audio_path,text_norm 1690273964332.wav,Ni Kwa ujumla aina gani ya Tricot uliipenda zaidi C C? 1690277397293.wav,"Anasema, ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina ya A kwa biashara au matumizi ya chakula Yaani A mimi hapa yaani A sina sifa nayo mbaya, A ipo vizuri Okay sawa asante" 1690277746540.wav,"ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina A? Eee kweli hakuna nisichokipenda kwazababu kwanza ukuaji zinatoka z ote kwa wakati mmoja,na urrefu pia wa ile, hazijapishana pishana sana kwenye shamba, kwahiyo jikisema kitu ambacho sikukipenda mimi kwa asilimia kama 90 napenda aina A hizo kumi haahahahaha" 1690277874410.wav,"ni kitu gani ulichopenda hukusu aina hii ya mbegu B kwa biashara au kwa chakula, kati ya hivyo viwili kipi umependa zaidi kwanza mimi maharage hay napenda kwenye chakula lakini pia napenda kwa biashara kwa sabau mimi sitegemei labda niuze kwa magunia kuwauzia mabroker, nilikua natamani mimi nipeleke kwa watu wa mjini niuze kwa kilo ambayo ndo itakayoniletea hela nzuri kuliko kuuza tu kwa rumbesa ya gunia" 1690278025945.wav,"Haya anasema ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina ya C elekeza kwenye sifa za kilimo Kitu ambacho hukukipenda kwenye kukuza C kitu ambacho sikukipenda kwenye kukuza hii C, C ina changamoto ya magonjwa na pia inahitaji mvua nyingi Ndio ndio Kwahiyo inatakiwa uoteshe ule msimu wa mvua labda mwezi mzima baada ya mvu ndo uje uioteshe lakini inashambuliwa na ule ugonjwa wa majani kabla haijabeba maua Ndio ndio Kwa hiyo ni changamoto sawa sawa" 1690278037092.wav,"ni kitu gani hukupenda kuhusu kukuza aina ya A? eleza kwenye sifa za kilimo hakuna kwa sabu kwanza zinavunika kwa urahisi alafu pia muda wa kukauka hauchelwi kwa hiyo hakuna, sina kitu ambacho sikukipenda" 1690278131428.wav,"ni kitu gani hukukipenda kuhusu hii aina B kwa biashara au kwa matumizi ya chakula bado sijaweza kutofautisha sana kwasabau sijala na ndo nimeyavuna, kwa maana hiyo sasa na sijauza kwahiyo sasa hapo sina majibu yaliyotosheleza" 1690278305067.wav,je ni kitu gani ulichopenda kuhusu aina B kwa biashara au matumizi ya chakula kwa matumizi ya biashara ni kitu gani sasa imekuvutia lzbda uitumie kwa matumizi ya biashara ina uzao mwingi na ina rangi ya kuvutia na nyingine labda ina soko 1690278359071.wav,"je ni kitu gani hukukipena kuhusu aina B kwa biashara au kwa matumizi ya chakula sikukipenda kitu agani ambacho hukukifurahia hakuna hamna, vyote ulivipenda ndio" 1690278372077.wav,je ni kitu gani hukipenda kuhusu aina C kwa biashara au matumizi ya chakula hakuna 1690278374932.wav,"je kuna kitu chochote unadhani kinaweza kufanya aina C kua nzuri kwa biashara na amatumizi ya chakula? ndio, kwanza, kitu cha kwanza kwangu mimi nni kutofautisha uoteshaji, kwamba zile mita zingepanuka kidogo kuliko aina aina A, yani hatua zisingevbanana kama ilivokua aina A ndo itatoa matokeo mazuri kwa sababu yenyewe yanarefuka kuliko aina A alafu yanatanuka yanaweka majani mengi kwa hiyo yanakua kama yamebanana sana kwa hiyo nafikiri , nafikiri hatua zikipanuliwa kweye uoteshaji zinaweza kutoa matokeo mazuri kuliko sasa" 1690278417387.wav,"kwa ujumla kati ya hizi tricot A, B na C ni ipi ambayo hukuipenda saaana kama nyingine ambayo sikuipenda sana ni aina C" 1690278565514.wav,"je kuna kitu chochote ambacho ulipenda kuhusu aina A, hiyo ya mbegu A, na inawezekana tukiachana na changamoto za mvua kuna kitu chochote kimekufanya uipende hii mbegu A? mimi nadhani nimeipenda sana Kwasababu kutokana na ukame na mbegu yenyewe si kwamba ilikua ni nyingi etiilikua tu ni kidogo ambazo ni punje za kuhesabu,, lakini bado yamezalisha hii ambayo bado naona ni mengi kulinga na mbrgu ,vile vipunje tulivyowiweka ardhini" 1690278587889.wav,je ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina ya C ? Eleza kwenye sifa ya kilimo hakuna ambacho sikukipenda kwenye aina ya C 1690286197608.wav,kwa ujumla aina ganiya tricotuliipenda zaidi Niliipenda zaidi hii A A! eee 1690286262594.wav,Kitu gani hukupenda kuhusu kukuza aina ya mbegu A Kitu ambacho sikupenda labda ni kulingana na muda tu ule muda tulioupata ile mbegu ulikua ni muda umeshaisha 1690286694205.wav,ni kitu gani hukipendi kuhusu kukuza aina ya C kwa upande wa C ninachoipendea maharage hayarefuki na inazaa 1690295523897.wav,Je ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina A kwa matumizi ya Biashara na matumizi ya chakula? Hakuna kitu ambacho sijakipenda Asante 1690295558151.wav,ne ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina ya B kwa biashara au matumizi ya chakula hakuna kitu ambacho sijakipenda vyote ulivipenda ndio 1690295608967.wav,katika hizi trial tatu chaguo lako lipi la mwisho ambalo hukulipenda sikupenda A 1690295817969.wav,"Je ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina A ukielezea hilo, hio aina A katika sifa za kilimo? Aina A kitu ambacho sikukipenda ukiotesha mwisho huwa haibebi Mwisho ukimaanisha? Nikimaanisha ukichelewa wakati" 1690296068579.wav,je ni kitu gani chochote ulipenda kuhusu aina ya A? eleza kwenye sifa za kilimo aina A sikuipenda maana inastawi sana alafu haina uzao 1690353663254.wav,"Ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina A kwa biashara au matumizi ya chakula? Kitu ambacho haujakipenda labda kwenye biashara? [uhakika wa soko] Mbegu A? Nataka tena nizidi kukueleza kwamba kwasabu ni mbegu mpya natamani yaani niwenayo baadae nijifunze kwa hiyo mbegu nione ubora wake nione na ikovipi kichakula alafu baadae najua inaeza ikawa na biashara baadae kwa kuwa ni mbegu mpya kwenye biashara kwakuwa sijajua, sijawa na uhakika wa soko icho ndicho sijakipenda lakini kwenye chakula napenda" 1690354015314.wav,je kwa ujumla aina gani ya tricot uliipenda zaidi nilipenda A 1690354315196.wav,ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina ya A kwa biashara au matumizi ya chakula hakipo 1690354397244.wav,ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina ya A eleza kwenye sifa za kilimo hakipo 1690360161010.wav,kwa ujumla aina gani ya trocot uliipenda kidogo? A 1690361535495.wav,"Je ni kitu gani haukipendi kuhusu kukuza aina C eleza kwenye sifa za kilimo Ambayo sikipendi kukuza kwenye? Yaani ambacho hujakipenda kuhusu hii aina C Nafikiri niseme tu kwamba sija, hakuna chochote ambayo sijaipenda maanake tayari zao nimeshaliona ni nzuri na linamea kuzuri yaani kwa ujumla hili zao nizuri nilivyoiona sawasawa kwahivyo sioni kwamba" 1690361617720.wav,"Aya naanza, ni kitu gani ulichokipenda kuhusu aina C kwa biashara au matumizi ya chakula? Kwanza kwasababu sijajua zao hili kwenye biashara ina bei ya shingapi lakini kwa upande wa chakula imenipendeza kwa kuiangalia tu sura ya mbegu yenyewe inaonekana kwamba ni chakula kitamu ambayo kinafaa ndani ya familia yanggu au jamii kwa ujumla sawa, nyingine? nyingine?" 1690361875105.wav,"swali linasema, kwa ujumla ni aina gani ya mbegu umeipenda zaidi kwa ujumla nimeyapenda mmaharage haya yote, kwanza haya njano bei yake sokoni ukiyaotesha uyapate yatakua yna bei halafu hii C? hii C nimeipenda kwa sabau ni matamu na yanaigia ingia sokoni sasa hivi kwahiyo kwa ujumla ukiambiwa uchague ni aina gani umeipenda zaidi hapa nimeyapenda yote" 1690361890035.wav,"Ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina C, eleza kwenye sifa za kilimo Kwa ujumla hakuna kitu ambayo kimenisababisha nisiskipende kwasababu tayari nimeshaona zao ni zuri, kwaio sijapata sehemu ambayo itanisababisha nisiipende, nimeipenda mimi sawa" 1690361947416.wav,"Sema Je, kuna kitu chochote ambacho ulipenda kuhusu kukuza aina ya B? Elekeza kwenye sifa za kilimo Sasa ile B hapa kuna chochote ulikipenda japo kunaambavyo umevitaja umechukia lakini kuna chochote ulikipenda? Umerekodi tayari? Kwenye B naezasema kwamba kitu ambayo nimekipenda ni kwasababu tupo kwenye mazoezi kwenye majaribio kwahiyo yawezekana kama mimi sijaipendea kala hiyo ama udogo udhaifu wa mbegu hiyo itakua labda kuna wengine wanaeza penda Kwahiyo siwezi sema kwamba ni mbaya kwa ujumla labda kuna wale wengine wamependezwa nayo sawa" 1690363349572.wav,Kwa ujumla ni aina gani ya tricot uliipenda zaidi C 1690363843542.wav,"Je kuna kitu chochote ambacho ulipenda kuhusu kukuzia aina A, eleza kwenye sifa za kilimo Nimeyapenda maana hayana gesi na ya, ni mazuri kwa kupikia" 1690363895592.wav,Ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina ya A kwa biashara au matumizi ya chakula? kwa sababu tu aina uzao mwingi Sawa 1690364151722.wav,Aya ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina ya A kwa biashara au matumizi ya chakula? Sina kitu ambacho sijapenda Kwenye na upande wabiashara na chakula Eeh upande wa biashara na chakula Iko vizuri Iko vizuri Sawa 1690365343625.wav,"Ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina ya C kwa biashara au mtaumizi ya chakula? Kwenye biashara ndio sikuipenda Kwanini? Haina soko Haina soko? La uhakika Okay, kingine ambacho ni tofauti na hicho? Nyingine hamna maana kwenye chakula kinafaa Okay, sawasawa" 1690440936876.wav,kwa ujumla ni aina gani ya tricot ambayo umeipenda au nni aina gani ya majaribio ambayo umeyapenda katika hizo mbegu ni A 1690441222756.wav,"Ni kitu gani ulichokipenda kuhusu aina ya tricot A kwa biashara au matumizi ya chakula sanasana biashara biashara inaweza kukufanya uipende zaidi ndio ah sawa Na umeangalia vitu gani zaidi mpaka useme kwa biashara na chakula ndio kutokana na illivvyo , yani kutokana na ilivyo inaonekana kwenye biashara inafaa lakini kwenye chakula sio sana" 1690441361911.wav,"katika majaribio yote ama katika upandaji wa mbegu zote hizi, ipi angalau kidogo umevutiwa nayo umeipenda katika mbegu zote kuanzia A, B, C kitalu B, ni kitalua B na A na A ulishaizungumzia sana mwanzo nahisi nahisi na hii B sawasawa" 1690441869773.wav,nini ulipenda kuhusu kukuza aina ya A eleza kwenye sifa za kilimo kwa sababu ya pia inavumilia ukame pia uzaaji wake ni mzuri 1690444642779.wav,"Na je kuna kitu chochote ambacho hukukipenda kuhusu aina A kwa biashara au matumizi ya chakula? eee hapo siwezi nikazungumzia zaidi kwa sababu siwezi kusema kwamba sijapenda kwa sababu naweza kusema sijaipenda lakini wengine wakawa wameipenda kwa wewe binafsi kwa mimi binafsi, unasikia, sasa hapo ni kwamba ni kwasababu ya mkao wake halina tofauti na maharage lekundu na sijala nijue kwamba ladha yake ikoje, kwahiyo kila kitu kinalingana na ladha yake kua ni lizuri au ni libaya, kwa hiyo hapo siwezi nikazungumzia zaidi ubaya wake" 1690445408642.wav,nini ulipenda kuhusu kukuza aina ya A ? Eleza kwa sifa za kilimo nimechagua A kwa sababu ina mbegu nzurui na inavumilia ukame inavumilia ukame eeee 1690446706051.wav,"sifa ya kwanza ya aina B, ya kwanza kabisa haina masoko hii, sifa nyingine ya pili, inaleta gesi tumboni, na sifa nyingine ya tatu haitoi sana mazao" 1690446842642.wav,Inashambuliwa sana na wadudu wakati wa kuotesha 1690456727542.wav,"nini ulipenda kuhusu kukuza aina C? sifa namba moja uliyopenda kukuza aina C sifa namba moja ni kuota na kukua haraka na kukomaa mapema mmm pia kwa ajili ya biashara kwa kua soko lake biashara na soko, nyingine, ni kukomaa mapema ee eeee" 1690456913062.wav,kwa hiyo which tricot do you like ni A ee eeee 1690458238030.wav,"ni kitu gani ulichokipenda kuhusu aina ya A kwa biashara au matumizi ya chkuala kwa matumizi ya chakula na pia kwenye biashara chagua moja eee, kwa kweli kwa matumizi ya chakula kweli eeee" 1690458290878.wav,ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina ya A kwa biashara au matumizi ya chakula kwa biashara 1690458349415.wav,kwa ujumla aia gani ya tricot uliipenda zaidi A 1690458372666.wav,"unafikiri kuna kitu chochote kinaweza kufanya aina ya B kua nzuri kwa biashara au matumizi ya chakula eee kitu gani ambacho unahisi kwamba kinaweza kuifanyaaina hii ya B iwe nzuri kwa ajili biashara au matumizi ya chakula B, ni kwa matumizi ya biashara ni kitu gani unachofikiri kuhusu aina ya B kua nzuri kwa biashara au matumiziya chakula ikiwekwa mbolea inaweza kustawi kwa ajili ya bishara" 1690458618269.wav,ni kitu gani ulichopenda kuhusu aina A kwa biashara au matumizi ya chakula aah ni kwamba kwa matumizi ya chakula ni matamu na kwa biashara rangi yake ina mvuto kwa biashra 1690458630985.wav,ni kitu gani hukukipenda kuhuhsu kukuza iana B? Hakuna 1690458776893.wav,kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina B? aina B? eeh aina B inachelewa kukomaa na inaonekana ikizidiwa na maji inaweza kupata tatizo 1690458841769.wav,"kitu hukukipenda kuhusu aina C kwa biashara au matumizi ya chakula? aaah, um ujazo wa mbegu pamoja na muonekano wake" 1690460418009.wav,ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina ya B kwa biashara au matumizi ya chakula wakati mvua ikiwa nyingi inaweza ikaharibika wakati mvua ikiwa nyingi 1690460899738.wav,"nini ulipenda kuhusu kukuza aina ya C?elekeza kwenye sifa za kilimo wakati kama shamba lina rutuba ndogo unaweza kupanda alafu na kupata mavuno, sifa ya pili sifa ya pili kama shamba ni lidogo unaweza ukapata mavuno mengi" 1690466458255.wav,ni kitu hukukipenda kuhusu kukuza aina B? hamna 1690525436275.wav,"nini ulikipenda kuhusu kukuza aina ya A ukihusianisha na sifa za kilimo aina ya A inaota vizuri, maua yake yanakuja vizuri inabeba na inakua imenenepa kidogo sio mbaya" 1690525678388.wav,kipi ambacho hukukipenda kwenye C kwenye biashara au kwenye chakula hii inakaa kote kwenye chakula na kwenye biashara inakaa vizuri 1690526500066.wav,Ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina B kwa biashara au matumizi ya chakula? kitu ambacho sijakipenda kwa aina B ni kwamba ina gesi sana tumboni 1690526685810.wav,ni kitu hukukipenda kuhusu aina A kwa biashara au matumizi ya biashara hakuna 1690527112280.wav,ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina ya B? Elekeza kwenye sifa za kilimo hakuna 1690527330981.wav,je kuna kitu chochote ambacho ulipenda kuhusu kukuza aina ya A? Elekeza kwenye sifa za kilimo hakuna 1690529404860.wav,kwa nini hukipenda B Ilishambuliwa na magonjwa hiyo magonjwa ee mmmm 1690533707331.wav,Ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina ya A kwa biashara au matumizi ya chakula Hapana Hapana nini? Kwenye A hakuna kitu nilichokiona hakifai sawa 1690550742901.wav,nini ulipenda kuhusu kukuza aina C au kupanda aina C soko lake liko vizuri kingine hautumiii gharama kubwa sana 1690551160396.wav,ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina C hakuna 1690551233224.wav,ni kitu hukukipenda kuhusu aina A kwa biashara haina soko 1690551269336.wav,je kuna kitu chochote unafikiri kinaweza kufanya aina A kua nzuri kibiashara ee kama tukipata soko tunaweza kufanya ikawa nzuri 1690611732868.wav,Ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina B? Aina B mavuno yake ni chache 1690612095093.wav,ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina C kwa biashara au matumizi ya chakula? rangi yake haijanivutia 1690612232177.wav,"ni kitu gani ulichokipenda kuhusu aina ya B kwa bishara au matumizi ya chakula aah kwa matumizi ya chakula, nianze matumizi ya chakula, ni nzuri, kwa sababu hii unapopika vyakula mfano, labda umepika vyakula hivi vya viwe ni ndizi, makande kwa sababu ya wekunndu wake kwa kweli inakolea mimi naipenda laini pia hata kuiva inaiva vizuri sio mbaya iko vizuri" 1690612435601.wav,kwa ujumla aina gani ya tricot uliipenda zaidi ambayo ni A ulipenda A! eeee 1690614873537.wav,"ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina ya C ? Eleza kwemye sifa za kilimo mmh kwanza kwenye mbegu C ni nzuri, lakini changamoto yake kubwa ambacho mimi sikukipenda ,na kama watafiti wanaweza kufanyia utafiti tukapata majibu ingependeza, ni kwamba number of pods au vile vidole vyake ni vichache sana ukilinganisha na aina nyingine kama A na B" 1690616947984.wav,kwa ujumla ni aina gani ya tricot uliipenda zaidi B 1690617096250.wav,ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina ya B? Elekeza kwenye sifa za kilimo Hii nazipenda hizi ina mbegu nzuri 1690622408807.wav,ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina ya A kwa biashara au matumizi ya chakula hakuna 1690622690936.wav,je kuna kitu chochote unafikiri kinaweza kufanya aina B kua nzari kwa biashara ua matumizi ya chakula kwa biashra ndio kwa sababu kuna wanaoYApenda hayo maharage ya aina B 1690622840437.wav,ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina ya C? EleKEza kwenye sifa za kilimo inachelewa kukomaa 1690622915034.wav,kwa ujumla ni aina gani ya tricot ulliipenda zaidi? B 1690623058546.wav,ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina B? Hakuna 1690623098907.wav,ni kitu gani ulichopenda kuhusu aina B kwa biashara au matumizi ya chakula? biashara na matumizi ya chakula kwa sababu inatoka kwa wakati 1690623101052.wav,je kuna kitu chochote unafikiri kinaweza kufanya aina ya B kua nzuri kwa biashara au matumizi ya chakula? ni dawa ya mbolea na na matumizi ya nani ya ya dawa ya dawa 1690629223873.wav,"nini, ni kitu gani hukukipenda kuhukipenda kuhusu kukuza aina C hakuna" 1690874468613.wav,"Ukiangalia kwa sifa za shambani, kitu gani hukukioenda kuhusu kukuza aina B?" 1690874562180.wav,"na ukiangalia kwenye sifa za kuhusu shambani kwenye kukuza aina B, ni kitu gani hujakipenda maybe kilikusumbua labda? apo kilichonisumbua naona ni baridi na hao wadudu tu sawa" 1690876014497.wav,"Ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina A, eleza kwenye sifa za kilimo Changamoto ilikuwa kwenye uvunaji mvua zikiwa nyingi uwaga inabadilisha rangi, ikishaa nyeshewa na mvua inabadilisha rangi yake" 1690877234861.wav,"hii sampo yetu sampo A, ndo umesefa sifa zake ulikua umeipenda kwa sabau inafanyeje ina chomoza haraka alfu ina mazao mengi ndioo eee" 1690877424683.wav,"Ni kitu gani ulichokipenda kuhusu aina ya tricot A kwa biashara au matumizi ya chakula kwa biashara ni mazuri kwasabau hayana gesi haya hayana gesi, moja hayana gesi, hayamna gesi hata mtu ambae anashida ya vidonda vya tumbo anaweza akala hayana gesi" 1690878029850.wav,"je mama kuna kitu chochote unafikiria kinaweza kufanya aina B kua nzauri kkwa biashara au matumizi ya chakula? Au ndo hivyo hayana gesi yanauzika au kwa kweli kwa ujumla maharage yote aina hiyo A, B na hiyo C yanauzika na yanalika so ni ile tofauti tu mtu unaweza ukawa ukipika unasikia wewe tu" 1690878620821.wav,"Je kuna kitu chochote a,mbacho ulipenda kuhusu kukuza aina ya C? Aina C ile pale Kipi hicho, ntajie sifa zake Sifa zake inakomaa upesi Inakomaa upesi? Nyingine? Alafu punje zake zimekaa duara zuri Sifa ya tatu? Sifa ya tatu haishikani haina kamba zile zakukamatanakamatana Sifa ya nne? Ya nne yanakomaa upesi Tayari umeshaisema, kwahiyo basi sifa zipo tatu si ndio?" 1690884156997.wav,Ni kitu gani ulichopenda kuhusu aina C kwa biashara au matumizi ya chakula Kwanza ni manene halafu yana ladha nzuri wakati wa kula 1690884529835.wav,Je kuna kitu chochote ambacho ulipenda kuhusu kukuza aina A elezea kwenye sifa za kilimo A nimeipenda kwa sababu pamoja na kwamba inachelewa lakini inahimili hali ya hewa ikiwa ngumu ya ukame na kwenye kula ladha yake ni nzuri 1690885130360.wav,je ni aina gani ya hii tricot ambayo umeipenda zaidi C 1690886907699.wav,"kitu gani hukukipenda kuhusu aina ya C hii apa kwa biashara au matumizi ya chakula haina soko ah haina soko, nyingine hamna" 1690889413827.wav,kwa ujumla ni aina gani ya tricot uliipenda zaidi? A 1690889641128.wav,ni kitu gani ulichopenda kkuhusu aina A kwa biashara na matumizi ya chakula? ina soko na pia ina ladha nzuir kwajili ya kula 1690891951909.wav,Kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina C? Yaani kitu ambacho aina C ulikiona kweli nimeipenda lakini hii aina ya C kuna kitu ambacho kimeni kimeni kimenifanya nisi yaani nisiielewe tu Nahisi hamna Hakuna hata kimoja? Hamna Lazima kutakua kuna sababu labda kama kitu ambacho nilikipenda kutokana na hii aina ya C labda ilikua ina nini ina tanda zana au hiki bhana sikukipenda kutokana na Au hamna hamna 1690892620346.wav,Je kuna kitu chochote unafikiri kinaweza kufanya aina A kuwa nzuri kwa biashara au matumizi ya chakula? Kwa biashara Hakuna 1690893616978.wav,Kwa ujumla aina gani ya tricot uliipenda zaidi? C 1690893746976.wav,ni vitu gani hukuvipenda kuhusu aina C? hakuna 1690894185378.wav,Ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina C? kupiga dawa 1690894277718.wav,je kuna kitu chochote hukukipenda kuhusu kukuza aina A? ee ni kuchelewa kuota na kuchelewa kukauka mmm kingine alafu na uzao wake sio mzuri kama C 1690961871169.wav,"nini,ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina ya B elekeza kwenye sifa za kilimo, kitu ambacho hukukipenda kwenye kukuza aina ya B kwa kweli hamna hakuna ee eeee" 1690962461077.wav,Ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina A kwa biashara au matumizi ya chakula? kingine? 1690965375981.wav,"Kwa ujumla ni aina gani ya Tricot uliipenda zaidi kati ya A, B na C? Ni A na B Uliyoipenda zaidi? Ni A" 1690965764741.wav,Nini ambacho hukukipenda kuhusu hii aina B? Hakuna ambacho sijakipenda 1690966017163.wav,"na kwenye sehemu ya biashara na chakula aina B yenyewe ikoje biashara na chakula? eeee hii A na B kwa sababu sijawahi kuila, kwasababu A na B,A naijua C tuseme hii C na B sijawahi kula wala kuipeleka sokoni wala ata, sisi haya hapa kwa hiyo ata kuulizia ni shida hayapo" 1690966253991.wav,Ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina ya C kwa biashara au matumizi ya chakula? mimi ni kwa biashara haiko vizuri haiko vizuri 1690968897612.wav,ni kitu gani hukukipenda kkuhusu kukuza aina ya A? kukuza kukuza aina ya A nimependa kwa sababu haukukipenda! sina hamna? mmm 1690968921315.wav,"je kuna kitu chochote ulipenda kuhusu kukuza aina ya C? ulipenda kitu chochote kuhusu aina ya C nilipenda tu kukuza kwasabau ya chakula mmh kwasababu ya chakula, kingine hamna hamna? kwasabau hayana biashara mmmh biashara yae" 1690970630859.wav,je kitu chochote ambacho ullipenda kuhusu kuikuza aina A? Inahimili mvua nyingi 1690972853910.wav,"Je kuna kitu chochote ambacho ulipenda kuhusu kukuza aina ya A? Elezea kwa sifa za kilimo Ani kwa B, A A nayo inafwatana na Na B? A, yaani A inafwatana na B kwa maana kwamba soko hili la A utakuta la B ni bovu kidogo utakuta la B linafwatia Kwa hiyo sifa za A nitajie, kwa nini nnakitu chochote ambacho nilipenda kuhusu A nitajie kulingana na sifa za kilimo Eeh nafikiri pia sifa za kilimo ni kwamba A nayo haichukui mda mrefu Kufanyeje? Kukua lakini A pia nayo inavumilia ukame Inavumilia ukame Ndio Mmh Nyingine Sifa ya A nyingine ni kwamba pia nayo kwa chakula inafaa lakini pia kwenye biashara nayo inachukua nafasi ya pili kwenye masoko Ukuaji wake labda, ustahimilivu wa makame ukame wadudu Eeh kwenye ukame inahimili ukame ila kwenye wadudu pia inashambuliwa mara kwa mara sa nyingine inabidi tutumie madawa Aya hiyo kushambuliwa utakuja kuitaja kwenye kutokupenda kule sifa nyingine ya nne umesema ina soko? Ndiyo, katika soko ina soko pia" 1690972901475.wav,Ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina ya B? Elekeza kwa sifa za kilimo ambazo ambazo Haukupenda kwa ajili ya B kwa sifa za kilimo niambie kwa sifa za kilimo Ambazo sijazipenda? Hakuna Hakuna? 1690976089136.wav,ni ipi inazaa kidogo sana iliyozaa kidogo ni A 1691045564812.wav,Ni aina C 1691045609813.wav,Uvunaji mazao yake yanakuwa ni mengi zaidi kuliko hizi mbegu nyingine 1691047393061.wav,"nini ulipenda kuhusu kukuza aina ya B mbegu B sifa zake sifa ambazo zilisababisha ni uzao lakini pia uvumilivu kwa sababu pamoja na hali ya hewa lakini bado ziliendelea kustahimili hali ya hewa zikatoka vizuri sawa na uzazi mzuri kwahiyo hii imesababiasha niipende lakini ile C nimeipenda kwa sababu nayo sio mbaya ni hali ya hewa lakini hii bado inafanya vizuri sifa ya pili kwenye hii aina B uliyoipenda kukuza kupanda hii ni kwanza ni soko ya B! ya B, hii , soko, sijajua soko lake kwamba likoje, lakini uzazi wake kweli kwa ujumla nimeipenda kwa uzazi wake" 1691053668055.wav,kwa ujumla ina gani ya tricot uliipenda zaidi kati ya hizi tatu B 1691053927381.wav,"je kuna kitu chochote ulipenda kuhusu kukuza aina A elekeza kwenye sifa za kilimo, kwenye hiyo A kitu gani ambacho ulikipenda kitu ambacho nillikipenda nayo inajitahidi tahidi kuvumilia ukame ee na nyingine lakini pia inafaa kwa chakula" 1691057682052.wav,ni kitu gani umekipenda kuhusu aina ya B kwa biashara au matumizi ya chakula hili harage kwanza limenivutia ni zuri hata ukipeleka sokoni linajiuza lenyewe ndo maana limenivutia hili kitu kingine kitu kingine hata kula linaiva vizuri asante 1691057723432.wav,ni kitu gani yani hukukipenda kuhusu aina hii ya B kwa biashara au matumizi ya chakula umesema kitu gani yani hukukipenda kuhusu aina hiyo ya B kwa biashara au matumizi ya chakula mbona mimi nalipenda tu kwa hiyo hakuna ambacho hukipendi kuhusu aina B! Aaaah hiyo mimi nalipenda tu liko vizuri 1691068510056.wav,"Je kuna kitu chochote ambacho ulipenda kuhusu kukuza aina ya A Kuna kitu chochote ulikipenda? Hapana Eleza kwenye sifa za kilimo Ni kwanini hapana Kwasababu inashambuliwa na wadudu Inashambuliwa? Na wadudu Alafu sifa nyingine ya pili Haivumilii ukame Kwamba sio nzuri kwa kilimo, is umesema kwamba sio nzuri A hiyo eeh Kwa nini sasa" 1691068766019.wav,"Je kuna kitu chochote unafikiri kinaweza kufanya aina ya A kuwa nzuri kwa biashara au matumizi ya chakula? ni kitu gani ambacho unafikiri kinaweza kufanyika, kinaweza kufanya ili hii aina ya Tricot ya A izidi kuwa nzuri kibiashara na matumizi ya chakula? Labda ikipandwa kwenye ardhi yenye rutuba kingine? kupaliliwa kwa wakati ya tano ya mwisho? ikiwekwa dawa" 1691142397904.wav,"kwahiyo na kitu gani hukukipenda kuhusu aina A kwa biashara au matumizi ya chakula chakula iko vizuri kwasababu mwaka jana niiotesha, ila kwenye soko tu ndo ina shida hatuna uhakika kwasababu hatujawahi kuiuza" 1691145082721.wav,kitu gani hukipendi kuhusu hii aina A kwenye suala la biashara na chakula hii hakuna kitu abacho sijakipenda hakuna 1691145407146.wav,"ni nini ulipenda kuhusu kukuza aina ya B? cha kwanza rangi yake nimependa , pilli nawahi kukomaa haraka ndio, cha tatu? cha tatu hata uzaaji wake sawa ahsante" 1691145422073.wav,"kitu gani, ni kitu gani hukukipenda kuhusu kuikuza hii aina B kipindi unaikuza kitu gani hukukipenda" 1691145471167.wav,"ni kitu gani ulichopenda kuhusu aina B kwa bishara au matumizi ya chakula matumizi ya chakula pamoja na biashara ni kitu gani ambacho ulikipenda nilipenda kwa mfano matumizi ya chakula pamoja na biashara vyote viwili kwa pamoja kwa biashara labda ni nzuri katika hali gani yanapata soko japo sijajua soko lakini soko nimeshajaribu kufanya utaratibukuulizia soko wakaniambia soko liko vizuri na ukiulizia kwa matumizi ya chakula yakoje wananiambia yanaiva vizuri, yanaiva vizuri ni matamu pia, japo maana mimi tangu nilivyioyapanda sijajaribu ata kuyaonja natumaini utakuja kuyajaribu" 1691145509027.wav,"ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina B? Ah kwenye kukuza hakuna kitu ambachon labda hakijanifurahisha, sababu tangia nilivyoipanda imeenda vizuri mpaka navuna" 1691145565932.wav,ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina A kwa biashara na matumizi ya chakula kwenye matumizi ya biashara bado naiona iko vizuri haina shida na hata kwenye chakkula pia haina shida 1691145613061.wav,"je kuna kitu chochote unadhani kinaweza kufanya aina A kua nzuri kwa chakula au matumizi ya biashara Ninachotafakari hapo,nimejnifunza mengi, baadhi nimeona cha kwanza hii ikishakua na maua inabidi ipigwe sumu alafu ikishaanza tena kushusha wale watoto walau baada ya wiki tatu ipigwe tena sumu kwahiyo nafikiria kwamba ipigwe sumu walau ata mara mbili sifa nyingine ambayo tunaweza kufanya ikawa nzuri kwa biashara au chakula namna tu ya na uvunaji" 1691146806321.wav,Ni ile C eeh eeeh yaani ni kitu gani kifanyike ili iwe nzuri 1691148476507.wav,"Kwa ujumla aina gani ya Tricot uliipenda zaidi, B, B ndiyo" 1691148595393.wav,"Na Ni kitu gani hukukipenda kuhusu aina B kwa biashara na chakula? Kwa B tunaeza pata changamoto kwaupande wa Kilindi kwasabu hii mbegu kwa upande wa huku ni ngeni, ndiyo, yaani ni ngeni ndo maana wengi hawafanyi nini? hawaifahamu kwaio inaeza ikawa ikaleta changamoto ya kuikubali kwenye uzalishaji, na kwa matumizi ya chakula labda?, kwenye chakula hapo nisidanganye kwasabu wengi hawaifahamu kwahiyo, hujapata taarifa yake, sijapata taarifa hiyo yake, sawasawa" 1691148684752.wav,"Na ni kitu gani hukukipenda kuhusu kukuza aina ya B? Hukukipenda kabisa kipindi unaikuza hii B?, Unajua baada ya kushambuliwa na ukungu ilibaki miche michache Ndiyo, baada ya kupita ule ugonjwa wa ukungu ikabaki miche michache icho kitu sikukipenda, Ndiyo,kingine?, kingine hamna" moment_3_vegetatie_147829b8-c60c-41f1-81cf-5eee8df06942_1713350865588.wav,Niini unapenda kuhusu aina B?Aina B nimeipenda imetoa maua kwa wakati.Kitu kingine ambacho umekipenda kwenye hii mbegu kitu gani unavyoiangalia?Ubora zaidi na imemea vizuri mbegu hii? Una kingine cha kuongezea kwenye mbegu hii.Hapo sina. moment_3_vegetative_06b69dee-5e3b-413a-964a-a0be569855e9_1715176746142.wav,nini unapenda kuhusu aina A.nimependa maua yake yametoka vizuri ni mazuri yanaaa yana majani makubwa ni marefu pia ni mazuri sana kwa ujumla.je kuna kitu kingine chochote unacho kipenda kuhusu aina A.amna kingine bali majani yametoka maua yake yametoka mapema.asante. moment_3_vegetative_06b69dee-5e3b-413a-964a-a0be569855e9_1715176888437.wav,nini usicho penda kuhusu aina A.amna nisicho kipenda ila yame gongwa gongwa na wadudu ni mzuri.unajuwaje kuwa aina hii ina athiriwa na wadudu.najuwa maana yame gongwa gongwa hivi na wadudu majani yake yamegongwa na wadudu.asante. moment_3_vegetative_06b69dee-5e3b-413a-964a-a0be569855e9_1715176929825.wav,Nini unapenda kuusu aina B.Aina B napendaa yameota vizuri yamestawi so mbaya.je kunakitu kingine zaidi ambacho unakipenda kuusu aina B.Hamna kingine.Asante. moment_3_vegetative_06b69dee-5e3b-413a-964a-a0be569855e9_1715177262168.wav,Nini unapenda kuusu aina C.Napenda yameota vizurii nimarefu nimazuri majani yake ni mazuri na mauwa yake yameota mapema.je kuna kitu kingine chochote unachokipenda kuusu aina hii.apana.Asante. moment_3_vegetative_06b69dee-5e3b-413a-964a-a0be569855e9_1715177284643.wav,Nini usichopenda kuusu aina C.Amna chochote nacho kichukia.Asante. moment_3_vegetative_06b69dee-5e3b-413a-964a-a0be569855e9_1715177415139.wav,Nini usichopenda kuusu aina B.Aina B sijapenda mauwa yake haijaota mapema pia yameshambulia aa adudu.Asante. moment_3_vegetative_0fb68881-b3af-408d-94ed-ea70b1af9cbd_1713858993733.wav,ndio ndugu mkulima nini unachopenda kuhusu aina hii A?.aa A nimeipenda kwasababu inavutia.sawa.halafu inaonekana katika ukuwaji wake imekuwa vizuri ni tofauti na mbegu nyingine tulizozizoea.sawa.ee kwa ujumla hii imenivutia kwa kweli. sawa.ee.asante. moment_3_vegetative_0fb68881-b3af-408d-94ed-ea70b1af9cbd_1713859047334.wav,ndio sasa kwenye hii aina A nini usichokipenda laba kuhusu aina hii.hapana.ee kuna chochote ambacho.hapa mimi hakuna nisichokipenda manake hii hapa nimeikubalia tu nimeipenda kwa ujumla nimekubali.sawa.ee tena nahitaji hata ikiwezekana kwa wakati mwingine.sawa.wa wanipe ruhusa ya kuwa nayo tena.sawa.ee.vipi labda kwenye uotaji wake kuna changamoto zozote ambazo umeziona.aa uotaji wake pamoja pamoja kuna changamoto mashimo mengine hayakuota lakini kwa ujumla naona imekubali hakuna mapungufu sana sana tu kama kuna mashimo mawili matatu. sawa.haja hayajaota. moment_3_vegetative_0fb68881-b3af-408d-94ed-ea70b1af9cbd_1713859126515.wav,ndio sasa hapa tuko kwenye aina B ya mbegu nini unachopenda kuhusu aina hiyo B.aa B nimeipenda kwasababu tena nayo iko kivyake na ina utofauti hivi navyosema inaanza ku kufunga yani kuto kuandaa maua .ee.inataka kutoa maua.ndio.halafu jani lake.ndio.liko tofauti na lingine manake ni jeusi jeusi.ee.sawa.yani miche yake.sawa.tofauti na mbigu hizi tunazozizoe ni vyembamba lakini haya miti yake ni minene.minene.ee.ina afya nzuriee.ina afya nzuri.sawa.na na katika uotaji wake ikoje labda.katika uotaji wake hapa hii haina haina mapufungu. moment_3_vegetative_0fb68881-b3af-408d-94ed-ea70b1af9cbd_1713859144477.wav,labda nini usichokipenda kuhusu aina hii ya B.hapana B nimeipenda vilevile.ndio.hii nimeipenda nimeikubali. sawa.kwahiyo haina shida.haina shida.ee. moment_3_vegetative_0fb68881-b3af-408d-94ed-ea70b1af9cbd_1713859188206.wav,ndio ndugu mkulima tuko kwenye aina C labda nikuulize nini umependa kwenye aina hii ya C. C C ni mbegu nzuri imeonekana kwamba imetulia na enyewe yani enyewe imetulia kwa maana hiyo hizi mbegu zote mimi naona zinanifaa hii C nayo iko kitofauti kidogo inaonekana kwamba inaenda juu.mmh.na inavyoonekana bado inaendelea kwenda juu zaidi kwa maana hiyo hii nayo ina ina ubora wake.ee.sawa. moment_3_vegetative_0fb68881-b3af-408d-94ed-ea70b1af9cbd_1713859223106.wav,labda kuna chochote usichokipenda kuhusu hii mbegu aina ya C?.aa hii nimeipenda vile vile nimeipenda.ndio.kwasababu hii enyewe inaonekana namna ya ukuwaji wake hasa kwa kweli imesababisha niipende na hii na naipenda sana.sawa.ila isipokuwa tu ina mashimo machache nayo yamekataa.ndio.lakini kwa ujumla ni nzuri nimeipenda.sawa.ee.sawa asante sana. moment_3_vegetative_1bba40c1-f181-4942-a1d1-4e45581dfea2_1718083083288.wav,Nini umependa kuhusu aina A ?aina A sijai sijaipenda maana ku haistahimili ile hii hali ya hewa na inawezekana huku haioti kwa haraka haifanani na hii aina B au aina C tuseme hivo . moment_3_vegetative_1bba40c1-f181-4942-a1d1-4e45581dfea2_1718083122428.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A ?Aina A sija yaani sijaipenda maana haija mii mimea mingi inaharibika maana haioti kwa ulivyoipanda . moment_3_vegetative_1bba40c1-f181-4942-a1d1-4e45581dfea2_1718083184515.wav,Nini unapenda kuhusu aina B ?Aina B nimeipenda maana inatoa ua kwa haraka alafu inakua kwa kwa haraka huku kwetu inawezekana tuseme ime imeendana na hali ya hewa ya huku. moment_3_vegetative_1bba40c1-f181-4942-a1d1-4e45581dfea2_1718083219006.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina B ?Aina B huku hakuna nisichokipenda ila tu kwa huku kwetu inabidi uiangalie zaidi ili kupandiwa . moment_3_vegetative_1bba40c1-f181-4942-a1d1-4e45581dfea2_1718083279466.wav,Ni nini unapenda kuhusu aina C ?aina C naipenda maana ina ina majani mapana huku kwetu alafu inastahili hali ya hewa ya huku . moment_3_vegetative_1bba40c1-f181-4942-a1d1-4e45581dfea2_1718083316981.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina C ?Aina C hamna nisichokipenda ila tu inaendana na hali ya hewa ya huku kwetu. moment_3_vegetative_20240417_03d36044-549f-479e-9e5b-d144947066bc_1713958495113.wav,Ndugu mkulima nitakuuliza swali kuhusu aina A angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho una unakipenda kuhusu aina hiyo? karibu.Asante bwanaaa kwenyeee kitalu A kwanza kabisa kwenye uotaji wake yameota vizuri bila shida piaa mashina yake ni manene vizuri kwa hiyoo haya maharage pia vile vile yametanuka tanuka kwenye maa mashina yake humu kwahiyo yameota vizuri bila shida inamaana kwamba kitalu namba A kimeota vizuri sana kwahiyo asanteni sana.Ni hicho tu ulichokipenda ndugu mkulima?Nadhani kitakua ndo hicho maana hamna kingine nilichosaau ndo hicho hicho.Haya asante. moment_3_vegetative_20240417_03d36044-549f-479e-9e5b-d144947066bc_1713958575408.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo?Kwenye upande wa aina A ambacho sijakipenda kidogo maharage yameota lakini hayajaota kwa kustawi sana kwa sababu kunamaeneo mengine yameacha uwazi kidogo hayakuota kwahiyo ndo kitu ambacho sijapendezwa nacho.Haya asante. moment_3_vegetative_20240417_03d36044-549f-479e-9e5b-d144947066bc_1713958694913.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo?Ok asante sana kwanza kwenye kitalu B kwa kweli kimeota vizuri sana moja kwenye misitari yake imekaa vizuri na mashina yake ni manene vilevile pia yameota kwenda juu kwahiyo yameota vizuri sana ina maana kwamba kitalu A hakijatoa maua kama ipasavyo lakini kitalu B maua yake yameanza kutoa lakini japo kua nilipanda siku moja koo kitalu namba B kipo vizuri sana hakuna tatizo lolote. moment_3_vegetative_20240417_03d36044-549f-479e-9e5b-d144947066bc_1713958726651.wav,Angalia aina B na eleza chochote ambacho hupendi kuhusu aina hiyo?Kwa kweli kwenye kitalu namba B sioni tatizo maana kimetoa maharage yangu vizuri bila shida nayamekua bila shida kwahiyo yametoa maua vilevile bila shida kwahiyo hakuna shida yoyote hapo.Asante. moment_3_vegetative_20240417_03d36044-549f-479e-9e5b-d144947066bc_1713958829489.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Kwenye kitalu namba C kwanza namba moja hiki kitalu kimeota vizuri sana pia kimetoa maua kuliko vitalu vyote A na B maana ya kwamba A B na C nilipanda kwa siku moja lakini A B havijatoa maua kama kitalu namba C kwahiyo kwenye upande wa kitalu namba C kipo vizuri sana ndugu yangu hapo hakuna tatizo lolote.Ni hicho tu ulichokipenda kuhusu C?Kuhusu upande wa C nilisahau pia kuhusu mashina yake yametoka vizuri bila shida kwenye majani yake yamestawi yamepanuka kama kawaida pia yame yameota sana kwenda juu kwahiyo yapo vizuri sana.Unaweza ukaongezea kidogo.Kwenye kitalu namba C sidhani kama kuna cha kuongezea maana vyote nimevitamka hapo kama ipasavyo.Haya asante asante. moment_3_vegetative_20240417_03d36044-549f-479e-9e5b-d144947066bc_1713958886681.wav,Angalia kitalu namba C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?Kwenye kitalu namba C moja kuna mstari namba nne haukuota vizuri kitu ambacho sijapendezwa nacho kabisaaa msitari huu uliota lakini uliacha kidogo maeneo tofauti tofauti hayakuota kwahiyo ni kitu ambacho sijapendezwa nacho maana kwamba maharage hayakuota vizuri.Haya asante. moment_3_vegetative_20240417_0c0f022c-401b-469d-9031-25c0fbac6ffe_1713943663036.wav,nini unapenda kuhusu aina A?.ninachokipendaa kuhusu aina A ni uotaji mzuri kadhalika na hata hali yake ya kiAa ki afya ya mmea wenyewe.labda kitu kingine ambacho kimekufurahisha katika aina A?.naona sina zaidi ya apo ni hivi viwili tu.sawa. moment_3_vegetative_20240417_0c0f022c-401b-469d-9031-25c0fbac6ffe_1713943711174.wav,nini usichokipenda kuhusu aina A?.ainaa A nisichokipenda kwa kweli ni kimoja tu nacho ni ucheleweshaji wa kutoa maua.unaweza kueleza kwa undani zaidi?.sina zaidi ya apo.yaani labda ni sababu zipi ambazo zimechangia ayo maua yakachelewa kutoka.sina uwezo wa kuelewa zaidi nadhani labda kwaa kukisia ni aina labda yaa tabia ya aina yenyewe ya mbegu.mmh.eee. moment_3_vegetative_20240417_0c0f022c-401b-469d-9031-25c0fbac6ffe_1713943848322.wav,"nini unapenda kuhusu aina B?.aina B kinachonifanya niipende ni uotaji wake mzuri.mmmh.pia hata ukuaji wake mzuri na ninavyoona hata u uustahimilivu waa waa waa waa madhara yatokanayo na na na uotaji.hususani kwa mfano kwa mfano mwaka huu kumekua na mfululizo wa mvua nyingi lakini yenyewe imejitahidi kuu kuota na kutoa maua, athari imekua kwa asilimia ndogo sana. saawa." moment_3_vegetative_20240417_0c0f022c-401b-469d-9031-25c0fbac6ffe_1713943876382.wav,nini usichokipenda kuhusu aina B?.aina B hii hakuna ambacho sikipendi hali yake yote mimi naipenda isipokua hiki nilichokizungumzia kama athari ni imetokana na mfululizo wa unyeshaji wa mvua.mmmh.mmh. moment_3_vegetative_20240417_0c0f022c-401b-469d-9031-25c0fbac6ffe_1713943935095.wav,"nini unapenda kuhusu aina C?.aina C kwa kweliii hali zote nazipenda, uotajii utoaji mauaa ukuajii nikija kujumlisha na wingi wa mvua lakini bado yenyewe imekua na sura nziri." moment_3_vegetative_20240417_0c0f022c-401b-469d-9031-25c0fbac6ffe_1713943986088.wav,nini usichokipenda kuhusu aina C?.Aina CCC mimi naona sina nisichokipenda hakuna hapa kwa sababu taratibu zote za za za sifa za mmea huu zipoo isipokua zile zenye mapungufu ni kutokana na ufu mfululizo wa tu wa mvua lakini uotajii ukuajii mauaa vimekaa vizuri.sawa. moment_3_vegetative_20240417_19fb3e0c-04e9-4ea0-94b3-a1fe157d4ef2_1713603009052.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.hapan navyo angaliya aina A maharage yameota vizuli nayama nzuli saidi.kipi unakipenda kwenye aina hii.hapana vyoangalia ndio hichotu maharage nimeyapenda yameota vizuli.yameota vinzuli.eeeh.sawa lakini piyaa hakuna kitu kingine ambacho umekipenda katika aina hii.hakuna kitu kingie ambacho nimekipendaa . Nimekichukiani .nimependa tu.sawa. moment_3_vegetative_20240417_19fb3e0c-04e9-4ea0-94b3-a1fe157d4ef2_1713603081897.wav,Tunaendelea na maswali angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.hapa nnavyoangalia hakuna kitu nnacho kichukia.hakuna kabisa.hakuna. moment_3_vegetative_20240417_19fb3e0c-04e9-4ea0-94b3-a1fe157d4ef2_1713603185935.wav,angalia aina B naeleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.hapa nnavyoona kundi Biii maaarage yameota vizuli nayapenda na yamekuwa vizuli nayapenda sana.kipi ambachooo kimekufanya uyapende sanaa.haya maarage nayapenda sana kwasabu ameota vizuli nayamekua vizuli.hakuna kingine ambachooo kimekupe kimekuvutia zaidi hadi uyapende.nimevutiwa zaidi kwasabu yameyakuwa vizuli ndioma nayayapenda zayidi moment_3_vegetative_20240417_19fb3e0c-04e9-4ea0-94b3-a1fe157d4ef2_1713603305203.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyoo.hakuna kitu nnachokichuki katika kundi aina B.sawaa. moment_3_vegetative_20240417_19fb3e0c-04e9-4ea0-94b3-a1fe157d4ef2_1713603387383.wav,Tunaendelea na maswali angaliya aina Cii na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.hapaa aina ziii ndio file fee napenda kwasabu maalage yameota vizuli tena yamekuwa vizuli. hakunakituambachosikukipendanimeyapendatusana.umeyapenda sanaa.eeeh.kwanini umeyapenda sana.kwazaabu yameota vizuli na yamekuwa vizuli. moment_3_vegetative_20240417_19fb3e0c-04e9-4ea0-94b3-a1fe157d4ef2_1713603447970.wav,Angalia aina Cii naa eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.hapa nnavyoona aina ziii hakuna kitu ambacho sikipendi ambacho nakichukia hakuna. moment_3_vegetative_20240417_1b122681-17ec-4004-8caf-41754088b46c_1714040607304.wav,"angalia aina A na elezea chochote unachokiona na ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo?hii aina A ninavyoiona mimi, ni kwamba kidogo ni dhaifu kuliko aina B, na nanafikiri pia hii kama mtu ataweka mbolea pia haita kuwa mbaya sana kwasababu naona upande mmoja kwasababu kutokana na ardhi ninavyoiona huu upande wa kushoto kwetu naona mazao yake ni mazuri, kulia mazao yake ni dhaifu, kwahivyo naamini ukiweka mbolea unaweza ukafanikiwa, si mbaya sana. je kwa mtazamo wako sasa, kuna jambo lengine lolote ambalo unalipenda kuhusiana na hii aina?hii aina ni mpaka labda tutakapo vuna ndo nitapata matokeo mazuri na kujua tatizo lake ni nini, kwa sasahivi siwezi kujua sanaa kwamba faida zake ni zipi na hasara zake ni zipi, tukivuna ndo nitaangalia inakiasi kagi katika kila kitalu ndiyo.je nje ya kuangalia sasa jinsi itakavyo, kwenye uzaaji na vitu vingine, kutokea kwenye kupanda mpaka sasahivi hapa tulipo sasahivi katika stage hii, katika ukuji huu, je kuna jambo lolote ambalo limekuvutia?jambo lililo nivutia ni ni kwamba kwamba hile aina C, ABC hile kidogo hapa naona kama ni nzuri zaidi kuliko hata B na A hilo tu ndo naona tofauti, lakini kweli hizi aina nafikiri kama zi tutazipanda kwa mbolea lazima zitakuwa nzuri karibu zote, kwahivyo sijaona tofauti kubwa kwakweli.sawa sawa.mmmnadhani takua tashukuru, asante.ndiyo." moment_3_vegetative_20240417_1b122681-17ec-4004-8caf-41754088b46c_1714040812858.wav,"angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?mimi kitu ambacho labda ninaweza kuona kidogo kina matatizo kwa mawazo yangu, nilikuwa nafikiri kwa hali ya hapa kwetu harai huu upandaji kidogo unanitia mashaka kwamba hii miraba ambayo centimeter hamsini naona kama ni nizaidi, kama labda ingewekwa centimeter thelathini ingekuwa vizuri kama ukipanda hivyo unaweza ukavuna vizuri zaidi, ndio mawazo yangu sawa sawandiyoje kwaku kwamtazamo labda ukitazama, kwakutazama mimea je jambo lingine ambalo alikuvutiijambo ambalo alinivutii ni kwamba hii mimea nikiiangalia inaonesha udhaifu haioneshi kunawiri kama kawaida nilivyo zoea maharage yanavyo nawiri, kwahivyo hii inahitaji labda utaalamu zaidi kwanini haioneshi kunawiri ikawa kijani inayo pendeza inakuwa mpauko pauko, sijaelewa sababu ni ninisawa umeongelea maswala ya kunawiri, je kunawiri kunaweza kukawa kunachangia nini?kunawiri ninaamini kwamba mmea ukinawiri kunakuwa na nguvu, kwasababu naamini kunawiri kunaanzia kwenye mizizi, na hile mizizi inatengeneza chakula kinakuja kwenye mti wenyewe na majani, basi hata matunda yake yanakuiwa na nguvu zaidi mradi hisi zidi, maana wakati mwengine tunapandaga kwenye mbolea linakuwa la hovyo hovyo tu linakuwa na matunda machache sana, kwahivyo kunawiri kuna mambo mengi, inatakiwa pawe pawazi labda na mimea yenyewe kama hii sasa hivi isije ikawa labda imenawiri sana kupita kiasi, ikinawiri kiasi na matunda yake yatakuwa mengi ndivyo tulivyo zoeasawa sawandiyoje kuna jambo lengine lolote?jambo ambalo mimi ningeliomba, sipendelei kupanda bila ku nani kuwa na na mbolea kabisa, kupanda kwa mbolea nafikiri itakuwa vizuri zaidi, kuliko jinsi tulivyo shauriwa kwamba fanya unavyo fanya siku zote hili tuone matokeo, kwasababu wataalamu walivyo nambia nambia ukipanda kama maharage yako unapalilia vizuri na hapa upalilie kama unaachaga pori ufanye hivyo hivyo ilituone matokeo, hii nimefanya hivyo hivyo na siku sikuweka mbolea yoyote ilinione matokeo nijifunze zaidi ni hivyo tu sawa sawa asanteeee" moment_3_vegetative_20240417_1b122681-17ec-4004-8caf-41754088b46c_1714041027064.wav,"angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakioenda kuhusu hiyo? asante mimi hii aina B ninaona kidogo sio mbaya ni nzuri nilivyoipima kwa mawazo yangu, naona kidogo ni nzuri sio mbaya sana kwahvyo inaweza kufaa kujaribu kupanda mwakani, nimeipenda sio mbaya B.umesema ni nzuri na utatamani kuipanda, je kitu gani kinakufanya sasa utamani kuipanda?ni muonekano wa mimea yenyewe tu ndiyo inayo nivutia muonekano, na sasahivi imeanza kutoa maua na maua yenyewe naona kidogo inajitaidi ndio kitu nacho angalia zaidi, inajitaidi maua japokua haija stawi sana, ume, kuna sehemu umesema, umeongelea kunawiri, kutoa maua je unaweza ukaelezea kidogo kwa undani?kuhusu kutoa maua?ndiyo.mimi kutoa maua ninajua kabisa kwamba huduma ni ndogo ingepata huduma nzuri zaidi, ingekuwa na maua mengi zaidi, kwahivyo nimejifunza kwamba kama nitajaribu kupanda haya mazao bila mbolea na ya wastani, sitaweza kupata matokeo mazuri. sawa sawa asante, je kuna jambo lingine?jambo , jambo langu ninalo angalia hii centimeter 50 mi bado haija niridhisha hata nikiiangalia, ninaona jkwamba ingekuwa kama 30 haingeleta shida lakini 50 ni pana sana ni pana sana kwangu mimi naona ni pana, hii centimeter 10 kwa mraba naridhika nayo sana lakini hizi 50 naona kama pana sana.sawa sawa.ndiyo.ndiyo." moment_3_vegetative_20240417_1b122681-17ec-4004-8caf-41754088b46c_1714041236311.wav,"angalia aina B na ele na elezea chochote unachokiona ambacho hupeni kuhusu hiyo?hii aina B mimi nimeona kwamba si kwavile sijaona matokeo bado na na narudia jambo la kuona matokeo hila sasa kitu ambacho sikukipenda sana rangi yake ya majani ni tofauti na aina nyengine niliyoona kwahivyo sijui huu mpauko unatokana na nini bado naendelea kujifunza hilo alijanifurahisha sana kwasababu hii rangi naona sio nzuri sana kwasababu inakuwa nyekundu nyekundu, sijui labda inawezekana mazingira ya mwaka huu kwajili ya mvua nyingi inaweza ikasababisha hali hii ikaonekana hivyo kwahiyo hilo tu naona kasoro yake sio vinginevyo na hiyo rangi unayosema rangi ya mpauko inaonekana zaidi kwenye mimea hipi?inaonekana hasa zaidi ni ni yani kwa hii hii B peke yake? ndiyo ndiyoau pamoja na hii mingine ambayo ni B na C ?aaa kwa upande wa aina Bkwa upande wa aina B, unaniuliza kama sababu ni nini?aaa nacho jaribu ku ku kutaka kujua hapa au nachotaka unielezee ni kwamba kwenye hii aina B umesema kwamba kuna mpauko ndiyondiyo nilikua nataka ni ju uni uniam uni uniele unioneshe kwamba huo mpauko hupo sehemu gani, kwenye mistari hipi mimea hipi naona naona hiko mwishoni yani ku kutoka hapa mwanzo mpaka katikati kuna hali nzuri kidogo, kwanzia katikati kwenda mwisho katika mistari hii hii inakuwa sio nzuri sana ndo imeendelea kuwa manjano je unaeza ukani uka uka ukafikiria au ukaniambia labda itaweza ikawa inasababishwa na kitu gani?mimi na amini kwamba ni ardhi, nilivyo angalia sana naona ni ardhi, upande mmoja au kidogo unarutuba na upande mwengine hauna rutuma au pengine kuna madini, wataalamu wanaweza wakanambia pengine ardhi upande huu hauna madini labda kwasababu ni mteremko, inawezekana kwamba kuna mchujo wa madini yaka yame elemea upande wa chini, upande wa juu ukawa na hali duni kidogo. sasa sasandiyoje umeongelea maswala ya madini, unadhani madini ya yanaweza yakawa yanachangia nini kwenye rangi ya mimea kulingana na uwelewa wako uwelewa wangu ni kwamba madini huwa yanachangia kwenye hasa kwenye mizizi, mimi nilivyo zoea kuangalia najua kwamba mimea ikiwekewa majidi kwenye mizizi inakuwa na hali nzuri zaidi kwasabu kuna wakati fulani tulikuwa tumefundishwa habari ya kilimo cha ufugaji, tukafundishwa kwamba kwamfano hapa kwetu harasisi ni kwamba majani yetu ya kulisha mifugo hapa hayana virutubisho vya kutosha kama vile kule tambarare kule bonga, kwahivo ngombe wa kule bonga wanamadini mazuri zaidi na wanatoa maziwa mengi zaidi, basi nikajua kwamba kuchujika kwa madini kunasabisha hata mmea unakuwa dhaifu sawa sawa asante sanahaya vizuri mtaalamu" moment_3_vegetative_20240417_1b122681-17ec-4004-8caf-41754088b46c_1714041403594.wav,"angalia aina C na elezea chochote unacho kiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo?aima C mimi nikiiangalia jinsi ilivyo sasa hivi, inaonesha kwamba kidogo kama inastahimili hapa ardhi hii kuliko zote naiona ni nzuri sana, kuliko hata nilivyoona kwenye B na C naona hii hii B hii C ni nzuri sana ni nzuri sana naona ni bora zaidi kuliko wenzake ndiyo kitu nilichoona. umesema kwa kuitazama umeona ni bora, je huo ubora unatokana na nini? mimi bado ninamashaka na kipendele kipande cha ardhi, na hata hivyo sisi hatujaweza kupata vipimo vya ardhi hili kujua madini yanayoitajika kwasababu wakati bwana shamba alivyokuja alitaka kuchukua udongo na akaniambia kwamba kipindi hiki haiwezekani kwasababu ni wakati wa mvua, udongo ukipimwa kiangazi ndo unaonesha matokeo mazuri, ndivyo tulivyo bwana shmaba alivyo nambia , kwahivyo ninamashaka ni upande wa madini zaidi kuliko vitu vingine vyovyote ardhi imekuwa na udhaifu, ndo maana hata naona inajitaidi kidogo hapa ni pazuri kidogo.sasa huo ubora unaweza ukawa unatokana na nini, kwasababu mda mrefu hapa umekuwa ukiongelea kwamba ubora, mimea C na ubora. ndiyondo nilikua naomba unambie huu ubora unatokana na nini, yani kitu gani kinakufanya uone kwamba mimea ya mimea ya kwenye aina C ni bora?mimi nikiangalia aina C kuanzia sasahivi, ninaona hata maua yake ni mengi zaidi kuliko hizo zingine imetoa nani, inaanza kutoa maua mengi kwahiyo ninaona bila shaka hata matokeo yake yatakuwa mazuri kuliko hizo zingine ndiyo. sawa sawa, je kuna jambo lingine ungependa kuongezea?mimi jambo ambalo ninalopenda kuongezea ninyi kama wataalamu ningeomba zaidi kushirikiana na mabwana shamba, ili watusaidie ili kupima ardhi pindi tutakapokua kiangazi ili angalau tujue madini yanayoitajika katika ardhi yetu ili tuweze kupata mazao mazuri, matokeo mazuri katika kilimo chetu. sawa sawa.ndiyo.asante sana.nashukuru." moment_3_vegetative_20240417_1b122681-17ec-4004-8caf-41754088b46c_1714041530652.wav,"angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?hii aina C sehemu ambayo labda inawezekana ikaonekana ni tatizo, mimi sijui kwanini na ngangania hupana wa miraba, hii kungangania hupana wa miraba, naona sehemu hii inabaki wazi sana, sijajua kama itawekwa labda mbolea zinazoitajika ikaziba hii nafasi, kwasababu nafasi hii inapotea bure mimi sijarizika na hii nafasi naona inapotea bure, kwa kutokuelewa kwangu kwanini wataalamu nyie mmeona mfanye nafasi pana namna hii wakati maharage yenyewe ayawezi kufikia kugusana, ndio tofauti ninayoiona. tukiachana na upana ulioachwa katikati ya mstari na mstari je kuna jambo lingine lolote ambalo halikupendezi katika hii aina C?kwakweli sijaona jambo ambalo linanichukiza, mimi naona kwamba inavyokwenda inaweza ikatoa matokeo mazuri kuliko wenzake sioni ubaya wowote ni hila hata haya majani yake naona yametobolewa tobolewa na wadudu nayo naona kwamba labda pia ingeitajika ningepiga na madawa na nini lakini sikufanya hivyo labda jambo baya ndo hilo ambalo linaweza likawa ni udhaifu wadudu hawa wanaweza waka haribu, hata ina maana kuzaa itazaa matunda machache zaidi hawa wadudu sidhani wataishia kwenye majani tu, wanaweza wataiki wakaingia hata kwenye maua sasa, make maua nayo nafikiri kwa wadudu yanautamu kuliko haya majani kesi yangu ndo hiyo kwa hivyo ubaya ninaoona nikama huo tu , ndiyo. sawa sawa asante.nashukuru mtaalamu." moment_3_vegetative_20240417_28cb88f7-d2b6-4659-9d5c-69c597db4367_1713516314918.wav,nini unapenda kuhusu aina A?.ainaa A napenda jinsi ya mbegu zilivyoota vizuri sana nimependezwa nazo na dalili ya pale unai . Kwamba nanii maharage yaliota vizuri sana.yaliota vizuri sana.mmh. moment_3_vegetative_20240417_28cb88f7-d2b6-4659-9d5c-69c597db4367_1713516383896.wav,nini usichopenda kuhusu aina A?.aina A nisichokipenda ni mvua zimekua nyingi naa.ndio.naa mda wa mpando kwa huku kwa hali ya huku imekua kidogo. ndio.mda sio ndio sahihi kwambaa.ndio.mvuaa kwa jumla nisichokipenda mvua zilikua ni nyingi sana kwa mda huu.ndio.mmh.kwa hio mbegu yako hii ya aina A ulivyoiona.iko safi sana.ina inaistaistahimili mvuaa wingi wa mvua chache au nyingi.hii apaa inastahimilii na kulingana na ardhi ya apa inahistaimili kua na mvua ya wastani. ya wastani.eee isiwe nyingi sana isiwe pungufu sana.koo unafikiriii kwanini labda imeanza kuharibika labda.ni mvua nyingi.wingi wa mvua.mmh. moment_3_vegetative_20240417_28cb88f7-d2b6-4659-9d5c-69c597db4367_1713516477056.wav,nini unapenda kuhusu aina B?.aina B napenda sana uotaji wake hata ukuaji wake inakua vizuri.inakua vizuri.eee nainasawa sawa moment_3_vegetative_20240417_28cb88f7-d2b6-4659-9d5c-69c597db4367_1713516503267.wav,nini usichopenda kuhusu aina B?.Nisichopendaa ni hii mbegu ni kutobolewa sana na wadudu.ndio.hawa wadudu wanashambulia mpaka na maua kwenye mbegu hizi apa.ndio ndio.mmh.sawa sawa. moment_3_vegetative_20240417_28cb88f7-d2b6-4659-9d5c-69c597db4367_1713516534435.wav,nini unapenda kuhusu aina C?.aina C nai naipenda sana imeota vizuri sana na pia inaendelea kuu kukua kijani sana.inaendelea kukua vizuri.mmmh kwa urahisi. moment_3_vegetative_20240417_28cb88f7-d2b6-4659-9d5c-69c597db4367_1713516564231.wav,nini usichopenda kuhusu aina c?.aah mimi naona yote naipenda sababu inakua vizuri.inakua vizuri.eeh mimi bado napendezwa sana inakua vizuri sana.bado unakua vizuri.hakuna nisichopendezwa nacho.sawa. moment_3_vegetative_20240417_432fbb9a-eb2b-430c-8b49-686dec29ac12_1714558905778.wav,Mhh ndugu mkulima aaa tuna endelea na maswali kama tulivyo jadiliana apo awali kwamba tutakuwa na baadhi ya maswali aaah nitasoma swali naomba usikilize pia kwa umakini naanza kusoma swali ndu angalia aina A na eleza chochote unacho kiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo. aaa nilicho kipenda kuhusu aina hii. A.aaa.kitalu A ni aaa kuota vizuli kwa mazao maana yake kwa ili zao la maharage. ndio.zao lime stawi vizurii majani yake ya haya maharage yame stawi vizuri sana. unaa maanisha nini unapo sema majani ya maarage.majani ya maharage na maanisha aaah haya matawi yake yani ya hili zao la maharage ndo hasa ninacho maanisha kwamba maharage yamestawi vizuri sanaaa yameota yamekuwa licha ya mvua kubwa lakini yamevumilia huu wingi wa mvua yenyewe yame stawi vizuri sana kwa hiyo icho tu pekee nimekipenda sana maharage yamestawi vizuri sana yaa na mambo yanaweza yakawa mazuri zaidi. aaa kitu kingine ambacho umekipenda katika aina hii.aaa kingine nilicho kipenda ukiachana na uotaji vizuri wa hili zao nii namna lilivyo aaah jiachia nafasi.mmm.mazao ya ili zao lenyewe la maharage kwamba kuna nafasi nzuli yamejipanga vizuri mistali imenyooka kama inavyo takiwa yamestawi vizuli sana yes. kitu kingine ambacho umekipenda katika aina hii.aina hii kingine nilicho kipendaa ni kwamba kama nilivyo sema aaa kama nilivyo sema kwamba zao limekuwa vizuli limestawi vizuli lakini ukiachana na yote pamoja na aaah mvua kuwa kubwa sana lakini lenyewe bado limestawi vizuli.mmm.maana yake halija kauka kama mazao mengine yanavyo kauka kutokana na mvua kubwa. mmm.lakini lenyewe limestawi vizuli wala hamna ishara ya kukauka kwa haya majani ya maharage. kitu kingine. kingineee nje ya yote haya hamna.hamna kabisa.hamna kabisa sioni sasa.kabisa kabisa. kabisa sioni kabisa. moment_3_vegetative_20240417_432fbb9a-eb2b-430c-8b49-686dec29ac12_1714559205368.wav,ndugu mkulima tuna endelea na maswali yetu nitasoma pia swali kuusu aina A na naomba usikilize kwa umakini angalia aina A na eleza chochote unacho kiona ambachoo upendi kuhusu aina hiyo.aaa katika hii aina A kiujumla nilivyo ona na nilivyo jihakikishia mwenyewe. mmm.sioni ambacho nakichukia kiufupi hamna kabisa hamna kabisa kama nilivyo awali. mmm.zao lime kuwa vizuli limestawi vizuli sioni cha kuchukia. hakuna kabisa.hamna kabisa kabisaa mazao yemependeza sanaa.mmm.yani sana tu sioni kiufupi sioni hamna. ayaa. moment_3_vegetative_20240417_432fbb9a-eb2b-430c-8b49-686dec29ac12_1714559591882.wav,tuna endelea na maswali yetu kama kawaida nita soma swali katika aina B hapa naa utasikiliza kwa umakini ili uweze kujibu kwa usahihi pia tuweze kupata uelewa kwa pamoja angalia aina B na eleza chochotee unacho kiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo nirudie. mmm.angalia aina B na eleza chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu aina B. aina B nilicho kipendaa uotaji pia vizuli na ustawi vizuli wa haya maharage. mmm.kiufupi sioni utofauti sana na aina A. mmm.aina B pia nayo maharage yameota vizulii yamestawi vizurii jani lake ni pana. mmm.limekuwa vizuri kiufupi. unamaanisha nini unapo sema jani lake panaa pia una maanisha nini unapo sema ustawi. aaa kwanza ninavyo sema jana jani lake ni pana namaanisha majani yake ya zao hili la maharage. mmm.yamepanuka vizuli nimapana kiasi kwamba yamestawi inavyo takiwa. mmm.kwa hiyo yamekuwa vizuli sana. mmm.naaa yapo vizuli kiufupi naweza sema hivyo. kitu kingine ambacho au sababu gani ambayo imekufanya upende aina hii B. nilicho kipenda katika aina hii B pamoja pia na mvua kuwa nyingi bado hili zao lime stawi vizuli. mmm.lakini pia ukiachana na yoteee hii nayo ni kiashilia moja wapo kinacho onyesha kwamba sisi tunaweza tukawa sampuli au mfano wa kuigwa kwa wakulima wenzetu ambao pengine hawaja shiriki katika huu mradi. ndio kitu kingine.kingine nilicho penda hapa ni kwamba ninacho ona kulingana na ustawi mzuli wa hiki kitalu B na kile cha A aa ni ishara mojawapo inayo onyesha kwamba huu ulikuwa ni msimu sahihi katika upandaji wa hili zao la maharage kwa hiyo nimependa sana. umependa sana kitu kingine.kitu kingine tofauti na yote haya sioni.uoni kabisa. sioni kabisaa.amna kabisaa.kabisa kabisa hamna zao lime stawi vizuri sana sioni sioni hakipo.sawa sawa. moment_3_vegetative_20240417_432fbb9a-eb2b-430c-8b49-686dec29ac12_1714559986135.wav,mmm tunaendelea na maswali yetu angalia aina B na eleza chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo.aaa aina B. mmm.aaa ninavyoona na nilivyo ona kiufupi. mmm.hamna ambacho nakichukia na hamna ambacho sikipenda kwasababu.mmm.zao limeota vizuli limestawi vizuli.mmm.kwaiyo kiufupii hii ina ashilia tu kwamba mradi huu ni mzuli kiufupi naa ukiachana na yotee ni ishala tu moja wapo kwambaaa inaonesha namna ulivyo tofauti naa na huu mfumo tulio uzoea kila siku.nyie nyie kwani nyie mmezoea mfumo upi.mfumo tulio uzoea sisi ni upandaji tuu wa kawaidaa bilaa bila kufuata elimu au misingi kama hii tunavyo iona ambavyo mmetuletea na hii imetufunzaa kwasababuu si tumezoea kulimaa huku ukute mkulima anatumia ekali kama ishilini lakini kipatoo anacho kivuna kidogo sanaa. mmm.uwenda kinaweza kikawa gunia mbili tatu. mmm.au gunia tano.mmm lakini kupitia iki kilimo. mmm.ukute sehemu ndogo sana lakini ina ashilia tu kwamba mazao yanaweza yakawa mengi sana. eee.mengii tofauti na mfumo tulio zoea huu wa kawaida ambao. mmm.hauusishi elimu.mmm.kama tunavyoona hivi sasa. aaa hakuna sababu yoyote iliyo kufanyaaa katika aina hii ushukie.sioni hamna sababu yoyote ile. moment_3_vegetative_20240417_432fbb9a-eb2b-430c-8b49-686dec29ac12_1714560357584.wav,ndugu mkulima tuna endelea na maswali yetu katika aina C na nita soma swali naomba usikilize kwa umakini angalia aina C na eleza chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu aina hiyo.ukweli ni kwambaa nilivyo ona tena katika hii aina C haina utofauti na aina A na B. mmm.utofauti haupo kabisa kwa sababu namna mazao yalivyo stawi na namna yalivyoota vizuli na kukuwa ni sawa sawa kabisa na aina A na B kwa hiyo ukweli ni kwambaa katika pia hii aina C maza mazao yame stawi vizuri sana na ukiachana na yote hii pia ina ashiria tu kwamba mradi mradi huu ni mzuli ni mzuli kwasababu katika ukuaji wa hili zao pia aina C umefuata hatua zile zile zile zile kwamba nafasi nzuli lakini pia ukiachana na yotee aaa na ii pia ina ashilia tu kwamba katika aina A B na C ii apa aaa ina ashilia tu kwambaaa baada ya kuvuna itatuongezea elimu ya akiba pale tu tutakavyo pata kiwango cha mazao yatakayo patikana apa kwa hiyo kupitia ile elimu itatufunza sisi namna gani ya kubajeti maana ake unalima seemu ndogo unapata kiwango kingi cha mazao kama ili hapa zao la maharage kwa iyo nafikiri mradi wetu uko vizuli sanaa namna nilivyoona katika ki aina A B na hii apa C ambapo saahiv nimeona kwa hiyo katika yote hayo sioni utofautii naona tuu mazao yame stawi vizuri sana hasa hili zao la maharage.sawa hakuna kingine. kingine kwa kweli niongee tu ukweli na namna nilivyoona na nnavyo ona sioni kingine ambacho nizaidi ya hiki nilicho kiona na nilicho kieleza hapa.sawa hakuna kabisa. hakuna kabisa. moment_3_vegetative_20240417_432fbb9a-eb2b-430c-8b49-686dec29ac12_1714560858745.wav,"aaa ndugu mkulima tuna endelea na maswali yetu kama kawaida naa nitasoma swalii la aina C angalia aina C na eleza chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu aina C au aina hiyo.katika aina hii aina C nilivyo ona aaa hamna mabacho sikipendi. amna. amna kwasababu mazao nilivyo sema yamestawi vizuli sana. mmm sawa. yamestawi vizuli kiasi kwamba yana pendeza lengo letu ni kupata kiwango kingi cha maarage. sawa.kwa iyo hamna nilicho kichukia wala nisicho kipenda nikiwa na maana kwamba mazao hayaja haribika. eee sawa sawa. hamna yaliyo haribika wala yaliyo kauka kwa hiyo ukweli ni kwamba sioni kabisa wala sioni cha kuchukia wala sioni cha kuto kipenda. kwanii unajuaje kwamba maharage haya yame haribika unaweza ukatambuaje aina hii ime haribika. aina hii imeharibika kutokana na baazi ya maarage kutoka kuwa na rangii tofauti lakini katika hii yapa ii aina ya maarage maarage yana rangi nzuli rangi ya kijani yame pendeza kiufupi yana ng'ara pengine ynangekuwa yameharibika n ingeona kwamba kuna baazi ya majani yana kuwa na rangi ya njano kama sio kavu kabisaa iliyo kauka au iwe na madoa doa lakini aya apa hayana madoa doa wala hayaja badirika rangi yoyote kwa hiyo yapo vizuli kiufupi. hakuna kingine. akuna kingine kiufupii hana nilicho kichukia tu kwasababu yamestawi vizuli. sawa sawa naa nini unaonaje au ni maoni gani unaweza ukatoa katika mladi wetu huu. mmm maoni kwanza kadili nilivyo ona katika aina A B C maoni yangu kwamba mladi uendelee kuelimisha na sisi kama tulivyo uona huu mradi na kuufanya kwa vitendo nifulusa kwa sisi kuelimisha wakulima wengine na ningependa zaidi kama ungeendelea ili kusudi watu waepuke kulima vilimo vya hovyo hovyo tu ambavyo havifuati elimu kwa mfano kama sisi tulivyo zoea huku na uzoefu wangu wa miaka mingi katika kulima tumezoea kulima vilimo visivyo fata elimu.eee sawa sawa. vilimo vya kulima kiasi kwamba unakwenda kukomaa unalima kwa kutumia mazao mengii sehemu kubwaa lakini kiwango ni tofauti na matege,eo kwa iyo ile palee inachochea kwa umaskini kwaiyo palee kiasi kwamba utakuwa una tumia kiasi kingi cha mazao na sehemu kubwa lakini mwisho wa siku una ambulia mazao machache. unatumia nguvu nyingi.kwaiyo huu mradi ulivyo kuja na namna ninavyoo ona masii mazao yanavyo stawi vizuri sehemu ndogo ni kiashilia sasa kwamba kumbe sisi tulikuwa tuna chelewa bila kufata hii misingi maalum. sawa sawa.kama tunavyoona hii elimu ya huu mradi sasa. sawa sawahakuna maoni mengine.maoni mengine hamna baisaa.hamna. yaaa." moment_3_vegetative_20240417_455b33fc-956b-46fe-9186-eb43de99d56e_1719492603151.wav,"nini unapenda kuhusu ainaa A? A iko vizuri sababu inavumilia ukame inatoa mauwa vizuri, kwa hioo haina shida yoyote." moment_3_vegetative_20240417_455b33fc-956b-46fe-9186-eb43de99d56e_1719492636378.wav,nini usichopenda kwenye aina A? hakuna yote mbona naona ni sawa sawa. sawa. moment_3_vegetative_20240417_455b33fc-956b-46fe-9186-eb43de99d56e_1719492662857.wav,"nini unapenda kwenyee aina B? B inazaa sana. mmh. mmh. kivipi? naona ina yana mauwa ya kutosha limependeza, mmh sawa." moment_3_vegetative_20240417_455b33fc-956b-46fe-9186-eb43de99d56e_1719492685923.wav,nini usichopenda kwenyee aina B? B au C? B B B haina shida yoyote yako vizuri. mmh. mmh. moment_3_vegetative_20240417_455b33fc-956b-46fe-9186-eb43de99d56e_1719492706529.wav,nini unapenda kuhusu aina C? C pia iko vizuri ina zaa haina shida yoyote. sawa. moment_3_vegetative_20240417_455b33fc-956b-46fe-9186-eb43de99d56e_1719492724182.wav,nini usichopenda kuhusu aina c? hamna chochotee. sawa. mmh. moment_3_vegetative_20240417_48ae60c3-c4b3-44d2-9626-53b9b9239384_1713955096394.wav,angalia aina A na elezea chochote unachokipenda kuhusu hiyo.kwenye aina A hapa aah mimi naona napenda uotaji wake yani ukuaji wake naona ni mzuri zaidiukisema kuhusu uotaji wake unamanisha kwammba imeotajeimeota kama nilivopanda.pia unaweza uka ukangalia zaidi unachopenda kuhusu aina A.aina A pia naona kama inatanuka yani uzao wake inawezekana kua ni mzuri kwa sababu naona yanatanuka.sawa nashukuru. moment_3_vegetative_20240417_48ae60c3-c4b3-44d2-9626-53b9b9239384_1713955130232.wav,"angalia aina A na elezea chochote unachokipenda kuhusu hiyo,Mmmh kwenye aina A, labda kidogo ambacho kina kina kina nisichoweza kukipenda labda ni kwenye ushambuliaji tu wa wadudu naona wanashambulia shambulia.ni sehemu gani ya mmea au sehemu gani ya shina la maharage unaona linashambuliwa na wadudu.majani.kuna kingine ambacho unakiona ambacho hukipendi kuhusu aina A.hapana." moment_3_vegetative_20240417_48ae60c3-c4b3-44d2-9626-53b9b9239384_1713955157863.wav,"Anagalia aina B na elezea chochote unachokipenda kuhusu hiyo.yanaonekana ni mazuri kakini, yanaonekana ni mazuri sio mbaya.unaweza ukaangalia zaidi unachokipenda kuhusu aina B?Sioni ninachokipenda zaidi ya hapo." moment_3_vegetative_20240417_48ae60c3-c4b3-44d2-9626-53b9b9239384_1713955240152.wav,angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo.ninachokipenda kwenye aina C hapa naona maharage ni mazuri yanatanuka na majani mazuri.unaweza ukaangalia zaidi ambacho unaona unakipenda kuhusu aina C.napenda inaonekana kwamba uzazi wake utakua mzuri.ukiwa unamanisha unasema kuhusu uzazi unamanisha kwamba.yani jinsi ilivyoota na kutanuka naiinavyoonyesha majani yake ni mazuri na yana rangi ya kijani zaidi.sawa. moment_3_vegetative_20240417_48ae60c3-c4b3-44d2-9626-53b9b9239384_1713955267738.wav,angalia a ina C na elezea kitu chochote unachokipenda kuhusu hiyo.kuna nisichokipenda labdalabda sana ni kamba inaonekana kama ina aina ya kamba hivi.kuna kingine ambacho umeona hupendi kuhusu aina C.hamna.sawa. moment_3_vegetative_20240417_498219cd-420b-481d-b661-8b292244f482_1714125419840.wav,ndugu mkulimaa ndugu mkulima tuna endelea na maswli yetu kama tulivyo jadiliana apo awali kwamba tutakuwa na mawsali sasa naenda kusoma swali la kwanza katika aina yetu hii apa A na ili tuweze kufikia lengo kwa pamoja angalia aina A na eleza chochote unacho kipenda kuhusu aina A kalibu.aina A nimeiona aina utofauti wa aina yoyote kwa kuwa ni mala yangu ya kwanza kupanda nitaendelea kupanda na kuisimamia na kuiifazi.aaa kipii au sababu gani imekufanya upende hii aina A. aina A sijachukia kwaku kwakweli labda udongo na hali ya hewa tu.aaa unaposema labda udongo na hali ya hewa tuu ooo unaweza ukatoa sababu zaidi ili kueweza kufikia hitimisho kwa maana ya ufafanuzi zaidi yame ungua na mvua una maanisha nini. kwenye udongoo naona kama nimeendana zao iliapa nilipo panda mimi.aaa vipi kwenye hali ya hewa.na ali ya hewaaa ni hali ya mvua nyingi tu ambayo tuseme ndokama inaweza haribu kwa badae lakini kwa sasa apana aaa kipi kingine kime kuvutia au sababu gani hasa hasa imekuvutia upende aina Aakuna.akuna kabisa. ndioo. moment_3_vegetative_20240417_498219cd-420b-481d-b661-8b292244f482_1714125647847.wav,eeeheeee mkulima tuna endelea na maswali yetu angalia aina A na eleza chochote ambacho hupendi kuhusu aina hiyo.apa sijachukia chochote kwa kuwa ni mara yangu ya kwanza kupandaa sija chukia chochote. eeee unaweza ukatoa sababu zaidi ya kipi kingine ambachoo haujapendezwa zaidi katika aina hii A. sijapendezwa na chochote kwa kuwa ni mara yangu ya kwanza kupanda. una maanisha nini.kwavile sijawai kuona ubora kama uu wa kupanda kama ivi ndo maana. unaweza ukatoa sababu au ufafanuzi zaidi unaposema ndo mara yako ya kwanza kupanda yani una maanisha nini.na maanisha ivyo kwa vile tumezoea kupanda upandaji wa kawaida upandaji wa hali ya namna hii sijawai kuona. aaa kwa hiyo katika aina hii A ni kipi ambacho kimekuchukiza. hakuna kilicho nichukiza. hakuna. ndioo. moment_3_vegetative_20240417_498219cd-420b-481d-b661-8b292244f482_1714138119251.wav,ndugu mkulimaa tuna endelea na maswali yetuu angaliaaa aina B na eleza chochote unacho kiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo. aina B naipenda pia kwa sababu na yenyewe hiyo inaweza kuvumilia kidogo ali ya mvoa nyingi lakini aiwezi kumkatisha mtu tamaa kuendelea kupanda kwa mwaka. kesho kipi kingine kime kufanya upende aina hii.nimeipenda kwa vileee nzuli inavutiaa lakini.eee. majani yake ni mazuli.aaa una maanisha nini unapo sema majani yake ni mazuli.majani yake ni mazuli kutokana na tulivyo panda na yameota vizuli yapo vizuli.eee sababu nyingine.akuna. hakuna kabisa. ndio. moment_3_vegetative_20240417_498219cd-420b-481d-b661-8b292244f482_1714138176918.wav,ndugu mkulima tuna endelea na maswali yetu angalia aina B na eleza chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu aina hii.ambacho sikipendi nii kidogo yame ungua na mvua. mmm.majani yake sio mazuli. aaa unaposema yame ungua na mvua una maanisha nini. yani mvua ni nyingi ni nyingi sana.mvua ni nyingi sana.ndioo.sababu nyingine inayo kufanya uuu uuushindwe kupenda aina hii apa.hakuna.hakuna kabisa. ndio.hakuna kabisa. eeee.hakuna sababu nyingine inayo kufanya upende.ndiooo. moment_3_vegetative_20240417_498219cd-420b-481d-b661-8b292244f482_1714138425110.wav,mmhh ndugu mkulima tuna endelea na maswali yetu kama kawaida aah nitasoma swali aina C na usikilize kwa umakini angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina C.aina C naipenda. ndio.kwasababu aina zote zipo sawa na yenyewe ina vutia kidogo lakini sio saana nimeipenda.aah unamaanisha nini unapo sema ina vutia kidogo.haijaunguwa na mvua yapo kidogo yameungua kidogo lakini sio sana.aah kipi kingine kimekufanya kwamba upende aina hii.nimeipenda kwasababu tupo kwenye majaribio ndio mwanzo tuna anza kupanda hapo kwa vile sijaona utofauti wowote kwa sababu ndio mara yangu ya kwanza kuipanda. aah ipi sababu nyingine kuipenda aina C. sababu nyingine yasina.aah hakuna kabisa.hakuna.hakunaaa ki ulisemaaa kwambaaa uliashilia imeungua naa mvua kwamba hapo unaweza ukaaa elezea zaidi kufikia hitimisho. yameungua na mvua kwa sababu mvua nyingi. mvua nyingi.eeh mvua ikiendelea kunyesha ndo yana anz yani mvua ikinyesha kila siku yenyewe yana haribika.yana haribika.ndio.yana haribikaje.si mvua nyingi hayapati mwanga wa jua.unatambuaje kwamba aaa aina hii ina athiriwa na magonjwa au na mvua. najua ina asiliwa na mvua tu.eeh kivipi unaweza ukaelezea elezea zaidi.kuelezea zaidi hapo aah naona tu ndo hivyo kama nilivyo elezea mwanzo.eeh ulisemaje.kwamba mvua ndio nyingi.mvua nyingi.eeh.hakuna sababu nyingine. hakunaa. moment_3_vegetative_20240417_498219cd-420b-481d-b661-8b292244f482_1714138508495.wav,tuna endelea na maswali yetu angalia aina C na eleza chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo. apana hakuna nisicho kipenda. hakuna. ndio.aaa unaweza ukaelezea zaidi aaando ivyo tu.kipi ambacho uuuambacho sipendi? na sipendi yanii kwa vile yameungua kidogo na mvua lakini ndo ivyoo hakuna nisicho kipendaa.aaa ipi sababu nyingine unayo iona katika aina hii.akuna.hakuna. moment_3_vegetative_20240417_4b6be429-493d-47d1-b957-116576fbd45d_1715594438137.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?Aina A uzao wake ni mzuri haina shida halafu haichukui muda mrefu sana.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_4b6be429-493d-47d1-b957-116576fbd45d_1715594486947.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A?Kwasababu tu yaani maua yake ukikosea tu kidogo yana yanaweza yakakukata hata mavuno.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_4b6be429-493d-47d1-b957-116576fbd45d_1715594534331.wav,Nini unachokipenda kuhusu aina B?Aina B naipenda kwasababu mavuno yake yanakuwaga mengi zaidi ya A.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_4b6be429-493d-47d1-b957-116576fbd45d_1715594545486.wav,nini usicho penda kuhusu aina B.kwasababu ina chelewa kuzaa haraka .sawa. moment_3_vegetative_20240417_4b6be429-493d-47d1-b957-116576fbd45d_1715594590586.wav,nini unapenda kuhusu aina C.aina C naipendaa kwasababu kwanza ni nzuri hata kwenye kula ni nzuri lakini sasa alafu inaonyesha mazao yake yana kuwa mengi zaidi mh.sawa. moment_3_vegetative_20240417_4b6be429-493d-47d1-b957-116576fbd45d_1715594607218.wav,nini usichopenda kuhusu aina C.yani kwa sababu tu linatambaa lenyewe lina kuwa lakini lina tambaa ndo kitu ambacho sikipendi lakini haina shida.sawa. moment_3_vegetative_20240417_5d16e114-b6c7-4f7d-a5e2-afae32e1f83b_1714400392070.wav,"angalia na aina A na eleza chochote usichokipenda kuhusu aina A.aaaah A ni kwamba ungerudia.Eleza chochote ammbacho hukipendi kuhusu aina A katika uotaji wake na ukuaji wake.kitu ambacho sipendi ni kwambma kidogo ina nanii ina inaliwa na wadudu cha kwanza, cha pili ni mazuri lakini ndo hivo.kingine ambacho hukipendi kuhusu aina A.kwenyeee.kwenye aina A.kitu ambacho sipendi cha pili, mmh hapo inangoja.je umemaliza aiu kuna kingine ambacho hukipendi kuhusu aina A!nimemaliza.sawa." moment_3_vegetative_20240417_5d16e114-b6c7-4f7d-a5e2-afae32e1f83b_1714400493732.wav,angalia ainaa B na eleza chochote unacho kiona ambacho unakipenda kuhusu aina B. aina B nimeipenda maanaa imeota vizuri.mmm.naaa na ukuaji wake iko vizuri sana. kingine ambacho una kipenda kuhusu aina B unaweza kutueleza.aaa aaa ku ku kupandwa yenyewe imekuwa vizuri na uu kuota kwake imekuwa vizuri.kingine unaweza kueleza ambacho una kipenda kuhusu aina B. kinginee kidogo tuu ina shambuliwa tu na wadudu lakiniii aina shida kwa umlio wake navyoona. moment_3_vegetative_20240417_5d16e114-b6c7-4f7d-a5e2-afae32e1f83b_1714400541591.wav,angalia aina B na eleza chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu aina B. kwenyeee ukuaji wa maharage aina B amna tatizo. sawa. moment_3_vegetative_20240417_5d16e114-b6c7-4f7d-a5e2-afae32e1f83b_1714400594333.wav,angalia aina C na eleza chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu aina C. aina maharage basii unaa yako vizuri naa kupandwa kwake vizurii kwa ujumla aina shidaa.kuna chochote unachoeza kueleza ambacho una kipenda kuusu aina C. moment_3_vegetative_20240417_5d16e114-b6c7-4f7d-a5e2-afae32e1f83b_1714400626220.wav,angalia aina C na eleza chochote unacho kiona ambacho ukipenda haukipendi kuhusu aina C. aaa apana lakinii nii kwamba ina shambuliwa tu na wadudu.kingine ambacho ukipendi kuhusu aina C. hamna. moment_3_vegetative_20240417_62a1df88-6d60-4916-b52a-ac261ce1629a_1714052134681.wav,"nini unapenda kuhusu aina A.aina A naipendaa inawezaku , inawahi inachelewa tu kutoa maua lakini ni kwaajili tulipanda halafu ikashikwa ikabanwa sana na kajua kidogo na ilivyoota ikashambuliwa na ndege pamoja na wadudu lakini hii mbegu mi naona ni nzuri na naipenda." moment_3_vegetative_20240417_62a1df88-6d60-4916-b52a-ac261ce1629a_1714052152736.wav,nini usichokipenda kuhusu aina A.aina A hakuna naipenda. moment_3_vegetative_20240417_62a1df88-6d60-4916-b52a-ac261ce1629a_1714052190817.wav,nini unapenda kuhusu aina B?.aina B naipenda kwanza inatoa maua mengi halafu haipandi sana juu mikono haina na maua yake ni mengi. moment_3_vegetative_20240417_62a1df88-6d60-4916-b52a-ac261ce1629a_1714052279669.wav,nini usichokipenda kuhusu aina B.aina B naipenda maana inanipa sifa zote kwamba ina maua mengi haipandi sana kwahiyo naipenda. moment_3_vegetative_20240417_62a1df88-6d60-4916-b52a-ac261ce1629a_1714052340325.wav,nini unapenda kuhusu aina C?.aina C naipenda sana maana ime inawahi kabisa kutoa maua na watoto mpaka sasahivi C imeshinda hata mbegu zote hizi mbili ndio maana naipenda ina maua mengii na inawai kutoa watoto. moment_3_vegetative_20240417_62a1df88-6d60-4916-b52a-ac261ce1629a_1714052401256.wav,nini usichokipenda kuhusu aina C.aina C naipenda kama nilivyoipa sifa zote nime imewai kutoa maua na kutoa watoto kwahiyo C naipenda tena naipenda. moment_3_vegetative_20240417_67c466e0-1c3b-4ede-bb33-c45730163528_1713612400724.wav,"Mama G anaglia aina A na eleza chochote ambacho unakipenda kwenye aina hii.Aya Sante, kwenye aina ANaomba uongeze sauti alafu angalia huku.Kwenye aina A nilichokipenda hapa haina majani mengi sana eeee alafu miche yake ni ni ni ni nyembamba sio pana.mmmmhEEEEHKingineKingine nilichokipenda ina ina ina ya inamaua yani imetoa maua vizuri.AhaaEeeeemmh uumesema majani yake yamekuwaje?Mjani yake si si yani majani yake sio mapana mnoAhaa.ni ya wastaniahaaaEeeehNashukuru unaweza ukaelezea zaidi nielewe natamani kuelewa zaidi.EEEH kama nilivosema mimi kwenye hii sehemu A yani imee nanii maharage yametoa maua vizuri na hayana majani mengi sana.MmmmheeeeUmesema majani ma sio mapana yani unamanisha nini yakiwa mapana na yasipokua mapana unamanisha nini?Yani yakiwa mapana sana katika uzalishaji unakua mdogo lakini yakiwa machache yanpoendelea kutoa maua hivi watoto yani inkuja inakuja kujijenga yani watoto wanakua wengi." moment_3_vegetative_20240417_67c466e0-1c3b-4ede-bb33-c45730163528_1713612576064.wav,"Mama G angalia tena aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusiana na aina hiyo.Katika aina A hapa kitu amabcho sijakipenda maharage hayaja yani hayaja ota vizuri yameota sehemu mbali mbali sehemu ingine ipo sehemu ingine hakuna kwa hiyo uotaji wake kwa ujumla sio mzuri.Kingine ambacho hujapenda kuhusiana na hii aina?Ambacho sijakipenda, mengine hayana maua mmmKingine am pia natamani kuelewa kuhusiana na aina hii ya hapa ambacho hujakipenda natakakujifunza angalia huku alafu ongeza sauti.Apa aiina A kama anilicyokuambia kitu ambcho sijakipenda kabisa ni yani nii ni ni ni nanilii yani ku kuota bila mpangilio sehemu nyingine kubwa sehemu zingine kubwa sehemu zingine ndogo ndogo sehemu zingine zimetoa maua sehemu nyingine hazijatoa maua kwa hiyo ni kitu sijakifurahia.Ahha nashukuru." moment_3_vegetative_20240417_67c466e0-1c3b-4ede-bb33-c45730163528_1713612937871.wav,"Angalia tena aina B eleza chochote ambacho unakiona unakipenda.Kwenye aina B hapa nisichokipenda kwanza maharage yameiota kwa mpangilio hakuna iliyopotea yameota vizuri.Mama D naomba tuendelee kuhusiana na unachokipenda,Ninachokipenda maharage yameota kwa mpangilio na pia majani yake ni ya kijani yani yameota vizuri hakuna yaliyopotea.Kingine kilichokuvutia?Kingine kilichonivutia hii miche yake hii ni ipana yani ina nguvu na maua yake ni mazuri imetoa maua kabisa.Mimi natamani uendelee kunielezea nieendellee kujifunza niendelee kuelewa zaidi.Eee ni kama jinsi nilivyokwambia kwamba maharage haya yameota kwa mpangilio vizuri na majani yake ni ya kijani na yametoa maua kwa wingi.Mmmh asante, bado natamani uendelee kunielezea kama kuna kingine endelea kuongezea cha kuongezea kuhusiana na uanchokipenda.Yani ninachokipenda ni jinsi maharage yameota kwa uwingi hakuna iliyopotea yani yameota vizuri.Kingine.Kingine, yani kingine yani imeota kwenye mpangilio yani yameota vizuri.Aya nashukuru." moment_3_vegetative_20240417_67c466e0-1c3b-4ede-bb33-c45730163528_1713613210408.wav,"Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusiana na aina B.Asante ambacho sikipendi kwenye hii aina B ni ni huku chini maharage naniliii miche inakua ya njano majani yanakua ya njano ndo kitu amabcho sikipendi.KingineNa kingine pia ii ina majani majani yake ni mengi mno na kwa uzoefu naoujua mimi ikiwa na amajani mengi hivi uazlishaji wake unakua ni mdogo kwa sbabu hya majni yamekua mengi sanaMmmmh, ume umefahamu wapi au ulifahamu kutokana na uzoefu wangu wa wa maharage mengine ninayoyapandaga ila katika haya sijajua kwahiyo yakiwa na majani mengi uzalkishaji unakua mdogo yani inatoa watoto kidogo bado baadae. Kutokana na haya majani mengi .Kingine amcho hujakipenda kwenye aina B? mmmh Karibu kingine ambacho hujapendaKingine am,bacho sijakipenda kama jinsi nilivokwisha elezea nilikua na kutokana na majani ni mengi yalo yalo chipua kwa spidiAhaa asante." moment_3_vegetative_20240417_67c466e0-1c3b-4ede-bb33-c45730163528_1713613564531.wav,"Angalia aina c na elezea chcochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?Ninachokipenda kuhusu sehemu hiiOngeza sautiNinachokipenda kwanxa majani yake ni mazuri, ina kkmba ndefu na pia ina maua kiasiaah kinginekingine pia uotaji wake ni mzuri.Kingine ulichokipenda, nifafanulie zazidi nielewe nijifunze zaidi.Ni kama vileEbu angalia huku alafu uongeeNi kama nikivosema ina majani mengi na pia ina kamba ndefu ndo nilichokipenda.Hauna cha kuongezea?Cha kuongezea, pia uotaji wake ni mzuri na inaota kwa wakati.aaah, mhh, ongezea ongezea vingine, asante." moment_3_vegetative_20240417_67c466e0-1c3b-4ede-bb33-c45730163528_1713613743505.wav,"Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusiana na aina C>Kwenye aina C kitu ambacho sijakipenda maharage hayajatoa maua kwa wingi. Maua yake ni machache na pia uotaji wake pia sio mzuri.Mmh kingine ambacho hujakipenda.Ambacho sijakipenda kingine majani yake ni mapana sana eeKingine natamani kuelewa zaidi kuhusiana na akitu amabcho hujakipendakitu ambacho sijakipenda kingine ni manajani huku chini yanakua ya njano.Ahaa, natamani kuelewa natamani uendelee kunifafanulia zaidi.eee Kmaa vile nilkivosema maua yake ni machache kutokana na na jinsi ninavoelewa yakiwa na maua machache pia uzalishaji wake ni mdogo kwa sabu ya maua ni machache ndicho amabcho sijakipenda.Mmmh, kingine Kingine miche yake ni mipana mno kwahiyo ndo kitu ambacho sijakipenda, eeeIkiwa imekua mipana mno inafanyaje?Ikiwa mipana?EE miche ikiwa mipana pia uzaliashaji wake ni mdogo.Aaaaheee ikiwa mikubwa.Sasa wewe umejuaje kuhusu uzalishaji.Nimejua kutokana na na na uzoefu ambao maharage ninayoyapandaga ila kwa haya sijajuan eeeAsante." moment_3_vegetative_20240417_738eb429-f56f-416b-97ab-c8826274a7df_1713867704204.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?.Aaa aina A nnachokipenda yana mauwa mengiii.Mmmh.Mmmh. moment_3_vegetative_20240417_738eb429-f56f-416b-97ab-c8826274a7df_1713867737085.wav,Nini uschokipenda kuhusu aina A?.Mmmh cha kwanzaaa yameliwa sana na wadudu.Mmmh.Alfu yalipata ugonjwaaa.Mmmh.Mmmh. moment_3_vegetative_20240417_738eb429-f56f-416b-97ab-c8826274a7df_1713867847324.wav,Nini unapenda kuhusu aina B?.Aina B nnachokipendaaa kwanzaa yameota vizuliii.Aaah.Alafu pili yamestawi sio kama aina A. moment_3_vegetative_20240417_738eb429-f56f-416b-97ab-c8826274a7df_1713867890195.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B.Nisichokipenda kuhusu aina B ni ushambuliaji wa wadudu.Mmh.Eeeh wadudu. sana. moment_3_vegetative_20240417_738eb429-f56f-416b-97ab-c8826274a7df_1713868017501.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?.Aah nachopenda kuhusu aina C maharage yameota vizuri.Mmmh.Yamestawi.Mmmh.Eeeh pia yame yametoa mauwa vizuri. moment_3_vegetative_20240417_738eb429-f56f-416b-97ab-c8826274a7df_1713868041391.wav,"Nini usichopenda kuhusu aina C?.Nischokipendaaa kuhusu aina C ni kutokana na maharageee yamekosa uvumilivu wa wadudu,wadudu wamekula sanaaa.Mmmh.Eeeh kwahiyo wamesababisha maharage haya hayako vizuri." moment_3_vegetative_20240417_7df08752-48ef-4e17-adff-c26a42256c36_1717998102074.wav,unawe unaweza ukanieleza nini unapenda kuhusu hii aina A ?aina A nimeipenda kwa sababu ina majani mengi na inastawi vizuri.ina majani mengi .na imestawi vizuri .anhaaaa.na itatoa mbegu yake.sawa sawa kuna kitu kingine ambacho unakipenda kuhusu aina hii?nimeipenda na nitaipenda kwa sababau ya upandaji ya hiyo miche hadi kwanzia hii ya kupanda kwa ustarabu .anhaaa.eee nimeipenda.sawasawa.kwa sababu mizizi hai hai banani.anhaa.ndio maan itatoa sana mbegu itastawi vizuri.sawasawa. moment_3_vegetative_20240417_7df08752-48ef-4e17-adff-c26a42256c36_1717998116180.wav,Na nini usichokipenda kuhusu aina A ?hakuna .hamna usichokipenda kuhusu aina A ?eee nimeipenda.sawasawa. moment_3_vegetative_20240417_7df08752-48ef-4e17-adff-c26a42256c36_1717998169176.wav,"nini nini unapenda kuhusu aina B?naipenda .ndiyo kuhusu aina hii B .nimeipenda hii mbegu kwa sababu ilikuwa hatujai hatujaipata yumeikosa si ile nyekundu ile, nili nili hii mbegu ilikuwa sisi ni watoto wadogo nilipoiona nikaifurahia kwa sababu hii mbegu ninaona kwamba ni nzuri nilipoipata nikasema nitaihifadhi na nitaiendeleza .anhaaa.mmmhsawasawa." moment_3_vegetative_20240417_7df08752-48ef-4e17-adff-c26a42256c36_1717998193641.wav,Na nini usichokipenda kuhusu aina hii B ?hakuna ninaipenda.oooh ko hakuna usichokipenda kuhusu aina hii B .mmmh naipenda.sawasawa. moment_3_vegetative_20240417_7df08752-48ef-4e17-adff-c26a42256c36_1717998235575.wav,upande nini umependa kuhusu aina hii C ?aina hii si sikuipenda kwa sababu haija haijatokea vizuri huoni kuna mapengo sijui kama ni wadudu kuanzia mwanzo yameshambulia haya mbegu yake ndio maana haya mashimo hayajajitokeza .kwa hio hamna ambacho ulichokipendahio ndio sijakipenda lakini.sawasawa.lakini. moment_3_vegetative_20240417_7df08752-48ef-4e17-adff-c26a42256c36_1717998266518.wav,"kwa hiyo hapa ni nini usichokipenda kuhusu aina hii umesema C.aaah hamna.hamna ambacho haujakipenda.nimekipenda ila ni hiki tu haijajitokeza vizuri.haijajitokeza kwa maana ya sehemu zingine hazijaota .eee.sawasawa ,aya asante." moment_3_vegetative_20240417_846b5d40-cc34-4db4-a61c-cb3573ffa64a_1715949451895.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Hamna. moment_3_vegetative_20240417_846b5d40-cc34-4db4-a61c-cb3573ffa64a_1715949586872.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo.Haijaota vizuri. moment_3_vegetative_20240417_846b5d40-cc34-4db4-a61c-cb3573ffa64a_1715949650536.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo.Hamna. moment_3_vegetative_20240417_846b5d40-cc34-4db4-a61c-cb3573ffa64a_1715949710662.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Hamna. moment_3_vegetative_20240417_846b5d40-cc34-4db4-a61c-cb3573ffa64a_1715949739119.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Hamna. moment_3_vegetative_20240417_846b5d40-cc34-4db4-a61c-cb3573ffa64a_1715949751794.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Haijaota vizuri. moment_3_vegetative_20240417_88129f37-903b-4d49-b8dd-16f4caa58110_1714463484415.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?.Aina A naona kama yamezaa vizuri kuliko nanii kuliko mbegu zingine. moment_3_vegetative_20240417_88129f37-903b-4d49-b8dd-16f4caa58110_1714463520374.wav,Ttsaah nini usichokipenda kuhusu aina A?.Mmh kwa kweli sijaona tatizo laaa la mbegu hii hii mbegu sijaona tatizo lake.naona tu ipo vizuri. moment_3_vegetative_20240417_88129f37-903b-4d49-b8dd-16f4caa58110_1714463567470.wav,Nini unapenda kuhusu aina B?.Aina B iko vizuriii lakini haijafanana naa na A kwahiyo mmh kwanza yaliunguaungua sanaaa yaliunguaunguaaa kwahiyo hayapo vizuri kama A. moment_3_vegetative_20240417_88129f37-903b-4d49-b8dd-16f4caa58110_1714463594465.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina B?.Apa nashindwa kujibu kwa sababu mbona bado sio mabaya sanaaa maana uzao wake sio mbaya sana japo yaliungua sana lakini uzao sio mbaya sana. moment_3_vegetative_20240417_88129f37-903b-4d49-b8dd-16f4caa58110_1714463747070.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?.Aina C nnachokipenda ni kuwa bado yanatoa kwahiyo bado sijaelewa lakini yaaa yako yako vizuri. moment_3_vegetative_20240417_88129f37-903b-4d49-b8dd-16f4caa58110_1714463762635.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina C.Aina C hii haikuota vizuri na bado yamepigwapigwa na ukungu. moment_3_vegetative_20240417_96da196e-35f8-45dc-ad6d-00a2fe1d81f9_1713513683673.wav,"Nini unapenda kuhusu aina A.Nachokipenda kuhusu aina A, nimeona kama aina A nimeona kama toka tulivyopanda kidogo ilikuwa inapendeza kwetu kutoka kwenye majani yake.Naomba uongeze sauti kidogo.Yaani kitu nilichokipenda toka kwenye aina ya kitalu cha A nilichokiona ni kwamba toka tumepanda nimeona kwamba ukuaji wake wa mmea ulikuwa ni mzuri.Kingine nataka kuelewa zaidi nataka kujifunza kuhusiana na hii aina.Na pia nilishaona kwenye hii aina A majani yake ni kama yamepanda na ni mapana tofauti na.Naomba uongeze sauti.Na kitalu cha pili cha B, kitalu cha kwanza cha A kipo vizuri.Cha kuongezea unachokipenda zaidi kuhusiana na.Nilichokipenda zaidi kama kusingefanyika uharibifu wa wanyama nilikuwa natamani kuipalilia vizuri na kuongeza mbolea ili nipate mapato maana ukiweka mbolea pia na mapato yanaongezeka.Anhaa.Mmh.Sawa." moment_3_vegetative_20240417_96da196e-35f8-45dc-ad6d-00a2fe1d81f9_1713513763749.wav,"Nini usichokipenda kuhusiana na aina A.Aah kwakweli kwenye kitalu cha aina A sijaona kitu ambacho sikipendi kwakweli nimeipenda kitalu cha aina A.Cha kuongezea kuhusu ambacho haukipendi hamna?Kwakweli kwenye kitalu cha A sikuona kama kuna shina na sioni hakuna kitu cha kuongezea kwamba sikipendi sioni shida ila kwenye kitalu cha pili cha B kuna shida kwasababu hata majani yake ni tofauti na majani ya kitalu cha A, B na C kwakweli ile mbegu sijafurahia lakini sijui sasa ijapo kuna uharibifu uliofanyika lakini hata sasa pamoja na uharibifu kitalu cha A kina uharibifu lakini bado majani yake ni mazuri cha B na C majani yake hayarizishi. Anhaa.Mh.Sawa nashukuru." moment_3_vegetative_20240417_96da196e-35f8-45dc-ad6d-00a2fe1d81f9_1713513894108.wav,Nini unapenda kuhusiana na aina B?Aah kwakweli kwenye kitalu cha aina B kwanza tu moja uotaji wake toka awali ulikuwa wa shida tofauti tu na huu uharibifu uliofanyika uotaji wake ulikuwa wa shida na hata ilivyootaota majani yake pia hayarizishi kwahiyo mimi binafsi niseme kitalu cha B kwakweli sikufurahia na sijajua kuna nini.Nilikuwa namaanisha unachokipenda kuhusiana na hii aina.aina sio Sasa sidhani yaani mimi labda niseme tu kilichonifurahisha ni kitalu cha A kitalu cha B toka mwanzo mi sikufurahia kwasababu tu hata uotaji wake ulikuwa wa shida majani yake pia yalikuwa ya shida majani yalikuwa madogomadogo sikufurahia kitalu cha B na C kwakweli mimi sikufurahia kabisa kwasababu uotaji ulikuwa wa shida na hata sasa muonekano wake sio mzuri.Anhaa.Mh. moment_3_vegetative_20240417_96da196e-35f8-45dc-ad6d-00a2fe1d81f9_1713514078200.wav,"Ni nini usichokipenda kuhusiana aina B?Aaa labda nisichokipenda kutoka katika kitalu hichi cha aina B. Aaah labda niseme ni kutokana na hali halisi ya mazingira. Labda ni kwasababu huku tupo kwenye mwinuko ndo maana maharage haya hayakutoka vizuri, labda kama tutakuwa na mwendelezo mwakani tutafute sehemu ambayo imekaa levo.Anhaa.Mmh, labda kutokana na hali ya mwinuko huu tunasema labda ni kwasababu tuu kumekaa vibaya labda ndo maana maharage haya yanaota pia vibaya, na hapa pia ukiangalia kuna mti inawezekena huu mti pia ikawa ni tatizo kwa sehemu ya ubaridi ndio maana haya maharage yamekuwa yanauotaji wa shida pia na majani yake yamekaa vibaya.Ni kweli.Kwahiyo mimi binafsi niseme msikate tamaa nyie tubadilishane uzoefu kipindi kijacho. Mmmh , nashukuru cha kuongezea ambacho haujakipenda.Aah mimi kwakweli siwezi kusema sijakipenda kwasababu nikisema sijakipenda manaake kazi tuliofanya hapa sio, mimi nimeipenda kazi isipokuwa tu ni uridhishaji wa kazi yetu hairizishi , me nimeipenda lakini haiirishi.Aa yaani, kuhusiana yaani tangu tulivopanda yaani tangu mwanzo yaani we sindio ulikuwa unaangalia kila kitu kinavyoenda ambacho umekiona hujakipenda kwenye aina B ya maharage. Nisichokipenda ni uotaji kwamba haijaota vizuri.Anhaa,Mmmh, kwamba haijaota vizuri hio ndio ilikuwa shida. Nashukuru." moment_3_vegetative_20240417_96da196e-35f8-45dc-ad6d-00a2fe1d81f9_1713514203285.wav,"nini umekipenda kuhusiana na aina C?aah mimi niko pale pale bado sijakipenda kwasababu ya uotaji nao ni wa shida na hata ukuaji nao pia ni wa shida kwa kweli mimi kwenye kitalu B na C sijafurahia wala sijaipenda.tangu mwanzo ulivyoangalia vitu vilivyokua vinaenda vinaendaje si ulikua unaona hamna ambacho ulikipenda?mmh mwanzo iliv. Kwa mwanzo ilivyoanza kuota kwa mwanzo kwa kweli ilikua ime kama vile ilikua imeota vizuri ijapo kwambma ilikua imeota mojamoja lakini mimi nilijua baada ya muda itakuja kujaa lakini ninachokiona ni kama sasa haipati ru.yaani naona kama haipati afya na sijui ni kwanini isipate afya lakini kitalu A kama unavyoiona iko vizuri lakini C ba B naona kuna shida sasa sijajua shida ni nini labda inawezekena ni ardhi kwa sababu unapotoa hatua moja kwenda hatua ingine inatokana hiyo ardhi inawezamkua hatua moja ukakuta ina rutuba hatua ya pili ukakuta haina rutuba sasa inawezekana hii eneo ikaonekana haina rutuba pale chini ikaonekana kuna rutuba, sasa mimi binafsi niseme sikufurahia uotaji wa kitalu A nanii B na C.mmh nashukuru.mmh maana haikuoendeza kama kitalu A." moment_3_vegetative_20240417_96da196e-35f8-45dc-ad6d-00a2fe1d81f9_1713514266879.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina C?Aah ambacho sikipendi kwenye aina C ni uotaji kwakweli na ukuaji.Unavyosema ukuaji niUkuaji maana yake ukuaji wa majani hauridhishi yaani ukuaji wa majani hauridhishi majani yake ni madogomdogo pia uotaji wake umekuwa wa shida kama unavyoona hata wewe uotaji wake ni wa shida ni majani yake ni madogo.AnhaaNdio. moment_3_vegetative_20240417_9ee04fdd-e955-4287-86c2-0035269efcc9_1714462139856.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?.Aina A nilichoipenda niauwa yako vizuli naaaa eeeeh nanii hebu nanii dogo ndelete hahahaha delete mauwa yako vizuli na majani yako vizuli.eheee kingineambachoooo unakipenda.nlichokipenda ndoichotuu majani yako vizuli na mauwa yako vizuli.sawa. moment_3_vegetative_20240417_9ee04fdd-e955-4287-86c2-0035269efcc9_1714462199493.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina A.aina A nisichokipenda nijinzi ya uotaji yalikuwa hayajaota vizuri kidogo.unamaana gani unavosema hayakuota vizuri.maana yangu ni kwenye upandaji yani kwenye mii mashina anii zile mbegu zilizopandwa zilikuwa hazijaota nyengine.kingine ambacho hukipendi.hapo hakuna.aante. moment_3_vegetative_20240417_9ee04fdd-e955-4287-86c2-0035269efcc9_1714462230957.wav,Nini unapenda kuusu aina B.aina B nilichokipenda niyameota vizuli pia majani yako vizuli na maua yako vizuli.kingine mbacho umekipenda.ndoo ichotu nilichokipendaa tu B. moment_3_vegetative_20240417_9ee04fdd-e955-4287-86c2-0035269efcc9_1714462251272.wav,Nini usichokipenda kuusu aina B.aina B hakuna nisichokipenda.hakuna usichoipendaa.eeeeh.aaawa. moment_3_vegetative_20240417_9ee04fdd-e955-4287-86c2-0035269efcc9_1714462285229.wav,Nini unapenda kuhusu aina C.aina C nilichokipendaa ni yameota vizuri majani yako vizuli mauwaa yanatoka kwa uharaka.oookee kingieambachoumekipenda.nazanindoichotu. moment_3_vegetative_20240417_9ee04fdd-e955-4287-86c2-0035269efcc9_1714462328610.wav,Nini usichokipenda kusu aina C?.aina C nisichokipendaa inaonekana kidogo kuna wadudu wanashambuliiaa alafu mvua ikizidi kidogo mimeaa inazaifika.inazaifika ani inakuwaje kwa mfano mvua ikizidi.inadhaiifika ani inakuwa kama imeregea regea na kutoa ile nnjano.yanii unamaana nini menini kinakuwa chanjano.chanjano nkuni manjani manjani ndo yanakuwa yanjano.kingine ambachoo hujakipenda.nazani hapoo hakuna.sawaa santee. moment_3_vegetative_20240417_a22e485b-f788-4c3d-af5b-9bf0f591338f_1715689455729.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.yani aa yanii haya maharage mi nayapenda kwa sababu kwanza ni ya mda mfupi alafu hayarushi kamba alafu pia ya ata uki yakizaa yanazaa vizuri yanashusha nanii zake zile visu vyake vizuri na yanakomaa kwa wakati ndo nachokipenda mimi na nayoyapenda mimi.sawasawa.mmmmmh. moment_3_vegetative_20240417_a22e485b-f788-4c3d-af5b-9bf0f591338f_1715689541970.wav,"Angalia aina A hii hii na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hio.hii aina mi sija sio hii mi naipenda sijaichukia kwa kweli mmmh naipenda sanaa kwanza maharage yake ni matamu kupikia yana sukari yana wanga mzuri naipenda sanana ulishawahi kuyalima haya?ee nilishawahi kuyalima ndo maana nikayapenda ata nilivyoyaona wakati ule unaleta nikasema aa hii itafaa huku kwetu hihihi.sawasawa.eee hata ukiangalia mwenyewe ata ukuaji wake ni tofauti na mengine yana ukiangalia sema tu kwa sababu ya kuwahi ile barafu na nini lakini huwa yana hayapotei kabisa .sawasawa.eee hayapotei kabisa na hatakwenye kula yana pendwa na hata kwenye bei yako juu kuliko maharage mengine yani hata likishuka maharage mengine yatafika elfu tatu yao hilo litapanda elfu yani likishuka sana ni elfu tano ,elfu saba .ayaeee lakini kwenye kunanii kwenye ata kwenye kuzaa ata. porini wapi huku kwetu yana yani ni mazuri kweli hayakatishi tamaa .sawa.eee." moment_3_vegetative_20240417_a22e485b-f788-4c3d-af5b-9bf0f591338f_1715689901311.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokipenda ambacho unakipenda kuhusu hio.aina B mi naipenda kwa sababu ya utamu wake na radha yake ni sawa tu na aina A yanii ni mazuri ukiyawahi kuyaotesha wakati wa ambapo hamna mvua yanakuja vizuri yana utamu wake ni mzuri bei yake ni sawa na ile lakini japo itashuka kidogo lakini sio sawa na ile ya A lakini ni mazuri kweli kwa kuotesha uku ata ukanda wa kwetu yanakuja vizuri kabisa .sawa.eee.na unaweza kunieleza kwa undani zaidi kuhusu hii aina B unachokipenda kwa undani zaidi.kwa undani labda yani eeh yani sijui nikwambiaje yaani uzuri wake kwanza ni matamu sawa na yale lakini japo yanazidi yale yale yatazidi kidogo .mmh.ee na hata chakula chake watu wengi wanakitumia na hayaleti gesi tumboni wala ukipikia chakula chake hakileti yani kuna maharage mengine ukiyatumia huwa ata ukilaza kile chakula chake kinalendemka hivi lakini haya hayalendemki hayaleti ule uta nanii na wala hakiharibiki hakichachi sawa na mengine labda aa kuna mengine ukiyalaza au uki ukiyatumia yana chakula uki ukiacha labda chakula ukita labda umepika leo mchana unataka upike mara moja ukienda kupika jioni unakuta yamechacha lakini hawa huwa hayachachi .sawa.mmmhzaidi sifa yake zaidi unachokipenda zaidi . Yani sijui nielezeje kwa saabu saizi yani siko nanii yani sijaka sawa .sawa.eee lakini sifa zake ni nyingi kweli kweli na ni nzuri kweli na watu wanayapenda .ndo izo nyingi sasa ndo kama mojawapo ushasema hiyo ya kula enhee na nyinginezo.hata kwenye bei huwa yanauzika vizuri .sawa.eee. moment_3_vegetative_20240417_a22e485b-f788-4c3d-af5b-9bf0f591338f_1715689996067.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hukukipenda kuhusu hio.yani nisichokipenda wakati unayawahi kuyaotesha kama tulivyowahi huwa yanapigwa na barafu na iki kuna ambayo uki yakiungua huwa yanaendelea ile baridi ikiisha yanaendelea lakini haya yanapotea kabisa si unaona kama lile pale ua linapotea kabisa ee na pia linagongwa sana yani hata ukienda kuhifadhi labda ukute umeweka umehifadhi kwa dawa lakini ukienda kuchuma tena ukahifadhi ukaweka kwenye dumu ili mwakani niyaoteshe unakuta yamegongwa yoote usipoyawahi .sawasawa.eee usipoyawahi na huku shambani usipoyafuatilia nayo inapotea .sawasawa.mmmh.kwa hiyo kwa undani zaidi unataka kutuambia hii aina B huipendi kwa ajili ya.yani kwenye kugongwa kwake sio kwamba siipendi sana aah ni kwamba yani ni ma ni harage ambalo ni lakufuatilia .sawa.eee unatakiwa ukaribu nayo.sawasawa.mmmh. moment_3_vegetative_20240417_a22e485b-f788-4c3d-af5b-9bf0f591338f_1715690107816.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.C nayapenda kwa kiasi .ndiyo.kwa sababu chakula chake hata ukipika.mmhyaani ni kinakuwa rangi kinatoa rangi yani hakina radha kama ya haya ila yani unatakiwa ukipika chakula chake ukitumie kwa wakati ule ule.sawa.eee alafu kingine na sokoni bei yake imesh imeshu ni ni hafifu na pia huwa yanarusha kamba wakati mwingine au wakati mwingine yana nanii yana yanii yana yanatoa japo yatazaa sana lakini hayata yani ukiyatunza sana sana lakini hayakuti yale ee hayakuti yale tunapata tu kiasi.sawa kwa undani zaidi unaweza ukanielezea kuwa unayapenda kwa undani zaidi tofauti na sifa hizo ulizo nambia .hapana.sawa. moment_3_vegetative_20240417_a22e485b-f788-4c3d-af5b-9bf0f591338f_1715690181053.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hukupenda kuhusu hio.yani .kitu ambacho sikupenda huwa yanakimbia yani yanakimbiaga yanarusha nanii hizo alafu pia barafu alafu linarefuka linakuwa lirefuu alafu li yani uuzao wake unakuwa kama vile hafifu sio kama yale hii itawahi kushusha itashiusha vizuri lakini ita ikishakauka inalala chini ee inalala chini kama ukiyafikiria kwenda kuya yani ndo una yanii yamekauka unafikiria kwenda kunanii unakuta kwa sababu limeshika chini linaoza .okay.linatoa nanii unakuta limesha toa mche ndani ya ganda.sawasawa.eeee.zaidi zaidi tena ambacho hujavutiwa nacho kuhusu aina C .aaamhaahamna .mmmh. moment_3_vegetative_20240417_a998343f-9d37-41a4-a2b1-e075b52482be_1713438795989.wav,"Naomba unielezee nini usichopenda kuhusu aina A?aah aina A ambacho mimi sijakifurahia kwasababu ni maharage ambayo haina wateja wengi sana kwa sababu ainasemekana aina A ukiitumia kama mboga ina gesi sana kwa hiyo walaji wake ni wachache mtu akiwa na tatizo la vidinda vya tumbo mtu hawezi kuitumia inatumika kwa mara chache sanaahaa,hata dukani ukiweka uuzaji wake ni tofauti na hmaharage mengine.aahaa.asante." moment_3_vegetative_20240417_a998343f-9d37-41a4-a2b1-e075b52482be_1713439107354.wav,"nini unakipenda kuhusiana na aina B?aah aina B ninachokipenda mimi ni maharage mazuri ambayo yanapendwa na yana walaji wengi sana na soko lake ni kubwa sana amabyo ni maharage ya njano ile ya gololi yana walaji wengi sana mimi binafsi nayapenda na wengi wanayapenda na ndiyo yanayotemmbea kwa 98% au 99% na ndo yanayo yani yanatumika kwa kila mtu awe ana tatizo la tumbo au anaumwa vidonda vya tumbo lakini anatumia hii gogloi ya njano kwa hiyo mimi bianfsi naomba mboreshe mbegu hii ya maharage ya njano aina ya gololi ili yawe mengi mbegu iwe nyingi na wakulima wote ikiwezekana tulime aina hiyo amabyo inatemebea sana yani kwenye soko inatoka sana kwenye sokoahaa.ndio.unaweza kunielezea zaidi kw aulichokipenda.kwa kweli mimi na nilichokipenda kwenye aina hii ya kitalu namba mbili ni ubora wake na soko lake mimi binafsi nayauza pale dukani kwangu na yanayouzuika sana ni hayo na hata matumizi nyumbani kwangu natumia sana hayo, na hata watu wengine ni kwamba hata kwenye migahawa wanakuja wanakuja kununua haya gololi ya njano kwahiyo kinachoofaa zaidi mtuboreshee maharage ya gololi ya njano na yanapendwa yako kwenye kiwango na hata kwenye soko yanatembea sana.ahaa sawa.ndiyo. ukiangalia hivi tuangalie kwenye majariio yetu haya , angalia kitalu B uelezee zaidi ulichokipenda.nilichokipenda kweney kitalu B nadhani yako vizuri na katika uzaaji wake hua yanazaa sana japo hayana watoto wengi sana lakini kipato chake hua kinakua kikubwa na uzito wake upo vizuri ukilinganisha na maharage mengine yani ukipima yani ukiwa na gunia la debe sita na wewe ukiwa nadebe sita mimi naweza nikawa na kilo nyinginzaidi kuliko weweahaa .ndio na ndo maana mimi nayapenda na napenda ubora wake uko wa kiwango cha juu.ahaa. Chochote cha kuongezea.cha kuongezea tunashukuru shirika lenu kwa kututambua na kututhamini wakulima sisi kuja kutufanyia majaribio kwa sisi wachache ambao tutakua mabalozo kwa wakuliama wenzetu ambao watahamasika kwenye zao la maharage hasa kwenye mbegu hii ya gololi ya njano ambayo binafsi nimeipenda nadhani na wao awataipenda pia tunaweza kua mabalozi na tunaomba pia muendeleee kutupatia elimu ili tuwe wakimu kwa wakulima wenzetu maana sisis mmetufundisha kupanda kwa utaratibu mzuri, basi mtufundishe na sisi tuwe walimu kwa wakulima wenzetu na sisi tuweze waalimu kuwafundidsha namna ya upandaji nmna ya kuboresha namna ya kutambua mbegu nzuri na inavyotoka katika sokonilikua nataka cha kuongezea zaidi kwenye khusiana unachopend hapo kwenye kitalu nmba B.kuongezea kwenye kitalu namba B kwa kweli mimi cha kuongezea kwenye namba B ni kwamba mbegu hii ni nzuri sana tunaomba elimu zaidi na mtuzalishie zaidi kwasababu nimeipenda kwenli ni nzuri na imependwa na watu wengi si mimi peke yangu na inatembea kweli kwenye soko.ayaa santee.nashukukru." moment_3_vegetative_20240417_a998343f-9d37-41a4-a2b1-e075b52482be_1713439182984.wav,nini usichokipenda kuhusu aina B?aina B nisichokipenda nadhani hakuna nimependa na ninaaaayapenda nimependa mbegu hii kwa kweli nimeyapenda siwezi kusema kwamba sijapenda chochote nimeyapenda.asantee.nashukuru. moment_3_vegetative_20240417_a998343f-9d37-41a4-a2b1-e075b52482be_1713439360650.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina C Aina C ambacho sijakipenda ni ukuaji wake ni mdogo sana na pia naona inashambuliwa na magonjwa na pia utoaji wake wa maua sio mzuri eeh kwakweli hicho sijakipenda katika kitalu C.Anhaa.Ndio.Unaweza kunielezea zaidi kunifafanulia nataka kuelewa zaidi kuhusiana na hii aina C.Aah mimi binafsi nilichokiona katika kitalu C ni mbegu ambayo kwakweli sijaona kama ni yaani utoaji wa maua nimeona ni tofauti sana alafu imeshambuliwa na magonjwa majongwa sana hata ukuaji wake kidogo sio mzuri sana ni tofauti na kitalu A na kitalu B.Anhaa.Ndio.Sawa nashukuru.Asante. moment_3_vegetative_20240417_aa3c03c7-fe9e-434f-b870-f1b3fc3b720b_1714655421573.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?Nilipenda uotaji wake uliota vizuri maua nayo yametoka vizuri ila changamoto nyingine kwa mfa kwa mfano kundi A kuota yani mbegu zingine hazijatoka ndo hicho kilicho ambacho sijakipenda.Haya asante. moment_3_vegetative_20240417_aa3c03c7-fe9e-434f-b870-f1b3fc3b720b_1714655440374.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A?Yaniii uotaji wake tu haijaota vizuri ndo hichoicho ambacho sijakipenda lakini hali ni nzuri. moment_3_vegetative_20240417_aa3c03c7-fe9e-434f-b870-f1b3fc3b720b_1714655478227.wav,Ni nini unapenda kuhusu aina aina B?B nimeona yani nimependa kila kitu uotaji wake umeota vizuri maua yake yametoka vizuri hata majani yake yanapendeza.Kingine ambachooo umekipenda hapo?Yani nimependa uotaji wake tu umeota vizuri kwa kweli. moment_3_vegetative_20240417_aa3c03c7-fe9e-434f-b870-f1b3fc3b720b_1714655506849.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina B?Eina B niime nimependa tu kila kitu ila A ndo hiyo changamoto niliyowambia kuota kwake umeota kidogo sehemu zingine hazi hayajaota.Kwahiyo kuhusu B?B yali yameota yote. moment_3_vegetative_20240417_aa3c03c7-fe9e-434f-b870-f1b3fc3b720b_1714655543389.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?C umeota vizuri nao nimeupenda maua yake yalitoka vizuriii majani yake yanapendeza kwahiyo kwa kwali nime nimeenimeupenda. moment_3_vegetative_20240417_aa3c03c7-fe9e-434f-b870-f1b3fc3b720b_1714655559104.wav,Nini usichopenda kuhusu aina C?Kwa kweli hakuna nisichokipenda nimependa yote tu. moment_3_vegetative_20240417_ab9f4ff0-e585-47a5-bdd3-61c6601fb821_1714474339883.wav,aaa ngoja ngoja angalia aina A na eleza chochote ambacho una kipenda kuhusu aina A. imestawi bila hata kupiga dawa.kingine unacho penda kuhusu aina A. imeota vizuri haija potea.kingine unacho weza kunieleza kuhusu aina A. imestawi vizuri.na maelezo mengine kuhusu aina A. imestaimili haijapigwa dawa hata kidogo imeyenyewe imeota na tuka palilia ikakuwa vizuri.una maelezo ya ziada kuhusu aina A unacho kipenda. inaaa kamba kamba halafu ina matawi mazuli na ina stawi vizuli. moment_3_vegetative_20240417_ab9f4ff0-e585-47a5-bdd3-61c6601fb821_1714474545918.wav,angalia aina A na eleza chochote ambacho hukipendi kuusu aina A. zile kamba ambazo zina shika shika. mmm.zina shika shika mimea. kingine ambacho hukipendi kuhusu aina A. amna. kuna maelezo ya ziada ambacho ukipendi kuhusu aina A. hakunaa. moment_3_vegetative_20240417_ab9f4ff0-e585-47a5-bdd3-61c6601fb821_1714474665117.wav,angalia aina B na eleza chochote unacho kipenda kuhusu aina B. kuusu aina B imetoa maua imeota vizuri na imetoa maua mapema na majani yake mapana yameota vizuri aina kambakamba.kuna kingine unacho weza kukielezea kuusu aina B unacho kipenda. aina B ina matawi mengi. za kunipa maelezo zaidi kuusu aina B unacho kipenda. aina B ina matawi mengi lafu ina maua mengii afu majani yake ni mapana na pia yanaa yana sura nzuri weusi wa majani kijani kweli kweli. kitu kingine unacho kipenda kuusu aina B.akuna. moment_3_vegetative_20240417_ab9f4ff0-e585-47a5-bdd3-61c6601fb821_1714474779768.wav,angalia aina B na eleza chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu. hakuna hakuna nisicho kipenda moment_3_vegetative_20240417_ab9f4ff0-e585-47a5-bdd3-61c6601fb821_1714474908520.wav,angalia aina C na eleza chochote unacho kiona ambacho unapenda kuhusu aina C. aina C imeota vizuri na majani yake ni marefu na pia pia aina hai nyauki inaota sawa sawa. kitu kingine unacho kipenda kuhusu aina C. majani yake ya kijani kweli kweli mabichi ayakauu ayanyauki. kuna kingine unacho kipenda kuhusu aina C. aina C matawi yake makubwa na mapana na maua mengi. unaweza kunipa maelezo ya ziada kuusu aina C unacho kipenda. aina C zinginee zinaa chache zina kamba kamba nichache lakini sio nyingi kama zile za aina A. moment_3_vegetative_20240417_ab9f4ff0-e585-47a5-bdd3-61c6601fb821_1714474955906.wav,angalia aina C na eleza chochote ambacho haukipendi kuhusu aina C. kumee.kwambaa.hakuna imeota vizurii pasipo kuwa ule uharibifu wa kuku ndio kitu sipendi. kuna chochote ambacho haukipendi kuhusu aina C. akunaa. moment_3_vegetative_20240417_abc6fe94-b165-4a83-89eb-e0c737d0c647_1714453073562.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?Katika aina A ni kwamba hii mbegu hiko vizuri haina shida isipokua kuna baadhi ya mashina machache ambayo yanaonekana yana vifimbo lakini naona maua yako vizuri kwahiyo tangu tulivyoipanda ina inaendelea vizuri hadi sasa asante. moment_3_vegetative_20240417_abc6fe94-b165-4a83-89eb-e0c737d0c647_1714453099475.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina A?Aaa nisichokipenda ni kwamba ni haya mashina machache ambayo yanaonekana yana vifimbo ambapo ni kwamba inatakiwa icha ipembuliwe hii mbegu ili isionekane ina vifimbo inatakiwa iwe haina vifimbo ndo inakua inazaa vizuri. moment_3_vegetative_20240417_abc6fe94-b165-4a83-89eb-e0c737d0c647_1714453137294.wav,Nini unapenda kuhusu aina B?Katika mbegu aina B ni hiko vizuri zaidi kwa sababu ukiangalia hata ukuaji wake ni mzuri tangu tulivyoipanda inamaana inaendelea vizuri na hii mbegu ina maua mengi sana kuashiria inaweza kuzaa sana kwahiyo katika mbegu hii hiko vizuri asilimia tisini asante. moment_3_vegetative_20240417_abc6fe94-b165-4a83-89eb-e0c737d0c647_1714453155689.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina B?Nisichokipenda hapa nadhani hakuna tatizo lolote hii mbegu hiko vizuri naipenda asilimia tisini. moment_3_vegetative_20240417_abc6fe94-b165-4a83-89eb-e0c737d0c647_1714453206791.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?Aina C mbegu hii inaonekana ni dhaifu ambapo mbegu hii tangu tulivyoipanda inaonekana hata uotaji wake si mzuri kuna baadhi ya mashimo ambapo haikuota kabisa kitu ambacho siwezi kujua ni kuna problem gani lakini pia mbegu hii inaonekana ina vifimbo kuashiria kwamba haiwezi kuzaa vizuri kwahiyo mbegu hii naona mimi katika mawazo katika chaguo langu hii mbegu hainifai. moment_3_vegetative_20240417_abc6fe94-b165-4a83-89eb-e0c737d0c647_1714453230045.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina C?Nisichokipenda ni kwamba kwa ujumla hii mbegu haiko vizuri kwahiyo kwa pendekezo langu hii mbegu siwezi kui kuipendekeza kwendelea kuitumia kwa sababu inaonekana hainifai asante. moment_3_vegetative_20240417_b0268b6e-95ea-43f5-9cd7-2d4315b3adfd_1719560141978.wav,khmm angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio. kuseema kweli mimi marage yangu nayapenda lakini kitu ambacho kimenchanganya apo ni ni kugeuza arage kuwa nyekundu. sawa. moment_3_vegetative_20240417_b0268b6e-95ea-43f5-9cd7-2d4315b3adfd_1719560174144.wav,angalia aina A na ueleze chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hio. mh kitu ambacho nimekiona apa kipo tofauti ni hii rangi rangi tu kugeuka kuwa mnyekundu. aah sawa. moment_3_vegetative_20240417_b0268b6e-95ea-43f5-9cd7-2d4315b3adfd_1719560245168.wav,"angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio. na mbona B naona marage yake yapo tofauti? ni il ilikua ni aina tofauti umepewa, mmh. tofauti na ile ya A. kipi ambacho umeona unakipenda apo? kitu ambacho nimekiona mimi ni marage tu kubadilisha rangi kwa umbali. kwa umbali. eeh kwani apa si kwa umbali. ambao rangi ndo iyoo, ya njano. ya njano? eeh. mmh sawa icho ni kitu ambacho unakipenda? sipendi. sawa." moment_3_vegetative_20240417_b0268b6e-95ea-43f5-9cd7-2d4315b3adfd_1719560282282.wav,"angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio. kitu ambacho nimekiona tu kwa umbali ni majani tukugeuka yawe yanakua mekundu, kwa umbali. ndio, ni mekundu tu au kuna rangi nyingine ambayo unayaona? amna rangi nyingine, nanii sura nyingine tofauti na majani kugeuka kuwa mekundu. mmh sawa." moment_3_vegetative_20240417_b0268b6e-95ea-43f5-9cd7-2d4315b3adfd_1719560357852.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unapenda kuhusu hio. kitu ambacho nimefurahia sana marage yanatoa maua mazuri na ma ni marage ya juzi juzi nashangaa yanajitahidi kutoa na maragee. ndio sawa. moment_3_vegetative_20240417_b0268b6e-95ea-43f5-9cd7-2d4315b3adfd_1719560389246.wav,"angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio. tatizo yake moja ni marage yake ni mazuri mmno, sura kugeuza nanii majani kuwa mekundu tuu, basi. kuzaa yanazaa vizuri sana. aah. kkhhm. sawa." moment_3_vegetative_20240417_b3886a0d-e560-4311-baf7-90e649d5262d_1715599014349.wav,Nini unapenda kuhusu aina A.Aina A tukiyacheki haya maharage ni mazuri yanaenda hewani vizuri.Hhh.Pia tukiangalia hata uotaji wake umeota asilimia kubwa.Mmmh.Na kwa hatua inayoenda sasa naona inatoa mauwa.Eeeh.Bado inaelekea ooh uu utoaji wake wa mauwa bado ni mzuri saabu maharage yana nguvu yana afya vizuri.Mmmh.Eeeh hayana shida kiu kiujumla hayana shida.Sawa.Yanaelekea kwenda vizuri.Sawa.Mmh. moment_3_vegetative_20240417_b3886a0d-e560-4311-baf7-90e649d5262d_1715599035119.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A?.Aina A kwakweli naivyo nilivyoiangalia.Mmmh.Imejikamilisha.Saaa.Sijaona ma mapungufu yake pale kwa sababu ni maharage naona yako vizuri.Sawa.Mmmh. moment_3_vegetative_20240417_b3886a0d-e560-4311-baf7-90e649d5262d_1715599093802.wav,Nini unapenda kuhusu aina B.Aina B na enyewe maharage yanaonekana yako vizuri.Mmmh.Ila kidogo naiyona ni tofauti kidogo na labda kwa vile sijui ina kambaaa eeh ila nabado inaelekea bado ina inazaa.Mmmh.Japokuwa naona kama hii awamu ya kwanza hii imewahi kutoa mauwa kabla ya aina ya pili ukiicheki naona kama iko nyuma kidogo koo kwa kwa sasaizi unaweza tukaipa mda kidogo.Mmmh.Tuangalie labda ni aina ya mbegu kuna inayowahi labda na inayochelewaSawa.Saabu kwa uchanganyaji wa mauwa sio kama aina A .Sawa.Eeeh kwahiyo tuipe mda japo nayo haina madhara saana iko vizuri imeota vizuri labda tuendelee kuipa mda tuangalie kwamba utoaji mauwa nao utakua vipi.Sawa.Mmh. moment_3_vegetative_20240417_b3886a0d-e560-4311-baf7-90e649d5262d_1715599136385.wav,Nini uschopenda kuhusu aina B.Aina B kwakweliii tuseme kwa maharage yenye kamba huku kwetu tunaona kama yana usumbufu saabu yanafunga sana hata kuja kung'oa.Mmh.Mh mara nyingi watu hawayataki kwasababu ile kuu kuu kusababisha unaeza kung'oa mstari mmoja ukashangaa imeshkana mstari wa pili. kama maharage tumependelea sana ambayo hayana kamba ila kwa uzaaji tuipe mda kwanza tuangalie na uzaaji inawezekana ikawa na kamba lakini ikazaa kuliko hata aina A labda hiyo ambaye haina kambaaa ila tuendelee kuipa muda ila maharage yenye kamba mara nyingi huwaga tunasema yana usumbufu kidogo hata kwenye kung'oa sabu ni maharage yanayoshikana sana.Sawa.Eeeh. moment_3_vegetative_20240417_b3886a0d-e560-4311-baf7-90e649d5262d_1715599170827.wav,"Nini unapenda kuhusu aina C?.Aina C kwakweli na enyewe ni maarage mazuri.Mmh.Sidhani kama yana kasoro tena naona kama yaliyofanya vizuri kuliko yote labda ni aina C, sababu ukiangalia uotaji wake ni asilimia mia utoaji mauwa inatoa mauwa vizuri kwa wakatiii kwa harakaaa.Mmh.Kwakweli naona iko vizuri haina tatizo la aina yoote.Sawa." moment_3_vegetative_20240417_b3886a0d-e560-4311-baf7-90e649d5262d_1715599185141.wav,Nini usichopenda kuhusu aina C?.Kwakweli aina C naona ina sifa zote sidhani sijaona kitu ambacho labda akijaenda vizuri naaa kwa upande wa maharage.Saaa. moment_3_vegetative_20240417_b444dfcd-e1db-4f57-986d-2ee011fc5b8c_1719240731136.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Aina A ninaipenda kwasababuuu wa imeota vizuri kwa asilimia tisini labda na tisa yotee imeota vizuri. moment_3_vegetative_20240417_b444dfcd-e1db-4f57-986d-2ee011fc5b8c_1719240755074.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Hii aina A ambacho sikipendi naona kama majani yake ni membambamembamba sana alafu haitanuki kwa sawa na hizi aina nyingine hii aina nyingine ya pembeni yake. moment_3_vegetative_20240417_b444dfcd-e1db-4f57-986d-2ee011fc5b8c_1719240779032.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyoAina B ninaipenda kwanza inatanuka vizuri alafu na majani yake pia yanavutia wakati iko kwenye mwendelezo wa kukua. moment_3_vegetative_20240417_b444dfcd-e1db-4f57-986d-2ee011fc5b8c_1719240796156.wav,Ngalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyoB hakuna ambacho sikipendi kwakweli naipenda nimeipenda hii moment_3_vegetative_20240417_b444dfcd-e1db-4f57-986d-2ee011fc5b8c_1719240820601.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Aina C ninachokipenda niii upana tu wa wa ustawi kidogo isipokuwa siipendi sana kwaku kutokana na kwanza uotaji wake sio mzuri kama hizo nyingine moment_3_vegetative_20240417_b444dfcd-e1db-4f57-986d-2ee011fc5b8c_1719240847393.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Nisichokipenda kwa aina C kwanza uotaji wake haukutoka vizuri kama nilivyopanda zile . moment_3_vegetative_20240417_b93c55a1-5150-4056-af25-ca034206f4a5_1716123211082.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Sitaki aina A. moment_3_vegetative_20240417_b93c55a1-5150-4056-af25-ca034206f4a5_1716123266222.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Haijaota vizuri. moment_3_vegetative_20240417_b93c55a1-5150-4056-af25-ca034206f4a5_1716123391505.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Sitaki. moment_3_vegetative_20240417_b93c55a1-5150-4056-af25-ca034206f4a5_1716123441406.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyoHaijaota vizuri na imedumaa tena. moment_3_vegetative_20240417_b93c55a1-5150-4056-af25-ca034206f4a5_1716123591145.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Ina majani mazuri na imeota vizuri. moment_3_vegetative_20240417_b93c55a1-5150-4056-af25-ca034206f4a5_1716123665437.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Haina shida hii. moment_3_vegetative_20240417_c3dd70a4-80ee-4216-a307-318e674045c6_1714572177835.wav,angalia aina A na elezea chochote unachokiona unachokipenda kuhusu aina hii.aina hii aina A naipenda mwanzo iliota vizuri na mpaka sashivi inaendelea vizuri kwahiyo hakuna ninacho kichukia. ni hilo tu hakuna jambo lingine ambalo linalokupelekea wewe kuipenda zaidi.naipenda naipenda hii aina A kwasababu inatoa maua vizuri ndicho hicho ninacho.unakipenda sawa asante. moment_3_vegetative_20240417_c3dd70a4-80ee-4216-a307-318e674045c6_1714572229432.wav,angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo.aina hii A naichukia kwasababu naona kama inanyauka majani moja moja yananyauka .ni hilo tu la kunyauka.ee ndio hilo tu.aa asante. moment_3_vegetative_20240417_c3dd70a4-80ee-4216-a307-318e674045c6_1714572331185.wav,"angalia aina B na elezea chochote unakiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo.aina B naipenda kwasababu mwanzo imeota vizuri na sasahivi naona inaendelea vizuri, imestawi vizuri. hukuna jambo lingine linalokupelekea kulipenda zaidi.hakuna.asantee." moment_3_vegetative_20240417_c3dd70a4-80ee-4216-a307-318e674045c6_1714572367545.wav,angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina B.ambacho sipendi katika mbegu hii aina B ni kwamba inanyauka shina moja moja ndicho hicho tu.hamna jambo lingine ambalo linakupelekea usiipende.hamna.asntee moment_3_vegetative_20240417_c3dd70a4-80ee-4216-a307-318e674045c6_1714572429199.wav,"angalia aina A na elezea chochote unachokiona unachokipenda kuhusu aina hiyo.aa aina hii ya A hii naipenda imeota vizuri, ina maua vizuri, imerefuka kidogo hii naipenda.ni hicho tu kurefuka ni hicho tu kurefuka hakuna kitu kingine ilichokipenda.yani hii nimeipendea kwasababu haishambuliwi sana na magonjwa imekaa tu vizuri .aya asante." moment_3_vegetative_20240417_c3dd70a4-80ee-4216-a307-318e674045c6_1714572464873.wav,"angalia aina A na elezea chochote unachokiona unachokipenda kuhusu aina hiyo.aa aina hii ya A naipenda kwasababu imeota vizuri, ina maua vizuri , imerefuka kidogo hii naipenda.mmh ni hicho tu kurefuka hakuna kitu kingine ulichokipenda.aa yani hii nimeipendea sana maana haishambuliwi sana na magonjwa imekaa tu vizuri.aya asante." moment_3_vegetative_20240417_c755a8bf-c117-48a7-9a66-09d8c27aaad7_1713599345348.wav,ndugu mkulima angalia aina A na eleza chochoteee unacho kiona ambacho unacho kipenda kuhusu aina hiyo aina A na eleza chochote unachokiona ambachounakipenda kuhusu aina hiyo.maharage yanaota vinzuri.ongeza sauti kidogo. eee maharage yanaota vinzuri na yana afya nzuri.ndioo.na yana endelea vinzuri zaidi moment_3_vegetative_20240417_c755a8bf-c117-48a7-9a66-09d8c27aaad7_1713599456168.wav,mmhh ndugu mkulima angalia na eleza chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo. simu. ooo. hi hii hapa hakuna kitu ambacho sikipendii naona tu maharage yana endelea vinzuli afya yakwe ni nzuli.sawa. moment_3_vegetative_20240417_c755a8bf-c117-48a7-9a66-09d8c27aaad7_1713599660048.wav,sawa ndugu mkulimaa angalia ania B na eleza chochote unachokiona ambacho una kipenda kuhusu aina B.aina B naona nayo manzuri tuu yanaendelea vinzuri afya yakwe ni nzuri yameota vinzuri. ndio mmmh.sina ambacho sipendi ila nayapenda tu naya manzuri zaidi.nini ambacho kimekufanya uyapende zaidi. yanii niiimeooona tuu yana yameota vinzuli tu tena yana afya njema. ndio. yanaaa onesha a mwendo wako ni mzuli. ndio.na yanaonekanaaa yatakuwa manzuli mpaka mbele yake. ndio.nimemaliza.umelaliza sawa. moment_3_vegetative_20240417_c755a8bf-c117-48a7-9a66-09d8c27aaad7_1713599787548.wav,tuna endelea na maswali yetu ndugu mkulima angalia aina B na eleza chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo.kama nilivyo tangulia kuseema maharage haya ni manzuli hakuna ambacho sikipendi ila naona tuu nimanzuli tuu furaha.ndio.nime maliza moment_3_vegetative_20240417_c755a8bf-c117-48a7-9a66-09d8c27aaad7_1713599905564.wav,tunaendelea na maswali yetu ndugu mkulima angalia aina C na eleza chochote unacho kiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo.aina zoo aina C nayo ni manzuli saidi yanapendeza yana afya zaidi.ndioo.yani yalivyoota yameota manzuli. ndioo.ndio mana nimeyapenda tu yote. ndioo.afya yakwe pia ni nzuli na yana endelea vinzuli. moment_3_vegetative_20240417_c755a8bf-c117-48a7-9a66-09d8c27aaad7_1713600030082.wav,ndugu mkulima tuna endelea na maswali yetu angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.hakuna kitu ambacho sipendi yani naona maharage tu manzuri tena zaidi afya yakwe ninzuri.ndio.yamekuwa vinzuri.ndio.yanaonekana manzuri tu.sawa. moment_3_vegetative_20240417_da3d3f8a-9fe6-418c-87fd-a9f164b6744c_1713850977183.wav,Mmmh nini unapenda kuhusu aina Ammmmh aina A bwana ahapaa nisemeee nimeyapenda eenimeyapenda ukuaji wake yamestawiii yaneme kaaa vizuli nayamefika hadi kwenye magotii kwaiyooo hapa nimeyapendaa.sawaa.mmmh. moment_3_vegetative_20240417_da3d3f8a-9fe6-418c-87fd-a9f164b6744c_1713850999765.wav,Nini usichopenda kuusu aiina A.aise kusema ukweli hamna nisichokipenda mana yamekaa vizuli inaaa na hamna lolote naa nazani naalizi hii vinaendana na nimeyapenda ahh tena nimeyapenda sana.sawa. moment_3_vegetative_20240417_da3d3f8a-9fe6-418c-87fd-a9f164b6744c_1713851073245.wav,Nini unapenda uusu aina B?.ainaB nilichookipenda zaidi niii sasaivi nikiangalia kwenye utoaji amauwa umetoa mauwa kwawingi yani umetoa sana mauwa kwaiyo unaonekana uu atauzaaji wake utakua awa hatali.eeeee.nimeupendana haunaa yani hamna changng nisemetu ani nimeupenda.sawa. moment_3_vegetative_20240417_da3d3f8a-9fe6-418c-87fd-a9f164b6744c_1713851129998.wav,Mm nini usichopenda kuusu aina B.aina Biii aaaah nikisema hakuna nilichi nisichokipenda ntakuwa muongo mna kwasababuuu yeni kekaa mbona yamekaatu vizuli tu seme kwahuku alizi yangu hii hapa yamekubali kilaa aina yananilii ya mbegu mliyoleta kwaaiyo vizulis hamna changamoto yoyote.sawa.mmmh. moment_3_vegetative_20240417_da3d3f8a-9fe6-418c-87fd-a9f164b6744c_1713851177461.wav,Rekodi niniunapenda kuhusu aina C.aina C kiukweli nimeipenda nimeipenda kwasababuu yamekaa vizuli yamekaa vizuli sana nayo yameka vizuli kwasababu yauku yan nisemetu changamoto alizi yahuku kila aina yenu ya mbegu naona imekaa vizuli na imestawi naimeeh ota vizuli nayanaendele kutoa maua vizuli kwasasaivi. sawa. moment_3_vegetative_20240417_da3d3f8a-9fe6-418c-87fd-a9f164b6744c_1713851214342.wav,Ni nini usichopenda kuusu aina C.aii mmh aina C nisichokipenda labda kunabaazi tu yamashinaaa ambayo hayajatoka vizuli lakini ukisemaaa kuusu abali labda ya ya yai ya nya kuungua ungua hiyo haipoo kwao inaonekana niii yamekaa vizulii na hamna changamoto zaidi yahapo tuu mashina hayo kuotaa basi.awaa. moment_3_vegetative_20240417_da59fc00-a9b0-4eac-bc81-952428e94787_1713961658196.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.ni ustawi mzuri wa ma nanii wa aina hio ya mbegu. moment_3_vegetative_20240417_da59fc00-a9b0-4eac-bc81-952428e94787_1713961720723.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.Kwenye mbegu hii ambacho nisichokipenda ni kwamba uzazi wake mdogo. moment_3_vegetative_20240417_da59fc00-a9b0-4eac-bc81-952428e94787_1713961751147.wav,Angalia aina B na eleza chochote ambacho unakipenda kuhusu hiyo.uzazi wake mzuri. moment_3_vegetative_20240417_da59fc00-a9b0-4eac-bc81-952428e94787_1713961788022.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.hakuna. moment_3_vegetative_20240417_da59fc00-a9b0-4eac-bc81-952428e94787_1713961975646.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.mi naona yote ni sahihi sahihi tu. moment_3_vegetative_20240417_da59fc00-a9b0-4eac-bc81-952428e94787_1713962017259.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.Hakuna nisichokipenda. moment_3_vegetative_20240417_de6319d2-795e-41cc-ad26-359a21713230_1714462377639.wav,nini unapenda kuhusu aina A. aina A hamna ninacho kipenda pale. sawa sawa. moment_3_vegetative_20240417_de6319d2-795e-41cc-ad26-359a21713230_1714462439721.wav,nini usicho kipenda kuhusu aina A. aina A nisicho kipenda palee nii uotwaji wake ulikuwaaaa mbayaa na baada ya kuota ilivyo toa jani la pili kufika jani la tatu ilikuwa ikishambuliwa sana na wadudu kwa ndio ambacho sikipendi kwenye aina A. unaweza kunieleza zaidi kitu ambacho ukipendi kwenye aina A.aaaa kilichooo nifanya nisi kipende kabisa ni ile uotaji wake ikuwa afifu. je una maelezo mengine usicho kipenda kuhusu aina Aaaa maelezo mengine kwa kweliii sina ni hayo tu niliyo yaeleza moment_3_vegetative_20240417_de6319d2-795e-41cc-ad26-359a21713230_1714462536734.wav,nini unapenda kuhusu aina B. aina B nilicho kipenda iliota yotee kwa wakati mmoja ndio nilicho kipenda alafuuu cha pili nilichokipenda pia aija chanua haraka saana nikimaanisha kama hali ya hewa ikiwa kuna mvua za kusubili yenyewe itakuwa ina vumilia ndio nilicho kipenda katika aina B. kuna chochote unakipenda zaidi kwenye aina B. aa nilicho kipenda zaidii hata kushambuliwa na wadudu yenyewe ilikuwa imevumilia hali ya ustaimilivu katika kushambuliwa na wadudu kwa hiyo icho kime nipendeza aija shambuliwa sana.je una maelezo mengine kuhusu unacho kipenda kwenye aina B. aaa kwenye aina B sitakuwa na maelezo menginee zaidi ya haya niliyo yaeleza kwenye uotaji wake ilipendeza imeota yotee aaa hakuna ambacho nime bakiza kule kwenye aina B. sawa nashukuru. moment_3_vegetative_20240417_de6319d2-795e-41cc-ad26-359a21713230_1714462558381.wav,nini usicho kipenda kwenye aina B. kwenye aina B hakuna nisicho kipenda hata kimoja mna. moment_3_vegetative_20240417_de6319d2-795e-41cc-ad26-359a21713230_1714462683100.wav,nini unapenda kuusu aina C.aina C nimependa uotaji wakee imeota kwa asilimia mia moja naa nilicho kipenda zaidi ata kwenyee ata wakati napalilia yenyewe nilivyo angaliaa hukuu kwenye shinaa halija shambuliwa naa na wale funza wa chini kwa hiyo nata navyo palilia asilimia kubwa hamna maharage yanayo anguka alafu nilicho kipenda zaidi ilichanua yote kwa wakati mmoja naa zaidi ya hapo tena nimeona ni ya mda mfupi kuliko aina nyingine kwa sababu ikiwa kama hali ya hewa inakua ya mvua kidogo yenyewe nayo inastaimili kwa ilee unyevu ulioko hicho ndicho nilicho kipenda ilichanua kwa siku moja na inaweza ikatoaa watoto wa mara moja. kuna kingine unacho penda kuusu aina C. aaa aina C pili apia majani yake ni maa majani yake ni mapana yani eneo nililolipanda limefunika vizuli kwa majani yake pia ni mazuli na hayaja shambuliwa na wadudu kabisaa ndio nilicho kipenda zaidi. moment_3_vegetative_20240417_de6319d2-795e-41cc-ad26-359a21713230_1714462697179.wav,nini usicho penda kwenye aina C. akuna. moment_3_vegetative_20240417_eb5cbc43-a6d7-445c-91d4-fc263fd124fe_1714555155084.wav,Nini umependa kuhusiana na aina A hii hapa?A hii nimependa umekua vizuri.Mmmh.Afu umestawi vizuri.Kingine ambacho umekipenda?Yani unakua kwa hali yani ni nzuri hali yake ni nzuri.Ndio.Mmmh.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_eb5cbc43-a6d7-445c-91d4-fc263fd124fe_1714555168338.wav,Nini ujakipenda kwenye aina hii A?Yani hapa nimeve nimependa. Hakuna ambacho umekichukia?Eee.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_eb5cbc43-a6d7-445c-91d4-fc263fd124fe_1714555193402.wav,Nini umependa kuhusu na aina B?Aina B nimeipenda lakini hii hapa kuna mvua ime imeshambulia kidogo ilikua nyingi sana.Mmmh.Mmmh.Ndio lakini ulichokipenda umependa nini?Nimependa tu hata majani yake yanasitawi vizuri.Ndio. moment_3_vegetative_20240417_eb5cbc43-a6d7-445c-91d4-fc263fd124fe_1714555212295.wav,Nini ujakipenda hapa?Hapa nimependa kila kitu. Kipenda si ulisema kidogo huko kwanini hayajakua hivyo?Mvua yani.Aaah sawa. moment_3_vegetative_20240417_eb5cbc43-a6d7-445c-91d4-fc263fd124fe_1714555235885.wav,Nini unapenda kuusu aina C?Aina C. Mmmh.Aina C nayo nimeipenda.Ndio.Ila mvua imeshambulia kidogo upandee wa juu kidogo.Ndio.Eee lakini mi naipenda.Sawa. moment_3_vegetative_20240417_eb5cbc43-a6d7-445c-91d4-fc263fd124fe_1714555249756.wav,Nini ambacho ujapenda kwenye aina C?Yani nai naipenda.Sawa.Eee.Hakuna ambacho hakuna amba?Napenda kila kitu.Unapenda kila kituu?Eee.Haya asante. moment_3_vegetative_20240417_f424bb6d-3054-4987-9929-1b90e5d526fd_1714041339042.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Sina ninachokipenda . moment_3_vegetative_20240417_f424bb6d-3054-4987-9929-1b90e5d526fd_1714041595908.wav,"Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo .Haivumilii ukame,hafu inatobolewa sana na wadudu, haitoi sana maua ." moment_3_vegetative_20240417_f424bb6d-3054-4987-9929-1b90e5d526fd_1714041692932.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.ai B ndo naipenda imebeba vizuri watoto na ina maua vizuri na ina vumilia ukame. moment_3_vegetative_20240417_f424bb6d-3054-4987-9929-1b90e5d526fd_1714041774000.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.Hakuna .kipenda chote navipenda . moment_3_vegetative_20240417_f424bb6d-3054-4987-9929-1b90e5d526fd_1714041872587.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.C naipenda inatoa majani machache lakini maua yako vizuri kwa hio C ndio naipenda. moment_3_vegetative_20240417_f424bb6d-3054-4987-9929-1b90e5d526fd_1714041963112.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.C na C nayo ndio hivyo inanyauka haivumilii ukame inanyauka sana. moment_3_vegetative_20240417_f6a2c281-f75f-4d6d-86a5-2fca94df6d86_1713694549328.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.aina A nimeipenda kwa sababu imetoa maua mengi yanaorizisha na tena natumaina inawahi kukomaa .aah kitu gani labda umekipenda kutoka kwenye aina hii ukiachilia maua labda hivyo kuwahi kama unavyodhani .mi nazani hata mi nadhani hata baada imewahi kutoa maua mengi na inawahi kukomaa haraka. haya asante. moment_3_vegetative_20240417_f6a2c281-f75f-4d6d-86a5-2fca94df6d86_1713695011121.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu aina hiyo.aina A sijaipenda kwa sababu mimea yake hai haijapendeza ukilinganisha na aina nyingine ambazo naziona zimestawi zaidi .aah asante. moment_3_vegetative_20240417_f6a2c281-f75f-4d6d-86a5-2fca94df6d86_1713695165666.wav,Angalia aina B na eleza chochote ambacho unachokiona kina unakipenda kuhusu aina hiyo.aina B nimeipenda kwa sababu mimea yake imestawi na ina nguvu .asante. moment_3_vegetative_20240417_f6a2c281-f75f-4d6d-86a5-2fca94df6d86_1713695240825.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hio.Aina B sijaipenda kwa sababu inachelewa kii kutoa maua kwa wingi.aya asante. moment_3_vegetative_20240417_f6a2c281-f75f-4d6d-86a5-2fca94df6d86_1713695318622.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo.aina C ninaipenda kwa sababu mimea yake ina nguvu na inastawi zaidi.aya. moment_3_vegetative_20240417_f6a2c281-f75f-4d6d-86a5-2fca94df6d86_1713695361493.wav,Angalia aina C na eleza unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hio.aina C sijaipenda kwa sababu inachelewa kutoa maua . moment_3_vegetative_265785b2-7a81-4ab4-9bb8-3243456c548b_1713505701232.wav,"ongea chochote kulingana na jinsi unavyoona haya maharage au chochote unachopenda kwenye haya maharage.nayapenda yabumbuliwi nanii na wadudu.ndio.pia kwenye kuzaa yanazaa vizuri.sawa.ee.kingine labda cha kuongezea ukiacha kubumbuliwa na kuzaa vizuri, kipi ambacho.nayapenda pia yanaota vizuri.sawa.ee.kingine ukiacha kuota,kumbuliwa na kuzaa vizuri kingine labda cha kuongezea tena kulingana ongea tu chochote kile jinsi ubora nini unapenda kwenye haya maharage.hamna lingine." moment_3_vegetative_265785b2-7a81-4ab4-9bb8-3243456c548b_1713505711193.wav,kwenye aina hii ya maharage haya hamna nayapenda.unayapenda. moment_3_vegetative_265785b2-7a81-4ab4-9bb8-3243456c548b_1713505788782.wav,"aya ni nini unachopenda kulingana na aina hii ya maharage. napenda pia rangi yake nzuri.mmh.ina mistari mistari.ndio.kwenye kula pia ladha yake nzuri.sawa.nayapenda pia inatoa maua vizuri. kingine labda ukiacha maua radha na kingine kingine kipi ambacho.pia kuota yanaota vizuri.aa ok.huwa nayapenda yana ubora zaidi.yana ubora zaidi, kingine labda ukiacha ubora , kuota nini kingine ambacho unakipenda jinsi unavyoyatazama kwa uzoefu wako labda hata kama hujayaona hapa labda kuna sehemu nyingine uliyaona au uliyasikia.ni kuyaona tu hata hivi kwa muonekano ni mazuri.sawa." moment_3_vegetative_265785b2-7a81-4ab4-9bb8-3243456c548b_1713505805960.wav,"labda kwenye aina hii ya maharage kipi ambacho hukipendi kwenye aina hii ya maharage ?.zisipendi kwasababu zina kamba yanakamba. yanatoa hizo kamba , kamba ndio inasababisha isiyapende.ee.yanatoa hizo kamba.ee.kamba inayasababisha isiyapende ikiachilia mbali kuna kingine chochote cha kuongezea.hamna.hakuna." moment_3_vegetative_265785b2-7a81-4ab4-9bb8-3243456c548b_1713505855441.wav,"mmh nini unapenda kwenye aina hii ya maharage .njano naipenda kwasababu.inalaza nzuri kwenye kula.ndio.pia kwenye mauzo ina bei nzuri.ndio.kuota kwake pia nzuri.inaota vizuri.muonekano pia.ndio.ni mzuri.unayapenda tu hayo maharage.ee.kwahiyo umezungumzia kuota, ladha kingine labda cha kuongezea .yani hapo nasema kwa ujumla yani.mmh.ninayependa.unayapenda tu maharage.ee." moment_3_vegetative_265785b2-7a81-4ab4-9bb8-3243456c548b_1713505866587.wav,ni kitu gani ambacho hukipendi kwenye aina hii maharage. ni kipi ambacho hukipendi kwenye aina hii maharage haya hapa.kusema kweli nayapenda.unayapenda.mmh. moment_3_vegetative_2d9e0b31-ad30-4807-9211-598a2a09f9ba_1713943073790.wav,ndio ndugu mkulima sasa tupo kwenye aina A ya mbegu zetusawa.unatakiwa unagalie chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hio A karibu.aina A ya mbegu hii nimeiona ipo vizurindio. haina matatizo imestawi vizuri na imenawiri kwa wakati.sawa.haina shida hii mbegu inaonekana inauhitaji tutaihitaji kwa mara nyinginesawa.kwa ajili ya jaribio lakini haitokua jaribio inakua sasa ni mbegu elekezi kabisasawa.sababu imenawiri kwa muda wakee ndio.na haina changamotoo changamoto ni ndogo sana lakinii kutokana na nyingine hii imetia fora hiisawa.ndio bwana. moment_3_vegetative_2d9e0b31-ad30-4807-9211-598a2a09f9ba_1713943119929.wav,"sawa, sasa angalia aina A pia hio hio na ueleze chochote ambacho unakiona,mmh. ambacho hupendi kuhusu aina hio A. Labda kuna kitu chochote ambacho hukipendi kwenye aina hio?aah aina A ya mbegu hii nimeona ni nzuri zaidindio. na ambacho kitu ambacho sikipendi ni changamoto ndogo sana lakini ni kawaida kwa kila zao,sawa.kwamba changamoto hizo lazima ziwepo lakini iki ikiwa toomuch inakua ni matatizo, sawa.lakinii tatizo dogo sana la kukauka kwa majani, ndio.lakini lile ni tatizo dogo sana lakini haliwezi likasababisha tusiendelee na mbegu yetu hii.sawa.ni dogo sana.sawa." moment_3_vegetative_2d9e0b31-ad30-4807-9211-598a2a09f9ba_1713943159521.wav,"sawa, sasa ndugu mkulima tuko kwenye aina ya BNdio ya mbegu zetu tuko kwenye kitalu B apa sawa.angalia aina hio B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hio.aah kwa aina B ya mbegu yetu hii ni nzuri.ndio.naa nimevutiwa sana kwakua inatoa kamba ndefundio. na kamba hizi huwa zinatoa mauwa na maharage yanazaa mpaka kwenye urefu wa kamba zake.sawa.mmh." moment_3_vegetative_2d9e0b31-ad30-4807-9211-598a2a09f9ba_1713943227185.wav,sawa sasa ikiwa tuu tu tupo hapa hapa kwenye aina Bsawayaa mbegu zetu hiziindio.eeh angalia hio aina B kwa makini na ueleze kile ambacho unakiona sawa.usichokipenda kuhusu aina hio.ah niweze kuzungumza changamoto ya aina B. ndio.kwamba mbegu hii ina changamoto moja ni nzuri lakini changamoto yake ni kwambaa kwanza kwenye uotaji ndionimeona kuna changamotoo haijaota inavyotakiwandio.kamaa ile tuliotoka pale ya ana AAina A eeh na Changamoto nyingine naona hii mbegu inaonekanaa ina ina asili ya kukaukasawa.majani yake huwa yanakaukandio.ko inaonekana ni moja ya changamoto inayoikumba mbegu hiisawalakinii ee haina shidaa changamoto nyinginee moment_3_vegetative_2d9e0b31-ad30-4807-9211-598a2a09f9ba_1713943277505.wav,sawa sasa ndugu mkulima hapa tupo kwenye kitalu C au aina C ya mbegu zetu ndioeeeh angalia hio aina C na ueleze chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo.aina C nimeipenda kwakua ni mbegu nayoinayoota vizurindio.na inastawi vizuri ikiwa kwenye eneo lenye mbolea nzuri ndio.eeh ni nzuri tu haina shida lakini changamoto zipoonaam.nadhani tutazidi kuzielezea kadiri utakavouliza maswali .sawa.lakini kwa kuonekana ni mbegu nzuri ikipandwa kwenye eneo zurii itatoa maendeleo mazuri kwa mkulima.asante. moment_3_vegetative_2d9e0b31-ad30-4807-9211-598a2a09f9ba_1713943325978.wav,"sawa, sasa angalia hio aina C na ueleze chochote unachokiona ambacho hujakipenda kuhusu aina hio C.Aah ambacho sijakipenda, tuseme tuingie kwenye changamoto zake, mbegu hii pia ina asili fulani ya kukauka,ndio.na ina asili fulan iya kutoa rangi ambayo sio sahihi kwa kwa mazao, sawa.kwamba inatoka kwenye hali ya green na inakuja kwenye yellow kwahio inakua tayari ni changamoto kwenye mbegu hii ya aina C.sawa.eeh na apoapo tena kwenye uotaji nako kunakua ni changamoto ata ikiwa kuna mvua na mageografia ni nzuri kwenye uotaji ina changamoto tena haioti inavotakiwa.sawaeeh.sante sana." moment_3_vegetative_40ce6c7d-43ed-46ec-a01e-af84b472c08e_1712647090366.wav,"angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?kiukweli haya maharage ya aina A yapo vizuri sana, yanaota vizuri na yanatoa maua vizuri na majani pia yapo vizuri uki ukiwa unasema kuhusu majani kwamba yapo vizuri, unakuwa unamanisha nini au unaweza ukanipa maelezo zaidi ukiwa unasema majani yapo vizuri.ahaa, ninasema majani yapo vizuri kwasababu, kwanza ilivyoota majani yake yalikua ni makubwa na yalikua yanapendeza sana pia unaweza ukaelezea labda kitu kingine, ukiwa unaangalia hivi unachokiona ambacho umekipenda kuhusu aina hii aaa haya maharage ni maharage aina ya Jesca, haya maharage changamoto zake hakuna sawa sawa nashukuru sana" moment_3_vegetative_40ce6c7d-43ed-46ec-a01e-af84b472c08e_1712647246051.wav,"angalia aina A na elezea chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?kitu nisicho kipenda kwa haya maharage ni haya maua maua yanapatwa na mnyauko ukiwa una, ukiwa unasema kwamba kuhusu mnyauko unamaanisha yani unielezee ki kwa kwa undani kidogo kwamba unavyoelezea kwamba kuhusu mnyauko wa mauwa ninamsemea mnyauko kwasababu ninaona maharage yamesha chanua lakini bado hayachavuki vuzuri, ninaona kama vile kile kitu ambacho imefanya maharage ya yachanue kuna hile jani lakwanza kabisa limekuwa nyeusi nii maake ma maja majani yakiwa meusi ina inasababisha tatizo kama hilo au labda kuna kuna kitu kingine ambacho pia kinasababisha kitu kama icho nikiangalia kwa kwa jinsi ma maua yale ya yalivyo ninahisi hata utoaji wa yani uzaaji utakuwa mdogo sawa sawa nashukuru" moment_3_vegetative_40ce6c7d-43ed-46ec-a01e-af84b472c08e_1712647400502.wav,"angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?maharage ainaa B yameota vizuri mistari imeonekana, kiufupi haya maharage yako vizuri.pia unaweza ukaelezea kingine ambacho unakiona kuhusu aina hii B ambacho unakipenda.ndiyo, haya maharage nayapenda kwasababu yanaota sijaona cha ngamoto zake kwenye huotaj.ukifanya ulinganisho na na aina zingine za za zavitalu, kwenye hichi kitalu hii aina B au kitalu B hichi,ukilinganisha na aina zingine., kipi ambacho unakiona labda kipo zaidi labda kwa aina zingine. aaa kwa aina zingine inamaana hii maharage aina ya B inashinda wenzake, maana yakwanza ilikua ni jesca, yapili ni ile yenye mistari, lakini naona hii hata majani yake yako vizuri alafu majani yake niyakijani kabisa kibichi. sawa sawa nashukuru." moment_3_vegetative_40ce6c7d-43ed-46ec-a01e-af84b472c08e_1712647519112.wav,"angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hukupendi kuhusu hiyo?kwenye haya maharage nisichokipenda kabisa yanachelewa kutoa maua haya marage nimepanda siku ya tarehe tano lakini jesca yametoa maua yenyewe ndo inaanza leo ambayo leo ni tarehe 9 ambayo itakuwa na mwezi na siku kama tano hivi sasa inautofauti kidogo. pia unaweza ukaelezea kitu kingine ambacho unakiona kwenye hii aina B ambacho hukipendi?ndiyo kitu kabisa nisicho kipenda tena ni, ilipita siku moja usiku kunamvua kuna ng'ombe wa jirani walitoka wakala wakawa wamekula majani kidogo, lakini maharage bado yapo hayajaharibika sana.sawa sawa nashukuru." moment_3_vegetative_40ce6c7d-43ed-46ec-a01e-af84b472c08e_1712647634447.wav,"angalia aina C na elezea chochote unacho kiona ambacho unakipenda kuhusu aina hiyo?mmm kiujumla maharage hii ni iko vizuri, ninaona hata haishambuliwi sana na wadudu, majani yake yanajaa sana.ukiwa unasema kwamba majani yanajaa, unamaanisha kwamba yani unaweza ukaelezea zaidi kuhusu unavyosema majani yanajaa sana?ndiyo maana yake majani yake yanatofautiana na maharage mengine ambayo nimeyapanda katika hivi vitalu, ninaona kama vile shina lake moja linazaidi ya majani mengi.pia unaweza ukaelezea kitu kingine ambacho unakiona kwenye hii aina hii C ambacho unakipenda? mmmh kwenye majani C, kwenye kitalu hiki cha cha C mimi ningee, kitu ninachokipenda labda hii mbegu iboreshwe zaidi.sawa sawa." moment_3_vegetative_40ce6c7d-43ed-46ec-a01e-af84b472c08e_1712647772125.wav,"angalia aina C na elezea chochote unachokiona na hupendi kuhusu hiyo?haya maharage ya C naona kama vile yanachangamoto, kitu nisicho kipenda majani yake ya chini yanakua ya njano.pia kuna kitu kingine ambacho unakiona kuhusu hii aina C ambacho hukupendi? ndio kitu nisicho kipenda ni kama vile inalemewa na magonjwa.unaweza kuyaelezea magonjwa aina, aaa ambayo unasema labda yanaelemewa na hichi kitalu C kwama yanaelemewa na na magomja kwamba unaweza kuelezea magonjwa yanayoelemea hichi kitalu C? ninalingamisha na vitalu vyote ambavyo nime viko hapa naona tofauti ya majani, majani yake kwa asilimia kubwa yana ile njano sasa sijajua ni ugonjwa gani, lakini ni ugonjwa. sawa sawa nashukuru." moment_3_vegetative_4a63ea37-b107-47df-adcf-cafbef11a7ca_1713432970719.wav,nini usichopenda kuhusu aina A?.aina A nisichokipenda ni kwamba sasahivi naona kama yananyauka mmea mmoja mmoja ndicho hicho tu.aya asante. moment_3_vegetative_4a63ea37-b107-47df-adcf-cafbef11a7ca_1713433034480.wav,ebu ongea chochote unacho unacho ambacho hukupendi kulingana na haya maharage chochote tu kile.aa mimi naona kwamba hakuna tatizo.ndio.mambo yangu ni mazuri tu kama nilivyozungumza awali changamoto ni wadudu.ok.ndio changamoto zake .ambazo kidogo ikingiliwa na majani inakosa kama speed kidogo nguvu. sawa.kwahiyo lakini.hakuna shida.changamoto kubwa sana.ok labda kwa upande mwingine ukiyafikiria labda upande ukiachilia kitu gani ambacho kinawesababisha labda usiyapende pengine ukiachilia mbali maswala ya kubumbuliwa au na vitu vingine ni kipi kingine ambacho labda.aa mimi niseme kwamba labda.kwa sisi wakulima huenda labda kipindi mda wa kukosa soko.ee ndio. ee lakini kama soko linakuweepo nzuri basi hayana shida kama tunavyozungumza ni mazuri.ok mmh. moment_3_vegetative_4a63ea37-b107-47df-adcf-cafbef11a7ca_1713433546053.wav,"ebu ongea chochote kulingana aina hii ya kitalu B.aa kitalu hiki.aa kwa kweli kipindi yanaota hapa.yalikuwa mazuri sana.yaliota kwa nguvu sana, yalikuwa ni mazuri.lakini ndio pale sasa ikakuta changamoto ndio ikaja kuharibulabda kipi kinakupendeza kulingana na maharage ukiachilia mbali kuchafuliwa na mifugo hata kama kuna machache yamebaki kipi ambacho unakipenda kwenye maharage haya aahuwa sisi tuangalia utendaji wa mmea huwa tuangalia nguvu kipindi cha kuota huwa ilikuwa inaota kwa nguvu sana kwahiyo tayari unakuta na rangi yake.kwahiyo unaridhika ni.ni maharage mazuri sana.kingine cha ziada ukiacha uotaji kipi kingine cha ziada cha kuongezea chochote kile ambacho aa mimi niseme tu kwamba cha ziada hakuna." moment_3_vegetative_4a63ea37-b107-47df-adcf-cafbef11a7ca_1713433580724.wav,ambacho hukipendi kulina na maharage haya jinsi unavyoyataza .ee sawa haya maharage mimi niseme kwa kifupi nayapenda ee jinsi yalivyo ee. moment_3_vegetative_4a63ea37-b107-47df-adcf-cafbef11a7ca_1713433665568.wav,aya ongea chochote ambacho kinakupendeza kulingana na maharage haya.aa maharage haya mimi sio kwamba kama tulipozungumza kuachana mbali na mengineyo.mmh.yote yame yamenda vizuri.mmh.yamenda vizuri .mmhkulikuwa naukiachilia mbali kukua kuna kingine cha ziada labda cha kuzungumzia pengine.aa yani cha ziada hapo.yani cha ziada hapo.hakuna zaidikwasababu na mimi nakumbuka hizi mbegu kama hazikuathiriwa mpaka sasahivi.ee.ngalia hataubora unapishana vipi.hakuna shida ee. moment_3_vegetative_4a63ea37-b107-47df-adcf-cafbef11a7ca_1713433700630.wav,usiepende au hupendi kulingana na maharage jinsi unavyoyatazama hata kama kuna machache ambayo yamebaki. aa changamoto yake haya ni kwamba.uyapande kwenye wakati.mmh.ukipanda nje ya wakati.changamoto yake ni wadudu kuathiri.ndio ndio.mwisho wa siku hata uzazi unakuwa.wa shida.wa shida ee.ee na ukiachilia mbali wadudu kuathiri na kutokana na kupandwa nje ya wakati labda una chochote cha kuzungumzia ambacho inakufanya pengine maharage haya usiyapende. aa kwa kweli hapana. moment_3_vegetative_50518876-fff6-4dc8-bb54-41fb97ab3b52_1712827506566.wav,"nini unapenda kuhusu A?kuhusu A majani ya group A nilikua napenda kwamba uwotaji wake ingawa sio mzuri, lakini majani yake ni mazuri lakini vile vile yana mapato, lakini vile vile hayana gas wakati wa ulaji, na yanapikwa kwa muda mfupi sana.pia unaweza ukaangalia kingine unachokipenda kuhusu aina A?aina A ambacho, kitu ambacho nimekipenda soko lake wakati wa uivaji ni rahisi sana kupatikana na yana bei kwa ujumla.sawa sawa nashukuru." moment_3_vegetative_50518876-fff6-4dc8-bb54-41fb97ab3b52_1712827549583.wav,"husicho, nini husichokipenda kuhusu aina A? kwa aina A ambacho sikipendi sana ni swala la majani yake kushambuliwa sana na wadudu kwa urahisi lakini vile vile ni kwamba majani yake vile vile hayana sura nzuri yanaonekana kuwa manjano kidogo, lakini jambo nyingine ambalo sikufurahishwa sana ni swala na uotaji wake haukua makini sana imekuwa changamoto ni maharage ambayo ya yawezakuwa hayawezi kupambana na tabia ya nchi yaani uhaba wa mvua.sawa sawa nashukuru." moment_3_vegetative_50518876-fff6-4dc8-bb54-41fb97ab3b52_1712827604588.wav,"nini unapenda kuhusu aina B?ahaa kwenye ss kwenye kitalu namba B ambao ni kwamba swala ninalo lipenda ni uotaji wake ingawa haukuwa mzuri, lakini majani ni mazuri, lakini vile vile soko lake linapatikana kwa urahisi endapo kama yatavunwa kwa wingi soko lake lipo na jambo lengine huwa yanamapato sio mabaya, jambo ambalo limenifurahisha kwenye sehemu ya group B ndo hivyo.ukisemea kuhusu majaniyake yanaonekana vizuri unamaanisha kwamba?aah majani yake kuwa mazuri namaanisha kwamba majani yake ni ya green ni mazuri, yame meremeta yanafurahisha sana,sawa sawa nashukuru." moment_3_vegetative_50518876-fff6-4dc8-bb54-41fb97ab3b52_1712827651110.wav,"nini husichopenda kuhusu aina B?jambo ambalo sijafurahishwa sana ni swala la uhotaji kidogo haikuwa ma mazuri, sijajua ni changamoto ya ardhi, sijajua ni hali ya tabia ya nchi, ndo jambo ambalo alikunifurahisha sana, lakini jambo lingine ni majani yake kushambuliwa kidogo na wadudu jambo ambalo sijafurahishwa sana kwenye maharage haya ambayo ni ya group B. pia kuna kingine ambacho unakiona kuhusu aina B ambacho ukipendi?aah kwakweli jambo lingine ambalo sijafurahishwa sana ni swala hilo tu la uotaji kutokuwa mbaya lakini, kwa upande mwengine aaa sina shaka sanaa.sawa sawa nashukuru." moment_3_vegetative_50518876-fff6-4dc8-bb54-41fb97ab3b52_1712827802023.wav,"nini unapenda kuhusu aina C?kwenye aina C jambo nililopenda ni kwamba uotaji wake ni mzuri, lakini jambo la pili ni kwamba majana yake ni ya green ni mazuri, jambo latatu ni kwamba swala la soko ni la uhakika, jambo la nne kwenye maharage hata ya kitalu C ni kwamba wakati unapopika yanaiva kwa muda mfupi, lakini jambio la tano ni kwamba hayuana gas tumboni wakati wa ulaji sawa sawa pia kuna unaweza ukaangalia kingine ambachokiupenda kuhusu aina Cee kwenye aina C ni kwamba kwasasa maua yake aya yameota vizuri yanameremeta kweli, nijambo ambalo limenifurahisha tofauti na kutalu A na Bsawa sawa nashukuru" moment_3_vegetative_50518876-fff6-4dc8-bb54-41fb97ab3b52_1712827859604.wav,"nini husichopenda kuhusu aina C?jambo ambalo silipendi sana kwenye majani haya ya aina C ni swala la majani yake kidogo kuwa madogo hayafanani na ile ya kitalu B na A jambo ambalo sijafurahishwa lakini vile vile kutobolewa sehemu za majani yake aaa jambo ili pia haliku nifurahisha unaweza kuangalia zaidi, uka ukasema kwamba ukasema chochote ambacho hukipendi kuhusu aina C? jambo lingine ambalo sijafurahisghwa pia ni swala hili la nimezungumzia mdudu na na wembamba wa shina tofauti na hizi za kitalu A na Bsawa sawa nashukuru sana" moment_3_vegetative_50c1da8c-4dc9-44df-a1e8-d6106485bb37_1712813178475.wav,nini unapenda kuhusu aina A?kuhusu aina A yanarefuka kwenda juu hayana vikonyo. moment_3_vegetative_50c1da8c-4dc9-44df-a1e8-d6106485bb37_1712813210153.wav,nini usichopenda kuhusu aina A?kweli hamna kwa sababu yo yote kwa kwa ujumla ni mazuri lakiniii kuhusu maua naona kama maua yake yatakuwa kidogo kulikooo mengine.sante sana. moment_3_vegetative_50c1da8c-4dc9-44df-a1e8-d6106485bb37_1712813230870.wav,nini unachokipenda kuhusu aina B?kuhusu aina B kwa hapa kwa leo ninaona ina maua mengi kulikooo aina zingine uku. moment_3_vegetative_50c1da8c-4dc9-44df-a1e8-d6106485bb37_1712813258043.wav,nini usichokipenda kuhusu aina B?kweli aina B mi nimeipenda haina vikonyo ina maua ya kutosha kwa sasahivikwahiyo hakuna khabia yoyote ile ya aina B ambayo wewe hujaipendaaina B kweli nimeipenda ina sifa za sote ninazozitaka. moment_3_vegetative_50c1da8c-4dc9-44df-a1e8-d6106485bb37_1712813291262.wav,nini unapenda kuhusu aina C?kuhusu aina C ni nzuri sawa lakini sijaipenda kwa sababu ina vikonyo vii aani ina inaaaa kamba hizi zinzpanda sana. moment_3_vegetative_50c1da8c-4dc9-44df-a1e8-d6106485bb37_1712813354171.wav,nini usichopenda kuhusu ainaC?kuhusu aina C ni hizi kamba tu zinazopanda na ukiangalia huku kama usawa wake hautafanana na B kwa maua yaliyoko nayo kwa sasa. moment_3_vegetative_5d76a11c-0cc8-4c60-9677-3b551b54fe17_1714111838828.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?Aina A naipenda kwa sababu imeota vizuri ila kuna mingine imekataa kuota naipenda sana hii mbegu kwa kwaustawi wake lakini kuna wadudu wanatoboatoboa.Labda unaweza kueleza sababu inayosababisha wadudu kutoboa?Sababu ninayo lazima mtupelekee dawa ili tupige. moment_3_vegetative_5d76a11c-0cc8-4c60-9677-3b551b54fe17_1714112003836.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina A?Hakuna nisichokipenda. moment_3_vegetative_5d76a11c-0cc8-4c60-9677-3b551b54fe17_1714112234289.wav,Nini unapenda kuhusu aina B?Aina B naipenda sana kwa sababu imemea vizuri. moment_3_vegetative_5d76a11c-0cc8-4c60-9677-3b551b54fe17_1714112268647.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B?Kwa sababu yametobolewa sana.Ndo sababu uyapendi?Aaa nayapenda ila yametobolewa.Sababu nyingine ambayo unaichukia kwenye haya maharage?Hakuna sababu nayoichukia. moment_3_vegetative_5d76a11c-0cc8-4c60-9677-3b551b54fe17_1714112458604.wav,Unapenda nini kuhusu aina C?Aina C naipenda sana kwa sababu inastawi vizuri.Sababu nyingine?Sababu nyingine sina sababu. moment_3_vegetative_5d76a11c-0cc8-4c60-9677-3b551b54fe17_1714112476155.wav,nini usichokipenda kuhusu aina C?.hakuna nsichokipenda. moment_3_vegetative_63c86006-d26e-4393-8c29-b0a3bfdeb3d8_1718029495654.wav,Ukiangalia ile aina A kitu gani ambacho unakipenda?.A kwanza ile nlichokipenda kwanza mbegu yake ni nzuri yani kwa uotaji wake imeota vizuri alafu pia ina uzao wa haraka haraka ni tofauti na hizi nyingine moment_3_vegetative_63c86006-d26e-4393-8c29-b0a3bfdeb3d8_1718029511629.wav,"Chokipenda kwenye ile A.Yani kitu nsichokipenda inashambuliwa na marazi kwa haraka, ni tofauti na mbegu nyingine" moment_3_vegetative_63c86006-d26e-4393-8c29-b0a3bfdeb3d8_1718029541965.wav,uliopenda katika mbegu B.B ubora wa hii mbegu.Mmh.Kwanza ina majani mengi.Mmh.Alafu pia naona kwamba ina panda juu au alafu pia haina kamba alafu pia kwenye uotaji wake inaota vizuri moment_3_vegetative_63c86006-d26e-4393-8c29-b0a3bfdeb3d8_1718029559665.wav,Nischopenda?.Uschopenda kwenye B.Kwenye BMmhUlaji . ulaji wake mimi ile rangi kwenye kula mimi. moment_3_vegetative_63c86006-d26e-4393-8c29-b0a3bfdeb3d8_1718029585741.wav,"Unachopenda kwenye mbegu C.Nachopenda kwenye mbegu C, kwanza haishambuliwi na mara kwa uotaji wake umeota vizuri haina majani yale mengi saanaaa na inavutia pia, alafu. ina uzao mzuri haina haishambuliwi na marazi ni tofauti na mbegu nyingine" moment_3_vegetative_63c86006-d26e-4393-8c29-b0a3bfdeb3d8_1718029597526.wav,Usichokipenda kwenye mbegu C?.Mmh ulaji . ni ulaji. moment_3_vegetative_79840aea-6d8b-4be1-b44d-cdfd933a4209_1713933227904.wav,"ndio, ndugu mkulima angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hio.aah hii naona mbegu imeota vizuri ndio.imekaa vizuri sasa hivi imeanza kutoa mauwandio. ila changamoto kidogo kuna aina ya ugonjwa ugonjwa kidogo, eeh.lakini ni nzuri sana.sawa.eeh." moment_3_vegetative_79840aea-6d8b-4be1-b44d-cdfd933a4209_1713933331587.wav,"ndio, ndugu mkulima sasaa uangalie aina A na ueleze chochote unachokipenda kuhusu aina hio na kile ambacho hukipendi.apa mimi naona hii A imeniependeza sana kwasababu imestawi vizuri ingawa kwamba kuna matatizo tatizo kidogo madogo mmh.lakini hata maua sasa hivi naona saivi imeanza kutoa mauwa na naipenda sana. sawa.mmh." moment_3_vegetative_79840aea-6d8b-4be1-b44d-cdfd933a4209_1713933386161.wav,"ndio ndugu mkulima sasa tupo kwenye aina B ya mbegu tuko kwenye kitalu B apaa, ah angalia aina B na eleza chochote unachokiona na ambacho hukipendi kuhusu aina hio.aah hapa naona nimependezwa zaidi ingawa inachelewa kutoa mauwa lakini imestawi vizuri nafikiri ata uzaaji wake utakua ni mzuri sana.ndio.eeh.sawa, Naa vipi labda kwenye uotaji?kwenye uotaji imeota vizuri tu naona hakuna kilichoharibika kwenye namba hii ambayo nanilii. BB eeh.sawa." moment_3_vegetative_79840aea-6d8b-4be1-b44d-cdfd933a4209_1713933437526.wav,"ndio ndugu mkulima, ah angalia aina B sasa na ueleze chochote unachokiona na ambacho hukipendi kutoka kwenye aina hio.hapa nafikiri nimependezwa zaidi hakuna ambacho ambacho nsichokipenda yani yani imekaa vizuri sawa, kuna utofauti wowote ambao umeuona labda kutoka aina A na B zinatofautiana nini?utofauti wenyewe ni kwamba hii apa inachelewa kidogo kutoa mauwa.sawa.eeh.kweye ustawi na namna ilivyoota?hii apa imestawi sana.imestawi vizuri?eeh imestawi vizuri sana.sawa.mmh." moment_3_vegetative_79840aea-6d8b-4be1-b44d-cdfd933a4209_1713933505912.wav,ndio sasa tuko kwenye aina C naomba uangalie kwa makini ndugu mkulima aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina hio.aina hii apa kuna kuna changamoto kidogo imegoma goma kuota ndio.imeshambuliwa sana na wadudu lakini yaa hayo yaliyostawi kidogo yamejitahidii lakini kidogo tu apo apo kwenye uotaji ndio yamee yamegoma goma mengine. mh kulikua na changamoto kidogo.changamoto kidogo. moment_3_vegetative_79840aea-6d8b-4be1-b44d-cdfd933a4209_1713933555521.wav,"ndio, ndugu mkulima angalia aina C na ueleze chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hio.ah hapa naona ni apa apa sehemu tu ambayo ilioshambuliwa na wadudu lakinii kidogo ambayo yalivyostawi yamekaa vizurindio.changamoto ni hiohio tu.sawa.ndio. kuna ambacho hujakipenda kwenye aina hii C?ah hapa nisichokipenda ni hio hio kwa sababu . Ule ambao ulio nanii ulioshambuliwa na wadudu lakini yale yaliostawi yamekaa vizurindio.eeh.sawa." moment_3_vegetative_a59da22c-677a-49b2-848f-8353612416e1_1713454112171.wav,Mmmh sasa eyusta ukiiangalia aina A wewe unapenda nini kutoka kwenye iyo aina A.Nimeipenda kwasababu inawai ukilinganisha na aina nyengine.Mmh umeniambia inawahi unaeza ukanielezea zaidi inawahi nini?.Inawahi kwasababu inatoa watoo inatoa mauwa mengi na imeantha kutoa watoto.Mmm sawa inatoa watoto wa nini.Wa malage.Aya sawa. moment_3_vegetative_a59da22c-677a-49b2-848f-8353612416e1_1713454208312.wav,Mmmh ukiangali aina iyoiyo aina A unaeza ukaniambia kitu chochote ambacho hukipendi kutoka kutoka au kuusu iyo aina.Sikip kuna kitu sikipendi kwasababu inashambuliwa sana na wadudu tofauti na aina nyengine.Mmmh unafikili ni kwanini labda inashambuliwa sana naa itakuwa kwanini inashambuliwa na wadudu.Itakuwa udongo au mbegu yenyewe. moment_3_vegetative_a59da22c-677a-49b2-848f-8353612416e1_1713454295522.wav,Mmmh ukiangalia sasa tunahamia aina B ukiangalia aina B kitu gani unapenda kutoka kwenye aina iyo.Nimeipenda kwasababu imeota vizuli na majani yake yanapendeza.Mmh kitu gani kingine labda unaeza ukaaaniii ukaniambia ambacho umekipenda kutoka kwenye aina B.Nimeipenda kwasababu nayo imeantha kutoa mauwa kwa mbalii.Mmm mmm aya sawa. moment_3_vegetative_a59da22c-677a-49b2-848f-8353612416e1_1713454342968.wav,Ukiangalia tena kitalu icho icho B na aina iyoiyo B unaeza ukaniambia kitu gani a usichokipenda kabisa kusiana na aina B.Aaah hakuna kitu nisichokipenda.Ata ukiangalia angalia kweli kabisa unaona amna una ambacho ukipendi kweli.Amna kweli kabisa. moment_3_vegetative_a59da22c-677a-49b2-848f-8353612416e1_1713454562075.wav,Mmmh tunaa tumehamia kitalu C ukiangalia kitalu C wewe unaaa penda nini kusiana na aina C.Nayo nimeipenda kwasababu inaota vizuli na inakuwa vizuli.Mmm.Isipokuwa ni ndefu.Hauwezi ukachanganya na madhao mengine.Mmm . unafikili labda uu wewe unaweza ukanielezea zaidi uwo urefu unaweza ukawa na madhala gani kwa mazao mengine unavosema kama ikichanganya.Kwasababu inajikunja kunja kwaiyo auwezi ukapanda na maindii.Mmmh aya sawa. moment_3_vegetative_a59da22c-677a-49b2-848f-8353612416e1_1713454727392.wav,Ukiangalia aina C hiyohiyo uuuu unaweza ukaniambia usichopenda kuusu aina C. Akuna kitu nisichopenda kwasababu yote yamekuwa vizuli yamependeza.Mmm aya asante nashukuru. moment_3_vegetative_abbe0f2d-df27-4bdc-98ee-404d2b00666b_1712821659388.wav,"angalia aina A na elezea chochote unachokipenda kuhusu hiyo?kwenye maharage haya ya aina A ninacho kipenda kwanza ni majani yake, na jinsi yanavyoota.pia unaweza ukaelezea zaidi kingine ambacho unakiona unakipenda kuhusu aina?ahaa si kitu ambacho kingine nakipenda kwenye aina A ni maua yake jinsi yalivyo, yanakua na maua ambayo ni mazuri.sawa sawa nashukuru." moment_3_vegetative_abbe0f2d-df27-4bdc-98ee-404d2b00666b_1712821732042.wav,angalia aina A na elezea chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?kwenye maharage haya ya aina A kitu ambacho sikipendi yanapandwa lakini yanakauka yani yanakauka mengine yanakaukaunaweza kuelezea kidooo yaniii kwa undani kidogo kuhusu hayo ambayo yanakauka au yanakaukaje aaa unakuta haya maharage ya aina A unapanda yanaota laki inakuja vizuri yaa lakini badae yanakauka kabisa yani kama vile yani ayawezi kabisa kuendeleasawa sawa unaweza kuelezea zaidi kwa ambacho unakiona kuhusu ambacho hukipendi kuhusu aina Akitu ambacho sikipendi pia kwenye aina A naona mashambulizi haya yana yana tobolewa na wadudu kwahiyo hiyo ndo shida pia amabayo naona kwenye maharage haya ya aina A sehemu ambayo yanashambuliwa na wadudu ni sehemu gani kwenye shina la maharage?aaa yana shambuliwa na wadudu kwenye majani yake sawa sawa nashukuru moment_3_vegetative_abbe0f2d-df27-4bdc-98ee-404d2b00666b_1712821774810.wav,"angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?aina hii ya maharage ya aina B kitu ambacho nakipenda, nimeona ni mazuri sio mbaya yanaota yanaota lakini yanapotea potea.pia kuna kingine ambacho unakipenda kuhusu aina B unachokiona?ahaa hamnasawa sawa nashukuru." moment_3_vegetative_abbe0f2d-df27-4bdc-98ee-404d2b00666b_1712821813062.wav,angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?kwenye maharage haya aina B kitu ambacho sikipendi katika kuipanda naona hayaoti yote ynanaota moja moja.je kunakitu kingine ambacho unakiona hupendi kuhusu aina B ?ahaa aina B kitu ambacho sikipendi kingine kwa sasa sijakiona.sawa sawa nashukuru. moment_3_vegetative_abbe0f2d-df27-4bdc-98ee-404d2b00666b_1712821874220.wav,A na C na elezea chochote unacho kiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?aina hii ya sss maharage aina C kitu ambacho nakipenda yanapo kipanda yanaota vizuri na majani yake sio mbaya ni mazuriUkisema majani yake ni mazuri unaweza ukaelezea kwa undani kidogo kuhusu majani yake?Eee majani yake ni mazuri kwanza niya ni ya kijani ya ya yana rangi nzuri ni yakijani kwahiyo majani yake ni mazuri yanaonesha yana yanaweza kwenda vizuriSawa nashukuruuu unaweza ukaelezeaaa zaidi kwa ambacho unakipenda kuhusu aina C?Kwasasa sinaSawa nashukuruu moment_3_vegetative_abbe0f2d-df27-4bdc-98ee-404d2b00666b_1712821917411.wav,C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?aina hii ya maharage aina C kitu ambacho sikipendi inaweza kuwa na mfanano maharage ya aina B kwamba katika kupanda inaota lakini kuna ambazo zinapotea potea ndicho kitu ambacho sikipendi. pia unaweza ukaelezea zaidi ambacho ukipendi kuhusu aina C?maharage haya aina C ya pia kitu ambacho sikipendi yanatoboka tobolewa tobolewa majani yake sana.sawa sawa nashukuru. moment_3_vegetative_c3596ea9-e168-4e4e-869b-6b0ea311e7fa_1713504635570.wav,"angalia aina A alafu unieleze chochote unachokipenda kuhusu aina A.aina A?eee.naipenda kwanza inawahi kuu inastawi vizuri,mmh. inawahi kuzaa,mmh. inaa, pia kwenye biashara pia huwaa inasoko.mmmh." moment_3_vegetative_c3596ea9-e168-4e4e-869b-6b0ea311e7fa_1713504651084.wav,ukiangalie aina A nieleze chochote unachokiona ambacho wewe ukipendi.aina A.mmh.sina chochote ambachoo sikipendi.mmh. moment_3_vegetative_c3596ea9-e168-4e4e-869b-6b0ea311e7fa_1713504665920.wav,tazama aina B na unieleze nini ambacho unakipenda.aina B ninacgokopenda ina ladha kwenye kula ila tatizo shida soko.mmh.mmmh.sawa.mmh. moment_3_vegetative_c3596ea9-e168-4e4e-869b-6b0ea311e7fa_1713504680542.wav,ukiangalia aina B ninini ambacho hukipendi?sina ninachoo ambacho sikipendi kwenye aina B.eeh. ila tatizo ndio hiloo tu. eeh.shida sio kubwa.ahaa.eeh. moment_3_vegetative_c3596ea9-e168-4e4e-869b-6b0ea311e7fa_1713504700372.wav,"tazama aina C na uniambie nini unakipenda.aina C naipenda,mmh. kwanza,mh.haina shida yoyote,ndio.hata kwenye magonjwa inavumilia magonjwa,mmh.uzaaji pia inazaa vizuri,mmh. na pia ina masoko kwenye soko inakubalika." moment_3_vegetative_c3596ea9-e168-4e4e-869b-6b0ea311e7fa_1713504713572.wav,ukiangalia aina C ni nini ambacho we hukipendi?sina ambacho sikipendi.mmh.sababu hata kwenye mtazamo wake ukiangalia haina shida yoyote.ahaa. moment_3_vegetative_d0a3ec30-ed8b-4a5e-8562-dc93da06ed2d_1714056008193.wav,"ah nini unapenda kuhusu aina A?mimi imenifurahisha kwa sababu mmbegu yake ni nzuri na imeota vizuri, imekubaliana na ile arzi kwahio maa naona ni nzuri inafaa kwa arzi yangu, eeh.sifa nyingine?sifa nyingine, sifa nyingine hata ukuaji wake nimeupenda.mh.eeh.mmh." moment_3_vegetative_d0a3ec30-ed8b-4a5e-8562-dc93da06ed2d_1714056072332.wav,"nini usichokipenda kuhusu aina A?hamna ambacho sikipendi kwa sababu, naona nimeipenda kwa sababu imeota viizuri na inaenda vizuri kwa hio haina shida." moment_3_vegetative_d0a3ec30-ed8b-4a5e-8562-dc93da06ed2d_1714056103861.wav,"nini unapenda kuhusu aina B?Aina B mbegu yake ni nzurii, na na katika kuota kwake imeota vizuri ata kukua kwake ni inapendeza kwahio aina shida nimeipenda vibaya sana imekubaliana na arizi." moment_3_vegetative_d0a3ec30-ed8b-4a5e-8562-dc93da06ed2d_1714056137995.wav,aah ni nini usichokipenda kuhusu aina B?hamna ambacho sijakipenda kwa sababu mbegu yake ni nzuri inafurahisha haina shida na iko vizuri kwa hio mazao yanaenda vizuri hayana shida ni safi tu kabisa haina shida. moment_3_vegetative_d0a3ec30-ed8b-4a5e-8562-dc93da06ed2d_1714056226915.wav,"nini unapenda hukusu aina C?aina C nimeipenda ni mbegu nzuri na imekubali udongo na imeota vizuri, kwahio haina shida ni imeota tu vizuri." moment_3_vegetative_d0a3ec30-ed8b-4a5e-8562-dc93da06ed2d_1714056253397.wav,nini usichokipenda kuhusu aina C?nisichokipenda ii mbegu imeota na umenyosha mikono mingi kwahio utoaji wa maua unakua ni hafifu sasa sijui kwenye kuzaa kwake sijaipenda kwa sababu sijawahi kuipanda hata mara moja ndo mara ya kwanza kuipanda kwenye arzi yangu kwahio siielewi. moment_4_reproductive_01e14d17-dac9-4f88-99d9-c42d6ae26baa_1717044784517.wav,nini unapenda kuhusu aina A?.Aina A nimependa maharage yake yamezaa vizuri yamaenza kukomaa na kuk yameanza kukauka. moment_4_reproductive_01e14d17-dac9-4f88-99d9-c42d6ae26baa_1717044796416.wav,nini usichopenda kuhusu aina A?.hakuna chochote mabacho sijapenda vyotee nimevipenda maharage yamezaa vizuri yamekauka. moment_4_reproductive_01e14d17-dac9-4f88-99d9-c42d6ae26baa_1717044809353.wav,nini unapenda kuhusu aina B?Aina B nimependa maharage yake yamezaa vizuri ila yamechelewa kukauka. moment_4_reproductive_01e14d17-dac9-4f88-99d9-c42d6ae26baa_1717044822262.wav,nini usichopenda kuhusu aina B?.hakuna chochote ambacho nsichopendaa vyotee nimevipenda vizuuri maharage yamezaa ilaa ndo yamechelewa kukauka. moment_4_reproductive_01e14d17-dac9-4f88-99d9-c42d6ae26baa_1717044839563.wav,nini unapenda kuhusu aina C?.Aina C Ile mbegu kidogoo mbovu imezaa tofauti kidogo yan haija vizuri. moment_4_reproductive_01e14d17-dac9-4f88-99d9-c42d6ae26baa_1717044852645.wav,nini usichopenda kuhusu aina C?aina C mbegu yakee kilee ilee mbovu kidogo uzaaji wake mbovu. moment_4_reproductive_04d21576-2aa3-40ea-92d2-4142bc880e68_1717401848602.wav,Angalia aina A na eleza chochote ambacho unaona umekipenda.Mmm mi naona mimeaaa yote ni mizuli akunaaa ualibifu flani ani ni saii kabisa mmh.Ehee ukuaji wake umeuonaje.Ukuaji wake ni mzuli yani.Mmm.Unanilizisha ata mimi yanii mkulima.saawa. moment_4_reproductive_04d21576-2aa3-40ea-92d2-4142bc880e68_1717401865190.wav,Angalia aina A na eleza chochote ambacho unaona hujakipenda kwenye aina hii A kuna chochote ambacho hujakipenda.Apana vyote naona ni viko safi tu. moment_4_reproductive_04d21576-2aa3-40ea-92d2-4142bc880e68_1717401897340.wav,Angalia aina B na eleza chochote ambacho unaona unakipenda.Eee mimea ipo imekubali baazi ya mistali kazaa mistali mingine kidogo kama imeasilika ivi.Imeasilika na nini kwa namna unavoona.Eeee kutokana nanana na jua jua lakini baazi ya sehemu zingine kidogo ni saii.Aaah.Eeee . . moment_4_reproductive_04d21576-2aa3-40ea-92d2-4142bc880e68_1717401921327.wav,Angalia aina B na eleza chochote ambacho ujakipenda kwenye aina hii B kuna chochote ambacho hujakipenda.Apaaah naona ambapo sijakupenda kule semu ambako akuja kuliko asilika ani gouko ani naoa ni kama sijakupenda ani.Saawa. moment_4_reproductive_04d21576-2aa3-40ea-92d2-4142bc880e68_1717401945766.wav,Angalia aina C na na eleza chochote ambacho unakipenda.Aina C naona mimea imeenda vizuli na kuna baazi ya mimea mingine imekufa.Imekufa kwanini.Eee ii apa naona ni jua pamo. moment_4_reproductive_04d21576-2aa3-40ea-92d2-4142bc880e68_1717401957411.wav,Aambacho sijakipenda tu baazi ya mimea yangu ambayo iliyoasilika.Sawa. moment_4_reproductive_08387a77-fec9-4b82-b50d-7c4408efaef0_1716038011806.wav,"Dada nini unapenda kuhusu aina A?Kwenye aina ANomba uongeza sauti kidogoKwenye aina A hapa maharage yamezaa vizuri, kwenye visu yani ina watoto wengi ndo nilichokipendaAhaaa kingine ulichokipenda?Kilichokuvutia kwenye maharage hayaKilichonivutia ime yani ina watoto wengiahaaa, nashukuru" moment_4_reproductive_08387a77-fec9-4b82-b50d-7c4408efaef0_1716038125466.wav,"Nini una una usichokipenda kuhusu aina B? aina A?Kwenye aina A hapa kitu ambacho sijakipenda maharage yani yameota moja moja maeneo manegine hamna.Kingine a,mbacho hujapenda kwenye hii aina A? kitu ambacho hakijakuvutia kwenye haya maharage.Kitu amabcho hakijanivutia kwenye haya maharage kwenye aina A ni uotaji wake sio mzuri.Ahaaa uotaji wake ulikuwaje?Uotaji wake ni ni yani imeota ni kidogo yani uotaji wake ni machache sehemu nyingine ipo sehemu nyingine hamna.Ahaa.Ayaa" moment_4_reproductive_08387a77-fec9-4b82-b50d-7c4408efaef0_1716038219611.wav,"Nini unapenda kuhuusu aina B?Kwenye aina B imeota vizuri na hamna iliyopotea na ina watoto wengi.Kingine kilichokuvutia kwenye aina hii ya maharage?Kama nilivosema uotaji wake ni mzuri na na ime ime imebeba watoto vizuri.Aaaah, cha kuongezea? Kuhusu kitu usicho unachokipenda?EEEEHcha kuongezea? Kuhusu kitu usicho unachokipenda kwenye aina hii ya maharage?Cha kuongezea hapo maarage haya ni mazuri kwa sababu yamebeba vizuri.Ahaa nashukuru." moment_4_reproductive_08387a77-fec9-4b82-b50d-7c4408efaef0_1716038325749.wav,"Nini usichopenda kuhusu aina B?Karibu, kitu ambacho hakijakuvutia kwenye aina ile ya maharage, karibu kitu ambacho hakijakupendeza kwenye aina ile ya mamharage?mmh asante, kitu ambacho hakijanipendeza kwenye yale maharage aina B, yana majani mengi sana, na majani mengi sana alafu ina watoto wachacheahaa, kwani majani yakiwa mengi inakuwaje?majani yakiwa mengi, watoto wanakua wachache.Ahaa, kingine cha kuongozea kuhusu kitu usichokipenda kwenye aina B?Kitu nisichokipenda majani yale yanakua ya njano kwa huku chini kwa hiyo sio nzuri.ahaa nashukuru, hauna cha kuongozea?inatosha" moment_4_reproductive_08387a77-fec9-4b82-b50d-7c4408efaef0_1716038466989.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?Aina C ni imezaaa vizuri eeeeKingine unachokipenda kilichokuvutia kwenye aina hito ya maharage?Nilichokipenda haina majani mengi sana eee haina majani mengi.AhaaaEEEEHCha kuongezea?Cha kuongezeaEeee mimi natamani nijue zaidi kitu unachokipenda hapa naona kama sijaelewa nataka nielewe zaidi unapenda nini kwenye aina hii ili nizidi kujifunzaKwenye hii aina C hapa maharage haya yana watoto yani imebeba vizuri na haina majani mengi sana.eeeeeeMmhh.Natamani kusikia kutoka kwako.eeee kama nilivosema aina C ni maharage ambayo yani ya ya yame ya yana yamebeba vizuri na watoto pia na haina majani mengi.MmheeehNashukuru.Haya. moment_4_reproductive_08387a77-fec9-4b82-b50d-7c4408efaef0_1716038690990.wav,Nini usichopenda kuhusu aina C?Nisichopenda kwenye aina C maharage hayajaota kwa wingi yameota sehemu moja moja ndicho ambacho sijakipenda.Kingine ambacho hakijakuvutia kwenye aina hii ya maharage?Ambacho hakijanivutia ni kama hicho nilichosema kwamba haijaota kwa wingi haijabeba vizuri. EeeeeeeAya nashukuru. moment_4_reproductive_0af6a88e-7c82-4f31-924d-e8908e1057de_1716878643329.wav,eh angalia aina A na eleza ambacho kitu chochote ambacho umekipenda kuhusu aina A.Cha kwanza nilichokipenda aina A maharage yangu yamezaa vizuri.ndio.yamestawi vizurisawa kingine ambacho umekipenda?kingine nimekipendaaa ni ni mistari.ndio.kutokana na mbolea.sawa.eeh.sawaa. moment_4_reproductive_0af6a88e-7c82-4f31-924d-e8908e1057de_1716878663328.wav,angalia aina A na eleza chochote ambacho hujakipenda kuhusiana na apa. Kuna chochote ambacho hujakipenda?kwa kweli hakuna nisichokipenda.hakunaa. moment_4_reproductive_0af6a88e-7c82-4f31-924d-e8908e1057de_1716878688237.wav,angalia aina B na eleza chochote ambacho umekipenda aina Baina B Yaan nilichokipenda mimi ni mimea yangu tu imezaa vizuriimezaa vizuri.ee imestawi vizuri. moment_4_reproductive_0af6a88e-7c82-4f31-924d-e8908e1057de_1716878703333.wav,angalia aina B na eleza chochote ambacho unaona haujakipenda. Kuna chochote ambacho hujakipenda aina B?hakuna.hakuna.eeh. moment_4_reproductive_0af6a88e-7c82-4f31-924d-e8908e1057de_1716878739075.wav,angalia aina C na eleza chochote ambacho umekipenda. Umependa nini aina C?aina C nimependaaa nimependa maharage tu yamezaa vizuri tena vilevile eeh na yamezaa vizuri zaidiasantee.khikhik moment_4_reproductive_0af6a88e-7c82-4f31-924d-e8908e1057de_1716878772477.wav,nini unapenda kuhusu aina A?Aina A sijapenda chochote. moment_4_reproductive_16f3ef22-0560-45b7-b486-d2eff9e9e8e2_1716471270838.wav,nini unapenda kuhusu aina A. naona uzao wake uko vizuri haina shida yoyote.sawa. moment_4_reproductive_16f3ef22-0560-45b7-b486-d2eff9e9e8e2_1716471289115.wav,nini usichopenda kuhusu aina A.hapa amna ninacho kichukia lakini uzao wake uko vizuri na unatoa mazuri haina shida. moment_4_reproductive_16f3ef22-0560-45b7-b486-d2eff9e9e8e2_1716471303422.wav,nini unapenda kuhusu aina B.yote iko sawa tu vizuri yoteee hazina shida. moment_4_reproductive_16f3ef22-0560-45b7-b486-d2eff9e9e8e2_1716471320718.wav,unapenda kuhusu aina B.naona uotaji wake ni mchache sio mzuri sana. moment_4_reproductive_16f3ef22-0560-45b7-b486-d2eff9e9e8e2_1716471336392.wav,nini unapenda kuhusu aina C.naona uzao wake huko vizuri hata hauna shida nayeee ina watoto wazuri haina shida.sawa. moment_4_reproductive_16f3ef22-0560-45b7-b486-d2eff9e9e8e2_1716471349481.wav,nini usichopenda kuhusu aina C.aaah uzao wake nao huko vizuri haina shida yoyoteee zipo sawa zote.sawa. moment_4_reproductive_26baf793-bf52-4331-965f-fec44193a367_1722000114233.wav,"nini unapenda kuhusu aina A? AH siipendi, ndio. sababu kwanza kuota kwake na ni shida. sawasawa." moment_4_reproductive_26baf793-bf52-4331-965f-fec44193a367_1722000164446.wav,nini usichopenda kuhusu aina A? kutokana na hii mbegu? moment_4_reproductive_26baf793-bf52-4331-965f-fec44193a367_1722000202411.wav,"nini usichopenda kuhusu aina A? kutikana na ndi na hii mbegu? ndio. hii mbegu sipendi kutokana naa kwanza inashambuliwa na ma magonjwaa ndio. kuota kwake ni shida, ndio. kujaza iimifuko yake ni michache, mmh. alafu ni punje kijaza punje kwenye mfuko nao ni chache tuu. ndio. kwahio haina ubora saanaa. sawa sawa." moment_4_reproductive_26baf793-bf52-4331-965f-fec44193a367_1722000250699.wav,"nini usichopenda kuhusu aina B? Aaah sii akuna ambacho ninachoo ninachoooki kitaka, ninachokipenda, vyote naipendaa, mmh. angalau kidogo manake naona ina ubora ina mudu na . mmh. na . Mmh yanachukua muda mfupi kuzaa, sawa. mifuko mifuko nayo michache. ndio. kwenye ile mifuko, punje zake ni chache tena. ndio, sawa." moment_4_reproductive_26baf793-bf52-4331-965f-fec44193a367_1722000285901.wav,"nini unapenda kuhusu aina C? Aina C naipenda, ndio. kwanza ina mifuko yake ni mirefu, ndio. alafu na ni mingi nyingi kwenye shina, punje zake kwenye kale ka mfuko, ni nyingi tena. ndio." moment_4_reproductive_26baf793-bf52-4331-965f-fec44193a367_1722000304185.wav,"nini usichopenda kuhusu aina C? hamna ambacho sipendi kwenye aina ya C angalau tu inakaa shambani kwa mudaa, muda kuliko izi zingine, ndio. lakini ni ina ubora hii. ndio. mmh. sawa sawa." moment_4_reproductive_3dad5b75-de58-42a6-b7b5-e4cdc2b68efe_1716960958431.wav,Ndio sasa ndugu mkulima angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina iyo.Aina hii ni nzuri kwa kweli imezaa na inavutia nimeipenda kwa kweli sina sababu ya kusema kwamba kunaaa hakuna yani kuna lolote ambao baya kwakweli nzuri kwakwe ni ni nzuri kwakweli imezaa vizuri.ndio hayaaa. moment_4_reproductive_3dad5b75-de58-42a6-b7b5-e4cdc2b68efe_1716961006432.wav,"Ndio sasa ndugu mkulima naomba uangalie kwa umakini aina A naaa ueleze chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo.Naipenda sana naaa yaniii jinsi ilivozaa kwakweli imezaa kwakweli imezaa na sijawahi kuiona maharage yakizaa kama hivi kwahiyo hii nii nimeipenda nimeipenda.Ndio.Eeeh,koo sina la zaidi.Sawa.Eeeh." moment_4_reproductive_3dad5b75-de58-42a6-b7b5-e4cdc2b68efe_1716961064943.wav,"Naam ndio ndugu mkulima sasa tuko kwenye aina B ya kitalu chetu hikiii cha majaribio uangalie kwa umakini alafu ueleze chochote ambacho unakiona umekipenda kuhusu aina hiyo.Na hii nimeipenda pia ila isipokuwa inavamiwa kidogo kuna baazi ya mashina yamekufa.Ndio.Kulingana naaa nahisi ni ardhi yenyewe kama ina wadudu.Mmmh.Lakini kwa ujumla kwakweli ni imekaa vizuri imekaa vizuri haina tatizo, tatizo tu ni hayo tu kuna miche baadhi.Ndio.Ndio imeathirika kidogo.Sawa." moment_4_reproductive_3dad5b75-de58-42a6-b7b5-e4cdc2b68efe_1716961103564.wav,"Ndio ndugu mkulimaaa aah angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina hiyo.Hii naipenda hii naipenda na ni nzuri imezaa vizuri.Ndio.Yani haina tatizo lolote kwa kuonekana tu kwa hivi imetulia.Imetulia.Imetulia.Ni kipi labda ambacho hujakipenda kwenye aina hii?.Hapana, napenda tuu kulingana jinsi ilivyo aina hii naipenda vilevile.Sawa.Eeeh." moment_4_reproductive_3dad5b75-de58-42a6-b7b5-e4cdc2b68efe_1716961177954.wav,Ndio sasa ndugu mkulima tuko kwenye aina C ya kitaru chetu cha majaribio aah. angalia aina C kwa makini na ueleze chochote ambacho aah unakipenda kuhusu aina hiyo.Aina hii ni nzuri ni nzuri na inaonekana inazaa kuliko mengine yote.Ndiyo.Kwasababu ninavyoangalia ina utofauti mkubwa naaa nyingine kwahiyo ii aina C kwakweli ni nzuri sana.Sawa.Eeh ni nzuri.Kwahii imezaa kuliko aina ya A pamoja na na B.Eeeh ina inavyoonekana inaonekana kwamba imezaa.Mmh.Pamoja mengine kidogo maa watoto kama wanakauka kauka lakini inaonekana kulingana na shida kama ni ya ukame.Mmh.Lakini vilevile imejitahidi.Ndio.Lakini ukame ume umesababisha mbaka hata watoto wengine kama wanakauka kauka lakini ni wazuri sana.Mmh.Inazaa sana.Sawa.Eeeh.Asante. moment_4_reproductive_3dad5b75-de58-42a6-b7b5-e4cdc2b68efe_1716961227874.wav,Sasa ndugu mkulima naomba pia uiangalie iyo iyo aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hujakipenda kuhusu aina hiyo C.Aina C naipenda naipenda tena naipenda sana kwasababuuu hii hapa niii niii ni mbegu nzuri kwasababu jinsi ilivyotulia aah kwakweli haina sababu ya kusema kwamba nisiipende naipenda.Mmmh.Naipenda.Hamna ka kasoro kokote ambako huja hujapenda kwenye aina hiyo C.Hapana.Ndio.Ka kasoro hakuna.Eeeh.Ila ndio hivo tu kasoro enyewe ilikuwa tu ivo vitoto vikawa vinakaukakauka kulingana na ukame lakiniii naipenda.Sawa.Eeeh.Asante sana. moment_4_reproductive_4b94db3a-7919-4e58-8f7c-bc6f413a2598_1715930335798.wav,kitu ambacho labda kinakupendeza kwenye aina hii ya maharage haya hapa?haya maharagemmhkiujumla kwa saabu rosekoko kama rosekokoeehhii hata kwenye soko aisumbui.ndiyohicho ni kitu cha kwanza.eehchapili ingekuwa sio mvua nyingi.mmhhaya inamaana yangetokamengi zaidihata magonjwa we ukitaka kuangaliammhunakuta hayammhunakuta haya yamekuja athiriwa na majihivi basidawa nilivyopiga tu dawaeehmaana siku ujue unakuja palikuwa paleokk siku hiyo umakuja na hata ukitazama kwenye picha zakommhutakuta baka lilelile la kule upande ulematokeo yake yalikuja ongezeka hii hapahaya mawili eeh labda ukiachilia mbali maswala ya magonjwa labda kitu gani kingine ambacho kinakupendeza? Kwenye aina hii ya maharage ya rosekoko. moment_4_reproductive_4b94db3a-7919-4e58-8f7c-bc6f413a2598_1715930358593.wav,ni kitu gani ambacho hukipendi kwenye aina hii ya maharage?changamoto yaa?kwenye haya maharage kipi kitu gani ambacho labda hakikupendezi yaani jinsi unavyoyatazama nap nauzoefu wako.mimi kinachonisumbua ni upokeaji wa magoniwa.magonjwa.kwamba hayavumiliihaya hayavumilii ugonjwa.na ukiachilia ugonjwa kuna kingine ambacho hakikupendezi?hakuna. moment_4_reproductive_4b94db3a-7919-4e58-8f7c-bc6f413a2598_1715930446445.wav,ndiyoutakuta yako tofautieehna haya ya huku.aah ok.ila yanapokea ugonjwa haraka haya.ahaa haya yanapokeaaa ok ukiachilia mbali ugonjwa labda kikipi ambacho kinakupendeza zaidi wewe yaani kwenye maswala labda ki ambacho kinakuvutia kwenye aina hii?kula ni matamuni matamu kwenye ishu ya ladha ambayo unaizungumzia radha hapo ukiachilia mbalia radha kuna kingine ambacho kinakuvutia?eeh hata rangirangi? Aa ok aa rangi radha ni vitu ambavyo vinakuvutia kuna kingine cha ziada?kwa hukueehkwahiyo kwa maeneo niliotokammhhaya hata kwenye sokokwenye soko eeyanatembea sanayanatembea sanakwa mfano Mbeyaeehaah mbeya ndo wanalima sanaaah okIringa ndo wanalima sanaeehkwamba ndo maharage yao huwe ukawaambia wale wanacheza na haya na hayana haya ahaaa ndo maharage yao ambao wanalima aina hii na aina hii.kwahiyo swala la sokoo pia halina shida aa ok kulingana na uzoefu uliokuwa nao kuna kingine cha ziada? moment_4_reproductive_4b94db3a-7919-4e58-8f7c-bc6f413a2598_1715930506650.wav,ba kitu gani ambacho hakikupendezi kwenye aina hii kulingana na uzoefu jinsi ulivyolima na nini kitu gani ambacho labda unaona kwa upande wako hakiko sawa kwenye aina hii ya maharagemi sijakionandiyonaona ka vitu vyote yaani kikiki ambacho kinantesa sana ni huu upokeaji wa maradhi.aah okkhikindo ambao imekuwa ni changamotoni changamotona hizi mbegu kwa ujumla kwa hukueeezije kwa muda muafakaaah oknyie kama vile mlivyo wahisha hii mbegu ingejaribiwa kando kama hivi.anhando ungeionando ingetoa matokeo zaidieehaa lakini isiwe shida kwahiyo changamoto kubwa ni maswala ya maradhi ambao magonjwa unazungumzia kuna kingine labda ambacho kwa aina hii ya maharage labda hakikupendezi?hakuna. moment_4_reproductive_4b94db3a-7919-4e58-8f7c-bc6f413a2598_1715930568804.wav,labda kitu gani ambacho labda kinakupendeza kwenye aina hii ya maharage uki ukiachilia mbali yaliyopo shambani ila kwa uzoefu na vitu kingine ni kitu gani ambacho kinak?maharage haya mekundueehni sokoaah ok.navyo fahamu mimeehwatu wanaifuatilia sana.eeheeh okukiachilia mbalia swala la soko labda kitu gani kingine ambacho kinakupendeza?hata uzazi wakesawanaona kidogo kwa sababu kila tukiangalia.eehukii funuaeeh aa okunaona eeeehyana matinda mengieenheekulikoya ya kuu uzazi soko kingine labda cha ziada? moment_4_reproductive_4b94db3a-7919-4e58-8f7c-bc6f413a2598_1715930619967.wav,ni kitu gani ambacho labda hakiii kupendenzi kwenye aina hii ya maharage kulingana na uzoefu.hayammhaha yazaa vizuri.ndiyolakini uwezi uakalilinganisha ujazo na haya hayahaya.eeh ok kwamba kwenye ujazo yakihaya yanakuwa ni membamba sana.ndiyondiyoeehaaok kuna kingine labda cha kuongezea kulingana na aina hii.I ipikulingana naa changamoto ambacho labda wewe hakikupendezi kwenye aina hii ya maharage labda ukiachilia mbali kwamba uzao wake mdogo kingine labda ambacho unaweza ukaongezea.hiiii kuongea kivpii sa sijakufahamu?eeh.sina moment_4_reproductive_60634da9-585e-45f3-b343-5723ee882bf1_1718516441528.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo. Sitaki chochote. moment_4_reproductive_60634da9-585e-45f3-b343-5723ee882bf1_1718516550980.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. ...Sitaki. moment_4_reproductive_60634da9-585e-45f3-b343-5723ee882bf1_1718516653826.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo ..Haamna.. moment_4_reproductive_60634da9-585e-45f3-b343-5723ee882bf1_1718516716890.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo Sitaki moment_4_reproductive_60634da9-585e-45f3-b343-5723ee882bf1_1718516750861.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda. Ana makaka inakitosha. moment_4_reproductive_60634da9-585e-45f3-b343-5723ee882bf1_1718516804452.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. Anap anapendaaa moment_4_reproductive_688a02cd-801f-4b94-a457-2ec19e7b62d6_1716537498498.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokipenda kuhusu aina A?Inatoa matunda vizuri.Kingine unachokipenda kwenye aina A?Hii inasitahimii ukame.Kingine.Hii inasitahimili wadudu wanao mashambulizi katika hali ya hewa.Kingine unachokipenda kwenye aina A.Haina makamba.Kingine.Ni kingine hamna inasitahimiri ukame tu na jua halafu inatoa matawi mazuri.Kuna kingine unachokipenda kwenye aina A?Kwenye aina A.Kwenye aina A.Kwenye aina A inatoa matu maua mengi. moment_4_reproductive_688a02cd-801f-4b94-a457-2ec19e7b62d6_1716537544993.wav,Angalia aina A na elezea chochote unakiona ambacho hupendi kuhusu aina A?Hamna.Hakuna.Mmmh hakuna.Tangia tumeanza jaribio hakuna ambacho hukipendi kwenye aina A.Kwenye aina A?Eee.Nisichokipenda?Eee tangia tumeanza jaribio mpaka sasa hivi.Nisivyopendaa ni hile kutu tu inayoipata kwa chini.Kuna kingine?Hakuna. moment_4_reproductive_688a02cd-801f-4b94-a457-2ec19e7b62d6_1716537628994.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina B?Nachokipenda?Mmmh kwenye aina B.Inasitahimiri jua na ukame.Kingine unachokipenda kwenye aina B.Inatoa maua vizuri na hina matawi mazuri.Kingine unachokipenda kwenye aina B.ina ina sura nzuri ya shura majani yake halafu maua mengi.Je kuna chochote kingine unachokipenda kwenye aina B?Hamna ingine.Tangia tumeanza jaribio mpaka sasa hivi?Nisichokipenda?Unachokipenda.Ninachokipenda tu ni hile hinastahimiri ukame na imetoa matawi vizuri halafu hina maua mengi.Sawa. moment_4_reproductive_688a02cd-801f-4b94-a457-2ec19e7b62d6_1716537666705.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina B?Hii inaungua majani wakati wa joto.Kingine.Kingine hinashambuliwa na waduduKingine usichokipenda.Hakuna. moment_4_reproductive_688a02cd-801f-4b94-a457-2ec19e7b62d6_1716537736351.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokipenda kuhusu aina C?Aina C ninachokipenda?Eeee.Nimependa hina matawi mengi halafu imetoa maua mengi mpaka juu halafu hinasitahimiri jua aina CCC hina matawi mengi haishambuliwi na hile kutu ya majani kwa chini.Kingine.Kinginee hina hina miti mikubwa na matawi mengi.KiingUbora wa ubora wake hinatoa matunda mengi.Kingine unachokipenda?Hakuna kingine. moment_4_reproductive_688a02cd-801f-4b94-a457-2ec19e7b62d6_1716537780030.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina C?Kuhusu aina C nisichokipenda pale ni hile kamba mingine ina mchanganyiko wa kamba.Kingine.Hakuna.Tangia tumeanza jaribio mpaka sasa hivi ambacho hukipendi?Hakuna. moment_4_reproductive_6f153ca9-cff5-44f2-9b56-aca94b153a1b_1716966554287.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.kundi A nili nilivyoangalia uzaaji wake kwa keli sio mzuri afu tena inaonekana ume wadudu wameeshambulia kidogo kwa kweli uzaaji wake kiujumla sijaupenda vizuri moment_4_reproductive_6f153ca9-cff5-44f2-9b56-aca94b153a1b_1716966577250.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho ambacho hupendi kuhusu hioyakuninga mbee khihiiikitu ambacho hupendiyaani ambacho sijakipenda ni uzaaji wake yaan haujazaa vizuri yaani haupo sawa yaani moment_4_reproductive_6f153ca9-cff5-44f2-9b56-aca94b153a1b_1716966607505.wav,"angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?.aya.aina B.A na B ni kama zimefatana ziko sawa, A na B yani hali yake ni sawa, uzaaji wake ni sawa hata jinsi unavyoungalia tu usimamaji wake ni sawa." moment_4_reproductive_6f153ca9-cff5-44f2-9b56-aca94b153a1b_1716966625429.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?.kwa kweli nisichokipenda ni uzaaji wake tu kama kundi A haujazaa vizuri jinsi inavyotakiwa. moment_4_reproductive_6f153ca9-cff5-44f2-9b56-aca94b153a1b_1716966650949.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona unachokipenda kuhusu hiyo?.hapa.C kule ndio nimekupenda zaidi yani umezaa vizuri na umesimama vizuri hata muonekano wake ukiangalia unapendeza kwa kweli moment_4_reproductive_6f153ca9-cff5-44f2-9b56-aca94b153a1b_1716966677999.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona hupendi kuhusu hiyo?.yani C nimependa kila kitu yani kuanzia kuota kwake yani kuzaa kwake sasaivi ni hali nzuri tu yani C hakuna dosari yeyote kumependeza.asante. moment_4_reproductive_7052c18a-e25e-4a62-9abf-f5ae2b792cb6_1715924534968.wav,ni kitu gani labda unapenda kwenye aina hii ya maharage?haya napenda ni mazuri kwenye kula.eehpia uzaaji wake ni mazuri.ndio aa ok kingine ambacho labda cha kuongezea kwenye upande wa unacho kinachokupendeza?umuonekano wake pia mzuri.sawasaswaeeh. moment_4_reproductive_7052c18a-e25e-4a62-9abf-f5ae2b792cb6_1715924549514.wav,ni kitu gani ambacho labda hakikupendezi kulingana na aina hii ya maharage?yaani haya maharage?mmhni mazuri.mmhila tu yamekuvutwa tu na ugonjwa tu.aah oklakini hayana changamoto yoyote. moment_4_reproductive_7052c18a-e25e-4a62-9abf-f5ae2b792cb6_1715924589768.wav,eeh ni kitu gani ambacho labda unakipenda kwenye aina hii ya maharage jinsi unavyoyatazama.haya nayapenda muonekano wake rangi yake nzuri.ndio kingine ukiacha rangi?kwenye uzaaji sijui.kwenye aujui.kama ndo hivihivi auaa oksaabu yameharibikaeeh.ukiachilia mbali uzaajia labda kulingana na uzoefu wako labda wa ku aina hii ya maharage kitu gani kingine ambacho unakipenda ukiachilia mbali maswala ya uzazi?mmh kwenye kwenye kula pia ni mazuri.ni mazuri.eeh. moment_4_reproductive_7052c18a-e25e-4a62-9abf-f5ae2b792cb6_1715924621181.wav,"penda kwenye nia ya maharage ni kitu gani ambacho hukipendi?kitu ambacho sikipendiiikwenye aina hii ya maharage yaanihayazai vizurihayazai vizurieehukiachia mbali uzazi labda kuna kingine cha kuongezea kwengine?pia yanakufa mashina kwenye kuoteshaaah okkingine ambacho labda ukiacha kufa mashina,hayazai vizuri kingine labda ambacho hakikupendezi?aa hamna" moment_4_reproductive_7052c18a-e25e-4a62-9abf-f5ae2b792cb6_1715924657560.wav,haya kitu gani ambacho kinakupendeza kwenye aina hii?njano nzuri kwenye kula.ndiyopia hata yakiwa mabichi ladha yake ni tamu.ndiyondiyo na ukiacha mbali kwenye ladha kingine labda ambacho kinakupendeza?muonekano wake rangi yake pia nzuri.sawasawaeeehlabda kuna kingine cha kuongezea ikiacha radha radha rangi unae kipi kingine cha kuongezea?pia kwenye uuzaji wa mabei.wamabei. moment_4_reproductive_7052c18a-e25e-4a62-9abf-f5ae2b792cb6_1715924669727.wav,kitu gani ambacho labda hakikupendezi kwenye aina hii ya maharage ya njano?maharage haya mi yananipendeza tu.aah ok. moment_4_reproductive_73383b0c-06b7-4205-81be-f386cba4e7c1_1716377027000.wav,nini unapenda kuhusu aina A?.aina A naona imezaa imezaa kuliko aina A imezaa. moment_4_reproductive_73383b0c-06b7-4205-81be-f386cba4e7c1_1716377044733.wav,nini usichokipenda kuhusu aina A?.naona imechelewa kukauka kuliko hii nyingine. moment_4_reproductive_73383b0c-06b7-4205-81be-f386cba4e7c1_1716377066904.wav,nini unapenda kuhusu aina B?.aina B imezaa vizuri. moment_4_reproductive_73383b0c-06b7-4205-81be-f386cba4e7c1_1716377087421.wav,"nini usichokipenda kuhusu aina B?.kwa kweli sijaona tatizo yani hamna tatizo, yamezaa kwa wakati na yanakauka pia kwa wakati." moment_4_reproductive_73383b0c-06b7-4205-81be-f386cba4e7c1_1716377118140.wav,nini unapenda kuhusu aina C?.aina C haiko vizuri ni kuwa haijabeba vizuri. moment_4_reproductive_73383b0c-06b7-4205-81be-f386cba4e7c1_1716377132972.wav,nini usichokipenda kuhusu aina C?.aina C sijaipenda maana haijabeba vizuri. moment_4_reproductive_7a3c386f-53a7-45c2-a53d-5b83527d87e9_1716616167158.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyoUzazi wake. moment_4_reproductive_7a3c386f-53a7-45c2-a53d-5b83527d87e9_1716616180409.wav,Angalia aina A na ereza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.Hakuna. moment_4_reproductive_7a3c386f-53a7-45c2-a53d-5b83527d87e9_1716616196898.wav,Angalia aina B na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Hakuna. moment_4_reproductive_7a3c386f-53a7-45c2-a53d-5b83527d87e9_1716616212354.wav,Angalia aina B na ereza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.Hakuna. moment_4_reproductive_7a3c386f-53a7-45c2-a53d-5b83527d87e9_1716616302667.wav,Angalia aina C na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Uzazi nawo mzuri. moment_4_reproductive_7a3c386f-53a7-45c2-a53d-5b83527d87e9_1716616318172.wav,Angalia aina C na ereza chochote unachokiona ambacho hukipenda kuhusu hiyo.Hakun. moment_4_reproductive_847e3afd-edc2-4a64-802f-0bfe7117ff86_1715686022889.wav,haya unaweza ukaniambia ni ni nini unapenda kutoka kwenye aina A?.aina A naipenda kwasababu ile inakuwa nyepesi kwa kutoa maua na kuzaa.mmh.inazaa vzuri.mmh.ee.na labda kingine ambacho labda unakipenda kutoka kwenye hiyo aina A?. nakipenda mbegu yake ndo naipendammh.ee.mmh.ee.ukiangalia labda toka tumepanda mpaka saa hizi hapa kuna vitu gani yaan ni vya ziada labda we unaviona?.nimeviona labda kwa mfano sijapulizia naona kama yale maua yamedondoka chini mengimmh.yaliyobaki machache.mmh.ee. moment_4_reproductive_847e3afd-edc2-4a64-802f-0bfe7117ff86_1715686066949.wav,mmh ukiangalia hicho hicho kitalu A wewe unaweza ukaniambia hupendi nini nini usichopenda kwenye aina A?kwa kweli sina.mmh.vyote navipenda tu.kwahiyo hata ukiangalia angalia tu toka tulivyopanda hakuna kitu chochote.sana sana inakuwa tu imebadilika kama nyekundu vilemmh.kama homa ile inaingia kama inaleta ule uwekundu inaleta ule uwekundu kidogo.mmh.lakini sio mbayammh.ndio hicho sikipendi. moment_4_reproductive_847e3afd-edc2-4a64-802f-0bfe7117ff86_1715686110724.wav,haya sasa aina B ukiangalia aina B pia unaweza kuniambia nini unakipenda kutoka kwenyee aina B?aina B naipenda inakuwa tu vizuri inakaa vizuri ule ukijani unakuwa tu mzuri ila sasa kwenye uzao ndo kama naona kama unapungua yaani haina kasi sana lakini sio mbayaunavyosema haina kasi sana unamaanisha nini?namaanisha kwamba yaani inazaa kidogo sio kama A moment_4_reproductive_847e3afd-edc2-4a64-802f-0bfe7117ff86_1715686163756.wav,ukiangalia aina B hiyo hiyo nini usichokipenda kutoka kwenye aina B?.B siipendi kutokana na haizai vizuri ila inakaa tu inakuwa nzuri inamea kama kawaida ila sasa kwenye uzao ndio inakuwa machache wale watoto.Sawa moment_4_reproductive_847e3afd-edc2-4a64-802f-0bfe7117ff86_1715686233588.wav,mmh tunahamia sasa C.C unaweza kuniambia sasa ni nini ambacho kinakuvutia au unakipenda zaidi?C kwa kweli hakuna kinachonivutia kwasababu C yani ile ndio ikashaota inakaa kwanza sana.mmh.halafu.mmh.inanyosha zile kamba.mmh.basi zinakuwa ni nyingi.mmh.kwahiyo inakuwa uzao wake kwa kweli sijaupenda.mmh.eekwahiyo ukiangalia hamna chochote kabisa ambacho unaki ambacho unakipenda kutoka kwenye aina C.aina C naipenda lakini sasa kwenye uzao sas sielewi jinsi kwasababu si nimepanda nyumbani.mmh.sasa hapo uzao wake siulewi kwa mwaka huu lakini tuseme.mmh.lakini ninachokipenda inakuwa tu nzuri watoto wamo lakini sio sana. moment_4_reproductive_847e3afd-edc2-4a64-802f-0bfe7117ff86_1715686291962.wav,mmh sasa anhaa kwenye nafikiri kama sijakosea umeniambia kuwa haupendi hauipendi kwasababu ni nini ndefu.mmh.kuna kitu kingine ambacho hukipendi kutoka kwenye aina C.kwa kweli hakuna.mmh.vyote navipenda tu.mmh.na wewe unafikiri huo urefu wewe kwanini labda unasema urefu una umekukera .urefu umenikera sijui kwa vile nimepanda nyumbani kuna mbolea sana japo kuwa sijaweka mbolea ila ni uchafu ule labda ninaozoa labda kama umefagia.mmh.naweka pale naona kama mbolea ile imezidi.ikawa ndefu. moment_4_reproductive_85db5b29-3b45-46ac-bcd7-f26c9404dffe_1718274513561.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.aina A naipenda kwa sababu hata ikishikwa na ugonjwa haifi kabisa lazima izae lazima upate kidogo alafu ni ya mda mfupi yenyewe ina wahi sana kukomaa kushinda wenzake .sawa. moment_4_reproductive_85db5b29-3b45-46ac-bcd7-f26c9404dffe_1718274537514.wav,Angalia aina A na eleza chochote hukipendi kuhusu hio.aina A haina uzao mkubwa sana yani uzao wake unakuwa mdogo yani hata ukivuna kipato chake kinakuaga kidogo eeeh.sawa . moment_4_reproductive_85db5b29-3b45-46ac-bcd7-f26c9404dffe_1718274563724.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.aina B ina uzao mwingi na uki uzao wake yani unakuwa mzuri alafu haitambai kwa hiyo ni kwa sababu tu imeshikwa na ugonjwa lakini yenyewe haina shida sanasawa. moment_4_reproductive_85db5b29-3b45-46ac-bcd7-f26c9404dffe_1718274581371.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio.aina B sipendi kwa sababu inakaa mda mrefu sana haikauki haraka.sawa. moment_4_reproductive_85db5b29-3b45-46ac-bcd7-f26c9404dffe_1718274614416.wav,"Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.aina B, C ku yani yenyewe iko vizuri kwa sababu yani inatambaa vizuri kwa hiyo kama sio ugonjwa yani aina B ina uzao mkubwa kushinda wenzake .aina ainaC ina uzao kushinda wenzake .sawa.kwa sababu si inatambaa .mmmh.mmmh." moment_4_reproductive_85db5b29-3b45-46ac-bcd7-f26c9404dffe_1718274642689.wav,"Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio.aina C tatizo lake ni moja inashikwa na ugonjwa haraka sana kushinda wenzake lakini kama sio ugonjwa ingekuwa vizuri sema inashikwana ugonjwa kwa sababu ye si yamda mrefu kwa saabu inatambaa kwa hiyo ina mda mrefu mmmh.sawa," moment_4_reproductive_86667ed9-54af-415b-8fe8-e8572c7a886f_1716527811596.wav,Nini unapenda kuhusu aina C aina A?Kwenye aina A ninachokipenda ni kwamba maharage ya aina A yamekomaa mapema na yana watoto wa kutosha.Kingine unachokipenda kuhusu aina A tangia tunaanza jaribio mpaka sasa hivi ni nini?Nachokipenda kwenye aina A tangia tuanze jaribio ni kwamba hayakushambuliwa sana na wadudu ilikua inasitahimiri na namvua pia.Kuna maelezo mengine unaweza ukuyatoa kuhusu unachokipeda kwenye aina A.Hamna. moment_4_reproductive_86667ed9-54af-415b-8fe8-e8572c7a886f_1716527891096.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina A?Nisichokipenda kwenye aina A kidogo majani yake yanaanguka au yanapuputika kabla maharage hayajaanza kukomaa.Kingine unacho usichokipenda kwenye aina A tangia tumeanza jaribio mpaka sasa hivi?Tangia tumeanza jaribio nisichokipenda kwenye aina A ni kwamba katika uivaji wake wale watoto wa juu hawakuu hawakuweza kutoa matunda.Kingine usichokipenda kwenye aina A?Nisichokipenda kwenye aina A pia mmh kutu iliendelea kushambulia hata baada ya kupigwa dawa kwahiyo haisitahimiri saaana magonjwa kama kutu na mengine.Kuna kingine?Hamna. moment_4_reproductive_86667ed9-54af-415b-8fe8-e8572c7a886f_1716527980784.wav,Nini unapenda kuhusu aina B?Aina B ninachokipenda ni kwamba hadi kipindi imeonesha imeiva haijaonesha kama kuna dalili ya mnyauko au au kushambuliwa na kutu kwa hili nimeli nimeipenda sana.Unaweza ukanieleza tangia tumeanza jaribio mpaka sasa hivi ni nini unakipenda kwenye aina B.Tangia tuanze jaribio nachokipenda ni kwamba hata baada ya kupiga dawa ilionekana mabadiliko tofauti naa aina nyingineKingine unachokipenda kwenye aina B?Bado majani yake ni ya kijani hata wakati maharage yameiva.Huna maelekezo mengine ambayo unaweza ukanipa kuhusu aina B unachokipenda?Aaah maelekezo mengine naaa nadhani inaitaji kupigwa dawa ya mara kwa mara tofauti na nilivyo piga hili iliyoo tulivyoanza majaribio. moment_4_reproductive_86667ed9-54af-415b-8fe8-e8572c7a886f_1716528005178.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B tangu jaribio mpaka sasa hivi tangu tumeanza jaribio?Hakuna.Hakuna usichokipenda kwenye aina B?Ndio. moment_4_reproductive_86667ed9-54af-415b-8fe8-e8572c7a886f_1716528035321.wav,Nini unakipenda kuhusu aina C?Kwenye aina C nilichokipenda ilitoa maua haraka.Kingine uchokipenda kwenye aina C?Hamu.Tangia tumeanza jaribio?Hakuna. moment_4_reproductive_86667ed9-54af-415b-8fe8-e8572c7a886f_1716528152102.wav,Nini usichopende kwenye aina C kuhusu aina C?Kuhusu ain C pamoja na kupiga dawa wadudu walikua wakishambulia mara kwa mara na kingine hata baada ya kupiga dawa maharage mengine hata hayajatoa maua na hayaja haijakua na mazao ndo nisichokipenda pia wadudu wakiwa waliendelea kushambulia hata kwenye majani na magonjwa yalikua rahisi sana kushambuliwa na aina ya magonjwa.Kuna kingine usichokipenda kwenye aina C.Kwenye aina C pia nimeee nimewaza ni kama haisitahimiri mvua nyingi jinsi nilivyoiona.Kwanini labda?Kwa sababu kwenye aina aina C nimeona kuna yale mengine yaliyoota nyuma kidogo bado yana majani ambayo hayajanyauka na watoto wake kama vile bado ina watoto lakini kuna yale ya kwanza kabisa mengine hata haijazaa kwahiyo nimegundua nikianagalia na aina hizi wakati tumepanda siku moja nimeona yenyewe ni kama haijasitahimiri mvua inazidiwa na mvua.Kuna kingine ambacho ukipendi kwenye aina C?Hamna. moment_4_reproductive_888d772c-e459-4bb8-8537-9bd4b2fb4421_1718355453662.wav,Nini unapenda kuhusu aina B ?aina B naona kweli imezaa vizuri kwa hiyo ukuaji wake nao pia ni mzuri haina tatizo .sawa . moment_4_reproductive_888d772c-e459-4bb8-8537-9bd4b2fb4421_1718355482863.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B ?kwa kweli kitu ambacho labda pengine hatukipendi yamekuwa yanakamba kidogo na ndio vile vile tunavyosema labda kwenye ung'oaji inaweza kusumbua zingine zinakuwa zinashikana sana lakini kwa hali ya ujumla sio mbaya pia to ni tofauti na haya maharage yetu ya kienyeji tunayolima sante.sawa. moment_4_reproductive_888d772c-e459-4bb8-8537-9bd4b2fb4421_1718355505929.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?aina C kwa kweli nimeipenda inaenda juu vizuri na ukuaji wake ulikua vizuri na hata ukoomaji wake inakomaa vizuri kwa kweli kila sifa inayo haina shida yoyote.sawa. moment_4_reproductive_888d772c-e459-4bb8-8537-9bd4b2fb4421_1718355521824.wav,Nini usichopenda kuhusu aina C ?kwa kweli aina C naona sifa zote zinapendwa hakuna ambayo haipendwi katika haya maharage imejikamilisha.sawa. moment_4_reproductive_8fa233b6-f935-41ad-8fd1-823335b364cb_1715060852846.wav,nini unapenda kuhusu aina A.aina A naipenda kwasababu aina vikonyo yani aina kamba kamba zile. moment_4_reproductive_8fa233b6-f935-41ad-8fd1-823335b364cb_1715060874117.wav,nini usichopenda kuhusu aina A.kweli aina A amna ambacho sikipendi kwasababu yamezaa kwa kweli yana yana maarage ya kutosha. moment_4_reproductive_8fa233b6-f935-41ad-8fd1-823335b364cb_1715060896876.wav,nini unapenda kuhusu aina B.aina B nayo hayana vikonyo lakinii sio kwamba ni mazuri saaana hayana uzao mwingi kama A. moment_4_reproductive_8fa233b6-f935-41ad-8fd1-823335b364cb_1715060911453.wav,nini usichopenda kuhusu aina B.uzao wake ni mdogo. moment_4_reproductive_8fa233b6-f935-41ad-8fd1-823335b364cb_1715060950679.wav,nini unapenda kuhusu aina C.aina C ina ina kamba ndefu ni ya kuwekea vijiti kwa hiyo yani labda ioteshwe na mahindi ndo itakuwa nzuri ndo itakuwa na uzao mwingi. moment_4_reproductive_8fa233b6-f935-41ad-8fd1-823335b364cb_1715060980686.wav,nini usichopenda kuhusu aina C.ni hizo kamba zake tuu zinapanda sana. moment_4_reproductive_9153b6ec-9ef2-4138-a6db-bcb6717e97a0_1715926717606.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu aina iyo.A ni kweli nimeiona A aina A nimeapenda yalivyo nimependaa uuzaaji wake aaaa na uuu ukuaji wake kwa ujumla kwa kweli nimependa tu yalivyo.Mmmh.Ndio.Unaeza kunielezea zaidi umependa nini.nimependa.yaangalie alafu unanielezea chochote unacho kiona kimekupendeza kwenye aina hii.Aaaa naiona nimeyapenda yalivyo zaa yana rangi nzuri yana mvuto na pia yamezaa kiasi flan ambayo ki yamenipendeza.Unavosema yamezaa vizuri kwenye uzaaji una maanisha nini?.Aaaa yamezaa vizuri ya kwamba yametunga watoto wengi.Aaa.Nayana majani aamm ya kijani bado ya kijani ya kwamba bado hayajaanza kubadilisha rangi ya majani kuonyesha kwamba yameanza kuuu zoofika lakini yenyewe bado mazuri.Mmm.Mmm.Kingine kilicho kuvutia ambacho kimekupendeza kwenye aina A.Aaa kingine nii mmmmh niii uuu rangi yake.Mmm.Eeee rangi yake ni nzuri yanamvuto kwa kweli.Mmmh.Mmm.Asante. moment_4_reproductive_9153b6ec-9ef2-4138-a6db-bcb6717e97a0_1715926803467.wav,Angali tena aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupenda kuusu iyo.Aina A ambayo si ambacho sijkifurahia.Mmm.Niii huwa yana yame shambuliwa na wadudu.Mmm.Kenye mauwa.Mmm.Eee hilo sijalipenda alafu ata uuu uzaaji wake.Mmm.Umedhoofika ni kwamba.Mmm.Watoto wake utakuta kile kiii bomba kimoja.Mmm.Au kisu kimoja.Mmm.Kina punje tatu zingine zina punje moja.Mmm.Hapo ndipo nimeona sio sijapenda.Kingine ambacho hakija kupendeza kwenye aina A.Kwenye aina A ambacho sijakipenda ni icho ambacho uzaaji wake ni mzuri ila.Mmm.Visu vyake havina watoto wa kutosha.Ahaaa.Ndio.Ulivosema kisu hakina watoto wa kutosha m unaeza kunitolea mfano nikaelewa.Eheee! Naeza nikakutolea mfano ukaelewa.Mmm.Yaani kisu ni kile kiii kile kirefu kinacho hifadhi mbegu. moment_4_reproductive_9153b6ec-9ef2-4138-a6db-bcb6717e97a0_1715926899884.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu aina hiyo.Aina B ambacho nakionaaa ninakionaa nikiii mmm marage ni mazuri.Mmm.Yamekomaa.Mmm.Kwa wakati.Mmmh.Yako vizuri yameza wastani aaaa naaa aina B kwa kweli visu vyake vimejaza vizuri chapo vichache vina mbegu kidogo lakini nitofauti naa vinginele kwa kweli nimekipenda ni kizuri sana maana nadhani kitlu B ni kizuri zaidi kwasaabu imeee komaa.Mmmh.Ndio.Nashkuru kingine cha kuongezea ambacho unakipenda kwenye aina B.Cha kuongeza kwenye ai aina B ni kuboresha kwasababu nimeona katikaa.Unaweza kuongeza sauti kidogo.Ee katika kitalu B nilicho kiona ambacho kimenipendeza ni yamee komaa kwa wakati tofauti naa kitalu A yenyewe yame komaa vizuri yamebadilisha na rangi nadhani mpaka wiki ijayo yatakuwa tayari yaa mta yavuna ni kwama naona kwa mtazamo wangu yamee yameendana na udongo wa hapa shambani kwangu.Ahaaa.Ndio.Nashkuru sana.Sawa.Asante. moment_4_reproductive_9153b6ec-9ef2-4138-a6db-bcb6717e97a0_1715926994448.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu aina hiyo.Aaaa aina B ambacho sijakipenda.Mmm.Niiii imeza yani ni uzai uzao wake watoto yani haizai watoto wengi inazaa watoto wachache.Mmm.Kwaiyo ina punje lakini ni wachache haijazaa watoto wengi.Ahaaa.Ndio.Kingine cha kuongezea ambacho hujapenda kwenye aina B.Aaaa aina B ambacho sijaki yani ambacho nimekipenda.Mmm.Ambacho si sijapenda kuuu kukiona ndio.Mmm.Niii uzaji wake tu ambao nii udhaifu.Aaaa.Eeee yani haujazaa.Ukisema uzaaji ni mdhaifu unamaanisha nini?Na maana ni kwaba imezaa watoto wa chache katika kila shina shina moja lina watoto waa tatu watoto wa tatu ni kwamba vile visu viko vitatu tu.Aaaaa.Eeeee ingeuw na visu kumi kumi na tano ishirini basii ninge kuwa na matumaini kwamba imeza vizuri au imefanya vizuri zaidi.Mmm.Ndio.Nashuru.Sawa. moment_4_reproductive_9153b6ec-9ef2-4138-a6db-bcb6717e97a0_1715927050968.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unkipenda kuusu aina hiyo.Aina C nilichokiona.Mmm ambacho unakipenda.Ambacho nimeku nimekipenda katika aina C nii uzaaji wake ni mzuri ina tambaa sana maana kwaa kwa maana ikitambaa sana inaa zaa watoto wengi.Mmm.Ila haikomai kwa wakati naaaa uzaaji wake ni mzuri ila haija komaa majani yake bado ya kijani.Mmm.Eeee.Asante.Ndio. moment_4_reproductive_9153b6ec-9ef2-4138-a6db-bcb6717e97a0_1715927155737.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu aina iyo.Aina C ambacho sipendi niii marage haya yalivyo.Mmm.Hayaja zaa vizuri mengine.Mmm.Haa yani yanaonekana bado machanga yenyewe ni yanachelewa sana nadhani nii ni ni ni mbegu ya mda mrefu.Mmm.Eee yani ukomaji wake utachukua mda mrefu kwasabu nitofauti na hizi zingine yani haii kitalu C hionyeshi hata dalili ya kukomaa ni kwamba bado machanga zaidi.Mmm.Eee hapo sijapenda kwasabu ya hivyo ilivo.Kingine cha kuongezea ambacho hujapenda kwenye aina C.Aina C ambacho sijakipenda ni yalivyo ni kwamba mbegu hiyoo aaaa labda iboreshwe na ipandwe tofauti na tulivyopanda ipande mbele yaani kwenye mwezi wa pili na dhani itakuwa ndo mda wake ikipandwa mwezi wa tatu itachukua mda mrefu kukomaa maana kwa nnavyoona bado changa lakini kitalu C yamesha komaa mpaka wiki ijayo labda nitayatoa lakini.Eeee kitali C tena au.Aaaa kitalu B.Ahaaa.Ehee yani kitalu B yanaonekana yamesha komaa na wiki ijayo naweza nikayatoa lakini kitalu C hayana dalili yeyote bado machanga.Mmm.Kwahiyo hii nim inaonyesha ni mbegu ya mda mrefu.Saawa nashkuru.Mmm. moment_4_reproductive_96cc8669-13ca-4680-bef1-67c81a07aff5_1716784540000.wav,"angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?.katika sehemu A kitu ninachokipenda ni uzaaji wake ingawaje si wa kuridhisha sana lakini najua ni kwasababu mvua, mvua kuzidi lakini uzaaji wake unaridhisha.sawa." moment_4_reproductive_96cc8669-13ca-4680-bef1-67c81a07aff5_1716784566487.wav,angalia aina A na eleza chochote ambacho hupendi kuhusu hiyo?.hapa hakuna nisichokipenda niseme nakipenda hii hali inayojinyesha hapa ni kutokana tu na unyeshaji wa mvua wa mvua mfululizo. moment_4_reproductive_96cc8669-13ca-4680-bef1-67c81a07aff5_1716784639807.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unapenda kuhusu hiyo?.hapaaa kuhusu B uotaji ndicho kitu ambacho nakipenda. moment_4_reproductive_96cc8669-13ca-4680-bef1-67c81a07aff5_1716784668262.wav,"angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?.katika B hapa sema, kitu ambacho sikipendi ni ushambuliaji wa wadudu kwa chiniinaonesha kuna wadudu wamemm wameshambulia kwa kwenye mizizi kwa chini." moment_4_reproductive_96cc8669-13ca-4680-bef1-67c81a07aff5_1716784705202.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?.hii C haina utofauti na A kule kwenye A uotaji wake umekuwa mzuri isipokuwa hauko katika hali inayotakiwa kwasababu ya mfululizo wa mvua. moment_4_reproductive_96cc8669-13ca-4680-bef1-67c81a07aff5_1716784731559.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?hapa sana sana hakuna nisichokipenda ni athari tu inayotokana na na mfululizo wa unyeshaji wa mvua maana ardhi iliyoko hapa haitaki mvua mfulilizo.sawa. moment_4_reproductive_9d8908eb-c44a-4b91-a60a-493b5693046f_1716804158752.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuusu hiyo uwii.A . A naipenda kwauza kwauzao wake lakini haija zaa sana hakuna nisicho kipenda.Aaa apo kwenye kupenda tu.Eeee.unajibu mala moja.Aaaa. moment_4_reproductive_9d8908eb-c44a-4b91-a60a-493b5693046f_1716804221630.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu hiyo.Hakuna nisichokipenda. moment_4_reproductive_9d8908eb-c44a-4b91-a60a-493b5693046f_1716804337750.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unapenda kuusu hiyo.Naipenda sana B kwasababu inazaa vizuli na inakomaa. moment_4_reproductive_9d8908eb-c44a-4b91-a60a-493b5693046f_1716804355867.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu hiyo.Hakuna nisecho kipenda. moment_4_reproductive_9d8908eb-c44a-4b91-a60a-493b5693046f_1716804396002.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unaipenda kuhusu hiyo.Naipenda sana C kwasababu uzao wake ni mzuli imekomaa kui kupita kushinda vyote. moment_4_reproductive_9d8908eb-c44a-4b91-a60a-493b5693046f_1716804411884.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuusu hiyo.Hakuna nisicho kipenda. moment_4_reproductive_ad873504-a254-43d0-b428-fd1eda7059d1_1720778579860.wav,Nini unapenda kuhusu aina A? A kwanza nimeipenda kwenye uzao. moment_4_reproductive_ad873504-a254-43d0-b428-fd1eda7059d1_1720778594154.wav,"Penda katika aina A? Nisichokipenda ni ulaji, lakini kwenye biashara ni nzuri." moment_4_reproductive_ad873504-a254-43d0-b428-fd1eda7059d1_1720778606865.wav,"Nini unachokipenda kwenye aina B? B, kula." moment_4_reproductive_ad873504-a254-43d0-b428-fd1eda7059d1_1720778621955.wav,Kipenda katika aina B? Nisichokipenda yani inarefuka yani inaenda juu haina uzao. moment_4_reproductive_ad873504-a254-43d0-b428-fd1eda7059d1_1720778632154.wav,Nini unachokipenda katika aina C? C na yenyewe kwenye kula pia ni nzuri. moment_4_reproductive_ad873504-a254-43d0-b428-fd1eda7059d1_1720778645375.wav,Sichokipenda katika aina C? Nisichokipenda kwenye aina C haina uzao wa kutosha. moment_4_reproductive_ae5594b3-7530-4c07-88cd-5b44607c1d62_1716533662686.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina A?Aina A mimi ninachopenda ni nzuri lakini ni ya muda mrefu kuliko hizi zingine namba B na CSawa elezea kitu mbacho umekipenda kimekufurahisha zaidi kuanzia tumeanza jaribio kuhusu aina A.Aina A kitu nachokipenda hapo ina watoto warefu wakubwa watoto kubwa kubwa refu ndo hivyo.Sawa kuna kitu kingine unachokipenda kwenye aina A tangia tumeanza jaribio mpaka sasa hivi katika ukuaji wake na hapa ilipofikia.Sasa hivi ina maua nyingi halafu ni marefu saaa zaidi na inaongezeka kuzaa zaidi kuliko hizi zingineKuna kingine? Au maelezo ya kuelezea.Hakuna kingine. moment_4_reproductive_ae5594b3-7530-4c07-88cd-5b44607c1d62_1716533765530.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina A?Hakuna kitu kingine zaidi ya hizi nanii zakeNini?Inapotoa kambakamba hizo refu refu kwa kuchelewa yani mvua ikiwa chache itakua na ita haitazaa na kamba zake na itachelewa itakua na kamba zake zitadumaa.Sawa kuna kingine ambacho hupendi kwenye aina A?Hakuna kitu kingine zaidi ya hapo. moment_4_reproductive_ae5594b3-7530-4c07-88cd-5b44607c1d62_1716533908681.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina B?Aina B naipenda zaidi kuliko zingine kw sababu hiyo aina B ina watoto nyingi halafu sasa hivi ilivyo imezaa sana kuliko zingine hizi zingine zote na imeota yote kuliko zingine kwahiyo ina watoto nyingi sasa hivi karibu imezaa na iendeelee kuzaa ni ya muda mfupi.Kuna kitu kingine unachokipenda kwenye aina B?Hakuna kitu kingine ni hizo kwahiyo nakipenda zaidi kuliko zingine. moment_4_reproductive_ae5594b3-7530-4c07-88cd-5b44607c1d62_1716534027003.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu aina B?Aina B ila mashambulio ya wadudu sijaona vizuri imefunga imekua imetota vizuri na imejaa kwahiyo kitu ambacho sikipendi sijajua vizuri kwa sababu kuna barafu ambazo zili majani zimepata kutu kutu kwa sababu ya mvua nyingi ila kama hakuna mvua naona isingekua na hiyo karafu ambayo ni kutukutu kwahiyo hiyo barafu ndio ilileta matatizo kidogo ndio kitu ambacho nikimeona ambacho sikipendi.Kuna kingine ambacho haukipendi kwenye aina B?Hakuna kingine.Kuna maelezo ya ziada ambacho ambayo unaweza kutoa kuhusu ambacho hukipendi kwenye aina B.Maelezo mengine ningeomba kama kuna uwezekano hii aina B ndo ambayo inastawi vizuri kuliko hizi zingine zote kwahiyo ndio nilichokipenda kwenye hiyo aina B kwahiyo ingewezekana kama kuna nanma yoyote ya kuaikuza hizo ndio aina B ndio namba moja.Sawa. moment_4_reproductive_ae5594b3-7530-4c07-88cd-5b44607c1d62_1716534167615.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kwenye aina C?Aina C ndio inayofuata ile aina B kwa sababu nayo imekua nzuri imeota vizuri na imekua vizuri na imezaa na inazidi kuzaa kuna inaendelea kuzaa haina makambamakamba nayo imekaa vizuri kwahiyo haina shida yoyote kwahiyo nayo ina inakua ni nzuri.Kuna maelezo ya ziada ambayo unaweza ukatoa kuhusu aina C kitu ambacho unakipenda?Ninaa kipenda kwa sababu haina magonjwa haina ille kutukutu hainaaa yani hii nanii hiyo barafu bado haijapata kwahiyo ime inainakua vizuri na inaendelea sawa bado ina maua.Kuna kingine unachokipenda kwenye aina C?Hamna ingine. moment_4_reproductive_ae5594b3-7530-4c07-88cd-5b44607c1d62_1716534215899.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu aina C?Aina hii yaaa C hakuna kitu ambacho sikipendi kwahiyo hiko vizuri majani yake bado ni kijani hakuna iliyokaukakau kwa barafu.Kuna kingine?Hamna kingine zaidi ya hapo.Sawa. moment_4_reproductive_afd58fd7-51ad-4e95-9041-8b420daa9863_1716126278575.wav,nini unapenda kuhusu aina A.aina A napenda maarage yame zaa watoto wengi halafu yame stawi vizuri.kipi kingine umependa kuhusu aina A.hakuna.hakuna?eeh. moment_4_reproductive_afd58fd7-51ad-4e95-9041-8b420daa9863_1716126306406.wav,nini usicho penda kuhusu aina A.hakuna nisicho penda.hakuna?hakuna naona maharage ni mazuri yame stawi vizuri na yana zaa vizuri.sauti kidogo.yamestawi vizuri maharage na yame zaa vizuri yana watoto wengi.sawa. moment_4_reproductive_afd58fd7-51ad-4e95-9041-8b420daa9863_1716126339005.wav,nini unapenda kuhusu aina B.aina B nayoo maharage yake ni mazuri yame kuwa vizuri yana afya nzuri na yana watoto wengi.eeh sababu gani nyingine imekufanya upende aina B.hakuna sababu nyingine.hakuna?eeh. moment_4_reproductive_afd58fd7-51ad-4e95-9041-8b420daa9863_1716126351955.wav,nini usicho penda kuhusu aina B.hakuna.hanuna?eeh.hakuna usicho penda?ndio. moment_4_reproductive_afd58fd7-51ad-4e95-9041-8b420daa9863_1716126391789.wav,nini unapenda kuhusu aina C.aina C yanii yana onekana maaragee mvua imenyesha nyingi sana.mhh.halafu maaragee yamebadirika kidogo.yame badirikaje?watoto wanaa madonda madonda.wana madonda madonda?eeh mabaka mabaka meusi kulingana na hali ya hewa.kulingana na hali ya hewa?eeh.hakuna kingine ulicho penda.hakuna. moment_4_reproductive_afd58fd7-51ad-4e95-9041-8b420daa9863_1716126514802.wav,nini usicho penda kuhusu aina C.aina C naona maharage haya stawi vizuri yalikuwaa sasa yana onekana hali ya hewa ya mvua imenyesha nyingi sana.kwa hiyo ime kuwaje?imekuwa maharage yana onekana watoto wana ma baka mabaka ya madonda madonda.kipi kingine usicho penda aina C.nisicho penda yani yana onekana maarage yana madonda donda meusi meusi.aah.eeh watoto walio zaliwa wale wana madonda madonda.aah unaweza ukaelezea zaidi kufikia hitimisho hilo.hakuna.kwamba umesema yana madonda madonda una maanisha nini?kulingana na hali ya hewa yani mvua imenyesha nyingii halafu yana onekana hali ya hewa maarage yana madonda madonda.eeh.kwasababu ya hali ya hewa mvua imenyesha vibaya.eeh.labda mchanga umebadirika hali ya hewa.eeh kipi kingine usicho penda kuhusu aina hii?yani ni maarage yana wengine watoto wengine hayana watoto.mhh.yana madonda madonda.sawa sawa.eeh. moment_4_reproductive_b31fbf1d-4d94-4a17-8e5e-4c8fed7f3957_1716716679260.wav,Angalia aina A na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Naipenda kwasababu inavumilia ukame. moment_4_reproductive_b31fbf1d-4d94-4a17-8e5e-4c8fed7f3957_1716716699314.wav,Angalia aina A na ereza chochot unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.Hakuna. moment_4_reproductive_b31fbf1d-4d94-4a17-8e5e-4c8fed7f3957_1716716722969.wav,Angalia aina B na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Inakomaa halaka. moment_4_reproductive_b31fbf1d-4d94-4a17-8e5e-4c8fed7f3957_1716716745906.wav,Angalia aina B na ereza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.Inashambuliwa na magonjwa haraka. moment_4_reproductive_b31fbf1d-4d94-4a17-8e5e-4c8fed7f3957_1716716774499.wav,Angalia aina C na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Naipenda kwasaabu inazaa. moment_4_reproductive_b31fbf1d-4d94-4a17-8e5e-4c8fed7f3957_1716716823184.wav,Angalia aina C na ereza chochote unachokiona ambacho hukipenda kuhusu hiyo.Haivumilii ukame. moment_4_reproductive_c1f2ba9f-98a3-4d90-9f37-7071d3947f9e_1715921872325.wav,Angalia aiana A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.nimeyapenda kwa sababu yamezaa sana. moment_4_reproductive_c1f2ba9f-98a3-4d90-9f37-7071d3947f9e_1715921931479.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hio.ni yale ambayo hayajaota lakini yaliyoota nimeyapenda sana .mmh. moment_4_reproductive_c1f2ba9f-98a3-4d90-9f37-7071d3947f9e_1715922127903.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.ninayapenda kwa sababu yamerefuka vizuri na yameyazaa makaka yake mazuri mengi . moment_4_reproductive_c1f2ba9f-98a3-4d90-9f37-7071d3947f9e_1715922218064.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona amabacho hupendi kuhusu hio.sijayapenda kwa sababu hayajaota vizuri . moment_4_reproductive_c1f2ba9f-98a3-4d90-9f37-7071d3947f9e_1715922320973.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hio.aina hii ni nzuri nimeipenda kwa sababu imezaa vizuri . moment_4_reproductive_c1f2ba9f-98a3-4d90-9f37-7071d3947f9e_1715922357727.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona amabacho hupendi kuhusu hio.hii ni nzuri imezaa vizuri lakini makaka yake hayajakomaa vizuri kwa hiyo ninayo haja ya kuona siyapendi vizuri . moment_4_reproductive_c396b8f2-f1b3-4a30-a6fb-c9833c4d5665_1716195724189.wav,Angalia aina A nini unapenda kuhusu aina A ?aina A mimi ninachoipendea kwamba katika uotaji wake haisumbui tena inaota vizuri pia hata katika uzaaji wa matunda yake yanatoka matunda makubwa na mazuri ndio nilichoipendea. moment_4_reproductive_c396b8f2-f1b3-4a30-a6fb-c9833c4d5665_1716195776911.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A ?nisichopenda kuhusu aina A ni kwamba licha ya uzaaji wa matunda mazuri lakini haikomai kwa haraka. moment_4_reproductive_c396b8f2-f1b3-4a30-a6fb-c9833c4d5665_1716195912386.wav,Nini unapenda kuhusu aina B ?aina B ninachoipendea kwa huku kwetu ni kwamba uki uki soko lake halisumbui ko ukipeleka sokoni inauzika kwa haraka ndio nilichoipendea hio aina B . moment_4_reproductive_c396b8f2-f1b3-4a30-a6fb-c9833c4d5665_1716196012880.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B ?aina B nisichoipenda ni kwamba hairefuki na haiwi na haiwi haiwi na matawi mengi kama maharage mengine . moment_4_reproductive_c396b8f2-f1b3-4a30-a6fb-c9833c4d5665_1716196134953.wav,Nini unapenda kuhusu aina C ?aina C nachoipendea kwamba inapanuka na inakuwa na makaka mengi kuzidi aina zote za maharage A na B ko nilichoipendea ndo ndio sababu ni hiyo hata kipato chake inakuwa ni kikubwa kulingana na uzaaji wake ni mkubwa. moment_4_reproductive_c396b8f2-f1b3-4a30-a6fb-c9833c4d5665_1716196204142.wav,Nini usicho usichopenda kuhusu aina C ?aina C nisichokipenda ni kuwa uotaji wake ni una ni sio mzuri sana kuli kuzidi aina zote tulizoziona A na B kwa saabu imeota ni mimea michache kulingana na aina zote tulizoziona A na B . moment_4_reproductive_c4df7a0f-d08c-4d66-83e6-593ab6d52eb5_1716270524112.wav,nini unapenda kuhusu aina A.aina A yamee komaa na yame stawi yame zaa vizurii naa nimeyapenda kwasababu yanaiva yameiva haraka kwa wakati. moment_4_reproductive_c4df7a0f-d08c-4d66-83e6-593ab6d52eb5_1716270547050.wav,nini usichopenda kuhusu aina A.aina A bwanaaa hamna nisicho kipenda maana yamekaa vizuri. moment_4_reproductive_c4df7a0f-d08c-4d66-83e6-593ab6d52eb5_1716270601475.wav,nini unapenda kuhusu aina B.aina B nimeipenda kwasababu ime zaa sana yani imezaa sana kwa hiyo na imestawi vizuri kwa hiyo hamnaa nimeipenda tu niseme hivyo. moment_4_reproductive_c4df7a0f-d08c-4d66-83e6-593ab6d52eb5_1716270616999.wav,nini usicho penda kuhusu aina B.aina B labda niseme kidogoo labda kwasababu tu yana chelewa kukomaa basii lakini amna nisicho kipenda. moment_4_reproductive_c4df7a0f-d08c-4d66-83e6-593ab6d52eb5_1716270664833.wav,nini unapenda kuhusu aina C.aina C niseme kwanza naona kama maajabu maana mara ya kwanza yalikuwa kama hayaja kaa vizuri vizuri lakini kwa sasa hivi naona yani yamechipua vizuri na yameenda vizuri na yame zaaa kimaajabu tena. moment_4_reproductive_c4df7a0f-d08c-4d66-83e6-593ab6d52eb5_1716270688973.wav,nini usicho penda kuhusu aina C.aina C hamna kiukweli nisicho penda japo kuna baadhi ya mashina ambayo hayajatokagaa vizurii lakini nime yapenda na hamna nisicho kipenda hapa. moment_4_reproductive_c5dee759-0de2-4814-b32a-5333f6912f8e_1716438808094.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?.kwenye upande wa kitalu A nimependa imejitahidi sana kuzaa maharage yake yamezaa vizuri na yamesimama bila shida kwahiyo hakuna shida yeyote. moment_4_reproductive_c5dee759-0de2-4814-b32a-5333f6912f8e_1716438835499.wav,angalia aina A na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?.kwenye upande wa aina A ambacho sipendi maharage kuna mistari kama miwili hivi haijaota vizuri kwahiyo sijapendezwa nacho. moment_4_reproductive_c5dee759-0de2-4814-b32a-5333f6912f8e_1716438875062.wav,angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?.kwenye upande wa aina B nimekipenda kitalu cha aina B kimestawi vizuri sana kuliko vingine vyote kwahiyo hakuna shida yeyote hapo.ni kustawi tu?.nakuzaa pia maharage yake naona kama yamezaa sana kwenye mashina yake yamezaa bila shida kweli yani. moment_4_reproductive_c5dee759-0de2-4814-b32a-5333f6912f8e_1716438902191.wav,angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?.aina B ambacho sipendi mstari mmoja uliota bila uliota kwa kusua sua kwahiyo kwenye upande wa aina B ambacho sijapendezwa nacho ni mstari mmoja tu haujaota vizuri. moment_4_reproductive_c5dee759-0de2-4814-b32a-5333f6912f8e_1716438926611.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo?.kwenye upande wa aina C nimependa maharage yamezaa bila shida yeyote na machane yake yamezaa vizuri bila shida. moment_4_reproductive_c5dee759-0de2-4814-b32a-5333f6912f8e_1716438949175.wav,angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo?aina C ambacho sipendi mstari mmoja wa maharage umekufakabisa haupo imebaki mistari mitatu tu moment_4_reproductive_d39c643f-3387-4fb7-92c3-5d737770ac58_1715059710278.wav,angalia aina A na elezea chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu hiyo.kwenye aina A nilicho kipenda zaidi ni jinsi ilivyo refuka na kuwa na matawi yaliyo shikamana jambo hilo nime pendezwa sana nalo.kuna kingine ambacho una kionaa una kipenda kuhusu aina A.aaah katika aina A jambo lingine nililo lipenda ni kwamba aa uotaji wake una faa katika mazingira yetu na vile vile jinsi ilivyo toa maua huwa yana pendeza sana.pia ukiangalia zaidi kwaa sehemu ambayo imetoa maua au jinsi ilivyozaa inavyo onekana una ionaje jinsi ilivyo toa watoto.kwenye swala la utoaji wa watoto sio mbaya kweli imezaa vizuri aah kwa ujumla nimependezwa na na jinsi inavyo endelea kuzaa na ku mea.sawa nashukuru. moment_4_reproductive_d39c643f-3387-4fb7-92c3-5d737770ac58_1715059752495.wav,angalia aina A na elezea chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. una kipenda kuhusu hiyo.katika aina A jambo ambalo sijafurahishwa naloo ni swala la aa miche yake kuwa midogo lakini vilevile imee refuka sana jambo ambalo limefanya sijajua kwamba kwenye swala la utoaji watoto umeonekana kidogo ni hai hafifu kuliko aina B na C. maarage hii ya aina B jambo ambalo limenipendeza sana ni kwamba imezaa vizuri vilevile ukiona kwenye zile ma uzao wake mananii yake ni makubwa zaidi kuliko hata aina A lakini jambo lingine ambalo nimelipenda sana ni kwamba aaa shina zake ni nene ja.kuna kingine ambacho unakiona ambacho hukipendi kuhusu aina A. ambacho unakiona una kipenda kuhusu aina C.kwa kweli hakuna. moment_4_reproductive_d39c643f-3387-4fb7-92c3-5d737770ac58_1715059815673.wav,angalia aina B na elezea chochote unacho kiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.katika maarage hii ya aina B jambo ambalo limenipendeza sana ni kwamba imezaa vizuri vilevile ukiona kwenye zile ma uzao wake mananii yake ni makubwa zaidi kuliko hata aina A lakini jambo lingine ambalo nimelipenda sana ni kwamba aaa shina zake ni nene jambo ambalo limenifurahisha ni kwamba maarage haya yana uwezekano wa kuiva vizuri katika mazingira yetu haya.unaweza ukaangalia zaidi ambacho unakiona unakipenda kuhusu aina B.katika jambo ambalo lime nifurahisha vilevile katika maarage haya ya aina B ni wakati inapotoa maua maua yake yalikuwa yana pendeza jambo ambalo limefanya hata leo kwenye sehemu ya uzalishaji imekuwa kidogo ina onekana iko hai kidogo tofauti na ile maarage ya kitalu A.sawa nashukuru. moment_4_reproductive_d39c643f-3387-4fb7-92c3-5d737770ac58_1715059834887.wav,angalia aina B na elezea chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.kwa ujumla mimi kama mkulima mimi naona kwamba maarage haya yamenifurahisha jambo ambalo haliku nifurahisha hakuna kwa ujumla.sawa nashukuru. moment_4_reproductive_d39c643f-3387-4fb7-92c3-5d737770ac58_1715059888192.wav,angalia aina C na eleza chochote unacho kiona unakipenda kuhusu hiyo.jambo ambalo pia nimelifurahi katika maharage haya aina C ni kwamba hata siku ilivyo kuwa imeota imeota kwa ujumla aa jambo la pili ni kwambaa uzao wake ni mzuri kwa ujumla na jambo la tatu ninalo liona ni kwamba pamoja na kwamba mashina yake nii membamba zaidi na yale ya kitalu B lakini kwa ujumla ugree wake na jinsi ilivyozaa imenifurahisha sana tofauti na kitalu A na B.kuna kingine ambacho unakiona unakipenda kuhusu aina C.kilicho nifurahisha zaidi ni swala la uzao wake hakuna maharage yani kila shina ukiangalia imezaa vizuri.sawa nashukuruu. moment_4_reproductive_d39c643f-3387-4fb7-92c3-5d737770ac58_1715059918148.wav,angalia aina C na elezea chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.kwa ujumla mimi niseme kwa ujumla nimefurahishwa na vitalu vyote vitatu hakuna jambo ambalo silipendi kwasababu maharage mimi naamini kwamba ni maharage na kwasababu ni maharage yaliyo letwa katika mazingira yetu haya nina amini kwamba yote mimi kwangu ni sawa.sawa nashukuru. moment_4_reproductive_dd6b4960-99b3-446e-88a1-b2788c2f48ad_1716794669405.wav,Angalia aina A na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu aina iyo.Mi naona nakipenda hata aina A naipenda. moment_4_reproductive_dd6b4960-99b3-446e-88a1-b2788c2f48ad_1716794686142.wav,Angalia aina A na ereza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.Nakipendaaa hicho aina A naipenda pia mbegu hii. moment_4_reproductive_dd6b4960-99b3-446e-88a1-b2788c2f48ad_1716794703804.wav,Angalia aina B na areza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Nlikuwa naihofu mala ya kwanza lakin asaivi naona tu hali ni nzuli kwa mana hiyo naipenda hata hivi aina B. moment_4_reproductive_dd6b4960-99b3-446e-88a1-b2788c2f48ad_1716794742596.wav,Angalia aina B na ereza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.Aina B sijaona makosa yoyote nimeona tu nakipenda tu. moment_4_reproductive_dd6b4960-99b3-446e-88a1-b2788c2f48ad_1716794760695.wav,Angalia aina C na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Aina C naona si sijaona ubovu wowote tu na ninzuri tu. moment_4_reproductive_dd6b4960-99b3-446e-88a1-b2788c2f48ad_1716794783442.wav,Angalia aina C na ereza chochote unachokiona ambacho hukipenda kuhusu hiyo.Sijau sijaona ubaya wowote kwenye aina C. moment_4_reproductive_e0d1095d-2200-401c-bdbd-f2b03c8f4a8f_1716467072503.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?Aaah napenda tu uotaji wake ulivyoota na uzao wake sio mbaya sana.Uzao wake unaonene unaonekanaje?Unaonekana ni mzuri. moment_4_reproductive_e0d1095d-2200-401c-bdbd-f2b03c8f4a8f_1716467088084.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A?Aaah haionekani kama vile wanaa wanapenda kushambulia.Kuna kingine ambacho unakiona ambacho hupendi kuhusu aina A?Hamna. moment_4_reproductive_e0d1095d-2200-401c-bdbd-f2b03c8f4a8f_1716467104685.wav,Nini unapenda kuhusu aina B?Aina B inaonekana kustawi kuliko aina A.Ustawi wake unaonekanaje au ukuangalia zaidi ni nini ambacho kinaonekana?Majani yake ni mapana na uotaji wake sio mbaya. moment_4_reproductive_e0d1095d-2200-401c-bdbd-f2b03c8f4a8f_1716467113692.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B?Aina B sijaona kitu ambacho sikipendi. moment_4_reproductive_e0d1095d-2200-401c-bdbd-f2b03c8f4a8f_1716467125043.wav,Nini unapenda kuhusu aina C?Aina C nayo uotaji sio mbaya kwahiyo naona kama analizisha. moment_4_reproductive_e0d1095d-2200-401c-bdbd-f2b03c8f4a8f_1716467139330.wav,Nini usichokipenda kuhusu aina C?Aina C hakuna nacho ambacho sikipendi kwa sababu uotaji wake ni mzuri na majani yake ni mazuri kwahiyo hamna nisi ambacho sikipendi. moment_4_reproductive_e288a59b-9a56-4ea0-a566-ce73107c0df0_1717077047640.wav,"nini unapenda kuhusu aina A?.aina A naipenda kwasababu sahivi naona yanaendelea vizuri, yamezaa vizuri na bado ya kijani ee ndio hicho tu ninachokipenda na yamezaa vizuri .hamna jambo lingine.jambo lingine hamna.aya asante." moment_4_reproductive_e288a59b-9a56-4ea0-a566-ce73107c0df0_1717077071916.wav,nini usichopenda kuhusu aina A?.aina A nisichokipenda ni kwamba sasahivi naona kama yananyauka mmea mmoja mmoja ndicho hicho tu.aya asante. moment_4_reproductive_e288a59b-9a56-4ea0-a566-ce73107c0df0_1717077096952.wav,nini unapenda kuhusu aina B?.aina B na nayapenda kwasababu mwanzo yaliota vizuri na yamezaa kwa wastani ndicho ninachokipenda.aya asante. moment_4_reproductive_e288a59b-9a56-4ea0-a566-ce73107c0df0_1717077124751.wav,angalia aina B na eleza chochote ambacho hupendi kuhusu aina hiyo?.aina B nisichokipenda ni kwamba nayo naona yananyauka kwa asilimia kubwa yamenyauka mengi sana mmh ndicho hicho tuaya asante. moment_4_reproductive_e288a59b-9a56-4ea0-a566-ce73107c0df0_1717077170248.wav,angalia nini unapenda kuhusu aina C?.aina C nayapenda kwasababu naona yamezaa vizuri na mpaka sasa yanaendelea vizuri ndicho hicho tu ninacho.hauna jambo lingine.eehauna jambo lingine ambalo limekupendeza zaidi.napenda kwasababu yamestawi naona yamestawi mmh.aya asante. moment_4_reproductive_e288a59b-9a56-4ea0-a566-ce73107c0df0_1717077197123.wav,angalia na eleza chochote hupendi kuhusu aina C.aina C ambacho sipendi ni kwamba inanyauka tu majani ndicho ambacho tu sikipendi.jambo lingine.jambo lingine naona hamna.aya asante. moment_4_reproductive_ecf6c969-2a61-4e0a-b97f-18ee392e8d88_1716121361745.wav,ndugu mkulimaa tunaendelea na maswali yetuu nini umependa kuhusu aina A?hapa aina A nimependa kwasababu maharage yamezaa maharage mengi.kipi kingine ulichopenda aina A.hakuna.hakuna kabisa.ee hakuna. moment_4_reproductive_ecf6c969-2a61-4e0a-b97f-18ee392e8d88_1716121396937.wav,nini usichopenda hukusu aina A?hapa aina A maharage yameshindwa kufumilia mvua nyingi.kipi kingine ki usichokipenda kuhusu aina A?hakuna.hakuna kabisa?ee hakuna. moment_4_reproductive_ecf6c969-2a61-4e0a-b97f-18ee392e8d88_1716121441364.wav,nini unapenda kuhusu aina B?hapa aina B napenda maharage yamezaa vizuri na hajaharibika na mvuakipi kingine ulichokipenda kuhusu aina B?akuna.hakuna kabisa?hapa hakuna. moment_4_reproductive_ecf6c969-2a61-4e0a-b97f-18ee392e8d88_1716121455358.wav,nini usichopenda kuhusu aina B?hapa hakuna nisichopenda kwa sababu maharage yamezaa vizuri.hakuna kabisa?hakuna. moment_4_reproductive_ecf6c969-2a61-4e0a-b97f-18ee392e8d88_1716121497085.wav,tunaendelea na maswalii nini unapenda kuhusu aina C?hapa aina C ninapenda kwa sababu maharage yabgu yamezaa watoto wengiikipi kingineee kimekufanya upende aina C?hapa napenda kwa sababu maharage yamezaa watoto wengi.sababu nyingine?sababu nyingine hakuna. moment_4_reproductive_ecf6c969-2a61-4e0a-b97f-18ee392e8d88_1716121514852.wav,nini nini usichokipenda kuhusu aina C?Hapa aina C hakuna nisichokipenda.hakuna.hakuna. moment_4_reproductive_f1c7ee5f-7e4c-4043-b88e-2009c3b5c7e1_1723272991650.wav,nini unapenda kuhusu aina A? aina A napenda kuhusu uotaji wake yana yanatoka vizuri moment_4_reproductive_f1c7ee5f-7e4c-4043-b88e-2009c3b5c7e1_1723273012529.wav,nini usichopenda kuhusu aina A? nisichopenda kuhusu aina A yanashambuliwa sana na barafu kwa haraka moment_4_reproductive_f1c7ee5f-7e4c-4043-b88e-2009c3b5c7e1_1723273036989.wav,nini unapenda kuhusu aina B? napenda uotaji wake na ustawi wake yanastawi vizuri sana moment_4_reproductive_f1c7ee5f-7e4c-4043-b88e-2009c3b5c7e1_1723273062643.wav,nini usichopenda kuhusu aina B? nisichopenda kuhusu aina B ni kufuatana na hali ya hewa yanapigwa na baridi lakini yanpopigwa na baridi uzao wake unakuwa mgumu kidogo moment_4_reproductive_f1c7ee5f-7e4c-4043-b88e-2009c3b5c7e1_1723273148361.wav,nini unapenda kuhusu aina C? aina C kwakweli ninachopenda ni pale yalivomea tu alafu na makuzi yake basi moment_4_reproductive_f1c7ee5f-7e4c-4043-b88e-2009c3b5c7e1_1723273178056.wav,nini usichopenda kabisa kuhusu aina C? aina C haipendezi kabisa haswa wakati wa ukichelewa kama hivi tulivochelewa kuipanda imekutana na mfumo wa barafu baridi yaani haina kabisa uzao hai inaonyesha dalili za kukatisha tamaa sana okay sawa moment_4_reproductive_fb4de259-ea2b-456a-9715-d354855955fa_1715083197021.wav,angalia aina A na elezea chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu hiyo.kuhusuu aina A naonaa imezaa kwa hiyoo naona uzaaji wake sio mbaya nimependa tu kwaajili ya hilo. moment_4_reproductive_fb4de259-ea2b-456a-9715-d354855955fa_1715083215276.wav,angalia aina A na elezea chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. kuhusu hiyo. una kipenda kuhusu hiyo.kwa kweli hamna nisicho kipenda hapa. moment_4_reproductive_fb4de259-ea2b-456a-9715-d354855955fa_1715083242102.wav,angalia aina B na elezea chochote unacho kiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.aina B pia napenda kwasababu yaa matumizi ya chakula kwahiyoo nii iko vizuri kwa chakula. moment_4_reproductive_fb4de259-ea2b-456a-9715-d354855955fa_1715083265923.wav,angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.nisicho kipenda kwa aina B uzaaji wake ni tofauti naa aina zingine.uzao wake ukoje yani una onekanaje.yani inaonyesha kama vilee inaa watoto kidogo. moment_4_reproductive_fb4de259-ea2b-456a-9715-d354855955fa_1715083278922.wav,angalia aina C na elezea chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu hiyo.kwa hii aina C hakuna nisicho kipenda. moment_4_reproductive_fb4de259-ea2b-456a-9715-d354855955fa_1715083295941.wav,angalia aina C na eleza chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. chochote unacho kiona unakipenda kuhusu hiyo.kuhusu aina C hakuna nisicho kipenda. moment_6_postharvest_095470e9-c423-4c77-919e-2bd8f5d29975_1727528955280.wav,"nini unapenda kuhusu aina A? Aina A, mh. kwa ujumla ni nzuri. mh. rangi yake ni nzuri, ndio. basi." moment_6_postharvest_095470e9-c423-4c77-919e-2bd8f5d29975_1727528966963.wav,nini usichopenda kuhusu aina A? hata kimoja vyote navipenda. sawa. moment_6_postharvest_095470e9-c423-4c77-919e-2bd8f5d29975_1727528981172.wav,"nii unapenda kuhusu aina B? yote ni nzurii, B ni nzuri alafu yenyewe sura yake ni safi alafu ni tamu. ndio." moment_6_postharvest_095470e9-c423-4c77-919e-2bd8f5d29975_1727528993693.wav,"nini usichopenda kuhusu aina B? Ataa, ata kimoja sina yete kinaa hakuna ambacho . sawa." moment_6_postharvest_095470e9-c423-4c77-919e-2bd8f5d29975_1727529023969.wav,"nini unachopenda kuhusu aina C? hii nai tumeipenda kwanza mazao yake ni mengi, ndio inatoa mazao mengi alafuu, mmh. haina nanii mmm magonjwa kama magonjwa mengii, hii inaweza kumudu magonjwa megi, baridi inamudu, ndio. ukame inamudu, mmh." moment_6_postharvest_095470e9-c423-4c77-919e-2bd8f5d29975_1727529038407.wav,"nini usichopenda kuhusu aina C? Ni kwa jumla hakuna ambacho siipendi , sawa. manake inatoa mazao mmh. eeh na inapendeza. sawa sawa." moment_6_postharvest_09cdc864-07fa-45ec-8284-6acd9e49eacd_1720529273744.wav,"angalia aina A na eleza chochote ambacho unachokipenda kuhusu hiyo aina A ninaipenda ina inawahi kutoa maua pamoja na matawi,tena kwa muda muafaka ukidhamiria kupanda" moment_6_postharvest_09cdc864-07fa-45ec-8284-6acd9e49eacd_1720529293306.wav,angalia aina A na eleza chochote ambacho hupendi kuhusu hiyo aina A naipenda lakini huku soko itakuwa inakuaga haina lakini naipenda aina A moment_6_postharvest_09cdc864-07fa-45ec-8284-6acd9e49eacd_1720529308256.wav,Angalia aina B na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo. Aina B naipenda akini inachelewa kutoa mauwa pamoja na kuzaa. moment_6_postharvest_09cdc864-07fa-45ec-8284-6acd9e49eacd_1720529328384.wav,Angalia aina B na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo Aina A sio kama siipendi naip aina aina B naipendaa sio kama siipendi kiviile ila inachelewa kuliko aina A. moment_6_postharvest_09cdc864-07fa-45ec-8284-6acd9e49eacd_1720529351267.wav,"Angalia aina C na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo. Aina C naipenda kila aina ya mfano wake, inawahi inaota vizuri inawahi kutoa mauwa ila ikiwa kuna muda wa uchambuzi kama ni wadudu huwaga inasumbua akini ni nzuri na inazaa vizuri na matawi yake" moment_6_postharvest_09cdc864-07fa-45ec-8284-6acd9e49eacd_1720529370695.wav,Angalia aina C na eleza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo Aina C naipenda sio kama siipendi kivile ila ni kama muda utakaofika tamo kama kutakuwa na madawa nikisaidka. aina aina C naona nitafaidika. moment_6_postharvest_25d1d939-2e93-47d7-8579-bd92548ecc0b_1720526783480.wav,Angalia aina A na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo Uzaaji wake ni bora zaidi. moment_6_postharvest_25d1d939-2e93-47d7-8579-bd92548ecc0b_1720526795571.wav,Angalia aina A na ereza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo Hakuna moment_6_postharvest_25d1d939-2e93-47d7-8579-bd92548ecc0b_1720526811294.wav,Angalia aina B na ereza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo. Hakuna nsichokipenda. moment_6_postharvest_25d1d939-2e93-47d7-8579-bd92548ecc0b_1720526825485.wav,Angalia aina B na ereza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo Hakuna moment_6_postharvest_25d1d939-2e93-47d7-8579-bd92548ecc0b_1720526855660.wav,Angalia aina C na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo Uotaji wake ni mzuri lakini uzazi ni mbaya.. moment_6_postharvest_25d1d939-2e93-47d7-8579-bd92548ecc0b_1720526870243.wav,Angalia aina C na ereza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo. Uzazi. moment_6_postharvest_407912a8-66ed-4bbf-908c-a9392bacaaa1_1721626168064.wav,nini unapenda kuhusu aina A. eeh aina A ni ni maarage mazuri kwa sababu haya yana zaa sana halafu na na yana radha nzuri wakati wa kupika. moment_6_postharvest_407912a8-66ed-4bbf-908c-a9392bacaaa1_1721626186164.wav,nini usicho kipenda kuhusu aina A. kuhusu aina A hakuna nisicho kipenda. moment_6_postharvest_407912a8-66ed-4bbf-908c-a9392bacaaa1_1721626205404.wav,"nini unapenda kuhusu aina B. aina B maharage haya yana yanaa zaa vi sana, halafu ukipika yana kuwa rojo rojo sana kwa hiyo yako vizuri." moment_6_postharvest_407912a8-66ed-4bbf-908c-a9392bacaaa1_1721626226039.wav,"nini usicho kipenda kuhusu aina B. aina B nisicho kipenda hakipo bali haya maharage yako vizuri, hayana shida." moment_6_postharvest_407912a8-66ed-4bbf-908c-a9392bacaaa1_1721626249527.wav,"nini unapenda kuhusu aina C. aina C haya maharage kwa kweli siyapendi sana, kwa sababu haya maharage kwanza siyajui yana itwaje halafu maharage yenyewe haya hayazai sana." moment_6_postharvest_407912a8-66ed-4bbf-908c-a9392bacaaa1_1721626276835.wav,"nini usicho kipenda kuhusu aina C. nisicho kipenda kuhusu aina C ni kwamba maharage haya kwanza hata soko lake silijui liko wapi, sija wahi kupata soko lake kwamba yana uzwa bei gani naa sina uhakika wa soko lake kiujumla sina uhakika wa soko la haya maharage." moment_6_postharvest_5e4a145f-7961-4d17-b52c-ecf8c44ff269_1725360322568.wav,Nini unachokipenda katika aina A? Aina A naipenda kwaajili ya Biashara. moment_6_postharvest_5e4a145f-7961-4d17-b52c-ecf8c44ff269_1725360332540.wav,Nda katika aina A? Aaa kwenye ulaji hapana. moment_6_postharvest_5e4a145f-7961-4d17-b52c-ecf8c44ff269_1725360344337.wav,Chokipenda katika aina B? Aina B nachokipenda uzaaji wake. moment_6_postharvest_5e4a145f-7961-4d17-b52c-ecf8c44ff269_1725360354867.wav,Penda katika aina B? Vilevile ni ulaji. Haiko vizuri moment_6_postharvest_5e4a145f-7961-4d17-b52c-ecf8c44ff269_1725360367949.wav,Nini unachokipenda katika aina C? Aina Ciiii nachokipenda nisichokipenda? Unachokipenda Unachokipenda ulaji. moment_6_postharvest_5e4a145f-7961-4d17-b52c-ecf8c44ff269_1725360379851.wav,Penda katika aina C? Aina C nisichokipenda uzaaji wake haupo vizuri. moment_6_postharvest_708c0289-a2d7-451b-a09c-def2cacdddaf_1718966883568.wav,Angalia aina A na eleea chochote ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Aina A ya maharage aina A ninachokipenda ni uivaji wake lakini kwenye eneo la chakula sio nzuri sana.Sawa. moment_6_postharvest_708c0289-a2d7-451b-a09c-def2cacdddaf_1718966898289.wav,Angalia aina A na elezea chochote ambacho hukipendi kuhusu hiyo.Haya aina A kitu amabcho sipendi haiwezi kuvumilia ukame. moment_6_postharvest_708c0289-a2d7-451b-a09c-def2cacdddaf_1718966920933.wav,"Angalia aina B na elezea chochote ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Aina B kitu ambacho nakipenda ni uivaji wake, kitu amabcho nakipenda ni rangi aina ya maharage ilivyo lakini ni nzuri." moment_6_postharvest_708c0289-a2d7-451b-a09c-def2cacdddaf_1718966939216.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo.Ambacho sikipendi katika maharage aina B katika kuiva kwakwe inaiva lakini haiwezi kuvumilia ukame pia.aaaah. moment_6_postharvest_708c0289-a2d7-451b-a09c-def2cacdddaf_1718966961343.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokipenda kuhusu hiyo.Aina C kitu amabcho nakipenda aina C maharage yake ni mazuri uotaji wake ni mzuri naa niii iko vizuri kwa ujumla lakini kwa ujumla yale maharage ni mazuri.Sawa. moment_6_postharvest_708c0289-a2d7-451b-a09c-def2cacdddaf_1718966975733.wav,Angalia aina C na eleza kitu ambacho hukipendi kuhusu aina hiyo.Kitu ambacho sikipendi kwenye aina C kidogo yanashanbuliwa na wadudu. moment_6_postharvest_726febf6-9ced-4021-8ed4-d9e2dcef1760_1723787180245.wav,Nini unapenda kuhusu aina A? Aina A napenda imeifa mapema kwahiyo ni nzur na imekuwa imeifa haraka. Sawa. moment_6_postharvest_726febf6-9ced-4021-8ed4-d9e2dcef1760_1723787209564.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A? Aina A aina A si ile ya kamba kamba. Kambakamba zake ndiyo haujazipenda? Eeh ndiyo sijaipenda kwasababu nii yaani yaani ina kamba halafu haiifi haraka kwa juu inachelewa. Sawa. moment_6_postharvest_726febf6-9ced-4021-8ed4-d9e2dcef1760_1723787226811.wav,Nini unapenda kuhusu aina B? Aina B naipenda ni njano nzuri ina rangi nzuri halafu imekomaa mapema. moment_6_postharvest_726febf6-9ced-4021-8ed4-d9e2dcef1760_1723787236799.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B? Aina B hakuna ninachoo nisi nilichoona kwamba ni ikibaya. moment_6_postharvest_726febf6-9ced-4021-8ed4-d9e2dcef1760_1723787255728.wav,Nini unapenda kuhusu aina C? Aina C naipenda imeifa yote kwa pamoja haina makamba haina kitu chochote tena zaidi ya imeifa yaani flati ni nzuri. moment_6_postharvest_726febf6-9ced-4021-8ed4-d9e2dcef1760_1723787262889.wav,Nini usichopenda kuhusu aina C? Hakuna ninach nisichokipenda kwenye aina C. moment_6_postharvest_882ac904-c54c-4ac1-828b-4859e6c2e825_1722411511218.wav,"angalia aina A hiyo unayo itazama hapo, na eleza chochote ambacho umekipenda kuhusiana na hiyo aina A. umependa kitu gani hapo. nimependa ubora wa mbegu. uboraa? wa mbegu. kingine ambacho ume kipenda. aah na rangi yake ndo bora. rangi yake, kuna kingine ambacho ume kipenda. mh mh. amuna." moment_6_postharvest_882ac904-c54c-4ac1-828b-4859e6c2e825_1722411533023.wav,eeh kwenye aina hiyo hiyo A kuna chochote ambacho hauja kipenda? Kitu ambacho kime kuchukiza kwenye hiyo aina A. hakuna kilicho nichukiza. hamna? mhh. moment_6_postharvest_882ac904-c54c-4ac1-828b-4859e6c2e825_1722411570197.wav,"angalia aina B na eleza chochote unachoko unacho kiona ambacho huja ambacho umekipenda kuhusiana na aina hiyo. Umependa nini aina B. aina B ? mh. aina B mbegu tu mh mbegu bora, nimependa tu ubora wa mbegu. ubora wa mbegu? mhh. kuna kingine ambacho umekipenda labda umesahau? hamna. hamna." moment_6_postharvest_882ac904-c54c-4ac1-828b-4859e6c2e825_1722411608170.wav,"angalia aina hiyo hiyo B na eleza chochote ambacho hauja kipenda, kuna ambacho umekosoa kwenye hiyo aina B. aina B nisicho kipenda ni langi ya mbegu ya mbegu ya maharage. kwa nini ati haujaipenda kwanini. mh mhmhhh eeh imetoka rangi mara mbili. aaha. kwenye aina B. aaha, rangi gani na gani. nyingine nyekundu nyekundu na nyingine nyeupe nyeupe mhh. sawaa, hayaa." moment_6_postharvest_882ac904-c54c-4ac1-828b-4859e6c2e825_1722411636001.wav,angalia aina C na eleza chochote ambacho ume kipenda kuhusiana na aina C. aina C nimependa tu ubora wa maharage. ubora wa maharage? eeh. kingine ambacho umekipendaa. hamna. hamna. sawaa. moment_6_postharvest_882ac904-c54c-4ac1-828b-4859e6c2e825_1722411652460.wav,chotee kwenye aian C ueleze chochote ambacho ume ambacho huja kipenda. hakuna chochote nisicho kipenda. eeh sawaaa. moment_6_postharvest_8c29f995-7008-449b-88af-ee243eba7b63_1721117313194.wav,"angalia aina A na eleza chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu hiyo. ambacho nakipenda aina A, kwanza maharage yametoka vizuri, halafu yalivyo pikwa radha yake ikawa nzuri sana kwa hiyo kwenye aina A hakuna shida ipo vizuri. kingine ulicho kipenda zaidi. hakuna ndio hivyo hivyo." moment_6_postharvest_8c29f995-7008-449b-88af-ee243eba7b63_1721117420554.wav,"angalia aina A na eleza chochote ambacho unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo, ambacho hupendi kuhusu hiyo aina A. kwenye upande wa aina A hakuna ambacho siki pendi vitu vyote vipo sawa." moment_6_postharvest_8c29f995-7008-449b-88af-ee243eba7b63_1721117450618.wav,"angalia aina B na eleza chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu hiyo. kwenye upande wa aina B nacho kipenda zaidi kwenye maharage haya kwanza yametoka mengi, mbili yame toka vizuri sana ko hakuna shida nyingine hapo." moment_6_postharvest_8c29f995-7008-449b-88af-ee243eba7b63_1721117467642.wav,angalia aina B na eleza chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. kwenye upande wa aina B hakuna ambacho sikipendi vyote vipo sawa. moment_6_postharvest_8c29f995-7008-449b-88af-ee243eba7b63_1721117510878.wav,"angalia aina C na eleza chochote unacho kiona ambacho una kipenda kuhusu hiyo. kwenye upande wa aina C nacho kipenda maharage yametoka vizuri sana, hayana uchafu kwa hiyo kwenye upande wa aina C yapo vizuri sana, asanteni." moment_6_postharvest_8c29f995-7008-449b-88af-ee243eba7b63_1721117533869.wav,angalia aina C na eleza chochote unacho kiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. kwenye upande wa aina C hakuna ambacho sikipendi kwa sababu maharage yapo vizuri sana asanteni. moment_6_postharvest_8d9518ed-dcea-4aa2-9818-72fac61c9733_1719314314828.wav,Nini unapenda kuhusu aina A?Aaah napenda inau inau inaiva harakaPia unaweza ukaelezea zaidi ambacho unakipenda kuhusu A?Zaidi ni kwamba tu uzazi wake si mbaya sana na ina bei.Sawa moment_6_postharvest_8d9518ed-dcea-4aa2-9818-72fac61c9733_1719314322500.wav,Nini usichopenda kuhusu A? Hamna. moment_6_postharvest_8d9518ed-dcea-4aa2-9818-72fac61c9733_1719314337962.wav,Nini unapenda kuhusu B?Inavumilia maradhi.Pia una kingine ambacho unaweza ukaelezea kuhusu B?Hamna. moment_6_postharvest_8d9518ed-dcea-4aa2-9818-72fac61c9733_1719314348022.wav,nini usichopenda kuhusu aina B.hakuna nisicho kipenda. moment_6_postharvest_8d9518ed-dcea-4aa2-9818-72fac61c9733_1719314365748.wav,nini unapenda kuhusu aina C.napenda maana na uzazi wake mzuri sana.pia unaweza ukaelezea zaidi ambacho una kiona unakipenda kuhusu aina C.naona kama inaweza ikawa na kipato kikubwa zaidi.sawa. moment_6_postharvest_8d9518ed-dcea-4aa2-9818-72fac61c9733_1719314372452.wav,nini usicho penda kuhusu aina C.hamna. moment_6_postharvest_9563dd44-dcf1-483a-be70-e64575b33672_1720506847148.wav,Angalia aina A na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo. Mimi yani katika aina A naona tuuu nakipenda tu kuliko zote yani inafaa... moment_6_postharvest_9563dd44-dcf1-483a-be70-e64575b33672_1720506865959.wav,Angalia aina A na ereza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo. Mi naona kinafaa moment_6_postharvest_9563dd44-dcf1-483a-be70-e64575b33672_1720506885068.wav,Angalia aina B na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo Naona inafaa.. aina B inafaaa moment_6_postharvest_9563dd44-dcf1-483a-be70-e64575b33672_1720506903633.wav,Angalia aina B na ereza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo Nakipendaa. moment_6_postharvest_9563dd44-dcf1-483a-be70-e64575b33672_1720506920318.wav,Angalia aina C na ereza chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo Nnakipenda pia aina C. moment_6_postharvest_9563dd44-dcf1-483a-be70-e64575b33672_1720506935019.wav,Angalia aina C na ereza chochote unachokiona ambacho hukipendi kuhusu hiyo Mi nakipenda tu hii aina C moment_6_postharvest_bb6862f5-78a9-440e-918f-d750222590b0_1724747298701.wav,"nini unapenda kuhusiana na hii aina A, uongee kwa sauti kidogo. Yani unamna unavyo ipenda kutoka shambanii, ilivyo kuwa yanii mpaka saivi unavyo itizama. yanii. sogela kidogo sauti kidogo inaweza iku sikie mhhh umependa nini kuhusiana na aina A. A naipenda yani kutokana naa yanapo kuwa yametoka yani kwenye mashimo. mh. yana kuwa yana ubora. yana ota yani ubora, ubora wa namna gani. yani ni mbegu zinaota zotee. aah yana ota vizuri. eeh. kingine ambacho umekipenda. halafu yanavyo kuwa yana stawi. yana stawi vizuri. eeh. hayaaa." moment_6_postharvest_bb6862f5-78a9-440e-918f-d750222590b0_1724747312947.wav,nini ambacho huku kipenda kuhusiana na aina A. yani aina A nimeipenda tu. hakuna ambacho huja kipenda? eeh. moment_6_postharvest_bb6862f5-78a9-440e-918f-d750222590b0_1724747335561.wav,"nini umependa kuhusiana na aina B, ambacho umekipenda. aina B nayo ni nzuri. mhh, uzuri wakee. yani uzuri wake. mh. nayo yanaota vizuri. mh. yana stawi vizuri. mh. yani yote yani maarage yote nayapenda. sawaa." moment_6_postharvest_bb6862f5-78a9-440e-918f-d750222590b0_1724747350105.wav,kuna chochote ambacho hukipendi kuhusiana na ainaaa B. B hakuna ambacho siki sikihitaji. sawaaa. moment_6_postharvest_bb6862f5-78a9-440e-918f-d750222590b0_1724747371569.wav,"nini umependa kuhusiana na aina C. aina C nayo naipenda. ndio, umependa nini? nimependa tu maatawi yake tuseme. mh. halafu yana ota vizuri. mh. na yana stawi vizuri. sawaa." moment_6_postharvest_bb6862f5-78a9-440e-918f-d750222590b0_1724747387692.wav,nini ambacho usicho kipenda kuhusiana na aina C. yani napenda vyote maana yana stawi vizuri ila tuseme tu mwaka huu tu mvua ili kuwa nyingi. mh. mh. sawaa. moment_6_postharvest_bbff27a8-98e6-4ec1-92f4-1f57f93299da_1723796306978.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo. Aina A inastahimili ukame inavumilia ukame. moment_6_postharvest_bbff27a8-98e6-4ec1-92f4-1f57f93299da_1723796319275.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. Inaaa kambakamba. moment_6_postharvest_bbff27a8-98e6-4ec1-92f4-1f57f93299da_1723796333259.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo. Ina ina stahimili jua. moment_6_postharvest_bbff27a8-98e6-4ec1-92f4-1f57f93299da_1723796347721.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. Aina B hakuna. moment_6_postharvest_bbff27a8-98e6-4ec1-92f4-1f57f93299da_1723796364730.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo. Ina inaa ina matawi mengi inatoa halafu inastahimili jua. moment_6_postharvest_bbff27a8-98e6-4ec1-92f4-1f57f93299da_1723796373378.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo. Hakuna. moment_6_postharvest_c5d2f317-b10c-4d48-9ce8-7521910afec5_1720777936622.wav,Nini unapenda kuhusu aina A? Aina A naipenda kwasababu inazalisha vizuri halafu haishambuliwi sana na wadudu. Kingine ambacho unapenda kuhusu aina A? Nayo kwenye matumizi ya chakula huwa inakuwaga ni nzuri kwa kupikia na wali. Asante. moment_6_postharvest_c5d2f317-b10c-4d48-9ce8-7521910afec5_1720777985739.wav,Nini usichopenda kuhusu aina A? Hakuna kitu ambayo siipendi kwenye aina A. Asante. moment_6_postharvest_c5d2f317-b10c-4d48-9ce8-7521910afec5_1720778054665.wav,"Nini unapenda kuhusu aina B? Aina B kwakweli ni nzuri sana kwa matumizi yote ya vyakula vyote kuanzia makande, wali pia ni nzuri haina gesi. Kingine ambacho unapenda kuhusu aina B? Sijajua kwenye masuala ya biashara kama inaa inapendelewa sana na watu lakini mi nachofahamu kwenye chakula huwa ni nzuri. Asante." moment_6_postharvest_c5d2f317-b10c-4d48-9ce8-7521910afec5_1720778066573.wav,Nini usichopenda kuhusu aina B? Kwa kweli hakuna nisichokipenda. moment_6_postharvest_c5d2f317-b10c-4d48-9ce8-7521910afec5_1720778110373.wav,Nini unapenda kuhusu aina C? C mi naipendelea sana kwasababu ni zao la biashara lakini kwa matumizi yaaaa ya chakula ina gesi. Asante. moment_6_postharvest_c5d2f317-b10c-4d48-9ce8-7521910afec5_1720778132250.wav,Nini usichopenda kuhusu aina C? Kwa matumizi yangu binafsi huwa sipendelei sana kwasababu kwa vile ina gesi kwahiyo napendelea tu kwaajili ya biashara labda. Asante. moment_6_postharvest_cae9c94f-5e67-42c3-a246-c079bad543c2_1721375009774.wav,aah nini unapenda kuhusu aina A? aina A nimependa kwa ajili ya uzaaji wakeinazaa vizuri haina magonjwa afu kwenye kupika inalainika kwa haraka moment_6_postharvest_cae9c94f-5e67-42c3-a246-c079bad543c2_1721375038213.wav,nini usichokipenda kuhusu aina A? hamna ambacho sijakipenda kwa ajili uzaaje wake ni mzuri na ni mbegu bora zaidi kwahyo nimeipenda moment_6_postharvest_cae9c94f-5e67-42c3-a246-c079bad543c2_1721375109017.wav,nini unapenda kuhusu aina B? aina B nimeipenda uzaaji wake inazaa na ni nzito kuliko maharage yote afu katika sokoni ni ina bei nzuri na wanunuaji wanafanya kuikimbilia ..nimeipenda sana moment_6_postharvest_cae9c94f-5e67-42c3-a246-c079bad543c2_1721375129760.wav,nini usichokipenda kuhusu aina B? aina B hamna ambacho sijakipenda hata ui hata kwenye kupika uivaje wake ni mzuri na ina ladha nzuri moment_6_postharvest_cae9c94f-5e67-42c3-a246-c079bad543c2_1721375175965.wav,eeh nini unapenda kuhusu aina C? aina C nimeipenda vibaya sana uzaaji wake ni mzuri afu kwenye kupika ni ina rojo ni tamu kushinda maharage yote eeh eeeh moment_6_postharvest_cae9c94f-5e67-42c3-a246-c079bad543c2_1721375198481.wav,nini usichokipenda kuhusu aina C? aina C hamna ambacho sijakipenda ila tu uzaaji wake ni una kamba kamba nikawa sijaipenda lakini kuja kuipika ni ina ladha kushinda zote aah eeh moment_6_postharvest_cd1cd1b3-5df2-4921-b559-ba4ebc748940_1718951088541.wav,Angalia aina A na eleza chochote mbacho unakipenda kuhusu hiyo.Katika swala la aina A nilichokipenda sana ni rangi yake jinsi ilivokua ime tumevuna imependezwa na rangi jambo la pili swala la uzao wake sio mbaya ni mzuri na napenda swala la hali ya hewa mazingira ya huku kwetu jambo la tatu nilichofanya utafiti wake ni kwamba inaruhusu uivaji wake katika udongo aina yeyote ile.Pia kuna kingine unaweza ukaelezea zaidi kuhusu aina A?Jambo ambalo nimefurahishwa sana ni katika swala hili la maharage aina A ni kwenye swala la ulaji na ladha nzuri sana na hata wakati wa upikaji inachukua muda mfupi sana kuiva jambo lingine ni kwamba haina gesi ni mazuri sana kwa matumbo ya binadamu.Sawa. moment_6_postharvest_cd1cd1b3-5df2-4921-b559-ba4ebc748940_1718951114271.wav,Angalia aina A na elezea kitu ambacho hukipendi kuhusu aina hiyo.Jambo ambalo hakunifurahisha katika maharage haya aina A labda tu ni kwamba wakati navuna kidogo uzao wake ulikua chini kuliko aina nyingine zote zilizobaki ni jambo ambalo halikunifurahisha. moment_6_postharvest_cd1cd1b3-5df2-4921-b559-ba4ebc748940_1718951167071.wav,"Angalia aina B na elezea chochote unachokipenda kuhusu hiyo.Katika swala maharage haya ya grupu B aua aina B jambo nililofurahishwa kwanza imezaa vizuri, jambo la pili auotaji wake ulikua mzuri na wakti ata naivuna ilikua na kipato kuliko ata aina A, jambo la tatu ni kwamba inaiva katika mazingira yetu kwa hali ya juu na rangi yake vilevile imenifurahisha.Unaweza ukaelezea zaidi pia kuhusu kingine pia unachokiona kuhusu aina B?Jambo ambalo limenifurahisha ni kwamba maharage haya katika swala la ulaji pia ni nzuri kwa matumizi ya binadamu aah haswa ukipika inachukua muda mfupi vilevile kuiva." moment_6_postharvest_cd1cd1b3-5df2-4921-b559-ba4ebc748940_1718951182170.wav,Angalia aina B na elezea chochote ambacho hupendi kuhusu hiyo.Katika aina B jambo ambalo sikufurahishwa nalo sioni kwa ujumla. moment_6_postharvest_cd1cd1b3-5df2-4921-b559-ba4ebc748940_1718951223104.wav,"Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho unakipenda kuhusu hiyo.Maharage haya aina C nimefurahishwa na jinsi yanavyoota kwa ujumla haishambuliwi na wadudu katika mazingira yetu jambo la pili swala la ukuaji wake ni mzuri inakubali katika udongo wa aina yeyote, na jambo la tatu ni rangi yake rangi hii imenifurahisha sana, jambo la nne ukipika inachukua mda mfupi sana kuliko hata maharage aina A na B na ni mazuri sana kwa matumizi ya mwanadamu.Sawa" moment_6_postharvest_cd1cd1b3-5df2-4921-b559-ba4ebc748940_1718951253950.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Katika maharage yote ya aina A na B hakuna swala ambalo sijafurahishwa zaidi maharage haya nimefurahishwa sana na jinsi nilivoipanda na mpaka hatua ya uvunaji hakuna jambo ambalo halijanifurahisha kwa hiyo nimeipenda sana.Kuna kingine ambacho hukipendi unachokiopna kuhusu aina C?Kwa ujumla hakuna hata kimoja. moment_6_postharvest_d3361290-2261-45de-9297-bc507e06378f_1722415712768.wav,"nini unapenda kuhusu aina A. nimependa kula kitu tu, nimependa kilimo cha maharage haya nimekipenda kwa hiyo naomba tena mradi huu mwakani uendelee. kwa hiyo kilicho pendeza aina A kwenye maarage A umependa nini? nimependa muonekano wake tu kuota kwake yaliota vizuri, ila ni changamoto ya mvua tu ndio imesababisha haijaa zaa vizuri." moment_6_postharvest_d3361290-2261-45de-9297-bc507e06378f_1722415722884.wav,nini usicho kipenda kuhusu aina A. hakuna nisicho kipenda kwa kweli. moment_6_postharvest_d3361290-2261-45de-9297-bc507e06378f_1722415737323.wav,nini unapenda kuhusu aina B. napenda kilimo cha maharage tu haya naomba mtuletee tena. moment_6_postharvest_d3361290-2261-45de-9297-bc507e06378f_1722415750617.wav,nini usicho kipenda kuhusu aina B. hakuna nisicho kipenda nimependa yote kila kitu nimekipenda moment_6_postharvest_d3361290-2261-45de-9297-bc507e06378f_1722415780541.wav,"nini unapenda kuhusu aina C. aina C nimependaa muonekano wake wa maarage yaliota vizuri, ila changamoto ndio hivyo hivyo navyo ongea yani changamoto imekuja kutokea mvua ikakata mapema ndo maana hayaja zaa vizuri." moment_6_postharvest_d3361290-2261-45de-9297-bc507e06378f_1722415797897.wav,nini usicho kipenda kuhusu aina C. hakuna nisicho kipenda vyote nime vipenda tu changamoto ni hiyo hiyo ya kuzaa vizuri lakini mvua ingenyesha vizuri naona mafanikio yange kuwa mazuri. moment_6_postharvest_e0f55cfa-e496-4ddf-ae50-d1bde58e909a_1723788392545.wav,Nini unapenda kuhusu A? Kwenye A nilichokipenda A yenyewe inakomaa haraka halafu ni kama vile inahimili mvua kubwa inahimili mvua kubwa. Sawa. moment_6_postharvest_e0f55cfa-e496-4ddf-ae50-d1bde58e909a_1723788407145.wav,Nini usichopenda kuhusu A? Naam! Nini usichopenda kuhusu A? Hamna. moment_6_postharvest_e0f55cfa-e496-4ddf-ae50-d1bde58e909a_1723788427483.wav,Nini unapenda kuhusu B? Kwenye B nilichokipenda ina inahimili magonjwa yenyewe inahimili magonjwa kabla hata sijapiga dawa ilikuwa haijashambuliwa na ugonjwa. Sawa/ moment_6_postharvest_e0f55cfa-e496-4ddf-ae50-d1bde58e909a_1723788462309.wav,Nini unapenda kuhusu C? C nachokipenda inakomaa kwa haraka kuliko aina nyingine zote. moment_6_postharvest_e0f55cfa-e496-4ddf-ae50-d1bde58e909a_1723788472174.wav,Nini usichopenda kuhusu C? C nashindwa kuhimili mvua kubwa ndio nisichokipenda. moment_6_postharvest_e9f743a9-5194-4a4c-82da-aeedb0d4bf0b_1719297879311.wav,nini unapenda kuhusu aina A?ana A napenda ih inauzao. moment_6_postharvest_e9f743a9-5194-4a4c-82da-aeedb0d4bf0b_1719297892248.wav,nini usichopenda kuhusu aina A?aina A kweli limeipenda kwa sababu hata kupika kake ni nzuri. moment_6_postharvest_e9f743a9-5194-4a4c-82da-aeedb0d4bf0b_1719297903403.wav,nin iunapenda kuhusu aina B?aina B nayo yanazaa kwa wingi. moment_6_postharvest_e9f743a9-5194-4a4c-82da-aeedb0d4bf0b_1719297915043.wav,nini usichopenda kuhusu aina B?aina B tuseme yan yana gesi kidogo. moment_6_postharvest_e9f743a9-5194-4a4c-82da-aeedb0d4bf0b_1719297941322.wav,nini unapenda kuhusu aina C?aina C ni nzuri ha haina gesi kwa mboga ni mazuri. moment_6_postharvest_e9f743a9-5194-4a4c-82da-aeedb0d4bf0b_1719297950670.wav,nini usichopenda kuhusu aina C?uzao wake ni mdogo. moment_6_postharvest_f6ad199a-33f6-474c-a6cf-5cc1823db77e_1722001409913.wav,Nini unapenda kuusu aina A. Aina A naipenda kwasababu inazaa vizuri alafu ina bei. Kuna kingine. Hapana. moment_6_postharvest_f6ad199a-33f6-474c-a6cf-5cc1823db77e_1722001431582.wav,Nini usichopenda kuusu aina A. Hakuna. moment_6_postharvest_f6ad199a-33f6-474c-a6cf-5cc1823db77e_1722001459382.wav,Nini unapenda kuusu aina B. Aina B naipenda kwasababu ni tamu kukipika makande ukipika makukuru vyakula vya asili. Sawa. . moment_6_postharvest_f6ad199a-33f6-474c-a6cf-5cc1823db77e_1722001490699.wav,Nini usichopenda kuusu aina B. Hakuna. moment_6_postharvest_f6ad199a-33f6-474c-a6cf-5cc1823db77e_1722001500068.wav,Nini unapenda kuusu aina C. Aina C tam sana kwenye wali. saa. moment_6_postharvest_f6ad199a-33f6-474c-a6cf-5cc1823db77e_1722001509346.wav,Nini usichopenda kuusu aina C. akuna. moment_6_postharvest_fef17f4f-745e-4b1d-9f41-d8348b91b931_1718974441570.wav,Angalia aina A na eleza chochote unachokiona unakipenda kuhusu hiyo.Aina A nimependa kwa sababu ni nzuri na inaiva vizuri na kwenye uzao pia inajitahidi imeiva vizuri.Pia unaweza ukaelezea zaidi ambacho unakiona kuhusu aina A ambacho unakipenda?Naam?unaweza ukaelezea zaidi ambacho unakiona kuhusu aina A ambacho unakipenda?Aina A mimi naona iko vizuri sana kwahivo hata ikitokea fursa ya kuboreshwa basi ingekua ni mbegu ambayo inajitahidi kuzaa vizuri. moment_6_postharvest_fef17f4f-745e-4b1d-9f41-d8348b91b931_1718974456222.wav,Angalia aina A na elezea chochote unachokiona ambaacho hukipendi kuhusu hiyo.Hakuna kitu ambacho sikipendi. moment_6_postharvest_fef17f4f-745e-4b1d-9f41-d8348b91b931_1718974493153.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokipenda kuhusu hiyo.Kwenye soya kiukweli soya iko vozuri sana inaiva vizuri pia na ata kwenye ladha iko vizuri.Unaweza ukaelezea za kuhusu unachokipenda kuhusu aina b?Aiina B ni maharage ambayo hayana changamoto yako vizuri kwenye ulaji kenye uivaji pia ivo. moment_6_postharvest_fef17f4f-745e-4b1d-9f41-d8348b91b931_1718974510752.wav,Angalia aina B na elezea chochote unachokiona ambacho hupendi kuhusu hiyo.Nisichokipenda pale ni uzao wake inaiva kwa shida yani inavotoa watoto watoto wake wanakua wachache. moment_6_postharvest_fef17f4f-745e-4b1d-9f41-d8348b91b931_1718974544753.wav,Angalia aina C na elezea chochote unachokipenda kuhusu hiyo.Aina C napenda kwanza imeiva vizuri haikua na changamoto yeyote na pia inavumilia ukame.Unaweza ukaelezea zaidi ambacho unakipenda kuhusu aina C?Yaah aina C napenda manake inavumilia ukame inatoa maua vizuri na pia ina ladha kwenye chakula. moment_6_postharvest_fef17f4f-745e-4b1d-9f41-d8348b91b931_1718974556887.wav,Angalia aina C na eleza kitu ambacho hukipendi kuhusu aina hiyo.Kwenye aina C hakuna nina nisichokipenda.