id string | url string | title string | text string |
|---|---|---|---|
120019 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Pristi%20na%20wenzake | Pristi na wenzake | Sevi, Kwadrati, Sundofagi, Astusi, Diomede, Zotiko, Zatamgeli na Moisei ni kati ya Wakristo wa Misri waliouawa kwa ajili ya imani yao.
Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yao, hawaorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe ... |
89798 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Fakharia%20Shomar%20Khamis | Fakharia Shomar Khamis | Fakharia Shomar Khamis (amezaliwa tarehe 20 disemba 1952) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Ameteuliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 2015 – 2020.
Marejeo
Waliozaliwa 1952
Watu walio hai
Wanasiasa wa Tanzania
Bunge la Tanzania
Wanasiasa wanaw... |
121760 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Barakoa%20ya%20kinga | Barakoa ya kinga | Barakoa za kinga hutumiwa kulinda uso au sehemu zake (macho, pua, n.k.) na viungo vya kupumua dhidi ya athira ya hatari.
Kuna aina mbalimali za barakoa zinazovaliwa kwa shughuli mbalimbali
barakoa za kitiba, zinazovaliwa na matabibu wakati wa upasuaji
barakoa za kinga dhidi ya maambukizi, zinazovaliwa na watu... |
144186 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Assomada | Assomada | Assomada ni mji wa jamhuri ya Cabo Verde iko kisiwani Santiago.
Assomada ikiwa na wakazi 12,332 (2010) ni mji mkubwa wa nne nchini.
Miji ya Cabo Verde |
66955 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kifongoro | Kifongoro | Kifongoro ni lugha ya Kinilo-Sahara nchini Chad inayozungumzwa na Wafongoro. Mwaka wa 1983 idadi ya wasemaji wa Kifongoro imehesabiwa kuwa watu 1000 tu. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kifongoro iko katika kundi la Kibongo-Bagirmi.
Viungo vya nje
lugha ya Kifongoro kwenye Multitree
makala za OLAC kuh... |
122467 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Norio%20Omura | Norio Omura | Norio Omura (小村 徳男; alizaliwa 6 Septemba 1969) ni mchezaji wa zamani wa mpira wa miguu wa Japani. Aliwahi kucheza timu ya taifa ya Japani.
Omura alicheza kwa mara ya kwanza katika timu ya taifa ya Japani tarehe 21 Mei 1995 dhidi ya Uskoti. Omura alicheza Japani katika mechi 30, akifunga mabao 4.
Takwimu
Tanbihi
Wac... |
80759 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Jimbo%20Katoliki%20la%20Byumba | Jimbo Katoliki la Byumba | Jimbo katoliki la Byumba (kwa Kilatini "Dioecesis Byumbana") ni mojawapo kati ya majimbo 9 ya Kanisa Katoliki nchini Rwanda na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Kikanisa linahusiana na Jimbo Kuu la Kigali.
Askofu wake ni Servilien Nzakamwita.
Historia
Uongozi
Takwimu
Eneo ni la kilometa mraba 5,100, amba... |
39010 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Plainview%2C%20New%20York | Plainview, New York | Plainview ni mji wa Marekani katika jimbo la New York.
Miji ya New York
Nassau County, New York
Oyster Bay, New York |
106976 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Marrti | Mto Marrti | unapatikana katika kaunti ya Narok, magharibi mwa Kenya.
Maji yake yanaishia katika mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati.
Tazama pia
Mito ya Kenya
Orodha ya mito ya kaunti ya Narok
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Mito ya Kenya
Kaunti ya Narok
Nile
Mediteranea |
130240 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Eutiki%20wa%20Marmara | Eutiki wa Marmara | Eutiki wa Marmara (alifariki Marmara Ereğli, leo nchini Uturuki, karne ya 3) alikuwa askofu aliyefia dini katika dhuluma ya Dola la Roma dhidi ya Wakristo.
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Septemba.
Tazama pia
Watakatifu wa Agano la K... |
29883 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Marmara%20Ere%C4%9Fli | Marmara Ereğli | ni mji na wilaya iliopo katika Mkoa wa Tekirdağ kwenye kanda ya Marmara huko nchini Uturuki.
Viungo vya Nje |
141626 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Musanda | Musanda | ni kata ya kaunti ya Kakamega, Eneo bunge la Mumias Magharibi, nchini Kenya.
Tanbihi
Kata za Kenya
Kaunti ya Kakamega |
77867 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kitabo | Kitabo | Kitabo (pia Kiwaia) ni lugha ya Kipapua nchini Papua Guinea Mpya inayozungumzwa na Watabo. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kitabo imehesabiwa kuwa watu 3000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kitabo iko katika kundi lake lenyewe la Kiwaia.
Viungo vya nje
lugha ya Kitabo kwenye Multitree
makala za OLAC kuhusu Kitabo... |
124029 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Hakkunde | Hakkunde | Hakkunde ni filamu ya Nigeria ya mwaka 2017 iliyoandikwa na kuongozwa na Oluseyi Asurf.
Plot
Filamu hii inaelezea maisha ya kijana ambaye anamaliza chuo kikuu na kuamua kupambana ili kuleta maendeleo katika jamii yake.
Wahusika
Frank Donga as Akande
Toyin Aimakhu as Yewande
Rahama Sadau as Aisha
Maryam Booth as B... |
106359 | https://sw.wikipedia.org/wiki/%C4%B0lkay%20G%C3%BCndo%C4%9Fan | İlkay Gündoğan | Ilkay Gündoğan (kwa Kijerumani hutamkwa [ˈʔɪlkaɪ ˈɡʏndoːan] na kwa Kituruki [ˈilkaj ˈɟyndoːan]; amezaliwa Gelsenkirchen, tarehe 24 Oktoba 1990) ni mchezaji mahiri wa timu ya Manchester City na timu ya taifa ya Ujerumani.
Alichezea academi ya VfL Bochum mwaka 2008 alianza kucheza katika klabu FC Nürnberg na baadaye aka... |
138703 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Nicolas%20Jacobsen | Nicolas Jacobsen | Nicolas Jacobsen ni mdukuzi ambaye alikuwa na ufikiaji haramu wa habari ya binafsi ya wateja wa T-Mobile kwa angalau mwaka.
Alikamatwa baada ya uchunguzi na Huduma ya Siri ya Marekani mnamo Oktoba 2004 akakiri hatia wakati wa kesi kama sehemu ya makubaliano ya ombi.
Marejeo
Wahalifu wa Marekani
Editathon 2021-06 M... |
66718 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kikpelle%20%28Guinea%29 | Kikpelle (Guinea) | Kikpelle ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Guinea inayozungumzwa na Wakpelle. Ni lugha tofauti na lugha ya Kikpelle ya Liberia. Mwaka wa 1991 idadi ya wasemaji wa Kikpelle imehesabiwa kuwa watu 308,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikpelle iko katika kundi la Kimande.
Viungo vya nje
lugha ya Kikpe... |
84479 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Papa%20Stefano | Papa Stefano | Papa Stefano ni jina la mapapa wafuatao:
Papa Stefano I (254-257)
Papa mteule Stefano (752)
Papa Stefano II (752-757)
Papa Stefano III (767-772)
Papa Stefano IV (816-817)
Papa Stefano V (885-891)
Papa Stefano VI (896-897)
Papa Stefano VII (928-931)
Papa Stefano VIII (939-942)
Papa Stefano IX (1057-1058)
Papa |
65745 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kitanjijili | Kitanjijili | Kitanjijili ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Wajijili. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kitanjijili imehesabiwa kuwa watu 8540. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kitanjijili iko katika kundi la Plateau.
Viungo vya nje
lugha ya Kitanjijili kwenye Multitree
makala za OLAC kuhu... |
22053 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mshangano | Mshangano | Mshangano ni jina la kata ya Manisipaa ya Songea katika Mkoa wa Ruvuma, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 8,205 waishio humo.
Marejeo
Mkoa wa Ruvuma
Wilaya ya Songea Mjini |
126569 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Akagondo | Mto Akagondo | ni korongo linalopatikana mashariki mwa Burundi (mkoa wa Cankuzo).
Maji yake, kupitia ziwa Tanganyika, huelekea Mto Kongo na hatimaye Bahari ya Atlantiki.
Tazama pia
Orodha ya mito ya mkoa wa Cankuzo
Orodha ya mito ya Burundi
Mito mirefu ya Afrika
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
A
A
Ziwa Tanganyika
Mto Ko... |
141582 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mautuma | Mautuma | ni kata ya kaunti ya Kakamega, Eneo bunge la Lugari, nchini Kenya.
Tanbihi
Kata za Kenya
Kaunti ya Kakamega |
116025 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Kaija | Mto Kaija | unapatikana nchini Uganda kati ya mkoa wa Magharibi na Mkoa wa Kati.
Maji yake yanaishia katika mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati.
Tazama pia
Orodha ya mito ya Uganda
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Mito ya Uganda
Nile
Mediteranea |
26125 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Orodha%20ya%20miji%20ya%20Ufalme%20wa%20Muungano | Orodha ya miji ya Ufalme wa Muungano | Hii ni orodha ya miji ya nchi ya Ufalme wa Muungano yenye angalau idadi ya wakazi 100,000 (2001).
Marejeo
Ufalme wa Muungano |
64927 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kiburak | Kiburak | Kiburak ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Waburak. Mwaka wa 1992 idadi ya wasemaji wa Kiburak imehesabiwa kuwa watu 4000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiburak iko katika kundi la Kiadamawa-Ubangi.
Viungo vya nje
lugha ya Kiburak kwenye Multitree
makala za OLAC kuhusu Kibur... |
99199 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Mpangali | Mto Mpangali | ni kati ya mito ya mkoa wa Mbeya (Tanzania Kusini Magharibi) ambayo maji yake yanaishia katika bahari Hindi kupitia mto Rufiji.
Tazama pia
Mito ya Tanzania
Orodha ya mito ya mkoa wa Mbeya
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Mito ya Tanzania
Mkoa wa Mbeya
Bahari ya Hindi |
153688 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Richard%20M.%20Daley | Richard M. Daley | Richard Michael Daley (alizaliwa Aprili 24, 1942) ni mwanasiasa wa Marekani ambaye aliwahi kuwa Meya wa 54 wa Chicago, Illinois, kutoka 1989 hadi 2011. Daley alichaguliwa kuwa meya mwaka wa 1989 na alichaguliwa tena mara tano hadi akakataa kugombea nafasi. awamu ya saba. Akiwa na miaka 22, muda wake ulikuwa mrefu zaid... |
133197 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kipanya-kinamasi | Kipanya-kinamasi | Kipanya-kinamasi (Delanymys brooksi) ni mnyama mgugunaji mdogo na spishi pekee ya nusufamilia Delanymyinae katika familia Nesomyidae. Anatokea vinamasi na maeneo manyevu mengine ya mwinuko mkubwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Rwanda na Uganda.
Maelezo
Huyu ni kipanya mdogo sana. Ana urefu wa sm 5-6 tu na uz... |
29455 | https://sw.wikipedia.org/wiki/S%C3%BCrmene | Sürmene | ni mji na wilaya iliopo Mkoani Trabzon kwenye kanda ya Bahari Nyeusi huko nchini Uturuki.
Viungo vya Nje |
132777 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Farisi | Farisi | Farisi (kwa Kigiriki: Περσεύς Perseus) ni shujaa katika hadithi za Mitholojia za Kiigiriki. Alitajwa kama mwanzilishi wa mji wa Mikene akiwa pia maarufu kwa kumuua dubwana Madusa. Katika masimulizi ya Wagiriki alitazamwa kama nusu-mungu, yaani mtoto wa mungu mkuu Zeu na wa binti wa kibinadamu Danaë. Alikumbukwa kuwa pa... |
78525 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Alfabeti%20ya%20kifonetiki%20ya%20kimataifa | Alfabeti ya kifonetiki ya kimataifa | Alfabeti ya kifonetiki ya kimataifa (kwa Kiingereza: International Phonetic Alphabet, kifupi IPA) ni mfumo wa alfabeti unaolenga kuonyesha sauti za lugha zote duniani. Imetungwa na wataalamu wa isimu wanaoshirikiana katika Shirika la Kimataifa la Fonetiki (International Phonetic Association). Inatumiwa na watunga kamus... |
98423 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Muriani | Mto Muriani | ni kati ya mito ya mkoa wa Pwani (Tanzania mashariki).
Maji yake yanaelekea Bahari Hindi.
Tazama pia
Mito ya Tanzania
Orodha ya mito ya mkoa wa Pwani
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Mito ya Tanzania
Mkoa wa Pwani
Bahari ya Hindi |
96049 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Waya | Waya | Waya (wingi: nyaya; kutoka Kiingereza "wire") ni uzi wa chuma. Waya hutumika hasa katika kusafirishia umeme.
Rangi tofautitofauti za waya katika baadhi ya nchi, kwa mfano nchini Marekani, kijani au wazi ni waya (udongo) wa ardhi, nyeupe ni waya wa neutral, na nyeusi, rangi ya bluu, nyekundu, kahawia, njano, na machun... |
20377 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mchombe | Mchombe | Mchombe ni kata ya Wilaya ya Kilombero katika Mkoa wa Morogoro, Tanzania yenye Postikodi namba 67513. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 38,651 walioishi humo.
Marejeo
Wilaya ya Kilombero
Kata za Mkoa wa Morogoro |
14463 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Alfred%20Hershey | Alfred Hershey | Alfred Day Hershey (4 Desemba 1908 – 22 Mei 1997) alikuwa mwanabiolojia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza virusi vinavyoharibu vijidudu. Mwaka wa 1969, pamoja na Max Delbruck na Salvador Luria alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Waliozaliwa 1908
Waliofariki 1997
Wanasayansi wa Marekani
Tuzo ya Nobel ya T... |
40978 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Orodha%20ya%20miji%20ya%20Afrika%20Kusini | Orodha ya miji ya Afrika Kusini | Hii ni orodha ya miji ya nchi ya Afrika Kusini yenye angalau idadi ya wakazi 100,000 (2010).
Afrika Kusini |
147852 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Joash%20Onyango | Joash Onyango | Joash Abong'o Onyango alizaliwa tarehe 31 Januari 1993, ni mwanasoka wa kulipwa kutoka Kenya, kwa sasa anacheza kama beki kwa upande wa Ligi Kuu ya Tanzania, na ni mchezaji wa Timu ya Simba na timu ya taifa ya kandanda ya Kenya.
Takwimu za kazi
Kimataifa
Takwimu sahihi kufikia mechi iliyochezwa 11 Septemba 2018
Hesh... |
100504 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Shangwe | Mto Shangwe | ni mmojawapo kati ya mito ya mkoa wa Katavi, Tanzania (upande wa magharibi).
Maji yake yanatiririkia Ziwa Tanganyika, mto Kongo na hatimaye Bahari ya Atlantiki.
Tazama pia
Mito ya Tanzania
Orodha ya mito ya mkoa wa Katavi
Marejeo
Viungo vya nje
Geonames.org
Mito ya Tanzania
Mkoa wa Katavi
Ziwa Tanganyika
Mto Ko... |
107447 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Tondi | Tondi | Tondi, mitonzi au mitozi ni samaki wa baharini na maji baridi wa familia Plotosidae katika oda Siluriformes wanaofanana na mikunga lakini kuwa na sharubu kama kambale. Huitwa ngogo pia lakini jina hili tafadhali litumike kwa jenasi Synodontis.
Maelezo
Tondi wana mwili kama mkunga. Mkia wao una ncha kali au butu. Takri... |
102142 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Lobokat | Mto Lobokat | ni korongo linalopatikana katika kaunti ya Turkana, kaskazini magharibi mwa Kenya (eneo la Bonde la Ufa la Afrika Mashariki).
Maji yake yanaishia katika ziwa la magadi linaloitwa Turkana na lililo kubwa kuliko maziwa yote ya Kenya. Ni pia ziwa la jangwani lililo kubwa kuliko yote duniani.
Tazama pia
Mito ya Kenya
O... |
103539 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Ainopsiwa | Mto Ainopsiwa | unapatikana katika kaunti ya Kisumu magharibi mwa Kenya (kwenye ziwa Nyanza).
Maji yake yanaishia katika mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati.
Tazama pia
Mito ya Kenya
Orodha ya mito ya kaunti ya Kisumu
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Mito ya Kenya
Kaunti ya Kisumu
Nile
Mediteranea |
79108 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kikumaoni | Kikumaoni | Kikumaoni ni lugha ya Kihindi-Kiulaya nchini Uhindi inayozungumzwa na Wakumaoni. Mwaka wa 1998 idadi ya wasemaji wa Kikumaoni imehesabiwa kuwa watu 2,360,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kikumaoni iko katika kundi la Kiaryan.
Viungo vya nje
lugha ya Kikumaoni kwenye Multitree
makala za OLAC kuhusu Kikumaoni
lug... |
103977 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Mtawa | Mto Mtawa | unapatikana katika kaunti ya Kwale, kusini mashariki mwa Kenya (kwenye bahari ya Hindi).
Tazama pia
Mito ya Kenya
Orodha ya mito ya kaunti ya Kwale
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Mito ya Kenya
Kaunti ya Kwale
Bahari ya Hindi |
106919 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Angarrani | Mto Angarrani | unapatikana katika kaunti ya Narok, magharibi mwa Kenya.
Maji yake yanaishia katika mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati.
Tazama pia
Mito ya Kenya
Orodha ya mito ya kaunti ya Narok
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Mito ya Kenya
Kaunti ya Narok
Nile
Mediteranea |
15353 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Rodrigo%20Santoro | Rodrigo Santoro | Rodrigo Junqueira dos Reis Santoro (amezaliwa 22 Agosti 1975) ni mwigizaji filamu na tamthilia kutoka nchi ya Brazil. Hapo awali alikuwa akiigiza katika baadhi ya tamthilia za kilatini zinazojulikana kwa jina telenovela, zilizopo nchini kwake. Kunako mwaka wa 2003 akaanza kujipatia umaarufu baada ya kucheza katika fila... |
79685 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kilamkang | Kilamkang | Kilamkang ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uhindi inayozungumzwa na Walamkang. Mwaka wa 1999 idadi ya wasemaji wa Kilamkang imehesabiwa kuwa watu 10,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kilamkang iko katika kundi la Kisal.
Viungo vya nje
lugha ya Kilamkang kwenye Multitree
makala za OLAC kuhusu Kilamkang
lugha ya K... |
111293 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Lorupel | Mto Lorupel | unapatikana kaskazini mwa Uganda.
Maji yake yanaishia katika mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati.
Tazama pia
Orodha ya mito ya Uganda
Orodha ya mito ya wilaya ya Kaabong
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Wilaya ya Kaabong
Mito ya Uganda
Nile
Mediteranea |
114029 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Kiriba%20%28Kabarole%29 | Mto Kiriba (Kabarole) | unapatikana katika wilaya ya Kabarole, magharibi mwa Uganda.
Tazama pia
Orodha ya mito ya Uganda
Orodha ya mito ya wilaya ya Kabarole
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Rivers and Lakes of Uganda.
Wilaya ya Kabarole
Mito ya Uganda |
123032 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Branko%20Ili%C4%87 | Branko Ilić | Branko Ilić (alizaliwa 6 Februari 1983) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Slovenia. Aliwahi kucheza timu ya taifa ya Slovenia.
Ilić ameichezea timu ya taifa ya Slovenia tangu mwaka wa 2004. Ilić alicheza Slovenia katika mechi 63, akifunga mabao 1.
Takwimu
Tanbihi
Wachezaji mpira wa Slovenia |
66621 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kevin%20James | Kevin James | Kevin George Knipfing (amezaliwa tar. 26 Aprili 1965) ni mwigizaji wa filamu na mchekeshaji kutoka nchini.
Marejeo
Viungo vya Nje |
67998 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Serinane | Serinane | Serinane ni kijiji katika Kweneng West, Wilaya ya Kweneng huko nchini Botswana. Idadi ya wakazi wa kijijini hapa ilikuwa 787 kulingana na matokeo ya sensa ya mwaka wa 2011.
Bibliografia
2011 Census Alphabetical Index of Districts Central Statistics Office ya Botswana
2011 Census Alphabetical Index of Villages Cent... |
163488 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Owen%20Corrie | Owen Corrie | Sir Owen Cecil Kirkpatrick Corrie (3 Machi 1882 – 28 Agosti 1965 alikuwa mwanasheria wa Uingereza. Alishikilia wadhifa wa Chief Judicial Commissioner for the Western ya Magharibi na jaji wa Chief Justice of Fiji kati ya 1936 na 1945, Pia aliwahi kuwa jaji Palestina , eneo liliotumiwa na Waingereza,Ujerumani na Ke... |
141288 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Florentina%20wa%20Cartagena | Florentina wa Cartagena | Florentina wa Cartagena (Cartagena, leo nchini Hispania, 545/550 - labda Sevilia, Hispania, 612 hivi) alikuwa bikira ambaye aliongoza monasteri mbalimbali kufuatana na kanuni aliyopewa na kaka yake Leandri wa Sevilia kwa jina la De institutione virginum et contemptu mundi (P.L., LXXII, 873 sqq).
Alizaliwa na Severianu... |
110629 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Baria | Mto Baria | unapatikana kaskazini mwa Uganda.
Maji yake yanaishia katika mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati.
Tazama pia
Orodha ya mito ya Uganda
Orodha ya mito ya wilaya ya Arua
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Wilaya ya Arua
Mito ya Uganda
Nile
Mediteranea |
14061 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kiwalani | Kiwalani | Kiwalani ni mojawapo kati ya kata zilizopo katika wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania yenye postikodi namba 12108. Iko ndani ya jiji la Dar es Salaam. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka 2012, kitongoji kina idadi ya wakazi wapatao 82,292.
Kitongoji hiki kilianzishwa miaka ya 1970 baada ya ... |
109260 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kisiwa%20cha%20Baga | Kisiwa cha Baga | ni kati ya visiwa vya Uganda kusini (Mkoa wa Kati, Wilaya ya Buvuma).
Kinapatikana katika ziwa Nyanza, la pili duniani kwa ukubwa.
Tazama pia
Orodha ya visiwa vya Uganda
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Visiwa vya Uganda
Visiwa vya Ziwa Viktoria
Wilaya ya Buvuma |
79543 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Nyasura | Nyasura | Nyasura ni kata ya Wilaya ya Bunda Mjini katika Mkoa wa Mara, Tanzania na sehemu ya mji mdogo wa Bunda yenye postikodi namba 31504. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 17,565 waishio humo.
Marejeo
Wilaya ya Bunda
Mkoa wa Mara |
175565 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Yohane%20Heer | Yohane Heer | , O.P. (1500 - 1572) alikuwa padri wa shirika la Wadominiko kutoka Ujerumani aliyefia imani ya Kikatoliki huko Uholanzi pamoja na wenzake 18 maarufu kama Wafiadini wa Gorkum.
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini. Kwanza alitangazwa na Papa Klement X kuwa mwenye heri tarehe 24 Novemba 1675, halafu m... |
74750 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kivao | Kivao | Kivao ni lugha ya Kiaustronesia nchini Vanuatu inayozungumzwa na Wavao kwenye visiwa vya Vao na Malekula. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kivao imehesabiwa kuwa watu 1900. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kivao iko katika kundi la Kioseaniki.
Viungo vya nje
lugha ya Kivao kwenye Multitree
makala za... |
81993 | https://sw.wikipedia.org/wiki/1560%20KK | 1560 KK | Makala hii inahusu mwaka 1560 KK (kabla ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Waliofariki
Karne ya 16 KK |
108042 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mlima%20Monduli | Mlima Monduli | ni mlima wenye asili ya volkeno kaskazini mwa Tanzania.
Mlima una kimo cha mita 2,615 juu ya usawa wa bahari.
Tazama pia
Orodha ya volkeno nchini Tanzania
Orodha ya milima ya mkoa wa Arusha
Orodha ya milima ya Tanzania
Orodha ya milima ya Afrika
Orodha ya milima
Tanbihi
Viungo vya nje
Mlima katika tovuti ya G... |
156449 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Jim%20Doyle | Jim Doyle | James Edward Doyle, Jr. (amezaliwa 23 Novemba 1945) ni mwanasheria na mwanasiasa wa Marekani ambaye aliweza kutumikia kama gavana wa arobaini na nne wa Wisconsin, akitumikia kuanzia januari 6 mwaka 2006 hadi kufikia januari 3 ya mwaka 2011. Katika uchaguzi wake wa kwanza wa kuwania ugavana wa Wasconsin aliweza kumshind... |
103582 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Maugo%20%28Homa%20Bay%29 | Mto Maugo (Homa Bay) | unapatikana katika kaunti ya Homa Bay, magharibi mwa Kenya (kwenye ziwa Nyanza).
Maji yake yanaishia katika mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati.
Tazama pia
Mito ya Kenya
Orodha ya mito ya kaunti ya Homa Bay
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Mito ya Kenya
Kaunti ya Homa Bay
Nile
Mediteranea |
45853 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Beira%20%28Msumbiji%29 | Beira (Msumbiji) | Beira ni mji mkuu wa mkoa wa Sofala nchini Msumbiji. Idadi ya wakazi wake ni takriban 530.706.
Tazama pia
Orodha ya miji ya Msumbiji
Miji ya Msumbiji |
102436 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Ayena%20Etuthuru | Mto Ayena Etuthuru | unapatikana katika kaunti ya Samburu, nchini Kenya (eneo la Bonde la Ufa la Afrika Mashariki).
Tazama pia
Mito ya Kenya
Orodha ya mito ya kaunti ya Samburu
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Mito ya Kenya
Kaunti ya Samburu |
162646 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Wilaya%20ya%20Zaghouan | Wilaya ya Zaghouan | Wilaya ya Zaghouan ni kati ya wilaya 24 za Tunisia.
Inapatikana katika mkoa wa Kaskazini Mashariki ukiwa na wakazi 176,945 (2014) katika eneo la kilomita mraba 2,820, msongamano ukiwa wa watu 63.93 kwa kilomita mraba.
Tazama pia
Wilaya za Tunisia
Tanbihi
wilaya za Tunisia
Wilaya ya Zaghouan |
26890 | https://sw.wikipedia.org/wiki/They%20Don%27t%20Care%20About%20Us | They Don't Care About Us | "They Don't Care About Us" ni single ya nne kutoka katika albamu ya Michael Jackson, HIStory. Wimbo huu umebaki kuwa kama moja kati ya nyimbo za Jackson zenye nong'ngono kuliko zile zote alizotunga hapo awali. Nchini Marekani, vyombo vya habari vya nchini humo vilianza upekuzi usiyo rasmi juu ya mashairi yaliyomo kweny... |
143093 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Amando%20na%20Juniano | Amando na Juniano | Amando na Juniano (karne ya 5 - karne ya 6) walikuwa wakaapweke karibu na Limoges, katika Ufaransa wa leo.
Amando alihamia huko ili kuishi kitawa akitokea labda Hungaria. Askofu alimkubali. Kabla hajafa alimpokea mvulana Juniano kama mwanafunzi, naye aliendeleza kwa miaka 40 mtindo wa maisha wa Amando akapata sifa ku... |
144743 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mascara%2C%20Algeria | Mascara, Algeria | ni mji wa Algeria. Wakazi wake walihesabiwa kuwa 105,857 mwaka 2008.
Tazama pia
Orodha ya miji ya Algeria
Tanbihi
Miji ya Algeria |
64309 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Orodha%20ya%20lugha%20za%20Benin | Orodha ya lugha za Benin | Orodha hii inaorodhesha lugha za Benin:
Kiaguna
Kiaja
Kianii
Kianufo
Kibaatonum
Kibiali
Kiboko
Kidendi
Kiditammari
Kiede-Cabe
Kiede-Ica
Kiede-Idaca
Kiede-Ije
Kiede-Nago
Kiede-Nago-Kura
Kiede-Nago-Manigri-Kambole
Kifaransa
Kifon
Kifoodo
Kifulfulde-Borgu
Kifulfulde-Gorgal
Kigbe-Ayizo
Kigbe-Ci
Kigbe-Defi
Kigbe-Gbesi
Kigb... |
134875 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kipanya-milia | Kipanya-milia | Vipanya-milia ni wanyama wagugunaji wa jenasi Hybomys katika nusufamilia Murinae ya familia Muridae ambao wanatokea katika misitu ya mvua ya Afrika ya Magharibi na ya Kati.
Maelezo
Manyoya ya mgongo huwa aina ya kahawia kwa kawaida, tumbo ni jeupe au njano. Urefu wa mwili ni mm 100-160 mm, urefu wa mkia mm 85-130 na ... |
171886 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Quinton%20Fortune | Quinton Fortune | Quinton Fortune (alizaliwa Mei 21, 1977) ni kocha wa kitaalamu wa soka na mchezaji wa zamani wa Afrika Kusini, ambaye alicheza kama kiungo na beki. Kazi yake ilianza Ulaya na baada ya kucheza na timu kama Tottenham Hotspur, Mallorca na Atlético Madrid, alijiunga na Manchester United mwaka 1999 na kubaki huko kwa miaka ... |
110653 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Orunge | Mto Orunge | unapatikana kaskazini mwa Uganda.
Maji yake yanaishia katika mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati.
Tazama pia
Orodha ya mito ya Uganda
Orodha ya mito ya wilaya ya Arua
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Wilaya ya Arua
Mito ya Uganda
Nile
Mediteranea |
92606 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Nestori | Nestori | Nestori (kwa Kigiriki Νεστόριος, Nestorios; Germanicia, (leo nchini Uturuki) 386 hivi – al-Khargah, Misri, 450) alikuwa mmonaki na mwanateolojia aliyefikia kuwa Patriarki wa Konstantinopoli (leo Istanbul) tangu tarehe 10 Aprili 428 hadi Agosti 431, ambapo kaisari Theodosius II alithibitisha uamuzi dhidi yake uliopitish... |
89974 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Sikudhani%20Yasini%20Chikambo | Sikudhani Yasini Chikambo | Sikudhani Yasini Chikambo (amezaliwa tarehe 28 Oktoba 1972) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa mwaka 2015 – 2020.
Marejeo
Waliozaliwa 1972
Watu walio hai
Wanasiasa wa Tanzania
Bunge la Tanzania
Wanasiasa w... |
70063 | https://sw.wikipedia.org/wiki/478%20KK | 478 KK | Makala hii inahusu mwaka 478 KK.
Matukio
Waliozaliwa
Waliofariki
Viungo vya nje
Karne ya 5 KK |
65849 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Seth%20MacFarlane | Seth MacFarlane | Seth Woodbury MacFarlane (amezaliwa tar. 26 Oktoba mwaka 1973 huko mjini Kent, Connecticut) ni mwigizaji wa filamu na mtayarishaji wa vipindi vya televisheni kutoka nchini Marekani.
Tamthilia
Waigizaji filamu wa Marekani
Waliozaliwa 1973
Watu walio hai
Kent, Connecticut |
149683 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Tuzo%20za%20Muziki%20za%20Afrika%20Kusini | Tuzo za Muziki za Afrika Kusini | Tuzo za Muziki za Afrika Kusini (SAMAs) ni taasisi ya kurekodi tuzo za muziki Afrika Kusini iliyoanzishwa 1995.
Kwa kawaida uteuzi hutangazwa mwishoni mwa mwezi Machi. Washindi hupokea tuzo ya dhahabu inayoitwa SAMA.
Marejeo
https://www.news24.com/channel/music/news/the-2021-samas-will-recognise-gqom-and-amapiano-a... |
137743 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Uwanja%20wa%20michezo%20wa%20Horseed | Uwanja wa michezo wa Horseed | Uwanja wa michezo wa Horseed ni uwanja wa michezo uliopo katika eneo la Horseed nchini Somalia, ni uwanja unaotumika sana kwa ajili ya mchezo wa mpira wa miguu ,pia ni uwanja wa nyumbani wa timu inayoshiriki ligi kuu ya Somalia ya Horseed FC. Uwanja huu una uwezo wa kuchukua mashabiki 10,000.
Viungo vya Nje
Calciozz
... |
70630 | https://sw.wikipedia.org/wiki/547%20KK | 547 KK | Makala hii inahusu mwaka 547 KK (kabla ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Waliofariki
Karne ya 6 KK |
131185 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Amansi%20wa%20Rodez | Amansi wa Rodez | Amansi wa Rodez (alifariki Rodez, Akwitania, leo nchini Ufaransa, karne ya 4 hivi) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Novemba.
Tazama pia
Watakatifu wa Agano la Kale
Orodha ya Watakatifu Wakristo
Orodha ya Wata... |
122838 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kiril%20Metkov | Kiril Metkov | Kiril Metkov (alizaliwa 1 Februari 1965) ni mchezaji wa zamani wa mpira wa miguu wa Bulgaria. Aliwahi kucheza timu ya taifa ya Bulgaria.
Metkov ameichezea timu ya taifa ya Bulgaria tangu mwaka wa 1989. Metkov alicheza Bulgaria katika mechi 9.
Takwimu
Tanbihi
Wachezaji mpira wa Bulgaria |
44096 | https://sw.wikipedia.org/wiki/2014 | 2014 | Makala hii inahusu mwaka 2014 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Waliofariki
6 Februari - Maxine Kumin, mshairi kutoka Marekani
12 Machi - Fortunatus Lukanima, askofu Mkatoliki kutoka Tanzania
20 Machi - Hennie Aucamp, mwandishi kutoka Afrika Kusini
17 Aprili - Gabriel García Márquez, mwandishi kutoka Ko... |
38888 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mahwah%2C%20New%20Jersey | Mahwah, New Jersey | Mahwah ni mji wa Marekani katika jimbo la New Jersey.
Miji ya New Jersey
Bergen County, New Jersey |
74317 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Jimbo%20Katoliki%20la%20Maralal | Jimbo Katoliki la Maralal | Jimbo Katoliki la Maralal ni mojawapo kati ya majimbo 26 ya Kanisa Katoliki nchini Kenya.
Liko chini ya jimbo kuu la Nyeri.
Mararal |
83390 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Uislamu%20nchini%20Libya | Uislamu nchini Libya | Uislamu nchini Libya ndio dini inayongoza kwa wingi wa wafuasi.
Sehemu kubwa ya waumini wa Libya ni wale wanaofuata dhehebu la Sunni, ambapo hutoa mafunzo ya kidini na mwongozo wa sera za utawala wa nchi na serikali kwa ujumla. Ni vigumu kubagusha dhana hii kwani hata kwa wale ambao hawakuamini Uislamu kikamilifu nao ... |
38113 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Taunton%2C%20Massachusetts | Taunton, Massachusetts | Taunton ni mji wa Marekani katika jimbo la Massachusetts. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, mji una wakazi wapatao 55,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 9 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 124 km².
Miji ya Massachusetts
Bristol County, Massachusetts |
100089 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Manje | Mto Manje | ni mto wa Mkoa wa Singida (Tanzania ya kati).
Maji yake yanaishia Bahari Hindi kupitia mto Rufiji.
Tazama pia
Mito ya Tanzania
Orodha ya mito ya mkoa wa Singida
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Mito ya Tanzania
Mkoa wa Singida
Bahari ya Hindi |
93691 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Mbagathi | Mto Mbagathi | Mto Mbaghati unapatikana kusini mwa Kenya. Ni tawimto la mto Athi-Galana-Sabaki ambao unaishia katika Bahari ya Hindi.
Tazama pia
Mito ya Kenya
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Mito ya Kenya
mto Galana
Bahari ya Hindi |
23075 | https://sw.wikipedia.org/wiki/James%20Heller | James Heller | James Heller ni jina la uhusika wa kipindi cha televisheni cha Kimarekani maarufu kama 24. Uhusika ulichezwa na William Devane. Katika simulizi ya mfululizo huu, Heller kacheza kama Waziri wa Ulinzi wa Marekani. Ameonakana katika msimu wa 4,5, na 6 tu, basi.
Viungo vya Nje
Wahusika wa 24 |
129911 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Ipasi%2C%20Asiani%20na%20Andrea | Ipasi, Asiani na Andrea | Ipasi, Asiani na Andrea (walifariki Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 740 hivi) walikuwa maaskofu na padri walioteswa na kaisari Leo III wa Bizanti na hatimaye kuuawa kwa kutupwa waliwe na mbwa kwa sababu ya kuheshimu picha takatifu.
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.... |
29552 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Boztepe%2C%20K%C4%B1r%C5%9Fehir | Boztepe, Kırşehir | ni mji na wilaya iliopo Mkoani Kırşehir kwenye kanda ya Anatolia ya Kati huko nchini Uturuki.
Viungo vya Nje |
84401 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mia%20moja%20na%20ishirini%20na%20nane | Mia moja na ishirini na nane | Mia moja na ishirini na nane ni namba inayoandikwa 128 kwa tarakimu za kawaida na CXXVIII kwa zile za Kirumi.
Ni namba asilia inayofuata 127 na kutangulia 129.
Vigawo vyake vya namba tasa ni: 2 x 2 x 2 x 2 x 2 x 2 x 2 (au 27).
Matumizi
Namba hurejea miaka 128 KK na 128 BK.
Tanbihi
Namba asilia |
80534 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kimru | Kimru | Kimru ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uhindi inayozungumzwa na Wamru. Idadi ya wasemaji wa Kimru imehesabiwa kuwa watu 2100. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kimru iko katika kundi la Kingwi-Kiburma.
Viungo vya nje
lugha ya Kimru kwenye Multitree
makala za OLAC kuhusu Kimru
lugha ya Kimru katika Glottolog
lugha ya ... |
149476 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Bendi%20ya%20Soto%20Koto | Bendi ya Soto Koto | Bendi ya Soto Koto ni bendi ya muziki wa jazz ya Kiafrika. Muziki wao kimsingi umeathiriwa na muziki wa Gambia. Kundi kubwa, bendi hutumbuiza kwenye ala za upepo, ala za nyuzi, na midundo.
Albamu iliyojiita, Bendi ya Soto Koto, ilitolewa mwaka wa 1993. Mojawapo ya nyimbo zake, "Korajulo", ilijumuishwa kwenye mkusanyik... |
69026 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Lemuri-sufu | Lemuri-sufu | Lemuri-sufu (kutoka Kiingereza: woolly lemur) ni spishi za lemuri wa jenasi Avahi katika familia Indriidae. Kama lemuri wote wanatokea Madagaska tu. Manyoya yao ni laini na ya kusokotwa kama sufu. Wana rangi ya kahawiakijivu hadi kahawianyekundu na mkia una rangi ya kahawiamachungwa. Iko rangi ya nyeupe nyuma ya mapaja... |
20828 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Kwadelo | Kwadelo | Kwadelo ni kata, ya Wilaya ya Kondoa katika Mkoa wa Dodoma , Tanzania yenye postikodi namba 41719.
Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 11,593 waishio humo. Asilimia kubwa za wakazi wa kata ya Kwadelo ni Warangi.
Baadhi ya vijiji vya kata ya Kwadelo vyenye shule ya msingi ni Kw... |
142394 | https://sw.wikipedia.org/wiki/David%20Bruck | David Bruck | David Isaac Bruck (amezaliwa Montreal, Quebec, Kanada, 1949) ni wakili wa utetezi wa jinai wa Kanada na Marekani, profesa wa sheria huko Washington na Lee University School of Law, na mkurugenzi wa Virginia Capital Case Clearinghouse.
Bruck alihudhuria Chuo Kikuu cha Harvard na Chuo Kikuu cha Sheria cha South Carolin... |
127184 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Rurembera | Mto Rurembera | unapatikana nchini Burundi (mkoa wa Gitega).
Maji yake huelekea ziwa Tanganyika, mto Kongo na hatimaye bahari ya Atlantiki.
Tazama pia
Orodha ya mito ya mkoa wa Gitega
Orodha ya mito ya Burundi
Mito mirefu ya Afrika
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Mkoa wa Gitega
R
Ziwa Tanganyika
Mto Kongo
Atlantiki |
114557 | https://sw.wikipedia.org/wiki/Mto%20Hondwa%20%28Uganda%29 | Mto Hondwa (Uganda) | unapatikana katika wilaya ya Kyenjojo, magharibi mwa Uganda.
Maji yake yanaishia katika mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati.
Tazama pia
Orodha ya mito ya Uganda
Orodha ya mito ya wilaya ya Kyenjojo
Tanbihi
Viungo vya nje
Geonames.org
Wilaya ya Kyenjojo
Mito ya Uganda
Nile
Mediteranea |
End of preview. Expand in Data Studio
README.md exists but content is empty.
- Downloads last month
- 8