Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
4710_swa
SOKO LETU Soko ni eneo kubwa ambalo linajadiliana na watu, wachuuzi na wanunuaji bidhaa. Soko letu lina vitu kadha wa kadha kama vile nyanya, vitunguu, mayai na mengineyo. Kwa kweli wasemavyo wahenga likikatika moyo uhudi si pato. Wanunuaji bidhaa huja sokoni mwetu kununua vitu kadhaa. Mimi hushirikiana na mama yangu k...
Ni nini imewekwa kuzingira soko lao
{ "text": [ "Kiambaza" ] }
1576_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyo tuzingira pahali tulipo kwa mfano miti, nyumba, na bahari. Mazingira ni pahali pazuri pakiwa pasafi. Hatufai kusema mazingira kuwa safi kwa maneno tu bali pia kwa matendo.Mazingira safi ni muhimu kwa maisha ya mwanadamu. Iwapo tutawacha mazingira yetu yakiwa...
Nini ni vitu vinavyotuzingira
{ "text": [ "mazingira" ] }
1576_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyo tuzingira pahali tulipo kwa mfano miti, nyumba, na bahari. Mazingira ni pahali pazuri pakiwa pasafi. Hatufai kusema mazingira kuwa safi kwa maneno tu bali pia kwa matendo.Mazingira safi ni muhimu kwa maisha ya mwanadamu. Iwapo tutawacha mazingira yetu yakiwa...
Mazingira safi ni muhimu katika maisha ya nani
{ "text": [ "mwanadamu" ] }
1576_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyo tuzingira pahali tulipo kwa mfano miti, nyumba, na bahari. Mazingira ni pahali pazuri pakiwa pasafi. Hatufai kusema mazingira kuwa safi kwa maneno tu bali pia kwa matendo.Mazingira safi ni muhimu kwa maisha ya mwanadamu. Iwapo tutawacha mazingira yetu yakiwa...
Ugonjwa wa cholera husababishwa na maji gani
{ "text": [ "machafu" ] }
1576_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyo tuzingira pahali tulipo kwa mfano miti, nyumba, na bahari. Mazingira ni pahali pazuri pakiwa pasafi. Hatufai kusema mazingira kuwa safi kwa maneno tu bali pia kwa matendo.Mazingira safi ni muhimu kwa maisha ya mwanadamu. Iwapo tutawacha mazingira yetu yakiwa...
Nani hufurahia kuwaona wanyama
{ "text": [ "watalii" ] }
1576_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyo tuzingira pahali tulipo kwa mfano miti, nyumba, na bahari. Mazingira ni pahali pazuri pakiwa pasafi. Hatufai kusema mazingira kuwa safi kwa maneno tu bali pia kwa matendo.Mazingira safi ni muhimu kwa maisha ya mwanadamu. Iwapo tutawacha mazingira yetu yakiwa...
Waajiriwa wengi hurauka saa ngapi
{ "text": [ "asubuhi na mapema" ] }
1576_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyo tuzingira pahali tulipo kwa mfano miti, nyumba, na bahari. Mazingira ni pahali pazuri pakiwa pasafi. Hatufai kusema mazingira kuwa safi kwa maneno tu bali pia kwa matendo.Mazingira safi ni muhimu kwa maisha ya mwanadamu. Iwapo tutawacha mazingira yetu yakiwa...
Mbona tunapaswa kufyeka nyasi ndefu
{ "text": [ "ili tuweze kuangamiza wanyama hatari" ] }
0003_swa
Asubuhi hiyo ilitupata pambajioni pa hospitali ya Uguzwa. Kando yangu ndugu yangu Pendo alikuwa akijipindapinda kwa uchungu mwingi. Aidha, alikuwa akitetemeka sana. Nilimshikilia asije akaanguka chini. Nilijizuia nisimtazame maadamu kila nilipomtaza machozi yalinidondoka. Nakwambia Pendo alikuwa amedhoofika sana. Mar...
Asubuhi ilitupata pambajioi pa hospitali gani
{ "text": [ "Uguzwa" ] }
0003_swa
Asubuhi hiyo ilitupata pambajioni pa hospitali ya Uguzwa. Kando yangu ndugu yangu Pendo alikuwa akijipindapinda kwa uchungu mwingi. Aidha, alikuwa akitetemeka sana. Nilimshikilia asije akaanguka chini. Nilijizuia nisimtazame maadamu kila nilipomtaza machozi yalinidondoka. Nakwambia Pendo alikuwa amedhoofika sana. Mar...
Mimi na ndugu yangu tuliratibiwa kufanyiwa nini
{ "text": [ "Upasuaji" ] }
0003_swa
Asubuhi hiyo ilitupata pambajioni pa hospitali ya Uguzwa. Kando yangu ndugu yangu Pendo alikuwa akijipindapinda kwa uchungu mwingi. Aidha, alikuwa akitetemeka sana. Nilimshikilia asije akaanguka chini. Nilijizuia nisimtazame maadamu kila nilipomtaza machozi yalinidondoka. Nakwambia Pendo alikuwa amedhoofika sana. Mar...
Alitoa simu na kusakurasakura nini
{ "text": [ "Mitandaoni" ] }
0003_swa
Asubuhi hiyo ilitupata pambajioni pa hospitali ya Uguzwa. Kando yangu ndugu yangu Pendo alikuwa akijipindapinda kwa uchungu mwingi. Aidha, alikuwa akitetemeka sana. Nilimshikilia asije akaanguka chini. Nilijizuia nisimtazame maadamu kila nilipomtaza machozi yalinidondoka. Nakwambia Pendo alikuwa amedhoofika sana. Mar...
Mtu mwenye figo moja haishi kwa zaidi ya miaka ngapi
{ "text": [ "Ishirini" ] }
0003_swa
Asubuhi hiyo ilitupata pambajioni pa hospitali ya Uguzwa. Kando yangu ndugu yangu Pendo alikuwa akijipindapinda kwa uchungu mwingi. Aidha, alikuwa akitetemeka sana. Nilimshikilia asije akaanguka chini. Nilijizuia nisimtazame maadamu kila nilipomtaza machozi yalinidondoka. Nakwambia Pendo alikuwa amedhoofika sana. Mar...
Kwa nini hakuhisi chochote
{ "text": [ "Hakufanyiwa operesheni" ] }
0005_swa
Mpenzi yeyote wa lugha ashirafu ya Kiswahili mara nyingine huwa na matumaini makubwa, mara nyingine hukata tamaa kabisa kuhusu mustakabali wa Kiswahili. Ukitembea mijini, vijijini, pwani na bara na kuwasikia watu wakizungumza Kiswahili, utapata matumaini. Ukihudhuria makongamano ya Kiswahili ya walimu na wanafunzi unak...
Kina nani huharibu Kiswahili katika vyombo vya habari
{ "text": [ "Wanahabari" ] }
0005_swa
Mpenzi yeyote wa lugha ashirafu ya Kiswahili mara nyingine huwa na matumaini makubwa, mara nyingine hukata tamaa kabisa kuhusu mustakabali wa Kiswahili. Ukitembea mijini, vijijini, pwani na bara na kuwasikia watu wakizungumza Kiswahili, utapata matumaini. Ukihudhuria makongamano ya Kiswahili ya walimu na wanafunzi unak...
Nani hutetea lugha zao
{ "text": [ "Wazalendo wa mataifa mbalimbali" ] }
0005_swa
Mpenzi yeyote wa lugha ashirafu ya Kiswahili mara nyingine huwa na matumaini makubwa, mara nyingine hukata tamaa kabisa kuhusu mustakabali wa Kiswahili. Ukitembea mijini, vijijini, pwani na bara na kuwasikia watu wakizungumza Kiswahili, utapata matumaini. Ukihudhuria makongamano ya Kiswahili ya walimu na wanafunzi unak...
Wafaransa huzungumza lugha gani
{ "text": [ "Kifaransa" ] }
0005_swa
Mpenzi yeyote wa lugha ashirafu ya Kiswahili mara nyingine huwa na matumaini makubwa, mara nyingine hukata tamaa kabisa kuhusu mustakabali wa Kiswahili. Ukitembea mijini, vijijini, pwani na bara na kuwasikia watu wakizungumza Kiswahili, utapata matumaini. Ukihudhuria makongamano ya Kiswahili ya walimu na wanafunzi unak...
Kiswahili kinafunzwa katika nchi zipi maarufu duniani
{ "text": [ "Marekani na ujerumani" ] }
0005_swa
Mpenzi yeyote wa lugha ashirafu ya Kiswahili mara nyingine huwa na matumaini makubwa, mara nyingine hukata tamaa kabisa kuhusu mustakabali wa Kiswahili. Ukitembea mijini, vijijini, pwani na bara na kuwasikia watu wakizungumza Kiswahili, utapata matumaini. Ukihudhuria makongamano ya Kiswahili ya walimu na wanafunzi unak...
Wachina huzungumza lugha gani
{ "text": [ "Kichina" ] }
0019_swa
NAFASI YA MWANAMKE KATIKA JAMII Kuzaliwa mwanamke ni laana katika ulimwengu huu uliotawalwa na wanaume. Wao huteswa na kunyanyaswa bila ya masilahi yao kutiliwa maanani. Huu ni ubinafsi na ubinafsi huvunja jamii. Waja haoni kuwa tofauti iliyopa baina ya viumbe hawa wawili ni ile ya kimaumbile tu na hivyo hapana haja ya...
ulimwengu huu umetawalwa na nani
{ "text": [ "wanaume" ] }
0019_swa
NAFASI YA MWANAMKE KATIKA JAMII Kuzaliwa mwanamke ni laana katika ulimwengu huu uliotawalwa na wanaume. Wao huteswa na kunyanyaswa bila ya masilahi yao kutiliwa maanani. Huu ni ubinafsi na ubinafsi huvunja jamii. Waja haoni kuwa tofauti iliyopa baina ya viumbe hawa wawili ni ile ya kimaumbile tu na hivyo hapana haja ya...
ubinafsi hufanyia nini jamii
{ "text": [ "huvunja jamii" ] }
0019_swa
NAFASI YA MWANAMKE KATIKA JAMII Kuzaliwa mwanamke ni laana katika ulimwengu huu uliotawalwa na wanaume. Wao huteswa na kunyanyaswa bila ya masilahi yao kutiliwa maanani. Huu ni ubinafsi na ubinafsi huvunja jamii. Waja haoni kuwa tofauti iliyopa baina ya viumbe hawa wawili ni ile ya kimaumbile tu na hivyo hapana haja ya...
Mtoto wa kike akimshinda waladi katika mashindano mbona waladi hukemewa
{ "text": [ "haifai msichana amshinde" ] }
0019_swa
NAFASI YA MWANAMKE KATIKA JAMII Kuzaliwa mwanamke ni laana katika ulimwengu huu uliotawalwa na wanaume. Wao huteswa na kunyanyaswa bila ya masilahi yao kutiliwa maanani. Huu ni ubinafsi na ubinafsi huvunja jamii. Waja haoni kuwa tofauti iliyopa baina ya viumbe hawa wawili ni ile ya kimaumbile tu na hivyo hapana haja ya...
Ni nini mzizi wa tabu zinazowakumba wanawake
{ "text": [ "Ndoa" ] }
0019_swa
NAFASI YA MWANAMKE KATIKA JAMII Kuzaliwa mwanamke ni laana katika ulimwengu huu uliotawalwa na wanaume. Wao huteswa na kunyanyaswa bila ya masilahi yao kutiliwa maanani. Huu ni ubinafsi na ubinafsi huvunja jamii. Waja haoni kuwa tofauti iliyopa baina ya viumbe hawa wawili ni ile ya kimaumbile tu na hivyo hapana haja ya...
mwanamke huchorwa vipi kwenye vipindi vionyeshwavyo katika runinga
{ "text": [ "huchorwa kama kiumbe muovu ambaye huvunja jamii" ] }
0021_swa
Bara la Africa lina nafasi bora zaidi ya mabara mengine ulimwenguni katika kujiendeleza kiuchumi. Hii ni kwa kuwa wengi wa raia wa nchi za Afrika huwa ni vijana. Asilimia kubwa ya watu katika kila taifa la Afrika huwa ni ya vijana wenye nguvu na nafasi bora zaidi ya kuendeleza uchumi. Hivyo sivyo katika mabara mengine ...
Bara ipi ina nafasi bora kujiendeleza kiuchumi?q
{ "text": [ "Afika" ] }
0021_swa
Bara la Africa lina nafasi bora zaidi ya mabara mengine ulimwenguni katika kujiendeleza kiuchumi. Hii ni kwa kuwa wengi wa raia wa nchi za Afrika huwa ni vijana. Asilimia kubwa ya watu katika kila taifa la Afrika huwa ni ya vijana wenye nguvu na nafasi bora zaidi ya kuendeleza uchumi. Hivyo sivyo katika mabara mengine ...
Raia wengi wa nchi za Afrika ni kina nani?
{ "text": [ "Vijana" ] }
0021_swa
Bara la Africa lina nafasi bora zaidi ya mabara mengine ulimwenguni katika kujiendeleza kiuchumi. Hii ni kwa kuwa wengi wa raia wa nchi za Afrika huwa ni vijana. Asilimia kubwa ya watu katika kila taifa la Afrika huwa ni ya vijana wenye nguvu na nafasi bora zaidi ya kuendeleza uchumi. Hivyo sivyo katika mabara mengine ...
Vijana wanaweza jikuza iwapo watasaidiwa kufanya nini?
{ "text": [ "Kupata maarifa" ] }
0021_swa
Bara la Africa lina nafasi bora zaidi ya mabara mengine ulimwenguni katika kujiendeleza kiuchumi. Hii ni kwa kuwa wengi wa raia wa nchi za Afrika huwa ni vijana. Asilimia kubwa ya watu katika kila taifa la Afrika huwa ni ya vijana wenye nguvu na nafasi bora zaidi ya kuendeleza uchumi. Hivyo sivyo katika mabara mengine ...
Njia moja maridhawa ya kuwaimarisha vijani ni gani?
{ "text": [ "Elimu na masoma" ] }
0021_swa
Bara la Africa lina nafasi bora zaidi ya mabara mengine ulimwenguni katika kujiendeleza kiuchumi. Hii ni kwa kuwa wengi wa raia wa nchi za Afrika huwa ni vijana. Asilimia kubwa ya watu katika kila taifa la Afrika huwa ni ya vijana wenye nguvu na nafasi bora zaidi ya kuendeleza uchumi. Hivyo sivyo katika mabara mengine ...
Vijana wengi Afrika huoa na kupata familia baada ya kumaliza darasa lipi?
{ "text": [ "La nane" ] }
0162_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Uviko-19 ni ugonjwa unaosababishwa na kundi la virusi vya Corona ambayyo hupatikana miongoni mwa hayawani na Insani. Kwa Insi, virusi vya corona husababisha magonjwa kama vile, homa ya kawaida isiyo na dalili kali na hata madhila wakati wa upumuaji. Mgonjwa wa vir...
Ugonjwa wa korona unafanana na nini
{ "text": [ "homa ya mafua" ] }
0162_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Uviko-19 ni ugonjwa unaosababishwa na kundi la virusi vya Corona ambayyo hupatikana miongoni mwa hayawani na Insani. Kwa Insi, virusi vya corona husababisha magonjwa kama vile, homa ya kawaida isiyo na dalili kali na hata madhila wakati wa upumuaji. Mgonjwa wa vir...
Ugonjwa huu ulipatikana wapi
{ "text": [ "nchi ya China" ] }
0162_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Uviko-19 ni ugonjwa unaosababishwa na kundi la virusi vya Corona ambayyo hupatikana miongoni mwa hayawani na Insani. Kwa Insi, virusi vya corona husababisha magonjwa kama vile, homa ya kawaida isiyo na dalili kali na hata madhila wakati wa upumuaji. Mgonjwa wa vir...
Mtu mwenye dalili za korona aelekee wapi
{ "text": [ "katika kituo cha afya" ] }
0162_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Uviko-19 ni ugonjwa unaosababishwa na kundi la virusi vya Corona ambayyo hupatikana miongoni mwa hayawani na Insani. Kwa Insi, virusi vya corona husababisha magonjwa kama vile, homa ya kawaida isiyo na dalili kali na hata madhila wakati wa upumuaji. Mgonjwa wa vir...
Waimbaji walipata nini kutokana na Uviko - 19
{ "text": [ "maudhui" ] }
0162_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Uviko-19 ni ugonjwa unaosababishwa na kundi la virusi vya Corona ambayyo hupatikana miongoni mwa hayawani na Insani. Kwa Insi, virusi vya corona husababisha magonjwa kama vile, homa ya kawaida isiyo na dalili kali na hata madhila wakati wa upumuaji. Mgonjwa wa vir...
Kwa nini shule zingine zimefungwa
{ "text": [ "sababu ya uchumi mbaya na hasara iliyopatikana" ] }
0163_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MESTA ZAN ZA BARABARANI NCHINI KENYA. Ajali ni tukio maalumu linalotumbulika na lisiletarajiwa Hutokea mahali fulani, muda bila sababu au makusudi dhahiri na husababisha madhara yaliyodhahiri kama mchana. Vifo ana ainati mnamo mwaka elfu mbili na Ishirini, kumeripotiwa visa vya ajali elfu mbili m...
Vifo ngapi barabarani viliripotiwa mwaka wa 2020?
{ "text": [ "2869" ] }
0163_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MESTA ZAN ZA BARABARANI NCHINI KENYA. Ajali ni tukio maalumu linalotumbulika na lisiletarajiwa Hutokea mahali fulani, muda bila sababu au makusudi dhahiri na husababisha madhara yaliyodhahiri kama mchana. Vifo ana ainati mnamo mwaka elfu mbili na Ishirini, kumeripotiwa visa vya ajali elfu mbili m...
Kuna nini baada ya dhiki?
{ "text": [ "Faraja" ] }
0163_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MESTA ZAN ZA BARABARANI NCHINI KENYA. Ajali ni tukio maalumu linalotumbulika na lisiletarajiwa Hutokea mahali fulani, muda bila sababu au makusudi dhahiri na husababisha madhara yaliyodhahiri kama mchana. Vifo ana ainati mnamo mwaka elfu mbili na Ishirini, kumeripotiwa visa vya ajali elfu mbili m...
Nani hutengeneza barabara?
{ "text": [ "Wahandisi" ] }
0163_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MESTA ZAN ZA BARABARANI NCHINI KENYA. Ajali ni tukio maalumu linalotumbulika na lisiletarajiwa Hutokea mahali fulani, muda bila sababu au makusudi dhahiri na husababisha madhara yaliyodhahiri kama mchana. Vifo ana ainati mnamo mwaka elfu mbili na Ishirini, kumeripotiwa visa vya ajali elfu mbili m...
Ajali haina nini?
{ "text": [ "Kinga" ] }
0163_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MESTA ZAN ZA BARABARANI NCHINI KENYA. Ajali ni tukio maalumu linalotumbulika na lisiletarajiwa Hutokea mahali fulani, muda bila sababu au makusudi dhahiri na husababisha madhara yaliyodhahiri kama mchana. Vifo ana ainati mnamo mwaka elfu mbili na Ishirini, kumeripotiwa visa vya ajali elfu mbili m...
Sheria zipi zinafaa kuwekwa?
{ "text": [ "Za baraste ili kupunguza ajali" ] }
0164_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa UVIKO 19 ni maradhi tandaru yanayosababishwa na virusi vya corona· Ugonjwa huu unasambaa haraka kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Hadi kufikia leo tarehe ishirini na tatu Februari, idadi ya wagonjwa waliothibitishia ulimwenguni ni milioni mia moja kumi ...
Ugonjwa wa Uviko 19 husababishwa na virusi gani
{ "text": [ "korona" ] }
0164_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa UVIKO 19 ni maradhi tandaru yanayosababishwa na virusi vya corona· Ugonjwa huu unasambaa haraka kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Hadi kufikia leo tarehe ishirini na tatu Februari, idadi ya wagonjwa waliothibitishia ulimwenguni ni milioni mia moja kumi ...
Familia zinalala njaa kwa kukosa nini
{ "text": [ "fedha" ] }
0164_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa UVIKO 19 ni maradhi tandaru yanayosababishwa na virusi vya corona· Ugonjwa huu unasambaa haraka kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Hadi kufikia leo tarehe ishirini na tatu Februari, idadi ya wagonjwa waliothibitishia ulimwenguni ni milioni mia moja kumi ...
Nini imesababisha kuzorota kwa uchumi
{ "text": [ "vifo" ] }
0164_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa UVIKO 19 ni maradhi tandaru yanayosababishwa na virusi vya corona· Ugonjwa huu unasambaa haraka kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Hadi kufikia leo tarehe ishirini na tatu Februari, idadi ya wagonjwa waliothibitishia ulimwenguni ni milioni mia moja kumi ...
Kina nani walioathirika zaidi
{ "text": [ "walalahoi" ] }
0164_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa UVIKO 19 ni maradhi tandaru yanayosababishwa na virusi vya corona· Ugonjwa huu unasambaa haraka kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Hadi kufikia leo tarehe ishirini na tatu Februari, idadi ya wagonjwa waliothibitishia ulimwenguni ni milioni mia moja kumi ...
Kwa nini waajiriwa walishindwa kutekeleza majukumu
{ "text": [ "kupigwa kalamu" ] }
0165_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kwenye dunia elimu ni msingi wa maisha, kwa ajili hiyo itabidi mtu ajikaze kisabuni asome ili kujikimu maishani kindakindaki. Waama, mchumia juani hulia kivulini. Kila uchao ni masomo hasa hilo somo ni nini? Somo ni mpango wa maf...
Ni nini msingi wa maisha katika dunia
{ "text": [ "elimu" ] }
0165_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kwenye dunia elimu ni msingi wa maisha, kwa ajili hiyo itabidi mtu ajikaze kisabuni asome ili kujikimu maishani kindakindaki. Waama, mchumia juani hulia kivulini. Kila uchao ni masomo hasa hilo somo ni nini? Somo ni mpango wa maf...
Masomo gani hupewa kipaumbele
{ "text": [ "ya kiakademia" ] }
0165_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kwenye dunia elimu ni msingi wa maisha, kwa ajili hiyo itabidi mtu ajikaze kisabuni asome ili kujikimu maishani kindakindaki. Waama, mchumia juani hulia kivulini. Kila uchao ni masomo hasa hilo somo ni nini? Somo ni mpango wa maf...
Mchumia juani hulia wapi
{ "text": [ "kivulini" ] }
0165_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kwenye dunia elimu ni msingi wa maisha, kwa ajili hiyo itabidi mtu ajikaze kisabuni asome ili kujikimu maishani kindakindaki. Waama, mchumia juani hulia kivulini. Kila uchao ni masomo hasa hilo somo ni nini? Somo ni mpango wa maf...
Wanafunzi wana msimamo hasi kuhusu masomo gani
{ "text": [ "ya kiufundi" ] }
0165_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kwenye dunia elimu ni msingi wa maisha, kwa ajili hiyo itabidi mtu ajikaze kisabuni asome ili kujikimu maishani kindakindaki. Waama, mchumia juani hulia kivulini. Kila uchao ni masomo hasa hilo somo ni nini? Somo ni mpango wa maf...
Mbona masomo ya kiufundi yawe ya lazima
{ "text": [ "ili tufaulu katika maisha yetu" ] }
0166_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio maalumu linalotambulika, lisilotarajiwa geni na lisilotakikana ambalo hutokea katika muda na mahali fulani bila sababu au maksudi dhahiri lakini husababisha madhara yaliyo wazi hasa vifo. Kuna aina nyingi za ajali, kwa mfano kuna ...
Ajali husababisha madhara gani
{ "text": [ "Vifo" ] }
0166_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio maalumu linalotambulika, lisilotarajiwa geni na lisilotakikana ambalo hutokea katika muda na mahali fulani bila sababu au maksudi dhahiri lakini husababisha madhara yaliyo wazi hasa vifo. Kuna aina nyingi za ajali, kwa mfano kuna ...
Ni ajali za wapi zimeripotiwa kufika milioni moja nukta tatu tano
{ "text": [ "Barabarani" ] }
0166_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio maalumu linalotambulika, lisilotarajiwa geni na lisilotakikana ambalo hutokea katika muda na mahali fulani bila sababu au maksudi dhahiri lakini husababisha madhara yaliyo wazi hasa vifo. Kuna aina nyingi za ajali, kwa mfano kuna ...
Nani wavalie helmeti ili kujikinga kutokana na ajali
{ "text": [ "Waendeshaji pikipiki na abiria wao" ] }
0166_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio maalumu linalotambulika, lisilotarajiwa geni na lisilotakikana ambalo hutokea katika muda na mahali fulani bila sababu au maksudi dhahiri lakini husababisha madhara yaliyo wazi hasa vifo. Kuna aina nyingi za ajali, kwa mfano kuna ...
Ni nani hupokea hongo kutoka kwa utingo na dereva barabarani wakiwa na magari mabovu
{ "text": [ "Askari fisadi" ] }
0166_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio maalumu linalotambulika, lisilotarajiwa geni na lisilotakikana ambalo hutokea katika muda na mahali fulani bila sababu au maksudi dhahiri lakini husababisha madhara yaliyo wazi hasa vifo. Kuna aina nyingi za ajali, kwa mfano kuna ...
Ni zipi mojawapo ya sababu zinazochangia ajali barabarani
{ "text": [ "Giza usiku na mvua kubwa" ] }
0167_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kuanzia mwaka wa sitini na tatu hadi wa themanini, vyuo vya kiufundi vilishamiri na kutia foro Kenya nzima. Vyuo ya kiufundi vya ngazi ya chini vilijulikana kama maganlali. Vyuo hivi vilikuwa vikitoa shahada ya ngazi mbalimbali kwa...
Ni katika sehemu gani vyuo vya kifundi vilishamiri na kutia fora
{ "text": [ "Kenya nzima" ] }
0167_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kuanzia mwaka wa sitini na tatu hadi wa themanini, vyuo vya kiufundi vilishamiri na kutia foro Kenya nzima. Vyuo ya kiufundi vya ngazi ya chini vilijulikana kama maganlali. Vyuo hivi vilikuwa vikitoa shahada ya ngazi mbalimbali kwa...
Vyuo vya kifundi vya ngazi ya chini vilijulikana kama nini
{ "text": [ "Maganlali" ] }
0167_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kuanzia mwaka wa sitini na tatu hadi wa themanini, vyuo vya kiufundi vilishamiri na kutia foro Kenya nzima. Vyuo ya kiufundi vya ngazi ya chini vilijulikana kama maganlali. Vyuo hivi vilikuwa vikitoa shahada ya ngazi mbalimbali kwa...
Wanaotaka kujiendeleza huenda wapi
{ "text": [ "Katika vyuo vya diploma" ] }
0167_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kuanzia mwaka wa sitini na tatu hadi wa themanini, vyuo vya kiufundi vilishamiri na kutia foro Kenya nzima. Vyuo ya kiufundi vya ngazi ya chini vilijulikana kama maganlali. Vyuo hivi vilikuwa vikitoa shahada ya ngazi mbalimbali kwa...
Chuo cha ufundi cha Mombasa kimegeuzwa kuwa nini
{ "text": [ "Chuo kikuu" ] }
0167_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kuanzia mwaka wa sitini na tatu hadi wa themanini, vyuo vya kiufundi vilishamiri na kutia foro Kenya nzima. Vyuo ya kiufundi vya ngazi ya chini vilijulikana kama maganlali. Vyuo hivi vilikuwa vikitoa shahada ya ngazi mbalimbali kwa...
Mbona vijana wanahofia kujiunga na taalumu hizi
{ "text": [ "Kwa sababu wana fikira kuwa ni za sulubu" ] }
0168_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Wengi mungeuliza ya kwamba ajali ni nini? Kwa upande wangu, ningewajibu kuwa ajali ni tukio linalodhuru na lililotokea kwa bahati mbaya. Kuna aina ainati za ajali. Kuna zile za kuanguka kwa kujikwaa, zile za barabarani, za angani na za bahari...
Ni nini hutukia Kwa bahati mbaya
{ "text": [ "Ajali" ] }
0168_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Wengi mungeuliza ya kwamba ajali ni nini? Kwa upande wangu, ningewajibu kuwa ajali ni tukio linalodhuru na lililotokea kwa bahati mbaya. Kuna aina ainati za ajali. Kuna zile za kuanguka kwa kujikwaa, zile za barabarani, za angani na za bahari...
Ajali zilizokidhiri nchini Kenya ni za wapi
{ "text": [ "Barabarani" ] }
0168_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Wengi mungeuliza ya kwamba ajali ni nini? Kwa upande wangu, ningewajibu kuwa ajali ni tukio linalodhuru na lililotokea kwa bahati mbaya. Kuna aina ainati za ajali. Kuna zile za kuanguka kwa kujikwaa, zile za barabarani, za angani na za bahari...
Ni nini chanzo cha kwanza cha ajali
{ "text": [ "Barabarani" ] }
0168_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Wengi mungeuliza ya kwamba ajali ni nini? Kwa upande wangu, ningewajibu kuwa ajali ni tukio linalodhuru na lililotokea kwa bahati mbaya. Kuna aina ainati za ajali. Kuna zile za kuanguka kwa kujikwaa, zile za barabarani, za angani na za bahari...
Ni ujenzi wa nini huzuia ajali
{ "text": [ "Matuta" ] }
0168_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Wengi mungeuliza ya kwamba ajali ni nini? Kwa upande wangu, ningewajibu kuwa ajali ni tukio linalodhuru na lililotokea kwa bahati mbaya. Kuna aina ainati za ajali. Kuna zile za kuanguka kwa kujikwaa, zile za barabarani, za angani na za bahari...
Ni Kwa vipi matuta hupunguza ajali
{ "text": [ "Dereva hupunguza mwendo" ] }
0169_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ulimwenguni mmekithiri ajali zinazosababisha vifo na ulemavu katika jamii. Kwa hivyo ni muhimu tujue maana ya ajali. Ajali ni tukio la ghafla lenye madhara. Ajali hutokea popote. Si jikoni, si uwanjani, si darasani, si njiani, si chumbani, s...
Ni nani wanafaa kupokonywa leseni
{ "text": [ "madereva wasiojali wengine" ] }
0169_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ulimwenguni mmekithiri ajali zinazosababisha vifo na ulemavu katika jamii. Kwa hivyo ni muhimu tujue maana ya ajali. Ajali ni tukio la ghafla lenye madhara. Ajali hutokea popote. Si jikoni, si uwanjani, si darasani, si njiani, si chumbani, s...
madereva wasioheshimu haki za binadamu hufanya nini
{ "text": [ "huendesha magari kishaghalabaghala" ] }
0169_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ulimwenguni mmekithiri ajali zinazosababisha vifo na ulemavu katika jamii. Kwa hivyo ni muhimu tujue maana ya ajali. Ajali ni tukio la ghafla lenye madhara. Ajali hutokea popote. Si jikoni, si uwanjani, si darasani, si njiani, si chumbani, s...
Ni vipi askari wanaweza kupunguza ajali
{ "text": [ "kwa kutumia teknolojia" ] }
0169_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ulimwenguni mmekithiri ajali zinazosababisha vifo na ulemavu katika jamii. Kwa hivyo ni muhimu tujue maana ya ajali. Ajali ni tukio la ghafla lenye madhara. Ajali hutokea popote. Si jikoni, si uwanjani, si darasani, si njiani, si chumbani, s...
mbona kamera ziwekwe kwa milingoti kando iliyo ya barabara
{ "text": [ "Ili zinase nambari za magari yanayokiuka sheria za uendeshaji" ] }
0169_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ulimwenguni mmekithiri ajali zinazosababisha vifo na ulemavu katika jamii. Kwa hivyo ni muhimu tujue maana ya ajali. Ajali ni tukio la ghafla lenye madhara. Ajali hutokea popote. Si jikoni, si uwanjani, si darasani, si njiani, si chumbani, s...
ajali husababisha nini
{ "text": [ "vifo na ulemavu" ] }
0171_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni kadhia lenye madhara mengi na hutokea ghafla. Ajali huwa haitokei kisadfa bali hutokea kwa sababu ya binadamu kupuuza mambo fulani. Ajali za barabarani husababishwa na kutofuata alama za barabarani, kutotia sheria za uendeshaji gari ...
Ni nini sababu kuu ya ajali Kenya
{ "text": [ "mwendokasi" ] }
0171_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni kadhia lenye madhara mengi na hutokea ghafla. Ajali huwa haitokei kisadfa bali hutokea kwa sababu ya binadamu kupuuza mambo fulani. Ajali za barabarani husababishwa na kutofuata alama za barabarani, kutotia sheria za uendeshaji gari ...
Hapo awali ni nini kilisababisha ajali
{ "text": [ "ulevi na mihadarati" ] }
0171_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni kadhia lenye madhara mengi na hutokea ghafla. Ajali huwa haitokei kisadfa bali hutokea kwa sababu ya binadamu kupuuza mambo fulani. Ajali za barabarani husababishwa na kutofuata alama za barabarani, kutotia sheria za uendeshaji gari ...
Ni nini kinahitajika kwa magari kupunguza idadi ya ajali
{ "text": [ "vidhibiti mwendo" ] }
0171_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni kadhia lenye madhara mengi na hutokea ghafla. Ajali huwa haitokei kisadfa bali hutokea kwa sababu ya binadamu kupuuza mambo fulani. Ajali za barabarani husababishwa na kutofuata alama za barabarani, kutotia sheria za uendeshaji gari ...
ni wakati gani mtu huskia mlegevu anapoendesha gari
{ "text": [ "anapokunywa pombe" ] }
0171_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni kadhia lenye madhara mengi na hutokea ghafla. Ajali huwa haitokei kisadfa bali hutokea kwa sababu ya binadamu kupuuza mambo fulani. Ajali za barabarani husababishwa na kutofuata alama za barabarani, kutotia sheria za uendeshaji gari ...
ni vipi ajali za barabara zinaweza kupunguzwa
{ "text": [ "barabara ziwe katika hali nzuri na madereva kufuata sheria" ] }
0172_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Masomo ya kiufundi ni masomo ambayo yanapatia watu ujuzi wa kufanya kazi kwa mkono viwandani au kujiajiri mwenyewe. Masomo haya huwafanya watu kuwa wabunifu katika kazi mbalimbali ambazo hupunguza fikira potovu kama vile uha...
mchelea mwana kulia hufanya nini
{ "text": [ "hulia mwenyewe" ] }
0172_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Masomo ya kiufundi ni masomo ambayo yanapatia watu ujuzi wa kufanya kazi kwa mkono viwandani au kujiajiri mwenyewe. Masomo haya huwafanya watu kuwa wabunifu katika kazi mbalimbali ambazo hupunguza fikira potovu kama vile uha...
Ni kina nani huonekana kuwa wachafu
{ "text": [ "waashi" ] }
0172_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Masomo ya kiufundi ni masomo ambayo yanapatia watu ujuzi wa kufanya kazi kwa mkono viwandani au kujiajiri mwenyewe. Masomo haya huwafanya watu kuwa wabunifu katika kazi mbalimbali ambazo hupunguza fikira potovu kama vile uha...
Mbona baadhi ya wanafunzi huwa wavivu
{ "text": [ "hawataki kujichokesha" ] }
0172_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Masomo ya kiufundi ni masomo ambayo yanapatia watu ujuzi wa kufanya kazi kwa mkono viwandani au kujiajiri mwenyewe. Masomo haya huwafanya watu kuwa wabunifu katika kazi mbalimbali ambazo hupunguza fikira potovu kama vile uha...
mbona masomo ya kiufundi hayana mvuto
{ "text": [ "ni kwa sababu wanaoyafanya huonekana kuwa hawana elimu" ] }
0172_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Masomo ya kiufundi ni masomo ambayo yanapatia watu ujuzi wa kufanya kazi kwa mkono viwandani au kujiajiri mwenyewe. Masomo haya huwafanya watu kuwa wabunifu katika kazi mbalimbali ambazo hupunguza fikira potovu kama vile uha...
masomo yapi hupatia watu ujuzi wa kufanya kazi kwa mkono
{ "text": [ "masomo ya kiufundi" ] }
0173_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Aghalabu ajali hujulikana kama tukio lenye madhara linalotokea kighafla katika barabara. Kuna ajali ya aina nyingi kama vile ajali za jikoni, za ofisini, za majini, za shuleni, za nyumbani na za barabarani. Ajali za barabarani hutokea mara kwa m...
Kuna rangi ngapi katika taa za barabarani
{ "text": [ "tatu" ] }
0173_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Aghalabu ajali hujulikana kama tukio lenye madhara linalotokea kighafla katika barabara. Kuna ajali ya aina nyingi kama vile ajali za jikoni, za ofisini, za majini, za shuleni, za nyumbani na za barabarani. Ajali za barabarani hutokea mara kwa m...
Rangi gani inamaanisha kusimama kwa magari
{ "text": [ "nyekundu" ] }
0173_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Aghalabu ajali hujulikana kama tukio lenye madhara linalotokea kighafla katika barabara. Kuna ajali ya aina nyingi kama vile ajali za jikoni, za ofisini, za majini, za shuleni, za nyumbani na za barabarani. Ajali za barabarani hutokea mara kwa m...
Mja anapaswa kulala kwa saa ngapi
{ "text": [ "nane" ] }
0173_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Aghalabu ajali hujulikana kama tukio lenye madhara linalotokea kighafla katika barabara. Kuna ajali ya aina nyingi kama vile ajali za jikoni, za ofisini, za majini, za shuleni, za nyumbani na za barabarani. Ajali za barabarani hutokea mara kwa m...
Waendeshaji bodaboda wanashauriwa wavae nini
{ "text": [ "helmeti" ] }
0173_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Aghalabu ajali hujulikana kama tukio lenye madhara linalotokea kighafla katika barabara. Kuna ajali ya aina nyingi kama vile ajali za jikoni, za ofisini, za majini, za shuleni, za nyumbani na za barabarani. Ajali za barabarani hutokea mara kwa m...
Kwa nini adinasi waelimishwe sheria za barabarani
{ "text": [ "ili kupunguza ajali" ] }
0174_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio linalodhuru ambalo hutokea kwa bahati mbaya na halina kinga wala kafara. Kuna ajali iliyofanyika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa mwezi wa mwisho wa mwaka. Ajali hiyo ilisababishwa na uwembamba wa baraste wakati vichukuzi k...
Ajali nyingi husababishwa na nini
{ "text": [ "Mwendo kasi wa juu wa magari" ] }
0174_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio linalodhuru ambalo hutokea kwa bahati mbaya na halina kinga wala kafara. Kuna ajali iliyofanyika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa mwezi wa mwisho wa mwaka. Ajali hiyo ilisababishwa na uwembamba wa baraste wakati vichukuzi k...
Ajali iliyofanyika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa ilisababishwa na nini
{ "text": [ "Kupishana kwa malori, bodaboda, baisikeli na bajaji kutokana na na wembamba wa barabara" ] }
0174_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio linalodhuru ambalo hutokea kwa bahati mbaya na halina kinga wala kafara. Kuna ajali iliyofanyika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa mwezi wa mwisho wa mwaka. Ajali hiyo ilisababishwa na uwembamba wa baraste wakati vichukuzi k...
Ni kipi kitapunguzwa iwapo safari za usiku zitapigwa marufuku
{ "text": [ "Ajali" ] }
0174_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio linalodhuru ambalo hutokea kwa bahati mbaya na halina kinga wala kafara. Kuna ajali iliyofanyika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa mwezi wa mwisho wa mwaka. Ajali hiyo ilisababishwa na uwembamba wa baraste wakati vichukuzi k...
Ni njia ipi bora ya kupunguza ajali
{ "text": [ "Madereva kuelimishwa athari za ajali kwa kupewa masomo kupitia mtandaoni" ] }
0174_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio linalodhuru ambalo hutokea kwa bahati mbaya na halina kinga wala kafara. Kuna ajali iliyofanyika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa mwezi wa mwisho wa mwaka. Ajali hiyo ilisababishwa na uwembamba wa baraste wakati vichukuzi k...
Ni nini husababisha msongamano barabarani
{ "text": [ "Vyombo vya uchukuzi" ] }
0175_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Barabara! Duru yangu imenijuvya ya kwamba ajali ni tukio lenye madhara linalotokea ghafla bin vuu na haina kinga wala kafara. Ama kweli farasi huenda mbio hujulikana katika mashindano na katika ajali, ajali ya barabarani ndiyo ina peleka wen...
Walikuwa wapi na wenzake
{ "text": [ "kituo cha mabasi" ] }
0175_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Barabara! Duru yangu imenijuvya ya kwamba ajali ni tukio lenye madhara linalotokea ghafla bin vuu na haina kinga wala kafara. Ama kweli farasi huenda mbio hujulikana katika mashindano na katika ajali, ajali ya barabarani ndiyo ina peleka wen...
Matwana ngapi zilipita zikiyumbayumba
{ "text": [ "moja" ] }
0175_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Barabara! Duru yangu imenijuvya ya kwamba ajali ni tukio lenye madhara linalotokea ghafla bin vuu na haina kinga wala kafara. Ama kweli farasi huenda mbio hujulikana katika mashindano na katika ajali, ajali ya barabarani ndiyo ina peleka wen...
Ajali nyingi huwa za lini
{ "text": [ "Disemba" ] }
0175_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Barabara! Duru yangu imenijuvya ya kwamba ajali ni tukio lenye madhara linalotokea ghafla bin vuu na haina kinga wala kafara. Ama kweli farasi huenda mbio hujulikana katika mashindano na katika ajali, ajali ya barabarani ndiyo ina peleka wen...
Grown ilikuwa ikielekea wapi
{ "text": [ "Nairobi" ] }
0175_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Barabara! Duru yangu imenijuvya ya kwamba ajali ni tukio lenye madhara linalotokea ghafla bin vuu na haina kinga wala kafara. Ama kweli farasi huenda mbio hujulikana katika mashindano na katika ajali, ajali ya barabarani ndiyo ina peleka wen...
Watu wapunguze safari za msimu gani
{ "text": [ "wa masika" ] }
0176_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Aghalabu elimu hujulikana kama mfumo unaotumika kuwafundisha binadamu mambo yatakayowasaidia aushini mwao kupitia masomo mbalimbali. Masomo ni ya aina mbili nazo ni: ya kiakademia na ya kiufundi. Masomo ya kiakademia hupigiwa debe hadharani i...
Mfumo wa kufundisha binadamu unaitwaje
{ "text": [ "Elimu" ] }
0176_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Aghalabu elimu hujulikana kama mfumo unaotumika kuwafundisha binadamu mambo yatakayowasaidia aushini mwao kupitia masomo mbalimbali. Masomo ni ya aina mbili nazo ni: ya kiakademia na ya kiufundi. Masomo ya kiakademia hupigiwa debe hadharani i...
Kuna ukosefu wa nini shuleni
{ "text": [ "Vifaa" ] }
0176_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Aghalabu elimu hujulikana kama mfumo unaotumika kuwafundisha binadamu mambo yatakayowasaidia aushini mwao kupitia masomo mbalimbali. Masomo ni ya aina mbili nazo ni: ya kiakademia na ya kiufundi. Masomo ya kiakademia hupigiwa debe hadharani i...
Msisitizo mkubwa upo katika masomo yepi
{ "text": [ "Kiakademia" ] }
0176_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Aghalabu elimu hujulikana kama mfumo unaotumika kuwafundisha binadamu mambo yatakayowasaidia aushini mwao kupitia masomo mbalimbali. Masomo ni ya aina mbili nazo ni: ya kiakademia na ya kiufundi. Masomo ya kiakademia hupigiwa debe hadharani i...
Kuna mtazamo upi kwa baadhi ya masomo ya kiufundi
{ "text": [ "Hasi" ] }
0176_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Aghalabu elimu hujulikana kama mfumo unaotumika kuwafundisha binadamu mambo yatakayowasaidia aushini mwao kupitia masomo mbalimbali. Masomo ni ya aina mbili nazo ni: ya kiakademia na ya kiufundi. Masomo ya kiakademia hupigiwa debe hadharani i...
Masomo ya ufundi yana umuhimu upi
{ "text": [ "Hupunguza visa vya uhalifu na kuimarisha ubunifu" ] }
0179_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana shuleni, vyuoni na maishani. Masomo ni mafunzo ya kutafuta ubingwa wa fani fulani maalumu. Masomo ya kiakademia ni mafunzo yanayotoa elimu au utaalamu maalum. Masomo ya kiufundi ni ma...
Masomo hufanyika wapi?
{ "text": [ "Shuleni" ] }
0179_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana shuleni, vyuoni na maishani. Masomo ni mafunzo ya kutafuta ubingwa wa fani fulani maalumu. Masomo ya kiakademia ni mafunzo yanayotoa elimu au utaalamu maalum. Masomo ya kiufundi ni ma...
Masomo ya kifundi ni yapi?
{ "text": [ "Mikono" ] }
0179_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana shuleni, vyuoni na maishani. Masomo ni mafunzo ya kutafuta ubingwa wa fani fulani maalumu. Masomo ya kiakademia ni mafunzo yanayotoa elimu au utaalamu maalum. Masomo ya kiufundi ni ma...
Masomo hukuza vipawa ya kina nani?
{ "text": [ "Vijana" ] }