Story_ID stringlengths 8 8 | context stringlengths 445 11k | question stringlengths 12 113 | answers dict |
|---|---|---|---|
4814_swa | Ugatuzi una manufaa mengi kuliko uongozi wa serikali kuu.
Tangu Kenya kujinyakulia uhuru kutoka kwa mkoloni, ilitawaliwa na
serikali kuu. Hii ni kama miaka takriban hamsini iliyopita. Kupitia kwa
mabadilisho ya katiba ya 2010, ugatuzi ulianzishwa. Yapo manufaa ya
ugatuzi huo. Ugatuzi umeleta manufaa mengi nchini kulik... | Serikali ya ugatuzi zimehusishwa pakubwa na nini | {
"text": [
"Ufisadi"
]
} |
4814_swa | Ugatuzi una manufaa mengi kuliko uongozi wa serikali kuu.
Tangu Kenya kujinyakulia uhuru kutoka kwa mkoloni, ilitawaliwa na
serikali kuu. Hii ni kama miaka takriban hamsini iliyopita. Kupitia kwa
mabadilisho ya katiba ya 2010, ugatuzi ulianzishwa. Yapo manufaa ya
ugatuzi huo. Ugatuzi umeleta manufaa mengi nchini kulik... | Kwa nini ugatuzi unagawanya nchi | {
"text": [
"Magatuzi mengi huwa na wakaazi wa kabila moja au mawili"
]
} |
4816_swa | Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa
ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa
kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa
sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni
chache ikilinganishwa na mabara nyingine... | Ni bara lipi maskini kuliko nyingine | {
"text": [
"Afrika"
]
} |
4816_swa | Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa
ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa
kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa
sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni
chache ikilinganishwa na mabara nyingine... | Bara la Afrika lilitawaliwa nani kwa muda mrefu | {
"text": [
"Wakoloni"
]
} |
4816_swa | Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa
ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa
kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa
sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni
chache ikilinganishwa na mabara nyingine... | Ni wapi waafrika wanadhalilishwa n | {
"text": [
"Viwandani"
]
} |
4816_swa | Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa
ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa
kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa
sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni
chache ikilinganishwa na mabara nyingine... | Waafrika walilazimishwa kufanya nini | {
"text": [
"Kazi"
]
} |
4816_swa | Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa
ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa
kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa
sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni
chache ikilinganishwa na mabara nyingine... | Kwa nini machifu walikuwa matajiri | {
"text": [
"Walipewa mashamba na wakoloni"
]
} |
4817_swa | WINGU LA SIMANZI
Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa
mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda
Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali
yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila
mtu alikuwa na furaha gh... | Nini ina umuhimu mkubwa kwa binadamu | {
"text": [
"miti"
]
} |
4817_swa | WINGU LA SIMANZI
Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa
mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda
Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali
yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila
mtu alikuwa na furaha gh... | Hewa gani husaidia mwili wa binadamu | {
"text": [
"oksijeni"
]
} |
4817_swa | WINGU LA SIMANZI
Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa
mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda
Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali
yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila
mtu alikuwa na furaha gh... | Mbona wakulima hutegemea mvua | {
"text": [
"ili vyakula vinawiri"
]
} |
4817_swa | WINGU LA SIMANZI
Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa
mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda
Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali
yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila
mtu alikuwa na furaha gh... | Nani huhitajika kunywa maji ya majani | {
"text": [
"mgonjwa"
]
} |
4817_swa | WINGU LA SIMANZI
Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa
mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda
Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali
yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila
mtu alikuwa na furaha gh... | Maua huleta sura nzuri lini | {
"text": [
"kila wakati"
]
} |
4818_swa | Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani
Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana.
Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla
ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa
umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, mig... | Kelele zilitoka wapi usiku wa kuamkia jumamasi | {
"text": [
"Kwa jirani Amina"
]
} |
4818_swa | Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani
Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana.
Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla
ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa
umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, mig... | Wezi waliagiza mfanyi biashara afanya nini | {
"text": [
"kuwapa hela zote alizokuwa nazo"
]
} |
4818_swa | Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani
Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana.
Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla
ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa
umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, mig... | Ni nini kilitokea mfanyi biashara alipowaeleza hakuwa na pesa | {
"text": [
"Alipigwa kofi hadi akazirai"
]
} |
4818_swa | Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani
Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana.
Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla
ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa
umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, mig... | Wezi waliiba nini kutoka kwa mfanyi biashara | {
"text": [
"Runinga, jokofu, viti na meza"
]
} |
4818_swa | Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani
Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana.
Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla
ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa
umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, mig... | Wezi walipewa adhabu gani waliposhikwa | {
"text": [
"Kifungu cha miaka mitatu"
]
} |
4820_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE
Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza
kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi
ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao
wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale.
Kwanza wanawake wa... | Ni kina nani walio na umuhimu katika jamii yoyote | {
"text": [
"Wanawake"
]
} |
4820_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE
Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza
kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi
ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao
wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale.
Kwanza wanawake wa... | Wanawake hudhulumiwa kwa kukosa kurithi mali ya nani | {
"text": [
"Mume"
]
} |
4820_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE
Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza
kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi
ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao
wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale.
Kwanza wanawake wa... | Mwanamke hawezi kurithi mali bila ya kuwa na nani | {
"text": [
"Mtoto"
]
} |
4820_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE
Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza
kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi
ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao
wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale.
Kwanza wanawake wa... | Watoto ni nini | {
"text": [
"Baraka"
]
} |
4820_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE
Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza
kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi
ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao
wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale.
Kwanza wanawake wa... | Inapasa tuwape wanawake uhuru wa kufanya nini | {
"text": [
"Kutembea"
]
} |
4821_swa | AJALI BARABARANI.
Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara
zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea
mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali
barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa
barabarani. Sijui wewe un... | Nini ziko kwenye barabara zetu | {
"text": [
"ajali"
]
} |
4821_swa | AJALI BARABARANI.
Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara
zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea
mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali
barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa
barabarani. Sijui wewe un... | Alitembea tembea lini | {
"text": [
"mwezi wa Krismasi"
]
} |
4821_swa | AJALI BARABARANI.
Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara
zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea
mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali
barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa
barabarani. Sijui wewe un... | Barabara zetu zimo katika hali gani | {
"text": [
"mbaya"
]
} |
4821_swa | AJALI BARABARANI.
Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara
zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea
mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali
barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa
barabarani. Sijui wewe un... | Msimulizi aliweza kutagusana na nani | {
"text": [
"madereva"
]
} |
4821_swa | AJALI BARABARANI.
Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara
zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea
mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali
barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa
barabarani. Sijui wewe un... | Kwa nini alipanda pikipiki | {
"text": [
"kwa kuwa yeye ni mraibu wa kutafuta habari"
]
} |
4823_swa | AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI
Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa
alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara
nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma
yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho
chanzo Ch... | Alizoea kucheza na rafiki yake Musa mchezo upi | {
"text": [
"kukimbizana"
]
} |
4823_swa | AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI
Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa
alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara
nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma
yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho
chanzo Ch... | walizoeana na Musa mpaka wakahitimu kidato kipi | {
"text": [
"Cha nne"
]
} |
4823_swa | AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI
Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa
alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara
nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma
yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho
chanzo Ch... | Madaktari walitaka ubadilishaji wa nini | {
"text": [
"Figo"
]
} |
4823_swa | AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI
Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa
alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara
nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma
yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho
chanzo Ch... | Nani aliiingia hospitalini na kuomba aweze kuonana naye | {
"text": [
"Dola "
]
} |
4823_swa | AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI
Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa
alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara
nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma
yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho
chanzo Ch... | Kwa nini Dola alikuwa rafiki wa kweli | {
"text": [
"Alikuwa tayari kutolewa figo ili ampe Dola"
]
} |
4824_swa | BAHATI YA BAHATI.
Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa
malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila
iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa
muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa
kipekee wakamwita Baha... | Bi.Mrashi na Bwana Makame walijaliwa kupata mtoto wa kike aliyeitwaje? | {
"text": [
"Bahati"
]
} |
4824_swa | BAHATI YA BAHATI.
Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa
malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila
iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa
muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa
kipekee wakamwita Baha... | Bahati aliiishi katika kaya ipi? | {
"text": [
"Tundaua"
]
} |
4824_swa | BAHATI YA BAHATI.
Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa
malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila
iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa
muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa
kipekee wakamwita Baha... | Bahati alijiunga na chuo kikuu cha wapi? | {
"text": [
"Pwani"
]
} |
4824_swa | BAHATI YA BAHATI.
Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa
malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila
iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa
muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa
kipekee wakamwita Baha... | Mdudu yupi hujenga kichunguu kwa mate? | {
"text": [
"Mchwa"
]
} |
4824_swa | BAHATI YA BAHATI.
Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa
malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila
iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa
muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa
kipekee wakamwita Baha... | Mtu anayetafuna 'mgokaa' anafananishwa na mnyama yupi? | {
"text": [
"Mbuzi"
]
} |
4825_swa | BURUDANI
Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa
na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza,
anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile
wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana.
Katika karne hii, njia minj... | Aina za burudani hutofautiana kulingana na nani | {
"text": [
"Mtu"
]
} |
4825_swa | BURUDANI
Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa
na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza,
anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile
wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana.
Katika karne hii, njia minj... | Kile ukipandacho ndicho utafanya nini | {
"text": [
"Utavuna"
]
} |
4825_swa | BURUDANI
Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa
na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza,
anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile
wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana.
Katika karne hii, njia minj... | televisheni imefanya wengi kuwa nini | {
"text": [
"wavivu"
]
} |
4825_swa | BURUDANI
Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa
na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza,
anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile
wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana.
Katika karne hii, njia minj... | Nini yafaa iwe sehemu ya kujifunza. | {
"text": [
"Runinga"
]
} |
4825_swa | BURUDANI
Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa
na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza,
anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile
wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana.
Katika karne hii, njia minj... | Kwa nini si vyema kufanya mambo kwa papara | {
"text": [
"Makosa mengi hutokea kwa kazi zinazofanywa kwa papara"
]
} |
4826_swa | BWANA JABURUTI
Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti.
Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa
kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa
biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii
waliwatamani kwa saba... | Jijini lipi paliishi mzee mmoja ,Bwana Jaburuti na mkwe,Bi Jaburuti | {
"text": [
"Kamongo"
]
} |
4826_swa | BWANA JABURUTI
Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti.
Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa
kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa
biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii
waliwatamani kwa saba... | Bi. Baruti alipata nini | {
"text": [
"ujauzito"
]
} |
4826_swa | BWANA JABURUTI
Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti.
Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa
kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa
biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii
waliwatamani kwa saba... | Nini ilikuwa kubwa kuliko sehemu nyingine za mwili. | {
"text": [
"Kichwa"
]
} |
4826_swa | BWANA JABURUTI
Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti.
Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa
kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa
biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii
waliwatamani kwa saba... | Mzee aliandika wosia na kumkabidhi nani | {
"text": [
"Wakili"
]
} |
4826_swa | BWANA JABURUTI
Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti.
Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa
kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa
biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii
waliwatamani kwa saba... | Kwa nini dalali aliifungua kwa pupa | {
"text": [
"Alifikiri ni orodha ya namna mali ile ingeuzwa."
]
} |
4827_swa | CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE
Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna
katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa
na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa
hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi
kuona kwa... | Kipi kinawakumba kina mama nchini | {
"text": [
"Changamoto"
]
} |
4827_swa | CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE
Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna
katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa
na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa
hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi
kuona kwa... | Katiba ilianza kutekelezwa lini | {
"text": [
"2010"
]
} |
4827_swa | CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE
Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna
katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa
na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa
hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi
kuona kwa... | Nini huwa mbaya kwa wanawake wanaoingia siasa | {
"text": [
"Hali"
]
} |
4827_swa | CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE
Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna
katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa
na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa
hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi
kuona kwa... | Mwanamke amekuwa nini cha kufanyiwa mzaha | {
"text": [
"Kinyago"
]
} |
4827_swa | CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE
Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna
katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa
na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa
hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi
kuona kwa... | Biashara ndogondogo huendelezwa wapi | {
"text": [
"Sokoni na mitaani"
]
} |
4828_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika
Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu
nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima.
Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu.
Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupat... | Umuhimu wa elimu unatambukika wapi | {
"text": [
"Katika jamii"
]
} |
4828_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika
Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu
nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima.
Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu.
Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupat... | Ni jambo lipi hutokea mtu anapomaliza masomo yake | {
"text": [
"Mtu atapata kazi na kuiishi maisha mazuri"
]
} |
4828_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika
Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu
nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima.
Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu.
Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupat... | Ni nani wanapewa kazi zenye mapato ya juu | {
"text": [
"Wale wenya elimu ya juu zaidi"
]
} |
4828_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika
Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu
nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima.
Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu.
Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupat... | Elimu huandaa mtu kukabiliana na nini | {
"text": [
"Changamoto za maisha"
]
} |
4828_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika
Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu
nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima.
Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu.
Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupat... | Mtoto akishazaliwa ni wa nani | {
"text": [
"Wa jamii"
]
} |
4829_swa | ELIMU UFUNGUO WA MAISHA.
Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini?
Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama
kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi
umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki
wangu Kazabidii. Ka... | Nini ndio ufunguo wa maisha | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
4829_swa | ELIMU UFUNGUO WA MAISHA.
Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini?
Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama
kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi
umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki
wangu Kazabidii. Ka... | Mambo ya utoto kweli yana nini | {
"text": [
"Mambo"
]
} |
4829_swa | ELIMU UFUNGUO WA MAISHA.
Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini?
Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama
kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi
umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki
wangu Kazabidii. Ka... | Kazibidii alijiunga na shule ipi | {
"text": [
"Utubora"
]
} |
4829_swa | ELIMU UFUNGUO WA MAISHA.
Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini?
Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama
kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi
umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki
wangu Kazabidii. Ka... | Alipata tamaa ya kujiunga na nini | {
"text": [
"Chuo kikuu"
]
} |
4829_swa | ELIMU UFUNGUO WA MAISHA.
Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini?
Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama
kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi
umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki
wangu Kazabidii. Ka... | Kwa nini alitamani kurudi kijijini | {
"text": [
"Alikosa kibarua mjini"
]
} |
4830_swa | Aliyesaulika
Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi
ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa
bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa
Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa
limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.A... | Nani alipata kazi ng'ambo? | {
"text": [
"Andrew"
]
} |
4830_swa | Aliyesaulika
Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi
ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa
bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa
Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa
limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.A... | Andrew alipata ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa limekubalika wakati gani? | {
"text": [
"Jioni"
]
} |
4830_swa | Aliyesaulika
Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi
ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa
bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa
Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa
limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.A... | Familia yake Andrew ilikuwa ya watu wangapi? | {
"text": [
"Watatu"
]
} |
4830_swa | Aliyesaulika
Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi
ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa
bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa
Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa
limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.A... | Andrew alikuwa anafanya kazi gani ili kukimu familia yake? | {
"text": [
"Mijengo"
]
} |
4830_swa | Aliyesaulika
Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi
ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa
bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa
Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa
limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.A... | Mkewe Andrew alijulikana kama nani? | {
"text": [
"Sharon"
]
} |
4831_swa | Asante ya punda
Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo
kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza
masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo
kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata
kazi.Aliandika barua n... | Nani alikuwa msichana mrembo sana | {
"text": [
"Latifa"
]
} |
4831_swa | Asante ya punda
Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo
kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza
masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo
kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata
kazi.Aliandika barua n... | Lakini alikuwa tegemeo la pekee kwa nani | {
"text": [
"Wazazi"
]
} |
4831_swa | Asante ya punda
Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo
kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza
masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo
kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata
kazi.Aliandika barua n... | Nani alikuja kuwatembelea wakati wa sherehe za mwaka mpya | {
"text": [
"Mjomba"
]
} |
4831_swa | Asante ya punda
Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo
kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza
masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo
kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata
kazi.Aliandika barua n... | Latifa aligeuka na kuwa nini | {
"text": [
"Hayawani"
]
} |
4831_swa | Asante ya punda
Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo
kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza
masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo
kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata
kazi.Aliandika barua n... | Kwa nini wavyele wake walisononeka wasijue la kufanya. | {
"text": [
"Latifa hakuenda kuwajulia hali"
]
} |
4832_swa | Changu ni changu
Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina
Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni
ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria
kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea
kampuni yake mara kwa mara na ku... | Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana aje | {
"text": [
"Milestone"
]
} |
4832_swa | Changu ni changu
Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina
Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni
ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria
kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea
kampuni yake mara kwa mara na ku... | Nani amekuwa hasidi wake tangu aanzishe kampuni hiyo | {
"text": [
"Thomas"
]
} |
4832_swa | Changu ni changu
Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina
Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni
ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria
kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea
kampuni yake mara kwa mara na ku... | Changu aliamua kumfungulia nini Thomas | {
"text": [
"Mashtaka"
]
} |
4832_swa | Changu ni changu
Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina
Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni
ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria
kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea
kampuni yake mara kwa mara na ku... | Thomas aliwachochea wafanyikazi wa changu kufanya nini | {
"text": [
"Kugoma"
]
} |
4832_swa | Changu ni changu
Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina
Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni
ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria
kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea
kampuni yake mara kwa mara na ku... | Kwa nini wahuni waliaga | {
"text": [
"Waliuliwa na askari wa Changu"
]
} |
4833_swa | Mke wa mtu sumu
Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa
anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna
ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima
ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda
wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribi... | Mwanaume hupata masaibu kabla apate nini | {
"text": [
"mke"
]
} |
4833_swa | Mke wa mtu sumu
Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa
anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna
ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima
ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda
wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribi... | Nani alilazimika kutoka ngambo ili apate mwanamke | {
"text": [
"John"
]
} |
4833_swa | Mke wa mtu sumu
Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa
anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna
ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima
ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda
wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribi... | Urafiki baina ya John na Simon uliingia doa lini | {
"text": [
"Baada ya rafikia yake kuchoka kumdai pesa zake"
]
} |
4833_swa | Mke wa mtu sumu
Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa
anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna
ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima
ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda
wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribi... | Simon alimwita John akiwa mbali kidogo na wapi | {
"text": [
"Nyumba yaKe"
]
} |
4833_swa | Mke wa mtu sumu
Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa
anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna
ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima
ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda
wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribi... | Kwa nini John alikasirika zaidi na kumwamuru atoke k | {
"text": [
"Aliendelea kutoka cheche za matusi bila kupima maneno yake"
]
} |
4834_swa | ZARAA
Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini
hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha
ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea
kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake.
Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima n... | Nini ndio uti wa mgongo wa taifa la Kenya | {
"text": [
"Zaraa"
]
} |
4834_swa | ZARAA
Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini
hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha
ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea
kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake.
Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima n... | Nani wanatarajiwa kumshauri mkulima | {
"text": [
"Wataalamu"
]
} |
4834_swa | ZARAA
Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini
hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha
ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea
kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake.
Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima n... | Nani hajaweka sera mahsusi | {
"text": [
"Serikali"
]
} |
4834_swa | ZARAA
Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini
hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha
ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea
kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake.
Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima n... | Mkulima hushindwa kuweka nini ardhini | {
"text": [
"Virutubishi"
]
} |
4834_swa | ZARAA
Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini
hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha
ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea
kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake.
Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima n... | Mabadiliko ya anga yanaathiri ukulima vipi | {
"text": [
" Mkulima kushindwa kupanga wakati anaotakiwa kutayarisha shamba"
]
} |
4836_swa | GIZA
Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume
cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili
husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata
nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa.
Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na ... | Kinyume cha nuru ni nini | {
"text": [
"Giza"
]
} |
4836_swa | GIZA
Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume
cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili
husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata
nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa.
Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na ... | Giza husababisha nini | {
"text": [
"Upofu"
]
} |
4836_swa | GIZA
Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume
cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili
husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata
nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa.
Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na ... | Ni wanyama wapi wanaweza ona gizani | {
"text": [
"Paka, kondoo na wa mwituni"
]
} |
4836_swa | GIZA
Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume
cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili
husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata
nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa.
Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na ... | Mnyama yupi hutafuta chakula gizani | {
"text": [
"Simba"
]
} |
4836_swa | GIZA
Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume
cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili
husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata
nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa.
Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na ... | Nani aliyeumba giza na mwanga | {
"text": [
"Mungu"
]
} |
4837_swa | UVUMBUZI WA SHAJARA
Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu
waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu
walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama
kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na
kupoteza tukio hata m... | Nani akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza | {
"text": [
"Mungu"
]
} |
4837_swa | UVUMBUZI WA SHAJARA
Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu
waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu
walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama
kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na
kupoteza tukio hata m... | Shajara za ofisi hurekodi mambo yapi | {
"text": [
"Kiofisi"
]
} |
4837_swa | UVUMBUZI WA SHAJARA
Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu
waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu
walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama
kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na
kupoteza tukio hata m... | Shajara ni njia rahisi ta kunakili nini | {
"text": [
"Matukio"
]
} |
4837_swa | UVUMBUZI WA SHAJARA
Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu
waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu
walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama
kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na
kupoteza tukio hata m... | Shajara ya shule huhusishwa na nini | {
"text": [
"Midahalo ya shule"
]
} |
4837_swa | UVUMBUZI WA SHAJARA
Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu
waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu
walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama
kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na
kupoteza tukio hata m... | Kwa nini ni muhimu kwa kila mtu kutumia shajara | {
"text": [
"Kwa sababu inarahisisha kazi"
]
} |
4838_swa | UTAMADUNI KUPITIA MICHEZO YA WATOTO
Katika mazingira tofauti, hali halisia ya utamaduni, uchumi na siasa za
jamii hubainika wazi katika michezo za watoto. Hili huwa ni dhamira kuu
kuhusu fasihi simulizi ya jamii husika. Hizo michezo hulenga
kuwaelimisha, kuwarai na kurekebisha maadili ya ha watoto husika au wale
wanao... | Michezo ya watoto hulenga nini | {
"text": [
"Kuelimisha, kuwarai, na kurekebisha maadili yao"
]
} |
4838_swa | UTAMADUNI KUPITIA MICHEZO YA WATOTO
Katika mazingira tofauti, hali halisia ya utamaduni, uchumi na siasa za
jamii hubainika wazi katika michezo za watoto. Hili huwa ni dhamira kuu
kuhusu fasihi simulizi ya jamii husika. Hizo michezo hulenga
kuwaelimisha, kuwarai na kurekebisha maadili ya ha watoto husika au wale
wanao... | Watoto huigiza mambo yapi | {
"text": [
"Mambo halisi yanayofanyika katika jamii"
]
} |
4838_swa | UTAMADUNI KUPITIA MICHEZO YA WATOTO
Katika mazingira tofauti, hali halisia ya utamaduni, uchumi na siasa za
jamii hubainika wazi katika michezo za watoto. Hili huwa ni dhamira kuu
kuhusu fasihi simulizi ya jamii husika. Hizo michezo hulenga
kuwaelimisha, kuwarai na kurekebisha maadili ya ha watoto husika au wale
wanao... | Watoto wengi hupenda kujihusisha na nani | {
"text": [
"Wanajamii wenye tabia njema"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.