query
stringlengths
17
98
positive
listlengths
1
10
negative
listlengths
1
16
cluster
int64
0
60
Bandari kubwa nchini Kenya iko wapi?
[ "Bandari ya Kilindini\nBandari ya Kilindini ni hori kubwa asili ya maji yenye urefu kwenda chini unaoendelea barani kutoka Mombasa, Kenya. Inatumika kama bandari ya Mombasa, na inayo uendelezaji mikoani hadi Uganda na Sudan. Bandari ya Kilindini ni sehemu kuu ya Bandari ya Mombasa, bandari ya kimataifa ya pekee nch...
[ "Busia, Uganda\nMji huu, pamoja na mji dada yake wa Busia, Kenya kando ya mpaka, ni vituo vya shughuli za kibiashara kubwa na trafiki ni nzito katika pande zote mbili. Bidhaa kutoka Uganda ni pamoja na mazao ya biashara kama kahawa, pamba na mbao zinazopelekwa katika bandari ya Mombasa nchini Kenya kwa ajili ya kuu...
15
Je,mji mkuu Australia ni gani?
[ "Mji mkuu\nAustralia ilijenga mji mkuu mpya kwa sababu miji mikubwa ya Sydney na Melbourne yote yalitaka kuwa mji mkuu wa kitaifa wa Shirikisho la Australia. Mwaka 1908 eneo la Canberra lililokuwa mashambani wakati ule liliteuliwa, ujenzi wa mji mpya ulianza mwaka 1913 na serikali pamoja na bunge ilihamia Canberra ...
[ "Kisiwa cha Krismasi\nKisiwa cha Krismasi ni eneo dogo la Australia katika Bahari Hindi takriban 500 km upande wa kusini ya Jakarta mji mkuu wa Indonesia na 2,400 km kaskazini ya Australia yenyewe.", "Brisbane\nBrisbane ni mji mkubwa wa tatu wa Australia na mji mkuu wa jimbo la Queensland katika kaskazini ya nchi...
51
Je,hadithi ya Pinokyo ilitungwa lini?
[ "Mambo yaliyompata Pinokyo\nMambo yaliyompata Pinokyo: habari za mwanasesere (kwa Kiitalia jina linalotamkwa hivyo linaandikwa Pinocchio) ni hadithi ya karagosi hai ya ubao na shani zake. Hadithi hiyo ilitungwa na mwandishi Mwitalia Carlo Collodi tangu mwaka 1881 hadi 1883 ilipotolewa kama kitabu, kwa jina la Kiita...
[ "Mambo yaliyompata Pinokyo\nTabia muhimu ya Pinokyo katika hadithi ni pua lake linaloanza kuwa ndefu sana kila akisema uwongo. Kutokana na hilo wachoraji wa katuni za kisiasa hupenda kumchora mtu kwa pua ndefu wakitaka kuonyesha huyu ni mwongo.", "Mambo yaliyompata Pinokyo\nSiku moja seremala Maestro Ciliegia ana...
25
Timu ya taifa ya soka ya Brazil imeshinda kombe la dunia mara ngapi?
[ "Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil\nBrazil ni timu ya taifa yenye mafanikio zaidi katika Kombe la aduni la FIFA, mashindano ya mpira wa miguu ya kimataifa, kuwa mshindi wa taji mara tano: 1958, 1962, 1970, 1994 na 2002. Brazil pia ina utendaji bora zaidi katika Kombe la Dunia, kwa kawaida na masharti kamili, na r...
[ "Timu ya Taifa ya Kandanda ya Brazil\nTimu ya soka ya taifa la Brazil inawakilisha Brazili katika soka ya kimataifa ya wanaume. Brazil inasimamiwa na Shirikisho la Soka la Brazil CBF, kikundi kinachoongoza kwa soka nchini Brazil. Wamekuwa mwanachama wa FIFA tangu 1923 na mwanachama wa CONMEBOL tangu 1916", "Bebet...
16
Rais wa kwanza wa Gabon aliitwa nani?
[ "Omar Bongo\nKiongozi huyo amevunja rekodi ya kuwa Rais aliyekaa muda mrefu marakani kuliko Rais yeyote barani Afrika. Rais huyo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73, ambapo ameiongoza Gabon kwa miaka 42.\nBongo alijiunga na serikali ya Gabon mwaka 1965 na mwaka 1967 akawa makamu wa Rais ambapo mwaka huo huo a...
[ "Omar Bongo\nHabari za kifo cha Rais huyo wa Gabon zilikuja wiki chache baada ya mahakama nchini Ufaransa kutaka kufanyiwa uchunguzi juu ya mali ya Rais Bongo nchini Ufaranasa. Uchunguzi kama huo pia utafanyiwa mali ya rais wa Kongo Brazzaville Dennis Sassou Nguesso na rais wa Guinea ya Ikweta Teodoro Obiang` Nguem...
56
Nchi ya Thailand ina idadi ngapi ya watu?
[ "Uthai\nNchi ina wakazi zaidi ya milioni 67, hivyo inashika nafasi ya 20 duniani." ]
[ "Mkimbizi\nKuhusiana na kuwapa makao mapya \"waliotoka\", mnamo mwaka wa 2008 wakimbizi 65,548 walipewa makao mapya katika nchi 26, ongezeko kutoka idadi ya 49,868 ya mwaka wa 2007. Idadi kubwa zaidi ya waliosaidiwa na Ubalozi wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi kutoka walikuwa kutoka nchi za Thailand (16.807), Nepal ...
53
Nchi ya Kongo ilipata uhuru mwaka gani?
[ "Katanga\nBaada ya uhuru wa Kongo mwaka 1960 jimbo lilijitenga na kuwa nchi ya pekee chini ya urais wa Moise Tshombe. Jeshi la UM lilimaliza kipindi hiki kwa nguvu ya kijeshi na kurudisha Katanga kuwa sehemu ya Kongo tena hadi Januari 1963. Katika kipindi hiki kifupi waziri mkuu wa Kongo Patrice Lumumba aliuawa kat...
[ "Lubumbashi\nÉlisabethville ulitumikia kama mji mkuu na kitovu cha biashara wa Jimbo la kujitenga la Katanga wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya miaka 1960-1963. Moise Tshombe alitangaza uhuru wa Katanga mnamo Julai 1960. Viongozi wa Kongo walimtia nguvuni akashtakiwa kwa uhaini Aprili 1961, hata hivyo aliku...
18
Je,msitu ipi kubwa zaidi bara Afrika?
[ "Msitu wa mvua\nMaeneo makubwa yako hasa Brazil katika beseni ya Amazonas, Afrika katika beseni ya mto Kongo, Asia ya Kusini-Mashariki na kaskazini ya Australia." ]
[ "Milima ya Ufa Mashariki\nMilima ya Ufa Mashariki ni safu mbili za milima ya eneo la Maziwa makubwa ya Afrika, katika nchi a Kenya, Uganda, Tanzania, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Rwanda na Burundi.\nInaitwa hivyo kutokana na uhusiano wake na Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki; safu ya magharibi ina: Milima ya...
41
Je,makao makuu ya kaunti ya Samburu ni wapi?
[ "Kaunti ya Samburu\nMakao makuu yako Maralal." ]
[ "Wasamburu\nWanaishi kaskazini ya ikweta katika kaunti ya Samburu, eneo la kilomita za mraba 21,000 (maili za mraba 8,000). Ardhi yao ni ya pekee na ni rembo. Kabla na miaka michache baada ya uhuru wa Kenya eneo hili lilikuwa linajulikana kama Northern Frontier District (NFD). Wilaya ya Samburu wakati moja ilikuwa ...
15
Jina kamili la Pelé ni lipi?
[ "Pelé\n= Maisha ya awali =\nPelé alizaliwa mjini Três Corações, Minas Gerais, Brazil, na ni mtoto wa mchezaji wa zamani wa Fluminense Dondinho (mtoto wa João Ramos do Nascimento) na Celeste Arantes.Ni mkubwa kati ya watoto wawili. Alipewa jina la shujaa wa Kimarekani Thomas Edison. Wazazi wake waliamua kuitoa heruf...
[ "Pelé\nPelé alishinda taji kubwa kwa mara ya kwanza akiwa na Santos mwaka 1958 ambapo timu ailishinda taji la Campeonato Paulista; Pelé alimaliza mashindano akiwa mfungaji bora wa magoli 58, rekodi inayoshikiliwa hadi sasa.Mwaka mmoja baaadaye aliisaidia nchi yake kushinda mabao 3-0 dhidi ya Vasco Da Gama kwenye mi...
38
Masinde muliro alijiunga na siasa mwaka gani?
[ "Masinde Muliro\nMwaka wa 1948, Muliro alijiunga na chama cha Kenya African Union (KAU), chama kilichoanzishwa kutetea maslahi ya Waafrika nchini Kenya ambayo wakati huo ilikuwa chini ya ukoloni.\nAlipoacha kufunza mwaka wa 1957, aligombea kiti cha ubunge cha eneo bunge la Nyanza Kaskazini ambacho wakati huo kiliku...
[ "Masinde Muliro\nMasinde muliro (alizaliwa mnamo 1922 na aliaga dunia mnamo 14 Agosti 1992) alikuwa mwanasiasa wa Kenya, mmoja wa viongozi wakuu katika kuchagiza siasa nchini Kenya. Alikuwa mpigania uhuru aliyejulikana na alifanya kampeni kwa ajili ya marejesho ya demokrasia ya vyama vingi nchini Kenya katika miaka...
29
Kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement ni nani?
[ "Kenya\nKatika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 27 Desemba 2007, Rais Kibaki wa chama cha Party of National Unity (PNU) aliwania uchaguzi dhidi ya chama kikuu cha upinzani Orange Democratic Movement (ODM). Kulingana na wachunguzi wa kimataifa, uchaguzi huo ulikumbwa na udanganyifu na hivyo kutofikia kiwango kinacho...
[ "Orange Democratic Movement\nKura ya kutokubaliana'No' ambayo chama cha ODM kilifanyia kiampeni ilishida kwa asilimia 58.12%ya Wakenya waliopiga kura na kuweka chini katiba iliyopendekezwa, na kupatia Chungwa ushindi. Baada ya katiba kukataliwa Rais Mwai Kibaki aliwaodoa mawaziri. Wanachanma wa ODM walisema kwamba ...
0
Ngugi wa Thiong'o alizaliwa wapi?
[ "Ngugi wa Thiongo\nNgugi amezaliwa Kenya katika kijiji cha Kamiriithu karibu na Limuru, wilaya ya Kiambu katika jamii ya Wagikuyu akabatizwa James Ngugi. Alikuwa mtoto wa tano wa mke wa tatu wa baba yake Thiong'o wa Nducu. Baba alikuwa mkulima aliyepotea shamba lake kutokana na Waingereza kuteka na kutwaa Nyanda za...
[ "Ngugi wa Thiongo\nKazi yake ya kifasihi ilimpeleka katika mzozo na serikali. Kuanzia mwaka 1976 Ngugi alishirikiana na wanakijiji Wagikuyu karibu na Limuru kuanzisha maagizo ya tamthilia katika lugha yao. 1976 riwaya yake ya \"PETALS OF BLOOD\" ilichora picha ya watawala wapya Waafrika jinsi walivyochukua nafasi y...
35
Je,Steven Zuber alijiunga na klabu ya Hoffenheim mwaka upi?
[ "Steven Zuber\nMnamo Agosti 14 mwaka 2014, Zuber alihamia Hoffenheim juu ya mkataba wa miaka minne. Mnamo 25 Januari 2017, aliongeza mkataba wake hadi 2020." ]
[ "Steven Zuber\nSteven Zuber (alizaliwa tarehe 17 Agosti mwaka 1991) ni mchezaji wa soka wa Uswisi ambaye anacheza kama kiungo wa klabu ya Ujerumani Hoffenheim na timu ya taifa ya Uswisi.", "Steven Zuber\nZuber alifanya timu yake ya kwanza kwa tarehe 12 Julai 2008 katika Kombe la Intertoto , mechi ya pili ya mguu ...
32
Dodoma iko na idadi ngapi ya watu?
[ "Mkoa wa Dodoma\nKatika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa Mkoa wa Dodoma ilihesabiwa kuwa 2,083,588.", "Dodoma (mji)\nEneo la mji liko mita 1135 juu ya usawa wa bahari UB. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, mji wa Dodoma ulikuwa na wakazi wapatao 410,956 waishio humo." ]
[ "Dodoma vijijini\nDodoma Vijijini ilikuwa wilaya moja ya Mkoa wa Dodoma wenye msimbo wa posta 41200. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Dodoma Vijijini ilihesabiwa kuwa 440,565 .", "Mkoa wa Dodoma\nKwa jumla Dodoma haina mvua nyingi isipokuwa sehemu za wilaya za Mpwapwa na Kondoa. Hivyo hasa...
13
Je,mtoto wa umri wa miaka mbili anaweza pata ugonjwa wa kisukari?
[ "Maziwa ya mama\nKunyonyesha kunaendelea kutoa manufaa katika na baada ya kipindi cha utoto. Faida hizi ni pamoja na kupunguzwa kwa dari hatari ya kifo cha ghafla kwa watoto wachanga (SIDS), inaongeza akili, inapunguza uwezekano wa kuambukizwa ugonjwa wa katikati mwa sikio, homa, na viini vinavyolete homa, hupunguz...
[ "Draft: Chanjo ya matumbwitumwi\nChanjo ya matumbwitumwi inazuia ugonjwa wa matubwitumwi. Watu wengi wakichanjwa huwa inapunguza matatizo ndani ya jamii. Inafaa zaidi kama asilimia 90% ya wananchi wakichanjwa na ubora wake unakadiriwa kuwa asilimia 85% ya wananchi. Dozi mbili zinahitajika ili kukinga ugonjwa huo kw...
33
Je,Flamingo inapatikana katika ziwa gani nchini Kenya?
[ "Utalii nchini Kenya\nMbuga ya wanyama ya kitaifa ya Ziwa Nakuru, lililoanzishwa mwaka wa 1961 karibu na Ziwa Nakuru, liko karibu na mji wa Nakuru. Inajulikana sana kwa maelfu, na wakati mwingine mamilioni ya ndege wa aina ya flamingo wanaokusanyika ufuoni mwa ziwa Nakuru. Wajihi wa ukame wa ziwa hili ni vigumu kuj...
[ "Jangwa\nMto wa Ewaso Nyiro katika Kenya ya kaskazini kwa kawaida hukwisha katika nchi yabisi za Usamburu. Lakini kila baada ya miaka makumi kadhaa baada ya mvua kubwa sana inaendelea kuvuka jangwa la Somalia ya kusini na kufikia Bahari Hindi jinsi ilvyotokea wakati wa El-Nino 1998.", "Mto Gandeni\nMto Gandeni un...
15
Je,Raila Odinga alikuwa waziri mkuu mwaka upi?
[ "Raila Odinga\nRaila Amolo Odinga (*7 Januari 1945) ni mwanasiasa wa upinzani nchini Kenya na tangu 13 Aprili 2008 waziri mkuu nchini humo hadi 2013. Aliwahi kuwa mbunge tangu 1992 na waziri katika serikali ya rais Mwai Kibaki kati ya 2001 hadi 2005. Katika uchaguzi wa mwaka 2007 alikuwa mgombea wa urais upande wa ...
[ "Raila Odinga\nAlizaliwa 1945 katika familia ya Waluo akiwa mtoto wa chifu Jaramogi Oginga Odinga aliyekuwa makamu wa rais wa kwanza nchini Kenya. Baba yake alikuwa kiongozi mkuu wa Waluo akatazamiwa baadaye kama mpinzani mkuu wa rais wa kwanza Jomo Kenyatta. \nKaka yake Raila, Oburu Odinga amekuwa mwanasiasa na mb...
0
Mji mkuu wa Nigeria ni?
[ "Mji mkuu\nNigeria iliamua mwaka 1976 kuhamisha mji mkuu wa kitaifa kutoka Lagos kwenda mahali pa katikati ya nchi. \"Eneo la Mji Mkuu wa Shirikisho\" limeteuliwa. Mji mpya wa Abuja ndani ya eneo hili ukawa mji mkuu wa Nigeria mwaka 1991.", "Abuja\nAbuja ni mji mkuu wa Nigeria. Idadi ya wakazi wake imekadiriwa ku...
[ "Enugu\nHapo wali Enugu ilikuwa mji mkuu wa Mkoa wa Mashariki wakati Nigeria ilipata uhuru mwaka wa 1960. Tarehe 27 Mei 1967, serikali ya Nigeria iligawanya mikoa hii tatu katika majimbo 12. Mkoa wa Mashariki ulivunjwa na Enugu ilifanywa mji mkuu wa Jimbo Kuu ya Mashariki. Tarehe 30 Mei 1967, ilitangazwa kama mji m...
26
Je,nani mwanzilishi wa mziki wa hIhop nchini Tanzania?
[ "Machozi Jasho na Damu\nHalkadhalika ame-enzi kazi ya mwanzilishi halisi wa rap ya Kiswahili nchini Tanzania bwana Edward Mtui (maarufu kama Fresh XE) kwa kuchukua kiitikio chake cha \"Piga Makofi\" ambacho kilimpelekea ashinde tuzo ya Yo Rap Bonanza katika miaka ya 1980, lakini hakutoa nyimbo. Jay anatungia wimbo ...
[ "Nash MC\nAlipitia mengi yanayohitajika ili kuwa mchanaji hasa. Alipata msaada kutoka kwa wasanii wakongwe wa hip hop ya Tanzania kama akina Lindu Lindulu, Zavara Mponjika, Saigon na wengine wengi tu. Kwenye mwaka wa 2009 alifanya mahojiano ya nguvu na Saigon wakati huo mtangazaji katika kipindi cha \"HIP-HOP Base\...
42
Kikurdi ni lugha ya wapi?
[ "Kikurdi\nKikurdi ni kundi la lahaja za Kiajemi zinazotumika na Wakurdi wengi (milioni 20-30 hivi) huko Mashariki ya Kati." ]
[ "Kikuri\nKikuri (pia Kimodan au Kinabi) ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Wakuri kwenye kisiwa cha Papua. Mwaka wa 1982 idadi ya wasemaji wa Kikuri imehesabiwa kuwa watu 500 tu. Kwa vile Wakuri wengi wameacha lugha yao, Kikuri iko hatarini mwa kutoweka kabisa hivi karibuni. Kufuatana na u...
20
Bahari kuu duniani ni gani?
[ "Bahari kuu\nBahari Kuu (ing. \"w:ocean\") ni jina linalotumika kutaja jumla ya maeneo makubwa ya maji ya chumvi duniani yanayopakana na kufuatana kama gimba moja. Kwa maana hii bahari kuu inafunika zaidi ya theluthi mbili za uso wa dunia.", "Bahari kuu\nBahari Kuu imegawiwa na ardhi ya mabara kwenye nusutufe ya ...
[ "Bahari ya Kaspi\nBahari ya Kaspi (pia Bahari ya Qazwin- Kiajemi دريا خزر \"\"darya khazar\"\"; Kirusi Каспийское море \"\"kaspiiskoye more\"\") ni ziwa kubwa kabisa duniani lenye eno la 371,000 km² na mjao wa 78,200 km³. Liko kati ya Azerbaijan, Urusi, Kazakhstan, Turkmenistan na Uajemi.", "Bahari kuu\nBahari ku...
6
Je,mji wa Gold Coast inapatikana nchi gani?
[ "Gold Coast\nTangu 1919 gavana aliwajibika pia kwa sehemu ya Togo ya Kiingereza (maeneo ya Togo ya Kijerumani ya awali zilizokabidhiwa kwa Uingereza) iliyotawaliwa kama \"Togo ng'ambo ya mto Volta\". Wakati wa mwisho wa ukoloni wakazi wengi wa sehemu hiyo walipiga kura ya kujiunga na Gold Coast na sasa ni sehemu ka...
[ "Dubai Gold Souk\nDubai Gold Souk (Kiarabu: دبي سوق الذهب au Gold Souk) ni soko la jadi lililopo mjini Dubai. Soko hili lipo mjini mashariki mwa Dubai katika sehemu za biashara wilayani Deira. Kuna zaidi ya wauzaji 300 wanaofanya biashara. Kuna maduka ya rejareja katika soko hili yanayojulikana kama Damas, ARY jewe...
43
Mji mkuu wa Hawaii unaitwaje?
[ "Honolulu, Hawaii\nHonolulu ndiyo mji mkuu katika jimbo la Hawaii. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, mji una wakazi wapatao 900,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 0 kutoka juu ya usawa wa bahari.", "Hawaii\nMji mkuu ni Honolulu kwenye kisiwa cha Oahu." ]
[ "Papa Mbingusi\nKatika utamaduni wa asili wa Hawaii, papa wanachukuliwa kuwa miungu ya bahari, walinzi wa wanadamu, na wasafishaji wa bahari dhidi viumbe vya ziada. Baadhi ya hawa papa wanaaminika kuwa wanafamilia ambao walikufa na kuzaliwa upya katika umbo la papa. Hata hivyo, baadhi ya Papa huchukuliwa ni wala wa...
36
Carleton Gajdusek alisoma udaktari chuo gani kikuu?
[ "Carleton Gajdusek\nBaba yake Gajdusek, Karol Gajdusek, alitoka Smrdáky, Ufalme wa Hungaria ambayo sasa inapatikana Slovakia. Karol alikuwa Mslovakia na alifanya kazi ya uchinjaji. Wazazi wa mama yake, waliokuwa Wahungaria na Wakalvini, walihama kutoka Debrecen, Hungaria. Gajdusek alizaliwa Yonkers, New York, na ak...
[ "Catherine Ruge\nAlisoma Shule ya Sekondari Msalato mkoani Dodoma kuanzia mwaka 2001 hadi 2003. Baadaye alisoma Jangwani kuanzia Juni 2001 hadi Mei 2003 na kuhitimu elimu ya juu ya sekondari. Alijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) mwaka 2004 hadi 2007 akisomea Shahada ya Biashara na Uhasibu. Mwaka 2011 – ...
54
Mji mkuu wa Norway unaitwaje?
[ "Bergen\nBergen ni mji wa pili kwa ukubwa nchini Norwei. Mji una wakazi takriban 262,500 kulingana na makisio ya 31 Julai 2011. Bergen ni kitovu cha ngazi ya utawala ya jimbo la Hordaland. Maeneo ya Mji Mkuu wa Bergen kama yalivyoelezwa na Statistics Norway, una wakazi 386,400 ifikapo 31 Julai 2011.", "Norwei\nMj...
[ "Magharibi mwa Norwei\nMagharibi mwa Norwei () ni kanda iliyopo katika pwani ya bahari ya Atlantiki huko mjini kusini mwa nchi ya Norwei. Kanda ina-jumlisha baadhi ya majimbo kama vile Rogaland, Hordaland, Sogn og Fjordane, na Møre og Romsdal na kanda ina wakazi wapatao milioni 1.3. Mji mkubwa kabisa katika kanda h...
19
Rais wa kwanza wa Malawi ni nani?
[ "Malawi\nMalawi ilikuwa na siasa ya chama kimoja chini ya rais wa kwanza Hastings Kamuzu Banda tangu kupata uhuru mwaka 1964 na masahihisho ya katiba 1966.", "Malawi Congress Party\nBadala yake viongozi wa awali wa NAC wasiokuwa gerezani waliunda Malawi Congress Party (MCP) iliyomtambua Hastings Banda kuwa kiongo...
[ "Siasa ya Malawi\nChini ya Katiba ya 1995, rais ambaye pia ni Kiongozi wa Nchi na kiongozi wa Serikali anachaguliwa na raia baada ya kipindi cha miaka mitano. Malawi ina Makamu wa Rais ambaye huchaguliwa na rais mwenyewe. Rais pia ana nafasi ya kumchagua makamu wa rais wa pili, ambaye lazima awe katika chama tofaut...
56
Je, Adolf Hitler alikuwa anatoka nchi gani?
[ "Benito Mussolini\nDikteta Mjerumani Adolf Hitler alikuwa amevutwa na siasa ya Mussolini akamwiga katika mengi. Lakini Mussolini hakumpenda Hitler, hasa itikadi yake ya kimbari. Alikuwa na wasiwasi kuhusu mipango ya Hitler dhidi ya Austria. Mwaka 1934 alituma wanajeshi mpakani mwa Austria akiogopa uvamizi wa Wajeru...
[ "Adolf Hitler\nTangu 1910 Hitler alikuwa na mapato madogo kwa njia ya kunakili picha alizouza kupitia watu walioishi pamoja naye katika bweni. Wengine waliouza picha kwa niaba yake walikuwa Wayahudi lakini, tofauti na daktari wa mamake, hakuwapa usaidizi wowote baadaye: waliteswa kama Wayahudi wote baada ya kuvamiw...
35
Nani alizundua kifaa cha kupima joto?
[ "Kipimajoto\nUgunduzi wa kipimajoto umechangiwa na Galileo, ingawa aina ya kipimajoto kilichozibwa hakikuwepo mpaka mwaka 1650. Vipimajoto vya kisasa vinavyotumia spiriti na zebaki viliundwa na mjerumani Gabriel Fahrenheit ambaye pia alipendekeza kipimio cha jotoridi, kilichoitwa kwa jina lake - Fahrenheit, ambapo ...
[ "Nani\nNani alikuwa mwanachama wa kawaida wa kikosi cha Kireno katika mechi za kufuzu kushiriki katika Euro 2008 UEFA, na alifunga bao moja kati ya mbili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Ubelgiji tarehe 2 Juni 2007. Pia alimwandalia pasi safi mchezaji mwenzake Ricardo Quaresma aliyefunga bao katika mechi ya kirafiki ...
24
Je, T-Pain alizaliwa lini?
[ "T-Pain\nFaheem Rasheed Najm (amezaliwa tar. 30 Septemba 1985) ni mwimbaji-mtunzi, rapa, na mtayarishaji wa rekodi kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama T-Pain. Ameanza shughuli za urapa akiwa katika kundi la Nappy Headz. Mnamo mwaka wa 2005, akawa mwimbaji na kuweza kutoa albamu yake y...
[ "I'm 'n Luv (Wit a Stripper)\n\"I'm 'n Luv (Wit a Stripper)\" (ilitambulika kama \"I'm 'n Luv (Wit a Dancer)\" au kwa kifupi \"I'm 'n Luv\") ni kibao kilichoimbwa na msanii wa R&B T-Pain akishirikiana na rapa Mike Jones. Imetolewa mwishoni mwa mwaka wa 2005 (ingawa muziki wake wa video haukutolewa mpaka wiki ya 16 ...
42
Ukubwa wa Japani ni geographia ni kiasi gani?
[ "Japani\nNchi ina eneo la km² 377.944; na wakazi milioni 127; idadi hiyo imeanza kupungua." ]
[ "Historia ya tarakilishi\nMwaka 1903, Ryōichi Yazu wa Japani aliiweka dhahiri Yazu Arithmometer. Hiki ni Kikokotoo analojia kilichotumia Mche Duara mmoja wenye gia ishirini na mbili (22), ambacho kilifanya hesabu mchanganyo katika mpango wa namba wa kizio cha pili na wa kizio cha tano. Hizi hesabu ni mashuhuri kwa ...
60
Nchi ya Sudan ilipata uhuru mwaka gani?
[ "Sudan\nBaada ya uhuru wa nchi (1956), makabila ya kusini ambayo hayakukubali kusilimishwa yalipigania vita ndefu hadi kupata uhuru wao.", "Sudan Kusini\nWakati wa uhuru wa Sudan mwaka 1956 viongozi wa kusini walidai haki ya kujitawala ndani ya taifa jipya, lakini mapatano yalishindikana na hali hiyo ilisababishw...
[ "John Garang\nSPLA ilipata msaada wa Libya, Uganda na Ethiopia. Garang na jeshi lake walidhibiti sehemu kubwa ya mikoa ya kusini mwa nchi, iliyoitwa \"Sudan Mpya\" . Yeye alidai kuwa 'ujasiri wa askari wake kutoka kwa \"uthibitisho kwamba sisi tunapambana vita vya haki. Hilo ni jambo ambalo Sudan Kaskazini na watu ...
18
Je, Jibuti ilipata uhuru mwaka upi?
[ "Jibuti\nNchi ilipata uhuru tarehe 27 Juni 1977.", "Historia ya Afrika\nKatika mwaka wa 1977 Jibuti (Nchi ya Afars na Issas) iliyokuwa ikitawaliwa na Wafaransa ikarudi kwa wenyewe. Rhodesia (Zimbabwe) ikapata uhuru halisi mwaka wa 1980, na South West Africa, iliyokuwa ikitawaliwa na Afrika ya Kusini ikapata uhuru...
[ "Uhuru Kenyatta\nKatika Novemba 2006 Biwott alirudia jaribio la kumpindua Uhuru kwa kuita mkutano wa Kanu mjini Mombasa bila idhini ya mwenyekiti wala kamati ya chama. Hapo alichaguliwa kuwa mweyekiti mpya. Kwa msaada wa serikali Biwott alifaulu kuandikisha kamati yake kama uongozi rasmi, na hivyo kumwondoa Uhuru k...
18
Je,rais wa kwanza wa Marekani aliitwa nani?
[ "Orodha ya Marais wa Marekani\nKumeapishwa marais 43, na kumekuwa na marais 44, kwa sababu rais Grover Cleveland alihudumu mihula miwili isiyofuatana, na kwa hivi anahesabiwa mara mbili, kama rais nambari 22 na nambari 24. Marais wanne walifariki kawaida wakiwa mamlakani (William Henry Harrison, Zachary Taylor, War...
[ "Muna Lee (mwandishi)\nAkiwa kiongozi wa kupigania haki za wanawake, Muna Lee alifanya mchango muhimu katika harakati za kisasa za wanawake, hasa mapambano ya haki sawa. Alikuwa mwanzilishi wa Tume ya Wanawake ya Amerika Zote. Ilikuwa katika jiji la New York, alikokutana na mume wake wa baadaye, mshairi wa Puerto R...
56
Je,Uhispania ina idadi ya watu wangapi?
[ "Hispania\nEneo la nchi ni 500,000 km² ambalo lina wakazi wenye idadi zaidi ya watu milioni 44.395.286 (2006)." ]
[ "Uislamu barani Amerika\nSuriname ina asilimia kubwa ya Waislamu katika ukanda huu, ikiwa na asilimia 13 au watu 66,307, kwa mujibu wa sensa yake ya mwaka wa 2004. Hata hivyo, Marekani, inakadiriwa kuwa na idadi kubwa licha ya kukosa sensa ya dini kwa Uislamu, ina aminika kuwa ina idadi kubwa ya Waislamu, kati ya m...
31
Mbegu ya maharagwe iko na asili gani?
[ "Mharagwe-pana\nMharagwe-pana (\"Vicia faba\") ni jina la mmea katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa maharagwe mapana. Asili ya mmea huu ni Mashariki ya Kati lakini siku hizi hukuzwa mahali poti katika kanda za nusutropiki na wastani. Vipande vinavyolika ni mbegu (bichi na bivu), matumba machanga na majani.", ...
[ "Wasuba (Kenya)\nMtegi ni mototo mwingine wa Girango, na walitoka Uganda sehemu ya Kitgum na wakatembea mpaka Karachuonyo. Na hapo walikaa kwa muda mrefu na wakahama mpaka nchi ya Wakipsigis. Na hapo walikaa sana, ndipo Tegi alipotengana na wenzake wakina Ongombe na Muruga. Na hapo ndipo Ongombe akahamia huko Kamag...
52
Mtandao wa Youtube ulianzishwa na nani?
[ "YouTube\nYouTube ni tovuti ya kushirikisha video ambazo watumiaji wanaweza kuzinakili na kuzigawa kwa wengine. Wafanyakazi watatu wa zamani wa PayPal waliunda YouTube mnamo Februari 2005." ]
[ "Mtandao wa kompyuta\nWavuti za ndani na wavuti za nje zinaweza au zisiweze kuwa na uhusiano na Mtandao. Ikiwa zimeunganishwa na mtandao, wavuti za ndani na wavuti za nje kwa kawaida hupewa ulinzi dhidi ya kutumiwa kutoka kwa wavuti bila ruhusa ifaayo. Mtandao hauchukuliwi kuwa sehemu ya wavuti wa ndani na wavuti w...
2
Je,Günter Wilhelm Grass alishinda tuzo la Nobel mwaka upi?
[ "Günter Grass\nGünter Wilhelm Grass (alizaliwa 16 Oktoba 1927 Danzig, alifariki 13 Aprili 2015 mjini Lübeck) alikuwa mchoraji, mchongaji na mwandishi kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa ameandika riwaya na insha, na pia tamthiliya na mashairi. Mwaka wa 1999 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.", "Günter Grass\n...
[ "Günter Grass\n1954 alifunga ndoa na Mswisi Anna Schwarz akaishi naye Paris, Ufaransa kati ya 1956 hadi 1960. Alizaa naye watoto wanne wakaachana 1972 na kuwa na talaka ya mwaka 1978. Baada ya kuaachana na Anna akawa na uhusiano wa kimapenzi na Veronika Schröter halafu Ingrid Kruger akazaa watoto nao pia. 1979 alim...
29
Je, Togo ilipata uhuru mwaka upi?
[ "Togo\nMnamo Desemba 1956 wakazi wa Togo ya Kiingereza waliamua kwa kura kubaki na Ghana. Hivyo ni Togo ya Kifaransa pekee iliyopata uhuru mwaka 1960.", "Historia ya Togo\nMnamo Desemba 1956 wakazi wa Togo ya Kiingereza waliamua kwa kura kubaki na Ghana. Hivyo ni Togo ya Kifaransa pekee iliyopata uhuru mwaka 1960...
[ "Historia ya Tanzania\nZanzibar ilipata uhuru wake tarehe 10 Desemba 1963. Uhuru wa usultani ukadumu muda mdogo tu. Mapinduzi ya tarehe 12 Januari 1964 yakamuondoa Sultani. Mauaji ya familia nyingi zenye asili ya Kiarabu yakafuata.", "Seraphino Antao\nKenya ilipata uhuru mnamo Desemba 1963 na Seraphino alikuwa mw...
18
Muimbaji Celine Dion ana miaka mingapi?
[ "Céline Dion\nCéline Dion (amezaliwa tar. 30 Machi 1968) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo mashuhuri za pop kutoka nchini Kanada. Alizaliwa katika mji wa Charlemagne mjini Quebec, Kanada. Yeye ni mdogo kuzaliwa katika familia ya watoto kumi na nne." ]
[ "Céline Dion\nAlifikisha umri wa miaka 12, kaka yake alimpeleka kwa meneja wa urekodi aliyejulikana kwa jina la René Angélil, ambaye baadaye akaja kumwoa na kumzalia mtoto.\nKwa msaada wake, alifanikiwa kutoa albamu yake ya kwanza mnamo mwaka wa 1981, ambazo alikuwa akiimba kwa Kifaransa. Alitoa albamu yake ya kwan...
40
Lanhydrock House inapatikana wapi?
[ "Mto Fowey\nHuanzia kaskazini-magharibi ya Brown Willy katikae Bodmin Moor, hupitia Lanhydrock House, Restormel Castle na Lostwithiel,baadaye kunenepa katikiaMilltown kabla ya kujiunga na mtaro wa Uingereza katika Fowey. huvukika tu kwa kutumia vyombo vikubwa Kuna feri kati ya Fowey na Bodinnick. Barabara ya kwanza...
[ "Kampuni ya Kittinger\nIdadi kubwa ya samani za Kittinger inapatikana katika sehemu ya West Wing katika jumba la White House huko Washington,DC.Wafanyikazi wa kupamba ndani ya nyumba wa Colonial Williamsburg Foundation walipewa kazi na Rais Richard Nixon ya kupamba ofisi za Rais. Kampuni ya Kittinger ndiyo iliyofan...
43
LL Cool J, alizaliwa mwaka gani?
[ "LL Cool J\nJames Todd Smith (amezaliwa tar. 14 Januari 1968) ni rapa na mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama LL Cool J. LL Cool J inasimama kwa \"Ladies Love Cool James\". Anajulikana sana kwa maballad yake ya kimahaba kama vile \"I Need Love\", \"Around the Way Gi...
[ "Rock the Bells\nRock the Bells ni single ya tatu kutoka katika albamu ya kwanza ya LL Cool J, Radio. Ilitolewa mnamo mwaka wa 1985 na Def Jam Recordings. Ilitungwa na LL Cool J na kutayarishwa na Rick Rubin. Rock the Bells ilifikia kiwango cha #17 kwenye chati za Hot R&B/Hip-Hop Songs. Wimbo huu baadaye ukaja-kusa...
29
Je,Kampuni ya Kenya Breweries Limited ilianza mwaka upi?
[ "Bia\nViwanda vya bia vilianza kufanya biashara katika mji wa Dar es Salaam mwaka 1906 wakati wa ukoloni wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. Bwana Wilhelm Schultz alikuwa mmilikaji wa biashara hii. Biashara hii iliharibiwa na Waingereza katika mwaka 1916, lakini biashara ingine ilianza kuuza bia katika mwaka wa e...
[ "East African Breweries\nTanzania Breweries ilikuwa imeanzishwa na Kenya Breweries katika miaka ya 1930. Baada ya kutaifishwa mwaka wa 1967, Tanzania Breweries ilikumbwa na usimamizi mbaya . Hata hivyo, mwaka wa 1993 serikali ya Tanzania aliingia mkataba na South African Breweries Limited kuendesha shughuli za Tanz...
32
Je,Samir Nasri alizaliwa lini?
[ "Samir Nasri\nSamir Nasri (amezaliwa 26 Juni 1987) ni mchezaji wa kandanda wa kimataifa wa Ufaransa ambaye anaichezea klabu ya Arsenal katika ligi kuu ya Uingereza." ]
[ "Samir Nasri\nNasri amekuwa akihusika katika timu ya taifa ya Ufaransa kwa muda mrefu, kuanzia timu za vijana wenye umri wa miaka 16, 17, 18, 19 na 21. Alikuwa katika timu ambayo ilishinda mashindano ya UEFA ya vijana wasiozidi umri wa 17 mwaka wa 2004, na alifunga bao la ushindi katika mechi ya mwisho. Nasri alich...
29
Je,Alain Didier Zokora Deguy alizaliwa lini?
[ "Didier Zokora\nAlain Didier Zokora Deguy (amezaliwa 14 Desemba 1980 katika mji mkuu wa Abidjan) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka nchini Cote d'Ivoire (Ivory Coast), ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya huko Hispania, maarufu ya Sevilla FC na pia timu ya taifa ya Cote d'Ivoire." ]
[ "Didier Zokora\nZokora nikiungo muhimu katika klabu yake na timu yake ya taifa ya Cote d'Ivoire,yeye ni mchezaji mzuri wa katikati ambae anatumia ufundi wa hali ya juu katika uchezaji wake na amezungumziwa na wafatilia mpira wa miguu wengi kua ni mchezaji ambae anatumia akili na mbinu katika uchezaji wake.", "Did...
45
Bahari ya Atlantiki iko na ukubwa wa kiasi gani?
[ "Atlantiki\nAtlantiki ni bahari kubwa inayotenganisha Amerika upande wa magharibi na Afrika na Ulaya upande wa mashariki. Eneo lake ni kilometa za mraba 106,200,000 au sehemu ya tano ya uso wa dunia pamoja na bahari za pembeni kama bahari ya Baltiki na Mediteranea. Hivyo ni bahari kubwa ya pili duniani baada ya Pas...
[ "Atlantiki\nFunguvisiwa muhimu ni: \nvisiwa vya Faroe, visiwa vya *Azori, visiwa vya Madeira, visiwa vya Kanari, visiwa vya Cabo Verde, visiwa vya Karibi (pamoja na Kuba), visiwa vya Britania (pamoja na Uingereza na Ueire - Ireland, visiwa vya *Bermudas na vingine.\nMikondo ya Atlantiki inatawala hali ya hewa katik...
6
Kenya ilipata Uhuru mwaka upi?
[ "Uchumi wa Kenya\nMiaka kumi na tano ya Uhuru wa Kenya, kama ilivyokua miaka iliyopelekea uhuru, ilitawaliwa na sifa zilizomhusu Jomo Kenyatta miongoni mwa watu. Utawala wa Kenyatta uliofikia kikoma mnamo Agosti 1978, wakati kitabu hiki hakijakamilika, unaelezewa kwa ufasaha na. Kinaelezea mchango aliokuwanao Rais ...
[ "Uhuru Kenyatta\nUhuru Muigai Kenyatta (amezaliwa 26 Oktoba 1961) ni mwanasiasa nchini Kenya ambaye amekuwa rais wa nne na wa sasa wa Jamhuri ya Kenya. Baada ya kuongoza nchi, ameshinda uchaguzi mkuu wa Agosti 2017 lakini mahakama kuu ikaamua na kuamuru na kudai urudiwe, marudio ambayo licha ya kujiondoa kwa mpinza...
18
Je mlima mkubwa zaidi nchini Uganda ni gani?
[ "Elgon (mlima)\nElgon ni mlima mkubwa wa pili nchini Kenya baada ya Mlima Kenya. Upande wa Uganda ni mlima mkubwa wa mashariki ya nchi lakini milima ya safu ya Ruwenzori ni mirefu kushinda Elgon." ]
[ "Mlima Gessi\nMlima Gessi ni mlima wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na wa Uganda (Afrika).", "Wasuba (Kenya)\nMtegi ni mototo mwingine wa Girango, na walitoka Uganda sehemu ya Kitgum na wakatembea mpaka Karachuonyo. Na hapo walikaa kwa muda mrefu na wakahama mpaka nchi ya Wakipsigis. Na hapo walikaa sana, ndip...
48
Je,Burundi ilpata uhuru mwaka upi?
[ "Historia ya Afrika\nKatika mwaka wa 1962 Algeria, Burundi, Rwanda, na Uganda zikawa huru, na 1963 zikafuatia Zanzibar, Gambia na Kenya, na katika mwaka wa 1964 Malawi (Nyasaland), na Zambia (Rhodesia ya Kaskazini) zikapata uhuru." ]
[ "Burundi\nTangu mwaka 1946 Shirikisho la Mataifa lilikwisha na Ubelgiji ilipokea wito wa kutawala Ruanda-Urundi na Umoja wa Mataifa. \nMwaka moja kabla ya uhuru kulikuwa na uchaguzi wa kwanza chini ya usimamizi ya UM na chama mshindi kilikuwa UPRONA kilichoongozwa na mwanamfalme Mtutsi Louis Rwagasore aliyemwoa mwa...
18
Je,Kenya ina vyama ngapi vya kisiasa kufikia mwaka 2019?
[ "Orodha ya vyama vya kisiasa nchini Kenya\nKenya ilikuwa na vyama vya kisiasa vilivyosajiliwa zaidi ya 160 kufikia mwezi Novemba mwaka wa 2007 lakini kufuatia kupitishwa kwa sheria maalum ya vyama vya siasa tarehe 31 Desemba 2008, idadi ya vyama vilivyoandikishwa ilipungua hadi 38 huku vyama kadhaa vikiongezewa mud...
[ "Ruwaza ya Kenya 2030\nRuwaza ya Kenya 2030 (Kiingereza: \"Kenya Vision 2030\") ni mpango wa maendeleo ya kiuchumi wa serikali ya Kenya kuendeleza maeneo mbalimbali ya kiuchumi katika maeneo mbalimbali ya nchi. Malengo ya mpango kuzalisha ukuaji wa uchumi wa mwaka wa 10%. Hivi sasa, Kenya ina ukuaji wa Pato la Taif...
11
Bergisch Gladbach ina idadi ngapi ya watu?
[ "Bergisch Gladbach\nBergisch Gladbach ni mji uliopo nchini Ujerumani katika jimbo la Rhine Kaskazini-Westfalia. Mji upo karibu na mji wa Cologne na una wakazi takriban 110,016 waishio katika mji huo." ]
[ "Bergisch Gladbach\nMakazi ya awali yalianza tangu kunako karne ya 13, lakini mji ulitambuliwa rasmi mnamo mwaka wa 1856. \nNeno “Bergisch” linatokana na asili ya eneo lake la Berg na ulipangwa kuondolewa katika Mönchengladbach. Mnamo mwaka wa 1975, mji huu ukishirikiana na mji wa jirani yake wa Bensberg na ulipofi...
13
Rais wa kwanza wa Ethiopia aliitwa nani?
[ "Historia ya Ethiopia\nSerikali ya Majimbo ya Demokrasia ya Jamhuri ya Ethiopia ilichukua mamlaka mnamo Agosti 1995. Rais wa kwanza Negasso Gidada. EPRDF ikaongoza serikali na Waziri Mkuu Meles Zenawi ambaye ameunga mkono majimbo ya kikabila, na kuwapa madaraka viongozi wa kikabila. Ethiopia sasa ina maeneo 9 ambay...
[ "Ellen Johnson-Sirleaf\nJohnson amekuwa Rais wa kwanza mwanamke barani Afrika. Hata hivyo yeye sio mwanamke wa kwanza kuongoza nchi barani Afrika. Malikia Zauditu wa Ethiopia aliongoza nchi yake kwa miaka 13 toka mwaka 1917 hadi 1930. Ruth Perry ni mwanamke wa kwanza Afrika kuwa mkuu wa nchi pale alipokuwa mwenyeki...
56
Simba huzaa baada ya muda gani?
[ "Simba\nWengi wa simba jike huanza kuzaa wakiwa na miaka minne. Simba hawajamiani katika kipindi maalumu cha mwaka. Kama ilivyo kwa paka wengine, uume wa simba una kama miiba zilizogeukia nyuma. Wakati wa kuutoa, miiba hiyo hukwangua kuta za uke na kusababisha kuachiwa kwa yai. Akiwa kwenye joto, simba jike huweza ...
[ "Simba Wanyika\nKutekelezwa kwa vikwazo baina ya mpaka wa Kenya-Tanzania ilisababisha watu kukua kwa muziki na kuelekea katika mtindo wa uliokuwa unajitokeza wa benga nchini Kenya. Simba Wanyika waliendelea kucheza rumba, na walikuwa bado maarufu wakati bendi ilipogawanyika katika miaka ya 1970 wakati mpiga gitaa O...
55
Tanzania ina idadi ya watu wangapi?
[ "Tanzania\nIdadi ya watu kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 ilikuwa 44,928,923 (nchi ya 30 duniani) kutoka 34,443,603 waliohesabiwa katika sensa ya mwaka 2002." ]
[ "Jiografia ya Tanzania\nTanzania ina idadi kubwa sana ya watu waishio nchini, kutokana na makabila mbalimbali yaliyomo nchini, yakiwemo ya Wasukuma, Wanyamwezi, Wahaya, Waha, Wagogo, Wanyakyusa, Wahehe, Wachaga, Waluguru, Wazaramo na mengineyo.", "Bunge la Tanzania\nMajimbo yanatofautiana kwa kiasi kikubwa katika...
53
Mji mkuu wa South Sudan ni upi?
[ "Equatoria ya Kati, Sudan\nEquatoria ya Kati ni jimbo la Sudan Kusini. Mji mkuu ni Juba. Jimbo lilitwa \"Bahr al Jabal\" hadi mwaka 2006.", "Sudan Kusini\nMji mkuu ni Juba, wenye wakazi 1.118.233." ]
[ "Bahari ya Shamu, Sudan\nBahari ya Shamu al-Bahr al-Ahmar) ni moja ya Wilayat au majimbo 26 ya Sudan. Lina ukibwa wa eneo la 218,887 km ² na wakaazi wanaokadiriwa kuwa 700,000 (2000). Port Sudan ndio mji mkuu wa jimbo hili. Sudan bado inadai, lakini haina udhibiti katika Hala'ib Triangle, mkoa ambao umekuwa chini y...
26
Akwilina Akwilini Bafta alizaliwa mwaka gani?
[ "Akwilina Akwilini\nAkwilina Akwilini Bafta (1 Aprili 1996 - 16 Februari 2018) alikuwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha usafirishaji Dar es Salaam (NIT) ambaye alifariki baada ya kupigwa risasi ya kichwa kimakosa na afisa wa polisi aliyekuwa anajaribu kutuliza ghasia za waandamanaji wa kisiasa wa CHADEMA mnamo tarehe 1...
[ "Abeti Masikini\nElisabeth Jean Finant (9 Novemba 1954 - 28 Septemba 1994) alikuwa mwanamuziki maarufu wa dansi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Alitambulika sana kwa jina la kisanii kama Abeti Maskini na Afrika Mashariki alijulikana sana kwa kuimba Kiswahili, hasa ule wimbo wake wa \"Likayabu\" (Manjano na...
35
Je,Fransisko wa Asizi alizaliwa lini?
[ "Fransisko wa Paola\nFransisko alizaliwa kwa muujiza katika mji wa Paola, mkoa wa Calabria, Italia, mwaka 1416. Wazazi wake walikuwa wamefikia uzee bila ya kuweza kuzaa, lakini walimuomba Fransisko wa Asizi na kuweka nadhiri kuwa mtoto wao ataitwa Fransisko. Ndipo walipojaliwa kuzaa.", "Fransisko wa Asizi\nAlizal...
[ "Waklara\nBinti huyo wa ukoo bora alizaliwa Asizi (Italia) mwaka 1193. Kisha kuvutiwa na mifano ya Fransisko, na kusikiliza mahubiri na mashauri yake, akaamua kujiweka wakfu kwa Yesu Kristo katika ufukara mkuu. Basi, akatoroka nyumbani usiku (1212) akamuendea Fransisko huko Porsyunkula ambapo alinyolewa naye na kuv...
1
Je,idadi ya watu nchini Ufaransa ni ngapi?
[ "Ufaransa\nEneo lake ni km² 674,843; na idadi ya wakazi ni 63,044,000." ]
[ "Eneo la ng'ambo la Ufaransa\nMaeneo haya hutofautiana katika hali ya kisheria lakini wakazi wao wote ni raia wa Ufaransa na kila eneo linachagua wabunge wake kwa bunge la Paris. Isipokuwa maeneo yasiyokaliwa na watu hawana mbunge.\nJumuiya hizi zilianzishwa kwa mabadiliko ya katiba ya Ufaransa mwaka 2003. Kila jum...
53
Je,Martin Luther alianzisha Uprotestanti mwaka upi?
[ "Uprotestanti\nMartin Luther, daktari wa teolojia na padri mtawa, alisema kuwa Kanisa linapaswa kurejea kwenye mizizi yake, na kutoa uzito zaidi kwa yale yaliyoandikwa katika Biblia. Luther alidhani kuwa Kanisa limekwenda mbali na mafundisho ya awali. Alichapisha tasnifu 95 kuhusu njia ya Kanisa Katoliki. Wengine w...
[ "Martin Luther\nHivyo Luther alitengwa na Kanisa, lakini wengi walimfuata. Mwaka huohuo Luther aliitwa mbele ya Bunge la Ujerumani ili ajitetee. Ni kwamba sheria za Dola Takatifu la Roma la Kijerumani zilidai mzushi akamatwe au hata auawe. Alipodaiwa na Bunge la Worms akane baadhi ya mafundisho yake, Luther akasima...
21
Je,Mlima kilimanjaro ina urefu wa kilomita ngapi?
[ "Kilimanjaro (Volkeno)\nKilimanjaro ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika. Mlima huu uko nchini Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro. Una urefu wa mita 5,895 (futi 19,340)." ]
[ "Chile\nChile ina urefu wa kilomita 4,200 kufuata pwani ya Pasifiki na milima ya Andes. Umbali huu ni kama kutoka Cape Town kwenda Dar es Salaam. Lakini upana wa wastani wa eneo lake ni kilomita 180 tu: sehemu nyembamba ya nchi ina upana wa kilomita 90, sehemu pana zaidi ina kilomita 240.", "Jiografia ya Kenya\nE...
48
Maktoum bin Rashid Al Maktoum alikuwa makamu wa rais wa falme ipi?
[ "Maktoum bin Rashid Al Maktoum\nSheikh Maktoum bin Rashid Al Maktoum alifariki asubuhi ya 4 Januari 2006, baada ya 'heart attack' kama amekaa katika hoteli ya Palazzo Versace iliyo katika Gold Coast, Queensland, Australia. Nafasi yake ilichukuliwa na ndugu yake, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum kama mtawala wa...
[ "Rashid Bin Saeed Al Maktoum\nAliyemtangulia (kama Waziri Mkuu) na mrithi wake alikuwa mwana wake, Sheikh Maktoum bin Rashid Al Maktoum, ambaye alikuwa Waziri Mkuu wa United Arab Emirates 1971-1979 na ambaye alikuwa Emir ya Dubai kuanzia 7 Oktoba 1990 hadi kifo chake tarehe 4 Januari 2006. Mwanake mwengine, Mohamme...
43
Idadi ya watu wa Nchini Meksiko ni ngapi?
[ "Mexiko\nWakazi ni 118,395,054: wengi wao ni machotara wenye damu ya Wahindi wekundu (31/55% hivi) na Wazungu (42/65% hivi). Wenye asili ya Ulaya tu ni 9/18%." ]
[ "Texas\nTexas ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 24,326,974 (2008) wanaokalia eneo la 696,241 km² ambalo ni hasa milima na jangwa. Upande wa mashariki ni maji ya ghuba ya Meksiko. Mji mkuu wa jimbo ni Austin na mji mukubwa jimboni ni Houst...
7
Kipima joto kiligunduliwa na nani?
[ "Kipimajoto\nUgunduzi wa kipimajoto umechangiwa na Galileo, ingawa aina ya kipimajoto kilichozibwa hakikuwepo mpaka mwaka 1650. Vipimajoto vya kisasa vinavyotumia spiriti na zebaki viliundwa na mjerumani Gabriel Fahrenheit ambaye pia alipendekeza kipimio cha jotoridi, kilichoitwa kwa jina lake - Fahrenheit, ambapo ...
[ "Nta ya sikio\nWagonjwa mara nyingi wanapenda mchanganyiko wa kumwagilia upashwe joto mpaka kufikia lile joto la mwili.kizunguzungu ni tatizo kuu la unyonyaji kwa kutumia vimiminika ambavyo ni vya baridi au vya joto kuliko joto la mwili. Sharp et al. Alipendekeza 37°C, naye Blake et al. alipendekeza maji yawe 38°C,...
24
Je, blogu ni nini?
[ "Blogu\nBlogu ni teknolojia mpya inayowezesha watu binafsi kuchapa maoni na fikra zao katika mtandao wa tarakilishi maarufu kama wavuti au intaneti. Blogu inaweza kuchukuliwa kama ni shajara pepe." ]
[ "Nonini\nNonini (amezaliwa 1 Oktoba 1982) jina lake haswa ni Hubert Nakitare, ni msanii wa nyimbo aina ya hip hop kutoka nchini kenya awali akisajiliwa na calif records,lakini baadaye alijiunga na homeboyz productions. Yeye alijitosa kwenye ulingo wa muziki wa mijini nchini Kenya kupitia wimbo wake \"Nonini ni Nani...
38
Je, Rhodesia ya Kaskazini ina jina gani kwa sasa?
[ "Cecil Rhodes\n1885 alifaulu kupata kibali cha serikali ya Uingereza kuanzisha koloni ya binafsi kaskazini ya Afrika kusini. Akaunda Kampuni ya Kiingereza ya Afrika Kusini (British South Africa Company) na kuvamia maeneo ya Zambia na Zimbabwe ya leo. Ardhi iliyotwaliwa iliuzwa kwa walowezi na koloni za kampuni zili...
[ "Rhodesia ya Kaskazini\nPande zote mbili ziliunganishwa chini ya kampuni kama \"Northern Rhodesia\" mwaka 1911.\nMwaka 1923 serikali ya Uingereza iliamua kuchukua utawala mikononi mwake. Rhodesia ya Kusini ikawa koloni lenye kiwango cha kujitawala kwa ajili ya walowezi Wazungu wa huko. Rhodesia ya Kaskazini lilikuw...
23
Je, ziwa Nakuru lina ndege gani maarufu?
[ "Ziwa Nakuru\nZiwa Nakuru, ziwa ndogo yenye maji ya chumvi kusini mwa mji wa Nakuru inapatikana takriba kilomita 160 kutoka Nairobi. Hivyo basi inaweza kutumbelewa katika ziara ya siku moja kutoka mji mkuu.Au zaidi, kama sehemu ya mzunguko inayohusisha Masai Mara au Ziwa Baringo na Samburu mashariki. Ziwa hili ni m...
[ "Ziwa Nakuru\nFlamingo hula mwani ambayo hotokana na mchanganyiko wa kiniesi chao pamoja na maji ya chumvi yaliyo vuguvugu pamoja na chakula cha samaki aina ya plankton. Lakini flamingo sio ndege wa kipekee wa kuvutia kwenye ziwa hili, kunao ndege wala samaki wa aina ya pelican na cormorants.Licha ya maji haya kuwa...
38
Taifa la Kenya lilipata uhuru mwaka gani?
[ "Uchumi wa Kenya\nMiaka kumi na tano ya Uhuru wa Kenya, kama ilivyokua miaka iliyopelekea uhuru, ilitawaliwa na sifa zilizomhusu Jomo Kenyatta miongoni mwa watu. Utawala wa Kenyatta uliofikia kikoma mnamo Agosti 1978, wakati kitabu hiki hakijakamilika, unaelezewa kwa ufasaha na. Kinaelezea mchango aliokuwanao Rais ...
[ "Ruwaza ya Kenya 2030\nRuwaza ya Kenya 2030 (Kiingereza: \"Kenya Vision 2030\") ni mpango wa maendeleo ya kiuchumi wa serikali ya Kenya kuendeleza maeneo mbalimbali ya kiuchumi katika maeneo mbalimbali ya nchi. Malengo ya mpango kuzalisha ukuaji wa uchumi wa mwaka wa 10%. Hivi sasa, Kenya ina ukuaji wa Pato la Taif...
18
Kenya ina kaunti ngapi?
[ "Kaunti za Kenya\nKatiba hiyo inaeleza kuwepo kwa kaunti 47 nchini katika mafungu 191 na 192, pamoja na ‘County Governments Act of 2012”. Kaunti hizi zilichukua nafasi za Mikoa ya Kenya. Mipaka ya kaunti iliwekwa kulingana na mipaka ya wilaya za kenya zilizokuwa zimeanzishwa kisheria mwaka wa 1992." ]
[ "Mkoa wa Kati (Kenya)\nMkoa wa Kati (Central Province) ni mkoa wa Kenya unaoenea kati ya Mlima Kenya, Nairobi na Nyahururu. Eneo lake si kubwa lakini kuna msongamano mkubwa wa watu kulingana na mikoa ya jirani kwa sababu ya hali ya hewa na rutba ya ardhi inayolisha watu wengi. Nairobi iko nje ya mkoa.", "Kenya\nN...
11
Je,mto mkubwa gani zaidi bara Afrika ni?
[ "Kinshasa\nMto Kongo ni mto mrefu wa pili katika Afrika baada ya Nile, na ni mkubwa zaidi katika suala la kutoa maji. Kama njia ya maji, hutumiwa kusafiri kwa kiasi katika bonde la Kongo, na unaweza kusafiri kati ya mito ya Kinshasa na Kisangani, na matawi yake mengi yanaweza kusafiriwa. Mto ni chanzo muhimu cha um...
[ "Benue (mto)\nMto Benue (Kifaransa: Bénoué) ni tawimto mkubwa wa mto Niger. Chanzo chake ni katika nyanda za juu za Kamerun hasa milima ya Adamawa. Katika sehemuy a kwanza ya mwendo wake unatelemka mita 600 kwa mwendo kali. Karibu na mji wa Garua unaungana na mto Mayo Kébi. Baada ya mwendo wa 350 km mto unatoka Kam...
41
Je,mwanamziki Beyonce alizaliwa lini?
[ "Beyoncé Knowles\nBeyoncé Giselle Knowles (alizaliwa 4 Septemba 1981), anayefahamika zaidi kwa jina moja Beyoncé ni mwimbaji wa R & B, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji wa rekodi, mwigizaji na mwanamitindo kutoka Marekani. Alizaliwa na kukulia Houston, Texas na alihudhuria shule mbalimbali zinazofunza sanaa. Pia alian...
[ "Abeti Masikini\nElisabeth Jean Finant (9 Novemba 1954 - 28 Septemba 1994) alikuwa mwanamuziki maarufu wa dansi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Alitambulika sana kwa jina la kisanii kama Abeti Maskini na Afrika Mashariki alijulikana sana kwa kuimba Kiswahili, hasa ule wimbo wake wa \"Likayabu\" (Manjano na...
35
Jennifer Garner ana miaka mingapi?
[ "Jennifer Garner\nJennifer Anne Affleck, hasa hujulikana kwa jina lake la kuzaliwa kama Jennifer Garner (amezaliwa tar. 17 Aprili 1972), ni mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani. Garner amejipatia umaarufu mkubwa kwa kucheza kwake kama kachero wa CIA, Sydney Bristow, katika kipindi cha mfululizo wa TV cha \"Al...
[ "Jennifer Garner\nGarner ni wa pili kuzaliwa katika familia ya watoto watatu wa kike waliozaliwa huko mjini Houston, Texas. Mama yake, Patricia Ann, alikuwa mwalimu wa lugha ya Kiingereza kutoka mjini Oklahoma, na baba yake, Bill John Garner, alifanyakazi kama mhandisi wa kemikali katika Union Carbide. Wakati alivy...
40
Nani alikuwa rais wa kwanza Urusi?
[ "Boris Yeltsin\nBoris Nikolayevich Yeltsin () (kwa herufi za Kirusi huita:Бори́с Никола́евич Е́льцин) (1 Februari 1931 - 23 Aprili 2007) alikuwa rais wa kwanza wa Urusi baada ya mwisho wa ukomunisti. Alitumikia taifa la Urusi kuanzia mwaka 1991 hadi 1999. Mikhail Gorbachev, alimtangulia Boris, wakati huo Urusi ilii...
[ "Nani\nMechi ya kwanza ya Nani ya ligi kuu ya Uingereza ilikuwa katika mechi ya ufunguzi ya nyumbani, Manchester United ikiwa mwenyeji wa Reading tarehe 12 Agosti na Nani aliingia kama mbadala kwa Wayne Rooney, ambaye alipata jeraha la mguu. Manmo 26 Agosti 2007, Nani alifunga bao lake la kwanza la ushindani la Man...
56
Je,chama cha KANU kilianzishwa na nani?
[ "Kenya People's Union\nMnamo Machi 1966, mzozo ulitokea katika mkutano wa chama tawala KANU uliyofanya mlengo wa kushoto wa chama ukiacha chama hicho na kuanzisha KPU. KANU ilibadilisha sheria za uchaguzi kulazimisha wabunge waliyejiunga na KPU kutetea viti vyao katika uchaguzi mdogo. KPU iliweza kushinda hasa kwa ...
[ "LDP (Kenya)\nLDP ilikuwa chama kidogo sana bila maana yoyote hadi 2002. Mwaka ule kulikuwa na farakano katika chama tawala cha KANU. Raila Odinga aliyewahi kujiunga katika KANU 2001 pamoja na wenzake wa chama cha NDP aliondoka tena baada ya rais Daniel arap Moi kumtangaza Uhuru Kenyatta kuwa mgombea wa KANU kwa aj...
24
Mhariri mkuu wa gazeti la NRC Handelsblad anaitwa nani?
[ "NRC Handelsblad\nKatika mwezi wa Februari 2006,\"NRC Handelsblad\" ilianzisha gazeti dogo la asubuhi la kuvutia wasomaji wasomi ambao hawawezi kusoma gazeti la kila siku. Mhariri Folkert Jensma alipoondoka, nafasi yake ilichukuliwa na Birgit Donker mnamo 12 Desemba 2006." ]
[ "NRC Handelsblad\nNRC Handelsblad, mara nyingi hufupishwa kuwa NRC, ni gazeti la kuchapishwa kila siku.Gazeti hili huchapishwa jioni katika nchi ya Uholanzi na Kampuni ya NRC Media. Gazeti hili liliumbwa mnamo 1 Oktoba 1970 kutokana na muungano wa jarida la \"Nieuwe Rotterdamsche Courant\" na jarida la \"Algemeen H...
2
Mtindo wa muziki wa hip hop ulianzishwa na nani?
[ "East Coast hip hop\nEast Coast hip hop ni jina la fomu ya muziki wa hip hop ambao unaasili na kukuzwa mjini New York City, Marekani, mwanzoni mwa miaka ya 1970 na 1980. Mtindo huu ulianza kujulikana hasa baada ya wasanii wengine kutoka sehemu mbalimbali za Marekani na kuongezea staili tofauti. \nEast Coast hip hop...
[ "Ondoa Giza Kitaa\nNari anaona watu wana mawazo ya kijinga kiasi kwamba hata lililo mbele yao wanashindwa kuliona. Anarejea maneno ya \"Macho Ngumu Kuona\". Uwoga katika maisha haukufanyi kufanikiwa bali kukudumaza. Sio kwamba ukiwa muoga ndio utaenda peponi. Namna ya ufundishaji ambao sio rafiki kwa wasomeshwaji. ...
42
Aina za tarakilishi ni ngapi?
[ "Tarakilishi\nKimsingi tarakilishi ni kifaa chochote kinachomsaidia binadamu kufanya hesabu. Zipo tarakilishi za aina mbili: za kianalojia (za umakanika) na za kidijiti (za elektroniki). Za kwanza \nhazitumii umeme, na ndizo ambazo zilianza kabla ya tarakilishi za kidijiti (zinazotumia umeme).\nKuna aina kuu tatu z...
[ "Amina\n\"Amina\" ni jina la kutaja wimbo uliotoka 2017 wa msanii wa muziki wa afropop kutoka nchini Kenya - Sanaipei Tande. Wimbo umetayarishwa na House of Dillie kwa maudhui ya kusikitisha ili kusindikiza midundo ya ndani. Ni moja kati ya nyimbo za huzuni sana kwa mwaka 2017. Sana ameonesha uwezo wa hali ya juu k...
38
Je,mnyama mkubwa baharini ni yupi?
[ "Nyangumi\nOda nyingine ndogo ya Cetacea ni Mysticeti, ambayo hujumuisha nyangumi wa bluu, ambaye ndiyo mnyama mkubwa kuliko wote aliyeripotiwa kuishi, nyangumi mwenye nundu, na wanyama wengine wanaokula kutoka kwenye maji ya baharini kutumia michirizi mirefu iliyopo badala ya meno, ambayo ndiyo walikopatia jina la...
[ "Daraja takatifu\nKutoa daraja kwa wanaume tu si kuwakosea haki wanawake, kwa kuwa hizo ni huduma zinazofaidisha wote. “Maana aliye mkubwa ni yupi? Yeye aketiye chakulani, au yule atumikaye? Siye yule aketiye chakulani? Lakini mimi kati yenu ni kama atumikaye” (Lk 22:27). Mwenye daraja anahudumia Kanisa kwa kumwaki...
6
Mji mkubwa nchini Afrika Kusini unaitwaje?
[ "Afrika Kusini\nMji mkubwa ni Johannesburg. Majukumu ya mji mkuu yamegawiwa kati ya miji mitatu: Cape Town ni makao ya Bunge, Pretoria ni makao ya Serikali na Bloemfontein ni makao ya Mahakama Kuu.", "Mji mkuu\nAfrika Kusini ina miji mikuu mitatu kikatiba: Pretoria ndipo makao makuu ya serikali, Cape Town ndipo m...
[ "Afrika Kusini\nMji mkuu wa jimbo watajwa katika mabano.Hii ifuatayo ni miji/manispaa/majiji kumi yenye wakazi wengi zaidi nchini.\nAfrika Kusini ina mchanganyiko mkubwa wa watu. Waafrika asili ni asilimia 80.2, Machotara ni 8.8%, Wazungu ni 8.4%, Waasia ni 2.5%.", "Kamembe\nMji wa Kamembe una uwanja wa ndege wa ...
17
Je,yesu alikuwa na wafuasi wanawake?
[ "Salome (mke wa Zebedayo)\nSalome (kwa Kiebrania: שלומית, \"Shelomit\", kutoka mzizi שָׁלוֹם, shalom, yaani amani) alikuwa mke wa Zebedayo na mfuasi wa Yesu Kristo pamoja na wanae Yakobo Mkubwa na Mtume Yohane, waliokuwa marafiki wakuu wa Yesu pamoja na mtume Petro." ]
[ "Yohane Mbatizaji\nBado mtoto alikwenda kuishi jangwani, labda kutokana na kifo cha wazazi. Wataalamu mbalimbali wanadhani kwamba huko alikuwa akiishi kati ya Waeseni, wafuasi wa madhehebu ya Kiyahudi yenye msimamo mkali hata kuliko ule wa Mafarisayo.", "Yesu kadiri ya historia\nKwa ujumla zinathibitisha ya kwamb...
21
Je, mji mkuu wa Jibuti ni upi?
[ "Jibuti (mji)\nMsafiri mmoja mwandishi alielezea mji Jibuti kama mji ulio na shida ya kujitambulisha, alisema ya kwamba \"mji wa kudumu kwa taifa la wahamiaji, ni mji wa Kiafrika uliotengenezwa kama makao ya Kiulaya na pia kama Hong Kong wa Kifaransa kwa Bahari ya Shamu.\"", "Jibuti (mji)\nHulka za mji wa Jibuti ...
[ "Kismayu\nKismayu (pia: Kismayo au (Kisomali: Kismaayo) ni mji katika mkoa wa Jubbada Hoose wa Somalia mwambaoni wa Bahari Hindi. Uko karibu na mdomo wa mto wa Juba. Kismayu ndio mji mkubwa katika eneo la Jubbaland. Mji wenyewe uko 528km kusini magharibi mwa mji mkuu Mogadishu. Katika mwaka wa 2011, Kismayu ilikadi...
26
Je,Mengistu Haile Mariam alizaliwa lini?
[ "Mengistu Haile Mariam\nMengistu alizaliwa tar. 27 Mei 1937 katika mji wa Addis Ababa. Babake Haile Mariam alikuwa mtumishi wa mkabaila na gavana wa sehemu ya jimbo la Shoa. Wazazi wake walitoka katika kusini ya Ethiopia (leo: Jimbo la Mataifa ya Kusini). Mamake Mengistu alikufa alipokuwa mdogo wa miaka 8 kwa hiyo ...
[ "Haile Mariam Desalegne\nHaile Mariam alizaliwa mwaka 1965 katika wilaya ya Boloso Sore kwenye kanda la Wolayita lililopo katika kusini ya Ethiopia. Familia yake ni sehemu ya kundi la Wawolayta na wakristo; tofauti na asilimia kubwa ya Wawolayta Haile Mariam anafuata aina ya ukristo wa kipentekoste katika kanisa la...
44
Je,nani aligundua kifaa cha darubini?
[ "Darubini\nDarubini (kutoka Kiajemi: دوربين, \"dorbin\") ni kifaa cha kutazamia vitu ambavyo viko mbali. Kutegemeana na kusudi lake kuna aina mbalimbali:Darubini ya kwanza inayojulikana ilitengenezwa mwaka 1608 na Mholanzi Hans Lipperhey aliyekuwa fundi miwani akaunganisha lenzi mbili katika bomba." ]
[ "Chocheeni Kuni\nUBETI WA KWANZA:\nWatanzania, mwenda kwao siku zote haogopi giza\nAcheni nirudi nyumbani safari imenishinda, nauli zenu nitarudisha.\nMtu anatapika nyongo yake, anailamba tena anaangaliwa\nNi sawa na tawi kavu linapoanguka watu wakapiga kelele, ayaaaa\nKatika misimu minne kwa mwaka, tuongeze msimu ...
24
Je somo la kiswahili linafunzwa Uganda?
[ "Mwajuma Selemani Mohamed\nHARAKATI ZAKE ZA UANDISHI.\nMwajuma alianza kujishughulisha na uandishi wa Riwaya na Ushairi tangu alipokuwa anasoma sekondari. \nKipaji hicho alikiendeleza hata alipokuwa Chuoni. \nBaada ya jitihada kubwa sana alizozionyesha chuoni kama mdau mkubwa wa kiswahili hatimae alijiunga na CHAMA...
[ "Gideon Byamugisha\n1992 alipokea baraka ngazi ya ukasisi akapewa jukumu la kufundisha chuo cha theolojia Mukono (sasa: Chuo Kikuu cha Kikristo cha Uganda). Wakati ule alifuata ushauri kutafuta upimaji wa damu yake ahakikishe hana UKIMWI. Alipopimwa akaonekana kuwa na viini vya HIV vilevile. Aliambiwa matokeo dakik...
57
Simone Gooden alizaliwa wapi?
[ "Monie Love\nSimone Gooden (amezaliwa tar. 2 Julai 1970), anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Monie Love, ni emcee kutoka nchini Uingereza na mtangazaji wa redio wa zamani huko nchini Marekani. Alikuwa mtu aliyeheshimiwa sana katika hip hop ya Kiingereza, na kuleta mgongano/athira kubwa na wasaili/maemc...
[ "Simone Deveaux\nKwenye kipengele cha \"One Giant Leap\", Simone anachukua mchoro wa Claire na Zach na kumweleza Isaac kwamba anaenda kuziuza picha zile na kisha aende kufanyiwa uondolewaji wa matumizi mabaya ya dawa za kulevya. Wakati Isaac anakataa, akaachana naye. Siku ile baadaye, Peter Petrelli, ambaye hivi ka...
35
Je,sensa hufanyika nchini Kenya baada ya kila miaka ngapi?
[ "Sensa\nSensa ni utaratibu wa kupata na kutunza habari kuhusu idadi ya watu fulanifulani. Pia ni utaratibu wa mara kwa mara na hesabu rasmi ya idadi ya watu hao. Msamiati hutumiwa zaidi kuhusiana na idadi ya kitaifa na sensa ya mlango kwa mlango (kuchukuliwa kila miaka 10 kulingana na mapendekezo ya Umoja wa Mataif...
[ "Uchaguzi nchini Kenya\nUchaguzi Mkuu nchini Kenya hufanyika baada ya kila miaka mitano. Katika miaka ya hivi karibuni. Kenya imekuwa ikikumbwa na mizozo wakati wa uchaguzi, kwa mfano shuhudio la uchaguzi wa urais mnamo 2007. Ingawa mfumo wa vyama vingi ulianzishwa nchini mnamo 1992 na licha ya nchi hii kufanya uch...
11
Je,Mji mkuu wa Namibia ni upi?
[ "Windhoek\nWindhoek ni mji mkuu wa Namibia, na uko mahali pa 22.56 S 17.09 E. Idadi ya wakazi wake ni takriban 230,000. Mji huu ni kituo muhimu kwa biashara ya ngozi za kondoo. Zamani ulikuwa makao makuu ya mtemi wa kabila la Nama aliyewashinda kabila la Waherero wakati wa karne ya 19. Mwaka wa 1885, nchi ilivamiwa...
[ "Mkoa wa Omaheke\nMkoa wa Omaheke ni moja ya mikoa 13 ya kujitawala ya Namibia lenye wakazi 67,496 kwenye eneo la 84,732 km². Mji mkuu ni Gobabis.", "Mkoa wa Ohangwena\nMkoa wa Ohangwena ni moja ya mikoa 13 ya kujitawala ya Namibia lenye wakazi 227,728 kwenye eneo la 10,582 km². Mji mkuu ni Eenhana.", "Mkoa wa ...
17
2pac Shakur aliuwawa akiwa na miaka ngapi?
[ "Tupac Shakur\nTupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki...
[ "Me Against the World\nMwaka wa 1993, Tupac Shakur tayari alishakuwa na mafanikio katika tasnia ya muziki wa hip hop, akiwa na kwa ajili ya single zake zilizompeleka katika ishirini bora kwa chati za pop (\"I Get Around\", \"Keep Ya Head Up\"), na kwa albamu mbili ambazo zimeweza kushika ishirini-na-tano bora za \"...
40
Edith Chewangel Masai alizaliwa wapi?
[ "Edith Masai\nMasai alizaliwa katika kijiji cha Chepkoya, wilaya ya Mlima Elgon. Alishindana wakati wake wa shule ya sekondari wakati alikuwa katika shule ya upili ya Kibuk. Alihitimlu kutoka skuli hiyo mwaka wa 1988. Alijiunga na Kenya Prisons Service mwaka wa 1990, inayojulikana sana kwa kusajili wanariadha wengi...
[ "Edith Masai\nEdith Chewangel Masai (alizaliwa mnamo 4 Aprili 1967) ni mwanariadha kutoka Kenya. Mafanikio yake bora ni medali tatu za dhahabu za kibinafsi katika mashindano ya dunia ya kuvuka nchi ya IAAF kati ya mwaka wa 2002 na 2004. Pia anajulikana kwa kufikia mpaka wa kimataifa akiwa na umri wa miaka 35.", "...
35
Nani rais wa shirikisho la FIFA duniani?
[ "FIFA\nKisheria ni shirika binafsi lililoandikishwa huko Uswisi. Makao makuu yapo Zurich. Rais Joseph Blatter ameongoza kwa muda wa miaka 18 kabla ya kumuachia Gianni Infantino, raia wa Uswisi. Fatma Samba Diouf Samoura wa Senegal ndiye Katibu Mkuu wake." ]
[ "FIFA kombe la shirikisho la Mabara 2009\nFIFA kombe la shirikisho la Mabara 2009 lilikuwa kombe ka shirikisho, la mara ya nane na lilifanyika Afrika ya Kusini kuanzia 14 Juni - 28 Juni 2009 likifatia Kombe la Dunia la FIFA 2010. Droo ilifanyika tarehe 22 Novemba 2008 kwenye ukumbi wa Sandton Convention Centre mjin...
56
Je,Bill Gates ana watoto wangapi?
[ "Bill Gates\nBill Gates alifanya ndoa na Melinda French Gates mwaka wa 1994 na wakabarikiwa na watoto watatu, Jennifer, Rory na Fibi. Wote wawili Bill na Melinda ni waanzilishi wa mashirika yasiyo ya kiserikali. Waliweza kulianzisha shirika la Bill na Melinda Gates Foundation ambalo limeweza kuchangia zaidi ya dola...
[ "Bill Gates\nBill Gates pia ana maslahi katika biashara nyingine akiwa na nafasi nyingi za uwekezaji na vyeo katika kampuni tofauti ikiwemo Corbis Corporation, Berkshire Hathaway Inc, Teledesic Corporation. Mwaka wa 1998 Gates alijitoa jukumu lake kama Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Microsoft na kuzingatia maendeleo...
8
Otto Von Bismarck alizaliwa wapi?
[ "Otto von Bismarck\nJina lake kamili lilikuwa Otto Eduard Leopold von Bismarck-Schönhausen. Alizaliwa katika familia ya kitemi wa cheo cha chini katika ufalme wa Prussia, mama yake alikuwa wa asili ya kiraia." ]
[ "Otto von Bismarck\nBismarck alikuwa kiongozi wa Ujerumani wakati nchi za Ulaya ziliendelea kujipatia pande kubwa za dunia kama koloni. Mwanzoni alipinga makoloni kwa Ujerumani. Aliona gharama kubwa za kupata, kujenga na kutetea koloni akaona ya kwamba faida yoyote ya kuwa nazo hailingani na gharama hizo.", "Otto...
35
Je,twiga hubeba uja uzito kwa miezi ngapi?
[ "Twiga\nTwiga hubeba mimba kwa siku 400 mpaka 460 ambapo mara nyingi huzaa ndama mmoja hatimaye japo mapacha hutokea mara kadhaa. Mama hujifungua akiwa amesimama na kende lake hukatika mtoto aangukapo ardhini. Ndama akizaliwa huwa na urefu wa mita 1.8. Baada ya masaa kadhaa, mama huweza kukimbia japo ndani ya wiki ...
[ "Wamatengo\nKipindi za uzazi mke hujitenga na mumewe kitendo kinachojulikana kama masegati kwa lugha ya Kimatengo. Mtoto anapofikisha miezi sita hupewa uji maarufu kama ukoba ambao hutengenezwa kwa unga wa ulezi na kinywaji kiiwatcho nimbi ambacho ni togwa ya watoto wachanga. Mtoto akishaanza kula vyakula tofauti n...
55
Nchi ya Urusi iko na ukubwa wa kiasi gani?
[ "Jiografia ya Urusi\nJiografia ya Urusi inaeleza tabia za nchi ya Urusi inayotanda juu ya maeneo mapana ya Eurasia ya kaskazini na ambayo ni nchi yenye eneo kubwa duniani, ikiwa na kilomita za mraba milioni 17.\nIna asilimia 11 za maeneo yote ya nchi kavu duniani ndani yake ambayo ni sawa na jumla ya maeneo ya Ulay...
[ "Urusi\nTabianchi ya Urusi ni hasa ya kibara, kutokana na umbo la nchi na umbali wa sehemu nyingi na bahari. Maeneo mengi yana umbali wa kilomita 400 na zaidi kutoka ufukoni, na kitovu cha nchi kina umbali wa kilomita 3,840 kutoka bahari.", "Gesi asilia\nMnamo mwaka 2004 takriban mita za mjao bilioni 589 zilizali...
60
Nani mmiliki wa kampuni ya google?
[ "Google\nMatumizi ya Google ni bure, lakini kampuni ina mapato makubwa kutokana na matangazo ya biashara kwenye kurasa zake na thamani ya kampuni imekadiriwa kuwa bilioni za dolar 130 hivi. Umaarufu wa mashine ya kutafuta ya Google umetokana na sababu mbalimbali ikiwemo kanuni zinazotumika kuzipa ukurasa daraja la ...
[ "Nani\nNani alifunga katika dakika ya 10 katika FA Community Shield mwaka wa 2009, lakini United ilipoteza mechi hiyo kupitia mikwaju ya penalti kufuatia sare ya 2-2. Nani alijeruhiwa begani wakati wa mechi hiyo, ambayo awali ilitarajiwa kumweka hadi mwanzo wa msimu, lakini alipona na kuichezea Ureno dakika 17 dhid...
2
Je,Vita vya kwanza vya dunia viliisha mwaka gani?
[ "Ukristo barani Afrika\nVita vikuu vya dunia vilisaidia kukomaa kwa Kanisa la Afrika. Kwa mfano, mahali pengi Tanzania makanisa yalianzishwa na wamisionari Wajerumani (Wakatoliki, Walutheri, Wamoravia, Wasabato n.k.). Katika vita vikuu vya kwanza (miaka 1914-18) jeshi la Kiingereza liliingia na kuteka Afrika ya Mas...
[ "Pikipiki\nVita vya kwanza vya dunia vilichangia pakubwa katika uboreshaji wa pikipiki. Wanajeshi waliona kuwa walikuwa wakitumia muda mrefu sana kusafiri kwa miguu au farasi na kwa hiyo, mahitaji ya pikipiki yakaweza mengi. Kampuni ya Harley-Davidson ilijipata ikitumia takribani asilimia hamsini ya wakati wake kat...
58
Nchi ya Msumbiji imepakana na nchi ngapi?
[ "Msumbiji\nMsumbiji iko ufukoni mwa Bahari Hindi ikipakana na Tanzania, Malawi, Zambia, Zimbabwe, Afrika Kusini na Uswazi." ]
[ "Msumbiji (kisiwa)\nKisiwa cha Msumbiji au kwa lugha ya Kireno \"Ilha de Moçambique\" ni kisiwa kidogo na pia mji kilichopo 3 km mbele ya mwambao wa Msumbiji ya kaskazini. Urefu ni 3 km na upana kati ya 500 hadi 200 m. Kisiwa ni sehemu ya mkoa wa Nampula. Mji huu ni chanzo cha koloni ya Kireno ya Msumbiji ilikuwa m...
43
Dini ya Kiislamu ina takriban watu wangapi?
[ "Uislamu\nWafuasi wa imani hiyo huitwa \"Waislamu\" na wanakadiriwa kuwa milioni 1,400 hivi. Hivyo ni dini ya pili duniani yenye wafuasi wengi baada ya Ukristo wenye wafuasi milioni 2,200." ]
[ "Jamhuri ya Watu wa Zanzibar\nDini ya Uislamu ina kiasi cha 97% za wananchi wote. Waliobaki ni hasa Wahindu na Wakristo, lakini Wahindu wengi walikimbia nchi au kuuawa wakati wa mapinduzi ya mwaka 1964. Wakristo walikuja wakati wa utawala wa Kireno na ukoloni wa Uingereza.", "Muhinda\nDini kuu ni mbili, Ukristo n...
7
Je,Michael Wamalwa Kijana alikuwa katika chama gani ya kisiasa?
[ "Michael Wamalwa Kijana\nKatika pilikapilika za uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi katika Kenya huru wa mwaka wa 1992, Wamalwa alijitambulisha na FORD-Kenya, chama ambacho kilijiondoa kwenye muungano wa upinzani wa FORD. Alichaguliwa kuwa mbunge wa eneo bunge la Saboti na vilevile Makamu Mwenyekiti kwanza wa chama c...
[ "Michael Wamalwa Kijana\nKatika pilkapilka za uchaguzi wa mwaka 2002, walianzisha muungano wa kisiasa na Mwai Kibaki na Charity Ngilu ili kuja na upande wa kushinda. Baadaye Kalonzo Musyoka na Raila Odinga,walipogundua upande wao wa KANU ulikuwa umeelekea kupoteza, walibadili mrengo na kujiunga nao ili kufaidi na h...
0
Eneo la Uajemi lina ukubwa gani?
[ "Ghuba ya Uajemi\nEneo lote la ghuba ni 233,000 km². Maji matamu huingia kwa njia ya mito ya Frati na Hidekeli inayoungana katika Shatt al Arab." ]
[ "Eneo Bunge la Embakasi\nEneo Bunge la Embakasi ni eneo bunge la uchaguzi nchini Kenya. Ni moja kati ya maeneo bunge nane katika Mkoa wa Nairobi. Linajumuisha vitongojo vya mashariki na kusini mashariki vya Nairobi. Ikiwa na wapiga kura waliosajiliwa takribani 164,227, ndilo eneo bunge lenye wapiga kura wengi sana ...
60
Gabon ilipata uhuru mwaka gani?
[ "Gabon\nJamhuri ya Gabon, kutoka kushinda uhuru kutoka Ufaransa tarehe 17 Agosti 1960, imeongozwa na Rais watatu, Léon M'ba, El Hadj Omar Bongo ambaye amekuwa kiongozi kutoka mwaka wa 1967 hadi kifo chake (2009: ndiye aliyekuwa kiongozi barani Afrika aliyeshikilia uongozi kwa muda mrefu zaidi), halafu mwanae Ali.",...
[ "Omar Bongo\nKiongozi huyo amevunja rekodi ya kuwa Rais aliyekaa muda mrefu marakani kuliko Rais yeyote barani Afrika. Rais huyo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73, ambapo ameiongoza Gabon kwa miaka 42.\nBongo alijiunga na serikali ya Gabon mwaka 1965 na mwaka 1967 akawa makamu wa Rais ambapo mwaka huo huo a...
18