Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
4984_swa
Mambo Leo Mitambo ya kompyuta. Imeleta mapinduzi makubwa sana. Katika utendaji kazi. Kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza. Mitambo hii imeweza kuhifadhi habari nyingi sana. Mtu anaweza kuhifadhi vifaa vyake muhimu. Katika kompyuta. Kisha akazitoa zinapojitajika. Wakati anataka kuzitumia. Anaweza kuz...
Mitambo ya kompyuta imeleta nini
{ "text": [ "Mapinduzi makubwa" ] }
4984_swa
Mambo Leo Mitambo ya kompyuta. Imeleta mapinduzi makubwa sana. Katika utendaji kazi. Kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza. Mitambo hii imeweza kuhifadhi habari nyingi sana. Mtu anaweza kuhifadhi vifaa vyake muhimu. Katika kompyuta. Kisha akazitoa zinapojitajika. Wakati anataka kuzitumia. Anaweza kuz...
Mitambo ya kompyuta inaweza hifadhi nini
{ "text": [ "Habari nyingi" ] }
4984_swa
Mambo Leo Mitambo ya kompyuta. Imeleta mapinduzi makubwa sana. Katika utendaji kazi. Kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza. Mitambo hii imeweza kuhifadhi habari nyingi sana. Mtu anaweza kuhifadhi vifaa vyake muhimu. Katika kompyuta. Kisha akazitoa zinapojitajika. Wakati anataka kuzitumia. Anaweza kuz...
Mtu anaweza hifadhi nini katika kompyuta
{ "text": [ "Vifaa vyake muhimu" ] }
4984_swa
Mambo Leo Mitambo ya kompyuta. Imeleta mapinduzi makubwa sana. Katika utendaji kazi. Kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza. Mitambo hii imeweza kuhifadhi habari nyingi sana. Mtu anaweza kuhifadhi vifaa vyake muhimu. Katika kompyuta. Kisha akazitoa zinapojitajika. Wakati anataka kuzitumia. Anaweza kuz...
Kompyuta hazikuwa karne zipi
{ "text": [ "Za awali" ] }
4984_swa
Mambo Leo Mitambo ya kompyuta. Imeleta mapinduzi makubwa sana. Katika utendaji kazi. Kote duniani. Mitambo hii inaweza kufanya mengi. Kwanza. Mitambo hii imeweza kuhifadhi habari nyingi sana. Mtu anaweza kuhifadhi vifaa vyake muhimu. Katika kompyuta. Kisha akazitoa zinapojitajika. Wakati anataka kuzitumia. Anaweza kuz...
Mojawapo ya manufaa ya kompyuta ni yapi
{ "text": [ "Kuhifadhi habari za siri" ] }
5162_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya. Uchumi wa taifa letu unategemea sana kilimo ili kuimarika. Faida ya kwanza ya kilimo ni kutupa chakula. Mimea inayopandwa na wakulima hutupa chakula ni kama vile mahindi, maharagwe, mihogo, mboga na hata miti ya matunda. Chakula hiki huwasaidia wengi k...
Nyuki husaidia na nini
{ "text": [ "Asali" ] }
5162_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya. Uchumi wa taifa letu unategemea sana kilimo ili kuimarika. Faida ya kwanza ya kilimo ni kutupa chakula. Mimea inayopandwa na wakulima hutupa chakula ni kama vile mahindi, maharagwe, mihogo, mboga na hata miti ya matunda. Chakula hiki huwasaidia wengi k...
Miti ni kivutio cha nini
{ "text": [ "Watalii" ] }
5162_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya. Uchumi wa taifa letu unategemea sana kilimo ili kuimarika. Faida ya kwanza ya kilimo ni kutupa chakula. Mimea inayopandwa na wakulima hutupa chakula ni kama vile mahindi, maharagwe, mihogo, mboga na hata miti ya matunda. Chakula hiki huwasaidia wengi k...
Miti huunda nini
{ "text": [ "Misitu" ] }
5162_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya. Uchumi wa taifa letu unategemea sana kilimo ili kuimarika. Faida ya kwanza ya kilimo ni kutupa chakula. Mimea inayopandwa na wakulima hutupa chakula ni kama vile mahindi, maharagwe, mihogo, mboga na hata miti ya matunda. Chakula hiki huwasaidia wengi k...
Kilimo husaidia kutupa nini
{ "text": [ "Matunda" ] }
5162_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya. Uchumi wa taifa letu unategemea sana kilimo ili kuimarika. Faida ya kwanza ya kilimo ni kutupa chakula. Mimea inayopandwa na wakulima hutupa chakula ni kama vile mahindi, maharagwe, mihogo, mboga na hata miti ya matunda. Chakula hiki huwasaidia wengi k...
Kwa nini ni muhimu wazungu kuja kuona miti
{ "text": [ "Kwa vile wao hulipa fedha" ] }
5162_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya. Uchumi wa taifa letu unategemea sana kilimo ili kuimarika. Faida ya kwanza ya kilimo ni kutupa chakula. Mimea inayopandwa na wakulima hutupa chakula ni kama vile mahindi, maharagwe, mihogo, mboga na hata miti ya matunda. Chakula hiki huwasaidia wengi k...
Kilimo kina umuhimu gani
{ "text": [ "Chungu nzima" ] }
5162_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya. Uchumi wa taifa letu unategemea sana kilimo ili kuimarika. Faida ya kwanza ya kilimo ni kutupa chakula. Mimea inayopandwa na wakulima hutupa chakula ni kama vile mahindi, maharagwe, mihogo, mboga na hata miti ya matunda. Chakula hiki huwasaidia wengi k...
Mimea husaidia nchi gani
{ "text": [ "Nchi yetu Kenya" ] }
5162_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya. Uchumi wa taifa letu unategemea sana kilimo ili kuimarika. Faida ya kwanza ya kilimo ni kutupa chakula. Mimea inayopandwa na wakulima hutupa chakula ni kama vile mahindi, maharagwe, mihogo, mboga na hata miti ya matunda. Chakula hiki huwasaidia wengi k...
Miti ni nini
{ "text": [ "Kivuli" ] }
5162_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya. Uchumi wa taifa letu unategemea sana kilimo ili kuimarika. Faida ya kwanza ya kilimo ni kutupa chakula. Mimea inayopandwa na wakulima hutupa chakula ni kama vile mahindi, maharagwe, mihogo, mboga na hata miti ya matunda. Chakula hiki huwasaidia wengi k...
Miti hulinda nini kutokana na upepo
{ "text": [ "Mchanga" ] }
5162_swa
FAIDA ZA KILIMO Kilimo ni muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya. Uchumi wa taifa letu unategemea sana kilimo ili kuimarika. Faida ya kwanza ya kilimo ni kutupa chakula. Mimea inayopandwa na wakulima hutupa chakula ni kama vile mahindi, maharagwe, mihogo, mboga na hata miti ya matunda. Chakula hiki huwasaidia wengi k...
Ni nini hulinda mchanga
{ "text": [ "Miti mingi" ] }
5199_swa
Hamjambo! hamjambo tena? Asanteni kwa kunipa nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikadau wa elimu, walimu wageni wa siku ya leo, wazazi, pamoja na wanafunzi wenzangu. Karibuni sana kwa huu mkutano wa umuhimu wa elimu. Ni jambo la busara kwetu vijana kusikia mashauri tunayopewa na watu wazima kama vile wazazi na w...
Vijana wanafaa kusikiliza nini
{ "text": [ "Ushauri" ] }
5199_swa
Hamjambo! hamjambo tena? Asanteni kwa kunipa nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikadau wa elimu, walimu wageni wa siku ya leo, wazazi, pamoja na wanafunzi wenzangu. Karibuni sana kwa huu mkutano wa umuhimu wa elimu. Ni jambo la busara kwetu vijana kusikia mashauri tunayopewa na watu wazima kama vile wazazi na w...
Nani anaafaa kusoma kwa makini
{ "text": [ "Vijana" ] }
5199_swa
Hamjambo! hamjambo tena? Asanteni kwa kunipa nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikadau wa elimu, walimu wageni wa siku ya leo, wazazi, pamoja na wanafunzi wenzangu. Karibuni sana kwa huu mkutano wa umuhimu wa elimu. Ni jambo la busara kwetu vijana kusikia mashauri tunayopewa na watu wazima kama vile wazazi na w...
Ni nini iliharibu kijana
{ "text": [ "Dawa za kulevya" ] }
5199_swa
Hamjambo! hamjambo tena? Asanteni kwa kunipa nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikadau wa elimu, walimu wageni wa siku ya leo, wazazi, pamoja na wanafunzi wenzangu. Karibuni sana kwa huu mkutano wa umuhimu wa elimu. Ni jambo la busara kwetu vijana kusikia mashauri tunayopewa na watu wazima kama vile wazazi na w...
Kijana alikosa kufika wapi
{ "text": [ "Darasani" ] }
5199_swa
Hamjambo! hamjambo tena? Asanteni kwa kunipa nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikadau wa elimu, walimu wageni wa siku ya leo, wazazi, pamoja na wanafunzi wenzangu. Karibuni sana kwa huu mkutano wa umuhimu wa elimu. Ni jambo la busara kwetu vijana kusikia mashauri tunayopewa na watu wazima kama vile wazazi na w...
Kwa nini kutulia maanani elimu
{ "text": [ "Kwa sababu ya kujenga maisha ya badaye" ] }
5199_swa
Hamjambo! hamjambo tena? Asanteni kwa kunipa nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikadau wa elimu, walimu wageni wa siku ya leo, wazazi, pamoja na wanafunzi wenzangu. Karibuni sana kwa huu mkutano wa umuhimu wa elimu. Ni jambo la busara kwetu vijana kusikia mashauri tunayopewa na watu wazima kama vile wazazi na w...
Aliwarudishia shukrani washikadau gani
{ "text": [ "wa elimu" ] }
5199_swa
Hamjambo! hamjambo tena? Asanteni kwa kunipa nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikadau wa elimu, walimu wageni wa siku ya leo, wazazi, pamoja na wanafunzi wenzangu. Karibuni sana kwa huu mkutano wa umuhimu wa elimu. Ni jambo la busara kwetu vijana kusikia mashauri tunayopewa na watu wazima kama vile wazazi na w...
Ni jambo la busara nani kusikiliza ushauri
{ "text": [ "vijana" ] }
5199_swa
Hamjambo! hamjambo tena? Asanteni kwa kunipa nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikadau wa elimu, walimu wageni wa siku ya leo, wazazi, pamoja na wanafunzi wenzangu. Karibuni sana kwa huu mkutano wa umuhimu wa elimu. Ni jambo la busara kwetu vijana kusikia mashauri tunayopewa na watu wazima kama vile wazazi na w...
Elimu ni ngao ya maisha ya lini
{ "text": [ "ya baadaye" ] }
5199_swa
Hamjambo! hamjambo tena? Asanteni kwa kunipa nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikadau wa elimu, walimu wageni wa siku ya leo, wazazi, pamoja na wanafunzi wenzangu. Karibuni sana kwa huu mkutano wa umuhimu wa elimu. Ni jambo la busara kwetu vijana kusikia mashauri tunayopewa na watu wazima kama vile wazazi na w...
Mvulana aliokota nini barabarani
{ "text": [ "takataka" ] }
5199_swa
Hamjambo! hamjambo tena? Asanteni kwa kunipa nafasi. Nataka kuwarudishia shukrani washikadau wa elimu, walimu wageni wa siku ya leo, wazazi, pamoja na wanafunzi wenzangu. Karibuni sana kwa huu mkutano wa umuhimu wa elimu. Ni jambo la busara kwetu vijana kusikia mashauri tunayopewa na watu wazima kama vile wazazi na w...
Kwa nini ni jambo la busara kusikiliza wazazi
{ "text": [ "sababu wanawazidi kwa maarifa" ] }
5194_swa
UMUHIMU WA ELIMU Ume alikuwa kuwahutuba wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, mwalimu mwandamizi, walimu kamwe na wanafunzi masalkheri. Mimi ni mwanafunzi kutoka shule hii ya Gacharage na leo nimesimama mbele yenu kwa niaba ya wenzangu niwape ushauri kabla yakuanza likizo yenu. Ninge...
Mwandishi anataka kuwashukuru nani
{ "text": [ "walimu" ] }
5194_swa
UMUHIMU WA ELIMU Ume alikuwa kuwahutuba wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, mwalimu mwandamizi, walimu kamwe na wanafunzi masalkheri. Mimi ni mwanafunzi kutoka shule hii ya Gacharage na leo nimesimama mbele yenu kwa niaba ya wenzangu niwape ushauri kabla yakuanza likizo yenu. Ninge...
Mwandishi ni mwanafunzi wa shule gani
{ "text": [ "Gacharage" ] }
5194_swa
UMUHIMU WA ELIMU Ume alikuwa kuwahutuba wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, mwalimu mwandamizi, walimu kamwe na wanafunzi masalkheri. Mimi ni mwanafunzi kutoka shule hii ya Gacharage na leo nimesimama mbele yenu kwa niaba ya wenzangu niwape ushauri kabla yakuanza likizo yenu. Ninge...
Nani awewafunza wengi
{ "text": [ "walimu" ] }
5194_swa
UMUHIMU WA ELIMU Ume alikuwa kuwahutuba wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, mwalimu mwandamizi, walimu kamwe na wanafunzi masalkheri. Mimi ni mwanafunzi kutoka shule hii ya Gacharage na leo nimesimama mbele yenu kwa niaba ya wenzangu niwape ushauri kabla yakuanza likizo yenu. Ninge...
Wamekuwa shule miezi mingapi
{ "text": [ "mitatu" ] }
5194_swa
UMUHIMU WA ELIMU Ume alikuwa kuwahutuba wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, mwalimu mwandamizi, walimu kamwe na wanafunzi masalkheri. Mimi ni mwanafunzi kutoka shule hii ya Gacharage na leo nimesimama mbele yenu kwa niaba ya wenzangu niwape ushauri kabla yakuanza likizo yenu. Ninge...
Kwa nini anawapongeza viongozi
{ "text": [ "Kwa kuhakikisha kuwa masomo yameenda shwari" ] }
5194_swa
UMUHIMU WA ELIMU Ume alikuwa kuwahutuba wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, mwalimu mwandamizi, walimu kamwe na wanafunzi masalkheri. Mimi ni mwanafunzi kutoka shule hii ya Gacharage na leo nimesimama mbele yenu kwa niaba ya wenzangu niwape ushauri kabla yakuanza likizo yenu. Ninge...
Nani ametufunza mengi sana
{ "text": [ "Walimu" ] }
5194_swa
UMUHIMU WA ELIMU Ume alikuwa kuwahutuba wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, mwalimu mwandamizi, walimu kamwe na wanafunzi masalkheri. Mimi ni mwanafunzi kutoka shule hii ya Gacharage na leo nimesimama mbele yenu kwa niaba ya wenzangu niwape ushauri kabla yakuanza likizo yenu. Ninge...
Nahongera walimu kwa nini
{ "text": [ "Kuchapa kazi." ] }
5194_swa
UMUHIMU WA ELIMU Ume alikuwa kuwahutuba wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, mwalimu mwandamizi, walimu kamwe na wanafunzi masalkheri. Mimi ni mwanafunzi kutoka shule hii ya Gacharage na leo nimesimama mbele yenu kwa niaba ya wenzangu niwape ushauri kabla yakuanza likizo yenu. Ninge...
Hakuna mchele ukosao nini
{ "text": [ "Ndume" ] }
5194_swa
UMUHIMU WA ELIMU Ume alikuwa kuwahutuba wanafunzi kuhusu umuhimu wa elimu. “Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, mwalimu mwandamizi, walimu kamwe na wanafunzi masalkheri. Mimi ni mwanafunzi kutoka shule hii ya Gacharage na leo nimesimama mbele yenu kwa niaba ya wenzangu niwape ushauri kabla yakuanza likizo yenu. Ninge...
Kwa nini mwandishi alisimama mbele ya wanafunzi
{ "text": [ "Kuwapa ushauri kabla ya likizo" ] }
3666_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Vijana wengi katika jamii wanajihusisha katika mapenzi ya mapema. Mapenzi ya mapema ina uozo unaoibuka katika jamii. Vijana wanapojiunga katika uhusiano wa kimapenzi wanaweza pitia Katika changamoto na pia upotofu wa kimaadili. Mapenzi hii ndio...
Vijana wengi wanajihusiha na nini
{ "text": [ "Mapenzi" ] }
3666_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Vijana wengi katika jamii wanajihusisha katika mapenzi ya mapema. Mapenzi ya mapema ina uozo unaoibuka katika jamii. Vijana wanapojiunga katika uhusiano wa kimapenzi wanaweza pitia Katika changamoto na pia upotofu wa kimaadili. Mapenzi hii ndio...
Mapenzi ya mapema husababisha nini
{ "text": [ "Magonjwa" ] }
3666_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Vijana wengi katika jamii wanajihusisha katika mapenzi ya mapema. Mapenzi ya mapema ina uozo unaoibuka katika jamii. Vijana wanapojiunga katika uhusiano wa kimapenzi wanaweza pitia Katika changamoto na pia upotofu wa kimaadili. Mapenzi hii ndio...
Utengano wa waliioana huletwa na nini
{ "text": [ "mapenzi" ] }
3666_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Vijana wengi katika jamii wanajihusisha katika mapenzi ya mapema. Mapenzi ya mapema ina uozo unaoibuka katika jamii. Vijana wanapojiunga katika uhusiano wa kimapenzi wanaweza pitia Katika changamoto na pia upotofu wa kimaadili. Mapenzi hii ndio...
Hali ngumu ya maisha huletwa na nini
{ "text": [ "Na watu kutengana" ] }
3666_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Vijana wengi katika jamii wanajihusisha katika mapenzi ya mapema. Mapenzi ya mapema ina uozo unaoibuka katika jamii. Vijana wanapojiunga katika uhusiano wa kimapenzi wanaweza pitia Katika changamoto na pia upotofu wa kimaadili. Mapenzi hii ndio...
Ni vipi magonjwa yataleta upungufu wa watu
{ "text": [ "Kupitia kwa kifo" ] }
3666_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Vijana wengi katika jamii wanajihusisha katika mapenzi ya mapema. Mapenzi ya mapema ina uozo unaoibuka katika jamii. Vijana wanapojiunga katika uhusiano wa kimapenzi wanaweza pitia Katika changamoto na pia upotofu wa kimaadili. Mapenzi hii ndio...
Nani hujihusisha kwa mapenzi ya mapema
{ "text": [ "Vijana" ] }
3666_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Vijana wengi katika jamii wanajihusisha katika mapenzi ya mapema. Mapenzi ya mapema ina uozo unaoibuka katika jamii. Vijana wanapojiunga katika uhusiano wa kimapenzi wanaweza pitia Katika changamoto na pia upotofu wa kimaadili. Mapenzi hii ndio...
Ni nini huleta utengano kati ya wanaopendana
{ "text": [ "mapenzi" ] }
3666_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Vijana wengi katika jamii wanajihusisha katika mapenzi ya mapema. Mapenzi ya mapema ina uozo unaoibuka katika jamii. Vijana wanapojiunga katika uhusiano wa kimapenzi wanaweza pitia Katika changamoto na pia upotofu wa kimaadili. Mapenzi hii ndio...
Mapenzi husababisha upotofu wa nini
{ "text": [ "Maadili" ] }
3666_swa
UHUSIANO WA KIMAPENZI MIONGONI MWA VIJANA NI CHANZO CHA UOZO KATIKA JAMII Vijana wengi katika jamii wanajihusisha katika mapenzi ya mapema. Mapenzi ya mapema ina uozo unaoibuka katika jamii. Vijana wanapojiunga katika uhusiano wa kimapenzi wanaweza pitia Katika changamoto na pia upotofu wa kimaadili. Mapenzi hii ndio...
kwa nini matumizi ya dawa za kulevya si mazuri
{ "text": [ "Hufanya vijana kujihusisha na wizi na ukosefu wa maadili" ] }
2425_swa
Samaki Mkarimu Hapo zamani za kale, Mpunzi na mkewe waliishi na mtoto wao mmoja wa kike aliyeitwa Nosisa. Mpunzi alitaka mtoto mvulana, lakini yeye na mkewe hawangeweza kupata watoto wengine. Mpunzi alimlaumu mkewe kwa kutompa mtoto wa kiume. Siku moja, Mpunzi alimchapa mkewe akatoroka na kwenda nyumba...
Mpunzi na mkwe walikwa na mwana aliyeitwa nani
{ "text": [ "Nosisa" ] }
2425_swa
Samaki Mkarimu Hapo zamani za kale, Mpunzi na mkewe waliishi na mtoto wao mmoja wa kike aliyeitwa Nosisa. Mpunzi alitaka mtoto mvulana, lakini yeye na mkewe hawangeweza kupata watoto wengine. Mpunzi alimlaumu mkewe kwa kutompa mtoto wa kiume. Siku moja, Mpunzi alimchapa mkewe akatoroka na kwenda nyumba...
Kwa nini mkewe mpunzi alitoroka na kwenda kwao
{ "text": [ "Alichapwa na mumewe" ] }
2425_swa
Samaki Mkarimu Hapo zamani za kale, Mpunzi na mkewe waliishi na mtoto wao mmoja wa kike aliyeitwa Nosisa. Mpunzi alitaka mtoto mvulana, lakini yeye na mkewe hawangeweza kupata watoto wengine. Mpunzi alimlaumu mkewe kwa kutompa mtoto wa kiume. Siku moja, Mpunzi alimchapa mkewe akatoroka na kwenda nyumba...
Mamake Nosisa alibadilika na kuwa nini
{ "text": [ "Samaki" ] }
2425_swa
Samaki Mkarimu Hapo zamani za kale, Mpunzi na mkewe waliishi na mtoto wao mmoja wa kike aliyeitwa Nosisa. Mpunzi alitaka mtoto mvulana, lakini yeye na mkewe hawangeweza kupata watoto wengine. Mpunzi alimlaumu mkewe kwa kutompa mtoto wa kiume. Siku moja, Mpunzi alimchapa mkewe akatoroka na kwenda nyumba...
Maziwa ya mpunzi yaliuziwa nani
{ "text": [ "Wanakijiji" ] }
2425_swa
Samaki Mkarimu Hapo zamani za kale, Mpunzi na mkewe waliishi na mtoto wao mmoja wa kike aliyeitwa Nosisa. Mpunzi alitaka mtoto mvulana, lakini yeye na mkewe hawangeweza kupata watoto wengine. Mpunzi alimlaumu mkewe kwa kutompa mtoto wa kiume. Siku moja, Mpunzi alimchapa mkewe akatoroka na kwenda nyumba...
Kwa nini Mpunzi alioa mke mwingine?
{ "text": [ "Alitumai angemzalia mtoto mvulana" ] }
2425_swa
Samaki Mkarimu Hapo zamani za kale, Mpunzi na mkewe waliishi na mtoto wao mmoja wa kike aliyeitwa Nosisa. Mpunzi alitaka mtoto mvulana, lakini yeye na mkewe hawangeweza kupata watoto wengine. Mpunzi alimlaumu mkewe kwa kutompa mtoto wa kiume. Siku moja, Mpunzi alimchapa mkewe akatoroka na kwenda nyumba...
Mpunzi alimtesa vipi Nosisa?
{ "text": [ "Kumlazimisha kumtumikia mke wake mpya" ] }
2425_swa
Samaki Mkarimu Hapo zamani za kale, Mpunzi na mkewe waliishi na mtoto wao mmoja wa kike aliyeitwa Nosisa. Mpunzi alitaka mtoto mvulana, lakini yeye na mkewe hawangeweza kupata watoto wengine. Mpunzi alimlaumu mkewe kwa kutompa mtoto wa kiume. Siku moja, Mpunzi alimchapa mkewe akatoroka na kwenda nyumba...
Mwana wa Mpunzi na mkewe aliitwa nani?
{ "text": [ "Nosisa" ] }
2425_swa
Samaki Mkarimu Hapo zamani za kale, Mpunzi na mkewe waliishi na mtoto wao mmoja wa kike aliyeitwa Nosisa. Mpunzi alitaka mtoto mvulana, lakini yeye na mkewe hawangeweza kupata watoto wengine. Mpunzi alimlaumu mkewe kwa kutompa mtoto wa kiume. Siku moja, Mpunzi alimchapa mkewe akatoroka na kwenda nyumba...
Kwa nini Mpunzi alimlaumu mkewe?
{ "text": [ "Kwa kutompa mtoto wa kiume" ] }
2425_swa
Samaki Mkarimu Hapo zamani za kale, Mpunzi na mkewe waliishi na mtoto wao mmoja wa kike aliyeitwa Nosisa. Mpunzi alitaka mtoto mvulana, lakini yeye na mkewe hawangeweza kupata watoto wengine. Mpunzi alimlaumu mkewe kwa kutompa mtoto wa kiume. Siku moja, Mpunzi alimchapa mkewe akatoroka na kwenda nyumba...
Maziwa ya Mpunzi iliuziwa nani?
{ "text": [ "Wanakijiji" ] }
2307_swa
Mfalme mbaya Mbuzi alikuwa mfalme wa wanyama na ndege. Aliita mkutano. Mbuzi aliwaambia kwamba aliota ndoto. Wote walisikiliza. Ndoto ilihusu njaa. "Tutafanyaje?" Paka aliuliza. Kuku na Bata walisema, "Ni vyema sisi kuweka chakula kwa mfalme." Mfalme Mbuzi alisema, "Mfunge yeyote atakayeka...
Mbuzi aliwaabia ameota nini
{ "text": [ "Ndoto" ] }
2307_swa
Mfalme mbaya Mbuzi alikuwa mfalme wa wanyama na ndege. Aliita mkutano. Mbuzi aliwaambia kwamba aliota ndoto. Wote walisikiliza. Ndoto ilihusu njaa. "Tutafanyaje?" Paka aliuliza. Kuku na Bata walisema, "Ni vyema sisi kuweka chakula kwa mfalme." Mfalme Mbuzi alisema, "Mfunge yeyote atakayeka...
Mbuzi alipata ndoto kuhusu nini
{ "text": [ "Njaa" ] }
2307_swa
Mfalme mbaya Mbuzi alikuwa mfalme wa wanyama na ndege. Aliita mkutano. Mbuzi aliwaambia kwamba aliota ndoto. Wote walisikiliza. Ndoto ilihusu njaa. "Tutafanyaje?" Paka aliuliza. Kuku na Bata walisema, "Ni vyema sisi kuweka chakula kwa mfalme." Mfalme Mbuzi alisema, "Mfunge yeyote atakayeka...
Kuku na Bata walipendekeza wafanye nini
{ "text": [ "Waweke chakula kwa mfalme" ] }
2307_swa
Mfalme mbaya Mbuzi alikuwa mfalme wa wanyama na ndege. Aliita mkutano. Mbuzi aliwaambia kwamba aliota ndoto. Wote walisikiliza. Ndoto ilihusu njaa. "Tutafanyaje?" Paka aliuliza. Kuku na Bata walisema, "Ni vyema sisi kuweka chakula kwa mfalme." Mfalme Mbuzi alisema, "Mfunge yeyote atakayeka...
Mfalme aliamuru nini kwa yeyote atakayekayaa kutii?
{ "text": [ "Afungwe" ] }
2307_swa
Mfalme mbaya Mbuzi alikuwa mfalme wa wanyama na ndege. Aliita mkutano. Mbuzi aliwaambia kwamba aliota ndoto. Wote walisikiliza. Ndoto ilihusu njaa. "Tutafanyaje?" Paka aliuliza. Kuku na Bata walisema, "Ni vyema sisi kuweka chakula kwa mfalme." Mfalme Mbuzi alisema, "Mfunge yeyote atakayeka...
Nani alikuwa mfalme wa wanyama na ndege?
{ "text": [ "Mbuzi" ] }
2307_swa
Mfalme mbaya Mbuzi alikuwa mfalme wa wanyama na ndege. Aliita mkutano. Mbuzi aliwaambia kwamba aliota ndoto. Wote walisikiliza. Ndoto ilihusu njaa. "Tutafanyaje?" Paka aliuliza. Kuku na Bata walisema, "Ni vyema sisi kuweka chakula kwa mfalme." Mfalme Mbuzi alisema, "Mfunge yeyote atakayeka...
Ndoto ya mfalme Mbuzi ilihusu nini?
{ "text": [ "Njaa" ] }
2307_swa
Mfalme mbaya Mbuzi alikuwa mfalme wa wanyama na ndege. Aliita mkutano. Mbuzi aliwaambia kwamba aliota ndoto. Wote walisikiliza. Ndoto ilihusu njaa. "Tutafanyaje?" Paka aliuliza. Kuku na Bata walisema, "Ni vyema sisi kuweka chakula kwa mfalme." Mfalme Mbuzi alisema, "Mfunge yeyote atakayeka...
Nani alichaguliwa kuwa mfalme baada ya Mbuzi?
{ "text": [ "Paka" ] }
2307_swa
Mfalme mbaya Mbuzi alikuwa mfalme wa wanyama na ndege. Aliita mkutano. Mbuzi aliwaambia kwamba aliota ndoto. Wote walisikiliza. Ndoto ilihusu njaa. "Tutafanyaje?" Paka aliuliza. Kuku na Bata walisema, "Ni vyema sisi kuweka chakula kwa mfalme." Mfalme Mbuzi alisema, "Mfunge yeyote atakayeka...
Kuku na Bata walisema ni vyema nini kiwekwe kwa mfalme Mbuzi?
{ "text": [ "Chakula" ] }
2307_swa
Mfalme mbaya Mbuzi alikuwa mfalme wa wanyama na ndege. Aliita mkutano. Mbuzi aliwaambia kwamba aliota ndoto. Wote walisikiliza. Ndoto ilihusu njaa. "Tutafanyaje?" Paka aliuliza. Kuku na Bata walisema, "Ni vyema sisi kuweka chakula kwa mfalme." Mfalme Mbuzi alisema, "Mfunge yeyote atakayeka...
Nani aliuliza kama Mbuzi atakuwa mfalme milele?
{ "text": [ "Kondoo" ] }
0231_swa
MASHEIKH WATAKA VIJANA WAFUNZWE KUHUSU NDOA Wahubiri wa dini ya Kiislamu wamesema kuwa warsha za kutoa mafunzo kuhusu ndoa na ngono zitawatayarisha vijana kabla kuoa au kuolewa ili kupunguza kesi za talaka. Hii ni baada ya ripoti kutoka kwa mahakama ya Kadhi kuonyesha kuwa eneo la Pwani limekuwa na zaidi ya talaka 5,...
Mahakama ya Kadhi imekuwa na talaka zaidi ya 5000 eneo lipi
{ "text": [ "Pwani" ] }
0231_swa
MASHEIKH WATAKA VIJANA WAFUNZWE KUHUSU NDOA Wahubiri wa dini ya Kiislamu wamesema kuwa warsha za kutoa mafunzo kuhusu ndoa na ngono zitawatayarisha vijana kabla kuoa au kuolewa ili kupunguza kesi za talaka. Hii ni baada ya ripoti kutoka kwa mahakama ya Kadhi kuonyesha kuwa eneo la Pwani limekuwa na zaidi ya talaka 5,...
Sheikh Yusuf Abdi alisema vikao vinaandaa vijana kuingia wapi
{ "text": [ "Ndoa" ] }
0231_swa
MASHEIKH WATAKA VIJANA WAFUNZWE KUHUSU NDOA Wahubiri wa dini ya Kiislamu wamesema kuwa warsha za kutoa mafunzo kuhusu ndoa na ngono zitawatayarisha vijana kabla kuoa au kuolewa ili kupunguza kesi za talaka. Hii ni baada ya ripoti kutoka kwa mahakama ya Kadhi kuonyesha kuwa eneo la Pwani limekuwa na zaidi ya talaka 5,...
Vijana waliohudhuria vikao katika mji upi
{ "text": [ "Mombasa" ] }
0231_swa
MASHEIKH WATAKA VIJANA WAFUNZWE KUHUSU NDOA Wahubiri wa dini ya Kiislamu wamesema kuwa warsha za kutoa mafunzo kuhusu ndoa na ngono zitawatayarisha vijana kabla kuoa au kuolewa ili kupunguza kesi za talaka. Hii ni baada ya ripoti kutoka kwa mahakama ya Kadhi kuonyesha kuwa eneo la Pwani limekuwa na zaidi ya talaka 5,...
Nani wanafaa kujua mipaka yao kuhusu ndoa
{ "text": [ "Wakwe" ] }
0231_swa
MASHEIKH WATAKA VIJANA WAFUNZWE KUHUSU NDOA Wahubiri wa dini ya Kiislamu wamesema kuwa warsha za kutoa mafunzo kuhusu ndoa na ngono zitawatayarisha vijana kabla kuoa au kuolewa ili kupunguza kesi za talaka. Hii ni baada ya ripoti kutoka kwa mahakama ya Kadhi kuonyesha kuwa eneo la Pwani limekuwa na zaidi ya talaka 5,...
Eneo la pwani lina talaka zaidi ya ngapi
{ "text": [ "5,000" ] }
0231_swa
MASHEIKH WATAKA VIJANA WAFUNZWE KUHUSU NDOA Wahubiri wa dini ya Kiislamu wamesema kuwa warsha za kutoa mafunzo kuhusu ndoa na ngono zitawatayarisha vijana kabla kuoa au kuolewa ili kupunguza kesi za talaka. Hii ni baada ya ripoti kutoka kwa mahakama ya Kadhi kuonyesha kuwa eneo la Pwani limekuwa na zaidi ya talaka 5,...
Mafundisho yanatolewa kwa vijana wana miaka ngapi
{ "text": [ "18" ] }
0231_swa
MASHEIKH WATAKA VIJANA WAFUNZWE KUHUSU NDOA Wahubiri wa dini ya Kiislamu wamesema kuwa warsha za kutoa mafunzo kuhusu ndoa na ngono zitawatayarisha vijana kabla kuoa au kuolewa ili kupunguza kesi za talaka. Hii ni baada ya ripoti kutoka kwa mahakama ya Kadhi kuonyesha kuwa eneo la Pwani limekuwa na zaidi ya talaka 5,...
Vijana waliohudhuria walitoka katika kaunti ipi
{ "text": [ "Mombasa" ] }
0231_swa
MASHEIKH WATAKA VIJANA WAFUNZWE KUHUSU NDOA Wahubiri wa dini ya Kiislamu wamesema kuwa warsha za kutoa mafunzo kuhusu ndoa na ngono zitawatayarisha vijana kabla kuoa au kuolewa ili kupunguza kesi za talaka. Hii ni baada ya ripoti kutoka kwa mahakama ya Kadhi kuonyesha kuwa eneo la Pwani limekuwa na zaidi ya talaka 5,...
Kabla ya kuingia katika ndoa mtu anafaa kufanya nini
{ "text": [ "utafiti" ] }
0020_swa
AJALI HAIJALI Chambilecho, wahenga hawakutuvisha soksi za chuma walipolonga kuwa ajali haijali. Ajali haitaki kujua kama kuna rais wala fukara. Wote ni sawa kwa ajali. Aidha ajali haina kinga. Siku wahedi, wavyele wetu walirudi nyumbani nyuso zao zikimwekamweka kwa furaha. Kwa sababu tulitaka kujua mbona walikuwa wam...
Siku ambayo ingefuata, wangeenda kumwona nani
{ "text": [ "mjomba wao" ] }
0020_swa
AJALI HAIJALI Chambilecho, wahenga hawakutuvisha soksi za chuma walipolonga kuwa ajali haijali. Ajali haitaki kujua kama kuna rais wala fukara. Wote ni sawa kwa ajali. Aidha ajali haina kinga. Siku wahedi, wavyele wetu walirudi nyumbani nyuso zao zikimwekamweka kwa furaha. Kwa sababu tulitaka kujua mbona walikuwa wam...
Walipiga soga vipi walipokuwa wakienda kwa halati yao
{ "text": [ "kwa furaha" ] }
0020_swa
AJALI HAIJALI Chambilecho, wahenga hawakutuvisha soksi za chuma walipolonga kuwa ajali haijali. Ajali haitaki kujua kama kuna rais wala fukara. Wote ni sawa kwa ajali. Aidha ajali haina kinga. Siku wahedi, wavyele wetu walirudi nyumbani nyuso zao zikimwekamweka kwa furaha. Kwa sababu tulitaka kujua mbona walikuwa wam...
Walifika saa ngapi
{ "text": [ "saa sita" ] }
0020_swa
AJALI HAIJALI Chambilecho, wahenga hawakutuvisha soksi za chuma walipolonga kuwa ajali haijali. Ajali haitaki kujua kama kuna rais wala fukara. Wote ni sawa kwa ajali. Aidha ajali haina kinga. Siku wahedi, wavyele wetu walirudi nyumbani nyuso zao zikimwekamweka kwa furaha. Kwa sababu tulitaka kujua mbona walikuwa wam...
Kwa nini halati yao aliamua kurudi nao
{ "text": [ "iili siku iliyokuwa inafuatia afike mapema kazini" ] }
0020_swa
AJALI HAIJALI Chambilecho, wahenga hawakutuvisha soksi za chuma walipolonga kuwa ajali haijali. Ajali haitaki kujua kama kuna rais wala fukara. Wote ni sawa kwa ajali. Aidha ajali haina kinga. Siku wahedi, wavyele wetu walirudi nyumbani nyuso zao zikimwekamweka kwa furaha. Kwa sababu tulitaka kujua mbona walikuwa wam...
Wahenga walisema ajali haina nini
{ "text": [ "kinga" ] }
0020_swa
AJALI HAIJALI Chambilecho, wahenga hawakutuvisha soksi za chuma walipolonga kuwa ajali haijali. Ajali haitaki kujua kama kuna rais wala fukara. Wote ni sawa kwa ajali. Aidha ajali haina kinga. Siku wahedi, wavyele wetu walirudi nyumbani nyuso zao zikimwekamweka kwa furaha. Kwa sababu tulitaka kujua mbona walikuwa wam...
Baada ya kula walienda wapi
{ "text": [ "garini" ] }
0020_swa
AJALI HAIJALI Chambilecho, wahenga hawakutuvisha soksi za chuma walipolonga kuwa ajali haijali. Ajali haitaki kujua kama kuna rais wala fukara. Wote ni sawa kwa ajali. Aidha ajali haina kinga. Siku wahedi, wavyele wetu walirudi nyumbani nyuso zao zikimwekamweka kwa furaha. Kwa sababu tulitaka kujua mbona walikuwa wam...
Walipiga soga vipi walipokuwa wakielekea
{ "text": [ "kwa furaha" ] }
0020_swa
AJALI HAIJALI Chambilecho, wahenga hawakutuvisha soksi za chuma walipolonga kuwa ajali haijali. Ajali haitaki kujua kama kuna rais wala fukara. Wote ni sawa kwa ajali. Aidha ajali haina kinga. Siku wahedi, wavyele wetu walirudi nyumbani nyuso zao zikimwekamweka kwa furaha. Kwa sababu tulitaka kujua mbona walikuwa wam...
Kwa nini halati alijawa na furaha
{ "text": [ "kwa kuwaona" ] }
2366_swa
Ndoto ya Graca Graca alizaliwa Msumbiji. Nchi yake ilikuwa maskini sana na hawakuwa wamepata uhuru. Watoto hawakuwa na shule nzuri za kwenda. Mamake alikuwa na ndoto ya kuwapa wanawe maisha mazuri. Bila masomo haingewezekana. Mtoto Graca angekuwa mzaliwa wa sita. Licha ya furaha hii yote kulikuwa na hu...
Graca alizaliwa wapi
{ "text": [ "Msumbiji" ] }
2366_swa
Ndoto ya Graca Graca alizaliwa Msumbiji. Nchi yake ilikuwa maskini sana na hawakuwa wamepata uhuru. Watoto hawakuwa na shule nzuri za kwenda. Mamake alikuwa na ndoto ya kuwapa wanawe maisha mazuri. Bila masomo haingewezekana. Mtoto Graca angekuwa mzaliwa wa sita. Licha ya furaha hii yote kulikuwa na hu...
Ndoto ya mamake ilikuwa kuwapa wanawe nini
{ "text": [ "maisha mazuri" ] }
2366_swa
Ndoto ya Graca Graca alizaliwa Msumbiji. Nchi yake ilikuwa maskini sana na hawakuwa wamepata uhuru. Watoto hawakuwa na shule nzuri za kwenda. Mamake alikuwa na ndoto ya kuwapa wanawe maisha mazuri. Bila masomo haingewezekana. Mtoto Graca angekuwa mzaliwa wa sita. Licha ya furaha hii yote kulikuwa na hu...
Graca alitamani watoto wa Msumbiji wafanyeje
{ "text": [ "wajue kusoma na kuandika" ] }
2366_swa
Ndoto ya Graca Graca alizaliwa Msumbiji. Nchi yake ilikuwa maskini sana na hawakuwa wamepata uhuru. Watoto hawakuwa na shule nzuri za kwenda. Mamake alikuwa na ndoto ya kuwapa wanawe maisha mazuri. Bila masomo haingewezekana. Mtoto Graca angekuwa mzaliwa wa sita. Licha ya furaha hii yote kulikuwa na hu...
Graca na Samora walijaliwa kupata watoto wangapi
{ "text": [ "wawili" ] }
2366_swa
Ndoto ya Graca Graca alizaliwa Msumbiji. Nchi yake ilikuwa maskini sana na hawakuwa wamepata uhuru. Watoto hawakuwa na shule nzuri za kwenda. Mamake alikuwa na ndoto ya kuwapa wanawe maisha mazuri. Bila masomo haingewezekana. Mtoto Graca angekuwa mzaliwa wa sita. Licha ya furaha hii yote kulikuwa na hu...
Mbona kulikuwa na huzuni
{ "text": [ "babake Graca alikuwa karibu kufa" ] }
2366_swa
Ndoto ya Graca Graca alizaliwa Msumbiji. Nchi yake ilikuwa maskini sana na hawakuwa wamepata uhuru. Watoto hawakuwa na shule nzuri za kwenda. Mamake alikuwa na ndoto ya kuwapa wanawe maisha mazuri. Bila masomo haingewezekana. Mtoto Graca angekuwa mzaliwa wa sita. Licha ya furaha hii yote kulikuwa na hu...
Mamake alikuwa na ndoto gani
{ "text": [ "ya kuwapa wanawe maisha mazuri" ] }
2366_swa
Ndoto ya Graca Graca alizaliwa Msumbiji. Nchi yake ilikuwa maskini sana na hawakuwa wamepata uhuru. Watoto hawakuwa na shule nzuri za kwenda. Mamake alikuwa na ndoto ya kuwapa wanawe maisha mazuri. Bila masomo haingewezekana. Mtoto Graca angekuwa mzaliwa wa sita. Licha ya furaha hii yote kulikuwa na hu...
Nani alikuwa karibu kufa
{ "text": [ "babake Graca" ] }
2366_swa
Ndoto ya Graca Graca alizaliwa Msumbiji. Nchi yake ilikuwa maskini sana na hawakuwa wamepata uhuru. Watoto hawakuwa na shule nzuri za kwenda. Mamake alikuwa na ndoto ya kuwapa wanawe maisha mazuri. Bila masomo haingewezekana. Mtoto Graca angekuwa mzaliwa wa sita. Licha ya furaha hii yote kulikuwa na hu...
Kwa nini Graca bado alikuwa na huzuni
{ "text": [ "Watu kule nyumbani kwao hawakuwa na uhuru" ] }
2491_swa
Wangari Maathai Kulikuwa na msichana mdogo aliyeitwa Wangari. Wangari alipanda mbegu katika bustani yao. Jioni, Wangari alirudi nyumbani. Wangari alipofikisha umri wa miaka saba, alienda shule. Wangari alifanya vyema shuleni. Alialikwa kwenda Marekani kuendeleza masomo yake. Alisomea sayan...
Wangari hakusahau nchi yake ipi?
{ "text": [ "Kenya" ] }
2491_swa
Wangari Maathai Kulikuwa na msichana mdogo aliyeitwa Wangari. Wangari alipanda mbegu katika bustani yao. Jioni, Wangari alirudi nyumbani. Wangari alipofikisha umri wa miaka saba, alienda shule. Wangari alifanya vyema shuleni. Alialikwa kwenda Marekani kuendeleza masomo yake. Alisomea sayan...
Wangari alisomea sayansi ya aina gani?
{ "text": [ "Mimea" ] }
2491_swa
Wangari Maathai Kulikuwa na msichana mdogo aliyeitwa Wangari. Wangari alipanda mbegu katika bustani yao. Jioni, Wangari alirudi nyumbani. Wangari alipofikisha umri wa miaka saba, alienda shule. Wangari alifanya vyema shuleni. Alialikwa kwenda Marekani kuendeleza masomo yake. Alisomea sayan...
Wangari aliwafundisha wanawake kupanda miti ili kufanyike nini?
{ "text": [ "Wapate pesa ya matumizi yao" ] }
2491_swa
Wangari Maathai Kulikuwa na msichana mdogo aliyeitwa Wangari. Wangari alipanda mbegu katika bustani yao. Jioni, Wangari alirudi nyumbani. Wangari alipofikisha umri wa miaka saba, alienda shule. Wangari alifanya vyema shuleni. Alialikwa kwenda Marekani kuendeleza masomo yake. Alisomea sayan...
Msichana mdogo alikua anaitwa nani?
{ "text": [ "Wangari" ] }
2491_swa
Wangari Maathai Kulikuwa na msichana mdogo aliyeitwa Wangari. Wangari alipanda mbegu katika bustani yao. Jioni, Wangari alirudi nyumbani. Wangari alipofikisha umri wa miaka saba, alienda shule. Wangari alifanya vyema shuleni. Alialikwa kwenda Marekani kuendeleza masomo yake. Alisomea sayan...
Wangari alipanda nini katika bustani yao?
{ "text": [ "Mbegu" ] }
2491_swa
Wangari Maathai Kulikuwa na msichana mdogo aliyeitwa Wangari. Wangari alipanda mbegu katika bustani yao. Jioni, Wangari alirudi nyumbani. Wangari alipofikisha umri wa miaka saba, alienda shule. Wangari alifanya vyema shuleni. Alialikwa kwenda Marekani kuendeleza masomo yake. Alisomea sayan...
Jioni Wangari alirudi wapi?
{ "text": [ "Nyumbani" ] }
2491_swa
Wangari Maathai Kulikuwa na msichana mdogo aliyeitwa Wangari. Wangari alipanda mbegu katika bustani yao. Jioni, Wangari alirudi nyumbani. Wangari alipofikisha umri wa miaka saba, alienda shule. Wangari alifanya vyema shuleni. Alialikwa kwenda Marekani kuendeleza masomo yake. Alisomea sayan...
Wangari alienda wapi alipofikisha umri wa miaka saba?
{ "text": [ "Shule" ] }
2491_swa
Wangari Maathai Kulikuwa na msichana mdogo aliyeitwa Wangari. Wangari alipanda mbegu katika bustani yao. Jioni, Wangari alirudi nyumbani. Wangari alipofikisha umri wa miaka saba, alienda shule. Wangari alifanya vyema shuleni. Alialikwa kwenda Marekani kuendeleza masomo yake. Alisomea sayan...
Wangari alialikwa kwenda wapi?
{ "text": [ "Marekani" ] }
4710_swa
SOKO LETU Soko ni eneo kubwa ambalo linajadiliana na watu, wachuuzi na wanunuaji bidhaa. Soko letu lina vitu kadha wa kadha kama vile nyanya, vitunguu, mayai na mengineyo. Kwa kweli wasemavyo wahenga likikatika moyo uhudi si pato. Wanunuaji bidhaa huja sokoni mwetu kununua vitu kadhaa. Mimi hushirikiana na mama yangu k...
Wanunuzi bidhaa huenda kununua bidhaa wapi
{ "text": [ "Sokoni" ] }
4710_swa
SOKO LETU Soko ni eneo kubwa ambalo linajadiliana na watu, wachuuzi na wanunuaji bidhaa. Soko letu lina vitu kadha wa kadha kama vile nyanya, vitunguu, mayai na mengineyo. Kwa kweli wasemavyo wahenga likikatika moyo uhudi si pato. Wanunuaji bidhaa huja sokoni mwetu kununua vitu kadhaa. Mimi hushirikiana na mama yangu k...
Kwa siku wao huuza nyanya ishirini na kupata shilingi ngapi
{ "text": [ "Mia mbili" ] }
4710_swa
SOKO LETU Soko ni eneo kubwa ambalo linajadiliana na watu, wachuuzi na wanunuaji bidhaa. Soko letu lina vitu kadha wa kadha kama vile nyanya, vitunguu, mayai na mengineyo. Kwa kweli wasemavyo wahenga likikatika moyo uhudi si pato. Wanunuaji bidhaa huja sokoni mwetu kununua vitu kadhaa. Mimi hushirikiana na mama yangu k...
Yeye huchunguza nini kabla ya kumuuzia mtu chochote
{ "text": [ "Bei" ] }
4710_swa
SOKO LETU Soko ni eneo kubwa ambalo linajadiliana na watu, wachuuzi na wanunuaji bidhaa. Soko letu lina vitu kadha wa kadha kama vile nyanya, vitunguu, mayai na mengineyo. Kwa kweli wasemavyo wahenga likikatika moyo uhudi si pato. Wanunuaji bidhaa huja sokoni mwetu kununua vitu kadhaa. Mimi hushirikiana na mama yangu k...
Nani humwadhibu kwa kuacha watu waende na vitu ovyo
{ "text": [ "Mama" ] }
4710_swa
SOKO LETU Soko ni eneo kubwa ambalo linajadiliana na watu, wachuuzi na wanunuaji bidhaa. Soko letu lina vitu kadha wa kadha kama vile nyanya, vitunguu, mayai na mengineyo. Kwa kweli wasemavyo wahenga likikatika moyo uhudi si pato. Wanunuaji bidhaa huja sokoni mwetu kununua vitu kadhaa. Mimi hushirikiana na mama yangu k...
Ni nini iko na bidhaa kama vitunguu na mayai
{ "text": [ "Soko" ] }
4710_swa
SOKO LETU Soko ni eneo kubwa ambalo linajadiliana na watu, wachuuzi na wanunuaji bidhaa. Soko letu lina vitu kadha wa kadha kama vile nyanya, vitunguu, mayai na mengineyo. Kwa kweli wasemavyo wahenga likikatika moyo uhudi si pato. Wanunuaji bidhaa huja sokoni mwetu kununua vitu kadhaa. Mimi hushirikiana na mama yangu k...
Wanaonunua bidhaa huja na nini
{ "text": [ "Vikapu" ] }
4710_swa
SOKO LETU Soko ni eneo kubwa ambalo linajadiliana na watu, wachuuzi na wanunuaji bidhaa. Soko letu lina vitu kadha wa kadha kama vile nyanya, vitunguu, mayai na mengineyo. Kwa kweli wasemavyo wahenga likikatika moyo uhudi si pato. Wanunuaji bidhaa huja sokoni mwetu kununua vitu kadhaa. Mimi hushirikiana na mama yangu k...
Kabla kuuza bidhaa yeye huchunguza nini
{ "text": [ "Bei" ] }