Story_ID stringlengths 8 8 | context stringlengths 445 11k | question stringlengths 12 113 | answers dict |
|---|---|---|---|
5189_swa |
FAIDA ZA KILIMO
Faida za kilimo humu nchini huonekana kwa wakulima wanapopata faida kubwa sana kuliko biashara zingine ndio maana tunafaa kutia bidii katika kilimo na kuitunza.
Sisi kama wakulima hapa Kenya tunatia bidii ili binadamu na watu wasiojuwa kulima wapate chakula. Tunatia bidii kama kuweka mbolea kwa mimea ... | Ukitaka mboga iwe na faida kubwa upande wapi | {
"text": [
"karibu na mto"
]
} |
5189_swa |
FAIDA ZA KILIMO
Faida za kilimo humu nchini huonekana kwa wakulima wanapopata faida kubwa sana kuliko biashara zingine ndio maana tunafaa kutia bidii katika kilimo na kuitunza.
Sisi kama wakulima hapa Kenya tunatia bidii ili binadamu na watu wasiojuwa kulima wapate chakula. Tunatia bidii kama kuweka mbolea kwa mimea ... | Mbona ni muhimu mkulima apande mboga za kila aina | {
"text": [
"ili apate faida kubwa"
]
} |
5190_swa |
Mwalimu mkuu wa shule yetu ya lolo Bwana Taabu, naibu wetu na Zainabu, wanakamati, mabibi na mabwana, salaam aleikum! Ni Matumaini yangu kuwa nyote mwazima kama chuma cha pua. Nyuso zenu zimeng’aa riboribo na zinametameta kama nyota za anuani na ni buheri wa afya na sina doa. Kwa wale wasionijua, mimi ni Bwana Wasaa,... | Nyuso zao zinametameta kama nyota za wapi | {
"text": [
"Angani"
]
} |
5190_swa |
Mwalimu mkuu wa shule yetu ya lolo Bwana Taabu, naibu wetu na Zainabu, wanakamati, mabibi na mabwana, salaam aleikum! Ni Matumaini yangu kuwa nyote mwazima kama chuma cha pua. Nyuso zenu zimeng’aa riboribo na zinametameta kama nyota za anuani na ni buheri wa afya na sina doa. Kwa wale wasionijua, mimi ni Bwana Wasaa,... | Mtu hakatai nini | {
"text": [
"Wito"
]
} |
5190_swa |
Mwalimu mkuu wa shule yetu ya lolo Bwana Taabu, naibu wetu na Zainabu, wanakamati, mabibi na mabwana, salaam aleikum! Ni Matumaini yangu kuwa nyote mwazima kama chuma cha pua. Nyuso zenu zimeng’aa riboribo na zinametameta kama nyota za anuani na ni buheri wa afya na sina doa. Kwa wale wasionijua, mimi ni Bwana Wasaa,... | Mbio ya mgambo ikilia kuna nini | {
"text": [
"Jambo"
]
} |
5190_swa |
Mwalimu mkuu wa shule yetu ya lolo Bwana Taabu, naibu wetu na Zainabu, wanakamati, mabibi na mabwana, salaam aleikum! Ni Matumaini yangu kuwa nyote mwazima kama chuma cha pua. Nyuso zenu zimeng’aa riboribo na zinametameta kama nyota za anuani na ni buheri wa afya na sina doa. Kwa wale wasionijua, mimi ni Bwana Wasaa,... | Elimu ni nini | {
"text": [
"Kurunzi"
]
} |
5190_swa |
Mwalimu mkuu wa shule yetu ya lolo Bwana Taabu, naibu wetu na Zainabu, wanakamati, mabibi na mabwana, salaam aleikum! Ni Matumaini yangu kuwa nyote mwazima kama chuma cha pua. Nyuso zenu zimeng’aa riboribo na zinametameta kama nyota za anuani na ni buheri wa afya na sina doa. Kwa wale wasionijua, mimi ni Bwana Wasaa,... | Kwa nini elimu ni muhimu | {
"text": [
"Uwezi kupata kazi bila elimu"
]
} |
5191_swa |
Umealikwa kuwa hutubia wanafunzi kuhusu umuhimu muriithi wa elimu
“Mwalimu mkuu, mkurugenzi wa mwalimu mkuu, walimu, wanafunzi, hamjambo? Ningependa kuchukuwa fursa hii kuwaambia wanafunzi kwamba elimu ni kitu ambacho ni cha thamana. Kama walimu hawa hawangesoma, je jiulize nani angekuwa mwalimu wenu? Kwa hivyo nawa... | Ni nini kitu muhimu katika maisha ya binadamu | {
"text": [
"Masomo"
]
} |
5191_swa |
Umealikwa kuwa hutubia wanafunzi kuhusu umuhimu muriithi wa elimu
“Mwalimu mkuu, mkurugenzi wa mwalimu mkuu, walimu, wanafunzi, hamjambo? Ningependa kuchukuwa fursa hii kuwaambia wanafunzi kwamba elimu ni kitu ambacho ni cha thamana. Kama walimu hawa hawangesoma, je jiulize nani angekuwa mwalimu wenu? Kwa hivyo nawa... | Ukipata elimu unaweza kujiajiri au kufanya nini | {
"text": [
"Kuajiriwa"
]
} |
5191_swa |
Umealikwa kuwa hutubia wanafunzi kuhusu umuhimu muriithi wa elimu
“Mwalimu mkuu, mkurugenzi wa mwalimu mkuu, walimu, wanafunzi, hamjambo? Ningependa kuchukuwa fursa hii kuwaambia wanafunzi kwamba elimu ni kitu ambacho ni cha thamana. Kama walimu hawa hawangesoma, je jiulize nani angekuwa mwalimu wenu? Kwa hivyo nawa... | Msemaji angependa kila mwanagenzi atie nini katika masomo | {
"text": [
"Bidii"
]
} |
5191_swa |
Umealikwa kuwa hutubia wanafunzi kuhusu umuhimu muriithi wa elimu
“Mwalimu mkuu, mkurugenzi wa mwalimu mkuu, walimu, wanafunzi, hamjambo? Ningependa kuchukuwa fursa hii kuwaambia wanafunzi kwamba elimu ni kitu ambacho ni cha thamana. Kama walimu hawa hawangesoma, je jiulize nani angekuwa mwalimu wenu? Kwa hivyo nawa... | Nani ampeleke mtoto wake akasome | {
"text": [
"Kila mzazi"
]
} |
5191_swa |
Umealikwa kuwa hutubia wanafunzi kuhusu umuhimu muriithi wa elimu
“Mwalimu mkuu, mkurugenzi wa mwalimu mkuu, walimu, wanafunzi, hamjambo? Ningependa kuchukuwa fursa hii kuwaambia wanafunzi kwamba elimu ni kitu ambacho ni cha thamana. Kama walimu hawa hawangesoma, je jiulize nani angekuwa mwalimu wenu? Kwa hivyo nawa... | Mnenaji anawaomba wanagenzi nini | {
"text": [
"Wawe wanafunzi watiifu"
]
} |
5192_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Shule yetu inajulikana kama Twaweza. Hii ni shule ya bweni iliyopo katika tarafa ya Igambo, wilayani Ngomezi. Shule yenyewe imejengwa kwenye mlima wa pekee katika eneo hilo na imezungukwa na miti ya kila aina. Miti hiyo iko katika upande wa chini wa shule, katika upande wa juu kuna barabara kuu ambayo ... | shule yao inaitwaje | {
"text": [
"Twaweza"
]
} |
5192_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Shule yetu inajulikana kama Twaweza. Hii ni shule ya bweni iliyopo katika tarafa ya Igambo, wilayani Ngomezi. Shule yenyewe imejengwa kwenye mlima wa pekee katika eneo hilo na imezungukwa na miti ya kila aina. Miti hiyo iko katika upande wa chini wa shule, katika upande wa juu kuna barabara kuu ambayo ... | Shule yao iko katika wilaya gani | {
"text": [
"ya Jigambo"
]
} |
5192_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Shule yetu inajulikana kama Twaweza. Hii ni shule ya bweni iliyopo katika tarafa ya Igambo, wilayani Ngomezi. Shule yenyewe imejengwa kwenye mlima wa pekee katika eneo hilo na imezungukwa na miti ya kila aina. Miti hiyo iko katika upande wa chini wa shule, katika upande wa juu kuna barabara kuu ambayo ... | Nani wanazingatia nidhamu | {
"text": [
"wanafunzi wote"
]
} |
5192_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Shule yetu inajulikana kama Twaweza. Hii ni shule ya bweni iliyopo katika tarafa ya Igambo, wilayani Ngomezi. Shule yenyewe imejengwa kwenye mlima wa pekee katika eneo hilo na imezungukwa na miti ya kila aina. Miti hiyo iko katika upande wa chini wa shule, katika upande wa juu kuna barabara kuu ambayo ... | Wanafunzi wote wanazingatia nini | {
"text": [
"nidhamu nzuri"
]
} |
5192_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Shule yetu inajulikana kama Twaweza. Hii ni shule ya bweni iliyopo katika tarafa ya Igambo, wilayani Ngomezi. Shule yenyewe imejengwa kwenye mlima wa pekee katika eneo hilo na imezungukwa na miti ya kila aina. Miti hiyo iko katika upande wa chini wa shule, katika upande wa juu kuna barabara kuu ambayo ... | Wote wanaishije | {
"text": [
"kama ndugu"
]
} |
5193_swa |
Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu mwalimu wa zamu, walimu na wanafunzi wenzangu hamjambo? Sote tunajua lamgambo lamgambo likigwa jua kuna jambo. Chanzo kikuu cha nyote kujumuika hapa ni tusaidiane kueleza mwenzako umuhimu wa elimu kwa jamii hii yetu ya kisasa.
Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru nyote kwa kujumuik... | La mgambo likipigwa jua kuna nini | {
"text": [
"jambo"
]
} |
5193_swa |
Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu mwalimu wa zamu, walimu na wanafunzi wenzangu hamjambo? Sote tunajua lamgambo lamgambo likigwa jua kuna jambo. Chanzo kikuu cha nyote kujumuika hapa ni tusaidiane kueleza mwenzako umuhimu wa elimu kwa jamii hii yetu ya kisasa.
Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru nyote kwa kujumuik... | Tusaidiane kueleza umuhimu wa elimu kwa jamii ya lini | {
"text": [
"ya kisasa"
]
} |
5193_swa |
Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu mwalimu wa zamu, walimu na wanafunzi wenzangu hamjambo? Sote tunajua lamgambo lamgambo likigwa jua kuna jambo. Chanzo kikuu cha nyote kujumuika hapa ni tusaidiane kueleza mwenzako umuhimu wa elimu kwa jamii hii yetu ya kisasa.
Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru nyote kwa kujumuik... | Nani hawakukosea waliponena elimu ndiyo ufunguo wa maisha | {
"text": [
"wahenga"
]
} |
5193_swa |
Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu mwalimu wa zamu, walimu na wanafunzi wenzangu hamjambo? Sote tunajua lamgambo lamgambo likigwa jua kuna jambo. Chanzo kikuu cha nyote kujumuika hapa ni tusaidiane kueleza mwenzako umuhimu wa elimu kwa jamii hii yetu ya kisasa.
Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru nyote kwa kujumuik... | Wanafunzi wengine huona wakifika shule gani wamekuwa sawasawa | {
"text": [
"ya sekondari"
]
} |
5193_swa |
Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu mwalimu wa zamu, walimu na wanafunzi wenzangu hamjambo? Sote tunajua lamgambo lamgambo likigwa jua kuna jambo. Chanzo kikuu cha nyote kujumuika hapa ni tusaidiane kueleza mwenzako umuhimu wa elimu kwa jamii hii yetu ya kisasa.
Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru nyote kwa kujumuik... | Utafanyaje ukitaka kufaulu maishani | {
"text": [
"penda elimu"
]
} |
5195_swa |
Umealikwa kuwahutubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. Andika Insha yako.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu na walimu na wanafunzi wenzanu nawasalimia hamjambo nyinyi nyote. Leo ni siku njema ninataka kuwa hutubia kuhusu umuhimu wa elimu. Elimu ni kama ufunguo maishani mwetu ndio maana sisi sote hukimbilia masom... | Leo ni siku gani | {
"text": [
"Njema"
]
} |
5195_swa |
Umealikwa kuwahutubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. Andika Insha yako.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu na walimu na wanafunzi wenzanu nawasalimia hamjambo nyinyi nyote. Leo ni siku njema ninataka kuwa hutubia kuhusu umuhimu wa elimu. Elimu ni kama ufunguo maishani mwetu ndio maana sisi sote hukimbilia masom... | Sisi sote hukimbilia wapi | {
"text": [
"Masomoni"
]
} |
5195_swa |
Umealikwa kuwahutubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. Andika Insha yako.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu na walimu na wanafunzi wenzanu nawasalimia hamjambo nyinyi nyote. Leo ni siku njema ninataka kuwa hutubia kuhusu umuhimu wa elimu. Elimu ni kama ufunguo maishani mwetu ndio maana sisi sote hukimbilia masom... | Pia elimu hufunza nini | {
"text": [
"Teknolojia"
]
} |
5195_swa |
Umealikwa kuwahutubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. Andika Insha yako.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu na walimu na wanafunzi wenzanu nawasalimia hamjambo nyinyi nyote. Leo ni siku njema ninataka kuwa hutubia kuhusu umuhimu wa elimu. Elimu ni kama ufunguo maishani mwetu ndio maana sisi sote hukimbilia masom... | Elimu huwasaidia watu kupata kazi akama vile gani | {
"text": [
"Udakitari"
]
} |
5195_swa |
Umealikwa kuwahutubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. Andika Insha yako.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu na walimu na wanafunzi wenzanu nawasalimia hamjambo nyinyi nyote. Leo ni siku njema ninataka kuwa hutubia kuhusu umuhimu wa elimu. Elimu ni kama ufunguo maishani mwetu ndio maana sisi sote hukimbilia masom... | Sote yafaa tupate nini | {
"text": [
"Elimu bora"
]
} |
5196_swa |
Umealikwa kuwahutubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. Andika insha yako.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu na walimu na wanafunzi na wasalimu nyinyi nyote, hamjambo? Leo ni siku njema sana kwa sababu leo tunaongelea kuhusu umuhimu wa elimu. Elimu ni kama ufunguo ya maishani ndio maana watoto wanaenda shuleni nd... | Nani aliwahutubia wanafunzi | {
"text": [
"Umi"
]
} |
5196_swa |
Umealikwa kuwahutubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. Andika insha yako.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu na walimu na wanafunzi na wasalimu nyinyi nyote, hamjambo? Leo ni siku njema sana kwa sababu leo tunaongelea kuhusu umuhimu wa elimu. Elimu ni kama ufunguo ya maishani ndio maana watoto wanaenda shuleni nd... | Aliwahutubia kuhusu nini | {
"text": [
"umuhimu wa elimu"
]
} |
5196_swa |
Umealikwa kuwahutubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. Andika insha yako.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu na walimu na wanafunzi na wasalimu nyinyi nyote, hamjambo? Leo ni siku njema sana kwa sababu leo tunaongelea kuhusu umuhimu wa elimu. Elimu ni kama ufunguo ya maishani ndio maana watoto wanaenda shuleni nd... | Lugha gani ya taifa nchini Kenya | {
"text": [
"Kiswahili"
]
} |
5196_swa |
Umealikwa kuwahutubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. Andika insha yako.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu na walimu na wanafunzi na wasalimu nyinyi nyote, hamjambo? Leo ni siku njema sana kwa sababu leo tunaongelea kuhusu umuhimu wa elimu. Elimu ni kama ufunguo ya maishani ndio maana watoto wanaenda shuleni nd... | Masomo ni kifunguo cha maisha ya watoto wangapi ulimwenguni | {
"text": [
"wote"
]
} |
5196_swa |
Umealikwa kuwahutubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. Andika insha yako.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu na walimu na wanafunzi na wasalimu nyinyi nyote, hamjambo? Leo ni siku njema sana kwa sababu leo tunaongelea kuhusu umuhimu wa elimu. Elimu ni kama ufunguo ya maishani ndio maana watoto wanaenda shuleni nd... | Mbona wajitahidi masomoni | {
"text": [
"ili waweze kuwasaidia wazazi wao"
]
} |
5197_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Asante naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifunza. Umeniwezesha kusimama hapa kati yenu nikiwa mzima na mwenye afya.
Asante mwalimu mkuu kwa kuniwezesha kusimama hapa nikieleza umuhimu wa elimu katika jamii. Nimeona kuwa wanafunzi muwazima... | Elimu ni nini | {
"text": [
"Kitu cha maana"
]
} |
5197_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Asante naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifunza. Umeniwezesha kusimama hapa kati yenu nikiwa mzima na mwenye afya.
Asante mwalimu mkuu kwa kuniwezesha kusimama hapa nikieleza umuhimu wa elimu katika jamii. Nimeona kuwa wanafunzi muwazima... | Elimu ni kitu cha maana wapi | {
"text": [
"Katika jamii"
]
} |
5197_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Asante naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifunza. Umeniwezesha kusimama hapa kati yenu nikiwa mzima na mwenye afya.
Asante mwalimu mkuu kwa kuniwezesha kusimama hapa nikieleza umuhimu wa elimu katika jamii. Nimeona kuwa wanafunzi muwazima... | Anawashukuru wanafunzi na walimu kwa kumpa nini | {
"text": [
"Fursa"
]
} |
5197_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Asante naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifunza. Umeniwezesha kusimama hapa kati yenu nikiwa mzima na mwenye afya.
Asante mwalimu mkuu kwa kuniwezesha kusimama hapa nikieleza umuhimu wa elimu katika jamii. Nimeona kuwa wanafunzi muwazima... | Ajenda ni kuhusu nini | {
"text": [
"Umuhimu wa elimu"
]
} |
5197_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Asante naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifunza. Umeniwezesha kusimama hapa kati yenu nikiwa mzima na mwenye afya.
Asante mwalimu mkuu kwa kuniwezesha kusimama hapa nikieleza umuhimu wa elimu katika jamii. Nimeona kuwa wanafunzi muwazima... | Kwa nini kuwashukuru wazazi | {
"text": [
"Kwa sababu ya kuwaleta shuleni"
]
} |
5198_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu Mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, wamilu kiranja mkuu, naibu wa kiranja mkuu, viranja na wanafunzi wote kwa jumla, hamjambo? Natumai nyote mwazima na buheri wa afya.
Bila kupoteza nukta wala sekunde hata moja, wacha nilengee mada. Elimu ni muhimu katika maisha ya adinasi yeyote yule. Elimu ni muhi... | Nini muhimu katika maisha ya adinasi | {
"text": [
"elimu"
]
} |
5198_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu Mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, wamilu kiranja mkuu, naibu wa kiranja mkuu, viranja na wanafunzi wote kwa jumla, hamjambo? Natumai nyote mwazima na buheri wa afya.
Bila kupoteza nukta wala sekunde hata moja, wacha nilengee mada. Elimu ni muhimu katika maisha ya adinasi yeyote yule. Elimu ni muhi... | Bila elimu hatungepata teknolojia iliyo wapi | {
"text": [
"duniani"
]
} |
5198_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu Mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, wamilu kiranja mkuu, naibu wa kiranja mkuu, viranja na wanafunzi wote kwa jumla, hamjambo? Natumai nyote mwazima na buheri wa afya.
Bila kupoteza nukta wala sekunde hata moja, wacha nilengee mada. Elimu ni muhimu katika maisha ya adinasi yeyote yule. Elimu ni muhi... | Somo gani hutujuza jinsi dawa zinavyotengenezwa | {
"text": [
"Kemia"
]
} |
5198_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu Mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, wamilu kiranja mkuu, naibu wa kiranja mkuu, viranja na wanafunzi wote kwa jumla, hamjambo? Natumai nyote mwazima na buheri wa afya.
Bila kupoteza nukta wala sekunde hata moja, wacha nilengee mada. Elimu ni muhimu katika maisha ya adinasi yeyote yule. Elimu ni muhi... | Wakuzaji wa teknolojia walipitia mikononi mwa nani | {
"text": [
"walimu"
]
} |
5198_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu Mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, wamilu kiranja mkuu, naibu wa kiranja mkuu, viranja na wanafunzi wote kwa jumla, hamjambo? Natumai nyote mwazima na buheri wa afya.
Bila kupoteza nukta wala sekunde hata moja, wacha nilengee mada. Elimu ni muhimu katika maisha ya adinasi yeyote yule. Elimu ni muhi... | Kwa nini dawa hutengenezwa | {
"text": [
"ili kupigana na magonjwa sugu"
]
} |
5200_swa |
HOTUBA
“Mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wote hamjambo? Nimesimama mbele yenu siku ya leo ili nieleze wanafunzi wenzangu umuhimu wa elimu ili waendelee na masomo.
Elimu ni jambo ambalo mtu hufanya ili aisaidie maishani yake. Mwanzo siku hizi huwezi pata kazi nzuri kama huna elimu. Kama huna el... | Jambo ambalo mtu hufanya ili ajisaidie maishani huitwa nini | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
5200_swa |
HOTUBA
“Mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wote hamjambo? Nimesimama mbele yenu siku ya leo ili nieleze wanafunzi wenzangu umuhimu wa elimu ili waendelee na masomo.
Elimu ni jambo ambalo mtu hufanya ili aisaidie maishani yake. Mwanzo siku hizi huwezi pata kazi nzuri kama huna elimu. Kama huna el... | Mtu hawezi kupata nini kama hana elimu | {
"text": [
"Kazi nzuri"
]
} |
5200_swa |
HOTUBA
“Mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wote hamjambo? Nimesimama mbele yenu siku ya leo ili nieleze wanafunzi wenzangu umuhimu wa elimu ili waendelee na masomo.
Elimu ni jambo ambalo mtu hufanya ili aisaidie maishani yake. Mwanzo siku hizi huwezi pata kazi nzuri kama huna elimu. Kama huna el... | Mtu anaweza kuwa mwizi na kufanya ubaguzi ili kupata nini | {
"text": [
"Hela"
]
} |
5200_swa |
HOTUBA
“Mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wote hamjambo? Nimesimama mbele yenu siku ya leo ili nieleze wanafunzi wenzangu umuhimu wa elimu ili waendelee na masomo.
Elimu ni jambo ambalo mtu hufanya ili aisaidie maishani yake. Mwanzo siku hizi huwezi pata kazi nzuri kama huna elimu. Kama huna el... | Tunafaa kujitahidi na kusoma vipi | {
"text": [
"Kwa bidii"
]
} |
5200_swa |
HOTUBA
“Mwalimu mkuu, naibu ya mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wote hamjambo? Nimesimama mbele yenu siku ya leo ili nieleze wanafunzi wenzangu umuhimu wa elimu ili waendelee na masomo.
Elimu ni jambo ambalo mtu hufanya ili aisaidie maishani yake. Mwanzo siku hizi huwezi pata kazi nzuri kama huna elimu. Kama huna el... | Mbona msemaji awaelezee umuhimu wa elimu | {
"text": [
"Ili waendelee na masomo"
]
} |
5202_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wake, mwenyekiti wa kamati ya shule hi,i mwalimu, viranja na wanafunzi kwa jumla asalaam aleikum? Nampa pongezi za dhati mwalimu mkuu na mwenyekiti wa kamati ya wazazi kunialika hapa ili nije kuwafunza mengi kuhusu kuzuia kuenea kwa maradhi sugu ya Ukimwi. Mimi ni daktari kutoka jiji kuu la Nairo... | Alimpa pongezi mwalimu gani | {
"text": [
"mkuu"
]
} |
5202_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wake, mwenyekiti wa kamati ya shule hi,i mwalimu, viranja na wanafunzi kwa jumla asalaam aleikum? Nampa pongezi za dhati mwalimu mkuu na mwenyekiti wa kamati ya wazazi kunialika hapa ili nije kuwafunza mengi kuhusu kuzuia kuenea kwa maradhi sugu ya Ukimwi. Mimi ni daktari kutoka jiji kuu la Nairo... | Aliwafunza kuhusu kuenea kwa maradi gani | {
"text": [
"ya Ukimwi"
]
} |
5202_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wake, mwenyekiti wa kamati ya shule hi,i mwalimu, viranja na wanafunzi kwa jumla asalaam aleikum? Nampa pongezi za dhati mwalimu mkuu na mwenyekiti wa kamati ya wazazi kunialika hapa ili nije kuwafunza mengi kuhusu kuzuia kuenea kwa maradhi sugu ya Ukimwi. Mimi ni daktari kutoka jiji kuu la Nairo... | Kinga ni bora kuliko nini | {
"text": [
"tiba"
]
} |
5202_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wake, mwenyekiti wa kamati ya shule hi,i mwalimu, viranja na wanafunzi kwa jumla asalaam aleikum? Nampa pongezi za dhati mwalimu mkuu na mwenyekiti wa kamati ya wazazi kunialika hapa ili nije kuwafunza mengi kuhusu kuzuia kuenea kwa maradhi sugu ya Ukimwi. Mimi ni daktari kutoka jiji kuu la Nairo... | Nani wana tabia ya ngono | {
"text": [
"vijana"
]
} |
5202_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wake, mwenyekiti wa kamati ya shule hi,i mwalimu, viranja na wanafunzi kwa jumla asalaam aleikum? Nampa pongezi za dhati mwalimu mkuu na mwenyekiti wa kamati ya wazazi kunialika hapa ili nije kuwafunza mengi kuhusu kuzuia kuenea kwa maradhi sugu ya Ukimwi. Mimi ni daktari kutoka jiji kuu la Nairo... | Mbona tutumie njia mahususi | {
"text": [
"ili kuuzima ukimwi"
]
} |
5203_swa |
HOTUBA
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wenzangu na wanafunzi, hamjamboni? Naomba mnipe sikio lenu kunisikiliza kwa sababu nina maneno machache ya kuwaambia na ambayo ni ya muhimu sana.
La kwanza ningependa kuwaambia kuwa elimu ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Hutuwezesha kujua madhara za madawa ya ... | Ni nini kitu ya maana maishani | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
5203_swa |
HOTUBA
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wenzangu na wanafunzi, hamjamboni? Naomba mnipe sikio lenu kunisikiliza kwa sababu nina maneno machache ya kuwaambia na ambayo ni ya muhimu sana.
La kwanza ningependa kuwaambia kuwa elimu ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Hutuwezesha kujua madhara za madawa ya ... | Nani amekuwa kama wendawazimu kwa sababu ya dawa za kulevya | {
"text": [
"Vijana"
]
} |
5203_swa |
HOTUBA
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wenzangu na wanafunzi, hamjamboni? Naomba mnipe sikio lenu kunisikiliza kwa sababu nina maneno machache ya kuwaambia na ambayo ni ya muhimu sana.
La kwanza ningependa kuwaambia kuwa elimu ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Hutuwezesha kujua madhara za madawa ya ... | Ni ninimuhimu sana maishani | {
"text": [
"Masomo"
]
} |
5203_swa |
HOTUBA
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wenzangu na wanafunzi, hamjamboni? Naomba mnipe sikio lenu kunisikiliza kwa sababu nina maneno machache ya kuwaambia na ambayo ni ya muhimu sana.
La kwanza ningependa kuwaambia kuwa elimu ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Hutuwezesha kujua madhara za madawa ya ... | Wazee na vijana huleta nini | {
"text": [
"ukimwi mtu hawezi jua uko nao"
]
} |
5203_swa |
HOTUBA
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wenzangu na wanafunzi, hamjamboni? Naomba mnipe sikio lenu kunisikiliza kwa sababu nina maneno machache ya kuwaambia na ambayo ni ya muhimu sana.
La kwanza ningependa kuwaambia kuwa elimu ni kitu cha maana sana maishani mwetu. Hutuwezesha kujua madhara za madawa ya ... | Kwa nini hakutaka kuonana na mama yake | {
"text": [
"Alikuwa mja mzito"
]
} |
5204_swa |
Umealikwa kuwatubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu.
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu, hamjambo?
Kwa majina ni JESSICAH WANGU niko kidato cha kwanza. Nachukua fursa hii kuwaelezea umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanipa masikio yenu yote kunisikiza na mtilie maanani ma... | Jessicah ako kidato kipi | {
"text": [
"cha kwanza"
]
} |
5204_swa |
Umealikwa kuwatubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu.
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu, hamjambo?
Kwa majina ni JESSICAH WANGU niko kidato cha kwanza. Nachukua fursa hii kuwaelezea umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanipa masikio yenu yote kunisikiza na mtilie maanani ma... | Jessicah anawaelezea umuhimu wa nini | {
"text": [
"elimu"
]
} |
5204_swa |
Umealikwa kuwatubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu.
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu, hamjambo?
Kwa majina ni JESSICAH WANGU niko kidato cha kwanza. Nachukua fursa hii kuwaelezea umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanipa masikio yenu yote kunisikiza na mtilie maanani ma... | Elimu ni nini ya maisha | {
"text": [
"binadamu"
]
} |
5204_swa |
Umealikwa kuwatubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu.
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu, hamjambo?
Kwa majina ni JESSICAH WANGU niko kidato cha kwanza. Nachukua fursa hii kuwaelezea umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanipa masikio yenu yote kunisikiza na mtilie maanani ma... | Elimu uongezea mtu nini | {
"text": [
"akili"
]
} |
5204_swa |
Umealikwa kuwatubia wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu.
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu, hamjambo?
Kwa majina ni JESSICAH WANGU niko kidato cha kwanza. Nachukua fursa hii kuwaelezea umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanipa masikio yenu yote kunisikiza na mtilie maanani ma... | Ni vipi elimu ina ongeza mtu akili | {
"text": [
"Kwa kumwezesha kujijua na kuheshimu wakubwa kwa wadogo"
]
} |
5205_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wote, hamjambo? Nachukua
fursa hii kuwahutubia umuhimu wa elimu. Wanafunzi wenzangu elimu ni kitu cha maana maishani. Mzazi anaweza kosa kukupa vitu vingi unavyo hitaji duniani lakini hawezi kosa kukupa elimu.
Mumewaona watu ambao walipuuza elimu na kupotea shule... | Mwandishi anahutubia kuhusu umuhimu wa nini | {
"text": [
"elimu"
]
} |
5205_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wote, hamjambo? Nachukua
fursa hii kuwahutubia umuhimu wa elimu. Wanafunzi wenzangu elimu ni kitu cha maana maishani. Mzazi anaweza kosa kukupa vitu vingi unavyo hitaji duniani lakini hawezi kosa kukupa elimu.
Mumewaona watu ambao walipuuza elimu na kupotea shule... | Mzazi humpa mtu nini | {
"text": [
"elimu"
]
} |
5205_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wote, hamjambo? Nachukua
fursa hii kuwahutubia umuhimu wa elimu. Wanafunzi wenzangu elimu ni kitu cha maana maishani. Mzazi anaweza kosa kukupa vitu vingi unavyo hitaji duniani lakini hawezi kosa kukupa elimu.
Mumewaona watu ambao walipuuza elimu na kupotea shule... | Wanao hangaika kijiji wamekosa nini | {
"text": [
"elimu"
]
} |
5205_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wote, hamjambo? Nachukua
fursa hii kuwahutubia umuhimu wa elimu. Wanafunzi wenzangu elimu ni kitu cha maana maishani. Mzazi anaweza kosa kukupa vitu vingi unavyo hitaji duniani lakini hawezi kosa kukupa elimu.
Mumewaona watu ambao walipuuza elimu na kupotea shule... | Elimu umpatia mtu nini | {
"text": [
"kazi"
]
} |
5205_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wote, hamjambo? Nachukua
fursa hii kuwahutubia umuhimu wa elimu. Wanafunzi wenzangu elimu ni kitu cha maana maishani. Mzazi anaweza kosa kukupa vitu vingi unavyo hitaji duniani lakini hawezi kosa kukupa elimu.
Mumewaona watu ambao walipuuza elimu na kupotea shule... | Maisha yatakuwa sawa kivipi | {
"text": [
"kwa kupenda elimu na huwaheshimu walimu"
]
} |
5206_swa |
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, Walimu, Viranja wakuu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuwashukuru wote kwa kuhudhuria mkutano huu kwa pamoja. Nina furaha tele kusimama mbele yenu kutoa jambo muhimu sana katika nchi yetu pamoja na shule zote kwenye kaunti yetu.
Ninashuku... | Ni hotuba kuhusu nini | {
"text": [
"Umuhimu wa elimu"
]
} |
5206_swa |
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, Walimu, Viranja wakuu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuwashukuru wote kwa kuhudhuria mkutano huu kwa pamoja. Nina furaha tele kusimama mbele yenu kutoa jambo muhimu sana katika nchi yetu pamoja na shule zote kwenye kaunti yetu.
Ninashuku... | Msemaji angependa kuwashukuru wote kwa kuhudhuria nini | {
"text": [
"mkutano"
]
} |
5206_swa |
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, Walimu, Viranja wakuu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuwashukuru wote kwa kuhudhuria mkutano huu kwa pamoja. Nina furaha tele kusimama mbele yenu kutoa jambo muhimu sana katika nchi yetu pamoja na shule zote kwenye kaunti yetu.
Ninashuku... | Msemaji ana nini | {
"text": [
"Furaha tele"
]
} |
5206_swa |
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, Walimu, Viranja wakuu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuwashukuru wote kwa kuhudhuria mkutano huu kwa pamoja. Nina furaha tele kusimama mbele yenu kutoa jambo muhimu sana katika nchi yetu pamoja na shule zote kwenye kaunti yetu.
Ninashuku... | Ni kweli kwamba elimu ni kama nini | {
"text": [
"Mwangaza wa maisha"
]
} |
5206_swa |
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, Walimu, Viranja wakuu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuwashukuru wote kwa kuhudhuria mkutano huu kwa pamoja. Nina furaha tele kusimama mbele yenu kutoa jambo muhimu sana katika nchi yetu pamoja na shule zote kwenye kaunti yetu.
Ninashuku... | Hakuna nini bila elimu | {
"text": [
"Maisha"
]
} |
5207_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila nia kiuchumi, kisayansi katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifidhi jamii kwa jumla.
Mwalimu mkuu wa Kiswahil... | Nini msingi wa maendeleo | {
"text": [
"elimu"
]
} |
5207_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila nia kiuchumi, kisayansi katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifidhi jamii kwa jumla.
Mwalimu mkuu wa Kiswahil... | Mwalimu mkuu gani alifunza waliohudhuria | {
"text": [
"wa Kiswahili"
]
} |
5207_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila nia kiuchumi, kisayansi katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifidhi jamii kwa jumla.
Mwalimu mkuu wa Kiswahil... | wahenga walisema nani afumbiwe fumbo | {
"text": [
"mjinga"
]
} |
5207_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila nia kiuchumi, kisayansi katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifidhi jamii kwa jumla.
Mwalimu mkuu wa Kiswahil... | Maandishi mengi huwa na uzito wa nini | {
"text": [
"maana"
]
} |
5207_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila nia kiuchumi, kisayansi katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifidhi jamii kwa jumla.
Mwalimu mkuu wa Kiswahil... | Mbona wanafunzi hufunzwa kusoma na kuandika | {
"text": [
"kusudi waweze kuchambua maandishi"
]
} |
5208_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, mwalimu wa zamri, walimu wengine na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Sote twajuwa kwamba wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kwamba elimu ni bohari na halina mwisho. Kwanza ningependa kuwashukuru kwa kujitolea kwenu na kufika kwenu na nyote nawahongera mno. Tuna... | Wahenga walisema elimu ni nini | {
"text": [
"bahari"
]
} |
5208_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, mwalimu wa zamri, walimu wengine na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Sote twajuwa kwamba wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kwamba elimu ni bohari na halina mwisho. Kwanza ningependa kuwashukuru kwa kujitolea kwenu na kufika kwenu na nyote nawahongera mno. Tuna... | Waliombwa wasimame wamshukuru nani | {
"text": [
"Mungu"
]
} |
5208_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, mwalimu wa zamri, walimu wengine na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Sote twajuwa kwamba wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kwamba elimu ni bohari na halina mwisho. Kwanza ningependa kuwashukuru kwa kujitolea kwenu na kufika kwenu na nyote nawahongera mno. Tuna... | Watu gani hutaabika mno | {
"text": [
"wasio na elimu"
]
} |
5208_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, mwalimu wa zamri, walimu wengine na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Sote twajuwa kwamba wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kwamba elimu ni bohari na halina mwisho. Kwanza ningependa kuwashukuru kwa kujitolea kwenu na kufika kwenu na nyote nawahongera mno. Tuna... | Vidole vingapi havivunji chawa | {
"text": [
"kimoja"
]
} |
5208_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu mkuu, naibu mwalimu mkuu, mwalimu wa zamri, walimu wengine na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Sote twajuwa kwamba wahenga na wahenguzi hawakukosea waliposema kwamba elimu ni bohari na halina mwisho. Kwanza ningependa kuwashukuru kwa kujitolea kwenu na kufika kwenu na nyote nawahongera mno. Tuna... | Mbona aliwashukuru | {
"text": [
"kwa kumtegea sikio"
]
} |
5209_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjamboni? Suala ningependa kuongelea ni umuhimu wa elimu. Ni muhimu wanafunzi wenzangu ningependa kuwaambia ya kwamba elimu ni muhimu maishani. Basi usiposoma kwa bidii basi utakuwa ukienda dukani na shilingi hamsini.
Matokeo yetu darasani ha... | Ni nini kilicho na umuhimu maishani | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
5209_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjamboni? Suala ningependa kuongelea ni umuhimu wa elimu. Ni muhimu wanafunzi wenzangu ningependa kuwaambia ya kwamba elimu ni muhimu maishani. Basi usiposoma kwa bidii basi utakuwa ukienda dukani na shilingi hamsini.
Matokeo yetu darasani ha... | Ukosefu wa nidhamu ni kupiga kelele wapi | {
"text": [
"Darasani"
]
} |
5209_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjamboni? Suala ningependa kuongelea ni umuhimu wa elimu. Ni muhimu wanafunzi wenzangu ningependa kuwaambia ya kwamba elimu ni muhimu maishani. Basi usiposoma kwa bidii basi utakuwa ukienda dukani na shilingi hamsini.
Matokeo yetu darasani ha... | Ni nini hakijakuwa cha kuridhisha | {
"text": [
"Masomo yetu darasani"
]
} |
5209_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjamboni? Suala ningependa kuongelea ni umuhimu wa elimu. Ni muhimu wanafunzi wenzangu ningependa kuwaambia ya kwamba elimu ni muhimu maishani. Basi usiposoma kwa bidii basi utakuwa ukienda dukani na shilingi hamsini.
Matokeo yetu darasani ha... | Kila mwanafunzi awajibike na kutenda nini | {
"text": [
"Anayostahili kutenda"
]
} |
5209_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjamboni? Suala ningependa kuongelea ni umuhimu wa elimu. Ni muhimu wanafunzi wenzangu ningependa kuwaambia ya kwamba elimu ni muhimu maishani. Basi usiposoma kwa bidii basi utakuwa ukienda dukani na shilingi hamsini.
Matokeo yetu darasani ha... | Nini matumaini ya mnenaji | {
"text": [
"Kuwa kila mwanafunzi atawajibika "
]
} |
5210_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyuoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila njia kiuchumi, kisayansi, katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifadhi jamii kwa jumla.
Mwalimu mkuu wa Kiswah... | Ni nini msingi wa maendeleo | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
5210_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyuoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila njia kiuchumi, kisayansi, katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifadhi jamii kwa jumla.
Mwalimu mkuu wa Kiswah... | Nini hurahisisha mawasiliano | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
5210_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyuoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila njia kiuchumi, kisayansi, katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifadhi jamii kwa jumla.
Mwalimu mkuu wa Kiswah... | Mwenye macho haambiwi nini | {
"text": [
"Tazama"
]
} |
5210_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyuoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila njia kiuchumi, kisayansi, katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifadhi jamii kwa jumla.
Mwalimu mkuu wa Kiswah... | Fumbato mfumbie nani | {
"text": [
"Mjinga"
]
} |
5210_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana masomo, taaluma, shuleni, vyuoni, maishani. Ni dhahiri kabisa kuwa elimu ndiyo msingi wa maendeleo. Elimu ya ujuzi na maarifa humfaidi mtu kwa kila njia kiuchumi, kisayansi, katika utafiti wa aina tofauti na kwa kuhifadhi jamii kwa jumla.
Mwalimu mkuu wa Kiswah... | Kwa nini asiyekuwa na masomo hawezi kujenga taifa | {
"text": [
"Kwa vile asiyejua kusoma hawezi kuelewa"
]
} |
5211_swa |
Hamjambo? Asanteni kwa kunipa hii nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikazi wa elimu, walimu wageni wa siku ju ya leo, wazazi pamoja na wanafunzi wenzangu, karibuni sana. Huu ni mkutano wa umuhimu wa elimu.
Sina mambo mengi ya kuzungumza kwa vile kila mtu lazima atoe mashauri yake kuhusu elimu. Elimu ni kitu muh... | Asanteni kwa kunipa nii | {
"text": [
"Hii nafasi"
]
} |
5211_swa |
Hamjambo? Asanteni kwa kunipa hii nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikazi wa elimu, walimu wageni wa siku ju ya leo, wazazi pamoja na wanafunzi wenzangu, karibuni sana. Huu ni mkutano wa umuhimu wa elimu.
Sina mambo mengi ya kuzungumza kwa vile kila mtu lazima atoe mashauri yake kuhusu elimu. Elimu ni kitu muh... | Sina nini cha kuzungumza | {
"text": [
"Mambo mengi"
]
} |
5211_swa |
Hamjambo? Asanteni kwa kunipa hii nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikazi wa elimu, walimu wageni wa siku ju ya leo, wazazi pamoja na wanafunzi wenzangu, karibuni sana. Huu ni mkutano wa umuhimu wa elimu.
Sina mambo mengi ya kuzungumza kwa vile kila mtu lazima atoe mashauri yake kuhusu elimu. Elimu ni kitu muh... | Ingewezekana tungeinia shuleni saa ngapi | {
"text": [
"Mbili"
]
} |
5211_swa |
Hamjambo? Asanteni kwa kunipa hii nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikazi wa elimu, walimu wageni wa siku ju ya leo, wazazi pamoja na wanafunzi wenzangu, karibuni sana. Huu ni mkutano wa umuhimu wa elimu.
Sina mambo mengi ya kuzungumza kwa vile kila mtu lazima atoe mashauri yake kuhusu elimu. Elimu ni kitu muh... | Tungeondolewa nini | {
"text": [
"Karo ya shule"
]
} |
5211_swa |
Hamjambo? Asanteni kwa kunipa hii nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikazi wa elimu, walimu wageni wa siku ju ya leo, wazazi pamoja na wanafunzi wenzangu, karibuni sana. Huu ni mkutano wa umuhimu wa elimu.
Sina mambo mengi ya kuzungumza kwa vile kila mtu lazima atoe mashauri yake kuhusu elimu. Elimu ni kitu muh... | Kwa nini tuondolewe karo ya shule | {
"text": [
"Kwa sababu wazazi wetu huishi kwenye majumba ya kukodesha"
]
} |
5212_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
“Mgeni wa heshima, mwalimu mkuu, naibu wa malimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjamboni? Nina furaha furifuri kwa kunipa fursa hii kuwahutubia kuhusu umuhimu wa elimu.
Bila kupoteza muda,ningependa kuwaeleza kuwa elimu ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu kwani hutusaidia kwa njia ... | Umealikwa kuhutubu kuhusu elimu na nini | {
"text": [
"nidhamu"
]
} |
5212_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
“Mgeni wa heshima, mwalimu mkuu, naibu wa malimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjamboni? Nina furaha furifuri kwa kunipa fursa hii kuwahutubia kuhusu umuhimu wa elimu.
Bila kupoteza muda,ningependa kuwaeleza kuwa elimu ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu kwani hutusaidia kwa njia ... | Anamshukuru nani kwa kumpa ruhusa | {
"text": [
"mwalimu mkuu"
]
} |
5212_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
“Mgeni wa heshima, mwalimu mkuu, naibu wa malimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjamboni? Nina furaha furifuri kwa kunipa fursa hii kuwahutubia kuhusu umuhimu wa elimu.
Bila kupoteza muda,ningependa kuwaeleza kuwa elimu ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu kwani hutusaidia kwa njia ... | Walimu walimsaidia katika muhula huu na gani | {
"text": [
"uliopita"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.