Story_ID stringlengths 8 8 | context stringlengths 445 11k | question stringlengths 12 113 | answers dict |
|---|---|---|---|
3656_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI.
Siasa za migawanyiko hutokea pale mwanasiasa mmoja katika taifa huungwa mkono na wafuasi wengine na kukataliwa na wengine. Siasa hizi mara nyingi hutokea wakati wote wanapoelekea katika uchaguzi mkuu. Mara nyingi huwa na madhara mengi katika jamii na nchi yote kwa ujumla... | Siasa za mgawanyiko hutokea wakati wa uchaguzi upi | {
"text": [
"mkuu"
]
} |
3656_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI.
Siasa za migawanyiko hutokea pale mwanasiasa mmoja katika taifa huungwa mkono na wafuasi wengine na kukataliwa na wengine. Siasa hizi mara nyingi hutokea wakati wote wanapoelekea katika uchaguzi mkuu. Mara nyingi huwa na madhara mengi katika jamii na nchi yote kwa ujumla... | Siasa za migawanyiko husababisha nini miongoni mwa wanajamii | {
"text": [
"chuki"
]
} |
3656_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI.
Siasa za migawanyiko hutokea pale mwanasiasa mmoja katika taifa huungwa mkono na wafuasi wengine na kukataliwa na wengine. Siasa hizi mara nyingi hutokea wakati wote wanapoelekea katika uchaguzi mkuu. Mara nyingi huwa na madhara mengi katika jamii na nchi yote kwa ujumla... | Siasa za migawanyiko husababisha vifo kwa nani | {
"text": [
"Binadamu"
]
} |
3656_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI.
Siasa za migawanyiko hutokea pale mwanasiasa mmoja katika taifa huungwa mkono na wafuasi wengine na kukataliwa na wengine. Siasa hizi mara nyingi hutokea wakati wote wanapoelekea katika uchaguzi mkuu. Mara nyingi huwa na madhara mengi katika jamii na nchi yote kwa ujumla... | Migawanyiko wa kisiasa husababisha maendeleo yapi | {
"text": [
"Duni"
]
} |
3656_swa | SIASA ZA MIGAWANYIKO NA ATHARI YAKE KWA NCHI.
Siasa za migawanyiko hutokea pale mwanasiasa mmoja katika taifa huungwa mkono na wafuasi wengine na kukataliwa na wengine. Siasa hizi mara nyingi hutokea wakati wote wanapoelekea katika uchaguzi mkuu. Mara nyingi huwa na madhara mengi katika jamii na nchi yote kwa ujumla... | Kwa nini siasa za migawanyiko husabisha kudorora kwa uchumi | {
"text": [
"Vita husababisha uharibifu wa mali"
]
} |
3667_swa | HATUA ZINAZOWEZA KUCHUKULIWA KUKABILIANA NA UMASKINI.
Umaskini ameduwaza maendeleo nchini na hivyo yafaa sisi humu wananchi kutafuta njia mwafaka kuondoa umaskini miongoni mwetu.
Jambo la kwanza la kuondoa umaskini ni kuimiza upangaji uzazi. Kulingana na utafiti uliofanywa, ni dhahiri shairi kuwa wazazi ambao ni mas... | Upangaji uzazi huondoa nini | {
"text": [
"Umaskini"
]
} |
3667_swa | HATUA ZINAZOWEZA KUCHUKULIWA KUKABILIANA NA UMASKINI.
Umaskini ameduwaza maendeleo nchini na hivyo yafaa sisi humu wananchi kutafuta njia mwafaka kuondoa umaskini miongoni mwetu.
Jambo la kwanza la kuondoa umaskini ni kuimiza upangaji uzazi. Kulingana na utafiti uliofanywa, ni dhahiri shairi kuwa wazazi ambao ni mas... | Serikali itawapa nini wakulima wasiojiweza | {
"text": [
"Mikopo"
]
} |
3667_swa | HATUA ZINAZOWEZA KUCHUKULIWA KUKABILIANA NA UMASKINI.
Umaskini ameduwaza maendeleo nchini na hivyo yafaa sisi humu wananchi kutafuta njia mwafaka kuondoa umaskini miongoni mwetu.
Jambo la kwanza la kuondoa umaskini ni kuimiza upangaji uzazi. Kulingana na utafiti uliofanywa, ni dhahiri shairi kuwa wazazi ambao ni mas... | Wafanyikazi hupewa nini kulingana na gharama ya maisha | {
"text": [
"Mishahara"
]
} |
3667_swa | HATUA ZINAZOWEZA KUCHUKULIWA KUKABILIANA NA UMASKINI.
Umaskini ameduwaza maendeleo nchini na hivyo yafaa sisi humu wananchi kutafuta njia mwafaka kuondoa umaskini miongoni mwetu.
Jambo la kwanza la kuondoa umaskini ni kuimiza upangaji uzazi. Kulingana na utafiti uliofanywa, ni dhahiri shairi kuwa wazazi ambao ni mas... | Serikali itajenga nini mashinani | {
"text": [
"Viwanda"
]
} |
3667_swa | HATUA ZINAZOWEZA KUCHUKULIWA KUKABILIANA NA UMASKINI.
Umaskini ameduwaza maendeleo nchini na hivyo yafaa sisi humu wananchi kutafuta njia mwafaka kuondoa umaskini miongoni mwetu.
Jambo la kwanza la kuondoa umaskini ni kuimiza upangaji uzazi. Kulingana na utafiti uliofanywa, ni dhahiri shairi kuwa wazazi ambao ni mas... | Ni vipi uwekezaji utaimarishwa | {
"text": [
"Kwa mikopo na nafasi ya kufanyia kazi"
]
} |
3667_swa | HATUA ZINAZOWEZA KUCHUKULIWA KUKABILIANA NA UMASKINI.
Umaskini ameduwaza maendeleo nchini na hivyo yafaa sisi humu wananchi kutafuta njia mwafaka kuondoa umaskini miongoni mwetu.
Jambo la kwanza la kuondoa umaskini ni kuimiza upangaji uzazi. Kulingana na utafiti uliofanywa, ni dhahiri shairi kuwa wazazi ambao ni mas... | Ni nini imeduwaza maendeleo | {
"text": [
"Umaskini"
]
} |
3667_swa | HATUA ZINAZOWEZA KUCHUKULIWA KUKABILIANA NA UMASKINI.
Umaskini ameduwaza maendeleo nchini na hivyo yafaa sisi humu wananchi kutafuta njia mwafaka kuondoa umaskini miongoni mwetu.
Jambo la kwanza la kuondoa umaskini ni kuimiza upangaji uzazi. Kulingana na utafiti uliofanywa, ni dhahiri shairi kuwa wazazi ambao ni mas... | Ili kumaliza umaskini watu wanafaa kupanga nini | {
"text": [
"Uzazi"
]
} |
3667_swa | HATUA ZINAZOWEZA KUCHUKULIWA KUKABILIANA NA UMASKINI.
Umaskini ameduwaza maendeleo nchini na hivyo yafaa sisi humu wananchi kutafuta njia mwafaka kuondoa umaskini miongoni mwetu.
Jambo la kwanza la kuondoa umaskini ni kuimiza upangaji uzazi. Kulingana na utafiti uliofanywa, ni dhahiri shairi kuwa wazazi ambao ni mas... | Wafanyi kazi wanafa kupewa nin | {
"text": [
"Mshahara"
]
} |
3667_swa | HATUA ZINAZOWEZA KUCHUKULIWA KUKABILIANA NA UMASKINI.
Umaskini ameduwaza maendeleo nchini na hivyo yafaa sisi humu wananchi kutafuta njia mwafaka kuondoa umaskini miongoni mwetu.
Jambo la kwanza la kuondoa umaskini ni kuimiza upangaji uzazi. Kulingana na utafiti uliofanywa, ni dhahiri shairi kuwa wazazi ambao ni mas... | Serikali hubuni nafasi za kazi kwa kujenga nini | {
"text": [
"viwanda"
]
} |
3667_swa | HATUA ZINAZOWEZA KUCHUKULIWA KUKABILIANA NA UMASKINI.
Umaskini ameduwaza maendeleo nchini na hivyo yafaa sisi humu wananchi kutafuta njia mwafaka kuondoa umaskini miongoni mwetu.
Jambo la kwanza la kuondoa umaskini ni kuimiza upangaji uzazi. Kulingana na utafiti uliofanywa, ni dhahiri shairi kuwa wazazi ambao ni mas... | Kwa nini serikali ipunguze ukopaji wa mikopo | {
"text": [
"Hufanya nchi kutegemea nchi ambazo zimeendelea"
]
} |
3813_swa | TEKNOLOJIA YA KISASA NA MANUFAA YAKE
Teknolojia tangu upataji wa uhuru umerahisishwa kwa asilimia zaidi ya hamsini. Teknolojia mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na kumi na nane ndipo ilianza kuimarishwa. Kwa sasa, teknologia imeimarishwa na inasaidia binadamu kwa njia nyingi mno.
Ukuzaji wa simu ya mkononi, inavyojulik... | Tekinolojia imeimarika kwa asilimia gani | {
"text": [
"Hamsini"
]
} |
3813_swa | TEKNOLOJIA YA KISASA NA MANUFAA YAKE
Teknolojia tangu upataji wa uhuru umerahisishwa kwa asilimia zaidi ya hamsini. Teknolojia mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na kumi na nane ndipo ilianza kuimarishwa. Kwa sasa, teknologia imeimarishwa na inasaidia binadamu kwa njia nyingi mno.
Ukuzaji wa simu ya mkononi, inavyojulik... | Ni nini imesaidia kufikisha ujumbe katika miatandao ya kijamii | {
"text": [
"Simu"
]
} |
3813_swa | TEKNOLOJIA YA KISASA NA MANUFAA YAKE
Teknolojia tangu upataji wa uhuru umerahisishwa kwa asilimia zaidi ya hamsini. Teknolojia mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na kumi na nane ndipo ilianza kuimarishwa. Kwa sasa, teknologia imeimarishwa na inasaidia binadamu kwa njia nyingi mno.
Ukuzaji wa simu ya mkononi, inavyojulik... | Ni nini imesaidia kuimarika kwa viwanda | {
"text": [
"Tekinolojia"
]
} |
3813_swa | TEKNOLOJIA YA KISASA NA MANUFAA YAKE
Teknolojia tangu upataji wa uhuru umerahisishwa kwa asilimia zaidi ya hamsini. Teknolojia mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na kumi na nane ndipo ilianza kuimarishwa. Kwa sasa, teknologia imeimarishwa na inasaidia binadamu kwa njia nyingi mno.
Ukuzaji wa simu ya mkononi, inavyojulik... | Umeme umesaidia vipi | {
"text": [
"Katika viwanda na mwangaza"
]
} |
3813_swa | TEKNOLOJIA YA KISASA NA MANUFAA YAKE
Teknolojia tangu upataji wa uhuru umerahisishwa kwa asilimia zaidi ya hamsini. Teknolojia mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na kumi na nane ndipo ilianza kuimarishwa. Kwa sasa, teknologia imeimarishwa na inasaidia binadamu kwa njia nyingi mno.
Ukuzaji wa simu ya mkononi, inavyojulik... | Ni vipi habari itafikia watu wengi | {
"text": [
"Kupitia runinga na redio"
]
} |
3813_swa | TEKNOLOJIA YA KISASA NA MANUFAA YAKE
Teknolojia tangu upataji wa uhuru umerahisishwa kwa asilimia zaidi ya hamsini. Teknolojia mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na kumi na nane ndipo ilianza kuimarishwa. Kwa sasa, teknologia imeimarishwa na inasaidia binadamu kwa njia nyingi mno.
Ukuzaji wa simu ya mkononi, inavyojulik... | Ni nini imeimarishwa na inasaidia binadamu kwa njia nyingi mno | {
"text": [
"Tekinolojia"
]
} |
3813_swa | TEKNOLOJIA YA KISASA NA MANUFAA YAKE
Teknolojia tangu upataji wa uhuru umerahisishwa kwa asilimia zaidi ya hamsini. Teknolojia mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na kumi na nane ndipo ilianza kuimarishwa. Kwa sasa, teknologia imeimarishwa na inasaidia binadamu kwa njia nyingi mno.
Ukuzaji wa simu ya mkononi, inavyojulik... | Ni nini imerahisisha mawasiliano | {
"text": [
"Rununu"
]
} |
3813_swa | TEKNOLOJIA YA KISASA NA MANUFAA YAKE
Teknolojia tangu upataji wa uhuru umerahisishwa kwa asilimia zaidi ya hamsini. Teknolojia mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na kumi na nane ndipo ilianza kuimarishwa. Kwa sasa, teknologia imeimarishwa na inasaidia binadamu kwa njia nyingi mno.
Ukuzaji wa simu ya mkononi, inavyojulik... | Tekinolojia imesaidia kutengeneza nguvu za nini | {
"text": [
"Umeme"
]
} |
3813_swa | TEKNOLOJIA YA KISASA NA MANUFAA YAKE
Teknolojia tangu upataji wa uhuru umerahisishwa kwa asilimia zaidi ya hamsini. Teknolojia mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na kumi na nane ndipo ilianza kuimarishwa. Kwa sasa, teknologia imeimarishwa na inasaidia binadamu kwa njia nyingi mno.
Ukuzaji wa simu ya mkononi, inavyojulik... | Tekinolojia imesaidia kukuza nafasi za nini | {
"text": [
"Kazi"
]
} |
3813_swa | TEKNOLOJIA YA KISASA NA MANUFAA YAKE
Teknolojia tangu upataji wa uhuru umerahisishwa kwa asilimia zaidi ya hamsini. Teknolojia mwanzoni mwa miaka ya elfu moja na kumi na nane ndipo ilianza kuimarishwa. Kwa sasa, teknologia imeimarishwa na inasaidia binadamu kwa njia nyingi mno.
Ukuzaji wa simu ya mkononi, inavyojulik... | Kwa nini tekinolojia ni muhimu katika kuimarisha maisha ya watu | {
"text": [
"Kwa vile imepunguza umaskini kwa asilimia kubwa sana"
]
} |
3819_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Ili nchi kuimarika kiuchumi, lazima biashara inayozalisha matokeo mazuri iwe katika jamii. Kila biashara inahitaji mambo inayoimarika ili kuenda vizuri kuimarisha uchumi. Kati ya njia hii ni kama hukuluji wa masomo shuleni, uiimarishaji wa barabara, ubunifu wa teknolojia mpya, k... | Somo la biashara linafaa kuimarishwa wapii | {
"text": [
"Shuleni"
]
} |
3819_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Ili nchi kuimarika kiuchumi, lazima biashara inayozalisha matokeo mazuri iwe katika jamii. Kila biashara inahitaji mambo inayoimarika ili kuenda vizuri kuimarisha uchumi. Kati ya njia hii ni kama hukuluji wa masomo shuleni, uiimarishaji wa barabara, ubunifu wa teknolojia mpya, k... | Ubunifu wa tekinolojia mpya unatoka wapi | {
"text": [
"Ughaibuni"
]
} |
3819_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Ili nchi kuimarika kiuchumi, lazima biashara inayozalisha matokeo mazuri iwe katika jamii. Kila biashara inahitaji mambo inayoimarika ili kuenda vizuri kuimarisha uchumi. Kati ya njia hii ni kama hukuluji wa masomo shuleni, uiimarishaji wa barabara, ubunifu wa teknolojia mpya, k... | Viwanda vinafaa kujenjwa karibu na nini | {
"text": [
"Raslimali"
]
} |
3819_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Ili nchi kuimarika kiuchumi, lazima biashara inayozalisha matokeo mazuri iwe katika jamii. Kila biashara inahitaji mambo inayoimarika ili kuenda vizuri kuimarisha uchumi. Kati ya njia hii ni kama hukuluji wa masomo shuleni, uiimarishaji wa barabara, ubunifu wa teknolojia mpya, k... | Nguvu za umeme zinafaa kuimarishwa wapi | {
"text": [
"vijijini"
]
} |
3819_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Ili nchi kuimarika kiuchumi, lazima biashara inayozalisha matokeo mazuri iwe katika jamii. Kila biashara inahitaji mambo inayoimarika ili kuenda vizuri kuimarisha uchumi. Kati ya njia hii ni kama hukuluji wa masomo shuleni, uiimarishaji wa barabara, ubunifu wa teknolojia mpya, k... | Ni nini wajibu wa serikali | {
"text": [
"Kutumia raslimali na kudumisha biashara"
]
} |
3819_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Ili nchi kuimarika kiuchumi, lazima biashara inayozalisha matokeo mazuri iwe katika jamii. Kila biashara inahitaji mambo inayoimarika ili kuenda vizuri kuimarisha uchumi. Kati ya njia hii ni kama hukuluji wa masomo shuleni, uiimarishaji wa barabara, ubunifu wa teknolojia mpya, k... | Ni somo lipi lafaa kuimarishwa | {
"text": [
"Biashara"
]
} |
3819_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Ili nchi kuimarika kiuchumi, lazima biashara inayozalisha matokeo mazuri iwe katika jamii. Kila biashara inahitaji mambo inayoimarika ili kuenda vizuri kuimarisha uchumi. Kati ya njia hii ni kama hukuluji wa masomo shuleni, uiimarishaji wa barabara, ubunifu wa teknolojia mpya, k... | Ni nini zinafaa kujengwa kikamilifu | {
"text": [
"Barabara"
]
} |
3819_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Ili nchi kuimarika kiuchumi, lazima biashara inayozalisha matokeo mazuri iwe katika jamii. Kila biashara inahitaji mambo inayoimarika ili kuenda vizuri kuimarisha uchumi. Kati ya njia hii ni kama hukuluji wa masomo shuleni, uiimarishaji wa barabara, ubunifu wa teknolojia mpya, k... | Ubunifu wa nini kutoka ughaibuni utasaidia sana | {
"text": [
"Tekinolojia"
]
} |
3819_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Ili nchi kuimarika kiuchumi, lazima biashara inayozalisha matokeo mazuri iwe katika jamii. Kila biashara inahitaji mambo inayoimarika ili kuenda vizuri kuimarisha uchumi. Kati ya njia hii ni kama hukuluji wa masomo shuleni, uiimarishaji wa barabara, ubunifu wa teknolojia mpya, k... | Viwanda vinafaa kujengwa karibu na nini | {
"text": [
"Raslimali"
]
} |
3819_swa | NJIA ZA KUIMARISHA BIASHARA NCHINI KENYA
Ili nchi kuimarika kiuchumi, lazima biashara inayozalisha matokeo mazuri iwe katika jamii. Kila biashara inahitaji mambo inayoimarika ili kuenda vizuri kuimarisha uchumi. Kati ya njia hii ni kama hukuluji wa masomo shuleni, uiimarishaji wa barabara, ubunifu wa teknolojia mpya, k... | Kwa nini nguvu za umeme zinafaa kuimarishwa | {
"text": [
"Kwa vile zitatumika katika kuunda bidhaa"
]
} |
3821_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA MIHADARATI
“Mwalimu mkuu, Bw. Kaizari Kagota, Naibu yake Bw. Mwangozi Kioko, wakuu wa idara, waalimu kwa ujumla, na wanafunzi wenzangu Salaam aleikum? Nataka kuwashukuru nyote kwa kusanyika katika gwaride hili kwani leo kuwa wikendi mmeacha kazi zenu nyote ili kujikusanya hapa ili tusemezane wot... | Amepewa fursa hio na nani | {
"text": [
"Mkuu wa idara"
]
} |
3821_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA MIHADARATI
“Mwalimu mkuu, Bw. Kaizari Kagota, Naibu yake Bw. Mwangozi Kioko, wakuu wa idara, waalimu kwa ujumla, na wanafunzi wenzangu Salaam aleikum? Nataka kuwashukuru nyote kwa kusanyika katika gwaride hili kwani leo kuwa wikendi mmeacha kazi zenu nyote ili kujikusanya hapa ili tusemezane wot... | Mihandarati husababisha ugonjwa gani | {
"text": [
"Saratani"
]
} |
3821_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA MIHADARATI
“Mwalimu mkuu, Bw. Kaizari Kagota, Naibu yake Bw. Mwangozi Kioko, wakuu wa idara, waalimu kwa ujumla, na wanafunzi wenzangu Salaam aleikum? Nataka kuwashukuru nyote kwa kusanyika katika gwaride hili kwani leo kuwa wikendi mmeacha kazi zenu nyote ili kujikusanya hapa ili tusemezane wot... | Ni nini hufanya mtu kuacha kuendelea na masomo | {
"text": [
"Mihandarati"
]
} |
3821_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA MIHADARATI
“Mwalimu mkuu, Bw. Kaizari Kagota, Naibu yake Bw. Mwangozi Kioko, wakuu wa idara, waalimu kwa ujumla, na wanafunzi wenzangu Salaam aleikum? Nataka kuwashukuru nyote kwa kusanyika katika gwaride hili kwani leo kuwa wikendi mmeacha kazi zenu nyote ili kujikusanya hapa ili tusemezane wot... | Vijana wanauawa kwa sababu gani | {
"text": [
"Wizi"
]
} |
3821_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA MIHADARATI
“Mwalimu mkuu, Bw. Kaizari Kagota, Naibu yake Bw. Mwangozi Kioko, wakuu wa idara, waalimu kwa ujumla, na wanafunzi wenzangu Salaam aleikum? Nataka kuwashukuru nyote kwa kusanyika katika gwaride hili kwani leo kuwa wikendi mmeacha kazi zenu nyote ili kujikusanya hapa ili tusemezane wot... | Nyangumi angeepuka wazimu kwa njia ipi | {
"text": [
"Kwa kuacha mihandarati"
]
} |
3821_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA MIHADARATI
“Mwalimu mkuu, Bw. Kaizari Kagota, Naibu yake Bw. Mwangozi Kioko, wakuu wa idara, waalimu kwa ujumla, na wanafunzi wenzangu Salaam aleikum? Nataka kuwashukuru nyote kwa kusanyika katika gwaride hili kwani leo kuwa wikendi mmeacha kazi zenu nyote ili kujikusanya hapa ili tusemezane wot... | Ni gani jina la mwalimu mkuu | {
"text": [
"Bw. Kaizari"
]
} |
3821_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA MIHADARATI
“Mwalimu mkuu, Bw. Kaizari Kagota, Naibu yake Bw. Mwangozi Kioko, wakuu wa idara, waalimu kwa ujumla, na wanafunzi wenzangu Salaam aleikum? Nataka kuwashukuru nyote kwa kusanyika katika gwaride hili kwani leo kuwa wikendi mmeacha kazi zenu nyote ili kujikusanya hapa ili tusemezane wot... | Ni nini haisaidii hata kidogo | {
"text": [
"Mihadarati"
]
} |
3821_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA MIHADARATI
“Mwalimu mkuu, Bw. Kaizari Kagota, Naibu yake Bw. Mwangozi Kioko, wakuu wa idara, waalimu kwa ujumla, na wanafunzi wenzangu Salaam aleikum? Nataka kuwashukuru nyote kwa kusanyika katika gwaride hili kwani leo kuwa wikendi mmeacha kazi zenu nyote ili kujikusanya hapa ili tusemezane wot... | Ni kina nani wanafaa kuelekezana | {
"text": [
"Vijana"
]
} |
3821_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA MIHADARATI
“Mwalimu mkuu, Bw. Kaizari Kagota, Naibu yake Bw. Mwangozi Kioko, wakuu wa idara, waalimu kwa ujumla, na wanafunzi wenzangu Salaam aleikum? Nataka kuwashukuru nyote kwa kusanyika katika gwaride hili kwani leo kuwa wikendi mmeacha kazi zenu nyote ili kujikusanya hapa ili tusemezane wot... | Nani aliaga dunia kabla siku zake | {
"text": [
"mtoto"
]
} |
3821_swa | HOTUBA KUHUSU ATHARI ZA MIHADARATI
“Mwalimu mkuu, Bw. Kaizari Kagota, Naibu yake Bw. Mwangozi Kioko, wakuu wa idara, waalimu kwa ujumla, na wanafunzi wenzangu Salaam aleikum? Nataka kuwashukuru nyote kwa kusanyika katika gwaride hili kwani leo kuwa wikendi mmeacha kazi zenu nyote ili kujikusanya hapa ili tusemezane wot... | Kwa nini Nyangumi amekuwa wazimu | {
"text": [
"Alianza kutumia mihadarati akiwa na umri mdogo"
]
} |
3826_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ni ufugaji wa wanyama na mimea. Katika nchi ya Kenya wakaazi wengi ni wakulima ambao hufuga wanyama na kupanda mimea mbalimbali. Mimea hii ni kama vile maua, mikahawa, majani chai na pamba. Pia katika ufugaji wa wanyama kuna ng’ombe, mbuzi, ufugaji wa nyuki, kuku na hata samaki.
K... | Faida ya kilimo kwa vijana ni kipi? | {
"text": [
"Ajira"
]
} |
3826_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ni ufugaji wa wanyama na mimea. Katika nchi ya Kenya wakaazi wengi ni wakulima ambao hufuga wanyama na kupanda mimea mbalimbali. Mimea hii ni kama vile maua, mikahawa, majani chai na pamba. Pia katika ufugaji wa wanyama kuna ng’ombe, mbuzi, ufugaji wa nyuki, kuku na hata samaki.
K... | Ngozi ya wanyama hutumika kutengeneza nini? | {
"text": [
"Nguo"
]
} |
3826_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ni ufugaji wa wanyama na mimea. Katika nchi ya Kenya wakaazi wengi ni wakulima ambao hufuga wanyama na kupanda mimea mbalimbali. Mimea hii ni kama vile maua, mikahawa, majani chai na pamba. Pia katika ufugaji wa wanyama kuna ng’ombe, mbuzi, ufugaji wa nyuki, kuku na hata samaki.
K... | Mazao ya matunda hutumika kutengenza nini? | {
"text": [
"Sharubati"
]
} |
3826_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ni ufugaji wa wanyama na mimea. Katika nchi ya Kenya wakaazi wengi ni wakulima ambao hufuga wanyama na kupanda mimea mbalimbali. Mimea hii ni kama vile maua, mikahawa, majani chai na pamba. Pia katika ufugaji wa wanyama kuna ng’ombe, mbuzi, ufugaji wa nyuki, kuku na hata samaki.
K... | Serikali hunufaika na nini kupitia kilimo? | {
"text": [
"Ushuru"
]
} |
3826_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ni ufugaji wa wanyama na mimea. Katika nchi ya Kenya wakaazi wengi ni wakulima ambao hufuga wanyama na kupanda mimea mbalimbali. Mimea hii ni kama vile maua, mikahawa, majani chai na pamba. Pia katika ufugaji wa wanyama kuna ng’ombe, mbuzi, ufugaji wa nyuki, kuku na hata samaki.
K... | Mkulima hufaidika na nini kutokana na ukulima? | {
"text": [
"Pesa kwa matumizi yake"
]
} |
3826_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ni ufugaji wa wanyama na mimea. Katika nchi ya Kenya wakaazi wengi ni wakulima ambao hufuga wanyama na kupanda mimea mbalimbali. Mimea hii ni kama vile maua, mikahawa, majani chai na pamba. Pia katika ufugaji wa wanyama kuna ng’ombe, mbuzi, ufugaji wa nyuki, kuku na hata samaki.
K... | Bidhaa zipi husafirishwa nje ya nchi kutokana na kilimo? | {
"text": [
"Chai"
]
} |
3826_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ni ufugaji wa wanyama na mimea. Katika nchi ya Kenya wakaazi wengi ni wakulima ambao hufuga wanyama na kupanda mimea mbalimbali. Mimea hii ni kama vile maua, mikahawa, majani chai na pamba. Pia katika ufugaji wa wanyama kuna ng’ombe, mbuzi, ufugaji wa nyuki, kuku na hata samaki.
K... | Serikali hufaidika vipi kupitia kilimo? | {
"text": [
"Ushuru"
]
} |
3826_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ni ufugaji wa wanyama na mimea. Katika nchi ya Kenya wakaazi wengi ni wakulima ambao hufuga wanyama na kupanda mimea mbalimbali. Mimea hii ni kama vile maua, mikahawa, majani chai na pamba. Pia katika ufugaji wa wanyama kuna ng’ombe, mbuzi, ufugaji wa nyuki, kuku na hata samaki.
K... | Viwanda vya kutengeneza sharibati huhitaji nini? | {
"text": [
"Matunda"
]
} |
3826_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ni ufugaji wa wanyama na mimea. Katika nchi ya Kenya wakaazi wengi ni wakulima ambao hufuga wanyama na kupanda mimea mbalimbali. Mimea hii ni kama vile maua, mikahawa, majani chai na pamba. Pia katika ufugaji wa wanyama kuna ng’ombe, mbuzi, ufugaji wa nyuki, kuku na hata samaki.
K... | Nchi hufaidika kupitia kilimo kwa kuongezeka kwa? | {
"text": [
"Chakula"
]
} |
3826_swa | MANUFAA YA KILIMO NCHINI KENYA
Kilimo ni ufugaji wa wanyama na mimea. Katika nchi ya Kenya wakaazi wengi ni wakulima ambao hufuga wanyama na kupanda mimea mbalimbali. Mimea hii ni kama vile maua, mikahawa, majani chai na pamba. Pia katika ufugaji wa wanyama kuna ng’ombe, mbuzi, ufugaji wa nyuki, kuku na hata samaki.
K... | Vijana wamesidika kupitia kilimo kwa kupata nafasi zipi? | {
"text": [
"Ajira"
]
} |
3837_swa | ?OTUBA
MADA : MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA KWA WANAFUNZI/VIJANA
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo nyote? Ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru nyote mliojitahidi kufika hapo siku ya leo. Chambilecho wahenga mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo. Nina furaha furi furi kama ... | Dawa za kulevya huadhiri nini | {
"text": [
"Afya"
]
} |
3837_swa | ?OTUBA
MADA : MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA KWA WANAFUNZI/VIJANA
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo nyote? Ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru nyote mliojitahidi kufika hapo siku ya leo. Chambilecho wahenga mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo. Nina furaha furi furi kama ... | Vijana wameambukizwa ugonjwa upi | {
"text": [
"ukimwi"
]
} |
3837_swa | ?OTUBA
MADA : MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA KWA WANAFUNZI/VIJANA
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo nyote? Ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru nyote mliojitahidi kufika hapo siku ya leo. Chambilecho wahenga mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo. Nina furaha furi furi kama ... | madhara ya dawa ya kulevya ni gani | {
"text": [
"ugomvi"
]
} |
3837_swa | ?OTUBA
MADA : MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA KWA WANAFUNZI/VIJANA
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo nyote? Ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru nyote mliojitahidi kufika hapo siku ya leo. Chambilecho wahenga mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo. Nina furaha furi furi kama ... | Wazazi wataambiwa nini | {
"text": [
"wasiwachilie watoto wao"
]
} |
3837_swa | ?OTUBA
MADA : MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA KWA WANAFUNZI/VIJANA
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo nyote? Ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru nyote mliojitahidi kufika hapo siku ya leo. Chambilecho wahenga mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo. Nina furaha furi furi kama ... | Kwa nini vijana wanaacha shule | {
"text": [
"Kwa sababu ya dawa za kulevya"
]
} |
3837_swa | ?OTUBA
MADA : MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA KWA WANAFUNZI/VIJANA
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo nyote? Ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru nyote mliojitahidi kufika hapo siku ya leo. Chambilecho wahenga mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo. Nina furaha furi furi kama ... | Nani walisema hayawi hayawi huwa | {
"text": [
"Babu"
]
} |
3837_swa | ?OTUBA
MADA : MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA KWA WANAFUNZI/VIJANA
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo nyote? Ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru nyote mliojitahidi kufika hapo siku ya leo. Chambilecho wahenga mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo. Nina furaha furi furi kama ... | Ni dawa gani huadhiri afya na mawazo | {
"text": [
"Kulevya"
]
} |
3837_swa | ?OTUBA
MADA : MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA KWA WANAFUNZI/VIJANA
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo nyote? Ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru nyote mliojitahidi kufika hapo siku ya leo. Chambilecho wahenga mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo. Nina furaha furi furi kama ... | Nani wamewachilia watoto | {
"text": [
"Wazazi"
]
} |
3837_swa | ?OTUBA
MADA : MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA KWA WANAFUNZI/VIJANA
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo nyote? Ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru nyote mliojitahidi kufika hapo siku ya leo. Chambilecho wahenga mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo. Nina furaha furi furi kama ... | Uvutaji wa nini huleta saratani ya mapafu | {
"text": [
"sigara"
]
} |
3837_swa | ?OTUBA
MADA : MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA KWA WANAFUNZI/VIJANA
"Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo nyote? Ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru nyote mliojitahidi kufika hapo siku ya leo. Chambilecho wahenga mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo. Nina furaha furi furi kama ... | Kwa nini wazazi wasiwatume watoto dawa za kulevya | {
"text": [
"Watoto huoja mabaki ya dawa hizo"
]
} |
4720_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa wazi penye watu wengi ambapo watu huchuuza bidhaa tofauti tofauti. Siku moja mama yangu alliniahidi kuwa tutaenda naye sokoni. Siku hiyo nilikuwa nimeingoja kwa hamu na gamu. Ilikua siku ya Jumamosi na kiangazi kilikuwa kali sana.
Nilianza siku kwa kuoga mwili kwa maji yaliyokuwa baridi ... | Ni wapi mahali wazi penye watu wengi | {
"text": [
"Soko"
]
} |
4720_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa wazi penye watu wengi ambapo watu huchuuza bidhaa tofauti tofauti. Siku moja mama yangu alliniahidi kuwa tutaenda naye sokoni. Siku hiyo nilikuwa nimeingoja kwa hamu na gamu. Ilikua siku ya Jumamosi na kiangazi kilikuwa kali sana.
Nilianza siku kwa kuoga mwili kwa maji yaliyokuwa baridi ... | Aliingia bafu kuoga na maji yalikuwa baridi vipi | {
"text": [
"Shadidi"
]
} |
4720_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa wazi penye watu wengi ambapo watu huchuuza bidhaa tofauti tofauti. Siku moja mama yangu alliniahidi kuwa tutaenda naye sokoni. Siku hiyo nilikuwa nimeingoja kwa hamu na gamu. Ilikua siku ya Jumamosi na kiangazi kilikuwa kali sana.
Nilianza siku kwa kuoga mwili kwa maji yaliyokuwa baridi ... | Msichana aliyemjongelea alitembea kwa maringo kama nini | {
"text": [
"Tausi"
]
} |
4720_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa wazi penye watu wengi ambapo watu huchuuza bidhaa tofauti tofauti. Siku moja mama yangu alliniahidi kuwa tutaenda naye sokoni. Siku hiyo nilikuwa nimeingoja kwa hamu na gamu. Ilikua siku ya Jumamosi na kiangazi kilikuwa kali sana.
Nilianza siku kwa kuoga mwili kwa maji yaliyokuwa baridi ... | Kijana aliyeuwawa alipigwa nini | {
"text": [
"Risasi"
]
} |
4720_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa wazi penye watu wengi ambapo watu huchuuza bidhaa tofauti tofauti. Siku moja mama yangu alliniahidi kuwa tutaenda naye sokoni. Siku hiyo nilikuwa nimeingoja kwa hamu na gamu. Ilikua siku ya Jumamosi na kiangazi kilikuwa kali sana.
Nilianza siku kwa kuoga mwili kwa maji yaliyokuwa baridi ... | Mama yake aliacha kifunguo ndani ya wapi | {
"text": [
"Nyumba"
]
} |
4720_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa wazi penye watu wengi ambapo watu huchuuza bidhaa tofauti tofauti. Siku moja mama yangu alliniahidi kuwa tutaenda naye sokoni. Siku hiyo nilikuwa nimeingoja kwa hamu na gamu. Ilikua siku ya Jumamosi na kiangazi kilikuwa kali sana.
Nilianza siku kwa kuoga mwili kwa maji yaliyokuwa baridi ... | Ni nini mahali pa wazi penye watu wengi | {
"text": [
"Soko"
]
} |
4720_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa wazi penye watu wengi ambapo watu huchuuza bidhaa tofauti tofauti. Siku moja mama yangu alliniahidi kuwa tutaenda naye sokoni. Siku hiyo nilikuwa nimeingoja kwa hamu na gamu. Ilikua siku ya Jumamosi na kiangazi kilikuwa kali sana.
Nilianza siku kwa kuoga mwili kwa maji yaliyokuwa baridi ... | Ni nani alifanya tupige makofi kwa mavazi yake | {
"text": [
"Mama"
]
} |
4720_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa wazi penye watu wengi ambapo watu huchuuza bidhaa tofauti tofauti. Siku moja mama yangu alliniahidi kuwa tutaenda naye sokoni. Siku hiyo nilikuwa nimeingoja kwa hamu na gamu. Ilikua siku ya Jumamosi na kiangazi kilikuwa kali sana.
Nilianza siku kwa kuoga mwili kwa maji yaliyokuwa baridi ... | Ni nani aliuwawa kwa kupigwa risasi | {
"text": [
"Kijana"
]
} |
4720_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa wazi penye watu wengi ambapo watu huchuuza bidhaa tofauti tofauti. Siku moja mama yangu alliniahidi kuwa tutaenda naye sokoni. Siku hiyo nilikuwa nimeingoja kwa hamu na gamu. Ilikua siku ya Jumamosi na kiangazi kilikuwa kali sana.
Nilianza siku kwa kuoga mwili kwa maji yaliyokuwa baridi ... | Mama alikuwa ameacha nini ndani ya nyumba | {
"text": [
"ufunguo"
]
} |
4720_swa | SOKO LETU
Soko ni mahali pa wazi penye watu wengi ambapo watu huchuuza bidhaa tofauti tofauti. Siku moja mama yangu alliniahidi kuwa tutaenda naye sokoni. Siku hiyo nilikuwa nimeingoja kwa hamu na gamu. Ilikua siku ya Jumamosi na kiangazi kilikuwa kali sana.
Nilianza siku kwa kuoga mwili kwa maji yaliyokuwa baridi ... | Mwizi alitokea na kuiba nini | {
"text": [
"mkoba"
]
} |
4725_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulewa ni dawa ambazo mtu hutumia kwa njia isiyofa na inayomuumiza mtu yeyote yule anayezitumia na kwa njia tofauti tofauti. Kando na hayo, ukitumia madawa ya kulevya inaleta madhara mbaya na madhara yanayoudhi na kuhatarisha maisha ya binadamu.
Vilevile, dawa za kulevya huing... | Ni dawa zipi huingia mwilini kwa kula, kupumua, kudunga na kumeza | {
"text": [
"Kulevya"
]
} |
4725_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulewa ni dawa ambazo mtu hutumia kwa njia isiyofa na inayomuumiza mtu yeyote yule anayezitumia na kwa njia tofauti tofauti. Kando na hayo, ukitumia madawa ya kulevya inaleta madhara mbaya na madhara yanayoudhi na kuhatarisha maisha ya binadamu.
Vilevile, dawa za kulevya huing... | Ni nini iko katika dawa za kulevya ambayo haifai mwilini | {
"text": [
"Kemikali"
]
} |
4725_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulewa ni dawa ambazo mtu hutumia kwa njia isiyofa na inayomuumiza mtu yeyote yule anayezitumia na kwa njia tofauti tofauti. Kando na hayo, ukitumia madawa ya kulevya inaleta madhara mbaya na madhara yanayoudhi na kuhatarisha maisha ya binadamu.
Vilevile, dawa za kulevya huing... | Kunusia dawa za kulevya kunaumiza nini | {
"text": [
"Pua"
]
} |
4725_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulewa ni dawa ambazo mtu hutumia kwa njia isiyofa na inayomuumiza mtu yeyote yule anayezitumia na kwa njia tofauti tofauti. Kando na hayo, ukitumia madawa ya kulevya inaleta madhara mbaya na madhara yanayoudhi na kuhatarisha maisha ya binadamu.
Vilevile, dawa za kulevya huing... | Dereva akitumia dawa za kulevya atasababisha nini | {
"text": [
"Ajali"
]
} |
4725_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulewa ni dawa ambazo mtu hutumia kwa njia isiyofa na inayomuumiza mtu yeyote yule anayezitumia na kwa njia tofauti tofauti. Kando na hayo, ukitumia madawa ya kulevya inaleta madhara mbaya na madhara yanayoudhi na kuhatarisha maisha ya binadamu.
Vilevile, dawa za kulevya huing... | Ni nchi gani watu wamezoea kutumia dawa za kulevya | {
"text": [
"Kenya"
]
} |
4725_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulewa ni dawa ambazo mtu hutumia kwa njia isiyofa na inayomuumiza mtu yeyote yule anayezitumia na kwa njia tofauti tofauti. Kando na hayo, ukitumia madawa ya kulevya inaleta madhara mbaya na madhara yanayoudhi na kuhatarisha maisha ya binadamu.
Vilevile, dawa za kulevya huing... | Ni dawa zipi hutumiwa kwa njia isiyofaa na humiza mtu | {
"text": [
"Kulevya"
]
} |
4725_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulewa ni dawa ambazo mtu hutumia kwa njia isiyofa na inayomuumiza mtu yeyote yule anayezitumia na kwa njia tofauti tofauti. Kando na hayo, ukitumia madawa ya kulevya inaleta madhara mbaya na madhara yanayoudhi na kuhatarisha maisha ya binadamu.
Vilevile, dawa za kulevya huing... | Ni dawa zipi huingia mwilini kupitia kula, kupumua, kujidunga na kumeza | {
"text": [
"Kulevya"
]
} |
4725_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulewa ni dawa ambazo mtu hutumia kwa njia isiyofa na inayomuumiza mtu yeyote yule anayezitumia na kwa njia tofauti tofauti. Kando na hayo, ukitumia madawa ya kulevya inaleta madhara mbaya na madhara yanayoudhi na kuhatarisha maisha ya binadamu.
Vilevile, dawa za kulevya huing... | Ni nini iko katika dawa ya kulevya ambayo ni hatari | {
"text": [
"Kemikali"
]
} |
4725_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulewa ni dawa ambazo mtu hutumia kwa njia isiyofa na inayomuumiza mtu yeyote yule anayezitumia na kwa njia tofauti tofauti. Kando na hayo, ukitumia madawa ya kulevya inaleta madhara mbaya na madhara yanayoudhi na kuhatarisha maisha ya binadamu.
Vilevile, dawa za kulevya huing... | Unaponusia dawa ya kulevya nini itaumia | {
"text": [
"pua"
]
} |
4725_swa | MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Madawa ya kulewa ni dawa ambazo mtu hutumia kwa njia isiyofa na inayomuumiza mtu yeyote yule anayezitumia na kwa njia tofauti tofauti. Kando na hayo, ukitumia madawa ya kulevya inaleta madhara mbaya na madhara yanayoudhi na kuhatarisha maisha ya binadamu.
Vilevile, dawa za kulevya huing... | Dereva akitumia dawa za kulevya atasababisha nini | {
"text": [
"Ajali"
]
} |
4737_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Miradarati ni dawa ambazo zinapotumika huadhiri mwili na ubongo wa mtu, Mihadarati ina madhara mengi katika mwili wa binadamu. Madhara haya ni kama vile madhara kwa mwananchi binafsi na kwa nchi nzima. Madhara kwa mwananchi ni kama vile upungufu wa akili, magonjwa na nyinginezo ilhali kwa n... | Mihandarati huadhiri nini ya mtu | {
"text": [
"Ubongo"
]
} |
4737_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Miradarati ni dawa ambazo zinapotumika huadhiri mwili na ubongo wa mtu, Mihadarati ina madhara mengi katika mwili wa binadamu. Madhara haya ni kama vile madhara kwa mwananchi binafsi na kwa nchi nzima. Madhara kwa mwananchi ni kama vile upungufu wa akili, magonjwa na nyinginezo ilhali kwa n... | Bangi na pombe huadhiri nini | {
"text": [
"Ubongo"
]
} |
4737_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Miradarati ni dawa ambazo zinapotumika huadhiri mwili na ubongo wa mtu, Mihadarati ina madhara mengi katika mwili wa binadamu. Madhara haya ni kama vile madhara kwa mwananchi binafsi na kwa nchi nzima. Madhara kwa mwananchi ni kama vile upungufu wa akili, magonjwa na nyinginezo ilhali kwa n... | Mtu anayetumia mihadarati anajiingiza katika vitendo vipi | {
"text": [
"Ngono"
]
} |
4737_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Miradarati ni dawa ambazo zinapotumika huadhiri mwili na ubongo wa mtu, Mihadarati ina madhara mengi katika mwili wa binadamu. Madhara haya ni kama vile madhara kwa mwananchi binafsi na kwa nchi nzima. Madhara kwa mwananchi ni kama vile upungufu wa akili, magonjwa na nyinginezo ilhali kwa n... | Ni unywaji wa nini unadhuru maini | {
"text": [
"Pombe"
]
} |
4737_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Miradarati ni dawa ambazo zinapotumika huadhiri mwili na ubongo wa mtu, Mihadarati ina madhara mengi katika mwili wa binadamu. Madhara haya ni kama vile madhara kwa mwananchi binafsi na kwa nchi nzima. Madhara kwa mwananchi ni kama vile upungufu wa akili, magonjwa na nyinginezo ilhali kwa n... | Matumizi ya mihadarati husababisha ulemavu kutokana na nini | {
"text": [
"Vita"
]
} |
4737_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Miradarati ni dawa ambazo zinapotumika huadhiri mwili na ubongo wa mtu, Mihadarati ina madhara mengi katika mwili wa binadamu. Madhara haya ni kama vile madhara kwa mwananchi binafsi na kwa nchi nzima. Madhara kwa mwananchi ni kama vile upungufu wa akili, magonjwa na nyinginezo ilhali kwa n... | Mihadarati ni dawa ambazo zinapotumika huadhiri nini | {
"text": [
"Mwili"
]
} |
4737_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Miradarati ni dawa ambazo zinapotumika huadhiri mwili na ubongo wa mtu, Mihadarati ina madhara mengi katika mwili wa binadamu. Madhara haya ni kama vile madhara kwa mwananchi binafsi na kwa nchi nzima. Madhara kwa mwananchi ni kama vile upungufu wa akili, magonjwa na nyinginezo ilhali kwa n... | Mtu anapolewa chakari ni nini huacha kufanya kazi vizuri | {
"text": [
"Ubongo"
]
} |
4737_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Miradarati ni dawa ambazo zinapotumika huadhiri mwili na ubongo wa mtu, Mihadarati ina madhara mengi katika mwili wa binadamu. Madhara haya ni kama vile madhara kwa mwananchi binafsi na kwa nchi nzima. Madhara kwa mwananchi ni kama vile upungufu wa akili, magonjwa na nyinginezo ilhali kwa n... | Ni nini huleta magonjwa kama kifafa na ukimwi | {
"text": [
"Mihadarati"
]
} |
4737_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Miradarati ni dawa ambazo zinapotumika huadhiri mwili na ubongo wa mtu, Mihadarati ina madhara mengi katika mwili wa binadamu. Madhara haya ni kama vile madhara kwa mwananchi binafsi na kwa nchi nzima. Madhara kwa mwananchi ni kama vile upungufu wa akili, magonjwa na nyinginezo ilhali kwa n... | Mtu anapokunywa au kutumia mihadarati hujiingiza kwa vitendo vipi | {
"text": [
"Ngono"
]
} |
4737_swa | MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA
Miradarati ni dawa ambazo zinapotumika huadhiri mwili na ubongo wa mtu, Mihadarati ina madhara mengi katika mwili wa binadamu. Madhara haya ni kama vile madhara kwa mwananchi binafsi na kwa nchi nzima. Madhara kwa mwananchi ni kama vile upungufu wa akili, magonjwa na nyinginezo ilhali kwa n... | Mama anayetumia mihadarati anajifungua mtoto ameharibika nini | {
"text": [
"Akili"
]
} |
4984_swa | Mambo Leo
Mitambo ya kompyuta. Imeleta mapinduzi makubwa sana. Katika utendaji
kazi. Kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza. Mitambo
hii imeweza kuhifadhi habari nyingi sana. Mtu anaweza kuhifadhi vifaa
vyake muhimu. Katika kompyuta. Kisha akazitoa zinapojitajika. Wakati
anataka kuzitumia. Anaweza kuz... | Ni nini imeleta mapinduzi katika utenda kazi duniani | {
"text": [
"Mitambo ya kmpyuta"
]
} |
4984_swa | Mambo Leo
Mitambo ya kompyuta. Imeleta mapinduzi makubwa sana. Katika utendaji
kazi. Kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza. Mitambo
hii imeweza kuhifadhi habari nyingi sana. Mtu anaweza kuhifadhi vifaa
vyake muhimu. Katika kompyuta. Kisha akazitoa zinapojitajika. Wakati
anataka kuzitumia. Anaweza kuz... | tTaja mojawapo ya manufaa ya mitambo ya kompyuta | {
"text": [
"kuhifadhi habaria nyingi sana"
]
} |
4984_swa | Mambo Leo
Mitambo ya kompyuta. Imeleta mapinduzi makubwa sana. Katika utendaji
kazi. Kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza. Mitambo
hii imeweza kuhifadhi habari nyingi sana. Mtu anaweza kuhifadhi vifaa
vyake muhimu. Katika kompyuta. Kisha akazitoa zinapojitajika. Wakati
anataka kuzitumia. Anaweza kuz... | Kompyuta inaweza kuhifadhi siri ya nani | {
"text": [
"Mtu binasfi na makompyuta"
]
} |
4984_swa | Mambo Leo
Mitambo ya kompyuta. Imeleta mapinduzi makubwa sana. Katika utendaji
kazi. Kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza. Mitambo
hii imeweza kuhifadhi habari nyingi sana. Mtu anaweza kuhifadhi vifaa
vyake muhimu. Katika kompyuta. Kisha akazitoa zinapojitajika. Wakati
anataka kuzitumia. Anaweza kuz... | Taja mojawapo ya faida ya kompyuta kwa wasomi | {
"text": [
"Kuhariri kazi zao"
]
} |
4984_swa | Mambo Leo
Mitambo ya kompyuta. Imeleta mapinduzi makubwa sana. Katika utendaji
kazi. Kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza. Mitambo
hii imeweza kuhifadhi habari nyingi sana. Mtu anaweza kuhifadhi vifaa
vyake muhimu. Katika kompyuta. Kisha akazitoa zinapojitajika. Wakati
anataka kuzitumia. Anaweza kuz... | Baadhi ya wafanyabiashara hutumia kompyuta kuanya nini | {
"text": [
"kufanya hesabu"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.