id stringlengths 8 8 | swali stringlengths 8 326 | somo stringclasses 9
values | hatua stringclasses 9
values | machaguo listlengths 2 5 | jibu stringclasses 5
values |
|---|---|---|---|---|---|
sub_0001 | Neno kitanda limeundwa na silabi ngapi? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Moja",
"Tatu",
"Saba",
"Tano"
] | B |
sub_0002 | Mlima huu ni ______ sana. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Kirefu",
"Virefu",
"Warefu",
"Mrefu"
] | D |
sub_0003 | Mwanafunzi anaandika vizuri. Wingi wa neno mwanafunzi ni upi? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Wanafunzi",
"Funzi",
"Walimu",
"Tuwanafunzi"
] | A |
sub_0004 | Mtu anayetibu wagonjwa huitwa_______. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Mwalimu",
"Mlinzi",
"Daktari",
"Mpishi"
] | C |
sub_0005 | a, e, i, o, u kwa jina moja huitwa _______. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"konsonanti",
"Maneno",
"Sahili",
"Irabu"
] | D |
sub_0006 | Wingi wa ukuta ni kuta. Je wingi wa dirisha ni upi? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"dirisha",
"madirisha",
"madini",
"vidirisha"
] | B |
sub_0007 | Neno konde limeundwa na irabu ngapi? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"tano",
"mbili",
"sita",
"nne"
] | B |
sub_0008 | Mama amekwenda sokoni kununua matunda. Neno soko ni sawa na? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"gulio",
"shamba",
"konden",
"gundi"
] | A |
sub_0009 | Kinyume cha neno mrefu ni | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"mwembamba",
"mnene",
"mfupi",
"mdogo"
] | C |
sub_0010 | Kisawe cha neno Televisioni ni | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"kabati",
"Tv",
"runinga",
"visheni"
] | C |
sub_0011 | Kwa kutumia herufi 'sh' unaweza kuunda neno gani kati ya maneno yafuatayo? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"kisima",
"shule",
"sokoni",
"motokaa"
] | B |
sub_0012 | Juma aliondoka jana asubuhi. Sentensi hii ipo katika wakati gani? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"ujao",
"uliopo",
"uliopita",
"ujao"
] | C |
sub_0013 | Ipi ni alama ya mshangao kati ya alama zifuatazo? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
".",
"?",
"!",
","
] | C |
sub_0014 | Kisawe cha neno tisa ni kipi? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"kenda",
"mosi",
"nane",
"jozi"
] | A |
sub_0015 | Kinyume cha neno kumbuka ni kipi? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"kumbukeni",
"sijakumbuka",
"sahau",
"timiza"
] | C |
sub_0016 | Mtoto mtiifu . . . . vizuri na jamii yake. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"anafunza",
"amefuzu",
"amefunzwa",
"amefaulu"
] | D |
sub_0017 | Jongoo . . . . . . . . . . . . . . . . na miguu mingi. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"ametengenezwa",
"ameumbwa",
"kimeumbwa",
"kimefinya ngwa"
] | B |
sub_0018 | Koti la babu limeliwa na . . . | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"kunguni",
"mchwa",
"chawa",
"kiroboto"
] | B |
sub_0019 | Tochi ya kaka ina . . . mzuri. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"mwanga",
"umbo",
"miale",
"nuru"
] | A |
sub_0020 | Chungu cha bibi . . . kwa udongo. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"kimefinyangwa",
"kimeumbwa",
"kimejengwa",
"Kimetengenezwa"
] | A |
sub_0021 | Neno chakula lina silabi ngapi? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"tatu",
"mbili",
"tano",
"nne"
] | A |
sub_0022 | Ni mayai | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"kile",
"ile",
"yale",
"hivi"
] | C |
sub_0023 | Wingi wa ukuta ni kuta, je wingi wa meza ni upi? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"meza",
"marneza",
"vimeza",
"mame"
] | A |
sub_0024 | Kinyume cha neno mrefu ni | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"mwembamba",
"mfupi",
"mdogo",
"mkubwa"
] | B |
sub_0025 | Neno Kiswahili lina irabu ngapi | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"nne",
"tano",
"nane",
"sita"
] | C |
sub_0026 | Popo mbili za vuka mto | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"macho",
"popo",
"mwanga"
] | A |
sub_0027 | Mkono wa birika ni | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"tajiri",
"mkono",
"mchoyo"
] | C |
sub_0028 | Kahawa ni……………. la biashara. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Kilimo",
"Zao",
"Fungu",
"Dhao"
] | B |
sub_0029 | Mimea ikipata mvua ya kutosha…………… | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Huthitawi",
"Hustawi",
"Huthitawi",
"Huzitawi"
] | B |
sub_0030 | Amina ni mtoto mwenye…………… | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Nidhamu",
"Mizamu",
"Niramu",
"Nithamu"
] | A |
sub_0031 | Neno 'kyala' limeundwa kwa silabi………… | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"6",
"5",
"2",
"4"
] | C |
sub_0032 | John alikwenda kuwatembelea…………wake. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Wazazi",
"Wadhazi",
"Wasasi",
"Baba"
] | A |
sub_0033 | Mtu anaye fanya kazi ya kulima huitwa . | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Mchukuzi",
"Mkulima",
"Fundi seremala",
"Mwalimu"
] | B |
sub_0034 | Wingi wa neno ukuta ni ______ | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Kuta",
"Ukuta",
"Makuta",
"Mikuta"
] | A |
sub_0035 | Meza, milango, kabati, na viti kwa pamoja huitwa ____ | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Samani",
"thamani",
"Zamani",
"Vifaa"
] | B |
sub_0036 | Wingi wa neno 'nguo' ni _____ | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"manguo",
"viungo",
"nguo",
"linguo"
] | C |
sub_0037 | Dada wa baba yako anaitwa? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Dada mkubwa",
"binamu",
"Mama mkubwa",
"Shangazi"
] | D |
sub_0038 | Yeye amesema hawezi kulima lakini akijaliwa ______ mwakani. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"alilima",
"Atalima",
"Angelima",
"Analima"
] | B |
sub_0039 | Salumu ni mtoto wa dada yangu, hivyo salumu ni______ wangu | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"binamu",
"Mpwa",
"Mtoto wa dada",
"Shangazi"
] | B |
sub_0040 | Wingi wa neno paka ni______ | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"mipaka",
"Paka",
"Mijipaka",
"Mapaka"
] | B |
sub_0041 | Baba alimtuza mzigo wa kuni. Kinyume cha neno lililopigiwa mstari (alimtuza) ni______ | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"alimtwika",
"Alimtuza",
"Alimpakia",
"Alimshusha"
] | D |
sub_0042 | Hapa kuna ______ mbaya sana. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Halufu",
"Harufu",
"Alufu",
"Arufu"
] | B |
sub_0043 | Shangazi atapika chakula. Sentensi hii ipo katika wakati gani. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Uliopo",
"Uliopita",
"Ujao",
"Uliopita mtimilifu"
] | C |
sub_0044 | Mtu aliyefiwa na wazazi wake wote wawili huitwa | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Mgane",
"Mjane",
"Mfiwa",
"Yatima"
] | D |
sub_0045 | Neno anastahili lina silabi ngapi | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Nne",
"Tano",
"Sita",
"Saba"
] | B |
sub_0046 | Kinyume cha neno msafi ni ...... | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Mchafu",
"Uchafu",
"chafu",
"Mbaya"
] | A |
sub_0047 | Wingi wa neno kisu ni ………….. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Mavisu",
"Kisu",
"Vifaa",
"Visu"
] | D |
sub_0048 | Mbuzi kondoo, ngombe kwa jina moja huitwa …… | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Wanyama",
"Wafugwao",
"Nyama",
"Wanyonyeshao"
] | A |
sub_0049 | Ghala ni mahali pa kuhifadhia …… | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Maji",
"Mifugo",
"Nafaka",
"Wanafunzi"
] | C |
sub_0050 | Neno lipi halifanani na mengine kati ya haya yafuatayo? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Tafrija",
"Karamu",
"Vifijo",
"Msiba"
] | C |
sub_0051 | Mnyama aliyekufa hitwa …………… | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Mzoga",
"Uozo",
"Maiti"
] | A |
sub_0052 | Sahani, kikombe, bakuli na kijiko i........................ | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Samani",
"Mimea",
"Jikoni",
"Vyombo"
] | D |
sub_0053 | Kanga, kasuku, kunguru na njiva........................ | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Wanyama",
"Ndege",
"Vifaa",
"Viumbe"
] | B |
sub_0054 | Shangazi ni........................ | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Kaka yake mama",
"Dada yake baba",
"Mdogo wake dada",
"Mdogo wake kaka"
] | B |
sub_0055 | Wingi wa neno sufuria ni | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Masufuria",
"Sufuria",
"Mabakuli",
"Sufurias"
] | A |
sub_0056 | Nini umoja wa neno macho? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Majicho",
"Macho",
"Jicho",
"Jino"
] | C |
sub_0057 | Mtoto aliyefiwa na wazazi wote huitwa __________ | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Yatima",
"Mjinga",
"Maskini",
"Mkiwa"
] | A |
sub_0058 | Mtoto wa ng'ombe huitwa___________ | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Ng'ombe",
"Ndama",
"Kang'ombe",
"Mwana wa ng'ombe"
] | B |
sub_0059 | Chumba __________ni kichafu. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Hichi",
"Hizi",
"Hiki",
"Hili"
] | C |
sub_0060 | Neno KINYWA lina silabi ngapi? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Nne",
"Mbili",
"Tatu",
"Tano"
] | B |
sub_0061 | Kesho __________mpira uwanjani. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Tutacheza",
"Tumecheza",
"Tulicheza",
"Tunacheza"
] | A |
sub_0062 | Ndani ya pochi la mama aliweka nguo____________________. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Lake",
"Yake",
"Zake",
"Zao"
] | C |
sub_0063 | Baraka na anna walipewa____________________. | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Adabu",
"Adhabu",
"Azabu",
"Athabu"
] | B |
sub_0064 | Viatu…………..ni vyangu | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Yote",
"Yoyote",
"Vyote",
"Wingi"
] | C |
sub_0065 | Ukipika vyakula…………………………………………. Vitaharibika | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Kingi",
"Vingi",
"Mingi",
"Kichache"
] | B |
sub_0066 | Lipi kati ya mazao haya ni nafaka? | darasa_la_tatu | darasa_la_tatu | [
"Mahindi",
"Nazi",
"Pamba"
] | A |
sub_0067 | Mwalimu alimuuiliza Anna juu ya herufi mwambatano na kumtaka atoe mfano. Je, upi ulikuwa mfano wake sahihi kati ya ifuatayo? | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"b",
"Ndw",
"K",
"T"
] | B |
sub_0068 | Chungu cha bibi ............................kwa udongo mwekundu. | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Kimefinywa",
"Kimefinyanga",
"Kimeumbwa",
"Kimefinyangwa"
] | D |
sub_0069 | Lipi ni neno moja linalojumuisha maneno yafuatayo; dhahabu, almasi, shaba, tanzanaiti | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Madini",
"Fedha",
"Nguo",
"Vico"
] | A |
sub_0070 | Wingi wa neno mchanga ni upi kati ya majibu yafuatayo? | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Limchanga",
"Michanga",
"Mchanga",
"Mamichanga"
] | B |
sub_0071 | Tochi ya Jacob ina …………… mzuri. | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Mwanga",
"miale",
"umbo",
"nuru"
] | A |
sub_0072 | Wingi wa neno jiwe ni upi? | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"majiwe",
"vijiwe",
"mawe",
"jiwe"
] | C |
sub_0073 | Ilipofika adhuhuri chakula chote. Neno adhuhuri lina silabi ngapi? | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Nane",
"Sita",
"Saba",
"Nne"
] | D |
sub_0074 | Mtoto mzuri ni yule mwenye adabu kwa watu. Kisawe cha neno lililopigiwa mstari (adabu) ni kipi? | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"heshima",
"akili",
"utundu",
"uvivu"
] | A |
sub_0075 | Mwembe, mpera, mchungwa, na msufi kwa pamoja hujulikana kama. | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"miti",
"matunda",
"vyakula",
"vyombo"
] | A |
sub_0076 | Gari hili ni la kifahari kwa sababu lina kubwa. | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"samani",
"zamani",
"thamani",
"dhamani"
] | C |
sub_0077 | Kipimajoto kina mrija ambao una kimiminika ndani, kinachoitwa | kidato_cha_nne | kidato_cha_nne | [
"Sentigrade",
"Rekoda",
"usindikaji",
"zebaki"
] | B |
sub_0078 | ______ ni hali ya hewa inayotuzunguka kwa muda mfupi. | kidato_cha_nne | kidato_cha_nne | [
"hali ya hewa",
"mwanga wa jua",
"kipima joto",
"joto"
] | D |
sub_0079 | Ni ipi kati ya zifuatazo sio njia ya kuharibu mazingira? | kidato_cha_nne | kidato_cha_nne | [
"kukata miti",
"kuchoma msitu",
"kupanda miti",
"kufuga kupita kiasi"
] | C |
sub_0080 | Mwelekeo wa upepo hupimwa kwa kutumia chombo kinachoitwa ______ | kidato_cha_nne | kidato_cha_nne | [
"kipimo cha mvua",
"Vane ya upepo",
"mwelekeo wa dira",
"uchunguzi"
] | B |
sub_0081 | Utumiaji wa kemikali zenye sumu katika uchafuzi wa uvuvu | kidato_cha_nne | kidato_cha_nne | [
"maji",
"hewa",
"nchi kavu",
"samaki"
] | D |
sub_0082 | Kiasi cha maji katika hewa ambayo ni katika mfumo wa mvuke inaitwa | kidato_cha_nne | kidato_cha_nne | [
"unyevu",
"mawingu",
"mvua",
"upepo"
] | A |
sub_0083 | Joto hupimwa ndani | kidato_cha_nne | kidato_cha_nne | [
"milimita za zebaki",
"digrii za sentigredi",
"kilogramu za sentigredi",
"milimita za sentigredi"
] | B |
sub_0084 | Mwanga na joto linalotokana na jua wakati hakuna mawingu ni | kidato_cha_nne | kidato_cha_nne | [
"unyevu",
"mvua",
"mawingu juu ya",
"mwanga wa jua"
] | D |
sub_0085 | Ni aina gani ya hali ya hewa ambayo huwalazimisha watu kuvaa jaketi, gumbooti na kubeba miavuli? | kidato_cha_nne | kidato_cha_nne | [
"upepo",
"mawingu",
"Jua",
"mvua"
] | D |
sub_0086 | Kitengo cha kipimo kwa kasi ya upepo ni | kidato_cha_nne | kidato_cha_nne | [
"milimita",
"mwelekeo wa dira",
"digrii sentigredi",
"kilomita /saa(km/saa)"
] | D |
sub_0087 | Tulipokuwa tukijisomea aliniambia nikamilishe sentensi hii” babu na bibi kumwona shangazi kesho. | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Walikwenda",
"Na",
"Huenda",
"Watakwenda"
] | D |
sub_0088 | Mwalimu aliuliza neno lipi linakamilisha sentensi hii kwa usahihi? Baba yangu alikula wali ____kijiko | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Na",
"Kwa",
"Mwa",
"Pamoja"
] | B |
sub_0089 | Dereva ni kwa mwendesha vyombo vya nchi kavu rubani ni kwa mwendesha ndege. Je, nahodha ni kwa | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Manju",
"Vyombo vya majini",
"Ni kwa mabaharia",
"Vyombo vya angani"
] | B |
sub_0090 | Upi ni ukanushi sahihi wa neno "Ataimba" | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Huimba",
"Hataimba",
"Ataimba",
"Hajaimba"
] | B |
sub_0091 | Rafiki yangu alinionesha zeruzeru tulipokuwa kanisani. Kisha nilimuuliza neno lipi ni kisawa che zeruzeru? | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Chotara",
"Suriama",
"Albino",
"Muakasti"
] | C |
sub_0092 | Mwalimu alisema yakinishe sentensi ifuatayo "Elimu haina mwisho" | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Elimu si mwisho",
"Elimu ina mwisho",
"Elimu inafika mwisho",
"Elimu ni mwisho"
] | B |
sub_0093 | Nilipenda kujua kama unafahamu neno mchwa linaundwa na silabi zipi? | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"M.ch,wa",
"M.c,h,w,a",
"M.chwa",
"Mchwa"
] | C |
sub_0094 | Jamila anafanya kazi katika maktaba ya taifa. Je, Jamila ni nani? | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Mkutubi",
"Maktabalisti",
"Mfanyakazi",
"Mnajimu"
] | A |
sub_0095 | Mzee Kalumanzila anatibu watu kwa kutumia mitishamba. Je, neno "Kalumanzila" lina silabi ngapi? | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Tatu",
"Nne",
"Tano",
"Kumi na moja"
] | C |
sub_0096 | Bibi yake Sampuluna ni mzee sana hawezi hata kulima shamba tena. Je, neno gani lina maana sawa na mwanamke mzee? | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Abu",
"Shaibu",
"Buda",
"Ajuza"
] | D |
sub_0097 | Kitoto chake kinacheza mpira vizuri. Wingi wa neno lililopigiwa mstari (Kitoto) ni upi? | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Mtoto",
"Chitoto",
"Vitoto",
"Watoto"
] | C |
sub_0098 | Mtakapokuja kwenye mazishi msigombanie mali za watu. Neno lililopigiwa mstari (mazishi) lina silabi mwambatano ngapi? | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Mbili",
"Tatu",
"Moja",
"Nne"
] | B |
sub_0099 | Samaki mkunje angali mbichi. Wingi wa sentensi hii ni upi? | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Samaki wakunje angali wabichi",
"Masamaki yakunje yangali mabichi",
"Samaki mkunje wabichi",
"Samaki wabichi yakunjwe"
] | A |
sub_0100 | Mjomba alipanda juu ya mnazi kuangua nazi. Je, mtu anayeguangua nazi anaitwaje? | darasa_la_nne | darasa_la_nne | [
"Muangujaji",
"Mkwezi",
"Mgemaji",
"Mkuanzi"
] | B |
End of preview. Expand in Data Studio
Swahili Understanding Benchmark
Multiple-choice questions testing Swahili language understanding across ordinary level topics
- Repository:
nileagi/nileagi-sub-edu - Version: 1.0
- Valid items: 2570
- Schema:
swali,somo/hatua,machaguo,jibu
Dataset description
This dataset is a Swahili multiple-choice understanding benchmark designed for educational and low-resource evaluation. Each record contains a Swahili question (swali), a grade/topic tag (somo or hatua), a list of answer options (machaguo), and the correct answer label (jibu).
File
swahili_understanding_benchmark_q_a.json: raw benchmark data in JSON format
Usage
from datasets import load_dataset
dataset = load_dataset("nileagi/nileagi-sub-edu")
Features
- Swahili language
- Multiple-choice question answering
- Education / classroom assessment
- Benchmark evaluation for compact open models
- Downloads last month
- 35