Story_ID stringlengths 8 8 | context stringlengths 445 11k | question stringlengths 12 113 | answers dict |
|---|---|---|---|
1638_swa | Mazingira ni hali au mambo yanayo mzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kila mwanadamu anahitaji mazingira masafi kwa ajili ya afya. zurÃ. Mazingira machafu yanasababisha magonjwa na maafa mengi. Mazingira machafu yanasababisha magonjwa kama. Kifua kikuu (T.B), kipindupindu, Asma, homa na vinginevyo.... | Moshi huathiri mazingira kivipi? | {
"text": [
"Huchafua hewa"
]
} |
1638_swa | Mazingira ni hali au mambo yanayo mzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Kila mwanadamu anahitaji mazingira masafi kwa ajili ya afya. zurÃ. Mazingira machafu yanasababisha magonjwa na maafa mengi. Mazingira machafu yanasababisha magonjwa kama. Kifua kikuu (T.B), kipindupindu, Asma, homa na vinginevyo.... | Kina nani hupenda kuokota na kula vyakula vilivyotupwa? | {
"text": [
"Watoto wadogo"
]
} |
1639_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
"Naam," hapo zamani za kale paliishi mzee mmoja kwa jina Njoroge, mzee huyo hakuwa anajua umuhimu wa kufanya mazingira kuwa safi.
Mzee huyo hakuweza kufahamu umuhimu wa mazingira safi hakujua kuwa mazingira chafu huleta magonjwa kwa watu.Mzee huyo alikua akitupa taka kila mahali, pia... | Hapo zamani paliishi nani | {
"text": [
"Mzee Njoroge"
]
} |
1639_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
"Naam," hapo zamani za kale paliishi mzee mmoja kwa jina Njoroge, mzee huyo hakuwa anajua umuhimu wa kufanya mazingira kuwa safi.
Mzee huyo hakuweza kufahamu umuhimu wa mazingira safi hakujua kuwa mazingira chafu huleta magonjwa kwa watu.Mzee huyo alikua akitupa taka kila mahali, pia... | Mzee Njoroge alikuwsa anajisaidia wapi | {
"text": [
"Nje"
]
} |
1639_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
"Naam," hapo zamani za kale paliishi mzee mmoja kwa jina Njoroge, mzee huyo hakuwa anajua umuhimu wa kufanya mazingira kuwa safi.
Mzee huyo hakuweza kufahamu umuhimu wa mazingira safi hakujua kuwa mazingira chafu huleta magonjwa kwa watu.Mzee huyo alikua akitupa taka kila mahali, pia... | Mzee Njoroge alipewa nini kutuliza maumivu mwilini | {
"text": [
"Dawa"
]
} |
1639_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
"Naam," hapo zamani za kale paliishi mzee mmoja kwa jina Njoroge, mzee huyo hakuwa anajua umuhimu wa kufanya mazingira kuwa safi.
Mzee huyo hakuweza kufahamu umuhimu wa mazingira safi hakujua kuwa mazingira chafu huleta magonjwa kwa watu.Mzee huyo alikua akitupa taka kila mahali, pia... | Mahali pa kujisaidia huitwaje | {
"text": [
"Choo"
]
} |
1639_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA.
"Naam," hapo zamani za kale paliishi mzee mmoja kwa jina Njoroge, mzee huyo hakuwa anajua umuhimu wa kufanya mazingira kuwa safi.
Mzee huyo hakuweza kufahamu umuhimu wa mazingira safi hakujua kuwa mazingira chafu huleta magonjwa kwa watu.Mzee huyo alikua akitupa taka kila mahali, pia... | Kwa nini mzee Njoroge aliugua | {
"text": [
"Aliishi katika mazingira machafu"
]
} |
1641_swa | Uchafu ni mnyama hatari sana unaoathiri maisha ya adinasi wengi sana humu duniani.
Huyu mshambulizi huwafanya insi wowote aweze kuathirika na magonjwa mengi hatari. Sio vyema kamwe kupenda uchafu mwilini mwako na hata katika mazingira yako . Pia sio sahihi adinasi kukosa kuosha mwili wake. Mwanadamu anapaswa kuoga kil... | Kuendesha sana ina hatari gani kwa mwanadamu? | {
"text": [
"Kupoteza maji mwilini"
]
} |
1641_swa | Uchafu ni mnyama hatari sana unaoathiri maisha ya adinasi wengi sana humu duniani.
Huyu mshambulizi huwafanya insi wowote aweze kuathirika na magonjwa mengi hatari. Sio vyema kamwe kupenda uchafu mwilini mwako na hata katika mazingira yako . Pia sio sahihi adinasi kukosa kuosha mwili wake. Mwanadamu anapaswa kuoga kil... | Mwandishi anahimiza watu kufanya nini kila siku? | {
"text": [
"Kuoga mwili"
]
} |
1641_swa | Uchafu ni mnyama hatari sana unaoathiri maisha ya adinasi wengi sana humu duniani.
Huyu mshambulizi huwafanya insi wowote aweze kuathirika na magonjwa mengi hatari. Sio vyema kamwe kupenda uchafu mwilini mwako na hata katika mazingira yako . Pia sio sahihi adinasi kukosa kuosha mwili wake. Mwanadamu anapaswa kuoga kil... | Kuchoma taka huharibu nini? | {
"text": [
"Hewa"
]
} |
1641_swa | Uchafu ni mnyama hatari sana unaoathiri maisha ya adinasi wengi sana humu duniani.
Huyu mshambulizi huwafanya insi wowote aweze kuathirika na magonjwa mengi hatari. Sio vyema kamwe kupenda uchafu mwilini mwako na hata katika mazingira yako . Pia sio sahihi adinasi kukosa kuosha mwili wake. Mwanadamu anapaswa kuoga kil... | Kutapakaa kwa takataka huuwa kina nani? | {
"text": [
"Wadudu muhimu wanaoishi kwenye ardhi"
]
} |
1641_swa | Uchafu ni mnyama hatari sana unaoathiri maisha ya adinasi wengi sana humu duniani.
Huyu mshambulizi huwafanya insi wowote aweze kuathirika na magonjwa mengi hatari. Sio vyema kamwe kupenda uchafu mwilini mwako na hata katika mazingira yako . Pia sio sahihi adinasi kukosa kuosha mwili wake. Mwanadamu anapaswa kuoga kil... | Mito hutumiwa kupata nini? | {
"text": [
"Maji ya kupika"
]
} |
1642_swa | Mazingira ni pahali au mahali binadamu, wanyama na kiumbe chochote kilicho kuwa na uhai huishi. Madhara ni venye wanadamu wanadhuru mazingira kwa kuyamwaga taka kila mahali na kuyatupa makaratasi kiholela holela.
Tuki yadhuru mazingira yetu tutakuwa tukikaa sehemu ambalo linanuka tena sana hususan kwani tukiyajaza nchi... | Ni nini ni mahali ambapo binadamu au wanyama huishi | {
"text": [
"mazingira"
]
} |
1642_swa | Mazingira ni pahali au mahali binadamu, wanyama na kiumbe chochote kilicho kuwa na uhai huishi. Madhara ni venye wanadamu wanadhuru mazingira kwa kuyamwaga taka kila mahali na kuyatupa makaratasi kiholela holela.
Tuki yadhuru mazingira yetu tutakuwa tukikaa sehemu ambalo linanuka tena sana hususan kwani tukiyajaza nchi... | Nani huyadhuru mazingira | {
"text": [
"wanadamu"
]
} |
1642_swa | Mazingira ni pahali au mahali binadamu, wanyama na kiumbe chochote kilicho kuwa na uhai huishi. Madhara ni venye wanadamu wanadhuru mazingira kwa kuyamwaga taka kila mahali na kuyatupa makaratasi kiholela holela.
Tuki yadhuru mazingira yetu tutakuwa tukikaa sehemu ambalo linanuka tena sana hususan kwani tukiyajaza nchi... | Viwanda vyetu hutoa nini | {
"text": [
"uchafu"
]
} |
1642_swa | Mazingira ni pahali au mahali binadamu, wanyama na kiumbe chochote kilicho kuwa na uhai huishi. Madhara ni venye wanadamu wanadhuru mazingira kwa kuyamwaga taka kila mahali na kuyatupa makaratasi kiholela holela.
Tuki yadhuru mazingira yetu tutakuwa tukikaa sehemu ambalo linanuka tena sana hususan kwani tukiyajaza nchi... | Wanyama na watu wanaenda kuyatumia maji yale saa ngapi | {
"text": [
"asubuhi"
]
} |
1642_swa | Mazingira ni pahali au mahali binadamu, wanyama na kiumbe chochote kilicho kuwa na uhai huishi. Madhara ni venye wanadamu wanadhuru mazingira kwa kuyamwaga taka kila mahali na kuyatupa makaratasi kiholela holela.
Tuki yadhuru mazingira yetu tutakuwa tukikaa sehemu ambalo linanuka tena sana hususan kwani tukiyajaza nchi... | Mbona inatubidi tukakabiliane na madhara haya | {
"text": [
"ili tuishi katika mazingira mazuri "
]
} |
1643_swa | Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yako. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu jinsi ipasavyo. Hii ni kwa sababu mazingira haya yana umuhimu mkubwa katika maisha ya binadamu.
Katika mazingira haya hatufai kukata miti ovyo ovyo. Miti zinapokatwa husambaa kila mahali na hivyo ... | Mazingira yana umuhimu katika maisha ya nani | {
"text": [
"Binadamu"
]
} |
1643_swa | Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yako. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu jinsi ipasavyo. Hii ni kwa sababu mazingira haya yana umuhimu mkubwa katika maisha ya binadamu.
Katika mazingira haya hatufai kukata miti ovyo ovyo. Miti zinapokatwa husambaa kila mahali na hivyo ... | Nini huleta mvua na hewa safi | {
"text": [
"Miti"
]
} |
1643_swa | Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yako. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu jinsi ipasavyo. Hii ni kwa sababu mazingira haya yana umuhimu mkubwa katika maisha ya binadamu.
Katika mazingira haya hatufai kukata miti ovyo ovyo. Miti zinapokatwa husambaa kila mahali na hivyo ... | Pipa ni mahali pa kutupa nini | {
"text": [
"Taka"
]
} |
1643_swa | Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yako. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu jinsi ipasavyo. Hii ni kwa sababu mazingira haya yana umuhimu mkubwa katika maisha ya binadamu.
Katika mazingira haya hatufai kukata miti ovyo ovyo. Miti zinapokatwa husambaa kila mahali na hivyo ... | Mbu husambaza ugonjwa upi | {
"text": [
"Malaria"
]
} |
1643_swa | Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yako. Tunapaswa kuyatunza mazingira yetu jinsi ipasavyo. Hii ni kwa sababu mazingira haya yana umuhimu mkubwa katika maisha ya binadamu.
Katika mazingira haya hatufai kukata miti ovyo ovyo. Miti zinapokatwa husambaa kila mahali na hivyo ... | Magonjwa yapi hatari katika maisha ya binadamu | {
"text": [
"Kipindupindu na kichocho"
]
} |
1644_swa | Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu kama vile miti, ardhi, mito na hewa inayozunguka binadamu.
Kuna vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu. Uchafu wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu hufikiri uchafu wa mazingira hufanyika tu v... | Nini ni mahali panapozunguka makazi ya watu | {
"text": [
"mazingira"
]
} |
1644_swa | Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu kama vile miti, ardhi, mito na hewa inayozunguka binadamu.
Kuna vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu. Uchafu wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu hufikiri uchafu wa mazingira hufanyika tu v... | Ni ugonjwa gani wa kuambukiza, kuhara na kutapika | {
"text": [
"kipindupindu"
]
} |
1644_swa | Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu kama vile miti, ardhi, mito na hewa inayozunguka binadamu.
Kuna vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu. Uchafu wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu hufikiri uchafu wa mazingira hufanyika tu v... | Nani huchafua maji kwa kufua karibu na mito | {
"text": [
"wanadamu"
]
} |
1644_swa | Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu kama vile miti, ardhi, mito na hewa inayozunguka binadamu.
Kuna vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu. Uchafu wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu hufikiri uchafu wa mazingira hufanyika tu v... | Wanyama huweka kinyezi chao majini lini | {
"text": [
"wanapoenda kuyanywa maji"
]
} |
1644_swa | Mazingira ni mahali panapozunguka makazi ya watu kama vile miti, ardhi, mito na hewa inayozunguka binadamu.
Kuna vitisho vikubwa kwa mazingira ni uchafu. Uchafu wa mazingira unamaanisha kuyaharibu kwa kutia dosari hali yake asilia. Kuna njia nyingi za kuchafua mazingira. Watu hufikiri uchafu wa mazingira hufanyika tu v... | Kwa nini tunapaswa tuzingatie usafi | {
"text": [
"ili tuweze kuepuka madhara ya mazingira"
]
} |
1645_swa | ANDIKA INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali ya mambo yanayotuzunguka katika makazi na maisha yetu. Mazingira yetu yasipokuwa safi huleta hasara kubwa. Mambo ambayo yanaweza kuchafua mazingira yetu ni kama moshi kutoka viwandani. Moshi huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa chafu hutuf... | Ni muhimu tuishi mahala ambapo pana nini | {
"text": [
"usafi"
]
} |
1645_swa | ANDIKA INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali ya mambo yanayotuzunguka katika makazi na maisha yetu. Mazingira yetu yasipokuwa safi huleta hasara kubwa. Mambo ambayo yanaweza kuchafua mazingira yetu ni kama moshi kutoka viwandani. Moshi huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa chafu hutuf... | Uchafuzi wa mazingira huleta magonjwa kwa nani | {
"text": [
"binadamu"
]
} |
1645_swa | ANDIKA INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali ya mambo yanayotuzunguka katika makazi na maisha yetu. Mazingira yetu yasipokuwa safi huleta hasara kubwa. Mambo ambayo yanaweza kuchafua mazingira yetu ni kama moshi kutoka viwandani. Moshi huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa chafu hutuf... | Magonjwa huletwa na mazingira gani | {
"text": [
"chafu"
]
} |
1645_swa | ANDIKA INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali ya mambo yanayotuzunguka katika makazi na maisha yetu. Mazingira yetu yasipokuwa safi huleta hasara kubwa. Mambo ambayo yanaweza kuchafua mazingira yetu ni kama moshi kutoka viwandani. Moshi huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa chafu hutuf... | Nini huletwa na uchafu | {
"text": [
"magonjwa"
]
} |
1645_swa | ANDIKA INSHA KUHUSU MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali ya mambo yanayotuzunguka katika makazi na maisha yetu. Mazingira yetu yasipokuwa safi huleta hasara kubwa. Mambo ambayo yanaweza kuchafua mazingira yetu ni kama moshi kutoka viwandani. Moshi huchafua hewa safi ambayo binadamu huhitaji. Hewa chafu hutuf... | Mbu husababishaje magonjwa haya | {
"text": [
"kwa kunyonya mtu damu"
]
} |
1646_swa | Madhara ya kuchafua mazingira
Mazingira ni mahali ambapo imezingira watu mbali mbali. Mazingira yetu tunapaswa kuyaweka vizuri yakiwa masafi ndio yasiweze kutuletea magonjwa kama vile kipindupindu (cholera) na hata magonjwa menginezo. Hata manyumbani ni furaha kutumia mazingira vizuri na kuyatunza vyema.
Hata shuleni w... | Nani hupenda mazingira yawe safi shuleni | {
"text": [
"Walimu"
]
} |
1646_swa | Madhara ya kuchafua mazingira
Mazingira ni mahali ambapo imezingira watu mbali mbali. Mazingira yetu tunapaswa kuyaweka vizuri yakiwa masafi ndio yasiweze kutuletea magonjwa kama vile kipindupindu (cholera) na hata magonjwa menginezo. Hata manyumbani ni furaha kutumia mazingira vizuri na kuyatunza vyema.
Hata shuleni w... | Binadamu wanapenda kuchafua mazingira kwa kutupa nini | {
"text": [
"Takataka"
]
} |
1646_swa | Madhara ya kuchafua mazingira
Mazingira ni mahali ambapo imezingira watu mbali mbali. Mazingira yetu tunapaswa kuyaweka vizuri yakiwa masafi ndio yasiweze kutuletea magonjwa kama vile kipindupindu (cholera) na hata magonjwa menginezo. Hata manyumbani ni furaha kutumia mazingira vizuri na kuyatunza vyema.
Hata shuleni w... | Mazingira yetu yakiwa safi yanapendeza na kufanya nini | {
"text": [
"Kuvutia"
]
} |
1646_swa | Madhara ya kuchafua mazingira
Mazingira ni mahali ambapo imezingira watu mbali mbali. Mazingira yetu tunapaswa kuyaweka vizuri yakiwa masafi ndio yasiweze kutuletea magonjwa kama vile kipindupindu (cholera) na hata magonjwa menginezo. Hata manyumbani ni furaha kutumia mazingira vizuri na kuyatunza vyema.
Hata shuleni w... | Mazingira yakiwa safi tunaweza kupata nini | {
"text": [
"Hewa safi"
]
} |
1646_swa | Madhara ya kuchafua mazingira
Mazingira ni mahali ambapo imezingira watu mbali mbali. Mazingira yetu tunapaswa kuyaweka vizuri yakiwa masafi ndio yasiweze kutuletea magonjwa kama vile kipindupindu (cholera) na hata magonjwa menginezo. Hata manyumbani ni furaha kutumia mazingira vizuri na kuyatunza vyema.
Hata shuleni w... | Mbona tunapaswa kuyaweka mazingira yetu yakiwa safi | {
"text": [
"Ili yasiweze kutuletea magonjwa"
]
} |
1647_swa | Mazingira ni maeneo yanayotuzunguka sisi binadamu na vyote vilivyomo duniani. Ni jukumu letu sote kuungana kwa ujumla na kuitunza mazingira yetu jinsi tunavyotunza afya zetu. Mazingira yakiwa machafu tunahatarisha maisha yetu wenyewe.
Kuna njia mingi ambazo tunaweza kutumia ili kuitunza mazingira yetu kama kupanda mit... | Mazingira ni nini | {
"text": [
"Maeneo yanayotuzunguka"
]
} |
1647_swa | Mazingira ni maeneo yanayotuzunguka sisi binadamu na vyote vilivyomo duniani. Ni jukumu letu sote kuungana kwa ujumla na kuitunza mazingira yetu jinsi tunavyotunza afya zetu. Mazingira yakiwa machafu tunahatarisha maisha yetu wenyewe.
Kuna njia mingi ambazo tunaweza kutumia ili kuitunza mazingira yetu kama kupanda mit... | Ni jukumu la nani kutunza mazingira | {
"text": [
"Letu sote"
]
} |
1647_swa | Mazingira ni maeneo yanayotuzunguka sisi binadamu na vyote vilivyomo duniani. Ni jukumu letu sote kuungana kwa ujumla na kuitunza mazingira yetu jinsi tunavyotunza afya zetu. Mazingira yakiwa machafu tunahatarisha maisha yetu wenyewe.
Kuna njia mingi ambazo tunaweza kutumia ili kuitunza mazingira yetu kama kupanda mit... | Kuna njia ngapi ambazo tunaweza kutumia kutunza mazingira yetu | {
"text": [
"Nyingi"
]
} |
1647_swa | Mazingira ni maeneo yanayotuzunguka sisi binadamu na vyote vilivyomo duniani. Ni jukumu letu sote kuungana kwa ujumla na kuitunza mazingira yetu jinsi tunavyotunza afya zetu. Mazingira yakiwa machafu tunahatarisha maisha yetu wenyewe.
Kuna njia mingi ambazo tunaweza kutumia ili kuitunza mazingira yetu kama kupanda mit... | Njia ambazo tunaweza kutumia kutunza mazingira yetu ni kama gani | {
"text": [
"Kupanda miti"
]
} |
1647_swa | Mazingira ni maeneo yanayotuzunguka sisi binadamu na vyote vilivyomo duniani. Ni jukumu letu sote kuungana kwa ujumla na kuitunza mazingira yetu jinsi tunavyotunza afya zetu. Mazingira yakiwa machafu tunahatarisha maisha yetu wenyewe.
Kuna njia mingi ambazo tunaweza kutumia ili kuitunza mazingira yetu kama kupanda mit... | Tumefanyaje mazingira yetu | {
"text": [
"Tumeharibu"
]
} |
1648_swa | Madhara ya Kuchafua Mazingira
Kweli ni mahali panapozunguka makazi ya wanadamu. Na tunaelewa kwamba kuna madhara mengi ambayo huharibu mazingira yetu katika nchi yetu ya Kenya. Madhara husababishwa na wanadamu kupitia njia mbali mbali kama vile kukata miti ovyo ovyo bila kupanda zingine. Wengine wengi hutumia misitu ka... | Mwandishi anaishi katika taifa lipi? | {
"text": [
"Kenya"
]
} |
1648_swa | Madhara ya Kuchafua Mazingira
Kweli ni mahali panapozunguka makazi ya wanadamu. Na tunaelewa kwamba kuna madhara mengi ambayo huharibu mazingira yetu katika nchi yetu ya Kenya. Madhara husababishwa na wanadamu kupitia njia mbali mbali kama vile kukata miti ovyo ovyo bila kupanda zingine. Wengine wengi hutumia misitu ka... | Misitu hutumika na watu wengi kama nini? | {
"text": [
"Msalani"
]
} |
1648_swa | Madhara ya Kuchafua Mazingira
Kweli ni mahali panapozunguka makazi ya wanadamu. Na tunaelewa kwamba kuna madhara mengi ambayo huharibu mazingira yetu katika nchi yetu ya Kenya. Madhara husababishwa na wanadamu kupitia njia mbali mbali kama vile kukata miti ovyo ovyo bila kupanda zingine. Wengine wengi hutumia misitu ka... | Miti husaidia kuvuta nini? | {
"text": [
"Mvua"
]
} |
1648_swa | Madhara ya Kuchafua Mazingira
Kweli ni mahali panapozunguka makazi ya wanadamu. Na tunaelewa kwamba kuna madhara mengi ambayo huharibu mazingira yetu katika nchi yetu ya Kenya. Madhara husababishwa na wanadamu kupitia njia mbali mbali kama vile kukata miti ovyo ovyo bila kupanda zingine. Wengine wengi hutumia misitu ka... | Umoja ni nguvu ilhali utengano ni nini? | {
"text": [
"Udhaifu"
]
} |
1648_swa | Madhara ya Kuchafua Mazingira
Kweli ni mahali panapozunguka makazi ya wanadamu. Na tunaelewa kwamba kuna madhara mengi ambayo huharibu mazingira yetu katika nchi yetu ya Kenya. Madhara husababishwa na wanadamu kupitia njia mbali mbali kama vile kukata miti ovyo ovyo bila kupanda zingine. Wengine wengi hutumia misitu ka... | Watu huharibu mazingira kwa njia gani? | {
"text": [
"Kukata miti kiholela"
]
} |
1650_swa | MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mathara ni hali ya uharibifu au uhatari mbaya. Mazingira nayo ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi maisha yake.
Mathara haya huleta uharibifu wa nchi. Usafi isipozingatiwa maisha ya wanadamu huaribika sana. Mathara hizi ni kama magonjwa na mengine mengi.
Hapo ndip... | Hali inayozunguka kiumbe mahali anapoishi huitwaje? | {
"text": [
"Mazingira"
]
} |
1650_swa | MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mathara ni hali ya uharibifu au uhatari mbaya. Mazingira nayo ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi maisha yake.
Mathara haya huleta uharibifu wa nchi. Usafi isipozingatiwa maisha ya wanadamu huaribika sana. Mathara hizi ni kama magonjwa na mengine mengi.
Hapo ndip... | Wanaume wanaozungumziwa waliishi katika kijiji kipi? | {
"text": [
"Mali Bora"
]
} |
1650_swa | MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mathara ni hali ya uharibifu au uhatari mbaya. Mazingira nayo ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi maisha yake.
Mathara haya huleta uharibifu wa nchi. Usafi isipozingatiwa maisha ya wanadamu huaribika sana. Mathara hizi ni kama magonjwa na mengine mengi.
Hapo ndip... | Bwana Tumbo alikuwa na watoto wangapi? | {
"text": [
"Kumi"
]
} |
1650_swa | MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mathara ni hali ya uharibifu au uhatari mbaya. Mazingira nayo ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi maisha yake.
Mathara haya huleta uharibifu wa nchi. Usafi isipozingatiwa maisha ya wanadamu huaribika sana. Mathara hizi ni kama magonjwa na mengine mengi.
Hapo ndip... | Tajiri Tumbo alijulikana kwa kutumia mali yake kufanya nini? | {
"text": [
"Kulewa"
]
} |
1650_swa | MATHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mathara ni hali ya uharibifu au uhatari mbaya. Mazingira nayo ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi maisha yake.
Mathara haya huleta uharibifu wa nchi. Usafi isipozingatiwa maisha ya wanadamu huaribika sana. Mathara hizi ni kama magonjwa na mengine mengi.
Hapo ndip... | Mzee masikini alipendwa kwa sababu gani? | {
"text": [
"Bidii na usafi wake"
]
} |
1651_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu mkuu, mkurugenzi walimu na wanafunzi hamjambo. Mimi ni mwanafuzi kutoka kidato cha kwanza. Nina furaha kochokocho kujiunga katika shule huu wa P.C.E.A kimuka secondary school.
Ninaomba muniruhusu kuzungumza juu ya madhara ya kuchafua mazingira na ningependa ... | Yeye ni mwanafunzi wa kidato kipi | {
"text": [
"kwanza"
]
} |
1651_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu mkuu, mkurugenzi walimu na wanafunzi hamjambo. Mimi ni mwanafuzi kutoka kidato cha kwanza. Nina furaha kochokocho kujiunga katika shule huu wa P.C.E.A kimuka secondary school.
Ninaomba muniruhusu kuzungumza juu ya madhara ya kuchafua mazingira na ningependa ... | Anaongea kuhusu madhara ya kuchafua nini | {
"text": [
"Mazingira"
]
} |
1651_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu mkuu, mkurugenzi walimu na wanafunzi hamjambo. Mimi ni mwanafuzi kutoka kidato cha kwanza. Nina furaha kochokocho kujiunga katika shule huu wa P.C.E.A kimuka secondary school.
Ninaomba muniruhusu kuzungumza juu ya madhara ya kuchafua mazingira na ningependa ... | Usipokata nyasi utapata wanyama wepi | {
"text": [
"Wadogo"
]
} |
1651_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu mkuu, mkurugenzi walimu na wanafunzi hamjambo. Mimi ni mwanafuzi kutoka kidato cha kwanza. Nina furaha kochokocho kujiunga katika shule huu wa P.C.E.A kimuka secondary school.
Ninaomba muniruhusu kuzungumza juu ya madhara ya kuchafua mazingira na ningependa ... | Nini kitu cha maana sana duniani | {
"text": [
"usafi"
]
} |
1651_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu mkuu, mkurugenzi walimu na wanafunzi hamjambo. Mimi ni mwanafuzi kutoka kidato cha kwanza. Nina furaha kochokocho kujiunga katika shule huu wa P.C.E.A kimuka secondary school.
Ninaomba muniruhusu kuzungumza juu ya madhara ya kuchafua mazingira na ningependa ... | Kwa nini watu waamke kabla jogoo wa kwanza | {
"text": [
"Kufanya usafi"
]
} |
1655_swa | MADHARA YA KUYACHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira imefafanulia kuwa uharibifu wa mazingira. Basi madhara hayo ni mabaya kweli kweli, maadamu yanaweza leta huzuni kubwa kwenye mazingira na pia maisha ya mja kwa sababu magonjwa yataweza tapakaa kama moto kichakani kwenye mazingira na magonjwa hayo ni kama vil... | Madhara ya kuchafua mazingira yamefafanuliwa kuwa nini | {
"text": [
"Uharibifu wa mazingira"
]
} |
1655_swa | MADHARA YA KUYACHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira imefafanulia kuwa uharibifu wa mazingira. Basi madhara hayo ni mabaya kweli kweli, maadamu yanaweza leta huzuni kubwa kwenye mazingira na pia maisha ya mja kwa sababu magonjwa yataweza tapakaa kama moto kichakani kwenye mazingira na magonjwa hayo ni kama vil... | Nini kinaweza kutapakaa kama moto kichakani | {
"text": [
"Magonjwa"
]
} |
1655_swa | MADHARA YA KUYACHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira imefafanulia kuwa uharibifu wa mazingira. Basi madhara hayo ni mabaya kweli kweli, maadamu yanaweza leta huzuni kubwa kwenye mazingira na pia maisha ya mja kwa sababu magonjwa yataweza tapakaa kama moto kichakani kwenye mazingira na magonjwa hayo ni kama vil... | Magonjwa yanayoweza kutapakaa ni kama yapi | {
"text": [
"Kipindupindu"
]
} |
1655_swa | MADHARA YA KUYACHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira imefafanulia kuwa uharibifu wa mazingira. Basi madhara hayo ni mabaya kweli kweli, maadamu yanaweza leta huzuni kubwa kwenye mazingira na pia maisha ya mja kwa sababu magonjwa yataweza tapakaa kama moto kichakani kwenye mazingira na magonjwa hayo ni kama vil... | Ni nini kilicho hatari sana katika mazingira yetu | {
"text": [
"Uchafu"
]
} |
1655_swa | MADHARA YA KUYACHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira imefafanulia kuwa uharibifu wa mazingira. Basi madhara hayo ni mabaya kweli kweli, maadamu yanaweza leta huzuni kubwa kwenye mazingira na pia maisha ya mja kwa sababu magonjwa yataweza tapakaa kama moto kichakani kwenye mazingira na magonjwa hayo ni kama vil... | Kwenye mazingira yetu tunapaswa kudumisha nini | {
"text": [
"Usafi"
]
} |
1656_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo mbaya sana kwa sababu hili jambo huifanya mazingira kuwa machafu sana. Ilhali Raban alitupa mazingira haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambalo ... | Nani alitupa mazingira haya | {
"text": [
"Rabana"
]
} |
1656_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo mbaya sana kwa sababu hili jambo huifanya mazingira kuwa machafu sana. Ilhali Raban alitupa mazingira haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambalo ... | Rabana alitupa mazingira haya ili tuyafanyie nini | {
"text": [
"Tuyatunze na kuyaangalia"
]
} |
1656_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo mbaya sana kwa sababu hili jambo huifanya mazingira kuwa machafu sana. Ilhali Raban alitupa mazingira haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambalo ... | Madhara ni nini | {
"text": [
"Uharibifu wa mazingira"
]
} |
1656_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo mbaya sana kwa sababu hili jambo huifanya mazingira kuwa machafu sana. Ilhali Raban alitupa mazingira haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambalo ... | Waja wote wanapaswa kuwa na biwi au nini | {
"text": [
"Shimo la takataka"
]
} |
1656_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Madhara ya kuchafua mazingira ni jambo mbaya sana kwa sababu hili jambo huifanya mazingira kuwa machafu sana. Ilhali Raban alitupa mazingira haya, tuyatunze na kuyaangalia vizuri. Madhara ni uharibifu wa mazingira hivyo basi insi wengi hawajui kuyatunza mazingira. Madhara ya kwanza ambalo ... | Takataka zote zinapaswa kutupwa ndani ya nini | {
"text": [
"Shimo"
]
} |
1657_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya na uchafuzi ni tendo la kuchafua mazingira. Ni kitu muhimu kwasababu ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni maisha kwa kiumbe sababu usiposafisha mazingira utakuwa na ugonjwa hatari kama vile kipin... | Mazingira ni hali inayomzunguka nani | {
"text": [
"kiumbe"
]
} |
1657_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya na uchafuzi ni tendo la kuchafua mazingira. Ni kitu muhimu kwasababu ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni maisha kwa kiumbe sababu usiposafisha mazingira utakuwa na ugonjwa hatari kama vile kipin... | Nyasi inapaswa kukatwa lini | {
"text": [
"wakati wa masika"
]
} |
1657_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya na uchafuzi ni tendo la kuchafua mazingira. Ni kitu muhimu kwasababu ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni maisha kwa kiumbe sababu usiposafisha mazingira utakuwa na ugonjwa hatari kama vile kipin... | Kutupa nguo gani ni uchafu | {
"text": [
"iliyoharibika"
]
} |
1657_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya na uchafuzi ni tendo la kuchafua mazingira. Ni kitu muhimu kwasababu ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni maisha kwa kiumbe sababu usiposafisha mazingira utakuwa na ugonjwa hatari kama vile kipin... | Hapa nchi yetu tupande nini | {
"text": [
"miti"
]
} |
1657_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Madhara ni uharibifu au athari mbaya na uchafuzi ni tendo la kuchafua mazingira. Ni kitu muhimu kwasababu ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Mazingira ni maisha kwa kiumbe sababu usiposafisha mazingira utakuwa na ugonjwa hatari kama vile kipin... | Mbona ni muhimu kuchoma takataka | {
"text": [
"Ili tusipatwe na athari za ugonjwa"
]
} |
1658_swa | Madhara ya Uchafuzi wa Mazingira
Mazingira ni mahali ambapo kumezungukwa na kiumbe chochote kile. Mazingira yote yapaswa kuwa safi ili kuepukana na magonjwa mbali mbali. Kuna aina nyingi ya magonjwa ambayo husababishwa na uchafuzi wa mazingira yetu kama vile kipindupindu, homa, malaria na magonjwa mengine. Ugonjwa wa ... | Mahali ambapo kummezungukwa na kiumbe chochote huitwaje | {
"text": [
"Mazingira"
]
} |
1658_swa | Madhara ya Uchafuzi wa Mazingira
Mazingira ni mahali ambapo kumezungukwa na kiumbe chochote kile. Mazingira yote yapaswa kuwa safi ili kuepukana na magonjwa mbali mbali. Kuna aina nyingi ya magonjwa ambayo husababishwa na uchafuzi wa mazingira yetu kama vile kipindupindu, homa, malaria na magonjwa mengine. Ugonjwa wa ... | Ugonjwa upi unaletwa na kunywa maji machafu | {
"text": [
"Kipindupindu"
]
} |
1658_swa | Madhara ya Uchafuzi wa Mazingira
Mazingira ni mahali ambapo kumezungukwa na kiumbe chochote kile. Mazingira yote yapaswa kuwa safi ili kuepukana na magonjwa mbali mbali. Kuna aina nyingi ya magonjwa ambayo husababishwa na uchafuzi wa mazingira yetu kama vile kipindupindu, homa, malaria na magonjwa mengine. Ugonjwa wa ... | Kukohoa hutokana na nini | {
"text": [
"Vumbi"
]
} |
1658_swa | Madhara ya Uchafuzi wa Mazingira
Mazingira ni mahali ambapo kumezungukwa na kiumbe chochote kile. Mazingira yote yapaswa kuwa safi ili kuepukana na magonjwa mbali mbali. Kuna aina nyingi ya magonjwa ambayo husababishwa na uchafuzi wa mazingira yetu kama vile kipindupindu, homa, malaria na magonjwa mengine. Ugonjwa wa ... | Tunapaswa kukusanya nini | {
"text": [
"Taka"
]
} |
1658_swa | Madhara ya Uchafuzi wa Mazingira
Mazingira ni mahali ambapo kumezungukwa na kiumbe chochote kile. Mazingira yote yapaswa kuwa safi ili kuepukana na magonjwa mbali mbali. Kuna aina nyingi ya magonjwa ambayo husababishwa na uchafuzi wa mazingira yetu kama vile kipindupindu, homa, malaria na magonjwa mengine. Ugonjwa wa ... | Kwa nini hatuna budi kuoga kila siku | {
"text": [
"Ili kuepukana na magonjwa mbalimbali"
]
} |
1660_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZIGIRA
Madhara ni uharibifu wa athari mbaya. Mazingira ni chochote kilicho kuzunguka. Mfano miti, maji, hewa safi na mengineyo. Pia ni usafi uliohitajika kwa kila mmoja wetu hapa duniani, ulimwenguni na pia wanyama huhitaji mazingira.
Pakiwa pachafu hapakosi nzi. Uchafu ni kitu cha kuogofya. N... | Madhara ni nini | {
"text": [
"uharibifu"
]
} |
1660_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZIGIRA
Madhara ni uharibifu wa athari mbaya. Mazingira ni chochote kilicho kuzunguka. Mfano miti, maji, hewa safi na mengineyo. Pia ni usafi uliohitajika kwa kila mmoja wetu hapa duniani, ulimwenguni na pia wanyama huhitaji mazingira.
Pakiwa pachafu hapakosi nzi. Uchafu ni kitu cha kuogofya. N... | Pachafu hapakosi nini | {
"text": [
"nzi"
]
} |
1660_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZIGIRA
Madhara ni uharibifu wa athari mbaya. Mazingira ni chochote kilicho kuzunguka. Mfano miti, maji, hewa safi na mengineyo. Pia ni usafi uliohitajika kwa kila mmoja wetu hapa duniani, ulimwenguni na pia wanyama huhitaji mazingira.
Pakiwa pachafu hapakosi nzi. Uchafu ni kitu cha kuogofya. N... | Nini kitu cha thamana hapa nchini | {
"text": [
"hewa"
]
} |
1660_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZIGIRA
Madhara ni uharibifu wa athari mbaya. Mazingira ni chochote kilicho kuzunguka. Mfano miti, maji, hewa safi na mengineyo. Pia ni usafi uliohitajika kwa kila mmoja wetu hapa duniani, ulimwenguni na pia wanyama huhitaji mazingira.
Pakiwa pachafu hapakosi nzi. Uchafu ni kitu cha kuogofya. N... | Wao hufanya usafi nyumbani lini | {
"text": [
"kila siku"
]
} |
1660_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZIGIRA
Madhara ni uharibifu wa athari mbaya. Mazingira ni chochote kilicho kuzunguka. Mfano miti, maji, hewa safi na mengineyo. Pia ni usafi uliohitajika kwa kila mmoja wetu hapa duniani, ulimwenguni na pia wanyama huhitaji mazingira.
Pakiwa pachafu hapakosi nzi. Uchafu ni kitu cha kuogofya. N... | Usafi wa shule ya upili uliwapendeza wengi mbona | {
"text": [
"kila mmoja alikua na kazi yake"
]
} |
1661_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni chochote kile kinachomhusu na pia kinachomzunguka insi. Baadhi yao ni mti, ardhi, mito, maziwa, mchanga, bahari na pia hewa inayotuzunguka. Kila mwanadamu hana budi kuifadhi na kuitunza maslahi yake. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yam... | Mbinu duni za kilimo husababisha nini | {
"text": [
"mmomonyoko wa udongo"
]
} |
1661_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni chochote kile kinachomhusu na pia kinachomzunguka insi. Baadhi yao ni mti, ardhi, mito, maziwa, mchanga, bahari na pia hewa inayotuzunguka. Kila mwanadamu hana budi kuifadhi na kuitunza maslahi yake. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yam... | Miti inafaa kufanyiwa nini | {
"text": [
"kutunzwa vizuri"
]
} |
1661_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni chochote kile kinachomhusu na pia kinachomzunguka insi. Baadhi yao ni mti, ardhi, mito, maziwa, mchanga, bahari na pia hewa inayotuzunguka. Kila mwanadamu hana budi kuifadhi na kuitunza maslahi yake. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yam... | Ukikata mti mmoja ufanye nini | {
"text": [
"upande miwili"
]
} |
1661_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni chochote kile kinachomhusu na pia kinachomzunguka insi. Baadhi yao ni mti, ardhi, mito, maziwa, mchanga, bahari na pia hewa inayotuzunguka. Kila mwanadamu hana budi kuifadhi na kuitunza maslahi yake. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yam... | Ni lini mtu anapaswa kupanda miti miwili | {
"text": [
"anapokata mti mmoja"
]
} |
1661_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni chochote kile kinachomhusu na pia kinachomzunguka insi. Baadhi yao ni mti, ardhi, mito, maziwa, mchanga, bahari na pia hewa inayotuzunguka. Kila mwanadamu hana budi kuifadhi na kuitunza maslahi yake. Kwa wakati huu ambapo idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka na mataifa yam... | Mbona tunapaswa kulinda mazingira yetu vizuri | {
"text": [
"ili tuweze kuzuia magonjwa mengi"
]
} |
1663_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya uchafuzi wa mazingira yetu. Mazingira yanaweza kutoa uchafu kwa njia mbalimbali kama vile utupaji wa uchafu mahali ambapo hapafai na kukosa kukata nyasi ziliz... | Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka nani | {
"text": [
"Kiumbe"
]
} |
1663_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya uchafuzi wa mazingira yetu. Mazingira yanaweza kutoa uchafu kwa njia mbalimbali kama vile utupaji wa uchafu mahali ambapo hapafai na kukosa kukata nyasi ziliz... | Madhara ni uharibifu au nini | {
"text": [
"Athari mbaya"
]
} |
1663_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya uchafuzi wa mazingira yetu. Mazingira yanaweza kutoa uchafu kwa njia mbalimbali kama vile utupaji wa uchafu mahali ambapo hapafai na kukosa kukata nyasi ziliz... | Mazingira yanaweza kuwa machafu kwa kukosa kukata nini | {
"text": [
"Nyasi zilizo ndefu"
]
} |
1663_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya uchafuzi wa mazingira yetu. Mazingira yanaweza kutoa uchafu kwa njia mbalimbali kama vile utupaji wa uchafu mahali ambapo hapafai na kukosa kukata nyasi ziliz... | Ugonjwa wa cholera husababishwa na nini | {
"text": [
"Maji chafu"
]
} |
1663_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake. Madhara ni uharibifu au athari mbaya ya uchafuzi wa mazingira yetu. Mazingira yanaweza kutoa uchafu kwa njia mbalimbali kama vile utupaji wa uchafu mahali ambapo hapafai na kukosa kukata nyasi ziliz... | Takataka hupaswa kutupwa wapi | {
"text": [
"Katika pipa"
]
} |
1664_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Tunafaa watu wote kuishi mazingira safi ndio tupate afya safi na tujilinde tusishikwe na magonjwa mbalimbali. Mazingira safi hupendeza kila mtu. Usafi huzuia magonjwa mengi. Pia watu wasafi watapata ma... | Mazingira safi huchangia nini | {
"text": [
"Afya"
]
} |
1664_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Tunafaa watu wote kuishi mazingira safi ndio tupate afya safi na tujilinde tusishikwe na magonjwa mbalimbali. Mazingira safi hupendeza kila mtu. Usafi huzuia magonjwa mengi. Pia watu wasafi watapata ma... | Ni nadra mtu safi kushikwa na nini | {
"text": [
"Magonjwa"
]
} |
1664_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Tunafaa watu wote kuishi mazingira safi ndio tupate afya safi na tujilinde tusishikwe na magonjwa mbalimbali. Mazingira safi hupendeza kila mtu. Usafi huzuia magonjwa mengi. Pia watu wasafi watapata ma... | Mswaki hupigwa wakati gani | {
"text": [
"Asubuhi"
]
} |
1664_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Tunafaa watu wote kuishi mazingira safi ndio tupate afya safi na tujilinde tusishikwe na magonjwa mbalimbali. Mazingira safi hupendeza kila mtu. Usafi huzuia magonjwa mengi. Pia watu wasafi watapata ma... | Mazingira machafu huwa na nini | {
"text": [
"Hewa chafu"
]
} |
1664_swa | MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA
Mazingira ni hali au mambo yanayomzunguka kiumbe katika sehemu anapoishi au maisha yake.
Tunafaa watu wote kuishi mazingira safi ndio tupate afya safi na tujilinde tusishikwe na magonjwa mbalimbali. Mazingira safi hupendeza kila mtu. Usafi huzuia magonjwa mengi. Pia watu wasafi watapata ma... | Kipi kinaweza ng'arisha mazingira | {
"text": [
"Miti"
]
} |
1665_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Na hatupaswi kuchafua mazingira yetu kwasababu tunaweza tukapatwa na magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu na ugonjwa wa kuendesha na menqineyo. Pia, mazingira yetu yanapokuwa machafu tutaweza kuwa tukitahadharisha maisha yetu na tukijiweka katika hatari kubwa zaidi katika vijijini... | Taka inapotupwa kwenya bahari nini hufanyika | {
"text": [
"viumbe huaga"
]
} |
1665_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Na hatupaswi kuchafua mazingira yetu kwasababu tunaweza tukapatwa na magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu na ugonjwa wa kuendesha na menqineyo. Pia, mazingira yetu yanapokuwa machafu tutaweza kuwa tukitahadharisha maisha yetu na tukijiweka katika hatari kubwa zaidi katika vijijini... | Nini huwa kwa hewa mazingira yakiwa machafu | {
"text": [
"harufu mbaya"
]
} |
1665_swa | MADHARA YA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Na hatupaswi kuchafua mazingira yetu kwasababu tunaweza tukapatwa na magonjwa mbalimbali kama vile kipindupindu na ugonjwa wa kuendesha na menqineyo. Pia, mazingira yetu yanapokuwa machafu tutaweza kuwa tukitahadharisha maisha yetu na tukijiweka katika hatari kubwa zaidi katika vijijini... | Mazingira yakichafuliwa tunaweza kupata nini | {
"text": [
"magonjwa mbali mbali"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.