Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
0179_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana shuleni, vyuoni na maishani. Masomo ni mafunzo ya kutafuta ubingwa wa fani fulani maalumu. Masomo ya kiakademia ni mafunzo yanayotoa elimu au utaalamu maalum. Masomo ya kiufundi ni ma...
Masomo huimarisha endeleo yapi?
{ "text": [ "Kiuchumi" ] }
0179_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana shuleni, vyuoni na maishani. Masomo ni mafunzo ya kutafuta ubingwa wa fani fulani maalumu. Masomo ya kiakademia ni mafunzo yanayotoa elimu au utaalamu maalum. Masomo ya kiufundi ni ma...
Wanajamii wanamtazamo hasi kuhusu masomo yapi?
{ "text": [ "Masomo ya ufundi kama vile ya sayansikimu na uhunzu" ] }
0180_swa
JINA LA MWANAFUNZI FATMAH MOHAMMED JINA LA MWALIMU BENSON NJOROGE SHULE UPILI AL-FARSY PWANI 86209 MOMBASA 0702880134 BARUA PEPE al-farsyict@gmail.com FORM 1N ADM NO: 2081 MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Siasa hutokea mahali popote ambapo binadamu huchagua kiongozi. Humpa fursa wananchi k...
Nani huchagua kiongozi
{ "text": [ "mwananchi" ] }
0180_swa
JINA LA MWANAFUNZI FATMAH MOHAMMED JINA LA MWALIMU BENSON NJOROGE SHULE UPILI AL-FARSY PWANI 86209 MOMBASA 0702880134 BARUA PEPE al-farsyict@gmail.com FORM 1N ADM NO: 2081 MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Siasa hutokea mahali popote ambapo binadamu huchagua kiongozi. Humpa fursa wananchi k...
Shughuli za kisiasa huleta maambukizi ya corona vipi
{ "text": [ "wanasiasa wanapokuwa katika shughuli hawafuati taratibu sahihi za kiafya" ] }
0180_swa
JINA LA MWANAFUNZI FATMAH MOHAMMED JINA LA MWALIMU BENSON NJOROGE SHULE UPILI AL-FARSY PWANI 86209 MOMBASA 0702880134 BARUA PEPE al-farsyict@gmail.com FORM 1N ADM NO: 2081 MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Siasa hutokea mahali popote ambapo binadamu huchagua kiongozi. Humpa fursa wananchi k...
ni lini tutakuwa na uchaguzi mkubwa humu nchini
{ "text": [ "mwaka elfi mbili ishirini na mbili" ] }
0180_swa
JINA LA MWANAFUNZI FATMAH MOHAMMED JINA LA MWALIMU BENSON NJOROGE SHULE UPILI AL-FARSY PWANI 86209 MOMBASA 0702880134 BARUA PEPE al-farsyict@gmail.com FORM 1N ADM NO: 2081 MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Siasa hutokea mahali popote ambapo binadamu huchagua kiongozi. Humpa fursa wananchi k...
wananchi wanaombwa wapige kura vipi
{ "text": [ "kwa amani" ] }
0180_swa
JINA LA MWANAFUNZI FATMAH MOHAMMED JINA LA MWALIMU BENSON NJOROGE SHULE UPILI AL-FARSY PWANI 86209 MOMBASA 0702880134 BARUA PEPE al-farsyict@gmail.com FORM 1N ADM NO: 2081 MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Siasa hutokea mahali popote ambapo binadamu huchagua kiongozi. Humpa fursa wananchi k...
amani haiji ila kwa ncha ya nini
{ "text": [ "upanga" ] }
0181_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Aghalabu binadamu hawezi kuishi bila uchumi, jamii na siasa· Vigezo hivi vyote hutegemeana kwa ufanisi. Siasa ni utaratibu kuhusu utawala wa nchi unaotumika kuleta maendeleo nchini na wanasiasa wakishirikiana na raia. Katika siasa za Kenya, kuna aina nyingi za vyeo am...
Shughuli za kisasa huleta nini nchini
{ "text": [ "Maendeleo " ] }
0181_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Aghalabu binadamu hawezi kuishi bila uchumi, jamii na siasa· Vigezo hivi vyote hutegemeana kwa ufanisi. Siasa ni utaratibu kuhusu utawala wa nchi unaotumika kuleta maendeleo nchini na wanasiasa wakishirikiana na raia. Katika siasa za Kenya, kuna aina nyingi za vyeo am...
Vijana wanaajiriwa kama nani
{ "text": [ "Walinzi" ] }
0181_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Aghalabu binadamu hawezi kuishi bila uchumi, jamii na siasa· Vigezo hivi vyote hutegemeana kwa ufanisi. Siasa ni utaratibu kuhusu utawala wa nchi unaotumika kuleta maendeleo nchini na wanasiasa wakishirikiana na raia. Katika siasa za Kenya, kuna aina nyingi za vyeo am...
Utaratibu unatumika kuletea maendeleo unaitwaje
{ "text": [ "Siasa" ] }
0181_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Aghalabu binadamu hawezi kuishi bila uchumi, jamii na siasa· Vigezo hivi vyote hutegemeana kwa ufanisi. Siasa ni utaratibu kuhusu utawala wa nchi unaotumika kuleta maendeleo nchini na wanasiasa wakishirikiana na raia. Katika siasa za Kenya, kuna aina nyingi za vyeo am...
Wanasiasa hushirikiana na nani
{ "text": [ "Raia" ] }
0181_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Aghalabu binadamu hawezi kuishi bila uchumi, jamii na siasa· Vigezo hivi vyote hutegemeana kwa ufanisi. Siasa ni utaratibu kuhusu utawala wa nchi unaotumika kuleta maendeleo nchini na wanasiasa wakishirikiana na raia. Katika siasa za Kenya, kuna aina nyingi za vyeo am...
Kampuni hufaidika vipi kutoka kwa wanasisa
{ "text": [ "Kampuni inayotengeneza unga hupata faida raia wanapopewa unga" ] }
0182_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Maisha ya binadamu yana ncha tatu; kijamii, kiuchumi na kisiasa. Kipengele cha kisiasa ndicho chenye umuhimu zaidi kuliko vipengele vingine kwani ndicho kinachofanya vipengele vingine vitie fora. Penye siasa kamavu pana uhusiano mzuri. Siasa ni mgawanyo wa madaraka na...
Maisha ya binadamu yana ncha ngapi
{ "text": [ "Tatu" ] }
0182_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Maisha ya binadamu yana ncha tatu; kijamii, kiuchumi na kisiasa. Kipengele cha kisiasa ndicho chenye umuhimu zaidi kuliko vipengele vingine kwani ndicho kinachofanya vipengele vingine vitie fora. Penye siasa kamavu pana uhusiano mzuri. Siasa ni mgawanyo wa madaraka na...
Ni ncha ipi ya maisha ya binadamu yenye umuhimu zaidi
{ "text": [ "Ncha ya kisiasa" ] }
0182_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Maisha ya binadamu yana ncha tatu; kijamii, kiuchumi na kisiasa. Kipengele cha kisiasa ndicho chenye umuhimu zaidi kuliko vipengele vingine kwani ndicho kinachofanya vipengele vingine vitie fora. Penye siasa kamavu pana uhusiano mzuri. Siasa ni mgawanyo wa madaraka na...
Athari hasi na chanya zimeletwa na nini
{ "text": [ "Siasa" ] }
0182_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Maisha ya binadamu yana ncha tatu; kijamii, kiuchumi na kisiasa. Kipengele cha kisiasa ndicho chenye umuhimu zaidi kuliko vipengele vingine kwani ndicho kinachofanya vipengele vingine vitie fora. Penye siasa kamavu pana uhusiano mzuri. Siasa ni mgawanyo wa madaraka na...
Mchele, pojo na maharagwe ni vyakula ghushi vilivyotolewa na nani
{ "text": [ "Wanasiasa" ] }
0182_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA SHUGHULI ZA KISIASA NCHINI Maisha ya binadamu yana ncha tatu; kijamii, kiuchumi na kisiasa. Kipengele cha kisiasa ndicho chenye umuhimu zaidi kuliko vipengele vingine kwani ndicho kinachofanya vipengele vingine vitie fora. Penye siasa kamavu pana uhusiano mzuri. Siasa ni mgawanyo wa madaraka na...
Shughuli za kisiasa hususan mikutano ilieneza uwele upi
{ "text": [ "Uviko -19" ] }
0183_swa
ATHARI ZA KORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa korona ni ugonjwa unaoenezwa na virusi. Ugonjwa huu unadhariwa kuibuka huko Wuhan nchini China. Virusi vya korona humfanya mtu kutaabika katika upumuaji wa hewa, kukosa hisia ya kuonja au kununa na vilevile huhisi joto jingi na baridi kali mwilini. Ugonjwa wa korona hutambulika...
Korona huenezwa kwa njia ipi?
{ "text": [ "Virusi" ] }
0183_swa
ATHARI ZA KORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa korona ni ugonjwa unaoenezwa na virusi. Ugonjwa huu unadhariwa kuibuka huko Wuhan nchini China. Virusi vya korona humfanya mtu kutaabika katika upumuaji wa hewa, kukosa hisia ya kuonja au kununa na vilevile huhisi joto jingi na baridi kali mwilini. Ugonjwa wa korona hutambulika...
Korona iliibuka wapi mwanzo?
{ "text": [ "Wahun" ] }
0183_swa
ATHARI ZA KORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa korona ni ugonjwa unaoenezwa na virusi. Ugonjwa huu unadhariwa kuibuka huko Wuhan nchini China. Virusi vya korona humfanya mtu kutaabika katika upumuaji wa hewa, kukosa hisia ya kuonja au kununa na vilevile huhisi joto jingi na baridi kali mwilini. Ugonjwa wa korona hutambulika...
Korona hutambulika kwa jina lipi?
{ "text": [ "Uviko-19" ] }
0183_swa
ATHARI ZA KORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa korona ni ugonjwa unaoenezwa na virusi. Ugonjwa huu unadhariwa kuibuka huko Wuhan nchini China. Virusi vya korona humfanya mtu kutaabika katika upumuaji wa hewa, kukosa hisia ya kuonja au kununa na vilevile huhisi joto jingi na baridi kali mwilini. Ugonjwa wa korona hutambulika...
Kilicho na wema hakikosi nini?
{ "text": [ "Dosari" ] }
0183_swa
ATHARI ZA KORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa korona ni ugonjwa unaoenezwa na virusi. Ugonjwa huu unadhariwa kuibuka huko Wuhan nchini China. Virusi vya korona humfanya mtu kutaabika katika upumuaji wa hewa, kukosa hisia ya kuonja au kununa na vilevile huhisi joto jingi na baridi kali mwilini. Ugonjwa wa korona hutambulika...
Korona imechangia ongezeko la nini?
{ "text": [ "Ufisadi miongoni mwa viongozi serikalini" ] }
0184_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo huleta chakula cha kutosha kwa wananchi, ni njia ya serikali kupata pesa. Kadhalika, kilimo huweza kuimarishwa kwa njia nyingi kama vile wakulima wafadhili Elimu kwa wakulima na hata mbinu mpya za kuimarisha ukulima. Kwanza, wakulima wafadhiliwe, kupewa pembejo za kilimo kama...
nini huletea serikali pesa kadhalika
{ "text": [ "ukulima" ] }
0184_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo huleta chakula cha kutosha kwa wananchi, ni njia ya serikali kupata pesa. Kadhalika, kilimo huweza kuimarishwa kwa njia nyingi kama vile wakulima wafadhili Elimu kwa wakulima na hata mbinu mpya za kuimarisha ukulima. Kwanza, wakulima wafadhiliwe, kupewa pembejo za kilimo kama...
nani anapaswa kusaidia wakulima kuuza mazao
{ "text": [ "serikali/kampuni ya ulimaji" ] }
0184_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo huleta chakula cha kutosha kwa wananchi, ni njia ya serikali kupata pesa. Kadhalika, kilimo huweza kuimarishwa kwa njia nyingi kama vile wakulima wafadhili Elimu kwa wakulima na hata mbinu mpya za kuimarisha ukulima. Kwanza, wakulima wafadhiliwe, kupewa pembejo za kilimo kama...
mbinu za kisasa ni kama gani
{ "text": [ "kutumia tingatinga" ] }
0184_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo huleta chakula cha kutosha kwa wananchi, ni njia ya serikali kupata pesa. Kadhalika, kilimo huweza kuimarishwa kwa njia nyingi kama vile wakulima wafadhili Elimu kwa wakulima na hata mbinu mpya za kuimarisha ukulima. Kwanza, wakulima wafadhiliwe, kupewa pembejo za kilimo kama...
ni wakati gani wa kuanzisha mradi wa unyunyuziaji maji
{ "text": [ "wakati wa ukame" ] }
0184_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo huleta chakula cha kutosha kwa wananchi, ni njia ya serikali kupata pesa. Kadhalika, kilimo huweza kuimarishwa kwa njia nyingi kama vile wakulima wafadhili Elimu kwa wakulima na hata mbinu mpya za kuimarisha ukulima. Kwanza, wakulima wafadhiliwe, kupewa pembejo za kilimo kama...
mkulima anaweza kupata hasara vipi
{ "text": [ "wakinunua bidhaa za ukulima ghali na kuuza ghali kwa wananchi" ] }
0185_swa
NAMNA ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI. Zaraa ni awamu ya kisomo ya kitamaduni inayopokezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine haswa baina ya wanakabila la kibantu. Kilimo huhusisha upanzi wa mimea na kuweka kwa wanyama kama vile ng'ombe na kuku ili kupalilia ongezeko la chakula cha umma nchini na kuliangamiza baa la njaa ...
Kilimo huhusisha upanzi wa nini?
{ "text": [ "Mimea" ] }
0185_swa
NAMNA ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI. Zaraa ni awamu ya kisomo ya kitamaduni inayopokezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine haswa baina ya wanakabila la kibantu. Kilimo huhusisha upanzi wa mimea na kuweka kwa wanyama kama vile ng'ombe na kuku ili kupalilia ongezeko la chakula cha umma nchini na kuliangamiza baa la njaa ...
Nini huzuia ufanisi wa nchi?
{ "text": [ "Umaskini" ] }
0185_swa
NAMNA ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI. Zaraa ni awamu ya kisomo ya kitamaduni inayopokezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine haswa baina ya wanakabila la kibantu. Kilimo huhusisha upanzi wa mimea na kuweka kwa wanyama kama vile ng'ombe na kuku ili kupalilia ongezeko la chakula cha umma nchini na kuliangamiza baa la njaa ...
Vidudu vipi huvamia mimea?
{ "text": [ "Nzige" ] }
0185_swa
NAMNA ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI. Zaraa ni awamu ya kisomo ya kitamaduni inayopokezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine haswa baina ya wanakabila la kibantu. Kilimo huhusisha upanzi wa mimea na kuweka kwa wanyama kama vile ng'ombe na kuku ili kupalilia ongezeko la chakula cha umma nchini na kuliangamiza baa la njaa ...
Mimea huhitaji nini?
{ "text": [ "Maji" ] }
0185_swa
NAMNA ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI. Zaraa ni awamu ya kisomo ya kitamaduni inayopokezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine haswa baina ya wanakabila la kibantu. Kilimo huhusisha upanzi wa mimea na kuweka kwa wanyama kama vile ng'ombe na kuku ili kupalilia ongezeko la chakula cha umma nchini na kuliangamiza baa la njaa ...
Zaraa hupokezwa kwa njia ipi?
{ "text": [ "Kutoka kizazi kimoja hadi kingine haswa baina ya makabila ya kibantu" ] }
0186_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni njia au sayansi ya kulima ikijumuisha upandaji wa mimea na kufuga kwa wanyama kwa madhumuni ya kupata chakula, pesa na faida nyenginezo. Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi ya Kenya. Kwa juhudi za serikali, kilimo kiko sawa na kuna aina ainati za kukuza, kuimarisha...
Ni nini sayansi ya kulima
{ "text": [ "kilimo" ] }
0186_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni njia au sayansi ya kulima ikijumuisha upandaji wa mimea na kufuga kwa wanyama kwa madhumuni ya kupata chakula, pesa na faida nyenginezo. Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi ya Kenya. Kwa juhudi za serikali, kilimo kiko sawa na kuna aina ainati za kukuza, kuimarisha...
Ni nini mtu huchagua wakati wa kupanda
{ "text": [ "Mbegu" ] }
0186_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni njia au sayansi ya kulima ikijumuisha upandaji wa mimea na kufuga kwa wanyama kwa madhumuni ya kupata chakula, pesa na faida nyenginezo. Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi ya Kenya. Kwa juhudi za serikali, kilimo kiko sawa na kuna aina ainati za kukuza, kuimarisha...
Ni mbegu zipi zilizo bora
{ "text": [ "Za kisasa" ] }
0186_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni njia au sayansi ya kulima ikijumuisha upandaji wa mimea na kufuga kwa wanyama kwa madhumuni ya kupata chakula, pesa na faida nyenginezo. Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi ya Kenya. Kwa juhudi za serikali, kilimo kiko sawa na kuna aina ainati za kukuza, kuimarisha...
Ni nini itajengwa kupitisha maji
{ "text": [ "Mtaro" ] }
0186_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni njia au sayansi ya kulima ikijumuisha upandaji wa mimea na kufuga kwa wanyama kwa madhumuni ya kupata chakula, pesa na faida nyenginezo. Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi ya Kenya. Kwa juhudi za serikali, kilimo kiko sawa na kuna aina ainati za kukuza, kuimarisha...
Kwa nini tupande vyakula asili
{ "text": [ "Kuzuia magonjwa" ] }
0187_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni mojawapo ya biashara kuu hapa nchini kwetu inayotustahimili Kimaisha. Hivi ni kumaanisha kuwa ukulima ni uti wa mgongo humu nchini.Tunasema hivyo kwa sababu kupitia Kilimo wananchi wanaweza kupata chakula inayokidhi masilahi ya afya yetu. Ila hivi karibuni tumekuwa tukishuhu...
Kilimo ni nini nchini
{ "text": [ "Biashara" ] }
0187_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni mojawapo ya biashara kuu hapa nchini kwetu inayotustahimili Kimaisha. Hivi ni kumaanisha kuwa ukulima ni uti wa mgongo humu nchini.Tunasema hivyo kwa sababu kupitia Kilimo wananchi wanaweza kupata chakula inayokidhi masilahi ya afya yetu. Ila hivi karibuni tumekuwa tukishuhu...
Ni vipi kilimo kinaweza endelezwa katika sehemu kame
{ "text": [ "Kupitia unyunyuziaji wa mimea maji" ] }
0187_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni mojawapo ya biashara kuu hapa nchini kwetu inayotustahimili Kimaisha. Hivi ni kumaanisha kuwa ukulima ni uti wa mgongo humu nchini.Tunasema hivyo kwa sababu kupitia Kilimo wananchi wanaweza kupata chakula inayokidhi masilahi ya afya yetu. Ila hivi karibuni tumekuwa tukishuhu...
Ni pembejeo zipi wakulima wanafaa kufadhiliwa nazo
{ "text": [ "Mbegu na mbolea" ] }
0187_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni mojawapo ya biashara kuu hapa nchini kwetu inayotustahimili Kimaisha. Hivi ni kumaanisha kuwa ukulima ni uti wa mgongo humu nchini.Tunasema hivyo kwa sababu kupitia Kilimo wananchi wanaweza kupata chakula inayokidhi masilahi ya afya yetu. Ila hivi karibuni tumekuwa tukishuhu...
Ni mimea ipi inawezastahimili ukame na kiangazi
{ "text": [ "Nazi, mihogo, viazi vitamu na mahindi ya katumani" ] }
0187_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni mojawapo ya biashara kuu hapa nchini kwetu inayotustahimili Kimaisha. Hivi ni kumaanisha kuwa ukulima ni uti wa mgongo humu nchini.Tunasema hivyo kwa sababu kupitia Kilimo wananchi wanaweza kupata chakula inayokidhi masilahi ya afya yetu. Ila hivi karibuni tumekuwa tukishuhu...
Ni mbinu gani ya kisasa ya kuhifadhi vyakula vilivyobakia
{ "text": [ "Ujenzi wa maghala" ] }
0188_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI. Kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu. Inategemewa na watu wanaotoka katika maeneo mbalimbali nchini Kenya. Hatua ya serikali ya kuimarisha kilimo itawafanya vijana kupata kazi hata walio katika maeneo duni nchini. Hata hivyo, ili kuimarisha sekta hii ya Kilimo, mambo mengi yanahit...
Ni nini uti wa mgongo wa taifa letu
{ "text": [ "Kilimo" ] }
0188_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI. Kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu. Inategemewa na watu wanaotoka katika maeneo mbalimbali nchini Kenya. Hatua ya serikali ya kuimarisha kilimo itawafanya vijana kupata kazi hata walio katika maeneo duni nchini. Hata hivyo, ili kuimarisha sekta hii ya Kilimo, mambo mengi yanahit...
Nini kitafanya vijana kupata kazi
{ "text": [ "Serikali kuimarisha kilimo" ] }
0188_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI. Kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu. Inategemewa na watu wanaotoka katika maeneo mbalimbali nchini Kenya. Hatua ya serikali ya kuimarisha kilimo itawafanya vijana kupata kazi hata walio katika maeneo duni nchini. Hata hivyo, ili kuimarisha sekta hii ya Kilimo, mambo mengi yanahit...
Nini huongeza rotuba ardhini
{ "text": [ "Kutumia mbolea" ] }
0188_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI. Kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu. Inategemewa na watu wanaotoka katika maeneo mbalimbali nchini Kenya. Hatua ya serikali ya kuimarisha kilimo itawafanya vijana kupata kazi hata walio katika maeneo duni nchini. Hata hivyo, ili kuimarisha sekta hii ya Kilimo, mambo mengi yanahit...
Ni wakati gani mwafaka wa kutumia mradi wa unyunyuziaji maji
{ "text": [ "wakati kuna ukame" ] }
0188_swa
NAMNA YA KUIMARISHA KILIMO NCHINI. Kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu. Inategemewa na watu wanaotoka katika maeneo mbalimbali nchini Kenya. Hatua ya serikali ya kuimarisha kilimo itawafanya vijana kupata kazi hata walio katika maeneo duni nchini. Hata hivyo, ili kuimarisha sekta hii ya Kilimo, mambo mengi yanahit...
Ni kwanini maonyesho ya kilimo yapewe kipaumbele kufikishwa mashinani
{ "text": [ "maonyesho haya yatawafanya watu kuingia katika kilimo biashara" ] }
0190_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya, kuna ukulima wamazao na ukulima wa wanyama. Kenya ni mojawapo za nchi ambazo asilimia kubwa ya uchumi wa nchi hutokana na zaraa. Aidha ufugaji na upananzi wa mimea, hutufanya tujikimu kwa ukame, hivyo basi kupiga teke baa la n...
Nini mti wa mgongo wa Kenya
{ "text": [ "kilimo" ] }
0190_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya, kuna ukulima wamazao na ukulima wa wanyama. Kenya ni mojawapo za nchi ambazo asilimia kubwa ya uchumi wa nchi hutokana na zaraa. Aidha ufugaji na upananzi wa mimea, hutufanya tujikimu kwa ukame, hivyo basi kupiga teke baa la n...
Somo gani lifanywe la lazima
{ "text": [ "la kilimo" ] }
0190_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya, kuna ukulima wamazao na ukulima wa wanyama. Kenya ni mojawapo za nchi ambazo asilimia kubwa ya uchumi wa nchi hutokana na zaraa. Aidha ufugaji na upananzi wa mimea, hutufanya tujikimu kwa ukame, hivyo basi kupiga teke baa la n...
Kina nani waajiriwe katika kila kata
{ "text": [ "maafisa wa kilimo" ] }
0190_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya, kuna ukulima wamazao na ukulima wa wanyama. Kenya ni mojawapo za nchi ambazo asilimia kubwa ya uchumi wa nchi hutokana na zaraa. Aidha ufugaji na upananzi wa mimea, hutufanya tujikimu kwa ukame, hivyo basi kupiga teke baa la n...
Wakulima wasaidiwe kuuza mazao yao wapi
{ "text": [ "nchi za nje" ] }
0190_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu ya Kenya, kuna ukulima wamazao na ukulima wa wanyama. Kenya ni mojawapo za nchi ambazo asilimia kubwa ya uchumi wa nchi hutokana na zaraa. Aidha ufugaji na upananzi wa mimea, hutufanya tujikimu kwa ukame, hivyo basi kupiga teke baa la n...
Mbona mradi wa unyunyiziaji maji uanzishwe?
{ "text": [ "kuwafanya wakulima kutia bidii zaidi" ] }
0192_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika jamii. Ufisadi hujitokeza katika aina nyingi kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzunguka mbuyu na huleta shida nui katika maisha yetu. Mtu hujiingiza katika ufisadi kwa sababu ya tamaa ya kumiliki mali nyingi,...
Ni kitendo kipi ambacho hakistahili kutendwa katika jamii
{ "text": [ "Ufisadi" ] }
0192_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika jamii. Ufisadi hujitokeza katika aina nyingi kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzunguka mbuyu na huleta shida nui katika maisha yetu. Mtu hujiingiza katika ufisadi kwa sababu ya tamaa ya kumiliki mali nyingi,...
Ufisadi huleta nini katika maisha yetu
{ "text": [ "Shida" ] }
0192_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika jamii. Ufisadi hujitokeza katika aina nyingi kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzunguka mbuyu na huleta shida nui katika maisha yetu. Mtu hujiingiza katika ufisadi kwa sababu ya tamaa ya kumiliki mali nyingi,...
Mgala muue na umpe nini
{ "text": [ "Haki yake" ] }
0192_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika jamii. Ufisadi hujitokeza katika aina nyingi kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzunguka mbuyu na huleta shida nui katika maisha yetu. Mtu hujiingiza katika ufisadi kwa sababu ya tamaa ya kumiliki mali nyingi,...
Chanda chema huvikwa nini
{ "text": [ "Pete" ] }
0192_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika jamii. Ufisadi hujitokeza katika aina nyingi kama kuzunguka mbuyu, kukubali kuzunguka mbuyu na huleta shida nui katika maisha yetu. Mtu hujiingiza katika ufisadi kwa sababu ya tamaa ya kumiliki mali nyingi,...
Kwa nini mtu hujiingiza katika ufisadi
{ "text": [ "Kwa sababu ya tamaa ya kumiliki mali nyingi" ] }
0193_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni tabia au tendo baya na maovu yanayofanyika nchini. Kuna aina nyingi ya ufisadi kama vile ukabila, ubaguzi wa rangi, kuzembea majukumu, kufuja mali ya umma na kadhalika. Haya yote yanaweza kukabiliwa kwa njia zifuatazo: Kwanza, serikali lazima ibun...
Serikali ibuni taasisiya kampeni dhidi ya nini
{ "text": [ "ufisadi" ] }
0193_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni tabia au tendo baya na maovu yanayofanyika nchini. Kuna aina nyingi ya ufisadi kama vile ukabila, ubaguzi wa rangi, kuzembea majukumu, kufuja mali ya umma na kadhalika. Haya yote yanaweza kukabiliwa kwa njia zifuatazo: Kwanza, serikali lazima ibun...
Maafisa wa umma wenye ufisadi wafanyiwe nini
{ "text": [ "wafutwe kazi" ] }
0193_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni tabia au tendo baya na maovu yanayofanyika nchini. Kuna aina nyingi ya ufisadi kama vile ukabila, ubaguzi wa rangi, kuzembea majukumu, kufuja mali ya umma na kadhalika. Haya yote yanaweza kukabiliwa kwa njia zifuatazo: Kwanza, serikali lazima ibun...
Wafisadi watakaposhtakiwa wawekwe wapi
{ "text": [ "kizimbani" ] }
0193_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni tabia au tendo baya na maovu yanayofanyika nchini. Kuna aina nyingi ya ufisadi kama vile ukabila, ubaguzi wa rangi, kuzembea majukumu, kufuja mali ya umma na kadhalika. Haya yote yanaweza kukabiliwa kwa njia zifuatazo: Kwanza, serikali lazima ibun...
Katika Bibilia nani anapinga ufisadi
{ "text": [ "Musa" ] }
0193_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni tabia au tendo baya na maovu yanayofanyika nchini. Kuna aina nyingi ya ufisadi kama vile ukabila, ubaguzi wa rangi, kuzembea majukumu, kufuja mali ya umma na kadhalika. Haya yote yanaweza kukabiliwa kwa njia zifuatazo: Kwanza, serikali lazima ibun...
Mbona si vizuri viongozi kupokea rushwa
{ "text": [ "hivi huwaumiza sana wananchi" ] }
0194_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Naam, ufisadi ni utoaji au upokeaji wa hongo ili mtu aweze kutimiza matakwa yake. Kwa hakika ufisadi umeleta balaa na beluwa katika jamii moja hadi nyengine. Kwa kweli ufisadi ni kitendo ambacho kinastahili kupelekwa jahanamu katika jamii hii yetu ya sas...
Ufisadi ni utoaji na upokeaji wa nini
{ "text": [ "Hongo" ] }
0194_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Naam, ufisadi ni utoaji au upokeaji wa hongo ili mtu aweze kutimiza matakwa yake. Kwa hakika ufisadi umeleta balaa na beluwa katika jamii moja hadi nyengine. Kwa kweli ufisadi ni kitendo ambacho kinastahili kupelekwa jahanamu katika jamii hii yetu ya sas...
Ufisadi umeleta nini
{ "text": [ "Balaa na beluwa" ] }
0194_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Naam, ufisadi ni utoaji au upokeaji wa hongo ili mtu aweze kutimiza matakwa yake. Kwa hakika ufisadi umeleta balaa na beluwa katika jamii moja hadi nyengine. Kwa kweli ufisadi ni kitendo ambacho kinastahili kupelekwa jahanamu katika jamii hii yetu ya sas...
Umoja ni nguvu utengano ni nini
{ "text": [ "Udhaifu" ] }
0194_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Naam, ufisadi ni utoaji au upokeaji wa hongo ili mtu aweze kutimiza matakwa yake. Kwa hakika ufisadi umeleta balaa na beluwa katika jamii moja hadi nyengine. Kwa kweli ufisadi ni kitendo ambacho kinastahili kupelekwa jahanamu katika jamii hii yetu ya sas...
Serikali inapaswa kuchukua nini
{ "text": [ "Hatua ya haraka" ] }
0194_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Naam, ufisadi ni utoaji au upokeaji wa hongo ili mtu aweze kutimiza matakwa yake. Kwa hakika ufisadi umeleta balaa na beluwa katika jamii moja hadi nyengine. Kwa kweli ufisadi ni kitendo ambacho kinastahili kupelekwa jahanamu katika jamii hii yetu ya sas...
Kwa nini ushari utolewe
{ "text": [ "Ili kuleta amani na umoja katika jamii" ] }
0195_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni upokeaji au utoaji wa hongo. Ufisadi ni tendo ambalo huleta uharibifu katika jamii. Ni dhahiri Shahiri kwamba Kutokana na ufisadi, hali ya maisha imezidi kuwa ngumu, hivo basi, chuki na uhasama kuenea baina ya jamii tofauti tofauti hapa nchini. Seri...
Ufisadi ni upokeaji wa nini
{ "text": [ "Hongo" ] }
0195_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni upokeaji au utoaji wa hongo. Ufisadi ni tendo ambalo huleta uharibifu katika jamii. Ni dhahiri Shahiri kwamba Kutokana na ufisadi, hali ya maisha imezidi kuwa ngumu, hivo basi, chuki na uhasama kuenea baina ya jamii tofauti tofauti hapa nchini. Seri...
Vijana wataunda vikundi wapi
{ "text": [ "Mtandaoni" ] }
0195_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni upokeaji au utoaji wa hongo. Ufisadi ni tendo ambalo huleta uharibifu katika jamii. Ni dhahiri Shahiri kwamba Kutokana na ufisadi, hali ya maisha imezidi kuwa ngumu, hivo basi, chuki na uhasama kuenea baina ya jamii tofauti tofauti hapa nchini. Seri...
Nafasi itolewe Kwa wanahabari kuripoti nini
{ "text": [ "Ufisadi" ] }
0195_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni upokeaji au utoaji wa hongo. Ufisadi ni tendo ambalo huleta uharibifu katika jamii. Ni dhahiri Shahiri kwamba Kutokana na ufisadi, hali ya maisha imezidi kuwa ngumu, hivo basi, chuki na uhasama kuenea baina ya jamii tofauti tofauti hapa nchini. Seri...
Serikali inafaa kuifanya ya nani mali iliyotaifishwa
{ "text": [ "Umma" ] }
0195_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ufisadi ni upokeaji au utoaji wa hongo. Ufisadi ni tendo ambalo huleta uharibifu katika jamii. Ni dhahiri Shahiri kwamba Kutokana na ufisadi, hali ya maisha imezidi kuwa ngumu, hivo basi, chuki na uhasama kuenea baina ya jamii tofauti tofauti hapa nchini. Seri...
Kwa nini wafanyikazi wa umma watangaze mali yao
{ "text": [ "Kuzuia ufisadi" ] }
0196_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI KUKABILIANA UFISADI NCHIINI Ufisadi ni upokeaji wa mali au hongo katika mashirika ya umma, ya serikali na sekta za kibinafsi. Pamoja na kujifahamisha na maana hii tujue kwamba ufisadi huu una madhara yake kibao. Awali husababishwa kwa kuzoroteka kwa maadili katika jamii. Pili hudumisha ...
Serikali inapaswa kushirikisha nani katika swala la ufisadi
{ "text": [ "watu wa kanisani/msikitini" ] }
0196_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI KUKABILIANA UFISADI NCHIINI Ufisadi ni upokeaji wa mali au hongo katika mashirika ya umma, ya serikali na sekta za kibinafsi. Pamoja na kujifahamisha na maana hii tujue kwamba ufisadi huu una madhara yake kibao. Awali husababishwa kwa kuzoroteka kwa maadili katika jamii. Pili hudumisha ...
Ni sheria gani mahakama inapaswa kuweka kwa wafisadi
{ "text": [ "kifo/maisha gerezani" ] }
0196_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI KUKABILIANA UFISADI NCHIINI Ufisadi ni upokeaji wa mali au hongo katika mashirika ya umma, ya serikali na sekta za kibinafsi. Pamoja na kujifahamisha na maana hii tujue kwamba ufisadi huu una madhara yake kibao. Awali husababishwa kwa kuzoroteka kwa maadili katika jamii. Pili hudumisha ...
Ni nani hutoa pesa ili wanahabari wauawe
{ "text": [ "wafisadi" ] }
0196_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI KUKABILIANA UFISADI NCHIINI Ufisadi ni upokeaji wa mali au hongo katika mashirika ya umma, ya serikali na sekta za kibinafsi. Pamoja na kujifahamisha na maana hii tujue kwamba ufisadi huu una madhara yake kibao. Awali husababishwa kwa kuzoroteka kwa maadili katika jamii. Pili hudumisha ...
Ni wakati gani mtu atajulikana kuwa anafanya ufisadi
{ "text": [ "anapotangaza utajiri wake" ] }
0196_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI KUKABILIANA UFISADI NCHIINI Ufisadi ni upokeaji wa mali au hongo katika mashirika ya umma, ya serikali na sekta za kibinafsi. Pamoja na kujifahamisha na maana hii tujue kwamba ufisadi huu una madhara yake kibao. Awali husababishwa kwa kuzoroteka kwa maadili katika jamii. Pili hudumisha ...
Mbona wanahabari wapate ulinzi kwa serikali
{ "text": [ "wanaogopea maisha yao kwa kuwa wafisadi hutoa pesa wauawe" ] }
0198_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI YA. KUPAMBANA NA . UFISADI NCHINI Lahaula! Ubadhirifu wa mali ya umma, ulaji wa rushwa udanganyifu, ukabila na hata wizi wa mitihani au wa kura wote ni ufisadi uliokithiri na hatuna budi kuuzika katika kaburi la sahau. La sivyo,inchi na jamii itaangamia Ima fa ima , bega kwa bega ni s...
Ni nani wanapora mali ya umma
{ "text": [ "Viongozi wa nchi" ] }
0198_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI YA. KUPAMBANA NA . UFISADI NCHINI Lahaula! Ubadhirifu wa mali ya umma, ulaji wa rushwa udanganyifu, ukabila na hata wizi wa mitihani au wa kura wote ni ufisadi uliokithiri na hatuna budi kuuzika katika kaburi la sahau. La sivyo,inchi na jamii itaangamia Ima fa ima , bega kwa bega ni s...
Ni nini inapaswa kufanyikia wafisadi wakipatikana
{ "text": [ "kuwakamata" ] }
0198_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI YA. KUPAMBANA NA . UFISADI NCHINI Lahaula! Ubadhirifu wa mali ya umma, ulaji wa rushwa udanganyifu, ukabila na hata wizi wa mitihani au wa kura wote ni ufisadi uliokithiri na hatuna budi kuuzika katika kaburi la sahau. La sivyo,inchi na jamii itaangamia Ima fa ima , bega kwa bega ni s...
Nani anafaa kujumuishwa katika kampeni hizi za ufisadi
{ "text": [ "wanafunzi" ] }
0198_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI YA. KUPAMBANA NA . UFISADI NCHINI Lahaula! Ubadhirifu wa mali ya umma, ulaji wa rushwa udanganyifu, ukabila na hata wizi wa mitihani au wa kura wote ni ufisadi uliokithiri na hatuna budi kuuzika katika kaburi la sahau. La sivyo,inchi na jamii itaangamia Ima fa ima , bega kwa bega ni s...
Ni lini mtu anaweza shtakiwa na kupelekwa mahakamani
{ "text": [ "asipoeleza utajiri wake" ] }
0198_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI YA. KUPAMBANA NA . UFISADI NCHINI Lahaula! Ubadhirifu wa mali ya umma, ulaji wa rushwa udanganyifu, ukabila na hata wizi wa mitihani au wa kura wote ni ufisadi uliokithiri na hatuna budi kuuzika katika kaburi la sahau. La sivyo,inchi na jamii itaangamia Ima fa ima , bega kwa bega ni s...
Mbona ni muhimu kuweka kamera katika ofisi za umma
{ "text": [ "ili kunasa ufisadi unaoendelea katika ofisi za serikali" ] }
0199_swa
MAELEZO KUHUSU MATATIZO YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI NCHINI Matatizo ni hali ya msongamano wa mambo Masaibu haya yanaweza Kujidhihirisha mahali popote, wakati wowote. Matatizo pia huweza kuwa katika shule ainati za sekondari humu nchini Tukiweza kusema kuwa matatizo ni mojawapo ya mambo kwa binadamu ...
Mbinu hufuata nini?
{ "text": [ "Mwendo" ] }
0199_swa
MAELEZO KUHUSU MATATIZO YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI NCHINI Matatizo ni hali ya msongamano wa mambo Masaibu haya yanaweza Kujidhihirisha mahali popote, wakati wowote. Matatizo pia huweza kuwa katika shule ainati za sekondari humu nchini Tukiweza kusema kuwa matatizo ni mojawapo ya mambo kwa binadamu ...
Barabara mbovu husababisha nini?
{ "text": [ "Ajali" ] }
0199_swa
MAELEZO KUHUSU MATATIZO YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI NCHINI Matatizo ni hali ya msongamano wa mambo Masaibu haya yanaweza Kujidhihirisha mahali popote, wakati wowote. Matatizo pia huweza kuwa katika shule ainati za sekondari humu nchini Tukiweza kusema kuwa matatizo ni mojawapo ya mambo kwa binadamu ...
Azidiye zaidi hufanya nini?
{ "text": [ "Huzidiwa" ] }
0199_swa
MAELEZO KUHUSU MATATIZO YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI NCHINI Matatizo ni hali ya msongamano wa mambo Masaibu haya yanaweza Kujidhihirisha mahali popote, wakati wowote. Matatizo pia huweza kuwa katika shule ainati za sekondari humu nchini Tukiweza kusema kuwa matatizo ni mojawapo ya mambo kwa binadamu ...
Nani waziri wa elimu nchini Kenya?
{ "text": [ "Matiang'i" ] }
0199_swa
MAELEZO KUHUSU MATATIZO YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI NCHINI Matatizo ni hali ya msongamano wa mambo Masaibu haya yanaweza Kujidhihirisha mahali popote, wakati wowote. Matatizo pia huweza kuwa katika shule ainati za sekondari humu nchini Tukiweza kusema kuwa matatizo ni mojawapo ya mambo kwa binadamu ...
Nani hufunza wanafunzi?
{ "text": [ "Walimu waliohitimu katika lugha" ] }
0201_swa
TAARIFA KUHUSU MASAIBU YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI SHULENI Dunu yangu ya habari imeniarifu Kuhusu masaibu yanayowakumba wanafunzi katika shule aina ginati. Masaibu haya yawakumbayo yanaweza kuleta matokeo duni mno, wanafunzi kuacha shule na hata wengine wao kuchukia shule. Ni dhahiri kuwa kuna haja ya kuyasuluhish masaib...
Duru yangu ya habari imeniharifu kuhusu nini
{ "text": [ "Masaibu yanayowakumba wanagenzi" ] }
0201_swa
TAARIFA KUHUSU MASAIBU YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI SHULENI Dunu yangu ya habari imeniarifu Kuhusu masaibu yanayowakumba wanafunzi katika shule aina ginati. Masaibu haya yawakumbayo yanaweza kuleta matokeo duni mno, wanafunzi kuacha shule na hata wengine wao kuchukia shule. Ni dhahiri kuwa kuna haja ya kuyasuluhish masaib...
Ni dhahiri kuwa kuna haja ya nini
{ "text": [ "Kuyasuluhisha masaibu haya" ] }
0201_swa
TAARIFA KUHUSU MASAIBU YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI SHULENI Dunu yangu ya habari imeniarifu Kuhusu masaibu yanayowakumba wanafunzi katika shule aina ginati. Masaibu haya yawakumbayo yanaweza kuleta matokeo duni mno, wanafunzi kuacha shule na hata wengine wao kuchukia shule. Ni dhahiri kuwa kuna haja ya kuyasuluhish masaib...
Hali ya masomo inaweza kuchangia pakubwa katika nini
{ "text": [ "Masomo" ] }
0201_swa
TAARIFA KUHUSU MASAIBU YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI SHULENI Dunu yangu ya habari imeniarifu Kuhusu masaibu yanayowakumba wanafunzi katika shule aina ginati. Masaibu haya yawakumbayo yanaweza kuleta matokeo duni mno, wanafunzi kuacha shule na hata wengine wao kuchukia shule. Ni dhahiri kuwa kuna haja ya kuyasuluhish masaib...
Nani hujiunga na vikundi vibaya wafikiapo umri wa kuvunja ungo
{ "text": [ "Vijana" ] }
0201_swa
TAARIFA KUHUSU MASAIBU YANAYOWAKUMBA WANAFUNZI SHULENI Dunu yangu ya habari imeniarifu Kuhusu masaibu yanayowakumba wanafunzi katika shule aina ginati. Masaibu haya yawakumbayo yanaweza kuleta matokeo duni mno, wanafunzi kuacha shule na hata wengine wao kuchukia shule. Ni dhahiri kuwa kuna haja ya kuyasuluhish masaib...
Kwa nini kuna haja ya kuyasuluhisha masaibu haya
{ "text": [ "Ili kumpa mwanafunzi wakati murua katika masomo" ] }
0202_swa
MJADALA KUHUSU SABABU ZA KUZOROTA KWA MAADILI KATIKA JAMII Naam, ya mgambo ikilia , bila shaka jambo lipo. Kabla unga haujazidi maji, inapaswa kurekebisha mambo yote yanayofanya kuzorota kwa maadili kwani yakishamwagika hayawezi..kuzoleka : Wahenga na watu wazamani walikuwa na maadili kama vile heshima, ushujaa, huru...
Yakisha mwagika hufanya nini
{ "text": [ "Hayazoleki" ] }
0202_swa
MJADALA KUHUSU SABABU ZA KUZOROTA KWA MAADILI KATIKA JAMII Naam, ya mgambo ikilia , bila shaka jambo lipo. Kabla unga haujazidi maji, inapaswa kurekebisha mambo yote yanayofanya kuzorota kwa maadili kwani yakishamwagika hayawezi..kuzoleka : Wahenga na watu wazamani walikuwa na maadili kama vile heshima, ushujaa, huru...
Chombo kipi ambacho hupotosha watu
{ "text": [ "Simu" ] }
0202_swa
MJADALA KUHUSU SABABU ZA KUZOROTA KWA MAADILI KATIKA JAMII Naam, ya mgambo ikilia , bila shaka jambo lipo. Kabla unga haujazidi maji, inapaswa kurekebisha mambo yote yanayofanya kuzorota kwa maadili kwani yakishamwagika hayawezi..kuzoleka : Wahenga na watu wazamani walikuwa na maadili kama vile heshima, ushujaa, huru...
Taja mfano mmoja wa maadili
{ "text": [ "Heshima" ] }
0202_swa
MJADALA KUHUSU SABABU ZA KUZOROTA KWA MAADILI KATIKA JAMII Naam, ya mgambo ikilia , bila shaka jambo lipo. Kabla unga haujazidi maji, inapaswa kurekebisha mambo yote yanayofanya kuzorota kwa maadili kwani yakishamwagika hayawezi..kuzoleka : Wahenga na watu wazamani walikuwa na maadili kama vile heshima, ushujaa, huru...
Filamu gani ambyao hukosesha wanajamiimaadili
{ "text": [ "Televisheni" ] }
0202_swa
MJADALA KUHUSU SABABU ZA KUZOROTA KWA MAADILI KATIKA JAMII Naam, ya mgambo ikilia , bila shaka jambo lipo. Kabla unga haujazidi maji, inapaswa kurekebisha mambo yote yanayofanya kuzorota kwa maadili kwani yakishamwagika hayawezi..kuzoleka : Wahenga na watu wazamani walikuwa na maadili kama vile heshima, ushujaa, huru...
Siku hizi maadili yamezorata kwa nini
{ "text": [ "Wazazi wengi Hawa a wakati wa kukaa na mwana wao" ] }
0203_swa
MAELEZO KUHUSU NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA UCHUKUZI NCHINI Uchukuzi ni hali ya usafirishaji wa bidhaa, abiria na huduma mbalimbali Kutoka sehemu moja hadi nyingine. Kila nchi, yenye kuendelea au iliyo endelea inahitaji uchukuzi ili kusonga mbele kimaendeleo. Hii ni kwa sababu, kupitia uchukuzi tunaweza kupata bidha...
Hali ya usafirishaji wa bidhaa, abiria na huduma huitwaje
{ "text": [ "Uchukuzi" ] }
0203_swa
MAELEZO KUHUSU NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA UCHUKUZI NCHINI Uchukuzi ni hali ya usafirishaji wa bidhaa, abiria na huduma mbalimbali Kutoka sehemu moja hadi nyingine. Kila nchi, yenye kuendelea au iliyo endelea inahitaji uchukuzi ili kusonga mbele kimaendeleo. Hii ni kwa sababu, kupitia uchukuzi tunaweza kupata bidha...
Nini husafirisha vitu vizito
{ "text": [ "Reli" ] }
0203_swa
MAELEZO KUHUSU NJIA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA UCHUKUZI NCHINI Uchukuzi ni hali ya usafirishaji wa bidhaa, abiria na huduma mbalimbali Kutoka sehemu moja hadi nyingine. Kila nchi, yenye kuendelea au iliyo endelea inahitaji uchukuzi ili kusonga mbele kimaendeleo. Hii ni kwa sababu, kupitia uchukuzi tunaweza kupata bidha...
Nchi za afrka zimeathiriwa na nin
{ "text": [ "Ufisadi" ] }