swa
stringlengths
1
1.04k
en
stringlengths
1
947
col_data
listlengths
5
5
direction
stringclasses
2 values
Mtu mmoja alitaka watu wajue kwamba alikuwa na shukrani kwa ukarimu wa Rais wa Togo Faure Gnassingbé.
Someone sure wanted people to know that he was thankful for Togolese President Faure Gnassingbé generosity.
[ "Source: Kudos to Nepal Police!\t Target: \"Shukrani kwa polisi wa Nepali!\"", "Source: I respect the kindness to provide humanitarian aid.\t Target: \"Ninaheshimu ukarimu wao wa kutoa misaada ya kibinadamu.\"", "Source: Togolese citizens were taken aback by the message and its exuberance.\t Target: \"Raia wa T...
swa
Kwenye Facebook, Ghong Jhala aliuliza:
On Facebook, Gongs Jhala asked:
[ "Source: Another Zimbabwean, \"William Doctor,\" asked: \t Target: \"Raia mwingine wa Zimbabwe, \"William Doctor,\" aliuliza:\"", "Source: Twitter user Thierry Uwamahoro asked:\t Target: \"Mtumiaji wa Twitter, Thierry Uwamahoro aliuliza:\"", "Source: One commenter by the name of \"Stoudemire\" posed this questi...
swa
Chanzo: IRNA.
Source: IRNA.
[ "Source: Source: ‏@ArsalanMKhan\t Target: \"Chanzo: ‏@ArsalanMKhan\"", "Source: Source: ‏@annyzaidi\t Target: \"Chanzo: ‏@annyzaidi\"", "Source: Source: U.S. Library of Congress (Public Domain)\t Target: \"Chanzo: maktaba ya Congress (Kwa matumizi ya umma)\"", "Source: Source: UNICEF España on Twitter.\t Targ...
swa
Serikali, kwa mujibu wa Jaji Thokozile Masipa, ilishindwa kuthibitisha pasipo mashaka yoyote kwamba Pistorius alikusudia kumwua.
The state, according to Judge Thokozile Masipa, failed to prove beyond a reasonable doubt that Pistorius intended to kill her.
[ "Source: But #JudgeMasipa had well reasoned argument reaching sentence. #OscarSentence #OscarTrial. — Thebe Ikalafeng (@ThebeIkalafeng) October 21, 2014 \t Target: \"Lakini Jaji Masipa alikuwa na hoja inayoeleweka kutoa hukumu\"", "Source: According to the website:\t Target: \"Kwa mujibu wa tovuti hii:\"", "Sou...
swa
Baada ya hapo tovuti hiyo ilizuiwa kuonekana nchini Iran.
The website was then filtered in Iran.
[ "Source: He then gave a blow-by-blow account of his experience on voting day:\t Target: \"Na baada ya hapo alitoa uzoefu wake mmoja baada ya mwingine katika siku hiyo ya kupiga kura:\"", "Source: Several Iranian officials such as Mohammad Javad Zarif, Minister of Foreign Affairs, use Facebook and Twitter while th...
swa
Wimbo wenyewe ni ule wa "I Am Coming Home" ulioimbwa na Morgan Heritage:
The song is "I Am Coming Home" by Morgan Heritage:
[ "Source: The chant is part of the Tunisian national anthem.\t Target: \"Wimbo huo ni sehemu ya wimbo wa taifa wa Tunisia.\"", "Source: In this episode of the Week that Was at Global Voices, we featured Creative Commons licensed music from the Free Music Archive, including Please Listen Carefully by Jahzzar; Cloud...
swa
Hotuba ya Obama akiwa Ghana miaka minne iliyopita iliwaacha wa-Afrika na wasiwasi na palikuwa na uwanja mdogo sana unaofanana.
Obama’s speech in Ghana four years ago left many Africans sceptical and there seemed to be little common ground.
[ "Source: U.S. President Barack Obama gave a speech in Ghana which could be considered as his Africa policy speech.\t Target: \"Rais wa Marekani Barack Obama alitoa hotuba yake Ghana ambayo inaweza kuchukuliwa kuwa kama hotuba ya sera yake ya Afrika.\"", "Source: Babajidesalu shared a similar view:\t Target: \"Bab...
swa
Kama sehemu ya maadhimisho yetu, tumeamua kuwashukuru wanasiasa waliotoa zawadi kwa haki kwa namna ya msaada wao wa KONY 2012.
As part of our celebrations, we’ve decided to thank the politicians that gave a gift to justice through their support of KONY 2012.
[ "Source: 2011\t Target: \"2012\"", "Source: Two years ago today we started a campaign called KONY 2012.\t Target: \"Miaka miwili iliyopita tulianzisha kampeni inayoitwa KONY 2012.\"", "Source: Calls her the most precious gift that came into her life.\t Target: \"Alimtaja kama zawadi nzuri ambayo ilitolewa kwa a...
swa
Tukumbuke siku zote kuwa serikali inatutumikia, na sio kinyume chake!
We must always remember that the government works for us, not the other way around!
[ "Source: Or no?\t Target: \"Au sio?\"", "Source: However, it is not the working language of the federal government. \t Target: \"Pamoja na hayo, hiyo sio lugha rasmi kwa serikali ya shirikisho.\"", "Source: Mourn the man, but remember to celebrate the legend. \t Target: \"Kumuomboleza sawa, lakini tukumbuke kum...
swa
Kituo cha kupigia kura katika Chuo Kikuu ya Poly mnamo tarehe 24 Machi.
Polling station at Poly University on March 24.
[ "Source: Nigerian polling agent.\t Target: \"Mfanyakazi wa kituo cha kupigia kura Naijeria.\"", "Source: A protester near the Teacher Students Centre (TSC) of Dhaka University.\t Target: \"Mwandamanaji karibu na kituo cha walimu tarajali cha Chuo Kikuu cha Dhaka (TSC).\"", "Source: Hate Speech Laws in India - C...
swa
Picha yake ilitundikwa nje ya nyumba yao huko Qassim.
His picture was hung outside their home in Qassim.
[ "Source: Photo: F.S.\t Target: \"Picha: F.S.\"", "Source: A TV screen shot of Mampi in the BBA House.\t Target: \"Picha ya Mampi kutoka kwenye moja ya picha za televisheni akiwa ndani ya nyumba ya BBA.\"", "Source: On Twitter, others have also expressed strong opinions and different views in favor of the bill: ...
swa
Tathmini za wapinzani
Reflections from the opposition
[ "Source: Check out our regional reviews of Global Voices in 2012\t Target: \"Pitia tathmini zetu za kikanda za Sauti za Dunia (Global Voices) kwa mwaka 2012\"", "Source: The petitions received to date vary and include calls for a review of the powers of the executive.\t Target: \"Mapendekezo yaliyopokewa mpaka hi...
swa
Reclaim Naija inatafsiri upya dhana ya uangalizi wa uchaguzi nchini Naijeria:
Reclaim Naija is redefining election monitoring in Nigeria:
[ "Source: Wikipedia lo define como:\t Target: \"Wikipedia inatafsiri dhana hiyo:\"", "Source: Niger is a country of contrasts.\t Target: \"Naija ni nchi ya vinyume.\"", "Source: The 1992 elections is aclaimed to be the freest and fairest election held in Nigeria.\t Target: \"Uchaguzi wa mwaka 1992 ndio uchaguzi ...
swa
Nyuma ya huyu mama kijana ambaye anaangalia kamera bila ya aibu, kuna mpingaji wa kidini anayezungumzia kusamehewa na kutubu.
Behind this young woman, who looks directly at the camera without a trace of shyness, there is a religious protester speaking of forgiveness and repentance.
[ "Source: Woman protesting -\t Target: \"Aibu Gani!!\"", "Source: Kadiseran could be excused.\t Target: \"Kadiseran angeweza kusamehewa.\"", "Source: Is the question shameful?\t Target: \"Je, swali ni la aibu?\"", "Source: The first and second cameras were for BBC, while the third camera was for her office sta...
swa
Kubusiana mjini La Habana.
Kissing in La Habana.
[ "Source: What university means: management is like prison, the quality is for hooligans. learn how to kiss in public, consume like a white-collar worker, daydream in class. \t Target: \"Nini maana ya chuo kikuu: utawala ni kama jela, ubora ni kwa ajili ya wahuni. wanajifunza namna ya kubusiana hadharani, matumizi y...
swa
Kufuatia kosa hili, watumiaji wa mtandao wa Facebook nchini Ufilipino wanacheka ingawa wengi wanaishukuru Facebook kwa kuwatumia salamu za Siku ya Uhuru.
Filipino Facebook users are laughing over this mistake although majority are grateful Facebook remembered to send its Independence Day greetings.
[ "Source: June 12 is Independence Day in the Philippines.\t Target: \"Juni 12 ni Siku ya Uhuru nchini Ufilipino.\"", "Source: Happy Independence Day, Philippines. \t Target: \"Heri ya Siku ya Uhuru, Ufilipino.\"", "Source: The statement, shared on Facebook, reads: \t Target: \"Taarifa, kupitia mtandao wa Faceboo...
swa
Wakati yeye alijitolea kimaadili na kwa sababu za haki - kumaliza ubaguzi dhidi ya Waafrika weusi nchini Afrika Kusini - Mandela hakupinga kutumia vurugu kama njia ya sababu zake.
While he dedicated himself to a noble and righteous cause – ending discrimination against black Africans in South Africa – Mandela was not at all opposed to employing violence as a means for his cause.
[ "Source: Macky Sall’s response did not disappoint Senegalese traditionalists : For much of the 1980s, the United Kingdom and United States were perceived by some South Africans, not wholly without reason, as tolerating the apartheid government. \t Target: \"Kwa kiasi kikubwa kwenye miaka ya 1980, Marekani na Uinger...
swa
Sasa lazima tugeuze nchi zetu ili zipige hatua za kimaendeleo, huku tukisaisha makosa yetu, twapaswa kusonga mbele…’ Makamu wa Rais wa Jamhuri Dr Guy Scott, miaka hamsini baada ya uhuru, juma moja tu lililopita alipokuwa akizungumzia bajeti ya serikali ya mwaka 2015 alisema: ‘Vipaumbele vyetu vya taifa vimepinda.
Now we must transform our countries and move towards modernity, correcting our past mistakes, but moving forward all the time...' The Republican Vice President Dr Guy Scott, fifty years post-independence, only one week ago, commenting on the 2015 National Budget said this: 'Our priorities as a nation are wrong.
[ "Source: Recently, a Facebook page in the name of the country’s Vice President Dr. Guy Scott, cropped up sending “friend requests” to people who usually comment on political issues on the social networking site. \t Target: \"Hivi karibuni, ukurasa wa Facebook kwa jina la Makamu wa Rais wa nchi hiyo Dr. Guy Scott, u...
swa
Mwanablogu huyo alipiga kele akisema “je mnabeba propaganda za kampeni ndani ya gari la ukumbi wa Jiji?
The blogger shouts “Are you carrying electoral propaganda in the car of the City Hall?
[ "Source: The blogger explains:\t Target: \"Mwanablogu huyo anaeleza:\"", "Source: Is a Russian troll farm really launching a news agency?\t Target: \"Je,Ni kweli kuwa Kundi la Urusi la Propaganda za Mtandaoni Linaanzisha Chombo cha habari?\"", "Source: There, I saw a bus to Niteroi and embarked on it. \t Target...
swa
Watumiaji wengine wa mtandao wa Twita wamekuwa wakiweka picha zilizohaririwa kumdhihaki rais huyo.
Other Twitter users have been posting edited photos mocking the president.
[ "Source: Scores of supportive tweeps have leapt to the journalist's defence:\t Target: \"Baadhi ya watumiaji wa mtandao wa Twita wametetea mwandishi huyo:\"", "Source: Just tweets.\t Target: \"Ni ujumbe tu wa watumiaji wa twita.\"", "Source: Photo shared by @maritzasalazar on Twitter\t Target: \"Picha na @marit...
swa
Ni sherehe itupayo fahari ya kuwa tumetoa kitu chochote duniani!
It's a celebration that makes us proud to have given something to the world!
[ "Source: Times of joy, times of pride #Bangladesh #savar. \t Target: \"Ni wakati wa furaha, ni muda wa kujisikia fahari.\"", "Source: I detest it actually, it makes me more emotional than almost anything else. \t Target: \"Naichukia kusema kweli, na hunifanya kuwa na hisia za hasira zaidi ya kitu kingine chochote...
swa
Watu wana haki ya kuheshimiwa.
A pple out to be respected.
[ "Source: Protesters are rallying for liberty and demanding their rights be respected.\t Target: \"Waandamanaji wanapigania uhuru wa kuishi watakavyo na kushinikiza haki ya kuheshimiwa.\"", "Source: And Singaporeans have the right to expect the National Conversations to be like that.\t Target: \"Na watu wa Singapo...
swa
Katika majibu yake ya wazi kwa mara ya kwanza baada ya muswada huu kuletwa, alisema muswada huu "haukuwakilisha sehemu ya msimamo wa serikali" na namna "Uganda isivyoweza kuwa tayari kuhatarisha sera yake ya mambo ya nje kwa kuruhusu muswada huu kupia ukiwa katika sura iliyopo".
In his first public reaction after the introduction of the bill, he argued how it did “not represent the party of government position” and how “Uganda cannot risk its foreign policy by allowing the Bill to pass in its current form”.
[ "Source: Ugandan member of parliament, David Bahati, who proposed the bill back in 2009 has again considered tabling the draconian bill but with changes. \t Target: \"Mbunge wa ki-Ganda, David Bahati, aliyetoa hoja ya muswada huo mwaka 2009 kwa mara nyingine amefikiria kuurudisha tena muswada huo wa kikatili lakini...
swa
mkurugenzi wa gazeti jingine alishauriwa kutokuniajiri.
the director of another newspaper was advised to not hire me.
[ "Source: We boarded another train.\t Target: \"Tumepanda treni jingine.\"", "Source: Kenyan newspaper The Daily Nation reports:\t Target: \"Gazeti la Kenya linaripoti:\"", "Source: A newsstand advertising The Citizen, an independent newspaper in Dar Es Salaam, Tanzania. \t Target: \"Kibanda cha kuuzia Gazeti la...
swa
Angalau naweza kufiria makundi matatu yanayohusika na suala la ubaguzi wa rangi: Tume ya uangalizi wa watoto, vijana na haki sawa kwa wanawake; Tume ya Masuala ya Uchumi; Tume ya elimu, utamaduni, sayannsi, teknologia na mazingira.
I can think of at least three that are relevant to the issue of race: the Commission for the Attention of Childhood, Youth, and Equal Rights for Women; the Commission on Economic Issues; and the Commission of Education, Culture, Science, Technology, and the Environment.
[ "Source: On racism:\t Target: \"Kuhusu Ubaguzi wa Rangi:\"", "Source: If indeed our Electoral Commission really wants a more reliable and credible system of voting in Ghana, then I think the commission should have spearheaded the ideas highlighted above. \t Target: \"Kama kweli Tume yetu ya Uchaguzi inataka mfumo...
swa
Akaunti hii ilianzishwa mapema mwezi Mei mwaka huu, ina takribani marafiki 2,000 na inamtambulisha yeye kama Muislamu kwa asilimia 100 mwenye mtazamo wa siasa za kihafidhina, aneyependelea wanawake na ameoa.
His Facebook page, created early in May this year, has about 2,000 friends and identifies him as a 100% Muslim with conservative political views, interested in women and married.
[ "Source: (In such cases) who are legitimately entitled for that 10 or 20% of amount?\t Target: \"(Kwa mtazamo huu) ni nani mwenye haki ya kupewa hiki cha asilimia 10 au 20?\"", "Source: In 2013: 210k = 110K (before 2012) +100k (2012) laptops in country\t Target: \"Mwaka 2013: Kompyuta 210,000 = 110,000 (kabla ya ...
swa
Ayesha Saldanha anaangalia maoni kutoka Bahrain.
Ammaro is defiant:
[ "Source: Global Voices' own Ayesha Saldanha of Bint Battuta in Bahrain has also been posting updates from friends in Gaza.\t Target: \"Mwandishi wa Global Voices Ayesha Saldanha wa blogu ya Bint Battuta wa Bahrain pia amekuwa akipandisha makala kutoka kwa marafiki zake walioko Gaza.\"", "Source: @JamjoomCNN: I wa...
swa
Uoga huu ulifanya kujifungia nyumbani, ukiambatana na upweke wa muda mrefu.
This fear resulted in self-confinement at home, coupled with endless hours of total isolation.
[ "Source: The long wait for freedom:\t Target: \"Subira ya muda mrefu ya uhuru:\"", "Source: In short, the opposition fared poorly. \t Target: \"Kwa kifupi, upinzani ulifanya vibaya katika uchaguzi huo.\"", "Source: She's in it for the long haul, too. \t Target: \"Amekuwa akifanya hivyo kwa muda mrefu, pia.\"", ...
swa
Tovuti zilizoamriwa kufungiwa:
Websites ordered blocked:
[ "Source: A DNS block, followed by a patchy IPS block, then who-knows-what. \t Target: \"Kufungiwa kwa DNS, ikifuatiwa na kufungiwa kwa IPS, nani ajuaye nini kinafuata.\"", "Source: This is the third time that Peace TV has been suspended by the NBTC.\t Target: \"Hii ni mara ya tatu kwa Peace TV kufungiwa kurusha m...
swa
Kwa miaka michache ijayo, mpaka hapo serikali ya UNP itakapotekeleza sera zake kisiasa, watakuwa wanaendeshwa kutokea Colombo.
At least for the next few years, till a UNP government implements a political solution, they will be remotely controlled from Colombo.
[ "Source: If such demographic dynamics persist, in a few years immigrants, mostly from Asia, would constitute the majority of the Ukrainian people. \t Target: \"Kama kutakuwa na mabadiliko ya kitakwimu ya aina hii, kwa miaka michache ijayo, wahamiaji, hususani kutoka bara la Asia, wataongezeka kwa kiwango kikubwa ka...
swa
Ulimwengu wa wanablogu wa Kikongo ulijaa shutuma kali dhidi ya mahojiano ya hivi karibuni ya rais wa Kongo, Joseph Kabila kwenye gazeti la New York Times.
The Congolese blogosphere had harsh criticism for Congolese president Joseph Kabila's recent interview in The New York Times.
[ "Source: And he did it, to quote The New York Times, \"by a mile.\" \t Target: \"Na alifanya hivyo, Kwa mujibu wa nukuu katika gazeti la New York Times, 'kwa maili.'\"", "Source: It is fully packed.\t Target: \"Ulijaa vilivyo.\"", "Source: President of South Sudan Salva Kiir Mayardit outside the Security Counci...
swa
Anaeleza:
And explains:
[ "Source: The blogger explains:\t Target: \"Mwanablogu huyo anaeleza:\"", "Source: Explains DW-World :\t Target: \"DW-World anaeleza:\"", "Source: In a statement quoted by The Daily Monitor, Musveni explained his position: \t Target: \"Kwa kauli yake iliyokaririwa na gazeti la Daily Monitor, Rais Museveni anaele...
swa
Wahuni hao walifunga lango kuu la kuingilia kwenye jengo la gazeti hilo mnamo tarehe 13 Oktoba na kuzuia magazeti kupandishwa kwenye magari ya kusambaza.
They blocked the entrance of Apple Daily on October 13 and obstructed the papers from being loading onto the trucks.
[ "Source: Patrols keep coming and going to the university main entrance.\t Target: \"Doria inaendelea kuja na kwenda katika lango kuu la chuo kikuu.\"", "Source: In the evening when they got home, the snow was freshly swept away from their gate. \t Target: \"Walipofika nyumbani jioni ile, walikuta ndiyo kwanza the...
swa
Mona El Tahawy hakupendezwea na jinsi Wamisri walivyopamba moto na kuguswa juu ya bikira bandia pamoja na matatizo yote Wamisri wanayoyakabili siku hizi – gharama za maisha zinazopanda, rais aliye madarakani kwa miaka 28 ambaye mwanawe anaelekea kumrithi, nk. – kelele zote za nini juu ya bikira, iwe ya kweli au ya band...
Mona El Tahawy did not like how Egyptians were hot and bothered over fake hymensWith all the troubles Egypt faces these days — spiralling cost of living, a president in power for 28 years whose son looks likely to succeed him, etc. — why all the fuss over hymens, real or fake?
[ "Source: 90% of Egyptians do NOT believe he did it and the court owes it to the Egyptians to announce what they based the verdict upon!!\t Target: \"Asilimia 90 ya Wamisri hawaamini kuwa alifanya na mahakama inapaswa kuwaeleza Wamisri msingi wa hukumu hii!!!\"", "Source: It seems to be a fake profile after all.\t...
swa
Safaricom ilikuwa kampuni ya kwanza nchini Kenya kutoa huduma ya miamala ya kibenki.
Safaricom was the first company in Kenya to offer mobile money transfers.
[ "Source: March 2014 marks seven years since M-Pesa, a mobile-phone based money transfer and micro-finance service, was introduced to Kenya by telecoms company Safaricom. \t Target: \"Mwezi Machi 2014 yatakuwa ni maadhimisho ya miaka saba tangu M-Pesa, huduma ya kufanya miamala ya kifedha kwa njia ya simu na huduma ...
swa
Kabla na wakati huo, makampuni binafsi na serikali yalikuwa na ajenda ambazo daima hazikuwa zikiambatana na maslaha mapana ya jamii.
Both before and then, private companies and governments have agendas that don't always coincide with general interest.
[ "Source: He does cover the story with some very interesting pictures and comments.\t Target: \"Anaandika habari zikiambatana na picha za kuvutia pamoja na maoni.\"", "Source: Hundreds of thousands are out in the streets across #Bulgaria protesting private monopolies of utilities and economic hardship!!!\t Target:...
swa
Mmoja wapo wa jamaa mahodari sana nchini Kenya katika kila wakati wa dharura ni Philip Ogola wa Shirika la Msalaba Mwekundu Kenya.
One of the most amazing guys in Kenya in any emergency is Philip Ogola of the Kenya Red Cross.
[ "Source: The Red Cross lamented that basic services have not been restored in some areas:\t Target: \"Shirika la Msalaba Mwekundu lilielezea kuwa huduma za msingi bado hazijarejeshwa katika baadhi ya maeneo:\"", "Source: African citizen: Africa isn't a country https://t.co/UQbY0tPLmR — fluffy (@curiousgawker) 2 d...
swa
Kisichofahamika, bila shaka, ni muda uliotumiwa kubuni na katika uundaji wa katuni, na pia upangiliaji wa vifaa vilivyokuwa juu ya meza.
What it conceals, most likely, is hours of design and animation work, as well as careful choreographing of the gadgets on the table.
[ "Source: The Press Union of Liberia’s attention is specifically drawn to several circumstances that do not only restrain journalists in their obligation to seek out and share useful news and information with the public, but significantly threaten even media participation in the global fight against Ebola. \t Target...
swa
Hii lazima kufanyika katika ngazi ya kitaifa na muhimu zaidi, katika ngazi za mitaa
This should be done at the national level and most importantly, at the local level
[ "Source: The hypocrisy in some ranks has hurt the country and apparently is still crippling us.\t Target: \"Unafiki katika ngazi fulani umeiumiza nchi hii na bila ya shaka unaendelea kutukwaza.\"", "Source: National and local leaders should resist pressure by some union leaders for an increase in the minimum wage...
swa
Picha kutoka kwenye ukurasa wa Facebook wa Chan Pui Man.
Photo from Chan Pui Man's Facebook page.
[ "Source: Image from the Facebook page of Yingluck Shinawatra.\t Target: \"Picha kutoka kwenye ukurasa wa Facebook wa Yingluck Shinawatra.\"", "Source: Image source: Ghana Decides Facebook page.\t Target: \"Picha kutoka ukurasa wa Facebook wa Ghana Decides.\"", "Source: Photo from Facebook of Tine Sabillo\t Targ...
swa
Kwanza fikiria jina lako litaonekanaje kwenye cheti chako cha kuzaliwa kama ungezaliwa Kazakhstan, ambayo ni sehemu ya muungano wa kisoveti kabla ya mwaka 1991.
First imagine how your current name would have appeared on a birth certificate if you had been born in Kazakhstan, which was part of the Soviet Union before 1991.
[ "Source: They are Muslims by birth and by name.\t Target: \"Ni Waislamu kwa kuzaliwa na kwa jina.\"", "Source: The 9 December, 2011, is a big day for Tanzanians as the mainland part of the United Republic of Tanzania, Tanganyika, turns 50. \t Target: \"Desemba 9, 2011, ni siku maalumu kwa Watanzania wakati Tangan...
swa
Kwa hiyo, inawezekana, mwanajeshi mzee wa miaka 135 kweli akapiga kura kwenye uchaguzi huo wiki iliyopita.
So apparently, a 135 year old soldier actually voted in #Zimelections last week.
[ "Source: Probably.\t Target: \"Inawezekana.\"", "Source: If she is a Muslim, is a wedding possible? \t Target: \"Kama ndivyo, hivi hapo harusi inawezekana kweli?\"", "Source: They hoped it would be easier to win these small-scale contests, which took place last weekend. \t Target: \"Walitumaini itakuwa rahisi k...
swa
Grafu ya PSI (wazi kwa wote).
Graph by PSI (available in public domain).
[ "Source: To the point, PSI notes: \t Target: \"PSI wanadokeza kuwa:\"", "Source: The event is open to all but seats are limited.\t Target: \"Tukio hili ni wazi kwa wote lakini nafasi ni chache.\"", "Source: Or all Cubans?\t Target: \"Au wa-Cuba wote?\"", "Source: The event is open to all, but participants mus...
swa
Wanablogu wengi wa upinzani walifuatilia kwa karibu kampeni za Capriles, kwa hamasa ya kile kilichoonekana kuwa wakati muafaka wa mabadiliko nchini Venezuela.
Many opposition bloggers followed Capriles' campaign closely, with enthusiasm for what seemed to be the right moment for a change in Venezuela.
[ "Source: On the side of the opposition there is gratitude for Henrique Capriles and his campaign, criticism towards the President's opportunism, and allegations of serious irregularities that go back to the days of the campaign. \t Target: \"Kwa upande wa upinzani kuna pongezi kwa Henrique Capriles na timu yake ya ...
swa
Waandishi wa habari waliokuwa wakipasha habari kutoka katika eneo la tukio nao walitiwa nguvuni.
Journalists who were live tweeting from the scene were also arrested.
[ "Source: One Million for the Freedom of Press in Hungary, also known as Milla, shared this meme using a photo of Orbán being arrested in 1988 and the photo of one of the students arrested now: \t Target: \"Blogu ya Milioni Moja kwa Uhuru wa Habari nchini Hangari, ambayo pia hujulikana kama Milla, iliweka ujumbe huu...
swa
Mwanablogu mwingine mashuhuri, Anton Nossik (ambaye pia ni mtumiaji wa LJ anayejulikana kama dolboeb), aliandika :
Another popular blogger, Anton Nossik (aka LJ user dolboeb), wrote :
[ "Source: One of the first bloggers to tell the news was Marina Litvinovich (aka LJ user abstract2001), an opposition blogger, who posted photos from Lubyanka subway station , where the first blast occurred: \t Target: \"Mmoja kati ya wanablogu wa kwanza kutangaza habari hii alikuwa Marina Litvinovich (ambaye pia ni...
swa
CC BY-NC 2.0.
CC BY-NC 2.0.
[ "Source: CC BY 2.0.\t Target: \"CC BY 2.0.\"", "Source: Image by Flickr user stephen_bostock (CC BY-NC 2.0).\t Target: \"Picha ya Flickr na stephen_bostock (CC BY-NC 2.0).\"", "Source: CC BY-SA 3.0\t Target: \"CC BY-SA 3.0\"", "Source: CC 2.0.\t Target: \"CC 2.0.\"", "Source: By Cristiano Corsini on Flickr ...
swa
Ingawa hatukubaliani naye, tunathamini nia yake nzuri ya kufanya nchi hii iendelee kidemokrasia katika njia ya mafanikio aliyoiamini.
Though we don’t agree with him, we take seriously his good intentions to make the country developed, democratic and prosperous in the ways he believed.
[ "Source: First democratic election\t Target: \"Uchaguzi wa kwanza wa Kidemokrasia\"", "Source: Although my mother is often described as a political dissident who strives by peaceful means for democratic change, we should remember that her quest is basically spiritual. \t Target: \"Ingawa mama yangu anaelezwa mara...
swa
"Piga kura.
"Poll.
[ "Source: He sang an old struggle song “Shoot the Boers, they are rapists”! \t Target: \"Aliimba wimbo wa zamani wa mapambano “Piga risasi Makaburu, ni wabakaji”!\"", "Source: I will see somebody doing something and I will take a photo and share knowing it will be picked up by many other concerned citizens.\t Targ...
swa
2
2
[ "Source: On Monday, July 9, beginning at 14:00 East Africa Time, we plan to tweet at community leaders, government and diplomatic actors, and media influencers to increase awareness and draw public attention to the issue. \t Target: \"Kwa maana hiyo siku ya Jumatatu, Julai 9, kuanzia saa 8:00 mchana kwa Saa za Afri...
swa
‏@alvarinaitis : #CuentasDelPP lakini ni kweli kuwa, hakuna yeyote atakayejitokeza siku ya leo? Maelezo yoyote? Hakuna yeyote kutoka @PPopular Chama cha Umma (PP) au mfadhili wa Kibiashara?
‏@alvarinaitis : #CuentasDelPP But seriously, Is no one going to show their face today? a statement? nobody from the @PPopular nor business sponsors?
[ "Source: No more\t Target: \"Hakuna zaidi\"", "Source: And no black political leader said anything.\t Target: \"Na hakuna kiongozi yeyote mweusi wa siasa aliyesema lolote.\"", "Source: But none of this is new.\t Target: \"Lakini hakuna hata moja ya haya ni jipya.\"", "Source: Not one photograph, not one video...
swa
Na sasa kwa sababu chanjo inaelekea kufanyiwa majaribio, sisi hawa hawa tunakuja na hisia zetu.
And now that a prospective vaccine is about to go through trials, here we go again with our conspiracy theories.
[ "Source: These are people too.\t Target: \"Hawa ni watu pia.\"", "Source: These activists say:\t Target: \"Wanaharakati hawa wanasema::\"", "Source: - People in are not those of today.\t Target: \"- Watu wa wakati wa siyo hawa wa leo.\"", "Source: The Centre publishes running blogs by these journalists.\t Tar...
swa
Nguvu anazoonekana kuwa nazo lazima zielekezwe kwenye mambo yanayoweza kuleta faida na kwa kadri inavyowezekana jaribuni kutokumweka kwenye mazingira kama hayo na kama inalazimu basi fanyeni hivyo mbali na kamera kumsaidia mpaka sasa, nadhani kinga ni bora kuliko tiba!
His energy should be guided to something productive and as much as possible try not to expose him to such situations and if so do it off camera for goodness sake. So far, I think prevention is better than cure!
[ "Source: But if there is a hidden agenda, and Rwanda's interest is more or less controlling the mining concessions and all that, illegally, and if they have a hand in each and everything that goes on in North and South Kivu, then we're still a long way from trust. \t Target: \"Lakini kama kuna ajenda ya siri, na ma...
swa
Sambamba na picha, ElGohary aliweka mashairi ya wimbo wa Youssra El Hawary uitwao On The Street .
Alongside the photo, ElGohary shared lyrics of Youssra El Hawary's song On The Street.
[ "Source: On The Street's lyrics read:\t Target: \"Mashairi ya On The Street yansema:\"", "Source: This song is similar to the classic American children's song \"I’m A Little Teapot\": \t Target: \"Wimbo huu unafanana na wimbo maarufu wa zamani uliopenda na watoto uitwao \"I’m A Little Teapot\" :\"", "Source: On...
swa
Na jambo jingine zaidi: hawa ndio “ punda walio na akili kuliko wengine wote duniani,” kwa mujibu wa blogu ya Narrative Journalism ya Marekani ya Kusini:
And one more thing: they are the “wisest donkeys in the world,” according to blog Narrative Journalism in Latin America:
[ "Source: Most if not all these bloggers are among the famous citizen journalists.\t Target: \"Wengi kama sio wote miongoni mwa wanablogu hawa ni kati ya waandishi wa habari wa kiraia walio maarfu zaidi.\"", "Source: Impotent officials are out of their mind!\" \t Target: \"Maafisa hawa wasio na nguvu yoyote wameru...
swa
Mwanaharakati wa Kitamil na mwanachama wa zamani wa waasi wa LTTE Nirmala Rajasingam anafafanua katika makala kwenye gazeti la Independent kwamba dada yake aliuwawa na waasi wa LTTE miaka 20 iliyopita.
Sri Lankan Tamil activist and former LTTE member Nirmala Rajasingam explains in an opinion piece in The Independent that her sister was murdered by the LTTE 20 years ago.
[ "Source: Rebels?\t Target: \"Waasi?\"", "Source: What rebels?\t Target: \"Waasi gani?\"", "Source: Rebels in the Central African Republic.\t Target: \"Waasi katika Jamhuri ya Afrika.\"", "Source: She elaborates on the last issue:\t Target: \"Anafafanua kwenye suala la mwisho:\"", "Source: Because the thirst...
swa
より大きな地図で 東京都内避難場所 を表示
より大きな地図で 東京都内避難場所 を表示
[ "Source: On Monday, July 9, beginning at 14:00 East Africa Time, we plan to tweet at community leaders, government and diplomatic actors, and media influencers to increase awareness and draw public attention to the issue. \t Target: \"Kwa maana hiyo siku ya Jumatatu, Julai 9, kuanzia saa 8:00 mchana kwa Saa za Afri...
swa
Hata Danny the Democracy Bear, alama ya chama mbadala cha siasa, SDP (Singapore Democratic Party) alikuwa na tarafakari ifuatayo:
Even Danny the Democracy Bear, mascot of alternative political party the Singapore Democratic Party, weighed in:
[ "Source: When I made the decision to join the SDP, pay was not a key factor. \t Target: \"Nilipofanya uamuzi wa kujiunga na chama cha SDP (Singapore Democratic Party) malipo halikuwa suala la msingi sana.\"", "Source: The main competition in the December 2012 elections will involve the two main Ghana's political ...
swa
Picha na Roger Gwynn.
Photo by Roger Gwynn.
[ "Source: Dhaka, Bangladesh (1965).Photo by Roger Gwynn. \t Target: \"Dhaka, Bangladesh (1965). Picha na Roger Gwynn.\"", "Source: Photo: F.S.\t Target: \"Picha: F.S.\"", "Source: Photo by @inspiredmonster via Nepal Photo Project.\t Target: \"Picha na @inspiredmonster kupitia Mradi wa Nepali wa Picha.\"", "Sou...
swa
Mhariri wetu wa Asia kusini mashariki Mong Palatino anatutambulisha kwa Gregoreo Y. Zara, injinia anayetoka Ufilipino.
Our southeast Asia editor Mong Palatino introduced us to Gregoreo Y. Zara, an engineer from the Philippines.
[ "Source: Our Northeast Asia editor Oiwan Lam brought our attention to this story.\t Target: \"Mhariri wetu wa Asia Kaskazinimshariki Oiwan Lam anazungumzia habari hii.\"", "Source: Image from the Southeast Asian Press Alliance, used with permission. \t Target: \"Picha kutoka Shirikisho la Muungano wa Vyombo vya H...
swa
Kajsa Hallberg Adu, mwanzilishi mshiriki wa Ghana Blogging Group na mwandishi wa blogu ya Rain In Africa, alikuwa na mengi ya kusema katika Siku ya Kublogu Duniani, lakini alistushwa na “namna ambavyo mada hii isivyokuwa na umuhimu katika wakati uliopo nchini Ghana”.
Kajsa Hallberg Adu, co-founder of Ghana Blogging Group and author of the Rain In Africa blog, had a lot to say on Blog Action Day, but was shocked at "how not current the topic is in Ghana".
[ "Source: Citi FM, one of Ghana's most influential media houses, was identified as the leader in social media presence in Ghana. \t Target: \"Citi FM, moja wapo ya vituo maarufu vya radio nchini Ghana, kilibainishwa kuwa mbele zaidi katika matumizi ya mitandao ya kijamii nchini Ghana.\"", "Source: Ghana Decides re...
swa
Alisema yeye alibishana na mtumishi mmoja wa CPVPV kama kuketi katika maeneo ya umma wakati wa saa za swala ilikuwa kosa.
He said he argued with the CPVPV member whether sitting at public places at prayer times was illegal.
[ "Source: At one time or another the elite emerged from the masses.\t Target: \"Katika wakati mmoja au mwingine viongozi walijitokeza kutoka katika umma.\"", "Source: Another foreign domestic worker abuse case was exposed.\t Target: \"Kesi nyingine ya unyanyasaji wa mtumishi wa ndani wa kigeni imefichuliwa.\"", ...
swa
Kwa kipindi cha miezi 4 nimepoteza marafiki wanaofikia 30.... inasikitisha lakini ukweli ni kuwa tunaishi katika ulimwengu uligubikwa na uadui #mh17 #malaysia… http://t.co/n1aQ7ohPGp — HJB ® (@HJB__) July 18, 2014
Within 4month i lost almost 30 frends ... Sad but true we live in hostile world #mh17 #malaysia… http://t.co/n1aQ7ohPGp — HJB ® (@HJB__) July 18, 2014
[ "Source: Blame doesn't help. — Xandria Ooi (@xandriaooi) July 18, 2014 \t Target: \"Lawama hazisaidii. — Xandria Ooi (@xandriaooi) July 18, 2014\"", "Source: All our intel agensies have been activated . — Hishammuddin Hussein (@HishammuddinH2O) July 18, 2014 \t Target: \"Vikosi vyetu vyote vya usalama wa taifa ta...
swa
Inabidi tuwape moyo wasomaji na wasikilizaji kujishirikisha zaidi.
We need to encourage more reader and listener participation.
[ "Source: Where is their respect to their readers and listeners?\t Target: \"Iko wapi heshima yao kwa wasomaji na wasikilizaji wao?\"", "Source: And his final words to his readers are:\t Target: \"Na maneno yake ya mwisho kwa wasomaji wake ni:\"", "Source: But you really have to be there to appreciate the full h...
swa
Marekani, sasa mnaweza kuishukia Uganda na kufanya chochote mnachotaka, muswada sasa umekuwa sheria
America, you can now descend down on Uganda and do as you wish, the bill is now law. #AntiGayBill — Love1Another (@Muyama) February 24, 2014
[ "Source: Until now.\t Target: \"Mpaka sasa.\"", "Source: Then why has the 2-term limit been so successful in the United States?\t Target: \"kwa nini ukomo wa mihula miwili umekuwa na mafanikio Marekani?\"", "Source: Has been for a while now.\t Target: \"Na imekuwa hivyo kwa muda sasa.\"", "Source: In his firs...
swa
Wanamgambo hao waliharibu ndege tatu ambazo hata hivyo hazikuwa na abiria ndani.
Militants also damaged three empty parked airplanes. Photo tweeted by Twitter user @ahsannagi #KarachiAirport.
[ "Source: This is a passenger plane.\t Target: \"Ndege hii ilikuwa ya abiria.\"", "Source: The MH370 plane and its passengers have yet to be found.\t Target: \"Ndege ya MH370 na abiria wake bado hawajulikani walipo.\"", "Source: The militiamen came while Amadou Moussa was away.\t Target: \"Wanamgambo hao walikuj...
swa
Kwa Waganda mapungufu yote ya utawala wa M7 kwa kweli ni kama muziki mtamu na welekeo sahihi wa mambo.
For them all those failures of M7 regime are in fact sweet music and the right direction.
[ "Source: Brazil: The Deficient Prison Systems of the Americas\t Target: \"Brazil: Mfumo wa Kimarekani wa Magereza wenye mapungufu\"", "Source: Better informed citizens make better decisions about their lives and their government.\t Target: \"Wananchi wenye taarifa sahihi hufanya maamuzi bora na sahihi kwa ajili y...
swa
@SAalalawi: Mtu aliyeonyeshwa kuwa ndiye aliyeuawa katika mlipuko alikufa kwa sababu alipiga teke bomu lililotengenezwa kienyeji.
@SAalalawi: The person who was shown as the one killed in the explosion died because he kicked a locally-made bomb.
[ "Source: Huge blast !!!!!!\t Target: \"Mlipuko wa kutisha!!!\"", "Source: tweetSAMRAT: Is praying for the victims of the recent Pune bomb blast.\t Target: \"tweetSAMRAT: Anawaombea waliodhurika na mlipuko wa bomu huko Pune.\"", "Source: I have actually beaten Jesus Christ because he only died once.\" \t Target:...
swa
Kwa mujibu wa sheria ya nchi, mtu yeyote aliye na madhumuni “thabiti” au “kushukiwa” “kudhuru hisia za kiimani” anaweza kuhukumiwa.
Under national law, any person who has a “deliberate” or “malicious” intention of “hurting religious sentiments” can be prosecuted.
[ "Source: Any journalist can do this.\t Target: \"Mwandishi yeyote wa habari anaweza kufanya jambo hilo.\"", "Source: He can do whatever he wants and nobody will care.\" \t Target: \"Anaweza kufanya lolote atakalo bila hata ya mtu yeyote kujali.\"\"", "Source: The commission has stated that according to the Bang...
swa
Pato la taifa linabaki pale pale na hali ya kiuchumi ya familia haibadiliki.
The gross income remaining the same, the household economy is not changed.
[ "Source: There I was jailed—don’t swear yet—for there was also where I was released, because we have a revolution there. \t Target: \"Pale, niipofungwa gerezani usilaani kwanza, kwani pale pia ndipo nilipoachiliwa huru kwa sababu tulifanya mapinduzi pale\"", "Source: We have a revolution there.\t Target: \"Tuliku...
swa
Mtawala wa muda mrefu wa Zimbambwe, Robert Mugabe, 87, alipitishwa mwishoni mwa wiki iliyopita na chama chake cha ZANU –PF, kuwa mgombea wao kwa uchaguzi wa rais unaotegemewa kufanyika mwaka ujao.
Zimbabwe's long-time ruler, Robert Mugabe, 87, was endorsed last weekend by his party, the Zimbabwe African National Union-Patriotic Front (ZANU-PF), as their candidate for the presidential elections expected next year.
[ "Source: Robert Mugabe.\t Target: \"Robert Mugabe.\"", "Source: He is the prime ministerial candidate of the BJP and the National Democratic Alliance for the upcoming 2014 Indian general elections.\t Target: \"Ni mgombea wa Uwaziri Mkuu wa chama cha National Democratic Alliance katika uchaguzi mkuu ujao wa India ...
swa
Watu wakiwa imara.
People sitting firm.
[ "Source: Let's talk about how good Mbeki was.\t Target: \"Tuzungumzie namna alivyokuwa imara.\"", "Source: And vile: A Botha bold to a brainless core\t Target: \"Na ubaya: Botha akiwa imara dhidi ya wasio na akili\"", "Source: Participants in the parade.\t Target: \"Washiriki wakiwa kwenye matembezi.\"", "Sou...
swa
Katika jiji la Shanghai mwaka 2008, kulikuwa na majaribio 23 ya wanafunzi wa vyuo vikuu kujiua ambayo yalisababisha vifo 19.
In Shanghai city 2008, there were 23 college student suicide cases, resulted in 19 deaths.
[ "Source: He was finally released in 2008 after being incarcerated for 19 years.\t Target: \"Hatimaye aliachiliwa mwaka wa 2008 baada ya kufungwa kwa miaka 19.\"", "Source: In order to alleviate the lack of student housing available across Europe, a few universities in Denmark, Germany, France (Le Havre) and Spain...
swa
Nollywood, kiwanda cha filamu cha wazawa, kimetuonyesha katika mwanga mbaya zaidi kwa wote, watazamaji wa kitaifa na wale wa kimataifa.
Nollywood, our indigenous movie industry, has portrayed us in a much harsher light to both national and international audiences.
[ "Source: It sounds like the scene of a dystopian movie, but it's no movie. \t Target: \"Ni kama vile kipande cha filamu ya dystopia, lakini siyo filamu.\"", "Source: Ranajay Gupta was nostalgic too when he saw the Hardeo glass factory:\t Target: \"Ranajay Gupta pale alipoona kiwanda cha glasi cha Hardeo:\"", "S...
swa
Kwa kutumia alama ishara ya #Abortonoesculturametro (Utoaji Mimba si Utamaduni wa Ndani ya Treni) kwa kurejea sheria mbalimbali zinazoongoza treni za Medellín zinazoitwa "Cultura Metro" (Utamaduni wa Metro), watu wamekuwa wakiadili maoni kuunga mkono au kupinga utoaji mimba, kwa namna ile ile kama mifumo ya sauti kweny...
Under the hashtag #Abortonoesculturametro (Abortion Is Not Metro Culture) referring to the set of rules governing Medellín's Metro called "Cultura Metro" (Metro Culture), people have been sharing their opinions for and against abortion, in the same way that the mass transit system installations' cars are used on a dail...
[ "Source: Abortion exists, legal or illegal. \t Target: \"Utoaji mimba upo, iwe kwa mujibu wa sheria au kinyume.\"", "Source: We wrote recently about about a 10-year-old pregnant girl from Paraguay who was allegedly raped by her stepfather and who was unable to have an abortion because of legal limitations in the ...
swa
Tafadhali iambieni dunia!!!
Please share to the world!!!!! #hk926 #hk928 #HKDemocracy #HKStudentStrike pic.twitter.com/lLy2sf8FD8 — Rika (@imrika1874) September 28, 2014
[ "Source: Please.\t Target: \"Tafadhali.\"", "Source: Please stay away:\t Target: \"Tafadhali kaa mbali:\"", "Source: Please make it happen.\t Target: \"Tafadhali hakikisha hili linatokea.\"", "Source: We are Global Voices.\t Target: \"Sisi ni Sauti za Dunia.\"", "Source: Beggar: \"Can I have US $7,000 pleas...
swa
Kizuizi kingine kinachomtenga Papa na watu kilikuwa usalama mkali.
Another “barrier” separating the Pope from the people was the heavy security.
[ "Source: Sure it's for security purposes but I think the Pope would really like to reach out to the people hidden by hundreds of security personnel. — Kat De Castro⭐♎ (@KatDeCastro) January 16, 2015 \t Target: \"Ni kweli kwamba hali hiyo ilikuwa ya lazima kwa usalama lakini ninadhani Papa angependa kuwafikia watu w...
swa
Sánchez anakadiria kwamba wa-Cuba 180 wamekamatwa kabla na baada ya ziara hiyo mpaka sasa.
Sánchez estimates that 180 Cubans have been arrested before and during the visit thus far.
[ "Source: Until now.\t Target: \"Mpaka sasa.\"", "Source: “Cuba’s future will be decided by Cubans.”\t Target: \"“Mustakabali wa Cuba utaamuliwa na wa-Cuba wenyewe.\"\"", "Source: Or all Cubans?\t Target: \"Au wa-Cuba wote?\"", "Source: Several Iranian bloggers reacted to this trip.\t Target: \"Wanablogu kadha...
swa
"Nnatambua kuwa ninazo harakati halisi sana ndani mwangu.
"I now have a real struggle inside myself.
[ "Source: THE STRUGGLE CONTINUES...\t Target: \"HARAKATI ZINAENDELEA....\"", "Source: This is hardly a revolution.\t Target: \"Haya sio mapinduzi kwa maana halisi.\"", "Source: “Let me marry you first, if you want me to accept homosexuality in my country.” \t Target: \"“Ngoja nianze kukuoa wewe kwanza ndio niruh...
swa
Bendera ya Mapuche iliyowekwa na mtumiaji wa Flickr aitwaye Diego Martin (CC BY-NC-ND 2.0)
Mapuche flag by Flickr user Diego Martin (CC BY-NC-ND 2.0)
[ "Source: CC BY-NC 2.0.\t Target: \"CC BY-NC 2.0.\"", "Source: CC BY-NC 2.0.\t Target: \"CC BY-NC 2.0.\"", "Source: CC BY-NC 2.0.\t Target: \"CC BY-NC 2.0.\"", "Source: CC BY-NC 2.0\t Target: \"CC BY-NC 2.0\"", "Source: CC BY-NC 2.0.\t Target: \"CC BY-NC 2.0.\"" ]
swa
Abeer Osman mjukuu wa Waziri Mkuu wa zamani Azhari alipelekwa kwenye kituo cha polisi kwa kwa kosa la kuandamana kupinga kura hiyo ya maoni ya Sudani.
Abeer Osman granddaughter of former PM Azhari taken to police station over anti-#Sudanref protest.
[ "Source: Finally, daughter of Sudan's first prime minister protests against the referendum: \t Target: \"Mwisho, binti wa Waziri Mkuu wa kwanza wa Sudani aliandamana kupinga kura hiyo ya maoni:\"", "Source: According to Asaad, Usamah was taken to NISS headquarters in Khartoum North while he himself was taken to a...
swa
Shujaa huyu, shujaa mkuu wa mashujaa, alikuwa mhamiaji lakini pia alikuwa na "moyo mwema", moyo ambao unaonekana 'wa kawaida" na hakuwahi kusumbuliwa mara kwa mara wala kufuatiliwa.
Superman, the greatest of superheroes, was an immigrant but he was the “good kind”, the kind that looks “normal” and fits it, and doesn’t get randomly checked or surveilled.
[ "Source: Muath, the Hero \t Target: \"Muath, shujaa\"", "Source: He held talks with Lebanese officials and visited strongholds of Iran's ally Hezbollah in the capital's southern suburbs and south Lebanon, and received a hero's welcome. \t Target: \"Alikuwa na mazungumzo na maofisa wa Lebanoni na alizuru ngome za ...
swa
Hata hivyo alisema kuwa bunduki hiyo haifanani na zile zinazotumiwa na polisi, na aliweka wazi kuwa matendo ya polisi hayakuwa ya kikandamizaji na kuwa walitaka kuleta utulivu tu.
However he said the weapon is not the kind used by police, and made it clear that the police's actions did not constitute repression, that they only wanted to bring order.
[ "Source: The police won’t help\t Target: \"Polisi hawezi kuwa na msaada\"", "Source: It is therefore not surprising that:\t Target: \"Hainishangazi hata hivyo kuwa:\"", "Source: These benefits, however, only apply to products and services that serve for religious activities, while the Serbian Orthodox Church is...
swa
Mara nyingi huwa napenda kuimba kama namna ya kukabiliana na kusahau hisia za maumivu na uchovu niliokuwa nikiupata katika mashamba makubwa.
I usually sing to endure and forget the feeling of pain and fatigue from working in plantation.
[ "Source: The burning of forests is blamed on the operations of oil palm plantations, wood suppliers’ concessions, and pulpwood plantations. \t Target: \"Uchomaji wa misitu ni unasemekana kusababishwa na shughuli za kilimo cha mashamba makubwa ya mafuta ya mawese, makubaliano ya uuzaji wa kuni, na mashamba ya mashap...
swa
Hata hivyo, tovuti ya PMU imeeleza kwamba Abdujalilova hakuwahi kamwe kuwa mwanchama wa harakati hizo.
However, the PMU website has stated that Abdujalilova was never a member of the opposition movement.
[ "Source: It is therefore not surprising that:\t Target: \"Hainishangazi hata hivyo kuwa:\"", "Source: I didn’t hear from her again since then.\t Target: \"Baada ya hapo, hakuwahi kuwasiliana nami tena.\"", "Source: When the winner of the race was announced, these same sites became spots for jubilation – at leas...
swa
Rio De Janeiro
Rio De Janeiro
[ "Source: Protesters occupy the area around Rio de Janeiro's State House.\t Target: \"Waandamanaji walijaza eneo kuzunguka ikulu ya Rio de Janeiro.\"", "Source: Demonstrations in Santiago de Chile.\t Target: \"Maandamano Jijini Santiago de Chile.\"", "Source: Plaza de la Revolución.\t Target: \"jengo la Plaza de...
swa
Mnamo Desemba 1, 2009, pamoja na J’Ann Allen, mke wa ofisa wa jeshi mstaafu na Sandra Mansour, mkimbizi wa Kipalestina, alitangaza hadharani mwalikowa kwenda Gaza kwa mwanaharakati wa siasa, Mshindi wa Tuzo ya Nobeli na muhanga wa mauaji ya halaiki ya Wayahudi Elie Wiesel.
On 01 Dec 2009, along with J’Ann Allen, the wife of a retired military officer and Sandra Mansour, a Palestinian refugee, she issued a public invitation to political activist, Nobel Laureate and Holocaust survivor Elie Wiesel to go to Gaza with them. Wiesel was urged to “Break Your Silence and Come With Us”, during a s...
[ "Source: Nelson Mandela, the first democratically elected president of South Africa and a Noble Peace Prize laureate, died on December 5, 2013 aged 95. \t Target: \"Nelson Mandela, rais wa kwanza wa Afrika Kusini kuchaguliwa kidemokrasia na Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, , amefariki Desemba 5, 2013 akiwa na umr...
swa
Katika makala hii ya blogu yake, Harvey ameweka viungo vya maelezo muhimu kuhusu suala hilo ya KEF ambayo unaweza kutaka kuyasoma ili kuona tatizo la pembe za ndovu na maana ya mapendekezo ya Tanzania/Zambia.
In this blog post, Harvey has included links to the KEF Fact Sheets that you may want to read in order to understand the ivory problem and the likely implication of the Tanzania/Zambia proposals.
[ "Source: Broken elephant tusk found in Hwange National Park in Zimbabwe, by Terry FeuerbornOpposition is mounting against Zambia's and Tanzania's proposals to be allowed by CITES, the Convention on International Trade in Endangered Species of Wild Fauna and Flora, to sell their government held ivory stockpiles. \t ...
swa
“ Kazakhstani ni nchi yenyewe watu wa imani nyingi.
“Kazakhstan is a multi-confessional state.
[ "Source: While this is usually a day people celebrate the monarchy more than the country itself, the previous two national days were different. \t Target: \"Wakati kwa kawaida hii huwa ni siku ya watu kusherehekea ufalme wa nchi hiyo kuliko nchi yenyewe, miaka miwili iliyopita imekuwa tofauti kidogo.\"", "Source:...
swa
Sera hii pya itamaanisha kuwa nchi itatumia raslimali zake zaidi kwenye Kiingereza kwa gharama ya kulea na kuendeleza lugha za asili.
The new policy will mean that as a country we will allocate more resources to English at the expense of nurturing and developing local languages.
[ "Source: Self sacrificing for others is key to improving peace, sustaining development, sustaining freedom and justice. \t Target: \"Kujitoa sadaka kwa ajili ya wengine ni ufunguo wa kuendeleza amani, kuendeleza maendeleo, kuendeleza uhuru na haki.\"", "Source: This had an immense effect on Native language acquis...
swa
Tangu wakati huo, wameendelea kuwepo gerezani, huku shitaka lao likiwa linaahirishwa mara kwa mara.
They have been behind bars ever since, their trial postponed time and again.
[ "Source: So such disaster happen again and again.\t Target: \"Kwa hiyo majanga haya yanajitokeza mara kwa mara.\"", "Source: Meanwhile, netizens are voicing their support for and solidarity with Ghanem. \t Target: \"Wakati huo huo, watumiaji wa mtandao wameendelea kupaza sauti zao kumwuunga mkono na kuungana kums...
swa
Katika kipindi cha miezi mitatu ya kushikiliwa kwa mwanablogu huyu huko Maekelawi*, Abel alikataa kutia saini hati ya kiapo ambayo ingewaweka hatarini yeye pamoja na wanablogu wenzake.
During the first three months of the bloggers' detention in Maekelawi*, Abel refused to sign a prepared confession paper in which he, together with the other bloggers, were incriminated.
[ "Source: Has been there for over 3 years.\t Target: \"Amekuwa huko kwa miaka mitatu.\"", "Source: You have been in intern for more than three months?\t Target: \"Umekuwa intani kwa zaidi ya miezi mitatu?\"", "Source: Please click the link to sign it.\t Target: \"Tafadhali bofya kiungo hiki ili kutia saini.\"", ...
swa
Pia alisisitiza;
He also stressed;
[ "Source: Lawyer Yang Lei echoed the same sentiment: The question is how to enforce the law? For example, give the parents a fingerprint attendance machine? \t Target: \"Mwanaasheria Yang Lei alisisitiza mtazamo uliotangulia kusemwa:\"", "Source: Idriss Ali Nassah stressed the need for Africa to tell its own stori...
swa
Ungana na #WajibuwaBlogu14
Join #Blogaction14
[ "Source: This week on Twitter, join us in raising a virtual glass to our collective efforts. \t Target: \"Wiki hii kwenye mtandao wa Twitter, ungana nasi ili kuinua kioo cha ukweli wa nguvu yetu ya pamoja.\"", "Source: Join us and celebrate the Labor Code, Law No 116, and for the first time, the protection of hom...
swa
Hussain Yousif anasema:
Hussain Yousif says:
[ "Source: In a press release he says:\t Target: \"Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari anasema:\"", "Source: The Acorn says:\t Target: \"The Acorn anasema:\"", "Source: \"Now it's a humanitarian cause,\" she says. \t Target: \"“Sasa ni shauri la kibinadamu,” anasema.\"", "Source: This author, via his pers...
swa
Katika nchi kama Ethiopia, Morocco na Syria timu yetu imefuatilia kesi na mihula ya vifungo vya mabloga na watumiaji wa mitandao ambao kazi zao zilileta mabadiliko katika jamii zao na kuongeza msukumo wa vitisho vya kisheria kutoka katika serikali zao wenyewe.
In countries like Ethiopia, Morocco and Syria our team has followed the trials and prison terms of bloggers and online activists whose work sparked widespread change for their communities and triggered enduring legal threats from their own governments.
[ "Source: Others are frustrated that their own domestic news media fail to report on much of the world, do it badly, or do it in a slanted manner that supports their government's worldview, and thus believe that by translating GV content into their local language they can improve their community's understanding of t...
swa
Kwa kuongeza, kadiri vyazo vyetu vya habari vinavyotumia lugha zaidi ya moja vinavyozidi kuongezeka, makumi mawili ya makala kila mwezi huwa zinaandikwa moja kwa moja kwa lugha nyingine mbalimbali zaidi ya Kiingereza.
Additionally, as our multilingual newsroom grows, dozens of posts each month are originally written in languages other than English.
[ "Source: The drama unfolded live on television, and was broadcast by local and international channels. \t Target: \"Ilikuwa kama mchezo wa kuigiza na ulionekana moja kwa moja kwenye televisheni, na ulirushwa kwa moja kwa moja na vituo vya televisheni vya ndani na vile vya kimataifa.\"", "Source: The video intervi...
swa
Taarifa katika nchi za Marekani au Uingereza zinadai kuwa silaha za maangamizi zilitumiwa na utawala wa Rais Assad kuwaua watu zaidi ya elfu moja nchini Syria mwezi uliopita.
Reports in the US or UK suggest that chemical weapons were used by President Assad's regime to kill more than a thousand people in Syria last month.
[ "Source: In USA, tell your elected officials to stop the slaughter of the Syrian people through Syrian American Consul Petition to Congress and President Obama: Stop the Killing in Syria The petition site: To Dear President Bashar Assad: Tell Syrian Government: Stop Torturing Children! \t Target: \"Huko Marekani, w...
swa
Kuna tofauti kati ya likizo na mapumziko, nilikuwa nachungulia kamusi yangu asubuhi hii na ninajiuliza, 'hawa watu wanajua tofauti hii?'
There is a difference between a holiday and a retreat, I was looking at the dictionary this morning and I said, ‘do these people know?’
[ "Source: There are mixed views on the photo.\t Target: \"Kuna mitazamo tofauti katika picha hii.\"", "Source: This time that seems to be different.\t Target: \"Safari hii mambo yalikuwa tofauti.\"", "Source: There is an heterogeneity of situations.\t Target: \"Kuna hali fulani ya mambo mbalimbali na tofauti kuw...
swa
François Hollande, Rais wa Ufaransa, amejitenga na Sassou-Nguesso.
François Hollande, the French President, has distanced himself from Sassou-Nguesso.
[ "Source: Your Holiness recently received President Robert Mugabe of Zimbabwe, President Eduardo dos Santos of Angola, President Obiang Nguema of Equatorial Guinea, President Paul Biya of Cameroon, and President Sassou Nguesso of the Republic of Congo. \t Target: \"Papa Mtakatifu hivi karibuni alimpokea Rais Robert ...
swa