sentence1
stringlengths
3
704
sentence2
stringlengths
9
661
lang
stringclasses
112 values
Bora usingekwenda hapo.
It would have been better if you had not gone there.
swh-eng
Wanaume wakakwenda kazini.
The men go to work.
swh-eng
Wanaume huwa wamechoka warudipo kutoka kazini.
The men are generally tired when they come back from work.
swh-eng
Mtu ni mwenye nguvu.
The man is strong.
swh-eng
Wote tuliangalia saa yake.
All of us stared at her.
swh-eng
Kumbe wanachelewa!
In that case, they fall behind.
swh-eng
Nina njaa.
I am hungry.
swh-eng
Hakumpenda.
She didn't like him.
swh-eng
Natazamia.
I look forward to it.
swh-eng
Nimesikia kuwa hamli mboga za majani kwenu. Mnasema kuwa ni chakula cha wanyama.
I've heard that you don't eat green leafy vegetables. You say that it is food for animals.
swh-eng
Alimchukia.
She hated him.
swh-eng
Huo ni uongo mtupu.
That's nothing but a lie!
swh-eng
Kule watu wanaelewa.
The people there are not so dumb.
swh-eng
Wanajua maana ya vitamin ni nini.
They know what "vitamin" means.
swh-eng
Usisahau kupeleka barua
Don't forget to post the letter.
swh-eng
Usipokula chakula cha majani huwezi kupata vitamin.
When you don't eat leafy foods, you can't get vitamins.
swh-eng
Ninachukia hesabu.
I hate maths.
swh-eng
Kupigana kwa haki yako.
Fight for your right.
swh-eng
Mimi nilistaajabu sana.
I was quite surprised.
swh-eng
Je, unakumbuka jina lake?
Do you remember her name?
swh-eng
Nilistaajabu niliposikia kuwa kweli watu hawali mboga za majani.
I was surprised that when I heard that people really don't eat leafy vegetables.
swh-eng
Zima taa.
Turn off the light.
swh-eng
Ni nyumba nzuri.
It's a pretty house.
swh-eng
Hiyo si kweli hata kidogo.
That's not true at all.
swh-eng
Nilileta kitabu.
I brought a book.
swh-eng
Ahadi ni deni.
A promise is a debt.
swh-eng
Sina budi nikimbilie gari la moshi.
I must hurry to catch the train.
swh-eng
Vema. Ningefurahi sana kama ungeniandikia barua mara tu ufikapo Mwanza.
Fine. I'd be very happy if you would drop me a line as soon as you get to Mwanza.
swh-eng
Kalamu changu ni mpya.
My pen is new.
swh-eng
Nina paka wawili.
I have two cats.
swh-eng
Kobe hana meno.
Turtles don't have teeth.
swh-eng
Unieleze habari zote za safari uliyosafiri.
Tell me all about the trip you've made.
swh-eng
Unieleze jinsi utakavyopanda stima kutoka pale Mwanza mpaka Bukoba.
Tell me how you will take the steamer from Mwanza to Bukoba.
swh-eng
Kama ningejua, ningekwenda.
If I had known it, I would have gone there.
swh-eng
Kwaheri bwana. Safiri salama!
Good bye, and safe trip.
swh-eng
Kama ningejua, nisingekuja.
If I had known, I would not have come.
swh-eng
Nanywa maji jikoni.
I'm drinking water in the kitchen.
swh-eng
Emily aliandika sentensi.
Emily wrote the sentence.
swh-eng
Wewe mwenyewe utashuhudia.
You'll see it for yourself.
swh-eng
Je, kuna mashine ya kufulia nyumbani?
Is there a washing machine in the house?
swh-eng
Hujambo, bwana? Habari gani za mchana?
How are you? What sort of day are you having today?
swh-eng
Omba Mungu uitembelee nchi hiyo siku moja.
Ask God that you may visit that country some day.
swh-eng
Kama angekaa nyumbani, asingepata taabu.
If he had stayed at home that day, he would not have met with disaster.
swh-eng
Sijui niambie nini...
I don't know what to say...
swh-eng
Melanie anapenda muziki.
Melanie likes music.
swh-eng
Yeye ni daktari.
She's a doctor.
swh-eng
Naenda kwa miguu.
I go on foot.
swh-eng
Usitusahau!
Don't forget about us!
swh-eng
Nyinyi ni waalimu.
You are teachers.
swh-eng
"Rafiki zangu watajifunza Kinyamwezi. Na wako je?" "La, wao hawatajifunza."
"My friends will learn Nyamwezi. How about yours?" "No, they will not learn it."
swh-eng
Jina lako ni nani?
What's your name?
swh-eng
Jambo, jina lako ni nani?
Hello, what's your name?
swh-eng
Natoka Uingereza.
I'm from England.
swh-eng
"Baba, kwa nin unavaa nguo safi?" "Kwa sababu ninakwenda kanisani."
"Father, why are you putting on clean clothes?" "Because I'm going to church."
swh-eng
"Daudi, unataka twende kanisani?" "Hapana, baba. Sitaki leo. Nitakwenda kesho peke yangu."
"Do you want to go to church with me, Daudi?" "No, father. I don't want to today. I'll go by myself tomorrow."
swh-eng
Lakini mama yako anakwenda pia.
But your mother is going too.
swh-eng
Ijapokuwa nitakaa nyumbani peke yangu, sitakwenda mahali popote siku ya leo.
Even if I'm going to stay at home by myself, I'm not going any place at all today.
swh-eng
Sitaki ndizi zo zote.
I do not want any bananas at all.
swh-eng
Jiwe ni zito.
The stone is heavy.
swh-eng
Habari za nyumbani?
How is your family?
swh-eng
Mawazo ya kijani yasiyokamili yanalala hoi.
Colorless green ideas sleep furiously.
swh-eng
Sitaki watu wo wote.
I do not want anybody at all.
swh-eng
Hatukuona michezo yo yote.
We didn't see a single game.
swh-eng
Ninajua kuwa alikuwa wa ajabu.
I know it was strange.
swh-eng
Jorge azungumza lugha nne.
Jorge speaks four languages.
swh-eng
Yeye hana jamaa ye yote.
He does not have any relatives at all.
swh-eng
Kusahau kuhusu hilo.
Forget about it.
swh-eng
Yeye hana rafiki ye yote.
He does not have any friends.
swh-eng
"Nitakwenda sokoni mchana. Na wewe je?" "La, mimi sitakwenda."
"I shall go to the market this afternoon. How about you?" "No, I will not go."
swh-eng
Nipo jikoni.
I'm in the kitchen.
swh-eng
"Nitanunua nyumba mpya. Na wewe je?" "La, mimi sitanunua."
"I shall buy a new house. How about you?" "No, I will not buy one."
swh-eng
"Juma atalipa ada ya shule. Na Hamisi je?" "La, yeye hatalipa."
"Juma will pay school fees. How about Hamisi?" "No, he will not pay them."
swh-eng
Millie anampenda.
Millie loves him.
swh-eng
"Juma atawasaidia rafiki zake. Na Hamisi je?" "La, yeye hatawasaidia."
"Juma will help his friends. How about Hamisi?" "No, he will not help them."
swh-eng
Millie anakwenda shule.
Millie is going to school.
swh-eng
Mary yuko wapi?
Where is Mary?
swh-eng
Tom yuko wapi?
Where is Tom?
swh-eng
Tutaonana kesho!
See you tomorrow!
swh-eng
"Utakwenda sokoni na Juma?" "La. Nitakwenda peke yangu."
"Will you go to the market with Juma?" "No, I shall go alone."
swh-eng
Millie ananipenda.
Millie loves me.
swh-eng
"Juma atakwenda sokoni na Hasani?" "La. Atakwenda peke yake."
"Will Juma go to the market with Hasani?" "No, he will go alone."
swh-eng
Watoto wanakwenda shuleni?
Do the children go to school?
swh-eng
"Watoto watakaa nyumbani na mama yao?" "La. Watakaa peke yao."
"Will the children stay at home with their mother?" "No, they will stay alone."
swh-eng
Millie anapenda chokoleti.
Millie loves chocolate.
swh-eng
Watoto ni maua ya maisha yetu.
Children are the flowers of our lives.
swh-eng
Millie ana mbwa.
Millie has a dog.
swh-eng
Mtu anataka kujua ukweli.
The man wants to know the truth.
swh-eng
"Wataka chungwa hili?" "Hapana, sitaki chungwa lo lote."
"Do you want this orange?" "No, I don't want any orange at all."
swh-eng
Je, unajua mwanamke huyu?
Do you know this lady?
swh-eng
Millie anakula mkate.
Millie is eating bread.
swh-eng
Nina mbwa.
I have a dog.
swh-eng
Hii ni wiki yangu ya tatu.
This is my third week.
swh-eng
Nina homa.
I have a high temperature.
swh-eng
Una homa.
You've got a fever.
swh-eng
Ninatoka Australia.
I come from Australia.
swh-eng
Ninatoka Brazil.
I come from Brazil.
swh-eng
Ninatoka Saitama.
I come from Saitama.
swh-eng
Ninatoka Japani.
I come from Japan.
swh-eng
Mimi ni nani?
Who am I?
swh-eng
Sitaki kwenda shule.
I don't want to go to school.
swh-eng