English sentence
stringlengths 1
1.37k
⌀ | Swahili Translation
stringlengths 1
1.21k
⌀ |
|---|---|
Who is this man?
|
Mtu huyu ni nani?
|
Yes, I am married.
|
Ndiyo, ninaolewa.
|
I come from Colombia.
|
Ninatoka Kolombia.
|
Do the children go to school?
|
Watoto wanakwenda shuleni?
|
If you don't understand, ask.
|
Usipofahamu, uliza.
|
The man is eating bread.
|
Mwanamume anakula mkate.
|
Who is reading?
|
Nani anasoma?
|
It's a new book.
|
Ni kitabu kipya.
|
The boy has a newspaper.
|
Mvulana ana gazeti.
|
Is there any reason for that?
|
Je, kuna sababu yoyote?
|
Why is this so, Yusufu?
|
Kwa nini mambo yanakuwa hivi, Bwana Yusufu?
|
Yes, there are two important reasons.
|
Ndiyo, kuna sababu kubwa mbili.
|
In the first place, women have more free time than men. In the second place, they have fewer things to worry about than men.
|
Kwanza, wanawake wana wakati mwingi zaidi kuliko wanaume. Pili, wanawake wanafikiri mambo machache zaidi kuliko wanaume.
|
The men go to work.
|
Wanaume wakakwenda kazini.
|
The men are generally tired when they come back from work.
|
Wanaume huchoka wakirudi kutoka kazini.
|
Sometimes they say, "I can't go to school today. I'll go tomorrow."
|
Pengine husema, "Mimi leo siwezi kwenda shuleni. Nitakwenda kesho."
|
In that case, they fall behind.
|
Kumbe wanachelewa!
|
I've heard that you don't eat green leafy vegetables. You say that it is food for animals.
|
Nimesikia kuwa hamli mboga za majani kwenu. Mnasema kuwa ni chakula cha wanyama.
|
That's nothing but a lie!
|
Huo ni uongo mtupu.
|
The people there are not so dumb.
|
Kule watu wanaelewa.
|
They know what "vitamin" means.
|
Wanajua maana ya vitamin ni nini.
|
When you don't eat leafy foods, you can't get vitamins.
|
Usipokula chakula cha majani huwezi kupata vitamin.
|
I was quite surprised.
|
Mimi nilistaajabu sana.
|
I was surprised that when I heard that people really don't eat leafy vegetables.
|
Nilistaajabu niliposikia kuwa kweli watu hawali mboga za majani.
|
That's not true at all.
|
Hiyo si kweli hata kidogo.
|
I see that the time is approaching, Yusufu.
|
Bwana Yusufu, sasa naona wakati unakaribia.
|
I must hurry to catch the train.
|
Sina budi nikimbilie gari la moshi.
|
Fine. I'd be very happy if you would drop me a line as soon as you get to Mwanza.
|
Vema. Ningefurahi sana kama ungeniandikia barua mara tu ufikapo Mwanza.
|
Tell me all about the trip you've made.
|
Unieleze habari zote za safari uliyosafiri.
|
Tell me how you will take the steamer from Mwanza to Bukoba.
|
Unieleze jinsi utakavyopanda stima kutoka pale Mwanza mpaka Bukoba.
|
Good bye, and safe trip.
|
Kwaheri bwana. Safiri salama!
|
Good bye, and thanks.
|
Kwaheri bwana, asante!
|
You'll see it for yourself.
|
Wewe mwenyewe utashuhudia.
|
Ask God that you may visit that country some day.
|
Omba Mungu uitembelee nchi hiyo siku moja.
|
"Father, why are you putting on clean clothes?" "Because I'm going to church."
|
"Baba, kwa nini unavaa nguo safi?" "Kwa sababu ninakwenda kanisani."
|
"Do you want to go to church with me, Daudi?" "No, father. I don't want to today. I'll go by myself tomorrow."
|
"Daudi, unataka twende kanisani?" "Hapana, baba. Sitaki leo. Nitakwenda kesho peke yangu."
|
But your mother is going too.
|
Lakini mama yako anakwenda pia.
|
Even if I'm going to stay at home by myself, I'm not going any place at all today.
|
Ijapokuwa nitakaa nyumbani peke yangu, sitakwenda mahali popote siku ya leo.
|
I do not want any bananas at all.
|
Sitaki ndizi zozote.
|
I do not want any milk at all.
|
Sitaki maziwa yoyote.
|
I do not want anybody at all.
|
Sitaki watu wo wote.
|
We did not see a single game.
|
Hatukuona michezo yo yote.
|
We did not see any children at all.
|
Hatukuona watoto wo wote.
|
He does not have any relatives at all.
|
Yeye hana jamaa ye yote.
|
He does not have any friends.
|
Yeye hana rafiki ye yote.
|
"I shall go to the market this afternoon. How about you?" "No, I will not go."
|
"Nitakwenda sokoni mchana. Na wewe je?" "La, mimi sitakwenda."
|
"I shall buy a new house. How about you?" "No, I will not buy one."
|
"Nitanunua nyumba mpya. Na wewe je?" "La, mimi sitanunua."
|
"Juma will pay school fees. How about Hamisi?" "No, he will not pay them."
|
"Juma atalipa ada ya shule. Na Hamisi je?" "La, yeye hatalipa."
|
"Juma will help his friends. How about Hamisi?" "No, he will not help them."
|
"Juma atawasaidia rafiki zake. Na Hamisi je?" "La, yeye hatawasaidia."
|
"My friends will learn Nyamwezi. How about yours?" "No, they will not learn it."
|
"Rafiki zangu watajifunza Kinyamwezi. Na wako je?" "La, wao hawatajifunza."
|
"Will you go to the market with Juma?" "No, I shall go alone."
|
"Utakwenda sokoni na Juma?" "La. Nitakwenda peke yangu."
|
"Will Juma go to the market with Hasani?" "No, he will go alone."
|
"Juma atakwenda sokoni na Hasani?" "La. Atakwenda peke yake."
|
"Will the children stay at home with their mother?" "No, they will stay alone."
|
"Watoto watakaa nyumbani na mama yao?" "La. Watakaa peke yao."
|
"Will the porters come with their master?" "No, they will come alone."
|
"Wachukuzi watakuja na bwana wao?" "La. Watakuja peke yao."
|
"Do you want this orange?" "No, I don't want any orange at all."
|
"Wataka chungwa hili?" "Hapana, sitaki chungwa lo lote."
|
The boy is eating bread.
|
Mvulana anakula mkate.
|
He comes from Genoa.
|
Anatoka Genova.
|
He comes from Geneva.
|
Anatoka Geneva.
|
Fight for your right.
|
Kupigana kwa haki yako.
|
Magdalena and Ania are good friends.
|
Magdalena na Ania ni marafiki wazuri
|
The cat is eating.
|
Paka anakula.
|
If I had known, I would not have come.
|
Kama ningejua, nisingekuja.
|
Could you say that again?
|
Utaweza kurudia ulichosema?
|
Do you know this song?
|
Je, unajua wimbo huu?
|
You're pretty.
|
Wewe ni mzuri.
|
My name is John.
|
Jina langu ni John.
|
That's a tree.
|
Ule ni mti.
|
See you tomorrow!
|
Tutaonana kesho!
|
I'm not an idiot.
|
Mimi si mjinga.
|
They are not coming today.
|
Hawaji leo.
|
I've lost my keys.
|
Nimepoteza funguo zangu.
|
Where do you know each other from?
|
Mnajuana kutoka wapi?
|
You are a student.
|
Wewe ni mwanafunzi.
|
I can't sleep.
|
Siwezi kulala.
|
I'm from England.
|
Natoka Uingereza.
|
He comes from Wales.
|
Anatoka Welisi.
|
I came yesterday.
|
Nilikuja jana.
|
I look forward to it.
|
Natazamia.
|
Where are we now?
|
Tuko wapi sasa?
|
Listen.
|
Sikiliza.
|
I want to go.
|
Nataka kwenda.
|
They're bad.
|
Wao ni wabaya.
|
I come from America.
|
Ninatoka Amerika.
|
They're children.
|
Wao ni watoto.
|
I can walk.
|
Ninaweza kutembea.
|
I'll save you.
|
Nitakuokoa.
|
I didn't take anything.
|
Sikuchukua chochote.
|
I come from Boston.
|
Ninatoka Boston.
|
Do you want my heart between your teeth?
|
Unataka moyo wangu kati ya meno yako?
|
Is your mum at home?
|
Mamako yupo nyumbani?
|
I know it was strange.
|
Ninajua kuwa alikuwa wa ajabu.
|
I must tell you something.
|
Yanipasa kukuambia kitu.
|
I have a cat.
|
Nina paka.
|
I have two cats.
|
Nina paka wawili.
|
Do not drink the water in the dirty glass!
|
Usinywe maji yaliyo bilaurini!
|
A promise is a debt.
|
Ahadi ni deni.
|
I ate the meat.
|
Nilikula nyama.
|
I'm not a doctor.
|
Mimi si daktari.
|
I'm a woman.
|
Mimi ni mwanamke.
|
Children are the flowers of our lives.
|
Watoto ni maua ya maisha yetu.
|
Subsets and Splits
Long Swahili Sentences
Retrieves 1,000 Swahili translations longer than 20 characters, providing a basic sample for further analysis.