name
stringclasses
429 values
text
stringlengths
0
767k
null
CHELSEA FC kutoka pale Uingereza imeendelea kufanya maajabu ambayo watu wengi hawakutarajia kutokana na misimu miwili mibovu nyuma ambayo walipitia toka alipoondoka Thomas Tuchel. The Blues msimu wa 2021 waliweza kupata mafanikio makubwa chini ya kocha wa Kijerumani Tuchel ambaye msimu wake wa kwanza aliweza kubeba ma...
null
NAJUA umekutana na kasino nyingi za mtandaoni Lakini hii kutoka Meridianbet ni kiboko, Kwani kwasasa imekamata mji na kupendwa na wengi na hii ni kutokana na namna watu wanavyoshinda vitita na sio mchezo mwingine ni All Aces Poker. Kutoka kwa watengenezaji wa michezo Microgaming, wameshusha chuma kipya kinaitwa All Ac...
null
Jumamosi tarehe 14 Desemba 2024, jijini Arusha, Benki ya CRDB ilihitimisha fainali za CRDB Bank Supa Cup 2024, mashindano yaliyojumuisha michezo ya soka na netiboli, kwa timu zilizoundwa na wafanyakazi wa benki hiyo, yakiwa ni mashindano yenye mbwembwe na ushindani wa hali ya juu. Timu mbalimbali kutoka kanda tofauti z...
null
MAGAZETI JARIDA MAALUM KUTOKA TANROADS LIKIWA LIMESHEHENI MAMBO MBALIMBALI IKIWEMO MIRADI YAKE. MICHUZI BLOG at Tuesday, February 21, 2023 0 Read more » MAGAZETI KUTOKA GAZETI LA TAIFA TANZANIA LEO MICHUZI BLOG at Tuesday, February 21, 2023 0 Read more » MAGAZETI IMEKULETEA VICHWA VYA HABARI MAGAZETI YA LEO JULAI 22,...
null
Home MAGAZETI JARIDA MAALUM KUTOKA TANROADS LIKIWA LIMESHEHENI MAMBO MBALIMBALI IKIWEMO MIRADI YAKE. Subscribe to: Post Comments (Atom) Most read Swahili blog on earth Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Even...
null
Subscribe to: Post Comments (Atom) Most read Swahili blog on earth Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting ...
null
Subscribe to: Post Comments (Atom) Most read Swahili blog on earth Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting ...
null
Subscribe to: Post Comments (Atom) Most read Swahili blog on earth Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting ...
null
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu ya Chuo Kikuu cha Zanzibar. Chuo Kikuu cha Zanzibar kimemtunuku Shahada hiyo ikiwa ni kutambua na kuthamini Mchango wa Uongozi wake Unaoacha Alama na historia itakayokumbukwa wakati wote. Hafla ya ku...
null
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu ya Chuo Kikuu cha Zanzibar. Chuo Kikuu cha Zanzibar kimemtunuku Shahada hiyo ikiwa ni kutambua na kuthamini Mchango wa Uongozi wake Unaoacha Alama na historia itakayokumbukwa wakati wote. Hafla ya ku...
null
Leadership is not about being in charge, it is about taking care of those in your charge. The essence of this idea perfectly captures Dr. Mwinyi’s journey from humble beginnings to becoming a leader driven by compassion and purpose. Having pursued a distinguished career in medicine, he is not just a statesman, but a he...
null
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na wageni wake Balozi wa Egypt Nchini Tanzania Mhe.Sharif A.Ismail na (kulia kwake) Balozi wa Malawi Nchini Tanzania Mhe.Andrew Kumwenda,baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 2...
null
Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia Maulid Mwita akifuatana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji (ZBC) Ramadhan Bukini wakati alipofanya Ziara kutembelea Jengo la Utangazaji la ZBC Radio lililofanyiwa Ukarabati Rahaleo Mjini Zanzibar. Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia Maulid Mwit...
null
.Ni kampeni ya kupanda miti milioni 1 Tanzania nzima . Yapanda miti ya matunda 500 Wilayani Serengeti Na mwandishi wetu,Serengeti IKIWA kama sehemu ya Kampeni yake ya kuhamasisha watanzania kutunza mazingira kwa kupanda miti 1,000,000 nchini kote, Kampuni ya Bayport imepanda miti ya matunda 500 katika Shule ya Sek...
null
.Ni kampeni ya kupanda miti milioni 1 Tanzania nzima . Yapanda miti ya matunda 500 Wilayani Serengeti Na mwandishi wetu,Serengeti IKIWA kama sehemu ya Kampeni yake ya kuhamasisha watanzania kutunza mazingira kwa kupanda miti 1,000,000 nchini kote, Kampuni ya Bayport imepanda miti ya matunda 500 katika Shule ya Sek...
null
Subscribe to: Post Comments (Atom) Most read Swahili blog on earth Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting ...
null
Home MICHUZI TV LIVE : RAIS SAMIA AKISHUHUDIA UTIAJI SAINI KATI YA SERIKALI NA KAMPUNI TATU ZA MADINI ZA AUSTRALIA Subscribe to: Post Comments (Atom) Most read Swahili blog on earth Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews...
null
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV-Morogoro. CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimesisitiza moja ya mikakati ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha huduma za afya hasa ya Mama na Mtoto inaendelea kuboreshwa ili wapate huduma zilizo bora zinazoambatana na vifaa tiba vya kisasa. Aki...
null
contact Our offices are located at the Palm Residency building’s 2nd Floor shop No. 2, (the tall building with Philips and Tigo offices) opposite the Ocean Road Cancer Institute, a stone’s throw from the Botanical Gardens in Ilala District, Dar es Salaam.
null
Na WAF, DODOMA Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema kurejeshwa kwa Toto Afya Kadi kutaleta matumaini mapya na uelekeo thabiti wa Bima ya Afya hususan kwa kundi la watoto ambalo linahitaji uangalizi wa pekee. Mhe. Mhagama ameyasema hayo leo tarehe 17, Desemba 2024 Jijini Dodoma, wakati akizindua vifurushi vitat...
null
Pages Home Jiachie Blog Mtaa Kwa Mtaa Blog MK Computer Tweaks View All results for " " MichuziBlogV2 Most read Swahili blog on earth Habari Biashara Kimataifa Burudani Michezo Magazeti Zanzibar Michuzi TV Contact Us Zilizobamba AFYA HARUSI HABARI MATUKIO MAHAKAMA "HARUSI" No posts with label HARUSI . Show all posts Sub...
null
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amefanya ziara kwenye mradi wa maji wa Kisarawe II uliopo wilaya ya Kigamboni ili kujionea maendeleo ya mradi huo ikiwa ni kutekeleza maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha mradi huo unafika katika Jiji la...
null
Na Jane Edward,Arusha . Waziri Mkuu amewakumbusha Majaji na Mahakimu wa Ukanda wa Afrika Mashariki kuendelea kutumia matumizi ya teknolojia kwani ni muhimu kuzingatiwa kwa kufikia utoaji wa haki wenye ufanisi. Akizungumza wakati wa kufungua Mkutano Mkuu wa 21 wa Chama cha Mahakimu na Majaji wa Afrika Mashariki (EAMJA...
null
Na Khadija Kalili, Michuzi Tv BODI ya korosho CBT kwanisba ya serikali zimesambaza viwatilifu vya zao la korosho aina ya salfa ya unga Tani 19000 na salfa ya maji lita 64000 kwa Wakulima wa mkoa wa Pwani.wa msimu wa kilimo wa mwaka 2024/2025 na kuleta ongezeko la asilimia zaidi ya 30 ya uzalishaji wa korosho mkoani Pw...
null
Katibu wa siasa, uenezi na mafunzo kutoka mkoa wa Iringa, MWL Joseph Ryata akitoa elimu kwa walimu Makada wa CCM mkoa wa Songwe kuelekea uchaguzi mkuu mwakani 2025Makatibu wa siasa, uenezi na mafunzo kutoka katika mikoa ya Iringa,Njombe Lindi na Songwe wakiwa tayari kuwapiga msasa walimu Makada wa CCM mkoa wa Songwe. ...
null
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema suala la kuimarisha utawala bora ni jambo la msingi kuleta maendeleo ya nchi, hivyo amewasihi watumishi wa umma na binafsi kuongeza juhudi, uzalendo na uadilifu katika kulitumikia Taifa. Dk. Mwinyi amesema, wajibu wa kuimarisha Utaw...
null
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja amewataka watumishi wa Ofisi hiyo kuendeleza ushirikiano na kuimarisha ushawishi kwa wadau wa kitaifa na kimataifa katika kusukuma agenda ya uhifadhi na usimamizi wa mazingira nchini. Mhandisi Luhemeja amesema hayo Desemba 17, 2024 wakati wa mkutano wake n...
null
Tanzania na Shirikisho la Jamhuri ya Somalia zinatarajia kufanya mazungumzo yanayolenga kuibua maeneo mapya ya ushirikiano na kuongeza uhusiano wa kidiplomasia na uchumi yatakayofanyika jijini Mogadishu kuanzia tarehe 17 -19 Disemba 2024. Ujumbe wa Tanzania tayari umeanza kuwasili nchini humo kushiriki katika vikao v...
null
*Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimesisitiza kuwa ili kuleta tija katika maeneo ya kazi ni lazima wafanykazi watimize wajibu wao ipasavyo huku waajiri nao wakiwajibika kutimiza haki za watumishi wao kulingana na makubaliano katika mikataba yao.* *Akizungumza na Waandishi wa Habari mara baad...
null
Na Mwandishi wetu---Dar es salaam Benki ya Akiba imezindua kampeni ya Kidijitali ijulikanayo kama "Twende Kidijitali ili kutoa suluhisho za kifedha. Taarifa iliyotolewa leo Desemba 18,2024 na Kitengo cha Masoko na Mawasiliano na kusema kuwa Kampeni hiyo imezinduliwa Desemba 12, 2024 jijini Dar es salaam yake mpya y...
null
Kikao cha ngazi ya Wataalamu kikiendelea TANZANIA na Shirikisho la Jamhuri ya Somalia zinatarajia kufanya mazungumzo yanayolenga kuibua maeneo mapya ya ushirikiano na kuongeza uhusiano wa kidiplomasia na uchumi yatakayofanyika jijini Mogadishu kuanzia tarehe 17 -19 Disemba 2024. Ujumbe wa Tanzania tayari umeanza kuwa...
null
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande (Mb) ameitaka Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) kufanya kazi kwa weledi na ushirikiano kwa kuhakikisha inapitia mitaala iliyopo kwa ajili ya uboreshaji wa Taaluma ya uhasibu ili iweze kutoa mchango katika kukuza uchumi. Wito huo umetolewa na Naibu...
null
Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Dodoma UJENZI wa Jengo la kutolea huduma ya chanjo ya mama na Mtoto uliofanywa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) katika kituo cha afya cha Makole Jijini Dodoma umesaidia kuwezesha wananchi kupata huduma katika mazingira bora na rahisi. Kabla ya Ujenzi wa jengo hilo wananchi wa Kata ...
null
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema suala la kuimarisha utawala bora ni jambo la msingi kuleta maendeleo ya nchi, hivyo amewasihi watumishi wa umma na binafsi kuongeza juhudi, uzalendo na uadilifu katika kulitumikia Taifa. Dk. Mwinyi amesema, wajibu wa kuimarisha Ut...
null
-Akabidhi vifaa mbalimbali vyenye thamani ya mamilioni ya fedha katika Jimbo la Chwaka MWAKILISHI wa Jimbo la Chwaka visiwani Zanzibar ambaye pia ni Katibu wa Halmashauri Kuu((NEC) Oganaizesheni Issa Gavu amesema Serikali ya Awamu ya Nane chini ya Rais Dk.Hussein Ali Mwinyi imefanya maendeleo makubwa kupitia utekeleza...
null
-Akabidhi vifaa mbalimbali vyenye thamani ya mamilioni ya fedha katika Jimbo la Chwaka MWAKILISHI wa Jimbo la Chwaka visiwani Zanzibar ambaye pia ni Katibu wa Halmashauri Kuu((NEC) Oganaizesheni Issa Gavu amesema Serikali ya Awamu ya Nane chini ya Rais Dk.Hussein Ali Mwinyi imefanya maendeleo makubwa kupitia utekeleza...
null
**BIASHARA**. Show all posts Tuzo hii iliyopokelewa na Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation, Tully Esther Mwambapa aliyeongozana na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Emmanuel Kiondo, ni muendelezo wa Benki ya CRDB kutambulika kimataifa baada ya kushinda tuzo ya benki bora kwa biashara ndogo na z...
null
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande (Mb) ameitaka Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) kufanya kazi kwa weledi na ushirikiano kwa kuhakikisha inapitia mitaala iliyopo kwa ajili ya uboreshaji wa Taaluma ya uhasibu ili iweze kutoa mchango katika kukuza uchumi. Wito huo umetolewa na Nai...
null
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema suala la kuimarisha utawala bora ni jambo la msingi kuleta maendeleo ya nchi, hivyo amewasihi watumishi wa umma na binafsi kuongeza juhudi, uzalendo na uadilifu katika kulitumikia Taifa. Dk. Mwinyi amesema, wajibu wa kuimarisha Ut...
null
Ingia Programu za Google Menyu kuu Ahmad Michuzi Kwenye Blogger tangu Julai 2023 Mionekano ya Wasifu - 4353 Ripoti Matumizi Mabaya Blogu zangu MTAA KWA MTAA BLOG MICHUZI BLOG JIACHIE Kunihusu
null
Jamii imeaswa kujenga utamaduni wa kutoa msaada kwa watu wenye mahitaji maalumu ikiwepo watu wenye mahitaji ya viungo bandia kutokana na gharama ya upatikanaji wa viungo hivyo na wenye uhitaji kushindwa kumudu gharama. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya LALJI FOUNDATION Bi. Fatma Mussa wakati aki...
null
-Serikali Kuchangia Nusu bei gharama za Chanjo -Vijana, Wanawake Kupata ajira -Wafugaji, Wataalam wahimizwa Ushirikiano. Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi itaanza Mpango wa Utoaji wa Chanjo na utambuzi wa Mifugo Kitaifa kuanzia Mwezi Januari 2025 ambapo Shilingi Bilioni 28.1 zimetengwa kwa aj...
null
*Ni ule wa kuwarudisha sekondari watoto waliopata matatizo mbalimbali ikiwemo ujauzito Na Mwandishi wetu WAHITIMU wa Taasisi ya Elimu ya Watu wazima wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kurudisha Mpango unaojulikana kama Sequip ambao unawasaidia kuwarudisha sekondari watoto waliopata matatizo mbalimbali ikiwemo ...
null
Na Saidina Msangi, WF, Muscat, Oman Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amehitimisha ziara yake ya siku mbili nchini Oman ambapo akiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Muscat – Oman, akielekea nchini Saudi Arabia ambako atakuwa na ziara nyingine ya kikazi, aliagwa na Mhe. Balozi wa Tanzania n...
null
# Othman Michuzi ## Blogu zangu - MTAA KWA MTAA BLOG - MICHUZI BLOG - Team Mapicha - BONGO YOO TZ - JIACHIE - kero Yako Popote - ASHA - ROSE MIGIRO BLOG - Tanzania Football News - MY HIJJAB,MY STARA | Jinsia | Mwanamume | |---|---| | Kazi | Mawasiliano au Vyombo vya Habari | | Kazi | Photo Blog | | Mahali | Dar es S...
null
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande (Mb) ameitaka Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) kufanya kazi kwa weledi na ushirikiano kwa kuhakikisha inapitia mitaala iliyopo kwa ajili ya uboreshaji wa Taaluma ya uhasibu ili iweze kutoa mchango katika kukuza uchumi. Wito huo umetolewa na Naibu...
null
Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Dodoma UJENZI wa Jengo la kutolea huduma ya chanjo ya mama na Mtoto uliofanywa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) katika kituo cha afya cha Makole Jijini Dodoma umesaidia kuwezesha wananchi kupata huduma katika mazingira bora na rahisi. Kabla ya Ujenzi wa jengo hilo wananchi wa Kata ...
null
**JAMII**. Show all posts Kikao cha ngazi ya Wataalamu kikiendelea TANZANIA na Shirikisho la Jamhuri ya Somalia zinatarajia kufanya mazungumzo yanayolenga kuibua maeneo mapya ya ushirikiano na kuongeza uhusiano wa kidiplomasia na uchumi yatakayofanyika jijini Mogadishu kuanzia tarehe 17 -19 Disemba 2024. ## Watu Wen...
null
Na Khadija Kalili, Michuzi Tv BODI ya korosho CBT kwanisba ya serikali zimesambaza viwatilifu vya zao la korosho aina ya salfa ya unga Tani 19000 na salfa ya maji lita 64000 kwa Wakulima wa mkoa wa Pwani.wa msimu wa kilimo wa mwaka 2024/2025 na kuleta ongezeko la asilimia zaidi ya 30 ya uzalishaji wa korosho mkoani Pw...
null
Katibu wa siasa, uenezi na mafunzo kutoka mkoa wa Iringa, MWL Joseph Ryata akitoa elimu kwa walimu Makada wa CCM mkoa wa Songwe kuelekea uchaguzi mkuu mwakani 2025Makatibu wa siasa, uenezi na mafunzo kutoka katika mikoa ya Iringa,Njombe Lindi na Songwe wakiwa tayari kuwapiga msasa walimu Makada wa CCM mkoa wa Songwe. ...
null
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema suala la kuimarisha utawala bora ni jambo la msingi kuleta maendeleo ya nchi, hivyo amewasihi watumishi wa umma na binafsi kuongeza juhudi, uzalendo na uadilifu katika kulitumikia Taifa. Dk. Mwinyi amesema, wajibu wa kuimarisha Utaw...
null
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja amewataka watumishi wa Ofisi hiyo kuendeleza ushirikiano na kuimarisha ushawishi kwa wadau wa kitaifa na kimataifa katika kusukuma agenda ya uhifadhi na usimamizi wa mazingira nchini. Mhandisi Luhemeja amesema hayo Desemba 17, 2024 wakati wa mkutano wake n...
null
Tanzania na Shirikisho la Jamhuri ya Somalia zinatarajia kufanya mazungumzo yanayolenga kuibua maeneo mapya ya ushirikiano na kuongeza uhusiano wa kidiplomasia na uchumi yatakayofanyika jijini Mogadishu kuanzia tarehe 17 -19 Disemba 2024. Ujumbe wa Tanzania tayari umeanza kuwasili nchini humo kushiriki katika vikao v...
null
# MICHUZI BLOG Wasiliana nami Kwenye Blogger tangu Septemba 2005 Mionekano ya Wasifu - 173995 ## Blogu zangu - MTAA KWA MTAA BLOG - MICHUZI BLOG - DRESS GUD AND FEEL EXCLUSIVE! - Politics, Society & Things - AMANI KWANZA - MATUKIO - SIASA - Michuzi Blog @ Mahakamani - JIACHIE - Javed Jafferji - MATUKIO @ MICHUZI B...
null
*Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimesisitiza kuwa ili kuleta tija katika maeneo ya kazi ni lazima wafanykazi watimize wajibu wao ipasavyo huku waajiri nao wakiwajibika kutimiza haki za watumishi wao kulingana na makubaliano katika mikataba yao.* *Akizungumza na Waandishi wa Habari mara baad...
null
Benki ya Akiba imezindua kampeni ya Kidijitali ijulikanayo kama "Twende Kidijitali ili kutoa suluhisho za kifedha. Taarifa iliyotolewa leo Desemba 18,2024 na Kitengo cha Masoko na Mawasiliano na kusema kuwa Kampeni hiyo imezinduliwa Desemba 12, 2024 jijini Dar es salaam yake mpya ya Twende Kidijitali, inalenga kubores...
null
tag:blogger.com,1999:blog-165111392024-12-19T08:40:33.965+03:00MICHUZI BLOGMost read Swahili blog on earthMICHUZI BLOGhttp://www.blogger.com/profile/04130017808001951362noreply@blogger.comBlogger170651125tag:blogger.com,1999:blog-16511139.post-78556715802588857762024-12-18T19:53:00.002+03:002024-12-18T19:53:32.118+03:0...
null
- Jisajili: Tengeneza akaunti yako mpya kwa sekunde chache tu! - Weka Amana: Tumia moja ya njia zetu salama za malipo kuweka amana yako ya kwanza. - Furahia michezo mbalimbali mtandaoni! - Kila mchezaji mpya aliyesajiliwa kwenye tovuti ya Meridanbet.co.tz au APP ambaye atafanya amana ya kwanza ya kiasi cha 1,000 TZS...
null
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande (Mb) ameitaka Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) kufanya kazi kwa weledi na ushirikiano kwa kuhakikisha inapitia mitaala iliyopo kwa ajili ya uboreshaji wa Taaluma ya uhasibu ili iweze kutoa mchango katika kukuza uchumi. Wito huo umetolewa na Nai...
null
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu ya Chuo Kikuu cha Zanzibar. Chuo Kikuu cha Zanzibar kimemtunuku Shahada hiyo ikiwa ni kutambua na kuthamini Mchango wa Uongozi wake Unaoacha Alama na historia itakayokumbukwa wakati wote. Hafla ya ku...
null
Rais Dk.Mwinyi ametoa shukrani hizo alipokutana na Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania, Maulana Sheikh Hemedi Jalala na ujumbe wake Ikulu Zanzibar tarehe: 30 Mei 2024. Aidha Rais Dk.Mwinyi ameiomba Jumuiya hiyo kuendelea kuiomba Dua nchi kuidumisha katika amani na utulivu. Rais Dk.Mwinyi amewashukuru kwa kuja kum...
null
.Ni kampeni ya kupanda miti milioni 1 Tanzania nzima . Yapanda miti ya matunda 500 Wilayani Serengeti Na mwandishi wetu,Serengeti IKIWA kama sehemu ya Kampeni yake ya kuhamasisha watanzania kutunza mazingira kwa kupanda miti 1,000,000 nchini kote, Kampuni ya Bayport imepanda miti ya matunda 500 katika Shule ya Sek...
null
Home MICHUZI TV LIVE : RAIS SAMIA AKIZUNGUMZA NA VIONGOZI WA KITAIFA WA VYAMA VYA SIASA, IKULU - DAR ES SALAAM Subscribe to: Post Comments (Atom) Most read Swahili blog on earth Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Mo...
null
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga ni miongoni mwa wahitimu wa Chuo Kikuu cha Uhasibu Arusha (IAA) katika mahafali ya 26 ya chuo hicho yaliofanyika Disemba 13, 2024 katika Ukumbi wa Hotel ya Ngurdoto uliyopo Jijini Arusha. Kamanda Senga ametunukiwa Shahada ya...
null
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga ni miongoni mwa wahitimu wa Chuo Kikuu cha Uhasibu Arusha (IAA) katika mahafali ya 26 ya chuo hicho yaliofanyika Disemba 13, 2024 katika Ukumbi wa Hotel ya Ngurdoto uliyopo Jijini Arusha. Kamanda Senga ametunukiwa Shahada ya...
null
Jumla ya wanafunzi wa kike 2600 wamejengewa uwezo wa masomo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) na Kampuni ya simu ya Mikononi ya Vodacom Tanzania tangu 2018 mpaka mwaka huu kupitia program ya Code Like a Girl Mkuu wa Kanda ya kati wa Vodacom Tanzani, Joseph Sayi alisema hayo leo desemba 13 wakati alipokuw...
null
NA VICTOR MASANGU, BAGAMOYO Wakala wa maendeleo ya uongozi wa elimu (ADEM) katika kuunga mkono juhudi za Rais wa awamu wa sita Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha sekta ya elimu hapa nchini inaendelea kuweka mikakati kabambe ya kuongeza juhudi katika uendeshaji wa elimu katika shule za msingi, sekondari, vyuo vy...
null
Na Jane Edward, Arusha Maandalizi ya Mkutano wa 21 wa Chama cha Majaji na mahakimu (EAMJA)kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki yamekamilika kwa asilimia mia moja,huku wageni kutoka nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki wakiendelea kuwasili huku nchi ya Uganda ikiongoza kwa uwakilishi wa zaidi ya majaji na mahaki...
null
##### The story began in Iringa ## In 1936 ASAS Group of Companies is one of the oldest and biggest business groups in Tanzania. The mother company which was formerly known as A. S. ABRI Transporters was established in 1936. As time went on and services were expanded, ASAS was formed in 1978 as a group of companies t...
null
### Photos and Events ### Due Date ### News & Updates Shortlisted Applicants for Customs Agency License for the ICT Systems Scheduled Maintenance on Saturday 14 Invitation for Applications for Customs Duty Remissions Telephone Numbers - Transit Goods and Other Goods Under Extension for Applications of Customs Li...
null
Na WAF, DODOMA Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema kurejeshwa kwa Toto Afya Kadi kutaleta matumaini mapya na uelekeo thabiti wa Bima ya Afya hususan kwa kundi la watoto ambalo linahitaji uangalizi wa pekee. Mhe. Mhagama ameyasema hayo leo tarehe 17, Desemba 2024 Jijini Dodoma, wakati akizindua vifurushi vitat...
null
Na WAF, DODOMA Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema kurejeshwa kwa Toto Afya Kadi kutaleta matumaini mapya na uelekeo thabiti wa Bima ya Afya hususan kwa kundi la watoto ambalo linahitaji uangalizi wa pekee. Mhe. Mhagama ameyasema hayo leo tarehe 17, Desemba 2024 Jijini Dodoma, wakati akizindua vifurushi vitat...
null
Watoto Hassan na Hussein Amri Jummane (3) waliozaliwa wakiwa wameungana kwenye nyonga, kifua na wana miguu mitatu sasa wamereja nchini baada ya kufanyiwa upasuaji wa kutenganishwa huko nchini Saudi Arabia. Akizungumza na vyombo vya habari kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Rac...
null
I met him first in twenty-eleven’s glow, At Chef’s Pride Restaurant, where humble spirits show. Othman Michuzi bridged our fates that day, A greeting warm, his light led the way. Through Kigamboni’s sunlit streets, He fought for justice, never defeat. With courage firm, he stood his ground, His wisdom a compass,...
null
Siku ya Ukimwi Duniani, Imeadhimishwa Kitaifa leo tarehe 01/12/2024, maadhimisho yamefanyika katika Uwanja wa Majimaji, Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma. Hafla hii imeongozwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, ambaye amesisitiza azma ya serikali kuhakikisha inatokomeza maambukiz...
null
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema suala la kuimarisha utawala bora ni jambo la msingi kuleta maendeleo ya nchi, hivyo amewasihi watumishi wa umma na binafsi kuongeza juhudi, uzalendo na uadilifu katika kulitumikia Taifa. Dk. Mwinyi amesema, wajibu wa kuimarisha Ut...
null
Na Happiness Shayo- Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nchi ya Qatar ziko mbioni kusaini Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding-MOU) kushirikiana katika nyanja mbalimbali za Sekta ya Maliasili na Utalii. Hayo yamebainika leo Julai 4,2024 wakati wa kikao kati ya Waziri wa Maliasili ...
null
Na Happiness Shayo- Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nchi ya Qatar ziko mbioni kusaini Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding-MOU) kushirikiana katika nyanja mbalimbali za Sekta ya Maliasili na Utalii. Hayo yamebainika leo Julai 4,2024 wakati wa kikao kati ya Waziri wa Maliasili ...
null
Na Jane Edward, Dodoma Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa ubunifu wa kuandaa Maonesho maalumu ya kutangaza vivutio vya utalii yenye lengo la kuelimisha wabunge kuhusu masuala ya uhifadhi wa maliasili na uendelezaji utalii yanayofanyika katika viwanja vya...
null
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Viongozi wengine akiwa kwenye maandamano ya Kitaaluma wakati walipokuwa wakiingia kwenye Ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein Kampasi ya Tunguu kwa ajili ya kushiriki Hafla ya Mahafali ya 19 ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ambapo Chuo hicho kim...
null
Na,Vero Ignatus,Arusha Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imeutaka Uongozi na watumishi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Arusha (NCT)kimetakiwa kuwa na wabunifu katika kuandika maandiko yanayoendana na hali halisi ya biashara ya utalii Duniani, kwani kutakapokuwa na maandiko ya kisasa yanayoshawishi uboreshaj...
null
Na. Jacob Kasiri - Manyara. Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe.Joshua Nassari ameshiriki mbio za Lake Manyara Marathon 2023 na kusema kuwa ni fursa mpya ya utalii ndani ya Hifadhi ya Taifa Ziwa Manyara, hifadhi inayosifika kwa kuwa na Simba wengi wanaoparamia miti. Mhe. Nassari alisema "kwa mara ya kwanza Wilaya ya Mondul...
null
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amewataka Watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii kumpa ushirikiano wa kutosha katika utendaji kazi ili kufikia malengo yaliyowekwa huku akiahidi kutekeleza mipango yote ya kukuza utalii iliyowekwa na Waziri aliyepita ( Mtangulizi wake ) Ameyasema hayo leo w...
null
Home UTALII WETU RAIS SAMIA AMKABIDHI CHETI CHA UBALOZI WA HESHIMA MUIGIZAJI MAARUFU WA FILAMU KUTANGAZA UTALII WA TANZANIA NCHINI CHINA Subscribe to: Post Comments (Atom) Most read Swahili blog on earth Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Soc...
null
Na Mwandishi wetu, Moshi MBUNGE wa Bunge la Uingereza, Tracey Crouch anaendelea kupanda Mlima Kilimanjaro na leo amefika kituo cha Moyr Hut mita takriban 4,600 kutoka usawa wa bahari akibakiza vituo vitatu kufika kileleni na kuweka historia . Crouch anapanda Mlima Kilimanjaro, akiwa na wanawake wenzake wanane kupi...
null
blogsspot.com is for sale. Need a price instantly? call Afternic.com at +1 781-373-6847 or 855-201-2286. Click here for more details. blogsspot.com
null
Na Jane Edward,Arusha . Waziri Mkuu amewakumbusha Majaji na Mahakimu wa Ukanda wa Afrika Mashariki kuendelea kutumia matumizi ya teknolojia kwani ni muhimu kuzingatiwa kwa kufikia utoaji wa haki wenye ufanisi. Akizungumza wakati wa kufungua Mkutano Mkuu wa 21 wa Chama cha Mahakimu na Majaji wa Afrika Mashariki (EAMJA...
null
Na Jane Edward,Arusha . Waziri Mkuu amewakumbusha Majaji na Mahakimu wa Ukanda wa Afrika Mashariki kuendelea kutumia matumizi ya teknolojia kwani ni muhimu kuzingatiwa kwa kufikia utoaji wa haki wenye ufanisi. Akizungumza wakati wa kufungua Mkutano Mkuu wa 21 wa Chama cha Mahakimu na Majaji wa Afrika Mashariki (EAMJA...
null
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachilia huru kwa dhamana aliyekuwa Meya wa Kinondoni na Ubongo jijini Dar es Salaam, Boniface Jacob 'Boni Yai' baada ya kutupilia mbali pingamizi la upande wa Jamuhuri la kuzuia dhamana dhidi yake. Uamuzi huo umetolewa leo Oktoba 7,2024 na Hakimu Mkazi Mfawidhi Franco Kiswaga wa m...
null
Na Karama Kenyunko MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, inatarajia kusikiliza mashahidi 40 na kupokea vielelezo 480 katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili wakazi wanne wa Dar es Salaam, wanaodaiwa kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya Sh milioni 971.7 Washtakiwa hao Frank Kagale, fundi wa mashi...
null
Jaji Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama, Prof. Ibrahim Hamis Juma Kushoto akimuapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama Septemba 07, 2024 jijini Dar es salaam. Jaji Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama Prof. Ibr...
null
**BUNGE**. Show all posts Na Andrew Chale, Dar es Salaam. SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Tulia Ackson amemuapisha Balozi Mahmoud Thabit Kombo kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ofisi ndogo za Bunge, jijini Dar es Salaam. Balozi Kombo ameapishwa leo Alhamisi Julai 2...
null
Na. Mwandishi wetu – Dar es salaam. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeupongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii – NSSF kwa uwekezaji wenye tija katika mradi wa Daraja la Mwalimu Nyerere lililopo Kigamboni. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Fatma Toufiq leo Novemba ...
null
Na Andrew Chale, Dar es Salaam. SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Tulia Ackson amemuapisha Balozi Mahmoud Thabit Kombo kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ofisi ndogo za Bunge, jijini Dar es Salaam. Balozi Kombo ameapishwa leo Alhamisi Julai 25, 2024, Ofisi hizo huku ak...
null
NA MWANDISHI WETU, SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Bw. Masha Mshomba, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), baada ya kuhitimisha Bunge Jijini Dodoma, tarehe 28 Juni, 2024. Mazungumzo hayo yalihusu utaratibu wa ulipaj...
null
From humble beginnings as a teacher, he has ascended to the highest levels of power, now serving as Deputy Prime Minister and Minister for Energy. His story reflects not only personal triumph but also the profound impact of dedication and vision in shaping a nation's destiny. 1. Introduction. A good teacher is like a...
null
**BIASHARA**. Show all posts Tuzo hii iliyopokelewa na Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation, Tully Esther Mwambapa aliyeongozana na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Emmanuel Kiondo, ni muendelezo wa Benki ya CRDB kutambulika kimataifa baada ya kushinda tuzo ya benki bora kwa biashara ndogo na z...
null
*Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Dkt. Selemani Jafo (Mb) akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah, Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda – Zanzibar, Bi Fatma Mabrouk Khamisa, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango – Hazina Bi Jenifa Christian Omolo na ujumbe...
null
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema suala la kuimarisha utawala bora ni jambo la msingi kuleta maendeleo ya nchi, hivyo amewasihi watumishi wa umma na binafsi kuongeza juhudi, uzalendo na uadilifu katika kulitumikia Taifa. Dk. Mwinyi amesema, wajibu wa kuimarisha Ut...
null
The Forum on China-Africa Cooperation (FOCAC) creates a platform for mutual growth and collaboration, benefiting both Africa and China. Through improved infrastructure, trade, and investment, FOCAC supports African economies while expanding China's engagement in global partnerships. Both regions benefit from shared mod...