text
stringlengths
1
1.32k
alisema ugonjwa huo mbali na kuambukizwa kwa nguruwe kwa nguruwe vilevile unaweza kuambukizwa baina ya binadamu au binadamu kwa nguruwe
alizitaja dalili za ugonjwa huo kuwa kwa binadamu ni sawa na dalili za mafua ya kawaida pamoja na homa kukohoa maumivu ya koo kukosa hamu ya chakula maumivu ya mwili kuumwa kichwa UNK baridi na mwili kuchoka
kwa nguruwe alisema dalili zake ni homa ya ghafla UNK kuzubaa kukohoa mafua kupiga chafya kupumua kwa shida macho kuwa mekundu na kugoma kula
bwana mwamwaja alisema ili kujikinga na ugonjwa wananchi wanapaswa kunawa mikono vizuri kwa sabuni na maji mara kwa mara kutokuwa karibu na watu UNK kuwa na dalili kuzui midomo na pua kwa UNK wakati wa kukohoa au kupiga UNK
alisema katika kujiandaa kukabiliana na ugonjwa huo serikali ina vifaa vya kutosha kwa makundi maalum ambayo yatahusika kwa karibu iwapo UNK UNK nchini
alisema kuwa kwa sasa ugonjwa wa mafua ya nguruwe UNK na kuzuilika kwa dawa ya aina ya tamiflu au UNK na hakuna chanjo kwa binadamu
ugonjwa huo UNK tena machi mwaka huu na hadi sasa nchi nane ambazo ni mexico marekani canada UNK hispania ufaransa israel na brazil zimeripotiwa kuwa na mambukizi
adai tatizo ni kuyumba utawala wa UNK
amtaka mkapa UNK kwa watanzania na said mwishehe kauli ya mwenyekiti wa kampuni za ipp bwana reginald mengi kutaja majina ya mafisadi papa imezidi kuwasha moto baada ya mwenyekiti wa chama cha wananchi profesa ibrahim lipumba kumvaa akidai anajipendekeza kwa rais jakaya kikwete kwa bei rahisi
UNK
lipumba alidai mbali ya kujipendekeza anapanda mbegu ya ubaguzi kwa watanzania
majina ya mafisadi papa waliotajwa wote wana asili ya kiasia huku
kauli ya profesa lipumba imekuja siku moja baada ya waziri wa nchi ofisi ya rais bibi sofia simba na waziri wa habari utamaduni na michezo bwana george mkuchika kupinga hatua hiyo ya bwana mengi na kudai UNK
profesa lipumba alisema jijini dar es salaam jana kuwa kauli ya bwana mengi haisaidii vita dhidi ya rushwa bali UNK na kupoteza malengo ya mapambano ya uovu huo
bwana mengi ametoa kauli anayodai UNK mkono rais kikwete katika vita UNK ya kupambana na ufisadi
amedai mafisadi wapo kumi kati ya hayo mafisadi papa ni watano ambapo UNK ufisadi utamalizika
bwana mengi anadai watumishi wa serikali UNK au kulazimishwa na mafisadi wakubwa mfumo wa maamuzi na watendaji serikalini siyo tatizo la msingi la ufisadi
sidhani kama kweli hiyo ndiyo sababu ya kuwepo kwa ufisadi alisema profesa lipumba
aliongeza bwana mengi hapambani na ufisadi kama anavyodai bali UNK malengo ya mapambano hayo
tatizo la ufisadi linasababishwa na ukosefu wa uongozi imara wa rais jakaya kikwete
sioni kama bwana mengi amefanya ujasiri wowote hapa kama ana ushahidi mzuri kuhusu mafisadi alipaswa kuwasiliana na vyombo husika pamoja na takukuru ili waweze kushughulikiwa
jambo la busara ilikuwa kuchukua ushahidi alionao na kuupeleka kwa rais
kama rais UNK ushahidi huo ndipo UNK na kueleza umma alidai profesa lipumba
profesa lipumba alidai bwana mengi anacheza karata ya ubaguzi wa rangi
kwa kutaja majina hayo anataka kuufanya umma wa watanzania uamini tatizo la ufisadi UNK na wahindi wachache
hii ni dhana potofu na ya hatari hasa ukizingatia baadhi ya wananchi wengi wana mashaka na uzalendo wa watanzania wenye asili ya UNK
anatumia vita dhidi ya ufisadi kupanda mbegu ya ubaguzi alisema profesa lipumba
alisisitiza maamuzi na kutowajibika ndani ya serikali ndiyo chanzo cha kuongezeka kwa rushwa na siyo wahindi wachache
UNK mbegu za ubaguzi wa rangi UNK na kuingia katika ubaguzi wa kidini na wa ukabila alisema profesa lipumba
akizungumzia utendaji kazi wa serikali ya rais kikwete alisema imeshindwa kuwatumikia watanzania kutokana na kukosekana uongozi madhubuti na utawala bora
alisema kwa hali hiyo ndio maana kila siku baadhi ya viongozi wamekuwa wakihusishwa na ka kashfa mbalimbali zikiwemo richmond na sakata la wizi wa akaunti ya madeni ya nje katika benki kuu ya tanzania uongozi wa rais kikwete na chama chake cha ccm umeshindwa baadhi ya watu UNK nchi kwa rushwa alisema
alisema kutokana na kukosekana uongozi bora rushwa UNK mifumo ya sekta ya elimu uchumi uwekezaji na maeneo mengine ya maendeleo
hali hiyo imesababisha watanzania kushindwa UNK matunda ya kukua kwa uchumi alisema
akitoa mfano wa kukosekana kwa uongozi bora alidai ndio uliochangia ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali kuingia mikataba mingi feki UNK taifa pabaya
alisema umefika wakati wa rais kikwete kujipanga na kuhakikisha kesi za rushwa UNK ipasavyo
pia alimtaka rais mstaafu benjamin mkapa kuwaomba radhi watanzania kwa sababu katika utawala wake ziliibuka tuhuma nyingi za ufisadi
juzi bwana mengi alikaririwa UNK na kauli za mawaziri UNK hatua yake ya kutangaza mafisadi papa
mimi UNK kwa mwenyezi mungu na kwa masikini watanzania UNK kwa sababu hajui UNK bwana mengi alikaririwa ajibu kauli ya waziri simba
asema alikuta wengine watatu wamelala chini
adai afande zombe alimtisha asiseme ukweli
UNK UNK tume ya jaji kipenka mshitakiwa wa kumi na mbili katika kesi ya mauaji ya wafanyabiashara watatu toka mahenge na dereva teksi wa jijini dar es salaam d elfu nne na mia sita na hamsini na sita pc rajabu bakari ameieleza mahakama kuu kanda ya dar es salaam kuwa alishuhudia pc saad UNK marehemu mmoja kati ya mare...
mshitakiwa huyo akiongozwa na wakili wake wa utetezi denis msafiri alieleza kuwa januari kumi na nne mwaka ishirini sifuri sita akiwa msitu wa pande alishuhudia pc saad ambaye alikimbia baada ya tukio UNK risasi marehemu mmoja kati ya wanne huku miili ya watu wengine watatu UNK ikiwa imelala chini
alieleza kuwa baada ya tukio la mauaji kumalizika miili ya marehemu ilichukuliwa na kupakizwa ndani ya gari aina ya landrover defender ambapo dereva pc james UNK na afande bageni kuipeleka miili hiyo katika hospitali ya taifa muhimbili
akielezea tukio hilo mshitakiwa rajabu alisema kuwa anakumbuka januari kumi na nne mwaka ishirini sifuri sita alikuwa katika kituo chake cha kazi polisi UNK na kupangiwa doria na mkuu wao wa kazi ambapo katika kundi lao walipangwa yeye na askari wenzake ambao ni saad na marehemu rashid UNK
alisema kuwa UNK kazi maeneo ya mwananyamala mikocheni na kinondoni ambapo yeye alipewa silaha aina ya bastola na wenzake walipewa bunduki aina ya smg ambapo pia walipewa usafiri wa gari aina ya UNK pajero ambayo namba zake alidai UNK na kuanza safari ya kwenda doria
alieleza kuwa baada ya kumaliza doria walirudi kituoni kwa ajili ya kwenda kutoa taarifa kwa mkuu wao wa kazi ambaye ni mshitakiwa namba mbili bagen lakini kabla ya kufika kwa bagen majira ya saa kumi na mbili jioni alikutana naye akiwa UNK ngazi kuelekea nje
alieleza kuwa baada ya kukutana na bagen kwenye ngazi na kabla UNK taarifa ya doria bagen alimwambia mshitakiwa huyo kuwa wapande kwenye gari kuelekea barabara ya sam nujoma
alisema kuwa haikuchukua muda bagen marehemu rashid na saad walipanda kwenye gari yao ambalo walirudi nalo toka kwenye doria na kuondoka kuelekea barabara ya sam nujoma
aliongeza kuwa wakiwa wanaelekea huko bagen aliwaambia kuwa kuna majambazi wamefanya uporaji wa kampuni ya bidco na walipofika sam nujoma UNK gari lori lililokuwa kati ya barabara pamoja na watu wanne
alisema kuwa walipokuwa wanakwenda kwenye tukio la kampuni ya bidco walipita barabara ya ali hassan mwinyi kinondoni UNK mwananyamala kisha wakatokea sinza na kuelekea barabara ya sam nujoma
mshitakiwa huyo UNK na wakili wake wake msafiri kama anawafahamu watu wanne aliowakuta pale kwenye tukio la UNK alikana kuwafahamu
mshitakiwa aliendelea kudai kuwa ndipo bagen alipoanza kuwahoji wale watu aliowakuta pale ambapo UNK kuwa wao ni wafanyakazi wa kampuni ya bidco na walitokea majambazi wanne na kuwatishia bastola kisha kuwapora milioni tano alidai kuwa baada ya bagen kuwahoji wale wafanyakazi wa bidco alimuona UNK pembeni huku akiwa a...
alisema wakati bagen akiwa anaendelea kuongea na simu lilifika gari la polisi la chuo kikuu likiwa na askari pamoja na watu wanne waliokuwa UNK chini pamoja na gari nyingine dogo aina ya saloon yenye rangi ya dark blue likifuatiwa na gari lingine saloon yenye rangi nyeupe
mshitakiwa huyo aliendelea kudai kuwa baada ya magari hayo kufika watu wanne waliokuwa kwenye gari la chuo kikuu walishushwa ambapo bagen aliwauliza wafanyakazi wa kampuni ya bidco kama UNK wale watu wanne waliokamatwa sinza
alidai kuwa dereva wa bidco alijibu kuwa anamfahamu mmoja kati ya wale wanne ambaye ndiye UNK pesa na baada ya muda ilifika gari aina ya defender yenye namba za usajili UNK elfu sita na mia tano na hamsini na tisa kutoka kituo cha polisi oysterbay likiwa na askari polisi wanne
mshitakiwa huyo aliwataja baadhi ya askari hao wanne waliofika na defender toka oysterbay kuwa ni pc UNK pc john na pc abubakar ambapo mshitakiwa wa pili bagen aliamuru wale waliokuwa kwenye pick up kushuka na kuingia kwenye UNK
alisema kuwa baada ya hapo magari yote UNK kuelekea ubungo ambapo walipofika ubungo dereva wa chuo kikuu aliamriwa kupeleka gari katika kituo cha polisi urafiki
rajab alisema kuwa gari aina ya UNK pamoja na defender ziliingia barabara ya morogoro kuelekea kimara ambapo kituo cha kwanza waliingia kituo cha mafuta kwa ajili ya kuweka mafuta
alisema baada ya kuweka mafuta waliondoka hadi kituo cha polisi mbezi luis ambapo bagen alishuka na kuingia kituoni na baada ya muda bagen alirudi akiwa ameongozana na askari ambaye alikuwa amevaa sare
alisema kuwa waliondoka kituo cha polisi mbezi louis kama wanaelekea mjini ambapo walipofika katika kituo cha daladala
wakili msafiri baada ya kutoka kituo cha polisi mbezi mlikwenda wapi
mshitakiwa UNK magari kama tunaelekea mjini na tukafika kwenye kituo cha daladala
wakili msafiri kituo gani mbezi au
mshitakiwa hapana sifahamu
wakili mlipofika hapo kiliendelea nini
mshitakiwa bagen alishuka na kuongea na simu yake ya mkononi
wakili msafiri bagen alikuwa anaongea maneno gani kwenye simu na UNK mazungumzo gani
mshitakiwa sifahamu
mshitakiwa aliendelea kudai kuwa wakati bagen akiendelea kuongea na simu alimuuliza yule askari aliyetoka kituo cha polisi mbezi luis kuwa anakwenda wapi ambapo yule askari alimjibu kuwa wanakwenda kupita UNK
alidai kuwa alimuuliza tena kwani kuna mtu yeyote UNK na alijibiwa kuwa hajui chochote
alidai kuwa baada ya bagen kumaliza kuongea na simu ghafla ilifika UNK nyingine ya polisi na wakati huo bagen alikuwa UNK yule askari wa kituo cha polisi mbezi luis kuwa wanaelekea wapi
alidai kuwa jibu hilo UNK kuwa wanaelekea msitu wa pande lakini mshitakiwa huyo hakuwa wazi kutaja msitu ambapo UNK kwa kusema kuwa walielekea sehemu ambapo mahakama ilienda kutembelea ambao ndio msitu wa pande
alisema kuwa walielekea hadi UNK nyumba na kuingia UNK
wakili wake mlipofika msituni nini kiliendelea
mshitakiwa askari aliyepandia kituo cha polisi mbezi alisema kuwa msitu huo una chui wengi sana
alisema baada ya kufika magari UNK lakini wakati huo giza lilikuwa tayari limekwisha ingia ndipo mshitakiwa wa pili bagen marehemu rashid lema pamoja na saad UNK
alisema kuwa yeye pamoja na askari wawili na yule aliyepandia UNK cha polisi mbezi luis UNK na wakati bagen UNK toka kwenye gari alimpa radio call iliyokuwa UNK
alidai kuwa baada ya kupokea radio call hiyo UNK na ndipo aliposikia tukio la ujambazi la kijitonyama
alisema kuwa wakati akisikiliza radio call baada ya dakika moja alisikia mlio wa risasi
wakili msafiri mlio wa bunduki zipi
mshitakiwa sifahamu
wakili msafiri baada ya kusikia mlio wa bunduki ilikuaje
mshitakiwa nilisogea hadi ilipokuwa defender na kumuona mtu mmoja kati ya wale wanne UNK ndani ya gari na kulala chini na ndipo saad UNK risasi
mshitakiwa aliendelea kusema kuwa tukio la watu hao kupigwa risasi UNK muda wa dakika moja kwani ni kazi iliyofanyika kwa haraka sana
wakili msafiri baada ya hapo nini kiliendelea
mshitakiwa baada ya yule mtu kupigwa risasi na saad pia niliona watu wengine watatu wakiwa wamelala chini
wakili msafiri unawafahamu watu waliopigwa risasi
mshitakiwa hapana wakili msafiri wale waliokuwa wamelala chini je walikuwa wamekufa au walikuwa katika hali gani
mshitakiwa walikuwa wamelala na kutulia kimya
mshitakiwa aliendelea kudai baada ya mauaji aliona miili ya marehemu UNK kwenye defender ambapo hakutaja ni kina nani UNK miili hiyo
alisema kuwa baada ya kupandisha miili kwenye gari nao waliingia kwenye pajero yao na kuanza safari ya kuelekea mjini ambapo walipokuwa njiani yule askari aliyepandia kituo cha polisi mbezi luis walimshusha kabla ya kufika barabara kuu ya morogoro huku akiwa amechanganyikiwa kutokana na tukio lililotokea pande
alisema kuwa bageni alimwambia pc james ambaye alikuwa dereva wa gari UNK miili ya marehemu kuwa apeleke miili hiyo hospitali ya muhimbili na james alifanya hivyo
alidai kuwa yeye na bagen walielekea kituo cha polisi urafiki ambapo bagen alishuka na kuingia ndani
wakili UNK UNK muda gani urafiki
mshitakiwa UNK
mshitakiwa alidai kuwa walipoondoka kituo cha polisi urafiki UNK kituo cha polisi oysterbay ambapo walishuka kwenye gari na kila mtu kuendelea na majukumu yake ambapo bagen aliwaambia kuwa anaenda kufungua faili kuhusu tukio zima
aliendelea kudai kuwa siku iliyofuata januari kumi na tano mwaka ishirini sifuri sita UNK silaha walizopewa jana yake ambapo yeye na mshitakiwa rashid waliondoka na kumuacha kituoni pc UNK
wakili msafiri sasa kuna tukio la kufyatua risasi je UNK na UNK kufyatuliwa wapi
mshitakiwa ndio zilifyatuliwa bunju
wakili msafiri zilifyatuliwa lini