa cti bwana hussein kamote wakati akizungumza na majira juu ya athari za mgawo wa umeme katika sekta ya viwanda nchini hali hiyo inafuatia mgao wa umeme UNK kutokana na kuharibika mitambo ya songas UNK na hale na kusababisha mgao umeme wa kuanzia saa kumi na nne na kuendelea kila siku bwana kamote alibainisha pia kuwa mapato ya serikali yatapungua kwa asilimia kumi na tano kutokana na mgao huo unaosababisha kushuka kwa uzalishaji viwandani mgawo wa umeme kwa mwaka huu haukuwa wa lazima kama serikali ingechukua tahadhari mapema kuhakikisha kuwa umeme uliokuwa umepungua wa megawati themanini katika grid ya taifa unapatikana ufumbuzi alisema bwana kamote alifafanua kuwa kuna njia nyingi za kukabiliana na mgawo wa umeme katika kipindi hiki kama serikali ingefanya mipango ya haraka ya kutumia UNK kubwa za kuzalisha umeme zilizokuwa zikitumika katika migodi ya UNK na buzwagi kabla ya kuanza kutumia umeme wa grid ya taifa majenereta haya yanaweza kutumika kuzalisha umeme na kuingizwa katika gridi ya taifa ili kupunguza upungufu ya megawati themanini alisema bwana kamote ameitaka serikali kuwapunguzia kodi ya mafuta kwa wenye viwanda nchini ambao wanatumia jenereta katika uzalishaji kwa kipindi hiki cha mgao ili kuzuia kushuka kwa uzalishaji bwana kamote alisema kwamba jitihada zinatakiwa ili kuondokana na mgawo wakati nchi ikiingia katika soko la pamoja katika shirikisho la afrika mashariki ili kutoa ushindani wa kibiashara tanzania ina uwezo mkubwa wa kiushindani katika shirikisho hilo lakini ikiwa tatizo la umeme nchini halitatatuliwa tanzania itakuwa soko la bidhaa za nje alisisitiza alisema kuna hatari pia ya kupoteza soko la bidhaa zinazozalishwa nchini kutokana na walaji kuzoea bidhaa za nje na hivyo kuwa vigumu UNK polisi mkoani manyara wanamshikilia bwana UNK shauri kwa kosa la kumkeketa binti yake debora daniel na kumsababishia kifo mtoto huyo UNK oktoba kumi na moja mwaka huu na kuendelea kuvuja damu sehemu za siri hadi oktoba kumi na nane alipofariki dunia kamanda wa polisi mkoa wa manyara parmena sumary alisema kuwa tukio hilo lilitokea siku hiyo saa kumi sifuri sifuri jioni katika kijiji cha UNK wilayani babati kamanda sumary alisema kabla ya kifo chake mtoto huyo alikuwa akiishi na mtuhumiwa baada ya mama yake mzazi bibi UNK daniel kupata kichaa na kumtelekeza akiwa mdogo kutokana na hali hiyo mtoto huyo alikosa afya na kupata na homa za mara kwa mara kwa sababu ya kukosa maziwa ya mama hali iliyosababisha wazazi wa mtuhumiwa kushauri UNK ili kuondokana na matatizo hayo kamanda alisema kuwa mtuhumiwa alitekeleza ushauri potofu wa wazazi wake lakini alishangazwa na hali ya mtoto huyo kuendelea kuwa mbaya hadi alipofariki dunia kwa kupoteza damu nyingi baada ya kifo hicho kutokea mtuhumiwa alitaka kuuzika mwili wa mtoto huyo bila ya watu kujua lakini wasamaria alitoa taarifa kwa mtendaji wa kijiji hicho UNK jeseph ambaye alifika nyumbani kwa mtuhumiwa na kukuta maandalizi ya mazishi na kuwaamuru kusimamisha shughuli hiyo hadi hatua za kisheria zitakapofuatwa baada ya UNK hiyo mwili huo ulichukuliwa hadi hospitali ya wilaya ya babati kwa uchunguzi zaidi na ndipo iligundulika kuwa marehemu alipatwa na mauti hayo baada ya UNK na kuvuja damu nyingi kwa mujibu wa kamanda huyo UNK aliyehusika kumkeketa mtoto huyo mama UNK alitoroka baada ya hali ya mtoto inakuwa mbaya na polisi wanaendelea kumsaka kujibu shtaka hilo mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi nyawilimilwa wilayani geita mwanza mwenye ulemavu wa ngozi gasper elikana ameuawa kwa kukatwa shingo na mguu wake kunyofolewa mbali na kumuua albino huyo saa mbili thebathini usiku juzi wauaji hao walimjeruhi vibaya kwa mapanga baba yake mzazi elikana UNK kufuatia tukio hilo jeshi la polisi limetangaza zawadi ya shilingi moja sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri kwa yeyote UNK taarifa za kukamatwa kwa wahusika kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoani mwanza bwana elias kalinga alipozungumza na majira jana jioni baada ya kufika eneo la tukio mkuu wa mkoa wa mwanza bwana abbas kandoro alisema kuwa alipokea taarifa za tukio hilo kwa masikitiko makubwa na kwamba kitendo hicho lazima UNK na kila mtanzania anayejali maisha ya binadamu wenzake bwana kandoro alisema utajiri haupatikani kwa kukata viungo vya albino bali ni watu kufanya kazi kwa bidii ili UNK maendeleo alisema kuwa serikali inatoa wito kwa jamii kutoa ulinzi kwa walemavu wa ngozi mkoani mwanza na si kuiachia serikali pekee katika mapambano dhidi ya watu wanaojihusisha na vitendo hivyo vya kinyama bwana kandoro alisema ameagiza timu maalumu kutoka mkoani mwanza ikiongozwa na bwana kalinga kwenda wilayani geita kufanya uchunguzi kuungana na kikosi kazi kinachoongozwa na mkuu wa wilaya ya geita bwana philemon UNK mganga mfawidhi wa hospitali ya wilaya ya geita daktari cassian kabuche alisema kuwa majeruhi ambaye amelazwa wodi namba nane hospitali hapo hali yake si ya kuridhisha kutokana na majeraha aliyopata kichwani alifikishwa hapa jana usiku akiwa hajitambui kiasi kwamba iwapo hali UNK hivyo hadi leo UNK katika hospitali ya rufaa bugando jijini mwanza lakini kutokana na juhudi UNK hali yake angalau inatia moyo kidogo alisema daktari kabuche habari zilizopatikana kijijini hapo zinasema wauaji hao wakiwa na mapanga walifika nyumbani kwa bwana ngelela na kuanza kumshambulia kwa mapanga na kisha kumuua mwanaye mkazi wa kijiji hicho bwana UNK UNK alisema majirani walisikia kelele za kuomba msaada kutoka kwa mama wa mtoto huyo na walipofika walikuta wauaji UNK na mguu wa kulia wa mtoto huyo huku mwili wake ukiwa umekatwa UNK huku baba yake akiwa UNK baada ya kuona hali hiyo wakazi wa kijiji hicho walimchukua majeruhi na mwili wa marehemu hadi hospitali ya wilaya ya geita ambako maiti imehifadhiwa na majeruhi akiendelea na matibabu mwanasheria mkuu wa serikali UNK jana jaji fredrick werema amesema hatafanya kazi hiyo kwa kushinikizwa na mtu au umma bali kulingana taaluma yake jaji werema aliapishwa jana katika viwanja vya ikulu baada ya kuteuliwa na rais jakaya kikwete kushika nafasi iliyoachwa wazi na bwana johnson mwanyika aliyestaafu kwa lazima wengine UNK na rais kikwete ni naibu mwanasheria mkuu george UNK bwana david UNK bwana UNK UNK na bwana mbarak UNK mara baada ya kuapishwa kwake jaji werema UNK na waandishi wa habari na kuweka msimamo wake kuwa kufanya kazi kwa kufuata mtu au umma unavyosema ni kukiuka madili ya taaluma yake nitafanya kama nilivyoapa wengi UNK kwa hiyo kana nitafanya kinyume na nilivyoapa nitakuwa nimeingia katika maeneo mengine hilo hata UNK analifahamu alisema jaji werema jaji werema ambaye anashika kiti hicho huku mtangulizi wake bwana mwanyika akituhumiwa kushindwa kuishauri serikali kuhusu mkataba wa kampuni ya kufua umeme ya richmond na UNK hasara taifa alikataa kabisa kuzungumzia jambo hilo na kuwaomba waandishi waliotaka kujua jambo hilo kuliacha kwani bado liko katika UNK wa kupata ukweli moja ya mambo UNK ni kuropoka na ni kosa kubwa kwa jaji kuropoka bila kufanya utafiti jaji UNK halafu jambo likaja kuwa siyo kuna madhara makubwa katika jamii hivyo naomba niingie ofisini kwanza nione ofisi ilivyo ndiyo nizungumze hayo mikataba ni mambo ya ofisi ya mwanasheria mkuu na katika ofisi yangu kuna wanasheria wa kutosha hivyo naamini nitafanya kazi zangu vizuri kulingana na katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ibara ya hamsini na tisa inavyosema alisema jaji werema akizungumzia ufisadi jaji werema alisema hawezi kuzungumzia suala hilo kuwa kuwa tayari liko katika mkono ya sheria na halijatolewa maamuzi hivyo si vema kulizungumzia kwa sasa UNK mtu kuwa fisadi lazima uwe na ushahidi wa kutosha jamani nawaombeni UNK kabla UNK hili UNK alisema jaji werema UNK waandishi kutoandika habari ambazo ziko mahakamani na bado hazijatolewa maamuzi kwani kwa kufanya hivyo kuingilia uhuru wa mahakama na zinatoa hisia tofauti kwa umma na kuonekana maamuzi yatakayotolewa na mahakama kuwa si sahihi bali yaliyoandikwa na kusemwa katika vyombo vya habari ndiyo sahihi jaji werema alizaliwa april kumi elfu moja na mia tisa na hamsini na nne na kusoma katika vyuo vikuu vya dar es salaam uingereza marekani italia ambako alisoma mambo ya mikataba na bolivia UNK mambo ya kuzalisha kuuza na kusambaza umeme serikali UNK kamati ya shellukindo yadai si busara kujadiliwa dar es salaam wabunge UNK tena kuitoa jasho bungeni mzimu wa kampuni tata ya richmond umezidi kuitesa serikali baada ya kushindwa kwa mara ya tatu kuwasilisha maelezo ya utekelezaji wa maazimio ya bunge kwenye kamati ya nishati na madini na kuhamishia mjadala huo mjini dodoma kwa mara ya tatu jana serikali ilitarajiwa kuwasilisha hatua ya mwisho ya utekelezaji wa maazimio ishirini na tatu ya bunge dhidi ya mkataba wa kitapeli wa richmond uliosababisha aliyekuwa waziri mkuu edward lowassa kujiuzulu lakini haikufanya hivyo wala kutoa sababu za kuhamishia mjadala huo dodoma waziri wa ni wabunge wapania kuitoa jasho UNK na madini bwana willliam ngeleja jana alifika mbele ya kamati hiyo lakini badala ya kutoa taarifa ya utekelezaji wa maazimio ya bunge kama ilivyotarajiwa aliiomba kamati akatoe maelezo hayo kwenye mkutano wa bunge mjini dodoma badala ya dar es salaam hata hivyo bwana ngeleja hakuweza kutoa sababu za msingi kueleza ni kwanini hakutaka ripoti yake ijadiliwe na kamati hiyo dar es salaam kama ilivyokuwa taarifa za nyingine badala yake akasema tu serikali imeona ni busara taarifa hiyo ijadiliwe katika vikao vya bunge vinavyoanza jumanne ijayo mwenyekiti wa kamati hiyo bwana william shellukindo alisema haoni sababu ya kukataa ombi hilo hivyo kamati wakakubali maazimio hayo kujadiliwa mjini dodoma badala ya dar es salaam kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na ofisi ya bunge serikali ilitakiwa kuwasilisha taarifa hiyo oktoba sita haikuwezekana ikahamishiwa oktoba ishirini na ishirini na moja pia UNK hadi jana UNK dodoma wachunguzi wa mambo wanasema kuwa serikali UNK kuwasilisha maelezo ya utekelezaji wa maazimio hayo kwa sababu za kiusalama jambo ambalo UNK hisia ya kuwepo kwa siri nzito huku wabunge wakipania kuitoa jasho ikiwa majibu UNK mkutano ujao wa bunge unatarajiwa kufunga jamvi la mjadala wa richmond kufuatia ahadi ya rais jakaya kikwete aliyotoa hivi karibuni alipozungumza moja kwa moja na wananchi kuwa suala hilo litakuwa limemalizika ifikapo novemba katika siku za karibuni kumekuwa na dalili za kumaliza suala hilo baada ya watuhumiwa waliotajwa na bunge na kutakiwa kuchukuliwa hatua kuanza kustaafu kwa lazima na rais kikwete kuteua wengine kuchukua nyadhifa zao miongoni mwa waliostaafu ni mwanasheria mkuu wa serikali johnson mwanyika katibu wa wizara ya nishati na madini arthur mwakapugi na aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha na uchumi gray mgonja huku macho na masikio UNK mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kupambana na UNK rushwa daktari edward hoseah baada ya ofisi za kampuni ya upatu ya deci kufungwa juzi na jana sasa uongozi wa kampuni hiyo umewataka wanachama wao kusubiri hatma yao wiki ijayo kwa mujibu wa taarifa zilizotangazwa jana kwa wanachama waliokuwa wakisubiri kufahamu hatma yao baada ya kufungwa kwa ofisi hizo ziliko mabibo dar es salaam wanatakiwa UNK hadi wiki ijayo hali iliyosababisha baadhi kuanza kukata tamaa juu ya fedha walizopanda akitangaza mbele ya wanachama hao mmoja wa viongozi wa deci akiwa na ulinzi mkali wa polisi pamoja na askari wa kampuni hiyo alidai kwa vile wanataka kuonana na viongozi wa serikali wanatarajia kutoa hatma ya upatu huo wiki ijayo wale ambao wamepanda mbegu bila kuvuna watarudishiwa fedha zao wiki ijayo na baada ya kufungua ofisi wale ambao UNK na kuvuna tutangalia ni jinsi gani tutashughulikia suala lao alisema na kuondoka katika eneo la akiwa chini ya ulinzi pia aliwataka washiriki wote kutokuwa na wasiwasi na fedha zao kwani ziko salama na zitaendelea kutunzwa hadi serikali itakapotoa maelekezo mengine akizungumza na majira kwa simu mmoja wa kiongozi wa deci bwana dominic kigendi alisema hadi sasa bado hawajakutana na viongozi wa serikali kama wanavyotaka lakini wanatarajia kuonana nao kuanzia jumatatu kwa sasa tunashughulikia suala la kukutana na viongozi kama UNK hivyo kuhusu suala la kupanda au kuvuna tunasubiri kwanza majibu yao alisema bwana UNK wakati kiongozi huyo akitoa kauli hiyo baadhi ya wanachama waliofika ofisi za deci walionekana kukata tamaa ya kutopata fedha zao huku wengine wakijipa matumaini kuwa UNK wapo walionekana wakiwa na furaha baada ya taarifa hiyo na wengine wakiwa katika hali ya huzuni na pia wapo waliokuwa wakilaumu uamuzi wa serikali kuifungia kampuni hiyo washiriki hao walikuwa katika makundi madogo madogo wakijadiliana kuhusu taarifa hiyo ya kiongozi huyo huku ofisi hiyo ikiwa katika ulinzi mkali wa polisi na askari wa kampuni hiyo huku wakitoa amri ya kutogusa ukuta wa jengo hilo mijadala katika makundi hayo ilikuwa ni ya kulaani tamko hilo la serikali lililotolewa jumanne na waziri mkuu mizengo pinda na mjadala mwingine ulikuwa ni kuweka mikakati ya UNK kura chama cha mapinduzi katika uchaguzi mwakani wakati mijadala hiyo ikiendelea kulikuwa na uvumi kuwa watu watatu walizirai na mmoja kufa baada ya kubaini kuwa uwezekano a kuvuna ni mdogo anayedaiwa kufariki ni mwanamke ambaye aliweka fedha zake katika kampuni hiyo baada ya kuuza nyumba ili aweze kuzalisha zaidi na kisha kununua nyumba nyingine baada ya kushauriwa na rafiki yake wa karibu mtu mwingine aliyeonekana kuwa na majonzi ni kutoka mkoa wa kigoma ambaye alisema UNK jamaa yake fedha na kupanda katika kampuni hiyo kwa makubaliano ya kurudisha aprili ishirini lakini hadi jana alikuwa hajui hatima ya fedha hizo akizungumza na majira bwana robert milozi mlemavu asiyeona mkazi wa mbagala kiburugwa alisema amekuwa mshiriki wa deci kwa miaka miwili na kupata amepata mafanikio makubwa lakini sasa hajui hatima ya maisha yake kama serikali imesema kuwa hawa jamaa hawako sahihi basi watafute utaratibu mwingine UNK alisema bwana UNK alisema deci ambayo imetafsiriwa kuwa ndiyo mkombozi wa walalahoi iwe funzo kwa serikali ili iweze kusimamia vizuri mabilioni ya shilingi yaliyotolewa kwa ajili ya kuinua maisha ya watanzania wa kipato cha chini bwana milozi alisema mabilioni hayo yaliyotolewa na rais jakaya kikwete UNK walengwa kama UNK kwani asilimia tisini na tisa hawana uwezo wa kumiliki nyumba ambazo zitatumika kama dhamana katika benki ili kukopeshwa fedha hizo katika hatua nyingine kwa mujibu wa UNK cha habari kutoka benki kuu ya tanzania na jeshi la polisi pamoja na kuundwa tume inayochunguza kampuni hiyo tayari bot na soko la mitaji na dhamana waliifanya uchunguzi deci kwa miaka miwili na kinachofanyika sasa ni uhakiki tu baada ya uchunguzi huo gavana wa bot profesa benno ndulu aliwasiliana na jeshi la polisi makao makuu na kisha kuunda kamti iliyoshirikisha maofisa kutoka jeshi hilo soko la mitaji na dhamana na bot wafanyakazi wa benki ya biashara makao makuu dar es salaam jana walikumbwa na taharuki na kulazimika kuziacha ofisi zao kukimbia tishio la moto UNK kuzuka katika ofisi hizo hali hiyo iliyoshuhudiwa na gazeti hili ilitokea baada ya mitambo inayotoa tahadhari ya majanga kutoa viashirio vya kuwepo kwa moto na kudumu kwa karibu nusu saa kuanzia majira ya saa kumi thebathini akizungumza na gazeti hili mmoja wa wafanyakazi wa kitengo UNK na kuzuia na kupambana na majanga katika benki hiyo ambaye hakutaka jina lake litajwe alisema kuwa hali hiyo ilijitokeza baada ya mitambo inayotoa tahadhari kugundua viashirio vya kuwepo kwa moto na hivyo kupiga kelele za kuwashtua watu unajua umeme wetu hauko UNK ulikuwa umekatika kwa hivyo inaonekana umerudi mwingi hivyo wakati jenereta lina pick UNK kuwa kutakuwa na tatizo la umeme mitambo yetu ya UNK UNK na kutoa tahadhari mkazi wilaya wa tunduru katika kijiji cha UNK amani bibi UNK chande ambaye alifika dar es salaam kwa matibabu amepotea wakati UNK watoto wake akizungumza kwenye ofisi za gazeti hili jana bibi chande alisema kuwa alifika dar es salaam juzi usiku akitokea tunduru na hadi sasa hajawaona watoto wake bibi chande alisema kuwa hana mawasiliano na watoto hao na wala UNK sehemu wanazoishi ila anasikia wanaishi katika maeneo ya tandika na mbagala aliwataja wanae kuwa ni bwana mohamed rashidi amour ambae anaishi tandika na bwana UNK rashidi amour anayeishi mbagala alisema kuwa kabla ya kufika dar es salaam watoto wake walimtumia nauli lakini tangu watume fedha hizo hakukuwa na mawasiliano yoyote nao hadi akaamua aje mwenyewe alisema kuwa mpaka sasa hajui UNK vipi katika jiji ili kwani hana sehemu ya kufikia na jana alilala katika kituo cha basi cha sudan kwa sasa bibi chande anaishi kwa bwana yusufu UNK ambaye ni mkazi wa tandika ameomba watoto wake hao au yoyote anayemfahamu UNK simu namba sifuri saba tatu saba sifuri sita tisa nne mbili sita wafuasi saba wa cuf katika kijiji cha kwale wilayani mkinga mkoa wa tanga wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya tanga wakikabiliwa na shtaka la kuchoma moto nyumba ya ofisa mtendaji wa kijiji hicho bwana omari tamimu na kusababisha hasara watuhumiwa hao fadhili bakari omari mwaita hamisi UNK mtindi mamboleo mwanakombo mwaita mwaita ayubu na UNK mohamed walifikishwa jana katika mahakama hiyo mbele ya hakimu mkazi bibi ramla UNK akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali bwana andrew rugarabamu alidai mahakani hapo kuwa mnamo oktoba ishirini mwaka huu saa saba thebathini usiku watuhumiwa hao UNK kwa moto nyumba ya ofisa mtendaji wa kijiji hicho bwana tamimu na kusababisha hasara kubwa wakili huyo wa serikali aliiambia mahakama hiyo kuwa watuhumiwa siku na saa ya tukio walichoma nyumba na kusababisha hasara ya shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri hakimu UNK aliiambia mahakama kuwa kosa hilo UNK na kwamba watuhumiwa hao kila mmoja alitakiwa kwa na wadhamini wawili watakaoweza kusaini dhamana ya shilingi milioni moja kila mmoja hata hivyo washitakiwa hao walikana shtaka hilo na kushindwa kutimiza masharti hayo ya dhamana na kwamba wamerudishwa rumande hadi hapo novemba tatu mwaka huu kesi hiyo itakapojatwa tena mwenyekiti wa mtaa UNK mkoani iringa bwana aldo kaduma ambaye ni mgombea wa nafasi hiyo tena kwa tiketi ya ccm amefikishwa katika mahakama ya hakimu ya mkazi mkoa wa iringa kwa tuhuma za kujifanya ofisa takukuru na kupokea rushwa ya shilingi mia mbili na hamsini sifuri sifuri sifuri kutoka kwa padri wa parokia ya ifunda ili kumaliza mgogoro wa baadhi ya wakazi wa shamba la parokia hiyo akisoma mashitaka mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya mkoa wa iringa bibi consolata singano mwanasheria wa takukuru mkoa wa iringa bwana nitume mizizi alisema kuwa mtuhumiwa anakabiliwa na mashitaka matatu ambayo ni kujifanya ofisa wa takukuru na kisha kuomba rushwa ya shilingi arobaini sifuri sifuri sifuri sifuri kutoka kwa padri UNK UNK wa parokia ya ifunda kuomba rushwa kinyume cha sheria kifungu cha kumi na tano kifungu kidogo cha kwanza kupokea rushwa ya shilingi i mia mbili na hamsini sifuri sifuri sifuri baada ya tuhuma hizo mtuhumiwa alimwomba padri ampe shilingi arobaini sifuri sifuri sifuri sifuri ili aweze kulimaliza suala hilo na ndipo septemba ishirini na moja mwaka huu padri alimkabidhi mtuhumiwa shilingi kumi sifuri sifuri sifuri sifuri na kuahidi kumalizia kiasi kilichobaki baadaye ilielezwa kuwa mtuhumiwa alimfuata tena padri kudai fedha iliyobaki ambapo padri huyo alikwenda takukuru kwa nia ya kumtafuta ambapo ilibainika kuwa si ofisa wa takukuru na ndipo mtego UNK na kufanikiwa kukamatwa akipokea shilingi mia moja na hamsini sifuri sifuri sifuri kutoka kwa padri septemba ishirini na nane mwaka huu mtuhumiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo baada ya uchunguzi kukamilika ambapo mshitakiwa alikana mashitaka yote na yuko nje kwa dhamana ya shilingi milioni mbili na kesi itatajwa tena novemba tisa mwaka huu kwa ajili ya kusikiliza maelezo ya awali shahidi wa kwanza wa upande wa mashitaka bwana seif mohamed ameieleza mahakama kuwa bodi ya wakurugenzi wa benki kuu ya tanzania iliidhinisha mabadiliko ya mradi wa majengo pacha baada ya kazi kufanyika mabadiliko hayo yalidaiwa kufanyika kutokana na maelekezo yaliyotolewa na aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi bwana amatus liyumba na baadaye yalipelekwa kwenye bodi kwa ajili ya UNK bwana mohamed ambaye ni afisa wa takukuru aliyasema hayo jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu chini ya mwenyekiti bwana edson mkasimongwa wakati akitoa ushahidi wake kuhusiana na uchunguzi alioufanya katika mradi huo akihojiwa na wakili wa upande wa utetezi bwana hillary mkate ilikuwa kama hivi swali je mabadiliko ya mradi wa majengo hayo yalifanywa na nani shahidi mabadiliko hayo yalifanywa na bwana liyumba kwa maelekezo aliyokuwa akiyatoa kwa njia ya barua kwa mhandisi mshauri wa mradi huo swali je liyumba angewezaje kufanya mabadiliko kama hayo akiwa kama mkurugenzi wa utawala na utumishi na ukizingatia alikuwa sio mjumbe wa bodi shahidi uchunguzi unaonesha kuwepo kwa maelekezo yake katika mabadiliko ya mradi ukilinganishwa na mkataba wa awali swali je UNK mabadiliko hayo yalifanywa na bodi UNK shahidi uchunguzi wangu wangu UNK hilo ila idhini zote za bodi zilikuwa zikitolewa baada ya kufanyika kwa mabadiliko ambayo moja kwa moja yalikuwa yakianzia kwa liyumba na kwenda kwa mhandisi mshauri swali je huyo mhandisi alikubali kufanya mabadiliko hayo na kama ndiyo kwani mkataba ulikuwa kati yake na liyumba shahidi alikubali kwa kuwa mradi huo ulikuwa ukiratibiwa na kurugenzi yake lakini mkataba ulikuwa kati ya bot na kampuni ya group five east ltd swali je katika mabadiliko haya gavana wa benki hiyo bwana balali hakuhusika shahidi hakuhusika swali je uchunguzi wako umeona kweli liyumba amefanya makosa ya rushwa shahidi yanayohusiana na rushwa swali je kama yeye amefanya makosa hayo ambayo bodi nayo iliidhinisha utakubali kuwa na bodi nayo UNK shahidi wajumbe wa bodi wakija UNK swali je ni hasara gani ambayo serikali imepata na wakati majengo yaliyojengwa yapo na UNK shahidi mkataba uko wazi ambao awali ulikuwa unagharimu dola za marekani milioni sabini na tatu sita na baada ya mabadiliko hayo gharama yake ilifikia dola za marekani milioni mia mbili na hamsini na tatu tisa swali je balali UNK kuhusiana na mchakato huo shahidi UNK swali kwa nini bodi UNK kuwa mabadiliko ambayo hayakupitishwa UNK mradi huo kwa kulinda maslahi ya benki na serikali shahidi uchunguzi unaonesha kuwa bodi ilikuwa ikikemea kwa nguvu lakini hapakuwa na mafanikio yoyote swali utakubaliana na mimi kama liyumba alifanya makosa UNK kazi shahidi ingewezekana swali utakubali kuwa mkataba una vipengele UNK na mabadiliko yoyote shahidi ndiyo kipengele hicho kipo swali je ulimhoji mshitakiwa sababu iliyomfanya aongeze ghorofa hizo shahidi ndiyo alisema kuna ongezeko la watumishi swali je barua za liyumba zilitaja gharama UNK shahidi hapana ila hesabu hiyo UNK baada ya kufanya hesabu ambazo nilifanya mwenyewe swali utakubaliana kuwa mpaka sasa hujui hasara iliyotokana na mradi huo shahidi najua ni iliyopo kwenye mashtaka awali akifanyiwa mahojiano na wakili wa serikali bwana juma ramadhan shahidi huyo alidai kuwa mabadiliko yaliyofanywa ni pamoja na kuongezwa ghorofa nne kila jengo eneo la kutua helkopita eneo la kupaki magari ukumbi wa mikutano na vingine ambavyo vilisababisha kuongezeka kwa gharama hatima ya kulipwa au UNK kwa malipo ya hisa za wamiliki wa mgodi wa kiwira familia ya rais mstaafu wa awamu ya tatu bwana benjamin mkapa na daniel yona UNK katika mkutano wa kumi na saba wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania utakaoanza jumanne ijayo huku baadhi ya wabunge wakitaka viongozi hao watoke UNK taarifa kuhusu jinsi serikali UNK mradi wa mgodi wa kiwira ilikuwa ijadiliwe dar es salaam jana na kamati ya bunge ya nishati na madini lakini ghafla uamuzi huo UNK na UNK suala hilo lijadiliwe katika vikao vya kamati hiyo UNK mjini dodoma jumanne ijayo hoja hiyo ni ya pili kuahirishwa hatua za mwisho baada ya ile ya utekelezaji wa maazimio ishirini na tatu ya bunge kuhusu mkataba tata wa richmond lakini katika hali ya kushangaza suala hilo liliahirishwa na kupangwa kujadiliwa mkoani dodoma wakati mjadala huo UNK dodoma baadhi ya wabunge waliozungumza na gazeti hili bila kupenda kutajwa walisema ingependeza UNK huo urudi mikononi mwa umma bila kuwalipa wawekezaji wake hata senti moja licha ya kwamba kilichomo kwenye taarifa hiyo bado ni siri lakini jambo moja UNK wabunge hao ni kuwa mgodi huo umerudi mikononi mwa watanzania akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi ndogo ya bunge waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja alisema hoja ya kiwira itajadiliwa mkoani dodoma lakini hakutaka kuingia ndani kueleza ni kwa nini imeamuliwa hivyo UNK kichwa cha habari kuhusu kile UNK kwenye kamati ya bunge ni taarifa ya jinsi serikali inavyoshughulikia mgodi wa kiwira alisema bwana ngeleja na kuongeza suala hili linashughulikiwa na serikali kwa kufuata na kanuni na taratibu za bunge bwana ngeleja alisema tayari mgodi huo upo mikononi mwa serikali na itaanza kuwalipa wafanyakazi wote kuanzia mwishoni mwa mwezi huu ambapo watalipwa malimbikizo ya mishahara ya miezi kumi na tano hata hivyo bwana ngeleja hakuwa tayari kuzungumzia juu ulipwaji wa hisa anazomiliki bwana mkapa na mwenzake bwana daniel yona alipoulizwa na waandishi wa habari kuhusu hatima ya kulipwa hisa zao bwana mkapa na bwana yona waziri ngeleja alijibu kwa kifupi hayo yatajulikana bungeni kwa upande wake mwenyekiti wa kamati ya nishati na madini bwana william shellukindo alisema kamati yake imepokea taarifa na imeridhia kulipwa kwa wafanyakazi hao cha kufurahisha zaidi ni taarifa ya mgodi huo kuwa mikononi mwa serikali alisema kuhusu kulipwa kwa hisa za wawekezaji wa mgodi huo alisema kuna mambo ambayo UNK tuhuma za rais mtaafu bwana mkapa na bwana yona kujimilikisha mgodi wa kiwira ziliibuliwa na mbunge wa vunjo bwana aloyce kimaro katika mkutano wa kumi na moja wa bunge baada ya kuibuliwa kwa hoja hiyo baadhi ya wabunge walitaka kiongozi huyo mstaafu aondolewe kinga na kufikishwa katika vyombo vya sheria kwa kutumia vibaya madaraka yake akiwa rais lakini hivi karibuni halmashauri kuu ya ccm UNK kifua na kuwataka wabunge wa chama hicho pamoja na wanachama wengine wamwache apumzike wakati wabunge hao wakipendekeza hivyo tayari bwana yona anakabiliwa na mashitaka tofauti ya kutumia madaraka vibaya na kuliingizia taifa hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba mamlaka ya chakula na dawa imeanza kufanya uchunguzi mpya wa kimaabara wa dawa zote zinazoingizwa nchini hasa za malaria ili kubaini uingizwaji wa dawa bandia nchini akizungumza na majira jana dar es salaam mkurugenzi wa tfda bibi magret ndomoko alisema kuwa hatua hizo za ufuatiliaji ndizo UNK kufahamu kuwepo kwa dawa bandia za kutibu malaria aina ya due co tecxin ambazo zimesambazwa kwa wingi mitaani tumegundua kuwepo kwa dawa hizo bandia baada ya kufuatilia na kufanya uchunguzi wa kimaabara na kugundua kuwa haziwezi kutibu ugonjwa huo na mpaka sasa tunaendelea kufanyia uchunguzi dawa zingine alisema alisema kuwa timu ya tfda pia imewekwa mipakani mwa nchi kuakikisha kwamba wanakagua dawa zote zinazoingizwa nchini kama ni halisi au bandia kabla ya kusambazwa mitaani alisema dawa hiyo bandia UNK co tecxin toleo namba mia nane na ishirini tatu sifuri nane ilitengenezwa novemba ishirini na sita mwaka juzi na mwisho wa matumizi yake ni oktoba ishirini na sita mwaka kesho bibi ndomoko alisema moja ya tofauti iliyoko katika dawa hiyo halisi imeandikwa tarehe ya kutengenezwa na tarehe ya kuisha muda wake wa matumizi na namba ya toleo UNK kwa muhuri wa moto UNK vizuri alisema tofauti nyingine iliyoko katika dawa hiyo kuna maandishi ya nyuma ya kasha na jina la dawa na kiasi cha dawa pamoja na jina la mtengenezaji ambavyo vyote vinasomeka na kuonekana vizuri katika eneo lenye vidonge wakati kwa upande wa dawa feki vitu vyote hivyo havionekani vizuri tofauti nyingine iliyoko katika dawa halisi ni kwamba vidonge vina rangi ya bluu iliyokolea na upande mmoja kuna mstari katikati na upande wa pili kuna neno d c vyote hivyo vinasomeka vizuri wakati ile feki UNK vizuri alisema mkurugenzi huyo alisema kuwa karatasi maelezo ya dawa halisi ina urefu wa sentimeta ishirini na moja na upana wa sentimita kumi na tano tano na upande mmoja umechapishwa kwa lugha ya kiingereza na mwingine ni lugha ya UNK dawa bandia ina urefu wa sentimita kumi na tatu tisa na upana wa sentimita kumi nne na pia upande mmoja umechapishwa kwa lugha ya kiingereza na mwingine UNK maandishi alisema bibi ndomoko aliitaka jamii kuwa kuwa makini katika ununuzi wa dawa za malaria ili waweze kufahamu tofauti zilizoanishwa ili waweze kuepuka kununua dawa hiyo pamoja na UNK mkurugenzi huyo aliwataka pia wamiliki wa maduka ya dawa kuhakikisha kuwa wananunua katika maeneo yaliyosajiliwa na tfda na kutoa taarifa haraka iwezekanavyo pale wanapohisi kuuziwa dawa bandia alisema kwa sasa mamlaka hiyo inawasaka watu wanaojihusisha na uuzaji wa dawa bandia na hatua kali zitachukuliwa kwa wale watakaogundulika kuwa ndio wahusika wakuu UNK uteuzi wa dc temeke rais jakaya kikwete amefanya mabadiliko madogo ya vituo vya kazi kwa baadhi ya wakuu wa wilaya nchini ikiwa ni pamoja na kufanya uteuzi mpya wa mkuu wa wilaya mmoja wakati huohuo rais ametengua uteuzi wa bwana said mkumbo aliyekuwa mkuu wa wilaya ya temeke na kumhamishia katika idara nyingine ya serikali taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na kusainiwa na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu ilieleza kuwa rais amemteua bwana anatory choya kuwa mkuu wa wilaya ya mbulu ambapo uteuzi huo umeanza oktoba kumi mwaka huu rais pia amefanya mabadiliko madogo ya vituo vya wakuu wa wilaya ambapo bwana francis isaack aliyekuwa mkuu wa wilaya ya mbulu sasa anahamia wilaya ya bunda na bibi chiku gallawa amehamishiwa wilaya ya temeke akitokea wilaya ya bunda bibi gallawa amehamishiwa wilaya ya temeke kuziba nafasi inayoachwa wazi baada ya rais kutengua uteuzi wa aliyekuwa mkuu wa wilaya hiyo bwana saidi mkumbo taarifa hiyo inaeleza kuwa kutokana na utenguzi huo rais ameagiza bwana mkumbo ahamishiwe katika ofisi ya waziri mkuu hata hivyo taarifa hiyo haikueleza sababu za utenguzi huo yadaiwa ni mzigo UNK milioni mia saba na hamsini kwa siku siku chache baada ya serikali kutangaza kuwashwa kwa mitambo ya kuzalisha umeme ya iptl baadhi ya wadau wamekuja juu wakisema uamuzi huo unatarajia kuwa mzigo mkubwa kwa wananchi akizungumza katika mkutano wa hadhara katika mtaa wa mivumoni wazo hill dar es salaam jana naibu katibu mkuu wa chama cha wananchi tanzania visiwani bwana juma duni haji alisema kuwa uamuzi utazidi UNK wananchi kwa kuwa gharama za umeme zitapanda na UNK gharama hizo si serikali bali mwananchi wa kawaida umeme wa iptl na richmond si wa serikali bali ni wa watu binafsi hivyo ukimwambia UNK mitambo yake atataka kufanya biashara kwa hiyo si ajabu UNK umeme umepanda na wananchi UNK kwa gharama kubwa rais jakaya kikwete ni wazi suala la kusimamia umeme limemshinda na si umeme tu bali hata mambo mengi tu UNK alisema bwana duni haji mitambo hiyo ya iptl ambayo ilizimwa miaka miwili iliyopita UNK kwa saa ishirini na nne itatumia mafuta lita mia sita na ishirini na tano sifuri sifuri sifuri endapo yatakuwa yakiuzwa shilingi moja ishirini sifuri kwa lita kiwango hicho UNK serikali kulazimika kutumia zaidi ya shilingi bilioni ishirini na tatu hadi itakapofika mwishoni mwa mwezi novemba bwana duni aliwataka wananchi hao kusimama imara na kudai haki zao za msingi ili kuondokana na maisha magumu wanayokabiliana nayo sasa mabadiliko hayawezi kutokea bungeni dodoma wala hayawezi kutokea popote zaidi ya huku chini kwanza ninyi mfanye mabadiliko na ndipo yatakuja huko juu alisema aliwataka wananchi kuwa jasiri na kupambana na uonevu na ujasiri wao utatokana na kupiga kura sambamba na kukataa kuibiwa kura hizo mkiamua na UNK hata aje simba mwenye meno makali UNK mshale na kumla nyama alisema bwana juma duni alikuwa katika ziara ya operesheni zinduka wilaya ya kinondoni sambamba na kufanya mikutano ya hadhara sehemu mbalimbali za wilaya hiyo pia alikuwa UNK wagombea wa cuf wa serikali za mitaa wakati huo huo reuben kagaruki anaripoti kuwa shehena ya kwanza ya mafuta yenye ujazo wa tani saba mia tano na ishirini na nne yatakayotumika kuwasha mtambo wa kufua umeme wa iptl inatarajia kuwasili nchini wakati wowote ifikapo kesho akizungumza na waadishi wa habari ofisini kwake dar es salaam jana waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja alisema meli yenye shehena ya mafuta hayo itakuwa imewasili ifikapo kesho na kwamba fedha za malipo ya shehena hiyo zipo tayari tuna uhakika wa kupata mzingo wa kwanza wa mafuta ifikapo oktoba ishirini na tano na novemba mosi mwaka huu mitambo ya iptl itakuwa imeanza kupasua anga alisema bwana ngeleja na kuongeza kuwa tatizo la mafuta siyo changamoto tena alipoulizwa shehena hiyo itagharimu kiasi gani cha fedha bwana UNK alisema wataalamu kutoka kampuni inayoleta mafuta hayo ya total tanzania wasimamizi wa mitambo ya iptl na wale wa shirika la umeme tanzania walikuwa wakiendelea kukusanya takwimu ili kujua gharama zake bwana ngeleja alisema mara baada ya kukamilisha hesabu UNK ndipo wizara ya fedha na uchumi UNK malipo alisema mafuta hayo yanaletwa nchini na kampuni ya total tanzania kwa kuwa ndiyo yenye mkataba wa kusambaza mafuta hayo kwa iptl alibainisha kuwa pindi mtambo huo utaanza kufanyakazi utapunguza kwa kiasi kikubwa makali ya mgawo alipoulizwa ni kwa nini rais jakaya kikwete aliamuru mitambo hiyo iwashwe wakati kuna kesi ya msingi mahakamani bwana ngeleja alisema msimamizi wa mitambo hiyo ana mamlaka ya kuruhusu UNK maagizo ya rais UNK kesi kwani utekelezaji wa kuwasha mitambo hiyo unapitia kwa msimamizi wa muda aliyeteuliwa na mahakama hilo lipo chini ya mamlaka yake ndiyo maana serikali imeamua kugharimia gharama za mafuta alisema bwana ngeleja rais kikwete aliagiza mitambo hiyo inayotumia mafuta iwashwe baada ya nchi kuingia gizani kutokana na kuharibika kwa mitambo ya songas na kihansi asema biblia inasema auaye kwa upanga atakufa kwa upanga ni mwenyekiti wa kongamano la wachungaji maaskofu mia moja na hamsini kutokana na wimbi la mauaji ya albino kuendelea kuitikisa nchi serikali imetakiwa kutunga sheria mpya ili wale wote wanaohusika na mauaji hayo wauawe hadharani hatua hiyo imekuja siku mbili baada ya mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi nyawilimilwa mkoani mwanza ambaye alikuwa na ulemavu wa ngozi kuuawa kwa kukatwa shingo na mguu wake kunyofolewa kauli hiyo ilitolewa dar es salaam jana na mchungaji wa kanisa la pentekoste mbeya bwana william mwanalanga ambaye pia ni mwenyekiti wa kongamano la wachungaji na maaskofu wapatao mia moja na arobaini na tisa kutoka mikoa mbalimbali linaloendelea hapa jijini mchungaji mwanalanga alisema kutokana na wimbi la mauaji hayo kuibuka tena siku za hivi karibuni serikali inatakiwa kuchukua hatua kali zaidi ili kukomesha mauaji hayo ikiwa ni pamoja na kutunga sheria itakayotoa hukumu ya kunyongwa hadharani kwa wauaji wa maalbino alisema kuwa haki za binadamu zimekuwa zikitafsiriwa ndivyo sivyo jambo ambalo limechangia kuongezeka kwa uharifu katika jamii mimi pia ni mwanaharakati wa haki za binadamu lakini haki hizo UNK kutetea uhalifu katika jamii zetu kama ilivyo sasa bali kuleta amani na utulivu hata biblia inasema auaye kwa upanga naye atakufa kwa upanga sasa ni vipi UNK adhabu ya kifo kwa watu kama hawa alisema akizungumza kwa uchungu mwingi mchungaji mwanalanga alisema inasikitisha sana kuona albino anauawa kama mnyama katika nchi yake na wahusika wakiendelea kuishi kupitia mwavuli wa haki za binadamu aidha mchungaji mwanalanga alisema kuwa kuna siri nzito inayowahusisha baadhi ya viongozi na wafanyabiashara maarufu hapa nchini na vitendo hivyo vya kinyama tumepokea taarifa kuwa kuna kijana aliyekuwa katika mtandao wa mauaji hayo ameokoka na yuko tayari kutaja orodha ya viongozi wanaohusika katika mauaji hayo alisema aidha mchungaji mwanalanga alisema kuwa umoja wa wachungaji nchini utafanya maandamano makubwa kushinikiza viongozi UNK na mauaji hayo waondolewe madarakani na kuchukuliwa hatua za kisheria pale ushahidi UNK alieleza kuwa serikali inatakiwa kutangaza hali ya hatari katika mkoa wa mwanza ikiwa ni pamoja na kuunda kikosi maalum cha askari kufanya msako na kuwakamata wanaohusika na vitendo hivyo alisema anasikitishwa na kitendo cha wabunge wa mkoa wa mwanza kukaa kimya kama UNK nini kinatokea na kuwataka wachukue hatua za kukemea vitendo hivyo bungeni na kwenye majimbo yao ya uchaguzi kongamano hilo linahusisha wachungaji na baadhi ya waislamu wenye utaalamu mbalimbali UNK kutafuta UNK ya kuisaidia serikali katika sekta ya afya maji na utunzaji wa mazingira vyama vya ccm na chadema UNK kuchuana vikali katika mpambano wa kuwania uongozi wa serikali za mitaa katika vijiji na vitongoji vilivyopo katika mji mdogo wa tunduma wilayani mbozi mkoani mbeya katika kampeni za vyama hivyo ccm ambayo inadai UNK kwa asilimia tisini katika jumla ya vitongoji mia tisa na arobaini na tisa na vijiji mia moja na themanini na nne ambavyo imesimamisha wagombea na kupita bila kupingwa wilayani mbozi chadema kwa upande wake inasema katika vitongoji ishirini na mbili UNK wagombea katika kata ya tunduma hakuna kitongoji ambacho ccm itaambulia kura wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye kampeni za uchaguzi uliofanyika katika kitongoji cha unyamwanga viongozi hao wa vyama walisema kwa kujinadi kila mmoja kwa wakati wake kuwa wana uhakika wa kushinda uchaguzi huo kutokana na kukubalika na wananchi akizungumza wakati akimnadi mgombea wa uenyekiti wa kitongoji cha unyamwanga bwana samson simbeye mwenyekiti wa wilaya wa ccm bwana aloyce UNK alisema chama chake UNK uchaguzi huo kutokana na wagombea wake kupita bila kupingwa katika vitongoji mia tisa na arobaini na tisa vya wilaya hiyo alisema hivi sasa wanatekeleza ratiba na kusafisha njia kwa UNK vichache ambavyo wapinzani wamesimamisha wagombea hata hivyo vyama hivyo havina sera mbadala ambayo inaweza UNK wananchi ili UNK vyama hivyo kwa upande wake viongozi wa chadema ambao nao walipata fursa ya kumnadi mgombea wa uenyekiti wa kitongoji hicho bwana omar sikazwe mwenyekiti wa kata ya tunduma wa chadema bwana herode jivava alisema kuwa ana uhakika wa kushinda uchaguzi huo kutokana na kushindwa kwa watendaji wa chama tawala kutekeleza ilani ya uchaguzi ya mwaka ishirini sifuri tano alisema serikali ya ccm imeshindwa kuboresha miundo mbinu ya kata huku kukiwa na malalamiko lukuki juu ya michango ya wananchi ambayo UNK na kuwa wazi matumizi yake ambazo ni kodi za wananchi wa hali ya chini wanaohitaji kupata mchanganuo wa matumizi yake imebainika kuwa hali chakula kwa mwaka ishirini sifuri tisa kumi katika wilaya ya njombe mkoani iringa ni nzuri kwani hadi kufikia septemba wakulima walikuwa wamekwisha kamilisha mavuno ya msimu uliopita akitoa taarifa ya maendeleo ya kilimo katika wilya ya njombe kwa waziri wa kilimo chakula na ushirika bwana stephen wasira aliyekuwa katika ziara ya siku moja wilayani humo mkuu wa wilaya ya njombe bwana gishuli charles alisema hali ya chakula kwa mwaka katika wilaya hiyo ni njema na kwamba kipo chakula cha UNK bwana charles alisema uongozi wa wilaya katika jitihada za kumpunguzia mkulima mzigo wa kazi ya kuongeza eneo linalolimwa unasisitiza matumizi ya zana za kilimo badala ya kulima kwa jembe la mkono alisema hadi hivi sasa wilaya ina jumla ya maghala arobaini na tano yenye uwezo wa kuhifadhi tani ishirini sifuri sifuri sifuri za mazao kwa mwaka na kwamba ili UNK wakulima wanaendesha kilimo cha kisasa zaidi wilaya ina vituo vinne vya mafunzo na zana mbalimbali za kilimo pia alisema mpango wa serikali wa kuleta mbolea ya ruzuku kwa miaka sita UNK wakulima kwa kuzalisha mazao mengi ya chakula na biashara tofauti na miaka ya nyuma ambapo sasa wakulima wamepata vocha za mbolea ya ruzuku karibu mara mbili ya mgao wa vocha za msimu uliopita aidha bwana wasira alisema serikali inatambua mchango wa wiaya hiyo katika kuzalisha kwa wingi chakula na kuwataka viongozi kuwahimiza wakulima kutumia vyema mbolea wanayopata kwa utaratibu wa vocha ili kuweza kupata mazao mengi zaidi baadhi ya wakulima wanaomiliki wa mashamba madogo ya chai tarafa ya lupembe wilayani njombe mkoa wa iringa wamemtaka mkuu wa wilaya yao kuiga mfano wa mkuu wa wilaya ya korogwe bwana UNK UNK aliyeamuru UNK wakulima wa wilaya yake kuuza chai yao kwenye kiwanda cha mponde wilayani lushoto wakamatwe na kushtakiwa wakizungumza na majira jumapili wakulima hao walisema kuwa wavamizi wa kiwanda cha chai lupembe wanaojiita mungiki hawana mashamba lakini wanaendeleza mgogoro UNK na kusababisha chai yao kuharibika mashambani huku serikali ikiwa haiwasaidii kuondokana na ugumu wa maisha huku wakilazimika kufanya vibarua vya kuvuna chai kwenye mashamba UNK kauli zinazotolewa na viongozi muungano wa ushirika wa lupembe UNK dhidi ya mwekezaji kuwa ameshindwa kutimiza masharti ya ununuzi wa hisa za serikali na kudai kuwa kauli hiyo ilikuwa itolewe na serikali yenyewe badala ya viongozi hao wa ushirika kwa vile wao UNK hisa zao asilimia thebathini tangu mwekezaji huyo aanze kusindika chai UNK kwa kulipwa madeni yote ya nyuma kuletewa umeme vijijini na mazao yetu kununuliwa kwa fedha taslimu tena kwa bei ya tija lakini tangu kiwanda UNK hakuna kiongozi UNK hasara waliyopata ndani ya misimu hii miwili UNK alihoji mmoja wa wakulima aliyeomba UNK jina kwa hofu ya kuvamiwa na mungiki waliendelea kudai kufungwa kwa kiwanda hicho kumesababisha hasara kubwa ambayo itabidi wabia wa kampuni hiyo wagawane wafanyakazi zaidi ya kumi sifuri kukosa kazi chai ya wakulima wadogo kuharibika mashambani na malengo ya uzalishaji wa chai kiwilaya kimkoa na kitaifa kutofikiwa na hivyo serikali kukosa mapato kwa njia ya kodi inashangaza viongozi wa serikali kila mara kuahidi kulinda wawekezaji wa ndani na wa nje lakini hapa njombe UNK kimya wakati wenzao wa mufindi wawekezaji mkoani humo humo mwekezaji wa msitu wa UNK UNK uvamizi na baadhi ya wananchi mkuu wa mkoa na wilaya hiyo walitoa askari wa ffu kuwaondoa wavamizi waliendelea kuwashutumu viongozi kwa kurefusha mgogoro huo kwa kudai ni wa kisiasa na kuongeza kudai hailingani na sera za ccm na uchumi wa kisasa kwani mwisho wa yote raslimali iliyowekezwa na kampuni lazima mikopo yake ilipwe na migogoro ya wanahisa ambao na viongozi wa UNK wenyewe ni sehemu ya hasara nyaraka zinaonesha kuwa mchakato wa ubinafsishaji wa mali za kiwanda ulikamilika ishirini sifuri nne ambapo mali zilizokuwa za mamlaka ya chai na mvyulu zilibinafsishwa kwa kampuni ya dhow UNK kwa masharti mwekezaji lazima aingie ubia na mvyulu ili kukiendesha kiwanda hicho makubaliano ya ununuzi kati ya mwekezaji huyo na iliyokuwa tume ya rais ya kurekebisha mashirika ya umma psrc ilikuwa ya nipe nikupe mwekezaji alilipa fedha hizo kupitia benki ambapo muuzaji alitakiwa kuwasilisha hati za kumiliki kiwanda hicho ili benki iruhusu fedha hizo jambo ambalo psrc ilishindwa kulitekeleza hadi leo uchunguzi wa gazeti hili umebaini chanzo cha mgogoro huo ni baadhi ya wanasiasa na viongozi serikalini ambao UNK mabadiliko ya uongozi katika ushirika wa mvyulu kutaka kuvuruga taratibu za ubia za uendeshaji wa kiwanda na kushinikiza kupata mgao wa sehemu ya fedha zilizolipwa UNK na manunuzi ya kiwanda hicho hivi karibuni mkuu wa mkoa wa iringa bwana mohamed UNK UNK wakulima hao kuwa kilio chao UNK kwa rais jakaya kikwete na kwamba hata yeye mwenyewe ameamua UNK njuga mgogoro huo na kudai kwa vyovyote mvyullu hawawezi kufungua kiwanda hicho bila kukaa na mbia mwenzao lakini wakazi hao walipinga wakisema kuwa hana haja ya kumuona rais bali anao uwezo wa kuchukua hatua kama mkuu wa mkoa vilio na simanzi vimetawala katika mazishi ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi gasper elikana aliyeuawa kwa kukatwa shingo kwa imani za kishirikina huku chama cha maalbino mkoani mwanza UNK serikali kuongeza mapambano dhidi ya watu wanaowaua kama inavyofanya kwa mafisadi mazishi ya mtoto huyo yalifanyika katika kijiji cha nyawilimilwa wilayani geita mtoto huyo aliuawa na watu wasiojulikana oktoba ishirini mwaka huu saa mbili thebathini usiku katika tukio hilo baba yake mzazi wa mtoto huyo bwana elikana ngelela alijeruhiwa vibaya kichwani wakati akijaribu kumnusuru UNK mazishi ya mtoto huyo yaliyofanyika juzi saa moja usiku na kuhudhuriwa na mamia ya wakazi wa kijiji hicho waliokuwa UNK vilio kutokana na kuguswa jinsi gasper UNK kikatili akizungumza mara baada ya mazishi hayo mwenyekiti wa chama cha maalbino mkoani mwanza bwana alfred UNK alisema serikali bado UNK mkazo vita dhidi ya wanaoua walemavu hao alisema viongozi wa serikalini wanatoa kauli za kuwafariji zikiwa ni za kisiasa zaidi bila kuonesha vitendo pamoja na kutoa madai hayo tayari watu wawili wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatia hatia ya kuua albino pia kesi zingine zinaendelea kusikilizwa mahakama kuu alisema hata kura za maoni zilizopigwa hivi karibuni za kuwabaini wauaji wa albino bado matokeo yake UNK naye mkurugenzi wa asasi ya new light for child centre wilayani geita bibi paulina alex alisema kuwa serikali bado UNK njuga mauaji hayo ndio maana vitendo hivyo vinazidi kufanyika alisema kuwa wananchi na mashirika yasiyo ya kiserikali nayo lazima UNK na vitendo hivyo katika maziko hayo halmashauri ya wilaya ya geita iliwakilishwa na ofisa utamaduni wa wilaya bwana mfungo mfungo ambapo ilitoa ubani wa shilingi mia mbili na hamsini na sita mia mbili na hamsini kwa upande wake kaimu kamanda wa polisi mkoani mwanza bwana elias kalinga aliliambia gazeti hili kwa njia ya simu kuwa jeshi hilo linaendelea na juhudi za kuwanasa wauaji wa mtoto huyo mmiliki wa mabasi ya super UNK yaendayo mwanza bwana hassan khan anadaiwa kuamuru wafanyakazi wake wawili kumpiga na UNK chanja UNK mfanyakazi mwenzao wakimshinikiza aseme mafuta ya dizeli UNK yalipelekwa wapi hayo yalibainika juzi katika mahojiano kati ya aliyepigwa bwana mayunga kahindi na waliompiga bwana bwana baraka kimaro na bwana silaji maganga maeneo ya jangwani dar es salaam ilipo gereji ya magari hayo akizungumzia kipigo UNK kwa shida bwana kahindi alisema tuhuma za kuibwa kwa mafuta hayo lita ishirini zilisababisha bosi wao bwana khan kutoa amri kwa wafanyakazi wake ya kutoa dozi kwa mlalamikaji hadi aseme UNK mafuta hayo kijana huyo ambaye ni mtunza stoo UNK hapo imedaiwa alipigwa ngumi mateke na UNK na kiwembe mdomoni bila msaada wowote kutoka kwa bosi wake na watu wengine waliokuwa wakishuhudia tukio hilo walipoulizwa bwana kimaro na maganga UNK kumpiga walidai kwa nyakati tofauti kwamba amri hiyo ilitolewa na bwana khan ambaye aliwaagiza UNK hadi UNK ambapo nao walifanya hivyo wakiwa nyumbani kwa mmiliki huyo tungekuwa tunataka kumpiga wenyewe UNK mapema kwa sababu UNK naye gereji amri ilitoka kwa bosi alisema bwana baraka na kudai hata yeye baadaye alisikia uchungu alipohojiwa bwana khan kuhusiana na tukio hilo alisema si kweli hakutoa amri ya mfanyakazi wake kupigwa yeye alikuwa akizungumza na aliyejeruhiwa ghafla kina kimaro na maganga wakatokea na kuanza kumpiga mwenzao sikuweza UNK kwa sababu sina nguvu ni mgonjwa waswahili wenzao walikuwepo na walishindwa kutokana na nguvu walizonazo vijana hao mimi mhindi ningeweza wapi alihoji alisema kitendo cha kuteswa kijana huyo UNK sana na taarifa UNK polisi hivyo wakati wowote waliohusika UNK kweli walimpiga wanataka kunitupia mzigo mimi walikuwa na visa vyao tangu wakiwa ubungo alisema bwana kihindi alifungua kesi katika kituo cha polisi msimbazi na kupewa rb namba ms UNK elfu kumi na mbili na mia tatu na sitini na tano ishirini sifuri tisa ni endapo serikali UNK mshahara wafanyakazi nchini kupitia shirikisho la vyama vya wafanyakazi wametishia UNK kura chama cha mapinduzi katika uchaguzi mkuu ujao mwakani iwapo serikali UNK kilio chao cha muda mrefu cha kutaka kuboreshewa maslahi yao mbali ya kutoichagua ccm pia wafanyakazi hao wanakusudia kuitisha mgomo wa nchi nzima kushinikiza kuboreshwa kwa maslahi yao na UNK serikali miezi mitatu kuanzia jana iwe imefanya marekebisho ya mishahara ya kima cha chini mkutano mkuu wa tucta umeazimia kutoa muda wa miezi mitatu tu kuanzia oktoba ishirini na tano ishirini sifuri tisa hadi januari ishirini na tano mwaka ujao serikali iwe UNK mishahara ya wafanyakazi kupunguza kodi katika mishahara ya wafanyakazi na kurekebisha kero zote za mifuko ya hifadhi ya jamii walieleza wafanyakazi hao katika tamko lao walilolitoa juzi walisema kitendo cha serikali kutojali kabisa kurekebisha kima cha chini cha mishahara licha ya wafanyakazi kulalamika kwa muda mrefu UNK mahali pabaya na kusababisha waanze kufikiria njia mbadala za kudai maslahi yao badala ya kuendelea na majadiliano na serikali ambayo UNK matunda kwa muda mrefu kwa upande mwingine wajumbe wa mkutano huo walilaani tabia ya ubinafsi inayooneshwa na wabunge wa tanzania ya kutetea zaidi maslahi yao na kusahau yale ya wanyonge wakiwemo wafanyakazi nchini wajumbe hao wameiomba serikali ipandishe kiwango cha kima cha chini cha mshahara ili kifikie shilingi mia tatu na hamsini sifuri sifuri sifuri kwa mwezi ambacho walisema kinaweza kumpa mfanyakazi unafuu wa kuhimili makali ya maisha pamoja na punguzo la kodi kwa kiasi cha asilimia kumi kwa mshahara UNK shilingi mia tatu na hamsini sifuri sifuri sifuri ndugu mwenyekiti hivi sasa tuache woga tuungane pamoja mwenzetu mmoja UNK jambo basi tusimame kidete UNK kwa mfano wenzetu wa trl na cwt hawa tuwasaidie ili matatizo yao yaweze kupatiwa ufumbuzi wa haraka alieleza bwana ismail masoud wa tamico walisema inavyoelekea tatizo la umeme hapa nchini ni dili la wakubwa na kwamba hawawezi kudai maslahi bora wakati viwanda havizalishi kutokana na kukosa umeme na kwamba iwapo tatizo hilo halitapatiwa ufumbuzi wa haraka wao watachukua hatua za kugoma ili kushinikiza umeme kupatikana kwa umeme wa uhakika nchini wanajeshi helikopta kuimarisha ulinzi itatua kila UNK simu penye fujo uchaguzi umeishajaa mizengwe lipumba kinyangganyiro cha uchaguzi wa wagombea uongozi ngazi ya serikali mitaa vitongoji na vijiji UNK leo ulinzi ukiwa umeimarishwa mara dufu jijini dar es salaam ambako polisi UNK na askari wa jeshi la kujenga taifa pamoja na mgambo kukabili matukio UNK kuvuruga uchaguzi huo ili kuhakikisha usalama zaidi unakuwepo jeshi la polisi limesema litatumia helkopta itakayokuwa ikizunguka viunga vya jiji la dar es salaam na kila eneo UNK kuwepo matukio yanayoashiria vurugu upigaji kura katika uchaguzi huo utaongoza na rais jakaya kikwete ambaye atapiga kura yake katika kituo kilichoko katika shule ya msingi bunge leo asubuhi na saa kumi jioni atarudi tena kusikiliza matokeo yatakapokuwa UNK akizungumza na waandishi wa habari jana kamanda wa polisi mkoa wa dar es saalam bwana suleiman kova alisema jeshi lake limejipanga kuhakikisha hakuna fujo zitakazotokea ambapo vituo vya polisi vitakuwa na askari wa jkt na mgambo tofauti na ilivyozoeleka alisema katika ofisi za wilaya ulinzi utakuwa chini ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia watakaokuwa na magari yenye maji ya kuwasha tayari kukabiliana na ghasia zozote zitakazojitokeza bwana kova alisema wakati huo kutakuwa na helikopta itakayokuwa UNK kubaini UNK wa amani aliwataka wananchi wenye taarifa za kuweko kwa matukio ya vurugu kupiga simu namba sifuri saba tano nne sifuri tatu nne mbili mbili sifuri sifuri na sifuri saba nane tatu sifuri tatu nne mbili nne sifuri sifuri na itatua eneo husika UNK ulinzi siyo kwa nia ya kuwatisha wananchi bali ni kuhakikisha wanapata fursa ya kuchagua viongozi wao kwa amani alisema bwana kova na kuongeza kuwa ulinzi kwa siku ya leo UNK na yeye mwenyewe alisema wameamua kuimarisha ulinzi kiasi hicho kutokana na uzoefu waliopata katika chaguzi zilizopita kuna wakati ililazimika polisi kuwapiga wananchi safari hii tutahakikisha UNK wale tu watakaofanya fujo alisema bwana kova aliwataka wananchi kupiga kura na kurudi nyumbani kwao kwa amani akizungumzia uchaguzi huo mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi alisema mtu atakayepatikana na kosa UNK kuvuruga uchaguzi atakabiliwa na kifungo cha mwaka mmoja au faini ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri bwana lukuvi alisema ili kuhakikisha watu wanapata fursa ya kupiga kura uongozi wa mkoa UNK shirika la maji safi na maji taka kusitisha operesheni ya kukata maji iliyokuwa ianze jana dawasco ilikuwa imetangaza kukata maji katika maeneo mbalimbali ya jiji la dar es salaam kuanzia juzi ili kutoa nafasi ya kufanyia matengenezo mitambo yake ya kusambaza maji bwana lukuvi alisema katika mkoa wake waliojiandikisha kupiga kura ni mia tano na ishirini na moja mia saba na ishirini na mbili sawa n asilimia arobaini na tatu arobaini na tano alifafanua kuwa rais kikwete ataongoza wananchi kupiga kura ambapo kura yake UNK kituo cha bunge na jioni kurudi kusikiliza matokeo aliongeza kuwa waziri mkuu bwana mizengo pinda atapiga kura yake katika kituo cha shule ya msingi oysterbay alisema vituo vya kupiga kura vitakavyotumika mbili sifuri tano nane tofauti na ilivyotarajiwa alisema awali walitarajiwa UNK moja ishirini sifuri mia tano na thebathini na saba na vituo vilivyokuwa UNK vilikuwa mbili mia nne na ishirini na saba tumegundua katika baadhi ya vituo wameandikishwa watu wachache hivyo hakuna sababu ya kuweka vituo vya upigaji kura alisema bwana lukuvi kwa upande wake UNK wa manispaa wa ilala bwana gabriel fuime alikiri kuzagaa kwa karatasi za kupigia kura katika UNK ya wilaya tumewahi kudhibiti tatizo hilo na UNK karatasi nyingine zenye namba mbili za siri tofauti alisema bwana fuime alikiri kuzagaa kwa UNK zilizokuwa UNK kwa ajili ya uchaguzi huo ikiwa ni siku chache tangu mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba aitishe mkutano na waandishi wa habari na kuongelea tatizo hilo akizungumzia UNK kwa karatasi za kupigia kura profesa lipumba alisema uchaguzi huu umeishajaa mizengwe UNK tangu mwanzo tayari karatasi za kupigia kura zimeisha UNK hivyo inawezekana mtu akaenda kupiga kura yake wakati matokeo UNK ndiyo maana tunataka tume huru hata hivyo kauli hiyo ya profesa lipumba ilipingwa vikali na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa bibi celina kombani alihoji kuwa profesa lipumba amewezaje kupata karatasi hizo wakati hazijatolewa kwa mtu yeyote taarifa hiyo imeandaliwa na stella aron rabia bakari na reuben kagaruki wananchi wa madizini kata ya mtibwa wilaya ya mvomero wamemlalamikia msimamizi wa uchaguzi kutokana na hitimisho la kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika jana kutawaliwa na lugha ya matusi fujo na takrima ya kuni za kupikia hayo yametokea katika siku mbili za mwisho wa kampeni za uchaguzi katika viwanja mbalimbali vya mji wa madizini ambapo viongozi wa chama cha mapinduzi na chama cha mapinduzi walianzisha matusi na chama cha wananchi kujibu siku iliyofuata wakizungumza na majira juzi ukiwa mwisho wa kampeni wananchi wa madizini walisema wamesikitishwa na kampeni za matusi ya nguoni zilizoanzishwa na viongozi wa ccm UNK kuwa dira ya kauli nzuri na takrima ya kugawa kuni za kupikia mwandishi umeona na kusikia mwenyewe kiongozi wa ccm kutoka kijiji cha UNK anayeheshimika UNK ccm na wananchi kwa kutoa lugha ya matusi ya nguoni alisema mpiga kura wa kikubwa bwana mike UNK cuf kilishindwa kuvumilia na kujibu mashambulizi kupitia msemaji wake kwamba mgombea wa ccm ni mcheza ngoma UNK lakini tangu huko nyuma alikuwa jambazi na kama UNK atoe nguo waone makovu yaliyosababishwa na kipigo hata hivyo chadema na tlp UNK kampeni kwa kusema haviwezi kurudisha matusi kama UNK kwa sababu lugha ya matusi ni tabia ya mtu aliyeshindwa kutoa sera ambaye silaha yake kila siku ni kinywa UNK polisi wawili na afisa misitu mmoja wa taarafa ya bereko wilayani kondoa dodoma wamenusurika kifo baada ya kuvamiwa na wananchi zaidi ya ishirini sifuri kwa lengo la kuwaokoa wenzao wawili waliokuwa wamekamatwa kwa uharibifu wa mazingira askari hao walivamiwa na wanakijiji wa mkekena kata ya masange wilayani kondoa katika tukio hilo lililotokea mwishoni mwa wiki watumishi hao waliojulikana kwa jina moja moja la jerry na ramadhani na askari mwenzao ambaye jina lake halikupatikana iliwachukua takribani saa moja kujinasua katika mikono ya wananchi hao kwa sharti la kuwaachia huru waliokamatwa chanzo cha mgogoro huo ni shamba linalomikiwa na watu watatu wa kijiji cha UNK bwana mohammed duru mohamed UNK na adamu hussein ambalo inadaiwa UNK na wakazi wa mkekena akiwemo UNK piya aliyekuwa amekamatwa na askari hao kabla ya kuokolewa na wananchi na abbas UNK UNK mara baada ya askari hao kufika eneo hilo wana kijiji wa mkekena zaidi ya watano wanadaiwa kuvamia eneo hilo linalosadikiwa kuwa ni hifadhi ya mazingira kwa kuwa limepandwa miti hivyo wamiliki wa awali kulalamikia hali hiyo na kulazimika askari hao kuingilia kati habari zaidi zimedai baada ya askari hao na afisa misitu huyo kukwamishwa kufanya kazi yao walilazimika kurudi bereko walikotoka hadi uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa uliofanyika jana utakapomalizika ili wajipange upya kuwasaka watuhumiwa hao siku ya tukio wakazi wa mkekena walijikusanya na kufika eneo la tukio wakiwa na silaha mbalimbali za jadi kama mikuki pinde na mishale pamoja na mapanga wakiwa tayari kwa lolote hadi afisa mtendaji wa kata ya masange bwana iddi UNK alipofika na kuwasihi kuachana na vita mkuu wa wilaya ya kondoa bwana saidi bwanamdogo alipoulizwa na majira kwa njia ya simu alisema hakuwa na taarifa yoyote na kwamba atawasiliana na serikali ya kata na suala hilo litashughulikiwa kikamilifu mkuu wa jeshi la polisi nchini inspekta jenerali saidi UNK amefanya mabadiliko madogo kwa makamanda wa polisi na wakuu wa upelelezi wa mikoa kadhaa hapa nchini msemaji mkuu wa jeshi hilo kamishna msaidizi wa polisi abdallah mssika alisema jana kuwa katika mabadiliko hayo igp mwema amewateua makamanda wawili wapya wa mikoa na wakuu wawili wa upelelezi wa makosa ya jinai wa mikoa walioteuliwa kuwa ni kamishna msaidizi wa polisi stiven buyuya aliyekuwa afisa mnadhimu mkoa wa mara ambaye sasa anakuwa kamanda mpya wa mkoa wa mtwara na kamishna msaidizi wa polisi augustine UNK aliyekuwa mkuu wa upelelezi wa mkoa wa mwanza kuwa kamanda mpya wa mkoa wa kusini unguja wengine ni mrakibu mwandamizi wa polisi deusdedit UNK aliyekuwa afisa mnadhimu mkoa wa arusha ambaye ameteuliwa kuwa mkuu mpya wa upelelezi mkoa wa mwanza na mrakibu wa polisi joseph UNK kutoka makao makuu ya upelelezi jijini dar es salaam anayekwenda kuwa mkuu mpya wa upelelezi mkoa wa kigoma kamanda mssika amesema kuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa kigoma mrakibu mwandamizi wa polisi nsato marijani amehamishiwa mkoa wa pwani kuchukua nafasi ya mrakibu mwandamizi wa polisi gabriel njau anayehamishiwa ofisi ya mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai nchini makamanda UNK na kupangiwa vituo vipya vya kazi ni kamanda wa polisi mkoa wa mtwara kamishna msaidizi wa polisi robert UNK anayekwenda mkoa wa mara kuchukua nafasi ya acp liberatus lyimo aliyehamishiwa mkoani tabora kuchukua nafasi ya kamanda acp UNK mmari ambaye amehamishiwa makao makuu ya idara ya upelelezi jijini dar es salaam mwingine ni kamanda wa polisi mkoa wa kusini unguja acp rashidi UNK anayehamishiwa makao makuu ya jeshi la polisi kusaidiana na naibu kamishna venance tossi katika operesheni maalum za polisi amesema mrakibu msaidizi wa polisi mnada UNK aliyekuwa ofisi za polisi wa kimataifa interpol tawi la tanzania ameteuliwa kuwa mkuu wa kwanza wa kitengo cha uchunguzi wa makosa yatokanayo na mitandao ya kompyuta mkoani dodoma viongozi wenye tabia ya kubadilisha katiba kwa lengo la kuendelea kuwepo madarakani moja kwa UNK wanakuwa wamejiondoa katika kinyangganyiro cha tuzo ya uongozi bora afrika itolewayo na mfanyabiashara mo ibrahim kila mwaka kwa viongozi wastaafu wa afrika kauli hiyo ilitolewa jana dar es salaam na mjumbe wa taasisi hiyo daktari salim ahmed salim alipozungumza na waandishi nyumbani kwake daktari salim alifafanua kuwa hakuna kiongozi asiye na matatizo katika taifa lake lakini UNK zaidi katika tuzo hiyo ni kwa kiasi gani kiongozi wa taifa husika alikuwa UNK matatizo kwa haraka na njia aliyotumia kufanya hivyo alisema katika tuzo hiyo UNK viongozi ila huangalia walio na sifa husika sisi UNK viongozi katika tuzo hii ila tunaangalia wale viongozi walio na sifa husika pia ndani ya muda unaohitajika katika kipindi cha miaka mitatu baada ya kuondoka madarakani alisema daktari salim alisema oktoba tano nchini afrika kusini taasisi hiyo ilishindwa kumpata mshindi wa tuzo hiyo kutokana na kutokuwepo mwenye sifa matokeo ya viongozi walio na sifa hufanywa na taasisi hiyo kwa kushirikiana na michango ya watafiti UNK kamati ya ushauri inayojumuisha wasomi wa afrika vigezo UNK huzingatia usalama na utawala wa sheria ushirikishaji na haki za binaadamu fursa na uchumi endelevu pamoja na maendeleo ya watu taasisi hiyo hupima utawala bora kwa kutumia vigezo themanini na nne aidha alisema kwamba kutokana na kutopatikana mshindi wa tuzo hiyo mwaka huu hakutakuwepo na sherehe za tuzo hiyo zilizopangwa kufanyika dar es salaam na badala yake siku hiyo itatumika katika kutilia mkazo umuhimu wa uongozi bora afrika kuna matukio mawili yatafanyika jioni ya novemba kumi na nne kutakuwa na tukio la kitamaduni ambalo licha ya shughuli nyingine watakaohudhuria watashuhudia michango ya wasanii mahiri kama UNK n dour na UNK kidjo na kutangazwa moja kwa moja katika vituo vya redio na runinga mbalimbali barani afrika alisema daktari salim pia alisema tukio la pili litakalofanyika ni uzinduzi wa jukwaa ambalo UNK wadau mbalimbali wakiwemo viongozi maofisa wakuu wa serikali wafanyabiashara wanaharakati wasomi wanafunzi na vijana kutoka nchi mbalimbali barani afrika mada ya kwanza katika mjadala huo utahusu haki na mabadiliko ya hali ya hewa duniani ambapo mwenyekiti wake atakuwa rais mstaafu wa botswana bwana festus mogae ambaye pia ni mshindi wa tuzo hiyo kwa mwaka ishirini sifuri nane mjadala wa pili utahusu kilimo na usalama wa chakula ambapo mwenyekiti wa mjadala huo atakuwa katibu mkuu mstaafu wa umoja wa mataifa bwana kofi annan na mjadala wa tatu utahusu ushirikiano wa kikanda wa kiuchumi chini ya mwenyekiti wake bwana UNK UNK umeme utakaozalishwa baada ya kuwashwa kwa na mitambo ya independent power tanzania limited UNK bei ya UNK hiyo kwa watumiaji wa kawaida waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akitoa taarifa ya kuwasili kwa shehena ya kwanza ya mafuta yenye ujazo wa tani saba mia tano na ishirini na nne yatakayotumika kuwasha mtambo wa kufua umeme wa iptl mitambo ya iptl inayozalisha megawati kumi sifuri za umeme inatarajiwa kuwashwa ifikapo novemba mosi huku ikielezwa kuwa UNK taifa mabilioni ya fedha kwa kuwa inatumia lita hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri za dizeli kwa siku mafuta hayo iwapo UNK kwa bei ya shilingi moja ishirini sifuri kwa lita inakadiriwa kuwa yatagharimu shilingi bilioni ishirini na tatu kwa mwezi jambo ambalo linaleta wasiwasi kuwa UNK kwa watumiaji wa umeme bwana ngeleja alisema kutokana na mgawo huo bei za umeme UNK kwa mtumiaji wa kawaida kwa kuwa kuwa mpangaji wa bei hizo ni mamlaka ya udhibiti wa nishati na maji na si tanesco shehena hiyo iliwasili jana jijini ambapo taratibu zote za kuyatoa mafuta hayo UNK leo ili kuwasha mitambo ya iptl kama alivyoahidi awali na hivyo kupunguza mgawo wa umeme bwana ngeleja alisema iptl imekubali kuirekebisha mitambo yake ili kutumia gesi asilia badala ya dizeli katika kipindi cha miezi miwili ya mkataba jambo ambalo linaweza kupunguza mzigo kwa serikali mazungumzo yalikwenda vizuri na tumekubaliana kimsingi na kuanzia kesho wataalamu wataanza UNK moto mitambo hiyo kesho ili kupunguza mgao unaoendelea sasa nchini alisema bwana ngeleja aliongeza kuwa gharama za uendeshaji wakati wa makubaliano zitakuwa dola za marekani milioni mbili nane kwa mwezi ambazo UNK kutokana na serikali kugharamia mafuta yatakayoendelea kutumika kuendesha UNK huo hata hivyo bwana ngeleja alisema kuwa makubaliano hayo siyo ya kudumu bali yatakuwa ndani ya miezi miwili kipindi ambacho tatizo la mitambo ya kihansi litakuwa UNK na kumaliza mgawo wa umeme uchaguzi wa serikali za mitaa ulifanyika nchini kote huku ukitawaliwa na vurugu kupigana UNK madai ya wizi wa kura na kucheleweshwa UNK vua uchaguzi waandishi wa majira katika maeneo mbalimbali nchini wameshuhudia mambo mbalimbali huku ikitarajiwa kuwa ccm itaibuka na UNK mkubwa geita UNK ngumi UNK wetu faida muyomba anaripoti kutoka geita akuwa kada wa chama cha mapinduzi katika kijiji cha UNK kata ya kharumwa amejeruhiwa vibaya kichwani baada ya kutwangana na mwenzake wa chama cha demokrasia na maendeleo katika ugomvi wa kisiasa msimamizi msaidizi wa kata ya kharumwa bwana edward UNK alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi katika pilikapilika za mwisho za kuwanadi wagombea wa ambapo bwana UNK joseph UNK alisema kuwa kada huyo wa ccm alipigwa kwa kitu chenye ncha kali kichwani hali iliyosababisha kulazwa katika kituo cha afya kharumwa kwa ajili ya matibabu baada ya kupewa hati ya matibabu toka kituo cha polisi UNK mganga mfawidhi wa kituo hicho daktari leonard mgema alisema baada ya majeruhi kufikishwa hapo UNK nyuzi kadhaa kichwani kisha kuruhusiwa kurudi nyumbani ccm na wapigakura UNK kutoka korogwe tanga yusuph mussa anaripoti kuwa mwenyekiti wa chama cha wananchi wilaya ya korogwe bwana saburi ally ambaye alikuwa anagombea uenyekiti wa mtaa wa manundu kati amesema ccm imepeleka mamluki kwenda kupiga kura kwenye mtaa huo bwana saburi ambaye alikuwa akichuana na bwana mashaka ally wa ccm alisema wapigakura zaidi ya thebathini wametoka kwenye mitaa UNK UNK UNK na mtonga wakala wa cuf wa kituo cha shule ya msingi mazoezi bwana ibrahimu abdillah alisema mamluki hao walikuwa wanataka kufanya fujo baada ya kutaka kukataliwa kupiga kura lakini walikuwa wanapata nguvu kutoka kwa mgombea wa ccm bwana mashaka msimamizi wa uchaguzi katika mtaa wa manundu kati kituo cha mazoezi alikiri kuwapo wapigakura sita ambao si wakazi wa mtaa huo lakini bwana mashaka alikana kuhusika kwa watu hao wala kushinikiza wapige kura bwana mashaka alishinda kwa kura arobaini na sita dhidi ya kumi na tisa za bwana ally wanane wakamatwa chadema iringa mwandishi wetu kutoka iringa eliasa ally anaripoti kuwa uchaguzi huo umeingiwa na dosari baada ya wafuasi wanane chadema katika kijiji cha maperamengi kata ya UNK kushikiliwa na polisi wakidaiwa kuleta vurugu katibu wa chadema wa mkoa wa iringa UNK UNK alisema kuwa wanachama hao walikamatwa walipokwenda kuchukua vifaa vya chama ambavyo UNK na katibu mwenezi wa chadema bwana mussa UNK aliyehama chama hichi oktoba ishirini na tatu mwaka huu kwenda ccm akiwa na nyaraka za chama chao nyaraka hizo ni kadi hamsini za chama bendera kumi na UNK ya majina ya wananchama zaidi ya ishirini na tano ambavyo UNK vurugu na kurushiana makonde kati ya wanachama wa ccm na chadema baada ya vurugu hizo uongozi UNK uchaguzi UNK na polisi na kikosi cha kutuliza ghasia kilifika na kuwakamata UNK wanane wa chadema waliokamatwa ni matatizo UNK ambaye ni mwenyekiti wa tawi la maperamengi ester UNK paston haule benidict kayombo yona UNK fred UNK festo mapunda na UNK UNK mwenyekiti wa ccm wa mkoa wa iringa bwana deo sanga alisema hana taarifa yoyote na kuwa amewaagiza viongozi wa ngazi za chini kufanya uchunguzi wa tukio hilo lakini kamanda wa polisi wa mkoa wa iringa bwana UNK mangalla alipohojiwa alikiri kuwepo kwa tukio hilo lakini alisema kuwa hakuna mtu yeyote aliyekamatwa katika vurugu hizo singida vifaa UNK taarifa kutoka mkoani singida zilisema kuwa vifaa vya kupigia kura UNK kufika vituoni UNK katika jimbo la singida kusini linalodaiwa kuwa na nguvu kubwa ya upinzani habari kutoka katika eneo hilo zilisema kuwa hadi saa tisa mchana vifaa hivyo vilikuwa UNK katika maeneo ya kupigia kura asema UNK bila kufuata taratibu kanuni shellukindo akiri kuhojiwa UNK na richmond takukuru tuko sahihi hakuna aliye juu ya sheria sakata la uchunguzi unaofanywa na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa dhidi ya wabunge kupokea posho mara mbili limechukuwa hatua mpya baada ya spika wa bunge bwana samuel sitta kusema kitendo hicho kimewadhalilisha wabunge kwani taasisi hiyo haikufuata utaratibu kauli hiyo ya bwana sitta imekuja siku moja baada ya takukuru kutoa ufafanuzi kuhusu uchunguzi tuhuma za kuchukua posho katika taasisi mbalimbali UNK huku wakiwa wameshalipwa na ofisi ya bunge katika taarifa yake iliyokaririwa na vyombo vya habari jana takukuru ilisema ofisi ya bunge ndiyo iliomba ufanyike uchunguzi dhidi ya wabunge wanaoomba na kulipwa takrima serikalini na katika mashirika UNK katika ziara zao za kazi akizungumza na majira kwa njia ya simu jana bwana sitta alisema hatua iliyofikiwa na takukuru ni udhalilishaji na imekiuka utaratibu na kanuni na sheria za nchi dhidi ya bunge kama taasisi UNK mimi sijui kama kuna jambo hilo kwani UNK na kama limefanyika bila UNK huu utakuwa ni udhalilishaji mkubwa katika ofisi yangu na wabunge pia alisema bwana sitta alisema hata hivyo yeye kama spika hadi sasa hajui ni nini UNK na taasisi hiyo kutokana na kutokuwa na taarifa yeyote katika ofisi yake bali anashangaa kuliona jambo hilo katika vyombo vya habari bwana sitta alisema kimsingi ofisi ya takukuru ilitakiwa kuandika barua katika ofisi yake juu ya tuhuma hizo za wabunge kuwa inahitaji kufanya uchunguzi huo na ilipaswa kuwataarifu wabunge juu ya suala hilo kuliko UNK na taasisi hiyo natoa tahadhari kwa taasisi nyingine za uchunguzi kama takukuru kuwa linapotokea jambo kama hilo ni lazima watoe taarifa kwa maandishi katika ofisi za bunge ili bunge liwe na taarifa ya bunge litoe utaratibu wabunge wana kinga kama walivyo viongozi wengine wa serikali ona kitendo kilichofanywa na polisi morogoro kwa kumdhalilisha mbunge kwa kumburuza katika pick up kisa shilingi saba sifuri sifuri sifuri za bili ya maji tena kilifanywa askari wa ngazi ya chini wasioelewa nini maana ya kinga ya mbunge kuwa ni moja ya udhalilishaji alisema bwana sitta alisema kisheria mbunge anapaswa kukamatwa au kuhojiwa na mtu wa ngazi ya juu wa chombo chochote cha UNK kwa kufuata utaratibu kanuni na sheria za nchi kwani mbunge UNK kukimbia na siyo askari wa ngazi za chini kama ilivyofanya takukuru na jeshi la polisi mkoa wa morogoro lakini msemaji wa takukuru doreen kapwani alipozungumza na majira jana alisisitiza kauli ile ile ya juzi kuwa wabunge hawako juu ya sheria na katiba ya nchi inasema hivyo kwa hiyo walistahili kuhojiwa takukuru inapenda kuujulisha umma kwamba wabunge kama ilivyo kwa mwananchi mwingine yeyote wanawajibika kisheria kuitikia wito katika ofisi za takukuru iwe ni kwa kuhojiwa au kwa kutoa ushahidi kwani hakuna raia yeyote aliye juu ya sheria na katiba ya nchi iko wao wazi kwa hili alisema wakati taarifa ya juzi ya takukuru iliweka bayana kuwa ofisi ya bunge iliiomba rasmi taasisi hiyo ifuatilie nyendo za wabunge hao katibu wa bunge daktari thomas UNK alikana kufanya hivyo badala yake akasema ofisi yake UNK barua na uongozi wa juu wa serikali ikimtaka kutoa ushirikiano bwana kashililah alisema barua hiyo iliitaka ofisi yake itoe ushirikiano kwa taasisi hiyo pale inapobidi na hivyo aliandika kukubali ombi hilo lakini alitegemea kupata majibu ya utekelezaji wa uchunguzi huo lakini hadi leo hajui nini UNK wabunge hao wakati taasisi hizo UNK mbunge wa jimbo la bumbuli bwana william shelukindo ambaye vyanzo vyetu ndani ya takukuru vilidai kuwa amegoma kutoa ushirikiano katika uchunguzi huo alizungumza na gazeti hili na kukiri kuhojiwa na taasisi hiyo kuhusu tuhuma hizo na kuwa alitoa ushirikiano wa kutosha hawa watu wananitaka nini mie au kwa kuwa mkurugenzi wao UNK wiki UNK ndiyo wanatufanyia visa hivi nilipigiwa simu na mtu mmoja anaitwa UNK mwezi mmoja uliopita UNK mafuta yangu kutoka jimboni kwangu hadi dar es slaam UNK na nikatoa ushirikano wa kutosha sasa wanataka ushirikano upi niliwaambia kuwa kweli UNK posho hiyo kama takrima na wala si kosa kwani ni taasisi tofauti kama ingekuwa ni ofisi moja hili lingekuwa ni kosa hapa ninaona kuna kuna jambo UNK hapa kwanini hoja hii ije wakati huu tunapojadili jambo la richmond ambapo bosi wao anahusika naomba niwambie kuwa UNK nyuma katika hili tunaingia bungeni na tutalijadili kwa kina jambo hilo hadi hapo UNK ukweli wasitubabaishe alisema bwana shelukindo alisema kitendo kilichofanywa na takukuru kumhoji bila kutoa taarifa katika ofisi yake ni udhalilishaji mkubwa kwa bunge alisema kuwa kama inafanya fitina hizo ili kumnusuru bosi wao wamechelewa kwani walitakiwa kufanya hivyo kabla hajatoa uamuzi kuutangazia umma kuwa hakukuwa na rushwa katika kuingia mkataba wa kampuni tata wa richmond kwa upande wake waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu UNK sera utaratibu na bunge bwana philip marmo alisema iwapo wabunge hao wanaona kuwa UNK wanapaswa kwenda katika vyombo vya sheria ili sheria ifuate mkondo wake na sio kukimbilia katika vyombo vya habari kwa miezi mwili takukuru imekuwa ikifanya uchunguzi na kuwahoji wabunge wa wanaotuhumiwa kuchukuwa posho mara mbili katika UNK ya umma UNK katika ziara UNK za kikazi hospitali ya taifa muhimbili ipo mbioni kuanzisha wodi kwa ajili ya wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu UNK na uwezo wa kulaza watu ishirini na sita mkakati huo UNK huku kukiwa na taarifa kuwa hospitali hiyo imekuwa UNK na wingi wa wagonjwa hadi kufikia hatua ya wale wa icu kuhamishiwa wodi za kawaida madai ambayo UNK na uongozi wa hospitali akizungumza na gazeti hili ofisa uhusiano wa hospitali hiyo bwana aminiel aligaesha alisema kwa sasa hospitali hiyo ina wodi mbili za icu moja ikiwa na uwezo wa kulaza wagonjwa wanane na nyingine ya moyo yenye vitanda vinne alifafanua kuwa uongozi wa hospitali hiyo upo mbioni kuanza kuweka vifaa maalumu kwenye wodi hiyo mpya ili ianze kutumika alipinga madai kuwa hospitali hiyo UNK na wingi wa wagonjwa kiasi cha wale waliolazwa icu kuhamishiwa wodi za kawaida lakini waandishi walipotembelea wodi hiyo UNK wagojwa watatu badala ya wanane wanaohitajika hata hivyo bwana aligaesha alikiri kuwapo kwa wagonjwa wengi lakini siyo kwa kiwango cha kutisha hospitali yetu haina mlundikano wa wagonjwa kama ilivyo hospitali za ilala mwananyamala na temeke hapa kunakuwepo msongamano kama kuna dharura ya wagonjwa lakini hiyo ni kwa siku moja na baadaye ufumbuzi unapatikana alisema bwana aligaesha aliongeza kuwa hata nyumbani kwako una vyumba vitatu wakija wageni wengi wengine watalala sebuleni hiyo ni hali ambayo haitarajiwi kufurika wagonjwa wa dharura alisema bwana aligaesha mkazi wa kijiji cha UNK darajani kata ya maramba wilayani mkinga mkoani tanga UNK fransis anayesadikiwa kuwa na matatizo ya akili anatuhumiwa kumuua baba yake mzazi kwa kumchinja shingoni kwa kutumia panga tukio hilo la kuhuzunisha limetokea oktoba ishirini na nne mwaka huu saa saba mchana wakati baba huyo alipokuwa amejipunzisha nyumbani kwake kamanda wa polisi mkoa wa tanga bwana simon sirro alimtaja aliyeuawa kuwa ni fransis yohana ambaye ni baba mzazi wa mtoto mtuhumiwa kamanda sirro alisema kuwa wakati baba huyo akiwa amejipunzisha ghafla kijana huyo alikwenda na kumlaza kifudifudi UNK kwa kutumia panga ana kufa papo hapo baada ya kupoteza damu nyingi tukio hilo lilivuta umati mkubwa wa watu ambao walifika katika eneo hilo mara baada ya kusikia kelele za kuomba msaada zilizopigwa na baba huyo kabla ya kukata roho hata hivyo baada ya kufika eneo hilo watu hao walitoa taarifa polisi na kijana huyo alikamatwa na kupelekwa polisi kamanda sirro alisema hadi sasa bado wanamshikilia kijana huyo kwa uchunguzi na hatua zaidi mahakama kuu maalumu wilayani kahama imemhukumu kunyongwa hadi kufa bwana joseph lugata baada ya kupatikana na hatia ya kumuua kinyama bibi kizee mmoja bwana lugata ambae ni mkazi wa UNK wilayani kahama alihukumiwa wiki iliyopita na jaji gabriel rwakibalila kwa kumtia hatiani kwa kosa la kumkata mapanga kikongwe bibi nggwama UNK wa kijiji cha UNK kata ya UNK wilayani hapa katika mwendelezo wa mauaji ya vikongwe yanayoendelea katika kanda ya ziwa akitoa hukumu hiyo jaji rwakibalila alisema kutokana na ushahidi uliotolewa na upande wa jamhuri umethibitisha bila shaka kuwa mshitakiwa alimuua kinyama kwa kumkata mapanga kikongwe huyo kutokana na imani za kishirikina jaji rwakibalila alisema ushahidi uliotolewa ikiwamo kofia UNK mshtakiwa kukutwa na nguo zake zikiwa na matone ya damu ya bibi aliyeuawa na baada vipimo vya vinasaba kutoka kwa mkemia mkuu wa serikali UNK kunyongwa mpaka kufa awali ilidaiwa mahakamani hapo na upande wa mashitaka kuwa bwana lugata alimuua kinyama kwa kumkata mapanga kikongwe bibi nggwama januari nane ishirini sifuri tisa saa nane usiku akiwa amelala nyumbani mwake kabla ya hukumu hiyo upande huo wa jamhuri uliiomba mahakama kutoa adhabu kali kwa mshtakiwa ili liwe fundisho kwa wengine kutokana na kukithiri kwa vitendo vya mauaji ya kinyama kwa kuwakata mapanga vikongwe katika mkoa wa shinyanga hukumu hiyo ya kunyongwa hadi kufa itakuwa ya pili kutolewa na mahakama hiyo na jaji rwakibalila baada ya ile ya watu watatu wa mauaji wa albino waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa hivi karibuni waliohukumiwa kunyongwa kwa mauaji ya albino ni masumbuko madata emmanuel masangwa na charles masangwa ambao walimuua albino matatizo dunia aliyekuwa akiishi kijiji cha bunyihuna wilayani bukombe rais jakaya kikwete ametoa rai kwa watu wenye asili ya afrika waliotawanyika sehemu mbalimbali duniani watumie uwezo wao walionao kuwekeza katika bara hilo kuondoa umaskini na kusaidia kuleta maendeleo rais kikwete pia amepinga mtazamo hasi uliotawala katika nchi nyingi za magharibi hasa katika vyombo vya habari kuonesha kuwa afrika ni bara lisilokuwa na kitu kizuri bali machafuko magonjwa njaa na umaskini rais kikwete aliyasema hayo jana dar es salaam alipokuwa akifungua kongamano la tano la mtandao wa mtawanyiko wa afrika duniani lililoanza jana alisema kuwa kongamano hilo lina maana kubwa mbili kuonesha jinsi watu wenye asili ya afrika walivyo pamoja na pia kulitangaza bara hili kiuchumi kwa kuyageuza maeneo ya kihistoria yanayohusiana na mtawanyiko wa waafrika kuwa vivutio vya kitalii rais kikwete alisema kuwa kwa namna ile ile ambayo watu wenye asili ya afrika waliotawanyika sehemu mbalimbali duniani UNK kiutamaduni na wenzao walioko afrika hawana budi kuendelea kuungana nao kwa kuwasaidia kupambana na umaskini kutokana na uwezo wa kitaalamu teknolojia na pesa tumieni uwezo UNK katika teknolojia maarifa ya utaalamu mbalimbali na pesa kuwasaidia kaka na dada zenu walioko afrika wanaopambana na umaskini kama vile historia na utamaduni UNK basi hatuna budi pia kuwa pamoja katika katika masuala ya maendeleo bara hili UNK vitu vizuri vya kujivunia kama vile juu ya chimbuko la binadamu utamaduni na UNK hivi sasa tuko katika mwendo mzuri tunapambana na rushwa kwa nguvu zote uwekezaji unaongezeka uchumi UNK ingawa inashangaza kuwa kwa miongo kadhaa watu wengi katika nchi zilizoendelea wamekuwa na mtazamo hasi juu ya bara la afrika kama vile hakuna cha maana kinachopatikana hapa alisema rais kikwete rais kikwete alisema waafrika waliotawanyika duniani kote wanapaswa kuwa jasiri na kutokuogopa kuja nyumbani pamoja na picha mbaya inayooneshwa juu ya bara hili aliongeza kuwa kongamano hilo linapaswa kuwa daraja la kuwezesha harakati za maendeleo miongoni mwa waafrika kwa upande wake waziri wa maliasili na utalii bibi shamsa mwangunga alisema kongamano hilo linafanyika katika wakati mwafaka ambapo dunia iko katia harakati za kusaka amani na umoja ili kupata maendeleo hivyo kukutana kwa waafrika katika bara la asili yao ni moja ya fursa ya maendeleo inayopaswa kutumika bibi mwangunga alisema kuwa kongamano hilo ni moja ya mikutano yenye hadhi kubwa ambayo inapaswa kutumika kama jukwaa kutangaza utajiri wa kitamaduni na vivutio mbalimbali vilivyopo tanzania tanzania imekuwa nchi ya kwanza katika bara la afrika kuandaa kongamano hilo la mtawanyiko wa waafrika lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika oktoba thebathini mwaka huu mwanaharakati bwana UNK msemakweli UNK mawaziri sita na wabunge wanne kuwa na vyeti vya kughushi ameburutwa katika mahakama kuu ya tanzania ambapo mahakama hiyo imeombwa iamuru alipe shilingi bilioni tatu kama fidia ya kashfa hiyo kwa mujibu wa hati ya madai iliyofunguliwa mahakamani hapo jana na naibu waziri wa kazi ajira na maendeleo ya vijana daktari makongoro mahanga inaomba fidia ya kiasi hicho kwa madai kuwa habari hizo zilikuwa za uongo na zilizojaa chuki kesi hiyo yenye namba mia moja na arobaini na tano ina walalamikiwa wanne akiwemo bwana msemakweli bwana muhibu said mkurugenzi mtendaji wa gazeti la nipashe pamoja na kampuni ya guardian ambayo ndiyo mchapishaji wa gazeti UNK na habari za mawaziri hao kughushi vyeti vya vya shahada ya UNK hati inadai kuwa kutokana na maelezo yaliyomo kwenye habari UNK kughushi vyeti vya taaluma zao na kuwalaghai wananchi wa majimbo yao ililenga kuonesha kuwa mlalamikaji ni mtu wa kughushi mwanasiasa UNK asiyefaa kushika nafasi ya kisiasa aliyonayo pamoja na kupata ubunge kwa njia za jinai au kutofuata maadili mlalamikaji anadai kuwa habari hiyo ambayo ilichapwa na UNK la nipashe na kusambazwa nchi nzima imeshusha heshima yake kwa wananchi ambayo ameijenga kwa muda mrefu lakini pia UNK utendaji kazi wake katika mambo ya kisiasa hati hiyo inadai kuwa mdai ana wadhifa mkubwa serikalini lakini pia ni mbunge hivyo kutokana na chapisho hilo ambalo halikuwa na uthibitisho wowote UNK kuathirika kisaikolojia kudharauliwa katika jamii na kuishi katika hali ya majonzi kutokana na hali hiyo mlalamikaji anaomba kulipwa shilingi bilioni tatu au kiwango UNK na mahakama ambacho UNK shilingi milioni ishirini sifuri madai ya kiasi hicho cha fedha ni kutokana na kudhalilishwa kisiasa kijamii na kuathiriwa katika mambo mbalimbali mbali na fidia hiyo mlalamikaji anaomba kuombwa radhi na gazeti hilo katika ukurasa wake wa kwanza lakini pia kutolewa zuio la kuchapisha habari zozote zinazomhusu mlalamikaji huyo bila ya kuwa na kibali chake hivi karibuni mlalamikiwa wa kwanza ambaye alijitambulisha kuwa ni mwanaharakati aliwataja mawaziri sita na wabunge wanne kuwa wameghushi vyeti vya taaluma zao hali iliyosababisha kujipatia nafasi UNK serikalini matukio ya vurugu na kupigana masumbwi yaliyoanza juzi wakati wa upigaji kura yaliendelea hadi wakati wa kusubiri matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa huku UNK vifo viwili na ushindi wa UNK wa chama cha mapinduzi mshindi afa kwa furaha kibaha mkoani pwani masau bwire anaripoti kuwa aliyeshinda uenyekiti wa kitongoji cha UNK kijiji cha UNK wilaya ya kisarawe mkoani pwani aliyetambulika kwa jina moja la bwana shaban amefariki dunia muda mfupi baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa hapo akitoa taarifa za kifo hicho katibu wa ccm pwani bibi UNK UNK alisema kuwa bwana shaban juzi jioni baada ya kutangazwa kuwa ni mshindi wa nafasi ya mwenyekiti katika kitongoji hicho aliondoka na wapambe wake kuelekea nyumbani alidai kuwa mara baada ya shamrashamra kumalizika bwana shaban aliingia ndani kwake kujipumzisha na akiwa amelala alifariki dunia na kwamba hakuwa anaumwa na wala hakuwahi kuumwa siku za karibuni siwezi kujua kifo hicho kimetokana na nini au kwa sababu ya furaha aliyokuwa nayo kutokana na ushindi alioupata alisema bibi UNK UNK katika ugomvi geita katika tukio jingine faida muyomba anaripoti kutoka geita kuwa mfuasi mmoja wa chama cha mapinduzi katika kitongoji cha UNK kijiji cha ibondo wilayani geita bwana fabian pani amefariki baada ya kupigwa katika ushabiki wa vyama kuhusiana na uchaguzi wa serikali za mitaa habari zinasema kuwa bwana pani alifariki baada ya kupigwa na watu wasiojulikana wakati wakibishana kuwa ni chama kipi kitashinda kati ya chadema na ccm ambapo UNK ugomvi wakati mfuasi huyo akipoteza maisha katika kijiji cha UNK mfuasi mwingine wa chadema amejeruhiwa vibaya katika kipigo baada ya kutokea vurugu kubwa ambapo masanduku ya kupigia kura yalidaiwa kuvunjwa huku karatasi za kupigia kura UNK vile vile katika mji mdogo wa katoro hali haikuwa shwari baada ya watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa chadema kuchoma jiko kuvunja mlango na madirisha ya nyumba ya msimamizi msaidizi wa kijiji hicho kwa madai kuwa alichelewa kutangaza matokeo na kwenda kujificha nyumbani kwake wakati hali ya mambo ikielezwa hivyo wilaya jirani ya sengerema habari zinasema kuwa wafuasi wa udp wamedaiwa kuchoma moto masanduku yaliyokuwa na karatasi za kupigia kura katika kijiji cha UNK kata ya UNK habari kutoka wilayani chato zinasema kuwa waziri wa uvuvi na maendeleo ya mifugo bwana john magufuli ametikiswa na uchaguzi huo baada ya chadema kushinda kiti cha serikali ya kijiji cha nyumbani kwake cha UNK kondoa UNK vibaya ccm mwandishi wetu rehema UNK anaripoti kutoka dodoma kuwa wilaya ya kondoa imeonekana kuwa ndio eneo pekee ambalo limetoa upinzani mkubwa kwa ccm matokeo ya awali yaliotolewa katika wilaya mbalimbali mkoani hapa yanaonesha kuwa ccm imeongoza kwa zaidi ya asilimia tisini na nane katika maeneo mbalimbali isipokuwa kondoa chama UNK ushindi wa vijiji sitini na mbili kati ya mia moja na sabini na saba na vitongoji ishirini mbili kati ya mia saba na tisini na nne huku UNK mitaa kumi kati ya kumi na moja cuf wataka kombani UNK katika hatua nyingine rabia bakari anaripoti kuwa mbunge wa viti maalumu mkoani lindi kwa tiketi ya cuf bibi mwanawetu zaraf amemtaka waziri wa serikali za mitaa na tawala za mikoa bibi celina kombani kuingilia kati hali ya utata wa uchaguzi wa serikali za mitaa wilaya ya kilwa baada ya baadhi ya wananchi kushindwa kupiga kura kutokana na vifaa vya uchaguzi kucheleweshwa katika vituo vya kupigia kura akizungumza na waandishi wa habari jijini jana bibi zaraf alisema kuwa uchaguzi huo ulijaa utata mkubwa ambapo kuna baadhi ya wananchi walishindwa kupiga kura baada ya vifaa kucheleweshwa na hivyo kuahirishwa hadi jana huku waziri akitangaza utafanyika kabla ya oktoba thebathini na moja mwaka huu hali inayotishia kuondoa amani na demokrasia ya kweli selelii kimaro wataka afikishwe kortini UNK serikali kwa kutoa majibu ya ovyo lowassa UNK na vyombo vya habari wakati mkutano wa bunge unaanza leo mzimu wa mkataba tata wa richmond umeendelea kumwandama aliyekuwa waziri mkuu bwana edward lowassa baada ya baadhi ya wabunge kudai kuwa anastahili kuchukuliwa hatua zaidi ya ile ya kujiuzulu kutokana na kutajwa kwake katika kashfa hiyo wabunge hao kwa nyakati tofauti wamesema kuwa urafiki ambao bwana lowassa alisema upo baina yake na rais jakaya kikiwete UNK urais serikali na UNK ifanye kazi yake kwa kumchukulia hatua kutokana na kuliingizia taifa hasara akizungumza na majira kwa njia ya simu jana mbunge wa nzega bwana lucas seleli bwana selelii alisema kutochukuliwa hatua za kisheria kwa bwana lowassa kunatokana na urafiki uliopo kati rais kikwete na mbunge huyo wa monduli alisema rais kikwete anapaswa kuamua kusuka au kunyoa kwa kuacha urafiki na kufuata sheria za nchi kwa kumfikisha bwana lowassa katika vyombo vya sheria kwani alionekana wazi kushiriki kupitisha mkataba huo tata tulipokuwa UNK taarifa ya kamati teule ya bunge tulibaini kuwa bila shaka alishiriki katika uamuzi huo hivyo UNK apime UNK akaamua kujiuzulu huu ulikuwa ni uamuzi wake binafsi lakini sisi UNK hapo UNK na serikali nayo iamue nini cha kufanya lakini hadi sasa imekuwa UNK majibu ya ovyo ovyo tu tunajua hawa watu ni marafiki tangu muda mrefu lakini urafiki na urais ni kitu tofauti hapa ni kazi wanatakiwa kuweka urafiki pembeni na kuwatumikia wananchi alisema bwana selelii alisema kama kweli nchi inafuata sheria na utawala bora serikali inatakiwa kumshtaki bwana lowassa kutokana na kosa alilofanya kwani limekuwa UNK nchi pato kubwa hadi sasa alisema kuwa sheria ni sawa na moto kwa kuwa moto unaweza UNK UNK lakini UNK alisema katika mkutano wa kumi na saba unaoanza leo mjini dodoma UNK kumaliza suala hilo na kuhakikisha kuwa sheria UNK mkondo wake kwa UNK hatua watu wote walihusika katika mkataba huo tata kauli ya UNK imekuja siku moja baada ya gazeti moja kutoa vielelezo vinavyoonesha jinsi bwana lowassa alivyohusika kushinikiza kusainiwa kwa mkataba wa UNK lakini bwana lowassa alipoulizwa hakuwa tayari kuzungumza na gazeti hili sikusikia vizuri swali lako kwa kuwa simu UNK lakini siko tayari kuzungumza na vyombo vya habari kwa sasa hadi hapo UNK alisema bwana lowassa na kukata simu mapema mbunge wa vunjo bwana aloyce kimaro naye aliungana na bwana selelii akisema kuwa rais kikiwete anatakiwa kuuweka pembeni urafiki wao na kuchukua uamuzi UNK wananchi waliomweka madarakani alisema rais anatakiwa kukumbuka kuwa madaraka aliyonayo ni ya milele na UNK na wananchi hivyo hatakiwi kufanya UNK kwa kuchanganya urafiki na madaraka hayo kwani UNK hatua bwana lowassa ni sawa na kuwadharau wananchi UNK iwapo atachukua uamuzi mzito wa kumfikisha bwana lowassa katika vyombo vya sheria utakuwa si uamuzi wake bali ni wa wananchi kwa kuwa cheo hicho si mali ya lowassa au ya kikwete bali ni mali ya wananchi alisema bwana kimaro alisema hadi sasa hajui ni kwa nini rais anakuwa mzito katika kutoa maamuzi katika jambo hilo kwani mapendekezo ya kamati teule ya bunge na maoni ya wabunge yako wazi mwansheria wa chama cha demokrasia na maendeleo bwana tindu lisu alihoji lowassa mwenye alishasema kuwa urafiki wake na rais kikwete UNK barabarani sasa kwenye mazingira ya aina hiyo anaweza kumshitaki mtu wa kumshitaki mahakamani ni dpp ambaye anachaguliwa na rais na rais ni rafiki yake bwana lowassa sasa UNK kumshitaki katika mazingira hayo alihoji bwana lissu alisisitiza kuwa rais akitaka anaweza kumfikisha bwana lowassa katika vyombo vya sheria kujibu mashitaka ya kutumia vibaya ofisi yake kuna ushahidi mkubwa unaoonesha jinsi bwana lowassa alivyohusika ukisoma ripoti yote ya daktari mwakyembe utaona inavyoeleza wazi jinsi UNK barua zipo nyingi UNK alivyoshiriki alisema na kuongeza kuwa lowassa ni rafiki wa karibu wa rais kikwete bado ana nguvu serikalini ndiyo maana UNK alisema hata makosa aliyofanya bwana lowassa UNK macho lakini baadaye anaweza kushitakiwa makosa yanayomkabili ni ya jinai ambayo hayafi hadi baada ya miaka sitini alisema na kufafanua kuwa hata serikali zijazo zinaweza kumfikisha mahakamani akizungumza na majira kwa njia ya simu aliyekuwa mwenyekiti wa kamati teule ya bunge iliyochunguza kashfa ya richmond daktari mwakyembe alisema yeye kama mwenyekiti hawezi kusema lolote kuhusu taarifa hiyo bali anasubiri kile UNK na serikali unajua mimi nilikuwa mwenyekiti wa kamati sasa siwezi kusema lolote waache wabunge wengine waseme mimi nikisema inaweza kutafsiriwa vibaya kwa kuwa nilikuwa mwenyekiti alisema daktari mwakyembe kauli hizo za wabunge zimekuja wakati serikali inatarajia kuwasilisha taarifa yake ya utekelezaji ya maazimio ishirini na tatu ya bunge kuhusu richmond muda wowote kuanzia leo ubalozi wa uturuki nchini umesema shirika la ndege la nchi hiyo litaanza kufanya safari zake nchini tanzania kuanzia mwaka ujao balozi wa uturuki hapa nchini daktari sander gurbotz amemweleza makamu wa rais daktari ali mohamed shein kuwa wamefikia makubaliano na mamlaka ya anga tanzania kwa ajili ya safari za moja kwa moja kutoka uturuki hadi dar es salaam daktari gurbotz ambaye alikwenda kumsalimia daktari shein ofisini kwake ikulu alisema hatua ya shirika hilo kuanza safari zake nchini itasaidia kuendeleza mahusiano ya kiuchumi biashara na utalii kati ya tanzania na uturuki balozi huyo alisema ana mpango pia wa kuwasiliana na wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ili kufikia makubaliano juu ya biashara huria na kuanzisha tume ya kudumu ya ushirikiano kati ya nchi hizo mbili alisema katika kipindi cha miezi mitatu UNK nchini amefanya jitihada ya kushawishi wafanyabiashara wa uturuki waweze kuja kuwekeza nchini tanzania akiamini kuwa hiyo ndiyo njia pekee ya kuongeza ajira na kukuza uchumi kwa mfano tuna viwanda vya nguo vya kisasa kabisa uturuki ambavyo UNK na ukosefu wa malighafi wafanyabiashara watakuwa katika nafasi nzuri ya kusafirisha ili sote tuweze kunufaika alisema aliongeza kuwa tayari nimefanya mkutano mkubwa na bodi ya pamba tanzania juu ya kuhamasisha uwekezaji katika pamba katika mazungumzo hayo makamu wa rais alimtaka balozi huyo kuhamasisha wawekezaji wa uturuki waje watembelee mikoa inayolima pamba ikiwemo ya shinyanga mwanza tabora na mara badala ya kutegemea taarifa pekee alisema serikali hivi sasa kupitia kaulimbiu yake ya kilimo kwanza UNK wafanyabiashara wakiwemo wa kutoka uturuki kuwekeza kwenye kilimo ili nchi iweze kujitosheleza kwa chakula na kuinua uchumi kwa ujumla utafiti wa kina unahitajika kufanywa ili kubaini uhalisia na kupata undani wa mahusiano waliyonayo watu wenye asili ya afrika UNK sehemu mbalimbali ndani na nje ya bara la afrika hali hiyo itawezekana iwapo waafrika wataweza kujikita katika kufundisha elimu itakayowasaidia kujua chimbuko lao pia kuelewa umuhimu wa kutunza maeneo mbalimbali kwa ajili ya UNK wa kihistoria na kuvutia utalii hayo yalisemwa jana dar es salaam na watoa mada katika kongamano la tano la mtandao wa mtawanyiko wa waafrika sehemu mbalimbali duniani lililoanza juzi akizungumza katika moja ya midahalo iliyofanyika jana naibu waziri wa hoteli na utalii kutoka angola bwana UNK baptista alisema kuwa kongamano la UNK na tafiti zingine kama ile inayoendeshwa na shirika la elimu sayansi na utamaduni la umoja wa mataifa ni hatua nzuri katika kutafiti na kugundua asili ya mtawanyiko wa waafrika hii ni nafasi UNK kuvumbua na kujua madhara ya historia ya biashara ya utumwa katika angola afrika na duniani kote ni fursa ya kuwapatia watu wenye asili ya afrika habari za uhakika juu ya historia yao yale ya kale pamoja na ya karibuni nchini angola bado kuna upungufu kuhusu mtawanyiko wa watu wenye asili ya angola waliosambaa ulimwenguni lakini huko brazil na marekani kuna ushahidi wa vitu UNK na utamaduni wetu ikiwa ni dhahiri kuwa kuna watu wa asili yetu kwa mfano ngoma ya samba huko brazil alisema bwana UNK mtoa mada mwingine bwana UNK UNK ofisa mchumi katika ubalozi wa afrika kusini huko marekani alisema kuwa elimu inayotolewa katika nchi nyingi za afrika ina lengo la kufuta kumbukumbu muhimu zinazohusu mtawanyiko wa waafrika na uelewa wa masuala ya historia yao kwa ujumla alisema mathalani afrika kusini hawafundishwi elimu ya historia inayoweza kuwapatia ufahamu kuwa kuna watu kutoka nchini humo UNK maeneo mbalimbali barani afrika ikiwa ni pamoja na afrika mashariki hususani kusini mwa tanzania kama vile songea elimu ya historia hiyo UNK kinachofundishwa na kile kinachohusu historia ya kuanzia mwaka elfu moja na mia sita na hamsini na mbili pale wazungu walipovamia afrika kusini lakini UNK zaidi ya hapo kujua hasa waafrika wenzetu UNK na kufika wapi si hivyo tu hata maeneo yenye kumbukumbu muhimu kwa waafrika kama vile mapambano ya kupinga utawala wa kikoloni na kibaguzi UNK thamani halisi mfano halisi ni eneo UNK marehemu steve biko huko kings UNK halipewi umuhimu pamoja na kwamba ndipo hasa UNK vuguvugu la kumsaidia mwafrika kujitambua alisema bwana UNK kwa upande wake UNK mdahalo bwana jenerali ulimwengu UNK suala la utafiti na kuyapatia heshima maeneo ya historia ya mwafrika ili kuwa maeneo ya vivutio vya kitalii UNK kufanya utafiti wa kutosha kwa kweli ili kujua asili na mahusiano ya waafrika walioko katika maeneo mbalimbali mathalani hivi karibuni nimemsikia waziri shamsa mwangunga akisema kuna watu huko nchi ya fiji wanasemekana kuwa na uhusiano na eneo la rufiji nchini tanzania hilo ni sauala la kutafiti alisema wilaya ya bagamoyo mkoani pwani inakabiliwa na upungufu wa chakula wa tani thebathini na sita sifuri sifuri sifuri za mazao ya nafaka zinahitajika akizungumza na wananchi wa bagamoyo mwishoni mwa wiki iliyopita mkuu wa wilaya hiyo bwana magesa mulongo alisema wilaya yake inakabiliwa na upungufu huo hivyo akawataka wananchi kukitumia vizuri chakula kilichopo alisema tayari wilaya imepokea tani mia tatu na sabini na mbili za mazao ya nafaka kutoka serikali kuu kwa ajili kuwanusuru na njaa wananchi wenye upungufu huo nusu ya chakula hicho UNK bure kwa wananchi wasio na uwezo na kilichobaki UNK wenye uwezo kidogo kwa bei ya shilingi hamsini kwa kilo bwana mulongo aliyataja maeneo yaliyoathirika zaidi na upungufu huo kuwa ni kata ya UNK UNK ruvu darajani kibindu na kwa mduma ambayo yamefikiwa na msaada huo aliwataka wananchi kuendeleza kilimo cha mazao ya muda mfupi ikiwa ni pamoja na zao la muhogo ili kuweza kukabiliana na upungufu huo kwani kilimo cha muhogo kimesaidia sana kunusuru baadhi ya familia asema hawezi kuwaziba midomo wabunge asisitiza chanzo ni kashfa ya richmond mbunge wa kyela daktari harison mwakyembe amemshukia mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzua na kupambana na rushwa daktari edward hosea na kumtaka aache mara moja kutafuta njia ya kujihami kwa kuwahoji ili kuwaziba midomo wabunge badala yake izingatie utawala wa sheria daktari mwakyembe aliyeongoza kamati teule ya bunge iliyochunguza kashfa ya kampuni tata ya kuzalisha umeme wa dharura ya richmond na kumtuhumu daktari hosea kwa kuisafisha anaungana na mbunge wa bumbuli william shelukindo kuhusisha kashfa hito na hatua ya takukuru kuwahoji wabunge kuhusiana na posho UNK madai ya wabunge hao yamekuja wakati takukuru ikiendelea kuwahoji baadhi ya wabunge UNK kupokea posho mara mbili kutoka serikalini na kwenye mashirika ya umma huku wakiwa wameshalipwa na ofisi ya bunge tofauti na bwana shelukindo aliyekiri kuhojiwa na kutoa ushirikiano daktari mwakyembe ambaye kitaaluma ni mwanasheria amesema hawezi kukubali kuhojiwa na takukuru kwa sasa hadi hapo serikali itakapomaliza kutekeleza maamizio ishirini na tatu ya kamati teule ya bunge mojawapo UNK kumwajibisha daktari hosea akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa habari wa bunge jana daktari mwakyembe alisema amesikitishwa na kitendo cha takukuru kuwaita wabunge katika kundi kwa kuwapigia simu kuwahoji kuhusu malipo ya posho ya vikao mbalimbali huku taasisi hiyo nayo ikiwa inawalipa wabunge pale inapokutana nao dar es salaam leo nimesoma gazeti moja likiwa limeandika habari kwamba sijui mwakyembe amechanganyikiwa ameitwa na takukuru ameomba hifadhi kwanza hili ni gazeti la mafisadi na si mara ya kwanza kuandika habari kama hizi gazeti hili linamilikiwa na mafisadi waandishi wa wapo hapa tuambieni kagoda ni nani richmond ni nani hili gazeti linamilikiwa na mafisadi na mnawajua sina haja ya kuwataja na UNK alisema mbunge huyo aliongeza lakini ninachotaka niseme ni kwamba kwa muda wa karibu mwezi sasa takukuru wamekuwa wakiwaita wabunge kwa makundi tena kwa kuwapigia simu na mimi walinipigia simu nikiwa jimboni nikakataa kwenda sasa huo ni ujasiri kwa sababu bado tunasubiri utekelezaji wa serikali kuhusu takukuru katika suala la richmond hatujapata majibu hayo huyo huyo anayetakiwa kushuguhulikiwa anatuita eti UNK alisema daktari mwakyembe na kuongeza huo siyo utawala wa sheria hili ni bunge la tisa lakini hata sisi tumekuta wabunge wakilipwa posho au kuandaliwa chakula sisi UNK mawaziri kila siku katika maeneo yetu hatujawahi kusema kwamba leo UNK chakula kwa kuwa amelipwa hapana hata wao takukuru UNK pale dar es salaam UNK posho tena mpaka ya kulala yapo masuala mazito ambayo tunataka takukuru UNK watanzania si michezo michezo hii alisema alisema fedha zinazotumika katika fungu hilo hupitishwa bungeni kila mwaka kwa jina la hospitality na kwamba ni jambo la kawaida UNK mgeni UNK na kwamba kama mtu hapendi kufanya hivyo UNK lakini kuwahoji wabunge juu ya malipo hayo ni kutaka kuwaziba midomo ili wawe na hofu kuhoji utekelezaji wa serikali kuhusu mkuu wa takukuru mimi waliniita na nimekataa kwenda sasa kama wana hoja waende mahakamani tutakutana huko na UNK huko alisema daktari mwakyembe alisema yeye kama mbunge mwana taaluma ya sheria hawezi kukubali kuona watu wanatumia baadhi ya vyombo vya habari kuendelea kupotosha ukweli kwa maslahi yao na kuwaomba wanahabari kusaidia jamii kuelewa hoja za msingi za taifa badala ya baadhi yao kupotosha ukweli kwa maslahi yao eti mafisadi wanataka kuniangusha kule jimboni kwangu najua leo kuna ndege imepeleka magazeti ya fulani kyela na kugawa bure lakini nawaambia wananchi ni waelewa mafisadi UNK oa kyela itawabidi wao na wake zao wapige kambi na wahamie kyela kwa miaka mitano alisema daktari mwakyembe kauli hizo za daktari mwakyembe zimekuja siku mbili baada ya spika wa bunge samuel sitta UNK takukuru kupitia gazeti kuwa inadhalilisha wabunge kwa kuwahoji bila kufuata taratibu ikiwamo kuifahamisha ofisi yake lakini taasisi hiyo kwa upande wake inasema ilipata baraka za bunge kufanya hivyo na wabunge wanastahili kuitikia wito kwa kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria malumbano hayo yanaendelea wakati mkutano wa kumi na saba wa bunge unaotarajia kuhitimisha kashfa ya richmond kwa serikali kueleza UNK maazimio ishirini na tatu ya bunge ukiendelea idadi ya wagonjwa wa mafua makali ya nguruwe katika wilaya ya mbulu mkoani manyara imezidi kuongezeka na sasa imefikia mia tano na kumi na moja tangu ugonjwa huo ulipoingia septemba ishirini na mbili mwaka huu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya mbulu bwana mohamed ngwalima aliyasema hayo jana alipozungumza na majira ofisini kwake na kubainisha kuwa ugonjwa huo umeenea kwa kasi ndani ya wilaya hiyo bwana ngwalima alisema kuwa idadi hiyo ni jumla kuu ya wagonjwa wa zamani na wapya kati yao waliothibitishwa ni mia mbili na arobaini na tano UNK dawa aina ya tamiflu ni wagonjwa mia mbili na ishirini na tisa idadi hii ni jumla ya wagonjwa wa zamani na wapya na pamoja na vipimo ambavyo UNK zamani na sasa hivyo hii ndio hali halisi ya ugonjwa wa mafua makali ya nguruwe ndani ya wilaya yetu alisema mkurugenzi huyo wa halmashauri alifafanua kuwa ugonjwa huo hadi sasa umewakumba watumishi sita wa hospitali hiyo ambao UNK wakati wakitoa huduma kwa wagonjwa wengine hata hivyo bwana ngwalima alifafanua kuwa idadi ya wagonjwa UNK nayo inaongezeka kutoka watatu oktoba kumi na tisa na sasa kufikia kumi na nne jambo ambalo litaweza kusababisha wagonjwa hao kuendelea kuambukiza watu wengine huko waendako idadi ya wagonjwa waliopo kambini kwa sasa ni themanini na sita kati ya hao themanini na nne ni wa zamani na wapya ni wawili huku wagonjwa walioruhusiwa kwenda majumbani kwao ni mia nne na kumi na moja bwana ngwalima alisema serikali inajitahidi kuhakikisha wagonjwa waliotoroka wanapatikana ili kumalizia dozi zao na kuwadhibiti kikamilifu ili wasije UNK watu wengine mfungwa semayoga michael kutoka gereza la ukonga dar es salaam anatarajiwa kutunukiwa cheti cha kuhitimu shahada ya sheria katika chuo kikuu huria keshokutwa mfungwa huyo ni wa pili kupata shahada hiyo katika chuo hicho baada ya haruna pembe UNK kuhitimu katika gereza hilo oktoba mwaka juzi makamu mkuu wa chuo hicho profesa tolly mbwette aliyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu mahafali ya watakaohitimu shahada na vyeti mbalimbali profesa mbwette alisema miongoni mwa watakaohitimu ni viongozi mawaziri na wanasiasa akiwemo bibi anna kilango malecela UNK shahada ya kwanza akiwa tayari UNK kuanza shahada ya uzamili chuoni hapo mkuu huyo wa chuo hakuwa tayari kutaja majina wala idadi ya viongozi watakaokuwa miongoni mwa wahitimu moja mia tatu na arobaini wakiwemo wanawake mia tano na ishirini na moja na wanaume mia nane na kumi na tisa kwa madai kuwa hilo ni suala binafsi hata hivyo kuna wanafunzi ambao UNK vyeti kutokana na matokeo yao kutia shaka uchunguzi dhidi yao umeanza kufanyika na endapo wataonekana hawana hatia UNK vyeti vyao katika mahafali mengine kesho waziri mkuu bwana mizengo pinda atazindua UNK ya diploma ya ualimu wa shule ya msingi na shahada ya uzamili ya sheria ili kuwa na uelewa katika matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano pia bwana pinda atatoa zawadi kwa kamati bora tatu za ushauri walimu bora watatu watafiti bora washauri wakurugenzi wa mikoa na wafanyakazi bora wa utawala watatu profesa mbwette alisema chuo hicho pia UNK kuwa mwenyeji wa kuratibu masuala ya ualimu baada ya kushindana na vyuo kumi huria afrika ikiwa imesalia miezi kumi na mbili kufanyika kwa uchaguzi mkuu serikali imeweka wazi kwamba itawasilisha bungeni muswada wa sheria ya gharama za uchaguzi katika mkutano wa kumi na nane wa bunge januari mwakani katika mkutano huo pia itawasilisha muswada wa kurekebisha sheria ya maadili ya viongozi kwa lengo la kutenganisha siasa na biashara kama sehemu ya UNK wa ahadi ya rais jakaya kikwete akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa habari wa bunge jana waziri nchi ofisi ya waziri mkuu bwana philip marmo alisema katika muswada huo wa sheria ya garama za uchaguzi hakuna chama UNK kupata fedha au msaada wa aina yoyote kutoka nje ya nchi katika sheria hiyo ya garama za uchaguzi kuna kipengele cha fedha haramu na hizo fedha haramu ni pamoja na fedha kutoka nje ya mpaka wa tanzania alisema alisema hata kama mtoa msaada ni ndugu wa mgombea au kiongozi wa chama chochote akitoa msaada itakuwa ni kinyume cha sheria na haitaruhusiwa katika sheria hiyo mpya alisema kila chama kitalazimika kutaja vyanzo halali vya mapato yake na kwamba iwapo itapokea fedha nje ya vyanzo vyake halali itakuwa ni kosa na kwamba wagombea pia UNK kutaja viwango vya fedha UNK kutumia katika uchaguzi na kueleza jinsi walivyopata fedha hizo kila mgombea UNK kwa msajili wa vyama vya siasa kiwango cha fedha UNK kutumia katika uchaguzi UNK wataweka wazi mchanganuo wa matumizi kwa kueleza wazi ni kwa nini anatumia fedha hizo na hataruhusiwa kufanya tofauti na maelezo yake kwa hali hii ofisi ya msajili wa vyama vya siasa itakuwa na kazi kubwa sana alisema bwana marmo alisema kutokana na sheria hiyo serikali itafanya marekebisho makubwa katika sheria ya uchaguzi ya mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tano na ile ya vyama vya siasa ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na mbili ili iweze kuendana na utaratibu wa kusimamia mapato matumizi na gharama za uchaguzi kwa vyama vya siasa na wagombea muswada wa sheria hii tayari umekamilika baada ya waraka wa baraza la mawaziri kupitishwa upo katika hatua zake za mwisho kujadiliwa na wadau muda wowote kuanzia sasa alisema kuhusu marekebisho ya sheria ya maadili ya viongozi wa umma ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano inayolenga kutenganisha biashara na uongozi katika utumishi wa umma katika ngazi za juu alisema serikali iliunda timu ya kufanya UNK wa mapendekezo ya awali kutoka katika nchi mbalimbali na kwamba tayari UNK mapendekezo yake wajumbe wa timu hiyo walitoka kutoka sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma ofisi ya msajili ya vyama vya siasa tume ya taifa ya uchaguzi ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa alisema kutokana na umuhimu wa sheria hizo mbili kugusa jamii moja kwa moja serikali UNK wananchi vyama vya siasa mashirika yasiyokuwa ya kiserikali UNK ya dini kujitokeza kutoa maoni yao kwa lengo la kuziboresha ili UNK bungeni iwe imepata ridhaa ya wananchi na kuleta manufaa kwa taifa ofisi ya waziri mkuu imeagiza makatibu tawala wa mikoa nchini kuweka mikakati ya kukabiliana na mvua za el nino kwa kuwahamisha wananchi wanaoishi mabondeni ili kuepuka maafa yanayoweza kuepukika taarifa ya ofisi ya waziri mkuu iliyosainiwa na katibu mkuu bwana UNK lyimo inazungumzia taadhari iliyotolewa na idara ya hali ya hewa siku chache zilizopita kuwa kuna uwezekano wa tanzania kukumbwa na mvua za el nino kati ya oktoba ishirini sifuri tisa na machi ishirini moja sifuri bwana lyimo alisema makatibu tawala wa mikoa waweke mipango mbadala katika maeneo yote yanayoweza kupata mafuriko ikiwemo kuwahamisha wanachi kutoka mabondeni na kuwapeleka katika sehemu salama ili kuepusha madhara UNK na kujiandaa kurejesha mawasiliano endapo UNK na mvua mikoa iliyoko katika hatari zaidi ya kuathirika na mvua hizo ni dar es salaam pwani tanga kilimanjaro na arusha mikoa mingine ni manyara mwanza mara kagera shinyanga kigoma singida dodoma morogoro lindi na mtwara pia makatibu tawala hao wameagizwa kuhakikisha mikoa yao inakuwa na dawa za magonjwa ya milipuko kwa binadamu na mifugo kama vile kichocho kipindupindu na dawa za kusafisha maji ya kunywa kwa upande wa chakula bwana lyimo amewaagiza viongozi hao kuhakikisha mikoa inaweka UNK ya chakula cha kutosha ili kuepuka baa la njaa kila katibu tawala UNK bajeti ya mkoa wake itakayosaidia kukabiliana na madhara ya mafuriko na aandae vifaa vya kukarabati miundombinu ya mawasiliano UNK kuhusu maeneo ya migodi ofisi hiyo imeagiza makatibu tawala kusimamia UNK wa mitaro UNK maji katika migodi ya wachimbaji wadogo wadogo na kuchukua taadhari zinazostahili kuepusha maafa yanayoweza kusababishwa na maji kuingia ndani ya migodi wananchi nao UNK kutumia mvua hizo kuzalisha mazao UNK mvua nyingi kama mpunga na ufugaji wa samaki siku moja baada ya gazeti hili kuripoti kuuawa kwa wafanyabiashara wawili mkoani kagera polisi mkoani humo wamekiri kuwaua kwa bahati mbaya wakati wakifuatilia majambazi walioteka magari na kupora mali za abiria waliouawa katika tukio hilo kuwa ni alex theonest na UNK simon wote wakulima wa muleba mkoani kagera katika tukio hilo pia polisi walimuua jambazi mmoja george UNK mwenye umri kati ya miaka thebathini na thebathini na tano kati ya sita waliokuwa UNK magari mawili juzi saa tatu thebathini usiku kwenye mlima UNK kamachumu wilayani muleba taarifa ya jeshi la polisi UNK kamanda wa polisi mkoani kagera kamishna msaidizi henry salewi akisema kuwa wafanyabiashara hao waliuawa kwa bahati mbaya baada ya polisi kuwasili katika eneo la utekaji kwa lengo la kuwaokoa mateka hao kwa mujibu wa kamanda huyo majambazi hayo yakiwa na silaha mbalimbali waliweka mawe barabarani na kuteka magari mawili yaliyokuwa UNK kati ya UNK na kamachumu yenye namba t mia tisa na thebathini na tisa UNK mitsubish na t mia nane na ishirini na tatu UNK pia UNK kamanda salewi amesema kuwa mara baada ya polisi kuwasili katika eneo hilo UNK watu wote wakae chini lakini majambazi hayo pamoja na abiria kadhaa waliokuwa kwenye magari hayo wote walitimua mbio na kutokomea vichakani alisema polisi walifyatua risasi kwa kuamini kuwa waliokimbia kutoka kwenye eneo la tukio walikuwa ni majambazi na waliobaki walikuwa ni UNK jana majira lilimkariri akizungumza na na gazeti hili jana shuhuda wa tukio hilo bwana philbert angelo maarufu kwa jina la marco akisema kuwa polisi walifika dakika kumi baada ya majambazi kuondoka eneo la tukio na kuwakuta wafanyabiashara waliouawa wakiwa wanatafuta simu waliyokuwa UNK kwenye majani wakati wa UNK baada ya polisi hao kuwasili waliwataka watu hao wasimame lakini kwa kuhofia kuwa huenda majambazi mengine yamekuja kuwavamia walianza kukimbia na polisi UNK risasi na kuwaua papo hapo shuhuda huyo alidai pia kuwa baada ya tukio hilo wakazi wa vijiji jirani walijikusanya kufuatilia UNK hiyo ya risasi na kufanikiwa kumkamata mtu mmoja UNK walipomhoji aliwataja majambazi wenzake na kisha wananchi UNK kipigo hadi kufa kisha mwili wake UNK kwa moto kamanda salewi ametoa pole kwa ndugu na jamaa wa marehemu na kutoa wito kwa abiria UNK UNK na badala yake kutoa ushirikiano kwa polisi katika kuwabaini hata wale watakaobaki UNK mwao amesema wakati polisi wakiendelea na uchunguzi juu ya tukio hilo wananchi waendelee kutoa taarifa kama UNK mtu au watu waliojeruhiwa wakitafuta msaada wa chakula au tiba ili watiwe nguvuni mbunge wa bariadi magharibi bwana andrew chenge amesema hakuna mtu UNK kwa ufisadi na kama yuko amfuate bariadi UNK vile vile bwana chenge amewataka wapiga kura wake kuwapuuza wanasiasa aliosema wanaeneza uvumi huo kwa madai kuwa ni wanasiasa uchwara waliofilisika kisiasa mbunge huyo UNK kujiuzulu uwaziri wa miundombinu aprili ishirini mwaka huu baada ya akaunti yake ya nje kwenye kisiwa cha jessey kubainika ina zaidi ya shilingi bilioni moja zinazodaiwa kupatikana kwa rushwa ya rada alisema kuwa yeye ni safi na pia mbunge wa vitendo ndugu zangu nataka niwaambie kitu kimoja wapo wanasiasa uchwara hasa hawa wa chama cha wenye chama cha ukoo wanasema eti mie siwezi kuja kwenye jimbo langu ni waongo mimi UNK UNK wana nia ya kuwalaghai UNK kura kama UNK UNK niko bariadi waje wanikamate alisema chenge bwana chenge aliyasema hayo mwishoni mwa wiki iliyopita mjini bariadi alipokuwa akihitimisha kampeni za wagombea wa uongozi katika uchaguzi wa serikari za mitaa uliofanyika jumapili iliyopita aliwalaumu mwenyekiti wa udp bwana john cheyo na mdogo wake bwana isack cheyo aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo mwaka ishirini sifuri tano kabla ya kiti hicho kuchukuliwa bwana chenge kuwa wanaeneza maneno ya uongo kwamba yeye hawezi kufika jimboni hilo kwa sababu anatafutwa na makachero wa uingereza bwana chenge UNK na taasisi ya kuchunguza rushwa ya uingereza kama alihusika na rushwa ya rada UNK taifa zaidi ya shilingi bilioni arobaini kutoka kwa kampuni ya kuuza zana za kijeshi ya uingereza serikali ya japan UNK kuwa itaendelea kuchangia maendeleo visiwani zanzibar kwa kufadhili miradi ya kusambaza maji katika kijiji cha fumba unguja na mradi wa umwagiliaji UNK pemba balozi wa japan nchini bwana hiroshi nakagawa ametoa ahadi hiyo dar es salaam jana wakati wa hafla ya utiaji saini wa msaada wa dola za marekani mia moja na sabini na sita mia tano na kumi zilizotolewa na japan kwa serikali ya mapinduzi zanzibar chini ya mpango wa usalama kwa watu wa hali ya chini bwana nakagawa alisema japan inatambua umuhimu wa kuwa na maji safi na salama pamoja kutumia mbinu mbadala ya kilimo cha umwagiliaji ndio sababu iliamua kufadhili miradi hiyo chini ya mpango UNK wa kufadhili maeneo yasio na huduma hizo akitia saini kwa niaba serikali ya tanzania waziri wa nchi ofisi ya rais UNK anayeshughulikia masuala ya fedha na uchumi bwana mwinyihaji makame aliishukuru japan kwa ushirikiano ambao imekuwa UNK katika kuchochea maendeleo nchini watu watatu wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ilala kwa tuhuma za kujifanya usalama wa taifa na watumishi wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa kisha kumtapeli mfanyakazi wa benki ya afrika bibi UNK temba mali yenye thamani ya shilingi milioni arobaini na tisa washtakiwa hao ni bwana mathew emmanuel bwana muhando hussein na godfrey UNK wote wakazi wa dar es salaam mwendesha mashitaka bibi naima mwanga alisema mbele ya hakimu bwana samweli maweda kuwa washitakiwa wanakabiliwa na makosa manne tofauti likiwemo la kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kosa la pili ni la kujifanya ni watumishi wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa katika kosa la tatu washitakiwa hao wanadaiwa kumtaka bibi temba kufika pan beach hoteli na kujifanya ni wafanyakazi wa usalama wa taifa na kumtapeli kiasi cha shilingi milioni kumi na tano katika kosa la nne washitakiwa hao wanadaiwa walimtaka mfanyakazi huyo awape kiasi cha shilingi milioni thebathini na nne huku UNK kuwa UNK UNK kuhusika na kesi ya akaunti ya madeni ya nje washtakiwa wako nje kwa dhamana ya shilingi milioni kumi na sita kila mmoja na mali isiyohamishika kama vile nyumba au shamba kesi itatajwa tena desemba moja mwaka huu mbunge wa busega bwana raphael chegeni amemtaka waziri mkuu bwana mizengo pinda kueleza kama anatambua mvutano wa kibiashara uliopo kati ya kampuni mbili za bia serengeti breweries na tanzania breweries UNK amani ya nchi akijibu maswali ya papo kwa papo bungeni jana bwana pinda alikiri kuwepo kwa mvutano huo na kwamba tayari amekutana na baadhi ya wahusika akiwemo jaji mark bomani na kuzungumzia tatizo hilo katika swali lake la nyongeza bwana chegeni alimtaka bwana pinda kuona umuhimu wa kushughulikia suala hilo kwa karibu na hatua zaidi kuchukuliwa haraka kwa kuwa moja ya washindani hao ameagiza kung olewa kwa mabango ya mshindani mwezake kwa kuyapiga mawe jambo ambalo ni kinyume na ushindani wa kibiashara na hatari kwa amani na utulivu wa nchi bwana pinda alisema serikali haiwezi kuingilia kati tatizo hilo moja kwa moja kwa kuwa ipo mamlaka iliyoundwa kisheria kwa lengo la kushughulikia ushindani wa haki katika biashara bali serikali inaweza kuingilia kati pale tu UNK kwamba tume hiyo ya ushindani imeshindwa kumaliza tatizo hilo mgogoro huo umekuwa wa muda mrefu na hivi karibuni iliripotiwa kuwa kampuni mojawapo UNK baadhi ya wamiliki wa baa ili UNK bia za washindani wao katika hatua nyingine bwana pinda amekanusha tuhuma dhidi ya chama cha mapinduzi na serikali ya mapinduzi ya zanzibar kuhusisha na vurugu kila inapokaribia uchaguzi katika visiwa vya unguja na pemba na kuweka wazi kwamba hata chama cha wananchi nacho kinachangia vurugu hizo waziri mkuu alisema ni makosa kwa cuf kujivua lawama hizo UNK kuwa ni watakatifu wenye haki kwa kila jambo na kujiona kwamba wao wanaonewa na ccm siku zote wakati nao wanachangia kuwepo kwa tatizo hilo mara nyingi cuf mmekuwa UNK katika suala hili UNK sana mnataka kujenga picha kwamba ni serikali ndio inahusika UNK kwamba ninyi ni watakatifu kabisa mna haki kwa kila jambo kila wakati UNK hili si kweli hata kidogo hapa kinachotakiwa ni kila moja wetu atambue kwamba anayo dhamana ya kusimamia amani na utulivu lakini katika hali hii ya kulaumiana na kulumbana haifai na haitasaidia sana alisema bwana pinda katika swali lake mbunge wa konde daktari ali UNK ali alimtaka waziri mkuu kueleza ni lini wananchi wa tanzania visiwani watakaa kwa amani na utulivu wakati wa uchaguzi kwa kuwa kila inapokaribia uchaguzi vijana wasio na hatia wanakamatwa na kuswekwa ndani bila kosa kwa madai kwamba ni agizo kutoka juu naye mbunge wa mkanyageni injinia mohamed habib mnyaa alimtaka waziri mkuu kueleza bunge kama ni haki kwa waziri wa serikali ya mapinduzi zanzibar kuamuru majeshi kutumika wakati wa uandikishaji wapiga kura wakati amiri jeshi mkuu ni rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania peke yake akijibu swali hilo waziri mkuu alisema kinachotakiwa kwa viongozi hao ni kuhakikisha watanzania wanaishi kwa hali ya amani na utulivu na kwamba iwapo kuna tatizo lolote la kiusalama lilitokea katika kazi ya uandikishaji katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa tanzania visiwani wahusika wanatakiwa kukaa pamoja na kulirekebisha badala ya UNK awali kabla ya kujibu swali hilo bwana pinda alimtaka mbunge huyo UNK swali lake UNK alisema kinachomfanya UNK rais katika suala hilo ni kwamba katiba ya nchi inatamka rais ndiye amiri UNK mkuu na kwamba waziri wa smz alitamba kwamba atatumia majeshi yote katika kazi hiyo jambo ambalo alilitekeleza hivyo kuleta picha kwamba alipata ridhaa ya amiri jeshi mkuu kufanya hivyo kiongozi wa upinzani bungeni bwana hamad UNK mohamed yeye alimtaka waziri mkuu kueleza utaratibu uliotumiwa na tume ya taifa ya uchaguzi kukusanya hadi kupata UNK la kadi za wapiga kura zilizochomwa moto septemba tisa mwaka huu akijibu swali hilo bwana pinda alisema suala hilo ni kubwa na linalohitaji taarifa sahihi kutoka kwa wahusika kwa kuwa linagusa maslahi ya watu hivyo kuomba apate muda kufanya mawasiliano na wahusika ili kutoa taarifa sahihi kulingana na uzito wake haya hivyo jibu hilo halikumtosheleza bwana hamad hivyo kumuuliza waziri mkuu swali la nyongeza akiitaka serikali kukubali kuundwa kwa tume ndogo kuchunguza suala hilo na kuwasilisha taarifa kutokana na uzito na ukubwa wa suala lenyewe akijibu swali hilo waziri mkuu alisisitiza msimamo wake kwamba kulingana na uzito na ukubwa kwa suala hilo ni bora zaidi mbunge huyo akavuta subira ali apate taarifa sahihi toka kwa wahusika mwenyekiti wa kampuni ya uwekezaji ya taifa bwana felix mosha amesema fedha za wanahisa wa kampuni hiyo ziko salama bwana mosha alitoa kauli hiyo dar es salaam jana baada ya gazeti moja la kila siku kudai kuwa fedha za wanahisa wa kampuni hiyo UNK salama nataka kusisitiza UNK fedha za wanahisa ziko salama na zaidi ya asilimia themanini na tano ya mali za nicol zimewekezwa katika benki ya national microfinance na wanahisa wanazidi kuongezeka mara tatu kwani ndiyo taasisi pekee nchini inayofanya vizuri kwenye uchumi wa sasa hii ni rekodi nzuri kwa kampuni alisema bwana mosha akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu bwana mosha alikili kuwepo kwa baadhi ya mambo ambayo mamlaka iliagiza yarekebishwe ikiwemo kusahihisha baadhi ya akaunti za mwaka ishirini sifuri nane alisema kuwa nicol haijawahi kukataa kufanya kazi zake isipokuwa kulikuwa na majadiliano marefu katika kusahihisha mambo yake ambao UNK UNK hivi karibuni nicol ilisimamishwa kufanya biashara zake katika soko la hisa la dar es salaam wadau wa muswada wa sheria mpya ya matumizi ya fedha kwenye chaguzi mbalimbali wameanza kupinga mapendekezo ya serikali UNK vyama vya siasa kuingiza fedha za uchaguzi kutoka nje ya nchi wakisema hatua hiyo ina lengo la UNK vyama vya upinzani waliozungumza na gazeti hili jana na kuuponda utaratibu huo ni bwana james mbatia wa nccr mageuzi bwana freeman mbowe wa chadema bwana augustine mrema wa tlp na mhadhiri wa chuo kikuu cha dar es salaam idara ya sayansi ya siasa profesa mwesiga baregu kwa upande wake mwenyekiti wa chadema bwana mbowe alisema hatua ya serikali ni ushuhuda mwingine wa tabia mbaya ya ccm ya kubomoa misingi ya demokrasia akizungumza na gazeti hili dar es salaam jana bwana mbowe alisema ni jambo la kushangaza kwa serikali kuzuia vyama vya siasa kupata fedha kutoka nje wakati hata yenyewe inashindwa kujiendesha serikali inashindwa kujiendesha inategemea misaada tume ya uchaguzi nayo hivyo hivyo sasa iweje vyama vya siasa UNK alihoji bwana mbowe na kusisitiza kuwa mpango huu una dhamira mbaya alisema wao wanakubali matumizi wa fedha kwenye uchaguzi UNK lakini kama zinatoka kwenye vyanzo vilivyo wazi na vinavyojulikana hakuna sababu ya kuzuia watu wanawekeza nje ninaweza kuwa nimewekeza nje ya nchi mfano afrika kusini au dubai na nikawa na watu UNK nao wakitaka kunisaidia kwenye uchaguzi kuna ubaya gani alihoji bwana mbowe naye mwenyekiti wa nccr mageuzi bwana mbatia alisema uamuzi huo ni wa kifisadi na umeandaliwa kwa ajili ya kusambaratisha vyama vya upinzani bwana mbatia alisema ccm inatafuta mbinu za kudhibiti vyama vya upinzani ndiyo maana muswada huo UNK kabla ya kuandaa muswada huo serikali ilipaswa kutengeneza mazingira mazuri ya demokrasia na kuboresha mfumo wa uchaguzi na kuweka uwakilishi wenye wa uwiano sawa alisema bwana mbatia alibainisha kuwa muswada huo unaweza kupingwa mahakamani kwa kuwa ni wa kibaguzi na umetungwa kwa ajili ya tukio fulani kwa nia mbaya siku zote walikuwa wapi kama siyo ujanja ujanja unafanywa kuhakikisha vyama vya upinzani UNK nguvu katika uchaguzi mkuu mwakani alihoji bwana mbatia alisema ccm inapata ruzuku ya shilingi bilioni mbili kwa mwezi na inatumia vyombo vya dola kuendesha shughuli za siasa hivyo UNK kuwepo muswada huo ili kuwafumba midomo wapinzani aliongeza kuwa kama vyama vya siasa UNK fedha kutoka nje kwa ajili ya shughuli za kisiasa kuna haja gani ya UNK alitolea mfano kitendo cha mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi kutangaza matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa wakati siyo kazi yake kuwa hiyo inaonesha jinsi ambavyo anafanya kazi kwa ajili ya ccm kwa upande wake mhadhiri chuo kikuu cha dar es salaam katika kitivo cha sayansi ya siasa profesa mwesiga baregu alisema utaratibu wa kudhibiti masuala ya fedha wakati wa uchaguzi UNK lakini akatahadharisha kuwa muswada huo usije ukaonekana una nia nzuri kumbe ndani yake una lengo jingine huu muswada unagusa maisha ya kila mtanzania hivyo unatakiwa kujadiliwa kwa mapana hata ikibidi kwa mfumo wa white paper alisema profesa baregu na kusisitiza kuwa ni lazima wananchi washirikishwe kwa wingi alisema nchi nyingi ikiwemo marekani zina sheria zinazotawala michango ya fedha jinsi zinavyotumika alisema na kuongeza kuwa nchini tanzania suala la UNK lipo hivyo ni lazima kuwa na sheria UNK maeneo hayo profesa baregu alisema kumekuwa na ongezeko la fedha wakati wa uchaguzi kiasi cha kuwafanya watu wengine kuingiwa na hofu ya kwenda kugombea alibainisha kuwa suala la kudhibiti fedha ili UNK uchaguzi na kuwafanya watu washindwe kuchagua viongozi bora ni la msingi pia mwenyekiti wa tanzania labour party bwana augustine mrema alisema muswada huo utapelekwa bungeni kwa ajili ya kuwaangusha wapinzani katika uchaguzi mkuu mwakani kwa mazingira hayo hakuna sababu ya kuwepo kwa vyama vya upinzani nchini kwa sababu wengi tunategemea fedha kutoka nje wakati wa uchaguzi sasa muswada huo UNK UNK vyama alihoji bwana mrema alisema kwa mazingira hayo itakuwa vigumu kwao kuisambaratisha ccm alisema chama cha tlp hakina fedha yoyote ambayo kinapata kutoka nchini bali UNK misaada kutoka nje ya nchi hivyo ikizuiwa hakitaweza kushiriki uchaguzi kikamilifu juzi waziri wa nchi ofisi ya rais bwana philip marmo alisema muswada huo utawasilishwa bungeni januari mwakani na serikali inakusudia kuzuia fedha zozote kutoka nje ya nchi UNK waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi bwana john magufuli ametangaza rasmi hatma ya samaki waliokamatwa mkononi mwa maharamia wa nchi za nje miezi saba iliyopita katika bahari ya hindi zitagawiwa bure kwa taasisi mbalimbali za kijamii kuhusu ubora wa samaki hao bwana magufuli alisema bado ni salama kabisa kwa kuwa UNK katika ubaridi wa ishirini c hivyo wanaweza kukaa kwa miaka miwili bila UNK natoa wito kwa wakuu wa taasisi hizo husika kuchangamka kutuma maombi samaki waliopo wanaweza kulisha watu milioni moja gharama za kusafirisha samaki kutoka dar es salaam hadi eneo husika ni juu ya taasisi husika alisema bwana magufuli akizungumza na waandishi dodoma jana bwana magufuli alisema serikali imefikia uamuzi huo baada ya kupata ridhaa ya mahakama na kuridhika na ushahidi UNK hivyo hakuna sababu ya kuendelea kuwatunza samaki hawa watagawiwa kwa taasisi za kijamii kama vile hospitali shule za sekondari vyuo mbalimbali magereza vituo vya watoto yatima lakini si kwa watu binafsi nakaribisha maombi kutoka taasisi hizo ili waweze kupatiwa samaki alisema licha ya samaki hao tani mia mbili na tisini na sita thebathini na mbili kuwa na thamani kubwa ya shilingi bilioni mbili serikali haiwezi kufanya biashara kwa kuwauza kwa kuwa kufanya hivyo UNK manufaa yaliyokusudiwa ya kuwafanya watanzania wanufaike na UNK zao na kuzidisha moyo wa kutunza rasilimali za nchi waacheni watanzania wale rasilimali yao ambayo walikuwa UNK kwa miaka mingi watakapokuwa wanatafuna watazidisha kulinda rasilimali yao kwa manufaa yao alisema bwana magufuli alitaja faida zitakazopatikana kutokana na kukamatwa kwa samaki hao katika meli ya UNK one kuwa ni pamoja na serikali kufanikiwa kulinda rasilimali za nchi baada ya kukamata meli hiyo uwezekano wa nchi kuanza kunufaika na uvuvi yenye faida kwa taifa kutokana na nchi kadhaa kujitokeza kutaka kuvua katika eneo la tanzania faida nyingine kuwa ni uwezekano mkubwa wa serikali kushinda kesi hiyo ambapo kwa mujibu wa sheria za kimataifa kama serikali itaibuka na ushindi katika kesi hiyo itachukua meli hiyo yenye thamani kubwa kuwa mali ya tanzania tangu tumepata uhuru inakadiriwa kuwa jumla ya meli ishirini sifuri zilikuwa UNK samaki katika eneo ambalo UNK hiyo meli ikiwa na hawa samaki sasa kama kwa siku meli ilikuwa inatoka na samaki kama wale maana yake ni kwamba kila siku tulikuwa tunapoteza shilingi bilioni mbili na sasa hatupotezi tena fedha hizo lile eneo sasa ni salama alisema bwana magufuli alisema mwaka ishirini sifuri nane ziwa victoria UNK serikali mapato ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na nne kutokana na uvuvi huku bahari ya hindi eneo la tanzania ambalo ni kubwa zaidi UNK taifa shilingi UNK mia tisa na themanini na moja tu hali iliyotokana na uvuvi haramu alipoulizwa kuhusu mbinu itakayotumika kuhakikisha kwamba wale watakaopewa hao samaki hawafanyi biashara alisema ameweka utaratibu ambao hawezi kuuweka wazi wa kufuatilia kila UNK samaki hao na kwamba UNK kwamba anaweza kufanya biashara na hao samaki ni bora aache kutuma maombi kwa kuwa UNK kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wadau mbalimbali kwamba kutunzwa kwa samaki hao UNK mzigo serikali kwa kutoa mamilioni ya fedha kuhifadhi wa samaki hao barua inayodaiwa kuandikwa na aliyekuwa waziri mkuu bwana edward lowassa kwenda aliyekuwa waziri wa nishati na madini daktari ibrahim msabaha UNK afuatilie kwa karibu kampuni ya kufua umeme ya richmond imetafsiriwa kuwa ilikuwa ni ya kujikosha kwa kuwa alifanya hivyo baada ya kubaini mambo yamekwenda kombo wachunguzi wa mambo wamesema tahadhari dhidi ya richmond iliyotolewa na bwana lowassa septemba ishirini na moja ishirini sifuri sita ikiwa ni miezi takribani mitatu baada ya kusainiwa kwa mkataba wa richmond juni ishirini na tatu ishirini sifuri sita haikuwa na lolote zaidi ya kuweka mambo sawa baada ya kuonekana kuwa kampuni hiyo haina uwezo wa kuleta mitambo watu mbalimbali waliozungumza na gazeti hili kwa nyakati tofauti walisema tahadhari hiyo ilipaswa kutolewa kabla ya mkataba kusainiwa na si miezi mitatu baadaye kama alivyofanya bwana lowassa wengine wameenda mbali zaidi wakisema licha ya bwana lowassa kukana kuhusika mara kwa mara kuhusika na mkataba huo ripoti ya kamati teule ya bunge iliyoongozwa na daktari harrison mwakyembe ilieleza vya kutosha uhusika wake ripoti hiyo ilisema mambo mengi UNK mchakato wa mkataba huo ni viashiria vya nguvu kubwa iliyo juu ya wizara ya nishati na madini kutumika katika suala hilo na kuwa kutokana na ushahidi wa kimaandishi kimazingira na wa mdomo kamati teule iliona nguvu hiyo kuwa ni waziri mkuu akizungumza na majira kuhusiana na barua hiyo kuandikwa baada ya mkataba mwenyekiti wa chadema bwana freeman mbowe alisema hayo yanayojitokeza sasa ni ushahidi kuwa suala hilo UNK na vigogo kamanda unajua siku zote mwenye makosa anakuwa na hofu penye nia mbaya UNK mradi wa richmond ulikuwa dili ya wakubwa walifanya hivyo kwa nia ya kujinufaisha na baada ya kuona mambo hayaendi vizuri walianza kujihami alisema bila kumtaja bwana lowassa moja kwa moja bwana mbowe alisema wakubwa baada ya kuona mambo hayaendi safi walianza UNK alisisitiza kuwa barua za kujikosha ziliandikwa kwa lengo la kujihami baada ya kuona mambo UNK hata hivyo bwana mbowe alisema picha ya jumla ya ccm na serikali yake imegubikwa na ufisadi hivyo wale wote UNK lao ni moja ufisadi unafanywa katika maeneo mengi UNK lowassa ni haki yake lakini na wenzake nao UNK alisema bwana mbowe na kuwataka wana ccm wanaojiita wapambanaji wa ufisadi kugusa hata maeneo mengine badala ya kushikilia richmond peke yake wale waliopo ndani ya ccm wana mambo ambayo wanaficha richmond inashughulikiwa kwa sababu zao za kimaslahi au za kiuchumi lakini kuna vitu vya binafsi katika suala la richmond nchi hii imejaa ufisadi katika maeneo mengi kwa upande wake mhadhiri wa chuo kikuu cha dar es salaam profesa mwesiga baregu alisema yanayoendelea kujitokeza katika sakata zima la richmond ni kielelezo kuwa ukweli na undani wake UNK wazi inaelekea ukweli na undani wa mambo mengine kuhusu richmond UNK yote tunabaki kujiuliza maswali mengi alisema profesa baregu na kuongeza ukisoma zile barua unaweza kusema alikuwa anajali sana au alikuwa kwenye utaratibu wa mgongano wa kimaslahi alisema na kuongeza sakata la richmond linavyoendelea huku serikali nayo ikishindwa kufanyia kazi maazimio ya bunge watu wanabaki kujiuliza kulikoni hatujaweza kujua kuna nini ndani yake haijulikani vizuri alisema na kuongeza kuwa wakati umefika sasa wa wananchi kuelezwa namna kila mmoja alivyoshiriki kwa kuwa kuna mambo ndani ambayo hayako wazi barua inayodaiwa kuandikwa na bwana lowassa septemba ishirini na moja mwaka huu imekuwa UNK kwenye vyombo vya habari wiki hii huku vingine vikilenga kuonesha kuwa ndicho kielelezo cha uadilifu wa kiongozi huyo na vingine vikisema ni uthibitisho wa jinsi alivyoshiriki kwenye mchakato wa richmond zaidi ya shilingi milioni hamsini sifuri zitatumika katika ulipaji fidia kwa wakazi wa manispaa ya temeke ili kupisha upanuzi wa ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni pamoja na shule na zahanati katika halmashauri hiyo akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana mkurugenzi wa manispaa hiyo bwana stephen kongwa alisema kuwa fedha hizo zitalipwa kwa awamu kwa watu waliohamishwa makazi yao alisema kuwa fedha hizo ni kwa ajili ya kulipa fidia kwa wakazi waliohamishwa maeneo yao kwa ajili ya upanuzi wa kujenga shule na zahanati fedha hizo tutalipa kwa awamu katika kipindi hiki cha mwaka wa fedha ishirini sifuri tisa na ishirini moja sifuri ili kila mmoja aweze kupata fidia ya kujenga nyumba sehemu nyingine alisema bwana kongwa pia maeneo hayo UNK watu yatatumika kujenga shule na zahanati za kwa ajili ya kuongeza huduma kwa watu wa halmashauri ya ma UNK ya temeke na wanafunzi wa eneo hilo alisema bwana kongwa alisema baada ya kukamilika kwa ujenzi huo wa zahanati utapunguza msongamano wa wagonjwa katika hospitali ya temeke na wengi watapatiwa huduma ya matibabu kwa haraka zaidi hata hivyo fedha hizo tunajitahidi kuzilipa katika kipindi hiki ili kuharakisha kasi ya kulipa fidia pamoja na kujenga shule hizo kwa ajili ya kurahisisha wanafunzi wasiende shule za mbali ofisi ya waziri mkuu imelaumiwa vikali na wakulima wadogowadogo wa chai kwa kushindwa kuumaliza mgogoro unaohusu msitu wa magogo wa sakare uliopo wilayani korogwe na kiwanda cha kusindika chai cha mponde kilichopo wilayani lushoto wakizungumza kwa nyakati tofauti wakulima hao walisema UNK mgogoro huo uendelee kuwepo huku ukitishia kusimamisha uzalishaji wa kiwanda chao ni waziri mkuu mizengo pinda kutokana na kutotekeleza ahadi yake aliyoitoa mapema mwaka jana bwana pinda alitoa ahadi kuwa atahakikisha anazungumza na rais ili kujua msitu wa sakare ni mali ya nani baada ya watu UNK na kuzuia wafanyakazi wa kiwanda cha mponde kukata magogo katika msitu huo uliokuwa mali ya mamlaka ya chai kabla kiwanda hicho UNK mbali ya kuvamia wananchi hao walifanya uporaji wa mali za kiwanda cha mponde pamoja na kuzuia kuni zilizokuwa UNK tayari kwa kupelekwa UNK akijibu swali la mwandishi wa habari hizi mkuu wa wilaya ya lushoto kilipo kiwanda cha mponde bibi sophia mjema alikiri kuwa ni kweli msitu wa sakare ulivamiwa na wananchi wa wilaya jirani ya korogwe kwa kuwa upo katika wilaya hiyo licha ya madai kuwa miti UNK na kiwanda cha UNK jibu la suala UNK lipo ofisi ya waziri mkuu tuliambiwa tusubiri hadi aonane na rais amweleze hali ilivyo katika mgogoro huo kwa hiyo bado tunasubiri majibu toka kwake alisema bibi mjema kwa upande wake mkuu wa wilaya ya korogwe bwana erasto sima alisema alizuiwa na sekeretarieti ya mkoa wa tanga kuwa UNK jambo hilo nilipofika tu hapa wilayani na kuambiwa UNK mgogoro huo nilitaka kwenda kuwakutanisha watu wa pande zote mbili lakini sekeretarieti ya mkoa UNK nisiende hadi hap nitakapoitwa mkoani na nategemea kwenda kwenye kikao cha sekeretarieti ya mkoa kesho alisema sima wiki mbili zilizopita na kuahidi kuwa UNK mwandishi kuhusu UNK mwandishi wa habari wa waziri mkuu bwana saidi nguba alizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wa habari hizi na kusema suala hilo anayetakiwa kutolea majibu ni mkuu wa mkoa wa tanga meja jenerali said kalembo UNK rc kama UNK ushirikiano UNK ili niweze kuwasaidia alisema hata hivyo juhudi za kumpata mkuu wa mkoa wa tanga kwa njia ya simu ambazo hazikuzaa matunda hadi tunakwenda mitamboni bado zinaendelea waziri mkuu mizengo pinda amesema serikali itakuwa ikitoa shilingi bilioni mbili kila mwaka kufadhili chuo kikuu huria cha tanzania waziri mkuu alisema hayo dar es salaam jana wakati akiweka jiwe la msingi la kuanza ujenzi wa makao makuu ya chuo hicho kibaha mkoani pwani katika eneo la UNK bwana pinda alisema serikali itawatumia wakuu wa mikoa nchini ambao chuo hicho UNK kuwa wasimamizi wakuu wa vituo vya chuo hicho na kuhakikisha kila wilaya inapata kituo kwa ajili ya watanzania waishio vijijini na kuhakikisha wanapata elimu ya juu tunatambua umuhimu wa mchango wa chuo hiki tunaahidi kuwa serikali itakuwa inachangia shilingi bilioni mbili kila mwaka ili kuhakikisha chuo kinafanya shughuli zake kwa ufanisi na kuwafikia watanzania wengi waweze kusoma kupitia mfumo wa elimu ya masafa mahali walipo alisema alisema watanzania wanatakiwa kuondoa dhana kuwa elimu kwa njia ya masafa ni elimu ya kiwango cha chini kwani ulimwengu wa sasa mfumo huo ndio unaotumika na unaopendwa kutokana na mwanafunzi anakuwa anasoma huku akifanya kazi bwana pinda alisema ofisi yake UNK waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi kuorodhesha wakuu wa vyuo vyote vikuu na matatizo UNK ili kuyafanyia kazi kwa ajili ya UNK elimu nchini naye mkuu wa chuo hicho bwana john malecela alisema chuo chake kinalenga kuwafikishia watanzania wengi elimu mahali walipo hivyo serikali inatakiwa kuwa karibu na chuo hicho kiweze kufikia malengo ya kuwakomboa kielimu watanzania adaiwa kutumia vijana kuvamia ujenzi wa shule yaelezwa ni hofu UNK kugombea ishirini moja sifuri mbunge wa jimbo la muleba kusini bwana wilson masilingi yuko katika mvutano mkubwa na mwekezaji mmoja uongozi wa halmashauri ya wilaya ya muleba na naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi gaudensia UNK bwana masilingi anadaiwa kutumia vijana kuvamia eneo hilo ambalo tayari mwekezaji huyo alikuwa ameanza kujenga shule akidai kuwa eneo hilo linapaswa kujengwa shule ya sekondari ya kata huku uongozi wa kijiji cha bunyagongo na halmashauri ya wilaya ya muleba UNK kuwa eneo hilo UNK kwa ajili ya mwekezaji hata hivyo UNK wa masuala ya kisiasa wanasema mvutano huo unatokana kwa sehemu kubwa na mbio za uchaguzi mkuu jimboni humo unaotarajiwa kufanyika mwakani ambapo aliyekuwa kamanda wa polisi wa kanda maalum ya dar es salaam bwana alfred tibaigana anatajwa kuwa mmoja wa wanaolinyemelea jimbo hilo UNK na bwana masilingi katika hatua inayoelezwa na wananchi wa jimbo hilo kuwa ni hofu ya kupoteza nafasi yake ya ubunge mwakani masilingi anadaiwa kukwamisha ujenzi wa shule ya sekondari ya binafsi inayojengwa na mfanyabiashara jackson faustine katika eneo la UNK katika UNK cha bunyagongo kata ya nshamba inadaiwa masilingi naye anataka kujenga shule eneo hilo hilo akizungumzia suala hilo waziri kabaka alisema masilingi aliiambia wizara yake kuwa shule UNK eneo hilo ni ya kata lakini baada ya kufuatilia wamebaini si uongozi wa kijiji cha bunyagongo wala halmashauri ya wilaya ya muleba wanaotambua kwa mchakato wa ujenzi wa shule hiyo ya kata masilingi ni rafiki yangu ndivyo UNK alikuja ofisini kwangu kuomba shilingi milioni nane akidai ni za ujenzi wa shule ya kata lakini sasa UNK kwa sababu alichoeleza ni tofauti tulidhani shule ya wananchi kumbe ni yake halafu haijasajiliwa na haina ramani utaratibu UNK si sahihi waziri kabaka alikaririwa UNK kikao cha kamati ya maendeleo ya kata ya nshamba alipotakiwa kutolea ufafanuzi wa suala hilo akizungumzia sakata hilo mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya muleba ernest basaya alisema utaratibu wa serikali ni down up lakini mheshimiwa masilingi alifanya up down hakufuata utaratibu amevamia alishangaa mkurugenzi huyo habari zinasema mzozo huo ni matokeo ya hofu aliyo nayo bwana masilingi kwamba mwekezaji huyo anashirikiana na bwana tibaigana ambaye inadaiwa ana nia ya kugombea ubunge wa jimbo hilo katika uchaguzi wa mwakani alipoulizwa kuhusu madai hayo bwana tibaigana alikiri kuwa ana nia ya kuwania ubunge kwa kuwa aliombwa na wananchi kufanya hivyo lakini akakana kuhusika katika mzozo huo ni kweli nina nia kugombea ubunge katika jimbo hilo lakini kama yanayotendeka yanatokana na hofu juu yangu hilo analijua yeye kwanza huyu UNK simjui alisema tibaigana mmoja wa wakazi wa jimbo hilo alisema katika kata ya nshamba kuna shule mbili za sekondari za kata nshamba na UNK zenye kuhitaji msaada wake na kwamba kama ana nia ya kutoa msaada kwa nini UNK eneo ambalo tayari mwekezaji ameanza ujenzi alipotakiwa kuzungumzia madai ya kuvamia eneo la mwekezaji huyo bwana masilingi UNK waziri kabaka mkurugenzi wa halmashauri ya muleba pamoja na viongozi na wanakijiji wa bunyagongo akidai kwamba hawana mamlaka ya kuingilia suala hilo ambalo alidai linashughulikiwa na ikulu waziri UNK hata hivyo hana mamlaka ya kuingilia suala hilo kwa kuwa linashughulikiwa na takukuru kwa kuwa takukuru iko chini ya rais na naibu waziri anateuliwa na rais hivyo hana uwezo wa kuingilia mamlaka ya ofisi ya rais wote UNK hawawezi kuingilia mamlaka ya rais alisema masilingi alipohojiwa katika ofisi ndogo ya bunge jijini dar es salaam juzi bwana masilingi ambaye aliwahi kuwa waziri anayeshughulikia utawala bora katika serikali ya awamu ya tatu alisema hana uhusiano mzuri na halmashauri hiyo hata hivyo hakusema sababu UNK uhusiano huo kuwa mbaya kuvamiwa kwa eneo hilo na vijana wanaodaiwa kutumwa na masilingi ulisababisha dalili za kuvunjika kwa amani ambapo aliyekuwa kamanda wa polisi wa mkoa wa kagera wakati huo abdallah msika alishauri upande unaopinga mwekezaji kuendelea na ujenzi katika eneo hilo UNK kesi katika baraza la ardhi la kata ya UNK ushauri kama huo wa kufungua kesi katika baraza la ardhi iwapo kuna upande ulikuwa unahisi kuwepo kwa ukiukwaji wa taratibu katika kumpatia mwekezaji eneo hilo ulitolewa pia na halmashauri ya wilaya ya muleba lakini licha ya shauri hilo kufunguliwa walalamikaji ambao masilingi ni miongoni mwao hawakuhudhuria baraza hilo na badala yake baada ya muda kupita bwana masilingi aliwaongoza wenzake kuwafungulia kesi inayohusiana na rushwa mwekezaji huyo pamoja na baadhi ya viongozi wa kijiji katika kesi hiyo iliyoko katika mahakama ya wilaya ya muleba mwekezaji na viongozi hao wa kijiji wanatuhumiwa kushiriki vitendo vya rushwa katika UNK kipande cha ardhi kilichotolewa kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo ya binafsi kesi hiyo UNK mara kumi na nane lakini walalamikaji hawajawahi kuhudhuria mahakamani cwt yadai malipo yao yamejaa ufisadi chama cha walimu tanzania kimetangaza mgomo wa walimu nchi nzima kuanzia novemba saba mwaka huu kutokana na kutolipwa kikamilifu madeni yao wanayoidai serikali huku UNK kasoro zilizojitokeza kwenye malipo hayo kuwa ni ufisadi wa kitoto kasoro nyingi za malipo ya walimu tunayo na UNK ufisadi wa kitoto kwa sababu hundi walizopewa walimu zinatofautiana na hundi UNK alisema bwana gratian mkoba rais wa cwt alipozungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana akitolea mfano alisema kuna mwalimu salama UNK alitakiwa kulipwa shilingi mia moja na sabini na sita mia nane na hamsini badala yake amelipwa shilingi elfu themanini alisema mwalimu mwingine chausiku UNK anayedai fedha za uhamisho wa shilingi mia nne na thebathini na tano sifuri sifuri sifuri alilipwa kwa hundi ya shilingi thebathini na tano sifuri sifuri sifuri alisema walimu wanadai madeni mengi ikiwa ni pamoja na fedha za malimbikizo ya mishahara uhamisho likizo malipo ya kwenda masomoni na mengineyo bwana mkoba alisema mgomo huo utahusisha walimu wote wa shule za msingi sekondari vyuo vya ualimu na wakaguzi wa shule pamoja na serikali kuanza kulipa baadhi ya walimu wa shule za msingi malipo hayo hayaendi kihalali kwa kuwa baadhi yao wanalipwa fedha nusu kinyume na UNK je hizi nyingine zinakwenda wapi na zitalipwa lini alihoji bwana mkoba akitolea UNK wa mkoa wa dar es salaam hususan manispaa za temeke na ilala alisema kuna walimu wengi waliolipwa kinyume na hundi zao UNK huku UNK kuandika majina na kusaini katika karatasi na kuambiwa kuwa fedha zilizobaki watalipwa baadaye bwana mkoba alisema kuwa katika malipo ya walimu yanayoendelea ofisi za wakurugenzi UNK kufanya hila ya kuvuruga zoezi zima la ulipaji kwa kuwalipa kiasi kidogo UNK na kile UNK na timu za uhakiki bwana mukoba alisema kuwa pamoja na serikali kutoa shilingi bilioni thebathini na mbili na kuanza kuwalipa walimu wa shule za msingi bado wapo walimu wa sekondari vyuo na wakaguzi ambao wanadai jumla ya shilingi bilioni kumi na nane ambazo hazijulikani siku ya kulipwa akizungumzia mgomo huo alisema walimu watatakiwa kwenda shuleni kama kawaida ila hawataingia darasani kufundisha na badala yake watakaa ofisini kujadili hatima ya malipo yao nchi nzima alisema kuwa kama itapita wiki moja tangu waanze mgomo huo na serikali haijafanya lolote cwt itatoa mwongozo wa mgomo wao huo na kuwataka viongozi wa cwt wa ngazi za mkoa na wilaya kufikisha taarifa hizo kwa wanachama wao najua serikali UNK kutoa vitisho kutokana na kutangaza mgomo wetu huu lakini napenda kuwatangazia walimu nchi nzima kuwa wasiwe na wasiwasi na UNK mshikamano katika kulitatua hili kwani tunachokidai ni haki yetu ya msingi na hakuna mwalimu atakayefukuzwa kazi alisema na kuongeza nashangaa kuona wabunge wakitetea na kufurahia kupokea posho mara mbili ukiacha fedha zao za mishahara huku serikali UNK madeni yetu hii inaonesha serikali UNK walimu alisema kuwa endapo serikali itamuita wazungumzie mgomo huo hayuko tayari na kama atakwenda atakwenda kudai madeni yake kwani wanachotaka ni kulipwa kwa madeni ya walimu wote huu utakuwa mgomo mwingine wa walimu ukiacha ule wa novemba mwaka jana UNK na mahakama kuu divisheni ya kazi novemba kumi na saba ambapo walimu walidai jumla ya shilingi bilioni hamsini ataka watanzania kamwe UNK adai ukweli UNK kuficha uwongo spika wa bunge bwana samwel sitta amewataka watanzania kutokubali kuyumbishwa na watu wenye nia ya kupotosha ukweli kuhusu mjadala wa uhalali wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa kuwahoji wabunge bila kufuata taratibu na badala yake watafute kwanza ukweli kabla ya kutoa hukumu amesema watu wasiokubali ukweli wameunganisha mambo mawili tofauti ambayo kimsingi kila moja lina utaratibu wake wa kushughulikiwa amesema wamefanya hivyo kwa lengo la kuwachanganya wananchi ili waondoke katika ajenda kuu muhimu yaliyopo mbele yao kwa manufaa yao binafsi akizungumza na majira ofisini kwake jana bwana sitta alisema anasikitishwa na sura inayotaka kujengeka kwa jamii kwamba bunge lina dosari bila kufuata utaratibu na kujua ukweli halisi na kwamba watanzania wanatakiwa kuwa macho na watu hao kwa kuwa huenda wanafanya hivyo kwa kuhofia utendaji wa bunge la kasi na viwango mimi nisingependa kuzungumzia suala hili tena lakini kwa kuwa umeomba ufafanuzi wa kina ni hivi kwanza kuna mambo mawili katika jambo hili na kila moja linatakiwa lishughulikiwe kwa taratibu tofauti moja kuna taarifa kwamba yupo mtumishi wa kamati ya bunge aliandika barua tanapa kutaka walipwe milioni hamsini katika kuwatembelea sasa katibu akajibu kiutawala kwamba anatakiwa kushughulikiwa alisema kama kuna mbunge alihusika ilitakiwa takukuru UNK ofisi yake ili wafuate taratibu za kushughulikia tatizo hilo kama wabunge walihusika wakati wakitekeleza shughuli zao kama wabunge jamani tuwasaidie wananchi wetu kujua ukweli juu ya haya mambo mawili badala ya kuwapotosha na maneno ya uwongo kwa lengo la kuficha ukweli au kutaka kupaka matope bunge UNK bunge kwa maneno haya ya ovyo UNK zaidi ni wananchi wetu ambao wanataka kuona UNK na kuwatoa katika hali ya umasikini alisisitiza alisema suala la mtumishi UNK barua linatakiwa lishughulikiwe na katibu wa bunge kwa kufuata taratibu za utumishi na suala la wabunge kushiriki katika suala hilo linatakiwa kushughulikiwa kwanza na kamati ya maadili ya bunge baada ya spika kupata barua kutoka kwa taasisi husika au takukuru kwa mujibu wa kanuni zetu mbunge anapotekeleza shughuli zake kama mbunge huwezi kumhoji tu kwa namna unavyotaka wewe ni lazima uwasilishe barua kwa spika juu ya kosa alilofanya mbunge spika atawasilisha suala hilo katika kamati ya maadili ya bunge na kutolea maamuzi baada ya hapo spika atawasilisha maamuzi hayo kwa mwanasheria mkuu wa serikali kuchukua hatua dhidi ya mbunge au wabunge na si mtu mwingine alisema spika sitta alipoulizwa hatua anazoweza kuchukuliwa mbunge iwapo kamati hiyo ya maadili itaona UNK mbunge ni kinyume cha sheria hata kama alikuwa katika shughuli zake za bunge alisema hatua zitakazochukuliwa dhidi ya mbunge ni juu ya mwanasheria mkuu wa serikali si juu yangu wala mtu mwingine alisisitiza alisema chini ya sheria hiyo ya kinga na madaraka ya bunge ni makosa kumhoji mbunge kwa jambo lolote alilofanya wakati akitekeleza kazi zake kama mbunge bila kupitia utaratibu huo kuhusu suala la wabunge kulipwa posho mara mbili alisema kwa kuwa suala hilo linagusa kazi za mbunge anapotekeleza kazi zake za kibunge utaratibu wake ni uleule wa mhusika UNK kuwasilisha malalamiko yake kisha kufikishwa katika kamati ya maadili ambayo baadaye maamuzi huwasilishwa kwa mwanasheria mkuu wa serikali ambaye baadaye huchukua hatua kama UNK na sheria hata hivyo ni lazima tujue kwamba mbunge UNK mtu huko barabarani UNK na mtu uko barabarani hana kinga kinga hii ni pale tu anapotekeleza wajibu wake kama mbunge haya ndio mambo ambayo wananchi wanatakiwa wajue alisema alisema maneno yanayotolewa na baadhi ya watu kuhusu wabunge kulipwa posho mara mbili UNK kwa kuwa wakati wa bajeti ya serikali ya mwaka ishirini sifuri tisa kumi mbunge moja aliitaka serikali kufuta fungu hilo kwa madai kuwa ilikuwa na shilingi bilioni kumi na tisa UNK ni za kunywa chai lakini bunge ilipitisha fedha hizo alisema iwapo suala hilo linaonekana kuwa ni tatizo ni bora serikali ikawasilisha UNK bungeni ya kufuta takrima na kuondoa kabisa fungu hilo la hospitality katika bajeti zake vinginevyo wanaolalamikia suala hilo wanapoteza muda wakati za kampuni ya development entrepreneurship for development initiative zikiendelea kufungwa wanachama waliopanda mbegu zao na kutarajia kuvuna jana walipanga jaribio la maandamano dhidi ya viongozi wao ambalo lilizimwa na polisi katika kile kinachoonesha wateja hao wanazidi kuchanganywa na kinachoendelea zimeibuka dalili za baadhi ya wanachama kutoamini kauli zinazotolewa na viongozi wao hususani wale waliotarajiwa kupata mavuno yao jana pamoja na uongozi wa deci kusisitiza UNK zote za wateja hao zipo salama na kuwataka wanachama hao kuwa watulivu wakati suala hilo UNK wanachama hao wanazidi kupungukiwa imani siku hadi na kushinikiza kulipwa pesa zao majira lilibaini jana kuwepo mkakati wa kuandamana baadhi ya wavunaji watarajiwa ambao walikubaliana kutekeleza jambo kwenye kikao maalumu uchunguzi huo ulibaini kuwepo kundi la wanachama wa deci UNK kuandamana kwenda kituo cha polisi urafiki ubungo kuomba kibali cha kufanya maandamano kushinikiza kurejeshewa fedha zao wakati wanachama hao wakijipanga kukamilisha lengo hilo walijitokeza baadhi ya watu na kujifanya wanaweza kuwasaidia kwa kutoa namba za simu ili UNK na viongozi wa deci kabla ya kufika kituoni hapo baada ya kupiga simu hiyo kabla UNK eneo la kituo walikutana na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mmoja wa viongozi wa deci ambaye aliomba kuzungumza na mmoja wa wanachama vinara waliokuwa kwenye heka heka za kutaka kukamilisha taratibu za maandamano hayo kiongozi huyo ambaye hakufahamika jina mara moja UNK pembeni na kuzungumza na mwanachama huyo ambaye baadaye alirudi kwa wenzake bila kufahamika UNK jambo hilo nusura UNK mzozo mkubwa miongoni mwa wanachama hao kwa madai kuwa mwenzao alikwenda UNK chochote ili kushawishi wenzake wasifanye maandamano tetesi za baadhi ya wanachama kupewa chochote ili kutoandamana zilitawala hadi eneo la makao makuu ya deci mabibo ambapo baadhi ya wateja hao waliwaambia waandishi wetu kuwa kuna baadhi ya wenzao wanapokea chochote ili kuzima moto wa mkakati wa maandamano UNK katika kituo cha polisi urafiki wanachama hao wa deci walionekana kukaa katika vikundi vikundi huku wakijadili namna ya kukamilisha mkakati huo lakini hata hivyo inaonesha polisi UNK wazo lao kwa kuhofia hatua hiyo ingeweza UNK uvunjifu wa amani mkakati wa mzima wa kutaka kufanya maandamano hayo ulizimwa na mkuu wa kituo cha polisi urafiki majira lilishuhudia mmoja wa makamanda kituoni hapo UNK wanachama hao kutawanyika eneo hilo na kuwaeleza kuwa hawaruhusiwi kuchukua hatua yoyote kwa sasa kwani viongozi wao bado wanaendelea na mazungumzo ya suala hilo mimi mwenyewe nina machungu naomba tusubiri viongozi wetu wanaongea na viongozi wa serikali wakishamaliza kama UNK jana UNK wamefikia wapi hivyo tunaomba wote tuliokuwa hapa UNK na kuondoka eneo hili nalazimika kuangalia usalama wenu kwa muda wote kwa sababu shida imetokea katika eneo langu alisema kamanda huyo na kuongeza nikiita vijana wangu patakuwa safi dakika chache hivyo naomba tutumie uungwana UNK kuna watu wamekaa UNK hapa wanachochea maandamano maandamano yanakwenda kisheria hatufanyi hivyo kwa maana hiyo mnatakiwa kuomba kibali na UNK mtafanya lakini hilo si suluhisho kwa sasa alisema kamanda huyo hata hivyo baadhi ya wanachama walionekana kukaidi agizo hilo kwa madai kuwa hawawezi kuondoka wakati hawajui nini hatma ya fedha zao ingawa UNK kuwa ziko salama hatuwezi kuambia tuondoke wakati hatujui fedha zetu UNK ama la tutaendelea kukaa hadi tusikie kauli za viongozi wanasemaje kama UNK basi serikali ndio UNK ya kulaumiwa alisema mmoja wa wanachama hao kwa upande mwingine wanachama hao walisema hawawezi kuilamu serikali kwa sababu haijui kinachoendelea na kama lawama basi wataelekeza kwa viongozi wa deci suala la kusitishwa huduma za deci limeonesha kuwagawa kwa kiasi kikubwa wateja hao ambapo wakati wengine wakishinikiza kurudishiwa pesa wapo walisikika wakisema mavuno waliyopata yatari UNK mbegu zao mbali na mkanganyiko huo wanachama hao wameunda kamati nyingine ya watu ishirini ambayo jukumu lake ni kukutana na viongozi wa deci kisha kurudisha ujumbe kwa wanachama hao kama hiyo jana ilitarajia kutoa majibu kabla ya saa sita mchana lakini hawakuweza kufanya hivyo hali UNK kuwa huenda na wao UNK idadi ya wanachama waliofika ofisi za deci jana ilionekana kupungua kwa sababu walikuwa wakifika na baada ya muda wanaondoka tofauti na siku zingine ambapo walikuwa wakishinda siku nzima kwa mujibu wa sehemu ya tangazo lilisainiwa na mkuregenzi mtendaji wa deci bwana timotheo ole UNK na kubandikwa katika ofisi hizo lilisema uongozi umelazimika kusitisha kwa muda shughuli zote kwa sababu wanaheshimu tamko la waziri mkuu bwana mizengo pinda alilotoa kupitia vyombo vya habari na sasa wanatafuta njia ya kufanya mazungumzo na serikali kuondoa utata kuwa deci sio upatu wala pia kama ilivyotafsiriwa vibaya kwa tangazo hili napenda kuwafahamisha washiriki wetu kwamba pesa zenu zipo salama viongozi wote wapo salama tunaomba UNK vizuri risiti zenu mpaka hapo huduma UNK na tuomba radhi kwa usumbufu wote uliojitokeza ilisema sehemu ya tangazo hilo naye rehema mohamed anaripoti kuwa democratic party kimesema kitaendelea kuitetea deci kwa madai kuwa ni mkombozi wa walala hoi wengi waliokata tamaa kimaisha kiuchumi kutokana na kipato chao duni akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana UNK dp mchungaji christopha mtikila alisema hakuna haja ya kuendelea kupinga deci kwa kuwa taasisi zingine za fedha zimeshindwa kuwakomboa walala hoi kutokana na masharti magumu ya mikopo UNK mchungaji mtikila alisema masharti magumu ya mikopo ya taasisi hizo yamekuwa UNK nyuma wananchi kimaendeleo ndiyo maana wengi wao waliamua kwenda kujiungana deci deci inafanyakazi ya kuwakomboa watu wa hali ya chini kama walimu wakulima na wengine ambao kipato chao hakiwezi kukidhi haja ya mahitaji yao ya kila siku kama kuwasomesha watoto kujenga nyumba pamoja na matatizo mengine alisema mchungaji mtikila katika hatua nyingine mchungaji mtikila alimuomba waziri mkuu bwana mizengo pinda kuiunga mkono taasisi hiyo badala ya kuipinga kwakuwa mafanikio yake yameonekana kwa muda mfupi kwa wananachi wengi kuendelea kuipinga ni sawa na kufanya ukatili mkubwa kwa wanyonge walio wengi kinachotakiwa ni kutafuta njia ya kuweza kuiboresha ili iweze kuleta mafanikio kwa walio wengi kama ilivyoanza awali na ukizingatia hakuna mwanachama wa deci UNK alisema mchungaji mtikila alisema kuwa UNK malengo ya deci yalikuwa ni kuifanya iwe benki ambapo asilimia kubwa ya wanahisa wake wangekuwa wanachama waliopanda mbegu alisema hatua hiyo UNK kwa kushirikiana na benki kuu ya tanzania ambayo tangu awali walionesha nia ya kuisaidia kwa kuwapa kibali cha kuanzisha biashara ya kukopesha watu akizungumzia utofauti wa kauli za baadhi ya viongozi wa dini juu ya deci akiwemo kiongozi wa kanisa la full UNK bible fellowship askofu zakaria kakobe alisema kila mtu ana imani yake hivyo wana wajibu wa kusema kile wanachofikiria wakati huo huo christina gauluhanga anaripoti kuwa baada ya wanachama wa deci kupigwa butwaa kutokana na kushindwa kuelewa hatima ya mbegu zao walizopanda uongozi wa kata ya kipawa nao UNK taasisi nyingine inayojishughulisha na shughuli za upatu inayofahamika kama mali ngumu ya majumba sita ukonga dar es salaam panda UNK umasikini basi akizungumza na gazeti hili diwani wa kata ya kipawa bwana UNK stambuli alisema kuwa wameamua kuifungia taasisi hiyo kutokana na kushindwa kutoa maelezo ya kina juu ya biashara zao na vilevile kutokuwa na leseni na tahadhari iliyotolewa na waziri mkuu mizengo pinda alisema kuwa kutokana na adha wazipatazo wana deci uongozi wa kata uliamua kuifanyia uchunguzi taasisi hiyo ambapo waliongozana na ofisa biashara wa kata bibi mary UNK na baada ya kufika walibaini upungufu mwingi aliongeza kuwa wamebaini kuwa mali ngumu inamilikiwa na mfanyabiashara mmoja na inadaiwa kuwa ofisi zake zipo kitunda kivule na haina uhalali wa kuwepo majumba sita pia hawana taarifa kamili jinsi ya kuendesha shughuli zao kwakweli tulipoingia katika ofisi ile tulishangaa jinsi wananchi wanavyohatarisha fedha zao kwani haina hadhi wanachama wanakaa kwenye mabenchi pia hawana nyaraka zozote zinazoonesha uhalali wa kuwepo kwa biashara yao alisema alisema kuwa baada ya wafanyakazi waliokuwepo katika ofisi hiyo kushindwa kutoa maelezo ya kina wameamua kuifungia taasisi hiyo hadi hapo watakapotoa maelezo ya kina bwana stambuli amewaomba wakazi wake kuwa macho na taasisi za fedha zinazoanzishwa kinyemela kwani zitawaingiza katika umasikini na kuua mitaji yao mbunge wa jimbo la ziwani kisiwani pemba bwana ali said salim amelitaka jeshi la polisi visiwani humo kuwabana askari polisi waliokuwa zamu wakati wafuasi wawili wa cuf UNK na watu wasiofahamika kwani mazingira yanaonyesha kuwa wanawafahamu vyema watuhumiwa wa tukio hilo akizungumza na majeruhi hao baada ya kuruhusiwa kutoka hospitali ya taifa ya muhimbili dar es salaam jana bwana ali said salim alisema kuwa wavamizi hao UNK kuwaua wafuasi hao wa chama cuf alisema kutokana na mazingira ya tukio hilo jeshi hilo UNK watu hao na taarifa zao zipo katika jeshi hilo lakini anashangaa kusikia hadi sasa hakuna anayeshikiliwa kwa kosa hilo kabla ya kufika katika eneo walilokuwa wanaishi majeruhi hawa ni lazima utapita katika kizuizi cha polisi na walikuwa na gari pamoja na silaha ina maana UNK na gari inajulikana na polisi walikuwa zamu katika kizuizi hicho bada ya tukio tukio kutokea na sisi UNK na difenda ya polisi katika kizuizi hicho lakini hawakusema lolote na wala kuhoji wana maana gani ina maana tukio walikuwa wanalijua fika mwanzo mpaka mwisho alisema bwana ali said salim akizungumzia tukio hilo mmoja wa majeruhi bwana said amour hamis alisema kuwa alinusurika kufa baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana ambapo walimwambia UNK roho yake na si kitu kingine bwana UNK tukio hilo na matukio ya kisiasa yanayoendelea visiwani pemba walivamia watu kama saba wakiwa na silaha mbalimbali walinipiga marungu kichwani na nikaamua kulala chini wakaanza UNK kwa mnyororo wa pikipiki na mkia wa taa UNK tumboni kisha UNK pumzi kuhakikisha kama nimekufa na waliporidhika waliondoka huku wakisema wanaenda kummaliza bwana mdogo aliyebaki sikujua cha kufanya nilipopata nafuu nilipiga simu na kuomba msaada polisi alisema bwana amour UNK majeruhi mwingine katika tukio hilo ni bwana mbarouk salum hamis ambaye naye alinusurika kufa baada ya kujeruhiwa vibaya na kutupwa msituni huku wahalifu waliofanya tukio hilo wakiamini kuwa amekufa tukio hilo lilitokea oktoba ishirini na nane mwaka huu katika kijiji cha mchanga wa pwani jimbo la ziwani pemba saa saba sifuri sifuri usiku ambapo majeruhi hao walisafirishwa kwa ndege ili kupata matibabu katika hospitali ya taifa muhimbili baada ya hali zao kuwa mbaya askofu wa kanisa la moravian tanzania mhashamu alinikisa cheyo amesema chanzo cha matatizo makubwa nchini ukiwemo ugumu wa maisha na ufisadi unasababishwa na wasomi wanaoshindwa kutumia vema elimu yao akizungumza katika mahafali ya pili ya chuo kikuu cha UNK kisanji jijini hapa juzi alisema maana ya kuwa na wasomi ni kupata ukombozi katika masuala sugu UNK watanzania na kuwafanya wabaki katika maisha magumu alisema wahitimu wa cheti na shahada ya elimu katika lugha UNK na watakuwa na maana katika jamii iwapo tu wataitumia elimu hiyo kushiriki katika mchakato wa kuwapatia watanzania maisha bora na s kuwa chukizo katika jamii alisema kuwa nchi inawategemea kutokana na elimu waliyoipata kwani wataweza kuisaidia jamii na si kuiweka mfukoni wapo wanaoweka elimu zao mifukoni na kushindwa kuwa msaada katika jamii inayowazunguka ninawaonya kwani UNK vema kupata shahada na wengine vyeti lakini ukweli ni kuwa tunawasubiri katika maeneo yenu ya kazi je UNK kama kweli elimu mliyopata mtaifanyia na si kuiweka mfukoni alisema askofu cheyo aidha aliwataka wahitimu hao kuepuka kuitwa majina machafu yasiyofaa kuitwa wasomi kama ilivyo kwa viongozi wengi hapa nchi kwani kwa kufanya hivyo watapoteza dira ya usomi wao na kushindwa kuwa msaada kwa watanzania kwa upande wake mkuu wa wilaya ya hai daktari norman sigala aliutaka uongozi wa kanisa la UNK ambao ndio wamiliki wa chuo hicho kwa kushirikiana na watalaamu wao wa chuo kuhakikisha wanakuwa wabunifu katika mtaala UNK ili kuwezesha wasomi wa chuo hicho kuwa mfano wa kuigwa upande wa mashitaka leo unatarajiwa kuanza kutoa ushahidi katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayowakabili waliokuwa mawaziri bwana basil mramba wa fedha na bwana daniel yonna wa nishati na madini kuanza kusikilizwa kwa ushahidi huo kwa siku tano mfululizo UNK bwana mramba kukatisha mkutano wa bunge unaoendelea mjini dodoma ushahidi huo utatolewa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu ambao ni bwana john utamwa bwana saul kinemela na bwana sam rumanyika miongoni mwa mashahidi wanaotarajiwa kuoa ushahidi wao leo ni aliyekuwa naibu waziri wa fedha bwana abdisalaam issa khatib na wengine kumi na sita wakiwemo wataalamu mbalimbali waliohusika katika kutoa ushauri kwa washitakiwa kuhusu msamaha wa kodi kwa kampuni ya alex UNK mashahidi wengine ni bwana godwin nyelo bibi maria kejo bibi betha soka bibi rehema kitambi bwana mustapha ismail bwana ludovick kandege bwana saddy kambona christine shekidele na makamishna wa nishati na madini bwana gray mwakalukwa na bwana bashir UNK wengine ni bwana p kasera bwana agrey teemba bwana george kaindoa kesysia mbatia nakuwera senzia na bwana george tigiti kwa mujibu wa maelezo ya awali na nyaraka zilizosomwa mahakamani bwana yonna alikaidi ushauri wa wataalamu mbalimbali kuhusu kuajiri kampuni hiyo ambayo ilipewa msamaha ya kodi na kusababisha hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba bwana mramba naye alidaiwa kutoa maelekezo ya kusainiwa kwa hati ya makubalino kati ya serikali na kampuni hiyo bila ya suala hilo kufikishwa kwenye baraza la mawaziri au hati hiyo kufikishwa kwa mwanasheria mkuu wa serikali mshitakiwa mwingine katika kesi hiyo ni aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha na uchumi bwana gray mgonja ambaye kama ilivyo kwa wenzake anadaiwa kutumia vibaya ofisi kwa kutoa UNK ya kodi kwa kampuni hiyo hatua iliyosababisha hasara ya shilingi bilioni kumi na moja saba kitendo cha serikali kuendelea kuzuia ripoti ya utekelezaji wa maazimio ya bunge kuhusu kashfa ya richmond kimewakera wajumbe wa kamati ya nishati na madini ya bunge na sasa imepanga kukutana kujinga kukabiliana na hali hiyo hali hiyo inajitokeza ikiwa ni wiki ya mwisho ya mkutano wa kumi na saba wa bunge UNK kuwa utajadili na kuhitimisha suala hilo UNK na kamati teule ya bunge februari mwaka juzi habari kutoka ndani ya kamati hiyo zinasema kutokana na serikali kuficha ripoti yake hadi sasa inaweza kusababisha kamati hiyo kujiondoa katika suala hilo au kutoa notisi ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ambaye ni kiongozi wa shughuli za serikali bungeni chanzo chetu ndani ya kamati hiyo UNK majira kuwa imepanga kukutana leo kama mkutano kati ya wabunge wa ccm na kamati ya mzee mwinyi itamalizika mapema au kesho jumanne kwa lengo la kujiweka sawa kuhusu masuala mbalimbali wakati ikisubiri kupokea na kujadili taarifa hiyo ya serikali kwa muda mrefu kamati hiyo imekuwa inasubiri taarifa hiyo bila mafanikio mara mbili serikali ilikwepa kuwasilisha ripoti hiyo jijini dar es salaam na kuahidi kufanya hivyo dodoma kabla ya mkutano kuanza lakini hadi sasa haijafanya hivyo ilielezwa kwamba kamati hiyo UNK na kitendo cha serikali UNK kuikabidhi taarifa hiyo mapema wiki iliyopita ili ijipange mapema kulijadili kwa ufasaha huku mmoja wa watuhumiwa katika taarifa hiyo mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa bwana edward hosea akidaiwa kutaka kuwaziba midomo wabunge kwa kuwahoji kuhusu posho UNK baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo walisema kwamba UNK ni kwamba wengi walioitwa kuhojiwa na takukuru ni wajumbe wa kamati hiyo na wale waliokuwa kwenye kamati teule UNK maovu ya richmond hivyo kuthibitisha kwamba serikali UNK kwa lengo la kuwaziba mdomo mwenyekiti wa kamati hiyo bwana willliam shelukindo hakupatikana jana kwa kilichoelezwa kuwa alikuwa kwenye mkutano wa kamati ya mwinyi aliyekuwa mwenyekiti wa kamati iliyochunguza zabuni ya richmond daktari UNK mwakyembe aliahidi kutoa jibu leo kwa kuwa alikuwa safarini nje ya mji wa dodoma hadi jioni hata hivyo habari kutoka ndani ya serikali zinaeleza kwamba taarifa hiyo UNK kwenye kamati hiyo kesho jumanne baada ya kukamilika na kwamba uenda UNK alhamisi au ijumaa pia UNK kwamba iwapo kutakuwa na shughuli nyingi za bunge uenda mkutano ukaongezwa siku mbili ili kumaliza kabisa taarifa hiyo kama UNK kati ya serikali na bunge kampuni ya smart holdings limited ya kukusanya ushuru katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi ubungo imekabidhi mikoba kwa halmashauri ya jiji la dar es salaam kampuni hiyo inayomilikiwa na familia ya mbunge wa kuteuliwa na rais kingunge ngombale mwiru ilikabidhi shughuli hiyo usiku wa kuamkia jana baada ya mkataba wake wa miaka mitano kumalizika halmashauri ya jiji UNK shughuli hiyo miezi minane baada wa waziri mkuu mizengo pinda kuagiza mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali kukagua hesabu za makusanyo ya fedha katika kituo hicho pinda UNK uchunguzi huo machi mwaka huu baada ya kushangazwa kuona mazingira UNK kupatikana kwa kiasi kikubwa cha fedha lakini serikali inaambulia shilingi milioni moja tano pekee kwa siku kampuni hiyo ilikuwa inakusanya ushuru wa magari yanayoingia wasindikizaji na wapokeaji wa abiria pamoja na kodi za pango ya mabanda kampuni hiyo iliingia mkataba huo novemba moja mwaka ishirini sifuri nne baada ya kushinda zabuni ya kukusanya mapato ya ushuru na kodi za magari yote yanayoingia na kutoka kituo hicho akizungumza jana dar es salaam mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo bwana hassan khan alisema kuwa mkataba wao wa kukusanya mapato umeisha juzi saa sita usiku na kukabidhi kwa kaimu mkurugenzi wa jiji kampuni hiyo imekuwa ikikusanya ushuru wa mlango na kuilipa halmashauri ya jiji shilingi milioni mbili kwa siku kutokana na tathmini mbili za mwaka ishirini sifuri nne zilizofanywa na kampuni ya ushauri UNK consultancy na ile ya wataalamu wa jiji UNK kati ya shilingi milioni moja nane milioni mbili kuhusu kodi za pango wafanyabiashara kiasi kilichokuwa kinatakiwa kukusanywa kwa mwezi ni shilingi ishirini na sita mia nane na themanini na nane mia nane na themanini kati yake halmashauri inapata asilimia themanini kwa mwezi na kampuni hiyo ishirini kulingana na maelezo ya bwana khan jumla ya fedha ilizokuwa inapata halmashauri ya jiji kutoka kwa kampuni hiyo kwa mwezi ni asilimia sabini na tano kutoka milangoni na themanini kutoka kwenye ofisi za biashara ndogondogo kutimiza lengo hili lilikuwa vigumu sana lakini kutokana na kampuni kuheshimu mkataba ilibuni njia mbalimbali za kutuwezesha kutimiza malengo ya mkataba na iliwekeza katika miundombinu ya ujenzi wa ofisi kujenga vizuizi kuweka milango ya kisasa na radio call aliongezea gharama za uendeshaji zimekuwa zikipanda kila siku lakini kwa mujibu wa mkataba kamisheni inayopata kampuni yetu ndiyo iliyokuwa ikitumika kurudisha gharama za uendeshaji kama vile mishahara ya wafanyakazi kurudisha gharama za uwekezaji kulipia simu umeme usafiri bima sare za kazi uchapishaji wa stakabadhi kulipia kodi za serikali matibabu kwa wafanyakzi pamoja na chakula na malazi alisema bwana khan alisema baada ya mkataba kuisha baadhi ya vitendea kazi muhimu kama vile mageti na kamera za usalama UNK katika kituo hicho vitakuwa mali ya jiji ili kusaidia kuongeza ufanisi na kuongeza mapato mkurugenzi huyo alisema kwa kipindi cha miaka mitano UNK halmashauri ya jiji jumla ya shilingi bilioni tatu nane yatakiwa UNK kuziba midomo wabunge wabunge waapa UNK na serikali baadhi ya wabunge wameonya kuwa iwapo kamati ya mwinyi UNK nao leo itakuja na sura ya kutaka UNK na serikali rais jakaya kikwete ajiandae ccm UNK mkononi mwake wabunge hao wametoa onyo hilo kamati hiyo ikiwa tayari imekutana na kamati ya uongozi ya wabunge wa ccm chini ya waziri mkuu mizengo pinda na badaye kukutana tena na kamati ya uongozi ya bunge chini ya spika samuel sitta kwa nyakati tofauti kwa lengo la kupata picha na kujua uelekeo wa kikao cha leo cha wabunge wote wa chama hicho kamati hiyo iliundwa na halmashauri kuu ya taifa ya ccm kwa lengo la kuchunguza mahusiano baina ya wabunge na serikali yao hasa baada ya kauli ya za wabunge hao bungeni kuwakera viongozi wa serikali na wa chama hicho wakizungumza na majira kwa nyakati tofauti jana baadhi ya wabunge walisema lengo la kamati ni kuwaziba midomo ili kuacha hoja za msingi zinazotakiwa kujibiwa na serikali kwa ufasaha badala yake wakubali kuburuzwa jambo ambalo limepitwa na wakati hivi sasa tunasubiri majibu ya serikali kuhusu richmond huku takukuru inataka kutuziba midomo huku kamati ya mheshimiwa mzee mwinyi nayo inataka kutuziba midomo haya mambo UNK kwa makini wakati wa ccm kugawanyika mkono mwa jk umefika kwanza kuwepo kwa kamati hii ni kuficha ukweli chanzo cha tatizo UNK lakini hawataki kukishughulikia UNK chanzo cha tatizo ni kwamba kumejitokeza kundi dogo tu ndani ya ccm lenye nguvu ya fedha haramu lenye lengo la UNK au kukiendesha chama kama kampuni ya mtu binafsi inapotokea wenye uchungu na nchi kuona hilo na kulipinga kwa nguvu zote matokeo yake ni kuundwa kwa kamati badala ya kushughulikia chanzo cha tatizo alisema mbunge mmoja mbunge mwingine machachari wa ccm alisema yeye kama mwakilishi wa wananchi anasikitishwa na hali iliyopo ndani ya ccm ya sasa ya kuacha hoja za msingi na kupoteza muda kwa lengo la kuficha ukweli ninachoweza kuzungumza kwa sasa ni kwamba tunasubiri sana hiyo kamati ya wazee wetu kesho ila tunasikitika sana kwamba tunapoteza muda wa kulumbana badala ya kunggoa mzizi wa fitna tatizo linajulikana UNK ni kutokubali kuwa wawazi na UNK hoja zinazotarajiwa kutawala mkutano ni pamoja na kuwepo kwa uhasama baina ya wabunge wa ccm vikao vya ccm kushindwa kushughulikia matatizo ndani na kuyaweka hadharani bungeni na bunge kutumika kama rungu la kupiga serikali pamoja habari kutoka ndani ya kikao cha kamati na ile ya uongozi wa bunge zilieleza kwamba kulikuwa na mjadala mkali kuhusu hoja hizo huku baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo wakiweka wazi kwamba kinachotakiwa ni kushughulikia matatizo si watu ilielezwa kwamba kikao hicho kilikuwa na mvutano mkali huku baadhi ya wajumbe wakionya kamati hiyo kwamba iwapo UNK alama za nyakati uenda kikao cha leo kitakuwa kigumu zaidi na hata kuweza kuvunjika kwa kuwa wabunge wanatambua kuwa kilichopo nyuma ya kamati hiyo ni kutaka UNK akiri kutoa vibali vya msamaha wa kodi akana kusababisha hasara ya mabilioni ataka wapelelezi wakaangalie hansard na grace michael aliyekuwa waziri mwandamizi katika serikali ya awamu ya tatu bwana basil mramba amekiri kutoa vibali vya msamaha wa kodi katika kampuni ya alex UNK kutokana na kuridhiwa na ikulu mbali na hiyo pia amekana kusababisha hasara kwa serikali ya tanzania ya shilingi bilioni kumi na moja saba na kusema kuwa hasara hiyo UNK na mkataba mbovu uliokuwa umeingiwa kwa maridhiano hayo hayo yalisemwa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam mbele ya hakimu mkazi bwana hezron mwankenja kupitia wakili wa mshitakiwa huyo bwana herbert nyange wakati wa usikilizwaji wa awali wa kesi hiyo mteja wangu hajaingiza hasara ya mabilioni hayo bali ni mkataba mbovu uliokuwa umeingiwa lakini pia asingeweza kufanya hayo bila ya ikulu kuridhia na kwa kuwasaidia wapelelezi wakaangalie hansard ya bunge ya mwaka ishirini sifuri nne alisema bwana nyange hatua ya kusema hivyo ilitokana na upande wa mashitaka kusoma maelezo yote ya awali ya kesi hiyo ambapo washitakiwa walitakiwa kueleza ni mambo gani UNK na yapi UNK kwa upande wa bwana mramba alikiri kushika nyadhifa ya juu katika serikali ya awamu ya tatu kama waziri wa fedha lakini pia kuandika barua kwa mshitakiwa wa pili bwana daniel yona aliyekuwa waziri wa nishati na madini kwamba shughuli ya kuingiza kampuni hiyo ililetwa wakati bajeti ya ishirini sifuri tatu sifuri nne ikiwa imefungwa hivyo inawezekana kufanyika katika bajeti ya nyongeza mbali na hiyo pia bwana mramba alikubaliana na kuandika barua namba tyc m thebathini mbili ikitoa maelezo kwa gavana wa benki kuu ya tanzania kuwa UNK dola za marekani milioni moja kama fedha za awali katika kampuni alex UNK kwa upande wa mshitakiwa wa pili bwana yona alikubaliana na vipengele vya majina yake na kushika wadhifa wa juu serikalini lakini alipingana na maelezo ya kuandika barua ambayo bwana mramba alikiri kuandika kwake kuhusiana na fedha kupatikana kwenye bajeti ya nyongeza hata hivyo mshitakiwa wa tatu ambaye alikuwa ni katibu mkuu wa wizara ya fedha na uchumi bwana gray mgonja alikanusha maelezo yote na kukubaliana na wadhifa aliokuwa nao maelezo UNK ni kupokea barua kutoka mamlaka ya mapato tanzania ikisisitiza kampuni hiyo ilipe kodi kulingana na sheria ya nchi maelezo hayo yalidai kuwa bwana mgonja alimshauri bwana mramba kuendelea na zoezi la kusaini notisi za msamaha wa kodi kwa kampuni hiyo baada ya kumaliza kusomwa kwa maelezo hayo upande wa mashitaka uliiambia mahakama kuwa unatarajia kuita jumla ya mashahidi kumi na tatu na vielelezo mbalimbali kuhusiana na kesi hiyo upande wa utetezi uliwasilisha ombi kuhusiana na bwana mramba kuruhusiwa kuhudhuria kikao cha bunge mpaka mei mosi mwaka huu ambapo mahakama ilikubaliana na ombi hilo kesi hiyo itaanza kuunguruma mahakamani hapo mei kumi na nane mwaka huu awali washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo wakidaiwa kutumia vibaya ofisi zao kwa kuidhinisha vibali mbalimbali vya msamaha wa kodi na hatimaye kuisababishia hasara serikali ya tanzania jumla ya shilingi bilioni kumi na moja saba tatizo la mgawo wa umeme nchini bado halijapatiwa ufumbuzi wa kudumu kutokana na kutokuwashwa kwa mitambo ya kampuni ya independent power tanzania limited wala kukamilika kwa matengenezo ya mtambo mpya wa tegeta mitambo hiyo iliahidiwa na serikali kuwa ingekuwa tayari novemba mosi na kuingia megawati kumi sifuri za iptl na nyingine arobaini na tano za mtambo wa gesi asili unaojengwa kampuni la wartsla tegeta dar es salaam akizungumza na gazeti hili ofisini kwake dar es salaam jana ofisa mkuu wa habari wa wizara ya nishati na madini bwana aloyce tesha alikili kutokuwashwa kwa mitambo hiyo kwa sababu bado umaliziaji mdogo wa kituo hicho cha tegeta cha kuunganisha umeme huo katika gridi ya taifa bwana tesha alisema kuwa kwa ujumla ujenzi wa kituo hicho kimeshakamilika na sehemu iliyobaki ni kuunganisha nyaya hizo kwenye gridi ya taifa ili uweze kusambazwa kwa watumiaji jambo ambalo litakamilika wiki hii ni kweli kituo cha tegeta bado UNK kutokana na ukamilishaji unaoendelea huko lakini naamini ndani ya wiki hii watamaliza kuunganisha katika gridi ya taifa na kama umekwenda huko nadhani umejionea hali halisi wewe mwenyewe alisema bwana tesha akizungumzia kutokuwashwa kwa mitambo ya iptl alisema kuwa mitambo hiyo ni kweli bado UNK lakini serikali UNK majadiliano na kampuni hiyo katika kuwasha mitambo na kwa sasa kazi ya mwisho inafanywa na mfilisi pamoja na iptl ili kufanikisha kuwasha mitambo hiyo bwana tesha alibainisha kuwa mbali na kutokuwashwa kwa mitambo ya iptl na kituo cha tegeta tatizo la mgawo wa umeme limepungua kutokana na kutengenezwa kwa mitambo ya kihansi hale pangani na ule wa songas ubungo na kunyesha kwa mvua katika baadhi ya maeneo mmoja wa wahandisi wa wartsla bwana UNK UNK alisema bado ufundi unaendelea na mimi siwezi kusema lolote hivi karibuni rais jakaya kikwete aliagiza kuwashwa kwa mitambo ya iptl kutokana na mgawo wa umeme UNK taifa na kusababisha adha kwa wananchi na wafanyabiashara kutokana na UNK kwa uzalishaji wa bidhaa viwandani kutokana na kauli waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja UNK mitambo hiyo na kuahidi kuwa umeme UNK novemba mosi malumbano kuhusu uanzishwaji wa mahakama ya kadhi nchini yameibuka upya baada ya baraza la maaskofu wa makanisa ya kipentekoste kulitaka bunge kutokubali kupokea kujadili au kupitisha muswada au kanuni ya mipango yoyote inayohusu dini yoyote akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana mwenyekiti wa pct taifa askofu david batenzi alisema kuwa endapo mswada huo utapelekwa bungeni watanzania wa imani zingine watakuwa hawajatendewa haki tunatoa ushauri suala hili UNK bungeni kwa sababu ni uvunjaji wa katiba ya nchi kifungu namba kumi na tisa kanuni ndogo ya sita endapo serikali UNK kulipeleka suala hilo bungeni imani nyingine zitakuwa UNK haki alisema alisema kwa kuwa serikali imetamka bayana kuwa aina dini hivyo kitendo cha muswada huo kupelekwa bungeni serikali itakuwa na agenda ya siri ambayo inaweza kusababisha kuvunjika kwa amani na kuleta machafuko nchini tukumbuke amani tuliyonayo tumeipata kwa mwasisi wa taifa ili marehemu mwalimu nyerere ambaye UNK kudai kuwa serikali aina dini lakini watu wake ndio wenye dini zao na wala UNK wala kusimamia dini yoyote alisema bwana batenzi aliongeza kuwa ni vema watanzania UNK mwalimu nyerere kwa kufuata nyayo zake kwa muda wote kwani hakuwa na ubaguzi katika dini yoyote au kuifanya dini moja kuwa bora kuliko nyingine hata hivyo alisema pct haiko kinyume na uanzishwaji wa mahakama ya kadhi kwa waislamu isipokuwa suala hilo UNK bungeni bali walimalize wenyewe kwa kushirikisha mabaraza yao pia bwana batenzi alisema kuwa si sahihi kutumia fedha za walipa kodi wa tanzania ambao ni wafuasi wa dini mbalimbali na kuziingiza katika kutengeneza na kuendesha mfumo wa dini moja kama mahakama ya kadhi alisema kuwa wanaamini bunge kazi yake ni kulinda na kutetea katiba ya nchi na wala si vinginevyo naye askofu daktari mathew UNK alisema kitendo cha waziri mkuu bwana mizengo pinda kukubali kuundwa kwa kamati ndogo ya waislamu kwa ajili ya kufuatilia mswada huo kinaonyesha dhahiri kuwa kinaweza kuhatarisha amani kama waziri mkuu amekubali kamati iundwe hiyo kamati ikimaliza kufanya kazi yake itapeleka makubaliano yake bungeni na UNK UNK bungeni UNK na baadaye unakuwa sheria hapo unaweza kusababisha UNK wa dini nyingine kutokubaliana alisema kauli hiyo imekuja wakati kamati iliyoundwa na bwana pinda kushirikiana na timu ya mashehe wa baraza la waislamu tanzania linaendelea kujadili jinsi mahakama hiyo UNK na waislamu wenyewe mtu mmoja anayedaiwa kuwa na upungufu wa akili amekamatwa na polisi mkoani kilimanjaro kwa tuhuma za kumuua lariki peter mushi na kula sehemu ya viungo vyake kamanda wa polisi mkoani kilimanjaro bwana lucas ng hoboko alimtaja anayeshikiliwa kuwa ni thadei mushi anayedaiwa kuwa na umri kati ya miaka thebathini na tano na arobaini mkazi wa kibosho kindi wilaya ya moshi vijijini kwa mujibu wa kamanda ng hoboko jumapili iliyopita saa nne sifuri sifuri asubuhi bwana lariki alikuwa ametoka kuchota maji na mtuhumiwa alimpiga kwa shoka kichwani na alipoanguka alianza UNK kwa kisu na kunyofoa baadhi ya viungo vyake vikiwemo maini na UNK baada ya kunyofoa vitu hivyo mtuhumiwa ambaye kwa mujibu wa historia yake ana matatizo ya akili alianza UNK viungo hivyo hadi wananchi walipofika na kumdhibiti alisema alisema haijajulikana mapema mahali alipopata shoka hilo na kwamba tayari polisi wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo wakati UNK viungo hivyo vya marehemu mtuhumiwa alikuwa na silaha pembeni mwake na hivyo ikabidi wananchi watumie nguvu ili kumdhibiti na UNK anya silaha alizokuwa nazo alisema kamanda ng hoboko alisema baada ya kumdhibiti alipelekwa hadi UNK ya mkoa ya mawenzi ambako yuko chini ya ulinzi huku akipewa matibabu kufuatia majeraha aliyoyapata wakati wananchi wakijaribu kumdhibiti mwili wa marehemu upo katika hospitali ya rufaa ya kcmc alipokuwa amekimbizwa ili apate matibabu kamanda ng hoboko alisema kuwa uchunguzi wa awali wa polisi unaonyesha kuwa mtuhumiwa ambaye huwa anaishi na mama yake ana upungufu wa akili na kwamba mara kwa mara huwa anamfanyia hata mama yake vurugu na kwamba alishawahi kuwekwa katika gereza la karanga moshi na pia kupata matibabu katika hospitali ya mirembe na kwamba huwa anaachiwa akili yake UNK kamanda ngghoboko aliwapongeza wananchi UNK mtuhumiwa kwa kufanya hivyo bila ya kuchukua hatua mikononi mahakama kuu maalumu inayosikiliza kesi za mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi mkoani shinyanga jana imewahukumu watu wanne adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa kumuua lyaku wille huko katika kijiji cha nkindwabiye wilaya bariadi waliohukumiwa adhabu hiyo ni bwana mboje mawe bwana chenyenye kishiwa bwana sayi gamaya na sayi mafizi wote wakazi wa kijiji cha nkindwabiye wilayani bariadi mkoani shinyanga akitoa hukumu hiyo jaji gadi mjemas alisema ameridhika na ushahidi uliotolewa mahakamani hapo na upande wa mashitaka kuwa washitakiwa wote kwa pamoja walikula njama na kupanga kumuua kwa kukusudia bwana UNK hii ni hukumu ya pili kutolewa kwa watu wanaodaiwa kuwaua albino baada ya hivi karibuni watu wengine watatu kuhukumiwa kunyongwa wilayani kahama mkoani humo jaji mjemas alisema pamoja na ushahidi wa upande wa utetezi kuwa upande wa mashitaka ulishindwa kuthibitisha mashitaka yake mahakamani hapo kwa kuwepo baadhi ya ushahidi uliokuwa UNK lakini kwa mujibu wa sheria ya ushahidi namba thebathini na tatu kifungu kidogo na inaonesha washitakiwa hao walitenda kosa UNK nalo upande wa utetezi ulipinga kutiwa hatiani kwa washitakiwa namba mbili tatu na nne kwa vile ushahidi pekee uliotolewa mahakamani hapo ni ule wa ungamo na onyo la mshitakiwa wa kwanza bwana mboje mawe UNK washitakiwa wenzake hao kuhusika na mauaji hayo katika kesi hiyo wakili wa upande wa utetezi bwana kabuguzi alidai kuwa ushahidi wa ungamo na onyo uliotolewa na mshitakiwa huyo wa kwanza ulistahili kuungwa mkono na ushahidi mwingine huru na kuiomba mahakama hiyo kuwaachia huru washtakiwa hao kutokana na upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha mashitaka yake jaji mjemas alisema hakubaliani na maelezo ya upande wa utetezi japo anaunga mkono hoja kwamba ushahidi wa ungamo na onyo wa mshitakiwa mmoja hauwezi kuwatia hatiani washitakiwa wenza mpaka pawepo na ushahidi mwingine UNK mkono ushahidi huo alisema katika kesi hiyo ushahidi wa onyo na ungamo la bwana mboje unaungwa mkono na ushahidi huru wa shahidi wa kwanza ofisa mtendaji wa kijiji cha nkindwabiye bwana UNK matongo na ushahidi wa mkemia wa mkuu wa serikali bibi gloria UNK aliyekuwa shahidi wa kumi na moja upande wa mashitaka jaji huyo alisema pamoja na bwana mboje UNK ushahidi wake alioutoa kwa njia ya onyo na ungamo lakini maelezo ya shahidi wa saba upande wa mashitaka yameonesha kuwa mshitakiwa huyo alitoa maelezo kama hayo hata kabla ya kufikishwa katika kituo cha polisi na kwa mlinzi wa amani kutokana na hali hiyo ni wazi kuwa mshitakiwa wa kwanza alikiri kwa hiari yake pasipo kulazimishwa wala kutumia nguvu na hii UNK na maelezo ya shahidi wa kwanza na wa saba kuwa alikiri mbele yao kuhusika na mauaji hayo walipomkuta katika kijiji cha UNK walipokwenda kumkamata baada ya kubainika alitoroka katika kijiji cha nkindwabiye alieleza jaji UNK alisema ushahidi huo wa onyo na ungamo unaungwa mkono pia na ushahidi huru uliotolewa na mkemia wa mkuu wa serikali kuwa vinasaba vya marehemu vilivyokutwa katika panga na kisu vilivyotumika katika mauaji ya bwana wille UNK na vinasaba vya washitakiwa wote kutokana na hali hiyo jaji mjemas alisema upande wa mashitaka umethibitisha kuwa washitakiwa walikula njama na kushiriki kumuua kwa pamoja marehemu lyaku wille na kwamba upande wa utetezi ulishindwa kuionesha mashaka mahakama kuwa washitakiwa UNK kosa hilo jaji mjemas alisema kutokana na upande wa mashitaka kuthibitisha mashitaka yake bila ya kuacha shaka na kwa vile hapa nchini kuna adhabu moja tu ya mtu anayepatikana na hatia ya kosa la mauaji ambayo ni kifo UNK washitakiwa wote kwa pamoja adhabu ya kunyongwa hadi kufa na wanayo nafasi ya kukata rufaa iwapo hawakuridhika na hukumu hiyo wakili UNK alisema wanakusudia kukata rufaa kupinga hukumu hiyo kutokana na jaji mjemas kuzingatia ushahidi mmoja ambao ni wa onyo na ungamo la mshitakiwa wa kwanza ambao kisheria UNK kuwatia hatiani washitakiwa wa pili hadi wa nne rais jakaya kikwete amezindua huduma ya kusafisha damu katika hospitali ya taifa muhimbili na kusema kuwa kuanza kwake ni moja ya hatua kubwa kuelekea kuanzisha uwezo wa kufanya upasuaji wa moyo nchini rais aliyasema hayo jana dar es salaam mara baada ya kuzindua jengo na mashine zitakazotumika kutoa huduma hiyo na kueleza kuwa hatua hiyo UNK huduma muhimu watanzania bila kulazimika kwenda nje ya nchi rais kikwete alisema kuwa serikali inafanya kila jitihada kuhakikisha kuwa huduma za msingi kwa wananchi zinapatikana kwa haraka katika maeneo wanayoishi hivyo kuwepo kwa huduma hiyo kutapunguza mahitaji ya wagonjwa kusafirishwa nje ya nchi alisema kuwa kutokana na uhalisia wa mahitaji uliopo serikali itaongeza fungu katika kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora kwa watanzania kupitia sekta ya afya mbali na kuzindua huduma hiyo ya kusafisha damu rais pia alizindua huduma nyingine nne ambazo zinaifanya hospitali ya muhimbili kuwa moja ya vituo vya ufanisi katika huduma ya afya nchini na katika ukanda wa afrika mashariki huduma hizo ni ile ya dharura huduma za kisasa za matibabu ya meno na kinywa vipimo vya huduma za utambuzi wa magonjwa ambavyo kwa mujibu wa waziri wa afya na ustawi wa jamii daktari david mwakyusa vipimo hivyo ni vya kisasa vyenye uwezo wa kutoa majibu sahihi na ya kina zaidi kuliko x ray za kawaida katika hospitali yoyote duniani idara ya huduma za dharura ina umuhimu wa pekee kwa sababu kucheleweshwa kwa matibabu au kutolewa matibabu yasiyo sahihi kwa wagonjwa mahututi UNK hospitalini kitendo hicho kitaamua kati ya kifo au kupona kwa mgonjwa alisema bwana mwakyusa wabunge wawili machachari katika vita dhidi ya ufisadi wameomba watanzania kuwaombea ili wamalize vita hivyo salama na UNK wameapa kwamba licha ya kuzongwa na wanaofaidika na ufisadi kamwe hawatarudi nyuma kwa kuwa mungu yuko upande wao wabunge hao daktari harrison mwakyembe na bwana christopher ole sendeka wote kutoka ccm waliyasema hayo katika ibada maalumu ya kuchangia ujenzi wa kanisa la UNK UNK of god tanzania kongwa mkoani dodoma juzi wabunge hao walisema wanafarijika sana kutambua wazi kwamba watu UNK wako nyuma yao kwa maombi hivyo wamewatia moyo kutokata tamaa kwa kuwa mungu hashindwi kamwe baba askofu wa kanda baba wachungaji mimi kwa jinsi UNK na kwa maneno UNK hapa UNK siku nilipopata ajali mbaya sana juzi nilirudi kuangalia lile gari nikawa najiuliza hivi kweli UNK kupona bila kuvunjika UNK jibu hapa ni rahisi tu kwamba UNK kwa maombi yenu naamini kabisa kwamba mungu UNK katika ajali ile mbaya vita vya ufisadi ni kubwa na UNK kweli lakini kwa maombi yenu tutashinda nataka niwahakikishie kwa hali hii naamini tutashinda kabisa nami nataka niwahakikishie hatutarudi nyuma mpaka mungu UNK kwa yuko pamoja nasi alisema daktari mwakyembe alisema mungu UNK taifa la tanzania kuwa na rasilimali nyingi na kwamba kinachotakiwa kwa waumini wa dini mbalimbali ni maombi ili azidi kuwasimamia viongozi wenye uchungu na wananchi wa nchi hii na kuwatetea pale UNK vita na fitna alisema mungu hapendi kuona tanzania pekee ikiwa inazalisha madini ya tanzanite huku ikiwa ya tano kwa kuuza madini hayo nyuma ya nchi jirani UNK jasho la watanzania mimi leo nimefarijika kweli ninachoweza kusema ni kwamba jamani endeleeni kutuombea vita hivi ni vigumu kweli lakini UNK tutashinda kwa kuwa mungu wetu hajawahi kushindwa alisema bwana sendeka askofu wa kanda ya mpwapwa na kongwa ambaye pia ni mchungaji wa kanisa hilo askofu livingstone UNK alisema wamemwalika daktari mwakyembe kutokana na sifa yake ya kuwa kinara wa vita vya ufisadi bila kurudi nyuma kwa upande wake katibu mkuu wa eagt taifa mchungaji brown mwakipesile UNK daktari mwakyembe kwamba kanisa hilo linamuunga mkono yeye UNK wote wanaopiga vita ufisadi na kumwombea afikishe salamu kwa wenzake kuwa mungu UNK hadi mwisho hivyo UNK waumini hao pia walielezea kufurahishwa na kitendo cha mbunge wa singida kaskazini bwana lazaro nyalandu kutaka kuwasilisha hoja binafsi kuhusu bunge kuacha kujadili masuala yanayohusiana na dini atangaza kamwe hawezi kujiuzulu nggo adai wabunge watake wasitake UNK wakitaka wapige kura kukosa imani naye mkurugenzi wa taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa daktari edward hoseah ameibuka na kuapa kuendelea kuwahoji wabunge wanaodaiwa kupokea posho mara mbili kwa kazi moja na kuweka wazi kwamba kamwe hatajiuzulu wadhifa wake na kama wakitaka wampigie kura ya kutokuwa na imani naye mimi UNK kazi yangu sina mpango wa kujiuzulu UNK kwa UNK na siyo kwa hisia tu kama wanataka UNK kura ya kutokuwa na imani na mimi UNK usingizi kwa hilo kwani nimepewa kazi ya kuwatumikia watanzania wote alisema daktari hoseah daktari hoseah alitoa kauli hiyo dar es salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari akitolea ufafanuzi uchunguzi unaendelea dhidi ya wabunge wanaotuhumiwa kupokea malipo ya posho zaidi ya moja na kuhusishwa kwa kitendo hicho na kashfa ya richmond akizungumza kwa kujiamini alisema kazi ya kuwachunguza wabunge kama ilivyo kwa watu wengine inaendelea UNK jukumu hilo na sheria sihitaji kibali cha mtu alisisitiza kuwa hata kama akifukuzwa kazi takukuru huo hautakuwa mwisho wa maisha yake kwa kile kilichoonekana wazi kushikilia msimamo wake na kuamini kile anachokifanya daktari hoseah alizidi kuwaambia wabunge siwezi kujitia kamba shingoni na kujiuzulu ili nionekane mzalendo daktari hoseah aliendelea kuwaambia wabunge wanaodai kuwa taasisi yake UNK kwa kuwahoji akisema hapana hakuna kudhalilishana mbona watu wengine UNK alisema kazi yake ndani ya taasisi hiyo ina ambayo ni kuchukiwa na siyo kazi ya kupendwa hakuna kazi ngumu kama ya kumchunguza mtu UNK kiongozi waziri au mbunge lakini hiyo ndiyo kazi niliyopewa lazima UNK alisema aliwataka wabunge wote kuitikia mwito wa kuhojiwa kwa kuwa sheria ni msumeno na kuwatahadharisha kwamba wasitake kufikisha suala hilo kusikotakiwa daktari hoseah anatoa kauli hiyo huku wabunge wakipinga hatua ya UNK na taasisi hiyo na tayari mbunge wa kyela daktari harrison mwakyembe akiwa ametangaza UNK taasisi hiyo kwa madai kuwa taratibu hazikufuatwa aliitwa kwa simu badala ya barua wanaofanya kazi hiyo ni watumishi wa ngazi za chini na kuwa suala hilo UNK kufunika kashfa ya richmond ambayo daktari hoseah ni mtuhumiwa alisema tuhuma za wabunge kuwa wanapokea posho mara mbili zilifikishwa takukuru na ofisi ya bunge aprili ishirini na sita mwaka huu niliandikiwa barua na ofisi ya bunge tena kwa jina langu UNK UNK kazi tuhuma hizo sasa nitashangaa UNK alisema wakati daktari hoseah anadai hivyo spika wa bunge anapinga kufahamu suala hilo huku katibu wa bunge daktari thomas kashililah akisema alipewa maagizo kutoka juu serikalini kuandika barua hiyo maelezo ambayo UNK na ya waziri mkuu mizengo pinda kuwa uchunguzi huo UNK na ofisi ya rais ikulu abainisha kuwa hatua ya kuwahoji wa bunge imefikiwa baada ya taasisi yake kujiridhisha kuwa malalamiko yaliyopelekwa na ofisi ya bunge na baadhi ya wananchi ni ya kweli kupokea posho mara mbili kwa kazi ambayo umetumwa kuifanya si sahihi alisisitiza bwana hoseah na kuonya waheshimiwa wabunge ninyi ndiyo kioo cha nchi hii msipende kuvuruga amani UNK mtoe ushirikiano maana ninyi ndiyo UNK bendera ya kupambana na ufisadi kuhusu madai kuwa takukuru kuwahoji wabunge imekiuka sheria inayohusu kinga madaraka na haki ya wabunge daktari hoseah alisema tunavyojua sisi kinga ya wabunge haihusu vitendo kama hivi UNK alisema na kufafanua kuwa kinga ya bunge inahusu kauli aliyoitoa bungeni au kwenye kamati yoyote ya bunge maandishi ya mbunge kwenye taarifa ya bunge au kamati ya bunge au kwa chochote UNK na mbunge bungeni kwa njia ya muswada uwe wa binafsi au vinginevyo alisema taasisi hiyo haijavunja sheria inayohusu haki na kinga ya wabunge wala sheria nyingine tuliyoyafanya wakati wa kutimiza wajibu wetu yapo ndani ya mamlaka chini ya sheria ya kupambana na kuzuia rushwa namba ya kumi na moja ya mwaka ishirini sifuri saba kupokea posho zaidi ya mara moja kwa kazi ile ile na mazingira hayo hayo UNK na sheria ya takukuru UNK sheria alisema daktari hoseah na kuongeza je wanataka sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa ambayo inatoa mamlaka yanayohusu sheria na kanuni ya fedha za umma haiwahusu waheshimiwa wabunge ndiyo kusema kinga ya wabunge UNK uwezekano wa kuhojiwa kabisa na takukuru kama hivyo ndivyo je ina maana sheria hiyo inawahusu watu wengine tu na wabunge UNK alifafanua kuwa takukuru hushughulikia vitendo vyote vya rushwa ukiwemo ukiukwaji wa matumizi ya fedha za umma kuhusu madai kuwa mazingira ya kuwahoji wabunge hayaendani na hadhi yao daktari hoseah alisema hilo linaweza kuwa na ukweli kwa kiasi fulani kutegemea na mtazamo wa mtu lakini hayo ndiyo mazingira ya kufanyia kazi takukuru siku zote aliiomba bunge kuipatia taasisi hiyo bajeti ya kutosha ili kuboresha mazingira hayo ya kazi kuhusu tuhuma kuwa wabunge wamekuwa wakihojiwa na maofisa wadogo sana daktari hoseah alisema ofisa anayeshughulikia suala hilo ni ofisa mchunguzi mkuu na amekuwa katika fani hiyo tangu mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na tatu alisema kwa umri alionao sasa anatarajia kustaafu mwakani hivyo ndiye mwenye umri kuwazidi wafanyakazi wote wa taasisi hiyo aliwataka wabunge hao waiache taasisi hiyo ifanye kazi zake kwa mujibu wa sheria waheshimiwa wabunge naomba UNK kwa mfano bunge letu lina sifa ya kuongoza mapambano dhidi ya ufisadi ambao ni pamoja na matumizi mabaya ya fedha za umma matumizi mabaya ya madaraka tungependa suala hili lisiwe chanzo cha kulipunguzia heshima ndani na nje ya nchi ambayo bunge letu tukufu UNK alisema daktari hoseah UNK ni kwa nini wabunge wengi wanaotakiwa kuhojiwa kwa kupokea posho mara mbili ni wale waliokuwa wajumbe wa kamati kuchunguza mkataba wa richmond daktari hoseah alijibu ni kawaida mtu UNK au kutuhumiwa atake kuonekana anaonewa mbona mimi katika sakata la richmond UNK na kusemwa kwa miaka mitatu sijawahi kulalamika alipoulizwa hatma ya taasisi na mashirika yanayodaiwa kutoa posho hizo kwa wabunge daktari hoseah alisema waliohusika nao hawatabaki salama hivyo nao lazima UNK kuhusu madai yaliyotolewa na kiongozi wa upinzani hamad rashid mohamed aliyetaka pia rais kikwete achunguzwe daktari hoseah alisema anavyojua ni kuwa rais akiwa kwenye ziara yake ndani ya nchi UNK posho alisema katika ziara yake anaenda na magari yake walinzi wapishi na kila kitu anaenda nacho mbunge wa jimbo la simanjiro bwana christopher ole sendeka ameitaka serikali kutoa maelezo ya matumizi ya shilingi bilioni kumi zilizokusanywa kutokana na akaunti ya madeni ya nje kwenda wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi zimefanya kazi gani na kwa maeneo gani bwana ole sendeka alitoa kauli hiyo jana wakati akiuliza swali la nyongeza kwa wizara hiyo huku akitaka kuelezwa kiasi hicho cha fedha kimefanya kazi gani kwa ajili ya kuwasaidia wananchi hasa maeneo ya wafugaji katika majibu yake naibu waziri wa maendeleo ya UNK na uvuvi bwana james UNK alisema kuwa fedha zilizotokana na epa UNK kwenye ununuzi wa dawa za mifugo na kusambazwa kwa wananchi alisema kuwa wizara yake ambayo ilipewa dhamana hiyo ilishatumia kiasi hicho cha fedha na tayari UNK ambapo usambazaji wa madawa hayo umeshafanyika na wananchi UNK dawa hizo na taarifa UNK katika swali la msingi la mbunge wa viti maalumu bibi mkiwa kimwanga serikali ilitakiwa ieleze imeandaa mazingira gani ya kuwasaidia wavuvi wadogo kupata zana za kisasa bila vikwazo pia serikali imechukua hatua gani za kuvutia wawekezaji katika uanzishwaji wa viwanda vya kusindika samaki katika mikoa ya pwani bwana wanyancha alisema kuwa katika kuwasaidia wavuvi wadogo serikali tayari imeandaa sheria ya uvuvi katika bahari kuu na kumi na mbili ishirini sifuri saba na kanuni zake kwa upande wa wawekezaji kuja kuwekeza katika viwanda vya kusindika samaki alisema kuwa kupitia tic na kupitia sera ya taifa ya uvuvi wawekezaji UNK kuwekeza katika viwanda vya kuchakata samaki ambapo hadi sasa viwanda ishirini na mbili UNK nchi nzima na kati ya hivyo vitano vipo ukanda wa bahari hata hivyo alisema kuwa hadi sasa viwanda kumi na saba tayari vinafanya kazi na tayari wawekezaji wawili wamejenga viwanda vya UNK UNK ambavyo ni UNK fishnet ltd kilichopo mwanza na kiwanda kingine cha imara fishnet ltd kilichopo dar es salaam mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi UNK wilayani arumeru mkoa wa arusha UNK ombeni amekatwa koromeo kwa panga baada ya kubakwa na vijana wawili kwa kile kilichodaiwa kuwa walitumwa damu ya kafara na mganga wa kienyeji kaimu kamanda wa polisi mkoa wa arusha ssp leonard paulo alieleza kuwa tukio hilo lilitokea oktoba thebathini mwaka huu saa tano asubuhi katika kijiji hicho wakati binti huyo UNK na baba yake bwana ombeni UNK kumpelekea bibi yake mafuta ya taa na majani ya chai kamanda alisema baada ya kumpelekea bibi yake vitu hivyo bibi yake naye alimpa kuni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na alipokuwa njiani akirudi nyumbani alipita karibu na wanapoishi watuhumiwa hao ndipo vijana hao walipomkamata na kumwingiza ndani ya nyumba alisema mwanakijiji mmoja watuhumiwa hao ni frank michael na joseph UNK wote wafanyakazi wa mashambani na kwamba baada ya kumwingiza binti huyo walimbaka kwa zamu hadi alipoishiwa nguvu kisha kumchinja kwa panga ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya mganga wao aliyewataka kufanya hivyo ili kufanikisha utajiri baada ya kutekeleza unyama huo vijana hao UNK mwili wake hadi saa tano usiku kisha kwenda kuutupa kwenye shamba la mahindi lililopo karibu na wanapoishi ambapo siku ya pili yake wazazi wake UNK na kuanza msako sehemu mbalimbali ikiwemo kwa bibi yake ambapo walielezwa kuwa UNK siku iliyotangulia alisema bwana leonard aliongeza kuwa baada ya kupata taarifa ya kupotea kwa binti huyo polisi kwa kushirikiana na wananchi wa eneo hilo walianza kumsaka ndipo UNK mzigo wa kuni jirani na nyumba ya vijana hao pia sketi nyekundu ambayo marehemu alikuwa amevaa kabla ya kifo chake ilionekana kabla ya kukuta mwili wake ukiwa hauna nguo hatua chache karibu na nyumba wanayoishi watuhumiwa hao kamanda huyo alisema kuwa uchunguzi uliendelea ambapo walifanikiwa kupata habari za siri UNK vijana hao UNK UNK na begi lenye nguo na dawa za kienyeji panga ambalo lilikutwa na damu iliyofutwa kwa mchanga na katika mahojiano vijana hao walikiri kuua kwa sababu ya kupata utajiri walimtaja mganga jafari jabiri mwenye majina mengine ya mramba na kawawa mkazi wa kijiji cha ishinde wilayani same kilimanjaro na kwamba walitumwa damu na mganga huyo alisema baada ya kupata taarifa hizo walimtia mbaroni mganga huyo pamoja na lundo la tunguri katika mabegi mawili zikiwa na dawa za kienyeji zinazofanana na zile zilizokutwa kwa vijana hao serikali imeombwa kupeleka haraka chakula cha msaada katika wilaya ya ukerewe mkoa wa mwanza ili kunusuru watu wasife kwa njaa ombi hilo lilitolewa jana na mbunge wa ukerewe daktari getruda mongela kwa makamu wa rais daktari mohamed shein aliyefanya ziara ya siku moja katika wilaya ya ukerewe alisema baadhi ya wananchi UNK uji na wakati mwingine wanashinda na kulala njaa kutokana na tatizo la njaa linaloikabili wilaya hiyo mkuu wa wilaya hiyo bibi UNK mlozi katika taarifa yake alisema katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita zao la mhogo ambalo ndilo chakula kikuu cha wakazi wa wilaya ya ukerewe limeathirika kwa magonjwa ya UNK kali na UNK UNK hali ambayo imeathiri uzalishaji wa chakula alisema hivi sasa wanahamasisha wananchi kulima mazao mengine kama mtama na mahindi ili kukabiliana na hali hiyo katika hatua nyingine bibi mlozi aliiomba serikali kuangalia uwezekano wa kutumia fedha ya kununua magari katika wilaya hiyo badala yake zitumike kununua boti zenye mwendo mkali zitakazo tumika kuwafikia na kuwapa huduma wananchi alisema wilaya hiyo yenye visiwa thebathini na nane katika ziwa victoria inahitaji zaidi boti zenye mwendo mkali badala ya magari akipokea taarifa hiyo daktari shein alisema serikali imepokea taarifa hizo na itatatua matatizo hayo mapema na itahakikisha hakuna mtu UNK na njaa mwili wa aliyekuwa mbunge wa ruangwa mkoa wa lindi bwana UNK UNK tu UNK kesho katika ukumbi wa karimjee dar es salaam na kusafirishwa kwa ndege kwa ajili ya mazishi yatakayofanyika keshokutwa kijijini kwao UNK akizungumza na gazeti hili msemaji wa familia ya marehemu bwana andrew mapacho alisema kuwa mwili huo UNK kutoka hospitali ya taifa muhimbili na kuhifadhi katika hospitali ya jeshi lugalo ili kuweka ukaribu wa kufanyiwa UNK ya kifamilia mbezi beach makonde bwana mapacho alisema kuwa kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa katibu wa bunge bwana thomas kashililah wabunge hamsini wa vyama vyote watahudhuria kuagwa mwili huo na wengine UNK hadi mazishi mbunge huyo alifariki dunia juzi usiku kutokana na ugonjwa wa kiharusi kisukari na malaria ameacha mjane na watoto wanne lucy david gabriel na UNK pia UNK watoto wawili aliokuwa UNK anna na nico taarifa za awali zilisema kuwa marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kiharusi tangu kumi na nne mwaka huu na kulazwa katika tasisi ya moi kabla ya kugundulika kuwa ana ugonjwa wa kisukari na malaria waziri wa zamani wa nishati na madini bwana daniel yona ameieleza mahakama kuwa aliingia mkataba kati ya serikali na kampuni ya alex sterwart kutokana na maelekezo ya rais wa awamu ya tatu bwana benjamin mkapa aliyeagiza waendelee haraka na mchakato huo kauli hiyo ilitolewa na wakili wa utetezi bwana herbert nyange UNK mawaziri hao wa zamani bwana yona na bwana basil mramba wa fedha hayo yalijitokeza jana wakati akifanya mahojiano na shahidi wa kwanza wa upande wa mashitaka bwana nyelo godwin kuhusiana na mapendekezo aliyoyatoa kwa bwana yona ya UNK kazi kampuni hiyo kwa kuwa haikuwa wazi na ada yake ilikuwa ni kubwa mahojiano hayo yalifanyika katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu bwana john utamwa bwana sam rumanyika na bwana saul kinemela nyange je huyu waziri wako ndio alikuwa mwenye mamlaka ya mwisho je kama huyo mkubwa wake alisema ana haraka UNK ushauri wako wewe jibu endapo bwana yona alipewa maelekezo na mkubwa wake alistahili kufuata baada ya kutolewa kwa jibu hilo na shahidi huyo bwana nyange alikwenda mbali zaidi kwa kuonesha dokezo la bwana yona ambalo alimwandikia rais mkapa akiomba ridhaa ya kuendelea na mchakato wa kuajiri kampuni hiyo na rais akajibu nakubali endeleeni haraka hata hivyo dokezo la bwana yona ambalo lilikwenda kwa rais UNK bayana ushauri wowote kutoka kwa wataalamu kama ambavyo bwana nyelo alikuwa ameshauri au bali lilisisitiza umuhimu wa kuwa na mkaguzi wa madini na kwa kuzingatia maslahi ya nchi awali shahidi huyo akihojiwa na bwana nyange ilikuwa kama hivi nyange shahidi UNK nini katika mchakato wa kupewa mkataba kampuni hiyo jibu nilishauri alex sterwart asipewe mkataba kwa kuwa hapakuwa na uharaka wowote na ada ilikuwa kubwa kuliko uzalishaji nyange je hiyo ada ya asilimia moja tisa ndiyo UNK kwenye kamati yenu jibu UNK ila tulifanya UNK wa gharama kutokana na hesabu UNK nyange kampuni gani ilishinda na UNK mapendekezo kwa gavana jibu alex sterwart ndio ilishinda kwa pointi tisini na mbili tisa na ndio UNK kwa gavana kuwa imeshinda japokuwa suala la kushinda ni tofauti na UNK nyange mlitegemea nini baada ya kupeleka majibu ya ushindi wa kampuni hiyo kwake jibu alitakiwa kuiita kampuni hiyo ili akubaliane nayo namna ya kufanya kazi nyange wewe ulipinga ada hiyo kuwa ni kubwa je unaelewa kuwa ada za nchi zingine zilikuwa ni kubwa zaidi na tayari serikali ya tanzania ilikuwa imeshafanya utafiti huo jibu sina uhakika kama serikali ilifanya utafiti huo na ada hizo inategemea iko katika kitu gani nyange je UNK ya mkataba ilikuwa na tatizo gani jibu ada ya asilimia moja tisa ndio ilikuwa ni tatizo nyange je ni kweli kampuni hii UNK hasara yoyote jibu ndiyo kwa kuwa hapakuwepo na mabadiliko yoyote kwenye takwimu za uzalishaji wa madini nyange unajua sababu ya kampuni hiyo kuongezwa muda wa kufanya kazi je utakubaliana na mimi UNK kuwa kitendo cha baadhi ya kampuni kuficha nyaraka ndio ilisababisha hilo jibu inaweza ikawa ni moja sababu ya kuongezwa kwa mkataba UNK unajua kampuni hiyo ilibaini upotevu wa dola za marekani mia moja na sitini kutoka kwa kampuni za uchimbaji madini mbili jibu sijui ila nafahamu kufichwa kwa baadhi ya nyaraka za kampuni hizo nyange kwa nini sasa unasema haikufanya kazi yoyote jibu kampuni hiyo haikutimiza baadhi ya makubaliano kama kuwafundisha watanzania namna ya ufanyaji kazi wake ili utaalamu huo waendelee nao mbali na mahojiano hayo pia kuliibuka malumbano ya kisheria kati ya pande zote mbili kuhusiana na nyaraka mbalimbali ambazo upande wa utetezi walitaka kuzitumia katika kumfanyia mahojiano shahidi huyo bila nyaraka hizo kujulikana mahakamani hapo hali iliyomfanya bwana nyange kuomba kuondoa hoja za kutumia vielelezo hivyo hata hivyo kesi hiyo ililazimika kuahirishwa mpaka leo kutokana na muda wa mahakama kumalizika lakini pia kutoa nafasi kwa mahakimu na pande zote kujiandaa zaidi visa vya ufisadi mikakati ya kumalizana kisiasa na madai ya baadhi ya viongozi kunyimwa mafuta vimetawala mjadala baina ya wabunge na kamati ya mzee mwinyi mjini dodoma kamati hiyo jana usiku UNK wabunge wote wa ccm juu ya chanzo cha mfarakano baina yao ikiwa ni siku ya pili baada ya kukutana na kamati ya uongozi ya ccm na ile ya uongozi ya bunge na kuelezwa mambo mazito UNK UNK katika vikao vya awali katibu mkuu wa ccm bwana yusuf makamba alilazimika kukatisha kikao hicho baada ya kupatwa kile alichoeleza kuwa ni kizunguzungu hivyo kuondoka kwenda kupumzika huku kikao kikiwa UNK hata makamba UNK ukweli mpaka akashindwa kusema ghafla akaonekana kama mgonjwa nadhani kisukari kilipanda kidogo kutokana na kupewa vidonge vyake hadharani kilisema chanzo chetu katika kikao hicho mmoja wa wajumbe ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu ya ccm alianza kwa kutaka kuwakandamiza wabunge hali iliyosababisha UNK kumbana na kuweka mambo hadharani hali iliyosababisha hata waziri mkuu mizengo pinda kukubali baadhi ya changamoto habari kutoka ndani ya kamati hizo zilisema kuwa maneno mazito UNK mzee mwinyi na ujumbe wake ulisababisha rais huyo mstaafu kufuta machozi kutokana na mambo aliyoambiwa wazi kuwa ndio chanzo cha mpasuko kamati hiyo iliundwa na halmashauri kuu ya taifa ya ccm ikijumuisha mzee mwinyi kama mwenyekiti akiwa na wajumbe wawili makamu mwenyekiti wa ccm pius msekwa na kada wa chama hicho abdulrahaman kinana wakati mzee mwinyi akiripotiwa kufuta machozi kutokana na yale aliyoambiwa wazi kuwa ni chanzo cha mpasuko miongozi mwao baadhi ya wabunge waliozungumza na majira walisema wanasubiri kikao cha jana ili kupasua ukweli na kuonya kuwa hawatakubali kuburuzwa wala kuyumbishwa kuficha ukweli kwa kulinda baadhi ya watu chanzo cha majira ndani ya vikao vilivyotangulia hali ilikuwa tete kwa upande wa watu UNK kwa ufisadi na kwamba wajumbe waliwataja kwa majina kama chanzo cha tatizo ndani ya bunge UNK ukweli tuliwaambia hakuna mpasuko ndani ya ccm wala kwa wabunge wa ccm isipokuwa kuna kuficha ukweli ndio maana wanaotaka ukweli wamekasirika watu walilia mzee mwenyewe alifuta machozi wazi kilisema chanzo chetu ndani ya kikao hicho ilielezwa kwamba mjumbe moja aliweka wazi jinsi mafisadi UNK ccm na kutoa mfano wa moja za chaguzi ndogo ambapo aliyekuwa makamu mwenyekiti wa ccm john malecela aliwai kuwekewa mafuta kiduchu kwenye gari na kunyimwa posho kama sehemu ya kumkomoa kutokana na msimamo wake wa kuwa mkweli na kupinga ufisadi ndani ya ccm baadhi ya wajumbe walimwomba mzee mwinyi kuwaita kwenye kikao kuwahoji watuhumiwa wa ufisadi kuhusu vikao wanavyofanya usiku kuweka mkakati wa jinsi ya kujilinda na kuwashughulikia wanaopinga ufisadi wajumbe walipanda joto na kusema machafu UNK na kumwonya mzee mwinyi kwamba UNK ukweli wajiandae kuzika ccm kilisema chanzo chetu kingine habari zaidi kutoka ndani ya kikao zilieleza kwamba wajumbe walimwomba mzee mwinyi kumshauri rais jakaya kikwete kukubali kushughulikia tatizo ndani ya ccm bila kuogopa mtu hata kama alichangia kumpa msaada wa kisiasa katika kugombea urais mwaka ishirini sifuri tano watu hawaogopi walisema wazi chanzo cha tatizo ni serikali kutokubali mabadiliko ya zama za uwazi na ukweli na kusoma alama za nyakati kwamba wabunge wamechoka kuhifadhi mchwa wanaokula mema ya nchi na kuwaimbia watanzania uchumu duni huku wao kwao uchumi ukiwa umeimarika na kuwawezesha kuhonga watu hata bilioni nne ili kumwondoa mtu jimboni kilisema chanzo kingine habari zaidi zilieleza kwamba suala la kampeni chafu katika baadhi ya UNK kwa lengo la kuwaangusha baadhi ya wabunge pia liliibuka kama mfano wa hali halisi huku baadhi ya vigogo wakituhumiwa kuwakumbatia mafisadi kwa kuwasaidia kuwapa mbinu za kukabiliana na wale wanaopinga ufisadi wasema hana hadhi ya kupigiwa kura ya kukosa imani UNK bungeni kimya azungumza na spika sitta siku moja baada ya mkurugenzi mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa daktari edward hoseah kuonesha jeuri kwa wabunge kuwa hatajiuzulu na ataendelea kuwahoji wakitaka wampigie kura ya kukosa imani naye wao UNK kuwa hana hadhi ya UNK kura hiyo wabunge waliozungumza na majira kwa nyakati tofauti walisema kwamba anajitafutia makuu kwa kujilinganisha na rais wakati hawezi kufikia cheo hicho kutokana na utendaji wake hafifu walisema bunge haliwezi kushughulika na watendaji wadogo kama yeye badala yake UNK na mkuu wake ambaye ni rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania na waziri mkuu kauli hizo za wabunge tofauti na kwa nyakato tofauti zimedhihirisha kuwa kauli za daktari hoseah UNK nyongo huku wakieleza kuwa mkuu huyo wa takukuru hajui madaraka ya bunge hasa kwa kauli yake kuwa wabunge UNK usingizi na wakipenda wampigie kura ya kutokuwa na imani naye bunge ni mhimili mkubwa sana si ndogo kama UNK huyo hoseah tunaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na rais waziri mkuu na spika hawa watu wadogo kama akina hosea UNK bosi wake waziri mkuu kwamba ondoa huyu au ondoka wewe lakini hatuwezi kushuka mpaka kwake yeye si size yetu alisema mmoja wa wabunge machachari wa ccm mbunge huyo alisema hawezi kukubali kutajwa jina kwa kuwa daktari hoseah ni mtu mdogo kiasi kwamba kujibizana naye kwenye vyombo vya habari ni aibu kwao hasa kwa kauli yake kile kitendo cha hoseah kuweka wazi kwamba masuala ya wabunge hayamnyimi usingizi ni dalili ya wazi ya dharau kwa wabunge lakini sijui kama anajua maana ya bunge mle ndani kuna waziri mkuu kuna waziri wake maana yake ni kwamba UNK hata hao na kuwatukana wote kwa UNK hivi unapomwambia mkuu wako wa kazi kwamba UNK usingizi ni UNK wa nidhamu au ni kiburi cha aina gani alihoji mbunge huyo na kuongeza huyo hosea anataka aidha kuchonganisha bunge na serikali au ametumwa na watu fulani kwa lengo la kutaka kumuharibia rais la pili anajitafutia umaarufu kwa kutaka bunge UNK mkurugenzi wa takukuru kwenye orodha ya watu wanaoweza kupigiwa kura ya kutokuwa na imani na bunge hili haliwezi yeye ni mtu mdogo sana alisisitiza mbunge huyo mbunge huyo aliishangaa serikali pia kushindwa kumchunguza daktari hoseah na takukuru kwa kitendo cha UNK tata ya richmond na UNK kuwa haina dosari wakati kamati teule ya bunge iligundua dosari kila kona ya zabuni hiyo inabidi rais awe makini na watu kama hoseah anaweza kutaka tu kuvuruga takukuru ili akitoka aiche katika hali mbaya ya kiutendaji ili baadaye ionekane kwamba alikuwa anafaa kumbe ni mbinu za kuficha ubovu wake ni kesi ngapi takukuru inachunguza lakini hili la wabunge na posho tu inatangazwa kwenye vyombo vya habari kuna nini kama si kutaka kuvuruga serikali alihoji kwa upande wake mbunge wa mbinga mashariki bwana gaudence kayombo alisema suala hilo imefika pabaya na kwamba kinachotakiwa sasa ni viongozi wakuu kuingilia kati kulimaliza kabla ya kuleta athari kubwa zaidi mimi nafikiri sasa wakubwa wakutane kumaliza suala hili wakikaa pamoja nina uhakika linaweza kwisha tu badala ya kuendeleza malumbano hatuwezi kufika kwa mfumo huu hayo ndio maoni yangu mimi alisema bwana kayombo alipoulizwa maana ya watu wakubwa UNK kukutana na kukaa pamoja na kumaliza suala hilo alisema analenga kuazia spika wa bunge samuel sitta daktari hosea na waziri mkuu mizengo pinda kwa upande wake mbunge wa mpanda kati bwana said UNK alisema japo yeye si mwana ccm lakini UNK rais kikwete kuwa macho kwa kuwa kiongozi huyo ana ajenda yake ya siri inayolenga UNK ili wananchi UNK serikali yake na bunge spika wa bunge sitta alisema hawezi kusema lolote kwa sasa kwa kuwa kufanya hivyo UNK malumbano yasiyo na tija kwa watanzania maskini wanaotaka viongozi wao watumie muda wao kubuni mbinu mbalimbali za kuwakwamua kutoka katika hali duni ya maisha badala ya kupoteza muda na mambo ya ovyo alipotakiwa kutoa mwongozo zaidi kuhusu kanuni za bunge na jinsi bunge linavyoweza kumwondoa daktari hoseah bwana sitta alisema wewe mwandishi naamini ni mzoefu wa masuala ya bunge UNK unajua naomba tu uelewe hivyo alisisitiza kwa mujibu wa kanuni za bunge chini ya kinga na madaraka ya bunge iwapo mbunge analalamikiwa kwa kukiuka sheria akiwa anatekeleza shughuli za bunge mhusika anatakiwa kuwasilisha taarifa hiyo kwa spika wa bunge ambaye UNK malalamiko hayo kweye kamati ya maadili ambayo kazi yake ni kuchunguza kujadili na kutoa mapendekezo kwa spika iwapo kamati hiyo itabaini makosa kwa mbunge spika huwasilisha taarifa kwa mwanasheria mkuu wa serikali ambaye ndiye huchukua hatua kwa mujibu wa sheria kulingana na uzito wa kosa lenyewe mwanasheria mkuu wa serikali ndiye anao uwezo wa kuamua kumkabidhi mbunge husika kwenye yenye uwezo wa UNK hata hivyo tayari takukuru imeeleza UNK wake kuwa itaendelea kuwahoji wabunge kwa kuwa hakuna aliye juu ya sheria mwenyekiti wa kamati ya bunge ya nishati na madini bwana william shellukindo alisema yeye hawezi kuzungumza lolote kwa sasa kwa kuwa anasubiri taarifa ya serikali na moja kati ya watu wanaotakiwa UNK ni pamoja na mtendaji mkuu wa takukuru mimi kwa sasa hapana hivi sasa mimi nasubiri tu taarifa ya serikali kwanza kuhusu richmond moja ya watu ambao bunge ilitaka UNK ni pamoja na mtendaji mkuu wa takukuru sasa nikianza tena kuzungumza naweza UNK ngoja kwanza tusome taarifa bungeni alisema bwana shellukindo wakati huo huo daktari hosea jana alitinga katika eneo la bunge mjini hapa na kufanya mazungumzo ya muda mfupi na bwana sitta na bwana pinda huku akikataa katakata kuzungumza na waandishi wa habari majira UNK kutoa ufafanuzi wa sababu UNK kusema lolote kwa wanahabari alisema kwa sasa sina lolote labda ukija dar wasiliana na huyu msaidizi wangu tutazungumza tu lakini hapa hapana alisisitiza huku UNK hakuna habari zilizotolewa kuhusiana na mazungumzo ya viongozi hao na daktari hoseah huku spika sitta akisema alikuja tu kusalimia kidogo na mwandishi wa waziri mkuu bwana said nguba akisema kuwa hata hakujua kama kiongozi huyo UNK na bosi wake na juddy ngonyani sumbawanga polisi mkoani rukwa inamshikilia john UNK mkazi wa kitongoji cha UNK kilichopo katika kijiji cha UNK kata na mamba tarafa ya UNK wilayani mpanda kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mwenye umri wa miaka arobaini na moja pamoja na kutishia kuua kwa silaha huku akikutwa akimiliki silaha kinyume cha sheria kamanda wa polisi mkoa wa rukwa bwana isunto mantage alidai kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa la kwanza aprili kumi na saba majira ya saa saba usiku katika kitongoji hicho kwa kuvamia nyumba ya mwanamke huyo kisha kuvunja mlango wa nyumba hiyo na kuingia ndani na kumbaka mama huyo alidai kuwa akiwa UNK mama huyo mama huyo alipiga kelele za kuomba msaada na kisha majirani wakiwa njiani kuelekea katika nyumba ya mama huyo kwa lengo la kutoa msaada ndipo mtuhumiwa huyo alianza kukimbia na wananchi kuanza kumkimbiza hadi katika nyumba yake kamanda mantage alidai kuwa alipofika katika nyumba yake aliingia ndani na kutoka na bunduki moja aina ya UNK na kuanza kuwatishia wananchi hao ili wasiweze kumkamata alisema kuwa licha ya kuwatishia wananchi hao waliweza kumkamata na kumfikisha katika kituo kidogo cha polisi kilichopo katika kijiji cha UNK siku moja kabla ya bunge kupitisha muswaada wa sheria ya mtoto ya mwaka ishirini sifuri tisa wanaharakati kutoka kituo cha msaada wa kisheria na asasi nyingine zisizopungua thebathini wametinga bungeni kuitaka serikali kuongeza vipengele vya kuifanya sheria hiyo UNK matakwa ya jamii vipengele hivyo ni malengo muhimu na misingi ya mwelekeo wa sheria misingi ya maslahi bora kwa mtoto na mfumo wa usimamizi na utekelezaji wa sheria yenyewe lakini mapendekezo hayo UNK mwamba kwani kamati isingeweza kuyawasilisha serikalini kutokana na muda akiwasilisha mapendekezo yao kwa kamati ya bunge ya maendeleo ya jamii katika ukumbi wa pius msekwa juzi jioni mkurugenzi mtendaji wa nola bwana clement mashamba alisema juzi ilikuwa mara ya pili kuwasilisha vipengele hivyo lakini hadi havikuonekana kwenye muswada uliowasilishwa bungeni vipengele hivyo vitatu muhimu vyote hapo awali asasi hizo zilikubaliana na serikali viwekwe kwenye nyongeza ya musaada wa sheria hii ya mtoto ya mwaka ishirini sifuri tisa lakini tunashangaa havionekani wazi alisema bwana mashamba alisema iwapo sheria hiyo UNK vipengele hivyo UNK malengo yanayokusudiwa na jamii hivyo mtoto ataendelea kukosa haki zake kama ilivyo sasa alisema vipengele hivyo ndio msingi ya mwelekeo wa sheria husika na kumjengea mtoto misingi na maslahi bora na mfumo wa utekelezaji wa sheria yenyewe hii itawezesha kutafsiri malengo na madhumuni ya sera katika mikakati na programu UNK katika ngazi za taifa halmashauri na jamii alisema bwana mashamba waziri mkuu bwana mizengo pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika misa maalumu ya toba kwa jamii ya kabila la wameru inayofanyika kesho kumuomba mungu kuwaondolea kile wanachodhani ni laana iliyopo katika kabila hiyo askofu mkuu wa kanisa la international UNK church la sakila wilayani arumeru bwana UNK isangya alisema misa hiyo inajumuisha madhehebu yote yanayotoa huduma za kiroho katika halmashauri ya meru askofu isangya aliwaeleza waandishi wa habari mjini hapa kuwa hali katika eneo la meru si shwari kwa muda mrefu sasa kutokana na chuki zilizopo mioyoni mwao kwa kila koo kujiona ni bora zaidi ya nyingine hivyo kuzuka kwa mapigano ya UNK mara alifafanua kuwa historia ya uhasama huo ilianzia mbali kwa kabila hilo kufikia hata kuwaua wamisionari miaka ya sabini walipofika kueneza dini katika kata ya UNK hivyo kudhihirisha laana ya mungu dhidi yao aidha alisema kuwa pia matukio ya miaka ya tisini ya mapigano baina ya wameru wenyewe kwa wenyewe na UNK nyumba yanazidi kudhihirisha kuwapo kwa laana hiyo ya mungu ndio maana viongozi wa kiroho wameamua kufanya sala hiyo ya toba ili mungu aondoe hali hiyo alisema kuwa serikali kwa upande wake imejitahidi kudhibiti hali ya vurugu katika maeneo ya meru lakini haina uwezo wa kuondosha chuki iliyoko mioyoni mwa jamii hiyo bali ni mungu pekee mwenye jukumu hilo na ndio msingi wa toba hiyo pia akizungumza katika mkutano huo mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya misa hiyo ya toba mchungaji godfrey palangyo alisema kuwa maandalizi yote ya misa hiyo yamekamilika mwalimu mmoja wa shule ya msingi luhala iliyoko wilayani kwimba UNK chupuchupu kuuawa na watu wenye hasira wakiwemo wanafunzi wa shule hiyo baada ya kufumaniwa akifanya mapenzi na mwanafunzi wake aliyekuwa UNK darasa la saba mwalimu huyo UNK wakati wa sherehe za mahafali ya kuwaaga wanafunzi wa darasa la saba ambazo zilifanyika katika shule hiyo mapema wiki hii baadhi ya wanafunzi ambao walikuwa wakifuatilia mwenendo wa mwalimu huyo na UNK huyo walimuona mwanafunzi huyo UNK taratibu kwenye mkusanyiko wa wenzake na kwenda moja kwa moja katika nyumba ya mwalimu huyo baada ya kujiridhisha na hatua hiyo wanafunzi hao walitoa taarifa wa mwalimu mwingine aliyekuwa akiongoza sherehe ambaye alikatisha shughuli zake na kufuatilia mwalimu huyo alipofika katika nyumba ya mwalimu huyo akiwa na wanafunzi na wananchi wengine ambao walikuwa wamealikwa katika sherehe hiyo UNK nyumba hiyo na kumlazimisha afungue mlango walipoingia ndani walimkuta mwanafunzi huyo akiwa chumbani kwa mwalimu sakata hilo UNK hasira baadhi ya wananchi na wanafunzi ambao walitaka kumchoma moto lakini aliokolewa na mkuu wa wilaya ya kwimba bwana christopher UNK UNK wananchi UNK sheria mkononi mkuu huyo wa wilaya alikemea vikali tabia ya baadhi ya walimu kujihusisha na vitendo vya kufanya mapenzi na wanafunzi wao hususani wanapokaribia mitihani ya darasa la saba jambo ambalo linasababisha wengi wao kupata ujauzito na kushindwa kuendelea na masomo polisi dar es salaam inawashikilia watu kumi na nne wakiwemo raia wa kigeni kwa tuhuma za kujipatia shilingi milioni sabini na nne kwa njia ya udanganyifu akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana kamanda wa polisi wa kanda maalum ya dar es salaam bwana suleiman kova alisema kuwa watuhumiwa hao walikamatwa na askari wa kikosi maalumu baada ya kuweka mtego eneo la mikocheni karibu na kiwanda cha coca cola kamanda kova alisema watuhumia hao ni raia wa jamhuri ya kidemokrasia ya congo india na wengine kumi na mbili ambao ni raia wa tanzania wakiwemo na wanawake wawili kamanda kova alisema watuhumia hao walienda kwa mfanyabiashara mmoja wa jijini wakidai wanauza madini ya dhahabu ndipo walipoingia mkataba wa UNK baada ya mfanyabiashara huyo kuoneshwa baadhi ya madini aliwakabidhi dola hamsini na saba sifuri sifuri sifuri na UNK mkataba wa kumletea madini yaliyobakia alisema kamanda kova alisema baada ya kukabidhiwa fedha hizo watuhumia waliacha namba zao za simu kwa madai kuwa watawasiliana watakapoleta madini yaliyobaki lakini baadaye walizima simu hali iliyomlazimu mfanyabiashara huyo kutoa taarifa polisi aliongeza kuwa baada ya polisi kupata taarifa hizo walituma makachero ambao nao walijifanya kuwa ni wateja wa madini kuweka mtego uliofanikisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao baada ya kukamatwa watuhumiwa hao UNK katika ofisi UNK na kukutwa na vifaa mbalimbali wanavyotumia kutapeli ambavyo ni pamoja na mikataba mbalimbali ya kugushi aidha aliwaomba wananchi mbalimbali waliowahi kutapeliwa kujitokeza kuwatambua watuhumiwa hao kabla ya kufikishwa mahakamani katika tukio lingine kamanda kova alisema watu UNK wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kukutwa na vipande thebathini na tatu vya meno ya tembo yenye thamani ya shilingi saba mia tatu na tisini na tisa mia tano na thebathini na tano kinyume cha sheria alisema kuwa watuhumiwa hao bwana UNK mungi bwana hassan rashidi bwana salumu saidi na bwana UNK masaki walikamatwa eneo la mbagala UNK nje kidogo ya jiji la dar es salaam kampuni ya independent power tanzania limited imeshindwa kuweka baya siku ambayo UNK mitambo yake huku ikisisitiza kuwa bado inapashwa moto na kuendelea na ukaguzi ili kubaini kama iko salama akizungumza na waandishi dar es salaam jana meneja mkuu wa iptl daktari UNK subramaniam alisema kuwa kazi kubwa inayofanyika sasa ni kukagua kila injini ili kujilidhisha kama ziko salama kwa mujibu wa meneja huyo ukaguzi wa injini namba tano ilikamilika jana na wahandisi wa kitanzania na wanaendelea kukagua nyingine bwana subramaniam alisema kuwa mitambo hiyo itawaka siku yoyote baada ya kupatikana kwa mafuta na kumalizika kwa malipo yaliyokuwa yakisubiriwa kwa ajili ya kulipia gharama za uendeshaji mitambo hiyo itawaka siku yoyote baada ya ukaguzi ambapo sasa injini namba tano imekwisha kukaguliwa nje na ndani na wahandisi kutoka tanzania na sasa wanakagua injini namba moja alisema daktari UNK alisema kuwa tayari wahandisi wawili wa wartisla wamewasili kwa ajili ya UNK mitambo hiyo na wengine watatu wanatarajiwa kuwasili leo ili kuongeza nguvu katika kuharakisha kazi hiyo vile vile jana walikuwa na kazi ya kukagua na kuhakiki ujazo wa mafuta UNK katika kampuni hiyo kwa ajili ya kuendeshea mitambo hiyo na hadi jana alasiri malori matatu UNK na kupakuliwa yakiwa na zaidi ya lita tisini sifuri sifuri sifuri alibainisha kuwa kila injini kati ya kumi zilizopo ikifanya kazi kwa saa ishirini na nne inaweza kutumia tani hamsini za mafuta na kama zitakuwa UNK kazi kwa pamoja kwa saa ishirini na nne hivyo zaidi ya tani hamsini sifuri kila siku kwa mantiki hiyo mafuta UNK na serikali tani saba hamsini sifuri yanaweza kutumika kwa siku kumi na tano iptl imelipwa na serikali zaidi ya shilingi bilioni kumi na tano zimelipwa na serikali kwa ajili ya kulipia mafuta lita milioni saba tano yaliyonunuliwa kutoka katika kampuni ta total uendeshaji wa mitambo hiyo hundi tuliyopewa na serikali ni ya shilingi bilioni kumi na tano ambayo ni UNK ya kulipia mafuta kuwalipa wartisla na iptl hivyo siwezi kuanza kuwafafanulia kila mmoja amepata kiasi gani alisema bwana UNK mwanasheria wa wa serikali anayeshughulikia masuala ya ufilisi wa iptl alipoulizwa siku rasmi ya kuwashwa kwa mitambo hiyo alisema kuwa hafahamu ni lini itawashwa lakini anaamini kufika kwa wahandisi wa wartisla kutaharakisha kazi hiyo kwa juhudi UNK zikiendelea hapa wanaweza kuwasha umeme ndani ya wiki hii lakini siwezi kusema au kutaja siku bwana UNK ataka pia chenge karamagi waachie nyadhifa zao ccm kimiti asema mpasuko unatokana na kukumbatia mafisadi daktari mahanga UNK kifua adai taarifa za kupikwa moto wa kikao kati ya wabunge wa ccm na kamati ya mwinyi uliendelea kuwaka mjini dodoma usiku wa kuamkia jana baada ya wabunge hao kutolewa hoja nzito za kuwabana wenzao wanaotuhumiwa kwa ufisadi kwamba bila watu hao UNK hatua ccm UNK kamati hiyo inayoongozwa na rais mstaafu wa awamu ya pili mzee ali hassan mwinyi ilikutana na wabunge hao ikiwa tayari imekutana na kamati mbili za uongozi moja ya ccm inayoongozwa na waziri mkuu bwana mizengo pinda na nyingine ya bunge iliyoko chini ya spika wa bunge bwana samuel sitta habari za uhakika kutoka ndani ya kikao hicho kilichoanza saa mbili usiku hadi saa sita kumi usiku bila kumalizika zilieleza kwamba wabunge walimtaka mwenyekiti wa ccm taifa rais jakaya kikwete kuwaengua watuhumiwa wa ufisadi katika kamati kuu ya ccm na halmashauri pamoja na kuchukuliwa hatau zaidi kama njia ya kumaliza mpasuko huo mheshimiwa mwenyekiti tatizo letu kubwa ni kuacha maadili na miongozo ya chama chetu ni kwa nini tusikubali UNK na UNK kama hatutakubali kukosolewa na kujikosoa tutaua hiki chama bwana rostam lowassa karamagi na chenge wanatakiwa waondoke kwenye nyadhifa zao ndani ya chama wao ndio UNK dosari kilisema chanzo chetu UNK mbunge wa simanjiro bwana christopher ole sendeka akisema mbunge huyo alikuwa ni mchangiaji wa kwanza kati ya wachangiaji kumi waliochangia usiku wa UNK jana huku akitumia nukuu kadhaa za baba wa taifa mwalimu julias nyerere yule mheshimiwa sendeka alipasua ukweli alikuwa UNK kijitabu fulani UNK mwongozo wa ccm ya mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na moja na kuwaacha wajumbe hoi kwa kukumbuka mambo mazito ambayo ndiyo msingi wa ccm kilisema chanzo UNK ndani ya kikao hicho bwana sendeka aliripotiwa kuweka wazi kukerwa na kitendo cha ccm kuwa mkononi mwa wafabiashara wache wanaotaka kununua na kuweka mkononi mwao ccm huku wakitaka kutumia nafasi walizo nazo ndani ya chama hicho UNK kuwashughulikia wasema kweli mbunge UNK alimtaka mzee mwinyi kumfikishia salamu za live kwamba katibu wake mkuu wa chama ni tatizo tena alimtaja kwa jina bila kumwogopa akiwa amekaa kuwa yeye anatetea mafisadi na kukimaliza ccm kilisema chanzo chetu habari zilieleza kwamba mbunge wa sumbawanga bwana paul kimiti naye alipasua jipu kwa kuwekwa wazi jinsi UNK na madai ya UNK kwa mpasuko ndani ya bunge jambo ambalo linasbabishwa na kukumbatiwa kwa mafisadi huku wakieendelea kuvuruga ccm ilielezwa kwamba bwana kimiti aliionya uongozi wa juu wa ccm kuhusu hatua za kukinusuru chama hicho mkononi mwa watu UNK kuleta mgongano mkubwa ndani ya ccm huku akitaka busara za wazee zitumike kumaliza mpasuko huo kwa kuwashughulikia watuhimiwa wa ufisadi mbunge wa longido bwana michael laizer naye ni moja kati ya wabunge UNK moto kwenye kikao hicho huku akionya kwamba bila suala la ufisadi kushughulikiwa kwa umakini uhasama utazidi miongoni mwa wabunge wa ccm kwa kuwa wanaopenda ukweli hawatakubali kuona baadhi wakichafua nchi na kukaa kimya kila mbunge aliyezungumza jana alikuwa akifanya tu marudio lakini ajenda kuu ilikuwa suala la ufisadi ndio chanzo cha mpasuko na uhasama kwa wabunge wa ccm kilisema chanzo chetu kikao hicho kilishindwa kumalizika jana baada ya mzee mwinyi kuweka wazi kwamba hakuna ukomo wa muda kwa mchangiaji kwa lengo la kutaka kila mmoja atapike kila alichonacho kama njia ya kumaliza mpasuko miongoni mwa wabunge wa ccm kwa upande wake naibu waziri wa kazi ajira na maendeleo ya vijana daktari milton mahanga aliwatetea watuhumiwa hao kwa kudai kwamba taarifa nyingi UNK ikiwemo richmond ni za kupikwa hali UNK hamasa ya wajumbe kuzidi kumwaga hoja za kuwatimua mafisadi ndani ya ccm ilielezwa kwamba kitendo cha naibu waziri huyo kuweka wazi kuwatetea watuhumiwa hao iliongeza joto la kikao hicho huku baadhi wakitaka kumkatisha kumpa ukweli jambo iliyosababisha mwenyekiti wa kikao hicho kutuliza watu na kumpa nafasi yake ya kuchangia unajua kuna kitu ambacho wengi hawajui kuhusu sababu iliyowafanya watuhumiwa wa ufisadi wawe na furaha kwamba hawakuhusika na richmond mpaka taarifa iliposomwa bungeni ndipo UNK kuna sehemu ya taarifa ya richmond iliibwa kwa spika na haikuwataja wao UNK kwamba wamepona sasa walipofika bungeni wakashangaa kilisema chanzo chetu ilielezwa kwamba chanzo cha kauli ya naibu waziri huyo inatokana na kuibwa kwa sehemu ya taarifa ya kamati teule ya bunge katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu julius nyerere dar es UNK katika mzigo wa spika wa bunge bwana samwel sitta alipokuwa safarini kwenda nje ya nchi hivyo kuamua kuchukua taarifa hiyo ili UNK akiwa safarini kwa kuwa muda wa bunge UNK umekaribia wakati aliyekuwa waziri mkuu bwana lowasa alipokuwa UNK februari saba mwaka ishirini sifuri saba bungeni mjini hapa alitoa kauli sawa na ya naibu waziri huyo huku ikielezwa kwamba alisema hivyo kutokana na imani kwamba kile sehemu ya taarifa aliyopelekewa baaada ya kuchomolewa katika mzigo wa spika ndio ilikuwa taarifa sahihi unajua ile taarifa UNK na kupigwa kopi kisha kurudishwa muda mfupi kabla ya spika kuondoka ilikuwa kama hadithi walienda wakaa na kufanya na sherehe kwamba wao UNK bila kujua kwamba walichukua ka kipande tu ya taarifa tena sehemu ya mapendelezo tu sasa hiyo ndio chanzo cha hizi kauli za kuonewa kilisema chanzo chetu kikao kati ya wabunge na wazee hao iliendelea tena jana kuanzia saa kumi na moja jioni huku wabunge kadhaa wakiwa wameapa kufa na mafisadi na kusisitiza kwamba hatma ya ccm kuimarika au kupasuka inategemea matokeo ya kikao hicho uchunguzi wa majira ulibaini kwamba kabla ya kikao hicho kuanza jana jioni wabunge kadhaa walikuwa wakifanya mazungumzo ya UNK na wazee hao kwa awamu huku kila kundi ilijaribu kujitafutia hoja za msingi kutetea upande wao majira ilishuhudia vikao vya makundi vikiendelea ndani ya eneo la bunge na nje ya bunge huku upande wa watuhumiwa wa ufisadi pia wakiwa wanaonesha wasiwasi wa kutokubali kuzungumza wala kupoke simu wasizozijua kwa hofu ya kuhojiwa mwandishi wa habari hizi alipiga simu za viganjani vya watuhumiwa hao karibu wote zikiita bila kupokelewa kwa awamu jambo ambalo uenda inaweza kujenda ukweli kuhusu taarifa hizo za kundi hilo kutotaka kupokea simu za watu UNK kwenye simu zao katibu mkuu mpya wa wizara ya mambo ya ndani bwana mbarak abdulwakil amesema atahakikisha UNK wahamiaji haramu UNK wafanyabiashara wa china wanaofanya biashara bila kufuata sheria za uwekezaji katika maeneo mbalimbali ya nchi akizungumza na waandishi wa habari katika viwanja vya ikulu jana bwana abdulwakil alikiri kuongezeka kwa wafanyabiashara hao na kwamba wamekuwa kero kwa wafanyabishara ndogo UNK hapa nchini si vizuri kila UNK akiingia nchi apewe kibali cha kufanya biashara bila kuangalia uwezo wake wa kimtaji kwani wengi wamekuwa wakifanya biashara ambazo zinafanywa na wazawa alisema bwana abdulwakil bwana abdulwakil aliyekuwa naibu katibu mkuu ofisi ya makamu wa rais aliteuliwa kuwa katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani ya nchi oktoba kumi na tisa mwaka UNK nafasi ya bwana patrick UNK ambaye alihamishiwa wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi kuwa katibu mkuu kuziba nafasi ya bibi salome sijaona aliyestaafu wakati huo huo rais jakaya kikwete UNK bwana UNK mtupa kuwa msaidizi wa rais masuala ya sheria uteuzi ulianza tangu novemba tatu mwaka huu bwana mtupa ambaye alikuwa mkurugenzi wa msaidizi wa katika wizara ya mambo ya katiba na sheria anachukua nafasi ya bwana george UNK aliyeteuliwa kuwa naibu mwanasheria mkuu wa serikali rais jakaya kikwete ameutaka uongozi wa mamlaka ya bandari tanzania kuhakikisha UNK huduma za kuhudumia mizigo bandarini rais kikwete alitoa kauli hiyo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa pili wa kibiashara ulioandaliwa na jarida la the economist dar es salaam jana mkutano hupo ulikuwa na lengo la kujadiliana na serikali jinsi ya kuunda sera mbadala katika kukabiliana na athari za msukosuko wa uchumi rais kikwete alilazimika kuuzungumzia uongozi wa tpa mara alipoulizwa swali juu ya uboreshwaji wa shughuli za bandari hiyo ili kujua kama maazimio yaliyowekwa mwaka jana na mkutano kama yametekelezwa rais kikwete alijibu kuwa nimetembelea zaidi ya mara tatu katika bandari ya dar es salaam na UNK na baadhi ya uendeshaji wake hasa katika ucheleweshaji wa mizigo na msongamano wa makontena UNK kuhakikisha UNK haraka utendaji wao kutokana na umuhimu wa wake katika uchumi hivyo kwa kuwa wahusika wapo naomba mkurugezi wa tpa ajibu swali hilo mkurugenzi wa masoko wa tpa bwana flavian kinunda alisimama kwa niaba ya mkurugenzi mkuu wa tpa na kusema kuwa ufanisi katika kuondoa mizingo UNK kutoka siku ishirini na tatu za awali hadi kumi na sita lakini haujafikia kiwango kilichokuwa kimepangwa cha siku kumi kutokana na sababu ambazo ziko nje wa uwezo wa bandari bwana kinunda alisema kuwa kuna sababu kuu nne ambazo zinasababisha kuchelewa kwa shughuli za bandari ikiwa ni pamoja na mlolongo mrefu wa ukamilishaji wa nyaraka za mizigo hivyo kulazimu mizigo kukaa bila sababu alisema kuwa vizuizi vya barabarani ikiwemo mizani pia ni sababu mojawapo UNK UNK wa mizigo na vituo vya kutoza ushuru vimekuwa UNK msongamano na adha kubwa aliongeza kuwa vituo vya polisi na mipakani navyo vimekuwa UNK UNK wa kusafirisha mizigo hivyo kulazimu wasafirishaji kukaa zaidi ya siku arobaini njiani hasa wanaokwenda tunduma miundombinu pia imetajwa kuwa kikwazo kikubwa hasa usafiri wa reli kutokana na kutegemewa kwa zaidi ya asilimia themanini ya mizigo husafirishwa kwa kutumia reli na asilimia iliyobaki kwa barabara huku nayo ikiwa na changamoto nyingi aidha alisema kuwa waagizaji wa bidhaa nao huwa kikwazo kutokana na kuchelewa kuchukuwa mizigo yao huku wakijua kuwa siku za mizigo kukaa bandari ni siku saba kwa mizigo ya ndani na wiki mbili kwa mizigo ya nje polisi mkoani rukwa wanamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma za kuiba mtoto mdogo mwenye umri wa mwaka mmoja katika kijiji cha kirando wilayani nkasi katika mwambao wa ziwa tanganyika kamanda wa polisi wa mkoa wa rukwa bwana isunto mantage alisema tukio hilo limetokea juzi saa tatu asubuhi wakati UNK mussa mkazi wa kitongoji cha isaba kilichoko kwenye mwambao wa ziwa tanganyika alikamatwa na polisi kamanda mantage alifafanua kuwa siku ya tukio mtuhumiwa akiwa kwenye maeneo ya soko la kirando akitokea mjini sumbawanga alimkuta mama wa mtoto huyo bwana elizabeth musa akiwa amembeba mwanaye huku akiwa anapanga mkaa wa biashara mtuhumiwa huyo alimshawishi mama wa mtoto kuwa si vyema kuendelea kupanga mkaa akiwa amembeba mtoto mgongoni kwani vumbi la mkaa linaweza kumdhuru na hivyo alimwomba amsaidie kumshika na mama wa mtoto akakubali ushauri huo alisema mapema mtuhumiwa huyo alijitambulisha kwa mama huyu kuwa ni mtoto wa baba yake mdogo na kwa vile watoto wa baba yake huyo mdogo hawafahamu UNK wakati akiendelea na biashara zake za mkaa mtuhumiwa huyo UNK na mtoto baada ya kutomuona mama huyo alikimbilia kwenye kituo kidogo cha polisi cha kirando kutoa taarifa na msako ukaanza mara moja kamanda mantage alisema kuwa baada ya msako mkali mtuhumiwa alikamatwa akiwa na mtoto huyo katika kitongoji hicho cha isaba UNK mwendo wa saa nne kwa boti kutoka katika kijiji cha UNK mbunge wa igunga bwana rostam aziz amepata mpinzania katika kinyangganyiro cha ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini moja sifuri baada ya bwana bakari nyorobi kutangaza azima yake ya kuwania nafasi hiyo kupitia chama cha mapinduzi bwana nyorobi alitangaza azima yake hiyo kwenye mkutano wake na waandishi wa habari dar es salaam jana ambapo alisisitiza kuwa uamuzi huo ni wake mwenyewe na hakuna mtu aliyemtuma ili UNK bwana rostam nimeamua kuwania nafasi hii kwa sababu katika jimbo letu mambo mengi yapo yapo sihitaji kuyataja mnayajua yanayoendelea igunga ni ya UNK wenyewe na hivyo basi maendeleo ya igunga UNK na UNK mwenyewe mwenye uchungu wa maendeleo na eneo lake alisisitiza bwana nyorobi ambaye ni mganga wa tiba asili mmoja wa wapambe wa bwana nyorobi aliyejitambulisha kwa jina la bwana edward haule alisema mwelekeo wa sasa wa serikali ni kutenganisha biashara na siasa hivyo kuwa na fursa ya kupata nafasi hiyo kutokana na mbunge wa sasa wa jimbo hilo kuwa mfanyabiashara alisema mbunge wa igunga ana mambo mengi ya kufanya pia ni mfanyabiashara hivyo wameona atafutwe kijana wa kuchukua nafasi yake kwani mkakati wa serikali ni kutenganisha siasa na biashara bwana nyorobi alidai kuwa amekuwa kwenye siasa kwa miaka kumi na mbili hivyo UNK na ana uwezo wa kuwatumikia wana igunga alitaja kati ya mambo UNK kuwa ni vitendo vya ufisadi na muda wote amekuwa mstari wa mbele UNK vita hata hivyo hakuwa tayari kuzungumzia suala hilo kwa undani pale alipobanwa na waandishi wa habari alisema akiwa mtaalamu wa tiba za asili pindi akichaguliwa kuingia bungeni atatumia taaluma yake kueleza namna ya kukabiliana na vitendo vya mauaji ya albino waziri mkuu mizengo pinda ametetea kitendo cha tume ya taifa ya uchaguzi kuchoma moto shahada za wapiga kura na kukataa UNK tume maalumu kuichunguza badala yake UNK chama cha wananchi kwenda mahakamani kama wana shaka waziri mkuu alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akijibu swali la kiongozi wa upinzani bwana hamad rashid mohamed katika kipindi cha maswali ya papo kwa papo ambapo alisisitiza kwamba katika mazingira halisi ya sasa serikali na cuf haviwezi kufikia muafaka juu ya suala hilo kwa kuwa kila moja UNK mwenzake hivyo upande UNK utafute haki mahakamani kwa mujibu wa sheria ya nec walichofanya ni kwa kutimiza tu sheria pale UNK ombe tume ina ofisi mbili moja ya ugavi na nyingine ya masuala ya daftari la kudumu la wapiga kura taarifa nilizopewa ni kwamba walikusanya kadi zaidi themanini sifuri sifuri sifuri sifuri za watu mbalimbali wengine walifariki na wengine UNK maeneo na waliona vema kuzichoma ili kupisha vitu vingine alisema bwana pinda na kuongeza katika mazingira ya kuviziana kila siku haihitaji tume maalumu na mimi nitasema hizo shahada zako si za kweli mimi nadhani nendeni tu mahakamani UNK UNK ushahidi lakini katika hali hii tutashindana na hatutapata jibu alisema bwana pinda alisema hakukuwa na mizengwe yoyote katika utekelezaji wa shughuli hiyo kwa kuwa UNK sheria za nec na kwamba katika mazingira ya kawaida haikutarajiwa kuwa viongozi wa vyama vya siasa wangeweza kufika eneo hilo kwa kuwa ilikuwa ni utendaji wa kawaida wa nec katika swali lake la nyongeza bwana mohamed alisema kwa kuwa baadhi ya shahada ni za watu walio hai mheshimiwa waziri mkuu huoni kwamba kuna haja ya kuundwa kwa tume huru kwa kuwa tuna mashaka na lile UNK wiki iliyopita bwana mohamed alimuuza waziri mkuu swali hilo na yeye akaahidi kufuatilia na kutoa jibu baadaye UNK co tz UNK UNK UNK UNK ni ya maelewano makubwa mazungumzo hayo kwa mujibu wa taarifa ya ikulu ya zanzibar UNK mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na haja ya kudumisha amani na utulivu nchini na maelewano na ushirikiano kati ya wananchi wote viongozi hao wamezingatia haja ya kuzika tofauti zilizopo ambazo zinachangia kuwatenganisha wazanzibari na kutoa wito kwa viongozi wa vyama vyote vya siasa na wananchi kwa jumla kushirikiana katika kujenga nchi bila ya kujali itikadi zao za kisiasa viongozi hao walifafanua kuwa wananchi wakishirikiana na kujenga nchi kwa pamoja watapiga hatua kubwa zaidi za maendeleo katika mazungumzo hayo viongozi hao UNK umuhimu wa mchakato wa mazungumzo endelevu baina yao na vyama vyao kwa jumla akizungumza na gazeti hili jioni jana msaidizi wa maalim seif bwana ismail UNK alisema mazungumzo yamekuwa ya mafanikio makubwa na wameahidi kufanya kazi kwa pamoja ili kuleta umoja na ushirikiano kwa maslahi ya wananchi wa zanzibar wakati serikali ikitarajiwa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa maazimio ishirini na tatu ya bunge kuhusu kashfa ya richmond jana iliwasilisha kwenye kamati ya bunge ya nishati na madini taarifa ya utekelezaji kuhusu mgodi wa makaa ya mawe kiwira huku taarifa zote UNK kuwaka moto leo wakati taarifa ya kiwira UNK na kamati serikali imepata pigo baada ya taarifa yake kuhusu ticts kukataliwa na kamati ya bunge ya miundombinu kutokana na kutozingatia matakwa ya bunge na maslahi ya taifa habari za ndani zilieleza kwamba taarifa hiyo iliwasilishwa kwenye kamati hiyo jana mchana baada ya kipindi cha maswali na majibu na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bwana philip marmo tuliletewa taarifa ile na tumelijadili lakini tumeona halifai kwa kuwa ina mapungufu mengi ambayo UNK kama tulivyotaka UNK na UNK UNK kwanza serikalini kilisema chanzo chetu ndani ya kamati hiyo mwenyekiti wa kamati hiyo bwana william shellukindo alikiri kupokea taarifa ya UNK huku akikataa kueleza chochote kwa kuwa kanuni hazimruhusu kuzungumza masuala ya kamati kwenye vyombo vya habari kabla ya kuwasilishwa bungeni kuhusu richmond chanzo chetu kilisema kuwa serikali imeweka kiporo taarifa hiyo hadi leo kutokana na kile kilichodaiwa kuwa kanuni za bunge haziruhusu kamati moja kupokea taarifa mbili siku moja hivyo UNK ya kiwira na kuipa nafasi kupokea ya richmond leo adai ni mtendaji mzuri kivuli chake kinatisha watu asema chenge daktari hoseah ni watu safi hawana tuhuma UNK spika sitta kwa kuruhusu mijadala ya ufisadi UNK kwa wabunge wa ccm katika kikao kati yao na kamati ya mzee ali hassan kumezidi kutoa sura mpya zaidi baada ya waziri wa nchi ofisi ya rais bibi sophia simba kuweka wazi msimamo wake wa kumtetea mbunge wa monduli bwana edward lowassa kuwa ni mwanaume shupavu habari za uhakika kutoka ndani ya kikao hicho zilieleza kwamba si tu kwamba bibi simba alimtetea bwana lowassa pekee bali hata wabunge wengine ambao wamekuwa UNK tuhuma mbalimbali za ufisadi ndani na nje ya bunge mheshimiwa lowassa ni mwanaume shupavu ni mtendaji mzuri sana kivuli chake kinatishia watu hana hatia yoyote alionewa tu kisiasa makamba ni mchapa kazi na UNK sana ccm acheni mzee UNK kazi pia UNK lawama spika wa bunge samuel sitta kwa kuruhusu mjadala wa richmond epa na mijadala kuhusu ufisadi kwamba kwa kufanya hivyo haitakii mema serikali ya ccm kwa kuwa angeweza kuzuia ndio maana wajumbe wa nec walitaka kuchukua kadi yake ni busara tu za mwenyekiti UNK chanzo chetu UNK waziri huyo waziri huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa umoja wa wanawake tanzania UNK pia mwenyekiti wa ipp reginald mengi kuwa ni UNK wa chadema akiwataka wabunge wa ccm wanaonufaika na misaada yake chini ya vicoba UNK chadema habari zaidi zilieleza kwamba kama vile bibi simba alikuwa anatoa taarifa za serikali alieleza kamati hiyo kuwa mbunge wa bariadi magharibi bwana andrew chenge kuwa ni mtu safi kwa kuwa UNK na kikosi maalumu cha UNK ubadhirifu cha uingereza na pia kwamba mkurugenzi wa taasisi ya kuzuia na kupamba na rushwa daktari edward hoseah hana hatia yoyote katika sakata la richmond kamati ya mwinyi iliundwa na halmashauri kuu ya ccm kuchunguza chanzo cha mpasuko miongoni mwa wabunge na UNK mjini dodoma tangu mwanzoni mwa wiki kwa ajili ya kazi hiyo wajumbe wengine ni makamu mwenyekiti wa ccm na kada wa ccm abdulrahaman kinana baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kisiasa walihoji kama kauli za waziri simba ni msimamo wa ikulu au ni mawazo yake binafsi kwa kuwa inaaminika asingeweza kusema maneno hayo kwa uzito ule bila uhakika wa ikulu habari kutoka katika kundi la wabunge vinara wa vita vya ufisadi zilieleza kwamba wameamua kukaa kimya kwanza kusubiri kundi linalodaiwa kuunga mkono ufisadi kumaliza kisha wataoa majibu kwa njia rahisi ili kuepusha mpasuko zaidi kwa sasa hatutaki kuzungumza kitu chochote jana tulishambuliwa sana UNK sana tena matusi ya nguoni UNK hata na watu ambao si wabunge lakini sisi kwanza tunashangaa ila kwa sasa tusubiri kwanza sisi tunajua wananchi wataoa jibu ambao ndio waathirika zaidi na ufisadi alisema mmoja wa wabunge hao kikao hicho leo kinaendelea kwa siku ya tatu na bado haijulikani kama kitamalizika au kitaendelea pia kesho huku ila upande UNK msimamo wake kufuatia kuwepo kwa vitendo vya wizi wa fedha za mapato ambao umekuwa ukifanywa na baadhi ya watendaji wa halmashauri ya wilaya ya bahi mkoani hapa halmashauri inatarajia kumpeleka mkaguzi wa mahesabu ya ndani katika vijiji hamsini na sita vya wilaya hiyo lengo la kumpeleka mkaguzi huyo wa ndani katika vijiji hivyo ni kukagua vitabu vya mapato kwa watendaji wa halmashauri hiyo kwa lengo la kudhibiti ubadhirifu wa fedha mkurugenzi wa halmashauri hiyo bibi beatrice UNK alitoa taarifa hiyo mjini hapa na kusema hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya watendaji wa kata wilayani bahi kuiingizia hasara halmashauri hiyo kutokana na kukusanya fedha chini ya malengo alisema kuwa ili kuweza kudhibiti wizi huo ambao umekuwa ukifanywa na baadhi ya watendaji hao mkaguzi huyo ataenda katika vijiji hivyo hamsini na sita kwa ajili yakufanya ukaguzi wa mahesabu ya mapato kwa watendaji hao alifafanua kuwa halmashauri hiyo ya bahi hivi sasa imeanzisha utaratibu maalum wa kuwazawadia watendaji ambao watakuwa wakikusanya mapato yao vizuri ikiwa ni pamoja na kuwapa zawadi katika kukabiliana na tatizo hilo la wizi huo wa fedha za halmashauri hiyo aliongeza kuwa kwa kuanza kutekeleza suala hilo wameshatoa jumla baiskeli tano na fedha taslimu shilingi thebathini sifuri sifuri sifuri kila mmoja katika kata za UNK UNK UNK ambapo watendaji wake walikusanya mapato vizuri zaidi ya asilimia sabini na tano mkurugenzi huyo alisema kuwa katika mwaka huu wa fedha ishirini sifuri tisa ishirini moja sifuri halmashauri ya wilaya ya bahi inatarajia kukusanya shilingi milioni ishirini sifuri ili kuweza kufikia lengo la makusanyo ya mapato ya ndani na subira UNK morogoro moto mkubwa UNK hoteli ya kingstone iliyopo eneo la nane nane katika manispaa ya morogoro na kusababisha hasara kubwa ambayo bado haijaweza kufahamika mara moja akizungumza na waandishi wa habari mkoani hapo jana mmiliki wa hoteli hiyo meja wa jwtz msabaha UNK alisema hoteli hiyo UNK usiku wa kuamkia jana majira ya saa tisa thebathini alfajiri mmiliki huyo alisema moto huo ulianzia kwenye sehemu ya kaunta na baadaye kushika katika eneo lote la hoteli hiyo ambayo UNK kwa makuti hadi kwenda upande wa pili wa vyumba vya kulala wageni alisema mara baada ya kuanza kuwaka kwa moto huo watu ambao hawakuweza kujulikana na ambao wanahisiwa kuwa ni vibaka walifika katika hoteli hiyo na kuiba vitu mbalimbali ambavyo alivitaja kuwa ni spika za muziki meza na viti na kusema thamani ya vitu hivyo bado haijajulikana kufuatia tukio hilo mkuu wa wilaya ya morogoro bwana said mwambungu ameteua kamati ya muda UNK kwa muda wa wiki moja kwa ajili ya kuchunguza chanzo cha moto katika hoteli hiyo na kusaidia uongozi wa wilaya pamoja na watendaji wengine kujua ni namna gani wataweza kuzuia majanga mengine ya moto yasije yakatokea mkuu huyo wa wilaya alisema kamati hiyo itaongozwa na mkurugenzi wa manispaa hiyo mkuu wa polisi wilaya afisa usalama wilaya meneja wa tanesco mkoa mhandisi wa ujenzi wa manispaa hiyo pamoja na mkuu wa kikosi cha zimamoto aidha mwambungu alitoa wito kwa wamiliki wa majengo na taasisi kubwa katika manispaa hiyo kuhakikisha wanaweka miundo mbinu ya umeme vizuri kwa kutumia mafundi wenye uhakika pamoja na kuita tanesco kwa ajili ya ukaguzi kabla ya kuanza kazi ili kuweza kunusuru majanga ya moto yanayojitokeza mara kwa mara mahakama ya hakimu mkazi kisutu imeombwa kutopokea maelezo ya onyo yanayodaiwa kutolewa na ofisa ugavi wa wizara ya maliasili bibi UNK moshi kwa kuwa hayahusiani na makosa aliyoshitakiwa nayo mahakamani hapo mbali na hilo pia mahakama imeombwa kutangaza kuwa shahidi wa upande wa mashitaka ambaye ndiye alikuwa mpelelezi wa kesi hiyo kutoka takukuru hana sifa za kutoa maelezo hayo kwa kuwa makosa yanayowakabili washitakiwa hayo hayahusiani na makosa ya rushwa hayo yalijitokeza jana mahakamani hapo mbele ya hakimu mkazi bwana UNK sanga wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kusikilizwa kesi inayowakabili maofisa wa wizara ya maliasili ambao wanadaiwa kuiba shilingi milioni mia moja na kumi na tisa tano malumbano hayo ya kisheria yalijitokeza baada ya shahidi wa pili wa upande wa mashitaka bwana philip mbega kutoka takukuru kuiomba mahakama kupokea maelezo ya onyo ya mshitakiwa huyo ambaye alidai kumhoji wakati wa upelelezi wa kesi hiyo akipinga kupokewa kwa maelezo hayo wakili wa utetezi bwana hudson ndusyepo alisema kuwa maelezo hayo yanaonesha mshitakiwa alionywa kwa makosa ya kutengeneza nyaraka kwa nia ya kumdanganya mwajiri wake tofauti na makosa yaliyoko mahakamani alisema kuwa mbali na kumhoji kwa makosa mengine lakini shahidi huyo hana mamlaka ya kukamata wala kuchunguza makosa aliyoshitakiwa nayo mshitakiwa huyo kwa kuwa wenye mamlaka hayo ni polisi ambao UNK kwa sheria ya kanuni ya adhabu ambayo ndiyo ameshitakiwa nayo kwa kuzingatia haya takukuru walitakiwa kuripoti polisi ili washughulikie suala hili kwani makosa yaliyoko mahakamani hapa hayahusiani na rushwa alisema bwana UNK katika majibu ya upande wa mashitaka kuhusiana na pingamizi hilo walisisitiza kupokewa kwa maelezo hayo kwa kuwa lipo kosa linalohusiana na makosa ya rushwa ambalo liko kwenye sheria ya uhujumu uchumi kutokana na malumbano hayo mahakama itatoa uamuzi wa kupokea maelezo hayo au la novemba ishirini na sita mwaka huu washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni bwana elias mziray bwana david UNK na bwana joseph rweyemamu ambao wote kwa pamoja wanakabiliwa na makosa ya kula njama kuiba na kusababisha hasara ya shilingi mia moja na kumi na tisa mia tano na thebathini sifuri sifuri sifuri wakiwa waajiri wa wizara hiyo jumla ya wanafunzi wa ishirini na tano wa jamii ya wafugaji wa kimasai wilayani kiteto katika mkoa wa manyara wamepatiwa hifadhi na serikali kusubiri matokeo ya mtihani wa darasa la saba ikihofia wanaweza kuolewa kabla ya matokeo hayo kutangazwa akizungumza na majira ofisini kwake mkurugenzi mtendaji wa halmashuri ya wilaya ya kiteto bibi UNK lyimo amesema hifadhi hiyo imetokana na ombi maalumu la madiwani lililotolewa kwenye kikao kuhusu hifadhi hiyo hadi sasa jumla ya wanafunzi ishirini na tano wa kike wa jamii ya kifugaji wamasai ambao wamemaliza mtihani tumewapa hifadhi shule moja ya msingi katika kata ya UNK alisema na kuongeza pamoja na hifadhi hiyo bado kuna haja ya kutazamwa upya jinsi ya kuisaidia jamii kuona umuhimu wa kusomesha watoto wao sio kweli kuwa wanashindwa kusomesha kwakuwa hawana uwezo alisema pamoja na serikali kuwapa hifadhi wanafunzi hao bado wazazi wana wajibu wa kusomesha kwa kuwa kufanya hivyo jamii itaendelea kubweteka kusubiri serikali ambayo hata hivyo UNK na watu tegemezi bibi lyimo aliendelea kusema kuwa jamii ya wafugaji hao ina uwezo mkubwa wa kifedha kulingana na jamii zingine kutokana na shughuli zao za ufugaji hawana sababu ya kusubiri serikali UNK watoto wao pamoja na kupatiwa hifadhi hiyo bado kuna kila sababu ya mzazi kumlinda mtoto huyo kwa kuwa bado yuko mikononi mwake na kama itabainika akapata mimba mzazi atawajibika kwa nafasi yake kisheria alisema akiwa hajafurahishwa na kitendo hicho wanafunzi hao majira ilifuatilia kama wapo shuleni hapo na kubaini kuwa wengi wao wametoroka kwa kile kilichodaiwa kuchoshwa kukaa bweni bila kazi wakati wakisubiri matokeo wenzetu wametoroka hawapo hapa hata sisi tumechoka kukaa bila kazi wala UNK hatuendi tuisheni tunakula na kulala tu UNK hata hivyo kuna tatizo la uhaba wa chakula shuleni wazazi wametakiwa kuchangia na hawatakubali alisema mmoja wa wanafunzi hao ambaye hakutaka jina lake litajwe mwenyekiti mtendaji wa kampuni ya ipp bwana regnald mengi amemshauri waziri wa nchi ofisi ya rais bibi sophia simba kunyamaza kimya katika vita dhidi ya ufisadi kwa sababu akida kuwa siyo mwadilifu na kwamba hawezi kusimama kupinga vita dhidi ya ufisadi vile vile amemshauri kabla hajazungumza aombe ushauri kutoka taasisi za serikali kama vile usalama wa taifa badala ya kupotosha ukweli bwana mengi alisema hayo jana dar es salaam wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tuhuma ambazo zimekuwa zikielekezwa kwake na baadhi ya viongozi wa chama cha mapinduzi kwamba yeye si mwanachama wa chama hicho na hatoi misaada ya hali na mali kwa chama bwana mengi alipotakiwa na waandishi wa habari aeleze alichodai ni uchafu wa bibi simba alisema kuwa uko wazi na hakuna asiyefahamu ambapo alimtolea mfano uchaguzi wa jumuiya ya wanawake wa chama cha mapinduzi jinsi alivyokuwa UNK kinyume na maadili ndugu wanahabari kuna msemo wa kiingereza usemao don t UNK with a fool because people may not know the UNK between you the fool wenye maana kwamba usibishane na mjinga kwa sababu watu wanaweza kushindwa kufahamu tofauti yako na huyo mjinga wakati mwingine UNK kujibu hoja UNK mtu UNK mambo kwa makusudi na kuanza kuropoka kwamba sitoi misaada kwa ccm hilo ni jambo UNK na watu binafsi na kwa malengo binafsi alisema bwana mengi alisema kuwa viongozi wa ccm ambao ni waadilifu na wanaosimamia ukweli wanajua undani wa jambo hilo iwapo kama anachangia au la kuhusu uwanachama wangu wa ccm napenda kuwaambia kwamba mimi ni mwanachama wa ccm tangu aprili kumi na nane mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na saba na kadi yangu ni namba b laki moja na elfu ishirini na nne na mia tano na tisini na tano iliyotolewa na tawi la kisutu wilaya ya ilala mkoa wa dar es salaam alisema huku akiionyesha UNK hiyo kwa UNK bwana mengi alisema madai yote kwamba yeye si mwanachama au alijiunga na chama hivi majuzi kama inavyoelezwa na bibi simba katibu wa ccm mkoa wa dar es salaam bwana shaaban nggenda na mwenyekiti wake bwana john guninita ni uongo uzushi na UNK wenye lengo la kudhoofisha juhudi za viongozi wa juu wa chama hicho na baadhi ya wanachama za kupiga ufisadi vita alisema kuwa ameshangazwa na kauli ya bwana nggenda aliyoitoa juzi katika vikao vya chama dodoma kuwa katika ukaguzi wake alioufanya katika matawi ya kisutu hakuona jina lake wakati yeye ni UNK hai wa ccm alisema kuwa yeye na wenzake wamekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kwamba chama kinaongozwa katika misingi yake ya asili ya kupiga vita rushwa na maovu mengine bwana mengi alisema kuwa wanaodai kuwa ndani ya ccm hakuna kiongozi msafi ni wazi kwamba UNK chama hicho hivi majuzi ambapo aliwashauri waondoke na kuwaachia chama chao kwa kuwa hawafahamu msingi wake imara baadhi ya vyombo vya habari jana vilimkariri bibi simba akidai kwamba chama chao kilikuwa UNK bwana mengi kuwa ni kada wa ccm na kwamba tayari hata uamuzi wake wa kuamua kujiunga na chama hicho katika siku za hivi ulikuwa UNK katika hatua ambayo haikutarajiwa waziri simba badala yake aliwataka wabunge wa ccm UNK na bwana mengi na kuunga mkono jitihada zake za kuchangia fedha za misaada katika maeneo mbalimbali nchini kufanya hivyo hivyo hata katika michango ya mabilioni iliyotolewa na rais jakaya UNK sehemu tofauti nchini wabunge wapania kuendeleza mapambano UNK asisitiza rostam anahusika richmond wabunge wengi mjini dodoma wamesikitishwa na hatua ya serikali kutowasilisha taarifa kuhusu kampuni ya richmond kama bunge UNK na kusema kuwa hatua hiyo inalenga kuzorotesha vita dhidi ya ufisadi kinyume na matarajio ya wabunge na watanzania wengi serikali jana haikuweza kutoa maelezo kuhusu ripoti yake ambayo ilikataliwa na bunge katika mkutano wa uliopita kwa maelezo kwamba haikukidhi matarajio yao wabunge waliohojiwa jana walisema hata hivyo kwamba wataendeleza mapambano dhidi ya ufisadi na kuhakikisha kwamba waliohusika katika kashfa hiyo wanachukuliwa hatua suala hili linacheleweshwa makusudi halafu mbaya zaidi hatupewi taarifa za kuridhisha mapema haya ni matumzi mabaya ya kodi za watanzania alisema mbunge mmoja ambay hakutaka kutaja jina lake jana spika wa bunge samwel sitta kabla ya kumkaribisha waziri mkuu kuahirisha bunge alieleza kuwa ripoti ya richmond pamoja na ile ya ticts na trl zitatolewa katika mkutano wa bunge lijalo wakati huo huo kikao cha faragha kati ya wabunge wa ccm na wazee wa chama hicho chini ya rais mstaafu ali hassan mwinyi kilimalizika juzi saa sita na nusu usiku huku mtihani wa kumaliza mpasuko miongoni mwa wabunge ukizidi kuwa ngumu zaidi dalili za wazi za kuota mizizi kwa mpasuko huo UNK na majibizano makali yaliyotawala kikao hicho kilichokaa siku tatu huku jana UNK kwa mbunge wa nzega bwana lucas selelii kutoa maelezo ambayo alidai ni ushahidi wa jinsi watuhumiwa wa ufisadi walivyohusika moja kwa moja na kashfa ya richmond kuna shahidi mmoja aliyekuwa akiishi dar es salaam alituambia wazi kwamba nyumba alimokuwa UNK UNK na rostam na kwamba mwandishi mmoja aliyekuwa ikulu alisema alipewa kazi ya kuhakikisha richmond UNK vizuri wafanyakazi wa richmond walikuwa ni walewale wa UNK kampuni ya rostam sasa UNK nini kutohusika na richmond kilisema chanzo chetu ndani ya kikao akimnukuu bwana selelii aliendelea kama wanaona wameonewa kama wanavyodai basi waende mahakamani au tumieni kanuni kurudisha upya hoja ya richmond bungeni barua zote za wizara ya nishati na madini kila moja ina msisitizo wa kwa agizo la waziri mkuu lakini pia ile richmond iliyopo marekani ni ya printing haijui hata kufunga balbu richmond llc haipo marekani kama hayo ni uongo basi waende mahakamini alinukuliwa akisema selelii ilielezwa kuwa mbunge huyo machachari aliweka wazi jinsi richmond UNK kwamba iliwahi kujenga uwanja wa taifa imetengeneza barabara ilijenga bomba la mafuta mambo ambayo katika uchunguzi UNK kuwa ya uwongo awali mbunge wa igunga bwana rostam aziz alitaka kuundwa kwa tume huru kuchunguza ukweli wa taarifa ya richmond kwa maelezo kwamba taarifa hiyo UNK yeye aliyekuwa waziri mkuu edward lowassa na watendaji wengine waliotajwa kutokana na hali hiyo baadhi ya wabunge waliozungumza na majira kwa masharti ya kutotajwa majina kwa madai kwamba kikao hicho ni cha ndani walieleza UNK kwao na yaliyojiri katika kikao huku wakihofia hatma ya ccm kwanza nafikiri kama mimi ningekuwa sophia simba UNK yeye ni waziri wa utawala bora UNK kuzungumza yale UNK hata kidogo yawe ya kweli au ya uwongo UNK wengine waseme kama ni ya kweli UNK rais kama waziri ili zifanyiwe kazi mapema hata kabla ya kikao chetu alisema mbunge mmoja mzoefu wa ccm kuhusu kauli ya waziri huyo aliyoitoa jana na juzi mbunge mwingine alisema anamwonea huruma sana mwenyekiti wetu wa chama akisema ana mtihani mgumu sana wa kuchambua pumba na mchele lakini ukweli UNK kama UNK maamuzi sahihi na bila kujali sura ya mtu tutakwenda pabaya zaidi kuwa UNK nguo sasa hatua za haraka zinahitajika alisema mbunge mwingine wakati hayo yakiendelea vyanzo vya majira vilieleza kwamba waziri simba amesikitishwa na jinsi watu UNK mchango wake huku akiweka wazi kwamba hawezi kutukana mtu kwa kuwa yeye anajua umuhimu wa kuzingatia maadili ya ccm naye kulwa mzee anaripoti kuwa hakuna kiongozi hata mmoja ndani ya chama cha mapinduzi anayepinga ufisadi kwa dhati kwa sababu hiyo ndiyo falsafa ya chama hicho madai hayo yalitolewa na wakili maarufu nchini profesa abdallah safari alipokuwa akizungumza na majira kuhusiana na malumbano yanayoendelea kati ya wabunge na mawaziri kuhusu nani fisadi profesa safari alisema aliyozungumza waziri ofisi ya rais sophia simba ni kweli na kwamba walioguswa watalalamika lakini ukweli utabaki pale pale jana waziri huyo UNK kwenye kikao kinachoendeshwa na rais mstaafu ali hassan mwinyi akiwatetea bwana edward lowassa na andrew chenge kwamba tuhuma za ufisadi dhidi yao UNK na kwamba mbunge wa same mashariki anne kilango ni nio mumewe john malecela UNK na mafisadi wakati wa uchaguzi mwaka ishirini sifuri tano kama kuna viongozi ambao ni UNK wa kupiga vita ufisadi mbona hawataki nyumba za serikali UNK zirudi alisema na kuongeza kwamba kuuzwa kwa nyumba hizo UNK hasara kubwa serikali alisema viongozi wanaacha kushughulikia vitu kama hivyo UNK wanashughulikia UNK na vilivyo katika uchunguzi akizungumzia hilo shekhe ponda issa ponda alisema hali ni mbaya kwa upande wa serikali lakini ni nzuri kwa upande wa wananchi kwani sasa wanafahamu kuwa viongozi wote walioko madarakani si wazuri alisema kutokana na hali iliyopo ni wazi kwamba viongozi waliopo madarakani wanaendelea kuwepo kutokana na mfumo uliokuwepo awali ambao unatakiwa kubadilishwa shekhe ponda alisema bila kuwepo kwa mfumo huo viongozi wote wanaonekana hawana sifa za kuendelea kushika nyadhifa walizonazo mahakama ya hakimu mkazi kisutu imewaachia huru wanafunzi watano wa chuo kikuu cha dar es salaam ambao walituhumiwa kufanya mkusanyiko usio halali baada ya upande wa mashitaka kushindwa kupeleka mashahidi wa kesi hiyo uamuzi huo wa kuachiwa huru kwa wanafunzi hao ulitolewa jana mahakamani hapo na hakimu mkazi bibi victoria nongwa ambaye kabla ya kufuta kesi hiyo alitoa ahirisho la mwisho kwa upande wa mashitaka mahakama ilitoa ahirisho la mwisho kwa upande wa mashitaka ili waweze kuleta mashahidi lakini imeshindikana hivyo washitakiwa wanaachiwa huru kutokana na upande wa mashitaka kushindwa kuleta mashahidi wa kesi hii ilisema amri ya mahakama wanafunzi UNK huru ni antony machibya UNK steven UNK UNK titus UNK na paul issa ambao walifikishwa mahakamani hapo januari ishirini na moja mwaka huu wakikabiliwa na makosa ya kufanya mkusanyiko usio halali chini ya sheria ya kanuni za adhabu kifungu cha sabini na nne ambapo mkusanyiko huo ulisababisha uvunjifu wa amani ilidaiwa kuwa katika mkusanyiko huo walikuwa na mabango ambayo yalikuwa na ujumbe uliosema laiti nyerere angefufuka leo UNK machozi ya damu kweli kikwete umesahau umasikini wa watanzania ilisema sehemu ya bango hilo sehemu nyingine ilisema kuwa hivi pinda kweli wewe ni mtoto wa mkulima wazazi wetu UNK huruma tunateseka vyuo vya umma vimeuzwa kwa matajiri yalisema mabango hayo upande wa mashtaka katika kesi hiyo UNK kuita mashahidi sita kutoka jeshi l polisi ambao ni ssp gervas mapunda sp nyangasa c elfu nane na mia saba na sabini na sita d UNK nyangasa pc hamis pc william na pc nsajigwa serikali ya japan imesaini mkataba wa dola za marekani mia moja na sabini na tatu mia mbili na arobaini na nane kwa ajili ya kusaidia mradi wa maji mkoani iringa na ujenzi wa kituo cha afya mkoani dodoma mkataba huo ulisainiwa jana dar es salaam kati ya balozi wa japan bwana hiroshi nakagawa na wenyeviti wa miradi hiyo bwana stephano mgina alisaini mkataba wa mradi wa maji wa kijiji cha mlangali na UNK wilayani ludewa mkoa wa iringa wenye thamani ya dola za marekani themanini na nane mia tisa na arobaini na moja msaada huo kwa ajili ya ujenzi wa matangi mawili na kusambaza bomba katika vijiji hivyo mkataba wa mradi wa ujenzi wa kituo cha afya cha mkonze manispaa ya dodoma wenye thamani ya dola za marekani themanini na nne thebathini saba ulisainiwa na bwana yona wami fedha hizo kwa ajili ya ujenzi wa chumba cha matibabu na mapokezi ambapo watu kumi sifuri sifuri sifuri UNK balozi nakagawa alisema sekta ya afya ni muhimu na serikali ya tanzania inajitahidi kwa nguvu zote kuhakikisha wananchi wanapata huduma inayostahili pia alisema mradi wa maji wa mlangali utasaidia kuwapatia maji safi na salama wakazi saba themanini sifuri wa vijiji hivyo na kupunguza magonjwa ya kuhara na mengine yatokanayo na matumizi ya maji yasiyo salama balozi aliiomba kamati ya maji kuhamasisha wananchi kuchangia huduma hiyo na fedha zinazokusanywa zifanye kazi iliyokusudiwa akishukuru baada ya kusaini mkataba huo mwenyekiti wa mkonze bwana wami alisema watatumia fedha hizo kwa matumizi yaliyokusudiwa na si vinginevyo ili kuwapunguzia wananchi adha wanayokabiliana nayo naye mwenyekiti wa mlangali bwana mgina alisema wananchi watashiriki kwa hali na mali katika kufanikisha mradi huo na fedha hizo zitatumika kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa watu wanne wamefariki dunia na wengine kumi na sita kujeruhiwa baada ya basi la kampuni ya super UNK lenye namba t mia tisa na thebathini na tano UNK kugongana na fuso lenye namba t mia mbili na arobaini na tatu UNK maeneo ya dakawa barabara ya morogoro dodoma kamanda wa polisi mkoa wa morogoro bwana thobias andengenye amesema tukio hilo lilitokea novemba tisa majira saa moja kumi na tano usiku maeneo hayo ya dakawa wilaya ya mvomero ambapo alisema chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa madereva hao andengenye amesema dereva wa basi hilo lilikuwa likitokea mwanza kwenda dar es salaam alikimbia baada ya tukio hilo na dereva wa fuso aliyefahamika kwa jina la bwana aron UNK mkazi wa kibaigwa anashikiliwa na polisi amewataja watu waliofariki katika ajali hiyo kuwa ni bibi UNK paschal mkazi wa mkoani mwanza bwana issa mwezi ambaye ni kondakta wa basi ambapo marehemu wawili bado hawajatambulika ambapo miongoni mwao mmoja ni mwanaume mtu mzima na mwingine ni mwanamke UNK kuwa na umri kati ya miaka kumi na saba na kumi na tisa kamanda huyo amewataja majeruhi wa ajali hiyo kuwa ni bwana jastin UNK askali mstaafu wa jwtz musoma bwana UNK mohamed mkazi wa kibaigwa bwana UNK UNK ambaye ni utingo wa fuso bibi salome nicholaus bwana raphael john bwana benard ndege mkazi wa misungwi bwana ally mkombozi mkazi wa dodoma bibi veronica UNK mkazi wa igunga bibi getrude dominick mkazi wa nzega na mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka moja ambaye UNK jina lake wengine ni mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka moja ramadhan mohamed mkazi wa singida bwana pascal sungura bibi UNK pascal mkazi wa mwanza na matiku protas mkazi wa dar kamanda andengenye amesema majeruhi wote wamelazwa katika hospitali ya mkoa wa morogoro kwa matibabu na maiti UNK katika chumba cha kuhifadhia maiti katika UNK hiyo ya mkoa na mashaka mhando handeni taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa wilayani hapa imeingilia na kusimamisha zoezi la usaili walioomba nafasi za ajira katika halmashauri ya wilaya ya handeni akidai kwamba mchakato mzima wa zoezi hilo umetawaliwa na mazingira ya rushwa na uwepo wa dalili za ukabila hatua hiyo inafuatia malalamiko yaliyowasilishwa takukuru na baadhi ya waliomba ajira kufuatia matangazo mbalimbali waliyoona kwenye magazeti na mbao za matangazo ambao afisa mmoja wa halmashauri hiyo UNK majina yao bila kuzingatia sifa zao na taratibu za usaili wa awali UNK baadhi ya watu walioomba ajira na kukatwa majina yao walisema kuwa baadhi ya wanzao walitakiwa chochote ili waweze kupewa upendeleo ikiwemo kuitwa kwenye usaili ambao ulipangwa kufanyika kwa siku tatu kuanzia aprili kumi na nne hadi kumi na sita na UNK hao tayari wakiwa wamefika wilayani hapa wakitokea mikoa ya dar es salaam singida arusha kilimanjaro singida dodoma iringa na mikoa mingine mimi niliomba nafasi ya ugavi nina sifa zote zinazotakiwa lakini cha kushangaza walioitwa kwenye usaili hawana sifa na vigezo vinavyotakiwa hii inaonyesha ofisi ya utumishi iliyokuwa ikishughulikia zoezi hili imetumia mazingira ya yasiyoeleweka alisema mkazi wa dodoma bwana UNK hashim aliyeomba nafasi ya maendeleo ya jamii akitokea wilayani handeni aliyezungumza na majira jumapili kwa njia ya simu alisikitishwa na hatua ya kusimamishwa kwa zoezi hilo akielezea kwamba limewatia hasara UNK ambao wametokea mbali na handeni na kwamba UNK kabla ya kufika kituoni kamanda wa takukuru mkoa wa tanga bwana UNK UNK alipoulizwa jana juu ya hatua hiyo alikiri kusimamisha zoezi hilo lakini akasema kwa kuwa yupo nje ya ofisi atazungumzia suala hilo jumatatu bwana kimaro ambaye ni ofisa utumishi UNK suala hilo lililoleta matafaruku mkubwa alipoulizwa alisema suala hilo litazungumzwa na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo bwana hassain UNK alisema tatizo kubwa katika zoezi hilo ni suala la kupendekeza majina kwa kutumia mfumo wa short UNK ambao UNK majina ya watu kutokana na namna UNK akitoa mfano kwamba sehemu iliyokuwa na watu ishirini UNK majina UNK pekee wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania jana walitangaza uamuzi wa kutofanya kazi na mwekezaji kampuni ya rites kutoka nchini india hadi mkataba kati yake na serikali UNK wafanyakazi hao wametoa tamko hilo ikiwa ni siku moja baada ya kumalizika notisi ya siku sitini iliyotolewa na mwekezaji huyo kuitaka serikali kutekeleza makubaliano ya mkataba wao juu ya uendeshaji wa kampuni hiyo mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wa reli tanzania bwana juma lema alibainisha jijini dar es salaam katika mkutano wa wafanyakazi hao kuwa hawako tayari tena kufanya kazi na mwekezaji huyo na hawamtambui kuanzia jana mwenyekiti huyo alisema kitendo cha serikali kushindwa kutoa ufafanuzi na uamuzi wowote baada ya kupokea notisi hiyo kimedhihirisha udhaifu na woga dhidi ya mwekezaji huyo na ndio maana wamechukua uamuzi wa mwanzo wa UNK hali hii inazidi kuongeza utata wa hatma ya kampuni hiyo kwani ni muda mrefu sasa tangu mvutano huo uanze pamoja na mwekezaji huyo kuonesha kasoro kadhaa serikali imekuwa ikipinga kuchukua uamuzi mzito katika suala hilo hakuna sababu kuendelea kuogopana huku wananchi waliokuwa wakitegemea huduma ya usafiri wa treni kuzidi kusota stesheni kila siku kutokana na udhaifu wa mwekezaji reli ya kati ni kongwe iliyojengwa enzi za ukoloni leo hii watanzania walipaswa kuona UNK na kufikia kiwango cha kuendeshwa kwa umeme lakini maamuzi UNK yanazidi kuirudisha nyuma na huduma zake kuwa na taswira ya enzi ya UNK serikali ifike mahali iseme inatosha na kuachana na mwekezaji huyu na kutangaza zabuni upya kuwapa nafasi wawekezaji wengine wenye uwezo kuendesha kampuni hiyo serikali UNK huruma wananchi UNK kila siku kwa kukosa usafiri na ikubali kuchukua maamuzi mazito rais wa zamani wa jamhuri ya afrika ya kati bwana UNK felix patasse ambaye alirejea nchini humo kutoka uhamishoni mwezi uliopita amekutana na UNK oa madarakani na kisha kutangaza kuwa atawania kiti hicho tena kwenye uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwakani bwana patasse alikutana na rais francois UNK juzi ambaye UNK oa madarakani mwaka ishirini sifuri tatu ikiwa ni baada ya kukalia nafasi hiyo kwa muda wa miaka kumi naweza kuthibitisha kuwa nitakuwa mgombea kwenye uchaguzi wa rais mwaka ishirini moja sifuri bwana patasse alieleza katika taarifa yake ningependa kumshukuru kiongozi wa nchi ambaye UNK tujadiliane kuhusu matatizo yanayokabili nchi aliongeza katika taarifa hiyo yeye na mimi tumeipokea kwa mikono miwili hali hiyo kwa sababu UNK wazi na inaeleweka kila mmoja UNK mwenzake vizuri jambo ambalo nilikuwa UNK wakati nikirejea nchini iliongeza sehemu ya taarifa hiyo ya bwana UNK bwana patasse sabini na mbili alirejea nchini oktoba thebathini mwaka huu akiwa ni baada ya miaka saba ya kuishi uhamishoni nchini togo aliitumikia nchi hiyo kuanzia mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tatu hadi machi ishirini sifuri tatu wakati UNK na jenerali UNK mwishoni mwa mwezi agosti mwaka huu rais huyo wa zamani ndipo alipotangaza kuwa angerejea nchini humo kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwezi juni mwaka huu bwana patasse alitimuliwa ndani ya chama chake cha central african people s UNK movement ambacho kimemteua waziri mkuu wa zamani bwana martin UNK kuwa mgombea wake wa kiti cha urais serikali imeanzisha sensa ya kupata idadi halisi ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu na kujua chanzo chake naibu waziri wa maendeleo ya jamii jinsia na watoto bibi lucy nkya alisema katika maadhimisho ya miaka ishirini tangu ufikiwe mkataba wa haki ya mtoto na umoja wa mataifa jana kuwa sensa hiyo imekwishaanza kwa wizara yake kushirikiana na shirika la kimataifa lisilo la kiserikali alisema katika utafiti wa awali serikali imebaini kuwa sheria ya watoto ambayo imepitishwa na bunge hivi karibuni itawabana wazazi ambao wanajificha na kuwatuma watoto wao kuomba barabarani na kuwabana UNK watoto kwa ajira naibu waziri huyo alisema maadhimisho hayo UNK tanzania ikiwa imefanikiwa katika sheria mpya ya mtoto kwa kutoa elimu ya msingi sekondari na kupunguza vifo vya watoto kwa kutoa huduma za afya mwakilishi wa haki za watoto kutoa kituo cha dogodogo hussein cheyo alisema wanaomba serikali ianzishe mabaraza ya watoto kutoka ngazi ya mitaa wilaya mikoa na taifa ili kueleza matatizo UNK nayo mwakilishi wa haki za watoto nchini bwana UNK nyange alisema ili elimu ya sheria ya haki ya watoto nchini iwafikie walengwa shirika lake litaendelea kutoa vipeperushi vya kutoa elimu kwa watoto mmoja wa wadau wanaoshughulikia matatizo ya watoto nchini bwana geofrey mhagama aliomba serikali isaidie kuisambaza sheria mpya ya watoto kuanzia mahakama za mwanzo na mahakama kuu ili sheria hiyo ifahamike kwa watu wote na UNK kutumika ipasavyo kampuni ya uwakili ya malegesi law chambers imewasilisha pingamizi la awali katika mahakama kuu ya tanzania ikitaka kufutwa kwa madai UNK mahakamani hapo na benki kuu ya tanzania ikitaka kulipwa zaidi ya shilingi bilioni moja pingamizi hilo liliwasilishwa jana mahakamani hapo na mdaiwa huyo UNK na sababu nne zinazopinga kusikilizwa kwa madai hayo sababu zilizowasilishwa ni kwamba malalamiko ya bot yaliyotolewa kwenye hati ya madai yamejaa tuhuma uzushi na UNK pingamizi hilo lilidai kuwa mlalamikaji hana lalamiko la msingi kwa kuwa upotoshwaji unaolalamikiwa ni juu ya misingi ya sheria na mkataba ulitekelezwa na pande zote mbili sababu zingine ni kwamba mahakama hiyo haina mamlaka ya awali ya kusikiliza shauri hilo kwa mujibu wa taarifa za gazeti la serikali namba mia tano na kumi na tano ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na moja juu ya mishahara na kodi za mawakili mbali na hayo pia pingamizi hilo linadai kuwa kutokana na upotoshwaji shitaka hilo linapaswa kutupiliwa mbali kwa kuwa linapingana na kanuni ya sheria ya mwenendo wa makosa ya madai kesi hiyo iko mbele ya jaji UNK shekhe ambayo imepangwa kusikilizwa kwa pingamizi hilo aprili saba mwaka kesho awali bot ilifungua kesi hiyo mahakamani hapo ikiomba kulipwa na kampuni hiyo ya uwakili kiasi cha dola za marekani mia tisa na tisini na nane sifuri sifuri sifuri kutokana na udanganyifu katika mkataba waliokuwa wameingia kwa ajili ya ushauri wa kisheria katika kesi mbili zilizokuwa UNK bot polisi wanachunguza vifo vya kutatanisha vya watu wawili wawili ambao miili UNK katika vyumba walivyokuwa wanavyoishi miongoni mwa watu yumo mfamasia wa hospitali ya masana iliyopo mbezi wilaya ya kinondoni bwana bakari UNK kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni bwana mark kalunguyeye alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa tisa sifuri sifuri jioni maeneo ya boko bus UNK UNK maiti ya bwana jongo ikiwa imelala kitandani bila ya jeraha lolote mwilini pia bwana kalunguyeye alisema baadaye jioni katika eneo la kunduchi beach ilikutwa maiti nyingine ya mwanaume aliyetambulika kwa jina bwana pascal msomaji ikiwa imelala kwenye kochi na kuharibika vibaya bwana kalunguyeye alisema inadaiwa marehemu alifariki siku tatu nyuma na kwa taarifa za majirani marehemu hakuwa na maradhi yoyote ila inadaiwa alikuwa mnywaji mkubwa wa pombe za kienyeji miili ya marehemu imehifadhiwa katika hospitali ya mwananyamala na uchunguzi unaendelea UNK na vifo hivyo wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi jana ilishindwa kuanza ugawaji wa samaki waliokamatwa kwa wavuvi haramu kutokana na kutokamilika kwa taratibu naibu waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi bwana james wanyancha alisema kuwa wamesitisha utaratibu wa ugawaji wa samaki hao kutokana na UNK kwa utaratibu wenye lengo la kuhakikisha kuwa samaki hao wanawafikia walengwa na sio kuwakuta wakiwa sokoni kwa malengo ambayo UNK ni kweli tulitakiwa kugawa samaki hao leo lakini UNK kwa utaratibu ndio kumekwamisha maombi ya ugawaji wa samaki kwa kuwa wako watu wengi ambao UNK macho na sisi kama wizara lengo letu ni kuhakikisha wanawafikia walengwa bwana wanyancha alisema awali taarifa zilizolifikia gazeti hili zilisema kuwa samaki hao UNK kutokana na kukosekana kwa UNK maalumu ya kuwakatia kwa kuwa ni wakubwa lakini zilikanushwa na bwana wanyancha naibu waziri alitoa wito kwa wananchi kutokuwa na wasiwasi kuhusu suala hilo ila waendelee kuwa na subira na UNK tena pindi taratibu hizo za ugawaji wa samaki hao UNK samaki hao UNK baada ya kuvuliwa na wavuvi haramu katika bahari ya hindi na mahakama UNK kuwa samaki hao wauzwe kwa utaratibu wowote lakini wizara hiyo ikaamua kugawa bure taasisi kama hospitali shule magereza na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu mahakama ya wilaya ya ilala jijini dar es salaam imemhukumu mfanyabiashara bwana mohamed yusuph mkazi wa kariakoo kutumikia kifungo cha miaka thebathini jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa miaka kumi na moja kabla ya hukumu hiyo kutolewa mahakama iliamuru mshitakiwa huyo kufungwa kifungo cha maisha kutokana na uzito wa kosa lakini baada ya mshitakiwa kuomba apunguziwe adhabu kutokana na matatizo ya kiafya iliamuru aende jela miaka thebathini mwendesha mashitaka mkaguzi wa polisi bwana musa gumbo alimtaka hakimu kutoa adhabu kali kwa mshitakiwa ili iwe fundisho kwa watu wenye tabia kama hizo akitoa hukumu hiyo hakimu wa mahakama hiyo bibi janeth kinyage alisema ametoa hukumu hiyo baada ya kuridhishwa na ushahidi uliotolewa na upande wa mashitaka ambao UNK hatiani mshitakiwa awali ilidaiwa kuwa februari ishirini na moja mwaka jana maeneo ya feri mshitakiwa UNK mtoto wa miaka kumi na moja na kumsababishia maumivu makali hatua madhubuti na nia makini ya kuzitekeleza zinahitajika kuchukuliwa sasa ili kuinusuru dunia na uchafuzi wa mazingira unaosababisha mabadiliko makubwa ya tabia nchi endapo jumuiya ya nchi za kimataifa haitafanya hivyo sasa maisha ya binadamu na viumbe wengine yatakuwa hatarini kuanzia sasa na vizazi vijavyo hayo yalisemwa juzi dar es salaam na balozi wa ufaransa nchini bwana jacques de labriolle katika siku ya asasi za kiraia juu ya mabadiliko ya tabia nchi iliyoandaliwa na ubalozi huo balozi de labriolle alisema huu ni wakati mwafaka wa mataifa yote maskini na tajiri kuungana kuchukua na kutekeleza hatua madhubuti ili kuinusuru dunia na athari hasi zinazotokana na mabadiliko hayo UNK nayo kwa sasa alisema kuwa umuhimu wa kuchukuliwa hatua hizo haraka iwezekanavyo ambazo ni pamoja na kuongeza kasi ya kufanya utafiti wa kisayansi kubadili misimamo katika uendeshaji wa shughuli za biashara na viwanda na kuhamasisha tabia ya utunzaji mazingira miongoni mwa wanajamii yanafanya mkutano wa copenhagen utakaofanyika majuma machache yajayo kuwa na umuhimu wa kipekee katika historia ya dunia kama mnavyojua UNK majuma UNK kabla ya mkutano wa copenhagen ambayo ni moja ya majukumu makubwa jumuiya ya kimataifa imejipatia ili kufikia maamuzi yatakayosaidia kupambana na athari za mabadiliko ya tabia nchi mkutano huu ni moja ya mikutano ya kihistoria mabadiliko ya tabia nchi yanasababisha athari kubwa mno katika dunia hii kwa jamii nzima na malengo yetu ya kimaendeleo uamuzi wa haraka unatakiwa kuamuliwa na kutekelezwa la sivyo dunia nzima itakuwa katika matatizo makubwa sasa na vizazi vijavyo hapo matatizo makubwa sasa na vizazi vijavyo baadaye alisema balozi de labriolle alisema kwa sababu ya athari zinazotokana na mabadiliko hayo kuongeza umaskini kwa nchi zinazoendelea ufaransa na hata jumuiya ya nchi za ulaya kwa ujumla imedhamiria kuchukua msimamo imara huko copenhagen kwa kutilia maanani matatizo UNK nchi zote kutokana na suala la athari hizo kwa sababu kila mmoja anahitaji kuona watoto wetu wakiishi katika mazingira mazuri na kupata maliasili wanazostahili hatuna budi kufikia makubaliano ya msingi huko copenhagen nawahakikishia kuwa ufaransa pamoja na jumuiya ya nchi za ulaya zitakuwa na msimamo madhubuti kupigania hatua madhubuti alisema balozi de labriolle aidha balozi de labriolle alisisitiza umuhimu wa asasi za kiraia katika kuleta msukumo wa kimaendeleo akisema kuwa asasi hizo kama vile mashirika yasiyokuwa ya kiserikali hazipaswi kuwa mashahidi wa mabadiliko katika jamii bali washiriki wakubwa aliahidi kutokana na kutambua muhimu na mchango wa asasi za kiraia ufaransa imekuwa ikitoa nafasi na kusikiliza maoni yao mkutano wa copenhagen utakaofanyika baadaye mwaka huu unasubiriwa kwa hamu na jumuiya ya kimataifa ambapo njia za kukabiliana na mabadiliko tabia UNK mkutano huo utafanyika huku kukiwa na kumbukumbu jinsi marekani UNK kutekeleza makubaliano ya mkutano wa kuhusu mazingira uliofanyika kyoto japan pia kumekuwepo na hali ya nchi tajiri kutokuonesha utayari pamoja na kuwa zinachangia kwa kiasi kikubwa kuathiri kwa mabadiliko ya tabia nchi duniani gari la mahakama ya ardhi dar es salaam land cruiser hard top limeibwa kwenye maegesho ya tawi la chama cha mapinduzi kibamba juzi usiku habari ambazo majira imezipata na kuthibitishwa na kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni bwana mark kalunguyeye zimesema walinzi wa ccm tawi la kibamba na dereva wa gari hilo wanashikiliwa kwa mahojiano zaidi akisimulia tukio hilo bwana kalunguyeye alisema kuwa baada ya dereva kuegesha gari hilo juzi usiku alielekea nyumbani kwake na baadaye wezi walifika na kuwafunga kamba walinzi wa tawi hilo UNK kwa silaha UNK gari kwa funguo bandia na kuondoka nalo alisema kuwa dereva wa gari hilo aligundua kuibwa kwa gari hilo asubuhi alipokwenda kulichukua na kupewa taarifa na walinzi kuwa limeibwa na majambazi katika tukio lingine mlinzi wa kampuni ya ulinzi ya nas jijini bwana hassan mohamed anashikiliwa na polisi kwa kumjeruhi kwa risasi mpita njia ambaye ni kondakta wa daladala bwana martin UNK kamanda wa polisi mkoa wa temeke bwana liberatus sabasi alisema kuwa tukio hilo lilitokea jana saa kumi na mbili asubuhi maeneo ya tandika baada ya bunduki yake kufyatuka risasi wakati akiwa lindoni huyu mlinzi baada ya kuamka leo asubuhi alisahau kama silaha yake ina risasi tisa na ndipo UNK kwa chini risasi moja kufyatuka na kumjeruhi mguuni mpita njia huyo alisema kamanda alisema kuwa mlinzi huyo ambaye alikuwa akilinda kisima cha mafuta cha bwana yassir ahmed anashikiliwa na polisi kwa mahojiano zaidi na majeruhi amelazwa katika hospitali ya temeke same kilimanjaro alhamisi novemba kumi na mbili ishirini sifuri tisa miili ya watu kumi na tisa kati ya ishirini na tano wanaohofiwa kufariki kutokana maporomoko ya miamba na udongo kwenye vijiji viwili vya UNK na goha vilivyopo kata ya mamba myamba wilaya ya same mkoani kilimanjaro UNK leo katika maeneo mawili tofauti kwenye vijiji hivyo naibu waziri wa kilimo chakula na ushirika mh UNK mathayo na mkuu wa mkoa wa kilimanjaro mama monica mbega ni miongoni mwa viongozi wa ngazi ya juu walioshiriki katika mazishi hayo ambayo ibada ya mazishi UNK na UNK UNK wa kanisa la sabato parokia ya same akisaidiwa na wachungaji tisa wa kanisa hilo kutoka mkoani kilimanjaro na makao makuu ya dayosisi ya sabato mjini arusha hata hivyo idadi hiyo imeongezeka kutoka watu kumi na nane UNK jana na kufikia kumi na tisa leo baada ya kupatikana kwa mwili wa mwanamke mmoja aitwaye UNK UNK mwili ambao ulifukuliwa kutoka kwenye kifusi cha udongo ndani ya nyumba UNK akiishi aidha baada ya vikao mbalimbali vya kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya na mkoa kwa kuwashirikisha ndugu wa marehemu imeamuliwa kuwa maiti zote zilizopatikana UNK kwa heshima zote katika viwanja vya makaburi ya pamoja kwenye vijiji hivyo naye kamanda wa polisi mkoani kilimanjaro acp lucas UNK UNK amesema kuwa bado vikosi vya uokoaji kutoka polisi mkoani tanga na wenzao wa kilimanjaro kwa kushirikiana na wananchi wa vijiji hivyo na maeneo UNK vimeendelea na zoezi la kutafuta miili mingine ya watu waliobaki ambao hadi sasa hawajulikani walipo amesema UNK utafutaji wa miili hiyo lilianza tene mapema asubuhi leo baada ya kusitishwa kwa muda jana jioni kutokana na kuingia kwa giza wakizungumza wakati UNK hayo mkuu wa mkoa wa kilimanjaro mama monica mbega na naibu waziri wa chakula kilimo na ushirika mh mathayo wamesema kuwa taifa limepoteza nguvukazi kubwa kwa kuondokewa na idadi hiyo ya wanakijiji kwa pamoja wananchi hao UNK baada ya kunyesha kwa mvua kubwa usiku wa kuamkia jana ambapo UNK miamba miti na mawe makubwa yenye UNK wa zaidi ya tani ishirini hadi arobaini UNK kutoa kwenye mlima manka kupitia kwenye nyumba za wananchi wa kijiji hicho mengine UNK na mengine UNK wasiweze UNK vijiji hivyo vimejengwa kandokando ya milima hiyo iliyoungana na milima ya upare jambo ambalo liliweza kusababisha mawe UNK kutoka katika milima hiyo kupoteza maisha ya viumbe wote waliopo kwenye eneo hilo pamoja na wananchi hao pia mifugo zikiwemo nggombe zaidi ya ishirini mbuzi kondoo mbwa na paka pamoja na kuku pia wamepoteza maisha katika janga hilo la UNK mbunge wa bariadi magharibi bwana andrew chenge amebaki peke yake kwenye kesi ya kusababisha vifo vya watu wawili kwenye ajali ya gari baada ya dereva wa bajaj bwana majid gharib aliyekuwa anashtakiwa naye kuachiwa huru bwana chenge na bwana gharib walikuwa wameunganishwa katika kesi hiyo iliyosababisha vifo vya victoria george na beatrice UNK lakini jana upande wa mashtaka umeomba dereva huyo wa bajaj aachiwe chini ya kifungu tisini na nane uamuzi wa kuachiwa huru kwa dereva huyo ulitolewa jana katika mahakama ya wilaya ya kinondoni mbele ya hakimu mfawidhi bwana emilius mchauru baada ya wakili anayeendesha kesi hiyo bwana richard rweyongeza kuomba kuachiwa kwa mshitakiwa huyo baada ya bwana chenge kubaki mshtakiwa pekee hatua inayofuata ni kusomwa kwa maelezo ya awali ya kesi hiyo na kuanza UNK kesi itatajwa desemba kumi na tano mwaka huu kwa ajili ya kupanga tarehe ya kuanza kusikilizwa bwana chenge UNK yuko nje kwa dhamana alifikishwa kortini machi thebathini mwaka huu kwa makosa ya kusababisha vifo vya watu wawili kutokana na uendeshaji gari kizembe tukio lililotokea machi ishirini na saba mwaka huu saa kumi thebathini alfajiri katika barabara ya haile UNK dar es salaam pia alishtakiwa kwa kuendesha gari bila kuwa na bima jambo ambalo ni kosa kisheria baraza la watumiaji usafiri wa majini na nchi kavu limeitaka serikali kupitia mradi wa mabasi yaendayo kwa kasi kuharakisha kutekeleza mradi huo ili kuondoa msongamano wa magari na usumbufu wanaoupata abiria katika daladala hayo yalisemwa dar es salaam jana na katibu mkuu wa baraza hilo bwana oscar kikoyo wakati akizungumza na majira kuhusu mradi wa mabasi yaendayo kwa kasi ambao umekuwa ukisuasua alisema mradi huo ulitangazwa kuwa awamu ya kwanza kuwa ungeanza na barabara ya morogoro mwaka ishirini sifuri nane lakini UNK hadi kipindi hiki huku shida ya usafiri dar es salaam ikizidi kuongezeka sasa hivi tumeambiwa kuwa basi la kwanza litaanza kufanyakazi mwaka ishirini moja sifuri yaani kabla ya uchanguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani hivyo tunaomba watekeleze kama walivyopanga alisema bwana UNK alisema baraza UNK serikali kwa kuanzisha mradi huo na linaona kuwa ukikamilika tatizo la msongamano wa magari na abiria litakuwa limeisha na itasaidia kuharakisha maendeleo kwa wakazi wa dar es salaam hata hivyo alipongeza hatua ambazo zimeshaanza za kupanua barabara ya morogoro ambapo tayari watu wameshaanza kulipwa fidia kupisha upanuzi wake kwa ajili ya mabasi hayo bwana kikoyo alisema mradi huo ukikamilika utapunguza gari binafsi za watu kuingia mjini kutokana na usafiri wa uhakika ambao hautakuwa wa purukushani na utakuwa wa haraka kufika sehemu ambayo abiria UNK mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi ametangaza kuwa ifikapo oktoba thebathini mwaka huu wamachinga wawe wameondoka katika maeneo yasiyo rasmi vinginevyo timuatimua itaanza upya bwana lukuvi alisema hayo dar es salaam katika mazungumzoa yake na watendaji wa manispaa ya ilala wakiwamo wenyeviti wa serikali za mitaa watendaji na madiwani juzi alisema biashara zote ambazo zinafanywa katika maeneo yasiyo rasmi yakiwemo maeneo ya barabara zinatakiwa kuondoshwa kabla ya tarehe hiyo ambayo imetangazwa kwa lengo la kufanya jiji kuwa tofauti na lilivyo hivi sasa jiji la dar es salaam limekuwa chafu sana kutokana na uzembe wa kusimamia sheria sasa wakati umefika kwa wakazi kubadirika na nitahakikisha jiji hili linakuwa safi na kufanana na halmashauri ya moshi ambayo imetumia sheria zake kuyaweka mazingira katika hali ya usafi alisema timuatimua hiyo UNK biashara zote zinazofanywa katika maeneo UNK zikiwemo biashara za maji ya kunywa ya chupa nguo miwa machungwa na aina ya zote za vyakula kwa mujibu wa bwana lukuvi shughuli hiyo ya timuatimua itafanywa na askari wa jeshi la polisi na wale wa jiji ambao watawakamata watakaokaidi kuondoka alisema UNK hiyo pia UNK wenye gereji katika maeneo yasiyo rasmi baa UNK muziki wa juu katika makazi ya watu vyoo UNK maji ya vyooni UNK UNK barabarani kutupa taka ovyo UNK maeneo yasiyo rasmi naye kamanda wa kanda maalumu ya dar es salaam bwana UNK kova alisema jeshi lake limejipanga vizuri kwa kuwakamata na kuwafikisha watu wanaovunja sheria kwa kufanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi alisema shughuli hiyo haitakuwa nguvu ya soda kwani yeye hapendi kushindwa jambo hivyo machinga watakaokaidi amri yake UNK huruma kwa sababu mpango huo ni wa kuliweka jiji katika mazingira ya usafi siku chache baada ya wafuasi wa chama cha wananchi kutaka kumshambulia katibu mkuu wao maalim seif sharif hamad kwa kukubali kumtambua rais wa zanzibar amani abeid karume jumuiya za chama hicho zimetangaza kuunga mkono hatua inayoashiria muafaka mpya wakati jumuiya ya wanawake wa chama hicho zanzibar imeandaa maandamano ya kuunga mkono mazungumzo hayo ile ya vijana UNK maalim seif kwa hatua hiyo maandamano ya wanawake hao yamepangwa kufanyika jumapili na kupokewa na makamu mwenyekiti wa chama hicho machano khamis ali yakiwa na ujumbe wa kuwaeleza wafuasi hao faida ya muafaka huo mkurugenzi wa uenezi na mawasiliano ya umma bwana salim bimani aliwaambia waandishi wa habari jana matayarisho yote yameshakamilika na mzungumzaji mkubwa atakuwa maalim seif sharif hamad lengo kubwa ni kuunga mkono mazungumzo ya viongozi ambayo yamesaidia cuf kuondosha mpasuko wa kisiasa siku nyingi na sasa wazanzibari wameamua kuungana na kusahau tofauti zao alisisitiza bwana bimani alisema mbali na maandamano hayo viongozi wa kitaifa wameanza kufanya ziara za kutembelea majimbo na kukutana na wanachama ili waweze kuwafahamisha sababu zilizofanya baraza kuu la uongozi wa cuf kumtambua rais karume maandamano hayo yataanzia uwanja wa komba wapya kupitia mikunguni na kumalizikia viwanja vya kibandamaiti wakati hayo UNK zanzibar jijini dar es salaam sekretarieti ya vijana wa cuf imetoa pongezi kwa bwana hamad kwa hatua aliyofikia mwenyekiti wa sekretarieti hiyo bwana mohamed UNK alisema kuwa hiyo ni njia muafaka ya kufikia suluhisho la amani visiwani humo kitendo cha kukutana kwa maalim seif na rais karume na hatimaye cuf kuitambua serikali ya rais karume ni ishara njema ya kulimaliza tatizo la zanzibar alisema bwana babu aliongeza kuwa matatizo ya kisiasa visiwani zanzibar yamefikia katika hali mbaya sana na ni viongozi pekee wanaotakiwa kuchukua hatua madhubuti za kumaliza tatizo hilo watu wamekuwa wakipigwa mara kwa mara kujeruhiwa vibaya kukamatwa na kukoseshwa haki yao ya msingi ya kuandikishwa kupigwa kura vijana wa chama cha cuf tunaamini matatizo haya na mengine yatamalizika kutokana na kitendo cha cuf kuitambua serikali ya rais karume na tunatoa wito kwa wanachama wote kwa ujumla kutoa nafasi kwa viongozi wetu wafikishe mwisho hatua waliyoanza ili kumaliza kabisa mtafaruku wa kisiasa zanzibar alisema novemba tano mwaka huu rais karume alikutana na maalim seif kuzungumzia mpasuko wa kisiasa wa zanzibar ambayo UNK zote mbili zilisema ni ya mafanikio makubwa mwenyekiti wa ccm rais jakaya mrisho kikwete ametakiwa kuchukua maamuzi magumu kukisafisha chama hicho kabla ya matokeo yake UNK mwaka ishirini moja sifuri rai hiyo imetolewa na kada wa chama hicho wa muda mrefu bwana UNK ole molloimet alipozungumza na majira juu ya hali ya kisiasa ndani ya chama hicho na kulaani kauli ya katibu mkuu wa ccm bwana yusuf makamba kuwa wanaotaka ang UNK wasubiri afe alisema umefika wakati kwa mwenyekiti wa ccm rais kikwete kutoa maamuzi magumu ya kukisaidia chama ya UNK watu walafi madarakani ambao kazi zao UNK kuwa za maslahi binafsi ukimya wa mwenyekiti unaendelea UNK katika utawala wake kwa kuwa hakuna UNK bali malumbano ya muda mrefu yasiyo na tija kwa wananchi huku UNK mambo ya msingi kwa wananchi alimtaka mwenyekiti huyo UNK haya kuwanyooshea kidole viongozi waovu kwa kuwa wanaonekana kubinafsisha ccm ambayo ni chama cha wakulima wafanyakazi akizungumzia kauli ya bwana makamba alisema mimi ni kada wa ccm wa muda mrefu tumekuwa UNK na UNK wa chama hiki mwalimu nyerere yeye hakuwa na kauli ya UNK hii hata siku moja na ndio maana hata leo hii tunaendelea kumuenzi yale yote mazuri aliyoyafanya alisema ole molloimet alisema kauli hiyo inaonyesha ni ya kibabe yenye utovu mkubwa wa nidhamu kisiasa sio ya wana ccm UNK upotoshaji ambayo inaonyesha kuwa chama hicho ni cha watu wachache kwa maslahi yao waliyopo madarakani alisema ccm UNK mtu uongozi na ndio maana kuna demokrasia ambayo inatakiwa kuzingatiwa kwa kauli za bwana makamba hazina mafunzo ya kuiga kwa kizazi kijacho alisema kauli hiyo inakatisha tamaa wanachama wa ccm na kujiona kuwa hawana chao bali chama ni cha akina makamba na baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi ambao wamekaidi kujiuzulu badala yake wamekuwa UNK ang UNK chama kimekuwa kichaka cha baadhi ya watu kuficha maovu yao ambao wananeemeka wakidhani wananchi hawayafahamu na kujipa moyo kuwa wao ndio wasemaji wakuu kuliko wenye chama maamuzi ya chama ni kauli za wanachama wakiongozwa na katiba na si kauli isiyokuwa na maadili kama ya bwana mkamba kwa wanachama ambao ni waadilifu na wenye uwezo mkubwa kimaamuzi kuliko yeye alisisitiza ole molloimet akizungumza na majira jana bwana makamba alisema kauli yake haikuwa na lengo baya bali alitaka UNK watoto kwenye mahafali kuwa waipende nchi yao kwa kuwa muda wake UNK bwana makamba hivi karibuni alikaririwa akisema wanaotaka UNK wasubiri amalize miaka minne iliyosalia kwenye maisha ya binadamu ambayo ni miaka sabini na tano wakati yeye amefikisha sabini na moja kada huyo alitolea mfano malumbano UNK muda mrefu yasiyo na tija kwa wananchi ya viongozi UNK kuitana mafisadi huku wengine wakidaiwa sio wana ccm serikali haiongozwi kiundugu inaongozwa kwa uadilifu mkubwa baada ya kupata ridhaa kwa wananchi ambao ndio wenye kauli na si walio madarakani kujiamulia na UNK wananchi ambao sasa wanajua na majibu yake yataonekana mwaka ishirini moja sifuri alisema ole molloimet alisema maadili ya uongozi UNK na hao hao walioko madarakani kwa kuheshimu pesa kuliko utu na hata baadhi ya wanaoingia madarakani hasa wanasiasa lengo lao ni kuchuma pesa tu wakati zimebaki siku kumi na tano za wakazi wa magomeni kota kuondolewa katika nyumba hizo wameomba waongezewe miezi mitatu ili watafute nyumba za kupanga mbali ya maombi hayo mkutano wa wakazi hao uliofanyika jana dar es salaam UNK mwenyekiti wa kamati yao bwana lucas UNK na kumlalamikia diwani wa kata ya ndughumbi kupitia ccm bwana charles mgonja kuwa hana msaada kwao mkutano huo UNK na jazba baada ya nyumba zao zote mia sita na arobaini na nne za kota magomeni kukatiwa umeme wiki iliyopita huku kukiwa hakuna majibu sahihi kuhusu hatma yao waliazimia kuchanga shilingi kumi sifuri sifuri sifuri kila mkazi za kumlipa mwanasheria UNK kisheria kuhusu UNK yao bibi mwajuma hamisi ambaye hoja yake ya kuomba kuongezwa miezi mitatu waendelee kuishi magomeni kota kupitishwa wakazi hao pia waliomba malipo ya mwaka ishirini sifuri sita ya shilingi mia saba na ishirini sifuri sifuri sifuri UNK kwa sababu thamani ya fedha hizo imeshuka makamu mwenyekiti wa kamati hiyo bwana nkurumah munjoli aliyejitahidi kuwatuliza wakazi hao UNK diwani kujibu tuhuma UNK kwake na wakazi hao diwani mgonja akijitetea kwa wananchi hao alisema hakuwa anahudhuria vikao vya wakazi wa UNK kota kwa sababu hajawahi kupata taarifa rasmi za kimaandishi na kuwepo kwake jana ni utashi wake akitokea hospitali kupata matibabu UNK UNK wakazi wa magomeni kota katika kipindi hiki kigumu ambacho ufumbuzi wake utatokana maamuzi ya kikao cha baraza la madiwani wa manispaa ya kinondoni UNK ili suala hilo kwa hili mimi UNK mawe lakini UNK kwa sababu asilimia tisini na tisa ya kura zangu zimetokana na ninyi wale UNK sifai inawezekana kutokana na mawazo yao lakini hii ni kazi ngumu sana alisema diwani mgonja wakazi hao pia walisema wana wasiwasi na viongozi wa juu wa manispaa ya kinondoni kutoa maamuzi bila kujali ni wapangaji wa nyumba hizo kutoka mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na suala lao linahitaji maafikiano ya kimaandishi na si kuweka mabango na kutoa taarifa kupitia vyombo vya habari jeshi la polisi nchini limekabidhiwa vifaa vitendea kazi na kampuni mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni kumi sifuri kwa ajili ya kusaidia juhudi za jeshi hilo katika kutekeleza majukumu yake ya kulinda usalama wa wananchi na mali zao akizungumza dar es salaam jana wakati wa hafla ya makabidhiano hayo waziri wa mambo ya ndani ya nchi bwana lawrence masha alisema vifaa hivyo vimekuja wakati muafaka ambapo jeshi la polisi limekuwa likikabiliwa na uhaba wa vitendea kazi ambavyo kwa kiasi kikubwa vimekuwa vikichangia jeshi hilo kushindwa kufanya kazi kwa UNK UNK jeshi la polisi nchini kwa jitihada kubwa wanazofanya katika kuwatambua wadau mbalimbali ambao wamekuwa wakishirikiana na jeshi hili na kuwa karibu na jamii katika utendaji kazi wao alisema bwana masha bwana masha aliwapongeza wadau mbalimbali ambao walichangia vifaa hivyo katika kutekeleza dhana jamii ya polisi na ulinzi shirikishi na kwamba huo ni mfano wa kuingwa kwa wadau wengine kuweza kushirikiana bega kwa UNK na jeshi hilo ili kuleta maendeleo nchini kampuni zilizotoa msaada huo ni pamoja na kampuni ya UNK UNK iliyotoa viatu pea hamsini sifuri aina ya buti jm traders ambayo pia imetoa viatu pea ishirini sifuri vya kawaida na makoti ishirini sifuri ya UNK UNK tanzania iliyotoa kofia kumi sifuri sifuri za UNK na UNK internation iliyotoa mipira nane jezi za mpira wa miguu seti moja na pampu moja ya kujazia upepo kampuni nyingine ni UNK enterprise iliyotoa UNK tape mita kumi sifuri sifuri sifuri na vitabu vya kurekodi taarifa za uhalifu arobaini sifuri chama cha riadha tanzania kilichotoa UNK na sare za mbio za riadha UNK traders iliyotoa UNK vitano mikanda ya filimbi hamsini sifuri na UNK hamsini sifuri open UNK waliotoa mahema mawili na kampuni ya mafuta ya big bon iliyotoa pikipiki nne waziri huyo amewahakikishia wadau hao kuwa misaada hiyo UNK bure bali itafanyiwa kazi kama ilivyokusudiwa ili kupunguza vitendo UNK na kuimarisha hali ya UNK nchini mgogoro kati ya viongozi wa umoja wa vijana katika wilaya ya arumeru pamoja na wanachama wake umechukua sura mpya baada ya wanachama hao kumkataa katibu wa umoja huo wilaya bwana UNK saidi kwa madai kuwa hawana imani naye sambamba na hilo umoja huo ambao ulikutana mwishoni mwa wiki iliyopita ulimtaka katibu wa umoja wa vijana mkoa wa arusha bwana athumani shesha kutojihusisha na mgogoro huo kwa madai kuwa ni miongoni kati ya viongozi wanaochangia kuwepo kwa UNK huo kaitka kikao cha wanachama hao cha kutafuta suluhu wanachama hao walimvika madaraka kwa muda katibu wa umoja huo bwana kenedy UNK huku wakimtaka katibu aliyekuwepo madarakani kutojihusisha na masuala ya umoja huo chanzo cha mgogoro huo ndani ya uvccm arumeru kinadaiwa kusababishwa na baadhi ya viongozi akiwemo katibu aliyesimamishwa pamoja na viongozi wengine wa ngazi ya mkoa na wanachama kumpitisha bwana goodluck ole mendei kuwa kamanda wa vijana arumeru bila kufuata kanuni wanachama hao wakizungumza na majira kwa sharti la kutotajwa majina yao walidai kuwa licha ya UNK katibu huyo lakini pia wametaka katibu wa vijana mkoa bwana shesha kutoingilia masuala ya uvccm arumeru kwa kuwa alichangia kuvunja kanuni za uchaguzi huo waliomchagua kamanda ole mendei na kumpitisha ni kamati ya utekelezaji ya wilaya na viongozi wa mkoa bila ya kutushirikisha sisi wanachama hii si kanuni waliofanya hivyo hatutaki UNK kwenye mpango wa kuleta UNK ndani ya uvccm alisema mmoja wa wanachama hao mwishoni mwa wiki iliyopita kulitokea vurugu kwenye kikao cha wanachama hao baada ya baadhi ya wanachama kudai kukiukwa kwa kanuni katika kumchagua kamanda wa ccm vijana mkoani humo kampuni ya simu za mkononi tigo imekabidhi zawadi kwa washindi watatu wa mchezo wa promosheni ya tigo bingwa iliyokuwa UNK kwa kipindi cha mwezi mmoja uliopita zawadi zilizokuwa UNK katika mchezo huo kwa mshindi wa kwanza ni moja UNK tv nchi ishirini na sita mshindi wa pili ni laptop na mshindi wa tatu ni digital kamera ambapo washindi UNK wote ni wa mkoa wa dar es salaam akizungumza dar es salaam jana wakati UNK washindi zawadi zao ofisa uhusiano wa tigo jackson mbando alisema promotion hiyo imefanywa na tigo kwa ajili ya watanzania wanaotumia mtandao huo ambapo washindi waliofanikiwa kunyakuwa zawadi hizo ni jamal jumbe UNK mohamed na UNK alex mbando alisema promotion hiyo ya tigo bingwa ilizinduliwa oktoba kumi na mbili mwaka huu na kufikia kilele chake novemba kumi na mbili na washindi hao kupatikana tunajisikia fahari sana kuendesha promosheni hii ya kipekee kwa kuwa kila mteja wetu alipoamua kushiriki alijiwekea lengo la kushinda zawadi anayotaka kutoka kwetu alisema UNK alisema bado kampuni hiyo inaendelea kuwazawadia watanzania UNK mtandao huo kwa kupitia promotion ya UNK inayoendelea na kwamba UNK sasa wamefikisha zaidi ya washindi mia mbili na thebathini walioibuka na zawadi za shilingi milioni moja hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri na thebathini sifuri sifuri sifuri sifuri wafanyakazi wa kiwanda cha kutengeneza vyombo vya plastiki cha cello jana waligoma ili UNK uongozi kuwarejesha kazini wanzao wawili waliosimamishwa kazi kwa madai ya kuandika barua ya kuomba kuongezewa mshahara na muda wa ziada wafanyakazi waliosimamishwa novemba kumi na nne mwaka huu ni mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wa viwandani na taasisi za fedha tawi la cello bwana UNK UNK na mjumbe wa chama hicho bwana mohamed UNK wakizungumza na majira dar es salaam jana wafanyakazi hao walisema wameamua kufanya hivyo kutokana na uonevu unaofanywa wa na mmiliki wa kiwanda hicho kwa kuwa wamekuwa wakifanya kazi zaidi ya muda wa nyongeza kwa malipo duni tofauti na mikataba ya ajira UNK tumeamua kufanya hivi ili kuonesha umoja wetu kwani bila kufanya hivi hawa watu UNK wanasema eti viongozi waliosimamishwa UNK macho sisi ambao elimu yetu ni ya chini lakini si kweli kwani hata sisi tunaona kuwa UNK alisema mmoja wa UNK hao kwa hasira alisema wamekuwa wakipunjwa malipo ya muda wa nyongeza kwa zaidi ya miezi mitano lakini wanapokwenda kudai huambiwa kuwa hawastahili kulipwa kwani wamekuwa wakifanya kazi kwa kutegea alisema wamekuwa wakifanya kazi kwa zaidi ya saa tisa kutoka saa mbili sifuri sifuri asubuhi hadi saa moja sifuri sifuri jioni bila kupumzika na zamu nyingine saa moja sifuri sifuri hadi mbili sifuri sifuri usiku hivyo kwa kuwa mwajiri wao ameshindwa kulipa nyongeza ya muda wa ziada walimtaka aongeze zamu nyingine ya tatu jambo ambalo UNK na kuamua kuwasimamisha kazi viongozi hao meneja UNK wa kampuni hiyo bwana UNK UNK alipoulizwa na majira kuhusu madai ya wafanyakazi hao alisema hakuwa na habari hiyo na hakuwa na cha kusema wananchi UNK gari la polisi na reuben kagaruki geita vuguvugu la uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la busanda wilayani geita mkoani mwanza limeanza kupamba moto baada ya polisi wenye bunduki aina ya smg na mabomu ya machozi kuwashusha jukwaani viongozi wa kitaifa wa chadema waliokuwa UNK wananchi katika sakata hilo polisi nao walijikuta UNK na wananchi wenye hasira UNK kumwachia huru kijana mmoja aliyekamatwa na askari hao wakitaka kumpeleka kituoni tukio hilo lilitokea jana mjini hapa katika kijiji cha katoro baada ya msafara wa viongozi wa kitaifa wa chadema kuwasili kijijini hapo na kupokewa na umati wa watu pamoja na msafara ya pikipiki na magari baada ya msafara huo kufika kijijini hapo viongozi wa kitaifa wa UNK wakiongozwa na mkurugenzi wa oganazesheni na mafunzo wa chama hicho bwana benson UNK walianza kupanda jukwaani kusalimia umati mkubwa wa wananchi waliojitokeza kuwapokea wakati viongozi hao UNK na kusalimia wananchi ndipo walifika askari wakiwa ndani ya gari la polisi namba tp elfu moja na mia moja na hamsini na tano aina ya land UNK wakiongozwa na mkuu wa polisi wa wilaya ya geita bwana kimei na kuwataka viongozi hao washuke jukwaani kwa kuwa mkusanyiko huo haukuwa halali hata hivyo vingozi wa chadema waliendelea na ratiba yao ya UNK ndipo askari wa kikosi cha kutuliza ghasia akiwa na bunduki aina ya smg akiongozana na askari kanzu walipoenda moja kwa moja kwenye gari la matangazo la chama hicho lililokuwa likitumiwa kama jukwaa na kuwaamuru wateremke chini na kuondoka hata hivyo hatua hiyo ilipingwa na viongozi wa chadema wakidai hawafanyi mkutano wa hadhara bali wamesimama kusalimiana na wananchi waliojitokeza kuwapokea polisi UNK sisi hapa hatufanyi mkutano bali UNK kuwasalimia wananchi kwani chama chetu hakina tofauti na ccm alisema mkurugenzi wa kampeni na uchaguzi wa chadema bwana msafiri mtemelwa hata hivyo polisi hao waliendelea na msimamo wao ambao ulionekana wazi kuwakera wananchi waliokuwa na shauku ya kuwaona viongozi wa kitaifa kufuatia hali hiyo wananchi walianza kuwatia moyo viongozi hao wa chadema wakidai kama waliweza kupambana na vitendo vya aina hiyo katika uchaguzi wa tarime ambapo walimwagwa askari wengi iweje waogope askari wachache baada ya viongozi wa chadema kutii amri ya polisi na kuanza kuwatangazia wananchi UNK ndipo polisi walimkamata kijana mmoja bwana safari manyama na kutaka kuondoka naye baada ya wananchi kuona hivyo walizingira gari la polisi na kuliweka katikati huku wakishinikiza aachiwe huru wakidai kuwa hakuna kosa lolote hata hivyo polisi walikataa kumwachia ndipo wananchi walianza kuvutana nao huku na wao wakijiandaa kufyatua hewani mabomu ya machoni baada ya wasiwasi kuzidi kuongezeka viongozi wa chadema waliwafuata polisi na kuwasihi UNK kijana huyo kwa kuwa siku zote mtutu wa bunduki haujawahi kuibuka na ushindi baada ya majadiliano ya muda mrefu polisi walikubali kumwachia kijana huyo hali iliyowafanya wananchi waanze kushangilia kwa kuimba nyimbo za kukipongeza chama hicho wakati huo huo kamati kuu wa chadema inatarajia kumtangaza mgombea ubunge wa chama hicho katika uchaguzi mdogo wa jimbo la busanda kesho baada ya kutangazwa kwa mgombea huyo timu ya kampeni ambayo tayari imewasili mjini hapa itaenda kupiga kambi mkoani kagera kwa takribani siku tisa ikiendelea na mikutano yake ya operesheni UNK ikisubiri muda wa kampeni ufike kampeni katika jimbo hilo zinatarajia kuanza aprili ishirini na tisa mwaka huu ambapo chadema itazindua kampeni zake mei mosi akizungumza na gazeti hili mkurugenzi wa oganazesheni na mafunzo bwana UNK alisema wanachama wawili wa chama hicho wamejitokeza kuwania nafasi hiyo aliwataja wanachama hao ambao jana walipigiwa kura za maoni kuwa ni bwana magesa finias na bwana nasoro bakari alisema taratibu zote za kampeni za chama hicho zimekamilika na kinachosubiriwa sasa ni uzinduzi uchaguzi mdogo wa jimbo la busanda unafanyika kufuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya ccm bwana kabuzi UNK hatma ya wakurugenzi na mameneja sita waliofukuzwa kazi katika wakala wa barabara tanzania itajulikana kesho baada ya kamati iliyoundwa kukamilisha uchunguzi wa majalada yao akizungumza na majira jana kaimu mwenyekiti wa tanroads bwana samwel nyatahe alisema kamati hiyo ilianza kufanya uchunguzi kwa wafanyakazi hao tangu ijumaa iliyopita ili kupata kumbukumbu za utendaji kazi wao kamati inaendelea na uchunguzi wa majalada na kesho itakutana na wafanyakazi hao ili kusikiza malalamiko yao kabla ya kutoa uamuzi alisema bwana nyatahe hivi karibuni mtendaji mkuu wa tanroad bwana ephraem mrema aliwafukuza kazi wakurugenzi na mameneja wa mikoa kinyume na maagizo ya bodi hali ambayo UNK mkanganyiko ndani ya bodi ya tanroad na wizara ya miundombinu kumekuwa na mgongano kati ya bodi ya tanroads bwana mrema na wizara baada ya mtendaji huyo bwana mrema kuitisha kikao cha wafanyakazi oktoba thebathini mwaka huu na kutangaza kuwafukuza kazi baadhi ya watendaji waandamizi waliokumbwa na sakata hilo ni mkurugenzi wa matengenezo ya barabara bwana thomas mosso mkurugenzi wa mipango bwana jason rwiza meneja wa tanroads mkoa wa dodoma bwana gerson lwenge meneja mkoa wa morogoro bwana charles madinda meneja mkoa wa ruvuma bwana abraham kissimbo na mhandisi makao makuu tanroads bwana william shilla mchungaji wa kanisa la evangelical assemblies of god tanzania lililopo katika eneo la sakina mkoani arusha bwana fanuel UNK anashikiliwa na polisi mkoani arusha baada kutaka kujiua kwa kutumia kamba tukio hilo lilitokea saa chache baada ya mchungaji huyo kufunga ndoa lakini akadai kuwa mchungaji mwenzake aliyepaswa kufungisha ndoa hiyo alichelewa kufika katika shughuli hiyo na kumsababishia usumbufu kwa wageni waalikwa na mke wake huyo waliyekuwa wakifunga naye ndoa kaimu kamanda wa polisi mkoani hapa bwana leonard paulo alisema kuwa ndoa hiyo ilipangwa kufanyika jumamosi saa nne sifuri sifuri asububi na kwamba ilichelewa hadi saa saba sifuri sifuri mchana kitu ambacho UNK bwana harusi kamanda alisema kuwa mchungaji aliyepaswa kufungisha ndoa hiyo bwana marko haule alichelewa kufika na alimkuta bwana harusi akiwa hana raha na alikubali kufungishwa ndoa hiyo kwa shingo upande siku iliyofuata mchungaji marko alifika nyumbani kwa bwana harusi ili kumuomba msamaha kwa UNK kinyume na matarajio yake kulitokea kutokuelewana kiasi cha kujibizana kwa maneno yasiyofaa baada ya hapo bwana harusi alichukua kamba ya manila na kutaka kujiua kwa kujitundika chumbani kwake na ndipo raia wema walifika na kumuokoa alipohojiwa na waandishi wa habari ni kwanini alifikia uamuzi wa kutaka kufupisha maisha yake alisema kuwa UNK na shetani ambaye anapaswa UNK wakati huo huo mwanafunzi wa shule ya msingi ngurdoto aliyefahamika kwa jila la mbonea UNK amefariki dunia mara baada ya kuanguka kutoka katika trekta alilokuwa UNK polisi wanamshikilia mmiliki wa trekta hilo charles mbise baada ya dereva wake aliyefahamika kwa jina la lameck victor kukimbia mbunge wa zamani wa jimbo la morogoro kusini mashariki bwana UNK pawa amewaomba wanachama wa chama hicho kumchagua wakati utakapofika kwa kuwa bunge UNK sana akizungumza na majira mjini morogoro bwana pawa alisema atagombea ubunge katika jimbo hilo na kwamba ana uhakika kuwa wakazi wa jimbo hilo UNK kuanzia kura za maoni kupitia ccm na baadaye katika uchaguzi mkuu kwa kuwa UNK na wanasikitika kukosa kwake kuwawakilisha katika kipindi UNK kufanya kosa si kosa ila kurudia kosa ndio kosa nina uhakika hawatafanya makosa na kwa kweli wamekuwa wananiambia UNK kweli jimboni nami pia UNK sana wananchi wangu wote na pia nataka wajue kuwa bunge nalo UNK zaidi kwani huwa UNK simu na wabunge wenzangu na wengine tunakutana wanatamani sana uwepo wangu na uwakilishi wangu mzuri wa wananchi wangu alisema UNK bwana pawa ambaye pia ni mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm mkoa wa morogoro alisema kabla ya kumaliza kipindi chake cha ubunge mwaka ishirini sifuri tano alikuwa anatoa burudani ya pekee bungeni kwa misemo iliyokuwa UNK mbavu wabunge na watu wengine UNK anachofahamu yeye uongozi ni kupokezana vijiti na kwamba kama awali alikuwepo yeye sasa ni zamu ya bwana sameer lotto aliyeshinda mwaka ishirini sifuri tano na wakati ujao itakuwa zamu yake yeye au mtu mwingine na kwamba suala kubwa linalotakiwa kufanywa na yeyote atakayechaguliwa ni kuwaletea wananchi maendeleo na kuwaondolea kero alisema zipo changamoto nyingi UNK bado zingali UNK wakazi wa jimbo hilo ambazo ni pamoja na kuwaongoza wananchi kuondokana na ujinga umaskini maradhi na kukosa mawasiliano mazuri ya barabara kauli hiyo ya bwana pawa imekuja siku chache baada ya mbunge wa sasa kunukuliwa na gazeti hili akiwatahadharisha wanaotaka kugombea ubunge kwa tiketi ya ccm katika jimbo hilo UNK kwa kuwa wataishia aibu kwa kuwa anaamini atashinda kutokana na mapenzi makubwa waliyo nayo wananchi na wanachama wa ccm kwake mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya maeneo huru ya biashara daktari adelhelm meru ameshauri kaulimbiu ya kilimo kwanza ibadilishwe na kuitwa kilimo na viwanda vyake kwanza ili kuleta maana halisi inayokusudiwa daktari meru alikuwa akiwasilisha mada juu ya uhusiano kati ya kilimo na viwanda katika mchakato wa uzalishaji bidhaa na umuhimu wa kuuza bidhaa zilizopita viwandani katika kongamano la siku ya viwanda jijini dar es salaam kwa kuuza malighafi nje ya nchi tunapoteza pesa ajira kwa watu wetu bidhaa utaalamu na mwisho tunakuwa soko la bidhaa za viwandani zilizotengenezwa kutokana na bidhaa zetu wenyewe hivyo ili tufanikiwe katika kilimo kwanza tuseme wazi kilimo na viwanda vyake kwanza alisema daktari meru kongamano hilo la siku mbili lilianza jana na UNK leo likiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya viwanda UNK UNK kila novemba ishirini hapa nchini yanakwenda sambamba na maonesho ya viwanda katika viwanja vya karimjee katika kongamano hilo wasomi mbalimbali waliotoa mada zao walikuwa na lugha moja wakitaka mapinduzi ya kilimo yanayotarajiwa kufikiwa kupitia kilimo kwanza yatafanikiwa iwapo yatakwenda sambamba na yale ya viwanda na ushirikiano wa dhati kati ya sekta ya umma na binafsi akifungua kongamano hilo waziri wa viwanda biashara na masoko bibi mary nagu alisema kuwa kuna umuhimu wa kubadili mfumo na muundo wa kiuchumi miongoni mwa nchi za afrika ili kuongeza kasi ya ukuaji wa viwanda viweze kuongeza mchango wake kwa pato la taifa mpaka asilimia ishirini na tano badala ya asilimia kumi na tano bibi nagu alisema kutokana na ukweli kuwa kilimo ni shughuli UNK watanzania wengi kwa kuzalisha chakula malighafi za viwandani na ajira hakuna namna mapinduzi ya sekta hiyo yatafanikiwa bila sekta ya viwanda kuchukua nafasi yake stahiki nilazima tufanye kila linalowezekana kuzifahamu na kukabiliana na changamoto zilizopo ili kuchochea maendeleo ya viwanda afrika alisema bibi nagu mwenyekiti wa baraza la kilimo tanzania bwana salum shamte alisisitiza ushirikiano wa dhati baina ya sekta ya UNK na binafsi katika kufanikisha nguzo kumi za kampeni ya kilimo kwanza mpaka sasa asilimia sitini na tano ya malighafi inayotumika viwandani inatokana na kilimo bila kuwa na mapinduzi ya kilimo hakuna njia ya mkato kufikia maendeleo UNK hivyo tunahitaji kuwa na viwanda vinavyozalisha nyenzo na kusaidia kilimo kama vile mbegu UNK kusindika na kuhifadhi alisema bwana shamte hatimaye kundi la mahujaji lililokuwa UNK katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere kwa takribani siku nne jana liliondoka baada ya kukamilisha taratibu za usafiri wakizungumza na majira dar es salaam jana mahujaji hao walisema safari yao UNK jana baada ya taasisi ya taibah iliyokuwa na jukumu la kuwasafirisha kuwapatia tiketi mmoja wa maafisa wa taibah bwana ali saleh alisema kuwa kwa sasa mahujaji wote wana uhakika na safari yao baada ya taratibu zote kukamilika aidha aliongeza kuwa taasisi hiyo ililazimika kuwarudishia fedha mahujaji saba kutoka familia mmoja ambao hawakupenda kusafiri kwa ndege tofauti wakihofia kupata usumbufu mbele ya safari mmoja wa mahujaji waliorudishiwa pesa ambaye hakutaka jina lake liandikwe gazetini aliliambia majira kuwa wamekusudia kuifikisha mahakamani taasisi hiyo baada ya kurejea kutoka makka kutokana na kuwasababishia usumbufu mkubwa wakati huo huo baraza kuu la waislam tanzania linatarajia kuzindua mpango wenye lengo la UNK waislamu wengi zadi hasa wenye kipato cha chini kumudu gharama za kwenda kuhudhuria UNK ya takatifu hijja akizungumza dar es salaam jana katika mkutano na waandishi wa habari uliolenga kutoa taarifa juu ya hali za mahujaji walioko makka na meddina kaimu katibu mkuu bakwata sheikh suleiman lolila alisema mpango huo utazinduliwa hivi karibuni baaada ya mufti kurejea kutoka UNK katika mkutano huo kaimu mufti sheikh ismail makusanyo alieleza kuwa hali za mahujai walioko katika miji ya makka na meddina zinaendelea vizuri na kuongeza kuwa hakuna mtu yeyote aliyepata matatizo mpaka sasa akizungumzia suala la mahujaji waliokwama dar alisema bakwata haina mamlaka ya kuiingilia taasisi iliyosajiliwa kisheria kutoa huduma za kusafirisha UNK hata hivyo aliongeza kuwa bakwata iko tayari wakati wowote kutoa msaada kwa taasisi hizo iwapo tu UNK msaada na si kwa kusikia kupitia vyombo vya habari katibu mkuu wa chama cha maendeleo na demokrasia daktari willibrod slaa amesema hawezi kuzungumza kuhusu kugombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ishirini moja sifuri kwa sasa kwani bado ni mbunge wa jimbo la karatu kauli hiyo daktari slaa imekuja siku kadhaa baada ya baadhi ya vyombo vya habari UNK kuwa anatarajia kugombea kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao mchakato wa kugombea kiti hicho ndani ya chadema ulianza kuzungumzwa baada ya mwenyekiti wa chama hicho bwana freeman mbowe ambaye aligombea mwaka ishirini sifuri tano kutangaza kugombea ubunge katika jimbo la hai mkoa wa kilimanjaro katika mchakato huo daktari slaa amekuwa akitajwa kuwania nafasi hiyo lakini chama hicho kimekuwa na wakati mgumu kutangaza nafasi hiyo mapema kwa hofu ya kupoteza jimbo la karatu akizungumza na majira kwa njia ya simu jana daktari slaa alisema taarifa hizo ni propaganda na hazina ukweli wowote kwani iwapo atahitaji kufanya hivyo atafuata utaratibu na kanuni zilizowekwa na chama chake ili kumpata mgombea wa kiti hicho yameandikwa mengi sana juu yangu kuhusu kugombea lakini katika habari hizo hakuna hata moja UNK kama nina nia ya kugombea au la jamani UNK chadema UNK mgombea wake kwa kufuata taratibu kanuni na sheria kama katiba inavyosema akipatikana UNK alisema daktari slaa juzi gazeti moja lilimkariri mwenyekiti wa chadema mkoa wa kilimanjaro phillemon ndesamburo akihutubia wananchi wa karatu wakati wa kufunga kampeni za serikali za mitaa akiwataka wananchi wa jimbo hilo kumchagua mtu ambaye UNK badala ya daktari slaa kwa sababu chama kimeamua kumpa majukumu mengine hata hivyo gazeti hilo lilidai kuwa kauli hiyo ilipingwa na umati wa watu waliohudhuria mkutano huo akiwemo mwenyekiti wa halmashauri ya karatu titus lazaro ambaye amekuwa akitajwa kutaka kumrithi daktari slaa bwana lazaro alisema hadi sasa anaamini hakuna mtu wa kumrithi daktari slaa karatu hivyo ni bora akaachwa aendelee kuwa mbunge wa jimbo hilo na kuwa kitendo cha kuanza kutafuta mrithi wa daktari slaa sasa kunaweza kulipoteza jimbo hilo ambalo limekuwa likinyemelewa na ccm hata hivyo uchuguzi ulifanywa na majira tangu uchaguzi mkuu wa chama hicho UNK septemba nne mwaka huu kuna mkakati wa chini chini wa kumsimamisha daktari slaa kuwa UNK katika kiti hicho cha urais unatarajiwa kufanyika oktoba mwakani hatua ya kumsimamisha daktari slaa ni moja ya UNK UNK na chama hicho uliowekwa ili kukiimarisha zaidi kwa kuwa anakubalika na hatimaye kushinda katika uchaguzi mkuu wa uchaguzi mwaka ishirini moja tano uchunguzi huo iwapo daktari slaa atagombea urais katika uchaguzi mkuu mwaka ujao ataweza kushawishi wapiga kura wengi kukipigia kura chama hicho na kupata wabunge wengi watakaoingia bungeni akiwamo mwenyekiti wake bwana freeman mbowe na kuwa na uwezekano wa kuongoza hata kambi ya upinzani ambayo kwa sasa inashikiliwa na chama cha wananchi chanzo chetu ndani ya chama hicho kimeeleza kwamba kwa kutumia wabunge watakaopatikana katika uchaguzi mkuu wa mwakani chama hicho kitajenga mtandao mkubwa ndani ya nchi na kujenga imani kwa wananchi na kujihakikishia kushika dola mwaka ishirini moja tano UNK wataka kulipwa mbegu zao moto wasambaa matawi yote nchini mwandishi wetu tanga washiriki wa mchezo wa upatu uliokuwa ukiendeshwa na kampuni deci jijini tanga wameitisha mkutano wa dharura ili kutafuta uwezekana wa kuwafikisha mahakamani viongozi wa kampuni hiyo wakidai hawaoni matumaini ya kulipwa fedha zao wakizungumza katika kikao cha dharura UNK nje ya ofisi za deci mabanda ya papa jijini tanga jana washiriki hao walielezea kuchoshwa na kwenda kila siku katika ofisi hiyo bila kupewa maelezo ya kuridhisha baadhi ya washiriki waliokuwa katika kikao hicho walionekana kuwa na jazba kwa jazba UNK mahali wataifikisha deci mahakamani ili haki iweze kutendeka serikali imeshatoa msimamo kuwa wake kuwa shughuli za deci UNK sheria kwa nini sasa wao deci UNK serikali kuhusu uhalali wake ili kuondoa migongano hii ambayo mwisho wake ni mbaya alisema bibi UNK UNK mkazi wa UNK katika kikao hicho washiriki hao wa deci UNK kikundi maalum kuelekea jijini dar es salaam ili kukutana na vongozi wa juu wa deci ili kujua hatma ya fedha walizopanda aidha baadhi ya washiriki hao walisikika wakiendelea kulalamika juu ya hatma yao na wengine UNK katika eneo la mkutano kutokana na kukata tamaa naye said mwishehe anaripoti kuwa ikiwa leo ni siku ya tano tangu ofisi za kampuni ya deci makao makuu UNK kufuli hali inaonekana kuendelea kuwa tata kutokana na uongozi wa kampuni hiyo kuendelea kukaa kimya bila kueleza kinachoendelea baada ya tamko la waziri mkuu bwana mizengo pinda ambalo alilitoa kupitia vyombo vya habari kuhusu utata wa kampuni hiyo uongozi wa deci uliamua kufunga ofisi zake kwa madai kuwa watafungua baada ya kufanya mazungumzo na serikali uchunguzi uliofanywa na majira jumapili umebaini kuwa washiriki wa deci waliokuwa wakipanda na kuvuna fedha zao wameanza kukata tamaa juu ya hatma yao huku wengine wakionesha kuwa na shauku ya kusikia kauli ya viongozi wao kama watawalipa fedha zao ama laa baadhi ya wanachama waliokuwa katika makao makuu ya deci mabibo dar es salaam walisema kuwa huu ni wakati wa kuonesha mshikamano hadi UNK kwa kuhakikisha watu UNK fedha zao badala ya kuendelea kusikia kauli za kusubiri kutoka kwa viongozi wao hatuwezi kusubiri bila kujua ni lini muafaka utapatikana wao wafungue watu tunaotakiwa kuchukua fedha zetu tuchukue haiwezekani kuacha fedha ikae sehemu ambayo inaanza kutia mashaka binafsi nipo tayari wakati wowote kurudishiwa fedha zangu UNK kwa sababu sijavuna zaidi ya kuingia katika mtego alisema mmoja wa washiriki waliokuwa eneo hilo mbali ya kauli ya mshiriki huyo pia kumekuwepo na mazungumzo ya kila aina kutoka kwa washiriki lakini wengi wao wakionesha wapo tayari kwenda kutoa malalamiko ili waweze kusaidia suala lao na kupatiwa ufumbuzi ikiwa ni pamoja na kurudishiwa fedha walizopanda na wengine wakisema wapo tayari kwenda mahamani kudai haki yao kwa mujibu wa taarifa za viongozi hao ambazo walizotoa wakati wameamua kufunga kwa sababu wanataka kufanya mazungumzo na serikali na baada ya hapo watafungua ili kuendelea na huduma kwa bahati mbaya hawakuweza ni lini wataweza kufungua ofisi zao tangazo ambalo lilikuwa UNK katika ofisi za deci kutoka kwa uongozi wa juu wa kampuni hiyo ulieleza kuwa washiriki wasiwe na hofu kwani fedha zao zipo mahali salama pia walisema kuwa wanatarajia kuanzia kesho wanaweza kukutana na viongozi wa serikali na hasa wanatarajia kuonana na bwana pinda ili kuweza kufanya mazungumzo ya kina juu ya mwenendo mzima wa shughuli za deci kwa jana jioni eneo hilo la deci hali ilikuwa shwari kutokana na kukosa washiriki ambao wamekuwa wakishinda hapo kusubiri tamko la viongozi wao baadhi ya washiriki walifika eneo hilo asubuhi ambapo kila walipofika walikaa na baada ya kuona kimya walikuwa wakiondoka baada ya kujadiliana wenyewe kwa wenyewe wakati hali ikiwa hivyo katika makao makuu ya deci jijini dar es salaam mikoani washiriki hao wameendelea UNK ili hatma ya fedha zao UNK wakati huo huo thompson mpanji anaripoti kutoka mbeya kuwa kufuatia ofisi za kampuni ya deci kufungwa nchi nzima baadhi ya washiriki ambao ni wafanyakazi katika serikali na mashirika ya watu binafsi wenye dhamana ya kutunza fedha UNK kukumbwa na matatizo makubwa kazini kutokana na kile walichodai kujiingiza katika mchezo wa kuvuna na kupanda wakizungumza na majira jumapili baada ya kutembelea katika ofisi za kampuni hiyo tawi la mbeya zilizoko maeneo ya forest ya zamani jijini mbeya baadhi ya washiriki hao walisema kuwa kuna baadhi ya washiriki wenzao ambao ni wahusika na utunzaji wa fedha katika maeneo yao ya kazi walitumia nafasi hiyo kwa kuchukua fedha za ofisi na kwenda kupanda na kujipatia faida kubwa baada ya kuvuna kibaya zaidi waliendelea kuingiwa na tamaa na kuchukua fedha nyingi za ofisi ili waendelee kuvuna na sasa ofisi zimefungwa huduma hiyo haieleweki itarudi lini kwa hiyo pesa UNK kwa ajili ya shughuli za kiofisi hakuna kwa hiyo wataishia jela alisema mmoja wa washiriki UNK kwa jina moja la UNK mbunge wa UNK na rais bwana kingunge ngombale mwiru amewataka wanachama wa chama cha mapinduzi waliopewa za ukamanda wa vijana wa mikoa na wilaya nchini UNK kuwa wamepewa tiketi ya kugombea ubunge kupitia chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao bwana kingunge ametoa ufafanuzi huo siku chache baada ya UNK makamanda wa vijana mkoani mbeya na kitendo hicho kudaiwa ni hatua ya UNK vijana hao kuwania ubunge na kuwanggoa wabunge wa sasa wanaotajwa machachari katika vita ya ufisadi UNK vijana hao mwezi mmoja uliopita bwana kingunge anadaiwa kutamka kuwa kuwa kipindi hiki ni cha vijana na kuwa utafiti unaonyesha kuwa katika bunge lijalo kutakuwa na mabadiliko makubwa kwani asilimia arobaini ya wabunge watakaoingia watakuwa ni sura mpya kauli hiyo iliyobeba baadhi ya magazeti ilitoa UNK tofauti kwa vijana wa umoja huo hapa nchini kusababisha wengi wao kujipanga na wengine kujitokeza kuwania nafasi za kugombea ubunge katika majimbo mbalimbali lakini ghafla jana akizungumza wakati UNK kamanda wa vijana wa ccm mkoa wa morogoro bwana mustapha mkulo makamanda na manaibu wao wa wilaya za mkoa huo bwana kingunge alisema dhana hiyo ya UNK ukamanda na ubunge ni potofu na isiyofaa miongoni mwa wanachama wa chama hicho juzi tu nilikuwa mbeya UNK makamanda kama hawa baada ya kutoka nikaona kwenye vyombo vya habari kingunge UNK njia ya ubunge sasa nikajiuliza nani UNK pale anawania ubunge nikakuta hakuna hata mmoja UNK naye sasa nanyi tambueni hii si tiketi ya ubunge fanyeni kazi UNK na hizi nafasi za ubunge UNK bado wanastahili kuwa nazo hadi itakapofika wakati alisema aliyewahi kuwa mshauri wa rais wa masuala ya kisiasa bwana kingunge ambaye pia ni naibu kamanda mkuu wa vijana taifa alisema kamwe si malengo ya chama hicho kuwapatia nyadhifa hizo makamanda wake kwa lengo la kuwapa tiketi ya kuwania ubunge kama inavyotafsiriwa na baadhi ya makamanda na wanaccm bali lengo lake ni kuwapatia nafasi za kuwashauri na kuwaongoza vijana ili kufikia malengo ya jumuiya na chama hicho kwa mujibu wa taarifa za awali baadhi ya majimbo yanayotishiwa na makamanda waliosimikwa na bwana kingunge mkoani mbeya ni lile kyela la daktari UNK mwakyembe na rungwe magharibi ambalo kwa sasa liko chini ya profesa mark mwandosya makada wa ccm waliosimikwa kuwa makamanda wa vijana wilaya za mkoa wa mbeya ni pamoja na laurent mwakajumulo ambaye anakuwa kamanda wa vijana wa mkoa wa mbeya kuchukua nafasi ya mwenyekiti wa ccm mkoa wa mbeya nawab mullah aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo na naibu wake alikuwa ni profesa mwandosya profesa mwandosya sasa ameshushwa cheo kwa kuchaguliwa kuwa kamanda wa vijana wilaya ya rungwe uteuzi ambao umefanywa na kamati ya utekelezaji ya uvccm katika kila wilaya na kisha kuidhinishwa na kamati ya utekelezaji ya mkoa mwakajumulo ambaye ni mtumishi wa benki kuu tanzania tawi la mbeya alishatangaza kugombea ubunge mwakani katika jimbo la rungwe magharibi kupambana na profesa mwandosya makamanda wengine wa vijana wa wilaya waliosimikwa ni philemon msomba anayekuwa kamanda wa wilaya ya chunya msomba UNK nia ya kutaka kugombea ubunge katika jimbo la songwe kuchuana na mbunge wake wa sasa UNK UNK kada mwingine ni elias mwakalinga ambaye anakuwa kamanda wa vijana wilaya ya kyela ambaye haikuweza kufahamika kama ana undugu na george mwakalinga anayeishi nje ya nchi ambaye pia anataka kugombea ubunge jimbo la kyela kupambana na daktari harrison mwakyembe katika hafla hiyo ya jana bwana kingunge aliwaeleza vijana hao kuwa njia rahisi ya kufuatilia maendeleo ya vijana wa chama hicho kitaaluma katika vyuo vikuu sekondari na shule za msingi ili kuwaonesha kuwa wanatambua uwepo wao na ushiriki wao katika shughuli za kimaendeleo badala ya kuwaacha hadi pale wenyewe wanapopata mwamko wa kuifuata jumuiya na chama kwa ujumla awali katika taarifa yake mwenyekiti wa uvccm mkoa wa morogoro bwana jonas nkya alimweleza bwana kingunge kuwa jumuiya hiyo mkoa wa morogoro imekuwa ikiimarika siku hadi siku na hasa katika masuala ya uongozi kiuchumi na kijamii wananchi wanaojihusisha na shughuli za kilimo wilaya ya ilala wametakiwa kutumia mpango wa serikali wa kilimo kwanza kuboresha kilimo uvuvi na ufugaji ili kuongeza uzalishaji wa mazao na kuondokana na hali duni ya maisha inayowakabili kauli hiyo ilitolewa dar es salaam jana na mkuu wa wilaya ya ilala bwana evans balama katika semina ya mafunzo elekezi kuhusu kilimo kwanza kwa wananchi wa kata ya msongola ambao wanajihusisha na kilimo cha zao la korosho na minazi bwana balama alisema wananchi wa kata hiyo wanatakiwa kutumia zana za kisasa na dawa zinazohitaji kusaidia kuzalisha mazao bora ili kupata soko la uhakika na kukidhi mahitaji yao wananchi wanaweza kuondokana na umaskini kama watatumia fursa mbalimbali ambazo serikali imejiwekea katika kuendeleza kilimo kuwa cha kisasa na kuzitumia pia benki kukopa fedha kuendeleza kilimo alisema bwana balama alisema kampeni ya kilimo kwanza unalenga kuingiza nchi katika kilimo ufugaji na uvuvi wa kisasa ili kutosheleza mahitaji ya nchi na kuachana na tabia ya kutegemea bidhaa kutoka nje ya nchi huku taifa likiwa limejaliwa maliasili nyingi ofisa kilimo na mifugo wa manispaa ya ilala daktari assenga severine alisema lengo la kilimo kwanza ni kuingiza wananchi katika kilimo uvuvi na ufugaji wa kisasa ili kuongeza uzalishaji unaokidhi mahitaji na kuwaondolea hali duni ya maisha alisema pia kuanzisha na kuendeleza viwanda katika sekta ya kilimo ili kuongea thamani ya mazao na kupanua sekta ya uvuvi na mifugo na gladness mboma wizara ya mawasiliano sayansi na teknolojia inatarajia kujenga chuo cha nelson mandela katika eneo la karangai mkoani arusha kitakachokuwa kikitoa mafunzo katika kiwango cha elimu ya juu ya sayansi mwenyekiti wa kamati ya bunge ya miundombinu bwana godfey zambi aliyasema hayo mwishoni mwa wiki mara baada ya wizara ya mawasiliano sayansi na teknolojia kuwasilisha taarifa kuhusu ujenzi wa chuo hicho bwana zambi alisema kuwa pamoja na chuo hicho kutoa mafunzo ya sayansi kwa kiwango cha elimu ya juu pia UNK shahada ya uzamili na uzamivu wizara UNK kuwa kikosi kazi UNK na ujenzi wa kituo hicho maendeleo yake ni mazuri na ujenzi unatarajia kuanza mwaka ishirini sifuri tisa kumi alisema alisema februari kumi na sita mwaka huu kamati yake ilitembelea eneo la karangai ambapo kituo hicho kitajengwa walihoji mambo mbalimbali na kuitaka wizara iwasilishe taarifa katika kikao chao wametuletea taarifa nzuri kuhusiana na chuo hicho na jinsi walivyojipanga na wametuambia kuwa kuna mradi mwingine unaoitwa sayansi UNK sector utakuwa unafanya tafiti mbalimbali zitakazosaidia nchi alisema alisema kuwa kutokana na taarifa hiyo kuwavutia wabunge watahakikisha kwamba UNK serikali kusaidia ikiwa ni pamoja na kutafuta wafadhili mbalimbali wa UNK rais mstaafu wa awamu ya tatu bwana benjamin mkapa leo atakutana na wadau wa ukimwi jijini dar es salam na kuzungumzia suala la uongozi kwenye mazingira yenye rasilimali hafifu pamoja na mambo mengine pia bwana mkapa UNK vyeti wafanyakazi waliomaliza mkataba wa miaka mitatu wa taasisi ya benjamin mkapa mgeni rasmi katika mkutano huo UNK na wajumbe zaidi ya ishirini sifuri atakuwa makamu wa rais daktari ali mohamed shein ambaye atazindua kitivo cha wataalamu wa masuala ya ukimwi nchini akizungumza na waandishi wa habari jijini jana mkurugenzi wa UNK bibi ellen senkoro alisema kuwa mkutano huo utahusisha majadiliano ya kitaalamu yenye lengo la kuboresha utoaji huduma na kutafuta mbinu za kuongeza watumishi wa masuala ya ukimwi pia waziri wa afya na ustawi wa jamii profesa david mwakyusa atatoa mada na kutoa takwimu mpya za maambukizi ya virusi vya ukimwi nchini wataalamu wapya wa afya watapata ujuzi kutoka kwa wenye UNK wa kutoa huduma vijijini ili kusaidia sekta ya afya kupambana na maambukizi ya vvu aliongeza ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kutesa jiji la dar es salaam kutokana na idadi ya wagonjwa wapya kuendelea kuripotiwa katika vituo vya afya na hospitali za wilaya kutokana na hali hiyo manispaa za jiji zimeanza ukaguzi wa mazingira na maeneo ya biashara ikiwa ni pamoja na kutoa elimu ya afya ili kupunguza kuenea kwa ugonjwa huo taarifa hiyo iliyotolewa dar es salaam jana na kaimu mganga mkuu wa mkoa bibi hawa kawawa ilisema kuwa kumekuwepo na ongezeko la wagonjwa kila siku katika manispaa zote kumekuwepo na ongezeko la wagonjwa kila siku katika manispaa za wilaya zote ambapo kwa sasa kuna wagonjwa wapya kumi na saba ambao wametoka maeneo mbalimbali ya jiji alisema bibi kawawa bibi kawawa alisema hakuna kifo hata kimoja na manispaa zote zinafanya ukaguzi wa usafi katika maeneo mbalimbali ya jiji na kuwataka wananchi wazingatie usafi kama vile uondoaji wa taka UNK vyoo UNK maji ya kunywa serikali imebadilisha siku ya taifa ya kupanda miti kutoka januari mosi iliyokuwa ikiadhimishwa kila mwaka kuwa aprili mosi naibu waziri wa maliasili na utalii bwana ezekiel maige alisema dar es salaam jana kuwa uamuzi huo umetokana na waraka namba moja wa waziri mkuu bwana mizengo pinda wa mwaka ishirini sifuri tisa kubadilisha siku ya taifa ya kupanda miti nchini alisema kwa mujibu wa waraka huo kuanzia mwaka huu maadhimisho hayo yatakuwa yanafanyika kila aprili mosi lakini kila mkoa utaendelea kujipangia siku ya kupanda miti kutokana na majira ya mvua UNK kubadilishwa kwa siku ya taifa ya kupanda miti mapendekezo ya rais jakaya kikwete UNK maadhimisho mwaka jana kuwa yahamishiwe kipindi ambacho sehemu nyingi nchini zitakuwa zimepata mvua naibu waziri maige alisema waraka huo umeagiza kuwa kazi ya kupanda miti itekelezwe na wadau wote na kuagiza wizara mikoa wilaya halmashauri za jiji manispaa za miji midogo tarafa kata vijiji na mitaa kuandaa programu za utekelezaji mapema iwezekanavyo waraka huo umemtaka kila kiongozi ahakikishe upandaji miti unatekelezwa na kusimamiwa ipasavyo kwenye eneo lake na kiongozi atapimwa kwa juhudi zake za kuhamasisha kutekeleza na kusimamia wananchi kupanda miti alisema naibu waziri maige alisema maofisa misitu walioko mijini mikoani wilayani na vijijini wametakiwa kuwa mstari wa mbele kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu aina ya mbegu na miche inayofaa katika eneo husika na kushauri utayarishaji vitalu vya miche kwa wakati alisema waziri mkuu pinda katika waraka huo pia ametahadharisha kuwa kupanda miti pekee hakutoshi kukabiliana na jangwa kama hatua za makusudi za kutunza na kulinda uoto wa asili hazitachukuliwa alisema waziri mkuu pinda pia alisema halmashauri zote zihakikishe zinapanda miti kando kando ya barabara zote nchini bwana maige alisema mbali ya wizara yake kukabiliwa na uchache wa maofisa misitu lakini itasimamia kikamilifu uharibifu wa misitu unaofanywa na baadhi ya wananchi kukabiliana na tishio la jangwa wawekezaji kutoka brazil wanatarajia kuwasili nchini mwaka ishirini moja moja kuwekeza katika uchimbaji wa gesi maeneo ya kilwa mkoani lindi balozi wa brazil nchini bwana francisco luz aliyasema hayo jana dar es salaam wakati akizungumza na mwenyekiti mtendaji wa ipp bwana reginald mengi bwana luz alisema kuwa tayari wawekezaji hao UNK dola milioni moja kwa ajili ya kuchimba gesi katika maeneo hayo UNK ofisi katika nchi mbalimbali za afrika ikiwemo tanzania kwa ajili ya kuangalia jinsi gani UNK hasa katika masuala ya gesi na kilimo cha nafaka zinatumika kuzalisha mafuta ya kuendeshea mitambo mitambo na magari hata hivyo alisema kuwa wawekezaji wengi wa brazil wanaogopa kuwekeza nje ya nchi yao kwa sababu ya soko kubwa walilonalo kwao lakini serikali nchini humo imekwishaanza kuwashauri waende kuwekeza nje UNK waziri wa viwanda na biashara aje tanzania ili aweze kukutana na kuongea na baadhi ya wizara kuangalia maeneo ambayo tunaweza kusaidia alisema mtoto benson laswai mkazi wa kijiji cha UNK kata ya mashati wilayani rombo mkoani kilimanjaro ameuawa kwa kuchinjwa kisha muuaji akanywa damu yake mtuhumiwa wa mauaji hayo ni agrey joseph mkazi wa kijiji hicho ambaye sasa anatarajiwa kupimwa akili ili kuandaa taratibu za kumfikisha katika vyombo vya sheria kwa tuhuma za mauaji kamanda wa polisi mkoani kilimanjaro bwana lucas ng hoboko alisema tukio hilo lilitokea juzi saa tano ishirini asubuhi kijijini humo akizungumza na majira mmoja wa wananchi aliyeshuhudia tukio hilo bibi asteria tesha alisema tukio hilo si la kawaida na kwamba wananchi walimpiga mtuhumiwa na kumjeruhi vibaya alisema siku ya tukio mtuhumiwa alikwenda nyumbani kwa wazazi wa mtoto huyo na kuwakuta watoto watatu akiwamo marehemu na kumkamata kisha kuanza kumchinja kama mbuzi mtuhumiwa alikuwa ameshika panga na alikwenda nyumbani kwa wazazi wa mtoto wakati hawapo na kumlaza chini mtoto na kumchinja kikatili kisha kuanza kunyonya damu alisema alisema wakati wa tukio walisikia kelele za watoto lakini UNK walikwenda kuangalia ndipo UNK mtuhumiwa kamshikilia mmoja wa watoto huku akimnyonya damu baada ya kumchinja tulimkuta mtuhumiwa amepiga magoti huku kamshikilia marehemu akimnyonya damu tulipiga kelele kuomba msaada kwa wanaume ili UNK alisema mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya huruma wilayani rombo ukisubiri taratibu za mazishi huku mtuhumiwa akitarajiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote matukio ya mauaji ya kikatili yameendelea kukithiri mkoani humo ambapo hivi karibuni mtu mmoja UNK mushi mkazi wa kibosho kindi wilayani moshi vijijini alimuua UNK mushi na kisha kula utumbo na UNK hata hivyo katika tukio hilo lililotokea novemba mosi mwaka huu mtuhumiwa huyo UNK na polisi alidaiwa kuwa mgonjwa wa akili mgogoro uliopo kati ya serikali na kampuni binafsi ya umeme ni kikwazo kwa serikali kubadili matumizi ya mitambo hiyo kutumia gesi katika kufua umeme badala ya mafuta kama ilivyo sasa hali hiyo inamaanisha kuwa serikali haitaweza kuepuka gharama kubwa za kuzalisha umeme kwa mafuta mazito wakati matumizi ya gesi yangeweza kupunguza gharama kwa kiasi kikubwa lakini ufanisi wa kuzalisha UNK palepale hayo yalisemwa jana dar es salaam na kamishna wa wizara ya nishati na madini bwana bashiri mrindoko alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwa amewasilisha mada juu ya mstakabali wa hali ya umeme nchini katika kongamano la maadhimisho ya siku ya viwanda katika ukumbi wa karimjee kwa kweli kama mnavyojua umeme unaozalishwa kwa kutumia gesi unatumia gharama kidogo ukilinganisha na ule unaotumia mafuta kama iptl sasa UNK kwa nini UNK ili kupata hiyo nafuu nitawaambia kuwa ni kwa sababu ya mgogoro uliopo baina ya serikali na iptl umesababisha kushindwa kubadili mitambo ile itumie gesi mnajua kuwa tumeomba kutumia mitambo ile kuzalisha umeme kwa sasa lakini hatuwezi kwenda kwa undani zaidi mpaka kubadili matumizi yake pia kitu kingine UNK kutumia gesi ni mfumo wa kusafirisha gesi kuileta bado sio mzuri hivyo tumeamua UNK tatizo la miundombinu hiyo kwanza alisema bwana mrindoko kauli hiyo ya bwana mrindoko imekuja wakati jana kampuni hiyo imeanza kuzalisha megawati arobaini baada ya kuwasha mashine ya nne kati ya kumi zinazofanyiwa kazi ili kuzalisha megawati kumi sifuri iwapo mitambo hiyo itawashwa yote itakuwa inatumia lita hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri za mafuta kila siku sawa na shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri kwa siku kama mafuta hayo yanauzwa kwa shilingi moja ishirini sifuri kwa lita jambo ambalo linaufanya umeme huo kuzalishwa kwa gharama kubwa akizungumzia suala la mtambo mpya wa tegeta unaotarajiwa kuingiza megawati arobaini na tano kwa kutumia gesi asilia bwana mrindoko alisema kwa sasa wanafanya UNK lakini ukiondoa masuala juu ya matengenezo na utaalamu yanayoweza kujitokeza tunategemea kuwasha mtambo ule mwisho wa mwezi huu au mapema mwanzoni makadirio hayo ya muda wa kukamilika kwa mtambo huo yanazidi kuwakanganya watanzania hasa wakikumbuka tamko la awali la waziri wa nishati na madini bwana william ngeleja UNK UNK huo na ule wa iptl ungewaka novemba mosi jambo ambalo UNK katika kuonesha kuwa suala la umeme wa uhakika na wenye gharama nafuu ni la muhimu kwa nchi inayotaka kukuza uchumi waziri wa viwanda biashara na masoko bibi mary nagu UNK suala hilo naomba kusisitiza hili na kamishna akiwepo hapa suala la umeme wa uhakika na wenye gharama nafuu ni kilio cha walio wengi nchini kutokuwa na umeme wa uhakika na gharama kuwa juu ni moja ya sababu za kuongeza gharama za uzalishaji alisema bibi nagu pia aliongezea kuwa suala la kilimo kwanza na kusema kuwa linapaswa kufanyiwa kazi na watu wote na sio suala la watu wachache suala la masoko kwa bidhaa za wakulima ni muhimu sana katika kilimo kwanza kutakuwa hakuna haja ya mkulima kuzalisha vitu kwa wingi kama anajua kuwa baada ya matumizi yake vinavyobaki ataishia kuvitupa badala ya kuuza ndiyo maana tunakutana hapa ili UNK katika kuboresha sera mikakati au utekelezajiwa sera mbalimbali kumsaidia mkulima alisema bibi nagu kongamano juu ya mchango wa sekta binafsi katika kampeni ya kilimo kwanza lilifanyika kwa siku mbili tangu jumatatu siku ya jana mada zilizokuwa UNK kwa hamu ni mikakati ya serikali juu ya hali ya umeme nchini athari za mgogoro wa uchumi kwa tanzania na mfuko wa kusisimua hali ya uchumi nchini na suala la mswada wa sheria ya ajira serikali imewataka walimu wa shule za msingi waliojiendeleza na kuhitimu katika ngazi za stashahada shahada na shahada za uzamili kujiorodhesha kwa makatibu tawala wa mikoa wakurugenzi na wakurugenzi watendaji wa halmashauri zote nchini ili wapangiwe kufundisha katika shule za sekondari kuanzia januari mwakani hatua hiyo ya serikali imekuja baada ya kubaini kuwepo kwa walimu waliojiendeleza na kuhitimu katika ngazi hizo lakini wanaendelea kufundisha katika shule za msingi jambo ambalo ni kinyume na maendeleo ya mtumishi akizungumza na waandishi wa habari ikulu jana katibu mkuu kiongozi bwana phillemon luhanjo alisema tayari ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa tanzania bara imetangaza orodha ya walimu kwa kila halmashauri ikionesha viwango vya elimu kwa kila walimu hadi novemba thebathini ambapo mwezi ujao walimu hao watakiwa UNK na kupangiwa vituo vipya vya kazi madhumuni ya taarifa hii ni kusisitiza na kuwasihi walimu wote ambao UNK hadi kufikia katika ngazi ya stashahada na hata shahada na uzamili kwenda kwa maofisa elimu UNK elimu ya sekondari UNK kutoa vyeti vyao kwa UNK hao alisema bwana luhanjo alisema lengo la serikali ni kupunguza tatizo la uhaba wa walimu wa shule za sekondari kwa kuwatumia walimu hao waliojiendeleza na kupata sifa na UNK zinazotakiwa alisema uamuzi huo haulengi kusababisha upungufu wa walimu katika shule za msingi bali unalenga kuwapangia walimu hao kufundisha kulingana na viwango vya elimu yao kutokana na sera ya elimu alisema kutokana na taifa kuwa na upungufu wa shule zilizojengwa na kwa nguvu ya wananchi serikali inaendelea kuwapandisha madaraja walimu wote wa shule za msingi UNK kwa sasa ili kufikia ngazi ya kufundisha katika shule za sekondari bwana luhanjo alisema tayari mkoa wa dar es salaam UNK majina ya walimu waliohitimu katika ngazi hizo katika wilaya zake tatu kwa upande wa wilaya ya ilala idadi wahitimu ikiwa katika mabano shahada stashahada mia moja na kumi na tano katika wilaya ya temeke shahada stashahada na kinondoni shahada na UNK alisema kutokana na takwimu hizo walimu hamsini na saba wa shule za msingi wamepata shahada kutoka vyuo vikuu vinavyotambulika walimu ishirini na saba wanaendelea na masomo katika vyuo hivyo walimu mia nne na themanini na tano wamejiandikisha kupata stashahada ya elimu na walimu mia moja na thebathini na tano wanaendelea na masomo hivyo kufikisha idadi ya walimu mia tano na arobaini na mbili kutoka katika manispaa tatu za jiji la dar es salaam ambao wanastahili kufundisha sekondari bwana luhanjo alisema shughuli hiyo itaenda sanjari na kufidia pengo la walimu katika shule za msingi UNK walimu hao kwa kuwianisha na shule zenye walimu wengi ili kuwapeleka katika shule zilizo na upungufu jambo ambalo UNK na kuajiri walimu wengine na thomas dominick mkuu wa mpya wa wilaya ya ilala bwana evance balama amewataka watendaji wanaofanya kazi kiujanja ujanja na UNK ipasavyo kwa wananchi wilayani humo kujiondoa serikalini UNK kazi zingine hayo yalisemwa dar es salaam mwishoni mwa wiki na mkuu huyo wa wilaya wakati UNK kwa viongozi mbalimbali wa manispaa hiyo wakiwemo madiwani wenyeviti wa mitaa watendaji wa mitaa na baadhi ya viongozi wa ccm bwana balama alisema kuwa viongozi wote wanapaswa kuwajibika mbele ya wananchi na kuwaheshimu pia kuwatendea haki muda wote ili kudhihirisha kuwa serikali yao UNK pia aliwataka viongozi hao kushirikiana na wananchi wao katika kutekeleza usafi wa mazingira ili kuiweka manispaa hiyo katika hali ya usafi zaidi inatubidi tushirikiane na wananchi wetu sio kuwaachia UNK mambo kinyume na taratibu za usafi wa mazingira kama UNK UNK tunaweza kukumbwa na magonjwa ya mlipuko alionya bwana balama aliwatahadharisha mabwana na mabibi afya wa manispaa hiyo kufanya kazi zao kikamilifu bila kuonea wananchi tujipange vizuri kutekeleza kanuni za usafi ambazo zitasaidia kuiweka manispaa yetu katika hali ya usafi zaidi nitashangaa kuona mkurugenzi UNK hatua watendaji wabovu ambao hawatekelezi wajibu wao alisema aliongeza kuwa usafi ni jambo la kawaida na wasisubiri kukumbushwa na viongozi wa ngazi za juu kuhusu suala hilo ndipo UNK wananchi wao mahakama ya hakimu mkazi kisutu imewaachia huru waliokuwa wabunge wa chama cha wananchi kutoka pemba na mashehe waliokuwa wakikabiliwa na tuhuma za kula njama kuwasilisha nyaraka za uongo na kughushi vyeti vya ndoa kwa nia kujipatia visa za kusafiria lakini furaha ya washitakiwa hao ilitumbukia nyongo ghafla baada ya polisi waliokuwa mahakamani hapo kuwatia mbaroni upya na kuwapeleka kituo kikuu cha polisi washitakiwa walioachiwa huru na kukamatwa tena ni khamis salehe na khalifa mohamed ambao walikuwa wabunge kutoka pemba kwa upande wa mashehe ni abdul wakati khamis UNK na abdallah UNK pamoja na aliyekuwa mfanyakazi wa idara ya uhamiaji augustino haule kesi hiyo ya mwaka ishirini sifuri sita iliondolewa jana mahakamani hapo na kuachiwa huru kwa washitakiwa hao mbele ya hakimu mkazi bibi UNK wambura baada ya upande wa mashtaka kuieleza mahakama kuwa hawana nia tena ya kuendelea na kesi hiyo hivyo kuomba kuachiwa huru washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo tangu mwaka ishirini sifuri sita ambapo walikuwa wakikabiliwa na mashtaka ishirini na moja yakiwemo ya kula njama kuwasilisha hati za uongo kughushi vyeti vya ndoa kwa nia ya kujipatia visa za kusafiria nchini ujerumani kesi hiyo ilitakiwa kuwa na mashahidi ishirini wa upande wa mashitaka lakini mpaka kesi hiyo inaondolewa jana mahakamani hapo ni shahidi mmoja wa upande huo ndio alikuwa ametoa ushahidi dhidi ya washitakiwa hao kitendo cha kukamatwa tena kwa washitakiwa hao kiliwafanya wafuasi wao kuanza kulalamika nje ya mahakama huku wakidai kuwa hawatendewi haki kwa kitendo hicho kwa kuwa tayari mahakama UNK huru mtanzania mmoja ambaye ni miongoni mwa mahujaji zaidi ya moja hamsini sifuri UNK nchini saudi arabia kwa ajili ya kutekeleza ibada ya hijja amekamatwa kwenye uwanja wa ndege wa madina na kutozwa fani ya UNK thebathini sifuri baada ya kukutwa na vitabu vinavyodaiwa kuhusika na mambo ya kishirikina taarifa kutoka nchini saudi arabia kama UNK na mwandishi wetu bwana juma UNK UNK kuwa mtanzania huyo amepigwa faini hiyo ambayo ni sawa na dola ishirini sifuri za marekani baada ya kuonekana ni mgeni lakini kwa nchi ya saudia arabia UNK kufungwa kifungo cha mwaka mmoja jela au miezi sita imedaiwa kuwa vitabu hivyo vinavyosadikiwa kuwa ni vya kishirikina ni vile vya kuunga na vinavyotumiwa na watu ambao huitumia kuran vibaya na ambavyo huleta athari kwa jamii ikiwa ni pamoja na kumfanya mtu kupoteza akili wakati huo huo mahujaji moja mia tano na tisini kutoka tanzania tayari UNK katika uwanja wa ndege wa madina na gida ambapo sasa njia za kuelekea katika mji mtakatifu zimefungwa imeelezwa kuwa kutokana na hali hiyo mahujaji wote sasa UNK uwanja wa ndege wa gida watalazimika kwenda moja kwa moja makka kusubiri kutekeleza rasmi ibada ya UNK akizungumza na gazeti hili jana katibu mkuu wa baraza la waislamu tanzania suleiman lolila alisema bakwata haina taarifa zozote kuhusiana na tukio hilo mbona hizo taarifa sisi hatuna alihoji katibu huyo na kuongeza ndiyo kwanza nasikia kutoka kwako sielewi kitu chochote kuhusiana na suala hilo alisema katika hatua nyingine rehema mwakasese anaripoti kuwa hofu ya kulipuka kwa ugonjwa wa mafua ya nguruwe kwa mahujaji wanaoshiriki ibada ya hijja UNK na mambo kuendelea kuwa shwari awali kulikuwa na hofu kuwa huenda mlipuko wa ugonjwa huo UNK nchini humo kutokana na idadi kubwa ya mahujai kutoka nchi mbalimbali duniani ambao wanashiriki ibada hiyo akizungumza na majira kwa njia ya simu kutoka madina saudi arabia kiongozi wa kundi la UNK sheikh abdallah amani alisema hadi sasa hakuna taarifa zozote za matatizo ya kiafya kwa mahujaji wa tanzania wala hofu ya kutokea kwa ugonjwa huo sheikh abdallah alisema mahujaji wote wa tanzania wanaendelea vyema na maandalizi ya ibada hiyo ambapo kesho wanatarajia kuondoka kwenye mji wa madina kwenda makka ili kuanza rasmi ibada kwa upande wake sheikh muharami juma doga amewaomba watanzania kuwaombea mahujaji wote waliopo nchini humo ili waweze kumaliza vyema ibada zao na hatimaye warejee nyumbani wakiwa salama mpango wa rais jakaya kikwete kuwa endapo atachaguliwa tena kuwa rais mwakani atateua mawaziri vijana UNK na kuelezwa kuwa analenga UNK karibu ili wamuunge mkono katika uchaguzi wa mwaka ishirini moja sifuri hiyo ni kampeni kwenye siasa tunasema anawakonyeza vijana ili wamuunge mkono katika uchaguzi mkuu lakini ukweli ni kwamba rais kikwete UNK hawezi kusema kitu UNK mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba alisema rais kikwete anafahamu kuwa katika uchaguzi ujao anahitaji kuungwa mkono na vijana ndiyo maana UNK mbinu ya kuwavuta karibu kwa ahadi ya kuwapa uongozi akitoa mfano jinsi rais kikwete UNK ahadi zake profesa lipumba alisema mwaka ishirini sifuri tano aliahidi ajira za vijana na kuongeza mapambano dhidi ya ufisadi mambo ambayo alidai ameshindwa kuyatekeleza anawakonyeza vijana ili wawe na matumaini kuwa watapata uongozi alitakiwa kuonesha ni jinsi gani UNK mapema kushika nafasi hizo alisema kwa upande wake mwenyekiti wa tpp maendeleo bwana peter mziray alisema ahadi ya rais kikwete ya kuwapatia vijana uongozi hawezi kuitekeleza kwa kuwa na wenyewe UNK ufisadi wakiwa ndani ya ccm hao vijana UNK wapi ndani ya chama hicho vijana wanajifunza ufisadi wengine wana digrii zenye matatizo sasa hao UNK madaraka UNK alihoji bwana mziray alisema kama ana mpango huo basi hata yeye aachie nafasi yake ya urais UNK vijana kwani amekuwa ndani ya serikali tangu awamu ya kwanza tangu awamu ya kwanza alikuwa kiongozi ikafuata awamu ya pili na ya tatu vipindi vyote akawa waziri leo hii ni rais ana jipya gani aliuliza bwana mziray bwana mziray alisema anachoweza kufanya rais kikwete ni kuongeza idadi ya wanawake katika safu ya uongozi ili kuleta uwiano kwa upande wake mwenyekiti wa tanzania labour party bwana augustino mrema alisema kauli ya rais kikwete ni ya kuhamasisha vijana waunge mkono serikali yake anawapa matumaini ili waishi kwa imani na tumaini jipya alisema wakati wanasiasa hao UNK mpango huo wa rais kikwete umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi umepokea mpango huo kwa kicheko kwamba umedhihirisha jinsi alivyo na imani nao katibu mkuu wa uvccm bwana martin shigela alisema rais kikwete anajua uwezo wa vijana hivyo kauli yake hiyo inatoa matumaini makubwa kwao rais anajua alikuwa kiongozi wa vijana anaelewa vijana wana uwezo na elimu ya kutosha wanaweza kuongoza bila matatizo yoyote alisema na kuongeza tunapenda kuwa na uhakika wa taifa la kesho uhakika huo utapatikana kwa kuongeza vijana katika safu ya uongozi alisema alisema vijana hawana mashaka na mpango huo wa rais kikwete kwa upande wake mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya ccm bwana nape nnauye alisema mpango huo wa rais ni mzuri na amekuwa nao tangu alipoingia madarakani lakini hoja si idadi ya vijana bali vijana wenye uwezo na uzalendo wa kweli kwa maneno na matendo yao tangu aingie madarakani mtazamo wake umekuwa wa aina hiyo hivyo alichosema ni ahadi kuwa atafanya zaidi UNK ni nzuri kama itatekelezwa kwani vijana wana haki ya kutoa mchango wao kwa maendeleo ya nchi yao leo na kesho wasiache mpaka wamechoka ndo waanze kupewa dhamana alisema bwana nnauye naye katibu wa uhamasishaji na chipukizi wa uvccm bibi esther UNK alisema mpango huo wa rais utaondoa dhana iliyojengeka kuwa maisha ni ndani ya siasa baada ya kustaafu akizungumza na vijana wa nchi kadhaa za afrika rais kikwete alisema wale viongozi wa rika langu lazima waanze kuwaachia nafasi vijana tunahitaji wakuu wa wilaya vijana zaidi wakuu wa mikoa vijana zaidi na hata mawaziri vijana zaidi ndivyo ilivyotokea kwetu tulipokuwa vijana polisi dar es salaam UNK wananchi makampuni taasisi na wafanyabiashara kujihadhari na wimbi la utapeli wa kutumia majina ya viongozi wakiwemo mawaziri kamanda wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam bwana suleiman kova alisema kumezuka wimbi la utapeli wa kupiga simu na kutapeli mamilioni ya fedha mtu anapiga simu na kujifanya yeye ni waziri fulani na hata kuiga sauti yake na kusema ana shida ya fedha kiasi fulani kwa ajili ya ada safari au hata matumizi mengine na kisha huambiwa azifuate huyo muhusika alisema bwana kova alisema UNK UNK matapeli hao UNK madereva wenye magari ya serikali yenye namba za bandia za stk na UNK kujifanya ni madereva wa mawaziri alieleza kuwa matapeli hao hawapendi kukutana ana kwa ana na watoaji fedha kwa kuhofia kukamatwa hivyo ni vyema tahadhari UNK kwani inaharibu sifa za viongozi katika tukio jingine polisi linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za tuhuma za kuiba magari kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwemo ya UNK madereva kwa dawa za kulevya bwana kova aliwataja watu hao kuwa ni bwana ibrahimu abdallah bwana hassani UNK bwana alfred masawe na mwanamke mmoja bibi happy ali mkazi wa UNK mwanamke huyo hutumia mbinu mbalimbali kama dawa za kulevya baada ya kufanya hivyo huondoka na gari na kukimbia nalo na kuwapelekea wanaume ambao ni wezi wenzake alisema bwana kova aidha bwana kova aliwatahadharisha wananchi hasa wanaume kuwa makini wakati wa kuwapa watu lifti serikali imeahidi kuendelea kuboresha mazingira ya biashara ikiwa ni njia ya kuwajengea uwezo wafanyabishara wa kitanzania kushindana ndani na nje ya nchi mazingira yanayopaswa kuboreshwa ni pamoja na na miundombinu kama vile umeme usafiri wa reli huduma za bandari maji na nyingine ambayo yatawasaidia wafanyabishara wa tanzania kujiandaa na soko la pamoja la nchi za afrika mashariki hayo yalisemwa jana dar es salaam na waziri kiongozi wa serikali ya mapinduzi zanzibar bwana shamsi vuia nahoda alipokuwa akifungua maadhimisho ya siku ya viwanda afrika inayotarajiwa kuadhimishwa novemba ishirini mwaka huu nawahakikishia kuwa serikali yenu itafanya kila linalowezekana kuhakikisha kunakuwepo mazingira bora ya ya biashara lazima tujenge mazingira ili hata soko la pamoja la jumuiya ya nchi za afrika mashariki likija tusiogope tudiriki na kututhubutu kushindana na wenzetu alisema bwana nahoda kwa upande wake waziri wa viwanda biashara na masoko bibi mary nagu alisema kuwa sekta ya viwanda ina jukumu la kubadilisha uchumi kuwa wa kisasa unaojitegemea na kisha kuendeleza teknolojia za kisasa katika uzalishaji wa sekta nyingine kama vile kilimo mifugo uvuvi na maliasili katika kufikia azima hiyo ni lazima tufikie malengo ya kuhakikisha ukuaji wa sekta ya viwanda kufikia kumi na tano ifikapo ishirini moja sifuri mpaka sasa mchango wake ni tisa nne hali ambayo inaonesha kuwa juhudi zaidi na mikakati mipya inapaswa serikali imeahidi kuendelea kuboresha mazingira ya biashara ikiwa ni njia ya kuwajengea uwezo wafanyabishara wa kitanzania kushindana ndani na nje ya nchi mazingira yanayopaswa kuboreshwa ni pamoja na na miundombinu kama vile umeme usafiri wa reli huduma za bandari maji na nyingine ambayo yatawasaidia wafanyabishara wa tanzania kujiandaa na soko la pamoja la nchi za afrika mashariki hayo yalisemwa jana dar es salaam na waziri kiongozi wa serikali ya mapinduzi zanzibar bwana shamsi vuia nahoda alipokuwa akifungua maadhimisho ya siku ya viwanda afrika inayotarajiwa kuadhimishwa novemba ishirini mwaka huu nawahakikishia kuwa serikali yenu itafanya kila linalowezekana kuhakikisha kunakuwepo mazingira bora ya ya biashara lazima tujenge mazingira ili hata soko la pamoja la jumuiya ya nchi za afrika mashariki likija tusiogope tudiriki na kututhubutu kushindana na wenzetu alisema bwana nahoda kwa upande wake waziri wa viwanda biashara na masoko bibi mary nagu alisema kuwa sekta ya viwanda ina jukumu la kubadilisha uchumi kuwa wa kisasa unaojitegemea na kisha kuendeleza teknolojia za kisasa katika uzalishaji wa sekta nyingine kama vile kilimo mifugo uvuvi na maliasili katika kufikia azima hiyo ni lazima tufikie malengo ya kuhakikisha ukuaji wa sekta ya viwanda kufikia kumi na tano ifikapo ishirini moja sifuri mpaka sasa mchango wake ni tisa nne hali ambayo inaonesha kuwa juhudi zaidi na mikakati mipya inapaswa waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais daktari batilda burian amewataka wavuvi katika mwambao wa bahari ya hindi kuwa makini kutokana na ongezeko la maji baharini daktari burian alitoa tahadhari hiyo jana wakati akizindua ripoti ya idadi ya watu duniani iliyotolewa na shirika la umoja wa mataifa la idadi ya watu alisema kuwa pia ni vema wazazi wakawa makini na watoto wao kwa kuwakataza kwenda kuogelea katika maeneo hayo ya mwambao kutokana na maji kuongezeka baharini siku hadi siku ili kuepusha maafa katika kipindi hiki ambacho mvua zimekuwa zikinyesha katika maeneo mbalimbali ninawashauri watanzania kuhakikisha kwamba wanajenga nyumba imara ambazo haziwezi kusombwa na upepo UNK na mvua za el nino alisema alisema madhara ya mabadiliko ya tabia nchi yanatokea kwa kasi tofauti na ilivyotarajiwa hadi kusababisha kuongezeka kwa kina cha bahari yameathiri maisha ya watu waishio mwambao wa bahari daktari burian alisema kuwa maisha ya watu wanaoishi katika maeneo hayo wanakabiliwa na changamoto kubwa kutokana na kubadilika kwa hali hewa hivyo kuathiri kilimo walichokuwa UNK zaidi ya asilimia sitini ya tanzania inakabiliwa na hali ya jangwa na kupungua kwa vyanzo vya maji kutokana kuadimika kwa kipindi cha mvua kwa kipindi kirefu jambo ambalo UNK tu maisha ya watu bali hali ya kijamii na kiuchumi kwa ujumla alisema akitolea mfano maporomoko ya udongo yaliyotokea same athali UNK za mvua katika maeneo ya bagamoyo na kongwa daktari alisema kuwa hali hiyo imetokana na mabadiliko ya tabia ya nchi yaliyosababishwa na uharibifu wa mazingira waziri huyo alisema kuwa ripoti ya idadi ya watu duniani ya mwaka huu inakumbusha kwamba mabadiliko ya tabia ya nchi ni zaidi ya teknolojia inayozungumzia upunguzaji wa hewa chafu ya ukaa lakini pia inakumbusha kuwa na ubinadamu mwakilishi wa unfpa daktari UNK UNK alisema kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yanaweza kupoteza mafanikio ya maendeleo yaliyopatikana katika miongo kadhaa iliyopita na hasa katika jitihada za kufikia malengo ya milenia ya maendeleo hali hii inatokana hasa na tatizo la maji mvua kubwa mafuriko kupotea udongo wenye rutuba kukosekana kwa vyakula vya kutosha na hata kuletea matatizo ya afya alisema katibu mkuu wa wizara ya maji na umwagiliaji bwana wilson mukama ameziagiza mamlaka za majisafi na majitaka mijini kupambana na upotevu mkubwa wa maji yanayozalishwa na ili kufanikisha azma ya serikali ya kufikiwa lengo la kutoa maji safi kwa wakazi wa mijini kwa asilimia tisini ifikapo mwakani ishirini moja sifuri bwana mukama alitoa agizo hilo juzi mjini babati wakati akifunga mkutano mkuu wa watendaji wakuu wa mamlaka za maji katika taarifa zao mamlaka hizo zilisema zinakabiliwa na upotevu mkubwa wa maji UNK kutokana na wateja wao UNK huduma hiyo kinyemela kuharibu mita za maji na uchakavu wa mabomba akisisitiza suala la ubunifu bwana mukama alizitaka mamlaka hizo kuiga ubunifu uliofanywa na mamlaka ya majisafi na majitaka dodoma ambayo hivi karibuni imefanya mawasiliano na mwakilishi wa kampuni ya UNK ea ya afrika kusini ili kuweza kufunga mita za kisasa zinazoweza kudhibiti wateja wanaoiba maji kwenye mtandao wa kusambazia maji teknolojia hiyo mpya iliyowasilishwa kwenye kikao hicho cha siku mbili na mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo tawi la tanzania bwana gaston francis inaonesha mita hizo zina uwezo wa kutambua na kutoa taarifa kwa mamlaka iwapo kuna mteja UNK maji bila utaratibu wa mamlaka husika kwa kutumia mitambo ya UNK aidha bwana gaston UNK wajumbe kuwa kampuni yake ina mita za watumiaji wakubwa wa maji na mita nyingine zinazofanya kazi kama zile za tanesco aina ya luku ambapo mteja anaweza kununua kiasi cha maji anachotaka kutokana na fedha aliyonayo na mara kiasi cha maji UNK UNK UNK kutoka mita nyingine UNK kwa wajumbe ni ile yenye uwezo wa kusoma mita zilizofungwa umbali wa mita mia moja bila kubisha hodi ndani ya nyumba za wateja ambazo maofisa wa mamlaka wanatembea nazo pia kuweza kuuza maji kwa wateja na kutoa risiti na taarifa zake kufikishwa kwenye ofisi za mamlaka husika kwa mujibu wa mkurugenzi wa duwasa bwana peter mokiwa mamlaka yake ilituma maofisa wake wawili kwenda afrika kusini kuona na kutafiti jinsi mita hizo zinavyofanya kazi na kujiridhisha kuwa ni vigumu kwa wateja kuzichezea au kuiba na kuziuza kwenye vyuma chakavu kwa vile ni plastiki akisisitiza matumizi ya teknolojia mpya bwana mukama alisema kuwa wakurugenzi hao wasiogope kuingia kwenye matumizi ya teknolojia kama hiyo kwani zitasaidia kudhibiti upotevu wa maji pia kukusanya madeni kutoka kwa wateja wao alisema deni ambalo mamlaka zote za maji nchini UNK wateja wao sasa linafikia shilingi bilioni thebathini sakata la wakurugenzi na mameneja wa wakala wa barabara tanzania waliofukuzwa kazi limeingia katika sura mpya baada ya kamati iliyoundwa kuchunguza sakata hilo kushidwa kutoa majibu jana kama ilivyoahidiwa na kaimu mwenyekiti wa tanroads bwana samwel UNK akizungumza na majira jana bwana nyatahe alisema mchakato huo unaendelea baada ya kupata maelezo pande zote mbili ambapo kinachosubiriwa ni ushauri kati ya bodi na waliofukuzwa ili kubaini aliyekosea kati ya bwana mrema bodi ya tanroads na wizara ya miundombinu taasisi mbalimbali zinatakiwa kupitia mchakato mzima toka walipofukuzwa wafanyakazi hao ili kupata ukweli na uhalali wao bila kupendelea wiki ijayo kila kitu kitakuwa tayari alisema na kuongeza kwa sasa hatupo tayari kutoa taarifa katika vyombo vya habari UNK wananchi tutatoa taarifa ya maamuzi hayo baada ya kuridhiana kwa pande zote mbili ambayo yatamalizika wiki ijayo bwana nyatahe hatma ya wafanyakazi hao na uamuzi wa bodi iliyoundwa ilitakiwa kutolewa jana baada ya kupitia majalada yao kuchunguza kumbukumbu za utendaji kazi wa wafanyakazi hao na kuwasikiliza ili kubaini chanzo cha mgogoro huo hivi karibuni mtendaji mkuu wa tanroad bwana ephraem mrema alipuuza maagizo ya bodi ya tanroads na UNK kazi wakurugenzi na mameneja wa mikoa bila kufuata utaratibu za utumishi serikalini awali alitii agizo la kusitisha UNK baadaye alibadili maamuzi yake na kuwafukuza ambayo UNK mkanganyiko ndani ya bodi ya tanroad na wizara ya miundombinu sakata hilo liliingia katika sura mpya baada ya kuwa na mgongano kati ya bodi ya tanroads bwana mrema na wizara ya miundombinu ambapo oktoba thebathini mwaka huu bwana mrema aliitisha kikao cha wafanyakazi na kutangaza kuwafukuza kazi baadhi ya watendaji waandamizi na baadhi ya mameneja waliokubwa na sakata hilo ni pamoja na mkurugenzi wa matengenezo ya barabara bwana thomas mosso mkurugenzi wa mipango bwana jason rwiza meneja wa tanroads mkoa wa dodoma bwana gerson lwenge mkoa wa morogoro bwana charles madinda mkoa wa ruvuma bwana abraham kissimbo na mhandisi makao makuu tanroads bwana william shilla katibu mkuu wa chama cha UNK taifa bwana yussuf makamba amekerwa na kitendo cha chama cha wananchi kushinda UNK kimoja kati ya kumi na tano vilivyomo katika kijiji cha mdaula kata ya chalinze bagamoyo mkoani pwani bwana makamba UNK baada ya kusikia taarifa hiyo ambayo kwake ni mbaya kwa kuwa eneo hilo ndiko anakotoka mwenyekiti wa ccm rais jakaya kikwete hivi mwenye chama chake rais jakaya kikwete akifika hapa UNK kitu gani kutokana na makosa UNK na kupoteza kitongoji alihoji bwana makamba aliendelea kijijini kwangu wana ccm wenyewe walianza kujiuliza endapo watapoteza hata kitongoji kimoja nini UNK iweje hapa ambako ndiko alikotoka mwenye chama chake bwana makamba ambaye pia ni mbunge wa kuteuliwa na rais alitoa kauli hiyo baada ya kusikia maelezo ya mwenyekiti wa ccm kata ya chalinze bwana nassa tamimu kuwa wameshinda kwa kishindo katika vitongoji kumi na nne lakini wakapoteza kimoja UNK na cuf katibu mkuu huyo aliyekuwa safarini kuelekea morogoro alisimama kwa dakika kadhaa baada ya kuwaona wana ccm wa mdaula katika sherehe za ushindi na kutumia fursa hiyo kuwataka wakazi wa mdaula kufanya juhudi za kukomboa kitongoji hicho aliwataka wana ccm wa kijiji hicho kuwa karibu na mfanyabiashara bwana nilesh suchak kwa kile alichoeleza kuwa amekuwa na mchango mkubwa wa kuhakikisha chama hicho UNK kwa kuwa na miradi taarifa ya UNK wa kata bwana nassa tamimu imeeleza kuwa ndugu yetu suchak amekuwa mstari wa mbele katika kukiletea maendeleo chama hiyo ni faraja hivyo nawaomba watu kama hawa UNK vizuri kwani ni tunu tuliyopewa wana ccm alisema kwa upande wake bwana suchak alisema kuwa ataendelea kujitolea kwenye shughuli mbalimbali za kimaendeleo ndani ya chama na katika jamii ikiwa na lengo la kuona kijiji hicho kinapiga hatua kuelekea katika maendeleo polisi mkoani kilimanjaro wameua watu wawili na wengine wawili kutoroka katika kile walichoeleza yalikuwa majibizano ya risasi na majambazi walioteka baa na kuwapora wateja waliouawa katika tukio hilo ni antony mandela maarufu kama mandeu mkazi wa UNK katika manispaa ya moshi na peter massawe maarufu kama mashaka mkazi wa rongai wilayani rombo miili yao imehifadhiwa katika hospitali ya mkoa ya UNK kamanda wa polisi mkoani humo bwana lucas ng hoboko alisema tukio hilo lilitokea jana saa nne sifuri sifuri usiku eneo la baa ya UNK iliyopo soweto mjini moshi ambako majambazi walikuwa wamevamia kuwateka wateja na kumjeruhi kwa risasi mtu mmoja bwana wilfred charles ambaye amelazwa katika hospitali ya mawenzi na hali yake inaendelea vizuri kamanda ng hoboko alisema majambazi hao walikuwa wanne wakiwa na bunduki aina ya short gun yenye risasi kumi na sita na bastola ambayo walikuta maganda matatu ya risasi zake katika eneo la tukio wakati majambazi hao wakiendelea kuwapora wateja polisi walipata taarifa na kuwahi katika eneo la tukio na kukuta uporaji ukiendelea na kutoa amri ya kuwataka wahusika kujisalimisha lakini walikaidi na kuwafyatulia askari risasi kutokana na jeuri ya majambazi wale polisi nao walijibu na majibizano yaliendelea kwa muda kidogo ndipo polisi walipofanikiwa kuwauwa wawili kati ya wanne juhudi za kuwasaka waliokimbia zinaendelea alisema kamanda ng hoboko aliwataja watu wawili wanaotafutwa wakihusishwa na tukio hilo kuwa ni UNK hendry mkazi wa UNK kibosho na mwingine aliyetambuliwa kwa jina moja la emmanuel maarufu kama UNK bwana ng hoboko alisema watuhumiwa waliokimbia walitoroka na bastola moja na mali ndogo ndogo zilizoporwa eneo la tukio uchunguzi wa awali wa polisi ulibainisha kwamba majambazi hao walikuwa wakishiriki katika matukio mbalimbali ya uhalifu mkoani humo ingawa pia polisi ilikuwa ikimsaka mmoja wa majambazi hao UNK baada ya kuuawa mandeu alikutwa na bunduki aina ya short gun namba mv elfu themanini na nane na mia moja na arobaini na tatu h ikiwa na risasi kumi na sita ambayo UNK novemba nne kwa mlinzi wa kiwanda cha sukari tpc UNK katika lindo lake alisema mandeu pia anadaiwa kushiriki katika tukio jingine la ujambazi lililotokea novemba kumi na moja mwaka huu eneo la rongai kikavu wilayani hai nyumbani kwa fabian victor ambaye aliporwa bunduki aina ya UNK namba elfu ishirini na tatu na mia tisa na sabini na tisa na risasi ishirini na tano za UNK katika tukio hilo polisi UNK mmoja wa watuhumiwa ambaye ni abel UNK akiwa na silaha hiyo na alipohojiwa na alimtaja mandeu kwamba walishiriki pamoja katika tukio hilo alisema kamanda ng hoboko alisema baada ya mandeu kubaini kwamba polisi inamsaka alipiga simu kituo cha polisi na kueleza kuwa ameacha ujambazi na kusalimisha silaha aina ya shortgun namba mia nane na kumi na mbili iliyokatwa kitako na mtutu ikiwa na risasi tisa baada ya taarifa hiyo nilimwita mandeu ofisini kwangu ili tuzungumze lakini alikataa huku akisisitiza kuwa yeye si jambazi lakini UNK jana ni miongoni mwa watu waliouawa huu ni ushahidi kuwa hakuacha ujambazi alisema rufaa ya kupinga hukumu ya kifungo cha miaka mitatu jela iliyofunguliwa na mfanyabiashara deus mallya imeshindwa kuanza kusikilizwa jana kutokana na jaji aliyetakiwa kuisikiliza kesi hiyo kuwa mgonjwa hukumu UNK ilitolewa machi kumi na nane mwaka huu na hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya dodoma bwana thomas simba UNK ya mshtakiwa huyo kupatikana na hatia ya makosa mawili kuendesha gari kwa mwendo kasi na kusababisha kifo cha aliyekuwa mbunge wa tarime chacha wangwe mashtaka hayo yalitokana na ajali ilitokea julai ishirini na nane mwaka jana katika kijiji cha pandambili kongwa ambapo wangwe na bwana mallya walipata ajali wakiwa njiani kuelekea dar es salaam na mbunge huyo kufa pale pale bwana mallya alikata rufaa dhidi ya hukumu hiyo na sasa itasikilizwa januari nne ishirini moja sifuri na jaji mfawidhi wa kanda ya dodoma bibi mary UNK ambaye hakutokea jana kwa sababu ya maradhi awali akizungumza mbele ya msajili wa mahakama hiyo bwana richard UNK UNK rufaa hiyo mwanasheria wa serikali bibi maria UNK aliomba mahakama ipange tarehe nyingine ya kuanza kusikiliza rufaa hiyo akizungumza na waandishi wa habari nje ya mahakama bwana godfrey wasonga ambaye ni wakili wa bwana malya alisema rufaa ya mteja wake ilichelewa kuanza kutokana na kucheleweshwa kwa hati ya hukumu mkurugenzi wa fedha wa benki kuu ya tanzania bwana julius andrew amesema malipo mengi makubwa yaliyofanywa katika ujenzi wa majengo mapacha ya benki hiyo yaliidhinishwa bila idhini ya bodi na aliyekuwa gavana marehemu daud balali shahidi huyo watatu kwa upande wa mashitaka alidai hayo jana alipokuwa akitoa ushahidi katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu watatu linaloongozwa na bwana edson UNK akiongozwa na mwendesha mashitaka wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa bwana ben UNK shahidi alidai julai kumi na moja mwaka ishirini sifuri sita alikuwa miongoni mwa waliohudhuria kikao cha bodi ya wakurugenzi alidai ajenda kuu ya kikao hicho ilikuwa kuwasilisha taarifa ya maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo pacha ya bot ambapo menejimenti UNK bwana andrew alidai baada ya kuwasilisha taarifa hiyo bodi ilikemea matumizi yaliyofanyika nje ya bajeti iliyopangwa na UNK shahidi alidai malipo mengi makubwa UNK na bodi yaliidhinishwa na marehemu balali na mshitakiwa liyumba aliidhinisha malipo madogo madogo kulingana na utaratibu wa benki hiyo bila baraka za bodi alidai maoni na mapendekezo ya kufanyika kwa malipo hayo nje ya bajeti yalitoka kwa meneja wa mradi bwana deogratius kweka UNK kwa mkurugenzi wa utawala na utumishi bwana amatus liyumba na kumalizia kwa gavana wa bot wakati huo marehemu balali alidai malipo hayo yalifanyika bila kupata baraka za bodi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo gharama za kodi ya vifaa vya ujenzi na sababu zingine za kitaalamu akiendelea na ushaidi alikubaliana na wakili wa utetezi bwana majura magafu wakati akimuhoji kwamba uamuzi wa mwisho kuhusu ujenzi wa majengo hayo ni wa bodi na mshitakiwa liyumba hakuwa na uwezo wa kutoa uamuzi UNK ya ushahidi huo upande wa mashitaka uliomba kuahirisha kesi hadi jumatatu na kwamba UNK maombi ya kuongeza idadi ya mashahidi badala ya kumi waliotaja awali mahakimu walikubali maombi yao na kesi hiyo itaendelea kusikilizwa jumatatu mshitakiwa katika kesi hiyo bwana amatus liyumba anakabiliwa na mashitaka ya kutumia vibaya ofisi yake na kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya mradi huo bila idhini ya bodi ya wakurugenzi na hillary shoo singida mwenyekiti wa jumuiya ya wanawake wa ccm mkoa wa singida bibi diana chilolo amesema madai kwamba misaada anayotoa mwenyekiti mtendaji wa kampuni za ipp bwana reginald mengi inalenga kumsafishia njia kisiasa ni upuuzi usio na msingi mwenyekiti huyo alitoa kauli hiyo juzi wakati akikabidhi kwa niaba ya bwana mengi hundi za misaada mbali mbali zenye thamani ya shilingi milioni mia moja na hamsini kwa vikundi mkoani hapa hafla hiyo iliyofanyika viwanja vya ccm mkoa watu wanaosema hayo ni kwamba hawajiamini katika uongozi wao na ni woga alisema bibi chilolo vikundi vilivyokabidhiwa hundi hizo na thamani yake kwenye mabano ni kikundi cha wenye ulemavu cha faraja kikundi cha wanawake wanaoishi na virusi vya ukimwi uwt saccos mkoa wa singida na kikundi cha wanaoishi katika mazingira hatarishi bibi chilolo alisema bwana mengi ni mtu safi ambaye si mwanasiasa na hana mawazo wala nia ya kuwania nafasi yoyote ya kisiasa alisema misaada anayotoa kwa makundi ya watu yenye mahitaji kama wenye ulemavu yatima na masikini ni moyo wake wa kuunga mkono juhudi za serikali kusaidia makundi mbalimbali kuondokana na umasikini ukiacha wadhifa wangu huu wa uenyekiti wa uwt mkoa mimi ni mbunge wa viti maalum mkoa na ni mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya ccm sijawahi kusikia wala kuona dalili yoyote inayoashiria kuwa bwana mengi UNK au mwenye nia ya kuomba uongozi yeye ni mtu safi wa kusaidia watu wenye shida mbalimbali na kufanya biashara zake hakuna zaidi ya hapo alisema bibi chilolo alisema hatua ya kujitokeza kukemea na kulaani kwa nguvu zote mafisadi ni juhudi zake za kumuunga mkono rais jakaya kikwete na serikali yake katika vita dhidi ya watu wachache wenye uchu wa kutumia rasilimali ya nchi UNK kutokana na ukweli huo ndugu zangu ninyi wenye kutawaliwa na hisia na woga wa kutokujiamini acheni mambo hayo mwacheni bwana mengi aendelee na kazi yake ya kusaidia makundi haya yanayohitaji misaada kutoka kwa watu wema alisistiza aliyataka makundi UNK na misaada hiyo ya bwana mengi kuitumia vizuri kwa malengo yaliyokusudiwa na si vinginevyo serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania imesema inatarajia kufungua benki ya wakulima tanzania UNK kutoa fedha na mikopo kwa wakulima nchini hayo yalisemwa dar es salaam jana na daktari wa kilimo na mifugo manispaa ya ilala bwana UNK asenga wakati wa ziara ya ufunguzi wa mafunzo ya kilimo kwanza kata ya chanika bwana asenga alisema mpango huo ni mikakati ya serikali iliyojiwekea kwa lengo la kuwakwamua wananchi wake wa mijini na vijijini kama UNK benki ya wanawake miaka ya nyuma wakulima wa nchini walikuwa wakisaidiwa kwa asilimia kubwa na benki ya crdb ambayo kipindi lakini kipindi hichi serikali imejidhatiti kufungua benki ya wakulima kwani kilimo ni uti wa mgogo wa taifa letu alisema alisema kuwa asilimia kumi ya bajeti ya serikali kila mwaka inatenga kwa ajili ya wakulima ambapo fedha hizo zinapitia katika kila halmashauri za manispaa nchini naye bwana jeremiah UNK alisema malengo ya kilimo kwanza kwa wakulima ni kuongeza uzalishaji kwa hekta kwa kutumia zana za kisasa kama vile matrekta ya UNK tillers pamoja na kufundisha wahandisi wa umwagiliaji pia alisema wakulima na wafugaji wana majukumu ya utekelezaji wa dhana ya kilimo kwanza katika ngazi ya wilaya UNK kwenye utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya kilimo ya wilaya chini ya mpango wa kitaifa wa uendelezaji wa sekta ya kilimo kampuni ya precision air imeendelea kupata mafanikio baada ya abiria wa ndani kuongezeka kwa asilimia kumi na mbili na mizigo kwa asilimia mia moja na sitini na nane ukilinganisha na mwaka jana licha ya kuwepo kwa tatizo la mdororo wa uchumi wa dunia akizungumza dar es salaam jana mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo bwana UNK UNK alisema kampuni hiyo imefanya maboresho kwa kununua ndege nne na kuongeza huduma za safari ndani na nje ya nchi hali iliyochangia kupata wateja wengi kampuni hii imenunua ndege nne kutoka kampuni ya atr nchini ufaransa ambapo mpaka kufikia julai mwakani kampuni itakuwa na ndege mpya saba alisema na kuongeza tuko katika mchakato wa kuboresha huduma zetu ikiwa ni pamoja na kubadili vitendea kazi vya zamani kwa kuleta vipya pia safari za kigoma na tabora UNK kwa muda kutokana na matengenezo ya uwanja na ndege alisema kampuni hiyo pia imepanga kutumia dola za marekani milioni tano tano za ujenzi wa karakana binafsi kwa ajili ya kuboresha huduma kwa ndege za shirika hilo tumeadhimia kupanua huduma ya safari zetu ili zifike sehemu nyingi zaidi tumenunua ndege aina ya UNK mia saba na thebathini na saba ambayo itafanya safari kati ya afrika kusini lubumbashi na lusaka alisema meneja wa mawasiliano wa kampuni ya kusambaza vifaa vya maji bibi desta laiser amesema kushindwa kwa miradi mingi ya visima kunachangiwa wakandarasi na washauri wanaoshindwa kutoa ushauri sahihi katika ununuzi ya sampuli na mashine zinazofaa akizungumza katika semina ya wahandisi dar es salaam jana bibi desta laiser alisema ni makosa kutoa ushauri usio sahihi katika miradi hiyo kwani kunasababisha upotevu wa fedha za wahisani na serikali tumeamua kutoa semina hii baada ya kugundua kuwa washauri na wahandisi wengi wa maji wamekuwa wakichangia kukwamisha miradi kwa kushindwa kutoa ushauri mzuri katika manunuzi ya vifaa alisema bibi UNK alisema kampuni yake imeamua kutoa semina hiyo kwa wahandisi wa maji kutoka katika mikoa ya tabora singida dodoma arusha na dar es salaam ili kuwapa elimu itakayowasaidia kubaini makosa hayo bibi laizer alisema kampuni yake imepata malalamiko kutoka katika maeneo mbalimbali ya vijiji kuhusu mashine UNK kwa ajili ya visima kuwa ni vibovu lakini baada ya uchunguzi walibaini kuna tatizo katika utoaji wa ushauri au takwimu za vipimo wakati wa manunuzi kampuni hiyo inasambaza vifaa ikiwa ni pamoja na mita za maji mabomba vifaa vya umeme wa jua jenereta na kuchimba visima pia ilizindua pampu mpya na ya kisasa kwa ajili kuvuta maji katika kisima chenye urefu wa mita thebathini sifuri benki ya taifa ya biashara kupitia mpango wake endelevu wa kuchangia maendeleo ya jamii imetoa msaada wa vitabu vya masomo mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni mbili tano katika shule ya msingi salasala iliyopo dar es salaam akizungumza wakati wa kukabidhi dar es salaam jana mhasibu wa nbc tawi la mbezi beach bibi UNK kibisa alisema benki ya nbc imejiwekea mikakati ya kuinua kiwango cha elimu nchini hasa katika shule za msingi na sekondari ambazo mara nyingi hukabiliwa na upungufu wa vitendea kazi bibi kibisa alisema benki imetoa msaada huo wa vitabu ambao utawawezesha watoto kupata fursa ya kuazima vitabu kwa kujisomea wenyewe na kuelewa sisi mpango wetu endelevu wa kuchangia maendeleo ya jamii hasa UNK katika kutoa misaada ya kimaendeleo inayolenga miradi ya kielimu yenye thamani ya kuanzia shilingi milioni mbili tano au zaidi ya hapo katika shule mbalimbali na tutaendelea kusaidia pale UNK alisema akipokea msaada huo kwa niaba ya shule ya msingi wanafunzi na walimu wengine mwalimu mkuu wa shule hiyo bibi UNK UNK alitoa shukrani za kipekee kwa nbc kwa kuwapa vitabu ambavyo vitawawezesha kujifunza na kuinua kiwango chao cha elimu kwa ujumla hatimaye watalaamu wa chuo kikuu cha kilimo sokoine wanatarajia kwenda kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini kama kuna mabomu yaliyosalia katika eneo la mbagala mabomu hayo yalisambaa kutokana na milipuko iliyotokea aprili ishirini na tisa mwaka huu baada ya ghala ya kuhifadhia silaha la katika kambi ya jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania lililoko mbagala kizuiani kulipuka na kusababisha vifo vya watu ishirini na sita kuteketeza nyumba mali na ulemavu wa kudumu kwa baadhi ya watu siku chache baada ya milipuko hiyo watalaamu wa chuo hicho walisema UNK kupeleka panya waliofuzu mafunzo ya kutambua mabomu kwa sababu wangeweza kuchanganyikiwa kutokana na harufu ya mabomu yaliyokuwa yanaendelea kulipuka akizungumza dar es salaam jana na waandishi wa habari makamu mkuu wa chuo hicho profesa UNK monela alisema kwa sasa hali imetulia hivyo wataangalia uwezekano wa panya kufanya shughuli hiyo kwa mwanzo panya wasingeweza na UNK kwani bado kulikuwa na harufu fulani ya moshi wa mabomu kila mahali UNK kwa sasa tutajaribu kufanya hivyo alisema napenda kusema kuwa uwezo wa panya hao ni mkubwa lakini wanafanya kazi ya kugundua bomu moja moja na kwa kufanya hivyo itasaidia kubaini mabomu yaliyosalia ili tuweze UNK na kuwaondoa hofu wakazi wa mbagala ambao kwa sasa wanakaa kwa hofu ya kulipuka kwa bomu alisema profesa monela profesa monela alikuwa anazungumzia maadhimisho ya miaka ishirini na tano ya chuo hicho yatakayofanyika novemba ishirini na tatu mwaka huu yakiambatana na maonesho ya wazi ambayo yatasaidia wananchi kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu sekta ya kilimo mgeni rasmi akiwa waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi profesa jumanne maghembe mtu mmoja amekufa na wengine kumi na nne wamelazwa katika vituo vya kutibu ugonjwa wa UNK katika jiji la dar es salaam huku wilaya ya temeke ikiongoza kwa kuwa na wagonjwa saba kaimu mganga mkuu wa jiji la dar es salaam daktari hawa kawawa alisema hadi kufikia jana wilaya ya temeke ndiyo inaongoza kwa kuwa na ongezeko kubwa la wagonjwa ina wagonjwa saba waliolazwa katika vituo vya afya wakati manispaa ya ilala ina wagonjwa wa nne na kinondoni mmoja maeneo yaliyokumbwa na ugonjwa huo ni pamoja na pugu vingunguti tabata buguruni kipawa mchikichini jangwani na ukonga maeneo mengine ni tandale manzese UNK na kunduchi kibaoni katika manispaa ya kinondoni wakati katika manispaa ya temeke ugonjwa huo upo mbagala kuu mbagala mission makangarawe na UNK daktari kawawa alisema kuwa wananchi wanatakiwa kuweka mazingira safi wakati wa kipindi cha mvua ili ugonjwa huu usienee kwa kasi kwani maeneo UNK maji watu wanaweza kuathirika zaidi aliwataka wakazi wa dar es salaam waache tabia ya kula ovyo katika maeneo ambayo siyo safi na kuepuka kula matunda yanayosambazwa mitaani kwani yanaweza kusababisha kuenea kwa ugonjwa huo idara zinazohusika na takwimu nchini zimetakiwa kutoa taarifa kwa wakati muafaka badala ya kusubiri mwisho wa mwaka ili kuwezesha kufanyika kwa mipango mbalimbali ya maendeleo wito huo ulitolewa dar es salaam juzi na katibu mkuu wa wizara ya fedha na uchumi bwana ramadhan kijjah katika maadhimisho ya siku ya takwimu afrika ambayo huadhimishwa novemba kumi na nane kila mwaka bwana kijjah alisema takwimu zinapotolewa kwa wakati muafaka zitasaidia UNK sera na watoa maamuzi kupanga mipango yao ya maendeleo UNK bila takwimu hatujui tumetoka wapi tuko wapi na tunakwenda wapi takwimu zitasaidia kufanya uboreshaji ili kufikia malengo tuliyojiwekea iwapo zitatolewa kwa wakati muafaka alisema alisema utekelezaji wa malengo ya maendeleo ya millenia unategemea sana jinsi tunavyoweza kuandaa takwimu zetu akizungumzia suala la vitambulisho vya utaifa bwana kijjah alisema mpango huo utakapo kamilika utasaidia kupunguza tatizo la uhamiaji haramu tunaingia katika jumuiya ya afrika mashariki wenzetu wana vitambulisho sisi hatuna itakuwa vigumu sana kumtambua mtanzania pasipo kitambulisho hicho alisema alisema gharama zinazotumika kuandikisha wapiga kura kila mara zinaweza UNK iwapo kila mtanzania atakuwa na kitambulisho cha utaifa aidha bwana kijjah alisema kuwa vitambulisho hivyo UNK kupunguza ufisadi kwa kuwa taarifa za kila mtanzania zikiwemo za kifedha UNK kupitia kitambulisho hicho kwa upande wake kaimu mkurugenzi ofisi ya taifa ya takwimu bwana stanley UNK alisema UNK yake UNK changamoto nyingi katika ukusanyaji wa takwimu likiwemo suala la ubovu wa miundombinu na baadhi ya idara kukusanya takwimu UNK na matakwa yao tu kauli mbiu ya mwaka huu ni uimarishaji wa mfumo wa takwimu za raia uzazi na vifo katika kusaidia maendeleo ya taifa na malengo ya millenia afrika ambapo idara mbalimbali wa takwimu zilishiriki hukumu dhidi ya washitakiwa kumi na moja wanaokabiliwa na kesi ya wizi wa mamilioni ya fedha za benki ya nbc ubungo itatolewa desemba kumi na saba mwaka huu uamuzi huo ulitolewa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu wakati kesi hiyo ilipotajwa kwa ajili ya kupangwa siku ya hukumu mwanzoni mwa mwezi huu pande zote zinazopingana UNK ushahidi na kuwasilisha majumuisho ya kesi ambapo upande wa mashitaka uliiomba mahakama kuwaachia huru washitakiwa watatu baada ya kupitia ushahidi kwa makini na kuona hakuna ushahidi wa kuweza kuwatia hatiani miongoni mwa walioombewa kuachiwa huru ni hussein masoud UNK kuwa UNK mashtaka baada ya kuwadai polisi UNK dawa za kulevya UNK nazo wengine ni rahma galus na martin mndasha kwa sababu ya kukosa ushahidi maombi hayo yaliwasilishwa na wakili wa serikali bwana edgar luoga alipofanya majumuisho ya kesi mbele ya hakimu UNK khaday anayesikiliza kesi hiyo alidai katika mashahidi wote ishirini waliofika mahakamani hakuna UNK kuwa washitakiwa walihusika katika wizi huo wakili huyo aliomba mahakama UNK hatiani washitakiwa wengine tisa waliobakia kwa sababu walikiri kuhusika na walisaidia kupatikana kwa silaha zilizotumika siku ya tukio pia mashahidi wote waliwatambua washitakiwa kwa kuwa wakati wa uhalifu huo hawakuficha nyuso zao kesi hiyo ilifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza juni ishirini sifuri sita ambapo ramadhani abdulrahaman na wenzake kumi wanadaiwa kupora shilingi mia moja na sitini na nane mia tano na sabini na saba mia mbili na sabini na tano themanini na nne mali ya benki nbc upungufu wa umeme katika gridi ya taifa umepungua kutoka megawati mia moja na hamsini oktoba ishirini na tatu hadi megawati hamsini sasa shirika la umeme tanzania limesema upungufu huo uliotokana na kuharibika kwa moja ya mitambo ya kampuni ya songas ubungo na ile ya kihansi na hale na kusababisha kero kubwa kwa watumiaji wa nishati hiyo na kupanda wa bidhaa h meneja mawasiliano wa tanesco bibi badra masoud alisema jana kuwa makali ya mgawo wa umeme yamepungua kutokana na ongezeko hilo la umeme kwenye gridi ya taifa alisema hali hiyo imetokana na kuongezeka kwa uzalishaji katika mitambo iliyokuwa imeharibika ya kihansi mtera hale na songas hivyo kusababisha upungufu wa megawati kushuka kutoka megawati mia moja na hamsini hadi hamsini hata hivyo hakuwa tayari kubainisha muda ambao mgao wa umeme utaendelea kuwaathiri wateja wa shirika hilo bali alisema hadi sasa megawati zinazopatikana katika gridi ya taifa ni zaidi ya hamsini sifuri mkurugenzi mtendaji wa shirika la makazi la umoja wa mataifa profesa anna tibaijuka wiki ijayo atakabidhiwa tuzo ya masuala ya mazingira iitwayo goteborg ambayo umaarufu wake unakaribiana na ule wa tuzo ya amani ya nobel profesa tibaijuka ambaye ni mmoja wa watanzania wanaoshikilia nyadhifa za juu katika jumuiya za kimataifa atapokea tuzo hiyo mnamo novemba ishirini na nne mwaka huu mjini goteborg sweden kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotiwa saini na afisa habari wa un habitat bibi zahra hassan profesa tibaijuka atakuwa mmoja wa watu watatu ambao watapokea tuzo hiyo kutokana na mchango wao katika kutafuta suluhisho la changamoto zinazokabili mazingira hususani ukuaji wa miji UNK kwa kasi duniani mwaka huu tuzo hiyo imelenga zaidi masuala ya changamoto zinazosababishwa na ukuaji wa miji duniani kwa kuwa nusu ya watu wote duniani wanaishi katika miji na majiji huku idadi hiyo UNK kuongezeka kwa theluthi mbili ndani ya miongo mitatu ijayo zaidi ya kuchafua mazingira ukuaji wa miji pia unachangia kwa kiasi kikubwa miji ndiyo iko katika hatari kubwa ya kuathiriwa na mabadiliko ya hali ya hewa pindi yanapotokea ilisema sehemu ya taarifa hiyo wengine UNK tuzo hiyo pamoja na profesa tibaijuka ni UNK UNK kutoka colombia na soren UNK kutoka denmark washindi waliopita wa tuzo hiyo ni aliyekuwa makamu wa rais wa marekani al UNK na UNK UNK UNK na benedict kaguo tanga jeshi la polisi mkoani tanga limewatia mbaroni nahodha na mmliki wa jahazi la amana pemba lililoteketea kwa moto na kuzama baharini wakati likisafiri kutoka tanga kwenda zanzibar usiku wa aprili kumi na nne mwaka huu na kusababisha vifo vya watu kadhaa jahazi hilo lenye namba za usajili z mia saba na thebathini na tatu linalomilikiwa na bibi sabiha salehe suleiman likiongozwa na nahodha wake bwana ngwali haji ali mkazi wa pemba UNK katikati ya bahari ya hindi na kusababisha vifo vya abiria ambao hadi sasa idadi kamili haijafahamika UNK wengine akizungumza jana na majira makao makuu ya polisi mkoa wa tanga kaimu kamanda wa polisi wa polisi bwana simon mgawe alisema UNK na nahodha huyo UNK polisi juzi jioni kamanda mgawe aliongeza kuwa katika maelezo ya awali nahodha wa jahazi hilo alisema chanzo cha ajali ni hitilafu iliyotokea kwenye injini na kusababisha magodoro yaliyokuwa ndani kushika moto kisha jahazi lote kuteketea na kuzama hata hivyo nahodha huyo hakutaja idadi kamili ya abiria waliokuwamo kwani chombo hicho ni maalum kwa ajili ya kusafirisha mizigo kamanda mgawe alisema watuhumiwa hao wanatarajiwa kufikishwa mahakamani leo kujibu mashitaka yanayowakabili katika hatua nyingine serikali ya mapinduzi ya zanzibar imewataka abiria wa vyombo vya usafiri majini kutumia vilivyosajiliwa kisheria ili linapotokea tatizo iwe rahisi kwa waathirika wa kupata haki stahiki naibu katibu mkuu ofisi ya waziri kiongozi wa serikali ya mapinduzi zanzibar bwana UNK abdallah hamisi alitoa rai hiyo juzi alipotembelea ofisi ya mkuu wa mkoa wa tanga kujua kiini cha ajali hiyo alisema hadi sasa hawajapata taarifa zozote za kupatikana miili ya watu hao na kuwataka wananchi kukata tiketi wanaposafiri kwa kutumia vyombo vilivyosajiliwa kisheria ili kupunguza uwezekano wa kupoteza haki zao viongozi wa smz wako tanga kutathmini ajali hiyo maadhimisho ya miaka ishirini mkataba wa kimataifa wa haki ya mtoto unafanyika leo duniani wakati tanzania ikiwa imetekeleza mkataba huo kwa bunge la kupitisha sheria ya haki ya mtoto hivi karibuni mwakilishi wa unicef nchini bwana UNK laakkonen alisema jana dar es salaam kuwa wakati dunia ikiadhimisha kufikiwa mkataba huo uliofikiwa mwaka elfu moja na mia tisa na tisini tanzania inajivunia mafanikio kuzingatia haki ya mtoto ya kuishi afya watoto wenye ulemavu na kuwakinga na maambukizi ya vvu bwana laakkonen alisema tanzania imebaki na changamoto ya kuokoa maisha ya watoto arobaini sifuri wa umri wa chini ya miaka mitano ambao hufariki dunia kila siku lakini ikiwa imepunguza idadi hiyo kutoka hamsini sifuri waliokuwa wakifariki kila siku miaka ya nyuma alisema tanzania pia imepiga hatua katika utekelezaji wa haki ya mtoto ya kupatiwa elimu ya msingi bila malipo ulioanza mwaka ishirini sifuri moja na watoto wanaotoka kwenye familia duni kiuchumi kuandikishwa shuleni mwakilishi huyo alisema bado ipo haja ya kuinua ubora wa elimu na kupunguza tofauti za uwezo wa kimapato ili watoto wote UNK nafasi ya kujiunga na elimu alisema watoto wenye ulemavu na wale wanaotoka katika makabila ya wafugaji UNK na wanaotoka katika familia zilizoathiriwa na vvu na ukimwi mara nyingi ndio ambao hushindwa kuhudhuria shuleni na idadi kubwa ya watoto hao hukatisha masomo kabla ya kuhitimu elimu ya msingi bwana laakkonen alisema hata hivyo kuna mabadiliko yanayokuja tanzania ambako wanafunzi wa kike ambao watapata ujauzito na kujifungua watakuwa na haki ya kurejea shuleni na kukamilisha elimu yao na kuongezeka idadi ya wanafunzi wanaojiunga na elimu ya sekondari mkurugenzi mkuu wa unicef duniani bwana ann veneman alisema UNK kusikia nchi nyingi UNK mkataba wa haki ya kuwahudumia mtoto bwana veneman akizungumza kutoka new york marekani jana alisema idadi ya vifo vya watoto chini ya miaka mitano duniani imeshuka kutoka milioni kumi na mbili tano mwaka elfu moja na mia tisa na tisini hadi milioni nane nane mwaka ishirini sifuri nane ikiwa ni asilimia ishirini na nane na kati ya mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na ishirini sifuri sita ni jambo la kusikitisha watoto wengi wanakufa duniani kutokana na magonjwa ya UNK malaria na ukosefu wa chakula bora na wengine hawajui darasa na wanakumbana na matukio ya mapigano udhalilishaji na ubaguzi serikali ya oman imeahidi kuendeleza ushirikiano kati yake na tanzania katika nyanja mbalimbali ili kufikia ustawi wa wananchi wa nchi zote mbili hayo yalisemwa juzi usiku dar es salaam na balozi wa nchi hiyo nchini bwana yahya UNK al UNK alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya sherehe kuadhimisha miaka thebathini na tisa ya kumbukumbu ya sultan wa oman tuko katika mchakato wa kusaini mikataba miwili ambao mmoja utahusu masuala ya kodi na mwingine utahusu kupeana mazingira mazuri ya uwekezaji pia hivi karibuni tumetoka kusaini mkataba wa makubaliano kuhusu ushirikiano wa kibiashara kwa hakika tunafanya biashara vizuri alisema bwana al UNK akizungumzia masuala ya siasa za zanzibar hasa baada ya kuulizwa kwa kuwa oman imekuwa na mahusiano ya UNK na watu wa visiwa hivyo alisema kuwa wanategemea nchi hiyo itafanya uchaguzi wenye amani ingawa UNK sana na masuala ya ndani ya nchi huko zanzibar lakini tumekuwa UNK mkono juhudi za serikali ya zanzibar katika kuleta amani miongoni mwao bila shaka tunategemea watafanya uchaguzi wa amani pia alizungumzia juu ya utaratibu wa kubadilishana wanafunzi kati ya nchi yake na tanzania ambapo alisema kuwa katika utaratibu wa kuanzisha nafasi za masomo ili wanafunzi kutoka tanzania waweze kwenda kusoma oman akizungumzia juu ya mkutano wa copenhagen denmark juu ya mabadiliko ya tabia nchi balozi huyo alisema kuwa msimamo wa nchi yake ni kuona kuwa hatua madhubuti zinachukuliwa na jumuiya ya kimataifa ili kusaidia dunia kuepuka madhara ya mabadiliko yao askofu mkuu wa kanisa anglikana tanzania daktari valentino mokiwa ametangaza masharti anayopaswa kutimiza rais mstaafu bwana benjamini mkapa ili watanzania wamsamehe kutokana na kashfa zinazomwandama akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana askofu mokiwa alisema ili bwana mkapa hajajutia makosa yake na kuonesha moyo wa toba ili asamehewe alisema ili kiongozi huyo asamehewe serikali ya awamu ya nne inapaswa kuboresha huduma zote za jamii ikiwa ni pamoja na kukomesha mgawo wa umeme kuboresha vituo vya afya na kumaliza kero zote zinazowakabili watanzania kauli ya daktari mokiwa imekuja siku moja baada ya rais mkapa kukaririwa akisema tuhuma zote zinazomwandama na mambo yote yanayosemwa kuhusu utawala wake anamwachia mungu bwana mkapa alitoa kauli hiyo wakati akimkaribisha makamu wa rais daktari ali mohamed shein kufungua mkutano wa kujadili hali ya maambukizi ya virusi vya ukimwi nchi jijini dar es salaam juzi tuhuma zinazomkabili bwana mkapa ni pamoja na kutajwa kusajili kampuni ya anben anayoimiliki na mkewe mama anna na kufanya biashara akiwa ikulu rais mkapa pia anatuhumiwa kushirikiana na aliyekuwa waziri wake wa nishati na madini bwana daniel yona kupitia kampuni ya tanpower resources kununua mgodi wa makaa ya mawe wa kiwira wenye thamani ya shilingi bil nne kwa bei poa ya shilingi milioni sabini sifuri na kulipa shilingi milioni sabini tu tayari serikali imetangaza kurudisha mgodi huo kiongozi huyo pamoja na serikali yake kujipatia mafanikio makubwa kiuchumi amekuwa akitajwa kutumia madaraka kwa kuiongezea mkataba kampuni ya kupakua na kupakia makontena bandarini ambayo mkaguzi mkuu wa hesabu za serikalia bwana ludovick utouh alisema ilikiuka sheria ya manunuzi ya mwaka ishirini sifuri nne askofu mokiwa alisema matamshi ya bwana mkapa kwenye mkutano wa juzi hayaoneshi toba na kujutia makosa yake hivyo hayuko sahihi wakati watanzania wana matatizo mengi yanayowakabili yaliyotokana na kasoro zilizojitokeza wakati wa utawala wake mkapa angekiri makosa aliyofanya wakati wa uongozi wake angekuwa sahihi nikifikiri ukimya wake wa muda mrefu alikuwa anatafakari nini cha kuwambia watanzania lakini jibu lake limekuwa tofauti na matakwa ya watanzania kwani anasema tuhuma zote anamwachia mungu huko si kukiri alisema askofu mokiwa aliongeza kuwa alitarajia serikali ingekuwa na ujasiri wa kutumia sheria na kumshurutisha rais mkapa kusimama na kuwaomba radhi watanzania wanaoishi katika lindi la umaskini kutokana mikataba mibovu ya madini ambayo hadi sasa hakuna mwananchi anayefaidika nayo ameishauri serikali kuwachunguza viongozi walioko madarakani na wale walio nje kama ili wachukuliwe hatua kama wamekwenda kinyume taratibu za uongozi kuna viongozi wengine wamekuwa wakipiga kelele majukwani kuhusu mkapa lakini hatujui usafi wao uko vipi bora tumeambiwa rais mkapa alinunua magodi wa kiwira na uko hapa tanzania kama ungekamilika ungeajiri watu wetu je hawa wanaojenga majumba nje tunawafanyaje kwani hayatusaidii watanzania wanataka kujua kampuni ya kagoda na meremeta zinamilikiwa na nani serikali ina maslahi gani kwa ticts hadi waikumbatie kiasi hicho bado kuna trl inatusumbua na wahusika wapo dawa katika vituo vya afya hakuna umeme wa uhakika hakuna na mambo mengine yasiyo na maslahi kwa watanzania alisema askofu mokiwa kwa upande wake daktari sengondo mvungi alisema huu si wakati wa kutafuta mchawi tugange yajayo kwani rais mkapa alikosa kutokana na makosa yaliyosababishwa na katiba alisema katiba ya sasa inampa madaraka makubwa rais wa nchi hali ambayo inamfanya ajikute anaingia katika kashfa iwapo kila rais aliyepita atachuguzwa atakutwa na makosa ambayo yanatokana na mfumo wa katiba iwe kwa rais wa awamu ya pili alhaji ali hassan mwinyi bwana mkapa au rais jakaya kikwete alisema kutokana na katiba nchi imekuwa na matatizo mengi yanayotokana na miundombinu ya utawala bora hivyo mambo mengi yanayofanywa ni ovyo kutokana na katiba na kushauri kubadilishwa katiba naye mbunge wa vunjo bwana aloyce kimaro alisema kwa kuwa rais mkapa ametambua makosa yake naye ni binadamu ambaye si mkamilifu sasa amefungua ukurasa mpya na imekuwa fundisho kwa wengine watakaofanya makosa wakiwa madarakani bwana kimaro ndiye aliyeibua hoja bwana mkapa kununua mradi wa makaa ya mawe kiwira kwenye mkutano wa kumi na moja wa bunge huku baadhi ya wabunge wakiunga mkono hoja hiyo na kushinikiza kiongozi huyo avuliwe kinga na kushitakiwa kwa kufanya biashara akiwa madarakani wakati mji wa arusha ukiwa katika hekaheka ya ugeni wa wakuu wa nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki polisi mkoani hapa wamezima tukio la ujambazi UNK kufanywa chini ya uratibu wa mganga maarufu wa kienyeji wa jijini dar es salaam katika tukio hilo lililofananishwa na sinema askari wa kikosi cha pikipiki zaidi ya kumi kwa kushirikiana na askari kanzu iliwachukua zaidi ya saa tano kufuatilia nyendo za watuhumiwa na kufanikiwa kuwanasa wakiwa katika baa moja eneo la UNK huku moja ya risasi ya bastola yao ikiwa tayari UNK watu watano wanaosadikiwa kuwa majambazi sugu akiwemo mganga huyo wa kienyeji walinaswa wakiwa na bastola hiyo na risasi tisa rungu panga na tunguri wakiwa katika harakati za kuvamia kwa mfanyabiashara moja maarufu mjini arusha kwa mujibu wa shuhuda mmoja wa tukio hilo UNK na kaimu kamanda wa polisi wa mkoa wa arusha bwana leonard paul watu hao walikutwa katika baa ya zumbukuku wakiendelea na vinywaji kujiandaa na uvamizi huo na UNK kamanda paul lisema juzi jioni kuwa watuhumiwa hao pia walikutwa na gari aina ya toyota corolla t mia moja na hamsini na tatu any UNK kutumika katika uporaji huo na pikipiki aina ya UNK UNK mia mbili na hamsini t mia tatu na sabini na tano UNK ambayo huitumia kwa uchunguzi kabla ya kufanya uharamia wao waliokamatwa wakihusishwa na tukio hilo ni bwana UNK omari mkazi wa kibonde maji jijini dar es salaam anayesadikiwa kuwa ndiye mganga wao bwana frank UNK bwana fredy mkenya wote wa sombetini arusha bwana gift mushi wa sakina na bwana UNK msechu wa makao mapya mjini hapa kuondoa huyo mganga hao wengine wanne UNK katika baa ya zumbukuku iliyopo kwa mromboo wakijiandaa kufanya uvamizi huo baada ya kupata taarifa za kiuchunguzi kutoka kwa timu yetu na kufuatilia nyendo zao kabla ya kuwatia mbaroni alisema kamanda paul wakulima wawili wakazi wa kijiji cha UNK kata ya UNK singida vijijini bwana UNK mathias na bwana joseph UNK wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja na kisha kumuua mwanamke huyo lucia UNK alipoteza maisha kutokana na kubakwa huku akiwa UNK mdomo kwa matambara UNK shingo hivyo kukosa pumzi kutokana ugomvi wa mashamba kamanda wa polisi mkoani hapa bibi celina kaluba alisema tukio hilo lilitokea juzi saa kumi na mbili jioni huko katika kijiji hicho alisema siku ya tukio hilo kaka wa marehemu bwana peter petro mkulima wa kijiji hicho aligundua kuuawa kwa dada yake na chanzo cha mauaji hayo kinachosadikiwa kuwa ni ugomvi wa mashamba baina ya marehemu na watuhumiwa hao baada ya mwili wa marehemu kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya mkoa wa singida ilibainika kuwa alibakwa kubakwa na shingo yake ilikuwa UNK watuhumiwa wanatarajiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote mara baada ya upelelezi kukamilika kampuni ya UNK corporation ya malaysia inayomiliki mitambo ya kampuni binafsi ya kuzalisha umeme yenye asilimi sabini ya hisa katika kampuni hiyo imekubali mitambo yake kubadilishwa ili iweze kutumia gesi asilia badala ya mafuta taarifa hiyo imetolewa kwenye vyombo vya habari jana dar es UNK na wizara ya nishati na madini ilifafanua kuwa kampuni hiyo ilitoa ridhaa hiyo oktoba kumi na tatu mwaka huu ili yafanyike mabadiliko yaliyokusudiwa kutokana na makubaliano hayo mpango wa kubadilisha utaanza kutekelezwa sambamba na mradi wa kuongeza kuongeza miundombinu ya kusafirisha gesi asili kutoka kisiwani songosongo ili kukabili kuongezeka kwa mahitaji ya gesi hiyo katika jiji la dar es salaam mradi wa kusafisha na kusafirisha gesi asili uko kwenye mchakato unaoendeshwa na mdhibiti wa sekta za nishati na maji alisema sehemu ya taarifa hiyo taarifa hiyo ambayo UNK na mtu yeyote lakini ikiwa na nembo rasmi ya serikali ilikuwa inafafanua habari zilizoandikwa na vyombo vya habari likiwamo gazeti hili UNK kamishna wa nishati bwana bashir mrindoko akisema kuwa mgogoro uliopo mahakamani kati ya serikali na iptl ndio unakwamisha mitambo hiyo kubadilishwa na kuanza kutumia gesi kuhusu UNK kwa mitambo ya iptl kutumia gesi asili badala ya mafuta ni suala la kihistoria sababu ya msingi siku za nyuma iliyokwamisha kubadilishwa kwa mitambo hiyo ilikuwa ni kwa wenye mitambo kutotoa ridhaa ya kufanyika mabadiliko yaliyokusudiwa UNK sehemu ya taarifa hiyo kukubali kwa iptl kubadili mitambo hiyo kunaweza kuwa ni mwanza wa serikali kupunguza gharama za kuzalisha umeme kwa kutumia mafuta ambapo kila siku zinatumika lita hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kupata megawati kumi sifuri endapo kila lita inauzwa shilingi moja ishirini sifuri kila siku mitambo hiyo UNK shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri sifuri taarifa hiyo pia UNK upatikanaji wa umeme wa kituo kipya cha tegeta cha megawati arobaini na tano kilichojengwa na serikali ni kuwa kina mitambo mitano ya uwezo wa kuzalisha megawati tisa kila mmoja ambayo imeanza kuwashwa novemba kumi mwaka huu kwa mchakato wa kuwasha mmoja mmoja na kutathimini uzalishaji wake umeme unaozalishwa wakati wa majaribio ya kituo hicho unaingizwa kwenye gridi ya taifa na kufikia novemba kumi na tisa mwaka huu jumla ya megawati ishirini na sita zimekuwa zikizalishwa na kuingizwa kwenye UNK kwa mujibu wa taarifa hiyo mchakato wa majaribio ya kuzalisha unatarajiwa kuendelea hadi kukamilisha megawati arobaini na tano mwisho wa mwezi huu hata hivyo taarifa hiyo ya wizara inapingana na iliyotolewa na shirika la umeme iliyosema kwamba kinachofanyika sasa kwenye mtambo wa tegeta ni majaribio ya kiufundi na kwamba bado mtambo huo haujaanza kufanyakazi na umeme wake UNK rasmi kwenye gridi ya taifa barua pepe iliyotumwa juzi kwa gazeti hili na meneja mawasiliano wa tanesco badra masoud ilisema taarifa za kuanza kufanya kazi rasmi na umeme wa mtambo huo kuingia katika gridi zitatolewa baadaye baada ya majaribio ya kiufundi kukamilika na mtambo huo kuanza kazi rasmi na si vinginevyo mtambo wa umeme unaotumia gesi wa tegeta una injini tano na kila moja inakadiriwa kuzalisha megawati nane saba na leo jumatano novemba kumi na nane injini tatu zinatarajiwa kufanyiwa majaribio ilisema na israel mwaisaka mtafaruku mkubwa umezuka ndani ya kikao cha kamati ya maadili ya chama cha mapinduzi wilayani kyela uliosababisha polisi kuingilia kati na kumwokoa katibu wa chama hicho wilaya bibi maria UNK polisi walichukua hatua hiyo baada ya bibi mwambanga kupokea kipigo kutoka kwa wanachama hao waliomtuhumu kuwa ni kibaraka wa baadhi ya wanasiasa huku wajumbe wengine UNK makonde wao kwa wao kikao hicho cha kamati ya maadili UNK makatibu kata wa chama hicho wa kata za kyela mjini UNK UNK UNK katumba songwe UNK na diwani wa kyela mjini bwana UNK mahenge wakidaiwa kuwa UNK mbunge wa kyela daktari harrison mwakyembe kwenye kikao cha halmashauri kuu ya ccm wilaya kamati hiyo ikiongozwa na mwenyekiti bwana japhet mwakasumi na katibu wake bibi mwambanga waliwaeleza makatibu hao na diwani kuhusu kumkashifu daktari mwakyembe na kuwataka waeleze sababu za kufanya hivyo na kwanini wasichukuliwe hatua za kinidhamu kwa mujibu wa mmoja wa watuhumiwa hao ugomvi uliibuka baada ya wao kuhoji hatua ya kuitwa peke yao bila pande zote zinazohusika kwenye mvutano huo baada ya suala hilo kuzua mtafaruku mkubwa polisi walifika eneo hilo la ofisi ya ccm wilaya kumwokoa katibu huyo aliyekuwa akipokea kipigo huku wajumbe wa kikao hicho UNK kila mtu na njia yake kwa hofu ya kukamatwa na polisi mwenyekiti wa ccm wilaya bwana japhet mwakasumi alipotakiwa kuzungumzia sakata hilo alisema kwa muda huo akili yake ilikuwa haijatulia hadi hapo baadae naye mwandishi grace michael anaripoti kuwa katika kile kinachoonesha kuwa hali si shwari katika majimbo mengi ndani ya ccm kuelekea uchaguzi mkuu mwakani mbunge wa ukonga daktari makongoro mahanga ameonya dhidi ya tabia ya wana ccm kuchafuana daktari mahanga amewataka badhi ya wanachama wenye nia ya kugombea udiwani na ubunge kuacha mara moja tabia ya kupitapita kwa wananchi na kuchafua majina ya viongozi waliopo madarakani kwa lengo la kujipatia umaarufu kisiasa alidai mbali ya kuchafua majina ya vingozi pia wanakwamisha utekelezaji wa ilani ya ccm kwa kuwachanganya wananchi na kupoteza mwelekeo wao wa kushirikiana na viongozi katika shughuli mbalimbalia za maendeleo akifungua semina ya jumuiya ya wazazi katika kata ya ukonga dar es salaam juzi daktari mahanga alisema ni vyema wanachama wa ccm wakatumia muda huu kuweka mikakati ya namna chama hicho UNK na ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa serikali za mitaa wapo baadhi ya wana ccm ambao tayari wameanza kuwapitisha wagombea wao kwa wananchi ili kufanya kampeni za ubunge mwakani hatukatai watu kujitokeza kugombea kwani ni haki yao kidemokrasia lakini ni lazima kanuni na taratibu za uchaguzi za ccm zifuatwe kwa maana ya muda wa kuanza kampeni hizo alisisitiza daktari mahanga alisema kuwa tatizo kubwa linalofanywa na wagombea hao ni kupita kwa wananchi huku wakitoa kashfa kwa viongozi ambao bado wako madarakani UNK kuacha mara moja tabia hiyo na kujikita katika kumaliza kero za wananchi zilizobaki katika kipindi hiki daktari mahanga alisema kuwa vitendo vya kuchafuana kwa sasa UNK kukwama kwa utekelezwaji wa ilani ya ccm ambapo kiongozi aliyepo madarakani anatakiwa kushirikiana na wananchi wake katika utekelezaji huo kuanza kuvutana kwa sasa ni kupoteza dira kwani uchaguzi ni mwakani hivyo ni bora UNK kwanza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na sio kuweka nguvu katika uchaguzi ambao muda wake bado lakini wanaotumia jina la mbunge kusaka udiwani hilo nalo pia ni tatizo linaloweza kunigombanisha na wanachama wangu haya mambo tuyaache kwanza alionya daktari mahanga naye mjumbe wa kamati ya utekelezaji bwana ahmad mkude alisema kuwa vitendo vya watu kupita kwa wananchi huku UNK majina ya viongozi si sahihi hivyo aliwataka wanajumuiya hiyo kuwa makini na watu hao hawa UNK na viongozi wetu tunatakiwa kuwa makini zaidi na sio kusikiliza maneno ya watu bila kuangalia wamefanya nini ndani ya jamii yetu wanatakiwa kuja kwa hoja lakini si kwa kashfa kwa kiongozi aliyepo na UNK UNK na madhara makubwa yatatokea ndani ya chama chetu alisema bwana mkude tanzania UNK masharti ya kuonesha jinsi misaada ya wafadhili UNK na ilivyojipanga kushughulikia masuala ya utawala bora hasa mapambano dhidi ya ufisadi ili iendelee kunufaika na misaada ya wahisani masharti hayo yalitolewa jana na mwenyekiti mwenza wa nchi wafadhili bwana UNK dorst dar es salaam wakati wa kongamano la mwaka juu ya masuala ya sera ya taifa katika kutimiza malengo ya maendeleo ya millenia na mpango wa kupambana na kupunguza umaskini tanzania na zanzibar mbele ya waziri wa fedha na uchumi mustapha mkulo bwana dorst alisema ufisadi na usimamizi mbovu wa fedha za umma vimeendelea kuwa kikwazo cha maendeleo kiuchumi na kijamii na akaweka msimamo kwamba wahisani wengine wanapata shida kuchangia wakihofia matumizi mabaya ya misaada hiyo alisema kwa kuwa shughuli za maendeleo nchini zimekuwa UNK na mfuko wa pamoja wa kuchangia bajeti za nchi ambao pia UNK na ufisadi na usimamizi mbovu wa fedha za umma suala la rushwa UNK sana wadau wa maendeleo hadi kwa walipa kodi wetu nchini kama ilivyoonyeshwa kuwa tanzania inapokea misaada wa jumla kwa bajeti na UNK kwa mwaka uliopita jinsi watanzania wanavyozungumzia madhara ya rushwa katika maendeleo ya taifa na mkakati wa kupunguza umaskini alisema alisema wanaamini kuwa ni muhimu kwa serikali kuendelea kuonesha juhudi zake za kupambana na rushwa zaidi hasa rushwa kubwa kwani hivi karibuni vyombo vya habari vilisema kuwa tanzania imeshuka kwa nafasi ishirini na nne katika suala la uwazi wa kupambana na rushwa ya kimataifa hii inatuonyesha kwamba mtazamo wa watu katika mapambano dhidi ya rushwa nchini inazidi kuwa mbaya badala ya kuwa nzuri jambo ambalo linaweza kuwawia vigumu wadau wa maendeleo kuendelea kuisaidia tanzania alisema alisema jambo la kuangalia ni kwamba watanzania wapaswa kuwa na ujasiri wa kuhakikisha kuwa rasilimali zilizopo zinatumika kuboresha maisha yao badala ya raslimali hizo kupotea kutokana na rushwa akizungumzia suala la kilimo kwanza alisema kuwa sera hiyo inaweza kupunguza umaskini vijijini kama mpango huo utasimamiwa vema lakini kilimo pekee yake hakitakuwa mbadala wa punguza umaskini hivyo serikali inapaswa kuboresha sekta zingine kwa pamoja ili kuongeza thamani ya mazao ni jambo la msingi kukuza sekta nyingine pia kwani baada ya mazao kupatikana inatakiwa kuwepo mazingira bora ya biashara za ndani na za kimataifa pamoja miundombinu ya nishati na usafirishaji pamoja na viwanda alisema UNK kuonesha uwajibikaji katika maeneo hayo na matokeo yakaonekana ni wazi tutakuwa katika nafasi nzuri ya kujadili kuendelea kuchangia mpango wa maendeleo nchini UNK jina la mkukuta ii alisema bwana UNK akizungumza baada ya kauli hiyo waziri mkulo alikiri kwamba suala la rushwa nchini ni gumu kutokomezwa kutokana na kasi ndogo ya kushughulikia kesi za rushwa hizo ambazo ziko mahakamani waziri huyo alisema kuwa kesi hizo zimeongezeka kutoka hamsini na nane mwaka ishirini sifuri tano hadi moja mia tano na sabini na nane mwaka huu hata hivyo alishindwa kutoa sababu za kushindwa kushughulikia tatizo la rushwa kwa madai kuwa ni mapema mno bwana mkulo alisema kuwa mkukuta wa awamu ya kwanza unamalizika mwakani na kwamba hawataweza kuingia katika mkukuta wa pili hadi hapo UNK kwa wafadhili fedha za mkukuta wa kwanza UNK kwa wastani tunaweza kukiri kwamba tumeshindwa kuondoa umaskini hiyo yote inatokana na matatizo ya miundombinu ya barabara na kilimo japo sehemu UNK hazijafanikiwa na hilo UNK kwa wafadhili na kuahidi kuendelea kusaidia alisema alisema kuwa lengo la majadiliano hayo na wadau wa maendeleo ni kujaribu kuangalia jinsi serikali inavyotekeleza malengo ya maendeleo ya millenia ya kupunguza umaskini duniani mkutano huo utafanyika kwa siku tano kujadili mafanikio ya UNK na mkukuta pamoja na kuangalia ni jinsi gani serikali UNK fedha za wafadhili katika kutoa huduma kwa jamii maeneo mengine yatakayojadiliwa ni kuendelea kukua kwa umaskini vijijini mazingira ya biashara changamoto za utoaji huduma sawa matumizi ya bajeti na utawala wa fedha katika mamlaka ya serikali kuu na serikali za mitaa askofu mkuu wa kanisa anglikana tanzania daktari valentino mokiwa ametangaza masharti anayopaswa kutimiza rais mstaafu bwana benjamini mkapa ili watanzania wamsamehe kutokana na kashfa zinazomwandama akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana askofu mokiwa alisema ili bwana mkapa hajajutia makosa yake na kuonesha moyo wa toba ili asamehewe alisema ili kiongozi huyo asamehewe serikali ya awamu ya nne inapaswa kuboresha huduma zote za jamii ikiwa ni pamoja na kukomesha mgawo wa umeme kuboresha vituo vya afya na kumaliza kero zote zinazowakabili watanzania kauli ya daktari mokiwa imekuja siku moja baada ya rais mkapa kukaririwa akisema tuhuma zote zinazomwandama na mambo yote yanayosemwa kuhusu utawala wake anamwachia mungu bwana mkapa alitoa kauli hiyo wakati akimkaribisha makamu wa rais daktari ali mohamed shein kufungua mkutano wa kujadili hali ya maambukizi ya virusi vya ukimwi nchi jijini dar es salaam juzi tuhuma zinazomkabili bwana mkapa ni pamoja na kutajwa kusajili kampuni ya anben anayoimiliki na mkewe mama anna na kufanya biashara akiwa ikulu rais mkapa pia anatuhumiwa kushirikiana na aliyekuwa waziri wake wa nishati na madini bwana daniel yona kupitia kampuni ya tanpower resources kununua mgodi wa makaa ya mawe wa kiwira wenye thamani ya shilingi bil nne kwa bei poa ya shilingi milioni sabini sifuri na kulipa shilingi milioni sabini tu tayari serikali imetangaza kurudisha mgodi huo kiongozi huyo pamoja na serikali yake kujipatia mafanikio makubwa kiuchumi amekuwa akitajwa kutumia madaraka kwa kuiongezea mkataba kampuni ya kupakua na kupakia makontena bandarini ambayo mkaguzi mkuu wa hesabu za serikalia bwana ludovick utouh alisema ilikiuka sheria ya manunuzi ya mwaka ishirini sifuri nne askofu mokiwa alisema matamshi ya bwana mkapa kwenye mkutano wa juzi hayaoneshi toba na kujutia makosa yake hivyo hayuko sahihi wakati watanzania wana matatizo mengi yanayowakabili yaliyotokana na kasoro zilizojitokeza wakati wa utawala wake mkapa angekiri makosa aliyofanya wakati wa uongozi wake angekuwa sahihi nikifikiri ukimya wake wa muda mrefu alikuwa anatafakari nini cha kuwambia watanzania lakini jibu lake limekuwa tofauti na matakwa ya watanzania kwani anasema tuhuma zote anamwachia mungu huko si kukiri alisema askofu mokiwa aliongeza kuwa alitarajia serikali ingekuwa na ujasiri wa kutumia sheria na kumshurutisha rais mkapa kusimama na kuwaomba radhi watanzania wanaoishi katika lindi la umaskini kutokana mikataba mibovu ya madini ambayo hadi sasa hakuna mwananchi anayefaidika nayo ameishauri serikali kuwachunguza viongozi walioko madarakani na wale walio nje kama ili wachukuliwe hatua kama wamekwenda kinyume taratibu za uongozi kuna viongozi wengine wamekuwa wakipiga kelele majukwani kuhusu mkapa lakini hatujui usafi wao uko vipi bora tumeambiwa rais mkapa alinunua magodi wa kiwira na uko hapa tanzania kama ungekamilika ungeajiri watu wetu je hawa wanaojenga majumba nje tunawafanyaje kwani hayatusaidii watanzania wanataka kujua kampuni ya kagoda na meremeta zinamilikiwa na nani serikali ina maslahi gani kwa ticts hadi waikumbatie kiasi hicho bado kuna trl inatusumbua na wahusika wapo dawa katika vituo vya afya hakuna umeme wa uhakika hakuna na mambo mengine yasiyo na maslahi kwa watanzania alisema askofu mokiwa kwa upande wake daktari sengondo mvungi alisema huu si wakati wa kutafuta mchawi tugange yajayo kwani rais mkapa alikosa kutokana na makosa yaliyosababishwa na katiba alisema katiba ya sasa inampa madaraka makubwa rais wa nchi hali ambayo inamfanya ajikute anaingia katika kashfa iwapo kila rais aliyepita atachuguzwa atakutwa na makosa ambayo yanatokana na mfumo wa katiba iwe kwa rais wa awamu ya pili alhaji ali hassan mwinyi bwana mkapa au rais jakaya kikwete alisema kutokana na katiba nchi imekuwa na matatizo mengi yanayotokana na miundombinu ya utawala bora hivyo mambo mengi yanayofanywa ni ovyo kutokana na katiba na kushauri kubadilishwa katiba naye mbunge wa vunjo bwana aloyce kimaro alisema kwa kuwa rais mkapa ametambua makosa yake naye ni binadamu ambaye si mkamilifu sasa amefungua ukurasa mpya na imekuwa fundisho kwa wengine watakaofanya makosa wakiwa madarakani bwana kimaro ndiye aliyeibua hoja bwana mkapa kununua mradi wa makaa ya mawe kiwira kwenye mkutano wa kumi na moja wa bunge huku baadhi ya wabunge wakiunga mkono hoja hiyo na kushinikiza kiongozi huyo avuliwe kinga na kushitakiwa kwa kufanya biashara akiwa madarakani UNK akaunti zake zote viongozi wake UNK kutoka yachunguza ziliko fedha zingine hatimaye serikali imetangaza rasmi kufuta shughuli za kupanda na kuvuna fedha zilizokuwa zikiendeshwa na kampuni ya development enterpreneurship for UNK tamko hilo la serikali lilitolewa jana na waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo mbele ya waandishi wa habari ofisini kwake dar es salaam ambapo alibainisha kuwa upatu huo ni kinyume cha sheria serikali ilishatoa taarifa kuhusu uharamu wa shughuli za deci ltd hii ni kwa mujibu wa sheria ya kanuni ya adhabu sura ya kumi na sita ya sheria ya tanzania kama ilivyorekebishwa na sheria ya mabadiliko mbalimbali ya mwaka ishirini sifuri sita na ile ya michezo ya kubahatisha ya sura ya arobaini na moja ya sheria ya tanzania imeeleza sehemu ya taarifa hiyo hili ni tamko la serikali mpaka nakuja hapa ni kwamba tayari waziri mkuu makamu wa rais na rais mwenyewe wameridhika na uchunguzi na wameafiki deci isitishwe alisisitiza bwana mkulo alisema iko mifano hai ambako mipango kama hii iliendeshwa na UNK na kuutaja wa UNK mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na sita tisini na saba na ule wa kenya ambako madhara makubwa UNK ikiwa ni pamoja na watu kupoteza maisha alisema taarifa mbalimbali kupitia vyombo vya habari kuhusu deci kusitisha shughuli zake zimesababisha wasiwasi mwingi miongoni mwa wanachama na serikali imeamua kuchukua hatua kadhaa kukabili hali hiyo hatua hizo ni pamoja na kuhakikisha maeneo yote ya shughuli za deci yanadhibitiwa sambamba na kuzuia pesa zote zilizopo kwenye akaunti za waendeshaji wa deci na deci yenyewe hadi hapo hatma ya shughuli za chombo hicho itakapojulikana bwana mkulo alisema serikali inafanya jitihada za kujua ziliko fedha zingine ambazo hazipo kwenye mabenki na UNK kuhakikisha zinawekwa salama hatua nyingine ni kukusanya na kutunza kumbukumbu zote za wanachama ikiwa ni pamoja na kiasi walichopanda na UNK tangu deci ilipoanza shughuli zake hapa nchini kuendelea na uchunguzi wa kina juu ya waendeshaji na wamiliki wote ikiwemo deci ltd iliyosajiliwa nchini kenya ambayo shughuli zake UNK na deci ltd kutokana na wamiliki wake kuwa wa kanisa hilo hilo la UNK alisema serikali pia inaendelea na hatua ya kuhakikisha waendeshaji na wamiliki wote wa deci UNK nchini alisema serikali itaendelea kuelimisha wananchi uelewa vyema kuhusu madhara ya upatu wa pyramid bwana mkulo aliwataka wananchi wawe watulivu na kuepuka ushabiki na uchochezi unaoweza kusababisha uvunjifu wa amani wakati wa kushughulikia suala hili alisema madhumuni ya serikali kuchukua hatua hizo kwanza ni kukinga umma wa watanzania kutorubuniwa kirahisi na watu UNK alisema lingine ni kuhakiki kumbukumbu zitakazopatikana katika ofisi za deci ili kuwezesha kuweka mikakati ya kurudisha kwa wanachama chochote kitakachopatikana bwana mkulo alisisitiza kuwa deci ni kampuni ya kitapeli inayofanya shughuli za upatu ambazo ini kinyume cha sheria za nchi alisema taasisi kadhaa zilithibitisha kutotoa leseni kwa deci ikiwa ni pamoja na mamlaka ya masoko ya mitaji na dhamana benki kuu ya tanzania wizara ya mambo ya ndani wizara ya biashara viwanda na masoko bodi ya michezo ya kubahatisha na wizara ya kilimo chakula na ushirika alikiri serikali kupitia bot kuchelewa kuchukua hatua kutokana na uchunguzi wa kina walioufanya ili kupata ukweli namna deci UNK ikiendesha shuguli zake deci ilisajiliwa januari ishirini sifuri saba na walijiandikisha kama kampuni ya kanisa kwa ajili ya kuwasaidia waumini la kipentekoste hivyo serikali awali haikuwa na wasiwasi nayo alisema bwana mkulo alisema baada ya bot kukataa maombi ya deci ya kupewa kibali cha kukusanya fedha kwa wananchi kutokana na kutokuwa wametimiza masharti walikiuka maagizo ya bot na kuanza kukusanya fedha alisema kuwa pamoja na bot kuita deci itoe mchanganuo wao namna wanavyopata faida na riba kubwa bado UNK agizo hilo hadi leo bwana mkulo alisema katika wasiwasi huo serikali kupitia chombo chake maalum cha kuchunguza fedha haramu ilibaini kuwa deci ilikuwa imekusanya fedha nyingi na kuweka kiasi kidogo benki nyingine zikiwa mikononi mwa wamiliki hapa kuna utata mwingi kuhusu deci mambo yao mengi hayakuwa wazi waliomba kufanya kazi kama kampuni ya kanisa baadae UNK deci sasa hapa mtaona kanisa deci na wamiliki kila mmoja ana akaunti yake alidai aliongeza kuwa katika uchunguzi huo wamestushwa kukuta mmoja wa wanahisa ambaye awali alikuwa na kiasi kidogo cha fedha lakini ghafla na kwa muda mfupi akaunti yake ina mamilioni yasiyo na ufafanuzi UNK bwana mkullo alisema kuwa kiuchumi serikali haijapata hasara yoyote kutokana na deci isipokuwa hasara inaweza kuwa kwa wananchi ambao katika kurudishiwa fedha zao inawezekana wengine wakakosa kutokana na mfumo ulivyokuwa unatumika kutoeleweka faida UNK aliwataka wananchi UNK kuwa na subira kwa kuwa hatua zitakazochukuliwa na serikali kwa wamiliki zitaonekana hivi karibuni kulingana na ukweli utakavyokuwa unapatikana tamko la serikali UNK mijadala ya wiki kadhaa sasa ambayo iliibuka nchini kote ambako baadhi ya wanachama wa deci walizidi kuonesha imani yao kwa chombo hicho huku wakishinikiza UNK UNK shughuli zake hivi karibuni waziri mkuu bwana mizengo pinda alikaririwa akisema upatu wa si lolote bali ni mchezo bali ni mchezo unaoendeshwa na wajanja wajanja na kuwatahadharisha wananchi kuepuka jambo hilo kwa manufaa ya mitaji yao bwana pinda aliwataka wananchi kuzingatia onyo lililotolewa hivi karibuni na bot na soko la mitaji kuepuka upatu huo ili kuponya pesa zao waziri mkuu alitoa kauli hiyo alipokutana na wahariri wa vyombo vya habari ofisini kwake jijini dar es salaam jana na kubainisha kuwa deci inaendeshwa kinyume cha sheria na kamwe serikali haiwezi kukaa kimya kuacha wananchi wake wahatarishe mitaji yao nilipokaa na wataalamu nikawauliza kuhusu jambo hili wameniambia mfumo huu ni upatu upatu unaendeshwa kwa kuchukua pesa kutoka kwa mtu mwingine bila kumlipa riba ila ni fedha inayolipwa kutokana na ongezeko la wateja wapya nikasema makubwa haya mbona itatuletea mgogoro alikaririwa akisema bwana pinda na kuongeza upatu unaoeneshwa na deci haujawahi kufanikiwa sehemu yoyote duniani ni mfumo uliojaa ujanja ujanja mwisho wa siku watu wanalia alieleza waziri mkuu halmashauri ya wilaya ya mwanga mkoani kilimanjaro na manispaa ya arvidsjaur nchini sweeden zimefikia makubaliano ya kushirikiana katika nyanja za kiuchumi ambayo yataisaidia sweeden kuwekeza wilayani mwanga meya wa manispaa ya arvidsjaur bwana jerry johansson alisema hivi karibuni wameridhishwa na mazingira ya wilaya ya mwanga na wameamua kuwekeza katika nyanja za viwanda vidogo vikiwemo vya kukoboa na kuanika kahawa afya uvuvi na elimu alisema makubaliano hayo yatawawezesha wananchi wa wilaya ya mwanga kuwa na maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua na umaskini yamefikiwa katika kikao cha pamoja UNK na mkuu wa wilaya hiyo bwana athuman UNK bwana johansson aliongeza kuwa kutokana na mazingira ya wilaya hiyo kuna muhimu kuwepo pia na nishati ya upepo na jua ili kuwa na uhakika wa uzalishaji wa bidhaa na UNK ya mawasiliano ya UNK naye mkuu wa wilaya ya mwanga bwana athumani mdoe aliipongeza manispaa ya arvidsjaur kwa kuja kuwekeza katika wilaya yake na kuwa kijiji cha UNK kimeteuliwa kuwa cha uwekezaji wa viwanda vidogo kwa kutumia rasilimali zilizopo na mafunzo ya ufundi yatatolewa kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya UNK naye mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya hiyo bwana UNK mamboleo amewataka wananchi kuwa tayari kuikubali na kuchangia miradi UNK na manispaa hiyo ya UNK wajasiriamali wadogo na wakubwa walioko katika maeneo ya migodi ya dhahabu inayomilikiwa na kampuni ya barrick tanzania wametakiwa kutumia fulsa za kufanya biashara zinazotolewa katika migodi hiyo kwa lengo la kuwainua kiuchumi changamoto hiyo ilitolewa hivi karibuni mjini kahama na ofisa maendeleo ya biashara wa barrick tanzania bwana UNK tenga kwenye semina kwa wafanyabiashara iliyohusu fulsa za kufanyabiashara na migodi zilizopo na zitakazo endelea kutolewa bwana tenga alisema migodi ya barrick imekuwa UNK fulsa mbalimbali kwa wajasiriamali wadogo na wakubwa na kuwapa kipaumbele wale walioko maeneo ya migodi kwa lengo la kuwanufaisha na kuwainua kiuchumi lakini wamekuwa UNK alisema barrick inapenda sana kufanya biashara na wajasiriamali waliopo maeneo yao ili mradi wawe watimize wajibu wao na taratibu na sheria za inchi zilizopo katika maswala ya biashara na ambazo ndiyo zimekuwa zikitumiwa UNK fulsa za kufanya biashara na migodi alisema wajasiriamali wazawa wanaoishi maeneo ya migodi wataendelea kuwapa elimu mara kwa mara kwa njia ya semina ili waweze kufanya biashara katika migodi hiyo na kwa wale wanaofanya nao na kukiuka miongozo na maadili UNK UNK awali mkuu wa wilaya ya kahama bwana bahati matala akifungua semina hiyo aliwataka wajasiriamali hao kuzingatia fulsa zinazotolewa na barrick ili wanufaike kwa kufuata kanuni na UNK wawekezaji hao ambazo zinalenga kuwainua kiuchumi badala ya kukaa na kulalamika tu vikundi vya wakulima wadogowadogo wa uzalishaji wa zao la kahawa wilayani hai mkoani kilimanjaro vimefanikiwa kupanda miche bora ya kahawa arobaini sifuri sifuri sifuri sifuri katika kipindi cha miezi kumi kwa lengo la kuunga mkono jitihada za serikali za kufufua kahawa hayo yalibainishwa na mwenyekiti wa vikundi hivyo bwana UNK swai wakati wa uzinduzi wa umoja wa wakulima wa kahawa bora wilayani hai UNK katika kijiji cha UNK machame na kushirikisha vikundi thebathini na moja vya wakulima wa kahawa wilayani hapa alisema kupitia vikundi hivyo wakulima wataweza UNK kahawa kwa asilimia kubwa ambapo ilionekana kudidimia na kufanikisha jitihada za kuwakwamua wakulima kiuchumi na kuwakomboa katika lindi la umaskini lengo la kuunda umoja huu ni kuwaunganisha wakulima pamoja na kwamba baada ya kuvuna kahawa yao wataweza kuiuza wenyewe bila kupitia kwenye vyama vya ushirika kama ilivyo sasa na kila mmoja ataweza kujifunza namna ya kulima kahawa bora ambayo itamsaidia kuongeza pato lake alisema bwana swai bwana swai alisema kupita vikundi hivyo kila mwanachama amepewa shamba la majaribio ili kuweza kutambua mbinu na njia za kupanda na kuitunza kahawa hiyo ambayo UNK na wadudu na kwamba mche mmoja wa kahawa una uwezo wa kuzalisha kilo tatu kwa mara moja kwa upande wao baadhi ya wakulima hao walisema kuwa wanakabiliwa na changamoto mbalimbali za kufikia malengo ya kuzalisha kahawa bora ikiwemo ukosefu wa pembejeo za kutosha sanjari na upatikanaji wa maji ya umwagiliaji serikali ikifanikiwa kudhibiti bidhaa kutoka nje wakulima wa tanzania watanufaika kwa kuuza malighafi zao katika kampuni mbalimbali nchini hayo yalisemwa hivi karibuni na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa kampuni ya bia ya tanzania bwana anold kileo wakati kifungua kituo kipya cha kuuzia vinywaji hivyo katika eneo la ngarenaro mkoani hapa alisema kampuni nyingi hapa nchini UNK vinywaji kwa kutumia mazao ya wakulima kama vile zabibu na ulezi na hivyo kampuni za nje ya nchi UNK bidhaa zao nchini kiholela UNK juhudi za mkulima kupata faida alisema bidhaa kutoka nje ya tanzania UNK nchini hutumiwa na kampuni kutengeneza bidhaa zao kwa kusema bidhaa zao UNK kutoka nje ya nchi na kuacha mazao asilia yanayozalishwa na mkulima wa tanzania ambayo huwa na ubora zaidi bwana kileo alizitaka kampuni zinazotengeneza vinywaji nchini kutumia bidhaa zinazozalishwa nchini tanzania kwani zina ubora ambao husaidia mkulima katika kuondokana na umaskini wa kipato wakati wakazi wa magomeni kota wakisubiri waongezewe miezi mitatu ili watafute nyumba za kupanga jitihada mbalimbali zinafanyika kumuona waziri mkuu bwana mizengo pinda mwenyekiti wa kamati ya wakazi wa magomeni kota bwana nkurumah munjoli alisema katika mkutano wa wakazi hao jana dar es salaam kuwa wamegundua njia ya kupata msaada ni kumuona waziri mkuu pinda bwana munjoli aliwaambia wakazi hao kuwa kitendo cha kukatiwa umeme na kutakiwa kuondoka bila maombi yao kufanyiwa kazi wameona ni unyanyasaji ambao wamekilalamikia kituo cha sheria na haki za binadamu na taratibu za kwenda mahakamani UNK alisema kwa sababu sekeseke la kuhamishwa UNK utaratibu wa makubaliano kati yao na manispaa ya kinondoni wameanza kuandikisha watoto ambao UNK pasipo sababu kwa vile manispaa ya kinondoni UNK wazi kimaandishi kuhusu makubaliano ya pande mbili hizo tulitaka tutambuliwe kama wapangaji wanunuzi na tulipwe fedha za kukodisha nyumba wakati tukisubiri ujenzi wa nyumba za maghorofa ya kisasa kutoka shilingi mia saba na ishirini sifuri sifuri sifuri ya mwaka ishirini sifuri sita lakini pamoja na maneno mazuri ya mdomo hatujui ukweli wake alisema bwana UNK wakazi wa magomeni kota wapatao thebathini sifuri sifuri sifuri ambao wamekata tamaa ya kupewa kipaumbele cha kuendelea kuishi eneo hilo jumapili iliyopita walimlalamikia diwani wa kata ya ndughumbi kupitia ccm bwana charles mgonja kuwa hana msaada kwao nyumba mia sita na arobaini na nne za kota magomeni hazina umeme baada ya shirika la umeme tanzania tawi la magomeni kukata huduma hiyo kushinikiza wananchi hao wajiandae kuhama kupisha ujenzi wa nyumba za kisasa mwenyekiti wa wazazi wa chama cha mapinduzi mkoa wa kilimajaro bwana UNK ngawaiya ameitaka serikali kuchukua hatua za haraka kuthibiti watu wanaopita chinichini kama mchwa kwa ajili ya kutaka UNK nchi kwa kutumia fedha zao UNK na majira dar es salaam jana bwana ngawaiya alionesha kukerwa na kupita katika maeneo mbalimbalia wakitoa misaada mikubwa ya fedha ambazo chanzo chake hakijulikani alisema kuwa hali hiyo inasababisha watu hao kuwa na sauti kubwa kuliko serikali kutokana na fedha ambazo wamekuwa wakizitoa kama misaada kwa jamii bila kueleza kuwa zimetoka wapi utashangaa mtu anatoa milioni ishirini sifuri hadi thebathini sifuri kwa jamii kama msaada lakini fedha hizo UNK amezitoa wapi hali hii inanitia mashaka kabisa kwani serikali inatakiwa iwe inahoji uhalali wake wakiwaachia na kuota mizizi wataifikisha serikali pabaya alisema bwana ngawaiya alisema kuwa watu hao wamekuwa wakitumia vyombo vya habari vibaya kwa kutangaza mambo yao na kwamba serikali isipochukua hatua mapema tanzania itaelekea pabaya hawa watu wanapata fedha hizo kutoka nje ya nchi haiwezekani wawe wanatoa misaada ya mabilioni ya fedha kila mara kutoka mifukoni kwao nchi UNK sasa na watu wachache nasisitiza serikali kuwa macho na kufanya utafiti kuhusu vyanzo vya fedha vya watu hao alisema bwana ngawaiya bila kuwataja majina bwana ngawaiya alihoji ukimya UNK na kitengo cha usalama wa taifa wakati nchi UNK na watu wachache na kufafanua kuwa kutokana na hali hiyo baadhi ya mataifa yameingia katika migogoro kutokana na hali hiuyo ya kutoa misaa ya kifedha lakini chanzo cha fedha hizo hakijulikani katika hatua nyingine bwana ngawaiya alisema anashangazwa na baadhi ya viongozi wanaomsema vibaya rais wa awamu ya tatu bwana benjamini mkapa kuhusu mambo UNK kufanya katika kipindi cha uongozi wake wakati alifanya mambo mazuri kama mkapa UNK kugombea tena baada ya kipindi cha miaka kumi baada ya kumalizika kwa uongozi wa rais kikwete watanzania wangemkubali na kumchagua kwa sababu kipindi anaingia madarakani hakukuta hata senti tano benki kuu ya tanzania lakini alikaa na kupanga mipango ambayo ni imara mpaka kukawepo kwa fedha za kutosha ambazo aliziacha baada ya kumaliza muda wake alisema bwana ngawaiya alisema anashangaza na jinsi watu UNK UNK uchumi nyuma pamoja na kumsingizia mambo mbalimbali bila kufikiria alipoingia madarakani ni mambo mangapi aliyoyafanya bwana ngawaiya alisema kuwa viongozi wanaotoa visingizio kwa ajili ya kumchafua mzee wa watu wamwache UNK kambi ya ulipaji fidia kwa wakazi wa kipawa dar es salaam imefungwa rasmi mwishoni mwa wiki baada ya watu mia nane na sitini na moja kulipwa jumla ya shilingi bilioni kumi na tatu tano ba matukio manane ya udanganyifu wa malipo baada ya kufungwa kwa kambi hiyo na mkuu wa wilaya ya ilala bwana evance balama malipo kwa watu waliosalia yatafanyika kati ya novemba ishirini na sita na ishirini na nane katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam na baadaye hundi UNK na wadai wengine wataendelea kulipwa kwa utaratibu mpya tumeamua kufunga kambi ya ulipaji baada ya kuona idadi ya watu imepungua hivyo kutokana na watu kutojitokeza hali inayoashiria pengine kumalizika kwa UNK lakini kazi hiyo itaendelea novemba ishirini na sita hadi ishirini na nane mwaka huu alisema bwana balama alisema wakazi mia tatu na sitini wanaodai shilingi nne mia tano na thebathini na nane mia nane na sabini na mbili mia moja na kumi na nne ambao kati yao ishirini na tano ni wa UNK iliyofunguliwa kati ya oktoba ishirini hadi novemba kumi na tatu mwaka huu ambazo ziko mahakamani na kuwataka wanaodhani wana madai halali wafike na vitambulisho na maelezo sahihi yaliyowafanya kuchelewa ulipwaji wa fidia ulianza oktoba kumi na tano mwaka huu UNK wakazi moja mia mbili na ishirini na moja UNK jumla ya shilingi kumi na nane sifuri tano nne mia tatu na arobaini na sita sifuri sifuri sifuri ikiwa ni fidia za majengo na mali zilizokuwa katika eneo hilo wakati wa udhamini ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere hata hivyo alisema shughuli hiyo UNK na wajanja ambao katika malipo yanayoendelea watatakiwa kwenda katika eneo zilipokuwa nyumba zao UNK akizungumzia kesi nane za udanganyifu katika malipo ambazo upelelezi unaendelea bwana balama alisema kuwa baadhi yao UNK fedha katika hundi zao tofauti na inavyotakiwa kwa kuzidishiwa kiwango vitendo vinavyodhaniwa kufanywa na watendaji waliofanya kazi hiyo ya ulipaji aliwaomba wakazi UNK kuondoa mali zao katika eneo hilo ndani ya muda wa notisi waliopewa badala ya kungoja nyumba zao kubomolewa kwa nguvu baada ya siku arobaini na tano za notisi kumalizika na hakutakuwa na mjadala mpya isipokuwa kuendelea na upanuzi wa uwanja huo waziri mkuu bwana mizengo pinda ametoa siku tatu kwa mhandisi ya maji wilayani newala kutatua tatizo la maji ambalo ni kero kwa wananchi ametoa kauli hiyo juzi wakati akijibu hoja za wakazi wa mji wa newala kuwa kabla hajaondoka mkoani humo jumanne apatiwe ufumbuzi kuhusu tatizo la maji katika wilaya hiyo katika watu sita UNK maswali watano waligusia tatizo la maji na umeme katika mji huo jambo lililomkera bwana pinda na kusema haelewi ni kwa nini wananchi hao wanateseka wakati rais jakaya kikwete alihangaika kutafuta jenereta la kuwasha pampu za kusukuma maji kutoka chanzo cha mkunya wilayani humo lakini amekuta UNK siku tatu zilizopita rais kikwete amehangaika kutafuta jenereta hadi UNK kule bondeni limekuja siku nyingi na hela za mafuta shilingi milioni thebathini zilikuwepo waliposikia waziri mkuu anakuja ndipo UNK alisema huku akishangiliwa na wakazi hao alisema kwa jitihada za rais kama kweli injinia huyo alikuwa ana nia ya kuwasaidia wananchi hilo tatizo lilipaswa kuwa limeisha kwa asilimia kubwa sana asubuhi wakati naenda kukagua chanzo cha maji cha mkunya UNK na mabango yanayosema maji ni mradi wa wakubwa nimemwambia UNK mkazi kuwa nataka aweke ratiba ya kugawa maji na kuyasambaza kwenye UNK vya maji ili watu wote wapate kwa bei nafuu alisisitiza alisema mtaalamu mzuri ni yule mwenye kuhangaika usiku na mchana kutatua matatizo yanayowakabili wananchi na kumtaka mhandisi mkazi wa maji katika mradi wa maji makonde injinia bernard UNK atafute ufumbuzi wa tatizo la maji katika kijiji cha UNK kabla UNK mkoa huu ninataka kujua hatua gani zimechukuliwa kutatua tatizo hili wakati wa majumuisho tarehe ishirini na nne nitapenda kupata taarifa alisema waziri mkuu huku akishangiliwa na wakazi hao alisema amepata taarifa kuwa wako watu wachache UNK maji na UNK katika visima vyao ili wayauze kwa wananchi wengine kwa shilingi hamsini sifuri kwa ndoo moja na wengine UNK maboza na kupita mitaani wakijifanya wasamaria wema kwa kuuza maji hayo kwa shilingi hamsini sifuri hadi sabini sifuri kwa ndoo moja waziri mkuu ambaye jana alikuwa katika siku ya tatu ya ziara yake mkoani mtwara alisema amejifunza mengi katika ziara ya mikoa ya lindi na mtwara na anaondoka akiwa na changamoto ya kufuatilia utekelezaji wa maagizo yake umefikia wapi nina timu yangu ambayo kila baada ya miezi mitatu huwa inafuatilia maagizo UNK katika ziara ole wenu warudi na kukuta tatizo la maji kule mkunya halijaisha na maboza bado yanauza maji hapa mjini UNK alisema anatambua mtihani mkubwa unaoikabili wilaya hiyo kuwa ni ubovu wa mfumo wa mabomba ya kusambazia maji kwani mengi yamechakaa na ndiyo maana akasisitiza kuwepo kwa mgao baina ya vijijini na mji wa newala ili watu wote wapate kidogo kidogo katika mkoa wa mtwara wilaya yenye kiwango cha chini cha watu wanaopata maji safi ni newala ambapo asilimia ishirini tu ya wakazi wake wanapata maji safi chama cha wazalishaji chumvi nchini UNK serikali kufuta kodi katika uingizaji wa madini joto na kuitoa kama ruzuku ili wazalishaji wadogo waweze kuichanganya vema na kupata chumvi yenye ubora unaokubalika kimataifa mwenyekiti wa taifa wa UNK bwana habib nuru alisema juzi kwenye mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika mjini hapa kuwa moja ya matatizo yanayowakumba wazalishaji wa chumvi nchini ni upatikanaji wa madini joto ambayo yana umuhimu mkubwa kabla chumvi UNK mtumiaji madini joto UNK nchini UNK ushuru wakati fulani tuliiomba serikali UNK sasa tunataka utaratibu huu uwe wa kudumu ili UNK wa madini joto haya kwenye chumvi ufikie viwango kwa wazalishaji mashambani alisema bwana UNK matatizo mengine ni wingi wa kodi katika uzalishaji wa chumvi ambayo serikali katika ukusanyaji wa kodi UNK bidhaa hiyo kama madini mengine UNK ardhini wakati ni moja ya viungo vya chakula kwa UNK ya binadamu akifungua mkutano huo katibu tawala wa mkoa wa tanga bwana paul UNK alikipongeza chama hicho kwa kubeba jukumu la kulinda afya za watazania kwa kusimamia ubora wa uzalishaji wa chumvi iliyowekwa madini joto kuwakinga watumiaji na UNK makubwa yatokanayo na ukosefu wa madini joto katika mwili wa binadamu hata hivyo katibu tawala huyo alikiri kwamba mojawapo ya changamoto walizokuwa nazo ni kuhakikisha kwamba madini joto ambayo ni ghali katika soko la dunia lakini wanatakiwa kuwa na taratibu mbadala za kuyafikisha kwa wazalishaji wote nchini ambao wengi wao ni wazalishaji wadogo rais jakaya kikwete ametakiwa kutoa nafasi za uongozi kwa vijana sasa na si kusubiri mpaka atakapochaguliwa tena awamu nyingine kwa kuwa ilikuwa ahadi yake kwenye kampeni za uchaguzi mkuu mwaka ishirini sifuri tano mwenyekiti wa nccr mageuzi bwana james mbatia aliyasema hayo wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi kadi ya uanachama bwana david kafulila ambaye amejiunga na chama hicho akitokea chama cha demokrasia na maendeleo bwana mbatia alisema rais kikwete anatakiwa kutimiza ahadi yake ya kutoa uongozi kwa vijana katika serikali kuanzia sasa ili kutoa fursa kwao kulitumikia taifa lao na kuleta mabadiliko katika sera za maendeleo ya taifa hatuwezi kuendelea kusema vijana ni taifa la kesho wakati kuna baadhi ya wazee hawataki kuwaachia nafasi za uongozi rais kikwete alipoingia madarakani vijana wengi walikuwa na matumaini makubwa ya kupata uongozi lakini hali imekuwa tofauti akizungumzia viongozi wanaongganggania madaraka bwana mbatia alisema ni vyema waige mfano wa watangulizi wao akiwemo mwalimu julius nyerere ambaye alinggatuka madarakani akiwa na umri wa miaka sitini na tatu alisema wakati watanzania zaidi ya milioni kumi na sita ni maskini wa kutupwa wakiishi chini ya dola moja kwa siku viongozi waliopo madarakani wanajadili watu badala ya kusimamia maslahi ya taifa akizungumzia hatua ya bwana kafulila kujiunga na chama hicho bwana mbatia alisema kutoka chama kimoja cha mageuzi kwenda chama kingine cha mageuzi ni kuendeleza mageuzi kwa kuwa UNK wananchi walewale akizungumza baada ya kukabidhiwa kadi ya uanachama wa nccr mageuzi yenye namba laki mbili na elfu thebathini na saba na mia tisa na themanini na tatu bwana kafulila alisema dhamira yake ya kujiunga na chama hicho ni kuleta mapinduzi katika siasa na si UNK alisema tangu akiwa mtoto amekuwa na ndoto ya kuleta mapinduzi katika mfumo wa siasa nchini kwa kutoa mchango katika ujenzi wa demokrasia ya kweli alisema vyama vya upinzani vinatakiwa kukubali kukosolewa pale UNK ili kujenga maamuzi imara ikiwa ni pamoja na kufikia malengo yao ya kuwatumikia watanzania ni vyema kuona kuwa mtu UNK anapinga hoja yako si wewe ukichukulia hivyo basi UNK ili kukubaliana kwa pamoja alisema bwana kafulila bwana kafulila ambaye alishatangaza azma yake ya kugombea nafasi ya ubunge jimbo la kigoma kusini alisema amejiunga na chama hicho kwa ridhaa yake na ya wapiga kura wake na si shinikizo la mtu yeyote alisema chama cha mapinduzi kimeshindwa kusimamia rasilimali za nchi katika kuleta maendeleo ambapo kumekuwa na ongezeko la umaskini kutoka asilimia kumi na moja mwaka ishirini sifuri tano mpaka kumi na mbili saba mwaka huu sekta binafsi zimetakiwa kuwekeza katika miradi ya kupunguza gesi joto zinazotokana na takataka ili kujiongezea kipato na kushiriki katika kukabiliana na mabadiliko ya hali ya nchi wito huo umetolewa na kaimu mkurugenzi mtendaji wa kituo cha uwekezaji nchini bwana raymond mbilinyi wakati akifungua mkutano wa kuhamasisha uwekezaji katika miradi ya kupunguza gesi joto uliofanyika jijini dar es salaam mwishoni mwa wiki kutokana na mabadiliko ya hali ya nchi yanayoikumba dunia hivi sasa ni fursa pekee kwa sekta binafsi kuwekeza katika sekta hiyo ili iweze kushiriki kikamilifu katika kupunguza gesi joto na kukabiliana na mabadiliko ya hali ya nchi alisema bwana mbilinyi bwana mbilinyi alisema kutokana na mabadiliko ya hali ya nchi inayoendelea kuikumba dunia tic imeamua kuangalia na kuishawishi sekta binafsi kushiriki katika kuanzisha miradi ya kupunguza gesi joto alisema nchi nyingi zimekumbwa na mabadiliko ya hali ya nchi ikiwemo tanzania hivyo dunia nzima imeanza kutafuta njia mbadala ya kukabiliana na hali hiyo ikiwemo kuanzisha miradi itakayoweza kusaidia kukabiliana na hali hiyo nchi nyingi zimekumbwa na mabadiliko ya hali ya nchi ikiwemo tanzania kama vile kule manyara mifugo inakufa kwa njaa kwa hiyo ni muhimu kuangalia ni jinsi gani tunaweza kukabiliana na hali hiyo alisema alisema tayari tanzania ina mradi mkubwa mmoja ambao pia ni wa kwanza afrika kufikia katika hatua ya juu ya utekelezaji katika kupunguza gesi joto nchini bwana mbilinyi aliutaja mradi huo ni ule wa dampo la mtoni ambao tayari kwa sasa hatua za awali zimekamilika na kinachosubiriwa ni fedha za utekelezaji naye afisa mtendaji mkuu wa mazingira kutoka ofisi ya makamu wa rais bwana UNK manyika alisema tanzania imejipanga na msimamo wake UNK katika mkutano unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni huko copenhagen denmark kuhusu njia za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa baada ya mkataba wa UNK mkutano huo wa copenhagen umefika wakati mwafaka na sisi tayari tumeshajipanga na msimamo wetu wa kwenda kuwasilisha na kuisemea afrika hasa katika fursa zinazoweza kupatikana katika kuwaletea wananchi maendeleo alisema bwana manyika alisema tanzania ni wadau muhimu katika mkutano huo na walipewa majukumu likiwamo la kujenga uwezo katika nchi zinazoendelea ili ziweze kushiriki UNK katika kupunguza mabadiliko ya hali ya nchi na tayari UNK kazi jukumu jingine ni upunguzaji gesi joto kupitia sekta ya misitu ambalo tayari wameshaandaa msimamo wa kuisemea afrika aidha aliwataka wadau wa miradi ya kupunguza gesi joto kwenda sanjari na maendeleo ya nchi kwa kuzingatia sheria za nchi na zile zinahusu mazingira na sera UNK naye mtafiti wa masuala ya UNK kutoka shirika la umoja wa mataifa UNK mazingira nchini denmark daktari UNK ngara aliipongeza tanzania kwa kuwa mfano mzuri wa kwanza katika kuanzisha miradi ya kupunguza gesi joto na hasa katika mradi wa dampo la mtoni wasomi katika nyanja za uchumi na siasa UNK juu ya ushirikiano wa soko la pamoja UNK ijumaa baina ya nchi wanachama wa jumuiya ya mashariki hukusu nafasi ya tanzania ili iweze kunufaika na kuendeleza ustawi wa uchumi wakizungumza na gazeti hili jana wasomi hao pamoja na kukubaliana na hatua hiyo ya kimaendeleo walitoa tahadhari kuwa tanzania kwa nafasi yake na eac kwa ujumla inapaswa kuchukua hadhari katika masuala kadhaa ili kudumisha malengo mazuri ya kuendeleza nchi hizo kiuchumi profesa samwel wangwe alisema tanzania inapaswa kuwa makini na sehemu ambazo inapaswa kujizatiti na kuchagua masuala yapi yaanze kuingizwa na kufanyiwa kazi katika ushirikiano huo na mengine UNK ili nchi iweze kujipanga vizuri alisema ili nchi iweze kushindana vizuri na kunufaika na fursa zitakazopatikana katika soko la pamoja ambapo kutakuwa na uhuru wa biashara na ajira ni muhimu nchi UNK maeneo ambayo yanahitaji kujipanga kwanza na hatimaye kuyaingiza baada ya muda ili UNK uwezo wa kushindana kitu cha kwanza ni kwamba jambo hilo ni kitu kizuri ambapo kutakuwa na wigo mpana wa kufanya na kuendeleza biashara ingawa bado kuna watu wana wasiwasi na baadhi ya masuala kama vile ardhi ambayo bila shaka tunadhani UNK utaratibu mzuri ili kusitokee matatizo kwa mfano hata katika muungano wetu hapa huwezi kutoka tu ukaenda kununua ardhi zanzibar lazima kuwepo na utaratibu fulani lakini lazima tuangalie na kuchagua sehemu UNK kujizatiti na kujikita vizuri kwanza ili tuweze kushindana kweli UNK muda wa kujipanga kwanza tuangalie skills zipi zianze zipi UNK sio kwamba tujipange UNK hapana tunawaambia wenzetu katika hili UNK miaka miwili au mitatu baada ya muda huo tunakuwa tumejiandaa kikamilifu alisema profesa wangwe akizungumzia suala la mgawanyo wa uzalishaji wa bidhaa profesa wangwe ambaye alipata kuwa mwenyekiti wa kamati ya kukusanya maoni juu ya ama kuharakisha shirikisho la kisiasa la eac au la alisema hilo UNK lenyewe bila UNK kupangwa alisema kama nchi mwanachama ana uwezo wa kuzalisha bidhaa fulani zinazofahamika vizuri kwa mfano tanzania inavyoweza kuzalisha ndizi huko bukoba au konyagi inapaswa kuendelea kuongeza ubora kwa kuwa kizuri UNK kwa upande wake profesa ibrahim lipumba alisema kuna ulazima wa wananchi kushirikishwa kwa kuanzia na ngazi ya chini ili kila mmoja aweze kujua soko la pamoja ni kitu gani na namna gani litaweza kusaidia maisha ya mtu wa kawaida mpaka wa juu pia alizungumzia suala la misingi imara ya kisiasa kwa kuepuka migogoro akisema kuwa hilo lina umuhimu mkubwa kwa sababu ndilo UNK mustakabali wa ushirikiano wa soko la pamoja baina ya nchi za eac na malengo mazuri UNK mpaka sasa wananchi UNK ni kitu gani hasa kinaendelea sasa ili tuweze kupata ushirikiano na maridhiano ni vyema wananchi wakapewa taarifa juu ya masuala haya ili waweze kutoa ushiriki wao ipasavyo tukiwa tunasubiri hayo masuala ya free movement of labour na freedom of UNK lakini pia suala la misingi imara ya siasa na demokrasia ni muhimu migogoro hasa ya kisiasa UNK masuala mazuri ukiangalia kenya bado kuna matatizo ya mungiki na wakimbizi wa ndani walioambiwa hawana makazi nchini humo hapa tanzania wazanzibar wamekuwa wakisema wazi kuwa mambo mengi yanayozungumziwa katika eac wao hawana ushirikishwaji wa moja kwa moja hivyo ni muhimu tukawa na mifumo ya kidemokrasia inayolingana ili isije UNK malengo mazuri alisema profesa lipumba ambaye ni UNK wa masuala ya uchumi profesa mwesiga baregu alisema zipo changamoto ambazo eac inapaswa kuzitatua ili iweze kufanikisha malengo ya soko la pamoja ambapo alisisitiza suala la mgawanyo wa uzalishaji wa bidhaa kama ilivyokuwa katika jumuiya iliyokufa kwa kufuata makubaliano ya kampala alisema uzalishaji ndio unaoleta biashara hivyo tanzania na eac kwa ujumla hazina budi kujikita katika sehemu hiyo kwa kuvipatia umuhimu viwanda na kilimo ili kujenga soko la bidhaa zao wenyewe uzalishaji ndio UNK eac hapa tulipo ili tuweze kutumia soko kubwa la eac lazima tuzalishe sisi wenyewe sio bidhaa za kutoka sehemu nyingine ni vyema kujua nani UNK nini kulingana na uwezo wake tukizungumzia hali ya siasa kama UNK hilo nalo lina umuhimu wake ukiangalia rwanda wana katiba mpya kenya wamekuwa UNK bila kufika mwisho burundi bado uganda hali kadhalika hapa tuko nyuma pia maana yake ni kuwa hatuna utamaduni wa kisiasa unaofanana kama wenzetu wa ulaya ambao majuzi wamesaini makubaliano ya lisbon kwa kuwa katiba zao zinaendana na ile inayowaunganisha katika jumuiya alisema profesa baregu ambaye amebobea katika masuala ya siasa na uhusiano wa kimataifa tahadhari hiyo ya wasomi hao imekuja siku chache baada ya wakuu wa nchi wanachama wa eac kutia saini itifaki ya makubaliano ya soko la pamoja ambapo inahusu UNK mbalimbali kama vile uhuru wa biashara ajira na uhamiaji akizungumza na waandishi wa habari mara bada ya wakuu wa nchi kusaini makubaliano hayo waziri wa ushirikiano wa afrika mashariki bwana UNK kamala alisema kuwa masuala mbalimbali yaliyoko katika itifaki hiyo yatakayoanza rasmi julai mwakani yatatekelezwa kulingana na sheria za kila nchi akizungumzia masuala kadhaa kama vile ajira uhamiaji na umiliki wa ardhi alisema mbali ya kufuata sheria na taratibu za kila nchi husika bado nchi mwanachama ina uhuru wa kukubali au la kusainiwa kwa itifaki hiyo kunafanya idadi ya masuala UNK katika mkataba wa eac mpya ambayo yamekwisha kusainiwa kufikia mawili kati ya manne kama inavyoelezwa katika kifungu cha tano cha mkataba huo la kwanza lilikuwa ni ushuru wa forodha wananchi wa makwalu na ndavindavi kata ya mtibwa katika wilaya ya mvomero wamekumbwa na hofu kiasi cha kushindwa kwenda shambani wakiogopa kundi la wafugaji wa asili ya kimang ati baada ya mwenzao bwana duseni mejaragili kuuawa na mkulima mmoja kwa kukatwa na jembe kichwani tukio la mauaji hayo lilitokea UNK kumi na sita ishirini sifuri tisa baada ya mfugaji huyo kuingiza mifugo kwenye shamba la mkulima huyo na kula mazao yake na alipojaribu kumhoji mfugaji huyo alichampa fimbo mbili mbavuni zilizompa hasira naye akaamua kumkata na jembe kichwani na kufa mwenyekiti wa kijiji cha kunke bwana joseph kihombo amekiri kuwepo kwa hofu miongoni mwa wananchi wake katika vitongoji vya makwalu ndavindavi na kunke wanaolima huko kutokana kundi la wafugaji kuingiza ovyo mifugo mashambani na kuharibu mazao na kuchafua kisima cha maji ya kunywa katika kikao nilichofanya nao nimewaambia kama walivyokuja kinyemela waondoke hivyo hivyo kabla sijachukua hatua za kisheria kuliko kuwatisha wananchi wasilime wakati mkoa umefanywa ghara la chakula nimewauliza kwa nini wamekuja kwa wingi baada ya taarifa za kuuawa mwenzao wamesema wanatafuta nggombe wao sitini walioibiwa na nilipowauliza sababu za kuvamia na mifugo mingi na kuharibu mazao na kuchafua kisima cha maji ya kunywa walinyamaza kimya alisema bwana kayombo wakati huo huo wananchi wa mgongola wakiwemo wafugaji wenye asili ya kimasai wameweka pingamizi mahakamani kutokana na eneo lao lililotengwa kwa ajili ya mifugo kupewa vigogo na watu wenye uwezo kutoka nje ya mkoa watumie kwa kilimo cha mpunga kwa kisingizio cha kaulimbiu ya kilimo kwanza mmoja wa viongozi wa wafugaji aliliambia majira kwamba vurugu nyingi na za mauaji kati ya wafugaji na wakulima zinasababishwa na viongozi wa chama tawala au wa serikali kukiuka ahadi zao wakati wa kampeni wakishapata wanachokitaka husahau ahadi zao alisema mkuu wa jeshi la polisi mtaafu omary mahita amesema chuo kikuu cha kiislamu morogoro hakitakiwi kuajiri wahadhiri kwa imani za kidini bali kitumie kigezo cha ubora wao akizungumza katika mahojiano na majira wakati wa mahafari ya pili ya chuo hicho jana bwana mahita alisema kama uongozi wa chuo hicho utakubali kuajiri wahadhiri wazuri pasipo kujali imani zao za kidini elimu inayotolewa na chuo hicho itaendelea kuwa bora nchini alisema kuwa kama uongozi wa chuo hicho utakuwa na msimamo wa kidini na kungganggania kuwa wahadhiri wake ni lazima wawe waislamu bila kuzingatia uwezo wao wa kufundisha malengo ya chuo hicho ya kutoa elimu bora yenye kuwawezesha wahitimu kumudu ushindani wa soko la ajira UNK kama tunataka vijana wetu wapate elimu bora kama UNK na ili waweze kushindana na wahitimu wa vyuo vikuu vingine ni lazima uongozi usiangalie imani ya walimu na kama tukiweka imani ya kidini nadhani hatuwezi kufanikiwa alisema mahita alisema ili kuweza kuajiri wahadhiri wa aina hiyo ni lazima waislamu kote nchini kukisaidia chuo hicho kwa hali na mali kwa kuwa wahadhiri wa aina hiyo wanapaswa kulipwa vizuri haki zao zote kuishi mahali pazuri na kuwa na vitendea kazi vya kutosha ikiwemo vifaa vya kufundishia na maabara za uhakika mfanyabiashara wa temeke yombo bwana daniel UNK amefikishwa mahakamani akidaiwa UNK watu watatu UNK kuwatafutia ajira ndani ya jeshi la polisi mshitakiwa huyo alifikishwa jana katika mahakama ya wilaya ya kinondoni mbele ya hakimu bwana ferdnand UNK alidaiwa kuwa aprili ishirini na tatu mwaka huu eneo la hospitali ya magomeni UNK mohamed hassan shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri kwa makubaliano kuwa atampa kazi polisi katika shtaka jingine mtuhumiwa huyo huyo anadaiwa kumtapeli bwana pius UNK shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri pia kwa ahadi ya kumpa ajira polisi mtuhumiwa huyo pia alifikishwa mbele ya hakimu bibi hilda lyatuu akidaiwa kuomba shilingi milioni mbili tatu kutoka kwa bwana omari UNK akitumia njia hiyo hiyo kuwa UNK ajira katika jeshi la polisi jambo ambalo si kweli wakati huo hu o mkazi wa tabata kimanga bwana peter john amefikishwa mahakamani hapo kwa tuhuma za kuiba fedha katika mashine ya kutolea hela ambako alijipatia shilingi milioni nne sita kutoka kwenye akaunti ya mtu mwingine wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania wameunga mkono kauli ya waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa kuwa serikali haitavumilia kukaa kimya na UNK mwekezaji katika kampuni hiyo rites kutoka india kufanya kazi anavyotaka huku ufanisi ukiendelea kudidimia kauli hiyo imekuja siku chache baada ya daktari kawambwa kutembelea shughuli za maendeleo katika stesheni ya reli za tabora na mpanda na kuzungumza na abiria baada ya kushuhudia shehena ya mahindi katika ghala la serikali iliyotakiwa kusafirishwa kwenda mikoa mbalimbali inayokabiliwa na njaa kutokana na kauli hiyo wafanyakazi walio katika vitengo mbalimbali trl makao UNK walisema kuwa kauli hiyo imewapa nguvu katika utendaji kazi wao walisema kuwa kauli kama hizo ndizo zinazotakiwa kutamkwa kama kiongozi wa serikali na sio kutegemea michango ya mawazo ya wengine mmoja wa wafanyakazi hao ambaye hakutaka jina lake litajwe kwa kuhofia uongozi alisema kuwekwa hadharani kauli ya serikali kutasababisha hata menejimenti ya trl kueleza bayana sababu za kuipa serikali notisi ya siku sitini huku wakitishia kusitisha ubia wao daktari kawambwa alikaririwa na gazeti moja akisema kuwa hadi sasa wanaendelea na mazungumzo na rites kuhusu utendaji wake na migogoro inayoendelea lakini hakuna mwelekeo mzuri wa makubaliano hayo kwani kumejitokeza baadhi ya maeneo kuwa tete aliongeza kuwa endapo muafaka kamili hautapatikana ndani ya mazungumzo hayo serikali itachukua jukumu la kurejesha kampuni hiyo trc na kuliendesha wenyewe ili kuepuka hasara na adha UNK mara kwa mara kwa abiria na wafanyakazi wakazi wa mabondeni katika eneo la jangwani wametakiwa kuhama ili kuepuka maafa yanayoweza kutokea wakati wa mvua zinazonyesha na kuepukana na maafa na magonjwa ya mlipuko kikiwamo kipindupindu hayo yalisemwa jana dar es salaam na mkuu wa wilaya ya ilala bwana evans balama kuwa watu hao wanatakiwa kutekeleza agizo la mkuu wa mkoa bwana william lukuvi ili kuepuka usumbufu katika kipindi cha mvua hasa zile za el nino UNK kunyesha wakato wowote wanatakiwa kuondoka eneo hilo kwa kuwa maji ya mvua zinazoendelea kunyesha yanaingia ndani hivyo ugonjwa wa kipindupindu unaweza kuenea kwa kasi sana alisema bwana balama baadhi ya wakazi wa eneo hilo walisema kuwa hawataondoka eneo hilo kwa bila fidia kwa sababu hawana mahali pa kwenda na wameishi hapo kwa miaka thebathini na mbili mkazi mmoja wa eneo hilo bwana hatibu omary alisema kuwa kama kama serikali inawataka waondoke eneo hilo iwalipe fidia za nyumba na mali ili watafute eneo lingine alisema sisi hapo UNK kwani hakuna mvua inayoweza kunyesha na kutuzuia kulala ndani ya nyumba zetu walidai wakazi hao rais jakaya kikwete atakuwa kuwa mgeni rasmi katika baraza la idd al hajj inayotarajia kufanyika nchini kote novemba ishirini na nane mwaka huu akizungumza dar es salaam jana na waandishi wa habari kaimu mufti wa tanzania sheikh ismail habibu alisema kuwa sherehe hizo zitafanyika kitaifa jijini dar es salaam alisema kuwa swala ya idd itafanyika katika msikiti wa UNK uliopo bakwata makao makuu kinondoni kuanzia saa moja na nusu asubuhi na kufuatiwa na baraza la idd saa tatu asubuhi sheikh habibu alisema kuwa UNK wa mwezi dhul hajj umeonekana novemba kumi na nane mwaka huu na kuashiria kuanza kwa mwezi mtukufu wa dhul hajj mfungo tatu bakwata inapenda kuungana na waislamu wote nchini katika kusherekea sikukuu ya idd al hajj na kuwataka waumini kutimiza nguzo za ibada alisema sheikh habibu aliwataka waumini nchini kusherekea sikukuu kwa amani na kuhakikisha inawalinda watoto wao ili wasipate majanga mbalimbali ambayo yanakuwa yanatokea katika kipindi cha sikukuu aliongeza kuwa bakwata imeimarisha ulinzi kuhakikisha usalama ili kuzuia kosa lililotokea mwaka jana ambapo rais mstaafu wa awamu ya pili al haji hassan mwinyi alipigwa kibao watu hujifunza kutokana na makosa tumejipanga vizuri na tunaamini tutamaliza salama kama kuna mwenye nia mbaya atakamatwa kabla ya kukamilisha azma yake alisema sheikh habibu makamu mwenyekiti wa ccm bwana pius msekwa amesema kauli ya rais wa zanzibar amani karume juu ya kurejea kwa amani visiwani na kuundwa serikali ya mseto ndiyo kauli ya chama akizungumza dar es salaam jana mara baada ya kusaini mkataba wa miaka mitano wa UNK wa kirafiki kati ya ccm na chama cha UNK cha cuba bwana msekwa alisema haoni cha kuongeza juu ya kauli za rais karume rais karume ni makamu mwenyekiti kama mimi hivyo sioni cha kuongeza katika yale aliyosema chukueni hayo na huo ndio msimamo na kauli ya chama chetu alisema bwana msekwa vyombo vya habari jana vilimnukuu rais karume akisema kuwa hatimaye amani ya kweli imepatikana zanzibar na kwamba siasa za chuki uhasama zimefikia mwisho wake visiwani humo na kuwa hatma ya kisiasa ya zanzibar iko mikononi mwa ccm rais karume alitoa kauli hizo juzi katika viwanja vya kibandamaiti zanzibar wakati akiwahutubia mamia ya wananchi wa mikoa mitatu ya unguja huku akisema suala la kuundwa serikali ya mseto au la ni uwamuzi wa wananchi wenyewe alilazimika kutoa kauli hiyo kutokana na kuwepo na shauku kutoka kwa wananchi wakitaka kufahamu nini kilichojadiliwa wakati wa kikao cha siri kati yake na katibu mkuu wa cuf seif sharif hamad ikulu ya zanzibar siku chache zilizopita rais karume aliiambia hadhara hiyo kuwa pamoja na kuwa maalim seif ndiye aliyeomba wakutane naye lakini ccm kama chama UNK maazimio na kutangaza kuwa milango ya ikulu iko wazi kwa majadiliano yanayolenga kuleta suluhu bwana msekwa alimwambia balozi wa cuba nchini bwana ernesto diaz kuwa kumekuwa na migogoro ya kisiasa visiwani zanzibar kila baada ya uchaguzi mkuu lakini ana matumaini hali hiyo UNK tena baada ya viongozi hao kukutana naye balozi diaz akizungumza baada ya utiaji saini wa makubaliano ya uhusiano wa kirafiki kati ya ccm na UNK aliipongeza ccm kwa juhudi zake za kukuza amani nchini na kuimarisha mahusiano kati yake na vyama vingine alisema tanzania ina historia ya muda mrefu ya uhusiano wa kirafiki kati yake cuba hasa kutokana na mchango wa mwalimu nyerere na harakati zake za kupinga ukoloni na unyonyaji rais fidel castro na mwalimu nyerere wamekuwa karibu kwa muda mrefu katika kupigania uhuru wa nchi zao ni katika uhusiano huo tanzania ilimpokea na kumhifadhi kwa muda mwanaharakati wa cuba che UNK alisema ujenzi wa nyumba na uendelezaji makazi kwa kutumia teknolojia ya kati inayopatikana kwa urahisi ndani ya nchi UNK nchi zinazoendelea kutengeneza ajira kulinda viwanda vya ndani na kupunguza matumizi ya pesa za kigeni halikadhalika suala la makazi linapaswa kupewa kipaumbele na watunga sera katika nchi husika na kuwajali watu wasiokuwa na uwezo kuliko ilivyo sasa ili nchi husika iweze kufikia maendeleo ya kijamii na kiuchumi hayo yameelezwa na mkurugenzi mtendaji wa shirika la umoja wa mataifa UNK na makazi duniani profesa anna tibaijuka katika kitabu chake kiitwacho UNK UNK housing and economic UNK katika kitabu hicho ambacho kitazinduliwa leo huko nchini denmark profesa tibaijuka amezungumzia uhusiano uliopo kati ya ujenzi wa nyumba na makazi bora unavyoweza kuchangia kukuza ustawi wa uchumi katika nchi zinazoendelea uzinduzi wa kitabu hicho utakwenda sambamba na UNK wa tuzo maarufu ya masuala ya mazingira iitwayo goteborg ambayo umaarufu wake unakaribiana na ule wa tuzo maarufu ya amani ya nobel profesa tibaijuka ni mmoja kati ya watu watatu UNK tuzo hiyo leo ikiwa ni ishara ya kutambuliwa kwa mchango wao hasa katika kutafuta suluhisho kutokana na changamoto mbalimbali zinazokabili mazingira hususani hali ya ukuaji wa miji na makazi holela taarifa kwa vyombo vya habari kutoka un habitat nairobi kenya ilisema profesa tibaijuka ametoa ushauri huo kwa kuangalia fursa zinazoweza kupatikana katika UNK katika ujenzi wa nyumba kwa sababu itatoa fursa ya kutumia teknolojia ya nyumbani na ile ya kuangiza pale UNK kwa sababu ya kiwango cha juu cha ukosefu wa ajira na maendeleo duni nchi zinazoendelea zinapaswa kuzingatia teknolojia ya kati inayopatikana maeneo waliyonayo karibu katika kujitimizia mahitaji ya ujenzi wa makazi ambayo yanaongezeka kila siku faida ya kutumia teknolojia inayopatikana katika maeneo ya karibu ni kwamba inaimarisha viwanda vya ndani inapunguza gharama kutunza fedha za kigeni inatumia njia rahisi zenye manufaa inatengeneza na kuimarisha nafasi za ajira ndani ya nchi amenukuliwa profesa tibaijuka akisema katika kitabu hicho katibu mkuu wa umoja wa mataifa bwana ban ki moon alisema kitabu hiki kina mchango mkubwa katika mdahalo uliopo hivi sasa duniani kuhusu mchango wa sekta ya nyumba katika maendeleo ya uchumi UNK mapendekezo yaliyomo yatasaidia kupatikana kwa ustawi mkubwa duniani kote kwa ajili ya watu wasiokuwa na uwezo waishio mijini kitabu hicho kimekuja wakati dunia nzima sasa inazungumzia namna ya kuwa na makazi bora kwa sehemu ya mijini ikiwemo ujenzi wa nyumba na miundombinu ili kukabiliana wimbi kubwa la uhamaji wa watu kutoka maeneo ya vijijini kwenda mijini imetaarifiwa kuwa kwa mwaka ishirini sifuri saba pekee na kwa mara ya kwanza katika historia ya dunia idadi ya wakazi wa mijini imezidi ile ya watu wa vijijini hivyo nchi zinazoendelea zina changamoto ya kuwekeza katika makazi bora kwa ajili ya watu bilioni moja walioko katika makazi holela mwanamke fatuma nassoro mkazi wa kisiwani kigamboni amelalamikia kitendo cha kuzuiwa na walinzi wa ikulu na wale wa taasisi ya wanawake na maendeleo inayoongozwa na mke wa rais mama salma kila anapokwenda kueleza matatizo yake kinachomsumbua bibi huyo ni kutaka kumwomba rais jakaya kikwete au mkewe mama salma wamsaidie fedha za kulimia shamba lake la ekari tatu nimejaribu kufika mara kwa mara kwenye ofisi za viongozi hao lakini sikupata msaada wowote kutokana na ugumu wa kuingia alilalamika akizungumza katika ofisi za majira jijini dar es salaam jana bibi nassoro alisema endapo viongozi hao UNK basi anaomba aonane na waziri wa kilimo chakula na ushirika bwana stephen wasira alisema shamba lake hilo limeshindikana kulimwa baada ya mume wake kufariki mwaka huu hivyo kufanya liendelee kukaa bila kulimwa wakati ndilo tegemeo kupata mazao ya chakula na kuuza ili kupata fedha za kujikimu kimaisha naomba ofisi husika inisaidie kuwaona viongozi hawa ili UNK shida yangu hiyo kwani shamba hili ndilo UNK na wajukuu wangu kitendo cha kukaa bila kulimwa kinasababisha UNK huku na kule alisema bibi nassoro gavana balali yalikuwa maji marefu kwake rais mkapa pekee angeweza kumwajibisha waziri wa fedha wa zamani bwana basil mramba amedaiwa kufahamu kilichokuwa kinaendelea katika ujenzi wa majengo pacha ya benki kuu ya tanzania lakini alishindwa kutoa uamuzi wa kumwajibisha gavana wa benki hiyo kwa sababu anateuliwa na kuwajibika kwa rais hayo yalidaiwa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu linaloongozwa na hakimu bwana edson mkasimwongwa wakati mkurugenzi wa shirika la ndege la precision bwana michale shirika akitoa ushahidi katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi wa bot bwana amatus liyumba shahidi huyo wa nne kwa upande wa mashitaka aliwahi kuwa mkurugenzi wa bodi katika benki hiyo tangu mwaka ishirini sifuri mbili hadi januari ishirini sifuri sita kipindi chake kilipomalizika baada ya kuteuliwa na waziri wa fedha wakati huo bwana mramba shahidi huyo alidai kuwa katika vikao vya bodi kulikuwa na taarifa zilizokuwa zikiwasilishwa na menejimenti ya benki zikionesha kuongezeka kwa matumizi katika mradi na waliomba bodi kuidhinisha pamoja na kuwa tayari matumizi hayo yalishafanyika shahidi alidai bodi haikuridhika na nyongeza ya matumizi katika mradi huo na walikuwa wakiidhinisha kwa sababu menejimenti ilikuwa ikitoa sababu mbalimbali alidai menejimenti iliiambia bodi kwamba isipoidhinisha malipo hayo hasara kubwa ingepatikana kutokana na jinsi mkataba na mkandarasi wa ujenzi majengo pacha ya bot ulivyokuwa mkurugenzi huo kwa kutoridhika kwake anadai aliamua kumtaarifu waziri mramba na kumuuliza kama wizara yake inafahamu na kuafiki matumizi hayo bwana shirika alidai waziri alijibu kwamba anafahamu matumizi hayo lakini gavana wa bot ndiye mwenye maamuzi na anawajibika kwa rais kwani ndiye aliyemteua bada ya hapo alidai kuwa hakuona sababu ya yeye kuendelea kuwepo katika bodi hiyo kwani alihisi hana mchango wowote hivyo alitaka kujiuzulu lakini baadaye alipata ushauri wa kutofanya hivyo kwa sababu kipindi chake kilikuwa kinakaribia kumalizika bwana shirika alidai hakuwahi kuuona mkataba wa ujenzi wa majengo hayo isipokuwa alikuwa akiona mapendekezo ya kuongezeka kwa matumizi yaliyokuwa yakipelekwa katika bodi na menejimenti akihojiwa na wakili wa utetezi bwana majura magafu kwamba ni nani aliyekuwa akihusika moja kwa moja katika mapendekezo hayo shahidi bwana shirika alidai hakuna mtu maalumu aliyekuwa akihusika kwani yalikuwa yakiwasilishwa na menejimenti ya bot pia alidai bodi ilikuwa sahihi kuidhinisha matumizi hayo ya fedha na hakuna mtu aliyenyooshewa kidole na kulalamikiwa kwa ajili ya ongezeko hilo bali malalamiko yaliwasilishwa kwa menejimenti mshitakiwa katika kesi hiyo anakabiliwa na mashitaka ya kutumia vibaya ofisi yake na kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya mradi huo bila idhini ya bodi ya wakurugenzi kesi iliahirishwa inatarajiwa kuendelea leo rais jakaya kikwete yuko nje ya nchi kwa ziara ndefu ya kikazi itakayomchukua takribani siku kumi ambako atahudhuria mikutano na kufanya mazungumzo rasmi katika nchi tatu tofauti huko amerika ya kaskazini na amerika ya kati katika ziara hiyo rais kikwete ambaye aliondoka nchini usiku wa UNK jumapili novemba ishirini na mbili ataanzia katika nchi ya jamaika ambako atatumia siku tatu kuanzia jumanne ishirini na nne kutokana na mwaliko na waziri mkuu wa nchi hiyo bwana UNK bruce UNK kwa mujibu wa taarifa ya kurugenzi ya mawasiliano ikulu rais kikwete ndani ya siku hizo tatu atafanya mazungumzo rasmi na mwenyeji wake bwana UNK atakutana kwa mazungumzo na gavana mkuu wa kisiwa cha jamaica UNK patrick allen kuhutubia kikao cha pamoja cha bunge la jamaika pamoja na kutoa mhadhara maalum kwenye chuo kikuu cha west UNK kampasi kuu ya UNK kwa mujibu wa taarifa hiyo baada ya jamaica rais kikwete atahudhuria mkutano wa viongozi wa nchi wanachama wa jumuiya ya madola huko trinidad na tobago kitakachoanza novemba ishirini na saba ishirini na tisa baada ya kuhudhuria mkutano wa jumuia ya madola rais kikwete atatembelea cuba kuanzia novemba thebathini hadi desemba tatu ishirini sifuri tisa kwa mwaliko wa raul castro ruz rais wa jamhuri ya cuba wakati wa ziara hiyo mheshimiwa rais kikwete atakutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake mheshimiwa rais raul castro ruz na kutembelea sehemu mbalimbali zinazohusiana na ushirikiano kati ya tanzania na cuba ilisema sehemu ya taarifa hiyo ziara za jamaika na cuba zimetajwa ni kuwa ni muhimu kwa ajili ya kudumisha ushirikiano wa muda mrefu katika nyanja mbalimbali za maendeleo baina ya tanzania na nchi hizo mbili za amerika ya kaskazini taarifa ilisema kuwa rais kikwete ni kiongozi wa tatu wa tanzania kutembelea jamaica kufuatia ziara za rais julius nyerere mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na nne na rais benjamin mkapa mwaka ishirini sifuri tano tanzania na jamaica zimekuwa na uhusiano wa muda mrefu wa kirafiki na kindugu tokea miaka ya elfu moja na mia tisa na sitini uhusiano ambao uliimarishwa wakati wa uongozi wa rais nyerere na waziri mkuu michael UNK kwa upande wa uhusiano wa tanzania na cuba UNK kuwa zimekuwa na uhusiano wa kirafiki kindugu na wa karibu mno kwa miaka mingi zikishirikiana kwa karibu katika masuala mengi likiwemo lile la ukombozi katika afrika cuba pia imekuwa inatoa misaada katika nyanja za afya elimu kilimo na pia nchi hizo mbili zina tume ya kudumu ya pamoja ya ushirikiano jamhuri ya cuba pia inaendesha vyuo viwili vya udaktari katika zanzibar na pemba ilisema taarifa hiyo ng ombe zaidi ya thebathini sifuri sifuri wamekufa katika vijiji mbalimbali katika kata ya makuyuni wilayani monduli kufuatia kuibuka kwa ugonjwa wa ajabu unaoua mifugo hiyo ambao unadaiwa kuletwa na mifugo ya nchi jirani iliyoingizwa nchini kwa ajili ya kutafuta malisho wananchi wengi katika kata hiyo wameiomba serikali iangalie namna ya kuwasaidia kwani wengi wao wamepoteza mifugo mingi ilihali nggombe wengine wanaendelea kufa kutokana na kukosekana kwa tiba ya ugonjwa huo UNK kwa jina la kienyeji kama UNK wakizungumza na waandishi wa habari waliotembelea eneo hilo wananchi hao walisema kuwa ugonjwa huo umeibuka katika kipindi cha kuanzia mwezi wa tisa mwaka huu hadi sasa ambapo umekuwa ukisababisha zaidi ya mifugo watano kufa kwa mara moja katika kila boma kwa siku moja baadhi ya wafugaji hao bwana abdilah UNK bwana omary said bwana yusuph abdi bwana UNK UNK bwana UNK ole mapii na bwana UNK UNK wameiomba serikali iwasaidie kwani hali hiyo imewafanya wawe masikini zaidi kweli UNK sana hatuamini tumepoteza mifugo wengi kwa wakati mmoja tulikuwa tunategemea mifugo kupeleka watoto wetu shule na kupata chakula sasa inakufa hatujui tutafanyaje tunaomba serikali itusaidie alisema bwana abdilah UNK wananchi hao wa vijiji vya mbuyuni UNK zaburi makuyuni na UNK juu pia wamewatupia lawama UNK wa mifugo wa wilaya hiyo ya monduli kwa kushindwa kutatua tatizo hilo kwa UNK wafugaji na badala yake wanashinda ofisini bwana UNK ole mapii maarufu kama UNK mkazi wa kijiji cha zaburi ambaye ngombe wake zaidi ya hamsini sifuri wamekufa ameiomba serikali iangalie namna ya kuwasaidia akitolea mfano wa jinsi mifugo yake UNK na hadi sasa hajui cha kufanya gazeti hili lilishuhudia idadi kubwa ya mizoga mizoga ya ngombe ikiwa imetapakaa katika maeneo mbalimbali ya vijiji hivyo hali iliyosababisha pia kuwepo kwa harufu mbaya ambayo inaweza kusababisha magonjwa ya milipuko endapo UNK katika maeneo hayo ya makazi ya watu watumishi wawili wa manispaa ya kinondoni wamefikishwa mahakama ya wilaya ya kinondoni kwa tuhuma za kushawishi na kupokea rushwa ya shilingi themanini sifuri sifuri sifuri sifuri kutoka kwa mmliki wa baa ya UNK iliyoko sinza dar es salaam mwendesha mashitaka wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa bwana ronald manyiri aliambia mahakama mbele ya hakimu mkazi bibi sundi fimbo kuwa washitakiwa hao kwa pamoja walitenda kosa hili novemba kumi na sita na kumi na saba mwaka huu washitakiwa hao hassan makono na catherine semvua wanatuhumiwa kufanya kosa hilo wakati wakitekeleza majukumu yao mbalimbali ambapo walibaini kuwepo kwa vinywaji ambavyo muda wake wa matumizi ulikuwa umekwisha ilidaiwa kuwa baada ya kubaini kuwepo kwa vitu hivyo UNK mmliki wa baa hiyo bwana mabula masanja kuwapa shilingi themanini sifuri sifuri sifuri sifuri ili UNK hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufunga baa hiyo na kumnyangganya leseni bwana manyiri aliendelea kusema kuwa novemba kumi na saba mwaka huu saa kumi na moja jioni katika baa ya africa sana mshitakiwa hassan alipokea fedha hizo shilingi themanini sifuri sifuri sifuri sifuri kama walivyokuwa wamekubaliana washitakiwa wote wawili walikanusha madai hayo na kurudishwa rumande kwa kukosa dhamana mpaka kesi hiyo itakapotajwa tena desemba saba mwaka huu askofu kiongozi wa kanisa la moravian tanzania mhashamu alinikisa cheyo ameonya tabia ya viongozi wa dini kugeuza mimbari za mahubiri kuwa sehemu ya kupiga siasa na hivyo kuwajeruhi waumini wanaotegemea hekima za mungu kutoka kwao askofu cheyo ambaye pia ni askofu wa jimbo la kusini magharibi alitoa ujumbe huo wakati wa ibada maalumu ya kuwapa baraka wachungaji ishirini ambapo alisema viongozi wa dini wanapaswa kutubu mbele za mungu kwa UNK haki watanzania alisema UNK ziliwekwa kwa ajili ya kutoa hekima na mafundisho UNK waumini mbinguni lakini ajabu ni kuwa watumishi UNK kuwa sehemu ya kupiga siasa na hivyo kuonekana wazi kuwa hasira ya mungu itashuka juu yao ninyi leo UNK kazini ili mkafanye kazi ya mungu nendeni UNK kundi la mungu na si UNK kama ambavyo baadhi wamekuwa wakifanya kutokana na misimamo yao isiyo ya UNK ambayo imekuwa ikiishia kuleta UNK katika jamii alisema aliwataka wachungaji hao na vingozi wa dini nchini kuhakikisha wanafanya kazi ya mungu kwa hofu kubwa huku UNK kutokana na kauli zao zinazotolewa wanapokuwa UNK wakihubiri injili ya mungu baada ya mahubiri hayo mwenyekiti wa jimbo hilo mchungaji UNK UNK alisema kuwa ujumbe huo wa askofu hauwezi kupita bure bali kinachotakiwa ni kwa kila kundi na kiongozi wa kanisa kwenda katika eneo lake kwa ajili ya kutubu kutokana na dhambi ya kudharauliana na UNK ambayo alisema imefanywa na watu wengi alisema kuwa kwa kufanya hivyo itapatikana na tanzania yenye upendo mkubwa yenye uwezo wa kudumisha amani na utulivu kinyume na hayo itakuwa ni kukaribisha uvunjifu wa amani kaimu mkurugenzi wa wizara ya maliasili na utalii daktari ismail UNK amefikishwa mahakani akikabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya ofisi na kuandaa ripoti ya uongo mshitakiwa huyo alifikishwa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya hakimu bwana paul UNK akisoma mashitaka mwendesha mashitaka wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa bwana UNK nkya alidai mshitakiwa alitenda makosa hayo kati ya mei ishirini sifuri tano na machi ishirini sifuri nane inadaiwa katika mashitaka ya kwanza kwamba mei mbili ishirini sifuri tano mshitakiwa alitangaza mauzo ya magogo kinyume cha sheria na makubaliano ya kampuni ya aqeel traders ltd katika mashtaka ya pili inadaiwa machi kumi na saba ishirini sifuri tisa katika ofisi za makao makuu ya takukuru wakati wa uchunguzi mshitakiwa alitoa ripoti ya uongo akionesha kulikuwa na tangazo la mnada wa mazao ya misitu na nyuki uliokuwa unatakiwa kufanywa na kampuni ya aqeel traders ltd huku akijua ni uongo mshitakiwa alikana kutenda makosa hayo upelelezi wa kesi umekamilika na atasomewa maelezo ya awali desemba ishirini na tatu mwaka huu mshitakiwa yuko nje kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya kuwa na wadhamini wawili waliosaini dhamana ya shilingi milioni moja waziri wa fedha wa zamani bwana basil mramba amedaiwa kufahamu kilichokuwa kinaendelea katika ujenzi wa majengo pacha ya benki kuu ya tanzania lakini alishindwa kutoa uamuzi wa kumwajibisha gavana wa benki hiyo kwa sababu anateuliwa na kuwajibika kwa rais hayo yalidaiwa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu linaloongozwa na hakimu bwana edson mkasimwongwa wakati mkurugenzi wa shirika la ndege la precision bwana michale shirika akitoa ushahidi katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi wa bot bwana amatus liyumba shahidi huyo wa nne kwa upande wa mashitaka aliwahi kuwa mkurugenzi wa bodi ya bot tangu mwaka ishirini sifuri mbili hadi januari ishirini sifuri sita kipindi chake kilipomalizika baada ya kuteuliwa na waziri wa fedha wakati huo bwana mramba shahidi huyo alidai kuwa katika vikao vya bodi kulikuwa na taarifa zilizokuwa zikiwasilishwa na menejimenti ya benki zikionesha kuongezeka kwa matumizi katika mradi na waliomba bodi kuidhinisha licha ya kuwa tayari matumizi hayo yalishafanyika shahidi alidai bodi haikuridhika na nyongeza ya matumizi katika mradi huo na walikuwa wakiidhinisha kwa sababu menejimenti ilikuwa ikitoa sababu mbalimbali alidai menejimenti iliiambia bodi kwamba isipoidhinisha malipo hayo hasara kubwa ingepatikana kutokana na jinsi mkataba na mkandarasi wa ujenzi wa majengo pacha ya bot ulivyokuwa mkurugenzi huo kwa kutoridhika kwake anadai aliamua kumtaarifu waziri mramba na kumuuliza kama wizara yake inafahamu na kuafiki matumizi hayo bwana shirika alidai kuwa waziri huyo alijibu kwamba anafahamu matumizi hayo lakini gavana wa bot ndiye mwenye maamuzi na anawajibika kwa rais kwani ndiye aliyemteua bada ya hapo alidai kuwa hakuona sababu ya yeye kuendelea kuwepo katika bodi hiyo kwani alihisi hana mchango wowote hivyo alitaka kujiuzulu lakini baadaye alipata ushauri wa kutofanya hivyo kwa sababu kipindi chake kilikuwa kinakaribia kumalizika bwana shirika alidai hakuwahi kuuona mkataba wa ujenzi wa majengo hayo isipokuwa alikuwa akiona mapendekezo ya kuongezeka kwa matumizi yaliyokuwa yakipelekwa na menejimenti katika bodi akihojiwa na wakili wa utetezi bwana majura magafu kwamba ni nani aliyekuwa akihusika moja kwa moja katika mapendekezo hayo bwana shirika alidai hakuna mtu maalumu aliyekuwa akihusika kwani yalikuwa yakiwasilishwa na menejimenti ya bot pia alidai bodi ilikuwa sahihi kuidhinisha matumizi hayo ya fedha na hakuna mtu aliyenyooshewa kidole na kulalamikiwa kwa ajili ya ongezeko hilo bali malalamiko yaliwasilishwa kwa menejimenti bwana liyumba anakabiliwa na mashitaka ya kutumia vibaya ofisi yake na kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya mradi huo bila idhini ya bodi ya wakurugenzi kesi iliahirishwa inatarajiwa kuendelea leo shirika la umeme tanzania tawi la magomeni limemkamata kigogo mmoja wa chama cha mapinduzi kata ya magomeni makuti kwa kosa uharibifu wa miuondombinu ya shirika hilo na wizi wa umeme inadaiwa kuwa kigogo huyo alikuwa akitumia umeme wa tanesco kwa zaidi ya miaka miwili kinyume cha sheria ndipo wasamalia wema walipokwenda kutoa taarifa za wizi huo katika ofisi za shirika hilo tawi la magomeni ofisa usalama wa tanesco mkoa wa dar es salaam bwana henry UNK alisema baada ya kupokea taarifa hizo walifanya uchunguzi na kubaini wizi huo ambapo juzi walikwenda katika eneo la tukio na kunggoa mita iliyokuwa ikitumiwa na kigogo huyo katika eneo lake la biashara mtaa wa hedaru magomeni UNK alisema mita hiyo aina ya UNK ilikuwa na namba moja mbili tatu sifuri sita saba saba sifuri ambayo kigogo huyo alidai kuuziwa na mfanyakazi wa tanesco tawi la magomeni mtuhumiwa wetu tumemkamata leo na kumpeleka katika kituo kikuu cha polisi ambako tumefungua kesi yenye namba cd rb elfu kumi na mbili na mia nne na tisini na nne sifuri tisa na uzito wa kesi hiyo umepewa namba cd ir mia nne na sitini moja sifuri tisa malipo kwa ajili ya fidia ya umeme uliokuwa akitumiwa na mtuhumiwa yatafanyika kulingana na usomaji wa namba sifuri nane mbili nne tisa saba ambazo UNK katika mita alisema bwana UNK alisema kitengo chake kitaendelea kufanya kazi usiku na mchana ili kuwabaini wananchi wanaotumia umeme wa tanesco kwa njia wa wizi au kuharibu miundombinu ya shirika hilo na kuwafikisha katika vyombo vya sheria meneja uhusiano wa tanesco bibi badra masoud aliahidi kufuatilia jambo hilo na kulitolea ufafanuzi badaye lakini akasema wananchi wanaotumia umeme kinyume cha sheria wanachangia kulifanya shirika hilo kukosa mapato wakati tahadhari ya mvua za el nino UNK wakazi wa eneo la bonde la mpunga msasani wilayani kinondoni wameingiwa na wasiwasi mkubwa juu ya usalama wa mali na maisha yao kutokana na kutokamilika kwa mfereji UNK na serikali eneo hilo limekuwa likijaa maji kila mvua zinaponyesha na kuleta usumbufu mkubwa ambao unatarajiwa kuongeza pindi mvua za el nino UNK lakini mamlaka husika hazijakamilisha mfereji UNK waziri mkuu bwana mizengo pinda alipotembelea eneo hilo akizungumza na majira ofisini kwake dar es salaam jana mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni bibi lucy UNK alisema licha ya juhudi zinazofanywa na manispaa hiyo kusafisha mifereji hali katika bonde hili bado si ya kuridhisha tunajitahidi sana kutoa tope na mchanga lakini baada ya siku mbili tu mifereji hiyo UNK tena kutokana na mchanga na uchafu unaoletwa kwa wingi na maji kutoka maeneo mengine alisema alisema kuwa manispaa haina fedha za kutosha kulipatia ufumbuzi wa kudumu tatizo hilo bali kinachofanyika sasa ni kushirikiana na wakazi wa eneo hilo katika kusafisha mifereji ili kuruhusu maji kupita hata hivyo wahandisi wa manispaa kwa kushirikiana na wahandisi wa mkoa wameshafanya tathmini ya mradi wa ujenzi wa mfumo imara wa majitaka mahali hapo ambapo tayari UNK mapendekezo katika ofisi ya waziri mkuu alisema kwa upande wake mhandisi wa manispaa hiyo bwana faustine mosha alisema kinachofanyika sasa ni kusafisha mifereji katika bonde hilo wakati wakisubiri majibu ya mapendekezo yao eneo hili ni mkondo wa maji kutoka mwananyamala kijitonyama na makumbusho jambo ambalo linafanya shughuli ya kuzibua mitaro kuwa ngumu alisema aidha manispaa inaendelea kuhamasisha wakazi wa eneo hilo kuhama ili kuepuka athari zinazoweza kuwapata kutokana na mvua za UNK zinazotarajiwa kunyesha mwaka huu na rabia bakari ukata ndani ya jumuiya ya wazazi ya chama cha mapinduzi ndiyo UNK kufanyika uchaguzi wa jumuiya hiyo licha ya wagombea kuchujwa miezi sita iliyopita akizungumza kwa simu dar es salaam jana katibu wa itikadi na uenezi wa ccm kapteni mstaafu bwana john chiligati alisema hivi sasa wapo katika maandalizi ambapo baada ya maandalizi hayo kukamilika uchaguzi huo utafanyika uchaguzi mkuu katika jumuiya ya wazazi upo katika maandalizi yakikamilika hivi karibuni utafanyika alisema kapteni mstaafu huyo ambaye pia ni waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi akitaja maandalizi hayo alisema kuwa ni pamoja na UNK usafiri kwa wajumbe wanaotoka sehemu mbalimbali nchini unajua wajumbe wengi wanatoka mikoani wanahitaji usafiri kula na kulala hivyo ni lazima kuwe na maandalizi ya kutosha ili kuweza kufanikisha uchaguzi huo pia ccm haina mpango kabisa wa kutaka kuivunja jumuiya ya wazazi naomba nieleweke hivyo alisema bwana chiligati awali ilidaiwa jumuiya hiyo ilishindwa kufanya uchaguzi mwaka jana kama UNK nyingine za umoja wa wanawake na umoja wa vijana kwa vile kaimu mwenyekiti wake bwana athuman mhina alikuwa mgonjwa bwana mhina ambaye UNK nafasi hiyo baada ya kusimamishwa na hatimaye kuondolewa kwa aliyekuwa mwenyekiti bwana UNK maregesi kwa muda mrefu alikuwa mgonjwa ambapo kuna wakati alilazwa katika hospitali ya taifa muhimbili mbali ya bwana mhina wagombea wengine waliopitishwa kuwania uenyekiti ni bwana abdallah bulembo na bibi esther UNK hatimaye mtuhumiwa wa kesi ya unyanyasaji mtoto anayedaiwa kumfunga bintiye kwa mnyororo chooni bwana venance mwaipopo ameachiwa kwa dhamana baada ya kusota rumande kwa takriban miezi miwili mtuhumiwa huyo mkazi wa vijibweni kigamboni dar es saalam aliachiwa jana baada ya kupata wadhamini walioweka ahadi ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kila mmoja kesi ya mshitakiwa huyo iko katika mahakama ya mwanzo temeke mbele ya hakimu bibi rose kangwa katika shtaka la kwanza bwana mwaipopo anadaiwa kumfanyia ukatili binti huyo kinyume na kifungu mia moja na sitini na tisa cha kanuni ya adhabu kwa kumfunga na mnyororo miguuni shtaka la pili ambalo ni mbadala ni na shitaka la kwanza ni la kumzuia mtoto huyo isivyo halali kinyume na kifungu cha mia mbili na hamsini na tatu cha kanuni ya adhabu mshitakiwa yupo nje kwa dhamana ya watu wawili na bondi ya kiasi cha pesa shilingi laki tano kila mmoja kesi hiyo itaanza kusikilizwa tena januari ishirini na saba mwakani tukio hilo lilitokea septemba ishirini na sita nyumbani kwao vijibweni kabla ya kupata msaada kutoka kwa majirani waliomsikia akilia kuomba msaada baada ya kufungiwa chooni na mnyororo na wazazi wake ambaye ni baba yake mzazi na mama mlezi na kwenda sehemu isiyojulikana baada ya muda watu walisikia kelele na kukusanyika kwa lengo la kumsaidia ikiwa pamoja kutoa taarifa polisi hatimaye polisi walifika kumsaidia na kumpigia simu bwana mwaipopo na kufika nyumbani kwake na kukuta watu wakiwa UNK polisi walimkuta binti huyo akiwa amekaa kwenye tundu la choo walimchukua na kumpeleka kituo cha polisi waziri mkuu bwana mizengo pinda ameshangazwa na teknolojia ya kutengeneza njia ya umeme mkubwa bila kuzima nishati hiyo alipotembelea mitambo ya kuzalisha umeme ya artumas katika ziara yake mkoani mtwara bwana pinda UNK vijana wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi ya kurekebisha nguzo katika njia ya msongo wa thebathini na tatu UNK bila ya kuzima umeme wakati wa ziara hiyo ambayo aliongozana na mkewe mama tunu bwana pinda alionyesha UNK kama kweli kazi hiyo ilikuwa ikifanyika bila ya kuzima umeme jamani hii si hatari vijana hawa wanaweza kufa UNK kufanya kazi bila ya kuzima umeme alisikika akiuliza bwana pinda na kujibiwa na uongozi wa artumas kuwa kazi hiyo inawezekana kwa kuwa wanatumia vifaa maalumu na ujuzi ili kuzuia hatari yoyote katika tukio hilo ilielezwa kuwa tanzania inaweza kuokoa mabilioni iwapo teknolojia hiyo ya kufanya kazi katika njia kuu za umeme bila kuzima UNK meneja mkuu wa artumas group bwana richard taiton alisema teknolojia hiyo inayotumiwa na kampuni ya mc donald liveline inasaidia kuwaondolea usumbufu wateja wa mikoa kusini wakati UNK na kati matengenezo ya njia za umeme bwana taiton alisema kampuni hiyo UNK heshima artumas tangu kupewa kandarasi ya kujenga na kufanya marekebisho ya njia hizo kwani imebadili mifumo ya miundombinu bila kuathiri watumiaji wa umeme kinachofurahisha ni kwamba kampuni hii ni ya mtanzania na hatukutarajia kukuta teknolojia kama hii katika nchi kama tanzania alisema bwana UNK mkurugenzi wa kampuni ya mc donald liveline bwana donald mwakamele alisema kampuni yake ina uwezo wa kufanya kazi katika njia za msongo mkubwa kuanzia kilovoti kumi na moja hadi hamsini sifuri umeme UNK kwa ajili ya matengenezo kwa siku nzima ni viwanda vingapi UNK au ni vitu vya nyumbani vingapi vinaweza kuharibika hata wajasiliamali wanaotengeneza bidhaa mbalimbali kwa umeme na hata UNK hulazimika kufunga kazi zao alisema hivyo alisema kuwa iwapo kampuni na mashirika yanayozalisha umeme yatatumia teknolojia hiyo tatizo la kukatika umeme nchini linaweza kupungua labda tatizo libaki kwenye uzalishaji bwana mwakamele alisema kwa sasa baada yatoa mafunzo kwa vijana wa kitanzania na kujijengea uwezo kampuni hiyo inaanza kutoa huduma katika mashirika mbalimbali ya umeme katika nchi za afrika mashariki ambako teknolojia hiyo inahitajika kampuni ya mc donald liveline technology ni kampuni pekee inayotoa huduma kama hiyo katika ukanda wa afrika mashariki na kati halmashauri ya jiji la dar es salaam UNK kampuni ya east africa UNK campany ambayo iliundwa ili ijenge machinjio ya kisasa katika eneo gongolamboto dar es salaam baada ya kushindwa kutekeleza majukumu hayo kwa kipindi cha miaka minane kampuni hiyo iliundwa na manispaa zote tatu za jiji la dar es salaam kila moja ikichangia shilingi milioni hamsini sifuri kampuni ya nico iliyotoa shilingi milioni kumi sifuri na UNK moja ya ujerumani ambayo ilikuwa ichangie mashine za kiwanda hicho lakini ikashindwa na kukwamisha mradi huo hayo yalisemwa dar es salaam jana na naibu meya wa jiji hilo bwana ahmed mwilima katika kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri ambapo walikubaliana kuivunja kampuni hiyo kutokana na kushindwa kufanya kazi hiyo tumefikia maamuzi haya katika kikao cha madiwani wa halmashauri wa jiji kutokana na kampuni hii ya ujerumani kushindwa kutimiza majukumu yake japo tulikuwa tunahitaji sana dar es salaam iwe na machinjio ya kisasa lakini imebidi UNK kampuni hii alisema bwana mwilima alisema kwa sasa halmashauri inafanya utaratibu wa kisheria ili kuona kama kuna madeni yanatakiwa kulipwa na baadaye kila mwanahisa achukue kilicho chake kutokana na alivyochangia na kiwanja cha eneo hilo kubaki mali ya jiji hadi sasa katika eneo hilo la ambalo machinjio UNK hakuna shughuli inayoendelea na tayari wananchi wamevamia eneo hilo na kulifanya mashamba wagonjwa thebathini na moja bado wamelazwa katika hospitali za manispaa jijini dar es salaam kwa kusumbuliwa na ugonjwa wa kipindupindu wagonjwa hao wamelazwa katika hospitali za temeke amana na kinondoni kwa nyakati tofauti na wanatokea sehemu mbalimbali za jiji akizungumza dar es salaam jana kaimu mganga mkuu wa hospitali ya temeke bwana gilbert buberwa alisema kuwa wagonjwa wapya hadi jana walikuwa kumi na moja badala ya kumi na tatu ambao walikuwepo awali alisema kuwa mpaka jana hakuna mgonjwa yoyote ambaye alifariki hivyo aliwataka wakazi wa jiji kuzingatia suala la usafi ili kuweza kukabiliana na ugonjwa huo taarifa iliyotolewa jana na kaimu mganga wa jiji daktari hawa kawawa ilisema kuwa takwimu zinaonyesha kuwa wilaya ya ilala bado inaongoza kwa kuwa na wagonjwa wengi ikifuatiwa na temeke alisema kuwa ilala ina wagonjwa kumi na nne wakati na kinondoni ya mwisho kwa kuwa na wagonjwa sita alisema tangu kuanza kwa ugonjwa huo watu mia mbili na themanini na sita wameugua ugonjwa huo na wilaya ya temeke inaongoza kwa kuwa na UNK kumi sita ikifuatiwa na ilala ina wagonjwa kumi moja na kinondoni wagonjwa sabini na tisa umoja wa wanawake tanzania wa chama cha mapinduzi umevunja ukimya na kufafanua kilichotokea kwenye kikao cha baraza kuu mjini dodoma kuwa katibu mkuu bibi UNK mwilima alihojiwa kwa kushindwa kutekeleza baadhi ya maagizo taarifa katika vyombo vya habari iliyotolea na kusainiwa na ofisa habari na mkuu wa idara ya organization siasa na mahusiano ya kimataifa bibi sarah msafiri ilifafanua kuwa kilichotokea ni baraza kuu UNK kwa utekelezaji wa baadhi ya maagizo ya vikao vilivyopita vya umoja huo kwa mujibu wa katiba ya uwt katibu mkuu ndiye mtendaji mkuu wa jumuiya ya uwt hivyo baraza lilimtaka kutoa ufafanuzi kwa baadhi ya maagizo ambayo UNK ipasavyo ilisema sehemu ya taarifa hiyo pia taarifa hiyo ambayo haikuweka bayana kama kulikuwapo na mpango wa kumnggoa bibi mwilima au la ilikanusha kuwapo kwa tofauti kati ya mwenyekiti wa taifa wa umoja huo bibi sophia simba na katibu mkuu wake bibi hasna mwilima kama inavyodaiwa kwenye vyombo vya habari malumbano yanayotolewa kwenye vyombo vya habari kuhusu kutokuelewana kwa viongozi wa juu wa uwt sio ya kweli bali ni mambo ya kiutendaji ambayo baraza kuu liliridhia yatekelezwe hivyo UNK kuhoji juu ya mambo hayo alisema bibi msafiri baraza kuu la uwt lilijadili na kutoa mapendekezo kwa chama juu ya utaratibu wa kuwapata wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika kupitia nafasi za wanawake na kutoa wito kwa wanawake kuthubutu na kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kugombea kwenye uchaguzi mkuu ujao wakurugenzi na mameneja sita wa wakala wa barabara nchini waliokuwa wamefukuzwa kazi wamerudishwa kazini ijumaa iliyopita baada ya bodi ya wakala hao wakurugenzi wa wakala wa barabara baada ya kamati iliyoundwa kukamilisha uchunguzi wa majalada ya wafanyakazi hao na kupita katika taasisi zote akizungumza na majira jana kaimu mwenyekiti wa bodi ya tanroads daktari samwel nyatahe alisema hatua hiyo ilifikiwa baada ya kufuatilia sheria na kanuni za utumishi wa umma iliyopitishwa oktoba kumi na sita mwaka huu ambapo nafasi za wafanyakazi hao zilitakiwa kujazwa kwa ushindani na uwazi wafanyakazi wote waliofukuzwa walirudishwa kazini pamoja na bwana mrema toka ijumaa iliyopita na baada ya UNK baina ya kamati iliyoundwa bodi ya tanroads na wizara ya miundombinu alisema daktari nyantahe akifafanua zaidi daktari nyantahe alisema kuwa badala ya kuwafukuza kazi wafanyakazi hao bwana mrema alitakiwa kutumia njia ya kutangaza nafasi hizo ili UNK kwa ushindani au kuwachagua baadhi ya wafanyakazi wa wizara ya miundombinu ambao ni wachapakazi na kupewa nafasi hizo hivi karibuni mtendaji mkuu wa tanroads bwana ephraem mrema alipuuza maagizo ya bodi ya tanroads na kuwafukuza kazi wakurugenzi na mameneja wa mikoa bila kufuata taratibu za utumishi serikalini awali bwana mrema alitii agizo la kusitisha kuwafukuza lakini baadaye alibadili maamuzi akingganggania uamuzi wake wa awali wa kuwafukuza jambo ambalo UNK hali ya mkanganyiko ndani ya bodi ya tanroad na wizara ya miundombinu mgongano huo kati ya mrema bodi na wizara ulianza oktoba thebathini mwaka huu pale bwana mrema UNK kikao cha wafanyakazi na kutangaza kuwafukuza kazi baadhi ya watendaji waandamizi na baadhi ya mameneja waliokumbwa na sakata hilo ni pamoja na mkurugenzi wa matengenezo ya barabara bwana thomas mosso mkurugenzi wa mipango bwana jason rwiza meneja wa tanroads mkoa wa dodoma bwana gerson lwenge mkoa wa morogoro bwana charles madinda mkoa wa ruvuma bwana abraham kissimbo na mhandisi makao makuu tanroads bwana william shilla mwanazuoni maarufu wa siku nyingi nchini profesa issa shivji amesema kitendo cha vyama vya siasa kufadhiliwa na watu wachache wa ndani au je ya nchi ndio chanzo cha vyama hivyo kukosa sauti ya kukemea maovu na badala yake kufuata wanavyotaka wafadhili profesa shivji ambaye ni msomi wa fani ya sheria alitoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki alipozungumza na gazeti hili kwa njia ya simu juu ya faida za wanachama kufadhili chama badala ya kuwaachia wahisani au matajiri kukiendesha kwa fedha UNK alisema kuwa chama huendeshwa na kufadhiliwa na wanachama wenyewe kwa kujitoa kukitumikia kwa hali na mali bila kujali nani katoa nini na kiasi gani hali hii inatokana na shida ya mfumo mzima wa vyama jamii na nchi kukubali kufadhiliwa kupita kiasi hivyo kukosa nguvu ya kusimamia mambo ya msingi yanayohitajika katika jamii au wanachama alisema profesa shivji profesa shivji alisema ili watu wawe na uchungu na vyama vyao lazima washirikishwe katika UNK chama ili wawe na sauti wakati wa maamuzi ya kujenga taifa na kuondoa mvutano wa kimaslahi kati yao ili kujikita na kutatua matatizo UNK ni siku hizi tu vyama vimebadili mfumo wake lakini zamani wanachama wenyewe ndio waliokuwa wakishikana mashati kuendesha chama hapakuwa na mfadhili hata kidogo alisema upande wa mashtaka katika kesi ya shambulio la kudhuru mwili na kutishia kuua inayomkabili mbunge wa simanjiro bwana christopher ole sendeka umemaliza kutoa ushahidi wao jana kwenye mahakama ya hakimu mkazi mjini arusha mwendesha mashtaka ambaye ni wakili wa serikali bwana michael luena aliieleza mahakama hiyo kuwa mashahidi tisa pamoja na vielelezo vitatu vilivyowasilishwa mahakamani hapo UNK kukamilisha ushahidi wa upande wa mashtaka katika kesi hiyo shahidi wa tisa kwa upande wa mashtaka bibi flora john mnzava ambaye ni afisa tabibu wa hospitali ya wilaya ya monduli aliyekuwa shahidi wa mwisho alisema mlalamikaji bwana james ole millya alipofika hospitalini alikuwa na majeraha katika shavu lake kwa upande wa kulia licha ya kuwa na alama shavuni pia alidai kuwa anasikia maumivu kiunoni ambayo aliyapata baada ya kusukumwa na kuanguka chini ambapo UNK matibabu na kumruhusu aondoke alisema bibi UNK shahidi huyo aliongeza kuwa yeye ndiye aliyepokea fomu ya polisi kwa ajili ya matibabu ambapo UNK na kuisaini baada ya kumpatia huduma ya matibabu bwana ole millya mahojiano kati ya wakili wa upande wa utetezi bwana mpaya kamara na shahidi huyo yalikuwa kama ifuatavyo wakili ulitumia nini kupima ukubwa wa sehemu ya jeraha alilokuwa nalo millya shahidi UNK UNK wakili UNK jeraha lina urefu gani shahidi nilikuta lina sentimita kumi na mbili wakili sentimita kumi na mbili za nini shahidi za urefu wa kuanzia juu kwenda chini wakili baada ya uchunguzi wako uvimbe unaosema ulikuwa shavuni unaonyesha ulisababishwa na nini shahidi unaonyesha alipigwa na silaha isiyo na makali wakili unamaanisha nini shahidi silaha isiyo na ncha inaweza kuwa mkono mbao au fimbo wakili wewe unaruhusiwa kujaza hiyo fomu pf tatu shahidi hapana ila UNK kwa niaba ya mganga mkuu baada ya UNK huo wakili anayemtetea ole sendeka bwana kamara alimueleza hakimu bwana james UNK kuwa wapo tayari kuleta vielelezo vyao kuwa mteja wao hana kesi ya kujibu kesi hiyo imeahirishwa hadi desemba nne itakapotajwa mahakamani hapo na kupangiwa tarehe ya kutoa uamuzi wa kujiridhisha endapo mshitakiwa huyo ana kesi ya kujibu au la mbunge wa moshi mjini bwana philemon ndesamburo amesema wakazi wa jimbo la moshi mjini hawadanganyiki na kauli ya mbunge wa same mashariki bibi anne kilango aliyetamba kumnggoa katika katika uchaguzi mwakani alisema hata kama mbunge huyo ataamua kupiga kambi kwa miaka mitano hana ubavu wa kuleta mabadiliko katika jimbo hilo na atashindwa kama rais mstaafu wa awamu tatu bwana benjamini mkapa aliyehamishia nguvu za chama na serikali jimboni humo ili shemeji yake bibi elizabeth minde ashinde akizungumza na majira kwa njia ya simu jana bwana ndesamburo alitoa kauli hiyo baada ya mbunge wa same mashariki bibi anne kilango kutangaza nia yake ya kupiga kambi katika jimbo la moshi mjini ili kuhakikisha ccm inachukua jimbo hilo mwaka ishirini moja sifuri mimi namwambia bibi kilango ajaribu bahati yake kwani mwaka ishirini sifuri tano bwana mkapa UNK serikali yote katika jimbo langu kwa lengo la kutaka kuninggoa lakini mgombea wake bibi minde alianguka vibaya alisema bwana ndesamburo alisema kuwa anashangazwa na kauli ya bibi kilango ya kudai kuwa yeye anapigiwa kura na wana ccm jambo ambalo halina ukweli wowote wala hakuna sababu ya kutafuta mchawi kwani wapiga kura katika jimbo si mashabiki wa vyama kama UNK napenda bibi kilango atambue kuwa mimi ninapigiwa kura na wananchi wa moshi wasiokuwa wanachama wa chama chochote hao ndio wanaoniunga mkono na ndio UNK madarakani ukiachia mbali wanachama wa chama changu alisema alisema kuwa kama bibi kilango anaamua kuleta vita vya siasa moshi mjini yeye yuko UNK na anamkaribisha kwa nguvu zote katika mapambano hayo yasiyokuwa na tija na kumtaka atambue kuwa wananchi wa jimbo hilo hawadanganyiki na propaganda zake wananchi wa hili jimbo siyo watoto wadogo huu ni mkoa mwingine bwana achilia mbali watu hawa wakiamua jambo hawarudi nyuma kama yeye anadhani siasa zake za propaganda UNK stendi juzi ndizo UNK mawazo aendelee kwani hawa watu hawadanganyiki alisisitiza alisema kuwa kama bwana mkapa alishindwa kumnggoa madarakani mwaka ishirini sifuri tano baada ya kuamishia serikali na chama chake chote moshi anaamini hakuna mtu mwingine atakayeweza na kusisitiza kuwa bibi kilango ajaribu bahati yake labda anaweza kufanikiwa alisema kuwa kama ccm itatekeleza yote ambayo UNK wananchi wa moshi mjini hadi kuendelea kumchagua wafanye hivyo na kwamba anaamini utendaji kazi wake mzuri kwa wananchi ndio uliosababisha wananchi wa mkoa huo waendelee kumkubali na wala si vinginevyo bibi kilango aendelee kutafuta mchawi ccm kwani UNK UNK sana eti anapiga kambi kwa ajili ya kuninggoa mimi na kutafuta mchawi mbona anajisumbua UNK alisema kama bibi kilango anataka niende kwenye jimbo lake UNK nitakwenda UNK kweli kweli na vita hii anayodai kuianzisha itakuwa ni ya karne UNK hata kidogo alisema bwana ndesamburo alisisitiza kuwa ccm inashindwa UNK moshi mjini kutokana na ufisadi wao na kwamba kazi anazofanya kwa wananchi wa mkoa huo chama hicho tawala hakiwezi kuzifanya na ndio maana anakubalika licha ya kuwekewa UNK UNK wananchi wa moshi mjini juzi bibi kilango aliwaambia wanachama na viongozi wa ccm kuwa bwana ndesamburo ameshinda mara mbili mfululizo kutokana na matatizo ya wanaccm wenyewe na kuwataka UNK bibi kilango alisema kuwa atapiga kambi mkoani hapo kwani hawezi kukubali kuwa wanaccm ambao mchana wamevaa kijani lakini usiku wamevaa nguo nyingine mtoto wa rais jakaya kikwete ridhiwani kikwete UNK mahakamani fundi seremala na mkazi wa mikocheni a bwana omary said kwa kumtapeli shilingi milioni mbili mbele ya hakimu mkazi wa mahakama hiyo bibi lina msanga mwendesha mashitaka bibi batiseba UNK aliiambia mahakama kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo novemba tano mwaka huu huko mikocheni jijini dar es salaam bibi batiseba alidai kuwa mshitakiwa alipewa fedha hizo na bwana ridhiwani ambaye ni mwanasheria kwa lengo la kununulia vifaa mbalimbali kwa ajili ya kukarabati nyumba yake lakini fundi huyo alizitumia kwa matumizi mengine na hakufanya UNK mshitakiwa ambaye amekana shitaka hilo amerudishwa rumande kwa kukosa wadhamini kesi hiyo ambayo upelelezi wake unaendelea itatajwa tena desemba nane mwaka huu na glory mhiliwa arusha kesi inayomkabili mbunge wa simanjiro bwana christopher ole sendeka ambaye anashitakiwa kwa kumpiga mwenyekiti wa vijana wa ccm mkoa wa arusha bwana james UNK imeendelea kunguruma jana mahakama ya hakimu mkazi arusha ambapo mwendesha mashtaka wa serikali ameongeza mashitaka ya kutishia kwa bastola akisoma mashitaka hayo mwendesha mashtaka bwana agustine komba aliiambia mahakama mbele ya hakimu mkazi bwana james karayemaha kuwa yameongezwa mashitaka mengine ambayo awali hayakuwepo alidai kuwa ole sendeka anatuhumiwa januari tisa mwaka huu wilayani monduli katika semina ya wazee wa kimasai ambayo iliandaliwa na mbunge wa mbulu bwana edward lowassa alimtishia kwa bastola na kumdhuru mwili bwana UNK hata hivyo mwendesha mashtaka huyo aliiomba mahakama kupanga tarehe ya kuanza kusikiliza kesi hiyo ambayo UNK kwa mara mbili baada ya upelelezi kukamilika mheshimiwa hakimu naomba tarehe kwa ajili ya kuanza kusikilizwa na kutolewa ushahidi ambapo upande wa upelelezi UNK tutaleta mashahidi kumi na tatu bastola iliyotumiwa na mshitakiwa kutishia fomu namba tatu UNK nayo mlalamikaji alisema mwendesha mashtaka aliwataja mashahidi watakaotoa ushahidi kuanzia mei ishirini na saba kuwa ni askari polisi wawili ambamo pia atakuwepo mkuu wa mkoa wa singida bwana vicent kone ambapo siku ya tukio alikuwepo kwenye semina hiyo hakimu karayemaha aliahirisha kesi hiyo mpaka mei ishirini na saba ambapo itaanza kusikilizwa akizungumza nje ya mahakama hiyo mbunge huyo aliwashukuru wananchi wa jimbo lake waliojitokeza kwa wingi kwa ajili ya kujua hatma ya kesi yake ambapo aliwataka kuendelea na kazi za ujenzi wa taifa kwa vile sheria itachukua mkondo wake nawashukuru sana naona ni vyema wakulima muendelee na kilimo na wafugaji muendelee na ufugaji UNK kuja mahakamani tuache sheria ichukue mkondo wake alisema sendeka licha ya ushauri wa daktari na ofisi binafsi ya rais jakaya kikwete kuwa kiongozi huyo apumzike baada ya kuishiwa nguvu na kukatisha hotuba mjini mwanza safari zake za ndani na nje ya nchi anazoendelea kufanya zimezua upya mjadala huku akidaiwa UNK mjadala huo umeibuka wakati rais kikwete akiwa nje ya nchi kwa ziara ndefu itakayomchukua takribani siku kumi za kukutana na viongozi wa nchi na kufanya mikutano kadhaa katika nchi tatu tofauti safari ya sasa ya rais kikwete ambayo UNK katika nchi za jamaica UNK na tobago na cuba itakuwa ni mwendelezo wa ratiba ndefu ya kusafiri ndani na nje ya nchi kuanzia katikati ya oktoba siku hamsini na tatu baada ya kuishiwa nguvu huko katika uwanja wa kirumba mwanza wakati wa maadhimisho ya miaka kumi sifuri ya kanisa la africa inland church masuala mawili ambayo kwa sasa yameibua mjadala huo wa mara kwa mara ni kuhusiana na hali ya afya yake kama UNK na UNK wake daktari peter mfisi oktoba saba mwaka huu pamoja na tija zinazotokana na safari za nje ya nchi ambazo zinatumia gharama kubwa baadhi ya watu waliozungumza na gazeti hili kuhusu iwapo ikulu imefanyia kazi taarifa yake kuwa ofisi binafsi ya rais ingepitia upya ratiba ya mkuu huyo wa nchi na ushauri wa madaktari wake wa kumtaka apumzike wameonesha wasiwasi juu ya utekelezaji wa suala hilo katika kulinda afya ya rais wamehoji pia kauli yake baada ya kupata nafuu kuwa alipata msukosuko wa kiafya kutokana na kazi nyingi na safari ndefu na ahadi yake kuwa UNK ubishi na kuanza kuwasikiliza washauri wake wanaotaka apumzike siku chache baada ya tukio la kuishiwa nguvu oktoba nne rais kikwete alianza safari ya kikazi mkoa wa mara alipofanya shughuli ya kuzima mwenge na kukagua miradi mbalimbali oktoba kumi na saba alikuwa kwenye harambee ya kiwanda cha tangawizi iliyoandaliwa na mbunge wa same mashariki bibi anna kilango na baadaye kufanya ziara siku sita katika mikoa ya iringa na mbeya kuanzia oktoba ishirini na sita rais pia aliongoza na kutoa mada kwenye kongamano la wadau wa maendeleo novemba tano na sita kabla hajaondoka kwenda misri akarejea nchini na baadaye kwenda italia ambako alihutubia mkutano wa chakula novemba ishirini rais alipokea kombe la dunia katika uwanja wa taifa na siku iliyofuata akawa mkoani arusha katika maadhimisho ya miaka kumi ya jumuiya ya afrika mashariki siku mbilia baadaye rais aliondoka kwenda safari ya jamaica UNK na tobago na kumalizia cuba inayoendelea sasa mwanazuoni profesa mwesiga baregu alilieleza majira kuwa rais ni binadamu wa kawaida hivyo kama ameshauriwa na wataalamu kupunguza ratiba ngumu ni bora afanye kazi za karibu ambazo si lazima asafiri umbali mrefu hivi karibuni tulisikia maelezo ya daktari wake kuhusu afya yake tukaambiwa kuwa anapaswa kupata wasaa wa kupumzika tulitarajia itakuwa hivyo na badala yake angeweza kufanya kazi za karibu rais ni binadamu wa kawaida UNK kuwa ni mzima kama hali hairuhusu awe hivyo UNK apumzike alisema profesa baregu profesa baregu ambaye ni mtaalamu wa sayansi ya siasa na ushirikiano wa kimataifa alisema ni ngumu kuona moja kwa moja tija zitokanazo na safari za rais kwa sababu hakuna taarifa za ziara hizo alisema ni muhimu wananchi wakapewa taarifa za ziara za rais wao ikibidi kabla ya kuondoka na baada ya kurudi ili waweze kutoa tathmini iwapo UNK na kile UNK katika ziara hizo wakati mwingine unaweza kufikiri rais kikwete ni waziri wa mambo ya nje kila baada ya siku chache unamsikia yuko nje akirudi nyumbani atakwenda vijiji viwili vitatu kama vile kiinimacho halafu tena huyoo UNK na UNK msafara wake UNK watu ishirini tumefikia mahali nchi hii rais anapaswa kufanya kama mwalimu nyerere ambaye alikuwa akiwatembelea watu anapiga kambi kijijini na kujua kwa undani shida zao si kila wakati kwenda nje kunaweza kuwa na tija kwa maslahi ya taifa alisema profesa baregu cuba na aliongeza kuwa si vibaya ofisi ya rais UNK wananchi UNK nchi fulani ni kitu gani hasa kwa sababu gharama anazotumia ni za walipa kodi alisema kama ilivyo kwa waziri wa mambo ya nje UNK kutoa taarifa kwa rais anaporudi kutoka ziara rais naye anapaswa kufanya hivyo kwa wananchi ambao ndio waajiri wake tumewahi kupata ripoti ya ziara za rais nje ya nchi mara moja nafikiri tunaambiwa ameenda kuomba lakini hatujui kama UNK kilipatikana na UNK wapi pia ni vyema tukafanya uchambuzi wa nchi UNK nazo kama ni sahihi kwa sisi kuweza kuendelea kwa upande mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahimu lipumba ambaye aliwahi kuchambua ziara hizo na kueleza kuwa hazina manufaa alisema rais kikwete ana hulka ya kupenda safari na kumfananisha na vasco da gama mreno wa zamani aliyekuwa maarufu kwa kusafiri na UNK wa nchi kadhaa profesa lipumba alisema kwa kusafiri mara kwa mara rais kikwete anakwepa majukumu na kuwa hataki bugudha ya kukaa nchini na kufanya mipango ya kuendeleza nchi ikiwemo kutatua masuala kadhaa ambayo yamekuwa UNK serikali yake na chama cha mapinduzi hivi karibuni tumesikia ripoti moja ikionesha kuwa katika taasisi zinazoongoza kwa UNK allowances ikulu iko juu ya zote sasa mojawapo ya njia za posho hizo ni hizo safari ambazo kwa kweli tija yake ni ndogo ukilinganisha na gharama UNK kuna kazi zingine alipaswa kutumia wasaidizi wake mawaziri au wawakilishi wetu huko nje ya nchi yeye yuko safarini muda wote huku mambo UNK waziri wake wa utawala bora UNK mtu kwa kuuza dawa za kulevya alisema profesa lipumba ambaye ni mchumi alisema safari za rais haziwezi kusaidia nchi kupunguziwa au kusamehewa madeni kwani hiyo inatokana na mipango ya nchi kupitia wizara zao za fedha na kuongeza kuwa anapaswa kubaki nyumbani kusaidia kutoa maamuzi magumu hasa juu ya vita dhidi ya ufisadi ufisadi unaongezeka na hii ni moja ya vigezo ambavyo wafadhili wanatumia kutuongezea au UNK misaada sio safari za rais kama safari hizo zitakuwa hazijengi kama hazisaidii vita dhidi ya rushwa na ufisadi mwingine kwanza lazima ieleweke kuwa UNK ya namna hiyo UNK na rais bali watendaji wa serikali alisema ampiga UNK UNK polisi UNK wavunaji na edmund mihale siku moja baada ya waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo kutangaza kuifungia kampuni ya upatu ya deci jeshi la polisi limemtia mbaroni mwenyekiti wa kamati ya dharura ya wanachama wa upatu huo mchungaji isaack kalenge kwa kuhutubia bila kibali katika eneo la ofisi za makao makuu ya kampuni hiyo iliyopo mabibo mchungaji huyo alishikiliwa kwa saa tano katika kituo cha polisi magomeni na kisha kuachiwa kwa dhamana saa kumi jioni tukio hilo lilitokea saa tano kumi na tatu asubuhi wakati akihutubia umati wa washiriki wa upatu huo dhahama hiyo ilimkuta mtumishi huyo wa mungu baada ya kuombwa na mwenyekiti wa chama cha siasa cha dp mchungaji christopher mtikila kutangaza ajenda UNK jumamosi katika mkutano wa washiriki wote utakaofanyika viwanja vya jangwani awali mchungaji kalenge aliwatangazia washiriki kuwa kutakuwa na mkutano saa tano asubuhi hali iliyowapa hamasa ya kusikia nini UNK juu ya hatima ya fedha walizopanda katika kampuni hiyo ilipofika saa tano sifuri sifuri mchungaji mtikila akiwa na mchungaji kalenge bila kujali tangazo lilitolewa na deci kupinga washiriki kutumia uwanja wa ofisi hiyo kama ukumbi wa mikutano aliwaita washiriki wote mchungaji mtikila alimpa kipaza sauti mchungaji kalenge ili atoe ratiba ya mkutano wa jumamosi tunasikia eti igp amewaagiza viongozi wa kampuni hii kwamba walipwe wanachama wapya hiyo itakuwa ni kuleta machafuko makubwa na UNK serikali kwa kuwa yenyewe ilichelewa kuwahadharisha wananchi alisema mchungaji huyo huku akiendelea kuhutubia ghafla ofisa wa jeshi hilo kutoka kituo cha urafiki aliyefahamika kwa jina moja la bwana bundala alimvamia na kumshika kisha UNK wote chini na kuanza UNK katika lindi la vumbi baadaye polisi alifanikiwa kumdhibiti mchungaji huyo katika purukushani zilizodumu kwa dakika tano na kumuweka chini ya ulinzi hadi walipofika wenzake kutoka kituo cha magomeni polisi hao zaidi ya kumi waliofika UNK tano ishirini na tisa wakiwa katika gari aina ya land rover defender namba t mia saba na sitini ady walifanya mazungumzo na mchungaji mtikila ambaye kwa muda wote alionekana kutoa ushirikiano kwa mwenzake aliyekuwa chini ya ulinzi kwa muda wote kuwasili kwa askari hao kulizua hali ya woga katika eneo hilo na kuwaacha washiriki hao wa deci wakiwa katika wasiwasi mkubwa huku wakiwa na minonggono ya hapa na pale wakiwa katika makundi madogo madogo kwa woga wa kukamatwa walikuwa wakisema ni mwisho wa serikali ya ccm kugawa fulana na kofia kisha wapewe kura katika uchaguzi badala yake wanatakiwa kuanzisha deci nyingine ili kumkomboa mtanzania kundi lingine UNK wenzao kuwa na msimamo wa kijasiri katika kudai fedha hizo kutokana uongozi wa kampuni hiyo kutokuwa makini katika uamuzi wao uchunguzi ulifanywa na majira umebaini kuwa washiriki hao UNK kufungua kesi makahama kuu kitengo cha biashara kupitia kampuni ya uwakili ya brilliance law chambers kudai mavuno yao naye rehema mohamed anaripoti kuwa jeshi la polisi kanda maalum ya dar es salaam litawachukulia hatua za kisheria wanachama wa taasisi ya upatu ya deci watakaofanya maandamano ama kukusanyika katika ofisi hizo kwa madai wanachochea uvunjifu wa amani kwa vile suala lao linashughulikiwa kisheria akizungumza dar es salaam jana kamanda wa polisi wa kanda hiyo bwana suleiman kova alisema hatua hiyo inatokana na taarifa zilizozagaa kuwa kuna watu UNK suala hilo kisiasa na kuchochea mikusanyiko itakayosababisha maandamano alisema kanda yake itasimamia suala hilo kwa lengo la kuhakikisha usalama katika jiji la dar es salaam suala la deci tayari limeshaanza kushughulikiwa kisheria na serikali kuanzia wizara ya fedha benki kuu pamoja na viongozi wa deci ambapo hatma yake itatangazwa baadaye baada ya uchunguzi kukamilika hatutapenda kuona mikusanyiko ya aina yoyote ikiendelea pale alisema bwana kova kamanda kova alisema kama kuna watu wanataka kuandamana wafuate hatua za kisheria zinazohitajika na sio kuweka mikusanyiko kiholela katika ofisi hizo kampuni ya tanga UNK imeongeza uzalishaji wa sementi kutoka tani mia saba na hamsini sifuri sifuri sifuri hadi kufikia tani moja mia mbili na hamsini sifuri sifuri sifuri ikiwa ni mafanikio ya asilimia sitini na saba baada ya kumalizika kwa awamu ya kwanza ya mradi wa upanuzi wa mitambo yake akizungumza na waandishi wa habari walitembelea mitambo hiyo mipya juzi mkoani tanga mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo bwana UNK fluehmann alisema kumalizika kwa mtambo huo kutasaidia UNK mahitaji ya bidhaa hiyo kwa tanzania kwani wanazalisha tani milioni tatu na mahitaji ya nchi ni milioni mbili kwa mwaka bwana fluehmann alisema mradi huo umegharimu dola za marekani milioni arobaini na sita mpaka kukamilika hali itayosaidia soko la afrika mashariki kwa ajili ya UNK wa uchumi mwaka jana tanga simenti ilichangia zaidi shilingi bilioni thebathini kwa ajili ya kodi na tunatoa sehemu ya faida tunayopata kwa ajili ya kuchangia huduma za kijamii alisema alisema kampuni inakabiliwa na changamoto za mgao wa umeme kwani mitambo yao inafanya kazi saa ishirini na nne hivyo ukataji wa umeme unachangia mitambo hiyo kusimama kwa muda kabla ya kuunganisha tena bwana fluehmann alisema kampuni hiyo imeajiri wafanyakazi thebathini sifuri na wengine hamsini sifuri sifuri ni wafanyakazi wa nje ya kampuni wanaofanya kazi ya kuleta malighafi kwa ajili ya uzalishaji wa UNK kampuni hiyo UNK simenti nje ya nchini tani ishirini sifuri sifuri sifuri kwa mwezi tofauti na awali ambapo ilikuwa UNK tani kumi sifuri sifuri kwa mwezi ikiwa ni mafanikio ya utambo mpya ulioanza kazi novemba kumi na moja mwaka huu watanzania nchini wameshauriwa kuzalisha bidhaa bora na kwa wingi ili kukuza mitaji na uchumi katika hali itakayosaidia kupata soko la kimataifa hayo alisema meneja miradi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya inayoshughulikia agenda mbalimbali za biashara bwana UNK UNK wakati wa warsha ya jumuiya ya afrika mashariki na UNK alisema imegundulika kuwa viwanda vilivyopo tanzania UNK bidhaa zao kwa wingi na kwa ubora unaotakiwa hali inayochangia bidhaa hizo kukosa soko la nje na kuzipa nafasi bidhaa za nje kuuzwa nchini alisema uchumi wa nchi unazidi kudidimia kutokana na miundombinu ya barabara kuwa mibaya hali inayosababisha hata bidhaa UNK kufika pale panapotakiwa kwa wakati akitolea mfano wa bidhaa inayotengenezwa hapa tanzania na UNK kwa wingi kwenda katika mikoa mingine ni pamoja na kinywaji cha dodoma UNK inayotengenezwa dodoma lakini hata mkoani dar es salaam haifiki kwa sababu ya uchache wa bidhaa hiyo hali inayosababisha mikoa mingine kampuni ya UNK internation trading imesema wapo katika mchakato wa kuleta ngombe wa maziwa ambao watawakopesha wakulima ili waweze kujikwamua kiuchumi akizungumza dar es salaam jana mkurugenzi wa kampuni hiyo bwana stanley mdaki alisema kuwa kabla ya kuleta ngo mbe hao wa mkopo watatoa mafunzo ya jinsi ya kuwatunza nggombe hao kwa wakulima alisema ngo mbe hao wanauwezo wa kutoa lita sitini hadi tisini za maziwa kwa siku na UNK zaidi vijijini ili waweze kuongeza kipato cha wakulima ambao ndio nguzo ya taifa bwana mdaki alisema kuleta kwa ngo mbe hao hapa nchini kutasaidia serikali kujenga kiwanda cha kitaifa cha maziwa na hali hiyo itaongeza ajira kwa vijana kuwa kufikia mwaka ishirini moja tano watanzania wengi watakuwa wamefaidika na nggombe hao hali itayosaidia umaskini kupungua nchini pia alisema desemba nane hadi ishirini na tatu mwaka huu watakuwa na maonesho ya kilimo kwanza ambayo yatakuwa yanatoa elimu kwa wakulima juu ya kilimo kwanza alisema kuwa asilimia kubwa ya watanzania hawana elimu ya kutosha ya kilimo kwanza kwahiyo elimu hiyo itasaidia kuongeza pato la mkulima na taifa kwa ujumla ambapo maonesho hayo yameandaliwa na UNK motors corporation mwanasheria mkuu wa serikali jaji frederick werema ameitaka mamlaka ya mapato tanzania kuwabana wakwepa kodi kwa mujibu wa sheria na kuchukua hatua dhidi ya ufisadi unaotokea katika mchakato wa ukusanyaji kodi nchini lakini ili waweze kutimiza majukumu yao kwa urahisi na kupata ushirikiano kutoka kwa walipa kodi alisema tra hawana budi kutoa elimu ya ulipaji kodi itakayowafanya wananchi kutimiza wajibu huo wa kisheria bila UNK jaji werema aliyasema hayo jana jijini dar es salaam alipokuwa akizindua taarifa inayohusu majumuisho ya kesi na maamuzi mbalimbali kuhusu mabishano ya sheria za kodi nchini kuanzia mwaka ishirini sifuri mbili ishirini sifuri nne jaji werema ambaye jana ilikuwa mara yake ya kwanza kutokea katika hadhara ya namna hiyo tangu ateuliwe katika wadhifa huo alisema ili kufanikisha kazi muhimu ya ukusanyaji kodi tra inapaswa kuhakikisha inakuwa na watumishi wenye ari ya kufanya kazi weledi na waaminifu kwanza napenda kuwapongeza tra kwa majukumu yao hasa ya ukusanyaji kodi ambayo kwa hakika siyo kazi rahisi moja ya changamoto UNK ni kuwaelimisha walipa kodi ili wajue umuhimu wa wajibu huu inahitajika kuwepo na msimamo thabiti katika kushugulikia masuala yanayohusu ukusanyaji na ulipaji kodi ndiyo maana nawasihi tra kuhakikisha wanazingatia utawala wa sheria na uwajibikaji katika kutekeleza majukumu yao alisema aliongezea kusema kuwa mbali ya kuzingatia na kuyashughulikia tra pia inapaswa kupunguza malalamiko ya walipa kodi kwa upande wake kamishna mkuu wa tra bwana harry kitilya alisema ripoti hiyo ina umuhimu wa pekee kwani itaisaidia mamlaka hiyo kutimiza malengo yake ya kutoa huduma bora inayoendana na uwajibikaji ili kuwezesha ulipaji kodi ripoti hii ya sheria UNK masuala ya kodi imekuja katika wakati mwafaka ambapo serikali inajipanga kuhakikisha UNK katika kupanga bajeti yake kwa kutumia vyanzo vyake vya ndani hii ni ripoti ya kwanza kabisa kuandaliwa na wataalamu wetu wa hapa nchini alisema bwana kitilya mwenyekiti wa bodi iliyoandaa ripoti hiyo bwana kibuta UNK alisema makusudi ya kuandaa taarifa hiyo ni kuhakikisha maamuzi ya kisheria yanayohusu malalamiko ya kisheria katika masuala ya kodi yanakuwa ya aina moja somo la maadili kwa watumishi wa afya limetakiwa kutolewa vyuoni na kuwekewa mitihani ambao mtahiniwa atalazimika kufaulu kabla ya kuhitimu ili aweze kufanya kazi yake kwa umakini zaidi kauli hiyo ilitolewa dar es salaam jana na waziri wa afya na ustawi wa jamii daktari david mwakyusa wakati akizindua baraza la wataalamu wa macho alisema kuwa ni bora maadili liwe somo UNK na kuwekewa mitihani ambao mtahiniwa UNK kabla ya kuhitimu ili aweze kufuata maadili ya kazi na kuwa na nidhamu ya hali ya juu ni utaratibu UNK kwamba wataalamu wa afya UNK kiapo wanapohitimu na kupewa nyeti vyao katika kiapo hicho wanaahidi kufanya kazi kwa kufuata maadili yaliyowekwa na kwa nidhamu ya hali UNK alisema aliongezea kuwa anasikitika kusema kwamba baadhi ya wataalamu hawafuati maadili na hili ni eneo linalohitaji kuangaliwa kwa umakini zaidi kwani mara nyingi tunapata taarifa za wagonjwa kudaiwa fedha na matumizi ya lugha chafu kwa wagonjwa hospitalini tabia hizi kwa wataalamu hazina nafasi katika ulimwengu wa leo alisema daktari mwakyusa alilitaka baraza la wataalamu UNK kufanya kazi kwa umakini na kuelimisha wananchi ili watambue umuhimu wa kupima afya zao badala ya kununua miwani mitaani ambayo inahatarisha afya ya macho pia alilitaka baraza hilo kuweka utaratibu wa kuteua wasimamizi wa sheria husika mikoani na wilayani kwa lengo la kurahisisha shughuli za usajili utekelezaji na usimamizi wa sheria yenyewe na makumba mwemezi mahakama ya rufani tanzania jana imelitupa shauri la mapitio ya uamuzi wake ilioutoa katika kesi ya madai namba kumi na nane ya mwaka ishirini sifuri tano lililowasilishwa kwake na walalamikaji ambao walikuwa askari wa kikosi maalum cha kuzuia magendo cha zanzibar wakidai kulipwa shilingi mia moja na arobaini na moja mia saba na arobaini na nane sifuri sifuri sifuri walalamikaji waliokuwa wakiilalamikia katibu mkuu wizara ya nchi tawala za mikoa na vikosi vya serikali ya mapinduzi zanzibar ni abdallah ali mohamed said salum hamisi omar ali omar na saleh khamis saleh akisoma uamuzi huo msajili wa mahakama ya rufani tanzania daktari ferdinand wambali alisema baada ya kupitia hoja za walalamikaji na kubaini hazina msingi kwani hazikuonesha kuwepo udanganyifu kutosikilizwa wala mahakama kukosa mamlaka ya kusikiliza walalamikaji walifungua kesi kwa kutoridhishwa na uamuzi wa kmkm kuwaachisha kazi pamoja na kutowapa barua rasmi zinazoonesha kuachishwa huko akizungumza nje ya mahakama ya rufani mara baada ya uamuzi huo mwakilishi wa walalamikaji ambaye ni mlalamikaji wa kwanza abdallah ali mohamed alidai korti haikuwatendea haki pia aliomba bunge la tanzania pamoja na baraza la wawakilishi zanzibar kuwapa nafasi ya kuwasilisha vielelezo walivyonavyo kwani vyombo hivyo ndivyo wawakilishi wa wananchi naibu waziri wa kazi ajira na maendeleo ya vijana daktari makongoro mahanga amewataka wananchi wa jumuiya ya afrika mashariki kujenga utamaduni wa kutumia bidhaa zinazozalishwa nchini mwao kwa kuwa zina ubora wa kutosha akizungumza dar es salaam juzi wakati alipotembelea maonesho ya nguvukazi daktari mahanga alisema kwa kufanya hivyo kutasaidia kuwainua kiuchumi wajasirimali wa ndani na kuleta maendeleo katika nchi zao daktari mahanga alisema ununuaji wa bidhaa za ndani pia utaondoa matatizo ya utafutaji wa masoko kwa wajasiriamali wengi wanaozalisha bidhaa zao katika mabanda ambayo nimetembelea bidhaa nyingi zimeonekana kuwa bora tena kushinda hata za nje UNK kununua ni vyema sasa wanajumuiya tukajenga utamaduni wa kuthamini kile UNK wenyewe ili wazalishaji wetu UNK kiuchumi alisema daktari mahanga aliwataka wajasiliamali hao kuhakikisha bidhaa zao UNK katika mashirika ya viwango kama vile tbs la tanzania yaliyopo nchini mwao ili kujihakikishia soko UNK maonesho hayo UNK wajasiliamali zaidi ya themanini sifuri kutoka nchi za jumuiya ya afrika mashariki ambazo ni tanzania kenya uganda na rwanda isipokuwa burundi ambao UNK akizungumza katika maonesho hayo jana waziri wa ushirikiano wa afrika mashariki daktari UNK kamala alisema nchi za jumuiya hiyo UNK na kufanya tathmini ya maonesho hayo tangu yameanzishwa ili kuona mahali UNK kwa lengo la kuwasaidia kweli bidhaa ni nzuri lakini nyingi zinafanana kwa hiyo tutakaa nchi zote za afrika mashariki na kuona haja ya kuwawezesha zaidi ili kuzalisha bidhaa tofauti na ilivyozoeleka waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi profesa jumanne maghembe amewataka walimu kuwahamasisha wanafunzi kujiwekea utamaduni wa kujisomea ili kuongeza misamiati ya lugha ya kiswahili akizungumza juzi dar es salaam katika hafla ya kuwazawadia wanafunzi walioshinda katika uandishi wa insha kuhusu faida za kombe la mataifa linalochezwa angola na la dunia dunia linalochezwa na jumuiya ya maendeleo ya kusini mwa afrika alisema vijana UNK kuandaliwa mapema kuhusu shughuli zote za jumuiya ya afrika mashariki kwa kuwa ndio watakuwa walinzi wa jumuiya hiyo kwa miaka ijayo wanafunzi wanakuwa waoga kushiriki mashindano ya insha kwa kukosa ushauri wengi wao wanakuwa na uwezo lakini lugha UNK hivyo wanahitaji mtu wa UNK alisema profesa maghembe katika mashindano ya mwaka huu tanzania imeshika nafasi ya kwanza katika nchi za sadc ambapo mshindi wa kwanza allen UNK akitoka katika seminary ya maua na wa pili mary UNK wa sekondari ya machame zote za mkoani kilimanjaro pia peter emily wa shule ya sekondari tosamaganga mkoani iringa ameshika nafasi ya tatu katika nchi za jumaiya ya afrika mashariki na kuifanya tanzania kuwa mshindi wa kwanza akizungumza baada ya kupokea zawadi mkuu wa shule ya sekondari ya tosamaganga bwana julius UNK alisema mashindano hayo UNK wanafunzi uwezo wa kujieleza na kujifunza lugha nyingine mashindano ya uandishi wa insha ya jumuiya ya afika mashariki yalianza mwaka ishirini sifuri nne kwa lengo la kuwahamasisha wanafunzi wa nchi hizo kuelewa masuala yanayohusu jumuiya mwenyekiti wa wazazi wa chama cha mapinduzi mkoa wa kilimajaro bwana thomas ngawaiya ametangaza rasmi kugombea ubunge katika jimbo la moshi mjini mwakani kwa madai kuwa jimbo hilo liko wazi kwa kuwa halina mbunge wa chama hicho tamko hilo la bwana ngawaiya limekuja siku moja baada ya mbunge wa sasa wa jimbo hilo bwana philemon ndesamburo kusema wakazi wa moshi mjini hawadanganyiki bali wanamkubali yeye kutokana na huduma UNK ambazo ccm haiwezi kutoa kauli hiyo ya bwana ndesamburo ilikuwa ni majibu kwa mbunge wa same mashariki bibi anne kilango alitangaza kupiga kambi katika jimbo hilo ili kuhakikisha ccm inaibuka na ushindi katika jimbo hilo baada ya kuukosa kwa miaka kumi na tano mfululizo wakati vumbi la malumbano UNK bwana ngawaiya alilieleza majira kwa njia ya simu jana kuwa UNK bwana ndesamburo anayetokea chama cha demokrasia na maendeleo nina kila sababu ya kuwa mbunge katika jimbo la moshi mjini kwa sababu bwana ndesamburo kazi yake ni ya kufadhili badala ya kufanya kazi ya msingi ya uwakilishi wa wananchi katika ngazi za juu serikali alisema alisema kuwa katika kipindi cha mwaka ishirini sifuri sifuri hadi ishirini sifuri tano alichokuwa mbunge wa moshi vijijini kupitia aliwatetea wakulima wa kahawa ambao walikuwa hawajalipwa kwa kipindi cha miaka kumi kwa mujibu wa bwana ngawaiya mwaka ishirini sifuri moja wakulima hao walilipwa shilingi bilioni arobaini na mbili ambazo zilitoka european union kati ya hizo fedha shilingi bilioni kumi na mbili zilipelekwa lyamungo kwa ajili ya kufanyia utafiti wa kahawa kwa kutengeneza miche UNK na wadudu waka shilingi bilioni thebathini zilisaidia kutengeneza barabara za maeneo UNK kahawa vijijini mambo niliyofanya kwa kipindi hicho ni makubwa nina imani nikipewa nafasi kwa upande wa moshi mjini nitafanya mambo makubwa zaidi hususan ya kuhakikisha kwamba vijana wanapata ajira na viwanda kumi na sita UNK UNK ubunge kwa bwana ndesamburo kwake mwisho ni mwaka kesho wananchi UNK kwani nimepata mitaa thebathini na tisa katika jimbo hili na yeye amebaki na mitaa ishirini na moja hivyo ninaamini nitashinda alisema bwana ngawaiya alisema kuwa anaamini kuwa wananchi wa moshi watamchagua kutokana na kujenga hoja wakati alipokuwa mbunge hadi kodi ya kichwa ya shilingi mbili sifuri sifuri sifuri hadi shilingi tatu sifuri sifuri sifuri waliyokuwa wanatozwa wananchi na kusababisha kukimbilia mashambani kufutwa upelelezi wa kesi ya mauaji inayomkabili mwanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam masama msiba UNK kumuua mpenzi wake bado haujakamilika na mshtakiwa huyo ataendelea kusota rumande kesi hiyo ilitajwa jana katika mahakama ya wilaya ya kinondoni jijini dar es salaam mbele ya hakimu mkazi bibi hilda lyatuu na UNK kwa mara nyingine hakutakiwa kujibu lolote kwa kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza kesi za mauaji mshtakiwa masama ambaye ni mwanafunzi UNK wa elimu katika chuo hicho anadaiwa kumuua kwa kitu chenye ncha kali mwanafunzi mwenzake bibi bertha mwarabu anayedaiwa alikuwa mpenzi wake mwendesha mashtaka mkaguzi wa polisi benedict nyagabona alidai mahakamani hapo kuwa tukio hilo lilitokea juni sita mwaka huu majira ya saa ishirini na moja arobaini na tano katika hosteli za mabibo zilizopo ubungu jijini dar es salaam kwenye chumba mia mbili na hamsini block c upelelezi wa kesi hiyo bado unaendelea na mtuhumiwa yupo rumande wakati kesi hiyo imepangwa kutajwa desemba nane mwaka huu waandishi wa habari wametakiwa kuandika kwa kina habari za uchunguzi ili kuiwezesha jamii kupata taarifa zenye usahihi na za kweli na kuepusha uwezekano wa vyombo vya habari kushitakiwa mwito huo ulitolewa kwa waandishi wa habari dar es salaam juzi na mwandishi wa siku nyingi bwana fili karashani wakati akitoa mada katika semina ya siku mbili iliyoandaliwa na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa kwa ajili ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari za uchunguzi alisema ni lazima uandishi wa habari za uchunguzi UNK vyanzo mbalimbali ikiwa ni pamoja kuziona pande zote zinazotajwa ili kuwatendea haki wahusika ni lazima habari ya uchunguzi iwe na usahihi na ukweli na kuepuka uandishi usiozingatia matakwa ya uandishi wa habari alisema bwana karashani huku akionesha mifano mbambali ya uandishi usiozingatia taaluma bwana karashani alisema waandishi wa habari wanatakiwa kujiamini kuondokana na woga na wawe na uwezo wa kuzungumza na watu wa kada mbalimbali wakiwemo viongozi kama wewe ni mwandishi wa habari mwoga basi kazi hii UNK bora UNK nayo na kwenda kuuza matenga ya nyanya alisema bwana karashani aliongeza kuwa waandishi wa habari wanatakiwa kuifahamu kwa ufasaha lugha wanayoitumia ili kuepuka kutumia maneno yanayoweza kuleta mkanganyiko kwa jamii uzinduzi wa siku kumi na sita za kupinga ukatili wa kijinsia umeanza kwa simanzi miongoni mwa washiriki baada ya mwanamke mmoja kutoa shuhuda wa jinsi jinsi mtoto wake UNK akiwa na umri wa miezi miwili jijini dar es salaam akisimulia mkasa huo bibi rachel kasuke mkazi wa iringa alisema alianza mahusiano ya kimapenzi mwaka ishirini sifuri sita na bwana abdul seleman ambaye alikuwa dereva wa magari makubwa nilikuwa naishi iringa na bibi yangu nilipokutana na mwanaume huyo sikufahamu alipokuwa akiishi na tulikutana njiani alisema bibi kasuke katika ushuhuda wake UNK na waziri mkuu bwana mizengo pinda alisema baada ya mwaka mmoja alipata ujauzito na kujifungua mtoto wa kike ambaye kwa sasa ana umri wa miezi nne akiwa iringa alikokuwa akiishi na bibi yake ilipofika julai mwaka huu bwana seleman alimfuata kijijini kwao na kumleta jijini dar es salaam manzese midizini ili waweze kuishi pamoja kutokana na hali ya maisha na hakuwa na zaidi ya bibi yake ambaye alimruhusu kuja kumlea mtoto wake baada ya mtoto kutimiza miezi mbili mama mkwe wake alimtembelea na kumweleza kuwa mtoto huyo alitakiwa kufanyiwa mila bila UNK aina ya mila UNK kufanyiwa zilipita siku mbili UNK UNK kuwa ni mila gani hiyo lakini aliendelea UNK siku ya tatu nilipoingia ndani nilimkuta mume wangu akiwa UNK mtoto bila nguo mama mkwe alikuwa ameshika kiwembe na pamba alisema bibi kasuke aliongeza kuwa baada ya jitihada za kumwokoa mtoto huyo mikononi mwa mumewe kushindwa aliamua kukimbia nje na kumweleza baba mwenye nyumba kilichokuwa kinafanyika ndani lakini hakupata msaada wowote bali alishauriwa na majirani wengine kwenda kituo cha polisi baada ya kufika kituo cha polisi magomeni alipokelewa na askari ambaye alimwelekeza kwa mkuu wa kituo kutokana na ukubwa wa tukio mkuu wa kituo alimpatia askari sita na gari walipofika nyumbani walikuta mtoto pekee amefanyiwa UNK lakini mume na mama mkwe wake hawakuwepo ndani polisi waliamua kumchukua mwenye nyumba kwa ajili ya uchunguzi na kumhifadhi bibi kasuke na mwanaye katika kituo cha polisi baada ya kukosa sehemu ya kuishi hadi alipokuja kuchukuliwa na chama cha wanasheria wanawake tanzania hadi leo mfanyabiashara john UNK mkazi wa mbeya amekamatwa jijini dar es salaam kwenye kituo cha treni cha tazara akiwa na vipodozi UNK marufuku aina ya UNK vyenye thamani ya shilingi milioni mbili nane mwendesha mashtaka bwana basil pandisha alisema mbele ya hakimu UNK mzava wa mahakama ya wilaya ya temeke kuwa mshtakiwa alikamatwa novemba ishirini na tatu mwaka huu saba thebathini mchana akiwa na mzigo huo alisema mzigo huo ulijaa losheni zenye sumu ambayo inaleta madhara ya ngozi kwa binadamu mshtakiwa amekana kosa hilo na dhamana yake iko wazi lakini amekosa wa wadhamini na kulazimika kwenda rumande mpaka UNK mdhamini huku kesi yake ikitarajiwa kutajwa desemba nane mwaka huu wakati huo huo bwana joseph UNK mkazi wa kigamboni mji mpya amekamatwa kwa makosa manne likiwemo la uvuvi haramu mwendesha mashtaka bwana isaya mwanga alidai mbele ya hakimu aziza UNK wa mahakama hiyo kuwa mkono wa sheria UNK mshtakiwa novemba kumi na tisa mwaka huu saa kumi na moja kumi na tano jioni katika maeneo ya buyuni temeke jijini dar es salam UNK makosa mbalimbali katika kosa la kwanza anadaiwa kufanya shughuli ya uvuvi bila leseni pili kuvua kwa chombo ambacho UNK na kosa la tatu kupatika na vifaa vya mlipuko vya kuvulia samaki mshtakiwa alikana makosa yote na licha ya dhamana yake kuwa wazi ikihitaji wadhamini wawili wenye mali isiyohamishika shilingi sh milioni moja kila mmoja alirudishwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti kesi hiyo itatajwa desemba tatu mwaka huu kampuni taasisi mbalimbali na watu binafsi wamejitokeza kwa wingi kushiriki katika tamasha la punguzo la bei na burudani linaloendelea katika viwanja vya mlimani city barabara ya sam UNK dar es salaam tamasha hilo UNK kilele kesho linahusisha wadau kutoka sehemu mbalimbali likiwa na lengo la kuhamasisha wananchi kujenga tabia ya kununua bidhaa zinazopatikana katika maduka ya mlimani city mratibu wa tamasha hilo bwana fred kimiti alisema kuwa hatua hiyo imefikiwa kutokana na watu wengi kujitokeza kununua bidhaa ambazo UNK bei kwa kiasi kikubwa kuna kampuni nyingi ambazo zimejitokeza kuomba nafasi za kuonesha bidhaa zao baada ya kuona mwamko wa watu kununua bidhaa katika tamasha hilo alisema alitaja baadhi ya kampuni na taasisi ambazo zimejitokeza kuleta bidhaa na huduma kuwa ni pamoja na dstv na hospitali inayotoa huduma ya macho kampuni ya business times limited inayochapisha na kusambaza magazeti ya business times majira spoti starehe na dar leo ndio mdhamini pekee wa tamasha hilo kwa upande wa vyombo vya habari kampuni hiyo imejitokeza kushiriki tamasha hilo ili kutoa nafasi kwa watanzania kujionea bidhaa na huduma mbalimbali zinazotolewa na kampuni hiyo taarifa iliyotolewa na kampuni hiyo kwa vyombo vya habari jana ilieleza kuwa wananchi watakaotembelea banda la business times ltd watapata nafasi ya kujionea nakala za mwanzo za magazeti hayo likiwamo la business times ambalo ni kwanza binafsi kuchapishwa nchini mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nane aidha nakala za bei za matangazo na huduma ya kujaza fomu za UNK kwa wale wanaohitaji huduma ya kupelekewa nakala za magazeti yanayosambazwa na kampuni hiyo mahali walipo zitatolewa msuguano wa uongozi ndani ya jumuiya ya wanawake tanzania umeelezwa kuchochewa na mgawanyiko uliopo baina ya wabunge ambao kwa siku za karibuni umesababisha uhasama mkubwa baina yao majira limeelezwa habari zilizopatikana kutoka katika vyanzo mbalimbali zimeeleza kuwa harakati za mwenyekiti wa uwt bibi sophia simba kutaka kumg oa katibu mkuu wa umoja huo bibi hasna mwilima una mkono wa siasa za kuviziana ambazo sasa imekuwa za kawaida miongoni mwa wabunge katika siku za karibuni bunge la tanzania UNK katika makundi mawili moja UNK kupamba na ufisadi na jingine UNK watuhumiwa wa ufisadi UNK bibi simba ambaye hivi karibuni alieleza msimamo wake kwenye kamati ya maridhiano iliyoongozwa na mzee ali hassan mwinyi kuchunguza chanzo cha mpasuko vyanzo vyetu ndani na nje ya uwt vimeeleza kuwa siasa hizo zimeingia ndani ya jumuiya hiyo na kwa kuwa bibi husna anahusishwa na upande mwingine unaopambana dhidi ya ufisadi lakini umoja huo unadaiwa UNK mgogoro huo wa wabunge kutaka kuigawa jumuiya yao na jana makamu mwenyekiti wa uwt bibi asha bakari makame aliweka wazi msimamo kuwa uwt haitakubali kuona mgawanyiko wa wabunge unaingizwa katika jumuiya hiyo kwa vile kila chombo kina majukumu yake na badala yake wawaache viongozi wa jumuiya watekeleze majukumu yake tunalotaka mambo ya bungeni UNK katika jumuiya watuache tufanye kazi kwa kuleta maendeleo kwani uwt ndio muhimili mkuu katika ccm alisema makamo huyo kauli hiyo ya bibi makame imekuja siku chache baada ya mbunge wa same mashariki bibi anne kilango ambaye ni miongoni mwa wabunge wanaopambana na ufisadi kuwataka wanachama wa uwt mkoani kilimanjaro kuwapuuza bibi simba na bibi mwilima kwa kuwa UNK baina yao ni suala la binafsi na si la jumuiya hivi karibuni katika kikao cha baraza kuu la uwt ilidaiwa kuwa uliandaliwa mkakati wa kumnggoa bibi mwilima hatua ambayo uwt imekanusha lakini UNK kiongozi huo alihojiwa na kujadiliwa kutokana na kutotekeleza baadhi ya mambo yaliyopitishwa na vikao vya jumuiya katika kikao hicho ilidaiwa pia kuwa bibi simba UNK wajumbe kuwa bibi kilango ameandaa mawakili kumi kwa nia ya kumshtaki kwa tuhuma dhidi yake kuwa anauza dawa za kulevya UNK kutoa katika kamati ya mzee mwinyi jambo ambalo linaashiria kuwa mgogoro baina ya wabunge unazidi kujichimbia ndani ya uwt pamoja na maelezo ya bibi makame jana UNK na taarifa ya uwt juzi kuwa wajumbe UNK bibi mwilima kwa jazba alisema hakuna mgogoro wowote wa uongozi ndani ya jumuiya isipokuwa kuna watu wanamuona mwenyekiti wa jumuiya hiyo tishio kutokana na uwezo wake mkubwa kiutendaji na kumpiga vita vya kisiasa katibu mkuu wa uwt bado ni katibu na anaendelea na majukumu yake kama kawaida na hawezi kufukuzwa bila ya kupitia taratibu za vikao alisema bibi makame hata hivyo alisema yeye na mwenyekiti wake walionesha busara kubwa katika kikao hicho licha ya baadhi ya wajumbe kuwa na jazba kwa vile mambo yote UNK kwa uwazi askari wa jeshi la ulinzi la wananchi wa tanzania private yusuph haji hussein amewaua askari wenzake wawili praveti UNK masanja na praveti rashid hassan nawawi toka zanzibar kwa kuwapiga risasi kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na kurugenzi ya habari na uhusiano ya makao makuu ya jwtz dar es salaam tukio hilo lilitokea novemba ishirini na tatu mwaka huu saa moja jioni katika kijiji cha manyovu kasulu mkoani kigoma ambako wanalinda mpaka wa tanzania na burundi siku ya tukio askari huyo alikuwa amepewa ruhusa ya kwenda benki mjini kasulu kuchukua mshahara wake na aliporejea aliwakuta wenzake wanne wakiwa wanakula chakula cha jioni na kuwaambia kuwa maskini anaishi muda mrefu kwa tabu nyingi na tajiri anaishi muda mfupi kwa raha nyingi baada ya kutoa kauli hiyo aliingia katika chumba cha silaha na kuchukua bunduki aina ya smg moja yenye nambari elfu sita na mia saba na sitini na risasi thebathini kisha kumpiga private masanja risasi mbili kichwani na moja mkono wa kushoto na kufa papo hapo kutokana na mauaji hayo askari wenzake walikimbilia porini na kumuacha UNK huyo ambaye aliingia tena katika chumba cha silaha na kuchukua risasi mia moja na ishirini na kisha kuchoma moto chumba chake na vyumba vya wenzake na kuelekea makao makao makuu ya kiteule hicho UNK ulinzi akiwa njiani kiasi cha kilometa mbili askari huyo aliyeajiriwa mwaka ishirini sifuri mbili akitokea zanzibar alikutana na askari mwingine private nawawi na kumpiga risasi UNK kifo private nawawi alikuwa akitokea mjini kigoma ambako naye aliruhusiwa kwenda kuchukua mshahara wake baada ya tukio hilo mtuhumiwa UNK silaha hiyo na risasi tisini na mbili na kutokomea kusikojulikana risasi nyingine hamsini na moja hazijulikani zilipo hata hivyo taarifa hiyo haikueleza chanzo cha mauaji hayo na sasa jeshi la polisi nchini kwa kushirikiana na askari wa jwtz wanaendelea kumtafuta askari huyo na makumba mwemezi mahakama ya rufani tanzania jana imelitupa shauri la mapitio ya uamuzi wake ilioutoa katika kesi ya madai namba kumi na nane ya mwaka ishirini sifuri tano lililowasilishwa kwake na walalamikaji ambao walikuwa askari wa kikosi maalum cha kuzuia magendo cha zanzibar wakidai kulipwa shilingi mia moja na arobaini na moja mia saba na arobaini na nane sifuri sifuri sifuri walalamikaji waliokuwa wakiilalamikia katibu mkuu wizara ya nchi tawala za mikoa na vikosi vya serikali ya mapinduzi zanzibar ni abdallah ali mohamed said salum hamisi omar ali omar na saleh khamis saleh akisoma uamuzi huo msajili wa mahakama ya rufani tanzania daktari ferdinand wambali alisema baada ya kupitia hoja za walalamikaji na kubaini hazina msingi kwani hazikuonesha kuwepo udanganyifu kutosikilizwa wala mahakama kukosa mamlaka ya kusikiliza walalamikaji walifungua kesi kwa kutoridhishwa na uamuzi wa kmkm kuwaachisha kazi pamoja na kutowapa barua rasmi zinazoonesha kuachishwa huko akizungumza nje ya mahakama ya rufani mara baada ya uamuzi huo mwakilishi wa walalamikaji ambaye ni mlalamikaji wa kwanza abdallah ali mohamed alidai korti haikuwatendea haki pia aliomba bunge la tanzania pamoja na baraza la wawakilishi zanzibar kuwapa nafasi ya kuwasilisha vielelezo walivyonavyo kwani vyombo hivyo ndivyo wawakilishi wa wananchi vigogo wa chama cha wananchi UNK naibu waziri kiongozi wa zanzibar bwana ali juma shamhuna na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bwana mohamed seif khatib kwa kauli zao kuwa zanzibar hahitaji serikali ya mseto wala ya umoja wa kitaifa kuwa wameonesha jinsi UNK mema nchi hiyo wakati hayo yakijiri makamu mwenyekiti wa jumuiya ya wanawake tanzania bibi asha bakari makame ameongeza utambi kwenye kauli za mawaziri hao akisema suala la serikali ya mseto UNK hatuwezi tukasema UNK serikali ya mseto UNK kwa vile hii nchi imepatikana kwa mapinduzi na wenyewe bado wapo UNK wa chama hicho aliyezungumza na gazeti hili jana waliwataka wananchi kuwapuuza viongozi hao kwa vile hawawezi kumsaidia rais amani abeid karume mjadala huo baina ya viongozi wa cuf na ccm umekuja baada ya bwana shamhuna kukaririwa akisema kuwa zanzibar hahitaji UNK ya mseto bali kinachotakiwa ni kujenga utamaduni wa kukubali matokeo ya uchaguzi ya kushinda au kushindwa naye bwana khatib alisema katika suala la umoja hakuna haja ya ushirikiano na chama kingine kwa kuwa ccm yenyewe inaweza kuwaunganisha UNK wote kauli za viongozi hao ambazo zimetolewa katika kipindi ambacho wazanzibari wanashangilia mafanikio ya kihistoria yaliyofikiwa baina ya rais karume na maalim seif juu ya uwezekano wa kuwepo kwa serikali ya mseto UNK wana cuf na UNK huku wakiwa makini kukwepa kuingilia mazungumzoa yaliyopo kiongozi mmoja wa juu wa cuf na mwenye ushawishi mkubwa ndani ya chama hicho UNK majira kuwa rais karume ameonesha nia nzuri ya kujenga nchi pasipo uhasama lakini watu kama hao ni wa kupuuza kwani wamechoka na hawawezi kumsaidia rais kiongozi huyo ambaye alikataa jina lake kutajwa kwa sababu jukumu ya kuzungumzia makubaliano ya rais karume na cuf ni katibu mkuu wa chama hicho maalim seif sharif hamad alisema wao wanafuata maelekezo ya rais karume na siyo ya mtu mwingine kama bwana shamhuna kauli hiyo kiongozi huyo inaungwa mkono na mwenyekiti wa cuf profesa ibrahim lipumba UNK majira kuwa yeye anaongozwa na kauli ya rais karume kwa kuwa hotuba yake ilikuwa ni nzuri yenye madhumuni ya kuwaunganisha wazanzibari kiongozi mwingine ambaye pia alikataa jina lake lisichapishwe gazetini alisema kauli iliyotolewa na viongozi hao wawili bwana shamhuna na bwana khatib haiwezi kuwakatisha tamaa wana cuf kauli hizo UNK tamaa wana cuf wanachama wetu wameridhika wanasikiliza UNK na katibu mkuu wetu na hawawezi kumsikiliza mtu mwingine alisema kiongozi huyo alimshangaa bwana shamhuna kwa kutoa kauli hiyo kwenye vyombo vya habari wakati ana fursa ya kutoa ushauri wake katika baraza la mawaziri la serikali ya mapinduzi ya zanzibar au moja kwa moja kwa rais karume kwanza tunamshangaa ni wapi kwenye makubaliano kati ya rais karume na maalim seif walisema wamekubaliana kuunda serikali ya umoja wa kitaifa alihoji kiongozi huyo alibainisha kuwa nia ya kukubali kuitambua serikali ya rais karume siyo kutaka kuunda serikali ya mseto bali kuwaunganisha wazanzibari mbona UNK ana wasiwasi UNK vya kutosha lengo letu siyo tupewe vyeo nia yetu ni kuwahudumia wananchi siasa siyo ukubwa alisema alisisitiza kuwa watu wanahitaji kushirikiana kujenga nchi hakuna sehemu rais karume na maalim seif walisema wamekubaliana serikali ya mseto kiongozi huyo alibeza kitendo cha bwana shamhuna kutoa kauli hiyo kwenye vyombo vya habari wakati rais ameonesha nia ya kujenga umoja akizungumzia kauli hiyo mwenyekiti wa tanzania labour party bwana augustino mrema alisema maalim seif alikubali kuitambua serikali ya rais karume kiungwana lakini waliyokubaliana UNK alisema kuwa rais karume aliwahi kutamka kuwa silaha za mapinduzi bado zipo na hadi sasa hajawahi kukanusha kauli hiyo aliwahi kusema kuwa uhuru haupatikani kwa karatasi hatujasikia akikanusha sasa hapa kuna mwafaka wa aina gani alisema bwana mrema alihoji kama muafaka wa maadishi UNK itawezekana vipi kwa makubaliano ya mdomo urafiki wao ni sawa na wa sungura na mbwa kamwe wanyama hawa hawawezi kujenga urafiki wa kudumu alisema kwa upande wake bibi makame aliwaeleza waandishi wa habari zanzibar kuwa suala hilo linahitaji kuzingatia taratibu za nchi UNK viongozi wanaweza kupigwa mawe iwapo wataamua bila ya kuzingatia matakwa ya katiba na pia ni vigumu UNK kwa njia ya mkato na kulwa mzee shahidi wa nane upande wa mashitaka katika kesi ya mauaji ya ubungo mrakibu wa polisi abdallah dunia amedai vocha iliyotumika aliyoikuta ndani ya gari la majambazi UNK kuwajua baadhi ya washitakiwa waliohusika katika tukio hilo bwana dunia alidai hayo jana mahakama kuu ya tanzania mbele ya jaji projest rugazia wakati akitoa ushahidi kwa kuongozwa na wakili wa serikali bibi evetha mushi shahidi alidai namba hiyo ya simu UNK na simu za baadhi ya washitakiwa aliomba kielelezo hicho cha vocha UNK na mahakama ilikubali pia alidai aprili ishirini na tatu ishirini sifuri sita siku tatu baada ya tukio la ubungo kutokea alipata taarifa kuwa mwanajeshi alihusika alimtaja mwanajeshi anayedaiwa kuhusika kuwa ni mt elfu saba na mia saba na hamsini na nne pte nazareth amulike alikwenda nyumbani kwake kurasini shimo la UNK saa kumi alfajiri kumkamata lakini hawakukuta chochote kumuhusisha na tukio hilo alidai kambini kwa mshitakiwa walikuwa wakijua yuko shinyanga katika michezo lakini hakwenda kwa sababu zilizoonekana kutokuwa si za msingi akihojiwa na upande wa utetezi shahidi alikiri kwamba katika maelezo aliyoandika baada ya tukio kuna baadhi ya vitu UNK lakini katika ushahidi wake kortini alivieleza na vingine UNK katika kuandika washitakiwa katika kesi hiyo ni mashaka mahenge rashid lembresi john mndasha martine mndasha philipo mushi jackson issa haji kiweru yassin juma hamisi mjata musa mustafa mt elfu saba na mia saba na hamsini na nne pte nazareth amulike mt laki saba na elfu sitini na moja na mia sita na ishirini na moja emmanuel lameck UNK angaruki rashid abdikadiri james chamangwana na hussein iddi wanadaiwa aprili ishirini ishirini sifuri sita kwa makusudi walimuua evarist manyoni aliyekuwa mfanyakazi wa nmb tawi la wami na katika mashitaka ya pili walimuua askari d elfu sita na mia tatu na sitini na moja pc abdallah maro kesi inaendelea leo waziri mkuu bwana mizengo pinda amezitaka mamlaka zinazosimamia ubora wa bidhaa nchini kutokuwa kikwazo cha wajasiriamali kuthibitisha ubora wa bidhaa zao mamlaka hizo ni pamoja na shirika la viwango tanzania na mamlaka ya chakula dawa tanzania bwana pinda aliyasema hayo dar es salaam juzi jioni wakati akizindua maonesho ya nguvukazi juakali yanayoshirikisha nchi zote za afrika mshariki isipokuwa burundi bwana pinda alisema kuwa bidhaa nyingi alizoziona katika mabanda UNK hazina nembo ya mashirika ya viwango huku baadhi ya wajasiliamali wakionesha kukata tamaa katika uthibitishaji wa bidhaa zao kutokana na maelezo UNK kutoka kwa baadhi ya wajasiliamali hasa wazawa wameonesha kukata tamaa katika uthibitishaji wa bidhaa zao ninawaomba tfda tbs na wengine kuwasaidia wajasiliamali hawa badala ya kuwa kikwazo kwao alisema bwana pinda katika hatua nyingine amewataka waandaaji wa maonesho hayo kuwa na mfumo wa kutoa mafunzo kwa wajasiriamali wakiwamo wale wadogo kama sido kabla ya maonesho ili kubaini mapungufu yao na kuwasaidia pia alizitaka nchi washiriki kutenga sehemu maalumu ya wajasiriamali hao kuonesha bidhaa zao hasa katika msimu wa maonesho makubwa kama sabasaba akizungumza katika uzinduzi huo waziri wa kazi ajira na mendeleo ya vinaja profesa juma kapuya UNK nchi za jumuiya hizo kutoweka ukiritimba mipakani kwa wajasiriamali wanaotaka kuvuka kwenda nchi jirani kufanya biashara katika nchi hizo profesa kapuya alisema ukiritimba huo utarudisha nyumba UNK ya kuwekwa kwa soko la pamoja katika jumuhiya hiyo na kurudisha nyuma juhudi za kujiletea maendeleo UNK pale mtu anapofika mipakani watu UNK muda usiozidi nusu saa lakini utakuta wakati mwingine mtu UNK muda pasipo sababu za msingi na hii UNK kama changamoto kwetu alisema profesa kapuya wakazi wa jiji la dar es salaam wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari katika suala la usafi ili kusaidia kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa kipindupindu hatua hiyo imekuja baada ya idadi ya wagonjwa wa kipindupindu kuongezeka kutoka tisa hadi thebathini na nane ambao wamelazwa katika hospitali za manispaa za wilaya ya temeke ilala na kinondoni akitoa taarifa za ugonjwa huo dar es salaam jana kaimu mganga mkuu wa jiji daktari hawa kawawa alisema wagonjwa kumi na tisa wametoka wilaya ya ilala na kumi na moja temeke mpaka sasa tuna wagonjwa thebathini na nane tumewapokea juzi asubuhi na wa zamani wanane wengi wao wametoka maeneo ya pugu vingunguti kiwalani segerea kiwalani kipawa ukonga ilala tabata UNK yombo vituka na kinyerezi ambao wanaendelea kupata matibabu alisema daktari kawawa daktari kawawa alisema ukaguzi wa maeneo ya biashara unaendelea kufanywa katika manispaa zote ili kudhibiti maambukizi zaidi ya ugonjwa huo na dawa za kukabiliana na ugonjwa huo zimesambazwa katika zahanati na hospitali tatu za wilaya tunaishukuru serikali kwa kutoa dawa hasa dripu kwani tumejitahidi kuwatibu wagonjwa kadri inavyowezekana ndio maana hakuna kifo hata kimoja lakini wananchi UNK kuchukua tahadhari zaidi ili kumaliza tatizo hilo aliongeza aidha amewataka wananchi kuzingatia usafi UNK vyakula pindi wanapomaliza kupika kunawa mikono kabla ya kula na wanapotoka chooni UNK maji ya kunywa na kila wanapopata dalili za kipindupindu ambazo ni kuharisha maji yenye rangi ya mchele na kutapika wawahi hospitali ili kupatiwa matibabu mwenyekiti wa chama cha tanzania labour bwana augustino mrema amesema kwa gharama yoyote ile atahakikisha jimbo la vunjo linakuwa mikononi mwake mwaka ishirini moja sifuri licha ya mbunge wa sasa bwana aloyce kimaro UNK bwana mrema alitoa kauli hiyo jana dar es salaam wakati akikanusha kuhusika na kuzomewa kwa mbunge bwana kimaro kama alivyonukuliwa na vyombo vya habari akilalamika jana badala yake akasema sababu kutoeleza mikakati ya kupeleka maji katika jimbo hilo alisema kuwa wananchi walikuwa wakisubiri kwa hamu kupata taarifa za maji badala yake mbunge wao alitaka kuwasimamisha viongozi wa tlp UNK ili UNK kitu ambacho UNK hasira za wananchi na kuanza kumzomea bwana mrema alisema kuwa kama bwana kimaro angekuwa ametekeleza yale yote aliyokuwa UNK wananchi wakati wa kampeni mwaka ishirini sifuri tano UNK na hivyo akamtaka UNK yeye kwamba ndiye aliyetuma watu UNK himo kuna tatizo kubwa sana la maji na wananchi walitegemea katika mkutano huo ambao bwana kimaro alikuwa ameambatana na bibi anna kilango angezungumzia mikakati aliyofikia kuhusu suala la maji badala yake UNK mada nyingine alisema bwana mrema alisema kuwa operesheni safisha anayodai kuifanya bwana kimaro vunjo ni kurubuni viongozi wa tlp ambapo juzi katika mkutano UNK viongozi hao wa mitaa na vitongoji bwana abel shirima wa kilema chini na bwana steven tumbo wa UNK cha makame chini wasimame na kutangaza kujihudhuru lakini waligoma na ndipo alipoanza kuzomewa kwa taarifa yake mimi ndiye mgombea wa jimbo hilo mwakani piga UNK nitagombea na kuhakikisha kwamba UNK kwa gharama yoyote hata kama anasema kuwa UNK kwa miaka ishirini bila ya mafanikio lakini sijawahi kuzomewa kama yeye UNK kila mara anapokuwa akifanya mkutano alisema alisema kuwa wananchi ndio wanaojua alichokifanya kwa kipindi cha miaka ishirini na siyo bwana kimaro hivyo akamtaka aeleze alichokifanya kwa kipindi chote cha uongozi wake na siyo kumnadi mrema mimi sina wasiwasi yeye apige kelele na kumwaga manyanga lakini ninachotaka akae akitambua ni kwamba mimi ndiye mbunge wa vunjo mwakani na nimejipanga ipasavyo na ninaamini ninakubalika kwa vijana wanawake na wazee alisisitiza bodi ya usajili wa wahandisi imepokea majina mawili wahandisi ambao wanatakiwa kufutwa kutokana na kushindwa kufanya kazi zao kwa mujibu wa taaluma kwenye halmashauri mbalimbali nchini msajili wa bodi hiyo bwana steven mlote ameyasema hayo alipozungumza na majira kuhusu kauli ya waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu bibi celina kombani aliyoitoa kwenye maadhimisho ya siku ya wahandisi nchini kuwa bodi iwafute usajili wahandisi wanaofanya kazi chini ya viwango katika halmashauri tumepokea majina mawili japo alisema ana majina mengi ya wahandisi wanaoshindwa kufanya kazi kitaaluma katika halmashauri mbalimbali na kusabisha serikali kupoteza fedha kwa miundombinu inayojengwa bila viwango na kuharibika baada ya muda mfupi na sisi hatuwezi kuwafukuza mara moja lazima kwanza tujiridhishe kama ni kweli alisema bwana UNK alisema kwa sasa bodi UNK watu kuwachunguza wahandisi hao kuangalia taaluma zao shule na vyuo UNK na mazingira ya kazi kama walikuwa na vitendea kazi vya kutosha vya kufanyia kazi ili kubaini uzembe uliopo bwana mlote alisema wanafanya hivyo kabla ya kuchukua uamuzi wa kuwafuta katika usajili kwa lengo la kuwatendea haki huenda walishindwa kutimiza majukumu yao kutokana na kukosa vitendea kazi aidha alimtaka waziri kuhakikisha UNK katika halmashauri kuwa makini katika kuwatambua watu wenye taaluma hiyo ili kujiepusha na kuajili watu ambao ni wavamizi katika taaluma alisema kazi ya uhandisi imevamiwa na makanjanja wengi hiyo kama hawatakuwa makini wanaweza UNK watu UNK taaluma kazi ikaharibika na taifa likapata hasara na grace michael hatimaye kesi ya wizi wa zaidi ya shilingi bilioni tatu nane katika akaunti ya madeni ya nje inayomkabili kada wa ccm rajab maranda na wafanyakazi wa benki kuu ya tanzania itaanza kunguruma juni kumi na sita hadi thebathini mwaka huu baada ya kupangiwa jopo la mahakimu watatu flora mutungi samwel karua na UNK mgeta hatua hiyo ilijulikana jana mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam wakati kesi hiyo ilipotajwa na kujua endapo imepangiwa jopo la mahakimu wa kuisikiliza kesi hii itasikilizwa kuanzia juni kumi na sita hadi thebathini mwaka huu na itakuja kwa ajili ya kutajwa mei kumi na nane mwaka huu hivyo upande wa mashitaka hakikisheni mashahidi wanakuwepo alisema mgeta washitakiwa katika kesi hiyo ni maranda farijala hussen ajay somani ambao wote ni wafanyabiashara ambapo wafanyakazi wa bot ni ester komu sophia UNK na iman mwakosya awali washitakiwa hao walifikishwa kortini hapo wakidaiwa kati ya januari kumi na nane na novemba tatu mwaka ishirini sifuri tano walikula njama ya kuiba mabilioni ya fedha kutoka bot washitakiwa hao wanadaiwa kuiba shilingi bilioni tatu nane baada ya kughushi nyaraka za usajili wa kampuni na kudai wamehamishiwa deni katika kampuni yao ya mibare farm na kampuni ya lakshimi textile mills ltd ya japan wakati huo huo kesi nyingine inayomkabili kada huyo ya wizi wa shilingi milioni ishirini saba mbili ambayo ilitakiwa isikilizwe jana ilikwama kutokana na upande wa mashitaka kushindwa kupata mashahidi upande wa mashitaka ulikwama kupata mashahidi hao kama mahakama ilivyokuwa imeagiza juzi kutokana na ufinyu wa muda uliokuwa UNK akiomba kuahirishwa kwa kesi hiyo wakili mkuu wa serikali boniface stanslaus alisema wamefanya jitihada za kuwapata mashahidi ambao ni askari lakini kwa ufinyu wa muda wote wamekutwa kwenye majukumu mengine kutokana na hali hii tunaomba kesi hii ije kesho tutakuwa na uhakika wa kuwa na mashahidi aliomba bwana stanslaus hoja hiyo UNK na upande wa utetezi hivyo kuamriwa kusikilizwa kwa kesi hiyo leo washitakiwa ni maranda farijala komu mwakosya na bosco UNK upande wa mashitaka unatarajia kuita mashahidi kumi na mbili washitakiwa wanashitakiwa kwa wizi wa mamilioni hayo ambayo wanadaiwa kuyaiba kupitia kampuni ya rashhas ltd mkuu wa majeshi mstaafu jenerali george waitara anatarajia kupanda mlima kilimanjaro kuanzia UNK sita mwaka huu akisindikizwa na jopo la viongozi kumi kutoka nje na ndani ya nchi akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam jana katika uzinduzi rasmi wa upandaji wa mlima UNK kwa mwaka huu mwenyekiti wa kampuni ya kj traders bwana joseph UNK alisema kuwa bwana waitara ataambatana na mkewe na waziri wa viwanda na biashara daktari marry nagu wengine watakaoshiriki ni makamu wa rais wa chama cha kupanda milima china bwana li UNK shamrashamra za UNK wapandaji zitafanyika siku moja kabla ya kuanza kupanda desemba sita katika wilaya ya UNK mkoani kilimanjaro na watatumia siku sita kupanda na kushuka kaulimbiu ya mwaka huu ni kuwasaidia watoto yatima ambayo ina malengo makuu manne ambayo ni pamoja na kuadhimisha siku ya uhuru kuwasaidia watoto yatima hasa wanaoishi karibu na mlima kutangaza utalii wa ndani na UNK watanzania juu ya mlima kilimanjaro mwaka jana watu ishirini na nne walishiriki kupanda mlima kilimanjaro akiwemo bwana waitara ambaye alipanda kwa saa tatu na kushindwa kuendelea kutokana na hali ya hewa na umri wake ikiwa washiriki kumi na moja ndio waliofika kileleni bwana waitara ameahidi kwa mwaka huu lazima afike kileleni ili kulinda heshima ya nchi na chama cha wapandaji milima cha china wakati huo huo kampuni ya bia ya serengeti kama mdhamini wa wapandaji wa mlima kilimanjaro kwa mwaka huu imetoa shilingi milioni kumi na mbili ikiwa kama kianzio cha maandalizi na mipango UNK UNK majengo mapacha ya benki kuu ya tanzania bwana harold webb amedai fedha zote zilizoongezeka kinyume na mkataba wa awali zilitumika kwa ujenzi wa majengo hayo na hakuna aliyesababisha hasara hayo yalidaiwa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu linaloongozwa na hakimu bwana edson mkasimwongwa wakati shahidi huyo wa saba upande wa mashitaka akitoa ushahidi dhidi aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi wa benki hiyo bwana amatus liyumba bwana webb ambaye ni raia wa uingereza kitaaluma ni mkadiriaji majengo alidai mkataba wa awali wa ujenzi wa majengo hayo ulikuwa wa dola za marekani sabini na tatu sitini sifuri na baada ya mabadiliko na kazi kuongezeka gharama UNK na kuwa dola mia tatu na hamsini na saba mia sita na sabini na tano mia tano na sitini na nane shahidi alidai mabadiliko ya mkataba ni kawaida katika ujenzi si jambo la ajabu kutokea kwa bot na kwamba fedha zilizoongezeka zilitumika zote na hakuna mtu anayeweza kuambiwa alisababisha hasara alidai mabadiliko yote yalikuwa yakitoka kwa mteja wao ambaye ni bot na haikuwa kazi yake kujua kwa nini yalikuwa yakitokea mkadiriaji huyo alidai hajawahi kupata maelekezo kutoka katika menejimenti ya bot kuhusiana na mabadiliko ya kazi alikuwa akipata maelekezo kutoka kampuni ya d s shahidi alipotakiwa kueleza kama alikuwa na mawasiliano binafsi ya mshitakiwa kuhusu mradi huo alidai hakuwa na mawasiliano yoyote na bwana liyumba mshitakiwa katika kesi hiyo anakabiliwa na mashitaka ya kutumia vibaya ofisi yake na kusababisha hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kutokana na kuidhinisha malipo ya mradi huo bila idhini ya bodi ya wakurugenzi kesi iliahirishwa inatarajiwa kuendelea kusikilizwa januari ishirini na sita mwakani na kabla ya hapo itakuwa inatajwa mamlaka ya mapato nchini imetakiwa kuweka mikakati madhubuti UNK wigo wa ukusanyaji wa kodi ili kuhakikisha mapato stahili UNK kuiwezesha nchi kufikia lengo la kupata asilimia kumi na nane ya pato la taifa na kupunguza utegemezi kwa wahisani katika kupanua wigo huo tra wanapaswa kuwa na mfumo mzuri utakaowawezesha kuorodhesha shughuli na biashara ikiwemo kuzitilia maanani zile zinazofanywa na sekta isiyo rasmi ili ziweze kuchangia pato la taifa tofauti na ilivyo sasa hayo yalisemwa jana dar es salaam na waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo wakati wa maadhimisho ya nne ya siku ya mlipa kodi tanzania bwana mkulo alisema ili kuhakikisha sekta isiyo rasmi yenye watu takribani milioni kumi na sita inalipa kodi kunahitajika kuwepo kwa mazingira bora ya kufanyia biashara ikiwemo ulipiaji wa kodi ni kweli kuwa mapato ya serikali yamekuwa yakiongezeka mwaka hadi mwaka tangu tuanzishe mamlaka hii kutoka shilingi bilioni mia moja na kumi na saba kwa mwezi mwaka ishirini sifuri tatu ishirini sifuri nne hadi shilingi bilioni mia nne na ishirini na moja septemba ishirini sifuri nane wakati tunatambua mafanikio hayo bado UNK mkazo kuhakikisha kuwa mapato yote stahiki ya serikali UNK kwa sababu bado hayakidhi haja ya mahitaji yetu ambayo nayo pia yanaongezeka mwaka hadi mwaka tunatakiwa kupiga hatua nyingine zaidi ili kuhakikisha kuwa mapato yanaongezeka na kutuwezesha kupunguza kiasi cha utegemezi wa misaada ya wahisani mbalimbali alisema bwana mkulo kamishna mkuu wa tra bwana harry kitilya alisema wakati wakiendelea kuboresha wigo wa kodi kwa wale walioko nje ya mfumo kwa sasa mamlaka hiyo imejipanga kupambana na tatizo la ukwepaji kodi linalosababishwa na walipa kodi wachache wasiokuwa waaminifu UNK faraja ni kuwa walipa kodi wengi wanatambua wajibu wa kulipa kodi stahiki ili serikali yao iwapatie maisha bora na huduma muhimu UNK lakini wako wachache ambao si waaminifu wasiotekeleza wajibu wao hatuna uvumulivu nao hata kidogo moja ya mikakati yetu katika mpango mkakati wa tatu ni kupambana na tatizo la ukwepaji kodi alisema bwana kitilya naye mwenyekiti wa bodi ya tra daktari UNK UNK alisema katika kutekeleza mikakati mbalimbali ya utendaji ndani ya tra wamekuwa UNK umuhimu suala la uadilifu kwa kuchukua hatua za kinidhamu kwa watumishi wasiokuwa waadilifu ambao wamekuwa wakifanya hivyo kwa kushirikiana na vyombo vya dola kama takukuru na wadau wengine spika wa bunge bwana samuel sitta anatarajia kuwa mgeni rasmi katika harambee ya kuchangia ujenzi wa shule maalumu ya vipaji kwa watoto yatima jijini dar es salaam taarifa iliyotolewa jana na kaimu mufti wa tanzania shekhe ismail makusanya ilisema shilingi milioni mia moja na ishirini zinatarajiwa UNK ili kumalizia majengo ya shule hiyo ya vipaji vya watoto hao iliyopo UNK kigamboni dar es salaam katika hafla hiyo itakayofanyika desemba tano mwaka huu bwana sitta atashirikiana na kamishna mstaafu wa polisi alfred tibaigana kufanikisha michango hiyo shekhe makusanya amewaomba wadau wa elimu na watanzania wote kwa ujumla kushiriki katika harambee hiyo ili watoto hao wapate sehemu ya kupata elimu mapema mwakani tunaomba watanzania kujitokeza kwa wingi kuchangia fedha za ujenzi huu ambao una manufaa makubwa kwa vijana wetu wanaoishi katika mazingira hatarishi kwani sisi ndio kama wazazi wao tuliopo hivyo tuliangalie suala hili na tuweze kushiriki kwa ukamilifu alisema mufti ismail kaimu mufti huyo ametoa shukrani kwa sitta kwa kukubali kushiriki katika harambee hiyo licha ya kuwa na shughuli nyingi jambo linaloonyesha kuwa anajali maslahi ya umma katika suala la elimu ya vipaji kwa watoto yatima kwa ajili ya manufaa yao ya baadaye ukaguzi na kamatakamata ya mabasi ambayo UNK mikanda katika viti vya abiria ilianza jana kwa mabasi yaendayo mikoani kamanda wa kikosi cha usalama barabarani bwana james kombe amesema shughuli hiyo imeanza baada ya kazi ya ufungaji mikanda kumalizika novemba ishirini na sita mwezi huu alisema serikali ilitoa agizo hilo kwa wamiliki wa mabasi yaendayo mikoani na daladala kufunga mikanda hiyo katika viti kwa hiari lakini kwa sasa wakati huo umeisha na jeshi la kikosi cha usalama barabarani UNK sambazwa UNK kwa sasa tumejipanga vizuri na UNK UNK mabasi yote ambayo UNK mikanda na kuyafikisha kwa mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa majini na nchi kavu ili yatozwe faini kwa kukaidi kufunga mikanda hiyo kwa hiari alisema bwana kombe alisema sumatra itakuwa inatoza faini kwa mabasi UNK mikanda kuanzia shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri sifuri na kuendelea ambapo shughuli hiyo inatarajiwa kuwa endelevu na baada ya kumaliza mabasi yaendayo mikoani watahamia kwa daladala mwalimu wa shule ya msingi UNK wilayani kiteto mkoani manyara bwana paulo charles amekufa papo hapo baada ya kupigwa risasi na mtu ambaye hakufahamika akiwa maeneo ya shule kamanda wa polisi mkoani manyara bwana parmena sumary alisema tukio hilo lilitokea jumanne saa tatu usiku wakati mwalimu paulo charles akiwa maeneo ya shule alipopigwa risasi tumboni na kufa chanzo cha kifo hicho hakijafahamika na jeshi la polisi wilayani kiteto linaendelea na uchunguzi na mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda marangu moshi kwa mazishi rafiki wa marehemu huyo bwana damson mhando alisema marehemu inadaiwa kupigwa risasi na UNK wake ambao waliishi vibaya naye kabla ya kifo chake mimi UNK kwa bwana paulo UNK na ndugu yake wa arusha UNK mzigo wake kutoka arusha nilipofika kiteto nikapata taarifa kuwa ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana alisema alisema baada ya kwenda kijijini hapo alizungumza na watu mbalimbali wakiwepo majirani ambao walisema marehemu kabla ya kifo chake aliishi kwa mashaka na watu na siku mbili kabala ya kifo chake nyumba yake ilipigwa mawe nyakati za usiku na watu wasiojulikana kwa upande wake afisa elimu wa wilaya ya kiteto bwana emmanuel mwagala alisema amesikitishwa na kifo cha mwalimu huyo na kumwelezea kuwa alikuwa UNK na mzoefu wa kazi timu ya taifa ya tanzania bara kilimanjaro stars jana ilianza vibaya michuano ya chalenji baada ya kufungwa bao mbili sifuri na timu ya taifa ya uganda the cranes katika mechi kali iliyopigwa saa kumi jioni kwenye uwanja wa mumias wakati kilimanjaro stars ikiangukia pua ndugu zao wa zanzibar zanzibar heroes walianza vyema michuano hiyo baada ya kubamiza uganda mabao nne sifuri katika mechi iliyochezwa saa nane mchana katika uwanja huo bao la kwanza la uganda lilipatikana katika dakika ya pili ambalo liliwekwa kimiani na owen UNK baada ya kuunganisha mpira wa adhabu uliopigwa na UNK god baada ya kilimanjaro stars kufungwa bao hilo ilikuja na kulishambulia goli la wapinzani wake dakika za kumi na moja ishirini na moja na thebathini na mbili lakini UNK wake john boko kigi makasy na danny mrwanda walishindwa kufunga baada mipira kuokolewa na mabeki wa uganda hata hivyo kilimanjaro stars ilipata pigo dakika thebathini na saba baada ya beki wake juma nyoso kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuunawa mpira makusudi wakati awali alikuwa na kadi ya njano uganda UNK tamaa kilimanjaro stars baada ya kufunga bao la pili katika dakika ya themanini na nane lililofungwa na mike UNK baada ya kuunganisha mpira wa adhabu kipindi cha pili ilifanya mabadiliko ambapo makassy shaban nditi na boko na wakaingia mrisho ngassa henry joseph na jerrison tegete ambao kwa kiasi kikubwa walibadilisha hali ya mchezo katika mechi iliyopigwa saa nane mchana zanzibar heroes ilianza UNK bao lake la kwanza katika dakika ya kumi na sita lililofungwa na thomas moris baada ya kuunganisha kona iliyochongwa na nadir haroub canavaro bao la pili la zanzibar lilipatika dakika ya kumi na nane baada ya mchezaji wa burundi UNK hassan kujifunga akiwa katika harakati za kuokoa shambulizi la wapinzani wao katika dakika ya ishirini na tano suleiman kassim aliipatia zanzibar bao la tatu baada ya kupokea pasi ya hassan seif na bila ajizi UNK mpira kimiani na kuifanya zanzibar heroes kwenda mapumziko ikiwa mbele kwa mabao tatu sifuri zanzibar heroes ilifunga karamu ya magoli katika dakika ya sitini na sita ambapo beki wa timu ya burundi UNK hussein UNK baada ya kutaka kuokoa krosi iliyochongwa langoni mwake na seleman kassim na timu hiyo kuipa zanzibar zawadi ya magoli mawili ya UNK na mwandishi wetu rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi daktari amani abeid karume ametuma ujumbe rasmi wa serikali ya mapinduzi zanzibar kwenda mombasa kenya kushughulikia mazishi ya watu waliokufa kwenye ajali ya jahazi la amana wakati wakisafiri kutoka tanga kwenda pemba hivi karibuni taarifa ya ikulu ya zanzibar iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na mwandishi wa habari wa rais karume bwana rajab UNK ilisema kiongozi huyo alipokea kwa mshtuko na huzuni kubwa taarifa ya vifo vya wananchi hao wananchi hao wanahofiwa kufa maji baada ya jahazi hilo kuwaka moto na kuzama katikati ya bahari ya hindi maiti wachache UNK na kuna taarifa miili zaidi inayosadikiwa ni ya abiria wa jahazi hilo imepatikana shimoni UNK ujumbe wa smz unaongozwa na mawaziri wawili akiwemo waziri wa afya na ustawi wa jamii bwana sultan mohamed UNK waziri wa nchi ofisi ya waziri kiongozi bwana hamza hassan na daktari mmoja kushughulikia masuala hayo pamoja na mazishi ya maiti UNK rais karume alisema tukio hilo ni msiba mkubwa kwa wananchi wote wa zanzibar ametoa rambirambi kwa wafiwa na kumuomba mwenyezi mungu UNK waliofariki na awape UNK wanafamilia ndugu jamaa na marafiki wa marehemu tayari smz ilishapeleka maofisa wake kushughulikia maafa hayo mjini tanga ambapo walitarajiwa kuonana na walionusurika na majeruhi na kuwapatia msaada UNK kampuni ya simu ya zain imezindua huduma mpya ya mtandao wenye vifungu vidogo vidogo vya mahitaji vinavyokidhi wateja mbalimbali wa malipo ya awali na UNK kuzinduliwa kwa huduma hiyo kunatokana na muunganisho wa zain kwenye mkonga wa seacom UNK ambao ulizinduliwa hivi karibuni na zain ilikuwa ya kwanza kuunganishwa akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam wakati wa uzinduzi huo meneja masoko bwana costantine magavilla alisema huduma hiyo itawasaidia wateja kupata taarifa mbalimbali kama mziki mpira na kuwasiliana na ndugu kwa njia intaneti kwa gharama nafuu tumeamua kuzindua huduma yenye vifungu vya maneno mbalimbali itakayowawezesha wateja kutumia mtandao mahali popote tanzania kwa bei rahisi zaidi na kutokana na wigo wa zain nchini asilimia kubwa ya watanzania watafaidika alisema bwana magavilla alifafanua kwamba ili kupata huduma hiyo unatakiwa kutuma ujumbe kati ya kifungu kimoja cha neno kwenda namba mia mbili na thebathini na tatu kwa wateja wa malipo ya kabla kutoka kwenye simu zao za huduma na wateja wa baada watawasiliana na idara ya mauzo na UNK na huduma hiyo ambayo kwa mwezi ni shilingi arobaini na tano sifuri sifuri sifuri alivitaja vifungu hivyo ni ishirini sifuri mb ishirini na tano mb kumi sifuri mb na hamsini sifuri mb ambapo alisema kuwa wateja wanaruhusiwa kununua zaidi ya kifungu kimoja ndani ya siku thebathini baada ya kumaliza vifungu vya awali pia watapokea ujumbe za maelekezo zaidi umoja wa wanawake wa wilaya ya ilala jijini dar es salaam umezindua chama cha kukopa na kuweka ya wilaya hiyo kwa ajili ya kuinua kipato cha wanawake ikiwa ni pamoja na kujiajiri wenyewe akizungumza katika uzinduzi huo hivi karibu mbunge wa viti maalum mkoa wa dar es salaam bibi janeth massaburi alisema wanawake wajasiriamali wa mkoa wa dar es salaam hawana budi kujiunga na kuanzisha saccos yao ili waweze kujulikana na kupatiwa mikopo yenye masharti nafuu alisema dar es salaam kuna wanawake wengi wajasiriamali hivyo wakitumia vyema nafasi walizonazo wanaweza kujitangaza kwa kupitia katika saccos au vikundi mbalimbali ili waweze kufahamika serikalini na kupatiwa mikopo yenye masharti nafuu naomba nitoe mwito kwa wanawake wote nchini pamoja na vijana wajasiriamali kujiunga na saccos au vikundi mbalimbali vya uzalishaji mali ili iwe rahisi kupatiwa mikopo yenye gharama nafuu na serikali alisema bibi UNK alisema serikali haina uwezo wa kupita kwa mtu mmojammoja na kumpatia mkopo hivyo suluhisho ni kuanzisha saccos ili wapate mkopo kwa urahisi alisema kuwa pia amekubali maombi ya UNK ya kuwapatia kompyuta yenye thamani ya shilingi milioni moja tatu pamoja na kuwatoa semina inayohusu kilimo cha uyoga kwa ajili ya kuwatengenezea mazingira ya kufanya biashara mbalimbali benki ya wananchi wa dar es salaam imesema itazidi kutoa huduma ya mkopo ya fedha kwa walengwa ambao ni wafanyabiashara wenye mitaji midogo ili kukidhi haja yao ya kuwa na miradi mikubwa akizungumza hivi karibuni katika mafunzo ya UNK kwa wananchi UNK masharti ya mikopo dar es salaam meneja wa dcb tawi la tabata wilaya ya ilala bwana badru ahmed alisema benki hiyo itaendelea kuwakopesha wateja wake kwa masharti nafuu bwana ahmed alisema kwa sababu ya kuwa na mitaji midogo baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakikimbia kulipa kodi ya mapato hivyo kupitia benki ya dcb UNK masharti ya kujiunga na urejeshaji kwa riba nafuu yenye ambayo ni asilimia mbili nne kwa mwezi huku mkopaji akibaki na akiba isiyopungua shilingi mia moja na hamsini sifuri kwa kila wiki wakopaji hao wanatakiwa kuwa wakazi wa dar es salaam ambao wanafahamiana kuaminiana kuheshimiana kuishi jirani na wawe wafanyabiashara ambao kwa hiari yao wenyewe wamekubaliana kuunda kikundi cha watu watano pia waunde ofisi yao nasi UNK shilingi laki tano alisema bwana ahmed bwana ahmed alisema benki ya dcb inafanya biashara kwa kuzungusha pesa ya wananchi ambapo UNK fedha wananchi baada ya wakopaji wa mwanzo UNK aliongeza kuwa kabla ya kukopeshwa fedha hizo lazima mkopaji awe UNK mafunzo ya mikopo yanayoendeshwa na benki hiyo mara moja kwa kila wiki kwa saa moja kwa saa moja bwana ahmed alisema benki yao ina matawi manne katika mkoa wa dar es salaam ambayo ni tawi la UNK eneo la mnazi mmmoja magomeni temeke na tabata lengo kuu ni kufanikisha biashara za wajasiriamali wadogo wanafanikisha kukua kwa biashara zao na edmund mihale kampuni ya upatu ya deci imeanza kuandikisha majina ya washiriki wanaopaswa kulipwa ambao waliwekeza kwa mara ya kwanza kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa juzi washiriki walioweka fedha mwezi huu walitakiwa kujiandikisha jana na kuchukua fedha zao aprili ishirini na tano walioweka mwezi uliopita walitakiwa kujiorodhesha leo hadi aprili ishirini na nne watachukua fedha zao aprili ishirini na saba hadi thebathini na waliopanda februari walitakiwa kujiorodhesha aprili ishirini na tano na ishirini na saba hadi thebathini na kufika katika ofisi hizo mei nne hadi sita kurejeshewa fedha zao ratiba hiyo inaonesha walioweka fedha januari ishirini sifuri tisa walitakiwa kujiorodhesha mei moja na mbili na nne hadi sita na kuchukua fedha zao mei nane hadi kumi na mbili waliopanda desemba ishirini sifuri nane walitakiwa kujiandikisha mei saba hadi tisa na mei kumi na moja hadi kumi na mbili mwaka huu na kuchukua fedha zao mei kumi na nne hadi kumi na tisa hatua hiyo ya uongozi wa deci UNK wengi ambao walikuwa tayari wamewekeza katika kampuni hiyo na kuvuna mara moja na wengine mara mbili hadi matatu wapo baadhi ya washiriki ambao wameanza kufikiria kuchukua sheria kutokana na kampuni hiyo UNK juu ya utaratibu huo mpya mwenyekiti wa kamati ya dharura mchungaji isaac kalenge alisema jana kuwa tayari wameshafanya mazungumzo na kampuni ya uwakili ya brilliance law chamber ili kuishitaki kampuni hiyo kutokana na kukatisha mkataba wa na kushindwa kulipa fedha zao hatutakubaliana na uongozi wa deci lazima utueleze ni kwa nini umefanya hivi haya si makubaliano yetu tuliambiwa kuwa tutapanda mbegu na tutavuna zaidi ya mara tatu lakini leo UNK lazima fedha hizi zirudi alisema mchungaji kalenge mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo alisema uamuzi huo umetokana na kukosa fedha za kuwarudishia washiriki hao kutokana na kutokuwa na upandaji baada ya kusimamishwa na serikali kwa hili kaka kama umepanda na UNK mara moja tu itakuwa imekula kwako hivyo hutakiwi UNK hapa tunapokea watu ambao wamepanda na hawakuwahi kuvuna hata mara moja alisema mfanyakazi huyo wa kike hata hivyo chanzo ndani ya kampuni hiyo kimesema watu na taasisi mbalimbali za kidini tayari wameanza kurudishiwa mbegu walizopanda licha ya kuwa walishawahi kuvuna zaidi ya mara moja makanisa mawili tayari UNK shilingi milioni mia mbili na sitini wengine ni maaskofu kutoka makanisa mbalimbali ya kipentekoste chama cha wasafirishaji wa bidhaa nje ya nchi kimeitaka serikali kutoa mianya ya kuwawezesha wajasiriamali nchini kupata mikopo ili waweze kuendesha shughuli zao kiufasaha katika kukabiliana na tatizo la umasikini hayo yalisemwa jana dar es salaam na mwenyekiti wa sekta binafsi nchini bwana aloyce mwamanga wakati akifungua mkutano wa siku moja kwa wanachama hao na wadau mbalimbali wa biashara na masoko bwana mwamanga alisema kwa sasa wajasiriamali wengi nchini wanashindwa kuendelea kwa kutekeleza vizuri majukumu ya kazi zao kwa kukosa mahitaji wanayokuwa wanaomba kutoka katika mabenki kama serikali hii ina lengo la kuona maendeleo ya kila namna yanapatikana inatakiwa kuhakikisha kwanza inapunguza kiasi cha riba kinachotozwa na benki za biashara hapa nchini pindi mtu anapotaka kupewa mkopo UNK bwana UNK alisema kuwa kinachoonekana katika benki nyingi hapa nchini nafasi ya kupewa mikopo kwa wajasiriamali ni ndogo na yenye usumbufu mkubwa ambapo UNK watu na vikundi vingi kushindwa kutimiza malengo yao kwa kukosa mitaji kwa upande wake mwenyekiti wa UNK bwana isaack UNK alisema tatizo linalowafanya wajasiriamali wengi kushindwa kufikia malengo yao ni kutokana na ukiritimba uliotawala katika benki nyingi hapa nchini alisema kuwa kama serikali ina nia ya kuona wanaendelea haina budi kuanzisha chombo kitakachokuwa UNK moja kwa moja matatizo yao alisema kuwa hali hiyo ndiyo pekee itakachokifanya chama hicho na wajasiriamali kupiga hatua zaidi katika jitihada za kukuza uchumi wa nchi hii ambapo kwa sasa bado unasuasua taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa imekiri kukithiri na kuongezeka kwa vitendo vya rushwa nchini na sasa taasisi hiyo imeamua kutumia wasanii ili kuhamasisha wananchi kuepuka vitendo hivyo ambavyo ni hatari kwa maendeleo ya nchi na jamii kwa ujumla akizungumza na wawakilishi wa wasanii jijini dar es salaam mwishoni mwa wiki mwakilishi wa mkurugenzi wa elimu kwa umma takukuru makao makuu bwana jonathan semiti alisema wasanii wakitumiwa ipasavyo kuelimisha jamii kuhusu athari za rushwa jamii inaweza kuhamasika na kuachana na vitendo vya kutoa na kupokea rushwa bwana semiti alisema takukuru kwa kutambua uwezo na nguvu ya wasanii katika kuelimisha jamii imeamua kuwapa mafunzo ili wajue wajibu wao na namna ya kuzungumzia rushwa kisanii wakiamini jamii inaweza kuelewa kwa haraka zaidi na kubadilika kwa haraka mmoja wa viongozi kutoka baraza la sanaa tanzania bwana denis mango alisema wasanii kwa kutumia sanaa zao wanaweza kuliwezesha taifa kushinda vita dhidi ya mapambano ya rushwa kwani nguvu yao ni kubwa katika kuhamasisha jamii kulielewa kwa haraka na wepesi zaidi bwana mango alisema sanaa ina uwezo mkubwa wa kuigeuza jamii katika jambo lolote lile na kwamba lugha yake huwa nyepesi kueleweka hivyo endapo wasanii UNK vizuri katika mapambano hayo ya rushwa akasema ushindi wa kweli UNK naye mmoja wa waelimishaji kutoka takukuru makao makuu bibi renalda UNK aliwambia wasanii hao kuwa wajibu wao katika mapambano dhidi ya rushwa ni kuhamasisha na kuelimisha jamii kuhusu athali za rushwa na madhara yake bibi renalda aliyataja baadhi ya madhara ya rushwa kuwa ni pamoja na wananchi kukosa imani na viongozi wao ukosefu wa huduma za jamii kuchaguliwa kwa viongozi wasiofaa pato la taifa kupungua kuwepo kwa matabaka ya watu kuongezeka kwa maambukizi ya vvu nchi kuendelea kuwa maskini na uovu kuongezeka bibi renalda aliyataja baadhi ya makosa ya rushwa kuwa ni pamoja na hongo rushwa katika mikataba rushwa katika manunuzi na zabuni rushwa katika minada rushwa katika ajira kutumia nyaraka kumdanganya mwajiri kumiliki mali zisizolingana na kipato ufujaji na udanganyifu UNK wa mali ya umma kushiriki na kusaidia kutenda uovu matumizi mabaya ya madaraka kula njama na kujifanya ofisa wa takukuru aidha alivitaja vyanzo vya rushwa kuwa ni tamaa usimamizi mbovu kukosa uwazi na uwajibikaji mmomonyoko wa maadili mashindano ya maisha viongozi wanaochaguliwa kwa rushwa umaskini na kipato kidogo na rushwa kuwa kama sehemu ya utamaduni katika hatua nyingine msanii maarufu na wa siku nyingi anayejulikana kwa jina la kisanii mhogo mchungu aliomba idara na taasisi za serikali na zisizo za serikali hasa jeshi la polisi kuwapa ushirikiano wasanii watakapoingia vitani kupambana na rushwa ambaye alisema ili kumtokomeza lazima apigwe kama nyani bila kumtazama usoni utafiti uliofanywa na taasisi ya ustawi wa jamii kwa wanafunzi wa elimu ya juu umebaini kuwapo kwa ongezeko kubwa la maambukizi ya virusi vya ukimwi unaochangiwa na hali ngumu ya maisha inayowakabili wawapo katika mazingira ya shule utafiti huo ulifanyika julai mwaka huu na kubaini kuwapo kwa ufahamu mdogo wa namna ya maambukizi hayo ya virusi vya ukimwi ikiwa ni pamoja na kuendelea kuwapo kwa unyanyapaa kwa watu wanaogundulika kuwa na virusi miongoni mwao hayo yalisemwa na mratibu wa maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani bwana daud chanila wakati kizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni dar es salaam kuhusiana na siku hiyo UNK kilele cha maadhimisho hayo bwana chanila alisema kuwa kuna haja ya watu kutambua kuwa ukimwi ni hali ya kuwa na mchanganyiko wa magonjwa mengi mwilini na hivyo UNK na unyanyapaa bwana chanila alisema kuwa katika kuhakikisha wanapambana na maambukizi ya virusi vya ukimwi taasisi hiyo kwa kushirikiana na kituo kimoja cha ushauri nasaha wameunda na kuandaa sera ya ukimwi ya taasisi hiyo yenye kupinga maambukizi zaidi ya virusi tuna kituo cha ushauri nasaha ubao wa matangazo ya ukimwi lakini kubwa ni kuwafundisha vijana na waajiriwa juu ya uelimishaji rika alisema na kuongeza kuwa huo ni mkakati kamambe wa kupiga vita maambukizi zaidi ya vvu alisema mkuu wa mkoa wa shinyanga daktari yohana balele ameagiza kukamatwa mara moja kwa mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha kisesa wilayani meatu baada ya kutajwa kuwa ni miongoni mwa wanaotuhumiwa kwa wizi wa vifaa vya ujenzi wa sekondari moja ya kata mwenyekiti anayetuhumiwa kwa wizi wa vifaa hivyo alitajwa kuwa ni bwana sasa kishola ambaye awali alikuwa ndiye mwenyekiti wa kamati ya ujenzi wa sekondari ya kata hiyo ya kisesa kabla ya kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa kijiji kwa tiketi ya chama cha mapinduzi oktoba ishirini na tano mwaka huu daktari balele aliyekuwa ametembelea kata hiyo wiki iliyopita kusikiliza kero zinazowakabili wananchi alitoa agizo la kukamatwa kwa kiongozi huyo baada ya kusikiliza malalamiko yaliyotolewa na wananchi wakidai wamegoma kuchangia shughuli za maendeleo baada ya watuhumiwa hao kutochukuliwa hatua zozote za kisheria mheshimiwa mkuu wa mkoa kweli huko nyuma tulikuwa tunachangia sekondari yetu bila matatizo lakini hivi sasa tumegoma baada ya kukamata wezi wa vifaa vya ujenzi shuleni hapo lakini waliachiwa na mpaka leo hawajachukuliwa hatua zozote zile alieleza mmoja wa wakazi wa kata hiyo bwana nyasama adamu kutokana na maelezo hayo daktari balele alimtaka bwana adamu kuwataja wahusika wa wizi huo ambapo katika hali isiyokuwa ya kawaida alimtaja kwanza mwenyekiti wa serikali ya kijiji aliyekuwa amekaa meza moja na daktari balele pia watu wengine watatu ambao alisema awali walikamatwa na kuachiwa bila maelezo bwana adamu alivitaja vifaa vilivyoibwa katika shule hiyo na kukamatwa katika nyumba ya mmoja wa watuhumiwa hao kuwa ni pamoja na bati thebathini na tatu za geji ishirini na nane nyavu za madirisha na vyuma vya kutengenezea madawati ambavyo mpaka sasa vipo palepale vilipokamatiwa nakubaliana nanyi kuwa hilo ni tatizo sasa naagiza wahusika wote wakamatwe kwa kuanzia na aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya ujenzi na wafikishwe katika vyombo vya sheria ili ukweli ubainike na mimi nitaleta tume ya kuchunguza matumizi ya fedha zenu kama zimeliwa na wahusika wataliwa na sheria alieleza daktari balele mkuu wa mkoa wa shinyanga daktari yohana balele ameagiza kukamatwa mara moja kwa mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha kisesa wilayani meatu baada ya kutajwa kuwa ni miongoni mwa wanaotuhumiwa kwa wizi wa vifaa vya ujenzi wa sekondari moja ya kata mwenyekiti anayetuhumiwa kwa wizi wa vifaa hivyo alitajwa kuwa ni bwana sasa kishola ambaye awali alikuwa ndiye mwenyekiti wa kamati ya ujenzi wa sekondari ya kata hiyo ya kisesa kabla ya kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa kijiji kwa tiketi ya chama cha mapinduzi oktoba ishirini na tano mwaka huu daktari balele aliyekuwa ametembelea kata hiyo wiki iliyopita kusikiliza kero zinazowakabili wananchi alitoa agizo la kukamatwa kwa kiongozi huyo baada ya kusikiliza malalamiko yaliyotolewa na wananchi wakidai wamegoma kuchangia shughuli za maendeleo baada ya watuhumiwa hao kutochukuliwa hatua zozote za kisheria mheshimiwa mkuu wa mkoa kweli huko nyuma tulikuwa tunachangia sekondari yetu bila matatizo lakini hivi sasa tumegoma baada ya kukamata wezi wa vifaa vya ujenzi shuleni hapo lakini waliachiwa na mpaka leo hawajachukuliwa hatua zozote zile alieleza mmoja wa wakazi wa kata hiyo bwana nyasama adamu kutokana na maelezo hayo daktari balele alimtaka bwana adamu kuwataja wahusika wa wizi huo ambapo katika hali isiyokuwa ya kawaida alimtaja kwanza mwenyekiti wa serikali ya kijiji aliyekuwa amekaa meza moja na daktari balele pia watu wengine watatu ambao alisema awali walikamatwa na kuachiwa bila maelezo bwana adamu alivitaja vifaa vilivyoibwa katika shule hiyo na kukamatwa katika nyumba ya mmoja wa watuhumiwa hao kuwa ni pamoja na bati thebathini na tatu za geji ishirini na nane nyavu za madirisha na vyuma vya kutengenezea madawati ambavyo mpaka sasa vipo palepale vilipokamatiwa nakubaliana nanyi kuwa hilo ni tatizo sasa naagiza wahusika wote wakamatwe kwa kuanzia na aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya ujenzi na wafikishwe katika vyombo vya sheria ili ukweli ubainike na mimi nitaleta tume ya kuchunguza matumizi ya fedha zenu kama zimeliwa na wahusika wataliwa na sheria alieleza daktari balele mkuu wa mkoa wa mbeya bwana john mwakipesile jana alikuwa mbogo kwa wakandarasi wanaokarabati barabara za jiji hilo na kuwaeleza kuwa hazina kiwango bali kinachofanyika ni wizi wa fedha za serikali zinazotolewa na wavuja jasho msimamo huo aliutoa juzi wakati wa kikao cha kamati ya bodi ya barabara mkoa wa mbeya baada ya kupokea taarifa ya ujenzi na ukarabati wa barabara za jiji lakini yeye akahoji ubora wake kutokana na kuonekana hazina viwango vinavyotakiwa katika kikao kilichopita UNK ile barabara inayokwenda kwangu uzunguni itaonekana vema baada ya miezi sita lakini cha ajabu hadi sasa hakuna kilichofanyika pale na kinachoonekana ni wizi mtupu wenye ufisadi tena UNK mbele ya macho yangu alisema alisema kuwa inasikitisha kuona fedha za serikali UNK bila ya kuheshimiwa katika ujenzi wa barabara mbovu kama hizo na kisha watalaamu wa jiji UNK na kuona kuwa ni halali hivi ninyi hamuoni jinsi ambavyo barabara ile UNK na kiwango na hata asiyejua utalaamu huo anaweza kutambua kuwa hapo kuna wizi alisema alipotakiwa kufafanua kaimu mhandisi wa jiji bwana masalu UNK alisema kuwa wawe na subira kwa kuwa mtindo wa ukarabati wa barabara hizo matokeo ya ubora huonekana mwishoni alisema kwa sasa mtu UNK anaweza kusema kuna wizi mkubwa unaofanyika kutokana na kuonesha vumbi lakini wao kama watalaamu UNK onyo hilo la bwana mwakipesile wanalifanyia kazi kwa maslahi ya mkoa wa mbeya pia bwana mwakipesile alionya tabia ya wakala wa barabara nchini kupenda kufanya kazi wilayani bila ya kuwashirikisha wahandisi wa wilaya ambapo alisema kuwa wao ndio wenyeji na hivyo kinachotakiwa ni kuhakikisha wanawapa heshima yao afisa wa polisi kutoka makao makuu ya polisi dar salaam sp mshumbusi amepewa siku saba askari mwenye cheo cha UNK na e elfu sita na mia saba na sitini na saba pc mesiaki kumlipa shilingi milioni hamsini sifuri kwa kumwambia ni mgonjwa wa akili na kampuni ya mawakili ya kimale mjini arusha kuanzia tarehe ishirini na nne novemba ishirini sifuri tisa kujibu tuhuma za kumwambia askari polisi akizungumza na gazeti hili pc mesiaki alisema kuwa kauli hiyo ya bosi wake ni kinyume cha sheria na taratibu za utumishi kwa kuwa hajawahi kufanyiwa uchunguzi wowote wa akili kwa kipindi cha miaka kumi na saba ya utumishi wake UNK sana afisa huyu kuniambia kuwa ni mgonjwa wa akili hivyo nimeamua kulifuatilia suala hili kisheria anapaswa UNK fidia ya shilingi milioni hamsini sifuri kwa UNK kutokana na kauli yake hiyo alisema pc UNK tayari kampuni ya uwakili ya kimale ya mjini arusha imetoa notisi ya siku saba kuanzia novemba ishirini na nne ishirini sifuri tisa kumtaka afisa huyo wa polisi kumlipa mlalamikaji kiasi hicho la sivyo atafikishwa mahakamani gazeti hili lilipowasiliana na sp UNK kuhusiana na shutuma hizo alidai yeye si msemaji wa suala hilo bali aulizwe kamanda wa polisi mkoani arusha na yeye hawezi kusema lolote kwa chombo cha habari kuhusiana na suala hilo kaimu kamanda wa UNK mkoani hapa bwana leonard paul alisema kuwa hawezi kusema lolote kwani suala hilo ni mambo ya ndani ya jeshi kampuni ya uwekezaji ya chama cha wafanyabiashara wenye viwanda na kilimo UNK saini ya mkataba wa kibiashara na chama cha pamoja cha wafanyabiashara cha comoro kuuziana mazao ya kilimo ikiwa ni moja ya njia za kutekeleza adhma ya kilimo kwanza hatua hiyo ya kutiliana saini ilifanyika mwishoni mwa wiki jijini dar es salaam kati ya kaimu mwenyekiti wa kampuni ya tccia investiment ltd kwa upande wa tanzania bwana gideon kaunda na mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya pamoja ya wafanyabiashara wa comoro bwana said chaihane akizungumza katika hafla hiyo bwana kaunda alisema tukio hilo la kutiliana saini ya kibiashara ya mazao ya kilimo ni la kihistoria baina ya nchi hizo mbili na lengo kubwa ni kutekeleza adhma ya falsafa ya kilimo kwanza tukio hili ni la kihistoria baina yetu na comoro na kwamba lengo kubwa ni kufanya biashara inayotekeleza UNK ya falsafa ya kilimo kwanza alisema bwana kaunda bwana kaunda alisema kuwa mkataba huo UNK milango ya kibiashara kati ya nchi hizo mbili na kwamba hiyo ni fursa pekee kwa wakulima wafanyabiashara kutumia fursa hiyo kuuza mazao ya kilimo alisema mazungumzo ya kuanza kufanya biashara ya mazao ya kilimo na comoro yalianza muda mrefu kutokana na ziara za kibiashara zilizofanywa na kampuni hiyo na ndipo UNK hiyo ya kibiashara bwana kaunda alisema licha ya kusaini mkataba huo tayari kampuni hiyo ya comoro imeagiza tani zaidi ya sita za vitunguu kwa kuanzia ikiwa kama ishara ya kufungua milango ya kibiashara hasa mazao yatokanayo na kilimo aliwataka wanachama wa tccia investiment ltd kuchangamkia fursa hiyo ya kibiashara ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na kampuni hiyo ili kutambua fursa za kibiashara zilizopo na kuongeza uzalishaji wa mazao ya kilimo ili kukidhi haja ya mahitaji ya bidhaa za kilimo naye bwana UNK alisema mkataba huo ni sehemu tu ya kufungua milango ya kibiashara baina ya tanzania na kwamba lengo kuu ni kuongeza mahusiano ya kibiashara baina ya nchi hizo mbili huu ni mwanzo tu bali tunapenda kuongeza mahusiano zaidi ya kibishara kati yetu na tanzania na lengo letu ni kuongeza mahusiano na kuunga mkono juhudi ya serikali ya tanzania katika falsafa ya kilimo kwanza na kwa kutambua hili tumeamua kuanza kufanya biashara ya mazao ya chakula alisema bwana chaihane afisa mtendaji mkuu wa tccia investiment co ltd bwana donald UNK alisema hii ni hatua ya awali tu ya kibiashara na kwamba kwa upande wao wamejiandaa vya kutosha kukidhi mahitaji ya bidhaa za kilimo huko UNK na mwandishi wetu wakili moses maira aliyekuwa akimtetea ofisa wa zamani wa upelelezi wa makosa ya jinai mkoani dar es salaam bwana abdallah zombe anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini wa mahenge morogoro na dereva teksi wa dar es salaam amefariki dunia taarifa ambazo gazeti hili lilizipata jana jioni zilieleza kuwa wakili hiyo maarufu UNK na mauti hayo akiwa nje kwa matibabu akizungumza na gazeti hili jana jioni kwa njia ya simu wakili mwenzake na rafiki yake bwana mabere marando alithibitisha kutokea kwa kifo hicho bwana marando alisema bwana maira alifariki usiku wa kuamkia jana mjini houston marekani alikokwenda kutibiwa kwa watoto wake alisema marehemu alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo na kisukari hali iliyosababisha afya yake kuyumba na kulazimika kwenda marekani kwa matibabu zaidi mipango ya kurejesha nchini mwili wa marehemu maira inaendelea kufanywa na wanawe nchi marekani itakapokamilika itafahamika ni lini UNK ni kweli mzee maira amefariki usiku wa kuamkia leo huko houston marekani alikokwenda kutibiwa kwa watoto wake alikuwa akisumbuliwa kisukari na presha magonjwa ya uzee alisema bwana marando na kuongeza muda huu ndio natoka nyumbani kwake lakini mipango zaidi itafahamika kesho kwani familia itakaa na kufanya maandalizi ya mazishi kesho tutajua zaidi bwana marando alisema msiba wa wakili huyo uko nyumbani kwake tabata karibu na hospitali ya UNK alimwelezea marehemu maira kuwa ni mmoja wa mawakili bora jijini dar es salaam na nchini kwa ujumla ambaye UNK kutokana na upeo wake wa masuala ya sheria madiwani wa halmashauri ya wilaya ya muheza wamesema UNK wa wagonjwa katika hospitali teule wilayani hapa linachangiwa na mji huo kukosa kituo cha afya hivyo wameshauri zahanati ya ubwari iongezwe majengo na kupewa hadhi ya kuwa kituo cha afya kupunguza tatizo hilo akizungumza katika kikao cha baraza la madiwani mwishoni mwa wiki diwani wa kata ya UNK bwana makame seif alisema ipo haja ya kuongeza majengo ya zahanati hiyo ili itumike kuwatibia wagonjwa wenye shida ndogo ndogo kuliko wote kwenda kupata matibabu hospitali ya wilaya mheshimiwa mwenyekiti ni vizuri sasa ili kupunguza mzigo wa wagonjwa katika hospitali UNK ambayo inachukua wagonjwa kutoka wilaya nyingine ni vema sasa majengo ya ubwari UNK ili kupunguza msongamano pale teule hali ni mbaya sana wagonjwa wakati mwingine wanalala wawili wawili kwenye vitanda alisema diwani huyo katika hatua nyingine madiwani wa UNK hiyo wameagizwa kusimamia ujenzi wa vyumba vya madarasa ya sekondari katika kata zao ili kuhakikisha wanafunzi waliomaliza darasa la saba mwaka huu wanaingia kidato cha kwanza wote mwenyekiti wa halmashauri bwana bakari mhando alisema kuwa madiwani wanawajibika kusimamia ujenzi wa vyumba vya madarasa ya sekondari na kuwahamasisha wananchi kushiriki ujenzi huo jaji salum massati ambaye alimwachia huru aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana abdallah zombe na wenzake wanane waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kuua wafanyabiashara watatu wa madini wakazi wa mahenge na dereva teksi leo anatarajiwa kuwa miongoni mwa jopo la majaji UNK rufaa ya mwanamuziki nguli nguza UNK na watoto wake watatu mwanamuzi huyo nguli na watoto wake watatu papii nguza nguza UNK and francis nguza wanapinga kifungo cha maisha UNK na mahakama ya hakimu mkazi kisutu na baadaye hukumu hiyo UNK na mahakama kuu ya tanzania mbali na jaji massati rufaa hiyo UNK jaji UNK kimaro na jaji mbarouk UNK babu seya na watoto wake walihukumiwa kifungo hicho mwaka ishirini sifuri nne baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa katika kesi iliyokuwa ikiwakabili ya kudhalilisha kijinsia watoto wa kike ilitolewa na hakimu bibi addy lyamuya ambaye kwa sasa amestaafu kazi maombi ya rufaa yaliyowasilishwa na aliyekuwa UNK wa babu seya bwana hubert nyange ambaye sasa amejitoa yanaonesha sababu kumi na tano za kupinga adhabu hiyo ikiwamo kwa nini jaji wa mahakama kuu hakuona kuwa hakimu aliyesikiliza kesi hiyo alishindwa kutokuwa na upande na kuathiriwa na mtazamo hasi juu ya wateja wake babu seya na watoto wake walikata rufaa mahakama ya rufaa baada ya mahakama kuu chini ya jaji thomas mihayo kutupilia mbali rufaa yao nguza na watoto wake watatu walihukumiwa adhabu hiyo kwa kuwadhalilisha kijinsia wanafunzi wa kike maeneo ya sinza dar es salaam mmoja wa waliodhalilishwa alieleza mahakama jinsi watuhumiwa UNK kwa fedha soda na jojo kabla ya kufanyiwa kitendo hicho siku chache baada ya maafisa wawili wa chama cha demokrasia na maendeleo kutenguliwa nyadhifa zao na kujivua uanachama chama hicho kimeibuka na kupinga madai kuwa UNK vijana kushika nyadhifa za uongozi na kudai hizo ni propaganda za ccm UNK akizungumza dar es salaam jana katika kongamano la baraza la vijana wa chadema kaimu katibu mkuu chadema bwana john mnyika alisema kuwa propaganda hizo zinaenezwa na ccm kwa nia ya kukichafua chama chake ili UNK imani kwa watanzania alisema wakati huu ambapo nchi inajiandaa kuingia katika uchaguzi mkuu hapo mwakani mengi UNK kuhusu chama chake ili kuonesha kuwa kuna mpasuko kama ilivyo kwa ccm hasa ukizingatia kuwa ccm imefilisika kimaadili na hivyo kuingiwa na hofu ya kushinda katika uchaguzi ujao chadema ni chama cha kizazi kipya sisi ndio tulioanzisha kaulimbiu ya vijana ni taifa la leo na si kesho kama ilivyokuwa awali sasa iweje UNK kwa kuwatenga vijana wakati ndio chama pekee chenye asilimia thebathini ya wabunge vijana hizo ni propaganda tu alisema alisema kuwa propaganda hizo zimeibuka baada ya kutenguliwa nyadhifa kwa waliokuwa maafisa wawili wa chama hicho kutokana na kwenda kinyume cha maadili ya chama kwa mujibu wa bwana mnyika si kila kijana anaweza kuongoza na kuwa wakati mwingine ni bora kuwa na waziri mzee kama daktari slaa kuliko kuwa na mawaziri vijana kama waliopo sasa ambao hawawezi kuongoza wizara aidha bwana mnyika ameonesha wasiwasi kutokana na kauli ya ccm kutumia bilioni arobaini katika uchaguzi mkuu ujao na kukitaka chama hicho kitoe mchanganuo wa mapato na matumizi ya pesa hizo alisema mwaka ishirini sifuri tano rais kikwete alichangisha pesa kupitia harambee kwa madai kuwa ni pesa safi kumbe za mafisadi wa epa na kuongeza kuwa kama kweli ccm imedhamiria kukusanya pesa safi katika uchaguzi ujao ni vyema UNK hatua watuhumiwa wote wa waliopora fedha za epa hasa kampuni ya kagoda si busara kutumia shilingi bilioni arobaini katika uchaguzi ambazo ni sawa na kutumia milioni ishirini sifuri kwa kila jimbo wakati ambapo wakina mama wajawazito wanakufa kwa kukosa huduma nzuri wakati wa kujifungua alisema akizungumzia tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za ruzuku bwana mnyika alisema chadema imekuwa ikipata hati safi kila UNK na kuongeza kuwa baraza kuu la chama hicho UNK mapendekezo kuwa mahesabu ya vyama vya siasa yakaguliwe na mkaguzi mkuu na mdhibiti wa hesabu za serikali kwa kuwa daktari slaa aliwataja mafisadi na zitto kabwe ambaye anaendesha mapambano dhidi ya mafisadi anatoka chadema sasa wanataka kukifanya chama kionekane cha mafisadi ili kuwachanganya wananchi alisema alisema kuwa mtu yeyote mwenye tuhuma za msingi za ufisadi dhidi ya chama chake atoe mchanganuo wa ufisadi huo kama ambavyo chadema ilifanya kwa mafisadi wa ccm katika kongamano hilo ambalo linahusisha vijana hamsini kutoka katika mikoa ya kichama ya ilala temeke na kinondoni vijana hao walijadili taarifa za uchaguzi wa serikali za mitaa na kupanga mikakati ya uchaguzi mkuu ujao katika hatua nyingine grace ndossa anaripoti kuwa bwana mnyika amesema chama hicho UNK kwa ukabila wala siyo cha mtu binafsi kama inavyoelezwa bali kinafuata taratibu sheria na kanuni za siasa bwana mnyika aliyasema hayo wakati akizungumza katika kipindi cha mambo leo kinachorushwa na radio times ya jijini dar es salaam alisema kuwa watu wengi wamekuwa na fikira potofu kuwa chama ni cha mtu binafsi ambaye kinaongozwa kwa matakwa yake kitu ambacho siyo kweli wala UNK kwa ukabila alisema kuwa ndani ya chama hicho kuna watu wa makabila mengi katika nafasi za uongozi na kwamba wanaosema kinamilikiwa na wachaga UNK tumekuwa tukipata malalamiko mengi kuwa chadema ni chama cha mtu binafsi siyo kweli hii ni taasisi inayoshughulika na mambo ya siasa na ni chama makini ambacho UNK mtu wala kutazama kabila wala dini tunafanya kazi za kusaidia jamii alisema bwana mnyika alisema kuwa chadema kiko salama na kitaendelea na oparesheni sangara nchi nzima ili kiweze kuwa na watu wengi na wamejipanga kushinda uchaguzi wa mwakani chama cha wananchi UNK kauli ya chama cha mapinduzi ya kufanya harambee kwa wanachama wake nchi nzima kuchangia uchaguzi mkuu wa ishirini moja sifuri kwamba inashangaza kwa sababu chama hicho tawala hakiwezi kukwepa michango ya matajiri iliyotokana na ufisadi kauli hiyo ya cuf imekuja siku moja baada ya ccm kupitia katibu wa fedha na uchumi wake wa ccm taifa bwana amos makala kutangaza kutumia mpango huo kutokana na chama hicho kutuhumiwa kufadhiliwa kwa fedha zilizopatikana kwa njia ya ufisadi katika uchaguzi mkuu uliopita taarifa ya cuf kwa vyombo vya habari iliyotolewa na naibu naibu mkurugenzi uenezi na mahusiano ya umma bibi ashura mustapha ilisema kuwa ccm haina ubavu wa kuzikwepa fedha za mafisadi kwani ndizo zitakazotumika katika uchaguzi ujao na kuwa kauli hiyo ni propaganda za kuwahadaa wananchi ili chama hicho kionekane kinapiga vita ufisadi ilieleza kuwa miongoni mwa wanachama wa chama hicho wanatuhumiwa kuhusika katika ufisadi wengi wao ni viongozi katika halmashauri kuu taifa na kamati kuu na hadi sasa hakuna hata mmoja ambaye amevuliwa madaraka au uanachama kutokana na kashifa hiyo cuf UNK watanzania kuwa ukiona mtu anafukuza mwizi akinyoosha kidole mbele ambako hakuna mtu hali mwizi huyo yupo naye bega kwa bega utambue fika kuwa ana UNK ya karibu huyo mwizi au na wizi unaofanywa na mwizi huyo hivyo njia pekee ya kuwatambulisha kuwa kwa sasa wananchi UNK ni UNK wagombea wote UNK na ccm katika uchaguzi mkuu mwakani ishirini moja sifuri na badala yake kuchagua chama mbadala chenye nguvu nchini ilieleza sehemu ya taarifa hiyo cuf ilimtaka bwana makala kuweka bayana kwanza ni njia zipi chama chake kilitumia kujipatia fedha katika uchaguzi uliopita ambazo UNK kuwa ni za kifisadi ambazo UNK katika uchaguzi huu na kuwataja wanachama ambao misaada yao UNK kutokana na kuhusishwa na ufisadi katika mpango wake ccm kinakusudia kuhamasisha wananchi kuchangia chama chao kwa njia ya sms njia ambayo tayari chama cha demokrasia na maendeleo UNK UNK kukusanya mamilioni kupitia simu za mkononi na mtandao wa mawasiliano ya kompyuta mfumo huo unaotumiwa na vyama vya siasa katika nchi zilizoendelea za bara la ulaya na marekani ulizinduliwa na mwenyekiti wa chadema freeman mbowe mara baada ya kutoa hotuba yake ya ufunguzi wa mkutano mkuu wa chama hicho katika ukumbi wa shule ya sekondari mbezi beach jijini dar es salaam septemba mwaka huu tanzania imeutaka umoja wa mataifa kuiomba radhi kutokana na ripoti ya kikundi cha wataalamu na wachunguzi wake kuituhumu kwamba inatoa silaha kwa kikundi cha waasi cha fdlr UNK dhidi ya raia wa jamhuri ya kidemokrasia ya kongo na rwanda akizungumza na waandishi wa habari mjini port of spain trinidad na tobago jana waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa bwana bernard membe alisema tanzania UNK na kushangazwa na taarifa hiyo ambayo haina ukweli wowote na kuutaka umoja wa mataifa kuilaani UNK mbali taarifa hii na kuomba radhi taarifa hii haina ukweli wowote na ni ya kitapeli ni uongo uliotengenezwa UNK matope jina zuri la tanzania na serikali yetu tanzania wala vyombo vya usalama havijatoa wala kusadia vikundi hivyo alisema bwana membe na kuongeza tanzania inachofanya ni kusaidia harakati za amani na usalama mashariki mwa congo kwa kumteua rais mstaafu bwana benjamin mkapa kuungana na viongozi wengine kutafuta amani na usuluhishi nchini humo na si vinginevyo alisistiza waziri membe amelazimika kutoa msimamo kufuatia taarifa za kuituhumu tanzania UNK kusambaa kwenye mitandao huku baraza la usalama la un likiwa UNK ripoti hiyo jumatano taarifa hiyo ilisema kwamba tanzania ni miongoni mwa nchi ishirini na tano zikiwamo nyingine za marekani na ulaya ambazo zinawasaidia waasi hao kwa kuwapatia silaha na fedha na kuwa jumuiya ya kimataifa haijafanya chochote kuzuia misaada hiyo taarifa hiyo iliendelea kusema kuwa mawasiliano ya simu UNK baina ya makamanda wa fdlr na viongozi wa juu wa tanzania na burundi akifafanua jinsi tanzania inavyoshughulikia amani ya maziwa makuu bwana membe alisema tanzania UNK dola za marekani hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kugharamia mchakato wa amani na usuluhishi mashariki mwa congo chini ya bwana mkapa pia alisema tanzania imekuwa mstari wa mbele katika kutafuta amani katika ukanda wa maziwa makuu kwa miaka kumi na tano na kwamba tangu mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na tisa hadi sasa tanzania imekuwa kimbilio la wakimbizi UNK vita na mauaji na itaendelea kufanya hivyo na si kuchochea vitendo vyovyote vya uvunjifu wa amani katika kipindi chote tangu uhuru tanzania imekuwa mstari wa mbele katika kutetea amani afrika hivi tutapata nini kuingilia amani ya nchi jirani na rafiki kama kongo na rwanda alihoji bwana membe kwa upande mwingine bwana membe ametoa changamoto kwa umoja wa mataifa kuieleza tanzania zilikotoka silaha hizo na UNK kwani haikuelezwa katika taarifa ya kikundi hicho waziri membe aliongeza kuwa tanzania haina maduka ya kuuza silaha za kivita na wala hayaruhusiwi na kwamba silaha kama hizo zipo mikononi mwa vyombo vya usalama pekee nataka kumhakikishia kila mmoja kuwa hii UNK na wala haitatokea kamwe serikali UNK vyombo vyake vya usalama kufanya hivyo na hata hivyo hakuna taarifa kutoka vyombo vya usalama kwamba UNK na silaha na hii ndio sababu UNK niseme taarifa ya kikundi hicho ni uongo uliotengenezwa dhidi ya tanzania nauomba umoja wa mataifa na kila mmoja kuilaani taarifa hii alisisitiza bwana membe bwana membe alikuwa katika ujumbe wa rais mjini port of spain trinidad na tobago kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi na serikali wa jumuiya ya madola uliomalizika jana watu mia nne na hamsini na nane UNK ugonjwa wa kipindupindu tangu uliingia katika mkoa wa dar salaam novemba kumi na mbili mwaka huu hayo yalisemwa jana dar es salaam na kaimu mganga mkuu wa jiji daktari hawa kawawa alipokuwa anatoa takwimu ya idadi ya wagonjwa kwenye hospitali za manispaa alisema kuwa wilaya ya temeke imekuwa na jumla ya wagonjwa mia moja na themanini na nne ilala mia moja na themanini na nne wakati kinondoni imefikisha tisini hadi sasa kama watu wangezingatia kufanya usafi katika maeneo yao na kutii masharti ya kutokula vyakula UNK maeneo ambayo si salama kipindupindu UNK alisema daktari kawawa alisema kuwa kati ya wagonjwa hao wawili wameshafariki mmoja kutoka temeke na mwingine ilala wagonjwa wamekuwa UNK na wanapopata nafuu UNK kurudi majumbani lakini hadi jana kulikuwa na wagonjwa ishirini na tisa waliolazwa katika wilaya zote katika wilaya ya ilala wagonjwa wametoka vingunguti pugu na kariakoo wakati katika wilaya ya temeke wanatoka mbagala kuu mbagala sabasaba temeke azimio kigamboni UNK na mtoni huku wilaya ya kinondoni wanatokea mabibo na UNK wananchi wa mitaa ya zavala mgeule na nyeburu kata ya chanika ilala dar es salaam wamedai kuwa hawako tayari kuachia mashamba na nyumba zao wapewe wakazi wanaohamishwa kipawa bila kulipwa fidia kutokana na mgogoro huo wananchi hao wameunda kamati ya watu kumi kuonana na waziri mkuu bwana mizengo pinda kueleza kilio na kile walichodai ni dhuluma wanayodai kufanyiwa na serikali katika mkutano wao uliofanyika juzi waasisi wa mitaa hiyo wenyeviti wa mitaa na viongozi wa zamani wa ccm walikataa kufanya makubaliano na serikali kuhusu kutoa ardhi au kuidhinisha malipo kwa ajili ya fidia mwenyekiti wa mtaa wa mgeule bwana agrey UNK mwenyekiti wa mtaa wa zavala bwana mohamed ramadhani na mwenyekiti wa zamani wa ccm bwana ali UNK waliapa mbele ya kikao hicho kuwa hawajawahi kupata taarifa ya serikali kuhusu kupimwa viwanja kwa ajili ya watu wa kipawa malipo ya fidia ya serikali kwa ajili ya kupimwa viwanja vya watu wa kipawa ilitolewa kwa watu wa pugu mwakanga na UNK wananchi wa mitaa ya mgeule zavala na nyeburu ambao sasa UNK ardhi yao mimi nimewahi kukamatwa wengine wamewekwa ndani na kufunguliwa mashtaka ya kudaiwa kuzuia serikali kufanya kazi lakini wananchi hawa hawajalipwa kitu na hakuna maandishi alisema mwenyekiti wa mtaa wa mgeule bwana UNK wenyeviti hao waliwaambia wananchi hao kuwa mradi wanaoufahamu wa serikali ni upimaji wa viwanja ishirini sifuri sifuri sifuri ambao hauna mgogoro na wananchi hao lakini mradi wa upanuzi uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere UNK serikali inayoheshimu watu haifanyi uhuni imefika mahala uvumilivu unakoma hatuwezi kuona tingatinga UNK nyumba zetu na kukanyaga matofali eti UNK fidia alipewa nani wakati tunajua waliolipwa fidia ni watu wa pugu UNK alisema bwana ali UNK awali mkutano huo uliwataka wakazi wote waliowahi kulipwa fidia kwa ajili ya kupimwa viwanja vya watu wa kipawa wajitokeze lakini hakuna aliyekiri kuchukua fidia hiyo katika umati huo wa wakazi zaidi ya wanachi ishirini sifuri UNK ofisa tawala msaidizi wa rasilimali watu wa mkoa wa dar es salaam bwana UNK said alisema anachofahamu mamlaka ya viwanja vya ndege tanzania iliwahi kuwalipa fidia wananchi hao na wanaolalamika ni wale walionunua viwanja karibuni askari wa operesheni kipepeo wanaoendelea kudhibiti wa ujangili ndani na nje ya pori ya akiba la selous na hifadhi za taifa hapa nchini wamewatia nguvuni majangili kumi na moja yakiwemo sita yenye asili ya kiarabu majangili hayo yalikamatwa huko kwenye eneo la pori la kimera katika wilaya ya mvomero mkoani morogoro kandokando mwa pori la akiba la selous wakiwa wamepiga kambi tayari uwindaji haramu mkuu wa UNK maalumu za jeshi la polisi nchini naibu kamishna venance tossi anayeongoza operesheni kipepeo alisema jana kuwa majangili hayo yalikamatwa kutokana na taarafa za wananchi wa vijiji vinavyozunguka pori hilo waliotoa taarifa za kuwepo kwa majangili hayo dcp tossi alisema kuwa wakati wa upekuzi kwenye kambi ya majangili hayo zilipatikana silaha tano za aina mbalimbali ikiwemo bastola moja na rifle nne na risasi mia mbili na kumi na tano kati ya hizo tisini ni za rifle na ishirini na tano za bastola aliyataja majangili yaliyokuwa yamepiga kambi kwenye eneo hilo kuwa ni abdallah edha abdallah faraji mbaraka mohammed mbaraka ameri saidi mbaraka saidi na saidi edha abdallah wote wakiwa na asili ya kiarabu wengine ni hamissi UNK hamissi mohammed UNK UNK mbaraka salum na rashidi urea ambaye ni mwenyekiti wa jumuiya ya uhifadhi wa wanyamapori kwenye vijiji UNK pori la UNK naye meneja wa hifadhi ya pori la akiba la selous bwana john UNK ambaye alifuatana na dcp tossi katika ukamataji huo amethibitisha kuwa majangili hayo hayakuwa na kibali chochote cha uwindaji kutoka kwa mkurugenzi wa idara ya wanyamapori nchini majangili hayo yakiwa na magari matatu na majokofu kadhaa yenye barafu ya kuhifadhia nyama UNK kusimamisha mara moja shughuli za uwindaji katika eneo hilo tengefu la mapori ya akiba ya selous na kwenda kituo cha polisi kwa hatua zaidi hadi sasa operesheni kipepeo inayoendeshwa kwa pamoja kati ya jeshi la polisi na idara ya wanyamapori nchini imewatia nguvuni majangili zaidi ya sabini na kukamata silaha mbalimbali mfungwa anayetumikia kifungo cha miaka kumi katika gereza la ukonga jijini dar es salaam bwana semayoga ernest atatunukiwa shahada ya kwanza ya sheria na chuo kikuu huria tanzania sherehe ya mfungwa huyo ambaye ni wa pili kutunikiwa shahada hiyo baada ya bwana haruna gombela UNK oktoba thebathini na moja ishirini sifuri saba itafanyika katika katika viwanja vya kikosi maalumu cha magereza ukonga bwana ernest UNK kifungo cha miaka kumi nchini mauritius lakini kutokana na utaratibu wa kubadilishana wafungwa akarejeshwa nchini na kutokana na utaratibu wa kuhesabu saa ishirini na nne kuwa siku mbili UNK kifungo na anatarajia kumaliza kifungo chake agosti mwakani akiwa mwanasheria kama ilivyokuwa kwa bwana gombela mfungwa huyo ambaye haijulikani alifungwa kwa kosa gani atafanyiwa mahafali ya pekee yake ikiwa ni mwezi mmoja baada ya wahitimu wenzake huru wa sheria kupata shahada zao oktoba ishirini na tisa mwaka huu akizungumza na waandishi wa habari kamishna mkuu wa magereza bwana augustine nanyaro alisema kuwa mafanikio hayo yametokana na jitihada za urekebishaji wa wahalifu UNK na jeshi la magereza kwa kushirikiana na wadau mbalimbali nchini dhana ya urekebishaji wa wahalifu UNK program mbalimbali zinazoandaliwa kwa ajili ya wafungwa ili kuwawezesha kubadili tabia ya uhalifu na kurejea kwenye jamii wakiwa raia wema program hizo ni pamoja na mafunzo ya elimu mafunzo ya stadi mbalimbali za ufundi mafunzo ya kiroho na utoaji nasaha kwa mfungwa mmoja mmoja au kulingana na matatizo yao kwa lengo la kuwafanya wabadilike kisaikolojia na UNK aliongeza bwana nanyaro kwa upande wake makamu mkuu wa out profesa tolly mbwete alisema kuwa shahada za wafungwa hao ni mwanzo katika kuwasaidia wafungwa kielimu kutokana na makubaliano maalumu yaliyofanyika baina ya chuo hicho na wizara ya mambo ya ndani kupitia jeshi la magereza lengo kubwa la makubaliano hayo lilikuwa ni kurekebisha tabia za wafungwa kuwapatia taaluma na ujuzi ili waweze UNK na kuwapatia stadi za kuwawezesha kupambana na maisha baada ya kumaliza kutumikia vifungo vyao na kuwawezesha kutumia muda wao gerezani kwa manufaa zaidi kwa ajili yao na kuwasaidia wafungwa wenzao kujua vizuri haki zao alisema aidha jeshi la magereza linatarajia kujenga maktaba kubwa na ya kisasa ya kujisomea katika gereza la ukonga itakayokuwa ikitumiwa na wafungwa na watumishi wote kesi ya mauaji ya inayomkabili mgonjwa wa akili bwana devid denge anayetuhumiwa kuwaua wagonjwa wenzake wawili na kuwajeruhi wengine watano ilitajwa tena na mahakama kuelezwa kuwa upelelezi bado haujakamilika hivyo mtuhumiwa kuendelea kuwa rumande mbele ya hakimu bwana samweli UNK mwendesha mashtaka bwana musa gumbo alisema agosti kumi na moja ishirini sifuri nane katika wodi ya vichaa hospitali ya taifa muhimbili mtuhumiwa aliwaua na kuwajeruhi wenzake kwa kutumia stendi ya kutundikia UNK kwa mara ya kwanza mshtakiwa huyo alisomewa mashtaka yake agosti kumi na tatu ishirini sifuri nane akiwa ndani ya gari la polisi huku akiwa uchi mshtakiwa huyo aliyeonekana UNK jana aliomba mahakama upelelezi wa kesi yake ukamilishwe haraka kesi hiyo imeahirishwa mpaka desemba kumi na tano mwaka huu kwa ajili ya kutajwa kwa kuwa mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo jumla ya shilingi bilioni arobaini na tano zinahitajika katika ukarabati wa kiwanja cha ndege cha sumbawanga kilichopo mkoani rukwa ili kukiwezesha kuwa na uwezo wa kuhudumia ndege kubwa aina ya atr arobaini na tatu taarifa iliyotolewa dar es salaam jana na waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa ilisema gharama hiyo imetokana na upembuzi yakinifu uliofanywa ili kutimiza nia ya serikali kufanya kiwanja hicho kuwa cha kisasa na kukidhi haja ya usafiri katika ukanda huo upembuzi huo ilifanywa na washauri wa kampuni ya fedrick snow and UNK ya uingereza na UNK ya tanzania ambao wamependekeza kuwa kiwanja hicho kitajengwa katika maeneo makuu matano maeneo hayo ni pamoja na njia ya kurukia kwa kiwango cha lami yenye urefu mita moja mia saba na hamsini na upana mita thebathini kituo cha umeme jengo jipya la abiria viungio vya njia na maegesho ya ndege kubwa na ndogo changamoto iliyopo sasa ni kwa serikali na mamlaka ya viwanja vya ndege tanzania kutafuta fedha kutoka vyanzo mbalimbali ili kufanikisha UNK shughuli hiyo alisema naye mwakilishi wa taa mhandisi white majura alisema kuwa kwa sasa shilingi mia mbili na thebathini mia mbili na tisini na sita mia tisa na sabini na nne zimetengwa kwa ajili ya kiwanja cha sumbawanga na mpanda alifafanua kwamba shilingi milioni hamsini zitatumika kwa ununuzi wa gari aina ya pick up shilingi milioni kumi sifuri zitatumika katika matengenezo ya njia ya kuruka na kutua ndege na shilingi milioni themanini mbili ni gharama za uendeshaji wa viwanja wakati huo huo daktari kawambwa alisema kuwa serikali itaanza kujenga barabara ya tunduma UNK hadi sumbawanga yenye urefu wa kilomita mia mbili na ishirini na nne tano katika mwaka huu wa fedha alisema barabara hiyo itajengwa kwa kiwango cha lami kutokana na makubaliano ya kampuni ya millenium challenge account tanzania na kampuni na UNK UNK kutoka UNK tuna uhakika kufikia kati ya machi na aprili mwaka kesho tutakuwa tumeanza ujenzi wakati huu tupo katika harakati za kumpata mkandarasi mradi huu UNK na serikali ya marekani kupitia millenium challenge corporation pamoja na serikali ya tanzania alisema watu wanne wamekufa na wengine ishirini kujeruhiwa sehemu mbalimbali za miili yao katika ajali za barabarani zilizotokea mwishoni mwa wiki akizungumza na waandishi wa habari jana dar es salaam kamanda wa polisi mkoa wa temeke bwana liberatus sabasi alisema kuwa ajali ya kwanza ilitokea juzi saa saba mchana katika makutano ya barabara ya nyerere na changgombe katika ajali hiyo gari t mia moja na arobaini na mbili afc aina ya UNK pajero ikiendeshwa na bwana UNK mnyama mkazi wa uwanja wa taifa liligongana na toyota corolla t mia nane na ishirini na tatu UNK lililokuwa likitokea kimara kwenda uwanja wa ndege alisema kuwa katika ajali hiyo abiria bibi joyce UNK anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka sitini hadi sitini na tano mkazi wa dodoma na mtoto christina wilson umri kati ya miaka miwili na minne walikufa papo hapo na wengine wanne kujeruhiwa katika tukio lingine kamanda wa polisi wa mkoa wa ilala bwana faustine shilogile alisema kuwa abiria ishirini walijeruhiwa sehemu mbalimbali za miili yao baada ya gari walilokuwa wakisafiria lenye namba za usajili t mia moja na themanini na saba UNK aina ya toyota UNK pick up iliyokuwa ikitokea vingunguti kwenda viwandani kugongana na daladala kamanda shilogile alisema kuwa katika ajali hiyo iliyotokea juzi walitibiwa katika hospitali ya amana na kuruhusiwa madereva wa magari hayo walitoweka na kutelekeza magari katika eneo la tukio naye msichana mwenye umri wa miaka miaka nane na kumi amekufa papo hapo baada ya kugongwa na gari t mia nane na sitini na saba aina ya toyota corolla iliyokuwa ikiendeshwa na UNK UNK mkazi wa tabata UNK kamanda shilogile alisema msichana huyo alikuwa akivuka barabara na aligongwa na gari hilo kwa kile kinachodaiwa ni mwendo kasi wa dereva dereva anashikiliwa na polisi wakati maiti imehifadhiwa katika hospitali ya amana wakati huo huo emmanuel yuda mkazi wa kigogo amekufa papo hapo baada ya kugongwa na gari wakati akivuka barabara ya kigogo kati kaimu kamanda wa polisi mkoa wa kinondoni sebastian masinde amesema kuwa ajali hiyo ilitokea juzi saa kumi na moja jioni katika maeneo ya kigogo alisema kuwa gari UNK ni t mia tano na themanini na tisa UNK aina ya scania bus ikiendeshwa na bwana salum sheikh na alikuwa akitokea tabata kuelekea kigogo polisi mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya mwananyamala na polisi wanaendelea na uchunguzi juu ya tukio hilo jeshi la polisi mkoa wa arusha UNK watu sita wanaosadikiwa kuwa majambazi hatari akiwemo raia mmoja wa uganda wanaotuhumiwa kuhusika na tukio la mauaji ya mfanyabiashara wa kampuni ya utalii john justine lililotokea sombetini mjini hapa juzi pia jeshi hilo limefanikiwa kushika bastola moja aina ya UNK iliyotengenezwa UNK na risasi moja ikiwa imefichwa chini ya godoro huku namba zake zikiwa zimefutwa na kofia moja ya kufunika uso na macho wakati wakifanya uhalifu huo UNK wa polisi mkoa wa arusha bwana leonard paul aliwataja walikamatwa akiwemo samson james maarufu kwa jina la kababaa wa unga ltd mjini hapa aliyeachiwa huru kwa rufaa mwaka jana baada ya kufungwa miaka thebathini jela mwaka ishirini sifuri tano kwa hatia ya wizi wa kutumia silaha wengine ni daudi UNK mganda anayeishi wilayani monduli mkoa wa arusha wambura chacha mkazi wa sokoni one na ali ernest mparee mkazi wa UNK mjini moshi mkoani kilimanjaro hata hivyo hakuwataja majambazi mengine UNK kwa sababu ya UNK pia jeshi hilo linamtafuta kwa udi na uvumba anayedaiwa kuwa jambazi sugu na ambaye pia anasadikiwa kuachiwa kwa rufaa mwaka jana baada ya kufungwa miaka thebathini mwaka ishirini sifuri tano kwa kupatikana na hatia ya wizi wa kutumia silaha aliyemtaja kwa jina moja la oscar mkazi wa unga ltd mjini arusha akizungumzia tukio la mauaji ya justine alisema kabla ya mauaji hayo kutokea awali watu wawili walifika nyumbani kwake eneo la sombetini saw UNK na UNK kama yupo na walipojibiwa hayupo waliondoka walirejea tena saa tatu usiku na kumshambulia kwa risasi na kufa papo hapo walirejea usiku huo wakiwa wengi zaidi na kuutumia mwanya wa shemeji yake justine UNK mlango akienda dukani na kumshambulia kwa na kufa papo hapo kupora simu na shilingi sitini sifuri sifuri sifuri huku UNK matusi ya nguoni alisema kamanda alisema baada ya tukio hilo walijipanga na kufanya UNK kali iliyofanikisha kumshika kababaa aliyekiri kuhusika katika tukio hilo la mauaji na kuwataja wenzake ambapo aliongoza kikosi maalumu kuwasaka wenzake na kufanikiwa kumnasa mparee mjini moshi katika tukio jingine jeshi la polisi mkoani hapa kwa kushirikiana na shirika la hifadhi za taifa na mamlaka ya hifadhi ya ngorongoro katika kijiji cha UNK wilayani ngorongoro wamefanikiwa kukamata bunduki aina ya g tatu namba mbili moja tatu sita tatu sifuri saba na risasi kumi na tatu UNK na mtu mmoja aliyetambuliwa kwa jina la munga UNK anayesadikiwa kukimbia nchini kenya kwa UNK serikali ya iran imeidhinisha mpango wa kujenga mitambo kumi ya kurutubisha madini ya UNK licha ya mpango huo kupigiwa makelele na nchi za magharibi kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali serikali hiyo UNK shirika UNK nishati ya nyuklia kuanza kazi katika maeneo matano wakati mitambo mingine mitano itaanza kazi katika kipindi cha miezi miwili ijayo hatua hiyo imetokea siku kadhaa baada ya shirika la umoja wa mataifa la kudhibiti nguvu za atomiki kuikosoa iran kwa kuweka siri mitambo inayohusika na shughuli hizo ikulu ya marekani white house ilisema hatua hiyo ni mwendelezo wa vitendo vya iran kukiuka majukumu yake bayana huku uingereza UNK taarifa hizo kuwa ni tatizo kubwa na la kusikitisha uingereza ilisema kuwa hatua hiyo ya iran pia imelenga kuvunja azimio la umoja wa mataifa kwa kipindi kirefu mataifa ya magharibi yenye nguvu yamekuwa yakisema kuwa iran inataka kujaribu koboresha silaha zake za nyuklia ingawa nchi hiyo imekuwa ikisema kuwa mpango huo ni kwa ajili ya amani hata hivyo mtambo wa kwanza wa nyuklia ambao unajengwa katika eneo la UNK bado unaendelea na ujenzi huku mitambo mingine ikiwa bado ipo katika michoro ya ramani inaelezwa kuwa chini ya mpango huo iran itaongeza uzalishaji kutoka tani iliyokuwa ikizalisha miaka iliyopita hadi kufikia uzalishaji wa tani thebathini sifuri kwa kila mwaka mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya mwalimu nyerere bwana joseph butiku amewataka vijana kuondoa mtandao na makundi yaliyopo serikalini ili kujenga nchi inayojali maslahi ya wananchi akizungumza jana dar es salaam katika kongamano la kujadili mustakabali wa taifa na kumbukumbu ya miaka kumi ya ya kifo cha baba wa taifa hayati julius nyerere alisema kuwa makundi yaliyopo sasa yalianza mwaka elfu moja na mia tisa na tisini na tano katika kikao cha kamati kuu bwana butiku alisema katika kikao hicho vijana walienda na ilani tofauti ya ccm ambapo walilazimisha maamuzi yao kuliko ya ccm mlianzisha mtandao katika chama chenu na sasa UNK na katika mtandao huo hakuna mzee hata mmoja labda rais kikwete hivyo nendeni muondoe alisema bwana butiku wakati akijibu hoja ya mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya ccm bwana nape nnauye aliyedai kuwa wazee ndio wanaoleta mgawanyiko ndani ya ccm bwana nnauye alisema wazee ndani ya ccm UNK vijana kile walichofundishwa na mwalimu nyerere hasa maadili unapotaka ubunge UNK una kiasi gani cha fedha badala ya kuulizwa UNK au UNK kuongoza alisema bwana nnauye katika majibu yake aliyotoa huku UNK bwana butiku alisema mkishindwa kuondoa UNK UNK na UNK kusudi UNK kama mnavyotaka hadi UNK alisema bwana butiku aliongeza kuwa katika makundi hayo wananchi wengi wamebaki hewani kwa kutojua chanzo chake kutokana na viongozi wengi kutofautiana alisema kuwa baba wa taifa aliiacha tanzania ikiwa safi ambapo uroho wa mali za baadhi ya viongozi umesababisha nchi kuwa na takataka ambazo haziwezi kuondolewa mapema hatuwezi kuwa na rais ambaye ni mtumwa tunatakiwa kumsaidia rais kuondokana na matatizo yaliyopo kwa kuwafichua mafisadi na kuwaondoa kabisa katika uongozi UNK rais acheni kupiga majungu alisema bwana butiku aliongeza kuwa viongozi wanaoleta mpasuko ndio hao wanaogombea pesa za kuleta maendeleo na mali nyingi kwa ajili ya maslahi yao wenyewe kiongozi huyo alitoa ujumbe kwa wananchi nchi hii ukisema ukweli unaonekana mbaya na unaweza kufukuzwa kazi ukisema kuwa kiongozi hafai UNK mabaya yake sio kuongea na kuwaacha watu bila suluhisho alisema bwana butiku amewaomba viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa dini kuungana na kuwafundisha wananchi maadili ili kuyaenzi aliyoacha baba taifa hoja ya iliyotolewa na katibu wa fedha na uchumi wa chama cha mapinduzi bwana amos makala juu ya mpango wa kufanya harambee ili kukinusuru chama hicho dhidi ya fedha za kifisadi katika uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini moja sifuri imekuwa wa msumari moto ndani ya chama hicho moto wa hoja hiyo umesababisha katibu mkuu wa chama hicho bwana yusuf makamba kujitenga nayo na kulieleza gazeti hili kwa ufupi kuwa jambo hilo aulizwe aliyesema kisha alikata simu huku bwana makala aliyetoa hoja hiyo naye akiweka baya kuwa haikuwa kauli ya chama bali mapendekezo yake binafsi tayari mpango huo UNK na chama cha wananchi ambacho kimedai kuwa ccm haina ubavu wa kukwepa michango ya matajiri iliyotokana na ufisadi na kwamba kauli hiyo ya bwana makalla ni propaganda za kuwahadaa wananchi ili chama hicho kionekane kinapiga vita ufisadi taarifa ya cuf iliyokaririwa na gazeti hili jana ilisema mpango huo hautaweza kufanikiwa kwa kuwa miongoni mwa wanachama wa ccm wanatuhumiwa kuhusika katika ufisadi huku wengi wao wakiwa ni viongozi katika halmashauri kuu ya taifa na kamati kuu na hadi sasa hakuna ambaye amevuliwa madaraka au uanachama kutokana na kashfa hiyo akizugumza na majira kwa simu jana bwana makala alidai kuwa kauli hiyo aliyoitoa mjini songea yalikuwa ni mapendekezo yake binafsi ambayo UNK katika vikao vya idara ya fedha ambayo yeye ni mkuu wake kwa ajili ya kupitishwa na kupelekwa katika vikao vya juu alisema baada ya kuwasilisha mapendekezo hayo ndani ya vikao vya idara yake yatapelekwa katika sekretarieti ya kamati kuu na kujadiliwa na baadaye UNK katika vikao vya kamati kuu ambayo kimsingi ndiyo yenye maamuzi ya mwisho katika masuala ya uchaguzi suala hili ni mapendekezo yangu na wala si kauli ya chama bado ni nadharia tu niliyosema hata rais wetu jakaya kikwete alishawahi kuyasema kuwa lazima chama UNK kutafuta mapato kwa kutegemea jasho la wanachama badala kutegemea wafadhili jambo hilo nilizungumza mimi kama makala kwani ni mapendekezo yaliyotoka katika vikao vya idara yangu na sio kama chama kama ingekuwa imeamuliwa na kamati kuu angezungumza mheshimiwa john chiligati na hata UNK mheshimiwa mkamba UNK kwani litakuwa limezungumzwa katika vikao vya maamuzi alisema katika mapendekezo yake juu ya mpango huo alipendekeza njia tatu michango ya UNK wenyewe harambee itakayofanyika katika ngazi ya taifa hadi wilaya na kuchangia fedha kupitia ujumbe mfupi wa simu za mikononi alisema mbinu hizo zinaweza kufanikiwa kwa kuwa chama hicho kina wanachama zaidi ya milioni nne hivyo kama kila mwanachama UNK shilingi hamsini sifuri UNK shilingi bilioni mbili na iwapo watachanga shilingi moja sifuri sifuri sifuri kwa kila mwanachama UNK shilingi bilioni nne hata hivyo bwana makalla UNK juu cuf kuwa UNK mpango huo kwa kuogopa mafanikio yake cuf UNK sauti kwa hoja dhaifu ccm inajivunia ushindi mkubwa wa asilimia themanini na tano wa serikali za mitaa na wanachama wake wanaozidi milioni nne mpango huu UNK kuchangisha fedha unawatia hofu cuf na wasioitakia mema ccm alisema na kuongeza tunasema mpango huu ni mzuri wenye uwazi na vyanzo safi vya kupata fedha kauli ya cuf inatutia nguvu kwani mwanamapinduzi wa china mao tsetung aliwahi kusema ukiona adui yako UNK jambo ujue hilo ni hatari liache mara moja lakini ukiona adui yako anabeza jambo hilo ni jema UNK kwa kuwa cuf wamebeza jambo hili ni jema na pigo kwa cuf na wote UNK mema ccm tanzania imesaini mkataba ushirikiano wa biashara ya pamoja na hong kong ili kuwasaidia wakulima wa chai na kahawa ili waweze kuzalisha wa wingi na kuweza kusaidia kukuza uchumi akizungumza jana katika hafla ya kusaini mkataba huo UNK wa bodi biashara ya nje bwana khalfan ramadhani alisema wafanyabiashara wa mazao ya chai wajitahidi kuhudhuria maonesho hayo yatakayofanyika machi mwakani wachina UNK zaidi ya mara sita lakini tutumie njia hii kujifunza jinsi wanavyofanya biashara na mataifa mengine bodi ya biashara ya nje ipo tayari kuwasaidia watakaojitokeza kuhudhuria maonesho hayo alisema bwana UNK alisema watanzania wanatakiwa kufanya biashara ya kujinufaisha na kulinufaisha taifa ambapo wengi wao huridhika na faida kidogo wanayoipata tofauti na kiwango UNK naye msaidizi wa mkurugenzi mkuu wa baraza la maendeleo la biashara hong kong bwana raymond yip alisema kuwa mkataba huo utasaidia kuongeza pato la taifa kutokana na kilimo kuwa na umuhimu katika ukuaji wa uchumi alisema ushirikiano wa biashara kati ya tanzania na hong kong umesaidia tanzania kupata dola za marekani milioni arobaini na tisa ikilinganishwa na uganda iliyopata dola za marekani milioni kumi na nane bwana yip aliwataka watanzania kujitokeza kushiriki maonesho hayo ili kupata kujifunza jinsi ya kutengeneza bidhaa na kufanya biashara pato la kila hisa la kampuni ya bia tanzania limeongezeka kwa asilimia thebathini hadi kufikia shilingi mia moja na thebathini kwa mwaka unaoishia septemba ishirini sifuri tisa ikilinganishwa na pato la shilingi kumi sifuri zilizopatikana mwaka ishirini sifuri nane hali hii imesababisha bodi ya wakurugenzi wa kampuni hiyo kutoa gawio la shilingi sitini kwa kila hisa japokuwa hakuna badiliko ikilinganishwa na gawio UNK na bodi kwa mwaka unaoishia septemba ishirini sifuri nane kwa mujibu wa taarifa ya fedha ya muda ya kampuni hiyo faida imeongezeka kwa asilimia ishirini na sita hadi bilioni hamsini na tisa mwaka huu kutoka bilioni arobaini na sita zilizopatikana mwaka ishirini sifuri nane taarifa hiyo inaonesha kwamba hesabu za kifedha za kampuni hiyo ni nzuri huku viashiria mbalimbali vya biashara UNK kukua kwa kiwango UNK tbl ambayo UNK katika soko la hisa la dar es salaam ina jumla ya hisa mia mbili na tisini na nne mia tisa na ishirini na nane mia nne na sitini na tatu zilizouzwa huku kila hisa ikiuzwa kwa shilingi moja mia saba na sitini hadi kufikia mwanzoni mwa wiki hii na mtaji wake katika soko ni bilioni mia tano na kumi na tisa ambazo ni kubwa ikilinganishwa na kampuni nyingine mkurugenzi wa tbl bwana robin UNK anaamini kwamba kukua kwa faida kumetokana na kukua kwa ukubwa wa soko la bidhaa za tbl nchini pamoja na kuongezeka kwa bei ya bidhaa kampuni yetu imeendelea kujikita katika kupanua uzalishaji ili kuendana na ukuaji wa mahitaji ya bidhaa zetu alisema katika taarifa yake alisema kwa nusu ya kwanza ya mwaka huu kampuni yake imewekeza kiasi cha shilingi bilioni hamsini na saba huku nyingine shilingi bilioni hamsini na tano zikiwa zimepangwa kutumiwa katika nusu ya pili ya mwaka unaoishia machi ishirini moja sifuri na makumba mwemezi mwili wa aliyekuwa wakili katika kesi ya abdallah zombe marehemu moses maira aliyefariki dunia juzi nchini marekani alikokuwa kwa matibabu unatarajiwa kuwasili nchini aprili thebathini kwa ajili ya mazishi akizungumza nyumbani kwa marehemu dar es salaam jana msemaji wa familia bwana UNK wilson alisema awali walitarajia kusafirisha mwili wa marehemu kesho ambapo UNK jumapili lakini kutokana na ndege kujaa wamepangiwa aprili ishirini na nane ambapo ndege itafika nchini aprili thebathini alisema taratibu za mazishi zinaendelea vizuri na kuwa marehemu anatarajiwa kuzikwa dar es salaam mara baada ya mwili kuwasili marehemu maira ndiye aliyekuwa wakili katika kesi inayomkabili aliyekuwa kaimu kamanda wa polisi mkoa wa dar es salaam ambapo anatuhumiwa kuwaua wafanyabiashara wa madini kutoka mahenge morogoro pamoja na dereva teksi wa dar es salaam kifo cha wakili wa zombe kimekuja siku chache baada ya kifo cha aliyekuwa mshitakiwa na shahidi muhimu katika kesi hiyo ya mauaji marehemu koplo rashid lema aliyefariki dunia kwa ugonjwa wa saratani akimzungumzia wakili maira mkwe wa marehemu ambaye pia ni wakili katika kampuni ya membar law UNK bwana yassin membar alisema alikuwa mchapakazi mwenye upendo na moyo wa kusaidia ndugu wawili wenye asili ya kiasia bwana ajay soman na bwana UNK soman wanaokabiliwa na mashtaka sita likiwemo la wizi wa shilingi milioni mia nne na hamsini na tano nane katika akaunti ya madeni ya nje katika benki kuu ya tanzania wameachiwa kwa dhamana baada ya kukamilisha masharti ya kutoa hati ya nyumba yenye thamani ya shilingi milioni mia nane na themanini na nane washitakiwa hao pia wamekamilisha sharti jingine la kuwasilisha hati za kusafiria na mdhamini mmoja kwa kila mmoja kwa ahadi ya kauli ya shilingi milioni kumi hata hivyo kwa kuwa hati ya nyumba iliyotolewa mahakamani inamhusu mshtakiwa kwa kwanza na upande wa utetezi ukaomba itumike kwa wote hakimu bibi devota kisoka alimtaka mwenye hati hiyo kukubali kwa maandishi hati yake itumike kumdhamini mwenzake washitakiwa hao walifikishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu wakikabiliwa na mashtaka sita tofauti mashtaka yanayowakabili ni kula njama za wizi wa shilingi milioni mia nne na hamsini na tano nane UNK kufanya kati ya januari ishirini na nne na oktoba thebathini na moja mwaka ishirini sifuri tano katika shtaka la pili inadaiwa kuwa mnano aprili kumi na mbili mwaka ishirini sifuri tano jijini dar es salaam washitakiwa kwa pamoja walighushi hati za kuhamisha deni kutoka kampuni ya urg papier ya uingereza kwenda kampuni ya ruaha investment ya tanzania washitakiwa hao wanadaiwa kuwa mnamo oktoba kumi na tano mwaka ishirini sifuri tano walitoa hati za uongo katika benki ya bot zilizoonyesha kuwa kampuni ya urg ya uingereza UNK deni la shilingi milioni mia nne na hamsini na tano nane kampuni ya ruaha ya tanzania shtaka la nne ni la kughushi ambapo inadai mnamo januari ishirini na nne mwaka ishirini sifuri tano jijini dar es salaam washitakiwa kwa pamoja hati za usajili namba elfu arobaini na tano na mia tatu na sitini na nane ya januari ishirini na nne mwaka ishirini sifuri tano iliyoonesha hati hizo ni halali na UNK na kutolewa na msajili wa kampuni ya ruaha shtaka la tano ni la kutoa hati za uongo oktoba ishirini na tano mwaka ishirini sifuri tano katika benki ya UNK ambazo zilionyesha kuwa ni halali na zimesajiliwa na msajili wa kampuni ya ruaha UNK shitaka la mwisho ni wizi shilingi milioni mia nne na hamsini na tano nane ambapo inadaiwa kati ya oktoba ishirini na saba na oktoba thebathini na moja mwaka ishirini sifuri tano washitakiwa kwa pamoja waliiba fedha hizo kutoka katika akaunti ya epa mbali na kesi hiyo pia washtakiwa hao wanakabiliwa na kesi nyingine katika mahakama hiyo kesi hiyo imeahirishwa hadi desemba saba mwaka huu itakapotajwa tena kampuni ya tanzania UNK ltd imeahidi kuhudumia wafanyakazi wake watakaogundulika kuambukizwa virusi vya ukimwi meneja raslimali watu na utawala wa tdl bwana ramadhani njenje alisema amefarijika kuwa asilimia tisini na saba ya wafanyakazi hao wamepima afya zao na kuwahimiza kuendelea na ujasiri huo ni jukumu la kila mfanyakazi kujilinda na maambukizi ya vvu lakini UNK na kukutwa UNK kampuni itamsaidia na UNK siri alisema bwana njenje meneja ufundi wa tdl bibi khadija madowili aliyemwakilisha meneja mkuu alisema mapambano dhidi ya ukimwi sehemu za kazi ni mpango ambao utaendelea kuhamasishwa ili wafanyakazi wote wawe na afya njema bibi madowili katika maadhimisho hayo wafanyakazi hao waliwasha mishumaa kuwakumbuka wenzao waliofariki kwa ukimwi na kuzima baada ya kuwaombea dua meneja mauzo wa tdl bwana charles fumbo alisema kiwanda hicho si kama kinapoteza fedha kugharimia mapambano ya ukimwi kwa sababu lengo ni kuhakikisha wafanyakazi wanafanya kazi wakiwa na ari hasa baada ya kujua hali ya afya zao mwenyekiti wa kamati ya uhamasishaji wa mapambano ya ukimwi wa tdl bibi latifa sharrif alisema juzi kuwa ugonjwa huo UNK kama wafanyakazi hao na jamaa inayowazunguka UNK ngono UNK katika maadhimisho hayo wafanyakazi wa tdl walipewa elimu ya kuepuka maambukizi kwa kugaiwa vipeperushi kondomu na kuelimishwa kuepuka UNK chuo kikuu cha st john kimepanga kuanzisha mfuko wa udhamini kwa ajili ya kutoa msaada au mkopo wa ada kwa wanafunzi walioko katika makundi maalumu wanaosoma katika chuo hicho ili kuwawezesha watanzania wengi kutimiza ndoto zao za kuhitimu elimu ya juu ili kutimiza adhima hiyo desemba nane mwaka huu chuo hicho UNK mfuko maalumu wenye lengo la kutoa udhamini kwa wanafunzi wasiokuwa na uwezo ambapo watu mbalimbali watachangia ili kuongeza kiwango cha pesa mbali na kilichotengwa na uongozi wa st john hayo yalisemwa jana dar es salaam na mkurugenzi wa maendeleo na mipango wa st john bwana UNK benedict alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari juu ya mpango huo wa kuwasaidia wanafunzi wanaosoma katika chuo hicho kama mnavyojua gharama za masomo kwa wanafunzi wa elimu ya juu limekuwa ni suala gumu kiasi mpaka sasa serikali imekuwa ikijitahidi kadri ya uwezo wake lakini haiwezi kumudu kuwasapoti watanzania wote lakini tumedhamiria kutoa ushirikiano kwa serikali kwa kuanzisha mfuko huu wa ufadhili kwa wanafunzi mfuko huu wa ufadhili utalenga kuwasaidia wanafunzi wanaosoma katika chuo chetu walioko katika makundi maalumu ya walemavu maskini wa kipato wale wanaotoka katika jamii zilizoko nyuma ki elimu na wanawake ili kuleta usawa wa kijinsia alisema bwana benedict bwana benedict alisisitiza kuwa watanzania mbalimbali wanapaswa kuwa wadau wa elimu wanapaswa kuziba mwanya UNK na serikali katika kudhamini wanafunzi hivyo UNK kujitokeza kuchangia katika mfuko huo kama wanavyofanya katika masuala mengine ya kijamii kwa upande wake afisa habari wa chuo hicho bwana karim meshack alisema wameamua kuanzisha mfuko huo wa udhamini kwa wanafunzi baada ya kugundua kuwa wanafunzi kati ya asilimia tano kumi wanashindwa kumaliza masomo yao chuoni hapo kwa kukosa karo kama chuo tayari tumeweka fungu kwa ajili ya mfuko huo kwa sababu hauwezi kuomba msaada wa kuchangiwa bila kuwa na kiasi fulani tunategemea mfuko huu uanze kufanya kazi januari mwakani alisema bwana meshack hafla ya uchangiaji na uzinduzi wa mfuko huo inayotarajiwa kuhudhuriwa na watu mbalimbali itafanyika mkoani dodoma ambako ndiko yaliko makao makuu ya chuo hicho serikali imepanga kuhamishia huduma za mfuko wa afya ya jamii na ule wa utaratibu wa tiba kwa kadi kuwa chini ya mfuko wa bima ya afya nhif katika bajeti ya mwaka ujao wa fedha ili kuimarisha mifuko hiyo na kuiwezesha kuhudumia watu wengi kwa ufanisi mganga mkuu wa wizara ya afya na ustawi wa jamii daktari deo mtasiwa aliyasema hayo dar es salaam jana wakati akizungumza na ujumbe wa watu kumi na moja wakiwemo mawaziri wabunge wakurugenzi wa idara ya fedha uchumi mipango na sheria kutoka uganda daktari mtasiwa alisema kuwa lengo ujumbe huo ambao unaongozwa na waziri wa afya wa uganda daktari UNK richard ni kujifunza kwa tanzania jinsi gani UNK bima ya afya nchini mwao alisema kuwa mwaka ishirini sifuri moja mfuko wa afya ya jamii ambao kwa sasa huko chini ya wizara ya afya na ustawi wa jamii ulianzishwa ili kutoa huduma ya afya hasa vijijini ambapo ule wa tiba kwa kadi ulianzishwa mijini ambako kuna mwingiliano wa watu wengi alisema tatizo kubwa ambalo UNK mifuko hiyo ni usimamiaji usiokuwa imara na tatizo la upatikanaji wa dawa ambapo wananchama walikuwa wakienda hospitali lakini hawapati huduma UNK na michango yao lakini kwa sasa matatizo hayo UNK ila tatizo lingine lililopo ni juu ya ongezeko kubwa la wanachama wapya ukilinganisha na kasi ya utoaji huduma alisema alisema kuwa lengo la serikali ni kuhakikisha kwamba kila mtu anajiunga na mfuko huo na kwamba wataweka utaratibu kwa wazee na watu wasiojiweza kifedha kupatiwa kadi za kutibiwa bure akizungumzia ujumbe huo wa uganda daktari mtasiwa alisema kuwa aliueleza namna ambavyo tanzania ilianzisha mfuko huo changamoto walizokabiliana nazo na jinsi ambavyo na wao wanatakiwa kukabiliana nazo pindi UNK daktari mtasiwa aliwashauri pia kuangalia ni jinsi gani UNK kiwango ambacho kila mwananchi ataweza UNK daktari richard alisema kuwa wizara yake ina mchakato wa kuanzisha bima ya afya na tayari UNK muswada wa sheria bungeni mwaka ishirini sifuri sita wa kutaka kuanzishwa kwa mfuko huo na wanatarajia sheria hiyo kuanza kazi mwakani alisema kuwa yeye na ujumbe wake umekuja tanzania kwa lengo la kujifunza namna ya kufanya mchakato wa kuanzisha mfuko wa bima ya afya nchini mwao ili watakaporudi waweze kuhamasisha wananchi na kuishauri serikali namna ya kuanzisha mfuko huo nchi zinazozunguka bonde la mto nile zinatarajia kuadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa kwa ushirikiano baina yake desemba sita hadi nane mwaka huu ili kujadili mafanikio na changamoto wanazokabiliana nazo maadhimisho hayo yatafunguliwa na UNK wa rais daktari ali mohamed shein jijini dar es salaam na baada ya hapo majadiliano ya jumla ya jumla juu matumizi ya bonde hilo kwa ajili ya nishati kilimo na rasilimali za maji UNK nchi UNK kwenye ushirikiano huo ni kenya ethiopia UNK burundi uganda drc djibout na tanzania UNK maadhimisho hayo katibu mkuu wa wizara ya maji na umwagiliaji bwana christopher sai alisema jana kuwa kuwa watu hamsini sifuri wakiwamo mawaziri wa maji watalaamu mashirika ya umma binafsi na mabalozi kutoka nchi mbalimbali watashiriki alisema majadiliano hayo UNK na watalaamu wa kimataifa waliobobea katika masuala ya rasilimali za maji ili yaweze kutumika kwa usawa bila ya nchi moja kuona ina UNK zaidi ya kutumia zaidi ya nyingine ushirikiano wa nchi za bonde la mto nile ulianzishwa dar es salaam february ishirini na mbili elfu moja na mia tisa na tisini na tisa na sasa umetimiza miaka kumi mwaka huu ambapo kwa sasa kupitia maadhimisho haya tutakuwa na fursa nzuri ya kujadili na kuleta mahusiano mazuri zaidi katika utumiaji wa maji hayo tofauti na ilivyokuwa huko nyuma alisema bwana UNK akifafanua zaidi alisema majadiliano hayo UNK katika kupanga njia za matumizi ya maji hayo kwa usawa uanzishaji wa miradi ya pamoja utunzaji wa mazingira na vyanzo vya UNK hilo alisema mto nile ni wa pili kwa urefu duniani baada ya amazon wa america kusini ukiwa na urefu wa kilomita sita sabini sifuri watu milioni mia moja na sitini hutegemea maji yake kwa jili ya kilimo nishati kunywa na matumizi mbalimbali bwana sai alisema tanzania kwa sasa inatarajia kutumia maji ya mto nile kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji ukiachilia mbali mradi wa maji ya ziwa victoria ili kuongeza uzalishaji katika kilimo zikiwa zimesalia siku ishirini na nane kabla ya muda wa usajili wa namba za simu za mkononi kumalizika imefahamika kuwa simu zilizosajiliwa zimefikia milioni tano kati ya milioni kumi na tano na kufanya zile ambazo bado kuwa milioni kumi mkurugenzi mkuu mamlaka ya mawasiliano nchini professa john nkoma alibainisha hayo dar es salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari kuelezea maandalizi ya mkutano wa tisa wa wadau wa sekta ya utangazaji nchini unaotarajia kufanyika desemba nne mwaka huu professa nkoma alisema mpaka sasa namba zilizosajiliwa na kuingizwa katika mtandao ni milioni tano na kuongeza kuwa idadi hiyo inaweza kuongezeka baada ya namba zote zilizosajiliwa kuingizwa kwenye mtandao shughuli ya kusajili namba hizo inafungwa mwishoni mwa mwezi huu baada ya kudumu kwa miezi sita na baada ya hapo namna zote ambazo zitakuwa hazijasajiliwa zitafungwa huku kila atakayekuwa ananunua laini mpya atalazimika kusajili papo hapo kuhusu mkutano wa wadau wa sekta ya utangazaji profesa nkoma alisema utajadili makakati wa kuhama kutoka katika mfumo wa UNK kwenda dijitali ambapo wadau mbalimbali watapata fursa ya kutoa mchango wao UNK kufanikisha azma hiyo mkutano kama huu wa kila mwaka umekuwa UNK wamiliki na viongozi waandamizi kutoka vituo vya televisheni na redio hapa nchini na kualika wataalamu kutoka nje kuelezea uzoefu walionao alisema professa nkoma alisema baada ya kutangaza zabuni ya kurusha matangazo katika mfumo wa dijitali kampuni tatu zimeshinda zabuni hiyo ambapo kampuni moja wapo itapatiwa leseni ya kuanza kurusha matangazo hayo baada ya mchakato kukamilika alizitaja kampuni hizo kuwa ni star media yenye ubia na shirika la utangazaji tanzania na star communication basic transmission ltd yenye ubia na kampuni za ipp media sahara communication na kampuni ya agape associates yenye ubia na kampuni nyingine mbalimbali mfumo wa matangazo kwa njia ya digitali unalenga kuboresha programu na masafa ya utangazaji ambapo mpaka kufikia juni kumi na sita mwaka ishirini moja tano matangazo yote ya redio na televisheni UNK kwa mfumo huo kupitia kampuni moja itakayopewa dhamana hiyo wakati huo huo tcra imebaini kuwepo kwa kampuni inayotoa huduma ya mawasiliano kupitia mtandao wa UNK bila kibali cha mamlaka hiyo katika wilaya ya loliondo na kuahidi kuchukua hatua za kisheria pale uchunguzi utakapokamilika hata hivyo hakuitaja kampuni hiyo kwa madai kuwa kufanya hivyo ni kukiuka sheria ya utangazaji kwa kuwa uchunguzi bado unaendelea wakati baadhi ya wakazi wa mpwapwa dodoma waishio dar es salaam wamemtaka mbunge wa jimbo hilo bwana george lubeleje kutogombea nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa ishirini moja sifuri kwa madai ameshindwa kuleta maendeleo katika kipindi cha miaka ishirini yeye amesema hayo ni mawazo yao na mchezo wa siasa wakizungumza na majira dar es salaam juzi mwenyekiti wa umoja huo bwana jeremia chakwe amesema azimio hilo UNK hivi karibuni katika kikao chao kilichofanyika manzese tip top dar es salaam na kuhudhuriwa na watu mia mbili na hamsini bwana chakwe alisema katika kipindi cha miaka ishirini bwana lubeleje akiwa mbunge wa jimbo hilo ameshindwa kuleta maendeleo kwa wapiga kura ambao walimchagua wakiwa na imani kuwa angeweza kumaliza matatizo yao ya msingi na kuharakisha maendeleo katika jimbo hilo madai ambayo UNK mbali na mbunge huyo akisema kuna maendeleo makubwa jimboni humo akizungumza na majira kwa simu jana bwana lubeleje alisema kikundi cha watu wachache hakina uwezo wa kumshawishi asigombee tena nafasi hiyo kutokana na ukweli kwamba jimbo hilo limepiga hatua kubwa ya maendeleo tofauti na madai yanayotolewa na umoja huo hiki ni kipindi kigumu kwa wanasiasa hasa waliofanya mambo makubwa ya maendeleo katika majimbo yao ya uchaguzi jimbo langu la mpwapwa lina zaidi ya wakazi sitini sifuri sifuri sifuri ambao wamekuwa wakiongezeka siku hadi siku lakini bado nimefanikiwa kumaliza kero za wananchi wengi wa jimbo langu alisema bwana lubeleje alisema mbali ya changamoto hizo za kisiasa suala zima la miundombinu ya barabara jimboni maji afya na sekta elimu UNK na kuimarishwa zaidi ambapo jimbo hilo lina jumla ya shule za sekondari ishirini na sita anaongeza kuwa ni haki ya kikatiba ya kila mwananchi kugombea ubunge katika jimbo analotaka ambapo wapiga kura ndio uamuzi wa kumchagua kiongozi wanayemtaka bwana lubeleje aliongeza kuwa hivi sasa kuna mradi mkubwa wa maji uliopo mpwapwa mjini UNK shilingi bilioni nne saba ambao utekelezwaji wake umekamilika kwa asilimia sabini na unatarajiwa kukamilika aprili ishirini moja sifuri mradi huo unafadhiliwa na shirika moja la ufaransa kutokana na juhudi zake pamoja na serikali maelezo hayo ya bwana lubeleje yanaonekana si lolote kwa bwana chakwe anayasema wapiga kura katika jimbo la mpwapwa wameanza kuichukia ccm kwa sababu mbunge wake ameshindwa kutatua kero zao kama kuboresha miundombinu ya barabara huduma bora za afya katika hospitali za kata umeme na maji ambayo ni tatizo la muda mrefu linalokwamisha ustawi wa maendeleo ya wananchi alisema bwana UNK alisema ili imani ya wapiga kura iweze kurudi kwa chama hicho na jimbo hilo kuendelea kushikiliwa na ccm bwana lubeleje anapaswa kutumia UNK kutangaza kutogombea katika uchaguzi mkuu ujao ili kupisha wagombea wengine wenye nia na uwezo wa kutatua kero za wananchi katika kipindi kifupi alisema tamko la umoja huo UNK malalamiko ya wananchi wa jimbo hilo dhidi ya mbunge wao kwa madai ya kushindwa kutatua kero za msingi na kumtaka aige mfano wa mbunge wa dodoma mjini bwana ephraim madeje ambaye ametangaza kutogombea tena nafasi hiyo nchi za afrika zimetakiwa kuwa na msimamo mmoja kabla ya kufanyika kwa mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi copenhagen denmark wiki mbili zijazo ili kuzibana nchi tajiri UNK hali ya hewa kauli hiyo ilitolewa dar es salaam jana na waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais daktari batilda burian wakati akifungua mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi dar es salaam alisema kuwa nchi za afrika zinatakiwa ziwe na msimamo mmoja ili ziweze kubana nchi tajiri zinazozalisha hewa ya ukaa kabla ya mkutano mkutano huo ili kukabilina na hali hii ya mabadiliko ya tabia nchi wananchi pamoja na jamii wanatakiwa kutunza mazingira kwa kupanda miti na kuacha UNK mifugo mingi kupita kiasi katika eneo alisema daktari burian alisema kuwa tayari serikali imeshapokea dola za marekani milioni tatu tano kwa ajili ya kujenga ukuta wa mto pangani na wakazi wa pwani walioathiriwa na maji ya chumvi yanayosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi pia alisema wamepokea dola za marekani milioni tatu kutoka japani kusaidia meneo ya longido pwani na njombe kukabilina na tatizo hilo alisema euro UNK mbili mbili zitasaidia kujenga vituo katika vijiji sita tanzania bara na visiwani ili wananchi waweze kupatiwa elimu jinsi ya kutunza mazingira na kukabiliana na tatizo la mabadiliko ya hali ya hewa serikali imetoa onyo kali kwa wakazi na wafanyabiashara katika eneo la wilaya ya ilala wanaoendelea kukiuka sheria na taratibu za utunzaji wa mazingira kuwa hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao uamuzi huo wa kuwachukulia hatua kali za kisheria umefikiwa baada ya kipindi cha elimu ya utunzaji wa mazingira kuisha huku kukiwa hakuna mabadiliko ya kuridhisha hata katikati ya jiji la dar es salaam mkuu wa wilaya ya ilala bwana evans balama alivieleza vyombo vya habari hatua zinazochukuliwa na serikali ya wilaya yake kuzuia uchafuzi wa mandhari ya mji na kujikinga na ugonjwa hatari wa kipindupindu wananchi waache tabia ya uchafu tabia ya kula au kunywa vitu na kutupa tupa ovyo watu wanakula maembe machungwa ndizi miwa na kisha wanatupa barabarani wengine wanauza vyakula sehemu ambazo hazijathibitishwa na wataalamu wa afya tunawataka kuanzia sasa wafuate taratibu za manispaa ya ilala tumetoa elimu vya kutosha UNK waache mazoea hayo UNK kuwa watasikia sasa muda huo umekwisha wote wanaokiuka tutawafikisha mbele ya sheria tumewasikia wakitamba na kuidharau serikali kuwa haitafanya jambo lolote kwa kuwa wamezoea kusikia ikisema bila kuchukua hatua alisema bwana balama bwana balama alisema kuwa hatua hizo za kisheria pia UNK watumishi wazembe wa manispaa ya ilala ambao kwa namna moja au nyingine wamekuwa chanzo cha kuendelea kwa uchafuzi wa mazingira ya mji alisema anao ushahidi jinsi wafanyakazi wa manispaa hiyo UNK katika kuvunja kanuni za usafi na kuwaruhusu wafanyabiashara kuendelea kufanya shughuli zao katika maeneo yasiyoruhusiwa hivyo amewataka kuacha mara moja na kuwataka kila mmoja atimize majukumu yake kadri atakavyokuwa UNK nimezungumza leo asubuhi na wenzetu wa manispaa kwa kweli tumeazimia kuwa kila mmoja UNK sehemu ya kufanyia kazi ili UNK sehemu hiyo ni chafu na hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa basi mtumishi huyo anapaswa kuwajibika akizungumzia hatari ya mvua za el nino alisema pia nitumie fursa hii kuwakumbusha wale wenzetu wanaokaa mabondeni kama jangwani na wale UNK kandokando ya mifereji kuhama mara moja ili kujiepusha na athari zinazoweza kujitokeza pindi mvua kubwa UNK kunyesha sakata la wafanyakazi wa kampuni ya reli tanzania la kudai mshahara wao wa mwezi novemba mwaka huu limefikia hatua ya kutangazwa mgomo nchini nzima sambamba na kusitisha huduma ya usafirishaji wa abiria na mizigo mgomo huo ambao UNK kutangazwa jana ulitokana na kauli ya mkurugenzi mtendaji wa trl bwana hundi al UNK kwa katibu wa chama cha wafanyakazi wa reli bwana UNK rwegasira kuwa hana matarajio ya kuwalipa mshahara wao jana kutokana na kauli hiyo bwana rwegasira aliwaeleza wafanyakazi ambao walipendekeza mkurugenzi huyo afunge virago na kuondoka kuelekea kwa watetezi wake waliotajwa ni wizara ya miundombinu ujumbe huo uliporejeshwa kwake aliupokea lakini akaomba usalama wa menejimenti yake na magari yao matano wakati wa kutoka ndani ya ofisi zao baada ya juzi magari hayo kutolewa upepo na wafanyakazi baada ya maelezo hayo shangwe vigelegele na nyimbo zilitawala kwa kwa wafanyakazi ambao walijipanga mistari miwili kutoka ofisi hizo hadi barabara ya stesheni mtaa wa algeria UNK mbwembwe za wafanyakazi hao ziliendelea kwa kuyapamba magari kwa matawi ya miti na karatasi za zawadi na kuwekewa msalaba mkubwa ulioandikwa ulizaliwa ishirini sifuri saba kufariki ishirini sifuri tisa na utazikwa leo miundombinu au kesho india muda mfupi kabla ya safari kuanza huku kukiwa UNK mchango wa kununuliwa kufuli za kufunga mageti ghafla kamanda wa polisi kikosi cha reli bibi ruth makelemo alifika na kundi la askari na kuzuia msafara huo na kuwataka viongozi hao wa trl kurejea ofisini kwa maelezo zaidi bibi ruth aliwakutanisha trawu na menejimenti ya trl na kuelezwa kilichojiri hadi kufikia uamuzi huo ambao hakukubaliana nao na kusema ni kinyume cha sheria kuwaondoa bila kibali chochote kutoka wizarani alisema kuwa moja ya matatizo ambayo yangetokea kwa wakati huo ni mengi yakiwemo usalama duni kupotea kwa nyaraka za kampuni kukiuka sheria za mkataba na hata yeye asingepata cha kueleza kama kamanda wa reli viongozi wa trawu walianza kujibizana na kamanda huyo na yeye akatishia kutumia dola kuwatawanya ndipo bwana rwegasira alipotangaza rasmi mgomo nchi nzima huku akimpa masharti likiwamo la kufuatilia mishahara yao hadi UNK benki kuunganisha mabehewa na vichwa vyake ulinzi wa mali za kampuni kuhakikisha mkono wa heri kwa wafanyakazi UNK pia walimtaka kamanda huyo ambaye alizomewa na kuambiwa amepewa rushwa kuwatangazia kupitia vyombo vya habari kuwa mkataba umevunjwa ndipo watakaporejea kazini baada ya hapo bwana rwegasira aliwasiliana na vituo vyote vya treni nchini kusitisha huduma ya usafiri hapo hapo walipo ikiwemo treni UNK dar es salaam juzi saa kumi na moja jioni kwenda kigoma ambayo UNK kituo cha manyoni na grace michael upelelezi wa kesi inayomkabili mkurugenzi wa kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ya richmond tanzania bwana naeem gire ya kutoa taarifa za uongo kuhusiana na kampuni hiyo bado haujakamilika hatua hiyo ilijulikana jana mahakama ya hakimu mkazi mbele ya hakimu mkazi bibi warialwande lema wakati kesi hiyo UNK upande wa mashitaka uliokuwa ukiongozwa na wakili wa serikali bwana timoth vitalis uliiambia korti kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika hivyo ipangwe tarehe ya kutajwa wakati upande huo ukiendelea na uchunguzi zaidi kutokana na maombi hayo kesi iliahirishwa mpaka mei ishirini na sita mwaka huu awali mshitakiwa alifikishwa mahakamani hapo akidaiwa machi kumi na tatu ishirini sifuri sita kinyume cha sheria alighushi hati inayompa nguvu kisheria akionesha imetolewa na mwenyekiti wa kampuni hiyo wa marekani bwana mohamed gire UNK kuendesha shughuli za kampuni hiyo hapa tanzania alidaiwa kuwa kwa makusudi akiwa tanesco ubungo aliwasilisha hati UNK inayompa mamlaka ya kuendesha shughuli za kampuni hiyo anadaiwa kutoa taarifa za uongo kwa watumishi wa umma ambao walikuwa ni wajumbe wa bodi ya tenda kuwa richmond ilikuwa na uwezo wa kuzalisha megawati kumi sifuri za umeme kwa lengo la kuwashawishi wajumbe hao kuichagua kampuni hiyo pia anadaiwa kutoa taarifa za uongo kwa timu ya majadiliano ya serikali ambao ni watumishi wa umma kuwa kampuni ina uwezo wa kuzalisha umeme kwa lengo la kutoa ushawishi ili iweze kuidhinisha kampuni hiyo kufanya biashara hiyo hapa nchini katika shitaka la mwisho mshitakiwa alidaiwa juni ishirini sifuri sita akiwa dar es salaam aliwasilisha hati iliyosainiwa na bwana gire wa nchini marekani ikionesha kumpa mamlaka ya kuendesha biashara za kampuni ya richmond hapa nchini umoja wa mataifa umetoa taarifa rasmi kuhusu ripoti UNK tanzania kuwasaidia waasi wa jamhuri ya kidemokrasia ya watu wa congo kuwa ililalamikiwa wakati haijachapishwa rasmi pia umoja huo UNK na ripoti hiyo ukieleza kuwa ilitolewa na jopo la wataalamu walioteuliwa na kupewa mamlaka ya kutafiti iwapo maamuzi ya UNK vikwazo vikundi vya waasi vilivyoko drc UNK taarifa ya un UNK gazeti hili jana ilisema ripoti hiyo haipaswi kuhusishwa moja kwa moja na sekretarieti ya un wala mashirika yake yaliyopo nchini bali UNK na jopo hilo chini ya mwenyekiti wa kamati ya vikwazo vya drc ambayo kwa sasa inaongozwa na uturuki taarifa hiyo iliyosainiwa na afisa habari wa un bibi UNK UNK imekuja siku chache baada ya waziri wa mambo ya nje bwana bernard membe kutoa tamko la kulaani ripoti hiyo kwamba ni ya uongo na kuitaka un kuiomba radhi tanzania ufafanuzi huo wa un unamaanisha kuwa bwana membe alilalamikia taarifa hiyo kabla ya kuchapishwa wala kujadiliwa na baraza la usalama la umoja huo hivyo kuondoa uhalali wake tayari chama cha demokrasia na maendeleo kimetoa tamko la kumkosoa bwana membe UNK kujibu hoja moja moja na kuwaacha waliotajwa katika taarifa hiyo kuwajibika badala ya kufunika kombe mwanaharamu apite hata hivyo pamoja na un kujitenga na ripoti hiyo imesema baada ya kukamilika itajadiliwa na baraza lake la usalama kundi hilo wa wataalamu limekuwa likitoa taarifa mara kwa mara juu ya utafiti wao kuhusu masuala ya vikwazo vya silaha huko drc ripoti ya sasa ambayo imezua mjadala katika vyombo vya habari haijachapishwa wala kupitishwa rasmi ingawa hatua hiyo itafanyika hivi karibuni kwa hiyo kikundi hicho cha wataalamu kimepewa mamlaka ya kufanya utafiti wa mara kwa mara na kutoa mapendekezo katika taarifa ambayo inajadiliwa na kamati ya vikwazo na baraza la usalama ambako kikundi hicho kinawajibika ilisomeka sehemu ya taarifa hiyo ya un nchini huku UNK kuwa wataalam hao wameongezewa muda wao wa kufanya kazi kwa mwaka mzima un inafanya kazi kama kitu kimoja kwa UNK idara mifuko mashirika na mipango mbalimbali bado kuna umuhimu wa kutofautisha kati ya mihimili ya utendaji kama baraza la usalama na ile inayohusika na utekelezaji wa sera kama vile sekretarieti ya un na mashirika yake yaliyoko nchini yakishirikiana na serikali katika shughuli za kimaendeleo ilisema taarifa hiyo na zahoro mlanzi kocha mkuu wa timu ya yanga kostadic papic anatarajia kupata kikosi cha kwanza cha timu yake mara baada ya kuwasili kwa wachezaji wake kumi waliopo katika mashindano ya kombe la chalenji yanayoendelea nchini kenya mbali na hilo yanga imesema mpaka jana mchana mshambuliaji wao raia wa kenya boniface ambani UNK nchini kujiunga na wenzake kujindaa na mzunguko wa pili wa ligi kuu ya tanzania bara na mashindano ya kombe la tusker akizungumza na gazeti hili dar es salaam jana msemaji wa timu hiyo UNK sendeu alisema timu yao inaendelea vizuri na maandalizi ya ligi kuu pamoja na kombe la tusker ila mpaka sasa papic hana wachezaji wa kikosi kwanza alisema kukosekana kwa wachezaji kumi ambao wana UNK na mataifa yao katika chalenji ndio sababu kubwa UNK kupata kikosi cha kwanza hivyo inabidi UNK mpaka mashindano yatakapomalizika unajua kwa sasa UNK vigumu kocha wetu papic kupata kikosi cha kwanza kama unavyojua wachezaji wetu karibu kumi wapo kwenye chalenji hivyo UNK na kazi ya ziada kupata timu itakayoanza maana UNK wachezaji wote wapo fiti huko alisema sendeu mbali na hilo alizungumzia hatma ya UNK ambapo alisema mpaka jana mchana hana taarifa yoyote ya mchezaji huyo kama amekuja au la ila kwa mujibu wa mawasiliano waliyofanya ilitakiwa awasili juzi kuhusu ambani mpaka leo hii mchana hajafika ila kwakuwa siku haijaisha labda anaweza kuja jioni lakini mpaka sasa sina taarifa UNK kuhusu yeye mimi ninachojua alitakiwa aje jana alisema sendeu wakati huohuo sendeu alisema wanasubili kwa hamu kubwa matokeo ya uchaguzi wa viongozi wa tawi la yanga mkoani mwanza kwani uchaguzi huo unafanywa kwa mujibu wa katiba yao timu za majeshi ya tanzania UNK medali mbili za dhahabu baada ya wanariadha wake sarah UNK na francis UNK kumaliza mbio za nusu marathon zilizofanyika juzi blantyre nchini malawi timu hiyo ambayo ipo nchini humo kushiriki mashindano ya jumuiya ya majeshi kwa nchi za kusini mwa afrika imekwenda na timu ya riadha soka na mchezo wa vishale ambapo jumla ya nchi kumi na mbili zinashiriki mashindano hayo kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari dar es salaam jana na mkurugenzi wa michezo wa jeshi la polisi tanzania jonas mahanga alisema medali hizo wamezipata kwa upande wa wanawake na wanaume alisema kwa upande wa wanawake nafasi ya pili ilikwenda kwa UNK william wa tanzania nafasi ya tatu ilikwenda kwa mzimbabwe nafasi ya nne ilikwenda kwa zambia na nafasi ya tano ilikwenda afrika kusini alisema kwa upande wa wanaume nafasi ya pili ilikwenda kwa mzimbabwe nafasi ya tatu ilichukuliwa na daniel sumuni wa tanzania nafasi ya nne imekwenda kwa paul sumaye wa tanzania na nafasi ya tano ilikwenda kwa mzambia michuano hiyo imeshirikisha nchi za malawi zambia msumbiji lesotho zimbabwe swaziland botswana namibia afrika kusini tanzania na mauritius na kulwa mzee shahidi wa tisa upande wa mashitaka bwana dotto ally amedai aliwaona majambazi maeneo ya ubungo mataa wakiwa UNK gari nyeupe huku UNK risasi na aliwatambua baada ya kumvamia na kumpora gari bw ally alidai hayo jana mahakama kuu ya tanzania mbele ya jaji projest rugazia alipokuwa akitoa ushahidi katika kesi ya mauaji yaliyotokea ubungo dar es salaam aprili ishirini ishirini sifuri sita alidai siku ya tukio akiwa na gari aina ya toyota UNK eneo la ubungo mataa aliona gari aina ya landcruiser likiwa UNK na watu huku UNK risasi hali hiyo ilimfanya UNK gari na kurudi maeneo ya buguruni alikotoka aliamua kuruka tuta ili kukimbia risasi zilizokuwa UNK alifanikiwa lakini alipofika tabata ami alilazimishwa kusimama shahidi alidai aliona gari ndogo kushoto kwake watu waliokuwa ndani ya gari hilo UNK kusimamisha lake katikati ya barabara na kwa kuwa walikuwa wameshika bunduki alitii mwingine alimtoa nje ya gari aliwataja washitakiwa hao kuwa ni wa nane yasini juma aliyevunja kioo kwa kitako cha bunduki na wa kumi na moja mt elfu sabini na saba na mia saba na hamsini na nne pte nazareth amulike UNK mke wa bosi wake akiwa kifua wazi akihojiwa na wakili wa utetezi bwana majura magafu kuhusu usahihi wa mahali alipotoa maelezo yake baada ya tukio alidai ni kituo cha urafiki bwana magafu UNK mwisho wa maelezo yake inaonesha alitoa kwa ocd ilala na si urafiki bwana ally alidai hayo ni makosa ya aliyekuwa UNK washitakiwa katika kesi hiyo ni mashaka mahenge rashid lembresi john mndasha martine mndasha philipo mushi jackson wangu haji hamisi yasin juma hamisi mjata musa mustafa mt elfu sabini na saba na mia saba na hamsini na nne pte nazareth amulike wickliff angaruki rashid abdikadiri james chamangwana na hussein iddi inadaiwa aprili ishirini ishirini sifuri sita maeneo ya ubungo mataa dar es salaam washitakiwa walimuua aliyekuwa mfanyakazi wa nmb tawi la wami morogoro evarist manyoni na mashitaka ya pili walimuua kwa makusudi askari d elfu sita na mia tatu na sitini na moja pc abdallah maro kesi itaendelea kesho wafanyabiashara wa viazi mviringo katika wilaya ya njombe mkoani iringa wameiomba serikali kupitia wizara ya kilimo chakula ushirika na masoko nchini kuwatafutia soko la zao hilo baada ya masoko kukataa ujazo ambao UNK na idara ya vipimo mkoani hapa wakizungumza na majira wafanyabiashara hao walisema kufuatia utaratibu uliowekwa na halmashauri ya wilaya hiyo ya kuzuia ujazaji wa gunia kwa mtindo wa lumbesa badala yake wanatakiwa kujaza mtindo wa UNK hali iliyofanya wafanyabiashara kusuasua kununua viazi hivyo bwana jordan mpinge ambaye ni mwenyekiti wa wafanyabishara wa viazi UNK wilayani humo alisema miaka miwili iliyopita kitengo cha vipimo cha serikali UNK marufuku kwa wafanyabishara kujaza gunia na kushona mtindo wa UNK bwana mpinge alisema huo pia umesababisha wakulima kutopata faida kwani wanunuzi wamepungua tofauti na awali hali inayochangia kurudisha nyuma maendeleo yao ikiwa ni pamoja na kukosa soko la uhakika kama ilivyozoeleka alisema athari wanazopata kutokana na kutii kwa amri iliyotolewa na watu wa vipimo kutoka mkoani wafanyabiashara kutoka mikoa ya arusha tanga pamoja nchi jirani ya kenya wamekuwa wakipata soko la uhakika kwani wao bado wangali wanatumia ujazaji wa lumbesa ambao wanunuzi UNK alisema upande wao hulazimika kukaa na mzigo zaidi ya wiki moja katika masoko ya dar es salaamu huku viazi vikiwa ndani ya gari wakisubiri wanunuzi ambao hata hivyo alisema ni wa kubahatisha na kusababisha viazi UNK vikiwa katika magari walitumia UNK mkuu wa mkoa wa dodoma daktari james msekela ameuagiza uongozi wa wilaya ya kongwa kuhakikisha wanasimamia sheria na kanuni za kilimo cha mtama hayo aliyasema jana wakati akizungumza na viongozi wa wilaya hiyo wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani hapa kwa lengo la kukagua shughuli mbalimbali za kimaendeleo hasa kilimo daktari msekela alisema kuwa wilaya ya kongwa ni UNK mwa wilaya ambazo zimepata fursa ya kuwa na zana nyingi za kilimo hivyo ni lazima uongozi wa wilaya kwa kushirikiana na maofisa ugani wakashiriki katika kuendeleza kilimo alisema mtama UNK zaidi dodoma hivyo juhudi nyingi hivi sasa zinaelekezwa katika zao hilo na wakulima wanatakiwa waelimishwe juu ya zao hilo ambalo linastahili katika mazingira ya ukame alisema viongozi wa wilaya hiyo lazima wawe na tabia ya kujifunza kutoka kwa watu wengine lakini pia lazima maofisa ugani nao lazima wajenge tabia ya kuwa na ushindani wajasirimali wenye ulemavu wa aina mbalimbali wamelalamikia bidhaa zinazotoka nje na kudai kuwa UNK soko la ndani hali inayowafanya kudidimia kiuchumi akizungumza kwenye maonesho ya siku ya maadhimisho ya walemavu disemba tatu mwaka huu mlemavu mmoja alisema fenicha za ndani hazipewi kipaumbele ukilinganisha za nje alisema serikali hununua fenicha zinazotoka nje ya nchi ambazo UNK kwa mbao halisi hali inayoleta hasara kwa UNK mimi ni mwanzilishi wa keko fenicha na kazi yangu kubwa ni kuchonga lakini tatizo linalotukabili ni soko fenicha zinazoingia sasa zinatuumiza hakuna anayetaka fenicha zetu za mbao halisi ambazo ndio imara alisema bwana salehe UNK maarufu kwa jina la achimwene ambaye ni mlemavu wa miguu walemavu wengine walisema kuwa UNK kwao ni tatizo kwani kuna baadhi hawana ofisi hivyo wamekuwa wakiuza bidhaa kama maonesho wakiitwa kwenye warsha na katika makundi mengine ya watu baada ya kukagua mabanda ya wajasiriamali wenye ulemavu mbalimbali mkuu wa wilaya ya ilala bwana evans balama alisema kuwa wafanye juhudi kutengeneza bidhaa bora ili kukabiliana na ushindani wa soko waziri wa nchi ofisi ya rais utawala bora bibi sofia simba amesema bunge haliwezi kusimamia taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini kwa kuwa lina majukumu mengi yaliyo chini yake bibi simba aliyasema hayo dar es salaam jana baada ya kufungua semina ya wadau waliopata ruzuku katika mfuko wa uadilifu uwajibikaji na uwazi bibi simba alisema kuwa kazi ya kutunga sheria ni kubwa hivyo kama taasisi hiyo itakuwa chini yake ni sawa na kuiongezea mzigo haiwezekani kila kitu kiwe chini ya bunge kila taasisi ina majukumu yake na itafanya kazi kama UNK bila kujali mtu yeyote alisema bibi simba kauli ya bibi simba ilitokana na maswali ya waandishi wa habari juu ya mapendekezo ya baadhi ya wadau UNK kongamano la miaka kumi ya kifo cha baba wa taifa mwalimu julius nyerere kutaka taasisi hiyo iwe chini ya bunge wadau hao walitaka takukuru iwe chini ya bunge kwa madai kuwa huenda ikashindwa kuchunguza baadhi ya viongozi wanaoiongoza taasisi hiyo katika utendaji wao wa kazi walidai kuwa takukuru haitaweza kuchunguza mabosi wao kwa kuwa ndiyo vingozi wanaowaongoza hivyo kazi ya taasisi hiyo itakuwa haina maana akizungumzia juu ya maadili ya viongozi bibi simba alisema kila kiongozi na mfanyakazi wa umma anatakiwa kuwa nayo yakienda sambamba na uadilifu serikali inaendelea na UNK kazi yake ya kuhakikisha uwajibikaji wa watumishi wake unakuwa wa hali ya juu japo uadilifu wa watumishi ni hali ya mtu binafsi alisema bibi simba aliwataka wadau waliopata ruzuku katika mfuko wa uadilifu uwajibikaji na uwazi kuzitumia fedha hizo kama ilivyopangwa ili kuelimisha jamii juu ya utawala bora mshitakiwa bwana jonson lukaza anayekabiliwa na kesi ya wizi wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya madeni ya nje amekiri kupeleka bot hati ya kutaka kulipwa zaidi ya shilingi bilioni sita akionesha kuwa walihamishiwa deni hilo na kampuni ya marubeni corporation ya japan mshitakiwa huyo alikiri jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya jopo la mahakimu linaloongozwa na hakimu UNK lyimo wakati wakisomewa maelezo ya awali ya mashtaka yanayowakabili yeye na mdogo wake bwana mwesiga UNK mshitakiwa huyo alidai kwamba hana uhakika na tarehe iliyopo katika hati ya mashitaka novemba kumi na nne ishirini sifuri tano pia wote walikiri kwamba ni wakurugenzi wa kampuni inayodaiwa kuhusika ya kernel ltd ya tanzania na wanaishi dar es salaam washtakiwa walikana maelezo mengine yote likiwamo la kukubaliana kuiba fedha bot kutengeneza hati ya kununua deni la zaidi ya shilingi bilioni sita ikionesha kampuni ya kernel UNK deni na kampuni ya marubeni kwa kiasi hicho wakili timony kabla ya kuwasomea maelezo hayo aliwasomea hati mpya ya mashtaka ambapo alidai washitakiwa kwa pamoja wanatuhumiwa kufanya uhalifu kati ya mwaka ishirini sifuri tatu na ishirini sifuri tano katika kesi hiyo washtakiwa wanadaiwa walikula njama kufanya wizi wa zaidi ya shilingi bilioni sita na mshitakiwa wa pili anadaiwa novemba ishirini sifuri tano alighushi hati ya kuhamisha deni ikionesha kampuni ya kernel ilihamishiwa deni la kisi hicho cha fedha na kampuni ya marubeni wakati si kweli pia inadaiwa novemba kumi na nne ishirini sifuri tano mshitakiwa jonson alipeleka bot hati hiyo ya kughushi ya kuhamisha deni wakitaka kulipwa mashtaka mengine inadaiwa walijipatia kiasi hicho cha zaidi ya shilingi bilioni sita kwa njia ya udanganyifu desemba saba mwaka ishirini sifuri tano kabla kesi kuahirishwa hadi januari sita mwakani itakapotajwa upande wa utetezi uliomba washitakiwa waruhusiwe kusafiri nje ya dar es salaam na mahakama ilikubali kesi hiyo itaanza kusikilizwa mfululizo februari ishirini na mbili hadi ishirini na sita mwaka huo mkazi wa mbagala kibonde maji bwana juma UNK amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya temeke kwa tuhuma za kukutwa na vifaa mia moja na hamsini vya kulipulia mabomu kinyume cha sheria mbele ya hakimu mkazi bibi fatuma kiwanga ilielezwa na mwendesha mashitaka wa polisi bwana UNK kombe kuwa mtuhumiwa alikamatwa novemba ishirini na tisa mwaka huu saa kumi na moja jioni maeneo ya maweni mjimwema dar es salaam akiwa na vifaa hamsini vya kulipulia mabomu pamoja na waya zake pia mshitakiwa inadaiwa alikutwa na vifaa vingine kumi sifuri visivyo na waya na mifuko ishirini na tano ya mbolea aina ya urea inayosadikiwa kutumika kutengenezea milipuko hiyo kinyume cha sheria mshtakiwa alikana makosa hayo na kwenda rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ya kuwa na wadhamini wawili wanaofanya kazi serikalini au katika mashirika UNK na kila mmoja asaini dhamana ya shilingi milioni kumi upelelezi haujakamilika na kesi iliahirishwa hadi desemba ishirini na moja mwaka huu watu wanane wamekufa kwa kipindupindu huku watu mia tano na sitini na nne wakiwa tayari wameugua ugonjwa huo katika wilaya zote za dar es salaam tangu UNK novemba kumi na mbili mwaka huu ugonjwa huo ambao hutokana na uchafu na kuwapata watu wasiozingatia kanuni za afya umeendelea kujichimbia dar es salaam na kuhatarisha maisha ya wakazi wake kaimu mganga mkuu wa jiji daktari hawa kawawa alisema jana kuwa ugonjwa huo kitu ambacho UNK kwa kuwa umesambaa katika wilaya zote alisema daktari kawawa na kufafanua kuwa hadi jana ilala walikuwa wamefikia wagonjwa mia mbili na hamsini na tatu temeke mia mbili na ishirini na kinondoni tisini na moja pamoja na idadi ya wagonjwa kuongezeka daktari huyo alisema juhudi zinafanyika kuhakikisha mazingira yanakuwa masafi na ugonjwa huo UNK kwa mujibu wa daktari kawawa majengo ya kuishi mia nne na arobaini na sita yamekaguliwa na kati ya hayo thebathini na sita hayakuwa na vyoo imara hivyo wamechukuliwa hatua za kisheria wakati katika majengo ya kufanyia biashara ndogo ndogo themanini UNK kwa kutofuata kanuni za afya watu hamsini na sita wamefikishwa katika mabaraza ya kata kwa kukiuka sheria na kanuni za afya na kutozwa faini ya kati ya shilingi tano sifuri sifuri sifuri hadi shilingi ishirini na tano sifuri sifuri sifuri kesi iliyofunguliwa na wafanyakazi wa kampuni ya ssb dhidi ya mmiliki wake bwana said salim bakharesa imeingia katika sura mpya baada ya wakili wa mdaiwa kuieleza mahakama ya kazi kuwa mteja wake hawatambui wafanyakazi hao akitoa hoja hiyo dar es salaama jana wakili huyo bwana issa maige alisema kuwa wadai hao hawana ajira kwa mdaiwa na kuongeza kuwa waliingia mkataba na kampuni ya nasoro ltd kwa upande wa wafanyakazi uliowakilishwa na wakili bwana thadei UNK ulipinga hoja hiyo na kudai kuwa washtakiwa wana mkataba na bwana bakharesa na kuwa hata vitambulisho vyao UNK na UNK hakimu anayesikiliza kesi hiyo bwana rweyemamu aliwataka mawakili hao wakae pamoja ili kueleweshana na kupeana baadhi ya vielelezo ambavyo vitasaidia katika uendeshaji wa kesi hiyo wafanyakazi hao UNK na kumtaka wakili aliyekuja kumwakilisha bwana bakharesa kuwa mstaarabu baada ya hakimu kumtaka asome baadhi ya vielelezo vinavyoonesha madai ya wafanyakazi hao na yeye kudai hakuwa na muda haiwezekani wakati sisi UNK kazini wewe unadai huna muda wa UNK vielelezo na kudai kuwa UNK UNK wewe kwani wewe ni nani alihoji haji jongo mmoja wa wafanyakazi mahakama hiyo ilishindwa kutaja tarehe ya kusikilizwa kesi hiyo baada ya kuona wafanyakazi hao UNK na kudai kuwa mawakili hao wafike ijumaa UNK tarehe ya kusikilizwa wafanyakazi hao walifungua kesi hiyo machi mwaka huu ya kumlalamikia bwana bakharesa kuwakataza kufungua tawi la wafanyakazi kiwandani kwake na kukataa kuwatambua kama waajiriwa katika kampuni yake wakati wengi wao UNK zaidi ya miaka kumi upande wa mashitaka katika kesi inayomkabili mkurugenzi wa kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura richmond tanzania bwana naeem gire umetakiwa kukamilisha upelelezi au kueleza hatua gani umefikia februari kumi mwakani hakimu anayesikiliza kesi hiyo katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu bibi UNK lema alifikia hatua hiyo baada ya upande wa utetezi kulalamikia taarifa za kutokamilika kwa upelelezi zinazotolewa na upande wa mashtaka kila siku ya kesi kesi hiyo ilitajwa jana na upande wa mashtaka ukiongozwa na wakili wa serikali bwana timony vitalis ulidai UNK haujakamilika na hivyo kuomba kesi UNK kutokana na ombi hilo wakili wa utetezi bwana alex mgongolwa aliiomba mahakama kutoa ahirisho la mwisho kwa upande wa mashitaka ili siku inayofuata wawasilishe taarifa ulipofikia upelelezi kwani wamechoshwa na kila siku upelelezi bado hakimu lema alisema anatoa ahirisho la mwisho na siku ya kesi upande wa mashtaka useme kama upelelezi umekamilika au la uwasilishe taarifa ya upelelezi UNK kesi hiyo iliahirishwa hadi februari kumi mwakani bwana gire alifikishwa mahakamani hapo akikabiliwa na mashitaka manne yakiwemo ya kughushi kuwasilisha hati ya uongo na kutoa taarifa za uongo kuhusiana na richmond jeshi la polisi UNK na kuanza kuwasaka upya watuhumiwa wa mauaji waliotoroka mkono wa sheria baada ya kudaiwa kuwaua wafanyabiashara wa madini wa mahenge na dereva teksi mmoja wa manzese dar es salaam katika utekelezaji wa zoezi hilo polisi wamesema watatangaza upya picha za watuhumiwa hao akiwamo saad alawi ambaye alidaiwa mahakamani kuwa ndiye UNK risasi wakati wa mauaji hayo wengine ni frank mbutu na james UNK mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai robert manumba alisema hayo jana dar es salaam katika mkutano wa mkuu wa polisi nchini igp said mwema na waandishi wa habari kuhusu masuala mbalimbali likiwamo la hatima ya watuhumiwa hao na kibarua cha aliyekuwa mkuu wa upelelezi mkoa wa dar es salaam bwana abdalah zombe mpaka sasa upelelezi bado unaendelea tunataka kuzitoa tena upya picha katika vyombo vya habari tunaomba wananchi wenye taarifa za watuhumiwa hao watoe taarifa ili waweze kuchukuliwa hatua alisema kauli hiyo ya dci imekuja wakati kuna agizo la mahakama kuu lililotolewa kwenye hukumu ya jaji salum masati kuwa polisi waendelee kuwatafuta UNK hasa wa mauaji hayo huku akiwaachia akina zombe na UNK wanane kuwa hawakuwa na hatia tayari serikali imekata rufaa kupinga hukumu hiyo akifafanua juu ya watuhumiwa hao dci manumba alisema kuwa wahalifu waliokimbia ndio hasa wanahusika katika mauaji hayo na kwamba pindi UNK ndipo ukweli kamili wa mauaji hayo UNK akizungumzia hatima ya kibarua cha bwana zombe dci alisema mkuwa wakati UNK huru na mahakama UNK kurudi kazini kwa kutokuwa na hatia lakini bwana zombe aliomba kustaafu na wakati ombi linashughulikiwa ngazi za juu rufaa UNK dhidi yake alisema kuwa wanachosubiri sasa ni rufaa na baadaye hatima yake katika utumishi UNK mtoto pacha aliyenusurika kuzikwa akiwa hai baada ya kuzinduka muda mfupi kabla ya kuingizwa UNK amekufa mtoto huyo ambaye alikuwa na umri wa siku moja aliibua hisia nzito kwa familia ya ally athuman baada ya madaktari wa hospitali ya temeke kudaiwa kuruhusu mazishi ya watoto wawili ambao ni mapacha lakini mmojawapo UNK yu hai mtoto huyo alishangaza UNK baada ya kuonyesha dalili za uhai na kuamua kumkimbiza hospitali ya taifa muhimbili ambako jana asubuhi alifariki dunia watoto hao mapacha walizaliwa na mama aitwaye aisha jabir mkazi mbagala maji matitu ambaye alipelekwa jumamosi saa sita mchana kwa ajili ya mapumziko akiwa na ujauzito wa miezi saba lakini hata hivyo hali yake ilibadilika ambapo juzi asubuhi alijifungua watoto wawili mapacha wa kiume ambapo madaktari waliokuwa UNK walidai kuwa wamefariki dunia akizungumzia tukio hilo babu wa watoto hao balozi babu alisema kuwa mtoto huyo UNK kukimbizwa muhimbili kwa ajili ya matibabu kwa sababu ya kuchelewa gari la wagonjwa amedai kuwa pia baada ya gari hilo kuwasili ilichukua zaidi ya masaa matatu ndipo mtoto huyo alipopelekwa hospitali ya muhimbili kutokana na hali hiyo familia hiyo iliamua kwenda moja kwa moja kituo cha polisi changgombe kwa ajili ya kuandika maelezo kwa ajili ya hatua zaidi hata hivyo mtoto huyo amefariki dunia jana asubuhi na mazishi yamefanyika jana mchana katika makaburi ya tambaza upanga akizungumza na majira baba wa marehemu bwana ally athuman alisema kuwa baada ya kumalizika kwa taratibu za maziko wanatarajia kwenda polisi kufungua mashtaka kwa ajili ya hatua zaidi amesema kuwa wanachoamini wao ni kuwa uzembe ndiyo ulichangia kwa kiasi kikubwa kifo cha mtoto wao ambaye alikuwa UNK gazeti hili lilifanya jitihada za kumtafuta mganga mkuu wa hospitali ya temeke bibi aisha mahita alisema kuwa uchunguzi wa kina unaendelea dhidi ya tuhuma hizo na kuahidi kutoa taarifa zaidi mwanafunzi mmoja wa shule ya sekondari anayetuhumiwa kufanya mauaji mkoani mwanza na kutorokea shinyanga amekamatwa na akiwa amevaa mavazi ya kike aina ya baibui akiwa katika harakati za kutoroka kamanda wa polisi wa mkoa wa shinyanga bwana daudi siasi amemtaja mwanafunzi aliyekamatwa kuwa ni daudi rashidi ambaye pia hutumia jina la athumani rashidi anayetuhumiwa kumuua mwanafunzi mwenzake jijini mwanza wiki iliyopita kamanda siasi alisema mbali ya mwanafunzi huyo ambaye alikamatwa juzi katika kituo kikuu cha mabasi mjini shinyanga polisi iliwakamata watu wengine watatu wanaodaiwa kushiriki katika mauaji hayo wengine waliokamatwa ni nixon robert pia mwanafunzi wa sekondari anayetuhumiwa kushiriki kumpiga mwanafunzi aliyekufa bwana ally rashid mfanyabiashara wa mtaa wa rufiji mjini mwanza ambaye anadaiwa kuwatorosha wanafunzi hao na bibi margaret george mkazi wa UNK shinyanga aliyekuwa awapatie hifadhi mtuhumiwa daudi alishtukiwa na abiria wenzake aliokuwa nao katika basi hilo kutokana na sauti yake kuwa ya kiume wakati mavazi aliyokuwa amevaa ni ya kike ikiwa ni baibui nyeusi iliyokuwa UNK uso wake wote na kuachia uwazi kidogo katika sehemu ya macho na hivyo kutoa taarifa polisi baada ya kuwakamata tuliwasiliana na wenzetu wa mwanza ambao baada ya kuwatajia majina ya daud na nixon waliwatambua kuwa ndiyo UNK kuhusiana na kesi ya mwanafunzi wa sekondari aliyeuawa kwa kipigo na sasa tunaandaa mipango ili kuwarejesha mwanza kujibu shtaka la mauaji alieleza kamanda UNK hata hivyo kamanda huyo alisema kuwa polisi walikuwa na taarifa za siri zilizotolewa na raia wema mkoani mwanza kwamba wanafunzi hao na mtu UNK kuwaficha UNK shinyanga kutokana na taarifa hizo na raia UNK mmoja wa watuhumiwa polisi walifanikiwa kuwanasa wakati UNK kwenye basi la kampuni ya mohamed trans mjini shinyanga wamiliki wa daladala UNK uwanja wa uhuru na zisizokuwa na leseni wametakiwa UNK mabasi yao katika uwanja huo ili kuwawezesha wananchi wengi wa dar es salaam kushiriki maadhimisho ya miaka arobaini na nane ya uhuru kesho pia kampuni ya majembe auction mart vijana wa kazi na mamlaka ya usafiri nchi kavu na majini ambazo tayari zimezua kiwewe kwa wamiliki na watumishi wa daladala korofi zimetakiwa kutoyakamata mabasi hayo ili kutoa usafiri wa kutosha kwa wakazi wa wilaya zote tatu kuhudhuria maadhimisho hayo mkuu wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi aliyasema hayo dar es salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya maadhimisho ya uhuru siku hiyo magari yoye ya abiria UNK uwanja wa uhuru na UNK askari wa usalama barabarani sumatra na majembe auction mart kutoyakamata mabasi hayo pia mabasi ambayo hayana leseni ya kusafirisha abiria ndani ya jiji hili siku hiyo ruksa kufanya hivyo mwisho saa nane mchana alisema bwana lukuvi aliwataka wakazi hao kujitokeza kwa wingi kushuhudia maadhimisho hayo akisisitiza kuwa vyema kwa wakazi wa dar es salaam kushuhudia maadhimisho hayo kupitia vyombo vya habari wakati wana uwezo wa kufika na kushiriki katika tukio hilo muhimu na la kihistoria alisema milango ya uwanja itakuwa wazi kuanzia saa kumi na mbili sifuri sifuri asubuhi na kuongeza kuwa maadhimisho hayo UNK na vijana wa halaiki gwaride maalumu la majeshi ya ulinzi na usalama maadhimisho hayo kitaifa yatafanyika dar es salaam kesho ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa rais jakaya kikwete saba wanusurika kufa wengine wazirai na mwandishi wetu wanachama wa upatu wa deci UNK waziri wa fedha na uchumi bwana mustafa mkulo kuwa UNK kulingana na kauli zake kwani kwao alifungua tawi la deci akizungumza na waandishi wa habari dar es salaam mwenyekiti wa kamati ya dharura ya wana deci mchungaji isaac kalenge alisema hawana imani na waziri huyo kutokana na kauli zake kutofautiana na za watendaji wake kwa vile UNK katika vikao UNK na viongozi wa deci alidai waziri mkulo UNK kwao mkoani morogoro kufungua tawi la deci hivyo wanashangaa msimamo wake hivi sasa kuhusu mchezo huo wa upatu mchungaji huyo alidai kuwa kuna ujanja unaofanywa kati ya viongozi wa serikali na deci ili kuhakikisha wanachama hawapati fedha zao kwa kukaa vikao bila kuwashirikisha kamanda wa polisi mkoa wa dar es salaam bwana suleiman kova anapaswa kujua kwamba wanachama wa deci sasa UNK kwamba fedha zao UNK na kampuni ya deci na ndiyo maana wanahitaji kukaa vikao ili watoe taarifa sahihi za uhalifu huo kwa vyombo vya usalama kama hawatafanya hivyo wanachama wasipopewa nafasi ya kutoa mawazo katika UNK ni hatari kwa viongozi wa deci kwani wanaweza kushambuliwa na aibu ikawa kwa serikali alidai mchungaji kalenge alisema wanachama wana taarifa kuwa viongozi wa deci wameanza kurejesha fedha kwa wateja waliopanda hivi karibuni ambao hawajawahi kuvuna pia alisema zipo habari kwamba maaskofu wachungaji na vigogo wa serikali waliopanda fedha nyingi zaidi ya shilingi milioni kumi UNK fedha hizo na mavuno kinyemela hata mkutano huo na waandishi wa habari uliofanyika ukumbi wa idara ya habari baada ya maofisa waandamizi wa idara hiyo kudai ulikuwa ukiwakashifu viongozi wa serikali waziri mkulo mwenyewe hakuweza kupatikana jana kuzungumzia madai ya wanachama hao wa deci naye edmund mihale anaripoti kuwa watu saba waliokuwa wanatarajia kunggoa mbegu zao katika kampuni ya deci wamenusurika kufa baada ya kutumbukia katika shimo UNK kwa ajili ya kutunzia maji jirani na ofisi hizo wateja hao waliokuwa miongoni mwa maelfu ya washiriki ya upatu waliofika kunggoa mbegu UNK katika shimo hilo baada ya mfuniko uliokuwa UNK kuzidiwa nguvu na kutumbukia watu hao ambao wote walikuwa ni wanawake waliokolewa wa watu waliokuwa jirani na shimo hilo shughuli hiyo ya kuorodhesha majina UNK na matukio ya hapa na pale ilianza saa mbili thebathini asubuhi na baadaye kusitishwa saa tatu hamsini baada ya kuonekana kwa dalili za vurugu kutokana na umati mkubwa uliojitokeza ofisi hizo zilifunguliwa tena saa nne kumi baada ya polisi kutoka kituo cha magomeni kufika wakiwa katika magari aina ya land rover defender namba pt sifuri saba tano mbili t mia saba na sitini ady na t mia mbili na kumi na tatu amv ambayo yalikuwa tayari kwa lolote ambalo lingetokea katika shughuli hiyo umati wa watu waliofika katika ofisi hizo ulisababisha msongamano wa magari yatokayo barabara ya morogoro na kwenda mabibo UNK ambayo yalionekana kupita kwa tabu pia watu wengi walizirai baada ya kukosa hewa kutokana na wingi wa watu waliofurika kwa ajili ya kujua hatma ya mbegu zao walizopanda majira ilimshuhudia msichana mmoja wa shule ya sekondari UNK kwa kukosa hewa saa tano thebathini na nane lakini alipatiwa huduma ya kwanza na kuchukuliwa na mzazi wake UNK simu ya mkononi na msamaria mwema na gladness mboma katika hali isiyo ya kawaida mwenyekiti mtendaji wa kampuni za ipp bwana reginald mengi ameibuka na kudai nchi inahujumiwa kundi dogo la watu aliowaita mafisadi papa na wamejiandaa kutoa roho za wanaowapinga kwa gharama yoyote bwana mengi alitoa kauli hiyo jana dar es salaam katika mkutano wake na waandishi wa habari na kueleza kuwa mafisadi hao UNK nchi pabaya kwani hawataki kuguswa aliwataja watu hao wakiwemo wafanyabiashara na wanasiasa na kueleza kuwa UNK nchi kwa kiasi kikubwa nia njema ya rais jakaya kikwete ya kupambana na mafisadi na aina zote za uovu UNK mafisadi na sasa wamecharuka wanapambana na watu wote wanaomsaidia rais kupambana nao kuwazuia wasiendelee kuitafuna nchi alisema bwana mengi bwana mengi alisema mafisadi hao wanatuhumiwa kuiba mabilioni ya fedha za wananchi na baya zaidi UNK pesa hizo nje ya nchi alisema wanaotuhumiwa wanahusishwa na karibu ya kila kashfa kubwa iliyoibuka hapa nchini jitihada kubwa za rais kikwete kuleta maendeleo na maisha bora kwa kila mtanzania UNK na wizi mkubwa wa rasilimali za taifa alisema bwana mengi na kuongeza bado watanzania wengi wanaandamwa na umasikini mkubwa hawajui hata mlo mmoja kwa siku utatoka wapi bwana mengi ambaye pia ni mfanyabiashara maarufu nchini alisema cha kusikitisha ni kwamba pale mtanzania mwema mwenye uwezo anaposaidia jamii kuondokana na umaskini mafisadi wamekuwa wakipiga kelele kuwa misaada ya aina hiyo ina agenda na kupinga kwa kutaka watanzania wafe njaa na matatizo mengine inavyoonekana nia ya mafisadi hao sasa ni kuvuruga nchi na si ajabu wakaunga mkono matatizo yanayotokana na kampuni ya kuvuna na kupanda mbegu deci na watanzania wakabaki wakifukuzana na wachungaji bila kujiuliza ni kina nani hasa wanachochea vurugu hizo alisema bwana mengi alisema deci imeleta matatizo makubwa katika nchi mbalimbali duniani ambapo UNK serikali ya albania na kwamba hatma yake ikiendelea kuchochewa na watu wapenda vurugu italeta matatizo makubwa hapa nchini alisema kuwa mafisadi papa hao UNK rasilimali tu bali wanaiba pia muda badala ya wananchi kutumia muda katika shughuli za maendeleo wanajikuta wakiutumia kupambana nao bwana mengi alidai mafisadi hao wanatumia fedha walizoiba kuanzisha magazeti ya kujenga kiburi cha kudharau watanzania kuwatukana na kuwanyanyasa inakuwa ni kesi ya mwizi kumkimbiza na kumpiga aliyeibiwa hata sasa hivi mafisadi hao wanaendelea kutumia uwezo wao wa kiuchumi uliotokana na wizi wa rasilimali za nchi kuwashawishi na kupata miradi mikubwa mikubwa kwa kutumia majina tofauti tofauti huku wakipuuza kabisa kelele za wananchi kuhusu ufisadi wao alisema alisema watanzania wanaolia na ufisadi ni mamilioni wakiongozwa na rais kikwete lakini wachache waliojitokeza na wanajulikana kwa majina alieleza kuwa hata hivyo kuna tetesi kwamba mafisadi papa wamedhamiria UNK kabisa wapinga ufisadi wanaojulikana kwa majina alisema mafisadi hao ni lazima wajue kwamba iwapo wapambanaji hao wa ufisadi UNK kwa njia yoyote ndani au nje ya nchi watawajibishwa na watanzania alisema mafisadi hao wanafanya kila UNK kuhakikisha watanzania wanaopiga vita ufisadi wanaangamia kwa njia mbalimbali UNK sumu ajali au kwa kupigwa risasi ili kuondoa ushahidi watanzania mtasikia tu kwamba fulani amefia nje ya nchi na UNK kama kitu cha kawaida kumbe mafisadi ndio waliotekeleza azma yao ni lazima muwe macho kwani wanataka kuisambaratisha nchi alisema aliwataka watanzania kujiuliza mafisadi wanapata wapi ujasiri majigambo dharau nguvu za kuwatukana na kuwanyanyasa alisema mafisadi wote hususani wale wanaotuhumiwa kuwa mafisadi papa ni lazima washughulikiwe la sivyo wataiyumbisha na kuitikisa nchi na kwamba ni lazima watanzania waone kwamba sasa nchi imefika mahali pa kusema imetosha bwana mengi alisema amejitoa muhanga kupigana vita dhidi ya mafisadi na kubainisha kuwa yeyote UNK na hatua ya kuitwa fisadi papa aende mahakamani ili UNK kisheria na said mwishehe jeshi la polisi nchini limesema linafanya uchunguzi wa kina zaidi ili kubaini wanaojihusisha na mtandao wa kompyuta unajulikana kama ze utamu ambao unatumika kudhalilisha watu wakiwemo viongozi wa ngazi za juu hatua hiyo ya jeshi la polisi imetokana na kukithiri kwa picha mbalimbali za kudhalilisha kupitia mtandao huo siku za hivi karibuni mtandao huo umekuwa ukitumia nafasi ya uhuru wa vyombo vya habari kudhalilisha viongozi jambo ambalo ni kinyume cha ustaarabu na maadili ya jamii akizungumza na majira jana kwa njia ya simu mmoja wa maofisa wa ngazi za juu wa jeshi la polisi alisema kuwa mtandao huo umefikia mahali ambapo UNK tena na kazi inayoendelea sasa ni kuwasaka wahusika wake tumeona jinsi mtandao huo UNK viongozi wetu sisi kama jeshi la polisi UNK uchunguzi wa kina umeanza na muda sio mrefu mtasikia nini UNK kwa watu hao alisema ofisa huyo mbali ya kuchunguza wahusika jeshi hilo pia linafuatilia kwa undani kupata wamiliki wa mtandao huo ambapo kutokana na vitendo vyake UNK tena tume ya mawasiliano tanzania imekiri kuwepo vitendo mbalimbali vya udhalilishaji kupitia mtandao huo na kuahidi kulishughulikia suala hilo haraka iwezekanavyo tumeona hili tunachokifanya sasa tunakutana kikao cha dharura kujadili suala hilo kwa undani alisema mmoja wa maofisa wa tume hiyo aliyeomba kutoandikwa jina gazetini ambaye pia hakutaka kufafanua hatua UNK kudhibiti tatizo hilo wakizungumza na gazeti hili wananchi mbalimbali walilaani vikali kitendo kilichofanywa na mtandao huo na kutaka upigwe marufuku sambamba na wahusika wake kukamatwa mara moja popote walipo na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria sisi kama watanzania UNK vitendo hivi vya kipuuzi na fedheha kupitia mtandao huo viendelee vyombo vya dola vichukue hatua za haraka kuwakamata wote wanaojihusisha na mtandao huo alisema mama aliyejitambulisha kwa jina la bibi hawa majaliwa mwananchi mwingine aliyeomba kutoandikwa jina mkazi wa upanga jijini dar es salaam alisema hatua iliyofikia na mtandao huo haivumiliki na UNK kama vyombo vya dola UNK kuwanasa wahusika na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria hatimaye sakata la kampuni ya development entrepreneurship community initiative imechukua sura mpya baada ya mbunge wa wawi bwana hamad rashid mohamed kumbana waziri mkuu bwana mizengo pinda akiitaka serikali kueleza sababu za kusitisha shughuli zake katika swali lake la kwanza la papo kwa papo kwa waziri mkuu jana asubuhi bwana rashid ambaye pia ni kiongozi wa upinzani bungeni UNK UNK za deci na matukio mengine mawili ya kuhamisha wafugaji toka bonde la ihefu mbeya pamoja na kufungwa uchimbaji UNK la kunduchi dar es salaam alisema matukio hayo ni dalili ya serikali kuwa na mfumo wa ukandamizaji kwa wananchi wake alisema wafugaji waliokuwa katika bonde la ihefu walikaa eneo hilo kwa muda mrefu hivyo UNK walipata madhara makubwa huku tatizo hiyo likijirudia kwa wale waliokuwa wakichimba kokoto kunduchi na sasa ni kampuni ya deci kufungiwa baada ya serikali kupitia benki kuu ya tanzania kuiruhusu mwaka ishirini sifuri saba akijibu swali hilo bwana pinda alikanusha serikali kuwa na utaratibu mbovu UNK wananchi na kueleza kwamba deci ilikiuka sheria baada ya kuingia katika shughuli za upatu ambazo kisheria ni kosa la jinai baada ya kuacha kutoa mikopo kwa akina mama kama ilivyoomba awali mwaka ishirini sifuri saba kwanza niseme tu kwamba serikali haina sera wala utaratibu wa namna hiyo mfumo wowote wa upatu ni kosa tena ni kosa la jinai kwa utaratibu mtu akifanya kosa la jinai anakamatwa na kupelekwa mahakamani kwa hili la deci ni vizuri waheshimiwa wabunge jambo hili liliingia kupitia dini jesus UNK iliingia kiimani imani hivi ndio maana walipokwenda benki kuu walisema wana mtaji wa kukopesha akina mama lakini walionywa kwamba hawaruhusiwi kuchukua amana yoyote kutoka kwa watanzania na kuambiwa kama wanataka kufanya kinyume cha hapo inawabidi warudi tena bot lakini waliingia kwenye upatu kimyakimya ndio maana imechukua muda kujulikana alisema bwana pinda hata hivyo majibu hayo yalimfanya bwana hamada kuuliza swali la nyongeza akihoji uhalali wa waziri wa fedha bwana mustafa mkulo kujiingiza katika mtego na kuwa mgeni rasmi na kufungua tawi la deci wilayani kilosa mheshimiwa spika nina swali moja la nyongeza kama unavyosema waziri mkuu ni sahihi ni kwa nini waziri wa fedha aende kufungua tawi la deci kule kilosa alihoji akijibu swali hilo waziri mkuu alisema kwanza hilo silijui ninachojua ni kwamba si halali na hata kama alifanya hivyo sasa ni halali hapana lakini kama alienda basi na yeye alienda kama UNK japo alitakiwa awe wa kwanza kujua hilo alisema waziri mkuu naye edmund mihale kutoka anaripoti kuwa wanachama wa deci usiku wa kuamkia jana walijikuta UNK kukesha eneo la makao makuu ya mabibo dar es salaam kuwahi foleni ya kujiorodhesha kurejeshewa mbegu zao walizopanda wanachama hao walionekana wakiwa katika hali uchovu iliyotokana na usingizi huku wengine wakiwa wamekata tamaa baada ya kushindwa kujiandikisha au kupewa namba kutokana misururu mirefu ya kujiandikisha na kupewa namba mwanachama bwana edward moris alifika katika eneo hilo saa kumi alfajiri na kukuta tayari wanachama hao wamepanga msururu uliokuwa na watu zaidi ya tatu sifuri sifuri sifuri huku kukiwa hakuna huduma yeyote katika eneo hilo nimefika hapa tangu saa kumi lakini nimekuta wanachama UNK wakiwa wamelala bila hata ya kutojali kama kuna mvua lakini pamoja na kuwahi nimepata namba mbili mia nane na thebathini na tano hebu ona kuna watu wangapi mbele yangu kuanzia namba moja alisema bwana moris alisema wamekuwa wakiheshimu utaratibu wa foleni tangu juzi na hakuna fujo licha ya kutokuwa na ulinzi wa kutosha hadi ofisi hizo zilipofunguliwa saa kumi na mbili thebathini asubuhi majira ilishuhudia wanachama wakiwa katika foleni ndefu iliyokuwa na urefu wa mita sitini sifuri huku mvua kubwa ikinyesha na hakuna mwanachama UNK mvua hiyo pamoja na kuwepo kwa utaratibu mzuri ulipangwa lakini tayari malalamiko mbali miongoni mwa washiriki yameanza kutokea kutoka na UNK fedha zao kwa wale ambao tayari UNK nma wengine wameisha UNK kampuni hiyo kwa kukiuka mkataba mwanachama bibi janet UNK ambaye alikuwa ni mfanyabishara ya UNK alisema alipanda mbegu katika kampuni hiyo tangu ishirini sifuri saba baada ya kuachana na UNK alisema aliwekeza kiasi cha shilingi milioni tano nje ya kiingilio ni shilingi moja mia tatu na sabini na tano sifuri sifuri sifuri katika kipindi tofauti katika kipindi cha miaka miwili na ameweza kuvuna karibu kila mwezi hali iliyompa matumaini ya kuishi katika maisha ya pepo lakini alisema UNK kusikia uamuzi kampuni hiyo wa kuwa mbegu zote ambazo UNK na kupandwa tena UNK na benedict kaguo tanga mlinzi wa kampuni ya ulinzi UNK ya jijini tanga amefariki dunia baada ya kujifyatulia risasi sehemu zake za siri mlinzi huyo bwana mbwana UNK mkazi wa UNK wilayani mkinga alichukua uamuzi huo aprili ishirini na mbili mwaka huu saa kumi thebathini alfajiri akiwa lindoni akiwa lindoni huku akiwa UNK bunduki ya shotgun alichukua uamuzi huo wa kutisha kwa kujifyatulia risasi sehemu za siri na kufariki papo hapo hata hivyo uchunguzi wa awali umeonesha kuwa huenda marehemu UNK hakuwa makini kushika silaha hiyo hali iliyofanya UNK na kumuua kamanda wa polisi mkoa wa tanga kamishna msaidizi wa polisi bwana simon sirro alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa mlinzi huyo hakuwa makini na silaha yake jambo lililosababisha kifo chake kamanda sirro UNK maiti ya mlinzi huyo imehifadhiwa hospitali ya mkoa wa tanga bombo na edmund mihale kampuni development entrepreneurship for community initiative imezua biashara nyingine ya kuuza kadi zenye namba maalumu kwa ajili ya kujiorodhesha ili kunggoa mbegu uchunguzi uliofanywa na majira na kuthibitishwa na mmoja wa washiriki wa kampuni hiyo umebaini kuwa kadi hizo maalumu zilikuwa zikiuzwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo kwa lengo la kuwawezesha wanachama hao kuwahi kuingia kwenye ofisi hizo ili kujiorodhesha kunggoa mbegu zao uchunguzi huo umebaini kuwa kadi iliyoanzia namba moja hadi ishirini sifuri ziliuzwa kwa shilingi ishirini sifuri sifuri sifuri hadi thebathini sifuri sifuri sifuri kwa kadi moja kadi iliyoanzia namba ishirini moja hadi moja sifuri sifuri sifuri ilikuwa ikiuzwa shilingi tano sifuri sifuri sifuri hadi shilingi kumi sifuri sifuri sifuri kwa kadi moja kadi iliyoanzia namba moja sifuri sifuri moja hadi mbili sifuri sifuri sifuri iliuzwa kwa shilingi mbili sifuri sifuri sifuri hadi tatu sifuri sifuri sifuri huku kadi ilianzia namba mbili sifuri sifuri moja hadi tatu sifuri sifuri sifuri iliuzwa kwa shilingi moja sifuri sifuri sifuri hata hivyo uchunguzi huo ulibaini kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kadi hizo kuuzwa bei kubwa zaidi kutokana na washiriki waliowekeza fedha nyingi ambao ni UNK katika kampuni mashirika na idara mbalimbali za serikali kushindwa kusubiri foleni ndefu mshiriki bibi anna kassim ambaye alijitambulisha kuwa ni mfanyakazi serikalini alisema kutokana kushindwa kupata muda wa kutoka ofisini na kupanga foleni yuko tayari kununa kadi hiyo kwa shilingi sabini sifuri sifuri sifuri bibi anna alisema amewekeza fedha nyingi katika kampuni hiyo hivyo kiasi UNK kwa ajili kununulia kadi si kitu kaka nimesikia UNK kuhusu kuuzwa kadi naomba nami UNK nani anauza niko tayari kununua hata kwa shilingi sabini sifuri sifuri sifuri iwapo itaanzia namba moja hadi kumi sifuri kwani nimeshindwa kupanga foleni alisema bibi anna huku akionesha risiti UNK mbegu hizo mbali na kuuza kadi hizo biashara nyingine iliyojitokeza ni kuuza sehemu ya foleni kwa watu waliowahi na kupanga foleni mapema nafasi hiyo inauzwa shilingi hamsini sifuri hadi shilingi mbili sifuri sifuri sifuri kutokana na umbali kutoka msimamizi anayetoa kadi zenye namba katika hatua nyingine mwenyekiti wa kamati ya dharura ya washiriki wa deci mchungaji isaack kalenge alisema leo ameitisha mkutano mkubwa katika viwanja vya jangwani kwa ajili ya kujadili hatima ya fedha UNK katika kampuni ya deci akizungumza na majira kwa njia ya simu mchungaji kalenge alisema lengo la mkutano huo ni kuitaka serikali UNK kampuni hiyo iendelee na huduma zake kama kawaida kwa kuwa hadi sasa hakuna madhara yoyote yaliyojitokeza alisema moja ya agenda ni kujadili kauli ya waziri mkuu bwana mizengo pinda aliyoitoa katika kikao cha bunge wakati akijibu maswali ya papo kwa hapo kuwa kampuni hiyo ni ya kidini kwani hakutenda haki juu ya kampuni hiyo kwani imekuwa UNK watu wote bila kujali dini wala kabila alisema katika mkutano huo UNK viongozi mbali mbali wa vyama vya siasa wanasheria na UNK alikuwa akienda dar kugombea umakamu tlp alikuwa nje ya bunge kusubiri rufani kortini na benny kisaka kilosa mbunge wa jimbo la biharamulo magharibi mkoani kagera bwana phares kabuye amefariki kwa ajali ya basi akiwa safarini kutoka kagera kwenda dar es salaam kuhudhuria mkutano mkuu wa tanzania labour party uliopangwa kufanyika kesho katika mkutano huo bwana kabuye alikuwa ameomba kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti wa chama hicho kwenye uchaguzi huo UNK kwa shauku na wanachama wengi wa chama hicho marehemu kabuye mbunge aliyesimamishwa wa tlp alifariki jana saa mbili asubuhi eneo la magubike wilayani kilosa morogoro katika ajali hiyo watu wengine wawili walikufa na wengine hamsini na nne kujeruhiwa ajali hiyo ilihusisha basi la rs investment lenye namba za usajili t mia tisa na thebathini na nne UNK UNK na kupinduka likiwa kwenye mwendo spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania bwana samuel sitta amethibitisha tukio hilo na kueleza kusikitishwa kwake na kifo cha mbunge huyo ambaye hadi mauti UNK alikuwa akipigania rufani yake mahakamani kupinga kuvuliwa ubunge na mahakama kuu kanda ya kagera abiria walionusurika walisema basi hilo liliserereka na kupinduka baada ya mtu aliyekuwa akiendesha anayedaiwa kuwa utingo kushindwa kulimudu walimweleza mwandishi wa habari hizi kuwa basi hilo lilikuwa katika mwendo na waliokaa sehemu ya mbele walisikia dereva aliyekaa pembeni akimwelekeza utingo huyo kushika breki haraka kufumba na kufumbua basi hilo UNK upande wa pili wa barabara na kupinduka tairi zikiwa juu na kugeuka UNK dereva na utingo huyo walikimbia baada ya ajali hiyo na hawajulikani waliko bwana kabuye alifariki baada ya kufikishwa hospitali ya UNK wenzake wawili UNK eneo la tukio walioshuhudia ajali hiyo walisema bwana kabuye alifikishwa hospitalini hapo akiwa mzima akiongea lakini hali ilibadilika ghafla na kufariki dunia mwandishi wa habari hizi aliyefika hospitalini hapo alisema mbunge huyo aliumia sehemu ya kichwa na kifuani alisema baada ya ajali hiyo mkuu wa wilaya ya kilosa bibi halima dendego alifahamishwa kifo cha mbunge huyo na kufika hospitalini hapo kufuatilia tukio hilo naye john daniel kutoka dodoma anaripoti kuwa spika wa bunge bwana sitta amepokea taarifa za kifo bwana kabuye kwa huzuni kubwa akizungumza kwa njia ya simu akiwa safarini kuelekea dar es salaam bwana sitta alisema tayari katibu wa bunge ametuma gari kwenda kilosa kuchukua mwili wa marehemu alisema bunge UNK mwakilishi kwenye mazishi lakini taratibu zingine za kibunge UNK kwani marehemu alivuliwa wadhifa huo na mahakama taratibu zingine za bunge haziwezi kukubalika lakini UNK suala hili kibinadamu alisema bwana sitta bwana sitta alimwelezea marehemu kabuye kuwa ni mtu UNK naye siku nyingi na kufanya kazi pamoja kuanzia miaka ya sabini naye mbunge wa rufiji profesa idrisa mtulya alisema marehemu kabuye ameacha pengo kubwa kwani alikuwa mtetezi wa wananchi wake na alipenda watu bila kujali itikadi zao marehemu kabuye alizaliwa januari moja mwaka elfu moja na mia tisa na thebathini na nane wilayani biharamlo mkoani kagera na alipata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi UNK kuanzia elfu moja na mia tisa na hamsini na tatu hadi elfu moja na mia tisa na hamsini na tano mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na sita hadi elfu moja na mia tisa na hamsini na saba alijiunga shule ya kati UNK na baadae alijiunga na chuo cha ualimu katoke kwa ngazi ya cheti mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na nane hadi elfu moja na mia tisa na hamsini na tisa baadaye alikwenda chuo cha UNK nchini uganda kusomea cheti cha ualimu mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na moja hadi elfu moja na mia tisa na sitini na tatu kabla ya kujiunga na chuo cha british UNK mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na tatu mpaka elfu moja na mia tisa na sitini na nne mwaka elfu moja na mia tisa na sitini na tano hadi elfu moja na mia tisa na sitini na nane alipata elimu ya sekondari ya juu katika chuo cha UNK result na kurejea tena chuo cha ualimu katoke mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na mbili alifanya kazi ya ualimu tangu mwaka elfu moja na mia tisa na hamsini na tisa hadi elfu moja na mia tisa na sabini na sita UNK kuwa mratibu kata wa elimu alijiunga na shughuli za kisiasa mwaka elfu moja na mia tisa na sabini na saba alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi wa wilaya ya biharamlo na mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na tano alichaguliwa kuwa mbunge kwa tiketi ya ccm hadi mwaka elfu moja na mia tisa na tisini mwaka ishirini sifuri tano alijiunga na tlp na kufanikiwa kuchaguliwa mbunge jimbo la biharamlo magharibi ambao alidumu hadi oktoba kumi ishirini sifuri saba UNK na mahakama kuu kanda ya kagera kufuatia kesi iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea ubunge wa ccm bwana anatory choya katika kesi hiyo marehemu alitiwa hatiani baada ya kubainika kuwa alitumia lugha za matusi ya nguoni kumkashifu mpinzani wake wa ccm kwenye mikutano ya hadhara wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka ishirini sifuri tano hadi mauti yanamkuta kesi yake ya kupinga uamuzi wa mahakama ilikuwa ikiendelea kusikilizwa na mahakama ya rufani akizungumza na majira jana kwa njia ya simu mwenyekiti wa tlp bwana augustino mrema alisema chama chake UNK kwa majonzi makubwa kifo hicho kwani marehemu alikuwa na historia nzuri katika utendaji wake ndani na nje ya bunge mzee kabuye kila mbunge UNK alipokuwa bungeni na kutokana na rekodi yake nzuri wabunge walimchagua kuwa mbunge katika bunge la afrika akiwakilisha kambi ya upinzani alisema bwana mrema bwana mrema alisema chama chake kitakutana kuandaa mazishi ya mbunge huyo UNK uwezekano wa kuahirisha uchaguzi kesho pamoja na mambo mengi bwana kabuye atakumbukwa kwa kauli yake kwamba hakutoa rushwa hata kidogo kwenye uchaguzi wa mwaka ishirini sifuri tano na ni mgombea pekee aliyefanya kampeni zake kwa UNK baiskeli na reuben kagaruki kyaka hotuba iliyotolewa na mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo bwana freeman mbowe imewatia huzuni wakazi wa wilaya ya kyaka waliojitokeza kwa wingi kuhudhuria mkutano wake wa oparesheni sangara baada ya kuwaeleza jinsi tanzania ilivyo nyuma kiasi cha kuzidiwa na uganda ambayo imekuwa kwenye misukosuko ya kivita kwa muda mrefu waganda UNK miaka thebathini iliyopita wakati wa vita vya kagera lakini leo hii wanatuzidi mbali kimaendeleo alisema bwana mbowe wakati akihutubia wananchi hao jana alisema kwamba pamoja na kupigana vita na tanzania uganda imekuwa UNK vita na bwana joseph UNK na kwa nyakati tofauti imewahi kuingia kwenye migogoro ya kivita na rwanda na jamhuri ya kidemokrasi ya kongo lakini ipo mbele kimaendeleo hebu niwaulize nani ni mtoto gani wa uganda anayesoma tanzania alihoji bwana mbowe na kujibiwa na wananchi kuwa hakuna leo hii tunapeleka watoto wadogo wa chekechea kusoma uganda halafu tuseme kwamba tuna serikali hapo aliendelea kuhoji bwana mbowe alisema ni jambo la kusikitisha kuona watoto wa tanzania wanavuka mpaka kwenda kusoma uganda wakati wao hawaji na UNK kwamba umakini wa serikali unapimwa kwa kuangalia maendeleo ya elimu bwana mbowe alisema kwamba licha ya tanzania kuzidiwa kielimu na nchi zinazoizunguka hata bidhaa zinazouzwa nchini kwa wingi zinatoka nje ya nchi angalieni hapa kwenu kyaka bidhaa zote zinazouzwa hapa zinatoka uganda kuondoa bia na UNK alisema mwenyekiti huyo na UNK wananchi hao bidhaa zinazotoka uganda zinazouzwa hapa nchini wakati bidhaa zetu UNK kuuzwa huko alisema kwamba alipofika UNK alivuka eneo la mpaka na kuingia eneo la uganda lakini hakuona bidhaa ya tanzania inayouzwa katika eneo hilo katika mkutano huo bwana mbowe UNK kusikitishwa kwake na hatua ya mbunge wa jimbo la nkenge bwana kamara kujiunga na chama cha mapinduzi wakati wananchi walitarajia kwamba amesoma kwa ajili ya kuwakomboa na umasikini tulidhani kamara amesema kuja kuwatetea badala yake ameungana na mafisadi ccm wakati yeye hana historia ya kutoka kwenye familia wenye uwezo alisema bwana mbowe na kufafanua kwamba wakati UNK kwa wananchi kuwakataa watu UNK siasa kama UNK na kupanda kwenye majukwaa na kuanza kuimba mashairi huku UNK wananchi badala ya kuzungumzia mustakabali wa nchi na peter masangwa mtwara waziri mkuu bwana mizengo pinda amesema kuwa taifa linakabiliwa na changamoto kubwa katika kutafakari kwa makini kuhusu juhudi UNK katika kupambana na malaria UNK kila tu ajiulize iweje ugonjwa unaotibika na kuzuilika uendelee kuongoza katika idadi ya vifo ndani ya jamii mbali na mikakati iliyopo ya kupambana na janga hili akizungumza katika maadhimisho ya siku ya malaria duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani mtwara bwana pinda alisema kuwa wengi wa watu wanaoathirika na malaria na kufariki ni watoto wenye umri usiozidi miaka mitano wakifuatiwa na kundi la wajawazito bwana pinda alisema kuwa uchumi wa nchi UNK kwa sababu wanaokufa hupunguza nguvu kazi ya taifa na hivyo kuathiri uzalishaji wa nchi kwani inakadiriwa kuwa tanzania hupoteza asilimia tatu nne ya pato lake kutokana na tatizo hili ikiwa ni pamoja na gharama zinazoonekana na zisizoonekana moja kwa moja ugonjwa huu unaifanya jamii kupata usumbufu mkubwa katika kuwatunza wagonjwa wa malaria na kwenye mashule wanafunzi wengi hukosa masomo kutokana na kuumwa na ugonjwa huu kwa kipindi cha masomo alisema bwana pinda alisema kuwa ugonjwa wa malaria hauna mipaka hivyo mikakati ya kupambana nao inahitaji ushiriki wa wadau wote na si tu katika bara la afrika peke yake bali ulimwenguni kote bwana pinda alisema kuwa katika kupambana na malaria serikali imehakikisha kuwa huduma zote za kinga na tiba zinapatikana na kwamba huduma hizi zinawafikia wananchi wote kwani juhudi za kugawa vyandarua vyenye UNK vya muda mrefu zinaendelea hapa nchini alisema kuwa pamoja na kutumia vyandarua vinavyotolewa na serikali wananchi wanao wajibu wa kushirikiana na serikali kupambana na mbu wanaoeneza malaria kwa kuwaangamiza na hii ni pamoja na kuondoa mazalio yake kufukia UNK na kusafisha UNK naye waziri wa afya na ustawi wa jamii profesa david mwakyusa amesema kuwa serikali imedhamiria kujenga hospitali maalum kwa kanda ya kusini na kwa mwaka huu imetenga shilingi arobaini sifuri milioni kwa ajili ya mradi huo pamoja na hospitali ya mkoa ligula UNK kimiundombinu na vifaa ili iwe hospitali ya rufaa ambapo UNK na shirika la UNK la japan UNK mwakyusa amewataka wazazi na walezi kuwapeleka watoto katika vituo vya afya ili kupatiwa huduma ya afya mapema mara dalili UNK kwani UNK mara nyingi hupuuza mpaka homa itakapo kuwa kali UNK ambalo ni hatari sana na edson kamukara aliyekuwa mkuu wa dar es salaam bwana abbas kandoro jana alikabidhi ofisi hiyo kwa mkuu mpya na kutangaza kuwa tume aliyounda kuchunguza kifo cha dereva teksi imebaini kuwa polisi walimuua kimakosa hakuwa jambazi bw kandoro ambaye amehamishiwa mwanza kikazi alisema kutokana na malalamiko ya wakazi wa kimara UNK yaliyojitokeza alilazimika kuunda tume kubaini kama dereva huyo zakayo mwapi aliuawa katika tukio la ujambazi alisema tume hiyo iliyoongozwa na kamanda wa mgambo wa jiji ilianza kazi machi ishirini na saba mwaka huu na kuwahoji mashahidi ishirini na mbili wakiwamo madereva teksi wenzake askari waliohusika katika tukio la mauaji na wakazi wa kimara kwa mujibu wa mkuu huyo wa mkoa tume hiyo ilibaini kuwa marehemu alikuwa UNK tu kuwa ni jambazi lakini hakuwahi kujihusisha na vitendo vyovyote vya kihalifu hivyo basi tume UNK kuwa marehemu mwapi aliuawa kwa makosa kwa kupigwa risasi na polisi wakimtuhumu kuwa jambazi alisema bwana kandoro aliongeza kuwa tayari amekabidhi ripoti hiyo kwa mwanasheria mkuu wa serikali ili achukue hatua zaidi dhidi ya wahusika wa mauaji hayo marehemu mwapi aliuawa machi ishirini na nne mwaka huu kwa eneo la kimara stop over kwa kupigwa risasi na polisi kwa tuhuma kuwa ni jambazi na alizikwa nyumbani kwao njombe mkoani iringa aprili tatu awali UNK nyaraka mkuu mpya wa mkoa wa dar es salaam bwana william lukuvi aliyehamishwa tangu dodoma bwana kandoro alimweleza kuwa UNK na changamoto nyingi hasa za wakazi wa jiji kutotaka kutii sheria na kufanya mambo kinyume na sheria tuna UNK kila kona ya miji ziko baa na gereji bubu zimejengwa maeneo yasiyoruhusiwa msongamano wa magari na miundombinu duni na idai kubwa ya wakazi walijenga maeneo yasiyoruhusiwa alisema bwana kandoro katika hatua ya pekee bwana kandoro alimweleza bwana lukuvi kuwa anamkabidhi migogoro kadhaa ya viwanja akitaja eneo la wazo hill ambako wakazi wa huko wana mgogoro na mwenye kiwanda lakini alidai kuwa katika juhudi za kuendeleza maeneo mapya wamejikuta kwenye migogoro na wakazi wa kipawa kwembe na tabata dampo hatua UNK kuwa ni vyema wakazi hao UNK haki zao za malipo kabla ya UNK kuhusu msongamano wa magari jijini alisema kuwa walikuwa kwenye mazungumzo wa wawekezaji binafsi wenye uwezo wa kujenga barabara za juu ili wajenge na watakuwa wakirejesha fedha yao kupitia kwenye kutoza ushuru kwa upande wake bwana lukuvi alisema kuwa anaifahamu dar kwa kiasi kikubwa kwa vile amekuwa mkazi tangu mwaka elfu moja na mia tisa na themanini na nne hivyo aliwaomba wajipange kuangalia vipaumbele kwa vile muda wa serikali ya awamu ya nne UNK unakaribia asema tlp peke yake haitaweza na said mwishehe mwenyekiti wa tanzania labour party bwana augustino mrema UNK rais jakaya kikwete pamoja na serikali yake kusaidia katika mazishi ya aliyekuwa UNK wa biharamulo magharibi mkoani kagera marehemu phares kabuye ambaye amefariki kwa ajali ya basi juzi wilayani kilosa hata hivyo wakati mbunge huyo amekufa wakati akienda kuhudhuria mkutano wa mkuu wa tlp bwana mrema amesema ni lazima mkutano huo ufanyike kwa sababu itakuwa sehemu ya kumuenzi na wakati huo huo kukinusuru chama UNK na msajili wa vyama vya siasa bwana john tendwa bwana mrema akizungumza na majira jumapili jana kwa njia ya simu dar es salaam alisema msiba wa mbunge huyo umekuja katika kipindi kigumu ndani ya chama hicho kwa sababu wapo katika harakati za kufanya mkutano mkuu huo ambao unatarajia kufanyika leo alisema wakati mkutano huo UNK kufanyika tayari amemuomba rais kikwete kuhakikisha anafanya jitihada za kusaidia kifedha ili kufanikisha mazishi ya bunge huyo kwa sababu miundombinu yao ya kifedha UNK wao kufanikisha mazishi hayo bila kupata msaada alisema binafsi ameguswa na msiba huo mzito kwa chama na watanzania kwa kuwa alikuwa mbunge machachari na UNK kusimama katika ukweli wakati wote hivyo lazima mazishi yake yawe na heshima zote pia alisema mbali ya rais kikwete pia ameomba msaada kutoka kwa wabunge wote ambao watashirikiana kwa pamoja katika kusaidia msiba huo bila kujali ni mbunge wa chama gani kwa sababu msiba huo ni wa watu wote alisema ameomba msaada kwa rais kwa sababu chama chake hakiko katika hali nzuri kifedha marehemu kabuye alikuwa ni miongoni mwa wanachama waliomba kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti katika uchaguzi huo ambao unasubiriwa kwa hamu kubwa na wanachama wa chama hicho pamoja na watanzania wengine lakini hakufanikiwa kutimiza ahadi yake kutokana na kupatwa na kifo bwana mrema alisema kwa hali hiyo ni vema marehemu kabuye UNK kwa kufanya mkutano huo ambao marehemu alikuja anakuja kushiriki na kwa bahati nzuri ni mkutano ambao umepata baraka zote ikiwa ni pamoja na mahakama UNK UNK ufanyike pia alisema mbali ya kumuenzi marehemu kabuye kwa kufanya mkutano huo unalenga kukifanya chama kiendelee kuwa hai kwa sababu bila mkutano huo kitafutwa kwa mujibu wa msajili wa vyama vya siasa bwana john tendwa kutokana na uongozi uliopo sasa UNK muda wake msajili UNK muda wa miezi mitatu kufanya mkutano mkuu kwa sababu viongozi waliopo sasa wamemaliza muda wao na tukisema UNK chama kitafutwa kwa sababu siku UNK na msajili zimebaki tano mwisho wetu ni aprili thebathini na moja mwaka huu alisema bwana mrema aliongeza katika mazingira ya aina hiyo unaweza kuona mambo UNK lakini pia bado kuna umuhimu wa kuendelea na mkutano na ninawashauri wanachama wenzangu kumaliza hilo ambalo nalo lina UNK wake ndani ya chama ingawa mambo yote mawili ni ya kwao kwa hali hiyo UNK mkutano tutaendelea na hapo tutaweza pia kufanikisha yote yaliyoko mbele yetu kama tlp tutajua mwenzetu anazikwa vipi lakini kwa upande mwingine chama kitaendelea kuwa salama alisema bwana mrema na said mwishehe hali ya kukata tamaa kwa baadhi ya washiriki waliokuwa wamepanda mbegu zao kwa lengo la kuvuna jana kutoka kwenye mchezo wa upatu wa kampuni ya deci imeongezeka kutokana na kuona kama hakuna kinachoendelea zaidi ya kufanyiwa mchezo wa kuigiza hali ambayo imesababisha wengi kuona kuna kila dalili za kutopata fedha zao hata hivyo wakati katika makao makuu ya deci mabibo dar es salaam hali ilikuwa tete baadhi ya matawi mengine ya jijini asubuhi ya jana wananchi walijitokeza katika matawi hayo ili kuendelea kupatiwa risiti ambazo watazitumia wakati wa kurudishiwa mbegu zao majira jumapili kwa upande wake lilifanya uchunguzi wa kazi ya utoaji risiti hizo katika eneo la mabibo ambapo kwa jana idadi ya washiriki waliofika kuchukua haikuwa kubwa kama siku mbili zilizopita na hiyo inatokana na kukata tamaa ya kulipwa washiriki wengi waliokuwa wakifika kuchukua risiti hizo walionekana UNK na nenda rudi ambayo wamekuwa wakiifanya tangu kuanza kwa sakata zima la kampuni hiyo baada ya serikali kuwatahadharisha wananchi juu ya utendaji kazi wa shughuli za deci wakizungumza na majira jumapili kwa nyakati tofauti baadhi ya washiriki hao walisema kama deci walisema fedha zao ziko salama basi hakuna sababu ya kuendelea kuwapatia risiti hizo na UNK fedha ili kumaliza utata ulioko na kisha waweze kuendelea na shughuli nyingine za kijamii mkazi wa kimara baruti bibi asha msomi alisema kuwa yeye hakufurahishwa na kitendo cha kuona anapewa risiti hiyo kwa ajili ya kuja kuchukua fedha siku nyingine kwani majina ya walipanda yapo na wanafahamika hivyo kilichotakiwa ni kupewa mbegu zao sioni sababu ya kupewa risiti ili tusubiri hadi UNK tena lini watatulipa nilichokuwa UNK ni kuona washiriki UNK mbegu UNK fedha zetu ziko salama binafsi naanza kukata tamaa na utendaji kazi wa deci na sioni kama kweli tunaweza kurejeshewa fedha zetu alisema wakati huo huo stella aron anaripoti kuwa baadhi ya washiriki wa deci katika kituo cha gongo la mboto ambao jana walifika katika ofisi hizo kwa nia ya kuvuna mbegu zao kama ambavyo uongozi UNK awali wamedai uongozi wa deci unatafuta mbinu ya kukimbia na mbegu zao washiriki hao ambao licha ya kuwepo kwa mvua waliamua kulowa kutokana na kuibuka kwa makundi mawili tofauti huku wengine wakidai kuwa uongozi UNK na wengine kuitupia lawama serikali sasa imani ya kurudishiwa mbegu yangu imekwisha hapa inadhihirisha kuwa viongozi wana njama fulani na sisi kwanini UNK UNK mbegu zetu alafu washindwe kufanya hivyo alidai mshiriki mmoja ambaye alikuwa katika kundi mojawapo wakijadiliana namna ya kurudishiwa mbegu zao pamoja na kuwepo kwa hali ya mvua washiriki hao jana walionekana kukata tamaa kabisa kutokana na kuwepo kwa tangazo UNK kuwa ndugu washiriki uongozi wa deci pamoja na tume inayosimamia urejeshaji wa mbegu unapenda kuwajulisha kwamba zoezi la ulipaji UNK mpaka hapo UNK tena samahani kwa usumbufu uliojitokeza kutoka dodoma pendo mtibuche anaripoti kuwa washiriki wa mchezo wa upatu wa deci tawi la dodoma jana walivamia ofisi za tawi hilo wakitaka uongozi wa kampuni hiyo UNK mbegu zao walizopanda kutokana na kukosa imani na kampuni hiyo wanachama hao walivamia ofisi hizo majira ya saa mbili thebathini asubuhi huku ofisi hizo zikiwa zimefungwa kwa makufuri makubwa majira jumapili ilifika eneo la ofisi hiyo na kushuhudia umati wa washiriki hao wakiwa nje ya ofisi hiyo huku kukiwa na ulinzi mkali wa polisi wa kuzuia wananchi hao wasifanye vurugu wanachama hao walitinga katika ofisi hizo wakidai kuwa mkurugenzi mtendaji wa deci mchungaji ole UNK alikuwepo kwa lengo la kuwahamasisha wanachama wake kuwa na moyo wa subira na kuwataka wawakilishe risiti zao halisi ili uhakiki wa kurudishiwa fedha zao uweze kutekelezwa kitendo hicho cha mkurugenzi hiyo kuwaambia wanchama hao watoe vivuli vya risiti zao na zile halisi wazipeleke ofisini kiliwakera washiriki hao na kusababisha kuwepo kwa vurugu kubwa wakidai viongozi hao wamekuwa wababaishaji na hivyo kwa sasa hawana imani nao tena na wanacho UNK hivi sasa ni mbegu zao hata hivyo wanachama hao walihoji ni lini fedha zao zitakuwa tayari na watarudishiwa kwani imekuwa muda mrefu sasa wakisubiri huku wakipewa majibu yasiyo UNK hali ambayo walisema kuwa imekuwa ni ya ubabaishaji sasa hata hivyo polisi walifanikiwa kutuliza vurugu katika ofisi hizo na washiriki hao ilipofika majira ya saa nne thebathini waliondoka katika ofisi hizo huku wakiwa hawajaridhika na maelezo ambayo yalitolewa na viongozi wa kampuni hiyo ni kuhusu uteuzi wa ma dc wakurugenzi wengine UNK na daktari slaa kuhusu mishahara baadhi ya wabunge wamehoji uteuzi wa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri mbalimbali unaofanywa na uongozi wa juu kwa maelezo kwamba baadhi yao wanapewa nyadhifa hizo bila kuwa na uzoefu na hivyo kuwa kufanya kazi kama wanafunzi badala ya kuwa viongozi pia wameitaka serikali kuhakikisha kwamba maboresho ya utumishi wa umma UNK wafanyakzi wa kima cha chini badala ya kuwainua vigogo huku watumishi wa chini wakiendelea kulipwa mishahara isiyoweza kukidhi hata mahitaji ya muhimu ya kila siku ya mtanzania wabunge hao walikuwa wakichangia mada katika semina UNK na ofisi ya rais menejiment ya utumishi wa umma kwa lengo la kueleza programu ya pili ya mabadiliko ya UNK wa umma ulioanza kutekelezwa januari mwaka huu hadi ishirini moja moja mtu anatoka shule anapewa ukuu wa wilaya anajua nini badala yake yeye ndiye anaongozwa badala ya kuwa kuongoza watu ninyi utumishi UNK hili vizuri kuna UNK mwingi sana serikali maamuzi ya wanachi yanachukua muda mrefu bila kutolewa maamuzi sasa mtuambie alisema bwana raynald mrope mbunge wa masasi ccm naye mbunge wa iramba mashariki bwana mgana msindai ccm alisema ma dc na wakurugenzi walikuwa wanapitia kwanza pale magogoni kujifunza utumishi wa utawala sasa ninyi utumishi mtuambie siku hizi wanajifunza wapi alihoji mbunge huyo akizungumzia maboresho ya hali ya maisha mbunge wa mbozi mashariki bwana godfrey zambi ccm alisema maboresho yanayoendelea serikali UNK UNK mtumishi wa kima cha UNK na badala yake UNK zaidi wale wa juu hivyo haiwezi kuwa na manufaa kama hayo maboresho yanayoendelea serikalini hayawezi kumsaidia mtumishi wa kima cha chini hayatakuwa na manufaa naona maboresho UNK sana huku juu badala ya wafanyakazi wa chini UNK UNK huku juu ili na wa chini nao wapate alisema bwana zambi alisema licha ya maboresho hayo bado kuna tatizo kubwa la rushwa kwa baadhi ya watumishi hususan katika mikataba na huduma za chini na kuongeza kwamba suala la upandishwaji vyeo pia bado ni tatizo kubwa inayotakiwa kumulikwa zaidi katika programu hiyo ya pili naye mbunge wa peramiho bibi jenista mhagama ccm aliitaka serikali kueleza mafanikio yaliyopatikana katika awamu ya kwanza ikiwa ni pamoja na kuweka wazi iwapo wananchi wamekubali kwamba wanapata huduma bora kwa kuwa ndio walengwa na huduma za serikali zinazotolewa na watumishi wa umma kwa upande wake mbunge wa kongwa bwana job ndugai ccm aliitaka serikali kuwa na utaratibu wa kumulika viongozi wote baada ya kila awamu mpya inapoingia madarakani badala ya kazi hiyo kuishia katika ngazi za wilaya kwa maelezo kwamba baadhi ya watendaji wanakuwa wazito kwenda na kasi ya serikali mpya hivyo kukwamisha maendeleo kila baada ya uchaguzi mkuu serikali mpya UNK tunaona uteuzi wa mawaziri wakuu wa mikoa UNK wakurugenzi lakini makatibu tarafa watendaji wa kata wanabaki wale wale nashauri serikali mpya inapoingia mchujo ufike mpaka chini kabisa kumaliza uozo wote kuna tatizo kule kumejaa uozo unaweza kupata kiongozi mzuri lakini kule chini kuna wazito UNK tuondoe uozo wote alisisitiza bwana ndugai naye mbunge wa karatu daktari wilbrod slaa chadema aliitaka serikali kueleza kama kanuni ya utumishi wa umma unaruhusu kuwepo kwa nyaraka zenye sura ya UNK za ufisadi au zinazopotosha ukweli katika majalada ya serikali na kuhoji kama anayetoa nyaraka hizo ndiye anafanya kosa au kuhifadhiwa katika majalada za serikali ndio kosa baadhi ya wabunge pia walilalamikia sheria ngumu ya utumishi namba nane ya mwaka ishirini sifuri mbili kuwa inawalinda UNK na wanaofanya makosa hivyo kustahili kuondolewa katika utumishi lakini sheria hiyo inawapa haki ya kuendelea kuwepo bila kujali athari zake kwa taifa akijibu hoja za wabunge katibu mkuu wa wizara ya menejiment ya utumishi wa umma bwana george UNK alisema wizara hiyo inaheshimu mamlaka UNK wakuu wa wilaya na wakurugenzi na kuongeza kwamba inachofanya ni kutoa mafunzo ili kusaidia utendaji wao na kwamba serikali inatarajia kuanzisha chuo kwa ajili ya watumishi hao kuhusu swali la daktari slaa la nani anayestahili haki kati ya utunzaji wa nyaraka za kugushi za ufisadi na UNK nyaraka hizo bwana UNK alisema jibu iliyotolewa na waziri wa wizara hiyo wiki iliyopita bungeni inatosha katika majibu yake waziri hawa ghasia alisema ni kosa kwa mtu yeyote kuwa na nyaraka za serikali za serikali na kwamba kufanya hivyo ni kosa la jinai na kuanzai sasa mbunge atakayefanya hivyo atachukuliwa hatua za kisheria mra moja na grace michael kampuni ya dowans imewasilisha pingamizi mahakama kuu ya tanzania kitengo cha biashara ikipinga maombi ya tanesco ya kuzuia kuuzwa kwa mitambo yake pingamizi hilo liliwasilishwa hivi karibuni ambapo lilipangwa kusikilizwa mbele ya jaji robert makaramba wa mahakama hiyo mwishoni mwa wiki hata hivyo usikilizwaji wa pingamizi hilo ulikwama baada ya jaji huyo kuzitaka pande zote mbili kuwasilisha hoja zake kwa maandishi kutokana na hali hiyo upande wa dowans ambao unawakilishwa na wakili bwana abduel kitururu ulitakiwa kuwasilisha hoja zake aprili ishirini na nane mwaka huu ambapo wakili wa tanesco daktari alex nguruma atatakiwa kuwasilisha hoja zake mei tano mwaka huu na endapo upande wa dowans utakuwa na nyongeza yoyote utawasilisha mei nane mwaka huu ambapo mahakama itatoa uamuzi wa pingamizi hilo mei kumi na tatu mwaka huu katika pingamizi hilo dowans inaomba mahakama kutupilia mbali maombi ya tanesco kwa kuwa imetumia kifungu kisichokubalika katika kuwasilisha maombi yake kwa upande wa tanesco inaiomba mahakama kuzuia kampuni ya dowans kuuza mitambo yake kwa namna yoyote hadi shauri lililowasilishwa na kampuni hiyo kwenye mahakama ya usuluhishi ya kimataifa iliyoko ufaransa litakapotolewa uamuzi pia tanesco inaiomba mahakama kuamuru dowans kuweka mahakamani asilimia kumi ya dola za marekani kumi tisa mia nane na hamsini na saba mia sita na themanini na sita kama dhamana ya gharama zitakazotumika katika kesi iliyopo ufaransa inadaiwa juni ishirini na tatu ishirini sifuri sita tanesco iliingia makubaliano ya uzalishaji wa umeme wa dharura na kampuni ya richmond ambayo ilielekeza majukumu yake kwa kampuni ya dowans holding s a na baadaye dowans holding nayo ilielekeza majukumu yake kwa kampuni yake dada ya dowans tanzania ltd baada ya mapitio ya makubaliano hayo na upungufu uliojitokeza juni thebathini mwaka jana tanesco iliiandikia dowans ikieleza kuwa uhamishaji wa majukumu ya kiutendaji katika kampuni hizo haukuwa halali novemba mbili mwaka jana dowans ilifungua kesi ikidai dola za marekani kumi tisa mia nane na hamsini na saba mia sita na themanini na sita kama gharama za huduma za umeme ambazo zilikuwa hazijalipwa na zamzam abdul wakazi wa kijiji cha namawala kata ya idete tarafa la ifakara wilaya ya kilombero mkoani morogoro wamemlalamikia mkuu wa wilaya hiyo bwana evarist ndikilo na mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya hiyo bwana mark UNK kwa kuwanyangganya ardhi yao kwa ajili ya kumpa mwekezaji wakizungumza kwenye ofisi za gazeti hili dar es salaam jana wakazi hao walisema ardhi yao ambayo ni ya kijiji chenye hekta tatu themanini sifuri inadaiwa kutaka kupewa mwekezaji na viongozi hao jambo ambalo wanalipinga bwana kenani haule akizungumza kwa niaba ya wenzake alisema hawapo tayari kumuachia mwekezaji huyo kwani wana uwezo wa kumiliki na kuwekeza wenyewe katika eneo hilo tunashangaa kwa kitendo hicho ambacho ni cha unyanyasaji sasa leo hii wanataka kutuondoa katika ardhi yetu ambapo ndio makazi tunayoishi tuna mashamba pamoja na shule wanategemea tutaenda wapi alisema bwana haule walisema kuwa cha kusikitisha zaidi viongozi hao walidai rais jakaya kikwete alitoa agizo la kuchukuliwa kwa ardhi hiyo ili apewe mwekezaji jambo ambalo si la kweli kwa sasa tunakwenda kumuona rais kwani UNK malalamiko katika ofisi yake na UNK tukamuone mkuu wa mkoa ili UNK kwa umakini tatizo hilo lakini mpaka sasa hakuna kinachoendelea zaidi tunaambiwa tuvute subira wakati mkuu wa mkoa anafanya uchunguzi ili kupata ufumbuzi wa tatizo letu alisema bwana haule aliongeza kuwa wamemuomba rais kikwete kuliangalia suala hilo kwa makini kwani kuna hatari ya damu kumwagika na lengo lao si machafuko kama hayo yatokee kama yale ya tarime na mwandishi wetu singida mbunge wa singida mjini bwana mohammed dewji amesikitishwa kutokana na shule na vijiji jimboni kwake kushindwa kulitumia trekta UNK shilingi milioni ishirini na tano dewji aliyasema hayo juzi mjini hapa wakati akizungumzia utekelezaji wa ahadi zake katika mkutano mkuu maalum wa ccm wilaya ya singida mjini uliofanyika ukumbi wa askofu mabula alisema amejitahidi kuigusa kila sekta kuanzia elimu afya kilimo michezo na hata burudani ambapo katika kilimo juhudi zake zilianza kwa kukabiliana na uhaba wa chakula baada ya kutoa msaada wa tani kumi sifuri zenye thamani ya shilingi milioni arobaini kuanzia pale nilijifunza mengi nikapata wazo la kutafuta ufumbuzi wa kudumu ni kutoa trekta UNK mashamba ya shule na vijiji ili mazao yatakayopatikana UNK katika maghala lakini trekta lile halijatumika hadi sasa alisema dewji mbunge huyo alisema mara baada ya kikao hicho UNK tena na madiwani ili wapate ufumbuzi juu ya matumizi ya trekta hilo ndani ya jimbo lao alisema UNK shilingi bilioni moja tano katika kutekeleza ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka ishirini sifuri tano na kuongeza kuwa anapata faraja kubwa kuchangia maendeleo ya jimbo lake kwa upande wa elimu mbunge huyo UNK watoto moja sifuri sifuri sifuri alisema anajivunia kujenga vyumba vya madarasa nyumba za walimu na maabara katika kila kata ikiwemo kuweka samani kwa gharama ya shilingi milioni mia tano na ishirini na moja kiasi kama hicho kinatarajiwa pia kutumika katika kuondoa tatizo la maji huku tayari shilingi milioni mia mbili na hamsini na tano zikiwa zimeshatumika kwa ajili ya kuchimba visima katika kata mbalimbali za jimbo lake alisema baada ya kufanikiwa kuongeza mara saba idadi ya shule za sekondari kutoka mbili hadi kumi na tano sasa ni zamu ya wana singida kujipanga kuhakikisha zinajengwa shule za kidato cha tano na cha sita na mwandishi wetu mtwara kampuni ya a to z textile mills limited ya arusha imeanza kusambaza vyandarua mia nne na sabini sifuri sifuri sifuri aina ya olyset vyenye dawa inayodumu kwa miaka mitano kwa mikoa ya lindi na mtwara mradi huo ambao ni wa serikali una lengo la kuwapatia watoto walio chini ya umri wa miaka mitano ambapo utatekelezwa katika kipindi cha kuanzia mwezi huu hadi katikati ya mwezi ujao akizungumza katika maadhimisho ya siku ya malaria mjini hapa juzi meneja wa mradi wa kupambana na malaria nchini daktari alex mwita alisema a to z imepewa jukumu la kutengeneza na kusambaza vyandarua hivyo kwa UNK na shirika lisilo la kiserikali la UNK tayari mpango huu UNK katika mkoa wa tanga na wilaya ya mpanda mkoani rukwa alisema na kuongeza kuwa awamu nyingine ya mpango huo itaanza julai katika kanda ya ziwa ukijumuisha mikoa ya mwanza mara na kagera tunatarajia kusambaza vyandarua milioni saba mbili kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano katika kipindi cha mwaka mmoja kuanzia sasa alisema naye meneja wa masoko wa a to z bwana sylvester kazi alisema kampuni yake kwa kushirikiana na wadau wengine imeshaanza kuainisha maeneo husika ambayo vyandarua hivyo UNK na wanatarajia kukamilisha lengo ndani ya muda uliopangwa a to z ambayo ina ubia na kampuni ya kimataifa ya sumitomo UNK ya japan inaendesha kiwanda cha kisasa mkoani arusha ambacho kinazalisha chandarua ya olyset ambayo inatumia teknolojia ya kijapani inayohifadhi dawa kwa muda wa miaka mitano wakati huo huo a to z imetoa msaada wa vyandarua kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi na viungo wa mkoani mtwara kama sehemu za kuadhimisha siku ya malaria duniani iliyoadhimishwa kitaifa mjini hapa na grace michael rais jakaya kikwete jana aliongoza mamia ya watanzania kuadhimisha miaka arobaini na tano ya muungano wa tanganyika na zanzibar ambapo rais wa zanzibar amani abeid karume alikwama kuungana katika maadhimisho hayo kutokana na ndege kukwama kutua katika uwanja vya zanzibar hatua ya kukwama kufika kwa rais huyo katika maadhimisho hayo ilijulikana uwanjani hapo baada ya mtangazaji kutoa tangazo UNK wananchi kuvuta subira kutokana na ndege iliyotoka bara kukwama kutua uwanjani huko ambako ilikwenda UNK jamani rais wa zanzibar UNK kidogo kufika katika viwanja hivi na hii inatokana na hali ya hewa ambayo imesababisha ndege iliyokwenda kumchukua kukwama kutua hivyo tusubiri kidogo alitangaza mtangazaji wa sherehe hizo hata hivyo jitihada za kumsubiri rais huyo zilikwama na UNK chochote kuhusiana naye bali rais kikwete aliingia uwanja wa uhuru saa nne ishirini na tano ambapo alitakiwa kuingia saa tatu sifuri sifuri asubuhi katika kuadhimisha sherehe hizo mizinga ishirini na moja ilipigwa na rais kikwete alikagua gwaride na baada ya hapo lilipita mbele yake kwa heshima ikiwa ni mwendo wa pole na haraka ikifuatiwa na kuruka kwa ndege za kivita ambapo UNK mbili kutokana na hali ya hewa kuwa mbaya mbali na gwaride hilo pia kulikuwa na maandamano ya vijana waliozaliwa aprili ishirini na sita elfu moja na mia tisa na sitini na nne ambao kwa umoja wao walifika mbele ya rais kikwete na kurusha njiwa waliokuwa nao kila mmoja maandamano hayo pia UNK na waendesha pikipiki mia moja na hamsini kutoka tanzania bara na visiwani ambao nao UNK na wapanda baiskeli kumi sifuri pia maonesho mengine yalikuwa ni ya kikosi ya cha polisi ambacho kinatumia mbwa katika kupambana na uhalifu mbalimbali ikiwemo dawa za kulevya kukamata majambazi na kutegua mabomu mbali na hayo pia waasisi wa muungano ambao walishiriki katika kuchanganya mchanga wa bara na visiwani nao walipita mbele ya mgeni rasmi wakiwa wameshika vibuyu na chungu ambavyo vilitumika katika zoezi la muungano wa nchi mbili waasisi hao ni bibi sifael mushi ambaye kwa kipindi hicho alikuwa na umri wa miaka ishirini na tisa bwana hassan omar mzee aliyekuwa na miaka kumi na sita pamoja na bibi hadija abbas rashid ambaye naye alikuwa na umri wa miaka kumi na sita kutokana na hali ya mvua kuongezeka baadhi ya vikundi vya ngoma UNK nafasi ya kutumbuiza na badala yake nafasi hiyo ilipatiwa kwa vikundi viwili tu kimoja kutoa zanzibar na kingine bara maadhimisho hayo yalihudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo mama maria nyerere makamu wa rais daktari mohamed ali shein waziri kiongozi wa zanzibar shamsi vuai nahodha waziri mkuu bwana mizengo pinda na wengine na suleiman abeid shinyanga askari mmoja wa kike wa jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani wilayani bukombe mkoani shinyanga bibi mwajuma rajab anadaiwa kukatisha masomo ya kijana mmoja wa kiume bwana kulwa william au kwa jina lingine wilfred matonange kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kijana huyo anadaiwa kushindwa kufanya mitihani yake ya kumaliza kidato cha nne mwaka jana baada ya kuleweshwa penzi la trafiki huyo licha ya kushauriwa na wenzake kutoacha masomo kijana huyo alifikia uamuzi wa kukatisha masomo januari baada ya kuvunja ghafla safari ya kwenda shuleni nchini uganda akiwa kituo cha mabasi mjini ushirombo kitendo ambacho kiliwashangaza wenzake bibi mwajuma alikiri kuwa na uhusiano ya kimapenzi na mwanafunzi huyo lakini alikanusha madai ya kumkatisha masomo yake kwani mwenyewe ndiye aliyeanza kumtaka kimapenzi mwishoni mwa mwaka ishirini sifuri sita alisema wakati huo UNK ombi hilo na hakufahamu kama ni mwanafunzi kwani alimuona kama kijana wa kawaida wa mitaani mwanzoni mwa mwaka ishirini sifuri saba ndipo UNK ombi lake na kuanza naye uhusiano wa kimapenzi ni kweli mimi na kulwa tuna uhusiano na hivi sasa ni UNK lakini si kweli kwamba UNK masomo huyu ni kijana mkubwa tu na alikuwa hasomi sekondari kama inavyodaiwa mimi nafahamu anasomea kompyuta uganda alisema bibi UNK alisema januari mwaka jana baada ya likizo yake ya miezi mitatu bwana kulwa UNK mizigo yake na UNK kuwa anakwenda chuoni kuendelea na masomo hata hivyo alisema alishangaa kumuona bwana kulwa akirejea ghafla nyumbani akiwa na mizigo yake na alipomuuliza sababu alieleza kuwa ameamua kutokwenda chuoni baada ya baba yake anayeishi wilayani kahama kumpigia simu kuwa alikuwa na matatizo katika biashara zake alisema bwana kulwa kama alivyodai mwenyewe aliombwa na baba yake arejee nyumbani ili amsaidie kazi zake za biashara na kama ni masomo UNK kuendelea nayo baadae bibi mwajuma alisisitiza kuwa hiyo ndiyo sababu ya bwana kulwa kuacha kuendelea na masomo na siyo sababu ya kuleweshwa penzi alilokuwa UNK naye bwana kulwa alikana kukatisha masomo sababu ya mwanamke na si mwanafunzi wa sekondari kwani alihitimu kidato cha nne mwaka ishirini sifuri tano katika shule ya UNK wilayani sengerema mkoani mwanza UNK chuo UNK akisomea kompyuta nchini uganda kuwa ni kampala international UNK na hivi sasa anafanya mipango ya kuendelea na masomo yake nchini iwapo atapata chuo cha mafunzo hayo jijini mwanza na edmund mihale washiriki wa mchezo wa upatu wa development enterpreneurship for community intiative wamewataka viongozi wa kampuni hiyo kutoa kauli itakayowapa matumaini ya kurudishiwa mbegu zao wakizungumza na majira kwa nyakati tofauti jana makao makuu ya deci yaliyopo mabibo dar es salaam walisema UNK uongozi wa kampuni hiyo kwa kushindwa kuweka wazi mambo yanayowahusu washiriki katika kampuni hiyo uongozi UNK kila siku tuko hapa lakini UNK kukutana na wasaidizi tu na ndiyo wanatupa habari za kusitishwa kwa shughuli zote za deci na wala si uongozi alisema mmmoja wa washiriki hao walisema UNK tamaa na ukimya wa viongozi wa kampuni hiyo kwani kila siku wamekuwa wakishinda katika ofisi hizo hali ambayo UNK kurudi nyuma kimaendeleo walisema kutokana na ukimya huo ambao ni kati ya serikali na viongozi wa kampuni hao wameshindwa kujua ni lini na nani UNK mbegu hizo washiriki hao walisema tangu kusimamishwa kwa shughuli za kampuni hiyo viongozi hao UNK nao kama ilivyokuwa awali majira ilishuhudia kundi dogo UNK katika ofisi hizo ili kujiorodhesha na kisha kurudishiwa mbegu hizo huku wakiwa katika hali kukata tamaa wengine wakiwa katika majadiliano ya hapa na pale akizungumza kwa njia ya simu jana mkurugenzi mtendaji kampuni hiyo bwana timoth ole loitinnggye alisema uongozi huo hauko tayari kusema lolote kwa kuwa mambo yote yanayohusu kurejeshwa au UNK kwa mbegu hizo yapo UNK mwa tume iliyoundwa na serikali ndugu kwa sasa sisi tuna kazi ya kuhakiki washiriki wetu na tupo makini kuhakikisha wale tu wanaostahili wanapata mbegu zao kwa hiyo siko tayari kuzungumza ni lini watanggoa mbegu alisema bwana ole loitinnggye na shukrani kawogo jeshi la polisi kanda maalumu ya dar es salaam linawashikilia watu wanne wanaotuhumiwa kuwa majambazi sugu nane kwa kutuhuma za kuiba kompyuta sita na gari namba stk hamsini mbili mali ya ofisi ya mkurugenzi wa mashitaka ya jinai gari hiyo ndiyo iliyokuwa imebeba kompyuta hizo siku ya tukio ambazo zilikuwa zinatakiwa kusambazwa katika ofisi za dpp zilizoko mikoani akizungumzia tukio hilo jana kamanda wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam bwana UNK kova alisema lilitokea machi tano mwaka huu saa tatu usiku eneo la tabata UNK jijini alisema baada ya kutokea tukio hilo polisi walifanikiwa kumkamata dereva wa gari namba stk hamsini mbili bwana ally ramadhani ambaye anasadikiwa kushirikiana na majambazi hayo tulimkamata dereva ambaye baada ya kubanwa aliwataja majambazi hao na hatimaye kufanikiwa kuwakamata baadhi kwani wengine wamekimbia pamoja na gari hiyo siku ya tukio alisema alisema sababu za kumkamata dereva huyo ilitokana na mazingira ya tukio kwani alitakiwa kulaza gari hilo eneo salama badala yake aliamua kulaza tabata ambapo muda mfupi baadaye majambazi yaliyokuwa na silaha yalitokea na kuondoka na gari hiyo kamanda huyo alisema kukamatwa kwake kulisaidia kufanyika msako ambao UNK kupatikana kwa kompyuta hizo ambazo zitakabidhiwa kwa dpp baada ya kesi kumalizika gari bado haijapatikana hadi sasa aliongeza kuwa majambazi hayo ni sugu lakini watano kazi yao ni kuiba na kisha kupeleka kwa wenzao watatu ambao kazi yao ni kupokea mizigo ya wizi alitumia nafasi hiyo kutoa ufafanuzi kuwa kompyuta zilizoibiwa haina maana kwamba ni zile ambazo zinatumiwa na dpp bali ni nyingine mpya ambazo zilikuwa UNK UNK hata hivyo alisema kitendo cha dereva huyo kupaki gari katika maeneo yasiyokuwa salama ni makosa kwani alishauriwa kuweka eneo lolote la polisi mpango wa utafiti na elimu ya demokrasia umesema kupanda kwa gharama za maisha huduma mbaya za jamii rushwa viongozi wabovu ufisadi ukosefu wa ajira kudorora kwa kilimo na mikataba mibovu ndiyo mambo yanayokwamisha utendaji wa rais jakaya kikwete hata hivyo utafiti huo ulibainisha kuwa watanzania wengi waliohojiwa wanaonekana kuwa na imani na rais kikwete kuliko baraza lake la mawaziri na chama chake cha ccm mtafiti mkuu wa redet daktari UNK kiliani na makamu mwenyekiti wa mpango huo daktari benson bana waliwaambia waandishi wa habari dar es salaam jana kuwa matokeo hayo ya utafiti wa novemba ishirini sifuri nane yalijumuisha mikoa yote ya tanzania kwa kuchagua wilaya moja kila mkoa na watu hamsini daktari kiliani alisema kati ya waliohojiwa asilimia thebathini na tisa tano walisema wanaridhika sana na utendaji wa rais kikwete asilimia thebathini na tisa sifuri wanaridhika kiasi huku asilimia kumi na tisa tatu wakisema hawaridhiki na utendaji alisema takwimu hizo UNK na utafiti wa oktoba ishirini sifuri sita na oktoba ishirini sifuri saba kutathimini uongozi wa rais kikwete tangu aingie madarakani ni kwamba asilimia ya wanaosema wanaridhika sana na utendaji wake inapungua kutoka sitini na saba mwaka ishirini sifuri sita hadi arobaini na nne mwaka ishirini sifuri saba kufikia thebathini na tisa tano utafiti huo unabainisha kuwa sababu zilizotolewa na watu ambao hawaridhiki na utendaji wa rais ni kushindwa kwake kuboresha maisha kuchagua viongozi wasiofaa kushindwa kupambana na rushwa na utafiti ulifanywa kipindi vigogo wakipelekwa kortini kwa tuhuma za wizi wa fedha za epa daktari kiliani alisema wahojiwa wengi waliotoa tathmini yao ya utendaji kazi wa serikali na baadhi ya taasisi zake kiwango cha kuridhika sana kilikuwa chini ya asilimia arobaini kwa kila asasi iliyokuwa kwenye orodha katika orodha hiyo bunge liliibuka kidedea kwa asilimia serikali za mitaa jeshi la polisi mahakama baraza la mawaziri na taasisi ya kupambana na kudhibiti rushwa UNK mkia kwa kuambulia asilimia kumi na tatu nne tu alibainisha kuwa watu wengi bado hawaridhiki na jinsi serikali ya rais kikwete inavyoshughulikia matatizo kama migomo ya wanafunzi vyuo vikuu migomo ya walimu suala la epa na sakata la oic katika suala la imani kwa viongozi wa serikali rais kikwete aliongoza kwa kuwa na asilimia hamsini tatu akifuatiwa na waziri mkuu bwana mizengo pinda hamsini na nne sita makamu wa rais daktari ali shein arobaini na nane tano mkuu wa mkoa husika thebathini na sita tatu na mbunge kwenya jimbo thebathini na mbili mbili kuhusu utendaji wa rais amani karume na serikali yake visiwani zanzibar utafiti unasema kuwa ingawa katika matokeo ya mwaka ishirini sifuri sita ishirini sifuri saba alionekana kushuka katika matokeo ya ishirini sifuri nane amepanda kidogo kutoka asilimia thebathini na tano tano hadi arobaini na nne na joyce ngowi serikali itapiga mnada tani mia mbili na tisini na sita za samaki waliokamatwa katika meli ya mv tawariq iliyokuwa ikivua kinyume cha sheria ndani ya bahari ya hindi eneo la tanzania fedha zitakazopatikana zitawekwa katika akaunti maalum kama UNK cha kesi hiyo inayoendelea ikihusisha meli hiyo ya kigeni akizungumza jana dar es salaam mkurugenzi mwendeshaji wa kampuni ya udalali ya yono iliyopewa tenda na wizara ya maendelea ya mifugo na uvuvi bibi scholastica kevela alisema samaki hao UNK mnada mei mbili mwaka huu baada ya kukamatwa meli hiyo haramu serikali yetu iliamua kuwahifadhi samaki hao kampuni ya bahari foods ltd ili kusubiri maamuzi ya mahakama na kuamua kutafuta kampuni UNK kwa mnada ili UNK alisema bibi UNK na kuongeza fedha zitakazopatikana katika mnada huo zitahifadhiwa kwenye akaunti maalum kama kidhibiti cha kesi hiyo sasa tunafanya tathimini ya samaki hao baada ya kuteua kamati inayoshughulikia mnada huo alisema wameanza utaratibu wa kuwasiliana na wafanyabiashara mbalimbali ambao UNK na kuwauza kwa wafanyabiashara wadogo wadogo akizungumzia hali za samaki hao alisema hadi sasa wapo katika hali nzuri kwani wamehifadhiwa katika sehemu maalum na edmund mihale uongozi wa kampuni ya development enterpreneurship for community intiative umesema utaanza kurudisha mbegu baada ya zoezi la kuorodhesha na kuhakiki wanashiriki wanaostahili kulipwa UNK UNK na gazeti hili jana mkurugenzi mtendaji wa deci bwana timoth ole loitinnggye alisema kutokana na muda waliopewa na serikali kuwa mfupi watajitahidi kusimamia zoezi hilo kwa umakini zaidi na kwa muda mfupi unajua nguvu ya kuivunja deci ilikuwa kubwa mno nasi hatukuwa tumejipanga vizuri naweza kusema kuwa tunatekeleza masharti tuliyopewa na serikali kuorodhesha washiriki na tukimaliza nadhani tutaanza kurudisha mbegu alisema bwana ole loitinnggye alisema kwa sasa serikali imewataka kuhakiki wanachama wanaotakiwa kurudishiwa mbegu zao ndipo itoe utaratibu wa kufanya ratiba iliyotolewa na uongozi wa kampuni hiyo inaonesha siku na tarehe ya kuandikishwa kwa washiriki wanaotakiwa kunggoa mbegu unatarajia kumalizika juni mwaka huu mkurugenzi huyo amewataka washiriki hao kuheshimu utaratibu uliowekwa na kampuni hiyo hadi hapo serikali itakapotoa utaratibu mwingine majira lilishuhudia mamia ya washiriki hao wakiwa katika ofisi za kampuni hiyo huku wakiwa katika mijadala UNK wengi wakihoji ukimya wa viongozi wa kampuni hiyo hata hivyo makundi hayo yalianza kutawanyika baada ya mhudumu ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja katika ofisi za deci makao makuu mabibo kuwatangazia washiriki waliokuwa wakiendelea kumiminika kuwa hawatatoa malipo kwani bado serikali inashikilia akaunti zao hatutoi malipo kwa sasa na UNK tunaanza kulipa lini kwani fedha zote UNK na serikali hadi shughuli zote za kujiorodhesha zitakapomalizika na tutawatangazia siku ya kulipwa kama tutakuwa tumepewa fedha zetu zilizozuiliwa alisema mhudumu huyo baadhi ya washiriki waliozungumza na majira tayari wamekata tamaa kurudishiwa mbegu zao kwani awali uongozi ulitangaza kuwarudishia kuanzia aprili ishirini na tano mwaka huu na baadaye kubadilishwa wamedai kuwa baada ya hapo uongozi ulidai kuwa ungeanza kuwalipa baada ya wiki mbili jambo ambalo wamedai kuwa lina mpango wa UNK ili UNK hivi karibuni benki kuu ya tanzania ilitoa tangazo na kutoitambua kampuni hiyo na kuwahadharisha wananchi kutojihusisha na kampuni hiyo kutokana na kuendesha shughuli zake kinyume cha sheria na reuben kagaruki biharamulo mazishi ya marehemu phares kabuye aliyefariki kwa ajali ya gari april ishirini na nne mwaka huu mkoani morogoro akiwa njiani kwenda kuhudhuria mkutano mkuu wa taifa yalifanyika jana kijijini kwao UNK mkoa wa kagera mwili wa marehemu uliwasili juzi jioni kwa ndege ya kukodi na kupokelewa na umati mkubwa uliojitokeza uwanja wa ndege kutoka wilayani hapo na kusindikizwa na viongozi wa taifa wa tlp ukiongozwa na mwenyekiti wao bwana mrema marehemu kabuye ameacha wajane wawili watoto sita na wajukuu watano ibada ya UNK nyumbani kwa marehemu kabuye ikiongozwa na mchungaji elias UNK wa kanisa la UNK miongoni wa viongozi wa serikali na vyama vya siasa waliohudhuria mazishi ni bwana augustino mrema wa tlp mbunge wa karagwe bwana UNK UNK mwenyekiti wa chadema bwana freeman mbowe na viongozi wenzake zaidi ya thebathini waliomo mkoani kagera wakiendesha oporesheni sangara viongozi UNK i waliohudhuria ni pamoja na mbunge wa chato ambaye pia ni waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi bwana john magufuli mkuu wa wilaya ya biharamulo bwana ernest UNK akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya serikali bwana magufuli alisema kabuye alikuwa mchapa kazi na ameacha pengo kubwa bwana magufuli alitoa salaamu za rambirambi UNK na rais kikwete na kukabidhi familia ya marehemu shilingi laki tano alizotoa mwenyewe mfukoni kwake na edson kamukara serikali imejipanga kudhibiti kwa kufuatilia mienendo ya wasafiri katika viwanja vya ndege na mipakani ili kuzuia kuingia nchini ugonjwa wa mafua ya nguruwe msemaji wa wizara ya afya na ustawi wa jamii bwana nsachris mwamwaja aliwaambia waandishi wa habari dar es salaam jana kuwa ugonjwa huo huambukizwa kwa njia ya hewa kwa nguruwe na kirusi kiitwacho UNK a UNK alisema ugonjwa huo mbali na kuambukizwa kwa nguruwe kwa nguruwe vilevile unaweza kuambukizwa baina ya binadamu au binadamu kwa nguruwe alizitaja dalili za ugonjwa huo kuwa kwa binadamu ni sawa na dalili za mafua ya kawaida pamoja na homa kukohoa maumivu ya koo kukosa hamu ya chakula maumivu ya mwili kuumwa kichwa UNK baridi na mwili kuchoka kwa nguruwe alisema dalili zake ni homa ya ghafla UNK kuzubaa kukohoa mafua kupiga chafya kupumua kwa shida macho kuwa mekundu na kugoma kula bwana mwamwaja alisema ili kujikinga na ugonjwa wananchi wanapaswa kunawa mikono vizuri kwa sabuni na maji mara kwa mara kutokuwa karibu na watu UNK kuwa na dalili kuzui midomo na pua kwa UNK wakati wa kukohoa au kupiga UNK alisema katika kujiandaa kukabiliana na ugonjwa huo serikali ina vifaa vya kutosha kwa makundi maalum ambayo yatahusika kwa karibu iwapo UNK UNK nchini alisema kuwa kwa sasa ugonjwa wa mafua ya nguruwe unatibika na kuzuilika kwa dawa ya aina ya tamiflu au UNK na hakuna chanjo kwa binadamu ugonjwa huo UNK tena machi mwaka huu na hadi sasa nchi nane ambazo ni mexico marekani canada UNK hispania ufaransa israel na brazil zimeripotiwa kuwa na mambukizi adai tatizo ni kuyumba utawala wa jk amtaka mkapa UNK kwa watanzania na said mwishehe kauli ya mwenyekiti wa kampuni za ipp bwana reginald mengi kutaja majina ya mafisadi papa imezidi kuwasha moto baada ya mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba kumvaa akidai anajipendekeza kwa rais jakaya kikwete kwa bei rahisi UNK lipumba alidai mbali ya kujipendekeza anapanda mbegu ya ubaguzi kwa watanzania majina ya mafisadi papa waliotajwa wote wana asili ya kiasia huku kauli ya profesa lipumba imekuja siku moja baada ya waziri wa nchi ofisi ya rais bibi sofia simba na waziri wa habari utamaduni na michezo bwana george mkuchika kupinga hatua hiyo ya bwana mengi na kudai amechemsha profesa lipumba alisema jijini dar es salaam jana kuwa kauli ya bwana mengi haisaidii vita dhidi ya rushwa bali inadhoofisha na kupoteza malengo ya mapambano ya uovu huo bwana mengi ametoa kauli anayodai anamuunga mkono rais kikwete katika vita anayoiongoza ya kupambana na ufisadi amedai mafisadi wapo kumi kati ya hayo mafisadi papa ni watano ambapo wakishughulikiwa ufisadi utamalizika bwana mengi anadai watumishi wa serikali UNK au kulazimishwa na mafisadi wakubwa mfumo wa maamuzi na watendaji serikalini siyo tatizo la msingi la ufisadi sidhani kama kweli hiyo ndiyo sababu ya kuwepo kwa ufisadi alisema profesa lipumba aliongeza bwana mengi hapambani na ufisadi kama anavyodai bali UNK malengo ya mapambano hayo tatizo la ufisadi linasababishwa na ukosefu wa uongozi imara wa rais jakaya kikwete sioni kama bwana mengi amefanya ujasiri wowote hapa kama ana ushahidi mzuri kuhusu mafisadi alipaswa kuwasiliana na vyombo husika pamoja na takukuru ili waweze kushughulikiwa jambo la busara ilikuwa kuchukua ushahidi alionao na kuupeleka kwa rais kama rais UNK ushahidi huo ndipo UNK na kueleza umma alidai profesa lipumba profesa lipumba alidai bwana mengi anacheza karata ya ubaguzi wa rangi kwa kutaja majina hayo anataka kuufanya umma wa watanzania uamini tatizo la ufisadi limeletwa na wahindi wachache