audio_path,text_norm moment_3_vegetative_036d105d-485d-4316-9182-06b09efa10cf_1715068635225.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu hiyo.A iii haiku niridhisha kwenye uotaji mpaka kwenye kutoa mauwa.Naomba unieleze zaidi.Kwasababu A ameota vibaya naa piya wakati anataka kutoa mauwa amee kunaa baazi ya marage yamee yamekauka sa sijajua kama ndoo imeathiriwa naa magonjwa ama nini.Ni sababu gani ambazo unahisi zinapelekea hayo.Labda ni magonjwa kuna wadudu labda wanatembea chini ya alizi wanakula mizizi.Unajuaje kama aina ii inaathiriwa na wadudu au magonjwa.Nimeona kwasababu kunaa marage yame fikia stage ya kutoa mauwa yanakauka kaabla ya kutoa mauwa.okay je! kuna kitu kingine chochote unacho kipenda kuusu aina hii.Apana.Sante . . moment_3_vegetative_036d105d-485d-4316-9182-06b09efa10cf_1715068827763.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hukipendi kusu hiyo.Sipendi kwasababu haijaota vizuri na piya inaaa kauka.Una maanisha nini unavosema hivo.Namaanisha labda kunaa labda ii mbegu aielewani na alizi ya uku ka kwenye kuota na pia labda wakati imefikia stage ya kutoa mauwa kuna wadudu chini wanaa kula mizizi ndo manaa baazi ya marage yana kauka.Unajuaje kuwa aina hii inaathiliwa zaidi naa wadudu.Nimeona kwasababu inany inasinyaa hayaridhishi hata katika mm katika majani tu ya marage.Asante. moment_3_vegetative_036d105d-485d-4316-9182-06b09efa10cf_1715069114333.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu hiyo.Aina B iii nimeipenda kwasaabu imeota vizuri imeniridhisha katika kutoa mauwa imetoa mauwa vizuri sanaa pia katika majani yake yameniridhi ridhisha ni mapana mmm.je! Unaeza kunieleza kwa undani zaidi.wa undani zaidi aina B haikukataa hataku kwenye kuota huenda inaelewana na alizi ya uku au hali ya hewa.je! Kuna kitu kingine chochote unacho kipenda kuusu aina hii.Aina B soko lake liko vizuri.je! Nisababu gani au unavosema hivo unamaanisha nini kwamba soko lake liko vizuri.Soko lake liko vizuri kwasababu kwanza binadamu wanayapenda kuyatumia hayana gesi tumboni.Asante. moment_3_vegetative_036d105d-485d-4316-9182-06b09efa10cf_1715069668402.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu hiyo.Aina B sichukii kwasababu katika kuota tu imeniridhisha imetoa mauwa kwa wakati vizuri.Unaweza kunieleza kunieleza zaidi kuhusu hiyo unavosema imetoa mauwa kwa wakati unamaanisha nini.Imetoa mauwa kwa wakati na pia imeota vizuri huenda inaelewan na hii alizi au hali ya hewa.je! Kuna kitu chengine au chochote unacho kichukia kuusu hii.Hapana siichukii. moment_3_vegetative_036d105d-485d-4316-9182-06b09efa10cf_1715069991858.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu hiyo.Aina C nimeipenda kwasababu imeota vizuri utoaji wake wa mauwa pia unakuja vizuri mmm.Unavosema imeota vizuri naomba unielezee zaidi.Imeota vizuri kwasababu huenda inaelewana naaa hali ya hewa alizi yenyewe ndo mana ime haijakataa kuota.Unajuaje kuwa aina C inaelewana vizuri na ali ya ewa.Kwenye uotaji wake tu imenifurahisha ina majani mazuri mauwa mazuri.je! Kuna kitu kingine chochote unachokipenda kuusu aina hii.Naipendaa ina soko la araka raka pia.Ayaa asa. moment_3_vegetative_036d105d-485d-4316-9182-06b09efa10cf_1715070089471.wav,Angali aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hukipendi kuusu aina hiyo.Hakuna ambacho sikipendi mwanangu.Naomba unielezee zaidi.Imeota vizuri haijakataa kuota piyaa utoaji wake wa mauwa piya haya ujakataa kabisa.je! Kuna kitu kingine chochote unakichukia kuusu aina hii.Hayakuna.Asante. moment_3_vegetative_0bf834c6-19bb-4702-88e8-3cd2f94819e7_1713338967027.wav,nini unapenda kuhusu aina A?.vizuri. eeh.yanazidi kukua vizuri.nacho maaanisha namanisha yanaonekana yanipa moyo.unaposema labda yazidi kukua vizuri unamaanisha kitu gani?.ee.yanakupa moyo.ninachokipenda ninachokipenda kwenye mazao yangu yaneonekana yako vizuri.una maelezo menigine labda zaidi kuhusu kitalu A kuhusu nini unachokipenda?.mmh.Mmh.yako vizuri.sawa moment_3_vegetative_0bf834c6-19bb-4702-88e8-3cd2f94819e7_1713339090691.wav,nini unapenda kuhusu ainaB?.ninachopenda inaoneka maharage yangu yanakua vizuri.yakua vizuri?.yanakuwa vizuri kivipi.aah yaliyoanza kuota yanazidi kuendelea kukua vizuri.yazidi kuendelea kukua vizuri.eeh.hivi unavyosema kukua vizuri unamanisha kitu gani.ninachomanisha yanaonekana yanazidi kukua vizuri yamependeza.yamependeza yamestawi vizurisawa moment_3_vegetative_0bf834c6-19bb-4702-88e8-3cd2f94819e7_1713339130685.wav,nini usichopenda kuhusu aina B?.hapa nilichoona hapa ni nini hakuna kwasababu maharage yangu yako nzuri.hakuna kitu gani?.hakuna kwasababu hapa kidogo yanajitahidi yanazidi kuvumilia kidogo mvua.yanazidi kuvumilia zaidi mvua kidogo.eeh.sawa. moment_3_vegetative_0bf834c6-19bb-4702-88e8-3cd2f94819e7_1713339156923.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?.navyoyangalia hapa.hapa yameota vizuri.ndiyo. mmh.yanaota vizuri kivipi?.yameota naona yazidi kukua tu vizuriyanazidi kukua vizurisawa moment_3_vegetative_0bf834c6-19bb-4702-88e8-3cd2f94819e7_1713339205628.wav,nini ambacho hupendi kuhusu aina C?.hapa kitu ambayo sipendi ni kama mvua inavyozidi kunyesha inaonekana inazidi kupungua.inazidi kupunguza nini?.inazidi kudhoofika hapa naona inatoa rangi ya njano.Rangi ya njan.okwa hiyo unafikiri nini labda inasababisha inatoa rangi ya njano?Ni mvua.mvua.eeh.kwa hiyo unapendekeza kitu gani labda.ninachopendekeza hapo?.aaah.nachopendekeza hapo mvua ningependa ingepunguza zaidi ingeendelea kukuwa vizuri zaidi.sawa. moment_3_vegetative_19bfb486-5a6b-4776-a5fa-b803c9d8f0b9_1714470443405.wav,angalia aina A elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.A ilkuwaaa nzuri kwaaa kuota japo iliota nyuma ya mengine lakini ya yalikuwa yana nguvu. moment_3_vegetative_19bfb486-5a6b-4776-a5fa-b803c9d8f0b9_1714470484408.wav,angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.A haiwezi sana kumudu hali yaaa ya hewa ya baridi ukungu haiwezi sana kumudu. moment_3_vegetative_19bfb486-5a6b-4776-a5fa-b803c9d8f0b9_1714470580953.wav,angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?sisna chochote ninachokipenda kwenye B ila yameota yako tu ni maharage kawaida. moment_3_vegetative_19bfb486-5a6b-4776-a5fa-b803c9d8f0b9_1714470620203.wav,angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.aina B iliotaaa ya kwanzaa lakinii ni zaifu alafuu hai yani inapukutika kwa haraka sana kwa sababu ya ukungu yani ni dhaifu. moment_3_vegetative_19bfb486-5a6b-4776-a5fa-b803c9d8f0b9_1714470667467.wav,angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo. aina C ni nzuri nzuri sana iliota vizuri ina nguvu inamudu hali ya hewaukungu kweli ni mazuri yanae ni mazuri kwa ujumlakuna kingine?hapana. moment_3_vegetative_19bfb486-5a6b-4776-a5fa-b803c9d8f0b9_1714470710366.wav,angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho upendi kuhusu hiyo.sina chochote nachokichukia kwenyeee C kwa ujumla ni mazuri sina chochote nachokichukia kenye haya maarage ni mazuri sana. moment_3_vegetative_1c1154c3-b006-4a59-81bb-8974f8845b77_1714108213069.wav,Angalia aina A eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Ninachokipenda ni kwamba hiii mbegu haiitaji mvua nyingi na inatoa maua mengi ndo ninachokipenda.Labda sababu nyingine ambayo inakuvutia zaidi?Kinachonivutia ni kwamba kwanza wadudu hawajala sana haijavamiwa na wadudu wengi ndo nachokipenda.Sawa asante. moment_3_vegetative_1c1154c3-b006-4a59-81bb-8974f8845b77_1714108246643.wav,Angalia aina A na eleza chochoche unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?Ambachooo sikipendi naona hii mbegu ni kwamba ikiwa kunaa mvua nyingi hii mbegu itahathirika inavyoonekana haitaki mvua nyingi ndo ambacho nisichokipenda.Sawa. moment_3_vegetative_1c1154c3-b006-4a59-81bb-8974f8845b77_1714108340943.wav,Angalia aina B na eleza chohote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Hii aina B ni kwamba inavyoonekana hii mbegu haitaji mvua nyingi wala haitaji mvua chache hipo katikati ndo ambacho kitu nachokipenda.Kitu kingine au sababu ambayo inamefanya unanilii useme kwamba unaipenda?Ni kwamba mpaka sasa hivi naona haina athari zozote kwa kua mvua ni nyingi haijaathirika chochote wala wadudu hawajavamia.Sawa. moment_3_vegetative_1c1154c3-b006-4a59-81bb-8974f8845b77_1714108387649.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?Ambacho sikipendi kwenye aina B ni kwamba hii mbegu inachelewa kutoa maua mpaka sasa hivi hiko tofauti na wenzake wametoa maua yenyewe ni bado ndo ambacho kitu sikipendi.Labda unaweza ukanieleza ni sababu zipi zilizochangia izi ichelewe kutoa maua?Sababu ambazooo imechelewa kuchangia maua mimi navyoona hii mbegu nikama bado ni ainaaa inataka muda mrefu wa kutoa maua ndo sababu ninayoiona mimi hapa.Asante. moment_3_vegetative_1c1154c3-b006-4a59-81bb-8974f8845b77_1714108464617.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Kwenye kitalu C ninachokipenda ni kwamba hii mbegu kwanza inaonekana inahitaji mvua nyingi na ndo maana hata afya yake inaonekana ni kubwa kwa ajili mvua inaonyesha ni nyingi na ndo maana mpaka sasa hivi hiko na afya hii hapa.Labda sababu nyingine ambayo imekuvutia?Kilicho nivutia ni kwamaba wadudu haijaathiri na maua yakeee yametoka na mengine bado yanaendelea kwahiyo inavyoonekana huko mbele kutakua na matokeo mazuri.Sawa. moment_3_vegetative_1c1154c3-b006-4a59-81bb-8974f8845b77_1714108528703.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?Ambacho sikipendi kwenye kitalu C ni kwamba hii mbegu inavyoonekana mvua ikiwa chache hii mbegu itadumaa naaa kingine ni kwamba hata maua yatachelewa kutoka kwa ajili mvua inanyesha nyingi lakini yenyewe imechelewa kwenye kutoa maua ndo kitu ambacho sikipendi.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_0988c782-6758-47b3-bdd7-f4ad62865f5d_1718001843244.wav,Ni nini unapenda kuhusu aina A ?aina ya A ni nzuri kwa sababu inastawi vizuri alafu ni nzuri pia kwa kwa m m kwa makandemmmh ni nzuri kwa makande unamaanisha nini?kwa kupika.anhaa sawasawa.alafu ni nzuri pia kwa sababu ukivuna vizuri ina hela nyingi kwa kuuza kwa biashara ni nzuri sana.sawasawa.mmmmhlabda ni sifa gani ambayo unaiona kwa sasa ivi apa kwa jinsi ilivyo .aaah imestawi vizuri .sawasawa. moment_3_vegetative_20240417_0988c782-6758-47b3-bdd7-f4ad62865f5d_1718001855993.wav,Nini usicho usichopenda kuhusu aina A ?hamna hata kidogo.hamna usichokipenda.mmmh.aya sawa. moment_3_vegetative_20240417_0988c782-6758-47b3-bdd7-f4ad62865f5d_1718001902372.wav,"nini nini unachopenda kuhusu aina B ?aina B hamna nisichokipenda .aaah unachokipenda, vitu unavyopenda kutoka kwenye aina hii B .hii ni nzuri kwa kupika.ndiyo na kwa jinsi ilivyo shambani kwa wakati huu ni kitu gani kinachokuvutia kinachofanya uipende kwa wakati huu shambani katika hatua hii iliofika.nikaona haina shida yoyote .kwa maana unapenda vitu vyote .mmmh." moment_3_vegetative_20240417_0988c782-6758-47b3-bdd7-f4ad62865f5d_1718001940993.wav,Na ni nini usichopenda kuhusu aina B?nisichokipenda?mmmh kutoka kwenye hii aina B .kwenye aina ya B nikaona ni kama haijatoka vizuri .sawasawa.mmmmh wakati tulipopanda haijatoka vizuri .anhaaa labda na kitu kingine ambacho hujakipenda kwenye aina hii.kwenye aina.kwenye hii aina B .aaah aina B yote haina shida .sawasawa.naipenda tu.aya. moment_3_vegetative_20240417_0988c782-6758-47b3-bdd7-f4ad62865f5d_1718002009487.wav,nini nini unacho unacho unapenda kuhusu aina C ?aina C ni nzuri kwaa chakula kwa kupika ni nzuri zamani ilikuepo lakini siku hizi hamna ila niliona haijatoka vizuri sasa .kwa hiyo vitu unavo unavovipenda kwa hio aina Caina ya Ceeeh kwa kwa hatua iliyofikia hadi hapo kitu kingine unachokipenda labda ni nini ?naipenda tuu kwa sababu naijua utamu wake .sawasawa utamu.mwanzoni lakini.aaah sawa utamu unamaanisha ?kwa chakula ni nzuri .sawasawa.ukipika ina iva vizuri .ndiyo ndiyo.kwa hiyo ni nzuri kwa kweli.aya sawa. moment_3_vegetative_20240417_0988c782-6758-47b3-bdd7-f4ad62865f5d_1718002036681.wav,nini usichopenda kuhusu aina C ?hamna .hamna usichokipenda.ni kwambaa wakati tu nilipopanda haijatoka vizuri yote kama tulivyopanda.sawasawa aya nashukuru. moment_3_vegetative_20240417_0bfa8a1f-be13-4559-a5ec-8be03dac3eaf_1719483384436.wav,nini unapenda kuhusu aina A? A ni kwamba . Huwa napenda sana. mmh. mmh. sawa. mauwa ni mengi. ndio. moment_3_vegetative_20240417_0bfa8a1f-be13-4559-a5ec-8be03dac3eaf_1719483418318.wav,nini usichopenda kuhusu aina A? Aina A hakuna ambacho siku sijakipenda. moment_3_vegetative_20240417_0bfa8a1f-be13-4559-a5ec-8be03dac3eaf_1719483464160.wav,nini unapenda kuhusu aina B? hakuna ambacho sikukipenda. moment_3_vegetative_20240417_0bfa8a1f-be13-4559-a5ec-8be03dac3eaf_1719483492092.wav,nini usichopenda kuhusu aina B? nisichopenda kutokustawi vizuri. ndio. eeeh ndio. ukisema labda kutokustawi vizuri unamaanisha? namaanisha kutoa mauwa kama mengine mmh sawa. moment_3_vegetative_20240417_0bfa8a1f-be13-4559-a5ec-8be03dac3eaf_1719483518582.wav,nini unapenda kuhusu aina C? Aina C ni mbegu nzuri sababu kwanza ina mauwa mengi alafuu ina afya. ina afya? ndio. mh sawa. moment_3_vegetative_20240417_0bfa8a1f-be13-4559-a5ec-8be03dac3eaf_1719483531673.wav,nini usichopenda kuhusu aina C? Haapana hakuna ambacho sikukipenda. moment_3_vegetative_20240417_15ba5344-db7f-437d-b21f-d5e3c3fe125d_1714553465439.wav,Nini unapenda kuhusu aina A.Aina A nimei penda kwakuwaaa naona kama inaa mazao kulikoni izi zingine. moment_3_vegetative_20240417_15ba5344-db7f-437d-b21f-d5e3c3fe125d_1714553503403.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina A.Kuhusu aina A nisichokipendaa huu uzaaji wake yaani kwenye kuzaa vile sii kwamba ni yanatoka saaanaa kama haya mengine. moment_3_vegetative_20240417_15ba5344-db7f-437d-b21f-d5e3c3fe125d_1714553545494.wav,Nini unapenda kuhusu aina B.Aina B nimeipenda katika ilivyooota yaa aikuota kweli vizuri ila kwenye kuzaa naona kamaaa uzao wake unaelekeaelekea sio mbaya saaanaaa na wenyewe. moment_3_vegetative_20240417_15ba5344-db7f-437d-b21f-d5e3c3fe125d_1714553562692.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina B.Hamna nisichokipenda tu vyote navipenda. moment_3_vegetative_20240417_15ba5344-db7f-437d-b21f-d5e3c3fe125d_1714553630877.wav,Nini unapenda kuusu aina C.Aina C nau napenda tuuu mazao yalee ni mazuri. moment_3_vegetative_20240417_15ba5344-db7f-437d-b21f-d5e3c3fe125d_1714553767583.wav,Nini uschokipenda kuhusu aina C.Kuhusu aina C nisichokipenda kabisa yaani ni hayo huo uzao njano. moment_3_vegetative_20240417_2733f418-6023-4354-a311-6b95aea6feab_1719232299831.wav,. Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo. A ime hijaota vizuri imeota mojamoja. moment_3_vegetative_20240417_2733f418-6023-4354-a311-6b95aea6feab_1719232380568.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Sijakipenda kwasababu mbegu yake hijaota vizuri moment_3_vegetative_20240417_2733f418-6023-4354-a311-6b95aea6feab_1719232412696.wav,Angalia aina B na eleza chochote unakiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Sikipendi kwasababu haijaota hata moja. moment_3_vegetative_20240417_2733f418-6023-4354-a311-6b95aea6feab_1719232449033.wav,Ina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Sikipendi kwasababu hakijaota moment_3_vegetative_20240417_2733f418-6023-4354-a311-6b95aea6feab_1719232477469.wav,Angalia ina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Nakipenda kwasababu inastahili ukame. moment_3_vegetative_20240417_2733f418-6023-4354-a311-6b95aea6feab_1719232501409.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Nakipenda naki siki nakipenda kwasababu ki kimetobolewatobolewa na wadudu na kimeota mojamoja. moment_3_vegetative_20240417_29517aff-ba46-4a29-b4b0-6d6e5e77f0f9_1714389547752.wav,angalia aina A na eleza chochote unacho kiona kuhusu aina A. aina A nilivyo iona ni kwamba majani yake yani ayaja nipendeza vizuli kwasabu majani yake yana onekana ni kamaa yana rangi nyekundu nyekundu ya kaawia kaawia ni kama vile maji yana zidi baada ya mvua kunyesha. sawaa kingine ambachoo unakipenda kuhusu aina A kitu ambacho una kipenda kuusu aina A. kitu ambacho nimekipenda kuusu aina A. mmm.uotaji wake umekuwaa kidogo ni mzuri.mmm unaweza ukaelezea kitu kingine unacho kipenda kuusu aina A. kitu kinginee ni kwamba majani yake aya ayana yale makamba kamba. mmm.kwasabu zile kamba unajua wakati wa kupalilia uwaa ina inaa ina kuwia vigumu kupalilia kwasabuu zile kamba zinafungamana. mmm kingine labda unacho kipenda kuhusu aina A apo zaidi ya apo mnaa.sawaa. moment_3_vegetative_20240417_29517aff-ba46-4a29-b4b0-6d6e5e77f0f9_1714389625177.wav,angalia aina A na eleza chochote unacho kiona ambacho upendi kuhusu aina A.aina A ni kwamba haya majani yakeee ni kama vile yana shambuliwa sana na wadudu kiuraisi imetobolewa tobolewa alafu ina rangii ina rangi ambayo si ya kupendeza. kingine ambacho haukipendi kuhusu aina A. kitu kingine ni kwamba uotaji wake saivi sio mzuli sana ya labda inawezekana ni kutokana naaa siku tulivyo panda kulikuwa naa aukuwa na ubichi wa kutosha. sawaa kuna kingine ambacho hukipendi kuhusu aina A. zaidi ya apo hapana. sawa. moment_3_vegetative_20240417_29517aff-ba46-4a29-b4b0-6d6e5e77f0f9_1714389856988.wav,angalia aina B na eleza chochote unacho kiona ambacho unakipenda kuhusu aina B.kitu ambacho nimekipenda kwenye hiyo aina B ni kwambaaa yameanza ku kuchanua haraka halafu kitu kingine majani yake ni ya kijani yana pendeza. kitu kingine unacho kipenda.na majani yake yanaaaa yana weza yakafaa kwaaaa mboga.au.ndio.kuna chochote unachoweza kueleza unacho kipenda kuhusu aina B kwenye uotaji wake na mpaka sasa hivi.kwenye uotaji wake mpaka saahivi ni tofauti na hii aina A kwasababu uotaji wake kidogo nimeupenda.sawa. moment_3_vegetative_20240417_29517aff-ba46-4a29-b4b0-6d6e5e77f0f9_1714389899670.wav,angalia aina B na eleza chochote ambacho hupendi kuhusu aina B. aina B kwa ujumla kwa maoni yangu ni kwamba hakuna kitu ambacho sijakipendaa. sawaa.kuhusu swalal la uotaji uotaji kwasabu uoteshaji sikuiyo kuwa na unyevu wa kutosha siku hiyo aitakuwa na madhara. sawaa.nini ambacho kimekufanya uyapende zaidi.yani mahalage yote naona kama yana afya nzuli yameota vinzulii.ndioo. moment_3_vegetative_20240417_29517aff-ba46-4a29-b4b0-6d6e5e77f0f9_1714389983356.wav,angalia aina C na eleza chochote unacho kiona ambacho ukip unakipenda kuhusu aina C. kitu ambacho nimekipenda kwenye aina C ni uotaji wakeee una ridhisha lakini kitu ambachoo siiikipendiii.elezea kitu ambacho una kipenda kwanza kwenye aina C.kwenye aina C uotaji wakwe ni mh unaridhisha. sawaa kingine unacho kipenda kwenye aina C. kwenye aina C kidogo majani yakee uotaji wake ni mzuli alafu majani yake siii sio mbaya sana.kuna kingine unachoweza kueleza unacho kipenda kwenye aina C. hapana zaidi ya apoo sina. moment_3_vegetative_20240417_29517aff-ba46-4a29-b4b0-6d6e5e77f0f9_1714390073038.wav,angalia aina C na eleza chochote ambacho hukipendi kuhusu aina C. kwenye aina C kitu ambacho cha kwanza ambacho sikipendi ni kwamba mh aya maharage ni kama yana kambakamba sasa uu katika upaliliaji izi kamba zikishikamana zinaleta tatizo katika upaliliaji kitu kingine ni kwamba wadudu waduduuu naona kwenye aina C naona wana shambulia hapa yani amna kitu ambacho mii sikipendi huu utafiti wa hapa naupenda sana maana hayo nanilii yana nilidisha sana mimi mmh puu utafiti wa aina C auna shida yoyote kama kuna inauwezekano wa kuendelea na uu utafiti wa namba C tuendelewe nao B.unaweza ukaelezea kitu kingine ambacho ukipendi kwenye aina C. kitu kinginee kwa kwelii zaidi ya ayo mawili sijaona kinginee.sawaa. moment_3_vegetative_20240417_3fcd0bca-fde9-468a-8a6d-d5a0671b2ca0_1714314767324.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo?Nilichopendezeshwa na haya maharageee kitalu A ni uotaji wake yameota vizuri.eee ni hicho tu?Ni hicho tu nimefurahisha na hicho kitu yameota vizuriii koo mpaka sahivi yanaendelea vizuri.Haya asante. moment_3_vegetative_20240417_3fcd0bca-fde9-468a-8a6d-d5a0671b2ca0_1714314817419.wav,Angalia aina A na eleza chochote ambacho hupendi kuhusu hiyo?Kwa kweli nisiseme uongo hamna ambachooo sikikubali yani vyote navikubali.Haya asante. moment_3_vegetative_20240417_3fcd0bca-fde9-468a-8a6d-d5a0671b2ca0_1714314934660.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Nimeipenda tu imeota vizuri aina shida yoyote.Umependezewa na nini sasa hapo kwenye aina B ambacho unakiona umekipenda sasa kutokana na uotaji wake hadi kufikia hapo umependa nini?Uotaji wake na kuchanua kwake maua yametoka vizuri hayana shida yoyote.Aasante. moment_3_vegetative_20240417_3fcd0bca-fde9-468a-8a6d-d5a0671b2ca0_1714314966322.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?Vyo vyote napenda nisiwe muongo vyote nimevikubali kila kitu nimekikubali ila kikubwa tu ndo hicho. Ndo hicho nini?Yameota vizuri nimeyapenda. moment_3_vegetative_20240417_3fcd0bca-fde9-468a-8a6d-d5a0671b2ca0_1714315009395.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Nilichopenda kwenye aina kwenye aina hii C ni maharage yenye ubora alafu ni mazuri yameota vizuri yametoa maua vizuri yameenda na wakati koo kila kitu ni kizuri kwa hapo.Eee umependesha hivyo tu?Ni hicho tu nilichokipenda kwenye maharage haya. moment_3_vegetative_20240417_3fcd0bca-fde9-468a-8a6d-d5a0671b2ca0_1714315029847.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?Vyote navipenda. moment_3_vegetative_20240417_434e7999-4443-4f75-ac0d-44bd24475ec5_1715849371338.wav,ninini unapenda kuhusu aina A?Aina A?eeh.haya apa?aina A.ayo apoo?eee.apo sipendi kitu chochote apo.hamna chochote kitu chochote unachokipenda?haapana.unaweza kuelezaa kwa undani zaidi usichokipenda?ni sijayapenda tuu.khhii ayaa dada moment_3_vegetative_20240417_434e7999-4443-4f75-ac0d-44bd24475ec5_1715849474964.wav,"ni nini usichopenda kuhusu aina A?aina A ambapo nipo mesimama?aina A hii apa.yani siipendi ata kwenye biashara yakee hata kwenye ukulima wake, siipendi kabisa.unaweza kunieleza kwa undani zaidi kuhusu ukilima wake au biashara yake?ukulima wake ni sawa tu na haya mengine lakini kwa biashara yake sio nzurii kivilekivipii?yani bei kwa bei bei yake ipo chini kuliko mengine yote.sawa.eeh.na kuna kitu chengine chochote usichokipenda kwennye hii aina A?Hapana.hakuna.mhh." moment_3_vegetative_20240417_434e7999-4443-4f75-ac0d-44bd24475ec5_1715849516768.wav,ninini unapenda kuhusu aina B?.aina B naipendaammhkwanza ina beimmhpili inaa mazao ya kurizisha yan inazaa vizurimmheehsawa naa kuna kitu chengine chochote unaweza kueleza kwa undani zaidi kuhusu kuipenda aina B?.Hapana naipenda ata kwa kula yenyewe ni nzurimmheeesawaa moment_3_vegetative_20240417_434e7999-4443-4f75-ac0d-44bd24475ec5_1715849549808.wav,sawaa ni nini usichopenda kuhusu aina B? ambacho hukipendi ni kitu gaani?hakuna nisichokipenda hata kimoja.anha huna chochote ambacho hukipendi kwenye aina B?Hapana.sawa.yani nayapenda kabisa.sawa moment_3_vegetative_20240417_434e7999-4443-4f75-ac0d-44bd24475ec5_1715849617728.wav,ninini unapenda kuhusu aina C?aina C naipendaa.mmh.naa uzao wake ni mzurii.ndio.eeh hata bishara yake.ndio.ni nzuri kivile.sawa.eee.na unaweza kunieleza sababu nyingine ya kuipenda hii aina C?hata kwa kula nayapenda.sawa.eee.chenginee sifa nyingine labda aina C unaweza kunieleza ni nini?hata kurefuka yanarefuka kwenda juu.sawa.hayawi mafupii sanaa.aah.eeh.unapenda maharage marefu?eeh marage marefu na uzao wake si mwingii.sawa sawa.eeh. moment_3_vegetative_20240417_434e7999-4443-4f75-ac0d-44bd24475ec5_1715849653822.wav,ni nini usichopenda kuhusu aina C?aina C amna nisichokipenda apaa.hakuna.hakuna.hata kimoja hakuna?amnaa mmh kwa kula napendaa kwa biashara mapenda kwa hio hamna nisichokipenda hata kimoja. moment_3_vegetative_20240417_48100a7b-0686-45fa-a657-f89fe6916bb9_1718087528094.wav,"anga angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo aina , hiii aina A.aina A ni nzuri naipenda kwa sababu imestawi vizuri tatizo moja ni hapa tuko vichakani.umesema vitu ulivyovipenda.aah huku ni vichakani kidogo .kwa vitu ulivyovipenda tu .haina shida kupenda naipenda vizuri .sawasawa kwa hiyo ni kustawi vizuri tu.eeee.jambo jingine ambalo umelipenda.aaah kwa kweli naipenda tu vizuri .sawasawa." moment_3_vegetative_20240417_48100a7b-0686-45fa-a657-f89fe6916bb9_1718087548045.wav,"anga angalia aina A na eleza chochote ambacho unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio aina .hamna, naipenda tu .hamna ambacho hujakipenda.eeeeh.asante." moment_3_vegetative_20240417_48100a7b-0686-45fa-a657-f89fe6916bb9_1718087594539.wav,"Angalia aina B na eleza chochote unachokiona amabacho unakipenda kuhusu hio aina .aina B ?eeee.B sio mbaya imeota vizuri na imestawi vizuri .ndio ndio , labda jambo lingine la kuongezea kuhusu ulichokipenda kufikia hadi wakati huu jinsi ilivyoota .aaah nimeona aaah imestawi hata matawi yake ni makubwa kubwa .sawa.na ni nzuri kwa kweli.aya asante." moment_3_vegetative_20240417_48100a7b-0686-45fa-a657-f89fe6916bb9_1718087612395.wav,.B na eleza chochote ambacho hupendi kuhusu hii aina.hamnahamna ambacho unakipenda.aaah ni nzuri tu.aya asante. moment_3_vegetative_20240417_48100a7b-0686-45fa-a657-f89fe6916bb9_1718087669887.wav,"Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.aina C ni nzuri maana tunaipendaa kwa sababu ,kwanza kabisa ni nzuri, imeota vizuri haina shida, isipokua kwanza kabisa tunaipenda kweli kwa sabbau ni nzuri kwa chakula .ndio kuna labda sifa nyingine ambayo inakufanya uipende aina hii .hamna naipenda tu.sawa." moment_3_vegetative_20240417_48100a7b-0686-45fa-a657-f89fe6916bb9_1718087703663.wav,"aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.hamna isipokua ni ndege tu kidogo ilishambulia .sawasawa.mmmmheee kwa ndege kushambulia unamaanisha nini ?wakati ilipoo toka ndege ilishambulia matawi yake .sawasawa.mmmh kwa sababu huku kidogo ni porini .aaahaa sawa, aya asante ." moment_3_vegetative_20240417_542ad3ed-0687-456b-a50c-a3491cecf42d_1713952044121.wav,"Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.eeeh katika aina A kitu ambacho mimi nimekipenda ni kwamba mbegu hii imeota vizuri tu isipokuwa maa isipokuwa kuna sehemu moja hivi jhazi hazijaota vizuri lakini kitu ambacho nimekipenda zaidi ni kwamba inatoa maua kwa wakati mzuri sana, na mbegu yenyewe imekaa iko sahihi kweli kweli, kwai.sawaa, nje labda na upendezwaji wako kwenye uotaji , utoaji wa maua labda kuna kingine kilichokuvutia zaidi nje na hivyo vilivyokuvutia ulivyovitaja.yani ,kilichonivutia zaidi kwenye upande A hapa haya maua yametoka vizuri kabisa na wakati muafaka ambao nilikuwa natarajia na mimi kwamba yatatoka kwa muda huo huo.sante." moment_3_vegetative_20240417_542ad3ed-0687-456b-a50c-a3491cecf42d_1713952099202.wav,"Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.aaah kitu ambacho sikipendi katika hapa kwenye namba A ni kitu ambacho kuna wadudu ambao ni waharibifu wanakata baadhi ya miche flani hivi naona hapa imekatwa katwa kidogo kwa hiyo wadudu hawa wanashambulia ni kitu ambacho sijakipenda.sawa, nje na changamoto ya kukatwa baadhi ya miche na wadudu hakuna changamoto nyingine ambayo umeiona kuhusu aina hii A ?aaah changamoto nyingine sijaiona isipokuwa tu changamoto ndio hiyo hiyo ambayo nimezungumza wadudu ndio wanaoshambulia kidogo kuna miche kadhaa ambayo wadudu wametafuna hii miti.sawa." moment_3_vegetative_20240417_542ad3ed-0687-456b-a50c-a3491cecf42d_1713952209744.wav,Angalia aina B na elezaa chochcote unachokiona ambacho unapenda kuhusu hiyo.eeh kundi B hapa napenda kitu kimoja ambacho miche yake imeota vizuuri kabisaa inapendeza na iko sahihi lakini kuna kitu ambacho mimi kinanipa shida kidogo . moment_3_vegetative_20240417_542ad3ed-0687-456b-a50c-a3491cecf42d_1713952266276.wav,"Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo aina.eeh kundi A, kundi B hapa kitu ambacho mimi sikipendi ni kwamba miche imekaa vizuri tu isipokuwa maua yanachelewa kutoka .sawa nje na maua kuchelewa kutoka ni ipi changamoto nyingine labda ulioibaini ambayo imekua changamoto katika katika hii aina B ?changamoto katika kundi B ndo vile vile tu kwamba yani maua yanachelewa kutoka lakini sasa miche mingine kuna baadhi ya sehemu ambayo ime imekataa kuota.sawa" moment_3_vegetative_20240417_542ad3ed-0687-456b-a50c-a3491cecf42d_1713952327895.wav,"Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unapenda kuhusu hiyo.eeh kundi C hapa kuna kitu kimoja amabacho nimekipenda vizuri sana , ni miche imeota vizuri lakini sasa ee baadhi ya mapengo yako vileviele kwa saabu ya wale wadudu lakini ee kuna kitu ambacho mimi nimekipenda zaidi ni kwamba haya maharage yamekubali vizuri sana yamekuwa yako tofauti na kundi A na B kwa saabu haya hapa yameamka vizuri sana na yana changamoto hata mmea unaonekana upo sahihi .sawa." moment_3_vegetative_20240417_542ad3ed-0687-456b-a50c-a3491cecf42d_1713952396695.wav,"angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hii.katika aina C hii apa kitu ambacho sikipendi ni kwamba ni kama vile vile tu na A na B kwamba kuna baadhi ya miche tena imefanyaje imekatwa na wadudu lakini sasa kitu ambacho tena nakipenda zaidi nikwamba maua yake yako sahihi yani hayako hayako kama kundi A na kundi B haya nayo yana yana changamoto yake kwamba maua yake yanakuwa yanazidi kuwa mengi mengi kidogo tofauti na kundi C .sawa, tofauti na kundi .? Csawa yani kundi C , yani maua yake kuhusu kundi C yaninime ,maua ya kundi C yako chini sana lakini haya nayo yanaonekana yako mengi kundi ee eeh maua ya kundi B yapo chini lakini maua ya kundi C haya hapa naona yako vizuri yana yana uwiano na kundi A kule kwa hiyo hapa naona kuna changamoto nzuri inayo kwa upande wa maua.sawa. yaah ." moment_3_vegetative_20240417_57b27c07-73ea-498b-9036-5aa5b016b55e_1713683951776.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A?Hapa naona kwamba nazipenda tu aina A naipenda hakuna nisichokipenda ila mada majani majani yake kwa vile ni mboga nayapenda tu nayo vilevile.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_57b27c07-73ea-498b-9036-5aa5b016b55e_1713683983519.wav,Nini unapenda kuhusu aina B?Aina B naipenda kwa sababu maharage haya ni mazuri yameota vizuri alafu pia yana majani mazuri.Unaweza ukaelezea kwa undani zaidi?Haya majani majani yameota vizuri yame yametoa lakini sasa maja maua hayakuna ninii yamechelewa kutoka kuliko ya wanzake mengine haya nayo nayapenda vile vile ni mazuri kwa sababu yameota vizuri majani yake ni mazuri moment_3_vegetative_20240417_57b27c07-73ea-498b-9036-5aa5b016b55e_1713684025757.wav,Nini usichopenda kwenye aina B?Kati ya B hakuna kitu ambacho sikipendi yote naona vizuri kwa sababu yameota vizuri ukuaji wake ni mzuri ndo maana nimevutiwa na nayapenda. moment_3_vegetative_20240417_57b27c07-73ea-498b-9036-5aa5b016b55e_1713684060655.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?Aina C naipenda lakini sasa kuna sababu zake sababu zake hii inapata ukungu wakati mvua hata hivi kuna mehage mengine yamefanya nini yamepuputika kwa ajili ya mvua lakini ni mbegu nayo nzuri vilevile naipenda. moment_3_vegetative_20240417_57b27c07-73ea-498b-9036-5aa5b016b55e_1713684073809.wav,Nini usichopenda kuhusu aina C?Aina C ambacho sikipendi hamna kitu ambacho sikipendi ni sawa tu ila saa unyaukaji wa maharage kutokana na mvua nyingi yamepata ukungu. moment_3_vegetative_20240417_5f597b41-c374-4d45-bb7c-080bbcab36d7_1713796217122.wav,Nini unapenda kuhusu kuhusu aina A?eeeh kuhusu aina A ninapenda jinsi ji ji ji jinsi yauote uotaji wake nimazao jinsi tangu tulivo kuwa tumepanda na ile hatua tulizofuatilia mpaka uotaji naaa jinsi yaaaa umeaji wake umenifurahisha nimependahakuna kingine uunachokipenda.aaaah kingine ninachokipenda niii utaratibu wa yani aina ya uu jinsi yakuandaa mashamba kwamba kumbe kutokana na kilimo cha zamani tunaweza tukabadilika tukaa tukawana aina nyengine ya ulimaji yakutumia kamba na bai kwakulu fota spacing yanii vipimo vyaaa muachano wa mstari kwa mstari naaa shimo hadi shii mbegu hadi mbegu moja shimo hadi shimo yaani.kingine unachokipenda.aaaah nadhani sina nachokipenda zaidi ya hayo mambo mawili.mmm. moment_3_vegetative_20240417_5f597b41-c374-4d45-bb7c-080bbcab36d7_1713796372897.wav,Nini uusichokipenda kuhusu aina A.eeeh katika aina A nisichokipenda niii kwamba kama nijaribio tungepewa jaribio ambalo linahusisha megu nyingi kidogo iliata mandhali mtu anapokuwambali anakuwa anaweza akaona pale kunazoezi linafanyika laaa ubuun la lautafiti wambegu eeeh hicho ndicho nisichokipenda nilitarajiaa tungekuwa nakaeno kubwa basi angalau hata mbegu ifike hata kwenye kilo watu . unakofanya utafiti wa jinsi ya kutunza lileshamba unaonekaa kweli una unaa unaaa unaa unaa unaa unatumia muda mwingi kuliko kuwa na kaeneo kadogo ambako unatumia muda mfupi sana ku kukaandaa.aaaah kingine usichokipendaasina siii si sina kingine. moment_3_vegetative_20240417_5f597b41-c374-4d45-bb7c-080bbcab36d7_1713796427554.wav,Nini unapenda kuhusu aina B.aina B ninapenda uotaji wake mana kwa ujumla haikuchukua mda mrefu kuota naa hata umeaji wake pia ume imemea vizuri.una maana gani unaposema umeaji wake unaweza ukaelezea zaidi hapo.eeeh umeaji wake niiii jinsi ya muonekano kwamba mmea uuume uuume uumeendana na mazingira kwama hali ya hewa yaa eneo hili na aina ile ya mbegu vimee kubaliana vimeenda vizuri.kingine unachokipenda katika aina hii.sina kingine. moment_3_vegetative_20240417_5f597b41-c374-4d45-bb7c-080bbcab36d7_1713796463513.wav,mmmh tunaendelea na maswalii nini usichopenda kuhusu aina BSinansichopendahakuna kabisa.hakuna kabisa. moment_3_vegetative_20240417_5f597b41-c374-4d45-bb7c-080bbcab36d7_1713796559316.wav,Nini unapenda kuhusu aina C.mmh katika kulinganisha hizi aina za mbegu aina C imeonekana nii nzuri kwamimi nimeona ninzuri zaidi. kwa mazingira yetu haya mana atamuonekano wake imekua niiiii nakijani kibichi zaidii na tofauti na hai haijaathiriwa na uhali flani ya unjano imekuwa ninyeuu niinyeusi seme yani memea kuliko aina zile mbili zotangulia.aaa umajuaje kwamba aina hii inaathiriwa na magonjwa auu wadudu.aaah kwakua sina utaalamu waaaa kisi nanii wawawa kilimo zaidi kujua kwambaaa hii imetokana na nini kwamba kwanini aina hii ya tatu aina C imekuwa niinyeusi kuliko zile aina ziengine nilichochukulia nikajua kwabla nini uni uniu aina tu ya ya muonekano wazi hali halisi ya ile mbegu kwamba mbegu hii imeonekana kumbe inamuonekano huu lakini ni mbegu ambayo imeto imejitofautisha na zile mbili za awali.utofauti wake mkubwa zaidi niii kwenye nini.utofauti wake mkubwa zaidi upo kwenyee uhaa uhalisia wa ukijani ile evergreen yake evergreen imekuwa ni kijani kijani kiasi kwamba ina iiinaonekana nimbegu ambayoo kwa mazingira yetu haya inaendana vizuri zaidi.kingine unachokipenda katika aina C.hakuna kingine. moment_3_vegetative_20240417_5f597b41-c374-4d45-bb7c-080bbcab36d7_1713796571686.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina C hakuna.Hakuna.Hakuna. moment_3_vegetative_20240417_6284fff4-0672-4156-847a-afc4bbccbf9d_1714374062693.wav,Eheee hapaa angaliya aina A na eleza chochote ambacho unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo.apa A.mmm.nimeshukulu sana.mmm.maarage yangu yameota vinzuli.mmmm.lakini pamoja na ukuaji.mmmm.naona kidogoo.mmm.kuna ukakamavu flan.mmmm yani yani ukakamavu yaaamekomaa.eeee.eheeee.ndo ivyo tu.kingine ulichokipenda.nilichokipenda.mmmh.saidi yameota vinzuli.mmmm.nanimeshkulu sana.sawaaa.mmm. moment_3_vegetative_20240417_6284fff4-0672-4156-847a-afc4bbccbf9d_1714374121218.wav,Mmh nini nini unapenda kuusu aina A?.Mimi naapenda kwasababu yanastawi vizuli nimeyapenda.kwaoo kwenye muonekano yako vizuli majani yake yamekaa vizuli umeyakubalitu kwa kupitia hicho.ndiyoo. moment_3_vegetative_20240417_6284fff4-0672-4156-847a-afc4bbccbf9d_1714374157042.wav,Angalia aina B na eleza chochote ambacho unaona unakipenda kuhusu aina hiyo.apa ainaa B nii.mmm.niiependa sana mmeona umekuwa vinzuli.mmm.pamojaa naunaenda vinzuli.mmmh.eeeee.kwaiyooo umeota vizili.eeee.saawa. moment_3_vegetative_20240417_6284fff4-0672-4156-847a-afc4bbccbf9d_1714374178529.wav,Angalia pi aina B eleza chochote unakiona ambacho hupendi kuusu aina hiyo.apa niao uwadudu tena.wadudu tena.eeeee.saawaa. moment_3_vegetative_20240417_6284fff4-0672-4156-847a-afc4bbccbf9d_1714374266047.wav,Angaliya aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo.apaa aina C nimependa zana mvua iongeseke kidogo inyeshe atamaramoja ukue kidogo mana una ukokamafu flan.mmm.eeee.kingine ambacho umekipenda.nii uota uoteshaji tu.uotaji.eeeee.kingine ambacho unaona kimkupendeza aina ee aina C.aina C.eeee.mauwa.aaa.nimeflai kidogoaaaa yani kuu umesema kutoa mauwa.eeee.aaa yani ime imetoaje.imetoaje.ime.kuna nii anii kamaa naniii yani mnatakakuzaa alaka.aaa yani imez inatakaku yani maua imetoa inata kakuzaa halaka.eeeeh.saawa. moment_3_vegetative_20240417_6284fff4-0672-4156-847a-afc4bbccbf9d_1714374294396.wav,Angalia aina C na eleza chochote unakiona ambacho hupendi.iapo sikipendi.eeeee.nihaya tuta yenye madudu ndo yametoboaa.aaaa wadudu waliotoba.eeee.hakuna kingine ambacho hukipendi.akunaa. moment_3_vegetative_20240417_6695e018-8108-4070-8627-1d2f024bcd4f_1715589025121.wav,nini unapenda kuhusu A?.napenda kuhusu A kwasababu uzao wake ni mzuri kwenye hiyo mbegu. moment_3_vegetative_20240417_6695e018-8108-4070-8627-1d2f024bcd4f_1715589065795.wav,nini usichopenda kuhusu aina A?.hamna. moment_3_vegetative_20240417_6695e018-8108-4070-8627-1d2f024bcd4f_1715589080995.wav,nini unachopenda kuhusu aina B?hapo hamna kitu. moment_3_vegetative_20240417_6695e018-8108-4070-8627-1d2f024bcd4f_1715589105702.wav,nini usichopenda kuhusu aina B?.wadudu wanapenda sana hiyo aina B. moment_3_vegetative_20240417_6695e018-8108-4070-8627-1d2f024bcd4f_1715589149752.wav,nini unapenda kuhusu aina C?aina C naipenda kuhusu ina majani mazuri na inastawi vizuri.sawa. moment_3_vegetative_20240417_6695e018-8108-4070-8627-1d2f024bcd4f_1715589165643.wav,nini usichopenda kuhusu aina C?ni kuhusu tu wadudu wanavyoshambulia moment_3_vegetative_20240417_67eedda1-b0bd-470d-aef4-c94958d3503c_1718083280440.wav,uki angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho umekipenda kuhusu aina hii.hii.ee aina A chochote kile ambacho umekipenda . moment_3_vegetative_20240417_67eedda1-b0bd-470d-aef4-c94958d3503c_1718083322687.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina A .ambacho labda hujakipenda kwenye hii aina .majani yake kutokuwa mazuri sana.haina majani mazuri.majani haina majani mazuri.sawasawa na kingine labda .kingine?mmmh.uotaji uotaji kuota vizuri kuna ambayo mengine hayajaota.anhaa sawasawa. moment_3_vegetative_20240417_67eedda1-b0bd-470d-aef4-c94958d3503c_1718083383092.wav,"Anga angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kwenye hii aina.kwenye hii aina nimependa yani imeota vizuri alafu majani yake ni mazuri ata kwa mboga ni nzuri.sawasawa huwaga mnatumia kwa mboga.eee.sawasawa kitu gani kingine ambacho umekipenda kwenye hii aina.hii aina kitu kingine ni hamna ,utamu wake ina nananii majani mazuri sasa si utarudia siku nyingine.nitarudi.maua pamoja na mbegu ,mbegu yake huwa inakuaje.sawasawa." moment_3_vegetative_20240417_67eedda1-b0bd-470d-aef4-c94958d3503c_1718083408709.wav,"Na ukiangalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho huja hupendi kuhusu aina hii, kitu ambacho umekiona ambacho hujakipenda kwenye hii aina.hamnaaaanha umependa vyote.vyote nimependa.sawasawa." moment_3_vegetative_20240417_67eedda1-b0bd-470d-aef4-c94958d3503c_1718083465043.wav,Na ukiangalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hii aina C.hii aina mimi sijui kama imeliwa au haijaota vizuriaina hii haijaota vizuri.aina hii haijaota vizuri na majani yakesio mazuri.anhaa kwa hiyo kitu ulichokipenda chochote .mmmhulichokipenda kwenye hii aina .hapandiohapa nilichokipenda . Hapa sioni anhaaa. moment_3_vegetative_20240417_67eedda1-b0bd-470d-aef4-c94958d3503c_1718083497041.wav,.aina C na eleza chochote am ambacho unachokiona ambacho hujakipenda kuhusu aina hio.enhee.kitu ambacho hujakipenda labda.sababu majani yake sio mazuri.anhaa haina majani mazuri .eee.aya sawasawa na kingine labda ambacho hujakipenda.hamna.aya sawa. moment_3_vegetative_20240417_7b2e47d7-0f36-4e3d-944f-1b879fc540ca_1714548385274.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?.mmmmh nimependaa aina A kuusu ume malage yake yamestawi vizuri nayana ubora zaidii yamestawi vizuri kwakweli na nauzaaji wake nimzuri. moment_3_vegetative_20240417_7b2e47d7-0f36-4e3d-944f-1b879fc540ca_1714548416013.wav,Mmmh nini maa nini uSichopenda kuusu aina A.aina A sikuipenda kwasabu gani mengine hayakuota na mengine yamedumaa dumaa sabu yanini lakini . Sio sahihi vizuri. moment_3_vegetative_20240417_7b2e47d7-0f36-4e3d-944f-1b879fc540ca_1714548465375.wav,Mm nini unapenda kusu aina B?.aina B imenipendeza kweli lakini kwaasabu hiyoo yakoo sahihi lakini naona kasaabu yaa yanamikia mkia mleefu kwahiyo . Haiko sahihi sana lakini ni sahihi kwa kweli inapendeza. moment_3_vegetative_20240417_7b2e47d7-0f36-4e3d-944f-1b879fc540ca_1714548494504.wav,Mm nini usichopenda kuusu aina B?.mmmh aina B sikuipenda kwasababugani haikukaa vizuli zaaa sana tuu hivyo kwakweli. moment_3_vegetative_20240417_7b2e47d7-0f36-4e3d-944f-1b879fc540ca_1714548534723.wav,mmh nini unapenda kuhusu aina C.aina C nimeipenda kwasababu imekaa vizuriiii inapendeza tuuu inapendeza kakweli moment_3_vegetative_20240417_7b2e47d7-0f36-4e3d-944f-1b879fc540ca_1714548571292.wav,Nini usichopenda kuusu aina c?.kwa kweli aina hii . Sikukipenda jumla aina hii apaaa.je! Kuk kwenye aina hii kipi ambacho hujakipenda.kwenye na aina hii sijaipenda kwasabu gani ikooo mauwa yake sio mazuli sanaaa alafuuu kwa kweli aaah sikuipendatu.sawa. moment_3_vegetative_20240417_7bc7a712-23b3-4b1c-80eb-532b122c723d_1713591614015.wav,Nia angalia ai aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Niliipenda kabla sijaipanda baada ya kuipanda haikuota. moment_3_vegetative_20240417_7bc7a712-23b3-4b1c-80eb-532b122c723d_1713591645770.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?Sijaipenda kwa sababu haikuota. moment_3_vegetative_20240417_7bc7a712-23b3-4b1c-80eb-532b122c723d_1713591686751.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda?Nimeipenda kwa sababu inawai kutoa mikonga yake na maua mapema. moment_3_vegetative_20240417_7bc7a712-23b3-4b1c-80eb-532b122c723d_1713591722831.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo aina B?Sijaipenda kwa sababu uotaji wake ulikua unasumbua. moment_3_vegetative_20240417_7bc7a712-23b3-4b1c-80eb-532b122c723d_1713591773518.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda?Nimeipenda kwa sababu ya uotaji wake ni mzuri na inatoa maua kwa haraka na majani yake ni mapana na ni mazuri. moment_3_vegetative_20240417_7bc7a712-23b3-4b1c-80eb-532b122c723d_1713591801137.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi?Sijapenda kwa sababu haitoi miko mikonge kama maharage mengine ambaye tumeyazoea kuyapanda moment_3_vegetative_20240417_8931962b-53e0-4ed3-b51b-3970882b374b_1719568414460.wav,nini unapenda kuhusu aina A? Hii A inatoa mauwa haraka. ndio. naona ni mbegu ya muda mfupi. aah. mmh. sawa. moment_3_vegetative_20240417_8931962b-53e0-4ed3-b51b-3970882b374b_1719568446407.wav,nini usichopenda hukusu aina A? sijaona ambacho sijapenda labda huko tuendako. sawa. mmh. moment_3_vegetative_20240417_8931962b-53e0-4ed3-b51b-3970882b374b_1719568477465.wav,"nini unapenda kuhusu aina B? aina B imeota lakini haijaota inavyotakiwa, yani imeota kwa kusua sua. ila kuna kitu ambacho kinakuvutia ukiangali? ni mazuri, ndio. mmh. kwa nii unasema ni mazuri. si naona yanavyoendelea, lakini yamechelewa kutoa mauwa kuliko A." moment_3_vegetative_20240417_8931962b-53e0-4ed3-b51b-3970882b374b_1719568494729.wav,nini usichopenda kuhusu aina B? labda huko tuendako ndo ntaendelea kujifunza na kuona jinsi yanavyoendelea. sawa. moment_3_vegetative_20240417_8931962b-53e0-4ed3-b51b-3970882b374b_1719568566580.wav,nini unapenda kuhusu aina C? aina C hamna. hamna unachokipenda? hamna. sawa. moment_3_vegetative_20240417_8931962b-53e0-4ed3-b51b-3970882b374b_1719568596522.wav,"nini usichopenda kuhusu aina C? Aina C nisichopenda, ndio. imeota kwa kusua sua, ndio. haijaota kwa kuchangamkaa kama A. ndio. mmh. mmh. na imechelewa kutoa mauwa. imechelewa kutoa mauwa. mmh. sawa." moment_3_vegetative_20240417_8fc9481e-1bfb-4894-be0d-ea7712e5b9fd_1713957504296.wav,"nini unapenda kuhusu aina A.napenda majani, na kuota kwa kwakw e mistasri imenyooka hamna iliyokataa.majani yake ukiyaangalia yanaonekanajemajani ni mazuri sio mapana sana ni kiasiKuna kingine ambacho unaona unakipenda kuhusu aina A?yani ni sehemu yote tu napendasawasawammh" moment_3_vegetative_20240417_8fc9481e-1bfb-4894-be0d-ea7712e5b9fd_1713957531688.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A?Kidogo majani yametobolewa sa sijui ndio yanahitaji dawa sielewi.Kuna kingine ambacho unakiona ambacho hukipendi kuhusu aina A?Yaani hapa ni hamna sehemu nisiyopenda yote napenda.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_8fc9481e-1bfb-4894-be0d-ea7712e5b9fd_1713957570149.wav,Nini unapenda kuhusu aina B?Aina B napenda majani ni mapana zaidi kushinda A na kuota kwake ni vimeota vizuri imekaa vizuri kwakweli ina maana hamna kitu nisichokipenda vyote hapa napenda.Kuna kingine ambacho ukinakiona unakipenda kuhusu aina BAina B hamna yaani kwa wastani tu napenda vyote hapa iliko.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_8fc9481e-1bfb-4894-be0d-ea7712e5b9fd_1713957593899.wav,Ni nini usichopenda kuhusu aina B?Yaani hapa ni hamna mi naona kuko kuzuri kote nikiangalia ila kuna kutobolewa tobolewa na wadudu ndo hapo sasa.Ambacho kinatobolewa na wadudu ni kitu gani.Ni majani .kwenye mauaSawasawa. moment_3_vegetative_20240417_8fc9481e-1bfb-4894-be0d-ea7712e5b9fd_1713957623756.wav,"Nini unapenda kuhusu aina C?aina C naipenda kwa sababu nadhani yenyewe ndo imechomoza sana kutoa maua kabla ya wenzake na majani mazuri kijani ndo kitu napenda.kuna kitu kingine unapenda kuhusu aina C?Aina C, napenda yote tu kwa wastani." moment_3_vegetative_20240417_8fc9481e-1bfb-4894-be0d-ea7712e5b9fd_1713957635018.wav,"usichopenda kuhusu aina C?Hamna nisichopenda vyote napenda kwasababu uotaji wake ni mzuri inatoa maua vizuri, imekaa vizuri kabisa.sawa" moment_3_vegetative_20240417_9032de9d-7c93-4bca-838a-0cafe63f7f41_1719479591709.wav,nini unapenda kuhusu aina A? napenda kwa vile yamechangamka na majani yake yanaonesha yana ukijani vido kidogo vizuri sawa. moment_3_vegetative_20240417_9032de9d-7c93-4bca-838a-0cafe63f7f41_1719479654502.wav,nini usichopenda kwenye aina A? hakuna ambacho sikipendi kwa sababu naona yanaendelea vizuri. sawa. moment_3_vegetative_20240417_9032de9d-7c93-4bca-838a-0cafe63f7f41_1719479707400.wav,"nini unapenda kuhusu aina B? Naipenda kinachanua vizuri, isipokua ila ni kwavile inatoa kamba kamba. sawa." moment_3_vegetative_20240417_9032de9d-7c93-4bca-838a-0cafe63f7f41_1719479732485.wav,nini usichopenda kuhusu aina B? aina B na sipendi hizo kamba kamba kwa sababu huwa zinafunika na iki zikifunika haziwezi kutoa mazao kwa wakati mmoja huwa yatakomaa ba nusu nusu. sawa. moment_3_vegetative_20240417_9032de9d-7c93-4bca-838a-0cafe63f7f41_1719479753138.wav,"nini unapenda kuhusu aina c? napenda aina C kwa sababu inatoka haraka mapema, inazaa mapema kwa muda mfupi. sawa." moment_3_vegetative_20240417_9032de9d-7c93-4bca-838a-0cafe63f7f41_1719479770640.wav,nini usichopenda kuhusu aina C? hakuna nisichopenda sababu naona yanaendelea vizuri. moment_3_vegetative_20240417_904c3f04-b1bf-4f57-8908-b8958f367e42_1713969016059.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?Eeee aina A hiii nayo hiko vizuri tu lakini sio zaidi sana kama mbegu zingine za B na C kwa sababu hii inaonekana ina majani na inachelewa kutoa maua alafu tu inamea tu bado haijaonesha kuweka hata maua wakati zina utofa zina zina . na zingine.Asaa sawa lakini ambacho unakipenda hapo kwenye hiyo aina A ulichopendezwa nacho.Ni majani yake majani yake majani yake yale yako vizuri iwapo hayana maua hata mmoja ambao utofauti wake sasa ni kama mbegu fulani ni ngumu kutoa maua iwapooo muda imepandwa siku moja lakini inaonekana ngumu kutoa maua kitu hicho kikanifanya nisiipende sana A.Haya asante. moment_3_vegetative_20240417_904c3f04-b1bf-4f57-8908-b8958f367e42_1713969040332.wav,Ni nini usichokipenda kuhusu aina A?Eee nisichokipenda tu ni kwasababu inakaaa muda mrefu inaonekana kwamba inachukua muda mrefu kwamba bila kuleta matunda au maua kwa muda mrefu inameesha majani tupu.Haya asante. moment_3_vegetative_20240417_904c3f04-b1bf-4f57-8908-b8958f367e42_1713969082254.wav,Ni nini unapenda kuhusu aina B?Aina B ninapenda kwasababu ya sababu ya kwanza kwanza majani yake ni yanapendeza yanakijani alafu tena nyepesi kutoa maua inaenda na wakati inaonekana ni nyepesi ni mbegu ambayo ni kama ina mfumo wa kwenda haraka tayari hapa sahivi tayari ina maua mengi sana hata unavyoangalia hivi inapendeza sana. Ni hicho tu?Kwakweli ni hicho tu kwasababu afya yake inapendeza majani yake yako kijani sana tofauti na mengine.Haya asante. moment_3_vegetative_20240417_904c3f04-b1bf-4f57-8908-b8958f367e42_1713969095545.wav,Ni nini usichokipenda kuhusu aina B?Aaa kwa kweli nisichokipenda hakuna.Asante. moment_3_vegetative_20240417_904c3f04-b1bf-4f57-8908-b8958f367e42_1713969170079.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?Ccc nayo majani yake yanapendeza sana yanaonekana yanamea sana yanaonekana kanma majani yameziba sana lakini maua yake ni machache ina inapendeza kwa majani yake lakini hasa inaonekana nayo kidogo inachelea kutoa maua kwahiyo kitu hicho nacho kidogo eee kinanipaaa kiasi kuipenda kwa kiasi.Eeee unaweza kuongezea unavyoitazama hii aina C kwamba kuna kingine ambacho umependezwa nacho zaidi ya hicho ulichozungumuza. Kinachopendeza ni afya yake majani yake inaonekana ina majani mengi sana imeziba sana lakini sasa maua yake yanaonekana yako mbali ila jani lake linapendeza sana lakini sasa uwa tunaangalia hali halisi ya utoaji wa maua yake lakini inaonekana hii ina majani mengi sana maua yake ni ya wasitani sana.Aaa asante. moment_3_vegetative_20240417_904c3f04-b1bf-4f57-8908-b8958f367e42_1713969199830.wav,Ni nini usichokipenda kuhusu aina C?Nisichokipenda katika aina C cc hapa labda ni kwa sababu inache inainakua na majani mengi haina matokeo mazuri hasa kwenye maua inaonekana kama ina maua machache tofauti na C naa na B.Ok asante. moment_3_vegetative_20240417_95fbba0b-f4bb-4f2c-8b51-d0f803967509_1715506785282.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?Aina A maharage yapo vizuri yameota vizuri majani yapo vizuri.Hakuna kingine ulichokipenda?Nimependa sana majani yake ni mazuri sana. moment_3_vegetative_20240417_95fbba0b-f4bb-4f2c-8b51-d0f803967509_1715506810907.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A?Yapo vizuri sana nimefutiwa sana na majani yake.Una kingine cha kuongezea?Hapana sina. moment_3_vegetative_20240417_95fbba0b-f4bb-4f2c-8b51-d0f803967509_1715506831878.wav,Nini unapenda kuhusu aina B?Aina B nayo ni mazuri yameota vizuri tena yametangulia kutoa maua.Hasa wewe umependa nini kwenye aina hii?Aina hii nimeipenda kwa sababu hipo vizuri majani yake nayo yapo vizuri. moment_3_vegetative_20240417_95fbba0b-f4bb-4f2c-8b51-d0f803967509_1715507021867.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B?Aina B sijachukia kitu chochote kwa sababu yapo vizuri. moment_3_vegetative_20240417_95fbba0b-f4bb-4f2c-8b51-d0f803967509_1715507047436.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?Aina C sijapenda kitu chochote kwa sababu yani haujaota vizuri. moment_3_vegetative_20240417_98a4edaf-ceb3-4fc7-b97b-a435a896ebda_1715593307689.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?Aina A mimi naona kama vile ilikua ipambana na mafuriko maana nikiiangalia naona haija athrika sana. moment_3_vegetative_20240417_98a4edaf-ceb3-4fc7-b97b-a435a896ebda_1715593325088.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A?Yani nisichokipenda naona haiwezi kuimili maafuriko kama yalivyoingia yenyewe ndo imeathirika zaidi kuliko hata hizi sehhemu zingine.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_98a4edaf-ceb3-4fc7-b97b-a435a896ebda_1715593348270.wav,Nini unachopenda kuhusu aina B?Aina B naona kidogo yenyewe katika katika uzazi ingewai kidogo kuliko hizi zingine isingekua mafuriko kwenye hii shamba inawzekana ingekua na uzazi mzuri sasa . Mungu atusaidie.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_98a4edaf-ceb3-4fc7-b97b-a435a896ebda_1715593365028.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B?Aina B naona nayo pia imeathirika zaidi kwa mafuriko yani imesababisha imeathirika zaidi kuliko hata hizi zingine.Sawa.Eee. moment_3_vegetative_20240417_98a4edaf-ceb3-4fc7-b97b-a435a896ebda_1715593396121.wav,Nini unachopenda kuhusu aina C?Aina C yani hile bado sijaielewa kwa sababu nahisi labda ilikua ni mafuriko yasingekua mafuriko ningeweza nikaielewa kwa sababu hata sahivi nikiangalia naona yenyewe hata majani yake ni machache sana ila naona kama vile yalikumbwa na mafuriko labda ndo ikawa imeathirika zaidi kwahiyo nimeshindwa ku kuielewa yani.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_98a4edaf-ceb3-4fc7-b97b-a435a896ebda_1715593427398.wav,Nini usichopenda kuhusu aina C?Yani pale nisichokipenda kwanza tu kwa sahivi nikiona naona hiko tofauti sana na wenzake kwahiyo naona hile kidogo inakua ni changamoto kwenye hii aridhi yangu hapa.Ukisema hiko tofauti unamanisha nini?Namanisha kwamba yani yenyewe hata majani hayo yaliyobaki yanaonesha udhaifu mkubwa kuliko haya mengine.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_99659b72-5f39-473b-9be3-06a2b195d81a_1713763215318.wav,Mmh nini nini unapenda kuusu aina A?.mimi napenda kwasababu yanastawi vizuli nimeyapenda.kwaoo kwenye muonekano yako vizuli majani yake yamekaa vizuli umeyakubali tu kwakupitia hicho.ndiyoo. moment_3_vegetative_20240417_99659b72-5f39-473b-9be3-06a2b195d81a_1713763295800.wav,Nini usichooo us nini usichopenda kuusu aina A. mmmmhh akua. ee kanini akuna abacho hujakipenda.nimeyapenda kwasababu yamestawi vizuli nimeona hakuna tatizo.aaaa kwaiyo kuusu aina A hamna mbacho hujakipendaa.ndiyoo. moment_3_vegetative_20240417_99659b72-5f39-473b-9be3-06a2b195d81a_1713763370394.wav,Nini unapenda kusu aina B?.Mimi napenda aina B kwasababu yametoa mauwa mengi sana.koo kwenye mauwa mengi weunavoona yanaeza yakazaa vizuli sana mauwa mengi au tu umependa mauwa.yanaeza yakazaa sana moment_3_vegetative_20240417_99659b72-5f39-473b-9be3-06a2b195d81a_1713763449634.wav,Nini usichopenda kusu aina B?.kwasababu aina B nisichokipenda haijastawi sana.mmmh koiyo haijastawiii weunavyoona changamoto nirizi au mvua au kuna kitu gani kinasababisha yasstawi.labda alisitu kwasababu mchanga wenyewe mweupe sana. moment_3_vegetative_20240417_99659b72-5f39-473b-9be3-06a2b195d81a_1713763552600.wav,Nini unapenda kusu aina C.nimee nimependa aina C kwasababu yamestawi. moment_3_vegetative_20240417_99659b72-5f39-473b-9be3-06a2b195d81a_1713763602597.wav,Nini usichopenda kuusu aina C?.Nisichokipenda kwenye ana C kwasababu haijatoa mauwa sana kamaa mbegu nyengine.Nkoo kwenye aina C unawasiwasi gani mpaka usiipende sana.kwasabau haijatoa mauwa kama eeh mengine au hayajafananishwa naya naya enzake.sawaa. moment_3_vegetative_20240417_9b5d4c33-a05e-4a87-a663-b5f25edcbc1a_1713515090565.wav,nini unapenda kuhusu aina A.mimi napenda maharage yangu yaliota vizuri.ndio.na yamekubali vizuri.ndio. naendelea kuwayahudumia.unaendelea kuyahudumia.ndio. moment_3_vegetative_20240417_9b5d4c33-a05e-4a87-a663-b5f25edcbc1a_1713515128953.wav,nini usichopenda kuhusu aina A?.Mimi.ndio.nimependa kweli lakini mvua inanyesha sanaa.ndio.ikiendelea kunyesha.ndio.maharage yataweza kuharibika.yanaweza yakaharibika ee?.eee. moment_3_vegetative_20240417_9b5d4c33-a05e-4a87-a663-b5f25edcbc1a_1713515179306.wav,nini unapenda kuhusu aina B?.mi nimependa. mmh.lakini maharage yangu yaliota vizuri. ndio.na yanaendelea kua vizuri.yanaendea kukua vizuri.ndio.kwa hio hicho ndo ambacho unakipenda.ndio.kingine labda cha ziada ambacho unakipenda unavyoangalia maharage yako.bana mi napenda tu maharage yangu yalivyoota. ndio.napenda sana. moment_3_vegetative_20240417_9b5d4c33-a05e-4a87-a663-b5f25edcbc1a_1713515207994.wav,nini usichopenda kuhusu aina B?.nisichopendaa.ndio.mvua ikiendelea kunyesha hivi.ndio.maharage yangu yanaweza yakaharibika.ndio.maana inanyesha sana.ndio.eee. moment_3_vegetative_20240417_9b5d4c33-a05e-4a87-a663-b5f25edcbc1a_1713515246189.wav,nini unapenda kuhusu aina C.Mimi napenda maharage yangu yaliota vizuri.ndio.yanaendelea kukua vizuri.kuna kingine labda ambacho unakipenda unavyoangalia aina yako C ya maharage yana yanavyoendelea kukua?.napenda yalivyoota maana mazuri.ndio.ee. moment_3_vegetative_20240417_9b5d4c33-a05e-4a87-a663-b5f25edcbc1a_1713515285540.wav,nini usichopenda kuhusu aina C?.ni napenda.ndio.kwa sababu ninavyoona maharage yangu.ndio.yanaenda yanaendelea kukua vizuri.ndio.kwahio nayapenda saidi.unayapenda ee.ndio.kwahio aa kuna chochote ambacho labda hukipendii.hapana.hapana.ee. moment_3_vegetative_20240417_a69014d0-d408-4f8e-86ed-a9e50aafb92e_1714564725724.wav,"angalia aina A na elezea chochote unachokiona unachokipenda kuhusu aina hiyo.aah aina hii ya A naipenda imeota vizuri, ina maua vizuri imerefuka kidogo naipenda.ni hicho tu kurefuka hakuna kingine ulichokipenda.yani hii nimeipendea haishambuliwi sana na magonjwa imekaa tu vizuri.aya asante." moment_3_vegetative_20240417_a69014d0-d408-4f8e-86ed-a9e50aafb92e_1714564749622.wav,angalia ainaA na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo.aa hamna.hakuna kitu ambacho kwamba hukipendi kwenye hii mbegu.aah hii naipenda hii ina maua vizuri kwahiyo hamna kitu ambacho sikipendi humu kwenye hii mbegu.aya asantee. moment_3_vegetative_20240417_a69014d0-d408-4f8e-86ed-a9e50aafb92e_1714564853008.wav,"angalia aina B na elezea chochote unachokiona unachokipenda kuhusu aina hiyo.aa aina B nimeipenda kwasababu ime ota ota vizuri, imerefuka vizuri na inatoa maua vizuri.hakuna kingine ambacho umekipenda.aa yani nilichopendea kwanza imestawi vizuri.ok.ee.aiya asante." moment_3_vegetative_20240417_a69014d0-d408-4f8e-86ed-a9e50aafb92e_1714564887689.wav,angalia aina B na elezea chochote ambacho hupendi kuhusu aina hiyo?.aa yani kitu ambacho sipendi kwenye kwenye hii mbegu aina B ni ina ina inashambuliwa sana na magonjwa halafu uotaji wake nao ni wa shida kidogo.hakuna kingine ni hicho tu ambacho hujakipenda.hamna hamna.aya asantee. moment_3_vegetative_20240417_a69014d0-d408-4f8e-86ed-a9e50aafb92e_1714564946811.wav,"angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo.aa aina C nimeipenda kwasababu imeota vizuri , imerefuka vizuri na imetoa maua mazuri na imestawi vizuri.hakuna jambo lingine ambalo umelipenda kutokana na mbegu hiyo.aa hamna.asantee." moment_3_vegetative_20240417_a69014d0-d408-4f8e-86ed-a9e50aafb92e_1714564978869.wav,angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo.aa yani aina C sipendi kitu kimoja imeota vizuri lakini kuna baadhi ya mbegu nyingine zimedumaa kidogo ndio ivo.ni hilo tu la kudumaa hakuna jambo lingine.aa hamna.aya asante. moment_3_vegetative_20240417_a7766d3a-7378-43c3-8b6d-faf053589d2e_1713705101214.wav,Nini unapenda kuhusu aina A ?Aina A hayajaota vizuri lakini yanamwonekano mzuri. moment_3_vegetative_20240417_a7766d3a-7378-43c3-8b6d-faf053589d2e_1713705144319.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A ?Haijape hayajaota vizuri.kingine?ha hayaja hayajastawi vizuri.sawa labda kitu kingine ambacho unakiona kwenye aina A ambacho hupendi? ni huo tu kuwa hayajaota vizuri na hayajastawi vizuri basi . moment_3_vegetative_20240417_a7766d3a-7378-43c3-8b6d-faf053589d2e_1713705181742.wav,"Nini unapenda kuhusu aina B ?Aina B bwana yapo vizuri .yapo vizuri kivipi ?Yameota vizuri, yamestawi vizuri na muonekano wake ni mzuri pia.sawa asante." moment_3_vegetative_20240417_a7766d3a-7378-43c3-8b6d-faf053589d2e_1713705207675.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B ?aina B yanachelewa kutoa maua .kingine ?ni hicho tu lakini mbona yapo vizuri .sawa asante. moment_3_vegetative_20240417_a7766d3a-7378-43c3-8b6d-faf053589d2e_1713705356027.wav,Nini unapenda kuhusu aina C ?aina C bwana yapo vizuri yaliota vizuri yana yanaonekana yanamuonekano mzuri na yametoa maua vizuri na yamestawi vizuri .sawa asante. moment_3_vegetative_20240417_a7766d3a-7378-43c3-8b6d-faf053589d2e_1713705387926.wav,nini usichopenda kuhusu aina C ? aina C nisichopenda hayastawi vizuri .kingine labda ambacho unafikiria .Hapana ni hilo tu. moment_3_vegetative_20240417_b96fa9c8-ed1d-42c7-bbcd-e55b8b93c829_1719570714311.wav,"nini unapenda kuhusu aina A? Kwa vile naona inaonesha rangii yakuu nanii mwelekeo wa udongo wa kwanguu unakua na sampo ya kutoa hata mauwa kidogo. mmh. mmh. na ukijaribu kuangalia mauwa yametoka kwenye mstari upi mengi? kwenye mstari wa kwanzaa, wapili hata na watatu. mmh ndio. mmh. sawa." moment_3_vegetative_20240417_b96fa9c8-ed1d-42c7-bbcd-e55b8b93c829_1719570772196.wav,"nini usichopenda kuhusu aina A? Usichopenda. laabdaa nisichopenda, ndio. yasibanane jinsi yalivobababa kwenye mstari. ni kwamba yamebanana kwenye mstari? ndio. ni kwanini haupendi hivyo? nataka ili yakiwa vizurii yapanuke. yawe na nafasi? eeh. sawa sawa." moment_3_vegetative_20240417_b96fa9c8-ed1d-42c7-bbcd-e55b8b93c829_1719570810500.wav,"nini unapenda kuhusu aina B? aina B kweli naiona ina itilafu kidogo kwenye huu udongo WA Kwangu lakini afadhali afadhali kuliko C. umejaribu kuangalia afadhali kitu gani sana sana ukiangalia majani nini, chochote unachokiona. labda wakati wa kuotesha ioteshwe na mbolea au ipigwe busta wakati wa kunanilii. sawa." moment_3_vegetative_20240417_b96fa9c8-ed1d-42c7-bbcd-e55b8b93c829_1719570869188.wav,nini usichopenda kuhusuu aina B? kwa kweli aina B sidhani mi kama nta ntakua na mwelekeo sana nayo. eh kwa nini? naona hii hata majani yake kuungua nini ata kuota kwake imeota ota kwa shida. mmh. eeh. majani ukisema yameungua unamaanisha yameungua kivipi? kwa sijui ni hali ya hewa sijui ni udongo ni nini lakini hata wengine huoni hayajatoa mauwa. na yanavyoungua yanakua rangi gani? ya njano. ukijaribu kuangalia apa kwenye hii ploti ni mistari ipi ambayo inaonekana inaa mauwa ya njano sana sana. ikoo miitatuu karibu yote karibu yotee. mmh. sawa sawa. moment_3_vegetative_20240417_b96fa9c8-ed1d-42c7-bbcd-e55b8b93c829_1719570969003.wav,"nini unapenda kuhusu aina C? aina C? NDIO. labda nipate mwelekeo wa kuotesha sehemu yenye mboleea nyingi kuliko apa. sawa, mmh. ko inamaanisha kua hamna unachokipenda? hamna apa hapana." moment_3_vegetative_20240417_b96fa9c8-ed1d-42c7-bbcd-e55b8b93c829_1719571021475.wav,"nini usichopenda kuhusu aina C? si ndio nimese mekuambia kwamba hii aina C, ndio. hii mbegu kwa huu udongo nimeona aihaifananii na huu udongo wa huku. ndio. eeh na yeny sipendi hii aina C uki ukilinganisha na na ain aina A inaonesha ata kama ni udongo mfukara inatoka. ndio. mmh. mh ko ukijaribu kuangalia majani yake ini ambacho hakikuvutii au kinakuvutia? kwanza moto wake moto wake wakati wa kuotaa, ndio. ilionyesha dalili ambayo sioo ya kwa kulingana na kuota kwa maharage kama yanavootaga au apa yanavootaga ya kienyeji apa kwangu. mmh sawa." moment_3_vegetative_20240417_babd59a3-fe5f-42c0-87ca-9b990a5147f8_1714551753439.wav,nanza kukuliza anasema angalia aina A na elezea chochote ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo.ee chochote ninacho ninachokiona kwenye aina A mimi tu nadhani ni maharage niliyoota vizuri hayakuwa na tatizo wakati wa uotaji hata wakati ukuwaji ina maana yako vizuri ina hicho ndicho ninachokipenda zaidi kwasababu yameota vizuri wala hayakuwa na shida wakati wa kuota.hakuna lingine au hakuna jambo lingine unalolipenda tofauti na hilo la uotaji.jambo lingine labda ninalolipenda pia ina maana hata namna yalivyotoa maua yake na uzaaji wake unaonekana uko vizuri ninavyoona kwa ujumla.asante. moment_3_vegetative_20240417_babd59a3-fe5f-42c0-87ca-9b990a5147f8_1714552192026.wav,angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hii.ee mimi nadhani aina A kitu ambacho nakiona kinacholeta tatizo kidogo kwa mtazamo ambapo ila lakini bado hakijaonesha sana adhari naona baadhi ya majani yanakuwa na unjano njano fulani hivi ambapo kwa sasa hapa kitu kikubwa zaidi cha kusubiri tusubiri mpaka pale yatakapo yatakapokomaa ndipo tunaweza kuona kama hii ni adhari ya moja kwa moja au inaweza kuwa ni hivi pana panaonekana tu majani yanakuwa mengine yanakuwa ya njano njano hicho ndicho ninanchokiona ambacho kina kinanipa shida kidogo.asante. moment_3_vegetative_20240417_babd59a3-fe5f-42c0-87ca-9b990a5147f8_1714552257771.wav,"angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo.ee aina B ya mbegu ya maharage nimeiona yenyewe iko vizuri toka nilivyopanda uotaji wake umeota vizuri na mpaka sasahivi yanaonesha muendelezo wake yanaenda vizuri mpaka yameshaanza kutoa maua yake yametoa vizuri na mpaka sasahivi yanaonesha yameshanza kushusha watoto yako vizuri kwa ujumla.ni hilo hilo tu umelipenda hakuna jambo lingine lilokupendeza zaidi.ee mimi tu nadhani ni kama hivo tu naona ukaaji wake yamekaa vizuri maana rangi yako iko vizuri ,majani ni ya kijani yako vizuri hayajathirika kwa ujumla .basi nashukuru sana." moment_3_vegetative_20240417_babd59a3-fe5f-42c0-87ca-9b990a5147f8_1714552448370.wav,angalia aina B na elezea chochote ambacho hupendi kuhusu aina hiyo.mimi nadhani aina B haina utofauti sana n aaina A kwa kile ambacho nakiona kuna baadhi ya majani yanatia unjano yani yanakuwa yanaweka njano njano na kwa hali ya kawaida huwa tunajua maharage yanapoanza yapoanza kukomaa ndipo huwa majani yake yananza kuweka njano kwasababu yanaenda kukomaa zile mbegu sasa kwa hali hiyo naweza nikawa tu ninasema naweza nikapata wasiwasi kidogo kulingana na hiyo njano sasa siwezi fahamu kama inaweza ikaleta athari baadaye ya hayo majani yanayotia njano njano kwenye aina B hiyo.aya asante sana. moment_3_vegetative_20240417_babd59a3-fe5f-42c0-87ca-9b990a5147f8_1714552535092.wav,"angalia aina C na elezea chochote unachokiona unachokipenda kuhusu aina hiyo.aina C mbegu hii nimeipenda kwasababu kuanzia toka nilivyopanda maharage yameota vizuri hayakuleta tatizo mbegu yake imeota vizuri na mpaka hata hivi sasa. yanaonekana mpaka hata majani yake yako vizuri yanavutia yana maana hata unapoyatazama kwa hali hiyo yanaonesha mbegu hii ina ubora katika uzalishaji inaonesha jinsi inavyoonekanani hilo tu la kupendeza hakuna kitu kingine zaidi unachokipenda kuhusiana na aina hii.mimi kwa ujumla niseme nikama vile nilivyoelezea mwanzo kwa hali ninavyoiona kwa mtazamo kwa vile ukuaji wake unavyoenda na mpaka sasahivi maharage yameshanza kutoa maua ,yameanza kuzaa watoto mi nadhani tu kikubwa ninacho kiona mbegu hii itakuwa nzuri inaonekana itatoa hata mazao yatakuwa mazuri kwa nivyoona kwasababu inaonekana kwa muonekanoaya asante" moment_3_vegetative_20240417_babd59a3-fe5f-42c0-87ca-9b990a5147f8_1714552567588.wav,angalia aina C na elezea chochote unachokiona unachokipenda kuhusu aina hiyo .kwa ujumla kwenye aina C ya mbegu sijaona tatizo ambalo linanipa hofu kwa mtazamo nilivyoangalia mbegu ilivyo kaa .kwahiyo hakuna kinachokuchukiza.hakuna kinachonichukiza.asante. moment_3_vegetative_20240417_bdf2397c-af01-4d88-b914-0eb43b8f2cee_1714381828532.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.kwanza naipenda kwa sababu ina bei alafu ni nzuri kwa kula.kuna kingine hapana. moment_3_vegetative_20240417_bdf2397c-af01-4d88-b914-0eb43b8f2cee_1714381860167.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.hiyo kwakweli sijai si jawahi kuiotesha sam nikaielewa ndo maana siielewi sana lakini kwakula ni nzuri kula nimeila ni nzuri.kuna kingine?hapana. moment_3_vegetative_20240417_bdf2397c-af01-4d88-b914-0eb43b8f2cee_1714381882856.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?aina B ni kwa sababu tu nimeiyona pale imeota vizuri iko vizuri lakini sijawahi kuiotesha wala kula sijawahi lakini pale nimeiona iko vizuri sana.kuna kingine?hapana. moment_3_vegetative_20240417_bdf2397c-af01-4d88-b914-0eb43b8f2cee_1714381913611.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho ukipendi kuhusu hiyo.ain a B nikwavile tu haijaota vizuri lakini sasa sijairi tambua vizuri kwamba ni itakuwaje kwa sababu imeota tu mojamoja haikuota vizuri ndo maana sijapendezewa nayo.kuna kingine?hapana. moment_3_vegetative_20240417_bdf2397c-af01-4d88-b914-0eb43b8f2cee_1714381940683.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?nahiyo pia uotaji wake nayo haijaota vizuri mmh sasa siwezi kujua nitaipenda vipi kwa sababu si kwa kuota haijaota vizuri sijai sijapendezwa nayo pia.kuna kingine?hapana. moment_3_vegetative_20240417_bdf2397c-af01-4d88-b914-0eb43b8f2cee_1714381968959.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu aina C?aina C nimeipendelea maana imeota vizuri imenitamanisha naiko vizuri yaani hata nikiiangalia naifurahia ndo nimeipendezewa nayo.kuna chochote ambacho hukipendi kuhusu aina C?hapana moment_3_vegetative_20240417_bede46bc-c366-4d32-b776-ba8b8e04666c_1714471892976.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Aina A nimeipenda katika kuazia kupanda nilipanda iliota vizuri na inapendeza na ina aifya njema pia imestawi vizuri na ina maua nafikiri nimeipenda sana mbegu ya aina A.Asante. moment_3_vegetative_20240417_bede46bc-c366-4d32-b776-ba8b8e04666c_1714471917732.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?Aina A mimi nimeipenda kua ni safi na inapendeza na imekua vizuri majani yake yanapendeza. moment_3_vegetative_20240417_bede46bc-c366-4d32-b776-ba8b8e04666c_1714471961232.wav,Angalia aina B na eleza chochote uchokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Aina B nimeipenda nayo nilivyoipanda imeota vizuri pia nimeiona majani yake yanapendeza na maua yake yanapendeza lakini ina ukasoro kidogo sehemu nyingine haijapendeza vizuri.Sehemu zipi ambapo haijapendeza vizuri?Ni kwenye vitalu vile kwa chini kwa chini huku imependeza kwa juu naona kama imee imesinyaa kidogo na sielewi tatizo ni nini. moment_3_vegetative_20240417_bede46bc-c366-4d32-b776-ba8b8e04666c_1714472003343.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo?Aina B nimeona inapendeza lakini sio vile kama ile yenzake naona kama majani yake yanasinyaa kidogo.Ko nini usichokipenda hapo?Niii ni sichokipenda hapo ni sielewi ni aina ni mbegu yaaa ya aina hiyo ya B kuach kusinyaa sehemu nyingine na sehemu nyingine kuendelea vizuri. moment_3_vegetative_20240417_bede46bc-c366-4d32-b776-ba8b8e04666c_1714472024063.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Aina C ni naipenda tangia nilivyoipanda na imeendelea kuota vizuri na inapendeza pia na ina maua mazuri. moment_3_vegetative_20240417_bede46bc-c366-4d32-b776-ba8b8e04666c_1714472049987.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambaho hupendi kuhusu hiyo?Aina C ninaipenda kwa sababu imestawi vizuri na inapendeza na ina maua mazuri pia naipenda sana.Hakuna ambacho upendi hapa?Hapa hakuna ambacho sipendi navipenda vyote. moment_3_vegetative_20240417_c1c90828-e630-4330-be91-7e9dd4cd3182_1714466461353.wav,Haya angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hii?Sijakipenda.Hakuna ulichokipenda?Ndio.Hakuna chochote ambacho umekipenda?Hamna nilichokipenda. moment_3_vegetative_20240417_c1c90828-e630-4330-be91-7e9dd4cd3182_1714466504848.wav,Angalia aina A na eleza chochote ambacho hukukipenda?Si umesema hamna unachokipenda?Eee hamna nilichokipenda.Sasa kwa nini hamna unachokipenda nini unachukia umechukia nini?Kuota iliota vibaya na ukuaji wake yanakauka.Kingine ambacho kinachokuchukiza?Eee yameungia nani umanjano yanakaua.Yameingia umanjano kwenye majani?Eee.Sawa kuna kingine?Ahaa basi. moment_3_vegetative_20240417_c1c90828-e630-4330-be91-7e9dd4cd3182_1714466538426.wav,unae mama utetemeka hivyo ee angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo?Hapa kidogo ni yana uafadhali yaliota vizuri na ukuwaji wake yamekua hivyo hivyo tu lakini yana afadhali.Ee kingine ambacho umekipenda?Hamna. moment_3_vegetative_20240417_c1c90828-e630-4330-be91-7e9dd4cd3182_1714466597071.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi hapo unachokichukia?Yameota lakini hayajaota sahihi.Kwanini hayajaota sahihi yanii fafanua hayajaota sahihi kivipi?Mengine hayajaota na ukuaji wake sio ndo vile.Ukuwaji una changamoto gani?Changamoto yake hayakuota kama mengine.Kama mengine yapi yani mnayolimaga au yanaonekana yapi?Ambae ingine ambae yaliyoonekana.Yaliyoonekana wapi?Sigaga amegunu.Haya asante. moment_3_vegetative_20240417_c1c90828-e630-4330-be91-7e9dd4cd3182_1714466649120.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo?Sijakipenda.Kwa nini?Yameota vibaya.Yani hakuna unachokipenda?Aee.MmmhKwa sababu yameota vibaya na ukuwaji wake hayakui yani.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_c1c90828-e630-4330-be91-7e9dd4cd3182_1714466679288.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi nini kinakuchukiza hapa?Yameota vibaya na ukuwaji wake ni mbaya yani hayakui.Sawa kingine ambacho hukipenda?Ndo hivyo hamna nilichokipenda.Sawa asante. moment_3_vegetative_20240417_cab67d3a-b367-4209-b16e-863cb9889f77_1713935351668.wav,nini unapenda kuhusu aina A?.Naipenda kwaajili imeotaa imeota vizuri lakini lakini mingine haijaota. moment_3_vegetative_20240417_cab67d3a-b367-4209-b16e-863cb9889f77_1713935409891.wav,nini usichokipenda kuhusu aina A?. icho nsiko nsichokipenda kwa ajili imeshambuliwa sana na wadudu alafu inachelewa sana kueka maua.kitu kingine ambacho kuhipendi kwenye aina hiyo.kitu hichoo ambayo sikipendii ah afu nimefanya nini apoo usemaji mgumu bana ile ya mimea iliokufa kwamba mimea. moment_3_vegetative_20240417_cab67d3a-b367-4209-b16e-863cb9889f77_1713935794835.wav,"nini unapenda kuhusu aina B?.navipenda kutegemeana na uotaji wake na uvumiliaji wa ukame. mmh.koo vyote navipenda.mmh.mmh.kivipi labda unaweza kueleza vizuri?.mmh napenda kutegemeana na na ukuaji wake uko vizuri.enhe.na naa kunanilia kwake kuko vizuri chini.kufanyaje?.kuu ku ku kuvumilia tu ukame wake ambao wa kwenda chini, maua yake kuko vizuri.aaah.mmh.mmh.mi mwenzio nilipeleka mtoro asaa." moment_3_vegetative_20240417_cab67d3a-b367-4209-b16e-863cb9889f77_1713935822405.wav,nini usichokipenda kuhusu aina B?.aa vyote tu navipenda. moment_3_vegetative_20240417_cab67d3a-b367-4209-b16e-863cb9889f77_1713935991336.wav,nini unapenda kuhusu aina C.C ninapenda kwa ajili imeota yote wala haijashambiliwa na wadudu ko yote imeota vizuri.labda sababu nyingine ambayo ikafanya ukaipenda zaidi.sababu nyingine ya kuipenda zaidi ni kule ambayo inavumilia ukame ko hiyo haina tatizo. moment_3_vegetative_20240417_cab67d3a-b367-4209-b16e-863cb9889f77_1713936012299.wav,nini usichokipenda kuhusu aina C?.aaa C hakuna ambayo kitu nisiokipenda.kwa hio vyote umevipenda.ee vyote nimevipenda.sawa. moment_3_vegetative_20240417_d7dfbe99-5d0f-4d38-b33b-4cc2fca55b23_1714378575112.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?aina A napenda maana ni ngariase inapendwa sana hata mashuleni ndo tunaambiwa tupeleke kwa hiyo watoto wanapenda ili mtoto akila asivimbiwe.kuna kingine?kingineee katika hi hii nanii namba A ee?ndiyonamba A hii katika uotaji hailingani lakini na hizi zingine sa siwezi kujua tatizo ni nini. moment_3_vegetative_20240417_d7dfbe99-5d0f-4d38-b33b-4cc2fca55b23_1714378626048.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.kokweli aina A shoshote ambayo kile sikipendi niii vile uotaji nimeona ni tofauti na hawa wengine hizi zingine zimewahi kuota na zikastawi vizuri lakini ile nyingine kuna sehemu imesuasua sasa sijaelewa tatizo ni nini nandakuta labda nilikuwa sipo mifugo ika hata siwezi kuwaelewa iiila ni bora kwa chakula.sawandiyo. moment_3_vegetative_20240417_d7dfbe99-5d0f-4d38-b33b-4cc2fca55b23_1714378664100.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?aina B ambayo ni soya mviringo soya njano mviringo ni nzuri hata kwa biashara pia kwa chakula na ukuaji wake si mbaya saaana ni mzuri.hivyo tu?ndiyo. moment_3_vegetative_20240417_d7dfbe99-5d0f-4d38-b33b-4cc2fca55b23_1714378705194.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo?aina B ambaye sikipendi inasuasua kukua inasuasua kukua sijui ni hali ya hewa ya nchi hapa sielewi haina ustawi mzuuuri sana kama hii aina ya mwisho.mhh kuna kingine?kingine sina zaidi ya hiyo . Mmh. moment_3_vegetative_20240417_d7dfbe99-5d0f-4d38-b33b-4cc2fca55b23_1714378755803.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo? aina C nimeipenda sana kwa sababu nilivyootesha imeota kwa pamoja ikakua kwa pamoja sasahivi inatoa maua karibu mengi niya aina C ambayo ni rosekoko kwahiyo hata kwa chakula nayo pia ni nzuri sana hata kwa biashara pia ni nzuri sana ndiyo.kuna kingine?kingine labda uwezeshwaji tu hamna wa kuweza kupata mbegu ya kutosha na kilimo ndo hivyo kinasuasua lakini ubora wa mbegu ni nzuri sana. moment_3_vegetative_20240417_d7dfbe99-5d0f-4d38-b33b-4cc2fca55b23_1714378783267.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo?haina shida haina shida wala sijaona chochote kinachoniuzi pale kimenifurahisha yaani nilivyoangalia kati ya hivi vinaniii vitalu vitatu vyenyewe ndo vilifurahisha.sawandio. moment_3_vegetative_20240417_dd18aa85-b51e-4ac0-b0a3-d68d2b75e1ea_1715600284109.wav,"Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyoKetika hii aina A apa kitu ambacho nimetokea kwa naweza sema nakipenda au kuvutiwa nacho hhm cha kwanzaaa kiangalia huu uzai wa maharage yenyewe kwanza jinsi yalivyo yakoo. utofauti ni mengine kwasababu yenyewe uzuri kuenzie kuenzia kwenye majani majani yana majani mapana uzao hhm kwasaabu ndo tunauona kama jinsi ilivyo mauwa yanavyotoka vizu naweza kusema kwamba ni uzao uzao unaeza kua ni sahihi uzao ni mzuri ndomana naweza sema kwamba nayapenda kwahaya,kwa kingine aah katika ukuaji nahisi kwamba unaeza kuwa ni mzuri kwasaabu inavyoendelea kutokaa jinsi ilivyooteshwa mbaka kufikia apo hivi inazidi kuwa sahihi inazidi kuwa zuri na kuvutia zaidi.Sawa." moment_3_vegetative_20240417_dd18aa85-b51e-4ac0-b0a3-d68d2b75e1ea_1715600335728.wav,Angalia aina A na eleza chochote ambacho hupendi kuhusu hiyo.Aaah kitu ambacho spendi kuhusu hii hii apa hhm . sio kwama spendi au nikwamba ni itu .ni mabadiliko ambao yanaweza yakawa sahihi kwa kipindi flani.Mmmh.Ilaaa kwa wakika kwamba ni kitu ipo sahihi so kwamba ina tatizo saaana.Mmh.Labaa tuengalie katika uzao zaidi jinsi inavyoendelea kukua.Sawa.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_dd18aa85-b51e-4ac0-b0a3-d68d2b75e1ea_1715600383989.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho uu unakipenda kuhusu hiyo.Aina B kitu ambacho naweza kusema kwamba nimekipenda ni kwambaaa ni maharage ambayo yako ni ya wastani sio kwamba yanaa funga sanaa au ila so hayana tatizo lolote.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_dd18aa85-b51e-4ac0-b0a3-d68d2b75e1ea_1715600404733.wav,Angalia aina B na eleza chochota unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Cha kwanza ni kwambaaa nahisi kwamba hauna uzao mwingi ambao tafauti na ee anyway lakii na nyingine uzae wake ni kama ume umepungua wastani kidogo.Saaa. moment_3_vegetative_20240417_dd18aa85-b51e-4ac0-b0a3-d68d2b75e1ea_1715600440637.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Ni kwamba tu aah inaonekana kwamba ina majani mazuri nahisi kwambaaa iko majani majani yake yamewastani vizuri na kushambuliwa wadudu kiasi sio sana.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_dd18aa85-b51e-4ac0-b0a3-d68d2b75e1ea_1715600536383.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Aina C ni kwambaaa haina uzao mkubwa japo kwamba inapendeza sanaa lakini uzao wake ni mdogo sana.Saa. moment_3_vegetative_20240417_dee2860f-6d96-4664-a23e-1a7af4e64e75_1713596396295.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?Aina A maharage yapo vizuri yameota vizuri majani yapo vizuri.Hakuna kingine ulichokipenda?Nimependa sana majani yake ni mazuri sana. moment_3_vegetative_20240417_dee2860f-6d96-4664-a23e-1a7af4e64e75_1713596423964.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A?Yapo vizuri sana nimefutiwa sana na majani yake.Una kingine cha kuongezea?Hapana sina. moment_3_vegetative_20240417_dee2860f-6d96-4664-a23e-1a7af4e64e75_1713596438815.wav,Nini unapenda kuhusu aina B?Aina B nayo ni mazuri yameota vizuri tena yametangulia kutoa maua.Hasa wewe umependa nini kwenye aina hii?Aina hii nimeipenda kwa sababu hipo vizuri majani yake nayo yapo vizuri. moment_3_vegetative_20240417_dee2860f-6d96-4664-a23e-1a7af4e64e75_1713596451366.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B?Aina B sijachukia kitu chochote kwa sababu yapo vizuri. moment_3_vegetative_20240417_dee2860f-6d96-4664-a23e-1a7af4e64e75_1713596467332.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?Aina C sijapenda kitu chochote kwa sababu yani haujaota vizuri. moment_3_vegetative_20240417_dee2860f-6d96-4664-a23e-1a7af4e64e75_1713596482216.wav,Nini usichopenda kuhusu aina C?Aina C yamearibiwa sana na magonjwa.Umejuaje kwamba majani yamearibiwa na ugonjwa?Yanaoneka yana rangi ya njano.Una kingine cha kuongezea?Hapana sina. moment_3_vegetative_20240417_e4ab625c-a78c-4a2e-8b2d-8e4ee2d96eeb_1719644202507.wav,"na A, mmh, na eleza chochote unachokiona ambacho unapenda kuhusu hio. sasa aina A nimeipenda naonaa inaenda na hii arzi ya kwetu, mmh, lakini aina A aijajua na hatujaoteshaga nijue kwamba ina biashara huku au haitakua na biashara, lakini kwa kweli naona inaenda vizuri, ndio. na naona itakua na mafanikio, mmh, sasa ndio tumekuambiaje mmh. ikiwa ni hivyo, mmh mtatuangalia jinsi tunavyotunza hivi vitu kwa sababu hivi vitu tunavitunza sana sio kwamba tunaacha huku hukuu msituni tulivyootesha, mmh. kwa hio naonaa A ni marage mazuri yanaenda naa unajuaje ni marage mazuri kwa kuangalia? nmeangalia kwa sababu ni naesabu siku ambazo tumeotesha apaa ndio. kwahioo inaenda vizuri. Kwa sababu nmekuambia inaenda vizurii, mmh. apa naona ntapata apo faidaa na hii itanletea mbegu ili mbegu yake nisambaze tena kuotesha kwenye mashamba mengine." moment_3_vegetative_20240417_e4ab625c-a78c-4a2e-8b2d-8e4ee2d96eeb_1719644225277.wav,"angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio. aina A, mmh, sijaona aina kasoro kabisa ila aina A inapendwa na huyu mdudu ambaye mnyamya anaitwa kipipa ndio sababu amemaliza apa. aah sawa eeh." moment_3_vegetative_20240417_e4ab625c-a78c-4a2e-8b2d-8e4ee2d96eeb_1719644260431.wav,"angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio. aina B naona hali ya apa sijaipenda sana, kwa sababu naona yani naona mwelekeo wake sio mwenendo ambao utanipa faida apa kwenye aina B. ukiangalia hamna kinachokuvutia? hamna kinachonivutia kwenye B apa. sawa sawa." moment_3_vegetative_20240417_e4ab625c-a78c-4a2e-8b2d-8e4ee2d96eeb_1719644339792.wav,"angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio. aina B inakua na ugonjwa fulani hivii, ilee inaitwa nini kausha, yani ile kausha ikishapata maharage kabisa hapo hamna mavuno tena, mmh. si unaona kama apo iyo njano, hio imeshapata ugonjwa fulani hivi ambayo tunaijua kabisa na hii njano tunaoona kwenye mstari wa ngapi? tunaona kwenye mstari waa mwisho, wa kwanza kutoka B alafu na wanne huku, mmh. eeh. saawa sawa. eh lakini wa katikati naa hizi miwili za katikati zinaenda vizuri. sawa. mmh. Lakin pia aina B, ndio. imekuja kushambuliwa tena na mnyama, si unaona mnyama amekata apa na apa amekata hivi, mmh. si unaona kwahio amependwa sana na huyu mnyama. mmh. lakini sisi kama wakulima, huyu mnyama hatumwachiagi nafasi tunamsibiti ndo ndio sababu umekuta haya maharage yapo apa. sawa sawa. eeh hatukufanya uzembe kwa sababu si unaona kuna mazao menginee, ndio. kwa sababu hata mboga inakulaga, aah. mmh sio maharage tu, ata mboga inakulaga. sawa sawa. eeh." moment_3_vegetative_20240417_e4ab625c-a78c-4a2e-8b2d-8e4ee2d96eeb_1719644394167.wav,"angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio. ainanC nimeipenda, kwanza inaenda vizuri, ndio. kwanza inanipa motisha ya kuitunza ndio. kwanza naona mwelekeo wake apo mwishoni itakuja kunipa faida kwa sababu, mh, faida yake nimeipenda ivii hii mbegu ikizaa vizuri ukivuna vizuri, ina faida ya bei, nini kinachokuonesha kwamba imeenda vizuri? naona mwelekeo wake jinsi mauwa yametoa vizuri, ndio. na kuchangamka vizuri kwahio apa naona haitaniangusha, kwa hio ntakua na faida mwi mwishoni. sawa sawa. mmh." moment_3_vegetative_20240417_e4ab625c-a78c-4a2e-8b2d-8e4ee2d96eeb_1719644493532.wav,"angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio. eeh aina C nmeona imemaliza mstari mzima imebakisha mm nanii shina moja tu mwishoni na lingine pale mwishoni pale lakini yote mstari huyo mnyama kipipa ndo kafyeka lakini tumeshamzibiti na wameshakufa wengi na ndio sababu unaendelea kuona haya maharage hapa shambani kwa sababu ukiya ukimwachia nafasi huyo mnyama C ndio. hata haya mauwa hukutii, nakula anakulaga mpaka mauwa, kwa sababu tunaendelea na kilimo vingine huku ni mahindi marahe kwahio sasa hivi ndo tuko kwenye mm mchakato kumaliza hivi vipipa kwahio tukija kuotesha mahindi hukioni tena. sawa sawa. kwa hio na sisi hata wakulima inatakiwa utuangalie saba kwa sababu unakuja unakuta shamba lako ni lisafii, ndio. sio kwamba napoteza muda wangu apa nakuja kulimia limia huku na kung'olea majanii si unaona jinsi palivyo pazuri, ndio. kwa hio ukija tena kama huna chochote mkononi hata cha kufurahisha wakulima ndio. ukinipigia cm mama nakuja, nakuambia mi sipo kwa sababu naona ni kazi bure na ardhi yangu umemaliza apa ungekuta naotesha mboga hapa kunaa maximum ya kuotesha mboga unachuma mboga roba nzima apa inaa maana inatakiwa na mimi unilinde hata wakati mnakuja na mchakato wa vitu vingine niko tayari kuhamasisha na watu wengine niwaambie kile kitu kina faida jamani sawa sawa. eeh." moment_3_vegetative_20240417_e81b65ed-bf9d-4155-a5df-3d2ea9d3f3e3_1719481004499.wav,nini unapenda kuhusu aina A? Anayapenda kuna wakati kama ni porii so kama mazingira haya ya kwetu yanakujaa mengi yanazaa kwa wingi alafuu yanachukua muda mfupi kuu eeh kupata mazao yake. sawa. ndio. moment_3_vegetative_20240417_e81b65ed-bf9d-4155-a5df-3d2ea9d3f3e3_1719481085595.wav,"nini usichopenda kuhusu aina A? Hakuna ambacho sipendi kutokanaa yote ni marage na yote nayalika, kwa hioo nayapenda pia. sawa. mh ndio." moment_3_vegetative_20240417_e81b65ed-bf9d-4155-a5df-3d2ea9d3f3e3_1719481121785.wav,"nini unapenda kuhusu aina B? aina B nayapenda kwa sababu ni ya muda mfupi, pia huwaga yanazaa vizuri na kukomaa kwa wakati. sawa, eeh." moment_3_vegetative_20240417_e81b65ed-bf9d-4155-a5df-3d2ea9d3f3e3_1719481139880.wav,nini usichopenda kuhusu aina B? Hakuna kitu ambao sikupenda kati katika aina B kwa sababu yanalika kwa ugali kwa ndizi kwa kila kitu. sawa. eeh. moment_3_vegetative_20240417_e81b65ed-bf9d-4155-a5df-3d2ea9d3f3e3_1719481165360.wav,"nini unapenda kuhusu aina C? Aina C pia nayapenda ni kamaa rosekoku, ni kamaa soya yanakomaa kwa wakati mfupi na kuzaa mazao yake kwa haraka. sawa. ndio." moment_3_vegetative_20240417_e81b65ed-bf9d-4155-a5df-3d2ea9d3f3e3_1719481217700.wav,"nini usichopenda kuhusu aina C? aah Ni mazuri hakuna kutu ambacho sipendi apa shambani, na kuyaangalia kwenye mazao jinsi yanavyotoa yanatoa vizuri. sawa. ndio." moment_3_vegetative_20240417_ee2db739-6057-4c7b-9878-9b1fc6619582_1714131915336.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina A.Mimi eeh namba aa aina A naipenda kutokana na mbegu ambayo.Mmmh.Ni sahihi yenye mavu mzazi itakuwa ni mzuri.Eeeh.Na itakuwa na soko zuri.Eeeh. moment_3_vegetative_20240417_ee2db739-6057-4c7b-9878-9b1fc6619582_1714131935780.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina A.Katika macho yangu naonaaa kabla sijajua huko mbeleni lakini naona vyoote vinanifaa au na yaani kwa jumla na na napenda. moment_3_vegetative_20240417_ee2db739-6057-4c7b-9878-9b1fc6619582_1714131965709.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hii.Eeeh aina B mbegu hii nimeipendaaa kutokana na kwanza ina sokooo.Mmmh.Pili hata ulaji wake ni bora.Mmmh.Kwenye aina B.Mmh. moment_3_vegetative_20240417_ee2db739-6057-4c7b-9878-9b1fc6619582_1714131984450.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina B.Chochot sinaaa sinaaa nlichokiona sikipendinaki najipend aina B naipenda.Aaah. moment_3_vegetative_20240417_ee2db739-6057-4c7b-9878-9b1fc6619582_1714132043758.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo.Eee ain aina C naipenda uzazi wake takuwa ni mzuri zaidi kwenyeee mbegu hii. moment_3_vegetative_20240417_ee2db739-6057-4c7b-9878-9b1fc6619582_1714132089230.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina C.Aina C nsiipendi kwasaabu inashambuliwa na wadudu.Eeeeh.Eeeh ndio tatizo lake mbegu hii naona inashambuliwa sana na waduduuu.Mmmh.Ndio maana ake ndio maana na na na siipendi zaidi maana inaeza ku.hasari baadae.Mmmh.Kwenye uzalishaji. moment_3_vegetative_20240417_ee62bcd5-1a2b-45c5-a24d-9908f309d687_1713680804542.wav,"nini unapenda kuhusu aina A?.aina A napenda kwasababu imeota vizuri kitu cha kwanza kwa asilimia kubwa lakini kitu ambacho nakipenda ukuaji wake inaendelea kukua vizuri na inapendeza pia hicho kinanifurahisha .una sababu zozote za kuipenda aina hii ya mbegu .naipenda kwasababu ukuaji wake uko vizuri ,inaendelea kupambana inajaribu kuvumilia kidogo na hali ya hewa lakini japo kwa asilimia chache imejaribu kuathirika lakini bado naendelea kuipenda .unaweza ukaelezea zaidi au umeishia hapo .aa kwa katika aina A ya maharage naishia hapo sina maelezo zaidi." moment_3_vegetative_20240417_ee62bcd5-1a2b-45c5-a24d-9908f309d687_1713680885463.wav,nini usichopenda kuhusu aina A.kitu ambacho sijakipenda katika aina A ni kwamba aina hii inaonesha dalili ya kwamba inaathiriwa na magonjwa .umejuaje kwamba aa maharage yameathiriwa na magonjwa. aina hii nimeitambua kwasababu ukitazama vizui utaona baadhi ya majani kama yanakatwa na wadudu lakini kitungine maharage ukiangalia majani yake yameanza kubadilika rangi yanaonesha rangi ya njano ikiashiria kwamba huo ni ugonjwa ambayo aina hii A imeanza kuathiriwa .unaweza kuelezea zaidi.hapana nimeishia hapo. moment_3_vegetative_20240417_ee62bcd5-1a2b-45c5-a24d-9908f309d687_1713680959834.wav,nini unapenda kuhusu aina B.katika aina B kitu ambacho nakipenda kwamba haya maharage katika ukuaji wake yanaendelea kukua vizuri na yametoa maua mengi sana kwa mda mfupi kwahiyo ndicho kitu ambacho kinanisababisha niweze kuipenda hii aina B ya maharage .hasa wewe umependa nini kwenye aina hii ya mbegu .aina hii ya mbegu kitu ambacho kimenifurahisha zaidi ni kwamba ina maua mengi ukilinganisha na aina A aina A maua yake ni machache lakini aina B maua yake ni mengi zaidi kwahiyo hicho ndicho kilichonifurahisha zaidi. moment_3_vegetative_20240417_ee62bcd5-1a2b-45c5-a24d-9908f309d687_1713681048696.wav,nini usichopenda kuhusu aina B.aina B kitu ambacho sijakipenda ni kwamba katika swala zima la uotaji wa mbegu baadhi ya mbegu hazikuota kabisa kwahiyo hicho ndiyo kitu ambacho sijakipenda katika aina hii lakini kitu cha pili ambacho sijakipenda ni kwamba aina hii ya maharage inaathiriwa na magonjwa kwa kiasi fulani. hasa wewe umechukia nini kwenye aina hii .aina hii kitu ambacho nimekichukia zaidi ni ugonjwa ambao baadhi ya ma baadhi ya mbegu zimeanza kuathirika ukiangalia hapa mashina mengine kama yananyauka mengine ukiangalia kama yanakatwa na wadudu na changamoto nyingine kitu ambacho nimekichukia ni kwamba mbegu hazikuota maana matarajio yangu nilikuwa natazamia mbegu zote ziote lakini nyingine hazijaota kwahiyo hicho ni kitu ambacho sijakipenda katika aina hii.una kingine cha kuongezea.hapa nimeishia hapo sina kingine cha kuongezea. moment_3_vegetative_20240417_ee62bcd5-1a2b-45c5-a24d-9908f309d687_1713681143317.wav,nini unapenda kuhusu aina C?.aina C ya maharage naipenda zaidi kwasababu tatu sababu ya kwanza katika uotaji ee imeota vizuri kwa asilimia kubwa mbegu zote ziliota lakini sifa ya pili inayosababisha aina C niweze kuipenda katika ukuwaji inaendelea kuota vizuri na inapendeza sana lakini sifa ya tatu ambayo nimeipendea hii aina C ya maharage ni kwamba hayaathiriwi na magonjwa yanaendelea kupambana japo kuna changamoto ya hali ya hewa sio nzuri lakini yenyewe yanaendelea kupambana tu yako vizuri kwahiyo hizo ndizo sababu zilizosababisha niweze kuipenda sana hii aina C. moment_3_vegetative_20240417_ee62bcd5-1a2b-45c5-a24d-9908f309d687_1713681211460.wav,angalia aina C na eleza chochote ambacho hukipendi.katika aina C hakuna kitu chochote ambacho sikipendi au ninchokichukia kwani aina C bado inafanya vizuri na inaendelea kuwa na afya nzuri kwahiyo hakuna kitu chochote ambacho ninakichukia katika hii aina C ya maharage.na kingine la kuongezea .hapana nimeishia hapo. moment_3_vegetative_4a82feaf-3bc6-4200-b973-29517cf784f3_1718012170852.wav,sasa unaweza kunielezeandiyokuhusiana naa en naaa eneo Andiyoambacho umekipenda kwenye eneo A?kwenye Ammhsijapenda chochote naona kidogo inasuasuandiyoeeh naona kwenye eneo Bmmheeh. moment_3_vegetative_4a82feaf-3bc6-4200-b973-29517cf784f3_1718012229840.wav,ok baba unaona kenye eneo A ni kitu gani ambacho haukipeni kabisa?kitu ambacho sikukipenda kabisaaammhnaona kwenye eneo A hayaendi vizuri kama yanavyotakiwakingine?kingineee ambachooohaukipendisikukipenda sanaaa naona hata kuchangamka kwakeee sijaona kabisa uzuri wake.anhaa sawasawa kuna cha kuongezea?sina cha kuongezea hapook. moment_3_vegetative_4a82feaf-3bc6-4200-b973-29517cf784f3_1718012260150.wav,ok unaweza kunielezea kitu ambacho umekipenda kwenye eneo B?ee kwenye eneo B nachokipenda kidogo naona yanachangamkaaandiyolakini katika utoaji wake wa matunda sioni kamaa yanaenda vizuriahaalakini kwa majani yanachangamka vizurionoomatunda ukiwa unamaanisha?maua utoaji wake wa mauaahaaandiyosawasawa kuna kingine?hapana. moment_3_vegetative_4a82feaf-3bc6-4200-b973-29517cf784f3_1718012287613.wav,naomba tena unielezee ambacho ujakipenda kwenye eneo lako B?ambacho sijakipenda kabisa kwenye eneo B?mmhnaona ile hali ya ukijani vizuri haionyeshi vizuri kabisaaa kama inavyoonyesha kwenye ma maeneo mengine.sawasawa.ndiyo.mmhuu kingine kwenye eneo B ambacho hupendi?sina kingine.ndo hicho tu eeh?ndo hicho tu.aaok. moment_3_vegetative_4a82feaf-3bc6-4200-b973-29517cf784f3_1718012326385.wav,ok unaweza kunisaidia kuniambia kwenyeee eneo hili C kitu gani ambacho unakiipenda sana?yaani kwenye eneo Cmmhkwanza nilichokipendammhkwanzia uotaji wake yameota vizuriiimmhpaka sasahivi yanaendelea vizuriiimmhyana ukijani wa kutoshaammhna yana chakula cha kutosha yaani watoto wamejaa vizuriimmhsasa nataka tuangalie hapo kwenye matunda utoaji wa matunda itakuwejesafi sana kinginee?kingineeeulichokipendanilichokipendammhukijani wake yana kijani kinachoridhishasawa haaya. moment_3_vegetative_4a82feaf-3bc6-4200-b973-29517cf784f3_1718012343342.wav,ok ain aina C ni kitu gani ambacho hujakipenda kabisa?kwenye aina C kwakweli nikisema hakuna nisichokipenda ntakuwa nimejidanganya hapo kwa ujumla vyote viko vizuri.aaahndiyosantee. moment_3_vegetative_6cb8fbdd-d5f7-48a8-9431-41ed79d7e0c7_1714401776527.wav,nini unapenda kuhusu aina A?hapa aina A nimependa mimi kitalu changu hiki A kiko vizuri sijaona kasoro yake ila ilikuwa nataka nipige dawa .dawa gani?dawa yaaa kulinda ile mmm iki itakavyolete ile nanii yake ileee ile ya kulete maharage ili.ili mdudu asiingie kwahivyo naona kiko vizuri sijakichukia iko vizuri. moment_3_vegetative_6cb8fbdd-d5f7-48a8-9431-41ed79d7e0c7_1714401869886.wav,nini usichopenda kuhusu aina A? anegei A pale kuna maharage hayakuota pale mwisho pale kwenye kitalu changu kama maharage kama mashimo maaatatu hiyo tu ndiyo nilichukia kwanini hayakuota kama yalivyo tulivyokuwa tumeotesha. moment_3_vegetative_6cb8fbdd-d5f7-48a8-9431-41ed79d7e0c7_1714401939154.wav,nini unapenda kuhusu aina B? aina B naona iko sawa haijalete shidaaa hata maua yake yako vizuri na ninapoiyangalia yananipendeza maana mara kwa mara huwa nashuulikia nijue ni nini hapo kuna shida gani kwahiyo sijaona shida yoyote kwenye hiki kitalo B. moment_3_vegetative_6cb8fbdd-d5f7-48a8-9431-41ed79d7e0c7_1714402000041.wav,nini usichopenda kuhusu aina B? aina B sijaona kosa lolote nitakalolichukia iko vizuri maana najua kwamba nilirudishia udongo nikaja nikapita hapo na dawa ya kuchoma majani ili isilete magugu kwahivyo sijaona tatizo lake lolote. moment_3_vegetative_6cb8fbdd-d5f7-48a8-9431-41ed79d7e0c7_1714402103234.wav,nini unapenda kuhusu aina C? aina C napenda maana imeleta maua mengi yanayonipendeza sijaona kasoro yake. moment_3_vegetative_6cb8fbdd-d5f7-48a8-9431-41ed79d7e0c7_1714402153617.wav,nini usichopenda kuhusu aina c? aina C nilichokichukia ni kwasababu inavyobeba maua ake naona chini yake majani mekundumekundu nikasema hiyo lazima niitafutie dawa mpaka nijihakikishie hiyo CBD nimeitoa. moment_3_vegetative_6dcec13f-6fdc-426f-af76-8869900e5990_1714819368543.wav,mmh ukiangalia kitalu A.Mmm.Wewe unaweza ukaniii elezea chochote ambacho unakipenda kutoka kwenye aina iii.A eee nakipenda kweli kwasabu kwanza malage yale yanaota vizuli.Mmm.Eeee yanaota vizuli mbbegu yake ni nzuli.Unavosema yanaota vizuli unaenza ukanielezea uwo uzuli wake we umeuona kwenye nini.Nimeona kwasabu kwenye kupanda pale kwenye mistali.Mmm.Kila punje imeota.Mmm.Eeee kwaiyo kila punje imeota kwaiyo A kidogo iko vizuli.Mmm.Eeee.Na kingine labda ambacho unaweza ukaongeza labda kusiana na iyoiyo aina kwenye uzuli uwo ambao umeusemea.Uzuli.Mmm.Uzuli asa sijajua baadae lakini kwenye muonekano tuwaa majani yanaonekana yako vizuli saa sijajua kwenye uupatikanaji wa kiii badae mazao hayo.Aaa saa. moment_3_vegetative_6dcec13f-6fdc-426f-af76-8869900e5990_1714819393049.wav,Mmmh ukiangalia ichoicho kitalu toka ulivoanza kuuu hudumia toka tilivo panda unaeza ukaniambia kitu ambacho ukipendi kutoka kwenye aina A.Kwenye aina A.Mmm.Dukaniii aaa kule niseme hakuii na navipenda vyote mbona hakuna ugumu sana.Mm aaa saa. moment_3_vegetative_6dcec13f-6fdc-426f-af76-8869900e5990_1714819451818.wav,Aaa ukiangalia tuamietu asa tunaamia B ukiangalia kitalu B unaweza ukanielezea au ukaniambia kitu chochote ambacho unakipenda kutoka kwenye aina iyo toka ulivoanza kuudumia.B ni nzuli lakini sio nzuli kwasabu . uwotaji wake wenyewe kwanza inaota kwa shida . Kwaiyo kidogo haileti picha nzuli.Uuu nasema unavosema inaota kwa shida unaaa maanisha nini.Namaanisha kwasabu gani kuna punje zile tumedondosha moja moja lakini unakuta kunaaaa kipande ki space kikubwa hakijaota.Mmm.Eeee.We unaweza ukafikii iyo labda imetokana na nini labda kwanini mbegu nyengine asijaota.Saa sijajua katika uzalishaji kule walivo tengeneza lakini ukipiga maesabu mi nimepanda mbegu tu lakini nimeona icho kitalu B.Aaaa.Ma mafanikio sio mazuli sana.Saaa . moment_3_vegetative_6dcec13f-6fdc-426f-af76-8869900e5990_1714819475380.wav,Mmmh kitalu ichoicho B iyoiyo aina B unaweza ukaniambia kitu ambacho hukipendi.Sikipendi ni sawa mbona haioti vizuli kwaiyo kile kitalu mimi mbegu sijainaniii sana kwasabu aijaota vizuli saa nitaipendaje. moment_3_vegetative_6dcec13f-6fdc-426f-af76-8869900e5990_1714819550455.wav,Mmmh ukiangalia aina C.Mmm.Wewe unaweza ukaniambia pia kitu chochote unacho kipenda kutoka kwenye aina C.C ni zuli nayo nimeiona ila uotaji inachelewa kwa mda kidogo.Mmm.Lakini kidogo ilivo ota saa ivi ni zuli alafu inavumilia ataa.Mmm.Ukame kidogo naona iko vizuli.Mmmmh.Eeee.Naa unavosema ilichelewa chelewa kuota unaeza ukanielezea zaidi.Imechelewa kuota japo imeota nayo sio kama kitalu A.Mmm.Kitalu A imeota yote.Mmm.Lakini yenyee imeota lakini kidogo.Mmm.Baada ya kuota.Mmm.Mwishoni naona kidogo ni nzuri japo imepanda sana juu lakini mbona naona inalete picha nzuli kwaiyo nayo ni nzuli.Mmm sawa unaposema japo imepanda juu kidogo unaaaaa weza ukanielezea kidogo mana kama umetia mashakaa kidogo.Nimetia mashaka kwasabu sisi atujazoea malage ya kupanda juu aza naona kidogo iii imepanda juu tumezoea kawaida tu lakini iii naona imepanda juu. moment_3_vegetative_6dcec13f-6fdc-426f-af76-8869900e5990_1714819573145.wav,Mmmh ukiangalia iyoiyo aina C unaeza ukaniambia kitu ambacho hukipendi kutoka ii.Ainaaa C nilikuwa siipendi kwasabu yani nilikuwa sijaipenda.Mmmh.Kwasabu ilichelewa kuota nikajua kabisa apa kuna changamoto.Mmm.Lakini baada ya kuota nikaipenda mwishoni.Aaa sawa.Mmm. moment_3_vegetative_750c9c8b-7ae4-4972-a284-a1a63487b286_1712643675103.wav,angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo?aina A ninacho kipenda ni kwamba majani yake ni mazuri sio mabaya sana ila uwotaji wake ilikua ni shida.ahaa nashukuru kuhusu aina A kwa ambacho unakipenda. moment_3_vegetative_750c9c8b-7ae4-4972-a284-a1a63487b286_1712643757800.wav,"angalia aina A na elezea chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo?aina A sipendi kwasababu haijaota vizuri, kwa jinsi nilivyo panina nimepanda uotaji wake sio mzuri sawa sawa nashukuru sana" moment_3_vegetative_750c9c8b-7ae4-4972-a284-a1a63487b286_1712643844380.wav,"angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?aina B nimependa kwasababu majani yake ni mapana, pia uotaji wake ni mzuri umenifurahisha.ukisema kwamba uotaji wake umekuwa mzuri unakua unamaanisha labda tuseme kitu gani?maana yake imeota haija potea ila wadudu ndo waliharibu.sawa sawa , nashukuru sana." moment_3_vegetative_750c9c8b-7ae4-4972-a284-a1a63487b286_1712644003361.wav,"angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?aina B kitu ambacho nimekiona hakinipendezi ni kwamba wadudu walishambulia kwahiyo waliniharibia sana wadudu ndo kitu ambacho nimekichukia.unaweza kuelezea kidogo kuhusu labda hao wadudu ambao wameshambulia katika aina B? ni wadudu ambao wanakata, yani katika uotaji wake ilivyokua inaota imemea wakaanza kui kukata kwahiyo sijajua ni wadudu wa aina gani. walikua wana wanakata maeneo gani katika shina la maharage? wanakata shingo ya maharage katika ile kuota wanakata kwenye shingo.na baada ya wao wadudu kuanza kukata, ulichukua hatua yoyote ya kuweza ku ku kuistahimilisha mashina haya ya maharage, ndiyo niliwai kupiga dawa nivyokuja kuiangalia kwamba imeliwa, ikabidi nikadamka nikaanza kupiga dawa. sawa sawa nashukuru." moment_3_vegetative_750c9c8b-7ae4-4972-a284-a1a63487b286_1712644112105.wav,"angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo?aina C kitu nilicho kipenda nikwamba nani, majani yake yamekuwa mapana na inapendeza.ukisema kuhusu majani mapana yani unamaanisha kwamba yani unielezee kidogo kuhusu unavyoelewa kuhusu majani mapana ukiwa unamaanisha kuhusu kusema majani mapana? yani majani yake yame yame stawi vizuri. na unaweza pia kuelezea kitu kingine ambacho unakipenda ambacho unakiona kwenye hii aina C? aina C kitu ninacho kipenda ni kwamba maua pia yamejionyesha vizuri, mapema.sawa nashukuru sana." moment_3_vegetative_750c9c8b-7ae4-4972-a284-a1a63487b286_1712644160343.wav,"angalia aina C na elezea chochote unachokiona na ambacho hukipendi kuhusu hiyo?aina C kitu ambacho sikipendi ni kwamba wadudu walishambulia, ni kama nilivyoelezea kuhusu aina B kwamba ilivyofika tu imeota wadudu wakaanza kuishambulia. na kuna kingine ambacho hukipendi zaidi kwenye aina C? hakuna kitu ambacho sikipendi. sawa sawa nashukuru." moment_3_vegetative_9f6a8be3-1895-417b-8e59-572d265b3157_1715154217985.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unapenda kuusu hiyo.Aina aina A ina majani mengi na mauwa naa na mauwa.Unamaanisha nini unavosema inamajani mengi na mauwa.Maana masha shambani kwangu inakubali.je! Kuna kitu kingine chochote unachokipenda kuusu aina hii.a a.Asante. moment_3_vegetative_9f6a8be3-1895-417b-8e59-572d265b3157_1715154412337.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu hiyoHapana nnacho kichukia.Aante. moment_3_vegetative_9f6a8be3-1895-417b-8e59-572d265b3157_1715154679450.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu hiyo.Ina majani mazuri pia ina inam inam ina mauwa lakini inaliwa na wadudu.Unamaanisha nini ukisema ina majani mazuri.Majani yake ni marefu ni mazuri.je kuna kitu kingine chochote unacho kipenda kuusu aina hii.Hapana.Asante. moment_3_vegetative_9f6a8be3-1895-417b-8e59-572d265b3157_1715154790445.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho pendi kuusu hiyo.Majani yake inashambuliwa na wadudu.Unajuaje kuwa aina ii majani yake yanaathiriwa na wadudu.Imegongwa na wadudu.je! Kuna kitu kingine chochote unacho kichukia kuusu aina hii.Hapana.Asante. moment_3_vegetative_9f6a8be3-1895-417b-8e59-572d265b3157_1715155030370.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu hiyoAina C ina majani mazuri na mauwa yake imetangulia kutoka.Unamaanisha nini unavosema ina majani mazuri.Ina majani mazuri lakini wakati wa kutoka ina mauwa yake mazuri.Asante. moment_3_vegetative_9f6a8be3-1895-417b-8e59-572d265b3157_1715155085706.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuuu hiyo.Aina C wakati wa kuota imeota moja moja.unamaanisha nini ukisema wakati wa kuota imeota moja moja m m.Mana ake haina mauwa mazuli sasa baadae.je! Kuna kitu kingine chochote unacho kichukia kuusu aina hii.Hapana.Asante. moment_3_vegetative_a691c66c-736b-41e4-99ea-03eae8af5813_1714113299410.wav,"aah nini unapenda kuhusu aina A?Aina A hii mimi naipendea kwaajili hii aina kwanza soko lake ni zurii ina bei nzuri, piaa hata uzaaji wake sio mbaya sana eeh na unapoivuna nii ni rahisi sana kupata soko zuri palepale mwanzoni kwenye mavuno hata bila ata kusema niifadhi kwanza palepale mwazoni ina soko zuri katika biashara.okay sawa, kingine labda zaidi?aah kingine zaidi ni kwamba hii mbegu pia ni ubora hata mwonekano wake ukiiona hata kama unakwenda sokoni mtu akiiona inamvutia hata kununua." moment_3_vegetative_a691c66c-736b-41e4-99ea-03eae8af5813_1714113342776.wav,ah nini usichokipenda kuhusu aina A?aah aina A changamoto yake hi nilioiona ni kwamba inakua ni ninye nyepesi sana kupokea magonjwamh.eh kwa maana unatakiwa unapoipanda uwe ujiandae na viwatilifu.mmh. ili ku kudhibiti wadudu waharibifu ndio changamoto yake tu kubwa niliyoiona lakini kwa upande mwingine haina shida.sawa asante. moment_3_vegetative_a691c66c-736b-41e4-99ea-03eae8af5813_1714113393297.wav,nini unapenda kuhusu aina B?Aah aina B ninachoipendea kwanza yenyewe katika uzaaji wake inazaa sana inatoa mavuno mengi eeeh hata katika maua inatoa maua mengii inaza vizuri inakua anaa hata kwenye mavuno ina ujazo mwingi kwa ajili inatoa maua mengi.sawa. moment_3_vegetative_a691c66c-736b-41e4-99ea-03eae8af5813_1714113422690.wav,nini usichokipenda kuhusu aina B?Aah aina B kwa ujumla haina changamoto saana kwa ajili kidogo yenyewe kwenye magonjwa ina ustamilivu kidogomh.naa kwa kweli iko vizuri iko vizurii haina changamoto ntingi za kutishaa ni za kawaida tu lakini haina changamoto nyingi ambazo ni mbaya kwa ujumla ni nzuri. moment_3_vegetative_a691c66c-736b-41e4-99ea-03eae8af5813_1714113462492.wav,"ah ni nini unapenda kuhusu aina C?ah aina C pia ni bora inastahimili ukame eeh na pia nayo ina uzaaji mzuri pia kwenye mavuno nayo kupata soko ni rahisi kwaajili ata kiwa kwenye vifungashio mtu anaipenda ata akiiona kwa macho, kwahio ni nzuri kibiashara na pia na kwenye kilimo ni nzuri inastahimili kidogo ukame, na magonjwa kkidogo ina stahimili magonjwa." moment_3_vegetative_a691c66c-736b-41e4-99ea-03eae8af5813_1714113503085.wav,"nini usichokipenda hukusu aina C?Aah aina C haina changamoto sanaa nayo nii mbegu tu nzuri ni ya kawaida, ni kwamba tu hizi mbegu unapokua unaziandaa, ni bora ukiandaa mbegu pia uwe na kuandaa viwatilifu kwa ajili ya tahazari pia haina shida katika uzaaji kwa ujumla ni nzuri." moment_3_vegetative_a85af22b-fac6-4b23-b168-69cac752cb71_1713257324297.wav,"Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Hii mbegu kitu ambacho ninakipenda ni kwamba ina pacha shina moja unakuta lina pacha, pacha zaidi ya moja alafu kwa hali halisi inavyoosha kwa kadiri tutakavyo endelea mbele lazma itakua naa mazao mengi ingawa itakua shina moja lakini litaleta mazao eeh maharage mengi mengi kidogo.Kingine ambacho unakiona unakipenda hapa kitu gani?Ninacho kipenda aah kwa sababu tuliyapenda tuliyapanda mapema zaidi inaonyesha yanavumilia hali ya hewa lakini kama yasingekua yanavumilia hali ya hewa basi yangekua yameharibika.Hasa wewe kwenye aina hii ya mbegu umependa nini?Nilichokipenda katika aina hii ya mbegu, hali yake jinsi inavyo inavyonenepa inakwenda vizuri, ina pacha, inavumilia uvumilivu upo inavyoonyesha.Unaweza ukaongezea kitu chochote kwenye aina hii ya mbegu?Kwenye aina hii ya mbegu kitu ambacho nakiona kitu kingine majani yake yanaonekana yana ukijana mzuri sana kwa hivyo kwa kawaida ya kwetu sisi huwa tunapenda mboga za majani ya maharage na haya yanaweza yakawa burudani pia.Ulivyo sema burudani pia unamaanisha nini?Nina maanisha kwamba ni mboga pendwa ndio ni ninamaana na nasema burudani kwamba watu wataikimbilia hata hivyo tunafanya kuzuiazuia watu wengine wanasema kwamba tunataka tuchume majani ya maharage lakini tunasema aaah, yale hayaguswi, mwiko." moment_3_vegetative_a85af22b-fac6-4b23-b168-69cac752cb71_1713257379938.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?Haaakana niseme ukweli kwenye eneo ili la A hakuna ambacho nasema sikipendi maana mambo yanaendelea vizuri isipokua hali ya hewa ndio inatutinga kidogo mvua inapozidi kidogo kunakua na hali tatanishi kidogo. moment_3_vegetative_a85af22b-fac6-4b23-b168-69cac752cb71_1713257540864.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Aaah kuhusu mbegu hii ninachokipenda ni kwamba na yenyewe ina pacha ina matawi kama vile ilivyokua aina B aina A lakini kingine pia ninachokipenda kidogo ina wepesi maana ta sasa tayari imeanza kutoa maua.Una kitu kingine ambacho umekipenda zaidi ya hivyo?Kitu kingine ambacho ninakipenda inajitahidi kuvumilia inavumilia hali ya hewa sababu hali ya hewa kwa sasa hivi sirafiki maana tangu tulipo panda mvua imeemdelea kunyesha mpaka leo hii lakini maharage yanaonekana yako salama. moment_3_vegetative_a85af22b-fac6-4b23-b168-69cac752cb71_1713257568137.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?Aaah kwa kweli hakuna. moment_3_vegetative_a85af22b-fac6-4b23-b168-69cac752cb71_1713257682727.wav,"Angalia aina C na eleza chochote ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Aaah nimekipenda kwa sababu haya maharage yanaonekana yana nguvu, aaa nayo yanawepesi wa kutoa maua lakini pia yana pacha kama vile maharage mengine, eee kwa namna hiyo kwa sababu yanaonekana ni manene tena hali yake ya afya yanaonekana na unene kidogo.Je una sababu zozote za kuipenda aina hii ya mbegu?Eee zipo kwa sababu nilivyokua nimepanda kwanza ilikua maharage yenyewe manene na rangi yake inavutia kwa namna hiyo sababu hizo zinafanya niipende hii mbegu.Una kingine cha kuongezea au umeishia hapo?Aaa nimeishia hapo." moment_3_vegetative_a85af22b-fac6-4b23-b168-69cac752cb71_1713257807094.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi?Kwa aina C kitu ambacho nimekiona ni kwamba imeshindwa kuvumilia hali ya hewa kwa sanbabu baadhi ya maharage yaa yamebabuka yani yameshindwa kuvumilia hali ya hewa yameungua kwa hivyi ni hicho tu lakini ni hali ya hewa naamini hivyo. moment_3_vegetative_af6ad00e-63fc-413d-83e6-dbed334a7148_1714133448315.wav,angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kwenyee aina A.kwenyee kitalu namba A nimekipenda sana utoaji wake wa maua imetoa maua mengi kwahio inawezekana iwe na uzalishaji mzurisawa sawa.mmhkingine labda ambacho umeweza kukiona kwenye aina A?kingine ni kwamba naona ukuaji wake haupo vizuri sana yani ina kimo cha wastani. moment_3_vegetative_af6ad00e-63fc-413d-83e6-dbed334a7148_1714133515386.wav,"angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio aina A.Kitu ambacho sikipendi kwenye A ukuaji wake, ukuaji wake sioo kwa wastani sana.changamoto nyingine ambayo pengine umeiona kwenye hio aina A?changamoto nyinginee, ah haina changamoto zaidi." moment_3_vegetative_af6ad00e-63fc-413d-83e6-dbed334a7148_1714133619367.wav,angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho eeh unakipenda kwenye kuhusu hii aina B apa.eh ina nanii kwenye kitalu B inaonekana ina ustawi mzurii ina ustawi mzurii ila kwenye mauwa inaonekana kama ni machache kidogo moment_3_vegetative_af6ad00e-63fc-413d-83e6-dbed334a7148_1714133706485.wav,"ainaB, angalia aina B na ujaribu kueleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kwenye hii aina aina B?apa ambacho naona sikipendii ni utoaji wa mauwa si wa kuridhisha sanaahaammh" moment_3_vegetative_af6ad00e-63fc-413d-83e6-dbed334a7148_1714133780404.wav,"angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kwenye aina C.kwenye kitalu C kwa kweli naona kimeniridhisha kiko vizuri, marage yamekua vizuri, yako kwenye mkao mzuri kwa kweli nilivoyaona." moment_3_vegetative_af6ad00e-63fc-413d-83e6-dbed334a7148_1714133822713.wav,angalia tena aina C naa ujaribu kuelezea chochote ambacho hukipendi kwenye hii aina Ckwenye kitalu C mpaka saivi naona kwa asilimia kubwa naona inaenda vizuri naona hakuna kitu ambachoo labda naona imevumilia vizurii imetunza kijani chake kwahiio naona iko vizurisawa moment_3_vegetative_b6293e55-4c95-428b-95ab-259ef0a945d7_1713938639102.wav,"ndio ndugu mkulima nini unapenda kuhusu aina hii A?aah mimi napenda kwasababu hata uotaji wake kwanza umeota vizuri.ndio.pia mshina yake yana afya, ata majani yake ni tofauti na marage mengine tunayopanda.ndio.ndio." moment_3_vegetative_b6293e55-4c95-428b-95ab-259ef0a945d7_1713938696612.wav,"ndio, ndugu mkulima nini sasa usichokipenda kwenye aina hii ya A?aah mimi napenda kwa sababu moja kwanza haya yana afya vizuri na pia napenda hata kama kuongezewa mbegu niongezewe kwa sababu naona yam hata majani yake pia yako vizurii na pia navyoangalia ubora wake kwa kweli naona yako vizuri zaidi hata majani yake yanapendeza mno.yanapendeza mno.ndiokuna changamoto yoyote labda kwenye kwenye kuota hujaiona?kwa kweli changamoto hakuna kwa sababu yalivyoota tu wengine wakaanzaa waliokua wanapita kwa mbali wanauliza je vipi umepanda bustani ganii? Nkawaambia ni maharage.sawa.ndio." moment_3_vegetative_b6293e55-4c95-428b-95ab-259ef0a945d7_1713938758763.wav,"sawa, ndugu mkulima tuko kwenye aina B sasaandio.Yaa mbegu zetu hizii tuko kwenye kitalu B.ndio,nini usii nini ambacho labda hujapenda kuhusu aina hii B?kwa kweli hii B mimi nimeipenda kwa sababu yenyewe kwanza naiona inapendeza vizurii, imeota vizurii, halafu pia B naiona pia imetoa mauwa vizuri.imetoa mauwa vizuri.ndio.sawa." moment_3_vegetative_b6293e55-4c95-428b-95ab-259ef0a945d7_1713938815296.wav,"ndio, aah ndugu mkulima tukiwa apaapa kwenye kitalu B nini usichokipenda kuhusu aina hii B?kwakweli mimi hii nayo pia naipenda kwa sababu uotaji wake umeota vizuri pia imeziba vizuri alafu pia mauwa yake yako vizuri, yani watu wanashangaa sana katika hii mbegu, na mimi pia napenda hata kama ukiniongeza tena hio mbegu naona itakua vizuri zaidi pia ntakua pamoja nao hata hao ambao waliotoa mbegu nawapongeza pia kwa jukumu hili.sawa sawa.ndiokwahio hakuna ambacho hujakipenda?kwa kweli vyote nimevipenda kwa sababu vina ubora zaidi na ingekua sehemu kubwa ningefurahi zaidi na ingekua sehemu kubwa naona ingekua yan nin ninge ningefurahi zaidi lakini pia hapa tu nafurahi yan nachekelea mno kwa sababu natabasamu ya kuona maharage yako vizuri.sawandio" moment_3_vegetative_b6293e55-4c95-428b-95ab-259ef0a945d7_1713938864883.wav,"sawa, sasa tuko kwenye aina C ,mmh,labda nini uu umee ulichokipenda zaidi kwenye aina hii ya C?aah aina hii ya C pia nimeipenda kwa sababu majani yake ni membamba si mapana sana lakini pia imetoa mauwa meengi zaidi pia nafurahia hata hao ambao marafiki zetu waliotupatia hii mbegu kwa kweli wakitazama nao pia watafutahi yani watatabasamu bila shaka." moment_3_vegetative_b6293e55-4c95-428b-95ab-259ef0a945d7_1713938902665.wav,"NDIO, ah kuna ambacho hujakipenda?usichokipenda kuhusu aina hii C?Kwa kweli mimi hii C nimeipenda kwa sababu naona vyotee kwanza moja imeota vizurii maua safii, majani safii, yani mambo yote safii, hata waliotupatia hii mbegu kwa kweli nami nawapongeza watuongezee zaidi.sawaandio.kwenye kuota? Kuna changamoto?kwenye kuota hakuna changamoto kwa sababu hata unavyoyatazama mwenyewe unayaona yako vizuri zaidi afu yameota mengi safii.sawa.ndio.asante sana." moment_3_vegetative_b937885e-de2e-42a3-a057-7cff6d3a55ba_1718088925196.wav,ok mama angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unachokipenda kuhusu aina hiyo maelezo yoyote kuhusu aina A kwa unachokipenda?aina A naiona imetoka vizuriiindiyoalafu maua yake ni mengiiimmhna vilevile mwishoo wa mazao hayo naona inaeza ikaongozaaokkwenye mavuno.ahaa sawa kuna cha kuongezea kwenye aina A ulichokipenda?naona ni mbegu nzurimmhndiyo.aya asante. moment_3_vegetative_b937885e-de2e-42a3-a057-7cff6d3a55ba_1718088976616.wav,ok mama unaweza kutuelezea nini ambacho hujakipenda kwenye aina A?wasatani aina A ni kwamba hii space ambao tumeoteshea ni nindogo manake yenyewe yanaonyesha kutanukasawasawaeeh kwahiyo hii space naona ni ndogo ndo kitu sijkipenda inatakiwa space iwe kubwa kidogookitanukesawasawa kingine ambacho ujakipenda unaweza kuongezea ?kwenye aina A kingi kingine ambacho sijakipendammhlabdaaa tusemee musho ndo yutajua nini asijakipendaaahmushosawa tutajua moment_3_vegetative_b937885e-de2e-42a3-a057-7cff6d3a55ba_1718089015715.wav,ok unaweza kutuelezea tena aina B kitu ambacho umekipenda zaidi kwanzia mwanzo mpaka sasa?naona mbegu zote zime ota zotemmhhakuna ambayo imekufammhpia imetoa vizuri vilevilemmhkwenye hii ainaaa Bmmhnaaa swala lingine ni kwamba bado tu tunangojea matokeo mwishoniok sawa kingineaapana lingine. moment_3_vegetative_b937885e-de2e-42a3-a057-7cff6d3a55ba_1718089046873.wav,aina B kitu gani ambacho haujakipenda au haujafurahishwa nacho kwenye zao B?nii niii hii space kwenye mazao ya bi ya ya maharage space nayo ni kitu cha maana manake hii space imekuwa ndogo sana manake kutoka mche hadi mche unaona bado mstari hadi mstari unaona bado naongea habari ya nafasi space tu.ndiyo moment_3_vegetative_b937885e-de2e-42a3-a057-7cff6d3a55ba_1718089075128.wav,ok unaweza ukatuelezea nini ambacho umekipenda kwenye aina C?ain C nimependa tu kwamba imeota vizuriimmhnaaa nilichokipenda kingine na hii space inafaa pia kwahi kwa kwa aina C space yake iko vizuri.sawa. moment_3_vegetative_b937885e-de2e-42a3-a057-7cff6d3a55ba_1718089129207.wav,ok ambacho ujakipenda kwenye aina C unaweza kutuelezea kidogo?naonaa kwenye hii C maua hayakutokaa mengiii kama hizo A na B.mmhkwahiyo sijapenda sana hiimmhsijaipenda sana.mmh kingine kwenye aina C?kingine kwenye aina C naonaaa yenyeweee imebadilika rangi imekuwa kama imepata mnyaukommhndiyo sijapenda hiyoaahmm imekuwa njano naona kamaaa michee mitano hapaa.mmhkwenye mstari wa kwanza wa pili na wa tatu ziko mbilii kwahiyo kuna mnyauko fulani.aoktofauti na hizo nyingine A na B.aahaandiyohaya asante. moment_3_vegetative_e51c04f5-9c4d-4ea5-ac5f-01f8d0f8dcc7_1713354199496.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?Aina A naipenda kutokana na majani yake jinsi yalivyo alafu kuna maua maua yake yamechanua vizuri.Hasa wewe umependa nini kwenye aina hii?Kwenye A na B Mmmh kwenye A napenda sana maua yame yako mengi sanaJe unaweza ukanambia sababu zozote za kuipenda aina hii ya mbegu?Aina hii ninaipenda kwa sababu inakua ina inarefuka alafu pia inachanua mapema inatoa maua mengi.Unaweza ukaelezea zaidi au umeishia hapo?Mimi nimeishia hapo. moment_3_vegetative_e51c04f5-9c4d-4ea5-ac5f-01f8d0f8dcc7_1713354289814.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A?Hapa naona kwamba nazipenda tu aina A naipenda hakuna nisichokipenda ila mada majani majani yake kwa vile ni mboga nayapenda tu nayo vilevile.Sawa. moment_3_vegetative_e51c04f5-9c4d-4ea5-ac5f-01f8d0f8dcc7_1713354379009.wav,Nini unapenda kuhusu aina B?Aina B naipenda kwa sababu maharage haya ni mazuri yameota vizuri alafu pia yana majani mazuri.Unaweza ukaelezea kwa undani zaidi?Haya majani majani yameota vizuri yame yametoa lakini sasa maja maua hayakuna ninii yamechelewa kutoka kuliko ya wanzake mengine haya nayo nayapenda vile vile ni mazuri kwa sababu yameota vizuri majani yake ni mazuri moment_3_vegetative_e51c04f5-9c4d-4ea5-ac5f-01f8d0f8dcc7_1713354443564.wav,Nini usichopenda kwenye aina B?Kati ya B hakuna kitu ambacho sikipendi yote naona ni vizuri kwa sababu yameota vizuri ukuaji wake ni mzuri ndo maana nimevutiwa na nayapenda. moment_3_vegetative_e51c04f5-9c4d-4ea5-ac5f-01f8d0f8dcc7_1713354566176.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?Aina C naipenda lakini sasa kuna sababu zake sababu zake hii inapata ukungu wakati mvua hata hivi kuna mehage mengine yamefanya nini yamepuputika kwa ajili ya mvua lakini ni mbegu nayo nzuri vilevile naipenda. moment_3_vegetative_e51c04f5-9c4d-4ea5-ac5f-01f8d0f8dcc7_1713354643007.wav,Nini usichopenda kuhusu aina C?Aina C ambacho sikipendi hamna kitu ambacho sikipendi ni sawa tu ila sasa unyaukaji wa maharage kutokana na mvua nyingi yamepata ukungu. moment_3_vegetative_fd19f673-e29f-4d1d-ad6c-cff94403858d_1713444570996.wav,Mmmh ukiangalia kitalu A uuuu unaeza ukaniambia umependa nini kutoka kwenye aina hiyo.Nimependa hata kama mbegu hazijaota zote lakini zilizo ota zipo vizuli.Mmmh umesema kuwa iii iii ya ziizo ota ziko vizuli unaeza ukaelezea zaidi vizuli kivipi.Majani yake yapo vizuli na yameanza kutoa mauwa.Mmm saawa. moment_3_vegetative_fd19f673-e29f-4d1d-ad6c-cff94403858d_1713444614928.wav,Mmmh ukiangalia aina iyoo A unaeza ukaniambia kitu ambacho wa ambacho hujaki huhu kipendi kusiana na aina iyo.Nimei nimependa na akuna kitu ambacho sijakipenda.Ata ukiangalia angalia tena.Apana amna kitu ambacho sijakipenda nimependa. moment_3_vegetative_fd19f673-e29f-4d1d-ad6c-cff94403858d_1713444752072.wav,Mmmh aya tumehamia sasa kitalu B ukiangalia aina B unaeza niambia kitu gani ambacho unakipenda kutoka kwenye aina iyo.Yameota vizuli majani yake yapo vizuli na yameanza kutoa mauwa.Mmmh unaweza ukaongezea labda kitu kingine ambacho labda umekipenda kutoka kwenye aina B.Naona pia aishambuliwi sana na wadudu.Mmm aya sawa. moment_3_vegetative_fd19f673-e29f-4d1d-ad6c-cff94403858d_1713444804198.wav,Mmmh ukiangalia sasa aina iyo iyo B unaeza ukaniambia kitu gani ambacho hujakipenda toka tulivyopanda mpaka saa izi ambapo apo unaiona kabisa imeshakuwa imefika mahali flani unaeza ukaniambia kitu ambacho ujakipenda kabisa.Hakuna kitu ambacho ni sijakipenda nimependa.Kwao ata ukiangalia majani yake ukiangalia vitu ambavyo ukifatilia toka tulivo unaona hamna kitu eeeHakuna kitu nimependa. moment_3_vegetative_fd19f673-e29f-4d1d-ad6c-cff94403858d_1713445023482.wav,Tunaenda sasa kitalu C ukiangalia ukikitazama kitalu C unaeza ukaniambia ukanielezea kitu ambacho wewe unakipenda kutoka kwenye kitalu C.Imewahi kuota.Mmm.Nakutoa mauli mauwa kuliko aina A na B.Mmm.Alafu pia imeanza kutoa watoto.Mmm.Wa malage.Mmm mmh sasa umeona iii iii imewai kuota imetoa mauwa kweli ata mi mwenyewe nikiiangalia imetoa mauwa mmh unaa fikili wewe iyo inaa inaleta picha gani?.Nafikili ni mbegu ambayo inaeza kutuokoa eeee hata na njaa.Mmm sawa. moment_3_vegetative_fd19f673-e29f-4d1d-ad6c-cff94403858d_1713445159914.wav,Mmmh ukuangalia aina C iyoyo wewe unaweza ukuniambia kitu ambacho hujakipenda kutoka kwenye aina iyo.Naona ni mbegu ambayo inashambuliwa sana na wadudu.Mmm sawa mmh unafikili labda ni kwanini labda inashambuliwa sana na wadudu kuliko aina iyo A kuliko A na B.Sijajua lakini labda wataalam mtusaidie.Mmm aya sawa. moment_4_reproductive_0c84251b-328c-497c-99db-7ef76aef45f1_1716874642793.wav,nini unapenda kuhusu aina A?.aina A kitu ninachokipenda ni kwamba hii mbegu mvua ikiwa chache inaonekana inazaa sana na uzuri wake ni kwamba haikupata magonjwa. moment_4_reproductive_0c84251b-328c-497c-99db-7ef76aef45f1_1716874670854.wav,nini usichokipenda kuhusu aina A?.nisichokipenda ni kwamba hii mbegu inaonekana mvua ikiwa nyingi haitozaa sana kwajili inaonekana mbegu yake hahimili kwenye mvua nyingi. moment_4_reproductive_0c84251b-328c-497c-99db-7ef76aef45f1_1716874706223.wav,nini unapenda kuhusu aina B?.ninachokipenda aina B ni kwamba yaan kama iko katikati haitaki mvua nyingi wala haitaki mvua chache ndio ninachokipenda. moment_4_reproductive_0c84251b-328c-497c-99db-7ef76aef45f1_1716874747329.wav,nini usichokipenda kuhusu aina B?.nisichokipenda ni kwamba hii mbegu itaaa itakusumbuwa iwapo mvua itakuwa ni nyingi sana au chache sana kwajili ipo katikati ina maana enyewe haieleweki inahitaji mvua nyingi au mvua chache. moment_4_reproductive_0c84251b-328c-497c-99db-7ef76aef45f1_1716874775288.wav,nini unapenda kuhusu aina C?.ninacho kipenda aina C ni kwamba hii mbegu inahitaji mvua nyingi na inakuwa sana ikipata sehemu ambayo yenye mbolea nyingi yatakuwa sana mharage. moment_4_reproductive_0c84251b-328c-497c-99db-7ef76aef45f1_1716874796204.wav,nini usichokipenda kuhusu aina C?.aina c nisichokipenda ni kwamba hii mbegu ikiwa mvua chache haizai. moment_4_reproductive_19319e19-5671-43cb-9e06-196260b5506a_1715768831246.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hio.hapaa kwenyee nanaii kwenye nanii A hapandiyo.hakuna nisichokipenda kwa saabu hapa inaoonekana yamekufa tu maharage kwa kwa saabu ya mvua.sawasawa. moment_4_reproductive_19319e19-5671-43cb-9e06-196260b5506a_1715768853204.wav,nini una anga angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hio.ambacho kitu sipendi inaonekana nanii mvua nanii maharage hayapo yamekufa .yamekufa ndio.mmmh. moment_4_reproductive_19319e19-5671-43cb-9e06-196260b5506a_1715768889174.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hio.hapa kwenye B hapa inaonakana kidogo maharage yapo kidogo angalau ila kama mvua ikiongezeka hapa.ndiyomaharage yanaonekana yanazidi kufa . moment_4_reproductive_19319e19-5671-43cb-9e06-196260b5506a_1715768933505.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hio.hapaa nisi nisichokipenda hapa inaonakana mvua ikizidi kunyesha maharagen yanazidi kunanii kufa. moment_4_reproductive_19319e19-5671-43cb-9e06-196260b5506a_1715768968594.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hio.hapa C kunaonekana hapa kunaonekana tu kumekufa kabisa .ndio.eeehkwa hiyo unachokipenda.hakuna nisichokipenda hapa maharage yamekufa yote. moment_4_reproductive_19319e19-5671-43cb-9e06-196260b5506a_1715768988131.wav,Angalia aina C na eleza chochote unacho unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hio.hapa inaonekana tu hakuna nisichokipendana ina yanaonekana yamekufa kabisa .yamekufa kabisa.mmmh. moment_4_reproductive_1f362348-f019-48b2-aa96-ee466643f48d_1715755054157.wav,Unapenda nini kuhusu aina A ?yanii kuhusu aina A yani kwa hapa kwa hapa napoyaona haya maharage ninachokipenda ni uzaaji wake .mmmh.hii mbegu inazaa sijui kwa sababu ni mpya.anhaa. moment_4_reproductive_1f362348-f019-48b2-aa96-ee466643f48d_1715755083188.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina A ?yanii labda nisichokipenda kama unavyoona hapa maradhi yani maradhi hapa yanakimbilia sana hasa huu ukungu yani ukitofautisha na hii Bmmmmhunaona kabisa hapa maradhi kidogo yamesawa. moment_4_reproductive_1f362348-f019-48b2-aa96-ee466643f48d_1715755110929.wav,"Nini unachokipenda kuhusu aina B?.Labdaaa nnachokipendaaa kuusu aina B.Mmh.Aina B inapenda mvua nyingi sana.Mmh.Hasa mwaka huu wa mvua kama unavyoiona.Mmh.Kwanza imeee simama vizuri.Mmh.Haina shida yoyote kwakweli, marazi ni kidogo kidogo tu lakini sio sana kama ya.Sawa." moment_4_reproductive_1f362348-f019-48b2-aa96-ee466643f48d_1715755135350.wav,Kipenda kuhusu aina B.Labdaaa niseme. yaani nisichokipenda.Mmmh.Kwa aina B.Mmh.Haya maharage hasa yanapenda sana mvua yaani kipindi chaaa mvua chache.Mmmh.Yani hapo siyapendi kabisa haya maharage sababu huwa yanapata nayo jua haraka.Sawa. moment_4_reproductive_1f362348-f019-48b2-aa96-ee466643f48d_1715755162022.wav,Nini unachokipenda kuhusu aina C.Aina C hii mbegu kwangu ni ngeni.Mmmh.Lakini jinsi nilivyoiona.Mmh.Hii mbegu inazaa sana.Ndio.Labda tu sasa tuseme masoko kama ntaendelea kuizalisha sijui mtatutafutia masoko? Hii mbegu ni nzuri sana na arzi yetu . Ndani naiona inavutia sana kwenye arzi hii.Sawa. moment_4_reproductive_25252469-2e4c-4d82-ad29-66d04fea9b47_1715761943096.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?Hapa sipendi kitu. moment_4_reproductive_25252469-2e4c-4d82-ad29-66d04fea9b47_1715761983297.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A?Hapa hakuna kitu ambacho sichakipenda sipendi kitu hapa. moment_4_reproductive_25252469-2e4c-4d82-ad29-66d04fea9b47_1715762041326.wav,Nini unapenda kuhusu aina B?Hapa aina B napenda kwasababu majani nanii maharage yenyewe yameza yamezaa matoto mengi kidogo yamejitahidi. moment_4_reproductive_25252469-2e4c-4d82-ad29-66d04fea9b47_1715762087200.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B?Hapa hakuna kitu ambacho sijakipenda ninapenda.Unaweza ukaelezea zaidi?Hapa naona kwamba napenda kwa sababu maharage yenyewe yamekua mee ingawaje yameharibika lakini hayakuharibika vii sana ila nimefurahi kwaajili yamezaa vizuri kidogo. moment_4_reproductive_25252469-2e4c-4d82-ad29-66d04fea9b47_1715762132325.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?Hapa hakuna nilicho kipenda. moment_4_reproductive_25252469-2e4c-4d82-ad29-66d04fea9b47_1715762157525.wav,"Nini usichopenda kuhusu aina C?Hapa hakuna nisicho nisi ambacho sikukipenda kwa sababu hakuna maharage yenyewe yameaharibika kwaa kwa sababu ya mvua ilikua nyingi sana," moment_4_reproductive_2ac205b4-75ea-44dc-af56-636b3691a914_1718365875507.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio.aina C na yenyewe inashambuliwa sana na wadudu.kingineinaenda juu sana .sawa. moment_4_reproductive_2d862ea7-a150-4151-a62c-d2747133dbaa_1717042325968.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.A kuna kitu nilichokipenda maharage yamezaa vizuri na yameanza kukauka. moment_4_reproductive_2d862ea7-a150-4151-a62c-d2747133dbaa_1717042347258.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio.hakuna ambacho sipendi vyote navipenda katika kundi A. moment_4_reproductive_2d862ea7-a150-4151-a62c-d2747133dbaa_1717042363519.wav,angaliaaina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.kundi B nimekipenda maharage yenyewe yameanza kukauka nayo yamezaa vizuri nimeyapenda. moment_4_reproductive_2d862ea7-a150-4151-a62c-d2747133dbaa_1717042384769.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio.kundi B hakuna chochote ambacho sikipendi moment_4_reproductive_2d862ea7-a150-4151-a62c-d2747133dbaa_1717042420818.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.kungu C nimelipendaa maharage yake yameanza kuivaa ndo yananza kukauka yamechelewa kidogo yenzake mengine yametangulia kuiva. moment_4_reproductive_2d862ea7-a150-4151-a62c-d2747133dbaa_1717042437414.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio.kundi C nimelipenda nalo pia limechelewa kuiva lakini limezaa vizuri nalo nalipenda kabisa. moment_4_reproductive_2f83467d-cf62-4fb5-82f6-3bdc25a49de2_1715605510162.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?aina A sijapenda kitu chochote. moment_4_reproductive_2f83467d-cf62-4fb5-82f6-3bdc25a49de2_1715605635884.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A ?aina A imeharibiwa sana na ugonjwa .Je unaweza ukanambia sababu za kuharibi za kuharibiwa na ugonjwa .ndiyo mvua ni nyingi sana.una kingine cha kuongezea au hauna.sina. moment_4_reproductive_2f83467d-cf62-4fb5-82f6-3bdc25a49de2_1715605758720.wav,Nini unapenda kuhusu aina B?aina B nimeipenda kwa saabu imezaa kidogo .una kingine ulichokipenda zaidi ya hicho?hapana ndo hicho tu. moment_4_reproductive_2f83467d-cf62-4fb5-82f6-3bdc25a49de2_1715605846305.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B?aina B sijapenda kwa sababu ugonjwa umeharibu sana .umejuaje kwamba maharage yameharibika na ugonjwa.hayako vizuri. moment_4_reproductive_2f83467d-cf62-4fb5-82f6-3bdc25a49de2_1715605867846.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?aina C sijapenda kitu chochote. moment_4_reproductive_2f83467d-cf62-4fb5-82f6-3bdc25a49de2_1715605885901.wav,Nini usichopenda kuhusu aina C?yameharibiwa sana na ugonjwa. moment_4_reproductive_3416baef-1385-43bc-96d4-123cabbf40cd_1716020029065.wav,"angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hio.ninachokipenda naona kama ina wahi kuzaa,mmhyani ninachokipenda naona hana ina wahi kuzaa ivi.okay.mmh.kingine labda? Kuwahi kuzaa, kuwahi kuzaa pengine labda kunaa kunamaanisha nini au kuna faida gani? Eehfaida yake ni kukimbiza muda kwasababu kuna muda mvua zinakata inayowahi kidogo inasaidia kupata mavuno." moment_4_reproductive_3416baef-1385-43bc-96d4-123cabbf40cd_1716020065597.wav,ah angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu ainaa aina A.ambacho sikipendii kwenye A kwenye group A ni kupukutisha majani haraka kitu ambacho kinashinhwa kuiilisha vizuri au kukauka kwa wakati wake.sawa. moment_4_reproductive_3416baef-1385-43bc-96d4-123cabbf40cd_1716020124258.wav,angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina B.kwenye kitalu B kinachonipendeza saidi nikuu zaa haraka inaonekana inauharaka kulikoni chochote kile. moment_4_reproductive_3416baef-1385-43bc-96d4-123cabbf40cd_1716020159967.wav,"na aina B ni kitu gani ambacho hukipendi eeh kuhusu aina hii kwa hiki ambacho unakiona kwa jinsi ambavyo inaonekana apa? aina B ambacho sikipendi nayo inaonekana inapukutisha majani haraka, kitu ambacho inasababisha haiwezi kujilisha vizuri kwa hio kukauka nje ya wakati.aaha." moment_4_reproductive_3416baef-1385-43bc-96d4-123cabbf40cd_1716020216747.wav,angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hii haina C ninachokipenda kwenye group C kwambaa ina uzazi mzuri afuu majani yake kidogo yanahifadhi chakula chakee kwahioo inaa kidogo inaenda na wakatimmh .inaa vumilia ukamendio pia inaonekana inavumilia ukame.sawa sawa. moment_4_reproductive_3416baef-1385-43bc-96d4-123cabbf40cd_1716020253320.wav,"ah angalia aina C afu niambie ni kipi ambacho hujakipenda kuhusu hiii aina C.kwenyee C ambacho sijakipe sijakipenda nii kwamba inachelewa kuzaa, pia inaonekana kunaa kama inakimbiliwa kidogo na ugonjwa." moment_4_reproductive_3878ba03-7ac4-4404-8268-9a42216274a1_1716622580570.wav,nini unapenda kuhusu aina Aaina bei niliipenda kwa sababu aina A niliipenda kwa sababu iliota vizuri na ili ili mavuno yake ni mazuri. moment_4_reproductive_3878ba03-7ac4-4404-8268-9a42216274a1_1716622599895.wav,nini usichopenda kuhusu aina A?aina bei aah hakuna nisichokipenda iko vizuri. moment_4_reproductive_3878ba03-7ac4-4404-8268-9a42216274a1_1716622614401.wav,nini unapenda kuhusu aina B?aina B nayo haina changamoto iko vizuri sawasawa na aina A aina A. moment_4_reproductive_3878ba03-7ac4-4404-8268-9a42216274a1_1716622627334.wav,nini usichopenda kuhusu aina B?hakuna nisichokipenda kaska katika aina B aina B. moment_4_reproductive_3878ba03-7ac4-4404-8268-9a42216274a1_1716622656792.wav,nini unapenda kuhusu aina C?a a aina aina C? nisichokipenda katika aina C aina C ina changamoto kwanza haikuota iliota mojamojaaa mara mengine yanakufa haya kwenye kubeba nayo haikubeba vizuri. moment_4_reproductive_3878ba03-7ac4-4404-8268-9a42216274a1_1716622674281.wav,nini usichopenda kuhusu aina C ?ina changamoto yaaaa mammm kushambuliwa sana kwahiyo haiko vizuri kwa ujumla. moment_4_reproductive_42109716-9aa6-4351-89e4-51c7dd282249_1716470595456.wav,angalia aina A na elezea chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu hiyo.aina A naipenda ila wadudu ndo wameshambulia.unaonaje kuhusu uzao wake wa aina A.uzao wa aina A sio mbaya saana unazaa wastani.sawa. Nashukuru. moment_4_reproductive_42109716-9aa6-4351-89e4-51c7dd282249_1716470620771.wav,angalia aina A na elezea chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.aina A kitu ambacho sikipendi ni kwamba majani yake kidogo haiku nilidhisha.sawa. moment_4_reproductive_42109716-9aa6-4351-89e4-51c7dd282249_1716470642018.wav,aina B na elezea chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu hiyo.aina B nime kipenda kwa sababu yani imeota vizuri pia ina uzao mzuri sana.sawa. moment_4_reproductive_42109716-9aa6-4351-89e4-51c7dd282249_1716470658876.wav,aina B na elezea chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.kwa aina B hakuna ambacho kitu ambacho sikipendi ila ni kwa wadudu tu.sawa. moment_4_reproductive_42109716-9aa6-4351-89e4-51c7dd282249_1716470713908.wav,angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.napendaa aina C uzao wake ni mzuri ila tu wadudu ndioo wameshambulia.sawa. moment_4_reproductive_42109716-9aa6-4351-89e4-51c7dd282249_1716470726732.wav,C na elezea chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.kwa kweli sioni kitu ambacho nakichukia kwa aina C.sawa. moment_4_reproductive_43e1cae5-a5ce-4bf0-a246-837d34e8b86e_1716619105894.wav,nini unapenda kuhusu aina A?.aina A aa kama inavyoonekana hapa aina A aa haina kitu cha kupenda sana kwasababu haizai sana halafu inaonekana haina kasi ya kuzaa sana ipo tu kama ina majani jani ivi si sana katika kuzaa kwahiyo lakini hakuna cha kutamani sana katika mbegu A.Asante moment_4_reproductive_43e1cae5-a5ce-4bf0-a246-837d34e8b86e_1716619136250.wav,"nini usichokipenda kuhusu aina A?.nisichokipenda kwamba uzaaji wake kwamba haizai vizuri halafu inaonekana inachelewa ,haiendi na wakati tumependa pamoja na mbegu zingine huko lakini hii bado ndio inatoa vitoto kwa umbali moja moja kwa mbali kwahiyo hii hasahasa haina kasi ya kwenda na wakati halafu haizai vizuri." moment_4_reproductive_43e1cae5-a5ce-4bf0-a246-837d34e8b86e_1716619167048.wav,"nini unapenda kuhusu aina B.ee hii aina B ndio nayoipenda katika mbegu zote kwasababu gani hii inaenda na wakati , halafu inazaa ,majani yake ni ya kawaida tunavyoona lakini ukiangalia matoto ni mengi imezaa na sasahivi tayari imeanza kuiva tofauti na zenzake hizi ambazo bado hata kuanza kuiva." moment_4_reproductive_43e1cae5-a5ce-4bf0-a246-837d34e8b86e_1716619186619.wav,nini usichokipenda kuhusu aina B?.hapa nisichokipenda katika B hakuna kwasababu navyoangalia kila kitu kimekaa vizuri. moment_4_reproductive_43e1cae5-a5ce-4bf0-a246-837d34e8b86e_1716619221034.wav,nini unapenda kuhusu aina C?.aina C labda kinachovutia ni majani lakini katika uzaaji hakuna kabisa inaweka jani kubwa isiyo kuwa na matoto halafu linachukua mda mrefu unakuta kuna kitoto kimoja tu lile lilobahatika shina kuzaa labda lina toto moja lakini majani yake ndio yamemea zaidi.aya asante. moment_4_reproductive_43e1cae5-a5ce-4bf0-a246-837d34e8b86e_1716619252649.wav,nini usichopenda kuhusu aina B?.nisichopenda hasa ni hii inaonyesha kwamba yeye kama yeye ina majani tupu ndio yanayomea kwahiyo yanamea majani sasa matunda yake ndio hamna sasa kitu kama hicho sikipendi majani yake yanapendeza ukiona pale unajua a hapa pana kitu lakini ukishafungua humu ndani hamna.aya asante. moment_4_reproductive_44dc945b-bd33-49e8-962d-c4d48154ab87_1718351361931.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Nielezee?.Eeh apa ulichokipenda kwenye aina A.Kwa uzao wake eina A m uzao wake ni mzuri.Mmh.Eeh lakini isipo kwa kuuza hayana biashara.Mmh.Eeh.Sawa kingine ulichovutiwa nacho kwenye hii aina A.Kurefuka yanarefuka vizuri.Mmh.Hayana shida.Mmh.Na wala hayanaga kamba kivile.Mmh.Sanaa hayana kamba sana.Mmh.Eeeh apa si tumemaliza aahh hamna kingine unachokipenda.Hamna kingine moment_4_reproductive_44dc945b-bd33-49e8-962d-c4d48154ab87_1718351407486.wav,angalia aina A na eleza unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo aina.Kuhusu hiyo aina kula sipendi kabisa.Hauipendi kwenye kula.Mmh.Kwanini?.Rangi yake tu.Unachukia kwenye rangi tu.Kwenye rangi spendi kuo kula kabisa.Na rangi yake ina nini.Mmh.Yani ipoje rangi yake.Yani rangi yake imekolea sana sana wekundu.Aaah.Mmh.Kingine usichovutiwa nacho?.Hamna kingine moment_4_reproductive_44dc945b-bd33-49e8-962d-c4d48154ab87_1718351487156.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Aina B naipendaa yani kuanzia uuzaji.Mmh.Hata ukulimaaa.Mmh.Naupenda hata na kwa kula hayana shida.Unavyosema uuzaji unamaanisha nini unavyosema kulima.Kuuza sazingine bei yake ni nzuri tofauti na hii.Sawa.Mmh.Na kulima?Hata kulima napenda.Unamaana gani sasa ukisema kulima?Kulima nayaoteshaga hata shambani kwangu.Aah.Eeeh nalima navuna nauza nakula.Sawa.Mmh.Kingine chochote ulichovutiwa nacho pia.Yani nimevutiwa na vyoteee hamna hata kimoja ambacho si naona hapo cha kusema hapana.Sawa.Mmh. moment_4_reproductive_44dc945b-bd33-49e8-962d-c4d48154ab87_1718351512251.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. Kitu gani ambacho hujakipenda kwenye B.Hakuna hata kimoja sijakipenda vyote navipenda.Sawa hakuna.Mmh. moment_4_reproductive_44dc945b-bd33-49e8-962d-c4d48154ab87_1718351589960.wav,"Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hukukipenda kuhusu hiyo.Aina C hata enyewe napenda kuyaotesha.Mmh.Na kula.Mmh.Na kwa biashara.Unavyosema kwa biashara unamaanisha kuwa.Kwa kuuza yani kama nimeshalima nimevuna nimemalizaMmh.Hata kwa kuuza.Sawa kuuza inakuwaje yani..Yani kuuza kamaaa mfano haya ni elfu nne yale utauza hata elfu tano sado.Mmh.Mmh.Kwahiyo bei yake iko juu.Eeh bei yake iko tofautiSawa..na kwa kula ukila yapoje.Ukila ni yako vizuri.Yako vizuri kivipi sasa.Yako vizuri yani kwa kula, ndo maana nikakwambia ni mazuri kwa kula kuotesha na hata kuvuna na uzao wake ni mzuri.SawaMmh" moment_4_reproductive_44dc945b-bd33-49e8-962d-c4d48154ab87_1718351611473.wav,"Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Hamna ambacho sipendi, vyote napenda.kwenye aina C?Mmh.Sawa." moment_4_reproductive_4bdf25ab-1ebd-42fa-8d9b-0fa8507d15e8_1715946539111.wav,Kaka ni nini unapenda kuusu aina A.Aina A ninachopenda ni uzaaji wakee kwa kweli imezaa watoto wa kutosha alafuu pili aina A iii kwa kweli ime ime imekomaa kwasasa hivi imekomaa kwa wakati mmoja kwai aina A imenifurahisha sana sana sana tena sana kwa kweli uzaaji wake ni mzuri imeteremsha watoto vizuri naaaaaa imekomaa vizuri na machoni hata kwa mtazamaji kwa kweli inanifurahisha iko safi kabisa alafu pili haina maradhi nyemelezi yaani maradhi kwa kweli kwa ujumla haina maradhi aina A eee kwaaa ninavyo itazama kuanzia mwanzoni sikuona wadudu walaa ukuaji wake ni ukuaji mzuri tu unaonae kwaiyo aina A kwa ujumla imenifurahisha sana.Nashukuru kingine kilicho kufurahisha zaidi kwenye aina A.Aaaa kingine kilicho nifurahisha kwenyeeee aina A.Mmmh.Sasa ivi nnavyo yatazama hapa yanaenda kuuu yanaenda kuuu kukuendelea kukauka lakini bado mti wake umeweza kuu kulinda kulinda kulinda watoto yaani hayaanguki chini hovyoo.Mmm.Uaonae mti wake hauu hauu hauanguki hovyo kwasababu ya ukianguka chini basii ni raisi sana kwasabu chini bado kuna ka unyevu unyevu niraz niraisi sana kuuu kuu kuweza kuharibika unaonae.Mmm.Kwaiyo yaiwa juu yanaendelea kwenda kukaukaa haliya kuwa mti wake badoo uko juu basi na watoto wake wako juu kwaiyo kwa kusimama kwake.Mmm.Kwa kweli imenifurahisha kwasababu bado maa marage haya yapoo ni imara ya yame kauka vizuri na bado yamesimama kulinda watoto wake wasianguke chini ili ya wasipate unyevu nyevu kuweza kuharibika ganda lake na hata mtoto kwa ujumla kwa ndani.Mmm.Eeee.Nashkuru.Asante.Auna kingine cha kuongezeea kuusu kitu unachokipenda.Aaaaaa kingine kwa ujumla siina.Mmm.Niiii mimi nashukuru tu niseme tu kwa ujumla nashuku naishukuru kampuni kwa kuweza kujaaa kutuletea mbegu hizi kwasababu tuna tamani kufiia malengo.Mmm.Sasa kupitia kampuni kampuni hizi basii natam navo na na naamini tutafikia malengo kwasababu tayari tumejifunza mambo makubwa kwenye mbegu hii kwenye mbegu hizi.Mmm.Eeee tumepata mbegu unaonae situlisha zoea zile za zamani za asili lakini apana kampuni imeona si vyema ikakaa kule ikaja kwetu sisi wakulima na kuweza kutupa tumekubali kwa moyo mmoja kuweza kufanyeje! kuwaaaa eeeeh hatua kwa hatua naa na wataalam kama nyinyi na hata kampuni ni kwaujumla basi tunachukua elimu naaa hata waaa wakati unaokuja.Mmm.Kwa kweliii eeee taendelee kuutumia utaalam uleule jinsi nilivo fundishwa hapa hivi kuweza kuu kupanda kuanzia kupanda kuyatunza na hata mpaka baadae yakifikia maali pakuja kufanyeje kuyavuna.Mmm.Kwaiyo nimejifunza elimu kubwa sana nashukuru sana.Aya asante sana.Asante sana. moment_4_reproductive_4bdf25ab-1ebd-42fa-8d9b-0fa8507d15e8_1715946699807.wav,Kaka ni nini usichopenda kuusu aina A.Aaaa aina A aaaa kitu ambacho eeee nisicho nisicho kipenda aaaaaa kwa kweli nikii tizama kuanzia mwanzo.Mmm.Aaaaaa sija si sijaona ni ambacho kitu ambacho siipendi kwa kweli niseme niwe muwazi.Mmm.Aaaa kitu ambacho sijakipenda sii sijaona isipokuwa aina A.Mmm.Kwa kweli eeee kwangu mimi nilichojifunza inapenda usafi wa hali ya juu yaani usiachie majani unaonae.Mmm.Yani majani kwasababu hii shamba ili au kwenye kitalu hiki.Mmm.Inapenda usafi wa mara kwa mara.Mmm.Kwaiyo ukifata kawa unaisafishia na kuweza kuirudishia urudishia udongo aaaa kwa kweli miche hii inakaa inakuwa safi na salama kwaiyo aina hii mpaka sasa ivi nini eee imefikia hatua ya kukauka tayari sasa akuni ambacho tofauti ambayo nimeiona kwa kweli hakuna nimeifurahia kwa ujumla niwe muwazi tu.Mmm.Mmm.M m uesema inapenda usafi mara kwa mara m toka umepanda unaeza kukumbuka uliii uli uli palilia au ulimgolea majani mara ngapi.Aaaa naeza nikakumbuka nimengolea majani mara tatu.Aaaaa.Unaona na sasaivi kwa vile tayari yameshaanza kukauka aaaaa naendelea tu kung'olea ngo'lea kwasababu sehemu yangu hii ina sangale.Mmm.Unaonae ina sangare na sangare inatabia uking'oa haichuui mda mrefu tayari inazidi kuota kwaiyo ha kwaujumla haipendi usumbufu inapenda iwe yenyewe sasa ikiwa yenyewe.Mmm.Basii inajitawala zaidi.Mmm.Unaonae zaidi ya mara tatu ili kuuachia mche yabaki maarage kama maarage basi unakuja kuyakuta yako saafi kabisa yanangaa na hata yanapendeza eee machoni mwa watu hata mtu anaetazama anasema laiti ungelipanda mengi lakini kwa vile niiii majaribio.Mmm.Basi ndo mana natamani mbegu nitakapoipata nitaendelee kuii panda zaidi.Ahaaa.Eeeee. moment_4_reproductive_4bdf25ab-1ebd-42fa-8d9b-0fa8507d15e8_1715946871513.wav,Nini unapenda kuusu aina B.Aaaa aina B ninachopenda kuuutoka aina B mbegu ya aina mee aina B.Mmm.Kwa kweli imezaa watoto wengi na ata ninapo tazama apa ina watoto sio mchezo alafu pili.Mmm.Aaaaa mbegu aina B aaa ninachopenda pia haina majani mengi yani majani yake majani haina majani mengi yani yenyewe iko wazi zaidi kuli nanii iko wazi zaidi yani watoto wake wanaonekana kuanzia wakati ilikuwa visu mpaka sasaivi yameshafikia eeee eeee kupikwa kwaiyo imezaa watoto wengi yaani iko wazi tu uwezi chungulia kwa uchungulie namna ii ndio uone marage apana.Mmm.marage yake nnachopenda kwama yapo wazi tu unaonae majani haina maja haina majani haina majani mengi kwa ujumla unaone.Mmm.Kwai ina marage tu marage ake yameota vizuri yakakuwa vizuri pili alafu yakawa na naa na marage unaonae hayana majani mengi hicho ndoo nnachokipenda sana sana.Mmmh.MmmmKingine cha kuongezea kuhusiana na kitu unacho kipenda.Aaaaa kingine aaaa ninacho kipendaa kwamba uotaji wake kweli hayaja sumbua tume nimepanda alafuuu ya tulivyopanda basi yakawa yameota yote kwa wakati mmo kwa wakati mmoja unaonae ninacho kipenda ni icho yani yaliota kwa wakati mmoja hayajaota mbele na nyuma tunasema mbele na nyuma kwamba hili likaota kesho ili kesho kutwa aaa hapana yaliota yote kwaa kwa ujumla basi yakaendelea kukua vizuri basi hicho ndio ninachoo kipenda kwa ujumla.Mmmm.Mmm.Nashkuru.Asante. moment_4_reproductive_4bdf25ab-1ebd-42fa-8d9b-0fa8507d15e8_1715946949272.wav,Nini usichopenda kuusu aina B.Aaaa aina B kitu ambachooo sijaaa sija et sijakipenda.Mmm.Kwa ujumla kwa kweli mimi hapa kwenye hii sehemu yangu niwe muwazi tu unaonae.Mmm.Aaaa niwe muwazi tu kitu ambacho sijapendaa kwa ujumla kama nilivosema kuanzia mwanzoni.Mmm.Kwasababu naona marage yangu yanapendeza yako vizuri nayafurahia kabisa kila nikija na yana yani natamani kuyaangalia mara kwa mara unaonae.Mmm.Kwaiyo kitu ambacho sijaaa sijapenda.Mmm.Kwa ujumla niwe muwazi tu si akuna sijawahi sijaona dosari yeyote unaonae miche ile iliyo bahatika kwa kuota.Mmm.Basi yote imekuja kwa uzuri imekuwa kwa uzuri na bado hata yanyewe aaa iko imara tu imesimama vizuri marage yake mengi kwenye shina kwaiyo niseme tu kwa ujumla kitu ambacho sijapendezwa aina B kwa kweli bado sijaona mpaka sasa hivi.Nashkuru.Asante. moment_4_reproductive_4bdf25ab-1ebd-42fa-8d9b-0fa8507d15e8_1715947038119.wav,Nini unapenda kuusu aina C.Aaaaa aina C iiiii ninachopenda niii urefu wake unaonae miche yake ile.Mmmm.Baada ya kuota aaa kwa kweli ni mirefu kwenda juu.Mmm.Unaonae ni mirefu kuliko eee marage mengine ina urefu wa kutosha unaonae.Mmm.Kwaiyo na hata uwotaji wake iliota vizurii vizuri kabisa kwa mistari mizuri.Mmm.Basi na ikaendelea kukuwa vizuri basi kwa ujumla eee aina B ilinifurahisha kwaa ule urefu wake.Aina C.Ee aina C ya ya ya aina C samahani aina C aina C ee ni kweli imenifurahisha sana kwambaa imeendelea kukua jeee japo nai na na nayi naiona kwasasa hivi yenyewe ime imechelewa kidogo kwasababu ina mfano wa hybrid yaani hai nikisema hybrid namaye namaanisha.Mmm.Ni kwamba ni inaonesha ni kama vile niya mda mrefu.Mmm.Unaona namaanisha kwamba yenyewe ni ya mda mrefu kama aina hizi zingine zitawahi kukomaa yenyewe inaweza ikakomaa eeee wiki moja mbeleni ndoomana naa na na nasema kwamba ni ya mda mrefu unaonae.Mmm.Kwahiyo hicho ndo ambacho nimekiona apo ivi.Aya asante. moment_4_reproductive_4bdf25ab-1ebd-42fa-8d9b-0fa8507d15e8_1715947216165.wav,Nini usichopenda kuusu aina C.Aina C kitu ambacho sijaaaa penda ni kwamba ina majani mengi sana yaani inaa ina majani mengi ka kweli unaonae.Mmm.Eeee ina majani mengi majani yake ni mengi sana alafuuu kwa hapa kwangu.Mm.Eeee uzaaji wake sio sio sio sana umeonae.Mmm.Haijazaa watoto watoto wengi saana japo ina watoto.Mmm.Si kana kwamba aina watoto.Mmm.Ina watoto.Mmm.Lakini si kama aina zingine yenywe yaani niseme tu kwa kiswahii ambacho kidogo ni ni ni ni fasaha yaani ina uchoyo kidogo kwa hapa kwangu.Mmm.Ina uchoyo wa kukutolea nini wawa watoto lakini inama watoto wapo lakini sio wengi kamaa aina hizi zingine umeonae.Aaaa.Eeee.Kingine cha kuongezea kuhusiana na kitu usichokipenda kwenye aina C.Aaaaa kingineeee kwa chumla niseme hakuna yaan kwasabu nayatazama na nayaona niseme tu kitu ambacho sijapenda aaaah kwa ujumla kwa kweli nisiwe tu mchoyo wa fadhila eeee kuweza kusema tu kwamba kitu ambacho sijakipenda hakuna mpaka sasa hivi apa nimesha yaona yako vizuri.Mmm.Vizuri kabisa basi naaa niseme tu kwamba nayasuiri kwa ham yatakapofika eeee kuondolewa bas nitayaondoa kama wataaam watakavyo waa walivyoni nishauri kuanzia sasa hivi basi nitashirikiana nao ili niweze kupata kuja kupata mbegu zaidi kwa kweli nimefurahi naa nishukuru tu kama nilivyosema naishukuru sana kampuni kutuona sisi wakulima wa vijijini kwaani kikubwa tulicho kikosa kutokaa kutoka kuanzia mwanzoni ni kwamba tulikuwa tumetumia elimu za kawaida kwaiyo ni shukuru tu kampuni kwa kutukumbuka na kuja kutupa elimu na hata mbegu kwa ujumla kwamba kumbe mbegu inahitaji hivi inahitaji hivi ili tuweze kufikia mafanikio asanteni sanaAya sante.Eeee. moment_4_reproductive_4dbd9429-3646-416a-919a-855f360dbee1_1716972112352.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unapenda kuhusu hiyo?aina A kwakweli hata haijatokaaa lasita taipendea nini maana sioni hata niknipende nini hapo maana ni kwamba haijao kuota kwake ni shida kuzaa kwake nako ni shida.sawammh. moment_4_reproductive_4dbd9429-3646-416a-919a-855f360dbee1_1716972129959.wav,angalia aina A na elezea chochote ambacho hupendi kuhusu hiyo?sipendi kwa sababu haijaota vizuriii na wala sioni hata mmea wake uu takuwaje.sawa. moment_4_reproductive_4dbd9429-3646-416a-919a-855f360dbee1_1716972153638.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?hamna nachokipenda maana nayo pia ni kama hiyo aina A haija nanii vizuri haijaniridhisha na iko tu kishidashida hivyo pamoja ni kidogo imeota. moment_4_reproductive_4dbd9429-3646-416a-919a-855f360dbee1_1716972181337.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?sipendi kwa sababu sijaona sanasana uzao wake ukoje sijaipenda mimini kitu gani hasa ambacho ujakipenda kwenye hii aina?kwa sababu uotaji wake na uzaaji wake sijauona ukoje.sawammh. moment_4_reproductive_4dbd9429-3646-416a-919a-855f360dbee1_1716972206699.wav,angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?aina C ina uafadhali kwa sababu imejitahidi kuanzia kuota paka uzaaji wake pamoja na imejisuasua lakini imee imejitahidi.sawa kuna kingine?kingine ni hicho tu. moment_4_reproductive_4dbd9429-3646-416a-919a-855f360dbee1_1716972234306.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?nami nimeipenda maana ime imevumilia na ime imetoka imevumilia na imeninamishia kidogo inaniridhisha ndo naipe naipenda.kuna ambacho hujakipenda?hapana hapa sioni nda ambacho sijakienda maana inajitahidi.sawa. moment_4_reproductive_4e2f6c5b-152d-4c09-8b43-60e412dcb803_1721911907351.wav,nini unapenda kuhusu aina A? Aina A ni nzuri naa imejitahidi ikatoo naninii mafanikio kidogo. sawa. ndio. moment_4_reproductive_4e2f6c5b-152d-4c09-8b43-60e412dcb803_1721911917819.wav,nini usichopenda kuhusu aina A? Hakuna kitu chochote ninacho ambao sipendi. sawa. ndio. moment_4_reproductive_4e2f6c5b-152d-4c09-8b43-60e412dcb803_1721911932390.wav,nini unapenda kuhusu aina B? Aina B ni nzuri na inakuja kwa wakati kwa apa kwetu. ndio. mmh. moment_4_reproductive_4e2f6c5b-152d-4c09-8b43-60e412dcb803_1721911940255.wav,nini usichopenda kuhusu aina B? hakuna ambacho sipendi. moment_4_reproductive_4e2f6c5b-152d-4c09-8b43-60e412dcb803_1721911952685.wav,nini unapendaa kuhusu aina C? Aina C ni nzuri naa ime imejitahidi kutoa mavuno yake kidogo. ndio. moment_4_reproductive_4e2f6c5b-152d-4c09-8b43-60e412dcb803_1721911961744.wav,nini usichopenda kuhusu aina C? Hakuna chocohte ambacho sikipendi. sawa. mmh. moment_4_reproductive_5156c7ea-b999-437d-88cd-7e7f6665217f_1721908699892.wav,"nini unapenda kuhusu aina A? Aina A ni nzuri kwa sababu imetoa mauwa kwa wakati wake. ndio. ile imeshambuliwa na wadudu sana, mmh, unaona majani yalivyoshambuliwa? ndio. eeh ndio." moment_4_reproductive_5156c7ea-b999-437d-88cd-7e7f6665217f_1721908715656.wav,nini usichopenda kuhusu aina A? Nini nisichopenda? ndio. ni kule kushambuliwa na wadudu. mh sawa. ndio. moment_4_reproductive_5156c7ea-b999-437d-88cd-7e7f6665217f_1721908741930.wav,"nini unapenda kuhusu aina B? sipjapenda kwa sababu, ndio imeshambuliwaa kwanza imechelewa kutoaa, imeshambuliwa na kimbamba. mmh. ndio." moment_4_reproductive_5156c7ea-b999-437d-88cd-7e7f6665217f_1721908761968.wav,nini usichopenda kuusu aina B? Imeshambuliwa na kimamba. sawa. moment_4_reproductive_5156c7ea-b999-437d-88cd-7e7f6665217f_1721908783904.wav,"nini unapenda kuhusu aina c? aina C imetoa kwa wakati wakee, imestawi vizurii, ndio. ndio. mmh." moment_4_reproductive_5156c7ea-b999-437d-88cd-7e7f6665217f_1721908803675.wav,"nini usichopenda kuhusu aina C? Aina C imeshambuliwaa na naa baridi. mmh, Majani yake yameshambuliwa na baridi." moment_4_reproductive_555b8d89-6315-493d-b2b7-25b828227dd9_1717746092553.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?Napenda kwa sababu majajni yake ni mazuri alafu imemea vizuri.Kingine amabacho unapenda kuhusu aina A?Hamna. moment_4_reproductive_555b8d89-6315-493d-b2b7-25b828227dd9_1717746132050.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A?Hamna nisichopenda yote ni sawa tu ni mazuri. moment_4_reproductive_555b8d89-6315-493d-b2b7-25b828227dd9_1717746247361.wav,Nini unapenda kuhusu aina B?napenda aina B kwa sababu majani yake ni mazuri alafu ma ma wadudu nao hawashambulii kwa ujumla.Kingine unapenda kuhusu aina B?Ni kawaida tu hamna kingine.Asante. moment_4_reproductive_555b8d89-6315-493d-b2b7-25b828227dd9_1717746259307.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B?Hakuna nisichokipenda nilifurahia tu ni mazuri. moment_4_reproductive_555b8d89-6315-493d-b2b7-25b828227dd9_1717746300341.wav,Nini umependa kuhusu aina C?Aina C nimeifurahia kwa sababu inamea vizuri majani yake ni mazuri halafu nayo ina watoto wazuri.asante. moment_4_reproductive_555b8d89-6315-493d-b2b7-25b828227dd9_1717746316887.wav,Nini usichopenda kuhusu aina C?Labda hamna nisichokipenda sema iko ni mazuri kwa ujumla lakini kwa upande mwingine wadudu kidogo wanashambulia.Asante. moment_4_reproductive_5619b290-8bd7-42b3-914b-e09a1dadeea7_1716362086269.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina A?Aina A nimeipenda hina ina watoto wengi halafu majani yake sio mengi.Kuna chochote kingine unachoweza kueleza unachokipenda kuhusu aina A?Hapana hamna. moment_4_reproductive_5619b290-8bd7-42b3-914b-e09a1dadeea7_1716362133393.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina A?Kuhusu aina A hakuna kitu ambacho sikipendi. moment_4_reproductive_5619b290-8bd7-42b3-914b-e09a1dadeea7_1716362199446.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina B?Kitu ambacho nakipenda kwenye aina B maharage yake ni mengi pia ina majani mengi.Kingine ambacho unakipenda kuhusu aina B?Uotaji wake ulikua ni mzuri mpaka sasa hivi na haali ya kulizisha.Maelezo mengine ambayo unaweza kutoa kuhusu unachokipenda kuhusu aina B.Kwamba hinaina watoto wengi kwahiyo inakua hinaina mazao mengi.Kuna kingine?Hapana zaidi ya hapo. moment_4_reproductive_5619b290-8bd7-42b3-914b-e09a1dadeea7_1716362256331.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina B?Kuhusu aina B kitu ambacho sikipendi ni kimoja tu ni kwamba inashambuliwa na wadudu.Kuna maelezo mengine ya ziada unaweza kutoa.Hapana. moment_4_reproductive_5619b290-8bd7-42b3-914b-e09a1dadeea7_1716362299885.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhhusu aina C?Aina C kitu ambacho nakipenda inaa watoto wengi japokua inashambuliwa na wadudu.Kingine ambacho unakipenda kuhusu aina C?Kitu kingine zaidi ya hapo sii sioni. moment_4_reproductive_5619b290-8bd7-42b3-914b-e09a1dadeea7_1716362349890.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina C?Aina C kitu ambacho sikipendi ni kwamba mazao yake hayakomai haraka na sio mengi.Kingine unacho ambacho hupendi kuhusu aina C?Aina C kitu ambacho kingine sikipendi majani yake yana zile kambakamba sasa katika upalilizi inakua inaleta ugumu kwenye upalilizi.Kingine ambacho unaweza ukakieleza ambacho hukipendi kuhusu aina C?Hapana zaidi ya hapo. moment_4_reproductive_56d84a2b-1d39-4d11-bf5f-fc3f26ff22d4_1719998892998.wav,mmhaina gani ya ya aina A unaipenda zaidi aina A unapenda nini zaidi? aina A naiona ni nzuri kwasababu kwanza ina makasha mengii alafu badoo tukifikia hatua za mwisho ndio tutapata majibu sahihi sawasawa moment_4_reproductive_56d84a2b-1d39-4d11-bf5f-fc3f26ff22d4_1719998911542.wav,usichokipenda kwenye aina A tuelezee kidogo aina A kwakwelii sijaona kama ina matatizo wala sijaona mbaya wake mavuno ndio yatatupa majibu sahihi asantee moment_4_reproductive_56d84a2b-1d39-4d11-bf5f-fc3f26ff22d4_1719998922494.wav,aina B nini ambacho umekipenda zaidi? aina B nayo ni nzurii ila tunasubiria tu matokeo kwenye mavuno. moment_4_reproductive_56d84a2b-1d39-4d11-bf5f-fc3f26ff22d4_1719998932982.wav,nini usichokipenda kwenye aina B? kwenye aina B nayo yenyeweee majibu sahihi ni wakati wa mavuno sawa. moment_4_reproductive_56d84a2b-1d39-4d11-bf5f-fc3f26ff22d4_1719998947711.wav,"aina C kipi ,kitu gani umekipenda zaidi kwenye aina C? aina C yenyewe imeiota vizuri ila makasha haikujazia vizuri asantee" moment_4_reproductive_56d84a2b-1d39-4d11-bf5f-fc3f26ff22d4_1719998961247.wav,na C ambacho hujakipenda? aina C wakati wa kutoa maua ilionyesha mnyauko ndio ndio maana sikuweza kui sijaifurahia sana sawa moment_4_reproductive_5ea93754-04b7-4bdd-a507-3b6739f10d1b_1716889392804.wav,angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo?ee mimi kwa aina A kwa jinsi nilivyoina toka ilivyoanza kukomaa kwanza ninaipenda kwasababu inawahi kukomaa pia inawahi kukauka ee ndio kwa aina A napendea hicho cha kuwahi kukauka kwanza kuwahi kukomaa na halafu kuwahi kukauka kwa maana mpaka hata sasahivi yame yameshakauka yale ila lakini hizi aina zingine enyewe bado mabichi. asante hakuna jambo lingine unalolipenda zaidi hilo kukomaa na kukauka mapema. ni hivi labda jambo lingine ee ninalolipenda kwenye aina A kwasababu naona hata uzaaji wake uko wastani ina maana sio mbaya sana. aya asante. moment_4_reproductive_5ea93754-04b7-4bdd-a507-3b6739f10d1b_1716889430171.wav,angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.kwa ujumla mimi labda tu nadhani inaweza kuwa hii ni hali ya hewa lakini mimi ninacho sijaona kitu ambacho kimenipa tabu sana katika mbegu ya aina A ina maana mimi naona tu ni mbegu iko vizuri ee haina shida kwa upande wangu hakuna kitu nilichokiona ambacho kiko tofauti.aya asante. moment_4_reproductive_5ea93754-04b7-4bdd-a507-3b6739f10d1b_1716889510177.wav,"angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusiana aina hiyo.ee aina B kwanza ninachokipenda nimeona mbegu hii inamaana kwanza inastahimili hali ya ya mvua nyingi au chache halafu wakati mwingine ninachokipenda zaidi ni uzaaji wake imezaa, imeweka matunda mengi ya kutosha halafu kitu kingine pia inakuwa inawahi kidogo kukauka tofauti na mbegu ya aina aina C ina maana aina B yenyewe inawai kukauka na imekaa vizuri uzaaji wake uko vizuri sana zaidi ya aina hizi zote mbili kati ya aina A na C ina maana B iko vizuri kati ya hizi mbegu tatu ambazo nimezipanda hapa.aya asante." moment_4_reproductive_5ea93754-04b7-4bdd-a507-3b6739f10d1b_1716889563987.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.ee kwa upande ya aina B ya mbegu sijaona kitu ambacho sikipendi kwa ujumla kwasababu kungewa labda uzaaji wake ungekuwa ni wa tabu ndipo ningeweza kuona kuwa kuna matatatizo yanaonekana kuwa mbegu hii hai ingekuwa hainifai kwasababu isingekuwa imezaa kama ilivyo kwa sasa kwa ujumla hakuna kitu nilicho kiona ambacho kiko tofauti mpaka kufikia kuichukia mbegu ya aina B ee ina maana naona iko vizuri kwa ujumla imezaa vizuri mno asante. moment_4_reproductive_5ea93754-04b7-4bdd-a507-3b6739f10d1b_1716889651115.wav,"angalia aina C na elezea chochote ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo.ee aina C kwa ujumla nimeiona pia na enyewe imetoa mazao vizuri wastani ina maana naipenda kwasababu inastahimili sana hali ya ukame maana hapa nilikopanda nimepanda juu juu kidogo sana sijapanda bondeni lakini inastahimili hali ya ukame na mpaka sasahivi nayo imeanza kukauka kwa mbali na enyewe haina shida sana ingawaje imezaa wastani wa wakati ina maana haikupoteza sana matunda wala haikuzaa sana ila iko wastani wa kati .hamna jambo lingine kuhusiana na muonekanao wake ilivyorefuka na niniee labda kwa upande wa kurefuka sasa ndio nimeona imerefuka labda ndio sijui ndio hicho kilichosababisha mpaka hata matunda yenyewe yamechelewa kukomaa inawezakuwa yenyewe inachukua mda mrefu zaidi ya mbegu ya mbegu hizi tatu nilizopanda A, B yenyewe C inaonekana inachukua mda mrefu kidogo maana mpaka sasahivi bado mbichi haija haija kauka. aya asante.mmh." moment_4_reproductive_5ea93754-04b7-4bdd-a507-3b6739f10d1b_1716889708908.wav,angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo.aina C kwa ujumla kitu tu ambacho nakiona mimi labda sikipendi sikipendi kwenye hii ina maana hii inachelewa sana kuzaa ina maana inachelewa inachukua mda mrefu sasa siwezi fahamu inaweza kuwa labda kulingana na ardhi nilivyoipanda labda inaweza kuwa ina ina rutuba nyingi zaidi labda hicho ndicho kilichosababisha imechelewa sana na mpaka sasahivi bado ndio ina inaanza kukomaa tofauti na mbegu A na B ina maana utofauti hicho ndicho ambacho mimi naona sikipendi kwasababu inachelewa kukomaa .aya asante. moment_4_reproductive_67211827-42d4-4266-951d-5917bc99cb29_1721991092519.wav,"angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unapenda kuhusu hio. aina ya A kidogo yana afadhali. ndio, kipi kinakuvutia? yamechangamka na kutoa maua vizuri. sawa." moment_4_reproductive_67211827-42d4-4266-951d-5917bc99cb29_1721991108067.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio. aina A haina shida. sawa. moment_4_reproductive_67211827-42d4-4266-951d-5917bc99cb29_1721991134717.wav,"angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unapenda kuhusu hio. ainaa B, mmh. kidogo ni nzuri, mmh, ila sasa haijachangamka vizuri. sawa, ukisema haijachangamka vizuri unamaanisha? yani haijatoa mauwa vizuri. aah sawa." moment_4_reproductive_67211827-42d4-4266-951d-5917bc99cb29_1721991157938.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio. aina B? mmh. hamna. kipi ambacho hakikuvutii labda ukiangalia? haojatoa marage vizuri. aah ndio. mmh. moment_4_reproductive_67211827-42d4-4266-951d-5917bc99cb29_1721991174493.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unapenda kuhusu hio. aina C sijaipenda. ndio. mmh. moment_4_reproductive_67211827-42d4-4266-951d-5917bc99cb29_1721991194745.wav,"angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio. aina C sipendi kwa sababu haijaota vizurii, ndio. haijatoa mauwa vizuri. mmmh. mmh. mmh sawa sawa." moment_4_reproductive_68a1817a-73fa-4b27-8bc0-04606a0a5552_1717056109451.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu aina hiyo.Yani hapa ninavoona mmea ni sahii vyote naona apa akuna utofauti ni saii.Ndio.Mmm. moment_4_reproductive_68a1817a-73fa-4b27-8bc0-04606a0a5552_1717056137318.wav,Angalia aina hii hii A pia na eleza chochote ambacho unaona hujakipenda.Hakuna utofauti katika ani group A apa naona yote ani process A apa ni sawa tu.Mmm.Eeee nisaii.Sawa.Eeee tuendage kwa . moment_4_reproductive_68a1817a-73fa-4b27-8bc0-04606a0a5552_1717056161518.wav,Angalia aina B na eleza chochote ambacho umeona umekipenda.Nimeupenda mmea uzao wake ni mzuli lakini kunaa kitu kama njano njano lakini uzao nao ni mzuli ni sahii akuna lolote ene tatizo apo.Saa. moment_4_reproductive_68a1817a-73fa-4b27-8bc0-04606a0a5552_1717056175185.wav,Angalia aina B na eleza chochote ambacho unaona hujakipenda kwenye aina hiyo.Hapana vyote apa mi navipenda tu. moment_4_reproductive_68a1817a-73fa-4b27-8bc0-04606a0a5552_1717056216425.wav,Angalia aina C.Na eleza chochote ambacho unaona umekipenda.Ila group C kidogo kuna mimea yangu kidogo ina mapungufu kama kunaa mnyauko fulani lakini kidogo uzao umo umo.Mmm.Lakini naona sio mbaya sana.Mmm.Ni sahii saa.Na kingine ambacho umekipenda.Nilicho kipenda ninavoangalia ata kambegu aka naona ani kinanipa matumaini kidogo kwa mimi mkulima.Matumaini gani?Eeee katika uvunaji wangu inawezekana kidogo ikanipa matumaini.Sawa.Basi. moment_4_reproductive_68a1817a-73fa-4b27-8bc0-04606a0a5552_1717056240530.wav,Kuna chochote katika aina C ambacho hujakipenda.Hapana hakuna ambacho sijakipenda naona yani mimea yangu hapa ni utofauti tu yani ni kuwa na unjano njano lakini uzao zao umo lakini akuna lolote ambalo ani naliona kuna utofauti apa mmm amna shaka.Sawa asante. moment_4_reproductive_6d8fbf42-47e0-4cb5-8c39-5878edde38bc_1716472901432.wav,Nini ulipenda kuusu aina A. Aina A nimependa maana imebeba nilichokichukia ni huu uku ukungu tu ulikuza haya na nii haya majani yake lakini marage nimeona yako mazuri. Sawa. moment_4_reproductive_6d8fbf42-47e0-4cb5-8c39-5878edde38bc_1716472929037.wav,Ni nini usichopenda kuusu aina A. Aina A sina chochote nilicho kichukia maana nimeona imebeba uku chini ya marage kuna marage. Sawa. moment_4_reproductive_6d8fbf42-47e0-4cb5-8c39-5878edde38bc_1716472963218.wav,Nini umepnda kuusu aina B. Aina B sina chochote nilicho kichukia maana nimeona yanabeba vizuri yako sawa. Sawa. moment_4_reproductive_6d8fbf42-47e0-4cb5-8c39-5878edde38bc_1716472984444.wav,Nini usichopenda kuusu aina B. Aina B sijaona kosa lolote ila haya majani tu ndiyo yalinisumbua kidogo lakini chini kuna maharage tena. Asante. moment_4_reproductive_6d8fbf42-47e0-4cb5-8c39-5878edde38bc_1716473015006.wav,Nini unapenda kuusu aina C. Aina C nimechukia kidogo maana marage haiku kaa sawa vizuri lakini iliyobeba siyo mabaya yako sawa tu nayo. Sawa. moment_4_reproductive_6d8fbf42-47e0-4cb5-8c39-5878edde38bc_1716473051023.wav,Nini usichopenda kuusu aina C. Aina C marage yake yako sawa lakini aya majani yake yamekimbia araka kupuu kupukutuka au kuanguka chini yani kutoka alafu imeacha marage kabla haijamalizia kuivo. Asante. moment_4_reproductive_885c1112-99b7-4c2c-9cb6-f65fe67f68f4_1715700630387.wav,ukiangalia aina A naomba uniambie unachokipenda kuhusu aina A?mimi kwenye aina A.naipenda sanammh.ee.mmh kwa nini labda unaipenda sana?.naipenda kwasababu iko vizuri.mmh.halafu inazaa.mmh.eee moment_4_reproductive_885c1112-99b7-4c2c-9cb6-f65fe67f68f4_1715700655196.wav,mmh na ni nini ambacho hukipendi kwenye aina A?anhaa mi nakipenda tu kule kwasababu iko vizuri yenyewe.mmh.kwahiyo najikuta tu naipenda.mmh.hakuna kitu ambacho sikipendi napenda. moment_4_reproductive_885c1112-99b7-4c2c-9cb6-f65fe67f68f4_1715700697001.wav,mhh kwenye aina B pia unaweza ukaniambia kitu ambacho unakipenda kutoka kwenye aina B?.aina B kitu ambacho nakipenda.mmh.moja.mmhimezaa vizuri.mmh.mbili majani yako vizuri yanapendeza.mmh.kwahiyo mi inanivutia inavyozaa vizuri jamani.mmh.hata sasahivi unavyoingalia inazaa vizuri.bado moment_4_reproductive_885c1112-99b7-4c2c-9cb6-f65fe67f68f4_1715700737967.wav,mmh ni kitu gani pia usichokipenda kutoka aina B?.B naipenda moja inazaa vizuri.kitu ambacho hu huja hukipendi kutoka kwenye kwenye aina aina B vitu unavyovipenda umeshaniambia kitu gani ambacho sasa hukipendi kutoka aina Bhapana vyote navipenda.mmh.ee moment_4_reproductive_885c1112-99b7-4c2c-9cb6-f65fe67f68f4_1715700777659.wav,mmh ukiangalia sasa aina C unaweza ukaniambia chochote unachokipenda kutoka aina C?.aina C.mmh.naipenda.mmh.naipenda kupitia nini.mmh.aina C moja inazaa vizuri.mmh.pili maua yake wakati pale yakiwa yana nanii.mmh.halafu na watoto wako vizuri.mmh. moment_4_reproductive_885c1112-99b7-4c2c-9cb6-f65fe67f68f4_1715700817470.wav,mmh ukiangalia aina C iyo iyo kitu gani ambacho usichokipenda sasa kutoka kwenye aina C?.aina C sema mimi navutiwa tu naipenda.mmh.kwasababu iko vizuri.mmh.inawahi kutoa maua.mmh.inainatoa na watoto.mmh.inakauka haraka.mmh.ee.kwahiyo ukiangalia kitu ambacho usichokipenda kwenye aina C?.hamna mi vyote navipenda. moment_4_reproductive_95e361c4-be7d-4b7f-b210-049f07e3aac1_1716191515202.wav,"nini unapenda kuhusu aina A?Aina ni nzuri inaonekana imezaa vizuri na imehimili hali ya hewa ya mvua, mvua nyingi.kingine?ni icho tu." moment_4_reproductive_95e361c4-be7d-4b7f-b210-049f07e3aac1_1716191526339.wav,nini usichopenda kuhusu aina A?.hakuna.hakuna.hakuna. moment_4_reproductive_95e361c4-be7d-4b7f-b210-049f07e3aac1_1716191552731.wav,nini unapenda kuhusu aina B?.Aina B pia imemea vizuri.ndio.eee inaonekana japo si sana ime meejaribu kuendana na hali ya hewa ya eneo husika.ndio ndio.ndio.kingine?.aah sina kingine. moment_4_reproductive_95e361c4-be7d-4b7f-b210-049f07e3aac1_1716191577923.wav,nini usichopenda kuhusu aina B?.aina B inaonekana inashambuliwa naa ukunguu.mmmheeeimenionesha kwamba haiimili saana mvua zinapokua nyingikingine?.sina kingine. moment_4_reproductive_95e361c4-be7d-4b7f-b210-049f07e3aac1_1716191605686.wav,nini unapenda kuhusu aina C?aina C nilipenda katika u ustawi wake a wa awali kabla ya uzaajimmh.nilipenda sana katika uu ustawi ilistawi vizuri na ilikua na ukijani kibichimmhevergreen yake ilikua nzurimmheehkingine?ni icho tu. moment_4_reproductive_95e361c4-be7d-4b7f-b210-049f07e3aac1_1716191623188.wav,nini usichopenda kuhusu aina C?.aina C nisichokipenda katika aina hizi tatu aina C iinaonekana inashambuliwa zaidi na ukungu tofauti na aina zilizo tangulia.aah kingine?.sina kingine. moment_4_reproductive_961d34a3-ec58-4fd3-a60b-db1ebfb552de_1717140714828.wav,nini unapenda kuhusu aina A?.aina A naipenda kwasababu imekuwa vizuri na uzaaji wake naona kama imezaa vizuri na ukomaaji wake naona kama inakomaa vizuri naipenda hii mbegu ipo vizuri.hauna jambo lingine iliokupendeza zaidi.aa kilicho nimependeza ina maana kama nilivyosema kwamba imekuwa vizuri yani haina shida imekuwa vizuri ee imetoa maua vizuri na ikazaa vizuri ndio ivo.aya asante. moment_4_reproductive_961d34a3-ec58-4fd3-a60b-db1ebfb552de_1717140751461.wav,angalia aina A na eleza chochote ambacho hujakipenda kuhusu aina hiyo.yani aina A kitu ambacho sijakipenda ni baadhi ya mimea mingine ina inanyaukanyauka yani kama inakauka vile ndio maana kwamba ina maana ndio tatizo linalo achwa mpaka sometime inakuta sijaipenda vizuri kwasababu ya hii mimea ambayo inaleta unyauko sana. sawa hamna jambo lingine ambalo halijakupendeza.aa hamna.aya asante. moment_4_reproductive_961d34a3-ec58-4fd3-a60b-db1ebfb552de_1717140790761.wav,mmh.nini unapenda kuhusu aina B?.aa aina B nimeipenda kwasababu imetoa maua vizuri na ina kwenye kukauka haraka na imezaa vizuri.jambo lingine iliokupendeza zaidi .aa imenipendeza zaidi kwasababu yanii yakishakomaa tu maharage unakuta yanakauka haraka kwahiyo unavuna haraka.aya sawa asante. moment_4_reproductive_961d34a3-ec58-4fd3-a60b-db1ebfb552de_1717140822488.wav,nini usichopenda kuhusu aina B?.aina B sijainanilii sijaipenda vizuri kwasababu inaleta ina nanii inashambuliwa sana na wadudu na kwenye kukauka unakuta baadhi ya maharage mengine unakuta bado haijafikia mda wake unakuta inaleta unyauko kidogo kwenye baadhi ya mashina mengine.aya asante. moment_4_reproductive_961d34a3-ec58-4fd3-a60b-db1ebfb552de_1717140856725.wav,"nini unapenda kuhusu aina C?.aina C nimeipenda kwasababu inazaa vizuri , inaleta ustawi vizuri na haina shida aina C inazaa ma mananilii maharage yake ni makubwa yanaonekana kabisa ni ya kuvuna vizuri.hauna jambo lingine la kupenda zaidi.hamna.asante." moment_4_reproductive_961d34a3-ec58-4fd3-a60b-db1ebfb552de_1717140886912.wav,nini usichopenda kuhusu aina C?.ee nisichokipenda katika aina C ni kwamba baadhi ya maharage mengine yameshambuliwa na wadudu na yana mnyauko yani mshina mwingine unakuta vina kauka kauka.jambo lingine ambalo halijakupendeza zaidi.hamna.aya asante. moment_4_reproductive_a05c3873-8a34-4b43-bc03-3472016ce931_1716463460421.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Aina A ninapenda kwa sababa saa imee imezaa vizuri watoto wazuri hayana maradhi hata kidogo.Sawa. moment_4_reproductive_a05c3873-8a34-4b43-bc03-3472016ce931_1716463473962.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?Aina A? aina A si hamna kitu nalichokichukia pale naona ni yako sawa tu vizuri.Sawa. moment_4_reproductive_a05c3873-8a34-4b43-bc03-3472016ce931_1716463493978.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachhokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Aina B naelezea japo yako vizuri ila majani kua yanakua ya njano ina majani ya njano ila uzazi umeza vizuri hayajagongwa na kitu ila majani yanaleta unjano.Sawa. moment_4_reproductive_a05c3873-8a34-4b43-bc03-3472016ce931_1716463509486.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina B?Yani ni hayo majani tu ndo naona kua sijui ndo imekosewa wapi kwenye majani tu kua njano basi.Sawa. moment_4_reproductive_a05c3873-8a34-4b43-bc03-3472016ce931_1716463537404.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Yani aina C ndo zaidi kabisa kwa sababu yenyewe imepanda hiko juu watoto warefu yani yenyewe ndo naona ndo imekua nambari one nikiangalia.Sawa sawa ukianga pia ukiangalia uzao wake ukoje kwenye aina C.Aina C uzao wake ni mzuri ndo maana nimeelezea kua ni marefu yamepanda juu na watoto wamezaa vizuri.Sawa. moment_4_reproductive_a05c3873-8a34-4b43-bc03-3472016ce931_1716463551398.wav,Angalia aina C na elezea chochote anachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?Yani kwenye aina C majani yako vizuri hayana njano ni yame dedema tu kawaida ninaona ni mazuri.Sawa. moment_4_reproductive_a13149f4-665d-44d9-b143-b8c6e4691841_1716440497121.wav,niini unapenda kuhusu aina?aa aiana A naipenda kwa sababu ukipshanda kwenye uotaji wake yakikaa vizuri huwa yaanyi yanapenda kuwa yanazaa.sawayanazaa yaani naiyona mbegu iko vizuri sana.sawaeehkwahiyo kilichokuvutia katika aina A?ni kwakuwa hii mbeguyaani ikienda na mawingu vizuri inazaa vizuri nje kilikuwa nimeipenda.sawa moment_4_reproductive_a13149f4-665d-44d9-b143-b8c6e4691841_1716440540273.wav,nini usichopenda kuhusu aina A?eee kuhusu aina A kulikuwa na kipengele kidogo ambacho baada ya kupanda nikaona mistari yangu haikuwa vizuri lakinii naona ni uharibifu mdogo mdogo kwahiyo ndiyo ilikuwa kidogo chugaw lakini baada ya hapo yaliyobaki nilivyokuwa nimeyaona nikaona haina haja ya kuleta tena tofauti kati yaaa kuufurahi na kuchukia kwahiyo majibu yote yako safi naiyona mbegu inaenda vizuri. moment_4_reproductive_a13149f4-665d-44d9-b143-b8c6e4691841_1716440598833.wav,nin unapenda kuhusu aina B?eeh aina B nayo vilevile nasema naipenda kwa sababu kwanza ni mara yangu ya kwanza ni mara yangu ya kwanza kuiona kwahiyo ni wajibu niipende ili tutakavyokuwa tunaendeleanazo mbele najua ubora wake utaku zidi zaidi ya hapa nilivyokuwa nimepanda.sawanayo ina changamoto ile kwamba katika kupanda ikawa haijaota lakiniii ni matatizo yaki ya ya ya ya ya Mungu hayo sasa. moment_4_reproductive_a13149f4-665d-44d9-b143-b8c6e4691841_1716440615113.wav,nini usichopenda kuhusu aina B?aa yaanii naweza nikasemekana hakipo ni mia kwa mia nimeipenda hii mbegu.sawa. moment_4_reproductive_a13149f4-665d-44d9-b143-b8c6e4691841_1716440649362.wav,nini unapenda kuhusu aina C?aina C nayoo pia ni miongoni mwa jamii ya hizi mbegu tatu ambao zote nazipenda kwa sababu kama hii hapa inwezekana hii inazaa vizuri zaidi.sawa.kwakuwa inonyesha hata dalili yake mpaka muda tuliokuwa nao hapa. moment_4_reproductive_a13149f4-665d-44d9-b143-b8c6e4691841_1716440679571.wav,nini usichopenda kuhusu aina C?ee aina C changamoto ni ile ile yaani majibu yake yanakuja pamoja kwamba wakati wa kupanda kuna baadhi ya mashimo hayakuota hapo ndipo niliona kwambaa aa aina kama itakuwa hivi ndiyo takuwa lakiniii huu ni uharibifu baadhi mdogo mdogo kwahiyo matatatizo mengi katika aina hii pia vilevile hayapo.sawammhmmh. moment_4_reproductive_a2b047f3-7c1c-43cc-a14b-b3afff91d5a4_1715675385328.wav,"Agalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Aaah nimefurahi namna ilivyo stawi, haya maharage yalivyostawi ya aina A.Je una kitu kingine unachokipenda tofauti na hicho au hakuna?Kitu tofauti na hicho ambacho nimekipenda ni kwamba uzaaji wake pamoja na kustawi lakini uzaaji wake unaonekana una nguvu.Unaweza ukaelezea zaidi au umeishia hapo?Nimeishia hapo." moment_4_reproductive_a2b047f3-7c1c-43cc-a14b-b3afff91d5a4_1715675423652.wav,"Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi?Aaaaah, kwa kweli hakuna isipokua hali ya hewa inawezekana tulipanda mapema zaidi na mvua za mwaka huu ndio zime athiri hali halisi ya aina hii ya maharage." moment_4_reproductive_a2b047f3-7c1c-43cc-a14b-b3afff91d5a4_1715675475825.wav,"Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho umekipenda?Aaaaah, mi ninacho kipenda ni kwamba yale maharage yalikua na nguvu na uwezo mkubwa sana ndivyo ninavyo ona." moment_4_reproductive_a2b047f3-7c1c-43cc-a14b-b3afff91d5a4_1715675546636.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi?Ahaa kwa kweli ninacho ninavyoangalia hakuna nisichokipenda ila isipokua kitu ambacho kimefanya nisipende aina B ni kwambaa yaa maharage yameungua lakini ni hali ya hewa mvua ilizidi ndo maana hali imekua vile yamekua na hali ya kuungua. moment_4_reproductive_a2b047f3-7c1c-43cc-a14b-b3afff91d5a4_1715675649594.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda?Aina C kuna baadhi ya maharage ambayo yanafanya vizuri sana ingawa mengi yameathirika lakini nimeopenda kwa sababu kuna baadhi ya maharage yamezaa vizuri kabisa.Kuna kitu kingine cha kuongezea kwenye aina hii ya maharage?Cha kuongezea kwa kweli sina. moment_4_reproductive_a2b047f3-7c1c-43cc-a14b-b3afff91d5a4_1715675681288.wav,"Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi?Ambacho sipendi, aina C ni kwamba maharage mengi yameungua. Imenikatisha kidogo tamaa kwasababu ya uunguaji wa hali ya kasi sana pamoja na hali ya hewa lakini yameungua sana haya." moment_4_reproductive_b1a6d502-7a64-4b9a-ab88-888739461184_1715677445743.wav,eenhe ukiangalia aina A nini unapenda kutoka kwenye aiana A ?A napenda kwa saabu yanaota vizuri eeh kwahiyo picha yake ni nzuri kidogo .eeehhata muonekanommmh.mmmh.ukisema muonekano unamaanisha nini ?kwenye uotaji yanaota vizurimmmheeeh yanakua haraka kwenye uotaji.mmheeeh.kingine labda kama unacho cha kuongeza .cha kuongeza hata uzaaji nao kidogo ni mzuri.mmh.mmmh. moment_4_reproductive_b1a6d502-7a64-4b9a-ab88-888739461184_1715677462962.wav,mmh kwenye aina hiyo hiyo A nini ambacho hukipendi sasa ?sikipendi aah ila nakipenda kiko vizuri haina shida .mmh.eee yale yale yako vizuri hakina shida .mmmh.mmmh. moment_4_reproductive_b1a6d502-7a64-4b9a-ab88-888739461184_1715677493421.wav,mmmh sasa ukiangalia aina B nini unapenda kwenye kwenye hiyo aina B ?aina B naipenda lakini kidogo uotaji unakua changamoto kidogo .mmmh.mmmh.unavosema uotaji wake ni changamoto unaweza ukanielezea zaidi .yanaota vizuri ila sasa tiari yani ukuaji ukuaji unakua ni changamoto .mmmh.afu hata uzaaji unakuwa sio mzuri.mmmh .mmmh. moment_4_reproductive_b1a6d502-7a64-4b9a-ab88-888739461184_1715677512144.wav,mmh ko nini ambacho hukipendi kutoka kwenye hio aina B ?B uotaji yanaota vi tofauti ndo maana sasa yale siyapendi sana.mmmh.mmmh yani yanaota taratibu sana.mmh.eee. moment_4_reproductive_b1a6d502-7a64-4b9a-ab88-888739461184_1715677553311.wav,Mmh ukiangalia kitalu C unaweza ukanambia nini unapenda kutoka kwenye aina C ?C nayo ni nzuri inafanana na A ila isipokua nzuri kidogo ile C ile C inapanda juu kwa hiyo kidogo inaonekana ina mwonekano mzuri zaidi kuliko mengine.na unavosema inapanda juu labda unaweza ukanielezea zaidi una maanisha nini ?namaanisha yanapanda juu yani yanakuwa hewani kuliko yale mengine .mmh.mmmh yale matawi yake ni mengi .mmmh.mmmh. moment_4_reproductive_b1a6d502-7a64-4b9a-ab88-888739461184_1715677571842.wav,Na ni nini ambacho hukipendi kutoka kwenye aina C ?C sikipendi yanaota taratibu sana japo yanapendeza lakini kwenye uotaji nao ni changamoto yanachukua mda mwingi sana.mmmh.eeeh.sawa. moment_4_reproductive_ba536e00-a349-4585-a444-610de00158cf_1716467665546.wav,nini unapenda kuhusu aina A?aina A ninaipenda kwa kuwa nimeona kama uzao wao niki wake niki ni afadhali kulikoni wengine. moment_4_reproductive_ba536e00-a349-4585-a444-610de00158cf_1716467686368.wav,nini usichokipenda kuhusu aina A?nisichokipenda kuhusu aina A kwemye uzao wake pia inapukutisha majani haraka. moment_4_reproductive_ba536e00-a349-4585-a444-610de00158cf_1716467717467.wav,nini unapenda kuhusu aina B?aina B naipenda kwa kuwa nimeona kama naenyewe uzao wao pia ni mzuri. moment_4_reproductive_ba536e00-a349-4585-a444-610de00158cf_1716467739589.wav,nini usichokipenda kuhusu aina B?aina B nisichokipenda pia uzao wake nao mchache sana tu sio kama huyu huu mwingine. moment_4_reproductive_ba536e00-a349-4585-a444-610de00158cf_1716467755431.wav,nini unapenda kuhusu aina C?mmh aina C kwakweli sijapendezwa. moment_4_reproductive_ba536e00-a349-4585-a444-610de00158cf_1716467772194.wav,nini usichokipenda kuhusu aina C?nisichokipenda kuhusu aina C uzao wake ni mdogo. moment_4_reproductive_bdd6ef49-f549-4c37-9f63-57c6dd5fbdaf_1721718754820.wav,Angalia aina A na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio aina Hamnaa.. Unachokipenda.. Hai yote ni nzuri tu naipenda. Ndio. Haina shida. Ndio. Imeota vizuri. Ndio. Na me mestawi vizuri. Aaah. Mmh. Imeota vizuri na kustawi vizuri. Mmh. Eeh labda kitu gani kingine unakipenda kuhusu aina A?... Aaah na pia imetoaaa makaka vizuri. Sawasawa. Mmh. Ndiondio. . Sawasawa.. moment_4_reproductive_bdd6ef49-f549-4c37-9f63-57c6dd5fbdaf_1721718777663.wav,"Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho upendi kuhusu aina hii. Amna. Am amna usichokipenda. Amnaaa amna hata kidogo. Ayaa, sawasawa" moment_4_reproductive_bdd6ef49-f549-4c37-9f63-57c6dd5fbdaf_1721718834652.wav,"Angalia aina B na erza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hii aina. Aa aina shida naipendaaa. Ndiomh labd labda ni vitu gani unavipenda kutoka kwenye hii aina Aaah ni nzuri tu kwasababu. Ndio. Imeota vizuriii. Mmh. Naa imestawi vizuri. Ndio ndio. Alafu imetoa makaka pia. Ndio. Kwayo kwahiyoni nzuri kabisa. Sawasawa. Ndio. Aya, jambo lingine labda ambalo unalipenda kwenye hii aina Hamnaa kwa ujumla naipenda.. Sawasawa." moment_4_reproductive_bdd6ef49-f549-4c37-9f63-57c6dd5fbdaf_1721718851574.wav,Aina B na elza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hii aina. Hamna chochote ambacho ni ni sipendi. Mmh. Mmh. Aya.. moment_4_reproductive_bdd6ef49-f549-4c37-9f63-57c6dd5fbdaf_1721718878392.wav,Angalia aina C na elza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu ile aina C Aina C haina shida alafuuu mmh kidogo haiendi haraka. Aaa vitu unavovipenda kwanza. Haina shida yote naipenda. Sawasawa. Mmh. moment_4_reproductive_bdd6ef49-f549-4c37-9f63-57c6dd5fbdaf_1721718914549.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo. Ambacho sipendiii. Eeeh kwenye aina C. Aaa ni kwambaa haiendi harak... kwa ukuaji wake. Aaah ukuaji wake hauendi haraka. Hauendi haraka. Aah. Na imetoa maua vizuriii. Ndio Haina shida. Aaah sawa. moment_4_reproductive_becbdf98-051d-4097-abf9-8d849c7e1cfe_1715678966980.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda?Katika aina A kitu ambacho nimekipenda ni kwamba haya maharage yamejitahidi kuzaa kwa kiasi fulani.Kuna kitu kingine ulichokipenda?Hapana ni hicho tu. moment_4_reproductive_becbdf98-051d-4097-abf9-8d849c7e1cfe_1715678998998.wav,"Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi?Kitu ambacho sijakipenda katikaaa aina hii ya maharage ni kwamba aina hii imeathiriwa na magonjwa kwa kiasi kikubwa kwa hicho ni kitu ambacho sijakipenda katika aina hii ya maharage.Unaweza ukaelezea zaidi?Hapana, nimeishia hapo." moment_4_reproductive_becbdf98-051d-4097-abf9-8d849c7e1cfe_1715679162402.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda?Aina B ya maharage nimeipenda sana kwa sababu hii aina ya maharage inaitwa JESCA imejitahidi sana kuzaa kwahiyo hiyo ndo sababu imenifanya niweze kuipenda zaidi. moment_4_reproductive_becbdf98-051d-4097-abf9-8d849c7e1cfe_1715679185982.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi?Kitu ambacho sikipendi katika aina hii ya maharage ni kwamba imeathiriwa na magonjwa kwa kiasi kidogo hiyo ni sababu ambayo sijaipenda katika aina hii ya maharage. moment_4_reproductive_becbdf98-051d-4097-abf9-8d849c7e1cfe_1715679310368.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda?Katika aina C kitu ambacho nimekipenda maharage haya yamekua vizuri eeh katika ukuaji wake yamekua vizuri na yalikua yanapendeza sana kwa hicho ndio sababu ambayo imenifanya niweze kupenda hii aina C. moment_4_reproductive_becbdf98-051d-4097-abf9-8d849c7e1cfe_1715679355899.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi?Kitu ambacho sijakipenda katika aina hii ya maharage ni kwamba japo yamekua vizuri lakini ilipofikia hatua ya kuzaa imeathiriwa na ugonjwa kwahiyo hii ni sababu ambayo sijaipenda katika aina hii ya maharage. moment_4_reproductive_ca90120b-daf2-4b51-84e8-4ed9860be01b_1716791221147.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?.naipenda kutegemeana ina watoto wengi ila sasa uwasiliaji wenyewe sio ule wa ukungu kidogo. moment_4_reproductive_ca90120b-daf2-4b51-84e8-4ed9860be01b_1716791259597.wav,"angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?.siipendi kutegemeana na kushambuliwa, kushambuliwa na ukungu." moment_4_reproductive_ca90120b-daf2-4b51-84e8-4ed9860be01b_1716791289502.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiana ambacho unakipendi kuhusu hiyo?naipenda kutegemeana na imebeba watoto wengi na inawahi kukomaa. moment_4_reproductive_ca90120b-daf2-4b51-84e8-4ed9860be01b_1716791329035.wav,angalia aina B na eleza chochote amba u eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?sipendi kutegemeana na imebeba watoto wengi lakini kutokushambuliwa tu na wadudu kutobolewa. moment_4_reproductive_ca90120b-daf2-4b51-84e8-4ed9860be01b_1716791374323.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?hii hapa nainapenda lakini isipokuwa tu imeshambuliwa sana na wadudu ila imebaba vizuri lakini upo tu ushambuliaji wa wadudu. moment_4_reproductive_ca90120b-daf2-4b51-84e8-4ed9860be01b_1716791427336.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.sipendi kutegemeana kwamba inatobolewa na wadudummh.halafu kutoshambuliwa tena na wadudu kwahiyo hicho ndio sikipendi zaidi.mmh inashambuliwa ama haishambuliwi.inashambuliwa.mmh. moment_4_reproductive_d1aebcbc-27a6-407b-9b1b-62c674a7044d_1716526823590.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.hapa nimekipenda kwa sababu gani maharage yenyewe yamee yamekubali vizurii yamezaa vizuri na ukomaaji wake ni mzuri kwa kweli. moment_4_reproductive_d1aebcbc-27a6-407b-9b1b-62c674a7044d_1716526882954.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio.mmh hapa sipendi kwa aina hio? Kuna mimea fulani umedumaa haikuzaa vizuri lakini yote imezaa vizuri. moment_4_reproductive_d1aebcbc-27a6-407b-9b1b-62c674a7044d_1716527107953.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.kwa kweli aina B nimei nimeipenda kwa sababu imezaa vizuri nayo ingawa mengine yameedumaa kidogo lakini ni hivi yamezaa kwa kweli. moment_4_reproductive_d1aebcbc-27a6-407b-9b1b-62c674a7044d_1716527134957.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio.kuhusu hioo yan kuhusu hii hapa nimeipenda lakini sikuipenda sababu mingi imedumaa kwa kweli. moment_4_reproductive_d1aebcbc-27a6-407b-9b1b-62c674a7044d_1716527201167.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.aina C nmekipenda sababu gani yamezaa nayo lakini sio saana. moment_4_reproductive_d1aebcbc-27a6-407b-9b1b-62c674a7044d_1716527225724.wav,"angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio.aina B.ni aina C.ni aina C, aina C nimeipenda lakini sikuipenda sana mengineyo kwa sababu ganii tena ni vile vile yamedumaa mengineyo." moment_4_reproductive_d5a25f4c-a229-41c7-bfc5-96194e5b4d26_1716551661780.wav,Nini unapenda kuusu aina A. Aina A napendaaa mifuko yake imekuwa mizuri ilivyobeba ilikuwa na nguvu kiasi Sawa. moment_4_reproductive_da341ce7-fa8e-4020-ac69-76d19f135cf5_1716782545790.wav,nini unapenda kuhusu aina A?.nimependa tu kwasababu umezaa vizuri kwahiyo hauna shida yoyote ndio hicho tu nilichokipendea. moment_4_reproductive_da341ce7-fa8e-4020-ac69-76d19f135cf5_1716782559112.wav,nini usichopenda kuhusu aina A?.hamna nisichokipenda kwasababu nisije nikaongea uongo. moment_4_reproductive_da341ce7-fa8e-4020-ac69-76d19f135cf5_1716782576069.wav,nini unapenda kuhusu aina B?aina B sijaupenda kwasababu haujazaa vizuri kuota kwake haujaota vizuri ni hicho tu moment_4_reproductive_da341ce7-fa8e-4020-ac69-76d19f135cf5_1716782586768.wav,nini usichopenda kuhusu aina B?.sijaipenda tu kwasababu haijaota vizuri. moment_4_reproductive_da341ce7-fa8e-4020-ac69-76d19f135cf5_1716782667289.wav,nini unapenda kuhusu aina C?.aina C ni nzuri imeota vizuri na imeanza kukomaa kabla ya wenzake kwahiyo ni maharage mazuri kiukweli nimeyapenda mimi yameiva kabla ya menzake. moment_4_reproductive_da341ce7-fa8e-4020-ac69-76d19f135cf5_1716782691211.wav,nini usichopenda kuhusu aina C?.hamna nisiongee uongo nimevipenda vyote nisichokipenda hamna pale. moment_4_reproductive_dbc8f580-e6e7-4f8e-bdb3-59399db21cb8_1721806030774.wav,.. moment_4_reproductive_dbc8f580-e6e7-4f8e-bdb3-59399db21cb8_1721806038557.wav,.. moment_4_reproductive_e4a75e5d-fe35-4553-b67f-c10ddaa6d892_1716964890850.wav,nini unapenda kuhusu aina A?aina A nimependa uazaaji wake pia sio mbaya saana alafu katika biashara wengi wanayapendelea hasa mashule maana hayana gesi tumboniee sawa kuna kingine?kingineee labda mradi kama utatuhurumia basi uje utuongezee maana hivi ni vidogo mno.sawammh. moment_4_reproductive_e4a75e5d-fe35-4553-b67f-c10ddaa6d892_1716964936588.wav,nini usichopenda kuhusu aina A?nisichopenda kuhusu aina A katika mwanzo kukua ilikuwaaa inasuasua ilikuwa inasuasua hasa ndio nimeangalia sasahivi nikagundua kumbe si ubovu wa ku wa kukua ubovu upo katika labda jinsi inavyonyauka namna hii kwahiyo ubovu mi.fikiri labda inasuasua kukua lakini kumbe hamna.mmhmmh kwahiyo ni masuri tu.sawa.mmh moment_4_reproductive_e4a75e5d-fe35-4553-b67f-c10ddaa6d892_1716964971509.wav,nini unapenda kuhusu aina B?aina B maharage haya yanaaa biashara pia kwa sababu hayana gesi pia no kitu nimeyapendea.je? Kutokana na jinsi yalivyoota hapo ukiyaangalia ni kitu gani umekipenda?kitu nilichokipenda yamezaa kwa haraka yani hatakama yai kuna yaliyoharibika kuna yaliyojikaza yakaleta maana nzuri zaiidi kuliko haya mengine.sawa. moment_4_reproductive_e4a75e5d-fe35-4553-b67f-c10ddaa6d892_1716965009289.wav,nini usichopenda kuhusu aina B?hapana hakuna nisichokipenda nimependa kwa sababummhmwanzo niliona majani kama yananyauka sa nimegundua si ubovu wa maharage wala si shida ya maharage tatizotatizo linaweza kuwa ni nini?tatizo linaweza kuwa ni wadudu kwa sababu inanyauka siwezi kujua hawa wadudu wanangata chini ya mizizi au juu maana kama ni juu tungeona ukungu mi naona ni chini ya mizizi.sawa.enhee. moment_4_reproductive_e4a75e5d-fe35-4553-b67f-c10ddaa6d892_1716965040728.wav,nini unapenda kuhusu aina C?aina C kokweli yakiwa madogo yalikuwa yanaendelea vizuri na ukuaji wake ukawa ni mwepesi kuliko yote lakini mimi naona nimazuri hata na yenyewe kwa sababu ugonjwa ni ule ule niile kunyauka bila kusababishwa na hii kunyauka yangeniletea maana nzuriii.mmhmmhsawammh. moment_4_reproductive_e4a75e5d-fe35-4553-b67f-c10ddaa6d892_1716965112490.wav,nini usichopenda kuhusu aina C?chopenda katika aina C inarefuka alafu ina ina mikono sasa sijajua katika hali ya uoteshaji labda tukija kuacha hatuahatua ile kuukutanua mikono itakuwa na nafasi nzuri ya kuzaa sasa hii inaonyesha wakati inatanua mikono ni kama inabanana.mmhnilivyoangaliasawammhkuna kingine labda?. moment_4_reproductive_ec3da837-17cc-4edd-ad7a-27b2965b9e99_1717563920396.wav,"Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo>Naipenda imenizalia vizuriUnamanisha nini kisema hivyo?Imenitolea watoto vizuri.Sawa, je kuna kingine chochote unakipenda kuhusu aina A?Hapana." moment_4_reproductive_ec3da837-17cc-4edd-ad7a-27b2965b9e99_1717564004591.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?Haijazaa vizuri kama aina zingine.Unamaanisha nini kusema haijazaa vizuri.Namaanisha haikuzaa vizuri kwa sababu haiku labda haielewani na mazingira ya huku.Sawa. moment_4_reproductive_ec3da837-17cc-4edd-ad7a-27b2965b9e99_1717564077005.wav,"Angalia aina B na elezea chochote unachokipenda kuhusu hiyo.Aina B imezaa vizuriUnamaanisha nini kusema imezaaa vizuri?Imezaa vizuri, imezaa vizuri kwa sababu inaelewana ardhini." moment_4_reproductive_ec3da837-17cc-4edd-ad7a-27b2965b9e99_1717564181767.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Aina B nimeipenda imenizalia vizuri watoto.Ambacho hukipendi kuhusu aina B?Aina B ambacho sikipendi amna ambacho sikipendi yote nimeipenda. moment_4_reproductive_ec3da837-17cc-4edd-ad7a-27b2965b9e99_1717564241153.wav,"Angalia aina c na elezea chcochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Aina C nimiona imenizalia watoto vizuri, eeeKingine amabcho unakkipenda kuhusu aina C?Imee. Inastahimili ukame." moment_4_reproductive_ec3da837-17cc-4edd-ad7a-27b2965b9e99_1717564264551.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Aina C nimeipenda.Je ambacho hukipendi kuhusu aina C?Hakuna amabcho sikipendi. moment_4_reproductive_ec69eb21-573f-441d-ba74-c935f191ca2c_1715929993479.wav,nini unapenda kuhusu aina A ?hakuna nachokipenda.hakuna unachokipenda.mmmhkwa sababu gani ?kwa sababu ya hali yenyewe .kwa sababu ya hali yenyewe.hali ya maharage.ndioyalivyokuwa.yalivyokuwa.mmmh. moment_4_reproductive_ec69eb21-573f-441d-ba74-c935f191ca2c_1715930015457.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A?vyote.hakuna unachokipenda.eee.kwa saabu gani unavyoangalia maharage.hali ya maharage yenyewe.yamekufa .eeh.sawa. moment_4_reproductive_ec69eb21-573f-441d-ba74-c935f191ca2c_1715930032571.wav,Nini unapenda kuhusu aina B ?hakuna nachokipenda.hakuna unachokipenda.eeeh. moment_4_reproductive_ec69eb21-573f-441d-ba74-c935f191ca2c_1715930046746.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B ?hakuna tu nachokipenda .hakuna?kwa sababu ya hali ya mvua eeh .kwa sababu ya hali ya mvua.mmmh. moment_4_reproductive_ec69eb21-573f-441d-ba74-c935f191ca2c_1715930072118.wav,Nini unapenda kuhusu aina C ?vyote ndio hivo .mmmmhmmmh C ndio hivo .ndio hivo nini yani nini unapenda.yani kwa hali yenyewe tu.eehinaonyesha ndio hivo vyote hakuna kinachopendeka hapo.aah sawa moment_4_reproductive_ec69eb21-573f-441d-ba74-c935f191ca2c_1715930085103.wav,Nini usichopenda labda kuhusu aina C ?vyote.vyote.ee.hakuna unachokipenda.mmmh. moment_6_postharvest_06a09845-bb6a-4350-8deb-754965476654_1720691861168.wav,angalia aina a na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo yaani ii ee aina Anaipenda kwasababu inaweza kutoaa maelezo mazuri nimee nimevuna vizuri eeh jambo gani linginelililokupendeza zaidi? aah kitu kilichonipendeza zaidi ni rangi yake nzuri alafu yameweza kuzaa vizuri na nikavuna vizuri asante moment_6_postharvest_06a09845-bb6a-4350-8deb-754965476654_1720691896272.wav,angalia aina a na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo aah hamna hakuna usichokipenda aah hamna yaani hakuna ambacho usichokipenda yaan u yaani nisichokipenda yaani ina maana ni rangi hii haijakolea vizuri ina kama weupe flani hivi na mapepe pe kidogo kwenye uvunaji aya asante moment_6_postharvest_06a09845-bb6a-4350-8deb-754965476654_1720691932254.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo eeh aina B ninaipenda kwasababu imeweza kuzaa vizuri na nimevuna zaidi ina maana inaonekana kwamba ningepanda sehemu kubwa zaidi ningeweza kuvuna mauzo makubwa zaidi ya hayo niliyoyaona saivi hapo jambo gani lingine limekupendeza zaidi? aahkimenipendezesha zaidi kwa sababu ni mazurii rangi yake ni nzuri na nimeipenda kwakweli aya asante moment_6_postharvest_06a09845-bb6a-4350-8deb-754965476654_1720691957852.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu aina hiyo aaah aina B kunaa kitu ambacho sijakipenda zaidi kwasababu baadhi ya maharage mengine kwenye uvunaji kuna kama kuoza oza flani hivi yana rangi flani hivi ambayo inaleta yeah kama inaoza hivi mmh eeh aya asante moment_6_postharvest_06a09845-bb6a-4350-8deb-754965476654_1720692001528.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokipenda kuhusu aina hiyo aina C naipenda kwasababuu maharage yake ni mazuri na nimevuna vizuri na kwenyee mazao inaonekana inatoa vizuri vipi kuhusiana na suala la masoko na nini? eeh aina C naipenda kwa sababuu masokoo huku kwetu sisi kidogo hii ndio yenye soko kubwaa na ina hela kubwa ko ningepanda sehemu kubwa zaidi yawezekana ningevuna mazao makubwa kuliko haya niliyoyaona asaivi ina maana ningeweza kufanikiwa zaidi hata kwenye upataji wa hela aya asante moment_6_postharvest_06a09845-bb6a-4350-8deb-754965476654_1720692027297.wav,angalia aina C na eleza chochote ambacho hupendi kuhusu aina hiyo aah aina C aina C si kuna kitu ambacho sipendi kwa mfano labda rangi kuna baadhi ya maharage mengine yana rangi ya tofauti namenzake kidogo kwa mfano yaani kama weupe weupe flani hivi mengine yamekolea rangi vizuri mengine kama hayajakolea vizuri aya asante moment_6_postharvest_219f9b2c-dd53-4a6f-a576-726c931ab43c_1721625831864.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda. Hapa vitu vyote navipenda kutokana na kwanza kabisa ilikuwa kwenye majani yale majani yalikuwa mazuli alafu ya kijani kibichi afu pia ata ukichuma kwa mboga yanaweza yakalika kwasabu yame yanaonekana kwamba ni mazuli alafu tena matunda yake yenyewe nimeyapenda rangi nimeipenda matunda nimeyapenda harafu tena matunda yake yenyewe maharage yenyewe yani yakipikwa mazuli sana yanarojo nzuli. moment_6_postharvest_219f9b2c-dd53-4a6f-a576-726c931ab43c_1721625851110.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi. Aaaa hapa hakuna ambacho sikipendi naona sawa tu. moment_6_postharvest_219f9b2c-dd53-4a6f-a576-726c931ab43c_1721625902285.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda. Hapa B naona kwamba mahalage yenyewe ni mazuli hata wakati yalivyoanza kuota yaliota vizuli alafu majani yao yalikuwa kijani kibichi yalikuwa mazuli wakati ya salivyochanua mauwa yalikuwa mengi alafu yakawa afu sasa ahivi nilivyo nanii nilivyovuna mahalage yana nanii yana rangi nzuri alafu yakipikwa yana rojo nzuri sana. moment_6_postharvest_219f9b2c-dd53-4a6f-a576-726c931ab43c_1721625915473.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendia. Hapa hakuna kiti chochote ambacho sikipendi yote napenda. moment_6_postharvest_219f9b2c-dd53-4a6f-a576-726c931ab43c_1721625960556.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu hiyo. Hapa eneo C maharage naona ni mazuli umbile ake ni zuli yakipikwa ni yanatoa yee rojo nzuri. moment_6_postharvest_219f9b2c-dd53-4a6f-a576-726c931ab43c_1721625977061.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi. Hapa sehemu C hakuna ambacho sikipendi vyote napenda. moment_6_postharvest_231a67c0-976a-4774-ba52-9cb99e237470_1721548719149.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda. Aina A mahalage yaliota vizuli lakini mvua baadae ikahalibu. moment_6_postharvest_231a67c0-976a-4774-ba52-9cb99e237470_1721548739675.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi. Ni hali ya hewa mfano mvua hii kuharibu . .. moment_6_postharvest_231a67c0-976a-4774-ba52-9cb99e237470_1721548759909.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda. Mahalage yaliota vizuli ila baadae yakahalibiwa na mvua. moment_6_postharvest_231a67c0-976a-4774-ba52-9cb99e237470_1721548779705.wav,Angalila angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi. Aaa mmm malage yaliota vizuli nisichokipenda ni kwaajili ya mvua ndiyo imeharibu mazao. moment_6_postharvest_231a67c0-976a-4774-ba52-9cb99e237470_1721548792827.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu hiyo. Mahalage yaliota vizuli ila mvua ndiyo ikaharibu mazao. moment_6_postharvest_231a67c0-976a-4774-ba52-9cb99e237470_1721548805833.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi. Hali ya hewa ya mvua ndiyo imehalibu mahalage nikawa sipendi. moment_6_postharvest_42460b67-5d80-4987-ae26-1a04ba67f436_1719312539718.wav,angalia aina A na elezea chochote unacho kipenda kuhusu hiyo.aina A napenda kwasababu imetoka vizuri ni manene rangi yake ni nzuri kwa hiyo ndo naipenda aina A. moment_6_postharvest_42460b67-5d80-4987-ae26-1a04ba67f436_1719312560962.wav,angalia aina A na elezea chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.yanii aina A yote napenda amna kitu kilicho kuwa yani ni nzuri kabisa. moment_6_postharvest_42460b67-5d80-4987-ae26-1a04ba67f436_1719312592246.wav,angalia aina B na elezea chochote unacho kiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.jamani aina B aina B ni nzuri kwa wastani yotee kwenye shamba yangu yote yani sioni kitu kilicho kuwa kibaya yote imeenda vizuri kabisa. moment_6_postharvest_42460b67-5d80-4987-ae26-1a04ba67f436_1719312604456.wav,angalia aina B na elezea chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.yani aina B ninapenda vyote kwasababu imetoka vizurii rangi yake nzuri haina tatizo.sawa. moment_6_postharvest_42460b67-5d80-4987-ae26-1a04ba67f436_1719312620744.wav,angalia aina C na elezea chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu hiyo.aina C yani kwa wastani tusemee vitalu vyote vimetoka vizuri C naona ni nzuri manene haina tatizo yote pia nimependa mbegu hii.sawa. moment_6_postharvest_42460b67-5d80-4987-ae26-1a04ba67f436_1719312631323.wav,angalia aina C na elezea chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.yani hamna yote hamna kitu nilicho ele yani elezea maana yote ni wastani mzuri yote. moment_6_postharvest_5574ee0b-d5be-463f-962e-43b4f10609c4_1718959203054.wav,Angalia aina A na elezea chochote unchokiona una unakipenda kuhusu hiyo.Aina A naipenda kwasababu uivaji wake ni wa harka sana unaweza ni kama lisaa limoja na nusu.Kuna kingine ambacho unakiona unakipenda kuhusu aina A?Kingine ninachokiona ni kwamba uotaji wake uliota vizuri ila wadudu ndo waliharibu. moment_6_postharvest_5574ee0b-d5be-463f-962e-43b4f10609c4_1718959215163.wav,Angalia aina A na elezea chcochote ambacho hukipendi kuhusu hiyo.Aina A mimi hakuna chochote ambacho sikipendi. moment_6_postharvest_5574ee0b-d5be-463f-962e-43b4f10609c4_1718959238882.wav,Angalia aina B na elezea chochote ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Aina B kitu ninachokipenda ina punje nyingi pia uzaaji wake ni mzuri sana.Unaweza kuangalia zaidi ambacho unakipenda kuhusu aina B?Hakuna zaidi ya hapo. moment_6_postharvest_5574ee0b-d5be-463f-962e-43b4f10609c4_1718959257573.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Aina B hakuna kitu ninachokichukia. moment_6_postharvest_5574ee0b-d5be-463f-962e-43b4f10609c4_1718959286344.wav,"Angalia aina C na elezea chochote unachokiona unachokipenda kuhusu hiyo.Aina B, aina C ina ladha nzuri ukipika.Unaweza ukaelezea zaidi ambacho unakiona kuhusu aina C unachokipenda?Ninachokipenda ni kwamba ina punje nyingi." moment_6_postharvest_5574ee0b-d5be-463f-962e-43b4f10609c4_1718959304595.wav,Angalia aina C na elezea chochote ambacho hupendi kuhusu hiyo.Kitu ambacho sikipendi ni kwamba uotaji wake haukua mzuri. moment_6_postharvest_648cc1dd-a3e4-4031-b8e0-8599b475c915_1721025092847.wav,"angalia aina A na eleza chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu hiyo. kwenye aina A nacho kipendaa hayo maharage yakii amua kuzaa yana zaa kwa uhakika kwa ninacho kipenda kwenye kuanza kuota yana ota vizurii, yana stawi vizurii kila kitu kina kuwa safi kwa hiyo, ni mkulima wa maharage haya nimeanza muda mrefu kwa hiyo naya penda mpaka kwenye kuiva kwake ukipika yana iva vizuri, yana rangi nzuri kwa hiyo kila kitu ni safi ila kukiwa kuna ukame haya zai vizuri kwa hiyo kama ukame ni mwingi yatakuwa hayana ubora zaidi kwasababu haya maharage ni manene sana, ndo hicho tu nilicho kiona. haya asante." moment_6_postharvest_648cc1dd-a3e4-4031-b8e0-8599b475c915_1721025125584.wav,"angalia aina A na eleza chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. ninacho kipenda haya A, aah nisiwe muongo ambacho sikipendii hamna kwa sababu haya maharage nim nimelima muda mrefu na nayapenda kwa hiyo hata kunge kuwa kuna zaidi ya haya ningependa tu niongezewe kwa sababu nayapenda." moment_6_postharvest_648cc1dd-a3e4-4031-b8e0-8599b475c915_1721025166200.wav,angalia aina B na eleza chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu hiyo. aina B bwana nacho kipendaaa ni nzuri lakinii kwenyee mfumo wetu wa huku kwetu udongo wakee naona kama haviendani kwa sababu haya maharagee kwanza sio mazurii yakiota yana ota kwa uvivu kwa hiyoo sio mazuri kiukweli. moment_6_postharvest_648cc1dd-a3e4-4031-b8e0-8599b475c915_1721025196434.wav,"angalia aina B na eleza chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. ndo icho tu yani haya kuyaa penda nisije nika sema naya penda maana kwenye ukweli lazima uongee ukweli, kwa mimi aloo haya sijui kama nayapenda yani siyapendi kiujumla" moment_6_postharvest_648cc1dd-a3e4-4031-b8e0-8599b475c915_1721025266685.wav,"angalia aina C na eleza chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu hiyo. hii bwana aina hii naipenda kwa sababu hii ni nzuri kwenye mchanga wetu wa huku kwetu ina kubali vuziri kuanza kuota, kustawi, kuchanua kutoa maua yani ni nzuri, kwenye beii ina bei kubwa inaweza ikakufanya mtu ukaa ukatamani hata kulima haya maharage kwa sababu ni kitu chenye ubora wake kwa hiyo naya penda mpaka kwenye bei na hii mbegu ndio nayo tumia sana sana hata mimi mwenyewe kupanda mashamba yangu ya kawaida. kwa hiyo ni kitu ambacho nacho kipenda kwenye aina. aina C kwa hiyo ni icho tu. njema jamaa." moment_6_postharvest_648cc1dd-a3e4-4031-b8e0-8599b475c915_1721025302415.wav,"angalia aina C na eleza chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. hapa bwanaaa ambacho sipendiii haman kwa sababu hichi kitu nimesha kikubali kwa hiyo ambacho siki pendi hakipo ila labda kama kunaa ongezeko la kutuletea dawa labda za kupulizia, kama kuna uwezekano mna weza mkatuletea ili kupunguza ukali wa wadudu." moment_6_postharvest_6549762c-c7dc-476c-82ac-fe94d80e58ec_1721472771628.wav,nini unapenda kuhusu aina A. aina A hakuna kitu nacho kipenda wala kukitamani kwa sababu ile mbegu mvua ime zimenyesha mwaka huu vizuri lakini hazikutoa matunda yani nikama mbegu hazina uwezo wa kuzaa tu zikawa kama ni majanii basii. moment_6_postharvest_6549762c-c7dc-476c-82ac-fe94d80e58ec_1721472784171.wav,nini usicho kipenda kuhusu aina A. nisicho kipenda kwa sababu hai zaii vizuri ipasavyo hai zai yani kifupi tu. moment_6_postharvest_6549762c-c7dc-476c-82ac-fe94d80e58ec_1721472801566.wav,"nini unapenda kuhusu aina B. aina B kwanza inazaa ina enda na wakati pamoja mvua zikawa tumepanda mwishoni lakini imezaa ikaonekana kwamba iko vizuri, ndio maana naipenda hii." moment_6_postharvest_6549762c-c7dc-476c-82ac-fe94d80e58ec_1721472821724.wav,nini usicho kipenda kuhusu aina B. nisicho kipenda aina B naona hakuna kwa sababu kama kuzaa ina zaa halafuu inaenda na wakati tuu bila shida ina vumilia iko katika mazingira hayo. santee. moment_6_postharvest_6549762c-c7dc-476c-82ac-fe94d80e58ec_1721472847810.wav,nini unapenda kuhusu aina C. aina C nayo ina jitahidi kidogo ina zaa pamoja yenyewe hiyo ina kuwa na majani mengi sana halafu ina kama muda mrefu tofauti na mbegu nyingine kwa hiyoo lakini ina unafuu kidogo wa kuzaa zaa iwapo kwa mbali. moment_6_postharvest_6549762c-c7dc-476c-82ac-fe94d80e58ec_1721472870487.wav,nini usicho kipenda kuhusu aina C. eeh aina C kwamba yenyewee ina tengeneza majani sanaa halafu majani yana fungamana iwapo unaweza ukapanda kwa mbali lakini unakuta ina kua ina nguvu kwenye majani sana kuliko kwenye matunda. asante. moment_6_postharvest_8743bfe3-752c-4ddc-8d3a-9646b897baf9_1722942934946.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unapenda kuusu hiyo. Aina A ni nzuri naaa inaa inapunje kubwa kubwa. moment_6_postharvest_8743bfe3-752c-4ddc-8d3a-9646b897baf9_1722942978252.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu aina hiyo. Sina chochote ambaye sikipendi kuusu aina hii ya A. Hakuna ambacho hukipendi. Hamna. moment_6_postharvest_8743bfe3-752c-4ddc-8d3a-9646b897baf9_1722943011214.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu hiyo. Rangi tu rangi yake ni nzuri kiasi. Umependezwa na rangi. Ndio ndio. moment_6_postharvest_8743bfe3-752c-4ddc-8d3a-9646b897baf9_1722943028922.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu hiyo. Ni membamba sana membamba Membamba. Ndio. moment_6_postharvest_8743bfe3-752c-4ddc-8d3a-9646b897baf9_1722943052531.wav,Angalia aina na elezea. .. Chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu hiyo. Rangi yake ni nzuri ina mbegu kubwa na bei pia inakuwaga nzuri sana kwenye soko. moment_6_postharvest_8743bfe3-752c-4ddc-8d3a-9646b897baf9_1722943080858.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu hiyo. Hakuna kitu ambacho sikipendi. moment_6_postharvest_8767521c-9cf2-4f07-aef8-63200a44d097_1722962537886.wav,Haya angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu hiyo ongea ngea. Namba namba. Ongea ongea. Namba A ikitoka vizuli. Toka vizuri. Mmm. moment_6_postharvest_8767521c-9cf2-4f07-aef8-63200a44d097_1722962572140.wav,Angalia aina A na eleza chochocte unachokiona ambacho hupendi kuusu hiyo. Namba A ilikuwa vizuri kabisa. Ambacho hupendi. Aaaa sii aa sikuona chochote nisichokipenda. moment_6_postharvest_8767521c-9cf2-4f07-aef8-63200a44d097_1722962619200.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu hiyo. Namba B ilikuwa vizuri kabisa yalitoka vizuri kabisa kabisa. moment_6_postharvest_8767521c-9cf2-4f07-aef8-63200a44d097_1722962667147.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu hiyo. Sikuona aaa nisi nisichokipenda kwenye namba B. moment_6_postharvest_8767521c-9cf2-4f07-aef8-63200a44d097_1722962679680.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu hiyo. Namba C ilikuwa na kusuasua haikuwa vizuri. moment_6_postharvest_8767521c-9cf2-4f07-aef8-63200a44d097_1722962692507.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu hiyo. Namba C haikuwa vizuli aaaa ilikuwa na changamoto. moment_6_postharvest_87d07e16-aaf7-4127-b8e2-e86f00941bdf_1720617093810.wav,angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo eeh aina A niseme kwa ujumla ninachokipendaa ni maharage ambayo yamee yalii ina maaana yame yametoka vizuri yalii yalkauka kwa wakati yaliwahi kukauka zaidi ndicho ninachokipenda yana yanawahi kukauka eeh jambo lingine ambalo limekupendeza zaidi? jambo lingine labda ninalo ninalolipendaa ina maana pia hata ukiyapika yanakuwa yana ladha nzuri aya asante moment_6_postharvest_87d07e16-aaf7-4127-b8e2-e86f00941bdf_1720618781623.wav,"angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo eeh mimi niseme kwamba labda kwa upande wa mbegu yaa ya maharage aina A ,ambacho sikipendi ina maana inatoa machafu yanakuwa yako mengi sana kwenye maharage.yaani maharage yale ambayo hayako vizuri yanakuwa mengi zaidi kuliko yale mazuri mmh eeh aya asante" moment_6_postharvest_87d07e16-aaf7-4127-b8e2-e86f00941bdf_1720618830334.wav,angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo eeh kwa upande waa mbegu ya maharage ya aaina B ninachokipenda kikubwa zaidi maharage haya yanazaa kwa wingi kuliko mbegu zote hizi aina tatu nilizokuwa nazo hamna jambo lingine eeh jambo lingine pia ni ina maana nnachokipenda yana yanastawi vizuri kwa ehemu niliko yapandaa yanaonekana vizuri toka yakiota na ukuaji wake unaenda vizuri zaidi okay asante moment_6_postharvest_87d07e16-aaf7-4127-b8e2-e86f00941bdf_1720618858550.wav,angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo eeh mimi niseme kwa upandee wa waa mbegu aina B eeh mimi naona hakuna kitu ambacho nimekiona kipo tofauti kwa sababu unaona vitu vyote vinaenda sawa aya asante moment_6_postharvest_87d07e16-aaf7-4127-b8e2-e86f00941bdf_1720619131119.wav,angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo eeh kwa upande wa aina C ninachokipenda zaidi ina maana kipindi mbegu hii ilipopandwa ilistawi vizuri sana kwa muonekano ilikuwa imestawi vizuri ilikua inaa ina rangi nzuri nyeusi kabisa ina maana kabla hayajafikia kuzaa ina maana yalikuwayamestawi vizuri sana hicho ndicho nilichokipenda mimi kwenye mbegu ya aina C aya asante moment_6_postharvest_87d07e16-aaf7-4127-b8e2-e86f00941bdf_1720619169026.wav,"angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo mimi kwa upande waa mbegu aina C ninachokiona ambacho sikipendi mbegu aina C kwanza kitu cha kwanzaa,inachelewa kukauka unanielewa? Afu kitu cha pili pia inaa maharage machafu mengi kuliko yale yaliyokua yako vizuri hicho ndicho ambacho sikipendi kwenye aina C aya asante" moment_6_postharvest_945e4e49-f23e-4305-a807-b0de23cd9d7a_1721553261491.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda. Katika aina A ya malage haya yanayoitwaaa liyamungo nimeipenda kwasababu laza yake ni nzuli sana lakini mbali na kuwa na laza nzuli ukiangalia umbo lake linavutia na hata langi yake pia na katika uzalishaji imejitahidi kwa asilimia flan kwaiyo aina hii nimeipenda kwasabu inanivutia zaidi. moment_6_postharvest_945e4e49-f23e-4305-a807-b0de23cd9d7a_1721553324363.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi. Katika aina hii hakuna chochote ambacho nimekichukia naipenda tu hiyo aina A . moment_6_postharvest_945e4e49-f23e-4305-a807-b0de23cd9d7a_1721553424085.wav,Angalia ainna B na eleza chochote unachokiona ambacho unakikipenda. Katika aina B ya malage inayoitwaaa jesca baada ya kuionja ina laza nzuli sana lakini umbo lake pia linavutia hali kadhalika langi yake na kwa upande wa mavuno imenivutia zaidi maana katika vitalu vyote hii ndio imeongoza kwa mavuno mengi kwaiyo aina hii nimeipenda zaidi. moment_6_postharvest_945e4e49-f23e-4305-a807-b0de23cd9d7a_1721553467370.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi. Katika aina hii hakuna chochote ambacho sikipendi aina hii ninaipenda zaidi inanivutia zaidi. moment_6_postharvest_945e4e49-f23e-4305-a807-b0de23cd9d7a_1721553572595.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda. Katika aina hii ya malage inayoitwa kalima uyole aina C nimeipenda kwasabu umbo lake ni zuli ina laza nzuli ukiangalia hata langi yake piya ni ya mng'ao inaa inapendeza kwaiyo aina hii nayo nimeipenda zaidi. moment_6_postharvest_945e4e49-f23e-4305-a807-b0de23cd9d7a_1721553594068.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi. Katika aina hii ya mahalage hakuna kitu chochote ambacho nimekichukia au sikipendi aina hii ninaipenda tuu kwasabu ya sifa zake nzuli ambazo nimeziolozesha. moment_6_postharvest_97785d0a-c4db-4b81-9352-d2a6caa68fca_1724309453957.wav,Ni nini unapenda kuhusu aina A? Aina A napenda kwa mazao yake ni mengi. Ndiyo. Japo bei yake ipo chini na kwa kula ni mazuri yana wanga. Sawa. Eenh. moment_6_postharvest_97785d0a-c4db-4b81-9352-d2a6caa68fca_1724309477774.wav,"Ni nini usichopenda kuhusu aina A? Hapana. Hakuna, hata sokoni hakuna? Bei yake ipo chini lakini ukiuza yanauzika." moment_6_postharvest_97785d0a-c4db-4b81-9352-d2a6caa68fca_1724309525227.wav,Ni nini unapenda kuhusu aina B? Aina B ni mazuri ukipika yana ladha na hata bei yake ni kubwa sokoni na hata ukiuza hayana usumbufu. Hayana usumbufu kivipi? yaani kuna yale maharage unaenda nayo labda unasema naenda kuuza labda sado elfu ... unafika sokoni unakuta labda sado ni elfu mbili au elfu tatu yenyewe hayana kama bei imepangwa ni elfu tano ni tano hiyohiyo ukienda unakuta sokoni kila mahali. moment_6_postharvest_97785d0a-c4db-4b81-9352-d2a6caa68fca_1724309540963.wav,Ni nini usichopenda kuhusu aina B? Hapana. Hakuna? Yote napenda vigezo vyake vyote napenda. Sawa. moment_6_postharvest_97785d0a-c4db-4b81-9352-d2a6caa68fca_1724309589586.wav,Ni nini unapenda kuhusu aina C? Aina C kwanza kwa kula pili yana uzao wake uzao wake ni mzuri lakini biashara yake ni ngumu kidogo hata kwenye kuuza unaweza kwenda labda unategemea ntapata elfu tatu unafika pale unaambiwa elfu mbili kwahiyo hata bei hayana kabisa. Sawa. moment_6_postharvest_97785d0a-c4db-4b81-9352-d2a6caa68fca_1724309642591.wav,"Ni nini usichopenda kuhusu aina C? Aina C hata kwa kula sipendi yani hata kuyalima kabisa sipendi. Kwanini? Yani kwa bei yake na ulaji wake. Ukisema ulaji yaani unamaanisha nini, ulaji wake? Yaani kwa kula, Yapoje? Yaani ukila yanagesi. Kwahiyo ukila tumbo zinajaa. Sawa, na kwa bei, bei ipoje? Bei yake unaweza kwenda sokoni ukakuta ni elfu tatu mara elfu tatu mia tano kwahiyo hayanaga bei ya kusimama mahali pamoja. Sawa." moment_6_postharvest_a49173bb-310a-474f-b648-a25202b074e5_1722416681306.wav,"angalia aina A na eleza chochote ambacho umekipenda, utu nyamazie wewe. mh. aina A kuna kitu gani umekipenda yani ai. yeeh. mh. kati mbiyao mpanda. eeh yani choyi choyi choindile. umpanda. umeupendaje yani umependa nini langii au yani kitu gali ambacho umeona ume kipenda au umekipenda. penda ubora waa. ubolaa. eeh. sawa." moment_6_postharvest_a49173bb-310a-474f-b648-a25202b074e5_1722416690956.wav,kuna chochote kwenye aina A ambacho huja kipenda. hapana. hamna. moment_6_postharvest_a49173bb-310a-474f-b648-a25202b074e5_1722416722829.wav,"angalia aina B hii hapaa, nini ambacho umekipenda kwenye aiana B. maarage? umeyapendaje yani maharage. nimeyapenda tu kwa ubora wake. eeh ubora wa namna gani yani. ubora waa. mh. ikuvumilia inavumilia. aah ina vumilia ukame. mh. aaah." moment_6_postharvest_a49173bb-310a-474f-b648-a25202b074e5_1722416730188.wav,yotee kwenye aina B ambacho huja kipenda. hapana. hakunaa. moment_6_postharvest_a49173bb-310a-474f-b648-a25202b074e5_1722416757334.wav,"angalia aina C nini umekipenda kuhusiana na aina C. ni maarage tu. umeyapenda kivipi nayoo, kwanini ume yapenda. kwa uboraa. ubora upi ubora wa namna gani. yana vumilia. yana vumilia, yana vumilia nini? ukamee eh. kingine ambacho ume kipenda? ndio icho tu." moment_6_postharvest_a49173bb-310a-474f-b648-a25202b074e5_1722416770779.wav,"mhhh angalia aina C chochote ambacho huja kipenda. Kuna chochote ambacho hauja kipenda kwenye aina C? hapana. hakunaa, sawaa." moment_6_postharvest_acd576e0-3200-4443-b858-b7d4ef4adf59_1721542133831.wav,Angalia aina A na eleza chochote. . Unachokiona ambacho unakipenda. Aina A rangi yake siyo nzuri sana lakini kinachopendeza ni kwamba maharage haya ukiyatumia ayaani ukiyapika yana ladha nzuri sana. Je! Kwenye umbo umeonaje. Aaaa imepoteza rangi yake rangi ile ambayo ilikuja ilikuwa imeiva hii rangi imekuwa kidogo haijaiva vizuri langi kama yamepotea kidogo. Una kitu kingine ambachoo unaa unakiona cha kuongezea kwenye aina hii. Aaah kwenye aina hii sina kitu chengine cha kuongezea isipokuwa ni hivyo tu nilivyovieleza. moment_6_postharvest_acd576e0-3200-4443-b858-b7d4ef4adf59_1721542167368.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi. Aaah ambacho sipendi ni mpauko ndio ichoicho. moment_6_postharvest_acd576e0-3200-4443-b858-b7d4ef4adf59_1721542330656.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda. Aaina B ninachokiona ni kwamba ninachokipenda ni kwamba haya maharage aaa ukiyapika kwa mfano yakalala keshoo unayatumia kama yamepikwa siku ile ile hayaa hayaingii chachu kwa wepesi haya chachuki kwa wepesi. Je! unakitu kingine ambacho umekipenda tofauti na hicho. Kitu kingine ambacho nimekipenda ni kwambaa haya mahalage sokoni yanahitajika yanauvumilivu eeee yanavyoonyesha kwasababu nilipo yavuna nilipo yaweka yanaonyesha rangi yake haijapotea imebaki ile ile ambayo niliyavuna. moment_6_postharvest_acd576e0-3200-4443-b858-b7d4ef4adf59_1721542380005.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi. Aina B kitu ambacho sipendi raa raza yakee sio nzuri sana unapoo kula haya malage. Unakitu kingine cha kuongezea zaidi ya hicho au umeishia hapo. Sina nimeishia hapo. moment_6_postharvest_acd576e0-3200-4443-b858-b7d4ef4adf59_1721542426308.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda. Aina C hayo mahalage kwanza umbo lake linapendeza linavutia hata kama kuna mununuzi anavutika kwasababu ya umbo lake. moment_6_postharvest_acd576e0-3200-4443-b858-b7d4ef4adf59_1721542480953.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona. .. Ambacho hupendi. Sina ambacho sipendi .. moment_6_postharvest_b0403ee9-8647-4276-b7e5-3ac0e473444a_1723793190031.wav,Nini unapenda kuhusu aina A? Aina A nimependa uotaji wake ni wa haraka. moment_6_postharvest_b0403ee9-8647-4276-b7e5-3ac0e473444a_1723793200677.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A? Nisichopenda ni kwamba inashambuliwa huwa inapenda kushambuliwa na wadudu. moment_6_postharvest_b0403ee9-8647-4276-b7e5-3ac0e473444a_1723793214475.wav,Nini unapenda kuhusu aina B? Aina B napenda maharage yake kipato chake ni kingi. moment_6_postharvest_b0403ee9-8647-4276-b7e5-3ac0e473444a_1723793229690.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B? Nisichopenda aina B ni kwamba majani yake yanakuwa mengi kipato chake kinakuwa kidogo. moment_6_postharvest_b0403ee9-8647-4276-b7e5-3ac0e473444a_1723793242816.wav,Nini unapenda kuhusu ainaC? Aina C napenda maharage yake niii yanaota haraka halafu pia kipato ni kikubwa. moment_6_postharvest_b0403ee9-8647-4276-b7e5-3ac0e473444a_1723793254836.wav,Nini usichopenda kuhusu ain a C? Nisichopenda aina C ni kwamba yanashambuliwa na wadudu kwa kiasi kikubwa. moment_6_postharvest_b31e36cb-ce4a-466d-a71d-4405dd5bdb1f_1721921583070.wav,"Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo. Aina A mimi napenda uzao wake uzao wake ni mzuri halafu pia aina A nimependa haina haina mat haina nanii haina kamba nyi haina kamba yaani yenyewe inakwenda kama mti ikifika mahali wakati wa kuzaa basi inateremsha tuu watoto ni tofauti na maharage mengine umeona eenh, kwahiyo aina A nimeipenda sana tena sana. Mmh. Eeh. sawa, kingine unachopenda kuhusu aina A? Aina A kingine ninachokipenda kwakweli ni uvumilivu yaani ina uwezo wa kusubiri kwa muda kama ni mvua unaona eeh ina uwe ina uwezekano mzuri wa kuweza kufanyeje kuvumilia ukame tuseme. Anhaa. Eeh. Nashukuru, una kingine cha kuongezea kuhusiana na unachokipenda kuhusu aina A? Aaah kingine katika aina A ni maua kwamba inatoa maua mazuri na hayapuputiki hovyo kwakweli maua yake hayapuputiki hovyohovyo maua yake yamekuwa yapo palepale mpaka yatakapokuwa tayari yameanza kuanguka na kuweza kutengeneza nini kisu. Kwahiyo aina A kwa u kwaujumla nimependa hivyo vitu vitatu. Nashukuru. Asante." moment_6_postharvest_b31e36cb-ce4a-466d-a71d-4405dd5bdb1f_1721921634051.wav,"Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. Aaaah aina A kitu ambacho chochote ambacho sikipendi kwakweli niseme niiii hakuna, unaona eh. Mmh Eeh kwa mimi binafsi jinsi nilivyoyaangalia kuanzia kulima mpaka yamekuja kufikia eeh kutoa maua nikawa nayaangalia mpaka yamefikia ku ku kuvuna uzao wake nikawa nayangalia hakuna ambacho hakijanipendeza unaona eh hakuna kwa kweli ambacho hakijanipendeza. Sawa." moment_6_postharvest_b31e36cb-ce4a-466d-a71d-4405dd5bdb1f_1721921734684.wav,"Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo. Ah aina B aina B kitu ninachokipenda ni kwamba yenyewe yana yanatoa maua haraka unaona eh, Mh Yaani yenyewe ni haraka sana yanatoa maua yanakuja yaani yakishafika usawa wa sentimita fulani basi yanaanza kutoa maua haraka kuliko maharage mengine yaani yenyewe yanawahi kutoa maua haraka kwakweli hili nalo limenipenedeza kwasababu yenyewe yanazaa yaani maua yake yanatoka haraka na hapo hata visu inatangulia kutoa visu mapema kabla ya maharage mengine kwa hilo tuu limenipendeza pia. Kingine kinachokuvutia kuhusu aina B? Aina B kingine ambacho kinachonivutia mmh haina majani mengi eh yaani haina majani mengi haijafunika watoto wake watoto wake wako hadharani tuu unaona eh majani ni madogo maharage yanakuwa ni mengi hicho nacho kimenivutia eh nikawa naangalia maharage mengine yameficha watoto yaani majani yanakuwa mengi kuliko eeh lakini maharage haya ya maharage B huwa yako wazi yaani mtu hata akija anakwambia looh! haya maharage haya yamezaa haya maharage B unaona eeh kwahiyo yako hadharani sana watoto wake wako hadharani sana. Asante." moment_6_postharvest_b31e36cb-ce4a-466d-a71d-4405dd5bdb1f_1721921789498.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo. Aah kitu ambacho sikipendi katika aina B yakipata ukame kwa muda mchache tuu mvua ikawa imekuja ah haijaja kwa wakati yanaanza kuwa ya njano mapema na kuweza ku ku ku kusinyaa unaona eh. Mmh Eh yanasinyaa yaani hayavumilii sana ukame kwahiyo ni haraka sana yanaweza yaka yakapoteza uzao au na hata yenyewe kuweza kufanyeje kuweza eh kufa. Anhaa Eeh. Nashukuru. moment_6_postharvest_b31e36cb-ce4a-466d-a71d-4405dd5bdb1f_1721921937707.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo. Aina C kitu ambacho nakipenda kwenye aina C ambayo ni rozikoko Aah kwa kweli nimependezwa na ule urefu wake tunasema kama haibrij kwasaabu tumezoea mahindi yale ya haibrij yale yale ya muda mrefu unaona eh hicho kimenipendeza sana kwasababu ni marefu yaani yana kuja kuja juu yakishaota yakiota yanaota yakiwa na nguvu zaidi shina lake kubwa alafu pili yanakuja yakiwa na afya njema kabisa na urefu wake urefu ule umenipendeza naaa kingine ambacho kimenipendeza linakuwa na suke lake au shina lake linakuwa ni pana unaona eh kama utakuwa umebananisha sana kwakweli yatakuwa yamepigana lakini yanahitaji nafasi kidogo kama mlivyo tulivyokuwa tumepanda kitaalamu vile ndivyo inavyotakiwa kwahiyo aina ainaaaa C kwakweli urefu wake ule umenifurahisha na uzao wake umenifurahisha kwasababu imechukua muda mrefu lakini watoto wake ni wakubwa wanene unaona eh watoto wake wanene wana rangi nzuri afya njema rozikoko ni kweli ni rozi unaona eh kama jina lake lilivyokuwa rozikoko unaona eh basi kama ni mimi ningebadilisha ningeita rozi mzuri hahah! Kingine cha kuongezea? Aaah chakuongezea niseme tuu mimi maharage haya ya rozikoko kwaujumla nimeyapenda unaona eh nimeyapenda na ladha yake pia nimei nimeipenda kwasababu nimepika nikayaonja ladha yake kwa mimi yamenipendezesha katika kula unaona eh na pia nimebakisha eeh sintoyapika nitaendelea kuyapanda na hata kampuni siku kama itakujaga basi watakujaga kuyakuta sasa nina madebe ima magunia. Mmh Eeh. Nashukuru. Asante. moment_6_postharvest_b31e36cb-ce4a-466d-a71d-4405dd5bdb1f_1721921995786.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. Aina C kitu ambacho siipendi wakati ukila basi yana gesi unaona eh kwahiyo kuna wakati tukisema gesi mtu unakuja unacheua unaona eh kwahiyo yana gesi unakutatu tumbo limejaa tu muda mrefu kwahiyo hicho ndiyo kitu ambacho kwahiyo yakimkuta mtu ambaye ana matatizo ya afya ama ama matatizo ya tumbo kwayeye yatamsumbua lakini kwa mimi binafsi hayajanisumbua lakini unakuwa umeshiba muda mrefu au una gesi muda mrefu hicho tuu. Haya asante. Asante. moment_6_postharvest_b67fbd96-7a2a-42d0-8fdc-7a788d341e16_1721623527843.wav,nini unapenda kuhusu aina A. aina A nimeipenda ina zaa sana. moment_6_postharvest_b67fbd96-7a2a-42d0-8fdc-7a788d341e16_1721623542643.wav,nini usicho kipenda kuhusu aina A. ni kwa sababu yana zaa yana kuwa membamba sana hayawi manene katika kundi A. moment_6_postharvest_b67fbd96-7a2a-42d0-8fdc-7a788d341e16_1721623556091.wav,"nini una penda kuhusu aina B. aina B naya penda kwasabu yana zaa vizuri, yapo vizuri yana kuwa manene." moment_6_postharvest_b67fbd96-7a2a-42d0-8fdc-7a788d341e16_1721623565378.wav,nini usicho kipenda kuhusu aina B. hakuna nisicho kipenda. moment_6_postharvest_b67fbd96-7a2a-42d0-8fdc-7a788d341e16_1721623581259.wav,nini unapenda kuhusu aina C. aina C naipenda ina zaa kidogo ila ina zaa maa maarage yake manene yana kuwa mazuri sana yan vutia. moment_6_postharvest_b67fbd96-7a2a-42d0-8fdc-7a788d341e16_1721623592291.wav,nini usicho kipenda kuhusu aina C. hakuna nisicho kipenda vyote naona tu sawa. moment_6_postharvest_bd7fd277-6840-4489-93df-2a1ab3b792b2_1721989602100.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu hiyo. Aina A napendelea kwasababu inaukubwa ukubwa na uzuri wake wa rangi na inavostawi shambani. Sawa. moment_6_postharvest_bd7fd277-6840-4489-93df-2a1ab3b792b2_1721989615604.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu hiyo. Kwenye aina hamna nisi nisichokipenda. Sawa. moment_6_postharvest_bd7fd277-6840-4489-93df-2a1ab3b792b2_1721989636743.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipendakuusu hiyo. Aina B naii naipenda kwasababu ina mazao shambani na haishambuliwi na wadudu. Sawa. moment_6_postharvest_bd7fd277-6840-4489-93df-2a1ab3b792b2_1721989656565.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu hiyo. Kwenye aina B kitu ambayo sipendelei mbegu zake ni nyembamba ni tofauti naza sehemu A. Sawa. moment_6_postharvest_bd7fd277-6840-4489-93df-2a1ab3b792b2_1721989680434.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho huu unakipenda kuusu hiyo. Aina A napendelea aina B aina C kwenye aina C napendelelea inavokuwa na mazao mengi shambani naa basi. Sawa. moment_6_postharvest_bd7fd277-6840-4489-93df-2a1ab3b792b2_1721989696378.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu hiyo. Kwenye aina C kitu ambacho sikipendi inashambuliwa sana na wadudu shambani. Sawa. moment_6_postharvest_c7c46faf-8996-477a-8887-f8a0c47c4df1_1721213240564.wav,"angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo eeh yaani aina A uzuri wakee ni kwambaa kwamba kwenye majaribio pale imetoa matokeo chanya,kuliko aina nyingine ,tena katika soko ina bei nzuri katika mauzo mmh" moment_6_postharvest_c7c46faf-8996-477a-8887-f8a0c47c4df1_1721213285120.wav,angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina A aina A mimi kwa ujumla kwakweli naipenda kwa ajili ya matokeo yake nimeyaona ni mazuri aah moment_6_postharvest_c7c46faf-8996-477a-8887-f8a0c47c4df1_1721213310620.wav,angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina B aah aina B ni nzuri nayo pia matokeo yake ni mazuri inazaa vizuri inahimili magonjwa kwahiyo pia inafaa katika kuizalisha moment_6_postharvest_c7c46faf-8996-477a-8887-f8a0c47c4df1_1721213331625.wav,angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo aah aina B ni nzuri kwa ajili matokeo yake yamekua ni nzuri pia katika utafiti moment_6_postharvest_c7c46faf-8996-477a-8887-f8a0c47c4df1_1721213375825.wav,angalia aina C elezea chochote ambacho unakipendakuhusu aina hiyo aina C kidogoo ni nzuri laki lakini ilileta changamotokidogo kwenye utoaji wa mazao kwa ajili kidogo iliwahiwa na magonjwa moment_6_postharvest_c7c46faf-8996-477a-8887-f8a0c47c4df1_1721213403230.wav,anga angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu aina hiyo aah aina hiyo kili kilicholeta changamoto ni kwamba inakimbiliwa sana namagonjwa ndicho kilicholeta changamoto mmh eeh inakabiliwa sana na magonjwa inakimbiliwa sana na magonjwa mmh moment_6_postharvest_df5b29f9-6347-4d21-ac4f-dc21e60f0f7e_1721289069331.wav,Nini unapenda kuusu aina A. Aina A iliota vizuli lakini mvua ilihalibu mimea. moment_6_postharvest_df5b29f9-6347-4d21-ac4f-dc21e60f0f7e_1721289103091.wav,Nini usichopenda kuusu aina A. Aina A ilihalibika sana na mvua kwasabu mvua ilikuwa nyingi sana . moment_6_postharvest_df5b29f9-6347-4d21-ac4f-dc21e60f0f7e_1721289146377.wav,Nini unapenda kuusu aina B?. Aina B iliota vizuli na majani yake nayo yalikuwa mazuli sana. moment_6_postharvest_df5b29f9-6347-4d21-ac4f-dc21e60f0f7e_1721289172906.wav,Nini usichopenda kuusu aina B. Aina B ilihalibika kwasabu mvua ilikuwa nyingi sana. moment_6_postharvest_df5b29f9-6347-4d21-ac4f-dc21e60f0f7e_1721289196970.wav,Nini unapenda kuusu aina C?. Aina C nayo iliota vizuli ila tu mvua nayo ilikuwa nyingi sana. moment_6_postharvest_df5b29f9-6347-4d21-ac4f-dc21e60f0f7e_1721289210461.wav,Nini usichopenda kuusu aina C. Ilihalibiwa sana na ugonjwa. moment_6_postharvest_e707753f-7bf6-452c-a6e8-4edd6870d622_1720684484349.wav,Nini unapenda kuusu aina A?. Aina A naipenda kwasababu kwanzaaa laza yake nzuli afu na uzaaji wake nao mzuli. moment_6_postharvest_e707753f-7bf6-452c-a6e8-4edd6870d622_1720684548351.wav,Nini usichokipenda kuusu aina A?. Nisichoni kipendaaa aina A nadhani niiii aaa tuseme tuuu aaaa aise yani kwanza sikioni cha kutofautisha kwajili naona kama ndio yako sawa na yale yale mazao mengine hamna tofauti kubwa sana. moment_6_postharvest_e707753f-7bf6-452c-a6e8-4edd6870d622_1720684579770.wav,Nini unapenda kuusu aina B?. Ninachokipenda kipenda B ni kwamba inazaa uzao wa kawaida alafu naaaa inahimili ukame haitaji mvua nyingi na pia haina magonjwa mengi. moment_6_postharvest_e707753f-7bf6-452c-a6e8-4edd6870d622_1720684596252.wav,Nini usichokipenda kuusu aina B?. Hakuna .. moment_6_postharvest_e707753f-7bf6-452c-a6e8-4edd6870d622_1720684618882.wav,Nini unapenda kuusu aina C. Ninacho nikipenda ni kwamba uzaajia wake inazaa vizuli alafu na ladha yake nzuli na kuiva inaiva kwa halaka. moment_6_postharvest_e707753f-7bf6-452c-a6e8-4edd6870d622_1720684628703.wav,Nini usichokipenda kuusu aina C. Hakuna. moment_6_postharvest_f30c0e5b-d0c7-45ca-9273-e53943b7fd2a_1721977597886.wav,Nini unapenda kuusu aina A. Aina A naipenda kwasababu ukiipika inaiva haraka alafu ina laza. Kitu kingine. Kitu kingine inaiva haraka. Oooh sawa. moment_6_postharvest_f30c0e5b-d0c7-45ca-9273-e53943b7fd2a_1721977628464.wav,Nini usichopenda kuusu aina A. Apo amna kasoro ninayoiona naona yote yako vizuli. Sawa. moment_6_postharvest_f30c0e5b-d0c7-45ca-9273-e53943b7fd2a_1721977645511.wav,Nini unapenda kuusu aina B. Aina B na yenyewe naipenda kwasababu inaiva haraka na rangi yake ni nzuri na ina ladha. Sawa. moment_6_postharvest_f30c0e5b-d0c7-45ca-9273-e53943b7fd2a_1721977655329.wav,Nini usichopenda kuusu aina B. Hamna kitu ambacho nisichokipenda apo. Sawa. moment_6_postharvest_f30c0e5b-d0c7-45ca-9273-e53943b7fd2a_1721977669766.wav,Nini unapenda kuusu aina C. Aina C naipenda kwasabu yenyewe ni nene alafu ukipika inaiva haraka na ina laza. moment_6_postharvest_f30c0e5b-d0c7-45ca-9273-e53943b7fd2a_1721977680312.wav,Nini usichopenda kuusu aina C. Hamna kitu nisichokipenda ata kimoja vyote navipenda.