Dataset Viewer
Auto-converted to Parquet Duplicate
text
string
Ikiwa ni wiki chache toka kesi ya video vixen Agnes Gerald a.k.a Masogange ya kutuhumiwa kusafirisha dawa za kulevya kuisha kwa kulipa faini nchini Afrika Kusini na kuwa mtu huru, hatimaye jana Jumanne amerejea nyumbani Tanzania Udaku Special Kupitia Instagram jana Agnes alipost picha (hapo juu) akiwa uwanja wa ndege na kuandika “am cmng homeeeeeeeee”. Mwishoni mwa mwezi uliopita (September) mrembo huyo aliachiwa huru pamoja na mdogo wake Melissa Edward ambaye mahakama ya Kempton ya jijini Johannesburg, Afrika Kusini ilimuachia huru baada ya kukosa ushahidi wa kumtia hatiani. ly Blog
MASTAA wa Yanga, Khalidi Aucho na Fiston Mayele, hawatakuwa sehemu ya mchezo wa leo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Taifa Jang’ombe na kwamba wataunguruma dhidi ya KMKM kesho kutwa Ijumaa. Aucho ameshindwa kusafiri na kikosi hicho kufuatia kuomba ruhusa ya kwenda kwao Uganda kwa ajili ya kuiona familia yake, huku Fiston Mayele naye yupo nchini DR Congo, kwa ajili ya kuhani msiba wa shemeji yake na anatarajiwa kuungana na timu mapema Alhamisi. Chanzo chetu kutoka Yanga kimeliambia Championi Jumatano kwamba, Aucho na Mayele wameshindwa kuambatana na timu iliyoondoka jana jioni kwa kuwa wote wamesafiri kwenda makwao hivyo wanatarajia kuungana na kikosi mapema Alhamisi ya Januari 6, mwaka huu. “Aucho sio sehemu ya msafara pamoja na Mayele kwa kuwa wote wapo makwao, hivyo tunatarajia watakuwa nasi katika mchezo dhidi ya KMKM unaotarajiwa kupigwa Januari 7, mwaka huu, hivyo nina imani kutokana na ratiba zao zilivyo watawahi na huenda wakawa sehemu ya mchezo wetu siku hiyo,” kilisema chanzo hicho. Yanga wanakwenda kushiriki michuano hiyo wakiwa mabingwa watetezi wakiifunga Simba kwenye fainali ya mwaka jana kwa penalti 4-3 baada ya kutoka suluhu. Yanga wenyewe tayari wametambulisha wachezaji wapya watatu ambao ni Salum Aboubakari ‘Sure Boy’ kutoka Azam FC, Denis Nkane (Biashara United) na Abdoultwalib Mshery (Mtibwa Sugar). Bwalya aliyewahi kuichezea Al Ahly ya nchini Misri, hivi karibuni alitangaza kuvunja mkataba na timu ya Yeni Malatyaspor baada ya kutolipwa mshahara kwa miezi minne.
Kuhusu SHEY27 Psychic SHEY27 ina uzoefu wa miaka 5-10 kutumia uzoefu wa akili kusaidia wengine na kupata majibu ya maswali yao ya kibinafsi. Psychic SHEY27 hivi karibuni imewasaidia washiriki wa 0 na usomaji wa kisaikolojia na ufunuo wa anga katika Oranum. Ushuhuda hapa chini unaonyesha kile wengine wamesema juu ya usahihi na usikivu wa SHEY27 kama saikolojia ya mkondoni. Ni shauku yangu kusoma kadi, kusoma akili, kutafsiri ndoto, yote kuhusu ishara za zodiac na kadi za kusoma. Bibi yangu alikuwa mganga na alijua jinsi ya kutabiri mambo kwa kufanya mayai yawe hewani lakini sijui jinsi ya kufanya hivyo .. Mgodi ni kusoma tu kadi, kutafsiri ndoto, ishara za zodiac na akili za kusoma. Nilianza na hii nilipokuwa na umri wa miaka 15 hapa Ufilipino na wateja wangu wote ni marafiki na wanafunzi wenzangu tu. Nilikuwa busy sana kuwapa horoscope ya kibinafsi na wakaniita "nini hatima yangu, mishel? kwa hivyo niliwaambia. Sasa, nina umri wa miaka 27 Huu ni kazi yangu na sina kudai pesa kutoka kwa watu lakini ni wao tu ambao walinipa kutoka kwa mioyo yao ya dhati na sio mimi wanadai pesa kutoka kwao. Ninapenda kushiriki kile nilichonacho na kadi hizi za kusoma, natoa bora zaidi. Nimenya mawe yangu ya glasi kwa maji kwa siku za 7 na majani matamu ya basil na wacha wanywe maji hayo na ni uponyaji kwa ugonjwa wao na ninaamini kwa dhati kwa hilo na maombi yangu dhabiti. Ninafanya uponyaji kwa kutumia akili kwenda mahali pengine ambayo hutoa na kuniambia kuwa ugonjwa huo umepona .. Ninyi nyote mnatamani bahati nzuri.
11.6 kwa sababu rafiki yangu amefika kwangu, atoka safarini, nami sina kitu cha kuweka mbele yake; 11.7 na yule wa ndani amjibu akisema, usinitaabishe; mlango umekwisha fungwa, nasi tumelala kitandani mimi na watoto wangu; siwezi kuondoka nikupe?
binadamu na kumbadilisha hisia ni dawa za kulevya Kongo yatoa ushahidi Baba alikuja kwa ndege meusi kuliko jike Muonekano wa mabaka haya ndio huweza kuwatofautisha twiga hawa na jamii Nataka kumtongoza msichana huyo
Rechercher des livres Displaying 1 - 1 of 1 Assessing the Evidence: Climate Change and Migration in the United Republic of Tanzania Executive Summary (Swahili)Kutathmini ushahidi: Mabadiliko ya tabia nchi na uhamiaji katika jamhuri ya muungano wa Tanzania This summary brief in Swahili accompanies the English-language publication Assessing the Evidence: Migration, Environment and Climate Change in the United Republic of Tanzania and is intended for use by policymakers and practitioners.
Tangu mwaka huo hadi kifo chake alikuwa askofu wa Jimbo la Tanga. Zipo blogu za aina mbalimbali. Aina mbalimbali za mpunga huleta vyakula tofauti. Hadithi inaanza nyuma ya kilima, kilichopo kwenye msitu wakati wa kipindi cha baridi.
•Darleen alipuuzilia mbali madai kuwa aligura ndoa yake baada ya kuwa na uhusiano mbaya na mke mwenza. •Hali halisi ya ndoa ya Darleen inatatanisha kwani anadai kuwa hajui kuhusu msimamo wa mumewe Isihaka. Siku ya Jumatano, dadake Diamond Platnumz, Queen Darleen alitangaza uamuzi wake wa kugura ndoa yake na Bw Isihahaka Mtoro. Msanii huyo wa WCB alisema kwamba aliamua kuchagua ustawi wa mtoto wake badala ya ndoa yake. "Nimekubali kumuacha mtu ninayempenda ili kumlinda mtu ninae mpenzi zaidi. Nampenda sana mwanangu. Balqis Isihaka Mtoro🙌🙌🙌🙌 Wakubwa wenzangu mtanielewa," Queen Darleen alitangaza kupitia Instagram. Katika mahojiano ya kufuatilia na Wasafi Media, mama huyo wa mtoto mmoja alisisitiza kuwa kwa sasa hayupo kwenye ndoa. Hali halisi ya ndoa ya Darleen hata hivyo inatatanisha kwani alidai kuwa hajui kuhusu msimamo wa mumewe Isihaka na ambaye ni baba ya mtoto wake. "Kwa mimi, nafsi yangu naweza kusema sipo kwenye ndoa. Kwa yeye sijui. Mimi sipo kwenye ndoa! Lakini mume wangu Isihaka yupo, anamlea mtoto, lakini mimi siko kwenye ndoa," Darleen alisema. Binti huyo wa Mzee Abdul alidai kuwa mumewe pekee ndiye anayeweza kueleza msimamo wake kwa ndoa yao. Darleen alidokeza kuwa ndoa yake ilianza kuyumba muda mrefu uliopita. Hata hivyo alikiri kuwa bado ana mapenzi makubwa kwa Bw Isihaka. "Nampenda kufa. Ndio maana kuna kipindi mliona nimekonda mkanisema sana. Nilikuwa napambana na hali ya kusema kuwa sipo kwenye ndoa," Alieleza Darleen. Dada huyo wa Diamond alipuuzilia mbali madai kuwa aligura ndoa yake baada ya kutoelewana na mke mwenza wake. Pia aliweka wazi kuwa ingawa anafahamu fika kuwa mumewe ana mke mwingine hajawahi kukutana wala kukabiliana naye. "Mimi niko pekee yangu, sina mke mwenza kwa aliyekuwa mume wangu au mume wangu. Huyo ni mtu ambaye sikuwahi kuonana naye. Ananiona kwenye mitandao, mimi simuoni. Sijawahi kucheza nyae. Sio shoga wangu," Alisema. Darleen pia alibainisha kuwa kamwe hajawahi kumfumania mumewe ama kupata meseji za mapenzi kwenye simu yake. Mwanamuziki huyo alisema ataweka sababu zote zilizopelekea hali hiyo wakati mumewe atampatia ruhusa. Alisema kwa upande wake uhusiano wao wa sasa umebaki ni wa kulea mtoto tu.
Sinema wizi vifaa Nida, Mbunge CCM adaiwa kuibiwa mil.440, Dk. Shein akoleza kasi safari ya kumaliza kero ya maji Zanzibar, Changamoto shule zikifunguliwa, Mauzo ya bidhaa nje ya nchi yapaa, Sakata la korosho lakwamisha watoto 1,695, Muhimbili-Mloganzila yafafanua idadi ya vifo kitakwimu, Vigogo mashirika 50 matumbo moto…, Bofya hapa kujua Habari zilizopewa uzito katika Magazeti ya leo Jumanne Januari 7, 2020. You might also like Editor Picks Uncategorized 12 months ago Comments Off on Habari Picha: Rais Magufuli afanya mazungumzo na Mabalozi Ikulu Uncategorized 1 year ago Comments Off on Mwalimu mkuu atuhumiwa kumpa mimba mwanafunzi wake
Sanamu la mshambuliaji wa klabu ya AC Milan Zlatan Ibrahimovic lililopo nje ya uwanja wa klabu yake ya zamani iliyomlea Malmo huko chini Sweden lakatwa hadi kuanguka chini. Sanamu hiyo, awali lilikatwa pua baada ya Ibrahimovic kuwekeza katika klabu pinzani mnamo mwezi Disemba. Uharibifu huo uligunduliwa saa 3.30 asubuhi jana Jumapili, na kulikuwa na maneno ya kejeli na matusi" Polisi waliweka uzio kuzunguka sanamu hiyo, ambayo ilizinduliwa mwezi Oktoba 2019, pia Nyumba ya Ibrahimovic huko Stockholm iliharibiwa, kwa kuandikwa maneno mengi kama "Yuda" kwa kupakwa rangi kwenye mlango wa mbele. Ibrahimovic amesaini tena AC Milan. Anatarajiwa kuanza kuitumika ligi ya Serie A leo Jumatatu wakati watawakaribisha Sampdoria |© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. | 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040
Comi JF-Expert Member - Joined - Oct 2, 2011 - Messages - 3,335 - Points - 1,500 Je, kuna umuhimu wa kuwasiliana na x wako mara kwa mara (hazipiti siku mbili)ilhali uko kwenye mahusiano na mtu mwingine? Na nini faida na hasara ya kuwasiliana nae? Mawasiliano yanaweza kuwepo lakini si ya mara kwa mara, mara kwa mara kwa lipi wakati mmeshamwagana?? Ni vzr kujitenga na tabia za namna hii maana zinaweza kukuletea balaa kwenye mahusiano yako mapya. Chukua tahadhari. kuwasiliana sio tatizo ila every two days hapo namashaka...mwaongea ninini? na umweli ni kwamba mwanaume na mwanamke lazima maongezi yateenda kwenye kugegedana tuu na hivyo nyie mlisha onene uchi basi ndio kabisa.
Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo lilisema kwamba waasi wa Vuguvugu la Ishirini na tatu, walipata msaada kwa jeshi la Rwanda" wigi na hata bango dogo la rangi ya zambarau
Douche yetu ya uke nyeupe ya 5 oz / 150 ml imetengenezwa kutoka LDPE kwa ulaini bora na kubana. Mwili wa chupa ni mviringo kwa rangi ya asili na laini sana. Inafaa kwa wanawake kutumia. Inaweza kufungwa kwa kujitegemea ili kudumisha usafi na kukupa uzoefu mzuri wa kujisikia na athari ya kuonyesha rafu. Ukuta wa chupa unaweza kutajwa na kampuni yako, na bega la 18/410 linaweza kuwa na shimo moja au ngumi ya uke iliyotobolewa. ni rahisi zaidi kubeba na kutumia.Inaweza kutumika kwa umwagiliaji wa uke, umwagiliaji wa anal.
Kwa dhati kabisa, simuoni mgombea wa akina Polepole kuwa na uwezo wa kukabili changamoto hizo. Ndio maana inabidi kurudi kwa Polepole kumuomba awajibu Wazanzibari masuala ya msingi. Maana yeye anayejinadi kuwa ataleta maendeleo ndiye kikwazo cha mwanzo cha mgombea wao. Najiuliza: hivi tukifika Oktoba 28 na Maalim Seif bado mzima kasimama mbele yetu na kwenye kipande cha kura yumo, tutakimbilia wapi? Hivyo Kisiwandui sasa kumekuwa na Israel tu, hakuna tena akili za kupanga mikakati ya ushindi? RAIS Ahmed Abdallah wa Comoro aliyeuliwa Novemba 26, 1989 na askari wa kizungu aliowakodi mwenyewe, anakumbukwa kwa mengi. Kuna wanaomuona kuwa shujaa kwa kuthubutu kuikabili Ufaransa na kutangaza kuwa Comoro ni taifa huru Julai 6, 1975. Kijijini kwetu alikuwepo mzee mmoja ambaye alikuwa maarufu sana. Miongoni mwa mambo yaliyompa umaarufu ni jinsi alivyokuwa mweledi katika elimu ya dini ya Kiislamu kiasi cha kuwafundisha baadhi ya aalim wakubwa katika kijiji hicho. Pamoja na taaluma aliyokuwa nayo, alikuwa mpenzi mkubwa wa pombe. Kwa ufupi alikuwa mlevi, unaweza kusema […] Haftar anaishtumu serikali ya Tripoli kuwa imejaa magaidi na amekuwa akidai kwamba lengo lake ni kuwapiga vita magaidi wote wenye kufuata mielekeo mikali ya Kiislamu kama vile wafuasi wa Dola ya Kiislamu (Islamic State) au Al Qa‘eda. Amekuwa akishtumu kwamba wote wenye kuingiza dini katika siasa ni magaidi wakiwa pamoja n ahata wafuasi wa vuguvugu la Udugu wa Kiislamu (Jami’yat al Ikhwan al Muslimin).
Mheshimiwa Spika, Mradi wa Kuboresha Miji ya Kimkakati Tanzania (Tanzania Strategic Cities Project -TSCP ) unatekelezwa na Serikali kwa mkopo kutoka Benki ya Dunia (IDA Credit) kupitia mpango maalum wa utoaji fedha uitwao Specific Investment Loan (SIL)
Awamu ya Pili: Ujenzi wa Njia ya Kusafirisha Umeme kutoka Ny akanazi hadi Kigoma kV 400 59. Mheshimiwa Spika, awamu hii itahusu ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme msongo wa
Kundi la pili lilitoka bondeni na hawa walikuja na sifa zao hugubikwa na mambo mengi ya nje na ndani ya uwanja Dalili nyingi huchanganyika na ishara zingine Kwa mujibu wa historia wabena wana uhusiano wa karibu na koo za makabila mengine
Michezo - Tamasha la Magari Kufanyika Leaders Club Dar…! - NSSF Yadhamini Mechi ya Simba na Ndanda FC Baadhi ya mashabiki wakishhudia mchezo huo. SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kupitia mpango wake wa wakulima Scheme imedhamini... - TFF Kufunza Wadau Matumizi Tiketi za Elektroniki SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Jumamosi ya Septemba 13 mwaka huu majira ya saa 4 asubuhi litaendesha... - Mashabiki Mechi ya Ngao ya Jamii Kulipa Shs 5,000 KIINGILIO cha chini kwenye mechi ya Ngao ya Jamii kuashiria uzinduzi wa msimu mpya wa Ligi kati ya Azam... - TFF na Rambirambi Msiba wa Luteni Lugenge SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mwamuzi wa daraja la kwanza (class one),... - Kumbe Yanga Hawana Mkataba na Okwi, TFF Yasema Yupo Huru Kusajiliwa KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imekutana Septemba 7 mwaka... - FIFA, TFF Kutoa Kozi ya Ukufunzi Desemba SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kushirikiana na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) wameandaa... - Karibu Arsenal: Danny Welbeck! Kitu kimoja cha msingi ni kwamba Welbeck,23, bado ni mdogo kiumri na ingawa hana rekodi nzuri ya kufunga anaweza... - Arsene Wenger kalipa £16million kwa ajili ya kumsaini Danny Welbeck. Welbeck, aliambiwa anaweza kuondoka Old Trafford baada ya kushindwa kumvutia Louis van Gaal, mwanzoni United ilikua ni dili la... - Waziri Pinda Afunga Michezo ya Majeshi Afrika Mashariki WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema majeshi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki hayana budi kuendeleza umoja...
Pamoja na muundo wa ubunifu, rangi utakazochagua kuchapisha biashara yako zitashirikisha wateja wako. Zitakuwa rangi unazotumia kubuni nembo yako, kujenga tovuti yako, kubuni dhamana yako ya uuzaji, na labda hata kupamba eneo lako la matofali na chokaa. Chaguo la rangi ya chapa ni muhimu zaidi sasa kuliko wakati wowote Kwa kuwa wengi wa mteja wako kwanza hisia kati yenu mtakuwa mkondoni kwanza, kuchagua rangi sahihi ni muhimu zaidi sasa kuliko hapo awali. Taarifa yako ya misheni, toni, na kutamka ni muhimu - lakini ujumbe wako wa kuona unazungumza zaidi kuliko maneno. Hata kibinafsi, rangi ya nembo yako, alama, duka la POP, na vifaa vyenye chapa vitatoa majibu ya kihemko mara moja. Pamoja, wataungana na kushirikiana na hadhira yako na kuelezea utu wako na taaluma. Maana Ya Rangi Zetu Zilizopendwa Kwanza, unataka kuzingatia saikolojia ya rangi. Kila rangi huleta majibu maalum na mara nyingi ya ufahamu, ambayo ni jambo ambalo unataka kukumbuka. Ndio, chagua mchanganyiko wa rangi unaokuhamasisha-lakini weka akili yako ya kidemokrasia. Chini ni hisia za kawaida zinazohusiana na chaguo zako za juu za rangi: NyekunduRangi ya pili ya nembo kama nyekundu inahusishwa na shauku, shauku, na nguvu kubwa. MachungwaRangi ya joto na ya kuvutia inayofaa kwa chapa za ubunifu au chapa kwenye tasnia ya chakula. Njano- rangi ya joto na ya jua ambayo inahusishwa papo hapo na mhemko mzuri. Kijani-Kijani inaweza kutumika katika chapa kuwakilisha ukuaji au unganisho kwa maumbile. BlueRangi maarufu ya nembo kwani inawakilisha uaminifu, utulivu na utulivu. pink-Kutegemea rangi, ambayo tutazungumzia zaidi hapa chini, mara nyingi huhusishwa na mapenzi na uke. Pink pia inaweza kuwa ya ujana au ya nguvu. Brown- rangi ya joto mara nyingi hutumika kwa chapa za kiume kuwakilisha utegemezi, unyenyekevu, na hata maumbile. Black- inaweza kuwa sio rangi ya kwanza inayokuja akilini lakini ikibuniwa sawa inaweza kuwa ya kuvutia sana, au ya kupendeza na ya kisasa. White-Mara nyingi rangi nyeupe au nyeupe ni nyeupe na safi. Grey-Jivu inaweza kusaidia unasambaza hisia anuwai, kutoka kwa kawaida hadi kukomaa au ya kushangaza. Zaidi ya Rangi za Msingi-Istilahi za Rangi Chini ni maneno na zana chache ambazo zinaweza kusaidia unachagua rangi za chapa yako, na vile vile kuzijadili na mbuni wako wakati uko tayari kuanza kufanya kazi kwenye nembo yako na vifaa vya chapa. Gurudumu la rangi Gurudumu la rangi lina rangi 12 muhimu tunayojifunza kama watoto. Rangi zimeangaziwa kando na kando kwenye duara, ambayo husaidia kuchagua rangi tofauti na nyongeza. Wakati wa kupamba, rangi kwenye gurudumu huunda utofauti mzuri, lakini wakati wa kubuni nembo yako, unaweza kuchagua rangi zilizo karibu zaidi kwenye gurudumu. Haijalishi unachagua rangi gani, nyeusi na nyeupe kila wakati hufanya kazi kama rangi ya sekondari au lafudhi. Gurudumu la rangi ni zana bora ya kuunda msingi wako wa kuanzia. Waumbaji wengine unaofanya nao kazi wanaweza kutaja rangi 12 kwenye gurudumu kama hue. Rangi ya Rangi Rangi ya rangi ndio inaitwa wakati rangi ya gurudumu la rangi imechanganywa na nyeupe, kuangaza au kuangaza. Hii itakuwa tofauti kati ya rangi ya waridi kwenye gurudumu la rangi na pink ya pastel. Kivuli cha rangi Sisi sote tunafahamu vivuli tofauti vya rangi ya msingi, kama rangi ya waridi ya rangi ya waridi dhidi ya moto. Kwa suala la muundo, kivuli cha rangi ni lini nyeusi imechanganywa katika-kutengeneza rangi ya rangi ya waridi ambayo huenda kidogo kuelekea nyekundu. Toni ya Rangi Toni ya rangi ni wakati nyeupe na nyeusi zimechanganywa na rangi ya msingi. Hii inaweza kusababisha pink ambayo inaonekana zambarau kidogo. Unapaswa Kuwa na Rangi Ngapi Katika Nembo Yako? Alama ya wastani ina rangi 2 hadi 4. Hii inaweza kujumuisha au haiwezi kujumuisha rangi ya lafudhi ya nyeusi au nyeupe. Kwa mfano, nyeusi Kuandika herufi karibu nyeupe kuna sura na hakikisha maneno au vitu vya muundo vinatokea. Nembo za Rangi Moja Nembo za rangi moja zinaweza kukumbukwa kabisa. Ufunguo wa mafanikio hapa ni kwamba muundo lazima wow. Alama chache maarufu za rangi moja ni pamoja na ng'ombe wa Target na classic ya Chanel nyeusi. Jambo la kufurahisha juu ya nembo za rangi moja, ni kwamba unaweza kubadilisha rangi ya nembo kwa urahisi kwa likizo, matangazo, au lebo za bidhaa. Kwa mfano, nembo ya Nike imechapishwa kwa rangi tofauti na apple ya Apple imekuwa nyeusi, bluu, fedha, rangi ya upinde wa mvua, na rangi anuwai tofauti na bidhaa zao. Alama za monochromatic Nyeusi na nyeupe ni chaguo la juu la monochromatic kama Adidas au White Nyumba Soko haramu. Ndio, Adidas inachapisha nembo yao kwa rangi tofauti ili kuunda utofauti wakati inahitajika. Na Mzungu Nyumba Soko Nyeusi hubadilisha vitu kulingana na mahali nembo yao inapochapishwa, wakati mwingine kuchapisha herufi nyeupe kwenye asili nyeusi. Monochromatic pia ni pamoja na nyeusi au nyeupe iliyounganishwa na rangi tofauti, au nembo ya "vivuli vya" kama nembo ya Oreo ya sasa iliyo na vivuli vingi vya hudhurungi. Nembo za rangi nyingi Wakati nembo nyingi zina rangi 2 hadi 4, zingine ni upinde wa mvua wa rangi. Kwa nembo zenye rangi nyingi kufanya kazi muundo lazima uwe safi na safi. Kwa mfano, Tausi wa NBC, Pete za Olimpiki, au nembo ya baa za KIND. Alama za Analog Rangi ambazo ni karibu kwa kila mmoja kwenye gurudumu la rangi huzingatiwa sawa. Hizi ni nembo zenye rangi mbili kama vile manjano ya BP na manjano au nyekundu ya MasterCard na machungwa. Nyekundu, manjano na nyeupe ya McDonald pia ingezingatiwa kuwa sawa. Ufafanuzi Chaguo lako linalofuata ni kuzingatia rangi upande wa pili wa gurudumu la rangi ili kuunda nembo yako. Hii itajumuisha nembo nyekundu na kijani kibichi, kama Chili au Umande wa Mlima. Chungwa la Gatorade na kijani ni mfano mwingine. Gawanya-inayosaidia Nembo Chaguo la rangi inayogawanyika au inayounganishwa ni wakati unachukua rangi mbili za karibu za gurudumu la rangi, na uziunganishe na rangi upande wa pili wa gurudumu. Mfano huu wa rangi tatu ungejumuisha nembo ya Fanta au wakati MasterCard inachapisha rangi yao ya machungwa na nyekundu kwenye asili ya bluu. Nembo ya Utatu Mwisho kabisa nembo ya utatu inachukua rangi kutoka kwa sehemu zilizotengwa sawasawa za gurudumu la rangi. Burger King, Best Western, na Tide zote ni mifano ya nembo za utatu. Mara tu unapochagua rangi yako ya chapa na nembo, ni wakati wa kupata mbuni wa nembo. Mbali na kubuni muhimu za uuzaji wako, Print Peppermint inatoa huduma kamili nembo na muundo wa chapa. Tunaweza kusaidia wewe na chapa yako ya kuanza na vile vile kuunda tena biashara yako ya sasa. Fikia leo ili ujifunze zaidi!
Uongo! Nicola Traldi Anajibu Madai ya Jeuri ya Eric Omondi na Miss Chanty Nicola Traldi, mpenzi wa aliyekuwa mpenzi wa mcheshi Eric Omondi kutoka Italia Chantal Grazioli amejibu madai ya unyanyasaji wa kinyumbani na mcheshi huyo. Kupitia safu ya machapisho kwenye hadithi zake za Insta, Nicola Traldi alisema aliandaliwa kwa uhalifu ambao hakufanya. Aidha alifichua kuwa anawaheshimu wanawake na hatawahi kuwaumiza kwa sababu ana watoto wawili wa kike. Nicola pia alisema hana uwezo wa kufanya vitendo hivyo kwa sababu mama yake alimlea vizuri. Katika chapisho jingine, Nicola alisema kuwa washirika wake wa karibu wanaweza kuthibitisha ukweli kwamba hana uwezo wa kumpiga au kumuumiza mwanamke. "Nimeumbwa kwa kitu ambacho singefanya, kisichoweza kuelezeka. Ni siku ya huzuni. Siwezi kamwe kuweka mikono yangu juu ya mwanamke. Mimi ni baba wa watoto wawili wa kike. Ukweli utajulikana. Kila anayenijua anajua mimi ni. kutokuwa na uwezo wa kitu kama hicho. Mama yangu alinifundisha vizuri" aliandika Nicola. Chapisho lake la Instagram linakuja saa chache baada ya Eric Omondi kumwita nje kwa kumpiga na kumchubua Chantal. Mchekeshaji huyo alitoa madai hayo kupitia Instagram akiwa na video ya Chantal akionyesha majeraha yake na kuchechemea chini ya ngazi. Katika chapisho hilo, Eric Omondi alimpigia simu Nicola; mwoga kwa kumuumiza mwanamke asiye na ulinzi. Aliongeza kuwa Chantal atafungua mashtaka dhidi ya Nicola, na atakuwa mfano kwa wanaume wengine wote wenye dhuluma. “Mwanaume yeyote anayemwekea mikono mwanamke ni MUOGA!!! Nicola Traldi ni Mwoga. Huyu HAKUBALIKI na atakabiliwa na HASIRA Kamili ya SHERIA!!! Atakuwa mfano kwa wale wanaume wote WASIO NA UNCOUT, WASIOSTAARABU na WAAMINIFU wanaowashambulia wanawake kimwili ili wajihisi wana NGUVU!!! @miss.chanty” aliandika Eric. Una maoni gani kuhusu hali hii? Tafadhali shiriki mawazo yako katika sehemu ya maoni hapa chini.
Liwali wa jimbo la Kivu ya kaskazini Jenerali Constant Ndima ameahidi ma mia ya vijana walio ondoka ndani ya kundi zenyi kumiliki silaha, kufikisha malalamiko yao kwenyi tabaka za juu. Ni vijana wenyi kupatikana ndani ya kempi ya Mubambiro karibu miaka tano sasa, wakingojea huduma ya serkali. « Kuvumilia mingi inaleta uchungu na hata matunda mazuri. Serkali inafahamu kama munapatikana mahali hapa, Hata kama muliweza ingia ndani ya kundi zenyi kumiliki silaha, Mulijibu kwa mwaliko wa Raisi kwa kuwa munapenda nchi yenu . Ndio maana inabidi tutembee pôle pôle ili tufikie mambo mazuri. Hii ndio sababu ya kushimama kwetu mahali hapa. Gisi mulikuja kwenyi mlolongo na kufika hapa na ndivyo tutarudi pamoja hadi kwenyi kempi yenu ambako mutapata suluhu. Mimi ni baba yenu nikiwa liwali na ndo maana wa mama na watoto wote turudi kwenyi kempi mahali mulitoka », asisitiza liwali wa jimbo Constant Ndima. Aliendelea kuomba vijana hawa walio weka silaha chini warudi wapate chakula, kwa kuwa serkali kwa jumla inafahamu kwamba wapatikana mahali hapo. Na kwamba suluhu itapatikana. Mwakilishi wa vijana Bwana ASSANI alisema kufurahi kuona serkali ingali nafahamu kwamba wapatikana mahali hapo. « Hatuku toka ndani ya kempi ya Mubambiro kuja kuunda kempi ingine mahali hapa. Ama hatuku kuja kwa kutafuta kuunda njama. Malalamiko yetu ni moja: Tunaishi ndani ya kempi tukiwa na bibi zetu na watoto katika hali mbovu ya maisha. Miaka tano sasa. Tunaomba shirika PDDRCS lililo tupokonya silaha na kutupa kadi ya raia, litulipe pesa zetu za kuturudisha ndani ya jamaa, Watoto wapate kusoma na wa bibi wafanye shuguli zao. Nasi tunakuwa na jukumu ndani ya jamaa zetu, » anena Bwana ASSANI akiwa mbele ya liwali. Mara tena liwali aliahidi kufikisha malalamiko kwa shirika PDDRCS, na kwa serkali nzima. Aliahidi pia suluhu kwa muda kwa ngambo yake, kwa kungojea suluhu la kudumu kwenyi ngazi za juu mjini Kinshasa. Baadae akawagawanyia chakula na kinywaji mbele ya kurudi kwenyi kempi pa Mubambiro. Juvénal Murhula.
Na CHARLES WASONGA MAAFISA zaidi 20 wa Idara ya Usajili wa Watu ambao walikamatwa Ijumaa kwa kushiriki ufisadi katika utoaji vyeti vya kuzaliwa na vya vifo katika makao makuu ya idara hiyo Jumatatu watafikishwa mahakamani kufunguliwa mashtaka. Maafisa hao, ambao wanajumuisha mameneja wa idara mbalimbali katika ofisi hizo zilizoko jumba la Bishop House, Nairobi walikamatwa Ijumaa katika operesheni ambayo imesababisha hofu katika ofisi za idara hiyo kote nchini ambako uovu huo umekithiri. Miongoni mwa waliokamatwa ni naibu mkurugenzi wa idara hiyo Paul Kagiri, meneja wa kitengo cha usimamizi wa rekodi Charles Akwoni, Charity Mwandime (afisa mkuu wa usajili wa watu), manaibu wake Jane Wangari na Daniel Ngamba na makarani kadhaa. Walizuiliwa katika vituo mbalimbali vya polisi wakihojiwa. Wapelelezi walisema Kagiri na wenzake pia wamekuwa wakiendeleza kashfa ya kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa wageni, wakisaidiana na wahusika fulani katika hospitali binafsi ambao hughushi kadi za kuzaliwa. Kadi hizo bandia ndizo wao hutumia kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa wateja wao. Hii ndiyo maana miongoni mwa waliokamatwa, ni wafanyakazi wanne wa Hospitali ya St Francis iliyoko eneo la Kasarani, Nairobi huku wengine wakidaiwa kutoroka kuepuka kukamatwa. Shughuli sambamba Polisi wanaamini kuwa Kagiri na Akwoni ndio wahusika wakuu katika sakata hiyo kwani wanaendesha shughuli sambamba za utoaji vyeti katika mojawapo ya makazi yao jijini Nairobi. Hatua hiyo inajiri wiki moja baada ya Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i kufika ghafla katika ofisi za idara hiyo ambapo alishuhudia mwenyewe mahangaiko ambayo Wakenya hupitia wakitafuta stakabadhi hizo muhimu. Inadaiwa kuwa matapeli wamekuwa wakishirikiana na maafisa wa idara ya usajili wa watu katika jumba hilo – Bishop House – kuitisha ada za “kuharakisha” utoaji stakabadhi hizo kutoka kwa watu ambao huwatafutia watoto wao. Mnamo Ijumaa, Dkt Matiang’i akiandamana na mwenzake wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) Joe Mucheru, walizuru ofisi za Bishop House na kukashifu mtindo wa maafisa wa serikali kugeuza utoaji wa huduma za serikali kuwa njia ya kujitajirisha kwa kuitisha hongo. “Kile kimejitokeza hapa ni kwamba wafanyakazi wa serikali wanawanyima wananchi huduma ili waweze kutoa stakabadhi hizo kwa wageni walioingia nchini kinyume cha sheria,” Dkt Matiang’i akasema. Akasisitiza: “Hatutavumilia yale tunayoyashuhudia hapa ambapo watu wanakuja asubuhi (kusaka vyeti vya kuzaliwa) na wanaondoka jioni bila stakabadhi hizo huku watu wengine wakipata kwa njia ya mkato.”
Mpaka wa Afghanistan na Pakistan kumoto Umoja wa Mataifa umeonya juu ya janga jipya liloanza upande wa Pakistan kwenye mpaka wake na Afghanistan, mpaka wenye mzozo. Katika miezi michache iliyopita kumezuka mapigano tena mpakani baina ya wanajeshi wa Afghanistan na Pakistan. Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi, UNHCR, limesema kuwa watu zaidi ya 70,000 wamekimbia majumbwani mwao tangu kati ya mwezi wa March. Rais Hamid Karzai wa Afghanistan amesema serikali yake katu haitatambua mpaka huo ambao uliwekwa mwaka wa 1893 na wakoloni Waingereza - mpaka uloitenga maeneo ya makabila fulani ambayo kijadi yalikuwa pamoja.
Babu Owino akamatwa tena baada ya kuachiliwa kwa dhamana Mbunge wa Embakasi Mashariki Paul Ongili maarufu babu owino amekamatwa upya muda mfupi baada ya kuachiliwa kwa dhamana na mahakama ya Milimani. Owino amekamatwa nje ya majengo ya mahakama hiyo baada ya kuachiliwa kwa dhamana kwa mashtaka ya kuidhalilisha afisi ya rais na kumtusi rais. Makori Ongechi anatupasha zaidi… For Citizen TV updates Join @citizentvke Telegram channel Video Of The Day: On Viusasa, now you can download your videos and play them back later
Mazungumzo kati ya Kamati Maalum iliyoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Kampuni ya Bharti Airtel inayomiliki hisa katika kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania yameanza rasmi leo tarehe 12 Machi, 2018 Jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo hayo kamati iliyoundwa na Mhe. Rais Magufuli inaongozwa na Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi na timu ya Bharti Airtel inaongozwa na Mwanasheria Mkuu wake Bw. Mukesh Bhavnani. Mazungumzo hayo yanalengo la kufikia makubaliano yatakayokuwa na tija kwa pande zote mbili (Serikali ya Tanzania na Bharti Airtel) na kuimarisha sekta ya mawasiliano nchini Tanzania. Kampuni ya Bharti Airtel iliomba kufanyika kwa mazaungumzo hayo baada ya kamati iliyofanya uchunguzi kuhusu umiliki wa kampuni ya Airtel Tanzania kuwasilisha ripoti yake kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. Jaffar Haniu Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU Dar es Salaam 12 Machi, 2018 Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi akipeana mikono na mwanasheria mkuu wa kampuni ya Bharti Bw. Mukesh Bhavnani walipokutana kwa ajili ya kuanza rasmi kwa mazungumzo kati ya Serikali na kampuni hiyo kwa lengo la kufikia makubaliano yatayokuwa na tija kwa pande zote mbili kuhusu umiliki wa Airtel Tanzania leo Machi 12, 2018 jijini Dar es salaam PICHA ZOTE NA IKULU
Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S. – Vatican. Baba Mtakatifu Francisko katika Salam na matashi mema kwa waamini na watu wote wenye mapenzi mema mara baada ya katekesi yake, Jumatano tarehe 12 Agosti 2020, amewakumbusha kwamba, Maandiko Matakatifu yanafundisha kwamba, Mwenyezi Mungu amemuumba mwanadamu kwa upendo wake mkuu; amemuumba kwa sura na mfano wake. Hiki ndicho kiini cha utu na heshima ya binadamu, mwenye haki zake msingi. Kama binadamu ana uwezo wa kujifahamu, kumiliki, kujitoa huru, kujisadaka kwa kushirikiana na kujumuika na watu wengine ndani ya jamii. Nchi nyingi duniani zimemteuwa Bikira Maria Kupalizwa Mbinguni kuwa ni msimamizi na mlinzi wa nchi zao kama ilivyo kwa Ufaransa. Bikira Maria aendelee kuwaombea ili waamini waweze kuimarisha: imani, matumaini na mapendo, ili hatimaye, waweze kupambana na “ndago za uchoyo na ubinafsi”, ili kujielekeza zaidi katika mchakato wa ujenzi wa jamii inayosimikwa katika udugu wa kibinadamu na mshikamano wa kweli. Kwa wale wanaotembelea Madhabahu ya Bikira Maria, waendelee kuwa waangalifu dhidi ya maambukizi mapya ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona, COVID-19. Hija hizi za kiroho, uwe ni muda muafaka wa kutafakari kwa makini, kusali na kudumisha udugu wa kibinadamu katika imani na mapendo. Familia ya Mungu nchini Poland, tarehe 15 Agosti 2020 inaadhimisha Jubilei ya Miaka 100 ya Ushindi wa Muujiza wa Vistula. Haya ni mapambano makali ya silaha yaliyoanza kutimua vumbi tarehe 12-25 Agosti 1920 na hatimaye, Poland ikaibuka kidedea dhidi ya Urussi. Watu wa Mungu kutoka Poland, wakaona ushindi huu ni matunda ya sala, ulinzi na tunza ya Bikira Maria aliyepalizwa mbinguni mwili na roho. Baba Mtakatifu Francisko anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi mema kukimbilia ulinzi na tunza yake ya Kimama, ili aweze kuwasaidia binadamu kupambana kikamilifu, na hatimaye kupata ushindi dhidi ya janga kubwa la homa kali ya mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona, COVID-19. Tarehe 11 Agosti 2020 Mama Kanisa ameadhimisha Kumbukumbu ya Mtakatifu Clara wa Assisi, Mtawa, Bikira na Muasisi wa Mashirika la Watawa wa ndani. Alijenga urafiki wa dhati kabisa na Mtakatifu Francisko wa Assisi. Akajisadaka bila ya kujibakiza kwa ajili ya Mungu na jirani zake katika: ufukara, moyo wa unyenyekevu pamoja na kumtegemea zaidi Mwenyezi Mungu katika maisha yake. Mtakatifu Clara awe ni kielelezo makini cha upendo kwa Mungu na jirani unaofumbatwa katika toba na wongofu wa ndani. Wazee, vijana wa kizazi kipya, wagonjwa na wanandoa wapya, wawe na ujasiri wa kupambana na matatizo pamoja na changamoto mbali mbali za maisha, kwa kujiaminisha mbele ya Mwenyezi Mungu na kwa njia ya sala na maombezi ya Bikira Maria. Mwishoni kabisa, Baba Mtakatifu anawaweka waamini pamoja na watu wote wenye mapenzi mema, chini na tunza ya Bikira Maria katika hija ya maisha ya hapa duniani kuelekea katika utimilifu wa ahadi za Kristo Yesu.
Suala la waajiriwa kutopata ufadhiri ni kutaka kuendeleza lile wimbi la watoto wa wakulima wa kigoma kutosoma. mfano mimi hapa nmeanza kazi ya ualimu mwaka 2004. mshahara wa mkononi hadi sasa ni sh 200000/= nikajisomeshe chuo kiku, si vichekesho. wakati huo unakumbana na maafisa km Bitwye, Kabanga na wengineo wa wilaya ya KASULU AMBAO UKIOMBA RUHUSA KWENDA MASOMONI UMEKARIBISHA UADUI NA "UNAFUKUZWA KAZI BILA MAANDISHI" Maana unasimamishiwa mshahara bila kutaarifiwa. sijui ni kutojua hata taratibu ndogo za kiutawala? na km ndivyo mkurugenzi anashindwa kuwaandalia semina. manake nia ni kuzitia halmashauri hasara pale muhusika anapokwenda kudai hak yake mahakamani. sa tujiulize 90% ya watanzania km mimi watasoma tena?
Kaunti ya Narok ndio mwenyeji wa awamu ya 42 ya michezo ya Kenya Communications Sports (KECOSO).Michezo hiyo ambayo imeandaliwa katika uga wa Ole Ntimama imeng’oa nanga hii leo na itakamilika tarehe 26 mwezi huu wa agosti. Kulingana na katibu mkuu wa KECOSO Omole Asiko, baraza tawala lilichagua Narok kwa kuzingatia vigezo kadhaa ikiwa ni pamoja na uwepo wa hoteli za kuwakaribisha maafisa na washiriki na mipango ya ulinzi na usalama. Aliongeza kuwa Narok ilishinda kaunti za Nakuru, Eldoret, Nyeri, Kirinyaga, na Meru na itakuwa ikiandaa michezo hiyo ya kila mwaka. Mashindano ya mwaka huu yatashirikisha michezo mbalimbali ikiwemo riadha, gofu, snooker, kuogelea, mpira wa vikapu, mpira wa miguu, dati, pool, scrabble, voliboli, netiboli na tenisi ya meza. Kecoso ilianzishwa mwaka 1978 na huleta pamoja mashirika ya serikali chini ya wizara za Barabara na Uchukuzi, Habari, Mawasiliano na Uchumi wa Dijitali na Michezo.
Aliteuliwa kuwa msaidizi binafsi wa Rais wa Zanzibari Aboud Jumbe Makumbusho haya yana vilele vitano ambavyo vinabeba majina makubwa Wameambukizwa virusi vya homa ya ini B wengi wao hupona baada ya miezi michache
Lina Plat mbili za kupikia Tunatengeneza na kuuza KitchenCabnet na tunapokea oda za mitindo mbalimbali. Tunauza per quare meter. Tupo Wazo Industrial Area Tegeta kitup cha DAWASCO. Available at affordable price Available in various size and design PRICE CONTACT THE SELLER Tunachagua tunavyovipenda na tunakutumia bidhaa moto moto kila wiki!!
Madhumuni ya MOOC hii ni kuwasilisha robotiki katika nyanja zake tofauti na maduka yanayowezekana ya kitaaluma. Kusudi lake ni uelewa mzuri wa taaluma na taaluma za roboti kwa nia ya kusaidia wanafunzi wa shule ya upili katika mwelekeo wao. MOOC hii ni sehemu ya mkusanyiko uliotolewa kama sehemu ya ProjetSUP. Yaliyomo katika MOOC hii yanatolewa na timu za kufundisha kutoka elimu ya juu. Kwa hivyo unaweza kuwa na uhakika kwamba yaliyomo ni ya kuaminika, iliyoundwa na wataalam katika uwanja huo. Roboti inaonekana kama moja ya teknolojia muhimu kwa siku zijazo. Iko kwenye makutano ya sayansi na teknolojia kadhaa: mechanics, umeme, sayansi ya kompyuta, akili ya bandia, otomatiki, optronics, programu iliyopachikwa, nishati, nanomaterials, viunganishi... Tofauti za nyanja ambazo robotiki huvutia, hufanya iwezekanavyo kuelekea kwenye anuwai ya biashara kuanzia fundi wa kiotomatiki au roboti hadi mhandisi wa usaidizi kwa wateja kwa usaidizi wa kiufundi, msanidi programu au mhandisi wa roboti, bila kusahau biashara zote zinazohusiana na uzalishaji, matengenezo na ofisi za masomo. MOOC hii inatoa muhtasari wa nyanja za kuingilia kati na sekta za shughuli za kutekeleza taaluma hizi.
- Mbunge wa Tiaty aliponea kifo chupu chupu baada ya wezi wa mifugo wa Pokot kujaribu kumlinga kwa mshale - Asman Kamama alikuwa amezuru eneo la Churo kaunti ya Baringo Kusini wakati wa shambulizi hilo Mbunge wa Tiaty, Asman Kamama alinusurika kifo Jumamosi, Februari 25, baada ya washukiwa wa wizi wa mifugo wa Pokot kujaribu kumuuwa kwa mshale. Habari Nyingine: Huyu ndiye kijana aliyetengeneza JAKETI ya Rais Uhuru (picha) Kisa hicho kilitendeka katika eneo la Chura, kaunti ya Baringo Kusini. Haya yalijiri siku chache tu baada ya wezi wa mifugo kuvuruga mkutano wa naibu wa rais William Ruto kwa kufyatua risasi hewani alipokuwa akiwahotubia wakaazi wa Bartabwa kaunti ya Baringo Ijumaa Februari 24. Pata HAPA habari za TUKO.co.ke punde tu zinapochapishwa Habari Nyingine: Pigo kwa Uhuru baada ya wanachama 100 wa Jubilee kuhama Chifu wa eneo hilo pia aliuawa na wezi hao wa mifugo wakati wa shambulizi hilo masaa machache baada ya mkutano wa Ruto kuvurugwa. Kamama amekuwa akiwarai wakaazi kudumisha amani hata baada ya mwakilishi wa wadi wa kaunti ya Baringo Frederick Cheretei na mgombea wa ubunge wa Tiaty Simon Pepee kuuawa. Tazama video Read ENGLISH VERSION Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri: aron.mtunji@tuko.co.ke Source: Kiswahili.tuko.co.ke
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo (CDF) amesema majeshi yamejipanga kukabiliana na vitendo vya uchochezi vinavyohatarisha usalama wa nchi. Jenerali Mabeyo ametoa kauli hiyo leo tarehe 13 Aprili 2019, wakati akihutubia katika hafla ya uzinduzi wa Ofisi ya Rais, Chamwino jijini Dodoma. “Tunaendelea kufuatila kauli tata zenye kuashiria ishara za uchochezi ndani ya nchi yetu, tuko tayari kukabiliana na vitendo vyovyote vitakavyotokana na uchochezi huo,” amesema Jenerali Mabeyo. Aidha Jenerali Mabeyo amezungumzia migogoro inayoendelea katika baadhi ya nchi jirani, akisema kwamba jeshi liko tayari kuliinda nchi endapo migogoro hiyo itaathiri kwa namna yoyote ile Tanzania. “Migogoro inayofukuta katika nchi jirani inaweza ika (influence ) kuleta hali isiyotabirika katika nchi yetu, nikuhakikishie mheshimiwa (Rais John Magufuli)tuko tayari kuilinda nchi yetu. “Kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama tuko tayari kulinda wananchi na mali zao, na tuko mstari wa mbele kushirikiana na wenzetu ” amesema Jenerali Mabeyo.
- Mwanzo - Kuhusu Sisi - Utawala - Muundo - Idara - Vitengo - Fursa za Uwekezaji - Huduma Zetu - Madiwani - Miradi - Machapisho - Kituo cha Habari RAS PWANI ARIDHISHWA NA KASI YA MIRADI YA MAENDELEO KISARAWE Kisarawe PWANI. Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Ndugu RASHIDI MCHATTA amefanya ziara ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo leo 28/03/2024 katika Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, na kuzungumza na Walimu wa Shule ya Kimani wakiongozwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, NDG BEATRICE DOMINIC, Katika ziara hiyo Katibu Tawala Mkoa alianzia ziara yake Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe ambako alipokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe MHE FATMA NYANGASA kabla ya kupokea taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Serikali Kiwilaya, Taarifa iliyosomwa mbele yake na Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya Kisarawe juu ya Miradi anayotembelea ya Jengo la Utawala,Bweni na Bwalo shule ya Sekondari ya Kimani, Aidha, katika ziara hiyo, Katibu Tawala Mkoa, Ndugu. RASHIDI KASSIM MCHATTA amefurahishwa na ushirikiano baina ya Watumishi wa Halmashauri na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani ili kurahisisha utendaji kazi na utoaji huduma kwa wananchi. Pia ametumia fursa hiyo kueleza vipaumbele vyake kuwa ni kuhakikisha Halmashauri inaimarisha ukusanyaji mapato ya ndani, Kuimarisha utoaji huduma za utalii na kutunza miundombinu ya utalii, kuimarisha na kuboresha utoaji huduma kwa wafanyabiashara wadogo, wa kati na wakubwa, kuboresha miundombinu ya uwekezaji kwa wawekezaji wa ndani na wan je, kuboresha utoaji huduma za ugani kwa wakulima na wafugaji na mwisho ni uboreshaji wa fursa na miundombinu ya uwekazaji wa viwanda, kwani shughuli hizi za ni shughuli mama katika ukuzaji uchumi wa Halmashauri, Mkoa na Taifa kwa ujumla alisisitiza Ndugu. RASHIDI MCHATTA Aidha Katika ziara Hiyo pia alikagua Ujenzi wa Miundombinu ya Barabara inayojengwa kwa kiwango Cha Lami kutoka Kisarawe mjini Kuelekea kitongoji Cha Kimani kwa umbali Mita 500 sawa na Nusu kilomita.
MTUME PAULO VS MUHAMMAD MUHAMMAD HANA UBAVU MBELE YA MTUME PAULO KULINGANA NA MAANDIKO. TUWAPIME HAWA JAMAA WAWILI. Waislam wanamlaumu na kumtukana sana mtume Paulo kwa madai eti ni mtume wa uongo na mchafuzi wa maandiko, na kwamba ndiye aliyemwita Bwana Yesu Mungu na ndiye mwanzilishi wa Ukristo nk. Hizo hoja zote zitajibiwa kwa masomo haya. Yafuatayo ni mizani ya kuwapima Paulo na Muhamad nani wa uongo na nani wa kweli kupitia maandiko? MIZANI YA KUWAPIMA HAWA MAJAA WAWILI NANI MTUME WA KWELI: 1)Kuzaliwa kwa Paulo na Muhamad 2)Elimu ya Paulo na Muhamad 3)Imani ya Paulo kidini na Muhamad 4)Jinsi Paulo na Muhamad walivyopata utume 5)Je kati ya Paulo na Muhamad nani alifanya mujiza? 6)Je Quran inajitosheleza kuwajua mitume na manabii? 7)Namna Paulo na Muhamad walivyopata maono(wahyi) 8)Hasara ya kumkataa mtume paulo 1)KUZALIWA KWA PAULO NA MUHAMMAD 1) Paulo alivyozaliwa anasema katika Matendo 22:3… Mimi ni mtu wa Kiyahudi, nalizaliwa Tarso, mji wa Kilikia….! Kiistoria mji wa Tarso ulikuwa chini ya dola ya Kirumi, ndiyo maana Paulo alisema yeye ni mrumi wa kuzaliwa, tazama Matendo 22:25-28. Paulo anasema alizaliwa Tarso, Tarso zamani ilijulikana km asia ndogo, kwa sasa ipo ktk nchi ya Uturuki, historia inaonesha kuwa Paulo alizaliwa mwaka wa 10 BK. Mji wa Tarso ulikuwa maarufu kwa mambo makuu mawili..1} Elimu ya kiwango cha juu, na ina aminika wasomi wengi(mafilosofia) walitokea ktk mji huo, mf. Athenodorus ambaye alikuwa mwalimu wa Kaisari Agusto. 2} Mafundi wa ushonaji mahema, hiyo ni kazi ambayo pia Paulo aliijua na kuifanya na ilimsaidia kupata ridhiki na kupata kipato cha kusambaza injili ya Kristo bila kumlemea mtu yeyote, Matendo 18:1-3; 20:34, 2 thes 3:8. Ndiyo maana Paulo alisema yeye ni mwenyeji wa mji usiokuwa mnyonge, matend 21:39. Paulo alizaliwa ktk kizazi bora. Warumi 11:1…. Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja wa wazao wa Ibrahimu, mtu wa kabila ya Benyamini. Hivyo ili kujua ubora wa kizazi hiki vyema kujua ibrahimu ni nani? Mwanzo 14:13 Mtu mmoja aliyeponyoka akaenda, akampasha habari Abramu Mwebrania…Biblia inafundisha kuwa ibrahimu ni mwebrania na alipewa Baraka na kwa yeye na uzao wake mataifa yote yatabarikiwa mwanzo 12:1-4; 22:15-18 Paulo naye anatokea ktk uzao huo km anavyosema ktk wafilipi 3:4-5… Walakini mimi ningeweza kuutumainia mwili. Mtu ye yote akijiona kuwa anayo sababu ya kuutumainia mwili, mimi zaidi.Nalitahiriwa siku ya nane, ni mtu wa taifa la Israeli, wa kabila ya Benyamini, Mwebrania wa Waebrania, kwa habari ya kuishika torati, ni Farisayo. Waebrania ndio waisrael ambao ndio uzao uliopewa Torati na kufanywa wana na kupewa agano lililo bora, Tazama Warumi 9:4-5. Waebrania 7:22; 8:6. Na Benjamin ni moja wapo ya makabila 12 ya Israel. 2) Jinsi Muhamad alivyozaliwa Muhamad amezaliwa mwaka 570 Baada ya kristo ktk mji wa Makka kusini Mashariki mwa Arabia, jina lake kamili ni Muhamad bin Abdullah bin Abd-Muttalib bin Hashim. Quran 41:44 inasimulia kuwa Muhamad ni Mwarabu, tena vitabu mbali mbali vya kiislamu vinasema kabila lake ni Mkureshi. Muhamad katokea ktk kizazi kisichomjua Mungu wala kitabu Quran 34:44 Wala (hawa waarabu) hatukuwapa vitabu(kabla ya kitabu hiki wakawa)wanavisoma. Wala hatukuwapelekea muonyaji kabla yako. Allah Mungu kama wanavyoamini waislam hakuwapa waarabu kitabu kabla ya Quran. Hii ina maana kuwa muhamad tokea alipozaliwa hadi kufika miaka 40 hakujua hbr ya vitabu pamoja na waarabu wenzake wote hawakujua. Tena ukisoma ufafanuzi wa Suratul al-Furqan aya 43 kuna maneno haya “ Waarabu kwa ujinga wao wa kuabudu chungu ya miungu walikuwa baadhi yao wakiona chochote kile kikawapendeza, hukiabudu hata Andazi lililokaa kwa sura nzuri. Hivyo tumeona kuwa Paulo amezaliwa ktk kizazi cha watu bora wanaomjua Mungu, lkn Muhamad amezaliwa ktk kizazi kisichomjua Mungu wala kitabu. ELIMU YA PAULO NA MUHAMMAD 1)Elimu ya Paulo: Matendo 22:3 Mimi ni mtu wa Kiyahudi, nalizaliwa Tarso, mji wa Kilikia, ila nililelewa katika mji huu, miguuni pa Gamalieli, nikafundishwa sheria ya baba zetu kwa usahihi, nikawa mtu wa jitihadi kwa Mungu kama ninyi nyote mlivyo leo hivi; Je Gamaliel alikuwa ana sifa gani ktk Israel..matendo 5:34 Lakini mtu mmoja, Farisayo, jina lake Gamalieli, mwalimu wa torati, mwenye kuheshimiwa na watu wote, akasimama katika baraza, Na Paulo alihitimu kwa kiwango cha juu chini ya mwalimu huyo mashuuri wa torati, Wagalatia 1:14 Nami naliendelea katika dini ya Kiyahudi kuliko wengi walio hirimu zangu katika kabila yangu, nikajitahidi sana katika kuyashika mapokeo ya baba zangu. Ndo mana kwa maarifa hayo Paulo aliweza kuandika vitabu 13 kwa nguvu za R. Mtakatifu wagalatia 6:11. Mashuhuda wa Elimu yake ni mtume Petro na Liwali Festo, 2 petro 3:15-17; matend 26:24,25. 2) Elimu ya Muhamad Quran 7:157 inasema. Ambao wanamfuata Mtume, Nabii, aliye ummy (asiye jua kusoma wala kuandika) na juu ya hivi atafundisha mafundisho haya ya uislamu. Quran 62:2 inasema Yeye ndiye aliyemleta mtume kwa ktk watu wasio jua kusoma anayetokana na wao na Quran 75:16 ktk ufafanuzi wake inasema mtume alivyo kuwa hajui kusoma wala kilichoandikwa . Ktk kitabu cha maisha ya muhamad kilichoandikwa na sheikh Farsy kwenye ukurasa wa 8, kuna maneno haya. Mtume aliondokea km Makureshi wengine bila kujua kuandika wala kusoma kilichoandikwa. Hajakuwepo Kureshi yeyote aliyekuwa akijua kusoma wala kuandika. Kutokuwa na Elimu kwa muhamad ndo maana aliwafundisha waislam, wakikosa maji ya kutawaza watumie mchanga(vumbi) tazama Quran 5:6. Fundisho lingine la ajabu alilofundisha muhamad linapatikana ktk hadithi ya Mishikat Al-Masabih vol 11 uk 152. Pana maneno haya…..Mjumbe wa Allah mtume(saw) alisema: “ Inzi akianguka ktk bakuli la mmoja wenu, mwingize kabisa kwa sababu kuna ugonjwa ktk bawa lake moja na madawa ktk bawa lake la pili.” Na pia kwa sababu anaingiza bawa lenye ugonjwa kwanza kwa hiyo mzamishe kabisa. Biblia haikubaliana na ujinga huo tazama… Ezekieli 13:3 Bwana MUNGU asema hivi; Ole wao manabii wajinga, wanaoifuata roho yao wenyewe, wala hawakuona neno lo lote! 4) IMANI YA PAULO NA MUHAMMAD 1) Paulo: Alikuwa ktk dini ya kiyahudi yenye kushika Torati na mafundisho yote ya manabii kabla hajakuwa mkristo. Wagalatia 1:13; matnd 26:4-5. Na hata alivyokuwa mkristo aliendelea kufundisha kupitia torati na manabii…Matendo 28:23 Wakiisha kuagana naye siku, wakamjia katika nyumba aliyokaa, watu wengi sana, akawaeleza kwa taratibu na kuushuhudia ufalme wa Mungu, akiwaonya mambo yake Yesu, kwa maneno ya sheria ya Musa na ya manabii, tangu asubuhi hata jioni. 2) Muhamad: Alikuwa mpagani wa kikureshi wenye kuabudu miungu 360 pamoja na jiwe jeusi kwenye al-kaaba kabla hajakuwa muislam, miungu hiyo ni pamoja na lata, Uzza na manata Quran 53:16-23 , tazama pia Kitabu cha maisha ya muhamad uk 8. 5) JINSI PAULO NA MUHAMMAD WALIVYOPATA UTUME 1)Paulo alivyopata utume: Alipewa utume na Yesu mwenyewe wkt akiwa ktk safari yake ya kwenda Dameski, Yesu alimtokea na kumwagiza yapasayo kufanya Matnd 9:1-8. Na utume wake, Bwana Yesu akauthibitisha kupitia mwanafunzi wake Anania kwa kumwambia anania yafuatayo katika maono matendo 9:11-15 Basi palikuwapo Dameski mwanafunzi jina lake Anania. Bwana akamwambia katika maono, Anania. Akasema, Mimi hapa, Bwana. Bwana akamwambia, Simama, enenda zako katika njia iitwayo Nyofu, ukaulize katika nyumba ya Yuda mtu aitwaye Sauli, wa Tarso; maana, angalia, anaomba;naye amemwona mtu, jina lake Anania, akiingia, na kumwekea mikono juu yake, apate kuona tena.Lakini Anania akajibu, Bwana, nimesikia habari za mtu huyu kwa watu wengi, mabaya mengi aliyowatenda watakatifu wako Yerusalemu;hata hapa ana amri itokayo kwa wakuu wa makuhani awafunge wote wakuitiao Jina lako. Lakini Bwana akamwambia, Nenda tu; kwa maana huyu ni chombo kiteule kwangu, alichukue Jina langu mbele ya Mataifa, na wafalme, na wana wa Israeli. Na pia Anania ndiye aliyembatiza Paulo, matnd 9:18. Na Paulo naye akiitikia wito wa kitume aliopewa na Bwana Yesu…akisema yafuatayo ktk warumi 1:1 Paulo, mtumwa wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume, na kutengwa aihubiri Injili ya Mungu; Je kweli Paulo alitimiza utume huo wa kupeleka injili kwa mataifa na kisimama mbele ya wafalme na wana wa Israel? Jibu ni ndiyo…zifuatazo ni nchi Paulo alizo hubiri Uarabuni, Athene-ugiriki, Dameski-syria, Roma-italy, Yerusalemu-israel, Spain, Efeso, Galatia, korintho,filipi, Thesaloniki. Krete nk, na kote huko alikutana na changamoto zilizompelekea kusimamishwa mbele ya wafalme na maliwali na mbele ya wana wa Israeli. Tazama (Galatia 1:17; matendo 9:19,20,26-29; 17:16-22; 18:19;19:35; 28:16-30; warumi 15:24:28 na kuhusu kusimama mbele ya wafalme na wayahudi tazama matendo kuanzia sura ya 21-28). 2) Muhamadi alivyopata Utume Ktk kitabu cha maisha ya nabii muhamad kilichoandikwa Sheikh abdalah Farsy uk 11-13,81 kina maelezo yafuatayo…. Hata siku moja ktk mwezi wa ramadhan tarehe 17 jumatatu, muhamad akiwa ana miaka 40 unusu wa umri wake, Mtume alimwona mtu kasimama mbele yake bila ya kumwona wp katokea, akamwambia soma mtume akamwambia sijui kusoma kwn sijapata kujifundisha kusoma. Yule mtu akaja akamkamata akambana akamwambia soma mtume akamwambia jawabu lake lilelile, ht mara ya tatu akamwambia soma iqra bismi rabbika akamsomea sura ya 96 mpaka kati yake, kasha mtume akamsomea kama alivyosomewa. Mara Yule mtu akatoweka mbele yake asimwone kaenda wapi. Na mtume naye akarejea kwake kwa hofu imemshika, na alipofika nyumbani bibi khadija alidhani anahoma akamfunika maguo gubigubi na akakaa mbele yake akimsikiliza anavyoweweseka, hata homa ilivyomwachia alimweleza bibi khadija yaliyomtokea. Na bibi khadija akamtuliza moyo wk akamyakinisha ya kuwa hpn lolote baya litakalomzukia, mara bibi khadija akaenda kwa jamaa yake bwana waraqa bin Naufal akampa hbr yote, iliyompata mumewe naye akamwamrisha amwite mumewe na mtume akaenda akamweleza hbr yote,bwana Waraqa akamwambia huyo ndiye Gibril aliyemshukia nabii Musa na Nabii Issa. Basi jibashirie kuwa ww ni mtume kwa umma huu, name natamani kuwa hai nikuone unavyosimama kuwatengeneza jamaa zako inshallah ntakuwa mkono wk wa kulia. Ilikuwa December 610, hivyo utume wake alibashiriwa na Waraga mbele ya bi khadija. Na ukisoma kitabu kiitwacho wakeze mtume wakubwa na wanawe kina maelezo yafuatayo Kwa ufupi: muhamad alivyotoka pangoni kuelekea kwake baada ya kubanwa na Yule mtu hasiye julikana katoka wapi, homa ilimpanda akataka afunikwe maguo mara akawa anatetemeka kwa nderema na kuweweseka na kusema najiofia nafsi yangu kuchezewa na mashetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga, bibi khadija pale pale alimdakiza na kumtia moyo kwamba sivyo hivyo ……………. na kumwambia mm naona ushakuwa mtume. Na baada ya muhamad kusinzia bi khadija alitoka na kwenda kwa waraqa bin naufal padre wa kinasara na akamjuvya na Yule padre akamwambia utume huo kashapata mumeo bahati yako. Upesi khadija akarejea nyumbani na kumkuta muhamad kashaamka akamwambia twende kwa waraqa ili umsimulie yaliyokufika, wakaondoka mguu kwa mguu mpaka kwa huyo bwana mkubwa, mtume akamwadithia yote. Na bwana waraqa akamwambia nakubashiria muhamad huo ndio utume uliomwendea nabii musa na nabii issa na wengineo na krb hv utapewa amri ya kufundishwa dini ya haki, nikiwa hai ntakuwa mkono wk wa kulia nikusaidie kila namna na ni kupiganie. Kwa ufupi utume wa Muhammad ni wa kubashiriwa na bwana Waraqa pamoja na bi khadija, na waraka akimwahidi muhamad kuwa mkono wake wa kulia. Maana ya mkono wa kulia ni utendaji mkubwa, km vile Yesu alivyofufuka na kupaa kwenda mbinguni ni kuketi ktk mkono wa kuume(kuume) wa Mungu BABA, yaani inamanisha Yesu ni mtendaji mkuu wa wokovu wetu. Kwa hiyo bwana waraka ni mtendaji mkuu wa muhamad na uislam maana isingekuwa yy muhamad asingekuwa mtume. Mashaka ya utume wa muhamad Alibanwa na mtu asiyejulikana Muhammad akiri ni mashetani yalimchezea na kumwaribu akili yk na kumzuga. Hata baada ya kuusimamisha uislam Muhamad aliendelea kukazia kwa wafuasi wake kuwa anatumia nguvu za majini na kila muislam amepewa nguvu za majini. Muhammad anasema katika Sahih muslim Juzuu 4 hadithi na 2814 kasema;(“Wala hakuna yeyote katika ninyi isipokuwa amepewa nguvu zinazotokana na majini. Wakasema (maswahaba) hata wewe mtume wa Allah? Akasema hata mimi isipokuwa Allah hunirahisishia juu yake hunyenyekea wala hayaniamrishi ila yaliyo mazuri) Alibashiriwa utume na mke wake pamoja na padre wa kikatoliki waraqa bin naufal, kwa hiyo bila watu hao hamna utume kwa muhamad. Na ukisoma Quran 4:79 inasema Wema uliokufika umetoka kwa mwenyezi mungu na ubaya uliokufika umetoka nafsini mwako mwenyewe umefanya mambo hata yakakufika hayo. Nasi tumekupeleka kwa watu kuwa mtume na Mungu ni shahidi wa kutosha hapahitajiki shahidi mwingine. Hii aya inatuahakikishia zaid utume wa muhamad alibashiriwa na kupelekwa kuwa mtume na Waraqa bin naufal na khadija na Mungu hakuhusika bali alikuwa shahidi tu. 2) Ukisoma biblia Mungu anakataza kubashiri…tazama yafuatayo Kumbukumbu la Torati 18:10,12 Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye KUBASHIRI, wala msihiri,………. Kwa maana mtu atendaye hayo ni CHUKIZO kwa Bwana ) JE, KATI YA PAULO NA MUHAMMAD, NANI ALIFANYA MIUJIZA ? Paulo alifanya miujiza Matendo 19:11 Mungu akafanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida; hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake, magonjwa yao yakawaondokea, pepo wachafu wakawatoka, viwete wakapona. Muhamad hakufanya mujiza bali yeye mwenyewe aliathiriwa na uchawi(kulogwa) Quran 29:50 Na walisema mbona hakuteremshiwa miujiza kutoka kwa mola wake? Sema miujiza iko kwake mwenyezi mungu tu akitaka atakuteremshieni na kama hataki basi nami hakika ni muonyaji mbainishaji (dhahiri tu) Kuhusu kuathiliwa na uchawi soma vitabu vifuatavyo: Bhukari, Sahihi muslim na Nafai ibn majah. 7) NAMNA MTUME PAULO NA MUHAMMAD WALIVYOPATA MAONO (wahyi) Paulo: Matendo ya Mitume 16:10 Basi alipokwisha kuyaona yale maono, mara tukataka kutoka kwenda Makedonia, kwa kuwa tuliona hakika ya kwamba Mungu ametuita tuwahubiri Habari Njema. Matendo ya Mitume 18:9 Bwana akamwambia Paulo kwa maono usiku, Usiogope, bali nena, wala usinyamaze, Matendo ya Mitume 26:19 Kwa hiyo, Ee Mfalme Agripa, sikuyaasi yale maono ya mbinguni, Muhammad: Kitabu cha mkweli mwaminifu juzuu ya 1-2 Aliulizwa mtume(saw) vp unakuteremkiaje wahyi(maono) akasema..Baadhi ya wakati unanijia km jumla ya makengele yanalia kwa makelele makali sana na hivyo ndivyo shida kwangu, basi mpaka kuziba masikio yangu na mara nikafahamu niliyoambiwa… 8) HASARA YA KUMTUKANA MTUME PAULO 2PETRO 3:15-18 Nanyi uhesabuni uvumilivu wa Bwana wetu kuwa ni wokovu, kama vile na ndugu yetu mpenzi Paulo alivyowaandikia kwa hekima aliyopewa; vile vile kama katika nyaraka zake zote pia, akitoa humo habari za mambo hayo; katika nyaraka hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuelewa nayo; na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wayapotoavyo na maandiko mengine, kwa uvunjifu wao wenyewe. Basi, wapenzi mkitangulia kujua hayo, jilindeni nafsi zenu, msijemkachukuliwa na kosa la hao wahalifu mkaanguka na kuuacha uthibitifu wenu. Lakini, kueni katika neema, na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na hata milele. Warumi 2:16 katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, sawasawa na injili yangu, kwa Kristo Yesu. HITIMISHO Wanao mkataa mtume Paulo na injili aliyohubiri biblia inawaita wahalifu, wakosaji, watu wasio imara, wapotoshaji wa maandiko na mwisho wao ni kuhukumiwa. Karibuni kwa YESU nyote. MUHAMMAD HANA LOLOTE MBELE YA PAULO NI MBWEMBWE TU. Shalom
Ni mtunzi muhimu kabisa kwa nchi ya Poland. Vazi hili lilikuwa la wanaume katika tamaduni nyingi. Mwanamke kuwa farao ilikuwa nadra, hata hivyo. Familia hii hapo awali ilikuwa na wanyama wengi kiasi.
badala yake amesema kiongozi huyo anajihusisha na masuala yanayotokana na sera za chama cha mapinduzi yasiyokuwa na tija kwa taifa alisema kutokana na hali hiyo wananchi wanatakiwa kuzinduka ili kuleta mabadiliko kwa kuchagua viongozi wanaofaa katika chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani kwa kuwa hatima ya taifa iko mikononi mwao
Waingereza walichukua utawala wa koloni mwaka elfu moja mia tisa na kumi na nane Mlima kilimanjaro ni volkeno ya rusu Walikuwa wakivutiwa na utangaziji wake hasa katika kipindi cha kruzi
Mkuu wa wilaya ya Mtwara Dastani Kyobya ameutaka uongozi wa manispaa ya Mtwara Mikindani kuwa na mkakati wa kuongeza vyumba vya madarasa katika shule ya msingi Naliendele ambayo inawanafunzi zaidi ya elfu moja na miambili. Kyobya amesema hayo baada ya kutembelea shule ya msingi Naliendele kujionea maendeleo ya shule hiyo ambapo pia amepongeza kutokana na kuwa na ufaulu mzuri katika matokeo ya Darasa la nne na la 7. Amesema shule hiyo mara nyingi imekuwa ikifanya vizuri kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi kuwa na ufaulu mzuri katika mitiani ya kumaliza darasa la 7 na hivyo wanafunzi wote kuanza kidato cha kwanza. Amesema idadi ya wanafunzi katika shule hiyo ni kubwa hivyo madarasa yaliyopo hayatoshelezi hivyo ni vyema vyumba vya madarasa vikaongezwa ili kuwa na miundombinu ya kutosha. Hata hivyo mkuu wa wilaya amekemea tabia ya baadhi ya watoto wanaotoka mapunziko kwa ajili ya kurudi nyumbani kupata chakula na baadhi yao kutorejea tena shuleni, ametaka tabia hiyo kukomeshwa na iwapo kuna wazazi wanaendekeza suala hilo hawana budi kuchukuliwa hatua za kisheria.
nimekaa chini nikafikiria nikaona ninahitaji ushauri wa wadau kundini...mimi nna msichana wangu anayesoma chuo kimoja maarufu...siku tulitoka yeye na rafiki yake club kurud hostel nami nikalala chumba chao..sasa kwasababu ya pombe usiku wakati nado na dem wangu rafiki yake akaja na dem wangu akaniomba eti ajoin(3some)...kweli niljpiga mzigo na walikuwa wanacare sana coz hata kana sijamwaga nikienda kwa mwengine kondom mpya inavaliwa...sasa nimekaa chini namawazo je dem wangu ni lesbian au uzungu..yeye anasingizia pombe..
Wakati mwingine inaonekana kama hakuna mwisho wa habari mbaya kwenye milisho ya mitandao ya kijamii. Ajali za ndege na majanga mengine, ahadi zisizotekelezwa na wanasiasa, kupanda kwa bei na hali mbaya ya kiuchumi… Inaweza kuonekana kuwa jambo la busara zaidi ni kufunga Facebook kwa urahisi na kurudi kutoka ulimwengu pepe hadi maisha halisi. Lakini wakati mwingine, kwa sababu moja au nyingine, hii haiwezekani. Hata hivyo, ni katika uwezo wetu kupata “kinza” katika upana wa mtandao huo huo. Kwa mfano, angalia picha ... za wanyama wachanga. "Tiba" hiyo inaweza kuonekana kuwa si ya kisayansi, lakini kwa kweli, ufanisi wa njia hii inathibitishwa na matokeo ya utafiti. Tunapotazama kitu kizuri, viwango vya mkazo hupungua, tija huongezeka, na shughuli hii inaweza pia kuimarisha ndoa yetu. Asili ya mhemko wetu ilielezewa na mwanasaikolojia wa wanyama wa Austria Konrad Lorenz: tunavutiwa na viumbe wenye vichwa vikubwa, macho makubwa, mashavu yaliyojaa na paji la uso kubwa, kwa sababu wanatukumbusha watoto wetu wenyewe. Raha ambayo babu zetu walitoa kwa kutafakari kwa watoto wao iliwafanya kuwatunza watoto. Ndivyo ilivyo leo, lakini huruma yetu inaenea sio tu kwa watoto wa kibinadamu, bali pia kwa wanyama wa kipenzi. Mtafiti wa mawasiliano ya watu wengi Jessica Gall Myrick amekuwa akisoma hisia ambazo wanyama wa kuchekesha huibua ndani yetu, picha na video ambazo tunapata kwenye Mtandao, na kugundua kwamba tunahisi joto sawa na wakati wa kuingiliana na watoto wachanga halisi. Kwa ubongo, hakuna tofauti. "Hata kutazama video za paka huwasaidia wanaofanyiwa majaribio kujisikia vizuri: wanahisi kuongezeka kwa hisia chanya na nguvu." Utafiti wa Myrick ulihusisha watu 7000. Walihojiwa kabla na baada ya kutazama picha na video na paka, na ikawa kwamba unapowaangalia kwa muda mrefu, athari hutamkwa zaidi. Wanasayansi hao walipendekeza kwamba kwa kuwa picha hizo ziliibua hisia chanya katika masomo, walitarajia hisia sawa kutoka kwa kutazama picha na video zinazofanana katika siku zijazo. Labda ni wakati wa kuacha kufuata "tajiri na maarufu" na kufuata "washawishi" wenye mikia na manyoya. Kweli, wanasayansi wanaandika kwamba, labda, watu ambao hawana tofauti na wanyama walikuwa tayari zaidi kushiriki katika utafiti, ambayo inaweza kuathiri matokeo. Aidha, 88% ya sampuli ilihusisha wanawake ambao huwa na kuguswa zaidi na watoto wa wanyama. Kwa njia, utafiti mwingine uligundua kuwa baada ya masomo kuonyeshwa picha za wanyama wa shamba nzuri, hamu ya wanawake ya nyama ilishuka zaidi kuliko wanaume. Labda ukweli ni kwamba, kama sheria, ni wanawake ambao hutunza watoto. Hiroshi Nittono, mkurugenzi wa Maabara ya Utambuzi wa Saikolojia ya Saikolojia katika Chuo Kikuu cha Osaka, amekuwa akifanya tafiti kadhaa kuhusu "kawaii," dhana inayomaanisha kila kitu ambacho ni cha kupendeza, cha kupendeza, cha kupendeza. Kulingana na yeye, kutazama picha za "kawaii" kuna athari mbili: kwanza, hutuzuia kutoka kwa hali zinazosababisha uchovu na mafadhaiko, na pili, "inatukumbusha joto na huruma - hisia ambazo wengi wetu hatuna." "Kwa kweli, athari kama hiyo inaweza kupatikana ikiwa unasoma vitabu vya kupendeza au kutazama filamu zinazofanana, lakini, unaona, hii inachukua muda zaidi, wakati kutazama picha na video husaidia kujaza pengo haraka." Aidha, inaweza kuwa na athari chanya katika mahusiano ya kimapenzi. Utafiti wa 2017 uligundua kuwa wanandoa wanapotazama picha za wanyama wa kupendeza pamoja, hisia chanya wanazopata kutoka kwa kutazama zinahusishwa na wenzi wao. Wakati huo huo, unahitaji kuwa mwangalifu na uchaguzi wa majukwaa ya kutazama picha na video kama hizo. Kwa hivyo, kama matokeo ya utafiti mwingine uliofanywa mnamo 2017, iliibuka kuwa Instagram inatuumiza zaidi kihemko, kwa sababu ya jinsi watumiaji wa mtandao huu wa kijamii wanavyojitokeza. Tunapoona "maisha bora ya watu bora", wengi wao huwa huzuni na mbaya. Lakini hii sio sababu ya kufuta akaunti yako. Labda ni wakati wa kuacha kufuata "tajiri na maarufu" na kujiandikisha kwa "washawishi" wenye mkia na wenye manyoya. Na ubongo wako utakushukuru.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la michezo (sports bonanza) la uzinduzi wa michezo ya SHIMIWI litakalowashirikisha Watendaji Wakuu wa Serikali na watumishi wa umma litakalofanyika siku ya jumamosi Agosti 24 mwaka huu majira ya saa moja asubuhi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Hayo yalisemwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) Bw. Moshi Makuka akiwa ofisini kwake mapema leo. Alisema dhumuni la michezo hiyo ni kujenga na kulinda afya za viongozi na watumishi,kuboresha mahusiano kazini,kujenga mshikamano kwa watumishi,kujenga utaifa na kuondoa tofauti baina ya watumishi. Alifafanua kuwa bonanza hilo litaambatana na matembezi na mazoezi ya viungo. “Bonanza litahusisha matembezi (jogging) kutoka Uwanja wa Taifa kupitia Klabu ya Sigara,mataa ya Chang’ombe polisi hadi Uwanja wa taifa pamoja na mazoezi ya viungo yatayoendeshwa na wakufunzi wa michezo” Aidha,amewahimiza watendaji wakuu wa Taasisi za Serikali na watumishi wa umma kuhudhuria tamasha hilo la michezo lililoandaliwa kwa ajili yao. Kufanyika kwa tamasha hilo ni utekelezaji wa agizo la Katibu Mkuu Kiongozi na Mkuu wa Utumishi wa Umma Balozi Ombeni Sefue ambapo aliziagiza taasisi zote za serikali nchini kushiriki kwenye michezo ili kuimarisha afya zao. Shirika la Afya Muhimbili liliingia mkataba wa pango na REGENT STORE mnamo mwaka 1987 ambapo katika mkataba huo makubaliano yalikuwa kwa REGENT STORE kujenga jengo ili litumike kuendesha biashara ya SUPERMARKET katika eneo la Hospitali kwa ajili ya mahitaji ya wagonjwa pamoja na wafanyakazi. Mkataba huo ulikuwa wa miaka mitano yaani kuanzia mwaka 1987 hadi mwaka 1992 ambapo REGENT STORE alitakiwa kuwa ameishajenga jengo husika pamoja na kuendesha biashara ya SUPERMARKET katika hilo jengo kwa kipindi cha miaka mitano na kukabidhi jengo kwa Hospitali. Kilichotokea: Hata hivyo, baada ya miaka hiyo mitano kuisha, REGENT STORE hakukabidhi jengo hilo kwa Hospitali kwa mujibu wa mkataba kwa madai kuwa alikuwa hajarudisha gharama zake za ujenzi. Kutokana na madai hayo kuwa alikuwa hajarudisha gharama zake za ujenzi, Hospitali ilikubali kumwongezea muda wa miaka mitatu kuanzia 1992 hadi 1995. Pamoja na Hospitali kumwongenzea miaka mitatu, ilipoisha miaka hiyo mitatu, REGENT STORE hakuonesha nia ya kukabidhi jengo kwa Hospitali, na badala yake aliendelea kulitumia bila ya mkataba wa aina yoyote na bila kukubali kukaa mezani kuzungumza na kutatua suala hilo. REGENT STORE aliamua kuendelea kutumia jengo hilo kinyume na taratibu na sheria za nchi kwa kuwa mkataba ulikuwa umeisha na nyongeza ya muda aliopewa pia ilikuwa imeisha. Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa na wake zao, Mama Sitti Mwinyi na Mama Anna Mkapa, wakiondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuelekea Harare, Zimbabwe, kushiriki katika sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa Zimbambwe, Mhe Robert Mugabe, inayotarajiwa kufanyika kesho Alhamisi Agosti 22, 2013 Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa na wake zao, Mama Sitti Mwinyi na Mama Anna Mkapa, wakiwasili katioka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare, Zimbabwe, walikoalikwa kushiriki katika sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa Zimbambwe, Mhe Robert Mugabe, inayotarajiwa kufanyika kesho Alhamisi Agosti 22, 2013.PICHA NA IKULU Mfanyakazi wa Inayojiita kampuni ya kukusanya Ushuru ya MTAA WA OYSTERBAY BEACH PARKING, ambaye hakutaka kutaja jina lake akiandika risiti ya ushuru wa maegesho ili kuweka katika moja ya gari lililokuwa katika ufukwe wa Coco Beach, ili alipwe ushuru wa maegesho hayo kiasi cha Sh. 1000 kila gari. Mfanyakazi huyo alipohojiwa na mtandao huu alisema kuwa anauwezo wa kukusanya hadi magari 20 kwa siku jambo ambalo si la kweli kwani kwa muda mchache tu alishapitia magari zaidi ya hayo. Na alipoulizwa zinapopelekwa fedha hizo baada ya kukusanywa alisema ''Mimi sijui zinapopelekwa kwani mimi ni mfanyakazi tu na nikishakusanya nampelekea Bosi ndo anajua zinapokwenda, kwa siku naweza kukusanya ushuru hadi wa magari kama 15 hivi,kwa sababu sipo peke yangu tupo wengi katika eneo hili lote''. alisema mfanyakazi huyo. Hata hivyo baadhi ya watu waliokuwapo ufukweni hapo, walisikika wakin'gaka kutoa ushuru huo, huku wakimhoji ''Tutoe ushuru wa Parking kwa lipi, hata usafi tu hamfanyi nyie mnajua kuchukua hela tu, na kwanza mlishazuiliwa kukusanya pesa hizi bado tu mnaendelea na wizi wenu''. alisikika akilalama jamaa mmoja Imeelezwa kuwa Kampuni hiyo inayojishughulisha na kukusanya ushuru huo, ilishawahi kuwa na mgogoro kipindi cha nyuma, ambapo wahusika waliwahi kukamatwa na kufikishwa hadi Kituo cha Polisi na kuzuiliwa kufanya kazi hiyo, kutokana na kutokuwa na ruhusa ya kufanya hivyo na kwamba hawatambuliki na Halmashauri wala serikali, lakini wanaendelea kinyemela na kufanya baadhi ya watu wanaowafahamu kuwagomea kutoa ushuru huo wanapofuatwa kulipia parking hiyo. Na hata ukiitazama kwa makini Risiti hii haionyeshi Adress kamili ya wahusika, haina mhuri wala namba za simu zaidi ya kuandika jina la Serikali ya Mtaa wa Oysterbay Beach, Sasa kuna kila haja ya kuwahoji Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo ili kujua Mapato na Matumizi ya ukusanyaji wa Ushuru huu, unaokusanywa kuanzia Jumatatu hadi Jumapili bila kupumzika na zinapokwenda Fedha hizo. Hii ndiyo Risiti yenyewe inayotolewa baada ya kutoa Sh. 1000 kwa mkusanyaji, ambaye pia anakuwa ameambatana na vijana wawili waliovalia kiraia Jinzi na Tisheti na makofia ya Sweta, wakimlinda mkusanyaji huyu mdada na kupiga mkwara kwa anayeonekana kukaidi kutoa Buku. Mkusanyaji akiandika Risiti hiyo, ambayo hata akiisha ichana haibaki Kopi yake kuonyesha kilichoandikwa, Yaani ni Vishina kwa kwenda mbele. Katibu Mkuu Kiongozi, Mhe. Balozi Ombeni Y. Sefue akijiandaa kuongea na Waandishi wa Habari waliojikusanya jioni hii kuhusu Uteuzi wa Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu Wapya, jijini Dar es Salaam. Pembeni kushoto ni Bw. Salvatore Rweyemamu, Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu. Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel aliyesimama akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa semina ya siku mbili kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Benjamin William Mkapa leo jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa NBC, Bibi Mwinda Kiula Mfugale, Mkurugenzi Mtendaji wa NBC Bibi Mizinga Melu na kulia ni Mkuu wa Shule ya Sekondari Benjamini William Mkapa Mwl. Gebo Steven Lugano. Meneja Mkuu wa Masuala ya Jamii kutoka benki ya NBC akitoa mada kuhusu namna ya kuweka akiba kwa manufaa ya baadaye kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Benjamin William Mkapa leo jijini jijini Darc es Salaam. Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Benjamin William Mkapa akichangia mada wakati wa mafunzo kuhusu umuhimu wa kuweka akiba benki, mafunzo ambayo wanafunzi hao wanawezeshwa na wafanyakazi wa benki ya NBC. Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel mwenye suti nyeusiakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mafunzo ya umuhimu wa kuweka akiba benki mafunzo ambayo yanaendeshwa na wafanyakazi wa benki ya NBC kote nchini.Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa NBC, Bibi Mwinda Kiula Mfugale, Mkurugenzi Mtendaji wa NBC Bibi Mizinga Melu.Kutoka kushoto ni Makamu Mkuu wa Shule ya Sekondari Benjamini William Mkapa Mwl. Shanina Athman na Mkuu wa Shule hiyo Mwl. Gebo Steven Lugano.PICHA NA MAELEZO. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongoza kikao cha kutathimini` maeneleo ya Mkakati wa serikali wa Big Result now kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Agosti 21, 2013. Wapili kulia ni Wazri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Mhongo, Watatu kulia ni Waziri wa Kilimo na Ushirika, Mhandisi Chiza na kushoto ni naibu Waziri wa Maji, Dr. B. Mahenge.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Afisa kitengo cha rasilimali watu Airtel Tanzania bi Josephine Kajembe akiongea na wateja juu ya huduma ya Airtel money yatosha na promosheni ya Airtel money Hakatwi mtu hapa wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembelea wateja sokoni katika maeneo mbalimbali jijini Dar es saalam. Meneja huduma kwa wateja Godfrey kavishe akitoa elimu kwa wateja juu ya huduma ya Airtel money yatosha wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembelea maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es saalam na kutoa elimu juu ya huduma ya Airtel Money yatosha kwa watanzania. Mfanyakazi wa Airtel akimuunganisha moja ya wateja katika maeneo ya msasani katika huduma ya Airtel money wakati Airtel ilipowatembelea wateja wake sokoni kuitambulisha promosheni ya Airtel money yatosha Hakatwi mtu hapa. Wananchi katika sehemu mbalimbali za jiji la Dar es salaam leo wamepokea kwa kishindo promosheni ya Airtel money yatosha inayofahamika kwa jina la Hakatwi mtu hapa kwenye mitaa mbalimbali ya jiji hilo Promosheni hiyo ilipokelewa kwa kishindo baada ya wafanyakazi wa Airtel kutembelea maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaa na kutoa elimu juu ya huduma mbalimbali na kuitambulisha rasmi sokoni promosheni ya Airtel money yatosha hakatwi mtu hapa. Baadhi ya wafanyabiashara katika soko la Tandika wilaya ya Temeke walisema kuwa huduma hiyo ya Airtel money Hakatwi mtu hapa imeweza kurahisisha baadhi ya kazi zao na kuwawezesha kuhifadhi kiasi flani cha fedha ambacho awali kilikuwa kinakatwa kutokana na kutuma na kutoa pesa. “Katika biashara zangu mimi huwa natuma na kupokea pesa mara nyingi tu, lakini awali nilikuwa nakatwa kiasi flani cha pesa ambacho mtu mwingine anaweza akaona kidogo lakini si kidogo ni kikubwa sana. Naishukuru Airtel kwa huduma hii ya Hakatwi mtu maana inanisaidia kiuchumi pale ninapotuma na kupokea pesa bure,” alisema Said Mrisho mfanyabiashara ndogondogo katika soko la Tandika. Akizungumza na vyombo vya habari Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Bw. Sunil Colaso alisema “ Airtel tunawajali wateja wetu na kwetu mteja ni namba moja na ndio maana kwa mara nyingine tena wafanyakazi wote wa Airtel leo wanaingia sokoni ili kutoa elimu na kuwaelimisha watanzania na wateja wetu juu ya huduma zetu haswahaswa promosheni maalumu ya Hakatwi mtu hapa . Tunazo huduma nyingine nyingi ambazo tunazitoa kwa wateja wetu kama vile Data 3.75G, Airtel Yatosha , na Huduma ya Airtel money ambayo sasa tunaendelea kuiboresha zaidi na kuwapa wateja wetu fulsa ya kutuma na kupokea pesa bure bila makato yoyote. Lengo letu ni kuhakikisha Airtel inaendelea kutoa huduma zilizo na ubunifu, za kisasa zinazokithi mahitaji ya wateja wake na tunaamini Airtel money hakatwi mtu ni suluhisho sahihi na litaleta unafuu katika huduma za kifedha nchini. Akizungumza katika ziara Mkurugenzi wa kitengo cha mawasiliano Bi Beatrice Singano alisema” watu wameonesha muitikio mkubwa sana katika kuipokea huduma yetu ya Airtel money hususani promosheni ya Airtel money Hakatwi mtu na hiyo inaonesha wazi ni jinsi gani Airtel inavyotoa huduma zilizo bora na zinazokubalika kwa wateja wake na jamii nzima kiujumla. “Promosheni hii ya Hakatwi mtu hapa inawawezesha mtu kutuma na kupokea pesa bure, yaani bila makato yoyote hivyo nachukua fulsa hii kuwahimiza watanzania kutumia huduma zetu za Airtel money ambazo ni rahisi , salama na zinapatikana nchi nzima. Ili kutumia huduma ya Airtel money mteja anatakiwa kupiga *150*60# na kuunganishwa moja kwa moja na menu ya Airtel money kisha kufanya miamala mbalilimbali ikiwemo kutuma pesa, kulipa bill, kuongeza salio kununua LUKU, USA visa na nyingine nyingi. Aliongeza Singano. Hii ndio safari ya Mwisho ya Dada yetu Nemela Phillip Mangula aliezikwa jana huko Kijijini kwao,Mkoani Njombe na mazishi yake kuhudhuliwa na watu mbali mbali. Baba mzazi wa Marehemu Nemela,Mzee Phillip Mangula akisoma wasifu wa Marehemu mwanae wakati wa Mazishi yake yaliyofanyika jana huko kijijini kwao,Kushoto ni Mama Mzazi wa Marehemu. Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM ambaye pia ni Waziri wa Nchi ofisi ya Rais mahusiano Uratibu wa sera Mhe. Stephen Wasira akitoa salamu za Chama wakati wa Mazishi hayo. Baadhi ya viongozi wa Chama,Serikali na Bunge walishiriki mazishi ya Nemela Phillip Mangula huko Mkoani Njombe. Viongozi wa Chama kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Vijana Taifa Mhe. Sadifa , Mwenyekiti wa Wazazi Taifa Ndg. Bulembo, Mjumbe wa NEC -Temeke Ndg. Magesa na Katibu wa uchumi wa Vijana wakijadiliana mambo muhimu ya Kitaifa huko Mkoani Njombe wakati wa mazishi ya Nemela Phillip Mangula. Mhasibu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Octaty Minja (kushoto), akioneshwa na mkurugenzi wa kampuni ya Agric Evolution inayomiliki shamba la kuzalisha shayiri katika Kijiji cha Sigino, Kata ya Sigino, , wilayani Babati, Manyara, .David Bagereza (wa pili kushoto), ubora wa shayiri ambayo amekuwa akiilima katika shamba hilo lenye ukubwa wa ekari 3000.Kulia ni mwandishi wa habari,Eliya Mbonea. Maofisa wa TBL na wageni wengine wakiwemo waandishi wa habari walitembelea hivi karibuni shamba hilo la shayiri inayotumika kutengenezea bia katika viwanda vya TBL nchini.TBL imekuwa ikiwasaidia pembejeo wakulima zao hilo. Mhasibu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Octaty Minja (kushoto),akioneshwa na mkurugenzi wa kampuni ya Agric Evolution inayomiliki shamba la kuzalisha shayiri katika Kijiji cha Sigino, Kata ya Sigino, , wilayani Babati, Manyara, .David Bagereza (wa pili kushoto), ubora wa shayiri ambayo amekuwa akiilima katika shamba hilo lenye ukubwa wa ekari 3000. Maofisa wa TBL na wageni wengine wakiwemo waandishi wa habari walitembelea hivi karibuni shamba hilo la shayiri inayotumika kutengenezea bia katika viwanda vya TBL nchini.TBL imekuwa ikiwasaidia pembejeo wakulima zao hilo. Machine ya kuvuna shayiri ikimwaga shayiri iliyokwishavunwa hivi karibuni katika shamba lenye ekari 3000 la David Bagereza lililopo katika Kijiji cha Sigino, Kata ya Sigino, , wilayani Babati, Manyara, kabla ya kupakiwa kwenye magunia na kusafirishwa kwenda viwanda vya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kutengeneza bia. Kampuni ya TBL imekuwa ikiwasaidia pembejeo wakulima zao hilo. Wafanyakazi wa shamba la kampuni ya Agric Evolution lililoko katika Kata ya Sigino, Kijiji cha Sigino,wilayani Babati, Manyara,wakiweka shayiri iliyokwisha vunwa kwenye magunia tayari kusafirishwa kwenda kiwanda cha biacha TBL jijini Arusha hivi karibuni. ilikuwa majira ya saa 11.00 alfajiri kwa saa za afrika mashariki, Mtangazaji wa Radio VOA-Kiswahili,mpiganaji Sunday Shomari alisikika akimuhoji Kiongozi wa Ngoma Africa band a.k.a FFU ughaibuni almaarufu "Watoto wa Mbwa" mwanamuziki Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja mwenye makao kule Ujerumani. Katika mahijiano hayo mpiganaji Sunday Shomari alikuwa anataka kujua nini haswa siri ya mafanikio ya Ngoma Africa band, na kwanini ? bendi hiyo imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuwateka washabiki wa kimataifa kwa kutumia muziki wa dansi. Kamanda Ras Makunja anakumbana na maswali ya asubuhi ! Asubuhi ! tena kawekwa mtu kati na Sunday Shomari ! msikilize at http://www.voaswahili.com/audio/audio/177582.html Swahili TV inakuletea kipindi maalumu sherehe za watanzania waishio DC, Maryland na Virginia walipokutana kwa siku maalum ya familia (Picnic Day) iliyofanyika Wheaton Reginal Park, MD, jumamosi August 17, 2013. Muhimu zaidi waliweza pia kuchangia rasimu ya marekebisho ya katiba mpya ya Tanzania. Mkurugenzi wa Masoko Utafiti Huduma kwa Wateja wa benki ya CRDB, Tully Mwambapa akipeana mkono na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati wa hafla hiyo. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akiingiza kadi kwenye mashine ya kutolea fedha wakati wa uzinduzi wa kadi mpya ya Tembo Card China Union Pay ambayo itamuwezesha mteja wa benki ya crdb kufanya malipo yake akiwa China. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, CRDB, Martin Mmari na Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dk. Charles Kimei (katikati) Waziri Mkuu Mizengo Pinda, (kushoto), Waziri waNchi Ofisi yaWaziri MkuuUwekezajina Uwezeshaji Dk.Mary Nagu, balozi wa China, Dk. Lu Youqing, Rais wa China UnionPay, Xu Luoude wakizindua kadi mpya ya Tembo Card China UnionPay, itakayomuwezesha mteja wa benki ya crdb kufanya malipo yake akiwa China. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam juzi. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei. BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI FAMILIA ya Mzee Augustino Mgonja wa Pugu Kajiungeni Dar es Salaam na Familia ya Marehemu Bwana na Bibi Henry Kitosi (Mwakitosi) wa Iringa zinasikitika kutangaza kifo cha Mtoto wao, VICTORIA KITOSI (DOTTO) kilichotokea Alfajiri ya leo Agosti 22, 2013 katika Hopitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam alikolazwa baada ya kuugua ghafla. Mipango ya Mazishi inafanyika Pugu Kajiungeni nyumbani kwa Mjomba wake Agustino Mgonja. Habari ziwafikie, Mama Mdogo wa Marehemu, Mary Nathan wa Kinyenze Kipera Mkoani Morogoro, Kaka wa Marehemu Bosco Kitosi wa Mwanza,Doris KitosiA wa Iringa, Bibi wa Marehemu,Balozi Christina Shogholo wa Kisiwani Same-Kilimanjaro, Mjomba John Mgonja wa Kabuku Tanga, Ukoo wote wa Mwakitosi na Shogholo, Ndugu Jamaa na Marafiki popote pale walipo. Marehemu ameacha Mume na watoto wawili, Sanden na Sabri. BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE. AMEN. Haya twende! Timu ya Help for Underserved Communities (HUC) ikishirikiana na Lifetime Wells for Ghana Inc., wakichimba moja ya visima 59 Wilaya ya Kilombero, Morogoro, huku wakiangaliwa kwa shauku na watoto hivi karibuni. HUC ni asasi isiyokuwa ya kiserikali yenye makao yake Marekani, inayochimba visima kwa kushirikiana na jamii kusaidia upatikanaji wa maji ya kunywa safi na salama mashuleni, vijijini na jamii kwa ujumla. Wachimba visima toka Help for Underserved Communities (HUC) na Lifetime Wells for Ghana Inc., kama walivyokutwa na kamera yetu Wilaya ya Kilombero, Morogoro, wakati wa uchimbaji visima vya msaada uliotolewa na taasisi hizo hivi karibuni. Wakazi wa Kilombero wakiangalia kisima kilichochimbwa na Help for Underserved Communities (HUC) kwa ushirikiano na Lifetime Wells for Ghana Inc., Wilaya ya Kilombero, Morogoro, hivi karibuni. Msimamizi wa Masoko na Biashara wa Tigo, Gaudens Mushiakimtazamammoja ya washindi wa droo ya tano ya Promotion ya Miliki Biashara yako na Tigo, Furaha Hasaniakipunga mkono kwa watu mara baada ya kukabidhiwa Bajaji yake katika eneo la Tandika Jijini Dar es Salaam. Meneja Uzalishaji Tigo, Hussein Seif akimkabidhi funguo ya Bajaji mmoja ya washindi wa droo ya tano ya Promotion ya Miliki Biashara yako na Tigo, Bi Happines Ndeki Mkazi wa Kinondoni (Kushoto) mara baada ya kukabidhiwa Bajaji yake katika eneo la Tandika Jijini Dar es Salaam. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na watendaji wa shirika la Bima Zanzibar Tawi la Lumbumba Jiijini Dar es salaa alipofanya ziara ya kuzitembelea Taasisi za SMZ zilizopo Dar. Meneja wa Benki ya watu wa Zanzibar { PBZ } Tawi la Kariakoo Jijijni Dar es salaam Badru Idd akitoa maelezo ya utendaji wa tawi hilo na Lile ya Benki ya Kiislamu liliopo Lumumba mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyekuwa katika ziara maalum ya kutembelea Taasisi za SMZ zilizopo Jijini Dar. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na watendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar wa Matawi ya Kariakoo na Lumbumba kwenye ukumbi wa Tawi la Benki hiyo inayotoa huduma za Kiislamu uliopo Lumumba Jijini Dar es salaam. Picha na Hassan Issa wa –OMPR – ZNZ.
ayubu: mlango 13 1 tazama, jicho langu limeyaona hayo yote, sikio langu limeyasikia na kuelewa nayo. 2 hayo myajuayo ninyi, na mimi pia nayajua; mimi si duni kuliko ninyi. 3 hakika ningenena naye huyo mwenyezi, nami nataka kuhojiana na mungu.
Mataifa mengine mengi yalianzisha Mashirikisho ya Kandanda vikundi vinatakiwa kutilia mkazo katiba iliyotungwa Jacob alitoka chumbani haraka kushuka chini kutumia lifti na alipishana na wale jamaa hawakumuona wote wako sawa hakuna kitu yaani wanasaidia
Simba leo tunapindua, matokeo, hakika tutawashangaza hatoki mtu Leo. kwa mchina ni machinjioni kwa yeyote anaye karibishwa tulianza na Swaziland mbane, akafuata nkana akaja mwarabu js soura toka Algeria, Eee yarabi tunakuomba siku ya Leo, tusamehe pale pote tulipokosoea utusaidie tuweze kurudisha magoli yote, kama ulivyoweza kulisafisha jina la MAN CITY dhidi ya CHELSITA, tusafishe pia sisi zidi ya hao watoto wa farao....Amen. Uyo Al ahly ndio nani???? Mpapaso square lazima umuhusu Leo. Aisee hii mizuka niliopandisha leo dhidi ya hawa waarabu kazi kweli kweli, asante mkuu kwa kunikumbusha ngoja niweke sawa nimeanza shangalia chama hili enzi hizo fund king kibadeni ana watia goli tatu yeye peke yake hawa wa mchangani pale shamba la bibi
Wiki iliyopita, Tanzania iliongeza bei ya mafuta katika vituo vya kuuzia mafuta kwa zaidi ya asilimia kumi na moja kwa bidhaa ya petroli na dizeli kuna uhuru wa vyombo vya habari
Waalimu wa uvira na Fizi,mkoani kivu kusini mashariki mwa Jamuhuri ya kidemokrasia ya kongo,watishia mgomo iwapo hawatalipwa mishahara yao katika muda mwafaka. waalimu hao wanaliomba shirika la kikatoliki CARITAS Uvira lihusikalo na kulipa waalimu eno hilo,kuwalipa pesa zao huku waalimu hao wakisema kuna njama kati ya serikali na shirika hilo. Mwandishi wa BBC mashariki mwa Kongo BYOBE MALENGA alizungumza na baadhi ya waalimu hao na hii hapa ripoti yake.
Majira ya kiangazi hiki, le Tribunal Arbitral du Sport (TAS) a constamment fait la une des journaux. Kwa kweli hukumu ya skier Martin Sundby kwa doping, la procédure de suspension de Maria Sharapova (ancienne numéro 1 mondiale russe de Tennis), l’affaire Sepp Blatter (ancien président de la FIFA) ou encore toutes les procédures liées aux jeux olympiques de Rio ont fortement agité l’actualité sportive. Chungu ni sasa katika moyo wa kesi hizi kama misheni yake ya kwanza ni kutatua migogoro ya kisheria kuhusiana na mchezo. Hivyo, il peut intervenir dans la résolution des litiges commerciaux (les transferts de footballeurs, contrats de sponsoring etc.…), et des litiges disciplinaires (le plus souvent les cas de dopage). Mahakama hii inaweza walikamata na mtu yeyote au chombo kuwa uwezo wa asasi za. Hivyo, mwanamichezo, Shirikisho la michezo, klabu ya mpira wa miguu au mdhamini inaweza kutenda kabla ya kufanya. Le Tribunal Arbitral du Sport propose quatre procédures différentes : 1. Usuluhishi kwa kawaida 2. Rufaa ya usuluhishi 3. Utaratibu wa ushauri 4. Upatanishi Ikumbukwe kwamba utaratibu wa usuluhishi kawaida inatumika kwa migogoro yote inayotokana na uhusiano wa kimkataba au matendo ya haramu wakati mchakato wa kukata rufani yenyewe zitatekelezwa katika maamuzi yote yaliyofanywa na miili ya michezo. Kama kwa arbitrations kibiashara, tuzo ya Baraza ni mwisho na kubana kwa vyama. Wao unaweza kufanyika kulingana na mkataba wa New York taarifa. Katika kesi ambapo tuzo itakuwa kinyume na utaratibu wa umma au katika ukiukaji wa utaratibu wa usuluhishi, Inawezekana kukata rufaa katika Mahakama ya shirikisho wa Uswisi. Quelques chiffres : – Le TAS compte plus de 300 kutoka wasuluhishi 80 nchi mbalimbali. – Environ 300 taratibu ni kuokolewa kila mwaka. Kati ya 1986 na 2013, CAS ya kuhesabiwa 3451 maombi kwa ajili ya usuluhishi na 82 maombi kwa ajili ya maoni ushauri. – Le mercredi 3 Agosti, rundo ya aliandika 18 matumizi kwa ajili ya michezo ya Olimpiki, kumbukumbu kweli. Yeye aliandika kwamba 11 katika taratibu ya rufaa ya michezo ya Olimpiki ya London ya 2012. Pour plus d’informations : https://tas-cas.org/fr/index.html
Makundi kadhaa ya uchunguzi, kwa mfano. Maeneo ya mpaka wa Tanzania kuna pia wasemaji kadhaa huko Malawi na Zambia. Ukame huleta njaa. Iko katika kusini ya Uswidi. Kisiasa inaitwa asili ya demokrasia.
- Mbunge wa Kimilili alijitolea kupeana magari yake binafsi kwa maafisa wa polisi ili waweze kuyatumika katika kufanya msako na kuimarisha usalama - Hii ni baada ya wakazi wa kijiji cha Kamukuywa kuandamana wakilalamikia kuhusu ukosefu wa usalama katika eneo hilo - Wenyeji wa kijiji jirani cha Mahongwe waliripotiwa kuvamiwa na majambazi ambapo mtu mmoja aliuawa Mbunge wa Kimilili Didmus Barasa ameingilia kati baada ya wakazi wa eneo bunge lake kuandamana Jumanne Juni 19, wakilalamikia ukosefu wa usalama. Habari Nyingine: Bintiye Najib Balala anavutia sana, na kulandana kabisa na babake Iliripotiwa kuwa watu wasiojulikana walivamia kijiji cha Mahonge ambapo waliwajeruhi vibaya wenyeji na kumuua jamaa mmoja usiku wa kuamkia Jumane Juni 19. Barasa kupitia kwa ukurasa wake wa Facebook alisema kuwa amejitolea kupeana magari yake binafsi kwa maafisa wa polisi ili waweze kuyatumia katika kufanya msako na kuwalinda wakazi kabla ya serikali kuwanunulia magari yao. Tuma neno ‘NEWS’ kwa 40227 ili kupata habari muhimu pindi zinapochipuka Habari Nyingine:Huyu ndiye afisa wa polisi mrembo zaidi Afrika? " Nimeshuhudia ukosefu wa usalama katika eneo bunge langu na kwa vile zitakubaliana na hali hii, leo nimeamua kupatiana magari yangu mawili kwa maafisa wa polisi ili waweze kufanya msako mkali na kuwalinda wananchi dhidi ya uhalifu wowote," Ujumbe wa Barasa ulisoma kwenye ukurasa wake wa Faceook. Aidha, imeripotiwa kuwa majambazi hao walikamatwa saa chache katika kijiji jirani cha Sikhendu kaunti ya Trans Nzoia na wanazuliwa katika kituo cha polisi cha Kitale. Visa vya ukosefu wa usalama katika eneo hilo vimeripotiwa kwa wingi kikiwemo kimoja ambapo msichana wa darasa la sita alikamatwa kwa kujaribu kuiba pesa kutoka katika duka la Mpesa katika soko ya Kamukuywa mwezi Mei mwaka huu. Read: ENGLISH VERSION Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri: mwangi.muraguri@tuko.co.ke Tazama habari zaidi kutoka TUKO.co.ke Source: Kiswahili.tuko.co.ke
SANAA,YEMEN SPIKA wa Bunge la Yemen amesema kuwa uhalifu unaofanywa na Saudi Arabia na washirika wake nchini humo pamoja na kuendelezwa muungano wa nchi hiyo haviwezi kuhalalishwa kwa njia yoyote ile. Mohammed Hussein al-Aidarous aliwatumia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,Antonio Guterres na mjumbe wa umoja huo katika masuala ya Yemen,Martin Griffiths na kueleza hali halisi kuhusu mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia na washirika wake huko Yemen na vathari za mashambulizi hayo kwa maisha ya raia wa nchi hiyo. Hussein al-Aidarous alisema kuwa, uhalifu unaofanywa na muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia nchini Yemen na hatua ya wavamizi hao ya kuzuia meli zinazobeba nishati na chakula kutia nanga katika bandari za Yemen ni jinai na uhalifu mkubwa ambao hauwezi kuhalalishwa kwa njia yoyote ile. Alisisitiza kuwa,vikwazo vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen vinakwamisha jitihada za kupeleka chakula nchini humo na kuzidisha machungu na mashaka ya Wayemeni. Al-Aidarous aliongeza kuwa, kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya uhalifu huo kinazidisha mashaka na machungu hayo. Spika wa Bunge la Yemen aliitaka jamii ya kimataifa kudumisha mashinikizo dhidi ya Saudi Arabia na washirika wake katika vita vya Yemen kwa shabaha ya kuruhusu shehena za meli zinazobeba mafuta, chakula na dawa kutia nanga katika bandari za Yemen.
Je wafanyakazi wote pahali pako pa kazi wamepewa mafunzo maalum?
JUMLA ya watoto 400 wa Skuli ya Maandalizi ya Kidutani wamepatiwa huduma ya upimaji wa afya ili kuhakikisha wanakuwa na afya njema. Zoezi hilo lililofanyika skuli hapo, liliendeshwa na timu ya Madakari wa Kujitolea kutoka China ambapo watoto hao walipatiwa uchunguzi tofauti ikiwemo upimaji wa macho, masikio, vinywa na shinikizo la damu. Akizungumza kwenye zoezi hilo, Mkuu wa Madakari kutoka China, Profesa Jiang Guoqing, alisema, lengo la upimaji afya huo ni katika jitihada za kuwasaidia watoto kwa ajili ya kutambua afya zao na kupatiwa matibabu watakapogundulika na matatizo. “Leo tumekuja kufanya uchunguzi wa kiafya kwa watoto kwa kutambua umuhimu mkubwa kwa ajili ya makuzi yao ya baadaye”. “Watoto ndiyo ndiyo taifa la baadaye, huduma za kiafya ni jambo la msingi kwao”. Aidha, aliishukuru Wizara ya Afya na Serikali kwa namna zinavyotoa ushirikiano mkubwa madaktari wa Kichina wanapofika Zanzibar kwa ajili ya kutoa huduma mbali mbali. Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Maandalizi Kidutani, Asma Ali Yussuf, zoezi hilo litawasaidia kutambua afya za watoto hao na kuwaweka salama katika kuwajengea mustakabali bora wa masomo yao. “Sisi kama uongozi wa Skuli tumeupokea msaada huu kwa mikono miwili, tukiamini afya njema za watoto ndiyo tumaini la taifa”. Alisema, wamekuwa na utaratibu wa kuwapima watoto afya kwa kila kipindi na kwamba msaada huo wa timu ya Madaktari wa Kichina utaendelea kuwa chachu kwao kwa ajili ya maendeleo ya watoto hao. Nao baadhi ya wazee wa watoto hao walielezea kufurahia kutolewa huduma hiyo na kuiomba serikali na wizara ya afya kuendelea kufanya zoezi hilo kila mara ili kuwaweka watoto kwenye afya njema.
wa aina hii, ujambazi na vitendo vyenye mwelekeo wa ugaidi; na (vi). Kuendelea k ushirikiana na Mataifa mengine na Asasi za Kimataifa katika kupambana na mak osa yanayovuka mipaka (cross border crimes) hasa ugaidi,
Nilikutana naye katika kazi yangu Jinsi gani mimi kujua kama guy Mexican ni nia ya dhati kwangu na si tu kwa sababu mimi ni nyeupeYeye ni kutoka Mexico lakini wakiongozwa na Amerika ya miaka michache iliyopita kwa ajili ya kazi. Rafiki yake ya kwanza. Katika maisha yangu ya zamani dating uzoefu wangu katika s, mimi sasa watu mimi walikutana katika kazi tangu kazi inaonekana kuwa na baadhi ya aina ya maisha ya kijamii kwa ajili ya watu wengi. Nilikutana na moja ambapo sisi tar... hii ni maarufu Dating tovuti kwenye Mtandao Nje ya mara kwa mara Dating kuondolewa hapa na inaweza kutumika kwa madhumuni mbalimbaliHadi miaka michache iliyopita, idadi ya watumiaji ilikuwa ndogo; leo kuna kumi na saba milioni yao. Hizi ni wakazi wa miji na mikoa mbalimbali ya nchi yetu, pamoja na raia wa Mataifa mengine. Kila siku juu ya sayari ya Lava kuna zaidi ya makumi ya maelfu ya watumiaji mpya. Aidha kuu ya mawasiliano ya kazi, unaweza kuzungumza juu y... Kireno Cha BrazilKundi hili ni lengo kwa ajili ya kila mtu ambaye ni nia ya Brazil lugha ya kireno na sifa yake. Hapa wewe pia kujifunza kila kitu kuhusiana na Brazil (utamaduni, miji na makaburi, Brazil vyakula, nk.) karibu wiki nchini Brazil, Rais atachaguliwa kwa ajili ya miaka ijayo. Bidhaa kwa ajili ya Dating watu kutoka Hesse Ujerumani Dating Tovuti Si kila mtu ni uwezo wa Kujieleza katika sanaa hii Ngoma ni sanaa, ambayo harakati inaweza Kueleza hisia, hisia, msisimkoKuna idadi kubwa ya ngoma. Moja ya aina ya hii faini sanaa ilionyesha msichana mzuri, katika tamasha la Kimataifa katika Mexico. Mexico daima imekuwa maarufu kwa ajili yake passionate na shauku rhythms. Ushahidi wa kwamba ilikuwa movie hii. Ya adorables aliamua kufuata mila na desturi za mababu zao Plastiki na synchronous harakati ya uzuri... Hizi ni muhimu mahusiano kwa mfumo huu na kwa kila raia Unaweza kujiandikisha kwenye tovuti bure kabisa bila ya malipoKama unataka kupata namba ya simu kwa ajili ya uthibitisho, unaweza kuwasiliana na yako mpya marafiki tu katika vyumba vya gumzo na maeneo ya Pune (India). Kama wewe ni kuangalia kwa ajili ya marafiki mpya katika Pune, India, basi una kuja mahali pa haki. Inawezekana kujiandikisha na tovuti, ambayo ni bure kabisa Hakuna kikomo kwa idadi ya ye... OLKAS ITAKUWA TUZO KWA MOYO MKUNJUFU FOLK UCHESHI Dating kwa ajili ya wanaume na wanawake wanawake juu ya Mtandao katika Lahore ilikuwa juu ya mengine mengi ya viwanda hudumaKwa msaada wa Mtandao na imani katika haja kwa ajili ya Dating, pia kuna haja kwa ajili ya familia nguvu ya baadaye. Kulingana na takwimu, mwaka, watu walikuwa talaka au kuolewa. Itakuwa pengo kubwa. Kuangalia mbele kwa kucheza jukumu muhimu sasa kama mpenzi sambamba. Kupata Lahore Soulmate kwenye tovuti ... Taarifa kuhusu matukio katika Caribbean, taarifa juu ya kazi, maswali juu ya kodi, ziara ya msaada, kushauriana na wakazi wengi zaidi katika kundi mojaWanataka kutembelea Cancun. Kununua mali hapa. Au labda kukaa na kuishi hapa.) Basi wewe address) Kujiunga na kikundi. Kwa miaka minne, imepata sifa nzuri katika sekta ya ndege, kwa mtiririko huo, kuwa na idadi kubwa ya wateja kuridhika na mali kitaalam. Sisi ni katika eneo la hoteli. Hali ya hewa ya mvua, ili kuangalia k...
MWANZA: JESHI la Polisi mkoani Mwanza limeanza msako wa kuwatafuta wahalifu waliojichukulia sheria mkononi kwa kuwaua watu wawili kwa kuwashambulia kwa mawe na silaha za jadi wakiwatuhumu kuiba gunia moja la mpunga. Akizungumza na waandishi wa habari mapema Oktoba 31 Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani humo Wilbroad Mtafungwa amesema kuwa tukio hilo lilitokea Oktoba 30 Mwaka huu majira ya saa 11:30 jioni katika Kijiji na Kata ya Mwaniko wilayani Misungwi na kuwataja waliouawa kuwa ni Nkula Lameck (26) mkazi wa Mwamanga na Nzuri Kazungu (25) mkazi Inchobela wote wakiwa ni wakazi wa Magu. Kamanda amesema wahalifu hao walijichukulia sheria mkononi wakiwatuhumu kuiba gunia moja la mpunga. ” Inadaiwa Nkula na mwenzake Nzuri Kazungu walikuwa wamebeba mpunga kwenye pikipiki yenye namba za usajiri MC 989 CWU aina ya Kinglion iliyochomwa moto na kuteketea kabisa wakati wa tukio hilo wakitokea kijiji cha Budula-Ngudu wilayani Kwimba na walipofika Kijiji cha Mwaniko wilayani Misungwi ndipo walipozuiliwa na kuuawa na wahalifu hao waliojichukulia sheria mkononi…” amesema Kamanda Mtafungwa
Alifariki mwaka wa elfu moja mia tisa sabini na moja Washindi wengine walifuata siasa ya Kidemokrasia pamoja na Uchumi wa kujitegemea Koloni lilifunguliwa kwa biashara ya nje mwaka elfu moja mia nane thelathini na moja
Timu ya Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki, IAEA ilizuru mtambo mkubwa zaidi barani Ulaya ili kupunguza hofu ya uwezekano wa kutokea janga. Wengi wa wakaguzi hao walimaliza kazi zao huku wakaguzi wawili wakisalia kwenye mtambo wa Zaporizhzhia nchini Ukraine jana Jumatatu. Mashambulizi makali ya makombora hayajasitishwa. Mtambo huo umedhibitiwa na wanajeshi wa Urusi tangu siku za kwanza za uvamizi. Maafisa wa kampuni ya nyuklia ya serikali ya Ukraine ya Energoatom walitangaza kuwa njia ya hifadhi ya mwisho inayounganisha mtambo huo kwenye gridi ya nishati ya Ukraine imekatwa. Wanasema moto uliosababishwa na makombora uliharibu njia hiyo. Rais wa kampuni hiyo Petro Kotin alisema timu ya IAEA inapaswa kuongoza usitishaji wa Urusi kudhibiti mtambo huo. Kotin alisema, “Inapaswa kuwa zaidi ya ‘kuhofu.’ Inapaswa kuwa njia ya namna ya kutatua masuala yote yaliyopo sasa kwenye eneo hilo.” Alitoa wito kwa timu zingine za kimataifa kuzuru mtambo huo, wakiwemo walinda amani wa Umoja wa Mataifa.
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bw. Geng Shuang alipojibu swali kuhusu baraza la usalama wa Umoja wa Mataifa kupitisha azimio namba 2375 kuhusu majaribio ya nyuklia ya Korea Kaskazini, amesema China inaunga mkono baraza la usalama kuchukua hatua zinazohitajika. Msemaji huyu amesema Korea Kaskazini imefanya majaribio tena bila kujali upinzani wa jumuiya ya kimataifa, na imekwenda kinyume na maazimio husika ya baraza la usalama. Jana baraza la usalama lilipitisha kwa kauli moja azimio linaloonesha msimamo wa pamoja wa wajumbe wa baraza hilo kulinda amani na utulivu wa peninsula ya Korea na kanda hiyo, kusukuma mbele mchakato wa kuondoa silaha za nyuklia kwenye peninsula hiyo, na kulinda mfumo wa kutoeneza silaha za nyuklia wa kimataifa. China inatarajia kuwa azimio hilo litatekelezwa kikamilifu. |© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. | 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040
•Matendo ya hivi majuzi ya Akothee kwenye mitandao ya kijamii yamewaacha wanamitandao wakikisia huenda kuna tatizokwenye ndoa yake na Denis ‘Omosh’ Shweizer. Mwanamuziki na mjasiriamali mashuhuri Esther Akoth almaarufu Akothee amekuwa akivuma katika kipindi cha siku mbili zilizopita baada ya kufunguka kuhusu masaibu yake vya kisaikolojia ambayo yalianza baada ya tukio ambalo hakufichua. Baadhi ya matendo yake ya hivi majuzi kwenye mitandao ya kijamii yamewaacha wanamitandao Wakenya wakizungumza na kukisia kuwa huenda kuna tatizo fulani kwenye ndoa yake na Denis ‘Omosh’ Shweizer. Mwimbaji huyo mwenye umri wa miaka 43 hata hivyo bado hajathibitisha au kukanusha tetesi za ndoa yake kuvunjika. Katika grafiki ya leo, tunakutembeza katika safari ya ndoa ya mwimbaji huyo na Bw Shweizer tukiangazia matukio makuu tangu harusi yao Aprili mwaka huu hadi matukio ya hivi majuzi.
na kuonesha uandaaji wa mipangokina unazingatia mipango kabambe. Aidha, mpango kabambe wa Manispaa ya Kigamboni umehuishwa kwenye mpango kabambe wa jiji la Dar es salaam ( Jedwali Na. 15 ).
•Mutunga alidai kuwa mkewe alibadilika na kusitisha uhusiano baada ya kudanganywa kwamba aliaga katika ajali iliyotokea mwezi Oktoba. •"Alisema amemtuma kaka yake aendee kiberiti na akasema nisimtumie sms. Si wakati huo ndio akakufa," Angeline alisema. Vincent Mutunga ,24, alituma ujumbe akiomba kupatanishwa na mke wake Angeline Mulei ,20, ambaye alimtema baada ya kupata ajali. Mutunga alidai kuwa mkewe alibadilika na kusitisha uhusiano baada ya kudanganywa kwamba aliaga katika ajali iliyotokea mwezi Oktoba. "Miezi miwili iliyopita nilikuwa naenda kazi asubuhi kwa gari ya kazi. Nikiwa njiani nlipatana na mkosi kidogo kisha nikawa katika koma kwa siku 14. Kabla ya kuamka alikuwa amedanganywa na kaka yangu kwamba nimekufa," Vincent alisimulia. Vincent alisema baada ya kuzinduka kutoka katika hali hiyo ya kukosa fahamu alimpigia simu mkewe lakini alisikika kuwa mkorofi na hakutaka chochote kuhusu yeye. "Alichukua simu akaanza kuongea vibaya. Jumbe ambazo alikuwa ananitumia zilikuwa za kikorofi.Ni kama hanitaki.. Aliuliza kwani wafu huongea vipi," alisema. "Kitambo angepiga simu hata nikiwa kazini. Alikuwa ananitumia sms. Sasa huwa anatuma moja moja tu." Vincent alieleza kwamba Angeline ndiye aliyemueleza yote yalitokea wakati alipokuwa katika koma. Alisema kwamba hajazungumza na ndugu yake aliyedanganya kuhusu kifo chake tangu wakati huo. "Wiki iliyopita nilimpigia, mazungumzo yake yako hivi hivi, ni kama hataki turudiane," alisema. Angeline alipopigiwa simu alidai kwamba Vincent alimtania kuwa anataka kujitoa uhai na kumtaka asiwasiliane naye tena kwenye simu. "Aliniambia mama yake ni mgonjwa na yeye ndio tegemeo. Alisema hata shangazi wake wana pesa lakini hawataki kusaidia, akasema anaskia maisha yake yamefika mwishoni. Aliniambia nisitext tena anakufa," alisema Angeline. Aliongeza, "Alisema amemtuma kaka yake aendee kiberiti na akasema nisimtumie sms. Si wakati huo ndio akakufa." Angeline alithibitisha kwamba baada ya kutuma ujumbe mwingine kwa kweli hakujibiwa. Baadaye kakake Vincent alimwambia kwamba baada ya kurudi nyumbanialimpata mpenziwe huyo wake amejitia kitanzi. "Kaka yake alirudi kwa nyumba akasema amepata Vinnie amejinyonga. Aliniambia Vinnie amechukuliwa amepelekwa mochari. Ilikuwa Ijumaa, Jumamosi aliniambia kwamba walipata barua ambapo Vinnie alisema kwamba alikuwa ameacha shilinhi laki saba kwa benki na zingine laki tatu kwa ajili ya mamake mgonjwa," Alisema kuwa aliarifiwa mpenzi huyo angezikwa tarehe 2 Desemba, siku ambayo alikuwa akifanya mitihani yake. "Singeweza kukosa mtihani. Nilimaliza mtihani nikaenda kwetu. Juzi juzi tu ndio aliniambia alipata ajali," alisema. Huku akijitetea, Vincent alisisitiza kwamba kwa kweli alipata ajali na kuingia katika koma kwa siku kumi na nne. Alidai kwamba alipata ajali kutokana na msongo wa mawazo uliomkumba kufuatia ugonjwa wa mama yake. Angeline alisema kwamba yuko tayari kumpa Vincent nafasi nyingine licha ya utani ambao alimfanyia. "Nakupenda na ndio maana nataka kukupatia nafasi ya pili," Angeline alisema. Ghost alijitolea kufuatilia kwa maafisa wa polisi ili kubainisha kama kwa kweli alipata ajali.
Na MASHIRIKA KOCHA Antonio Conte ametaka mashabiki kutarajia makuu zaidi kutoka kwa Tottenham Hotspur muhula huu baada ya kikosi chake hicho kukomoa Southampton 4-1 katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mnamo Jumamosi. Spurs walijinyanyua upesi baada ya Southampton kuwekwa kifua mbele na James Ward-Prowse. Kikosi hicho kinachopigiwa upatu wa kutamba msimu huu, kilipata mabao kupitia Ryan Sessegnon, Eric Dier, Dejan Kulusevski na Mohammed Salisu aliyejifunga. “Japo tulizoa alama tatu muhimu, kubwa zaidi ni jinsi tulivyoshinda. Tulicheza kwa kujituma na kujiamini mno. Tulitamalaki mchezo kuanzia mwanzo na tukalemea washindani wetu katika kila idara,” akatanguliza Conte. “Sioni chochote kitakachotunyima taji la EPL na ufalme wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) muhula huu iwapo tutaendelea kucheza namna tulivyofanya dhidi ya Southampton,” akaongeza mkufunzi huyo wa zamani wa Chelsea, Juventus na Inter Milan. Ilikuwa mara ya kwanza kwa Spurs kuanza kampeni za EPL kwa ushindi mnono mbele ya mashabiki wao wa nyumbani tangu Disemba 2019 walipotandika Burnley 5-0. Kwa mujibu wa Conte, ushindi dhidi ya Southampton ni onyo kali kwa wapinzani wao wakuu katika EPL na UEFA kwa kuwa masogora wake wana kiu ya “kuwapa mashabiki ‘kitu’ cha kufuatilia zaidi msimu huu.” “Tumejishughulisha vilivyo katika soko la uhamisho na tuna kila sababu ya kuwa mwiba kwa wapinzani na kushinda mechi nyingi iwezekanavyo katika mapambano ya muhula huu,” akasisitiza Conte. Ilivyo, idadi kubwa ya wachezaji ambao Spurs wamesajili muhula huu inadhihirisha kiu ya Conte kuanza kunyanyulia waajiri wake mataji ya haiba chini ya kipindi kifupi iwezekanavyo. Kufikia sasa, Spurs wamesajili wanasoka sita wakiemo Fraser Forster, Yves Bissouma, Djed Spence, Clement Lenglet, Ivan Perisic na Richarlison Andrade aliyetia saini kandarasi ya miaka mitano. TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO
Sehemu za upangishaji wa likizo huko Parintins Pata na uweke nafasi kwenye malazi ya kipekee kwenye Airbnb Sehemu maarufu za kukodisha wakati wa likizo mjini Parintins Wageni wanakubali: sehemu hizi za kukaa zimepewa makadirio ya juu kwa upande wa mahali, usafi na zaidi. Mwenyeji Bingwa Nyumba ya shambani huko Parintins Nyumba ya shambani yenye uchangamfu iliyo na bwawa Iko katika eneo la upendeleo la Parintins, eneo la siri na la asili, dakika 10 kutoka katikati mwa jiji na dakika 3 kutoka uwanja wa ndege. Ina eneo la jumla la 14,640m2, na mraba 1 kwenye kingo za upande wa aninga, eneo lililohifadhiwa na wingi mkubwa na utofauti wa samaki. Nyumba ina 370m2, na vyumba 4, bafu 1 ya kijamii, sebule, jiko, eneo la huduma, karakana, wi-fi, ishara kwa waendeshaji wote, uwanja wa mpira wa miguu, uwanja wa mpira wa miguu, gati, bwawa la kuogelea. Pumzika na familia nzima katika nyumba hii tulivu $378 kwa usiku Chumba cha kujitegemea huko Parintins Fleti nzuri huko Parintins-AM Fleti katika Kituo cha Parintins, iko vizuri, yenye nafasi kubwa na vyumba 2 vikubwa, na jiko lenye samani. Karibu na kila kitu: - dakika 2 kutoka Av. Amazonas; - Dakika 5 kutoka Kanisa Kuu; - Dakika 3 kutoka Porto de Parintins na Banco Bradesco/Caixa; - Dakika 5 kutoka Bumbódromo; $29 kwa usiku Sehemu za kukodisha wakati wa likizo kwa kila mtindo Pata nafasi ambayo ni sahihi kwako.
Sio tu kwamba mazoezi ya gharama ya chini ya huduma ya afya, pia hupunguza hatari ya magonjwa. Zoran Pucarevic / Shutterstock Mazoezi ni mazuri kwa afya yako katika kila umri - na unaweza kupata faida hata iweje kuchelewa maishani unaanza. Lakini utafiti wetu wa hivi karibuni umeonyesha faida nyingine ya kuwa hai kimwili kwa maisha yote. Tuligundua kuwa huko Amerika, watu ambao walikuwa wachangamfu zaidi kama vijana na wakati wote wa watu wazima alikuwa na gharama za chini za huduma ya afya. Matokeo haya ni muhimu sana kwa watu wanaoishi katika nchi ambazo hazina huduma za afya ulimwenguni, kama vile Amerika. Walakini, matokeo yetu yanatumika kwa njia isiyo ya moja kwa moja kwa nchi zilizo na utunzaji wa afya kwa wote, kama Uingereza, kwani idadi ya watu wenye afya inaweza kusababisha gharama za chini kwa mfumo wa huduma ya afya kwa ujumla. Kwa utafiti wetu, tulipata data kutoka Taasisi ya Saratani ya Kitaifa kusoma juu ya lishe na afya, ambayo iliangalia watu wazima zaidi ya nusu milioni. Kama sehemu ya utafiti huu, watu wazima mnamo 1996 ambao walikuwa na umri wa miaka 50-71 waliulizwa jinsi walivyokuwa wakifanya mazoezi ya mwili wakati huu wa maisha yao. Waliulizwa pia kukadiria ni mazoezi ngapi waliyopata mwishoni mwa ujana na utu uzima wa mapema na wa kati. Tulifuatilia washiriki kati ya 2004-06. Kwa wakati huu, wengine walikubali majibu yao ya masomo yaunganishwe na yao Takwimu za Medicare. Medicare ndio mpango kuu wa bima ya afya kwa watu wazima wa Amerika wenye umri wa miaka 65 na zaidi. Pata barua pepe ya hivi karibuni Ili kuhakikisha kuwa matokeo yalikuwa sahihi, tuliangalia tu washiriki ambao walikuwa na umri wa miaka 65, kwani huu ndio umri ambao mtu anastahili kupata Medicare. Tulibadilisha pia matokeo yetu kuzingatia mambo mengine ambayo yanaweza kuathiri matokeo, kama kabila, elimu, hali ya ndoa, na ikiwa mtu anavuta sigara. Kwa njia hii tunaweza kuwa na hakika kuwa tulikuwa tunaangalia tu athari za shughuli za mwili kwa gharama za huduma za afya. Kulingana na data yetu, watu walikuwa wamekusanywa katika vikundi kulingana na tabia zao za mazoezi wakati wote wa watu wazima. Tuligundua vikundi tisa, ambavyo vilianguka katika vikundi vikuu vinne: watunzaji (36% ya kikundi ambao walidumisha shughuli za wastani hadi za juu wakati wa watu wazima), wapunguzaji (30.5% ya kikundi ambao walikuwa wakifanya kazi katika utu uzima wa mapema lakini hawakuwa wenye bidii wakati walizeeka) , na waongezaji (14.5% ya kikundi ambao hawakuwa hai katika utu uzima wa mapema lakini walifanya kazi zaidi katika maisha yao yote). Karibu 18.5% ya kikundi hicho walikuwa wakifanya kazi kila wakati katika maisha yao. Maisha ya shughuli Tuligundua kuwa watu wazima ambao walidumisha au kuongeza shughuli zao za mwili kutoka ujana wakati wa watu wazima walikuwa na wastani wa chini wa gharama za utunzaji wa afya kuliko watu wazima ambao walikuwa wakifanya kazi kila wakati kwa muda - kati ya Dola za Marekani 824 (£ 567) na US $ 1,874 (£ 1,356) kwa mwaka. Hii ni karibu 10% hadi 22% chini kuliko wale ambao walikuwa haifanyi kazi sana au haifanyi kazi. Kwa upande mwingine, watu wazima ambao walikuwa wakifanya kazi mapema maishani lakini hawakufanya kazi sana katika umri wa kati (kupungua), hawakufaidika na gharama ya chini ya huduma ya afya baada ya miaka 65, licha ya kuwa hai mapema maishani. Kwa kweli, gharama zao za Medicare zilifanana na wale ambao walikuwa hawakufanya kazi kila wakati maisha yao yote. Ingawa waliohojiwa wa utafiti walitoka sehemu tofauti za Merika, ni ngumu kusema ikiwa matokeo haya yatakuwa ya kweli kwa watu wa sehemu zingine za ulimwengu. Na, kwa kuwa utafiti wetu ulikuwa msingi wa habari iliyoripotiwa binafsi iliyopatikana kutoka kwa utafiti, hatuwezi kusema ikiwa viwango vya shughuli vilisababisha gharama za chini za huduma ya afya. Pia, hatukuweza kudhibiti kwa sababu zote ambazo zinaweza kuathiri matokeo, kama vile ikiwa mtu alipata jeraha ambalo lilipunguza kiwango cha shughuli zao. Walakini, matokeo sawa na yetu pia yameonekana katika utafiti mwingine, kama vile utafiti wa Australia ambao uligundua kuwa wanawake wa makamo ambao walikuwa hai katika maisha yao yote 40% ya gharama za chini za huduma ya afya zaidi ya miaka mitatu ambayo utafiti ulifanyika. Kutokana Hiyo mmoja kati ya watu wazima wanne ulimwenguni hawapati mazoezi ya kutosha, juhudi kubwa za kuboresha mazoezi ya mwili - haswa kati ya vijana na vijana - inaweza kusaidia kupunguza gharama za huduma ya afya na kuboresha afya baadaye maishani. Mikakati kama vile kufanya kazi na watu mmoja mmoja, katika vikundi vidogo, au katika kiwango cha jamii, kubadilisha viwango vyao vya mazoezi ya mwili ni yote kuthibitika kufanya kazi. Kuhusu Mwandishi Diarmuid Coughlan, Mshirika wa Utafiti katika Uchumi wa Afya, Chuo Kikuu cha Newcastle vitabu_zoezi
Shutterstock Nina swali juu ya malipo ya magari ya umeme. Ninaelewa New Zealand sio 100% ya kutosha katika nishati mbadala (karibu 80%, iliyoongezewa na 20% inayozalishwa kwa vituo vya makaa ya mawe). Ikiwa ningenunua gari ya umeme inaongeza kwenye mzigo kwenye gridi ya taifa. Je! Njia pekee ambayo tunaweza kuongeza nguvu ya ziada kuchoma makaa zaidi? Je! Hii haifanyi gari hizi kimsingi "kufutwa makaa ya mawe"? New Zealand kwa kweli hutolewa vizuri na umeme ambao unaweza kuzima. Katika miaka ya hivi karibuni, New Zealand imezidishwa 83% kutoka kwa vyanzo mbadala (pamoja na umeme wa umeme wa 60%, 17% ya mafuta, na upepo wa 5%) na 17% kutoka mafuta ya ziada (4% makaa ya mawe na gesi 13%). Mbali na kuwa na bei nafuu na inayoweza kurejeshwa, hydropower ina faida nyingine kubwa. Uzalishaji wake unaweza kupanda juu na chini haraka sana (kwa kuwasha na kuwasha turbines) wakati wa mchana ili kulinganisha na mahitaji. Kuangalia siku ya kawaida ya msimu wa baridi (nimechukua Julai 4, 2018), mahitaji saa 3 asubuhi ilikuwa 3,480 megawatts (MW) na 85% ilifikiwa na vyanzo vinavyoweza kufanywa upya. Kwa kilele cha jioni ya mapema, mahitaji yalikuwa hadi 5,950MW, lakini yalifikiwa na vyanzo 88% vinavyoweza kufanywa upya. Vyanzo vya mafuta viliongezeka, lakini hydropower ilizidi zaidi. Kufungia meli Hata wakati wa mahitaji ya kilele, umeme wetu ni safi sana. Gari la umeme (EV) lililoshtakiwa wakati wa jioni linaweza kutoa gramu 20 za kaboni dioksidi kwa kilomita. Related Content Hata EV iliyoshtakiwa kwa umeme wa makaa ya mawe au gesi iliyochomwa bado ina uzalishaji mdogo kuliko gari la petroli au dizeli, ambayo inakuja karibu 240g CO₂ / km (ikiwa moja ni pamoja na uzalishaji unaohitajika kutoa, kusafisha, na kusafirisha mafuta). Utaftaji wa umeme wa umeme ulio na makaa ya mawe hutoka karibu na 180g CO₂ / km wakati wa matumizi, wakati takwimu ya umeme uliofurishwa na gesi ni karibu 90g CO₂ / km. Hii inawezekana kwa sababu injini za mwako wa ndani hazifanyi kazi vizuri kuliko injini zinazotumika katika vituo vya nguvu. Kuangalia kwa muda mrefu, ubadilishaji wa wingi wa usafiri katika New Zealand kwa kutembea, baisikeli na treni za umeme, mabasi, magari na malori ni moja wapo bora na ya haraka sana. mikakati kupunguza uzalishaji. Itachukua miongo michache, lakini kwa mizani inaweza kuwa ghali sana, kwa sababu ya akiba ya mafuta ambayo itakua (NZ $ 11 bilioni ya mafuta iliingizwa mnamo 2018.) Uongofu huu utaongeza utumiaji wa umeme kwa karibu a robo. Ili kuifikia tunaweza kutazama ugavi na mahitaji. Umeme unaoboresha zaidi Katika upande wa usambazaji, umeme unaoweza kufanywa tena umepangwa - ujenzi wa mashamba makubwa matatu ya upepo ulianza mnamo 2019, na zaidi ni inatarajiwa. Ugavi unaowezekana ni muhimu, haswa ukizingatia kuwa, ukilinganisha na nchi zingine nyingi, hatujaanza kuanza kutumia nguvu ya jua. Related Content Lakini wakati fulani, kuongeza nguvu nyingi za vyanzo hivi huanza kuvuta uwezo wa maziwa ya hydro kuzisawazisha. Hii ni msingi wa sasa mjadala kuhusu New Zealand inapaswa kuwa na malengo ya 100% au 95% umeme unaoweza kurejeshwa. Kuna njia anuwai za kukabiliana na hii, pamoja na betri za uhifadhi, kujenga vituo vya nguvu vya umeme zaidi au "pumped hydro"Vituo. Katika hydro iliyopunguka, maji hupigwa kwenye ziwa la kuhifadhi wakati kuna ziada ya umeme wa upepo na jua, kutolewa baadaye. Ikiwa ziwa ni kubwa la kutosha, teknolojia hii pia inaweza kushughulikia hatari ya kuendelea ya miaka New Zealand ambayo inaweza kusababisha upungufu wa umeme. Matumizi ya umeme laini Kwa upande wa mahitaji, uchunguzi ni inaendelea kupima mifumo halisi ya malipo ya madereva ya EV. Habari inayopatikana hivi sasa inaonyesha kwamba watu wengi huchaji malipo yao usiku hadi kuchukua fursa ya bei nafuu ya usiku. Ikiwa mahitaji yanakuwa juu sana wakati fulani, basi gharama ya kizazi vyote na maambukizi inaweza kuongezeka. Ili kuepuka hili, wauzaji wa umeme wanachunguza smart majibu ya mahitaji, kwa msingi wa udhibiti wa maji moto ya moto New Zealand ilianza kutumia katika miaka ya 1950. Hii inaruhusu wasambazaji wa umeme kuzima mbali hita za maji moto kwa masaa machache ili kupunguza mahitaji. Katika matoleo ya kisasa, watumiaji au wasambazaji wanaweza mahitaji ya wastani kulingana na ishara za bei, ama kwa wakati halisi kwa kutumia programu au kabla ya muda kupitia mkataba. Uzalishaji wa New Zealand kutoka kwa usafirishaji wa ardhi unaendelea kuongezeka, na mwingine 2% katika 2018 na karibu mara mbili kwenye viwango vya 1990. Ili kushughulikia mabadiliko ya hali ya hewa, tunapaswa kuacha kuwasha mafuta. Magari ya abiria ni kati ya watumiaji kubwa na pia ni moja rahisi kubadilisha. Mafuta ya kinyesi hayawezi kusindika tena au kufanywa safi. Kwa kulinganisha, umeme unaendelea kuwa safi wakati wote, nchini New Zealand na kwenye viwanda vya gari. Related Content Ikiwa utabadilika kwa EV sasa, athari zako ni kubwa zaidi kuliko kupunguzwa kwako tu kwa uzalishaji. Wachunguzi wa mapema ni muhimu. EVs zaidi tunazo, watu zaidi wataizoea, itakuwa rahisi kukabiliana na maelezo mabaya, na shinikizo zaidi litakuwa kwa kuwafaa. Watu wengi wamegundua kuwa kubadili gari la umeme kumekuwa kuwezesha na mabati waanze kuchukua hatua zingine kwa hali ya hewa. Kuhusu Mwandishi Robert McLachlan, Profesa katika Matumizi ya Hisabati, Chuo Kikuu cha Massey Vitabu kuhusiana Upungufu: Mpango wa Kisiasa Zaidi Uliopendekezwa Kugeuza Upepo wa Ulimwenguni na Paul Hawken na Tom Steyer Katika uso wa hofu na upendeleo usioenea, muungano wa kimataifa wa watafiti, wataalamu, na wanasayansi wamekusanyika ili kutoa suluhisho la ufumbuzi wa hali ya hewa na kweli. Mbinu na mazoea mia moja huelezea hapa-baadhi yanajulikana; baadhi huenda haujawahi kusikia. Zinatoka kutoka nishati safi ili kuwaelimisha wasichana katika nchi za kipato cha chini kwa njia za matumizi ya ardhi ambayo huvuta kaboni nje ya hewa. Ufumbuzi unawepo, ni wa kiuchumi unaofaa, na jamii duniani kote sasa huwafanya kwa ustadi na uamuzi. Inapatikana kwenye Amazon Kuunda Solutions ya Hali ya Hewa: Mwongozo wa Sera kwa Nishati ya Chini ya Carbon na Hal Harvey, Robbie Orvis, Jeffrey Rissman Pamoja na athari za mabadiliko ya hali ya hewa tayari juu yetu, hitaji la kupunguza uzalishaji wa gesi chafu sio tu chini ya haraka. Ni changamoto kubwa, lakini teknolojia na mikakati ya kuikabili ipo leo. Seti ndogo ya sera za nishati, iliyoundwa na kutekelezwa vizuri, inaweza kutuweka kwenye njia ya maisha ya chini ya kaboni. Mifumo ya nishati ni kubwa na ngumu, kwa hivyo sera ya nishati lazima izingatiwe na gharama nafuu. Mbinu za ukubwa mmoja hazitakamilisha kazi. Watunga sera wanahitaji rasilimali iliyo wazi, kamili inayoelezea sera za nishati ambazo zitakuwa na athari kubwa kwa hali yetu ya hewa ya hali ya hewa, na inaelezea jinsi ya kuunda sera hizi vizuri. Inapatikana kwenye Amazon Hii Mabadiliko Kila kitu: Capitalism vs Hali ya Hewa na Naomi Klein In Hii Mabadiliko Kila kitu Naomi Klein anasema kwamba mabadiliko ya hali ya hewa sio suala jingine tu linalofaa kati ya kodi na huduma za afya. Ni alarm ambayo inatuita sisi kurekebisha mfumo wa kiuchumi ambao tayari hutuvunja kwa njia nyingi. Klein hujenga jinsi ya kupunguza kasi ya uzalishaji wetu wa chafu ni fursa nzuri zaidi kwa wakati huo huo kupunguza kupunguza kutofautiana, kufikiri tena demokrasia zetu zilizovunjika, na kujenga upya uchumi wetu wa ndani. Anafunua kukata tamaa ya kiitikadi ya wasioko wa mabadiliko ya hali ya hewa, udanganyifu wa Kiislamu wa wasiokuwa geoengineers, na kushindwa kwa kutisha kwa mipango mingi ya kijani. Na anaonyesha kwa nini soko haliwezi-na haiwezi kurekebisha mgogoro wa hali ya hewa lakini badala yake hufanya mambo kuwa mabaya zaidi, na njia za uchimbaji wa uharibifu wa mazingira, na uhamasishaji mkubwa wa maafa. Inapatikana kwenye Amazon Kutoka kwa Mchapishaji: Ununuzi kwenye Amazon huenda ukapoteza gharama ya kukuleta InnerSelf.comelf.com, MightyNatural.com, na Hali ya hewaImpactNews.com bila gharama na bila watangazaji ambao wanafuatilia tabia zako za kuvinjari. Hata kama wewe bonyeza kiungo lakini usiupe bidhaa hizi zilizochaguliwa, kitu kingine chochote unachotumia katika ziara hiyo hiyo kwenye Amazon hutupa tume ndogo. Hakuna gharama ya ziada kwako, kwa hiyo tafadhali shiriki katika jitihada. Unaweza pia tumia kiungo hiki kutumia Amazon wakati wowote ili uweze kusaidia kusaidia jitihada zetu.
AIBU: MWANAUME AFUMANIWA NA MKE WA MTU GESTI AKIWA UCHI WA MNYAMA Habari kamili zilizonaswa na waandishi wetu ni kwamba mwanaume aliyetajwa kwa jina la Baba Asha alidai kumfumania rafiki yake wa karibu, Baba Tony akiwa gesti na mkewe (jina linahifadhiwa), tayari kwa kuvunja naye amri ya sita. Tukio hilo la aibu ya milenia lilijiri katika nyumba ya kulala wageni ya Pumzika iliyopo maeneo ya Msimbazi Center, jijini Dar ambapo mara baada ya kumtia mikononi ‘mwizi’ wake ambaye mbali na urafiki pia ni majirani, ndipo akamchakaza sura vibaya na kumsababishia kuvuja damu. Habari za kina zilidai kuwa mke wa Baba Asha alikuwa bafuni akioga, mara ukaingia ujumbe mfupi ‘sms’ kwenye simu yake ya kiganjani, ndipo mumewe akachukua kilongalonga hicho na kuufungua ujumbe huo. Ilidaiwa kuwa mume alitaharuki kukutana na ujumbe uliokuwa ukimtaka mkewe kwenda Pumzika Guest House kukutana na jamaa huyo. Iliendelea kudaiwa kuwa Baba Asha hakuyaamini macho yake, akausoma tena ule ujumbe na ndipo akagundua sms nyingine nyingi, vocha na fedha za mtandao alizokuwa akitumiwa mke wake kutoka kwa Baba Tony. Chanzo kilidadavua kuwa baada ya kugundua mchezo mzima, Baba Asha akatulia na kumsubiri mkewe atoke bafuni ili kuliweka sawa suala hilo. Ilifahamika kuwa mke aliporudi kutoka kuoga, mume hakuonesha dalili zozote, alichokifanya ni kumwita mkewe na kumwambia kuwa achague moja, kufungasha kilicho chake, aondoke nyumbani kwake au amwekee jamaa mtego anaswe ili ajue mke wa mtu ni sumu. Jibu lilikuwa rahisi kwani alikubali kuweka mtego ili amnase mbaya wake ndipo atamsamehe. Ilifahamika kuwa ilipita wiki moja kimyakimya kwani mara ya kwanza Baba Tony alichezwa na machale, alipofika kwenye gesti hiyo na kumwona mtu anayemfahamu, alimwambia yule mwanamke waahirishe. Habari za uhakika ni kwamba wiki iliyopita, Baba Tony aliingia kwenye kumi nane, akajaa mzimamzima kwenye mtego wa fumanizi uliowekwa na Baba Asha na mkewe. Mara baada ya kuona mwanaume mmoja (Baba Asha) akiwa na askari kwenye gesti hiyo akihaha, king’ora kililia kwenye akili ya mwandishi wetu ambaye hakufanya makosa, akamfuata mfumaniaji kwa nyuma hadi aliporuhusiwa kumfuata mkewe chumbani. Chumbani mtiti ulikuwa mkubwa ambapo Baba Tony alikutwa kama alivyozaliwa huku mke wa mtu akiwa bado hajavua na ndipo mtiti ukaanza. Katika purukushani, Baba Asha alimpa kibano ‘mwizi’ wake hadi akamchana usoni na kumng’oa meno ya mbele, jambo lililosababisha kutokwa na damu nyingi. Kama hiyo haitoshi, ili kuthibitisha kuwa mke wa mtu ni sumu, Baba Asha alimchoma jamaa huyo bisibisi kwenye makalio hadi askari alipoingilia kati na kumchukua mtuhumiwa kisha akamtoa nje. Wakiwa nje ya gesti hiyo, Baba Tony aliomba kujisafisha damu na baada ya hapo alipigwa pingu tayari kwa kupelekwa Kituo cha Polisi, Pangani, Ilala...
•Mwanamume mmoja na mwanawe ambao waliwatupia kinyesi maafisa wa polisi wamekiri mashtaka ya kuzuia kukamatwa. •Baada ya kukiri mashtaka , hakimu aliagiza warudishwe rumande hadi Oktoba 24 wakati kesi dhidi yao itakapoendelea. Mwanamume mmoja na mwanawe ambao waliwatupia kinyesi cha binadamu maafisa wawili wa polisi nyumbani kwao katika mtaa wa Chokaa, eneo la Njiru, kaunti ya Nairobi wamekiri mashtaka ya kuzuia kukamatwa. Kimathi mwenye umri wa miaka 57 na mwanawe Eric Jamal ,28, ambao pia wanaripotiwa kuwamwagia maji maafisa hao walikuwa wameshtakiwa kwa kuwazuia kutekeleza wajibu wao wakati walipofika nyumbani kwao mnamo Oktoba 8 kuwakamata kwa madai ya kuhifadhi bangi. Wawili hao ambao walifikishwa mbele ya Hakimu Mkuu wa Mahakama ya Makadara, Irene Gichobi siku ya Alhamisi asubuhi pia walishtakiwa kwa ulanguzi wa dawa za kulevya baada ya gramu 280 za bangi inayokadiriwa kuwa ya thamani ya shilingi 8,400 kupatikana nyumbani mwao. Mahakama ilisikia kwamba maafisa hao wa polisi walikuwa wamevamia nyumba ya washukiwa hao baada ya kupokea ripoti za kijasusi kutoka kwa umma kwamba Jamal alikuwa akiuza bangi nyumbani kwake. Walipofika, walimkuta Jamal akiwa amelala, misokoto miwili ya bangi ikiwa kwenye meza yake na wakataka kumkamata. Ni wakati huo ambapo mzee Kimathi aliingia ndani ya nyumba na kumshika afisa mmoja na kumfanya afiatue risasi hewani ili kumtishia. Kimathi hata hivyo aliondoka na kuchota kinyesi na maji ambazo aliwarushia maafisa hao huku akichochea umma dhidi yao. Washukiwa hao wawili hata hivyo walikamatwa na kusindikizwa hadi kituo cha polisi baada ya bangi kupatikana chini ya kitanda chao. Baada ya kukiri mashtaka dhidi yao, hakimu Gichobi aliagiza warudishwe rumande hadi Oktoba 24 wakati kesi dhidi yao itakapoendelea.
End of preview. Expand in Data Studio

swahili-language-exposure

Dataset Summary

swahili-language-exposure is a large-scale Swahili (Kiswahili) corpus designed for language exposure and continued pretraining of language models.

Unlike instruction-tuning datasets, this dataset focuses on exposing models to natural Swahili usage across conversations, explanations, narratives, technical discussions, and mixed-domain text. The goal is to improve fluency, vocabulary coverage, syntax, and cultural grounding in Swahili.

This dataset is developed and maintained by NileAGI.


Dataset Purpose

This dataset is intended for:

  • Continued pretraining (DAPT / CPT)
  • Language exposure before instruction tuning
  • Improving Swahili fluency and coherence
  • Reducing English dominance in multilingual models
  • Low-resource language research

It is not optimized for instruction-following by default.


Dataset Format

The dataset is provided in JSON Lines (.jsonl) format.

Each line contains a single Swahili text sample, without enforced instruction–response structure:

{
  "text": "Maudhui ya asili kwa Kiswahili yaliyoandikwa au kuzungumzwa katika mazingira halisi."
}

Example

{"text":"Nilikuwa najifunza kuhusu mitandao ya neva na jinsi inavyotumika katika utambuzi wa picha, lakini changamoto kubwa ilikuwa kupata data iliyosawazika."}

Supported Tasks

  • Language modeling
  • Text generation
  • Conversational fluency improvement
  • Vocabulary and grammar learning
  • Domain adaptation for Swahili
  • Foundation training for downstream fine-tuning

Language

  • Swahili (Kiswahili) — primary language (sw)
  • Natural code-switching with English technical terms may appear
  • Informal and semi-formal registers are both present

Data Sources

The dataset was curated from:

  • Educational explanations and mentoring sessions
  • Informal dialogues and narrative text
  • Mixed-domain Swahili content reflecting real usage

All data has been anonymized and cleaned.


Data Preprocessing

The following preprocessing steps were applied:

  • Filtering of extremely short or low-quality text
  • Normalization of whitespace and encoding
  • Preservation of natural language flow and code-switching

No artificial instruction templates were added.


Intended Use

Primary Use

  • Continued pretraining (CPT/DAPT) for Swahili
  • Language exposure before instruction tuning
  • Improving multilingual model balance

Secondary Use

  • Linguistic analysis
  • Swahili NLP benchmarking
  • Data augmentation for low-resource research

Out-of-Scope Uses

This dataset is not intended for:

  • Direct instruction fine-tuning (see companion instruct dataset)
  • Preference learning or RLHF
  • Surveillance, profiling, or harmful content generation

Biases and Limitations

  • Informal conversational Swahili is more common than formal prose
  • Technical domains may be overrepresented
  • Regional phrasing reflects contributor backgrounds

Users should consider complementary corpora for broader coverage.


Ethical Considerations

  • Personally identifiable information has been removed or masked
  • No sensitive personal attributes are intentionally included
  • Released strictly for responsible AI research

License

This dataset is released under the MIT License.


Citation

If you use this dataset, please cite:

@dataset{swahili_language_exposure,
  title = {swahili-language-exposure: A Swahili Language Exposure Dataset},
  author = {NileAGI},
  year = {2026},
  publisher = {Hugging Face}
}
Downloads last month
25