id string | story_id string | context string | question string | answer string | paragraph_id string |
|---|---|---|---|---|---|
3233_swa_5 | 3233_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaona ... | Nini huwafanya wanafunzi kuwa werevu | Tekinolojia | x |
3233_swa_6 | 3233_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaona ... | Tekinolojia hupunguzia wanafunzi kuchoka kuandika wapi | Daftari | x |
3233_swa_7 | 3233_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaona ... | Ni nini imewafanya wanafunzi kuwa wajinga | Tekinolojia | x |
3233_swa_8 | 3233_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaona ... | Mwanafunzi hutumia nini anapofanya hesabu badala ya kufikiria | Kikokotoo | x |
3233_swa_9 | 3233_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaona ... | Kwa nini wanafunzi wanakosa kufikiria mambo madogomadogo | Kwa sababu ya ugunduzi wa vyombo vya tekinolojia | x |
3235_swa_0 | 3235_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu anayepewa mawaidha na kuyapuuza, huachiwa ulimwengu umfundishe. Pia huweza kutumiwa kuwaonya watu wenye tabia mbaya kwani kinga ni heri kuliko tiba na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Paliondokea mrembo kama malaika aitwaye Rehema. Rehema ... | Binti mrembo alikuwa anaitwa nani | Rehema | x |
3235_swa_1 | 3235_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu anayepewa mawaidha na kuyapuuza, huachiwa ulimwengu umfundishe. Pia huweza kutumiwa kuwaonya watu wenye tabia mbaya kwani kinga ni heri kuliko tiba na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Paliondokea mrembo kama malaika aitwaye Rehema. Rehema ... | Rehema alikuwa anapenda nini | Anasa | x |
3235_swa_2 | 3235_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu anayepewa mawaidha na kuyapuuza, huachiwa ulimwengu umfundishe. Pia huweza kutumiwa kuwaonya watu wenye tabia mbaya kwani kinga ni heri kuliko tiba na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Paliondokea mrembo kama malaika aitwaye Rehema. Rehema ... | Rehema alipachikwa nini | Mimba | x |
3235_swa_3 | 3235_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu anayepewa mawaidha na kuyapuuza, huachiwa ulimwengu umfundishe. Pia huweza kutumiwa kuwaonya watu wenye tabia mbaya kwani kinga ni heri kuliko tiba na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Paliondokea mrembo kama malaika aitwaye Rehema. Rehema ... | Rehema alitoroka nyumbani na kwenda wapi | Mabaa | x |
3235_swa_4 | 3235_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu anayepewa mawaidha na kuyapuuza, huachiwa ulimwengu umfundishe. Pia huweza kutumiwa kuwaonya watu wenye tabia mbaya kwani kinga ni heri kuliko tiba na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Paliondokea mrembo kama malaika aitwaye Rehema. Rehema ... | Wazazi walichangia vipi kuharibika kwa Rehema | Hawakumpea kazi yeyote | x |
3235_swa_5 | 3235_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu anayepewa mawaidha na kuyapuuza, huachiwa ulimwengu umfundishe. Pia huweza kutumiwa kuwaonya watu wenye tabia mbaya kwani kinga ni heri kuliko tiba na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Paliondokea mrembo kama malaika aitwaye Rehema. Rehema ... | Nani alikuwa na hulka nzuri | Rehema | x |
3235_swa_6 | 3235_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu anayepewa mawaidha na kuyapuuza, huachiwa ulimwengu umfundishe. Pia huweza kutumiwa kuwaonya watu wenye tabia mbaya kwani kinga ni heri kuliko tiba na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Paliondokea mrembo kama malaika aitwaye Rehema. Rehema ... | Rehema alipenda nini | Anasa | x |
3235_swa_7 | 3235_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu anayepewa mawaidha na kuyapuuza, huachiwa ulimwengu umfundishe. Pia huweza kutumiwa kuwaonya watu wenye tabia mbaya kwani kinga ni heri kuliko tiba na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Paliondokea mrembo kama malaika aitwaye Rehema. Rehema ... | Rehema alitoraka nyumbani na kwenda wapi | Baa | x |
3235_swa_8 | 3235_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu anayepewa mawaidha na kuyapuuza, huachiwa ulimwengu umfundishe. Pia huweza kutumiwa kuwaonya watu wenye tabia mbaya kwani kinga ni heri kuliko tiba na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Paliondokea mrembo kama malaika aitwaye Rehema. Rehema ... | Ngoma ikilia sana hufanya nini | Hupasuka | x |
3235_swa_9 | 3235_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu anayepewa mawaidha na kuyapuuza, huachiwa ulimwengu umfundishe. Pia huweza kutumiwa kuwaonya watu wenye tabia mbaya kwani kinga ni heri kuliko tiba na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Paliondokea mrembo kama malaika aitwaye Rehema. Rehema ... | Kwa nini Rehema alikuwa mfano wa wasiosikiza mawaidha | Alikuwa ameambukizwa ukimwi | x |
3241_swa_0 | 3241_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imetukuzwa mno katika karne hii ya leo. Watu wengi mno nchini wanatumia ama hupenda kutumia au kufanya mambo yao kutumia teknlojia.Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi na njia z... | Tekinolojia ni maarifa ya nini | Sayansi | x |
3241_swa_1 | 3241_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imetukuzwa mno katika karne hii ya leo. Watu wengi mno nchini wanatumia ama hupenda kutumia au kufanya mambo yao kutumia teknlojia.Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi na njia z... | Wanafunzi wanatumia nini kufanya utafiti | Tarakilishi | x |
3241_swa_2 | 3241_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imetukuzwa mno katika karne hii ya leo. Watu wengi mno nchini wanatumia ama hupenda kutumia au kufanya mambo yao kutumia teknlojia.Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi na njia z... | Shuleni nyingi nchini zimewekwa nini kunasa wahalifu | CCTV | x |
3241_swa_3 | 3241_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imetukuzwa mno katika karne hii ya leo. Watu wengi mno nchini wanatumia ama hupenda kutumia au kufanya mambo yao kutumia teknlojia.Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi na njia z... | Wanafunzi wanafunzwa kuchora kwa kutumia nini | Runinga | x |
3241_swa_4 | 3241_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imetukuzwa mno katika karne hii ya leo. Watu wengi mno nchini wanatumia ama hupenda kutumia au kufanya mambo yao kutumia teknlojia.Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi na njia z... | Ni vipi tekinolojia ina madhara | Watu husahai utamaaduni na kumpotosha mwanafunzi | x |
3241_swa_5 | 3241_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imetukuzwa mno katika karne hii ya leo. Watu wengi mno nchini wanatumia ama hupenda kutumia au kufanya mambo yao kutumia teknlojia.Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi na njia z... | Ni nini imetukuzwa sana katika karne ya leo | Tekinolojia | x |
3241_swa_6 | 3241_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imetukuzwa mno katika karne hii ya leo. Watu wengi mno nchini wanatumia ama hupenda kutumia au kufanya mambo yao kutumia teknlojia.Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi na njia z... | Wanafunzi wantumia nini kutafiti | Tarakilishi | x |
3241_swa_7 | 3241_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imetukuzwa mno katika karne hii ya leo. Watu wengi mno nchini wanatumia ama hupenda kutumia au kufanya mambo yao kutumia teknlojia.Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi na njia z... | Ni nini immewekwa shuleni kuwanasa wahalifu | CCTV | x |
3241_swa_8 | 3241_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imetukuzwa mno katika karne hii ya leo. Watu wengi mno nchini wanatumia ama hupenda kutumia au kufanya mambo yao kutumia teknlojia.Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi na njia z... | Ni nini nya kisasa husaidia kaaatika kilimo shuleni | Mbolea | x |
3241_swa_9 | 3241_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia imetukuzwa mno katika karne hii ya leo. Watu wengi mno nchini wanatumia ama hupenda kutumia au kufanya mambo yao kutumia teknlojia.Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake katika mitambo, vyombo na zana katika viwanda, kilimo, ufundi na njia z... | Kwa nini watu wanasahau tamaduni zao | Kwa kuzingatia mambo ya kisayansi | x |
3249_swa_0 | 3249_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kimasomo na mawasiliano kati ya mtu mmoja na mwengine. Huu ni utoaji wa taarifa kutoka maeneo mbalimbali kama vile Tanzania,Uganda na pia Somalia. Kitambo kulikuwa hakuna vifaa kama runinga, rununu, kompyuta na nyenginezo. Watu wengi walik... | Ngoma ilitumiwa kupitisha nini | Ujumbe | x |
3249_swa_1 | 3249_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kimasomo na mawasiliano kati ya mtu mmoja na mwengine. Huu ni utoaji wa taarifa kutoka maeneo mbalimbali kama vile Tanzania,Uganda na pia Somalia. Kitambo kulikuwa hakuna vifaa kama runinga, rununu, kompyuta na nyenginezo. Watu wengi walik... | Ni nini wanafunzi wanatumia kusoma na kuwasilisha ujumbe | Mitandao | x |
3249_swa_2 | 3249_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kimasomo na mawasiliano kati ya mtu mmoja na mwengine. Huu ni utoaji wa taarifa kutoka maeneo mbalimbali kama vile Tanzania,Uganda na pia Somalia. Kitambo kulikuwa hakuna vifaa kama runinga, rununu, kompyuta na nyenginezo. Watu wengi walik... | Nani wanawasiliana na watu wasiowajua | Wanafunzi | x |
3249_swa_3 | 3249_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kimasomo na mawasiliano kati ya mtu mmoja na mwengine. Huu ni utoaji wa taarifa kutoka maeneo mbalimbali kama vile Tanzania,Uganda na pia Somalia. Kitambo kulikuwa hakuna vifaa kama runinga, rununu, kompyuta na nyenginezo. Watu wengi walik... | Wanafunzi wanaharibika kwa kuangalia nini | Picha | x |
3249_swa_4 | 3249_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kimasomo na mawasiliano kati ya mtu mmoja na mwengine. Huu ni utoaji wa taarifa kutoka maeneo mbalimbali kama vile Tanzania,Uganda na pia Somalia. Kitambo kulikuwa hakuna vifaa kama runinga, rununu, kompyuta na nyenginezo. Watu wengi walik... | Kwa nini watu wanafaa miwani | Kutokana na mwangaza unaowaharibu macho | x |
3249_swa_5 | 3249_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kimasomo na mawasiliano kati ya mtu mmoja na mwengine. Huu ni utoaji wa taarifa kutoka maeneo mbalimbali kama vile Tanzania,Uganda na pia Somalia. Kitambo kulikuwa hakuna vifaa kama runinga, rununu, kompyuta na nyenginezo. Watu wengi walik... | Watu walitumia nini kuwasilisha ujumbe | Ngoma | x |
3249_swa_6 | 3249_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kimasomo na mawasiliano kati ya mtu mmoja na mwengine. Huu ni utoaji wa taarifa kutoka maeneo mbalimbali kama vile Tanzania,Uganda na pia Somalia. Kitambo kulikuwa hakuna vifaa kama runinga, rununu, kompyuta na nyenginezo. Watu wengi walik... | Wanafunzi wengi wanatumia nini kusoma | Mitandao | x |
3249_swa_7 | 3249_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kimasomo na mawasiliano kati ya mtu mmoja na mwengine. Huu ni utoaji wa taarifa kutoka maeneo mbalimbali kama vile Tanzania,Uganda na pia Somalia. Kitambo kulikuwa hakuna vifaa kama runinga, rununu, kompyuta na nyenginezo. Watu wengi walik... | Wnafunzi wanajipiga nini na kurusha hewani | Picha | x |
3249_swa_8 | 3249_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kimasomo na mawasiliano kati ya mtu mmoja na mwengine. Huu ni utoaji wa taarifa kutoka maeneo mbalimbali kama vile Tanzania,Uganda na pia Somalia. Kitambo kulikuwa hakuna vifaa kama runinga, rununu, kompyuta na nyenginezo. Watu wengi walik... | Vifaa vinavyoweka ujumbe huitwaje | Kompyuta | x |
3249_swa_9 | 3249_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa kimasomo na mawasiliano kati ya mtu mmoja na mwengine. Huu ni utoaji wa taarifa kutoka maeneo mbalimbali kama vile Tanzania,Uganda na pia Somalia. Kitambo kulikuwa hakuna vifaa kama runinga, rununu, kompyuta na nyenginezo. Watu wengi walik... | Kwa nini wanatumia miwani | Kwa sababu ya mwangaza wa Kompyuta kuwaharibu macho | x |
3252_swa_0 | 3252_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu asiyesikia la mkubwa huenda akavunjika guu. Methali hii iko sawiya na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Pia huwaonya wale binadamu ambao wakiambiwa maneno huingia na sikio hili na kutoka kwa lengine. Hutumika kuwasuta wale waliombiwa na wavy... | Msichana katika kijiji cha Bagamoyo aliitwa nani | Pendo | x |
3252_swa_1 | 3252_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu asiyesikia la mkubwa huenda akavunjika guu. Methali hii iko sawiya na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Pia huwaonya wale binadamu ambao wakiambiwa maneno huingia na sikio hili na kutoka kwa lengine. Hutumika kuwasuta wale waliombiwa na wavy... | Pendo alisomea wapi | Marembo | x |
3252_swa_2 | 3252_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu asiyesikia la mkubwa huenda akavunjika guu. Methali hii iko sawiya na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Pia huwaonya wale binadamu ambao wakiambiwa maneno huingia na sikio hili na kutoka kwa lengine. Hutumika kuwasuta wale waliombiwa na wavy... | Pendo akienda shule alipatana na nani | Ghulamu | x |
3252_swa_3 | 3252_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu asiyesikia la mkubwa huenda akavunjika guu. Methali hii iko sawiya na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Pia huwaonya wale binadamu ambao wakiambiwa maneno huingia na sikio hili na kutoka kwa lengine. Hutumika kuwasuta wale waliombiwa na wavy... | Kwa nini wazazi wa Pendo walishikwa na butwaa | Pendo alikuwa mjamzito | x |
3252_swa_4 | 3252_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu asiyesikia la mkubwa huenda akavunjika guu. Methali hii iko sawiya na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Pia huwaonya wale binadamu ambao wakiambiwa maneno huingia na sikio hili na kutoka kwa lengine. Hutumika kuwasuta wale waliombiwa na wavy... | Ni vipi Pendo angeepuka ujauzito | Kwa kumwepuka ghulamu | x |
3252_swa_5 | 3252_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu asiyesikia la mkubwa huenda akavunjika guu. Methali hii iko sawiya na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Pia huwaonya wale binadamu ambao wakiambiwa maneno huingia na sikio hili na kutoka kwa lengine. Hutumika kuwasuta wale waliombiwa na wavy... | Ni lipi jina la msichana | Pendo | x |
3252_swa_6 | 3252_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu asiyesikia la mkubwa huenda akavunjika guu. Methali hii iko sawiya na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Pia huwaonya wale binadamu ambao wakiambiwa maneno huingia na sikio hili na kutoka kwa lengine. Hutumika kuwasuta wale waliombiwa na wavy... | Pendo alisomea wapi | Marembo Bidii Academy | x |
3252_swa_7 | 3252_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu asiyesikia la mkubwa huenda akavunjika guu. Methali hii iko sawiya na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Pia huwaonya wale binadamu ambao wakiambiwa maneno huingia na sikio hili na kutoka kwa lengine. Hutumika kuwasuta wale waliombiwa na wavy... | Pendo aliambia nani ampishe | Ghulamu | x |
3252_swa_8 | 3252_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu asiyesikia la mkubwa huenda akavunjika guu. Methali hii iko sawiya na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Pia huwaonya wale binadamu ambao wakiambiwa maneno huingia na sikio hili na kutoka kwa lengine. Hutumika kuwasuta wale waliombiwa na wavy... | Pendo alikuwa mdanganyifu kwa nani | Wazazi | x |
3252_swa_9 | 3252_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Maana ya methali hii ni kwamba mtu asiyesikia la mkubwa huenda akavunjika guu. Methali hii iko sawiya na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Pia huwaonya wale binadamu ambao wakiambiwa maneno huingia na sikio hili na kutoka kwa lengine. Hutumika kuwasuta wale waliombiwa na wavy... | Kwa nini wavyele wa Pendo walilia | Pendo alikuwa mja mzito na virusi vya ukimwi | x |
3253_swa_0 | 3253_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika maisha yetu ya kisasa.Tekinolojia hutumiwa na watu wengi wa kila aina katika jamii na katika sehemu tofauti. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari ikiwemo utumiaji wa tarakilishi. Tarakilishi imewasaidia wan... | Tekinolojia hutumiwa na nani | Nsi | x |
3253_swa_1 | 3253_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika maisha yetu ya kisasa.Tekinolojia hutumiwa na watu wengi wa kila aina katika jamii na katika sehemu tofauti. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari ikiwemo utumiaji wa tarakilishi. Tarakilishi imewasaidia wan... | Tekinolojia imeleta faida nyingi katika shule zipi | Sekondari | x |
3253_swa_2 | 3253_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika maisha yetu ya kisasa.Tekinolojia hutumiwa na watu wengi wa kila aina katika jamii na katika sehemu tofauti. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari ikiwemo utumiaji wa tarakilishi. Tarakilishi imewasaidia wan... | Wanafunzi hutumia simu kutazama nini | Video | x |
3253_swa_3 | 3253_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika maisha yetu ya kisasa.Tekinolojia hutumiwa na watu wengi wa kila aina katika jamii na katika sehemu tofauti. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari ikiwemo utumiaji wa tarakilishi. Tarakilishi imewasaidia wan... | Wanafunzi hudorora katika nini | Masomo | x |
3253_swa_4 | 3253_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika maisha yetu ya kisasa.Tekinolojia hutumiwa na watu wengi wa kila aina katika jamii na katika sehemu tofauti. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari ikiwemo utumiaji wa tarakilishi. Tarakilishi imewasaidia wan... | Uovu wa wanafunzi unatokana na nini | Tarakilishi ambayo huhifadhi masomo | x |
3253_swa_5 | 3253_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika maisha yetu ya kisasa.Tekinolojia hutumiwa na watu wengi wa kila aina katika jamii na katika sehemu tofauti. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari ikiwemo utumiaji wa tarakilishi. Tarakilishi imewasaidia wan... | Ni nini ina manufaa kwa maisha yetu ya kisasa | Tekinolojia | x |
3253_swa_6 | 3253_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika maisha yetu ya kisasa.Tekinolojia hutumiwa na watu wengi wa kila aina katika jamii na katika sehemu tofauti. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari ikiwemo utumiaji wa tarakilishi. Tarakilishi imewasaidia wan... | Ni nini imerahisisha kazi ya wanafunzi ya kusoma | Tarakilishi | x |
3253_swa_7 | 3253_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika maisha yetu ya kisasa.Tekinolojia hutumiwa na watu wengi wa kila aina katika jamii na katika sehemu tofauti. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari ikiwemo utumiaji wa tarakilishi. Tarakilishi imewasaidia wan... | Mwanafunzi hutumia nini kutafuta majibu ya maswali magumu | Simu | x |
3253_swa_8 | 3253_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika maisha yetu ya kisasa.Tekinolojia hutumiwa na watu wengi wa kila aina katika jamii na katika sehemu tofauti. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari ikiwemo utumiaji wa tarakilishi. Tarakilishi imewasaidia wan... | Wanaafunzi hudoroa kimasomo kwa kutazama nini | Runinga | x |
3253_swa_9 | 3253_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ina manufaa mengi katika maisha yetu ya kisasa.Tekinolojia hutumiwa na watu wengi wa kila aina katika jamii na katika sehemu tofauti. Teknolojia imeleta faida nyingi katika shule za sekondari ikiwemo utumiaji wa tarakilishi. Tarakilishi imewasaidia wan... | Ni vipi kikotoo kimewafanya wanafunzi wavivu | Wanafanya hesabu kwa muda mfupi na hawafikirii sana | x |
3259_swa_0 | 3259_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi. Teknolojia imecheza sehemu kubwa katika shule za sekondari. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi pamoja na walimu. Teknolojia imeleta faida nyingi kuliko madhara. Faida ya kwanza ya teknolojia ni wakati ... | Ni nini imeleta faida nyingi katika shule ya sekondari | Tekinolojia | x |
3259_swa_1 | 3259_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi. Teknolojia imecheza sehemu kubwa katika shule za sekondari. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi pamoja na walimu. Teknolojia imeleta faida nyingi kuliko madhara. Faida ya kwanza ya teknolojia ni wakati ... | wanafunzi wanasajiriwa katika kidato kipi | Kwanza | x |
3259_swa_2 | 3259_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi. Teknolojia imecheza sehemu kubwa katika shule za sekondari. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi pamoja na walimu. Teknolojia imeleta faida nyingi kuliko madhara. Faida ya kwanza ya teknolojia ni wakati ... | Mwanafunzi hutumia simu au tarakilishi kutafuta nini | majibu | x |
3259_swa_3 | 3259_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi. Teknolojia imecheza sehemu kubwa katika shule za sekondari. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi pamoja na walimu. Teknolojia imeleta faida nyingi kuliko madhara. Faida ya kwanza ya teknolojia ni wakati ... | Mwanafunzi anatumia muda kuwasiliana na nani | Wenzake | x |
3259_swa_4 | 3259_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi. Teknolojia imecheza sehemu kubwa katika shule za sekondari. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi pamoja na walimu. Teknolojia imeleta faida nyingi kuliko madhara. Faida ya kwanza ya teknolojia ni wakati ... | Uhalifu unasababishwa na tekinolojia vipi | Wanafunzi wanajiunga na makundi | x |
3259_swa_5 | 3259_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi. Teknolojia imecheza sehemu kubwa katika shule za sekondari. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi pamoja na walimu. Teknolojia imeleta faida nyingi kuliko madhara. Faida ya kwanza ya teknolojia ni wakati ... | Tekinolojia imeleta faida nyingi katika shule zipi | Sekondari | x |
3259_swa_6 | 3259_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi. Teknolojia imecheza sehemu kubwa katika shule za sekondari. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi pamoja na walimu. Teknolojia imeleta faida nyingi kuliko madhara. Faida ya kwanza ya teknolojia ni wakati ... | Tekinolojia inatumika wakati wa kusajiri wanafunzi wa kidato kipi | Kwanza | x |
3259_swa_7 | 3259_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi. Teknolojia imecheza sehemu kubwa katika shule za sekondari. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi pamoja na walimu. Teknolojia imeleta faida nyingi kuliko madhara. Faida ya kwanza ya teknolojia ni wakati ... | Wanafunzi wanafunzwa Tekinolojia ili waweze kuingia wapi | Mtandaoni | x |
3259_swa_8 | 3259_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi. Teknolojia imecheza sehemu kubwa katika shule za sekondari. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi pamoja na walimu. Teknolojia imeleta faida nyingi kuliko madhara. Faida ya kwanza ya teknolojia ni wakati ... | Mwanafunzi anaweza kutumia muda mwingi kuwasiliana na nani | Wenzake | x |
3259_swa_9 | 3259_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Katika shule za sekondari, teknolojia imeleta faida nyingi. Teknolojia imecheza sehemu kubwa katika shule za sekondari. Teknolojia imesaidia sana wanafunzi pamoja na walimu. Teknolojia imeleta faida nyingi kuliko madhara. Faida ya kwanza ya teknolojia ni wakati ... | Ni vipi tekinolojia inachangia katika uhalifu | Wanafunzi wanajiunga katika makundi ya uhalifu | x |
3263_swa_0 | 3263_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Katika Shule za upili kuna faida na pia madhara ya teknolojia. Kwanza ningeanza na madhara ya teknologia katika shule za sekondari . Kwani mtu huhitaji na uvumilivu ili kupita masomo yake. Masomo ya sekondari ni magumu mno hivyo basi watu wengi hukataa masomo ya... | Masomo yepi magumu | Sekondari | x |
3263_swa_1 | 3263_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Katika Shule za upili kuna faida na pia madhara ya teknolojia. Kwanza ningeanza na madhara ya teknologia katika shule za sekondari . Kwani mtu huhitaji na uvumilivu ili kupita masomo yake. Masomo ya sekondari ni magumu mno hivyo basi watu wengi hukataa masomo ya... | Wanafunzi wa shule ya sekondari husoma kwa nia gani | Kufaulu | x |
3263_swa_2 | 3263_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Katika Shule za upili kuna faida na pia madhara ya teknolojia. Kwanza ningeanza na madhara ya teknologia katika shule za sekondari . Kwani mtu huhitaji na uvumilivu ili kupita masomo yake. Masomo ya sekondari ni magumu mno hivyo basi watu wengi hukataa masomo ya... | Mwanafunzi anafuzu na kukosa nini | Karo | x |
3263_swa_3 | 3263_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Katika Shule za upili kuna faida na pia madhara ya teknolojia. Kwanza ningeanza na madhara ya teknologia katika shule za sekondari . Kwani mtu huhitaji na uvumilivu ili kupita masomo yake. Masomo ya sekondari ni magumu mno hivyo basi watu wengi hukataa masomo ya... | Mwanafunzi anajiendeleza mwenyewe na nini | Tekinolojia | x |
3263_swa_4 | 3263_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Katika Shule za upili kuna faida na pia madhara ya teknolojia. Kwanza ningeanza na madhara ya teknologia katika shule za sekondari . Kwani mtu huhitaji na uvumilivu ili kupita masomo yake. Masomo ya sekondari ni magumu mno hivyo basi watu wengi hukataa masomo ya... | Elimu ya marika husaidia vipi mwanafunzi | Kutahadharisha mwanafunzi kujiunga na makundi mabaya | x |
3263_swa_5 | 3263_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Katika Shule za upili kuna faida na pia madhara ya teknolojia. Kwanza ningeanza na madhara ya teknologia katika shule za sekondari . Kwani mtu huhitaji na uvumilivu ili kupita masomo yake. Masomo ya sekondari ni magumu mno hivyo basi watu wengi hukataa masomo ya... | Mwanafunzi huhitaji nini ili kupita masomo | Uvumilivu | x |
3263_swa_6 | 3263_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Katika Shule za upili kuna faida na pia madhara ya teknolojia. Kwanza ningeanza na madhara ya teknologia katika shule za sekondari . Kwani mtu huhitaji na uvumilivu ili kupita masomo yake. Masomo ya sekondari ni magumu mno hivyo basi watu wengi hukataa masomo ya... | Wanafunzi husoma kwa nia gani | Kufaulu | x |
3263_swa_7 | 3263_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Katika Shule za upili kuna faida na pia madhara ya teknolojia. Kwanza ningeanza na madhara ya teknologia katika shule za sekondari . Kwani mtu huhitaji na uvumilivu ili kupita masomo yake. Masomo ya sekondari ni magumu mno hivyo basi watu wengi hukataa masomo ya... | Mwanafunzi hufaulu lakini akakosa nini | Karo | x |
3263_swa_8 | 3263_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Katika Shule za upili kuna faida na pia madhara ya teknolojia. Kwanza ningeanza na madhara ya teknologia katika shule za sekondari . Kwani mtu huhitaji na uvumilivu ili kupita masomo yake. Masomo ya sekondari ni magumu mno hivyo basi watu wengi hukataa masomo ya... | Masomo gani hutahadharisha watu kujiingiza kwa makundi | Marika | x |
3263_swa_9 | 3263_swa | FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE YA SEKONDARI Katika Shule za upili kuna faida na pia madhara ya teknolojia. Kwanza ningeanza na madhara ya teknologia katika shule za sekondari . Kwani mtu huhitaji na uvumilivu ili kupita masomo yake. Masomo ya sekondari ni magumu mno hivyo basi watu wengi hukataa masomo ya... | Tekinolojia huwa na faida vipi kwa watu | Kwa kuelimisha mwanafunzi kisha anaelimisha jamii | x |
3264_swa_0 | 3264_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana ya kuwa mtu asiyesikia la mkubwa wake baadaye hujutia kwani majuto ni mjukuu huja baadae. Methali hii inalandana na ile isemayo asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Kulikuwa na msichana mrembo aitwaye Kadzo. Alikuwa na adabu na mwenye heshima kwa watu wote... | Kulikuwa na msichana aliyeitwa nani | Kadzo | x |
3264_swa_1 | 3264_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana ya kuwa mtu asiyesikia la mkubwa wake baadaye hujutia kwani majuto ni mjukuu huja baadae. Methali hii inalandana na ile isemayo asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Kulikuwa na msichana mrembo aitwaye Kadzo. Alikuwa na adabu na mwenye heshima kwa watu wote... | Kadzo alikanywa na nani | Wavyele | x |
3264_swa_2 | 3264_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana ya kuwa mtu asiyesikia la mkubwa wake baadaye hujutia kwani majuto ni mjukuu huja baadae. Methali hii inalandana na ile isemayo asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Kulikuwa na msichana mrembo aitwaye Kadzo. Alikuwa na adabu na mwenye heshima kwa watu wote... | Kadzo alianza kutapika baada ya muda wa miezi ngapi | Miwili | x |
3264_swa_3 | 3264_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana ya kuwa mtu asiyesikia la mkubwa wake baadaye hujutia kwani majuto ni mjukuu huja baadae. Methali hii inalandana na ile isemayo asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Kulikuwa na msichana mrembo aitwaye Kadzo. Alikuwa na adabu na mwenye heshima kwa watu wote... | Walimu wa Kadzo waliita nani | Wazazi | x |
3264_swa_4 | 3264_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana ya kuwa mtu asiyesikia la mkubwa wake baadaye hujutia kwani majuto ni mjukuu huja baadae. Methali hii inalandana na ile isemayo asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Kulikuwa na msichana mrembo aitwaye Kadzo. Alikuwa na adabu na mwenye heshima kwa watu wote... | Kwa nini simu ya wavyele iliita | Kadzo alikuwa amekufa | x |
3264_swa_5 | 3264_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana ya kuwa mtu asiyesikia la mkubwa wake baadaye hujutia kwani majuto ni mjukuu huja baadae. Methali hii inalandana na ile isemayo asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Kulikuwa na msichana mrembo aitwaye Kadzo. Alikuwa na adabu na mwenye heshima kwa watu wote... | Kulikuwa na msichana aliyeitwa nani | Kadzo | x |
3264_swa_6 | 3264_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana ya kuwa mtu asiyesikia la mkubwa wake baadaye hujutia kwani majuto ni mjukuu huja baadae. Methali hii inalandana na ile isemayo asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Kulikuwa na msichana mrembo aitwaye Kadzo. Alikuwa na adabu na mwenye heshima kwa watu wote... | Kadzo alianza tabia gani | Mbaya | x |
3264_swa_7 | 3264_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana ya kuwa mtu asiyesikia la mkubwa wake baadaye hujutia kwani majuto ni mjukuu huja baadae. Methali hii inalandana na ile isemayo asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Kulikuwa na msichana mrembo aitwaye Kadzo. Alikuwa na adabu na mwenye heshima kwa watu wote... | Walimu waliwaita nani | Wazazi | x |
3264_swa_8 | 3264_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana ya kuwa mtu asiyesikia la mkubwa wake baadaye hujutia kwani majuto ni mjukuu huja baadae. Methali hii inalandana na ile isemayo asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Kulikuwa na msichana mrembo aitwaye Kadzo. Alikuwa na adabu na mwenye heshima kwa watu wote... | Kadzo alianza kutapika baada ya miezi mingapi | Miwili | x |
3264_swa_9 | 3264_swa | ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii ina maana ya kuwa mtu asiyesikia la mkubwa wake baadaye hujutia kwani majuto ni mjukuu huja baadae. Methali hii inalandana na ile isemayo asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Kulikuwa na msichana mrembo aitwaye Kadzo. Alikuwa na adabu na mwenye heshima kwa watu wote... | Kwa nini simu ilipigwa | Kuelezea kuwa Kadzo amekufa | x |
3274_swa_0 | 3274_swa | TUTUNZE MAZINGIRA! "Mwenyekiti wa Bodi ya shule, Naibu wake, Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wazazi pamoja na wanagenzi wenzangu hamjambo? "Hatujambo." Nachukua fursa hii niliyosaliwa na mwenyezi Mungu kuwashukuru nyote mlioweza kuitikia mwito huu. Kwani wahenga walitanabahi kua usikatae mwito bali unachoit... | Wanafaa kupanda miti mingapi kila mwezi | Miwili | x |
3274_swa_1 | 3274_swa | TUTUNZE MAZINGIRA! "Mwenyekiti wa Bodi ya shule, Naibu wake, Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wazazi pamoja na wanagenzi wenzangu hamjambo? "Hatujambo." Nachukua fursa hii niliyosaliwa na mwenyezi Mungu kuwashukuru nyote mlioweza kuitikia mwito huu. Kwani wahenga walitanabahi kua usikatae mwito bali unachoit... | mazingira wanaoishi yanafaa kuwa vipi | safi | x |
3274_swa_2 | 3274_swa | TUTUNZE MAZINGIRA! "Mwenyekiti wa Bodi ya shule, Naibu wake, Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wazazi pamoja na wanagenzi wenzangu hamjambo? "Hatujambo." Nachukua fursa hii niliyosaliwa na mwenyezi Mungu kuwashukuru nyote mlioweza kuitikia mwito huu. Kwani wahenga walitanabahi kua usikatae mwito bali unachoit... | Anachukua fursa aliyojaliwa na nani | MwenyeziMungu | x |
3274_swa_3 | 3274_swa | TUTUNZE MAZINGIRA! "Mwenyekiti wa Bodi ya shule, Naibu wake, Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wazazi pamoja na wanagenzi wenzangu hamjambo? "Hatujambo." Nachukua fursa hii niliyosaliwa na mwenyezi Mungu kuwashukuru nyote mlioweza kuitikia mwito huu. Kwani wahenga walitanabahi kua usikatae mwito bali unachoit... | Mamlaka ni ya kutunza nini | Miti,vijito bahari | x |
3274_swa_4 | 3274_swa | TUTUNZE MAZINGIRA! "Mwenyekiti wa Bodi ya shule, Naibu wake, Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wazazi pamoja na wanagenzi wenzangu hamjambo? "Hatujambo." Nachukua fursa hii niliyosaliwa na mwenyezi Mungu kuwashukuru nyote mlioweza kuitikia mwito huu. Kwani wahenga walitanabahi kua usikatae mwito bali unachoit... | Ni vipi miti itaongezeka | Tunapokata mmoja, tupande minne | x |
3274_swa_5 | 3274_swa | TUTUNZE MAZINGIRA! "Mwenyekiti wa Bodi ya shule, Naibu wake, Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wazazi pamoja na wanagenzi wenzangu hamjambo? "Hatujambo." Nachukua fursa hii niliyosaliwa na mwenyezi Mungu kuwashukuru nyote mlioweza kuitikia mwito huu. Kwani wahenga walitanabahi kua usikatae mwito bali unachoit... | Anawashukuru wote walioweza kuitikia nini | Wito | x |
3274_swa_6 | 3274_swa | TUTUNZE MAZINGIRA! "Mwenyekiti wa Bodi ya shule, Naibu wake, Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wazazi pamoja na wanagenzi wenzangu hamjambo? "Hatujambo." Nachukua fursa hii niliyosaliwa na mwenyezi Mungu kuwashukuru nyote mlioweza kuitikia mwito huu. Kwani wahenga walitanabahi kua usikatae mwito bali unachoit... | Wakipanda miti nchi haitageuka kuwa nini | Janga | x |
3274_swa_7 | 3274_swa | TUTUNZE MAZINGIRA! "Mwenyekiti wa Bodi ya shule, Naibu wake, Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wazazi pamoja na wanagenzi wenzangu hamjambo? "Hatujambo." Nachukua fursa hii niliyosaliwa na mwenyezi Mungu kuwashukuru nyote mlioweza kuitikia mwito huu. Kwani wahenga walitanabahi kua usikatae mwito bali unachoit... | Wahakikishe mazingira wanayokaa iko vipi | safi | x |
3274_swa_8 | 3274_swa | TUTUNZE MAZINGIRA! "Mwenyekiti wa Bodi ya shule, Naibu wake, Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wazazi pamoja na wanagenzi wenzangu hamjambo? "Hatujambo." Nachukua fursa hii niliyosaliwa na mwenyezi Mungu kuwashukuru nyote mlioweza kuitikia mwito huu. Kwani wahenga walitanabahi kua usikatae mwito bali unachoit... | Ni nani aliwatunukia dunia | Mterehemezi | x |
3274_swa_9 | 3274_swa | TUTUNZE MAZINGIRA! "Mwenyekiti wa Bodi ya shule, Naibu wake, Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu wazazi pamoja na wanagenzi wenzangu hamjambo? "Hatujambo." Nachukua fursa hii niliyosaliwa na mwenyezi Mungu kuwashukuru nyote mlioweza kuitikia mwito huu. Kwani wahenga walitanabahi kua usikatae mwito bali unachoit... | Kuboresha kilimo kuna mchango gani | Kupunguza njaa nchini | x |
3297_swa_0 | 3297_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA NCHI YA KENYA Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya. Kilimo kina manufaa ainati. Kilimo kinaweza kuimarisha nchi yetu kupitia kwa mauzo ya mazao ya kilimo. Mazao kama vile majani chai na kahawa yanauzwa katika nchi za ng'ambo na hivyo kuwezesha kuleta pesa nchini. Kwa k... | Ni nini uti wa mgongo wa nchi ya Kenya | Kilimo | x |
3297_swa_1 | 3297_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA NCHI YA KENYA Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya. Kilimo kina manufaa ainati. Kilimo kinaweza kuimarisha nchi yetu kupitia kwa mauzo ya mazao ya kilimo. Mazao kama vile majani chai na kahawa yanauzwa katika nchi za ng'ambo na hivyo kuwezesha kuleta pesa nchini. Kwa k... | Majani chai na kahawa hepelekwa wapi | Viwandani | x |
3297_swa_2 | 3297_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA NCHI YA KENYA Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya. Kilimo kina manufaa ainati. Kilimo kinaweza kuimarisha nchi yetu kupitia kwa mauzo ya mazao ya kilimo. Mazao kama vile majani chai na kahawa yanauzwa katika nchi za ng'ambo na hivyo kuwezesha kuleta pesa nchini. Kwa k... | Kilimo kimefanya watu wasihamie wapi | Jijini | x |
3297_swa_3 | 3297_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA NCHI YA KENYA Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya. Kilimo kina manufaa ainati. Kilimo kinaweza kuimarisha nchi yetu kupitia kwa mauzo ya mazao ya kilimo. Mazao kama vile majani chai na kahawa yanauzwa katika nchi za ng'ambo na hivyo kuwezesha kuleta pesa nchini. Kwa k... | Ni vipi kilimo husaidia kuleta watu pamoja | uuzaji wa bidhaa | x |
3297_swa_4 | 3297_swa | MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA NCHI YA KENYA Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya. Kilimo kina manufaa ainati. Kilimo kinaweza kuimarisha nchi yetu kupitia kwa mauzo ya mazao ya kilimo. Mazao kama vile majani chai na kahawa yanauzwa katika nchi za ng'ambo na hivyo kuwezesha kuleta pesa nchini. Kwa k... | Kilimo husaidia vipi elimu | watoto wanalipiwa karo | x |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.