text
stringlengths
43
182k
timestamp
timestamp[s]
url
stringlengths
16
3.37k
ziro99blog spika makinda ampasha nyalandu wizara itamshinda spika makinda ampasha nyalandu wizara itamshinda spika wa bunge anne makinda ameshauri waziri wa maliasili na utalii lazaro nyalandu kuwa kitu kimoja na watendaji wake vinginevyo wizara itamshinda ushauri huo aliutoa baada ya bunge kupitisha bajeti ya wizara h...
2017-08-24T05:02:29
http://ziro99.blogspot.com/2014/05/spika-makinda-ampasha-nyalandu-wizara.html
mwenyekiti wa bavicha atoa onyo kali kwa viongozi wa serikali akiwemo mkuu wa wilaya ya igunga jamiiforums mwenyekiti wa bavicha atoa onyo kali kwa viongozi wa serikali akiwemo mkuu wa wilaya ya igunga akiongea na waandishi wa habari jana heche ametoa tahadhari kwa polisi na wakuu wa mkoa na mkuu wa wilaya ya igunga k...
2018-12-14T13:40:08
https://www.jamiiforums.com/threads/mwenyekiti-wa-bavicha-atoa-onyo-kali-kwa-viongozi-wa-serikali-akiwemo-mkuu-wa-wilaya-ya-igunga.173555/
mchezo jake na neytiri online kucheza kwa huru mchezo jake na neytiri unachezwa 6147 kucheza mchezo jake na neytiri online maelezo ya mchezo jake na neytiri jozi hii ni muhimu sana kwamba wewe baada ya kuangalia mazingira na wajue kama wewe kukutana na mtu kwa kupeleleza kucheza mchezo jake na neytiri online kiufundi ...
2018-06-24T13:10:59
http://sw.itsmygame.org/999969380/jake-and-neytiri_online-game.html
walimu wanawake mkoani katavi wacharuka waiomba serikali kuheshimu sheria ya ndoa ~ yuvinusm » walimu wanawake mkoani katavi wacharuka waiomba serikali kuheshimu sheria ya ndoa walimu wanawake mkoani katavi wacharuka waiomba serikali kuheshimu sheria ya ndoa wanawake wilayani mpanda mkoa wa katavi wameiomba serikali ku...
2017-01-19T13:01:41
http://www.yuvinusmblog.com/2016/05/walimu-wanawake-mkoani-katavi-wacharuka.html
mtoto wa kitaa masumbwi yaliyofanyika tandale bondia kalama nyilawila kushoto akipambana na athumani pendeza wakati wa mpambano uliofanyika katika ukumbi wa ccm tandale dar es salaam jana nyilawila alishinda kwa ko raundi ya tatu bondia hassan mandula kushoto akimlushia makonde james martini wakati wa mpambano wao ulio...
2018-04-19T10:00:07
http://mtotowakitaa.blogspot.com/2013/01/masumbwi-yaliyofanyika-tandale_29.html
mhe nyalandu tutafakari tunafanyaje kuwalinda wanyamapori tabianchi mhe nyalandu tutafakari tunafanyaje kuwalinda wanyamapori waziri wa maliasili na utalii mhe lazaro nyalandu amesema wanyamapori ni moja kati ya rasilimali muhimu inayotoa mchango mkubwa kiuchu 1734 amesema kwamba hadi kufikia sasa ni mataifa machache ...
2020-05-30T16:15:32
https://tabianchi.blogspot.com/2015/03/mhe-nyalandu-tutafakari-tunafanyaje.html
rayon izuba rirashe nyuma yuko yitabiriye irushanwa ryateguwe na as kigali ikaba iya 3 rayon sports yemeje ko yisubiyeho ikongeramo amaraso mashya ikagura abandi bakinnyi umutoza wa rayon sports masoudi djuma atangaza ko hari imyanya babonye ko ifite ikibazo nyuma yo gukina iri rushanwa bakaba bakongeramo abakinnyi mb...
2017-11-25T03:53:10
http://izubarirashe.rw/tag/rayon/
kubeba mkakati wa kuenea chaguo kadi 2019 kubeba mkakati wa kuenea chaguo 201908 20190215 030009 mkakati huu wa ufafanuzi wa bure kitu kama utaitambua wakati unapoiona hutafuta hivyo jumla ya gharama kuenea zaidi ya muda itakuwa takribani sawa na bei kuenea kwa injili pamoja na kuokolewa kwa watu kunategemea ufahamu...
2019-08-17T21:52:57
https://natur-motor.com/2019-02-15-030009/19c1a2cc5b-kubeba-mkakati-wa-kuenea-chaguo-2019-02-15-030009/
mbunge ahoji nafasi ya zanzibar katika jumuiya za kimataifa zanzibar24 mbunge ahoji nafasi ya zanzibar katika jumuiya za kimataifa naibu wa mambo ya nje ushirikiano wa afrika mashariki kikanda na kimataifadkt susan kolimba amesema kuwa serikali imekua ikihakikisha serikali ya mapinduzi ya zanzibar inashiriki kikamilif...
2018-04-20T10:48:00
http://zanzibar24.co.tz/2018/04/12/mbunge-ahoji-nafasi-ya-zanzibar-katika-jumuiya-za-kimataifa/
ukatikati wa matumizi na kujizuia na machafu 115153am uislamu kama dini na mfumo sahihi na kamili wa maisha kwa wanaadamu wote katika jumla ya mafundisho yake umekusanya sehemu ya maongozi/sera zinazo fungamana na maisha ya waislamu kwa khususi na watu wote kwa uenevu maongozi ambayo lengo lake ni kuratibu mambo yao ya...
2020-03-29T15:51:54
http://uislamu.org/index.php/en/2225-ukatikati-wa-matumizi-na-kujizuia-na-machafu
magufuli serikali haitatoa chakula cha bure kwa wenye njaa | mpekuzi magufuli serikali haitatoa chakula cha bure kwa wenye njaa amepokea kero za wananchi katika maeneo hayo nakuwataka kufanya kazi kwa bidii ikiwemo kuzalisha mazao ya chakula cha kutosha mhe rais magufuli ataendelea na ziara yake kesho tarehe 03 machi 2...
2018-02-25T13:38:17
http://www.mpekuzihuru.com/2017/03/magufuli-serikali-haitatoa-chakula-cha.html
air kusimamishwa compressor bellow air spring hizo zitakuwa air spring tfd karibu kuhifadhi yetu s henzhen tfd viwanda co ltd ni kampuni ya viwanda maalumu kwa maendeleo na utafiti na masoko ya huduma ya air hewa za vibration kudhibiti za pamoja na teknolojia ya juu sana kutumika katika biashara magari ya abiria na ma...
2018-11-20T00:05:46
http://www.airspring-factory.com/sw/
hili ndilo jambo waliloombwa uongozi wa yanga kuiga kutoka simba edusportstz sports hili ndilo jambo waliloombwa uongozi wa yanga kuiga kutoka simba hili ndilo jambo waliloombwa uongozi wa yanga kuiga kutoka simba by farumedia on 23 may in sports jengo la club ya yanga
2019-04-19T03:01:15
https://www.edusportstz.com/2018/05/yanga.html
bale anaponyoosha msuli mazoezini real madrid bin zubeiry sports online bale anaponyoosha msuli mazoezini real madrid bin zubeiry sports online mwanzo > habari za ulaya > bale anaponyoosha msuli mazoezini real madrid bale anaponyoosha msuli mazoezini real madrid winga wa real madrid gareth bale akinyoosha msuli kwe...
2018-02-23T14:35:57
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/07/bale-anaponyoosha-msuli-mazoezini-real.html
umahiri (isomeke ujinga) wa wapiga picha wetu | jamiiforums | the home of great thinkers umahiri (isomeke ujinga) wa wapiga picha wetu discussion in 'jamii photos' started by bongolander dec 31 2011 yet kuna mtu ikulu anajiita ofisa wa habari wa ikulu tembelaeawaathirika(2)jpg mkuu sijakuelewa kabisa it is not a salut...
2017-04-24T06:02:54
https://www.jamiiforums.com/threads/umahiri-isomeke-ujinga-wa-wapiga-picha-wetu.207708/
video natasha lisimo (kadjanito) nifanye nini | bongo5com home / entertainment / video natasha lisimo (kadjanito) nifanye nini video natasha lisimo (kadjanito) nifanye nini by rama nnauye on january 11 2017 930 pm share msanii aliye fahamika kama kadjanito lakini sasahivi anajiita natasha lisimo ambaye alishawahi k...
2017-03-29T15:04:59
http://www.bongo5.com/video-natasha-lisimo-kadjanito-nifanye-nini-01-2017/
what a joker mattaka ang'oka atcajivunia nembo mpyandege zilizopo jesifuri ~ kulikoni ughaibuni what a joker mattaka ang'oka atcajivunia nembo mpyandege zilizopo jesifuri david mattaka uhuni wa wateule wa kikwete mwangalie kwanzahivi abiria watasafiri kwenye hilo lijinembo lisilo na mvutoau anamaanisha wapande kwenye m...
2019-10-22T02:38:19
http://www.chahali.com/2011/05/what-joker-mattaka-angoka-atcajivunia.html?showComment=1306195578106
producer elly da bway aamua kuimba baada ya kudai nyimbo nyingi sokoni zinafanana (video) bongo5com producer elly da bway aamua kuimba baada ya kudai nyimbo nyingi sokoni zinafanana (video) by salum kaorata | may 17 2017 802 am mtayarishaji wa muziki nchini elly da bway kutoka studio za home town records amefunguka s...
2017-10-20T09:24:07
http://bongo5.com/producer-elly-da-bway-aamua-kuimba-baada-ya-kudai-nyimbo-nyingi-sokoni-zinafanana-video-05-2017/
mtoto wa kitaa basata yakunwa na ikulu kupambwa kazi za wasanii wa ndani basata yakunwa na ikulu kupambwa kazi za wasanii wa ndani katibu mtendaji wa basata ghonche materego akiongea na wadau wa sanaa za uchoraji kutoka nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki na nchi za marekani na sweden (hawako pichani) wakati ...
2018-04-22T07:02:50
http://mtotowakitaa.blogspot.com/2011/11/basata-yakunwa-na-ikulu-kupambwa-kazi.html
cellsat ya dejero inachukua uzalishaji wa remote wa kundi la dunia kwa ngazi inayofuata nab onyesha habari kwa broadcast beat broadcaster rasmi ya nab show nab onyesha live nyumbani » news » cellsat ya dejero inachukua uzalishaji wa remote wa kundi la ulimwenguni kwa kiwango chingine cellsat ya dejero inachukua uzali...
2019-08-23T05:11:41
https://sw.broadcastbeat.com/dejero-cellsat-takes-world-racing-groups-remote-production-to-the-next-level/
man general traders & tito lubricants in dar es salaam | zoomtanzania mangeneral traders ni suluhisho lako la bearings za viwandani na kwenye magari (ie land cruiser benz scania) tito lubricants tuna aina zote bora za vilainishi tuna engine oil break fuel plugs oil seal fan belt grease filter nk pia tunafanya service ...
2018-10-23T07:22:27
https://www.zoomtanzania.com/biz/man-general-traders-tito-lubricants
mchanga wa nyekundu wa china zabibu nyekundu za globe mazao safi ya red globe mtengenezaji na wasambazaji maelezozabibu nyekunduzabibu za red globemazabibu safi ya red globezabibu za mwekundu home > bidhaa > nyekundu ya grape > grape nyekundu 24mm28mm 65kg / 7kg makundi ya bidhaa ya grape nyekundu 24mm28mm 65kg / 7kg ...
2019-10-20T11:15:23
http://sw.fuyuanfv.com/red-grape-24mm-28mm-6-5kg-7kg/
papa wekezeni katika elimu kwa ajili ya vijana waafrika | vatican news nia ya maombi ya sala ya papa kwa mwezi septemba kwa njia ya video papa wekezeni katika elimu kwa ajili ya vijana waafrika kuwekeza katika elimu kwa ajili ya vijana waafrika ambao ni utajiri mkubwa zaidi wa bara hayo ndiyo maombi ya papa francisko ...
2019-01-19T13:17:46
https://www.vaticannews.va/sw/pope/news/2018-09/papa-wekezeni-katika-elimu-kwa-ajili-ya-vijana-waafrika.html
tafadhali free download or read tafadhali online neighbourhood services this leaflet gives information on how tafadhali asiliana na timu ya nyumba kwa nambari 01908 253481 au 01908 253427 swahili warqadani waxay warbixin kaa siinaysaa sidii aad uga heli lahayd milton 01908 siinaysaa warbixin sidii waxay useful words a...
2020-07-07T11:46:21
http://www.sputtr.com/tafadhali
je uskochi 'imeingia mkenge' kukataa uhuru wa taifa hilo ~ kulikoni ughaibuni kulikoni ughaibuni toggle navigation je uskochi 'imeingia mkenge' kukataa uhuru wa taifa hilo kura ya kuamua hatma ya uskochi kama ibaki kuwa sehemu ya united kingdom au iwe nchi huru imekwisha wak asilimia 55 ya wapigakura kusema hapana na 4...
2017-07-20T16:26:17
http://www.chahali.com/2014/09/je-uskochi-imeingia-mkenge-kukataa.html
microsoft yathibitisha kuinunua github kwa dola billioni 75 | mtaawasaba baada ya tetesi kuvuma kwa majuma kadhaa leo microsoft wamethibitisha inainunua github kwa gharama ya dola za kimarekani bilioni 75 ripoti zilizoanza kuonekana juma lililopita zilisema microsoft iko kwenye mazungumzo ya kuinunua maktaba hii kubwa ...
2019-07-21T18:22:02
https://mtaawasaba.com/habari/microsoft-yathibitisha-kuinunua-github-kwa-dola-billioni-7-5/
dalili ya maji kwenye sayari ya mars huenda ni mtiririko wa mchanga tu china radio international dalili ya maji kwenye sayari ya mars huenda ni mtiririko wa mchanga tu (gmt+0800) 20171205 154415 njia muhimu ya kutafuta viumbe kwenye sayari ya mars ni kutafuta maji ushahidi uliwahi kuwafanya wanasayansi kuwa na mataraj...
2019-05-22T11:56:36
http://swahili.cri.cn/141/2017/12/05/1s169932.htm
waathirika wa ben ali wazungumzia hadharani masaibu yaliyowakuta afrika rfi waathirika wa ben ali wazungumzia hadharani masaibu yaliyowakuta na rfi imechapishwa 17112016 imehaririwa 17112016 saa 1348 raia wa tunisia washerehekea maadhimisho ya mwaka mmoja wa mapinduzi yaliyomutimua mamlakani ben ali februari 14 2011 ...
2018-03-23T01:17:49
http://sw.rfi.fr/afrika/20161117-waathirika-wa-ben-ali-wazungumzia-hadharani-masaibu-yaliyowakuta
waziri mkuu amuwakilisha raisi dr john magufuli katika kumbu kumbu ya miaka 25 ya mauji ya kimbari rwanda | mpekuzi waziri mkuu amuwakilisha raisi dr john magufuli katika kumbu kumbu ya miaka 25 ya mauji ya kimbari rwanda waziri mkuu kassim majaliwa amewataka watanzania kudumisha amani umoja na mshikamano ambavyo ni tu...
2019-07-22T16:26:53
http://www.mpekuzihuru.com/2019/04/waziri-mkuu-amuwakilisha-raisi-dr-john.html
hapa ndio kila kitu nadir haroub niyonzima ameacha pengo yanga nadir haroub niyonzima ameacha pengo yanga nahodha wa yanga nadir haroub cannavaro amesema kumkosa kiungo haruna niyonzima kwenye kikosi chao ni pengo kubwa ambalo litachukua muda mrefu ili kuweza kuliziba cannavaro aliyebakiza siku chachhe kurejea dimbani ...
2017-07-27T02:51:07
http://heavytalio.blogspot.com/2016/01/nadir-haroub-niyonzima-ameacha-pengo.html
baghdad mauaji yameongezeka maradufu mjini baghdad | habari za ulimwengu | dw | 26082007 baghdad mauaji yameongezeka maradufu mjini baghdad ongezeko la majeshi ya marekani nchini iraq linasemekana kuwa limepunguza ghasia mjini baghdad kutoka kiwango cha juu lakini idadi ya watu wanaouwawa kutokana na mashambulizi ya k...
2017-09-25T05:01:20
http://www.dw.com/sw/baghdad-mauaji-yameongezeka-maradufu-mjini-baghdad/a-2904199
wabunge nchini zimbabwe waanza kuapishwa leo | wafanyakazi wa idhaa ya kiswahili | dw | 25082008 wabunge nchini zimbabwe waanza kuapishwa leo wabunge nchini zimbabwe wameanza kuapishwa huku wabunge wawili wa upinzani wakikamatwa hali ambayo imelalamikiwa kwamba ni hila ya kupunguza idadi yao bungeni katika kipindi amba...
2018-09-19T09:52:01
https://www.dw.com/sw/wabunge-nchini-zimbabwe-waanza-kuapishwa-leo/a-3591717
zanzibar ni kwetu sekta binafsi zanzibar yajadili mikakati madhubuti ya kufanikisha wiki ya tanzania nchini kenya sekta binafsi zanzibar yajadili mikakati madhubuti ya kufanikisha wiki ya tanzania nchini kenya
2018-08-14T18:03:49
http://zanzibarnikwetu.blogspot.com/2018/04/sekta-binafsi-zanzibar-yajadili.html
mnenguaji mkongwe aisha madinda akiwajibika jukwaani usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa bilicanaz nikiwa na swahiba rey kigosi tukila pouzzzz nikiwa na rafiki yangu kutoka thailand chaichai haya ni majembe yangu kushoto ni chikoka na kulia ni nteze posted by kinyaiyas entertainment at 512 am
2018-04-21T11:48:04
http://kinyaiyas.blogspot.com/2011/03/mnenguaji-mkongwe-aisha-madinda.html
blackwell azinduka siku tisa baada ya kipigo cha 'nusu afe' ulingoni bin zubeiry sports online blackwell azinduka siku tisa baada ya kipigo cha 'nusu afe' ulingoni bin zubeiry sports online mwanzo > ndondi > blackwell azinduka siku tisa baada ya kipigo cha 'nusu afe' ulingoni blackwell azinduka siku tisa baada ya k...
2018-04-20T20:17:53
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/04/blackwell-azinduka-siku-tisa-baada-ya.html
na rfi imechapishwa 07082018 imehaririwa 07082018 saa 1449 rais kenyatta kuwa kiongozi wa tatu marekani yapongeza hatua ya kenyatta wafuasi wa upinzani nchini kenya
2018-12-10T10:51:38
http://sw.rfi.fr/eac/20180807-shambulizi-dhidi-ya-ubalozi-marekani-kenya-na-tanzania-waadhimisha-kumbukumbu-ya-miaka-
waziri kangi lugola atembelea kiwanda cha magereza ukonga jijini dar habari na matukio home habari habari na matukio habari picha habari za kijamii waziri kangi lugola atembelea kiwanda cha magereza ukonga jijini dar kajunason at july 11 2018 habari habari na matukio habari picha habari za kijamii waziri wa mambo ya n...
2018-12-16T20:18:50
http://www.kajunason.com/2018/07/waziri-kangi-lugola-atembelea-kiwanda.html
angalia usajili wote wa klabu za england kabla kufungwa leo mwanaspoti | presstz your number 1 source of aggregated online content angalia usajili wote wa klabu za england kabla kufungwa leo by mwanaspoti / posted thursday 8th august 2019 manchester united ni miongoni mwa timu zinazotarajia kufanya usajili kwenye sik...
2019-09-17T08:44:18
http://presstz.net/angalia-usajili-wote-wa-klabu-za-england-kabla-kufungwa-leo-53312502
majani ya matango yanageuka matangazo ya njano matibabu ya watu dhidi ya koga ya poda tatizo la unyevu kupita kiasi na ufumbuzi wake jibu la kwanza kwa swali kwa nini majani yanageuka manjano kwenye matango kutakuwa na ukosefu wa unyevu kila mtu anahitaji maji hasa mimea ya matunda ambayo wakati uhaba wa maji yanaanza ...
2019-09-18T23:48:27
https://4udak.ru/sw/gardening/leaves-of-cucumbers-turn-yellow-spots-folk-remedies-against-powdery-mildew/
un kupiga kura dhidi ya zana za kemikali syria | matukio ya kisiasa | dw | 24022017 un kupiga kura dhidi ya zana za kemikali syria mjumbe wa umoja wa mataifa kuhusu syria staffan de mistura ameyataka makundi yanayotofautiana katika mazungumzo ya taifa hilo linalokumbwa na mzozo watafute mwafaka utakaopelekea kufikia ki...
2018-12-11T07:35:20
https://www.dw.com/sw/un-kupiga-kura-dhidi-ya-zana-za-kemikali-syria/a-37701461
polisi ujerumani wachunguza kisa cha lori lililoibiwa | matukio ya kisiasa | dw | 08102019 polisi ujerumani wachunguza kisa cha lori lililoibiwa polisi ujerumani inamshikilia raia wa syria kwa tuhuma za kuiba lori alilolitumia kuyagonga magari yaliyokuwa yamesimama kwenye taa za barabarani katika mji wa limburg ulioko ...
2019-10-17T10:27:29
https://www.dw.com/sw/polisi-ujerumani-wachunguza-kisa-cha-lori-lililoibiwa/a-50740620
wajibu wetu ni nini | jamiiforums | the home of great thinkers wajibu wetu ni nini discussion in 'habari na hoja mchanganyiko' started by amoeba jun 16 2011 wakuu wanajf binafsi nimekuwa hapa jf kwa muda mrefu sasa shukrani kwa maxence na wote walio nyuma ya jf jukwaa hili sasa ni kutaniko kuu la vijana wazee wasomi wa...
2016-10-22T18:01:38
http://www.jamiiforums.com/threads/wajibu-wetu-ni-nini.146319/
jk azindua nyumba za gharama nafuu ~ uhuru online ' if(imglength>=1) { imgtag = ' na sophia wakati mkinga rais jakaya kikwete amefungua mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu wilayani mkinga ujenzi ambao umegharimu sh bilioni 14 hadi kukamilika kikwete alifungua mradi huo juzi katika ziara yake ya kikazi mkoani hum...
2018-02-23T11:52:41
http://uhurunewspaper.blogspot.com/2014/07/jk-azindua-nyumba-za-gharama-nafuu.html
chuo cha uongozi wa kiafrika (ala) 2019 kwa vijana vijana afrika (mpango wa chuo kikuu cha miaka miwili) msaada wa kifedha unaopatikana | | fursa kwa waafrika nyumbani piga simu kwa maombi chuo cha uongozi wa kiafrika (ala) 2019 kwa viongozi wa vijana kote afrika (chuo kikuu cha miaka miwili kabla chuo cha uongozi wa...
2019-02-21T08:03:08
https://sw.opportunitiesforafricans.com/african-leadership-academy-ala-2019-for-young-leaders/
john mnyika waziri wa ardhi nyumba na makazi profanna tibaijuka katika kata ya sinza kukagua uuzwaji maeneo ya wazi posted by john mnyika at 819 am duuu tugepata mawaziri kama hawa 10nchi ingekuwa tambarare miji inakua kwa kasi sana wakati watendaji wa wizara wamelala na wenye meno wanashindwa kufanya maamuzi maeneo me...
2017-08-23T19:39:15
http://mnyika.blogspot.com/2011/11/waziri-wa-ardhi-nyumba-na-makazi.html
michuzi blog rais dkt magufuli afungua miradi minne ya maendeleo na kuhutubia wananchi ' if(imglength>=1) { imgtag = ' rais dkt magufuli afungua miradi minne ya maendeleo na kuhutubia wananchi tuesday july 25 2017 ~ copyright michuzi blog ikulu ~ mtumie rafiki yako maoni 0
2017-12-15T23:30:11
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/07/rais-dkt-magufuli-afungua-miradi-minne.html
serikali kurudisha zao la shahiri na kutatua adha katika zao la zabibu | mpekuzi serikali kurudisha zao la shahiri na kutatua adha katika zao la zabibu serikali imekutana na wadau wa zao la shahiri na zabibu kwa lengo la kurejesha zao la shahiri na kutatua changamoto zilizopo katika sekta ndogo ya zabibu ili kuweza kuk...
2020-08-05T16:44:08
https://www.mpekuzihuru.com/2020/06/serikali-kurudisha-zao-la-shahiri-na.html
waamuzi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za mafunzo ya ukocha | saluti5 home » soka » waamuzi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za mafunzo ya ukocha waamuzi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za mafunzo ya ukocha waamuzi wa soka wa kike nchini wamehimizwa kujitokeza kwa wingi pindi inapotokea fursa ya mafunzo ...
2017-10-24T11:22:46
http://www.saluti5.com/2017/05/waamuzi-wanawake-watakiwa-kuchangamkia.html