name
stringclasses
429 values
text
stringlengths
0
767k
null
IN Tanzania, as in many African countries, access to healthcare in rural areas remains limited due to resource shortages and insufficient healthcare personnel. This gap leaves much of the rural population, including people with disabilities (PWDs), without reliable healthcare services. Recently, Kisesa Member of Parlia...
null
IN the past, traditional teaching methods positioned the teacher as the sole source of knowledge. What the teacher said was final, largely because access to information was limited. Libraries were few, books were scarce and the distribution of knowledge across regions or countries was often constrained. The above expla...
null
AGROECOLOGY helps rural farmers to enhance their livelihoods while promoting ecological balance and community well-being as it focuses on using natural processes, reducing reliance on industrial produced agricultural inputs like fertilizers and pesticides. Agroecology preserves biodiversity, which supports long-term so...
null
SINCE 2007, the interfaith approach to development led by the Norwegian Church Aid (NCA) in collaboration with the Interfaith Standing Committee on Economic Justice and Integrity of Creation (ISCEJIC) has empowered Tanzania community through research, advocacy and economic justice. ISCEJIC is a faith-based committee in...
null
NEGOTIATORS from some of the world’s most powerful economies held a heated and divisive meeting in the early hours of Saturday 23rd November 2024 as they worked to push through a climate financing deal that could see $300 billion per year directed toward developing nations. This funding, aimed at helping these countrie...
null
AFRICA'S education ministers and development partners have reiterated their commitment to ending "learning poverty" and doubling efforts in funding foundational learning as a three-day education forum concluded Wednesday in Kigali, the Rwandan capital. "Learning poverty" refers to the inability of children to meet basi...
null
THE embassy of Algeria in Tanzania celebrated the 70th anniversary of liberation revolution and emphasizes more cooperation with Tanzania as the two nations have been beacons of the liberation of many countries in Africa. The 70th anniversary of the Algerian Great Revolution offers an opportunity to reflect on the achi...
null
IN late October 2024, Volkswagen’s works council announced that the group’s management was considering closing three factories in Germany, which would lead to the loss of tens of thousands of jobs, as well as a general reduction in salaries. On October 30, the group announced a 63.7% fall in third-quarter net profit. W...
null
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan joined the world’s most influential leaders this week at the G20 Leaders’ Summit in Rio de Janeiro, following an invitation from Brazilian President Luiz Inácio Lula da Silva. This invitation not only underscores Tanzania’s expanding global role but also symbolizes the strides the country ...
null
TOP Winners of the African Conservation Awards for the year 2024 have been listed during a ceremony held in Johannesburg, South Africa. Hosted by the Game Rangers’ Association of Africa (GRAA) the annual awards are described to be an opportunity to celebrate some of the outstanding work by conservationists in Africa. T...
null
Mwanri trains Kishapu officers on cotton pesticide spraying Photo: Marco Maduhu © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
Mpango delivers keynote at President's Manufacturer of the Year Awards Photo: VPO © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
Elder dresses Minister Jafo in Traditional Attire at Agricultural Expo launch Photo: Joseph Mwendapole © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
Heavy downpour renders Dar's Bibi Titi Road Impassable, blocking DIT access Photo: Imani Nathaniel © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
Muheza District’s 2,288 form four students kick off national exams Photo: Steven William © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
Makalla addresses CCM rally in Temeke Guardian Correspondent © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
Natu leads talks on Tanzania-EU Partnership, Programme Review Photo: Guardian Correspondent © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
Accounting leaders mark 20 yrs of Impact, dedicate to shaping future professionals in EA Guardian Correspondent © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
TMF's Kamanzi demonstrates new Investigative Journalism desk model to TGL's DGM Photo: Guardian Correspondent © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
Bashungwa, KIDO Mascot lead anti-drug misuse campaign Guardian Correspondent © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
Majaliwa bids farewell as national assembly adjourns to 2025 Photo: Ibrahim Joseph © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
Tanzania, China deepens partnership in tourism, cultural cooperation Photo: Jumanne Juma © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
Jakaya honours Stanbic Bank (T) for 80m/- Contribution to Children’s heart health Initiative Guardian correspondent © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
President Samia leads talks on Africa's agricultural future Photo: State House © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
Kikwete honors NMB Bank for 1bn/- contribution to children's heart treatment Photo: Guardian Correspondent © 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED
null
Properties connected to rapper Sean "Diddy" Combs were raided on Monday by federal agents. The Department of Homeland Security said it had pursued the "law enforcement actions as part of an ongoing investigation" in New York, Los Angeles and Miami. Two properties were searched in Los Angeles and Miami as part of the pr...
null
THE Bagamoyo Arts and Cultural Institute –better known by its Kiswahili acronym TASUBA—has introduced new subjects on marketing and administration to enable artists who graduate from the institute market their works and negotiate for fair compensation. Dr Herbert Makoye, TASUBA Principal, said this here on Monday durin...
null
FILMMAKERS, human rights activists, and writers have called for greater exploration of cultural exchange opportunities between Tanzania and China. They shared their views at an event organized by the TV and Film Dubbing Center of China Media Group in Dar es Salaam over the weekend. The event, which showcased a variety ...
null
The Coca-Cola Food Festival is set to take place at St. Laurent Gardens in Kawe, Dar es Salaam, on Saturday, November 23, 2024. The event will bring together food lovers and entertainment enthusiasts for a day of exceptional culinary experiences, live music performances, and cultural celebrations. Over 20 local vendors...
null
JAKE Paul is betting on himself to beat boxing legend Mike Tyson when the pair meet in the ring in Texas today in what the social media star turned prizefighter predicts will be a slugfest. Jake Paul (right) faces off with Mike Tyson (left) during a press conference at The Pavilion at Toyota Music Factory in Irving, Te...
null
THE Boxing Federation of Tanzania (BFT) has announced a one-week course aimed at judges, competition officials, and coaches, to be held at Nyamagana Stadium in Mwanza. The course, starting next Tuesday, will attract participants from all Lake Zone regions, including Mara, Shinyanga, Mwanza, and Kagera. BFT secretary ge...
null
TANZANIA's boxing team's prospects of winning three silver medals in the 2024 All-Africa Games in Ghana were on Wednesday after boxer Ezra Mwanjwango lost to Zambian Andrew Chilasa. The bout ended 5-2 on the judge’s decision and the decision to award the Zambian maximum points was reached after judges previewed the bou...
null
MAFIA Boxing Promotion recently visited orphanages and some entrepreneurs in Tanga and donated various items, including gas cylinders, for a clean cooking energy drive. The firm's officials and several boxers fighting under it visited, among others, the Green Crescent Foundation located at Bombo Street and donated food...
null
BOXING Federation of Tanzania (BFT) says it is happy with the performance showcased by the country's boxers in the just-ended Mandela African Boxing Cup tournament which took place at the Durban International Convention Centre in South Africa. The country was represented by five boxers and, speaking yesterday when the ...
null
Mandonga, Maugo to face each other again on July 28 By Faustine Feliciane , The Guardian Published at 06:00 AM Jul 04 2024 Photo: File Boxer Karim Mandonga BOXERS Karim Mandonga and Mada Maugo are expected to face each other again on July 28 in a special fight that will be held in Geita region. The fight aims to collec...
null
Boxing BFT unveils national boxing team for All-Africa Games THE Boxing Federation of Tanzania (BFT) has revealed the national boxing team made up of eight pugilists and two coaches for the All-Africa Games to be held in Accra, Ghana. 02 Mar 2024 Boxing event to showcase youth talent set for Dar 1d ago Jake Paul vows t...
null
MAKAMU wa pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla amewataka Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutowachukia wagombea wa vyama vingine waliojitokeza kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa kwani wameshiriki kukamilisha Demokrasia. Makamu huyo wa Rais ameyasema hayo alipokuwa akifunga kampeni za Uchaguzi wa Seri...
null
Kimataifa Saba wafariki ajali ya bajaji na lori WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mkoani hapa. 2d ago Watoto walivyogeuka kitegauchumi mitaani 20 Oct 2024 Wananchi wabomoa nyumba ya mtuhumiwa wakagawana tofali 13 Oct 2...
null
BAADA ya kumaliza dakika 90 za nyumbani za mechi ya robo fainali ya mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns kutoka Afrika Kusini, Yanga imeweka rekodi nne kwenye Ligi Kuu Bara ambayo ilisimama kupisha kalenda ya michezo ya kimataifa. Ikiwa inaongoza katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baad...
null
ZIKIWA zimebaki siku tano kabla ya mchezo wao wa kwanza hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, wachezaji wa Yanga wameanza mazoezi maalum ya 'Gym' kwa ajili ya kuongeza nguvu ya miili yao. Wachezaji hao wa Yanga wamepangiwa muda maalum wa kufanya mazoezi hayo chini ya kocha wao wa viungo Mmorocco Taibi Lagro...
null
MASHINDANO ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa yameanza kutimua vumbi Machi 8, mwaka huu katika viwanja vya Tamco vilivyopo Mjini Kibaha kwa kuzikutanisha timu ya Kiduli FC na Black Six ya Jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo Black Six wameibuka na ushindi wa bao 1-0 lililofungwa katika dakika 41 ya kipindi cha kwanza kupi...
null
KOCHA wa Barcelona, Xavi Hernandez alithibitisha atachukua hatua za kisheria dhidi ya wanahabari wawili ambao alisema walitengeneza habari kumhusu yeye. Taarifa ziliibuka wiki hii zikidai Xavi hakufurahishwa na ripoti moja iliyosema alidai aliwataka makocha wote wa timu yake kuweka simu zao mezani ili abaini nani anavu...
null
Soka Fadlu: Tutaimaliza Bravos KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, amesema mechi ya Ligi Kuu iliyochezwa juzi kati ya timu yake dhidi ya Pamba Jiji na kushinda bao 1-0, Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, imempa mwanga na mbinu za kuwaangamiza wapinzani wao, Bravos do Maquis kutoka Angola. 2d ago Twiga Stars, Ghana kundi moja...
null
WAKATI Rais Samia Suluhu Hassan akituma salamu za faraja kwa Simba na Yanga baada ya kuondolewa katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, uongozi wa Yanga umewasilisha rasmi malalamiko yake katika Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuhusiana na maamuzi ya mchezo wao uliochezwa kwenye Uwanja wa Tshwane-Loftus Versfeld ...
null
Kitaifa Mbowe atema nyongo baada ya kuachiwa MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, pamoja na wafuasi 11 waliokuwa wanashikiliwa na polisi, wameachiwa kwa dhamana, huku akisema haoni sababu mahsusi za kushikiliwa kwao. 2d ago Mwalimu awataka wagombea kutowatoza wananchi fedha za mihur...
null
KAMATI za Kudumu za Bunge ya Bajeti na Miundombinu zimelishauri Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuweka mifumo ya ulinzi wa miundombinu ya Reli ya Kisasa (SGR) ikiwamo ufungaji wa kamera za CCTV. Kwa mujibu wa kamati hizo, lengo ni ili kudhibiti uharibifu wa miundombinu ya nyaya za umeme unaofanywa na watu wasio na nia n...
null
MAMBO magumu na mazito wanayopitia watoto wanaojilea wenyewe mitaani si ya kupuuzwa. Wako wanaobakwa, kuingizwa katika magenge ya uhalifu na wengine huishia kuwa waraibu wa dawa za kulevya. Wanalala katika mabaraza ya maduka, mapagala, magari mabovu na wengine hutumikishwa kingono usiku kucha. Uchunguzi uliofanywa na N...
null
JESHI la Polisi Mkoani Mbeya linamshikilia dereva wa bodaboda, Juma Afyusisye (38), mkazi wa Iwambi mkoani humo kwa tuhuma za kummwagia mafuta ya petroli na kumchoma moto mtoto (jina linahifadhiwa) kisa Sh. 10,000. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (S...
null
WATU wawili wamehukumiwa kifungo cha maisha jela na mwingine miaka 20 kwa makosa ya kuwabaka watoto wenye umri chini ya miaka 10 mkoani Mbeya. Vitus Thadeo (26), mkazi wa Kata ya Mwasanga, mkoani humo amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kumbaka binti mwenye umri wa miaka minane ambaye ni mwanafunzi wa Shule...
null
KATIBU Mtendaji wa Tume ya Mipango, Lawrence Mafuru, amefariki dunia akiendelea na matibabu katika Hospitali ya Apollo nchini India kwa maradhi yaliyokuwa yanamkabili. Kutokana na kifo hicho, Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa watumishi wa tume hiyo, ndugu, jamaa na marafiki. Taarifa iliyotolewa jana n...
null
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema linamtafuta Mkurugenzi wa Dar24, Maclean Mwaijonga, anayedaiwa kupotea kwa takriban siku nne hadi sasa. Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Jumanne Muliro, alisema jana kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari kwamba familia yake...
null
SERIKALI imeipongeza Shule ya Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam kutokana na mafanikio ya kitaaluma na mchango wake kwa serikali katika sekya ya elimu. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa wiki na Mdhibiti Ubora wa Elimu kutoka Wizara ya Elimu, Albert Mutalemwa wakati wa mahafali ya shule ya awali na msingi Hazina...
null
VIONGOZI wa vyama vya upinzani wamezidi kulia na maumivu baada ya kudai kuwa zaidi ya asilimia 60 ya wagombea wa nafasi za uenyekiti na ujumbe wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji, wameenguliwa. Kutokana na hali hiyo, wamewasisitizia wagombea walioenguliwa kuwasilisha mapingamizi kwa wasimamizi wasaidizi wa uchagu...
null
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Korogwe vijijini, kimefanya uchaguzi katika nafasi mbalimbali ndani ya chama na mabaraza yake. Katika uchaguzi huo, Oliver Kisaka ameibuka mshindi katika nafasi ya Uenyekiti kwa kupata kura 53 dhidi ya 33 alizopata mpinzani wake, Salimu Sempoli. Kwa nafasi ya Katibu, aliyeshi...
null
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, juzi iliwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha wa 2024/25 ambayo yameainisha miradi mbalimbali itakayotekelezwa na lengo kubwa ni kuongeza ufanisi. Jerry Silaa, Waziri wa Wizara hiyo, wakati akiwasilisha hotuba ya makadirio hayo, alibainisha ...
null
KIWANDA cha Ubungo Farm Implements (UFI) cha Ubungo, Dar es Salaam kilichokuwa kinazalisha zana za kilimo kimebinafishwa, hivi sasa hakizalishi tena zana hizo, kinazalisha mabomba ya maji. Ni hali inayokinzana na dhamira ya mwasisi wake, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere ambaye serikali yake ilikianzisha mwishoni m...
null
WIKI hii katika toleo mojawapo la gazeti la Nipashe, kulichapishwa taarifa kwamba katika vijiji vinne katika kata ya Kisiriri, Iramba mkoani Singida, umeibuka mtindo wa watu kutengwa na jamii iwapo watashindwa kulipa faini waliyotozwa kutokana na makosa mbalimbali wanayoyafanya. Hatua hiyo ambayo imeibua mijadala katik...
null
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, jana alishiriki mazoezi ya pamoja ya kampeni ya kitaifa inayoratibiwa na Wizara ya Afya ya kuhamasisha Watanzania kufanya mazoezi ili kujiepusha na magonjwa yasiyoambukiza kama vile shinikizo la damu, maradhi ya moyo na kisukari. Katika ushiriki wake huo, Majaliwa alisema hatua hiyo pia ni...
null
KWA muda mrefu kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wafanyabiashara kuhusu masuala mbalimbali kutoka kwa watumishui wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) miongoni mwa malalamiko hayo ni madai ya kubambikiwa kodi, watumishi wa mamlaka hiyo kuwaomba rushwa wafanyabiashara huku wakiwatishia kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria...
null
RAIS wa Awamu ya Tano, Hayati Dk. John Magufuli, baada ya kuingia madarakani, alisisitiza ulipaji wa kodi kwa wafanyabiashara na kuapa kuwa asingekuwa na msamaha na watu wanaokwepa kodi. Alikwenda mbali zaidi kwa kusema wakwepaji wa kodi ni maadui wakubwa wa maendeleo. Kiongozi huyo aliziishi kauli zake hizo na kuwatak...
null
BAJETI ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2023/24 itafikia ukomo wake kesho, hivyo kuanza mwaka mpya wa fedha 2024/25 ambao serikali inatarajia kukusanya na kutumia Sh. Sh. trilioni 49.35 Katika bajeti hiyo ambayo ni ya nne kwa serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, kunatarajiwa ongezeko la makusanyo na mat...
null
Serikali tangu awamu ya tano, iliamua kuwekeza katika ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji ikiwamo ya reli ya kisasa (SGR) ambayo hadi sasa treni zimeanza safari kati ya Dar es Salaam na Dodoma. Hatua hiyo imerahisisha usafiri wa abiria katika eneo hilo ambalo reli imekamilika. Badala ya watu kutumia usafiri wa mabasi...
null
SERIKALI ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, tangu ilipoingia madarakani mwaka 2021, imekuwa ikihimiza maendeleo ya sekta ya utalii kwa kutangaza vivutio vilivyoko ili kuwavutia watalii wengi zaidi kuingia na kuchangia pato la taifa. Katika kutimiza azma hiyo, Rais Samia alicheza filamu ya The Royal Tou...
null
KATIKA ukurasa wa ne wa gazeti hili, kuna ripoti maalum inayoeleza kuzagaa kwa watoto kwenye migahawa ya mamalishe katika miji mbalimbali, huku Manispaa ya Tabora na jiji la Mwanza ikiwa mfano. Watoto hao si kwamba hawana wazazi bali ni wa mamalishe hao ambao wamedai kuwa wanakwenda nao katika maeneo ya kujipatia rizik...
null
WAZIRI wa Fedha, Dk,. Mwigulu nchemba, Alhamisi wiki hii, aliwasilisha mapendekezo ya mapato na matumizi ya serikali kwa mwaka 2024/25 jijini Dodoma. Katika mapendekezo hayo, serikali imepanga kutumia Sh. trilioni 49.35 kwa ajili ya matumizi ya kawaida kwa shughuli za serikali na miradi ya maendeleo. Baada ya kuwasilis...
null
WATANZANIA wapenda haki na amani Afrika na duniani kote, kesho wataadhimisha Kumbukizi ya Miaka 25 ya kifo cha Rais wa Kwanza na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Maadhimisho ya mwaka huu, ambayo yanafanyika sambamba na kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2024, yanafanyika jijini Mwanza na mgeni rasmi ata...
null
MARA kwa mara, madaktari wakiwamo mabigwa na wabobezi pamoja na wataalamu wa lishe, wamekuwa wakitoa ushauri kuhusu namna ya ulaji bora ili kujiepusha na maradhi hasa magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Katika kufanya hivyo, pia wamekuwa wakisisitiza vyakula bora kwa wajawazito na watoto ili kujikinga na madhara mbalimbali ...
null
MIGOGORO ya ardhi katika maeneo mengi nchini imekuwa chanzo cha vurugu kwa wakulima na wafugaji. Suala la wakulima na wafugaji kugombea ardhi limekuwa likishamiri katika maeneo mbalimbali nchini huku wakulima wakitaka ardhi ya kulima na wafugaji wakitaka sehemu ya kulishia mifugo yao. Hali hiyo imesababisha baadhi yao ...
null
Maoni Ya Mhariri Kasumba vijana kuhusu ajira mikoa ya pembezoni imepitwa na wakati Nov 24 2024 Ulinzi katika miundombinu SGR uimarishwe ili kudhibiti uhalifu Nov 10 2024 Sheria udhibiti ajira kwa wageni iongezewe meno Nov 3 2024 Hatua zichukuliwe kuwaokoa watoto katika majanga haya Oct 27 2024 Kumuenzi Nyerere ni kuyai...
null
RAIS Samia Suluhu Hassan juzi alizindua Tume ya Rais ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi na kubainisha kuwa mrejesho alioupata katika ukusanyaji wa kodi unaonesha kuwapo kwa malalamiko ya mianya ya ukwepaji wa kodi, makusanyo kidogo, huku mengi yakiingia mifukoni mwa watu. Hatua hiyo, kwa mujibu wa Rais Sa...
null
SERIKALI imekuwa ikisisitiza kuongezwa kwa kasi ya uwekezaji kwa lengo la kukuza uchumi na kutoa ajira kwa vijana wa Tanzania. Msisitizo huo umeleta matokeo chanya kutokana na kampuni mbalimbali za kigeni kuingia nchini na kuwekeza kwa kujenga viwanda na kufungua biashara za bidhaa kutoka mataifa mbalimbali. Mbali na k...
null
RAIS Samia Suluhu Hassan juzi aliwaapisha viongozi kadhaa aliowateua hivi karibuni kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa majukumu mapya waliyopangiwa. Viongozi hao ni mawaziri, naibu mawaziri, katibu mkuu wa wizara na makatibu tawala. Katika hotuba yake baada ya kuwaapisha wateule hao, alitoa maelekezo kwa kila mmoja kuhu...
null
KWA miaka mingi nchini, migogoro kuhusu mirathi na kugombea mali katika familia mbalimbali imekuwa ikiongezeka hata kusababisha baadhi ya wahusika kuuawa au kupata ulemavu wa kudumu. Chanzo kikubwa cha kuwapo kwa madhila hayo ni Watanzania wengi kushindwa kuandika wosia wakati wakiwa hai. Hatua hiyo husababisha kuibuka...
null
TAASISI ya Uongozi juzi ilifanya mahafali ya saba yaliyojumuisha wahitimu 198 wa kozi ya uongozi kutoka taasisi mbalimbali za serikali na Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Kikwete alikuwa mgeni rasmi. Katika hotuba yake, Kikwete alitoa wosia mzito si kwa wahitimu hao tu bali kwa viongozi walioko kwenye taasisi z...
null
SERIKALI mkoani Shinyanga, imewataka viongozi wa Chama Kikuu cha Ushirika Shinyanga (SHIRECU), kwenda kujifunza katika Chama Kikuu cha Ushirika (KACU) namna ya uendeshaji wa ushirika na ulipaji wa madeni wanayodaiwa ili kupata sifa ya kuendelea kukopesheka na taasisi za fedha ikiwemo Benki ya Maendeleo na Kilimo (TADB)...
null
MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni amesema jumla ya miradi nane ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 3.6 inatarajiwa kupitiwa na mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 ikiwemo ya barabara, vijana, elimu, maji, afya pamoja na mazingira. Mkuu huyo wa Wilaya amesema hayo wakati akitoa ...
null
IMEDAIWA kuwa wanaume wengi kwasasa katika Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi hutoa taarifa za ukatili wanaofanyiwa ikilinganishwa na hapo awali. Hayo yamesemwa na Hawa Senga kutoka Dawati la Jinsia na Watoto Manispaa ya Mpanda, wakati akieleza kazi wanazofanya katika banda lao kwenye maadhimisho ya wiki ya sheria. Mkagu...
null
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amesema serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi, hususan shule binafsi ili kuboresha sekta ya elimu nchini. Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Wamiliki wa Shule Binafsi Tanzania (TAPIE) jana jijini Dar es Salaam, Dk. Biteko alisema serikali ha...
null
Mawaziri wa Sekta ya Madini wa Burundi Eng. Ibrahim Uwizeye na Tanzania Anthony Mavunde wamesaini hati ya makubaliano ya kushirikiana kwenye sekta ya madini ili kukuza mchango wa sekta hii katika uchumi wa nchi mbili hizi. Hafla ya kusaini makubaliano hayo imefanyika leo Jijini Bujumbura,Burundi na kuhudhuriwa na watal...
null
KARIBU tena msomaji wangu tuendelee na vipengele vingine vyanzo vya matatizo ya ndoa nyingi. Hii ni sehemu ya tatu na ya mwisho katika eneo hilo. Tayari nimejadili vyanzo kadhaa labda kwa faida ya wale ambao hawakubahatika kusoma safu hii nao wapate mwanga kidogo. Nilitaja ndoa zilizofanyika pasipo Mungu kuhusika(wakat...
null
KARIBU tena msomaji wangu tuendelee kupata mauzauza ya dunia yetu hii. Wachawi waanza kutoa siri zao hadharani baada ya mambo kuwawia magumu. Sikiliza ushuhuda huu ufungue macho yako ya kimwili na kiroho. Watu wengi wamekuwa wakipuuzia kuhusu habari za uchawi eti kwamba haupo. Wanaugua, wanaachishwa kazi, wanakosa kazi...
null
NAOMBA kuanza makala ya leo kwa nukuu kutoka kwa Rais Samia Suluhu Hassan aliyosema: "Mabadiliko katika sheria zetu za uchaguzi yataleta ushindani wa haki na kuwapa watu fursa ya kuwachagua wawatakao kuwaongoza,” Hii ni nukuu ya Rais Samia katika andiko lake la miaka 30 ya Vyama Vingi nchini Tanzania. Maneno hayo ni ma...
null
LENGO la vyombo vya habari ni kuihudumia jamii. Ukikutana na jambo fulani zuri, linaloweza kuisaidia jamii, unaliandika ili kushirikisha wengine. Leo nawaletea mada ngumu kidogo ya jambo linalohusu kupata mafanikio kwa kutumia kitu kinachoitwa ‘manifestation’. Kabla sijaendelea, naomba kutoa angalizo kwamba mada hii ha...
null
LEO naendelea na makala elimishi za kuwafundisha Watanzania kuijua Katiba, sheria na haki. Je, wajua kuwa japo mhimili wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) ndio wenye mamlaka ya kutunga sheria haliwezi kutunga sheria kinyume cha Katiba. Pamoja na mamlaka hayo, Bunge halina mamlaka ya kutunga sheria batili ...
null
VIKOSI vya Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), vimefanikiwa kuzuia jaribio la mapinduzi lililohusisha wapiganaji wa Kongo na wa kigeni leo Jumapili asubuhi. Taarifa hiyo imetolewa na Msemaji wa Jeshi hilo, Sylvain Ekenge katika hotuba yake iliyotolewa kwa njia ya televisheni. "Jaribio la mapinduzi limezimw...
null
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema kiongozi asiyegusa na kero za wananchi hatoshi katika nafasi yake. Akizungumza katika mpaka kati ya Mkoa wa Manyara na Arusha, tayari kwa kuanza ziara yake jijini Arusha baada ya kuhitimisha Manyara, aliwakumbusha viongozi wajibu huo katika ...
null
WANANCHI wenye hasira kali wa eneo la Kwa Mrombo, mkoani Arusha, jana Oktoba 12,2024 wamevunja nyumba na kuchukua kila kitu, ikiwamo matofali na kuacha eneo hilo bila chochote cha mtuhumiwa Jaina Mchomvu wa mauaji ya binti Mariam Juma (12). Mwandishi wa habari hizi alivyofika eneo hilo aliona wananchi wakibomoa nyumba ...
null
MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isack Mwakisu kutumia vyombo vya ulinzi na usalama kuchunguza malalamiko ya wajawazito kuombwa rushwa katika Kituo cha Afya Makere, Halmashauri ya Mji wa Kasulu. Dk. Mpango alitoa maagizo hayo wakati akiwa katika Mji wa Makere baada ya kupokea ...
null
HELIKOPTA iliyombeba Rais wa Iran, Ebrahim Raisi imepata ajali magharibi mwa nchi hiyo leo na vikosi vya uokoaji vimetumwa kuitafuta. Taarifa hiyo imetangazwa na televisheni ya taifa ya Iran muda mfupi uliopita ikimnukuu Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo, Ahmed Vahidi. Waziri huyo amesema hali mbaya ya hewa na ukun...
null
NAIBU Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, leo ameomba msamahama ikiwa ni siku mbili kabla ya kujitetea kwa saa mbili (dakika 120) mbele ya umma juu ya tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi. Leo Oktoba 6,2024, Gachagua aliomba radhi wakati wa ibada wakati wa Ibada wa Kitaifa ya Maombi jijini Nairobi, na kusema kama kuna aliye...
null
MKUU wa Kanisa Katoliki, Papa Francis,amewatawadha makadinali 20 ambao wataongezwa katika orodha ya kupata mrithi wake baada ya kifo au kujiuzulu. Miongoni mwa waliotawazwa wakati wa hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye kanisa ya St Peter Basillica, 16 miongoni mwao walikuwa na umri wa chini ya miaka 80, ikiwa n...
null
IDADI ya watu waliofariki kutokana na mafuriko yaliyoikumba nchi Afghanistan mwishoni wiki hii imefikia watu 84 huku majengo na mali nyingine vikiharibiwa kwa maji. Awamu hiyo mpya ya mvua kubwa na mafuriko imeziathiri Wilaya nne katika Jimbo la Faryab, ambapo jana Jumamosi watu 66 walithibitishwa kupoteza maisha, wata...
null
FIKIRIA mtoto mwenye umri wa kwenda shuleni, badala ya kuwa darasani au nyumbani akijisomea, yuko mtaani akipita mitaa kwa mtaa kuomba fedha za michango, kwa ajili ya ujenzi wa makanisa, misikiti au ununuzi wa gari la mchungaji. Ni maisha ya kila siku ya watoto wenye umri wa kuwa shuleni, kabla au baada ya masomo kukut...
null
KATIKA kuhakikisha wachezaji wake wanarejea haraka ili kushiriki kikamilifu katika maandalizi ya mechi ya dabi, mabosi wa Yanga wameandaa utaratibu wa kuwarejesha mapema nyota waliokuwa kwenye timu za mataifa yao, imefahamika. Mechi ya watani wa jadi ya mzunguko wa kwanza ambayo Simba watakuwa wenyeji itachezwa Oktoba ...
null
KLABU ya Simba imetajwa iko katika mazungumzo wa beki wa kati ya RS Berlane, Issouf Dayo, ambaye ni raia wa Burkina Faso, ili kumsajili kipindi cha dirisha dogo, kwa lengo la kuongeza nguvu kwenye kikosi chake. Habari zilizopatikana kutoka ndani ya Simba zinasema baada ya kumalizana na Elie Mpanzu, benchi la ufundi, li...
null
BAADA ya juzi kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Namungo FC, kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam, Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, ameonekana kufurahishwa na viwango vya wachezaji wake, licha ya kwamba alifanya mabadiliko ya kikosi kwa kiasi kikubwa. Fadlu, raia wa Afrika Kusini, alisema alitarajia kuwa wac...
null
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, jana wameendeleza ushindi wao wa asilimia 100 baada ya kuifunga Coastal Union bao 1-0 katika mchezo uliochezwa, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha. Lilikuwa bao pekee lililofungwa na mshambuliji raia wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Jean Baleke, lililoipa Y...
null
MAKAMU wa pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema kwa sasa ni zamu ya mchezo wa raidha kuamka na kpanda juu baada ya soka. Akizungumza kwenye mbio za Kimataifa za 'Tigo- Zanter Marathon 2024' zilizofanyika leo asubuhi Zanzibar, Makamu wa pili wa Rais Abdulla, amesema mchezo wa soka Zanzibar umepiga ha...
null
LICHA ya kupata ushindi wa jioni, Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davis, amesema anashangaa kuona baadhi ya waamuzi wanaionea timu yake kwa kuinyima penalti zinazostahili na kuongeza huenda wanataka kuona wachezaji wake wakivunjwa miguu. Fadlu alisema hayo baada ya kumalizika kwa mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya timu...
null
WINGA, Ellie Mpanzu aliyesajiliwa na Simba akisubiri dirisha dogo la usajili litakalofunguliwa Desemba 20, mwaka huu, pamoja na kipa aliyekuwa majeruhi, Ayoub Lakred, walishuka dimbani kwa mara ya kwanza wakati timu hiyo ikicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya KMC jijini, Dar es Salaam juzi. Katika mchezo huo ambao mashab...